248
SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR MAPITIO YA HALI YA UCHUMI 2018 NA UTEKELEZAJI WA MPANGO WA MAENDELEO ZANZIBAR 2018/2019 KITABU CHA KWANZA Kimetarishwa: Tume ya Mipango Zanzibar

SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR MAPITIO YA HALI YA ...planningznz.go.tz/doc/new/mapitio ya hali ya uchumi 2018.pdf · serikali ya mapinduzi ya zanzibar mapitio ya hali ya uchumi

  • Upload
    others

  • View
    41

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

  • SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR

    MAPITIO YA HALI YA UCHUMI 2018 NA UTEKELEZAJI WA MPANGO WA MAENDELEO ZANZIBAR

    2018/2019

    KITABU CHA KWANZA

    Kimetarishwa:Tume ya Mipango Zanzibar

  • iMapitio ya Hali ya Uchumi mwaka 2018 na Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo Zanzibar mwaka 2018/2019

    YALIYOMOYALIYOMO ............................................................................ iORODHA YA VIFUPISHO .................................................... . viiUTANGULIZI ........................................................................ 1SURA YA KWANZA ................................................................ 31.0 MWENENDO WA UCHUMI ........................................... 31.1 Uchumi wa Dunia ........................................................ 31.2 Uchumi wa nchi Zinazoibukia na Zinazoendelea .......... 41.3 Hali ya Uchumi wa Afrika ........................................... 5 1.3.1 Uchumi wa Afrika ............................................... 5 1.3.2 Uchumi wa Nchi Zilizo Kusini mwa Jangwa la Sahara ......................................................................... 81.4 ATHARI YA KIUCHUMI KWA UKUAJI WA UCHUMI WA AFRIKA KWA ZANZIBAR ...................................... 10 1.4.1 Uchumi wa nchi za Afrika Mashariki ................. 10 1.4.2 Nchi zenye uhusiano wa kibiashara na Zanzibar (Zanzibar Trading Partners) ......................................... 12 1.4.3 Mwenendo wa Mfumko wa Bei Duniani ............... 13 1.4.4 Mfumko wa Bei kwa nchi zilizo Kusini mwa Jangwa la Sahara ........................................................ 14 1.4.5 Mfumko wa bei wa Afrika Mashariki .................... 15 1.4.6. Mfumko wa bei kwa Nchi zenye uhusiano wa karibu wa kibiashara na Zanzibar (Zanzibar Trading Partners) ......................................................... 16 1.4.7 Mwenendo wa Bei kwa baadhi ya bidhaa katika Soko la Dunia .............................................................. 17SURA YA PILI ........................................................................ 202.0 MWENENDO WA UCHUMI WA ZANZIBAR .................... 202.1 Pato la Taifa na Ukuaji wa Uchumi .............................. 202.2 Pato la Mwananchi ....................................................... 222.3. Mwenendo wa mfumko wa bei Zanzibar ....................... 232.3 Ukuaji wa Uchumi na Hali ya Mfumko wa Bei .............. 252.4. Mwenendo wa Thamani ya Shilingi ya Tanzania ........... 25 2.4.1 Sekta ya huduma ................................................ 26

  • iiMapitio ya Hali ya Uchumi mwaka 2018 na Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo Zanzibar mwaka 2018/2019

    2.5 Mchango wa Sekta katika Pato la Taifa ........................ 29 2.5.1 Sekta ya Huduma ................................................ 29 2.5.2 Sekta ya Viwanda ................................................ 30 2.5.3 Sekta ya Kilimo ................................................... 30 2.5.4 Sekta ndogo ya Mazao ......................................... 31 2.5.5 Uzalishaji wa Bidhaa za Biashara ........................ 34 2.5.6 Sekta ndogo ya Mifugo ........................................ 35 2.5.7 Sekta ndogo ya uvuvi .......................................... 36 2.5.8 Sekta ndogo ya Misitu ......................................... 362.6 Hatua za kuendeleza Kilimo cha Umwagiliaji Maji ....... 372.7 Mfuko wa Pembejeo Mwaka 2018/19 ........................... 372.8 Mwenendo wa Uingiaji wa Watalii. ................................ 372.9 Ukuzaji Rasilimali ........................................................ 392.10 Uwekezaji Binafsi Kupitia ZIPA ................................... 392.11 Mgawanyiko wa miradi iliyoidhinishwa kisekta na umiliki ......................................................................... 402.12. Miradi Ya Mashirikiano Baina Ya Sekta Ya Umma Na Sekta Binafsi (PPP) ....................................................... 43SURA YA TATU ..................................................................... 443.0 SEKTA YA NJE ............................................................. 443.1 UsafirishajiwaBidhaaNjeyaNchi...............................44 3.1.1UsafirishajiwazaolaKarafuunaMwani.............443.2 Uagiziaji wa Bidhaa Nje ya Nchi ................................... 463.3 Uhaulishaji wa bidhaa baina ya Zanzibar na Tanzania Bara .............................................................. 47SURA YA NNE ....................................................................... 494.0 SEKTA YA FEDHA ........................................................ 494.1 Benki Kuu Ya Tanzania (BoT) ....................................... 49 4.1.1 Huduma za Kibenki ............................................. 49 4.1.2 Amana ................................................................ 50 4.1.3 Mikopo ................................................................ 50 4.1.4 Mwenendo wa riba za benki ................................. 52 4.1.5 Wakala wa huduma za Kibenki ............................ 53 4.1.6 Mashine za Kutunza na Kutoa Fedha (ATM) na

  • iiiMapitio ya Hali ya Uchumi mwaka 2018 na Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo Zanzibar mwaka 2018/2019

    Kituo vya Mauzo (Point of Sales) ........................ 534.2 Benki Ya Watu Wa Zanzibar (PBZ) ................................. 54 4.2.1 Majukumu ya msingi ya PBZ ............................... 54 4.2.2 Amana ................................................................ 55 4.2.3 Huduma za Mikopo ............................................. 574.3 Mamlaka Ya Usimamizi Wa Bima Tanzania (TIRA) ....... 58 4.3.1 Madhumuni ya Mamlaka ya Bima ...................... 58 4.3.2 Shughuli za Mamlaka .......................................... 58 4.3.3 Mfumo wa Kusimamia na Kudhibiti Soko ............ 59 4.3.4 Mfumo wa Kutunza na Kuhakiki Bima za Vyombo vya Moto (TIRA MIS) ......................................... 594.4 Shirika la Bima Zanzibar ............................................. 61 4.4.1 Mawakala na Madalali ........................................ 62 4.4.2 Mpango wa mtawanyo wa Bima (Re – Insurance).. 624.5 Makusanyo ya Shirika ................................................. 63 4.5.1 Uwekezaji kwa kipindi cha Januari/Disemba2018 644.6 Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) ................. 64 4.6.1 Kusajili wanachama ............................................ 65 4.6.2 Michango ya wanachama .................................... 65 4.6.3 Uwekezaji kwa ziada ya michango ....................... 66 4.6.4 Ulipaji wa mafao kwa wanachama wake .............. 664.7 Huduma za taasisi ndogo ndogo za kifedha .................. 674.8 Masoko ya Mitaji Kwa Kipindi cha Julai 2018 Hadi Machi 2019 ................................................................. 68 4.8.1 Masoko ya Mitaji ................................................. 68 4.8.2 Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) ........................................................................ 68 4.8.3 Utekelezaji kwa Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana ........................................................... 69SURA YA TANO ..................................................................... 725.0 SHUGHULI ZA MIUNDOMBINU ................................... 725.1 Mfuko wa Barabara ...................................................... 725.2 Uzalishaji wa Nishati ya Umeme .................................. 745.3 Mamlaka ya Maji Zanzibar ........................................... 75

  • ivMapitio ya Hali ya Uchumi mwaka 2018 na Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo Zanzibar mwaka 2018/2019

    5.3.1 Usimamizi na uendelezaji Rasilimali maji ..................... 765.3.2 Huduma za maji Vijijini ................................................ 775.3.3 Huduma za maji Mijini ................................................ 77SURA YA SITA ...................................................................... 796.0 SHUGHULI ZA ELIMU .................................................. 796.1 Elimu na Mafunzo ya Amali .......................................... 79 6.1.1 Idadi ya wanafunzi: Maandalizi, Msingi, Kati na Sekondari kwa Skuli za Serikali .......................... 79 6.1.2 Idadi ya wanafunzi: Sekondari kwa Skuli za Binafsi na Serikali ........................................................... 80 6.1.3 Elimu ya Sekondari ............................................. 816.2 Idadi ya wanafunzi wa Elimu ya Juu na idadi ya mikopo iliyotolewa ........................................................ 84SURA YA SABA ..................................................................... 887.0. SHUGHULI ZA AFYA .................................................... 887.1 Idadi ya Vituo vya Afya ................................................. 887.2. Idadiyawagonjwawaliofikakutibiwakatikahospitali na vituo vya afya vya Serikali Unguja na Pemba ........... 887.3. Idadi ya kinamama wajawazito wanaojifungulia katika Hospitali za Serikali ........................................... 89 7.3.1. Idadi ya kinamama wajawazito waliojifungua kwa njia ya upasuaji na mimba zilizoharibika .............. 897.4 Mpango wa Kudhibiti Homa ya Malaria ........................ 90 7.4.1. Dawa zinazotumika kudhibiti malaria ................ 91 7.4.2 Idadi ya nyumba zilizopuliziwa dawa ................... 917.5 Mpango wa Damu Salama ........................................... 927.6 Lishe ya Mtoto na Mama .............................................. 937.7 Maradhi ya kuambukiza .............................................. 947.8 Idadi ya Nyumba na Wakaazi kwa Walioathirika na Madawa ya Kulevya (Sober houses) .............................. 94SURA YA NANE .................................................................... 968.0. MAENDELEO YA KIUCHUMI NA KIJAMII MWAKA 2018.. 968.1. Changamoto za kiuchumi 2018 .................................... 97SURA YA TISA ...................................................................... 98

  • vMapitio ya Hali ya Uchumi mwaka 2018 na Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo Zanzibar mwaka 2018/2019

    9.0 UTEKELEZAJI WA BAJETI ........................................... 989.1 Mapato na Matumizi ya Serikali ................................... 98 9.1.1 Ukusanyaji wa Mapato ya Ndani .......................... 98 9.1.2 Ukusanyaji wa Mapato Kitaasisi .......................... 99 9.1.3 Mapato kutoka kwa Washirika wa Maendeleo ...... 99 9.1.4 Mikopo ya Kibiashara ya Ndani ........................... 999.2 Matumizi ya Serikali 2018/2019 ................................ 100 9.2.1 Matumizi ya Kazi za Kawaida ..............................100 9.2.2 Mishahara ...........................................................100 9.2.3 Matumizi Mengineyo ...........................................101 9.2.4 Ruzuku ...............................................................101 9.2.5 Matumizi ya Mfuko Mkuu wa Serikali .................101 9.2.0 Matumizi ya kazi za Maendeleo ...........................1019.3 Deni la Taifa ................................................................102SURA YA KUMI .....................................................................10310.0 UFUATILIAJI WA MPANGO WA MAENDELEO 2018/ 2019 KWA KIPINDI CHA JULAI 2018 – MACHI 2019 ....10310.1Ugharamiaji wa Mpango wa Maendeleo Mwaka 2018/19.10410.2 Utekelezaji wa Maeneo wa Vipaumbele kwa Kipindi cha Julai 2018 – Machi, 2019 ........................................... 10510.2.1 Kuimarisha miundombinu ya maeneo ya uingiaji nchini (yanayojumuisha bandari na uwanja wa ndege), barabara na nishati; ........................................10510.3 Utekelezaji wa Programu na Miradi kwa Kipindi cha Miezi Tisa, Julai 2018 – Machi 2019 kwa Wizara ..........11810.3.1OfisiyaRais,IkulunaMwenyekitiwaBaraza la Mapinduzi.................................................................11810.3.2OfisiyaMakamowaPiliwaRais................................11910.3.3 Tume ya Kitaifa ya Kuratibu na Udhibiti wa Madawa ya Kulevya .....................................................12410.4 Wizara ya Fedha na Mipango .......................................12510.5 Tume ya Mipango Zanzibar ...........................................13410.6 Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi ................13910.7 Wizara ya Biashara na Viwanda ...................................154

  • viMapitio ya Hali ya Uchumi mwaka 2018 na Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo Zanzibar mwaka 2018/2019

    10.8 Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali .........................15710.9 Wizara ya afya .............................................................16310.10 Wizara ya Ardhi, Nyumba, Maji, na Nishati .................17510.11WizarayaUjenzi,MawasilianonaUsafirishaji.............18410.12 Wizara ya Kazi, Uwezeshaji, Wazee, Wanawake na Watoto ....................................................................19110.13OfisiyaRais,Katiba,Sheria,UtumishiwaUmma na Utawala Bora ...........................................................19711.14 Wizara ya Habari, Utalii na Mambo ya Kale .................200 10.14.1 Kamisheni ya Utalii .........................................20210.15 Wizara ya Vijana, Utamaduni, Sanaa na Michezo ........20310.16OfisiyaRais,TawalazaMikoa,SerikalizaMitaana Idara Maalumu za SMZ ................................................205 10.16.1 Wakala wa Matukio ya Kijamii .........................207 10.16.2 Kikosi Maalum cha Kuzuia Magendo (KMKM) ..208 10.16.3 Kikosi cha Valantia .........................................210 10.16.4 Chuo cha Mafunzo .........................................211 10.16.5 Jeshi la Kujenga Uchumi .................................212 10.16.6 Kikosi cha Zimamoto na Uokozi .......................213 10.16.7 Mkoa wa Mjini Magharibi ............................... 21411.0 Changamoto za Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo Julai 2018 – Machi 2019 ..............................................21612.0 Mapendekezo katika Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo ...................................................................21613.0 Utekelezaji Halisi wa Maeneo Yaliyoainisha Kwenye Ufuatiliaji kwa Mwaka 2018/19 ...................................217

    KIAMBATANISHO NAMBA 1 UFUATILIAJI WA MPANGO WA MAENDELEO KIFEDHA KWA WIZARA NA TAASISI..219KIAMBATANISHO NAMBA 2 UFUATILIAJI WA MPANGO WA MAENDELEO 2018/2019 KIFEDHA KWA MAENEO MAKUU YA MATOKEO YA MKUZA III ............227KIAMBATANISHO NAMBA 3 MGAO WA FEDHA KWA WASHIRIKA WA MAENDELEO KWA MIRADI AMBAYO HAIJAPANGIWA FEDHA ...............................234

  • viiMapitio ya Hali ya Uchumi mwaka 2018 na Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo Zanzibar mwaka 2018/2019

    ORODHA YA VIFUPISHOAfDB African Development BankAGOA African Growth and Opportunity ActAGRA Alliance for a Green Revolution in AfricaARV AntiretroviralBADEA Arab Bank for Economic Development in AfricaBLRC Business Licensing Regulatory CouncilBoQ Bill of QuantityBPRA Business and Property Regulatory AuthorityCCM Chama cha MapinduziCEDAW Convention on the Elimination of All Forms of Discrimination Against WomenDNA Deoxyribonucleic acidEDF-EU Europian Development Funds - European UnionEMIS Education Management Information SystemEU Europian UnionFAO Food and Agriculture OrganisationGBV Gender Based ViolenceGPE Global Parneship for EducationHT High TensionIFAD International Fund for Agriculture DevelopmentIMCI Integrated Management of Childhood IllnessIRCH Integrated Reproductive and Child HealthJICA Japan International Cooperation AgencyJKU Jeshi la Kujenga UchumiKIST Karume Institute of Science and TechnologyKMKM Kikosi Maalum cha Kuzuia MagendoKVZ Kikosi ca Valantia Zanzibar LAPA Local Adaptation of Plans of ActionMIVARF Market Infrustructure, Value Addition and Rural FinanceMKURABITA Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge Tanzania

  • viiiMapitio ya Hali ya Uchumi mwaka 2018 na Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo Zanzibar mwaka 2018/2019

    MKUZA Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umaskini ZanzibarMoU Memorandum of UnderstandingNESAP North East Special Area PlanNGOs Non-Government OrganisationsOPEC Organization of Petroleum Expoting CountriesORIO The Facility for Infrustructure Development (Implemente by Nertherland Enterprise Agency)PPP Public Private PartnershipSDGs Sustainable Development GoalsSIDA Swedish International Development Cooperation AgencySMIDA Small and Medium Industrial Development AuthoritySMZ Serikali ya Mapinduzi Zanzibar SWIOFISH South West Indian Ocean Fisheries Governance and Shared Growth ProgrammeTASAF Tanzania Social Action FundsTB TuberculosisTHPS Tanzania Health Promotion SupportTRA Tanzania Revenues AuthoritiesTUTU Tusome TujifunzeTZS Tanzanian ShilingsUKIMWI Ukosefu wa Kinga MwiliniUN WOMEN United Nations Entity for Gender Equality and Empowermrnt of WomenUNDAP United Nations Development Assistance PlanUNDP United Nations Development ProgramUNESCO UnitedNationsEducational,Scientificand Cultural OrganisationUNFPA United Nations Population FundsUNICEF United Nations Children’s FundUSDA-USAID US Department of Agriculture – US Agency for International Development

  • ixMapitio ya Hali ya Uchumi mwaka 2018 na Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo Zanzibar mwaka 2018/2019

    VFD Virtual Fiscal DeviceVVU Virusi vya UKIMWIWHO World Health OrganisationWUMU Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na UchukuziZAECA Zanzibar Anti-Corruption and Economic Crimes AuthorityZAN SDI Zanzibar Special Data InfrustructureZANSASP Zanzibar Non-State Actors Support ProgrammeZARI Zanzibar Agriculture Research InstituteZAWA Zanzibar Water AuthorityZBC Zanzibar Broadcasting CorporationZBS Zanzibar Bureau of StandardsZECO Zanzibar Electricity CorporationZIPA Zanzibar Investment Promotion AuthorityZIToD Zanzibar Institute of Tourism DevelopmentZPPDA Zanzibar Public Procurement and Disposal of Public Assets AuthorityZRB Zanzibar Revenue BoardZSTC Zanzibar State Trade CorporationZURA Zanzibar Utility Regulatory AuthorityZUSP Zanzibar Urban Services Project

  • 1Mapitio ya Hali ya Uchumi mwaka 2018 na Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo Zanzibar mwaka 2018/2019

    UTANGULIZI

    Katika mwaka 2018/19, Serikali kwa mashirikiano na wananchi iliendeleza juhudi zake za kuinua uchumi na kuimarisha ustawi wa jamii na utawala bora kama inavyoelekezwa na Dira ya Maendeleo ya Zanzibar ya mwaka 2020, iliyotafsiriwa na MKUZA III kwa kuzingatia mipango mengine ya Kimataifa ukiwemo Malengo Endelevu ya Maendeleo (SDGs) na Ilani ya Uchaguzi ya Chama Tawala Chama Cha Mapinduzi 2015- 2020.

    Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo kwa mwaka 2018/19 ni muendelezo wa utekelezaji wa Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umasikini Zanzibar Awamu ya Tatu (MKUZA III). MKUZA III unakusudia kuendeleza mageuzi ya kiuchumi na kijamii na kupunguza umasikini kwa (i) Kuwezesha ukuaji wa uchumi jumuishi na endelevu; (ii) Kukuza uwezo wa watu; (iii) Kutoa huduma bora kwa wote; (iv) Kuweka mazingira endelevu na uhimili wa mabadiliko ya tabianchi; na (v) Kushikamana na misingi ya utawala bora.

    Kwa mwaka 2018 Uchumi wa Dunia umekua kwa kasi ya wastani wa asilimia 3.7 ikilinganishwa na wastani wa asilimia 3.8 mwaka 2017, Nchi Zilizoendelea uchumi umekua kwa kasi ya wastani wa asilimia 2.3 mwaka 2018 ikilinganishwa na wastani wa asilimia 2.4 mwaka 2017. Nchi Zinazoendelea na Zinazoibukia ukuaji wa uchumiulifikiawastaniwaasilimia4.4mwaka2018ikilinganishwana wastani wa asilimia 4.7 mwaka 2017. Aidha, Kwa mwaka 2018 Uchumi wa nchi za Afrika umekuwa kwa kasi ya wastani wa asilimia 3.5 kutoka wastani wa asilimia 3.6 mwaka 2017. Uchumi wa nchi zilizo Kusini mwa Jangwa la Sahara umeimarika kwa mwaka 2018 ikilinganishwa na ukuwaji wa mwaka 2017, kasi yaukuajiimefikiawastaniwaasilimia3.1mwaka2018kutokawastani wa asilimia 2.9 mwaka 2018. Kasi ya ukuwaji wa uchumi wanchizakandayaAfrikaMasharikiimefikiawastaniwaasilimia5.7 mwaka 2018 kutoka wastani wa asilimia 5.9 mwaka 2017.

  • 2Mapitio ya Hali ya Uchumi mwaka 2018 na Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo Zanzibar mwaka 2018/2019

    Kwa upande wa mwenendo wa mfumko wa bei kwa mwaka 2018, kasiyamfumkowabeidunianiimepandanakufikiawastaniwaasilimia 3.8 kutoka asilimia 3.2 mwaka 2017. Mfumko wa bei wa nchiZilizoendeleaumepandahadikufikiaasilimia1.7mwaka2018kutoka wastani wa asilimia 1.2 mwaka 2017. Nchi Zinazoendelea na Zinazoibukia kiuchumi kasi ya mfumko wa bei imepanda hadi kufikiawastaniwaasilimia4.5mwaka2018kutokawastaniwaasilimia 4.2 mwaka 2017.

    Wakati Uchumi wa Dunia unakua kwa wastani wa asilimia 3.7 na uchumi wa kanda ya Afrika Mashariki ukikua kwa kasi ya wastani wa asilimia 5.7 mwaka 2018, Uchumi wa Zanzibar umeendelea kuwa imara na kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.1mwaka 2018. Pato halisi la Taifa lilifikia thamaniya TZS 2,874 bilioni mwaka 2018 ikilinganishwa na thamani ya TZS 2,684 bilioni mwaka 2017 ambapo Pato la Taifa kwa bei za sokolimefikiathamaniyaTZS3,663bilionimwaka2018kutokathamani ya TZS 3,228 bilioni mwaka 2017. Kuimarika kwa Pato la Taifa kumepelea kuongezeka kwa Pato la Mwananchi kutoka TZS2,104,000sawanadolazaKimarekani944nakufikiaTZS2,323,000 sawa na dola za Kimarekani 1,026. Tayari Zanzibar imekaribiakufikiakiwangochakuwanchiyakipatochakatikwamujibu wa vigezo vya Kimataifa cha dola za Kimarekani 1,040. Kasi ya mfumko wa bei za bidhaa na huduma nchini imeshuka hadikufikiawastaniwaasilimia3.9mwaka2018ikilinganishwana wastani wa asilimia 5.6 mwaka 2017. Kushuka huko kumesababishwa na kushuka kwa mfumko wa bei za bidhaa za chakula na zisizo za chakula. Bidhaa za chakula zilitoka wastani wa asilimia 5.5mwaka 2017 hadi kufikia asilimia 1.4mwaka2018nabidhaazisizozachakula,umeshukanakufikiawastaniwa asilimia 5.7 mwaka 2018 kutoka asilimia 5.8 mwaka 2017.

  • 3Mapitio ya Hali ya Uchumi mwaka 2018 na Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo Zanzibar mwaka 2018/2019

    SURA YA KWANZA

    1.0 MWENENDO WA UCHUMI

    1.1 Uchumi wa Dunia

    Uchumi wa Dunia ukuaji wake hujumuisha uchumi wa nchi Zilizoendelea, nchi Zinazoendelea na Zinazoibukia kiuchumi ambazo kwa kawaida zina mwenendo tofauti katika ukuaji wake. Kwa mwaka 2018 Uchumi wa Dunia umekua kwa kasi ya wastani wa asilimia 3.7 ikilinganishwa na wastani wa asilimia 3.8 mwaka 2017, hii ni kwa mujibu wa taarifa za mwezi wa Aprili 2019 za Shirika la Fedha Duniani (IMF) na ripoti ya Mtazamo wa Uchumi Duniani (WEO). Nchi Zilizoendelea uchumi umekua kwa kasi ya wastani wa asilimia 2.2 mwaka 2018 ikilinganishwa na wastani wa asilimia 2.4 mwaka 2017. Nchi Zinazoendelea na Zinazoibukia ukuajiwauchumiulifikiawastaniwaasilimia4.4mwaka2018ikilinganishwa na wastani wa asilimia 4.7 mwaka 2017.

    Aidha, Kwa mwaka 2018 Uchumi wa nchi za Afrika umekua kwa kasi ya wastani wa asilimia 3.5 kutoka wastani wa asilimia 3.6 mwaka 2017. Uchumi wa nchi zilizo Kusini mwa Jangwa la Sahara umeimarika kwa mwaka 2018 ikilinganishwa na ukuaji wamwaka2017,kasiyaukuajiimefikiawastaniwaasilimia3.1mwaka 2018 kutoka wastani wa asilimia 2.9 mwaka 2018. Kasi ya ukuwaji wa uchumi wa nchi za kanda ya Afrika Mashariki imekuwa nakufikiawastaniwaasilimia5.7mwaka2018kutokawastaniwa asilimia 5.9 mwaka 2017. Hii ni kutokana na mgawanyiko wauzalishajiwamalighafinarasilimaliwatukwamaendeleoyaviwanda, kupunguwa kwa bei za mazao ya kilimo na kushuka kwa bei za mafuta duniani.

    Kwa kuangalia nchi zenye uchumi mkubwa duniani kama vile nchi ya Marekani, uchumi ulikuwa kwa wastani wa asilimia 2.9

  • 4Mapitio ya Hali ya Uchumi mwaka 2018 na Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo Zanzibar mwaka 2018/2019

    mwaka 2018 ikilinganishwa na ukuaji wa wastani wa asilimia 2.2 mwaka 2017. Hii ilitokana na kuongezeka kwa shughuli za uwekezaji pamoja na biashara. Nchi ya Japani kasi ya ukuaji wauchumi imepunguakufikiawastaniwaasilimia0.9mwaka2018 ikilinganishwa na asilimia 1.9 mwaka 2017, hii imetokana na athari za mgogoro wa kibiashara kati ya Marekani na China ambayo imepelekea kuzorota kwa Kampuni za Kijapani ambazo zinafanyakazi kwa kushirikiana na kampuni za China.

    Kasi ya ukuaji wa uchumi kwa nchi za Jumuiya ya Ulaya ilipunguwa nakufikiawastaniwaasilimia1.8mwaka2018kutokaasilimia2.4 mwaka 2017, hii imetokana na Sera za mageuzi ya kifedha, mabadiliko ya viwango vya riba za kibenki na kupunguwa kwa utandawazi wa biashara.

    Mchoro Nam 1: Mwenendo wa Uchumi wa Dunia mwaka 2014-2018

    Chanzo: Ripoti ya Mtazamo wa Uchumi wa Dunia (World Economic Outlook), 2019

    1.2 Uchumi wa nchi Zinazoibukia na ZinazoendeleaUkuaji wa uchumi kwa Nchi Zinazoendelea na Zinazoibukia kiuchumi ni kichocheo kikubwa cha maendeleo ya ukuaji wa

    4

    ambayo imepelekea kuzorota kwa Kampuni za Kijapani ambazo zinafanyakazi kwa kushirikiana na kampuni za China. Kasi ya ukuaji wa uchumi kwa nchi za Jumuiya ya Ulaya ilipunguwa na kufikia wastani wa asilimia 1.8 kwa mwaka 2018 kutoka asilimia 2.4 mwaka 2017, hii imetokana na Sera za mageuzi ya kifedha, mabadiliko ya viwango vya riba za kibenki na kupunguwa kwa utandawazi wa biashara. Mchoro Nam 1: Mwenendo wa Uchumi wa Dunia mwaka 2014-2018

    !"!

    !"#

    !"$

    !"%

    !"&

    !"#

    $

    $"%

    $"!

    $"$

    $"&

    $"'

    $"(

    $")

    $"*

    $"#

    !+%& !+%' !+%( !+%) !+%*

    '()*)+),

    Chanzo: Ripoti ya Mtazamo wa Uchumi wa Dunia (World Economic Outlook), 2019 1.2 Uchumi wa nchi Zinazoibukia na Zinazoendelea Ukuaji wa uchumi kwa Nchi Zinazoendelea na Zinazoibukia kiuchumi ni kichocheo kikubwa cha maendeleo ya ukuaji wa uchumi wa nchi nyingi duniani kutokana na mgawanyiko wa uzalishaji wa malighafi, uwekezaji na rasilimali watu. Miongoni mwa nchi hizo ni Brazil, Urusi, India, China na Afrika ya Kusini. Kwa mwaka 2018 ukuaji wa uchumi kwa nchi hizi ulifikia wastani wa asilimia 4.6 ikilinganishwa na asilimia 4.7 ya mwaka 2017. Nchi ya China kwa mwaka 2018 kasi ya ukuaji wa uchumi ilifikia wastani wa asilimia 6.6 kutoka wastani wa asilimia 6.9 mwaka 2017. Hii imetokana na mkakati maalum wa kupunguza kodi ili kuongeza biashara ndogo ndogo pamoja na kupunguza

  • 5Mapitio ya Hali ya Uchumi mwaka 2018 na Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo Zanzibar mwaka 2018/2019

    uchumi wa nchi nyingi duniani kutokana na mgawanyiko wa uzalishajiwamalighafi,uwekezajinarasilimaliwatu.Miongonimwa nchi hizo ni Brazil, Urusi, India, China na Afrika ya Kusini. Kwamwaka2018ukuajiwauchumikwanchihiziulifikiawastaniwa asilimia 4.6 ikilinganishwa na asilimia 4.7 ya mwaka 2017.

    NchiyaChinakwamwaka2018kasiyaukuajiwauchumiilifikiawastani wa asilimia 6.6 kutoka wastani wa asilimia 6.9 mwaka 2017. Hii imetokana na mkakati maalum wa kupunguza kodi ili kuongeza biashara ndogo ndogo pamoja na kupunguza matumizi, lengo la muda mrefu ni kuwasaidia wajasiriamali wadogo wadogo ili kuongeza vipato vyao. Vile vile, kasi ya ukuaji wa uchumi wa nchi ya India imefikiawastani wa asilimia 7.3 mwaka 2018 kutoka wastani wa asilimia 6.7 mwaka 2017, hii imetokana na kushuka kwa viwango vya riba za kibenki na kupelekea kuongezeka kwa mikopo yenye gharama nafuu.

    Kwa upande mwengine, nchi ya Urusi kasi ya ukuaji wa uchumi imefikia wastani wa asilimia 1.7 mwaka 2018 kutoka wastaniwa asilimia 1.6 mwaka 2017. Kuongezeka huko kunatokana na kukua kwa sekta ya ujenzi, uwekezaji katika Mashirika ya Serikali ya mafuta na gesi. Halkadhalika, nchi ya Brazil kasi ya ukuajiwauchumiimefikiawastaniwaasilimia1.3mwaka2018kutoka wastani wa asilimia 1.1 mwaka 2017. Hii imetokana na kuongezekakwauzalishajinausafirishajiwazaolasukari.

    1.3 Hali ya Uchumi wa Afrika

    1.3.1 Uchumi wa AfrikaKwa mwaka 2018 Uchumi wa nchi za Afrika umekuwa kwa kasi ya wastani wa asilimia 3.5 kutoka wastani wa asilimia 3.6 mwaka 2017. Kupungua kwa kasi ya ukuaji wa uchumi katika nchi za

  • 6Mapitio ya Hali ya Uchumi mwaka 2018 na Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo Zanzibar mwaka 2018/2019

    Afrika umechangiwa zaidi na kupungua kwa uzalishaji wa mazao ya kilimo. Aidha, kushuka kwa bei za mafuta duniani mwanzoni mwa mwaka 2018 kuliathiri ukuaji wa uchumi wa nchi wazalishaji na wasafirishajiwanishatihiyo.Halihiyoimesababishakuongezekakwa watu wanaoishi katika umasikini ambao wanakadiriwa kufikia736milioni.KwamujibuwataarifayaBenkiyaDunia,Bara la Afrika linahitajia kati ya dola za kimarekani 130-170 bilioni kwa ajili ya kufadhili miradi ya maendeleo.

    Hata hivyo, kasi ya ukuwaji wa wastani wa asilimia 3.5 kwa mwaka 2018 inatokana na kukuwa kwa uchumi wa nchi za Jangwa la Saharaambaouchumiwakeumekuwakufikiawastaniwaasilimia3.1 mwaka 2018 kutoka wastani wa asilimia 2.9 kwa mwaka 2017 nakuimarikakwauchumikwanchizinazozalishanakusafirishamafuta katika kanda hii kutoka wastani wa asilimia 3.2 mwaka 2017nakufikiawastaniwaasilimia3.4mwaka2018.

    Kwa kulinganisha na ukuaji wa uchumi wa mwaka 2017, nchi zilizoonesha kukua kwa kasi kubwa Barani Afrika kwa mwaka 2018 ni pamoja na nchi ya Gabon ambayo inazalisha madini ya ‘hydrocarbon’ kwa wingi katika Afrika ya kati, Uchumi wa Gabonmwaka2018umekuwanakufikiawastaniwaasilimia2.0ikilinganishwa na wastani wa asilimia 0.5 mwaka 2017. Kukua huko kumetokana na kuongezeka uzalishaji na usafirishajiwa madini kama vile uchimbaji wa ‘manganese’ asilimia 45, ‘logging’ asilimia 14, ‘lumber’ asilimia 10 na kukua kwa sekta ya mawasiliano kwa asilimia18.

    Nchi ya Nigeria ambayo ukuaji wake wa uchumi umeimarika na kufikiawastaniwaasilimia1.9mwaka2018kutokawastaniwaasilimia 0.8 mwaka 2017, hii inatokana na kukua kwa sekta ya kilimo, kuongezeka kwa mapato yatokanayo na mafuta ambayo yanachangia kwa wastani wa asilimia 20 katika Pato la Taifa na makusanyo ya VAT katika bidhaa za burudani. Nchi ya Niger

  • 7Mapitio ya Hali ya Uchumi mwaka 2018 na Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo Zanzibar mwaka 2018/2019

    kasiyaukuwajiwauchumikwamwaka2018imefikiawastaniwaasilimia 5.2 ikilinganishwa na wastani wa asilimia 4.9 kwa mwaka 2017. Hii imetokana na kuongezeka kwa uzalishaji wa mazao ya kilimo, kuongezeka kwa matumizi ya kawaida kwa wananchi kwa wastani wa asilimia 4.5 kutoka wastani wa asilimia 2.3 mwaka 2017nakuongezekakwauwekezajikufikiawastaniwaasilimia11.7 mwaka 2018 kutoka wastani wa asilimia 2.4 mwaka 2017.

    Kwa nchi za Visiwa, Uchumi wa Madagaska umekuwa kwa kasi ya wastani wa asilimia 5.0 mwaka 2018 kulinganisha na kasi ya wastani wa asilimia 4.2 mwaka 2017. Kasi ya ukuaji imechangiwa na kupanda kwa thamani kwa bidhaa ya vanilla katika soko la Dunia kutokana na kuongezeka kwa mahitaji yake, kukua kwa sekta ya viwanda hasa katika uzalishaji wa mafuta na bidhaa za nguo. Aidha, uchumi wa visiwa vya Comoro umekuwa kwa wastani wa asilimia 2.8 kwa mwaka 2018 ikilinganishwa na wastani wa asilimia 2.7 mwaka 2017. Hii ni kutokana na kuongezeka kwa upatikanaji wa nishati ya umeme, upatikanaji wa huduma za mawasiliano na kuongezeka kwa uwekezaji wa ndani. Hali hii imepelekeakupunguzadenilanjelanchihiyokufikiawastaniwaasilimia 26.5 ya Pato la Taifa kwa mwaka 2018 kutoka wastani wa asilimia 30.1 mwaka 2017.

    Kwa upande mwengine, nchi zilizopungua kasi ya ukuaji ni pamoja na Ivory Cost na Senegal. Kupungua kwa kasi ya ukuaji wa uchumi kwa nchi hizo kumetokana na kupungua kwa bei ya zao la Kakao katika soko la dunia na kupungua kwa uzalishaji wa bidhaa za viwandani. Uchumi wa Ivory Cost ulikuwa kwa wastani wa asilimia 7.4 mwaka 2018 ikilinganishwa na wastani wa asilimia 7.7 mwaka 2018. Uchumi wa nchi ya Senegal umekuwa kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.0 mwaka 2018 ikilinganishwa na wastani wa asilimia 7.2 mwaka 2017.

  • 8Mapitio ya Hali ya Uchumi mwaka 2018 na Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo Zanzibar mwaka 2018/2019

    Mchoro namba 2: Wastani wa Kasi ya Ukuwaji wa Uchumi kwa nchi za Afrika mwaka 2014-2018

    1.3.2 Uchumi wa Nchi Zilizo Kusini mwa Jangwa la Sahara

    Katika mwaka 2018, uchumi wa nchi zilizo Kusini mwa Jangwa la Saharaumeimarikazaidikufikiawastaniwaasilimia3.1kutokawastani wa asilimia 2.9 mwaka 2017. Ukuaji huo umesababishwa na mabadiliko ya Sera za biashara na mazingira ya kufanya biashara, kupungua kwa matumizi ya Serikali na kuongezeka kwa mapato yanayotokana na kodi za bidhaa.

    Aidha, nchi zilizokua kwa kasi kubwa ni pamoja na Botswana. UchumiwaBotswanaumekuakufikiawastaniwa asilimia4.2mwaka 2018 ikilinganishwa na wastani wa asilimia 2.4 kwa mwaka 2017, ukuaji huo umechangiwa zaidi na mauzo ya bidhaa ya Madini ya almasi ambayo yanachukuwa robo tatu ya usafirishajiwabidhaanjeyanchinakukuwakwasektayakilimokutokana na kupatikana kwa mvua za kutosha. Nchi ya Bukina-Faso uchumi wake umekuwa kwa wastani wa asilimia 7.0 mwaka 2018 ikilinganishwa na wastani wa asilimia 6.7 mwaka 2017, hii imesababishwa na kukua kwa uzalishaji wa bidhaa za chakula

    7

    Kwa upande mwengine, nchi zilizopungua kasi ya ukuaji ni pamoja na Ivory Cost na Senegal. Kupungua kwa kasi ya ukuaji wa uchumi kwa nchi hizo kumetokana na kupungua kwa bei ya zao la Kakao katika soko la dunia na kupungua kwa uzalishaji wa bidhaa za viwandani. Uchumi wa Ivory Cost ulikuwa kwa wastani wa asilimia 7.4 mwaka 2018 ikilinganishwa na wastani wa asilimia 7.7 mwaka 2018. Uchumi wa nchi ya Senegal umekuwa kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.0 mwaka 2018 ikilinganishwa na wastani wa asilimia 7.2 mwaka 2017. Mchoro namba 2: Wastani wa Kasi ya Ukuwaji wa Uchumi kwa nchi za Afrika mwaka 2014-2018

    Chanzo: Ripoti ya Mtazamo wa kiuchumi wa Afrika, 2019. 1.3.2 Uchumi wa Nchi Zilizo Kusini mwa Jangwa la Sahara Katika mwaka 2018, uchumi wa nchi zilizo Kusini mwa Jangwa la Sahara umeimarika zaidi kufikia wastani wa asilimia 3.1 kutoka wastani wa asilimia 2.9 mwaka 2017. Ukuaji huo umesababishwa na mabadiliko ya Sera za biashara na mazingira ya kufanya biashara, kupungua kwa matumizi ya Serikali na kuongezeka kwa mapato yanayotokana na kodi za bidhaa. Aidha, nchi zilizokua kwa kasi kubwa ni pamoja na Botswana. Uchumi wa Botswana umekua kufikia wastani wa asilimia 4.2 mwaka 2018 ikilinganishwa na wastani wa asilimia 2.4 kwa mwaka 2017, ukuaji huo umechangiwa zaidi na mauzo ya bidhaa ya Madini ya almasi ambayo yanachukuwa robo tatu ya usafirishaji wa bidhaa nje ya nchi na kukuwa kwa sekta ya kilimo kutokana na kupatikana

    !"#$

    %"&$

    '"($

    %")$ %"&$

    3'

    +'

    1'

    ,'

    -'

    .'

    13+-' 13+.' 13+4' 13+/' 13+2'

    *+,-,.,/$

  • 9Mapitio ya Hali ya Uchumi mwaka 2018 na Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo Zanzibar mwaka 2018/2019

    uliofikiawastani wa asilimia 14.2, Sekta ya uchimbaji imekuakwa wastani wa asilimia 20.5 na kuongezeka kwa uzalishaji wa zao la pamba kwa wastani wa asilimia 8.0. Vile vile nchi ya Sudan uchumiwakeumekuanakufikiawastaniwaasilimia4.1mwaka2018 kutoka wastani wa asilimia 3.3 mwaka 2017, kuimarika kwauzalishajikatikasektayakilimokufikiawastaniwaasilimia3.7,kukuwakwasektayauchimbajikufikiawastaniwaasilimia6.3 pamoja na wastani wa asilimia 1.5 ya ukuwaji katika sekta ya uzalishaji viwandani kumesababisha ukuaji huo.

    Nchi zilizo Kusini mwa Jangwa la Sahara zilizopungua kasi ya ukuaji ni pamoja na Ghana ambayo ni moja kati ya nchi zinazotegemea usafirishajiwabidhaazakakaonamafutanjeyanchi.Kwakipindichamwaka2018,uchumiwaGhanaumekuanakufikiawastaniwa asilimia 6.2 ikilinganishwa na wastani wa asilimia 8.5 kwa mwaka 2017, kasi ya ukuwaji imechangiwa zaidi na kushuka kwa bei za bidhaa hizo katika soko la dunia. Kadhalika, uchumi wanchiyaAngolabadoumeendeleakuporomokakufikiawastaniwa asilimia -0.7 mwaka 2018 kutoka wastani wa asilimia -0.2 mwaka 2017, kushuka kwa uchumi kumechangiwa na kushuka kwa mapato ya ndani ya Serikali kwa zaidi ya wastani wa asilimia 50 na kushuka kwa bei ya mafuta katika soko la dunia. Jadweli namba 1: Mwenendo wa Uchumi kwa nchi zilizo Kusini mwa Jangwa la Sahara kwa kipindi cha miaka miwili (2017 -2018)

    8

    kwa mvua za kutosha. Nchi ya Bukina-Faso uchumi wake umekuwa kwa wastani wa asilimia 7.0 mwaka 2018 ikilinganishwa na wastani wa asilimia 6.7 mwaka 2017, hii imesababishwa na kukua kwa uzalishaji wa bidhaa za chakula uliofikia wastani wa asilimia 14.2, Sekta ya uchimbaji imekua kwa wastani wa asilimia 20.5 na kuongezeka kwa uzalishaji wa zao la pamba kwa wastani wa asilimia 8.0. Vile vile nchi ya Sudan uchumi wake umekua na kufikia wastani wa asilimia 4.1 mwaka 2018 kutoka wastani wa asilimia 3.3 mwaka 2017, kuimarika kwa uzalishaji katika sekta ya kilimo kufikia wastani wa asilimia 3.7, kukuwa kwa sekta ya uchimbaji kufikia wastani wa asilimia 6.3 pamoja na wastani wa asilimia 1.5 wa ukuwaji katika sekta ya uzalishaji viwandani kumesababisha ukuaji huo. Nchi zilizo Kusini mwa Jangwa la Sahara zilizopungua kasi ya ukuaji ni pamoja na Ghana ambayo ni moja kati ya nchi zinazotegemea usafirishaji wa bidhaa za kakao na mafuta nje ya nchi. Kwa kipindi cha mwaka 2018, uchumi wa Ghana umekua na kufikia wastani wa asilimia 6.2 ikilinganishwa na wastani wa asilimia 8.5 kwa mwaka 2017, kasi ya ukuwaji imechangiwa zaidi na kushuka kwa bei za bidhaa hizo katika soko la dunia. Kadhalika, uchumi wa nchi ya Angola bado umeendelea kuporomoka kufikia wastani wa asilimia -0.7 mwaka 2018 kutoka wastani wa asilimia -0.2 mwaka 2017, kushuka kwa uchumi kumechangiwa na kushuka kwa mapato ya ndani ya Serikali kwa zaidi ya wastani wa asilimia 50 na kushuka kwa bei ya mafuta katika soko la dunia. Jadweli namba 1: Mwenendo wa Uchumi kwa nchi zilizo Kusini mwa Jangwa la Sahara kwa kipindi cha miaka miwili (2017 -2018) Nchi zilizo Kusini mwa Jangwa la sahara

    Mwaka 2017

    Mwaka 2018

    Nchi zinazozalisha mafuta Angola -0.2 -0.7 Cameroon 3.5 3.8 Nigeria 0.8 1.9 South Sudan -6.3 -3.8 Equatorial Guinea -2.1 -7.9 Nchi zenye Kipato cha Kati

    Bukinafaso 3.7 4.0 DRC Congo 8.5 6.2

  • 10Mapitio ya Hali ya Uchumi mwaka 2018 na Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo Zanzibar mwaka 2018/2019

    1.4 ATHARI YA KIUCHUMI KWA UKUAJI WA UCHUMI WA AFRIKA KWA ZANZIBAR

    Kuendelea kukuwa kwa Uchumi wa Afrika kwa mwaka 2018 hasa kwa nchi zilizo Kusini mwa Jangwa la Sahara inapelekea kuongezeka kwa kipato cha mtu mmoja mmoja (GDP per Capita) katika nchi hizo. Kuongezeka kwa kipato cha mtu kinatoa fursa na uwezo wa kutumia zaidi katika mwaka husika. Miongoni mwa matumizi ni yale ya lazima, uwekezaji pamoja na yale ya starehe ikiwemo matumizi katika mapumziko kama vile kutembelea nchi nyengine kwa utalii. Kwa mwaka 2018, jumla ya watalii walioingiaZanzibarkutokaAfrikaimefikiawatalii52,674kutokawatalii 51,457 mwaka 2017 sawa na ongezeka la asilimia 2.4. Hivyo, ukuaji wa uchumi wa nchi za Bara la Afrika una athari kwa ukuaji wa uchumi kwa nchi nyengine ikiwemo Zanzibar.

    1.4.1 Uchumi wa nchi za Afrika Mashariki Kasi ya ukuwaji wa uchumi wa nchi za kanda ya Afrika Mashariki imekua kwa wastani wa asilimia 5.7 mwaka 2018 kutoka wastani

    9

    Nchi zilizo Kusini mwa Jangwa la sahara

    Mwaka 2017

    Mwaka 2018

    Ghana 8.5 6.2 Niger 4.9 5.2 Tanzania 7.1 6.7 Nchi zenye kipato cha chini

    Benin 7.7 7.4 Ivory Cost 5.0 4.2 Eritrea 5.0 4.2 Ethiopia 10.9 7.5 Senegal 7.2 7.0 Central Africa Republic 5.0 4.2 Eritrea 3.8 2.8 Chad 5.1 3.7 Malawi 5.3 5.0 Mali 5.3 5.0 Chanzo: Ripoti ya Mtazamo wa Kiuchumi wa Afrika, 2019

    1.4 ATHARI YA KIUCHUMI KWA UKUAJI WA UCHUMI WA AFRIKA KWA ZANZIBAR Kuendelea kukuwa kwa Uchumi wa Afrika kwa mwaka 2018 hasa kwa nchi zilizo Kusini mwa Jangwa la Sahara inapelekea kuongezeka kwa kipato cha mtu mmoja mmoja (GDP per Capita) katika nchi hizo. Kuongezeka kwa kipato cha mtu kinatoa fursa na uwezo wa kutumia zaidi katika mwaka husika. Miongoni mwa matumizi ni yale ya lazima, uwekezaji pamoja na yale ya starehe ikiwemo matumizi katika mapumziko kama vile kutembelea nchi nyengine kwa utalii. Kwa mwaka 2018, jumla ya watalii walioingia Zanzibar kutoka Afrika imefika watalii 52,674 kutoka watalii 51,457 mwaka 2017 sawa na ongezeka la asilimia 2.4. Hivyo, ukuaji wa uchumi wa nchi za Bara la Afrika una athari kwa ukuaji wa uchumi kwa nchi nyengine ikiwemo Zanzibar. 1.4.1 Uchumi wa nchi za Afrika Mashariki Kasi ya ukuwaji wa uchumi wa nchi za kanda ya Afrika Mashariki imekua kwa wastani wa asilimia 5.7 mwaka 2018 kutoka wastani wa asilimia 5.9 mwaka 2017. Utulivu wa uchumi katika kanda ya Afrika ya Mashariki unatokana na uzalishaji wa mazao ya kilimo, kuimarika kwa uwekezaji katika sekta ya miundombinu na mawasiliano, kufanyiwa marekebisho kwa Sera za kodi na kuongezeka kwa makusanyo ya mapato yatokanayo na kodi na kuwepo kwa amani na

  • 11Mapitio ya Hali ya Uchumi mwaka 2018 na Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo Zanzibar mwaka 2018/2019

    wa asilimia 5.9 mwaka 2017. Utulivu wa uchumi katika kanda ya Afrika ya Mashariki unatokana na uzalishaji wa mazao ya kilimo, kuimarika kwa uwekezaji katika sekta ya miundombinu na mawasiliano, kufanyiwa marekebisho kwa Sera za kodi na kuongezeka kwa makusanyo ya mapato yatokanayo na kodi na kuwepo kwa amani na utulivu. Hata hivyo, kupungua kwa kasi ya ukuaji wa uchumi wa Dunia na Bara la Afrika kumesababisha kupungua kwa kasi ya ukuaji wa uchumi wa kanda hii kwa mwaka 2018.

    NchiyaRwandakasiyaukuajiwauchumiimefikiawastaniwaasilimia 7.2 mwaka 2018 ikilinganishwa na wastani wa asilimia 6.1 mwaka 2017. Kuongezeka kwa kasi ya ukuwaji wa uchumi imetokana na kuongezeka kwa uwekezaji kufikia wastani waasilimia 25.3 mwaka 2018 kutoka wastani wa aslimia 23.4 mwaka 2017 na kuanzishwa kwa malipo ya kodi kwa njia ya kielektroniki na kusababisha kuongezeka kwa mapato ya kodi.

    Ukuaji wa uchumi kwa nchi ya Kenya kwa mwaka 2018 umefikiawastaniwaasilimia5.9ukilinganishwanawastaniwaasilimia 4.9 mwaka 2017, hii imetokana na kuimarishwa kwa mazingira ya kufanya biashara na kuongezeka kwa uwekezaji wa miundombinu. Vilevile, ukuwaji wa uchumi katika nchi ya Uganda ulifikiawastaniwaasilimia5.3mwaka2018kutokawastaniwaasilimia 5.0 mwaka 2019, hali hii imetokana na kuongezeka kwa uwekezaji katika miundombinu, kukuwa kwa sekta ya viwanda na sekta ya huduma.

    KasiyaukuwajiwauchumikwanchiyaTanzaniaimefikiawastaniwa asilimia 6.7 mwaka 2018 kutoka wastani wa asilimia 7.1 mwaka 2017, hali hii imetokana na kuongezeka uagiziaji wa vifaa vya ujenzi wa miundombinu ikiwemo kwa miradi ya “standard gauge’ reli na bidhaa ya nishati ya mafuta na kwa nchi ya Burundi kasi yaukuwajiuchumiimefikiawastaniwaasilimia1.4mwaka2018

  • 12Mapitio ya Hali ya Uchumi mwaka 2018 na Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo Zanzibar mwaka 2018/2019

    ikilinganishwa na asilimia -0.2 kwa mwaka 2017, hii imetokana na kuwepo kwa utulivu wa kisiasa na kuongezeka kwa uzalishaji nausafirishajiwazaolakahawa.

    Mchoro Namba 3: Kasi ya Ukuaji wa Uchumi kwa nchi za Afrika Mashariki

    Chanzo: Ripoti ya Mtazamo wa Kiuchumi wa Afrika, 2019

    1.4.2 Nchi zenye uhusiano wa kibiashara na Zanzibar (Zanzibar Trading Partners)

    Zanzibar ina mahusiano ya karibu zaidi kibiashara na nchi za Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), India na China. Hii ni kutokana naeneolakijiografiailiopoZanzibarnahistoriayauhusianowamuda mrefu na nchi hizo. Kukua kwa uchumi wa nchi kuna athari nzuri kwa maendeleo ya ukuaji wa uchumi wa Zanzibar.

    Uchumi wa nchi ya ChinaKwa mwka 2018, kasi ya uchumi wa nchi ya China umekua kwa kasi ya wastani wa asilimia 6.6 kutoka wastani wa asilimia 6.9 mwaka 2017. Hii imetokana na mfululizo wa kupunguzwa kwa kodi ili kuongeza biashara ndogo ndogo, lengo la muda mrefu la China ni kuimarisha matumizi kwa kuongeza biashara.

    11

    Mchoro Namba 3: Kasi ya Ukuaji wa Uchumi kwa nchi za Afrika Mashariki

    !"#

    !"# $"%

    $"#

    %&"'

    $"!

    (")("*

    !"'

    #"+

    &'

    %

    '

    (

    )

    !

    $

    *

    +

    ,

    ,-./-.0- 12.3- 45-.6- 78-.6- 98:8.60

    ;<0=0>0-

    (%'+ (%',

    Chanzo: Ripoti ya Mtazamo wa Kiuchumi wa Afrika, 2019 1.4.2 Nchi zenye uhusiano wa kibiashara na Zanzibar

    (Zanzibar Trading Partners) Zanzibar ina mahusiano ya karibu zaidi kibiashara na nchi za Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), India na China. Hii ni kutokana na eneo la kijiografia iliopo Zanzibar na historia ya uhusiano wa muda mrefu na nchi hizo. Kukua kwa uchumi wa nchi kuna athari nzuri kwa maendeleo ya ukuaji wa uchumi wa Zanzibar. Uchumi wa nchi ya China Kwa mwka 2018, kasi ya uchumi wa nchi ya China umekua kwa kasi ya wastani wa asilimia 6.6 kutoka wastani wa asilimia 6.9 mwaka 2017. Hii imetokana na mfululizo wa kupunguzwa kwa kodi ili kuongeza biashara ndogo ndogo, lengo la muda mrefu la China ni kuimarisha matumizi kwa kuongeza biashara. Uchumi wa nchi ya India Kasi ya ukuaji wa uchumi wa nchi ya India imefikia wastani wa asilimia 7.3 mwaka 2018 kutoka wastani wa asilimia 6.7 mwaka 2017, hii ni kutokana na kupungua kwa gharama za kukopa na kushuka kwa viwango vya riba.

  • 13Mapitio ya Hali ya Uchumi mwaka 2018 na Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo Zanzibar mwaka 2018/2019

    Uchumi wa nchi ya India KasiyaukuajiwauchumiwanchiyaIndiaimefikiawastaniwaasilimia 7.3 mwaka 2018 kutoka wastani wa asilimia 6.7 mwaka 2017, hii ni kutokana na kupungua kwa gharama za kukopa na kushuka kwa viwango vya riba.

    Uchumi wa nchi za Falme za KiarabuKwa upande wa nchi za Falme za Kiarabu Uchumi umekua kwa kasi ya wastani wa asilimia 1.7 mwaka 2018 kutoka asilimia 1.4 mwaka 2017, ukuaji huo umetokana na kuongezeka kwa mapato yatokanayo na uwekezaji, biashara na sekta ya mafuta na gesi.

    1.4.3 Mwenendo wa Mfumko wa Bei Duniani.

    Mfumko wa Bei wa DuniaKwa mwaka 2018, kasi ya mfumko wa bei duniani imepanda kidogo na kufikia wastani wa asilimia 3.8 kutoka asilimia 3.2mwaka 2017. Kupanda huko kumetokana na kupanda kwa bei za bidhaa na huduma kwa baadhi ya nchi duniani. Mfumko wa bei wanchiZilizoendeleaumepandahadikufikiaasilimia1.7mwaka2018 kutoka asilimia 1.2 mwaka 2017. Hii imetokana na kupanda kwabeizabidhaazamafutanahudumazausafirishaji.

    Nchi Zinazoendelea na Zinazoibukia kiuchumi, kasi ya mfumko wabeiimepandahadikufikiawastaniwaasilimia4.5mwaka2018kutoka wastani wa asilimia 4.2 mwaka 2017. Hii imetokana na kupanda kwa bei za huduma ya maji na umeme inayosababishwa na kupanda bei za mafuta na kupungua uzalishaji viwandani.

  • 14Mapitio ya Hali ya Uchumi mwaka 2018 na Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo Zanzibar mwaka 2018/2019

    Mchoro Namba 4: Mfumko wa Bei wa Dunia mwaka 2014-2018

    Chanzo: Mtazamo wa Kiuchumi wa Dunia (World Economic Outlook) 2019.

    1.4.4 Mfumko wa Bei kwa nchi zilizo Kusini mwa Jangwa la Sahara

    Kasi ya Mfumko wa bei kwa nchi zilizo Kusini mwa Jangwa la Sahara imeripotiwa kushuka kutoka wastani wa asilimia 12.6 mwaka2017hadikufikiawastaniwaasilimia9.8mwaka2018.Hii imetokana na kuongezeka kwa uvunaji wa mazao ya chakula zikiwemo nafaka hususan katika nchi za Tanzania, Kenya, Zambia na Ethiopia. Mabadiliko ya Sera za kilimo kwa mazao ya chakula kumesababisha pia kushuka kwa bei za vyakula katika nchi nyingi za Kusini mwa Jangwa la Sahara. Aidha, nchi zilizoripotiwa kuwa na kasi ya mfumko wa bei wa juu katika kanda hii ni Angola wastani wa asilimia 20.5, DRC Congo wastani wa asilimia 23.0 na Liberia yenye kasi ya mfumko wa bei ya wastani wa asilimia 21.3. Nchi zilizoripotiwa kuwa na kasi ndogo ya mfumko wa bei kwa mwaka 2018 ni pamoja na CaboVerde na Cameroon zenye wastani wa asilimia 1.0 na Senegal yenye wastani wa asilimia 0.4.

    12

    Uchumi wa nchi za Falme za Kiarabu Kwa upande wa nchi za Falme za Kiarabu Uchumi umekua kwa kasi ya wastani wa asilimia 1.7 mwaka 2018 kutoka asilimia 1.4 mwaka 2017, ukuaji huo umetokana na kuongezeka kwa mapato yatokanayo na uwekezaji, biashara na sekta ya mafuta na gesi. 1.4.3 Mwenendo wa Mfumko wa Bei Duniani. Mfumko wa Bei wa Dunia Kwa mwaka 2018, kasi ya mfumko wa bei duniani imepanda kidogo na kufikia wastani wa asilimia 3.8 kutoka asilimia 3.2 mwaka 2017. Kupanda huko kumetokana na kupanda kwa bei za bidhaa na huduma kwa baadhi ya nchi duniani. Mfumko wa bei wa nchi Zilizoendelea umepanda hadi kufikia asilimia 1.7 mwaka 2018 kutoka asilimia 1.2 mwaka 2017. Hii imetokana na kupanda kwa bei za bidhaa za mafuta na huduma za usafirishaji. Nchi Zinazoendelea na Zinazoibukia kiuchumi, kasi ya mfumko wa bei imepanda hadi kufikia wastani wa asilimia 4.5 mwaka 2018 kutoka wastani wa asilimia 4.2 mwaka 2017. Hii imetokana na kupanda kwa bei za huduma ya maji na umeme inayosababishwa na kupanda bei za mafuta na kupungua uzalishaji viwandani. Mchoro Namba 4: Mfumko wa Bei wa Dunia mwaka 2014-2018

    Chanzo: Mtazamo wa Kiuchumi wa Dunia (World Economic Outlook) 2019.

  • 15Mapitio ya Hali ya Uchumi mwaka 2018 na Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo Zanzibar mwaka 2018/2019

    Mchoro namba 5: Kasi ya mfumko wa bei katika nchi zilizo Kusini mwa Jangwa la Sahara kwa kipindi cha miaka mitano (2014-2018)

    Chanzo: Ripoti ya Mtazamo wa Kiuchumi wa Afrika, 2019

    1.4.5 Mfumko wa bei wa Afrika MasharikiKasi ya mfumko wa bei kwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki imeshukakufikiawastaniwaasilimia1.6mwaka2018kutokawastaniwaasilimia8.7mwaka2017.Uganda imefikiawastaniwa asilimia 2.6 mwaka 2018 kutoka wastani wa asilimia 5.6 mwaka2017.Tanzaniaimefikiawastaniwaasilimia3.5mwaka2018kutokawastaniwaasilimia5.3mwaka2017.Kenyaimefikiawastani wa asilimia 4.7 mwaka 2017 kutoka wastani wa asilimia 8.0mwaka2017.Rwandakasiyamfumkowabeiimefikiawastaniwaasilimia-0.3mwaka2018(deflation)kutokawastaniwaasilimia8.3mwaka2017naBurundi imefikiawastaniwaasilimia -2.6mwaka 2018 kutoka wastani wa asilimia 16.1 mwaka 2017.

    13

    1.4.4 Mfumko wa Bei kwa nchi zilizo Kusini mwa Jangwa la Sahara

    Kasi ya Mfumko wa bei kwa nchi zilizo Kusini mwa Jangwa la Sahara imeripotiwa kushuka kutoka wastani wa asilimia 12.6 mwaka 2017 hadi kufikia wastani wa asilimia 9.8 mwaka 2018. Hii imetokana na kuongezeka kwa uvunaji wa mazao ya chakula zikiwemo nafaka hususan katika nchi za Tanzania, Kenya, Zambia na Ethiopia. Mabadiliko ya Sera za kilimo kwa mazao ya chakula kumesababisha pia kushuka kwa bei za vyakula katika nchi nyingi za Kusini mwa Jangwa la Sahara. Aidha, nchi zilizoripotiwa kuwa na kasi ya mfumko wa bei wa juu katika kanda hii ni Angola wastani wa asilimia 20.5, DRC Congo wastani wa asilimia 23.0 na Liberia yenye kasi ya mfumko wa bei ya wastani wa asilimia 21.3. Nchi zilizoripotiwa kuwa na kasi ndogo ya mfumko wa bei kwa mwaka 2018 ni pamoja na CaboVerde na Cameroon zenye wastani wa asilimia 1.0 na Senegal yenye wastani wa asilimia 0.4. Mchoro namba 5: Kasi ya mfumko wa bei katika nchi zilizo Kusini mwa Jangwa la Sahara kwa kipindi cha miaka mitano (2014-2018)

    Chanzo: Ripoti ya Mtazamo wa Kiuchumi wa Afrika, 2019

    1.4.5 Mfumko wa bei wa Afrika Mashariki Kasi ya mfumko wa bei kwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki imeshuka kufikia wastani wa asilimia 1.6 mwaka 2018 kutoka wastani wa asilimia 8.7 mwaka 2017. Uganda imefikia wastani wa asilimia 2.6 mwaka 2018 kutoka wastani wa asilimia 5.6 mwaka 2017. Tanzania imefikia wastani wa asilimia 3.5 mwaka 2018 kutoka wastani wa asilimia 5.3 mwaka 2017. Kenya

    0"'$

    #"%$

    (("%$ (("#$

    0"1$

    3'

    1'

    -'

    4'

    2'

    +3'

    +1'

    13+-' 13+.' 13+4' 13+/' 13+2'

  • 16Mapitio ya Hali ya Uchumi mwaka 2018 na Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo Zanzibar mwaka 2018/2019

    Mchoro namba 6: Kasi ya Mfumko wa bei kwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki.

    Chanzo: Takwimu za Afrika Mashariki, 2019.

    1.4.6. Mfumko wa bei kwa Nchi zenye uhusiano wa karibu wa kibiashara na Zanzibar (Zanzibar Trading Partners).

    Kwa mwaka 2018 kasi ya mfumko wa bei katika nchi ya China umefikiawastaniwaasilimia2.4kutokawastaniwaasilimia1.6mwaka 2017. Hali hii imesababishwa na kuongezeka kwa bei za bidhaa zisizo za chakula zikiwemo bei za nishati ya umeme kutoka wastani wa asilimia 3.0 hadi wastani wa asilimia 5.0. Kasi ya mfumko wa bei kwa nchi za Umoja wa Falme za Kiarabu imepanda na kufikia wastani wa asilimia 3.1 mwaka 2018kutoka wastani wa asilimia 2.0 mwaka 2017. Hii ni kutokana na kuanzishwa kwa kodi ya ongezeko la thamani kwa asilimia 5.0 (VAT) kwa bidhaa na huduma pamoja na Kupoteza masoko ya mali zisizohamishika huko Abu Dhabi na Dubai, na kushuka kwa gharama za makaazi.

    14

    imefikia wastani wa asilimia 4.7 mwaka 2017 kutoka wastani wa asilimia 8.0 mwaka 2017. Rwanda kasi ya mfumko wa bei imefikia wastani wa asilimia -0.3 mwaka 2018 (deflation) kutoka wastani wa asilimia 8.3 mwaka 2017 na Burundi imefikia wastani wa asilimia -2.6 mwaka 2018 kutoka wastani wa asilimia 16.1 mwaka 2017. Mchoro namba 6: Kasi ya Mfumko wa bei kwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki.

    Chanzo: Takwimu za Afrika Mashariki, 2019. 1.4.6. Mfumko wa bei kwa Nchi zenye uhusiano wa karibu wa

    kibiashara na Zanzibar (Zanzibar Trading Partners). Kwa mwaka 2018 kasi ya mfumko wa bei katika nchi ya China umefikia wastani wa asilimia 2.4 kutoka wastani wa asilimia 1.6 mwaka 2017. Hali hii imesababishwa na kuongezeka kwa bei za bidhaa zisizo za chakula zikiwemo bei za nishati ya umeme kutoka wastani wa asilimia 3.0 hadi wastani wa asilimia 5.0. Kasi ya mfumko wa bei kwa nchi za Umoja wa Falme za Kiarabu imepanda na kufikia wastani wa asilimia 3.1 mwaka 2018 kutoka wastani wa asilimia 2.0 mwaka 2017. Hii ni kutokana na kuanzishwa kwa kodi ya ongezeko la thamani kwa asilimia 5.0 (VAT) kwa bidhaa na huduma pamoja na Kupoteza masoko ya mali zisizohamishika huko Abu Dhabi na Dubai, na kushuka kwa gharama za makaazi.

  • 17Mapitio ya Hali ya Uchumi mwaka 2018 na Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo Zanzibar mwaka 2018/2019

    Kwaupandewanchi ya Indiakasi yamfumkowabei imefikiawastani wa asilimia 3.5 mwaka 2018 kutoka wastani wa asilimia 3.4 mwaka 2017. Hii ilitokana na kupanda kwa gharama za uzalishaji viwandani.

    Mchoro Namba 7: Mfumko wa Bei kwa Nchi zenye Uhusiano wa karibu wa Kibiashara na Zanzibar (Trading Partners) 2017-2018

    Chanzo: Ripoti ya Mtazamo wa Kiuchumi wa Dunia (World Economic Outlook), 2019.

    1.4.7 Mwenendo wa Bei kwa baadhi ya bidhaa katika Soko la Dunia

    Zanzibar inategemea bidhaa kutoka nje kwa zaidi ya asilimia 50 ya mahitaji yote ya bidhaa. Miongoni mwa bidhaa tunazotegemea kutoka nje ni pamoja na bidhaa za nishati ya Mafuta, Mchele, Unga wa Ngano na Sukari. Kupanda na kushuka kwa bidhaa hizi katika soko la dunia kuna athiri kasi ya mfumko wa bei wa Zanzibar.

    i. Bei ya nishati ya mafuta Kwa mwaka 2018, bei ya nishati za mafuta ilipanda na kufikiawastaniwaDolazaKimarekani68.4kwapipakutokaDola za Kimarekani 52.8 mwaka 2017. Hii inatokana na

    15

    Kwa upande wa nchi ya India kasi ya mfumko wa bei imefikia wastani wa asilimia 3.5 mwaka 2018 kutoka wastani wa asilimia 3.4 mwaka 2017. Hii ilitokana na kupanda kwa gharama za uzalishaji viwandani. Mchoro Namba 7: Mfumko wa Bei kwa Nchi zenye Uhusiano wa karibu wa Kibiashara na Zanzibar (Trading Partners) 2017-2018

    !"#

    $"%

    &&"%

    $"' $"'

    !

    "

    #

    $

    %

    ()*+, *+-*, .,/&0!1 &0!2

    Chanzo: Ripoti ya Mtazamo wa Kiuchumi wa Dunia (World Economic Outlook), 2019. 1.4.7 Mwenendo wa Bei kwa baadhi ya bidhaa katika Soko

    la Dunia Zanzibar inategemea bidhaa kutoka nje kwa zaidi ya asilimia 50 ya mahitaji yote ya bidhaa. Miongoni mwa bidhaa tunazotegemea kutoka nje ni pamoja na bidhaa za nishati ya Mafuta, Mchele, Unga wa Ngano na Sukari. Kupanda na kushuka kwa bidhaa hizi katika soko la dunia kuna athiri kasi ya mfumko wa bei wa Zanzibar.

    i. Bei ya nishati ya mafuta Kwa mwaka 2018, bei ya nishati za mafuta ilipanda na kufikia wastani wa Dola za Kimarekani 68.4 kwa pipa kutoka Dola za Kimarekani 52.8 mwaka 2017. Hii inatokana na Jumuiya ya Nchi Wanachama wa Uzalishaji wa Nishati ya Mafuta Duniani (OPEC) kuendelea kudhibiti uzalishaji wa nishati hiyo ambapo kwa mwaka 2018, OPEC imetangaza mwisho wa kuzalisha nishati hiyo ni lita 1.2

  • 18Mapitio ya Hali ya Uchumi mwaka 2018 na Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo Zanzibar mwaka 2018/2019

    Jumuiya ya Nchi Wanachama wa Uzalishaji wa Nishati ya Mafuta Duniani (OPEC) kuendelea kudhibiti uzalishaji wa nishati hiyo ambapo kwa mwaka 2018, OPEC imetangaza mwisho wa kuzalisha nishati hiyo ni lita 1.2 milioni kwa siku ambayo ni ndogo ikilinganishwa na uwezo wa uzalishaji kwa siku, vikwazo vya kiuchumi kwa nchi wazalishaji wa nishati ya mafuta kama vile Iran na Qatar, kuendelea kwa migogoro ya kisiasa katika nchi za Libya, Syria na kujitoa kwa Qatar katika OPEC.

    ii. Mchele Bei ya mchele katika soko la dunia kwa mwaka 2018 ilipanda na kufikia Dola za Kimarekani 408.1 kwa taniikilinganishwa na Dola za Kimarekani 384.7 kwa tani mwaka 2017. Kupanda huko kwa bei kumesababishwa na kuwepo kwa uzalishaji mdogo wa zao hilo kwa nchi wazalishaji wakubwa wa mpunga kutokana na hali mbaya ya hewa kwa ajili ya uzalishaji hususan nchi ya Thailand na Vietnam. Hata hivyo, kwa mwaka 2018 Pakistani ilionesha uzalishaji wa kuridhisha wa zao hilo.

    iii. Unga wa Ngano Kwa mwaka 2018 bei ya unga wa ngano katika soko la dunia ilipandanakufikiawastaniwa Dola zaKimarekani209.9kwa tani ikilinganishwa na wastani wa Dola za Kimarekani 174.2 kwa tani mwaka 2017. Hii imetokana na kupanda kwa thamani ya bidhaa hiyo katika hisa nchini Marekani ambayo ilisababisha bei ya bidhaa hiyo kupanda duniani. Vile vile, kupanda kwa bei kumesababishwa na kushuka kwa uzalishaji kwa asilimia 4.3 ambayo ilichangiwa na kushuka kwa uzalishaji wa nchi katika Umoja wa Ulaya, China pamoja na Australia.

  • 19Mapitio ya Hali ya Uchumi mwaka 2018 na Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo Zanzibar mwaka 2018/2019

    iv. Sukari BidhaayaSukarikatikasokoladuniailishukabeinakufikiawastani wa Dola za Kimarekani 280 kwa tani mwaka 2018 ikilinganishwa na wastani wa Dola za Kimarekani 350 kwa tani mwaka 2017. Hali hii imetokana na kuendelea kuimarishwa kwa miundombinu ya kilimo pamoja na mazingira mazuri ya kifedha kwa nchi ya Brazil hasa katika kudhibiti mabadiliko ya fedha yao dhidi ya fedha nyengine za kigeni kama vile Dola ya Kimarekani.

    Jadweli namba 2: Mwenendo wa Bei kwa baadhi ya bidhaa katika Soko la Dunia kwa Dola za Kamarekani (2017 – 2018).

    Chanzo: FAO, 2019 na Benki Kuu ya Tanzania.

    17

    Jadweli namba 2: Mwenendo wa Bei kwa baadhi ya bidhaa katika Soko la Dunia kwa Dola za Kamarekani (2017 – 2018). BIDHAA KIPIMO

    (moja) 2017 2018

    Nishati ya Mafuta Pipa 52.8 68.4 Mchele Tani 384.7 408.1 Unga wa Ngano Tani 174.2 209.9 Sukari Tani 350 280

    Wastani wa Kiwango cha Ubadilishaji wa Fedha USD/TZS

    2,229 2,264

    Chanzo: FAO, 2019 na Benki Kuu ya Tanzania.

  • 20Mapitio ya Hali ya Uchumi mwaka 2018 na Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo Zanzibar mwaka 2018/2019

    SURA YA PILI

    2.0 MWENENDO WA UCHUMI WA ZANZIBAR

    2.1 Pato la Taifa na Ukuaji wa UchumiWakati uchumi wa dunia unakua kwa wastani wa asilimia 3.7 na uchumi wa kanda ya Afrika Mashariki ukikua kwa kasi ya wastani wa asilimia 5.7 mwaka 2018, uchumi wa Zanzibar umeendelea kuwaimaranakufikiakasiyaukuajiwaasilimia7.1mwaka2018.PatohalisilaTaifalilifikiathamaniyaTZS2,874bilionimwaka2018 ikilinganishwa na thamani ya TZS 2,684 bilioni mwaka 2017 ambapoPatolaTaifakwabeizasokolimefikiathamaniyaTZS3,663 bilioni mwaka 2018 kutoka thamani ya TZS 3,228 bilioni mwaka 2017.

    Mchoro Namba 8: Kasi ya Ukuaji wa Pato la Taifa mwaka 2014 -2018.

    Chanzo: Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali, 2019

    Kuimarika kwa Sekta ya Huduma kwa kuwa na ukuaji wa wastani wa asilimia 10.4 mwaka 2018 kutoka wastani wa asilimia 7.7 mwaka 2017. Miongoni mwa sekta ndogo zilizoimarika ni pamoja na:

    18

    SURA YA PILI 2.0 MWENENDO WA UCHUMI WA ZANZIBAR

    2.1 Pato la Taifa na Ukuaji wa Uchumi Wakati uchumi wa dunia unakua kwa wastani wa asilimia 3.7 na uchumi wa kanda ya Afrika Mashariki ukikua kwa kasi ya wastani wa asilimia 5.7 mwaka 2018, uchumi wa Zanzibar umeendelea kuwa imara na kufikia kasi ya ukuaji wa asilimia 7.1 mwaka 2018. Pato halisi la Taifa lilifikia thamani ya TZS 2,874 bilioni mwaka 2018 ikilinganishwa na thamani ya TZS 2,684 bilioni mwaka 2017 ambapo Pato la Taifa kwa bei za soko limefikia thamani ya TZS 3,663 bilioni mwaka 2018 kutoka thamani ya TZS 3,228 bilioni mwaka 2017. Mchoro Namba 8: Kasi ya Ukuaji wa Pato la Taifa mwaka 2014 -2018.

    Chanzo: Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali, 2019 Kuimarika kwa Sekta ya Huduma kwa kuwa na ukuaji wa wastani wa asilimia 10.4 mwaka 2018 kutoka wastani wa asilimia 7.7 mwaka 2017. Miongoni mwa sekta ndogo zilizoimarika ni pamoja na:

    i. Kuongezeka kwa Idadi ya Watalii waliofika nchini kwa asilimia 20.1 kufikia watalii 520,809 mwaka 2018 kutoka watalii 433,474 mwaka 2017.

  • 21Mapitio ya Hali ya Uchumi mwaka 2018 na Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo Zanzibar mwaka 2018/2019

    i. Kuongezeka kwa Idadi ya Watalii waliofika nchini kwaasilimia20.1kufikiawatalii520,809mwaka2018kutokawatalii 433,474 mwaka 2017.

    ii. Kuongezeka kwa usafirishaji wa zao laMwani na kufikiatani 18,215 zenye thamani ya TZS 9.1 bilioni mwaka 2018 ikilinganishwa na tani 12,017 zenye thamani ya TZS 3.9 bilioni mwaka 2017 sawa na ongezeko la thamani la asilimia 133.3.

    iii. Kuongezekakwauzalishajiwamazaoyachakulanakufikiajumla ya tani 323,170 sawa na thamani ya TZS 263.7 bilioni mwaka 2018 ikilinganishwa na tani 306,190 zenye thamani ya TZS 236.2 bilioni mwaka 2017 sawa na ongezeko la thamani ya asilimia 11.6. Mazao yaliongezeka ni pamoja na Mpunga, Muhogo na Viazi vitamu.

    iv. Kuongezekakwashughulizasektandogoyausafirishajinauhifadhi mwaka 2018, ikiwemo kuongezeka kwa idadi ya abiriawaliopitiabandarinikufikiaabiria2.7milionimwaka2018 ikilinganishwa na abiria 2.6 milioni mwaka 2017 sawa na ongezeko la asilimia 3.8. Aidha, idadi ya abiria waliopitia angani nayo imeongezeka na kufikia abiria 1.4 milionimwaka 2018 kutoka abiria 1.2 milioni mwaka 2017 sawa na ongezeko la asilimia 16.7.

    v. Kuongezeka kwa shughuli za utalii pamoja na muda wa kukaa kwa mgeni (duration of stay). Jumla ya watalii 5,046 walikaa kwa siku 31 mwaka 2017 ikilinganishwa na watalii 5,920 waliokaa kwa siku kama hizo kwa mwaka 2018 sawa na ongezeko la asilimia 17.3.

    vi. Kuimarika kwa sekta ndogo ya Sanaa na ubunifu ambapo kwa mwaka 2018 jumla ya matamasha 7 yalifanyika nchini

  • 22Mapitio ya Hali ya Uchumi mwaka 2018 na Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo Zanzibar mwaka 2018/2019

    nayo ni: Tamasha la Zanzibar Tourism Show, Pemba Tourism Port Bonanza, Tamasha la Utamaduni wa Mzanzibari, Tamasha la Urithi wa Mtanzania, Tamasha la Maonesho ya Chakula na Mavazi, Tamasha la Sauti za Busara na Tamasha la Nchi za Jahazi (ZIFF).

    vii. Kuendelea kuwepo kwa hali ya amani na utulivu nchini.

    Kupungua kasi ya ukuaji wa uchumi kwa mwaka 2018 ikilinganishwa na asilimia 7.7 ya ukuaji kwa mwaka 2017 kumetokana na kupungua kwa kasi ya ukuaji wa Sekta ya Viwanda kufikiawastaniwaasilimia2.2mwaka2018kutokawastaniwaasilimia 5.6 mwaka 2017 kutokana na kufungwa kwa kiwanda cha Maziwa Fumba. Vile vile, kupungua kwa kasi ya ukuaji wa SektayaKilimokufikiaasilimia3.7mwaka2018kutokaasilimia7.9 mwaka 2017 kutokana na msimu mdogo wa uzalishaji wa zao lakarafuuhivyokupunguakwausafirishajiwazaohilo.

    2.2 Pato la MwananchiKuimarika kwa Pato la Taifa kumepelekea kuongezeka kwa Pato la Mwananchi kutoka TZS 2,104,000 sawa na dola za Kimarekani 944nakufikiaTZS2,323,000sawanadola1,026.TayariZanzibarimekaribiakufikiakiwangochanchiyakipatochakatikwamujibuwa vigezo vya Kimataifa.

  • 23Mapitio ya Hali ya Uchumi mwaka 2018 na Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo Zanzibar mwaka 2018/2019

    Mchoro Namba 9: Pato la Mwananchi kwa thamani ya Shilingi ya Tanzania na Dola ya Kimarekani 2014-2018

    Chanzo: Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali, 2019

    2.3. Mwenendo wa mfumko wa bei Zanzibar Kasi ya mfumko wa bei za bidhaa na huduma nchini imeshuka hadikufikiawastaniwaasilimia3.9mwaka2018ikilinganishwana wastani wa asilimia 5.6 mwaka 2017. Kushuka huko kumesababishwa na kushuka kwa mfumko wa bei za bidhaa za chakula na zisizo za chakula. Bidhaa za chakula kasi ya bei imeshukakutokaasilimia5.5mwaka2017hadikufikiaasilimia1.4 mwaka 2018 na bidhaa zisizo za chakula, umeshuka na kufikiaasilimia5.7mwaka2018kutokaasilimia5.8mwaka2017.Miongoni mwa sababu na hatua zilizochukuliwa katika kudhibiti mfumko wa bei ni pamoja na:

    i) Kuongezeka kwa uzalishaji wa mazao makuu ya chakula. Jumla ya tani 323,170.2 zilivunwa kwa mwaka 2018 ikilinganishwa na tani 302,190.4 mwaka 2017 sawa na ongezeko la asilimia 6.9. Hii ni kutokana na kuwepo kwa hali nzuri ya hewa.

    20

    vii. Kuendelea kuwepo kwa hali ya amani na utulivu nchini. Kupungua kasi ya ukuaji wa uchumi kwa mwaka 2018 ikilinganishwa na asilimia 7.7 ya ukuaji kwa mwaka 2017 kumetokana na kupungua kwa kasi ya ukuaji wa Sekta ya Viwanda kufikia wastani wa asilimia 2.2 mwaka 2018 kutoka wastani wa asilimia 5.6 mwaka 2017 kutokana na kufungwa kwa kiwanda cha Maziwa Fumba. Vile vile, kupungua kwa kasi ya ukuaji wa Sekta ya Kilimo kufikia asilimia 3.7 mwaka 2018 kutoka asilimia 7.9 mwaka 2017 kutokana na msimu mdogo wa uzalishaji wa zao la karafuu hivyo kupungua kwa usafirishaji wa zao hilo. 2.2 Pato la Mwananchi Kuimarika kwa Pato la Taifa kumepelekea kuongezeka kwa Pato la Mwananchi kutoka TZS 2,104,000 sawa na dola za Kimarekani 944 na kufikia TZS 2,323,000 sawa na dola 1,026. Tayari Zanzibar imekaribia kufikia kiwango cha nchi ya kipato cha kati kwa mujibu wa vigezo vya Kimataifa. Mchoro Namba 9: Pato la Mwananchi kwa thamani ya Shilingi ya Tanzania na Dola ya Kimarekani 2014-2018

    Chanzo: Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali, 2019 2.3. Mwenendo wa mfumko wa bei Zanzibar Kasi ya mfumko wa bei za bidhaa na huduma nchini imeshuka hadi kufikia wastani wa asilimia 3.9 mwaka 2018 ikilinganishwa na wastani wa asilimia 5.6 mwaka 2017. Kushuka huko

  • 24Mapitio ya Hali ya Uchumi mwaka 2018 na Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo Zanzibar mwaka 2018/2019

    ii) Kuendelea kuwawezesha wakulima kwa kutoa pembejeo na mafunzo juu ya kuongeza uzalishaji kwa kutumia technolojia ya gharama nafuu.

    iii) Kuendeleza tafiti katika sekta ya kilimo ili kupunguzana hatimae kutokomeza maradhi yanayokabili mazao ya matunda na mboga za majani.

    iv) Kuendelea kutoa nafuu maalum ya ushuru kwa baadhi ya bidhaa muhimu za chakula, dawa na pembejeo za kilimo.

    v) Benki Kuu iliendelea kuimarisha Sera za kifedha kwa lengo la kuongeza kiwango cha fedha katika Uchumi kwa kutoa mikopo kwa benki za biashara.

    vi) Benki Kuu kuendelea kudhibiti sarafu ya Tanzania dhidi ya sarafu nyengine zenye nguvu.

    22

    Mchoro Namba 10: Kasi ya Mfumko wa Bei 2014-2015

    Chanzo: Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali, 2019 2.3 Ukuaji wa Uchumi na Hali ya Mfumko wa Bei Kasi kubwa ya ukuaji wa uchumi na kupungua kwa mfumko wa bei ni ishara ya mafanikio ya mikakati ya Serikali kwa kutimiza lengo la Dira ya mwaka 2020. Kuongezeka kwa Pato la Taifa ina maana kuna ongezeko la uzalishaji wa ndani na upatikanaji wa bidhaa na huduma nchini. Kwa mwaka 2018 , Uchumi wa Zanzibar umekua kwa asilimia 7.1, na Mfumko wa bei umepungua na kufikia asilimia 3.9. Hali hii inatoa taswira kuwa wananchi wameweza kuongeza vipato vyao kwa kuendeleza shughuli za kiuchumi. Aidha, kutokana na kuongezeka na kuhamasika kwa shughuli za uzalishaji kwa mwaka 2018 kulikua na utulivu wa bei za bidhaa na huduma hivyo ni kiashiria muhimu cha kuvutia wawekezaji nchini.

    !"!$

    #"!$1"!$

    &"&$

    ("!$

    )"1$

    !$!"1$

    &"1$ &"#$

    &")$&"#$ )"#$ &")$

    %"0$

    3'

    +'

    1'

    ,'

    -'

    .'

    4'

    /'

    2'

    0'

    13+-' 13+.' 13+4' 13+/' 13+2'Bidhaa za Chakula Bidhaa Zisizo za Chakula Mfumko wa Bei

  • 25Mapitio ya Hali ya Uchumi mwaka 2018 na Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo Zanzibar mwaka 2018/2019

    2.3 Ukuaji wa Uchumi na Hali ya Mfumko wa Bei Kasi kubwa ya ukuaji wa uchumi na kupungua kwa mfumko wa bei ni ishara ya mafanikio ya mikakati ya Serikali kwa kutimiza lengo la Dira ya mwaka 2020. Kuongezeka kwa Pato la Taifa ina maana kuna ongezeko la uzalishaji wa ndani na upatikanaji wa bidhaa na huduma nchini. Kwa mwaka 2018 , Uchumi wa Zanzibar umekua kwa asilimia 7.1, na Mfumko wa bei umepungua nakufikiaasilimia3.9.Halihii inatoataswirakuwawananchiwameweza kuongeza vipato vyao kwa kuendeleza shughuli za kiuchumi. Aidha, kutokana na kuongezeka na kuhamasika kwa shughuli za uzalishaji kwa mwaka 2018 kulikua na utulivu wa bei za bidhaa na huduma hivyo ni viashiria muhimu vya kuvutia wawekezaji nchini.

    Mchoro namba 11: Pato la Taifa na Mfumko wa Bei mwaka 2014-2018

    Chanzo: Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali, 2019

    2.4. Mwenendo wa Thamani ya Shilingi ya Tanzania Thamani ya Shilingi ya Tanzania dhidi ya Dola ya Kimarekani imeendelea kuwa tulivu ikilinganishwa na thamani ya fedha za nchi nyengine duniani. Shilingi ya Tanzania kwa mwaka 2017 ilishuka thamani kwa asilimia ndogo ya 1.5 dhidi ya dola moja ya

    23

    Mchoro namba 11: Pato la Taifa na Mfumko wa Bei mwaka 2014-2018

    Chanzo: Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali, 2019 2.4. Mwenendo wa Thamani ya Shilingi ya Tanzania Thamani ya Shilingi ya Tanzania dhidi ya Dola ya Kimarekani imeendelea kuwa tulivu ikilinganishwa na thamani ya fedha za nchi nyengine duniani. Shilingi ya Tanzania kwa mwaka 2017 ilishuka thamani kwa asilimia ndogo ya 1.5 dhidi ya dola moja ya kimarekani kutoka TZS 2,229 mwaka 2017 na kufikia TZS 2,264 mwaka 2018. Mchoro Namba 12: Mwenendo wa Thamani ya Shillingi ya Tanzania kwa kipindi cha miaka mitano (2014-2018)

    !"#$%&

    !"''(&)"!((& )"))'& )")#*&

    %+,

    )!+,

    '+,

    )+, !+# !

    "

    !!

    !"

    #!

    $%

    $&''

    $!('''

    $!(&''

    $#('''

    $#(&''

    #'!) #'!& #'!" #'!* #'!+

    ,-. /010234356$789

    .54' .5/'

    45/'

    .54'

    ,50'

    3'+'1','-'.'4'/'2'0'

    3'

    1'

    -'

    4'

    2'

    13+-' 13+.' 13+4' 13+/' 13+2'

    F8?C'@8'G8)H8' &HIBJC'K8'LE)'

  • 26Mapitio ya Hali ya Uchumi mwaka 2018 na Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo Zanzibar mwaka 2018/2019

    kimarekanikutokaTZS2,229mwaka2017nakufikiaTZS2,264mwaka 2018.

    Mchoro Namba 12: Mwenendo wa Thamani ya Shillingi ya Tanzania kwa kipindi cha miaka mitano (2014-2018)

    Chanzo: Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali, 2019.

    Ukuaji wa Sekta katika Pato la Taifa

    2.4.1 Sekta ya huduma Sekta ya huduma imejumuisha sekta ndogo za elimu, afya, mawasiliano,malazi, Sanaa, Burudani na Ubunifu na nyenginezo. Kwa mwaka 2018 sekta ya Huduma imekua kwa asilimia 10.4 ikilinganishwa na 7.7 mwaka 2017. Hali hii imesababishwa na kukua kwa Sekta ndogo ya Malazi na Chakula kwa wastani wa asilimia 17.6 mwaka 2018 kutoka asilimia 14.3 mwaka 2017, Sekta ndogo ya Sanaa, Burudani na Ubunifu imekua kwa wastani wa asilimia 19.3 mwaka 2018 ikilinganishwa na asilimia 14.5 mwaka 2017. Pia huduma nyenginezo zimekua kwa wastani wa asilimia 14.2 mwaka 2018 ikilinganishwa na wastani wa asilimia 13.4 mwaka 2017. Sekta ya Taaluma Sayansi na Ufundi imekua kwa asilimia 5.2 mwaka 2018 ikilinganishwa na asilimia -3.2 mwaka 2017.SektandogoyaElimuimekuanakufikiawastaniwaasilimia

    23

    Mchoro namba 11: Pato la Taifa na Mfumko wa Bei mwaka 2014-2018

    Chanzo: Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali, 2019 2.4. Mwenendo wa Thamani ya Shilingi ya Tanzania Thamani ya Shilingi ya Tanzania dhidi ya Dola ya Kimarekani imeendelea kuwa tulivu ikilinganishwa na thamani ya fedha za nchi nyengine duniani. Shilingi ya Tanzania kwa mwaka 2017 ilishuka thamani kwa asilimia ndogo ya 1.5 dhidi ya dola moja ya kimarekani kutoka TZS 2,229 mwaka 2017 na kufikia TZS 2,264 mwaka 2018. Mchoro Namba 12: Mwenendo wa Thamani ya Shillingi ya Tanzania kwa kipindi cha miaka mitano (2014-2018)

    !"#$%&

    !"''(&)"!((& )"))'& )")#*&

    %+,

    )!+,

    '+,

    )+, !+# !

    "

    !!

    !"

    #!

    $%

    $&''

    $!('''

    $!(&''

    $#('''

    $#(&''

    #'!) #'!& #'!" #'!* #'!+

    ,-. /010234356$789

    .54' .5/'

    45/'

    .54'

    ,50'

    3'+'1','-'.'4'/'2'0'

    3'

    1'

    -'

    4'

    2'

    13+-' 13+.' 13+4' 13+/' 13+2'

    F8?C'@8'G8)H8' &HIBJC'K8'LE)'

  • 27Mapitio ya Hali ya Uchumi mwaka 2018 na Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo Zanzibar mwaka 2018/2019

    7.0 mwaka 2018 ikilinganisha na asilimia 2.5 mwaka 2017. Sekta ndogoyaUsafirishajinaUhifadhiumekuakwawastaniwaasilimia9.4 mwaka 2018 ikilinganishwa na asilimia 3.5 mwaka 2017. Sekta ndogo ya Ukodishaji wa Majengo imekua kwa wastani wa asilimia 6.4 mwaka 2018 ikilinganishwa na asilimia 6.2 mwaka 2017. Pia Sekta ndogo ya Biashara na Ukarabati imekua kwa asilimia 6.6 mwaka 2018 ikilinganishwa na asilimia 6.4 mwaka 2017. Hata hivyo, Utawala na Huduma za usimamiaji umepungua kutoka wastani wa asilimia 7.2 mwaka 2017 ikilinganishwa na asilimia 4.9 mwaka 2018. Hata hivyo kwa mwaka 2018 kuna baadhi ya sekta ndogo zinaonesha kupungua ukuaji zikiwemo; Sekta ndogo ya Habari na Mawasiliano umepungua kutoka wastani wa asilimia 15.5mwaka2017kufikiawastaniwaasilimia3.1mwaka2018.Sekta ndogo ya utawala na usaidizi imepunguwa kutoka wastani waasilimia7.3mwaka2017hadikufikiawastaniwaasilimia4.9mwaka 2018.

    Mchoro Namba 13: Ukuaji wa sekta ya Huduma katika Pato la Taifa mwaka 2014 -2018

    Chanzo: Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali, 2019

    25

    Mchoro Namba 13: Ukuaji wa sekta ya Huduma katika Pato la Taifa mwaka 2014 -2018

    Chanzo: Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali, 2019 2.4.2 Sekta ya Viwanda Sekta ya Viwanda imejumuisha sekta ndogo ya Uzalishaji Viwandani, Ujenzi, Umeme na Gesi na nyenginezo. Kwa mwaka 2018 shughuli za sekta ya Viwanda zimepungua ukuaji wake kwa wastani wa asilimia 2.2 ikilinganishwa na ukuaji wa wastani wa asilimia 5.6 mwaka 2017. Hii imetokana na kupungua kwa uzalishaji viwandani kutoka asilimia 8.6 mwaka 2017 na kufikia asilimia 1.6 mwaka 2018, uchimbaji mawe na mchanga kutoka asilimia 20.3 mwaka 2017 na kufikia asilimia 13.3 mwaka 2018. Hata hivyo, ziko sekta ndogo kwa mwaka 2018 zilifanya vizuri ikilinganishwa na mwaka 2017 ikiwemo; Sekta ndogo ya Ujenzi ilikuwa kwa wastani wa asilimia 4.1 mwaka 2018 ikilinganishwa na wastani wa asilimia 0.8 mwaka 2017. Aidha, sekta ndogo ya Umeme na Gesi imekua kwa wastani wa asilimia 5.1 mwaka 2018 ikilinganishwa na wastani wa asilimia 4.2 mwaka 2017.

    ;8

  • 28Mapitio ya Hali ya Uchumi mwaka 2018 na Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo Zanzibar mwaka 2018/2019

    2.4.2 Sekta ya ViwandaSekta ya Viwanda imejumuisha sekta ndogo ya Uzalishaji Viwandani, Ujenzi, Umeme na Gesi na nyenginezo. Kwa mwaka 2018 shughuli za sekta ya Viwanda zimepungua ukuaji wake kwa wastani wa asilimia 2.2 ikilinganishwa na ukuaji wa wastani wa asilimia 5.6 mwaka 2017. Hii imetokana na kupungua kwa uzalishajiviwandanikutokaasilimia8.6mwaka2017nakufikiaasilimia 1.6 mwaka 2018, uchimbaji mawe na mchanga kutoka asilimia20.3mwaka2017nakufikiaasilimia13.3mwaka2018.Hata hivyo, ziko sekta ndogo kwa mwaka 2018 zilifanya vizuri ikilinganishwa na mwaka 2017 ikiwemo; Sekta ndogo ya Ujenzi ilikuwa kwa wastani wa asilimia 4.1 mwaka 2018 ikilinganishwa na wastani wa asilimia 0.8 mwaka 2017. Aidha, sekta ndogo ya Umeme na Gesi imekua kwa wastani wa asilimia 5.1 mwaka 2018 ikilinganishwa na wastani wa asilimia 4.2 mwaka 2017.

    Mchoro Namba 14: Ukuaji wa Sekta ya Viwanda katika Pato la Taifa mwaka 2014-2018

    Chanzo: Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali, 2019

    26

    Mchoro Namba 14: Ukuaji wa Sekta ya Viwanda katika Pato la Taifa mwaka 2014-2018

    Chanzo: Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali, 2019 2.4.3 Sekta ya Kilimo Sekta ya Kilimo ni sekta ya pili katika kukuza uchumi wa Zanzibar, Sekta hii imejumuisha Sekta ndogo ya Mazao, Uvuvi, Mifugo na Misitu. Kwa mwaka 2018, sekta ya kilimo imekua kwa kasi ya wastani wa asilimia 3.7 ikilinganishwa na wastani wa asilimia 7.9 mwaka 2017. Sekta ndogo ya mazao, kwa mwaka 2018 imekuwa kwa wastani wa asilimia 3.7 ikilinganishwa na wastani wa asilimia 10.6 mwaka 2017, sekta ndogo ya Misitu kwa mwaka 2018 imekuwa kwa wastani wa asilimia 0.3 ikilinganishwa na wastani wa asilimia 4.2 mwaka 2017, Sekta ndogo ya uvuvi kwa mwaka 2018 imekua kwa wastani wa asilimia 1.0 ikilinganishwa na wastani wa asilimia 3.1 kwa mwaka 2017 na kwa upande wa sekta ndogo ya Mifugo kwa mwaka 2018 imekuwa kwa wastani wa asilimia 7.6 ikilinganishwa na ukuaji wa asilimia 9.1 mwaka 2018. 2.5 Mchango wa Sekta katika Pato la Taifa 2.5.1 Sekta ya Huduma Sekta ya huduma ni sekta iliyo na mchango mkubwa zaidi katika Pato la Taifa kwa kipindi kirefu. Kwa mwaka 2018 mchango wa sekta hii umekua na kufikia wastani wa asilimia 51.3 ikilinganishwa na asilimia 48.6 mwaka 2017. Sekta ndogo ambazo zilizochangia kuongezeka kwa mchango wa sekta hii

    13+-' 13+.' 13+4' 13+/' 13+2'>TO)BBEBE'A8'UEM)' -5/' 45/' 251' -51' .5+'

    >M8B

  • 29Mapitio ya Hali ya Uchumi mwaka 2018 na Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo Zanzibar mwaka 2018/2019

    2.4.3 Sekta ya Kilimo

    Sekta ya Kilimo ni sekta ya pili katika kukuza uchumi wa Zanzibar, Sekta hii imejumuisha Sekta ndogo ya Mazao, Uvuvi, Mifugo na Misitu. Kwa mwaka 2018, sekta ya kilimo imekua kwa kasi ya wastani wa asilimia 3.7 ikilinganishwa na wastani wa asilimia 7.9 mwaka 2017. Sekta ndogo ya mazao, kwa mwaka 2018 imekuwa kwa wastani wa asilimia 3.7 ikilinganishwa na wastani wa asilimia 10.6 mwaka 2017, sekta ndogo ya Misitu kwa mwaka 2018 imekuwa kwa wastani wa asilimia 0.3 ikilinganishwa na wastani wa asilimia 4.2 mwaka 2017, Sekta ndogo ya uvuvi kwa mwaka 2018 imekua kwa wastani wa asilimia 1.0 ikilinganishwa na wastani wa asilimia 3.1 kwa mwaka 2017 na kwa upande wa sekta ndogo ya Mifugo kwa mwaka 2018 imekuwa kwa wastani wa asilimia 7.6 ikilinganishwa na ukuaji wa asilimia 9.1 mwaka 2018.

    2.5 Mchango wa Sekta katika Pato la Taifa

    2.5.1 Sekta ya Huduma

    Sekta ya huduma ni sekta iliyo na mchango mkubwa zaidi katika Pato la Taifa kwa kipindi kirefu. Kwa mwaka 2018 mchango wa sektahiiumekuanakufikiawastaniwaasilimia51.3ikilinganishwana asilimia 48.6 mwaka 2017. Sekta ndogo ambazo zilizochangia kuongezeka kwa mchango wa sekta hii mwaka 2018 ni pamoja na sekta ya malazi na huduma za chakula imechangia kwa asilimia 19.5 kutoka asilimia 14.7 mwaka 2017, sekta ndogo ya malazi imechangiakutokaasilimia12.1nakufikiawastaniwaasilimia15.9, sekta ndogo ya Taasisi za Fedha na Bima imechangia kwa wastani wa asilimia 3.8 mwaka 2018 kutoka asilimia 3.7 mwaka 2017. Hata hivyo, baadhi ya sekta ndogo zimekuwa na mchango mdogo kwa mwaka 2018 ikilinganishwa na mwaka 2017 kama vile sekta ndogo ya biashara na ukarabati umechangia kwa wastani

  • 30Mapitio ya Hali ya Uchumi mwaka 2018 na Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo Zanzibar mwaka 2018/2019

    wa asilimia 5.4 mwaka 2018 kutoka asilimia 6.2 mwaka 2017, usafirishaji na uhifadhi umechangia kwa asilimia 3.2 mwaka2018 kutoka asilimia 3.4 mwaka 2017, habari na mawasiliano umechangia kwa wastani wa asilimia 0.9 mwaka 2018 kutoka asilimia 1.2 mwaka 2017, ukodishaji majengo umechangia kwa wastani wa asilimia 8.2 mwaka 2018 kutoka asilimia 8.5 mwaka 2017nasektandogoyautawalawaummakufikiawastaniwaasilimia 5.8 mwaka 2018 kutoka asilimia 6.2 mwaka 2017.

    2.5.2 Sekta ya Viwanda

    Sekta ya Viwanda ni miongoni mwa Sekta muhimu katika ukuaji wa uchumi wa Zanzibar. Kwa mwaka 2018, sekta hii ilikuwa na mchango wa wastani wa asilimia 17.8 ikilinganishwa na mchango wa asilimia 19.6 mwaka 2017 katika Pato la Taifa. Hii imetokana na kuwa na mchango mdogo katika baadhi ya sekta ndogo zikiwemo; sekta ndogo ya ujenzi kutoka asilimia 10.3 mwaka 2017nakufikiawastaniwaasilimia9.5mwaka2018,uzalishajiviwandani ilichangia kufikia wastani wa asilimia 5.7mwaka2018 kutoka asilimia 6.5 mwaka 2017, sekta ndogo ya uchimbaji mawenamchangakufikiamchangowawastaniwawastaniwaasilimia 1.2 mwaka 2018 kutoka wastani wa asilimia 1.1 mwaka 2017.

    2.5.3 Sekta ya Kilimo Sekta ya kilimo ni miongoni mwa sekta zenye kutoa mchango mkubwa katika nchi yetu. Kwa mwaka 2018 mchango wa sekta ya kilimo ni wastani wa asilimia 21.3 ikilinganishwa na asilimia 21.5 mwaka 2017. Sekta ya Mazao ilichangia asilimia 8.6 mwaka 2018 ikilinganishwa na asilimia 9.7 mwaka 2017, misitu imechangia asilimia 1.3 mwaka 2018 ikilinganishwa na asilimia 1.6 mwaka 2017, sekta ya ufugaji imechangia wastani wa asilimia 6.1 mwaka 2018 ikilinganishwa na asilimia 5.1 mwaka 2017 na sekta ya

  • 31Mapitio ya Hali ya Uchumi mwaka 2018 na Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo Zanzibar mwaka 2018/2019

    uvuvi kwa mwaka 2018 imechangia kwa wastani wa asilimia 5.2 ikilinganishwa na asilimia 5.1 mwaka 2017.

    2.5.4 Sekta ndogo ya Mazao Sekta ndogo ya mazao imegawika katika maeneo mawili. Uzalishaji wa mazao ya chakula na uzalishaji wa mazao ya biashara. Kwa upande wa uzalishaji wa mazao ya chakula kwa mwaka 2018 hali ilikuwa kama ifuatavyo:

    Uzalishaji wa Bidhaa za chakulai. Zao la mpunga.

    Ulimaji wa zao la mpunga unaotegemea njia ya umwagiliaji maji na njia ya kutegemea mvua. Kwa mwaka 2018 kilimo cha mpunga kwa njia ya kutegemea mvua umeongezeka na kufikia tani 44,457.9 zenye thamani ya TZS 40,901milioni kutoka tani 35,791.3 zenye thamani ya TZS 22,680 milioni mwaka 2017. Aidha, eneo la uzalishaji wa zao hilo kwamwaka 2018 limeongezeka na kufikia ekari29,638.5 kutoka ekari 26,891 mwaka 2017. Kuongezeka kwa uzalishaji wa mpunga kumetokana na uwezo wa wakulima baada ya kupatiwa elimu ya kilimo hicho kwa njia ya kitaalamu zaidi, hali nzuri ya hewa na matumizi ya pembejeo za kilimo ikiwemo mbegu bora na mbolea. Kwa upande wa zao la mpunga wa umwagiliaji maji kwa mwaka 2018 uzalishaji wa zao hilo umepungua kutoka tani 3,049.2 zenye thamani ya TZS 3,460.7 milioni ikilinganishwa na tani 3,891.40 zenye thamani ya TZS 4,067 milioni mwaka 2017. Vile vile kupungua kwa eneo la uzalishaji kutoka ekari2,126mwaka2017hadikufikiaekari1547.8mwaka2018.

    ii. Zao la MuhogoZao la muhogo ni miongoni mwa mazao ya chakula kinachotumiwa na wananchi wengi. Kwa mwaka 2018

  • 32Mapitio ya Hali ya Uchumi mwaka 2018 na Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo Zanzibar mwaka 2018/2019

    uzalishaji wa zao la muhogo umeongezeka kwa wastani wa tani 156,078 zenye thamani ya TZS 100,315.7 milioni kutoka tani 142,714.1 zenye thamani ya TZS 85,172 milioni kwa mwaka 2017. Hii ni kutokana na kuongezeka kwa eneo la uzalishaji wa zao hilo kwa mwaka 2018, eneo limeongezeka nakufikia ekari 26,588.9kutokaekari 24,312mwaka2017.

    iii Zao la Ndizi.

    Uzalishaji wa zao la ndizi unapungua mwaka hadi mwaka kutokana na sababu mbali mbali ikiwemo wakulima kulima bidhaa za matunda na mboga mboga ambazo kipato chake kinapatikana kwa haraka zaidi na wizi wa ndizi ambao unawakatisha tamaa wakulima. Uzalishaji wa zao la ndizi umepungua kutoka tani 52,189.1 zenye thamani ya TZS 63,340.3 milioni mwaka 2018 ikilinganishwa na tani 73,242.90 zenye thamani ya TZS 82,179 milioni mwaka 2017. Aidha, kupungua kwa eneo la uzalishaji kutoka ekari 6,068 mwaka 2018 ikilinganishwa na ekari 8,517 mwaka 2017.

    iv. Zao la Viazi Vikuu

    Uzalishajiwaviazivikuuumeongezekanakufikiatani2,730zenye thamani ya TZS 2,742 milioni mwaka 2018 kutoka tani 2,678.1 zenye thamani ya TZS 2,486 milioni mwaka 2017. Ongezeko hilo limesababishwa na kuongezeka kwa eneo la uzalishaji wa zao hilo, ambapo ekari 545.8 zilizolimwa mwaka 2018 ikilinganishwa na ekari 536 zilizolimwa mwaka 2017, pamoja na uhamasishaji wa wakulima kurudi katika vilimo vya asili .

  • 33Mapitio ya Hali ya Uchumi mwaka 2018 na Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo Zanzibar mwaka 2018/2019

    v. Zao la Njugunyasa

    Uzalishaji wa njugu nyasa kwa mwaka 2018 umeongezeka nakufikiatani634.8zenyethamaniyaTZS1,151.6milionikutoka tani 414.2 zenye thamani ya TZS 662 milioni mwaka 2017. Uzalishaji wa njugu nyasa umeongezeka kwa sababu ya kuongezeka kwa eneo la uzalishaji, eneo la uzalishajilimeongezekakufikiaekari1,332.3kwamwaka2018 kutoka ekari 863 mwaka 2017.

    vi. Zao la mboga mboga za majani

    Mavuno ya mazao ya mboga mboga za majani kama vile matikiti, tungule, matango, mabilingani, bamia na pilipili mboga mwaka 2018 yameongezeka na kufikia wastaniwa tani 52,667 kutoka tani 33,825.95 mwaka 2017. Kwa mwaka 2018 jumla ya ekari 12,514.4 zimetumika kulima mazao hayo. Ongezeko hilo limesababishwa na matumizi ya teknolojia za kisasa, uelewa mzuri kwa wakulima kwa kilimo hiki chenye faida na cha muda mfupi na vijana kujikita zaidi katika kilimo cha mboga mboga kwa lengo la kujiajiri.

    Jadweli Namba 3: Eneo la Uzalishaji kwa ekari kwa mazao ya chakula kwa mwaka 2014-2018.

    30

    mazao hayo. Ongezeko hilo limesababishwa na matumizi ya teknolojia za kisasa, uelewa mzuri kwa wakulima kwa kilimo hiki chenye faida na cha muda mfupi na vijana kujikita zaidi katika kilimo cha mboga mboga kwa lengo la kujiajiri.

    Jadweli Namba 3: Eneo la Uzalishaji kwa ekari kwa mazao ya chakula kwa mwaka 2014-2018. Mazao 2014 2015 2016 2017 2018 Mpunga 30,535 24,970 30,030 26,891 29,638.5 Muhogo 27,036 22,597 22,728 24,312 26,588.9 Ndizi 6,679 6,785 6,448 8,517 6,068.4 Viazi vikuu 423 482 704 536 545.8 Njugu nyasa 1.322 1,639 917 863 1,322.3

    Chanzo: Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali, 2019 Jedweli Namba 4: Kiwango na Thamani ya Bidhaa za Chakula mwaka 2014-2018

    Mazao 2014 2015 2016 2017 2018

    Tani Thamani

    Tani Thamani

    Tani Thamani

    Tani Thamani

    Tani Thamani

    Mpunga

    29,564 22,527 29,083

    22,825 3,589 3,751 35,791.30

    22,680 44,457.9

    40,901.0

    Muhogo

    158,704 43,485 132,641

    37,434 133,412

    51,097 142,714.10

    85,172 156,078.0

    100,315.7

    Ndizi 57,437 30,672 47,495

    26,124 55,455

    38,097 73,242.90

    82,179 52,189.1

    63,340.3

    Viazi vikuu

    2,116 1,119 2,409 1,312 3,520 4,164 2,678.10 2,486 2,730.0 2,742.0

    Njugu nyasa

    635 851 787 1,086 440 513 414.2 662 634.8 1,151.6

    Chanzo: Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali 2019 2.5.5 Uzalishaji wa Bidhaa za Biashara. Zanzibar inategemea zaidi uzalishaji na usafirishaji wa bidhaa za karafuu na mwani katika upatikanaji wa fedha za kigeni. Kwa mwaka 2018, uzalishaji wa zao la karafuu umepungua kutoka tani 675.2 zenye thamani ya TZS 9,413.0 milioni ikilinganishwa na tani 8,277.20 zenye thamani ya TZS115,530 milioni mwaka 2017, kwa kuwa zao la karafuu ni zao la msimu hutofautiana mavuno yake baina ya mwaka na mwaka kutokana na mabadiliko ya misimu. Vile vile, uchumaji wa kuivunja mikarafuu unapelekea mikarafuu mingi kuchipua upya na kupungua sana kwa mavuno baina ya mwaka na mwaka. Kwa upande wa mavuno ya zao la mwani pia yamepungua hadi kufikia tani 10,424.9 zenye thamani ya TZS 4,358.8 milioni

  • 34Mapitio ya Hali ya Uchumi mwaka 2018 na Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo Zanzibar mwaka 2018/2019

    Jedweli Namba 4: Kiwango na Thamani ya Bidhaa za Chakula mwaka 2014-2018

    2.5.5 Uzalishaji wa Bidhaa za Biashara.

    Zanzibar inategemea zaidi uzalishaji na usafirishaji wa bidhaaza karafuu na mwani katika upatikanaji wa fedha za kigeni. Kwa mwaka 2018, uzalishaji wa zao la karafuu umepungua kutoka tani 675.2 zenye thamani ya TZS 9,413.0 milioni ikilinganishwa na tani 8,277.20 zenye thamani ya TZS115,530 milioni mwaka 2017, kwa kuwa zao la karafuu ni zao la msimu hutofautiana mavuno yake baina ya mwaka na mwaka kutokana na mabadiliko ya misimu. Vile vile, uchumaji wa kuivunja mikarafuu unapelekea mikarafuu mingi kuchipua upya na kupungua sana kwa mavuno baina ya mwaka na mwaka. Kwa upande wa mavuno ya zao la mwani pia yamepunguahadikufikiatani10,424.9zenyethamaniyaTZS4,358.8 milioni mwaka 2018 kutoka tani 10,980.9 zenye thamani ya TZS 4,417 milioni mwaka 2017. Hali hii imesababishwa na kupungua kwa mahitaji ya mwani katika soko la dunia.

    30

    mazao hayo. Ongezeko hilo limesababishwa na matumizi ya teknolojia za kisasa, uelewa mzuri kwa wakulima kwa kilimo hiki chenye faida na cha muda mfupi na vijana kujikita zaidi katika kilimo cha mboga mboga kwa lengo la kujiajiri.

    Jadweli Namba 3: Eneo la Uzalishaji kwa ekari kwa mazao ya chakula kwa mwaka 2014-2018. Mazao 2014 2015 2016 2017 2018 Mpunga 30,535 24,970 30,030 26,891 29,638.5 Muhogo 27,036 22,597 22,728 24,312 26,588.9 Ndizi 6,679 6,785 6,448 8,517 6,068.4 Viazi vikuu 423 482 704 536 545.8 Njugu nyasa 1.322 1,639 91