166
HADITHI YA THAQALAINI KATIKA VITABU VYA AHLI SUNNA Kimeandikwa na: Dk. Sayyid Alaauddin al-Sayyid Amir Muhammad al-Qazwini Kimetarjumiwa na: Ustadh Amir Musa Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:05 PM P

Hadithi ya Thaqalaini katika vitabu vya Ahli Sunna

Embed Size (px)

DESCRIPTION

Kitabu hiki, Hadith ya Thaqalain ni hadithi maarufu sana katika ulimwengu wa Kiislamu. Hakuna madhehebu ya Kiislamu hata moja ambayo haikutaja hadithi hii, ingawa kuna tofauti kidogo ya mapokezi kati ya wasimulizi wake. Pamoja na hayo, ukweli unabakia palepale kwamba haitakamilika historia ya Uislamu bila ya kuitaja hadithi hii. Hadithi ya Thaqalain ni wasia ambao Mtukufu Mtume (s.a.w.) alioutoa kwa Waislamu pale Ghadir Khum wakati anarudi kutoka kwenye Hija yake ya mwisho (maarufu kama Hijjatu ’l-Widaa).

Citation preview

HADITHI YA

THAQALAINI KATIKA VITABU VYA

AHLI SUNNA

Kimeandikwa na:Dk. Sayyid Alaauddin al-Sayyid Amir

Muhammad al-Qazwini

Kimetarjumiwa na:Ustadh Amir Musa

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:05 PM P

©Haki ya kunakili imehifadhiwa na:AL-ITRAH FOUNDATION

ISBN: 978 - 9987 - 512 - 48 - 5

Kimeandikwa na:Dr. Sayyid Alaau-Deen al-Sayyid Amir

Muhammad al-Qazwiini

Kimetarjumiwa na:Ustadh Amir Musa

Kimepangwa katika Kompyuta na:Hajat Pili Rajab

Toleo la kwanza: Januari, 2009Nakala: 1000

Kimetolewa na kuchapishwa na:Alitrah Foundation

S.L.P. 19701 Dar es Salaam, TanzaniaSimu: +255 22 2110640

Simu/Nukushi: +255 22 2127555Barua Pepe: [email protected]

Tovuti: www.alitrah.orgKatika mtandao: www.alitrah.info

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:05 PM P

YALIYOMO

Utangulizi..........................................................................................2

Mdahalo wetu na Ahmad bin Hajar Aal- Buutwamiy katika kitabu

chake al-aqaidus- Salafiyyah...........................................................13

Ahlul-Bayt katika aya ya mapenzi kwa mujibu wa vitabu vya Ahlul-

Sunna...............................................................................................20

Kitabu Shawahidut-Tanzil cha Halam Haskaani.............................22

Ahlul-Bayt katika Aya ya utakaso kwa mujibu wa vitabu vya Ahlul-

Sunna...............................................................................................32

Mdahalo wetu na Ihsaan ilahi dhahiir na kitabu chake (Shia wa

Ahlul-Bayt)......................................................................................39

Hitimisho kuhusu aya ya utakaso kama ilivyokuja katika vitabu vya

Ahlul-Sunna....................................................................................95

Ufisadi wa Sanadi hadithi “Ninakuachieni kitabu cha Mwenyezi

Mungu na Sunna yangu”...............................................................104

Muhammad Nassur - Diin al- albaani na hadithi Thaqalaini..........111

Al-Khaswais cha Nisaai Mmoja wa watunzi wa vitabu Sahihi

Sita.................................................................................................125

Bibliografia....................................................................................150

Vitabu vya mtunzi .........................................................................155

Vitabu visivyochapishwa...............................................................155

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:05 PM P

NENO LA MCHAPISHAJI

Kitabu kilichoko mikononi mwako ni tarjumi ya kitabu cha Kiarabukiitwacho, Hadith ath-Thaqalayn kilichoandikwa na Dk. Sayyid Alaauddinal-Sayyid Amir Muhammad al-Qazwini. Sisi tumekiita, Hadithi yaThaqalain.

Kitabu hiki, Hadith ya Thaqalain ni hadithi maarufu sana katika ulimwen-gu wa Kiislamu. Hakuna madhehebu ya Kiislamu hata moja ambayohaikutaja hadithi hii, ingawa kuna tofauti kidogo ya mapokezi kati yawasimulizi wake. Pamoja na hayo, ukweli unabakia palepale kwambahaitakamilika historia ya Uislamu bila ya kuitaja hadithi hii. Hadithi yaThaqalain ni wasia ambao Mtukufu Mtume (s.a.w.) alioutoa kwa Waislamupale Ghadir Khum wakati anarudi kutoka kwenye Hija yake ya mwisho(maarufu kama Hijjatu ’l-Widaa). Qur’ani inatuthibitishia kwambaUislamu ulikamilika baada ya tukio hili la Ghadir Khum ambapo MtukufuMtume (s.a.w.) alitoa khutba ndefu ambayo kwayo alitoa kauli hii inayo-julikana kama hadithi ya Thaqalain: “...Ninakuachieni vizito viwili(thaqalayn); Qur’ani Tukufu na Kizazi changu...” Baada ya tukio hili laGhadir, aya ifuatayo iliteremshwa kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.): “...Leonimekukamilishieni dini yenu, na kuwatimizieni neema Yangu, na nime-wapendeleeni Uislamu uwe dini yenu...” (5:3)

Baada ya kushuka aya hii, Mtukufu Mtume (s.a.w.) alimwita Ali juu yamimbari ambayo ilitengenezwa kwa matandiko ya ngamia, kisha akanyun-yua mkono wake akasema: “Man kuntu mawlahu fahadha Aliyyunmawlahu.” (Yule ambaye mimi ni mwenye kutawalia mambo yake basihuyu Ali (naye) ni mwenye kutawalia mambo yake.” Kisha akaomba dua:

D

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:05 PM P

“Ewe Allah! Msaidie mwenye kumsaidia (Ali) na mpige vita mwenyekumpiga vita (Ali).” (Rejea ya hadithi hii utaipata kwenye kitabu hikikadiri unavyoendelea kusoma)

Tumekiona kitabu hiki ni chenye manufaa sana, hususan wakati huu wamaendeleo makubwa ya elimu katika nyanja zote, ambapo uwongo, nganoza kale na upotoshaji wa historia ni mambo ambayo hayana nafasi tenakatika akili za watu. Kutokana na ukweli huu, Taasisi yetu ya Al-ItrahFoundation imeamua kukichapisha kitabu hiki kwa lugha ya Kiswahilikwa madhumuni yake yaleyale ya kuwahudumia Waislamu, hususanwazungumzaji wa Kiswahili, ili kuongeza ujuzi wao katika masuala ya dinina ya kijamii.

Tunamshukuru ndugu yetu, Ustadh Amir Musa kwa kukubali jukumu hilila kukitarjumi kitabu hiki. Vilevile tunawashukuru wale wote walioshirikikwa njia moja au nyingine hadi kufanikisha kuchapishwa kwake.

Mchapishaji:Al-Itrah FoundationS. L. P. 19701Dar-es-Salaam, Tanzania.

E

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:05 PM P

F

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:05 PM P

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:05 PM P

2

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMAMWENYE KUREHEMU

UTANGULIZISifa zote njema anastahili Mola Mlezi wa viumbe kisha rehema na amanizimfikie hitimisho la Mitume bwana wetu Muhammad (s.a.w.w.) na nduguzake wema watoharifu (a.s.), pamoja na sahaba wake wema.

Nimepata kitabu kidogo chenye anwani “Hadith Thaqalain na ufahamu”,mwandishi Dk.. Ali Ahmad Saaluus, mwalimu msaidizi katika kitivo chasheria na kanuni katika chuo kikuu cha sheria – Chuo kikuu cha Qatar - nakimepigwa chapa na - Darul-Islah - Abudhabi mwaka 1986, anwani yakeilinivutia hapo nikapatwa na shauku ya kukiangalia ndani, nikaangalia kwamakini, nikidhani huenda nitakuta humo yale ambayo humtuliza mkereket-wa na kuziba mwanya wa mwenye kujishughulisha, huku nikitamani waji-tokeze wale wenye ujuzi wa kufanya uchunguzi na utafiti, aidha kuwa namaarifa juu ya misingi na vigezo vya ukosoaji, ili kuziba mwanya huoambao umeathiri umma wa kiislamu na bado unaendelea, lakini dhana hiyoilikwenda kombo na kupotea bure. Katika kitabu chake nimemkuta ni mtuasiye na upeo wa maoni na itikadi, bali mambo yote yaliyotajwa katikakitabu hicho huelezea maoni ya wale waliomtangulia hapo kabla kuhu-siana na Hadith Thaqalain, nayo ni kutokana na kasumba na kufuatamambo kibubusa, kama nilivyowaona wengineo ambao hujituma ilikuifanya dhaifu Hadith Thaqalain, ambayo inapatikana katika vitabu vyotesahihi vya Ahlus-Sunna, hali kadhalika Musnad zao kwa lafudhi ya:“Hakika mimi nakuachieni vizito viwili: Kitabu cha Mwenyezi Mungu nakizazi changu Ahlul-Bayt wangu”.

Na hadithi hiyo imethibiti katika pande zote mbili upande wa Sunni naShia, na kwa upokezi sahihi hata kama sio mutawatiri, kama itakavy-ombainikia hivyo mpendwa msomaji. Dk.. Ali Ahmad Saaluus hakuishia tu

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:05 PM P

3

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

kuifanya dhaifu Hadith Thaqalain bali aliwabebesha mzigo wa tuhumaWanachuoni wakubwa wa Kishi’a kuwa wao pekee ndio walioipokeaHadith Thaqalain kwa lafudhi “Na kizazi changu Ahlul-Bayt wangu”.Iliyothibiti katika vitabu sahihi vya Ahlus-Sunna, na hilo tutaliwekabayana kwa nguvu ya hoja na vithibitisho kedekede kutoka katika vitabuvya Wanachuoni waliotangulia wa Ahlus-Sunna na Mahafidh pia, ambaowalipasisha usahihi wa hadithi hiyo. Bali walikiri kuwa ni HadithMutawatiri, kwa mantiki hiyo ndio maana wafuasi wa Ahlul-Bayt huiami-ni na kuukubali usahihi wa hadithi hiyo, na itikadi hiyo haikuwa makhsusikwao pekee, bali hata wale ambao hutafautiana na Shi’a wamekiri nakutangaza bayana usahihi wa Hadith Thaqalain kwa tamko la “Na kizazichangu Ahlul-Bayt wangu”, kiasi kwamba hata Ibnu Taymiyyah pamoja naupinzani wake na ushabiki wake dhidi ya Shia lakini amekiri kuwa HadithThaqalain ni sahihi. Bila shaka kitendo cha Dk.. Saaluus na wapambewake kuikadhibisha hadithi hiyo kinalazimu kumkadhibisha MwenyeziMungu (Subhaanahu wa Taala), Mtume wake, Wanachuoni na Maimamuwa Ahlus-Sunna ambao wamepokea hadithi hiyo kutoka kwa BwanaMtume (s.a.w.w.) na wakakiri usahihi wake ndani ya vyanzo na njia mbal-imbali ambazo hazipungui thelathini au zaidi, vyote hivyo ni sahihi kwamujibu wa kukiri kwa Wanachuoni wa Ahlus-Sunna waliokiri na kukubalihilo wao pamoja na Mahafidh wao.

Kisha hakika ikiwa lengo la msingi la kuifanyia uchunguzi HadithThaqalain ni kuhakikisha kuwa tunafika kwenye ukweli halisia, usio naubishi wala uzushi, hapana budi sisi kuambatana na kushikamana kikamil-ifu na hadithi hiyo pamoja na madhumuni yake ambayo hutambuliwa namakundi yote mawili. Kwani bila shaka uislamu humhukumu mzushikuwa ni mtu muovu na kuahidiwa adhabu kali mno, hilo limewekwabayana na Bwana Mtume (s.a.w.w.) amesema: “Yeyote mwenye kunizuliamimi jambo basi ajichagulie makazi yake motoni.” Aidha amesema tena:“Mambo manne mojawapo likiwepo kwa mtu basi huyo ni mnafiki wakweli hadi aachane nayo: Akiaminiwa hufanya hiyana, akizungumza huse-ma uwongo, akiahidi hatekelezi na akigombana hufanya uovu.”

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:05 PM P

4

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

Uchunguzi huu utatufichulia baadhi ya watafiti uchwara ambao wameina-sibisha hadithi hiyo kuwa ni katika hadithi zilizozushwa, na kwamba haipokatika vitabu vinavyotegemewa na Ahlus-Sunna na Mahafidh wao, eti hiloni kutokana na dalili walizonazo kutoka kwenye vitabu ambavyo kwaohuviona ni sahihi...

Kwa hivyo Dk. Ali Ahmed Saaluus anaambiwa na aelewe kwamba HadithThaqalain kwa lafudhi ya “Na kizazi changu Ahlul-Bayt wangu”haikupokewa na Shi’a pekee bali imeelezwa katika vitabu mbalimbali vyaAhlus-Sunna na kwamba sehemu kubwa ya mlolongo wa wapokezi wakeni sahihi. Hivyo kama si mutawatiri, basi kitendo cha kuitia dosari nakuifanya dhaifu kitalazimu kuzifanya dhaifu hadithi zilizo nyingi zaBwana Mtume (s.a.w.w.).

Na yatosha kuwa ushuhuda wa usahihi wa hadithi hiyo bali kuwa kwakeMutawatiri kwamba Imam Muslim ameeleza katika kitabu chake SahihMuslim hadithi nne ambazo zote ni sahihi, aidha Tirmidhi katika kitabuchake Sunanut-Tirmidhi amezitaja kwa njia kadhaa wa kadhaa, ukiongezeaaliyoyaeleza Imam Ahmad Imam wa madhehebu ya Hanbal katika Musnadyake, Nasaai ambaye ni mmoja wa waandishi wa vitabu sita sahih vyakisunni katika kitabu chake Khasais, na wengineo wasio kuwa hao kamaatakavyofahamu mpendwa msomaji asiyekuwa na kasumba. Ili ajuekwamba Shi’a ni watu ambao wako mbali na uzushi na ukadhibishaji wahadithi za Mtume (s.a.w.w), kwani wao wameshikamana na vizito viwili:Kitabu cha Mwenyezi Mungu Subhaanahu wa Ta’ala na kizazi kitoharifucha Bwana Mtume (s.a.w.w), kwani mwenye kushikamana navyohatopotea kamwe, kama ilivyokuja katika hadithi ya Mtume (s.a.w.w.). Nauzushi na uongo ni katika upotovu, na mwenye kushikamana na vizitoviwili: Kitabu cha Mwenyezi Mungu na Ahlul-Bayt wake ameepukana naupotovu, na kuanzia hapa unadhihiri upotoshaji wa yule ambaye anajaribukuifanya dhaifu hadithi hiyo au kuikadhibisha.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:05 PM P

5

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

Huambiwa haya Dk. Saaluus na wengineo: Hakika miongoni mwa mifumoya kielimu katika kujibu hoja ya mpinzani ni kwamba dalili inayotumikaiwe katika dalili ambazo zinakuwa ni hoja juu ya mpinzani wake ili awezekuikubali, sio atumie dalili au hadithi ambazo mpinzani wake hazijui, nakwa mfano huo Shi’a katika kuthibitisha yale wanayoyaamini wao hutu-mia dalili na nguvu ya hoja za hadithi sahihi ambazo zimeelezwa katikavitabu sahihi vya Ahlus-Sunna, hivyo ni hoja thabiti kwa Dk. Saaluus, nakwa ajili hiyo itamlazimu kuzifanyia kazi hadithi hizo. Wala haipasi yeyeawalazimishe Shi’a kuziamini hadithi wasizoziamini, hata kamazimeelezwa katika vitabu vyao, kwani hakuna vitabu vya Kishi’a vinavy-oitwa Sahihi, bila shaka katika vitabu vya Kishi’a zimo hadithi sahihi kamavile pia zimo hadithi dhaifu na fasidi, bali zimo baadhi ya hadithi ambazoShi’a hawaziamini.

Na kwa ajili hiyo haifai wala sio haki mpinzani amlazimishe Shi’akuzikubali isipokuwa hadithi hizo zikiwa zinategemewa na Wanachuoniwao ambao wanategemewa, na sio mtu yeyote yule kama alivyofanya Dk.Saaluus. Na hilo linapingana na kanuni na misingi ya kiislamu katikakujibu hoja, malumbano, mahojiano, mjadala na mdahalo, na kwa kuwaDk. Saaluus ni mtu asiyejua misingi ya kujibu hoja, na mifumo ya ukosoa-ji, amejaribu kuifanya dhaifu Hadith Thaqalain ambayo imethibiti kwawaislamu wote.

Lakini pindi lilipokuwa lengo la Dk. Saaluus ni kuwaponda Shi’a hatakama upondaji huo unaambatana na uzushi na kumkadhibisha MwenyeziMungu na Mtume wake (s.a.w.w.) basi hayo yote yalikuwa mepesi kwake,kwa sababu lengo lake ni kuhalalisha na kujirahisishia njia ya kufikia lengolake. Na kwa kuwa lengo lake ni kuwazulia Shi’a kwa njia yoyote ile inay-owezekana, basi hakukuwa na kizuizi chochote kwake katika kuikanushaHadith Thaqalain na hadithi zinginezo zilizopokewa kutoka kwa Mtume(s.a.w.w.), kwani kuitikadi ukweli wa hadithi hiyo kutamlazimu kushika-mana na kizazi kitoharifu Ahlul-Bayt (a.s.), Nao ni: Ali bin Abi Twalib,Fatimah Zahra na mabwana wa vijana wa peponi Maimamu wawili Hasan

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:05 PM P

6

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

na Husein (a.s.), na jambo hilo ni zito kwake asiloweza kulikubalikutokana na kutowakubali ndugu wa karibu wa Rasuul. Na tutalielezeahilo hapo baadaye kwa kutoa dalili kutoka katika vyanzo mbalimbali vyaWanachuoni wakubwa wa Ahlus-Sunna ili ukinai na kutosheka, hicho nikilele cha hali ya juu cha ukarimu usio na mfanowe, pale tunapotoa dalilikuthibitisha jambo fulani juu ya mpinzani tunatumia hoja ambazo yeyehuzikubali, pasi na kurejea na kutumia uzushi, uwongo au ubabaishajikama tutakavyotoa baadhi ya mifano muda si mrefu.

Hakika mbinu ya kuzifanya dhaifu hadithi za Mtume (s.a.w.w.) ni mbinuwalizozitumia Bani Umayya na Bani Abbas, ili wafiche fadhila na vyeovya ndugu wa karibu wa Mtume (s.a.w.w.), hiyo ni pale ziliposhindwa nakuwachosha mbinu zao za vitisho na mateso kwa Ahlul-Bayt (a.s.), kwasababu hiyo walifanya chini juu kupotosha hadithi za Mtume kwa malen-go ya kisiasa, kasumba, matamanio, chuki binafsi na akdi zao, katikakutokomeza kabisa fadhila za Maimamu wa Ahlul-Bayt (a.s.). Hakikawasomi waajiriwa waliokuwa watiifu kwa tawala za wakati huowalichangia sana katika kubadilisha na kupotosha hadithi za BwanaMtume (s.a.w.w.), na dalili zilizo wazi juu ya hilo ni kuwa Umma wa kiis-lamu, miongoni mwa Masunni hawajui lolote kuhusu Hadith Thaqalainiliyo kwa lafudhi ya: “Na kizazi changu Ahlul-Bayt wangu” bali wapobaadhi yao wenye kukanusha mfano wa hadithi hiyo, na wanaamini kuwani katika hadithi iliyowekwa na Shi’a ili kuipinga hadithi inayosema: “NaSunna yangu.”

Wamefanya hivyo ili wawachanganye watu kuwa Shi’a ni miongoni mwawabunifu wa hadithi, ambao hubadilisha maneno kutoka mahala pake, kwachuki waliyonayo kwa ndugu zao masunni, au bughdha yao kwa sahaba waMtume (s.a.w.w.), japo inajulikana fika kwamba Shi’a ni watu wenyekushikamana zaidi na Sunna za Mtume (s.a.w.w.), kwa ajili hiyo wame-fungua mlango wa kufutu mas’ala ili waweze kuchuja hadithi sahihi tokakatika hadithi zisizo sahihi ambazo zinanasibishwa kwa Mtume (s.a.w.w.).

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:05 PM P

7

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

Wapo wenye kujaribu kuponda vitabu vya Wanachuoni wa Kishi’a, kwasababu tu hueleza baadhi ya hadithi ambazo huenda kinyume na akili,Qur’anii au Sunna, hufanya hivyo kwa lengo la kuwachanganya halaikikwamba Shi’a huamini hadithi hizo, ilihali uhalisia ni kwamba Shi’ahawana vitabu vinavyoitwa sahihi kama ilivyo kwa Ahlus-Sunna, kwa hiyokwa mujibu wa Shi’a wenyewe ni kuwa hadithi zinazoelezwa katika vitabuvyao zinastahili kukosolewa, kwani kama zilivyomo hadithi sahihi katikavitabu vyao hali kadhalika zimo dhaifu na zenye mapungufu, bali zimohadithi zinazojulisha ghuluu1. Lakini lililothibiti kwa Shi’a wote ni kwam-ba maghulati wote wamepetuka mipaka na wametoka katika Uislamu, nariwaya hizi sio sahihi wala hazikubaliani na Shi’a bali wao wamezikad-hibisha. Na wala kuwepo mtu mmoja au wawili wanaodai kuzingatiahadithi zote zilizomo katika vitabu hivi kuwa ni sahihi hakuwakilishimtazamo wa Shi’a, bali hiyo ni rai na maoni ya mtu binafsi.

kwa hivyo majaribio ya baadhi ya watu miongoni mwa Ahluls-Sunnakuziponda hadithi zote za Shi’a, hilo ni zoezi la kujaribu kupotosha ukwelina haki ambayo wanayo Shi’a, na mbinu hiyo ni mbinu ya wale waliotan-gulia miongoni mwa vibaraka wa Bani Umayya na Bani Abbas ilikuteketeza Ushi’a na wafuasi wa Ahlul-Bayt (a.s.) na kuwaweka watumbali nao. Lau kama umma wa Kiislamu ungetaka ukweli na kufikia haki-ka na kupata maarifa ya hakika kama baadhi walivyoelewa, ingekuwa nilazima kutafuta na kufanya utafiti kutoka katika vyanzo vya Wanachuoniwa Ahlus-Sunna pamoja na wapokezi wao wa hadithi, ili mtu mwenyeweajionee yale yaliyopokelewa kutoka kwao miongoni mwa hadithi ambazohufungamana na Ahlul-Bayt (a.s.), na mwenye kushuhudia baadhi yahadithi hizo haangalii maana yake na madhumuni yake, bali wapo baadhiyao ambao hujitahidi kuzifanya dhaifu na kuzikadhibisha, na wenginehujaribu kuzieleza kulingana na matamanio yao, na hayo yamepitishwa nakutekelezwa na wale waliotangulia, na wakafuatiwa na waliokuja baadayao katika zama zetu hizi, zama za Sayansi na teknolojia na utafiti kuhu-siana na haki, mfano Muhammad Nassur-diin Albaani, Dk. Aamir Najjar,Dk. Ali Ahmad Saaluus, Ihsan dhahir na wengineo wasiokuwa hao kati ya

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:05 PM P

8

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

wale ambao hujaribu kupotosha ukweli na kubadilisha maneno kutokamahala pake kwa lengo la kuwatumikia maadui wa ndugu wa karibu waMtume (s.a.w.w.) kama tutakapowadhihisha hilo katika kitabu hiki.

Na kwa njia hiyo watu hawa wamejaribu kuifanya dhaifu HadithThaqalain kwa lafudhi ya: “Na kizazi changu Ahlul-Bayt wangu” auhadithi kuitolea maelezo, kwani kushikamana na mfano wa hadithi hiyo nanyinginezo hubomoa nguzo ya msingi miongoni mwa nguzo za itikadikwao, na kubatilisha taawili zote au utoaji maelezo wa aina yoyote uleambao umetolewa kuhusiana na wale waliotangulia juu ya Maimamu waAhlul-Bayt (a.s.), hayo yote ni kutokana na muktadha wa kuwajibikakushikamana na Kitabu kitakatifu na kizazi kitoharifu, na hayo hayawarid-hishi hao, kwa ajili hiyo wakajaribu kuiponda hadithi hiyo kwa upandemmoja na kuwakadhibisha wapokezi wake kwa upande mwingine, nawapo wengine wenye kuwatuhumu wapokezi wake, bila kujali kuwawengi wao ni miongoni mwa watunzi wa vitabu sahihi na Musnad zaombele ya Ahlus-Sunna kama vile sahihi Muslim, Tirmidhi, Ibn Maaja,Nasaai, Musnad ya Imam Ahmad bin Hambali ambaye ni Imamu wa mad-hehebu na wengineo ambao mpendwa msomaji utawatambua, wote haowameipokea Hadith Thaqalain, kwa lafudhi ya: “Na kizazi changu Ahlul-Bayt wangu” na kuieleza katika vitabu vyao, ilihali hao sio miongoni mwaWanachuoni wa Kishi’a, hadi watuhumiwe kwa uzuaji, uzushaji na uwon-go juu ya hadithi hiyo.

Tunatoa mfano juu ya hilo, kwani kuna genge kubwa la wale ambao wana-jidai na kujiita kuwa ni miongoni mwa Wanachuoni wa Ahlus-Sunna,ambao hujaribu kukadhibisha hadithi za Mtume na kusema riwaya hizohazipo katika vitabu vya Ahlus-Sunna, na kwamba zenyewe ni uongo nauzushi wa Mashi’a. Lakini utafiti huu unatoa picha kamili ya watu hao, nakwa hivyo itambainikia mwislamu mwadilifu haki kutokana na batili,mkweli na muongo, hapo atagundua dhamira yao mbaya na litamthibitikiahilo kutokana na utafiti huo wa kielimu wenye kusimama juu ya uaminifu,na hadithi lukuki na sahihi za pande zote mbili. Mwenyezi Mungu swt.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:05 PM P

9

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

anasema: “Halitamkwi neno lolote isipokuwa kwake Yeye liko katikauangalizi mkali.”

Na kwa ajili ya siasa hiyo chafu ni siasa ya upotoshaji na ubadilishaji,ambayo ilitekelezwa na ukoo wa Amawiyya na Abbasiyya, baada yakushindwa mazoezi yao ya kunyanyasa, kuadhibu na kuwaua Shi’a naMaimamu wao (a.s.), walibadilisha na kupotosha hadithi za Mtume(s.a.w.w.), kama walivyofanya hivyo katika Hadith Thaqalain, na hakikambinu hiyo ilifuatwa na wale waliokuja baada yao, basi wakaweka kanunimaalum za kusihi hadithi na kutosihi kwake, na zile hadithi ambazohuelezea fadhila za Ahlul-Bayt (a.s.) wakasema:- Katika mlolongo wawapokezi wake yupo Atwiya Aufi au Aamash hao watu hutuhumiwakubuni hadithi, waliopotoka na watu wa bidaa, kwa sababu wao wame-pokea hadithi inayohusiana na fadhila za Ahlul-Bayt (a.s.) hata kamawalikuwa waaminifu na wa kweli, bali hata kama wakiwa miongoni mwawapokezi wa Bukhari na Muslim katika sahihi zao ambazo hao wawilivitabu vyao ndio vitabu sahihi kuliko vyote baada ya Qur’anii kwa mujibuwa Ahlus-Sunna.

Kwa mfano Atwiya bin Auf amepokea kutoka kwa Abu Saidi, Abu Huraira,Ibn Abbas, Ibn Umar, na Zayd bin Arqam, yeye ni miongoni mwawapokezi wa Bukhari, naye pia ni kati ya wapokezi wa Abi Daud, naTirmidhi amemueleza Atwiya Aufi katika kitabu chake ambacho huhesabi-wa kati ya vitabu sahihi sita kwa Ahlus-Sunna, aidha ni miongoni mwawapokezi wa Ibn Maaja, vilevile ni kati ya wapokezi wa Ahmad binHambali katika Musnad yake, na wasiokuwa hao kama alivyopokeahadithi inayoeleza fadhila za baadhi ya masahaba hata hivyo walimhuku-mu kwa ubunifu na upandikizaji wa hadithi kwa sababu amepokea HadithThaqalain kwa matamshi ya: “Na kizazi changu Ahlul-Bayt wangu”.

Pamoja na kuwa hadithi hiyo ilipokewa na watu lukuki achilia mbaliAtwiya, Habib, na Aamashi, bila shaka imepokewa na wapokezi chungunzima wote ni miongoni mwa watunzi wa vitabu sahihi na Musnad basi

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:05 PM P

10

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

virejewe hivyo ili ukweli wake ujulikane.

Shahabi katika kitabu chake (Miizanul-iitidali Fi Naqdir-Rijaal) anasemakatika wasifu wa Abaani bin Taaghlib Sheikh wa Shi’a: “Abaan binTaghlub Kufiy ni shia lakini ni mkweli, sisi tunachukua ukweli wake na nijuu yake bidaa yake. Na amesifiwa kwa uadilifu na Ahmad bin Hambali,Ibn Mu’in na Abu Haatam, basi msemaji anaweza kusema: ‘Vipi imefaakumsifia uaminifu mtu mwenye bidaa? Vipi mtu wa bidaa anakuwamwaminifu?’ Na jawabu la maswali hayo ni kwamba bidaa imegawanyikakatika sehemu mbili: Bidaa ndogo kama vile upotokaji wa Shi’a au Shi’aambaye sio mpotokaji, na watu wa aina hiyo ni wengi miongoni mwataabiina na waliowafuatia hao ambao wenye dini na wakweli, na lauzitakataliwa hadithi zilizopokewa na watu hao basi zitapotea na kutowekahadithi kedekede za Mtume (s.a.w.w.) na huo ndiyo ufisadi wa bayana.”1

Na kauli hiyo ya kinagaubaga kutoka kwa Shahabii katika kitabu chake chaMizanul-iitidali kuwa kuikataa hadithi ya Shi’a ni ufisadi mkubwa katikadini, na wengi miongoni mwa taabiina na waliokuja baada ya taabiiwalikuwa ni Shi’a, na walikuwa wakisifika kwa ukweli, uchamungu nauwanadini, na hizo ndizo sifa za wale wenye kushikamana na vizito viwili,kitabu cha Mwenyezi Mungu na Ahlul-Bayt (a.s.), na kwa ajili hii Dhahabiamemzungumzia Shariik bin Abdillah An-Nakhai akisema: “AmesemaAhmad bin Hambali: “Shariik ni kundi moja na Abi Is’haq ni madhubutizaidi ya Zuheri.... na Abu Haatam amesema: Shariik ni mkweli ananipen-deza sana kuliko Abu Ahwaswi na hakika Shariik ni Shi’a...”’

Dhahabii akasema: “Hakika Shariik alikuwa kati ya watu wenye elimukubwa, amepokea kutoka kwake Is’haq al-Azraq hadithi elfu tisa na akase-ma Nasaai: “Hakuna ubaya kufanya hivyo.”’2

1 Mizanul-I’itidal fi naqdur-Rijal Juz. 1 Uk. 42 Mizanul-I’itidal fi naqdur-Rijal Juz. 1, uk. 271, 273, 274.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:05 PM P

11

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

Na anasema Khatiibul-Baghdad katika tarjuma yake ya Muhammad binRashid mmoja wa wapokezi tisa wa Kishi’a: “Amesema Abdul-Razzaq:‘Katika maisha yangu sijawahi kumuona yeyote mchamungu na mkwelikatika mazungumzo zaidi yake,”’ yaani Muhammad bin Rashid.

Abu Nadhri akasema: “Nilikuwa nazungumza na Shuuba, ghafla akaji-tokeza Muhammad bin Rashid, Shuuba akasema: ‘Sikuandika kutoka kwahuyu, ama yeye ni mkweli lakini ni Shi’a au Qadar?”’

Khatiibu-Baghdad anasema: “Ametupa habari Ibn Fadhili, ametuambia IbnDarastuway ametupa habari Yakuub ibn Sufyani amesema: ‘NilimuulizaAbdulrahman bin Ibrahim, nikamwambia: Muhammad bin Rashid?Akasema: Alikuwa akitajwa kwa Qadar ila yeye ni mkweli katikahadithi.”’3

“Wamepokea kutoka kwake Sufyan Thauri, Shuuba, Yahya bin Said Al-Qatwan, Abdul-Rahman bin Mahdi, Abunaiim, Abdul-Razzaq binHammam, Haytham bin Jamiil, Abu Nadhri Hashim bin Qasim na Ali binJaada. Ametuhadithia Abu Said Muhammad bin Mussa Aswarafi,ametueleza Abu Abbas Muhammad Ibn Yakuub al-Aswamu, ametuha-dithia Abdullah bin Ahmad bin Hambal, amesema na nikamuuliza (yaanibaba yake) kuhusu Muhammad bin Rashid anayesimulia kutoka kwaMakhuul akasema: “Ni mtu mwaminifu”. Aidha akasema Abdul-Razzaq:‘Sijawahi kumuona mchamungu na mkweli katika mazungumzo kama vileyeye - yaani Muhammad bin Rashid.”’4

Nasema (Mtunzi): Pamoja na hayo yote na wapokezi wa Kishi’a kupewasifa kemkem kama vile ucha Mungu, washika dini, wenye msimamo wakweli na waaminifu katika upokeaji wa hadithi, pamoja na hayo tunakutawababaishaji ambao lengo lao ni kuwatia doa na kuwapaka matope

3 Al-Khatibu Al-Baghdadiy: Juz. 5 uk 271 na 272.4 Al-Khatibu Al-Baghdadiy: Juz. 5 uk 271.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:05 PM P

12

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

wapokezi wa Kishi’a kwa kuwabambikizia sifa za hiyana, upotevu, uwon-go na utapeli, ni baadhi ya wale ambao wanachuki binafsi na familia yaBwana Mtume (s.a.w.w) na hata kama wakiwa ni miongoni mwa masheikhwa Bukhari katika kitabu chake Sahih Bukhari.

Ibn Athiir anasema katika kitabu chake (Al-Kamil fi Ta’arikh) katikamambo yaliyotokea katika mwaka wa mia mbili na kumi na tatu (213):“Katika mwaka huo alifariki Abdullah bin Mussa Al-Abasi ambayealikuwa faqiih na pia alikuwa Shi’a, naye ni miongoni mwa masheikh waBukhari ambao amewataja katika kitabu chake Sahih Bukhari”.5

Na Isma’il bin Abaan Al-Azdi Al-Kuufii Al-Waraqii ni Sheikh wa Bukhariaidha Yahya na Ahmad bin Hambali walipokea kutoka kwake na akasemaBukhari: Ni mkweli, na wengine walisema: Alikuwa Shi’a.”6

Anasema Dhahabi katika kitabu chake Miizan katika tarjuma ya Abdullahbin Umar bin Abdaan Al-Kuufii Mushkidana: “Abdallah bin Umar binAbdan Al-Kurashii Al-Kuufii Mushkidana, ni mtu mkweli na mwenyekukubalika kwa hadithi... amesema Abu Haatam: Yeye ni mkweli, naikawa yaeleweka kuwa ni Shia, amesema Bakr Ibn Muhammad Al-Swayrafii na ambaye alimtaja Al-Hakim akasema: Ni msimulizi waKhurasani katika zama zake, nilimsikia Swaleh bin Muhammad Juzratanasema: Alikuwa Abdullah bin Umar bin Abaan akiwatahini wapokezi wahadithi na mara nyingi walikuwa Shi’a.”7

Nasema kumwambia Uthman bin Muhammad al-Khamiis Nawiri:Muogope Mwenyezi Mungu na wala usiwe miongoni mwa wazushi katikamaneno yako: “Basi utaona wale wapotovu (yaani Wanachuoni wa

5 Ibu Athir ndani ya Al-Kamil fit-Tarikh Juz. 5 uk .217. Pia tazama Mizanul-I’itidal Juz. 3 uk 16.6 Mizanul-I’itidal Juz. 1 uk 212.7 Mizanul-I’itidal Juz. 2 uk 466.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:05 PM P

13

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

Kishi’a) wanapotoshana, wanafanya hiyana bali wanasema uwongo,wanazusha na wanabadilisha ukweli na hizo ndizo bidhaa zao...!”8

Nasema: Tumeeleza mengi wanayosema Wanachuoni wa kisunni kwambaShi’a wanasifika kwa ucha mungu, ukweli na uaminifu, na wenye sifa hizohawawezi kuwa wazuaji, waongo na wageuzaji wa mambo, kwani ubadil-ishaji wa mambo sio sifa zao bali ni sifa za wale wasiokuwa wao kamautakavyoona katika maudhui hii, kwani matusi na shutuma si sifa za wau-mini achilia mbali wanazuoni. Na hoja huvunjwa kwa hoja na si kwamatusi na shutuma ambazo hazikubaliki na Waumini, na kama manenohayo hayakukushangaza basi tumia nguvu ya hoja, usitumie matusi nakebehi kwani hiyo ni silaha ya mwenye kushindwa, kwani fikra hupam-banishwa na fikra nyingine na kwa dalili ambayo inakuwa hoja kwa mpin-zani wako. Ama kutukana kwenyewe ni sifa za wale wanaokwendakinyume na vizito viwili: Kitabu cha Mwenyezi Mungu na Ahlul-BaytNabii (s.a.w.w.), kama tutakavyoona baadhi ya mifano hapo baadayeMungu akipenda.

MDAHALO WETU NA AHMAD BIN HAJAR AAL-BUUTWAMIY KATIKA KITABU CHAKE - AL-

AQAIDUS-SALAFIYYAH

Ahmad bin Hajar Aal Buutwamiy katika kitabu chake (al-Aqaidus-Salafiyah) anasema katika kuwajibu Wanachuoni wa Kishi’a kwa dalili zaQur’ani, hadithi na akili; haya ndio maneno yake: “Mwenyezi Munguanasema: “Sema sitaki malipo yoyote kutoka kwenu ila kuwapendawatu wangu wa karibu.” Amepokea Ahmad bin Hambali katika kitabuchake Musnad kutoka kwa Ibn Abbas amesema: “Pindi ilipoteremshwaAya hii: “Sema sitaki malipo yoyote kutoka kwenu ila kuwapendawatu wangu wa karibu.” Maswahaba wakasema: “Ewe Mjumbe wa8 Kashful-Janiy uk. b.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:05 PM P

14

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

Mwenyezi Mungu ni nani hao ndugu zako ambao ni wajibu wetu kuwapen-da?” Akasema Mtume (s.a.w.w.): “Ali, Fatimah, na watoto wao”. Vivyohivyo imekuja katika Tafsir Thaalabi, katika Sahih mbili (Bukhari naMuslim) na kadhalika”.

Ibn Butwaamiy anasema: ‘Jawabu lina aina nyingi, moja wapo: Maombiya kusihi hadithi na kauli yake: ‘Ahmad bin Hanbali amepokea hadithihiyo katika Musnad yake’ ni uwongo wa bayana, na nakala za Musnad yaAhmad mashaallah tunazo nyingi na hazina hadithi hiyo.

Pili: Hakika hadithi hiyo ilizushwa na kupandikizwa, hilo ni kwamakubaliano ya wasomi na wataalamu wa hadithi, na kwa mantiki hiyohaipatikani hadithi hiyo katika kitabu rejea chochote.”’9

Nasema: Anajibiwa Ibn Aal Buutwamiy kama ifuatavyo: Mosi: Ama kauli yake: “Maombi ya kusihi hadithi hii...” huo ni uzushi juuya Wanachuoni wa Ahlus-Sunna na Mahafidh wao ambao waliipokeahadithi hiyo na wakaipasisha kuwa ni sahihi, nako ni kuwachanganyaAhlus-Sunna kwa kusema kwamba hadithi hiyo ni uzushi uliyopandik-izwa, kwa makubaliano ya wasomi, ili kuwaweka mbali Waislamu kuhu-siana na hadithi za Mtume (s.a.w.w.), na huo ni upotokaji wake wa bayanadhidi ya sunna za Mustafa (s.a.w.w.), na ni ubadilishaji wa maneno ulio wadhahiri kabisa na huko ni kutangaza uadui wa wazi azi juu ya Ahlul-Bayt(a.s.).

Pili: Ama kuhusu kauli yake: “Na kwa mantiki hiyo haipatikani hadithihiyo katika kitabu rejea chochote ...” Tunasema kuwa, kafanya hivyo amakutokana na ujinga wa kutoyajua yale yaliyomo katika vitabu vyaWanachuoni wa Ahlus-Sunna, kama methali isemavyo: “Udhuru wake niujinga wake.” Na ima ni kupitiwa na shetani hadi akasahau kumkumbukaMwenyezi Mungu swt. na hatimaye akakanusha mfano wa hadithi hiyo

9 Al-Aqaidu As-Salfiyyah Juz. 2, uk. 332 - 333.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:05 PM P

15

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

ambayo imepokewa na kuthibitishwa na vitabu sahihi vya Ahlus-Sunna naMasanid zao kama mpendwa msomaji atakavyofikia uhakika huo.

Tatu: Sijui je ni itikadi ya waliopita hapo kabla kuzua na kumsingiziaMwenyezi Mungu swt. na Mtume wake (s.a.w.w.) na waumini pia, pamo-ja na kuwa watu waliotangulia walinukuu kutoka kwa Bwana Mtume(s.a.w.w.) kuwa, aya ya Mawaddah (upendo) ambayo ni kauli yaMwenyezi Mungu swt. isemayo: “Sema sitaki malipo yoyote kutokakwenu ila kuwapenda watu wangu wa karibu.” iliteremshwa kuhusianana Ali, Fatimah, na watoto wao wawili. Na hapana shaka kuwa watuwaliotangulia ni wajuzi na wataalamu zaidi wa hadithi za Bwana Mtume(s.a.w.w.) kuliko Aal Ibn Butwaamiy.

Nne: Inafaa kujua machache na ya msingi yaliyopokewa na kuelezwa kati-ka vitabu vya Ahlus-Sunna kuhusiana na aya hiyo, ambayo mtu pekeealiyeikanusha kuwepo kwake ni Ibn Twaami, na akadiriki kusema kwam-ba Hadith Thaqalain imepandikizwa na ya uwongo kwa itifaki yawataalam wa hadithi. Tuyajue hayo ili abainike mwongo na mkweli,wenye kushikamana na hadithi za Mtume (s.a.w.w.) ni akina nani na waleambao ndio wapinzani wa hadithi za Mtume (s.a.w.w.) ni akina nani, tujueni akina nani ambao daima hushikamana na sunna za Bwana Mtume(s.a.w.w.) na ni akina nani wale ambao huacha na huenda kinyume nasunna za Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).

1: Anasema Al-Hakim Naysabuuri katika kitabu chake Shawahidut-Tanziilkutoka kwa Said bin Jubair kutoka kwa Ibn Abbas amesema: “Pindiilipoteremshwa aya hii: “Sema sitaki malipo yoyote kutoka kwenu ilakuwapenda watu wangu wa karibu.” Maswahaba walisema: “Ewemjumbe wa Mwenyezi Mungu ni nani hao ambao imewajibika kwetu sisikuwapenda?” Akasema Mtume (s.a.w.w.): “Ni Ali, Fatimah na watoto waowawili,” na hadithi hiyo imepokewa kwa njia tofauti tofauti”.10

10 Shawahidul-Tanziil Juz. 2, uk. 130.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:05 PM P

16

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

2: Na katika kitabu cha Jamiu-Ahkamul-Qur’ani cha Qurtubi: “Imepokewakutoka kwa Said bin Jubair kutoka kwa Ibn Abbas amesema: “PindiMwenyezi Mungu alipoishusha aya hiyo, masahaba walisema: “Ewemjumbe wa Mwenyezi Mungu ni nani hao ambao tunalazimika kuwapen-da?” Akasema (s.a.w.w.): ‘Ali, Fatimah na watoto wao.”’11

3: Na katika kitabu Anwarut-Tanziil cha Baydhawi: “Imepokewa kwambapindi iliposhushwa aya hiyo iliulizwa: “Ewe mjumbe wa MwenyeziMungu ni nani hao watu wako wa karibu?” Mtume (s.a.w.w.) akasema: ‘NiAli, Fatimah na watoto wao wawili.”’12

4: Na katika kitabu Al-Kashaaf cha Zamakhshari amesema: “Hakika pindiilipoteremshwa aya hiyo iliulizwa: “Ewe mjumbe wa Mwenyezi Mungu ninani hao watu wako wa karibu ambao ni wajibu juu yetu kuwapenda?”Mtume (s.a.w.w.) akasema: ‘Ni Ali, Fatimah na watoto wao wawili.”’13

5: Katika Tafsir Gharaibul-Qur’ani ya Al-Allama Naysabuuri kutoka kwaSaid bin Jubair, “Pindi ilipoteremshwa Aya hii: “Sema sitaki malipo yoy-ote kutoka kwenu ila kuwapenda watu wangu wa karibu.” Masahabawalisema: “Ewe Mjumbe wa Mwenyezi Mungu! ni nani hao watu wako wakaribu ambao imewajibika kwetu kuwapenda?” Basi Mtume (s.a.w.w.)akasema: ‘Ali, Fatimah na wana wao wawili.”’14

6: Katika Tafsir Nasafii kwenye maelezo ya Tafsiril-Khaazin kwambapindi ilipoteremshwa: “Sema sitaki malipo yoyote kutoka kwenu,isipokuwa kuwapenda watu wa karibu yangu”, ikaulizwa: “Ewe Mjumbewa Mwenyezi Mungu ni nani hao wa karibu yako ambao ni lazima juu yetukuwapenda?” Basi akasema (s.a.w.w.): ‘Ali, Fatimah na wana wao waw-

11 Jaamiu Ahkamul-Qur’ani Juz. 16. uk. 21-22.12 Anwarut-Tanziil uk. 642.13 al-Kishaf, Juz. 3, uk. 402.14 Tafsir Gharaibul-Qur’ani ya Naysabuuri Juz. 25, uk. 35

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:05 PM P

17

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

ili:”’15

Wahusika wa aya hiyo ni Ali, Fatimah, Hasan na Husein (a.s.) kamatutakavyoliashiria hilo kwa urefu muda mfupi ujao, wafasiri wote kuanziaFakhru Raazi katika Tafsir yake, Twabari kutoka kwa Ali bin Husein, IbnKathiir, Suyuutwi katika kitabu chake Durru-Manthuur, Abi Suud nawengineo miongoni mwa wafasiri na Wanachuoni wakubwa wa Ahlus-Sunna ambao Ibn Twaami katika kitabu chake alikanusha uwepo wahadithi hiyo ndani ya vitabu vyao”, na hilo linajulisha ukanushaji wake wahadithi sahihi za Mtume (s.a.ww.). Kwa hakika aliambatanisha nakuwabebesha Shi’a mzigo wa tuhuma kutokana chuki zake binafsi kwaAhlul-Bayt (a.s.), kinyongo na akdi yake juu yao, kama walivyokuwa walewaliomtangulia kutoka Bani Umayyah.

Hali kadhalika wanahifdhi wa Ahlus-Sunna waliinasibisha na kuihusishaaya hiyo na Ali, Fatimah, Hasan na Husein (a.s.) kama tutakavyolielezahilo kwa kinaga ubaga hivi punde.

1: Ibnu Swabaan anasema katika kitabu chake kiitwacho Isa’afur-Raaghibiina, mlango wa pili katika fadhila za Ahlul-Bayt ....., “MwenyeziMungu (s.w.t) anasema: “Sema sitaki malipo yoyote kutoka kwenu ilakuwapenda watu wangu wa karibu.” Amepokea Twabaraani, Ibn AbiHaatam, ibn Murdawayhi kutoka kwa Ibn Abbas amesema: “Pindiilipoteremshwa aya hiyo masahaba wakasema: “Ee Mtume wa MwenyeziMungu! Ni nani hao akraba zako ambao aya hii imeshushwa kwao?”Mtume (s.a.w.w.) akasema: ‘Ali, Fatimah na watoto wao wawili.”’16

2: Qunduuzi Al-Hanafii anasema: “Twabarani ameitaja hadithi hiyo katikakitabu chake Muujam Kabiir, Ibn Abi Hatam katika Tafsiri yake, Hakimkatika kitabu chake Al-Wasiitwu, Abu Na’im Al-Haafidh katika kitabu15 Tafsiri Nasfiibi Hamishi Tafsiri Khazin, Juz. 4, uk. 10116 Is-aafur-Raaghibiina kwenye maelezo ya Nuurul-Abswaar uk. 113.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:05 PM P

18

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

chake Hilyatul-Awliyaai, Thaalabi katika Tafsir yake, Al-Hamuwayni kati-ka kitabu chake Faraidus-Simtwaini na wengi wengineo ambaowameeleza kuwa hadithi hiyo inawahusu watukufu hao watano.”17

3: Amesimulia Allama Hafidh Muhibbu Diin Twabari: Kutoka kwa IbnAbbas amesema: “Pindi ilipoteremshwa aya hii: “Sema sitaki malipoyoyote kutoka kwenu ila kuwapenda watu wangu wa karibu.” Watuwakasema: “Ewe mjumbe wa Allah ni nani hao akraba zako ambao niwajibu wetu kuwapenda?” Mtume (s.a.w.w.) akasema: ‘Ali, Fatimah nawana wao wawili.”’

Ameeleza Ahmad katika kitabu chake Manaaqib kuwa, imepokewa kuto-ka kwa Bwana Mtume (s.a.w.w.) kuwa amesema: “Hakika MwenyeziMungu amejaalia ujira wangu kutoka kwenu ni kuwapenda Ahlul-Baytwangu, na mimi nitakuulizeni kesho akhera kuhusiana na hao.” Hali kad-halika amelieleza hilo Al-Malai katika kitabu chake cha siira.”18

4: Ametaja Ibn Maghazili Shafi’i: “Kutoka kwa Said bin Jubair kutoka kwaIbn Abbas amesema: “Pindi iliposhushwa aya hii: “Sema sitaki malipoyoyote kutoka kwenu ila kuwapenda watu wangu wa karibu.”Masahaba wakasema: “Ee Mtume wa Mwenyezi Mungu, ni nani haoambao Mwenyezi Mungu ametuamrisha kuwapenda?” Akasema: ‘Ali,Fatimah na wanao wao wawili.”’19

Nasema: Hayo ni machache tu ambayo yameelezwa na Wanachuoniwakubwa wa Ahlus-Sunna pamoja na wafasiri wao ambao wameipokeaHadith Thaqalain ambayo aliukana uwepo wake mtunzi wa kitabu “Al-Aqaidus- Salafiyyah”, akiwa anafuata nyayo za wale wenye chuki naAhlul-Bayt wa Mtume (s.a.w.w.), na akaongeza kusema kuwa hadithi yaAya ya mapenzi sio sahihi, aidha aliomba apewe maelezo juu ya usahihi17 Yanabiiul-Muwaddah Juz. 1, uk. 105.18 Dhakhairul-Uqba uk 25 - 26.19 al-Manaqib cha Ibn Mughaziliy uk. 191 - 192

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:05 PM P

19

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

wake. Kwa itikadi yake hadithi hiyo ni yenye kubuniwa kwa itifaki yawasomi wa hadithi, kwani alikanusha katakata uwepo wake katika vitabuvya Wanachuoni wakubwa wa Ahlus-Sunna. Na hapo baadaye zitakujahadithi lukuki kutoka katika vitabu rejea vya Wanachuoni wa Ahlus-Sunna,wanahifadhi wao na wafasiri wao, zenye kujulisha kuwa mradi wa Ahlul-Bayt (a.s.) sawa iwe inahusiana na Aya ya Mapenzi au Aya ya Utakaso, niAli, Fatimah, Hasan na Husein (a.s.).

Na ninachokiamini mimi kuwa mtunzi wa kitabu (Al-Aqaidus-Salafiyah)na kitabu (Kashful-Jaaniy) na visivyokuwa hivyo viwili miongoni mwawale wanaofanya chini juu ili kuhakikisha wanapingana na kukanushahadithi sahihi za Bwana Mtume (s.a.w.w.), na huku wanajidai kuwa wao nimiongoni mwa Ahlus-Sunna, je! hadithi hizo sio hadithi za Bwana Mtume(s.a.w.w.) ambaye ametuamrisha kushikamana nazo na tuzifuate? AuMtume (s.a.w.w.) ametuamrisha tujiepushe na sunna zake? La hashaBwana Mtume (s.a.w.w.) hawezi kutuamrisha hivyo, kwani MwenyeziMungu swt. anasema: “Na anachokupeni Mtume kichukueni...” Lakiniwapo baadhi ya wale ambao hutumia muda wao mwingi ili kuhakikishakwamba sunna za Bwana Mtume (s.a.w.w.) wanaziangamiza kabisakutokana na chuki zao binafsi, kasumba na ukereketwa wao wa kijahiliya,aidha kufuata matamanio yao pamoja na uadui wao hata kama kufanyakwao hivyo kunakwenda kinyume na maandiko ya kisheria, na bila shakahilo tutaliweka bayana pindi tutakapotaja aya mbalimbali ambazozimeshushwa kuhusiana na Ahlul-Bayt (a.s.).

Ibn Mughazili as-Shafi’i anasema: “Yakuub bin Hamiid amesema katikashairi lake: ‘Naapa kwa baba yangu hakika watu watano wameepushwa na uchafu,wametukuka na wametoharishwa tohara ya kabisa kabisa.

Nao ni Muhammad Mustafa, Fatima, Ali, Shubbar na Shubbir.

Hakika mwenye kuwatawalisha hao atatawalishwa na mmiliki wa arshi, na

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:05 PM P

20

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

atakuwa na uso wa kumeremeta na mwenye furaha.

Na wenye kuwachukia hao watalaaniwa na Mwenyezi Mungu, na mafikioyao ni moto uunguzao.’”20

AHLUL-BAYT KATIKA AYA YA MAPENZIKWA MUJIBU WA VITABU VYA AHLUS-SUNNA.

Mwenyezi Mungu swt. katika Suratul-Shuura aya 23 anasema: “Semasitaki malipo yoyote kutoka kwenu ila kuwapenda watu wangu wakaribu.” Walijaribu baadhi ya watu na bado wanaendelea kujaribu kamatulivyoashiria hapo kabla kuwatenga Ahlul-Bayt (a.s.) kuhusiana na ayahiyo tukufu nao ni Imamu Ali, Bi Fatimah, Hasan na Husein (a.s.). Hivyowakati mmoja huihusisha na wake za Mtume (s.a.w.w.), ndugu zake nawatu wake wa karibu, na wakati mwingine pia huihusisha na kaumu yake(s.a.w.w.), na majaribio yote hayo hayawezi kuvunja dalili zilizothibiti juuya jambo hilo, kwani aya inakataa kabisa maana hizo, wala haiwaelekeiwashirikina kama wanavyodai baadhi ya watu, haiwezekani Bwana Mtume(s.a.w.w.) awaombe washirikina wawapende watu wa karibu yake, kaumuyake na jamaa zake, kwani wao ni maadui wa tawhiid, kwa hivyo zoezi lakubadilisha ukweli wa neno la Qurba na kusema linawahusu Waislamuwote, halina msingi wowote, kwa mantiki hiyo hapana budi maelekezohayo yawe yanawaelekea waislamu wote kuwapenda watu maalumuwanaotokana na ndugu wa karibu wa Mtume (s.a.w.w.) ambao wanamafungamano makubwa na Bwana Mtume (s.a.w.w.), bila shaka zipo dalililukuki kutoka katika vitabu vya Ahlus-Sunna na Mahafidh wao achiliambali zilizomo katika vitabu vya Kishi’a zikithibitisha kuwa kwa hakikamradi wa “Qurba” yaani watu wa karibu waliyotajwa katika aya, ni walewatu wa kishamiya, nao ni Ali, Fatimah, Hasan na Husein (a.s.).

20 - Manaaqib ibn Mughazili uk. 191.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:05 PM P

21

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

Hakuna mwingine anayekuwa nao pamoja, wala haingii asiyekuwemo, siowake wa Mtume (s.a.w.w.) wala watu wengine wa karibu, sembuse kaumuyake, kama wanavyodai baadhi ya watu. Nasi hapa tutataja Wanachuonichungu tele wa Ahlus-Sunna na Mahafidh wao ambao walisema:“Ahlulbayt wanaohusika pekee ni Imam Ali (a.s.), Swiddiqatu TwahirahFatimah Zahra (a.s.), na mabwana wa vijana wa peponi Hasan na Husein(a.s.)”, ili ithibiti hivyo kwa nguvu ya hoja yenye kukinaisha, na iwe hojajuu ya yule mwenye kukanusha kwamba aya hiyo haiwahusu watu hao auanayepinga kuwepo hadithi hiyo katika vitabu vya Ahlus-Sunna, kamaalivyosema Dk. Saaluus, Ihsanllahi Dhahiir, Dk. Aamir Najjar, MuhammadNasur diini Albaani katika kitabu chake Silsilatul-Ahadithi As- Sahiha, nawasiokuwa hao.

Bila shaka zoezi na jitihada zao ni kuutenga umma wa kiislamu na kizazicha Mtume (s.a.w.w.) Ahlul-Bayt zake, ili wawachanganye watu hatimayewaelewe kwamba makusudio ya Ahlul-Bayt katika Aya ya Mapenzi sikama wasemavyo Shi’a bali ni kinyume, bali wajue mradi wa Ahlul-Baytni wanawake wa Mtume (s.a.w.w.) na jamaa zake, na hakika watu hawawanne wameingizwa katika aya hiyo tukufu kupitia mlango wa kujuzishana kuruhusu, kwani Ahlul-Bayt halisi ni wakeze Mtume (s.a.w.w.),wanasema hivyo ili kupotosha ukweli, na hivyo ndivyo watu hao wanavy-oendesha zoezi hilo la kubadilisha sunna za Bwana Mtume (s.a.w.w.),kumkadhibisha Mtume (s.a.w.w.), kuwasingizia wafasiri wa Qur’anii waAhlus-Sunna na Mahafidh wao, kwa hivyo inakupasa ewe ndugu yangumsomaji uwe mtafiti juu ya haki na ukweli ili umridhishe Mola wakoMlezi.

Na ufuatao ni mfano tu wa yale wanayoyasema wasomi wakubwa waAhlus-Sunna, naomba uyazingatie na kuyafanyia utafiti wa kina.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:05 PM P

22

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

KITABU SHAWAHIDUT-TANZIILCHA HAKIM HASKAANI:

Hakim Naysaabuuri naye ni mmoja wa Wanachuoni wakubwa wa Ahlus-Sunna na mfasiri wao ameitaja Aya ya Mapenzi katika Tafsiir yake kwam-ba, aya hiyo iliteremshwa kwa ajili ya Ali, Fatimah, Hasan na Husein (a.s.)na kwa ujumla yafuatayo ni katika aliyoeleza Al-Hakim:

a) “Imepokewa hadithi kutoka kwa Said bin Jubair kutoka kwa Ibn Abbas,amesema: “Pindi iliposhushwa aya inayosema: “Sema sitaki malipoyoyote kutoka kwenu ila kuwapenda watu wangu wa karibu.”Wakasema: “Ewe mjumbe wa Mwenyezi Mungu, ni nani hao ambaoMwenyezi Mungu ametuamrisha kuwapenda?” Mtume (s.a.w.w.) akase-ma: ‘Ali, Fatimah na wana wao wawili.”’

b) “Na katika hadithi nyingine kama ilivyopokewa na Ibn Abbas amesema:“Pindi ilipoteremshwa aya hii: “Sema sitaki malipo yoyote kutokakwenu ila kuwapenda watu wangu wa karibu.” Masahaba wakasema:“Ni nani hao karaba zako ambao Mwenyezi Mungu amefaradhishakwetu kuwapenda?” Akasema (s.a.w.w.): ‘Ali, Fatimah na watoto waowawili.”’

Na katika hadithi nyingine maswahaba walisema: “Ewe mjumbe waMwenyezi Mungu, ni nani hao ambao Mwenyezi Mungu ametuamrishakuwapenda?” Akasema (s.a.w.w.): “Fatimah, Ali na watoto wao wawili.”

Na katika hadithi nyingine imepokewa kutoka kwa Ibn Abbas aidha ame-sema: “Pindi ilipoteremshwa Aya: “Sema sitaki.....”. Masahaba wakase-ma: “Ni nani hao Ewe Mjumbe wa Mwenyezi Mungu ni lazimatuwapende.” Akasema (s.a.w.w.) ‘Ali, Fatimah na watoto wao wawili.”’

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:05 PM P

23

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

c) “Kutoka kwa Said bin Jubair kutoka kwa Ibn Abbas amesema: “Pindiilipoteremshwa aya iliyotangulia Masahaba wakasema: “Ewe Mjumbe waMwenyezi Mungu ni nani hao ambao imewajibika juu yetu kuwapenda?”Mtume (s.a.w.w.) akasema: “Ali, Fatimah na wana wao wawili.” Na akase-ma Isma’il: “Na watoto wake (Yaani Fatimah)”.

Aidha imepokewa kutoka kwake walisema Maansari kati yao: “Lautungemkusanyia Mtume (s.a.w.w.) mali ya kutosha kiasi hawezi kumfikiayeyote,” na baadhi yao wakasema: “Ewe Mjumbe wa Mwenyezi Munguukitaka tukupe mali sema tukulimbikizie mali,” basi Mwenyezi Munguswt. akateremsha Aya hii: ‘Sema sitaki malipo yoyote kutoka kwenu ilakuwapenda watu wangu wa karibu,”’21 na hadithi nyingi nyinginezoambazo zimepokewa na Ibn Abbas ambazo zote zinathibitisha kwambaAhlul-Bayt na karaba wa Mtume (s.a.w.w.) ndio ambao wamekusudiwakatika aya husika ambao ni wane, nao ni Ali, Fatimah, Hasan na Husein(a.s.) na haingii yeyote katika ndugu zake wa karibu wasiokuwa hao.

Ifahamike kwamba Ibn Abbas ni Ibn ammi yake Mtume (s.a.w.w.), nayehakudai hata mara moja kuwa ni miongoni mwa karaba wa Mtume(s.a.w.w.) ambao ilishushwa aya tukufu hiyo juu yao, naye ni wino waumma na mjuzi miongoni mwa wajuzi wa Ahlus-Sunna, na hiyo inajulishakuwa Ahlul-Bayt katika aya hiyo ni wanne, kuna watoto wengi wa Mtume(s.a.w.w.) na wote hao hawakudai na kujinasibisha na karaba wa Mtume(s.a.w.w.), na hiyo inavunja hoja inayosema karaba za Mtume (s.a.w.w.) niwatu wote au ndugu wote nao ni karaba wa Mtume (s.a.w.w.) ambaowameashiriwa katika Aya ya Mapenzi.

21 Shawahidut-Tanziil Juz. 2 uk. 130 - 132.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:05 PM P

24

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

2). TAFSIRUL-KABIIR CHA FAKHRU RAAZI:

Anasema Fakhru Raazi ambaye ni mmoja wa Wanachuoni wakubwa waAhlus-Sunna katika tafsiri ya maneno ya Mwenyezi Mungu swt.: “Semasitaki malipo yoyote kutoka kwenu isipokuwa kuwapenda watu wanguwa karibu,” “Na mimi nasema hivi: Ndugu wa Muhammad (s.a.w.w.) niwale ambao uzito wa mambo yao huelekezwa kwake, na kila ambao uzitowa mambo yao unamwelekea yeye zaidi na kwa ukamilifu wa hali ya juu,bila shaka watakuwa hao ni ndugu wa Rasuuli, na hakuna shaka kwambawahusika wa aya hiyo ni Fatimah, Ali, Hasan na Husein, ambao mafunga-mano baina yao na mjumbe wa Mwenyezi Mungu yalikuwa makubwazaidi, na hivyo ikawajibika wao ndio wawe aali Rasuul. Aidha watuwametofautiana kuhusu aali Rasuul, wapo waliosema kuwa ni wale kara-ba wa Mtume (s.a.w.w.), na imesemwa aali wake ni umma wake, na kamatutawachukulia karaba kuwa ndio aali Rasuul.... basi amepokea Mtunzi waKitabu Al-Kashaf kwamba ilipoteremshwa aya hiyo sahaba walimuulizaMtume (s.a.w.w.): “Ewe Mtume, ni nani hao karaba ambao imefaradhish-wa kwetu kuwapenda?” Akasema: “Ali, Fatimah na watoto wao wawili.”Hivyo imethibitika kwamba watu hao wanne ndio hasa karaba wa Mtume(s.a.w.w.), na iwapo itathibiti hivyo itawajibika wawe makhsusi kwautukufu wa ziada, na hayo yanathibitishwa na mielekeo ifuatayo:

Mosi: Nassi: Maneno ya Mwenyezi Mungu swt.: “Isipokuwa kuwapen-da watu wangu wa karibu”, na katika kuthibitisha hilo, hoja yake nikama ilivyokwishaelezwa hapo kabla.

Pili: Hapana shaka kwamba Mtume (s.a.w.w.) alikuwa anampendaFatimah (a.s.), na amesema (s.a.w.w.): “Fatimah ni sehemu ya mwiliwangu, huniudhi mimi linalomuudhi yeye.” Imethibti kwa upokezi wakimaandishi kutoka kwa Mtume (s.a.w.w.) alikuwa anampenda Ali, Hasanna Husein, na iwapo hilo litathibiti basi itawajibika kwa umma wote waKiislamu kuwafuata kulingana na maneno ya Subhaanahu wa Ta’ala anase-ma: “Na wakamfuata ili wapate kuongoka.”

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:05 PM P

25

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

Tatu: Hakika kuwaombea dua aali wa Mtume (s.a.w.w.) ni cheo adhimusana, na kwa sababu hiyo ikafanywa ni dua ya kuhitimisha Swala katikakutoa Shahada na Salam pale inaposomwa: ????? ???? ???????? ?????‘Allahumma Swalli ala Muhammad Wa aali Muhammad’ “Ewe MolaWangu mpe rehema na amani Muhammad na ndugu wa Muhammad”,Kuadhimishwa huko na utukuzwaji huo hakupatikani kwa mtu yeyoteisipokuwa kwa ndugu wa Mtume (s.a.w.w.), basi yote hayo na yanay-ofanana na hayo yanajulisha kuwa upendo na mapenzi kwa ndugu wakaribu wa Bwana Mtume (s.a.w.w.) ni wajibu.

Imam Shafi’i (r.a.) amesema katika shairi lake:

‘Ewe Mwenye kupenda simama mina mahala patulivu, ambapo watu hunong’ona kwa utulivu,na unadi kwa sauti ya mwamko.

Usiku pindi mahujaji wakifurika sehemu ya mina, kwa hakika huwa mkusanyiko mkubwa kama vile mafuriko ya mto Furati.

Ikiwa kuwapenda ndugu wa Muhammad ni usaliti na kutoka katika dini, basi vishuhudie vizito viwili hakika mimi ni msaliti.”’22

3). KITABU MANAQIBU CHA IBN MUGHAZILI SHAFI’I.

Amepokea Said bin Jubair kutoka kwa Ibn Abbas amesema: “Pindiilipoteremshwa Aya hii: “Sema sihitaji malipo yoyote kutoka kwenuisipokuwa kuwapenda ndugu zangu wa karibu” Watu wakasema: “EweMjumbe wa Mwenyezi Mungu, ni nani hao ambao Mwenyezi Munguameamrisha kuwapenda?” Mtume Muhammad (s.a.w.w.) akasema: ‘Ali,Fatimah na watoto wao wawili.”’23

22 Tafsirul-Kabiir Juz. 24 uk. 142 - 143.23 Manaqib, uk. 191 – 192.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:05 PM P

26

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

4. KITABU YANABI’UL-MAWADDAH CHA AL-QUNDUZIY:

Al-Qunduziy amesema: “Amepokea Ahmad bin Hambal katika Kitabuchake Musnad Ahmad kwa Sanadi yake kutoka kwa Said bin Jubeir kuto-ka kwa Ibn Abbas (r.a.) amesema: “Pindi ilipoteremshwa Aya hii: “Semasihitaji malipo yoyote kutoka kwenu isipokuwa kuwapenda nduguzangu wa karibu.” Sahaba wakasema: “Ewe Mtume, ni nani hao ambaoimewajibika kwetu sisi kuwapenda?” Akasema:’Ali, Fatimah, Hasan naHusein.”’

Al-Qunduuziy anasema: “Twabaraani ameeleza hadithi hiyo katika kitabuchake Muujamul-Kabiir, Ibn Abi Hatam katika Tafsiir yake, Haakim kati-ka kitabu chake Manaaqib, Wahidi katika kitabu chake Al-Waaswitwu, AbuNaim Al-Haafidh katika Kitabu chake Hilyatul-Awliyai, Thaalabi katikaTafsir yake, Al-Hamuwayni katika kitabu chake Faraidus-Samtwayn... nawasiokuwa hao ambao wote wameipokea hadithi hiyo kutoka kwaWanachuoni wao”.24

5. KITABU AL-KASHAAF CHA ZAMAKHSHARI:

Zamakhshari katika kitabu chake cha Tafsiri anasema: “Imepokewa kwam-ba pindi ilipoteremshwa aya hiyo sahaba wakasema: “Ewe mjumbe waMwenyezi Mungu, ni nani hao karaba wako ambao imewajibika kwetukuwapenda?” Akasema (s.a.w.w.): “Ali, Fatimah na watoto wao wawili.”Na hayo yanajulishwa na yale yaliyopokewa kutoka kwa Ali bin AbiTwalib (r.a.): “Nilishitaki kwa Mtume (s.a.w.w.) kuhusiana na husda zawatu kwangu akasema: ‘Ridhia kwani wewe utakuwa ni mmoja kati yawatu wanne wa mwanzo kuingia peponi, nao ni mimi, wewe, Hasan naHusein...”’25

24 Yanabiiul-Mawaddah Juz. 1, uk. 105.25 Tafsirul-Zamakhshari Juz. 4, uk. 19 - 22.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:06 PM P

27

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

6. KITABU ANWARUT-TANZIIL WAASRARUT-TAAWILI CHA BAY-DHAWI:

Baydhawi anasema katika Tafsiri yake: “Imepokewa kwamba pindi ili-poshushwa Aya hiyo sahaba wakasema: ‘“Ewe Mtume, ni nani hao nduguzako wa karibu?” Mtume (s.a.w.w.) akasema: ‘ Ali, Fatimah na wana waowawili....”’26

7. KITABU JAAMIU AHKAMUL-QUR’ANI CHA QURTUBI:

Qurtubi katika kutafsiri aya hiyo anasema: “Watu waliuliza: “Ewe Mtume,ni nani hao ndugu zako wa karibu ambao wameelezwa katika aya hii:Sema, sihitaji malipo yoyote isipokuwa...” Akasema: “Sikuombeni ujirawowote isipokuwa kuwapenda ndugu zangu wa karibu Ahlul-Baytwangu.” Kama vile alivyoamrisha watukuzwe na kuheshimiwa ndugu zakewa karibu, na hayo ni maneno ya Ali bin Husein, Amru bin Shuaib naSandai. Ama katika riwaya ya Said bin Jubeir amepokea kutoka kwa IbnAbbas amesema: “Pindi Mwenyezi Mungu aliposhusha aya hii: “Semasihitaji malipo yoyote kutoka kwenu isipokuwa kuwapenda nduguzangu wa karibu”, ikaulizwa: “Ewe Mtume, ni nani hao tuwapende””Akasema: ‘Ali, Fatimah na watoto wao wawili.”’27

8. TAFSIR RUUHUL-MAANIY YA SHEIKH ISMA’IL BURUSAWIY:

Burusawiy katika Tafsir yake anasema: “Ama maana ya “isipokuwakuwapenda watu wangu wa karibu,” ni upendo uliyothibiti na wenyekupatikana kwao, imepokewa kwamba ilipoteremshwa aya hiyo sahabawaliuliza: “Ewe Mjumbe wa Mwenyezi Mungu, ni nani hao ndugu zakowa karibu ambao ni wajibu wetu kuwapenda?” Akasema: “Ali, Fatimah nawatoto wao” yaani Hasan na Husein (r.a.) na hilo linajulishwa na yaleyaliyoelezwa na Ali bin Abi Twalib (r.a.) aliposema: “Nilishitaki kwa26 Anwarut-Tanziil cha Baydhawi Juz. 25 uk. 642.27 Jamiul-Ahkamul-Qur’ani Juz. 16, uk. 21-22.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:06 PM P

28

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

Mtume (s.a.w.w.) kuhusiana na husda za watu kwangu basi (s.a.w.w.)akasema: ‘Ridhia kwani wewe ni mmoja kati ya wanne ambao watakuwawa mwanzo kuingia peponi...”’28

9. TAFSIRUL-QUR’ANI YA IMAM AN-NASAFII:

An-Nasafii amepokea katika Tafsir yake kwamba: “Iliposhushwa ayailiyokwishatangulia, ikaulizwa: “Ewe Mtume ni nani hao ndugu zako wakaribu ambao ni lazima tuwapende” Akasema: ‘Ali, Fatimah na watotowao wawili.”’29

10. KITABU JAAMIUL-BAYAAN FIT-TAAWIILIL-QUR’ANI CHATWABARI:

Imepokewa kutoka kwa Abu Daylami amesema: “Pindi Ali bin Huseinalipoletwa mateka na kusimamishwa katika mnara wa Damascus, akasi-mama mtu miongoni mwa watu wa Sham akasema: “Sifa zote njema anas-tahiki Mola Mweza ambaye amekuuweni, kukufanyeni mateka na kukatamzizi wa fitina,” akasema Ali bin Husein (r.a.) na kumwambia: “Je! ume-soma Qur’anii?” Akajibu: “Ndio.” Akasema: “Je! umesoma ndugu waHaamiim?” Akajibu: “Nimesoma Qur’anii wala sijasoma ndugu waHaamiim,” Akasema: “Je! hujasoma aya inayosema: “Muwapende nduguzangu wa karibu?” Akasema: Kwani hao ndio nyinyi?” Akasema:‘Ndio.”’30

11. KITABU DHAKHAIRUL-UQBA CHA MUHIBBU TWABARI:

Ameeleza Hafidh Muhibbu diin Twabari kutoka kwa Ibn Abbas amesema:“Pindi iliposhushwa aya inayosema: “Sema; sihitaji malipo yoyote kuto-

28Tafsirur-Ruuhul-Maani Juz. 8, uk. 311.29 Tafsirul-Qur’ani ya Imam An-Nasafii Juz. 3, uk. 293.30 Jaamiul-Bayani fit-Taawilil-Qur’ani Juz. 25, uk. 25.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:06 PM P

29

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

ka kwenu...” Walisema: “Ewe Mtume ni nani hao ndugu zako wa karibuambao imefaradhishwa kwetu kuwapenda?” Akasema: “Ali, Fatimah nawatoto wao wawili,” aidha ameeleza Ahmad katika kitabu chake Manaqib,imepokewa kwamba Mtume (s.a.w.w.) amesema: “Hakika MwenyeziMungu amefanya ujira wangu kutoka kwenu ni kuwapenda Ahlul-Baytwangu, na mimi nitawauliza kesho akhera kuhusiana na hao.” Muula ame-sema hayo yapo katika kitabu chake cha Siira.”31

12. KITABU IS’AAFUR-RAGHIBIINA CHA IBN SWAABAN:

Imekuja kutoka kwa Swaaban: Mlango wa pili katika Fadhila za Ahlul-Bayt... Mwenyezi Mungu swt. anasema: ‘“Sema; Sihitaji malipo yoyotekutoka kwenu isipokuwa kuwapenda ndugu zangu wa karibu.’ Aidhaamepokea Twabaraani, Ibn Abu Hatam na Ibn Murdawayhi kutoka kwa IbnAbbas kwamba ilipoteremshwa aya hiyo wakasema: “Ewe Mtume ni nanindugu zako wa karibu ambao aya hii imeshushwa kwa ajili yao? Akasema:‘Ali, Fatimah na watoto wao wawili.”’32

13. KITABU NUURUL-ABSWAAR CHA SHABALANJI:

Anasema Shabalanji: Amepokea Imam Abu Hasan Al-Baghawi katikaTafsir yake, kwa Sanad yake inayokwenda hadi kwa Ibn Abbas (r.a.)ambaye amesema: “Pindi ilipoteremshwa aya hii: “Sema sihitaji malipoyoyote kutoka kwenu isipokuwa kuwapenda ndugu zangu wa karibu,”wakasema: “Ewe Mtume, ni nani hao ambao Mwenyezi Mungu ametuam-risha tuwapende” Akasema: “Ali, Fatimah na watoto wao wawili,” na kati-ka kitabu Musamarati cha Sheikh Akbar ni kuwa Abdallah bin Abbas ame-sema hayo katika kuunga mkono maneno ya Mwenyezi Mungu anayose-ma: ‘Wanatekeleza nadhiri.”’33

31 - Jaamiul-Bayani fit-Taawilil-Qur’ani Juz. 25, uk. 25.32 Dhakhairul-Uqba uk. 26.33 Is’aafur-Raghibiina uk. 113.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:06 PM P

30

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

14. TAFSIRUL-BAHRUL-MUHIIT YA ABU HAYYAN ANDALUSI:

Na jambo ambalo linajulisha kwamba Aya ya Mapenzi (Mawaddah) ime-teremshwa kuhusiana na Ali, Fatimah, Hasan na Husein (a.s.) ni manenoya Abu Hayyan Andalusi, na akaongeza kusema kuhusiana na aya hiyo,yaani maana ya aya hiyo kwamba imeteremshwa ikiwa makhsusi kwa watuhao wanne: “Ali bin Husein bin Ali bin Abi Twalib alitoa ushahidi kwakutaja aya hiyo pindi alipochukuliwa mateka hadi Sham, nayo ndio kauliya Ibn Jubeir, Saday na Amru bin Shuaib, na kwa Taawiili hiyo Ibn Abbasamesema: Ilipoulizwa “Ewe Mtume ni nani hao ndugu zako wa karibuambao Mola Manani ametuamrisha tuwapende?” Mtume (s.a.w.w.) akase-ma: ‘Ali, Fatimah na watoto wao wawili.”’34

15. TAFSIRUD-DURRUL-MANTHURU YA SUYUUTWI:

Ameeleza Said bin Mansuur amepokea kutoka kwa Said bin Jubeir:“Isipokuwa kuwapenda watu wangu wa karibu” akasema: Ni ndugu wakaribu wa Mtume (s.a.w.w.), na amepokea Ibn Jariir kutoka kwa AbuDaylami amesema: “Pindi alipoletwa Ali bin Husein (r.a.) mateka walisi-mamishwa katika mnara wa Damascus, akasimama mtu mmoja miongonimwa watu wa Sham akasema: “Sifa zote njema anastahiki MwenyeziMungu ambaye amekuuweni na kukufanyeni mateka”, hapo akasema Alibin Husein (r.a.) na kumwambia: “Je! Umesoma Qur’anii?” Akasema:“Ndio,” akasema: “Je, Umesoma ndugu wa Haamiim?” Akajibu: “Hapana.Akasema: “Hujasoma aya hii? “Sema sihitaji malipo yoyote kutokakwenu isipokuwa kuwapenda ndugu zangu wa karibu.” Akasema:“Kwani nyinyi ndio hao?” Akasema: ‘Ndio”’.35

34 Tafsirul-Bahrul-Muhiit Juz. Uk. 516.35 Tafsirud-Durrul-Manthuur Juz. 5 Uk. 701.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:06 PM P

31

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

16. TAFSIR GHARAIBUL-QUR’ANI YA AL-QUMMIY AN-NAYSABUURI:

Na katika Tafsir Gharaibul-Qur’ani ya Allama Al-Qummiy An-Naysabuuri katika mstari wa pambizo wa Jaamiul-Bayaan ya Twabarikutoka kwa Said bin Jubeir pindi ilipoteremshwa aya hii: “Sema sitakimalipo yoyote kutoka kwenu isipokuwa kuwa penda ndugu zangu wakaribu”, wakasema: “Ewe Mtume ni nani hao ndugu zako wa karibuambao ni lazima sisi kuwapenda?” Akasema: ‘Ali, Fatimah na watoto waowawili.”’

Nasema hayo ni machache tu kati ya yale ambayo yamo katika vitabu vyaAhlus-Sunna, kuwa Aya ya Mapenzi iliteremshwa ikiwa makhsusi kwa Ali,Fatimah, Hasan na Husein (a.s.), kwa kiwango hicho tumetosheka nakuelewa kwamba Aya hiyo inawahusu watu hao wanne, kwa hivyo Dk.Aamir Najjar, Ust. Muhammad bin Nassur Diin Abaani, Dk. Ali AhmadSaaluus na wengineo ambao wana fikra kama zao, yawapasa kufahamukuwa Shi’a hawaamini hivihivi tu wala kuitikadi jambo lolote lile kibubusaisipokuwa hutegemea hadithi ambazo Waislamu wote wamekubalianausahihi wake, ili iwe dalili na hoja kwamba wanayoitikadi ni sahihi nayaliyosimamia nguvu ya hoja, na iwapo hadithi hizo zote zitakuwa nimiongoni mwa hadithi zilizopandikizwa basi zitakuwa zimepandikizwa naWanachuoni wakubwa wa Ahlus-Sunna na Mahafidh wao, na hilohalisemwi na yeyote kwa sababu kusema hivyo itapelekea na kusababishakuwatuhumu viongozi na Maimamu wao kwa upandikizaji wa hadithi, kwamantiki hiyo hapana budu kutangaza, kukubali na kusalimu amri kwa daliliza hadithi hizo, na bila shaka itawajibika kwetu kuwakubali na kuwafuatawale ambao Mwenyezi Mungu swt. amefanya wajibu kuwapenda hao, nahayo ni kwa mujibu wa hoja ifuatayo:

Hakika kuwapenda Ahlul-Bayt (a.s.) ni faradhi kulingana na aya tukufuiliyokwisha tangulia hapo kabla, na kila yule ambaye imefaradhishwa juuyake kupendwa ni dhahiri shahiri ni wajibu kumtii kwa muktadha wa

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:06 PM P

32

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

maneno ya Mwenyezi Mungu swt. anasema: “Ikiwa mwampendaMwenyezi Mungu basi nifuateni.” Na kwa munasaba huo nasema:Utakapothibiti wajibu wa upendo aidha huthibiti wajibu wa utiifu, na yuleambaye imewajibika kutiiwa vile vile huwajibika kufanywa kiongozi auimamu, kwa hivyo basi mbele yetu tuna nguvu ya hoja, nayo ni mfumo wanguvu ya hoja wa kimantiki katika aina ya awali: Yeyote mwenye kuwa-jibika kupendwa ni wajibu kutiiwa. Na kila mwenye kuwajibika kutiiwa niwajibu kufanywa kiongozi. Hatimaye tija ni: Yeyote mwenye kuwajibikakupendwa ni wajibu kufanywa kiongozi.

Ama hoja mwambata ni maneno matukufu ya Subhaanahu wa Ta’ala:“Sema Sitaki malipo yoyote kutoka kwenu isipokuwa kuwapendandugu zangu wa karibu.”

AHLUL-BAYT KATIKA AYA YA UTAKASO KWA MUJIBUWA VITABU VYA AHLUS-SUNNA

Mwenyezi Mungu swt. katika Suratul-Ahzab aya 33 anasema: “HakikaMwenyezi Mungu anataka kukuondoleeni uchafu enyi Ahlul-Bayt nakukutakaseni tohara ya kabisa kabisa.”

Mosi: Dk. AAMIR NAJJAR NA AYA YA UTAKASO:

Waislamu wote kwa ujumla wameafikiana kuhusiana na Aya ya Utakasokwamba iliteremshwa juu ya Imam Ali, Fatimah, Hasan na Husein (a.s.),na Wanachuoni wakubwa wa Ahlus-Sunna ambao ni Wafasiri wa Qur’anina Mahafidh wao wameifasiri Aya husika kwa kuwahusisha watu haowanne (a.s.), kama waaminifu miongoni mwao walivyoielezea hiyo katikavitabu vyao sahihi na Musnad zao, kati yao ni Imam Muslim katika kitabuchake Sahih Muslim ambacho kwa mujibu wa Wanachuoni wakubwa waAhlus-Sunna ndio kitabu sahihi mno baada ya Qur’anii, na pia kama vile

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:06 PM P

33

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

Tirmidhi katika kitabu chake Sunanu Tirmidhi, Imam Ahmad bin Hambalikatika kitabu chake Musnad Ahmad, Nasaai naye ni mmoja kati ya watun-zi wa vitabu Sahih sita katika kitabu chake Khasais na wengineo wengiambao wamo Mahafidh wa hadithi miongoni mwa Ahlus-Sunna, kamatutakavyoashiria hilo hapo baadaye Inshaallah.

Na wapo wale ambao wanajaribu kukadhibisha na kuikanusha hadithi hiyona kuiona siyo chochote, hata kama imepokewa na kuwemo katika vitabuvyao sahihi, ili kubadilisha maneno ya Mwenyezi Mungu pamoja na chukizao binafsi kwa watu wa nyumba ya Mtume Muhammad (s.a.w.w.), namiongoni mwao ni Dk. Amir Najjar katika kitabu chake alichokiita “Shiawa Imamatu Ali” amejaribu katika kitabu hicho kupotosha yaleyaliyosemwa kwamba Aya hiyo inawahusu watu hao wanne, na aka-likanusha hilo na kusema kuwa hizo ni hadithi za Shi’a, aidha akakanushakwamba Wanachuoni wa Ahlus-Sunna hawakuihusisha na Ali, Fatimah,Hasan na Husein (a.s.).

Bila shaka ana lake jambo na hatofautiani na wale waliomtangulia mion-goni mwa wale ambao hawakuona taabu kumzulia Mwenyezi Mungu swt.na kukadhibisha hadithi za Mtume (s.a.w.w.), na hiyo ndiyo sifa ya waleambao wameacha kushikamana na vizito viwili: Kitabu cha MwenyeziMungu na kizazi cha Mtume kitoharifu, na hilo linadhihirisha uzoefu waomkubwa wa uwongo, kwa mantiki hiyo hatushangai kumuona Dk. AamirNajjar akikanusha kwamba Aya ya Utakaso imeteremshwa ikiwahusu watuhao wanne, ukiachilia mbali hayo, yapo yaliyopokewa na kuelezwa naImam Muslim katika kitabu chake Sahih Muslim.

Dk. Aamir Najjar hakutosheka kwa hilo bali alijasirika kuwabebesha tuhu-ma nzito Shi’a katika kitabu chake, amesema: “Bali miongoni mwao -yaani Wanachuoni wa Kishi’a - wamefikia kiwango cha kusema: ‘Aya yaUtakaso haina uhusiano wowote ule wa hapo kabla, na wala baada yakekatika baadhi ya Aya, na hiyo imewekwa ili kuleta mvurugano, mfarakanona mtafaruku baina yake, ama kwa amri ya Mtume (s.a.w.w.) au utungaji

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:06 PM P

34

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

na uzushaji wa hadithi baada ya kufariki kwake.”’

Aidha anasema: “Na pindi ilipokuwemo Aya ya Utakaso katikati ya Ayaambazo zinawazungumzia wanawake wa Mtume (s.a.w.w.) na walahaichukuliwi juu ya taawili yoyote, kwa hakika vibaraka na mamluki waAbdullah bin Sa’bah ambaye ni Yahudi, hawakupata mwanya na hila zakupotosha ukweli ila kutumia hadithi ambazo kwazo watapata nafasi yakulipotosha na kuligeuza neno toka sehemu yake na kuziepusha Aya namakusudio yake.

Nasema kuhusiana na Dk. Aamir Najjar: “Sijui ni chuo kikuu gani katikavyuo vikuu vya ulimwenguni ambacho amehitimu na kukabidhiwa shaha-da ya udaktari, ni shahada gani ambayo inatolewa kwa mtu ambaye haja-soma hata chembe ndogo ya tabia na maadili mema ya Wanachuoni! Je!Hujawahi kuona maneno ya Mtume (s.a.w.w.) aliposema: “Miongoni mwasifa za mnafiki anapozungumza husema uwongo na anapozozana hufanyauovu.” Na sisi twajiweka mbali ili tusifikie katika kiwango hicho, hatutak-abiliana kwa tuhuma za matusi, kwa sababu sisi tumeshikamana na vizitoviwili: Kitabu cha Mwenyezi Mungu na Ahlul-Bayt Rasuul, aidha tumeji-funza kutoka katika vyuo vyetu kwamba fikra haijibiwi ila kwa fikra nahoja haivunjwi isipokuwa kwa hoja ambayo ni ngangari zaidi, sio kwaubabaishaji na kubwabwaja hovyo, na ulipokuwa Dk. Saaluus miongonimwa wasaliti wa vizito viwili, ndio maana tukakuona unachokijua nakukimiliki ni shutuma na matusi, pasina kutumia silaha ya kitaalam, maar-ifa na nguvu ya hoja, na sisi tunatumia silaha ya elimu, maarifa na nguvuya hoja kutoka katika madrasa ya Ahlul-Bayt wa Nabii (s.a.w.w.) ambao nikitivo cha elimu na maarifa, kwa hivyo basi sisi tunakabiliana na matusi nashutuma zako kwa hoja kutoka katika vitabu ambavyo unavitegemea wewena wale ambao wana chuki binafsi kwa wafuasi wa ndugu wa karibu waMuhammad (s.a.w.w.) ili ikupambanukie mpendwa msomaji tofauti kubwailiyopo kati ya mwenye kushikamana na kizazi kitoharifu cha Mtume(s.a.w.w.) na wale wasioshikamana nao.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:06 PM P

35

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

Kisha tunasema kumwambia Dk. Aamir Najjar kwamba Aya ya Utakasoimeteremshwa kwa ajili ya watu wa Kishamiya nao ni Ali, Fatimah, Hasanna Husein (a.s.) wala haiwahusu wakeze (s.a.w.w.), na hilo wamekubalianaWanachuoni wa Ahlus-Sunna na Mahafidh wao. Kwa mfano ImamMuslim katika Sahih yake, Tirmidhi katika kitabu chake Sunanut-Tirmidhi,Imam Ahmad bin Hambali katika kitabu chake Khasais ambacho ni kimo-ja kati ya vitabu sahihi na vinavyotegemewa kwa Ahlus-Sunna, bali hataImam wa Hadithi Ibn Taymiyya amehukumu na kukubali kwamba ni sahi-hi kuwa Aya ya Utakaso iliteremshwa kuhusiana na hao wanne (a.s.), basini jambo la lazima Dk.. anasibishe na kuhusisha upotoaji na ubadilishajiwa maneno juu ya wale ambao wamesema na kukiri kwamba Aya hiyotukufu imeteremshwa makhsusi juu ya hao wanne (a.s.) pasi na kuwasin-gizia Wanachuoni wa Kishi’a na kuwatuhumu kuwa wao ni vibaraka namamluki wa Abdallah bin Sabah ambaye ni Yahudi, na hiyo sio sifa yaWanachuoni bali ni miongoni mwa sifa za majahili au mambumbumbu namazumbukuku wenye kueneza kasumba na propaganda mbaya katikaitikadi ya Shi’a, aidha wanapotosha haki na ukweli, kwa ajili ya vituvisivyo na thamani au kwa lengo la kujilimbikizia mali zaidi, kwa kitufulani au maslahi ya muda mfupi.

Na sisi tunaelekeza baadhi ya yale yaliyoelezwa na Wanachuoni wakubwawa Ahlus-Sunna kuhusiana na Aya ya Utakaso, ili afahamu Dk.. na wen-zake kwamba Shi’a wanashikamana zaidi na tafiti za kielimu na nguvu zahoja ambazo husimama juu ya ukweli na uaminifu katika nukulu, rejea navithibitisho, bila ya kuwepo msukumo au maslahi duni ya kidunia, nautaelewa mengi na kwa kirefu muda si mrefu Inshallah.

Anasema Ibn Taymiyya katika kitabu chake (???? ?? ????? ??? ??????yaani ‘Haki za Ahlu-Bayt baina ya Sunna na Bidaa’, naye ni Imam naSheikh wa Dk. Aamir Najjar, haya hapa maneno yake: “Kutoka kwaUmmu Salama amesema: “Pindi ilipoteremshwa Aya hiyo Mtume(s.a.w.w.) aliwafunika kishamiya Ali, Fatimah, Hasan na Husein (r.a.)akasema: ‘Ewe Mola Wangu, hawa ndio Ahlul-Bayt wangu waondolee

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:06 PM P

36

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

uchafu na watoharishe tohara kabisa kabisa.”’36

Namwambia Dk. Aamir Najjar: Wewe unamjua Ibn Taymiya na upinzaniwake juu ya Mashi’a, hata hivyo ameifasiri Aya hiyo tukufu juu ya watuhao wanne (a.s.), kwa mantiki hiyo kulingana na rai ya Aamir bin Najjaryeye (Ibnu Taymiyya) ni miongoni mwa wale wapingaji na wapotoshaji wahadithi za Mtume (s.a.w.w.). Ifahamike kwamba Ibn Taymiya sio Shi’a nawala si kati ya Wanachuoni wao, bali ni katika wale wenye chuki nausongo juu yao.

Na ambalo linajulisha kuwa Dk. Aamir Najjar amekosa uaminifu katikakitabu chake “Shia wa Imamatu Ali”, na amepotosha maneno ya MwenyeziMungu swt. ili msomaji achanganyikiwe kwamba tafsiri ya Aya hiyo ime-buniwa na kuzushwa na Shi’a, na kuwa wafasiri wa Ahlus-Sunna hawafa-hamu lolote mfano wa tafsiri hiyo, ni yale maneno ya Qurtubi ambaye nimmoja wa maulamaa wakubwa wa Ahlus-Sunna na mfasiri kati ya wafasiriwao aliyoyasema ndani ya tafsiri yake Jaamiu’l-Ahkamiil-Qur’ani katikakuifasiri Aya hiyo “...... Na jambo hilo limejiri katika habari mbalimbalikwamba Mtume (s.a.w.w.) pindi ilipoteremshwa Aya hiyo aliwaita Ali,Fatimah, Hasan na Husein, hapo Mtume (s.a.w.w.) akachukua kishamiyana akawafunika, kisha akainua mkono wake na kuuelekeza mbinguni naakasema: ‘Ewe Mola Wangu, hawa ni Ahlul-Bayt wangu waondolee ucha-fu na uwatakase kabisa kabisa.”’37

Nasema kumwambia Dk. Aamir Najjar: Hakika zoezi lako la kukanushamfano wa hadithi hizo ni kuwa unakanusha kuwepo jua mchana peupe,hakika maneno ya Qurtubi katika tafsiri yake, naye sio katika Shi’a, nakutafsiri Aya hiyo tukufu kuwa imeteremshwa kuhusiana na watu haowanne inawekwa bayana na hadithi zilizo mutawatiri kama iliyok-wishatangulia habari zake, kwa hivyo ukanushaji wako ni kuzikanusha

36 Huquuq Ahli-Bait cha Ibn Taymiya, chapa 1981 Uk 10.37 Jaamiu liahkamil-Qur’ani cha Qurtubi Juz. 14 uk 184.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:06 PM P

37

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

hadithi sahihi na mutawatiri za Bwana Mtume (s.a.w.w.). Na ikiwa hadithihizo sahihi, mutawatiri na muttafaku unajaribu kuzikadhibisha, na kuzipo-tosha na hata kuzinasibisha hizo kwa Shi’a na mayahudi, na dhahiri hadithihiyo chanzo chake ni wahyi kutoka mbinguni basi utakuwaje kuhusuhadithi lukuki ambazo si mutawatiri.

Baydhaawi ambaye ni mmoja wa wafasiri wakubwa wa Ahlus-Sunna kati-ka kitabu chake anasema: “...Shi’a kuwafanya Ahlul-Bayt ni makhususikwa Fatimah, Ali na watoto wao (Mwenyezi Mungu awawie radhi) nikutokana na yale yaliyopokewa kutoka kwa Bwana Mtume (s.a.w.w.) pindialipojitokeza siku moja hali akiwa....”38 hadi mwisho wa hadithi.

Kwa mantiki hiyo Ibn Hajar Al-Haythami katika kitabu chake Sawa’qul-Muhriqah naye ni katika wale ambao hawakubali ndugu wa karibu waMtume (s.a.w.w.) na haya ndio maneno yake: “Kwa hakika wafasiri wengiwamefasiri Aya hiyo kuwa imeteremshwa kuhusiana na Ali, Fatimah,Hasan na Husein (a.s.).”39 Na tutaeleza hapo baadaye idadi kubwa yawafasiri wa Qur’anii na vitabu vyao vya tafsiri, vilevile Mahafidh waoambao hutilia mkazo kwamba Aya hiyo kuwa imeteremshwa juu ya watuhao wanne (a.s.), na kwamba wake za Mtume (s.a.w.w.) hawahusiki kabisakatika Aya hiyo, bali wao wapo nje kuhusiana na maudhui ya Aya hiyotukufu.

Ama analodai Aamir Najjar katika kukadhibisha hadithi hiyo ambayo ime-thibiti kutoka kwa Mtume (s.a.w.w.), eti hadithi hiyo imepokewa kwamatamshi mbalimbali na mahala tofauti, na kuwa ikhtilafu hiyo ni daliliya kutokuwa Sahih, hilo ni kutokana na uovu wake dhidi yao, bali bilashaka hiyo ni dalili tosha inayothibitisha usahihi wake na kuwa kwakemutawatiri, hivyo Mtume (s.a.w.w.) alikuwa akitilia mkazo hilo katika kilamnasaba na kila mahala ili iwabainikie watu wake wote, na hiyo inaonye-sha usafi wa nyoyo hizo na jinsi zilivyo tohara, si wengine bali ni kizazi38 Anwaarut-Tanziil uk. 557.39 Sawa’qul-Muhriqah uk. 141.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:06 PM P

38

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

cha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na Ahlul-Bayt wake, ambao wametolewaishara na Aya tukufu kwa lengo la kuweka maandalizi na matayarisho kati-ka mchakato mzima wa kushika uongozi wa Kiislamu baada ya Mtume(s.a.w.w.).

Na ambalo linajulisha ukweli na usahihi wa yale tuliyoyasema sikilizaanayoyasema Sheikhul-Islam Ibn Taymiya katika kitabu chake ‘HuquuquAhlul-Bayt’ “Na pindi alipobainisha Subhanahu Wataala kwamba anatakaawaondolee uchafu Ahlul-Bayt wake Mtume (s.a.w.w.) na awatoharishetohara ya kabisa kabisa, Mtume (s.a.w.w.) aliwaita watu wake wa karibuAhlul-Bayt akawatukuza hao ili kuwafanya makhsusi kwake, nao ni Ali,Fatimah (r.a.) na mabwana wa vijana wa peponi, akawakusanya hao naMwenyezi Mungu swt. akawatoharisha tohara ya kabisa kabisa baada yakukamilika dua ya Mtume (s.a.w.w.), kwa hakika tukio hilo lilikuwa nidalili na hoja tosha kuwa kutoharishwa kwao ni neema kutoka kwaMwenyezi Mungu”.40

Na wewe msomaji unamwona Ibn Taymiya hakuwataja wake wa Mtume(s.a.w.w.) na wasiokuwa hao miongoni mwa Ahlul-Bayt na Karaba waBwana Mtume (s.a.w.w.), kwa ujumla, kilafudhi Aya ni jumuishi inawaju-muisha watu wote hao kama baadhi wanavyodai, lakini (s.a.w.w.) aliihu-sisha Aya hiyo na hao wanne pekee bila kuwaingiza wakeze (s.a.w.w.), nahilo tutalielezea Inshaallah. Kwa hivyo imekuja katika Sahih Muslimkwamba pindi alipoulizwa Zayd bin Arqam: “Tukasema kwamba miongo-ni mwa Ahlul-Bayt wa Mtume ni pamoja na wakeze?” Akasema: “Hapana,ole wenu kwa Mwenyezi Mungu, mwanamke hawi na mwanaume mudawote, unafika wakati anaachwa na anarudi kwao kwa baba na mama yake.Ahlul-Bayt wake ni katika damu yake ambao wameharamishiwa sadakabaada yake.”41 Na ufafanuzi huo si wa kutoka kwa Mtume (s.a.w.w.) balini kutoka kwa Zayd bin Arqam.

40 - Huquuqu Aalil-Bayt Uk. 12.41 - Sahih Muslim Juz. 4 Uk. 1874.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:06 PM P

39

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

Hakika kuifanya dhaifu hadithi ya kishamiya na kuiegemeza kwa Shi’a, siokasumba ya Dk. Aamir Najjar peke yake, bali wamemtangulia katika hilowalimu wake katika ubabaishaji na upotoshaji, na hawa wafuatao ni baad-hi tu ya vinara wao, mfano Ihsaan Ilahi Dhahiir katika kitabu chake ‘Shiawa Ahlul-Bayt,’ Muhammad Nasrudiini Albaani katika kitabu chake‘Silsilatul-Ahadiithi Swahiihah,’ Dk. Ali Ahmad Saaluus katika kitabuchake ‘Hadiithut-Thaqalaini wa Fiqhuhu’ na wengineo ambao ni wapin-zani na waasi wa hadithi ya vizito viwilii, ambavyo ni Kitabu chaMwenyezi Mungu na kizazi cha Mtume (s.a.w.w.).

MDAHALO WETU NA IHSAAN ILAHI DHAHIIR NA KITABU CHAKE (SHIA WA AHLUL-BAYT):

Anaandika katika kitabu chake alichokiita (Shia na Ahlul-Bayt) hivi: “Basitunalojifunza ni kwamba mradi wa Ahlul-Bayt wa Mtume kiasili na kwahakika ni wakeze (s.a.w.w.), na wanaingia katika (Ahlu) watoto, babawadogo pamoja na watoto wao na kuendelea, kama vile ilivyopokewakwamba Bwana Mtume (s.a.w.w.) aliwaingiza katika kishamiya chakeFatimah, Ali, Hasan na Husein, na akasema: “Ewe Mola Wangu hawandiyo hasa Ahlul-Bayt wangu.” ili wawe wahusika maalum wa maneno yaMwenyezi Mungu Subhaanahu wa Ta’ala: “Hakika Mwenyezi Munguanataka kukuondoleeni uchafu enyi Ahlul-Bayt na kukutakasenikabisa kabisa,” kama vile alivyomwingiza Ami yake Abbas na watotowake katika nguo nyeusi ili tu wawe miongoni mwa wahusika wa Ayahiyo. Na zipo baadhi ya hadithi ambazo zimeeleza kuwa watu wa ukoo waBani Hashim wote wanahusika katika Aya hiyo, na hao ndio Ahlul-BaytNabii (s.a.w.w.), ama Shi’a wao wamesema kinyume na hivyo nawakawahusisha Ahlul-Bayt wa Mtume (s.a.w.w.) kuwa watu hao ni wanne,nao ni Ali, Fatimah kisha Hasan na Husein, na wakawatoa wote wasiokuwahao....42

42 - Shia wa Ahlul-Bayt uk. 19.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:06 PM P

40

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

Nasema: Inatosha katika kujibu dhana za Ihsaan Ilahi Dhahiir ukiongezeayale yaliyokwishatangulia na yatakayofuata kutoka katika vitabu vyaAhlus-Sunna kuwa, Mtume (s.a.w.w.) amesema: “Yeyote atayesema lolotekatika Qur’anii pasi na kuwa na elimu nalo basi ajichagulie makao yakemotoni.” Vile vile (s.a.w.w.) amesema: “Yeyote atakayemsingizia yeyelolote basi ajichagulie makazi yake motoni.” Na ni dhahiri shahiri kwam-ba Ihsaan ilahi Dhahiir ameandika hivyo katika kitabu chake, achilia mbaliupotoshaji wake wa maneno ya Mwenyezi Mungu swt., naye ameifasiriQur’anii bila ya elimu kama wenzake, wale wenye kuifasiri Qur’anii bilaelimu na kufuata matamanio yao na wakafanya dhihaka na kusema kuwahayo ni ya Shi’a, na hilo sio la ajabu kwa Ihsani Ilahi Dhahiir kuikumbat-ia njia ya upotoshaji na kugeuza maneno ya Mwenyezi Mungu swt. kishakuyanasibisha hayo kwa Shi’a, bila shaka kugeuza maneno kutoka mahalapale ni mtindo wa wale ambao wanakhalifu kizazi kitoharifu cha Mtume(s.a.w.w.), kama walivyofanya wale wa kabla yao miongoni mwa vibarakawa Bani Umayya na Bani Abbas, ili kuziteketeza hadithi za Mtume(s.a.w.w.), hayo yote ni kutokana na uadui wao, chuki zao, kasumba naushabiki wao, kwani kuamini mfano wa hadithi hizo itawalazimu kushika-mana nazo, kwa hivyo itawawajibisha kushikamana na kizazi kitakatifu, nahatimaye kuchukua mambo na mafunzo mbalimbali yanayofungamana nadini na dunia, kwa ajili hiyo wakafanya chini juu mara kuzihusisha kwaShi’a na kwa Abdallah bin Saba’ Mzayuni, na wakati mwingine kuzifanyahadithi hizo ni dhaifu na kuzikadhibisha hata kama zitadhibiti kutoka kwaMtume (s.a.w.w.).

PILI: MUHAMMAD NASSURUDIIN ALBAANI NA AYA YAUTAKASO:

Kabla hatujaeleza makusudio ya Aya hiyo tukufu, na yale yaliyoelezwakutoka kwa Wanachuoni wa Ahlus-Sunna na wafasiri wao, tutadokezakidogo yale aliyoyasema Ustadh (Muhammad Nassurudiin Albaani) katikakitabu chake ambacho alikiita ‘Silsilatul-Ahaadithi Swahihah,’ naye huh-esabiwa katika wakosoaji wakubwa wa hadithi, anasema hivi: “Ama Shi’a

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:06 PM P

41

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

kuwahusisha Ahlul-Bayt katika Aya hiyo kuwa ni Ali, Fatimah, Hasan naHusein (r.a.) bila kuwahusisha wake wa Mtume (s.a.w.w.) ni kutokana naupotoshaji wa Aya za Mwenyezi Mungu swt. ili kutetea na kufuata mata-manio yao binafsi... Vilevile hadithi ya Kishamiya na zenye maana yake,lengo kuu ni kupanua wigo na kupambanua hoja ya Aya hiyo ili kupatamwanya wa kumuingiza Ali na familia yake, kama vile alivyobainishaHaafidh Ibn Kathiir na wengineo, vivyo hivyo hadithi ya kizazi chaMtume”.43

Nasema: Inajibiwa kama ifuatavyo:

1. Shi’a sio wao pekee ambao wamewahusisha Ahlul-Bayt katika Aya hiyokuwa ni Ali, Fatimah, Hasan na Husein (a.s.), na hakuna shaka kuwa hataWanachuoni wakubwa wa Ahlus-Sunna na Mahafidh wao wamehusishawalengwa katika Aya hiyo kuwa ni watu hao wanne (a.s.), hayo yame-semwa na wao, kama vile: Imam Muslim katika kitabu chake SahihMuslim, Tirmidhi katika kitabu chake Sunanu Tirmidhi, Imam Ahmad,Sheikhul-Islam Ibn Taymiya katika kitabu chake Huquuqu Aali Bayt bainaSunna wal-bidaa, Qurtubi katika tafsiri yake, Ibn Kathiir katika tafsiri yaQur’aniil-Adhiim na wengineo miongoni mwa wafasiri na Wanachuoniwakubwa wa Ahlus-Sunna na Mahafidh wao kama tutakavyoeleza hiloInshallah.

2. Ama kuhusu maneno yake: “Kutokana na upotushaji wao wa Aya zaMwenyezi Mungu...”, hakika tumeshatangulia kusema hapo kabla kwam-ba Shi’a siyo sifa yao kupotosha maneno ya Mwenyezi Mungu swt. balihizo ni miongoni mwa sifa za wasiokuwa wao, kama itakapodhihiri hapobaadaye na kama tulivyosema kabla na ninarudia kusema kuwa Shi’awanasifika kwa ukweli, kushikamana na dini, ucha Mungu na uaminifu, natumeyanukuu hayo kutoka kwa Wanachuoni wakubwa wa Ahlus-Sunna,

43 Silsilatul-Ahadith As-Sahih cha Muhammad Nasrud-Din Al-Baniy Juz. 4, uk.359 – 360.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:06 PM P

42

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

bila shaka kuwatuhumu wao kwa upotoshaji ni dhahiri mheshimiwaUstaadhi Muhammad Nassir diin Albaani, amepotoka na inalazimu atubiemakosa yake juu ya tuhuma zake kwa Shi’a, anakabiliwa na changamotoya kukabiliana na Ahlul-Bayt na ajiandae jawabu la kuwajibu hao (a.s.).

3. Na ama maneno yake: “Vilevile hadithi ya Kishamiya na zenye maanayake, lengo kuu ni kupanua wigo na kupambanua hoja ya Aya hiyo ilikupata mwanya wa kumuingiza Ali na familia yake, kama vile alivyobain-isha Haafidh Ibn Kathiir na wengineo.....,” huo ni uzushi na kumzuliauongo Ibn Kathiir na wengineo miongoni mwa Wanachuoni wa Ahlus-Sunna.

Huyu hapa Ibn Kathiir anasema katika tafsiri yake Al-Qur’aniul-‘Adhiimakitafsiri maneno ya Subhannahu Wataala: “Hakika Mwenyezi Munguanataka kukuondoleeni uchafu enyi Ahlul-Bayt na kukutoharishenitohara kabisa kabisa.” “Imepokewa kutoka kwa Anas bin Malik (r.a.)amesema: “Mtume wa Mwenyezi Mungu alikuwa anapita mbele ya mlan-go wa Bi Fatimah (r.a.) kwa muda wa miezi sita akitoka kwenda msikitinikwa ajili ya Swala ya asubuhi akisema: ‘Swalaa ya Ahlul-Bayt, hakikaMwenyezi Mungu anataka kukuondoleeni uchafu enyi Ahlul-Bayt nakukutoharisheni tohara ya kabisa kabisa.”’44

Na Ibn Kathiir hakutaja katika tafsiri yake kwamba Mtume (s.a.w.w.)alikuwa akipita mbele ya mlango wa wakeze au wanawake wake (s.a.w.w.)na kufanya hivyo, na hilo linajulisha bali ni dalili tosha kwamba hatamaulamaa wa Ahlus-Sunna na wafasiri wao ambao bila ajizi wameihusishaAya hiyo na watu hao wanne (a.s.) tu, na sio wakeze (s.a.w.w.), na ushahi-di wa hilo ni maneno anayoyasema Ibn Hajar Al-Haythami katika kitabuchake kinachoitwa Sawa’qul-Muhriqah: “Hakika wafasiri wengi wamekirikwamba Aya hiyo iliteremshwa kuhusiana na Ali, Fatimah, Hasan naHusein (a.s.)”.

44 Tafsirul-Qur’an Adhiim cha Ibn Kathiir Juz. 3, uk. 483 - 485.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:06 PM P

43

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

Aidha Wahiidi anaandika katika kitabu chake cha tafsiri kinachoitwaAsbabun-Nuzuul, “Kutoka kwa Abi Said Al-Khudri: “Hakika anatakaMwenyezi Mungu kukuondoleeni uchafu enyi Ahlul-Bayt...”Iliteremshwa kwa watu watano; Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), Ali, Fatima,Hasan na Husein (a.s.)”45

Tunarudia kutaja yale aliyoyasema Ibn Kathiir ili imbainikie na umdhi-hirikie mpendwa msomaji ukweli na kuwatambua watu hao ambaohawaoni ubaya wowote katika kuongopa na kupandikiza mambo, IbnKathiir amepokea katika tafsiri yake kutoka kwa Ummul-MuumininaAisha (r.a.) alimwambia Ibn ammi yake pindi alipomuuliza kuhusu Ali(a.s.), akajibu: “Umeniuliza kuhusu mtu ambaye anapendwa mno mbele yamjumbe wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.), na binti yake alikuwa chini yake,na ndiye ampendaye mno. Hakika nilimwona mjumbe wa MwenyeziMungu (s.a.w.w.) akimwita Ali, Fatimah, Hasan na Husein (a.s.) akawafu-nika guo lake jeusi (Kishamiya) akasema (s.a.w.w.): “Ewe Mola Wanguhawa ni Ahlul-Bayt wangu basi uwaondolee uchafu na watakase kabisakabisa.” Akasema Aisha: “Nikasogea karibu yao na nikasema: “Ewemjumbe wa Mwenyezi Mungu na mimi ni katika Ahlul-Bayt wako?”Akasema (s.a.w.w.): ‘Kaa kando (huhusiki) hakika wewe upo katikakheri”’46

Nasema: Hayo ni ambayo ameyaeleza Ibn Kathiir katika tafsiri yake yaQur’ani kutoka kwa Ummul-Muuminina Aisha, naye kama tunavyoonaamewahusisha Ahlul-Bayt kuwa ni hao watu wanne nao ni Ali, Fatimah,Hasan na Husein (a.s.), na ameeleza Ummul-Muuminina yakwambahahusiki wala haimjumuishi Aya hiyo, na hilo tunalikuta katika manenoyake (r.a.): “Na mimi ni miongoni mwa Ahlul-Bayt wako?” Mtume(s.a.w.w.) akasema: “Kaa kando hauhusiki, hakika wewe umo katikakheri.” Na hiyo ni dalili tosha ya kuonyesha kuwa wanawake wa Bwana

45 Asbabun-Nuzuul ya Wahiid Naysabuuri uk. 239.46 Tafsirul-Qura’n Adhiim cha Ibn Kathiir Juz. 3, uk 485-486.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:06 PM P

44

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

Mtume (sa.w.w) haiwashamili wala kuwahusu Aya hiyo tukufu, kwa hivyobasi madai ya Ustadh Muhammad Nassurdiin Albaani na wenziwe kwam-ba Aya hiyo imeteremshwa juu ya wanawake wa Mtume (s.a.w.w.) niuzushi na kumsingizia Mwenyezi Mungu swt. - hilo la kwanza.

Pili - kulinasibisha hilo na Ibn Kathiir kunakhalifu na kwenda kinyume nayale tuliyonukuu kutoka kwa Ibn Kathiir yeye mwenyewe. Hivyo ndivyoustadh Albaani anavyojaribu kupotosha na kubadilisha maneno, kuinasi-bisha na kuuelekeza upotofu kwa Shi’a au wafuasi wa Amirul MuumininaAli bin Abi Twalib (a.s.).

4. Na ama maneno ya Ustadh Albaani: “Ama Shi’a kuwahusisha Ahlul-Bayt katika Aya hiyo kuwa ni Ali, Fatimah, Hasan na Husein (r.a.) bilakuwahusisha wake wa Mtume (s.a.w.w.) ni kutokana na upotoshaji wa Ayaza Mwenyezi Mungu swt. ili kutetea na kufuata matamanio yao binafsi...”huo ni uelewaji wake mbaya, na upotoshaji wa Aya za Mwenyezi Munguna yale yaliyopokewa kutoka kwa Bwana Mtume (s.a.w.w.) kama ilivyok-wisha tangulia. Na hiyo ni dalili na hoja mwafaka ya ndugu Albaanikutokuwa mwaminifu katika kunukuu hadithi sahihi kwa ajili tu ya kufua-ta matamanio ya nafsi yake, bali huo ni ukadhibisho wa wazi juu ya yaleyaliyoelezwa na maulamaa wakubwa wa Ahlus-Sunna na waaminifu waona kuwatuhumu na kuwaelekezea tuhuma nzito za kumzulia MwenyeziMungu na Mtume wake, kama vile tulivyoona namna alivyomzulia IbnKathiir.

Na kama si hivyo basi, vipi alijuzisha kuinasibisha Aya hiyo juu yawanawake wa Mtume (s.a.w.w.) ilhali anakhalifu yale yaliyoelezwa nakuthibitishwa na wafasiri, maulamaa wakubwa wa Alhus-Sunna naMahafidh wao, kuwa Aya hiyo iko bayana ikieleza kuondolewa uchafuAhlul-Bayt. Na muradi wa uchafu ni dhambi, hivyo kulingana na manenoya Albaani kwamba Aya imeteremshwa kuhusiana na wanawake waMtume (s.a.w.w.), inalazimu wanawake hao wawe wameondolewa uchafu(dhambi) na kutofanya maasi, kwa mantiki hiyo haisihi kuambiwa na

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:06 PM P

45

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

Mwenyezi Mungu swt.: “Enyi wanawake wa Mtume ninyi sio kamawanawake wengine iwapo mtafanya ucha Mungu ...” (Sura 33 : 32),hilo la kwanza.

La pili: Lau ungekuwa muradi au makusudio ya Aya tukufu ni wanawakewa Mtume (s.a.w.w.) kwamba Mwenyezi Mungu alitaka awaondoleedhambi zao, basi lisingekuwa ni jambo la busara kwa Mwenyezi MunguSubhaana wa Ta’ala kuwaeleza kwa kusema: “Enyi wanawake waMtume yeyote atakayefanya uovu wa dhahiri ataongezewa adhabumara dufu na jambo hilo kwa Mwenyezi Mungu ni jepesi.”

Tatu: Na ambalo linajulisha juu ya upotoaji wa maneno na kupotoka kwawatu hao ni yale maelezo aliyoeleza Imam Bukhari katika kitabu chakeSahih Bukhari kuhusiana na mafungamano yalivyokuwa kati ya Mtume(s.a.w.w.) na wakeze, aidha namna maudhi yao yalivyokuwa kwa Mtume(s.a.w.w.), na hilo haliambatani hata kidogo wala kukusanyika pamoja nautakaso na tohara ya kabisa kabisa, na kwa ajili hiyo imekuja katika SahihBukhari: “Hakika Mtume (s.a.w.w.) aliwahama Aisha na Hafsa kwa mudawa mwezi na sababu ya hii ilitokana na Hafsa kutoa siri ambayo ilikuwakati yake na Mtume (s.a.w.w.) naye akamweleza Aisha, Aisha akasemakumwambia Mtume (s.a.w.w.): “Wewe uliapa hatokuja kwetu kwa mudawa mwezi...”. Na katika riwaya ya Anas bin Malik kama ilivyoelezwa kati-ka Sahih Bukhari anasema: “(Mtume) aliwahama wakeze kwa muda wamwezi, unyayo wake ulipasuka akakaa katika kigoda chake punde akajaUmar na akasema: “Je! Umewataliki wakezo?” Akasema: ‘Hapana, lakininimewahama kwa mwezi.”’47

Namwambia Ustadhi Albani: Je inawezekana kujumuisha pamoja hayo namaneno ya Mwenyezi Mungu swt.: “Hakika anataka Mwenyezi Mungukukuondoleeni uchafu enyi Ahlul-Bayt na kukutoharisheni tohara yakabisa kabisa”, aidha amesema: “Au nyoyo zao zina kufuli”. Hali kad-

47 Sahih Bukhari Juz. 3 uk 34.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:06 PM P

46

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

halika kama Aya hiyo inawahusu wake wa Mtume (s.a.w.w.) kama inavy-odaiwa, basi inalazimu kiwakilishi (dhamiri) katika Aya ya Utakaso kiwekama kilivyo eneo jingine pale walipozungumzwa wanawake wa Mtume(s.a.w.w.), badala ya neno (Ankum) ingekuwa (Ankunna), na katika kitenziYutwahirakum ingekuwa Yutwahirakunna, kulingana na fuo la Aya zilizoi-tangulia Aya hiyo na zile zilizoifuatia.

Na yakutosha kuwa dalili juu ya upotofu wa Ustadh Albaan na mfanowe,Bukhari amesimulia katika kitabu chake Sahih Bukhari kutoka kwa IbnAbbas, na hiyo ni dalili tosha ya kuwaweka mbali wanawake wa Mtume(s.a.w.w.) na Aya ya Utakaso, Ibn Abbas amesema: “Nilikuwa na hamu yakumuuliza Umar bin Khattab kuhusiana na wanawake wawili miongonimwa wakeze Mtume (s.a.w.w.) ambao Mwenyezi Mungu swt. anasema:“Iwapo mtatubu kwa Mwenyezi Mungu atakusameheni,” mpakaalipokwenda Hijja nami nikahiji naye.

Aliendelea hadi aliposema: “Nikasema: Ni akina nani hawa ambaoMwenyezi Mungu amewaambia: “Iwapo mtatubu kwa MwenyeziMungu atakusameheni”? Akasema: ‘Kwa kweli ni jambo ambalo litaku-fanya ushangae na kustaajabu ewe Ibn Abbas, na hao ni Aisha na Hafsa...”

Aliendelea hadi aliposema: “Naapa kwa Mwenyezi Mungu hakika wakezeMtume humrejea (s.a.w.w.) lakini mmoja wao akamhama Mtume kuanziaasubuhi hadi usiku, basi hilo likanifadhaisha sana, nikasema: Kwa hakikaamepata hasara aliyefanya hivyo miongoni mwao, kisha nikaweka nguozangu vizuri nikaingia kwa Hafsa nikamuuliza: “Ewe Hafsa, anadirikimmoja wenu kumuudhi Mtume (s.a.w.w.) kuanzia asubuhi hadi usiku?”Akasema: “Ndiyo”. Nikasema: ‘Hakika ameharibikiwa na amepata hasara,je hujui mwenye kumchukiza Mtume (s.a.w.w.) amemchukiza MwenyeziMungu na hakika ameangamia.’”48

48 Sahih Bukhari Juz. 3, uk 135.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:06 PM P

47

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

Na tumsikie Bukhari kwa mara nyingine alivyotupa picha ya waziwazi yamsimamo wa wakeze Mtume (s.a.w.w.) na kiwango na upeo wa heshimazao kwake (s.a.w.w.), ili ashushuke Ustaadh Albaani na wapambe wakekwa madai yao kwamba Aya ya Utakaso iliteremshwa kuhusiana na wakewa Mtume (s.a.w.w.), ili tu awadhulumu waziwazi Ahlul-Bayt (a.s.).

Bukhari ameeleza katika kitabu chake Sahih Bukhari katika mlango wamwenye kutoa zawadi kwa Swahiba wake na akawaacha huru baadhi yawakeze na kutowaacha baadhi, katika hadithi ndefu iliyopokewa kutokakwa Ummul Muuminuna Bibi Aisha amesema: “Basi wakamtuma Zainabbinti Jahsh akamjia Mtume (s.a.w.w.) akasema: “Hakika wake zakowanakuombea kwa Mwenyezi Mungu uadilfu juu ya binti wa AbiQuhafah”, basi (Zainab) akanyanyua sauti yake hadi kufikia kutoa manenomakali na kutoa matusi dhidi ya Aisha, ilihali (Aisha) akiwa ameketi chini,aliendelea kumtukana (Aisha) huku Mtume (s.a.w.w.) akimwangalia Aishaje, atazungumza chochote. Amesema: Ndipo Aisha akazungumza nakumjibu Zainab hadi akamnyamazisha.” 49

Namwambia Ustaadhi mwandishi wa kitabu ‘Silsilatul- AhadithiSwahihah’: Je! Huoni hadithi hizo na hali wewe ungali unatafiti hadithiSahih na ukiwa huo ndiyo msimamo wa wake wa Bwana Mtume (s.a.w.w.)kumuelekea yeye, wanamhama siku nzima, siku mbili na hata mwezi,wanagombana mbele yake bali wanatoleana matusi, kushutumiana nakupashana mbele yake (s.a.w.w.), hayo na yanayofanana na hayoyanafanywa na wao hadi zikateremshwa waziwazi Aya kadhaa wa kadhaakuhusiana na wao huku zikitofautiana na yale anayodai Ustadh Albaani nawale wenye kufuata nyayo zake kwamba: Aya ya Utakaso imeteremshwajuu yao. Na hayo ni kwa mujibu wa maneno ya Subhaanahu wa Ta’ala palealiposema: “Huenda Mola wako akikupeni talaka ambadilishie yeyewake bora kuliko nyinyi waislam safi, waumini, wanyenyevu nawachamungu...” (Surat Tahrim: 5).

49 - Sahih Bukhari Juz. 7 uk 28-29. Na Juz. 3 uk 133.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:06 PM P

48

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

Si hilo tu bali limefichika kwa Ustaadhi Ali Albaani, Aamir Najjar, IhsaaniIlahi Dhahiir na Dk. Saaluus kwamba mwenye kumuudhi Mtume(s.a.w.w.) kwa hakika amemuudhi Mwenyezi Mungu na Mwenyezi Munguamemuahidi mtu huyo adhabu kali, hiyo ni kutokana na maneno yaSubhaanahu wa Ta’ala.” Hakika wale wenye kumuudhi MwenyeziMungu na Mtume wake Mwenyezi Mungu amewalaani duniani naakhera na amewaahidi wao adhabu ya kunyongesha” (Surat Tawbah:61).

Kwa kuongezea zaidi yaone yaliyopo kwa Imam wa hadithi kwenda kwaUstadhi Albaani na yeye si mwingine bali ni Imam Muslim katika kitabuchake Sahih Muslim, pindi alipoulizwa Zayd bin Arqam: “Ni nani Ahlul-Bayt wake? Ni wakeze?” Akasema: “Hapana, Ole wako, hakikamwanamke huwa pamoja na mwanamume kwa muda fulani, kisha anam-taliki na anarudi kwa wazazi wake, Ahlul-Bayt wake ni watu wanaotokanana damu yake ambao wameharamishiwa sadaka baada yake.”50

Kutokana na hayo unadhihiri ufisadi wa maneno na fikra za UstadhAlbaani kutokana na kuihusisha Aya ya Utakaso kwamba imeteremshwajuu ya wanawake wa Mtume (s.a.w.w.), na baadaye zitafuata hadithi Sahihambazo zimo katika vitabu Sahih na Musnad za Ahlul Sunna zenye kujul-isha na kuwatambulisha hasa Ahlul-Bayt katika Aya ya Utakaso kuwa waoni wale watu wa kishamiya, nao ni Ali, Fatimah, Hasan na Husein (a.s.), nawatu hao wametajwa na maulamaa wa Ahlus-Sunna na waaminifu wao. Nasio miongoni mwa Shi’a hata watuhumiwe kwa ubunifu, uzushi, ukad-hibishaji na upotoshaji.

50 Sahih Muslim Juz. 4, uk 1874.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:06 PM P

TATU: AYA YA UTAKASO KATIKA VITABU VYA AHLUS-SUNNA

Tulidokeza hapo kabla kwamba makusudio ya Ahlul-Bayt ni Ali, Fatimah,Hasan na Husein (a.s.) kwa ibara nyingine wao ni watu wa Kishamiyaambao Mwenyezi Mungu swt. amewaondolea uchafu na kuwatakasakabisa kabisa, ni wao tu wala haingii yeyote miongoni mwa wake waBwana Mtume (s.a.w.w.) wala yeyote katika ndugu zake na hilo limebain-ishwa na hadithi sahihi za Mtume (s.a.w.w.) kutoka katika vitabu Sahih vyaAhlus-Sunna na Musnad zao zilizoelezea kinaga ubaga.

Imebakia kwetu kazi moja tu ya kudokeza na kutoa vidokezo kadhaahadithi na maelezo mbalimbali ili udhihirike ufisadi wa yale yanayodaiwakwamba hadithi hizo ni miongoni mwa hadithi ambazo zimebuniwa naShi’a kutokana na uzushi wao upotoaji wa Aya za Mwenyezi Mungu swt.na kufuata matakwa yao, ili impambanukie muumini safi ambaye anatakakupata ridhaa ya Mola wake na maisha mazuri peponi, kwamba ni nanianayemsingizia Mwenyezi Mungu na Mtume wake (s.a.w.w.) na anajaribukupotoa Aya za Mwenyezi Mungu swt. ili kufuata matamanio yake binaf-si na kwa malengo na maslahi duni.

Ukiachilia mbali hadithi zilizokwishatangulia ambazo zimetafsiri Aya yaUtakaso katika kauli yake swt.: “Sema, sitaki malipo yoyote kutokakwenu isipokuwa kuwapenda watu wangu wa karibu,” ambapoWanachuoni wa Ahlus-Sunna wameitafsiri Aya hiyo kwamba imeteremsh-wa juu ya Ali, Fatimah, Hasan na Husein (a.s.), kadhalika lililobakia nikudokeza yale yaliyoelezwa na kuandikwa katika vitabu Sahih vya Ahlus-Sunna na Musnad zao kwamba makusudio ya Ahlul-Bayt katika Aya yaUtakaso ni watukufu hao wanne.

49

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:06 PM P

1. SAHIH MUSLIM:

Amepokea Imam Muslim katika kitabu chake Sahih Muslim nacho nikitabu Sahih zaidi baada ya Qur’ani tukufu kwa mujibu wa Ahlus-Sunna,amepokea kwamba Aya ya Utakaso na zile zenye maana kama Aya hiyomiongoni mwa Aya kadhaa zimeteremshwa mahsusi kwa ajili ya Ali,Fatimah, Hasan na Husein (a.s.).

“Kutoka kwa Ummul Muuminiina Aisha (r.a.) amesema: “Siku moja alito-ka Mtume (s.a.w.w.) akiwa na nguo nyeusi, punde akaja Hasan bin Aliakamwingiza, kisha akaja Husein akamwingiza, kisha akaja Fatimahakamwingiza na hatimaye akaja Ali akamwingiza, kisha akasema: ‘HakikaMwenyezi Mungu anataka kukuondoleeni uchafu enyi Ahlul-Bayt na aku-takaseni utakaso wa kabisa kabisa.”’51

Na katika hadithi nyingine imepokewa kutoka kwa Zayd bin Arqam kamailivyo Hadith Thaqalain: “...Tukasema miongoni mwa Ahlul-Bayt niwakeze. Akasema Zayd bin Arqam: ‘Hapana ole wako, hakika mwanamkeanakuwa pamoja na mwanamume kwa muda fulani kisha anamtalikianarudi kwa baba na mama yake, Ahlul-Bayt wake ni wenye kutokana nayeye na wa damu yake ambao wameharamishiwa sadaka baada yake.”’52

Nasema: Na wewe unaona kuwa tafsiri ya Ahlul-Bayt imepokewa nawapokezi wengi na katika riwaya hii imekanusha kwa kutumia kiapo kuwawake wa Mtume (s.a.w.w.) sio miongoni mwa Ahlul-Bayt, na kuwaingizawakeze (s.a.w.w.) katika hao ni kutafsiri kwa kutumia maoni ya mtu binaf-si na bila dalili, bali dalili iliyopo inasema kinyume na hivyo, na kwambamakusuido ya Ahlul-Bayt ni wale watu wa kishamiya (a.s.), hilo ni kwamuktadha wa yale yaliyoelezwa katika Hadithi ya Kishamiya ambayo ime-pokewa na Ummul- Muuminina Aisha (r.a.), hilo ni kwanza.

50

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

51 Sahih Muslim Juz. 4, uk. 1883.52 Sahih Muslim Juz. 4, uk. 1874.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:06 PM P

La pili: Hakika kutafsiri Aya ya Utakaso kuwa inawahusu wake wa Mtume(s.a.w.w.) ni kutafsiri Qur’ani bila ya elimu....na kumsingizia MwenyeziMungu na Mtume, yeye (s.a.w.w.) amesema: “Mwenye kusema lolote kati-ka Qur’ani bila ya kuwa na elimu basi ajichagulie makazi motoni”.

Aidha imekuja katika kitabu cha Sahih Muslim cha Imam Muslim “Kutokakwa Amar bin Said bin Abi Waqaas kutoka kwa baba yake anasema:“Muawiya bin Abi Sufyan alimwamrisha Said akamwambia: “Ni kipi kina-chokuzuia kumtukana baba wa udongo (yaani Ali), akasema: “... pindiilipoteremshwa aya hii: “Basi sema njoeni tuwaite watoto wetu na wato-to wenu...” Mtume (s.a.w.w.) alimwita Ali, Fatimah, Hasan na Huseinakasema: ‘Ewe Mola Wangu hawa ndiyo watu wangu.”’53

Nasema: Hiyo ni dalili juu ya kuwafanya watu hao wanne kuwa wahusikamakhusus wa tamko Ahlul-Bayt (a.s.), na hilo anaambiwa na kupashwayule ambaye anawatuhumu Shi’a kwa kuzusha hadithi hiyo, na kuwa sifaza Shi’a ni kupotosha maneno, na kubadilisha na kupandikiza hadithi.Anaambiwa: Unasemaje juu ya Imam Muslim ambaye ni Imam wa hadithi,je! hajazieleza hadithi hizo katika kitabu chake Sahih Muslim? Au ImamMuslim ni miongoni mwa wazuaji, wabunifu na wakadhibisha ambaohadithi walizozipokea hazikubaliki au ni katika Shi’a? Atajibu nini siku yaKiyama mbele ya Hakimu Mwadilifu? Watakwepea wapi Dk. AamirNajjar, Muhammad Nassur diin Albaani, Ihsaani Ilahi Dhahiir, Dk. AliAhmad Saaluus na Uthman Aali Khamiis Naswiry kutoka katika mzani?

2. SHEIKHUL-ISLAM IBN TAYMIYA:

Ibn Taymiya anasema katika kitabu chake ‘Huquuq Ahlul-Bayti baynas-Sunnat Wal-Bidaa,’ pamoja na uadui wake wa enzi na enzi juu ya Shi’a,lakini ni haya hapa maneno yake: “Na pindi Mwenyezi Mungu alipobain-isha kwamba anataka kuwaondolea uchafu Ahlul-Bayt na kuwatoharisha

51

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

53 - Sahih Muslim Juz. 4, uk. 1871.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:06 PM P

tohara ya kabisa kabisa, Mtume (s.a.w.w.) aliwaita ndugu zake wa karibuna akawatukuza ili wawe makhsusi kwake, nao ni Ali, Fatimah (radhiya-llahu anhum) na mabwana wa vijana wa peponi, Mola aliwatoharisha haobaada ya kukusanyika na du’a ya Mtume (s.a.w.w.) kukamilika, na hilolajulisha kuwa kuondolewa uchafu na kutakaswa ni neema kutoka kwaMwenyezi Mungu swt.”54

Vile vile anasema Ibn Taymiya: “Kutoka kwa Ummu Salama: ‘Hakika Ayahiyo ilipoteremshwa Mtume (s.a.w.w.) aliwafunika Kishamiya Ali,Fatimah, Hasan na Husein (r.a.) akasema: “Ewe Mola Wangu hawa ndioAhlul-Bayt wangu waondolee uchafu na watoharishe tohara ya kabisakabisa.”’55

Anasema Ahmad Muhmuud Subhi Ustadhi wa falsafa naye ni katikaMasunni, katika kitabu chake ‘Nadhariyyatul-Imamah’ akiweka pambizokwenye Aya ya Utakaso: “Na tafsiri hii inafaidisha kwamba Ahlulbayt niwale ambao wamekusudiwa katika lafudhi ya Qurba katika Aya, na hataIbn Taymiya pamoja na upinzani wake juu ya tafsiri za Kishi’a lakini ame-sarenda, kwani imepokewa katika vitabu Sahih kwamba Mtume (s.a.w.w.)alihutubia siku ya Ghadiir-Khum akasema: “Ninawakumbusha kuhusianana Ahlul-Bayt wangu, aliyasema hayo mara tatu”.56

Na la kuchunguza na kuzingatia hapa ni kwamba hakuwataja wake waMtume (s.a.w.w.) na hakusema Aya ya Utakaso imeteremshwa kwao, walahaikuwajumuisha wake wa Mtume (s.a.w.w.) na hiyo ni dalili tosha kwam-ba Aya hiyo imeshushwa juu ya watu hao wane (a.s.) kutokana na kukirihivyo Wanachuoni wa Ahlus-Sunna.

52

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

54 Hukuuk Aali-Bayt cha Ibn Taymiya uk. 12.55 Hukuuk Aali-Bayt cha Ibn Taymiya uk. 10.56 Nadhariyatul-Imamah uk. 184.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:06 PM P

3. KITABU KHASA’IS CHA NASAAI:

Na katika kitabu Khasais cha Nasaai katika hadithi Sahih kutoka kwa Saadbin Abi Waqaas amesema: “Mu’awiya alimwamrisha Saad amtukane Aliakamwambia: “Ni kipi kinakuzuia kumtukana baba wa mchanga? - yaaniAli,” – akasema: “Ama nikiyakumbuka maneno ambayo Mtume (s.a.w.w.)aliyasema kumwambia yeye siwezi kumtukana... hakika pindiilipoteremshwa Aya “Hakika Mwenyezi Mungu anataka kukuon-doleeni uchafu Ahlul-Bayt na kukutoharisheni tohara ya kabisakabisa”, Mtume (s.a.w.w.) alimwita Ali, Fatimah, Hasan na Husein kishaakasema: ‘Ewe Mola Wangu hawa ndio ndugu zangu wa karibu.”’57

Na katika riwaya iliyopokewa kutoka kwa Ibn Abbas nayo ni Sahih ame-sema: “Mtume (s.a.w.w.) alichukua nguo yake kisha akawafunika Ali,Fatimah, Hasan na Husein hapo akasema: ‘Hakika Mwenyezi Munguanataka kukuondoleeni uchafu Ahlul-Bayt...”’58

Na katika riwaya Sahih nyingine ambayo ameitaja Nasaai kutoka kwaBakiir bin Mismaar amesema: “Nilimsikia Amr bin Saad akisema:Muawiya alimwambia Saad bin Abi Waqaas: “Kipi kinakuzuia kumtukanaIbn Abi Twalib?” Akasema: “Siwezi kumtukana kwani nikikumbukamambo matatu ambayo Mtume (s.a.w.w.) alisema kumwambia yeye,iwapo ningekuwa nayo mimi lau jambo moja lingekuwa bonge la neema,siwezi kumtukana nikikumbuka pindi ulipoteremshwa wahyi kwa Mtume(s.a.w.w.) akamchukua Ali, Fatimah na watoto wao wawili akawaingizakatika nguo yake kisha akasema: ‘Ewe Mola Wangu hawa ndiyo Ahlul-Bayt wangu na ndugu zangu.”’59

53

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

57 Khasais cha Nasaai uk. 24.58 Khasais cha Nasaai uk. 34-35.59 Khasais cha Nasaai uk. 56.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:06 PM P

Nasema: Ikiwa hiyo ndiyo hali ya Muawiya bin Abi Sufyani mwandishi wawahyi kama baadhi wanavyodai, anamtaka mtu amtukane Amirul-Muuminiina, Ibn ammi Rasuulillah, mume wa binti yake Bibi mbora waWanawake wa mwanzo na wa mwisho, baba na mzazi wa Hasan na Huseinambao ni mabwana wa vijana wa watu wa peponi, na ambaye MtumeMuhammad (s.a.w.w.) amesema kuhusu yeye: “Yeyote mwenye kuku-tukana wewe amenitukana mimi na mwenye kunitukana mimi amem-tukana Mwenyezi Mungu,” na vipi hali ya Dk. Aamir Najjar, UstadhMuhammad Nassur diin Albani, Ihsaani Dhahiir, Dk. Ali Ahmad Saaluusna Uthman bin Muhammad Aali Khamiis. Ikiwa kuna baadhi ya waleambao wanaitwa sahaba wa Mtume (s.a.w.w.) anawalingania na kuwaom-ba watu bali anaanzisha Sunna mbaya ya kumtukana Imam Ali (a.s.) juu yamimbari, na ikawa ni Sunna iliyofuatwa kwa muda wa miaka themanini,unasemaje juu ya watu hao na wale wanaofanana na hao ambao wame-fanya ni Sunna kwao kukanusha hadithi Sahih za Bwana Mtume (s.a.w.w.),kuzinasibisha na kuzituhumu kuwa ni za kubuniwa ilihali zimepokewandani ya vitabu ambavyo kwa imani yao wao ndio vitabu sahihi mno baadaya Qur’ani. Hivyo sio jambo la ajabu kwani wao kukanusha hadithi Sahihni katika kufuata sunna ya kiongozi wao Muawiya bin Abi Sufyaani.

4. KITABU JAAMIUS-SIHAAH CHA TIRMIDHI:

Amepokea Tirmidhi katika kitabu chake Sahih Tirmidhi Hadithi yaKishamiya ikiwa makhsusi kwa ajili ya Ali, Fatimah, Hasan na Husein(a.s.). “Imepokewa kutoka kwa Shahar bin Hawshab kutoka kwa ummuSalama kuwa hakika Mtume (s.a.w.w.) alimtukuza Ali, Fatimah, Hasan naHusein akasema: “Ewe Mola Wangu hawa ndio hasa Ahlul-Bayt wangu,waondolee uchafu na watoharishe tohara ya kabisa kabisa,” Ummu Salamaakasema: “Na mimi ni pamoja nanyi, ewe mjumbe wa Mwenyezi Mungu?”Mtume Akasema: ‘Hakika wewe upo katika kheri.”’

Tirmidhi akasema: “Hadithi hii ni hasan, nayo ni nzuri sana katika mlo-longo huo imepokewa kutoka kwa Umar bin Abi Salama, Anas bin Malik,

54

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:06 PM P

Abu Hamrai, Maakil bin Yassar na Aisha”.60

Nasema: Na wewe mwenyewe unaona kwamba Mtume (s.a.w.w.) haja-muingiza Ummu Salama (r.a.) japokuwa naye ni miongoni mwa wake zake(s.a.w.w.), na hii ni dalili tosha kuwa Ahlul-Bayt wanaohusishwa katikaAya hiyo sio wakeze (s.a.w.w.) bali ni hao watukufu wanne. MwenyeziMungu swt. anasema:

“Hakika macho hayawi pofu lakini nyoyo ambazo ziko katika vifuahuwa pofu.” (Surat Hajji: 46).

Aidha amepokea Tirmidhi katika kitabu chake Sahih Tirmidhi kutoka kwaUmar bin Salama mtoto wa kufikia wa Mtume (s.a.w.w.) amesema: “Ayahii iliteremshwa kwa Mtume (s.a.w.w.): “Hakika Mwenyezi Munguanataka kukuondoleeni uchafu Ahlul-Bayt...” katika nyumba ya UmmuSalama, Mtume (s.a.w.w.) alimwita Fatimah, Hasan, Husein na Ali akawa-funika Kishamiya kisha akasema: “Ewe Mola Wangu, hawa ndio Ahlul-Bayt wangu basi waondolee uchafu na watoharishe tohara ya kabisakabisa,” Ummu Salama akasema: “Na mimi ni pamoja nao ewe Nabii waMwenyezi Mungu? Akasema: ‘Wewe una sehemu yako na wewe uko kati-ka kheri.”’ Tirmidhi amesema: “Na katika mlango huu kuna kutoka kwaUmmu Salama, Maakil bin Yasaar, Abu Harmrai na Aisha”.61

Amepokea Tirmidhi katika kitabu chake Sahih Tirmidhi kutoka kwa AAmribn Saad bin Abi Waqaas kutoka kwa Babu yake amesema: “Muawiya binAbu Sufyani alimwamrisha Saad...” Aliendelea hadi kauli yake: “.......nailipoteremshwa Aya hii: “Basi sema njoeni tuwaite watoto wetu nawatoto wenu...” Mjumbe wa Mwenyezi Mungu aliwaita Ali, Fatimah,

55

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

60 Jaamiu-Swihahi cha Tirmidhi Juz. 5 uk. 656-657, hadithi namba 3871.61 - Jaamiu-Swihahi cha Tirmidhi Juz. 5 uk 621-622.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:06 PM P

Hasan na Husein na akasema: ‘Ewe Mola Wangu hawa ndiyo nduguzangu.”’ Abu Salama amesema: “Hadithi hiyo ni Hasan na Sahih.”62

5. KITABU MUSNAD CHA IMAM AHMAD BIN HANBALI:

Amepokea Imam Ahmad katika Kitabu chake Musnad Ahmad kutoka kwaUmmu Salama: “Hakika siku moja Mtume (s.a.w.w.) alikuwa amekaandani ya nyumba yake (Ummu Salama) punde akamjia Fatimah, ndipoMtume (s.a.w.w.) akamwambia kamwite mumeo na watoto wako, akaendakuwaita akaja Ali, Hasan na Husein wakaingia kwake... basi hapoMwenyezi Mungu akateremsha Aya hii: “Hakika Mwenyezi Munguanataka kukuondoleeni uchafu Ahlul-Bayt na kukutoharisheni toharaya kabisa kabisa.” Akasema Ummu Salama: hapo akachukua Kishamiyachake, akawafunika kisha akatoa mkono wake akauelekeza mbinguni naakasema: “Ewe Mola Wangu, hawa ndiyo hasa Ahlul-bat wangu basiwaondolee uchafu na watakase kabisa kabisa.” Basi nikasema: Na mimi nipamoja nanyi ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu? Akasema: ‘Wewe upokatika kheri.”’

Abdul-Malik amesema: “Abulaila amenihadithia kutoka kwa UmmuSalama mfano wa hadithi ya Atwai hakuna mapungufu, Abdul-Malik ame-sema: ‘Amenihadithia Daudi bin Abi Auf Al-Jahafi kutoka kwa Hawshabkutoka kwa Ummu Salama vivyo hivyo wala hakuna tofauti.”63

b) Vile vile amepokea Imam Ahmad bin Hambali katika kitabu chakeMusnad: “Kutoka kwa Shahar bin Hawshab amesema: “Nilimsikia UmmuSalama mke wa Mtume (s.a.w.w.) pindi zilipokuja habari za kifo cha ImamHusein bin Ali, aliwalaani watu wa Iraq, akasema: Wamemuuwa, basiMwenyezi Mungu awauwe…hakika nilimwona mjumbe wa MwenyeziMungu wakati alipojiwa na Fatimah......” Akaendelea hadi aliposema:

56

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

62 Jaamiu-Swihahi cha Tirmidhi Juz. 5, uk. 596.63 Al-Musnad Juz. 6, uk. 292.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:06 PM P

“Ewe Mola Wangu hawa ndiyo ndugu zangu wa karibu basi waondoleeuchafu na watoharishe kabisa kabisa.” Nikasema: Ewe Mtume Je! mimi siokatika Ahli wako? Akasema: “Bila shaka” akaniingiza katika Kishamiyabaada ya kukamilika dua yake juu ya Ibn ammi yake ambaye ni Ali, wato-to wake na binti yake Fatimah (r.a.)”.64

Nasema: Mwishoni mwa hadithi hiyo mwajulisha kwamba Aya hiyoiliteremshwa makhsusi kuhusiana na hao wanne, na haya ni katika manenoyake: “Pindi ilipokwisha dua yake kwa Ibn ammi yake Ali, wanawe nabinti yake Fatimah” .

Na ama kuhusiana na maneno yake: “Nikasema: Je! mimi sio katika Ahliwako? Akasema: “Bila shaka ni hivyo, basi ingia katika Kishamiya,”yenyewe yanakwenda kinyume na hadithi zilizokwishatangulia hapokabla, nazo ni chungu nzima na wapokezi lukuki, aidha dalili tosha juu yahilo ni zile alizopokea Imam Ahmad bin Hambali katika kitabu chakeMusnad, ikiwemo ifuatayo.

c) “Imepokewa kutoka kwa Shahar bin Hawshab kutoka kwa UmmuSalama kuwa Mtume (s.a.w.w.) alimtukuza Ali, Hasan, Husein na Fatimahkwa kuwafunika katika Kishamiya kisha akasema: “Ewe Mola Wanguhawa hasahasa ndiyo Ahlul-Bayt wangu waondolee uchafu na watakasekabisa kabisa,” Ummu Salama akasema: “Ewe Mjumbe wa MwenyeziMungu mimi ni pamoja nao? Akasema: ‘Hakika wewe upo katikakheri.”’65

d) Aidha amepokea Imam Ahmad bin Hanbal katika Musnad yake kutokakwa Bakiir bin Mismaar bin AAmr ibn Saad kutoka kwa baba yake ame-sema: “Nilimsikia Mtume (s.a.w.w.) anasema: “…….”, Aliendelea hadi ali-posema: “Na ilipoteremshwa Aya hii: “Basi sema njoeni tuwaite watotowetu na watoto wenu...” Mtume (s.a.w.w.) aliwaita Ali, Fatimah, Hasan

57

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

64 Al-Musnad Juz. 6, uk 298.65 Al-Musnad Juz. 6, uk. 340.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:06 PM P

na Husein (radhi ya Mwenyezi Mungu iwe juu yao) akasema: ‘Ewe MolaWangu hawa ndiyo Ahli wangu.”’66

e) Amepokea Imam Ahmad bin Hanbali katika Musnad yake kutoka kwaAmru bin Maymuuna katika hadithi ndefu kutoka kwa Ibn Abbas:“......akasema: “Mtume akachukua nguo yake akawafunika Ali, Fatima,Hasan na Husein hapo akasema: ‘Hakika Mwenyezi Mungu anatakakukuondoleeni uchafu Ahlul-Bayt na kukutoharisheni tohara ya kabisakabisa”’.67

f) Na katika hadithi nyingine kutoka kwa Ali bin Zayd kutoka kwa Anasbin Malik kuwa, “Mtume (s.a.w.w.) alikuwa anapita mbele ya mlango waFatimah kwa muda wa miezi sita pindi alipokuwa anakwenda kuswaliswala ya asubuhi akisema: ‘Swala! Swala! Enyi Ahlul-Bayt, hakikaMwenyezi Mungu anataka akuondosheeni uchafu Ahlul-Bayt na kukuto-harisheni tohara ya kabisa kabisa.”’68

Nasema: Hadithi hii ya Anas bin Malik, haikueleza kwamba Mtume(s.a.w.w.) alikuwa akipita mbele ya nyumba ya wakeze au nyumba yandugu zake isiyokuwa nyumba ya binti yake Fatimah, na hilo linajulishakinagaubaga kuwa Aya ya Utakaso imeteremshwa ikiwa mahsusi hasa juuya hao (a.s.) na sio wakeze wala ndugu zake wengine.

6. KITABU SHAWAHIDUT-TANZIL CHA HAAKIMHASKAANI:

Zifuatazo ni miongoni mwa hadithi ambazo amezieleza Haakim HaskaaniAl-Hanafii katika kitabu chake Shawahidut-Tanziil na zote zinatoa isharakuwa Ahlul-Bayt ambao ndio walengwa wa Aya ya Utakaso ni Ali,Fatimah, Hasan na Husein (a.s.).

58

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

66 Al-Musnad Juz. 1, uk. 185.67 Al-Musnad Juz. 1, uk. 330 - 331.68 Al-Musnad Juz. 3, uk 259.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:06 PM P

a) Amepokea AAmr ibn Saad kutoka kwa baba yake amesema: “Pindiilipoteremshwa Aya hii: “Basi sema tuwaite watoto wetu na watotowenu...” Bwana Mtume akawaita Ali, Fatimah, Hasan na Husein hapoakasema: ‘Ewe Mola Wangu hawa ndio ahli wangu.”69

“Amepokea Abdallah bin Hasan kutoka kwa baba yake kutoka kwa babuyake amesema: Amesema Abu Hamrai mtumishi wa Mtume (s.a.w.w.):“Pindi iliposhushwa Aya hii: “Na waamrishe ahli zako Swala.....”,Mtume (s.a.w.w.) alikuwa akipita mbele ya nyumba ya Fatimah na Ali kilakipindi cha Swala huku akisema: ‘Swala! Swala! Mwenyezi Mungu akure-hemuni: “Hakika Mwenyezi Mungu anataka kukuondoleeni uchafu nakukutakaseni tohara ya kabisa kabisa.”’70

“Hakika Mwenyezi Mungu anataka kukuondoleeni uchafu...” HakimHaskaani amesema: “Hakika zimekithiri hadithi kuhusiana na hilo, na katiya hizo ni hadithi iliyopokewa na Anas bin Malik Al-Answary... kuwahakika mjumbe wa Mwenyezi Mungu alikuwa akipita mbele ya mlango waFatimah kwa muda wa miezi sita pindi alipokuwa anakwenda kuswaliakisema: ‘Swala! Enyi Ahlul-Bayt hakika Mwenyezi Mungu anatakaakuondoleeni uchafu.....”’

Na katika hadithi nyingine kutoka kwa Anas bin Malik amesema:“Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alikuwa kwa muda wa miezi sita akipitambele ya mlango wa Fatimah wakati akienda kuswali akisema: ‘Swala!Enyi Ahlul-Bayt mara tatu, hakika Mwenyezi Mungu anataka kuondoeeniuchafu...”’71

Na kwa njia nyingine kutoka kwa Anas bin Malik amesema: “Alikuwamjumbe wa Mwenyezi Mungu akipita mbele ya nyumba ya Fatimah kwa

59

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

69 Shawahidut-Tanziil Juz. 1, uk. 124.70 Shawahidut-Tanziil Juz. 1, uk 381.71 Shawahidut-Tanziil Juz. 2, uk. 10 -12.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:06 PM P

muda wa miezi sita pindi anakwenda kuswali swala ya alfajiri akisema:‘Swala! Enyi Ahlul-Bayt...’” na njia nyinginezo nyingi ambazo hadithihizo zinapokewa kutoka kwa Anas bin Malik.

Miongoni mwa hadithi hizo imepokewa na Baran bin Azib, naye ana njialukuki, tunataja baadhi ya hizo, imepokelewa kutoka kwa Muhammad binUmar kutoka kwa Is’haqa bin Swawaid bin Baran bin Azib amesema:“Alikuja Ali, Fatimah, Hasan na Husein katika mlango wa Mtume(s.a.w.w.) wakabisha hodi akasema katika kuwaitikia: ‘Ewe Mola Wanguhiki ndicho kizazi changu.’”

Na katika hadithi nyingine kutoka kwa Is’haqa bin Zayd Al-Answary kuto-ka kwa Barau bin Azib amesema: “Alikuja Ali bin Abi Twalib mbele yamlango wa Mtume (s.a.w.w.) pamoja na Fatimah, Hasan na Husein, akato-ka Mtume huku akitokwa na jasho, akawakaribisha kisha akasema: ‘EweMola Wangu hawa ndiyo Ahli zangu.”’73

e) Na kati ya hizo amepokea Jabir bin Abdillah Answaary: “Mtume(s.a.w.w.) alimwita Ali, watoto wake wawili na Fatimah akawafunika nguoyake kisha akasema: ‘Ewe Mola Wangu hawa ndio Ahli zangu”’.74

f) Na miongoni mwa hizo imepokewa hadithi kutoka kwa Hasan binBatuul (a.s.) amesema: “Pindi ilipoteremshwa Aya ya Utakaso Mjumbe waMwenyezi Mungu aliwakusanya katika nguo yake katika nyumba ya BiUmmu Salama Khaybary kisha akasema: ‘Ewe Mola Wangu, hawa ndiyoAhlul-Bayt wangu na kizazi changu basi waondolee uchafu na watoharishetohara ya kabisa kabisa.”’75

60

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

72 Shawahidut-Tanziil Juz. 2 uk 16.73 Shawahidut-Tanziil Juz. 2 uk 16.74 Shawahidut-Tanziil Juz. 2 uk 17.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:06 PM P

g) Na Miongoni mwa hadithi hizo ni hadithi iliyopokewa na Saad bin AbiWaqaas Az-Zahry kuwa alisema kumwambia Muawiya huko Madina:“Hakika nimeshuhudia kutoka kwa Mtume (s.a.w.w.) kuhusiana na Alimambo matatu....” Aliendelea hadi aliposema: ‘Ewe Mola Wangu hawandiyo Ahlul-Bayt wangu basi waondolee uchafu.”’ Na hadithi nyinginekutoka kwa AAmr ibn Saad kutoka kwa baba yake amesema: “Muawiyaalipita kwa Saad akasema: ‘Ni kitu gani kinachokuzuia kumtukana AbuTurab (baba wa Mchanga)...”’75

h) Na kati ya hizo ni hadithi iliyopokelewa na Abu Said Al-Khudry naameiandika hadithi hiyo Haakim Haskaani Naysabury kwa njia mbalim-bali.76

i) Na kati ya hizo ni hadithi kutoka kwa Abdallah bin Abdul MutwalibHashimi (a.s.).77

j) Na kati ya hizo ni hadithi kutoka kwa Amirul-Muuminiina Ali binAbitwalib (a.s.).78

k) Kati ya hadithi hizo ni hadithi iliyopokewa na Ummul MuuminiinaAisha, kutoka kwa Sofia binti Shaybaha amesema: “Amesema Aisha:“Mtume (s.a.w.w.) alitoka akiwa na nguo yake akaja Hasan bin Aliakamwingiza, kisha akaja Husein akamwingiza, kisha akaja Fatimahakaingia na hatimaye akaja Ali akamwingiza kisha akasema: ‘Hakikaanataka Mwenyezi Mungu kukuondoleeni uchafu na kuwatoharishenitohara ya kabisa kabisa”’.79

61

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

75 Shawahidut-Tanziil Juz. 2 uk 21-22.76 Shawahidut-Tanziil Juz. 2 uk 22-23.77 Shawahidut-Tanziil Juz. 2 uk 29-30.78 Shawahidut-Tanziil Juz. 2 uk 31-33.79 Shawahidut-Tanziil Juz. 2. uk 33.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:06 PM P

Katika hadithi nyingine imepokewa kutoka kwa Aisha... “Basi nikasemaewe Mjumbe wa Mwenyezi Mungu Je! Mimi sio katika ahali zako?Akasema: “Hakika wewe upo katika kheri” wala hakuniingiza pamojanao”. Na hadithi nyinginezo ambazo Haakim amezipokea kutoka kwaAisha.80

Nasema: Na kukiri huko kutoka kwa Ummul Muuminiina Aisha kwambayeye sio katika watu ambao inawahusu Aya hiyo ni kutokana na manenoyake aliposema: “Na wala hakuniingiza pamoja nao”. Bila shaka anayedaikuwa Aya ya Utakaso imeteremshwa juu ya wake wa Mtume (s.a.w.w.) niubadilishaji wa maneno kutoka sehemu yake, na kumsingizia MwenyeziMungu swt. na Mtume wake (s.a.w.w.).

l) Kati ya hadithi hizo ni hadithi iliyopokewa na Wathlatu bin Rabii Laythina wengineo miongoni mwa sahaba ambao wamesema: “Aya ya Utakasoimeteremshwa kuhusiana na Ali, Fatimah, Hasan na Husein (a.s.) naondiyo Ahlul-Bayt khaswa na wala si wengineo”.81

m) Na ambalo linajumuisha tuliyoyasema, ni hadithi iliyopokewa naUmmu Salama amesema: “Ilipoteremshwa Aya hii: “Hakika MwenyeziMungu anataka kukuondoleeni uchafu...” Aliendelea hadi aliposema:“Nikainua kishamiya niingie pamoja nao, ndipo akakivuta toka mikononimwangu na akasema: ‘Hakika wewe upo katika kheri.”’82

Na kutoka kwa Majmaa amesema: “Niliingia pamoja na mama yangu kwaAisha, mama yangu akamuuliza kwa kusema: “Je uliona umeruhusiwakutoka siku ya vita vya Jamali?” Akasema: “Hakika ilikuwa ni kadari kuto-ka kwa Mwenyezi Mungu.” Kisha akamuuliza kuhusiana na Ali, akasema:“Unaniuliza mtu apendwaye zaidi na Mtume wa Mwenyezi Mungu,

62

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

80 Shawahidut-Tanziil Juz. 2. uk 33 na baada yake.81 Shawahidut-Tanziil Juz. 2. uk 39-54.82 Shawahidut-Tanziil Juz. 2. uk 76.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:06 PM P

aliyekuwa mume wa kipenzi cha Mtume (s.a.w.w.), hakika nilimuonaMtume (s.a.w.w.) akiwakusanya na kuwaingiza katika nguo yake Ali,Fatimah, Hasan na Husein kisha akasema: “Ewe Mola Wangu hawa ndioAhlul-Bayt wangu na wapendwa wangu basi waondolee uchafu na wato-harishe tohara ya kabisa kabisa.” Basi nikasema: Ewe Mjumbe waMwenyezi Mungu, mimi ni katika Ahali zako? Akasema: ‘Sogea kaakando hakika wewe uko katika kheri.”’

Na katika hadithi nyingine nikasema: “Ewe Mjumbe wa Mwenyezi MunguJe! Mimi sio katika Ahali Zako? Akasema: “Hakika wewe upo katikakheri,” na wala hakuniingiza pamoja nao”.83

Ya kuzingatia katika hadithi hiyo iliyopokewa na Ummul-MuuminiinaAisha ni yafuatayo:

Mosi: Kukiri kwake kwa dhambi yake katika kupambana na Imam Ali(a.s.) ili kupigana naye siku ya Jamal, lakini yeye ameegemezea hilokwenye kadari, yaani kwa Mwenyezi Mungu, ili tu ahalalishe msimamowake juu ya Imam Ali (a.s.) na kupigana naye.

Pili: Amekiri kuwa yeye si muhusika wa Aya hiyo kwa sababu Mtume(s.a.w.w.) hakumwingiza pamoja nao, na hiyo ni dalili tosha ya kuwa Ayahiyo haiwahusu wanawake au wake wa Mtume (s.a.w.w.). Aidha nasema:Hizo ni baadhi tu ya hadithi zilizopokewa kutoka kwa Haakim HaskaaniAl-Hanafiy, naye ni miongoni mwa wanachuo wa Ahlus-Sunna na mfasiriwao, ya kwamba Aya ya Utakaso inawahusu watu hao wanne (a.s.) na walahaiwajumuishi wake wa Mtume (s.a.w.w.), kwa hivyo ujanja wa AamirNajjar, Muhammad Nassur Al-albaani, Ihsani Dhahiir, Ali Ahmad Saalusna wengineo katika tafsiri ya Aya hiyo kuwa inawahusu wake wa Mtume(s.a.w.w.) ni upotoshaji na ubadilishaji wa maneno ya Mwenyezi Munguswt., na kama pia unavyodhihiri uzushi wake juu ya Shi’a katika maneno

63

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

83 Shawahidut-Tanziil Juz. 2. uk 38.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:06 PM P

yao kama ilivyokwisha tangulia waliposema: “Na Shi’a kuwahusishaAhlul-Bayt ambao ni Ali, Fatimah, Hasan na Husein (a.s.) bila ya wakeze(s.a.w.w.) ni katika upotoshaji wao wa Aya za Mwenyezi Mungu Mtukufukwa kufuata matamanio yao...”. Na kutokana na tuliyoeleza hapo kabla,imedhihiri wazi kati yetu na wao ni nani anayemsingizia Mwenyezi Munguswt. ili kufuata matamanio ya nafsi yake. Na utafuata mlolongo mkubwawa vitabu vya tafsiri lukuki kutoka kwa Wanachuoni wa Ahlus-Sunna naMahafidh wao, ambao wameifasiri Aya hiyo juu ya Ali, Fatimah, Hasan naHusein (a.s.).

7. KITABU JAAMIUL -BAYAAN CHA IBN JARIIRTWABARY:

Ibn Jariir Twabary ameileza Aya hiyo juu ya Ali, Fatimah , Hasan naHusein (a.s.), naye ni mmoja wa Wanachuoni na wafasiri wakubwa waAhlus-Sunna, wote kwa njia mbalimbali wameeleza Aya hiyo kuwa ime-teremshwa kuwahusu watu hao wanne (a.s.) tu, tunataja baadhi ya hizo iliiwe dalili na kuthibitisha yale wanayoyasema na kuitikadi Shi’a:

a) Imepokewa kutoka kwa Abu Said Al-Khudry amesema: “Mtume(s.a.w.w.) amesema: ‘Aya hii imeteremshwa kwa watu watano: Kwangumimi, Ali, Hasan, Husein na Fatimah (a.s.), hakika Mwenyezi Munguametaka kukuondoleeni uchafu Ahlul-Bayt na kukutoharishieni tohara yakabisa kabisa.’”

b) Imepokewa kutoka kwa Sofia bin Sheibah amesema: “Amesema Aisha:‘Siku moja Mtume (s.a.w.w.) alitoka akiwa na nguo nyeusi, punde akajaHasan akamuiingiza... kisha akasema: “Hakika Mwenyezi Mungu anatakakukuondoleeni...”’.

c) Imepokewa kutoka kwa Anas bin Malik: “Alikuwa Bwana Mtume(s.a.w.w.) akipita mbele ya nyumba ya Fatimah kwa muda wa miezi sitakila alipokuwa anakwenda kuswali akisema: ‘Swala! Enyi Ahlulbayt, haki-

64

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:06 PM P

ka Mwenyezi Mungu anataka kukuondoleeni uchafu...”’

d) Imepokewa kutoka kwa Shahar bin Hawshab kutoka kwa UmmuSalama amesema: “Alikuwa Mtume (s.a.w.w.) kwangu na Ali, Fatimah,Hasan na Husein... akawafunika nguo nyeusi au kishamiya, akasema: ‘EweMola Wangu hawa ni Ahlul-Bayt wangu, waondolee hawa uchafu na wato-harishe tohara ya kabisa kabisa.”’

Imepokewa kutoka kwa Abu Hamrau amesema: “Nilikuwa Madina kwamiezi saba katika zama za Mtume (s.a.w.w.)”. Akasema: “NilimuonaMtume (s.a.w.w.) kila ikichomoza Alfajiri, akienda katika mlango wa Alina Fatimah na akisema: “Swala! Swala! Hakika anataka MwenyeziMungu...”.

Anasema Twabary: “Ameniambia Abdul-Aala bin Waswil akasema:‘Alituhadithia Fadhili bin Dakiin akasema: ‘Alituhadithia Yunus bin AbiIs-haqa kutoka kwa Mtume (s.a.w.w.) na mfanowe.”’

f) Imepokelewa kutoka kwa Abu Amar akasema: “Nilikuwa nimekaa kwaWathilah bin Askaa walipomtaja Ali (r.a.) na kumshutumu, basi waliposi-mama akasema: “Kaa hadi nikupe habari juu ya huyu ambaye wamem-tukana, nilikuwa mimi mbele ya Mjumbe wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.)pindi alipoingia Ali, Fatimah Hasan na Husein akawafunika kishamiyachake kisha akasema: ‘Ewe Mola Wangu hawa ni Ahali zangu, Ewe MolaWangu waondolee hawa uchafu na watoharishe tohara...”’

g) Imepokewa kutoka kwa Abu Said Al-Khudry kutoka kwa UmmuSalama amesema: “Pindi ilipoteremshwa Aya hii: “Hakika anatakaMwenyezi Mungu...” Mtume (s.a.w.w.) alimwita Ali, Fatimah, Hasan naHusein akawafunika kishamiya chake cha Khaybar, kisha akasema: “EweMola Wangu, hawa Ahli zangu “Ewe Mola Wangu waondolee uchafu nawatoharishe tohara ya kabisa kabisa.” Ummu Salama akasema: “Je! Mimisi katika wao?” Akasema: ‘Wewe upo katika kheri.”’

65

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:06 PM P

h) Imepokewa kutoka kwa Muhammad bin Siyriin kutoka kwa AbuHuraira kutoka kwa Ummu Salama amesema: “Fatimah akaja kwa Mtume(s.a.w.w.)….” Aliendelea hadi aliposema: “Alipowaona wakija alinyooshamkono wake katika Kishamiya akawafunika na akanyoosha mkono wakembinguni akasema: ‘Hawa ni ahali zangu watoharishe tohara ya kabisakabisa.”’

i) Na imepokewa kutoka wa Abu Said kutoka kwa Ummu Salama mke waMtume (s.a.w.w.): “Hakika Aya hii iliteremshwa katika nyumba yake:“Hakika Mwenyezi Mungu anataka kukuondoleeni uchafu...”Nikasema: Ewe Mjumbe wa Mwenyezi Mungu Je! Mimi si katika Ahlul-Bayt? Akasema: “Hakika wewe upo katika kheri, wewe ni miongoni mwawake wa Mtume (s.a.w.w.).” Akasema: ‘Hakika ndani ya nyumba yaMtume (s.a.w.w.) alikuwamo Ali, Fatimah, Hasan na Husein.”

j) Imepokewa kutoka kwa Hashim bin Hashimi bin Utbah bin Abi Waqaskutoka kwa Abdallah bin Wahab bin Zamuat amesema: “AmenisumuliaUmmu Salama...”.

k) Na kutoka kwa Umar bin Abi Salama amesema: “Aya hii imeteremsh-wa kwa Mtume (s.a.w.w.) naye akiwa katika nyumba ya Ummu Salama:“Hakika Mwenyezi Mungu anataka kukuondoleeni uchafu...”akamwita Ali, Hasan, Husein, Fatimah, kisha akasema: ‘Hawa ni ahalizangu basi waondolee uchafu...”’

l) Ali bin Husein alimwambia mtu mmoja katika watu wa Sham: “Je! huja-soma katika Qur’ani: “Hakika Mwenyezi Mungu anataka kukuon-doleeni...?” Akasema: “Ndiyo nyinyi?” Akasema: ‘Ndiyo.”’

m) Na kutoka kwa Bakiir bin Mismar amesema: “Nilimsikia Amr ibn Saadamesema: “Saad amesema: “Pindi Mtume (s.a.w.w.) ulipoteremshwawahyi kwake aliwakusanya Ali, watoto wake wawili na binti yake Fatimahakawafunika katika nguo yake kisha akasema: ‘Ewe Mola Wangu hawa

66

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:06 PM P

ndiyo ahali zangu.”’

n) Kutoka kwa Hakim bin Saad amesema: “Tulimkumbuka Ali bin AbiTwalib (r.a.) tukiwa kwa Ummu Salama, akasema: “Kuhusiana na yeyeimeteremshwa Aya: ‘Hakika Mwenyezi Mungu anataka kukuondoleeniuchafu Ahlul-Bayt ...’”84

8. TAFSIRUL-KABIIR YA IMAM FAKHRU DIIN AR-RAAZI:

Amesema Fakhru Raazi katika kitabu chake cha Tafsiri kuhusiana namaneno ya Mola Muweza: “Basi sema njooni tuwaite watoto wetu nawatoto wenu na wanawake wetu na wanawake wenu na nafsi zetu nanafsi zenu...” Haya hapa maneno yake: “... na Mtume (s.a.w.w.) akatokana nguo yake nyeusi na alikuwa amemweka begani Husein, akamshikamkono Hasan, Fatimah akitembea nyuma yake na Ali (r.a.) nyuma yaowawili huku akisema: “Nikiomba dua semeni Amiin,” hapo akasemaAskofu wa Najran: “Enyi wanaswara, mimi naona nyuso hizi lau wata-muomba Mwenyezi Mungu ahamishe jabali kutoka mahala pake basi atal-ihamisha, kwa hivyo msiapizane naye mtaangamia na hatobaki ardhinimkristo yeyote mpaka siku ya Kiyama, hadi aliposema - yaani Ibn Kathiir- na imepokewa kwamba Mtume (s.a.w.w.) pindi alipotoka na nguo yakenyeusi alijiwa na Hasan (r.a.) akamwingiza, akaja Husein (r.a.)akamwingiza, akaja Fatimah kisha Ali (r.a.), hapo akasema: ‘HakikaMwenyezi Mungu anataka kukuondoleeni uchafu ...”’

Jua kwamba hadithi hiyo imekubalika juu ya usahihi wake kwa wafasiriwakubwa na wanahadithi.85

Na anasema Fakhru Raazi katika tafsiri yake kutoka Suratu Twaha aya ya132: “Na waamrishe ahali zako swala...”: “Na alikuwa Mtume (s.a.w.w.)

67

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

84 Jamiul-Bayan fi Taawilil-Qur’ani cha At-Tabariy, Jalada la kumi, Juz. 22, uk296 na kuendelea. 85 At-Tafsirul-Kabir ya Fakhrur-Raziy, Jalada la nne Juz. 8 uk 71.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:06 PM P

baada ya kuteremshwa Aya hiyo akienda kwa Fatimah na Ali (a.s.) kilaasubuhi akisema: “Swala! Swala!” Alifanya hivyo mwezi mzima”.

9. TAFSIRUL-QUR’AN ADHIIM YA IBN KATHIIR:

a) Anasema Ibn Kathiir: “Ametuhadithia Imam Ahmad ametusimuliaHamad ametupa habari Ali bin Zayd kutoka kwa Anas bin Malik (r.a.) ame-sema: “Alikuwa Mjumbe wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) akipita mbele yamlango wa Fatimah (r.a.) kwa muda wa miezi sita pindi alipokuwaanakwenda kuswali Swala ya alfajiri akisema: “Swala! Swala! Enyi Ahlul-Bayt hakika Mwenyezi Mungu anataka kukuondoleeni uchafu Ahlul-Baytna kukutoharisheni tohara ya kabisa kabisa”. Na amepokea Tirmidhi kuto-ka kwa Abdu Ibn Hamiid bin Afaani hadithi hiyo akasema ni Hasan na yakushangaza.”86

b) Aidha akasema Imam Ahmad: “Ametuhadithia Muhammad bin Musabametuambia Al-Auzai ametusimulia Shidaad Ibn Ammar amesema:“Niliingia kwa Waathilat bin Askar (r.a.) akiwa na halaiki ya watu, basiwakamtaja Ali (r.a.) na wakamtukana, nami nikamtukana pamoja nao. Basiwalipoinuka akaniambia umemtukana mtu huyu? Nikasema, walimtukananami nilimtukana pamoja nao. Akasema: “Je! Nikupe habari ya yale niliy-oyaona kutoka kwa Mtume (s.a.w.w.)?” Nikasema: Ndio. Akasema:“Nilikwenda kwa Fatimah (r.a.) kumuuliza kuhusiana na Ali (r.a.) akase-ma: “Kaelekea kwa Mjumbe wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.),” basinikakaa ninamsubiri hadi alipokuja Mtume (s.a.w.w.) nikamuona pamojanaye Ali, Hasan na Husein (r.a.) akiwa amemkamata kila mmoja mkonowake mpaka alipoingia. Kisha akawasogeza Ali na Fatimah (r.a.)akawakalisha mbele yake, na akawakalisha Hasan na Husein (r.a.) kilammoja juu ya paja lake, hapo akawafunika kishamiya chake, kisha akaso-ma Aya hii: “Hakika Mwenyezi Mungu anataka kukuondoleeni ucha-fu.” Na akasema: ‘Ewe Mola Wangu hawa ndio hasa Ahlul-Bayt wangu.”’

68

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

86 Tafsirul-Qur’ani Adhiim ya Ibn Kathiir Juz. 3 Uk. 492.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:06 PM P

Na ameipokea hadithi hiyo Abu Jafaar bin Jariir kutoka kwa Abdul-Karimbin Abi Umair Al-Quzai kwa Sanadi hiyo hiyo.”

c) Na katika hadithi kutoka kwa Ummu Salama amesema: “Basi akaja Ali,Hasan na Husein... Mwenyezi Mungu akateremsha Aya hii: “HakikaMwenyezi Mungu anataka kuwaondoleeni uchafu...” Kisha akasema(s.a.w.w.): “Ewe Mola Wangu hawa ndio hasa Ahlul-Bayt wangu, waon-dolee uchafu na watoharishe kisawa sawa”. Akasema: “Nikaingiza kichwachangu ndani ya nyumba na kusema: “Na Mimi ni pamoja nanyi eweMjumbe wa Mwenyezi Mungu?” Akasema: ‘Hakika wewe upo katikakheri.”’

d) Na katika hadithi nyingine kutoka kwa Abu Huraira naye amepokeakutoka kwa Ummu Salama... hadithi hiyo na nyinginezo kutoka kwa Saidamesema: “Tulimtaja Ali bin Abi Twalib (r.a.) mbele ya Ummu Salama...”Aliendelea hadi aliposema: Nikasema: “Ewe Mjumbe wa MwenyeziMungu na mimi? Naapa kwa Mwenyezi Mungu neema ilioje” akasema:‘Hakika wewe uko katika kheri.”’

e) Imepokewa kutoka kwa Ummul Muuminiina Aisha alisema kumwambiamtoto wa ami yake pindi alipomuuliza kuhusiana na Ali (r.a.) akasema:“Unaniuliza juu ya mtu anayependwa mno na Mjumbe wa MwenyeziMungu, na binti yake aliye kipenzi kwake alikuwa chini yake (mkewe).Hakika nilimwona Mtume wa Mwenyezi Mungu akiwa amemwita Ali,Fatimah, Hasan na Husein (r.a.) akawafunika nguo yake na akasema: “EweMola Wangu, hawa ndio Ahlul-Bayt wangu waondolee uchafu na wato-harishe tohara ya kabisa kabisa.” Nilisogelea kwao nikasema: “EweMtume wa Mwenyezi Mungu Je! Mimi si katika ahali zako?” Akasema(s.a.w.w.): ‘Kaa kando hakika uko katika kheri.”’87

69

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

.87 Tafsirul-Qur’ani Al-Adhiim Juz. 3, uk 483 na kuendelea.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:06 PM P

Nasema: Ama maneno ya Ummul-Muuminina Aisha aliposema: “EweMjumbe wa Mwenyezi Mungu Je! Mimi sio katika Ahlul-Bayt wako?”Mtume (s.a.w.w.) akasema: “Kaa kando hakika uko katika kheri.” Hiyo nidalili ya dhahiri kwamba wakeze (s.a.w.w.) hawahusiani kabisa na Ayahiyo ambayo ni Aya ya Utakaso, na hilo amelikiri Ummul MuuminiinaAisha, kwa hivyo tuwaeleweje wale wasiofahamu hilo.

10. AD-DURRUL-MANTHUR CHA JALALU DIIN SUYUUTWI:

Na ama Suyuutwi ameieleza Aya ya Utakaso katika tafsiri yake ambayo nimuhimu sana kwa Ahlus-Sunna juu ya Imamu Ali, Fatimah, Hasan naHusein (a.s.), na hivyo inajulisha uzushi wa yule ambaye anadhani kuwaShi’a wao ndio ambao pekee wameihusisha Aya hiyo na hao watukufuwanne (a.s.), ili tu kufuata matamanio yao binafsi, japokuwa wotetuliowataja ni Wanachuoni wakubwa wa Ahli Sunna na wapokezi waowaaminifu ambao wanategemewa zaidi kwao. Amepokea na kuelezeaSuyuutwi katika Tafsiir yake ya maneno ya Mwenyezi Mungu: “HakikaMwenyezi Mungu anataka kukuondoleeni uchafu Ahlul-Bayt...” zipohadithi lukuki baadhi ya hizo ni:

a) Ameeleza Ibn Munzil Ibn Ali Haatawi, Twabaraan na Ibn Murdawayhkutoka kwa Ummu Salama (r.a.) mke wa Mtume (s.a.w.w.): “HakikaMtume (s.a.w.w.) alikuwa na zamu nyumbani kwake aliletewa kishamiyacha Khaibar na Fatimah (r.a.)....” Aliendelea hadi aliposema: “Kisha aka-toa mkono wake kutoka katika kishamiya na akauelekeza mbinguni hapoakasema: “Ewe Mola Wangu hawa ndiyo hasa Ahlulbayt wangu, waon-dolee uchafu na watoharishe tohara ya kabisa kabisa,” alisema hayo maratatu, Ummu Salama (r.a.) alisema: “Nikaingiza kichwa changu katika sitaranikasema: “Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu nami niko pamoja nanyi,akasema: ‘Hakika wewe uko katika kheri.”’

b) Amepokea Twabarani kutoka kwa Ummu Salama (r.a.) amesema:“Mtume (s.a.w.w.) alimwambia Fatimah (a.s.) niitie mumeo na watoto

70

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:06 PM P

wako, basi akaja nao, Mtume (s.a.w.w.) akawafunika kishamiya chake,kisha akaweka mkono wake juu yao akasema: “Ewe Mola Wangu hawandio Ahlul-Bayt wa Muhammad, na katika lafudhi nyingine “AaliMuhammad”, basi jaalia rehema zako na baraka zako juu ya AaliMuhammad kama ulivyojaalia juu ya Aali Ibrahim hakika wewe niMwenye kuhimidiwa na uliyetukuka.” Ummu Salama akasema: “Nikainuakishamiya ili niingie pamoja nao, basi akausogeza mkono wangu na akase-ma: ‘Hakika wewe upo katika kheri.”’

c) Na ameeleza Ibn Murdawayh kutoka kwa Ummu Salama akasema:“Hakika Aya hii imeteremshwa kwenye nyumba yangu: “MwenyeziMungu anataka kukuondoleeni uchafu...” nyumbani wakiwa Saba,Jibril, Mikail (a.s.) Ali, Fatimah Hasan na Husein na Mimi nikiwa mlan-goni, nikasema: “Ewe Mjumbe wa Mwenyezi Mungu Je! Mimi sio katikaAhali zako?” Akasema: “Hakika wewe uko katika kheri, na hakika weweni miongoni mwa wake wa Mtume (s.a.w.w.)”.

d) Na ameeleza Ibn Murdawayhi na Al-Khatiib kutoka kwa Abu Said Al-Khudri (r.a.) amesema: “Ilikuwa siku ya Ummul Muuminina UmmuSalama (r.a.) ndipo nyumbani kwake akateremka Jibril (a.s.) kwa Mtume(s.a.w.w.) akiwa na Aya hii: “Hakika Mwenyezi Mungu anatakakukuondoleeni uchafu Ahlul-Bayt...”. Akasema: Mtume (s.a.w.w.)alimwita Hasan, Husein, Ali, na Fatimah akawa nao pamoja akawafunikanguo yake huku Ummu Salama akiwekewa sitara, kisha akasema: “EweMola Wangu hawa ndiyo Ahlul-Bayt wangu, waondolee uchafu na wato-harishe tohara ya kabisa kabisa.” Ummu Salama akasema: “Nami ni pamo-ja nao, ewe Nabii wa Mwenyezi Mungu?” Akasema: ‘Wewe unasehemuyako, hakika uko kwenye kheri.”’

e) Ameeleza Tirmidhi na amesema ni sahih, Ibn Jariir, Ibn Munzil naHaakim huku naye akisema ni sahih, na Ibn Murdawayh na Bayhaqi kati-ka kitabu chake cha Sunna kupitia kwa wapokezi wengi kutoka kwaUmmu Salama (r.a.), amesema: “Nyumbani kwangu ilishushwa Aya hii:

71

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:06 PM P

“Hakika Mwenyezi Mungu anataka kukuondoleeni uchafu Ahlul-Bayt...” ndani wakiwemo Fatimah, Ali, Hasan, na Husein, basi Mtume(s.a.w.w.) akawafunika kwa kishamiya ambacho alikuwanacho kishaakasema: ‘Hawa ndiyo Ahlul-Bayt wangu waondolee uchafu na watohar-ishe kabisa kabisa.”’

f) Na ameeleza Ibn Jariir, Ibn Abu Haatam na Twabaraani kutoka kwa AbuSaid Al-Khudri (r.a.) amesema: “Mtume wa Mwenyezi Mungu alisema:‘Aya hii imeteremshwa juu ya watu watano, kwangu, kwa Ali, FatimahHasan na Husein: Hakika Mwenyezi Mungu anataka kukuondoleeniuchafu na kuwatoharisheni tohara ya kabisa kabisa.”’

g) Ameeleza Ibn Jariir, Hakiim na Ibn Murdawayh kutoka kwa Saad ame-sema: “Uliteremshwa wahyi kwa Mjumbe wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.)basi akamwingiza Ali, Fatimah na watoto wao wawili katika nguo yakekisha akasema: ‘Hawa ndiyo Ahlul-Bayt wangu.”’

h) Na ameeleza Ibn Abi Shaybah, Ahmad, Ibn Jariir, Ibn Munziil, IbnHaatam, Twabaraani na Hakim huku akisema kuwa ni sahih, na Bayhaqikatika kitabu chake Sunnan, kutoka kwa Waathilal Al-Aska’u (r.a.) amese-ma: “Alikuja Mtume (s.a.w.w.) kwa Fatimah akiwa pamoja na Hasan,Husein na Ali hadi walipoingia ndani akawajongeza Ali na Fatimahakawakalisha mbele yake na Hasan na Husein akawapakata kisha akawa-funika nguo yake... kisha akasoma Aya hii: ‘Hakika Mwenyezi Munguanataka kukuondoleeni uchafu Ahlul-Bayt....’”

i) Ameeleza Ibn Abi Shaybah, Ahmad Tirmidhi akaikubali kuwa ni hadithiHasan, Ibn Jariir, Ibn Munzil, Twabaraani, Hakim naye akaikubali kuwa niSahih, na Ibn Murdawayh kutoka kwa Anas (r.a.) amesema: “Mtume waMwanyezi Mungu (s.a.w.w.) alikuwa anapita mbele ya mlango wa Fatimah(r.a.) alipokuwa anakwenda katika Swala ya alfajiri akisema: ‘Swala!Swala! Enyi Ahlul-Bayt: Hakika Mwenyezi Mungu anataka kukuon-doleeni uchafu...”’

72

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:06 PM P

j) Ameeleza Ibn Murdawayhi kutoka kwa Anas (r.a.) amesema:“Tulimshuhudia Mtume (s.a.w.w.) kwa muda wa miezi tisa akiendakwenye mlango wa Ali bin Abi Twalib (r.a.) kila siku mara tano wakati wakila Swala akisema: ‘Assalaamu alaykum warahmatullahi wabarakatuhuAhlal-Bayt. Hakika mwenyezi Mungu anataka kukuondoleeni uchafuAhlul-Bayt Swala! Swala! Mwenyezi Mungu akurehemuni.”’

k) Ameeleza Twabaraani kutoka kwa Abu Hamran (r.a.) anasema:“Nilimuona Mtume wa Mwenyezi Mungu kwa muda wa miezi sita akijambele ya mlango wa Ali na Fatimah akisema: ‘Hakika Mwenyezi Munguanataka kukuondoleeni uchafu na kukutoharisheni tohara ya kabisakabisa.”’89

Nasema: Hayo ndiyo ambayo anayaeleza Allamah Suyuutwi katika Tafsiiryake, naye ni mmoja kati ya Wanachuoni wakubwa wa Ahlus-Sunna nawafasiri wao, kwamba Aya ya Utakaso imeteremshwa makhususi kwawatu hao wanne ambao ni Ali, Fatimah, Hasan na Husein (a.s.) wakiwapamoja na Mtume (s.a.w.w.), basi yaliyosemwa na yatakayosemwa kuwaShi’a ndio ambao wameihusisha Aya hiyo kwa watu hao wanne (a.s.) ilikufuata matamanio yao binafsi, sio kweli bali huo ni uzushi wa dhahiri, nikumwongopea Mwenyezi Mungu na Mtume wake (s.a.w.w.) na ni upoto-shaji wa maneno ya Mwenyezi Mungu, na huko ni kutafsiri Qur’ani kwarai na kufuata matamanio, ambako Bwana Mtume (s.a.w.w.) amekatazakatika kauli yake pale aliposema: “Yeyote atakayesema kuhusiana naQur’ani pasi na kuwa na elimu, basi ajichangulie makao yake motoni.”

11. AL-JAAMI’U L-AHKAMIL-QUR’ANI CHA QURTUBI:

Anasema Qurtubi katika Tafsiir yake kuhusiana na Aya ya Utakaso:“Hakika Mwenyezi Mungu anataka kukuondoleeni uchafu Ahlul-Bayt...”. Jambo hilo limeelezwa katika habari mbalimbali kwamba Mtume

73

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

88 Ad-Durul-Manthur Juz. 5, uk 376 – 377.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:06 PM P

(s.a.w.w.) pindi iliposhushwa kwake Aya hiyo, alimwita Ali, Fatimah,Hasan na Husein, akawafunika kishamiya chake, kisha akainua mkonowake na kuelekeza mbinguni akasema: ‘Ewe Mola Wangu hawa ndiyoAhlul-Bayt wangu waondolee uchafu na watoharishe tohara ya kabisakabisa.”’89

12. TAFSIRUL-KHAZIN:

Imekuja katika Tafsirul-Khazin katika kutafsiri Aya ya Utakaso, kutokakwa Aisha Ummul-Muuminina amesema: “Siku moja alitoka Mtume(s.a.w.w.) huku akiwa na nguo nyeusi….” Hadi mwisho wa hadithi.

Na imepokewa kutoka kwa Ummu Salama amesema: “Aya hii iliteremsh-wa katika nyumba yake: “Hakika Mwenyezi Mungu anataka kukuon-doleeni uchafu Ahlul-Bayt...”90

Na kutoka kwa Anas bin Malik amesema: “Mtume (s.a.w.w.) alikuwa kwamuda wa miezi sita akipita mbele ya mlango wa Fatimah alipokuwaanakwenda katika Swala ya alfajiri akisema: ‘Swala! Swala! Enyi Ahlul-Bayt...”’91

13. TAFSIRIUL-BAGHAWY:

Anasema Baghawy katika kutafsiri Aya ya Utakaso: “Na akaenda Abu SaidAl-Khudry na kikosi kikubwa cha taabiina miongoni mwao Mujahid,Qitaada na wasiokuwa hao kwamba, hao ni Ali, Fatimah, Hasan naHusein”. Imepokewa kutoka kwa Sofia binti Shaybah kutoka kwa AishaUmmul-Muuminiina amesema: “Mtume (s.a.w.w.) alitoka...” Hadi mwishowa hadithi.

74

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

89 Jami’ul-Ahkamil-Qur’ani Juz. 14, uk 184.90 Tafsirul-Khazin Juz. 3, uk 499.91 Tafsirul-Khazin Juz. 3, uk 499.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:06 PM P

Na kutoka kwa Ummu Salama amesema: “Nyumbani kwangu iliteremsh-wa Aya: “Hakika Mwenyezi Mungu anataka kukuondoleeni uchafu...”.

14. TAFSIRUT-THAALABY:

Amesema Ummu Salama: “Iliteremshwa Aya hii katika nyumba yangu,Mtume (s.a.w.w.) alimwita Ali, Fatimah, Hasan na Husein kisha Mtume(s.a.w.w.) akaingia pamoja nao ndani ya Kishamiya cha Khaybary, akase-ma: ‘Hawa ndiyo Ahlul-Bayt wangu.....”’

15. AHKAAMUL-QUR’ANI CHA IBNUL ARABI:

Imepokewa kutoka kwa Umar bin Abi Salama amesema: “IlipoteremkaAya hii kwa Mtume (s.a.w.w.): “Hakika Mwenyezi Mungu anatakakukuondoleeni uchafu...” katika nyumba ya Ummu Salama, Mtume(s.a.w.w.) alimwita Fatimah, Hasan na Husein na Ali alimweka nyuma yamgongo... kisha akasema: ‘Ewe Mola Wangu, hawa ndiyo Ahlul-Baytwangu...”’.

16. AL-ITIQAAN FI ULUUMUL-QUR’ANI CHA SUYUUTWI:

Mtume (s.a.w.w.) amesema Ahlul-Bayt ni Ali, Fatimah, Hasan na Husein.Ameeleza Tirmidhi na wengineo kutoka kwa Amru bin Abi Salama, IbnJariir na wasiyekuwa hao kutoka kwa Ummu Salama, amesema: “Mtume(s.a.w.w.) alimuita Fatimah, Ali, Hasan na Husein pindi iliposhushwa Ayahii: ‘Hakika Mwenyezi Mungu anataka kukuondoleeni uchafu...”’92

17. TAFRIRUL-MARAAGHI:

Imekuja kutoka kwa Maraaghi katika tafsiri ya Aya ya Utakaso, kutokakwa Ibn Abbas amesema: “Nilimshuhudia Mtume (s.a.w.w.) kwa muda wa

75

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

92 Al-Itiqaani Fi Uluumil-Quran Juz. 2, uk. 148-149.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:06 PM P

miezi tisa kila siku akienda mbele ya mlango wa Ali bin Abi Twalib kilawakati wa Swala akisema: “Assalaamu Alaykum Warahmatullah, hakikaMwenyezi Mungu anataka kukuondoleeni uchafu... Swala! Swala!Akarehemuni Mwenyezi Mungu” kila siku mara tano”.

18. ANWAARUT-TANZIIL CHA BAYDHAAWY:

Anasema Baydhaawy katika Tafsiir yake: “Shi’a kuwahusisha Ahlul-Baytpekee kuwa ni Fatimah, Ali na watoto wao (r.a.) ni kutokana na yale yaliy-opokewa kutoka kwa Bwana Mtume (s.a.w.w.) pale alipotoka na nguo yakenyeusi...”93

19. AL-KASHAAF CHA ZAMAKHSHARY:

Amepokea Zamakhshary katika kitabu chake Al-Kashaafu kutoka kwaAisha (r.a.): “Siku moja alitoka Mtume (s.a.w.w.) akiwa na nguo nyeusi,akaja Hasan akamuingiza akaja Husein akamwingiza, akaja Fatimah na Aliakawaingiza, kisha akasema: ‘Hakika Mwenyezi Mungu anataka kukuen-doleeni uchafu Ahlul-Bayt...”’94

20. AL-MUSTADRAK ALAS-SAHIHAIN CHA HAAKIM:

a) Katika kitabu Mustadrak ipo hadithi sahihi kutoka kwa Ibn Abbas, ame-sema: “Mtume (s.a.w.w.) akachukua nguo yake akawafunika Ali, Fatimah,Hasan na Husein akasema: “Mwenyezi Mungu anataka kukuondoleeniuchafu Ahlulbayt...” hadithi hii ni Sahih Sanad na wala mashekhe wawili(Bukhary na Muslim) hawakuileza

Dhahabiy anasema katika kitabu chake Talkhiiswu ala Mustadrak: “... naMtume (s.a.w.w.) akachukua nguo yake akawafunika Ali, Fatimah, Hasanna Husein... ni hadithi sahih.” 95

76

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

93 Anwaarut-Tanzill Juz. 22, uk 577.94 Al-Kashaf Juz. 1, uk 193, tafsiri ya Aya ya Sura Aali Imran: 61.95 Al-Mustadrak Alas-Sahihayn Juz. 3, uk. 132-133.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:06 PM P

b) Na kutoka kwa Atwai bin Yassar kutoka kwa Ummu Salama amesema:“Nyumbani kwangu iliteremshwa Aya: “Hakika Mwenyezi Munguanataka kukuondoleeni....” Akasema: Mtume (s.a.w.w.) akaagiza wajeAli, Fatimah, Hasan na Husein, walipokuja akasema: “Hawa ndiyo Ahlul-Bayt wangu” hadithi hii ni Sahih kwa sharti LA Masheikh wawili japohawajaiandika, na Dhahabi alikiri usahihi wake katika kitabu chakeTalkhiiswu.”96

c) Na kutoka kwa Waathilah bin Askaan amesema: “Nilikwenda kwa Alisikumkuta, Fatimah akaniambia amekwenda kwa Mtume (s.a.w.w.)... kishaakasema (s.a.w.w.): “Hawa ni Ahlul-Bayt wangu, ewe Mwenyezi MunguAhlul-Bayt wangu ndio wenye haki zaidi.” hadithi hii ni sahih kwa shartila masheikh wawili Bukhari na Muslim japo hawajaiandika, na Dhahabiameikubali katika kitabu chake Talkhiiswu.”97

d) Na kutoka kwa Sophia bint Shaybah amesema: “Amenihadithia UmmulMuuminiina Aisha (r.a.) amesema: “Siku moja Mtume (s.a.w.w.) alitokaakiwa na nguo nyeusi akaja Hasan na Husein akawaingiza pamoja naye,punde akaja Fatimah akamuingiza, mara akaja Ali akaingia pamoja nao,kisha akasema: “Hakika Mwenyezi Mungu anataka kukuondoleeni ucha-fu...” Hadithi hii ni Sahih kwa sharti la masheikh wawili japo hawaja-iandika, na Dhahabi ameikubali katika kitabu chake Talkhiiswu”.98

e) Kutoka kwa Amr ibn Saad amesema: “Uliteremka wahyi kwa Mtume(s.a.w.w.) basi akamuingiza Ali, Fatimah na watoto wao ndani ya nguoyake kisha akasema: ‘Ewe Mola Wangu hawa ni Ahli wangu, na ndiyoAhlul-Bayt wangu.”’99

77

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

96 Al-Mustadrak Alas-Sahihayn Juz. 3, uk 146.97 Al-Mustadrak Alas-Sahihayn Juz. 3, uk 147.98 Al-Mustadrak Alas-Sahihayn Juz. 3, uk 147.99 Al-Mustadrak Alas-Sahihayn Juz. 3, uk 147.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:06 PM P

f) Kutoka kwa Isma’il bin Abdillah bin Jaafar bin Abi Twalib kutoka kwababa yake amesema: “Pindi Mtume (s.a.w.w.) alipokuwa anaangalia rehe-ma ikishuka akasema: “Niitieni” Sofia akasema: “Nani ewe Mjumbe waMwenyezi Mungu?” Akasema: “Ahlul-Bayt wangu Ali, Fatimah, Hasan naHusein”, wakaitwa na walipokuja akawafunika nguo kishamiya chakekisha akainua mkono wake na kuelekeza juu hapo akasema: “Ewe MolaWangu hawa ni Ahali wangu basi mpe amani Muhammad na AaliMuhammad”, na Mwenyezi Mungu akateremsha Aya hii: “HakikaMwenyezi Mungu anataka kukuondoleeni...” Hadithi hii ina sanadsahih japo Bukhari na Muslim hawakuiandika.” 100

g) Kutoka kwa Bakiir bin Mismaar kutoka kwa Amr ibn Saad kutoka kwababa yake amesema: “Pindi ilipoteremshwa Aya hii “Basi tuwaite watotowetu na watoto wenu, wanawake wetu na wanawake wenu, nafsi zetuna nafsi zenu,” Mtume (s.a.w.w.) alimwita Ali, Fatimah, Hasan na Husein(r.a.) akasema: “Ewe Mola Wangu hawa ni Ahli wangu”, hadithi hii niSahih kwa sharti la masheikh wawili japo hawajaiandika.” 101

h) Kutoka kwa Anas bin Malik (r.a.) amesema: “Hakika Mtume (s.a.w.w.)alikuwa akipita mbele ya mlango wa Fatimah (r.a.) kwa muda wa miezi sitapindi alipokuwa anakwenda kuswali swala ya Alfajiri akisema: “Swala!Swala! Enyi Ahlul-Bayt: Hakika Mwenyezi Mungu anataka kukuon-doleeni uchafu.....”, hadithi hii ni Sahii kwa sharti la Muslim.” 102

i) Kutoka kwa Atwai bin Yassar kutoka kwa Ummu Salama (r.a.) amese-ma: “Nyumbani kwangu iliteremshwa Aya hii “Hakika MwenyeziMungu anataka kukuondoleeni uchafu Ahlul-Bayt ...” akasema:Mtume (s.a.w.w.) akawaita na kuwakusanya pamoja Ali, Fatimah, Hasanna Husein (ridhaa ya Allah iwe juu yao) basi akasema: “Hawa ndiyo Ahlul-

78

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

100 Al-Mustadrak Alas-Sahihayn Juz. 3, uk 148.101 Al-Mustadrak Alas-Sahihayn Juz. 3, uk 150.102 Al-Mustadrak Alas-Sahihayn Juz. 3, uk 158

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:06 PM P

Bayt wangu,” Ummu Salama akasema: “Ewe Mjumbe wa MwenyeziMungu nami ni katika Ahlul-Bayt?” Akasema: “Hakika wewe uko katikakheri, na hawa ndio hasa Ahlul-Bayt wangu, ewe Mwenyezi Mungu Ahlul-Bayt wangu ndio wenye haki zaidi.” Hadithi hiyo ni Sahih kwa sharti lamasheikh wawili, na ameikubali Al-Haafidh katika kitabu chakeTalkhiiswu.” 103

Nasema: Mazingatio yanayopatikana katika hadithi hizo ni:Mosi: Ahlul-Bayt katika Aya ya Utakaso ni watu maalum nao ni Ali,Fatimah, Hasan na Husein (a.s.).

Pili: Hadithi hizo zote ni sahihi, aidha Dhahabi amekiri katika kitabu chakeTalkhiiswu kuwa hizo ni sahihi.

Tatu: Na jambo ambalo linajulisha usahihi wa hadithi hizo, ni kuwapoushuhuda sahihi lukuki ambao umepokewa na Sahih Muslim, SunanTirmidhi, Musnad Imam Ahmad na nyinginezo miongoni mwa hadithiSahih. Na yote hayo yanathibitisha usahihi na ukweli wa hadithi hizoambazo Haakim amezieleza katika kitabu chake Mustadrak Alas-Sahihainina Al-Haafidhi Ad-Dhahabiy amezikubali. Zaidi ya hapo ni kuwa, iwapohadithi yenyewe binafsi haitakuwa sahihi, kisha zikapatikana hadithi sahi-hi zinazoshuhudia usahihi wa maana yake, basi hadithi hiyo itakuwa hojana dalili ya kufuatwa. Na tayari zimeshashuhudia hadithi za Muslim, ImamAhmad na Tirmidhi kuwa yaliyoelezwa katika kitabu Mustadrak miongo-ni mwa hadithi zinazohusu Aya ya Utakaso ni sahihi.

Nne: Ikhitilafu ya baadhi ya hadithi ambazo zimepokewa kuhusiana nampito wa Mtume (s.a.w.w.) mbele ya mlango wa Ali na Fatimah (a.s.) nikulingana na mazingatio ya mpokezi, baadhi yao wameishi na Mtume(s.a.w.w.) kwa muda wa miezi sita, nacho ni kipindi ambacho alichomuonaakipita mbele ya mlango wa Ali na Fatimah, na baadhi yao walikuwaMadina mathalan kwa muda wa miezi tisa na wakamwona Mtume

79

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

103 Al-Mustadrak Alas-Sahihayn Juz. 2, uk 416.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:06 PM P

(s.a.w.w.) akipita mbele ya mlango wa Fatimah (a.s.) akisema: “Swala!Swala!”. Hivyo ndivyo hadithi hutofautitiana kulingana na hali ya mpokeziwa hadithi ambayo ameishi na tukio husika, na hiyo ni dalili ya kuweponjia nyingi za hadithi na usahihi wake.

21. DHAKHAIRUL-UQBA CHA MUHIBBU DIIN TWABARI:

Muhibbu Diin Twabari ambaye ni mmoja wa wanachuoni wakubwa waAhlus-Sunna anasema: “Mlango wa kubainisha kuwa Fatimah, Ali, Hasan,na Husein hao ni Ahlul-Bayt ambao wameashiriwa na maneno yaMwenyezi Mungu “Hakika Mwenyezi Mungu anataka kukuondoleeniuchafu Ahlulbayt na kukutoharisheni tohara ya kabisa kabisa.”

a) Kutoka kwa Umar bin Abi Salama mtoto wa kufikia wa Mtume(s.a.w.w.): “Aya hii ‘Hakika Mwenyezi Mungu anataka kukuondoleeniuchafu...’” ilimteremkia Mtume (s.a.w.w.) katika nyumba ya UmmuSalama (r.a.), hapo Mtume (s.a.w.w.) alimuita......, na Ummu Salamaakasema: “Na mimi niko pamoja nao ewe Mjumbe wa MwenyeziMungu?” Akasema: “Wewe una sehemu yako na wewe uko katika kheri.”Na katika hadithi nyingine: ‘Hakika wewe uko katika kheri, wewe ni kati-ka wake wa Mtume (s.a.w.w.)”’104

b) Kutoka kwa Ummu Salama amesema: “Hakika Mtume (s.a.w.w.) ali-wafunika kishamiya chake Hasan, Husein, Fatimah na Ali, hapo akasema:“Ewe Mola Wangu hawa ndio hasa Ahlul-Bayt wangu waondolee uchafuna watakase utakaso wa sawa sawa.” Ummu Salama akasema: “Nami nipamoja nao, ewe Mjumbe wa Mwenyezi Mungu?” Akasema: ‘Hakikawewe uko katika kheri.”’105

c) Kutoka kwa Aisha amesema: “Siku moja Mtume (s.a.w.w.) alitoka nanguo yake nyeusi...” Aliendelea hadi aliposema: “Kisha akasema

80

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

104 Dhakhairul-Uqba uk. 21.105 Dhakhairul-Uqba uk. 21-22.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:06 PM P

(s.a.w.w.): “Hakika Mwenyezi Mungu anataka kukuondoleeni uchafu...”Ameieleza hiyo Muslim, naye Ahmad ametaja maana yake kutoka kwaWaathilah, na mwishowe akaongeza: “Ewe Mola Wangu hawa ndio hasahasa Ahlul-Bayt wangu na Ahlul-Bayt wangu ndio wenye haki zaidi.”106

d) “Kutoka kwa Abu Said Al-Khudri katika maneno ya Subhaanahu waTa’ala: “Hakika Mwenyezi Mungu anataka kukuondoleeni uchafu...”Akasema: “Iliteremshwa kwa watu watano, kwangu mimi Mtume(s.a.w.w.) kwa Ali, Fatimah, Hasan na Husein.” Ameieleza Ahmad katikakitabu Manaaqibu na ameieleza hiyo Twabarani.” 107

e) Kutoka kwa Anas bin Malik amesema: “Hakika Mjumbe wa MwenyeziMungu alikuwa anapita mbele ya mlango wa Fatimah kwa muda wa miezisita pindi alipokuwa anakwenda kuswali swala ya alfajiri akisema: “Swala!Swala! enyi Ahlul-Bayt...” Ameieleza hiyo Ahmad, na kutoka kwaAbuhamrau amesema: “Nilisuhubiana na Mtume (s.a.w.w.) kwa miezi tisa,alikuwa akiamka anakwenda mbele ya mlango wa Ali na Fatimah akisema:‘Mwenyezi Mungu akurehemuni: Hakika Mwenyezi Mungu anatakakukuondoleeni uchafu...”’108

Anasema Muhibbu Twabary: “Pindi iliposhuka kauli ya Mwenyezi Munguswt.: “Basi sema tuwaite watoto wetu na watoto wenu, wanaweke wetuna....,” Mtume (s.a.w.w.) aliwaita watu hawa wanne, imepokewa kutokakwa Abu Said (r.a) kuwa pindi ilipoteremshwa Aya hii kwa Mtume(s.a.w.w.): “Basi sema tuwaite watoto wetu na watoto wenu...” Mtume(s.a.w.w.) alimwita Ali, Fatimah, Hasan na Husein na akasema: “Hawandiyo Ahlul-Bayt wangu.” Ameieleza Muslim na Tirmidhi.” 109

81

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

106 Dhakhairul-Uqba uk. 24.107 Dhakhairul-Uqba uk. 24.108 Dhakhairul-Uqba uk. 24-25.109 Dhakhairul-Uqba uk. 24-25.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:06 PM P

22. AR-RIYAADHU AN-NADHRAT FI MANAAQIBIL-ASHRA CHAMUHIBBU TWABARY.

Amepokea Muhibbu Din Twabary kutoka kwa Saidi amesema: “Muawiyaalimwamrisha Saad amtukane Abu Turaab (Imam Ali), akasema: “Amanikikumbuka mambo matatu aliyoyasema Mtume (s.a.w.w.) kuhusiananaye kamwe siwezi kumtukana... na pindi ilipoteremshwa: “Basi sematuwaite watoto wetu na watoto wenu...” Mtume (s.a.w.w.) alimwita, Ali,Fatimah, Hasan na Husein akasema: “Ewe Mola Wangu, hawa ndio Ahliwangu.” Amepokea Muslim na Tirmidhi”.110

Na kutoka kwa Ummu Salama amesema: “Hakika Mtume (s.a.w.w.) ali-wafunika Hasan, Husein, Ali na Fatimah kishamiya, akasema: ‘Ewe MolaWangu hawa hasa hasa Ahlul-Bayt wangu, waondolee uchafu na watohar-ishe tohara ya kabisa kabisa.” Ameipokea Tirmidhi na akasema ni hadithihasana na Sahih”.

Na kutoka kwa Said bin Amru kutoka kwa Saidi bin Aswi amesema:“.......Na yalipoteremshwa maneno ya Mwenyezi Mungu Mtukufu:“Hakika Mwenyezi Mungu anatoka kukuondoleeni uchafu...” Mtume(s.a.w.w.) alimwita Fatimah, Ali, Hasan na Husein katika nyumba yaUmmu Salama akasema: ‘Ewe Mola Wangu, hawa ndiyo Ahlul-Baytwangu hasa, basi waondolee uchafu na watoharishe tohara ya kabisakabisa.”’111

Na kutoka kwa Ibn Abbas amesema: “.....Mtume (s.a.w.w.) akachukuanguo yake akawafunika Ali, Fatimah, Hasan na Husein kisha akasema:‘Hakika Mwenyezi Mungu anataka kukuondoleeni uchafu Ahlul-Bayt naawatoharishe tohara ya kabisa kabisa.”’112

82

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

110 Riyadhun- Nadhra fi Manaqibil- Ashra Juz. 3, uk 134-135.111 Riyadhun- Nadhra fi Manaqibil- Ashra Juz. 3, uk 134-135.112 - Riyadhun- Nadhra fi Manaqibil- Ashra Juz. 3, uk 154.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

23. AL-MANAAQIB CHA IBN MAGHAZILY SHAAFII:

Ameeleza Ibn Maghazily Shaafii katika kitabu chake Al-Manaqib hadithilukuki zinazojulisha juu ya Aya ya Utakaso kwamba iliteremshwa maalumkwa ajili ya Ali, Fatimah, Hasan na Husein (a.s.) na baadhi ya hizo ni:-

Imepokewa kutoka kwa Ali bin Abi Twalib (a.s.) siku ya kongamano lakutoa na kusoma tenzi akasema: “Mwenyezi Mungu akupeni jazaa njemaJe! Yupo kati yenu ambaye imeteremshwa juu yake Aya ya Utakaso kamainavyosema: “Hakika Mwenyezi Mungu anataka kukuondoleeni ucha-fu Ahlul-Bayt...” asiyekuwa mimi? Wakasema: “Kwa kweli hapana”.113

Imepokewa kutoka kwa Ummu Salama amesema Aya hii: “‘HakikaMwenyezi Mungu anataka kukuondoleeni uchafu Ahlul-Bayt....’iliteremshwa kwa Mtume (s.a.w.w.), Ali, Fatimah, Hasan na Husein”.114

Imepokewa kutoka kwa Abu Yakdhaan kutoka kwa Zadaayn kutoka kwaHasan Bin Ali amesema: “Pindi ilipoteremshwa Aya ya Utakaso Mtume(s.a.w.w.) alitukusanya katika kishamiya cha Ummu Salama cha Khaybarkisha akasema: ‘Ewe Mola Wangu, hawa ndio Ahlul-Bayt wangu na kizazichangu basi waondolee uchafu na watakase kabisa kabisa.”115

Kutoka kwa Shaharu bin Hawshab amesema: “Nilimsikia Ummu Salamaanasema: ‘Wakati Mtume (s.a.w.w.) amekaa na mimi akaagiza waitweHasan, Husein, Fatimah na Ali, rehema za Mwenyezi Mungu ziwe juu yao,akachukuwa kishamiya chini yangu akawafunika akasema: “Ewe MolaWangu hawa ndio Ahlul-Bayt wangu waondolee uchafu na watoharishetohara ya kabisa kabisa”, mara kadhaa. Akasema: “Na mimi ni pamojanao?” Akasema: ‘Hakika wewe uko katika kheri.’”116

83

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

113 Manaqib Ibn Maghazil Shafii uk. 91.114 Manaqib Ibn Maghazil Shafii uk. 188.115 Manaqib Ibn Maghazil Shafii uk. 188-189.116 Manaqib Ibn Maghazil Shafii uk. 189.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

Na katika hadithi nyingine imepokewa kutoka kwa Fatimah (Rehema zaMwenyezi Mungu ziwe juu yake) Amesema: “Basi Mjumbe wa MwenyeziMungu akasema: Mwite mumeo na wanao Hasan na Husein, nikawaita nawakati wao wakila ikateremshwa kwa Mtume (s.a.w.w.) Aya: “HakikaMwenyezi Mungu anataka kukuondoleeni uchafu...” hapo Mtume(s.a.w.w.) akachukua kishamiya chake na akawafunika kisha akasema:‘Ewe Mola Wangu hawa ndio Ahlul-Bayt wangu, basi waondolee uchafuna watakase kabisa kabisa.”’117

Na kutoka kwa Abu Said Al-Khudri amesema: “Aya hii “HakikaMwenyezi Mungu anataka.....” iliteremshwa kuhusiana na Mtume(s.a.w.w.), Ali, Fatimah, Hasan na Husein.” Akasema: “Ummu Salamaakiwa mlangoni alisema: “Ewe Mtume na mimi?” Akasema: ‘Hakikawewe uko katika kheri”’118

24. IS’AAFUR-RAGHIBIINA CHA IBN SWABAAN:

Anasema Ibn Swabaan katika kitabu chake Is’aafur-Raghiibina, naye nimiongoni mwa wanachuoni wakubwa wa Ahlus-Sunna: “Imepokea kwawapokezi mbalimbali kuwa, Mtume (s.a.w.w.) alikuja na Ali, Fatimah,Hasan na Husein huku akiwa kamshika kila mmoja mkono mpakaalipoingia, kisha akamsogeza Ali na Fatimah na kuwakalisha mbele yakena akawakalisha Hasan na Husein kila mmoja kwenye paja lake, kishaakawafunika kishamia na kusoma Aya hii: “Hakika Mwenyezi Munguanataka kukuondoleeni uchafu Ahlul-Bayt na kukutakaseni kabisa.”Kisha akasema: ‘Ewe Mola Wangu hawa, ndio Ahlul-Bayt wangu, waon-dolee uchafu na uwatakase kabisa.”’ 119

84

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

117 Manaqib Ibn Maghazil Shafii uk. 189-190.118 - Manaqib Ibn Maghazil Shafii uk. 190.119 Is’aafur-Raghiibina uk. 115.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

Na katika hadithi iliyopokewa na Ummu Salama amesema: “Nikainuakishamiya ili niingie pamoja nao akausogeza mkono wangu, nikasemamimi ni pamoja na nyinyi ewe Mjumbe wa Mungu? Akasema: ‘Hakikawewe ni miongoni mwa wake wa Mtume (s.a.w.w.) uko katika kheri.”’

Na katika hadithi nyingine aliyoipokea Ummu Salamah amesema kuwaMtume (s.a.w.w.) alikuwa katika nyumba yake punde akaja Fatimah...Hadi mwisho wa hadithi.120

Na amepokea Ahmad na Twabaraani kutoka kwa Abu Said Al-Khudri ame-sema: “Mtume (s.a.w.w.) amesema: “Aya hiyo ilitereremshwa juu ya watuwatano, kwangu mimi, kwa Ali, Hasan, Husein na kwa Fatimah.” Na ame-pokea hadithi hiyo Ibn Abu Sheyban, Ahmad, Tirmidhi na kuikubali kuwani sahihi, aidha Ibn Jariiri, Ibn Mundhir, Twabarani na Hakim naowameikubali”.

Na kutoka kwa Anas amesema: “Mtume (s.a.w.w.) alikuwa akipita mbeleya nyumba ya Fatimah pindi alipokuwa anakwenda kuswali swala ya alfa-jiri anasema: ‘Swala! Enyi Ahlul-Bayt. Hakika Mwenyezi Mungu anatakakukuondoleeni uchafu...”’

Na katika hadithi iliyopokewa na Ibn Murdawayhi kutoka kwa Abu SaidAl-Khudri amesema kwamba Mtume (s.a.w.w.) alipita siku arobaini mbeleya mlango wa Fatimah akisema: “Assalaam Alaykum Ahlul-BaytWarahmatullahi Wabarakatuhu, Swala Mwenyezi Mungu akurehemuni.Hakika Mwenyezi Mungu anataka kukuondoleeni uchafu...”.

Na katika hadithi iliyopokewa na Ibn Abbas alifanya hivyo kwa muda wamiezi saba na amepokea Muslim na Nasaai kutoka kwa Zayd bin Arqamamesema: “Mtume (s.a.w.w.) alisimama na akahutubia akasema:‘Ninawakumbusha kuhusiana na Ahlul-bat wangu.”’121

85

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

120 Is’aafur-Raghiibina uk. 115.121 Is’aafur-Raghiibina uk. 116-117.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

25. JAAMIUL-USUUL MIN AHADITHIR-RASUUL CHA IBNATHIIR:

Hadithi nambari 6689, kutoka kwa Ummu Salama (r.a.) amesema: “Ayaifuatayo iliteremshwa nyumbani kwangu nayo ni: “Hakika MwenyeziMungu anataka kukuondoleeni uchafu Ahlul-Bayt na kukutakaseniutakaso wa kabisa kabisa.” Akasema: Na mimi nimekaa mlangoninikasema: “Ewe Mjumbe wa Mwenyezi Mungu Je! Mimi sio katika Ahliwako?” Akasema: “Hakika wewe uko katika kheri na wewe ni miongonimwa wake wa Mtume (s.a.w.w.)”. Wakati huo ndani alikuwemo Mtume waMwenyezi Mungu, Ali, Fatimah, Hasan na Husein basi akawafunika kwakishamiya chake, hapo akasema: ‘Ewe Mola Wangu hawa ndio Ahlul-Baytwangu...”

Na katika hadithi nyingine: “Hakika Mtume (s.a.w.w.) aliwafunika Hasan,Husein Ali na Fatimah, kisha akasema: “Ewe Mola Wangu hawa hasa ndioAhlul-Bayt wangu...” Ummu Salama akasema: “Na mimi ni pamoja naoewe Mjumbe wa Mwenyezi Mungu?” Akasema: ‘Hakika wewe uko katikakheri.”’

Na kutoka kwa Umar bin Abu Salama (r.a.) amesema: “Aya hii iliteremsh-wa kwa Mtume (s.a.w.w.) “Hakika Mwenyezi Mungu anataka kukuon-doleeni...” katika nyumba ya Ummu Salama, akasema Ummu Salama:“Mimi ni pamoja nao ewe Nabii wa Mwenyezi Mungu?” Akasema: ‘Weweuna mahala pako, na wewe uko katika kheri.”’122

Na kutoka kwa Anas bin Malik (r.a.) amesema: “Pindi ilipoteremshwa Ayahiyo hakika Mtume (s.a.w.w.) alikuwa akipita mbele ya mlango waFatimah pindi alipokuwa anakwenda kuswali.”123

86

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

122 Jamiul-Usuul, hadithi namba 6690.123 Jamiul-Usuul, hadithi namba 6691.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

Na kutoka kwa Aisha (r.a.) amesema: “Mtume (s.a.w.w.) alitoka akiwa nanguo yake nyeusi, punde akamjia Hasan akamwingiza akamjia Huseinakamwingiza, kisha akamjia Fatimah akamwingiza, hatimaye akaja Aliakamwingiza hapo akasema: “Hakika Mwenyezi Mungu anataka...”hadithi hiyo imeelezwa na Muslim.”124

26. AL-ISTIAAB FIMAARIFATIL-AS’HAAB CHA IBN ABDUL-BARR:

Katika kitabu Istiaab cha Ibn Abdul-Barr amesema: “Pindi ilipoteremshwaAya hii: “Hakika Mwenyezi Mungu anataka kukuondoleeni uchafuAhlulbayt na kukutoharisheni tohara ya kabisa kabisa” Mtume(s.a.w.w.) alimwita Fatimah, Ali, Hasan na Husein (r.a.) katika nyumba yaUmmu Salama na akasema: ‘Ewe Mola Wangu hakika hawa ndio Ahlul-Bayt wangu waondolee uchafu na watoharishe tohara ya kabisa kabisa.”’

27. USUDUL-GHAABA FIMAARIFATIS-SWAHABAH CHA IBNATHIIR:

a) Kutoka kwa Umar bin Abi Salama rabibu wa Mtume (s.a.w.w.) amese-ma: “Aya hii imeteremshwa kwa Mtume (s.a.w.w.): “Hakika MwenyeziMungu anataka kukuondoleeni uchafu...”, katika nyumba ya UmmuSalama, basi Mtume (s.a.w.w.) akamwita Ali, Fatimah, Hasan na Huseinakawafunika kishamiya chake kisha akasema: “Ewe Mola Wangu, hawandio Ahlul-Bayt wangu basi waondolee uchafu...”, Ummu Salama akase-ma: “Nami ni pamoja nao ewe Mjumbe wa Mwenyezi Mungu?” Akasema:‘Wewe una mahala pako na wewe upo katika kheri.”’125

b) Amepokea Al-Auza’i kutoka kwa Shidadi bin Abdullah amesema:“Nimemsikia Waathilat bin Asqaa, wakati kilipoletwa kichwa cha Husein,

87

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

124 Jamiul-Usuul, hadithi namba 6692.125 Usudul-Ghabah Juz. 2, uk. 12.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

mtu wa Sham akamlaani (Husein) na akamlaani baba yake (Ali), Wathilatakasema: “Naapa kwa Mwenyezi Mungu nitaendelea kumpenda Ali,Hasan, Husein na Fatimah kwa hakika nilimsikia mjumbe wa MwenyeziMungu akiwaambiwa aliyowaambia, kwani hakika nilimuona siku mojanilipokwenda kwake akiwa katika nyumba ya Ummu Salama, pundesipunde akaja Hasan akamkalisha katika paja lake la kulia kisha akambusukisha akaja Husein akamkalisha katika paja lake la kushoto na akambusukisha akaja Fatimah akamkalisha mbele yake hatimaye akamwita Ali hapoakasema: “Hakika Mwenyezi Mungu anataka kukuondoleeni uchafu...”Nikamuuliza Wathilat: “Nini uchafu?” Akasema: ‘Shaka kwa MwenyeziMungu Azza Wajalla.”’126

c) Na kutoka kwa Amari bin Saad bi Abu Waqaas kutoka kwa baba yakeamesema: “Muawiya alimwamrisha Saad akamwambia: “Kipi kina-chokuzuia kumtukana baba wa mchanga-yaani Ali –?” Akasema: “Amanikikumbuka mambo matatu ambayo Mtume (s.a.w.w.) alimwambia yeyesiwezi kumtukana..... na iliteremshwa Aya hii “Basi sema njooni tuwaitewatoto wetu na watoto wenu wanawake wetu na wanawake wenu nanafsi zetu na nafsi zenu”. Mtume (s.a.w.w.) alimwita Ali, Fatimah, Hasanna Husein na akasema: ‘Hawa ndio Ahlul-Bayt wangu.”’127

d) Na kutoka kwa Shahar bin Hawshab kutoka kwa Ummu Salama ame-sema: “Mtume (s.a.w.w.) aliwafunika kishamiya chake Ali, Fatimah, Hasanna Husein kisha akasema: “Ewe Mola Wangu hawa hasa hasa ndio Ahlul-Bayt wangu basi waondolee uchafu na watoharishe tohara ya kabisakabisa.” Ummu Salama akasema. “Ewe Mjumbe wa Mwenyezi Mungunami ni pamoja nao?” Akasema: ‘Hakika wewe upo katika kheri”’128

88

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

126 Usudul-Ghabah Juz. 2, uk. 21.127 Usudul-Ghabah Juz. 4, uk. 25-26.128 Usudul-Ghabah Juz. 4, uk 29.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

28. MUSHKILUL-ATHAAR CHA ABU JAFAR AL-TWAHAAWY:

Amepokea Twahawy kwa Sanadi yake kutoka kwa Ummu Salama amese-ma: “Aya hii iliteremshwa kwa ajili ya Mtume (s.a.w.w.), Ali, Fatimah,Hasan na Husein ‘Hakika Mwenyezi Mungu anataka kukuon-doleeni...”’129

Na amepokea Twahawy kwa Sanadi yake kutoka kwa Ummu Salama ame-sema: “Aya hii iliteremshwa nyumbani kwangu: “Hakika MwenyeziMungu anataka...” ikiwahusu watu saba, Jibril, Mikail, Mtume (s.a.w.w.),Ali, Fatimah, Hasan na Husein”.130

Aidha amepokea kwa Sanadi yake kutoka kwa Amraatu Al-Hamadaaniamesema: “.....” Aliendelea hadi aliposema: “Nikasema “Ewe Mjumbe waMwenyezi Mungu, mimi ni katika Ahlul-Bayt?” Basi akasema: “Hakikauna kheri mbele ya Mwenyezi Mungu.” Nilipendelea aseme ni miongonimwao, ingekuwa ni bora zaidi kwangu kuliko kilichochomozewa na kuza-ma jua.”131

Vile vile amepokea Twahawy kwa Sanadi yake kutoka kwa Abu Hamraaniamesema: “Nilimsuhubu Mjumbe wa Mwenyezi Mungu miezi tisa,alikuwa akiamka na kwenda mbele ya mlango wa Fatimah akisema:‘Assalam Alaykum ya Ahlul-Bayt. Hakika Mwenyezi Mungu anatakakukuondoleeni uchafu...”’132

29. MAJMAUZ-ZAWAID CHA HAYTHAMY:

Kutoka kwa Abu Saidi Al-Khudri amesema: “Hakika Bwana Mtume(s.a.w.w.) alikuwa akipita asubuhi mbele ya mlango wa Ali siku arobaini

89

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

129 Mushkilul-Athaar Juz. 1, uk 332.130 Mushkilul-Athaar Juz. 1, uk 336.131 Mushkilul-Athaar Juz. 1, uk 336.132 Mushkilul-Athaar Juz. 1, uk 338.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

akisema: “Assalaamu Alaykum Ahlul-Bayt WarahmatullahiWabarakatuhu. Hakika Mwenyezi Mungu anataka kukuondoleeni...”.Akasema: Ameipokea Twabarany katika kitabu Awsat”.

Aidha imepokewa kutoka kwa Hamraan amesema: “Nilimuona Mjumbewa Mwenyezi Mungu akienda mbele ya mlango wa Ali na Fatimah kwamuda wa miezi sita akisema: ‘Hakika Mwenyezi Mungu anataka kukuon-doleeni uchafu...”’

Vilevile amepokea Abu Barzah amesema: “Niliswali pamoja na Mtume(s.a.w.w.) miezi saba, alikuwa akitoka nyumbani kwake akipita mbele yamlango wa Fatimah akisema: ‘Assalaamu alaykum. Hakika MwenyeziMungu anataka kukuondoleeni...”’ Hadi mwisho wa alivyoeleza Haythamykatika Majmauz-Zawaid.

30. ASBABUN-NUZUUL CHA WAAHIDY NAYSABUURY:

Katika kauli yake Subhanahu Wataala: “Hakika Mwenyezi Munguanataka kukuondoleeni uchafu...” amesema Wahidy Naysabuury:“Kutoka kwa Abu Said amesema: ‘Aya hiyo iliteremshwa juu ya watuwatano, kwa Mtume (s.a.w.w.), Ali, Fatimah, Hasan na Husein.”’133

Kutoka kwa Atwai bin Abu Riyah amesema: “Amenieleza ambaye alim-sikia Ummu Salama akitaja...” Aliendelea hadi aliposema: “Kisha akatoamikono yake na akailekeza mbinguni hapo akasema: “Ewe Mola Wanguhawa hasa ndio Ahlul-Bayt wangu, basi waondolee uchafu na watoharishetohara ya kabisa kabisa.” Akasema: “Nikaingiza kichwa changu ndaninikasema: Nami ni pamoja nao ewe Mjumbe wa Mwenyezi Mungu?”Akasema: ‘Hakika upo katika kheri.”’134

90

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

133 Asbabun-Nuzuul uk. 295.134 Asbabun-Nuzuul uk. 296.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

31. NUURUL-ABSWAR CHA SHABLANJI:

Kutoka kwa Aisha (r.a.) amesema: “Hakika Mtume (s.a.w.w.) alitoka sikumoja akiwa na nguo nyeusi akaja Hasan....” Hadi mwisho wa hadithi.135

Shablanji amesema: “Imepokewa katika njia nyingi zilizo sahihi kuwa,Mtume (s.a.w.w.) alikuja akiwa na Ali, Fatimah, Hasan na Husein kishaakachukua nguo yake nyeusi na kuwafunika kisha akasoma Aya hii:“Hakika Mwenyezi Mungu anataka kukuondoleeni uchafu...”, naakasema: ‘Ewe Mola Wangu hawa ndio Ahlul-Bayt wangu basi watohar-ishe na watakase kabisa kabisa.’”

Na katika hadithi nyingine: “Ewe Mola Wangu hawa ndio ndugu waMuhammad, basi jaalia rehema na baraka zako juu ya Aali Muhammadkama ulivyojaalia juu ya ndugu wa Ibrahim hakika Wewe ni mwenyekuhimidiwa na kusifiwa.”136

Na katika hadithi ya Ummu Salama amesema: “Nikaingia katikakishamiya ili niingie pamoja nao, akausogeza mkono wangu, nikasema:“Na mimi ni pamoja na nyinyi ewe Mjumbe wa Mwenyezi Mungu?”Akasema: ‘Hakika wewe ni miongoni mwa wake za Mtume upo katikakheri”’.137

Katika hadithi ya Ahmad na Twabaraani kutoka kwa Abu Said Al-Khudriamesema: “Mtume (s.a.w.w.) amesema: ‘Aya hiyo imeteremshwa juu yawatu watano kwangu mimi, Ali, Fatimah, Hasan na Husein.’”

Na amepokea Ibn Abi Shayba, Ahmad na Tirmidhi, naye amesema nihadithi Hasan. Na Ibn Jariir, Ibn Mundhiri, Tabaraani, na Haakim nayeamesema ni hadithi Sahih. Kutoka kwa Anas amesema: “Baada ya

91

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

135 Nurul-Absar uk. 123.136 Nurul-Absar uk. 123.137 - Nurul-Absar uk. 123.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

kuteremshwa Aya hiyo, kama ilivyokuja katika hadithi ya Tirmidhi:Mtume (s.a.w.w.) alikuwa akipita mbele ya nyumba ya Fatimah pindialipokuwa akienda katika Swala ya alfajiri akisema: ‘Swala enyi Ahlul-Bayt...”’

Na katika hadithi ya Ibn Murdawayh kutoka kwa Abu Saidi Al-Khudriamesema kwamba, Mtume (s.a.w.w.) alipita siku arobaini asubuhi mbeleya nyumba ya Fatimah...138

32. ANSBABUL-ASHRAAF CHA BALADHURI:

Kutoka kwa Anas bin Malik amesema: “Alikuwa Mtume (s.a.w.w.) akipi-ta mbele ya nyumba ya Fatimah (a.s.) miezi sita pindi alipokuwa anakwen-da kuswali Swala ya asubuhi anasema: ‘Swala yaa Ahlul-Bayt. HakikaMwenyezi Mungu anataka kukuondoleeni uchafu Ahlul-Bayt na kuwato-harisha tohara ya kabisa kabisa.”’139

33. SAWAIQUL-MUHRIQAH CHA IBN HAJAR AL-HAYTHA-MI:

Ameandika Ibn Hajar katika kitabu chake Sawaiqul-Muhriqah: “Ni sahihiMtume (s.a.w.w.) aliwaingiza watu hao katika kishamiya na akasema:“Ewe Mola Wangu hawa hasa ndio Ahlul-Bayt wangu basi waondoleeuchafu na watoharishe tohara ya kabisa kabisa.” Ummu Salama akasema:“Na mimi ni pamoja nao?” Akasema: ‘Hakika wewe upo katika kheri.”’

Aidha anasema: “Wafasiri wengi wameeleza kwamba Aya ya Utakaso ime-teremshwa kwa ajili ya Ali, Fatimah, Hasan na Husein”.

Vilevile ameandika: “Ameeleza Ahmad kutoka kwa Abu Said Al-Khudrikwamba Aya hiyo iliteremshwa juu ya hao watano, kwa Mtume (s.a.w.w.),

92

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

138 Nurul-Absar uk. 124.139 Ansabul-Ashraf uk. 104.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

Ali, Fatimah, Hasan na Husein, na ameeleza hivyo Ibn Jariir kwa lafdhi:“Aya hiyo imeteremshwa juu ya watano, kwangu mimi, Ali, Hasan, Huseinna Fatimah.” Na hali kadhalika ameeleza hadithi hiyo Twabaraani, naMuslim amesema: ‘Mtume (s.a.w.w.) aliwaingiza hao katika kishamiya ali-chokuwa nacho na akasoma Aya hii: Hakika Mwenyezi Mungu anatakakukuondoleeni uchafu....”’140

34. FAT’HUL-QADIIR CHA SHAWKANI:

Shawkani anasema: “Ameeleza Tirmidhi na kuikubali hadithi hiyo kuwa niSahih, Ibn Murdawayh na Bayhaqi katika kitabu chake Sunnan kwa njiakadhaa kutoka kwa Ummu Salama amesema: “Nyumbani kwangu ime-teremshwa Aya hii: “Hakika Mwenyezi Mungu anataka kukuondoleeniuchafu Ahlul-Bayt...” na nyumbani wakiwa Fatimah, Ali, Hasan naHusein basi Mtume (s.a.w.w.) akawafunika kwa kishamiya alichokuwanacho kisha akasema: ‘Hawa ndio Ahlul-Bayt wangu, basi waondoleeuchafu na uwatoharishe tohara ya kabisa kabisa.”’

Ameeleza Ibn Jariir, Ibn Mundhir, Ibn Abi Haatam, Twabarani na IbnMurdawayhi kutoka kwa Ummu Salama, aidha amesema Mtume (s.a.w.w.)alikuwa nyumbani kwake akiwa na kishamiya cha Khaybari, akajaFatimah Mtume (s.a.w.w.) akamwambia: “Niitie mumeo na wanao Hasanna Husein” akawaita, wakiwa wanakula ikateremshwa kwa Mtume(s.a.w.w.) Aya hii: “Hakika Mwenyezi Mungu anataka kukuondoleeniuchafu Ahlulbayt...” hapo Mtume (s.a.w.w.) akachukua kishamiya chakena kuwafunika, kisha akatoa mkono wake na kuuelekeza mbinguni akase-ma “Ewe Mola Wangu hawa ndio hasa hasa Ahlul-Bayt wangu basi waon-dolee uchafu na watakase kabisa kabisa”. Aliyasema hayo mara tatu,Ummu Salama akasema: “Nikaingiza kichwa changu katika sitara nikase-ma: Ewe Mjumbe wa Mwenyezi Mungu na mimi ni pamoja nanyi?”Akasema: “Hakika wewe upo katika kheri.” Mara mbili.

93

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

140 Sawaiqul-Muhriqah uk. 141-143.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

Shawkani anasema: “Hakika ametaja Ibn Kathiir katika Tafsiir yakehadithi ya Ummu Salama kwa njia mbalimbali kwa sanadi ya Ahmad nawengineo, na ameeleza Ibn Murdawayh na Khatiib kuhusiana na hadithi yaAbu Saidi Al-Khudri na wengineo, aidha ameeleza Tirmidhi, Ibn Jariir,Twabaraani na Ibn Murdawayh kutoka kwa Umar bin Abu Salama rabibuwa Mtume (s.a.w.w.) amesema: “Pindi Aya hii ilipoteremshwa kwa Mtume(s.a.w.w.): ‘Hakika Mwenyezi Mungu anataka kukuondoleeni ucha-fu...”’ Akaieleza hadithi ya Ummu Salamah.

Shawkaani anasema: “Ameeleza Ibn Abi Shayba Ahmad, Muslim, IbnJariir, Ibn Abi Haatam na Hakimu kutoka kwa Aisha amesema: ‘Siku mojaMtume (s.a.w.w.) alitoka akiwa na nguo yake nyeusi, punde si punde akajaHasan na Husein akawaingiza katika nguo yake punde akaja Fatimahakamwingiza katika nguo yake, kisha akaja Ali akamwingiza hapo akase-ma: Hakika Mwenyezi Mungu anataka kukuondoleeni uchafuAhlulbayti na kukutoharisheni tohara ya kabisa kabisa.’”

Na ameeleza Ibn Abu Shayba, Ahmad, Ibn Jariir, Ibn Mundhir, Ibn AbiHaytaam, Twabaraani na kusema ni sahihi, Haakim na Bayhaqi katikakitabu chake Sunnan, kutoka kwa Wathilah bin Asqa’u amesema:“Mjumbe wa Mwenyezi Mungu alikuja kwa Fatimah akiwa pamoja na Ali,Hasan, na Husein hadi alipoingia, akawasogeza Ali na Fatimah nakuwakalisha mbele yake, na Hasan na Husein kila mmoja katika paja lake,kisha akawafunika nguo yake na akasoma Aya hii... “Hakika MwenyeziMungu anataka kukuondoleeni uchafu Ahlul-Bayt...” na akasema:‘Ewe Mola Wangu hawa hasahasa ndio Ahlul-Bayt wangu, waondoleeuchafu na watakase kabisa kabisa.”’

Ameeleza Ibn Abi Shayba na Ahmad akaikubali kuwa ni hadithi sahih, IbnJariir, Ibn Mundhir, Twabarani, Hakim wakaikubali kuwa ni hadithi sahih,na Ibn Murdawayh kutoka kwa Anas amesema: “Mtume (s.a.w.w.) alikuwaakipita mbele ya mlango wa Fatimah alipokuwa anakwenda kuswali Swalaya Alfajiri akisema: ‘Swala.. Ahlul-Bayt. Hakika Mwenyezi Mungu

94

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

anataka kukuondoleeni uchafu Ahlul-Bayt na kukutoharisheni toharaya kabisa kabisa.”’

Amesema Ibn Jariir na Ibn Murdawayh kutoka kwa Abu Hamraan amese-ma: “Nilikaa Madina kwa muda wa miezi saba katika zama za Mtume(s.a.w.w.), akasema: Nilimuona Mtume (s.a.w.w.) inapochomoza alfajiriakienda mbele ya mlango wa Ali na Fatimah na akisema: ‘Swala! Swala!Hakika Mwenyezi Mungu anataka kukuondoleeni uchafu...”’141

Na katika mlango huu kuna hadithi na athari nyngi, na tumezitaja hizo tuikiwa ni zile zinazofaa kushikamana nazo na kuziacha zile zisizofaa.

HITIMISHO KUHUSU AYA YA UTAKASO KAMA

ILIVYOKUJA KATIKA VITABU VYA AHLUS-SUNNA:

Nasema: Tunatosheka na kiwango hicho kutokana na dalili zilizopatikanakwa njia mbalimbali katika vitabu vya Wanachuoni wa Ahlus-Sunna nawafasiri wao, na kuna vitabu vingi sana miongoni mwa vitabu vya Ahlus-Sunna ambavyo vimefasiri Aya ya Utakaso kwa ajili ya watu hao wanne(a.s.) nasi tumevitaja kwa mukhtasari.

MAMBO KADHAA YA KUZINGATIA:

Mosi: Ahlus-Sunna wametaja katika vitabu vyao kwamba Ahlul-Baytwaliotajwa katika Aya ya Utakaso ni Ali, Fatimah, Hasan na Husein (a.s.),na baadhi ya vitabu hivyo vinaitwa Sahih na Musnad, kama vile Sahih yaImam Muslim, Sunanu Tirmidhi, Khasais Nasaai, Musnad Ahmad nawengineo ambao tumewataja hapo kabla, na hii ni hoja mwafaka ambayoyampasa Dk. Aamir Najjar, Ust. Albaani, Saaluus na Uthman Aal-Khamiiswazichukue na washikamane nazo iwapo watataka kujua ukweli na haki.

95

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

141 Fat’hul-Qadiir, jalada la nne, Juz. 4, uk 279-280.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

Pili: Aya tukufu haiwahusu wake wa Mtume (s.a.w.w.) kwa kukiri hiloUmmul-Muuminiina Aisha na Ummu Salama kama ilivyokwishatanguliahapo kabla, zipo dalili tosha na za wazi ambazo zinawatoa wake waMtume (s.a.w.w.) katika Aya ya Utakaso, na hao sio katika Ahlul-Baytambao Mwenyezi Mungu swt. amewaondolea uchafu na kuwatakasakabisa kama alivyosema Mtume (s.a.w.w.) kumwambia Aisha: “Sogea kaakando hakika wewe upo katika kheri, au wewe ni katika wake wa Mtume(s.a.w.w.)” na hiyo ni dalili tosha kwamba mke sio katika Ahlul-Baytmpaka iwahusu Aya ya Utakaso.

Ama wale ambao wanadai kwamba Aya hiyo inawahusu wake wa Mtume(s.a.w.w.) kama ilivyokuja kutokana na maneno ya mke wa Nabii Ibrahim(a.s.), huo ni uthibitisho batili, kwa sababu mke wa Nabii Ibrahim (a.s)alikuwa miongoni mwa Ahali wake kwa sababu ya mafungamano yaukaraba wa nasaba, na hii ni kinyume na wake wa Mtume (s.a.w.w.), kwahivyo Aya hiyo imewahusisha hao wanne tu, na hilo amelieleza kinagaubaga Bwana Mtume (s.a.w.w.), naye hatamki kwa matamanio yakeisipokuwa kwa kupewa ufunuo ambao anaofunuliwa.

Tatu: Hilo limedhihiri kwetu kutokana na kutaja idadi kubwa yaWanachuoni wakubwa wa Ahlus-Sunna miongoni mwa wale ambaowameifasiri Aya ya Utakaso juu ya hao wanne nao ni Ali, Fatimah, Hasanna Husein (a.s.), na hilo linaonyesha uzushi wa yule ambaye anadai kwam-ba: “Wanachuoni wakubwa wa Ahlus-Sunna hawajui lolote kuhusiana nahadithi hizo, na kwamba hadithi hizo hazipo katika vitabu vya Ahlus-Sunna, na hizo ni katika hadithi zilizozushwa na kubuniwa na Shi’a, naupotoshaji huo ni kwa ajili ya kufuata matamanio yao kwa lengo lakuwababaisha watu, aidha ili watu wawaone wako katika haki na kwa ajilihiyo wateke nyoyo zao kuwaelekea Shi’a na hayo yote ni katika kutumikiamaadui wa Uislamu na kupanda mbegu za fitina na utengano baina yaWaislamu.”

96

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

Nne: Hakika kuitafsiri Aya kwa wake wa Mtume (s.a.w.w.) ni jambolisilokubalika kwa sababu linakwenda kinyume na yale yaliyothibiti yaliyowazi na sahihi, kwamba wake wa Mtume (s.a.w.w.) sio katika Ahlul-Baytambao wameelezwa katika Aya ya Utakaso, bila shaka huo ni upotoshajiwa Dk. Aamiir Najjar, Ustadhi Muhammad Nassuro Diin Albaani, Dk.Saaluus, Ihsaan Dhahiir, Uthman na Khamiis na wasiokuwa hao miongonimwa wale ambao hujaribu kupotosha maneno ya Mwenyezi Mungu swt.,Sunna ya Mtume wake (s.a.w.w.), kama ilivyodhihiri kwamba Shi’a niwatu wakweli zaidi, wachamungu na wenye kushikamana na dini, aidha niwatu ambao wameepukana na uzushi, uongo na upaotoshaji, na sifa hizoza uongo na upotoaji ni alama za wale walioacha vizito viwili: Kitabu chaMwenyezi Mungu na Ahlul-Bayt kama tulivyoashiria hapo kabla.

HADITH THAQALAIN KATIKA VITABU VYA AHLUS-SUNNA:

Mosi: Mjadala juu ya hadithi inayosema: “Na Sunna yangu” nayenyewe ni hadithi iliyozushwa.

Kabla hatujaielezea Hadith Thaqalain kwa lafudhi ya: “Na kizazi changu,Ahlul-Bayti wangu,” tunapenda kuashiria kwamba hadithi hiyo ipo katikavitabu vya Ahlus-Sunna katika riwaya mbili:

Kwanza: “Hakika mimi ninakuachieni vizito viwili, Kitabu cha MwenyeziMungu na kizazi changu Ahlul-Bayt wangu.”Pili: “Nimekuachieni ambavyo mkishikamana navyo hamtapotea kamwebaada yangu, Kitabu cha Mwenyezi Mungu na sunna ya Mtume wake(s.a.w.w.), au na Sunna yangu.”

Na kabla hatujaonesha udhaifu wa hadithi inayosema: “Na sunna yangu”kwani hiyo ni miongoni mwa hadithi zilizobuniwa, ni kuwa Imam Muslimhajaipokea hadithi hiyo katika kitabu chake Sahih Muslim, na hiyo ni dalilidhahiri Shahir ya kuonyesha udhaifu wa hadhithi hiyo. Kinyume na hadithiinayosema: “Na kizazi changu Ahlul-Bayt wangu,” ambayo ameipokea

97

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

Imam Muslim katika Sahih yake kwa riwaya nne.

Na lililo bayana ni kwamba kuichukua hadithi inayosema “Na sunnayangu” kuwa ni maneno pekee kutoka kwa Nabii (s.a.w.w.), na kuachahadithi inayosema “Na kizazi changu”, kunawatengenezea Ahlus-Sunnabaadhi ya juhudi zenye lengo la kuepuka na kutupilia mbali natijaitokanayo na kitendo cha kushikamana na hadithi hii kwa lafudhi ya “Nakizazi changu.” Kwa sababu kuichukua hadithi hii kwa lafudhi ya “Nakizazi changu” kunavunja nguzo ya msingi ya itikadi kwao wao, hiyo nikwa kuwa lafudhi hiyo inawajibisha kushikamana na Ahlul-Bayti (a.s.), nahatimaye kushikamana huko kunapelekea kubatilika kisheria ukhalifa wawale waliochukua ukhalifa miongoni mwa makhalifa wao, na hapo lin-abomoka kila lile walilolijenga kwa kutegemea lafudhi ya “Na sunnayangu”, kuanzia akida mpaka hukumu za kifiqhi.

Kwa hali hiyo walifanya chini juu Dk. Aamir Najjar, Ustadhi MuhammadNassur Diin Albaani, Dk. Ali Ahmad Saaluus na wengineo ima kufasirineno “Ahlul-Bayt” katika hadithi kwa maana ya wake wa Mtume(s.a.w.w.), kama alivyofanya Albaani na Najjar. Au kuifanya dhaifuhadithi: “Na kizazi changu Ahlul-Bayt wangu” kama alivyofanya Saaluus.Lakini yanayovunja na kuharibu mtazamo huo ni ule uzito uliyopo kwenyehadithi inayosema: “Na kizazi changu Ahlul-Bayt wangu”. Kama zilivy-opokewa hadithi nyingi ambazo zinaeleza muradi wa Ahlul-Bayt ni Ali,Fatima, Hasan na Husein (a.s.).

Ama aliyoyaaeleza Dk. Ali Ahmad Saaluus na wengineo juu ya hadithiinayosema: “Nimekuachieni ambavyo mkishikamana navyo hamtapoteakamwe baada yangu, Kitabu cha Mwenyezi Mungu na sunna ya Mtumewake (s.a.w.w.)” sio sahihi, kwa sababu ni katika hadithi zilizobuniwa,nayo ni hadithi iliyopokewa na mtu mmoja kwa hivyo haifai kuzingatiwawala kufanyiwa kazi, na kwa mantiki hiyo haiwezi kuikabili na kuipingahadithi iliyothibiti ukweli na usahihi wake na iliyo mutawatiri kwaWaislamu wote, kwa hakika hadithi Thaqalain (vizito viwili) yenye lafud-

98

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

hi “Na kizazi changu Ahlul-Bayt wangu” imepokewa katika vitabu Sahihvya Ahlus-Sunna na Musnad zao zaidi ya Sahih ishirini na tano kamaanavyosema Ibn Hajar Al-Haythami, ama kauli nyingine inasema vipovitabu Sahih thelathini na tano.

Anasema Ibn Hajar Al-Haythami katika katibu chake Sawa’qul-Muhriqah,wakati alipotaja hadithi ya Swala ya Abubakr (r.a.): “Najua kwambahadithi hiyo ni mutawatiri.”142 Kisha akasema wapokezi walikuwawanane, akadai kuwa ni hadithi mutawatiri, kwa sababu tu imepokewakatika njia nane kama alivyodhani Ibn Hajar, pamoja na kuwa mpokezi waHadithi hiyo ni mtu mmoja kwa mujibu wa Ahlus-Sunna, na haikuwayenye kukubalika baina ya Waislamu, na hali hiyo inatofautiana na HadithThaqalain yenye lafudhi ya “Na kizazi changu Ahlul-Bayt wangu”. Hivyoukiachilia mbali yale makubaliano ya waislamu juu ya hadithi hiyo kwakuiandika katika vitabu vyao na Sahih zao, pia imepokewa na sahabaishirini na tano, hivyo idadi hiyo ni mara dufu zaidi ya ile ya wapokezi wahadithi ya swala ya Abubakr ambayo Ibnu Hajar amedai ni mutawatiri ili-hali wapokezi wake kwa madai yake ni wanane tu.

Kuanzia hapa inathibiti Hadith Thaqalain kwa lafudhi “Na kizazi changuAhlul-Bayt wangu” kuwa ni mutawatiri, na hiyo ni kinyume na hadithiyenye lafudhi inayosema: “Na sunna yangu” au “Sunna ya Nabii wake(s.a.w.w.w),” kwa sababu ni katika hadithi ambazo hawajulikani wapokeziwake, hilo la kwanza.

La pili: Ni miongoni mwa hadithi zilizobuniwa na Bani Umayya ili kuka-biliana na hadithi inayosema: “Na kizazi changu.”

Tatu: Hadithi hiyo haijatajwa katika vitabu Sahih, hakuitaja Bukhari walaMuslim katika Sahih zao na wasiokuwa hao katika sahihi zao, na hiyoinatofautiana na Hadith Thaqalain kwa lafudhi “Na kizazi changu,”

99

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

142 As-Sawa’iqul-Muhriqah uk. 21.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

yenyewe imepokewa katika Sahih Muslim hadithi nne, kama ilivyotajwakatika vitabu vingine, vitabu Sahih na Musnad mbalimbali ambavyohutegemewa, na vyote hivyo ni Sahih, bali ni mutawatiri kamatutakavyoashiria Mungu akipenda.

Na hata tukikubali kuwepo hadithi hii “Nimekuachieni ambavyo mkishika-mana navyo hamtapotea kamwe baada yangu, Kitabu cha MwenyeziMungu na Sunna ya Mtume wake (s.a.w.w.), au na Sunna yangu” walahakuna utata kati yake na hadithi “Na kizazi changu Ahlul-Bayt wangu”,kwani Sunna ni kama vile Qur’ani inahitaji mwenye kuihifadhi na kuzuiakuchezewa na watu mfano wa akina Dk. Ali Ahmad Saaluus, na kwa ajilihiyo hapana budi wawepo watakaoihifadhi dhidi ya ziada na upungufu, nawabainishaji wa hayo ni wale ambao Mtume (s.a.w.w.) aliwaambatanishana Qur’ani, nao ni Ahlul-Bayt wake ambao ni Ali, Fatima, Hasan naHusein (a.s.).

Kwa kuongezea hayo ni kuwa, vipi itawezekana Waislamu wote wawewalengwa wa maneno yake (s.a.w.w.): “Kenu nyinyi,” washikamane naKitabu na Sunna, pamoja na kuwa Sunna haikuwa imeandikwa wakatiyanapozungumzwa maneno hayo, bali iliandikwa baadaye. Na lakushangaza ni kuwa hata baadhi yao walizuia kuandikwa Sunna ya Mtumewa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) ili isichanganyike na Qur’ani! Sasa vipiMtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) awahutubie waislamu kushika-mana na kitu ambacho hakijakusanywa wala kuandikwa, bali wenyekumzushia walikuwa wengi mno mpaka akasema (s.a.w.w.): “Yeyoteatakayenizushia uongo mimi basi ajichagulie mahala pake motoni.”

Kwa hakika ulikuwepo upotoaji, ubadilishaji na uzuwaji katika Sunna zaMtume (s.a.w.w.), na hii ni tofauti na kitu ambacho Mwenyezi Munguamekihifadhi dhidi ya ubadilishaji, ugeuzaji, uongezaji na upunguzaji,hivyo hayo yote yanajulisha kutosihi kwa hadithi inayosema: “Na sunna yaMtume wake (s.a.w.w.)” au “Na Sunna yangu”.

100

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

Anasema Sayyid Muhammad Taqii Hakiim: “Hadithi ya kushikamana navizito viwili kwa lafudhi “Na kizazi changu Ahlul-Bayt wangu” ni hadithimutawatiri katika tabaka zote za wapokezi, aidha kuna vitabu lukukiambavyo vimefurika hadithi hiyo wala havina idadi, na njia za sahabachungu nzima, vilevile wapokezi wake ni wengi sana, halikadhalika zipohadithi nyingi sahihi kama alivyoshuhudia hilo Al-Hakiim na wengineo.Filhali tunaona hadithi nyingine inasema: “Na Sunna yangu” ambayo ime-pokewa na watu wachache mno, pamoja na hivyo hushirikiana pamojakatika riwaya ya hadithi zote mbili isipokuwa Malik, yeye ameishia kuita-ja moja tu, na kuiachilia mbali hadithi nyingine katika kitabu kiitwachoMuwatai, kwa hiyo yaonekana kwamba ni hadithi iliyobuniwa. Nainatosha kuthibitisha udhaifu wake kuwa, ni hadithi ambayo mlolongo wawapokezi wake haujulikani na wala hakuna kitabu kilichoutaja, na hivyohaikosi kuwa ni hadithi ya wapokezi wachache ambayo haiwezi kusimamana kukabiliana na Hadith Thaqalain yenye tamko “Na kizazi changuAhlul-Bayt wangu”, ambayo wapokezi wake wamekithiri katika vitabuvya Ahlus-Sunna na kukubalika wapokezi wake kuwa ni Sahih”.143

Na hayo tutayaeleza pindi tutakapotaja wale waliopokea hadithi hii kwalafudhi ya “Na kizazi changu Ahlul-Bayt wangu” kutoka katika vitabusahihi vya Ahlus-Sunna na Musnad zao, ili zibainike mbinu za wale wenyekujaribu kuifanya hadithi hii kuwa ni dhaifu au kugeuza na kuwahusishawake wa Mtume (s.a.w.w.).

Baada ya kutaja hadithi “Na Sunna yangu”, huku akiwa anategemea alivy-opokea Imam Malik katika kitabu chake Muwatai bila ya kuelezawapokezi na namna inavyopokelewa, pale alipopokea kutoka kwa Mtume(s.a.w.w.) kuwa alisema: “Nimekuachieni mambo mawili, mkishikamananayo hamtapotea kamwe baada yangu, kitabu cha Mwenyezi Mungu nasunna ya Mtume wake (s.a.w.w.)” Dk. Saaluus anasema: “Hadithi hiyotukufu haina mlolongo wa wapokeaji, isipokuwa Ibn Abdu-Barri kaiunga

101

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

143 As-Swiyaghah Al-Mantiqiyyah cha Hasan Abbas Hasan, uk 340 - 341.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

kwenye hadithi ya kutoka kwa Kathiir bin Abdullah bin Amru bin Aufkutoka kwa baba yake, kutoka kwa babu yake.”144

Nasema: Na ambaye anaangalia kwa makini maneno ya hadithi anayaku-ta yako ovyo ovyo hayana mpangilio, tena yaliyo duni, kwa hivyo hai-wezekani yakawa yametoka kwa Mtume (s.a.w.w.), zaidi ya hapo ni uleudhaifu wa njia ya upokezi wake. Kwa hakika Wanachuoni wa Ahlus-Sunna na wataalamu wao wa hadithi wameuponda mlolongo wa upokeziwake na kusema kuwa ni dhaifu, kwa hivyo husema Hadith Thaqalain kwalafudhi ya “Na Sunna yangu” ni uzushi na ni kumkadhibisha bayanaMtume (s.a.w.w.), hilo la kwanza.

Pili: Lau ingekuwa hadithi hiyo ipo na imetoka kwa Mtume (s.a.w.w.), basiingetajwa kwa njia nyingine kutoka kwa Mtume (s.a.w.w.) pasi nakukomea na kutajwa katika kitabu Muwaatai tu cha Imam Malik, kwahivyo tunamkuta Dk. Saaluus alipoishiwa na hila akawa hana njia ilakuthibitisha usahihi wa hadithi “Na Sunna yangu” kwa kutegemea daliliambazo hata mwanafunzi wa chekechea katika fani ya hadithi hawezikuzikubali. Mara tunamwona anashikamana na yale yaliyoelezwa naBukhari katika maneno yake, pale Bukhari aliposema katika: “Kitabu chakushikamana na Kitabu cha Mwenyezi Mungu na Sunna”, na maranyingine tunamkuta anategemea yale yaliyotoka kwa Daarimi, kama vilekatika maneno yake: “Na tunakuta katika vielelezo hivi kumi usia wakushikamana na Kitabu cha Mwenyezi Mungu Mtukufu pasi na kuitajaSunna, hivyo ndiyo ilivyokuja katika Sunani Daarimi.”145

Nasema: Ikiwa Dk. Saaluus anaitakidi kwamba vielelezo kumi vinausiakushikamana na Kitabu cha Mwenyezi Mungu pekee na halipo neno “NaSunna yangu”, kwa nini amefanya vielelezo hivyo kuwa ndio dalili yakusihi hadithi hiyo yenye lafudhi ya “Na Sunna yangu”? Na kwa nini

102

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

144 Hadith-Thaqalayn uk. 9.145 Hadith-Thaqalayn uk. 10.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

amepuuzia hadithi yenye lafudhi ya “Na kizazi changu Ahlul-Bayt wangu”kama ilivyokuja katika Sunanu Daarimi Juzuu ya 2, uk. 431 na 432.

Yafuatayo ni matamshi ya hadithi kama yalivyo ndani ya kitabu SunanuDaarimi, japo Dk.. Saaluus kama ilivyo ada yake hakuitaja hadithi hiyokwa chuki binafsi aliyonayo kwa Ahlul-Bayt (a.s.): “Ametuhadithia Jafarbin Aun: Alitueleza Abu Hayyan kutoka kwa Zayd bin Hayyan, kutokakwa Zayd bin Arqam, amesema: “Siku moja Mtume (s.a.w.w.) alisimamana kuhutubia akamhimidi Mwenyezi Mungu na akamsifu kisha akasema:“Enyi watu hakika mimi ni mtu si muda mrefu nitajiwa na mjumbe waMola Wangu nami nitamuitikia na hakika mimi ninakuachieni vizito viwili,cha kwanza ni Kitabu cha Mwenyezi Mungu kina uongofu na ni nurukwenu basi shikamaneni na Kitabu cha Mwenyezi Mungu na chukuenimafundisho kutoka katika hicho.” Na akaasa na kuhimiza kushikamananacho, kisha akasema: “Na Ahlul-Bayt wangu” - Mara tatu.”146

Anaambiwa Dk.. Saaluus: Hakika hadithi ambayo umeitaja kutoka kwaImam Malik katika Muwatai, haina lafudhi ya neno “Thaqalaini” kwa hiyohaina mnasaba wowote na Mtume (s.a.w.w.) katika maneno yake(s.a.w.w.): “Ninakuachieni mambo mawili”, na wala katika hadithi hiyohakusema (s.a.w.w.): “Ninakuachieni vizito viwili”. Hali hiyo inatofau-tiana na hadithi “Na kizazi changu”, kwani inajumuisha neno “Thaqalain”,bila shaka hiyo ni dalili ya dhahiri inayojulisha kwamba hadithi inayose-ma “Na Sunna yangu” ni hadithi iliyowekwa na Bani Umayya kisha BaniAbbas wakaisambaza ili kuikabili au kuzipinga hadithi za Mtume(s.a.w.w.) zenye kuhimiza kushikamana na vizito viwili: Kitabu chaMwenyezi na kizazi chake kitukufu.

Na Dk.. Saaluus Mwalimu wa hadithi akazidi kujichanganya kwa kusema:“Katika kitabu cha Sunani Nasaai kuna riwaya nyingine kuhusiana nahadithi hiyo, na anasema Suyuutwi katika kitabu chake Sharh: ‘Aliusia

103

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

146 Sunan ad-Darmi Juz. 2, uk 431- 432.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

Kitabu cha Mwenyezi Mungu, yaani dini yake au mfano wake ili kiiju-muishe Sunna.”’147

Nasema: Je huo sio ujinga wa Dk. Saaluus na ubadilishaji wa manenokutoka mahala pake, pamoja na kuwa Suyuutwi katika kitabu chakeJaamiu Swaghiir ameitaja hadithi “Na kizazi changu Ahlul-Bayt wangu”katika orodha ya hadithi Sahih kama tutakavyoligusia ishara hilo Munguakipenda.

UFISADI WA SANADI YA HADITHI “NINAKUACHIENI KITABU CHA MWENYEZI MUNGU NA SUNNA YANGU”:

Imekuja katika kitabu Muwata cha Imam Malik bin Anas, Imam wa mad-hehebu, “Ilimfikia habari kwamba Mjumbe wa Mwenyezi Mungu(s.a.w.w.) amesema: ‘Ninakuachieni mambo mawili mtakaposhikamananayo hamtapotea: Kitabu cha Mwenyezi Mungu na Sunna ya Nabiiwake.”’148

Na riwaya hiyo kama unavyoiona haina mlolongo wa wapokezi wa hadithi,na hadithi ambayo haina mlolongo wa wapokezi wa hadithi si hoja kabisa,na hilo ni kutokana na kutokuwepo mlolongo wa wapokezi hadi tuwezetuchunguze ukweli wa wapokezi wake.

Amesema Al-Hakim Niysabuuri katika kitabu chake Mustadrak:“Ametuhadithia Abu Bakr Ahmad bin Is’haaq Al-Faqiih, ameeleza Abbasbin Fadhili Isqaatwi. Ametuhadithia Isma’il bin Abi Awiis, amenielezaIsma’il bin Muhammad bin Fadhl Shaarani, amenieleza babu yangu, ame-nieleza Ibn Awiis, amenieleza baba yangu kutoka kwa Thauru bin ZaydDayli, kutoka kwa Akrama, kutoka kwa Ibn Abbas kuwa: Hakika Mtume(s.a.w.w.) aliwahutubia watu katika Hija ya mwisho akasema: ‘...Enyi watu

104

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

147 Hadith-Thaqalayn uk. 10 - 25.148 Al-Muwatau Juz. 2, uk 899.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

hakika mimi ninakuachieni ambayo mtakaposhikamana nayo kamwe ham-tapotea, Kitabu cha Mwenyezi Mungu na Sunna ya nabii wake.”’149

Hadithi hiyo ni dhaifu kwa upande wa upokezi, kwa sababu ndani yakeyumo Ismail bin Awiis, naye ni katika wapandikizaji wa hadithi. AnasemaIbn Hajar Al-Askalani katika kitabu chake Tahdhib: “Isma’il bin Abdullahbin Abdullah bin Awiis bin Malik... Muawiya bin Swalehe amesemakuhusu yeye: “Yeye na baba yake ni watu dhaifu...” Na akasema IbrahimJariil kuhusu Yahya: “Mchanganyaji, huongopa, naye sio chochote...” NaNasaai akasema: “Ni dhaifu.” Na akasema katika mahala pengine: “Siomkweli...”. Na Ibn Uday akasema: “Amepokea kutoka kwa mjomba wakehadithi za kiajabuajabu ambazo mwenye akili timamu hawezi kuzikubali..”Na akasema Ibn Hazam katika Muhla: “Abul Fatha Alazad amesema:‘Amenihadithia Seif bin Muhammad kwamba Ibn Abu Awiis alikuwaakipachika hadithi...”’150

Dhahabi amemzungumzia katika Al-Miizan: “..... Ni msimulizi naye nimbabaishaji sana.....” Nasaai amesema: “Ni mtu dhaifu”. Na akasemaDaaru Qutni: “Yeye sio katika watu safi...” Akasema Ibn Uday: “KasemaAhmad bin Abi Yahya: Nilimsikia Ibn Muiinu akisema: Yeye na baba yakeni wezi wa hadithi”. Na kasema Daulabi katika kuwazungumzia madhaifu:“Nilimsikia Nadhra bin Salamah Al-Mutuuzi akisema: Ni mwongoalikuwa akimhadithia Ibn Wahab mas’ala mbalimbali kutoka kwa Malik”.Na Aqiil akasema: “Amenihadithia Usama Daqaq, nilimsikia Yahya binMuiinu akisema: ‘Isma’il Bin Abi Awiis hafai hata kidogo.”’150

Aidha amesema Hakim: “Ametupa habari Abubakri bin Is’haaq Al-Faqiih,amempa habari Muhammad bin Isa Ibn Sakan Al-Waasitwi, ametuhadithiaDaudi bin Amru Dhabii, ametuhadithia Swalehe bin Mussa Al-Twauni

105

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

149 Al-Mustadrak Alas-Sahihayn Juz. 1, uk. 93.150 Tahdhibut-Tahdhib Juz. 1, uk. 197 – 198.151 Mizanul-Itidal Juz. 1, uk. 222 – 223.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

kutoka kwa Abdul-Azizi bin Rafii, kutoka kwa Abi Swaleh, kutoka kwaAbu Huraira (r.a.), amesema: “Amesema Mtume (s.a.w.w.): ‘Hakika mimininakuachieni vitu viwili kamwe hamtapotea baada ya hivyo: Kitabu chaMwenyezi Mungu na Sunna yangu na havitatengana mpaka virudi kwan-gu katika hodhi.”’152

Na hadithi hiyo vilevile ni dhaifu, kwani katika mlolongo wa wapokeziwake yupo Swalehe bin Mussa Al-Twalhi, naye ni katika waongo, anase-ma Ibn Hajar Al-Asqalaani: “....Kasema Ibn Muiinu: “Si chochote”. Aidhaamesema tena: “Swaleh na Is’haaqa ni watoto wa Musa wote si chochotena wala haukubaliwi upokezi wao wa hadithi”. Hashim Ibn Murthad ame-pokea kutoka kwa Ibn Muiin amesema: “Sio mkweli”. Na Nasaai akasema:“Hadithi yake haiandikwi ni dhaifu...” Na Aqiil akasema: “Hakizingatiwichochote katika hadithi yake...” Na Abu Nua’imu akasema: ‘Ni mwenyekuachwa na kupuuzwa kwani hueleza uzushi.”’153

Na Dhahabi amemzungumzia katika Al-Miizani: “.....Kuufiyu ni dhaifu.....” Yahya amesema: “Si chochote wala hadithi yake haiandikwi”. Naakasema Bukhari: “Hakubaliwi hadithi.” Na akasema Nasaai: “Ni mwenyekutelekezwa, kasema Abu Is’haaqa Al-Jauzu Jaani: “Ni dhaifu wahadithi…..” Na akasema Abu Haatam. “Ni dhaifu wa hadithi...” Na ame-sema Ibn Uday: ‘Watu wote hawapokei chochote kutoka kwake walahakubaliwi na yeyote.”’154

Vilevile amesema hadithi hiyo Ibn Abdubari Al-Qurtubi katika kitabuchake At-Tamhiid Limafi Muwata Minal-Maani Wal-Asaniid: “Isipokuwakatika mlolongo wa wapokezi wake yumo Kathiir bin Abdillah, naye nimiongoni mwa wabunifu wa hadithi. Dhahabi amesema: “Kathiir binAbdillah bin Amr bin Auf...” amesema Ibn Muiinu: “Sio chochote” naamesema Shaafi’i na Abu Daudi: “Ni nguzo katika nguzo za uongo”, na

106

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

152 Al-Mustadrak Alas-Sahihayn Juz. 1, uk. 93.153 Tahdhibut-Tahdhib Juz. 2, uk 540.154 Mizanul-Itidal Juz. 2, uk. 302.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

Ahmad akaikataa hadithi, na akasema Daarul-Qutni na wengneo: “Nimwenye kupuuzwa”. Akasema Abu Haatam: “Sio mwenye kutegemewa”na Nasaai akasema: “Sio mkweli”, na akasema Ibn Haban: “Amepokeakutoka kwa Baba yake na kutoka kwa babu yake hadithi za uongo..”. NaIbn Uday kasema: ‘Watu wote hawapokei kutoka kwake wala hakubaliwina yeyote.”’155

Na amesema Ibn Hajar katika wasifu wa Kathiir bin Abdillah: “.. KasemaAbu Twalib kutoka kwa Ahmed: “Babaishaji la hadithi hana maana, naakasema Abdullah bin Ahmed: Baba yangu aliitupilia mbali hadithi iliy-opokewa na Kathiir bin Abdillah katika mlolongo wa wapokezi... na akase-ma Daarimi kutoka kwa Ibn Muiina: Hana maana. Al-Ajir amesema: AbuDaud aliulizwa kuhusu yeye, akasema: “Alikuwa ni mmoja wa waongo...”Na kasema Ibn Abi haatam: “Nilimuuliza Abu Zaraa kuhusu yeye akase-ma: Ni mpotoshaji wa hadithi”. Na akasema Abi Naiimu: “Ali bin Madinialimdhoofisha”. Na akasema Ibn Abdu Barri: “Kwa ujumlawamekubaliana kuwa ni dhaifu...”156

Aidha Qadhi Ayyadhi amenukuu habari hii katika kitabu chake Al-IlmaauFidhabti Riwaya Wataqiyiidis-Simau ila tu kwenye mlolongo wa wapokeziwake kuna zaidi ya mmoja miongoni mwa watu ambao haukubalikiupokezi wao, kwa mfano Seif bin Umar At-Tamimu, ambaye Ibn Hajaramemwelezea katika kitabu Tahdhiib akisema: “...amesema Ibn Muiinu:“Ni mpokezi dhaifu wa hadithi,” na akasema Muurra: “Fulais ni borakuliko yeye.” Abu Haatam amesema: “Ni mtu ambaye hakubaliki na nimpokezi dhaifu wa hadithi....” Abu Daudi amesema: “Hana maana,”Nasaai na Daaru-Qutni wamesema: “Ni mtu dhaifu...” na Ibn Haban ame-sema: “Ni mpokezi wa hadithi zilizopandikizwa kwa majina ya walio mad-hubuti...”. Na Hakim amesema: ‘Alituhumiwa kwa upotokaji naye hazin-gatiwi katika upokezi wa hadithi”’157

107

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

155 Mizanul-Itidal Juz. 3, uk 406 na 407.156 Tahdhibut-Tahdhib Juz. 4, uk 583 - 584.157 Tahdhibut-Tahdhib Juz. 2, uk. 470.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

Na imekuja hadithi hii katika Siiratu lbn Hisham 158 ndani ya hotuba yaMtume (s.a.w.w.) ya kuaga, na humo tunachambua mambo mawili: Lakwanza: Hakika hadithi hiyo haina wapokezi, kwa hiyo hatuwezikuukubali usahihi wake kwa kukosekana mlolongo wa wapokezi ambaohuchunguzwa ukweli na uaminifu wao.

La pili: Hakika Ibn Hisham ameitaja hadithi hiyo huku miongoni mwawapokezi wake akiwemo Muhammad bin Is’haaq’ naye ni mtuhumiwakatika vitabu vya wapokezi wa hadithi kutoka kwa wataalamu wa kukosoana kuwatambua wabunifu wa hadithi, na kuhusu yeye Dhahabi katikakitabu chake Al-Miizani amesema: “Muhammad bin Is’haaqa binYasar...Nasaai na wengineo wamesema: “Sio lolote ni dhaifu,” na Daaru-Qutni amesema: “Hachukuliwi kuwa ni hoja...” na Abu Daudi amesema:“Ni mtu wa Qadari na Muutazili,” na akasema Sulaiman Taymi: “Ni muon-go,” na akasema Wahiiba: “Nilimsikia Hisham bin Arwat anasema: “Nimuongo” na akasema Wahiib: “Nilimuuliza Malik kuhusu Ibn Is’haaqaakamtuhumu”. Na akasema Abdur-Rahman bin Mahadi: “Alikuwa Yahyabin Saidi Al-Answari na Malik wakimtia kasoro Ibn Is’haaka ...” Yahyaamesema: “Na la ajabu kwa Ibn Is’haaqa ni kuwa anasimulia kutoka kwaa watu wa Kitabu...” Ahmed kasema: “Yeye ni mbunifu mkubwa wahadithi tena sana...” Yahya Qatwani amesema: “Nashuhudia kwambaMuhammad bin Is’haq ni mwongo”. Na amesema Abu Daud At-Twayalas:“Ametuhadithia rafiki yangu akasema: “Nimemsikia Ibn Is’haaqa akisema:“Ameihadithia mwaminifu”, akaulizwa ni nani? Akasema: YakuubMyahudi...”159

Al-Uqayliy amesema katika kitabu chake katika wasifu wa Muhammadbin Is’haaqa: “Ametuhadithia Husein bin Urwat amesema: NilimsikiaAnas bin Malik akisema: “Muhammad bin Is’haaka ni mwongo...”Ametusimulia AbduIlah bin Idris amesema: “Nilikuwa kwa Malik bin

108

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

158 As-Siratun-Nabawiyyah Juz. 4, uk. 251.159 Mizanul-Itidal Juz. 3, uk 468 - 471.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

Anas mtu mmoja akamwambia. Hakika Muhammad bin Is’haaqa anasema:“Nielezeni elimu ya Malik hakika mimi ni zaidi yake”, Malik akasema:‘Mwangalieni mpotokaji miongoni mwa wapotokaji anasema: Nielezenielimu ya Malik”’. Ametusimulia Ali, amesema: “Nilimsikia Yahya akise-ma: Mtu mmoja amesema kumwambia Aamashi: “Hakika Ibn Is’haaqaametueleza kutoka kwa Ibn As’waad kutoka kwa baba yake kadha wakadha”, basi akasema: Ibn Is’haaqa amedanganya na Ibn As’wad ameon-gopa...” Yahya amesema: ‘Usiamini lolote atakalokuhadithia Ibn Is’haaqa,yeye ni dhaifu na alikuwa anatuhumiwa kwa Qadar.....’ AmetuhadithiaAbdul-Malik amesema: ‘Nilimsikia Yahya bin Muiinu akisema:Muhammad bin Is’haaqa ni mtu dhaifu...’160

Na hadithi hii imepokewa na Wanachuoni wengine wa Ahlus-Sunna, kamavile Bayhaqi katika As-Sunanul-Kubra, Suyuutwi katika Al-Jaamiul-Kabiir na Muttaqil-Hindi katika Kanzul-Ummal, isipokuwa yaliyotajwaima yawe hayana mlolongo wa wapokezi, na hivyo sio hoja, au wapokeziwake ni watu dhaifu ambao tumeshaeleza ufisadi wao.

Kama vile tutakapoangalia kwa makini hadithi hiyo tunaikuta haipo katikaSahih mbili ya Bukhari na Muslim, wala haipo katika vitabu maarufu vyaAhlus-Sunna kwa mfano Sunanu Ibn Maaja, Tirmidhi, Abu Daudi naNasaai, na wala katika Musnad Imam Ahmad, nayo ni habari ambayowameafikiana watunzi wa vitabu Sahih, Sunan na Musnad juu ya kaiachana kuipuuzia.

Mpaka hapa imedhihiri kwetu kuwa hadithi “Na Sunna yangu” ni miongo-ni mwa hadithi zilizobuniwa na alizosingiziwa Bwana Mtume (s.a.w.w.),kwa hivyo unadhihiri ufisadi wa kila yule ambaye amejaribu kushikamanana hadithi hiyo na kuacha ile iliyothibiti usahihi wake kwa Waislamu wote.

109

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

160 Adh-Dhuafau al-Kabiir Juz. 4, uk. 24 -28.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

PILI: HADITHI “NA KIZAZI CHANGU AHLUL-BAYTWANGU” KATIKA VITABU VYA AHLUS-SUNNA:

Kabla hatujaziweka hadharani hadithi ambazo zimepokelewa naWanachuoni wa Ahlus-Sunna na Mahafidh wao, tutaashiria baadhi yamaneno ya wanachuoni wa Ahlus-Sunna ili ibainike kwamba HadithThaqalain kwa lafudhi “Na kizazi changu Ahlul-Bayt wangu” ni miongo-ni mwa hadithi sahihi Mutawatiri baina ya Waislamu. Ama majaribio nambinu za Dk.. Ali Ahmad Saaluus katika kuifanya dhaifu hadithi hiyo, nimajaribio yaleyale ya waliomtangulia kabla yake, yaani Bani Umayya naBani Abbasi.

Ndugu yangu msomaji mpendwa! Ni juu yako kuyazingatia waliyoyase-ma Wanachuoni wa Ahlus-Sunna kuhusiana na Hadith Thaqalain na walahakuna shaka kwamba watu hao wanazijua zaidi hadithi ambazo zime-pokewa na Dk. Saaluus.

Mmoja wa Wanachuoni wakubwa wa Ahlus-Sunna Mahmuud Shukri Al-Aaluus anasema: “Hii hapa faida kubwa inanasibiana na maudhui hii, nayoni kuwa, Mjumbe wa Mwenyezi Mungu (Rehema na Amani za MwenyeziMungu ziwe juu yake) amesema: “Hakika mimi ninakuacheini vizitoviwili, mkishikamana navyo hamtapotea kamwe, kimoja ni kitukufu kulikokingine Kitabu cha Mwenyezi Mungu, na kizazi changu Ahlul-Baytwangu.....” Na hadithi hii imethibiti katika makundi yote mawili Ahlus-Sunna na Shi’a, na imejulikana toka ndani ya hadithi hii kwamba, Mtume(s.a.w.w.) ameamrisha katika mambo yenye kipaumbele katika dini nahukumu za kisheria ni kushikamana na hivyo viwili vitukufu na kuvirejeakatika kila jambo, basi yeyote yule atakayekwenda kinyume na hivyo kati-ka mambo ya kisheria, itikadi na matendo huyo ni mpotevu…..”161

110

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

161Mukhtasarut-Tuhfah uk. 52.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

Ibn Hajar Al-Haythami katika kitabu chake Sawa’iqul-Muhriqah anasema:“Na katika hadithi sahih ni: “Hakika mimi ninakuachieni mambo mawilikamwe hamtapotea mtakapoyafuata; Kitabu cha Mwenyezi Mungu naAhlul-Bayt wangu.” Twabarani ameongezea: ‘Hakika mimi nitawaulizajuu ya hivyo viwili, msivitangulie mtaangamia wala msiviache mtahiliki nawala msivifundishe kwani ni vijuzi zaidi kuliko nyinyi.”’162

Hapana shaka Ibn Hajar na Aluusi ni wataalam zaidi wa kujua ukweli nausahihi wa hadithi kuliko Dk. Saaluus, hasahasa hadithi hii iliyopokewa nakuwepo katika vitabu Sahih, nacho ni kitabu cha Imam Muslim kiitwachoSahih Muslim, kama itakavyompambanukia mpendwa msomaji hivipunde.

MUHAMMAD NASSUR-DIIN AL-ALBAANI NA HADITH THAQALAIN:

Al-Albaani ameeleza Hadith Thaqalain katika kitabu chake alichokiitaSilsilatul-Ahadiithi Swahihi, ameieleza chini ya namba 1761: “Enyi watuhakika mimi nakuachieni ambavyo mkishikamana navyo kamwe ham-tapotea: Kitabu cha Mwenyezi Mungu na kizazi changu Ahlul-Baytwangu.”

Al-Albaani anasema: “Nilisema: Lakini hadithi ni sahihi, hakika inaushuhuda kutoka kwenye hadithi ya Zayd bin Araam aliposema: Siku mojaMtume (s.a.w.w.) alisimama mbele yetu na kuhutubia kwenye bonde lamaji linaloitwa Khum, kati ya Makka na Madina, akamhimidi MwenyeziMungu na kumsifu, akawaidhi na kukumbusha, kisha akasema: “Amabaada ya hayo! Enyi watu hakika mimi ni binadamu, sio muda mrefu nita-jiwa na mjumbe wa Mola Wangu kuniita nitamuitikia, na mimininakuachieni vizuto viwili, kimojawapo ni Kitabu cha Mwenyezi Mungu,kina uongofu wa nuru, yeyote atakayeshikamana nacho na kuchukua

111

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

162 As-Sawa’iqul-Muhriqah uk. 150.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

mwongozo wake atakuwa katika uongofu. Na atakayekiacha atapotea, basichukueni katika Kitabu cha Mwenyezi Mungu na mshikamane nacho,” naakaasa kushikamana na Kitabu cha Mwenyezi Mungu kisha akasema: “NaAhlul-Bayt wangu, ninawakumbusha Mwenyezi Mungu juu ya Ahlul-Baytwangu, ninawakumbusha Mwenyezi Mungu juu ya ahali zangu,ninawakumbusha Mwenyezi Mungu juu ya Ahlul-Bayt wangu.”

Muslim ameieleza katika Juz. 7, uk. 122 - 123, Twahaawi katikaMushkilul-Aathar Juz. 4 uk. 368, Ahmad Juz. 4 uk. 366 – 367, Ibn AbuAswim katika kitabu As-Sunnah uk. 1550 - 1551 na Twabaraani uk. 5026kupitia njia ya Yazid bin Hayyah Al-Tamiimiy.

Kisha ameiandika Ahmad bin Hanbali Juz. 4, uk. 371, Twabaraani uk. 541,na Twahawi kwa njia ya Ali bin Rabiia, amesema: “Nilikutana na Zayd binArqam akiingia au kutoka kwa Mukhtar nikamwambia: Je umemsikiaMjumbe wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) akasema: “Hakika mimininakuachieni vizito viwili, Kitabu cha Mwenyezi Mungu na Kizazichangu?” Akasema: ‘Ndio.”’ Na mlolongo wa wapokezi wa hadithi hii nisahihi na wapokezi wake ni watu wakweli, vilevile ina njia kadhaa wa kad-haa...”

Albanii ameendelea hadi aliposema. “Kisha nikapata ushuhuda mkubwakutoka kwenye hadithi ambayo Ali kaipokea. Ameiandika Twahaawi kati-ka kitabu Muishkilul-Aathar Juz. uk. 307 kupatia njia ya Abi Amar Al-Aqdi: “Alieleza Yazid bin Kathiir kutoka kwa Muhammad bin Umar binAli kutoka kwa baba yake kutoka kwa Ali kwa lafudhi: ‘Kitabu chaMwenyezi Mungu ambacho kipo mikononi mwenu na Ahlulbaytwangu...”’

Mpaka mwisho wa aliyoyasema Muhammad Nassur Diin Al-Albaanimiongoni mwa ushuhuda mbalimbali kuhusiana na usahihi wa hadithi.

112

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

Na Albaani baada ya hayo akaongeza kusema: “Jua mpendwa msomaji nimaarufu kwamba ni miongoni mwa hadithi ambazo wanazitolea hojaShi’a, na mara nyingi wanaitolea lahaja kadhaa wa kadhaa hata kuwafanyabaadhi ya Ahlus-Sunna wadhani kuwa wao Shi’a wamepatia, ilihali waokwa ujumla wamekosea, na ubainifu wake uko katika namna mbili:

Kwanza: Hakika muradi wa hadithi katika maneno ya Mtume (s.a.w.w.):“Na kizazi changu” zaidi hutakwa na Shi’a na wala Ahlus-Sunna hawa-likatai hilo, bali wao wameshikamana nalo, isipokuwa kizazi kilichotajwahapo ni Ahlul-Bayt wake (s.a.w.w.), na kuna hadithi zimekuja katika baad-hi ya njia zake kuwadhihisha hilo, kama vile hadithi iliyotarajumu nakufasiri: “Na kizazi changu Ahlul-Bayt wangu”. Na katika asili Ahlul-Baitiwake ni wakeze (s.a.w.w.) akiwemo bibi Aisha aliye mkweli, kama ilivy-oelezwa bayana na maneno ya Subhaanahu wa Ta’ala katika SuratulAhzab: ‘Hakika Mwenyezi Mungu anataka kukuondoleeni uchafuAhlul-Bayt na kukutoharisheni tohara ya kabisa kabisa...’” Aliendeleahadi aliposema: “Na Shi’a kuwahusisha Ahlul-Bayt katika Aya hiyo kuwani Ali, Fatimah, Hasan na Husein (radhi ya Mungu iwe juu yao) bilakuwahusisha wakeze (s.a.w.w.) ni katika upotoshaji na ubadilishaji wao waAya za Mwenyezi Mungu aliyetukuka ili kutetea matamanio yao kamainavyoeleweka katika upandikizaji huo.

Namna ya pili: Hakika Makusudio ya “Ahlul-Bayt” si wengineo bali niWanachuoni wema miongoni mwao na wale wenye kushikamana na kitabuna Sunna...”163 Aliendelea hadi mwisho wa maneno yake.

Nasema: Na tunayachunguza maneno ya Al-Albaani katika vipengelevifuatavyo:Mosi: Al-Albaani amekiri kusihi kwa Hadith Thaqalain kwa lafudhi “Nakizazi changu Ahlul-Bayt wangu” na kwamba ni miongoni mwa hadithisahihi haina ihtilafu wala mzozo.

113

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

163 Silsilatul-Ahadiithi Swahihi, Mjalada wa nne uk. 355.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

Pili: Hakika tafsiri ya Aya za Qur’ani hapana budi ichukuliwe kutoka kwaMtume (s.a.w.w.) sio kutokana na matamanio na utashi wa nafsi, chuki naushabiki binafsi, na linalodhihiri kutoka kwa Ustadhi Muhammad NassurDiin Al-Albaani ni miongoni mwa wale ambao wanaifasiri Qur’ani kwautashi na kwa chuki binafsi waliyonayo kwa Shi’a, na sio kumridhishaMwenyezi Mungu Subhaanahu wa Ta’ala na wala sio kwa dhamira ya diniyake, kwa hakika vizazi vitakavyokuja vitamhukumu kwa upotoshaji wamaneno ya Subhaanah kutoka mahala pake, kama tulivyoashiria hayo kati-ka mjadala wa “Ahlul-Bayt katika Aya ya Utakaso”. Huko tulithibitishakwa dalili na nguvu ya hoja kupitia njia za Wanachuoni wa Ahlus-Sunnakuwa, na hakika Ahlul-Bayt katika Aya ya Utakaso ndio hao hao wahusikakatika Aya ya Mapenzi, nao ni watu maalumu walio makhsusi, Ali,Fatimah, Hasan na Husein (a.s.), basi rejea hayo katika baadhi ya utafitihuu ili ujue uzushi na upotoshaji wa Al-Albaani juu ya maneno yaMwenyezi Mungu aliyetukuka na Sunna ya Mtume wake.

Inamtosha kuwa dalili juu ya hilo yale aliyoyaeleza Imamu wa hadithi kwaAhlus-Sunna, naye si mwingine ni Imam Muslim katika kitabu chakeSahih Muslim, pindi alipoulizwa Zayd bin Arqam: “Katika Ahlul-Baytwake ni wakeze?” Akasema: “Hapana, Ole wako, hakika mwanamkeanakuwa pamoja na mwanaume kwa muda fulani kisha anapewa talaka,anarudi kwa baba yake na walezi wake...” basi rejea hilo.

Tatu: Ustaadhi Al-Albaani anaambiwa hivi: Mwenye kuzingatia manenoya Mtume (s.a.w.w.) atajua kwamba kauachia umma wake Kitabu naAhlulbayt na hayo yanawaelekea waislamu wote waliokuwapo wakati wazama yaliposemwa hayo na waliofuata, inawahusu waliohudhuria nawasiokuwepo muda huo, na wala haingii akilini sisi katika zama hizitushikamane na wake wa Mtume (s.a.w.w.) kama vile tunavyoshikamanana Qur’ani, na hilo hawezi kulisema yule mwenye akili timamu, muelewana mwenye kutafakari, na Ustaadhi Albaani anajaribu kupotosha umma wakiislamu kwa uzushi na upotoshaji huo ili kuwaridhisha Bani Umayya, nachuki binafsi aliyonayo kwa ndugu wa Mtume (s.a.w.w.).

114

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

Nne: Na ama kuhusu maneno ya Albaani aliyosema “Na Ahlul Bayt wakekwa asili ni wakeze, kama ilivyo sahihi katika maneno yake Subhaanahuwa Ta’ala katika Surat-Ahzab: ‘Hakika Mwenyezi Mungu anatakakukuondoleeni...’” bila shaka tayari tumeshaijadili hapo kabla na tume-bainisha ufisadi na uovu wa maoni yake kwa dalili kutoka katika vitabuvya Ahlu- Sunna, basi rejea.

Kisha tafsri ya Ustaadhi Albaani ya Aya ya Utakaso mara kuwa ni wake waMtume (s.a.w.w.), na mara nyingine ni Ahlul-Bayt, ni dalili ya kutokuwamakini katika kufasiri kwake, na kwamba yeye anatafsiri kutokana namaoni yake, matamanio na matakwa yake binafsi, na ikiwa muradi waAhlul-Bayt katika Hadith Thaqalain ni Wanachuoni wa Ahlul-Bayti kamaanavyodai basi ni kwa nini hashikamani nao, achukue maelekezo kutokakwao, na awarejee wao katika itikadi zake na hukumu zake? Je! Imam Alisio miongoni mwa maulamaa wa Ahlul-Bayt (a.s.), vivyo hivyo ImamHasan, Imam Husein, Imam Ali bin Husein, Imam Muhammad Al-Baqir,Imam Swadiq na wengineo waliobakia katika Wanachuoni wa Ahlul-Baytkama anavyodai. Je hawa sio ndio Wanachuoni wa Ahlul-Bayt, auWanachuoni wa Ahlul-Bayt ni Abu Hanifa, Shafii, Maliki na Ahmad binHanbali? Basi kitu gani anajibu Ustaadhi Albaani, na kwa nini tunamuonaamechukua kutoka kwa watu hao wanne na kuacha kushikamana naWanachuoni wa Ahlul-Bayt (a.s.), au hao tuliowataja sio katikaWanachuoni wa Ahlul-Bayt kwa maoni ya Ustadhi Albaani, na Mtume(s.a.w.w.) amesema katika haki ya Maimam wawili Hasan na Husein (a.s.):“Hawa ni maimamu wawili wakiwa wamesimama au wamekaa,” hivyondivyo tunavyomkuta Ustaadh Albaani anabadilisha maneno kutoka maha-la pake.

Baada ya mahojiano hayo na Albaani tunataja kundi la Wanachuoniwakubwa wa Ahlus-Sunna na Mahafidh wao ambao wameeleza HadithThaqalain kwa lafudhi ya “Na kizazi changu Ahlul-Bayt wangu”, na kuwamakusudio ya “Ahlul-Bayt” ni Ali, Fatimah, Hasan, na Husein (a.s.).

115

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

1. SAHIHI MUSLIM

Ama Imam Muslim ametaja hadithi nne zinazohusiana na hadithi hii tuku-fu, nasi tunaithibitisha kama ilivyokuja katika Sahih yake katika mlangowa fadhila za Imam Ali bin Abi Twalib, ili aone yule ambaye anajaribukukanusha mfano wa hadithi hizi ambazo zipo katika vitabu vya Ahlus-Sunna, na hadithi zenyewe ni hizi:

Hadithi ya kwanza: Kutoka kwa Zayd bin Arqam amesema: “Siku mojaMjumbe wa Mungu (s.a.w.w.) alisimama na kuhutubia sehemu inayoitwaKhum baina ya Makka na Madina; basi akamhimidi Mwenyezi Mungu nakumsifu akatoa mawaidha kukumbusha kisha akasema: “Ama baada, Enyiwatu hakika mimi ni mwanadamu karibu nitajiwa na mjumbe wa MolaWangu kuniita na nitaitikia, na mimi ninakuachieni vizito viwili, kimo-jawapo ni Kitabu cha Mwenyezi Mungu ndani yake kuna nuru na uongo-fu, basi mshikamane nacho” akawaasa kushikamana nacho kisha akasema:“Na Ahlul-Bayt, ninawakumbusha Mwenyezi Mungu juu ya Ahlulbaytwangu,” Haswiin akamuuliza: “Ni nani hao Ahlul-Bayt wake?” Akasema:“Wanawake ni miongoni mwa Ahlul-Bayt wake lakini Ahlul-Bayt wake niwale ambao wameharamishiwa sadaka baada yake”, akasema: “Ni nanihao?” Akasema: “Familia ya Ali, Familia ya Aqiil, Familia ya Jaafar nafamilia ya Abbas”, akasema: ‘Wote hao wameharamishiwa sadaka...”’164

Hadithi ya pili: Kutoka kwa Zayd bin Arqam amepokea kutoka kwaMtume (s.a.w.w.) amesema: “Na hakika mimi ninakuachieni vizito viwilikimojawapo ni Kitabu cha Mwenyezi Mungu Azza wajalla, nayo ni kambaya Mwenyezi Mungu, mwenye kukifuata atakuwa katika uongofu namwenye kukiacha atakuwa katika upotevu...” basi tukasema: “Je! wakezeni katika Ahlul-Bayt wake?” Akasema ‘La hasha, hakika mwanamkeanakuwa pamoja na mwanaume muda fulani katika zama kisha anapewatalaka basi anarejea kwa baba yake na watu wake, Ahlul-Bayt wake ni wale

116

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

164 Sahih Muslim Juz. 4, uk. 1873.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

asili yake na wa damu yake ambao wameharamishiwa sadaka baadayake.”’ 165

Aidha amepokea Imam Muslim katika Sahih yake kutoka kwa Amr binSaad bin Abi Waqqas kutoka kwa babu yake amesema: “Muawiya bin AbiSufyan alimwamrisha Saad kwa kusema: “Kipi kinakuzuia kumtukanababa wa mchanga - yaani Ali” akasema: “Ama nikikumbuka mambomatatu aliyoambiwa na Mtume (s.a.w.w.) siwezi kumtukana ....”Aliendelea hadi aliposema: “Na pindi ilipoteremshwa Aya hii: “Basi semanjooni tuwaite watoto wetu na watoto wenu...” Mtume (s.a.w.w.)alimwita Ali, Fatimah, Hasan na Husein na akasema ‘Ewe Mola Wanguhawa ndio Ahli zangu”’.166

Nasema: Na yakuzingatia juu ya hilo ni:1. Tafsiri ya Ahlul-Bayt haikuwa ya Mtume (s.a.w.w.) bali ni nyongeza yampokezi wa hadithi, na katika hadithi ya pili amekanusha tena kwa kuapakuwa wake wa Mtume (s.a.w.w.) sio katika Ahlul-Bayt, na katika hadithiya kwanza kuna mkorogo katika maana ya Ahlul-Bayt, na kitendo chakuwaingiza wake wa Mtume (s.a.w.w.) katika wao “Ahlul-Bayt” nikutafsiri Qur’ani kwa maoni binafsi bila ya dalili, bali ukweli ni kinyumena hivyo, kwani makusudio ya Ahlul-Bayt ni wale watu waliofunikwakishamiya, na humo hakuingia pamoja nao muingiaji yeyote, na hivyo nikufuatana na yale yaliyopokewa na kuwepo katika Sahih Muslim, katikamaneno ya Bwana Mtume (s.a.w.w.) kwamba Ahlul-Bayt ni Ali, Fatimah,Hasan na Husein (a.s.).

2. Hakika Hadith Thaqalain yenye lafudhi “Na kizazi changu Ahlul-Baytwangu” imethibiti katika pande zote mbili Sunni na Shi’a, na kwa hivyoyaliyopo katika vitabu vya Ahlus-Sunna kati ya hadithi zinazofungamanana hadithi “Kitabu cha Mwenyezi Mungu na Ahlul-Bayt” zinatilia mkazo

117

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

165 Sahih Muslim Juz. 4 uk. 1874.166 Sahih Muslim Juz. 4 uk. 1871.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

usahihi wake na hata ikiwa zimepokewa kwa lafudhi mbalimbali, kwanihadithi hata kama ikiwa dhaifu katika dhati yake, lakini hadithi sahihzikashuhudia usahihi wa maana yake, basi huwa ni hoja yenye kufuatwa.Na tayari kwa hakika kabisa hadithi sahihi zimetoa ushuhuda juu ya usahi-hi wa Hadith Thaqalain, basi unathibiti usahihi wake kutokana na hadithizilizopokewa katika vitabu vinginevyo miongoni mwa vitabu vya Ahlus-Sunna na hata kama ikiwa ni dhaifu katika dhati yake. Hiyo ni ili iwe hojajuu ya yule ambaye anakanusha mfano wa hadithi hizo na kusema kwam-ba hazipo katika vitabu vya Ahlus-Sunna.

2. MUSNAD CHA IMAM AHMAD BIN HANBALI:

Imam Ahmad ametaja hadithi nyingi katika Musnad yake za HadithiThaqaalaini kwa lafudhi “Na kizazi changu Ahlulbayt wangu”, nayoinaafikiana na yale aliyoyapokea Imam Muslim katika Sahih yake.Miongoni mwa hayo ni:

i) Imepokewa kutoka kwa Zayd bin Arqam amesema: “Siku moja BwanaMtume (s.a.w.w.) alisimama mbele yetu na kuhutubia mahala palipo namaji panapoitwa Khum kati ya Makka na Madina, akamhimidi MwenyeziMungu swt. na akamsifu kwa sifa zake, akatoa mawaidha na... akakum-busha, kisha akasema: “Ama baada: Enyi watu hakika mimi ni binadamusi muda mrefu nitajiwa na Mjumbe wa Mwenyezi Mungu Subhaanahukuniita nami nitaitikia; hakika mimi ninakuachieni vizito viwili, kimo-jawapo ni Kitabu cha Mwenyezi Mungu aliyetukuka, ndani yake kuna uon-gofu na nuru, basi chukueni mafunzo katika Kitabu cha Mungu Mtukufuna mshikamane nacho,” na akaasa juu ya Kitabu cha Mwenyezi Mungukisha akasema: “Na Kizazi changu Ahlul-Bayt wangu ninawakumbusheniMwenyezi Mungu Ahlul-Bayt wangu ninawakumbusha Mwenyezi MunguAhlul-Bayt wangu.” Haswin akamuuliza ni nani hao Ahlul-Bayt wake eweZayd, Je! wanawake wake ni miongoni mwa Ahlul-Bayt wake? Akasema:“Hakika wanawake wake ni Ahlul-Bayt wake, lakini Ahlul-Bayt wake hasani wale walioharamishiwa sadaka baada yake” akasema: “Ni nani hao?”

118

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

Akasema: “Ni familia ya Ali, Familia ya Aqiil, familia ya Jaffar na famil-ia ya Abbas.”’167

ii) Na imepokewa kutoka kwa Abi Said Al-Khudri kutoka kwa Mtume(s.a.w.w.) amesema: “Hakika nitaitwa si muda mrefu nami nitaitikia, nahakika mimi ninakuachieni vizito viwili, Kitabu cha Mwenyezi MunguAzza wajalla, na kizazi changu, Kitabu cha Mwenyezi Mungu ni kambailiyonyooka kutoka mbinguni hadi ardhini na kizazi changu Ahlul-Baytwangu, Mwenyezi Mungu Mwenye utukufu na Mwenye habari amenipahabari kuwa havitaachana kamwe mpaka vije kwangu katika hodhi, basiangalieni mtanifuataje katika hivyo.”168

iii) Imepokewa kutoka kwa Abuu Said amesema: “Mtume (s.a.w.w.) ame-sema: ‘Hakika mimi ninakuachieni vizito viwili kimoja ni kikubwa zaidikuliko kingine, Kitabu cha Mwenyezi Mungu ni kamba iliyonyooka kuto-ka mbinguni hadi ardhini na kizazi changu Ahlul-Bayt wangu na hivyoviwili havitaachana kamwe hadi virudi kwangu katika hodhi.”’169

iv) Imepokewa kutoka kwa Zayd bin Thabit amesema: “Mtume (s.a.w.w.)amesema: ‘Hakika mimi ninakuachieni vizito viwili kimoja ni kikubwazaidi ya kingine Kitabu cha Mwenyezi Mungu Azza-wajalla ni kamba iliy-onyooka kutoka mbinguni hadi ardhini na kizazi changu Ahlul-Bayt wangukwa hakika hivyo viwili havitaachana hadi virudi kwangu katikahodhi.”’170

v) Imepokewa kutoka kwa Zayd bin Thabit amesema: “Mtume (s.a.w.w.)amesema: ‘Hakika mimi nakuachieni makhalifa wawili: Kitabu chaMwenyezi Mungu, ni kamba iliyonyooka baina ya mbingu na ardhi au kati

119

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

167 Musnad Ahmad Juz.4, uk. 366 - 367.168 Musnad Ahmad Juz. 2, uk. 17.169 Musnad Ahmad Juz. 3, uk. 14.170 Musnad Ahmad Juz. 3, uk. 26.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

ya mbingu na ardhi, na kizazi changu Ahlul-Bayt wangu, na hivyo viwilihavitaachana kamwe hadi virudi kwangu katika hodhi.”’171

vi) Kwa njia nyingine imepokelewa kutoka kwa Zayd bin Thabit amesema:“Mtume (s.a.w.w.) amesema: ‘Hakika mimi nakuachieni makhalifa wawili,Kitabu cha Mwenyezi Mungu na Ahlul-Bayt wangu na hivyo viwili havi-taachana kamwe hadi virudi vyote kwangu katika hodhi.”’172

vii) Na imepokewa kutoka kwa Ali bin Rabiya amesema: “Nilikutana naZayd bin Arqam akiingia au akitoka kwa Mukhtar, nikamwambia: “Je!Umemsikia Mtume (s.a.w.w.) akisema: Hakika mimi nawachia vizitoviwili?” Akasema: ‘Ndio.”’173

JALIZO:

Dk. Ali Ahmad Saaluus anasema: “Hadith Thaqalain ambazo zimepokewana maimam wawili Muslim na Ahmad kutoka kwa Zayd bin Arqam, zina-julisha juu ya wajibu wa kushikamana na kitabu cha Mwenyezi Mungu,nayo ni Qur’ani Tukufu ambayo imetuamrisha tuchukue Sunna za BwanaMtume (s.a.w.w.), basi hadithi hizo bila shaka zinaafikiana na hadithiambazo zinatutaka tushikamane na Kitabu na Sunna”.

UPEMBUZI YAKINIFU JUU YA HAYO:

1. Hakika Dk.. Ali Ahmad Saaluus anajaribu kuwachanganya wasomajikuhusu uzushi huu juu ya Mwenyezi Mungu na Mtume wake (s.a.w.w.), nahilo ni katika maneno yake: “...nazo zinajulisha juu ya wajibu wa kushika-mana na kitabu cha Mwenyezi Mungu aliyetukuka,” ilihali ukweli ni kuwahadithi za Imamu Muslim na Imamu Ahmad zinatuasa na kutuhimiza juuya kushikamana na vizito viwili “Kitabu cha Mwenyezi Mungu na

120

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

171 Musnad Ahmad Juz. uk. 181 -182.172 Musnad Ahmad Juz. 5, uk.179-190.173 Musnad Ahmad Juz. 4, uk. 371.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

Ahlulbayt”. Lakini yeye Dk.. Ali Ahmad Saaluus amewaweka kandoAhlul-Bayt kutokana na hadithi hiyo, akakomea kutaja Kitabu chaMwenyezi Mungu tu ili ailiwadhe nafsi yake dhidi ya uchovu, mashaka nachuki aliyonayo kwa Ahlul-Bayt (a.s.), kwa sababu hawezi kusema:Kushikamana na Kitabu cha Mwenyezi Mungu na kushikanana na wakewa Mtume (s.a.w.w.), hivyo akawaondoa Ahlulbayt kutoka kwenyehadithi, ili aiepushe nafsi yake na mushkeli, kwani katika dhati ya nafsiyake anaitikadi kuwa Ahlul-Bayt ni Ali, Fatimah, Hasan na Husein (a.s.).

2. Ama maneno yake: “Wamepokea maimam wawili Muslim na Ahmadkutoka kwa Zayd bin Arqam” na huo pia ni ubalilishaji wa maneno kutokakatika mahala pake, kwani Imam Ahmad amepokea Hadith Thaqalainkatika Musnad yake mara kutoka kwa Zayd bin Arqam na mara nyinginekutoka kwa Abu Said Khudri, aidha kutoka kwa Zayd bin Thabit, basihivyo ndivyo anavyojaribu Saaluus kupotosha Sunna ya Mtume (s.a.w.w.).

3. Na ama maneno yake: “Hadithi hizo zinaafikiana pamoja na hadithiambayo inatuita na kututaka kushikamana na Kitabu na Sunna”, huo niuzushi kwa Mwenyezi Mungu na Mtume wake (s.a.w.w.) na upotoshaji waSunna ya Nabii (s.a.w.w.), basi hadithi ambazo zimepokewa na maimamwawili Muslim na Ahmad zote hizo zinatuhimiza kushikamana na vizitoviwili, Kitabu na Ahlul-Bayt, na haipo harufu hata kidogo ya neno“Sunna”. Hivyo ndivyo wanavyojaribu watu hao kupotosha maneno yaMwenyezi Mungu ili kuwachanganya waislamu, na kuwaweka mbali naAhlul-Bayt wa Mtume (s.a.w.w.).

AL-JAAMIUS-SWIHAH CHA TIRMIDHI:

Amepokea Tirmidhi katika kitabu chake Jamius-Swihaah, katika fadhila zaAhlul-Bayt kutoka kwa Jaabir bin Abdillah amesema: “Nilimuona Mjumbewa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) wakati wa hija siku ya Arafa juu ya kikaliocha ngamia akihutubia, basi nilimsikia akisema: ‘Enyi watu! Hakika miminakuachieni ambavyo mtakaposhikamana navyo hamtapotea kamwe,

121

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

Kitabu cha Mwenyezi Mungu na kizazi changu Ahlul-Bayt wangu’Amesema: Na katika mlango mwingine kuna hadithi kutoka kwa AbuDharr, Abu Said Zayd bin Arqam na Hudhaif bin Asiid...”174

Aidha imepokewa kutoka kwa Zayd bin Arqam (r.a.) amesema: “Mtume(s.a.w.w.) amesema: ‘Hakika nakuachieni ambavyo mtakaposhikamanavyo hamtapotea kamwe baada yangu kimoja ni kikubwa kuliko kingine,Kitabu cha Mwenyezi Mungu ni kamba iliyonyooka kutoka mbingunimpaka ardhini na kizazi changu Ahlulbayt wangu, na havitatengana mpakavirudi kwangu katika hodhi, basi angalieni vipi mtanifuata katikahivyo.”’175

4. AL-JAAMIUS-SWAGHIIR CHA HAFIDH SUYUUTWI:

Na imekuja katika Jaamius-Swaghiir katika hadithi sahihi nayo ni hadithinambari 1608: “Ama baada ya hayo, enyi watu, hakika mimi ni binadamuanakaribia kuja mjumbe wa Mola Wangu kuniita nami nitaitikia, kwa haki-ka nawaachia vizito viwili, kimojawapo ni Kitabu cha Mwenyezi Mungundani yake kuna nuru na uongofu, yeyote atakayeshikamana nacho nakukitendea kazi atakuwa katika uongofu na mwenye kukiacha atapotea,basi kifanyieni kazi Kitabu cha Mwenyezi Mungu Mtakatifu, na mshika-mane nacho, na Ahlul-Bayt wangu, nakukumbusheni Mwenyezi Mungukuhusu Ahlul-Bayt wangu.”176

Aidha katika Jaamiul-Swaghiir cha Suyuutwi hadithi nambari 2631 ame-sema (s.a.w.w.): “Hakika mimi nawaachia vitu viwili, Kitabu chaMwenyezi Mungu, ni kamba iliyonyooka kutoka mbinguni hadi ardhini, nakizazi changu Ahlul-Bayt wangu, na hivyo havitatengana mpaka virudikwangu katika hodhi.”177

122

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

174 Al-Jamius-Sihah, Juz. 5, uk. 621.175 Al-Jamius-Sihah, Juz. 5, uk. 622.176 Al-Jaamius-Swaghiir Juz. 2, uk. 174 – 175.177 Al-Jaamius-Swaghiir Juz. 3, uk. 14.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

FAIDHUL-QADIIR CHA ALLAMA AL-MUNAWI:

Anasema Allama Munawi: “Katika sifa na daraja kupita wote, kutoka kwaZayd bin Arqam amesema: Mtume (s.a.w.w.) alisimama akahutubia sehe-mu ya maji inayoitwa Khum baina ya Makka na Madina, akamhimidiMwenyezi Mungu Mtukufu na kumsifu, akatoa waadhi na kukumbusha,kisha akasema: ‘Ama baada..”’ akaitaja Hadithi. Kisha akasema: Naimeelezwa na Muslim kwa njia tofauti, moja ya lafudhi yake ni: “Zaydaliambiwa: “Je! wanawake na wake sio miongoni mwa Ahlul-Bayt wake?”Akasema: ‘Wanawake sio katika Ahlul-Bayt wake, lakini Ahlul-Bayt wakeni wale ambao wameharamishiwa sadaka baada yake”’. Na katika hadithinyingine: “Hakika mwanamke anakuwa pamoja na mwanamme mudafulani, kisha anapewa talaka basi hurudi kwa baba yake na watu wake,Ahlul-Bayt wake kwa hakika ni wale wanahusiana naye na katika damuyake ambao wameharamishiwa sadaka”.178

Nasema: Hayo yote ni dalili ya wazi katika kuonyesha ufisadi na uovu wayule anayedhani kuwa wanawake wa Mtume (s.a.w.w.) ni katika Ahlul-Bayt wake (s.a.w.w.), kama asemavyo Ustaadh Muhammad Nassur DiinAlbaani: “Na Ahlul-Bayt wake kwa hakika ni wakeze (s.a.w.w.) na kati yaoni Aisha (r.a.) aliye mkweli” na huko ni kumzushia Mtume (s.a.w.w.) kamailivyoelezwa hapo kabla na Wanachuoni wakubwa wa Ahlus-Sunna.

Aidha anasema Allama Munawi: ‘“Hakika mimi ninakuachieni baada yakifo changu mambo mawili” na akaongeza katika hadithi, “kimoja nikikubwa zaidi kuliko kingine,” na katika hadithi nyingine badala yamambo mawili “vizito viwili”.179 Ameviita kwa jina hilo kutokana na

123

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

178 Faydhul-Qadiir Juz. 2, uk. 175.179 Nasema: Kauli yake “Makhalifa wawili” iliyopo kwenye baadhi ya riwayainafasiri makusudio ya Ahlul-baiti, kwa sababu haiwezekani mwanamke au mkewa Mtume (s.a.w.w.) kuwa Khalifa juu ya waisilamu baada ya kifo chake(s.a.w.w.). Na hii pia ni dalili tosha kuthibitisha kuwa muradi wa Ahlul-baiti siwakeze Mtume (s.a.w.w.). Na ukishataja wake za Mtume, ya nini tena kusema,“akiwemo Aisha?” – Mhariri.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

uzito wa utukufu wake, “Kitabu” ni Qur’ani “Kamba iliyonyooka baina yambingu na ardhi”...... “Na kizazi changu” ni mwenza wake, na “Ahlul-Bayt” ni upambanuzi baada ya kutokuwa imeshachanganuliwa kinagauba-ga na kibayana, nao ni watu wa kishamiya ambao Mwenyezi Mungu ame-waondolea uchafu na kuwatoharisha tohara ya kabisa kabisa, na inase-mekana kuwa ni wale ambao wameharamishiwa Zaka. Yaani mkifuataamri za kitabu chake na kukatazika makatazo yake mtaongoka kwa uon-gofu wa kizazi changu na uongofu wa nyendo zao hamtapotea.

Qurtubi amesema: “Usia huu na msisitizo mkubwa huo unapelekea wajibuwa kuwaheshimu ndugu zake... na hilo linakwenda pamoja na kujuamambo makhsusi waliyonayo kwa Mtume (s.a.w.w.), na kwamba wao nikiungo kutokana naye, nao ni msingi ambao ameuanzisha na matawi yakeyakapatikana kutokana na yeye, kama alivyosema: “Fatimah ni sehemu yamwili wangu”, pamoja na hivyo Bani Umayya wakapinga - na miongonimwao ni Aamir Najjar, Muhammad Nassor bin Albaani, Ali AhmadSaaluus, Ihsaan Dhahiir na wengineo - haki hizo kubwa kwa kuziacha nakuzivunja, basi wakamwaga damu za Ahlul-Bayt, wakawapora wanawakewao, wakawatesa watoto wao, wakawatoa majumbani mwao,wakakanusha utukufu wao na fadhila zao, wakahalalisha kuwatukana nakuwalaani, basi wakamkhalifu Mtume (s.a.w.w.) katika wasia wake,wakakabiliana na kukusudia kuupotosha ukweli, fedheha iliyoje wataka-posimamishwa mbele yake. “Na hivyo viwili”.... Na katika hadithinyingine: ‘Hakika Mwenyezi Mungu mwenye lutfi amenipa habari kuwahivyo viwili “havitatengana kamwe”, yaani Kitabu cha Mwenyezi Munguna kizazi chake, yaani vitaendelea kuwa pamoja ‘hadi virudi kwangu kati-ka hodhi”’.

Allama Munawi anasema katika tanbihi: “Amesema Shariif: “Habari hizozinafahamisha kuwepo kwa yule ambaye inastahiki kushikamana nayemiongoni mwa Ahlul-Bayt na kizazi kitakatifu, katika kila zama mpakaKiyama kitakaposimama, ndio maana msisitizo huu uliotajwa ukaelekezakushikamana naye kama vile ilivyo kwa Qur’ani, kwa hivyo walikuwa ni

124

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

amana kwa watu wa ardhini, watakapotoweka wao basi watatoweka watuwa ardhini.”

Haythami amesema: “Wapokezi wake ni waaminifu, aidha ameipokea hiyoAbu Yaali kwa mlolongo wa wapokezi, hakuna taabu juu ya hilo. NaHafidh bin Abdul-Azizi bin Akhdhar ameongeza kuwa, hakika yeye alise-ma hayo katika Hijja ya kuaga. Na akadhania yule aliyedhania kuwaimezushwa kama vile Ibn Jauzi, amesema Samuhudi: ‘Katika mlango kunahadithi zinazozidi ishirini kutoka kwa sahaba.”’180

Nasema: Haistaajabishi kusema kuwepo uzushi kwenye kila ambalolinalofungamana na watu wa kishamia, Ali, Fatima, Hasan na Husein kati-ka hadithi, kwani ni kwa namna hiyo amejaribu Ibn Jauzi na wengineomiongoni mwa Bani Umayya na Bani Abbas kuzifanya dhaifu hadithi hizo,kwa malengo ya chuki binafsi, matamanio ya kijahili na itikadi yao.

AL-KHASWAIS CHA NISAAI, MMOJA WA WATUNZI WAVITABU SAHIH SITA:

Na katika hadithi Sahih iliyopokewa na Zayd bin Arqam Amesema: “Pindialipomaliza Mtume (s.a.w.w.) Hijja ya kuaga alifika Ghadiir-Khum,aliamrisha watengeneze jukwaa, baada ya kutengenezwa akasema: “Kanakwamba nitaitwa na nitaitikia wito, hakika mimi nawaachia vizito viwili,kimoja ni kikubwa kuliko kingine: Kitabu cha Mwenyezi Mungu na kizazichangu Ahlul-Bayt wangu, basi angalieni mtanifuataje katika hivyo, haki-ka hivyo havitatengana kamwe hadi virudi kwangu katika hodhi.” Kishaakasema: “Hakika Mwenyezi Mungu ni msimamizi wa mambo yangu namimi ni msimamizi wa kila muumini,” kisha akakamata mkono wa Ali(r.a.) hapo akasema: “Yeyote yule ambaye mimi nilikuwa mtawalia wamambo yake, basi na huyu ni kiongozi wake, ewe Mola Wangu mtawalishemwenye kumtawalisha yeye na mfanye adui anayemfanyia uadui yeye.”

125

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

180 Faydhul-Qadiir, Juz. 3, uk. 14 - 15.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

Nikasema kumwambia Zayd: “Ulimsikia Mtume (s.a.w.w.) akisemahayo?” Akasema: ‘Ndio, hakika yeye alisimama juu ya vikalio vya ngamiaalionekana na kusikika na kila mmoja”’.181

Nasema: Na hiyo ni katika dalili za wazi kuthibitisha kuwa makusudio yaAhlul-Bayt katika Hadith Thaqalain ni watu wa kishamiya (a.s.).

7. AL-MANAAQIB CHA IBN MAGHAZILI SHAFII:

1. Imekuja katika hotuba ya Mtume (s.a.w.w.) siku ya Ghadiir-Khum kamaalivyoipokea Ibn Maghazili, maneno ya Mtume (s.a.w.w.): “...Hakika miminitatangulia nanyi mtanifuata, mtakaporejea kwangu katika hodhi, nitaku-ulizeni kuhusiana na vizito viwili vipi mlinifuata katika hivyo,” Akasema:“Chungeni sana juu ya vizito viwili,” hapo akasimama mtu mmoja mion-goni mwa Muhajiriina akasema: “Kwa haki ya baba na mama yangu, eweNabii wa Mwenyezi Mungu ni vipi hivyo vizito viwili?” Mtume (s.a.w.w.)akasema: “Kikubwa zaidi ni Kitabu cha Mwenyezi Mungu Mtukufu, nchamoja iko mikonini mwa Mwenyezi Mungu na ncha nyingine iko mikononimwenu, basi mshikamane nacho wala hamtapotea, na kidogo kati ya hivyoni kizazi changu, yeyote mwenye kuelekea kibla changu akaitikia mwitowangu msiwauwe, msiwatweze, wala msiwaache, hakika mimi nimem-womba hao Mwenyezi Mungu Mpole, Mwenye habari na akanipa,mwenye kuwanusuru nitamnusuru, mwenye kuwadhalilisha hao amenid-halilisha mimi, mwenye kuwatawalisha hao amenitawalisha mimi,mwenye kuwafanyia uadui amenifanyia mimi...” Kisha akakamata mkonowa Ali bin Abi Twalib (a.s.) akaunyanyua juu kisha akasema: “Yeyote yuleambaye mimi ni mtawalia wa mambo yake basi na huyu ni mtawalia wamambo yake, na ambaye mimi nilikuwa walii wake basi na huyu ni waliiwake. Ewe Mola Wangu mpende mwenye kumpenda huyu, na mfanyieuadui mwenye kumfanyia uadui yeye,” alisema hayo mara tatu”.182

126

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

181 Al-Khaswais, uk. 70.182 al-Manaqib, uk. 30 – 31.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

2. Ameeleza Ibn Maghazili kutoka kwa Amirul Muuminiina siku ya maapi-zo kutokana na maneno yake (a.s.): “... akasema: Nakuapizeni kwaMwenyezi Mungu na nakukumbusheni Mwenyezi Mungu Je! Mna juakuwa mjumbe wa Mwenyezi Mungu (Rehma na amani ziwe juu yake)amesema: “Hakika mimi ninakuachieni vizito viwili: Kitabu chaMwenyezi Mungu na kizazi changu, kamwe havitaachana mpaka virudikwangu katika hodhi? ” Wakasema: “Ndio.” Akasema: “NakukumbusheniMwenyezi Mungu Je! Yupo mmoja kati yenu ameshushiwa na MwenyeziMungu Aya ya Utakaso ikamuhusu, kama anavyosema: “HakikaMwenyezi Mungu anataka kukuondoleeni uchafu Ahlul-Bayt na awa-toharishe tohara ya kabisa kabisa” asiyekuwa mimi?” Wakasema:“Allahumma la hasha isipokuwa wewe.”183

3. Imepokewa kutoka kwa Zayd bin Arqam amesema: “Mtume (s.a.w.w.)amesema: ‘Hakika mimi nawaachia vizito viwili: Kitabu cha MwenyeziMungu na kizazi changu Ahlul-Bayt wangu na hivyo viwili havitatenganampaka virudi kwangu katika hodhi.”’184

4. Imepokewa kutoka kwa Abu Said Khudri amesema: “Mtume (s.a.w.w.)amesema: ‘Karibu nitaitwa nami nitaitikia, na hakika mimi ninawaachiavizito viwili: Kitabu cha Mwenyezi Mungu Azzawajalla na kizazi changuAhlul-Bayt wangu, basi angalieni mtanifuataje katika hivyo.”’185

5. Kutoka kwa Abu Said Khudri kuwa Mtume (s.a.w.w.) amesema:“Hakika mimi nitaitwa muda sio mrefu nami nitaitikia, na mimininakuachieni vizito viwili: Kitabu cha Mwenyezi Mungu ambacho nikamba iliyonyooka kutoka mbinguni hadi ardhini na kizazi changu Ahlul-Bayt, na Mwenyezi Mungu mwenye habari amenipa habari kwamba hivyoviwili havitatengana kamwe hadi virudi kwangu kwenye hodhi, basi

127

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

183 al-Manaqib, uk. 91.184 al-Manaqib, uk. 156.185 al-Manaqib, uk. 156.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

angalieni vipi mtanifuata katika hivyo.”186

6. Kutoka kwa Yazid bin Hayyan amesema: “Nilimsikia Zayd bin Arqamanasema: Siku moja Bwana Mtume (s.a.w.w.) alisimama mbele yetu naakahutubia akasema: “Ama baada ya hayo, Enyi watu, mimi ni binadamuhivi karibuni nitaitwa nami nitaitikia, hakika mimi nawaachia vizito viwili,navyo ni Kitabu cha Mwenyezi Mungu ndani yake kuna uongofu na nurubasi chukueni yaliyomo katika Kitabu cha Mwenyezi Mungu na mshika-mane nayo,” na akaasa na kuhimiza juu ya Kitabu cha Mwenyezi Mungukisha akasema: “Na Ahlul-Bayt wangu nawakumbusheni MwenyeziMungu kuhusu Ahlul-Bayt wangu,” aliyesema hayo mara tatu”.187

DHAKHAIRUL-UQBA CHA HAFIDH MUHIBBU-DIIN AT-TWABARI:

Hafidh Muhibbu Diin Twabari anasema: “Mlango wa Fadhila za Ahlul-Bayt na msisitizo wa kushikamana nao pamoja na Kitabu cha MwenyeziMungu Azza-Wajalla, imepokewa kutoka kwa Zayd bin Arqam (r.a.) ame-sema: Mtume (s.a.w.w.) amesema: ‘Hakika mimi ninawachieni vizitoviwili, mkishikamana navyo kamwe hamtapotea baada yangu, kimoja nikitukufu zaidi ya kingine, Kitabu cha Mwenyezi Mungu Azza-Wajalla,nayo ni kamba iliyonyooka kutoka mbinguni hadi Ardhini, na kizazichangu Ahlul-Bayt wangu, kamwe havitatengana mpaka virudi kwangukwenye hodhi, basi angalieni mtanifuataje katika hivyo.”’188

9. SUNANUD-DAARMI:

Amepokea Daarmi katika Sunan yake kutoka kwa Zayd bin Arqam ame-sema: “Siku moja Mtume (s.a.w.w.) alisimama na kuhutubia, akamhimidi

128

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

186 Al-Manaqib, uk. 154.187 Al-Manaqib, uk. 157.188. Dhakhairul-Uqba, uk. 16.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

Mwenyezi Mungu na kumsifu kisha akasema: “Enyi watu mimi nibinadamu, muda sio mrefu nitaitwa na mjumbe wa Mola Wangu nami nita-mwitikia, na hakika mimi ninawaachia vizito viwili kimoja ni Kitabu chaMwenyezi Mungu, kina uongofu na nuru, basi shikamaneni na Kitabu chaMwenyezi Mungu na mkitendee kazi,” akasisitiza na kuhamasisha kukifu-ata kisha akasema: “Na Ahlul-Bayt wangu nawakumbusheni MwenyeziMungu juu ya Ahlul-Bayt wangu.” alisema hayo mara tatu”.189

Nasema: Na ambalo linajulisha kuwa Hadith Thaqalain ni mutawatiri kwalafudhi “Na kizazi changu Ahlul-Bayt wangu” ni kuwa hata Daarmiameiandika katika Sunan yake, kwani ni mashuhuri kwamba Daarmi huwahaandiki wala hapokei fadhila za Ahlul-Bayt (a.s.), lakini hata hivyoameieleza na kuiandika Hadith Thaqalain katika Sunan yake, na hilo lina-julisha kuwa ni mutawatiri isiyowezekana kukanushwa.

10. IS’AAFUR-RAAGHIBIIN CHA IBN SWABAAN:

Kutoka kwa Zayd bin Arqam amesema: “Mtume (s.a.w.w.) alisimama nakuhutubia, akamhimidi Mwenyezi Mungu na kumsifu kisha akasema:“Enyi watu, hakika mimi ni binadamu mfano wenu, muda sio mrefu nita-jiwa na mjumbe wa Mola Wangu Azza Wajalla, yaani mauti, naminitaitikia na hakika mimi nawaachia vizito viwili: Kitabu cha MwenyeziMungu, nacho kina uongofu na nuru basi shikamaneni na Kitabu chaMwenyezi Mungu Azza Wajalla na kitendeeni kazi, na Ahlul-Bayt wangu...” Na katika hadithi nyingine: ‘Hakika mimi nawaachia vizito viwili:Kitabu cha Mwenyezi Mungu na kizazi changu.”’190

Na katika hadithi ya Imam Ahmad bin Hanbali amesema: “Hakika mimimuda sio mrefu nitaitwa nami nitaitikia, hakika mimi nawaachia vizitoviwili: Kitabu cha Mwenyezi Mungu, nayo ni kamba iliyonyooka kutokaardhini hadi mbinguni, na kizazi changu Ahlul-bat wangu, hakika

129

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

189. Sunanid-Darmiy Juz. 2, uk. 431- 432. 190. Is'afur-Raghibiin, uk. 119.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

mwenyezi Mungu mpole mwenye habari amenihabarisha kuwa hivyoviwili havitatengana kamwe mpaka virudi kwangu kwenye hodhi siku yaKiyama, basi angalieni mtanifuataje katika hivyo.” Na katika hadithinyingine: ‘Hodhi yangu kati ya Basra na Swanaa idadi ya vyombo vyakeni idadi ya nyota, hakika Mwenyezi Mungu atakuulizeni namna gani mlin-ifuata Katika kitabu cha Mwenyezi Mungu na Ahlul-Bayt wangu.”’191

11. ANSAABUL-ASHRAAF CHA BALADHURI:

Amepokea Baladhuri kutoka kwa Zayd bin Arqam amesema: “Tulikuwapamoja na Mtume (s.a.w.w.) katika Hija ya muago, na pindi tulipofikaGhadir-Khum akaamrisha litengenezwe jukwaa kutokana na matandiko yajuu ya ngamia, ilipokamilika akasimama na kusema: “Kana kwambanimeitwa nami nimeitikia, na hakika Mwenyezi Mungu ni mtawaliwa wamambo yangu nami ni mtawalia wa kila muumini, na mimi ninawaachiaambavyo mkishikamana navyo hamtapotea kamwe, Kitabu cha MwenyeziMungu na kizazi changu Ahlul-Bayt wangu, hakika hivyo viwili havi-tatengana kamwe hadi virudi kwangu kwenye hodhi,” kisha akaukamatamkono wa Ali, akasema: ‘Ambaye nilikuwa mimi ni mtawalia wa mamboyake basi na huyu ni mtawalia wa mambo yake, ewe Mola Wangu, mtawal-ishe mwenye kumtawalisha yeye na mfanye adui mwenye kumfanyiauadui.”’192

12. SHARHUT-TWAHAAWIYAH FIL-AQIIDATIS-SALAFIYAH CHAIBN ABDUL-AZZI:

Anasema Ibn Abdul-Azzi katika sherehe yake ya Twahawiya Fil-Aqiidatis-Salafiyah: “Na katika Sahih Muslim kutoka kwa Zayd bin Arqam amese-ma: Mtume (s.a.w.w.) alisimama mbele yetu akahutubia sehemu ya majiinayoitwa Khum baina ya Makka na Madina akasema: “Amma baada ya

130

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

191 Is'afur-Raghibiin, uk. 119192. Ansabul-Ashraf, uk. 110 - 111.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

hayo, Enyi watu, hakika mimi ni binadamu, muda sio mrefu nitajiwa namjumbe wa Mola Wangu kuniita nami nitamwitikia Mola Wangu, na haki-ka mimi nawachia vizito viwili, kimoja wapo ni Kitabu cha MwenyeziMungu, kina uongofu na nuru ndani yake, basi kitendeeni kazi Kitabu chaMwenyezi Mungu na mshikamane nacho.” Basi akasisitiza na kuasa juu yaKitabu cha Mwenyezi Mungu ili kufanya watu wakipende, kisha akasema:“Na Ahlul-Bayt wangu, nawakumbusha Mwenyezi Mungu katika Ahlul-Bayt wangu.” Na ameeleza Bukhari kutoka kwa Abu Bakr (r.a.) amesema:‘Mfuateni kwa makini Muhammad katika Ahlul-Bayt wake.”’193

Ibn Abdul-Izza anasema katika Sherehe ya Twahaawiya Fil-Aqiidatis-Salafiyyah: “Pindi Aya hii ilipoteremshwa: “Basi sema njooni tuwaitewatoto wetu na watoto wenu, wanawake wetu na wanawake wenunafsi zetu na nafsi zenu.” Mtume (s.a.w.w.) aliwaita Ali, Fatimah, Hasanna Husein akasema: ‘Hawa ndio Ahli zangu.”’194

13. HILYATUL-AWLIYAAI CHA ABI NA’IM ISFAHAAN:

Amepokea Abu Na’im katika Hilyatul-Awliyaai kutoka kwa Abu Tufa’lAamir bin Waathilah kutoka kwa Huzaifah bin Asiid Ghaffar amesema:“Mtume (s.a.w.w.) amesema: ‘Enyi watu mimi nitawatangulia na hakikamtakuja kwangu kwenye hodhi, na bila shaka nitawauliza mtakapokujakwangu kuhusiana na vizito viwili, basi angalieni vipi mtanifuata katikahivyo, kizito kikubwa ni Kitabu cha Mwenyezi Mungu, ncha moja ikomikononi mwake na ncha nyingine iko mikononi mwenu, basi shikama-neni nacho msipotee wala msibadilike, na kizazi changu Ahlul-Baytwangu, hakika mwenye upole na mwenye habari ameniambia kuwa hivyoviwili havitaachana kamwe hadi virudi kwangu kwenye hodhi.”’195

131

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

193. Sharhut-Twahaawiyah Fil-Aqiidatis-Salafiyyah, uk. 332.194 Sharhut-Twahaawiyah Fil-Aqiidatis-Salafiyyah uk 328.195 Hilyatul-Awliyaai, Juz. 1, uk. 355.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

Na amepokea Abu Na’im kutoka kwa Imam Shafii amesema: “Ametupahabari Abdullah bin Jafar... akasema: Ametusimulia Ahmad bin YunusDhabii, ametusimulia Ammar bin Nasurri, ametusimulia Ibrahim bin YasiaMalki, ametusimulia Jafar bin Muhammad amesema kutoka kwa babayake kutoka kwa babu yake kutoka kwa Ali amesema: “Alihutubia BwanaMtume (s.a.w.w.) sehemu inayoitwa Juhfah akasema: ‘... Na nitakuulizenikuhusu vitu viwili, kuhusu Qur’ani na kizazi changu.”’

14 AD-DURRUL-MANTHUUR FIY

TAFSIIRIL-MAATHUUR CHA SUYUUTWI:

Ametaja Jalalu-Diin Suyuutwi katika tafsiri yake hadithi nyingi kuhusianana Hadith Thaqalain kwa lafudhi ya “Na kizazi changu Ahlul-Baytwangu.” Hapa tunataja baadhi ya hizo:

Mosi: Katika tafsiri ya maneno yake Subhaanah Wataala katika Suratul-Imraan Aya ya 103, na katika tafsiri ya kauli ya Subhaanahu wa Ta’ala:“Na shikamaneni na kamba ya Mwenyezi Mungu .....” Na ameelezaAhmad kutoka kwa Zayd bin Thabit amesema: Mtume (s.a.w.w.) amese-ma: “Hakika mimi nawaachia vitu viwili, Kitabu cha Mwenyezi MunguMtukufu, ni kamba iliyonyooka kati ya mbingu na ardhi na kizazi changuAhlul-Bayt wangu, hakika hivyo viwili havitatengana kamwe hadi virudikwenye hodhi.”

Pili: Na ameeleza Twabaraani kutoka kwa Zayd bin Arqam amesema:Mtume (s.a.w.w.) amesema: “Hakika mimi nitakutangulieni na nyinyimtakuja kwangu kwenye hodhi, basi angalieni vizuri vipi mtanifuata kati-ka vizito viwili,” ikaulizwa: “Ni vipi hivyo vizito viwili, ewe Mjumbe waMwenyezi Mungu?” Akasema: ‘Kikubwa ni Kitabu cha Mwenyezi MunguAzza Wajalla, ni kamba iliyonyooka toka mbinguni hadi ardhini, upandemmoja uko katika mikono ya Mwenyezi Mungu na upande mwingine ukokatika mikono yenu, basi mshikamane nacho, hamtateleza wala ham-

132

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

tapotea, na kidogo ni kizazi changu hivyo viwili havitatengana kamwe hadivirudi kwangu kwenye hodhi, nimemuomba Mola Wangu, hivyo msivitan-gulie mtaangamia, wala msivifundishe kwani ni vijuzi zaidi kulikonyinyi.”’

Tatu: Ameeleza Ibn Saad, Ahmad na Twabaraani kutoka kwa Abu SaidKhudri amesema: “Mtume (s.a.w.w.) amesema: ‘Enyi watu, hakika miminawaachia vitu viwili ambavyo mtakaposhikamana navyo hamtapoteabaada yangu, kimoja ni kikubwa kuliko kingine, Kitabu cha MwenyeziMungu kamba iliyonyooka kati ya mbingu na ardhi, na kizazi changuAhlul-Bayt wangu, hakika hivyo viwili havitatengana kamwe hadi virudikwangu kwenye hodhi.”’196

Na imekuja katika tafsiri ya maneno ya Mwenyezi Mungu Subhaanahu waTa’ala: “Sema sitaki malipo yoyote kutoka kwenu isipokuwa kuwapen-da karaba zangu.” Anasema Suyuutwi: Ameieleza Tirmidhi na akaipa-sisha kuwa ni hadithi hasan, na amesema Ibn Abbas katika Maswahif kuto-ka kwa Zayd bin Arqam (r.a.): Mtume (s.a.w.w.) amesema: ‘Hakika miminawaachia ambavyo mkishikamana navyo hamtapotea kamwe baadayangu, kimoja ni kikubwa kuliko kingine, Kitabu cha Mwenyezi Mungukamba iliyonyooka kutoka mbinguni hadi ardhini na kizazi changu Ahlul-Bayt wangu, na kamwe havitatengana hadi virudi kwangu kwenye hodhi,basi angalieni vipi mtanifuata katika hivyo.”’197

Nasema: Hayo ndiyo ambayo yameelezwa na Suyuutwi katika tafsiri yamaneno ya Subhanahu wataala: “Nashikamaneni na kamba yaMwenyezi Mungu” na katika tafsiri ya Aya hiyo hakusema:“Kushikamana na Sunna”. Na hilo lajulisha upotofu wa mwenye kuitikadikuwa Mtume (s.a.w.w.) ameusia Kitabu na Sunna.

133

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

196 Ad-Durul-Manthur Juz. 2, uk. 107.197 Ad-Durul-Manthur Juz. 5, uk. 702.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

15. TAFSIRUL-QUR’ANI ADHIIM YA IBN KATHIIR:

Ibn Kathiir anasema katika tafsiri yake: “Na imethibiti katika hadithi sahi-hi kwamba Mtume (s.a.w.w.) amesema katika hotuba yake ya Ghadiir-Khum: ‘Hakika mimi nawaachia vizito viwili: Kitabu cha MwenyeziMungu na kizazi changu, na hivyo viwili havitatengana kamwe hadi viru-di kwangu kwenye hodhi.”’198

Na hadithi iliyopokewa na Zayd bin Arqam: “.....Siku moja Mtume(s.a.w.w.) alisimama akihutubia kati yetu sehemu ya maji panapoitwaGhadir-Khum, akasema: “Na hakika mimi ninakuachieni vizito viwilikimoja wapo ni Kitabu cha Mwenyezi Mungu Mtukufu, kina uongofu nanuru, basi chukueni Kitabu cha Mwenyhezi Mungu na shikamaneninacho,” akaasa juu ya Kitabu cha Mwenyezi Mungu na kuhamasisha, naakasema (s.a.w.w.): “Na Ahlul-Bayt wangu nawakumbusha kwaMwenyezi Mungu katika Ahlul-Bayt,” Haswiin akamwambia: “Ni nanihao Ahlul-Bayt wake, ewe Zayd? Je! wanawake ni katika Ahlul-Baytwake?” Akasema: ‘Hakika wakeze sio miongoni mwa Ahlul-Baytwake...”’199

Nasema: Na kauli hiyo ni ya kinaga ubaga kutoka kwa Zayd bin Arqamkuwa wanawake wa Mtume (s.a.w.w.) sio katika Ahlul-Bayt, na hilo ndiolililo muktadha katika hadithi zote zilizotangulia katika tafsiri ya Aya yaMapenzi, Aya ya Utakaso na Aya ya Maapizano, basi rejea huko.

Na katika hadithi nyingine kutoka kwa Zayd bin Arqam (r.a.) amesema:“Mtume (s.a.w.w.) amesema: “Hakika mimi nawaachia ambavyo mtaka-poshikamana navyo hamtapotea kamwe baada yangu, kimoja ni kitukufukuliko kingine, Kitabu cha Mwenyezi Mungu kamba inyookayo kutokambinguni hadi ardhini, na kingine ni kizazi changu Ahlul-Bayt wangu, na

134

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

198 Tafsirul-Qur’ani Al-Adhiim Juz. 4, uk 122 199 Tafsirul-Qur’ani Al-Adhiim Juz. 4, uk 122.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

kamwe havitatengana mpaka virudi kwangu kwenye hodhi, basi angalienivipi mtanifuata katika hivyo...”

Aidha Tirmidhiy amesema: Kutoka kwa Jaabir bin Abdillah (r.a.) amese-ma: Nilimuona Mjumbe wa Mwenyezi Mungu (Rehema na amani ziwe juuyake na ndugu zake) wakati akiwa Hijja sehemu ya Arafa naye akiwa juuya ngamia wake Qaswaai, akihutubia, nilimsikia akisema: “Enyi watuhakika mimi nakuachieni vitu ambavyo mtakaposhikamana navyo kamwehamtapotea: Kitabu cha Mwenyezi Mungu na kizazi changu Ahlulbaytwangu.” Ibn Kathiir amesema: “Ameipokea yeye pekee.” Aidha akasematena: “Ni hadithi nzuri yenye kushangaza.” Na katika mlango mwinginekuna hadithi kutoka kwa Abu Dharr, Abu Said, Zayd bin Arqam naHudhaifa (Mwenyezi Mungu awe radhi nao).”200

16. AL-MUSTADRAK ALAS-SWAHIHAIN CHA HAKIM, PAMOJANA KITABU TALKHIISW CHA DHAHABI

Hadithi ya kwanza: Hakimu anasema: “Amenipa habari Muhammad binAli Shaybaani Kufii, amesema Ahmad bin Hazim Ghaffar, ameeleza AbuNa’im, ameeleza Kamil Abu Allaai, amesema: “Nilimsikia Habiib bin AbuThabiti akieleza habari kutoka kwa Yahya Ibn Juudah kutoka kwa Zayd binArqam (r.a.) amesema: “Tulitoka pamoja na Mtume (s.a.w.w.) haditulipofika Ghadiir-Khum.............“Na hakika mimi nakaribia kuitwa naminitaitikia, na hakika mimi nawaachia ambavyo mtakaposhikamana navyohamtapotea baada yangu, Kitabu cha Mwenyezi Mungu Azza Wajalla,”kisha akakamata mkono wa Ali (r.a.) akasema: “Enyi watu ni nani borazaidi kuliko nafsi zenu?” Wakasema: “Mwenyezi Mungu na Mtume niwajuzi zaidi.” Akasema: “Yeyote niliyekuwa mimi ni kiongozi wake basina huyu ni kiongozi wake.” Hadithi hii ni Sahih katika upokezi wake hatakama Bukhari na Muslim hawajaipokea.”

135

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

200 Tafsirul-Qur’ani Al-Adhiim Juz. 4, uk. 122 – 123.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

Al-Hafidh Dhahabi akasema katika Kitabu chake Talkhiis Alal-Mustadrak:“Amesema Abu Na’im: Ameeleza Kamil Abu Alaai: “Nilimsikia Habiibbin Abu Thabit kutoka kwa Yahya bin Juudah kutoka kwa Zayd bin Arqamamesema: “Tulitoka pamoja na Bwana Mtume (s.a.w.w.) hadi tulipofikaGhadiir-Khum....” Ni hadithi sahihi.”201

Hadithi ya pili: Kutoka kwa Abu Tufa’il kutoka kwa Zayd bin Arqam(r.a.) amesema: “Pindi Mtume (s.a.w.w.) alipokuwa anarejea kutoka katikaHijja yake ya kuaga alifikia Ghadiir-Khum... akasema: “Mimi nawachienivizito viwili kimoja ni kikubwa kuliko kingine, Kitabu cha MwenyeziMungu na kizazi changu basi angalieni vipi mtanifuata katika hivyo viwili,hakika hivyo havitatengana kamwe hadi virudi kwangu kwenye hodhi.”Kisha akasema: “Hakika Mwenyezi Mungu Azza Wajalla ni kiongoziwangu, na mimi ni kiongozi wa kila muumini”, kisha akaushika mkono waAli (r.a.) akasema: ‘Yeyote ambaye mimi ni kiongozi wake basi na huyu nikiongozi wake, ewe Mola Wangu, mtawalishe mwenye kumtawalisha yeyena mfanye adui mwenye kumfanyia uadui yeye.”’

Hadithi hiyo ni sahihi kwa mujibu wa sharti za Bukhari na Muslimujapokuwa hawakuiandika, na hakika Hafidh Dhahabi ameipitisha nakuikubali hadithi hiyo katika kitabu chake Talkhiis. 202

Hadithi ya tatu: Anasema Hakim (ameshuhudia) hadithi ya Salama bintKahiil kutoka kwa Abu Tufa’il aidha ameipasisha na ni sahihi kwa sharti laBukhari na Muslim….. kisha akasema: “Enyi watu, hakika miminakuachieni mambo mawili... Kitabu cha Mwenyezi Mungu na Ahlul-Baytwangu kizazi changu...” Na hadithi ya Buraidah Aslamah ni Sahih kwaSharti la mashekhe wawili.203

136

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

201. Talkhiis Alal-Mustadrak Juz. 3, uk. 533.202. Talkhiis Alal-Mustadrak Juz. 3, uk. 109203. Al-Mustadrak Juz. 3, uk. 10 -11.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

Hadithi ya nne: Anasema Hakim: “Ametuhadithia Bakr Muhammad binHusein bin Muslimul-Faqiih..... kutoka kwa Muslim bin Swabiih kutokakwa Zayd bin Arqam (r.a.) amesema: Mtume (s.a.w.w.) amesema: “Hakikamimi ninakuachieni vizito viwili: Kitabu cha Mwenyezi Mungu na Ahlul-Bayt wangu, na hivyo viwili havitatengana kamwe hadi virudi kwangukwenye hodhi.” Hadithi hii ni hadithi Sahih katika upokezi wake kwa shar-ti la masheikh wawili japo hawajaipokea.”

Na Dhahabi amekiri na ameikubali hiyo katika kitabu chake Talkhiis.204

17. TAFSIRUL-BAGHAWIY

Anasema Baghawi katika Tafsiir yake: “Tumepokea kutoka kwa Yazid binHayyan kutoka kwa Zayd bin Arqam kutoka kwa Mtume (s.a.w.w.) ame-sema: ‘Hakika mimi nawachieni vizito viwili: Kitabu cha MwenyeziMungu na Ahlul-Bayt wangu, nawakumbusheni Mwenyezi Mungu katikaAhlul-Bayt wangu.”’ 205

18. AL-FUTUHAATUL-ILAHIYYAH FI TAWDHIIH TAFSIRULJALALAINI CHA SULAIMAN SHAAFII:

Na katika kitabu Futuhaatul-Ilahiyyah: “Na wametofautiana katika nduguzake wa karibu na (s.a.w.w.), ikasemwa ni Fatimah, Ali na watoto wao, nakwao imeteremshwa Aya: “Hakika Mwenyezi Mungu anataka kukuon-doleeni uchafu...” Amepokea Zayd bin Arqam kutoka kwa Mtume(s.a.w.w.) amesema: ‘Hakika mimi nakuachieni vizito viwili: Kitabu chaMwenyezi Mungu na Ahlul-Bayt wangu, nakukumbusheni MwenyeziMungu katika Ahlul-Bayt wangu.”’206

137

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

204Talkhiis Alal-Mustadrak Juz. 3, uk. 148.205 Tafsirul-Baghawiy Juz. 4, uk. 125.206 - Futuhaatul-Ilahiyyah Juz. 4, uk. 61

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

19. TAFSIRUL-KHAZIN:

Imekuja katika Tafsirul-Khazin katika tafsiri ya kauli ya Subhaanahu waTa’ala: “Sema sitaki malipo yoyote kutoka kwenu isipokuwa kuwapen-da watu wangu wa karibu.” Imepokewa kutoka kwa Zayd bin Arqamhakika Mtume (s.a.w.w.) amesema: “Hakika mimi ninawaachia vizitoviwili kimoja wapo ni Kitabu cha Mwenyezi Mungu ndani yake kuna uon-gofu na nuru, chukueni katika Kitabu cha Mwenyezi Mungu na shikama-neni nacho.” Akaasa juu ya Kitabu cha Mwenyezi Mungu kisha akasema:‘Na Ahlul-Bayt wangu nawakumbusha Mwenyezi Mungu juu ya Ahlul-Bayt wangu, nawakumbusha Mwenyezi Mungu juu ya Ahlul-Bayt.”’207

20. KANZUL-UMMAL FIY SUNANIL-AQWAAL WAL-AF’AAL CHAAL-MUTTAQIY AL-HINDIY:

1. Hadithi namba 871: “Enyi watu hakika mimi nawaachia ambavyomkishikamana navyo hamtapotea kamwe: Kitabu cha Mwenyezi Munguna kizazi changu Ahlulbayt.” (Ni kutoka kwa Jaabir). 208

2. Hadithi namba 872: “Enyi watu hakika ninakuachieni ambavyomkishikamana navyo kamwe hamtapotea: Kitabu cha Mwenyezi Munguna kizazi changu.” (Ni kutoka kwa Jaabir) 209

3. Hadithi namba 873. “Hakika mimi nawaachia vitu viwili: Kitabu chaMwenyezi Mungu kamba iliyonyooka kati ya mbingu na ardhi na kizazichangu Ahlulbayt wangu, hivyo viwili havitatengana kamwe hadi virudikwangu kwenye hodhi.” (Ni kutoka kwa Zayd bin Thabit)210

138

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

207 Tafsirul-Khazin, Juz. 4, uk. 101.208 Kanzul-Ummal, Juz. 1, uk. 153.209 Kanzul-Ummal, Juz. 1, uk. 153 - 154.210 Kanzul-Ummal, Juz. 1, uk. 154.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

4. Hadithi namba 874. “Hakika mimi nakuachieni ambavyo mkishikamananavyo hamtapotea kamwe baada yangu, kimoja ni kikubwa kuliko kingineKitabu cha Mwenyezi Mungu, kamba iliyonyooka kutoka mbinguni hadiardhini, na kizazi changu Ahlul-Bayt wangu, kamwe havitatengana mpakavirudi kwangu kwenye hodhi, basi angalieni vipi mtanifuata katika hiyo.”(Ni kutoka kwa Zayd bin Arqam)211

5. Hadithi namba 899: “Ama baada, enyi watu hakika mimi ni binadamunitajiwa na mjumbe wa Mola Wangu kuniita nami nitamwitikia, miminawaachia vizito viwili kimojawapo ni Kitabu cha Mwenyezi Mungundani yake kuna uongofu na nuru, mwenye kushikamana nacho atakuwakatika uongofu na mwenye kukiacha atapotea, basi kitendeeni kazi Kitabucha Mwenyezi Mungu Subhannahu wataala na shikamaneni nacho, naAhlul-Bayt wangu, nawakumbusha Mwenyezi Mungu juu ya Ahlul-Baytwangu.” ( Ni kutoka kwa Abdul bin Hamiid kutoka kwa Zayd binArqam)212

6. Hadithi namba 944. “Hakika mimi nawaachia ambavyo mkishikamananavyo hamtapotea kamwe baada yangu, Kitabu cha Mwenyezi Munguupande mmoja uko mikononi mwa Mwenyezi Mungu na upande mwingineuko mikononi mwenu, na kizazi changu Ahlul-Bayt wangu, hakika hivyoviwili havitatengana kamwe mpaka virudi kwangu kwenye hodhi.” (Nikutoka kwa Abu Said)213

7. Hadithi namba 945: “Hakika mimi karibu nitaitwa nami nitaitikia, nahakika mimi nakuachieni vizito viwili: Kitabu cha Mwenyezi Mungu nakizazi changu, Kitabu cha Mwenyezi Mungu ni kamba iliyonyooka kuto-ka mbinguni mpaka ardhini, na kizazi changu Ahlul-Bayt wangu, hakikamwenyezi Mungu Mtukufu na Mwenye habari amenieleza kuwa hivyoviwili havitatengana kamwe hadi virudi kwangu kwenye hodhi, basi

139

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

211. Kanzul-Ummal, Juz. 1, uk. 154.212. Kanzul-Ummal, Juz. 1, uk. 159.213 - Kanzul-Ummal, Juz. 1, uk. 165.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:07 PM P

angalieni mtanifuataje katika hivyo.” (Ni kutoka kwa Abu Said)214

8. Hadithi namba 946: “Hakika mimi nawaachia ambavyo mkishikamananavyo baada yangu hamtapotea kamwe: Kitabu cha Mwenyezi Mungu nakizazi changu Ahlul-Bayt wangu, na hivyo viwili havitatengana kamwehadi virudi kwangu kwenye hodhi.” (Ni kutoka kwa Abdul bin Hamid naIbn Ambari kutoka kwa Zaid bin Thabit)215

9. Hadithi namba 947: “Hakika mimi nitatangulia nanyi mtakuja kwangukwenye hodhi... basi angalieni vipi mtanifuata katika vizito viwili,”akaulizwa, ni vipi hivyo vizito viwili ewe Mjumbe wa Mwenyezi Mungu?Akasema: “Kikubwa ni Kitabu cha Mwenyezi Mungu ncha moja ikomikononi mwa Mwenyezi Mungu na ncha nyingine iko mikononi mwenu,basi shikamaneni nacho kamwe hamtapotea, na kidogo ni kizazi changu,hakika hivyo viwili kamwe havitaachana hadi virudi kwangu kwenyehodhi, na nilimuomba hivyo Mola Wangu, basi msivitangulie mtaangamiawala msivifundishe hakika hivyo ni vijuzi zaidi yenu.” ( Ni kutoka kwaZayd bin Thabit)216

10. Hadithi namba 948: Hakika hadithi ni kutoka kwa Zayd bin Thabit nakutoka kwa Zayd bin Arqam.217

11. Hadithi namba 950: Katika hadithi nyingine ni kutoka kwa AbuSaid.218

12. Hadithi namba 901: “Enyi watu hakika mimi ninakuachieni vizitoviwili kamwe hamtapotea iwapo mtavifuata hivyo: Kitabu cha Mwenyezi

140

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

214 - Kanzul-Ummal, Juz. 1, uk. 165 - 166.215 - Kanzul-Ummal, Juz. 1, uk. 166.216 - Kanzul-Ummal, Juz. 1, uk. 166.217 - Kanzul-Ummal, Juz. 1, uk. 166.218 - Kanzul-Ummal, Juz. 1, uk. 166 - 167.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:08 PM P

Mungu na Ahlul-Bayt wangu kizazi changu, mnajua mimi ni bora kwawaumini kuliko nafsi zao, basi yeyote ambaye mimi ni kiongozi wake basiAli ni kiongozi wake.” (Ni kutoka kwa Zaid bin Arqam)219

13. Hadithi namba 954: “Kana kwamba nimeitwa nimeitikia, hakika miminawaachia vizito viwili kimoja ni kikubwa kuliko kingine, Kitabu chaMwenyezi Mungu na kizazi changu Ahlul-Bayt wangu, basi angalieni vipimtanifuata katika hivyo, hakika hivyo havitatengana kamwe hadi virudikwangu kwenye hodhi, hakika Mwenyezi Mungu ni kiongozi wangu, namimi ni kiongozi wa kila muumini, na ambaye mimi ni kiongozi wake basipia Ali ni kiongozi wake, ewe Mola Wangu mtawalishe mwenyekumtawalisha yeye na mfanyie uadui mwenye kumfanyia uadui yeye.” (Nikutoka kwa Abu Tufa’il kutoka kwa Zayd bin Arqam)220

14. Hadithi namba 959: “Katika hadithi ya Twabaraani kutoka kwa AbuTufa’il kutoka kwa Hudhaifah bin Asiid: ‘Na hakika mimi nitawaulizamtakapokuja kwangu kutokana na vizito viwili, basi angalieni vipi mtani-fuata katika hivyo, kizito kikubwa ni Kitabu cha Mwenyezi Mungu... nakizazi changu Ahlul-Bayt wangu, kwa hakika amenipa habari LatifuMwenye habari kuwa, hakika hivyo viwili kamwe havitapoteana hadi viru-di kwangu kwenye hodhi.” ( Ni kutoka kwa Hakiim kutoka kwa Hudhaifahbin Asiid) 221

21. LISAANUL-ARAB CHA IBN MANDHUUR AL-MISRII:

Katika Lisaanul-Arab Juz. 4 uk. 538 kwenye neno Itra, amesema: “Nawengi hudhani hasa ni mtoto wa mtu. Ama Itra wa Mtume (s.a.w.w.) nikizazi cha Fatimah (r.a.), kauli hii ni ya Ibn Sayyidah. Na Al-Azhariy ame-sema: Katika hadithi ya Zayd bin Thabit amesema: Mtume (s.a.w.w.) ame-

141

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

219 Kanzul-Ummal, Juz. 1, uk. 167.220 Kanzul-Ummal, Juz. 1, uk. 167.221 Kanzul Ummal, Juz. 1, uk. 169.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:08 PM P

sema: “Hakika mimi ninakuachieni vizito viwili baada yangu Kitabu chaMwenyezi Mungu na kizazi changu Ahlul-Bayt wangu, hakika hivyoviwili havitatengana kamwe mpaka virudi kwangu kwenye hodhi”, akase-ma: Amesema Muhammad bin Is’haaq kuwa hadithi hiyo ni sahih, naameipokea nyingine mfano wa hiyo Zayd bin Arqam na Abu Said Khudri.Na katika baadhi ya hadithi hizo kuna: “Hakika mimi ninakuachieni vizitoviwili: Kitabu cha Mwenyezi Mungu na kizazi changu Ahlul-Bayt, basihapo akawafanya Itra “kizazi” kuwa ndio Ahlul-Bayt...”

22. YANAABIIUL-MAWADDAH CHA AL-QUNDUUZIY:

Ameeleza Sheikh Sulaiman bin Sheikh Ibrahim Balkhi Al-QunduuziyHadithi Thaaqalaini kwa njia nyingi tunazitaja baadhi ya hizo:

Qunduzi anasema: “Katika kitabu Manaaqib kutoka kwa Ahmad bin Salamkutoka kwa Hudhaifah bin Yamani (r.a.) amesema: ‘...Na hakika mimininakuachieni vizito viwili: Kitabu cha Mwenyezi Mungu na kizazichangu Ahlul-Bayt wangu...”’Kutoka kwa Atwai bin Saaibu kutoka kwa Abu Yahya kutoka kwa IbnAbbas (r.a.) amesema: “Mtume (s.a.w.w.) alihutubia.....hakika Ahlul-Baytwangu na kizazi changu hawa ndio hasa wanaonihusu na wa karibu yangu,na hakika ninyi mtaulizwa kutokana na vizito viwili, Kitabu cha MwenyeziMungu na kizazi changu.”

Kutoka kwa Abu Dharr (r.a.) amesema: “Ali (a.s.) amesema kumwambiaTwalhah, Abdul-rahman bin Auf na Said bin Abu Waqaas: Je! mnajuakuwa Mtume (s.a.w.) amesema: ‘Hakika mimi ninakuachieni vizito viwili:Kitabu cha Mwenyezi Mungu na kizazi changu...”’

Al-Qunduuzi anasema: “Imepokewa Hadith Thaqalain na Amiirul-Muumina Ali, Hasan bin Ali (a.s.) Jabir bin Abdillah Answari, Ibn Abbas,Zayd bin Arqam Abu Said Al-Khudri, Abu Dharr, Zayd bin Thabiti,Hudhaifah bin Yamani, Hudhaifah bin Asiid, Jabair bin Matwaan na

142

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:08 PM P

Salman Al-Farsi (r.a.).222

Na ameeleza Twabaraani katika kitabu Al-Kabiir kuwa watu waliopokea niwaaminifu na lafudhi yake ni: “Hakika mimi ninakuachieni vizito viwili,Kitabu cha Mwenyezi Mungu Ahlul-Bayt wangu...”

Hadi mwisho wa aliyoyaeleza Al-Qunduuzi kuhusu Hadith Thaqalainkatika kitabu Yanaabiul-Mawaddah kutoka kwa wanachuoni wakubwa waAhlus-Sunna na Mahafidh wao katika njia tofauti, basi rejea huko.223

23. TADHKIRATUL-KHAWAIS CHA SIBTWU IBNUL JAUZI

Katika Tadhkiratul-Khawais mlango wa 12 uk. 322 amesema Ahmad kati-ka fadhila: “Ametuhadithia Aswad bin Aamir, ametuhadithia Israail kuto-ka kwa Uthman bin Mughiirah kutoka kwa Ali bin Rabiia amesema:“Nilikutana na Zayd bin Arqam nikamwambia; Je! Umemsikia Mtume(s.a.w.w.), anasema: “Nimekuachieni vizito viwili kimoja ni kikubwakuliko kingine?” Akasema: Nilimsikia akisema: ‘Ninakuachieni vizitoviwili: Kitabu cha Mwenyezi Mungu, kamba iliyonyooka baina ya mbinguna ardhi na kizazi changu Ahlul-Bayt wangu...”’

24. AN-NIHAAYAAH FI GHARIIB HADITHI WAL-ATHAR CHA IBNATHIIR

Na katika Kitabu An-Nihaayah cha Ibn Athiir: “Hakika nakuachieni vizitoviwili: Kitabu cha Mwenyezi Mungu na kizazi changu.” Ameviita vizitoviwili kwa sababu kuvichukua hivyo kuna uzito.

143

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

222 Yanabiul-Mawaddah, uk. 33 – 34.223 Yanabiul-Mawaddah, uk. 35 na kuendelea.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:08 PM P

Na katika Juzuu ya tatu ya An-Nihaayah: “Nimekuachieni vizito viwili:Kitabu cha Mwenyezi Mungu na kizazi changu.” Kizazi cha mtu hasa niwale ndugu zake wa karibu sana, na kizazi cha Mtume (s.a.w.w.) ni wato-to wa Abdul-Mutwalib, na ikasemwa ni Ahlul-Bayt wake wa karibu, nao niwatoto wake, Ali na watoto wake.”

Hapa pia Ibn Athiir hajawataja wanawake na wakeze (s.a.w.w.) kuwa nimiongoni mwa Ahlul-Bayt wake.

Mpaka hapa tumetosheka na kutosheleza ubainishaji huo kuhusiana naHadith Thaqalain kwa lafudhi: “Na kizazi changu Ahlul-Bayt wangu”kutoka kwenye vitabu vya Ahlus-Sunna na Mahafidh wao, ili ifahamikehadithi hiyo ni miongoni mwa hadithi mutawatiri kwa waislamu wote.Kilichobakia juu yetu ni kutaja yale aliyoyasema muhakiki wa kitabuKhasais cha Nasaai kuhusu Hadith Thaqalain:

“Na hadithi hiyo ameieleza Bazzar Juz.3 uk. 183 - 190 katika kitabuKashful-Astaar, Twabaraani katika Al-Kabiir Juz. 5, uk 185 - 186, na kati-ka kitabu Awsat Juz. 2, uk. 106, na Hakim Juz. 3, uk. 109, na Khawarzamikatika kitabu Al-Manaqib uk. 93 kwa njia kadhaa kutoka kwa Habib binAbu Thabit na Hakim kaikubali kuwa ni sahihi kwa sharti la masheikhwawili na Dhahabi amekiri usahihi wake... na ameieleza hiyo Ahmad binHanbali katika Musnad Juz. 4, uk 370. Na katika Al-Fadha’il uk. 1167, naIbn Habaan katika Mawarudud-Dham’an uk. 2205, na Ibn Asaakir Juz. 12uk.111, kupitia njia ya Fitru bin Khalifa, kutoka kwa Abu Tufa’il kutokakwa Zayd bin Arqam. Na wapokezi wa Ahmad na Ibn Habaan ni waamini-fu isipokuwa Fatru yeye ni mkweli lakini alisingiziwa kuwa ni Shi’a, nakwa njia hiyo inapata nguvu njia ya Habib bin Abu Thabit na hivyoimekuwa ni sahih. Na ameieleza Tirmidhi Juz. 5, uk. 297, Ahmad katikaAl-Fadha’il uk. 959, Twabaraani katika Al-Kabiir Juz. 3 uk. 199 na IbnAssakir Juz. 12, uk. 113, kupitia njia ya Shuubah kutoka kwa Salamah binKuheli kutoka kwa Abu Tufa’il kutoka kwa Zayd bin Arqam au Huzziyahbin Asiid.... na wapokezi wake ni waaminifu. Tirmidhi amesema: ‘Ni

144

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:08 PM P

hadithi hasan sahih,” na katika toleo lingine: ‘Ni ghariibu.”’

MAFUNZO YA HADIITH:

Tutataja mafunzo ya hadithi hivi punde, kwa hakika Hadith Thaqalaindalili yake iko bayana kuhusiana na kushikamana na vizito viwili, naMtume (s.a.w.w.) alikuwa akiusisitizia umma wake kushikamana navyo,na akaeleza mtafikwa na upotevu kwa kwenda kinyume navyo, navyo nikizito kikubwa ambacho ni Kitabu cha Mwenyezi Mungu, na kizito kido-go ni Ahlul-Bayt wake (s.a.w.w.), nao ni Ali, Fatimah, Hasan na Husein(a.s.), na kwamba hivyo viwili kamwe havitatengana mpaka virudi kwake(s.a.w.w.) kwenye hodhi, na hilo limethibititishwa na hadithi lukuki zili-zoeleza kinagaubaga kupitia njia za Ahlus-Sunna na Mahafidh wao, kwahivyo hadithi hiyo inajulisha juu ya:

Kwanza: Wajibu wa kushikamana na vizito viwili, Kitabu kitukufu nakizazi chake, kwa sababu Mtume (s.a.w.w.) alikifanya kizazi kuwa ni mojaya vizito viwili, na akahukumu kuwa hivyo abadan havitatengana mpakavirudi kwake (s.a.w.w.) kwenye hodhi, na hiyo ni dalili tosha juu ya uima-mu wao na umaasumu wao, na mtu maasum anastahili zaidi kufuatwakuliko mwingine, na hii ndiyo faida ya kikomo ya kuwajibika kushika-mana na Kitabu, ambacho ni kizito kikubwa, na kizazi chake kizito kido-go, kwa mantiki hiyo kushikamana navyo ni kujiwekea dhamana ya mileleya kutopotea.

Na ama dalili ya uma’asumu wa kizito kikubwa na kidogo nayo ni kwam-ba pindi Mtume (s.a.w.w.) alipoamrisha kushikamana na vizito viwili mojakwa moja pasi na kizuizi inatujulisha sisi kuwa hivyo viwili ni maasumu,kwani hivyo viwili lau kama visingekuwa maasumu asingefaradhishakushikamana navyo na kuvifuata bila ya mipaka, kwani kila kilichoainish-wa kufuatwa na kushikamana nacho ni lazima kiwe maasumu ili isilazimukwenda kinyume na tamko la wazi la Mtume (s.a.w.w.) waziwazi kwakutovifuata, kwa hivyo natija inayopatikana hapa ni wajibu wa uongozi

145

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:08 PM P

wao juu ya umma kulingana na nguvu ya hoja ifuatayo:

Yeyote ineyewajibika kushikamana naye imewajibika kumtii.Na kila ambaye imewajibika kumtii inawajibika kumfanya kiongozi.Natija: Yeyote inayewajibika kushimana naye imewajibika kumfanyakiongozi.

Ama dalili au nguvu ndogo ya hoja ni Hadith Thaqalain, hadithi hiiinathibitisha Uimamu wa Amiirul-Muuminina Ali bin Abi Twalib (a.s.).

Pili: Hakika Hadith Thaqalain ni hadithi ambayo imeeleza kuwa hai-wezekani nyumba ya Utume (s.a.w.w.) kuwa tupu pasi kuwepo mtu wanyumba hiyo katika kila zama, na hilo limeashiriwa na wanachuoni chun-gu tele miongoni mwa Wanachuoni wa Ahlus-Sunna, Ibn Hajar anasemakatika kitabu chake Sawa’iqul Muhriqah uk. 149: “Ninazo hadithi nyingizinazohimiza juu ya kushikamana na Ahlul-Bayt nayo ni ishara yakutokuwa na kikomo katika kushikamana nao hadi siku ya Kiyama, vivyohivyo Kitabu kitukufu”. Na hilo linathibitisha upotofu wa maneno ya waleambao wanaodai kuwa makusudio ya Ahlul-Bayt katika hadithi ni wakeze(s.a.w.w.).

Allama Munaawi anasema: “Amesema Shariifu habari hii inafahamishakuwepo kwa mhusika wa kushikamana naye katika kila zama miongonimwa Ahlul-Bayt na kizazi kitoharifu mpaka siku ya Kiyama, hata iendesambamba na msisitizo uliotajwa wa kushikamana nao kama ilivyokuwaKitabu (Qur’ani), kwa hivyo walikuwa amani kwa watu wa ardhini, iwapowatatoweka wao aidha watoweka watu wa ardhini”.224

Tatu: Hadithi imejulisha kuwa yule mwenye kuviacha vizito viwili ame-potea, na yule ambaye madhehebu yake hayaafikiani na madhehebu yaAhlul-Bayt (a.s.) atakuwa ni mwenye kupotea, na hilo limeelezwa kina-

146

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

224 Faydhul-Qadiir Juz. 3, uk 14 – 15.

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:08 PM P

gaubaga na Wanachuoni wakubwa wa Ahlus-Sunna, anasema MahmuudShukri Aluusi: “Na hapa kuna faida kubwa ambayo inanasibiana namchakato huu, kuwa Mtume (s.a.w.w.) amesema: “Hakika mimininakuachieni vizito viwili, mtakaposhikamana navyo hamtapotea kamwebaada yangu, kimoja ni kikubwa kuliko kingine, Kitabu cha MwenyeziMungu na kizazi changu Ahlul-Bayt wangu”, na hadithi hii imethibitipande zote kwa Ahlus-Sunna na Shi’a, na imejulikana kuwa Mtume(s.a.w.w.) ametuamrisha sisi katika vipaumbele vya kidini na hukumu zakisheria kwa kushikamana na vitukufu hivyo viwili na kuvirejea katika kilajambo, basi yeyote yule ambaye madhehebu yake yatakuwa yametofau-tiana na hivyo viwili katika nyanja mbalimbali zikiwemo za kisheria, itika-di, matendo basi atakuwa ni mwenye kupotea”.

Nne: Hakika Nabii (s.a.w.w.) alibainisha kwamba upotevu unatokana nakuviacha hivyo viwili, na uongofu unapatikana kwa kuvifuata hivyo pamo-ja, kwa mantiki hiyo kushikamana na kimojawapo haitoshelezi chochote,bali hapana budi kushikamana navyo na kuvifuata kwa pamoja bilakubagua, hiyo ni kulingana na kauli yake “havitatengena kamwe” kamavile mwenye kuiacha Qur’ani atafikwa na upotevu na hasara, vivyo hivyomwenye kwenda kinyume na kizazi cha Rasuuli atafikwa na hali hiyo.

Tano: Hadithi imejulisha kule kutotambuliwa ukhalifa wa wale ambaowalimtangulia Amiirul-Muuminiina Ali bin Abi Twalib (a.s.), na hilo nikwa muktadha wa kuwajibika kwao hao makhalifa watatu waliomtanguliaImam Ali (a.s.) kushikamana na kumfuata Ali na Maimamu waliomfuatayeye (a.s.), na dalili hiyo iko wazi kabisa kutoka kwenye HadithThaqalain, na zinginezo miongoni mwa hadithi zinazokubalika.

147

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:08 PM P

HITIMISHO

Na mwisho nasema: Kwa hakika hilo ndilo ambalo tulitaka kulibainishakutoka kwenye Hadith Thaqalain, ili kuwatetea Maimam wetu (Alayhim,Salaam), Maimamu waongofu, taa ing’arayo gizani na kunusuru kundi lahaki ambalo limeshikamana na Kitabu cha Mwenyezi Mungu Subhaanahna Ahlul-Bayt rasuul (a.s.).

Napenda kusema: Wapo ambao wametutuhumu katika vipeperushi, nakusema: Katika baadhi ya vitabu vyetu tumechepuka pembeni na kuiachahaki na kulitendea kundu fulani ubaya, tukawaponda Maulamaa wetu natukawapinga, na sisi ni waharibifu na wababaishaji na hiyo ndio desturiyetu, na sisi tumewatuhumu baadhi ya Shi’a kwa upotokaji, na tukanasi-bisha kwa Wanachuoni wetu maneno wasiyoyasema na wala hatufahamumaneno yao, na kwa hakika sisi tumeziingiza nafsi zetu katika bahariambayo hatuwezi kuogelea, aidha hatukuwaachia mambo wahusikawenyewe, bali tumesimama kidete na kuzikataa hadithi sahihi za Ahlul-Bayt (a.s.), kisha tukaangukia kwenye hasara zake, na kwamba baadhi yavitabu vyetu vinakusanya ngano za kale lukuki na upotofu ambaounapelekea kukanushwa vikali ili zisitue kwenye akili ya vizazi na vijanawaumini, na hizo hazina thamani yoyote ile kiasi cha kiwango cha elimu,na hakika sisi tulikuwa tunafanya siri kuponda itikadi sahihi kwa jina laupondaji wa makundi potovu, na kuwa eti hakika sisi ni wafuasi wa Imamumkubwa katika upotevu katika zama hizi. Kwa kweli wamesema mengi nayasiyokuwa hayo katika tuhuma za kidhuluma.

Kwa kuwa inajulikana wazi kwamba lengo kubwa la kila kitabu kina-choandikwa na sisi ni kuwahami Maimamu Ahlul-Bayt (a.s.) ambaoMwenyezi Mungu amewaondolea uchafu na kuwatoharisha tohara yakabisa kabisa, na pia kuhami madhehebu yao matukufu yaliyo safi hukutukibainisha fadhila, elimu na daraja zao mbele ya Mwenyezi Mungu

148

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:08 PM P

Subhaanahu wa Ta’ala, basi hayo yote hayatatuepusha sisi mbele ya yuleanayetushambulia, kuponda mafundisho ya dini yetu, uadilifu wetu nakututoa kutoka katika watu wenye imani huku akitutuhumu kwa tuhumanzito nzito.

Na katika yote ninayoyasema Mwenyezi Mungu anitosha, na neema iliyo-je kumtegemea Yeye tu, tuna makutano na ahadi siku ambayo sote tutasi-mama mbele ya Mwenyezi Mungu Azza Wajalla, Mtume wake (s.a.w.w.),Maimamu wangu watoharifu na Bibi Fatimah Zahraa (a.s.) Al-Batuul, Al-Madhluumah ili wafanye insaafu na uadilifu kati yangu na aliyenidhulumu.

Na dunia ijue kuwa mimi nimesimama ilihali nimekunyata mikono yangubali nitadumu katika njia ya Mtume Muhammad (s.a.w.w.) na ndugu zakewote watoharifu (a.s.), nitaendelea katika njia hii na kamwe sitohofu kwaMwenyezi Mungu lawama za mwenye kulaumu, nitabainisha haki vyovy-ote vile itakavyonikalifu thamani yoyote, katu sitozembea katika kadhi-hirisha itikadi sahihi.

“Ewe Mola Wetu tusamehe na mwenye kutunanga, tuafu sisi na yulealiyetukosea. Ewe Mola wetu tusamehe na ndugu ambao wametutan-gulia katika imani wala usijaalie katika nyoyo zetu chuki kwa walewalioamini. Ewe Mola wetu hakika wewe ni Mpole na mwenye huru-ma.

Mwisho namuomba Mwenyezi Mungu swt. atuwafikishe ili tulipwekesheneno la Tawhiid la haki, na kufuata haki popote itakapokuwa, atujaalietuwe miongoni mwa wale wenye kushikamana na vizito viwili: Kitabu chaMwenyezi Mungu na Ahlul-Bayt Nabii (s.a.w.w.), hakika Yeye ni Msikivuwa dua, na mwisho wa maombi yetu, tunamshukuru Mwenyezi MunguMola wa ulimwengu, rehema na amani zimfikie mbora wa viumbe MtumeMuhammad na ndugu zake watakatifu.

12 Mfunguo tano 1420 A.H.

149

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:08 PM P

BIBLIOGRAFIA

1. QUR’ANI KARIIM

2. AL-ITIQAN-FI ULUUMIL-QUR’ANI: JALALUD DIIN SUYUUTWI

3. AHKAMUL-QUR’ANI: IBNUL ARABI

4. ASBAABUN-NUZUUL: AL-WAAHID

5. AL-ISTIIAB FI MAARIFF’ATIL-AS-HAAB: IBNU ABDUL-BARRIANDULUSI

6. USUDUL-GHAABA FI MAARIFATIS-SWAHAB: IBN ATHIIR

7. ISTIIAFUL-RAAGHIBIINA: MUHAMMAD BIN ALI SWABAAN

8. ANSAABUL-ASHRAAF: AHMAD BIN YAHYA AL-BALADHURI

9. AN-NUAARUT TANZIIL WA ASRAAR TAAWIIL: BAYDHAWI

10. TAARIKH BAGHDADI: KHATIBU BAGHDAD

11. TAFSIIRUL-BAHRUL-MUHIIT: ABU HAYYANIL ANDULUSI

12. TADHKIRATUL-KHAWA’IS: SIBTWI IBNUL JAUZI

13. TAFSIIRUL-KHAZINU: ALAU DIIN BAGHDAD

14. TAFSIIRUL-RUUHUL-BAYAANI: ISMA’IL HAKI BURUSUWI

15. TAFSIIRUL-QURANIL ADHIIM: IBN KATHIIR DAMASQUS

150

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:08 PM P

16. AT-TAFSIIRUL-KABIIR: FAKHRU DIIN RAAZI

17. TALKHISWUL- MUSTADRAK ALA SWAHIHAIN: DHAHABI

18. TAHDHIIBUT-TAHDHIIB: IBN HAJARIL ASQALAANI

19. JAAMI’UL-USUUL-MIN AHADITH RASUUL: IBNUL ATHIIR

20. JAAMI’UL-BAYAAN FI TAAWIILIL-QUR’ANIl MUHAMMADBIN JARIIR TWABARI

21. JAAMI’US-SIHAHI:TIRMIDHI

22. JAAMI’US-SWAGHIIR: JALAL DIIN SUYUUTI

23. AL-JAAMI’UL-AHKAMUL-QUR’ANI: QURTUBI

24. HADIITHU THAQALAINI WA FIQHUHU: ALI AHAMADSAALUUS

25. HUQUUQ AALI BAYT MA BAYNA SUNNA WAL BIDAA: IBNTAYMIYA

26. KHASA’IS AMIRUL-MUUMUNIINA ALI BIN ABI-TALIB-NASAAI

27. DURRUL-MANTHUUR FI TAFSIIRU MAATHUUR: JALALU-DIIN SUYUUTI

28. DHAKHAIRUL-UQBA FI MANAAQIB DHAWIL-QURBA:MUHIBBUD DIIN TABARY

29. RIYADHU NADHARAT WA MANAAQIBIL-ASHRA: MUHIBBUD

151

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:08 PM P

DIIN TABARY

30. SILSILATUL-AHADIITHI SAHIHA: MUHAMMAD NASUR-DIINALBAANI

31. SHARHU TWAHAAWI FI AQIIDAT SALAFIYYAH: ALI BIN ALIBIN ABIL-IZZA

32. SHAWAHIDU TANZIIL LIQAWAIDU TAHWIIL: HAAKIMHASKAANI HANAFI

33. SHIIATU WA IMAMAT ALI: AAMIR NAJJAR

34. SHIIATU WA AHLUL-BAYT: IHSAANU ILAHI DHARIIR

35. SAHIHI BUKHARI: MUHAMMAD BIN ISMA’IL

36. SAHIHI MUSLIM: MUSLIM BIN HAJJAJ

37. SAWA’IQUL-MUHRIQAH: AHMAD BIN HAJAR HAYTHAM

38. SWIYAGHAT MATFWIQIYYAH LIFIKRI SIYASAL-ISLAM: HAS-SAN ABBAS HASSAN

39. AL-DHUAFAUL-KABIIR: ABU JAAFAR MUHAMMAD BINAMRU AQIIL.

40. AL-AQAIDUS-SALFIYA BIADILLAT NAQLIYA WAL-AQILIYA:AHMAD BIN HAJAR AALI ABU TWAANI BAGHALI

41. GHARAIBUL-QUR’ANI WARAGHAIR FURQAAN: AHMADMUSTAFA MARAAGHI

42. FAT’HUL-GHADIIR: MUHAMMAD BIN ALI SHAWKAANI

152

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:08 PM P

43. FUTUHAATUL-ILAHIYYAH: SULEIMAN BIN OMAR AJALI

44. FAIDHUL-QADIIR FISHARH JAAMIUL-SWAGHIIR: ABDULRAUF MUNAWI

45. AL-KAMIL FI TAARIKH: IBN ATHIIR

46. AL-KASHAF AN HAQAIQU GHAWAMIDHU TANZIIL:ZAMAKHSHARI

47. KASHFUL-JAAN MUHAMMAD TIJAANI: OTHAM BINMOHAMMAD AALI KHAMIIS

48. KANZUL-UMMAL: AL MUTTAQI HINDI

49. LISAANUUL-ARAB: IBN MANTHUR

50. MUHTASAR TUHFAH ITHNA ASHARIA: MAHMUUD SHUKRIALUUSI

51. MADARIKU TANZIIL WA HAQAIQU TAAWIL: ABDULLAHNASAFI

52. AL-MUSTADRAKU ALA SAHIHAIN: HAAKIM NAYSABUURI

53. AL-MUSNAD: AHMAD BIN HANBALI

54. MUSHKILUL-ATHAAR: ABU SAAFARI TWAHAAWI

55. MAALIMUL-TANZIIL: AL-BAGHAWI

56. MANAAQIBU AMIIRUL-MUUMINIINAALI BIN ABI TALIB: IBNMAGHAZIL SHAAFII

153

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:08 PM P

57. AL-MUWATA: MALIK BIN ANAS

58. MIIZANUL-ITIDALI FINAQDI RIJAAL: MUHAMMAD BIN UTH-MAN DHAHABI

59. NADHARIATUL-IMAMAT LADA SHIIA ITHNA ASHARIA: DK.AHMAD MAHMUUD SUBHI

60. AN-NIHAYAH FI GHARIIBIL-HADIITH WAL-ATHAR: IBN ATHI-IR

61. NUURUL-ABSWAAR: SHABLANJI

62. YANAABIUL-MAWADDA: AL-QUNDUUZI HANAFI

154

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:08 PM P

VITABU VYA MTUNZIVITABU VILIVYOCHAPISHWA:

1. FIKRUTARBAWI INDA SHIIA IMAMIYYAH2. SHIIA IMAMIYYA WA NASHAAT ULUUMI ISLAMIA3. THAQALAINI - KITABULLAH WA AHLUL-BAYUT FI SUNNA

NABAWIYYA4. MAADR. MUSSA WA FIKITABIHI SHIIA5. ZIWAJUL-MUT’AA FI KUTUBI AHLI SUNNA6. SHIIA-NASHAATUHUM WA SUNNA FI USUULID DIIN7. AQIIDU SHIIA WA AHLUS-SUNNA FI USUULID DIIN8. SHIIA - NASHAATUHUM WA USULUUHUM AQAIDIYYAH9.MASAIL AQAIDIYYAH: FI GHULUWI WA TAFWIIDH

ALKHALQUWA RIZQU, AL-ILMU BIL-GHAIB WA HAQIQATUL-MUHAMMADA

10. WILAYATU TAKWIINIYYA WA TASHRIIYA - FIDHAU KITABUWA SUNNA WA AWAALUL-ULAMAAI

11. HADITHU THAQALAINI FI KUTBI AHLI SUNNA

VITABU VISIVYOCHAPISHWA:

1. NAQDH SHUBUHAAAT HAULA SHIIA MIN KUTUB AHLISUNNA

2. AL-IMAMU ALI-FALSAFATUHU WAARAAU FITARBI YATWATAALIM

3. TAASISI SHIIA LILFALSAFAT ISLAMIYYAH WAL-MINHAJTAJRUUBI

4. ITHIBATU KHILAF IMAM ALI MIN KUTUBI AHLI SUNNA5. AL-MUUTAZILA-FALSAFATUHUM WAARAAUHUM FI TARBIY-

AT WATAALIIM

155

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:08 PM P

ORODHA YA VITABU VILIVYO CHAPISHWA NAAL - ITRAH FOUNDATION:

1. Qur'an Al-Kariim - Tafsir Al-Kashif Juzuu ya kwanza mpaka Ishirini na mbili

2. Uharamisho wa Riba3. Uharamisho wa uwongo Juzuu ya kwanza 4. Uharamisho wa uwongo Juzuu ya pili5. Hekaya za Bahlul6. Muhanga wa Imamu Husein (A.S.)7. Mikingamo iliyomzunguka Imamu Ali (A.S.)8. Hijab vazi Bora9. Ukweli wa Shia Ithnaashari10. Madhambi Makuu11. Mbingu imenikirimu12. Abdallah Ibn Saba13. Khadijatul Kubra14. Utumwa15. Umakini katika Swala16. Misingi ya Maarifa17. Kanuni za Ndoa na maadili ya Familia18. Bilal wa Afrika19. Abudharr20. Usahihi wa Historia ya Uislamu na Waislamu21. Salman Farsi22. Ammar Yasir23. Qur'an na Hadithi24. Elimu ya Nafsi25. Yajue Madhehebu ya Shia

156

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:08 PM P

26. Ukusanyaji na Uhifadhi wa Qur'an Tukufu27. Al-Wahda28. Ponyo kutoka katika Qur'an. 29. Uislamu mfumo kamili wa maisha ya kijamii30. Mashukio ya Akhera31. Al Amali32. Dua Indal Ahlul Bayt33. Udhuu kwa mujibu wa Kitabu na Sunna.34. Haki za wanawake katika Uislamu35. Mwenyeezi Mungu na sifa zake36. Amateka Na Aba'Khalifa37. Nafasi za Ahlul Bayt (a.s)38. Adhana.39 Upendo katika Ukristo na Uislamu40. Nyuma yaho naje kuyoboka41. Amavu n’amavuko by’ubushiya42. Kupaka juu ya khofu 43. Kukusanya swala mbili44. Bismillah ni sehemu ya Qur’ani na husomwa kwa Jahara45. Kuwaongoza vijana wa kizazi kipya46. Kusujudu juu ya udongo47. Kusheherekea Maulidi Ya Mtume (s)48. Tarawehe49. Malumbano baina ya Sunni na Shia50. Kupunguza Swala safarini51. Kufungua safarini52. Umaasumu wa Manabii53. Qur’an inatoa changamoto54. as-Salaatu Khayrun Mina -'n Nawm

157

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:08 PM P

55. Uadilifu wa Masahaba 56. Dua e Kumayl57. Sauti Ya Uadilifu wa Binadamu58. Umaasumu wa Mitume - Faida Zake Na Lengo Lake59. Umaasumu wa Mitume - Majibu Ya Aya Zenye Utata60. Umaasumu wa Mitume - Umaasumu wa Mitume Muhammad (s)61. Nahju’l-Balaghah - Juzuu ya Kwanza62. Nahju’l-Balaghah - Juzuu ya Pili63. Kuzuru Makaburi64. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Kwanza65. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Pili66. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Tatu67. Tujifunze Misingi Ya Dini68. Sala ni Nguzo ya Dini69. Mikesha Ya Peshawar70. Malezi Ya Mtoto Katika Uislamu71. Ubora wa Imam 'Ali Juu ya Maswahaba Na Ushia ndio njia iliy

onyooka72. Shia asema haya, Sunni asema haya, Wewe wasemaje?73. Liqaa-u-llaah74. Muhammad (s) Mtume wa Allah75. Amani na Jihadi Katika Uislamu 76. Uislamu Ulienea Vipi?77. Uadilifu, Amani na Mtume Muhammad (s) 78. Mitala na Ndoa za Mtume Muhammad (s) 79. Nahjul Balagha Sehemu ya Kwanza80. Nahjul Balagha Sehemu ya Pili81. Ujumbe sehemu ya kwanza82. Ujumbe sehemu ya Pili

158

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:08 PM P

83 Ujumbe sehemu ya Tatu84. Sunani-Nabii85. Hadithi Thaqalain86. Ukweli wa Shia87. Tabaruku88. Mariam, Yesu na Ukristo kwa Mtazamo wa Kiislamu89. Amali za Ramadhani90. Al-Mahdi katika Sunna91. Swala ya Maiti92. Fatma zahra

159

HHaaddii tthh ii TThhaaqqaa llaa iinn

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:08 PM P

BACK COVERHadith ya Thaqalain (Vizito Viwili) ni Hadith maarufu sana katikaulimwengu wa Kiislamu, hakuna madhehebu ya Kiislamu hata mojaambayo haikutaja hadith hii, ingawa kuna tofauti kidogo ya mapokezi katiya wasimuliaji wake. Pamoja na hayo, ukweli unabakia palepale kwambahaitakamilika historia ya Uislamu bila ya kuitaja Hadithi hii. HadithThaqalain ni wosia ambao mtukufu Mtume (saw) aliutoa kwa Waislamupale Ghadir Khum wakati anarudi kutoka kwenye Hija yake ya mwisho(maarufu kama Hijatu’l-widaa). Qur’an inatuthibitishia kwamba Uislamuulikamilika baada ya tukio hili la Ghadir ambapo mtukufu Mtume (saw)alitoa khutba ndefu ambayo kwayo alitoa kauli hii ambayo hujulikanakama Hadith Thaqalain: “...Ninakuachieni vizito viwili; Qur’an Tukufu naKizazi changu...” Baada ya tukio hili la Ghadir Aya ifuatayo iliteremshwakwa mtukufu Mtume (saw): “...Leo nimekukamilishieni dini yenu, nakuwatimizieni neema yangu, na nimewapendeleeni Uislamu uwe diniyenu...” (5:3)

Baada ya kushuka Aya hii mtukufu Mtume (saw) alimuita Ali (as) juu yamimbari ambayo imetengenezwa kwa matandiko ya ngamia, kishaakanyunyua mkono wake akasema: “Man kuntu mawlahu fahadha Aliymawlahu.” (Yule ambaye mimi ni mwenye kutawalia mambo yake basihuyu Ali (naye) ni mwenye kutawalia mambo yake”. kisha akaomba dua:“Ee Allah! Msaidie mwenye kumsaidia (Ali) na mpige vita mwenyekumpiga vita (Ali).”

Kimetolewa na kuchapishwa na:Alitrah FoundationS.L.P. 19701 Dar es Salaam, TanzaniaSimu: +255 22 2110640Simu/Nukushi: +255 22 2127555Barua Pepe: [email protected]: www.alitrah.orgKatika mtandao: www.alitrah.info

160

Hadith_ya_ThaqalainEdited23-6-08- by Lubumba - PROOFREAD SHEMAHIMBO final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:08 PM P