86

Click here to load reader

Vita vya kiroho

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 1

VITA VYA KIROHOMapambano na Nguvu za gizaKuteka Baraka zetu kwa Vita

Mwl. Mgisa Mtebe+255 713 497 654, +255 783 497 654

[email protected]

www.mgisamtebe.org30 March 2012

VITA VYA KIROHOILI KUTEKA BARAKA ZETU KWA VITA NA KUTUWEZESHA KUISHI 

KWA USHINDI DUNIANI

Mathayo 16:18‐19Waefeso 6:10‐13

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO

Mathayo 16:18‐1918 Nami Nitalijenga Kanisa langu, 

wala milango ya kuzimuwala milango ya kuzimu, haitaweza kulishinda. 19 Nami nitawapa funguo za Ufalme wa 

mbinguni … 30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO

Mathayo 16:18‐1919 … jambo lolote  t k l lif d i iutakalolifunga duniani, litakuwa limefungwa mbinguni (rohoni) … 

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO

Mathayo 16:18‐1919 … na jambo lolote t k l lif d i iutakalolifungua duniani, litakuwa limefunguliwa mbinguni (rohoni). 

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO

Waefeso 6:10‐13‐18‘Iweni hodari katika Bwana, na katika Uweza wa Nguvu zakekatika Uweza wa Nguvu zake. Vaeni silaha zote za Mungu ili muweze pupambana na hila za 

mwovu shetani.30 March 2012

Page 2: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 2

Waefeso 6:10‐13‐18‘Kwa maana kushindana kwetu sisi, si juu ya damu na nyama (si vita vya kimwili) bali vita yetu ni ya kupambana na falme za giza, mamlaka za giza, wakuu wa giza na majeshi ya pepo wabaya, katika ulimwengu wa roho.

30 March 2012

VITA VYA ROHONI

Mathayo 16:18“Kwahiyo, kuna mashindano (kuna vita) kati ya milango ya(kuna vita), kati ya milango ya 

kuzimu (nguvu za giza) na kanisala Bwana Yesu Kristo duniani.”

Ufunuo 12:1730 March 2012

VITA VYA ROHONI

Chanzo cha vita

Vita hii ilitokea Wapi?Vita hii ilitokea Wapi?Ufunuo 12:3‐4, 7‐12, 17

Ezekieli 28:11‐19Isaya 14:10‐15

30 March 2012

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:3‐4, 7‐12, 173 “Kisha nikaona ishara nyingine mbinguni; niliona Joka mkubwambinguni; niliona, Joka mkubwa 

mwekundu, na alikuwa na vichwa saba na pembe kumi …

30 March 2012

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:3‐4, 7‐12, 174 “… na huyu joka, katika mkia 

wake alikuwa anakokotawake, alikuwa anakokota theluhthi ya nyota za mbinguni 

(malaika wa Mungu) na kuziangusha katika nchi.

30 March 2012

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:3‐4, 7‐12, 177 “Kulikuwa na vita mbinguni, Malaika Mkuu wa majeshi yaMalaika Mkuu wa majeshi ya Mungu, Malaika Mikaeli, akapigana na yule joka na 

malaika zake …”30 March 2012

Page 3: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 3

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:3‐4, 7‐12, 178 “Nao hawakushinda, wala 

mahali pao hapakuonekana tenamahali pao hapakuonekana tena mbinguni. 9 Yule joka aitwaye ibilisi na shetani, akatupwa duniani, na malalika zake wakatupwa pamoja naye.30 March 2012

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:3‐4, 7‐12, 1710 “Nikasikia sauti kuu mbinguni, ikisema sas kumekuwa wokovuikisema, sas kumekuwa wokovu na nguvu na ufalme wa Mungu wetu na mamlaka ya Kristo wake, 

kwa maana ametupwa chini mshitaki wa ndugu zetu”.30 March 2012

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:3‐4, 7‐12, 1711 “Nao wakamshinda yule joka na malaika zake kwa damu yana malaika zake, kwa damu ya mwana kondoo na kwa neno la 

ushuhuda wao, ambao hawakupenda maisha yao hata 

kufa”.30 March 2012

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:3‐4, 7‐12, 1712 “Kwahiyo shangilieni enyi enyi wote mkaao mbinguni; lakini olewote mkaao mbinguni; lakini ole wa ninyi mkaao duniani! Kwa 

maana yule joka ibilisi, ameshuka kwenu, ana hasira nyingi akijua 

ana wakati mchache!30 March 2012

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:3‐4, 7‐12, 1717 “Joka akamkasirikia yule 

mwanamke (kanisa) akaendamwanamke (kanisa), akaenda afanye vita juu wa wazao wake wazishikao amri za Mungu na kuwa na ushuhuda wa Yesu …”

30 March 2012

VITA VYA ROHONI

Mathayo 16:18“Nitalijenga kanisa langu, litapambana na milango yalitapambana na milango ya kuzimu (nguvu za giza), na 

milango ya kuzimu, haitaweza kulishinda kanisa langu …”

30 March 2012

Page 4: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 4

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

Ufunuo 12:27Shetani anachotafuta ni kumpigabinadamu na mazingira yake ilibinadamu na mazingira yake, ili 

kumvurugia Mungu ibada, anayoitamani sana kutoka kwa 

binadamu, duniani. 30 March 2012

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Kwanini Ibada?Zaburi 22:3

30 March 2012

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Zab 22:3IDABA ndio kitu cha kwanza 

k bi k ikkabisa katika moyo waMungu, kwasababu

MUNGU ANAISHI KATIKA IBADA na SIFA.

30 March 2012

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Zaburi 22:3Wewe U Mtakatifu, nawe “UNAKETI” j if I lUNAKETI juu ya sifa za Israel

“Inhabit” “Unaishi”

30 March 2012

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Zab 22:3IDABA ndio kitu cha kwanza 

k bi k ikkabisa katika moyo waMungu, kwasababu

MUNGU ANAISHI KATIKA IBADA na SIFA.

30 March 2012

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Kumnyima Mungu ibadaNi kama kumnyima

S ki ji• Samaki maji• Mimea udongo• Binadamu hewa

30 March 2012

Page 5: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 5

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

“Kwa maana, Baba anawatafuta watu wa aina hiyo ili 

wamwabudu.”(Yohana 4: 23)

30 March 2012

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Mungu

Ibada NchiZab 22:3

Ibada Nchi

Adam

Zab 150:6

Kumb 8:6‐18Yoh 4:23‐24

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO

Kusudi la Mungu la awali, ni kumwezesha mwanadamu kuitawala dunia pamoja na Mungu, ili binadamu tuishi maisha mazuri (ya ushindi na mafanikio) na kuwa vyombo vizuri vya kumwabudu Mungu.30 March 2012

SIFA NA IBADA KWA MUNGUMungu anatamani sana kukaa nasisi watoto wake hapa duniani, ndio maana anataka dunia yoteij h li ib d ( t h )ijazwe hali ya ibada (atmosphere) kama ilivyo mbinguni (masaa 24), ili duniani pia, kuwe na mazingiraya maisha au ya makazi ya Mungu

kama ilivyo mbinguni.30 March 2012

SADAKA NA IBADA KWA MUNGUMungu anataka watoto wake, tuwe na maisha mazuri, ili tunapopeleka ibada kwa 

Mungu, ibada hiyo ifike kwa Mungu ikiwa safi (fresh), yaani ibada isiyo na kelele za moyoni 

(masumbufu).30 March 2012

SADAKA NA IBADA KWA MUNGUKutokana na umuhimu na unyeti wa ibada, Mungu 

hakutaka na hataki watoto wake, tuwe na maisha ya taabu, maisha ya dhiki na 

maisha ya shida; ili ibada yake isiingiliwe na vurugu zozote.

30 March 2012

Page 6: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 6

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

Ili Mungu apate ibada nzurikutoka kwetu, inamlazimu 

kutubariki na kututengenezeakutubariki na kututengenezea mazingira mazuri, ili tuweze kuwa na maisha mazuri ya 

kumtumikia yeye kama vyombo vizuri vya ibada. 

30 March 2012

SADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Ndio maana Mungu alitumiamuda mrefu zaidi kuumba Dunia

kuliko muda aliotumiakumuumba binadamu

mwenyewe.Dunia =  siku 5Adam  =  siku 1

30 March 2012

SADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Hii inaonyesha wazi kwamba, Mungu anajali sana mazingira ya maisha yako; kwasababu, ibada nzuri inategemea aina ya maisha

ya mtu, na aina ya maisha yanategemea aina ya mazingira

anayoishi mtu huyo.30 March 2012

NGUVU YA SADAKA NA IBADA

Wakolosai 1:1616 … vitu vinavyoonekana na vile visivyoonekana, vitu vyote y , yviliumbwa na Yeye na kwa ajili 

Yake. (rasilimali zote zilimewekwa na Mungu na kwa 

ajili yake)30 March 2012

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Mungu

Ibada NchiZab 22:3

Ibada Nchi

Adam

Zab 150:6

Kumb 8:6‐18Yoh 4:23‐24

30 March 2012

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

Ibada nzuri hutoka katika moyo uliotulia na pia maisha mazuri;uliotulia na pia maisha mazuri; na maisha mazuri huchangiwa sana na mazingira mazuri.

Kumbukumbu 8:6‐18 30 March 2012

Page 7: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 7

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

Mazingira yakitibuka, maishayanatibuka na maishayanatibuka, na maisha 

yakitibuka, ibada kwa Mungu pia, inatibuka. 

Kumbukumbu 8:6‐1830 March 2012

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

Ufunuo 12:27Shetani anachotafuta ni kumpigabinadamu na mazingira yake ilibinadamu na mazingira yake, ili 

kumvurugia Mungu ibada, anayoitamani sana kutoka kwa 

binadamu, duniani. 30 March 2012

VITA VYA ROHONI

Mathayo 16:18“Nitalijenga kanisa langu, litapambana na milango yalitapambana na milango ya kuzimu (nguvu za giza), na 

milango ya kuzimu, haitaweza kulishinda kanisa langu …”

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO

Waefeso 6:10‐13‐18‘Iweni hodari katika Bwana, na katika Uweza wa Nguvu zakekatika Uweza wa Nguvu zake. Vaeni silaha zote za Mungu ili muweze pupambana na hila za 

mwovu shetani.30 March 2012

Waefeso 6:10‐13‐18‘Kwa maana kushindana kwetu sisi, si juu ya damu na nyama (si vita vya kimwili) bali vita yetu ni ya kupambana na falme za giza, mamlaka za giza, wakuu wa giza na majeshi ya pepo wabaya, katika ulimwengu wa roho.

30 March 2012

‘Ingawa tunaenenda kimwili, hatufanyi vita kwa jinsi ya mwili, silaha zetu zina nguvu katika 

2Wakorintho 10:3‐5

gMungu (roho), tukiteka nyara mawazo na fikra na kila kitu 

kinachojiinua kinyume na elimu ya Bwana wetu Yesu Kristo.

30 March 2012

Page 8: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 8

KANUNI ZA KIROHO

Kusudi la Mungu la awali, ni kumwezesha mwanadamu kuitawala dunia pamoja na Mungu, ili binadamu tuishi maisha mazuri (ya ushindi na mafanikio) na kuwa vyombo vizuri vya kumwabudu Mungu.30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO

Ni mapenzi ya Mungu tuishi maisha ya ushindi na 

mafanikio ili kutimiza kusudi la Mungu na kuishi maisha 

mazuri kama chombo maalum cha kumsifu na kumwabudu 

Mungu.30 March 2012

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

Ili Mungu apate ibada nzurikutoka kwetu, inamlazimu 

kutubariki na kututengenezeakutubariki na kututengenezea mazingira mazuri, ili tuweze kuwa na maisha mazuri ya 

kumtumikia yeye kama vyombo vizuri vya ibada. 

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO

Kusudi la Mungu la awali, ni kumwezesha mwanadamu kuitawala dunia pamoja na Mungu, ili binadamu tuishi maisha mazuri (ya ushindi na mafanikio) na kuwa vyombo vizuri vya kumwabudu Mungu.30 March 2012

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Mungu

Ibada NchiZab 22:3

Ibada Nchi

Adam

Zab 150:6

Kumb 8:6‐18Yoh 4:23‐24

30 March 2012

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

Ili Mwanadamu aweze kulitimiza Kusudi la Mungu vizuri, Mungu alimpa Mwanadamu Mamlaka yaalimpa Mwanadamu Mamlaka ya Kiroho ili Kutawala mazingira

yake, ili awe na maisha mazuri ya kumtumikia Mungu kama vyombo vizuri vya ibada. 

30 March 2012

Page 9: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 9

KANUNI ZA KIROHOEbrn 11:3,  Efes 6:12    

Mamlaka ya KirohoMamlaka ya Kiroho.

30 March 2012

MAMLAKA YA KIROHOMwanzo 1:26‐28/Zaburi 8:4‐8Mungu aliitengeneza dunia katika namna kwamba, ulimwengu wa mwili, 

utatawaliwa kwa mamlaka ya Mungu kutoka katika Ulimwengu wa roho.

30 March 2012

MAMLAKA YA KIROHO

Mamlaka ya KirohoMwanzo 1:26‐28

30 March 2012

MAMLAKA YA KIROHOMwanzo 1:26‐28

26 ‘Mungu akasema, tufanye Mtu kwa Sura yetu na Mfano wetu, wakatawale samaki wa 

baharini na ndege wa angani, na kila kitu kipitacho juu ya nchi’.

30 March 2012

MAMLAKA YA KIROHOMwanzo 1:26‐28

27 ‘Bwana Mungu akaumba Mwanamke na Mwanaume; 

kwa Mfano wa Mungu aliwaumba’

30 March 2012

MAMLAKA YA KIROHOMwanzo 1:26‐28

28 ‘Bwana Mungu akawaweka katika bustani, akawaambia, 

zaeni mkaongezeke na kuitiisha (kuitawala) nchi.’

30 March 2012

Page 10: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 10

MAMLAKA YA KIROHOWarumi 3:23/Warumi 5:12‐19

Mwanadamu alipofanya dhambi, alipoteza mamlaka ya Mungu katika ulimwengu wa roho na 

kushindwa kuutawala ulimwengu wa mwili; badala yake, 

ulimwengu wa mwili ukamtawala mwanandamu.30 March 2012

MAMLAK YA KIROHO

KABLA YA DHAMBIKABLA YA DHAMBIUTARATIBU ULIKUWA HIVI

30 March 2012

KABLA YA DHAMBI (ANGUKO) Utukufu (Msaada) Mungu

Mwili Roho

Dunia Nafsi

Shetani30 March 2012

MAMLAKA YA MKRISTOKABLA YA DHAMBI     “Mashal”

Mkuu

Mfalme

MUNGU

Zab 8:4‐8

ADAM

MALAIKA

DUNIA

SHETANI

Mtawala

Mwakilishi

mungu

30 March 2012

MAMLAKA YA KIROHO

Zaburi 8:4‐8Zaburi 8:4‐8

30 March 2012

MAMLAKA YA KIROHOZaburi 8:4‐8

Mwanadamu ni nani hata umwangalie kwa kiasi hiki?  Umemfanya ‘punde kidogo’Umemfanya  punde kidogokuliko Mungu, ukamvika taji ya 

‘Utukufu’na Heshima;  ukamtawaza‘Juu ya’kazi zote za 

mikono yako …30 March 2012

Page 11: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 11

MAMLAKA YA KIROHOZaburi 8:4‐8

… na ukaviweka vitu vyote ulivyoviumba wewe, ‘chini ya’miguu yake; wanyama wote, 

ndege wote, samaki na kila kitu kipitacho katika njia za maji.

30 March 2012

MAMLAKA YA MKRISTOKABLA YA DHAMBI     “Mashal”

Mkuu

Mfalme

MUNGU

Zab 8:4‐8

ADAM

MALAIKA

DUNIA

SHETANI

Mtawala

Mwakilishi

mungu

30 March 2012

KABLA YA DHAMBI (ANGUKO) Utukufu (Msaada) Mungu

Mwili Roho

Dunia Nafsi

Shetani30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO

BAADA YA DHAMBIBAADA YA DHAMBIMAMBO YAKAWA HIVI

30 March 2012

BAADA YA DHAMBI Msaada Ukakatika Mungu

Mwili Roho

DuniaNafsi

Shetani30 March 2012

MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI

MUNGU

SHETANI ALITAPELI NAFASI YA ADAM

SHETANI

MALAIKA

DUNIA

ADAM

30 March 2012

Page 12: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 12

MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI

Yohana 16:11Mkuu

Mfalme Waefeso 2:1‐2

MUNGU

Shetani akakaa katika        nafasi ya Adam na 

akavaa vyeo vyote vya Adam      

SHETANI

MALAIKA

DUNIA

ADAM

Mtawala

Mwakilishi

mungu

1Yohana 5:19

Luka 4:5‐8

2Korintho 4:3‐4

30 March 2012

Mamlaka ya shetani ulimwenguni

Efe 2:1‐2   – Mfalme wa anga2Kor 4:4    – Mungu wa dunia hii1Yoh 5:19 – Mtawala (Controler)1Yoh 5:19  – Mtawala (Controler) Yoh 12:31  – Mkuu wa UlimwenguYoh 14:30  – Mkuu wa UlimwenguYoh 16:11  – Mkuu wa Ulimwengu

30 March 2012

MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI

Yohana 16:11Mkuu

Mfalme Waefeso 2:1‐2

MUNGU

Warumi 5:12, 14Waebrania 2:14, 15

SHETANI

MALAIKA

DUNIA

ADAM

Mtawala

Mwakilishi

mungu

1Yohana 5:19

Luka 4:5‐8

2Korintho 4:3‐4

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO

BAADA YAWOKOVUBAADA YAWOKOVUMAMBO YAKAWA HIVI

30 March 2012

BAADA YA WOKOVU (KALVARI) 

(Utukufu) Uhusiano Mungu

Mwili RohoMwili Roho

DuniaNafsi

Shetani30 March 2012

MAMLAKA YA MKRISTO

BAADA YA WOKOVU

Mkuu

Mfalme

MUNGU + ADAM ‐ 2

Waefeso 2:1‐6Waefeso 1:18‐23

MALAIKA

SHETANI

DUNIA

ADAM  ‐ 1

Mtawala

Mwakilishi

mungu

30 March 2012

Page 13: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 13

BAADA YA WOKOVU (KALVARI) 

(Utukufu) Roho Mt. Mungu

Mwili RohoMwili Roho

DuniaNafsi

Shetani (Rum 8:9‐11) 30 March 2012

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:26‐28/Zaburi 8:4‐8Mungu aliitengeneza dunia katika namna kwamba, ulimwengu wa mwili, 

utatawaliwa kwa mamlaka ya Mungu kutoka katika Ulimwengu wa roho.

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHOWarumi 3:23/Warumi 5:12‐19

Mwanadamu alipofanya dhambi, alipoteza mamlaka ya Mungu katika ulimwengu wa roho na 

kushindwa kuutawala ulimwengu wa mwili; badala yake, 

ulimwengu wa mwili ukamtawala mwanandamu.30 March 2012

KANUNI ZA KIROHOWaefeso 2:1‐6/Ufunuo 5:8‐10

Lakini Mtu anapotubu dhambi zake na kuupokea Wokovu wa Bwana Yesu Krsito, anaunganishwa tena na Mungu na kupewa mamlaka

makuu zaidi, kuliko yale aliyoyapoteza Adam na Eva   katika bustani ya Eden.30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO

Mathayo 16:18‐1918 Nami Nitalijenga Kanisa langu, 

wala milango ya kuzimuwala milango ya kuzimu, haitaweza kulishinda. 19 Nami nitawapa funguo za Ufalme wa 

mbinguni … 30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO

Mathayo 16:18‐1919 … jambo lolote  t k l lif d i iutakalolifunga duniani, litakuwa limefungwa mbinguni (rohoni) … 

30 March 2012

Page 14: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 14

KANUNI ZA KIROHO

Mathayo 16:18‐1919 … na jambo lolote t k l lif d i iutakalolifungua duniani, litakuwa limefunguliwa mbinguni (rohoni). 

30 March 2012

MAMLAKA YA MKRISTO

Ufunuo 5:9‐109 Wewe unastahili kukitwaakitabu na kuzivunja lakiri zake,kitabu na kuzivunja lakiri zake, kwa sababu ulichinjwa na kwa 

damu yako ukamnunulia Mungu watu kutoka katika kila kabila, kila lugha, kila jamaa na 

kila taifa (kanisa). 30 March 2012

MAMLAKA YA MKRISTO

Ufunuo 5:9‐1010 Nawe umewafanya hawa 

f l k h iwawe Ufalme na Makuhani wa kumtumikia Mungu wetu, nao 

wanamiliki dunia.’’

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHOWaefeso 1:18‐23/2:1‐6Mungu wetu, hataweza kukurithisha mamlaka ya 

Uli h iliUlimwengu wa roho ili uweze kuleta mabadiliko katika 

ulimwengu wa mwili, kama hajazaliwa mara ya pili, kwa njia 

ya Wokovu wa Yesu Kristo.30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO

Baada ya Wokovu, mtu wa Mungu huyo, anajazwa Roho Mtakatifu na Nguvu zake iliMtakatifu na Nguvu zake, ili 

kumrudishia mamlaka na uwezatuliyopoteza katika bustani ya Eden, kwa njia ya dhambi.

30 March 2012

BAADA YA WOKOVU (KALVARI) 

(Utukufu) Roho Mt. Mungu

Mwili RohoMwili Roho

DuniaNafsi

Shetani (Rum 8:9‐11) 30 March 2012

Page 15: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 15

KANUNI ZA KIROHO

Bwana Yesu aliomba hivi:Yohana 17:22

‘Baba Utukufu ule ulionipaBaba, Utukufu ule ulionipa, nami nimewapa wao (Kanisa)’;‘yaani watu walioniamini, walinipokea maishani mwao na wanaishi kwa kanuni 

zangu za kiroho’30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO

Yohana 17:22‘Utukufu’ huo, ni Roho 

Mtakatifu yule yule aliyepewaMtakatifu yule yule aliyepewa Adam wa kwanza, ili aweze 

kuutawala ulimwengu wa dunia hii kwa Nguvu za Mungu.

Zaburi 8:4‐830 March 2012

2Petro 1:3‐4Tunapambana na adui mwenyenguvu sana. Pasipo Nguvu za

Mungu, mtu wa Mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mungu, mtu wa Munguhataweza kuleta mabadilikomazuri katika maisha yake nakumwezesha kuishi maishamazuri na ya ushindi, ili kuwachombo kizuri cha ibada.

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO

Kusudi la Mungu la awali, ni kumwezesha mwanadamu kuitawala dunia pamoja na Mungu, ili binadamu tuishi maisha mazuri (ya ushindi na mafanikio) na kuwa vyombo vizuri vya kumwabudu Mungu.30 March 2012

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

Ili Mwanadamu aweze kulitimiza Kusudi la Mungu vizuri, Mungu alimpa Mwanadamu Mamlaka yaalimpa Mwanadamu Mamlaka ya Kiroho ili Kutawala mazingira

yake, ili awe na maisha mazuri ya kumtumikia Mungu kama vyombo vizuri vya ibada. 

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO

KwaniniUli hUlimwengu wa roho.Zab 8:4‐8, Waefeso 6:12

30 March 2012

Page 16: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 16

KANUNI ZA KIROHONi kwasababu;

Mungu aliitengeneza dunia katika namna kwamba, ulimwengu wa mwili, utatawaliwa kwa mamlaka

ya Mungu kutoka katika Ulimwengu wa roho.(Zab 4:4‐8, Ebr 11:3)

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

Ni muhimu uje kwamba, Dunia yetu inatawaliwa kwaDunia yetu inatawaliwa kwa  

Kanuni kuu Mbili (2)2. Kanuni za Kimwili1. Kanuni za Kiroho

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO

Nguvu                     NguvuZa                            za

Kimwili        Vs        Kiroho (Natural                (Spiritual  Principles)            Principles)

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO

Kwa Mfano;

Uumbaji wa vitu vya DuniaUumbaji wa vitu vya DuniaWaebrania 11:3

30 March 2012

Kanuni za kiroho za UshindiWaebrania 11:3

Nasi twajua ya kwamba, ulimwengu uliumbwa kwa Neno

la Mungu, hata vituvinavyoonekana, havikufanywa

kwa vitu vilivyo dhahiri.

30 March 2012

Kanuni za kiroho za UshindiWaebrania 11:3

“… vitu vinavyoonekana… vitu vinavyoonekana(vya kimwili) vilifanywa kwa 

vitu visivyo dhahiri ”.

30 March 2012

Page 17: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 17

Kanuni za kiroho za UshindiWaebrania 11:3

“… vitu vinavyoonekana… vitu vinavyoonekana(vya kimwili) vilifanywa kwa 

vitu visivyo waziwazi ”.

30 March 2012

Kanuni za kiroho za UshindiWaebrania 11:3

“… vitu vinavyoonekana… vitu vinavyoonekana(vya kimwili) vilifanywa kwa 

vitu visivyo onekana(vya kiroho).”

30 March 2012

Kanuni za kiroho za UshindiWaebrania 11:3

Ulimwengu wa roho ndioulioumbwa kwanza; na kishali k ilik di Mulipokamilika, ndipo Mungu

akauzaa Ulimwengu wa mwilikutokea katika

Ulimwengu wa Roho.30 March 2012

ULIMWENGU WA ROHO

Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3

Kwahiyo, Mungu alipoumba dunia, aliiumba katika ulimwengu wa 

kiroho kwanza, na alipoikalimisha rohoni, ndipo akaizaa (akai‐

photocopy au akai‐print) katika ulimwengu wa mwili.30 March 2012

Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3, 2Wakorintho 4:18

Ukamilifu           Dhamira           Torati                        Mpito                  Neema              Dhiki         Milenia    Uumbaji      Anguko                     Wafalme       Kuzaliwa            Msalaba                 Unyakuo                    MwishoMwa 1         Mwa 3                      Manabii    Math 1             Math 27                   1 Thes 4                        Ufu 21

7 100033               (1) Ufu 13 :8              3 ½      3 ½ Kristo

30        3 ½                            (2) Efe 1:3‐4 Mfalme

InjiliKalvari      Kanisa 

Milele

30 March 2012

Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3, 2Wakorintho 4:18

Ukamilifu           Dhamira           Torati                        Mpito                  Neema              Dhiki         Milenia    Uumbaji      Anguko                     Wafalme       Kuzaliwa            Msalaba                 Unyakuo                    MwishoMwa 1         Mwa 3                      Manabii    Math 1             Math 27                   1 Thes 4                        Ufu 21

7 100033               (1) Ufu 13 :8              3 ½      3 ½ Kristo

30        3 ½                            (2) Efe 1:3‐4 Mfalme

Injili600                                 Kalvari       Kanisa 

700                                   2000

(4) Daniel  7:13 – 14, 27(3) Isaya  9: 6                                   33 AD (5) Ufunuo  20:11 – 15

Bahari             Miti        Upepo          

Milele

Ulimwengu wa Mwili30 March 2012

Page 18: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 18

Kanuni za kiroho za UshindiWaebrania 11:3

“… vitu vinavyoonekana(vya kimwili) vilifanywa kwa(vya kimwili) vilifanywa kwa 

vitu visivyo onekana(vya kiroho).

30 March 2012

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Kwahiyo, ukiona jambo limetokea mahali fulani leo, usije ukafikiri 

li l hlimeanza leo, hapana;Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo hilo limejitokeza, lakini mbegu yake ilipandwa huko rohoni siku kadhaa 

zilizopita (wakati uliopita).30 March 2012

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Wewe usipokuwa na nidhamu ya kwenda rohoni kwa njia ya j y

maombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea mambo ambayo usingetaka     

kabisa yakupate.30 March 2012

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

Hivyo;Hakuna kitu kinafanyika katikaHakuna kitu kinafanyika katika Ulimwengu wa Mwili mpaka kwanza kimefanyika katika   Ulimwengu wa Kiroho.

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO2Wakorintho 4:18   Tusiviangalie vitu 

vinavyoonekana (vya kimwili) ni y ( y )vya muda; bali tuviangalie vitu visiyoonekana (vya kiroho) 

kwani hivyo ndivyo vya milele (vya kudumu).

30 March 2012

ULIMWENGU WA ROHOWaebrania 11:3

Kwahiyo, Mungu alipoumba dunia, aliiumba kwanza katika 

ulimwengu wa kiroho, na alipoikalimisha, ndipo akaizaa(akai‐photocopy au akai‐print) katika ulimwengu wa mwili.

30 March 2012

Page 19: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 19

ULIMWENGU WA ROHO

Waebrania 11:3Kwahiyo, kila kitu duniani kina original copy na photocopy yake. 

kil ki h ki d i iAu kila kitu unachokiona duniani, ujue kina soft‐copy na hard‐copy yake (yaani kina upande wa rohoni

na wa upande wa mwilini).30 March 2012

ULIMWENGU WA ROHO

KwahiyoKila cha Kimwili, 

kina cha kiroho chake

1 Wakorintho 15:44

30 March 2012

ULIMWENGU WA ROHO

1 Wakorintho 15:44“Ikiwa kuna mwili wa asili, 

Basi na mwili wa roho pia, upo”

30 March 2012

ULIMWENGU WA ROHO

Ayubu 8:9“Kwakuwa sisi ni wa jana tu,Kwakuwa sisi ni wa jana tu, 

wala hatujui neno, maisha yetu ni kama kivuli”‐ Photocopy  ‐

30 March 2012

ULIMWENGU WA ROHO

Zaburi 39:6a“Binadamu huko na hukoBinadamu huko na huko

kama kivuli”‐ Photocopy  ‐

30 March 2012

ULIMWENGU WA ROHOUlimwengu w

Katika ulimwengu wetu, kuna vitu vya Namna kuu mbili (2);

• Vit isi oonekana• Vitu visivyoonekana• Vitu vinavyoonekana

Na vyote viko kwa pamoja

30 March 2012

Page 20: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 20

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

Ni Kwasababu, Ulimwengu wa Mwili

ulizaliwa kupitia Ulimwengu wa Kiroho.

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

Ni Kwasababu, 

Mambo ya Ulimwengu wa mwiliyanatawaliwa kwa mambo ya 

ulimwengu wa roho; 30 March 2012

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

Ni muhimu uje kwamba, Kanuni za KimwiliKanuni za Kimwilizinatawaliwa na Kanuni za Kiroho

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

Hivyo, kwa utaratibu huu;Hakuna kitu kinafanyika katikaHakuna kitu kinafanyika katika Ulimwengu wa Mwili mpaka kwanza kimefanyika katika   Ulimwengu wa Kiroho.

30 March 2012

MAANA YA KUOMBA

Tafsiri Mpya yaTafsiri Mpya ya Maombi

30 March 2012

MAANA YA KUOMBAKuomba, ni namna ya mtu, 

kwenda katika ulimwengu wa roho, ili kuwasiliana na Mungu 

k k thi i liwake, na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika namna ambayo, itakayoleta mabadiliko katika ulimwengu huu wa mwili.

30 March 2012

Page 21: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 21

KANUNI ZAKIROHOUlimwengu wa roho

Kwa Mfano Maombi ya Nabii Eliya

Yakobo 5:17‐18;1Wafalme 17‐18;

30 March 2012

NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya

Yakobo 5:17‐18;Eliya alikuwa binadamu tu kama sisi, lakini aliomba kwa bidii, ili kuifunga 

mvua, na Mungu alimsikia, na mbingu zikafungika na mvua (ya ki‐mwilini) haikunyesha juu ya nchi, kwa  muda wa  miaka 3 na nusu.30 March 2012

NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya

Yakobo 5:17‐18;Japo kulikuwa na kanuni zote za kisayansi za mvua kunyesha, lakini 

Eliya, kwa njia ya maombi, alikwenda rohoni, akaathiri (tibua) kanuni 

zinazotawala mvua mwili, na ndio maana mvua haikunyesha.30 March 2012

NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya

Yakobo 5:17‐18;Baada ya miaka mitatu na nusu, nchi yote ilikuwa kavu kabisa na misitu 

yote imepukutika; kwahiyo hakukuwa na kanuni za kutosha 

kuruhusu mvua kunyesha.30 March 2012

NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya

Yakobo 5:17‐18;Eliya akaomba tena kwa bidii, ili kuifungua mvua kutoka katikauliwengu wa roho, na Mungu 

alimsikia, na mbingu zikafunguka na mvua (ya ki‐mwilini) ikanyesha na 

nchi ikazaa matunda yake.30 March 2012

MAANA YA KUOMBAKuomba, ni namna ya mtu, 

kwenda katika ulimwengu wa roho, ili kuwasiliana na Mungu 

k k thi i liwake, na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika namna ambayo, itakayoleta mabadiliko katika ulimwengu huu wa mwili.

30 March 2012

Page 22: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 22

Mabadiliko gani hayo?Kwa Mfano;

Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri, 

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri,  Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu 

wazuri, nk. nk. nk.30 March 2012

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

Eliya akawakusanya Waisraeli wote, akaijenga madhabahu ya Bwana 

k k d k ’ bupya, akaweka sadaka ya ng ombe juu ya madhabahu, na akawataka wamwage maji pipa 12 juu yake, 

kama yalivyo mawe 12 ya madhabahu na kabila 12 za Israeli.30 March 2012

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

Baada ya kufanya Kanuni hizi za Kiroho, ndipo Eliya akafanya 

Maombi ya Vita, ili kuvunja ngvu ya upinzani, iliyokuwa inazuia baraka za Mungu, kuwafikia 

watoto wake duniani.30 March 2012

NGUVU YA MAOMBI

Yakobo 5:18;MATOKEO = USHINDIM ik h k ikMvua ikanyesha katika

ulimwengu wa mwili, na Nchiikazaa matunda yake, na watu

wakafaidi mema ya nchi.30 March 2012

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41‐44;Baada ya ile Sadaka na Maombi, Nabii Eliya akawaambia watu,Nabii Eliya akawaambia watu, 

‘Kimbieni, nasikia sauti ya mvua tele’ (mstari 41), watu 

walipoondoka, Eliya alikwenda mlimani ili kufanya MAOMBI;

30 March 2012

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Baada ya Toba  na Sadaka         (Kumb 28:1‐14)/     /     /     /      /       /        /        /        /     /     

/    /     /     (mstari wa 41) /       /        /       /

/     /        Mvua ya rohoni /      /        /      /

/        /      /       /      /      /      /       /      /      // / / / / / / / / /

Ulimwengu wa Mwili

Uyahudi                                  Uyahudi                                          Uyahudi 

Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

30 March 2012

Page 23: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 23

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41‐45;Na watu walipoondoka, Eliya alikwenda mlimani kuomba; naalikwenda mlimani kuomba; na baada ya maombi mazito mara saba (7), ndipo mvua kubwa sana ikanyesha juu ya nchi 

(mstari 44‐45).30 March 2012

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16‐18) /     /     /     /      /       /        /        /        /     /     

/    /     /     (mstari wa 41) /       /        /       /

/     /     Mvua ya rohoni /      /        /      /

/        /      /       /      /      /      /       /      /      // / / / / / / / / /

Ulimwengu wa Mwili /      /      /       /      /      /      /       /        //      /      /       /      /      /      /       /        /

/      /      /    Mvua ya Mwilini /        //      /      /  (Mstari 44‐45)    /       /       /

/      /      /       /      /      /      /       /        //      /      /       /      /      /      /       /        /

Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

30 March 2012

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41‐45;Kumbe, mvua haikunyesha katika ulimwengu wa mwili,katika ulimwengu wa mwili, 

mpaka kwanza ilipotengenezwa katika ulimwengu wa kiroho

kwanza.30 March 2012

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:41‐45;

Kwahiyo, kumbuka kwamba, Kanuni za kiroho, ndizo ,

zilizotangulia kusababisha athari katika ulimwengu wa rohoni

kwanza, ili mvua inyeshe katika ulimwengu wa mwili.

30 March 2012

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41‐45;Kwahiyo, 

Ile mvua haikunyesha katikaIle mvua haikunyesha katika ulimwengu wa mwili, mpaka kwanza ilipotengenezwa katika ulimwengu wa kiroho kwanza.30 March 2012

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Wewe usipokuwa na nidhamu ya kwenda rohoni kwa njia ya j y

maombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea mambo ambayo usingetaka     

kabisa yakupate.30 March 2012

Page 24: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 24

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Kwahiyo, ukiona jambo limetokea mahali fulani leo, usije ukafikiri 

li l hlimeanza leo, hapana;Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo hilo limejitokeza, lakini mbegu yake ilipandwa huko rohoni siku kadhaa 

zilizopita (wakati uliopita).30 March 2012

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41‐45;Kwahiyo, ile mvua haikunyesha katika ulimwengu wa mwili,katika ulimwengu wa mwili, 

mpaka kwanza ilipotengenezwa katika ulimwengu wa kiroho

kwanza.30 March 2012

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 1:3‐4, Warumi 8:29‐30

‘Mungu ameshatubariki kwa b k h i k ikbaraka zote za rohoni, katikaulimwengu wa roho; kama 

alivyotuchagua katika yeye, kablaya kuwekwa misingi ya ulimwengu, 

tuwe watakatifu’.30 March 2012

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Baada ya Toba  na Sadaka         (Kumb 28:1‐14)/     /     /     /      /       /        /        /        /     /     

/    /     /     (mstari wa 41) /       /        /       /

/     /        Mvua ya rohoni /      /        /      /

/        /      /       /      /      /      /       /      /      // / / / / / / / / /

Ulimwengu wa Mwili

Uyahudi                                  Uyahudi                                          Uyahudi 

Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

30 March 2012

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:41‐45, Yakobo 5:17‐18

Wana wa Israeli, walikuwa wanateseka kwa maisha 

magumu, katika ulimwengu wa mwili, wakati wao ni wabarikiwa wenye baraka nyingi sana katika 

ulimwengu wa roho.30 March 2012

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16‐18) /     /     /     /      /       /        /        /        /     /     

/    /     /     (mstari wa 41) /       /        /       /

/     /     Mvua ya rohoni /      /        /      /

/        /      /       /      /      /      /       /      /      // / / / / / / / / /

Ulimwengu wa Mwili /      /      /       /      /      /      /       /        //      /      /       /      /      /      /       /        /

/      /      /    Mvua ya Mwilini /        //      /      /  (Mstari 44‐45)    /       /       /

/      /      /       /      /      /      /       /        //      /      /       /      /      /      /       /        /

Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

30 March 2012

Page 25: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 25

NGUVU YA MAOMBI

Kama Eliya asingeomba kwa bidii, ile baraka ya mvua (rohoni) ingekomea huko huko rohoni, na huku duniani, watu wa Mungu wangeishi maisha ya shida na taabu; na kumbe wana baraka nyingi sana katika U’rohoni.

30 March 2012

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 1:3‐4, Warumi 8:29‐30Na sisi pia tusipoomba, baraka hizi 

li k ik lizote tulizopewa katika ulimwengu wa roho, zitabaki huko huko rohoni,wakati huku duniani, tunateseka kwa maisha magumu, yaliyojaa 

shida na taabu nyingi.30 March 2012

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

Mungu wetu ni Mungu wa Imani, anayefanya mambo , y y

yasiyoonekana kwanza, kabla ya kuyasababisha yatokee katika 

ulimwengu wa mwili(ulimwengu wa yanayoonekana)

30 March 2012

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Utendaji kazi wa Mungu duniani, huanzia katika ulimwengu wa rohog

kwanza. Mambo yakikamilika rohoni, ndipo huyazaa mambo hayo 

katika ulimwengu wa mwili.

30 March 2012

NGUVU YA MAOMBI NA SADAKA

Kama tunataka kutawala vizuri mambo yetu ya kimaisha na kuleta 

mabadiliko katika mambo ya ki ili b i i l i t f hkimwili, basi ni lazima tuufahamu vizuri ulimwengu wa roho, na tujue namna ya kuuathiri (U’roho) ktk namna itakayoleta mabadiliko katika ulimwengu wa mwili.30 March 2012

ULIMWENGU WA ROHO

Kwanini tunaishi maisha ya kushindwa?

30 March 2012

Page 26: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 26

ULIMWENGU WA ROHOHebu jiulize mwenye…

Kwanini tunaishi maisha magumu na ya mateso huku mwili, yaliyojaa hid t b i i k bshida na taabu nyingi, na kumbe kule rohoni tumebarikiwa na Mungu kwa baraka zote, tena 

nyingi sana, za kutusaidia katika maisha yetu ya kila siku?

30 March 2012

NGUVU YA MAOMBI

Ni kwasababu; watu wa Mungu,

(1)  Hatujajua siri ya ulimwengu wa roho inavyoingiliana na ulimwengu wa mwili, hata kuleta mabadiliko tunayotaka kuyaona huku duniani.  

~ kutokujua ~30 March 2012

Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3, 2Wakorintho 4:18

Ukamilifu           Dhamira           Torati                        Mpito                  Neema              Dhiki         Milenia    Uumbaji      Anguko                     Wafalme       Kuzaliwa            Msalaba                 Unyakuo                    MwishoMwa 1         Mwa 3                      Manabii    Math 1             Math 27                   1 Thes 4                        Ufu 21

7 100033               (1) Ufu 13 :8              3 ½      3 ½ Kristo

30        3 ½                            (2) Efe 1:3‐4 Mfalme

InjiliKalvari      Kanisa 

Milele

30 March 2012

Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3, 2Wakorintho 4:18

Ukamilifu           Dhamira           Torati                        Mpito                  Neema              Dhiki         Milenia    Uumbaji      Anguko                     Wafalme       Kuzaliwa            Msalaba                 Unyakuo                    MwishoMwa 1         Mwa 3                      Manabii    Math 1             Math 27                   1 Thes 4                        Ufu 21

7 100033               (1) Ufu 13 :8              3 ½      3 ½ Kristo

30        3 ½                            (2) Efe 1:3‐4 Mfalme

Injili600                                 Kalvari       Kanisa 

700                                   2000

(4) Daniel  7:13 – 14, 27(3) Isaya  9: 6                                   33 AD (5) Ufunuo  20:11 – 15

Bahari             Miti        Upepo          

Milele

Ulimwengu wa Mwili30 March 2012

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Baada ya Toba  na Sadaka         (Kumb 28:1‐14)/     /     /     /      /       /        /        /        /     /     

/    /     /     (mstari wa 41) /       /        /       /

/     /        Mvua ya rohoni /      /        /      /

/        /      /       /      /      /      /       /      /      // / / / / / / / / /

Ulimwengu wa Mwili

Uyahudi                                  Uyahudi                                          Uyahudi 

Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

30 March 2012

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16‐18) /     /     /     /      /       /        /        /        /     /     

/    /     /     (mstari wa 41) /       /        /       /

/     /     Mvua ya rohoni /      /        /      /

/        /      /       /      /      /      /       /      /      // / / / / / / / / /

Ulimwengu wa Mwili /      /      /       /      /      /      /       /        //      /      /       /      /      /      /       /        /

/      /      /    Mvua ya Mwilini /        //      /      /  (Mstari 44‐45)    /       /       /

/      /      /       /      /      /      /       /        //      /      /       /      /      /      /       /        /

Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

30 March 2012

Page 27: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 27

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Fitina2Nyak 20

Math 12:25

Uyahudi Uajemi Uyunani

Ulimwengu wa Mwili

Uyahudi Uajemi Uyunani

Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

MkuuMkuu Mkuu

30 March 2012

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Fitina2Nyak 20

Math 12:25                            

Uyahudi Uajemi UyunaniUyahudi Uajemi Uyunani

Ulimwengu wa Mwili

Uyahudi Uajemi Uyunani

Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

MkuuMkuu Mkuu

30 March 2012

NGUVU YA MAOMBI

Ni kwasababu; watu wa Mungu, 

(2)  Hatuna nidhamu na bidii ya kwenda rohoni kwa njia ya maombi, hata kuchukua na 

kutelemsha baraka zetu duniani.      ~  Uzembe  ~30 March 2012

NGUVU YA MAOMBI

Ni kwasababu; watu wa Mungu, 

(3) Hatuna maarifa na bidii ya(3) Hatuna maarifa na bidii yakutumia kanuni za kiroho, kwa

namna sahihi, katikamadhabahu ya Bwana 

(ulimwengu wa kiroho).30 March 2012

SADAKA NA IBADA KWA MUNGUNa huu ndio utaratibu na kanuni ambazo Mungu aliziweka duniani, ili 

k h k lkutuwezesha kutawala ulimwengu wa mwili, kwa 

kanuni za kiroho zinazoathiri kwanza ulimwengu wa kiroho.

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHOWatu wa Mungu wakielewa, nafasi ya Ulimwengu wa kirohokatika maisha yao, wataweka bidii na nidhamu ya kuishi katika maisha yanayotimiza 

kanuni za kiroho …

30 March 2012

Page 28: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 28

KANUNI ZA KIROHO… ili waweze kuathiri vizuri Ulimwengu wa roho, hata kuleta mabadiliko katika ulimwengu wa mwili

yatakayowawezesha kutawalamaisha yao, kwa ushindi na 

mafanikio makubwa.   30 March 2012

ULIMWENGU WA ROHO

Kanuni za kiroho zikiathiri Ulimwengu wa roho

inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni 

za kimwili, ili jambo fulani lifanyika na kukamilika, kama 

ilivyotazamiwa.30 March 2012

KANUNI ZA KIROHOEbr 11:3,  1Yoh 5:4   

Mtu wa Mungu ukitaka kuleta mabadiliko fulani katika ulimwengu wa mwili, ili 

utembee kwa ushindi duniani,  ni lazima ujue kuutawala 

ulimwengu wa roho kwanza.30 March 2012

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   Hii ni kwasababu;

Hakuna kitu kinafanyika katikaHakuna kitu kinafanyika katika Ulimwengu wa Mwili mpaka kwanza kimefanyika katika   Ulimwengu wa Kiroho.

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO

Kwa Mfano;

Ushindi wa Yesu wa PasakaUshindi wa Yesu wa Pasaka1Petro 3:18‐20   

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18‐20 

Hata hatua zote za ukombozi wa mwanadamu, alioufanya Bwana , yYesu pale msalabani, ulikuwa ni ukombozi katika ulimwengu wa kiroho kwanza kabla ya kutokea 

katika mwili.30 March 2012

Page 29: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 29

KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18‐20

Siku ile Bwana Yesu alipoangikwa msalabani, watu waliuona mwili wake ukining’inia msalabani, lakini hawakuoiona roho yake

ikiondoka kwenda katika ulimwengu wa wafu (kuzimuni).30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18‐20

18 “Kwa maana Kristo naye aliteswa mara moja kwa ajili ya dhambi, mwenye haki kwa ajili yao wasio haki, ili atulete kwa 

Mungu; mwili wake ukauwawa, bali roho yake ikahuishwa”. 

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18‐20

19 “Kwa hiyo (roho yake)aliwaendea roho waliokuwa 

kifungoni, akawahubiri (injili ni uweza wa Mungu uletao wokovu)  yaani akawakomboa wale wote waliofungwa au waliozuiliwa)

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHOMathayo 27:45

45 “Basi tangu saa 6 mpaka saa 9, palikuwa na giza juu ya nchi yote 46 na ilipofika saa 9, Yesu akapaza 

sauti yake … 50 (akasema imekwisha) aliposema hivyo, 

akaitoa roho yake.30 March 2012

KANUNI ZA KIROHOMathayo 27:45

51 “na tazama pazia la hekalu likapasuka kutoka juu hata chini; 

nchi ikatetemeka, miamba ikapasuka, 52 na makaburi 

yakafunguka na ikainuka miili mingi ya watakatifu waliolala.

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO

Waefeso 4:88 “alipopaa juu aliteka mateka8 alipopaa juu, aliteka mateka, akawapa wanadamu vipawa”

30 March 2012

Page 30: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 30

KANUNI ZA KIROHOWakolosai 2:13‐15

‘… (Bwana Yesu) akiisha kutusamehe makosa yetu (pale msalabani) … aliifuta ile hati ya mashtaka juu yetu, iliyokuwa na uadui na Mungu, akaigongelea 

pale msalabani …’30 March 2012

KANUNI ZA KIROHOWakolosai 2:13‐15

‘… (kisha Bwana Yesu) kwa ujasiri wote, akazivua enzi na mamlaka, akazifanya kuwa mkogo (yaani, fedhaha, aibu na dharau) kisha akazishangilia katika msalaba …’

(Mafafanuzi yameongezewa)30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO1Pet 3:18‐20, Kol 2:14‐15 

Kumbe hatua zote za ukombozi wa mwanadamu, alioufanya , yBwana Yesu pale msalabani, ulikuwa ni ukombozi katika 

ulimwengu wa kiroho kwanza kabla ya kutokea katika mwili.30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO1Pet 3:18‐20, Kol 2:14‐15 

Kumbe mambo ya aina mbili yalikuwa yakiendelea kwa 

wakati mmoja (ktk dunia moja);Mengine katika ulimwengu wa 

mwili na mengine katikaulimwengu wa roho.30 March 2012

1Petro 3:18‐20 Mathayo 27:32‐54    Wakolosai 2:14‐15Mathayo alitumiwa   Paulo alitumiwa na  

Mungu kuelezea        Mungu kuelezea

Mambo yaliyotokea  mambo yaliyotokea 

Katika ulimwengu katika ulimwengu

wa kimwili wa kiroho

30 March 2012

1Petro 3:18‐20 Mathayo 27:32‐54       Wakolosai 2:14‐15Ulimwengu wa Mwili     Ulimwengu wa Roho

1. 1.

Alikuwa Alikuwa  Analia. Anashangilia.“Eloi Eloi                     “akizishangilia ktk

lama sabaktan” msalaba”30 March 2012

Page 31: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 31

1Petro 3:18‐20 Mathayo 27:32‐54       Wakolosai 2:14‐15Ulimwengu wa Mwili     Ulimwengu wa Roho

2. 2.

Alikuwa Alikuwa  Anateseka Anazitesa.“Naona Kiu” “falme na mamlaka

Wakamnywesha siki.       za giza (shetani)”30 March 2012

1Petro 3:18‐20 Mathayo 27:32‐54       Wakolosai 2:14‐15Ulimwengu wa Mwili Ulimwengu wa Roho

3. 3.

Alivuliwa Nguo Alizivua mamlaka

kwa aibu (uchi),      za giza (mashetani)

akaondolewa enzi yao na

heshima yake heshima zao.30 March 2012

1Petro 3:18‐20 Mathayo 27:32‐54       Wakolosai 2:14‐15Ulimwengu wa Mwili     Ulimwengu wa Roho

4.                                       4.

Aliaibishwa Aliziaibisha  ‘Akafa kifo cha laana          ‘akaziharibu na 

mateso na aibu sana’ kuzifedhehesha

juu ya msalaba’30 March 2012

1Petro 3:18‐20 Mathayo 27:32‐54       Wakolosai 2:14‐15Ulimwengu wa Mwili     Ulimwengu wa Roho

5.                                     5.

Anashindwa.          Anashinda.Akafa kifo cha mateso      ‘akaenda kuzimuni

na aibu sana’ kukomboa         

watakatifu’.30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18‐20 

Hii ina maana kwamba;Yesu alishinda kwa kushindwa.Yesu alishinda kwa kushindwa.Kile kilichokuwa kinaonekana ni 

“kushindwa” ndio ilikuwa “kushinda” kwa Bwana Yesu.

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO2Wakorintho 4:18 

Ndio maana tunaambiwa kwamba;

‘Tusiviangalie vinavyoonekanag y(vya kimwili) ni vya muda tu; 

bali tuviangalie visivyoonekana, (vya kiroho) ndivyo vya kudumu.

30 March 2012

Page 32: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 32

KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18‐20 

Kwahiyo, mambo ya aina mbili yalikuwa yakiendelea kwa 

wakati mmoja (ktk dunia moja);Mengine katika ulimwengu wa 

mwili na mengine katikaulimwengu wa roho.30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18‐20 

Kwahiyo, hatua zote za ukombozi wa mwanadamu, ,alioufanya Bwana Yesu pale 

msalabani, ulikuwa ni ukombozikatika roho kwanza kabla ya 

kutokea katika mwili.30 March 2012

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   Hivyo basi;

Hakuna kitu kinafanyika katikaHakuna kitu kinafanyika katika Ulimwengu wa Mwili mpaka kwanza kimefanyika katika   Ulimwengu wa Kiroho.

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3 

Huu ndio Utaratibu wa Mungukatika kuitawala dunia;;

kwamba, mambo yanayotakiwa kufanyika katika ulimwengu wa kimwili, sharti yafanyike kwanza katika ulimwengu wa kiroho.

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

Hivyo;Hakuna kitu kinafanyika katikaHakuna kitu kinafanyika katika Ulimwengu wa Mwili mpaka kwanza kimefanyika katika   Ulimwengu wa Kiroho.

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHOEbr 11:3,  1Yoh 5:4   

Mtu wa Mungu ukitaka kuleta mabadiliko fulani katika ulimwengu wa mwili, ili 

utembee kwa ushindi duniani,  ni lazima ujue kuutawala 

ulimwengu wa roho kwanza.30 March 2012

Page 33: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 33

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

Kwahiyo, Kanuni za kimwili (Natural Principles) zinatawaliwa na Kanuni za Kiroho (Spiritual 

Principles).30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO

Nguvu                     NguvuZa                            za

Kimwili        Vs        Kiroho (Natural                (Spiritual  Principles)            Principles)

30 March 2012

Somo;

Kanuni za kiroho, ni mambo ambayo, tukiyatumia sawasawamaishani mwetu, yatasababishaathari fulani katika ulimwenguwa roho, na kufanya mabadilikofulani kutokea, katika ulimwengu

wetu wa mwili.30 March 2012

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

Mungu wetu ni Mungu anayefanya mambo katika y y

ulimwengu wa yasiyoonekanakwanza, kabla ya kuyasababisha yatokee katika ulimwengu wa mwili wa yanayoonekana.

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHOWarumi 4:17   

Mungu wetu ni Mungu anayevitaja, visivyokuwepo, y j , y p ,kana kwamba vimekuwepo; (yaani anataja visivyoonekanakana kwamba vinaonekana).

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHOKumbuka kwamba;Waebrania 11:1, 3   

Vitu vinavyoonekana, viliumbwaVitu vinavyoonekana, viliumbwa kwa vitu visivyo dhahiri (au vitu 

visivyo wazi wazi au vitu vinavyoonekana)

30 March 2012

Page 34: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 34

KANUNI ZA KIROHO2Wakorintho 4:18   Tusiviangalie vitu 

vinavyoonekana (vya kimwili) ni y ( y )vya muda; bali tuviangalie vitu visiyoonekana (vya kiroho) 

kwani hivyo ndivyo vya milele (vya kudumu).

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO

Warumi 8:37,   1Yohana 5:4Basi mtu wa Mungu akitaka 

kutembea duniani na Mungu wa gImani, kwa ushindi, ni lazima ajue kutembea kwa imani;

kwani Imani yetu ndiyo siri ya ushindi wa maisha yetu duniani.

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO

1Yohana 5:4‘Kila kitu kilichozaliwa na 

Mungu huushinda ulimwengu;Mungu, huushinda ulimwengu; Na huku ndiko kushinda 

kuushindako ulimwengu, yaani hiyo IMANI yetu’

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO

Waebrania 11:1‘Imani ni kuwa na uhakika( ) ( b(wa sasa), wa (mambo ya

rohoni) mambo yasiyoonekana;

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO

1Yohana 5:4‘Kwakuwa Imani ndiyo siri ya ushindi wetu na Imani niushindi wetu, na Imani ni 

uhakika wa mambo yasiyoonekana (mambo ya ulimwengu wa roho)’

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO‘Hivyo Basi mtu wa Mungu 

akitaka kutembea kwa ushindi na Mungu wa Imani, katika 

maisha yake duniani, lazima awe na ufahamu wa mambo 

yasiyoonekana (mambo ya rohoni) yaani Imani.

30 March 2012

Page 35: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 35

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

Mungu wetu ni Mungu wa Imani, anayefanya mambo , y y

yasiyoonekana kwanza, kabla ya kuyasababisha yatokee katika 

ulimwengu wa mwili(ulimwengu wa yanayoonekana)

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHOEbr 11:3,  1Yoh 5:4   

Mtu wa Mungu ukitaka kuleta mabadiliko fulani katika ulimwengu wa mwili, ili 

utembee kwa ushindi duniani,  ni lazima ujue kuutawala 

ulimwengu wa roho kwanza.30 March 2012

2Wakorintho 10:3‐5‘Ingawa tunaenenda kimwili, 

hatufanyi vita kwa jinsi ya mwili

VITA VYA KIROHO

hatufanyi vita kwa jinsi ya mwili, silaha zetu zina nguvu katika 

Mungu (roho)’

30 March 2012

Waefeso 6:10‐13‐18‘Kwa maana kushindana kwetu sisi, si juu ya damu na nyama (si vita vya kimwili) bali vita yetu ni ya kupambana na falme za giza, mamlaka za giza, wakuu wa giza na majeshi ya pepo wabaya, katika ulimwengu wa roho.

30 March 2012

Waebrania 11:3, 2Korintho 10:3Ulimwengu wa roho ndio unaotawala Ulimwengu wa 

mwili; hivyo basi, Hakuna kitu ki f ik k ik likinafanyika katika Ulimwengu wa Mwili, mpaka kwanza

kimefanyika katika Ulimwengu wa Kiroho.

30 March 2012

Somo;

Kanuni za kiroho, ni mambo ambayo, tukiyatumia sawasawamaishani mwetu, yatasababishaathari fulani katika ulimwenguwa roho, na kufanya mabadilikofulani kutokea, katika ulimwengu

wetu wa mwili.30 March 2012

Page 36: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 36

KANUNI ZA KIROHO

Kwa Mfano;

Uumbaji wa vitu vya DuniaUumbaji wa vitu vya DuniaMwanzo 1:1‐5, 14‐19

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

1 Hapo mwanzo, Mungu aliumbambingu na nchi; 2 na Dunia

ilik h i b ilikilikuwa haina umbo tena ilikuwatupu, giza lilikuwa juu ya uso wavilindi vya maji, naye Roho waMungu alitanda juu ya maji. 

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

3 Mungu akasema, “Iwepo ’’ ik 4nuru’’ nayo nuru ikawepo. 4

Mungu akaona ya kuwa nuru ni njema, ndipo Mungu 

akatenganisha nuru na giza. 30 March 2012

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

5 Mungu akaiita nuru “mchana’’i k lii “ ik ’’ Ikna giza akaliita “usiku.’’ Ikawa 

jioni ikawa asubuhi, siku ya kwanza. 

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

14 Mungu akasema, “Iwepo i k f i ilimianga kwenye nafasi ya anga ili itenganishe mchana na usiku, 

nayo iwe alama ya kutambulisha majira mbali mbali, siku na miaka, 

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

15 nayo iwe ndiyo mianga kwenye nafasi ya anga itoe nurukwenye nafasi ya anga itoe nuru juu ya dunia.’’ Ikawa hivyo. 16Mungu akafanya mianga miwili 

mikubwa … 30 March 2012

Page 37: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 37

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

16 … Mwanga mkubwa utawale mchana (Jua) na mwanga mdogomchana  (Jua) na mwanga mdogo 

utawale usiku (Mwezi). Pia Mungu akafanya na nyota za 

mbinguni.30 March 2012

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

17 Mungu akaiweka hiyo mianga mikubwa miwili (yaani Jua na Mwezi) katika anga ili iangazeMwezi) katika anga ili iangaze 

dunia. 18 … Mungu akaona kuwa hili nalo ni jema. 19 Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya nne.

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

Kumbe Nuru ya Ulimwenguni, haitoki kwenye jua na mwezi, 

kwasababu Nuru ilikuwepo tangukwasababu Nuru ilikuwepo tangusiku ya kwanza wakati jua na

mwezi viliumbwa baadaye kabisakatika siku ya nne!

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

Kumbe jua si chanzo cha Mwanga au Nuru inayoangaza 

ulimwenguni bali jua niulimwenguni, bali jua ni “kibebeo” tu cha kuleta mwanga duniani, lakini jua si chanzo cha Nuru inayoangaza duniani.

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO

Mwanzo 1:1‐5, 14‐19

Nuru Jua Mwanga(Yesu/Neno)Yoh 1:7‐930 March 2012

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19Kwa lugha rahisi;

Mwanga au Nuru inayoangazaduniani ina vyanzo viwili; kimojaduniani, ina vyanzo viwili; kimojani kipo katika ulimwengu wamwili na kingine kipo katika

ulimwengu wa roho.30 March 2012

Page 38: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 38

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

Chanzo cha Nuru cha rohoni, kilikuwepo kabla ya chanzo cha 

Nuru cha mwilini kuwepoNuru cha mwilini kuwepo.Kwahiyo, chanzo cha Nuru cha kimwili kinatawaliwa na chanzo

cha Nuru cha kiroho. 30 March 2012

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19Hii ina maana kwamba;

Kanuni za Kiroho zilikuwepo kablaya Kanuni za Kimwilini kuwepoya Kanuni za Kimwilini kuwepo.Kwahiyo, Kanuni za Kiroho ndizozinazotawala Kanuni za Kimwili za

Ulimwengu huu.30 March 2012

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19Hii ina maana kwamba;

Hakuna kitu kinachofanyika katikaUlimwengu wa mwili mpakaUlimwengu wa mwili, mpakakimefanyika kwanza katika

Ulimwengu wa roho.

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

Chanzo cha Nuru cha rohoni, kilikuwepo kabla ya chanzo cha 

Nuru cha mwilini kuwepoNuru cha mwilini kuwepo.Kwahiyo, chanzo cha Nuru cha kimwili kinatawaliwa na chanzo

cha Nuru cha kiroho. 30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO

Mwanzo 1:1‐5, 14‐19

Nuru Jua Mwanga(Yesu/Neno)Yoh 1:7‐930 March 2012

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:1‐4“Mtu hataishi kwa mkate tu, ,bali kwa kila Neno litokalo katika kinywa cha Bwana”.

30 March 2012

Page 39: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 39

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

Neno Mkate Afya

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHOLuka 4:1‐4

Hii pia ina maana kwamba, Afya ya mtu haitoki katika mkatey ytunaokula tu, bali kwa katika

Neno litokalo katika kinywa cha Bwana Mungu.

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHOLuka 4:1‐4

Hii pia ina maana kwamba, Afya ya mtu haitoki katika Daway yanazotumia tu, bali kwa katikaNeno litokalo katika kinywa cha 

Bwana Mungu.30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

Neno Dawa Afya

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

Neno Nyumba Ulinzi

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

Neno Kitanda Usingizi

30 March 2012

Page 40: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 40

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

Neno Kitabu Akili

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

Neno Pete            Upendo

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

Neno Cheti Kazi

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

Neno Ajira Mafanikio

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHOKumb 8:1‐18, Luka 4:1‐4

Mistari hii inatuonyesha kwamba, kumbe kuna kanuni zingine za kiroho, zilizo juu sana kuliko 

kanuni hizi za kimwili, na ndizo zinazotawala ulimwengu huu wa 

kimwili na kanuni zake.30 March 2012

Waebrania 11:3, 2Korintho 10:3Ulimwengu wa roho ndio unaotawala Ulimwengu wa 

mwili; hivyo basi, Hakuna kitu ki f ik k ik likinafanyika katika Ulimwengu wa Mwili, mpaka kwanza

kimefanyika katika Ulimwengu wa Kiroho.

30 March 2012

Page 41: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 41

Somo;

Kanuni za kiroho, ni mambo ambayo, tukiyatumia sawasawamaishani mwetu, yatasababishaathari fulani katika ulimwenguwa roho, na kufanya mabadilikofulani kutokea, katika ulimwengu

wetu wa mwili.30 March 2012

2Petro 1:3‐4Tunaishi kwenye ulimwengu

ulioharibika sana kwasababu yadhambi na uovu Mtu wa Mungu

KUTEMBEA KWA IMANI

dhambi na uovu. Mtu wa Munguakitaka kuishi kwa ushindi namafanikio katikati ya uharibifuhuu, bila kuingia katika uovu(kujichafua), ni lazima iwe nikwa nguvu za Mungu tu.30 March 2012

2Petro 1:3‐4Tunapambana na adui mwenyenguvu sana. Pasipo Nguvu za

Mungu, mtu wa Mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mungu, mtu wa Munguhataweza kuleta mabadilikomazuri katika maisha yake nakumwezesha kuishi maishamazuri na ya ushindi, ili kuwachombo kizuri cha ibada.

30 March 2012

Somo;Kanuni za kiroho, ni mambo 

ambayo, tukiyatumia maishani, mwetu, yatasababisha Roho Mtakatifu aliye ndani yetuMtakatifu aliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za Mungu,

zinazohitajika kutupa maisha ya ushindi na mafanikio, katika 

ulimwengu wa mwili.30 March 2012

ULIMWENGU WA ROHOWatu wa Mungu wakielewa, nafasi ya kanuni za kiroho

katika maisha yao, wataweka bidii na nidhamu ya kuishi katika maisha yanayotimiza 

kanuni za kiroho.   

30 March 2012

Kanuni za kiroho za UshindiWaebrania 11:3

Ulimwengu wa roho ndioulioumbwa kwanza; na kishaulipokamilika, ndipo Munguakauzaa Ulimwengu wa mwili

kutokea katikaUlimwengu wa Roho.

30 March 2012

Page 42: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 42

KANUNI ZA KIROHO

Warumi 8:37,   1Yohana 5:4Basi mtu wa Mungu akitaka 

kutembea duniani na Mungu wa gImani, kwa ushindi, ni lazima ajue kutembea kwa imani;

kwani Imani yetu ndiyo siri ya ushindi wa maisha yetu duniani.

30 March 2012

MAANA YA KUOMBAKuomba, ni namna ya mtu, 

kwenda katika ulimwengu wa roho, ili kuwasiliana na Mungu 

k k thi i liwake, na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika namna ambayo, itakayoleta mabadiliko katika ulimwengu huu wa mwili.

30 March 2012

ULIMWENGU WA ROHOWaebrania 11:3

Kwahiyo, kwa njia ya maombi, mtu wa Mungu anaweza 

kwenda rohoni, akaitawala kesho (future) yake, kabla kesho haijafika (au kuzaliwa katika 

ulimwengu wa mwili.30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO

SummaryM b i i i idiMambo yanayosisitizwa zaidi

Mathayo 16:18‐19

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO

Mathayo 16:18‐1918 Nami Nitalijenga Kanisa langu, 

wala milango ya kuzimuwala milango ya kuzimu, haitaweza kulishinda. 19 Nami nitawapa funguo za Ufalme wa 

mbinguni … 30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO

Mathayo 16:18‐1919 … jambo lolote  t k l lif d i iutakalolifunga duniani, litakuwa limefungwa mbinguni (rohoni) … 

30 March 2012

Page 43: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 43

KANUNI ZA KIROHO

Mathayo 16:18‐1919 … na jambo lolote t k l lif d i iutakalolifungua duniani, litakuwa limefunguliwa mbinguni (rohoni). 

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO

Mathayo 16:18‐19Mambo muhimu katika mistarihii, yatakayotusaidia kuelewa,hii, yatakayotusaidia kuelewa, Kusudi la Mungu juu ya Kanisa

(mimi na wewe);

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO

Mathayo 16:18‐191. Kanisa ni la Yesu Mwenyewe2 Kusudi la Kanisa ni Kupiga Vita2. Kusudi la Kanisa ni Kupiga Vita3. Adui yetu mkuu ni shetani4. Kuzimu ni wazuiaji (mageti)

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO

Mathayo 16:18‐19

5.   Kanisa ni washambuliaji6.   Ushindi tayari kabla ya Vita7.   Kanisa lina mamlaka ya dunia

30 March 2012

VITA VYA ROHONI

Mathayo 16:18“Kwahiyo, kuna mashindano (kuna vita) kati ya milango ya(kuna vita), kati ya milango ya 

kuzimu (nguvu za giza) na kanisala Bwana Yesu Kristo.”

Ufunuo 12:1730 March 2012

VITA VYA ROHONI

Mathayo 16:18“Nitalijenga kanisa langu, litapambana na milango yalitapambana na milango ya kuzimu (nguvu za giza), na 

milango ya kuzimu, haitaweza kulishinda kanisa langu …”

30 March 2012

Page 44: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 44

KANUNI ZA KIROHOWarumi 3:23/Warumi 5:12‐19

Mwanadamu alipofanya dhambi, alipoteza mamlaka ya Mungu katika ulimwengu wa roho na 

kushindwa kuutawala ulimwengu wa mwili; badala yake, 

ulimwengu wa mwili ukamtawala mwanandamu.30 March 2012

KANUNI ZA KIROHOWaefeso 2:1‐6/Ufunuo 5:8‐10

Lakini Mtu anapotubu dhambi zake na kuupokea Wokovu wa Bwana Yesu Krsito, anaunganishwa tena na Mungu na kupewa mamlaka

makuu zaidi, kuliko yale aliyoyapoteza Adam na Eva   katika bustani ya Eden.30 March 2012

BAADA YA WOKOVU (KALVARI) 

(Utukufu) Roho Mt. Mungu

Mwili RohoMwili Roho

DuniaNafsi

Shetani (Rum 8:9‐11) 30 March 2012

KANUNI ZA KIROHOWaefeso 1:18‐23/2:1‐6Mungu wetu, hataweza kukurithisha mamlaka ya 

Uli h iliUlimwengu wa roho ili uweze kuleta mabadiliko katika 

ulimwengu wa mwili, kama hajazaliwa mara ya pili, kwa njia 

ya Wokovu wa Yesu Kristo.30 March 2012

MAMLAKA YA MKRISTO

BAADA YA WOKOVU

Mkuu

Mfalme

MUNGU + ADAM ‐ 2

Waefeso 2:1‐6Waefeso 1:18‐23

MALAIKA

SHETANI

DUNIA

ADAM  ‐ 1

Mtawala

Mwakilishi

mungu

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO

Ni Baada ya Wokovu, ndipo mtu wa Mungu, anaunganishwa tena na Mungu na  kuajazwa Roho Mtakatifu na Nguvu zake, ili 

kumrudishia mamlaka na uwezatuliyopoteza katika bustani ya Eden, kwa njia ya dhambi.

30 March 2012

Page 45: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 45

KANUNI ZA KIROHO

Bwana Yesu aliomba hivi:Yohana 17:22

‘Baba Utukufu ule ulionipaBaba, Utukufu ule ulionipa, nami nimewapa wao (Kanisa)’;‘yaani watu walioniamini, walinipokea maishani mwao na wanaishi kwa kanuni 

zangu za kiroho’30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO

‘Utukufu’ huo, ni Roho Mtakatifu yule yule aliyepewa Adam wa kwanza ili awezeAdam wa kwanza, ili aweze 

kuutawala ulimwengu wa dunia hii kwa Nguvu za Mungu.

Zaburi 8:4‐830 March 2012

VITA VYA KIROHOMapambano na Nguvu za gizaKuteka Baraka zetu kwa Vita

Mwl. Mgisa Mtebe+255 713 497 654, +255 783 497 654

[email protected]

www.mgisamtebe.org30 March 2012

VITA VYA ROHONI

Chanzo cha vita

Vita hii ilitokea Wapi?Vita hii ilitokea Wapi?Ufunuo 12:3‐4, 7‐12, 17

Ezekieli 28:11‐19Isaya 14:10‐15

30 March 2012

VITA VYA KIROHOILI KUTEKA BARAKA ZETU KWA VITA NA KUTUWEZESHA KUISHI 

KWA USHINDI DUNIANI

Mathayo 16:18‐19Waefeso 6:10‐13

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO

Mathayo 16:18‐1918 Nami Nitalijenga Kanisa langu, 

wala milango ya kuzimuwala milango ya kuzimu, haitaweza kulishinda. 19 Nami nitawapa funguo za Ufalme wa 

mbinguni … 30 March 2012

Page 46: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 46

KANUNI ZA KIROHO

Mathayo 16:18‐1919 … jambo lolote  t k l lif d i iutakalolifunga duniani, litakuwa limefungwa mbinguni (rohoni) … 

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO

Mathayo 16:18‐1919 … na jambo lolote t k l lif d i iutakalolifungua duniani, litakuwa limefunguliwa mbinguni (rohoni). 

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO

Waefeso 6:10‐13‐18‘Iweni hodari katika Bwana, na katika Uweza wa Nguvu zakekatika Uweza wa Nguvu zake. Vaeni silaha zote za Mungu ili muweze pupambana na hila za 

mwovu shetani.30 March 2012

Waefeso 6:10‐13‐18‘Kwa maana kushindana kwetu sisi, si juu ya damu na nyama (si vita vya kimwili) bali vita yetu ni ya kupambana na falme za giza, mamlaka za giza, wakuu wa giza na majeshi ya pepo wabaya, katika ulimwengu wa roho.

30 March 2012

VITA VYA ROHONI

Mathayo 16:18“Kwahiyo, kuna mashindano (kuna vita) kati ya milango ya(kuna vita), kati ya milango ya 

kuzimu (nguvu za giza) na kanisala Bwana Yesu Kristo duniani.”

Ufunuo 12:1730 March 2012

Kumjua Adui Yako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

jDaniel 10:11‐13, 20

30 March 2012

Page 47: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 47

Luka 11:21‐22Japo shetani alinyang’anywa 

nguvu zote alizopewa na Mungu, lakini hapa duniani, aliweza k ik N K Ad

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

kupiku Nguvu Kuu za Adam, ambazo zilikuwa ndizo Nguvu Kuu zitawalazo dunia, Nguvu kubwa sana kuliko za Malaika 

wote. (Zaburi 8:4‐8)30 March 2012

MAMLAKA YA MKRISTOKABLA YA DHAMBI     “Mashal”

Mkuu

Mfalme

MUNGU

Zab 8:4‐8

ADAM

MALAIKA

DUNIA

SHETANI

Mtawala

Mwakilishi

mungu

30 March 2012

MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI

2Wakorintho 6:14‐18Warumi 3:23

MUNGU

SHETANI ALITAPELI NAFASI YA ADAM

SHETANI

MALAIKA

DUNIA

ADAM

30 March 2012

MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI

Yohana 16:11Mkuu

Mfalme Waefeso 2:1‐2

MUNGU

Shetani anatusumbua        duniani kwa kutumia nguvu zetu wenyewe!        

SHETANI

MALAIKA

DUNIA

ADAM

Mtawala

Mwakilishi

mungu

1Yohana 5:19

Luka 4:5‐8

2Korintho 4:3‐4

30 March 2012

Mamlaka ya shetani ulimwenguni

Efe 2:1‐2   – Mfalme wa anga2Kor 4:4    – Mungu wa dunia hii1Yoh 5:19 – Mtawala (Controler)1Yoh 5:19  – Mtawala (Controler) Yoh 12:31  – Mkuu wa UlimwenguYoh 14:30  – Mkuu wa UlimwenguYoh 16:11  – Mkuu wa Ulimwengu

30 March 2012

MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI

Yohana 16:11Mkuu

Mfalme Waefeso 2:1‐2

MUNGU

Warumi 5:12, 14Zekaria 3:2

SHETANI

MALAIKA

DUNIA

ADAM

Mtawala

Mwakilishi

mungu

1Yohana 5:19

Luka 4:5‐8

2Korintho 4:3‐4

30 March 2012

Page 48: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 48

Luka 11:21‐22‘Mtu “mwenye nguvu”, 

alindapo nyumba yake, vitu vyake viko salama. Lakini, k k j M “M

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

atakapokuja Mtu “Mwenye Nguvu kuliko” yeye, ataweza kumnyang’anya silaha zake, na kuyagawanya mateka yake.’

30 March 2012

Neno Lililotumika    Tafsiri Yake

“mwenye nguvu” shetani

Luka 11:21‐22

“nyumba yake” Jamii au eneo

“vitu vyake” Watu na mali30 March 2012

Neno Lililotumika    Tafsiri Yake

“Mwenye nguvu KanisaK lik ”

Luka 11:21‐22

Kuliko”

“Mateka Yake” Watu na mali

30 March 2012

Luka 11:21‐22shetani si kiumbe dhaifu; japo shetani alinyang’anywa nguvu zote alizopewa na Mungu, lakini h d i i li k ik

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

hapa duniani, aliweza kupiku Nguvu Kuu za Adam, ambazo zilikuwa Nguvu Kuu zitawalazo dunia, Nguvu kubwa sana kuliko 

za Malaika wote.30 March 2012

2Petro 1:3‐4Tunapambana na adui mwenyenguvu sana. Pasipo Nguvu za

Mungu, mtu wa Mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mungu, mtu wa Munguhataweza kuleta mabadilikomazuri katika maisha yake nakumwezesha kuishi maishamazuri na ya ushindi, ili kuwachombo kizuri cha ibada.

30 March 2012

NGUVU YA MAOMBIKuujua Ulimwengu wa rohoNamna ya kwenda rohoniN f i/M l k k h iNafasi/Mamlaka yako rohoni

4.  Namna ya Kupiga Vita rohoni 

30 March 2012

Page 49: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 49

NAMNA YA KUOMBA

4. VITA VYA ROHONI

Rejea habari ya

Maombi ya DanielDaniel 10:1‐14, 20

30 March 2012

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Vita ya Siku 3 

Uyahudi Uajemi UyunaniUyahudi Uajemi Uyunani

Ulimwengu wa Mwili

Uyahudi Uajemi Uyunani

Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

mfalmemfalme mfalme

30 March 2012

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Fitina2Nyak 20

Math 12:25

Uyahudi Uajemi Uyunani

Ulimwengu wa Mwili

Uyahudi Uajemi Uyunani

Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

MkuuMkuu Mkuu

30 March 2012

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Fitina2Nyak 20

Math 12:25                            

Uyahudi Uajemi UyunaniUyahudi Uajemi Uyunani

Ulimwengu wa Mwili

Uyahudi Uajemi Uyunani

Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

MkuuMkuu Mkuu

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO

Waefeso 6:10‐13‐18‘Iweni hodari katika Bwana, na katika Uweza wa Nguvu zakekatika Uweza wa Nguvu zake. Vaeni silaha zote za Mungu ili muweze pupambana na hila za 

mwovu shetani.30 March 2012

Waefeso 6:10‐13‐18‘Kwa maana kushindana kwetu sisi, si juu ya damu na nyama (si vita vya kimwili) bali vita yetu ni ya kupambana na falme za giza, mamlaka za giza, wakuu wa giza na majeshi ya pepo wabaya, katika ulimwengu wa roho.

30 March 2012

Page 50: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 50

IDARA ZA SERIKALI YA SHETANI

Waefeso 6:121. Falme za Giza.

Ni mapepo maalum yaliyowekwaNi mapepo maalum yaliyowekwa na shetani, kusimamia kazi zake 

juu ya ‘Maeneo Maalum’. (Taifa, Mikoa, Wilaya, Kata, 

Ubalozi/Mtaa, Nyumba/Kaya, n.k)30 March 2012

IDARA ZA SERIKALI YA SHETANI

Waefeso 6:122. Mamlaka za Giza.

Ni mapepo maalum yaliyowekwaNi mapepo maalum yaliyowekwa na shetani, kusimamia kazi zake 

juu ya ‘Makundi ya Watu’. (Viongozi, Wanafunzi, Wizara, 

Wafanyabiashara, Makabila, n.k)30 March 2012

IDARA ZA SERIKALI YA SHETANI

Waefeso 6:123. Wakuu wa Giza.

Ni mapepo maalum yaliyowekwaNi mapepo maalum yaliyowekwa na shetani, kusimamia kazi zake 

juu ya ‘uovu na ubaya’. (Ulevi, Wizi, Ajali, Zinaa, Kiburi, 

Uchawi, Mgonjwa, n.k)30 March 2012

IDARA ZA SERIKALI YA SHETANI

4. Majeshi ya Pepo Wabaya.Ni vikosi maalum vilivyowekwa na shetani, kutekeleza kazi zake ,za ‘Uovu au Ubaya fulani’ katika ‘Maeneo fulani na Makundi fulani (Ulevi, Wizi, Ajali, Zinaa, Kiburi, Uchawi, Mgonjwa, n.k)

30 March 2012

NGUVU YA MAOMBI

Waefeso 6:12Falme  – Pepo juu ya EneoMamlaka – Pepo juu ya KundiMamlaka  Pepo juu ya KundiW/Giza     – Pepo juu ya UbayaMajeshi    – Mapepo watekelezaji

30 March 2012

VITA VYA KIROHO

Idara za Serikali ya ShetaniWaefeso 6:10‐13

Moja ya mbinu muhimu sana yaMoja ya mbinu muhimu sana ya kijeshi au ya mashindano yoyote, ni kumjua adui yako; kujua adui ni nani, yuko wapi, ana uwezo 

gani na ana mbinu gani juu yako.30 March 2012

Page 51: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 51

VITA VYA KIROHO

Idara za Serikali ya ShetaniWaefeso 6:10‐13

Mtu wa Mungu anapofanya vitaMtu wa Mungu, anapofanya vita vya kiroho, ni lazima ajue 

anapigana na adui (pepo) wa aina gani, wa kabila lipi, wa tabia 

gani na wa ngazi ipi.30 March 2012

NGUVU YA MAOMBI

Daniel 10:10‐13Ukombozi wa Israeli, ulifanyika kwanza katika ulimwengu wa g

roho, kwa kumshinda Mfalme wa Anga la Uajemi, ndipo ukombozi wao, ukaweza kutokea katika 

Ulimwengu wa mwili.30 March 2012

NGUVU YA MAOMBI

Efes 6:10‐18, 2Kor 10:3‐5Ukombozi wa maisha yako, unatakiwa kufanyika kwanza y

katika ulimwengu wa roho, kwa kumshinda Mfalme wa Anga la eneo lako, ndipo ukombozi huo, utaweza kutokea katika U’mwili.30 March 2012

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho ndio unaotawala ulimwengu wa   mwili; kwahiyo, hakuna kitu kitakachofanyika katika 

Ulimwengu wa mwilini, mpaka kwanza kimefanyika katika 

Ulimwengu wa roho.30 March 2012

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Kwahiyo, ukiona jambo limetokea mahali fulani leo, usije ukafikiri 

li l hlimeanza leo, hapana;Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo hilo limejitokeza, lakini mbegu yake ilipandwa huko rohoni siku kadhaa 

zilizopita (wakati uliopita).30 March 2012

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Kwahiyo, Mungu akitaka kufanya jambo duniani (katika ulimwengu 

ili) h lif i j b hilwa mwili), halifanyi jambo hilo moja kwa moja duniani (mwilini), bali analifanya kwanza katika 

ulimwengu wa roho.30 March 2012

Page 52: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 52

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Hii ndio kanuni na huu ndio utaratibu wa uumbaji wa Mungu 

d i iduniani.‘Kwamba vinavyoonekana vilifanya 

kwa visivyoonekana.’(Waebrania 11:3)

30 March 2012

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Wewe usipokuwa na nidhamu ya kwenda rohoni kwa njia ya j y

maombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea mambo ambayo usingetaka     

kabisa yakupate.30 March 2012

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 6:12Kushindana kwetu sisi si juu ya 

damu na nyama (mwili) bali ni juu ya falme na mamlaka za giza, wakuu 

wa giza na majeshi ya mapepo wabaya, katika ulimwengu wa roho.30 March 2012

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho ndio unaotawala ulimwengu wa   mwili; kwahiyo, hakuna kitu kitakachofanyika katika 

Ulimwengu wa mwilini, mpaka kwanza kimefanyika katika 

Ulimwengu wa roho.30 March 2012

NGUVU YA MAOMBI

Waefeso 1:20‐21, Waefeso 2:6Ndio maana na sisi pia, Mungu 

ametuketisha mahali alipomketishaametuketisha mahali alipomketisha Yesu, katika ulimwengu wa roho,juu sana kuliko falme na mamlaka 

za giza; ili tuweze kuvunja na kuharibu kazi za shetani duniani. 

30 March 2012

Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3, 2Wakorintho 4:18

Ukamilifu           Dhamira           Torati                        Mpito                  Neema              Dhiki         Milenia    Uumbaji      Anguko                     Wafalme       Kuzaliwa            Msalaba                 Unyakuo                    MwishoMwa 1         Mwa 3                      Manabii    Math 1             Math 27                   1 Thes 4                        Ufu 21

7 100033               (1) Ufu 13 :8              3 ½      3 ½ Kristo

30        3 ½                            (2) Efe 1:3‐4 Mfalme

Injili600                                 Kalvari       Kanisa 

700                                   2000

(4) Daniel  7:13 – 14, 27(3) Isaya  9: 6                                   33 AD (5) Ufunuo  20:11 – 15

Bahari             Miti        Upepo          

Milele

Ulimwengu wa Mwili30 March 2012

Page 53: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 53

NGUVU YA MAOMBI

Waefeso 1:20‐21, Waefeso 2:6Mungu ametuketisha mahali alipomketisha Yesu, katika

li h j k likulimwengu wa roho, juu sana kuliko falme na mamlaka za giza; ili 

tuweze kutawala mambo yetu kwa katika ulimwengu wa mwili, kwa 

ushindi na mafanikio.30 March 2012

MAMLAKA YA MKRISTO

BAADA YA WOKOVU

Mkuu

Mfalme

MUNGU + ADAM ‐ 2

Waefeso 2:1‐6Waefeso 1:18‐23

MALAIKA

SHETANI

DUNIA

ADAM  ‐ 1

Mtawala

Mwakilishi

mungu

30 March 2012

VITA VYA KIROHO

Matendo 19:18‐20Inatufundisha kwamba, Usijaribu kupigana vita vya kiroho kamakupigana vita vya kiroho, kama huna mamlaka ya juu zaidi katika 

ulimwengu wa kiroho.

30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Umuhimu na Ulazima wa 

Nguvu za MunguNguvu za Mungu

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHONguvu za Kiroho ni maalumu kutuwezesha kupambana na 

ibilisi shetani katika ulimwengu wa roho, ili kuleta 

mabadiliko tunayohitaji, katika ulimwengu wa mwili.30 March 2012

2Petro 1:3‐4Tunapambana na adui mwenyenguvu sana. Pasipo Nguvu za

Mungu, mtu wa Mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mungu, mtu wa Munguhataweza kuleta mabadilikomazuri katika maisha yake nakumwezesha kuishi maishamazuri na ya ushindi, ili kuwachombo kizuri cha ibada.

30 March 2012

Page 54: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 54

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Na ndio maana, Bwana Yesu Kristo mwenyewe, hakuthubutu kuanza kazi ya kuujenga Ufalme 

M d i i k jwa Mungu duniani na kuuvunjaufalme wa shetani, pasipo

kwanza “kujazwa na Nguvu za Roho Mtakatifu”.

30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Luka 4:1, 141 Yesu alipokwisha kubatizwa, 

li haliongozwa na Roho Mtakatifu kwenda nyikani katika maombi ya siku 40.

30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Luka 4:1, 1414 Yesu alipomaliza maombi na 

j ib li di lilmajaribu yote, alirudi Galilaya katika nguvu za Roho 

Mtakatifu.

30 March 2012

TOFAUTI YA ROHO NA NGUVU

Luka 4:1 Luka 4:14

Alitembea kwa    Alitembea kwaUjazo wa Roho Nguvu za RohoMtakatifu.             Mtakatifu.“Aliongozwa” “Alifanikiwa”

30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Matendo 10:3838 Mungu alimpaka Yesu Kristo mafuta, kwa Roho Mtakatifumafuta, kwa Roho Mtakatifuna Nguvu; naye akazunguka kote kote akitenda mema na kuwaponya wote walioteswa

na ibilisi shetani.30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Matendo 10:38

Roho + Nguvu = Ushindi

‘Ndipo akaanza kuzunguka, akiwaponya wote walioteswa na kuonewa na ibilisi shetani’.

30 March 2012

Page 55: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 55

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Bwana Yesu Kristo mwenyewe,hakuthubutu kuanza kazi ya kuujenga Ufalme wa Mungu 

d i i k j f lduniani na kuuvunja ufalme wa shetani, mpaka kwanza

“alipojazwa na Roho Mtakatifu na “Nguvu za” huyo Roho.

30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ikiwa Bwana Yesu mwenyewe, alihitaji Nguvu za Mungu na alizitafuta kwa maombializitafuta, kwa maombi mazito na makali sana 

maishani mwake, si zaidi sana sisi binadamu wa kawaida?

30 March 2012

KWANINI ROHO MTAKATIFUNdio maana, na Bwana Yesu, aliwakataza wanafunzi wake

kuanza kazi ya kuujenga Ufalme M d i i k jwa Mungu duniani na kuuvunjaufalme wa shetani, pasipo

kwanza “kujazwa na Nguvu za Roho Mtakatifu”.

30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yohana 20:20‐21Akawaambia, kama Baba alivyonituma mimi namialivyonituma mimi, nami

nawapeleka ninyi; akiisha kusemahayo, akawavuvia (akawapulizia) 

akawaambia, pokeeniRoho Mtakatifu;

30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Luka 24:49(Pamoja na kwamba 

ameshawapa Roho Mtakatifu)ameshawapa Roho Mtakatifu)“… Lakini, msiondoke humu mjini, 

mpaka mtakapovikwa uwezautokao juu (Nguvu za Mungu).

30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Matendo 1:8“… Nanyi mtapokea Nguvu, 

akiisha kuwajilia juu yenu Rohoakiisha kuwajilia juu yenu, Roho Mtakatifu; ndipo mtakuwa mashahidi wangu katika 

Yerusalem, Samaria na hata mwisho wa nchi (Duniani kote).

30 March 2012

Page 56: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 56

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Matendo 1:1‐4“Hata ilipotimia siku ya 

Pentecoste wote walikuwapoPentecoste, wote walikuwapo mahali pamoja, upepo wa nguvu ukavamia chumba chao … wote wakajazwa Roho Mtakatifu, na kuanza kunena kwa lugha mpya”

30 March 2012

TOFAUTI YA ROHO NA NGUVU

Yohana 20:21‐22 Luka 24:49

Walipokea WalipokeaRoho wa Mungu Nguvu za Roho

Walijaa Roho Walivikwa Roho(Kwa ndani) (Kwa Nje)30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hii ni namna tu ya Bwana Yesu kutuonyesha na kutuangaliza kwamba Nguvu za Mungu nikwamba, Nguvu za Mungu ni za lazima sana katika maisha ya mwanadamu, duniani.

(‘It’s a necessity’)30 March 2012

KANUNI ZA KIROHONguvu za Kiroho ni maalumu kutuwezesha kupambana na 

ibilisi shetani katika ulimwengu wa roho, ili kuleta 

mabadiliko tunayohitaji, katika ulimwengu wa mwili.30 March 2012

KANUNI ZA KIROHOShetani alipomwangusha Adam katika nafasi yake 

(kiroho), yeye ndiye akashika mamlaka na nguvu za kiroho juu 

ya dunia yote.Warumi 5:12‐14

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHONafasi hiyo ya kiroho juu ya 

dunia, ilimwezesha kutawala ulimwengu wa kiroho, hata kuwa na uwezo wa kuleta 

mabadiliko katika ulimwengu  wa mwili.

Yoh 12:31/14:30/16:1130 March 2012

Page 57: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 57

MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI

2Wakorintho 6:14‐18Warumi 3:23

MUNGU

SHETANI ALITAPELI NAFASI YA ADAM

SHETANI

MALAIKA

DUNIA

ADAM

30 March 2012

MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI

Yohana 16:11Mkuu

Mfalme Waefeso 2:1‐2

MUNGU

Warumi 5:12, 14Zekaria 3:2

SHETANI

MALAIKA

DUNIA

ADAM

Mtawala

Mwakilishi

mungu

1Yohana 5:19

Luka 4:5‐8

2Korintho 4:3‐4

30 March 2012

Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3, 2Wakorintho 4:18

Ukamilifu           Dhamira           Torati                        Mpito                  Neema              Dhiki         Milenia    Uumbaji      Anguko                     Wafalme       Kuzaliwa            Msalaba                 Unyakuo                    MwishoMwa 1         Mwa 3                      Manabii    Math 1             Math 27                   1 Thes 4                        Ufu 21

7 100033               (1) Ufu 13 :8              3 ½      3 ½ Kristo

30        3 ½                            (2) Efe 1:3‐4 Mfalme

Injili600                                 Kalvari       Kanisa 

700                                   2000

(4) Daniel  7:13 – 14, 27(3) Isaya  9: 6                                   33 AD (5) Ufunuo  20:11 – 15

Bahari             Miti        Upepo          

Milele

Ulimwengu wa Mwili30 March 2012

KANUNI ZA KIROHONdio maana;

• Wachawi,• Waganga wa Kienyeji naaga ga a e yej a• Wazee wa Mila (ukoo)

Wana uwezo wa kishetani (kiroho)wa kusababisha mabadiliko katika

ulimwengu wa mwili.30 March 2012

KWANINI ROHO MTAKATIFU

Hivyo basi, binadamu wa kawaida, hataweza kusababisha mabadiliko ya ushindi maishanimabadiliko ya ushindi maishani mwake, pasipo kufanya hivyo 

kwa msaada wa ‘nguvu fulani za kiroho’.

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHONi Ukweli wa kanuni ya Mungukwamba, ‘huwezi kutawala vizuri ulimwengu wa mwili, 

kama huna mamlaka na nguvuza kiroho (ulimwengu wa roho).

Zab 8:4‐8, Mwa 1:26‐2830 March 2012

Page 58: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 58

KWANINI ROHO MTAKATIFUNa ndio maana, hata kwa sisi Kanisa, Mungu ametupa Roho wake Mtakatifu, ili tuweze k b bi h b dilikkusababisha mabadiliko ya 

ushindi maishani mwetu, kwa msaada wa Nguvu za kiroho 

(Nguvu za ajabu).30 March 2012

2Petro 1:3‐4Tunapambana na adui mwenyenguvu sana. Pasipo Nguvu za

Mungu, mtu wa Mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mungu, mtu wa Munguhataweza kuleta mabadilikomazuri katika maisha yake nakumwezesha kuishi maishamazuri na ya ushindi, ili kuwachombo kizuri cha ibada.

30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 22:2929 Yesu alisema, ‘Mwapotoka 

k k b bna kupotea kwa sababu hamjui maandiko, wala uweza wa Mungu (Nguvu za Mungu). 

30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

• Biashara                        Zaburi 8:4‐8• Shamba• Mifugo  Haiwezekani• Masomo • Familia • Kazi • Afya• Mipango 

kuitawala Duniapasipo nguvu(utukufu) wa

Mungu30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ni Kwamba …Nguvu za Mungu zinaweza k k h k k f iki hkukuvusha na kukufanikisha 

pale ambapo kanuni za kawaida za kimwili (za kiasili) 

zinapogoma kufanya kazi.30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUNi kwa Nguvu za Mungu,

Mashujaa wa imani waliweza kufanya mambo makubwa na 

i ji j b h tmiujiza ya ajabu sana, hata wakaweza kuyatawala 

mazingira yao, bila kuzuiliwa na chochote. (Mwa 1:26‐28)

30 March 2012

Page 59: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 59

KANUNI ZA KIROHO

Umuhimu na Ulazima N Ki hwa Nguvu za Kiroho 

Katika Maisha ya duniani.

30 March 2012

2Petro 1:3‐4Tunaishi kwenye ulimwengu

ulioharibika sana kwasababu yadhambi na uovu Mtu wa Mungu

KUTEMBEA KWA IMANI

dhambi na uovu. Mtu wa Munguakitaka kuishi kwa ushindi namafanikio katikati ya uharibifuhuu, bila kuingia katika uovu(kujichafua), ni lazima iwe nikwa nguvu za Mungu tu.30 March 2012

2Petro 1:3‐43 Kwa kuwa Uweza wake wauungu umetupatia (au nguvuzake za uungu zimetupatia) 

KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI

mambo yote tunayohitaji kwaajili ya uzima na uchaji waMungu, kwa kumjua Yeye

aliyetuita kwa utukufu Wake nawemaWake mwenyewe. 

30 March 2012

2Petro 1:3‐44 Kwa sababu hiyo, Mungu

ametukirimia ahadi zake kuu naza thamani ili kwa kupitia hizo

KUTEMBEA KWA IMANI

za thamani, ili kwa kupitia hizotupate kuwa washiriki wa tabia

za uungu, tukiokolewa nauharibifu (au upotovu) uliokoduniani kwa sababu ya tamaa.30 March 2012

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

Nguvu za Kiroho zikihusika au zikipambanishwa duniani, p ,

(katika ulimwengu wa mwili) zinaweza kuleta mabadiliko 

yafuatayo;30 March 2012

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

1. Zinaweza kuzisababishakanuni za kimwili, zilizokataakufanya kazi, ziweze kufanyakazi kama ilivyotegemewa.

(kama kawaida yake)30 March 2012

Page 60: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 60

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

2.Zinaweza kuzisababishakanuni za kimwili, zisizowezakufanya kazi, zipindishwe hataziweze kufanya kazi katika hali

isivyotegemewa.(si kawaida yake)

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

3. Zinaweza kuzisababishakanuni za kimwili, zisizowezakufanya kazi, zirukwe, hatajambo lifanyike bila kupitiakatika njia yake ya asili.

(si kawaida yake)30 March 2012

NGUVU YA MAOMBI

Mathayo 16:19, 18Maombi yana nguvu ya ajabusana ya kuuagiza Mkono wasana ya kuuagiza Mkono waMungu na kuuingiza kazini

Mkono wa MunguIsaya 45:11

30 March 2012

NGUVU YA MAOMBI

Isaya 45:11Kwa habari ya Kazi za MikonoKwa habari ya Kazi za Mikono yangu, haya niagizeni, haya 

niamuruni

30 March 2012

NGUVU YA MAOMBIMathayo 16:18‐19

Mambo mtakayoyafunga ninyi duniani, ndipo yatakuwaduniani, ndipo yatakuwa yamefungwa mbinguni; na mambo mtakayoyafungua 

ninyi duniani, ndipo yatafunguliwa mbinguni

30 March 2012

NAMNA YA KUOMBA

Daniel 4:17Vijana 4 waliojua namna yaVijana 4 waliojua namna ya 

kuuathiri ulimwengu wa roho,walisabababisha Mfalme wa nchi 

kuwa kichaa kwa muda.30 March 2012

Page 61: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 61

NAMNA YA KUOMBADaniel 4:17

Hukumu hii (juu yako Mfalme, kukufanya kichaa kwa muda)kukufanya kichaa kwa muda) imekuja kwa agizo la Walinzi 

(Waombaji)Isaya 62:7‐11

30 March 2012

NAMNA YA KUOMBAYakobo 5:17‐18

Nabii Eliya alipoathiri kanuni za kiroho kwa njia ya maombi,kiroho kwa njia ya maombi, 

mvua haikunyesha juu ya nchi, japo kulikuwa na kanuni zote za kisayansi za mvua kunyesha.

30 March 2012

NAMNA YA KUOMBAYakobo 5:17‐18

Baada ya miaka 3 na nusu ya ukame mkali, Nabii Eliyaukame mkali, Nabii Eliya aliziathiri tena kanuni za 

kiroho kwa njia ya maombi, na mvua ikanyesha juu ya nchi, na nchi ikazaa matunda yake.

30 March 2012

NAMNA YA KUOMBAKutoka 14:1‐43

Baada ya Musa kuziathiri kanuni za kiroho kwa njia ya maombi,za kiroho kwa njia ya maombi, maji ya bahari yaligawanyika na kusimama kama ukuta, kushoto na kulia, na Israeli wakapita juu ya nchi kavu.

30 March 2012

NAMNA YA KUOMBAKutoka 14:1‐43

Baada ya Yesu kuziathiri kanuni za kiroho sawa sawa, kwa njia yakiroho sawa sawa, kwa njia ya maombi, maji ya kawaida 

yalibadilika na kuwa divai safi bila kutumia maabara.

30 March 2012

NAMNA YA KUOMBAMatendo 8:26‐40

Baada ya kanuni za kiroho kuathiriwa ipasavyo, Filipokuathiriwa ipasavyo, Filipo alinyakuliwa na Roho wa 

Mungu na kutoweka mbele ya watu, na akatokea nchi 

nyingine bila kutumia usafiri.30 March 2012

Page 62: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 62

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri 

li h i t kiulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili, ili jambo fulani lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika   njia za kawaida za kimwili.

30 March 2012

Ulimwengu wa Roho

Ndio maana Yesu aliweza kutembea juu ya maji, kitu 

ambacho ni kinyume kabisa na k i k id ki ilikanuni za kawaida za kimwili.

Mathayo 14:22‐33Kanuni za kimwili hazikumzuia kufanya alicholazimika kufanya.

30 March 2012

Ulimwengu wa Roho

Ndio maana Yesu aliweza kugeuza maji kuwa divai (bila maabara), kitu ambacho ni kinyume kabisa 

k i k id ki ilina kanuni za kawaida za kimwili.Yohana 2:1‐11

Kanuni za kimwili hazikumzuia kufanya alicholazimika kufanya.

30 March 2012

Ulimwengu wa Roho

Ndio maana Yesu aliweza kumponya aliyekuwa na upofu, bila kumfanyia operation ya macho, kitu 

ambacho ni kinyume kabisa naambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Marko 8:23‐25Kanuni za kimwili hazikumzuia kufanya alicholazimika kufanya.30 March 2012

Ulimwengu wa Roho

Ndio maana Yesu aliweza kumfufua mtu aliyekufa na kuoza, kitu 

ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwilikanuni za kawaida za kimwili.

Yohana 11:17‐53Kanuni za kimwili hazikumzuia kufanya alicholazimika kufanya.

30 March 2012

Ulimwengu wa Roho

Ndio maana Yesu aliweza kuingia ndani ya nyumba iliyofungwa bila kupita mlangoni wala dirishani, kitu 

ambacho ni kinyume kabisa naambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.Yohana 20:19‐25/Luka 24:36‐43Kanuni za kimwili hazikumzuia kufanya alicholazimika kufanya.30 March 2012

Page 63: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 63

Ulimwengu wa Roho

Ndio maana Yesu aliweza kuinuliwa na kupaa juu kwenda mbinguni, (bila baloon) kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni zakinyume kabisa na kanuni za 

kawaida za kimwili.Matendo 1:6‐11

Kanuni za kimwili hazikumzuia kufanya alicholazimika kufanya.30 March 2012

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri 

li h i t kiulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili, ili jambo fulani lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika   njia za kawaida za kimwili.

30 March 2012

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Na huu ndio utaratibu ambao Mungu alikusudia tuweze gkuutawala ulimwengu, pale 

kanuni za kimwili zinapotuzuia au zinapokataa kufanya kazi kama tulivyotarajia (zinapotugomea).

30 March 2012

Ulimwengu wa Roho

‘Amini Amini nawaambia, kila mtuaniaminiaye mimi, kazi nizifanyazo, (miujiza) na yeye atazifanya, naam, hata kubwa kuliko hizi atafanya;hata kubwa kuliko hizi atafanya; kwasababu nakwenda kwa baba 

kuwaletea, Roho yule yule aliyeniwezesha mimi kufanya haya.

Yohana 14:12/16:7‐830 March 2012

Ulimwengu wa Roho

Kwahiyo, si Yesu peke yake, hata binadamu wengine wa kawaida, waliweza kufaya mambo ya ajabu duniani kinyume na taratibu zaduniani, kinyume na taratibu za kawaida za kimwili, na wakaishi maisha ya ushindi na mafanikio 

duniani, bila kuzuilika.Yohana 14:12/16:7‐8

30 March 2012

Ulimwengu wa RohoNdio maana Musa aliweza kufungua bahari ya Shamu na watu millioni 2 wakapita katika nchi kavu, katikati ya ghorofa mbili za maji kitu ambacho nighorofa mbili za maji kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida 

za kimwili.Kutoka 14:1‐31

Kanuni za kimwili hazikumzuia.30 March 2012

Page 64: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 64

Ulimwengu wa RohoNdio maana Musa aliweza kutoa maji kutoka kwenye mwamba na watu millioni 2 na wanyama wao, wote  wakanywa na kutosheka kituwakanywa na kutosheka kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Kutoka 17:1‐7Kanuni za kimwili hazikumzuia.

30 March 2012

Ulimwengu wa RohoNdio maana Joshua aliweza 

kusimamisha mzunguko wa dunia hata jua likasimama mpaka 

walipomaliza shughuli yao kituwalipomaliza shughuli yao kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Joshua 10:12‐15Kanuni za kimwili hazikumzuia.

30 March 2012

Ulimwengu wa RohoNdio maana Eliya aliweza  kuzuia mvua kwa miaka mitatu japo 

kulikuwa na kila kanuni ya kimwili ya kuruhusu mvua kunyesha kitukuruhusu mvua kunyesha, kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Yakobo 5:17‐18Kanuni za kimwili hazikumzuia.

30 March 2012

Ulimwengu wa RohoNa ndio maana pia aliweza  kurudisha mvua juu ya nchi, japo hakukuwa na 

kanuni za kimwili za kuruhusu (kusababisha) mvua kunyesha kitu(kusababisha) mvua kunyesha, kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Yakobo 5:17‐18Kanuni za kimwili hazikumzuia.

30 March 2012

Ulimwengu wa RohoNdio maana Petro aliweza kumponya kilema katika mlango wa hekalu, bila operation ya miguu (kama Yesu), kitu 

ambacho ni kinyume kabisa naambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Matendo 3:1‐16Kanuni za kimwili hazikumzuia.

30 March 2012

Ulimwengu wa RohoNdio maana Filipo aliweza kusafiri 

kwa kupaa na kunyakuliwa (kutoweka) kama Yesu, kitu ambacho 

ni kinyume kabisa na kanuni zani kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.Matendo 8:26‐40

Kanuni za kimwili hazikumzuia.

30 March 2012

Page 65: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 65

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri 

li h i t kiulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili, ili jambo fulani lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika   njia za kawaida za kimwili.

30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Maombi yalimwezesha Bwana Yesu, kuwa na uwezokatika maneno yake, uwezo y ,ulimwezesha kuumiliki na kuutawala ulimwengu wa mwili kwa nguvu za kiroho, 

kama alivyotaka yeye!30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Na Bwana Yesu akatuambia, tusimshangae yeye kwa 

alichofanya, kwasababu hata y ,na sisi, tuna uwezo huo huo wa kiroho, ndani yetu, wa kutawala na kubadilisha mambo yanayotuzunguka.30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa kutumia Nguvu za kiroho, yaani ile Sura na 

Mfano wa Mungugzilizowekezwa ndani yetu, 

tuna uwezo mkubwa sana wa kumiliki na kutawala

mazingira na mambo yetu.30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Maombi ni namna mojawapo ya kufungulia 

Nguvu za Mungu zilizo ndani g gyetu, ili kuzipambanisha na mambo ya mwili, yaliyogoma kufanya kazi vile ilivyotakiwa.

30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Maombi yalimwezesha Bwana Yesu, kuwa na uwezokatika maneno yake, uwezo y ,ulimwezesha kuumiliki na kuutawala ulimwengu wa mwili kwa nguvu za kiroho, 

kama alivyotaka yeye!30 March 2012

Page 66: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 66

NGUVU YA MAOMBI

Mathayo 16:19, 18Maombi yana nguvu ya ajabusana ya kuuagiza Mkono wasana ya kuuagiza Mkono waMungu na kuuingiza kazini

Mkono wa MunguIsaya 45:11

30 March 2012

NGUVU YA MAOMBI

Isaya 45:11Kwa habari ya Kazi za MikonoKwa habari ya Kazi za Mikono yangu, haya niagizeni, haya 

niamuruni

30 March 2012

NGUVU YA MAOMBI

Na ndio maana Mungu anatuambia katika Neno lake kwamba, 

‘tusijisumbue kwa jambo lolote maishani, bali katika kila jambo, tusali na kuomba na kushukuru...’

(Wafilipi 4:6‐7)

30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUNi kwa Nguvu za Mungu,

Mashujaa wa imani waliweza kufanya mambo makubwa na 

i ji j b h tmiujiza ya ajabu sana, hata wakaweza kuyatawala 

mazingira yao, bila kuzuiliwa na chochote. (Mwa 1:26‐28)

30 March 2012

Yohana 14:12

‘Amini Amini nawaambeni, kila mtu aniaminiaye mimi, kazi (za ushindi) ninazozifanya, na yeye ) y , y yatazifanya, naam hata kubwa 

kuliko hizo, atafanya, kwasababu mimi nakwenda  

kwa Baba’.30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO

Yohana 14:12‘… Kila aniaminiaye mimi, 

ataushinda ulimwengu kamaataushinda ulimwengu kama mimi nilivyoshinda, kwasababu mimi nakwenda kwa Baba, kuwaletea Roho Mtakatifu, 

aliyeniwezesa mimi kushinda’.30 March 2012

Page 67: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 67

Kanuni za Maisha ya UshindiYohana 16:33, Yohana 14:12‘Ulimwenguni mnayo dhiki, lakini jipeni moyo, kwakuwa j p y ,

Mimi nimeushinda ulimwengu.’‘Kwahiyo kila aniaminiye Mimi, naye ataushinda ulimwengukama Mimi nilivyoushinda’.30 March 2012

KANUNI ZA KIROHOEbr 11:3,  1Yoh 5:4   

Mtu wa Mungu ukitaka kuleta mabadiliko fulani katika ulimwengu wa mwili, ili 

utembee kwa ushindi duniani,  ni lazima ujue kuutawala 

ulimwengu wa roho kwanza.30 March 2012

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3 

Huu ndio Utaratibu wa Mungukatika kuitawala dunia;;

kwamba, mambo yanayotakiwa kufanyika katika ulimwengu wa kimwili, sharti yafanyike kwanza katika ulimwengu wa kiroho.

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO2Wakorintho 4:18   Tusiviangalie vitu 

vinavyoonekana (vya kimwili) ni y ( y )vya muda; bali tuviangalie vitu visiyoonekana (vya kiroho) 

kwani hivyo ndivyo vya milele (vya kudumu).

30 March 2012

Kanuni za kiroho za UshindiUlimwengu wa roho ndio unaotawala Ulimwengu wa mwili. Kwahiyo, hakuna kitu kitakachofanyika katika 

Ulimwengu wa mwili, mpaka kwanza kimefanyika katika 

Ulimwengu wa Roho.30 March 2012

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   Kwasababu hiyo, 

Kanuni za kimwili (Natural Principles) zinatawaliwa na Kanuni za Kiroho (Spiritual 

Principles).30 March 2012

Page 68: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 68

SADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Mtu yeyote, hataweza kufanikiwa duniani kwa asilimia 100%, bila ya kufuata kanuni hii 

kuu ya uumbaji wa Mungu duniani.

30 March 2012

NAMNA YA KUOMBA

Silaha za Vita Vyetu 

Waefeso 6:10‐182Wakorintho 10:3‐5

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO

Waefeso 6:10‐13‐18‘Iweni hodari katika Bwana, na katika Uweza wa Nguvu zakekatika Uweza wa Nguvu zake.Vaeni silaha zote za Mungu ili muweze pupambana na hila za 

mwovu shetani.30 March 2012

Waefeso 6:10‐13‐18‘Kwa maana kushindana kwetu sisi, si juu ya damu na nyama (si vita vya kimwili) bali vita yetu ni ya kupambana na falme za giza, mamlaka za giza, wakuu wa giza na majeshi ya pepo wabaya, katika ulimwengu wa roho.

30 March 2012

‘Ingawa tunaenenda kimwili, hatufanyi vita kwa jinsi ya mwili, silaha zetu zina nguvu katika 

2Wakorintho 10:3‐5

gMungu (roho), tukiteka nyara mawazo na fikra na kila kitu 

kinachojiinua kinyume na elimu ya Bwana wetu Yesu Kristo.

30 March 2012

Waefeso 6:10‐13‐18‘Simameni hali mmevaa, 

Chapeo ya Wokovu, Dirii ya Haki, Mkanda wa Kweli, Viatu vya Utayari wa kupeleka Injili ya 

Yesu Kristo; Simameni mkiwa na Ngao ya Imani na Upanga wa 

Roho ambao ni Neno la Mungu.30 March 2012

Page 69: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 69

NAMNA YA KUOMBA

Silaha za Vita Vyetu 

Waefeso 6:10‐182Wakorintho 10:3‐5

30 March 2012

NAMNA YA KUOMBASilaha za Vita Vyetu

Kwahiyo;Mtu wa mungu anapokwenda g prohoni, ni lazima ajue kwamba, 

atakutana na adui shetani anayetawala eneo lake (eneo 

linaloombewa) 30 March 2012

NAMNA YA KUOMBASilaha za Vita Vyetu

Hivyo basi, inampasa mtu wa Mungu anayetaka kuleta mabadiliko, ajue namna ya kupigana na adui shetani juu ya maeneo anayoyaombea.

Waefeso 6:12, 10‐11,13

30 March 2012

NAMNA YA KUOMBASilaha za Vita Vyetu

Aina kuu 2 za silaha1 Sil h Uli i ( 11)1. Silaha za Ulinzi (mst.11)2. Silaha za Kupiga (mst.13)

Waefeso 6:12, 10‐11,13

30 March 2012

NAMNA YA KUOMBA

1. Silaha za Ulinzi( l d )(Kujilinda) (Waefeso 6:13)

30 March 2012

NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za kujilinda (mst.11)a) Kofia ya Chuma kichwani 

(WOKOVU)Kwenda rohoni / vitani wakati hujaokoka, ni kama kwenda vitani 

bila kofia ya chuma (Warumi 10:9‐10, Mdo 19:8‐20) 

30 March 2012

Page 70: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 70

NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za kujilinda (mst.11)b) Gamba la chuma kifuani 

(UTAKATIFU)Kwenda rohoni / vitani wakati hauishi maisha matakatifu, ni 

kama kwenda vitani ulinzi kifuani. (1Pet 1:15‐16, Kumb 23:14) 

30 March 2012

NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za kujilinda (mst.11)c) Mkanda wa Kweli kiunoni     

(NENO LA KUIMARISHA)Kwenda rohoni / vitani wakati huna 

maneno ya kukuimarisha, ni kama kuvaa gwanda bila mkanda. (Yohana 17:17, Kolosai 3:16) 

30 March 2012

NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za kujilinda (mst.11)d) Mabuti ya Utayari Miguuni     

(UTAYARI + UJASIRI)Kwenda rohoni / vitani wakati huna 

ujasiri, ni kama kwenda vitani bila mabuti ya jeshi/kazi. 

(2Timotheo 4:2, 2Timotheo 1:7) 30 March 2012

NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za kujilinda (mst.11)e) Ngao ya Imani mkononi     

(UHAKIKA)Kwenda rohoni / vitani wakati huna 

uhakika (imani), ni kama kwenda vitani bila ngao mkononi. 

(Ebrania 11:1, 6, Mark 11:20‐24) 30 March 2012

NAMNA YA KUOMBA

2. Silaha za Kupiga( h b l )(Kushambulia) (Waefeso 6:13)

30 March 2012

NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13)

a) JINA LA YESU Wafilipi 2:9‐10, Marko 16:16‐20p ,Jina la Yesu lina nguvu zote na mamlaka yote kwasababu, ndilo 

Jina kuu zaidi, jina la Baba.Yoh 17:6,11

30 March 2012

Page 71: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 71

NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13)

b) NENO LA YESU Waebrania 4:12, Waefeso 6:17,Neno la Yesu lina nguvu zote na mamlaka yote kwasababu, Neno 

ni Bwana Yesu mwenyewe.Yoh 1:1‐4

30 March 2012

NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13)

c) DAMU YA YESU Ufunuo 12:11, Waefeso 1:7,

Damu ya Yesu ina nguvu zote na mamlaka yote kwasababu, Damu 

ya Yesu ina Roho wa Yesu.Walawi 17:14

30 March 2012

NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13)

d) ROHO WA YESU 2Wathesalonike 2:8, Yeremia 51:1,Roho wa Yesu ana nguvu zote na mamlaka yote kwasababu, Roho 

wa Yesu ni Uhai wa Mungu1 Wakorintho 2:11‐12

30 March 2012

NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13)e) JESHI LA MALAIKA WA YESU Ufunuo 19:10, Mathayo 26:52‐53, yMalaika wa Yesu wana nguvu na 

mamlkaka juu ya mashetani, ikiwa tu watapewa maagizo

Ufunuo 12:7‐10, Zab 34:7, Zab 9130 March 2012

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Mathayo 16:18‐19‘Milango ya kuzimu haitaweza kulishinda kanisa nililojenga; nakulishinda kanisa nililojenga; na 

mambo yoyote mtakayoyafunga au mtakayofungua duniani, yatakuwa 

yamefungwa na kufunguliwa mbinguni (ulimwengu wa roho).

30 March 2012

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Luka 10:19Tazama, nimewapa mamlaka yote 

ya kukanyaga nge (nguvu yaya kukanyaga nge (nguvu ya maumivu) na nyoka (nguvu ya uasi) 

na nguvu zote za yule adui(waganga, wachawi, nk); na wala hakuna kitu kitakachowadhuru.

30 March 2012

Page 72: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 72

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Yeremia 1:9‐10Tazama, nimekuweka leo juu ya falme na juu ya mamlaka, ilifalme na juu ya mamlaka, ili 

kuvunja, kubomoa, kuharibu, na kung’oa, kisha nimekuweka ili 

kujenga na kupanda.

30 March 2012

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Yeremia 51:20Wewe ni rungu langu la vita; kwa kukutumia wewe, nitavunja‐vunjakukutumia wewe, nitavunja vunja falme na nitavunja‐vunja mamlaka.

(kwakuwa nimekuweka juu ya falme na juu ya mataifa)

(Yeremia 1:9‐10)30 March 2012

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Ufunuo 5:8‐10Watu walionunuliwa kwa damu ya 

Mwana‐kondoo Yesu Kristo,Mwana kondoo Yesu Kristo, wamefanyika Wafalme na 

Makuhani; nao wamepewa kumilikina kutawala juu ya nchi (katika 

ulimwengu wa mwili).30 March 2012

NGUVU YA MAOMBI

Kwahiyo; Wewe usipokuwa na nidhamu ya 

kwenda rohoni kwa njia ya maombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea mambo ambayo usingetaka     

kabisa yakupate.30 March 2012

NAMNA YA KUOMBA

5. NGUVU YA MAOMBINamna unavyowezaNamna unavyoweza  

Kuuathiri Ulimwengu wa Roho hata kubadilisha Ulimwengu wa mwili.

30 March 2012

NGUVU YA MAOMBI

Kwa Mfano wa

Maombi ya Eliya,Maombi ya Eliya, Kufunga na Kufungulia Mvua

Yakobo 5:16‐18

30 March 2012

Page 73: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 73

NGUVU YA MAOMBI

Kwa Mfano wa

Maombi ya Daniel,Maombi ya Daniel, Kufungulia Ukombozi wa Taifa

Daniel 10:11‐14, 20

30 March 2012

NGUVU YA MAOMBI

Kwa Mfano wa

Yesu na Mti MtiniYesu na Mti MtiniMarko 11:12‐14, 20‐24

30 March 2012

NGUVU YA MAOMBI

Marko 11:12‐14, 20‐24

12 Kesho yake walipokuwa wakitokaBethania, Yesu alikuwa na njaa. 

30 March 2012

NGUVU YA MAOMBI

Marko 11:12‐14, 20‐2413 Alipouona mtini kwa mbali, k d l k l kakaenda ili aone kama ulikuwa na

matunda. Alipoufikia, akakuta unamajani tu, kwa kuwa hayakuwa

majira ya tini.30 March 2012

NGUVU YA MAOMBI

Marko 11:12‐14, 20‐2414 Yesu akauambia ule mti, ‘‘Tangu l t t il t dleo mtu ye yote na asile matunda kutoka kwako tena.’’ Wanafunzi Wake walimsikia akisema hayo. 

30 March 2012

NGUVU YA MAOMBI

Marko 11:12‐14, 20‐2420 Asubuhi yake, walipokuwa

ki it k l ti iwakipita, wakauona ule mtiniumenyauka kutoka juu hadi kwenye

mizizi yake. 

30 March 2012

Page 74: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 74

NGUVU YA MAOMBI

Marko 11:12‐14, 20‐2421 Petro akakumbuka na 

k bi Y “M likumwambia Yesu, “Mwalimu, tazama! Ule mtini ulioulaani 

umenyauka!

30 March 2012

NGUVU YA MAOMBI

Marko 11:12‐14, 20‐2422 Yesu akawajibu akawaambia, 

“M i i i M 23 A i i“Mwaminini Mungu. 23 Amin, amin nawaambia, mtu ye yote 

atakayeuambia mlima huu ‘Ng’oka ukatupwe baharini,’…

30 March 2012

NGUVU YA MAOMBIMarko 11:12‐14, 20‐24

23 …wala asione shaka moyoni mwake, bali aamini kwamba hayo 

asemayo yametukia yatakuwa yakeasemayo yametukia, yatakuwa yake. 24 Kwa sababu hiyo nawaambia, yo yote myaombayo mkisali, aminini ya 

kwamba mnayapokea nayo yatakuwa yenu.  

30 March 2012

NGUVU YA MAOMBIMarko 11:20‐24

23 … asione shaka moyoni mwake, bali aamini kwamba hayo asemayo 

yametukia yatakuwa yakeyametukia, yatakuwa yake.

Sasa              Baadaye

30 March 2012

NGUVU YA MAOMBIMarko 11:20‐24

24 yo yote myaombayo mkisali, aminini ya kwambak kmnayapokea nayo yatakuwa yenu.

Sasa Baadaye

30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Maombi ni namna mojawapo ya kufungulia 

Nguvu za Mungu zilizo ndani g gyetu, ili kuzipambanisha na mambo ya mwili, yaliyogoma kufanya kazi vile ilivyotakiwa.

30 March 2012

Page 75: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 75

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Maombi yalimwezesha Bwana Yesu, kuwa na uwezokatika maneno yake, uwezo y ,ulimwezesha kuumiliki na kuutawala ulimwengu wa mwili kwa nguvu za kiroho, 

kama alivyotaka yeye!30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Na Bwana Yesu akatuambia, tusimshangae yeye kwa 

alichofanya, kwasababu hata y ,na sisi, tuna uwezo huo huo wa kiroho, ndani yetu, wa kutawala na kubadilisha mambo yanayotuzunguka.30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa kutumia Nguvu za kiroho, yaani ile Sura na 

Mfano wa Mungugzilizowekezwa ndani yetu, 

tuna uwezo mkubwa sana wa kumiliki na kutawala

mazingira na mambo yetu.30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO

Umuhimu na Ulazima N Ki hwa Nguvu za Kiroho 

Katika Maisha ya duniani.

30 March 2012

2Petro 1:3‐4Tunapambana na adui mwenyenguvu sana. Pasipo Nguvu za

Mungu, mtu wa Mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mungu, mtu wa Munguhataweza kuleta mabadilikomazuri katika maisha yake nakumwezesha kuishi maishamazuri na ya ushindi, ili kuwachombo kizuri cha ibada.

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHONi Ukweli wa kanuni ya Mungukwamba, ‘huwezi kutawala vizuri ulimwengu wa mwili, 

kama huna mamlaka na nguvuza kiroho (ulimwengu wa roho).

Zab 8:4‐8, Mwa 1:26‐2830 March 2012

Page 76: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 76

KWANINI ROHO MTAKATIFUNa ndio maana, hata kwa sisi Kanisa, Mungu ametupa Roho wake Mtakatifu, ili tuweze k b bi h b dilikkusababisha mabadiliko ya 

ushindi maishani mwetu, kwa msaada wa Nguvu za kiroho 

(Nguvu za ajabu).30 March 2012

NGUVU YA MAOMBI

NGUVU YA MAOMBI Namna ya Kuuathiri 

Ulimwengu wa roho kwa njia ya maombi.

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHONguvu za Kiroho zikihusika au zikipambanishwa duniani, 

(katika ulimwengu wa mwili) zinaweza kuleta mabadiliko 

makubwa, hata kama hilo jambo haliwezekani kanuni za ulimwengu wa kimwili. 

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO

Nguvu                     NguvuZa                            za

Kimwili        Vs        Kiroho (Natural                (Spiritual  Principles)            Principles)

30 March 2012

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI 

1.Kufunga Mambo unayotaka yafungike

Mathayo 16:18‐19Yakobo 5:16‐18

30 March 2012

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI 

2. Kufungua Mambo unayotaka yafunguke

Mathayo 16:18‐19Yakobo 5:16‐18

30 March 2012

Page 77: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 77

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI 

3. Kuua Kufisha Mambo unayotaka yafe kabisa

Marko 11:12‐14‘tangu leo mtu asile matunda kwako’

(Kuanzia leo Ufe kabisa)

30 March 2012

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI 

4. Kuhuisha / Kufufua Mambo unayotaka yafufukeYohana 11:11‐15

‘Lazaro, rudi katika uhai wako tena’Ezekieli 37:1‐14

30 March 2012

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI 

5. Kuhamisha Nyakati/MatukioMarko 13:14‐19

‘Ombeni kukimbia kusiwe wakati wa baridi (kuwe wakati wa joto)’Yohana 2:1‐11, Isaya 38:1‐5

30 March 2012

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI 

6. Kujua Mambo yaliyojifichaa)Yaliyopita (Ufu 5:1‐5/13:8)) y p ( / )

30 March 2012

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI 

6. Kujua Mambo yaliyojifichaa)Yaliyopita (Ufu 5:1‐5/13:8)) y p ( / )b)Ya Sasa (Dan 1:17‐20/17‐24)

30 March 2012

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI 

6. Kujua Mambo yaliyojifichaa)Yaliyopita (Ufu 5:1‐5/13:8)) y p ( / )b)Ya Sasa (Dan 1:17‐20/17‐24)c)Yajayo (Isa 9:6/Dan 7:13‐14,17)

30 March 2012

Page 78: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 78

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI 

7. Kuwa sehemu 2 wakati mmoja1Wakorintho 5:3‐41Wakorintho 5:3 4

Ingawa sipo nanyi kimwili, lakini mjue kwamba nipo nanyi kiroho

Wafalme 5:14‐2730 March 2012

NGUVU YA MAOMBI Tukijua siri hii ya maombi, jinsi 

yanavyoweza kubadilisha  ulimwengu wa roho, tutajibidiishaulimwengu wa roho, tutajibidiisha kuomba, ili kuleta mabadiliko tunayotamani kuyaona katika 

maisha yetu, duniani. 30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo;Kila mtu amwaminiye Yesu Kristo, kama Bwana na Mwokozi wake, ana ,Roho Mtakatifu wa Mungu ndani yake; kwahiyo, ana chanzo cha Nguvu za Mungu ndani yake.

30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutokujua ukweli huu, kwamba roho yako ndiyo inayotumiwa na y y yMungu kuachilia nguvu zake, 

kutakufanya uwe mtu mwoga nadhaifu maisha; 

30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutokujua ukweli huu, kutakuondolea ujasiri katika kukabiliana na maisha ya kila siku, yaliyojaa kila aina ya 

upinzani na vita dhidi ya mtu wa Mungu.

30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutokujua ukweli huu, kutazuia na kuzima utendaji kazi wa ngvu za M i h i kMungu maishani mwako; nawe 

utaishi chini ya kiwango cha mtoto wa Mungu (yaani maisha ya kushindwa na kuzuilika)

30 March 2012

Page 79: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 79

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Kutokujua (Kutokuwa na ufahamu huu) watu wa Mungu 

wengi wamezuia utendaji kazi wawengi wamezuia utendaji kazi wa nguvu za Mungu kutoka ndani yao, na Nguvu kubwa sana za Mungu zimebaki ndani yao zimelala (hazijatumika). 

30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Na matokeo yake ni kwamba, watu wa Mungu wengi wanaishi 

maisha ua kuhangaika namaisha ua kuhangaika na wanatumia muda mwingi na gharama kubwa, kukimbia‐

kimbia kushoto na kulia kutafuta msaada wa mbali …    

30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

wakati ndani yao wameachamsaada ulio karibu; kwani Nguvunyingi sana au Nguvu kubwasana za Mungu zimebaki ndaniyao, zimelala bila kutumika.(Hosea 4:6, Warumi 10:2)   

30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndio maana Mungu anasema ‘ t i kwatu wangu wanaangamia kwa 

kukosa maarifa’.(Hosea 4:6)

30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndio maana Biblia inasema; ‘ t M bidiiwatu wa Mungu, wana bidii sana katika Bwana, lakini si 

katika maarifa’.(Warumi 10:2)

30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndio maana, inasema kwamba, tunatakiwa kufundishwa na kufundishika, ili ,tupate maarifa na tukue kiroho mpaka kufika katika cheo cha

Bwana wetu Kristo Yesu. (Waefeso 4:11‐15)

30 March 2012

Page 80: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 80

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11‐15Kwa huduma mbalimbali ambazo Bwana Yesu ameziweka katikaBwana Yesu ameziweka katika kanisa, sisi waumini, tunatakiwa kufundishwa na kufundishika … 

30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11‐15… ili tukue kiroho mpaka kufika katika cheo cha Bwana Yesu nakatika cheo cha Bwana Yesu na kutembea na Nguvu za Mungu duniani, bila kuzuiliwa na kitu 

chochote.30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11‐14

11 Yeye ndiye aliyeweka wengine kuwa mitume na wengine kuwakuwa mitume, na wengine kuwa 

manabii, wengine kuwa wainjilisti, na wengine kuwa wachungaji na wengine kuwa 

waalimu, 30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11‐14

12 kwa kusudi la kuwakamilisha watakatifu kwa ajili ya kazi zawatakatifu kwa ajili ya kazi za huduma, ili kwamba mwili wa Kristo upate kujengwa na 

kuimarika.30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11‐1414 Ili tusiwe tena watoto

wachanga, tukitupwatupwa hukuna huku na kuchukuliwa na kilaupepo wa mafundisho kwa hilaza watu, kwa ujanja, kwa kufuata

njia zao za udanganyifu. 30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11‐14

13 … bali tufundishike na kukua kiroho mpaka sisi sotekiroho, mpaka sisi sote 

tutakapoufikia kipimo cha ukamilifu wa Kristo. 

30 March 2012

Page 81: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 81

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11‐14Kwahiyo, Nguvu za Mungu 

zilizowekwa ndani yako, zinatosha y ,kabisa kukuwezesha kuishi duniani, 

katika kiwango cha ushindi na mafanikio, kama kile kile cha Bwana Yesu, bila kuzuiliwa na kitu chochote. 

30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kanuni hizi tunazojifunza, zikiwekwa  kwa pamoja ndani yetu (rohoni), katika kiwango kinachotakiwa,katika kiwango kinachotakiwa, 

zitasababisha Roho Mtakatifu aliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za Mungu unazozihitaji kwa ajili ya 

maisha ya ushindi duniani.30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

WAEFESO 3:2O20 Atukuzwe Mungu, yeye awezaye kutenda mambo ya ajabu mno (yasiyopimika) 

kuliko yote tunayo‐yawaza au tunayoyaomba …

30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

WAEFESO 3:2O20 … Mungu anaweza kutenda mambo yote, kwa kadiri (kwa kiwango au kwa kipimo) cha Nguvu zake kinachotenda 

kazi ndani yetu.30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Jenga  Kiu, Bidii, Stamina na Nidhamu ya kimaombi

30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Jenga  Kiu ya Maombi, Bidii ya Maombi, Stamina ya Maombi Nidhamu ya kimaombi

30 March 2012

Page 82: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 82

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Jenga Kiu na Bidii na Nidhamu ya Kukaa na Mungu 

Kwa Mfano wa MusaKut 24:1‐18Kut 34:29‐35

30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Jenga Kiu na Bidii na Nidhamu ya Kukaa na Mungu 

Kwa Mfano wa JoshuaKut 24:1‐18/32:9‐19

Kut 33:7‐11 30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Joshua alikuwa na bidii na nidhamuya hali ya juu ya kukaa katika

uwepo wa Munguuwepo wa MunguKutoka 24:1‐18/32:9‐19

Wazee walishindwa kumsubiri Musa katika maombi, lakini Joshua aliweza kukaa siku zote 40.  

30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Joshua alikuwa na bidii na nidhamu ya hali ya juu ya kukaa katika uwepo 

wa MunguKutoka 33:7‐11

Mzee Musa alichoka kuomba, akaondoka katika hema, lakini Joshua alikaa katika uwepo wa 

Mungu hata kwa muda wa ziada .  30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Joshua alikuwa na bidii na nidhamu ya hali ya juu ya kukaa katika 

uwepo wa Munguuwepo wa Mungu

Bidii na Nidhamu katika mambo ya Mungu, inalipa. 

(Inakupa kibali mbele za Mungu) 30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Joshua 3:77 Ndipo BWANA akamwambia Yoshua, “Leo nitaanza kukutukuzaYoshua,  Leo nitaanza kukutukuza machoni pa Israeli yote, ili wapate kujua kuwa niko pamoja nawe kama nilivyokuwa pamoja na Mose. (Nitafungua maji ya mto 

Jordan mbele yako)30 March 2012

Page 83: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 83

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Jenga Kiu na Bidii na Nidhamu ya Kukaa na Mungu 

Kwa Mfano wa Mfalme DaudiZab 63:1‐3Zab 27:4

30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Bwana Yesu alikuwa na bidii na nidhamu ya hali ya juu ya kukaa 

katika uwepo wa MunguNa ndio maana, bidii yake na 

nidhamu katika mambo ya Mungu, ilikuwa inamlipa. 

(Inampa kibali mbele za Mungu) 30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Jenga Kiu na Bidii na Nidhamu ya Kukaa na Mungu 

Kwa Mfano wa Bwana YesuMath 14:22‐23Luka 6:12,17‐19

30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2Nyakati 16:99 Macho ya Bwana yanakimbia‐ki bi d i i t kit f tkimbia duniani mwote, yakitafuta mtu aliyekamilika moyo, ili Mungu 

ajionyeshe kwamba yeye ni mwenye nguvu, kupitia mtu huyo.

30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Jenga Kiu na Bidii na Nidhamu Wengi wana Kiu, lakini hawana;Nguvu za kuomba muda mrefuNguvu za kuomba muda mrefu. Hebu tumwombe Mungu atupe nguvu mpya, ili tuweze kuomba 

kwa muda mrefu. Luka 22:40‐46

30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Jenga Kiu na Bidii na Nidhamu Bwana Yesu alipochoka kuomba, Mungu alimtia nguvu mpya ili azidi 

kuomba mpaka kuvuka jaribukuomba mpaka kuvuka jaribu alilokuwa nalo. Hebu nasisi 

tumwombe Mungu atupe nguvu mpya, ili tuweze kuomba kwa muda 

mrefu, ili tuvuke na kushinda. Luka 22:40‐46

30 March 2012

Page 84: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 84

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hii ina maana kwamba …Utendaji wa mkono wa Mungu 

i h i kmaishani mwako, unategemea sana kiwango

cha Nguvu za Mungu kinachotenda kazi ndani yako.

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHONguvu za Kiroho zikihusika au zikipambanishwa duniani, 

(katika ulimwengu wa mwili) zinaweza kuleta mabadiliko 

makubwa, hata kama hilo jambo haliwezekani kanuni za ulimwengu wa kimwili. 

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO

Nguvu                     NguvuZa                            za

Kimwili        Vs        Kiroho (Natural                (Spiritual  Principles)            Principles)

30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11‐14Kwahiyo, Nguvu za Mungu 

zilizowekwa ndani yako, zinatosha y ,kabisa kukuwezesha kuishi duniani, 

katika kiwango cha ushindi na mafanikio, kama kile kile cha Bwana Yesu, bila kuzuiliwa na kitu chochote. 

30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUBasi … 

Tengeneza au ZalishaKIWANGO

cha kutosha cha Nguvu za Mungu 

Ndani yako30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

5.  Kumwagika   

Kiwango, Kipimo, Ujazo30 March 2012

Page 85: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 85

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKitu (Fuel)

Joto                                Hewa(Heat)                             (Oxygen)

MOTO

30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwasababu …Utendaji kazi wa mkono wa 

i h i kMungu maishani mwako, unategemea sana kiwango

cha Nguvu za Mungu kinachotenda kazi ndani yako.

30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kanuni hizi tunazojifunza, zikiwekwa  kwa pamoja ndani yetu (rohoni), katika kiwango kinachotakiwa,katika kiwango kinachotakiwa, 

zitasababisha Roho Mtakatifu aliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za Mungu unazozihitaji kwa ajili ya 

maisha ya ushindi duniani.30 March 2012

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KANUNI ZA KIROHONi mambo ambayo, tukiyaweka 

kwa pamoja ndani yetukwa pamoja ndani yetu (rohoni), yatasababisha Roho Mtakatifu aliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za Mungu.

30 March 2012

KANUNI ZA KIROHO

Watu wa Mungu wakielewa, nafasi ya kanuni za kiroho

katika maisha yao watawekakatika maisha yao, wataweka bidii na nidhamu ya kuishi katika maisha yanayotimiza 

kanuni za kiroho.   30 March 2012

KANUNI ZA KIROHOKanuni hizi tulizojifunza, zilete mabadiliko katika mfumo wa maisha yako na kukuwezesha kuzalisha Nguvu za Mungukuzalisha Nguvu za Mungu

zinazohitajika kukupa maisha ya Ushindi na kukuwezesha kuwa chombo kizuri cha kumsifu na 

kumwabudu yeye.30 March 2012

Page 86: Vita vya kiroho

30 March 2012

Vita Vya Kiroho 86

NGUVU YA MAOMBI

Asanteni!Asanteni!

30 March 2012

Kwa mawasiliano zaidi,Mwl. Mgisa Mtebe (Christ Rabbon Ministry)

Dar es Salaam, Tanzania.+255 713 497 654+255 713 497 654+255 783 497 654

[email protected]

30 March 2012