35
MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI WA WAKALA WA MAJENGO ELIMU KWA MUELIMISHAJI;YATAMBUE HAYA KABLA HUJAANZA MAJADILIANO Kuishi na UKIMWI si jambo rahisi kwa sababu ni kitu kinachotia hofu kubwa miongoni mwa jamii kwa sababu mbali mbali

MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI WA WAKALA WA MAJENGO · WA WAKALA WA MAJENGO • ELIMU KWA ... •VVU vinavyoshambulia kinga ya mwili na athari zake •Umuhimu wa kujua afya yako •Magonjwa

  • Upload
    others

  • View
    30

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI WA WAKALA WA MAJENGO · WA WAKALA WA MAJENGO • ELIMU KWA ... •VVU vinavyoshambulia kinga ya mwili na athari zake •Umuhimu wa kujua afya yako •Magonjwa

MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI

WA WAKALA WA MAJENGO

• ELIMU KWA

MUELIMISHAJI;YATAMBUE HAYA

KABLA HUJAANZA MAJADILIANO

• Kuishi na UKIMWI si jambo rahisi kwa

sababu ni kitu kinachotia hofu kubwa

miongoni mwa jamii

• kwa sababu mbali mbali

Page 2: MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI WA WAKALA WA MAJENGO · WA WAKALA WA MAJENGO • ELIMU KWA ... •VVU vinavyoshambulia kinga ya mwili na athari zake •Umuhimu wa kujua afya yako •Magonjwa

MAFUNZO…

• 1. Inaweza kumpa hisia mgonjwa ndio

mwisho wa maisha yake kwa kutoweza

kuyakabili maisha endapo tu atajuwa

ana tatizo

• Inaweza kumfanya mtu awe na

wasiwasi kuhusu uwezo wake wa

kujitunza na hata kutunza familia yake

Page 3: MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI WA WAKALA WA MAJENGO · WA WAKALA WA MAJENGO • ELIMU KWA ... •VVU vinavyoshambulia kinga ya mwili na athari zake •Umuhimu wa kujua afya yako •Magonjwa

MAFUNZO…

• 2. kuanza kuogopa kifo na kumpelekea

• kutokupenda kazi, kutokuwa na

matumaini,

• kukata tama na kuamini kuwa maisha

hayana thamani tena

• na kuamua hata kujiua au kuambukiza

watu wengine kwa makusudi nife na

wengi,

Page 4: MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI WA WAKALA WA MAJENGO · WA WAKALA WA MAJENGO • ELIMU KWA ... •VVU vinavyoshambulia kinga ya mwili na athari zake •Umuhimu wa kujua afya yako •Magonjwa

MAFUNZO…

• Ila kwa kupata elimu sahihi haya yote

hayatakuwepo

• Mtu ataishi maisha ya kawaida endapo

atafika katika vituo vya tiba na kupata

tiba sahihi

• Ikiwemo kutibu magonjwa nyemelezi,

dawa za kupunguza makali ya ongezeko

la virusi na kuongeza kinga ya mwili.

Page 5: MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI WA WAKALA WA MAJENGO · WA WAKALA WA MAJENGO • ELIMU KWA ... •VVU vinavyoshambulia kinga ya mwili na athari zake •Umuhimu wa kujua afya yako •Magonjwa

Ukimwi mahali pa kazi

• Kudhibiti maambukizo ya maradhi ya ngono

• Utangazaji na usambazaji wa kondomu

• Unasihi na upimaji wa hiari wa UKIMWI

• Uzuiaji wa uambukizo wa VVU kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto

• Watu wawe wazi, wasaidiwe na wasaidiane, sheria, kanuni na taratibu za kazi zijulikane na zifuatwe

Page 6: MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI WA WAKALA WA MAJENGO · WA WAKALA WA MAJENGO • ELIMU KWA ... •VVU vinavyoshambulia kinga ya mwili na athari zake •Umuhimu wa kujua afya yako •Magonjwa

Ukimwi mahali pa kazi

• Kila mtu afahamu haki zake za ajira na gharama za matibabu zinazotolewa na mwajiri.

• Unyanyasaji unatokana na kutofahamu ukweli kuhusu ukimwi

• Kuwaelimisha wafanyakazi wenzako kutawasidia kujifunza kuishi na watu wenye virusi vya UKIMWI kwa UTU na ni njia mojawapo ya kupunguza unyanyapaa

Page 7: MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI WA WAKALA WA MAJENGO · WA WAKALA WA MAJENGO • ELIMU KWA ... •VVU vinavyoshambulia kinga ya mwili na athari zake •Umuhimu wa kujua afya yako •Magonjwa

Mambo muhimu ya kufahamu

• 1 Ukweli kuhusu ukimwi

• VVU vinavyoshambulia kinga ya mwili na

athari zake

• Umuhimu wa kujua afya yako

• Magonjwa nyemelezi yanayohusiana na

UKIMWI

• Njia za maambukizi na imani potofu

• Matibabu ya Mgonjwa wa UKIMWI

Page 8: MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI WA WAKALA WA MAJENGO · WA WAKALA WA MAJENGO • ELIMU KWA ... •VVU vinavyoshambulia kinga ya mwili na athari zake •Umuhimu wa kujua afya yako •Magonjwa

Lishe Bora

• -Umuhimu wake

-Aina ya lishe bora

• Afya na usafi

-Mwili, mavazi na malazi

-Kuimarisha afya ni pamoja na mabadiliko

ya tabia kwa makundi maalum ya watu

Page 9: MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI WA WAKALA WA MAJENGO · WA WAKALA WA MAJENGO • ELIMU KWA ... •VVU vinavyoshambulia kinga ya mwili na athari zake •Umuhimu wa kujua afya yako •Magonjwa

Kujamiana

Ni hatua muhimu katika mapambano dhidi

ya UKIMWI

• Unatakiwa kufikiri nini unapokutana kimwili

• Uanze vipi kulinda afya yako, kwa kujipima

au kwa kujiamini

• Je kutumia kondom ni kutoaminiana

• Tabia zipi hazina usalama

• Ufanyeje ukitaka kufunga ndoa?

• Magonjwa ya zinaa na athari zake

Page 10: MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI WA WAKALA WA MAJENGO · WA WAKALA WA MAJENGO • ELIMU KWA ... •VVU vinavyoshambulia kinga ya mwili na athari zake •Umuhimu wa kujua afya yako •Magonjwa

Kujali familia

• Ni pamoja na kuongea nao kuhusu afya

yako

• Kama ni muathirika lazima uwe wazi kwao

• Uiandaaje familia wakati wa matatizo

• Nani ashirikishwe na nani wa kutoa

msaada

• Kujiunga na vikundi mbalimbali vya

wanaoishi na VVU kama vile SHIDEPHA (

SERVICE HEALTH AND DEVELOPMENT

FOR PEOPLE LIVING WITH HIV/AIDS)

DODOMA

Page 11: MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI WA WAKALA WA MAJENGO · WA WAKALA WA MAJENGO • ELIMU KWA ... •VVU vinavyoshambulia kinga ya mwili na athari zake •Umuhimu wa kujua afya yako •Magonjwa

Jamii na uchumi

• Jishughulishe katika kuongeza kipato

• Usiwe mnyonge wa mawazo na fikra duni

za kusaidiwa tu

• Jiunge katika vikundi mbalimbali vya

wajasiria amali

• Pata ushauri mbalimbali kwa ndugu

,jamaa na marafiki

Uepukaji wa mila na desturi mbaya

Page 12: MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI WA WAKALA WA MAJENGO · WA WAKALA WA MAJENGO • ELIMU KWA ... •VVU vinavyoshambulia kinga ya mwili na athari zake •Umuhimu wa kujua afya yako •Magonjwa

Mirathi na wosia

• Matayarisho kwa watu wote

• Sajili kihalali uliza na fuata taratibu

• Ndoa na rasilimali, watoto, wake

• Nini cha kuandika

• Nani ahusishwe

Page 13: MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI WA WAKALA WA MAJENGO · WA WAKALA WA MAJENGO • ELIMU KWA ... •VVU vinavyoshambulia kinga ya mwili na athari zake •Umuhimu wa kujua afya yako •Magonjwa

MAISHA KWANZA

• WEWE BINAFSI

• Familia

• Marafiki

• Wengine walioathirika na VVU

• Jamii kwa ujumla

• Dini na imani zina nafasi yake katika

kumuweka sawa mgojnwa wa UKIMWI,

kwa kiwango gani na kitu gani ni muhimu

kuzingatiwa katika maisha

Page 14: MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI WA WAKALA WA MAJENGO · WA WAKALA WA MAJENGO • ELIMU KWA ... •VVU vinavyoshambulia kinga ya mwili na athari zake •Umuhimu wa kujua afya yako •Magonjwa

Dira ya taifa

• (Tanzania bila ya UKIMWI inawezekana)

-Kuwa na jamii ambayo watoto wetu waweza kukua bila ya tishio la VVU na UKIMWI

-Kuwajali na kuwasaidia ambao wameambukizwa na kuathiriwa na VVU na UKIMWI

-kuweka mikakati ya pamoja , ikiwemo mafunzo elekezi

Page 15: MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI WA WAKALA WA MAJENGO · WA WAKALA WA MAJENGO • ELIMU KWA ... •VVU vinavyoshambulia kinga ya mwili na athari zake •Umuhimu wa kujua afya yako •Magonjwa

UKIMWI

• Kifupisho cha maneno:-

• Upungufu Wa Kinga Mwilini

• Mkusanyiko wa magonjwa yanayotokana

na kudhoofika kwa nguvu za kinga ya

mwili kujikinga na maradhi

• Kunakosababishwa na V V U

Page 16: MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI WA WAKALA WA MAJENGO · WA WAKALA WA MAJENGO • ELIMU KWA ... •VVU vinavyoshambulia kinga ya mwili na athari zake •Umuhimu wa kujua afya yako •Magonjwa

Virusi Vya UKIMWI (VVU)

• Ni vimelea vidogovidogo, vinavyodhoofisha na kufanya mwili kupoteza uwezo wake wa kupambana na maradhi

• Kawaida miili yetu hukingwa dhidi ya maradhi na chembechembe nyeupe za damu (WBC)

• VVU vikiingia mwilini hushambulia chembechembe hizo na kuzipunguza

Page 17: MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI WA WAKALA WA MAJENGO · WA WAKALA WA MAJENGO • ELIMU KWA ... •VVU vinavyoshambulia kinga ya mwili na athari zake •Umuhimu wa kujua afya yako •Magonjwa

Virusi Vya UKIMWI (VVU)…

• Vinapatikana katika damu

• Majimaji mbalimbali yanayotoka kwenye

mwili

• Na viungo vya uzazi vya wanawake na

wanaume wenye maambukizo

• Njia kuu ya kueneza virusi hivi,hasa katika

Bara la Afrika

• Ni kujamiiana kusiko salama

Page 18: MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI WA WAKALA WA MAJENGO · WA WAKALA WA MAJENGO • ELIMU KWA ... •VVU vinavyoshambulia kinga ya mwili na athari zake •Umuhimu wa kujua afya yako •Magonjwa

Virusi Vya UKIMWI (VVU)…

• Njia nyingine

-ni kutoka kwa mama mjamzitomwenye VVU kumwambukiza mtoto wakati akiwa tumboni

-au wakati wa kumnyonyesha

• Pia huambukizwa kwa kuongezewa damu yenye virusi hivyo

• Kuchangia vifaa vyenye mabaki ya damu kama sindano, mikasi, wembe n.k

Page 19: MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI WA WAKALA WA MAJENGO · WA WAKALA WA MAJENGO • ELIMU KWA ... •VVU vinavyoshambulia kinga ya mwili na athari zake •Umuhimu wa kujua afya yako •Magonjwa

Njia zifuatazo haziambukizi VVU

• Kushikana mikono na mtu mwenye VVU

• kuishi pamoja na mtu mwenye VVU

• Kushiriki kula chakula pamoja na mtu wa VVU

• Kugusana au kukumbatiana na mwenye VVU

• Kushirikiana bafu na mwenye VVU

• Kuumwa na mbu, viroboto au wadudu wengine

Page 20: MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI WA WAKALA WA MAJENGO · WA WAKALA WA MAJENGO • ELIMU KWA ... •VVU vinavyoshambulia kinga ya mwili na athari zake •Umuhimu wa kujua afya yako •Magonjwa

Dalili za UKIMWI

• Hakuna njia ya hakika ya kutambua mtu

aliyeambukizwa VVU zaidi ya vipimo vya

maabara

• Watu wanaoishi na VVU wanaweza

kuonekana wazima na wasionyeshe dalili

zozote za ugonjwa

• Hata hivyo pamoja na kutokuonyesha dalili

zozote

Page 21: MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI WA WAKALA WA MAJENGO · WA WAKALA WA MAJENGO • ELIMU KWA ... •VVU vinavyoshambulia kinga ya mwili na athari zake •Umuhimu wa kujua afya yako •Magonjwa

Virusi Vya UKIMWI (VVU)…

• Mtu huyu mwenye VVU anaweza

kuambukiza watu wengine ikiwa atakuwa

na mahusiano yasiyo salama

• UKIMWI ni hatua ya mwisho ya

maambukizi ya VVU

• Hatua hii ikifikiwa

• Mwathirika huanza kushambuliwa na

magonjwa mbali mbali yaitwayo nyemelezi

Page 22: MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI WA WAKALA WA MAJENGO · WA WAKALA WA MAJENGO • ELIMU KWA ... •VVU vinavyoshambulia kinga ya mwili na athari zake •Umuhimu wa kujua afya yako •Magonjwa

Dalili za UKIMWI

• Kupungua uzito asilimia 10 au zaidi katika

mwezi mmoja, bila sababu inayoeleweka

• Kuharisha muda mrefu (mwezi 1au zaidi)

• Homa za mara kwa mara

• Utando mweupe mdomoni

• Kikohozi cha muda mrefu

• Mkanda wa jeshi

Page 23: MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI WA WAKALA WA MAJENGO · WA WAKALA WA MAJENGO • ELIMU KWA ... •VVU vinavyoshambulia kinga ya mwili na athari zake •Umuhimu wa kujua afya yako •Magonjwa

Dalili…

• Vipele sugu, vyenye kuwasha hasa

mikononi na miguuni

• Mgonjwa akiwa na dalili zaidi ya tatu

• Uwezekano wa kuwa na UKIMWI ni

mkubwa

• Hata hivyo

• vipimo vya maabara vinahitajika

kuthibitisha ugonjwa wa UKIMWI

Page 24: MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI WA WAKALA WA MAJENGO · WA WAKALA WA MAJENGO • ELIMU KWA ... •VVU vinavyoshambulia kinga ya mwili na athari zake •Umuhimu wa kujua afya yako •Magonjwa

Jinsi ya kuzuia maambukizi ya VVU

• Ni muhimu jamii ielimishwe umuhimu wa kupima afya zao na kuchukua hatua zinazostahili;

• 1. jinsi ya kuzuia maambukizi ya vvu yanayotokana na kujamiiana

-kutokujamiiana kabisa (kugunga, abstinence)

-kuwa na mpenzi mmoja muaminifu na asiye na uambukizo (be faithful)

Page 25: MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI WA WAKALA WA MAJENGO · WA WAKALA WA MAJENGO • ELIMU KWA ... •VVU vinavyoshambulia kinga ya mwili na athari zake •Umuhimu wa kujua afya yako •Magonjwa

Njia za kuzuia……

-Kujamiiana kwa kutumia kondomu ya

kike au ya kiume kwa usahihi na wakati

wote

• 2. Jinsi ya kuzuia maambukizi kwa mtoto

mchanga

-wanawake wajawazito na waume zao

wahudhurie kliniki ili kupima na kufahamu

afya zao

Page 26: MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI WA WAKALA WA MAJENGO · WA WAKALA WA MAJENGO • ELIMU KWA ... •VVU vinavyoshambulia kinga ya mwili na athari zake •Umuhimu wa kujua afya yako •Magonjwa

Njia za kuzuia……

• Wanawake wanaobainika kuwa na VVU hupatiwa maelekezo jinsi ya kumkinga mtoto kupata maambukizi kwa njia ya dawa za ART

• Kuhimiza kujifungulia hospitali ili mtoto apatiwe dawa za kumkinga na maambukizi mara tu anapozaliwa

• Ushauri kuhusu muda wa kunyonyesha na lishe mbadala

Page 27: MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI WA WAKALA WA MAJENGO · WA WAKALA WA MAJENGO • ELIMU KWA ... •VVU vinavyoshambulia kinga ya mwili na athari zake •Umuhimu wa kujua afya yako •Magonjwa

Njia za kuzuia……

• Jamii kwa ujumla ishirikishwe kutoa

msaada wa hali na mali

• kuwawezesha wakina mama

walioambukizwa VVU kutimiza masharti

ya kuzuia maambukizi

• kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto

Page 28: MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI WA WAKALA WA MAJENGO · WA WAKALA WA MAJENGO • ELIMU KWA ... •VVU vinavyoshambulia kinga ya mwili na athari zake •Umuhimu wa kujua afya yako •Magonjwa

Njia za kuzuia……

• Jinsi ya kuzuia maambukizi ya VVU wakati

wa kutoa huduma

-watoa huduma wawe waangalifu wakati

wa kuwahudumia wagonjwa na kuzingatia

mambo yafuatayo

-kuvaa mipira ya mikononi endapo mtoa

huduma au mpokea huduma ana

michubuko , majeraha au vidonda mwilini

Page 29: MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI WA WAKALA WA MAJENGO · WA WAKALA WA MAJENGO • ELIMU KWA ... •VVU vinavyoshambulia kinga ya mwili na athari zake •Umuhimu wa kujua afya yako •Magonjwa

Njia za kuzuia……

• Kuvaa mipira kabla ya kugusa nguo au

vifaa vyenye damu, matapishi, mkojo au

kinyesi cha mgonjwa na mgonjwa aelezwe

kabla ya kufanya hivyo

• Nguo au vifaa vyenye damu au maji maji

mengine ya mgonjwa

• Viwekwe kwenye maji ya moto

yanayochemka kwa dakika 20-30 au

Page 30: MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI WA WAKALA WA MAJENGO · WA WAKALA WA MAJENGO • ELIMU KWA ... •VVU vinavyoshambulia kinga ya mwili na athari zake •Umuhimu wa kujua afya yako •Magonjwa

Njia za kuzuia……

• Vilowekwe kwenye JIC kwa dakika 20-30

kabla ya kufua/kuosha

• Mhudumu afue/asafishe vifaa hivyo akiwa

amevaa mipira ya mikononi

• Taratibu za kutuma mabaki yasiyohitajika

yafuatwe ,kuchoma au kutumbukizwa

katika choo cha shimo

Page 31: MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI WA WAKALA WA MAJENGO · WA WAKALA WA MAJENGO • ELIMU KWA ... •VVU vinavyoshambulia kinga ya mwili na athari zake •Umuhimu wa kujua afya yako •Magonjwa

Njia za kuzuia……

• Viffa vyenye ncha kali vilivyotumika wakati

wa kumhudumia mgonjwa wa UKIMWI na

• Ambavyo vinaweza vikatumika tena

vilowekwe kwenye JIC halafu vichemshwe

• Vile ambavyo havitatumika tena,

vitumbukizwe kwenye choo cha shimo

• Mhudumu aoshe mikono kwa sabuni kabla

na mara baada ya kumuhudumia mgonjwa

Page 32: MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI WA WAKALA WA MAJENGO · WA WAKALA WA MAJENGO • ELIMU KWA ... •VVU vinavyoshambulia kinga ya mwili na athari zake •Umuhimu wa kujua afya yako •Magonjwa

Njia za kuzuia……

• Ni muhimu wahudumu wapime

nakufahamu afya zao, ili kujiweka

katika mazingira mazuri ya kujikinga na

maambukizi ya VVU

Page 33: MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI WA WAKALA WA MAJENGO · WA WAKALA WA MAJENGO • ELIMU KWA ... •VVU vinavyoshambulia kinga ya mwili na athari zake •Umuhimu wa kujua afya yako •Magonjwa

Kabla ya ushauri na matibabu

Page 34: MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI WA WAKALA WA MAJENGO · WA WAKALA WA MAJENGO • ELIMU KWA ... •VVU vinavyoshambulia kinga ya mwili na athari zake •Umuhimu wa kujua afya yako •Magonjwa

Baada ya ushauri na matibabu

Page 35: MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI WA WAKALA WA MAJENGO · WA WAKALA WA MAJENGO • ELIMU KWA ... •VVU vinavyoshambulia kinga ya mwili na athari zake •Umuhimu wa kujua afya yako •Magonjwa

MUELIMISHAJI

AHSANTENI KWA KUWA

PAMOJA KATIKA MAPAMBANO

DHIDI YA UKIMWI