22
Kuzungumza kuhusu tohara ya kimatibabu kwa wanaume isiyo ya lazima: Kifaa cha mazungumzo kati ya muhudumu na mteja.

Kuzungumza kuhusu tohara ya kimatibabu kwa wanaume ......2. Mueleze faida za kiafya kwenu nyote. 3. Kukuunga kwake mkono itafanya mpangilio uwe raisi kwako. 4. Tembeleeni kituo cha

  • Upload
    others

  • View
    3

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: Kuzungumza kuhusu tohara ya kimatibabu kwa wanaume ......2. Mueleze faida za kiafya kwenu nyote. 3. Kukuunga kwake mkono itafanya mpangilio uwe raisi kwako. 4. Tembeleeni kituo cha

Kuzungumza kuhusu tohara ya kimatibabu kwa wanaume isiyo yalazima: Kifaa cha mazungumzo kati ya muhudumu na mteja.

Page 2: Kuzungumza kuhusu tohara ya kimatibabu kwa wanaume ......2. Mueleze faida za kiafya kwenu nyote. 3. Kukuunga kwake mkono itafanya mpangilio uwe raisi kwako. 4. Tembeleeni kituo cha

1

Picha hizi zimetengenezwa kuwasaidia wahudumu wa afya na washauri kupasha habari kwa njia inayofaa mno kuhusu tohara ya kimatibabu kwa wanaume isiyo ya lazima. Upande mmoja wa ukurasa unafaa kutazamwa na mteja na upande mwingine ulio na alama ya sayari ya manjano unafaa kutazamwa na mshauri.

Page 3: Kuzungumza kuhusu tohara ya kimatibabu kwa wanaume ......2. Mueleze faida za kiafya kwenu nyote. 3. Kukuunga kwake mkono itafanya mpangilio uwe raisi kwako. 4. Tembeleeni kituo cha

Tohara ya kimatibabu kwa wanaume isiyo ya lazima inasaidia kukingafamilia yako kutokana na virusi vya UKIMWI.

Page 4: Kuzungumza kuhusu tohara ya kimatibabu kwa wanaume ......2. Mueleze faida za kiafya kwenu nyote. 3. Kukuunga kwake mkono itafanya mpangilio uwe raisi kwako. 4. Tembeleeni kituo cha

2

Page 5: Kuzungumza kuhusu tohara ya kimatibabu kwa wanaume ......2. Mueleze faida za kiafya kwenu nyote. 3. Kukuunga kwake mkono itafanya mpangilio uwe raisi kwako. 4. Tembeleeni kituo cha

Kupimwa virusi vya UKIMWI na muda wa kuambukizwahadi wakati virusi vinapogunduliwa kwenye damu.

Hakuna Virusi vyaUKIMWI/Mwenye afya

Virusi vya UKIMWIvinaingia mwilini

Virusi vya UKIMWIvinaongezeka kwa wingi,

uwezekano wa kuambukizawengine ni wa hali ya juu,

ukipimwa Virusi vya UKIMWI,matokeo huenda yakaonyesha

hamna.

Kinga ya mwili wako inaanza kukabiliana

na Virusi vya UKIMWI, uwezekano wa

kuambukiza wengineunapungua

Virusi vya UKIMWIvinabadilika kuwa

ugonjwa wa UKIMWI.Kinga ya mwili

inadhoho�ka. Uwezakanowako kuambukiza

watu unakuwa mwingi.Kinga ya mwili

Virusi vya UKIMWI

Page 6: Kuzungumza kuhusu tohara ya kimatibabu kwa wanaume ......2. Mueleze faida za kiafya kwenu nyote. 3. Kukuunga kwake mkono itafanya mpangilio uwe raisi kwako. 4. Tembeleeni kituo cha

3Kupimwa virusi vya UKIMWI na muda wa kuambukizwa

hadi wakati virusi vinapogunduliwa kwenye damu.

Virusi vya UKIMWIvinaongezeka kwa wingi,

uwezekano wa kuambukizawengine ni wa hali ya juu,

ukipimwa virusi vya UKIMWI,matokeo huenda yakaonyesha

hamna.Kinga ya mwili

Virusi vya UKIMWI

Hakuna virusi vyaUKIMWI/Mwenye afya

Virusi vya UKIMWIvinaingia mwilini

Kinga ya mwili wako inaanza kukabiliana

na virusi vya UKIMWI, uwezekano wa

kuambukiza wengineunapungua

Virusi vya UKIMWIvinabadilika kuwa

ugonjwa wa UKIMWI.Kinga ya mwili

inadhoho�ka. Uwezakanowako kuambukiza

watu unakuwa mwingi.

Kupimwa virusi vya UKIMWI na muda wa kuambukizwa hadi wakati virusi vinapogunduliwa kwenye damu

1. Ni muhimu kujua hali yako ya virusi vya UKIMWI kabla ya kupata tohara ya kimatibabu isiyo ya lazima upate faida ya juu inayotokana na tohara ya kimatibabu isiyo ya lazima. Tohara ya kimatibabu kwa wa naume isiyo ya lazima haipendekezwi kwa wanaume walioambukizwa virusi vya UKIMWI. Wateja ambao wata kataa kupimwa virusi vya UKIMWI na bado wanataka watahiriwe wataheshimiwa kwa uamuzi wao.2. Upimaji wa virusi vya UKIMWI unagundua kingamwili (Wanajeshi) wanaokabiliana na virusi vya UKIMWI, si virusi vyenyewe.3. Ingawaje upimaji huu unauwezo wa juu wa kuonyesha mabadiliko hata madogo, huwa kuna muda ambao baada ya kuambukizwa, virusi vinagunduliwa kwenye damu. Huu ndiyo wakati ambapo mtu aliye ambukizwa virusi vya UKIMWI hana kingamwili ya kutosha kugunduliwa kupitia upimaji tunayoitu mia4. Katika juma la kwanza kati ya majuma 6 hadi 8 baada ya kuambukizwa, virusi vinaongezeka haraka. Wakati kama huu, mtu anaweza kueneza virusi vya UKIMWI kwa wengine.

Page 7: Kuzungumza kuhusu tohara ya kimatibabu kwa wanaume ......2. Mueleze faida za kiafya kwenu nyote. 3. Kukuunga kwake mkono itafanya mpangilio uwe raisi kwako. 4. Tembeleeni kituo cha

Jinsi tohara inavyokukinga dhidi ya virusi vya UKIMWI

Ngozi inatolewa wakatiwa kutahiriwa

Shina ya uume

Shina ya uumeNgozi ya uumeimetolewa

Uume ambao haujatahiriwa Uume uliotahiriwa

Page 8: Kuzungumza kuhusu tohara ya kimatibabu kwa wanaume ......2. Mueleze faida za kiafya kwenu nyote. 3. Kukuunga kwake mkono itafanya mpangilio uwe raisi kwako. 4. Tembeleeni kituo cha

Circumcised Erect

4

Ngozi inatolewa wakatiwa kutahiriwa

Shina ya uume

Shina ya uumeNgozi ya uumeimetolewa

Uume ambao haujatahiriwa Uume uliotahiriwa

1. Sehemu ya ndani ya ngozi ya uume ni nyororo na yenye unyevu nyevu na kwa hivyo kuwa na uwezekano wa kuraruka kidogo au kuwa na kidonda ambayo inaruhusu virusi vya UKIMWI kuingia mwilini kwa urahisi.2. Ngozi ya uume yenyewe ina chembe chembe zinazolengwa na virusi vya UKIMWI zinazowezesha virusi vya UKIMWI kuingia mwilini kwa urahisi. 3. Baada ya tohara, ngozi kwenye sehemu ya kichwa cha uume inakuwa ngumu na haiwezi kuraruka kwa urahisi. Mwanaume aliyetahiriwa ana kinga 60% kuambukizwa virusi vya UKIMWI kuliko mwanaume hajayetahiriwa.

Jinsi tohara ya kimatibabu kwa wanaume isiyo ya lazima inakukingadhidi ya virusi vya UKIMWI:

Jinsi tohara inavyokukinga dhidi ya virusi vya UKIMWI

Page 9: Kuzungumza kuhusu tohara ya kimatibabu kwa wanaume ......2. Mueleze faida za kiafya kwenu nyote. 3. Kukuunga kwake mkono itafanya mpangilio uwe raisi kwako. 4. Tembeleeni kituo cha

Mpangilio wa kupasha tohara yakimatibabu kwa wanaume isiyo yalazima: Kufanya uamuzi

Hatuaya 1

Hatuaya 2

Hatuaya 3

Page 10: Kuzungumza kuhusu tohara ya kimatibabu kwa wanaume ......2. Mueleze faida za kiafya kwenu nyote. 3. Kukuunga kwake mkono itafanya mpangilio uwe raisi kwako. 4. Tembeleeni kituo cha

5

Jadili kuhusu tohara ya kimatibabu kwawanaume isiyo ya lazima na mshauri.

Jaza fomu ya ombi la kupashwa tohara yakimatibabu kwa wanaumeisiyo ya lazima.

Hatua

ya 1

Hatua

ya 2

Hatua

ya 3

Mpangilio wa kupasha tohara ya kimatibabukwa wanaume isiyo ya lazima: Kufanya uamuzi

Fika ili utahiriwe. Wewe pamoja na mshirika wakomnafaa kuelewa utaratibu, kwa hivyo ni vyemakwako na mshirika wako kumtembelea mshauri au muhudumu wa afya pamoja.

Page 11: Kuzungumza kuhusu tohara ya kimatibabu kwa wanaume ......2. Mueleze faida za kiafya kwenu nyote. 3. Kukuunga kwake mkono itafanya mpangilio uwe raisi kwako. 4. Tembeleeni kituo cha

Mpangilio wa kupasha tohara yakimatibabu kwa wanaume isiyoya lazima: Matayarisho

Hatuaya 5

Hatuaya 6

Hatuaya 4

Page 12: Kuzungumza kuhusu tohara ya kimatibabu kwa wanaume ......2. Mueleze faida za kiafya kwenu nyote. 3. Kukuunga kwake mkono itafanya mpangilio uwe raisi kwako. 4. Tembeleeni kituo cha

6

Pimwa virusi vya UKIMWI

Ukaguliwe kama una magonjwa yoyotekwenye viungo vya uzazi.

Upewe sindano ya kutia ganzi sehemuya chini ya uume wako kuifanya ife ganzi.

Hatuaya 4

Hatuaya 5

Hatuaya 6

Mpangilio wa kupasha tohara ya kimatibabukwa wanaume isiyo ya lazima: Matayarisho

Page 13: Kuzungumza kuhusu tohara ya kimatibabu kwa wanaume ......2. Mueleze faida za kiafya kwenu nyote. 3. Kukuunga kwake mkono itafanya mpangilio uwe raisi kwako. 4. Tembeleeni kituo cha

Mpangilio wa kupasha tohara ya kimatibabukwa wanaume isiyo ya lazima: Kutoa ngoziya uume

Hatuaya 7

Hatuaya 8

Hatuaya 9

Page 14: Kuzungumza kuhusu tohara ya kimatibabu kwa wanaume ......2. Mueleze faida za kiafya kwenu nyote. 3. Kukuunga kwake mkono itafanya mpangilio uwe raisi kwako. 4. Tembeleeni kituo cha

7

Ngozi ya uume inatolewa

Pumzika kwa dakika 30.

Hatuaya 7

Hatuaya 8

Hatuaya 9

Mpangilio wa kupasha tohara ya kimatibabu kwawanaume isiyo ya lazima: Kutoa ngozi ya uume

Upokee ushauri kuhusu unayopaswakufanya ili upone vizuri.

Page 15: Kuzungumza kuhusu tohara ya kimatibabu kwa wanaume ......2. Mueleze faida za kiafya kwenu nyote. 3. Kukuunga kwake mkono itafanya mpangilio uwe raisi kwako. 4. Tembeleeni kituo cha

Hatuaya 12

Mpangilio wa kupasha tohara ya kimatibabukwa wanaume isiyo ya lazima: Baada ya kutahiriwa

Hatuaya 10

Hatuaya 11

X

Page 16: Kuzungumza kuhusu tohara ya kimatibabu kwa wanaume ......2. Mueleze faida za kiafya kwenu nyote. 3. Kukuunga kwake mkono itafanya mpangilio uwe raisi kwako. 4. Tembeleeni kituo cha

8

Nenda nyumbani. Usiendeshe baiskeli ukienda nyumbani,hata hivyo, kwa sababu inaweza kurarua kidonda na kuzuiakupona vizuri.

Oga kwa uangalifu bila kuloweshabandeji.

Toa bandeji baada ya siku 3 au tembelea kituocha afya kilichoko karibu nawe kwa usaidizikama huwezi kutoa bandeji mwenyewe

Hatuaya 10

Hatuaya 11

Hatuaya 12

Mpangilio wa kupasha tohara ya kimatibabukwa wanaume isiyo ya lazima: Baada ya kutahiriwa

Page 17: Kuzungumza kuhusu tohara ya kimatibabu kwa wanaume ......2. Mueleze faida za kiafya kwenu nyote. 3. Kukuunga kwake mkono itafanya mpangilio uwe raisi kwako. 4. Tembeleeni kituo cha

Mpangilio wa kupasha tohara yakimatibabu kwa wanaume isiyoya lazima: Kupona kamili

Hatuaya 13

Hatuaya 14

Hatuaya 15

Page 18: Kuzungumza kuhusu tohara ya kimatibabu kwa wanaume ......2. Mueleze faida za kiafya kwenu nyote. 3. Kukuunga kwake mkono itafanya mpangilio uwe raisi kwako. 4. Tembeleeni kituo cha

9

Usijichoshe na kazi au kuogelea kwa juma moja.

Hatua

ya 13

Hatua

ya 14

Hatua

ya 15

Mpangilio wa kupasha tohara ya kimatibabukwa wanaume isiyo ya lazima: Kupona kamili

Rudi katika kliniki siku ya 7 baada ya kutahiriwa ili ukaguliwe.

Jiepushe na ngono au kupiga punyatokwa majuma sita ili upone vizuri

Page 19: Kuzungumza kuhusu tohara ya kimatibabu kwa wanaume ......2. Mueleze faida za kiafya kwenu nyote. 3. Kukuunga kwake mkono itafanya mpangilio uwe raisi kwako. 4. Tembeleeni kituo cha

Endelea kujikinga kutokana navirusi vya UKIMWI

Page 20: Kuzungumza kuhusu tohara ya kimatibabu kwa wanaume ......2. Mueleze faida za kiafya kwenu nyote. 3. Kukuunga kwake mkono itafanya mpangilio uwe raisi kwako. 4. Tembeleeni kituo cha

10

Endelea kujikinga kutokana na virusi vya UKIMWI.

• Kuwa mwaminifu kwa mshirika wako mmoja ambaye hali yake ya virusi vya UKIMWI unajua.• Kila wakati tumia kondomu kila mara unapo fanya ngono.

Page 21: Kuzungumza kuhusu tohara ya kimatibabu kwa wanaume ......2. Mueleze faida za kiafya kwenu nyote. 3. Kukuunga kwake mkono itafanya mpangilio uwe raisi kwako. 4. Tembeleeni kituo cha

Jadili tohara ya kimatibabu kwawanaume isiyo ya lazima na mshirikawako.

Page 22: Kuzungumza kuhusu tohara ya kimatibabu kwa wanaume ......2. Mueleze faida za kiafya kwenu nyote. 3. Kukuunga kwake mkono itafanya mpangilio uwe raisi kwako. 4. Tembeleeni kituo cha

11

1. Ni vizuri kuzungumza na mshirika wako kabla hujatahiriwa.2. Mueleze faida za kiafya kwenu nyote.3. Kukuunga kwake mkono itafanya mpangilio uwe raisi kwako.4. Tembeleeni kituo cha afya mkiwa pamoja ili mjadili kuhusu tohara ya kimatibabu kwa wanaume isiyo ya lazima na mshauri.5. Nyote yafaa mpimwe virusi vya UKIMWI kabla hujatahiriwa.

Kujadili tohara ya kimatibabu kwa wanaume isiyo yalazima na mshirika wako: