Upload
others
View
15
Download
0
Embed Size (px)
Citation preview
MRADI WA KIKANDA WA KUZALISHA NISHATI YA UMEME KUTOKA MAPOROMOKO YA MAjI YA RUSUMO
NILE BASIN INITIATIVEInitiative du Bassin du Nil
www.nilebasin.org
MAELEZO YA KINA KUHUSU HALI HALISI
(BURUNDI, RWANDA NA TANZANIA)
BURUNDI RWANDA TANZANIA
www.rusumoproject.org
Keza
Heru
Fizi
Ngara
Kyaka
Kafua
Itari
Ndoma
Gitwe
Uvira
Idjwi
Resha
Ndora
Kinoni
Kibale
Gayaza
Kinoni
Kigezi
Kibale
Gayaza
Katoke
Kasulu
Kanazi
Buhoro
Runazi
Ruhuma
Rubare
Rubafu
Nyange
Musasa
Muleba
Makere
Kizivu
Kimisi
Kator
Katoke
Kasulu
Kanazi
Kalema
Kaisho
Ibwera
Bwanga
Bunazi
Buhoro
Bugene
Nyanza
Kitabi
Kigina
Kabaya
Gabiro
Kalehe
Kabare
Masisi
Rutana
Murehe
Muliza
Mugina
MugeraKarusi
Kabezi
Ijenda
Gihofi
Butara
Buriri
Bukeye
Kafunzo
Kanungu
Kafunzo
Kabwohe
Kasanda
BRulenge
Nshamba
Murongo
Muhutwe
Mugunzu
Mugombe
Mubunda
Mbirira
Marungu
Manyovu
Mabogwe
Kituntu
Kibondo
Kasanda
Karambi
Karagwe
Kakonko
Kabwoba
Kabanga
Ilemera
Bwanjai
Businde
B
Bu
Kayonza
Gatsibo
Kibimba
Rusengo
Rumonge
Mubanga
Mabanda
Kyriama
Buganda
KalisizoBushenyi
Ntungamo
Nsongezi
Kikagati
Kalisizo
Bwambara
Busungwe
Kigarama
Rwabwere
Nyarugug
Nkurungu
Missenyi
Kimsambi
Kigarama
Chikonji
Rutshuru
Ruhororo
Kinyinya
Bugarama
Nyantwiga
Nyakisogo
Nyakanazi
Nyakahura
Nyaishozi
Lusahanga
Kitungole
Kamachumu
Diobahika
Rwamagana
Mugambazi
Kawangire
Kakitumba
Mutambara
Cendajuru
Mwirasandu
Nyamirembe
NyamgalikaNyakitonto
Nyakanyasi
Komonanira
Katoro (2)
Nyanza-Lac
Muhutwe (2)
Kemondo Bay
Busirayombo
Mu Rusagamba
Kiziramuyaga
Rubangabanga
Nyaka Kangaga
Mule 34
Jiji 03
Siguvyaye
MuyingaNgozi
Ruhororo
Ijenda
Bukeye
Bubanza
Muramvya
Gitera
Karuzi
Ngara
Ruyigi
Bururi
Nyanza-Lac
Mutambara
Kabezi
Kasulu
Kibondo
Nyanza
Rwegura
Kafua
Ndoma
Gabiro
Kayonza
Kabarondo
Muleba
Karambi
Kigarama
Biharamulo
Lusabanga
Nyakanazi
Chato
Nyakahura
Rusengo
Ruhengeri
Gisenyi
Goma
Kibuye
Gitarama
Gitwe
CyanguguGikongoro
Butare
Byumba
Kibungo
Bukoba
Kabale
Kanungu
Kisoro
Rukungiri
Rutshuru
Ntungamo
Mbarara
Kibale
Rakai
Busungwe
Rubafu
Bunazi
Kyaka
Muhutwe
Kalehe
Idjwi
BUJUMBURA
KIGALI
U G A N D A
T A N Z A N I A
R W A N D A
B U R U N D I
D E M . R E P.O F
C O N G O
D E M . R E P.O F
C O N G O
Kirundo
Kagitumba
LakeCyohoha
South
LakeCyohoha
North
LakeIhema
LakeCyambwe
LakeNasho
LakeBulera
LakeLuhondo
LakeTanganyika
LakeVictoria
LakeKivu
LakeRwanyakizinga
LakeNakival
LakeMihindi
LakeMuhazi
LakeHago
LakeBunyoni
LakeKiyumba
LakeRwampanga
LakeMugesera
LakeRweru
LakeBurigi
Makavda
MuyingaNgozi
Ruhororo
Kirundo
Ijenda
Bukeye
Bubanza
Muramvya
Gitera
Karuzi
Ngara
Ruyigi
Bururi
Nyanza-Lac
Mutambara
Kabezi
Kasulu
Kibondo
Nyanza
Rwegura
Kafua
Ndoma
Gabiro
Kayonza
Kabarondo
Muleba
Karambi
Kigarama
Biharamulo
Lusabanga
Nyakanazi
Chato
Nyakahura
Rusengo
Ruhengeri
Gisenyi
Goma
Kibuye
Gitarama
Gitwe
CyanguguGikongoro
Butare
Byumba
Kibungo
Bukoba
Kabale
Kanungu
Kisoro
Rukungiri
Rutshuru
Ntungamo
Kagitumba
Mbarara
Kibale
Rakai
Busungwe
Rubafu
Bunazi
Kyaka
Muhutwe
Kalehe
Idjwi
BUJUMBURA
KIGALI
U G A N D A
T A N Z A N I A
R W A N D A
B U R U N D I
D E M . R E P.O F
C O N G O
D E M . R E P.O F
C O N G O
MinzinoForestReserves
UpstreamRusumu Falls
KanyaruValley
Lake Rwihinda Area
RuvubuWetland
Area
NyamuswagaWetland Area
Minzino-Sango BaySwamp Forest
MinzinoForestReserves
UpstreamRusumu Falls
KanyaruValley
Lake Rwihinda Area
RuvubuWetland
Area
NyamuswagaWetland Area
Minzino-Sango BaySwamp Forest
Rusumo Fallsfor detail, see mapbelow.
.R ubuvuR
Kanyaru
Akanyaru
Ruvubu R.
Ruvubu R.
Ruvy
ironza R.
.R aregakA
. R ar egaK
MalagarasiR.
Moyowosi R.
R
Rukarara R.
.R a
suS
Satinsyi R.
N yabarongo R.
LakeCyohoha
South
LakeCyohoha
North
LakeIhema
LakeCyambwe
LakeNasho
LakeBulera
LakeLuhondo
LakeTanganyika
LakeVictoria
LakeKivu
LakeRwanyakizinga
LakeNakival
LakeMihindi
LakeMuhazi
LakeHago
LakeBunyoni
LakeKiyumba
LakeRwampanga
LakeBurigi
LakeMugesera
LakeRweru
RuvubuNational
Park
VolcanoNational
Park
MgahingaNational Park
AkageraNational Park
IbandaGame
Reserve
RumanyikaGameReserve
Lake RwihindaNaturalReserve
NyungweNational Park
KibiraNational
Park
VirungaNational
Park
VirungaNational
Park
Lake MburoNational Park
MoyowosiGame
Reserve
Kigoosi GameReserve
KigosiGame
Reserve
BurigiGame
Reserve
KimisiGame
Reserve
BiharamuloGameReserve
Rubondo Is.National Park
GombeStream
Kabu 16
Kagunuzia
Mpanda
Rusizi I
Rusizi III
Nyabarongo
Kishanda
Kakono
Kabu 16
Mule 34
Jiji 03
Siguvyaye
Kagunuzia
Mpanda
Rusizi I
Rusizi III
Nyabarongo
Kishanda
Kakono
29°E 30°E 31°E
29°E 30°E 31°E
1°S
2°S
3°S
4°S
2°S
3°S
4°S
To Bulyanjulu
To Geita
To Kigoma
0 10 20 30 40 50
KILOMETERS
BURUNDI, RWANDA, AND TANZANIA
REGIONAL RUSUMO FALLS HYDROELECTRIC PROJECT
PROPOSED HYDRO STATIONS
PROPOSED SUBSTATIONS
PROPOSED TRANSMISSION LINES
EXISTING TRANSMISSION LINES
EXISTING HYDRO STATIONS
EXISTING DIESEL POWER STATION
PROJECT HYDROPOWER FACILITY
PROJECT TRANSMISSION LINES
IMPORTANT WETLAND AREAS
NATIONAL PARKS, WILDLIFE RESERVESAND PROTECTED AREAS
MAIN ROADS
CITIES
NATIONAL CAPITALS
INTERNATIONAL BOUNDARIES
2310
4 DR
BI
3102
YLU
J
This map was produced by the Map Design Unit of The World Bank.The boundaries, colors, denominations and any other informationshown on this map do not imply, on the part of The World BankGroup, any judgment on the legal status of any territory, or anyendorsement or acceptance of such boundaries.
GSDPMMap Design Unit
A F R I C A
Area ofMap
Area ofMap
Great LakesRegionGreat LakesRegion
Rusumo Falls
NILE BASIN INITIATIVEInitiative du Bassin du Nil
Nile Basin Initiative
3
UTANGULIZI
Mradi wa kikanda wa kuzalisha nishati ya umeme kutoka maporomoko ya maji Rusumo (The Regional Rusumo Hydroelectric Project) ni msingi wa maisha bora kwa mamia na maelfu ya wakazinaraia wa nchi tatu washirika za: Burundi, Rwanda na Tanzania.
Mradi huu wa uzalishaji wa nishati ya umeme kutoka maporomoko ya maji ya Rusumo, tayari umekamilisha hatua zake kadhaa za awali za utekelezwaji ikiwa ni pamoja na uchunguzi na utafiti wa awali (feasibility studies) kuona pamoja na mambo mengine athari za utekelezwaji wa mradi kwa jamii pamoja na mazingira (Environment and Social Impact Assessment), na pia taratibu za malipo ya fidia kwa waathirika wanaotakiwa kuhamishiwa makazi au shughuli zao (Resettlement Action Plan). Taratibu zote mbili iwe utafiti au mipango ya fidia (ESIA & RAP) zilipangwa kwa kuzingatia vigezo na taratibu stahiki ikiwa ni pamoja na majadiliano na wakazi wa maeneo husika. Nyaraka zinazofafanua matokeo ya uchunguzi wa hali halisi ya eneo na mipango ya fidia zilizingatia na kuheshimu sheria za nchi husika na pia kukidhi viwango vinavyozingatiwa kimataifa. Nyaraka zenye maelezo hayo zimesambazwa na kuwekwa bayana katika nchi zote tatu washirika zinazohusika na mradi huu yaani Tanzania, Burundi na Rwanda, sambamba na vitengo vya ueneza habari vya Benki ya dunia na Benki ya maendeleo ya bara la Afrika.
RRHPP ni kati ya miradi mikubwa yaumeme eneo la Afrika Mashariki. Maandalizi makubwa na ya kutosha yaliyofanywa yakihusisha hatua za awali za uchunguzi na uhakiki wa uwezekano wa kutekelezwa kwa mradi huu ni kithibitisho tosha cha tahadhari zilizochukuliwa kuulinda mradi huu na hatari yoyote pamoja na kupunguza au kudhibiti vikwazo vinavyoweza kuukwamisha mradi huu wakati wa hatua ya utekelezwaji wake.
Mradi umepitia hatua tatu muhimu za usanifu ukianza na hatua ya ufanisi kwa ujumla (Full Development Scheme-FDS), ukamilishaji mradi kwa awamu (Intermediate Development Scheme-IDS) na hivi karibuni mapitio ya mkondo wa mtiririko wa mto (Run of River Development Scheme-RoRDS) jambo lililopendekezwa kama mpango unaofaa kutokana na unafuu wake kiuchumi na hatari ya uwepo wa vikwazo vya kiufundi vinavyoweza kukwamisha mradi (iwe athari kwa jamii au mazingira). Wakati huohuo mataifa washirika yanakamilisha taratibu na mipango yote ya kiserikali kabla ya kuanza kwa mchakato mzima wa ujenzi wa mradi mnamo mwaka 2015.
Shughuli za ujenzi zitaathiri kwa kiasi kidogo mtiririko wa maji na maeneo nyevu kwenye mto Kagera. Kilimo katika mabonde ndani ya kilomita 5 kutoka kwenye mitambo ya uzalishaji Nishati katika wilaya za Ngara nchini Tanzania na Kirehe kwa upande wa Rwanda kitaathiriwa. Ujenzi na shughuli nyingine zinazohusiana na ujenzi wa mradi shirikishi wa uzalishaji wa Nishati ya umeme katika ukanda huu utaathiri kiasi cha kaya 664 kutoka wilaya zote mbili sambamba na eneo la kiasi cha ekari 248 za ardhi ya eneo la bonde ambacho zitafurika muda wote. Sehemu ya eneo litakalofurika moja kwa moja kuzunguka eneo la mradi inahusisha eneo litakalojengwa bwawa, mimea asilia na majengo na mali za wakazi wa eneo husika.
Keza
Heru
Fizi
Ngara
Kyaka
Kafua
Itari
Ndoma
Gitwe
Uvira
Idjwi
Resha
Ndora
Kinoni
Kibale
Gayaza
Kinoni
Kigezi
Kibale
Gayaza
Katoke
Kasulu
Kanazi
Buhoro
Runazi
Ruhuma
Rubare
Rubafu
Nyange
Musasa
Muleba
Makere
Kizivu
Kimisi
Kator
Katoke
Kasulu
Kanazi
Kalema
Kaisho
Ibwera
Bwanga
Bunazi
Buhoro
Bugene
Nyanza
Kitabi
Kigina
Kabaya
Gabiro
Kalehe
Kabare
Masisi
Rutana
Murehe
Muliza
Mugina
MugeraKarusi
Kabezi
Ijenda
Gihofi
Butara
Buriri
Bukeye
Kafunzo
Kanungu
Kafunzo
Kabwohe
Kasanda
BRulenge
Nshamba
Murongo
Muhutwe
Mugunzu
Mugombe
Mubunda
Mbirira
Marungu
Manyovu
Mabogwe
Kituntu
Kibondo
Kasanda
Karambi
Karagwe
Kakonko
Kabwoba
Kabanga
Ilemera
Bwanjai
Businde
B
Bu
Kayonza
Gatsibo
Kibimba
Rusengo
Rumonge
Mubanga
Mabanda
Kyriama
Buganda
KalisizoBushenyi
Ntungamo
Nsongezi
Kikagati
Kalisizo
Bwambara
Busungwe
Kigarama
Rwabwere
Nyarugug
Nkurungu
Missenyi
Kimsambi
Kigarama
Chikonji
Rutshuru
Ruhororo
Kinyinya
Bugarama
Nyantwiga
Nyakisogo
Nyakanazi
Nyakahura
Nyaishozi
Lusahanga
Kitungole
Kamachumu
Diobahika
Rwamagana
Mugambazi
Kawangire
Kakitumba
Mutambara
Cendajuru
Mwirasandu
Nyamirembe
NyamgalikaNyakitonto
Nyakanyasi
Komonanira
Katoro (2)
Nyanza-Lac
Muhutwe (2)
Kemondo Bay
Busirayombo
Mu Rusagamba
Kiziramuyaga
Rubangabanga
Nyaka Kangaga
Mule 34
Jiji 03
Siguvyaye
MuyingaNgozi
Ruhororo
Ijenda
Bukeye
Bubanza
Muramvya
Gitera
Karuzi
Ngara
Ruyigi
Bururi
Nyanza-Lac
Mutambara
Kabezi
Kasulu
Kibondo
Nyanza
Rwegura
Kafua
Ndoma
Gabiro
Kayonza
Kabarondo
Muleba
Karambi
Kigarama
Biharamulo
Lusabanga
Nyakanazi
Chato
Nyakahura
Rusengo
Ruhengeri
Gisenyi
Goma
Kibuye
Gitarama
Gitwe
CyanguguGikongoro
Butare
Byumba
Kibungo
Bukoba
Kabale
Kanungu
Kisoro
Rukungiri
Rutshuru
Ntungamo
Mbarara
Kibale
Rakai
Busungwe
Rubafu
Bunazi
Kyaka
Muhutwe
Kalehe
Idjwi
BUJUMBURA
KIGALI
U G A N D A
T A N Z A N I A
R W A N D A
B U R U N D I
D E M . R E P.O F
C O N G O
D E M . R E P.O F
C O N G O
Kirundo
Kagitumba
LakeCyohoha
South
LakeCyohoha
North
LakeIhema
LakeCyambwe
LakeNasho
LakeBulera
LakeLuhondo
LakeTanganyika
LakeVictoria
LakeKivu
LakeRwanyakizinga
LakeNakival
LakeMihindi
LakeMuhazi
LakeHago
LakeBunyoni
LakeKiyumba
LakeRwampanga
LakeMugesera
LakeRweru
LakeBurigi
Makavda
MuyingaNgozi
Ruhororo
Kirundo
Ijenda
Bukeye
Bubanza
Muramvya
Gitera
Karuzi
Ngara
Ruyigi
Bururi
Nyanza-Lac
Mutambara
Kabezi
Kasulu
Kibondo
Nyanza
Rwegura
Kafua
Ndoma
Gabiro
Kayonza
Kabarondo
Muleba
Karambi
Kigarama
Biharamulo
Lusabanga
Nyakanazi
Chato
Nyakahura
Rusengo
Ruhengeri
Gisenyi
Goma
Kibuye
Gitarama
Gitwe
CyanguguGikongoro
Butare
Byumba
Kibungo
Bukoba
Kabale
Kanungu
Kisoro
Rukungiri
Rutshuru
Ntungamo
Kagitumba
Mbarara
Kibale
Rakai
Busungwe
Rubafu
Bunazi
Kyaka
Muhutwe
Kalehe
Idjwi
BUJUMBURA
KIGALI
U G A N D A
T A N Z A N I A
R W A N D A
B U R U N D I
D E M . R E P.O F
C O N G O
D E M . R E P.O F
C O N G O
MinzinoForestReserves
UpstreamRusumu Falls
KanyaruValley
Lake Rwihinda Area
RuvubuWetland
Area
NyamuswagaWetland Area
Minzino-Sango BaySwamp Forest
MinzinoForestReserves
UpstreamRusumu Falls
KanyaruValley
Lake Rwihinda Area
RuvubuWetland
Area
NyamuswagaWetland Area
Minzino-Sango BaySwamp Forest
Rusumo Fallsfor detail, see mapbelow.
.R ubuvuR
Kanyaru
Akanyaru
Ruvubu R.
Ruvubu R.
Ruvy
ironza R.
.R aregakA
. R ar egaK
MalagarasiR.
Moyowosi R.
R
Rukarara R.
.R a
suS
Satinsyi R.
N yabarongo R.
LakeCyohoha
South
LakeCyohoha
North
LakeIhema
LakeCyambwe
LakeNasho
LakeBulera
LakeLuhondo
LakeTanganyika
LakeVictoria
LakeKivu
LakeRwanyakizinga
LakeNakival
LakeMihindi
LakeMuhazi
LakeHago
LakeBunyoni
LakeKiyumba
LakeRwampanga
LakeBurigi
LakeMugesera
LakeRweru
RuvubuNational
Park
VolcanoNational
Park
MgahingaNational Park
AkageraNational Park
IbandaGame
Reserve
RumanyikaGameReserve
Lake RwihindaNaturalReserve
NyungweNational Park
KibiraNational
Park
VirungaNational
Park
VirungaNational
Park
Lake MburoNational Park
MoyowosiGame
Reserve
Kigoosi GameReserve
KigosiGame
Reserve
BurigiGame
Reserve
KimisiGame
Reserve
BiharamuloGameReserve
Rubondo Is.National Park
GombeStream
Kabu 16
Kagunuzia
Mpanda
Rusizi I
Rusizi III
Nyabarongo
Kishanda
Kakono
Kabu 16
Mule 34
Jiji 03
Siguvyaye
Kagunuzia
Mpanda
Rusizi I
Rusizi III
Nyabarongo
Kishanda
Kakono
29°E 30°E 31°E
29°E 30°E 31°E
1°S
2°S
3°S
4°S
2°S
3°S
4°S
To Bulyanjulu
To Geita
To Kigoma
0 10 20 30 40 50
KILOMETERS
BURUNDI, RWANDA, AND TANZANIA
REGIONAL RUSUMO FALLS HYDROELECTRIC PROJECT
PROPOSED HYDRO STATIONS
PROPOSED SUBSTATIONS
PROPOSED TRANSMISSION LINES
EXISTING TRANSMISSION LINES
EXISTING HYDRO STATIONS
EXISTING DIESEL POWER STATION
PROJECT HYDROPOWER FACILITY
PROJECT TRANSMISSION LINES
IMPORTANT WETLAND AREAS
NATIONAL PARKS, WILDLIFE RESERVESAND PROTECTED AREAS
MAIN ROADS
CITIES
NATIONAL CAPITALS
INTERNATIONAL BOUNDARIES
2310
4 DR
BI
3102
YLU
J
This map was produced by the Map Design Unit of The World Bank.The boundaries, colors, denominations and any other informationshown on this map do not imply, on the part of The World BankGroup, any judgment on the legal status of any territory, or anyendorsement or acceptance of such boundaries.
GSDPMMap Design Unit
A F R I C A
Area ofMap
Area ofMap
Great LakesRegionGreat LakesRegion
Rusumo Falls
NILE BASIN INITIATIVEInitiative du Bassin du Nil
Nile Basin Initiative
4
Mahala Mradi wa RRFP upo kusini mashariki mwa Rwanda, panapopakanisha upande wa kasikazini magharibi mwa Tanzania panapo mto Kagera.
Gharama Makadirio ya gharama za mradi ni dola za Kimarekani milioni 470 ambazo sehemu yake ya kiasi cha dola milioni 340 zitatumika kukamilisha shughuli zinazowezesha ujenzi wa mitambo ya uzalishaji ilihali dola milioni 130 zitatumika kujenga mikondo ya usafirishaji umeme.
Wafadhiri Mitambo ya uzalishaji na ujenzi wa mikondo ya uchukuzi wa umeme katika nchi zote tatu washirika katika mradi huu itafadhiriwa kwa pamoja na Benki ya Dunia, Benki ya Maendeleo ya Afrika, sambamba na wadau wengine kama serikali ya Uholanzi na Ujerumani.
Usanifu na muundo wa bwawa la mitambo
Mitambo ya uzalishaji nishati itajengwa kwa kufuata muundo na mtiririko wa maji pakitumika mfumo uitwao “Run of River (RoR) Development Scheme”, katika kima cha mita 1,320 juu ya usawa wa bahari.
Michepuo ya mabwawa ya maji (Reservoir)
Kutokana na mbinu za ujenzi zinazofuata mfumo wa “Run of River” ambao hutengeneza ukinzani katika mtiririko, hapatarajiwi kuwepo na michepuo mipya ya madimbwi yanayochanua kutoka mtiririko wa mto huo (Reservoir).
Mikondo ya nyaya za umeme
Mikondo ya nyaya yenye uwezo wa kusafirisha kiasi cha kilovolti 220 za nishati kwa mfumo wa sakiti tasa itawekwa kupitisha nishati ya umeme kwa umbali wa kilomita 161 kutoka shina la uzalishaji hadi katika vituo vya usambazaji nchini Burundi, zenye urefu wa kilomita 119 zikiwa na sakiti mbili moja kwa njia ya mwambatanisho zitapeleka umeme upande wa Rwanda na nyaya zenye urefu wa 98.2km zikiwa pia na sakiti mbili moja ikiwa imeambatanishwa zitapeleka umeme katika vituo vya ugavi nchini Tanzania kutoka shina la uzalishaji. Mikondo hii ya nyaya itakayokuwa na muundo wa herufi T itaunganishwa moja kwa moja kwenye gridi za mataifa hayo washirika.
Athari za Mradi Nchini Rwanda, kiasi cha familia 462 zitaathirika moja kwa moja ilihali kwa upande wa taifa la Tanzania, familia 202 zinakisiwa kuathirika na uendeshwaji wa mradi huu, ikifanya jumla ya familia athirika zote pamoja kuwa 664.
Umeme Megawati 80 (448GWh/kwa mwaka). Ongezeko la wastani wa 5.4% (watu 520,000), watapata huduma ya umeme nchini Burundi, 4% (sawa na watu 467,000) nchini Rwanda na 0.34% (sawa na watu 159,000) nchini Tanzania.
Hatua za utekelezwaji wa mradi
Mawaziri wa nishati waliweka saini makubaliano ya kufanya kazi kwa pamoja kujenga na kusimamia mradi huu mnamo mwaka 2006. Taarifa za uchunguzi juu ya uwezekano wa ufanisi wa mradi huu zilitolewa rasmi mnamo mwezi Aprili, 2012. Inatarajiwa kwamba ujenzi utaanza mwanzoni kabisa mwa mwaka 2015 na kukamilika mnamo mwaka 2018.
Umiliki wa mradi Mamraka ya pamoja itakayohusika na usimamizi wa wa uzaliishaji nishati na uuzwaji wake kwa mashirika ya kitaifa ya ugavi wa umeme imeanzishwa ikijulikana kama shirika la Rusumo Power Company /Special Purpose Vehicle (SPV) ambayo litaendeshwa na kugharimiwa kama shirika la umma kusimamia shughuli zote zilizoainishwa hapo juu.
Mawakala watakaohusika na utekelezwaji wa mradi.
Nile Basin Initiative kupitia Nile Equatorial Lakes Subsidiary Action Program (NELSAP), ndio wakala anayetekeleza majukumu hayo kwa niaba ya Rusumo Power Company Limited (RPCL).
Nia na madhumuni sambamba na faida za mradi
Mradi huu wa uzalishaji nishati utachangia kwa kiasi kikubwa kutatua tatizo la uhaba wa huduma hii katika maeneo yanayozuunguka ukanda wa Kagera katika nchi za Rwanda, Burundi na Tanzania jambo ambalo pia limekuwa likikwamisha maendeleo ya kiuchumi na kijamii kwa wakazi wa nchi hizi.Mradi wa RRFP utafanya umeme unaoweza kuzalishwa bila kikomo kwa mfumo unaojirudia na mikondo ya nyaya ndio utakuwa msingi wa kuunganisha maeneo mengi na kuruhusu kuungana kwa ukanda huu wa maziwa makuu na gridi la nishati la DR Congo kwa faida ya wakazi wa jumuiya ya Afrika mashariki na baadae mpango huu unaweza kushamiri hadi kufikia mabwawa ya uzalishaji nishati ya kusini mwa Afrika.
Watakaonufaika na mradi
Megawati 80 za nishati ya umeme zitakazozalishwa kutokana na mradi huu wa RRFP zitagawanywa sawa kwa nchi washirika na kuunganishwa moja kwa moja kwa kutumia mikondo ya nyaya hadi kwenye gridi za kila taifa zitakazosambaza kwa wananchi wake.
Jedwari 1: MUHTASARI WA HALI HALISI
NILE BASIN INITIATIVEInitiative du Bassin du Nil
Nile Basin Initiative
5
Hali halisi ya usambazaji umeme ndani katika kila nchi Ukanda wa Afrika mashariki; hasa nchi tatu washirika zinazohusishwa na mradi huu ni miongoni mwa nchi zenye kiwango kidogo cha kuenea kwa umeme miongoni mwa wakazi wake katika nchi za kusini mwa jangwa la Sahara. Hadi sasa kuenezwa kwa huduma za umeme kwa Watanzania kumefanikiwa kwa 21%, Rwanda ikiwa katika kiwango cha 16% na Burundi 10%. Hali hii haitofautiani sana na inayojidhihirisha katika nchi dada katika ukanda huu kama Kenya iliyosambaza umeme kwa kiwango cha asilimia 15 za kaya katika nchi hiyo na Uganda iliyofikia kiwango cha 10%.
Ni muhimu kuzingatia pia kwamba Tanzania ina idadi kubwa ya kaya ambazo hazijafikiwa na huduma ya umeme ambapo zaidi ya kaya milioni 7.2 ikifuatiwa na Kenya ambayo ina kaya milioni 6.2 zisizo na umeme, Uganda ina kaya milioni 5.5 zisizo na umeme, Rwanda ikiwa na kaya milioni 1.7 zisizo na umeme na Burundi ina kaya milioni 1.4 kama ambavyo takwimu zilizowekwa bayana na The Lighting Africa Program-ya benki ya Dunia mnamo mwaka 2013).
Waendesha mradi pamoja na wataalamu wake wamesema mradi huu wa uzalishaji nishati ya umeme kutoka maporomoko ya maji ya Rusumo utasaidia kupunguza kwa kiasi kikubwa matumizi ya kuni katika maeneo ya vijiji katika nchi hizi tatu ambazo wananchi wake wameendelea kutegemea kuni kama chanzo cha nishati kwa muda mrefu sasa hata kama kuna huduma ya umeme.
WAHUSIKA WAKUU KATIKA MRADI WA KIKANDA WA UZALISHAJI NISHATI KUTOKA MAPOROMOKO YA MAJI YA RUSUMO Shirika la Rusumo Power Company Limited (RPCL/SPV): Mradi wa uzalishaji nishati ya umeme kutoka maporomoko ya maji ya Rusumo unamilikiwa na nchi tatu washirika. Rusumo Power Company Limited (RPCL) ni shirika la umma linalomilikiwa kwa hisa na nchi Tatu washirika ambalo ingawa linafadhiliwa na nchi hizo tatu, linaendeshwa kama shirika binafsi. Shirika la RPCL lina majukumu ya kuendeleza na kukuza mradi wa uzalishaji nishati ya umeme ikiwa ni pamoja na ujenzi wa mitambo na taratibu nyingine zinazoendana na ufanisi wa mradi kwa ujumla.
Taasisi zinazosimamia masuala yanayohusiana na uzalishaji na usambazaji nishati katika nchi husika zitakuwa na majukumu ya usambazaji ujenzi na usimamizi wa mipango inayoendana na uhamishaji wa wakazi mahala hitajika (Resettlement Action Plan-RAP).
Benki ya Dunia (World Bank-WB): Benki ya Dunia itafadhili gharama za ujenzi wa bwawa la uzalishaji (Power Plant) kwa kiasi cha Dola za marekani milioni 340m. kiasi hiki kinatosha kwa ujenzi na kitagawiwa sawa kwa nchi washirika kila nchi ikipokea kiasi cha $113.30m kuchangia ujenzi wa mitambo ya uzalishaji nishati. Burundi itapokea pesa zote kama msaada, Rwanda itapokea pesa hizo nusu ikiwa deni na nusu ikiwa msaada wakati Tanzania itatapokea pesa hizo huku zikiwa deni kwa 100%. Mradi umekidhi matakwa yote ya benki kulingana na viwango vya kimataifa ikiwa ni pamoja na kuhakiki athari kwa jamii na mazingira (Environmental and Social Impact Assessments-ESIA) na Mipango na taratibu za fidia na uhamishwaji wa makazi kwa wanaoishi katika maeneo athiriwa na mradi (Resettlement Action Plan-RAP). Tayari benki imeweka bayana kwenye mitandao yake nyaraka hizo za ESIA na RAP na pia katika tovuti ya NELSAP ambayo ni: http://www.nilebasin.org/newnelsap/index.php?option=com_content&view=article&id=62&Itemid=99&lang=en
Benki ya Dunia pia hutaka mradi kuwa na vibali vyote na hati za uhakiki na ulinzi wa mazingira kutoka kila taifa husika. Mamlaka husika za nchi zote tatu tayari zimetoa kibali cha mradi kwendelea kujenga mtambo wa uzalishaji umeme. Juhudi zinaendelea kupata idhini ya njia za kupitisha nyaya za umeme.Benki ya Dunia pia hutaka mradi uwe unafahamika kwa nchi zote zinazoguswa na mtiririko wa maji husika na hilo limefanywa tayari huku kukiwa hakuna upinzani wowote ulioonekana kujitokeza kutoka nchi nne za Misri, Sudan, Sudan ya kusini na Kenya.
Mtaalamu wa uhandisi na mkandarasi (Owners Engineers and Contractor): Mchakato wa kuajiri wataalamu wa mradi (Owners Engineer-OE) umekamilika makampuni sita ya kimataifa yamejitosa katika kinyang’anyiro cha kuwania nafasi hiyo. Mhandisi wa mradi anatarijiwa kuandaa ripoti ya awali ndani ya mwezi septemba 2014. Makampuni hayo ni: Energy INFRATECH - India, SWECO/MOTT MACDONALD ya Uingereza, EDF/Lahmeyer ya Ujerumani, TRACTEBEL/SOFRECO ya Ufaransa, FICHNER GMBH CO & KG kutoka Ujerumani na AECOM/ARTELIA ya yenye makao yake nchini Canada na Ufaransa.
NILE BASIN INITIATIVEInitiative du Bassin du Nil
Nile Basin Initiative
6
Mkataba wa ajira kwa mkandalasi wa utapendekezwa na mtaalamu atakayechukua nafasi baada ya matokeo kutangazwa. Wataalamu (OE) na mkandalasi watafanya kwa pamoja mapitio ya usanifu uliopo wa ujenzi wa bwawa la uzalishaji kwa mfumo wa kasi ya mtiririko wa maji ya mto au Run-of River development scheme.
Benki ya maendeleo ya Afrika (African Development Bank-AfDB): Mnamo tarehe 27/11/2013, Bodi ya wakurugenzi wa Benki ya maendeleo ya Afrika walipitisha kiasi cha dola za marekani milioni 113 kwa ajili ya ujenzi wa mikondo na nyaya zake katika mradi wa uzalishaji wa nishali ya umeme kwenye maporomoko ya maji Rusumo. Mradi wa RRFP umekidhi matakwa na sera za AfDB ambayo inatarajiwa kugharimia uwekwaji wa mikondo ya nyaya za uchukuzi wa nishati ya umeme kutoka katika mitambo mikuu ya uzalishaji hadi nchi husika ambazo ni Tanzania kwa umbali wa kilomita 98.2, Burundi umbali wa kilomita 161 na Rwanda umbali wa kilomita 119. Gharama pia zitahusisha ujenzi wa vituo vidogo vya ugavi vitakavyosambaza umeme vinaoupokea kutoka kituo kikuu cha uzalishaji cha Rusumo. Hii ni katika kila nchi. AfDB imebandika hadharani ripoti za ESIA na RAP zinazohusiana na utandikwaji wa mikondo hiyo ya nyaya kama taratibu zake za ugharimiaji mradi zinavyosema. http://www.afdb.org/fileadmin/uploads/afdb/Documents/Project-and-Operations/Rwanda%20-%20Scaling%20Up%20Energy%20Access%20Project%20-%20Appraisal%20Report.pdf
Wadau wengine wa maendeleo walioonesha nia yao katika mradi wa Rusumo ni pamoja na: Serikali ya Ujerumani (KfW), Benki ya uwekezaji ya umoja wa ulaya, na Shirika la Maendeleo la ufaransa (AFD).
Shirika la kimarekani linalotoa misaada ya maendeleo ya kimataifa (United States Agency for International Development-USAID): Taasisi ya USAID imeonyesha utashi wa kuchangia katika ufanisi wa mradi huu wa ambapo pia walishiriki katika suala la uchunguzi wa awali kwa ushirikiano na Benki ya Dunia. Taasisi hiyo inaonyesha matumaini ya kuwa miongoni mwa washirika wazuri kutokana na ukweli kwamba mradi huu unahusisha taratibu salama za uzalishaji nishati bila kuathiri mazingira wala hali ya hewa. Endapo mpango wa ushiriki wa USAID utapitishwa, wanatarajiwa kushiriki zaidi katika suala la mafunzo na kuongeza ujuzi kwa wafanyakazi watakaotekeleza mradi huo.
Serikali za Burundi, Rwanda na Tanzania: serikali hizi tatu zitapokea kila moja kiasi cha dola za kimarekani milioni 113 kutoka benki ya dunia kama msaada au mkopo kulingana na makubaliano kama ilivyoainishwa hapo awali. Pesa hizo ndizo zitakazokuwa mchango wa kila moja katika ujenzi wa mitambo ya uzalishaji Nishati (Power Plant). Mchakato wa kuajiri mkandarasi wa mradi umekamilika. Makampuni sita ya kimataifa yalijitokeza kuwani kandarasi hii, na kampuni ya AECOM/ARTELIA za kanada na Ufaransa zilishinda kandarasi.
NILE BASIN INITIATIVEInitiative du Bassin du Nil
Nile Basin Initiative
7
Table 2: MUHTASARI WA NYARAKA ZILIZOPO ZA ZINAZOHUSU MRADI
NYARAKA ZA MRADI WA RUSUMO IMEANDALIWA NA Mapitio ya athari kwa jamii na mazingira (Environmental and Social Impact Assessment-ESIA)
Artelia Eau and Environment Ltd - Canada/France
Taratibu za kuhamisha makazi (Resettlement Action Plan-RAP) Artelia Eau and Environment Ltd - France
Mkakati wa mashauriano na umma na matokeo yake (Public Consultation & Disclosure Plan-PCDP)
NBI/Nile Equatorial Lakes Subsidiary Action Program (NELSAP)
Udhibiti wa athari/usumbufu (Pest Management Plan-PMP) NBI/Nile Equatorial Lakes Subsidiary Action Program (NELSAP)
Nyaya za shirika la RRFP zenye uwezo wa kubeba 220kv kwa urefu wa Kilomita 98.2 kwenda Tanzania
FICHNER Consultants - Germany
Nyaya za shirika la RRFP zenye uwezo wa kubeba 220kv kwa urefu wa Kilomita 161 kwenda Burundi
FICHNER Consultants - Germany
Nyaya za shirika la RRFP zenye uwezo wa kubeba 220kv kwa urefu wa Kilomita 119 kwenda Rwanda
FICHNER Consultants - Germany
Uhamishwaji wa makazi katika maeneo yatakayokatiza mikondo ya nyaya za uchukuzi wa umeme (Resettlement Action Plan-RAP)
FICHNER Consultants - Germany
Mikakati ya kuendeleza wakazi wa eneo husika (Local Area Development Plan -LADP)
NBI/Nile Equatorial Lakes Subsidiary Action Program (NELSAP)
Utafiti wa ziada kuhusu matokeo yanayoweza kuathirimtiririko wa maji. NBI/Nile Equatorial Lakes Subsidiary Action Program (NELSAP)
Mapitio ya athari zinazoweza kukabili jamii na mazingira-Environmental and Social Impact Assessment (ESIA) na mkakati wa fidia na uhamishaji wa makazi katika maeneo husika yanayoguswa na ujenzi au pitishwaji wa mradi (Resettlement Action Plan-RAP) vimehusisha mapitio na uchunguzi wa kisayansi na vigezo vinavyohusisha ushahidi wa kutosha. Ripoti hizi mbili zinaonyesha baadhi ya matokeo yanayoweza kujitokeza kutokana na utekelezwaji wa mradi kama ilivyoainishwa kwenye jedwali na. 1, hapo juu. Hata hivyo ripoti hizi pia zinatoa mapendekezo ya suruhisho yanayoweza kupatikana kudhibiti athari hizo ikiwa ni pamoja na kufidia jamii athirika.
Muhtasari wa ripoti hizo za ESIA na RAP kama ilivyotajwa hapo juu zimetafsiriwa kutoka lugha ya kiingereza kwenda lugha za kifaransa na Kiswahili kama lugha zinazotumika katika eneo husika la mradi ili kurahisishia jamii husika kuelewa vyema yaliyomo. (Kiswahili ni kwa ajiri ya Tanzania ilihali kifaransa ni mahsusi kwa ajiri ya watu wa Rwanda na Burundi.
Mashauriano na watu wanaoguswa au kuathiriwa na mradiWatu wote watakaoathiriwa na mradi huo ambao ni 664 kulingana na taswira ya sasa ya mtiririko wa mto au Run of River wapo kando ya mchepuo wa juu wa karibu na patakapojengwa mitambo ya uzalishaji kwenye ukingo wa mto Kagera. Kwa mujibu wa mpango wa mashauriano na umma na matokeo yake (Public Consultation and Disclosure Plan-PCDP), zaidi ya watu wapatao 9,000 watakaoguswa kwa namna moja ama nyingine na mradi na utekelezwaji wake walifanyiwa usaili na mashauriano katika kipindi cha kati ya mwezi Julai mwaka 2011 na mwezi Februari mwaka 2012. Ata hivyo hii ilikuwa ngwe ya uchunguzi kuhusu mradi wote na na mapitio ya awamu za utekelezwaji wake (Full Development Scheme-FDS na Intermediate Development Scheme-IDS). Kutokana na ngwe hizo ikiwa ni pamoja na mabadiliko hadi ngwe ya sasa ya kuangalia mfumo wa utiririkaji wa mto ama Run of River scheme madhara yameonekana dhahiri kupungua. Kaya zote 664 kwa upande wa Rwanda na ule wa Tanzania zimekuwa zikishauriana na kupewa taarifa za hapa na pale kuhusu mabadiliko siku hadi siku. Mashauriano haya yataendelea kuwepo hadi pale shughuli za ujenzi zitakapoanza jambo ambalo linakidhi pia viwango bora vya kimataifa na matakwa ya benki ya dunia katika kanuni zake zilizoambatanishwa kwenye vifungu kadhaa ikiwa ni pamoja na OP 4.12 kuhusu uhamishwaji wa makazi usiotokana na hiyari ya mtu.
© NELSAP-RUSUMOJulai, 2014
NILE BASIN INITIATIVEInitiative du Bassin du Nil
BURUNDI RWANDA TANZANIA
www.rusumoproject.org
www.nilebasin.org