15
TAARIFA YA WARSHA NA WASIMAMIZI WA SHERIA ZA MISITU KUTOKA MIKOA YA PWANI NA KUSINI MWA TANZANIA KUHUSU USIMAMIZI ENDELEVU WA MISITU NA UTEKELEZAJI WA MWONGOZO WA USIMAMIZI SHIRIKISHI WA MISITU KWA PAMOJA, ILIYOFANYIKA TAREHE 27.04.2016, KATIKA UKUMBI WA DOUBLE M LINDI MJINI WASHIRIKI WA WARSHA: - Waheshimiwa Wenyeviti wa Halmashauri za Wilaya za Kisarawe, Kibaha, Mkuranga, Rufiji, Kilwa, Liwale, Nachingwea, Ruangwa, Masasi, Nanyumbu na Tunduru (11) - Mwakilishi wa Mkurugenzi wa Misitu kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii (1) - Mameneja wa Wakala wa Huduma za Misitu, Kanda ya Mashariki na Kusini (2) - Maafisa Misitu kutoka Halmashauri za Wilaya 11 - Taasisi za Kiraia na Miradi (Jumuiko la Maliasili Tanzania, Kampeni ya Mama Misitu, Shirika la Kuhifadhi Mpingo na Maendeleo, Mtandao wa Jamii wa Usimamizi wa Misitu Tanzania, TFCG, LIMAS, WWF) - Jumla ya washiriki 71 warihudhuria (Wanawake 9: Wanaume 62)

Mama Misitumamamisitu.com/wp-content/uploads/2016/08/Taarifa-ya... · Web viewTAARIFA YA WARSHA NA WASIMAMIZI WA SHERIA ZA MISITU KUTOKA MIKOA YA PWANI NA KUSINI MWA TANZANIA KUHUSU

  • Upload
    others

  • View
    6

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

TAARIFA YA WARSHA NA WASIMAMIZI WA SHERIA ZA MISITU KUTOKA MIKOA YA PWANI NA KUSINI MWA TANZANIA KUHUSU USIMAMIZI ENDELEVU WA MISITU NA UTEKELEZAJI WA MWONGOZO WA USIMAMIZI SHIRIKISHI WA MISITU KWA PAMOJA, ILIYOFANYIKA TAREHE 27.04.2016, KATIKA UKUMBI WA DOUBLE M LINDI MJINI

WASHIRIKI WA WARSHA:

· Waheshimiwa Wenyeviti wa Halmashauri za Wilaya za Kisarawe, Kibaha, Mkuranga, Rufiji, Kilwa, Liwale, Nachingwea, Ruangwa, Masasi, Nanyumbu na Tunduru (11)

· Mwakilishi wa Mkurugenzi wa Misitu kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii (1)

· Mameneja wa Wakala wa Huduma za Misitu, Kanda ya Mashariki na Kusini (2)

· Maafisa Misitu kutoka Halmashauri za Wilaya 11

· Taasisi za Kiraia na Miradi (Jumuiko la Maliasili Tanzania, Kampeni ya Mama Misitu, Shirika la Kuhifadhi Mpingo na Maendeleo, Mtandao wa Jamii wa Usimamizi wa Misitu Tanzania, TFCG, LIMAS, WWF)

· Jumla ya washiriki 71 warihudhuria (Wanawake 9: Wanaume 62)

MALENGO NA MADHUMUNI

· Kujadili changamoto kuhusu utekelezaji wa usimamizi shirikishi wa misitu kwa pamoja (muongozo umetolewa tangu 2013 lakini kwa nini hautekelezwi)

· Kupitia muongozo huo na kuweka maazimio ya utekelezaji

MATARAJIO YA WASHIRIKI

· Kutatua changamoto ambazo zinakabili sekta ya misitu katika kufanikisha utekelezaji wa usimamizi shirikishi wa misitu kwa pamoja

· Kuweka maazimio ya mwisho ili kupata suluhu ya matatizo yaliyoibuliwa

· Kupata uelewa kuhusu usimamizi shirikishi wa Misitu,haki na wajibu wa jamii katika utekelezaji

· Kufahamu majukumu ya DFO na DFM katika usimamizi wa sheria za Misitu

· Kuona jinsi wanavijiji wanavyonufaika na Misitu ya matajiwazi

MBINU ZILIZOTUMIKA

Mchanganyiko wa mbinu mbalimbali ulitumika ili kuongeza ushiriki na uchangiaji wa mada. Mbinu hizo ni pamoja na maswali, kupitia vitabu vya sheria ya misitu na miongozo mbalimbali ya usimamizi shirikishi wa Misitu (USM), kazi za vikundi na uwasilishaji katika mjadala mkubwa.

KUPITIA KIPENGELE VYA SHERIA Na. 14 YA MISITU NA MIONGOZO YA USM

Mwezeshaji aliwapitisha washiriki kufahamu vipengere muhimu vya Sheria ya Misitu Na. 14 ya Mwaka 2002 ili kujiridhisha na mamlaka yaliyoelekezwa kwa vyombo mbalimbali vya serikali ikiwemo TFS, Idara ya Misitu, Halmashauri za wilaya na vijiji.

Wataalamu wa misitu kutokuwa na ufahamu kuhusu mchakato wa utengenezaji wa mpango wa usimamizi shirikishi wa misitu kwa pamoja. Hii imesababishwa kuchelewa katika utiaji wa sahihi wa mikataba ya usimamizi wa misitu kwa pamoja baina ya serikali na vijiji vinavyozunguka Misitu hiyo. Subira Juma – Mjumbe wa Bodi ya MJUMITA

Aidha, muongozo wa usimamizi shirikishi wa Misitu kwa pamoja (JFM) ulipitiwa ili kufahamu majukumu ya wadau mbalimbali katika usimamizi wa Misitu ya aina hiyo. Kipengele kinachohusu mgawanyo wa mapato kilizingatiwa kwa umakini ili kuwajengea uwezo wa ufahamu washiriki katika utekelezaji.

Kumekuwa na uelewa mdogo juu ya usimamizi shirikishi wa misitu kwa pamoja miongoni mwa jamii zinazozunguka misitu ya hifadhi na viongozi wa kisiasa wakiwemo waheshimiwa wabunge na madiwani. Hivyo elimu na taarifa sahihi zinatakiwa ili kuongeza uelewa wao katika kutekeleza na kusimamia utekelezaji wa mipango ya usimamizi wa Misitu katika maeneo yao. Juma Mkundi, Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji.

Hoja mbalimbali ziliibuka ikiwemo utekelezaji hafifu wa JFM, kukosekana kwa ruzuku za utekelezaji kutoka serikali kuu na TFS, kuongezeka kwa vitendo vya uvunaji na uhalalishaji wa mbao/mkaa uliovunwa bila kuzingatia taratibu.

Mgawanyo ma mamlaka baina ya DFM ana DFO katika shughuli za usimamizi wa misitu katika wilaya hauko wazi. Ikitokea mgogoro baina yao nani atamuwajibisha mwenzake? Bwana Mfangavo, Afisa Misitu Kilwa

KAZI ZA VIKUNDI NA MAWASILISHO

Washiriki waligawanyika katika makundi matatu kujadili fursa na changamoto za utekelezaji wa JFM. Makundi hayo yalihusisha wawakilishi wa jamii kutoka vijijini, maafisa wa Wakala wa huduma za Misitu, maafisa Misitu wilaya na waheshimiwa madiwani.

Mawasilisho kutoka katika kazi za vikundi yalifanywa na mjadala wa wazi kuwezeshwa na hivyo kutengeneza maazimio kwa ajili ya utekelezaji.

CHANGAMOTO NA MAPENDEKEZO

FURSA/CHANGAMOTO

MAPENDEKEZO

· Mkanganyiko wa kisheria baina ya Sheria ya Ardhi ya Kijiji Na. 5 ya mwaka 1999 na Sheria ya Misiti Na. 14 ya Mwaka 2002

· Kutosainiwa kwa mikataba ya usimamizi shirikishi wa Misitu kwa pamoja kutokana na kuchelewa kwa miongozo ikiwemo uwekezaji mdogo unaofanywa na Wakala wa huduma za Misitu

· Usimamizi hafifu wa Misitu ya hifadhi ya serikali kuu, Halmashauri za wilaya na ile ya wazi (matajiwazi) hivyo kukithiri vitendo vya uvunaji haramu

· Wakala wa Huduma za Misitu kutoshirikisha wadau katika usimamizi wa Misitu kikamilifu

· Uelewa mdogo kwa wanajamii, wataalamu, wasimamizi wa sheria na viongozi wa kisisasa (wabunge/madiwani) kuhusu sera, sheria, kanuni na miongozo inayosimamia sekta ya misitu

· TFS kuogopa kupoteza mapato hivyo kuzorotesha utekelezaji wa Usimamizi Shirikishi wa Misitu (USM) na kuwa sio kipaumbele cha TFS)

· Upungufu rasilimali fedha kwa halmashauri za wilaya hivyo kuathiri utekelezaji wa miradi ya usimamizi shirikishi wa Misitu

· Mahusiano hafifu kati ya Afisa Misitu wa wilaya na Meneja wa Misitu wilaya (DFO vs DFM). Inapotokea mgogoro katika utekelezaji chombo gani kitahusika kuutatua.

· Vijiji viandae mipango ya matumizi bora ya ardhi na kutenga maeneo ya Misitu yanayojulikana kama matajiwazi

· Elimu kuhusu sera, sheria na miongozo mbalimbali kuhusu michakato ya USM itolewe kwa wadau wote (wanasiasa, wataalamu, wananchi, wafanyabiashara wa mazao ya Misitu) ili kujenga mustakabali wa pamoja

· Kufanya uchechemuzi ili kuondoa migongano ya kisheria kati ya sheria ya ardhi na ya misitu

· Halmshauri za wilaya ziwekeze fedha zao za ndani ili kutekeleza mipango ya usimamizi shirikishi wa Misitu

· TFS ishirikishe jamii na wadau wengine katika kutengeneza mipango ya usimamizi wa hifadhi za Misitu zilizo chini ya mamlaka zao kikamilifu

· TFS watoe mafunzo kwa wadau ikiwemo Baraza la Madiwani kuhusu haki na wajibu wao katika utunzaji wa rasilimali misitu

· Jamii zielimishwe umuhimu wa kuwekeza katika sekta ya Misitu ili waweze kujiongezea fursa za ajira na maendeleo ya jamii. Misitu ya Matajiwazi inaweza kuwa fursa nzuri za uwekezaji katika Misitu

· Serikali ianishe majukumu ya DFO na DFM ili kuondoa migogoro katika utekelezaji wa majukumu yao

MAAZIMO YA WARSHA

1. Wakala wa huduma za Misitu (TFS) washirikishe jamii zinazozunguka hifadhi za Misitu katika utengenezaji wa mipango ya usimamizi na uvunaji wa rasilimali Misitu kikamilifu

2. Mikataba ya usimamizi shirikishi wa Misitu kwa pamoja isainiwe kwa wakati ili jamii zinufaike na shughuli za uhifadhi

3. Elimu itolewe kwa wadau wote wakiwemo viongozi wa kisiasa, wataalamu, jamii na wafanyabiashara wa mazao ya Misitu ili kufahamu haki na wajibu wao katika usimamizi wa Misitu

4. Miongozo mbalimbali ya Usimamizi Shirikishi wa Misitu isambazwe katika wilaya zote za mikoa ya kusini na Pwani na elimu itolewe juu ya kuitumia miongozo hiyo

5. Kuwepo kwa uwazi katika uendeshaji wa minada ya rasilimali za Misitu zilizotaifishwa na/au kukamatwa na Wakala wa huduma za Misitu katika ardhi ya vijiji. Hii itasaidia jamii kupata mgao wao kulingana na miongozo kwa wakati

6. Halmashauri za wilaya na vijiji zitenge fedha zao za ndani ili kutekeleza mipango ya usimamizi shirikishi wa Misitu. Hii itaondoa utegemezi kutoka serikali kuu

7. Wakala wa huduma za Misitu (TFS) itenge fedha zaidi kwa ajili ya utekelezaji wa mipango ya uzimamizi shirikishi ikiwemo JFM.

8. Serikali ianishe majukumu ya DFO na DFM ili kuondoa migogoro katika utekelezaji wa majukumu yao. Mgawanyo wa majukumu yao uoneshe pia iwapo kutatokea migogoro kati yau ni nani atahusika kuutatua na kwa namna gani

9. Mashirika ya kiraia yasaidie katika kufanya uchechemuzi ili kuondoa mkanganyiko wa kisheria iliopo kati ya Sheria ya Ardhi ya Kijiji Na. 5 ya Mwaka 1999 na Sheria ya Misitu Na. 14 ya Mwaka 2002.

Idadi ya Washiriki

Na

Name

Sex

Designation

Contacts

1

Juma A. Abeid

Female

District chairperson

0784216621

2

Benadetha G Kadala

Female

DFO

0782515188

3

Neeta F Urio

Female

DFO

0752304021

4

Swalehe H Mshana

Male

DFO

0756692708

5

Issaya M Ndwene

Male

District chairperson

0716866144

6

Ramadhani Mndewa

Male

DFM

0765114419

7

Richard Selioza

Male

DFO

0787668766

8

Kelvin Mudeme

Male

DFO

0784494551

9

Mfaume W. Halifa

Male

District chairperson

078750864

10

M.C.Mbago

Male

DFM-LIWALE

0752721812

11

Mfangano Mustafa

Male

DFO

0784652905

12

Tairo,Pasiani Peter

Male

Rep, DFO

0683651821

13

Robin P.Ullaya

Male

Agr.DFO

0685636365

14

Mohamedi Mtesa

Male

District chairperson

0719637641

15

James Kabutta

Male

DFO

0786146011

16

Richard Katondo

Male

P.E

0785086866

17

Rehema f.Milanzi

Female

Board member

0712989320

18

Paul Onesmo

Male

DFO

0752942693

19

Kelvin A.Lilai

Male

DFM

0783739006

20

Rashidi o. Sembe

Male

ZM

0783650458

21

Gabriel K. Joshua

Male

DFO

0784499409

22

Faustine J Msokwa

Male

DFO

0787786482

23

Shabani Kambona

Male

District chairperson

0784289842

24

Solomoni Massagya

Male

DFO

0713017208

25

Nalimu Madatta

Male

PE

0782345371

26

Gwamaka Mwakyanjale

Male

MCC Manager

0767260010

27

Mansoori A. Kisebengo

Male

District chairperson

0784990628

28

Subira Juma

Male

Board Manager

0682897645

29

Dastau W.Kinyenyo

Male

DFO

0766928075

30

Satmah J.Mohamed

Male

District chairperson

0786878600

31

Fokas E. Mlelwa

Male

DFO

0784488675

32

Benadeta R Mwashiuya

Female

DFM

0762553139

33

Yahaya Mtonda

Male

PO

0716675034

34

Mchopa Ahmadi Baissi

Male

M/H

0782230066

35

Samwel Tamika

Male

ADFM

0654313732

36

Emmanuel Msoffe

Male

SFOPL

0767427690

37

Hamisi A. Abdarrah

Male

District chairperson

0784338257

38

Reginald Lymo

Male

DFO

0759874150

39

Hadija Mongomongo

Female

DFM

0768140180

40

Kassim A Namwete

Male

District chairperson

0715 930532

41

Benjamin Mwayabala

Male

A/Engineer

0714 05563

43

Stanford Mahimbo

Male

DFO

0717604226

44

Charles Mwaipopo

Male

DNRO

0713309624

45

Khamis Chaurembo

Male

District chairperson

0784361471

46

Jonas R. Nambwa

Male

DFO

0786135001

47

Abuu M. Mjata

Male

District chairperson

0784820865

48

Hamza Nkumukwa

Male

FUB-LIMAS

0682919296

49

Msalika Pastory

Male

Manager

0782244703

50

Glory Massao

Female

FSC Manager

0713660435

51

Cassian Sianga

Male

Facilitator

0756960496

52

Aklei Albert

Male

ZE

0788434578

53

Azaria Kilimba

Male

0756035538

54

Peter Ezekiel

Male

Intern

0652188258

55

Shafii Msuya

Male

CIO.MMC

0787489817

10 Village Leaders 9Male: 1Female

56

Kasimu A Simaya

Male

Village Chairperson

0788166395

57

Athumani Mtimbwa

Male

Village Chairperson

0784506469

58

Benitho Amandus

Male

Village Chairperson

0628260380

59

Saidi Husen

Male

Village Chairperson

0686079144

60

Tabia Hemedi

Female

Village Chairperson

61

Said A.Kombo

Male

Village Chairperson

0787239353

62

Saidi Abdi Manjia

Male

Village Chairperson

0628704917

63

Juma R.Mkundi

Male

Village Chairperson

0659391300

64

Ismaili S. Mmambe

Male

Village Chairperson

0753524508

65

Shabani M.Ndendeme

Male

Village Chairperson

0719131326

6 JOURNALIST 5Male: 1Female

66

Kennedy Kisuka

Male

Journalist

0653182347

67

Christopher Likai

Male

Journalist

0713580276

68

Ahmad Mmow

Male

Journalist

0757115973

69

Abdulaziz Ahmed

Male

Journalist

J716483532

70

Hysinta Hokororo

Female

Journalist

0656427239

71

Vedasto Msungu

Male

Journalist

0784640700

15 DRIVERS: All male

72

Mohamed Abdallah

Male

Driver

0714082899

73

Hamza Msembe

Male

Driver

0715538463

74

Ismail H. Malibiche

Male

Driver

0754675715

75

Frank Chakalu

Male

Driver

0716804125

76

Ngoyeji Dotto

Male

Driver

0754 967540

77

Swalihina Kikaya

Male

Driver

0784761519

78

Hamisi S. Maleweka

Male

Driver

0787 370364

79

Omari Nyeneka

Male

Driver

0717032032

80

Said Said

Male

Driver

0788581530

81

Mtila Mchopa

Male

Driver

0715480559

82

Sultan Minsimba

Male

Driver

0713306038

83

Aidano Korobe

Male

Driver

0788362611

84

Omary M Mwariko

Male

Driver

0783 230859

85

Paul Kwiranga

Male

Driver

0718161290

86

Emanuel Mlay

Male

Driver

0763307908