Upload
hotspot-magazine
View
424
Download
7
Embed Size (px)
DESCRIPTION
Hotspot Magazine is a Tanzania Entertainment Magazine and also is the first online magazine in Tanzania.
Citation preview
Mastaa WanneMastaa WanneKatika Soko la Filamu na MitindoKatika Soko la Filamu na Mitindo
SteveTabasamu ya Blue Imeniweka Juu.
News
IFM CollegeNdani ya Hotspot. Usajili wa Yanga Wizi Mtupu
Kaseja
Dully Sykes
Niko kibiashara
zaidi.
FOREWORD
Michael Jackson
Richa,Henry,Ally & Om
Nira Children Orphans Foundation
Tribute
Cover Stories
Beauty Tips & Food Recipe
Health
London
BIOGRAPHY
A former music-video girl who appeared in clips by Pharrell and Ludacris before making her big-screen debut in ATL, Los Angeles native Lauren London possesses a small-town beauty with a distinctive smile and a slight city-girl edge. It was during London’s stint in the Las Angeles public school system that the aspiring actress first began dabbling in theater and drama, and though she would later be home-schooled for her last three years of high school, the desire to perform never went away. Appearances in a handful of music videos helped to get London comfortable in front of the cameras, and when buzz began to build around the production of
an upcoming film called ATL, she hired an acting coach and convinced director Chris Robinson’s assistant to get her an audition. Despite being two hours late for the audition, London performed well enough under pressure to land the role of roller-skating rich girl New New — who changes her identity and soon begins dating former high-school hotshot Rashad (played by hip-hop recording artist T.I.). With buzz around the rising starlet subsequently beginning to gain momentum, London next appeared in episodes of Everybody Hates Chris and Entourage while preparing for a role in the holiday-themed family drama This Christmas.
A former music-video girl
Introduction
Richashujaa anastaili tuzo ya sifa
Alipendezesha kurasa za magazeti
mengi ikiwa ni sambamba na kutajwa
na kila mtu ambaye aliona au kusikia
yaliyokuwa yanazungumzwa katika
redio na kusomwa kwenye magazeti,
kwa mhindi kutwaa taji la Miss Tanzania
mwaka 2007. Alipotangazwa kuwa
ndio mshindi wa taji la urembo la wilaya
ya Kinondoni 2007 (Miss Kinondoni
2007)watu wengi walifurahia. Kitimtimu
kilianza pale alipotangazwa kwamba ndio
mshindi wa taji la urembo wa Tanzania
(Miss Tanzania 2007) Lakini punde suala
la Utanzania likaibuka.
Suala la rangi ya ngozi, asili ya wazazi wake na yeye mwenyewe kuwa au kuonekana mhindi lilitawala na sio
Utanzania wake hapa namzungumzia Rricha Addhia. Naweza kusema kitendo kilichoonyeshwa wazi wazi cha
kumbagua mwanadada Rricha ndicho kilichomfanya hata asifanye vizuri katika kinyang’anyiro cha Miss World
mwaka 2007. Rricha ni binti aliyezaliwa miaka 21 iliyopita jijini Dar- es-salaam, na kukulia jijini Mwanza na
kufanikiwa kupata elimu yake ya msingi huko huko mwanza, baada ya miaka kadha alirudi Dar, na kujiunga
na elimu ya sekondari ya Shabaan Robert mwaka 2005 na baadae kufanikiwa kupata kazi katika kampuni ya
Berger Paints Ltd (Robbialac) akiwa kama mkurugenzi mtendaji. Ni mtanzania halisi............?
COVER Story
i a
Kwa mara ya kwanza ukikutanaye katika mazingira
fulani ambayo hayuko katika fani yake unaweza
ukasema ni mtangazaji au mwanamuziki, hii ni kutokana
na umbo lake, mavazi yake pamoja na muonekano
wake kwa ujumla.
Hapa namaanisha Ally Hassan maarufu kama Ally
Model ambaye amekuwa akitikisa katika masuala ya
uwanamitindo kwa zaidi ya miaka 6.
Mtu aliyemvutia katika masuala ya umwanamitindo ni
msanii wa muziki kutoka marekani ambaye anajulikana
kama Tyrees, lakini mbali ya husuda kwa gwiji hilo
ilimchukuwa muda sana kuzoea kupanda katika jukwaa
kutokana na macho ya watu na uwoga.
Anasema kabla ya hapo alikuwa anafanya
uwanamitindo alipokuwa chuo katika mashindano
mbalimbali. “Nilipenda kuwa mwanajeshi, na wakati
huo huo kuwa huru, jambo lilishindikana na hivyo
kunilazimu kukodolea fani zingine kama utangazaji na
uwanamitindo, fani ambazo nilikuwa nazipenda ndizo
hizi nazifanyia kazi hadi hivi sasa, anaeleza
. Anasema katika dunia ya uwanamitindo aliingia rasmi
mwaka 2003, ikiwa ni sambamba na shoo yake ya
kwanza ambayo ilikuwa inajulikana kama ‘Beat Galla
Night’ ambayo ilifanyika katika ukumbi wa Golden Tulip.
Tangu mwaka 2003 hadi sasa nimefanya shoo nyingi
sana kiasi kwamba hadi nasahau. Ally kwa sasa yuko
katika ‘website’ ya Mwanamitindo bora wa Afrika
inayojulikana kama Black Butterfly (Black Model) ya
Afrika Kusini.
“Kwa hapa Tanzania najiona mimi ndio bora kuliko
wote, kwa sababu watu ambao nashindana nao katika
Black Butterfly ni wanamitindo ambao wanajulikana
duniani kote”.alisema Aliwataja madizaina ambao
amefanya nao kazi kama Mustafa Hassanally, Hindu,
Rose Vallentine, Irida Same, Asia Idarusi, Manji,
Ally Remtulla, na Farha. Anasema Uwanamitindo
umemletea faida nyingi ikiwemo kufanya matangazo ya
VodaCom,kampuni ya sigara ya SM, kampuni ya maji
ya Kilimanjaro na kampuni ya simu ilikuwa ikijulikana
kama Celtel.
Anasema mbali na uwanamitindo, Ally ni mtangazaji na
mwandaaji wa kipindi cha ‘ulimwengu nadhifu’ ambacho
kinarushwa katika kituo cha channel ten kila ijumaa.
Alibaainisha kwa kusema kwa kuwa uandishi wa habari
aliupenda basi akamua kwenda kusomea katika chuo
kilichokuwa kinajulikana kama TIMES kwa sasa ni
Dar-es-salaam School of Journalism (DSJ). “Kama
kijana jitahidi utimize malengo yako uliyo jiwekea katika
maisha yako.”
Ally Hassan
Ni mmoja kati ya waigizaji maarufu nchini Tanzania. Lakini kutokana na rangi yake, watu
wengi wamekuwa wakihoji kwamba imekuwaje mhindi kaingia katika sanaa ya bongo,
kila mtu amekuwa akisema yake bila kujua wanaongea nini.
Namzungumzia mcheza filamu ambaye anajulikana kwa jina la OM, ambaye
ameonekana katika filamu mbalimbali ,ambazo zinafanya vizuri katika ulimwengu wa
filamu za bongo ambazo amecheza kama muigizaji mkuu (Starring).
Akiwa mwenyeji wa mkoa wa kilimanjaro, Om amekuwa akifanya vizuri katika fani yake
ya uigizaji pamoja na uwanamitindo.
Alipokuwa akiongea na Hotspot, Om aliweka wazi maisha yake na jinsi alivyoweza
kufikia hapo. Anasema, maisha yake katika sanaa ya uigizaji alianza mwanzoni mwa
mwaka 2008.Hapo alishiriki kwenye filamu iitwayo ‘Ama zako Ama zangu’.
Filamu hiyo iliweza kumtambulisha vizuri katika anga za waigizaji wa Tanzania.
“filamu hiyo niliyoshiriki ilifanya nijizolee sifa na umaarufu mkubwa kwa washabiki
pamoja na wasanii wakongwe, hapo ndipo nikaanza kushirikishwa katika filamu
mbalimbali.
Anasema , alishirikishwa tena katika filamu iliyokuwa inakwenda kwa jina la ‘Kipenzi
Changu’, (My Love) ambayo nayo alicheza kama muigizaji mkuu.
Om ameshiriki katika filamu iitwayo Full Moon ilitoka hivi karibuni .Filamu hiyo ambayo
ina ‘part 1’ na ‘part 2’ akiwa na aliyekuwa Miss Tanzania 2007 anaejulikana kama
RRicha Adhhiaa.
Anaelezea kwa ufupi filamu ya Full moon. RRicha kama mke wangu ambaye naishi
naye kwa furaha ila mfanyakazi wa nyumbani (House Girl) anaingilia mapenzi yetu kwa
kunitaka mimi huku mimi simtaki, basi anafanya visa hadi mke wangu anafariki na
sehemu ya kwanza inaishia hapo, sehemu ya pili (part 2) mke wangu anafufuka kama
mzimu na kulipiza kisasi kwa ‘house girl’.anaeleza
Anasema mambo hayo yapo katika nyumba nyingi, house girl ukimwachia mwanya
lazima ampiku mama mwenye nyumba na sio ‘mahouse girl’ peke yao hata ‘mahouse
boy’ nao wana tabia hizo ila kwa vile imesha zoeleka kwamba wafanyakazi wa kike
ndio wanachukwa wanaume za watu. Anasema anatarajia kuwa mwaandaaji na
muongozaji wa filamu kwa miaka ya usoni mungu akimjalia uzima.
Mpaka sasa OM ameshiriki katika filamu kama Ama Zangu Ama Zako, Kipenzi Changu
na ‘Full Moon’.
Mbali na uigizaji Om pia ni mwanamitindo ambaye ameanza tangu mwaka 2005.
“Uwanamitindo naupenda sana, vilevile nilikuwa na vigezo vyote vya kuwa
mwanamitindo lakini kutokana na rangi yangu niliogopa, na nikapiga moyo konde
nikafanikiwa hadi leo, watu wananikubali katika fani hii”alieleza. Hadi sasa nimeshiriki
shoo nyingi na madizaina wa ndani na nje ya nchi.
Anawataja baadhi ya madizaina ambao anafanya nao kazi, kama Ally Remtulla, Mustafa
Hassanally, Aloisi Martin, Farha Farouq, Latif wa Uganda pamoja na John Kaveke wa
Kenya.
Mbali na uwanamitindo, Om ni msomi mwenye stahashada ya ufamasia ambayo
ameipata katika Chuo Kikuu cha Muhimbili. “Wengi wamekuwa wakizadharau kazi
ambayo tunafanya ya uigizaji na uwanamitindo ni vitu ambavyo tunavipenda siyo
kwamba tunakimbilia huku hatuna elimu” anaelezea. Om ni kijana aliyezaliwa mjini
moshi katika hospitali ya (KCMC) na kufanikiwa kupata elimu yake ya awali katika shule
ya msingi ya moshi, elimu yake ya sekondari amepatia Mount Kilimanjaro.
Natarajia kuwa msanii na mwanamitindo wa kimataifa
Ukimwangalia kwa haraka haraka unaweza kusema ni Mmarekani ambaye amekuja Tanzania kutalii, hayo yote yanatokana na jinsi alivyo, mavazi anavyopangilia, kifupi jinsi anavyoendesha maisha yake. Huyu ni Henry Mwiki ambaye amekuwa aking'ara katika luninga pamoja na mabango ya matangazo mbalimbali, kama ‘home shopping centre’ yanayoonekana maeneo mbalimbali jijini. Katika mazungumzo na Hotspot , Henry alieleza kwa undani juu ya maisha yake, hadi hapo alipofikia kwa sasa. Baada ya kumaliza kidato cha sita mwaka 2008 alijitosa rasmi katika masuala ya uwanamitindo kwa kupata sapoti kutoka kwa rafiki yake ambaye anajulikana kwa jina la Edie, ambaye aliwahi kushiriki mashindano ya ‘Mr Dar handsome’ miaka ya nyuma.
Akizungumza na Hotspot Henry anasema, kwa vile nilikuwa na vigezo vyote, nilipomwambia nahitaji kuwa mwanamitindo, alikubali kunisaidia na kunipeleka kushiriki shoo ya ‘Nivana’ ambayo ilifanyika mwaka jana. "Uwanamitindo ni fani ambayo nilikuwa naipenda tangu niko mdogo, lakini kutokana na kubwanwa na shule niliaamua kusubiri nimalize kidato cha sita ndio niingie rasmi katika fani hii, kwa hiyo naona kama ndoto yangu niliyokuwa nawaza imetimia" anasema Henry. Mwaka 2008 alifanikiwa kufanya shoo ya ‘Nivana’ ambayo ilikuwa ni mara ya kwanza tangu aingie katika fani hiyo ya ulimwengu wa uwanamitindo. Shoo ya ‘Nivana’ ilimpatia umaarufu mkubwa kwa jinsi alivyoweza kumiliki jukwaa kama mtu ambaye amekuwa katika fani hiyo kwa muda mrefu. Mwaka huu alishiriki katika ‘Most Handsome Tanzania’ iliyofanyika katika ukumbi wa New Africa Hotel na kufanikwa kuwa mshindi wa pili. Kutokana na uwezo wangu ambao ninaonyesha katika ulimwengu wa uwanamitindo” anasema.
‘Utanashati ndio unaonisaidia katika fani ya uwanamitindo, wengi wamekuwa wakisema kwamba uwanamitindo ni uhuni, si uhuni , ni sanaa kama sanaa nyingine’. Aliwataja wanamitindo Om na Ally kuwa ndio waliomfanya avutiwe na fani hiyo. Anaendelea kusema kuwa alianza kujihusisha katika filamu mwishoni mwa mwaka 2008. Henry si mwanamitindo tu, bali pia ni msanii chipukizi wa filamu ambaye anatarajia kuliteka soko la filamu nchini kutokana na uwezo wake ambao ameuonyesha katika filamu inayojulikana kwa jina la ‘Siku Yangu’. Ameshiriki katika filamu iitwayo ‘Siku Yangu’ ambayo amecheza kama muigizaji mkuu (Starring) ambaye ameoa mfanyabiashara huku yeye akiwa anasoma chuo, huku akilipiwa ada na mke wake, kumbe naye mke wake alikuwa akipewa fedha hizo za kumsomesha na mwanaume mwingine, kitu ambacho alikuja kikigundu baada ya muda mrefu sana. "Siku Yangu ni filamu yangu ya kwanza kucheza na ninatarajia kufanya makubwa zaidi ya hata hayo niliyoyafanya katika filamu ya Siku yangu "anasema Henry amezaliwa Julai 2 mwaka 1988 jijini Dar es Saalam, alifanikiwa kupata elimu yake ya msingi katika shule ya Hananasif iliyopo kinondoni, alihitimu elimu yake ya sekondari katika shule ya kibaha mwaka 2005, mwaka 2006 alijiunga kidato cha tano na sita katika shule ya sekondari ya mzumbe, na kufanikwa kujiunga na elimu ya juu katika chuo cha IFM.
aammmekuja Tana zazaninia a kukuttalilii,i, h hayayo o yoyotete y yanannatatatokokokkananana a a nana j jinsi alivvyyooo, nrrn y Mwiki amambabayeye a amemekukuwawa a akikingng'a'arara k katttikikka a aa luluulunininingngn a a papamomojajaa yyoonekakanana m maeaeneneo o mbmbalalimimbabalil jjijijinni.i. K Katatikka a mamamaazuzuzungnggumumzozo nnaaa kkwa sassa.a. BaBaadada a yaya kkumumala izzaa kikidadatoto c chaha s siti a a a mmwmwmwwakakaa aa a 2002 088
wawaa r afiki yaakeke aambmbayaye e ananajajululikikanana a kwkwa a jij nan lla a EdEddieieieiee, , ,, amamambaab yee
ninn lipopoppppppppp mwmwmwwamamama bibia a nanahihitatajiji k kuwuwa a mwmwananamamittinindoodo, alalalalikikikikkubububu allijajaannana. . "" UwUwwanananannaamama ititi inndodo nnii fafanini a ambmbayayo o ninililikukuwawaaa n n naiaiaiaiipepeppppendnddnda a aa taat ngnggn u uzzeee k kididdatato chchchha a aa a sisiss tataa nndid o o nin iningigie e rarasmsmi kakatitikaka fffananna i i i hhihihih i,i,ii, kkkk wawwawaa hh h hiyiyiyyo o
iii m mararara a a yaya kkwwawawaanznzn a a tangu aiaingngieie k katatikikaa fafanini hiyo o yyayaaa uliliiimmmmwwwenene gguuuu vyoweza kukuummimililikki jukkwawaa a kakamam mtu ambmbayaye ammeekekkuwuwwwaa kakatikkaaaa nnzazaninia’a i ilililiyoyyoyoyofafafanyika kakatitikka ukumbi wa Neww A frica a HHHooteteeel l nan eseseshahaha k k kkatatatikika ulimmwwengu wa uwanamitindo” a anaseemmmaam .
wakisemaa k kwamba uwanamitindo ni uhuni,i, si uhuunni i , , nini waliomffananya avutiwe na fani hiyo. Anaenndedelea kuusees maama kkuwuwa awanamamitindo tu, bali pia ni msanii chchipipuukizi wa filammuu aammbabaye euonynyesha katika filamu inanayoyojujulilikakana kwa jina la ‘Siku ma mumuigigizizajajii mkmkuuuu ( (StStararriringng) ) amambaye ameoaoa m mfanyabbiaashhaaraa aye mke wakake alalikikuwuwa a akkipi ewa fedha hizoo zza a kukumsommeseshah refu sana. "Siku u Yaangu u ninn filamu yangu yayaa k kkwawannza kuchhezeza a uu yayaya S SSikikikuu u yayay ngngu u "aananaseemaa Henry amezezzaalaliwiwwaa a Julai 2 mwmwaakkkkaaaaa aa aa a a a a aaaa aaa aaulule e yayaa H HHananananannasasasa ififif ilililiyiyiyyopopopoo o kik nondoni, alihihiittititimmumuuuuuuuuuu eeee limumu y yakakee yaya o ccchahaa t tanano o nanana s ssititita a kakakatitikkaa shulee y yaa sesekokkko dddndndarariiiii yaya m mzuzumbmbe,e,e,e,,, n n n n aaa a a aa a a a a aa a
Henry
2009 Dodge
What’s New for
2009For 2009, the Dodge Charger’s available V8 gains more power and better fuel economy, while the optional all-wheel-drive system has been similarly upgraded to enhance fuel economy. The Charger SRT8 also sports improved fuel economy as well as a new Super Bee package with orange paint. All Chargers feature minor exterior and interior detail revisions.
Charger Vehicle Overview
AUTO Mobile
Dodge Charger Vehicle Overview
Beauty Tip of the MonthBeauty Tip of the MonthImportant DIET for maintaining your health.
HEALTH Habits
FASHION
Animals CrueltyANIMAL Article
Miss h
FASHION
s higher learning 2009
vodacom d
Picha No2 Picha No4 Picha No3 Picha No1
CORPORATE Event
dar marathon
Picha No6 Picha No4 Picha No1 Picha No5
Models on the Beach aRivals on the runway but relax on the beach as f
Shoma
Lizzie
HANG Out
h at Kipepeo. as friendly competitors
Wambui
Wambui
Hidaya (Lady Dread)
Gloria
S
J
S
"Wengi wamekubali kipaji changu kwa kupitia wimbo ambao nilishirikishwa na Mr Blue unaojulikana kama Tabasamu."
Hiyo ni kauli ya msanii Steve William ambaye ni maarufu kama Steve.
Steve alitoka na ngoma zake mbili ambazo zilikuwa zinajulikana kama 'Nisamehe' na 'Nimeshindwa' kwa bahati mbaya hazikuweza kufanya vizuri katika anga la muziki wa kizazi kipya.
Mafanikio yalianza kuja baada ya kushirikishwa katika wimbo wa Mr Blue unaojulikana kama 'Tabasamu' ambao aliimba kiitikio na kuonyesha uwezo mkubwa zaidi na kuonekana ni mmoja wa wasanii vinara wa bongo fleva.
"Sikutarajia kama ningeweza kupata mafanikio ya haraka kama ku-perform katika shoo za fiesta, ikiwa sambamba na kupata meneja anayesimamia kazi zangu ambaye ni Tippo maarufu kama ZIZZOU, ukweli ni kwamba tabasamu ndio wimbo ulioniweka katika ramani ya muziki Afrika mashariki," alisema.
Kwa sasa msanii huyu anatamba na wimbo unaojulikana kama 'Sogea Karibu' akiwa amemshirikisha Dataz, uliorekodiwa studio za combination sound na video ikiwa imefanywa na John Kallage, wimbo huo umeendelea kufanya vizuri katika vituo mbalimbali vya redio na televisheni.
"Watu watarajie kusikia wimbo wangu mpya ambao nimefanya na Albert Mangwea maarufu kama Ngwear utakaokuwa unajulikana kama 'Najisikia furaha' ambao ninatarajia kuuachia muda wowote kuanzia sasa."
CELEBRITY News
Sijafulia
nakuja na zaidi ya
Halua na Tende
J.I:
Spark "Baba ndio aliyenilipia studio nyimbo yangu ya kwanza"
w
s
k
t
g
k
z
a
y
u
i
a
i
i
w
k
w
z
Endru G.
Jinsi alivyo ni wimbo uliotokana na historia ya kweli
ambayo imemtokea msanii kutoka nyumba ya vipaji (THT)
anayejulikana kama Endru G.
Akizungumza na Hot Spot alisema: “Ni kitu ambacho
kilinitokea siku ambayo nilikuawa Club na rafiki zangu ndipo
hapo nikamuona huyo demu ambaye alinivutia kwa muda
mfupi nilipotaka kumfuata rafiki zangu walisema niachane
naye huyu binti ni malaya kutokana na uzuri wake.
“Kutokana na roho yangu ilikuwa imeshapenda nikaamua
kujitosa kumbe na yeye alikuwa amenizimia basi bila
kuchelewa tukaenda kucheki afya tukakuta tuko safi pia
alikuwa anasimamia kampuni ya baba yake ya kuuza
magari bila kujua baadhi ya marafiki zangu walivyoona
nakula good time wakaanza kupaka kwamba fedha na
magari aliyokuwanayo anahongwa na mafataki.”
Alimalizia kwa kusema hata matonya aliimba usilolijua ni
usiku wa giza”
Historiaya kweli
Ukimya wangu wa kibiashara zaidi-Dully SykesWengi walimfahamu kwa kupitia nyimbo
zake kama Salome, Hi, Julieta na nyinginezo
nyingi, anajulikana kama Mr.Misifa au Dully
Sykes.
Msanii huyo amekuwa kimya kwa muda mrefu kitu ambacho
wengi wamekuwa wakijiuliza kashindwa ‘game’ au yuko
likizo, hivi karibuni kavunja ukimya kwa kutoka na nyimbo
mbili tofauti, moja tayari amesha itambulisha inayojulikana
kama ‘Loud Speaker’, na nyingine anatarajia kuitambulisha
siku za usoni itakayokuwa inajulikana kama ‘Pull up’ ambayo
ame ifanyia katika studio yake ya Dhahabu Record ikiwa
imeandaliwa na yeye mwenyewe, wimbo huo unatarajiwa
kufanyiwa video hivi karibuni, alisema.
Akiongea na Hotspot alisema, “Ukimya wangu ni wakibiashara
zaidi, siwezi kutoa nyimbo mfululizo bila maslahi yoyote,
lazima nilenge na muda wa kuachia nyimbo zangu, muda
mzuri wa kuachia nyimbo ni kipindi cha likizo pamoja na fiesta
na matamasha mengine ya katikati ya mwaka.”
Alimalizia kwa kusema kingine kinachochangia ukimya
wangu ni studio yangu ambayo kwa sasa nakaa mwenyewe
katika kutengeneza ngoma za wasanii mbalimbali, alitaja
wasanii ambao amewatengenezea nyimbo ni Mh Temba,
Mwana FA, Madee na wengine wengi, kwa hiyo washabiki
wangu wategemee ngoma kibao kutoka kwa mkali wao,”
alisema Dully.
Wengi humuita Barnaba Boy, lakini kwa wazazi wake
wanamfahamu kama Elias Barnabas ambaye anatingi-
sha Afrika Mashariki na wimbo wake wa ‘Njia Panda’
Msanii huyo hivi karibuni anatarajia kupanda ndege
kwa safari ya Ufaransa baada ya kupata mwaliko ku-
toka kwa mwanamuziki wa nchi ya Kidemokrasia Con-
go mwenye makazi yake nchini Ufaransa anayejulikana
kwa jina la Fally Ipupa ambaye aliwahi kuja nchini Tan-
zania miezi kadhaa iliyopita kwa ajili ya kufanya shoo.
Akizungumza na Hotspot alisema. “Nakumbuka siku
ambayo Fally Ipupa alipotutembelea (THT) nyumba
ya vipaji, alinikuta nikiimba nyimbo zake alivutiwa na
uwezo mkubwa wa kuimba nilionao akahitaji asikie ny-
imbo zangu, basi nami sikusita kumwimbia hapo ndipo
alipo kubali kipaji na kuniomba nifanye naye shoo siku
iliyofuata, sambamba na shavu la kufanya naye ny-
imbo ndipo hapo tukapeana mawasiliano, hivyo muda
wowote kwanzia sasa naondoka na kuelekea Ufaransa
kufanya naye kazi.”
Alimalizia kwa kusema. “Kutokana na ubunifu nilionao
washabiki wangu mtegemee vitu vipya toka kwangu
zaidi ya Njia Panda pindi nitakaporudi toka Ufaransa”
“Haya basi yameisha tutapanga upya saa na dakika ili usin-
iache nikalialia,” ni moja kati ya mistari ambayo ameimba ka-
tika wimbo alioshirikishwa , wimbo ambao unajulikana kama
‘Njia Panda,’ si mwimbaji mwingine bali ni Doreen maarufu
kama Pipi Pipi ni msanii kutoka Nyumba ya Vipaji Tanzania
(THT) hivi karibuni anatarajia kutoa wimbo wake wa kwanza
ambao utakaokuwa unajulikana kwa jina la ‘Usinune.’ Wim-
bo huo ameurekodia katika studio za Bongo Record chini ya
muaandaji, (producer) P-Funk. Kwenye Usinune, Pipi amejibu
mapigo kwa kumshirikisha rafiki yake wakaribu maarufu kama
Barnaba Boy. Pipi alielezea sababu za kumshirikisha Barn-
aba, anasema “Barnaba ni mwimbaji ambaye namkubali ku-
tokana na kipaji alichonacho, ndio maana nikamuona anafaa
katika wimbo wangu.” Aliongeza, “Vile vile nimelipa shukrani
kwa kunitoa katika giza nene liliotanda katika anga la muziki
wa kizazi kipya ‘Bongo Fleva’, ninaamini bila yeye mimi nis-
ingefika hapa nilipo, ingenichukua muda sana kujulikana na
wadau pamoja na wapenzi wa muziki huu”.
“Mashabiki wangu watarajia vitu vizuri zaidi ya vile nilivyo vi-
imba kwenye wimbo wa ‘Njia panda’.”
Hussein Machozi umetupotosha na Kafia Ghetto. Dhumuni la page hii ni kupunguza makosa yanafanywa na wasanii pamoja na Wandaaji wa video na nyimbo. Leo tunaanza na wimbo wa Hussein Machozi ‘KAFIA GHETTO’ sambamba na video yake.
Mashairi ya Kafia Ghetto Siku nyingi binti namfukuzia alishanitosa nilishakata tamaa sikujua kama kwangu angekuja nilitoa matumaini ya kumpata, leo hii kaja mwenyewe mchumba ghetto kwangu mpaka ndani kaingia nilimuuliza naweza kumsaidia, akacheka kisha kaniambia ombi langu lile amenikubalia siku zote alikuwa akinifikiria, niliruka kwa furaha kubwa sana sikuamini kama mchumba ningempata, ‘usilolijua ni usiku wa giza’ ningetambua bora ningemtimua .
Nani ataniona mi mkweli, Nani nikimuelezea ataniamini, Nani ataniona sio katili, Nani atanisaidia mimi.
Baada ya story binti nilimuuliza kinywaji gani angeweza kutumia, alinieleza kisha mimi nikainuka
nikaelekea dukani kununua, huwezi amini nyuma nilipomuacha baada ya kurudi ndio kizaazaa, binti alikuwa kitandani kajilaza nilimuamsha lakini hakuamka pumzi zake zilikuwa zimekata nilizani labda kazimia maji ya baridi kichwani nilimwagia lakini hata hakushtuka ‘kumbe tayari ameshakufa’ nimekwisha Hussein bila kujua.
Hee mola nimekosa nini, Hee mola niokoe mimi, basi nipe akili mimi nifanye nini furaha yangu imekuwa kilio changu, ndoto zangu leo machozi kwangu nitawaeleza nini walimwengu,
Rudia korasi x2 kisha namalizia kwa kusema
HIVI UNGEKUWA WEWE UNGEFANYA NINI?
Ushauri kwa Hussein Machozi Msanii kazi yake ni kuelimisha na kufundisha, je, Husseni ametufundisha nini kama sio kutupoteza kwa kutuuliza ingekuwa sisi tungefanya nini bila kutupa jibu kwanza kisha ndio atuulize swali.
HitimishoWasanii wengi wamekuwa wakiimba
kitu kama alicho kiimba hussein
machozi, lakini kutokana na kufatilia
radha sana kuliko ujumbe imetufanya
tuizoee hali hiyo,lakini kikweli hapo
wasanii wamekuwa wakitudanganya
siku hadi siku.
Kwa asilimia kubwa maadhira ndio
wanatakiwa kubeba lawama hizi,
kutokana na kukubali kitu ambacho
hakijakamilika na kukipokea kwakifupi
hakina ujumbe matokeoyake inakuwa
ni maswali kwao je hizi lawama ziende
kwa nani ukiangalia kila mtu anahusika.
Mimi naona lawama hizi anatakiwa
abebe producer wa video natimu yake
nzima, ikifatiwa na msanii mwenyewe
kila mtu hapo ana lawama zake,
kwa upande wa msanii kuwa makini
katika utunzi wa mashahiri wake, kwa
upande wa producer wa video kujitaidi
kuonyesha maana nzima ya wimbo
unavyo hitaji, kikubwa ni ubunifu wa
producer kwa sababu yeye ndiye
sehemu ya mwisho inamaana chochote
ambacho kitakuwa kimepungua au
kuongezeka ni lawama kwake.
Kama msanii na producer wa video
wataelewana nina amini hakuto weza
kutokea kitu kama alicho kifanya
brother Hussein machozi na wasanii
wengi.
Audio
video. Basi kama ilishindikana ange onyesha hata kwenye video yake lakini cha ajabu video inaishilia kwa kuonyesha huseni anapigwa je ataendelea kupigwa maisha yako yote au. Audio. Pia akatoa remix yake ambayo nilitegemea angetoa muendelezo wa huo wimbo
kwa kuwafahamisha washabiki wake kwamba alifanikiwa kupata suluhu kwa kutumia njia gani lakini cha ajabu alibadilisha ala tu mashairi yale yale,ushauri wangu kwako toa remix ya tatu nadhani hapo utatuweka sawa washabiki wako ok.
KAFIA
GHETTO
Wasanii wengi
wamekuwa
wakiimba kitu
kama alicho kiimba
hussein machozi,
lakini kutokana
na kufatilia radha
sana kuliko ujumbe
imetufanya tuizoee
hali hiyo,lakini.......
ANTIPA HERBALS
For more details,please contact us:
Dr. Samson Kibona, Antipa Natural Therapies Centre P.O.Box 20669 Dar es Salaam, Tanzania
Cell:+255 754 464 525/784 220181 E-mail: [email protected]/[email protected]
AVProdu
ction
ADVERTISING & SUBSCRIBE IN HOTSPOT MAGAZINE
Biography 0n Michael Jackson
Tribute
Biography 0n Michael Jackson
IFM College ndani ya HotSpot Magazine
COLLEGE Views
NIRA CHILDREN AND YOUTH ORPHANS FOUNDATION
UnderTenisi
kushiriki Junior Tornament TIMU ya tenisi ya Gymkhana chini ya miaka
14 inatarajia kwenda Rwanda na Burundi
kushiriki mechi za Junior Tornament
zinazotarajia kufanyika mwezi ujao huku
zikiwa zinajumuiisha timu za Afrika
Mashariki.
Akizungumza na Hotspot, kocha wa timu
hiyo Salum Mvita alisema “timu inatarajia
kwenda Rwanda na Burundi kushiriki
michuano ya junior tornament ambayo
inatarajiwa kufanyika mwezi huu, michuano
hiyo ikiwa inajumuiisha timu kutoka nchi za
jumuiya ya Afrika Mashariki”.
Hivi sasa timu hiyo iko katika mashindano
ya Tango Open ambayo yanafanyika katika
viwanja vya Club Gymkhana, yakiwa
yanashirikisha timu za ndani kwa ajili ya
kufanya mchujo wa wachezaji ambao
watakwenda kushiriki mechi za kimataifa.
“Nina uhakika na timu yangu kwenda
kufanya vizuri katika mashindano hayo
yaliyokuwa mbele yao kutokana na mazoezi
na mbinu ninazo wafundisha”alisema
Salum.
Aliongezea kwa kusema katika mchezo
huu wasichana ni wachache sana kwa hiyo
anaomba wasichana wajiunge kwa wingi
ilikuwe na mchanganyiko, huu sio mchezo
wa wavulana tu, ni wa watu wote.alisema
TIMU ya taifa ya gofu ya Gymkhana chini ya
miaka 18 inatarajia kwenda kushiriki mich-
uano ya Junior Coast Open Championship
itakayofanyika nchini Kenya Agosti mwaka
huu.
Akizungumza na Hotspot, nahodha wa
timu hiyo Salim Shariff alisema “Tunatarajia
kwenda Kenya kushiriki michuano ya ‘junior
coast open championship’ mwaka huu,
michuano hiyo huwa inafanyika kila mwaka
ikiwa inajumuiisha wacheza gofu wa Afrika
Mashariki.”
Timu hiyo imefanikiwa kutwaa makombe
mbalimbali ya ndani na nje ya nchi, hivi kari-
buni imefanikiwa kushika nafasi ya tisa kati
ya timu 15 katika michuano ya All Africa Golf
iliyofanyika Aprili mwaka huu.
“Hivi sasa tunafanya mazoezi kujiandaa na
michuano hiyo tukiwa chini ya mdhamini
wetu Malinzi ambaye amekuwa nasi kwa
muda mrefu, kwa niaba timu ya vijana chini
ya miaka 18 napenda kusema tunamshukuru
sana kwa msaada wake”.
Alimalizia kwa kusema “vijana wenzangu
msiogope kujifunza mchezo wa gofu, kwa
kuhofia kwamba ni mchezo wa kitajiri, huu ni
michezo wa watu wote haubagui ila watu we-
nyewe ndio wanajibagua, vilevile tunaomba
wadau pamoja na wadhamini wawekeze ka-
tika mchezo huu ili uweze kupata wachezaji
wengi zaidi chipukizi” alisema Salim.
VINARA wa kili RBA 2002 sinza
warriors wenye makazi yao
sinza wamejigamba kurudi upya
katika ulimwengu wa kikapu hivi
karibuni.
Akizungumza na Hotspot, na-
hodha wa timu hiyo Dian Chake
anasema “tunatarajia kurudi upya
kwa nguvu zote ili kurudisha
heshima tuliyokuwanayo zamani,
kutokana na mazoezi tunayofanya
tunatarajia mwaka kesho kushiriki
mashindano ya mtoano, mungu
akitujalia uzima”
Sinza warriors club ilifanikwa
kushika nafasi ya pili mwaka
2002 Kili RBA, mwaka 2007 club
hiyo ilishuka daraja katika ligi
ya mtoano kutokana na sababu
mbalimbali.
Alimaliza kwa kusema tunaomba
wizara ya michezo, habari na
utamaduni itilie mkazo na mchezo
wa kikapu siyo kuangalia mchezo
mmoja tu, hata Raisi wa Marekani
Barrack Obama alimwomba Raisi
Kikwete akuze mpira wa kikapu
Tanzania alipokutana nae katika
moja ziara yake.
Sinza Warriors
imerudi tena
USAJILI WA KASEJA YANGA WIZI MTUPU Hivi karibuni Mlinda mlango Juma
Kaseja amesaini mkataba wa kuiche-
zea simba baada ya ule wa awali na
yanga kumalizika rasmi juni 5 mwa-
ka huu, huku yanga ikiwa imetumia
mamilioni ya fedha bila mafanikio.
Mwaka jana Kaseja aling’oka Simba
kwa kitita cha Tsh milioni 36 na kue-
lekea yanga ikiwa kama fungu la usa-
jili wake wa kuelekea yanga.
Vilevile kaseja alikuwa analipiwa
pango (nyumba) kwa Tsh.milioni 3,
na timu ya yanga ikiwa ni moja kati
ya masharti ya mkataba ulivyokuwa
unasema.
Yanga imnunua kinara huyo kwa ku-
tumia Tsh. milioni 25 kwa klabu ya
simba kwa ajiri ya kumchukuwa kwa
muda wa mwaka mmoja.
Kaseja alikuwa anapokea mshahara
kwa mwezi Tsh. milioni 1 kwa mwa-
ka Tsh. milioni 12 kutoka kwenye
Timu yake ya zamani nina maanisha
Yanga, gharama hizo ni nje ya posho
ambayo alipokea Tsh. 2.5
Usajiri Tsh. 36,000,000.
Pango (nyumba) sh. 3,000,000.
Malipo kwa simba
Tsh. 25,000,000.
Mshahara kwa mwaka
Tsh. 12,000,000.
Jumla ni Tsh. 76,000,000+2.5
ambayo ni posho.
Tukijumlisha gharama walizotumia
Yanga kwa Kaseja kwa mwaka inafi-
ka Tsh. milioni 76 gharama hizi zote
hazihusiani na matibabu, chakula na
maradhi wakati akiwa kambini.
Yanga walifanikiwa kutwaa ushindi
wa Ligi kuu ya Tanzania Bara msimu
uliopita ikiwa na mlinda mlango
Juma Kaseja.
Ukiangalia gharama mbazo wame-
tumia Yanga kwa mlinda mlango
huyo je zina fanana na kitu ambacho
amekifanya kwa mwaka mzima? au
ni Wizi Mtupu kama alivyo sema Ma-
sanja Mkandamizaji.