24
SOMO:- HATIMAYE NYUMBANI Fungu kuu: Amosi 3:7 “Hakika Bwana MUNGU hatafanya neno lolote, bila kuwafunulia watumishi wake manabii siri yake”.

HATIMAYE NYUMBANI

Embed Size (px)

DESCRIPTION

Ni maandiko yenye uvuvio wa Roho mtakatifu, fatilia nami upate kujua zaidi maana na mafumbo juu ya unabii wa vitabu vya Daniel na ufunuo.

Citation preview

Page 1: HATIMAYE NYUMBANI

SOMO:- HATIMAYE NYUMBANI

Fungu kuu: Amosi 3:7

“Hakika Bwana MUNGU hatafanya neno lolote,

bila kuwafunulia watumishi wake

manabii siri yake”.

Page 2: HATIMAYE NYUMBANI

Ufunuo 1:3 imeandikwa “Heri asomaye na wao wayasikiao maneno ya unabii huu, na kuyashika yaliyoandikwa humo; kwa maana wakati u karibu”. Kwa hiyo ni wajibu wa kila mmoja wetu kusoma na kufahamu unabii huu. Hebu tuangalie mafungu kadhaa katika biblia takaifu juu ya swala hili muhimu sana katika wokovu wetu.

Page 3: HATIMAYE NYUMBANI

Naomba kila mtu ashike Biblia yake

Page 4: HATIMAYE NYUMBANI

MAMBO YA MSINGI KUJUA

Dan. 7:1717 Wanyama hao wakubwa walio wanne ni wafalme wanne watakaotokea duniani.

Mnyama = UfalmeWanyama Wanne = Wafalme Wanne Watakotokea Duniani 

Page 5: HATIMAYE NYUMBANI
Page 6: HATIMAYE NYUMBANI

Ufunuo 17:1515 Kisha akaniambia, Yale maji uliyoyaona, hapo aketipo yule kahaba, ni jamaa na makutano na mataifa na lugha.Bahari (maji) = jamaa na makutano na mataifa na lugha.

Page 7: HATIMAYE NYUMBANI

SIFA ZA MNYAMA WA

KWANZAAna mfano wa simbaAna mabawa ya taiBaadaye mabawa yake yakatowekaAliinuwa katika nchiAlipewa moyo wa kibinadamu

Page 8: HATIMAYE NYUMBANI

SIFA ZA MNYAMA WA

PILINi mfano wa dubuUpande mmoja uliinuliwa juuAlikuwa ana mbavu tatu kinywani mwakeAliamuliwa kunyanyuka na kula nyama tele

Page 9: HATIMAYE NYUMBANI

NINI MAANA YA MBAVU TATU

Mbavu tatu zinawakilisha mataifa matatu yaliyopigwa na Waamedi na Waajemi yaani:- Babeli,Lydia na Misri .

Page 10: HATIMAYE NYUMBANI

SIFA ZA MNYAMA WA

TATUAna mfano wa chuiAlikuwa na mabawa manneAlikuwa na vichwa vinneAkapewa mamlakaAlexander alifariki June 13, 323 B.C, ufalme wake uligawanyika katika sehemu nne (Falme za Diadoki) zinazowakilishwa na vichwa vinne.

Page 11: HATIMAYE NYUMBANI

MAANA YA VICHWA VINNE Kusini (Ptolemy)- ulitawala (Misri, Palestina na Shamu ya kusini)Kaskazin (Lysimichas) –ulitawala (Thrakia na sehemu ya Asia ndogo)Magharibi (Cassander)- ulitawala (Makedonia na U giriki)Mashariki (Seleucus)-ulitawala (Asia, Ashuru, Shamu hata India)

Page 12: HATIMAYE NYUMBANI

MNYAMA WA NNE

Ni myama wa kutisha sanaAna meno ya chumaMakucha ya shabaAlivunja vunja kila kituAlikuwa na pembe kumiBaadaye ilitokea pembe ndogoPembe ndogo iling’oa pembe tatu kati ya zile kumi

Page 13: HATIMAYE NYUMBANI

MATAIFA KUMIUINGEREZAUFARANSAUJERUMANITALIANOOSTROGOTHSHERULIUSWISIUHISPANIAURENOVANDALS

Page 14: HATIMAYE NYUMBANI

PEMBE ZILIZONG’OLEWA

HERULI 493VANDALIS 534OSTROGOTH 538

ZILIZOBAKIUFARANSAUINGEREZAUJERUMANIURENOUSWISIHISPANIAITALIANO

Page 15: HATIMAYE NYUMBANI

Kwa amri ya Justinian (Codex Justinianus), mfalme wa Rumi ya mashariki, katika mwaka wa 533 K.K, Askofu wa Roma alifanywa kuwa kiongozi wa makanisa yote

Page 16: HATIMAYE NYUMBANI

ya ukristo na Ostrogoths ni taifa lililokuwa wapinzani wa mwisho kung’olewa kabisa mwaka wa 538 na kufukuzwa kutoka Rumi na Jemerali Balisarius. Mwaka huo ndipo Rumi ya upapa ilithibitishwa kuwa serikali kwa wakati uliotabiriwa.

Page 17: HATIMAYE NYUMBANI

ALAMA TOFAUTI ZA KUITAMBUA PEMBE HII NDOGO:

Ilizuka kati ya zile pembe (falme) kumi, Pembe tatu zilingolewa (Heruli, Vandals na Ostrogoths).Itawadhoofisha watakatifu wake Aliye juu”, Itaazimu kubadili majira na sharia

Page 18: HATIMAYE NYUMBANI

Itanena maneno makuu ya makufuru. Itawala miaka 1260

Baadaye jeraha la mauti litaponaAna jina lina hesabu ya 666, Ufunuo 13:18 “Vicarius Filii Dei”.

Page 19: HATIMAYE NYUMBANI

UFALME WA MUNGU UMEKARIBIA

DANIEL 7:99 Nikatazama hata viti vya enzi vikawekwa, na mmoja aliye mzee wa siku ameketi; mavazi yake yalikuwa meupe kama theluji, na nywele za kichwa chake kama sufu safi; kiti chake cha enzi kilikuwa miali ya moto, na gurudumu zake moto uwakao.

Page 20: HATIMAYE NYUMBANI

Daniel 7:1414 Naye akapewa mamlaka, na utukufu na ufalme, ili watu wa kabila zote, na taifa zote, lugha zote, wamtumikie; mamlaka yake ni mamlaka ya milele, ambayo hayatapita kamwe, na ufalme wake ni ufalme usioweza kuangamizwa

Page 21: HATIMAYE NYUMBANI

Wafilipi 2:9-109 Kwa hiyo, Mungu alimtukuza sana na kumpa Jina lililo kuu kuliko kila jina, 10ili kwa Jina la Yesu, kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, vya duniani na vya chini ya nchi 11 na kila ulimi ukiri ya kwamba YESU KRISTO NI BWANA, kwa utukufu wa Mungu Baba.

Page 22: HATIMAYE NYUMBANI

TUNAITWA KUMWABUDU MUNGU MAANA SAA IMEKWISHA

Page 23: HATIMAYE NYUMBANI

Ufunuo 22:11

11 Mwenye kudhulumu na azidi kudhulumu; na mwenye uchafu na azidi kuwa mchafu; na mwenye haki na azidi kufanya haki; na mtakatifu na azidi kutakaswa.

Page 24: HATIMAYE NYUMBANI

KABLA HAJATOKA

Yoeli 2:3232 Kila mmoja atakayeliitia jina la BWANA ataokolewa. Kwa maana juu ya Mlima Sayuni na katika Yerusalemu kutakuwako wokovu, kama BWANA alivyosema, miongoni mwa walionusurika ambao BWANA awaita.