1
FOMU YA MAOMBI YA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA UFUNDI STADI KATIKA VYUO VINAVYOMILIKIWA NA VETA A. MAELEZO YA MWOMBAJI 1. Jina la mwombaji…………………………………………………………………………….Jinsia Me/ Ke ………… (Majina matatu anza na jina lako la kwanza) 2. Tarehe ya kuzaliwa………………Mwezi……………Mwaka…………………………… 3. Elimu……………………………Mwaka uliohitimu………………………Jina la Shule/Chuo…………………………… 4. Anuani ya mwombaji: S.L.P……………………………..namba ya simu……………………… Barua pepe…………………………… Mahali unapoishi: Kijiji/Kata……………………….Wilaya……………………………Mkoa……………………… 5. Jina la Mzazi/Mlezi/Mfadhili……………………………………………Uhusiano………………………………… 6. Anuani ya Mzazi /Mlezi/Mfadhili………………………………………Namba ya simu…………………………… 7. Chagua fani tatu ambazo ungependa kujifunza na uandike kufuatana na kipaumbele chako (angalia nyuma ya karatasi hii, kumeambatanishwa orodha ya fani mbalimbali) i. ………………………………………ii. …………………………………………iii.………………………………………… 8. Ukichaguliwa ungependa kukaa (Weka alama √ katika kisanduku husika) Bweni kutwa Gharama ya kukaa bweni ni TShs ………..………..na gharama ya kutwa ni TShs…………………….. 9. Andika jina la chuo unachopenda ……………………………………………………………………………….…. (Angalia nyuma ya karatasi hii, kumeambatanishwa orodha ya vyuo vyote vinavyomilikiwa na VETA nchini na fani zinazofundishwa) B. MUHIMU Mtihani wa kujiunga na chuo utafanyika tarehe …………………………saa mbili (2:00) asubuhi. Unapaswa kuripoti nusu saa kabla. Fika na vyeti vya kuhitimu shule/chuo (nakala halisi) kalamu ya wino, penseli, picha moja (stamp size) na fomu hii pamoja na risiti uliyopewa wakati unalipia fomu hii. Hakikisha unakuja na vifaa/vitu vyote kama vilivyoorodheshwa hapo juu. Matokeo ya Mtihani yatatolewa tarehe………………….…………………na yatabandikwa katika mbao za matangazo zilizopo chuoni, pia yatawekwa kwenye tovuti ya VETA (www.veta.go.tz) Gharama ya fomu hii ni Tshs…………………(kwa tarakimu)…………………………………………………………(kwa maneno) Weka alama ya vema (v) kwenye aina yeyote ya ulemavu unaohitaji mbinu maalum ya kufundishia na kujifunza: Uziwi Kutokuona Albino Ulemavu wa viungo Taja ulemavu mwingine kama hauja orodheshwa …………………………………… C. UTHIBITISHO Nathibitisha kuwa nimesoma na kuelewa yote yaliyo katika fomu hii, na maelezo niliyoyatoa ni sahihi. Saini ya mwombaji………………………………………………………………Tarehe……………………………… Saini ya Mzazi/Mlezi/Mfadhili…………………………………………………Tarehe……………………………… MAMLAKA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI STADI FOMU NAMBA: VETA/AF/LC/….. /…../…….. Bandika picha yako hapa Muhimu: Toa kopi fomu hii baada ya kuijaza kikamilifu, na kopi hiyo iwasilishe chuoni. Nakala halisi utakuja nayo siku ya mtihani wa kujiunga.

2015 Application Form for VETA institution

Embed Size (px)

DESCRIPTION

FOMU YA MAOMBI YA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA UFUNDI STADI KATIKA VYUO VINAVYOMILIKIWA NA VETA

Citation preview

  • FOMU YA MAOMBI YA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA UFUNDI STADI KATIKA VYUO VINAVYOMILIKIWA NA VETA

    A. MAELEZO YA MWOMBAJI

    1. Jina la mwombaji.Jinsia Me/ Ke

    (Majina matatu anza na jina lako la kwanza)

    2. Tarehe ya kuzaliwaMweziMwaka

    3. ElimuMwaka uliohitimuJina la Shule/Chuo

    4. Anuani ya mwombaji: S.L.P..namba ya simu

    Barua pepe

    Mahali unapoishi: Kijiji/Kata.WilayaMkoa

    5. Jina la Mzazi/Mlezi/MfadhiliUhusiano

    6. Anuani ya Mzazi /Mlezi/MfadhiliNamba ya simu

    7. Chagua fani tatu ambazo ungependa kujifunza na uandike kufuatana na kipaumbele chako (angalia nyuma ya karatasi hii,

    kumeambatanishwa orodha ya fani mbalimbali)

    i. ii. iii.

    8. Ukichaguliwa ungependa kukaa

    (Weka alama katika kisanduku husika)

    Bweni kutwa

    Gharama ya kukaa bweni ni TShs ....na gharama ya kutwa ni TShs..

    9. Andika jina la chuo unachopenda ..

    (Angalia nyuma ya karatasi hii, kumeambatanishwa orodha ya vyuo vyote vinavyomilikiwa na VETA nchini na fani zinazofundishwa)

    B. MUHIMU Mtihani wa kujiunga na chuo utafanyika tarehe saa mbili (2:00) asubuhi. Unapaswa kuripoti nusu saa kabla. Fika na

    vyeti vya kuhitimu shule/chuo (nakala halisi) kalamu ya wino, penseli, picha moja (stamp size) na fomu hii pamoja na risiti uliyopewa

    wakati unalipia fomu hii. Hakikisha unakuja na vifaa/vitu vyote kama vilivyoorodheshwa hapo juu.

    Matokeo ya Mtihani yatatolewa tarehe.na yatabandikwa katika mbao za matangazo zilizopo chuoni, pia

    yatawekwa kwenye tovuti ya VETA (www.veta.go.tz)

    Gharama ya fomu hii ni Tshs(kwa tarakimu)(kwa maneno)

    Weka alama ya vema (v) kwenye aina yeyote ya ulemavu unaohitaji mbinu maalum ya kufundishia na kujifunza:

    Uziwi Kutokuona Albino Ulemavu wa viungo Taja ulemavu mwingine kama hauja orodheshwa

    C. UTHIBITISHO Nathibitisha kuwa nimesoma na kuelewa yote yaliyo katika fomu hii, na maelezo niliyoyatoa ni sahihi.

    Saini ya mwombajiTarehe

    Saini ya Mzazi/Mlezi/MfadhiliTarehe

    MAMLAKA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI STADI

    FOMU NAMBA: VETA/AF/LC/.. /../.. Bandika

    picha yako

    hapa

    Muhimu: Toa kopi fomu hii baada ya kuijaza kikamilifu, na kopi hiyo iwasilishe chuoni.

    Nakala halisi utakuja nayo siku ya mtihani wa kujiunga.