48
HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU BILA MALIPO NCHINI TANZANIA MWAKA 2017 1 TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD) TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD) HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU BILA MALIPO NCHINI TANZANIA MWAKA 2017 DESEMBA 2017

HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU …tcdd.or.tz/wp-content/uploads/2018/04/Book-A4-final-Hali-ya-elimu-2017.pdf · 2017 T iii SHUKRANI Kitabu hiki cha hali ya Elimu

  • Upload
    others

  • View
    48

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU …tcdd.or.tz/wp-content/uploads/2018/04/Book-A4-final-Hali-ya-elimu-2017.pdf · 2017 T iii SHUKRANI Kitabu hiki cha hali ya Elimu

HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU BILA MALIPO NCHINI TANZANIA MWAKA 2017

1TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU BILA MALIPO NCHINI TANZANIA

MWAKA 2017

DESEMBA 2017

Page 2: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU …tcdd.or.tz/wp-content/uploads/2018/04/Book-A4-final-Hali-ya-elimu-2017.pdf · 2017 T iii SHUKRANI Kitabu hiki cha hali ya Elimu

HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU BILA MALIPO NCHINI TANZANIA MWAKA 2017

2 TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Page 3: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU …tcdd.or.tz/wp-content/uploads/2018/04/Book-A4-final-Hali-ya-elimu-2017.pdf · 2017 T iii SHUKRANI Kitabu hiki cha hali ya Elimu

HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU BILA MALIPO NCHINI TANZANIA MWAKA 2017

iTANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

YALIYOMO

Shukrani ……………………………………………………………………………………………....…....iiiVifupisho ……………………………………………………………………….......................... iv

SURA YA KWANZAUTANGULIZI………..…………………………………………………………………..………………….……………………………………....….. 1

1.0. MSINGI WA MRADI WA UTAFITI …………………………………..………………………....…… 11.1. Ushiriki wa asasi za Kiraia katika maendeleo ……………………………………….……...…… 11.2. Njia za Utafiti………………………………………………………………………………….....…… 21.3. Sampuli………………………………………………………………………………….….....……… 21.4. Zana za ukusanyaji takwimu ………………………………………………….…………....……… 21.5. Baadhi ya mambo muhimu yaliyoangaliwa kwenye utafiti huu ….…………………......……… 2

SURA YA PILI2.0. MATOKEO YA UTAFITI KATIKA SEKTA YA ELIMU……………………………………….....…… 32.1. Halmashauri na Idadi ya shule zilizohusika kwenye utafiti……….……………..…...… 32.2. Jumla ya wanafunzi walioandikishwa kidato cha Kwanza mwaka 2015 na 2016…... 32.3. Wanafunzi ambao hawakuripoti shuleni baada ya kuchaguliwa………………..…..… 52.4. Idadi ya wanafunzi waliofanya mtihani wa Kidato cha Nne na waliofaulu……....…… 62.5. Idadi ya wanafunzi waliojiunga kidato cha tano……………………………………...… 82.6. Uwiano wa Idadi ya Walimu na Wanafunzi katika Wilaya kwa somo…………....…… 92.7. Uwiano wa wanafunzi kwa kila chumba cha Darasa/ujazo wa wanafunzi ….....…… 122.8. Uwiano wa Idadi ya wanafunzi kwa matundu ya vyoo katika Halmashauri ….....…. 172.9. Shule zenye umeme …………………………………………………………….....……… 21

SURA YA TATUUFUATILIAJI WA MRADI WA 2014/2016 (BACK STOPPING) ……………………………..…....… 253.0. UTANGULIZI …………………………………………………………………………….......…… 253.1. Sekta ya Elimu ……………………………………………………………………….……… 253.2. Halmashauri zilizohusika …………………………………………………………………… 253.3. Jumla ya wanafunzi walioandikishwa kidato cha kwanza 2015 na 2016………….......… 253.4. Wanafunzi waliochaguliwa na hawakuripoti shuleni ...............................………….......… 273.5. Idadi ya wanafunzi waliofanya mtihani wa kidato cha nne na waliofaulu .......................... 303.6. Uwiano wa idadi ya walimu na wanafunzi ......................................…….......…….......… 333.7. Uwiano wa wanafunzi na matundu ya vyoo ...............................…………..................… 35

Page 4: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU …tcdd.or.tz/wp-content/uploads/2018/04/Book-A4-final-Hali-ya-elimu-2017.pdf · 2017 T iii SHUKRANI Kitabu hiki cha hali ya Elimu

HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU BILA MALIPO NCHINI TANZANIA MWAKA 2017

ii TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

ORODHA YA MAJEDWALIJedwali Na 1: Idadi ya shule zilizohusika kwenye utafiti…………………………………………… 3

Jedwali Na 2: Jumla ya Wanafunzi walioandikishwa Kidato cha Kwanza ……………………… 4

Jedwali Na 3: Wanafunzi ambao hawakuripoti shule baada ya kuchaguliwa …………………… 4

Jedwali Na 4: Takwimu kutoka katika shule 10 kila Wilaya……………………………………… 6

Jedwali Na 5: Idadi ya wanafunzi waliojiunga kidato cha tano (5) ………………………………… 9

Jedwali Na 6: Uwiano wa Idadi ya Walimu na wanafunzi katika wilaya/Halmashauri kwa somo 9

Jedwali Na 7: Uwiano wa Idadi ya wanafunzi kwa matundu ya vyoo katika Halmashauri 17

Jedwali Na 8: Shule zenye umeme ………………………………………………………………… 21

ORODHA YA PICHA

Picha Na.1 na 2: Uwiano wa wanafunzi kwa kila chumba cha darasa:

(Toangoma sekondari na Wailes sekondari:

Manispaa ya Temeke………………………………………….......… 16

Picha Na 3 na 4: Nyansha sekondari na Pogwe sekondari: wilaya ya Kasulu…..... 16

Picha Na 5 na 6: Hali halisi ya Vyoo vinavyotumika: Manispaa ya Temeke

Dar es salaam …………………………………………………......… 18

Picha Na 7 na 8: Hali halisi ya vyoo vinavyotumika: Wilaya ya Lushoto ……......… 19

Picha Na 9 na 10: Hali halisi ya vyoo vinavyotumika katika picha: Wilaya ya

Kasulu - Mbono sekondari……………………………….............… 20

Picha Na 11 na 12: Mrufi sekondari, Kasulu Kigoma………………………………....… 20

Picha Na 13 na 14: Choo cha wavulana, sabasaba sekondari - Mtwara Mikindani.... 21

Picha Na 15 na 16: Maabara (Kabuhoro sekondari na Nyamanoro sekondari - Ilemela,

Mwanza.…………………………………………….....……………… 22

Picha Na 17 na 18: Pasiansi sekondari na Nyumbigwa sekondari………….....……… 22

Picha Na 19: Jiko: Malela sekondari, Manispaa ya Temeke………………..…… 22

Picha Na 20: Darasa, sekondari uwanja wa Taifa Morogoro Manispaa……...… 23

Picha Na 21 Na 22: Shule ya sekondari Hwazi - Kasulu, Kigoma…………………....… 23

Page 5: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU …tcdd.or.tz/wp-content/uploads/2018/04/Book-A4-final-Hali-ya-elimu-2017.pdf · 2017 T iii SHUKRANI Kitabu hiki cha hali ya Elimu

HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU BILA MALIPO NCHINI TANZANIA MWAKA 2017

iiiTANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

SHUKRANI

Kitabu hiki cha hali ya Elimu na changamoto zake nchini Tanzania ni mwendelezo wa tafiti ambazo Mtandao wa Madeni na Maendeleo Tanzania (TCDD) imekuwa ikizifanya tangu mwaka 2001 katika sekta za afya na elimu. Kitabu hiki kinaainisha hatua zote za mchakato mzima wa ufuatiliaji, umuhimu, malengo, njia, sampuli na zana za utafiti. Kitabu pia kinatoa matokeo ya utafiti kwenye Halmashauri kumi (10) ambapo utafiti huu umejikita katika kufuatilia utekelezaji wa mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano (5) 2016/2017 – 2020/2021 katika Halmashauri za Mtwara (Manispaa), Morogoro (Manispaa), Ilemela, Temeke, Singida (Manispaa), Kasulu, Urambo, Arumeru Magharibi (Arusha DC), Mbeya Vijijini (Mbeya DC) na Lushoto. Kitabu hiki kinachambua matokeo kutoka katika shule za Sekondari 100 yaani shule 10 kutoka katika kila Wilaya teule hapo juu kama sampuli wakilishi ya sekta nzima katika Halmashauri hizo.

Shukrani za dhati ziwaendee wote waliohusika kikamilifu katika kukamilisha kazi hii Kama ifuatavyo; Wakurugenzi watendaji wa Halmashauri zote ambazo zimehusika kikamilifu katika utafiti huu, wakuu wa wilaya zote, maafisa elimu wa wilaya, walimu wakuu pamoja na wazazi wote ambao walihusika kwa ukaribu kafanikisha zoezi hili.

Kwa namna ya pekee tunapenda kuyashukuru mashirika wanachama wa TCDD hasa yaliyohusika kikamilifu katika utafiti huu katika Wilaya zao ambayo ni; Sustainable Environment Management Action (SEMA), Community Active in Development Association (CADA), Hands for Children and Women Tanzania (HACHAWOTA), Mtwara Non Government Network (MTWANGONET), The National Network for Advancement (NIA), TULEANE Group, TUSHIRIKI, Union of Non Governmental Organisation (UNGO), Baraza la Kuratibu na Kukuza Maendeleo na Mahusiano ya Kijamii Kijinsia (WEGCC), Youth Peace Makers (YPM).

Shukrani pia zimwendee Ndugu Boniface Komba ambaye amesaidia kuweka pamoja taarifa za Halmashauri zote 10 na kuwa taarifa moja, Ndugu Jane Mwabulambo ambaye pia amefanya kazi ya kuboresha kitabu hiki katika hatua zote. Wote kwa ujumla wao walitoa mchango mkubwa katika kuboresha na kuchapisha kitabu hiki ambacho sio tu kwamba kitawasaidia watanzania na watunga sera kwa ujumla bali kitumike kama sehemu ya ushawishi na utetezi/uchechemuzi katika kuboresha huduma ya elimu ya sekondari kwa nchi nzima.

Hebron MwakagendaMkurugenzi MtendajiDisemba 2017

Page 6: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU …tcdd.or.tz/wp-content/uploads/2018/04/Book-A4-final-Hali-ya-elimu-2017.pdf · 2017 T iii SHUKRANI Kitabu hiki cha hali ya Elimu

HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU BILA MALIPO NCHINI TANZANIA MWAKA 2017

iv TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

VIFUPISHO

TCDD Tanzania Coalition on Debt and Development

MKUKUTA II Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kuondoa Umaskini Tanzania Awamu ya Pili

SEMA Sustainable Environment Management Action

CADA Community Active in Development Association

HACHAWOTA Hands for Children and Women Tanzania

MTWANGONET Mtwara Non Governmental Organization Network

NIA The National Intergity for Advancement (NIA)

UNGO Union of Non Governmental Organisation (UNGO)

WEGCC Baraza la Kuratibu na kukuza maendeleo na mahusiano ya kijamii kijinsia

YPM Youth Peace Makers

HT Hakuna Taarifa

Page 7: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU …tcdd.or.tz/wp-content/uploads/2018/04/Book-A4-final-Hali-ya-elimu-2017.pdf · 2017 T iii SHUKRANI Kitabu hiki cha hali ya Elimu

HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU BILA MALIPO NCHINI TANZANIA MWAKA 2017

1TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

SURA YA KWANZA

UTANGULIZI

1.0. MSINGI WA MRADI WA UTAFITI

Umaskini ni miongoni mwa changamoto kubwa inayoikabili Tanzania na nchi nyingine nyingi zinazoendelea hasa zilizopo chini ya ukanda wa jangwa la sahara, hii ni pamoja na kuwepo kwa taarifa zinazoashiria kuimarika na kukua kwa uchumi wa Tanzania kwa wastani wa asilimia 6.8 hadi 7 kwa mwaka wa fedha 2016/2017 kuelekea asilimia 10 kwa mwaka ikiwa ni lengo mojawapo la mpango wa pili wa Taifa wa maendeleo kufikia 2021. Sababu nyingi zimekuwa zikielezwa kupelekea hali hii ya umaskini hapa nchini ambazo ni pamoja na Sera za Uchumi: Sera za fedha na matumizi ya Serikali kutotosheleza kukuza uchumi unaonufaisha wengi, Huduma zisizotosheleza katika sekta ya kilimo, Uwekezaji usiotosheleza katika viwanda mijini na vijijini, Teknolojia duni, Mila potofu na desturi zisizo na tija katika kuleta maendeleo (ubaguzi wa kijinsia; ushirikina) na Kuwa na deni kubwa la Taifa.Katika jitihada za kupunguza na kuondoa umaskini, Tanzania imeanzisha mikakati ya makusudi ambayo ni mwongozo wa maendeleo ya jamii na uchumi. Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025 inatamka kuwa Tanzania itakuwa imefuta umaskini ifikapo mwaka 2025 ambapo Tanzania itakuwa imefikia kiwango cha kati cha maendeleo. Katika kutekeleza Dira ya Taifa ya Maendeleo ya Mwaka 2025, Tanzania ilitengeneza na kutekeleza mkakati maalum wa muda ambao ni Mpango wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umaskini Tanzania (MKUKUTA II) 2010/2011 – 2014/2015 na hivi sasa Mpango wa pili wa maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2016/2017 – 2020/2021 lengo likiwa kufikia matarajio ya Dira ya taifa na malengo ya milenia. Mpango wa Pili wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2016/2017 – 2020/2021 umejikita hasa katika ukuaji wa viwanda vitakavyochochea mabadiliko ya uchumi na maendeleo ya watu kufikia uchumi wa kati wa viwanda na kuwa na watu wenye ujuzi watakaochochea ukuaji wa uchumi kwa kuhakikisha Sekta zinazoajiri watu wengi na walio masikini zinakuwa kwa kasi. Lengo likiwa ifikapo mwaka 2025, Tanzania iwe nchi yenye maisha bora, yenye amani, umoja na utawala bora, jamii inayojifunza na iliyoelimika, yenye uwezo wa kuzalisha na kuwa na ukuaji wa uchumi endelevu na wenye ushindani1.1. Ushiriki wa Asasi za Kiraia katika Maendeleo

Katika kukuza ufanisi na utekelezaji makini wa Mpango wa Pili wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2016/2017 – 2020/2021 usimamizi ni suala muhimu hasa pale mpango huu unapojikita katika kuboresha maisha na ustawi wa jamii hasa kwa watu walio maskini zaidi pamoja na wale walio katika mazingira hatarishi.

Usimamizi mzuri ni pamoja na upatikanaji wa taarifa sahihi kwa muda muafaka na ili kufanikisha upatikanaji wa taarifa sahihi kwa wakati, serikali kupitia mfumo wake wa kitaifa wa usimamiaji wa programu ya kupunguza umaskini, inahimiza usimamizi shirikishi wa asasi za kiraia. Katika muktadha huo, TCDD imejikita katika mradi wa kukusanya takwimu, taarifa na vielelezo vitakavyosaidia ufikiwaji wa maamuzi na uimarishaji wa uwezo wa asasi zisizo za kiserikali ziweze kujihusisha kwa usahihi zaidi katika majadiliano ya kisera lakini pia kuangalia utekelezaji, ufuatiliaji, na tathmini ili kujiridhisha na ufanisi wa Mpango wa pili wa maendeleo wa Taifa wa Miaka mitano 2016/2017 – 2020/2021 kwa jamii ya Tanzania kuelekea katika Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2025.

Page 8: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU …tcdd.or.tz/wp-content/uploads/2018/04/Book-A4-final-Hali-ya-elimu-2017.pdf · 2017 T iii SHUKRANI Kitabu hiki cha hali ya Elimu

HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU BILA MALIPO NCHINI TANZANIA MWAKA 2017

2 TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Malengo ya Mpango wa Pili wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2016/2017 – 2020/2021 yanaweza kufikiwa tu endapo wadau mbalimbali wa maendeleo watashiriki kikamilifu katika utekelezaji wake. Wadau wa Maendeleo sio wale tu walio katika taasisi za Kiserikali na Bunge, bali pia walio katika asasi za kijamii, sekta binafsi, wafadhili na jamii yote kwa ujumla. Wadau wanahimizwa kushiriki kikamilifu katika utekelezaji ili kujenga hamasa na hali ya umiliki wa mpango huu kwa jamii.

1.2. Njia za Utafiti

Utafiti huu ulihusisha ukusanyaji wa taarifa kutoka kwa wadau mbalimbali wa elimu juu ya utekelezaji wa Mpango wa Pili wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2016/2017 – 2020/2021 katika wilaya 10 pendekezwa na kujionea hali halisi kwa kutazama kiwango cha utekelezaji wa miradi mbalimbali katika Sekta ya Elimu ikihusisha viashiria vya Mpango wa Pili wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2016/2017 – 2020/2021 katika sekta hiyo.

1.3. Sampuli

Sampuli iliyotumika katika utafiti huu zilipatikana kutokana na mapendekezo yaliyotokana na wadau na wanachama wa TCDD. Kila Halmashauri ilichagua shule zisizopungua Kumi za Sekondari katika utafiti huo ambako taarifa zilikusanywa katika ngazi ya shule na ngazi ya Halmashauri. Halimashauri zilizohusika kwenye utafiti/ufuatiliaji huu ni; Manispaa ya Temeke- Dar es salaam, Manispaa ya Mtwara, Manispaa ya Morogoro, Ilemela-Mwanza, Kasulu – Kigoma, Urambo-Tabora, Arumeru Mashariki-Arusha, Mbeya Vijijini, Manispaa ya singida na Lushoto-Tanga.

1.4. Zana za ukusanyaji takwimu

Takwimu zilikusanywa kwa kutumia madodoso na majadiliano vikundini. Madodoso yalijumuisha maswali ya wazi na yasiyo ya wazi kwa Halmashauri zote. Madodoso hayo yalikuwa yamegawanyika katika sehemu kuu tatu nazo ni madodoso kwa wakuu wa shule za sekondari, madodoso kwa Maafisa Elimu Halmashauri, na madodoso ya namna ya uendeshaji wa majadiliano kwa vikundi ambayo yaliendeshwa kwa kushirikisha kamati za shule katika ngazi mbalimbali za Halmashauri husika, wazazi na wanafunzi.

1.5. Baadhi ya mambo muhimu yaliyoangaliwa kwenye utafiti huu

Uwiano wa wanafunzi kwa vitabu (kiada), walimu, madarasa, madawati, miundombinu nk, ufaulu wa wanafunzi, uwajibikaji wa jamii katika suala zima lihusulo elimu kwa watoto hasa watoto wa kike. Hii ikiwa ni sehemu ya kupima kama malengo Mpango wa Pili wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2016/2017 – 2020/2021 katika sekta ya Elimu yanaendelea kufikiwa. Lakini pia utafiti huu unasaidia kubaini baadhi ya changamoto zinazojitokeza katika utekelezaji wa Mpango huo wa Pili wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2016/2017 – 2020/2021 katika sekta ya hiyo.

Page 9: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU …tcdd.or.tz/wp-content/uploads/2018/04/Book-A4-final-Hali-ya-elimu-2017.pdf · 2017 T iii SHUKRANI Kitabu hiki cha hali ya Elimu

HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU BILA MALIPO NCHINI TANZANIA MWAKA 2017

3TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

SURA YA PILI

2.0. MATOKEO YA UTAFITI KATIKA SEKTA YA ELIMU YA SEKONDARIElimu ni moja ya sekta muhimu ambayo Mpango wa Pili wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2016/2017 – 2020/2021 umejizatiti katika kuondoa changamoto zinazoikabili ili kuleta ustawi wa Taifa la Tanzania. Mpango unaainisha changamoto kadha wa kadha kama vile upungufu wa walimu na uwepo wa walimu wasio na ubora, mazingira yasiyo rafiki ya kujifunzia, upungufu wa madarasa na vyoo vya wanafunzi, upungufu wa walimu na vitabu kwa masomo ya sayansi na kiwango kidogo cha wanafunzi wanaofaulu na kujiunga na masomo ya kidato cha tano.

Moja ya matarajio makubwa katika sekta hii ya elimu ni kuongeza uwezekano wa wananchi wengi kuwa na fursa ya kupata elimu bora katika ngazi mbalimbali, hasa katika elimu ya msingi na sekondari. Kwa kuzingatia viashilia vilivyotolewa kwenye mpango katika sekta ya Elimu Jumla ya Halmashauri 10 zilihusishwa katika utafiti huu ambazo ni Mtwara Manispaa, Morogoro Manispaa, Ilemela, Temeke, Singida Manispaa, Kasulu, Urambo, Mbeya Vijijini (Mbeya DC), Arumeru Magharibi (Arusha DC) na Lushoto. Jumla ya shule za serikali 100 hasa shule za kata zilitarajiwa kuhusika katika utafiti huu, lengo likiwa ni kutembelea shule 10 za sekondari kutoka katika kila Halmashauri husika.

2.1. Halmashauri na Idadi ya shule zilizohusika katika utafiti huu

Jedwali Na 1: Idadi ya shule zilizohusika kwenye utafiti.

Halmashauri Idadi ya Shule Wilaya Idadi ya Shule

1. Mtwara Manispaa 10 Urambo 10

2. Morogoro Manispaa 10 Mbeya vijijini 10

3. Ilemela Manispaa 10 Arumeru Magharibi 10

4. Temeke Manispaa 10 Lushoto 10

5. Singida Manispaa 10 Kasulu 10

Chanzo: Utafiti 2017

2.2. Jumla ya Wanafunzi walioandikishwa kidato cha kwanza mwaka 2015 na 2016 Mpango wa Pili wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka mitano 2016/2017 – 2020/2021 unaainisha hali halisi ya uandikishaji kwa mwaka 2014/2015 ambao ni 41% kwa elimu ya sekondari ya chini, lengo likiwa 43% kufikia 2020/21. Utafiti huu unabainisha hali halisi kutoka uwandani juu ya hali ya uandikishaji wa wanafunzi wa kidato cha kwanza kutoka katika shule 100 zilizotembelewa katika wilaya 10.

Page 10: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU …tcdd.or.tz/wp-content/uploads/2018/04/Book-A4-final-Hali-ya-elimu-2017.pdf · 2017 T iii SHUKRANI Kitabu hiki cha hali ya Elimu

HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU BILA MALIPO NCHINI TANZANIA MWAKA 2017

4 TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Jedwali Na.2: Jumla ya Wanafunzi walioandikishwaMwaka 2015 2016

Halmashauri Me Ke Jumla Me Ke Jumla Jumla Kuu

Mtwara Manispaa 505 549 1054 570 698 1268 2322

Morogoro Manispaa 1052 1054 2136 1144 1262 2387 4523

Ilemela 880 1008 1886 1247 1102 2349 4235

Temeke 1531 1853 3382 1621 2509 4130 7512

Singida 382 475 857 504 598 1102 1959

Urambo 505 406 911 559 497 1056 1967

Mbeya vijijini 627 777 1404 833 874 1707 3111

Arumeru Magharibi 786 965 1751 977 1255 2232 3983

Kasulu 499 425 924 788 460 1248 2172

Takwimu kutoka katika wilaya 10 ambazo utafi ti huu umefanyika zinaonyesha ongezeko kubwa la wanafunzi wa kidato cha kwanza walioandikishwa kwa mwaka 2015 na 2016 kama inavyoonekana kwenye jedwali. Pia udahili wa wanafunzi wa jinsi ya kike katika wilaya zote isipokuwa wilaya ya Kasulu umeongezeka ikilinganishwa na jinsi ya kiume. Kwa mujibu wa tafi ti, ongezeko hili limechangizwa na uwepo wa elimu bila malipo (karo ya shule) na michango mbalimbali ambayo ilionekana kuwa ni mzigo kwa wazazi lakini pia ongezeko la wanafunzi wanaofaulu darasa la saba.

Grafu Na 1: Kuongezeka Kwa wanafunzi wa jinsi ya kike walioandikishwa kidato cha kwanza mwaka 2015 na 2016

Chanzo: Utafi ti 2017

TCDD inashauri kuwa ongezeko hili la idadi ya wanafunzi wanaojiunga kidato cha kwanza liende sambamba na ongezeko na maboresho ya miundombinu itakayowezesha upatikanaji wa elimu bora katika mazingira bora kama vile mabweni (hasa kwa watoto wa kike), maabara, madarasa, vyoo, maji, umeme, vitabu na hata nyumba za walimu.

Page 11: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU …tcdd.or.tz/wp-content/uploads/2018/04/Book-A4-final-Hali-ya-elimu-2017.pdf · 2017 T iii SHUKRANI Kitabu hiki cha hali ya Elimu

HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU BILA MALIPO NCHINI TANZANIA MWAKA 2017

5TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Utafi ti huu umeainisha changamoto kadhaa ambazo zimeathiri uandikishaji wa wanafunzi wa kidato cha kwanza kama vile;

• Mimba kwa wanafunzi wa kike• Hali ngumu ya Maisha kwa wazazi• Mwamko duni wa wazazi juu ya umuhimu wa Elimu.

2.3. Wanafunzi ambao hawakuripoti shuleni baada ya kuchaguliwa

Takwimu zinaonyesha kuwepo kwa idadi kubwa ya wanafunzi ambao hawakuripoti katika shule walizopangiwa kwaajili ya masomo ya kidato cha kwanza Kwa mwaka 2015 na 2016 kama inavyoonekana kwenye jedwali hapa chini; Hili ni tatizo endapo mamlaka husika haitachukua hatua za kutosha ili kudhibiti tatizo hili;

Jedwali Na 3: Wanafunzi ambao hawakuripoti shuleni baada ya kuchaguliwaMWAKA 2015 Jumla 2016 JumlaWILAYA Me Ke Me KeMtwara Manispaa 52 80 132 43 70 113Morogoro Manispaa 252 174 426 146 152 298Ilemela Manispaa 195 162 252 175 178 353Singida Manispaa 29 37 66 18 44 62Urambo Manispaa 72 56 128 44 49 93Mbeya Vijiji 125 157 282 142 158 300Arumeru Magharibi 224 327 571 237 229 466Kasulu 47 107 154 108 95 203

Chanzo: utafi ti 2017

Kuna sababu mbalimbali kutoka katika shule zilizofanyiwa utafi ti ambazo zinatajwa kupelekea kusababisha wanafunzi kutokuripoti mara wanapochaguliwa kujiunga nazo, kama ifuatavyo:

• Baadhi ya wanafunzi kujiunga na shule za taasisi binafsi (private schools)• Utoro unaosababishwa na baadhi ya wanafunzi kujingiza kwenye biashara

ndogondogo na biashara ya bodaboda kwa vijana wa kiume.• Mwamko mdogo wa Elimu kutoka kwa wazazi na jamii kwa ujumla• Shughuli za kilimo, ufugaji, uvuvi, machimbo madogomadogo• Mimba Kwa watoto wa kike na • Hali ya umaskini kwa wazazi.

Page 12: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU …tcdd.or.tz/wp-content/uploads/2018/04/Book-A4-final-Hali-ya-elimu-2017.pdf · 2017 T iii SHUKRANI Kitabu hiki cha hali ya Elimu

HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU BILA MALIPO NCHINI TANZANIA MWAKA 2017

6 TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Kwenye jamii za kifugaji kama vile Arumeru Magharibi ambako utafiti huu pia umefanyika, wazazi wengi wamekosa mwamko wa elimu hivyo kuwaruhusu watoto wao kushughulika na uchungaji wa ng’ombe kuliko kuendelea na elimu. Pia kuwepo kwa mila na tamaduni ambazo zinahamasisha wasichana kuolewa katika umri mdogo. 2.4. Idadi ya Wanafunzi waliofanya Mtihani wa kidato cha Nne na Waliofaulu

MWAKA 2015 2016 WATAHINIWA Me Ke Me Ke

HalmashauriMtwara Manispaa

Watahiniwa 513 50% 518 50% 492 52% 460 48%waliofaulu 302 29% 282 27% 273 28% 543 57%

Morogoro Manispaa

Watahiniwa 850 49% 881 51% 887 49% 930 51%waliofaulu 436 25% 483 28% 489 27% 484 26%

Ilemela Watahiniwa 1990 51% 1946 49% 1174 50% 1177 50%waliofaulu 1005 25% 1038 26% 882 38% 881 37%

Temeke Watahiniwa 1225 46% 1422 54% 1225 45% 1488 55%waliofaulu 767 29% 643 24% 624 23% 614 23%

Singida Manispaa

Watahiniwa 402 48% 430 52% 359 44% 454 56%waliofaulu 258 31% 265 32% 208 26% 270 33%

Urambo Watahiniwa 304 55% 251 45% 240 51% 228 49%waliofaulu 184 33% 118 21% 185 40% 109 23%

Mbeya vijijini Watahiniwa 631 47% 721 53% 645 46% 768 54%waliofaulu 360 27% 398 29% 236 17% 434 31%

Arumeru Magharibi

Watahiniwa 673 39% 1041 61% 679 40% 1052 61%waliofaulu 466 27% 604 35% 452 38% 725 62%

Kasulu Watahiniwa 567 57% 425 43% 419 57% 311 43%waliofaulu 354 64% 195 36% 241 33% 187 26%

Jedwali Na 4: Takwimu kutoka katika Shule kumi (10) kila wilaya

Jedwali hapo juu linaonyesha idadi ya watahiniwa kutoka katika shule kumi (10) zilizofanyiwa utafiti na wanafunzi waliofaulu kwa mwaka 2015 na 2016. Takwimu zinaonyesha hali ya ufaulu kuwa usioridhisha na juhudi za makusudi zisipochukuliwa mapema ni ngumu kufikia lengo la ufaulu kutoka 69.8% kwa mwaka 2014/2015 hadi 80% mwaka 2020/21 na 90% mwaka 2025/26. Takwimu zinaonyesha karibia nusu ya watahiniwa wanaofanya mtihani katika shule mbalimbali hawafaulu mitihani yao ili waweze kuendelea na masomo ya kidato cha tano.

Page 13: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU …tcdd.or.tz/wp-content/uploads/2018/04/Book-A4-final-Hali-ya-elimu-2017.pdf · 2017 T iii SHUKRANI Kitabu hiki cha hali ya Elimu

HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU BILA MALIPO NCHINI TANZANIA MWAKA 2017

7TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

TAKWIMU ZA KIWILAYA KUTOKA KATIKA OFISI ZA ELIMU MANISPAA NA HALMASHAURI ZA WILAYA nazo zinaonyesha hali ya ufaulu usioridhisha katika maeneo mbalimbali Kama inavyoonekana kwenye majedwali yafuatayo ukurasa unaofuata;-

Manispaa ya Mtwara MikindaniMwaka 2015 2016

Jinsi Me Ke Jumla Me Ke JumlaWatahiniwa 881 793 1674 802 938 1740Waliofaulu 570 478 1048 543 665 1208

Manispaa ya TemekeMwaka 2015 2016Jinsi Me Ke Jumla Me Ke JumlaWatahiniwa 4649 5131 9780 4518 5264 9782Waliofaulu 2262 2542 4804 3522 3815 7337

Page 14: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU …tcdd.or.tz/wp-content/uploads/2018/04/Book-A4-final-Hali-ya-elimu-2017.pdf · 2017 T iii SHUKRANI Kitabu hiki cha hali ya Elimu

HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU BILA MALIPO NCHINI TANZANIA MWAKA 2017

8 TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Wilaya ya LushotoMwaka 2015 2016Jinsi Me Ke Jumla Me Ke JumlaWatahiniwa 1769 1838 3607 1133 1968 3101Waliofaulu 841 1339 2240 748 1218 1966

% 48 72 62 66 62 63

Kwa ujumla, takwimu kutoka katika shule kumi (10) zilizotembelewa na Elimu Wilaya/Halmashauri zinabainisha hali ya ufaulu kuwa chini ukilinganisha na idadi ya watahiniwa wote, huku hali ya ufaulu kwa kuzingatia jinsi ya kike na kiume ikionyesha kuto-tofautiana sana.

Pamoja na sababu tajwa hapo chini, kupungua kwa idadi ya wanaofaulu kunatokana na kutokuwepo kwa mazingira rafi ki ya upatikanaji wa elimu bora ikiwemo uchache wa walimu hasa wa sayansi, Mfano; shule ya sekondari Chuno, Manispaa ya Mtwara Mikindani haina mwalimu wa Sayansi, ukosefu wa vitendea kazi kama vile vitabu, uchache wa vyumba vya madarasa, madawati na kukosekana kwa vitendea kazi katika maabara. Kati ya shule 10 zilizotajwa kuwa na maabara katika Manispaa ya Mikindani ni shule 2 tu ndizo maabara zinafanya kazi ingawa nazo hazijakamilika kwa asilimia mia moja. Changamoto zingine ni;ØUtoro wa wanafunzi.ØUhaba wa walimu; hasa wa masomo ya sayansi.ØUshiriki hafi fu wa wazazi katika kufuatilia maendeleo ya watoto wao.ØMazingira yasiyo rafi ki ya kujifunzia, kama vile ubovu wa vyoo, upungufu wa vyumba

vya madarasa, mabweni hasa kwa wanafunzi wa jinsi ya kike, kukosekana kwa maabara, madawati, nk.

ØKuwepo kwa mila na desturi zinazofi fi sha maendeleo ya elimu hasa kwa watoto wa kike.

ØMimba na ndoa za utotoniØKukata tamaa kwa walimu kutokana na baadhi ya mazingira ya kazi kuwa magumu,

kutopewa motisha na uhaba wa vitendea kazi.

2.5. Idadi ya wanafunzi waliojiunga kidato cha tano (5)

Mpango wa Pili wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2016/2017 – 2020/2021 unalenga Kuongeza idadi ya wanafunzi wanaojiunga kidato cha tano (5) kutoka 10.5% mwaka 2014/2015 kufi kia asilimia 20% kwa mwaka 2020/21. Jedwali hapa chini linaonyesha hali halisi kutoka katika wilaya tisa (9) kati ya kumi (10) zilizotembelewa – kwa kuzingatia hali ya ufaulu kama inavyoonyeshwa kwenye jedwali hapa chini.

Ukilinganisha takwimu za wanafunzi waliofanya mtihani wa kidato cha nne na waliofaulu kwa mwaka 2015 na 2016 na takwimu za wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na masomo ya kidato cha tano kwa miaka hiyo unaweza kuona hali halisi ya idadi ndogo sana ya wanafunzi

Page 15: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU …tcdd.or.tz/wp-content/uploads/2018/04/Book-A4-final-Hali-ya-elimu-2017.pdf · 2017 T iii SHUKRANI Kitabu hiki cha hali ya Elimu

HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU BILA MALIPO NCHINI TANZANIA MWAKA 2017

9TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

wanaojiunga na masomo ya kidato cha tano. Idadi kubwa ya wanafunzi wanashindwa kupata alama za ufaulu ili waweze kuendelea na masomo ya kidato cha tano. Juhudi za pamoja kati ya serikali, wazazi na wadau wa elimu katika kutatua changamoto mbalimbali kama vile uhaba wa vyumba vya madarasa, ushirikiano mdogo kati ya uongozi wa shuel na wazazi au jamii,uhaba wa vifaa vya maabara na wataalamu wake, uhaba wa walimu wa masomo ya sayansi na hisabati, utoro wa wanafunzi, baadhi ya wazazi kuwaozesha watoto wa kike, jamii kutothamini elimu kutokana na uelewa mdogo wa umuhimu wa elimu kwa watoto pamoja na mazingira duni ya kuishi na kufanyia kazi kwa walimu.

Jedwali Na 5: Idadi ya wanafunzi waliojiunga kidato cha tanoMWAKA WATAHINIWA 2015 2016

WATAHINIWA Me Ke Me Ke WILAYA

Mtwara Manispaa Waliojiunga 179 517 112 265Walioshindwa kujiunga 19 32 16 20

Morogoro Manispaa Waliojiunga 79 346 87 311Walioshindwa kujiunga 0 0 0 0

Ilemela Manispaa Waliojiunga 144 487 180 420Walioshindwa kujiunga 23 32 - 27

Temeke Manispaa Waliojiunga 370 199 426 260Walioshindwa kujiunga 1892 2343 3096 3555

Singida Manispaa Waliojiunga HT HT HT HTWalioshindwa kujiunga HT HT HT HT

Urambo Waliojiunga 98 17 0 0Walioshindwa kuiunga 467 312 0 0

Mbeya vijijini Waliojiunga 126 123 192 166Walioshindwa kujiunga 46 36 76 66

Lushoto Waliojiunga 235 574 229 290Walioshindwa kujiunga 606 825 519 928

Kasulu Waliojiunga 341 124 0 0Walioshindwa kujiunga 0 0 0 0

Takwimu: Elimu Wilayani/Halmashauri

2.6. Uwiano wa idadi ya walimu na wanafunzi katika Wilaya/Halmashauri kwa somo

Takwimu: Elimu Wilaya/HalmashauriHalmashauri WALIMU WANAFUNZI UWIANO UWIANO

Mtwara ManispaaMikindani

2015 2016 2015 2016 2015 2016397 398 5458 5676 1:14 1:14

Morogoro Manispaa 1299 1299 15611 15313 1:12 1:12Ilemela 847 906 16934 16834 1:20 1:18Temeke Manispaa 1675 1718 43363 42724 1:26 1:25Urambo 281 274 7045 4446 1:25 1:16Mbeya 718 714 10982 10393 1:15 1:15Lushoto 721 831 12467 12772 1:17 1:15Kasulu - - - - 1:26 1:26

Jedwali Na 6: Uwiano wa idadi ya walimu na wanafunzi katika wilaya/Halmashauri kwa somo

Page 16: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU …tcdd.or.tz/wp-content/uploads/2018/04/Book-A4-final-Hali-ya-elimu-2017.pdf · 2017 T iii SHUKRANI Kitabu hiki cha hali ya Elimu

HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU BILA MALIPO NCHINI TANZANIA MWAKA 2017

10 TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Utafiti ulilenga kubaini uwiano halisi uliopo kati ya Walimu kwa wanafunzi kwa somo katika Mpango wa Pili wa Maendeleo wa miaka mitano unalenga kufikia uwiano wa 20:1 kufikia mwaka 2020/21 na 2025. Katika Halmashauri zilizofanyiwa utafiti, Takwimu zilizoainishwa hapo juu ni Uwiano wa kiujumla kwa halmashauri ambazo zinaonyesha mwelekeo mzuri kuelekea uwiano 20:1 kwa somo takwimu zifuatazo hapa chini ni hali halisi kutoka katika shule 10 zilizotembelewa kwa kila Halmashauri moja moja.UWIANO WA WALIMU KWA WANAFUNZI KUTOKA KATIKA BAADHI YA HALMASHAURI 10 NA SHULE ZILIZOTEMBELEWA

Mtwara Manispaa Jina la shule

Mwaka 2015 Mwaka 2016Wanafunzi Walimu Uwiano Wanafunzi Walimu Uwiano

Mitengo 180 17 11:1 252 17 15:1Mangamba 181 28 7:1 168 25 7: 1Sabasaba 600 41 15:1 549 41 14:1Chuno 438 30 15:1 402 30 13:1Shangani 504 32 16:1 438 32 14:1Umoja 472 28 17:1 432 28 15:1Rahaleo 456 29 16:1 442 29 15:1Naliendele 371 27 14:1 386 28 14:1Sino 493 32 15:1 479 32 15:1Mikindani 168 19 9:1 258 19 14:1

Kwa kuzingatia lengo la mpango ambao ni 20:1 kufikia mwaka 2021, utafiti unaonyesha uwiano kuwa ni mzuri hasa kwa walimu wa masomo ya sanaa. Changamoto kubwa ni kwa walimu wa masomo ya sayansi, Mfano, Shule ya Sekondari Chuno hakuna mwalimu wa fizikia mwalimu mkuu analazimika kufundisha somo hilo mara chache anapopata nafasi au mwalimu yoyote ambaye walau ana uelewa kidogo wa somo hilo hali hii imepelekea matokeo mabaya ya kidato cha nne katika masomo ya sayansi.

Wilaya/Halmashauri ya LushotoShule Mwaka 2015 Mwaka 2016

Wanafunzi Walimu Uwiano Wanafunzi Walimu UwianoB.Mshangama 162 16 10:1 181 16 11:1Gare 223 12 19:1 190 18 11: 1Kisaba 341 30 11:1 390 31 13:1Kitala 192 19 10:1 180 19 10:1Masange 310 17 18:1 392 18 22:1Ngazi 174 16 11:1 214 16 13:1Ngulwi 171 32 5:1 172 32 5:1Prince Claus 188 19 10:1 172 20 9:1Shita 229 15 15:1 274 16 17:1Ubiri 611 31 20:1 502 24 21:1

Takwimu hapo juu zinaonyesha kuwa uwiano wa wanafunzi kwa walimu kwa kila shule katika shule zilizofanyiwa utafiti ni mzuri kwa mujibu wa sera ya elimu kwa shule za sekondari japokuwa idadi kubwa ya walimu hawa ni wa masomo ya sanaa.

Page 17: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU …tcdd.or.tz/wp-content/uploads/2018/04/Book-A4-final-Hali-ya-elimu-2017.pdf · 2017 T iii SHUKRANI Kitabu hiki cha hali ya Elimu

HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU BILA MALIPO NCHINI TANZANIA MWAKA 2017

11TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Manispaa ya Temeke

ShuleMwaka 2015 Mwaka 2016

Wanafunzi Walimu Uwiano Wanafunzi Walimu UwianoPendamoyo 351 12 29:1 338 12 28:1Miburani 338 13 26:1 325 13 25:1Wailes 421 8 52:1 386 8 48:1Saku 323 9 35:1 357 10 36:1Malela 225 38 5:1 336 38 8: 1changanyikeni 206 9 22:1 286 9 31:1Mikwambe 239 10 23:1 224 10 22:1Toangoma 263 11 23:1 308 10 31:1Tandika 455 18 25:1 456 19 24:1Lumo 306 9 34:1 322 10 32:1

Kutoka katika shule 10 zilizotembelewa uwiano wa walimu kwa wanafunzi ni mzuri. Kama ilivyo katika wilaya/Halmashauri zingine, uwiano huu unachagizwa na uwepo wa walimu wengi wa masomo ya sanaa kuliko masomo ya sayansi.

Manispaa ya Singida Mwaka 2015 2016

Shule Uwiano UwianoMughanga 1:35 1:40Unyamikumbi 1:30 1:32Unyambwa 1:23 1:25Senge 1:50 1:49Mandewa 1:32 1:34Mwankoko 1:24 1:27Ipembe 1:31 1:35Mungumaji 1:35 1:40Kindai 1:52 1:36Mtamaa 1:20 1:22

Takwimu kutoka katika shule zilizotembelewa zinaonyesha kuwa na viwango tofauti vya uwiano. Shule kama Kindai na Senge zikiwa na uwiano mkubwa ukilinganisha na shule ya Unyambwa na unyamikumbi. Kwa miaka ya hivi karibuni uwiano wa walimu na wanafunzi hasa kwa shule za sekondari umekuwa mgumu kupatikana kutokana na kuwepo na upungufu wa walimu wa masomo ya sayansi hivyo kulazimika walimu wa masomo ya sayansi kufundisha vidato vyote wakati walimu wa masomo yasiyo ya sayansi kuwa wengi zaidi hivyo uwiano wao na wanafunzi ni mzuri. Mfano; Shule ya Unyamikumbi ina mwalimu mmoja tu wa somo la fizikia, hivyo kulazimika kufundisha vidato vyote.

Page 18: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU …tcdd.or.tz/wp-content/uploads/2018/04/Book-A4-final-Hali-ya-elimu-2017.pdf · 2017 T iii SHUKRANI Kitabu hiki cha hali ya Elimu

HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU BILA MALIPO NCHINI TANZANIA MWAKA 2017

12 TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Halmashauri ya Wilaya ya KasuluShule 2015 2016 Wanafunzi Walimu Uwiano Wanafunzi Walimu UwianoBogwe 699 9 78:1 658 11 59:1Hwazi 581 48 12:1 520 48 10:1Nyansha 356 35 10:1 788 35 22:1Murufiti 236 16 14:1 213 16 13:1Kigodya 291 18 16:1 286 18 15:1Kinkati 518 8 64:1 551 8 68:1Kasange 419 17 24:1 337 17 19:1Mubondo 174 18 9: 1 185 18 10:1Nyumbigwa 234 15 15:1 269 15 17:1Muka 492 9 55:1 481 9 53:1

Uwiano ni mkubwa kwenye baadhi ya shule kama vile Mrubona, Kumsenga na Msambala. Pia katika miaka hiyo hapakuwa na ongezeko la walimu isipokuwa kwa shule ya Bogwe.

Maoni Hapakuwa na changamoto kubwa ya namna ya kupata uwiano halisi wa Walimu na wanafunzi katika shule za sekondari japo kuna takwimu zinaonyesha uwiano kuwa ni mkubwa mzuri kwenye baadhi ya shule. Changamoto iliyopo ni kuwa idadi kubwa ya walimu walioainishwa hapo juu ni wa masomo ya sanaa; Shule nyingi zilizotembelewa zimekutwa na walimu wawili, au Mmoja na hivyo kulazimika kufundisha vidato vyote. Kwa hali hii tusitegemee muujiza katika kufaulisha wanafunzi katika masomo ya sayansi. Pamoja na juhudi zilizopo, jitihada za makusudi zinahitajika kupunguza au kuondoa kabisa tatizo hili la upungufu wa walimu wa masomo ya sayansi.

2.7. Uwiano wa wanafunzi kwa kila chumba cha darasa/Ujazo wa wanafunzi Katika darasa

Mpango wa Pili wa Maendeleo wa Miaka Mitano unakusudia kufikia uwiano wa 40:1 kufikia 2020/21 na 2025/26 kutoka 43:1 kitaifa. Takwimu zifuatazo hapa chini ni kutoka katika shule 10 zilizofanyiwa tafiti ili kuona kama tunapiga hatua kuelekea 2020/21au kuna jitihada zinahitajika ili kufikia lengo hilo.

Manispaa ya Mtwara MikindaniJina la Shule

2015

Kidato 1 Kidato 2 Kidato 3 Kidato 4Me Ke Jumla Me Ke Jumla Me Ke Jumla Me Ke Jumla

Mitengo 25 26 51 19 21 40 33 28 61 19 8 28Mangamba 14 19 33 11 9 20 29 48 77 26 24 50

Sabasaba 59 64 123 77 71 148 80 76 156 84 89 173

Chuno 48 47 95 45 55 100 54 49 103 71 69 140Shangani 63 70 133 51 53 104 62 54 116 71 80 151

Umoja 65 68 133 60 45 105 50 48 98 46 52 98Rahaleo 62 66 128 63 36 99 55 52 107 61 61 122Naliendele 54 83 137 49 28 77 44 43 87 42 28 70Sino 56 34 90 61 19 70 45 35 80 41 27 58Mikindani 21 10 31 19 18 37 29 30 59 21 20 41Jumla 467 487 954 455 355 800 481 463 944 482 458 931

Page 19: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU …tcdd.or.tz/wp-content/uploads/2018/04/Book-A4-final-Hali-ya-elimu-2017.pdf · 2017 T iii SHUKRANI Kitabu hiki cha hali ya Elimu

HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU BILA MALIPO NCHINI TANZANIA MWAKA 2017

13TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Jina la Shule

2016Kidato 1 Kidato 2 Kidato 3 Kidato 4

Me Ke Jumla Me Ke Jumla Me Ke Jumla Me Ke JumlaMitengo 60 56 116 28 31 59 13 7 20 33 28 61Mangamba 52 58 110 12 17 29 13 6 19 27 43 70Sabasaba 70 61 131 67 75 142 55 65 120 80 76 156Chuno 45 64 109 55 53 108 38 47 85 53 47 100Shangani 41 47 88 74 74 148 42 42 84 67 51 118Umoja 65 66 131 56 75 131 46 28 77 49 47 96Rahaleo 55 71 126 84 57 141 42 32 74 49 52 101Naliendele 48 92 140 51 66 117 26 22 48 42 39 81Sino 54 32 86 67 25 72 49 36 84 40 29 59Mikindani 64 79 143 21 15 36 14 9 23 27 29 56Jumla 554 626 1180 515 488 983 338 294 634 467 441 898

Takwimu hapa hapo juu zinaonyesha idadi ya wanafunzi kwa kila chumba cha darasa kwa shule 10 za Sekondari Manispaa ya Mtwara Mikindani. Utafiti unaonyesha hakuna uwiano tarajiwa wa idadi ya wanafunzi kwa kila chumba cha darasa.

Kwa mujibu wa sera ya elimu na mpango wa Maendeleo wa miaka 5 mwaka 2016/2017 – 2020/2021 idadi ya wanafunzi kwa kila chumba cha darasa/mkondo ni 40:1 lakini hali halisi ujazo wa wanafunzi katika darasa ni mkubwa; mwaka 2015 kwa hiyo mfano ukichukulia shule ya Naliendele ina wanafunzi 137 lakini ina mikondo 2 tu ambayo ni sawa na wanafunzi 69 kwa mkondo hivyo kuna ongezeko la wanafunzi 29 kila mkondo.

Pia shule ya Sabasaba kwa mwaka 2015 kidato cha nne kulikuwa na wanafunzi 173 ikiwa ni wastani wa wanafunzi 87 kwa chumba cha darasa. Pia shule ya Shangani mwaka 2016 kidato cha pili wanafunzi 148 kwa wastani wa 74 kila chumba.

Mlundikano wa wanafunzi darasani hupunguza ufanisi wa walimu katika ufundishaji pia wanafunzi kukosa usikivu na ukosefu wa hewa ya kutosha kwenye chumba cha darasa hali inayoweza kusababisha magonjwa mbalimbali ikiwemo ya mlipuko, haya na mengineyo huchangia kushusha kiwango cha elimu mfano ni matokeo ya kidato cha nne mwaka 2016 shule za Manispaa ya Mtwara Mikindani zimepata matokeo mabaya.Manispaa ya Temeke

2015 2016Shule Wanafunzi Vyumba Uwiano Wanafunzi Vyumba Uwiano

Pendamoyo 1402 12 1:117 1350 12 1:113Mibulani 1331 16 1:83 1340 16 1:84Wailes 1682 14 1:120 1543 16 1:96Saku 1292 13 1:108 1629 13 1:125Malela 901 12 1:75 943 12 1:79Changanyikeni 825 13 1:63 932 14 1:67Mikwambe 957 14 1:68 897 16 1:56Toangoma 1051 18 1:58 1207 18 1:67Tandika 1752 16 1:110 1791 16 1:112Lumo 1222 12 1:102 1289 13 1:99

Page 20: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU …tcdd.or.tz/wp-content/uploads/2018/04/Book-A4-final-Hali-ya-elimu-2017.pdf · 2017 T iii SHUKRANI Kitabu hiki cha hali ya Elimu

HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU BILA MALIPO NCHINI TANZANIA MWAKA 2017

14 TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Takwimu: Elimu Manispaa ya TemekeMwaka 2015 2016Kidato cha Kwanza 1:109 1:145Kidato cha Pili 1:100 1:113Kidato cha tatu 1:78 1:110Kidato cha nne 1:75 1:94

Kutoka katika shule 10 zilizotembelewa uwiano wa wanafunzi kwa kila chumba cha darasa ni kubwa ukilinganisha na vyumba vya madarasa vilivyopo shule za sekondari. Darasa lenye uwiano wa 1:75, 1:110, 1:56, 1:120 ni ngumu mwalimu kulimudu darasa hilo na wanafunzi kuelewa nini mwalimu anafundisha. Lakini pia uwiano wa Kimanispaa bado ni mkubwa sana. Sera na Mpango wa Maendeleo una nia ya kufikisha 40:1 kufikia 2020/2021. Hakika bado kuna kazi kubwa inayotakiwa kufanyika ili kuboresha mazingira hayo.

Manispaa ya SingidaNa. SHULE KIDATO 2015 2016

Wav Was Jumla Wav Was JumlaMughanga Kidato 1 62 66 128 72 88 160

Kidato 2 63 69 132 58 66 124Kidato 3 73 94 167 63 69 132Kidato 4 69 76 145 73 96 169

Unyamikumbi Kidato 1 21 36 57 20 20 40Kidato 2 09 23 32 10 19 29Kidato 3 22 32 54 11 23 34Kidato 4 13 22 35 11 18 29

Unyambwa Kidato 1 21 23 44 24 23 47Kidato 2 14 12 26 21 19 40Kidato 3 13 24 37 11 10 21Kidato 4 12 15 27 09 20 29

Senge Kidato 1 52 76 138 69 78 147Kidato 2 50 57 107 58 79 137Kidato 3 69 68 137 58 79 137Kidato 4 94 76 170 69 68 137

Mandewa Kidato 1 44 60 104 44 81 125Kidato 2 43 54 97 51 65 116Kidato 3 45 54 99 30 41 71Kidato 4 45 39 84 36 47 83

Mwankoko Kidato 1 13 24 37 16 16 32Kidato 2 33 22 55 15 22 37Kidato 3 25 28 53 22 20 42Kidato 4 20 15 35 22 24 46

Ipembe Kidato 1 44 53 97 59 66 125Kidato 2 49 41 90 48 46 94Kidato 3 34 59 93 40 38 78Kidato 4 46 61 107 34 56 90

Page 21: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU …tcdd.or.tz/wp-content/uploads/2018/04/Book-A4-final-Hali-ya-elimu-2017.pdf · 2017 T iii SHUKRANI Kitabu hiki cha hali ya Elimu

HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU BILA MALIPO NCHINI TANZANIA MWAKA 2017

15TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Mungumaji Kidato 1 48 38 86 39 56 95Kidato 2 36 27 63 37 37 74Kidato 3 45 47 92 22 26 48Kidato 4 46 37 83 40 45 85

Kindai Kidato 1 40 40 80 71 67 138Kidato 2 43 69 112 35 38 73Kidato 3 51 65 126 40 59 99Kidato 4 43 56 99 47 59 106

Mtamaa Kidato 1 15 15 30 29 43 73Kidato 2 28 18 46 17 17 34Kidato 3 14 11 25 19 14 33Kidato 4 16 13 29 14 12 26

Takwimu: Elimu Manispaa ya SingidaMwaka 2015 2016

Kidato cha 1 1:35 1:44

Kidato cha 2 1:34 1:35

Kidato cha 3 1:38 1:31

Kidato cha 4 1:37 1:21

Taarifa ya idara ya elimu sekondari 2015-2016 inaonesha kuwa uwiano wa vyumba vya madarasa na wanafunzi ni 1:30 kwa mwaka 2015 na 1:31 kwa mwaka 2016. Ingawa utafiti unaonesha kuwa shule nyingi za sekondari zina uwiano mzuri wa vyumba vya madarasa na wanafunzi ingawa pia kuna uhaba wa vyumba vya madarasa kwa baadhi ya shule. Jedwali hapo juu linaonyesha idadi ya wanafunzi kwa kidato (ingawa sio wote wanasomea chumba kimoja cha darasa).

Kwa kuzingatia takwimu kama zilivyoainishwa hapa juu, ni dhahili kuwa bado kuna hitaji kubwa la vyumba vya madarasa ili kuweza kukidhi ongezeko la idadi ya wanafunzi hasa kutokana na mpango wa hivi sasa wa elimu bila malipo. Mpango wa Pili wa Maendeleo wa Miaka Mitano (5) katika utekelezaji wake unalenga kufikia uwiano wa 40:1 kwa mwaka 2020/21 na 2025/26 kutoka 43:1. Mlundikano wa wanafunzi wengi darasani hautoi fursa nzuri kwa wanafunzi kujifunza sawasawa lakini pia kuwa ni changamoto kwa walimu husika.

Page 22: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU …tcdd.or.tz/wp-content/uploads/2018/04/Book-A4-final-Hali-ya-elimu-2017.pdf · 2017 T iii SHUKRANI Kitabu hiki cha hali ya Elimu

HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU BILA MALIPO NCHINI TANZANIA MWAKA 2017

16 TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

v HALI HALISI KATIKA PICHAUwiano wa wanafunzi kwa kila chumba cha darasa

Picha 1: Toangoma sekondari; Temeke

Picha 2: Wailes sekondari; Temeke

Picha 3: Nyansha sekondari : Kasulu Picha 4: Bogwe sekondari: Kasulu

Page 23: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU …tcdd.or.tz/wp-content/uploads/2018/04/Book-A4-final-Hali-ya-elimu-2017.pdf · 2017 T iii SHUKRANI Kitabu hiki cha hali ya Elimu

HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU BILA MALIPO NCHINI TANZANIA MWAKA 2017

17TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

2.8. Uwiano wa Idadi ya wanafunzi kwa matundu ya vyoo katika HalmashauriHalmashauri 2015 2016

Me Idadi Uwiano Ke Idadi Uwiano Me Idadi Uwiano Ke Idadi Uwiano Mtwara Manispaa

2621 89 1:29 2837 89 1:32 2582 89 1:29 3094 89 1:35

Morogoro Manispaa

6978 155 1:45 8633 259 1:33 7074 152 1:47 8782 283 1:31

Ilemela 8267 130 1:64 8667 129 1:67 8487 134 1:63 8352 135 1:62

Temeke Manispaa

21074 130 1:162 22289 156 1:142 20079 182 1:110 22645 208 1:108

Singida Manispaa

3152 128 1:25 3405 128 1:27 3625 141 1:26 3135 141 1:22

Urambo 3753 72 1:52 3292 72 1:45 2294 72 1:31 2152 72 1:39

Mbeya vijijini 4809 211 1:22 6173 236 1:26 4532 223 1:20 5861 257 1:22

Jedwali Na 7: Uwiano wa Idadi ya wanafunzi kwa matundu ya vyoo katika HalmashauriTakwimu hapo juu ni kutoka Halmashauri/wilaya saba (7) kati ya kumi (10) zilizofanyiwa utafiti ili kuona hali ya uwiano wa vyoo na idadi ya wanafunzi katika ngazi ya Halmashauri. Hali ya miundombinu ya vyoo imekuwa ikichangia sana wanafunzi kukatiza masomo yao pale miundombinu ya vyoo inapokuwa michache, michakavu au kutokuwepo kabisa, hasa kwa watoto wa kike wanapokuwa katika siku zao za mwezi (hedhi).

Mpango wa Pili wa Maendeleo wa Miaka Mitano umekusudia kufikia uwiano wa 20:1 kufikia mwaka 2021 na 2025/26 kitaifa. Lakini kwa taarifa kutoka ngazi ya Halmashauri kama zinavyoonekana hapo juu inaonyesha kuwa bado kuna kazi kubwa ya kufanyika ili kufikia lengo.

v UWIANO WA IDADI YA WANAFUNZI KWA MATUNDU YA VYOO KUTOKA KATIKA BAADHI YA SHULE 10 ZILIZOTEMBELEWA KATIKA HALMASHAURI HUSIKA

Manispaa yaTemeke2015 2016

Jina la Shule Wanafunzi Matundu ya vyoo

uwiano Wanafunzi Matundu ya vyoo

Uwiano

Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me KePendamoyo 723 679 04 04 1:181 1:170 655 695 04 04 1:164 1:174Miburani 649 682 08 08 1:81 1:85 638 702 08 08 1:80 1:88Wailes 844 838 04 05 1:211 1:168 689 854 07 09 1:98 1:95Saku 589 703 05 05 1:118 1:141 842 787 07 08 1:120 1:98Malela 362 539 04 05 1:91 1:108 405 538 04 05 1:101 1:108Changanyikeni 325 500 04 06 1:81 1:83 330 602 04 06 1:83 1:100Mikwambe 425 532 05 05 1:85 1:106 315 582 05 05 1:63 1:116Toangoma 565 486 09 12 1:63 1:41 506 701 09 12 1:56 1:58Tandika 819 933 05 05 1:164 1:187 810 981 05 05 1:162 1:196Lumo 571 651 05 05 1:114 1:130 603 686 05 05 1:121 1:137

Page 24: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU …tcdd.or.tz/wp-content/uploads/2018/04/Book-A4-final-Hali-ya-elimu-2017.pdf · 2017 T iii SHUKRANI Kitabu hiki cha hali ya Elimu

HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU BILA MALIPO NCHINI TANZANIA MWAKA 2017

18 TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Utafiti 2017

Takwimu hapo juu kutoka katika shule 10 zilizotembelewa zinaonyesha uwiano wa wanafunzi na matundu ya vyoo ni mkubwa sana. Hii inamaanisha kwamba matundu ya vyoo ni machache sana ukilinganisha na idadi ya wanafunzi. Kama hatua za makusudi hazitachukuliwa na mamlaka husika, lengo la kufikia uwiano wa 20:1 kufikia mwaka 2020/21 na 2025/26 halitafikiwa.

Halmashauri ya Wilaya ya LushotoShule wav vyoo Uwiano was vyoo Uwiano

1 Balozi Mshangama 62 3 1:21 119 3 1:402 Gare 61 8 1:8 131 8 1:163 Kisaba 148 6 1:25 243 10 1:244 Kitala 84 6 1:14 96 6 1:165 Masange 125 7 1:18 267 7 1:386 Ngazi 95 5 1:19 119 5 1:247 Ngulwi 83 4 1:21 92 4 1:238 Prince Claus 74 2 1:37 96 2 1:489 Shita 91 5 1:18 183 5 1:3710 Ubiri 190 5 1:38 311 5 1:62

Lengo la Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano ni 20:1 kufikia 2020/21 na 2025/26. Kwa takwimu tajwa hapo juu, muelekeo ni mzuri kufikia lengo hilo.

Hali halisi ya vyoo vinavyotumika katika picha: Temeke, Dar es salaam

Picha 5: Tandika sekondari Picha 6: Changanyikeni sekondari

Page 25: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU …tcdd.or.tz/wp-content/uploads/2018/04/Book-A4-final-Hali-ya-elimu-2017.pdf · 2017 T iii SHUKRANI Kitabu hiki cha hali ya Elimu

HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU BILA MALIPO NCHINI TANZANIA MWAKA 2017

19TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Picha 7: choo wavulana, Gare sekondari

Picha 8: choo wasichana Balozi Mshangama sekondari

Hali halisi ya vyoo vinavyotumika Katika Picha: Lushoto (Baadhi ya shule)

Halmashauri ya Wilaya Kasulu shule Wanafunzi

2015 Jumla Matundu

Ya vyooUwiano Uwiano Wanafunzi

2016Jumla Matundu

Ya vyooUwiano Uwiano

Me Ke Me Ke Me 2015 Ke 2015 Me Ke Me Ke Me 2016 Ke 2016

1:68. 1:72 Bogwe 339 360 699 5 5 283 375 658 5 5 1:56 1:75

Hwazi 302 279 581 4 4 1:76 1:69 284 286 570 4 4 1:71 1:72Nyansha 271 225 496 3 3 1:90. 1:75 271 219 490 3 3 1:90 1:73Murufiti 160 75 235 5 6 1:32 1:12 218 44 262 5 6 1:43 1:7

Kigodya 114 63 177 3 3 1:38 1:21 111 64 175 4 3 1:27 1:21Mubondo 100 74 174 3 6 1:33 1:12 125 60 185 3 6 1:41 1:10Kinkati 301 217 518 8 6 1:37 1:36 324 227 554 8 6 1:40 1:37Muka 274 197 471 11 14 1:24 1:14 271 173 444 11 12 1:24 1:14

Kasange 235 182 417 8 10 1:29 1:18 211 136 347 12 14 1:17 1:9Nyumbigwa 153 82 235 4 6 1:38 1:13 172 97 269 4 6 1:43 1:16

Page 26: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU …tcdd.or.tz/wp-content/uploads/2018/04/Book-A4-final-Hali-ya-elimu-2017.pdf · 2017 T iii SHUKRANI Kitabu hiki cha hali ya Elimu

HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU BILA MALIPO NCHINI TANZANIA MWAKA 2017

20 TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Hali halisi ya vyoo vinavyotumika katika Picha: Kasulu

Picha 9&10: Mbondo sekondari

Picha 11&12: Mrufi sekondari

Manispaa ya Mtwara MikindaniJina la Shule 2016 Uwiano

Idadi Jumla Matundu ya vyoo me keme ke me ke

Mitengo 130 132 262 4 8 33:1 17:1Mangamba 104 124 228 4 6 26:1 21:1Sabasaba 272 277 549 16 16 17:1 17:1Chuno 191 211 402 4 4 48:1 53:1Shangani 224 214 438 4 4 56:1 54:1Umoja 216 216 432 4 4 54:1 54:1Rahaleo 230 212 442 6 6 38:1 35:1Naliendele 167 219 386 6 8 28:1 27:1Sino 211 278 489 6 10 35:1 28:1Mikindani 115 126 241 4 4 29:1 32:1

Page 27: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU …tcdd.or.tz/wp-content/uploads/2018/04/Book-A4-final-Hali-ya-elimu-2017.pdf · 2017 T iii SHUKRANI Kitabu hiki cha hali ya Elimu

HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU BILA MALIPO NCHINI TANZANIA MWAKA 2017

21TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Picha 13 na 14: Choo wavulana, Sabasaba sekondari; Mtwara Mkindani

Kwa kuzingatia takwimu zilizotolewa hapo juu pamoja na picha halisi ya mazingira ya vyoo vinavyotumiwa na wanafunzi katika maeneo tofauti. Ni dhahili kuna kazi ya ziada inahitajika kufanyika ili kuweza kufikia lengo la uwiano wa 20:1 ifikapo mwaka 2020/21 na 2025/26 ili kuwa na mazingira bora ya wanafunzi kujifunzia.

2.9. Shule zenye umeme

Katika Mpango wa Pili wa Maendeleo wa Miaka Mitano 2020/21, serikali imejiwekea lengo la kuwa na umeme katika shule za sekondari kwa asilimia 85% kutoka asilimia 77.3% mwaka 2014/15. TCDD inalenga kupima maendeleo ya mpango huu katika mwaka wa pili wa utekelezaji wa mpango huo, ili kuweza kuishauri serikali ili mpango huo uweze kufanikiwa kwa wakati ili kuwa na mazingira bora ya utolewaji wa elimu.

Jedwali Na 8 Shule Zenye Umeme Kati ya 10 ZilizotembelewaWilaya 2015 2016Mtwara Manispaa Shule 8 zina umeme Shule 8 zina umemeMorogoro Manispaa Shule zote 10 zina umeme Shule zote 10 zina umemeTemeke Shule zote 10 zina umeme Shule zote 10 zina umemeSingida Manispaa Shule 4 zina umeme Shule 4 zina umemeKasulu Shule 1 ina umeme Shule 1 ina umemeMbeya Vijijini Shule 5 zina umee Shule 5 zina umemeIlemela Shule zote 10 zina umeme Shule zote 10 zina umemeArumeru Magharibi Shule 6 zina umeme Shule 6 zina umemeUrambo HT HTLushoto HT HT

Page 28: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU …tcdd.or.tz/wp-content/uploads/2018/04/Book-A4-final-Hali-ya-elimu-2017.pdf · 2017 T iii SHUKRANI Kitabu hiki cha hali ya Elimu

HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU BILA MALIPO NCHINI TANZANIA MWAKA 2017

22 TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

HALI YA MIUNDOMBINU MINGINE Picha 15 (Chini): Maabara Picha 16

Kabuhoro Sekondari Nyamanoro Sekondari

Picha 17: Shule ya Sekondari Pasiansi Picha 18 Shule ya Sekondari Nyumbigwa

Majengo ya maabara yakiwa hayajakamilika kutoka katika shule ya Kabuhoro, Nyamanoro na Pasiansi toka mwaka 2005, Manispaa ya Ilemela. Jengo la maabara shule ya Nyumbigwa (juu kulia) likiwa limeezuliwa na upepo na kutelekezwa, Kasulu.

Jiko

Picha 19: Hali ya Jiko la kupikia chakula cha wanafunzi na bwalo la chakula, shule ya Malela, Temeke.

Page 29: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU …tcdd.or.tz/wp-content/uploads/2018/04/Book-A4-final-Hali-ya-elimu-2017.pdf · 2017 T iii SHUKRANI Kitabu hiki cha hali ya Elimu

HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU BILA MALIPO NCHINI TANZANIA MWAKA 2017

23TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Picha 20: Hili ni darasa linalotumika na wanafunzi wa kidato cha tatu (3) katika Shule ya Uwanja wa Taifa, Morogoro Manispaa.

Picha 21

Hivi ni baadhi ya vyumba vya madarasa vilivyokuwa vimeanza kujengwa kwa nguvu ya wananchi. Baada tu ya mpango mzuri wa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutangaza Mpango wa Elimu bila malipo majengo mengi yametelekezwa bila kuendelezwa katika shule ya sekondari Hwazi iliyoko Halmashauri ya mji Kasulu.

Picha 22

Picha ya baadhi ya walimu wa shule ya Sekondari Hwazi wakifanyia kazi zao chini ya mti walivyokutwa na mfuatiliaji kutokana na uhaba wa ofisi. Pia Mwalimu Mkuu akiwa katika ofisi iliyozibwa na bati.

Page 30: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU …tcdd.or.tz/wp-content/uploads/2018/04/Book-A4-final-Hali-ya-elimu-2017.pdf · 2017 T iii SHUKRANI Kitabu hiki cha hali ya Elimu

HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU BILA MALIPO NCHINI TANZANIA MWAKA 2017

24 TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

MAONI YA WADAU BODI ZA SHULE, WALIMU, WAZAZI, KAMATI ZA MAENDELEO YA KATA NA WANAFUNZI

Changamoto za upatikanaji wa elimuvUhaba wa walimu wa sayansi vUzembe na utoro wa wanafunzi vWalimu wachache ambao hawakidhi mahitajivMaabara nyingi kutokufanya kazivMila na desturi potofu kutoka kwa jamiivUgumu wa lugha inayotumika kufundishia kiingereza (english)vWazazi kutokuwajibika kikamilifu katika kuwasimamia na kuwafuatilia watoto waovKukosekana kwa chakula cha mchana MashulenivUkosefu wa vifaa vya kufundishia kama vile vifaa vya maabara na vitabuvWanafunzi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na kuathiri masomo yaovMimba kwa watoto wa kikevUkosefu wa miundombinu hasa ya vyoo ambayo ni rafiki kwa wanafunzi wa kike

hasa kipindi wanapokuwa katika kipindi cha hedhi hivyo kushindwa kuhudhuria masomo yao vizuri

vUkosefu wa mabweni kwa wasichana katika shule nyingi hivyo kusababisha watembee umbali mrefu kwenda shule wakati wengine wakiamua kupanga hosteli mitaani ambako hukumbana na vishawishi vingi na mwisho wa siku kukatishwa masomo baada ya kupata ujauzito.

vJamii kuwa na uelewa mdogo juu ya umuhimu wa elimu kwa watoto wa kike na muda mwingine kuchelewa kuwaandikisha shuleni.

vBaadhi ya wanafunzi wa kike huacha shule na kwenda kuajiriwa kufanya kazi za ndani (house girl) hivyo kukatisha masomo yao.

Nini kifanyike Kuboresha Upatikanaji wa Elimu vSerikali na wadau wengine wa elimu waweke mikakati madhubuti ya kuajiri walimu

wengi wa sayansi na hisabati ili kuondoa uhaba uliopo sasa.vSerikali ni vyema ikatenga bajeti ya kutosha kwa ajili shule za sekondari ili kuboresha

mazingira ya kujifunzia kwa wanafunzi kama vile kuongeza madarasa kulingana na idadi ya wanafunzi.

vSerikali inapaswa kuangalia maslahi ya walimu ili kuwapa motisha na hivyo kutoa elimu bora.

vUongozi wa kisiasa katika Kata husika uendelee kuielimisha jamii kuhusu umuhimu wa elimu kwa watoto wao ili wachangie maendeleo ya elimu ya sekondari.

vUwepo utaratibu wa utoaji chakula katika shule za sekondari ili kuwezesha wanafunzi kusoma vizuri kwani wengi wanatoka katika familia zenye hali duni na wengine kushindwa kurudi nyumbani kupata chakula kutokana na umbali.

vMaabara zikamilishwe kwa wakati na kupatiwa vifaa vyake ili kuwezesha wanafunzi kujifunza kwa vitendo na sio kwa nadharia tu, hii itachangia kuongeza ufaulu katika masomo ya sayansi.

vSerikali na wadau wa sekta ya elimu washirikiane kuhakikisha upatikanaji wa vitabu vya kutosha unakuwepo kwa shule zote ili kuwapa fursa walimu kufundisha vizuri na wanafunzi kujisomea.

vSerikali ijenge nyumba za watumishi na mabweni kwa ajili ya wanafunzi waishio mbali na shule hizo ili kupunguza utoro na vishawishi vinavyoweza kuwapata wanafunzi hasa wakike

vSerikali kwa kushirikiana na wadau wa elimu wajenge mabweni kwa ajili ya wanafunzi wa kike ili waweze kupata muda mwingi wa kujisomea na pia kuwaepusha na vishawishi mitaani

vKuboresha miundombinu ya vyoo na hasa chumba maalumu kwaajili ya kujistiri kwa wale wanaokuwa katika hedhi ili kutoathiri mahudhurio yao darasani.

Page 31: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU …tcdd.or.tz/wp-content/uploads/2018/04/Book-A4-final-Hali-ya-elimu-2017.pdf · 2017 T iii SHUKRANI Kitabu hiki cha hali ya Elimu

HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU BILA MALIPO NCHINI TANZANIA MWAKA 2017

25TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

SURA YA TATU

UFUATILIAJI WA MRADI WA 2014 – 2016 (BACKSTOPPING)

3.0. UTANGULIZI

Sehemu hii inahusisha taarifa za mradi uliotekelezwa na TCDD kipindi cha mwaka 2014 hadi 2016 katika mradi wa kufuatilia umaskini na unawajibikaji kupitia Mpango wa Pili wa Maendeleo wa Taifa 2016/17 -2020/21 katika sekta za elimu. Katika hatua hii taarifa zinazokuja zinajaribu kuonyesha matokeo ambayo mradi imeyaleta baada ya utekelezaji wa mradi kuwa ulishafanyika kwa kipindi kilichotajwa hapo juu.

3.1. Sekta ya elimu

Ufuatiliaji huu ulifanyika mwaka 2017 kwa kujikita katika viashilia vya elimu vilivyoorodheshwa katika mpango wa maendeleo kwa lengo la kujipima kuona kama malengo yaliyowekwa na serikali kufikia mwaka 2020/21 yanatekelezeka ama hayatekelezeki.

3.2. Halmashauri zilizohusika

Wilaya Taasisi iliyohusikaBunda FOUNDATION HELPRungwe ELIMISHAMagu SDIMufindi TDGPAKigoma Vijijini KIUNGONETMkuranga TARUCODEFUNewala FAWOPALindi Manispaa LINGONETKishapu TAHEA

Utafiti 2017

MATOKEO YA UFUATILIAJI

3.3. Jumla ya wanafunzi walioandikishwa kidato cha kwanza 2015 na 2016

Mpango wa Pili wa Maendeleo wa Miaka Mitano (5) Mpango wa Pili wa Maendeleo wa Miaka Mitano (5) unakusudia kufikisha asilimia 50% ya uandikishaji wa wanafunzi wa kidato cha kwanza kufikia mwaka 2020/21 na asilimia 90% kufikia 2025/26. Takwimu hapa chini zinaonyesha hali ya uandikishaji wa wanafunzi katika kila shule zilizotembelewa na ngazi ya Halmashauri.

Katika ngazi ya Shule

Wilaya 2015 2016 Idadi ya Shule Me Ke Jumla Me Ke Jumla

Rungwe 8 965 968 1933 950 1030 1980Newala 6 153 196 349 255 253 508Bunda 10 776 453 1229 1005 754 1759Mkuranga 10 379 548 937 594 463 1057

Magu 10 869 763 1632 984 837 1821

Kishapu 10 463 539 1002 604 614 1218

Mufindi 10 753 743 1496 775 990 1765

Page 32: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU …tcdd.or.tz/wp-content/uploads/2018/04/Book-A4-final-Hali-ya-elimu-2017.pdf · 2017 T iii SHUKRANI Kitabu hiki cha hali ya Elimu

HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU BILA MALIPO NCHINI TANZANIA MWAKA 2017

26 TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

KATIKA NGAZI YA HALMASHAURI

RungweMwaka 2015 2016JJinsi Me Ke Jumla Me Ke Jumla

Kidato cha 1 1,597 1879 3,476 1593 1992 3,585

Kigoma vijijini Mwaka 2015 2016Jinsi Me Ke Jumla Me Ke Jumla

Kidato cha 1 483 271 754 585 385 970

Lindi ManispaaMwaka 2015 2016Jinsi Me Ke Jumla Me Ke Jumla

Kidato cha 1 360 331 691 455 515 970

MkurangaMwaka 2015 2016Jinsi Me Ke Jumla Me Ke Jumla

Kidato cha 1 994 1185 2179 962 1117 2099

KishapuMwaka 2015 2016Jinsi Me Ke Jumla Me Ke Jumla

Kidato cha 1 1,312 1,233 2,545 1,593 1,526 3,119

Page 33: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU …tcdd.or.tz/wp-content/uploads/2018/04/Book-A4-final-Hali-ya-elimu-2017.pdf · 2017 T iii SHUKRANI Kitabu hiki cha hali ya Elimu

HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU BILA MALIPO NCHINI TANZANIA MWAKA 2017

27TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Takwimu kutoka ngazi ya Elimu Wilaya na Elimu katika wilaya zote zinaonyesha kuongezeka kwa uandikishaji wa wanafunzi kwa miaka yote miwili yaani mwaka 2015 na mwaka 2016. Mwelekeo huu unaonyesha kuwa lengo la kufikia asilimia 50% katika uandikishaji wa wanafunzi wa kidato cha kwanza linaweza kufikiwa kufikia mwaka 2020/21, pia hali ya uandikishaji wa wanafunzi wa jinsi ya kike umeonekana kuimarika na kuonekana kuwa ni mkubwa kwenye baadhi ya maeneo kuliko wanafunzi wa jinsi ya kiume kama takwimu zionekanavyo.

3.4. Wanafunzi waliochaguliwa na hawakuripoti shuleni

Katika ngazi ya Shule

KishapuMwaka 2015 2016Shule Me Ke Jumla Me Ke JumlaUfundi Mwadui 3 6 9 0 0 0Kishapu 8 8 16 7 4 11Maganzo 1 7 8 5 5 10Mwigumbi 11 13 24 0 2 2Mangu 6 1 7 5 3 8Mwataga 0 1 1 0 0 0Mwamaduli 2 1 3 3 2 5Uchunga 2 4 6 0 0 0Idukilo 14 22 36 3 0 3Bunambiyu 0 0 0 1 0 1Jumla 47 63 110 24 16 40

Manispaa ya Lindi Shule /Mwaka 2015 2016

Jinsi Me Ke Jumla Me Ke Jumla

Chikonji 0 0 0 0 0 0

Kineng’ene 5 2 7 7 7 14

Nga’pa 4 4 8 1 1 2

Ngongo 0 0 0 1 0 0

Mingoyo 0 0 0 0 0 0

Lindi 0 0 0 0 0 0

Mkonge 13 10 23 3 9 12

Angaza 0 0 0 0 0 0

Jumla 22 16 38 12 17 28

Page 34: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU …tcdd.or.tz/wp-content/uploads/2018/04/Book-A4-final-Hali-ya-elimu-2017.pdf · 2017 T iii SHUKRANI Kitabu hiki cha hali ya Elimu

HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU BILA MALIPO NCHINI TANZANIA MWAKA 2017

28 TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

BundaShule/Mwaka 2015 2016 Me Ke Jumla Me Ke JumlaNyiendo 7 7 14 15 9 24Sizaki 4 5 9 4 3 7Kabasa 18 17 35 24 16 40Wariku 13 1 14 5 5 10Mihingo 2 0 2 1 1 2Mekomarilo 8 3 11 2 4 6Chamriho 10 10 20 6 10 16Guta 12 3 15 13 18 31Muranda 13 7 20 11 5 16Chitengule 18 4 22 12 11 23 Jumla 105 57 162 93 82 175

Mufindi

Shule/Mwaka 2015 2016Me Ke Jumla Me Ke Jumla

Makalala 1 5 6 2 3 5Igowole 0 0 0 0 0 0Mninga 0 0 0 0 0 0Kasanga 20 24 44 13 12 25Ihongore 2 4 6 1 3 4J J Mungai 0 0 0 0 0 0Mnyigumba 7 2 9 4 2 6Changarawe 5 3 8 0 8 8Luganga 67 18 85 7 25 32Kinyanambo 12 5 17 10 14 24Jumla 114 61 175 37 67 104

Magu

Shule/Mwaka 2016 2016 Me Ke Jumla Me Ke JumlaLubugu 8 10 18 3 4 7Magu 119 115 234 117 114 231Kinago - - - 4 3 7Itumbili 7 9 16 8 20 28Sukuma 18 21 39 7 2 9Ng’haya 41 41 82 6 9 15Mugini - - - - - -Kahangara 6 12 18 5 10 15Kandawe 35 21 56 - - -Ng’wamabanza 1 4 5 2 1 3Jumla 235 233 468 152 163 315

Page 35: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU …tcdd.or.tz/wp-content/uploads/2018/04/Book-A4-final-Hali-ya-elimu-2017.pdf · 2017 T iii SHUKRANI Kitabu hiki cha hali ya Elimu

HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU BILA MALIPO NCHINI TANZANIA MWAKA 2017

29TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Ngazi ya Wilaya/Halmashauri

KishapuMwaka 2015 2016

Jinsi Me Ke Jumla Me Ke Jumla

Kidato cha 1 115 342 457 53 112 165

RungweMwaka 2015 2016

Jinsi Me Ke Jumla Me Ke Jumla

Kidato cha 1 186 184 370 121 133 254

Kigoma VijijiniMwaka 2015 2016

Jinsi Me Ke Jumla Me Ke Jumla

Kidato cha 1 70 55 125 53 45 98

MkurangaMwaka 2015 2016

Jinsi Me Ke Jumla Me Ke Jumla

Kidato cha 1 112 193 305 122 151 273

MufindiMwaka 2015 2016

Jinsi Me Ke Jumla Me Ke Jumla

Kidato cha 1 62 74 136 76 111 187

Takwimu za wanafunzi ambao hawaripoti baada ya kuwa wamechaguliwa na kujiunga na kidato cha kwanza imezidi kuongezeka mwaka hadi mwaka. Hali hii inapelekea tatizo hili kuwa sugu na kuonekana ni la kawaida kwenye baadhi ya Halmashauri.

Page 36: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU …tcdd.or.tz/wp-content/uploads/2018/04/Book-A4-final-Hali-ya-elimu-2017.pdf · 2017 T iii SHUKRANI Kitabu hiki cha hali ya Elimu

HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU BILA MALIPO NCHINI TANZANIA MWAKA 2017

30 TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Kuna sababu mbalimbali zimetajwa kutoka katika shule ambazo zilitembelewa zinazodaiwa kusababisha wanafunzi kutoripoti shuleni mara wanapochaguliwa nazo ni kama zilivyoainishwa: ØWalijiunga katika shule za watu binafsi (Private) ØUtoro ØMwamko mdogo wa elimu ØHali ngumu ya Uchumi kwa baadhi ya wazazi ØShughuli za Kilimo, Ufugaji (kuchunga), Uvuvi, Machimbo madogo (Migodini) na

Uwindaji. Pia watoto kuacha shule na kujikita katika biashara ndogondogoØKuhama

Mfano: Katika Halmashauri ya Rungwe mwaka 2016 takribani wanafunzi 81 walikataa kujiunga na masomo ya kidato cha kwanza na wengine kutoroka mara baada ya kuwa wameshajiunga.

3.5. Idadi ya wanafunzi waliofanya mtihani wa kidato cha nne na waliofaulu

Serikali kupitia Mpango wa Pili wa Maendeleo wa Miaka 5 ni kuhakikisha inafikia ufaulu kwa asilimia 80% kufikia mwaka 2020/21 na 90% kufikia mwaka 2025/26. Taarifa hii inaonyesha mwenendo usioridhisha juu ya ufaulu wa wanafunzi katika mtihani wa kidato cha nne kwa mwaka 2015 na 2016 hivyo kutia shaka lengo kufikiwa: Takwimu hapa chini zinaonyesha:-

Bunda 2015 2016 - JUMLAWatahiniwa 1032 65% 968 64%Waliofaulu 554 35% 556 36%

2015 Me KeWatahiniwa 599 61% 433 72%Waliofaulu 385 39% 169 28%

2016 Me KeWatahiniwa 563 59% 405 71%Waliofaulu 391 41% 165 29%

Kigoma vijijiniMwaka 2015 2016

Jinsi Me Ke Jumla Me Ke Jumla

Watahiniwa 489 256 745 281 164 445

Waliofaulu 320 128 448 226 85 311

Page 37: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU …tcdd.or.tz/wp-content/uploads/2018/04/Book-A4-final-Hali-ya-elimu-2017.pdf · 2017 T iii SHUKRANI Kitabu hiki cha hali ya Elimu

HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU BILA MALIPO NCHINI TANZANIA MWAKA 2017

31TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Manispaa ya LindiWaliofanya mtihani

Shule 2015 2016Jinsi Me Ke Jumla Me Ke JumlaChikonji 16 6 22 12 14 26Kineng’ene 101 72 173 80 68 148Nga’pa 40 30 70 44 28 72Ngongo 32 33 65 16 15 31Mingoyo 17 14 31 23 25 48Lindi 36 32 68 53 28 81Mkonge 90 75 165 70 87 157Angaza 40 42 82 44 39 83Jumla 372 304 676 342 304 646

WaliofauluShule 2015 2016Jinsi Me Ke Jumla Me Ke JumlaChikonji 10 4 14 4 8 12Lindi 79 36 105 60 55 115Ngongo 30 11 41 27 14 41Kineng’ene 29 30 59 16 15 31Nga’pa 15 9 24 16 12 28Mingoyo 33 25 58 37 16 53Mkonge 48 35 83 30 47 77Angaza 23 18 31 31 20 51Jumla 273 168 415 221 187 408

MaguWaliofanya mtihani

Shule 2015 2016 Jinsi Me Ke Jumla Me Ke JumlaLubugu 52 44 96 52 38 90Magu 126 127 253 142 105 247Kinago 85 72 157 100 78 178Itumbili 82 84 166 75 52 127Sukuma 52 26 78 50 46 96Ng’haya 63 35 98 53 33 86Mugini - - - 8 7 15Kahangara 59 46 105 54 38 92Kandawe 89 71 160 66 45 11Ng’wamabanza 28 33 61 21 16 37

Jumla 636 538 1174 621 458 1079

Page 38: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU …tcdd.or.tz/wp-content/uploads/2018/04/Book-A4-final-Hali-ya-elimu-2017.pdf · 2017 T iii SHUKRANI Kitabu hiki cha hali ya Elimu

HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU BILA MALIPO NCHINI TANZANIA MWAKA 2017

32 TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

WaliofauluShule 2015 2016

Me Ke Jumla Me Ke JumlaLubugu 42 13 55 42 27 69Magu 73 92 165 98 65 163Kinago 63 42 105 88 55 143Itumbili 58 29 87 47 16 63Sukuma 44 8 52 45 14 59Ng’haya 40 23 63 37 18 55Mugini - - - 8 7 15Kahangara 43 13 56 38 14 52Kandawe 46 24 70 42 14 56Ng’wamabanza 17 23 40 16 12 28Jumla 426 267 693 461 242 703

Mufindi

Waliofanya mtihaniWilaya /

HalmashauriShule 2015 2016

Me Ke Jumla Me Ke JumlaMufindi Mkalala 22 48 70 26 44 70Mufindi Igowole 79 132 211 62 72 134Mufindi Mninga 19 43 62 16 27 43Mufindi Kasanga 31 42 73 17 25 42Mafinga Mji Ihongore 66 64 130 36 35 71Mafinga Mji J J Mungai 120 124 244 79 88 167Mafinga Mji Mnyigumba 23 27 50 13 13 26Mafinga Mji Changarawe 91 81 172 67 40 107Mafinga Mji Luganga 43 48 91 44 36 80Mafinga Mji Kinyanambo 74 80 154 42 58 100

Jumla 568 689 1257 402 438 840

WaliofauluWilaya /

Halmashauri Shule 2015 2016

Me Ke Jumla Me Ke JumlaMufindi Mkalala 13 26 39 13 25 38Mufindi Igowole 34 73 107 46 57 103Mufindi Mninga 11 20 31 11 22 33Mufindi Kasanga 27 28 55 16 16 32Mafinga Mji Ihongore 42 44 86 34 29 63Mafinga Mji J J Mungai 91 87 178 76 84 160Mafinga Mji Mnyigumba 16 18 34 12 12 24Mafinga Mji Changarawe 67 55 122 63 34 97Mafinga Mji Luganga 38 40 78 33 31 64Mafinga Mji Kinyanambo 51 42 93 34 39 73

Jumla 390 433 823 338 349 687

Page 39: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU …tcdd.or.tz/wp-content/uploads/2018/04/Book-A4-final-Hali-ya-elimu-2017.pdf · 2017 T iii SHUKRANI Kitabu hiki cha hali ya Elimu

HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU BILA MALIPO NCHINI TANZANIA MWAKA 2017

33TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Mkuranga

Jina la shule

Waliotahiniwa Waliofaulu

2015 2016 2015 2016

Me Ke Jumla Me Ke Jumla Me Ke Jumla Me Ke Jumla

Mkugilo 14 22 16 32 48 07 08 15 06 02 08

Mwalusembe 29 18 26 22 48 28 11 39 19 13 32

Mkamba 28 22 39 31 70 15 12 27 16 17 33

Tengelea 20 16 18 18 36 09 09 18 10 05 15

Tambani 21 18 08 13 21 16 09 25 08 12 20

Dundani 31 37 29 32 61 22 20 42 12 11 23

Kisiju pwani 15 11 08 14 22 09 05 14 07 05 12

Kiparang’anda 20 23 36 37 73 14 10 24 21 18 39

Vikindu 53 45 101 84 185 35 19 54 32 26 58

Mwinyi 91 73 65 71 136 33 16 49 43 35 78

Kwa mujibu wa takwimu hapo juu, zinaonyesha hakuna uwiano mzuri kati ya wanafunzi wanaotahiniwa na wanafunzi wanaofaulu. Idadi ya wanafunzi wanaofualu kwa ufaulu wa daraja I, II, III na IV ni ndogo sana ukilinganisha na idadi ya jumla ya watahiniwa kwa mwaka husika. Hii inamaanisha kuwa hali ya ufaulu bado ni ndogo sana. Pia kutoka katika idadi hiyo ndogo ya wanafunzi wanaofaulu sio wote wana vigezo vya kujiunga na kidato cha 5 hasa kwa wenye ufaulu wa daraja la nne (IV).3.6. Uwiano wa Idadi ya walimu na wanafunzi

Katika Mpango huu wa Pili wa Maendeleo wa Miaka Mitano (5), serikali imekusudia kufikia uwiano wa 20:1 yaani wanafunzi ishirini kwa mwalimu mmoja. Ufuatiliaji ukajikita katika kutafuta taarifa na kuona hali ikoje hivi sasa katika shule zetu wakati utekelezaji ukiendelea kufikia mwaka 2020/21 na 2025/26.Newala

2015 2016Darasa Wanafunzi Walimu Jumla Wanafunzi Walimu Jumla

Kidato cha 1 379 53 7:1 526 43 12:1Kidato cha 2 293 52 5:1 422 56 7:1Kidato cha 3 239 50 4:1 163 52 3:1Kidato cha 4 207 49 4:1 191 52 3:1Jumla 1118 204 5:1 1302 203 6:1

Bunda 2015 2016

Darasa Wanafunzi Walimu Jumla Wanafunzi Walimu UwianoKidato cha 1 1228 75 16:1 1788 93 19:1Kidato cha 2 995 78 12:1 1087 86 12:1Kidato cha 3 1096 80 13:1 638 84 7:1Kidato cha 4 1102 80 14:1 997 93 11:1

Page 40: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU …tcdd.or.tz/wp-content/uploads/2018/04/Book-A4-final-Hali-ya-elimu-2017.pdf · 2017 T iii SHUKRANI Kitabu hiki cha hali ya Elimu

HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU BILA MALIPO NCHINI TANZANIA MWAKA 2017

34 TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Kigoma vijijiniMwaka 2015 2016 Wanafunzi Walimu Uwiano Wanafunzi Walimu UwianoKidato cha 1 573 84 7:1 804 88 9:1Kidato cha 2 671 90 7:1 579 82 7:1Kidato cha 3 637 93 7:1 513 82 6:1Kidato cha 4 730 85 9:1 459 82 6:1

MaguShule 2015 2016 Wanafunzi walimu uwiano wanafunzi walimu uwianoLubugu 563 34 1:17 612 35 1:17Magu 1031 51 1:20 1030 51 1:20Kinago 962 35 1:27 1088 34 1:32Itumbili 887 35 1:25 547 35 1:16Sukuma 540 30 1:18 601 28 1:21Ng’haya 520 31 1:17 571 29 1:20Mugini 94 12 1:9 136 12 1:11Kahangara 531 33 1:16 560 35 1:16Kandawe 481 44 1:11 524 40 1:13Ng’wamabanza 296 32 1:9 298 30 1:10

KishapuMwaka 2015 2016Shule Kidato

cha 1Kidato cha 2

Kidato cha 3

Kidato cha 4

Kidato cha 1

Kidato cha 2

Kidato cha 3

Kidato cha 4

Ufundi Mwadui 1:16 1:11 1:13 1:12 1:20 1:13 1:13 1:11Kishapu 1:117 1:88 1:91 1:112 1:105 1:119 1:70 1:84Maganzo 4:182 2:108 2:100 2:100 5:238 3:138 1:75 1:78Mwigumbi 1:61 1:58 1:58 1:41 1:97 1:64 1:50 1:56Mangu 1:8 1:5 1:5 1:6 1:13 1:7 1:4 1:5Mwataga 1:24 1:24 1:14 1:8 1:30 1:19 1:24 1:21Mwamaduli 1:29 1:22 1:19 1:15 1:32 1:26 1:21 1:18Uchunga 1:30 1:34 1:28 1:27 1:30 1:30 1:34 1:28Idukilo 1:77 1:53 1:44 1:36 1:121 1:55 1:46 1:40Bunambiyu 1:77 1:08 1:09 1:09 1:22 1:15 1:09 1:09

Page 41: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU …tcdd.or.tz/wp-content/uploads/2018/04/Book-A4-final-Hali-ya-elimu-2017.pdf · 2017 T iii SHUKRANI Kitabu hiki cha hali ya Elimu

HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU BILA MALIPO NCHINI TANZANIA MWAKA 2017

35TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

MufindiWilaya / Halmashauri 2015 2016

Wanafunzi Walimu Uwiano Wanafunzi Walimu UwianoMufindi 504 44 11:1 581 45 13:1Mufindi 537 44 12:1 545 45 12:1Mufindi 299 44 7:1 465 45 10:1Mufindi 414 44 9:1 278 45 6:1Jumla 1754 176 10:1 1869 180 10:1

Mafinga MjiWilaya / Halmashauri 2015 2016

Wanafunzi Walimu Uwiano Wanafunzi Walimu UwianoMafinga Mji 802 100 8:1 994 102 10:1Mafinga Mji 973 100 10:1 838 100 8:1Mafinga Mji 747 97 8:1 863 99 9:1Mafinga Mji 757 101 7:1 556 97 6:1

Jumla 3279 398 8:1 3251 398 8:1

Kwa mujibu wa takwimu hapo juu, hali ya uwiano wa walimu kwa idadi ya wanafunzi katika shule ambazo zimefanyiwa utafiti unaonyesha kuwa ni mzuri kwenye baadhi ya Wilaya/Halmashauri na baadhi yake kutokuwa mzuri. Hii inamaanisha kuwa juhudi za makusudi zinahitajika ili kufikia uwiano wa 20:1 kufikia mwaka 2020/21 na 2025/26. Wilaya/Halmshauri zenye uwiano mzuri zinachagizwa na uwepo wa idadi kubwa ya walimu wa masomo ya sanaa (Arts) kuliko masomo ya Sayansi. Mfano Wilaya Kishapu; Kuna uhitaji mkubwa wa walimu wa hisabiti na sayansi kwa ujumla. Zaidi ya walimu 32 walihama mwaka 2016 hii ni sawa na ongezeko la 1% ya upungufu wa walimu wanaohitajika katika wilaya ya Kishapu. Utafiti umebaini kuwa wastani wa mwalimu mmoja hufundisha wanafunzi mia moja na mbili 1:102, hii ni kinyume na sera na Mpango wa Pili wa Maendeleo wa Taifa. Na katika Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma Vijijini uwiano wa walimu na masomo ya sayansi ni 1:200 kwa mujibu wa takwimu za utafiti huu. Mfano; Shule ya Sekondari Mkigo, Kigoma vijijini ikiwa haina mwalimu hata mmoja wa masomo ya sayansi. Juhudi za makusudi hasa kwa upande wa serikali kuweza kuajiri walimu wa masomo ya sayansi na masomo mengine ili kukabiliana na changamoto hii.

3.7. Uwiano wa wanafunzi na Matundu ya vyoo

Serikali imekusudia kufikisha uwiano wa 20:1 mwaka 2020/21 na 2025/26 kutoka 29:1 mwaka 2014/15. Taarifa hapa chini zinaonyesha hali halisi iliyopo katika ngazi ya Wilaya/Halmashauri na katika ngazi ya shule kwa mujibu wa utafiti huu.

Ngazi ya Wilaya/Halmashauri

Halmashauri ya MufindiMwaka 2015 2016Jinsia Me Me Me KeWanafunzi 5697 6035 5677 5978Matundu ya vyoo 316 334 324 341Uwiano 1:18 1:18 1:18 1:18

Page 42: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU …tcdd.or.tz/wp-content/uploads/2018/04/Book-A4-final-Hali-ya-elimu-2017.pdf · 2017 T iii SHUKRANI Kitabu hiki cha hali ya Elimu

HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU BILA MALIPO NCHINI TANZANIA MWAKA 2017

36 TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Mafinga MjiMwaka 2015 2016Jinsia Me Ke Me KeWanafunzi 2267 2153 2093 2111Matundu ya Vyoo 103 101 91 97Uwiano 1:22 1:21 1:23 1:22

RungweMwaka 2015 2016Jinsi Me Ke Me KeWanafunzi 7,841 7257 7602 7139Vyoo 337 339 241 279Uwiano 1:23 1:21 1:31 1:26

Kigoma VijijiniMwaka 2015 2016

Jinsi Me Ke Me Ke

Wanafunzi 3677 1849 3463 1951

Matundu ya vyoo 129 103 129 103

uwiano 1:4 1:6 1:4 1:5

KishapuMwaka 2015 2016Jinsi Me Ke Me KeWanafunzi 4551 2572 4794 3423Vyoo 89 92 116 119Uwiano 51:1 27:1 41:1 28:1

Ngazi ya Shule

BundaShule 2015 2016 Wanafunzi Matundu Uwiano Wanafunzi Matundu UwianoNyiendo-Me 424 5 84:1 424 5 84:1Nyiendo-Ke 379 6 63:1 379 6 63:1Sizaki-Me 194 8 24:1 195 8 24:1Sizaki-Ke 140 7 20:1 140 7 20:1Kabasa-Me 27 1 27:1 21 1 21:1

Page 43: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU …tcdd.or.tz/wp-content/uploads/2018/04/Book-A4-final-Hali-ya-elimu-2017.pdf · 2017 T iii SHUKRANI Kitabu hiki cha hali ya Elimu

HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU BILA MALIPO NCHINI TANZANIA MWAKA 2017

37TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Kabasa-Ke 35 1 35:1 26 1 26:1Wariku-Me 208 4 52:1 204 4 51:1Wariku-Ke 107 4 26:1 117 4 29:1Mihingo-Me 79 6 13:1 88 6 14:1Mihingo-Ke 23 6 3:1 12 6 2:1Mekomarilo-Me 92 4 23:1 83 4 20:1Mekomarilo-Ke 58 4 14:1 64 4 16:1Chamriho-Me 180 8 22:1 235 8 29:1Chamriho-Ke 139 8 17:1 181 8 22:1Guta-Me 291 9 32:1 287 9 31:1Guta-Ke 155 9 17:1 163 9 18:1Muranda-Me 315 14 22:1 397 14 28:1Muranda-Ke 194 8 24:1 300 8 37:1Chitengule-Me 520 8 65:1 479 8 59:1Chitengule-Ke 297 8 37:1 322 8 40:1Jumla 3857 128 30:1 4117 128 32:1

KishapuMwaka 2015 2016Shule Me Ke Vyoo Me Ke Vyoo

Ufundi Mwadui 198 156 8 191 197 8Kishapu 8 8Maganzo 232 252 6 247 276 6Mwigumbi 111 107 6 124 136 6Mangu 111 140 10 166 173 10Mwataga 110 99 6 149 113 6Mwamaduli 150 105 5 169 119 5Uchunga 107 112 6 109 131 6Idukilo 115 91 6 148 123 6Bunambiyu 180 124 2 232 174 2Jumla 1314 1186 63 1535 1442 63

Rungwe

Mwaka 2015 2016 2015 2016

Jinsi Me Ke Me Ke Me uwiano Ke uwiano Me uwiano Ke uwianoMpuguso 444 502 429 458 18 24:1 18 28:1 18 24:1 18 25:1Bujinga 422 441 411 446 15 28:1 15 29:1 15 27:1 15 30:1Kyimo 245 278 240 270 10 26:1 8 35:1 10 24:1 8 34:1Tukuyu 269 327 231 244 17 16:1 15 22:1 17 14:1 15 16:1Isongole 314 316 299 306 13 24:1 16 20:1 13 23:1 16 19:1Ilima 170 148 142 141 8 21:1 6 25:1 8 18:1 6 24:1Kiwira 0 0 0 0 16 0 16 0 16 0 16 0Mpandapanda 322 323 322 300 4 80:1 8 40:1 4 81:1 8 38:1

Page 44: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU …tcdd.or.tz/wp-content/uploads/2018/04/Book-A4-final-Hali-ya-elimu-2017.pdf · 2017 T iii SHUKRANI Kitabu hiki cha hali ya Elimu

HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU BILA MALIPO NCHINI TANZANIA MWAKA 2017

38 TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Takwimu hapo Juu zinaonyesha kuwa juhudi za ziada zinahitajika ili kuweza kufikia uwiano wa 20:1 kwa mujibu wa Mpango wa Pili wa Maendeleo wa Taifa 2020/21. Hali ya vyoo imekuwa na athari kubwa kwa wanafunzi hasa kwa watoto wa kike hasa vinapokuwa havitoshi kwa idadi ya wanafunzi lakini pale vinapokuwa havina usafi unaotakiwa. Hali haiwezi kuwa shwari pale uwiano unapokuwa 50:1 au kwa 61:1 katika shule zetu. Idadi ya matundu ya vyoo ni lazima iongezwe lakini pia usafi wa vyoo hivyo ni lazima uzingatiwe.

Hali ya Miundombinu ya Vyoo Katika Maeneo Mbalimbali

Picha Juu: Vyoo vya Shule ya Sekondari Ilima Rungwe, vikiwa havina Milango

Picha Juu: Choo cha Walimu na Wanafunzi Shule ya Sekondari ya Kineng’ene, Halmashauri ya Manispaa ya Lindi

Picha Juu: Choo cha wavulana, Shule ya Sekondari Muranda, Bunda

Page 45: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU …tcdd.or.tz/wp-content/uploads/2018/04/Book-A4-final-Hali-ya-elimu-2017.pdf · 2017 T iii SHUKRANI Kitabu hiki cha hali ya Elimu

HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU BILA MALIPO NCHINI TANZANIA MWAKA 2017

39TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Picha Juu: Vyoo vya ndani ya bweni la wasichana la shule ya Sekondari Mnyigumba, Mufindi – Iringa likiendelea kukamilishwa. Huu ni mfano mzuri wa kuigwa. Kuwa na mazingira bora na salama kwa ajili ya Elimu hasa kwa wanafunzi wa jinsi ya kike.

Miundombinu Mingine

Picha Juu: Nyumba ya walimu Shule ya Sekondari Mkigo, Kigoma vijijini. Nyumba hii yenye vyumba vitatu inakaliwa na walimu watano (5) pamoja na familia zao.

Page 46: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU …tcdd.or.tz/wp-content/uploads/2018/04/Book-A4-final-Hali-ya-elimu-2017.pdf · 2017 T iii SHUKRANI Kitabu hiki cha hali ya Elimu

HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU BILA MALIPO NCHINI TANZANIA MWAKA 2017

40 TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

MAONI YA WADAU BODI ZA SHULE, WALIMU, WAZAZI, KAMATI ZA MAENDELEO YA KATA NA WANAFUNZI

CHANGAMOTO ZA UPATIKANAJI WA ELIMU vUhaba wa hosteli kwa ajili ya wanafunzi wa kike vUhaba wa walimu hasa walimu wa masomo ya sayansivMaabara nyingi hazijakamilika vUpungufu wa vifaa vya maabara, madawati na nyumba za walimu vShule kukosa maji na umeme vWazazi hawashiriki katika maendeleo ya shule hasa baada ya tamko la elimu bure. vMila na jadi potofu kwa watoto wa kike (ikiwemo Tohara, kuozwa ikiwa ni sehemu ya

kujipatia kipato) vWanafunzi wa kike kuwa sehemu kubwa ya usaidizi wa kazi za nyumbani hivyo

kukosa muda wa kutosha ya kujisomea wakiwa nyumbani.vWalimu kuwarubuni wanafunzi wa kikevUmbali wa kufikia shule huwapa vishawishi vya kuingia katika mahusiano; Mfano

boda bodavKukosa huduma ya chakula cha mchana huathiri masomo ya wanafunzi vUtoro mashuleni vAthari za utekelezaji wa tamko la elimu bila malipo shuleni (waraka wa elimu na.5

wa 2015) waraka huo umeandaliwa katika namna ambayo inamfanya mzazi ajivue jukumu la kuchangia maendeleo ya elimu ya mwanae, wakati uhalisia wa fedha za ruzuku kwa ajili ya kuendeshea shule hazitoshi kukidhi mahitaji ya shule kwa wakati.

vUkame umepelekea watoto kutokuja shule kwani sehemu kubwa ya wazazi hawana chakula na watoto wa kike kubaki nyumbani kusaidia utafuta maji siku nzima

vKamati ya Maendeleo ya Kata kuwa na mamalaka ya kubadilisha matumizi ya pesa kupeleka matumizi sehemu ambazo si kipaumbele cha shule.

NINI KIFANYIKE

vWalimu waongezwe mashuleni hasa wa masomo ya SayansivWanafunzi wajengewe hosteli haswa wanafunzi wa jinsi ya kike, itawaepusha na mila

potofu na vishawishi v Shule pamoja na wazazi zianzishe utaratibu wa chakula cha mchana kwa wanafunzi

wa kutwa vWazazi kwa kila shule wahamasishwe kushiriki ujenzi wa vyumba zaidi vya madarasa,

ujenzi wa maabara na ujenzi wa hosteli/mabweni ili wanafunzi wasitembee umbali mrefu

vKatika vikundi vya majadiliano, wanafunzi pia waliomba wadau wa elimu watoe elimu kwa wazazi ili kuwajengea uwezo wa kutambua nafasi zao ili waweze kushirikiana na Walimu na wadau wengine wa elimu katika kujiletea mafanikio na maendeleo shuleni

vNyumba za walimu na vifaa vya maabara viongezwevShule zijengewe miundombinu ya maji na umeme

Page 47: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU …tcdd.or.tz/wp-content/uploads/2018/04/Book-A4-final-Hali-ya-elimu-2017.pdf · 2017 T iii SHUKRANI Kitabu hiki cha hali ya Elimu

HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU BILA MALIPO NCHINI TANZANIA MWAKA 2017

41TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Baadhi ya watafiti wetu katika vikundi vya Majadiliano na Maeneo mengine ya Tafiti.

SHULE YA SEKONDARI YA GUTAShule ya sekondari ya Guta – Kata ya Guta katika vikundi vya Majadiliano na Mtafiti wetu Mama Verena Materego

Shule ya sekondari Mkigo (Kigoma) – Wanafunzi na Benedict Mosha (Mtafiti) katika mahojiano

Shule ya sekondari Mnyigumba, Mufindi – Iringa. Mtafiti wetu Ndugu Charles Lwabulala akitembelea Bweni la Wasichana likiwa linaendelea na ujenzi pamoja na jiko (Picha Kulia) linalotumika hivi sasa.

Page 48: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU …tcdd.or.tz/wp-content/uploads/2018/04/Book-A4-final-Hali-ya-elimu-2017.pdf · 2017 T iii SHUKRANI Kitabu hiki cha hali ya Elimu

HALI YA ELIMU YA SEKONDARI KATIKA MAZINGIRA YA ELIMU BILA MALIPO NCHINI TANZANIA MWAKA 2017

42 TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Shaurimoyo Road, Ilala Area, Mariam Tower, 7th FloorP.O. Box 80147, Dar es Salaam, Tanzania.

Tel: +255 22 2866866 Mobile: +255 736 502661E-mail: [email protected] or [email protected]

Website: www.tcdd.or.tz