136

Click here to load reader

HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

  • Upload
    vulien

  • View
    652

  • Download
    63

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

1

HOTUBA YA WAZIRI WA MAENDELEOYA MIFUGO NA UVUVI, MHESHIMIWADKT. TITUS MLENGEYA KAMANI (MB),AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIOYA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA

KWA MWAKA 2015/2016

1.0 UTANGULIZI

1. Mheshimiwa Spika, kufuatia taarifailiyowasilishwa hapa Bungeni na Mwenyekiti waKamati ya Kudumu ya Bunge ya Kilimo, Mifugona Maji, iliyochambua bajeti ya Wizara yaMaendeleo ya Mifugo na Uvuvi, naomba kutoahoja kwamba Bunge lako Tukufu lipokee, lijadilina kupitisha taarifa ya mapitio ya utekelezaji wakazi za Wizara kwa mwaka 2014/2015 namwelekeo wa kazi za Wizara kwa mwaka2015/2016. Aidha, naliomba Bunge lako Tukufulikubali kupitisha Mpango wa Maendeleo naMakadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha yaWizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi kwamwaka wa fedha 2015/2016.

2. Mheshimiwa Spika, napenda kumpongezaMheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mheshimiwa Dkt Mohamed Gharib Bilal,Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania kwa uongozi wao imara wa kuanzishana kusimamia mchakato wa kupata katiba

Page 2: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

2

mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Vilevile, napenda kuwapongeza Wajumbe waBunge Maalum la Katiba kwa kufanikishakukamilisha kupata katiba mpya. Tuna imanikuwa, wananchi watajitokeza kwa wingi kuipigiakura Katiba mpya ambayo itatufaa kwa kipindicha miaka 50 ijayo. Aidha, nampongezaMheshimiwa Mizengo Kayanza Peter Pinda,Mbunge wa Katavi na Waziri Mkuu wa Jamhuriya Muungano wa Tanzania kwa uongozi wakeimara na uliotukuka.

3. Mheshimiwa Spika, naomba nichukuefursa hii kumshukuru kwa dhati, MheshimiwaKaika Saning’o Ole Telele, Mbunge waNgorongoro na Naibu Waziri wa Wizara yaMaendeleo ya Mifugo na Uvuvi kwa ushirikianoanaonipa katika kuendeleza Sekta za mifugo nauvuvi. Vilevile, napenda kuwashukuru wananchiwa Jimbo la Busega kwa ushirikiano waowanaoendelea kunipa na kuniwezeshakutekeleza majukumu yangu. Pia, naishukurufamilia yangu kwa kuendelea kunitia moyoninapotekeleza majukumu ya kitaifa.

4. Mheshimiwa Spika, napenda kuwapongezaWaheshimiwa Wabunge wapya walioteuliwa naMheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,kujiunga na Bunge lako tukufu ambao ni

Page 3: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

3

Mheshimiwa Dkt. Grace Khwaya Puja naMheshimiwa Innocent Rwabushaija Sebba.

5. Mheshimiwa Spika, Wizara ilipokea kwamasikitiko makubwa taarifa za kifo chaMheshimiwa Hayati Kapteni John DamianKomba aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la MbingaMagharibi. Naungana na WaheshimiwaWabunge wenzangu, kutoa salaam zarambirambi kwa familia ya marehemu, nduguna wananchi wa Jimbo alilokuwaanaliwakilisha. Mwenyezi Mungu aiweke roho yamarehemu mahali pema peponi, Amina. Aidha,naomba nitumie fursa hii kuwakumbukawananchi wenzetu waliopoteza maisha kutokanana mafuriko, ajali na sababu mbalimbali.

6. Mheshimiwa Spika, napenda kuchukuafursa hii kumshukuru Mhe. Profesa PeterMahamudu Msolla, Mbunge wa Kilolo na Mhe.Said Juma Nkumba, Mbunge wa Sikongepamoja na wajumbe wote wa Kamati yaKudumu ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Majikwa ushauri, maoni, maelekezo na ushirikianowaliotupatia katika utekelezaji wa majukumu yaWizara na maandalizi ya bajeti hii. Napendakulihakikishia Bunge lako Tukufu kwambaWizara yangu itaendelea kuzingatia ushauri,mapendekezo na maoni ya Kamati na yaleyatakayotolewa na Bunge lako Tukufu.

Page 4: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

4

7. Mheshimiwa Spika, naomba kuchukuafursa hii kumpongeza Waziri Mkuu,Mheshimiwa Mizengo Kayanza Peter Pinda,Mbunge wa Katavi kwa hotuba yake nzuri yenyekutoa malengo ya Serikali na mwelekeo wautendaji wa sekta mbalimbali pamoja na kazi zaSerikali kwa mwaka 2015/2016. Aidha,nachukua nafasi hii kuwapongeza Mawaziriwote waliotoa hotuba zao ambazo zimeainishamaeneo mbalimbali tunayoshirikiana katikakuendeleza sekta za mifugo na uvuvi nchini.Vilevile, nawashukuru waheshimiwa Wabungewote kwa michango yao kuhusu masuala yamaendeleo ya sekta za mifugo na uvuvi kupitiahotuba hizo.

2.0 UTEKELEZAJI WA ILANI YA UCHAGUZIYA CCM 2010

8. Mheshimiwa Spika, katika kutekelezamajukumu ya sekta za mifugo na uvuvi, Wizaraimezingatia maelekezo yaliyomo katika Ilani yaUchaguzi ya CCM ya Mwaka 2010. Ilaniinatambua mchango mkubwa unaowezakutolewa na sekta hizi katika kuwapunguziawananchi umaskini na kuongeza Pato la Taifa.

9. Mheshimiwa Spika, ili Sekta ya Mifugoiweze kutoa mchango mkubwa kwenye Pato laTaifa, Serikali imeelekezwa kutekelezayafuatayo:-

Page 5: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

5

Mapinduzi ya Ufugaji

(i) Serikali iandae programu kabambe yakuendeleza sekta ya mifugo na ufugaji.Programu hiyo ijumuishe pamoja na mambomengine masuala ya uendelezaji WA maeneoya malisho, kuchimba na kujenga malambo,mabwawa, majosho na huduma za ugani ilihatimaye wafugaji waondokane na ufugajiwa kuhamahama.

Utekelezaji:

Wizara kwa kushirikiana na wadau imeandaa nakutekeleza Mkakati wa Kuendeleza Sekta yaMifugo (2010) na Programu ya Kuendeleza Sektaza Mifugo ya mwaka 2011 ambayo imejumuishamasuala ya uendelezaji wa maeneo ya malisho,malambo, mabwawa, majosho na huduma zaugani. Programu hii imejumuishwa katikaMpango wa Taifa wa Maendeleo wa Miakamitano (2011/2012-2015/2016). Programu hiiinatekelezwa kupitia bajeti ya Wizara na taasisikila mwaka.

(ii) Benki ya Kilimo itakayoanzishwa iwe piaBenki ya Mifugo ili iweze kutoa mikopo kwawasomi wenye nia ya kufuga nakuwawezesha kuingia kwa wingi katikaufugaji wa kisasa.

Page 6: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

6

Utekelezaji:

Wizara inaendelea kushirikiana na Wizara yaFedha, Kilimo Chakula na Ushirika kuanzishaBenki ya Kilimo itakayotoa mikopo kwa wadauwa sekta ya mifugo. Benki hii itaanza kazi rasmiMwezi Julai, 2015. Kwa sasa, Wizara inaendeleakuhamasisha wafugaji wakiwemo wasomikutumia uwepo wa dirisha dogo katika Benki yaTaifa ya Rasilimali kukopa fedha kwa ajili yakuendeleza ufugaji wa kisasa.

(iii) Kuelimisha wafugaji kuhusu umuhimu wauwiano kati ya idadi ya mifugo na eneo.

Utekelezaji:

Wizara kwa kushirikiana na Halmashauriimeendelea kuelimisha wafugaji kuhusukutekeleza Sheria ya Maeneo ya Malisho naRasilimali za Vyakula vya Mifugo Na. 13 yamwaka 2010 ambayo, pamoja na mambomengine, inawataka wafugaji kufuga mifugokulingana na uwezo wa ardhi; kutunza malambona vyanzo vya maji; kuendeleza na kuhifadhimalisho; na kutenga maeneo ya akiba kwa ajiliya kiangazi.

Page 7: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

7

Aidha, Wizara inaendelea kutoa elimu kwawananchi kuhusu uwiano wa matumizi yarasilimali za malisho na maji kulingana naongezeko la idadi ya watu na mifugo kwakuainisha maeneo ya malisho na kufanyatathmini ya uwezo wake, kutangazwa kwenyegazeti la Serikali na kulindwa kwa mujibu washeria kwa kushirikisha wadau. Hadi sasa,maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya ufugaji nihekta milioni 1.95 katika Mikoa 22, Wilaya 81na vijiji 620 mwaka 2015. Pia, Wizaraimeendelea kuhamasisha wafugaji na sektabinafsi kuzalisha malisho bora ya mifugoambapo idadi ya wazalishaji binafsi wa malishobora wameongezeka kutoka wawekezaji sita (6)mwaka 2009/2010 hadi 40 mwaka 2014/2015na kuwezesha uzalishaji wa marobota kutoka69,100 mwaka 2009/2010 hadi 1,098,311 yahei mwaka 2014/2015.

(iv) Serikali isimamie kwa ufanisi mkubwamradi wa kopa ng’ombe/mbuzi, lipang’ombe/mbuzi kama hatua ya kuenezaufugaji wa kisasa wenye tija kubwa.

Utekelezaji:

Wizara imewezesha upatikanaji wa mitambabora ya maziwa 70,862 kupitia Mashamba yaKuzalisha Mitamba ya Kitulo, Mabuki,Nangaramo, Ngerengere na Sao Hill pamoja na

Page 8: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

8

Ranchi za NARCO na Mipango ya Kopa Ng’ombelipa Ng’ombe. Vilevile, mbuzi wa maziwa 12,017wamesambazwa kupitia Mpango wa Kopa Mbuzilipa Mbuzi. Aidha, Wizara kwa kushirikiana naTaasisi ya Bill and Melinda Gates Foundationimeanzishwa mradi Kuendeleza tasnia yaMaziwa kwa nchi za Afrika ya Mashariki (TheEast Africa Dairy Development – EADDII)unaotekelezwa katika Mikoa ya Njombe (NjombeMjini, Njombe Vijijini na Wanging’ombe), Mbeya(Rungwe, Mbozi, Mbeya na Busokelo) na Iringa(Iringa Vijijini, Kilolo na Mufindi) ambaoutasaidia kuongeza idadi ya ng’ombe wa maziwakupitia mradi wa kopa ng’ombe lipa ng’ombe.

(v) Kuendeleza elimu kwa wafugaji ili wajuekuwa mifugo waliyonayo ni mali inayowezakuvunwa katika umri na uzito muafakaunaokidhi mahitaji ya soko, ili kuwaondoleaumaskini wao badala ya kuridhika na wingiwa mifugo iliyo duni na maisha yakuhamahama.

Utekelezaji:

Wizara kwa kushirikiana na Halmashauri naAsasi mbalimbali kama vile Land O’ Lakes,Heifer Project Tanzania (HPT), World Vision naCare Tanzania imetoa mafunzo kwa wafugaji35,796 kuhusu mbinu za ufugaji bora wamifugo. Aidha, jitihada za makusudi za

Page 9: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

9

kuchochea uvunaji na uuzaji wa mifugo namazao yake katika maeneo ya wafugajizimefanyika kwa kuwekeza katika ujenzi wamachinjio ya kisasa Simanjiro, Monduli,Dodoma, Magu, Bagamoyo, Ruvu, Mwanza,Kagera, Shinyanga, Morogoro na Iringa. Pia,viwanda vya kusindika maziwa vimejengwa Dares Salaam, Pwani, Tanga, Njombe, Mwanza,Iringa, Arusha, Manyara, Kilimanjaro, Kagera nakwa lengo hilo hilo. Aidha, miongozo yaunenepeshaji imeandaliwa na kusambazwa kwawafugaji ambapo unenepeshaji wa ng’ombeumeongezeka kutoka ng’ombe 62,000 mwaka2010 hadi 175,000 mwaka 2014. Unenepeshajihuo unafanyika katika mikoa ya Mwanza,Shinyanga, Simiyu, Geita, Arusha, Rukwa,Tabora, Tanga, Pwani na Kilimanjaro.

(vi) Uzalishaji wa mitamba upanuliwe kwakiwango kikubwa kwa Serikali kuvutia nakuwezesha sekta binafsi katika uzalishajina ufugaji wa kisasa.

Utekelezaji:

Wizara imeendelea kuboresha mashamba yakuzalisha mitamba ya Mabuki, Nangaramo,Ngerengere na Sao Hill na Kitulo ili yawezekuzalisha mitamba 5,000 kwa mwaka. Aidha,Serikali imeendelea kuhamasisha sekta binafsikuwekeza katika uzalishaji wa mitamba kwakuwapatia mafunzo ya mbinu za ufugaji bora na

Page 10: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

10

ziara za mafunzo ndani na nje ya nchi. Kwasasa, sekta binafsi imezalisha na kusambazazaidi ya mitamba 15,000.

(vii) Kufufua na kujenga majosho na malambomapya kwa ajili ya mifugo na kuhimizauogeshaji endelevu.

Utekelezaji:

Jumla ya majosho 136 yalijengwa kwa gharamaya shilingi 2,965,687,765/= Aidha, majosho111 yalikarabatiwa kwa jumla ya shilingi977,520,950/=. Pia, ili kuhimiza uogeshajiendelevu, Serikali ilinunua lita 252,138 za dawaza kuogesha mifugo kwa kutoa ruzuku yashilingi bilioni 4.2 na kuzisambaza katikaMamlaka zote za Serikali za Mitaa nchini.Wafugaji wananunua dawa hizo kwa asilimia 60ya bei ya soko na asilimia 40 iliyobaki inalipwana Serikali kama ruzuku.

(viii)Kuimarisha utafiti wa mifugo kwakuboresha na kuhifadhi kosaafu za mifugoya asili ili kuongeza uzalishaji endelevu.

Utekelezaji:

Wizara imeimarisha utafiti wa mifugo wenyelengo la kuboresha na kuhifadhi kosaafu zamifugo ya asili kwa kukusanya na kuchambuatakwimu mbalimbali za maendeleo ya ukuaji na

Page 11: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

11

uzalishaji kwa mbari za mifugo ya asili kwamifugo ifuatayo:

(a) Ng’ombe 44 wa aina ya Ufipa, 3O ainaya Ankole, na 20 aina ya Singida Whitewamehifadhiwa na utafiti unaendelea,ambapo matokeo ya awali yameoneshakwamba ng’ombe aina ya ufipa anafikiawastani wa kilo 400 kwa madume na280 kwa majike katika umri wa miaka4;

(b) Mbuzi 60 aina ya Pare White, 30 SonjoRed, 93 Gogo White, 125 Newala naKondoo 100 aina ya Red Maasaiwamehifadhiwa na utafiti unaendelea,ambapo matokeo yameonesha kwambaGogo white wanafikia wastani wa kilo50 kwa madume na majike kilo 40katika umri wa miaka 3; na

(c) Kosaafu za mbari za kuku 50 waKawaida, 35 Sasamala, 45 Kishingo, 41Kisunzu, 39 Bukini, 39 Kuchi, 25Mtewa, 26 Kuza, 49 Sukuma, 41Msumbiji na 26 Njachamawamehifadhiwa na utafiti unaendelea,ambapo matokeo yameonesha kwambakuchi anafikia wastani wa kilo 2.7 kwajogoo na makoo kilo 1.7 kwa umri wa

Page 12: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

12

miezi 18. Aidha, kishingo ameoneshakutoa mayai 18 kwa mtago mmoja.

(ix) Kuimarisha huduma za ugani na mafunzo yawatalaam na wafugaji.

Utekelezaji:

Wizara imeendelea kuimarisha huduma zaugani na mafunzo ya watalaam na wafugaji kwakutekeleza yafuatayo:-

(a) Kuimarisha Wakala wa Vyuo vyaMafunzo ya Mifugo (LITA) kwakuboresha miundombinu na kuongezaidadi ya vyuo vya mafunzo kutoka sita(6) hadi nane (8) na hivyo kuongezaudahili kutoka 1,498 mwaka2010/2011 hadi 2,451 mwaka2014/2015;

(b) Jumla ya wafugaji 9,016 wamepataelimu juu ya ufugaji wa kisasa naendelevu;

(c) Maafisa ugani wa mifugo wameongezekakutoka 2,587 mwaka 2010/2011 hadi8,541 mwaka 2014/2015; na

(d) Kuimarisha rasilimali watu kwakuwezesha wakufunzi 42 kuhudhuriamafunzo katika ngazi ya shahada yaUzamivu watatu (3), shahada ya uzamili

Page 13: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

13

(16), shahada ya kwanza (19),stashahada (4).

(x) Kuongeza na kuimarisha vituo vya uzalishajimbegu bora za mifugo na kuhimiza matumiziya mbegu hizo.

Utekelezaji:

Wizara imeendelea kuimarisha vituo vyauzalishaji mbegu bora za mifugo na huduma zauhimilishaji kwa kuimarisha Kituo cha Taifacha Uhimilishaji – NAIC Usa River na vituo sita(6) vya Kanda vya Mbeya, Katavi, Mwanza,Kibaha, Dodoma, na Lindi. Aidha, kituo cha pilicha Taifa cha Sao Hill kinaendelea kujengwa.Vilevile, madume bora ya mbegu 24 aina yaAyrshire (11), Friesian (8), Jersey (3), Sahiwal (1)na Simmental (1) kutoka Kenya na madumeaina ya Mpwapwa manne (4) na Boran (4),yamenunuliwa kwa ajili ya kuongeza uzalishajiwa mbegu bora katika kituo cha NAIC Arusha;na dozi 685,290 za mbegu bora zimezalishwa nakusambazwa kwa wafugaji na wataalam 1,246kutoka maeneo mbalimbali nchini wamepatamafunzo ya uhimilishaji. Kutokana na juhudihizi, uhimilishaji umeongezeka kutoka ng’ombe73,900 mwaka 2010/2011 hadi 175,000mwaka 2014/2015.

Page 14: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

14

(xi) Kuimarisha huduma za afya ya mifugo kwakudhibiti magonjwa ya mifugo hasa yamilipuko na uanzishwaji wa Maeneo Hurukwa Magonjwa ya Mifugo.

Utekelezaji:

Wizara imeendelea kuimarisha huduma za afyaya mifugo na udhibiti wa magonjwa ya milipukokwa:-

(a) Kuchanja ng’ombe milioni 7.2 dhidi yaugonjwa wa Homa ya Mapafu yaNg’ombe (CBPP);

(b) Kuendelea kutekeleza Mkakati waKudhibiti Ugonjwa wa Miguu na Midomoambapo hatua ya awali ilikuwa niutambuzi wa aina ya vimeleavinavyosababisha ugonjwa huo. Jumlaya sampuli 2,740 za ng’ombe na 322 zawanyama pori zilichukuliwa;

(c) Kushirikiana na Halmashauri za Mikoaya Mbeya, Iringa na Dar es Salaamkatika kudhibiti Homa ya Nguruweambapo dawa za kupulizia lita 400zilinunuliwa na kupelekwa kwenyeHalmashauri zilizoathirika. Ugonjwa huuumedhibitiwa kwenye maeneo hayo, hatahivyo ugonjwa huo umeonekana kwenye

Page 15: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

15

maeneo mapya ambayo ni Itigi (Manyoni)na Katubuka (Kigoma); na

(d) Mkakati wa Kudhibiti Mafua Makali yaNdege umeendelea kutekelezwa ambapoMpango wa Tahadhari na Udhibitiumeandaliwa. Hata hivyo, ugonjwahaujaingia nchini.

(xii) Kuhimiza wafugaji kutekeleza kanuni zaufugaji bora na kuingia katika ufugajiendelevu wa kisasa na kibiasharaunaozingatia hifadhi ya mazingira.

Utekelezaji:

Wizara kwa kushirikiana na Halmashauri nawadau wengine imeendelea kuhamasishawafugaji kufuga kisasa kwa kutekelezayafuatayo:-

(a) Kutoa elimu kwa wafugaji 90,160kuhusu kanuni za ufugaji bora,uzalishaji ng’ombe bora wa nyama namaziwa, unenepeshaji, ufugaji bora wambuzi, kondoo, nguruwe na wanyamawengine pamoja na uzalishaji nauhifadhi wa malisho bora;

(b) Kuhamasisha sekta binafsi kuzalishamalisho bora ambapo marobota2,373,302 ya hei yamezalishwa; na

Page 16: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

16

(c) Kushirikiana na wadau wenginewakiwemo taasisi za BRAC, US-GRAINna Maadili Centre kuhamasisha nakuwezesha ufugaji bora wa kuku waasili na jamii nyingine za ndege kwakuwapatia huduma za ugani ikiwa nipamoja na kusambaza chanjo yamdondo, kuwapatia wafugaji vifarangavya kuku wa asili kupitia mikataba yakibiashara, kutoa elimu ya ufugaji wakibiashara na kuwaunganisha na soko.

(xiii) Kuhamasisha uanzishaji na uimarishaji wavikundi vya ushirika wa wafugaji.

Utekelezaji:

Wizara imeendelea kuhamasisha uimarishaji wavikundi vya wafugaji ambapo jumla ya vikundi154 vya wafugaji vimeundwa. Lengo ni kuwa navikundi ambavyo vinaweza kusajiliwa na hivyokuwa na uwezo wa kupata mikopo, kuwa nanguvu kwenye soko kuhusu bei ya mazao yaona kupata elimu ya ufugaji bora na wakibiashara kwa pamoja.

(xiv) Kuhamasisha ushirikishwaji wa sektabinafsi katika utoaji wa huduma mbalimbaliza mifugo.

Page 17: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

17

Utekelezaji:Wizara kupitia Baraza la Veterinari Tanzaniaimeendelea kuhamasisha, kuratibu na kusajilina kusimamia watoa huduma wa afya ya mifugokutoa huduma hizo. Katika kipindi cha mwaka2009/10 hadi 2014/15 jumla ya vituo 315 vyahuduma ya afya ya mifugo vya sekta binafsivimesajiliwa. Vituo hivi vimetoa ajira kwa watoahuduma 1,775 na vimeendelea kutoa hudumaya afya ya mifugo ikiwemo ushauri, tiba nachanjo kwa mifugo.

Mheshimiwa Spika, kwa upande wa sekta yauvuvi, Ilani imeelekeza sekta hii kuwa ya kisasazaidi na iweze kuchangia mchango mkubwakwenye pato la Taifa. Hivyo, Serikaliimeelekezwa kutekeleza yafuatayo:-

Mapinduzi ya Uvuvi

(i) Wizara ianzishe na kuendesha vyuo vyakevya uvuvi ili iweze kuandaa wataalamuwengi wa Sekta ya Uvuvi

Utekelezaji:

Wizara imeimarisha Wakala wa Elimu naMafunzo ya Uvuvi (FETA) kwa kuboreshamiundombinu na kuongeza idadi ya vyuo vyamafunzo kutoka vyuo viwili (2) vya FETA Nyegezina FETA Mbegani hadi vyuo vitano (5) vya FETA

Page 18: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

18

Nyegezi (Mwanza), Mbegani (Pwani), Gabimori(Mara), Kibirizi (Kigoma) na Mikindani (Mtwara).Aidha, kituo cha Mwanza South kimefanywakituo cha kuendesha masomo chini ya FETANyegezi. Kutokana na hatua hizi udahiliumeongezeka kutoka wanachuo 425 mwaka2011/2012 hadi wanachuo 1,180 mwaka2014/2015.

(ii) Kuweka ulinzi madhubuti wa bahari zetudhidi ya wavuvi haramu ikiwa ni pamoja nakukamata vyombo vyao vya uvuvi nakuwachukulia hatua kwa mujibu wa sheria.

Utekelezaji:

Wizara imefanya mapitio ya Sera, Sheria naKanuni za Uvuvi na miongozo mbalimbaliambapo rasimu ya Sera mpya imekwishaandaliwa na kupitishwa na Baraza la MawaziriFebruari 2015; Vile vile mapitio ya Sheria yaUvuvi Na. 22 ya Mwaka 2003 yamefanyika ilikuongeza ufanisi wa usimamizi wa rasilimali zauvuvi na kukidhi mahitaji halisi ya sasa;Kuanzisha mchakato wa marekebisho ya Sheriaya Usimamizi wa Hifadhi za Bahari na MaeneoTengefu Na. 29 ya mwaka 1994 ambapo rasimuya marekebisho ya Sheria hii imewasilishwakatika Kamati ya Makatibu Wakuu; na Sheria yaTaasisi ya Utafiti wa Uvuvi Na. 6 ya Mwaka 1980imekwisha kuridhiwa na Baraza la Mawaziri.

Page 19: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

19

Aidha, Wizara kwa kushirikiana na wadauimeendelea kusimamia matumizi endelevu yarasilimali za uvuvi katika bahari ya ndani namaeneo mengine ya uvuvi. Vilevile, Wizaraimewezesha ununuzi wa boti 24 za doria nakuzisambaza katika maeneo mbalimbali kamaifuatavyo; Halmashauri za Bagamoyo (1), LindiVijijini (1), Pangani (1), Mkinga (1), na Mkuranga(1); Hifadhi za Bahari na Maeneo Tengefu (MnaziBay Mtwara (1), Mafia (1), Dar es Salaam (2) naSilikanti-Tanga (1)); Wizara ya Maliasili na Utalii- Idara ya Misitu na Nyuki (2), vituo vya doriavya Dar es Salaam (1), Mafia (1), Tanga (1),Mtwara (1), Kigoma (2), Kasanga (2), Ikola (1),Kipili (1), Buhingu (1) na Mbamba bay (1). Pia,vifaa vingine vilinunuliwa vikiwemo pikipiki (6),baiskeli (10) na jenereta (2) kwa ajili ya vituovya doria vya Kasanga (1) na Mbamba bay (1).

(iii) Kuandaa na kutekeleza programu yenyemalengo yanayopimika mwaka hadi mwakakuhusu haja ya kuleta mapinduzi ya uvuviyanayotumia zana na maarifa ya kisasa.

Utekelezaji:Wizara kwa kushirikiana na wadau wa Sekta yaUvuvi imeandaa Programu ya Kuendeleza Sektaya Uvuvi ambayo inatekelezwa kwa kipindi chamiaka mitano kuanzia 2011/2012 hadi2015/2016 kupitia bajeti ya kila mwaka ya

Page 20: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

20

Wizara. Pia, mipango na mikakati mbalimbali yausimamizi endelevu wa rasilimali za uvuviiliandaliwa na kutekelezwa ikiwemo Mpango wausimamizi wa samaki wanaopatikana katikatabaka la juu la maji (Artisanal Pelagic FisheriesManagement Plan) na Mkakati wa usimamizi wasamaki aina ya Jodari (Tanzania Tuna FisheryManagement Strategy).

(iv) Kuimarisha ushirikishwaji wa jamii nawadau katika ulinzi, usimamizi na matumiziendelevu ya rasilimali za uvuvi.

Utekelezaji:Wizara kwa kushirikiana na Mamlaka yaSerikali za Mitaa imeendelea kuwashirikishawadau katika ulinzi na usimamizi endelevu warasilimali za uvuvi kwa kuanzisha Vikundi vyaUsimamizi Shirikishi wa Rasilimali za Uvuvi(Beach Management Unit-BMUs) 749 katikamaeneo mbalimbali nchini. Aidha, miongozo yakuanzisha Maeneo ya Usimamizi wa Pamoja(Guidelines for Establishment CollaborativeFisheries Management Areas) imeandaliwa namaeneo matatu (3) katika Wilaya za Mafia, Rufijina Kilwa yameanzishwa. Pia, BMUs zimeendeleakuimarishwa kwa kupewa elimu na mafunzombalimbali kuhusu uvuvi endelevu, ukusanyajiwa takwimu za uvuvi, uhifadhi wa mazao yauvuvi na mazingira kwa ujumla.

Page 21: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

21

(v) Kuimarisha miundombinu ya uvuvi kwakujenga mialo, masoko ya kisasa, vituo vyakutotolea vifaranga vya samaki na maabara.

Utekelezaji:

Wizara imeendelea kuimarisha miundombinu yauvuvi kwa kufanya yafuatayo:-

(a) Wizara imejenga na kuboresha mialomitatu (3) ya kisasa ya kupokelea mazaoya uvuvi katika Ukanda wa Pwani yaBahari ya Hindi chini ya mradi waUsimamizi wa Rasilimali za Bahari naUkanda wa Pwani (Marine and CoastalEnvironmental Management Project –MACEMP). Mialo hiyo ni Kilindoni(Mafia), Nyamisati (Rufiji) na MasokoPwani (Kilwa);

(b) Katika Ukanda wa Ziwa Tanganyikakupitia Programu ya Usimamizi waBonde la Ziwa Tanganyika (PRODAP)uliokuwa unaratibiwa na Ofisi yaMakamu wa Rais (Mazingira)uliotekelezwa kuanzia mwaka 2008 hadiDesemba 2013, mialo minne (4) yakupokelea samaki ya Kibirizi (Ujiji-Kigoma), Muyobozi (Kigoma Vijijini),Ikola (Mpanda Vijijini) na Kirando (Nkasi)

Page 22: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

22

imejengwa na imekabidhiwa kwaHalmashauri husika;

(c) Katika Ukanda wa Ziwa Victoria mialo19 ilikarabatiwa na mialo 6 ya kisasailijengwa chini ya Mradi waImplementation of Fisheries ManagementPlan (IFMP) katika maeneo ya Marehe(Missenyi), Kikumbaitare (Chato), Bwai(Musoma), Sota (Rorya), Kigangama(Magu) na Kahunda (Sengerema);

(d) Wizara kupitia Halmashauri yaSumbawanga kwa kushirikiana naMtandao wa Vikundi vya WakulimaTanzania (MVIWATA) imejenga Soko laSamaki Kasanga ambalo litawezeshawavuvi kupata soko la uhakika la kuuziamazao yao na kuongeza kipato; na

(e) Mafunzo kuhusu taratibu na kanuni zausafirishaji wa samaki hai nje ya nchikwa wasafirishaji wadogo 40 kusisitizaumuhimu wa kuwa na vibali pamoja naleseni halali ili kuongeza pato la taifa nakutokomeza biashara haramu ya mazaoya uvuvi na kwa wafanyabiashara 18wanaoingiza mazao ya uvuvi nchinikuhusu uhifadhi na utunzaji wa samakiili kulinda afya ya mlaji na soko.

Page 23: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

23

(vi) Kuboresha mazao ya uvuvi kwa ajili yakukidhi mahitaji ya soko la ndani na nje yanchi.

Utekelezaji:Wizara imeendelea kusimamia ubora na viwangokwa ajili ya soko la ndani na nje ya nchi kamaifuatavyo:-

(a) Kufanya kaguzi na kutoa mafunzoambapo jumla ya kaguzi 2,800zilifanyika kuhakiki mazao ya uvuviyanayosafirshwa nje ya nchi;

(b) Kufanya kaguzi 519 kwenye viwandavinavyosindika minofu ya samaki namaghala ya kuhifadhi mazao ya uvuvi ilikuhakiki viwango vya uzalishaji nauhifadhi wa mazao ya uvuvi;

(c) Kufanya chunguzi za kimaabara kwasampuli 694 za samaki, maji, vyakulavya samaki na udongo ili kubaini uwepowa vimelea vinavyosababishamagonjwa, mabaki ya viuatilifu, madinitembo na antibiotics kabla ya kumfikamlaji; na

(d) Kuimarishha Maabara ya SamakiNyegezi kwa kuipatia vitendea kazi nakukamilisha maandalizi ya Miongozo yaUtendaji (Standard OperatingProcedures – SOP).

Page 24: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

24

(vii) Kujenga mazingira ya kuvutia uwekezajikatika Sekta ya Uvuvi hususan ujenzi waviwanda vya samaki.

Utekelezaji:

Wizara imeendelea kuhamasisha sekta binafsikuwekeza katika sekta ya uvuvi ikiwa ni pamojana kujenga viwanda vya kuchakata samakiambapo hadi kufikia mwaka 2014/2015viwanda 48 na maghala 84 ya kuhifadhi mazaoya uvuvi yamejengwa. Aidha, Wizaraimeimarisha Maabara ya Taifa ya KudhibitiUbora wa Mazao ya Uvuvi Nyegezi kwa kuipatiavitendea kazi na kuwajengea watumishi uwezo.Pia, Wizara imetoa mafunzo kuhusu teknolojiambalimbali za uhifadhi na uchakataji wa mazaoya uvuvi kwa wadau 1,493 kutoka Halmashauriza Jiji la Mwanza (185) na Tanga (90), Manispaaza Bukoba (180), Musoma (150), Ilala (44),Kigoma – Ujiji (24) na Sumbawanga (50); naHalmashauri za Pangani (40), Muheza (120),Mafia (80), Mtwara Vijijini (52), Lindi Vijijini(78), Mkuranga (50), Bagamoyo (40), Nkasi(130) na Mpanda (80).

(viii) Kuhamasisha wawekezaji wa ndani na wanje kuwekeza katika uvuvi kwenye BahariKuu.

Page 25: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

25

Utekelezaji:

Serikali imeendelea kuhamasisha wawekezaji wandani na nje kuwekeza katika uvuvi BahariKuu. Katika kufikia lengo hili Wizara kwakushirikiana na Mamlaka ya Bandari pamoja naMamlaka ya Kusimamia Uvuvi katika BahariKuu imeandaa Hadidu za Rejea za kufanyaupembuzi yakinifu wa kujenga bandari ya uvuvina kusambaza kwa washauri elekeziwatakaofanya kazi hiyo. Bandari inatarajiwakujengwa mwambao wa pwani na itawezeshakuongeza mapato, ajira na upatikanaji wasamaki. Aidha, Wizara kupitia FETA naMamlaka ya Kusimamia Uvuvi katika BahariKuu ilitoa mafunzo kwa wavuvi 100 kuhusuuvuvi katika Bahari Kuu.

(ix) Kuimarisha na kuendeleza uanzishwaji wamaeneo tengefu kwenye maziwa makuuhususani Ziwa Victoria, Tanganyika naNyasa

Utekelezaji:

Serikali imeandaa mapendekezo ya marekebishoya Sheria ya Usimamizi wa Hifadhi za Bahari naMaeneo Tengefu Na. 29 ya mwaka 1994 ilikuanzisha Hifadhi na Maeneo Tengefu katikamaji baridi.

Page 26: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

26

(x) Kuhamasisha uimarishaji na uanzishaji wavikundi vya ushirika wa wavuvi na wafugajiwa samaki

Utekelezaji:

Wizara imeendelea kuhamasisha jamii za wavuvikupitia mashirika yasiyokuwa ya kiserikali namiradi mbalimbali kujiunga kwenye vikundi vyaakiba na mikopo ambapo jumla ya vikundi 208vimeanzishwa katika Halmashauri za Temeke(32), Rufiji (34), Mafia (61), Mtwara (21) naKilwa (60) vyenye jumla ya wanavikundi 5,573.Aidha, vipindi 52 vya redio na 20 vya luningavya uhamasishaji na uanzishaji wa vikundivimeandaliwa na kurushwa, vitabu 2,000 navipeperushi 4,000 vimeandaliwa nakusambazwa. Pia, elimu ya ufugaji samakiuwiano na kilimo imetolewa kwa wadau 1100ikizingatia udhibiti wa matumizi ya majiyaliyopo kwenye mabwawa na mabaki ya mimeaya shambani ili kuzuia uchafuzi wa mazingira.Vilevile, ufuatiliaji na ukaguzi wa shamba laKambamiti la Alphakhrust-Mafia lenyemabwawa 30 umefanyika ili kuzuia na kudhibitimagonjwa ya Kambamiti pamoja na kuzingatiauhifadhi wa mikoko kwenye eneo la shambahilo.

Page 27: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

27

(xi) Kuimarisha usimamizi wa mazingira katikamaeneo ya Uvuvi, ukuzaji viumbe kwenyemaji na maeneo tengefu.

Utekelezaji:

Wizara kupitia Kitengo cha Hifadhi za Bahari naMaeneo Tengefu (MPRU) imeendelea kuimarishausimamizi wa mazingira na rasilimali za uvuvikwa kutoa elimu kwa wananchi waishio ndanina kandokando ya Hifadhi za Bahari tatu (3) namaeneo Tengefu 15. Vile vile, katika kipindi chamwaka 2010/2011 - 2014/2015 MPRUimetangaza visiwa vinne (4) vya Kirui, Kwale,Mwewe na Ulenge vilivyoko mkoani Tanga kuwaMaeneo Tengefu. Aidha, katika kuimarishautalii MPRU imeingia mikataba minne (4) nawawekezaji wa ndani na nje kujenga eco-lodgekatika visiwa vya Kirui/Mwewe-Tanga, Mbudya-Dar es Salaam na Shungumbili-Mafia.

(xii) Kuhimiza shughuli mbadala za kiuchumikwa jamii za wavuvi ili kupunguza shinikizola uvuvi kwenye maji ya asili na maeneotengefu

Utekelezaji:

Wizara imeendelea kuhamasisha wananchikuendesha shughuli mbadala za kiuchumiambapo kwa upande wa Ukanda wa Pwani

Page 28: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

28

jumla ya vikundi 230 viliwezeshwa kupitiamradi wa MACEMP kutekeleza miradi mbadalaya kiuchumi ikiwemo ufugaji nyuki, ufugajisamaki, kilimo cha bustani, ufugaji ng’ombe,mbuzi na kuku, ukulima wa mwani, ususi,ushonaji pamoja na usindikaji wa chumvi.

3.0 HALI YA SEKTA ZA MIFUGO NA UVUVINA CHANGAMOTO ZILIZOPO

Sekta ya Mifugo

10. Mheshimiwa Spika, sekta ya mifugo nimuhimu katika kumwondolea mwananchiumaskini. Mifugo hutoa ajira, lishe, nishati,mbolea na hutumika kama wanyamakazi nabenki hai. Kulingana na takwimu zilizotolewa naOfisi ya Taifa ya Takwimu mwaka 2014, sekta yamifugo ilikua kwa asilimia 2.2 ikilinganishwa naasilimia 2.0 mwaka 2013. Aidha, kulingana natakwimu zilizopo, idadi ya mifugo nchiniinakadiriwa kuwa ng’ombe milioni 25.8, mbuzimilioni 16.7 na kondoo milioni 8.7. Pia, wapokuku wa asili milioni 37.0, kuku wa kisasamilioni 32.0 na nguruwe milioni 2.4.

Aidha, ulaji wa mazao ya mifugo kulingana naviwango vya Shirika la Chakula na Kilimo laUmoja wa Mataifa (FAO, 2011) ni kilo 50 zanyama, lita 200 za maziwa na mayai 300 kwamtu kwa mwaka. Kwa upande wa nchi yetuviwango vya ulaji wa mazao hayo kwa sasa ni

Page 29: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

29

wastani wa kilo 15 za nyama, lita 47 za maziwana mayai 106 kwa mtu kwa mwaka.

Sekta ya Uvuvi

11. Mheshimiwa Spika, shughuli za uvuvihufanyika katika maeneo yote ya maji baridi namaji chumvi. Eneo la maji baridi linajumuishamaziwa makuu ambayo ni; Ziwa Victoria(kilometa za mraba 35,088), Ziwa Tanganyika(kilometa za mraba 13,489) na Ziwa Nyasa(kilometa za mraba 5,700), mabwawa, maziwaya kati na madogo 45, mito 29 na maeneo oevu.Pia, nchi yetu ina ukanda wa pwani wa Bahariya Hindi wenye urefu wa kilometa 1,424 ambaoumegawanyika katika eneo la Maji ya Kitaifa(Territorial Sea) lenye ukubwa wa kilometa zamraba 64,000 na eneo la Bahari Kuu lenyeukubwa wa kilometa za mraba 223,000.

12. Mheshimiwa Spika, sekta ya uvuvihuchangia katika upatikanaji wa lishe bora,ajira, kipato kwa wananchi na pato la Taifa nahivyo kuchangia katika kuondoa umaskini.Sekta hii imepungua kwa asilimia 2.0 mwaka2014 kutoka asilimia 5.5 mwaka 2013.Kupungua kwa kasi ya ukuaji kumechangiwa nakupungua kwa soko la samaki na samaki nje yanchi na matumizi ya nyenzo duni za uvuviAidha, mchango wa Sekta hii kwa pato la Taifaumeongezeka kutoka asilimia 1.4 mwaka 2013

Page 30: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

30

mpaka asilimia 2.4 kwa mwaka 2014. Vilevile,katika mwaka 2014/2015, idadi ya wavuviwadogo imeongezeka kufikia 183,800ikilinganishwa na wavuvi 183,341 mwaka2013/2014. Kutokana na kuongezeka kwashughuli za uvuvi ikiwa ni pamoja na ongezekola wananchi wanaotegemea shughuli za uvuvikatika kujipatia kipato zikiwemo biashara yasamaki, uchakataji wa mazao ya uvuvi,utengenezaji wa zana na vyombo vya uvuvi nabiashara nyingine zinazohusiana na sekta yauvuvi.

Changamoto

13. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2014/2015 Wizara ya Maendeleo ya Mifugo naUvuvi imeendelea kukabiliwa na changamotombalimbali ikiwa ni pamoja na:-

(i) Kasi ndogo katika kumilikishamaeneo ya ufugaji kunachangiakuhamahama kwa mifugo nakusababisha migogoro baina yawafugaji na watumiaji wengine waardhi, uharibifu wa mazingira naueneaji wa magonjwa ya mifugo;

(ii) Ukosefu wa soko la uhakika lamazao ya mifugo na uvuvi hususanmaeneo ya vijijini;

Page 31: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

31

(iii) Uwekezaji mdogo katika sekta zamifugo na uvuvi hasa katikausindikaji wa mazao ya mifugo nauvuvi na katika Bahari Kuukunaathiri mchango wa sekta katikapato la Taifa;

(iv) Kutopatikana kwa mikopo yakutosha na yenye masharti nafuukwa wafugaji na wavuvi;

(v) Kuenea kwa magonjwa ya mifugo,hususan ya milipuko, yasiyo namipaka na yaenezwayo na kupe nambung’o;

(vi) Upungufu wa mbegu bora za mifugona samaki, pembejeo na hudumahafifu ya uhimilishaji;

(vii) Uhaba wa Maafisa ugani wa mifugona uvuvi ikilinganishwa na mahitaji;

(viii)Ushiriki mdogo wa wadau katikakudhibiti uvuvi na biashara haramuya samaki na mazao ya uvuvi;

(ix) Elimu duni ya ufugaji bora, ufugajiusio wa kibiashara na matumizi duniya teknolojia za kisasa kwa wafugajina wavuvi; na

Page 32: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

32

(x) Kutopata fedha za kutosha na kwawakati ili kutekeleza majukumuyaliyoainishwa kwenye mpango kazi.

14. Mheshimiwa Spika, ili kukabiliana nachangamoto hizi, Wizara imetekeleza yafuatayo:-

(i) Wizara kuendelea kuhimiza Serikalikutenga fedha za kutosha ili kuwezakukidhi mahitaji ya sekta.

(ii) Kuhamasisha Sekta binafsikuwekeza katika sekta za mifugo nauvuvi kwa kuweka mazingira mazuriya uwekezaji. Aidha, vijitabu vyenyekuonyesha fursa za uwekezaji katikasekta za mifugo na uvuvivimeandaliwa na kusambazwa kwawadau na kutangazwa kwenye tovutiya Wizara na kupitia ofisi za Ubalozi.

(iii) Kushirikiana na Mamlaka husikakuhimiza uainishaji, upimaji,umilikishaji na uendelezaji wamaeneo ya ufugaji ili yawe endelevukwa lengo la kudhibiti uhamajiholela wa mifugo ili kupunguzamigogoro baina ya wafugaji nawatumiaji wengine wa ardhi na hivyokupunguza uharibifu wa mazingirana kuzuia kuenea kwa magonjwa yamifugo. Aidha, Serikali imeanza

Page 33: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

33

kupima upya baadhi ya ranchi zakekwa lengo la kupunguza migogorokati ya ranchi na wafugaji.

(iv) Kuimarisha huduma za afya yamifugo kwa kudhibiti magonjwa yamifugo hususan ya milipuko ikiwa nipamoja na kuendelea kutoa ruzukuya madawa ya kuogeshea mifugo nachanjo. Aidha, Wakala wa Maabaraya Veterinari Tanzania (TVLA)unaendelea kuimarishwa kwa ajili yakuboresha huduma za kimaabaraikiwemo uzalishaji wa chanjo zamifugo.

(v) Kuhamasisha taasisi za fedha kutoamikopo yenye masharti nafuu kwaufugaji na uvuvi. Aidha,kuhamasisha wafugaji na wavuvikuunda vyama vya ushirika vyaakiba na mikopo ili kuwawezeshakupata pembejeo na zana kwa ajili yaufugaji na uvuvi.

(vi) Kuendelea kuimarisha Wakala zaMafunzo ya Mifugo na Elimu naMafunzo ya Uvuvi ili kuongezaudahili kutoka 2,451 hadi 2,500(mifugo) na 1,180 hadi 1,500 (uvuvi)kuimarisha huduma za mafunzo nakuongeza idadi ya maafisa ugani wa

Page 34: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

34

mifugo na uvuvi katika Halmashaurinchini. Aidha, kuendeleakuhamasisha sekta binafsi kuwekezakatika mafunzo ya mifugo na uvuvi.Hadi sasa, kuna vyuo 21 vya sektabinafsi ambavyo vimedahili wanafunzi534. Vilevile Wizara kuendeleakushawishi Serikali kuendeleakuajiri wataalam mbalimbali wamifugo na uvuvi ili kukidhi mahitajiya huduma za ugani.

(vii) Kuanzisha na kuimarisha vituo vyakuzalisha mbegu na pembejeo boraza mifugo na samaki pamoja nakuimarisha huduma ya uhimilishaji(artificial insemination); ufugaji wasamaki na ukuzaji wa viumbewengine kwenye maji (aquaculture).

(viii)Kushirikiana na Mamlaka za Serikaliza Mitaa na Sekta Binafsi kuimarishana kujenga miundombinu muhimuya mifugo na uvuvi ikiwemo minada,masoko na mialo na kuhamasishaujenzi wa viwanda vya kuongezathamani ya mazao mifugo na uvuvi

(ix) Kudhibiti uvuvi na biashara haramuya uvuvi kwa kuhimiza nakuimarisha ushirikishwaji wa jamiina wadau wengine katika ulinzi,

Page 35: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

35

usimamizi na matumizi endelevu yaraslimali za uvuvi. Aidha, vituo vyadoria, Mamlaka ya Kusimamia UvuviBahari Kuu (DSFA) na vikundi vyakusimamia rasilimali za uvuvi(BMUs) vinaimarishwa. Vilevile,Kitengo cha Hifadhi za Bahari naMaeneo Tengefu kitaimarishwa ilikiweze kuanzisha na kuendelezamaeneo tengefu kwenye maziwamakuu hususan Ziwa Victoria,Tanganyika na Nyasa.

(x) Kuhimiza wafugaji na wavuvikutumia kanuni bora za ufugaji nauvuvi kwa kutoa mafunzo kupitiavyombo vya habari, semina, shambadarasa, machapisho, na mafunzombalimbali. Aidha, Taasisi ya Utafitiwa Mifugo Tanzania (TALIRI) naTaasisi ya Utafiti wa Uvuvi Tanzania(TAFIRI) zinaimarishwa ili kuendelezahuduma za utafiti wa mifugo nauvuvi ikiwa ni pamoja na kukarabatimiundombinu, kuwajengea uwezowatafiti na kuwapatia vitendea kazimuhimu.

Page 36: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

36

4.0 MAPITIO YA UTEKELEZAJI WA MPANGOWA MWAKA 2014/2015 NA MWELEKEOWA BAJETI YA MWAKA 2015/2016

4.1 Ukusanyaji wa Mapato

15. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2014/2015, Wizara pamoja na Taasisi naWakala chini yake ilitarajia kukusanya kiasi chashilingi 24,401,371,000.00. Kati ya hizo,shilingi 12,751,376,000.00 (52.3%) ni kutokaSekta ya Mifugo na shilingi 11,649,995,000.00(47.7%) ni kutoka Sekta ya Uvuvi. Hadi kufikiaAprili, 2015 kiasi cha shilingi17,879,149,052.89 kimekusanywa na Wizaraikiwa ni sawa na asilimia 73 ya lengo lamakusanyo. Kati ya hizo, shilingi6,486,534,071.40 zimekusanywa kutoka sektaya mifugo na shilingi 11,392,614,981.49zimekusanywa kutoka sekta ya uvuvi. Katikamwaka 2015/2016, Wizara inatarajiakukusanya shilingi 43,862,624,975.00. Kati yahizo, shilingi 25,981,423,602.00 zitakusanywana Wizara na shilingi 17,881,201,373.00zitakusanywa na Taasisi, Wakala na Bodi zilizochini ya Wizara ambazo zitatumiwa na Taasisi,Wakala na Bodi hizo kutekeleza majukumuyake.

Page 37: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

37

4.2 Matumizi ya Fedha za Mwaka2014/2015

16. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2014/2015 Wizara ya Maendeleo ya Mifugo naUvuvi imetengewa kutumia jumla ya shilingi64,572,749,172.90. Kati ya kiasi hiki, shilingi39,820,344,172.90 ni kwa ajili ya Matumizi yaKawaida na shilingi 24,752,405,000 ni kwa ajiliya kutekeleza Miradi ya Maendeleo. Kati yafedha za Matumizi ya Kawaida, shilingi21,964,824,172.90 ni kwa ajili ya MatumiziMengine (OC) na shilingi 17,855,520,000.90 nikwa ajili ya Mishahara (PE) ya watumishi waWizara. Vilevile, kati ya fedha zilizotengwa kwaajili ya maendeleo, shilingi 22,529,800,000(91%) ni fedha za ndani na shilingi2,222,605,000 (9%) ni fedha za nje.

17. Mheshimiwa Spika, hadi kufikia mweziAprili 2015, jumla ya shilingi29,797,977,826.00 zimetolewa, sawa naasilimia 74.83 kwa ajili ya Matumizi yaKawaida. Kati ya hizo, shilingi 17,696, 738,742ni kwa ajili ya Mishahara ya Watumishi waWizara (PE) na shilingi 12,101,239,084.00 nikwa ajili ya Matumizi Mengine (OC). Kati yafedha hizo, jumla ya shilingi29,724,815,596.41 asilimia 99.7 zimetumika.Aidha, jumla ya shilingi 3,934,042,500(asilimia 15.9) zimetolewa kwa ajili ya

Page 38: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

38

kutekeleza miradi ya maendeleo ambapo jumlaya shilingi 2,636,529,190.31 (asilimia 67.0)zimetumika. Kati ya fedha za maendeleozilizotolewa, shilingi 3,393,457,500 ni fedha zandani na shilingi 540,585,000 ni fedha za nje.

4.3 Utekelezaji wa Sera, Programu naSheria za Sekta

Sera na Programu za Sekta ya Mifugo

18. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2014/2015, Wizara iliendelea kuratibu nakusimamia utekelezaji wa Sera ya Taifa yaMifugo ya mwaka 2006 ambapo elimu ilitolewakuhusu Sera hiyo kupitia matukio mbalimbaliya kitaifa yakiwemo, Sikukuu ya WakulimaNanenane; Wiki ya Maziwa; Siku ya ChakulaDuniani; Wiki ya Utumishi wa Umma, Siku yaVeterinary Duniani pamoja na mikutanombalimbali ya kitaaluma na wadau. Vile vileWizara iliendelea kutekeleza Programu yaKuendeleza Sekta ya Mifugo ya mwaka 2011kupitia miradi mbalimbali. Katika kipindi hichojumla ya nakala 300 za Sera, nakala 200 zaMkakati wa Kuendeleza Sekta ya Mifugo (2010)na nakala 300 za Programu ya KuendelezaSekta ya Mifugo (2011) zilisambazwa. Aidha,Wizara inaendelea kushirikiana na Wizara zaSekta ya Kilimo katika maandalizi ya Programuya Kuendeleza Sekta ya Kilimo Nchini Awamu yaPili na Mkakati wa Kuendeleza Sekta ya Kilimo.

Page 39: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

39

Sera na Programu za Sekta ya Uvuvi

19. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2014/2015, Wizara imekamilisha mapitio yaSera ya Taifa ya Uvuvi na Mikakati yake yamwaka 1997 na kuandaa Sera mpya ya Taifa yaUvuvi ya mwaka 2014 ambayo imepitishwa naBaraza la Mawaziri. Vile vile, Wizara iliendeleakutekeleza Programu ya Kuendeleza Sekta yaUvuvi ya mwaka 2012 kupitia miradi mbalimbaliikiwa pamoja na kutoa elimu kupitia Sikukuuya Wakulima Nanenane; Siku ya ChakulaDuniani; Siku ya Uvuvi Duniani; Wiki yaUtumishi wa Umma pamoja na mikutanombalimbali ya kitaaluma na wadau. Aidha,nakala 150 za Programu ya Kuendeleza Sektaya Uvuvi na nakala 200 za Fursa za Uwekezajikatika Sekta ya Uvuvi zilisambazwa kwa wadau.

Sheria na Kanuni za Sekta za Mifugo naUvuvi

20. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2014/2015, Wizara kwa kushirikiana na wadaumbalimbali imeendelea kuboresha Sheria naKanuni za Sekta za Mifugo na Uvuvi kwakutekeleza yafuatayo:-

(i) Kuandaa na kupitishwa na Baraza laMawaziri Waraka wa Mapendekezoya Sheria mpya ya Taasisi ya Utafiti

Page 40: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

40

wa Uvuvi Tanzania (The TanzaniaFisheries Research Institute Act) naMuswada wa Sheria utawasilishwaBungeni;

(ii) Kuandaa mapendekezo ya kutungaSheria mpya ya Mamlaka ya Hifadhiza Bahari na Maeneo Tengefuambayo yapo katika ngazi yaMakatibu Wakuu;

(iii) Kuandaa mapendekezo ya kutungaSheria mpya ya Mbari Bora zaWanyama (Animal Breeding Act)ambayo ipo katika hatua yakujadiliwa na wadau;

(iv) Kuandaa mapendekezo yamarekebisho ya Sheria ya Mamlakaya Uvuvi wa Bahari Kuu (The DeepSea Fishing Authority Act) SURA 388kwa ajili ya kupata maoni ya wadau;

(v) Kufanya mikutano ya wadau wasekta ya uvuvi ili kuainisha maeneoyanayohitaji marekebisho katikaSheria ya Uvuvi (The Fisheries Act)SURA 279;

(vi) Kuandaa Waraka wa Taarifa yaUtekelezaji wa Maamuzi ya Baraza laMawaziri katika Waraka Na. 2/2002

Page 41: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

41

kuhusu Mapendekezo ya Mkakati waUbinafsishaji wa Mashamba yaMifugo na Ranchi za Taifa nakujadiliwa katika ngazi ya MakatibuWakuu;

(vii) Kuandaa Waraka wa Taarifa yaUtekelezaji wa Maamuzi ya Baraza laMawaziri katika Waraka Na. 6/2000kuhusu Ubinafsishaji wa Kiwandacha Kusindika Nyama chaTanganyika Packers Limited (TPL) -Mbeya ambao upo katika ngazi yaSekretarieti ya Baraza la Mawaziri;na

(viii)Kutafsiri Sheria ya Nyama SURA 421katika lugha ya Kiswahili.

Aidha, Kanuni zifuatazo zimeandaliwa nakupelekwa kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikalina kutangazwa katika Gazeti la Serikali:

(i) Kanuni za Veterinari ‘The Veterinary(Recognition of Livestock TrainingInstitutes and CompaniesUndertaking Veterinary PracticeRegulations’, 2014, Tangazo laSerikali Na. 486 la mwaka 2014; na

(ii) Kanuni za Uvuvi “The Fisheries(Amendment) Regulations, 2014,

Page 42: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

42

Tangazo la Serikali Na.10 la mwaka2015.

Pia, Wizara imekamilisha uchapaji wa Kanuni zaUvuvi za Mwaka 2009, Tangazo la Serikali Na.308 la mwaka 2009 zilizotafsiriwa katika lughaya Kiswahili baada ya kuwa zimeidhinishwa naMwanasheria Mkuu wa Serikali. Vilevile, Wizarakwa kushirikiana na Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI ilifanya kikao mjini Dodoma kwalengo la kutoa elimu kuhusu dhana ya ugatuajimadaraka (D by D) na kujadili kwa kinachangamoto zilizopo na kuweka mikakati yakuboresha sekta za mifugo na uvuvi.

21. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2015/2016, Wizara itaendelea kutoa elimukuhusu Sera, Sheria na Kanuni za sekta zamifugo na uvuvi ili zizingatie mfumo wa ugatuajimadaraka (D by D). Pia, itachapisha nakusambaza nakala 300 za Sera ya Taifa yaUvuvi ya mwaka 2014 na kukamilisha Mkakatiwa kutekeleza Sera hiyo. Aidha, Wizaraitakamilisha kuandaa mapendekezo ya kutungaSheria mpya ya Mamlaka ya Hifadhi za Baharina Maeneo Tengefu; Sheria ya Mbari Bora zaWanyama (Animal Breeding Act); Sheria yaMamlaka ya Uvuvi wa Bahari Kuu (The DeepSea Fishing Authority Act); Sheria ya Taasisi yaUtafiti wa Uvuvi Tanzania na Sheria ya Uvuvi(The Fisheries Act).

Page 43: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

43

4.4 Uendelezaji wa Sekta ya Mifugo

Uzalishaji na Biashara ya Mifugo na Mazaoyake

Zao la Maziwa

22. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2014/2015 Wizara iliendelea kuhamasishasekta binafsi kuwekeza katika uzalishaji nausindikaji wa maziwa ambapo uzalishaji wamaziwa umeongezeka kwa asilimia 3.5 kutokalita bilioni 1.99 mwaka 2013/2014 hadikufikia lita bilioni 2.06 mwaka 2014/2015.Aidha, kiasi cha maziwa kinachosindikwa kwasiku kimeongezeka kutoka lita 139,800 mwaka2013/2014 hadi lita 167,070 mwaka2014/2015 kwa mwaka sawa na ongezeko laasilimia 19.5. Ongezeko hili limetokana nakuongezeka kwa viwanda vya kusindika maziwakutoka 74 mwaka 2013/14 na kufikia 82mwaka 2014/2015 (Jedwali Na. 1).

23. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2014/2015, Wizara iliratibu Programu yaUnywaji Maziwa Shuleni ambayo ilifanyikamkoani Kilimanjaro na kushirikisha shule 18.Idadi ya wanafunzi wanaopata maziwa nchini ni14,788 ambao wanatumia lita 7,394 za maziwa,sawa na wastani wa nusu lita kwa wiki kwamtoto. Aidha, uanzishwaji wa Programu yaUnywaji Maziwa Shuleni (School Milk Feeding

Page 44: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

44

Program - SMFP) umeanza katika shule 10zilizopo katika wilaya ya Kinondoni. Vilevile,Wizara imesajili wadau 144 kati ya hao, 53wazalishaji wa maziwa, 36 wafanyabiashara wamaziwa na 15 waingizaji wa maziwa kutoka nje,21 vioski vya maziwa/maduka makubwa,wanne (4) wasindikaji wa maziwa na 15 vituovya kukusanyia maziwa. Pamoja na usajili wawadau Bodi ya Maziwa Tanzania iliweza kutoavibali kwa magari 182 ya kusafirishia maziwa.

Katika mwaka 2015/2016, Wizara itaendeleakuhamasisha ukusanyaji na usindikaji wamaziwa ili kuongeza usindikaji kufikia lita230,000 kwa siku.

24. Mheshimiwa Spika, Wizara imeendeleakukarabati mashamba ya kuzalisha mitamba,kupima mashamba na kuyapatia vitendea kaziili yaweze kuzalisha kwa urahisi. Katika mwaka2014/15 Wizara ilitekeleza yafuatayo:-

(i) Kuzalisha na kusambaza jumla yamitamba 635 kwa wafugaji wadogo;

(ii) Kununua ng’ombe wazazi 75 kwaajili ya mashamba ya Ngerengere(30) na Mabuki (45);

(iii) Kujenga ofisi katika shamba lauzalishaji mitamba Mabuki;

Page 45: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

45

(iv) Kukarabati mashine ya kukamuliamaziwa na ununuzi wa mbegu zamalisho kwa ajili ya shamba lauzalishaji mitamba Kitulo;

(v) Kuendeleza malisho hekta 172,katika mashamba ya Ngerengere(35), Nangaramo (12), Mabuki (20),Sao Hill (40) na Kitulo (100);

(vi) Kuweka makinga moto na uziokilometa 43. kwenye maeneo yamalisho katika mashamba yote yakuzalisha mitamba ya Kitulo (25),Ngerengere (5) Sao Hill (5), naNangaramo (8);

(vii) Kupima shamba la mitamba laNangaramo na kupatiwa hati milikiNa. 427636 NANY/LD/413 shambaNa. 189; na

(viii) Kukarabati lambo kwa ajili yamaji ya mifugo katika shamba lauzalishaji mitamba Nangaramo.

Aidha, Wizara kwa kushirikiana na Kampuni yaRanchi za Taifa (NARCO) imezalisha mitamba638 na Mashirika yasiyo ya Kiserikaliilisambaza jumla ya mitamba 10,731 kwa

Page 46: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

46

wafugaji wadogo katika mikoa 25 nchini(Jedwali Na. 2a na Na. 2b).

Katika mwaka 2015/2016, Wizara itaendeleakuimarisha mashamba ya kuzalisha mitambamatano (5), kununua ng’ombe wazazi 250 kwaajili ya mashamba ya kuzalisha mitamba yaMabuki (50), Nangaramo (50), Sao Hill (50),Kitulo (50) na Ngerengere (50), kukarabatinyumba za watumishi wa shamba la Kitulo naNgerengere na kuweka makinga moto na uziokilometa 50 katika mashamba matano (5) yakuzalisha mitamba.

25. Mheshimiwa Spika, uhimilishaji niteknolojia mojawapo inayotumika kuongezaubora wa mifugo. Katika mwaka 2014/2015Wizara imeendelea kuratibu na kuhamasishamatumizi ya teknolojia hiyo kwa kuimarisha nakuongeza vituo vya uhimilishaji kwa kufanyakazi zifuatazo:-

(i) Kuimarisha kituo cha Taifa chaUhimilishaji – NAIC Usa River kwakukinunulia vitendea kazimbalimbali vikiwemo vifaa vyamaabara na uhimilishaji;

(ii) Kukamilisha ujenzi wa kituo kipyacha Katavi na hivyo kuwa na vituosita (6) vya kanda vya huduma za

Page 47: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

47

usambazaji wa mbegu na uzalishajiwa kimiminika cha naitrojeniambavyo ni Mbeya, Mwanza, Pwani,Dodoma, Lindi na Katavi;

(iii) Kuendeleza ujenzi na kusimikwamtambo wa kuzalisha kimiminikacha naitrojeni na kujenga mabanda 7ya madume bora katika Kituo chaUhimilishaji cha Sao Hill;

(iv) Kuhimilisha ng’ombe 105,000 ikiwani ongezeko la asilimia 14.5ikilinganishwa na mwaka2013/2014;

(v) Kutoa mafunzo ya muda mfupi kwawahimilishaji 181 kuhusu matumizisahihi ya teknolojia ya uhimilishajikatika kituo cha uhimilishaji chaTaifa (NAIC) Usa River;

(vi) Kukarabati mitambo ya kuzalishialiquid Nitrogen ya Lindi, Mwanza naUyole; na

(vii) Kuzalisha dozi 70,294 za mbegubora za uhimilishaji na kusambazwakwa wafugaji.

Katika mwaka 2015/2016, Wizara itaendeleakuimarisha kituo cha Taifa cha uhimilishaji

Page 48: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

48

NAIC Usa River na vituo sita (6) vya uhimilishajivya Kanda ili kuwa na ufugaji wenye tija nchini.

Tasnia ya Nyama: Ng’ombe, Mbuzi, Kondoo,Nguruwe na Kuku

26. Mheshimiwa Spika, Wizara imeendeleakushirikiana na wadau wa nyama kuendelezasekta ndogo ya nyama ambayo inahusishang’ombe, mbuzi, kondoo, nguruwe na kuku.Katika mwaka 2014/2015 uzalishaji wa nyamaumeongezeka kwa asilimia 6.2 kutoka tani563,086 mwaka 2013/2014 hadi tani597,757 mwaka 2014/2015 (Jedwali Na. 3).Ongezeko hilo limetokana na kuongezeka kwamahitaji ya nyama katika soko maalum landani hususan migodi, maduka makubwa nahoteli za kitalii. Aidha, idadi ya ngómbewalionenepeshwa waliongezeka kutoka ng’ombe175,000 mwaka 2013/2014 hadi 213,000mwaka 2014/2015 (Jedwali Na. 4).

27. Mheshimiwa Spika, miundombinu yamasoko ya mifugo imeendelea kuboreshwa kwalengo la kukuza biashara ya mifugo katikaminada ya upili na mipakani. Katika kipindi chamwaka 2014/2015, minada ya Pugu (Ilala),Lumecha (Songea), Kirumi (Butiama) naNyamatala (Misungwi) imekarabatiwa. Aidha,Wizara imetengeneza barabara kuzunguka

Page 49: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

49

mnada wa upili wa Kizota (Dodoma), kukarabatinyumba za watumishi na kurudishia mawe yamipaka. Pia, Wizara imejenga ofisi, mazizi nabarabara ya kuingilia mnadani, sehemu yakunadia mifugo katika mnada wa upili waKasesya (Kalambo). Vilevile, usimikaji wa mizaniya mifugo katika minada ya upili 11 nauhamasishaji juu ya matumizi yake umefanyika.

Katika mwaka 2015/2016, Wizara itajengaminada miwili ya upili ya Longido (Longido) naKirumi (Butiama) na kukarabati minada 7 yamifugo ya upili ya Weruweru (Hai), Meserani(Monduli), Themi (Arusha), Sekenke (Iramba),Igunga (Igunga), Ipuli (Tabora) na Mhunze(Kishapu), kutoa mafunzo kwa wakusanyajimaduhuli 60 na wafanyabiashara wa mifugo400 ili kuimarisha ukusanyaji wa mapato nasoko la mifugo. Aidha, Wizara itaendeleakuratibu uuzaji wa mifugo katika minada yaawali, upili na mipakani na kuhamasishamatumizi ya mizani ya kupimia uzito wa mifugo.

28. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2014/2015, jumla ya ng’ombe 1,337,095 mbuzi1,056,218 na kondoo 230,221 wenye thamaniya shilingi bilioni 1,027.4 waliuzwa minadaniikilinganishwa na ng’ombe 1,215,541, mbuzi960,199 na kondoo 209,292 wenye thamani yashilingi bilioni 989.3 mwaka 2013/2014. Pia,idadi ya mifugo iliyouzwa nje ya nchi

Page 50: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

50

imeongezeka kutoka ng’ombe 1,123 mwaka2013/2014, hadi ng’ombe 2,139 wenye thamaniya shilingi bilioni 34 mwaka 2014/2015. Aidha,jumla ya tani 23.4 za nyama ya ng’ombe,nyama ya mbuzi tani 1,388.9 na nyama yakondoo tani 36.7 zenye thamani ya shilingibilioni 52.1 ziliuzwa katika nchi za Msumbiji,Vietnam, Oman, Qatar na Falme za Kiarabu.Vilevile, jumla ya tani 735 za nyama yang’ombe, tani 804 za nyama ya nguruwe na tani16.5 za nyama ya kondoo ziliingizwa nchini.

Katika mwaka 2015/2016, Wizara itaendeleakuhamasisha wadau kuwekeza katika ujenzi waviwanda na biashara ya mifugo na mazao yakeili kuongeza mauzo ya nyama ndani na nje yanchi. Aidha, Wizara kwa kushirikiana na wadauitaendelea kuhamasisha wafugaji nawafanyabiashara ya mifugo kuwekeza katikaufugaji wa kisasa ukiwemo wa ranchi naunenepeshaji. Vilevile, Wizara itaendeleakuhamasisha unenepeshaji ili kufikia idadi yang’ombe 300,000 kwa mwaka.

Uzalishaji wa Nyama katika Kampuni yaRanchi za Taifa (National Ranching Company- NARCO)

29. Mheshimiwa Spika, Kampuni ya Ranchiza Taifa (NARCO) inayomiliki ranchi kumi (10)za mfano za Kagoma, Kalambo, Kikulula,

Page 51: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

51

Kongwa, Mabale, Missenyi, Mkata, Mzeri, Ruvuna West Kilimanjaro ina jumla ya hekta230,384 zenye uwezo wa kuweka ng’ombe katiya 80,000 na 90,000. Kwa sasa, Kampuni inajumla ya ng’ombe 12,681, kondoo na mbuzi2,166, farasi 39 na punda 15. Katika mwaka2014/2015, NARCO imetekeleza kazi zifuatazo:-

(i) Kuzalisha ndama 3,045 kutokana nang’ombe wazazi 5,786;

(ii) Kunenepesha ng’ombe 2,100 kutokakwa wafugaji na kuuza ng’ombe4,900 wenye thamani ya shilingibilioni 2.7;

(iii) Kutoa ushauri na mafunzo yakusimamia ufugaji wa kisasa kwawawekezaji watanzania 100 ambaowamemilikishwa vitalu ndani yaRanchi za Taifa pamoja na wafugajiwanaozunguka ranchi hizo. Vitaluhivyo vimewekeza ng’ombe 31,600,kondoo na mbuzi 8,200;

(iv) Kukamilisha majadiliano naKampuni ya Allanasons kutokaIndia kwa ajili ya uwekezaji katikamachinjio ya kisasa katika ranchi yaRuvu kwa ajili ya soko la nje.Machinjio hii itakapokamilika

Page 52: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

52

itakuwa na uwezo wa kuchinjang’ombe 1,000 kwa siku;

(v) Kufungua vituo vipya viwili vyamauzo ya nyama ya Kongwa beefkatika mikoa ya Dodoma (Kibaigwa)na Tanga (Mombo);na

(vi) Kununua ng’ombe wazazi 1,200 ilikuongeza idadi ya ng’ombe katikaranchi zake.

Katika mwaka 2015/2016, NARCO inatarajiakuzalisha jumla ya ndama 3,366 kutokana nang’ombe wazazi 4,488, kuendelea na ujenzi wamachinjio ya kisasa ya Ruvu na kununuang’ombe wazazi 1,200 kwa lengo la kuongezaidadi ya ng’ombe katika ranchi zake. Aidha,Kampuni itaendelea kuongeza uzalishaji kwakutafuta mitaji mipya na kuvutia wawekezajikwa ubia katika ranchi zake.

Kuku

30. Mheshimiwa Spika, ufugaji wa kukunchini umeendelea kukua, ambapo katikamwaka 2014/2015, uzalishaji wa vifaranga vyakuku wa nyama na mayai umeongezeka nakufikia vifaranga milioni 63.6 ikilinganishwana vifaranga milioni 61 vilivyozalishwa mwaka2013/2014. Aidha, jumla ya mayai yakutotolesha vifaranga 1,750,000 yaliingizwa

Page 53: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

53

nchini kutoka nchi za Malawi, Hungary,Uholanzi, Kenya, Ufaransa, Afrika ya Kusini,Hispania, Ubelgiji, Uingereza, Zambia naMauritius kwa ajili ya kutotolesha vifaranga vyakuku wazazi. Vilevile, uzalishaji wa mayaiumeendelea kuongezeka kutoka bilioni 3.9mwaka 2013/2014 hadi mayai bilioni 4.15mwaka 2014/2015.

Katika mwaka 2015/2016, Wizara itaendeleakuhamasisha utekelezaji wa programu zakuendeleza mifugo midogo ikiwemo kuku waasili, kuku wa kisasa na kware katika Mamlakaza Serikali za Mitaa 20 za Mikoa ya Singida,Mwanza, Tabora, Kagera, Morogoro, Mtwara,Simiyu na Lindi.

Nguruwe

31. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2014/2015, Wizara iliendelea kuimarishauzalishaji wa nguruwe nchini kwa kuendelezashamba la Ngerengere kwa kuwapatia nguruwewazazi 10. Aidha, uzalishaji wa nyama yanguruwe umeongezeka kutoka tani 79,174 hadikufikia tani 79,180 mwaka 2014/2015. Pia,Wizara kwa kushirikana na Mamlaka za Serikaliza Mitaa imeendelea kuhamasisha sekta binafsikuwekeza katika ufugaji wa nguruwe wa kisasa.

Page 54: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

54

Katika mwaka 2015/2016, Wizara itaendeleakuimarisha shamba la mifugo la Ngerengere ililiweze kuzalisha na kusambaza mbegu bora zanguruwe kwa wafugaji kwa ajili ya kuongezauzalishaji wa nguruwe na nyama yake. Aidha,Wizara itaendelea kushirikiana na Mamlaka zaSerikali za Mitaa kuhamasisha sekta binafsikuwekeza katika uzalishaji wa nguruwe.

Ngozi

32. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2014/2015 kumekuwa na ongezeko la ngozizilizosindikwa kutoka vipande vya ngozi zang’ombe 1,060,777 na vipande vya mbuzi nakondoo 2,715,436 mwaka 2013/2014 hadivipande vya ngómbe 1,388,139 na vipande vyambuzi na kondoo vimepungua kutoka vipande2,715,436 mwaka 2013/2014 hadi kufikiavipande 1,020,000 kwa mwaka 2014/2015vyenye thamani ya shilingi bilioni 39.2.Ongezeko hili limetokana na ukuaji wausindikaji katika kiwanda cha SAK InternationalLtd – Arusha (vipande 1,055,000) na kuanzausindikaji katika viwanda vipya vya ngozi vyaMeru Tannery-Arusha (vipande 856,000) naXing Hua Investment Tannery-Shinyanga(vipande 770,000). Pia, ongezeko hilolimetokana na mikataba ya usindikaji wa ngoziiliyofanywa na wafanyabiashara wasio naviwanda katika kiwanda cha ngozi Morogoro.

Page 55: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

55

33. Mheshimiwa Spika, Wizara imeendeleakusimamia na kutekeleza Mkakati wa Kufufuana Kuendeleza Sekta na Viwanda vya NgoziNchini kwa kushirikiana na Ofisi ya WaziriMkuu – TAMISEMI, Wizara ya Viwanda naBiashara, Mamlaka za Serikali za Mitaa 75 naChama cha Wadau wa Ngozi kupitia Mfuko waMaendeleo ya Mifugo (Livestock DevelopmentFund) kwa kufanya yafuatayo:-

(i) Kuhamasisha matumizi ya mfumo waufuatiliaji wa uzalishaji na biasharaya ngozi kutoka machinjioni hadiviwandani ili kuzuia utoroshaji wangozi nje ya nchi katika mikoa yaKanda ya Ziwa kwa kutoa mafunzokwa vyombo vya ulinzi na usalama(58); maafisa wa Mamlaka ya MapatoTanzania (29); na maafisa ngozi namaafisa mifugo (29) maafisa biashara(29); wafanyabishara wa ngozi (29) nawachinjaji (29);

(ii) Kuwezesha vikao sita (6) vya kisheriavya Kamati ya Kitaifa ya Ushauri waNgozi na Kamati ya Usimamizi waMfuko wa Maendeleo ya Mifugo; na

(iii) Kuwajengea uwezo wataalam 130kutoka Mamlaka za Serikali za Mitaa65 ambazo haziko kwenye mpango wakutekeleza Mkakati wa Kufufua na

Page 56: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

56

Kuendeleza Sekta ya Viwanda vyaNgozi kuhusu uzalishaji, uhifadhi nausindikaji wa ngozi unaozingatiahifadhi ya mazingira.

Katika mwaka 2015/2016, Wizara itaendeleakutekeleza Mkakati huo kwa kufanyayafuatayo:-

(i) Kuwezesha mafunzo kwa wataalamwa mifugo katika Mamlaka yaSerikali za Mitaa 75 kuhusuuendelezaji wa zao la ngozi nchini;

(ii) Kufuatilia na kutathimini utekelezajiwa kazi za Mkakati wa Kufufua naKuendeleza Sekta na Viwanda vyaNgozi;

(iii) Kuendelea kuhamasisha matumizi yamfumo wa ufuatiliaji wa uzalishajina biashara ya ngozi kutokamachinjioni hadi viwandani ili kuzuiautoroshwaji wa ngozi nje ya nchi;

(iv) Kuwezesha uendeshaji wa vikao vyaKamati ya Kitaifa ya Ushauri waNgozi na Kamati ya Usimamizi waMfuko wa Maendeleo ya Mifugo ilikutekeleza majukumu yake; na

Page 57: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

57

(v) Kuwezesha wadau kushiriki katikabiashara ya ngozi ya ndani na nje yanchi kwa kuwawezesha kushirikikatika maonesho ya Kitaifa, Kikandana Kimataifa.

Matumizi ya Rasilimali za Ardhi, Maji naMalisho kwa Mifugo na Utatuzi wa Migogoro

34. Mheshimiwa Spika, uendelezaji waufugaji wa asili unahitaji kutenga maeneo yamalisho, kuyaendeleza na kuyasimamia ikiwa nipamoja na kutathmini uwezo wake nakuyawekea miundombinu muhimu. Katikamwaka 2014/2015, Wizara kwa kushirikiana naWizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo yaMakazi na TAMISEMI zimetenga maeneo yamalisho na kufanya eneo lililotengwa kwa ajilihiyo kufikia hekta milioni 1.95 katika vijiji 620katika Mamlaka za Serikali za Mitaa 81 zilizopokatika mikoa 22 (Jedwali Na. 5).

Katika mwaka 2015/2016, Wizara kwakushirikana na wadau itawezesha kutambua nakutenga maeneo ya malisho kwa ajili ya ufugajiendelevu katika wilaya za Busega, Kiteto, Kilosa,Ngorongoro, Mvomero, Kilindi, Igunga, Irambana Lindi. Aidha, ili kupunguza uvamizi wamashamba ya Serikali, Wizara itawezeshautambuzi na upimaji wa mipaka ya maeneo yamashamba manne (4) ya kuzalisha mitamba,mawili (2) ya mbegu bora za malisho, minada 12

Page 58: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

58

ya upili na Kituo cha Taifa cha Uhimilishaji chaNAIC Usa River.

35. Mheshimiwa Spika, Wizara imeendeleakuboresha mashamba ya uzalishaji wa mbegubora za malisho ya Vikuge (Pwani), Langwira(Mbeya), Sao Hill (Iringa), Mabuki (Mwanza), LRCTanga (Tanga), Kizota na PRC Kongwa (Dodoma)kwa kukarabati miundombinu na kuyapatiavitendea kazi. Katika mwaka 2014/2015, jumlaya tani 48.5 za mbegu za malisho zilizalishwaikilinganishwa na tani 48.2 za mwaka2013/2014. Pia, uzalishaji wa hei umeongezekakutoka marobota 922,620 kutoka mashambaya Serikali na sekta binafsi mwaka 2013/2014hadi marobota ya hei 1,098,311 mwaka2014/2015. Kati ya hayo, marobota 499,820yamezalishwa kutoka katika mashamba yaSerikali na 598,491 kutoka sekta binafsi(Jedwali Na. 6a na 6b).

Katika mwaka 2015/2016, Wizara itaendeleakuimarisha mashamba ya kuzalisha mbegu boraza malisho ya Vikuge, Langwira, Sao Hill, Kizotana Mabuki, kwa kuyanunulia vitendea kazi nakuboresha miundombinu ya shamba nakuhamasisha sekta binafsi kuwekeza katikauzalishaji wa malisho na mbegu bora zamalisho.

Page 59: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

59

36. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2014/15 Wizara imeendelea kusimamia ujenziMabwawa matatu (3) ya Kwamaligwa (Kilindi),Mbangala (Chunya) na Olypasei (Kiteto)yanajengwa na Wakala wa Kuchimba VisimaVirefu na Malambo (Drilling and DamConstruction Agency-DDCA) ambapoMkandarasi ameshakabidhiwa maeneo nautekelezaji umeshaanza.

37. Mheshimiwa Spika, Wizara kwakushirikiana na Ofisi ya Waziri Mkuu; Wizara yaArdhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi; Wizaraya Maliasili na Utalii; Wizara ya Kilimo Chakulana Ushirika; Wizara ya Mambo ya Ndani nawadau mbalimbali ilifanya mkutano Mwanzakujadili changamoto na njia mbalimbali zakutatua migogoro baina ya wafugaji nawatumiaji wengine wa ardhi.

Katika mwaka 2015/2016 Wizara itawezeshaujenzi wa malambo katika wilaya za Chemba,Mwanga, Tarime, Bagamoyo, Busega, Kishapu,Kilwa na Ngorongoro na itakamilisha ujenzi wakisima kirefu katika Halmashauri ya Wilaya yaSame.

Usindikaji wa Vyakula vya Mifugo

38. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2014/2015 Wizara imeendelea kuratibu

Page 60: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

60

usindikaji na kusimamia ubora wa vyakula vyamifugo vinavyozalishwa na sekta binafsi ambayoimezalisha jumla ya tani 1,200,000 za vyakulavya mifugo kutoka katika viwanda 80. Aidha,Wizara ilitoa mafunzo kwa wakaguzi wa vyakulavya mifugo 159 kutoka Mamlaka za Serikali zaMitaa 25 katika mikoa nane (8) ya Mtwara,Pwani, Mbeya, Morogoro, Dodoma, Iringa, Dar esSalaam na Njombe ili kuwajengea uwezo wakudhibiti ubora wa vyakula vya mifugo.

Katika mwaka 2015/2016 Wizara itawajengeauwezo Wakaguzi 128 kutoka Mamlaka zaSerikali za Mitaa kuhusu ukaguzi na udhibiti waubora wa vyakula vya mifugo. Aidha, Wizaraitaendelea kuwaelekeza wadau kusajili maeneoya uzalishaji na uhifadhi wa vyakula vya mifugokupitia tovuti ya Wizara ambayo niwww.mifugouvuvi.go.tz

4.5 Udhibiti wa Magonjwa ya Mifugo

Kuimarisha Maeneo Huru ya Magonjwa yaMifugo

39. Mheshimiwa Spika, biashara ya mifugona mazao yake katika soko la ndani na njeinapasa kuzingatia viwango vya ubora nausalama kwa walaji. Ili kukidhi vigezovilivyowekwa na OIE na WTO, nchi husika nilazima idhibiti magonjwa yanayoathiri mifugo

Page 61: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

61

kwa kuwa na maeneo huru ya magonjwa yamifugo. Katika mwaka 2014/2015, Wizaraimeendelea kuendeleza eneo huru la magonjwaya mifugo la Uwanda wa Juu wa Ufipa (UfipaPlateau) kwa kuimarisha Kituo cha Ufuatiliaji naUchunguzi wa Magonjwa ya Mifugo cha Kandaya Kusini Magharibi kilichopo mjiniSumbawanga kwa kukarabati ofisi, kuongezamtaalam wa magonjwa ya mifugo na kumjengeauwezo mtaalam huyo juu ya utambuzi wamagonjwa ya mlipuko kwa kuzingatia kanuni zabiashara za mifugo na mazao yake kitaifa nakimataifa.

Katika mwaka 2015/2016, Wizara itaendeleakuimarisha Eneo huru la Magonjwa ya Mifugo laUwanda wa Juu wa Ufipa (Ufipa Plateau) uliokatika wilaya za Kalambo, Nkasi naSumbawanga kwa kuhamasisha na kutoamafunzo kwa wafugaji na wadau waliopokwenye eneo hilo ili kuongeza kiwango chaushiriki wao kwenye shughuli za kukingamagonjwa na kuzalisha kibiashara. Aidha,kuendelea na taratibu za kuzifanya ranchi zaRuvu na Kongwa kuwa maeneo huru yamagonjwa ya mifugo ili kuwezesha viwanda namachinjio za kisasa zinazojengwa katika maeneohayo kuweza kuuza nyama nje ya nchi.

Page 62: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

62

Magonjwa ya Mlipuko

(i) Sotoka ya Mbuzi na Kondoo

40. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2014/2015, Wizara kwa kushirikiana, Mamlakaza Serikali za Mitaa na wadau iliendeleakudhibiti ugonjwa wa Sotoka ya Mbuzi naKondoo katika mikoa ya Arusha, Dodoma, Marana Pwani kwa kuchanja mbuzi na kondoo638,007 na kutoa elimu kwa wafugaji. Matukioya ugonjwa huu yanaendelea kupungua katikamikoa husika.

Katika mwaka 2015/2016 Wizara itaendeleakuzuia na kudhibiti kuenea kwa ugonjwa huukwa kuratibu, kununua na kusambaza dozi1,000,000 za chanjo zitakazotumika katikawilaya zilizo katika hatari ya kuambukizwaugonjwa kutokana na taarifa za kiepidemiolojiazitakavyokuwa zinatolewa. (Kiambatisho Na. 1).

(ii) Homa ya Mapafu ya Ng’ombe

41. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2014/2015, Wizara imeendelea kudhibitiUgonjwa wa Homa ya Mapafu ya Ng’ombe(CBPP) kwa kufuatilia ugonjwa huo katikamaeneo ya mikoa ya Arusha, Kigoma, Manyara,Pwani, Rukwa na Tanga yaliyoonekana kuwa nichanzo cha maambukizi. Aidha, Wizara

Page 63: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

63

imeendelea kusimamia usafirishaji wa mifugonchini na kusambaza dozi 120,000 za chanjo.

Katika mwaka 2015/2016, Wizara itaendeleakuratibu shughuli za udhibiti wa ugonjwa waHoma ya Mapafu kwa kununua na kusambazachanjo kutegemea mwenendo wa ugonjwa naupatikanaji wa fedha.

(iii) Mafua Makali ya Ndege

42. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2014/2015, Wizara imeendelea kufuatiliamwenendo wa Ugonjwa wa Mafua Makali yaNdege (HPAI) hapa nchini na nje ya nchi. Taarifaya ufuatiliaji inaonesha nchi 13 zina ugonjwahuu, hivyo uwezekano wa ugonjwa huu kuingianchini bado ni mkubwa. Aidha, Wizara kwakushirikiana na wadau wengine kama Shirika laKilimo na Chakula la Umoja wa Mataifa (FAO),Shirika la Afya Duniani (WHO) na Shirika laAfya ya Wanyama Duniani (OIE), imechukuatahadhari ya kujikinga na ugonjwa huu kwakutoa mafunzo ya utambuzi na ufuatiliaji kwawataalam 3 wa maabara na mtaalamu mmojawa epidemiolojia.

Katika mwaka 2015/2016, Wizara kwakushirikiana na wadau wengine, itaendeleakuchukua tahadhari za kujikinga na ugonjwa

Page 64: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

64

huu kwa kufuatilia mwenendo wa ugonjwandani na nje ya nchi.

Magonjwa yaenezwayo na Kupe na Mbung’o

(i) Udhibiti wa Kupe na Magonjwawayaenezayo

43. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2014/2015 Wizara kwa kushirikiana naMamlaka za Serikali za Mitaa na Sekta binafsiimeendelea kutekeleza mpango wa ruzuku yaasilimia 40 kwa dawa za kuogesha mifugoambapo lita 119,509 zenye kiini cha pareto naamitraz zilinunuliwa kwa thamani ya shilingi1,817,911,200 na kusambazwa katika Mikoa21 ya Tanzania Bara. Aidha, Wizara kwakushirikiana na sekta binafsi imechanjang’ombe 19,491 dhidi ya Ndigana kali katikamikoa ikiwemo Arusha, Dar es Salaam, Kagera,Kigoma, Kilimanjaro, Manyara, Morogoro,Mbeya, Pwani na Tanga.

Katika mwaka 2015/2016, Wizara kwakushirikiana na Mamlaka za Serikali za Mitaana wadau wengine itaendelea na utaratibu waruzuku ya dawa za kuogesha mifugo ambapoitanunua jumla ya lita 200,000 za viini vyapareto na amitraz zitakazotumika kuogeshamifugo 8,000,000. Aidha, Wizara itaendeleakuratibu na kutoa miongozo kwa Mamlaka za

Page 65: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

65

Serikali za Mitaa na wadau kuhusu ujenzi,ukarabati na uendeshaji wa majosho.

(ii) Udhibiti wa Mbung’o na Nagana

44. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2014/2015, Wizara imeendelea kusimamiautekelezaji wa udhibiti shirikishi na endelevu wambung’o kwa kutoa ushauri wa kitaalamukatika Mamlaka za Serikali za Mitaa nane (8) zaKilosa, Kisarawe, Monduli, Mpanda, Ngorongoro,Uvinza, Urambo na Serengeti. Aidha, udhibiti wambung’o katika ikolojia za Katavi, Serengeti,Kigoma, Tabora na Rukwa umeendeleakufanyika.

Katika mwaka 2015/2016, Wizara kwa kupitiaProgramu ya Umoja wa Afrika wa KuangamizaMbung’o na Ndorobo “Pan African Tsetse andTrypanosomiasis Eradication Campaign(PATTEC)” itatekeleza Mkakati wa KudhibitiMbung’o na Ndorobo kwa kununua vitendeakazi na kutoa ushauri wa kitaalam kuhusumbinu shirikishi na endelevu katika mikoa yaDodoma, Kagera, Katavi, Kigoma, Kilimanjaro,Mara, Pwani, Rukwa, Singida, Tabora na Tanga.

Page 66: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

66

Magonjwa ya Mifugo yanayoambukizaBinadamu

(i) Kichaa cha Mbwa

45. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2014/2015, Wizara kupitia Mradi waKutokomeza Kichaa cha Mbwa unaofadhiliwa naTaasisi ya Bill & Melinda Gates Foundation nakuratibiwa na Shirika la Afya Dunianiimeendelea kudhibiti Ugonjwa wa Kichaa chaMbwa katika mikoa ya Lindi, Mtwara, Pwani,Morogoro na Dar es Salaam kwa njia yakampeni; ambapo mbwa 81,830 na paka15,999 walichanjwa sawa na asilimia 79 yawaliolengwa kuchanjwa. Aidha, elimu kuhusuugonjwa huu na namna ya kujikinga iliendeleakutolewa kwenye maonyesho ya Nanenane naSiku ya Kichaa cha Mbwa Duniani.

Katika mwaka 2015/2016, Wizara itaendeleakutoa elimu na kusambaza chanjo ya kichaacha mbwa dozi 110,000 katika Mamlaka yaSerikali za Mitaa za Pwani, Lindi na Mtwara.

(ii) Homa ya Bonde la Ufa

46. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2014/2015, Wizara ilifuatilia viashiria namwenendo wa ugonjwa wa Homa ya Bonde laUfa ambapo kwa taarifa kutoka taasisi zakimataifa za “National Aeronautics and SpaceAdministration (NASA)”, Shirika la Afya ya

Page 67: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

67

Wanyama Duniani (OIE) na Shirika la Chakulana Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) ilioneshahatari ya kuwepo kwa mlipuko katika msimuhuu wa mvua. Kwa taarifa hiyo Wizaraimenunua na kusambaza dozi 163,000 zachanjo ya Homa ya Bonde la Ufa kwa ajili yakuchanja ng’ombe, kondoo na mbuzi kwenyemaeneo hatarishi ya mikoa ya Dodoma, Arusha,Manyara, Kagera, Simiyu, Geita, Mara, Mwanzana Shinyanga. Aidha, elimu kuhusu udhibiti waUgonjwa wa Homa ya Bonde la Ufa ulitolewakatika maonesho ya NaneNane ambapo jumla yavipeperushi 1,500 vilisambazwa.

Katika mwaka 2015/2016, Wizara kwakushirikiana na Ofisi ya Waziri Mkuu –TAMISEMI, Wizara za Afya na Ustawi wa Jamii,Maliasili na Utalii, na wadau wa kimataifawakiwemo WHO, NASA, OIE, FAO itaendeleakufuatilia mwenendo wa ugonjwa wa Homa yaBonde la Ufa na kuchukua tahadhari stahiki.Aidha, Wizara itanunua dozi 163,000 za chanjoHoma ya Bonde la Ufa ili kudhibiti ugonjwa huo.

(iii) Ugonjwa wa Kutupa Mimba (Brucellosis)47. Mheshimiwa Spika, katika mwaka

2014/2015, jumla ya ng’ombe 6,306 mbuzi120, kondoo na 80 walipimwa ugonjwa wakutupa mimba katika Wilaya za Bagamoyo,Kyela, Korogwe, Lushoto na Njombe ambapong’ombe 118 na mbuzi 6 walithibitika kuwa na

Page 68: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

68

ugonjwa huo na hatua stahiki zilichukuliwa.Aidha, Wizara kwa kushirikiana na Wizara yaAfya na Ustawi wa Jamii ilitoa elimu kwa ummakuhusu Ugonjwa wa Kutupa Mimba ikiwemojinsi ya kuutambua, madhara yake na kujikingakupitia mikutano ya hadhara na maoneshombalimbali ya Kitaifa.

Katika mwaka 2015/2016, Wizara kwakushirikiana na wadau wengine itaendeleakufuatilia, kuchunguza na kutoa elimu naushauri wa kitaalam katika mikoa ya Arusha,Kilimanjaro na Manyara ili kudhibiti Ugonjwawa Kutupa Mimba. Aidha, jumla ya sampuli6,000 za damu zitachukuliwa na kuchunguzwa.

Usalama wa Chakula kitokanacho na mifugo

48. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2014/2015, Wizara kwa kushirikiana na SektaBinafsi imetoa mafunzo kwa wafugaji 617kuhusu mbinu bora za uzalishaji na matumizisahihi ya dawa, chanjo, viuatilifu na kemikali zakuua vimelea (Disinfectants) ili kuzalisha mazaoyenye ubora na salama. Aidha, Wizara kwakushirikiana na Sekretariati ya Jumuiya yaAfrika Mashariki imeanza kuandaa Mpango waKudhibiti Sumu-kuvu (aflatoxins) kwenyevyakula vya mifugo kama pumba za mahindi,mashudu ya alizeti na pamba ili kuepusha

Page 69: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

69

mazao yatokanayo na mifugo hususan maziwana nyama.

Katika mwaka 2015/2016, Wizara kwakushirikiana na sekta binafsi itaendelea kutoamafunzo ya uzalishaji na matumizi sahihi yapembejeo za mifugo. Aidha, Wizara kwakushirikiana na Wizara za Kilimo, Chakula naUshirika na Mamlaka za Serikali za Mitaa,itatoa elimu ya mbinu za kuepuka sumu-kuvukwenye mazao yanayotumika katikautengenezaji wa vyakula vya mifugo.

Ukaguzi wa Mifugo na Mazao yake

49. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2014/2015, Wizara imeendelea kushirikiana naMamlaka za Serikali za Mitaa katika kukaguamifugo na mazao yake ili kulinda afya yawanyama na jamii. Ukaguzi huo umefanyikakatika machinjio mbalimbali hapa nchiniambapo jumla ya ng’ombe 406,238, mbuzi203,270, kondoo 66,113, kuku 1,723,582 nanguruwe 20,088 walikaguliwa kwa ajili ya sokola ndani ya nchi. Aidha, jumla ya ng’ombe1,013, mbuzi 1,118 na kondoo 95 walikaguliwana kuuzwa nje ya nchi wakiwa hai. Vilevile,Wizara kwa kushirikiana na FAO imetoamafunzo kwa wakaguzi 10 wa nyama kutokaMamlaka za Serikali za Mitaa yanayohusuusalama wa chakula kitokanacho na mifugo.

Page 70: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

70

Katika mwaka 2015/2016, Wizara itaendeleakusimamia na kufuatilia usalama wa chakula ilikulinda afya za walaji wa mazao ya mifugo nakukuza biashara ya mazao ya mifugo kimataifa.

Utambuzi, Usajili na Ufuatiliaji wa Mifugo

50. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2014/2015, Wizara kwa kushirikiana na FAOilikamilisha ujenzi na kuzindua Kanzidata(Mfumo wa Utambuzi wa Ki – elekroniki) yaUtambuzi na Ufuatiliaji wa Mifugo (TANLITS) nakutoa mafunzo kwa wataalamu wa mifugo 75.Aidha, Wizara iliwezesha utambuzi wa mifugo45,000 katika makundi ya wafugaji wa ng’ombewa asili ambapo jumla ya ng’ombe 13,054wametambuliwa kwa njia ya hereni katikaWilaya za Bagamoyo, Muheza na Kibaha nang’ombe 120,000 kwa njia ya chapa katikaWilaya za Karagwe na Morogoro. Aidha, mafunzoya utekelezaji wa mfumo wa Utambuzi naUfuatiliaji mifugo yalitolewa kwa wadau 98kutoka Mamlaka za Serikali za Mitaa 30.Vilevile, uhamasishaji wa umma kuhusu mfumowa TANLITS ulifanyika kupitia vipindi 12 vyaredio, kimoja cha runinga na vipeperushi namabango 3,000.

51. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2015/2016, Wizara itaendelea kuratibuutekelezaji wa mfumo wa utambuzi na ufuatiliaji

Page 71: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

71

mifugo kwa njia ya hereni kwa ng’ombe wamaziwa na ng’ombe wa nyama wafugwaokibiashara ambapo ng’ombe 100,000 nawafugaji 1,000 watatambuliwa. Aidha, utambuzikwa kutumia chapa na usajili wa wafugajiutasisitizwa utekelezwe na Mamlaka zote zaSerikali za Mitaa.

Uwekezaji katika Sekta ya Mifugo

52. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2014/2015 Sekta binafsi imeendelea kutumiafursa ya mazingira mazuri ya uwekezaji ambapowawekezaji wamewekeza katika ujenzi wamachinjio na viwanda vya kusindika nyama nakufanya idadi ya viwanda kuongezeka kutoka15 mwaka 2013/2014 hadi 25 mwaka2014/2015 (Jedwali Na. 1). Aidha, uwekezajikatika viwanda vya kusindika maziwaumeongezeka kutoka viwanda 74 mwaka2013/2014 hadi 82 mwaka 2014/2015 vyenyewastani wa kusindika lita 490,000 kwa siku(Jedwali Na. 7). Vilevile, uwekezaji katikausindikaji wa zao la ngozi umeongezeka kutokaviwanda 7 mwaka 2013/2014 hadi tisa (9)mwaka 2014/2015 vyenye uwezo wa kusindikangozi za ng’ombe vipande 4,634,000 na ngozi zambuzi na kondoo vipande 22,820,000 kwamwaka (Jedwali Na. 8).

Page 72: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

72

Katika mwaka 2015/2016, Wizara itahamasishasekta binafsi kuwekeza katika usindikaji wamazao ya mifugo kwa ajili ya kuongeza thamani,ajira, lishe na pato la Taifa kwa kuzingatiasheria na kanuni zilizopo.

4.6 Uendelezaji wa Sekta ya Uvuvi

Uvunaji wa Samaki na Uuzaji wa Mazao yaUvuvi

53. Mheshimiwa Spika, kwa kutambuaumuhimu wa Sekta ya Uvuvi katika kukuzauchumi, uhakika wa chakula, kuongeza kipato,ajira na kupunguza umaskini, Wizaraimeendelea kuhamasisha wavuvi na wadauwengine wa uvuvi kuhusu njia endelevu zauvunaji na matumizi ya rasilimali za uvuvi.Katika mwaka 2014/2015, Wizara ilitoa elimukuhusu mfumo wa usimamizi wa rasilimali zauvuvi unaozingatia Ikolojia na Mazingira kwaMaafisa Uvuvi 21 na wakusanyaji wa takwimuza uvuvi 94 katika Jiji la Tanga, Manispaa zaKinondoni, Temeke, Ilala, Kigoma Ujiji,Sumbawanga na Halmashauri za Mkinga,Pangani, Bagamoyo, Kilwa, Mafia, Mkuranga,Kigoma, Uvinza, Mpanda, Nkasi na Kalambo.Vilevile, mafunzo kuhusu mfumo mpya wauingizaji wa takwimu za mazaoyanayosafirishwa nje ya nchi na yanayoingizwanchini yalitolewa kwa Maafisa Uvuvi 6 kutoka

Page 73: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

73

Ukanda wa Ziwa Victoria. Elimu hiyo imesaidiakuboresha ukusanyaji, uchakataji, usambazajiwa takwimu na matumizi sahihi ya zana bora zauvuvi.

54. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2014/2015, Wizara ilifanya sensa ya uvuvikatika Ukanda wa Ziwa Victoria, matokeoyanaonesha kuwepo kwa wavuvi 103,540, zanaza uvuvi 7,483,529, vyombo vya uvuvi 29,154na injini za kupachika 9,416. Aidha, Ziwa linajumla ya mialo 642 ya kupokelea samaki, katiya mialo hiyo 25 imeboreshwa. Pia, Sensa yaUvuvi ilifanyika katika maziwa madogo ya Tlawi,Manyara, Burunge, Basuto, Eyasi, Babati naBwawa la Nyumba ya Mungu na matokeoyalionesha kuwepo kwa wavuvi 1,387, vyombovya Uvuvi 558, zana za uvuvi 1,695 na mialo20.

55. Mheshimiwa Spika, idadi ya wavuviimeongezeka kutoka 183,431 mwaka2013/2014 hadi wavuvi 183,800 mwaka2014/2015 sawa na ongezeko la asilimia 0.25.Aidha, vyombo vya Uvuvi vimepungua kwaasilimia 0.16 kutoka vyombo 57,385 mwaka2013/2014 hadi vyombo vya uvuvi 57,291mwaka 2014/2015. Jumla ya tani 369,827 zasamaki zinazokadiriwa kuwa na thamani yashilingi trilioni 1.4 zilivunwa mwaka2014/2015 ikilinganishwa na tani 367,854

Page 74: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

74

zenye thamani ya shilingi trilioni 1.3zilizovunwa mwaka 2013/2014 sawa naongezeko la asilimia 0.53 (Jedwali Na. 9a).

56. Mheshimiwa Spika, Wizara imeendeleakuratibu na kusimamia biashara ya samaki namazao ya uvuvi nje ya nchi kwa kuzingatiaviwango vya kitaifa, kimataifa na mahitajimaalum ya masoko. Katika mwaka 2014/2015,tani 43,354 za mazao ya uvuvi na samaki haiwa mapambo 42,100 ziliuzwa nje ya nchi nakuiingizia Serikali mrabaha (export royalty) washilingi bilioni 7.5 ikilinganishwa na tani38,574 na samaki hai wa mapambo 44,260zilizouzwa nje ya nchi mwaka 2013/2014 nakuiingizia Serikali kiasi cha shilingi bilioni 6.1(Jedwali Na. 9b).

57. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2015/2016, Wizara itaendelea kuratibu nakusimamia uvunaji na matumizi endelevu yarasilimali za uvuvi nchini. Aidha, Wizaraitaendelea kuhamasisha jamii za wavuvikusimamia, kuendeleza na kutunza rasilimali zauvuvi kwa kuzingatia mfumo wa ikolojia namazingira. Vilevile, Wizara itafanya sensa saba(7) za uvuvi na kufuatilia ukusanyaji,uchambuzi na utunzaji wa takwimu za uvuvikatika maeneo ya maji makubwa na madogo.

Page 75: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

75

Uwezeshaji Wavuvi na Wafugaji wa Samaki

58. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2014/2015, Wizara kwa kushirikiana naMamlaka za Serikali za Mitaa na Sekta binafsiimeendelea kusambaza kwa wadau teknolojia namatumizi sahihi ya miundombinu kuhusuuandaaji, uchakataji, usambazaji na uuzaji wamazao ya uvuvi yenye ubora na salama. Jumlaya wadau 374 wa uvuvi kutoka Mikoa ya Pwani,Bagamoyo (37), Mafia (35), Rufiji (35) Mkuranga(32) na Lindi katika wilaya ya Kilwa (39),Mwanza (43), Mara (97) na Rukwa (56)walinufaika na teknolojia na miundombinu hiyoambayo imewawezesha kuongeza thamani nakukidhi mahitaji ya soko.

59. Mheshimiwa Spika, kupitia ufadhili waProgramu ya SmartFish, Wizara iliwawezeshawachakataji saba (7) wa zao la dagaa kutokamikoa ya Dar es Salaam (3), Mwanza (3) naKagera (1) pamoja na Afisa Uvuvi (1) kushirikimaonesho ya kikanda ya mazao ya uvuviyaliyofanyika Entebbe Uganda. Wadau haowalipata fursa ya kujifunza mbinu mbalimbaliza uhifadhi na masoko ya mazao ya uvuvi.

60. Mheshimiwa Spika, Wizara imeendeleakushirikiana na Halmashauri mbalimbali katikakuboresha miundombinu na masoko ya mazaoya uvuvi. Katika Ukanda wa Ziwa Tanganyika

Page 76: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

76

jumla ya mialo minne (4) ya uvuvi ya Kibirizi(Kigoma-Ujiji), Muyobozi (Uvinza), Ikola(Mpanda) imekamilika na mwalo wa Kirando(Nkasi) ujenzi unakamilishwa. Aidha, Wizaraimewezesha soko la samaki la Kasanga kwakulipatia jenereta mbili za kuzalisha umeme nakuweka mfumo wa maji na umeme. KatikaUkanda wa Pwani, Wizara imekamilisha ujenziwa vibanda vya kuhifadhi mitambo ya barafukatika Halmashauri za Mafia (Kilindoni), Kilwa(Masoko pwani) na Rufiji (Nyamisati).

61. Mheshimiwa Spika, Wizara kwakushirikiana na Wizara ya Fedha na Benki yaDunia imeandaa Mradi wa Southwest IndianOcean Fisheries Governance and Shared GrowthProgramme (SWIOFish) unaotarajia kuanza Julai,2015. Mradi huu unalenga kuboresha fursa zakiuchumi, kijamii na mazingira miongoni mwajamii za wavuvi kutokana na rasilimali za uvuvikatika Bahari ya Hindi.

62. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2014/2015 vikundi 51 kutoka Mamlaka zaSerikali za Mitaa vimehakikiwa kwa ajili yakupatiwa ruzuku kwa ajili ya zana na pembejeoza uvuvi. Aidha, ruzuku hiyo itatolewa kwakufuata mwongozo ambapo wadau watachangiaasilimia 60 na Serikali kuchangia asilimia 40.Pia, wafugaji wa samaki watapata ruzuku yachakula cha samaki kwa bei nafuu ya shilingi

Page 77: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

77

500/= kwa kilo, sawa na punguzo la asilimia 84ya bei halisi kupitia vituo vya Wakala wa Elimuna Mafunzo ya Uvuvi - FETA vilivyoko Mbegani –Bagamoyo, Nyegezi – Mwanza, Kibirizi – Kigomana Mtwara.

63. Mheshimiwa Spika, katika juhudi zakuwawezesha wavuvi, Wizara kwa kushirikianana mifuko ya Hifadhi ya Jamii inahamasishawavuvi kujiunga na mifuko hii, ili kunufaika namafao na huduma mbalimbali zinazotolewa namifuko hiyo. Katika hatua za awali, Wizara naMfuko wa Hifadhi ya Taifa wa Jamii – NSSFwaliwekeana Makubaliano ya Utekelezajiujulikanao kama “WAVUVI SCHEME” ambapompaka sasa Mfuko umesajili jumla ya wavuvi1,234 katika Ukanda wa Ziwa Victoria. Lengolikiwa ni kusajili wavuvi 75,000 kwa Ukandahuo.

Katika mwaka 2015/2016, Wizara itaanzautekelezaji wa Mradi wa Southwest Indian OceanFisheries Governance and Shared GrowthProgramme – SWIOFish. Vilevile, Wizaraitaendelea kuwawezesha wavuvi wadogo kupitiamfumo wa ruzuku na kuhamasisha wavuvikujisajili na kujiunga katika Mifuko ya Hifadhiya Jamii ya Taifa ili wafaidike na hudumazinazotolewa na mifuko hiyo. Aidha, Wizaraitaendelea kutoa elimu kuhusu fursa zauwekezaji na matumizi endelevu ya rasilimali za

Page 78: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

78

uvuvi na kuhamasisha Sekta binafsi kuwekezakatika ujenzi wa viwanda vya kutengeneza botihususan za fibre na zana za uvuvizinazokubalika kisheria. Vilevile, wadau 400 wauvuvi watahamasishwa kuhusu uchakataji wasamaki na mazao yake na kuwezesha ujenzi wachanja za kuanikia samaki katika mwambao waUkanda wa Ziwa Tanganyika, Ziwa Victoria,Ziwa Nyasa na Bahari ya Hindi.

Ukuzaji wa Viumbe kwenye Maji

64. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2014/2015, jumla ya vifaranga vya samaki8,090,000 vimezalishwa na kusambazwa kwawafugaji wa samaki. Kati ya hivyo, vifaranga290,000 vimezalishwa katika vituo vya Serikalivya Kingolwira (Morogoro) 5,000, Luhira(Songea) 200,000, Mwamapuli (Igunga) 25,000na Mtama (Lindi) 60,000. Vilevile, vifaranga7,800,000 vimezalishwa katika vituo binafsi vyaEden Agri Aqua Services (Dar es Salaam)2,400,000, Faith Aquaculture Services (Pwani)1,800,000, Olive Enterprises (Pwani)1,200,000 na J & B Ruhanga Fish Culture Co.Ltd (Kagera) 2,400,000. Pia, shamba la ufugajiwa kambamiti la Alphakrust (Mafia) lilizalishavifaranga 11,000,000. Aidha, wadau 3,582wamehamasishwa na kupatiwa elimu ya ukuzajiviumbe kwenye maji. Kutokana na uhamasishajihuo, mabwawa yameongezeka kutoka 20,493

Page 79: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

79

mwaka 2013/2014 hadi 21,300 mwaka2014/2015 ambapo uzalishaji wa samakiumeongezeka kutoka tani 3,000 hadi tani3,118.

65. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2014/2015, Wizara imeendelea kuimarishaKituo cha Ukuzaji Viumbe kwenye Maji chaMwamapuli (Igunga) kwa kujenga matangi 16 yakutunza samaki wazazi na kukuzia vifaranga.Pia, miundombinu ya usambazaji maji na uziowa kuimarisha usalama wa kituo vimejengwa.Aidha, kitotolishi (hatchery) chenye uwezo wakuzalisha vifaranga 11,520,000 kwa mwakakimeimarishwa kwa kuwekewa vifaa vyakutotoleshea vifaranga vya samaki. Vilevile,kituo cha Kingolwira kimeimarishwa kwakujenga kitotolishi, kuchimba kisima kirefu nakukarabati mabwawa manne (4) na matangi 21ya kuzalishia vifaranga. Pia, kituo cha Luhirakimeimarishwa kwa kukarabati bwawa lenyeukubwa wa mita za mraba 14,600 nakupandikizwa samaki 56,000. Vilevile, kituocha Nyengedi (Lindi) kimeanzishwa kwakuchimba mabwawa manne (4), mtaro wakuingiza maji kwenye mabwawa pamoja nakujenga jengo kwa ajili ya ofisi.

66. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2014/2015, Kituo cha Machui kimeimarishwakwa kujengwa bwawa moja (1) lenye ukubwa wa

Page 80: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

80

mita za mraba 1,200 na kupandikiza samakiwazazi 1,000. Aidha, ukaguzi wa usalama naubora katika mashamba ya ukuzaji viumbekwenye maji umefanyika ambapo imebainikakuwa, sampuli zilizowasilishwa zipo katikaviwango vinavyokubalika. Uzalishaji waKambamiti wa kufuga umeongezeka kutoka tani320 zenye thamani ya shilingi bilioni 2.56mwaka 2013/2014 hadi tani 391 zenye thamaniya shilingi bilioni 3.2 mwaka 2014/2015 .Aidha,uvunaji wa Mwani umeongezeka kutoka tani179.3 zenye thamani ya shilingi 84,370,000mwaka 2013/2014 hadi tani 222.8 mwaka2014/2015 zenye thamani ya Shilingi133,200,000.

67. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2015/2016, Wizara itaendelea kuboreshaukuzaji wa viumbe kwenye maji kwa kutekelezayafuatayo:-

(i) Kuimarisha vituo 11 vya ufugaji wasamaki wa maji baridi kwa lengo lakuongeza uzalishaji wa vifarangamilioni 10 mwaka 2015/2016;

(ii) Kuendeleza vituo viwili (2) vyaMbegani na Machui vya ufugaji wasamaki wa maji bahari kwa lengo lakuongeza uzalishaji wa vifarangamilioni 3 mwaka 2015/2016;

Page 81: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

81

(iii) Kuandaa miongozo kwa ajili yamatumizi ya teknolojia mpyazinazoibuka pamoja na kuanishasamaki wengine wenye sifa zakufugwa;

(iv) Kufanya ufuatiliaji kwa ajili yakuzuia na kudhibiti magonjwa yaviumbe wakuzwao kwenye maji ilikuongeza thamani ya mazao; na

(v) Kuanzisha kituo cha ukuzaji viumbekwenye maji bahari Mtwara.

4.7 Utafiti, Mafunzo na Ugani waMifugo na Uvuvi

68. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2014/2015, Wizara imeimarisha miundombinuya utafiti wa mifugo na uvuvi kwa kuiwezeshaTALIRI kununua mashine mbili (2) za kukatianyasi kwa ajili ya mifugo, jembe la trekta (1)pamoja na Tela moja (1) na kukamilisha uwekajiwa miundombinu ya kusambaza umeme katikakituo cha West Kilimanjaro. Pia, TAFIRIimewezeshwa kununua magari mawili (2) ainaya “pick-up double cabin” na boti tano (5) ainaya “fibre glass” zenye injini za uwezo wa “HorsePower (HP)” 15 kila moja. Boti hizi zitaiwezeshaTAFIRI kufanya tafiti mbalimbali katika kinakifupi cha mito, maziwa na bahari.

Page 82: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

82

69. Mheshimiwa Spika, ili kuhakiki nakuratibu program za utafiti zinazoendana navipaumbele vya Taifa, katika mwaka2014/2015, Wizara imekamilisha uandaaji waAjenda ya Kitaifa ya Utafiti wa Mifugo (LivestockResearch Agenda) ambapo jumla ya nakala 500zilichapishwa na kusambazwa kwa wadau.Aidha, Wizara imekamilisha uandaaji wa Ajendaya Kitaifa ya Utafiti wa Uvuvi ambayo iko katikahatua ya uchapishaji.

70. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2014/2015, Wizara iliandaa mikakati yakutathmini, kuibua miradi mipya na kuboreshakiwango cha upatikanaji na usambazaji wamatokeo ya tafiti za mifugo na uvuvi kwa wadau.Aidha, Wizara kwa kushirikiana na FAO naUSAID ilifanya utafiti wa kuangalia mbari zambuzi wa asili ambapo jumla ya sampuli 131kutoka Wilaya za Arumeru, Babati, Mvomero,Ngorongoro na Siha zilikusanywa na kupelekwamaabara za Idara ya Kilimo ya Marekani (USDA)kwa uchunguzi zaidi.

71. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2014/2015, Wizara iliendelea kujenga uwezokwa watafiti ili kuongeza ufanisi wa utafitiunaokubalika Kimataifa, ambapo watafiti 37walipatiwa mafunzo ya kuibua na kuandikatungo za utafiti na machapisho. Aidha, mfumowa ukusanyaji, utunzaji na usambazaji wa

Page 83: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

83

taarifa za matokeo ya utafiti wa mifugo nchiniuliandaliwa ambapo jumla ya nakala 4,000 zavijitabu vya Ufugaji Bora wa Mbuzi wa Maziwa,Ufugaji Bora wa Nguruwe na Ukulima waMalisho vimeandaliwa, kati ya hivyo vijitabu2,000 vimesambazwa kwa wadau.

72. Mheshimiwa Spika, kutokana namabadiliko ya teknolojia mpya zinazohitajikakatika kuzalisha na kutunza mifugo, katikamwaka 2014/2015, Wizara imeandaa nakutekeleza Mpango wa Kurithisha Majukumukwa wataalam wa utafiti. Aidha, watafiti 31wanapatiwa mafunzo katika ngazi za shahada zauzamili (26) na uzamivu (5) ndani ya nchi.Katika kipindi hicho, jumla ya watumishiwatano (5) wameajiriwa.

73. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2015/2016, Wizara itaendelea kuratibu nakutathmini utafiti na huduma za utafiti namaendeleo ya ufugaji na uvuvi kulingana naprogram zake. Aidha, Wizara kwa kupitia Taasisiza utafiti na Wakala zake itaendelea kutathminimaeneo ya utafiti, kuibua miradi mipya nakuboresha kiwango cha upatikanaji nausambazaji wa matokeo ya tafiti za mifugo nauvuvi kwa wadau. Vilevile, Wizara itaendeleakuratibu tafiti za mifugo pamoja na kuimarishaushirikiano na mataifa mengine katika masualaya utafiti.

Page 84: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

84

Taasisi ya Utafiti wa Mifugo Tanzania(TALIRI)

74. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2014/2015, Wizara imeendelea kuimarishaTaasisi ya Utafiti wa Mifugo Tanzania (TALIRI)kwa kuboresha miundombinu, kuipatia vitendeakazi ikiwa ni pamoja na kununua tela (1) latrekta, jembe (1) la trekta, na mashine (2) zakukatia malisho yaani (Mower) kwa ajili ya vituovya Mpwapwa, Kongwa, Uyole na WestKilimanjaro na kupatiwa rasilimali watu. Aidha,Taasisi imekamilisha Muundo wa Utumishi naMkakati wa Kibiashara na inaendelea kupitiaKanuni za Fedha na Kanuni za Utumishi ilikuboresha utendaji wake kwa mujibu wa SheriaNa. 4 ya mwaka 2012 iliyounda TALIRI.

75. Mheshimiwa Spika, katika kipindihicho, TALIRI imeendelea kutekeleza jumla yamiradi 59 ya utafiti kupitia vituo vyake saba (7)vya Mpwapwa, Tanga, Uyole, West Kilimanjaro,Kongwa, Mabuki na Naliendele. Kati ya miradihiyo, 15 ni utafiti wa tasnia ya maziwa, 12 nitasnia ya nyama, 6 ni utafiti wa mbuzi nakondoo, 15 ni uendelezaji wa malisho na 11kuku na nguruwe. Aidha, TALIRI kwakushirikiana na Chuo Kikuu cha Sokoine chaKilimo (SUA) imezalisha ng’ombe 6 aina ya

Page 85: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

85

Bonsmara kwa kutumia Tekonolojia yaUhawilishaji wa Viini Tete (MOET). Majaribiohaya ya awali ya Uhawilishaji yamedhihirishakuwa mbari za mifugo bora zinawezakupatikana kwa njia hii pia na kwa kuhusishamifugo iliyopo katika mazingira ya nchi yetu.

Usambazaji wa mifugo bora

76. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2014/2015, TALIRI imesambaza jumla yang’ombe 131 aina ya Mpwapwa yakiwemomadume 51 na majike 80. Ng’ombe haowalisambazwa katika maeneo ya Chamwino(madume 4, jike 1), Dar es Salaam (Madume 13,majike 12), Dodoma (Madume 10, Majike 4),Kibaha (Madume 3, Majike 4), Kongwa (Madume11, majike 5), Nyamagana (Majike 2), Mpwapwa(madume 10, majike 15), Manyoni (dume 1),Musoma (majike 2, madume 10) na Ngorongoro(madume 4, majike 18) kwa ajili ya kuzalishamifugo bora na kuboresha ng’ombe wa asili.Aidha, taasisi imeendelea kutunza ng’ombe1,987, katika vituo vyake kwa ajili ya utafiti kwalengo la kuzalisha na kusambaza matokeo yatafiti. Vile vile, madume 4 yalipelekwa NAIC-Arusha kwa ajili ya kuzalisha mbegu bora zauhimilishaji. Pia, jumla ya ng’ombe bora 26(madume 24, majike 2) wa maziwa aina yaFriesian walisambazwa katika Halmashauri zaRungwe (madume 8, majike 2), Mbozi (madume

Page 86: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

86

4), Jiji la Mbeya (madume 6); Mbeya (madume 3)na Mufindi (madume 3).

77. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2014/2015 jumla ya mbuzi bora 114walisambazwa kwa wafugaji kwa ajili yakuongeza uzalishaji katika maeneo ya Kibaha(36); Kongwa (34); Dar es Salaam (2); Tanga (2);Newala (14);Bahi (10); Dodoma (4); Chamwino(2); Kinondoni (8) na Mpwapwa (2). Vilevile,jumla ya nguruwe 127 kutoka katika kituo chaTALIRI-Mpwapwa walioboreshwa (madume 45na majike 82) walisambazwa kwa wafugajikatika maeneo ya Mpwapwa (madume 11,Majike 25), Kongwa (Madume 5, Majike 25) naChamwino (madume 29, majike 32). Aidha,jumla nguruwe 140 walioboreshwa kutokakatika kituo cha TALIRI-Uyole (madume 61,majike 79) walisambazwa katika Halmashauriza Makete (madume 2, majike 9); Jiji la Mbeya(madume 6, majike 6); Mbeya (madume 4,majike 2); Njombe Mji (madume 20, majike 24);Njombe (madume 3, majike 4); Wanging’ombe(madume 5, majike 4); Mbozi (madume 5,majike 3) na Rungwe (madume 17, majike 26).

78. Mheshimiwa Spika, katika jitihada zakubuni na kusambaza teknolojia za uzalishajiwa kuku wa asili, Taasisi imeendelea kutunzana kuhifadhi kosaafu za kuku wa asili ilikutathimini uwezo wao wa ukuaji na uzalishaji,

Page 87: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

87

ambapo jumla ya kuku wa asili 650 waliendeleakutunzwa katika vituo vya TALIRI- Mpwapwa,Uyole, Naliendele na Tanga. Aidha, Utafitiumeonyesha kuwa kuku aina ya Horasi,Kishingo na Kuchi wana uwezo wa kutaga mayai12-14 kwa mtago; kuku aina ya Katewa 18-20;kuku aina ya Mandendega 16-17 na kuku ainaya Logashi na Sasamala (Frizzled) mayai 10-12kwa mtago.

79. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2014/2015, TALIRI iliendesha mafunzo yaufugaji bora ambapo wafugaji wa nguruwe 150kutoka Halmashauri za Njombe na Rungwewalipata mafunzo ya ulishaji wa nguruwe ilikuongeza tija ya uzalishaji. Matokeo ya tathminiyameonyesha kuwa asilimia 53 ya wafugaji wanguruwe katika Halmashauri za Njombe naRungwe wamepokea teknolojia za ufugaji borawa nguruwe. Aidha, jumla ya wafugaji wanguruwe 35 kutoka katika Halmashauri zaNjombe (19) na Rungwe (16) walipata sifa zakupewa madume bora ya nguruwe katikaawamu ya pili ya usambazaji iliyotekelezwakatika miezi ya Novemba na Desemba, 2014.Vilevile, Wafugaji 50 kutoka Halmashauri zaMagu, Mpwapwa na Misungwi walipatamafunzo ya njia bora za uboreshaji na uhifadhiwa malisho ya Mifugo. Pia, wafugaji 117 kutokaHalmashauri za Bagamoyo (55) na Muheza (62)walipata mafunzo juu ya kuongeza thamani ya

Page 88: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

88

maziwa na njia bora ya ulishaji ng’ombe wamaziwa. Vilevile, kituo cha Mdaula chakusindika maziwa kiliboreshwa ambapomiundombinu ya kusindika maziwa imejengwa.

80. Mheshimiwa Spika, ili kukabiliana nauhaba wa watumishi, watumishi wapya 13wameajiriwa wakiwemo watafiti (6), maafisaugavi (2), watunza kumbukumbu watatu (3),fundi sanifu wa maabara (1) na mhasibu (1).Aidha, jumla ya watafiti saba (7) wamepatashahada za uzamili katika nyanja za taalumambalimbali za utafiti wa mifugo. Pia, watafiti 17wanaendelea na masomo ya shahada zauzamivu (9) na uzamili (7) na shahada yakwanza (1). Vilevile, Wanafunzi wawili (2) washahada ya uzamili wanaendelea na masomoyao chini ya ufadhili wa EAAPP.

Utafiti wa malisho ya Mifugo

81. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2014/2015 TALIRI iliendelea na tafiti zenyelengo la kujumuisha malisho bora katikamifumo ya uzalishaji na ikolojia mbalimbali nailihusisha jumla ya wafugaji 264 kutokaHalmashauri za Misungwi, Magu, Kilwa naLushoto. Aidha, Taasisi iliendelea kuhifadhi nakufuatilia ubora wa vinasaba 83 vya malishokatika benki zake za vinasaba za TALIRI Tanga,Uyole, Mpwapwa na Mabuki.

Page 89: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

89

Katika kipindi hicho, marobota 67,329 yamalisho ya mifugo yalivunwa katika vituo vyaMpwapwa (33,465); Uyole (9,000); Kongwa(1,500); Tanga (20,000); Mabuki (600) na WestKilimanjaro (2,764). Aidha, kilogramu 35,000za vishina vya malisho na kilogramu 3,160 zambegu za malisho aina ya nyasi zimesambazwakwa wafugaji.

82. Mheshimiwa Spika, Taasisi ya Utafitiwa Mifugo Tanzania kwa kushirikiana na Taasisiya Kimataifa ya Utafiti wa Mifugo (ILRI) na ChuoKikuu cha Sayansi na Teknolojia cha NelsonMandela (NM-AIST) inatekeleza mradi wa miakamiwili (2) kuanzia 2015-2017 wenye lengo lakuongeza ufanisi katika uzalishaji na tija yang’ombe wa maziwa. Pia, Taasisi kwakushirikiana na SUA na ILRI imekamilishaandiko la Mradi wa uboreshaji wa kuku wa asiliunaoanza kutekelezwa katika Nchi za Tanzania,Ethiopia na Nigeria. Miradi hii inafadhiliwa naTaasisi ya Bill and Melinda Gates Foundation.Vilevile, TALIRI kwa kushirikiana na watafitikutoka nchi za Msumbuji na Zambiawanatekeleza miradi yenye lengo la kuongezatija katika uzalishaji wa kuku wa asili na mradiwa ukusanyaji na usindikaji wa maziwa ilikuongeza kipato na uhakika wa chakula. Miradihii inafadhiliwa na Umoja wa Nchi za Ulaya (EU)kupitia Kituo cha Kimataifa cha Kuratibu Utafiti

Page 90: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

90

wa Kilimo Kusini mwa Afrika (Center forCoordination of Agricultural Research andDevelopment in Southern Africa (CCARDESA)).

83. Mheshimiwa Spika, Katika mwaka2015/2016, Wizara itaendelea kuimarishautafiti wa mifugo kwa kuboresha miundombinuya mashamba ya vituo vya TALIRI, kuvipatiavitendea kazi pamoja na kuboresha mazingira yakufanyia kazi kwa watumishi. Aidha, kwakushirikiana na wadau wa utafiti wa ndani nanje ya nchi, TALIRI itaendelea kutekeleza miradiya utafiti wa mifugo na malisho kwa lengo lakuongeza tija katika uzalishaji wa nyama,maziwa, mayai na mazao mengine ya mifugo ilikuboresha lishe, kipato na usalama wa chakula.

Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi Tanzania (TAFIRI)

84. Mheshimiwa Spika, Katika mwaka2014/2015, Wizara imeendelea kuimarishaTaasisi ya Utafiti wa Uvuvi kwa lengo lakundeleza sekta ya Uvuvi. Taasisi imeendeleakufanya utafiti na kuishauri Serikali na wadauwa uvuvi kuhusu hali ya rasilimali za uvuvi najinsi ya kuzihifadhi na kuzivuna kwa uendelevu.Ushauri huo umetolewa kupitia tafitimbalimbali, ikiwemo tathmini ya uwingi wasamaki aina ya sangara (Hydro-acoustic survey)katika Ziwa Victoria ambapo matokeoyanaonesha kiasi cha Sangara Ziwa Victoria

Page 91: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

91

kuongezeka kwa kipimo cha uwingi (biomass)kutoka tani 939,724 mwaka 2011 mpaka tani1,230,436 mwaka 2014 kutokana na kuimarikakwa udhibiti wa matumizi ya rasilimali za uvuvi.Aidha, uwingi wa dagaa umeongezeka na wajamii za furu umeshuka kutokana na ongezekola sangara ambao chakula chao ni furu.

85. Mheshimiwa Spika, ili kulinda mazaliaya samaki, TAFIRI kwa kushirikiana na wadaumbalimbali kupitia ufadhili wa LVEMP IIinatekeleza mradi wa uhifadhi wa Ghuba yaNyegezi ili kuboresha Bioanuwai ya eneo hilo naZiwa Victoria kwa ujumla. Aidha, tathmini yaathari kwenye Mazingira (EIA) na Uchumi-Jamiikatika mradi huu ilifanyika na kuoneshakwamba eneo hilo ni mojawapo ya mazalia yasamaki na hivyo linafaa kuhifadhiwa kama eneotengefu kwa ajili ya mazalia na makulia yasamaki na pia kwa utalii wa mazingira nautafiti.

86. Mheshimiwa Spika, Utafiti kuangaliamavuno ya samaki (catch assessment) namadhara ya minyoo (Ligula intestinalis) kwaDagaa katika Ziwa Nyasa unaendelea. Utafitihuu utasaidia kujua kiasi cha samakikinachopatikana kwa wavuvi na kuanishamadhara ya minyoo katika Dagaa. Tafiti hizizitasaidia kuimarisha mpango wa kutunzarasilimali za Ziwa Nyasa kwa uvuvi endelevu.

Page 92: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

92

Vilevile, Utafiti kuangalia jiolojia nasedimentolojia pamoja na ufuatiliaji waunadhifu na ubora wa maji (Monitoring of thewater quality) ya Ziwa Tanganyika unaendelea.Utafiti huu utasaidia kuelewa hali ya ziwa hivyokuwezesha utunzaji wa bioanuwai ipatikanayokatika ziwa hilo kwa uvuvi endelevu. Pia, Utafitiuliofanyika katika Bwawa la Nyumba ya Mungu(BNM) kwa kushirikiana na watafiti toka ChuoKikuu cha Bern, Switzerland umeonesha kuwaSato (Nile tilapia) ambao hawakuwepo katikaBNM kwa sasa wanapatikana kwa wingi.Kutokana na matatizo ya kiikolojiayaliyopatikana baada ya Sato kupandikizwaZiwa Victoria ambapo Perege aina yaOreochromis esculenta walipotea, hali hii inaletashaka kwa O. esculenta wa BNM. Wizara kwakushirikiana na TAFIRI itaendelea kufuatilia haliya Sato na Perege katika BNM ili kuwezakutunza aina zote za samaki kwa manufaa yawavuvi wa bwawa hilo.

87. Mheshimiwa Spika, Utafiti mwingineuliofanyika katika Ziwa Masoko ambalo ni Ziwala Kreta (Rungwe) umeonesha kuwa ziwa hililina bioanuwai kubwa ya samaki. Aidha,sampuli za samaki aina ya Furu na Satozimepelekwa Uingereza kwa ajili ya kufanyiwauchunguzi wa vinasaba. Tafiti hii itasaidia kujuabioanuwai ya samaki katika maziwa ya Kretayaliyo katika Bonde la Ziwa Nyasa. Maziwa haya

Page 93: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

93

ni muhimu katika kutunza vinasaba vya samaki(Gene Bank), utalii wa kiikolojia (eco-tourism) nautafiti.

88. Mheshimiwa Spika, TAFIRI imeendeleakufanya tafiti kwa kushirikiana na wafugaji wasamaki wa Mikoa ya Morogoro, Mwanza, Mara,Kagera, Arusha, Iringa, Ruvuma, Mbeya na Dares Salaam ili kuboresha ufugaji wao uwe wa tija.Tafiti hizo zililenga utengenezaji wa vyakula boravya samaki kwa kutumia malighafi zipatikanazokaribu na wafugaji, uzalishaji mbegu (vifaranga)bora vya samaki na ufugaji wa mfumo wa msetounaojumuisha samaki, kilimo cha mbogambogana kuku. Vilevile, TAFIRI imeendelea nauzalishaji wa mbegu bora za samaki kwakushirikisha wafugaji wa samaki. Uzalishaji huuumefanyika katika eneo la Mwakalima(Misungwi) na vifaranga 7,000 vya kambalevimezalishwa na kusambazwa. Aidha, Taasisikwa kushirikiana na wafugaji wa samaki waNyasoro (Rorya) inaendelea na ujenzi wakitotoleshi cha kuzalishia vifaranga vya Kambaleili kuwasaidia wafugaji kuongeza kipato kwakuuza vifaranga.

89. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2014/2015, Taasisi pia imeendelea naukusanyaji wa Takwimu za uvuvi wa pwezakatika mialo ya Tanga, Mtwara na Pwani kwalengo la kupata hali halisi ya nguvu ya uvuvi wa

Page 94: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

94

Pweza, aina ya Pweza wapatikanao na Biolojiayao. Takwimu hizi zitasaidia kuimarishampango wa kuwatunza kwa uvuvi endelevu. Piatakwimu zitasaidia katika "certification" yaPweza wapatikanao Tanzania ili kuimarishasoko lao na kukuza uchumi wa Taifa. Aidha,majaribio ya ukaushaji dagaa kwa kushirikianana wavuvi wa dagaa katika Ziwa Nyasayanaendelea, ambapo tathimini ya kimaabara yaviinilishe vya dagaa waliokaushwa kwa juakutumia jiko la solar, vichanja na ardhiniimefanyika. Matokeo ya awali yanaonesha kuwaviinilishe katika dagaa waliokaushwa kwa jiko lasolar ni bora kuliko aina nyingine ya ukaushaji.Matokeo ya utafiti huu yatasaidia jamii zawavuvi walio katika Ziwa Nyasa kupunguzauharibifu wa samaki baada ya mavuno ambaloni tatizo kubwa linaloshusha mapato ya wavuvi.

90. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2014/2015, Taasisi imetoa matokeo ya tafitizake kwa Serikali na wadau wa uvuvi kupitiamakongamano, mikutano, warsha, vyombo vyahabari kama vile luninga, magazeti, vipeperushi,machapisho katika majarida ya kisayansi, nasikukuu za kitaifa kama Mei Mosi, Nane Nane,Siku ya Mvuvi Duniani na Wiki ya Utumishi.

91. Mheshimiwa Spika, Taasisi imewawezeshajumla ya wafanyakazi 27 kuendelea na mafunzokatika ngazi ya shahada ya uzamivu 18, uzamili

Page 95: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

95

8 na ya kwanza 1 kwa ufadhili wa Serikalikupitia COSTECH na wafadhili wa nje. Katikakipindi hicho, wafanyakazi 7 walihitimumafunzo ya shahada za uzamivu mmoja (1),uzamili wanne (4) na ya kwanza wawili (2).Vilevile, katika kipindi tajwa wafanyakazi 15walihudhuria mafunzo ya muda mfupi katikafani mbalimbali nchini na nje ya nchi. Taasisiimewezeshwa kununua magari mawili (2) ainaya “Toyota pick-up double cabin” na boti tano (5)aina ya “fibre” zenye injini za uwezo wa nguvu zafarasi 15 kila moja kwa vituo vyake vinne (4) vyaDar es Salaam, Mwanza, Kigoma na Kyela,pamoja na kituo kidogo cha Sota, Rorya. Botihizi zitaiwezesha TAFIRI kufanya tafitimbalimbali katika kina kifupi cha mito, maziwana bahari. Pia, boti moja aina ya "rubber dingy"na vifaa vya uzamiaji vimenunuliwa kwa ajili yakituo cha Kyela.

92. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2015/2016 TAFIRI kwa kushirikiana na wadauwengine wa uvuvi itaendelea na tafiti za samakina mazingira katika maziwa makuu (Victoria,Tanganyika na Nyasa), maziwa ya kati (Rukwa,Kitangiri na Eyasi), maziwa madogo, mito naBahari ya Hindi; kufanya utafiti wa ufugajisamaki hasa katika maeneo yaliyo nachangamoto kama vile upatikanaji wa mbegubora, vyakula bora vya samaki na teknolojiabora ya ufugaji katika maeneo tofauti; kufanya

Page 96: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

96

utafiti wa kupunguza uharibifu wa mazao yasamaki baada ya uvunaji; kuimarishamiundombinu ya Taasisi kwa kujenga ofisi namaabara ya kituo cha Dar es Salaam na Sota,kukarabati na kununua vitendea kazi vyakitafiti pamoja na vifaa vya maabara kwa vituovyake vinne vya Dar es Salaam, Mwanza,Kigoma na Kyela, pamoja na kituo kituo kidogocha Sota (Rorya) na Makao Makuu. AidhaTaasisi itaendelea kusambaza taarifa za kitafitikwa wadau mbalimbali wa uvuvi.

Wakala wa Maabara ya Veterinari Tanzania(Tanzania Veterinary Laboratory Agency-TVLA)

93. Mheshimiwa Spika, Wakala waMaabara ya Veterinari Tanzania (TVLA)umeendelea kufanya utambuzi na uchunguzi wamagonjwa kwenye sampuli za mifugo,wanyamapori na ndegepori kupitia maabarazake za Dar es Salaam, Arusha, Mwanza,Tabora, Dodoma, Iringa na Mtwara. Katikamwaka 2014/2015 TVLA imepokea katikamaabara zake jumla ya sampuli 6,909 kwa ajiliya ufuatiliaji wa mienendo ya magonjwa yawanyama hapa nchini. Magonjwayaliyotambuliwa ni pamoja na;- kwa ngómbe-Ugonjwa wa Kutupa Mimba (353), Ndigana Kali(31), Ndigana Baridi (45), Minyoo (16), Kimeta(8); Sotoka ya Mbuzi na Kondoo (99), Homa ya

Page 97: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

97

Mapafu ya Mbuzi (10); Kichaa cha Mbwa (22);Kuku- Minyoo (529), Mdondo (332), Gumboro(73), Kuhara (320) na Kuhara Damu (669); naNdege Pori- Mdondo (30).

94. Mheshimiwa Spika, Taasisi ya uzalishajiwa chanjo (TVI) Kibaha imeendelea kuzalishachanjo dhidi ya ugonjwa wa mdondo wa kukuambao bado unaongoza kwa kuua kuku wengiwa asili katika sehemu nyingi za nchi yetu.Katika mwaka 2014/2015 jumla ya dozi24,500,000 za chanjo ya mdondo zimezalishwana kusambazwa kwa wafugaji wa kuku katikaHalmashauri zote hapa nchini. Chanjo hiiimeonesha mafanikio makubwa ya kuzuia vifokwa asilimia 95 kwa wafugaji wanaotumiachanjo hii katika mikoa ambayo imekuwaikichanja kuku kwa kampeni hususan mikoa yaSingida, Iringa, Njombe, Mbeya na Ruvuma.

95. Mheshimiwa Spika, Maabara kuu yaMifugo, Temeke imeendelea kufanya uhakiki waubora wa vyakula vya mifugo vinavyozalishwana kutumiwa na wafugaji hapa nchini. Katikamwaka 2014/2015 jumla ya sampuli 1,644 zavyakula vya mifugo kutoka katika makampunina wafugaji zilifanyiwa uhakiki. Katika uhakikihuo, asilimia 92 ya vyakula hivyo vilikuwa naviwango vya ubora unaotakiwa na sampulichache zilionekana kuwa na upungufu waprotini, nguvu, wanga na unyevu mwingi. Aidha,

Page 98: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

98

Watengenezaji wa vyakula walishauriwakuzingatia kanuni za uzalishaji wa vyakula boravya mifugo.

96. Mheshimiwa Spika, TVLA imeendeleakukamilisha vigezo vya kupata ithibati yakimataifa kwa mujibu wa viwango vya kimataifavya umahiri wa maabara (ISO 17025). Katikakutekeleza hilo, Wakala umewezesha mafunzoya ndani kwa watumishi wa maabara,umekarabati maabara na kununua vifaa navitendanishi vinavyotumika kwenye teknolojiaza uchunguzi wa magonjwa na uhakiki waubora wa vyakula vya mifugo zinazokusudiwakupatiwa ithibati. Aidha, mtaalamu mwelekeziamefanya tathmini ya awali ya ukamilishaji wavigezo katika maabara kuu ya mifugo, Temekena taarifa inaonesha kuwa Wakala umekidhivigezo vingi vinavyohitajika.

97. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2015/2016, TVLA itaendelea kufanya kazi yautambuzi, uchunguzi na utafiti wa magonjwa yamifugo na kuimarisha vituo vyake kwakuvikarabati na kuvipatia vitendea kazi. Aidha,itaendelea kuzalisha na kusambaza dozi milioni100 za chanjo ya Mdondo, dozi 500,000 zachanjo ya Kimeta na dozi 500,000 za chanjo yaChambavu. Pia, itaweka mikakati ya kuzalishazaidi chanjo ya mdondo na kuuza katika nchijirani ili kuongeza mapato. Vilevile, itaendelea

Page 99: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

99

kufanya uhakiki wa vyakula vya mifugovinavyozalishwa na kutoa ushauri stahiki kwawazalishaji na wafugaji na itakamilisha taratibuza kupata ithibati ya ISO 17025.

Mafunzo katika Vyuo vya Mifugo na Uvuvi

Wakala wa Elimu na Mafunzo ya Uvuvi(Fisheries Education and Training Agency -FETA)

98. Mheshimiwa Spika, Wizara imeendeleakuimarisha Wakala wa Elimu na Mafunzo yaUvuvi (FETA) kutoa mafunzo ya wataalam katikasekta ya uvuvi ambapo udahili wa wanachuo waKozi za astashahada na stashahadaumeongezeka kutoka 1,073 mwaka 2013/2014hadi kufikia 1,180 kwa mwaka 2014/2015.Aidha, Wakala umeendesha mafunzo ya Kozifupi kwa maafisa ugani na wavuvi wapatao1,390 nchini, ikiwa ni pamoja na wavuvi 100kutoka Tanzania bara (50) na Zanzibar (50)waliopatiwa mafunzo maalumu ya mbinu zakuvua katika bahari kuu (Deep Sea Fishing).Vilevile, FETA imetoa mafunzo ya kozi za uvuvikwa maafisa uvuvi 122 kutoka nchi za Uganda,Kenya, Burundi, Rwanda na Somalia.

99. Mheshimiwa Spika, Wizara kupitiaFETA imeendelea kuongeza udahili wawanafunzi kwa kuimarisha miundombinu na

Page 100: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

100

kupanua Kampasi za FETA za Mbegani(Bagamoyo), Nyegezi (Mwanza), Kibirizi (Kigoma),Mikindani (Mtwara) na Gabimori (Rorya). Aidha,madarasa (4) yamejengwa katika vituo vyaMwanza South (Mwanza) (2) na Mikindani(Mtwara) (2). Vilevile, wakufunzi 10 wamehitimumasomo ya Shahada za Uzamili na 12wanaendelea na masomo ya shahada ya uzamilina mmoja (1) ameanza masomo ya Shahada yaUzamivu nchini Ujerumani. Katika kipindi hikiwatumishi 15 wameajiriwa wakiwemowakufunzi nane (8).

100. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2015/2016, Wizara itaendelea kuiwezesha FETAkutekeleza majukumu yake ikiwa ni pamoja nakuongeza udahili wa wanafunzi wa astashahadana stashahada kutoka 1,180 hadi 1,500;kukamilisha ujenzi wa vituo vya Gabimori naMtwara Mikindani na kukarabati Kampasi zaNyegezi, Mbegani na Kigoma. Aidha, kituo kipyacha Mbamba Bay kitaanzishwa.

Wakala wa Vyuo vya Mafunzo ya Mifugo(Livestock Training Agency - LITA)

101. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2014/2015, Wizara imewezesha Wakala waVyuo vya Mafunzo ya Mifugo (LITA) kuongezaudahili wa wanafunzi kutoka 2,215 hadi 2,451(Stashahada 988 na Astashahada 1,463). Kati

Page 101: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

101

ya hao, 1,612 watamaliza mafunzo yao mweziJuni 2015 wakiwemo 737 wa Stashahada na875 wa Astashahada. Aidha, watumishi 42wanaendelea na mafunzo katika ngazi yaShahada za Uzamivu watatu (3), Uzamili 16, yaKwanza 19 na Stashahada wanne (4). Pia,Wizara imekamilisha Mwongozo wa KutoaMafunzo ya Mifugo (Livestock TrainingGuidelines) kwa ajili ya vyuo vyote nchini.

102. Mheshimiwa Spika, Wizara imeendeleakuhamasisha sekta binafsi kuanzisha vyuo vyamifugo ambapo hadi sasa jumla ya vyuo vyamafunzo ya mifugo 21 vinavyotoa mafunzokatika ngazi ya astashahada na stashahadavimeanzishwa. Kati ya hivyo, vyuo vitano (5)vimetambuliwa na Bazara la Veterinari Tanzaniana 16 vipo katika hatua ya kusajiliwa ambapovyote vimepata ithibati ya NACTE. Vyuo hivyovimedahili jumla ya wanafunzi 534 wastashahada na astashahada. Aidha, Wakalaumejenga madarasa matatu (3) katika Kampasiza Temeke, Mabuki na Kikulula, kukarabatimabweni manne (4) katika kampasi ya Tengeruna Buhuri na kununua vitendea kazi vikiwemomadawati 30, kompyuta saba (7) na solarpanel 24.

Aidha, LITA imeendesha mafunzo ya mudamfupi kwa wafugaji na wadau wengine kuhusuafya na uzalishaji wa mifugo, ufugaji bora wa

Page 102: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

102

ng’ombe wa maziwa, usindikaji wa maziwa,ufugaji bora wa nguruwe na kuku wa asili.

103. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2015/2016, Wizara itaendelea kuiwezeshaWakala kutekeleza majukumu yake nakuongeza udahili wa wanafunzi kutoka 2,451kufikia 2,500. Aidha, wakala itahuisha nakuboresha mitaala ya muda mrefu na mfupi,kuandika vitabu vya kiada na rejea kwamafunzo ya afya na uzalishaji wa mifugo nakutoa mafunzo ya mbinu za utafiti na kuandikamiradi kwa wakufunzi 12. Vilevile, wakala itatoamafunzo ya muda mfupi kwa watumishi nakuwezesha mafunzo ya ufugaji kibiashara kwavijana ili waweze kujiajiri na itaandaa sera yaudhibiti wa majanga.

Huduma za Ugani za Mifugo na Uvuvi

104. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2014/2015, Wizara iliandaa, kuratibu nakushiriki katika maonesho mbalimbali ya kitaifakwa lengo la kuongeza elimu kwa wafugaji nawavuvi. Aidha, jumla ya wadau 862 walipatiwaelimu juu ya ufugaji bora wa ng’ombe, uvuviendelevu na ufugaji bora wa samaki kupitiamaadhimisho ya Sikukuu ya WakulimaNanenane yaliyofanyika kitaifa mkoani Lindi.Vilevile, maadhimisho ya Siku ya Mvuvi Dunianiyalifanyika Mkoani Kagera ambapo jumla ya

Page 103: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

103

wadau 1,428 walipatiwa elimu ya uvuviendelevu na ufugaji bora wa samaki.

105. Mheshimiwa Spika, Wizara kwakushirikiana na Mamlaka za Serikali za Mitaa,Mashirika Yasiyo ya Kiserikali na Bodi za Nyamana Maziwa imeendelea kusimamia na kuratibuutoaji wa huduma za ugani kwa wafugaji,wavuvi na wakuzaji viumbe kwenye maji kwalengo la kuongeza lishe, kipato na ajira kwavijana. Huduma hizi zimetolewa kwa kuzingatiaviwango vya ubora wa mazao ya mifugo na uvuvikulingana na mahitaji ya soko.

106. Mheshimiwa Spika, Wizara imeongezaidadi ya wagani wa mifugo kutoka 6,041 mwaka2013/2014 hadi 8,541 mwaka 2014/2015 katiya 17,325 wanaohitajika. Idadi ya wagani wauvuvi imeongezeka kutoka 510 mwaka2013/2014 hadi 664 mwaka 2014/2015 kati ya16,000 wanaohitajika. Aidha, jumla ya wafugaji9,016 na wavuvi 6,800 wamepata elimu juu yaufugaji wa kisasa na uvuvi endelevu. Pia,maafisa ugani wa mifugo 150 na uvuvi 47walipatiwa mafunzo kuhusu mbinu bora zautoaji huduma za ugani. Vilevile, wafugaji 15 wang’ombe wa maziwa kupitia Mradi wa EAAPPwalipata ziara ya mafunzo Naivasha, Kenya.

107. Mheshimiwa Spika, kazi nyinginezilizotekelezwa na Wizara ni pamoja na kuandaa

Page 104: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

104

na kurusha hewani vipindi 28 vya redio na 48vya luninga juu ya ufugaji, ukuzaji viumbekwenye maji na uvuvi endelevu. Aidha, jumla yanakala 14,500 za vijitabu viliandaliwa nakusambazwa kwa wadau, kati ya vijitabu hivyonakala 1,000 ni za Mwongozo wa Huduma zaUgani, 2,000 ni za Kanuni za Ufugaji Bora na11,500 ni za Ufugaji Bora wa Ng’ombe waMaziwa na Ufugaji Bora wa Kuku wa Asili.

108. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2014/2015, Wizara iliendelea kuboreshauzalishaji wa ng’ombe wa asili ili kuongezauzalishaji wa maziwa ambapo kupitia mradi waEAAPP, jumla ya madume bora 57 yalinunuliwana kusambazwa katika vijiji vinane (8) vyaWilaya za Njombe, Wanging’ombe, Mufindi,Bagamoyo na Muheza. Pia, mradi wa EAAPPumeendeleza utafiti wa kuboresha uzalishaji wang’ombe katika kituo cha TALIRI Mpwapwa kwanjia ya uhimilishaji kwa kutumia jumla yang’ombe 125. Vilevile, jumla ya sampuli 54 zavyakula vya mifugo, 52 za maji na 44 za maziwazilipimwa ili kubaini ubora na usalama wake.Aidha, Wizara ilipitia andiko na mpango washughuli za utafiti wa mradi wa EAAPP nakutoa mafunzo kwa wadau 74 kuhusu uborana usalama wa vyakula na maziwa.

109. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2015/2016, Wizara itatekeleza kazi zifuatazo

Page 105: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

105

kuimarisha utoaji huduma za ugani kwawafugaji na wavuvi:-

(i) Kuandaa na kurusha hewani vipindi52 vya radio na 12 vya luninga juuya ufugaji bora wa mifugo, ukuzajiviumbe kwenye maji na uvuviendelevu;

(ii) Kuendelea kutoa elimu kwa wafugajina wavuvi 10,000 na kukamilishaukarabati wa kituo cha Maarifa yaMifugo cha Lugoba (Bagamoyo); na

(iii) Kutoa huduma za ugani na mafunzoya ufugaji wa samaki na uvuviendelevu kwa wadau 250 katikaHalmashauri tano (5).

4.8 Usimamizi wa Ubora wa Mazao naHuduma za Mifugo na Uvuvi

Bodi ya Nyama Tanzania

110. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2014/2015, wizara imeendelea kuimarisha Bodiya Nyama Tanzania kwa kuipatia wataalam saba(7) na vitendea kazi. Aidha, Bodi imeendeleakutoa elimu kwa wadau kuhusu Sheria yaNyama Sura 421 kupitia vipindi vya redio saba(7), kimoja (1) cha luninga na vipeperushinakala 4,500. Pia, Bodi imefanya tathmini yauzalishaji na mahitaji ya nyama katika Mamlaka

Page 106: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

106

za Serikali za Mitaa 16 za Ilemela, Nyamagana,Bunda, Bariadi, Serengeti, Kilindi, Korogwe, Jijila Tanga, Jiji la Arusha, Simanjiro, Kiteto,Temeke, Ilala, Kinondoni, Morogoro naKilombero. Matokeo yanaonyesha kuwa kunamahitaji ya tani 163,773 za nyamaikilinganishwa na uzalishaji wa sasa wa tani106,597 za nyama kwa mwaka ikiwa niupungufu wa asilimia 35. Vilevile, Bodiimetambua na kusajili wadau 18 katikaHalmashauri za Kwimba, Ilala, Kinondoni,Temeke, Jiji la Arusha, na Chama kimoja (1) chaWafanyabiashara wa Mifugo na Nyama(MWACIBA) katika Jiji la Mwanza.

111. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2014/2015, Bodi ya Nyama imeendeleakufuatilia uingizaji na uuzaji wa nyama nabidhaa zake ambapo jumla ya tani 23.4 zanyama ya ng’ombe, tani 1,388.9 za nyama yambuzi na tani 36.7 za nyama ya kondoozilikaguliwa na kuuzwa katika nchi za Msumbiji,Vietnam, Oman, Qatar na Falme za Kiarabu.Aidha, jumla ya tani 735 za nyama ya ng’ombe,tani 804 za nyama ya nguruwe na tani 16.5 zanyama ya kondoo ziliingizwa nchini. Vilevile,Bodi imeendesha vikao vinne (4) vya Bodi nakikao kimoja (1) cha Baraza la Mwaka la Wadauwa Tasnia ya Nyama.

Page 107: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

107

112. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2015/2016, Wizara itaendelea kuiwezesha Bodiya Nyama kusajili wadau 5,000 wa tasnia yanyama na vyama vyao; kuhamasisha utekelezajiwa Sheria ya Nyama Sura 421 na kusimamiaubora wa mifugo, nyama na bidhaa zake nakusimamia biashara na kutafuta masoko yamifugo, nyama na bidhaa zake ndani na nje yanchi. Aidha, Bodi itatoa mafunzo kuhusutaratibu za uchinjaji, usafi na utunzaji wanyama kwa watumishi 39 kutoka Mamlaka zaSerikali za Mitaa zilizopo katika mikoa 13. Pia,itawezesha wadau watano (5) kushiriki katikamaonesho mbalimbali ya mifugo. Vilevile,itaimarisha vyama vya Wafanyabiashara waMifugo na Nyama Tanzania (TALIMETA),Wasindikaji wa Nyama Tanzania (TAMEPA) naWafugaji Tanzania (CCWT) kwa kutoa ushauri,mafunzo na kuratibu maendeleo ya vyamahivyo.

Bodi ya Maziwa Tanzania

113. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2014/2015, Wizara imeendelea kuiwezesha Bodiili iweze kutekeleza majukumu yake yakusimamia, kuendeleza na kuratibu tasnia yamaziwa kwa mujibu wa Sheria ya Maziwa Suraya 262. Aidha, Bodi imeelimisha nakuhamasisha wadau 177 kuhusu Sheria yaMaziwa na kusajili wadau 192. Pia, Bodi ilitoa

Page 108: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

108

mafunzo ya kuwaandaa wakaguzi ili wapatembinu za kufanya ukaguzi na kupitia mifumoitakayotumika katika ukaguzi kwa wakaguzi 18wa maziwa walioteuliwa ambao walipatamafunzo hayo katika mikoa ya Dar es Salaam,Morogoro na Tanga. Vilevile, Bodi iliwatambuawatoa huduma 15 kutoka katika Halmashauriza Handeni, Kilosa, Lushoto na Mvomero ambaokwa kushirikiana na Bodi walitoa mafunzo yakuzingatia usafi na ubora wa maziwa kwawafanyabiashara wapatao 100 katika mikoa yaMorogoro na Tanga.

114. Mheshimiwa Spika, Bodi imeendeleakuratibu Programu ya Unywaji wa MaziwaShuleni katika shule 18 na wanafunzi 14,788ambao hutumia lita 7,394 za maziwa kwa wiki.Aidha, Bodi kwa kushirikiana na Manispaa yaKinondoni imeanza utaratibu wa kuanzishampango wa unywaji maziwa kwenye shule kumi(10) katika Manispaa ya Kinondoni. Pia, Bodiinaandaa ili kushiriki katika Wiki ya Maziwaitakayofanyika Babati, Manyara ikiwa na kaulimbili ya ‘Ng’ombe wa Maziwa ni fursa yakiuchumi na lishe: Fuga Kisasa’.

115. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2015/2016, Bodi itaendelea kuelimisha wadauwa maziwa kuhusu Sheria ya Maziwa Sura ya262 na kusimamia, kuwajengea uwezo wakaguzi50 wa maziwa kutoka Halmashauri za mikoa ya

Page 109: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

109

Iringa, Njombe na Mbeya na kuhamasishaHalmashauri kutekeleza mpango wa unywaji wamaziwa shuleni na kuratibu maadhimisho yaWiki ya Maziwa yatakayofanyika kitaifa katikaMkoa wa Njombe.

Baraza la Veterinari Tanzania

116. Mheshimiwa Spika, Wizara kupitiaBaraza la Veterinari Tanzania imeendeleakusimamia taaluma, viwango na miongozo yautoaji wa huduma za mifugo kwa kuzingatiaSera na Sheria ya Veterinari Sura 319. Aidha,imeendelea kuimarisha ukaguzi wa huduma zamifugo na kuhamasisha ushirikishwaji wawataalam wa sekta binafsi katika kutoahuduma. Katika mwaka 2014/2015, Barazalimesajili Madaktari wa Mifugo 38 na kufikishaidadi ya madaktari 719 waliosajiliwa. Pia,Baraza limeandikisha na kuorodhesha wataalamwasaidizi wa mifugo 302. Vilevile, Barazalimesajili vituo vya kutoa huduma 200,wakaguzi wa nyama 180, wahimilishaji 20 nawateknolojia wa maabara 10 wamepatiwa leseniza kutoa huduma kwa wafugaji.

117. Mheshimiwa Spika, Baraza limekamilishauandaaji wa Mwongozo wa Kusimamia Mafunzoya Wataalam wa Afya ya Mifugo na umeanzakutumika. Aidha, ukaguzi wa vituo na hudumaza afya ya mifugo umefanyika katika Mamlaka

Page 110: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

110

za Serikali za Mitaa 90 zilizoko katika mikoa yaArusha, Dar es Salaam, Dodoma, Geita, Kagera,Kilimanjaro, Manyara, Morogoro, Mwanza,Pwani, Shinyanga, Singida, Tabora na Tanga.Pia, ukaguzi na uhamasishaji juu ya viwangovya mitaala ya kufundishia wataalam wa afya yamifugo umefanyika katika vyuo 11 vinavyotoamafunzo ya taaluma ya veterinari.

118. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2015/2016, Wizara kupitia Baraza itaendeleakuimarisha ukaguzi wa maadili ya watoahuduma za afya ya mifugo. Aidha, Barazalitasajili madaktari wa mifugo 50, kuandikishana kuorodhesha wataalam wasaidizi 1,000,kutoa leseni kwa watoa huduma na vituo vyaafya ya mifugo 400 na kuhakiki mitaala yamafunzo kwa wataalam na wataalam wasaidiiziwa mifugo ili kuboresha huduma za mifugozinazotolewa.

Uthibiti wa Ubora na Usalama wa Mazao yaUvuvi

119. Mheshimiwa Spika, Wizara imeendeleakuratibu na kusimamia ubora, viwango nausalama wa mazao ya uvuvi pamoja nahuduma za kitaalam ikiwemo kufanyauchunguzi wa kimaabara na kaguzi mbalimbaliza kuhakiki ubora wa mazao ya uvuvi katikaviwanda vya kuchakata mazao ya uvuvi, mialo,

Page 111: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

111

masoko pamoja na vyombo vya kusafirishamazao ya uvuvi ikiwemo magari na boti. Katikamwaka 2014/2015, Wizara imeanzisha vituosaba (7) vipya vya Uthibiti Ubora wa Mazao yaUvuvi vya Geita, Namanga, Tunduma, Kasanga,Buhingu, Kipili na Ikola na kufanya jumla yavituo 15.

Usimamizi na Ukaguzi wa Viwanda, Maghala,Mialo na Masoko ya Samaki

120. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2014/2015, Wizara imefanya kaguzi 4,995 kwalengo la kuhakiki ubora na usalama wa mazaoya uvuvi ambapo kaguzi 2,350 zilifanyikawakati wa kusafirisha mazao ya uvuvi kwendanje ya nchi, kaguzi 462 kwenye viwanda vyakuchakata mazao ya uvuvi, kaguzi 130 kwenyemaghala ya kuhifadhi mazao ya uvuvi, kaguzi1,440 kwenye mialo, kaguzi 13 kwenye masokona kaguzi 600 kwenye maboti na magari yakubebea mazao ya uvuvi. Vilevile, jumla yakaguzi 2,600 zilifanyika kuhakiki ubora nausalama wa samaki zilizoingizwa nchini.Matokeo ya kaguzi hizo yalionesha kukidhiviwango vya ubora vya kitaifa na kimataifa nahivyo viwanda na maghala hayo kuruhusiwakuendelea na shughuli za uchakataji nauhifadhi wa mazao ya uvuvi. Aidha, Wizaraimeendelea kutoa mafunzo kuhusu taratibu nakanuni za usafirishaji wa samaki hai nje ya nchi

Page 112: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

112

na teknolojia sahihi ya uhifadhi na utunzaji wasamaki kwa wasafirishaji wadogo (25) nawafanyabiashara (76) wanaoingiza mazao yauvuvi nchini.

121. Mheshimiwa Spika, Wizara imeendeleakutoa elimu kuhusu njia bora za uchakataji nauhifadhi wa samaki na mazao yake kwa viwanda48 vya kuchakata mazao ya uvuvi vilivyopokatika Ukanda wa Bahari ya Hindi (36), ZiwaVictoria (11) na Ziwa Tanganyika (1) ili viwezekuzalisha mazao yanayokidhi vigezo vya kitaifana kimataifa vya ubora na usalama kwa mlaji.

122. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2015/2016, Wizara itaendelea kutoa elimu nakuhamasisha wadau kuwekeza zaidi katikaviwanda vya kuchakata mazao ya uvuvi ilikuongeza uzalishaji na thamani ya mazao yauvuvi. Pia, kuratibu usimamizi wa usafi kwenyemialo na masoko ya samaki kwa kufanya kaguzi150 za kina kwenye viwanda vya kuchakatamazao ya uvuvi, kuendelea kutoa elimu nakuhimiza uhifadhi bora wa mazao ya uvuvi ilikukidhi mahitaji ya soko la ndani na nje yanchi. Aidha, itafanya kaguzi 4,000 za ubora wasamaki na mazao yake kwenye mialo, viwandana masoko wakati wa kusafirisha nje ya nchi.

Page 113: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

113

Huduma za Ukaguzi wa Ubora na Usalama waMazao ya Uvuvi

123. Mheshimiwa Spika, Wizara imeendeleakuimarisha Maabara ya Taifa ya Uthibiti waUbora wa Mazao ya Uvuvi – Nyegezi (Mwanza)kwa kuipatia watumishi na vitendea kazi. Pia,Maabara ya uchunguzi wa mwani wenye sumu(Harmful Algal Blooms) iliyopo Dar es Salaamimefanyiwa maboresho. Katika mwaka2014/2015, jumla ya sampuli 998 za samaki,maji, vyakula vya samaki na udongo zilifanyiwauchunguzi wa kimaabara ili kubaini uwepo wavimelea vinavyosababisha magonjwa na mabakiya viuatilifu, madini tembo na madawa ya tiba(kwa samaki wa kufugwa) katika Maabara yaTaifa ya Uvuvi Nyegezi - Mwanza na zile za nje.Matokeo ya chunguzi hizo yameonesha kukidhiviwango vya ubora na usalama kwa afya yamlaji.

124. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2014/2015, Wizara iliimarisha Maabara ya Taifaya Uvuvi Nyegezi (Mwanza) na Maabara yaKuchunguza Mwani wenye Sumu ya Dar esSalaam ambapo watumishi 18 wamepatiwamafunzo ya kutumia mashine za kupima nakuthibitisha uwepo wa viuatilifu kwenye samakina maji (4), uchunguzi wa viuatilifu (4) nambinu za kuchukua sampuli (8). Pia, watendajiwawili (2) walipata mafunzo ya menejimenti ya

Page 114: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

114

maabara. Aidha, watumishi 47 wamepatiwamafunzo ya muda mfupi kuhusu KudhibitiUbora na Viwango vya Mazao ya Uvuvi (15) na32 wamepata mafunzo kuhusu Viwango vyaKimataifa vya ukaguzi wa ndani wa mfumo wausimamizi wa uzalishaji na uchakataji wa mazaoya uvuvi kulingana na viwango vya kimataifa(ISO/IEC 17020). Vilevile, watumishi 4wanaendelea na mafunzo ya Shahada yaUzamivu (1) na Shahada ya Uzamili (3) katikaChuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo.

125. Mheshimiwa Spika, katika 2014/2015Wizara imeiwezesha Maabara ya Taifa ya UvuviNyegezi upande wa Kemikali kukamilisha hatuaza kupata Ithibati (Accreditation) kwa ajili yakuhakiki viwango vya mabaki ya kemikali zasumu (pesticide residues) na madini tembo(heavy metals) kwenye chakula, maji na matope.Aidha, maabara imeendelea kujipima kiutendajikwa kufanya Proficiency Testing kwenyeuchunguzi wa madini tembo na matokeo yakeyanaonesha kuwa ina uwezo wa kutoa majibuyanayokubalika kimataifa. Pia, kupitia Mradiwa Mazingira wa Ziwa Victoria (LVEMP II) naProgramu ya Kuboresha Biashara ya Mazao yaKilimo (TASP II) inayofadhiliwa na Jumuiya yaUlaya, vifaa vya maabara vimenunuliwa namajengo yanaendelea kujengwa na kazi hiiimekamilika kwa asilimia 80. Vilevile, Miongozoya kiutendaji imeandaliwa na itawasilishwa

Page 115: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

115

kwenye Taasisi ya kutoa Ithibati kwa ajili yakuthibitishwa na hatimaye kupewa Ithibati kwaajili ya uchunguzi wa madini tembo aina nne(Copper, Cadmium, Lead na Chromium).

126. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2015/2016, Wizara itaendelea kuimarisha vituo17 vya Ubora na Uthibiti wa Mazao ya Uvuvi naMaabara ya Uvuvi – Nyegezi kwa kuipatiavitendea kazi na mafunzo kwa watalaam. Aidha,Maabara zitafanya chunguzi za kimaabara kwasampuli 800 za minofu ya samaki, maji,majitaka na udongo ili kulinda afya ya mlaji.Vilevile, Wizara itaendelea na juhudi za kupataIthibati kwa upande wa Maabara ya Kemikali.

4.9 Usimamizi wa Rasilimali za Uvuvi

127. Mheshimiwa Spika, ili kuimarishausimamizi na matumizi endelevu ya rasilimali zauvuvi nchini, Wizara imeendelea kushirikianana wadau mbalimbali wakiwemo Ofisi yaMakamu wa Rais – Mazingira, Ofisi ya WaziriMkuu - TAMISEMI, Wizara ya Mambo ya Ndaniya Nchi, Wizara ya Ulinzi na Jeshi la KujengaTaifa, Wizara ya Maji, Wizara ya Nishati naMadini, Wizara ya Maliasili na Utalii, Wizara yaKatiba na Sheria, Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA), Halmashauri na Jamii za Wavuvi (BMUs)katika kudhibiti vitendo vya uvuvi haramu,

Page 116: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

116

uharibifu wa mazingira na utoroshaji wa samakina mazao yake maeneo ya mipakani.

Udhibiti wa Uvuvi Haramu

128. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2014/2015, Wizara imeendelea kuimarishavituo 23 vya doria na kuanzisha vituo viwili(Buhingu na Namanga) na hivyo kufanya jumlaya vituo 25 nchi nzima. Vituo hivyo ni pamojana Namanga, Singida, Mtwara, Dar es Salaam,Mwanza, Bukoba, Mafia, Kilwa, Musoma,Tanga,Kigoma, Mbamba Bay, Murusagamba, Buhingu,Ikola, Horohoro, Kipili, Kasanga, Sota, Sirari,Kasumulo, Tunduma, Rusumo, Kabanga naKanyigo. Vituo hivyo vimeimarishwa kwakupatiwa watumishi pamoja na vitendea kazizikiwemo jenerata tatu (3), gari moja (1), pikipikitatu (3) na mafunzo kwa watumishi. Vilevile,ukarabati wa majengo umefanyika kwa vituo vyaBukoba, Dar es Salaam, Mtwara, Mbamba Bay,Musoma Mwanza na Tanga.

Aidha, jumla ya doria zenye siku kazi 5,985zilifanyika katika Ukanda wa Ziwa Victoria, ZiwaTanganyika, Ziwa Nyasa na Bahari ya Hindiambazo ziliwezesha kukamatwa kwa zanaharamu zikiwemo nyavu za kokoro 544, kambaza kokoro zenye urefu wa mita 236,750, nyavuza makila zenye macho madogo 7,921, nyavu zadagaa 230, nyavu za utali 12,222, vyandarua

Page 117: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

117

vya mbu 91, nyavu za kimia 7, katuli 19, nyavuza mtando 12, mabomu 74, Mitungi ya gesi yakuzamia 5, jozi 42 za viatu vya kuzamia,mitumbwi 359, injini za mitumbwi 10, madeli(cool boxes) 3, magari 5 na pikipiki 3.

129. Mheshimiwa Spika, jumla ya kilo34,232 za samaki wachanga, kilo 94 za samakiwaliovuliwa kwa mabomu, kilo 140 za majongoobahari, kilo 62 za mabondo, kilo 35 za kaa nakilo 25 za dodoji (seahorse) zilikamatwa. Pia,jumla ya watuhumiwa 447 walikamatwakutokana na makosa mbalimbali ya uvunjaji waSheria na Kanuni za Uvuvi ambapo kesi 16zimefunguliwa katika mahakama mbalimbalinchini. Aidha, Wizara kupitia Programu yaSmartFish imejenga uelewa kuhusu mfumo waulipaji wa leseni za uvuvi kwa njia ya simu kwaMaafisa Uvuvi wa Halmashauri za Wilaya 16kutoka Ukanda wa Pwani, Maafisa Uvuviwanane (8) kutoka Makao Makuu ya Wizarapamoja na Wakurugenzi Watendaji katikaHalmashauri husika. Vilevile, mafunzo ya doriakwa vitendo yalifanyika kwa Maafisa Uvuvikutoka Halmashauri za mwambao wa Bahari yaHindi katika mikoa ya Dar es Salaam, Tanga,Lindi, Pwani pamoja na vikosi vya Jeshi la Polisina Jeshi la Wananchi ambapo jumla yawashiriki 140 walihusika. Mafunzo hayoyaliwezesha kukamatwa kwa vyombo 468,wavuvi 1,065, makokoro 9, nyavu za makila 1,

Page 118: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

118

nyavu za macho madogo 550, mbolea yachumvichumvi kilo 15 , zana za milipukovipande (detonators) 10, majongoo bahari kilo60, mitando 2, na mita 20,000 za kamba zakuvutia kokoro. Pia, mafunzo mbalimbalikuhusu Sera, Usimamizi wa Sheria na Kanuniza Uvuvi, Uvuvi endelevu na madharayatokanayo na uvuvi haramu yalitolewa kwawadau wa uvuvi 276 katika Kanda za ZiwaTanganyika (176) na Pwani ya Bahari ya Hindi(100).

130. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2015/2016, Wizara kwa kushirikiana na wadaumbalimbali itaendelea kuratibu na kusimamiauvunaji endelevu wa rasilimali za uvuvi nakudhibiti biashara haramu ya mazao ya uvuvikwa kufanya doria zenye siku kazi 6,000.

131. Mheshimiwa Spika, Wizara kwakushirikiana na Halmashauri pamoja na taasisimbalimbali na mashirika yasiyo ya kiserikaliikiwemo WWF na Shirika la Nature Conservancyla mkoani Kigoma imewezesha kuanzishaVikundi vya Usimamizi Shirikishi wa Rasilimaliza Uvuvi (Beach Management Units - BMUs) 7,Mto Kilombero (4) na Wilaya ya Uvinza (3) nakufanya idadi ya BMUs nchini kufikia 749.Aidha, wavuvi 641 kutoka Halmashauri zaWilaya za Pangani, Tanga mjini, MtwaraMikindani, Mtwara, Bagamoyo na Mkinga

Page 119: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

119

wamepatiwa mafunzo kuhusu athari za Uvuviharamu na usimamizi wa rasilimali za Uvuviunaozingatia ikolojia na mazingira.

132. Mheshimiwa Spika, Wizara kwakushirikiana na Halmashauri imetoa mafunzoya kuwajengea uwezo viongozi wa BMUs naSerikali za vijiji kwa BMUs 12 katika wilaya zaMtwara (2), Temeke (5) na Uvinza (5). Aidha,BMUs mbili (2) ziliwezeshwa kuandaa Mpangowa usimamizi wa raslimali za Uvuvi katikaHalmashauri ya Mtwara. Vilevile, BMUs nane(8) za Halmashauri ya Wilaya ya Rufijizilihamasishwa na kupewa jukumu lakukusanya ushuru utokanao na mazao ya uvuvikwa niaba ya Halmashauri.

Katika mwaka 2015/2016 Wizara kwakushirikiana na Halmashauri pamoja na wadaumbalimbali itawezesha uanzishwaji wa vikundi10 (BMUs) na kuimarisha vilivyopo ilikuhakikisha usimamizi imara wa rasilimali zauvuvi unaozingatia matumizi endelevu naikolojia.

Usimamizi wa Uvuvi katika Bahari Kuu

133. Mheshimiwa Spika, Wizara kwakushirikiana na Wizara inayosimamia masualaya uvuvi katika Serikali ya Mapinduzi Zanzibar,imefanya doria za anga katika Bahari Kuu ya

Page 120: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

120

Tanzania kwa saa 144 (manhours) ili kudhibitiuvuvi haramu. Vilevile, Mamlaka imeshirikikatika doria za kikanda za majini chini yauratibu wa Sekretariati ya nchi wanachama waKamisheni ya Bahari ya Hindi (Indian OceanCommission). Doria hizo zimeshirikisha nchi zaKenya, Ufaransa, Reunion, Madagascar,Mauritius na Tanzania. Jumla ya saa 8,640zimetumika katika doria hizo. Pia, ukaguzi wameli 11 za uvuvi aina ya purse seiner na longliner ulifanyika katika Bandari za Zanzibar,Mombasa, Mahe Victoria (Ushelisheli) naMauritius. Katika ukaguzi huo meli zote zilikidhimasharti ya leseni za uvuvi wa Bahari Kuu yaTanzania. Aidha, leseni 88 za uvuvi wa BahariKuu zilitolewa na kuingiza Dola za Kimarekani1,863,470 sawa na takribani Shilingi bilioni3.3 ikiwa ni ada za leseni za meli za uvuvikutoka mataifa ya China, Jamhuri ya Korea,Hispania, Mayotte, Taiwan, Thailand, Tanzania,Japan, Oman, Ufaransa na Ushelisheli.

134. Mheshimiwa Spika, Mamlaka kwakushirikiana na Wakala wa Elimu na Mafunzoya Uvuvi, Kampasi ya Mbegani (FisheriesEducation and Training Agency- FETA)imeendelea kutoa mafunzo kwa wavuvi (100)kwa mchanganuo wa wavuvi 50 kutokaTanzania Bara na 50 kutoka Zanzibar kuhusunadharia na vitendo vya uvuvi aina ya long linerna purse seiner, usalama baharini na uokoaji wa

Page 121: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

121

maisha baharini, uvuvi endelevu, zana rafiki zauvuvi, kulinda rasilimali za uvuvi na mazalia yasamaki na kukusanya takwimu za uvuvi.

Vilevile, Mamlaka imeingia kwenye makubalianona Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi Tanzania (TAFIRI)kufanya utafiti wa kutambua maeneo muhimuya uvuvi ili kuwasaidia wavuvi kutambuamaeneo yenye rasilimali nyingi katika Bahari yaHindi kwa lengo la kuwapunguzia gharama zakutafuta samaki baharini. Pia, Mamlakaimeingia kwenye makubaliano na TAFIRI yakufanya tathimini ya vifaa vya kuvutia samakikwenye maji (Fish Aggregating Devices - FADs)vilivyowekwa kwenye maji ya kitaifa.

Katika mwaka 2015/2016, Mamlaka itashirikikatika kufanya mapitio ya Sheria na Kanuni zaUvuvi wa Bahari Kuu na kuboresha mfumo wakufuatilia meli zinazovua katika Bahari Kuu(Vessel Monitoring Sytem - VMS). Vilevile, kwakushirikiana na Wakala wa Elimu na Mafunzoya Uvuvi Kampasi ya Mbegani itatoa mafunzo yaUvuvi wa Bahari Kuu kwa wavuvi 50,kuendesha doria za anga na itahamasishawadau kuwekeza kwenye Uvuvi wa Bahari Kuu.Aidha, Mamlaka itaendelea kushirikiana na nchiwanachama wa Kamisheni ya Usimamizi waUvuvi wa Samaki aina ya Jodari katika Bahariya Hindi ya (Indian Ocean Tuna Commission),Mashirika ya Kikanda na Kimataifa katika

Page 122: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

122

usimamizi na matumizi endelevu ya rasilimali zaUvuvi wa Bahari Kuu na usimamizi wamazingira.

Hifadhi za Bahari na Maeneo Tengefu

135. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2014/15 Wizara imeendelea kusimamia nakuhifadhi rasilimali za uvuvi kupitia kitengochake cha Hifadhi za Bahari na Maeneo Tengefu(MPRU). Doria zenye jumla ya siku kazi 362zilifanyika katika eneo la kilometa za mraba2,000 kwa lengo la kudhibiti uvuvi haramukwenye Hifadhi za Bahari (3) na Maeneo Tengefu(15), ambapo mitumbwi 11, nyavu za timba(kioo) 35, magunia ya mkaa tisa (9), nyavu zatandilo (3), ndoano (14), zurumati mbili (2),mikuki 20, nyama ya kasa kilo 10, baruti kilo50, detonator mbili (2), fuse mbili (2), na chupa(1) ya plastic yenye mbolea ya urea vilikamatwa.Vilevile, miti ya mikoko 280, mbao (25) namagogo ya mikoko 15 vilikamatwa navilitaifishwa kwa amri ya Mahakama. Pia,watuhumiwa watano (5) walifikishwamahakamani na kesi zao ziko katika hatuambalimbali za kusikilizwa.

Aidha, Kitengo kiliendelea kutangaza vivutio vyautalii vilivyomo katika maeneo yaliyohifadhiwakwa wawekezaji na wadau wengine kwakushiriki katika maonesho ya Sabasaba,

Page 123: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

123

Sikukuu ya Wakulima Nanenane, Karibu naSiku ya Mvuvi Duniani. Vilevile, Kitengokimesaini mikataba minne (4) ya uwekezaji wa“eco-lodge” katika Maeneo Tengefu yaShungimbili – Mafia, Kirui/Mwewe – Tanga naMbudya – Dar es Salaam.

136. Mheshimiwa Spika, Kitengo kiliendeleakufuatilia raslimali za bahari ili kubaini viwangovilivyofikiwa katika uhifadhi wa raslimali nakuratibu shughuli za tafiti katika Hifadhi zaBahari na Maeneo Tengefu, ambapo jumla yaviota 10 vya kasa vilitambuliwa na kati ya hivyoviota vitano (5) vilivyokuwa na mayai 295vilianguliwa na kutoa watoto wa kasa 209 namayai 86 yaliharibika.

Aidha, ufuatiliaji na ukusanyaji wa takwimu zanyangumi ulifanyika katika maeneo ya Hifadhi.Katika kipindi cha mwezi Julai hadi Novemba,2014 jumla ya safari za ufuatiliaji 77 zilifanyikaambapo, nyangumi 464 walionekana kati yao214 ni nyangumi wakubwa na 150 walikuwawatoto. Vilevile, mafunzo yalitolewa kwawakusanya takwimu za nyangumi 11 ilikuongeza ufanisi wao katika uchukuaji watakwimu.

137. Mheshimiwa Spika, Wizara imeendeleakukiimarisha Kitengo kwa kuwawezeshawatumishi kuhudhuria mafunzo na kukipatia

Page 124: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

124

vitendea kazi. Katika mwaka 2014/15watumishi (11) wamewezeshwa kuendelea namafunzo ya muda mrefu kwenye shahada yauzamivu (1), ya uzamili (5), ya kwanza (4), nastashahada (1). Vilevile, Kitengo kimeimarishwakwa kununua boti (2), injini mbili (2) nakompyuta tatu (3). Aidha, miundombinu yautalii imejengwa katika Kisiwa cha Toteni –Tanga na Mbudya – Dar es Salaam.

138. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2015/16 Kitengo kitafanya doria zenye siku-kazi400 zinazolenga kudhibiti matumizi haramu yarasilimali za bahari, hususan uvuvi haramukatika Hifadhi za Bahari na Maeneo Tengefu.Vilevile, Kitengo kitaendelea kufanya shughuliza uperembaji katika maeneo yaliyohifadhiwaikiwa ni pamoja na ushirikishwaji wa jamiikatika usimamizi endelevu wa rasilimali zauvuvi.

Pia, Kitengo kitaendelea kutekeleza MpangoMkakati (Strategic Plan) wa miaka mitano (2014-2019) kwa kufanya utafiti na kubaini maeneoyenye sifa za kuhifadhiwa na kuanzishamchakato wa kuyahifadhi, kutangaza vivutio vyautalii vilivyomo katika maeneo ya uhifadhi kwawawekezaji na wadau wengine, kutoa mafunzokwa jamii zinazozunguka maeneoyaliyohifadhiwa na kusaidia katika utekelezajiwa miradi mbalimbali ya maendeleo ili

Page 125: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

125

kuwezesha matumizi endelevu na kupunguzautegemezi uliokithiri wa rasilimali za bahari.

Uwekezaji kwenye Sekta ya Uvuvi

139. Mheshimiwa Spika, Wizara imeendeleakuhamasisha sekta binafsi kuwekeza katikauvuvi ikiwemo kuanzisha viwanda vyakuchakata samaki ambapo hadi sasavimeanzishwa viwanda 48 na maghala 84 yakuhifadhi mazao ya uvuvi. Aidha, Wizaraimeboresha soko la Kasanga (Sumbawanga) namialo 31 ya kupokelea na kuhifadhi mazao yauvuvi katika maeneo mbalimbali kwa ajili yakukidhi mahitaji ya soko la ndani na nje yanchi. Vilevile, Wizara imeimarisha Maabara yaTaifa ya Uvuvi iliyopo Nyegezi (Mwanza) na ile yaDar es Salaam kwa kuzipatia vifaa vya maabarana kujenga uwezo kwa watumishi.

Pia, Wizara imeendelea kutoa mafunzo kuhusuteknolojia mbalimbali za uhifadhi na uchakatajiwa mazao ya uvuvi. Wadau 1,493 kutoka Mikoaya Mwanza (185), Kagera (180), Mara (150) naTanga (250), Pwani (180), Dar es Salaam (44),Kigoma (24), Mtwara (52), Lindi (78), Rukwa(180) na Katavi (80) walinufaika.

140. Mheshimiwa Spika, Ili kuvutiauwekezaji katika Sekta ya Uvuvi, Wizarainaendelea kuweka mazingira mazuri na

Page 126: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

126

kuboresha miundombinu ya uvuvi. Aidha,Wizara inaendelea na utaratibu wa kumpataMshauri Elekezi wa kufanya upembuzi yakinifukwa ajili ya ujenzi wa bandari ya uvuvi ambapohadidu za rejea zimeandaliwa.

4.10 Masuala ya Mtambuka

Uendelezaji Rasilimali Watu

141. Mheshimiwa spika, Wizara imeendeleakusimamia, kuwezesha na kuimarisha rasilimaliwatu ili itumike kutekeleza na kufikia malengoyake. Katika mwaka 2014/2015 Wizara imeajiriwatumishi 182 wakiwemo 68 wa kada zamifugo, 50 kada za uvuvi na 64 kadamtambuka. Aidha, watumishi 311wamepandishwa vyeo; 13 wamebadilishwa kazibaada ya kupata sifa za Miundo ya Utumishi na130 wamethibitishwa kazini; 33 wanaendeleana mafunzo ya muda mrefu kati ya hao, saba (7)Shahada ya Uzamivu, 20 Shahada ya Uzamili,sita (6) Shahada ya Kwanza na 181wamehudhuria mafunzo ya muda mfupi.

142. Mheshimiwa spika, Wizara imekamilishamapitio ya Miundo ya Utumishi ya Kada zaMifugo na Uvuvi ili kukidhi mahitaji ya Sekta;kutoa mafunzo kwa watumishi 385 kuhusukutumia Mfumo wa Upimaji wa Utendaji Kazi waUwazi (OPRAS); kutekeleza Mkataba wa

Page 127: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

127

Huduma kwa Mteja; kufanya kikao kimoja chaBaraza la Wafanyakazi na kuelimisha watumishijuu ya maadili na uadilifu. Aidha, watumishi 61waliwezeshwa kushiriki michezo ya SHIMIWI.

143. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2015/2016 Wizara itaajiri watumishi 298 katiya hao 147 wa kada za mifugo, 57 kada zauvuvi na 94 kada mtambuka ili kuboreshautendaji wa sekta za mifugo na Uvuvi; 304watapandishwa vyeo; 137 watathibitishwakazini na 230 watahudhuria mafunzo ya mudamrefu na mfupi. Pia, watumishi wataendeleakupatiwa vitendea kazi; kupewa elimu juu yakuzingatia Sheria, Kanuni na Taratibu za kazina uadilifu. Aidha, watumishi 65 watashirikikatika michezo ya SHIMIWI na bonanza,kuendesha zoezi la kuhakiki watumishi, kutoamafunzo elekezi kwa waajiriwa wapya,kusimamia matumizi ya Mfumo wa Upimaji waUtendaji Kazi wa Uwazi (OPRAS), kufanya vikao2 vya Baraza la Wafanyakazi na kuwezeshamajukumu ya Chama cha Wafanyakazi (TUGHEna RAAWU).

Utawala Bora, Jinsia na Ukimwi

144. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2014/2015, Wizara imeendelea kusimamiamasuala ya utawala bora, jinsia na UKIMWI kwakutoa huduma kwa watumishi wenye VVU na

Page 128: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

128

wanaougua UKIMWI na kuhamasisha watumishi363 kupima afya zao kwa hiari. Aidha, elimuilitolewa kwa Waelimisha Rika 25. Kazi nyinginezilizotelelezwa ni:

(i) Kutoa mafunzo kwa watumishi 45kuhusu namna ya kuferejisha masualaya jinsia katika mipango ya Wizara;

(ii) Kuratibu na kuwaelimisha watumishi200 juu ya uadilifu, maadili, wajibu nahaki zao;

(iii) Kuelimisha watumishi 870 kuhusukutekeleza Mkakati wa Kuzuia naKuziba Mianya ya Rushwa;

(iv) Kuchapisha na kutekeleza Mkataba waHuduma kwa Mteja; na

(v) Kuendelea kusimamia dawati lamalalamiko na kufanyia kazimalalamiko yanayotolewa ambapojumla ya malalamiko 12 yalipokelewana kupatiwa ufumbuzi.

145. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2015/2016, Wizara itaendelea kutekelezaMkakati wa Kuzuia na Kuziba Mianya yaRushwa na kuhimiza watumishi kuzingatiasheria, kanuni na taratibu za kazi. Aidha,

Page 129: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

129

Wizara itaendelea kutekeleza Mkataba waHuduma kwa Mteja na kuimarisha Dawati laJinsia na Malalamiko. Vilevile watumishi 400wataelimishwa kuhusu kupima afya zao kwahiari na kutoa huduma kwa watumishi sita (6)wanaoishi na VVU na wanaougua UKIMWI.

Mawasiliano na Elimu kwa Umma

146. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2014/2015 Wizara ilitayarisha na kusambazataarifa za matukio mbalimbali kuhusu sekta zamifugo na uvuvi kupitia vyombo vya habari.Jumla ya vipindi 9 vya luninga na redio 20viliandaliwa na kurushwa hewani kuhusu sera,mikakati na mipango ya kuendeleza sekta zamifugo na uvuvi. Pia, Wizara imesambazanakala 4,000 za kalenda na 300 za Diaries.Aidha, maktaba ya Wizara imeimarishwa kwakuipatia watumishi wawili (2) na vitendea kazi.Pia, kutoa mafunzo ya dawati la malalamikokwa watumishi 60 na wadau 31. Vilevile,mikutano saba (7) ya Wizara na waandishi wahabari na wadau ilifanyika kwa lengo lakutangaza majukumu na mafanikio ya Wizara.

Katika mwaka 2015/2016, Wizara itaendeleakuimarisha maktaba ya Wizara; kutekelezaMkakati wa Mawasiliano wa Wizara; kuandaa nakurusha hewani vipindi 20 vya luninga na 24vya redio kutangaza mafanikio ya sekta ya

Page 130: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

130

mifugo na uvuvi; na kuandaa na kusambazanakala 5,000 za kalenda ya mwaka 2016 na2,000 za vipeperushi juu ya utekelezaji wamajukumu ya wizara.

Matumizi ya Teknolojia ya Habari naMawasiliano (TEHAMA)

147. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2014/2015, Wizara imeandaa Mpango Mkakatiwa Utekelezaji wa Sera ya TEHAMA ya Wizarapamoja na kuimarisha mfumo wa TEHAMA. Pia,Wizara imeunganishwa na Mkongo wa Taifa nakuboresha mawasiliano ya mdahalisi (internet)na kuunganishwa na vituo vya nje kwa lengo lakuweka msingi wa kutumia simu za mdahalisi.Vilevile, Kitengo cha TEHAMA kimewezeshwakwa kupatiwa watumishi na vitendea kazi.

148. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2015/2016, Wizara itaendelea kujenga mfumowa kielektroniki wa kukusanya maduhuli yasekta za mifugo na uvuvi. Aidha, itachapishaMpango Mkakati wa Utekelezaji wa Sera yaTEHAMA. Pia, itajenga mtandao (LAN na WAN)utakaounganisha mawasiliano kati ya Vituo vyaWizara na Makao Makuu. Vilevile, itaendeleakuboresha tovuti ya Wizara kwa lengo lakuwawezesha wadau kupata taarifa mbalimbaliza sekta za mifugo na uvuvi na kuwezesha

Page 131: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

131

mafunzo ya stadi za TEHAMA kwa wataalamuwa kitengo.

Hifadhi ya Mazingira na Mabadiliko yaTabianchi

149. Mheshimiwa Spika, katika mwaka2014/2015, wizara kwa kushirikiana naMamlaka ya Hali ya Hewa (TMA) imeendeleakutoa taarifa kwa wafugaji na wavuvi kuhusuupatikanaji wa maji na malisho; hali ya baharina maziwa na kutoa maelekezo stahiki. Aidha,Wizara kwa kushirikiana na Mradi wa Taifa waBiogesi, imebainisha maeneo yatakayojengwamitambo ya mfano ya biogesi inayozingatia haliya ukame katika mazingira ya ufugaji wa asilikatika Wilaya za Arusha, Babati, Longido,Monduli, Hanang, Mbulu, Korogwe, Handeni,Dodoma, Kongwa, Bahi, Kondoa, Singida,Manyoni, Mwanga, Same na Arumeru. Vilevile,Wizara imeendelea kuhamasisha wavuvi juu yamatumizi ya teknolojia zinazozingatia hifadhi yamazingira na matumizi ya nishati mbadala.Aidha, wadau 132 kutoka kwenye vikundi vyawavuvi wa Wilaya za Muheza, Bagamoyo,Mkinga na Rufiji wamehamasishwa kutumiateknolojia ya kukausha samaki kwa nishati yajua. Pia, Wizara imeendelea kuhimiza sektabinafsi kuwekeza katika matumizi ya boti zafibre glass ili kupunguza ukataji wa miti kwaajili ya kutengeneza boti za uvuvi.

Page 132: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

132

Katika mwaka 2015/2016, Wizara itaendeleakutoa tahadhari kuhusu mabadiliko yatabianchi kwa wafugaji na wavuvi nakuhamasisha matumizi ya teknolojiazinazozingatia hifadhi ya mazingira namatumizi ya nishati mbadala. Aidha, itaendeleakuhimiza matumizi ya boti za “Fibre glass” ilikupunguza ukataji wa miti kwa ajili yakutengeneza boti za Uvuvi.

5.0 SHUKRANI

150. Mheshimiwa Spika, kabla ya kuhitimishahotuba yangu, napenda kuchukua fursa hiikuwashukuru wale wote waliochangia kwanamna moja au nyingine katika kuiwezeshaWizara yangu kufanikisha majukumu yake.Napenda kuzitambua na kuzishukuru nchi zaJumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Jumuiya yaMaendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika(SADC), Umoja wa Nchi za Ulaya (EU), Serikaliza Australia, Austria, Brazil, Canada, Jamhuriya Czech, Hispania, Iceland, Ireland, Japan,Jamhuri ya Watu wa China, Israel, KoreaKusini, Marekani, Misri, Norway, Poland,Sweden, Ubelgiji, Ufaransa, Uholanzi, Uingereza,Ujerumani na Uswisi pamoja na mashirika yaUmoja wa Mataifa ya FAO, IAEA, UNICEF,UNDP, UNIDO na WHO na mifuko ya kimataifaya GEF na IFAD kwa kuchangia katikamaendeleo ya sekta za mifugo na uvuvi.

Page 133: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

133

151. Mheshimiwa Spika, vilevile, nazishukurutaasisi za kimataifa ambazo ni pamoja na Benkiya Dunia, Benki ya Maendeleo ya Afrika; Shirikala Kimataifa la Ushirikiano la Japan (JICA),Shirika la Kimataifa la Ushirikiano la Jamhuriya Korea (KOICA), Shirika la Misaada la Ireland(Irish Aid), Shirika la Misaada la Marekani(USAID), Shirika la Misaada la Australia(AUSAID), Idara ya Maendeleo ya Kimataifa yaUingereza (DfID), Taasisi ya Rasilimali zaWanyama ya Umoja wa Afrika (AU/IBAR),Shirika la Afya ya Wanyama Duniani (OIE),Shirika la Maendeleo la Uswisi (SDC), Shirika laUshirikiano la Ujerumani (GTZ), United NationsUniversity (UNU), Shirika la Maendeleo laDenmark (DANIDA) na Shirika la Kimataifa laMaendeleo la Sweden (SIDA) kwa michango yaokatika kuendeleza sekta za mifugo na uvuvi. Pia,nayashukuru Mashirika na Taasisi za hiari zaBill and Melinda Gates Foundation, Associationfor Agricultural Research in East and CentralAfrica (ASARECA), The New Partnership forAfrican’s Development (NEPAD), InternationalLivestock Research Institute (ILRI), World WideFund for Nature (WWF), Indian OceanCommission (IOC), South West Indian OceanFisheries Commission (SWIOFC), Heifer ProjectTanzania (HPT), Overseas Fisheries Co-operationFoundation of Japan (OFCF), Vetaid, CareInternational, OXFAM, Welcome Trust, WorldVision, FARM Africa, Land O’ Lakes, Building

Page 134: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

134

Resources Across Communities (BRAC), WorldSociety for Protection of Animals (WSPA), GlobalAlliance for Livestock and Veterinary Medicine(GALVmed), Institute for Security Studies (ISS-Africa), International Land Coalition (ILC),British Gas International, Sea Sense, IndianOcean Tuna Commission (IOTC), InternationalWhaling Commission (IWC), SmartFish naMarine Stewardship Council (MSC).

152. Mheshimiwa Spika, napenda kutoashukrani zangu za pekee kwa wananchi wote,hususan wafugaji, wavuvi na wadau wenginekwa michango yao katika kuendeleza sekta zamifugo na uvuvi nchini. Nachukua nafasi hiikuwaomba waendelee kushirikiana nasi katikakuendeleza sekta za mifugo na uvuvi nchini.

153. Mheshimiwa Spika, naomba nimaliziekuwashukuru kwa dhati Katibu Mkuu Dkt.Yohana L. Budeba, Wakuu wa Idara na Vitengo,Taasisi na watumishi wote wa Wizara kwaushirikiano wao katika kutekeleza majukumutuliyopewa na Taifa na kufanikisha maandaliziya bajeti hii.

6.0 BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA2015/2016

154. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wafedha wa 2015/2016, Wizara inaomba Bungelako Tukufu likubali kupitisha Makadirio yaMatumizi ya Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na

Page 135: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

135

Uvuvi ya jumla ya shilingi 68,810,404,000.00kama ifuatavyo:-

(i) Shilingi 46,158,922,000.00 ni kwaajili ya Matumizi ya Kawaida. Kati yahizo, shilingi 30,050,702,000.00 nikwa ajili ya mishahara ya watumishi(PE); na shilingi 16,108,220,000.00ni kwa ajili ya Matumizi Mengine (OC);na

(ii) Shilingi 22,651,482,000.00 ni kwaajili ya kutekeleza miradi yamaendeleo. Kati ya hizo, shilingi22,000,000,000.00 ni fedha za ndanina shilingi 651,482,000.00 ni fedhaza nje.

155. Mheshimiwa Spika, naomba tenanitoe shukurani zangu za dhati kwako na kwaWaheshimiwa Wabunge kwa kunisikiliza.Hotuba hii pia inapatikana katika Tovuti yaWizara kwa anuani: www.mifugouvuvi.go.tz.

156. Mheshimiwa Spika, pamoja nahotuba hii nimeambatanisha Randama yaMpango na Bajeti ya Wizara kwa mwaka2015/2016.

157. Mheshimiwa Spika, naomba kutoahoja.

Page 136: HOTUBA YA WAZIRI WA MAJI NA MAENDELEO YA …parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1461400727-007 TMD kama… · ufugaji wa kisasa wenye tija kubwa. ... Kosaafu za mbari za kuku

136

HOTUBA YA WAZIRI WA MAENDELEOYA MIFUGO NA UVUVI, MHESHIMIWADKT. TITUS MLENGEYA KAMANI (MB),AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIOYA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA

KWA MWAKA 2015/2016