20
ISSN 0856 - 3861 Na. 1169 JAMADIUL AWWAL 1436, IJUMAA , MACHI 20-26, 2015 BEI TShs 800/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu facebook: [email protected] AHLU SUNNA WAL JAMAA HAJJ AND UMRA TRUST Atoswa na kufungwa jela miaka 40 Alishawishiwa Msikitini kuwa na AK-47 Alisilimu jana, leo ni ‘Abu Jihad’ na Mufti… Wasiomfuata wote ‘makafiri’, wanafiki!!! 'SERIKALI' imekuwa na ushirikiano wa karibu na hata uhusiano wa Kibalozi na mamlaka ya VATICAN. Mamlaka ya Vatican madhumini yake makuu Tanzania sio nchi ya Kikatoliki… Japo kuna Ubalozi wa Vatican Iweje OIC ni kusilimisha nchi? PAPA Francis Na Khalid S Gwiji ni kuendeleza na kutetea Ukatoliki. Cha kushangaza, 'Serikali' hiyo hiyo inakataa kujiunga na Umoja wa Nchi za Kiislamu (OIC), kwa hoja kwamba umoja huo una Inaendelea Uk. 4 IMEELEZWA kuwa kumekuwa na hali ya taharuki miongoni mwa wapiganaji wa IS hasa Waislamu waliotoka makwao wakiamini kuwa wanapigana Jihad ya kweli, baada ya kusambaa habari kuwa kiongozi wao punde atawatangazia kuondoka mji wa Mosoul. Habari zilizozagaa miongoni mwa wapiganaji hao mapema wiki hii zinafahamisha kuwa 'Abu Baker al- Baghdadi', amedai kuwa amekutana na Mtume (s.a.w) 'Abu Bakr al-Baghdadi' adai kukutana na Mtume Siri za Jihad ya IS zazidi kufichuka Filamu ya Boko Haram nayo yanoga Na Mwandishi Wetu Inaendelea Uk. 10 Soma Uk. 3 WATUHUMIWA wa kesi ya ugaidi walipofikishwa Mahakamani Jumatano wiki hii. Mawakili wa watuhumiwa hao wameeleza wengi wa watuhumiwa hao ni wagonjwa. Habari kamili Uk. 8 (3) HIJI UDHAMINIWE NA ALLAH! Mtume(saw) amesema kuwa Mwenye kuhiji amedhaminiwa na Allah na ni mgeni wake.Tuyaweke maisha yetu katika udhamini wa Allah. Tulishaitwa sote tangu zama za Nabii Ibrahim(as) tukawe wageni wa Allah, na hakuna wito mwingine. Muda unakwisha Gharama zote kwa Hijja ni Dola 4,500. Umra ya Ramadhani ni Dola 2,300. Karibuni Ahlu Sunna Wal Jamaa kwa huduma nzuri na uongozi bora. Wasiliana nasi: Tanzania Bara: 0765462022;0782804480; 0717224437. Sami Osmakac. Russell Dennison. Dua maalum kufanyika Amani, Zanzibar kesho Masheikh kutoka Bara, Kenya kushiriki

ANNUUR 1169a.pdf

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: ANNUUR 1169a.pdf

ISSN 0856 - 3861 Na. 1169 JAMADIUL AWWAL 1436, IJUMAA , MACHI 20-26, 2015 BEI TShs 800/=, Kshs 50/=

Sauti ya Waislamufacebook: [email protected]

AHLU SUNNA WAL JAMAA HAJJ AND UMRA TRUST

Atoswa na kufungwa jela miaka 40Alishawishiwa Msikitini kuwa na AK-47Alisilimu jana, leo ni ‘Abu Jihad’ na Mufti…Wasiomfuata wote ‘makafiri’, wanafiki!!!

'SERIKALI' imekuwa na ushirikiano wa karibu na hata uhusiano wa Kibalozi na mamlaka ya VATICAN.

Mamlaka ya Vatican madhumini yake makuu

Tanzania sio nchi ya Kikatoliki…Japo kuna Ubalozi wa VaticanIweje OIC ni kusilimisha nchi?

PAPA Francis

Na Khalid S Gwiji ni kuendeleza na kutetea Ukatoliki.

C h a k u s h a n g a z a , 'Ser ikal i ' h iyo hiyo inakataa kujiunga na Umoja wa Nchi za Kiislamu (OIC), kwa hoja kwamba umoja huo una

Inaendelea Uk. 4

IMEELEZWA kuwa kumekuwa na hali ya taharuki miongoni mwa wapiganaji wa IS hasa Waislamu waliotoka makwao wakiamini kuwa wanapigana Jihad ya kweli, baada ya kusambaa habari kuwa kiongozi wao punde atawatangazia kuondoka mji wa Mosoul.

Habari zilizozagaa miongoni mwa wapiganaji hao mapema wiki hii zinafahamisha kuwa 'Abu Baker al-Baghdadi', amedai kuwa amekutana na Mtume (s.a.w)

'Abu Bakr al-Baghdadi'adai kukutana na Mtume

Siri za Jihad ya IS zazidi kufichukaFilamu ya Boko Haram nayo yanoga

Na Mwandishi Wetu

Inaendelea Uk. 10

Soma Uk. 3

WATUHUMIWA wa kesi ya ugaidi walipofikishwa Mahakamani Jumatano wiki hii. Mawakili wa watuhumiwa hao wameeleza wengi wa watuhumiwa hao ni wagonjwa. Habari kamili Uk. 8

(3) HIJI UDHAMINIWE NA ALLAH!Mtume(saw) amesema kuwa Mwenye kuhiji amedhaminiwa na Allah na ni mgeni wake.Tuyaweke maisha yetu katika udhamini wa Allah. Tulishaitwa sote tangu zama za Nabii Ibrahim(as) tukawe wageni wa Allah, na hakuna wito mwingine. Muda unakwisha Gharama zote kwa Hijja ni Dola 4,500. Umra ya Ramadhani ni Dola 2,300. Karibuni Ahlu Sunna Wal Jamaa kwa huduma nzuri na uongozi bora. Wasiliana nasi: Tanzania Bara: 0765462022;0782804480; 0717224437.

Sami Osmakac.Russell Dennison.

Dua maalum kufanyika Amani, Zanzibar kesho

Masheikh kutoka Bara, Kenya kushiriki

Page 2: ANNUUR 1169a.pdf

2 AN-NUURJAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 20-26, 2015

AN-NUUR S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM. www.annuurpapers.co.tz E-mail: [email protected]

Ofisi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House, barabara ya Morogoro, D'Salaam

Tahariri

Inawaomba Waislamu wote na wapenda amani wote waichangie kamati ili iweze kupeleka misaada mbali mbali Magerezani, pamoja na kuwahudumia Masheikh wetu waliopo Magerezani wakiwemo Sheikh Farid, Sheikh Mselem na wengineo walioko Gereza la Segerea. Toa kile ulicho jaaliwa na muumba wako na Mwenyezi Mungu atakulipa ziada ya ulicho toa.

Namba za kuchangia ni Nne.1. Tigo Pesa - 0655 - 745 2882. M-Pesa - 0767 -745 2883. Airtel- Money 0789 - 745 2884. Ezy – Pesa 0774 -745 288

Namba za Wanakamati

1. 0655- 2412702. 0784- 8160403. 0713- 7239894. 0713- 776518

Toa ulichonacho kwa ajili ya Allah, na Allah ndio mlipaji wa kila jambo.

Ally MbarukuKatibu Kamati ya Maafa.

KAMATI YA MAAFA SHURA YA MAIMAMU TANZANIA

GAZETI la Mwananchi la Ijumaa Machi 13, 2015 liliarifu kuwa Aprili mwaka jana, raia 20 wa Yemen walikutwa v i c h a k a n i a l f a j i r i w i l a y a n i S a m e n a kwamba walipohojiwa na kiongozi mmoja wa kisiasa, walidai kuwa wamekuja kufundisha Dini.

Katika habari ya ile kadhia ya watoto 18 waliokutwa katika nyumba moja Pasua, wandishi wa gazeti hilo Daniel Mjema n a R e h e m a M a t o w o wakaongeza kuwa Polisi walikuta vijana wadogo kutoka Singida, Babati na Kondoa, katika Msikiti mmoja uliopo Kibosho wakifundishwa mbinu za kupigana.

Katika mwanzo wa habari hiyo, wandishi hao wanaari fu kuwa imebainika kuwa baadhi ya Misikiti katika maeneo ya Pasua, Njoro na Kibosho inaendesha mafunzo ya judo na kareti.

Tuliwahi kupata habari miaka ya nyuma kuwa watu waliojitambulisha k u w a n i w a k a g u z i kutoka Wizara ya Elimu walifika Shule ya Kiislamu U b u n g o n a k u f a n ya ukaguzi (uchunguzi) wa kushtukiza. Mwisho w a u k a g u z i w a o wakamwambia Mkuu wa Shule hiyo kuwa walikuwa na taarifa kuwa shuleni hapo kuna handaki la kuficha silaha.

“Sasa mmeziona?” A l i u l i z a M k u u w a Shule ambapo watu hao wali j ibu kuwa habari hizo zingekuwa za kweli, wasingekuwa wanaongea naye hapo wakati huo.

Lakini pia zil iwahi kuvumishwa taarifa kuwa katika shule nyingine ya Kiislamu, Kirinjiko Same, kumekuwa kukiingia malori yaliyosheheni majambia ya kufanyia mazoezi. Nini lengo la kuvumisha uwongo na propaganda kama hizi, si lengo la maoni haya.

‘Magaidi 20’ kutoka Yemen wapo kituo gani cha Polisi?

Tunadokoa tu ili kuona kuwa haya yanayosemwa na Mwananchi si mageni.

Mchezo wa karate na judo haujapigwa marufuku hapa nchini. Lakini zipo taarifa kuwa shule moja ya Kiislamu jijini Mwanza imekuwa ikisakamwa kwa nini wanafunzi wake wanachukua mazoezi ya karate ikafikia mahali wa k a p e wa m a s h a r i t i kuwa wawe na mwalimu anayetambulika kiserikali. Wakafanya hivyo.

Raia wa Yemen kuja nchini hapa, hata kama watakuja kundi la watu 1000, sio kosa wala dhambi kwa mujibu wa sheria za nchi, bali inahimizwa kwani nchi itaingiza pesa kupitia mfuko wa Utalii. Wala haijawa kosa kwa raia wa Yemen kutembea kichakani Same au kuja nchini kufundisha dini. K o s a l i t a k u wa k a m a ameingia bila ya Hati ya Kusafiria au kufanya kazi bila kibali.

L a k i n i m w a n d i s h i Daniel Mjema, ameweka aya hiyo kuwa “raia 20 kutoka Yemen wamekutwa wakitembea kichakani” kujenga picha kuwa hao ni magaidi.

Labda tuulize, baada ya kukutwa kichakani w a l i k a m a t w a n a kupelekwa kituo gani cha Polisi au walihukumiwa adhabu gani?

Na ndio hivyo hivyo anaposema kuwa baadhi ya Misikiti ya Pasua, Njoro na Kibosho, inafundisha kareti na judo. Au pale aliposema kuwa watoto wadogo wanafundishwa mbinu za mapigano.

Katika kadhia ya watoto Moshi kama ambavyo gazeti hili limefuatilia hadi kufika kwa nyumba husika na kuongea na baadhi ya watoto na wazazi wao na pia kwa mujibu wa mashi taka ya l iyo mahakamani, matatizo ya p o k a t i k a m a e n e o matatu.

Kwanza kweka watoto wengi mahali ambapo sio

shule rasmi wala bweni/hosteli inayotambulika na inayokidhi mashariti. Pili, baadhi ya watoto kuwepo katika madrasa hiyo na wakiwa hawaendi shule. Kuwepo madai kuwa baadhi ya watoto walipigwa/kufanyishwa kazi (mtoto Osama Ayubu) mpaka wakajeruhiwa.

K w a u p a n d e w a Kituo cha Umm Sukhail, iliamriwa kifungwe mara moja mpaka kitakapopata usajili kwa mujibu wa sheria.

Ama kwa wale watoto waliokutwa Pasua, kesi i l iyo mahakamani n i kuwazuiya watoto hao haki yao ya kupata elimu kwa vile kuna baadhi ya watoto wapo hapo ambao walitakiwa kuwa shule ya msingi, lakini hawasomi. Hiyo ndio hali ya kadhia ya watoto Moshi.

Yapo mambo kadhaa ya kuzingat ia kat ika taarifa hii ya Mwananchi na mengine tuliyoyataja hapa ukijumlisha na lile la kukamatwa ‘Waarabu kule Arusha katika utaratibu tu wa kawaida’ baada ya tukio la Bomu katika Kanisa la Mtakatifu Josefu Mfanyakazi.

L a k w a n z a n a muhimu kwa Waislamu ni kujitambua wanaishi k a t i k a n c h i g a n i n a katika mazingira gani. Ukikamatwa leo ukifanya mazoezi ya kareti msikitini au darasani katika shule ya Kiislamu, sio kosa kwa mujibu wa sheria za nchi hii. Lakini la kuzingatia hapa ni kuwa tunaishi na akina Mjema ambao kwao sio tatizo kuonekana ‘Msabato’ kutoka Ulaya au Mkatoliki kutoka Roma, akitembea katika mitaa ya Same, bali inakuwa balaa kubwa inapokuwa ni ‘Wahindi wa Jaula’ (Tabligh) wakitoka Msikiti Mkuu wa Ijumaa Same wakielekea Kavambughu kwa miguu.

Tunaishi na Watanzania wenzetu ambao kwao ni bora kulipa mamilioni ya shilingi kama ‘Capacity Charge’ kwa Symbion kila siku iendayo kwa Mungu, kuliko kununua mitambo yetu kutoka kwa ‘Sheikh’ BRIGEDIA Jenerali mstaafu, Suleiman Mohammed Yahya Al Adawi. Mitambo hiyo hiyo ya ‘Sheikh’ ikinunuliwa na Mmarekani akatulaungua umeme na kututia kitanzi cha kumtegemea kwa nishati hiyo muhimu kwa nchi, wanaoba bora kuliko tungenunua sisi mtambo huo kutoka kwa ‘Sheikh’ Al Adawi ukawa wetu!

Hilo ni lazima Waislamu walizingatie wakitathmini v izur i madhai fu yao ikilinganishwa na nguvu na mamlaka waliyo nayo akina ‘Daniel ’ kat ika mambo ya nchi.

Katika hilo, lipo jambo

jingine la msingi. Labda tujiulize, inakuwaje mzazi umtoe mtoto wako mdogo wa miaka 5 hadi 10 anakaa kwa mtu na si peke yake wamelundikwa wengi, kwa hoja kuwa anasoma dini!

I k i wa n i s h u l e ya bweni, inajulikana na ina taratibu zake. Lazima hapa tukiri kuwa kumekuwa na madhaifu makubwa m i o n g o n i m w e t u . Tu n a j i e n d e a t u b i l a mpangilio.

K w a j i n s i k a d h i a h i i ya watoto Moshi ilivyoripotiwa, kutiwa chumvi na kupambwa na vyombo vya habari, katika hali ya kawaida ilitarajiwa kuwa labda Masheikh wa Mkoa wa Kilimanjaro au Maimamu wa Misikiti, wangefanya juhudi kujua nini hasa kimetokea. Ukweli ni upi na uzushi ni upi. Lakini hadi Jumatatu ya wik i h i i , k imyaa ! Hakuna kilichofanyika. Hii pia inaonyesha udhaifu mkubwa kwetu Waislamu.

L a i t i M a s h e i k h n a viongozi wa Kiislamu wangefanya juhudi hiyo, bila shaka wangeweza hata kusaidia kutoa ushauri mzuri kwa watuhumiwa ambao hivi sasa wana kesi ya kujibu mahakamani. Lakini bila kujua ukweli, w a t a s h a u r i n i n i a u watawasaidiaje?

Moja ya habari katika toleo hili inaeleza jinsi mtu moja al iyesi l imu kule Marekani alivyomtia matatani kijana Sami hadi kupatikana na hatia ya ugaidi na kufungwa jela miaka 40. Katika kesi inayowakabi l i Abe id Karata na Aisha William Mgidange, wawili hao

wanatuhumiwa kuwa wamewanyima baadhi ya watoto waliokuwa wakiwahifadhi haki yao ya kupata elimu ya msingi kwa mujibu wa sheria.

Japo hakuna uhakika k u w a w a l i c h o k u w a wakifundishwa ni pamoja na kuharamishwa elimu, lakini kuwepo kwa shitaka hilo, ni kielelezo kuwa kuna tuhuma kuwa kulikuwa na watoto wa umri wa kwenda shule ambao walikuwa hawasomi.

Laiti Masheikh wetu wa Mkoa wangelifuatilia jambo hili kwa undani, hapana shaka wangepata ukweli na wangeweza kuwashauri vizuri wazazi na hata watuhumiwa.

Lakini jambo jingine ambalo ni muhimu pia ku l iz ingt ia n i kuwa, katika mazingira haya ya kufanya mambo kiholela, tujue kwamba wakitokezea a k i n a “A m i r J o n e s ” watatupandikizia mambo ya kutuangamiza tukiwa hatuna habari.

La mwisho ni kuwa haitasaidia sana kama japo tukiwa na nia njema ya kufichua uovu na kwa lengo la kunusuru amani ya nchi, tutachanganya na propaganda, chuki na uwongo.

A m a n i ya n c h i h i i i t a d u m i s h w a k w a kupatikana taarifa sahihi z a k i i n t e l i j e n s i a n a kufanyiwa kazi kitaalamu. Sio hizi projo za ‘Wayemeni vichakani’ na kuchafuana kwa uzushi wa malori ya majambia na mahandaki ya kuhifadhia AK-47.

Page 3: ANNUUR 1169a.pdf

3 AN-NUURJAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 20-26, 2015Habari

Maaskofu acheni kutukana WaislamuNa Mwandishi Wetu

TAASISI ya Masheikh na Wanazuoni wa Kiislamu Tanzania imewataka maaskofu kuzingatia wajibu wao kiimani na kiroho na wasiwe wa mwanzo kuleta ubaguzi na utengano nchini.

“ M a a s k o f u wamejisahau”, wamesema Masheikh hao wakionyesha kuwa Maaskofu hivi sasa wameamua kutoa faraja kwa waumini wao kwa kuzingatia utashi wa kisiasa.

Wa m e ya s e m a h a y o katika Tamko lao kufuatia Tamko la Maaskofu la tarehe 10 Machi 2015, liliotolewa kwa kutumia “mwamvuli” wa Jukwaa la Wakristo Tanzania (T.C.F) kuhusu Katiba inayopendekezwa, Mahakama ya Kadhi na Hali ya Usalama na Amani ya Nchi.

Taasisi hiyo ya Masheikh na Wanazuoni wa Kiislamu Tanzania imesema kuwa walichogundua ni kuwa “Maaskofu wameamua kutumia msukumo wa k i i m a n i p a m o j a n a kuzitumia nyumba zao za ibada kuwazui l i a Waislamu wasipate haki yao ya kuwa na Mahakama ya Kadhi.”

Aidha, katika kufanya hivyo, wamewatukana Waislamu kwa kauli yao ya “Waislamu kupewa rushwa” ili kufanikisha mchak ato wa Kat ib a inayopendekezwa.

Katika kikao chao cha Jumanne wiki hii tarehe 17 Machi 2015, Masheikh w a m e w a t u h u m u “Maaskofu kuanzisha utamaduni mpya wa kuyaendea mambo ya kisiasa kwa misingi ya kiimani na hivyo kutoa t i s h i o l a k u wa g a wa Watanzania kwa misingi” ya dini.

Juu ya suala la Mahakama ya K a d h i , M a s h e i k h wamewataka Maaskofu kuwa wavumilivu kwani “Serikali ni ya Watanzania wote” na si yao peke yao kwamba kila walitakalo wao ndio liwe hata kama linavunja haki za wengine.

Aidha wakasema kuwa

“Taasisi ya Masheikh na Wanazuoni wa Kiislamu Tanzania imesikitishwa sana na Tamko la Maaskofu l i l i l o w a d h a l i l i s h a Waislamu kwa kudai kuwa wamepewa “rushwa ya Mahakama ya Kadhi”.

Na kwamba madai kama hayo “yanaonesha dharau, kiburi na kutowaheshimu Waislamu, jambo ambalo lina athari mbaya kwa m a h u s i a n o b a i n a ya Waislamu na Wakristo nchini.”

“Suala la Mahakama ya Kadhi n i haki ya Waislamu na haliwahusu wala halihitaji ridhaa ya wasiokuwa Waislamu kama ambavyo Waislamu hawajapata kuombwa ridhaa yao katika yale ambayo Serikali imekuwa ikiwafanyia Wakristo na makanisa yao.” Limesema Tamko hilo la Masheikh.

A i d h a M a s h e i k h wakasema kuwa wanapinga vikali “madai ya Maaskofu kuwa Waislamu kuwa na mahakama ya kadhi ni uvunjifu wa Katiba.”

Wakifafanua wakasema, “Sheria za Kiislamu ni moja ya vyanzo vya Sheria ya Tanzania kama ilivyo kwa “Common Law o f England” na ndio maana Mahakama za Tanzania zimekuwa zikizitumia sheria hizo kuhukumu kesi za Waislamu kuhusu Ndoa, Talaka, Mirathi na kadhalika toka mwaka 1963 ilipopitishwa Sheria ya Mahakama za Mahakimu (Magistrates Courts Act) ya mwaka 1963, kufuatiwa na Sheria ya Tamko la Sheria ya Kiislamu ya mwaka 1964 (The Islamic Law (Restatement) Act of 1964) na kuhitimishwa na Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971.”

Katika ufafanuzi wao wakaonyesha kuwa katika utaratibu wa sasa ambapo hakuna Mahakama ya Kadhi, kesi za Waislamu katika ndoa, talaka na mirathi “zinahukumiwa na Mahakimu wasio na elimu wala ujuzi na sifa za kuwa Makadhi kwa mujibu wa Sheria za Kiislamu na ndio msingi wa Waislamu kudai uwepo wa Mahakama ya Kadhi Tanzania Bara.”

Kat ika kuhi t imisha nasaha zao, Taasisi ya

Masheikh na Wanazuoni wa Kiislamu Tanzania i k a w a k u m b u s h a Maaskofu “kuzingatia k u w a m a d h a r a y a kuwagawa Watanzania kwa misingi ya kiimani, dhambi yake haitoishia k we n ye k a d h i a ya Mahakama ya Kadhi…, bali itaendelea kukita mizizi yake katika kila jambo linalowahusu

Dua maalum kufanyika Amani, Zanzibar kesho

Watanzania.”Na kwa hiyo sio jambo

la kuchukuliwa kishabiki wala kufanyiwa mzaha.

T a m k o h i l o lililosainiwa na Katibu Mkuu wa Taasisi hiyo, Sheikh Khamis Saidi Mataka, l inawataka Watanzania kutimiza w a j i b u w a o k a m a wazalendo wa nchi hii kwa kutoa ushirikiano na

vyombo vya dola katika kukomesha mauwaji ya walemavu wa ngozi na kukabiliana na viashiria vya ugaidi.

Aidha, akasema kuwa ni katika uhuru na haki ya kila Mtanzania kupitia Katiba Inayopendekezwa na kuchukua maamuzi b i n a f s i b i l a y a kushinikizwa na mtu mwingine.

JUMUIYA ya Baraza l a M a u l i d T o m o n d o imeandaa dua maalumu ya kuiombea nchi amani, itakayofanyika siku ya Ijumaa Machi 21 mwaka huu, visiwani Zanzibar.

Dua h iyo ambayo itaongozwa na Ustadhi Fadhil Juma Ayoub na Sheikh Ali Bakari Khamis itafanyika katika uwanja wa Amaan mjini hapa kuanzia saa 1:00 za jioni hadi saa 5:00 usiku.

A k i z u n g u m z a n a waandishi wa habar i jana , Mwenyeki t i wa Jumuiya hiyo Sheikh Saleh Mohammed Hassan alisema kuwa Jumuiya yao imeamuwa kufanya dua hiyo kwa matarajio ya upigaji kura ya maoni

Na Mwandish Wetu, Zanzibar

Aprili na uchaguzi Mkuu wa Oktoba.

Alisema kuwa Jumuiya yao imeamua kufanya dua hiyo kutokana na kuwepo kwa viashiria mbali mbali vya uvunjifu wa amani.

Hivyo alisema kuwa dua hiyo itaenda sambasamba na kusomwa kwa Maulidi ya Mtume Mohammad (S.A.W) ambaye ni Rehma kwa walimwengu wote.

A k a o n g e z a k u wa dua hiyo ina lengo pia la kuwaweka pamoja Waislamu, Wazanzibari n a Wa t a n z a n i a w o t e k wa u j u m l a a m b a p o i t a h u d h u r i w a n a wanazuoni mbali mbali ndani na nje ya Zanzibar.

Hata hivyo alisema kuwa, dua hiyo itawashirikisha wanaume pekee na mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Mufti Mkuu wa Zanzibar,

Sheikh Saleh Omar Kaabi. Alifahamisha kwamba

wameamuwa kuweka hivyo ili kuweza kuepuka mchanganyiko baina ya wanaume na wanawake ila watafanya taratibu akina mama nao waweze k u p a t a y a t a k a y o j i r i kupitia vyombo vya habari ambavyo vitatangaza moja kwa moja.

M i o n g o n i m w a Masheikhe mashuhuri wanaotarajiwa kuwepo katika dua hiyo ni pamoja na Ustadhi Said Mwinyi Baba kutoka Kenya, Sheikh Said Ali Hassan wa Gongoni Kenya, Alhaj Mussa kutoka Dar es Salaam, Sheikh Hassan Hudhaima wa Tanga, Sheikh Juma kutoka Kigoma na Sheikh Yussuf wa Kilosa, Morogoro.

SHEIKH Mohammed Idd, Mjumbe wa Taasisi ya Masheikh na Wanazuoni wa Kiislamu Tanzania.

Page 4: ANNUUR 1169a.pdf

4 AN-NUURJAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 20-26, 2015Makala

Tanzania sio nchi ya Kikatoliki…malengo ya kuendeleza Uislamu.

Ni kweli kuwa 'Serikali' haistahili kuwa na dini kwa vile 'Katiba' hairuhusu 'Serkali' ifungamane na dini yo yote, bali ni rai tu wanaostahili. Jambo hilo l imewekwa wazi katika 'Katiba', ibara ya 19 kifungu cha 1-3 ambako inadhamini na inawapa haki na uhuru kamili wa kuabudu.

Katika vita baridi kati ya nchi za Mashariki na Magharibi, 'Serikali' i l i amua ku j iunga na harakati za Umoja wa Nchi Zisizofungamana na Upande Wo wote (Non Alignment Movement). Wakati ule, lengo lilikuwa ni kuipat ia 'Ser ikal i ' mamlaka ya kutafuta na kuchagua mambo mema ya kujihusisha nayo katika mirengo yote miwili. Wala lengo halikuwa kuinyima 'Serikali' mamlaka hayo, au kuzuia isijihusishe kabisa na mrengo wo wote.

Kama kutofungamana n a m r e n g o w o w o t e k u l i m a a n i s h a KUJIHUSISHA na mirengo yote; kwanini 'Serikali' kutokufungamana na dini yo yote kusimaanishe kujihusisha na dini zote?

Kisha je, ni tatizo kweli 'Serikali' kujihusisha na dini zote? Kujihusisha na dini zote SAWA SAWA hakuonekani kuwa ni tatizo; kama ambavyo hakuonekani ni tatizo

Inatoka Uk. 1

PAPA Franciskutozihusisha zote. Bali matatizo pekee yaliyopo na ambayo 'Ser ikal i ' imebainika kuwa nayo, ni yale ya kutokuwa na ms imamo thab i t i wala UADILIFU katika uhusiano wake na dini tofauti.

K a m a , k w a kutofungamana na dini yo yote, 'Serikali' inamanisha kutojihusisha na kabisa na masuala yote au yo yote ya dini; iweje tena inawaapisha viongozi

wake wakuu kwa kutumia Qur' an au Biblia? Mbali na hilo, inatoa misamaha ya kodi kwa Makanisa na Misikiti? Inazikubali sikukuu za Eid na Chrismas na inawaalika Mapadri na Mashekhe kuomba dua katika majukwaa ya siasa? 'Serikali' itafanyaje mambo yote hayo kisha idai kwamba haina dini?

Ni dhahiri kwamba 'Serikali' inajihusisha na dini, tena zote takriban; ila sio siri pia kwamba

INAPENDELEA dini moja kuliko nyengine. Ndipo ikaondoa Mahakama ya Kadhi Bara na ikakataa kuirejesha.

Hata Wakoloni ambao walikuwa ni Wakristo, WALIIKUTA Mahakama ya Kadhi waka iacha iendelee pamoja na ile ya kwao; na kwa kufanya h i v y o , S e r i k a l i ya o haikugeuka kuwa ni ya Kiislamu. Wala haikuwa ni ya Kikristo, Serikali ya Sultan iliyotangulia

kuruhusu Wakristo kuwa na Mahakama yao kwa kutambua kwamba wao hawapaswi kuhukumiwa na Mahakama ya Kadhi.

"Serikali' ya UHURU ndio pekee iliyothubutu na kuamua kuiondoa Mahakama ya Kadhi jambo ambalo hata Nchi jirani kama Kenya na Uganda, ambazo zina Waislamu wachache, hazikuthubutu kufanya hivyo.

Katika Mambo ya Nje pia, 'Serikali' imekuwa na ushirikiano wa karibu na hata uhusiano wa Kibalozi na mamlaka ya VATICAN; mamlaka ambayo madhumini yake makuu ni kuendeleza na kutetea dini ya Kikristo hasa Ukatoliki.

Tangu mwaka 1961, ' S e r i k a l i ' i m e k u w a ikitambua pamoja na kukubali uwakilishi wa Vatican ndani ya Tanzania inayodiwa kuwa 'Serikali' yake haina dini; yaani secular. Aidha, imejiunga na Umoja wa Jumuia ya Madola; umoja ambao kiongozi wake wa kudumu ni Mkristo.

C h a k u s h a n g a z a , ' S e r i k a l i ' h i y o h i y o inakataa kujiunga na U m o j a w a N c h i z a Kiislamu (OIC) kwa hoja kwamba umoja huo una malengo ya kuendeleza Uislamu. Iko wapi haki na uadilifu hapa? Uko wapi "MSIMAMO' wa 'Serikali"?!

K a t i k a h a l i h i i , w a s i o k u w a n a d i n i wanaonekana ni raia, na si wengine ila ni Waislamu.

SUALA la kuanzishwa/kurudishwa Mahakama ya Kadhi kwa upande wa Bara lilifikia mahali na kuwa ni “bargaining chip” waliyokwenda nayo CCM kwa Waislamu kupitia ilani (manifesto) yao ya uchaguzi wa 2005. Ilani hiyo katika “chapter 8, paragraph 108 (b) inasomeka:

“Kulipatia ufumbuzi suala la kuanzishwa kwa Mahakama ya Kadhi Tanzania Bara”.

Baadhi ya Wanasheria wa Kikristo wamekuwa wakikifafanua kipengele h i c h i k w a k u s e m a kuwa neno “kulipatia ufumbuzi” (finding a solution) halimaanishi kuwa ni lazima ianzishwe Mahakama ya Kadhi;

Mahakama ya Kadhi ni haki ya KikatibaNa Khalid Said Gwiji

AMIR wa Baraza Kuu la Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini Sheikh Musa Kundecha.

bali kwao wao, kulijadili suala hili, ni ufumbuzi t o s h a h a t a b i l a y a kuanzishwa kwake. Sisi, tuna mawazo mbadala. K we t u , “ k e y w o r d ” hapa ni KUANZISHWA na si ufumbuzi kama wanavyodai wao.

Ufumbuzi wo wote utakaopatikana uendane n a k u a n z i s h wa k wa Mahakama hizi na si vyenginevyo kutokana n a u k w e l i k w a m b a Mahakama hizi zilikuwepo Bara hata kabla ya Uhuru, yaani wakati wa Ukoloni na miaka ya mwanzoni ya Uhuru na kuondolewa kinyemela na utawala wa Serikali ya awamu ya kwanza. Ufumbuzi h a p a h a u t a k u w a n a m a a n a z a i d i y a kuzianzisha/kuzirudisha maana zilikuwepo na

zikaondolewa kwa hadaa na ghilba.

Aidha, uhalali mwengine wa dai hili unatokana na ukweli kwamba, CCM walizihita j ia kura za Waislamu ambazo ni nyingi na ambazo wao wal iamini n i “swing votes” ili ziwasaidie katika kushinda uchaguzi, hasa ule wa rais wa Muungano. Ndipo Mzee Kingunge Ngombale Mwiru na w e n z i w e wa k a a m u a k u l i w e k a s u a l a l a Mahakama ya Kadhi ndani ya ilani yao ya uchaguzi kama ni ahadi na deni wanalolazimika kulilipa k wa Wa i s l a m u k wa kuzianzisha/kuzirudisha Mahakama hizo ndani ya miaka yao mitano ya awamu ya kwanza ya Rais Jakaya Mrisho Kikwete.

Inaendelea Uk. 5

Page 5: ANNUUR 1169a.pdf

5 AN-NUURJAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 20-26, 2015Habari za Kimataifa/Makala

MAHAKAMA moja ya Misri Jumatatu wiki hii ilitoa hukumu ya kifo kwa kiongozi wa kundi la Muslim Brotherhood Bw. Mohamed Badie na wafuasi wengine 13 wa kundi hilo.

H u k u m u h i y o i l i w a s i l i s h w a n a mahakama ya makosa ya jinai ya Cairo kwa Mufti Mkuu, ambaye maoni yake yanachukuliwa kuwa ni utaratibu rasmi.

Hata hivyo, hukuma h i y o a m b a y o b a d o inaweza kukatiwa rufaa, itatangazwa rasmi tarehe 11 Aprili.

Kiongozi huyo wa kundi la Muslim Brotherhood na watuhumiwa wengine, w a l i k a m a t w a n a kushitakiwa wakidaiwa kuendesha ofisi ya uongozi inayotoa amri kwa wafuasi wa kundi hilo kufanya mashambulizi dhidi ya jeshi na kuchochea vurugu baada ya kutawanywa kwa waandamanaji mjini Ca i ro mwezi Agost i mwezi 2013. (cri.cn).

WAZIRI wa Mambo ya Nje wa Marekani, John Kerry, hatimaye ametangaza kwamba Marekani itajadili na Rais wa Syria, Bashar Al Assad, kuhusu serikali ya mpito nchini Syria.

Kwa muda mrefu tangu kuibuka machafukio nchini Syria, Marekani imekuwa ikisema kwamba Rais Assad, amepoteza uhalali wa mamlaka yake na kwamba anatakiwa kuondoka madarakani.

K a t i k a m a h o j i a n o yaliyorushwa hewani kwenye televisheni CBS Jumapili Machi 15, ikiwa ni miaka minne baada ya kuanza kwa mgogoro wa Syria, Bw. John Kerry, ameonesha msimamo wa utawala wa Marekani, lakini sasa amenukuliwa akisema, " Tutajadili tu".

Waziri huyo wa Mambo ya Nje wa Marekani amesema kuwa walitaka kujadili suala hilo la k u z u n g m z a n a R a i s Bashar katika mfumo wa mchakato wa Geneva.

Marekani imeonekana kupunguza msimamo wa k e d h i d i ya R a i s Bashar Al Assad, kufuatia kuongezeka kwa mapigano yanayoendeshwa na kundi la wapiganaji wa Dola la Kiislamu.

John Kerry ameeleza kuwa pia nchi nyingine zilikuwa zikitafakari njia ya kuzindua mchakato wa k i d i p l o m a s i a i l i kukomesha vita.

"Ili kushawishi utawala

Hatimaye Marekani yataka mazungumzo na Rais Assad

WAZIRI wa Mambo ya Nje wa Marekani, John Kerry.w a A s s a d k u j a d i l i , tunapaswa kumueleza wazi kwamba sote tuna nia ya kutafuta ufumbuzi wa kisiasa na kubadili hesabu zake juu ya mazungumzo", alielezea Bw. Kerry.

Mara kadhaa Marekani imekuwa ikitumia nguvu ili kumshinikiza Assad kushiriki mazungumzo na upinzani ikiwa nihatua za kutaka kumalizwa mzozo wa Syria, lakini kwa yakini kusudio likiwa ni kumwondoa Rais Assad Madarakani.

M a z u n g u m z o ya l i y o f a n y i k a m j i n i Geneva mwaka jana kati ya serikali ya Syria na wawakilishi wa upinzani yalishindikana. Tangu wakati huo, hakukuwa na mkutano wowote uliopangwa kufanyika.

Hata hivyo Rais Bashar siku za hivi karibuni, alinukuliwa akisema kuwa ni jambo la hatari kufanya mazungumzo na taifa hilo aliloliita kuwa ni “ndumila kuwili”. (RFI).

S H I R I K A l a A f y a D u n i a n i - W H O , limetangaza takwimu rasmi za watu waliokufa kutokana na ugonjwa wa ebola katika mataifa ya Afrika Magharibi.

K w a m u j i b u w a takwimu hizo, zaidi ya watu 10,000 wamethibitika kupoteza maisha tofauti na ilivyokuwa ikiripotiwa a wa l i k wa m b a v i f o vilivyotokana na ugonjwa huo katika mataifa hayo vilikuwa chini ya 10,000.

Shirika hilo limebainisha kwamba Liberia ndiyo i n a o n g o z a a m b a p o watu 4,162 wamekufa, ikifuatiwa kwa karibu na Sierra Leone, iliyokumbwa na vifo 3,655, huku watu 2,187 wakiwa wamekufa nchini Guinea.

Vifo vingine vimetokea nchini Mali, Marekani na Nigeria, nchi ambazo tayari zimeshatangazwa kutokuwa na maambukizi mapya ya ebola kwa sasa, ingawa ugonjwa huo umeendelea kuenea nchini Guinea na Sierra Leone.

Mahakama Misri yamhukumu Mohamed Badie kifo

Waliokufa kwa ebola ni zaidi ya 10,000-WHO

Mahakama ya Kadhi ni haki ya KikatibaInatoka Uk. 4

K w a m a s i k i t i k o m a k u b wa , C C M B a r a baada ya kupata muradi wake, haikuwa tena ni “ w i n - w i n s i t u a t i o n ” kama walivyokubaliana na Waislamu; bali ikawa ni “win-lose si tuation” k w a m b a W a i s l a m u hawakupata muradi wao kama walivyoahidiwa.

Hata hivyo, bado Waislamu Bara ni wengi kama ambavyo bado na CCM inazihitajia kura hizo kwa uhai wake. Pamoja na kuchelewa kwake

CCM kuitimiza ahadi ile, bado muda upo. Muhimu ni kuamua, na wakishaamua kusimamia utekelezaji wa hayo maamuzi yakiongozwa na nia njema, haki na uadilfu.

Wais lamu tunaamini kuwa kuna sababu za msingi na za maana za kuwadaia Waislamu wenzetu wa Bara kuanzishwa/kurudishwa kwa hizi Mahakama za Kadhi:

Moja, ni kutekeleza Sheria za Mwenyezi Mungu (SW). Uislamu ni mfumo kamili wa maisha, na hivyo, una sheria zake kamili ambazo

Waislamu wote wanapaswa na kuwajibika kuzifuata. Qur an, katika Sura ya 5 aya ya 44, inaeleza wazi kwamba, kutokuhukumu kwa Sheria za Mwenyezi Mungu (SW) k u n a m t o a m t u k a t i k a Uislamu. Na ili kuhukumu kwa Sheria hizo kiuadilifu na inavyostahiki, kunahitaji kuwa na Mahakama za Kadhi.

Pili, kufuata Katiba ya nchi. Katiba ya Tanzania inadhamini uhuru wa imani na ibada katika ibara ya 19, kifungu cha 1-3. Kwa hiyo, Kikatiba, Waumini

wa Tanzania wana haki ya kuabudu, na Serikali inawajibu wa kudhamini pamoja na kuandaa mazingira ya kuwawezesha Waumini kufanya hivyo. Kuabudu Kiislamu kunamaanisha kufuata maamrisho yote ya dini, ikiwa ni pamoja na kufuata Sheria za dini hiyo ambazo utendaji wake ni lazima usimamiwe na Mahakama za Kadhi.

Tatu, uwiano na nchi jirani. Mahakama za kadhi zinaruhusiwa Zanzibar lakini haziruhusiwi Bara; jambo ambalo linamfanya

mtu ajiulize: Kama Zanzibar zinafaa kwa kuwa kuna Waislamu wengi, kwanini Bara zisifae ambako pia kuna Waislamu wengi? Bali hata Kenya na Uganda, ambako Waislamu ni wachache, bado Mahakama hizi ziko. Kuondoa dosari hii na kuleta uwiano sahihi kunataka M a h a k a m a z a K a d h i ziruhusiwe Bara.

N n e , k u i m a r i s h a d e m o k r a s i a . K u h u s u M a h a k a m a y a K a d h i zifanye kazi sambamba

Inaendelea Uk. 9

Page 6: ANNUUR 1169a.pdf

6 AN-NUURJAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 20-26, 2015Habari/Tangazo

H i f a d h i y a Wanyamapori Selous, TANZANIA.

JUMATATU wiki hii, Balozi Mark Childress alikuwa katika Hifadhi ya Wanyamapori ya Selous akishuhudia mafunzo yanayotolewa na Askari wa Majini na Nchi Kavu wa Jeshi la Marekani kwa Askari w a Wa n y a m a p o r i wapatao 50 kat ika hifadhi hiyo.

M a f u n z o h a y a yatakayochukua mwezi m m o j a , ya n a l e n g a kuwawezesha askari hao wa wanyamapori kupambana kikamilifu na vitendo vya kihalifu katika hifadhi hiyo.

W a k u f u n z i w a Kimarekani wanaotoka katika kikosi maalumu cha askari wa miguu, wanamaji na wanaanga cha kukabil iana na Majanga Barani Afrika wanasaidia kuwajengea u w e z o a s k a r i w a wa n ya m a p o r i k wa kuwafundisha mbinu za medani wakiwa katika kikundi kidogo (small unit tactics), mbinu za doria, operesheni nyakati za usiku na masuala ya lojistiki ili kuongeza ufanisi wao katika hifadhi.

Katika ziara yake hiyo, Balozi Childress alishuhudia mafunzo ya darasani na yale ya vitendo kuhusu mbinu za doria.

A i d h a , a l i e l e z e a k u h u s u s i f a n z u r i a m b a z o wa n a j e s h i w a K i m a r e k a n i wamejijengea nchini Marekani na ushirikiano wao wenye mafanikio na Askari wa Wanyamapori wa Kitanzania.

A l i e l e z e a kufurahishwa kwake n a j i n s i m a f u n z o h a y o ya l i v y o k u wa y a k i e n d e s h w a n a kusisitizia dhamira ya dhati ya Marekani ya kuwasaidia askari wa wanyamapori katika jitihada za kudhibiti usafirishaji haramu wa maliasili hii.

Baada ya awamu hii ya mafunzo kukamilika, w a k u f u n z i w a Kimarekani watarejea tena Tanzania kwa awamu nyingine ya

Askari wa Marekani watoa mafunzo kwa Askari wa Wanyamapori Selous

Baraza kuu la wanawake wa kiislamu Tanzania, wilaya ya Kinondoni Linawaalika wanawake wote wa Kiislamu. Wanavyuo, Mabinti katika Kongamano Kubwa la aina yake litakalo fanyika Inshaalah Jumapili 22/03/2015.

Katika ukumbi wa chuo cha Ualimu cha Safina kilichopo Boko Basi Haya muda kuanzia saa 03:00 Asubuhi hadi saa 10:00 jioni chakula cha mchana kitakuwepo.

Mada kuu Udugu katika Uislamu, malezi, na changamoto zinazowakabili mabinti wa kiislamu vyuoni .

Mada zitatolewa na Wahadhiri Mahiri na Mashuhuri waliobobea katika masuala ya Da`awa UKHT FATMA MDIDI, UKHT MAYASA SADALLA, UKHT HINDU ABDALLAH, UKHT MWAJUMA YUSUFU na wengineo.

Maelekezo panda gari za kwenda Bunju, Shuka kituo kinaitwa Basi Haya utakiona chuo cha SAFINA kipo karibu na Barabara. Upatapo taarifa hii mjulishe na mwenzio.

Mnakaribishwa sana.

UKHT MAYASA SADALLAHNaibu Katibu Taifa

BARAZA KUU LA WANAWAKE WA KIISLAMU TANZANIA

Kongamanomafunzo itakayofanyika baadaye mwaka huu.

Mbali na mafunzo ya ki jeshi , Ser ikal i ya Marekani inatoa pia mafunzo kuhusu m a s u a l a m e n g i n e mbalimbali kama vile namna ya kukabiliana na utakatishaji fedha n a u e n d e s h a j i wa mashitaka wenye ufanisi dhidi ya majangili na wale wanaojihusisha na usafirishaji haramu wa wanyamapori.

Mwezi Januari mwaka h u u , M a r e k a n i n a Ujerumani walikabidhi v i f a a m b a l i m b a l i vitakavyotumiwa na askari wa wanyamapori katika shughuli zao za doria katika hifadhi.

Vifaa hivyo ni pamoja na mahema makubwa na madogo, kurunzi zenye mwanga mkali, ramani, darubini, kamera, sare na viatu.

Misaada hii ni sehemu ya programu kubwa

ya kusaidia jitihada za Tanzania za kukabiliana na usafirishaji haramu w a w a n y a m a p o r i n a u h i f a d h i itakayogharimu Dola za Kimarekani milioni 40 katika kipindi cha miaka mitano ijayo.

Aidha, msaada huu unatolewa sambamba na jitihada za wadau wengine wa kimataifa kama vile taasisi iitwayo Paul Allen Foundation, ambayo imegharimia m f u m o m p y a w a m a wa s i l i a n o ( V H F system) unaowawezesha askari wa wanyamapori kuwasiliana vyema na kuratibu shughuli zao za kukabiliana na ujangili bila mawasiliano yao kuingiliwa.

( H a b a r i h i z i n i kwa hisani ya Japhet Sanga ([email protected]) , Afisa Habari Mwandamizi, Ubalozi wa Marekani Dar es Salaam.)

Askari wa Majini na Nchi Kavu wa Jeshi la Marekani akitoa mafunzo kwa Askari wa Wanyamapori wapatao 50 katika Hifadhi ya Selous.

Page 7: ANNUUR 1169a.pdf

7 AN-NUURJAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 20-26, 2015Makala

WIZARA ya Sheria ya M a r e k a n i J u m a t a n o iliyopita ilitoa taarifa kusifia ushindi wake wa hivi karibuni kuzuia jaribio lingine la kigaidi, ikitangaza kuwa kikosi kazi cha pamoja (kati ya idara za usalama na jeshi) kimemkamata mtu mmoja mkazi wa eneo la Cincinnati kwa mpango wa kushambulia jengo la Bunge la Marekani na kuua maofisa wa serikali. Aliyetajwa gaidi mtarajiwa ni kijana wa miaka 20, Christopher Cornell, asiye na ajira, anakaa kwao, hutumia muda mwingi katika m i c h e z o y a v i d e o chumbani mwake, na humwita mama yake m i t h i l i y a w a t o t o wadogo wanavyowaita mama zao, 'Mommy,' n a h u m w o n a p a k a wake kuwa ndiye rafiki yake mkubwa. Alitajwa na mkuu wa shule ya sekondari alipomalizia m w a k a 2 0 1 2 k u w a alikuwa mwanafunzi wa kawaida, mkimya lakini asiyejitenga mno.

H a t i y a k i a p o iliyowasilishwa na afisa upelelezi wa FBI ilisema Cornell alikuwa ameweka mtandaoni maelezo na habari za kuunga mkono mtandao wa k iga id i wa ISIS kupitia kurasa za Twitter. FBI ilishika habari za Cornell kutoka k wa m p a s h a h a b a r i a m b a y e h a k u t a j w a , ambaye FBI inasema alianza kushirikiana nayo ili aweze kupata ahueni kuhusu ushiriki wake katika jinai katika kesi ambayo haihusiani na suala la Cornell. Akifuata maagizo ya FBI, mpashaji a l i a n d a a m i k u t a n o miwili ya ana kwa ana na Cornell ambako inadaiwa walijadili mpango wa kushambulia majengo ya Bunge la Marekani, na FBI inasema ilimkamata C o r n e l l k u m z u i a asitekeleze shambulio hilo.

Wanafamilia wanasema Cornell aliingia katika U i s l a m u m i e z i s i t a i l i y o p i t a n a k u d a i alikuwa akisali katika msikiti mmoja mdogo wa karibu. Hata hivyo gazeti la Cincinnati Enquirer halikuweza kupata mtu

Madai mapya ya FBI ya kuzuia mpango wa kigaidi yapimwe kwa kina, hojaNa Glenn Greenwald na Andrew Fishman

RAIS Barack Obama wa Marekani.hata mmoja katika msikiti huo ambaye al ikuwa amemwona kabla ya hapo, likiainisha kuwa muumini mpya kijana wa Kizungu angeonekana kwa watu wengi mara moja katika msikiti ambao unatumiwa zaidi na wahamiaji kutoka Afrika Magharibi ambao wengi wao wanaongea Kiingereza kwa taabu.

Taarifa hiyo ya Wizara ya Sheria kama ambavyo ingetazamiwa, i l izua mtitiriko wa vichwa vya habari vya kuogofya kuisifu FBI. Shirika la Utangazaji la CNN lilisema 'FBI yasema mpango wa kushambulia maskani ya Bunge ulikuwa tayari kufyatuliwa. ' MSNBC l i l isema 'Mpango wa ugaidi dhidi ya Marekani wavunjwa kwa kudakwa mkazi wa Ohio.' Gazeti kongwe la Wall Street Journal lilisema 'Mkazi wa Ohio ashitakiwa kwa kupanga shambulio kwa niaba ya ISIS dhidi ya maskani ya Bunge la Marekani.'

K a m a a m b a v y o ingetazamiwa pia, maofisa wa kisiasa kufumba na k u f u m b u a wa l i d a k a habari hizo kuhalalisha mamlaka ya udakuzi (usikilizaji simu) kote nchini. Spika wa Baraza la Wawakilishi John Boehner alidai kuwa "mamlaka ya Idara ya Usalama

wa Taifa ya kuingilia mitandao yamesaidia k u z u i a m p a n g o w a kushambulia Bunge" na kuwa wabunge wenzake wanahitaji kukumbuka hilo wakati wa mjadala wa k u o n g e z a m u d a kwa sheria inayoruhusu serikali kutafuta habari za jumla kutoka kwa raia. Alionya: "Tunaishi katika nchi hatarishi, na tunakumbusha kila wiki hatari zilizopo."

K i n a c h o f a h a m i k a kuhusu suala hili jipya kinaendana na mpangilio wa k a wa i d a wa F B I ambako mamlaka hiyo ya upelelezi haipangui mashambulio halisi, ila inayatengeneza, halafu inajisifu hadharani kwa kuzima mipango wake yenyewe.

Kwanza, wanamtafuta Muislamu: siyo kutokana na ushahidi wowote kuwa ana nia au uwezo wa kushir ik i ugaidi , lakini kwa maoni 'makali' anayotoa. Na mara nyingi Muislamu anayetafutwa ni kijana mdogo (hajafikia, au ndiyo anavuka, miaka 20), hana uelekeo halisi katika maisha, haonyeshi dalili za kufikia tamati k u b wa z a k u t a wa l a maisha , ach ia mbal i kutekeleza shambulio la kigaidi, na hana uhusiano unaofahamika na makundi halisi ya kigaidi.

Hala fu wanata futa Muis lamu mwingine ambaye anashawishika ipasavyo kusaidi kuvuruga "mpango wa kigaidi," iwe ni kwa sababu wanalipwa fedha za kutosha na FBI kwa ushir iki huo au (kama inavyoonekana k u w a h i v y o k a t i k a suala hil i) wana kesi nyingine mahakamani na wanatafuta kila njia ku i furah isha FBI au kupata afueni kwenye kesi hiyo (au yote mawili). FBI inampatia mpasha habari wao mpango wa kina wa shambulio, na mara nyingine hata fedha na vifaa vya kuutekeleza, n a m p a s h a h a b a r i anatumia nyenzo hiyo kumrubuni mlengwa. Kwa kawaida, mpasha habari pia anamvuta, kumwingiza mtegoni, kumkejeli na kufaulu kumshawishi mlengwa kukubali kushiriki katika mpango ulioandaliwa na FBI. Katika mazingira kadhaa ambako mlengwa a n a k a t a a k u s h i r i k i , wanampatia fedha nyingi m p a s h a h a b a r i wa o kumpatia mlengwa huyo fukara.

Wakishafika mahali mlengwa anakubali, FBI inaingia katika dakika ya mwisho, inamkamata mlengwa, inatoa taarifa kwa vyombo vya habari kujisifu kuwa imezuia s h a m b u l i o l a h a t a r i (ambalo ililibuni, kulilipia na kulitafutia watekelezaji. Wizara ya Sheria na majaji wanampeleka mlengwa wao gerezanik kwa miaka na hata miongo (ambako w a n a w e k w a k a t i k a mazingira ya vyumba m a a l u m k a m a v y a Guantanamo). Mahakama zinazotii amri nchini Marekani zinathibitisha mashi taka hayo kwa kutumia tafsiri pana na legevu ya kuingia mtegoni kiasi cha kuhakikisha kuwa kanuni hiyo kamwe haiwezi kutumika. Kama shirika la habari la AP li l ivyosema baada ya kukamatwa mlengwa huyu mpya, "hoja za utetezi zimekuwa zikikwama kwa majaji, na vizuizi hivyo vimefikisha wengi kupatikana na hatia."

Chuk ua mfano wa kushangaza ( ingawa h a u j a f i k i a h a l i y a kustusha) kesi ya mwaka 2011 ya James Cromitie, Mmarekani Mwafrika

fukara aliyebadili dini kuwa Muislamu ambaye aliwahi kutoa hisia dhidi ya Wayahudi , lakini , akiwa na umri wa miaka 45, hakuwahi kuwa na mwelekeo wa kushiriki shambulio la kigaidi. Kwa miezi minane, FBI ilimtumia mpasha habari - ambaye alikuwa mikononi mwao kwa jinai nyingine na ambaye FBI walikuwa wanamlipa - kumshawishi C r o m i t i e k u k u b a l i kuingia katika mpango wa shambulizi ambao FBI ilikuwa imetunga. Na kwa miezi minane alikataa katakata. Ni pale tu waliponing'iniza malipo ya dola 250,000 mbele yake mara tu alipopoteza ajira yake, ndipo alipokubali, na FBI ikamkamata mara moja. Wizara ya Sheria ilipaza sauti kuwa kesi hiyo ni ukamataji muhimu wa gaidi, ikafaulu kumshitaki na kumpeleka jela kwa miaka 25.

Jaji wa mahakama ya shirikisho aliyesikiliza k e s i h i y o , C o l l e e n McMahon, aliishutumu serikali mara kadhaa kwa kutengeneza mpango huo. Akimhukumu mshitakiwa miongo kadhaa jela, Jaji alisema Comitie "alikuwa hawezi kufanya ugaidi wowote kwa kujituma yeye mwenyewe," na kuwa i l ikuwa ni FBI iliyotengeneza vitendo vya ugaidi kutokana na hisia zake za uwezo na kujiona, na halafu kufanya ndoto hizo ziwe kweli." Aliongeza:

"Ni serikali tu ambayo i n g e we z a k u m f a n ya Bw. Cromitie awe gaidi, ambaye ujuha wake ni wa ki-Shakespeare kwa jinsi unavyoshangaza."

Katika hukumu yake ya maandishi kutetea upatikanaji na hatua, Jaji McMahon aliainisha kuwa Cromitie "alikuwa amekataa k ikami l i fu k w e n d a m b a l i m n o mwa miezi minane," na akakubali tu baada ya "Serikali kuning'iniza k i l i c h o o n e k a n a n i kishawishi kisichokatalika mbele ya mtu fukara kutoka eneo ambalo nimekuja (baada ya dazeni kadhaa za kesi) kuliona ni eneo la kusikitisha la mporomoko wa jamii katika Wilaya ya Kusini ya jiji la New York." Alikuwa ni mpasha

Inaendelea Uk. 17

Page 8: ANNUUR 1169a.pdf

8 AN-NUURJAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 20-26, 2015Makala

UMOJA wa Wanazuoni wa Kiislamu Tanzania (Hay-at ) , umesiki t ishwa na kuhuzunishwa sana na kifo cha Sheikh Harith Dhwari, mwenye asili ya Iraq.

Sheikh Harith aliye kuwa mwenyekiti wa Umoja wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Iraq, alifariki siku ya Alhamisi, Machi 12, mwaka huu wa 2015, jijini Istanbul, Uturuki.

Yeye ni Sheikh Harith Dhwari bin Mahmuud. Alizaliwa mwaka 1941 katika eneo la Abugharib jirani ya Baghdad.

Alianza masomo yake katika madrasa ya kuhifadhi Qur-ani na baada ya hapo aliendelea na masomo hadi kumaliza kidato cha mwisho katika shule ya Sekondari.

Mnamo mwaka 1963

Na Sheikh Abdallah Bawazir

Sheikh Harith Dhwari; Mtetezi wa Uhuru na haki Iraqalijiunga na Chuo Kikuu cha Al-Azhar nchini Misri na akafanikiwa kupata digirii ya kwanza katika fani ya Hadithi na Tafsiri.

Digirii hii ilimuwezesha kujiunga na masomo ya juu hadi kufaulu na kutunukiwa Digirii ya pili mwaka 1971.

Hatimaye katika mwaka 1978 Sheikh Harith alifanya mtihani wa Digirii ya tatu na kwa uwezo wa Allah (Azza wa jallah) alifuzu na kutunikiwa shahada ya udaktari katika somo la Hadithi.

Daktari Harith aliporejea nchini mwake Iraq, akishika wadhifa katika Wizara ya Waqfu na baada ya muda alihamia katika Chuo Kikuu cha Baghdad, akafanya kazi kama Profesa kwa kipindi kisicho pungua miaka 32.

Pia Daktari Harith aliwahi kuwa Profesa katika Chuo Kikuu cha Yarmuuk, nchini Jordan, Chuo Kikuu cha Ajmaan UAE.

Na baada ya hapo alirejea tena Iraq mwaka 2003. Daktari Harith hakuwa ni mtu anaye kubalika mbele ya Dola ya Iraq ya wakati huo.

K w a n i D o l a h i y o ilimchukulia kuwa ni gaidi na ikatoa waraka wa kumkamata

kwa sababu ya kutofautiana kwake kimsimamo na Dola ya wakati huo, iliyo ingia madarakani kupitia mtutu wa silaha za Kiamerika.

Baada ya Amerika kuivamia kijeshi Iraq, Waislamu wa Kisunni waliasisi Umoja wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Iraq na Daktari Harith akawa ndiye Katibu Mkuu, lakini baadae alipanda daraja akawa mwenyekiti.

Lengo kubwa la taasisi hii, lilikuwa ni kupambana na dhulma ya uvamizi wa Kiamerika pamoja na kuondoa siasa ya makundi nchini Iraq ili kuunganisha baina ya Shia na Sunni, bila ya kujali tofauti zao.

Daktari Harith akifariki huko Uturuki kufuatia shida kubwa iliyo mtaabisha kwa kipindi kirefu kutokana na ugonjwa wa saratani ya koo.

Mwil i wa marehemu Sheikh Harith ulisafirishwa kupelekwa Jordan ambapo uliswaliwa baada ya swala ya Ijumaa, Machi 13 na kuzikwa kwenye makaburi ya mji Mkuu wa Jordan.

Kamati Kuu ya Umoja wa Wanazuoni wa Kiislamu Tanzania ka t ika k ikao chake kilicho fanyika siku ya Jumamosi, Machi 14, ilizungumzia kwa pamoja

wasifu wa mwanazuoni huyu na kumuombea dua, Allah (Azza wa jalla) amrehemu mja wake huyu, ampe radhi zake na jazaa maridhawa –

Sheikh Harith DhwariAamin!

Sheikh Abdallah Ahmad Bawazir

a b d a l l a h @halaqalulmuntaqa.com

T I M U ya M a wa k i l i i n a y o w a t e t e a wa t u h u m i wa 2 3 wa kesi ya ugaidi katika mahakaka ya Kisutu jijini Dar es Salaam, inafikiria kufungua kesi ya kikatiba na ukiukwaji wa haki za binadamu dhidi ya serikali.

Kusudio la kufungua kesi hiyo linafuatia kitendo cha baadhi ya watuhumiwa hao kuendelea kukosa matibabu stahiki hivyo k u s h i n d w a k u f i k a mahakamani kusikiliza kesi yao wakidaiwa kuwa wanaumwa.

Wiki iliyopita tarehe 14 Machi mtuhumiwa namba 17 Rashid Ally Nyange, hakuweza kufika mahakamani akidaiwa na upande wa mashitaka kuwa anaumwa.

Juzi Jumatano Machi 18, mshitakiwa mwingine namba 19 Kassim Juma Nassoro, naye hakuwepo mahakamani na kudaiwa

Mawakili wa watuhumiwa wa ugaidi kufungua kesiWashitakiwa wadai kukosa tiba

Na Mwandishi Wetu kuwa anaumwa.Wakili Abdallah Salim,

alisema baada ya kufika Segerea , mala lamiko makubwa ya watuhumiwa hao ni yale ya muda mrefu ya kuumwa bila kupatiwa matibabu hospita l ini zaidi ya kupewa dawa za kutuliza maumivu tu.

Timu ya mawakili hao ambao ni Abubakari Salim, Abdulfattah Abdallah n a U b a i d H a m i d u , w a l i s e m a b a a d a y a kufika gereza la Segerea, walikuta washitakiwa wengine wata tu nao w a n a s u m b u l i w a n a m a u m i v u j a p o k u wa wanaweza kutembea na kuongea.

“Kuna huyu mshitakiwa namba 13 Abubakari Abdalah Mngodo, ni mgonjwa lakini imekuwa v i g u m u k u j u a n i n i kinamsibu kitaalamu.

Kijana huyo alieleza kuwa hali aliyo nayo ina tokana na v ip igo alivyovipata alipokuwa rumande kule pol i s i

na kwamba vipigo vile ndivyo vinavyoendelea kumsababishia maumivu anayoyapata sasa.

Wakili huyo alisema mshitakiwa huyo amedai kuwa kuna wakati hata a k i e n d a h a j a n d o g o inakuwa damu.

Alisema wameshaongea na uongozi wa magereza juu ya kuwashughulikia w a t u h u m i w a h a o wagonjwa na kwamba, hivi sasa wanasubir i Mahakamani tena ili kupata taarifa kama mambo hayo yameshughulikiwa.

Aidha mawakili hao walimuomba Hakimu kwamba kwa kuwa hakuna matibabu wanayopata watuhumiwa hao, kama inawezekana kwa kuwa washitakiwa wana uwezo wa kujitibia wenyewe, basi wafanye hivyo na hayo matibabu yawe yanasimamiwa na Maofisa wa Magereza.

Hata hivyo mawakili hao wamesema kimsingi wamekubal i kwamba

b a a d h i y a m a m b o wakiyaendesha kiutawala, wanaweza wasifike.

Kwa hiyo wameona ni bora wafungue kesi ya kikat iba , i l i hayo wanayoelezwa kwamba ni madhila wanayofanyiwa watuhumiwa, ambayo ni kinyume na haki za binadamu Mahakama iweze kutafsiri kama ni sahihi wanapaswa kufanyiwa waliyofanyiwa, au ni vyombo vya dola kwenda mbali kinyume na sheria zinavyotaka.

“Sasa wate ja wetu wametutaka tufungue kesi ya kikatiba ili mahakama iweze kutafsiri na kuona kwamba haya madhila wanayodai kufanyiwa n i h a l a l i wa e n d e l e e k u f a n y i wa h a y o a u kama ni kinyume, basi litoke tamko la kuzuiya kufanyika matendo hayo ya kionevu”. Alibainisha wakili Salim.

Wakili Salim aliongeza kuwa yeye na wenzake

wanaangalia uwezekano wa kufungua kesi moja au mbili, kwa maana ya kesi dhidi ya haki za binadamu na kesi ya katiba.

Alisema wataangalia kwanza sheria yenyewe wanayoshitakiwa nayo kama inazitambua haki za binadamu au la na k wa m b a , wa n a w e z a wakafungua kesi moja lakini ikawa na mambo yote mawili.

Katika siku za hivi karibuni imeonekana kuwa baadhi ya watuhumiwa wa ugaidi wamekuwa wagonjwa na kushindwa kuhudhuria katika kesi zao Mahakamani.

Watuhumiwa hao ni Wais lamu 23 kutoka Z a n z i b a r n a B a r a , wakiwemo viongozi wa Kiislamu Sheikh Farid Had Ahmed na Sheikh Mselem Ali Mselem.

H a k i m u J a n e t Kaluyenda aliahirisha tena kesi hiyo hadi Aprili 1 mwaka huu.

Page 9: ANNUUR 1169a.pdf

9 AN-NUURJAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 20-26, 2015Makala/Tangazo

Mahakama ya Kadhi ni haki ya KikatibaInatoka Uk. 5na Mahakama nyengine ni kuwapa Waislamu nao haki yao ya Kidemokrasia ya kuweza kuishi Kiislamu. Kwani ni kinyume kabisa kwamba, baada ya Uhuru na Jamuhuri, Serikali iwanyime Waislamu haki hiyo ambayo walikuwa nayo hata wakati wa Ukoloni . Kuruhusu Mahakama za Kadhi ni namna moja wapo ya kuwafanya Waislamu watambue na wa t a m b u l i we k wa m b a nao ni raia halali na kamili wa nchi hii na wana haki sawa na wananchi wenzao. Vyenginevyo, Serikali ya M u u n g a n o i t a o n e k a n a kuwa ina upendeleo dhidi ya Uislamu na Waislamu kwa vile inakubali Sheria za Kimagharibi ambazo ni (“secular” au Judeo-Christian”) na inakataza Sheria za Kiislamu.

Licha ya kuona sababu za msingi za kudai kwetu kuanzishwa/kurudishwa Mahakama hizi kwa upande wa Bara, tunataka kuona Mahakama hizi zinakuwa na sifa maalum.

Mosi, ziwe na hadhi kamili ya Mahakama. Mahakama za Kadhi ni Mahakama; na kwa hivyo, inabidi ziwe na hadhi kamili ya Mahakama. Kwa ajili hii, inabidi ifuate taratibu zote za Makahama na iendeshwe na Makadhi ambao n i Wanasher ia . Kama Mahakimu wengine, Makadhi ni lazima wawe wamesomea na kuhitimu mambo ya Sharia na taratibu (procedures) za Mahakama. T o f a u t i b a i n a ya o n a Mahakimu wengine iwe tu kwamba wao ni wataalamu wa Sharia za Kiislamu.

Pili, idhaminiwe na Katiba ya nchi. Kiislamu, kuwepo kwa Mahakama ya Kadhi ni amri ya Mwenyezi Mungu ( S W ) a m b a y o , k i u m b e hapaswi kuwa na khiyari juu yake. Hapa Tanzania viongozi wamekuwa ya khiyari juu ya suala hili na matokeo yake ni kwamba w a l i a m u a k i n y e m e l a kuziondoa kabisa Mahakama h i z o . K u h a k i k i s h w a kwamba zinarejeshwa na h a z i t a o n d o l e wa t e n a , inabidi kuwepo kwake sasa kudhaminiwe na kutajwe wazi wazi katika Katiba ya nchi pamoja na kurekebishwa na/au kufutwa kabisa “The Magistrate Courts Act (Cap. 11 R.E. 2002) ili zitambue kuwepo kwa Mahakama za Kadhi ndani ya Katiba.

Ta t u , z i s i b a t i l i s h we hukumu zake. Mahakama za Kadhi ni Mahakama

zinazohukumu Sheria ya Mwenyezi Mungu (SW) ambayo, Kiislamu, ndiyo ya juu kabisa (paramount). Kwa maana hii, hukumu ya Mahakama ya Kadhi haiwezi kubatilishwa (au kuwa overruled) na Hakimu wa Mahakama isiyokuwa ya Kadhi.

Pamoja na kuyaona hayo, wapo wanaodai kuwa hata ikitokea Mahakama hizi kuanzishwa/kurudishwa, bas i z i s igharamiwe na Serikali. Sisi, tunasema, Mahakama za kadhi zina kila sababu za kugharamiwa na Serikali kama iifuatavyo:

M o j a , M a h a k a m a n i chombo cha Serikali. Kama M a h a k a m a n y e n g i n e , Mahakama ya Kadhi ni chombo cha serikali na kinafanya kazi ya Serikali ya kuhukumu; na kwa hiyo, ni jukumu la Serikali kuzigharamia.

Pili, kutunza uadilifu na ufanisi. Kugharamiwa kwa Mahakama za Kadhi na watu binafsi au chombo k i s i c h o k u w a S e r i k a l i kunaweza kuathiri utendaji wa kazi wa Mahakama hizo au hata uadilifu wake.

Ta t u , k u t e n d a h a k i . S e r i k a l i i n a g h a r a m i a Mahakama (“Secular” au Judeo-Christian”) ambazo si za Kiislamu, na Waislamu hawana lazima ya kuwa nazo. Kuwatendea haki Waislamu, Serikali inapaswa kugharamia Mahakama ya Kadhi. Kuonesha kuwa hizi (“Secular” au Judeo-Christian”) ni za Wakristo kunatokana na ukwel i kwamba wao wanazikubali n a k u z i l i n d a n a h a t a kuzigharamia, maana ni za kwao na hawakubali nyenginezo.

B a a d h i y a w a t u wamekuwa na khofu kwamba kuanzishwa/kurudishwa kwa Mahakama za Kadhi nao watalazimika kuhukumiwa kwazo. Sisi ni waumini kuwa hakuna kulazimishana katika mambo ya dini kama Qur an inavyotutaka. Hivyo, tumefikiria suala la mipaka ya Mahakama za Kadhi. Ni Waislamu peke yao ambao wanahukumiwa na Mahakama za Kadhi, na kwa kuwa Tanzania si nchi ya Kiislamu, kesi zinazopaswa kuhukumiwa na Mahakama hizo ni zile tu zinazohusu masuala ya ndoa, talaka,mirathi na wakfu.

Aidha, kwa vile katika nchi hii kuna Waislamu wa madhehebu mbali mbali, k i l a Wais lamu inab id i wahukumiwe kwa mujibu wa Sheria ya dhehebu lao. Kwa maneno mengine, Mahakama za Kadhi haziji hapa kuondoa Mahakama nyengine, ila

WAUMINI wa Kiislamu wakiomba dua katika Msikiti wa Mtambani, Dar.

zinakuja tu kufanya kazi nazo; na hazihukumu wasiokuwa Wa i s l a m u ; b a l i h a t a Waislamu haitawahukumu katika masuala yote.

Kwa kumalizia, Mahakama za Kadhi zina faida sio tu kwa Waislamu; bali na taifa kwa ujumla.

Kwa Waislamu, Mahakama za Kadhi zitawawezesha Waislamu kuwa na matarajio mema zaidi kwa Mwenyezi Mungu (SW) kwa kutekeleza maamrisho na Sharia zake.

Kwa taifa, Mahakama za Kadhi, zitasaidia Serikali kat ika kusimamia haki na uadil i fu. Pamoja na kuhukumu kesi za Waislamu na kusawazisha mizozo b a i n a ya o , M a k a h a m a hizo zikiwepo zitaboresha uhusiano baina ya Waislamu na wasiokuwa Waislamu. K wa n i z i s i p o k u w e p o , Wais lamu wataendelea kupigania na kuchukulia wanaozipinga kuwa ni wapinzani wao.

Serikali ina wajibu na kila sababu kuhakiksha kuwa amani ya nchi inadumu na kudumishwa kwa hali zote kwa kuchunga mipaka na maadili ya haki, usawa na uadilifu baina ya raia zake. Kuendelea kuwanyima Waislamu haki yao hii ya Kikatiba kunaweza kuanzisha fujo na hata kutoweka kwa amani . I fahamike wazi kwamba kadiri binaadamu tunavyoziheshimu haki za b inaadamu, ndivyo tunavyosaidia kudumisha amani; na kwamba kila dakika ya amani ni dakika inayopotea bure isipotumiwa kuendeleza haki na uadilifu baina ya watu na baina ya imani za dini.

Waislamu tutaendelea na juhudi zetu za kuitekeleza i m a n i h i y o k a m a

tul ivyoasimamia kudai haki ya uhuru wa nchi hii, na katika hilo tunatarajia u s h i r i k i a n o k u t o k a Serikalini na kutoka kwa watu wasiokuwa Waislamu kuitekeleza kivitendo haki yetu ya Kikatiba na ya Kidini ya kuzianzisha/kuzirudisha Mahakama za Kadhi bila ya kuchelewa.

Ni matumaini yangu kwamba maandishi haya m a c h a c h e y a t a s a i d i a kuongeza fikra za kisheria na

za kisiasa katika Tanzania na mahali pengine. Kwa kweli, hayana shabaha nyengine zaidi ya hiyo. Kwa hiyo, kama kuna faida yo yote itakayopatikana kutokana na maandishi haya, natumaini faida hiyo itakuwa kusisitiza haja iliyoko ya kutambua kwa vitendo haki ya Kikatiba na sababu za msingi za kuzianzisha/kuzirudisha M a h a k a m a z a K a d h i Tanzania Bara.

ILALA ISLAMIC SECONDARY USAJILI S.2401

KIDATO CHA TANO NA KURUDIA MITIHANI

KWA WASICHANA TUIPO: ILALA-AMANA-MTAA WA ARUSHA: MASJID SHAFII

SHULE YA BWENI NA KUTWA

MASOMOMath, Phy, Chem, Bios, Geo, Civ, Eng, Kisw, Commerce,

B/keeping Islamic, Arabic na Tahfidhul Qur’anCOMBINATION

PCM,PCB,CDG,HGL,HGK,HGE,HKA,HEAUFAULU 2014

KIWILAYA 3/76, KIMKOA 10/191, KITAIFA 118/2322Kwa shule za kiislam KIWILAYA (1) KIMKOA (2) KITAIFA (5)

Zipo nafasi za kuhamia kidato cha II, III na IV, VMAWASILIANO

Simu: 0713 007586, 0715 187515, 0714 393822, 0714 381964

KWA WAVULANA TUIpo Ilala-Bungoni: Masjid Taqwa

DAR ES SALAAM ISLAMIC SEC.

MASOMOMath, Phy, Chem, Bios, Geo, Civ, Eng, Kisw, Commerce, B/

keeping Islamic, Arabic na Tahfidhul Qur’an

COMBINATIONPCM,PCB,CDG,HGL,HGK,HGE,HKA,HEA

UFAULU 2014Kama Ilala Islamic, imetenganishwa toka Ilala Islamic

Zipo nafasi za kuhamia kidato cha II, III na IV, VMAWASILIANO

Simu: 0713 007586, 0715 187515, 0714 393822, 0714 381964Ada ni nafuu na inalipwa kwa awamu nne

MLETE MWANAO APATE ELIMU NA MALEZI BORA

USAJILI S.4384

Page 10: ANNUUR 1169a.pdf

10 AN-NUURJAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 20-26, 2015Makala

Atoswa na kufungwa jela miaka 40AKIWA na miaka 27, raia wa Marekani kutoka Kossovo, Sami Osmakac, hataonekana tena mtaani kwake Pinellas Park, Tampa, Florida, mpaka atakapokuwa na umri wa miaka 60, kama atakuwa bado yu hai.

H i y o n i b a a d a ya kuhukumiwa Mwaka jana Novemba 5, 2014 kwenda jela kwa miaka 40. Kosa la msingi, alidaiwa kuweka mipango ya kufanya mashambulizi ya kigaidi ndani ya Marekani.

Mwandishi Anna M. Phillips wa gazeti la Tampa Bay Times, akiainisha m a k o s a ya l i y o t a j wa mahakamani amesema kuwa ilidaiwa kuwa Sami alikutwa na bunduki aina ya AK-47 isiyosajiliwa, kuwa na milipuko ambayo ilidaiwa kuwa yaweza kutengenezea silaha za maangamizi (weapons of mass destruction), mabomu ya kurusha kwa mkono pamoja na fulana ya kuvaa wakati wa kufanya shambuilio la kujitoa muhanga. Ilidaiwa pia kuwa Sami alikuwa amekamatwa akitaka kulipua bomu alilokuwa amelificha katika gari eneo la Tampa.

M a e l e z o ya z i a d a yaliyotolewa mahakamani yanafahamisha kuwa Osmakac, ambaye awali hakuwa mtu wa dini, bali ‘muhuni’ tu kama vijana aliokuwa akifuatana nao, alibadilika ghafla baada ya kuanza kuswali na kuanza kuhubiri kuwa ni wajibu juu yake na juu ya Waislamu kuwauwa makafiri, Wakristo na hata Waislamu ambao hawapo tayari kushika bunduki kuuwa makafiri. Hata hivyo, taarifa zaidi z inafahamisha kuwa kijana Sami alitumbukizwa katika mahubiri hayo ya kuhimiza mauwaji na watu ambao inadhaniwa kuwa ni FBI katika ule mchezo wa ‘mitego’ (entrapment).

Anatajwa mtu mmoja R u s s e l l D e n n i s o n , anayedaiwa kusil imu kuwa ndiye aliyemwingiza Sami mawazo ya kumiliki silaha, kulipua baa/vilabu vya pomb e , k wenda kupigana Syria na kuuwa m a k a f i r i p a m o j a n a Waislamu wasio katika kundi la ‘Salafi Jihad’. Inaelezwa kuwa baada ya Dennison kufanya kazi ya awali, alimkabidhi Sami kwa kachero mwingine ambaye ndiye alimpa AK-47 na kumfundisha

Na Omar Msangi

namna ya kuitumia. Baada ya hapo alitoweka na mpaka anafungwa Sami, hakuweza kujua mwana-Salafi Jihad mwenzake, Dennison yupo wapi.

M o j a ya v i e l e l e z o v i l i v y o f i k i s h w a mahakamani, i l ikuwa mkanda wa video ukipewa jina “Martyrdom Video” ambapo, Sami Osmakac

alijirekodi akihimiza Jihad, kwenda kupigana Syria, kupigana na Wakristo na mambo mfano wa hayo. Hata hivyo, inaelezwa k u w a m k a n d a h u o

uliandaliwa na kupigwa chini ya uangalizi wa FBI wenyewe huku Sami akidhani yupo na wana-Salafi wenzake. (Angalia: The Sting-How the FBI C r e a t e d a Te r r o r i s t , ikiwa na maana, jinsi FBI walivyomtengeneza gaidi)

K a t i k a v i d e o h i y o ambayo bado inaonekana katika mtandao, Sami Osmakac, akiwa ndani ya chumba cha hoteli akiwa kakaa chini katika k a p e t i , a n a o n e k a n a a k i w a n a b u n d u k i aina ya AK-47 pamoja na basto la mkononi . Hapo ndio anahimiza Waislamu kuwa na silaha kupambana na makafiri. ‘Muislamu utakaaje bila ya bunduki ya kupambana na kafiri ndani ya nyumba’, k a m a w a l i v y o k u w a wakihimizwa Waislamu katika msikiti mmoja J i j i n i M wa n z a h u k u wakiambiwa wasi ja l i kuwa bunduki hizo zina kibali cha polisi au la.

“Video h i i n i kwa vijana wote wa Kiislamu n a Wa i s l a m u w o t e ulimwenguni. Ni wito wa ukwel i . Wito wa kujiunga na jeshi la Allah kuwasaidia Waislamu wanaodhali l ishwa na makafiri. Lazima tulipe k i s a s i k u t o k a n a n a Waislamu waliouliwa Afghanistan, Iraq na Syria. Hapa ni jicho kwa jicho, jino kwa jino. Mwanamke kwa mwanamke, mtoto kwa mtoto.”

Wachambuzi wa video hiyo wanasema kuwa mtu anayemsimamia (akiwa kafichwa uso) Osmakac kurekodi video hiyo ni afisa wa FBI akitajwa kwa jina la kazi kama “Amir Jones.” Akiwa na kamera alizozificha, “Amir Jones” alikuwa akirekodi kila hatua anayokwenda nayo Sami ikiwa ni pamoja na pale alipompa Dola 500 akimwambia kuwa hizo ni kianzio cha kununulia silaha. Mkanda huo Sami akitoa Dola 500 kwa “Amir Jones” ul iwasi l ishwa m a h a k a m a n i k a m a kilelezo cha utayari na dhamira ya Sami kununua silaha za kufanyia ugaidi.

Katika mkanda huo, wanasikika pia makachero wakisema kuwa ama kwa hakika Sami ni mjinga wa kiwango cha kutisha kwa jinsi alivyokuwa akilaghaiwa na kufanya mambo b i la ha ta ya k u s t u k a . Wa l i t u m i a maneno “retarded fool”, kama alivyonukuliwa Richard Worms, aliyekuwa

Inaendelea Uk. 11

Sami Osmakac

'Abu Bakr al-Baghdadi' adai kukutana na MtumeInatoka Uk. 1katika ndoto na akamuamuru kuondoka mji wa Mosoul bila ya kupigana.

H a t a h i v y o , hakuwatangazia ni l ini a m e a m b i w a a o n d o k e . (Tazama: I met the “Prophet Muhammad” and he ordered me to leave Mosul)

Habari hzio zinakuja wakati jeshi la Iraq likijiandaa kurejesha miji ya Tirkit na Mosoul iliyo mikononi mwa IS.

Habari hizo zinakuja pia baada ya Marekani kutangaza kuwa haioni sababu ya kumwondoa madarakani kwa sasa Rais Bashar Assad na kwamba inafikiria namna ya kufanya mazungumzo na kiongozi huyo wa Syria. (Tazama: US does not want to see Syrian regime ‘collapse’ — CIA. Tazama pia: Kerry Says ’ US Must Negotiate With Assad To End Syria Conflict)

Tayari wapinzani wa Bashar Assad wanaosaidiwa na Marekani, wametangaza kuwa watakutana Misri kujadili namna ya kukutana na Bashar Assad kufanya naye mazungumzo abakie madarakani kwa kipindi cha miaka miwili kisha uandaliwe uchaghuzi. (Tazama: Syria's opposition to discuss leaving Assad in power.)

Wakati huo huo imeelezwa kuwa katika makamanda wa ISIS wapo ambao ni Wakristo

na kwamba wapiganaji hao wa IS waliundwa rasmi na nchi za kibeberu kwa lengo la kumng’oa madarakani Rais wa Syria, Bashar Assad.

“Terrorists: The US Creates Them, Turkey Trains Them, Qatar Finances Them”, ndivyo anavyosema Dr. Mohamed Elmasry katika uchambuzi wake ambapo amefichua kuwa katika makamanda wa nafasi za juu katika kundi hilo, wapo Wakristo.

Lakini akasema pia kuwa wapo Waislamu maadhura (wasioj i tambua) ambao walizolewa tu na propaganda wakajitosa wakidhani wapo katika Jihad ya Kiislamu.

Pia akaeleza jinsi Qatar i l i v y o t u m i k a k u p i g a propaganda hiyo ambapo hata mwanachuoni mkubwa Sheikh Youssef Qaradawi, alikuwa akipewa fursa katika televisheni ya Aljazeera (Qatari TV channel Al-Jazeera), akihimiza Waislamu kujiunga na ISIS.

Dr. Mohamed Elmasry, raia wa Canada, ambaye ni Professor wa Uhandisi wa Komputa (Computer Engineering) katika Chuo K i k u u c h a Wa t e r l o o , anasema kuwa IS ikiwa na makamanda wengi Wakristo, ilianzishwa na Marekani, huku Qatar mshirika wa Marekani ikipewa jukumu la kuwapelekea pesa na nchi mwanachama wa NATO,

Uturuki, ikishiriki kutoa mafunzo.

Raia na Profesa huyo wa Canada anatoa maelezo hayo huku kukiwa na taarifa za kukamatwa kwa kachero mmoja anayedaiwa kutumiwa na Canada kupitisha fedha na wapiganaji kwenda IS kupitia mpaka wa Uturuki na Syria. (Tazama:Reports link Islamic State recruiter to Canadian Embassy in Jordan).

Kwa mujibu wa vyombo vya habari vya Uturuki, mtu mmoja akijiita Mohammed Mehmet Rashid – aka Doctor Mehmet Rashid, alikamatwa na vyombo vya usalama a k i p i t i s h a wa p i g a n a j i kwenda kujiunga na IS, lakini pia katika mahojiano mtu huyo alikiri kuwa anatumika kupitisha pesa kwenda kwa IS.

Habari zaidi zinafahamisha kuwa Dr. Mehmet anapata maelekezo kutoka ubalozi wa Canada ulio Jordan na kwamba mara kwa mara amekuwa akisafiri kari ya Istanbul na Amman, Jordan.

M t u h u y o a n a d a i wa kufanya kazi na Idara ya Usalama wa Canada akiripoti kwa Bruno Saccomani , ambaye kwa sasa ndiye Balozi wa Canada kule Amman, Jordan. Kabla ya hapo Bruno Saccomani, alikuwa mkuu wa kikosi cha ulinzi na usalama wa Waziri Mkuu wa Canada Stephen Harper’s kabla ya

Inaendelea Uk. 11

Page 11: ANNUUR 1169a.pdf

11 AN-NUURJAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 20-26, 201511 AN-NUURMakala

Inatoka Uk. 10 Atoswa na kufungwa jela miaka 40kamanda wa kikosi cha FBI waliokuwa wakimsukia Sami mkakati wa kumtia katika kesi ya ugaidi. Mahali pengine wanasikika wakisema kuwa wanataka kuifanya video hiyo iwe na mwishilizo mithili ya filamu za Hollywood (Hollywood ending”).

Baada ya kurekodi video hiyo Januari 7, 2012, katika hoteli ijulikanayo kwa jina la Days Inn (Tampa, Florida), Sami alianza kuingia mitaani akihubiri ya le ya le a l iyokuwa amejirekodi. Akiwa sasa kabadili mavazi yake akivaa kanzu fupi sana, na kaputura pamoja na kilemba, Sami alihubiri Misikitini na mitaani hata baadhi ya watu wakadai kuwa ni mwehu kutokana na mambo ya hatar i aliyokuwa akihubiri bila ya woga. Hata hivyo baadhi ya wafuasi wake wakisema kuwa hiyo ni kuonyesha uzito wa Tawheed yake na kwamba wasiomfuata ni wanafiki nao wanapasa kuuliwa.

Alikotokea Sami

F a m i l i a y a S a m i Osmakac wakati huo akiwa na umri wa miaka 13, walihamia Marekani wa k i k i m b i a v i t a ya Kossovo. Kutoka Kossovo mwaka 1992 walikimbilia k w a n z a U j e r u m a n i ambapo walikaa mpaka m w a k a 2 0 0 0 n d i o wakaenda Marekani na kubahatika kufungua mradi wa kutengeneza mikate (bakery) katika eneo la St. Petersburg, Tampa. Japo walikuwa Waislamu wa kuzaliwa, l a k i n i h a w a k u w a wakiingia Msikitini japo Ijumaa tu. Inaelezwa kuwa hata Ramadhani walikuwa hawafungi.

Kama vijana wengine wasio na kazi , Sami alitamani kuwa na kazi nzuri na gari na hali hiyo ikawa inamhangaisha sana kichwa chake. Ilikuwa ni mwaka 2009 ambapo Sami alianza kuswali na kwenda msikitini na ghafla akampata rafiki aliyeitwa R u s s e l l D e n n i s o n , M m a r e k a n i M z u n g u anayedaiwa kusil imu na kujipa jina Abdullah Abdul Malik. Akiwa na ndevu nyingi, mwenye kuvaa kanzu fupi na kilemba, Russell Dennison akawa rafiki wa karibu sana wa Sami. Gahfla Sami naye akabadili mavazi

yake kutoka suruali za jinz, yakawa kanzu fupi, kofia na wakati mwingine kilemba. Suruali zake zote akazikata zikafika c h i n i k i d o g o t u ya magoti, akaanza kufuga ndevu, akaacha kuvaa viatu badala yake ikawa

ni makobadhi. Kila kitu nyumbani mpaka bekari yao ya mikate akadai kuwa ni vitu vya haramu, hali iliyowafanya wanafamilia kutaka kumpeleka kwa dakitari wa akili wakidhani kuwa kachanganyikiwa. Hata hivyo Sami aligoma

kupelekwa hospitali.Wakati huo Dennison

akimfuatilia Sami ili awe rafiki yake wa karibu, m w e n y e w e a l i k u w a akirekodi CD na video na kuziweka katika mtandao (YouTube) akihimiza Uislamu wa ki-Salafi Jihad

aliokuwa akifuata. Ilikuwa video hizo akiziweka kwa jina la (username) “ C h e k d a m i z e 7 ” . N i huyu Russell Dennison anayedaiwa kupandikiza m a wa z o ya k u wa i t a w e n g i n e m a k a f i r i (Waislamu na Wakristo) mpaka Maimamu wa Misikiti na ikabidi kila m s i k i t i a n a o k we n d a anafukuzwa. Ni huyu Russell Dennison pia aliyempandikiza mawazo ya kuwa na silaha ili kuuwa makafiri na wanafiki. Wakawa wanarekodi CD zao na kuhubiri pamoja mitaani na misikitini.

Septemba 2011 Russell Dennison al impeleka Sami kwa mtu mmoja aki i twa Abdul Raouf Dabus (mwenye asi l i ya Palestina) kwamba atakuwa ndiye wakala wao wa kuwanunulia s i l a h a p a m o j a n a k u w a p a m a e l e k e z o namna ya kuzitumia. I l i k u j i t a m b u l i s h a kuwa naye ni kat ika wanaharakati wa Salafi Jihad kindakindaki, Abdul Raouf akatoa utangulizi kidogo katika utambulisho akizungumzia uharamu w a m i f u m o y a demokrasia na kwamba kinachotakiwa ni ‘Kitali’ tu kusimamisha Khilafah. Hakuna kubembelezana na kafiri. Akawalamu mpaka Hamas na Muslim Brotherhood kwamba wote hao ni makafiri na Salafi wakipata silaha za kutosha, wanaanza nao. Hata hivyo, ambacho Sami Osmakac alikuwa hajui ni kuwa Abdul Raouf Dabus alikuwa shushushu wa FBI.

Inaelezwa kuwa kuanzia Novemba 30, 2011, Dabus akawa karibu sana na Osmakac akirekodi kila analosema na kufanya. Baada ya kama wiki mbili za kuzoeana, Dabus alimkabidhi Osmakac kwa mtu aliyeitwa “Amir Jones”(undercover FBI agent) na kumwambia kuwa huyo ndiye atampa silaha na kuwa mwalimu wake juu ya namna ya kutumia silaha mbalimbali.

Januari 7, 2012 Osmakac na Amir walikutana katika chumba cha hoteli-Days Inn, Tampa, ambacho kilikuwa kishatengwa kamera za video kila kona. Osmakac akiwa na Dola 500 kama kitangulizi cha manunuzi ya silaha ambazo alikuwa amepewa na Abdul Raouf Dabus a m p e “A m i r J o n e s ” .

'Abu Bakr al-Baghdadi' adai kukutana na MtumeInatoka Uk. 10kuteuliwa miaka miwili iliyopita kwenda Jordan kuwa Balozi.

M o h a m m e d M e h m e t Rashid – aka Doctor Mehmet Rashid, ni mkimbizi kutoka Syria aliyekimbilia Jordan baada ya kuanza vurugu za kumng’oa Bashar na kwamba alikuwa akipigania kupata kibali cha kuishi Canada.

Ilikuwa ni katika jitihada hizo, balozi wa Canada alimnasa na kumfanyia safari kwenda Canada kwa muda na aliporejea Amman, ndio akaanza kufanya kazi na makachero wa nchi hiyo.

Hata hivyo, idara za kiserikali za Canada zinakana kumjua mtu huyo.

Kwa upande mwingine jeshi la Israel limekiri kuwa wapiganaji wa IS na wale wanaojitambulisha kwa jina la Nusra Front au Jabhat a l - N u s r a w a m e k u w a wakitibiwa katika hospitali za Israel.

W a p i g a n a j i h a o wa n a o j e r u h i wa k a t i k a mapambano hupelekwa katika hospitali za kijeshi za Israe l na wakipona hurejeshwa katika maeneo yanayokaliwa na IS (Tazama: Bin Laden and Bibi, Together At Last. Tazama pia: Israel’s alliance with al-Qaeda- By Justin Raimondo)

Habar i h izo ambazo zimeripotiwa pia na jarida mashuhuri la Wall Street

Journal, zimeandamana na zile za jeshi la Iraq kudungua ndege ya Marekani iliyokuwa imebeba shehena ya silaha kuwapelekea IS.

“Reports that US and British aircraft carrying arms to the Islamic State group – better known as ISIS - have been shot down by Iraqi forces have been met with shock and denial in western countries. Few in the Middle East doubt that Washington is playing a ‘double game’ with its proxy armies in Syria, but some key myths remain important amongst the significantly more ignorant Western audiences.”

Ndivyo anavyoripoti Tim Anderson katika uchambuzi wake “Washington and ISIS: The Evidence”, akisema kuwa pamoja na ushahidi mwingi unaozidi kuibuka juu ya gemu inayochezwa na Marekani katika suala la IS, bado watu wengi wamebakia katika ujinga.

Hayo yakijiri, usanii wa Boko Haram nao umeingia katika hatua nyingine ya kuandaa mazingira ya Rais Goodluck Jonathan kushinda uchaguzi mkuu unaofanyika mwishoni mwa wiki ijayo.

B a a d a ya k u wa k i l a wakati jeshi la Nigeria ni l enye kuzidiwa nguvu mpaka kambi zake za kijeshi kutekwa, hivi sasa habari zinazosambazwa ni kuwa Jonathan kabakiza kitu

kidogo tu kuwamaliza Boko Haram.

K i l a k u k i c h a kunatangazwa habari za jeshi kuteka miji kutoka Boko Haram, utadhani nchi nzima ilikuwa imetekwa. Zinatolewa pia habari za kugunduliwa viwanda vya mabomu, lakini viwanda hivyo havionyeshwi, bali wanapigwa picha wanajeshi wa k i wa wa m e s h i k i l i a bendera ya Boko Haram.

A i d h a , h u t a o n a h a o wanaodaiwa wapiganaji wa Boko Haram, bali ni ile ile picha ya Shekau ya siku zote akitiwa maneno kinywani kuwa anasema hili na lile.

Hivi sasa inaonekana kuwa namna pekee ya kumfanya Rais Jonathan kushinda uchaguzi ujao, n i kumuonyesha kuwa amekuwa na ubavu wa kupambana na Boko Haram.

Kwa upande mwingine, zinasambazwa habari kuwa mpinzani wake Muhammad Buhar, anaungwa mokono n a B o k o H a r a m , k wa vile ni Muislamu. Mara tu zi l ipoanza kampeni, ilisambazwa habari katika vyombo vya habari kuwa Boko Haram wanamuunga mkono Muhammad Buhar. Hata akija kukanusha, habari za awali zishaathiri vichwa vya wapiga kura.

Inaendelea Uk.12

Sami Osmakac

Page 12: ANNUUR 1169a.pdf

12 AN-NUURJAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 20-26, 201512 MAKALA

Kalamu nimeishika, mhariri tafadhali,Swahifani kuandika, naomba chako kibali,Risala ipate fika, kote karibu na mbali,RAMLI zote HARAMU, si chonganishi pekee.

Namhimidi RABUKA, mwenye weledi azali,Thuma swala napeleka, na salamu kwa Rasuli,Na swahaba waongoka, pamwe na zake ahali,RAMLI zote HARAMU, si chonganishi pekee.

Gagaziko lanishika, kunako hino kauli,Vyomboni inosikika, mintaarafu ramli,Yapaswa kuimulika, kwa wake uvulivuli,RAMLI zote HARAMU, si chonganishi pekee.

Wazi kwenu naiweka, na ninyi muijadili,Japo ninaiandika, kwa mwendo wa tabdili,Kwalo msijekwazika, lengo vina kuhimili,RAMLI zote HARAMU, si chonganishi pekee.

Si nyingine kwa hakika,ya 'chonganishi ramli',Ipate vyema someka, ifanzie tabdili,Kwa la akhiri kuweka, mwahala pa la awali,RAMLI zote HARAMU, si chonganishi pekee.

Dhahiriya yaoneka, i yenye katazo kali,Batiniya yatamka, ramli jambo halali!Kwalo wazi yaiweka, kitanzini serikali,RAMLI zote HARAMU, si chonganishi pekee.

Kulikoni kuwashika, walozi wa matunguli?Yu nani mwenye hakika, endapo zao ramli,Ni zile zinotakika, au ni zile batili? RAMLI zote HARAMU, si chonganishi pekee.

Yatupasa kuzinduka, tutaliki ujahili, Kupamba kisopambika, kwa lugha ya uayali, ALIMU ashaliweka, wazi kwetu jambo hili, RAMLI zote HARAMU, si chonganishi pekee.

Qur-ani yako shika, sura ya tano dalili, MAIDA yatambulika, kwa jina si ANFALI, TISINI aya mulika, yaharamisha ramli, RAMLI zote HARAMU, si chonganishi pekee.

KUMBUKUMBU kadhalika, la TAURATI ramli,Wazi fungu laiweka, KUMI NA NANE nakili,ASHARA aya kutoka, hadi ya KUMI NA MBILI,RAMLI zote HARAMU, si chonganishi pekee.

Na Rasuli katutaka, tusende piga ramli,Si chonganishi tongoka, alimradi ramli,Aula ni kuepuka, kumbo zote za ramli,RAMLI zote HARAMU, si chonganishi pekee.

Tusije kupeketeka, kwa kuacha maadili,Kwa akuwami kushika, za watu wenye manzili,Falau za kupotoka, tuzitupilie mbali,RAMLI zote HARAMU, si chonganishi pekee.

Kama zenye kuongoka, pamwe na zenye kulali, Nususi zisokiuka, za Rasuli na JALALI, Shime hizo kuzishika, tena ala kulihali, RAMLI zote HARAMU, si chonganishi pekee.

Ukingoni nimefika, mwa tatanishi kauli,Sishauri kutumika, yahamasisha ramli,Kalamu chini naweka, upogo tusikubali,RAMLI zote HARAMU, si chonganishi pekee.

ABUU NYAMKOMOGI-MWANZA.

'RAMLI CHONGANISHI' AU RAMLI ! Atoswa na kufungwa jela miaka 40Inatoka Uk. 11

Kulikuwa na bunduki AK-47 pamoja na mabomu ya aina mbalimbali.

I l i k u w a n i n d a n i ya chumba hicho pia a m b a p o u l i w e k w a m p a n g o k u wa S a m i akitoka hapo atakwenda kulipua baa moja (Irish b a r , M a c D i n t o n ’ s ) akitokea hapo akalipue pia Seminole Hard Rock Hotel & Casino hapo hapo Tampa. Akiwa kavaa fulana yenye mabomu aliambiwa kuwa polisi hawawezi kumkaribia na kama waki jaribu, ayalipue afe ‘Shaheed’. Hata hivyo silaha zote hizo alizopewa zilikuwa feki na alikamatwa nje ya baa Irish bar, MacDinton, kabla hajafanya lolote.

K a k a y a k e S a m i akiitwa Avni Osmakac, anasema kuwa mdogo wake hakuwa na mawazo ya kuwa na silaha wala k u u wa Wa k r i s t o a u kulipua baa, bali mawazo hayo kapandikiziwa na makachero. Anamtuhumu Russell Dennison kuwa ni kachero wa FBI aliyemtia matatani mdogo wake. Hata hivyo baba yake Russell Dennison, Mzee Russell Dennison Sr, alipohojiwa juu ya suala hilo alisema kuwa hana habari kuwa mwanae ni kachero ila anachofahamu ni kuwa kijana wake kwa muda mrefu alibadili dini na akaenda kuishi na kufanya kazi katika nchi za Kiarabu kabla ya kurejea tena Marekani.

Hata hivyo hoja kuwa Russel l Dennison ni kachero inapata nguvu kwa sababu wakati muda wote wapo pamoja na Sami wakitoa matamshi ya kuuwa na kumiliki silaha za kufanyia mauwaji juu ya watu wasio katika itikadi yao ya Kisalafi Jihad, Russell Dennison, y e y e h a k u k a m a t w a k a m a a m b a v y o hawakukamatwa pia wale makachero Abdul Raouf Dabus na “Amir J o n e s ” . H a t a h i v y o inaelezwa kuwa katika baadhi ya mikakat i , hutokea hata kachero akakamatwa pamoja na

mlengwa wa ugaidi, lakini atakapoachiwa hutajua. Inasemekana kuwa baada ya kukamilisha mpango huu, Abdul Raouf Dabus alilipwa kiasi cha Dola 20,000. Tuje kwetu Songea, Mwanza

Tumekuwa tukisikia habari za watu waliokuwa wakipita kule Songea wakichangisha pesa za kununulia silaha. Lakini pia hadi sasa inaelezwa kuwa kule Mwanza bado kuna baadhi ya Misikiti kuna watu wanawahimiza wafuasi wao kumiliki silaha bila kujali zina kibali au la. Na wakiambiwa kuwa lengo la kuwa na silaha hizo ni kupambana na makafiri, Wakristo na Waislamu wanafiki. Ni kwa nini bado mahubiri ya aina hiyo yanaendelea, ni swali ambalo siwezi kulijibu kwa usahihi. Je, ni wanausalama wapo kazini, na kwa lengo gani sijui. Lakini moja ya sababu yaweza kuwa ile waliyoisema wale FBI wakishangaa inakuwaje kijana yule wa Kiislamu Sami anafanyiwa mchezo wa ‘ki-Hollywood’ wa kukamatishwa na jinai ya hatari, lakini hastuki! Inakuwaje ki jana wa Kiislamu anakuwa mjinga kiasi cha kudhani na kuamini kuwa kwa silaha yake ya kununua mtaani, a taweza kupambana kivita dhidi ya polisi, jeshi na idara za usalama za Marekani?

Ndio pale wakasema, sio tu kwamba kijana yule ni mjinga, lakini huenda ni taahira na punguwani pia . Na ndio maana ndugu zake walikuwa wamepanga kumpeleka ‘Mirembe’.

Ukitizama kisa cha k i j a n a S a m i a k i w a mikononi mwa akina Abdul Raouf Dabus, Russell Dennison (Abu Malik) na “Amir Jones”, hakipo mbali sana na visa vya akina “Kessy” aka “Kaisi”. Na ndio maana tulisema na mapema kuwa hawa wanaorekodi CD/Video na kudai kuwa ndio walioteka vituo vya polisi na kupora silaha au wale waliodaiwa kuhimiza vijana wa Tanga kuingia

vitani, polisi wanawajua kwa sababu mbili.

Hii “entrapment” ( m t e g o ) a m b a y o imekuwa ikitumiwa sana na FBI, imeelezwa kuwa ni moja ya njia ya kumtambua mtu m w e n y e m a w a z o ya kigaidi, ambaye a n a w e z a k u f a n y a vitendo vya kigaidi hapo baadae . Kwa h iyo unamtega na kumtambua mapema ili kuzuiya asije kufanya ugaidi mbaya hapo baadae.

A l i s h a w a h i kunukuliwa Afisa moja katika Idara za Usalama za Marekani akihimiza kuwa nchi washirika wa M a r e k a n i n a o watumie mbinu hii. Sasa maadhali mara kadhaa tumekuwa tukisikia k u w a w a n a i t w a FBI kutusaidia, basi huenda hii ni moja ya njia ambayo tayari inatumiwa hapa nchini. Na tunayasema haya kwa sababu haiwezekani kwa mfano mtu ahubiri na kuhimiza ununuzi na umiliki wa silaha kinyume na sheria kama il ivyofanyika Songea, apite msikiti wa kwanza, wa pili, wa tatu wala haogopi na hakamatwi! Lakini pia mahubiri kama yale yanayoendelea katika baadhi ya Mis iki t i Mwanza, unayaelezeaje! Hiyo moja.

Pili ni kuwa hata kama hao akina “Kaisi”, sio akina “Amir Jones” w e t u , l a k i n i k w a utaalamu wa sasa, Polisi h a wa we z i k u s e m a kuwa hawawatambui. Kwa hiyo kama video kama hizo zitaibuka t e n a n a k u p i g i w a propaganda kama zile za Abubakar Shekau na “Jihad John”, itakuwa zimeruhusiwa na wenye mamlaka ya kuzizuiya, na hivyo itabidi wananchi waulize, kwa nini? Ila ikiwa hivyo, itakuwa ni ishara ya mbaya. Kwamba tutakuwa tumeshaundiwa jinamizi ambalo si polisi, jeshi wala Jeshi la pamoja la Afr ika Mashar ik i litakaloweza kupambana nalo. Mungu aepushie mbali!

Page 13: ANNUUR 1169a.pdf

13 AN-NUURJAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 20-26, 2015MAKALA

DAWA UGONJWA UNAOTIBIWA1 HAIIBA DENTAL

GUARDM a u m i v u ya meno

Maambukizi ya gram positive bakteria kwenye kinywa H a r u f u m b a y a kinywani

2 HAIIBA DENTAL GUARD COMBO

M a u m i v u ya meno

Maambukizi ya gram p o s i t i v e b a k t e r i a kwenye kinywa

H a r u f u m b a y a kinywani

Magonjwa ya fizi Kujenga upya meno yenye matundu

3 HAIIBA IG Kuongeza kinga za mwili Vidonda vya tumbo Kurekebisha athari za kisukari cha ukubwani

4 H A I I B A I G COMBO

Hupunguza mzigo wa virusi vya ukimwi mwilini

5 HAIIBA TIMAMU TEA

M a u m i v u ya viungo

Kusawazisha Cholesterol

K u h i f a d h i m n y u m b u k o wa ngozi

Kupunguza shinikizo la damu

Hupunguza madhara ya kisukari cha ukubwani

Hukinga dhidi ya uharibifu wa ini

Uchovu Kupunguza k a s i y a kuzeeka

K u i m a r i s h a siha ya ngozi

Kupunguza uwezekano wa kupata shambulio la moyo (Heart Attack)

Hupunguza makali ya maradhi ya kupoteza k u m b u k u m b u (Alzheimer’s disease)

Hukinga mapafu yasipate makovu

Homa za mara kwa mara

Usagaj i wa c h a k u l a tumboni

K u i m a r i s h a siha ya macho

Huboresha siha ya mishipa ya fahamu

Huharakisha kupona majeraha

Hukinga dhidi ya ugonjwa wa ngozi k u c h u j a r a n g i (vitiligo)

M f u r o (Inflammation)

Kusafisha ini Kinga dhidi ya saratani

H u o n g e z a A l k a l i mwilini

Hupunguza makali ya ugonjwa wa baridi ya yabisi (Arthritis)

Husafisha kinywa dhidi ya bacteria wasiotumia oxygen

Kinga za mwili K u b o r e s h a m z u n g u k o wa damu

Kuharibu seli z a s a r a t a n i z i l i z o k o mwilini

Huzuia cholesterol m b a y a ( L D L ) kuingiliana na oxygen na kuleta madhara

Hupunguza kasi ya ongezeko la virusi vya ukimwi

Ni kinga dhidi ya utapiamlo

DAWA UGONJWA UNAOTIBIWA6 HAIIBA GLUCOMASTER

PROGRAMMEHutibu Kisukari cha ukubwani Kurekebisha athari za kisukari

cha ukubwani

7 HAIIBA P & B Kuziba mkojo Kibofu kilicholegea8 HAIIBA C CLEAN Malaria sugu Maambukizi ya njia ya

mkojoKuondoa bacteria wabaya tumboni Saratani mbalimbali

9 H A A I B A FA M I LY BUSINESS

Kuondoa ukhanithi Kuimarisha sana uwezo wa tendo la ndoa Maumivu ya kiuno na mgongo

10 HAIIBA CLEAN UP Kusafisha tumbo na njia ya haja kubwa

Kurekebisha mfumo wa usagaji chakula Nguvu za kiume

11 HAIIBA MLONGE PACK Kinga imara dhidi ya utapiamlo Huimarisha kinga za mwili Huondoa uchovu

HERBAL IMPACTP.O.BOX 70949, DAR ES SALAAM.

SIMU: 0754281131/0655281131MOSQUE STREET, NO.1574/144, KITUMBINI DAR ES SALAAM (MKABALA NA MSIKITI WA SUNNI

INAWEZA kukushangaza kuwa baadhi ya vyakula maarufu na vinavyopendwa, mathalani matunda ya jamii ya machungwa, yaani m a c h u n g wa y e n y e w e , machenza, malimau, ndimu, na mabalungi, vinaweza kukusababishia hisia za kuumwa. Vyakula vingine k a t i k a k u n d i h i l i n i pamoja na: Jibini, Achari, Mtindi, Mayai, Vyakula vinavyoandaliwa kutokana na viumbe wanaovuliwa b a h a r i n i ( s e a f o o d ) , Nyama zilizochakatuliwa k a m a s o s e j i , N y a m a zilizokaushwa, Viporo vya nyama, Yogurt, Matunda ya jamii ya zambarau, Matunda yaliyokaushwa, Vyakula vilivyochachuliwa ( fermented) , Spinachi , Nyanya – ikiwa ni pamoja na ketchup, tomato sauces, Rangi bandia za vyakula na kemikali za kuongeza muda wa matumizi kwenye chakula (Preservatives), Viungo:

Maumivu yanayotokana na vyakulaNa Juma Kilaghai Mdalasini, pilipili ya unga,

karafuu, nakadhal ika , Chai, Chocolate, cocoa, na vinywaji vya cola, na Siki (vinegar) na vyakula vyenye siki kama vile achari, ketchup, na kadhalika.

H i s i a z a m a u m i v u yanayotokana na vyakula hivi, yanajidhihirisha kwa dalili kama vile maumivu ya kichwa, kuwashwa kwa ngozi, msongo, kiungulia kikali, kubanwa kwa njia ya hewa (nasal congestion), nakadhalika. Kama mwili wako unapata his ia za kuumwa (mizio) baada ya kula aina fulani za vyakula, ikiwa ni pamoja na hivyo vilivyoorodheshwa hapo juu, inawezekana unakabiliwa na tatizo lisilojulikana sana, japokuwa linawakabili watu wengi: tatizo la mwili wako kushindwa kuhimili uwepo wa homoni ya Histamine (Histamine intolerance).

Histamine ni kemikali ya kiorganic ambayo moja ya viasili vyake ni nitrogen. H i s t a m i n e n i m o j a ya kemikali zinazozalishwa na mwili pale kinga za mwili

zinapojibu shambulizi au mashambulizi ya kitisho chochote dhidi ya mwili. Histamine hufanya kazi hii kwa kusababisha vimishipa vidogo vya damu kupanuka ili kuwezesha chembechembe nyeupe za damu, pamoja na baadhi ya protini kupita kwa urahisi, kwenda kupambana na kitisho chochote ambacho kimeuvamia mwili.

Kemikali hii hufanya pia kazi ya kuratibu baadhi ya shughuli za kifiziolojia zinazoendelea katika njia ya chakula, hasa tumboni. Histamine inafanya pia kazi kama ‘neurotransmitter’, yaani kemikali inayopokea, kukuza na kusaf i r i sha m a w i m b i y a u m e m e yaliyobeba taarifa maalum kutoka katika seli zinazounda mishipa ya fahamu hadi katika seli nyingine katika mwili.

Kama hujawahi kuisikia dhana ya mwili kushindwa k u h i m i l i h o m o n i y a histamine, tambua kuwa h u k o p e k e ya k o . K wa kawaida ni vigumu sana kulitambua tatizo hili la

mwili kushindwa kuhimili homoni ya His tamine . Kwanza kabisa tatizo hili linazaa dalili nyingi, na mara nyingi dalili hizi hudhaniwa k u w a z i m e t o k a n a n a matatizo mengine kabisa ya kiafya. Madaktari wengi na wataalamu wa l ishe hawajawahi kuisikia dhana hii na hivyo basi huishia kutoa matibabu ambayo hayalengi kabisa kiini cha tatizo. Ukweli wa mambo ni kwamba tatizo hili ni la kawaida sana, japokuwa halieleweki vema.

Tofauti ya mizio ya kawaida inayotokana na vyakula, na mizio inayoletwa na mwili kushindwa kuhimili Histamine!

Tatizo la mwili kushindwa kuhimili Histamine kwa kawaida husababishwa na mapungufu katika moja ya mifumo, kati ya mifumo miwili , ya vimeng’enya vinavyohusika na mchakato wa uvunjifu wa Histamine ndani ya mwili. Mfumo huu ni ule ujulikanao kama diamine oxidase (DAO). Mfumo wa pili hujulikana

kama histamine N-methyl t r a n s f e r a s e ( H M T ) . Upungufu katika huu mfumo wa DAO, ambao hupatikana katika utando unaozingira njia ya chakula (intestinal mucosa), unatajwa kuwa ndicho chanzo kikuu cha mwili kushindwa kuhimili His tamine . Ni dhahir i kwamba kuna tofauti za kimaumbile baina ya mtu na mtu , kuhus iana na utendaji kazi wa mifumo hii ya vimeng’enya. Hata hivyo inaaminka kuwa iwapo yeyote katika mifumo hii utakumbwa na mapungufu yatakayopelekea ufanye kazi kwa kiwango cha chini, basi kutakuwa na Histamine ya ziada mwilini, na hali hii itasababisha kujitokeza kwa dalili nyingi mwilini zinazoshabihiana na mizio. Miongoni mwa dalili hizi ni pamoja na:

K u wa s h wa , h u s u s a n kwenye ngozi , macho , masikio na pua (Pruritus). H a r a r a k we n ye n g o z i (Urticaria). Kuvimba kwa

Inaendelea Uk. 16

Page 14: ANNUUR 1169a.pdf

14 AN-NUURJAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 20-26, 2015Makala

JENIN, (WAFA) – A group of Israeli settlers Tuesday attacked two Palestinian youth while they were tending to their farmland near the town of Silet al-Harthyeh, southwest of Jenin, according to Jaba municipality.

A s o u r c e a t t h e municipality told WAFA that settlers beat up two residents of the town of Jaba to the south of Jenin; Nabil Khlilieh and Amjad Kanaan, using s t icks

Israeli Settlers Attack, Injure Two Palestinians Southwest of Jenin

BETHLEHEM (Ma'an) -- As voting centers in Israel closed at 10 p.m. on Tuesday, exit polls estimate the Arab Joint List picked up 13 seats in the Israeli parliament, according to Israeli news sources.

Prime Minister Benjamin Netanyahu's Likud and Zionist Union, headed by Tzipi Livni and Isaac Herzog, ran neck and neck by the end of the day, with exit polls reporting a 27-27 seat tie.

As Likud began trailing b e h i n d Z i o n i s t U n i o n during the lead up to the election, today's voting results will determine the future leadership in Israel by Netanyahu, who has served three terms as prime minister.

The 13 seats gained by the Arab Joint List in the

and empty glass bottles, causing them injuries and bruises throughout their bodies.

A c c o r d i n g t o a United Nations report, “Settlements are illegal under international law as they violate Article 49 of the Fourth Geneva C o n v e n t i o n , w h i c h prohibits the transfer of the occupying power’s civilian population into occupied territory. This has been confirmed by

the International Court o f Jus t i ce , the High Contracting Parties to the Fourth Geneva Convention and the United Nations Security Council.”

O C H A s a i d t h a t , “The failure to respect international law, along with the lack of adequate law enforcement vis-à- vis settler violence and takeover of land has led to a state of impunity, which encourages further violence and undermines

the physical security a n d l i v e l i h o o d s o f Palestinians.”

In a different OCHA report published in 2012, it reported that, “Over 90% of monitored complaints regarding settler violence filed by Palestinians with the Israeli police in recent years have been closed without indictment.”

“The Israeli authorities repeatedly fail to enforce the rule of law in response to Israeli settlers’ acts

o f v i o l e n c e a g a i n s t Palestinians. Israeli forces often fail to stop attacks and follow-up afterwards is inadequate or poorly conducted. Measures of the current system, including requiring Palestinians to file complaints at police stations located inside Israeli settlements, actively work against the rule of law by discouraging Palestinians from filing complaints.”

Israel's Herzog concedes defeat, congratulates NetanyahuJERUSALEM (AFP) -- Center-left challenger Isaac Herzog conceded defeat on Wednesday i n I s r a e l ' s g e n e r a l election and said he had congratulated rightwing Prime Minister Benjamin Netanyahu on his win.

" A f e w m i n u t e s ago, I spoke with the prime minister and I congratulated him on his achievement and wished him good luck," Herzog said, speaking to Israeli t e lev is ion and radio stations outside his house.

Exit polls: Arab Joint List gains 13 Knesset seats 120-seat Knesset will give

Palestinian citizens greater representation than past elections.

Palestinian citizens of Israel, who account for just over 20 percent of the population, are treated as second class citizens of Israel and have not historically been proportionally represented in the Knesset.

The Arab Joint List, an alliance formed by four Arab parties -- United Arab List, Ta'al, Balad and Hadash -- was the first time parties representing Palestinian citizens in Israel have joined forces.

The 20th Knesset elections have had the highest voter turnout so far since 1999 elections, according to Israeli news sources.

By Leila SansourOn February 13 , the

Guardian published a letter signed by 100 British artists. The letter called for a cultural boycott of Israel and my name was on it. For years, I have argued that, in so far as the boycott tactic is concerned, the cultural and academic boycotts may well prove more effective than the economic versions seeing that they go straight to the heart of the matter - shaming those who are, directly or indirectly, colluding with the occupation.

You can see I am not very timid but, when it came to signing the pledge this time round, I have to confess, I did it with a slightly heavy heart. So, why was it not straightforward?

If you listen to conversations inside the Palestinian camp today you are likely to get the

I support the Israeli boycott - but which one?

impression that the effort to advance all forms of boycott against Israel is gaining ground and that this advance is the safest way to secure some traction for the cause of the Palestinians.

In the past month, it is the academic campaign that was able to boast some victories.

On February 17, for example, the Undergraduate Senate of Stanford University passed a motion approving to divest from companies with holdings over the Green Line.

Academic boycottNorthwestern University's

A s s o c i a t e d S t u d e n t Government in the US has passed a resolution that urges the University to divest from Boeing, Caterpillar, Hewlett-Packard and other companies benefitting from the occupation.

And, just two weeks ago, SOAS University in the UK set a precedent by voting yes to an academic boycott after a school-wide referendum that invited votes from students, academics, faculty staff, governors as well as outsourced workers.

Understandably, everyone cheers but in the euphoria most seem to forget about checks and balances. I doubt it if many have paid attention to the article by Sir Mark Walport, chief scientific adv isor to the Br i t i sh Government in Haaretz on March 11 in which he says:

"From the prime minister down, the government of the UK is committed to a stronger research and innovative partnership with Israel. This is why 2014 was a record year for trade between the two countries."

W a l p o r t m i g h t b e employing some diplomatic speak but there is no doubt that both trade relations and sc ient i f ic research col laborat ions between Israel and various European countries have been steadily on the ascendancy. Where are we going wrong?

Pariah stateInside the boycott camp

a debate is unfolding but it seems rarely to go past the first or second posts. Is Israel a pariah state? This is what first divides the two main camps. I heard one American professor once say: "The academic boycott is wrong because it immediately suggests that only one side has the moral high ground."

"That is right," I thought. Only one side does. This is why the boycott is such an important tool. It draws a line in the sand and challenges people to learn about the issue.

U n t i l r e c e n t l y , t h i s is where the debate used to end. The effectiveness of boycotts as a tactic is a fairly new debate and, dare I say, not very popular with the boycott supporters. Of

course, South Africa gets cited as one example where this tact ic has worked although post apartheid research has not provided any decisive evidence as to how instrumental the boycott had been as an agent of change. Speaking about the power of boycott, Desmond Tutu refers to it as "symbolic".

The truth is, we do not really have enough examples to go by. We might have a hunch that it can work but boycotts are a blunt tool. We have to admit that we are hacking in the dark. Going by comparable strategies adopted by states like the sanctions that were imposed on Iraq, Cuba, and even Israel when it was a nascent state boycotted by all its neighbours, we might deduce that isolation only leads to firmer and more entrenched positions.

I do not agree with the opponents of the cultural and academic boycotts on the grounds that the boycott impinges on the freedom of speech. It does but freedom of speech is not an absolute.

Freedom from slavery is. Some argue that boycotts are counterproductive because they sever dialogue when change is more likely to occur if you provide information rather than withhold it. True, which might mean that there is a need to ensure that every act of boycott should be treated as an opportunity to provide information.

Page 15: ANNUUR 1169a.pdf

15 AN-NUURJAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 20-26, 2015Makala

MAKALA hii itamwangalia gwiji mwengine kati yale ambao waliotoa mchango mkubwa katika ulimwengu wetu huu na sio mwengine ni kwa jina ni Ibn Rushdi. Jina lake kamili ni Abu Walid Mohammed Ibn Rushd aliyezaliwa katika mji wa Cordova katika mwaka wa 1128 CE. Katika ulimwengu wa Magharibi anajulikana kwa jina la Averroes.

Mchango wake katika Falsafa ni mkubwa mno ambao katika ulimwengu wa Magharibi umepewa nafasi kubwa zaidi kuliko katika ulimwengu wa Kiislamu kutokana na baadhi ya nadharia zake katika Uungu kuwa na mashaka ndani ya Uislamu. Ibn Rushd na Ibn Sinna wapo katika chungu kimoja katika hayo.

Ibn Rushd alishikamana na Falsafa ya Aristotelian na kujaribu kuziunganisha nadharia zenye Falsafa hiyo na Uislamu na hapo ndipo wengine wanakataa kumshangilia kama kati ya wale waliotoa mchango mkubwa kwenye Falsafa ya Kiisalmu.

Kigogo hichi a l ianza m a s o m o y a k e k a t i k a kujifunza Hadithi za Bwana Mtume SAW, lugha, fiqhi na mwongozo wa dini . Katika maisha yake yote alijishughulisha na kuandika kuhusiana na Falsafa, sifa za Muumba, kuanza kwa dunia ambapo aliwatangulia katika fani hii magwiji wa nchi za magharibi kwa zaidi ya karne 9. Aidha, aliandika juu ya utibabu na Nahwi ya Kiarabu. Katika fani ambayo ilimshughulisha sana na kuchukua muda mkubwa kukifanyia kazi, hakuna kama dhana ya Mwanafalsafa na mchango wake katika serikali na uongozi wa nchi.

N a m n a a l i v y o k u w a akifikiri na kutoa hoja, aliwashangaza wengi kati ya waliomfwatia baada ya kufa, khasa khasa Mayahudi na Wakristo. Katika hoja yake ambayo ilitia mizizi na kujadiliwa kwa miaka na mikaka, ni pale alipouelezea Ukweli na akasema ukweli unasimama katika mihimili miwi l i mikuu nayo n i mhimili wa dini na ule wa falsafa. Akasisitiza kwa kusema kuwa ikiwa huo ukweli unakwenda katika

Mchango wa Waislamu Katika Maendeleo ya Dunia-Ibn Rushd

Ibn Rushd mwanafalsafa mkubwa

Na Ben Rijal

Na Ben Rijal

Fatilia kuandama kwa MweziNa Ben Rijal

Leo Ijumaa ni tarehe 28 Jumada-al-Oola 1436 AH yaani mfungo Nane.

Tutaangalia kuandama mwezi kwa Mfungo Tisa tarehe 21 March 2015.

Tutaangalia kuandama kwa mwezi wa Rajabu tarehe April 19, 2015.

Tutaangalia kuandama kwa mwezi wa Shaban tarehe 18 Mei, 2015.

Tutaangalia kuandama kwa mwezi wa Ramadhani tarehe 16 Juni, 2015.

Kutoka leo Ijumaa ya tarehe 20 March, hadi kufika Ramadhani tumebakisha siku 97.

njia tafauti, basi shikamana na falsafa. Katika hoja hizi, ndipo utapoona kwanini ulimwengu wa Magharibi kuwa unamshangilia na kukubalika zaidi kwa upande wao. Ibn Rushd akitanzwa katika kule kufahamu kuwa iweje Muumba kuweza k u ya j u a ya l e a m b a y o hayajatokea kisha yakatokea, kisha akafahamisha kuwa Falsafa kuwa ipo juu ya Dini.

I m a m A l - G h a z a l i n i mmoja katika Wanafalsafa w a K i i s l a m u a m b a y e al i j ikurubisha zaidi na utakatifu kwa Allah na ameandika vitabu vingi vya Falsafa lakini Ibn Rushd alikuwa hakubaliana na Imam Ghazal i na hayo utayaona katika kitabu chake Tuhafut al-Tuhafut, kitabu hiki kilipata mashambulizi mengi kwa wasomi wa Kiislamu nakuzingatiwa pakubwa na wasomi wa nchi za Magharibi na kuwa ndio dira ya Falsafa ya kimambo leo na ka t ika kufanya uchunguzi wa sayansi kwa nchi za Magharibi. Ibn Rushd anaeleza kuwa mwanadamu hana mamlaka kamili kwa yale yatakayomtokea. Aidha hana uwezo hata chembe wa kujuwa mwisho wa jambo lolote lile.

Ibn Rushd ameichambua Qu’ran na kuifanyia Sherehe

yaani maelezo ya kina katika kazi nzito lakini kutokana na Falsafa aliokuwa nayo, kazi yake hiyo haikupata umaarufu. Juu ya hayo, Fat’wa zake zimepata umaarufu kwa

kiasi kuwa hadi nyakati hizi, zinatumika na baadhi ya wasomi na mmoja wa wasomi anayependa kuzi tumia fat’wa hizo ni Javed Ahmad Ghamidi.

Akili ya Ibn Rushd ilikuwa yenye upeo mkubwa wa uchambuzi na kufikiri . Kuyafahamu hayo, utaona kuwa akiwa ni kijana wa umri wa miaka 25 alipokuwa yupo Morocco, alianza kuzifwatilia nyota na mwenendo wake n a k u j a k u z i t a j a n y o t a ambazo wasomi wa nyota walikuwa hawazijui. Kisha

akaelezea kuwa anavyoona na ufahamu wake kuwa mwezi hauna nuru yake kama jua na mwezi ni sehemu tu ya sayari isiokuwa na nuru yake wenyewe na inapata

nuru yake kutokana na jua. Akauelezea mwezi kuwa una sehemu ilio kubwa koliko sehemu nyengine, sehemu zilizokuwa kubwa ndizo zinazopata nuru zaidi kuliko zile sehemu zilizokuwa ni ndogo.

Katika jua kuna sehemu hujitokeza katika baadhi ya vipindi kuwa zina kiza (sunspot) inafahamishwa kuwa Ibn Rushd ndio mtu wa mwanzo kulitambua hilo. Ibn hakutuwama kwenye fani ya Falsafa na elimu ya nyota tu, alibobea katika elimu ya

utibabu na moja ya kitabu chake ambacho kilimpatia sifa kubwa, ni Kitab al-Kulyat fi al-Tibb alichokiandika mwaka wa 1162 A.D na tafsiri ya kitabu hicho inajulikana kama ‘Colliget’. Katika kazi kubwa ya utabibu, Ibn Rushd aliifanyia kazi pakubwa namna ya kumkaguwa mgonjwa anapoumwa, vipi kumtibu mgonjwa na zaidi alijishughulisha na namna ya kujikinga na maradhi na mambo mengi ya utibabu.

Kaz i zake n i ny ing i n a i n a f a h a m i k a k u wa ameandika vitabu 67 kati ya hivyo 28 aliandika juu ya Falsafa, 20 katika fani ya utabibu, 8 katika Sharia, 5 masala yanayohusiana na Dini na 4 juu ya Nahawi ya Kiarabu. Kuna chambuzi za kina alizozifanya juu ya Wanafalsafa wa Kiyunani wakiwemo Aristotle na Plato katika kuijuwa Taifa liweje?

Mmoja kati ya wasomi wa Kiislamu wanaomkubali na kazi zake anasema “hakuna shaka utapomchambua Ibn Rushd kwa kina hasa anapoelezea harakati za mwenendo katika umbile la viumbe, hakuna shaka utasema huyu ni Muislamu wa kwelikweli kwani kuyajua hayo yanakufanya uwe karibu na Allah .”

U n a p o m s o m a I b n Rushd katika vitabu vyake v y a F a l s a f a , u n a p a t a kuchanganyikiwa na kuona hujui umuweke katika mizani gani. Sio yeye peke yake na kuna gwiji mwegine nitakuja kumuelezea huko mbele kwa jina Ibn Sina naye kinadharia wanakwenda sambamba.

I b n R u s h d k a f a n y a uchambuzi juu ya Qu’ran na mwenyewe hakupata kukiri kuwa sio Muislamu juu ya baadhi ya kazi zake kuwa na mashaka. Hatuna mizani ya kuhukumu mwenye kuhukumu ni mwenyewe Allah tuangalie upande wenye manufaa na tuwache yale yenye mashaka kati ya kazi zake.

Makala i takayofwata Insha’Al lah wiki i j ayo itamurika msomi mwengine k a t i ya wa l e wa l i o t o a mchango katika mabadiliko ya sayari yetu hii, naye ni Omar Khayyam, mjuzi wa hesabu na elimu nyengine na ndio alioandika shairi refu na kuwa na baiti nne lijulikanalo Rubaiyat Omar Khayyam ambalo lina ladha kubwa na ufundi unapolisoma. Ndipo pale mwandishi wa riwaya wa Kizanzibari Abdulrazak Gurnah alipoulizwa jee utapendelea utembelee mwahali gani patakutuliza roho yako? Alijibu “si pengine ila ni Bahghad katika eneo la mito ya Tigris na Euphrates nikisikiliza baiti za Rubaiyat Omar Khayyam.

Page 16: ANNUUR 1169a.pdf

16 AN-NUURJAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 20-26, 2015Makala

Maumivu yanayotokana na vyakulaInatoka Uk. 13

tishu (angioedama), hususan katika uso, kinywani na wakati mwingine kwenye k o o – k i t u a m b a c h o kinamfanya mtu ajenge hisia kama vile anakabwa. Kushuka kwa shinikizo la damu (Hypotension). Kuongezeka kasi ya mapigo ya moyo (Tachycardia). Dalili zinazofanana na msongo au wasiwasi mkubwa. Maumivu ya kifua. Kubanwa kwa njia ya hewa na kuwa na pua inayotoa kamasi kila mara. Macho mekundu, yanayotoa machozi , huku yakiwa na hisia za kusumbuliwa ( C o n j u n c t i v i t i s ) . A i n a tofauti tofauti za maumivu y a k i c h w a . U c h o v u , kuchanganyikiwa, na hisia za kukereka. Kupoteza fahamu kwa sekunde moja au mbili. Kujisikia vibaya kwenye njia ya chakula, hususan kujisikia kiungulia, kuvimbiwa na hali ya kucheua maji makali ya tumboni (reflux).

M i z i o i n a y o z a l i w a kutokana na mwili kushindwa kuhimi l i His tamine n i tofauti na ile inayoletwa na vyakula. Wakati mizio i n a y o s a b a b i s h w a n a vyakula ni ya papo kwa papo baada tu ya kula, i le inayosababishwa na Histamine huja taratibu huku ikiongezeka kidogo kidogo (cummulative). Mfano wa hali hii ni kama maji yaliyoko kwenye kikombe. Kikombe kinapokuwa kimejaa kabisa, tone moja la ziada la maji l inatosha kufanya maji yaliyoko kwenye kikombe yaanze kumwagika. Lakini maji yanapokuwa hayajajaa sana kwenye kikombe, kutahitajika kiasi kingi cha maji (Histamine) kabla tukio la kumwagika kwa maji yaliyoko kwenye kikombe halijachochewa kutokea. Hali hii inasababisha utambuzi wa kuwa mwili hauna uwezo wa kuhimili Histamine kuwa mgumu.

K w a n y o n g e z a , kush indwa kwa mwi l i kuhimili Histamine kuna mahusiano ya karibu sana na ongezeko la kupindukia la bakteria kwenye utumbo mwembamba (small intestine bacteria overgrowth – SIBO). Hii ina maana kwamba ukitibu tatizo hili la ongezeko la bakteria, basi moja kwa moja unaleta ufumbuzi katika tatizo la Histamine. Matabibu we n g i wa n a o k u m b a t i a mifumo tofauti ya t iba (integrative practiioners) wanaamini kuwa tatizo la mwili kushindwa kuhimili h i s t a m i n e , k i m s i n g i linatokana na ongezeko kubwa la lili lopindukia mipaka la aina fulani fulani za bakteria katika njia ya chakula. Bakteria hawa hutengeneza histamine nyingi kutoka kwenye chakula ambacho hakikusagwa vema tumboni na kupelekea njia ya chakula kuwa na kiasi kikubwa cha histamine. Ongezeko hili kubwa la histamine huufanya uwezo wa mwili kuivunja na kuiondosha kuzidiwa. Hali hii huzidi kushusha uwezo

wa mwili kuihimili histamine na hivyo kupelekea mwili kujenga upinzani dhidi ya vyakula vyote vyenye histamine kwa wingi Ulaji wa vyakula hivi moja kwa moja huzalisha dalili ambazo tunazioanisha na mizio.

Nini unachaswa kufanya kama mwili wako hauwezi kuhimili histamine Kwa kuwa vyakula vingi vina

histamine na kwa baadhi ya watu bakteria walioko kwenye njia zao za chakula huzalisha kiasi kingi cha histamine kinachopekea wawe na dalili za magonjwa zinazowakumba, tatizo hili kwa kweli linaweza kuwa n i c h a n g a m o t o k u b wa katika kulipatia ufumbuzi. Vyakula vilivyochachuliwa ni miongoni mwa vyakula

vinavyoongeza uzito wa changamoto hii ukizingatia kuwa hata bakteria wazuri walioko tumboni nao pia huzalisha histamine pale wanapokutana na mazingira ya uchachu. Moja ya vipimo vyepesi vya kujua kama u n a k a b i l i wa n a t a t i z o la mwili wako kutoweza kuhimili histamine ni kula vyakula vilivyochachuliwa.

K w a m t u y e y o t e mwenye tatizo la mwili wake kushindwa kuhimili histamine, kuondoa vyakula vyenye histamine nyingi katika ulaji wake ni jambo la lazima, walau kwa muda fu lani . Baada ya hapo mgonjwa anaweza kuanza kula kiasi kidogo cha vyakula hivi. Hata hivyo athari ya histamine inatofautiana kati ya mtu na mtu. Wakati baadhi ya watu miili yao haiwezi kuvumilia kiasi chochote cha histamine, baadhi huathirika tu pale wanapokula vyakula vyenye kiasi kikubwa cha histamine.

Ili kuujengea mwili wako uwezo zaidi wa kuhimili histamine ni muhimu sana kuikarabati njia yako ya chakula ikiwa ni pamoja na kushughulikia matatizo yote yenye uhusiano na ‘SIBO’ kama yapo. Unywaji wa maji wa kutosha ni moja ya njia za uhakika sana katika kudhibiti ongezeko kubwa la histamine na pia kukarabati njia ya chakula. Aidha kujenga mazoea ya kutumia tembe mbili hadi tano za vitunguu saumu kwa siku na kupunguza sana ulaji wa sukari na vyakula vya wanga uliochakatuliwa, ni vitendo ambavyo vitasaidia sana kupunguza wingi wa bakteria wabaya kwenye njia ya chakula.

Changamoto zinazoukabili umma wa KiislamuInatoka Uk. 16

Changamoto ya pili ni baada ya kubomoa mifumo ya Ki is lamu, watawala wa dunia kupitia mpango wao wa "The New World Order" wanapandikiza kitu kingine kinaitwa utandawazi wa kiuchumi, kielimu na kiutamaduni katika jamii za Waislamu. Hii "New World Order" (Mpangilio Mpya wa Ulimwengu) hautaki kabisa Uislamu.

Changamoto ya tatu, dunia kuongozwa na taifa moja pekee lenye nguvu (Unipolar i sm) , ambalo hutumia Ukoloni Mamboleo ulioitwa majina ya kupendeza kama Utandawazi, Usasa na Umagharibi kuburuza mataifa mengine. Utashangaa k u o n a k a t i k a n c h i z a Waislamu, watawala wako karibu zaidi na maadui wa Uislamu kuliko wananchi wao na maadui hao ndiyo wanaolinda tawala hizo. Mataifa ya kibeberu ndiyo yanayodhibiti utajiri wote wa mataifa hayo. Watawala ni vibaraka tu wa Mabeberu.

L a k i n i p i a k u n a changamoto ya vita ya vyombo vya habari vya Magharibi dhidi ya Uislamu na Waislamu. Tatizo la msingi la Ulimwengu wa Magharibi siyo 'Siasa Kali za Kiislamu' kama wanavyonadi, bali Uislamu wenyewe ambao ni i t ikadi na ustaarabu tofauti, ambao watu wake wanajivunia sana ubora wa

utamaduni wao na mifumo yake yote. Vyombo vya habari vya Magharibi vinafanya kila linalowezekana kuchora picha potofu ya mafundisho ya dini ya Kiislamu, kama vile kutenganisha dini na dunia, kupandikiza usekula kwenye dhana mbalimbali na fikra za Kiislamu, kupotosha maana ya Jihad na kuzipaka matope sheria za Kiislamu.

Ndugu zangu kat ika imani, nukta hii kuhusu v i ta vya k i f ikra kama changamoto, ningependa kuizungumza peke yake mwishoni, kutokana na uzito wake.

Sasa kufuatia changamoto hizo, umma wa Kiislamu unaonekanaje mbele ya macho ya u l imwengu? Hakuna ubishi, umma wa Kiislamu duniani leo uko taabani ! Ndugu zangu katika Imani, tuko hovyo na tumesambaratika kila eneo! Waislamu hatuna mbele wala nyuma kama umma! Kielimu tuko nyuma, kiuchumi ni tegemezi, kisiasa hatuna nguvu, kiulinzi tunategemea mataifa ya Magharibi, kijamii ni mgogoro mtupu, na umma wetu umegubikwa na utengano mkubwa!

L a k i n i p a m o j a n a changamoto hizo, nguvu yetu kama umma iko wapi? Ndugu zangu katika Imani, nguvu ya kwanza ya umma wa Kiislamu ipo kwenye imani ya Kiislamu. Waislamu wakishikamana sawasawa na imani ya dini yao, hawawezi

kuwa wanyonge kamwe hapa duniani. Qur'an na Sunna haijengi jamii ya watu wanyonge! Siyo makusudio yake hayo!

Lakini nguvu ya pil i ya umma wa Ki is lamu ni kwamba itikadi yake inaweza kuleta mwamko wa ulimwengu mzima iwapo itawasilishwa kwa usahihi, bila ya propaganda wala dhamira mbaya. Uislamu n i d in i ya u l imwengu inayoendana na maumbile ya binadamu. Ujumbe wake ukifikishwa kwa usahihi watu wengi duniani wataufuata tu. Kwa sababu hoja zake ni za kweli, madhubuti na zinaingia akilini.

Nguvu ya tatu ya umma wa Kiislamu ni rasilimali watu. Wanaharakati wa Kiislamu katika historia yote ya Uislamu ni watu makini walioelimika vizuri na waliokuwa na msimamo madhubuti wa kupigania dini ya Mwenyezi Mungu. Isitoshe Waislamu wana idadi kubwa zaidi ya watu kuliko dini nyingine zote. Idadi hii ya waumini ni nguvu kubwa mno katika umma, iwapo itatumika kwa maslahi ya umma.

Nguvu ya nne ya umma wa Kiislamu ni utajiri wa maliasili. Nchi za Waislamu zina utajiri mkubwa wa maliasili. Waislamu ndiyo wanaomiliki hifadhi kubwa ya mafuta ambayo yanaendesha uchumi wa dunia. Nguvu hii ingetumika kwa maslahi

ya Waislamu, basi Waislamu ndiyo wangedhibiti uchumi na siasa za dunia hivi sasa.

Nguvu nyingine ya umma wa Kiislamu ni uwepo wa Waislamu katika kila pembe ya dunia. Waislamu wapo kila mahali duniani isipokuwa tu, wamedhibitiwa na kutezwa nguvu. Dini hii ya Mwenyezi Mungu inawaunganisha zaidi watu kiitikadi kuliko kijiografia. Uislamu ni itikadi yenye nguvu sana inayoweza kutawala dunia.

Lakini nguvu nyingine kubwa ya umma wa Kiislamu i k o k w e n y e u f a h a m u mpana na sahihi wa dini ya Mwenyezi Mungu. Uislamu unapofahamika kwa kina na ukamilifu wake, ndipo unapoweza kuwajenga Waislamu imara na wenye nguvu. Kutafsiri vipengele vya Uis lamu kwa j ins i unavyotaka badala ya vile inavyotakiwa, ni kuvunja nguvu hi i ya Uislamu. Hivyo ndivyo wanavyofanya wanafiki na maadui wa Uislamu.

Nguvu nyingine ya umma wa Kiislamu ni ule moyo wa kimapinduzi wa vijana wake. Vijana wa Kiislamu w a n a p o j e n g w a v i z u r i katika misingi ya Kiislamu wanaweza kuleta mapinduzi ya kijamii ya Kiislamu.Wako tayari kupigania Dini ya Mwenyezi Mungu katika hali na mazingira yote. (Itaendelea)

Page 17: ANNUUR 1169a.pdf

17 AN-NUURJAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 20-26, 2015

Makala

Madai mapya ya FBI ya kuzuia mpango wa kigaidi yapimwe kwa kina, hojahabari wa FBI, aliandika, aliyekuwa "msukumaji na mwanzilishi wa mpango mzima wa jinai uliotokea." Halafu akaandika:

" I n a v y o o n e k a n a , Ser ikal i i l i fanya ki la ililoweza ambako upande w a u t e t e z i u l i b u n i katika hoja yao ya awali ya kutupi l iwa mbal i mashitaka. Hakuna ubishi wowote Serikali 'ilitunga' jinai ambazo washitakiwa w a m e h u k u m i w a k u z i f a n y a . S e r i k a l i iliunda maelezo yote ya kina ya mpango huo - mengi kati yake, kama safari ya Connecticut na kumwingiza Stewart AFB kama mlengwa, kwa madhumuni maalum ya k i s h e r i a a m b a y o washitakiwa wasingekuwa wanafahamu. Serikali i l i chagua walengwa. S e r i k a l i i l i u n d a n a kutengeneza bomu feki a mb a l o wa sh i t a k i wa waliweka, au walipanga kuweka katika maeneo ya l i y o c h a g u l i wa n a Serikali. Serikali ilitoa kila kifaa kilichotumika ka t ika mpango huo : kamera, simu za mkononi, magari, ramani na hata bastola. Serikali ilikuwa i n a e n d e s h a ( k w a n i h a k u n a m m o j a wa p o ka t i ya washi tak iwa aliyekuwa na gari au leseni ya udereva). Serikali iligharamia mpango wote. Na Serikali, kupitia ofisa wake, ilitoa fedha nyingi kwa washitakiwa, kwa misingi ya wao kushiriki katika mpango huo wa kishenzi.

I s i t o s h e , k a b l a ya kufikia maamuzi kuwa w a s h i t a k i w a ( h a s a Cromitie, ambaye alikuwa katika dira yao kwa miezi t isa) walikuwa tishio kwa hali yoyote, Serikali inaelekea kutofanya lolote kwa kutojali, na badala yake kutegemea taarifa za mpasha habari wa siri, ambaye alitoa habari kuhusu Cromitie ambazo zingeweza kuhakikishwa (au kutohakik i shwa, k wa n i s e h e m u ya k e kubwa ilikuwa uwongo). Lakini hakuna aliyeona inahitajiwa kuzikagua kabla ya kutoa nafasi ya ujihadi kwa mtu ambaye hakuwa anafahamiana na kikundi chochote cha siasa kali na hana historia ya lolote nje ya makosa ya

Inatoka Uk. 7 madawa ya kulevya.Katika eneo jingine,

Jaji McMahon aliandika: "Hakuna shaka yoyote akilini mwangu kuwa James Cromitie asingeota kamwe matukio ambayo alihusika nayo. Na hata kama kwa njia moja au nyingine angefanya hivyo, asingekuwa na wazo lolote la jinsi ya kufanya hilo litokee." Aliongeza kuwa wakati "Cromitie, ambaye alikuwa fukara kabisa, alikubali kupata chakula na fedha ya pango kutoka kwa mpasha habar i , alijiepusha mara kadhaa na hisia zake za utumiaji nguvu, lilipokuja suala la kuzifanyia kazi," na kuwa "ni pale tu fedha aliyotegewa ilipofikia kiwango kikubwa mno - na wakati Cromitie akiwa mdhaifu sana kwao kwani alikuwa amepoteza kazi yake - ndipo alipoanguka mtegoni."

Hii ni uanzishaji kesi nje ya hoja, kuwalenga raia siyo kwa tabia za kijinai ila kwa mawazo yao ya kisiasa. Ni jaribio la Serikali ya Marekani la kutarajia nani atakuwa mhalifu katika wakati ujao kutokana na maoni yao ya kisiasa - halafu kutumia uwezo mkubwa wa kifedha, utawala na hata kisaikolojia wa FBI, pamoja na udhaifu wa mhusika, kuwezesha hilo litokee.

Mwaka 2005, Jaji wa Mahakama ya Rufaa ya Shirikisho, A. Wallace Ta s h i m a , M j a p a n i -Mmarekani wa kwanza kuteuliwa katika jopo la majaji wa rufaa wa shirikisho, ambaye aliwahi kuwekwa kizuizini katika kambi maalum - alipinga vikali katika jopo la majaji wa kesi mojawapo mbaya sana ya aina hiyo. Alilaani kesi hizo za FBI kama 'matokeo yanayole ta fadhaa na yasiyofaa ya serikali kutumia ufunguaji kesi za matarajio kama silaha katika vita dhidi ya ugaidi.'

Kuna kesi hazihesabiki ambako FBI inapangua kishujaa mipango yake ye n ye we ya u g a i d i , k u s a b a b i s h a w a t u kufungwa kama magaidi ambao wasingetaka na wasingeweza kufanya hivyo wao wenyewe. Tervor Aaronson amefuatilia kile kinachoonekana kama mtandao wa kigaidi wa

FBI kote nchini, na kueleza kuwa 'takriban nusu ya kesi zinazofunguliwa na Wizara ya Sheria zilikuwa zinahusiana na kutumia wapasha habari, wengi wao wakiwa wamepewa m o t i s h a . Wa s h i r i k a wanaweza kupata hadi dola 100,000 kwa kila kazi ya kuandaa mpango kama huo, au haja ya kutafuta njia ya kukwepa matat izo ya j inai au uhamiaji. Aliorodhesha w a s h i t a k i w a 4 9 w a ugaidi ambao walishiriki mipango iliyosukwa na mtu anayetumiwa na FBI, kuandaa mipango ya ugaidi.

Mwaka 2012, Petra Bartos iewiecz kat ika gazeti la The Nation alichambua ujumla wa kesi zilizofuata ugaidi wa 9/11 na kuhitimisha: Karibu kila kesi kubwa ya ugaidi tangu 9/11 imekuwa na uwepo wa mpango wa kunasa mlengwa, hasa kwa kutumia mpasha habari wa serikali. Katika kesi hizi, wapasha habari - ambao wanafanya kazi hiyo kwa kulipwa au kutaka msamaha katika kesi za jinai za kwao binafsi - wamevuka mpaka kutoka katika kuchunguza uwezekano wa kutenda jinai na kuingia katika kusukuma na kusaidia watu kushiriki katika mipango ambayo kwa jumla imeandikwa na FBI yenyewe. Chini ya mkono elekezi wa FBI, wapasha habari wanatoa s i l a h a , wa n a a s h i r i a kinacholengwa kulipuliwa na hata kuanzisha hotuba za kuhamasisha ambazo baadaye zinawezesha kuipa kesi hiyo sura ya ugaidi.

Serikali ya Marekani imekuwa ikilazimisha washirika wake kuiga mfano huo wa mbinu za kudaka watu, dhidi ya raia wao wa Kiislamu. Na kama yalivyo maeneo mengine ya ukandamizaji yanayotokana na Vita Dhidi ya Ugaidi, hulka hii sasa inaingia katika sheria za ndani ya nchi ambazo hazihusiani na ugaidi. Katika kesi ya kuingiza madawa ya kulevya mwaka jana, Jaji wa Mahakama ya Shirikisho alilaani M a m l a k a ya K u z u i a Madawa ya Kulevya (DEA) kwa kumlaghai mtu aingie katika kupitisha

unga (cocaine), akisema 'upelelezi wa serikali ulitumia mbinu zilizounda jinai mpya kabisa kwa ajili ya kufungua mashitaka dhidi ya mshitakiwa.'

Mengi kati ya yaliyojiri katika tukio hili jipya, bado hayajafahamika, lakini kuna sababu za kutosha kuliangalia kwa uangalifu na mashaka makubwa. Licha ya kuwa alikuwa amekwaruzana na sheria akiwa kijana mdogo kutokana na hasira, kijana Cornell akiwa na umri wa miaka 20 hakuwa na historia ya kushiriki katika utumiaji nguvu wa kisias. Alishiriki kuvuruga hafla ya kumbukumbu ya 9/11 mwaka jana kwa kupaza sauti kuwa Ukweli wa 9/11 utangazwe lakini hakukamatwa. Hakuna ushahidi kuwa alikuwa na mawasiliano na kundi lolote la ugaidi nje au ndani ya nchi. Mpasha habari anatoa taarifa za juu juu tu kuwa alikuwa anawasiliana na watu kadhaa ng'ambo lakini mwishowe akamwambia mpasha habari kuwa " h a k u t a z a m i a k u wa atapewa ruhusa kamili ya kufanya shambulio la kigaidi nchini Marekani."

Baba yake Corne l l al i ishutumu FBI kwa kuhusika na mpango

huo, akisema kuhusu mwanae kuwa "ni kijana wa kutaka kuwa karibu na mama yake. Rafiki yake wa karibu ni paka wake Mikey. Anaweza kuwa na miaka 20 lakini kwa hulka yake alikuwa karibu zaidi na mtoto wa miaka 16 alipoondoka nyumbani. "Aliongeza kuwa mwanae alikuwa na kiasi cha dola 1,200 tu katika akaunti yake ya benki, na kuwa fedha za kununulia bastola zi takuwa zimetolewa na FBI. Alisema ni FBI waliokuwa "wanampeleka mahali fulani, na walikuwa wakijaza kichwa chake na upuuzi wote huu (kuhusu kufanya shambulio la kigaidi)."

M s i k i t i a m b a o Cornell alikuwa akisali ulisemekana ni mdogo, us io na shughul i za kuingiza faida na ulipata kiasi cha dola 115,000 katika mapato yake kwa mwaka jana. Hauna historia ya kuunda washukiwa wa ugaidi au wapenda siasa kali. (Makala hii Latest FBI Claim of Disrupted Terror Plot Deserves Much Scrutiny and Skepticism iliyoandikwa na Glenn Greenwald akishirikiana na Andrew F ishman i m e t a f s i r i w a k w a Kiswahili na Anil Kija)

CHRISTOPHER Cornell.

Page 18: ANNUUR 1169a.pdf

18 AN-NUURJAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 20-26, 2015

Makala

Ubungo Islamic High School imeandaa mafunzo maalum kwa wanafunzi wa Kiislamu wanaorudia Mitihani ya Kidato cha Nne 2015 ambao wanatafuta sifa ‘Credit’ za kujiunga na Kidato cha Tano, 2016.

Masomo yanayofundishwa ni: Elimu ya Dini ya Kiislamu, Arabic, Kiswahili, Kiingereza, Civics, History, Geography, Basic Mathematics, Physics, Chemistry, Biology, Commerce na Book-Keeping.

Muda wa masomo: Jumatatu – Ijumaa kuanzia saa 2:00 asubuhi hadi saa 9:00 alasiri.Kuanzia Machi 1, 2015 hadi Septemba 30, 2015. (Kwa muda wa miezi SABA)

Uandikishaji umeanza Fika ofisi ya Mkuu wa Shule Ubungo Islamic High School kuanzia saa 1:30 asubuhi hadi saa 8:30 mchana. Fomu zinapatikana BURE.

Kwa mawasiliano zaidi: 0687 820895, 0657 350172, 0714 888557BADO HUJACHELEWA!!

Wahi Mapema nafasi hii adhimu

Wabillah Tawfiiq

MKUU WA SHULE

Bismillahir Rahmaanir Rahiim

Ubungo Islamic High SchoolMafunzo maalum ya wanaorudia Mitihani

ya Kidato cha Nne 2015

HAKIKA mwanadamu anapofariki hakuna jambo linalomwendelezea kupata thawabu isipokuwa mambo matatu, kama alivyoelezea Bwana Mtume (S.A.W), pale aliposema:

"Anapokufa mwanadamu amali zake zote hukatika (zisimletee faida) isipokuwa mambo matatu, sadaka yenye kuendelea, au elimu yenye kuleta manufaa au mtoto mwema anayemwombea dua (mzazi wake)".

Nini maana va sadaka venve kuendelea:

Maana yake ni kuwa pindi ukifanya sadaka hiyo wakati upo hai au ukafanyiwa hali ya kuwa umeshafariki, hapana shaka juu ya kuendelea k u a n d i k i w a t h a w a b u kutokana na sadaka hiyo.

Basi moja ya sadaka yenye kuendelea ni kuotesha (kupandisha) miti, ingawa watu wameghafilika nayo kwa kutoipa haki yake stahiki na kutoithamini kama zinavyo thaminiwa sadaka nyenginezo, bali haina tofauti na kujenga Msikiti au kuchimba Kisima n.k.

Tofauti ya sadaka hii na sadaka nyengine: Kwanza, haihitaji gharama kubwa kimuda wala kipesa na mtu wa hali yeyote ile, ikiwa ni tajiri, mtu wa hali ya kati au masikini anaweza kutekeleza sadaka hii. Na Pili, mtu wa umri wowote akiwa ni mzee, kijana, mtoto, mwanamme au mwanamke wa hali yeyote ile hata kama ni mlemavu anaweza kutekeleza sadaka hii bila taabu.

Jambo la kusikitisha ni kwamba, sisi Waislamu tumeghafilika sana katika kuifanya sadaka hii, na hii inatokana na kutokuiangalia amali hii kwa undani, na ni kiwango gani cha sadaka hii kina faida au manufaa kwa viumbe mbalimbali, na ni kiwango gani cha ujira utakao patikana kutoka kwa Allah (swt).

Tuangalie faida zinazo pat ikana kutokana na k u p a n d a m i t i k a m a ifuatavyo. Kwa mfano, tukichukua mbegu moja ya mti wa tunda la aina yoyote ile kama embe, parachichi, f enes i n .k , tuka iweka mkononi na kumuuliza mtu yeyote yule mwenye akili timamu kuanzia umri wa miaka 3 kwenda juu. Je hizi mbegu ni ngapi? Wote watatujibu kuwa ni moja.

Sasa tuchukue kokwa moja ya mbegu ya embe na tumpelekee mtaalamu wa kilimo aliyebobea na tumuulize masuala matatu kuhusiana na mti utakaoota kutokana na kokwa hiyo:

Kwanza, mti huo utaishi umri gani? Pili mti huo katika umri wake utatoa maembe mangapi? Na Tatu, mti huo utatoa majani mangapi katika uhai wake?

Jawabu atakalotoa kama ni mtu mkweli, atasema kikamilifu ni siri ya Allah (swt), lakini kitaalamu

Sadaqatul Jaariyah ya kupanda mitik u t o k a n a n a u t a f i t i waliofanya juu ya mimea na miti mbali mbali, kila mti unatofautiana na mwengine.

M t a a l a m u h u y o atachofanya ni kufungua maktaba au (computer) yake kisha atakuuliza swali moja, hiyo mbegu ni ya aina gani ya mwembe?

Tu s e m e k wa m f a n o n i m w e m b e D o d o , hapo atafungua kurasa zinazohusiana na aina hiyo ya mwembe na kuanza kutoa majibu. Jibu lake la swali la mwanzo atasema: "Mwembe Dodo unaishi umri ulio kati ya miaka 180 hadi 200".

Tutakubal iana naye , kwani sisi hapa Afrika Mashariki tuna ushahidi wa miembe Dodo iliyo na umri usiopungua miaka 150.

Ataendelea kutupa jibu la swali la pili juu ya uzalishaji, kuwa mwembe mmoja uliokomaa unazaa maembe yasiyopungua 2500 - 3000 kila msimu.

Hapo pia tutakubaliana na jibu hilo, kwani ni ukweli na tuna ushahidi wa hilo pia hapa Afrika Mashariki.

lla, swali la tatu hatoweza k u t u p a t i a j i b u s a h i h i la kujua idadi ya majani yanayopatikana ndani ya kipindi cha mwaka mmoja au katika umri wa mti huo, kutokana na wingi wa majani si rahisi kwa mwanadamu ye y o t e k u t a m b u a h i l i isipokuwa mwenyewe Allah (swt) Mtukufu pekee.

Miongoni mwa faida za kupanda miti. Miti mingi yenye umri wa mwaka mmoja inakuwa imeshafika u r e f u w a f u t i 1 2 n a tukichunguza tutagundua kuwa miti mingi kati ya hiyo inakuwa imeshaanza kuleta manufaa ya makaazi kwa viumbe vidogo vidogo kama sisimizi, buibui n.k.

Na miti hiyo inapofika umri wa miaka miwil i inakuwa imeshafika urefu wa futi 6-8. Hapo manufaa ya mti huo yanaongezeka kwa kuleta kivuli kwa viumbe mbali mbali kama Binadamu, Mbuzi, Mbwa, Paka na wengineo, pia huwa ni pahala pa kupumzikia ndege, vipepeo n.k.

Miti hiyo, kila ikiendelea k u k u a b a s i m a n u f a a yake tuliyoyataja nayo y a n a o n g e z e k a k w a viumbe mbali mbali. Kama t u n a v y o j u a u m u h i m u wa makaazi kwetu sisi wanaadamu, basi makazi mazuri ni muhimu kwa viumbe vyote. Vile sisi tunavyopata utulivu, faraja na kuhisi kuwa salama katika makaazi yetu, basi viumbe vingine vyote hivyo vinapata hisia hizo hizo vinapokuwa katika makaazi yao.

Mara nyingi mit i ya m a t u n d a m a k u b w a kama Miembe, Mifenesi, Miparachichi n.k, huanza kutoa maua ya mwanzo katika umri wa miaka 5,

katika maua hayo yatayotoka mwaka wa kwanza na kuendelea miaka yote viumbe mbali mbali kama vile, Nyuki, Vipepeo n.k, vitapata chakula kutokana na maua hayo. Nyuki hao hutumia chakula hicho kwa kutengeneza asali ambayo imethibitishwa kuwa ni chakula bora na ni dawa ya maradhi mengi kama Qur’ani inavyosema: “Kinatoka katika matumbo yao (nyuki) kinywaji (asali) chenye rangi mbali mbali,

ndani yake kina ponyo kwa wanadamu.” Annahli aya 69.

Tu n a p o z u n g u m z a chakula maana yake ni lishe kwa viumbe. Hebu tujiangalie sisi wanaadamu pale tunapokuwa na njaa, je ni hisia gani tunazopata?

Kwa mfano, tunapokuwa k a t i k a S w a u m u y a Ramadhani, hali na hisia zetu zinakuwa vipi, bila shaka tunakuwa katika hali ya udhaifu na kutokuwa na utulivu hadi pale pale tunapopata chakula. Na hali

hiyo inageuka vipi baada ya kupata chakula. Hakuna shaka kuwa tunakuwa katika hali ya furaha, faraja na utulivu. Hii inamaana kuwa hata hao viumbe tuliowataja pia nao hufikwa na hali kama hizo pindi wakiwa na njaa na hali hizo kugeuka kuwa za furaha na faraja wakishakuwa wameshiba, hapo tutakuwa tumewasaidia viumbe hao, kwa hilo bila shaka Allah (swt) atatulipa kwa hilo, pia.

Itaendelea toleo lijalo

Page 19: ANNUUR 1169a.pdf

19 AN-NUURJAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 20-26, 2015Makala

M I T I n i m a i s h a n a maisha yetu yanategemea miti. Itapotoweka miti na mimea, maisha ndio yatapomalizika. Tunapata chakula chetu cha kila siku kutokana na miti. Sayari yetu hii hupozwa na miti, bahar i , mi to , maziwa n.k. nakuijaalia kuweza kukalika.

M a k a l a 3 m f u l u l i z o nitaizungumzia miti, makala ya kwanza nitazungumzia baadhi ya miti iliotajwa katika Qur’an, makala ya pili itazungumzia miti ya madawa katika Quran na makala ya mwisho itaangalia miti na Mazingira.

Katika Qur’an imetajwa aina ya miti 54 kati ya hiyo 3 haipo duniani, iliyobaki yote inaonekana duniani. Huko Dubai kumetengenezwa bustani iitwayo ‘Emirates Holy Qur’an Park’ ambayo miti yote iliotajwa katika Quran itaoteshwa. Hadi naandika makala hii, miti 31 tayari imeshaoteshwa na 20 mengine itaoteshwa badaye na 3 nishakwisha kuelezea kabla kuwa haipo duniani. Bustani hii inategemewa kufunguliwa rasmi mwezi wa 9 mwaka huu katika eneo la Al Khawaneej na kugharimu Dh26 milioni.

M i t i i m e t a j wa k wa kujirudia katika Quran, kwa mfano mti wa Mana umetajwa mara 3 katika Surah (2:57; 7:160; 20:80-81), Mtende umetajwa mara 20 katika Surah 2:266; 6:99; 6:141; 13:4; 16:11; 16:67; 17:91; 18:32; 19:23; 19:25; 20:71; 23:19; 26:148; 36:34; 50:10; 54:20; 55:11; 55:68; 69:7; 80:29, Mizaituni imetajwa mara 6 katika Surah 6-99; 6-141; 16-11; 23-20; 24-35, Mzabibu umetajwa mara 11 katika Surah ((2-266; 6-99; 13-4; 16-11; 16-67; 17-91; 18-32; 23-19; 36-34; 78-31, 32; 80-28), Komamanga limetajwa mara 3 katika Surah 6-99; 6-141; 55-68, Tini imetajwa mara 1 Surah 95 :1, Mkunazi umetajwa mara tatu 34:15-16; 53 : 14-18, 56 :28, Mkunazi kama Msuwaki umetajwa mara moja 34 :16, Hena mara moja katika Surah 76 :5, Mtangawizi umetajwa mara moja Surah 76 :17, Adesi imetajwa mara moja katika Surah 2 :61, Kitunguu mara moja katika Surah 2:61, Kitunguu Thoumu kimetajwa mara moja Surah 2 :61, Tango umetajwa mara moja Surah 2 :61, Mung’unye umetajwa mara moja katika Surah 37 :146, Khardali umetajwa mara 2 katika Surah 21: 47; 31:16.

Unapoisoma Qur’an kwa makini na kuichambua katika fani mbalimbali, utakuja kufahamu mambo ambayo yanaungana na masuala mbalimbali iwe kilimo, mazingira, tabia n.k.

Zifuatazo ni aya ambazo zimeshehereshwa juu miti katika Qur’an unapozisoma unaona utukufu wa Quran

Miti katika Qur’an na Mazingira-1Na Ben Rijal

na maelezo yake.“ N a t u l i s e m a : E w e

A d a m ! K a a w e w e n a mkeo katika Bustani, na kuleni humo maridhawa popote mpendapo, lakini msiukaribie mti huu tu; mkawa katika wale walio dhulumu.” (Surah Al -Baqara, 35)

“Na Yeye ndiye aliye z iumba bustani zenye kutambaa juu ya chanja, na zisio tambaa, na mitende, na mimea yenye matunda mbali mbali, na mizaituni na mikomamanga inayo fanana na isiyo fanana. Kuleni matunda yake inapo zaa, na toeni haki yake siku ya kuvunwa kwake. Wala msitumie kwa fujo. Hakika Yeye hawapendi watumiayo kwa fujo.” . (Surah Al-An‘am, 141)

“Na wewe, Adam! Kaa wewe na mkeo kat ika Bustani hii, na kuleni humo mpendapo. Wala msiukaribie mti huu, mkawa katika wale walio dhulumu.” (Surah Al-A‘raf, 19)

“Basi Shet'ani aliwatia wasiwasi ili kuwafichulia tupu zao walizo fichiwa, na akasema: Mola Mlezi wenu hakukukatazeni mti huu ila msije mkawa Malaika, au msije mkawa katika wanao ishi milele.” (Surah Al-A‘raf, 20)

“Basi akawateka kwa khadaa. Walipo uonja ule mti, tupu zao zilifichuka na wakaingia kujibandika majani ya Bustanini. Mola wao Mlezi akawaita: Je, sikukukatazeni mti huo, na kukwambieni ya kwamba Shet'ani ni adui yenu wa dhaahiri?” (Surah Al-A‘raf, 22)

“Na katika ardhi vimo

vipande vilivyo karibiana, na zipo bustani za mizabibu, na mimea mingine, na mitende yenye kuchipua kwenye shina moja na isio chipua kwenye shina moja, nayo inatiliwa maji yale yale. Na tunaifanya baadhi yao bora kuliko mengine katika kula. Hakika katika hayo zimo ishara kwa watu wanao tia mambo akilini.” (Surah Ar-Ra‘d, 4)

“Hebu hukuona vipi Mwenyezi Mungu alivyo piga mfano wa neno zuri? Ni kama mti mzuri, mizizi yake ni imara, na matawi yake yako mbinguni.” (Surah Ibrahim, 24)

“Na Mola wako Mlezi a m e m f u n u l i a n y u k i : Jitengenezee majumba yako katika milima,na katika miti, na katika wanayo jenga watu.” (Surah An-Nahl, 68)

“Na tulipo kwambia: Hakika Mola wako Mlezi amekwisha wazunguka hao watu. Na hatukuifanya ndoto tulio kuonyesha ila ni kuwajaribu watu, na mti ulio laaniwa katika Qur'ani. Na tunawahadharisha, lakini haiwazidishii ila uasi mkubwa.” (Surah Al-Israa’, 60)

“Lakini Shet'ani alimtia wasiwasi, akamwambia: Ewe Adam! Nikujuulishe mti wa kuishi milele na ufalme usio koma?” (Surah Taha, 120)

“ J e ! H u o n i k wa m b a vinamsujudia Mwenyezi Mungu viliomo mbinguni na viliomo katika ardhi, na jua , na mwezi , na nyota, na milima, na miti, na wanyama, na wengi miongoni mwa watu. Na wengi imewastahiki adhabu.

Na anaye fedheheshwa na Mwenyezi Mungu hana wa kumhishimu. Hakika Mwenyezi Mungu hutenda apendayo.” (Surah Al-Hajj, 18)

“ K w a m a j i h a y o tukakufanyieni bustani za mitende na mizabibu, mnapata humo matunda mengi, na katika hayo m n a k u l a . ” ( S u r a h A l -Muminun, 19)

“Na mti utokao katika mlima wa Sinai, unatoa mafuta na kuwa kitoweo kwa walao.” (Surah Al-Muminun, 20)

“Mwenyezi Mungu ni Nuru ya Mbingu na Ardhi. Mfano wa Nuru yake ni kama shubaka lenye kuwekwa ndani yake taa. Taa ile imo katika tungi. Tungi lile ni kama nyota inayo meremeta, inayo washwa kwa mafuta yanayo toka katika mti ulio barikiwa, mzaituni. Si wa mashariki wala magharibi. Yanakaribia mafuta yake kung'aa wenyewe ingawa moto haujayagusa - Nuru juu ya Nuru. Mwenyezi Mungu humwongoa kwenye N u r u ya k e a m t a k a ye . N a M we n ye z i M u n g u huwapigia watu mifano. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua kila kitu.” (Surah An-Nur, 35)

“Au NANI yule aliye ziumba mbingu na ardhi, na akakuteremshieni maji kutoka mbinguni, na kwa hayo tukaziotesha bustani zenye kupendeza? Nyinyi hamna uwezo wa kuiotesha miti yake. Je! Yupo mungu p a m o j a n a M we n ye z i Mungu? Bali hao ni watu walio potoka.” . (Surah An-Naml, 60)

“Na lau kuwa miti yote iliyomo duniani ikawa ni kalamu, na bahari (ikawa wino), na ikaongezewa juu yake bahari nyengine saba, maneno ya Mwenyezi Mungu yasingelikwisha. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye nguvu, Mwenye hikima.” (Surah Luqman, 27)

“ L a k i n i w a k a a c h a . T u k a w a p e l e k e a mafuriko makubwa, na tukawabadilishia badala ya bustani zao hizo kwa bustani nyengine zenye matunda makali machungu, na mivinje, na kidogo katika miti ya kunazi.” (Surah Sabaa, 16)

“Sema: Ataihuisha huyo huyo aliye iumba hapo mara ya mwanzo. Na Yeye ni Mjuzi wa kila kuumba.” (Surah Ya Sin, 79)

“Aliye kujaalieni kupata moto kutokana na mti wa kijani nanyi mkawa kwa huo mnawasha. “ (Surah Ya Sin, 80)

« Je! Kukaribishwa hivi si ndio bora, au mti wa Zaqqum? » (Surah As-Saffat, 62)

“Na tukauotesha juu yake mmea wa kabila ya mung'unye.” (Surah As-Saffat, 146)

“Hakika Mti wa Zaqqum,” (Surah Ad-Dukhan, 43)

“Kwa hakika Mwenyezi Mungu amewapa radhi Waumini walipo fungamana nawe chini ya mti, na alijua yaliyomo nyoyoni mwao. Basi akateremsha utulivu juu yao, na akawalipa kwa Ushindi wa karibu.” (Surah Al-Fath, 18)

“Penye Mkunazi wa mwisho.” (53:13)

Faida zi tokanazo na miti: Miti hufanya kazi ya kunyonya gesi ukaa na kutupatia gesi ya Okisijini ambayo tunaitegemea kwa uvuta pumzi. Mizizi ya miti husaidia kuidhibiti udongo na kuepusha mmong’onyoko wa ardhi. Miti husaidia kuboresha maji pale maji ya mvua yanavyopenya k w e n y e a r d h i . I d a d i inayotimia ¾ ya wakazi wa dunia wanategemea kuni kwa maisha yao ya kila siku ikiwa kuni zinatokana na miti. Vitu visiopungua alfu hutengenezwa kutokana na zao la miti kutika fanicha, makabati, viti, karatasi, mabao ya kuchezea mchezo wa hook na kriketi, ujenzi wa n y u m b a n . k . M i t i huteremesha hali ya joto. Miti hutoa chakula, kivuli na makazi kwa wanadamu n a w a n y a m a . M i t i huwakisaidizi cha kuzuwia sauti kali zenye dhara. Aidha husaidia kuzuwia kasi za upepo. Miti huleta mandhari n z u r i k a t i k a m a e n e o mbalimbali. (Kwa maoni tumia: Simu 0777 436 949)

Page 20: ANNUUR 1169a.pdf

20 AN-NUURJAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 20-26, 201520 MAKALA AN-NUUR

20 JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA MACHI 20-26, 2015

Soma gazeti la AN-NUUR

KWA TSH 800/=kila Ijumaa

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works LTD, S.L.P. 4605, Dar es Salaam.

I f u a t a y o n i m a d a iliyowasilishwa kwenye mahafali ya wanafunzi Waislamu wa kidato cha sita wa shule za Sekondari Pugu na Minaki jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita na Ustaadh Said Rajab.

Alhamdulillah Rabbi ul Alamin, Assalatu wa Salaam a la Ashra f i l Mursa l in , S e y y i d n a M u h a m m a d Khatamy Nabiyyin, Amma Ba'adu!

Innahu Min Suleiman wa Innahu Bismillahi Rahman Rahim.

Baada ya kumshukuru M w e n y e z i M u n g u n a kumtakia rehema Mtume wake Mtukufu, Assalam Alaykum, ndugu zangu katika imani.

U m m a wa K i i s l a m u duniani leo uko katika dhiki na adha kubwa. Sisi Waislamu tunaojidai tuna muongozo sahihi, wachamungu, tena makhalifa wa Mwenyezi Mungu hapa duniani, tukiwa sehemu ya umma mtukufu wa Muhammad (SAW), tumo kwenye pango refu lenye giza totoro!

Angalia kila mahali walipo Waislamu ulimwenguni, tupo kwenye shida na mateso. Dhiki hii iko katika nyanja zote. Waislamu wanakandamizwa k i s i a s a , w a n a t e n g w a k i j ami i , wanabagul iwa kielimu, wananyanyaswa kiutamaduni, ili mradi tu iwe mateso kwa Waislamu!

Madhila yote hayo dhidi ya umma wa Ki is lamu duniani yanafanywa na Makafiri. Makafiri ndiyo wanaovuruga umma wa Kiislamu katika nchi zote wanazoishi Waislamu. Kama mnavyofahamu, kwanza wameshauvuruga umma wa Kiislamu nchini Iraq, baadaye Afghanistan, Libya, sasa wanavuruga Pakistan, Syria, Somalia wameshavuruga, Yemen wanaivuruga, Misri wamevuruga, na nchi zote za Waislamu, wanajaribu kuzivuruga.

Ndugu zangu katika Imani, hebu fikirini wenyewe, sisi tumekosa nini? Dhambi yetu ni nini hasa? Au kwa sababu sisi ni Waislamu tu? Kuna tatizo gani tukiwa Waislamu? I n a o n e k a n a M a k a f i r i h a wa t a k i k a b i s a t u we Waislamu tunaoongozwa na Uislamu. Wanataka tuwe Waislamu bila ya Uislamu!

Wanatuogopa! Makafiri

Changamoto zinazoukabili umma wa Kiislamuwanajua vizuri kwamba tukiwa Waislamu sawa sawa, tunaofuata misingi ya Qur'an na Sunna, hawatuwezi kamwe. Tutatawala na kuendesha dunia hii kama walivyokuwa Waislamu waliotangulia. Sisi ni watu ambao tukiwa wamoja na tunaozingatia maelekezo ya Dini yetu, tunaweza kufanya lolote tunalotaka hapa duniani.

Jambo la ajabu ni kwamba Makafiri wameliona hili, lakini Waislamu wenyewe tumefumbia macho ukweli huu. Waislamu tuna Imani, Itikadi, Watu, Muongozo, R a s i l i m a l i , U t a j i r i n a Historia iliyotukuka ambayo tukiisoma na kuizingatia, i n a w e z a k u t u w e k e a mustakabal i mzur i na kutufanya tuwe juu. Lakini Makafiri wanajaribu sana kutupora tunu hizo na kutupandikizia za kwao.

Ndugu zangu katika Imani , k i tu gani hasa k i n a c h o t u k wa z a , h a t a tunashindwa kuyaendea malengo yetu ya kuwa w a m o j a k a m a u m m a uliostawi, wenye nguvu kiuchumi, kisiasa na kijeshi, na hatimaye kuwa Dola kama ile iliyoongozwa na Makhalifa wa Kiislamu?

U k i j a r i b u k u t a f u t a j a wa b u l a s wa l i h i l o kupitia Muislamu mmoja mmoja, utaona sura hii. Sisi ni Waislamu wa majina, tumetamka Kal ima ya Tauhid lakini hatuitekelezi. Tunaogopa na kupenda kila kitu isipokuwa Mwenyezi Mungu na Mtume wake. Hatujaelimika kwa maana ya Uislamu; tumepoteza h e k i m a . T u n a p e n d a sana raha za duniani . Tunajidanganya Mwenyezi Mungu atatusamehe na kutuingiza peponi kishikaji, bila ya kupigania dini yake, kwa mali zetu na nafsi zetu!

Vichwa vyetu vimejazwa upotofu na vyombo vya habari vya Magharibi . M w e n y e z i M u n g u ametukasirikia!

Na ukituangalia kwa ujumla wetu, utaona sisi wenyewe hatujioni kama umma mmoja, isipokuwa tunajiona kama mataifa mbalimbali. Tumepoteza umoja miongoni mwetu n a n g u v u z a m a a d u i zinazidi kuchochea moto wa utengano katika jamii zetu. Utasikia Waislamu

wanaitwa Sunni, Shia, Ahlul Hadith, sijui Salaf siku hizi na makundi mengine kama hayo. Lakini Waislamu pia wana ukosefu mkubwa wa viongozi wazuri.

Ndugu zangu nimetakiwa kuandaa Mada inayoitwa Changamoto zinazoukabili Umma wa Kiislamu. Mada hii ni pana sana na si rahisi kuizungumza kwa ukamilifu wake katika muda huu mfupi. Miye nitaangalia mambo machache tu ambayo ni ya msingi sana. Kwanza, umma maana yake nini?

Kwa tafsiri isiyo rasmi, umma unaweza kuwa taifa au jamii ya watu fulani. K w a h i y o u m m a w a Kiislamu maana yake ni taifa la Kiislamu au jamii ya Waislamu.

Ukipitia Qur'an Tukufu, u t a o n a k u i b u k a k w a umma huu wa Kiislamu kumetokana na Dua za Nabii Ibrahim na Nabii Ismail (AS):

"Ee Mola wetu! Utufanye tuwe wanyenyekevu kwako. Na miongoni mwa kizazi chetu (pia utufanye) umma mnyenyekevu kwako. Na utuonyeshe njia ya Ibada yetu na utusamehe.Bila shaka Wewe ndiye Mwenye kusamehe na Mwenye kurehemu" (Qur 2:128).

"Ee Mola wetu! Waletee Mtume anayetokana na wao, awasomee Aya Zako, na kuwafundisha Kitabu

(chako) na hikima (nyingine) na awafundishe kujitakasa na (kila mabaya). Hakika Wewe ndiye Mwenye nguvu na ndiye Mwenye hikima" (Qur 2:129).

Q u r ' a n t u k u f u p i a imeuzungumzia umma huu wa Kiislamu katika aya zake mbalimbali kuwa ni umma bora kuwahi kutokea na vile vile ni umma wa njia ya kati na mashahidi kwa walimwengu.

" N a v i v y o h i v y o t u m e k u f a n ye n i u m a t i bora (kama kibla chenu tulivyokifanya bora) ili muwe mashahidi juu ya watu, na Mtume awe shahidi juu yenu.." (Qur 2:143).

"Nyinyi ndiyo umma b o r a k u l i k o u m m a zote zil izodhihirishiwa wa t u ( u l i m w e n g u n i ) - mnaamrisha yaliyo mema na mnakataza yaliyo maovu, na mnamwamini Mwenyezi Mungu.." (Qur 3:110).

Kwa kutumia maneno hayo ya Mwenyezi Mungu, t u n a w e z a k u t a m b u a kwamba umma wa Kiislamu uliokusudiwa na Qur'an na Sunna ndiyo huo. Pengine tujiulize, umma huo wa Kiislamu bado upo duniani leo? Je, tunamchukulia Mwenyezi Mungu kuwa ndiye Mola wetu, ndiye Mlinzi wetu wa kila jambo, n d i ye t u n a ye m u o m b a msaada wa kila namna na

ndiye Mfalme na kimbilio letu kwa hali zote? Je, Tunamchukulia Mtume wa Mwenyezi Mungu, ambaye ni 'Khatam an Nabbiyin' (mwisho wa Mitume) , kama kiigizo chetu? Je, tunayachukulia maamrisho, m a e l e k e z o , ma k a t a z o , kanuni na tarat ibu za Qur'an na Sunna kama ni mambo ya lazima kwetu? Au tunayachukulia kishikaji tu? Je, tumeepukana na ubaguzi u n a o t o k a n a n a r a n g i , jiografia, ukabila, utaifa, lugha, taasisi, utajiri au makundi maslahi? Mambo hayo yanautafuna sana umma wa Kiislamu duniani. M t u m e wa M we n ye z i Mungu al iyaunganisha makundi yote hayo na kuwa taifa moja, lakini sisi tunafungua kile ambacho Mtume amekifunga!

S a s a t u a n g a l i e k wa ufupi kabisa, changamoto kuu zinazoukabili umma wa Kiislamu duniani leo. Changamoto ya kwanza ni kubomolewa kwa mifumo ya Kiislamu. Kila itikadi ina mifumo yake inayokwenda pamoja na itikadi hiyo. Yaani mfumo wa siasa, utawala, sheria, uchumi, elimu, jamii na kadhalika. Sasa mifumo yote ya Kiislamu ambayo ndiyo inayojenga umma wa Kiislamu, inabomolewa na kupandikizwa mifumo mingine isiyo ya Kiislamu.

Inaendelea Uk. 16

CHUO cha Kiislamu cha Kimisri Al Azhar Sharif tawi la Tanzania kilichopo Chang’ombe jijini Dar es salaam, mwishoni mwa wiki iliyopita kilifanya Kongamano la kidini Jijini Arusha, mada kuu ikiwa ni Uislamu Ni dini ya Amani. Pichani katika meza kuu ni baadhi ya wahadhiri na viongozi wa serikali waliohudhuria katika kongamano hilo.