Upload
jonas-msigala
View
252
Download
8
Embed Size (px)
Citation preview
MAKABIDHIANO YA VITABU VYA STAKABADHI USHURU WA SAMAKI
Mimi DCIS E. Mushongi Afisa Uhamiaji Wilaya ya Bunda, niliyekuwa Mwenyekiti wa Kamati ya kufuatilia mapato ya samaki namrudishia vitabu vifuatavyo ambavyo vilichukuliwa kwa uchunguzi vyenye namba zifuatavyo:-
22401----22450 Toka Mwiseni 0033803---033850 Toka Nafuba 038901----038950 Toka Nafuba 038951----039000 Toka Nafuba 039051----039100 Toka Nafuba 039251----039300 Toka Nafuba 039301----039350 Toka Nafuba 039451----039500 Toka Nauba
Vitabu hivyo navikabidhi vikiwa katika hali nzuri
Sahihi ya anayekabidhi
------------------------------------------------ ---------------------
Jina Sahihi
Sahihi anayekabidhiwa
------------------------------------------------ ----------------------
Jina Sahihi