10
Ofisi ya Mawasiliano Serikalini inapokea habari za matukio mbalimbali kwa ajili ya News Bullettin hii na Jarida la Wizara ya Nishati na Madini Wasiliana nasi Kitengo cha Mawasiliano kwa simu Namba +255 22 2110490 Fax 2110389 Mob: +255 732 999263 au Fika Ofisi ya Mawasiliano Ghorofa ya Tano (MEM) Barua pepe: [email protected] HABARI ZA NISHATI &MADINI Toleo No. 77 Limesambazwa kwa Taasisi na Idara zote MEM Julai 24 - 30, 2015 Bulletin News http://www.mem.go.tz Pinda afurahishwa na Mradi wa Kuchakata Gesi Asilia Soma Miswada iliyopitishwa na Bunge ya Sheria za Petroli na TEITI Soma habari Uk. 2 Waziri Mkuu Mizengo Pinda, akipokea maelezo kuhusu mitambo ya kuchakata gesi asilia katika eneo la Madimba-Mtwara kutoka kwa Kaimu Meneja wa Kampuni ya Kusambaza Gesi (GASCO) ambayo ni Kampuni Tanzu ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Mhandisi, Kapuulya Musomba (kulia).Wengine ni Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Halima Dendego (kushoto) na Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI, Hawa Ghasia (wa pili kushoto). www.mem.go.tz

MEM 77.pdf

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: MEM 77.pdf

Ofisi ya Mawasiliano Serikalini inapokea habari za matukio mbalimbali kwa ajili ya News Bullettin hii na Jarida la Wizara ya Nishati na Madini

Wasiliana nasi Kitengo cha Mawasiliano kwa simu Namba +255 22 2110490 Fax 2110389 Mob: +255 732 999263 au Fika Ofisi ya Mawasiliano Ghorofa ya Tano (MEM) Barua pepe: [email protected]

Habari za nisHati &madini

Toleo No. 77 Limesambazwa kwa Taasisi na Idara zote MEM Julai 24 - 30, 2015

BulletinNews

Ofisi ya Mawasiliano Serikalini inapokea habari za matukio mbalimbali kwa ajili ya News Bullettin hii na Jarida la Wizara ya Nishati na Madini

Wasiliana nasi Kitengo cha Mawasiliano kwa simu Namba +255 22 2110490 Fax 2110389 Mob: +255 732 999263 au Fika Ofisi ya Mawasiliano Ghorofa ya Tano (MEM) Barua pepe: [email protected]

http://www.mem.go.tz

HABARI ZA NISHATI &MADINI

Toleo No. 51 Limesambazwa kwa Taasisi na Idara zote MEM Tarehe - 23-29 Januari , 2015

JWTZ wapongezwa kunusuru mtambo wa Msimbati-Uk4

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo

Naibu Waziri wa Nishati na Madini, anayeshughulikia Madini Stephen Masele

Naibu Waziri wa Nishati na Madini anayeshughulikia Nishati, Charles Kitwanga

Mkurugenzi Mtend-aji wa TANESCO, Mhandisi Felchesmi Mramba

Mkurugenzi Mkuu wa REA, Dk. Lutengano Mwakahesya

Wabunge Soma habari Uk. 2

Waimwagia sifa MEM, TANESCO, REA

WAZIRI WA NISHATI NA MADINI AZINDUA RASMI BODI YA TANESCO -Uk2Pinda afurahishwa na Mradi wa Kuchakata Gesi Asilia

Soma Miswada iliyopitishwa na Bunge ya Sheria za Petroli na TEITI

Soma habari

Uk. 2

Waziri Mkuu Mizengo Pinda,

akipokea maelezo kuhusu mitambo ya kuchakata gesi asilia katika eneo la Madimba-Mtwara

kutoka kwa Kaimu Meneja wa Kampuni ya Kusambaza Gesi (GASCO) ambayo ni Kampuni Tanzu ya Shirika

la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Mhandisi, Kapuulya Musomba

(kulia).Wengine ni Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Halima Dendego

(kushoto) na Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za

Mikoa na Serikali za MitaaTAMISEMI, Hawa Ghasia

(wa pili kushoto).

www.mem.go.tz

Page 2: MEM 77.pdf

2 BulletinNewshttp://www.mem.go.tzHabari za nisHati/madini

Na Augustino Kasale- TPDC

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mizengo Pinda amefurahishwa na hatua iliyofikiwa ya

ujenzi wa Mradi wa kuchakata gesi asilia uliopo katika Kijiji cha Madimba, Wilaya ya Mtwara Vijijini.

Hayo yalibainika wakati wa ziara

yake ya Mwezi Juni katika mtambo wa Madimba mwanzoni mwa mwezi Juni ili kujionea hatua za mwisho za ujenzi wa Mradi huo ambao kwa mujibu wa taarifa ya mwezi Juni iliyotolewa hivi karibuni na Kaimu Meneja wa Kampuni ya Kusambaza Gesi (GASCO) ambayo ni Kampuni Tanzu ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Mhandisi Kapuulya Musomba, ilieleza kuwa, ujenzi wa eneo la kusimika mitambo, jengo la kuendesha mitambo pamoja na barabara

za ndani katika eneo hilo umekamilika kwa asilimia 98.

“Nilipofika hapa mwaka jana mwezi Januari, eneo hili halikuwa hivi, hatua iliyofikiwa sasa ya ujenzi wa mradi huu ni kubwa sana,” alisema Pinda.

Katika ziara hiyo, Pinda aliitaka TPDC, kuhakikisha jamii inayozunguka maeneo ya miundombinu ya mradi huo inashirikishwa kikamilifu katika suala la ulinzi wa miundombinu hiyo, ikiwemo kupatiwa huduma za kijamii ili wananchi

hao waweze kunufaika na uwepo wa mradi huo.

Katika ziara hiyo fupi, Waziri Mkuu, Pinda aliambatana na Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mkoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Hawa Ghasia pamoja na Naibu Waziri (TAMISEMI) Agreey Mwanri na Uongozi wa Mkoa wa Mtwara ukiongozwa na Mkuu wa Mkoa huo, Halima Dendegu.

Katika hatua nyingine, mapema mwanzoni mwa mwezi huu, Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Luteni Jenerali Samweli Ndomba na ujumbe wake pia walitembelea maeneo ya Mradi wa bomba la gesi asilia kujionea miundombinu ya bomba la gesi asilia kutoka Madimba-Mkoani Mtwara hadi Dar es Salaam.

Katika ziara hiyo, Luteni Jenerali, Ndomba alisema lengo la ziara hiyo ni kuitikia mwaliko wa TPDC ili kujionea miundombinu ya gesi asilia.

“Kwa kweli jitihada kubwa zimefanyika hadi miundombinu hii kukamilika. Nawapongeza TPDC kwa kuwashirikisha wazalendo katika ujenzi wa mradi huu”, alisema Luteni Jenerali, Ndomba.

Jenerali Ndomba, alieleza kuwa, kukamilika kwa mradi kutapunguza kwa kiasi kikubwa tatizo la umeme nchini na kongezeka kwa matumizi ya nishati hiyo kutokana na matumizi ya gesi asilia.

Aidha, aliiomba TPDC kuendelea kutoa elimu kwa umma ili kuwandaa wananchi kikamilifu kuupokea mradi huo mkubwa nchini na kueleza kuwa, ziara hiyo imetoa changamoto kwa Jeshi hilo kuangalia namna ya kushughulikia suala la ulinzi wa miundombinu hiyo.

Vilevile, Jenerali Ndomba aliitaka TPDC kuona umuhimu wa kuwawezesha wananchi wanaozunguka mradi huo kwa huduma muhimu zikiwemo za maji, afya, elimu na manufaa mengine.

Pinda afurahishwa na Mradi wa Kuchakata Gesi Asilia

Na Teresia Mhagama

Ahadi ya Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage kuwa wilaya za Chato na Biharamulo zitaanza tena kupata umeme

wa uhakika ifikapo Jumapili ya tarehe 19 Julai, 2015 baada ya kukamilika kwa ukarabati wa mtambo wa umeme wa kilowati 650 unaohudumia wilaya hizo, imetimia.

Naibu Waziri alitoa ahadi hiyo wakati akiwa katika ziara ya kikazi mkoani Kagera na kujionea maendeleo ya ukarabati wa mtambo huo wa pili uliofungwa wilayani

Biharamulo ambao ulianza kufanya kazi mwanzoni mwa mwezi Juni mwaka huu.

Mwijage alisema kuwa mtambo huo ulipata hitilafu ambapo kifaa kijulikanacho kama crankshaft kilikatika hivyo wataalam kutoka Shirika la Umeme nchini (TANESCO) walifunga crankshaft nyingine ambayo ilitolewa katika mtambo wa umeme ulioko mkoani Kigoma ambao hautumiki kwa sasa.

Alisema kuwa mtambo huo wa kilowati 650 umeongeza kiasi cha umeme uliokuwa ukipatikana katika wilaya hizo mbili hivyo hivi sasa upo uhakika wa upatikanaji wa umeme wa kutosha

Umeme warejea Chato, Biharamulo

>>Inaendelea Uk. 3

Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage (wa kwanza kushoto) akizungumza na na wataalam kutoka Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) ambao wanakarabati kifaa kilichopata hitilafu (crankshaft) katika mtambo wa kuzalisha umeme wa kilowati 650 uliofungwa wilayani Bharamulo ambao umeanza kuzalisha umeme hivi karibuni.

Waziri Mkuu Mizengo Pinda akitembelea mitambo ya kuchakata gesi eneo la Madimba-Mkoani Mtwara akiongozwa na Kaimu Meneja wa Kampuni ya Kusambaza Gesi (GASCO) ambayo ni Kampuni Tanzu ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Mhandisi, Kapuulya Musomba (mwenye tai) pamoja na ujumbe wa Waziri Mkuu katika ziara fupi ya kuangalia maendeleo ya Mradi wa bomba la gesi asilia.

Mtaalam kutoka Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania TPDC, (aliyenyoosha mkono) akitoa maelezo kuhusu namna kituo cha kupokelea gesi kinavyofanya kazi eneo la Kinyerezi, jijini Dar es Salaam, mbele ya Viongozi wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania. Viongozi hao wa Jeshi walikuwa katika ziara ya kujionea hatua za mwisho za ujenzi wa Mradi wa bomba la gesi asilia.

Page 3: MEM 77.pdf

3BulletinNewshttp://www.mem.go.tz Habari za nisHati/madini

TahaririMEM

Na Badra Masoud

Five Pillars oF reForms

KWa HaBari PiGa simU KitenGo cHa maWasiliano

Bodi ya uhariri

Mhariri MkUU: Badra MasoudMSaNifU: Essy Ogunde

WaaNdiShi: Veronica Simba, asteria Muhozya, Greyson Mwase Teresia Mhagama, Mohamed Saif, rhoda James

na Nuru Mwasampeta

increase eFFiciencyQUality delivery

oF Goods/service

satisFaction oF tHe client

satisFaction oF BUsiness Partners

satisFaction oF sHareHolders

tel-2110490FaX-2110389

moB-0732999263

Kukamilika kwa Miradi Mikubwa ya Umeme ni

hatua kwa Tanzania

tel-2110490FaX-2110389

moB-0732999263

Umeme warejeaChato, Biharamulo

tofauti na ilivyokuwa hapo awali.“Tuliamua kuongeza

mtambo wa pili kwa kuwa ule wa kwanza ulikuwa haukidhi mahitaji ya wakazi wa wilaya hizi mbili na hii ni kwa sababu mtambo huo ulikuwa ukizalisha umeme wa kiasi cha kilowati 800 wakati mahitaji ya umeme katika wilaya hizi ni kilowati 1300,” alisema Mwijage.

Alieleza kuwa kukamilika kwa mtambo huo wa kilowati 650 kumezifanya wilaya hizo kuwa na umeme wa kiasi cha kilowati 1450 na hivyo kuwa na ziada ya umeme wa kiasi cha kilowati 150.

Alisema kuwa awali mtambo huo wa kilowati 650 uliofungwa katika wilaya ya Biharamulo, ulikuwa ukitumika mkoani Kigoma na uamuzi wa kuupeleka mtambo husika wilayani Biharamulo ulifanyika baada ya mkoa wa Kigoma

kupata mitambo mipya ya uzalishaji umeme.

“Baada ya kuuleta mtambo huu wilayani Biharamulo, Serikali ilinunua baadhi ya vipuri vipya kwani vile vya awali vilichakaa na kusababisha mtambo huu kutokufanya kazi

kwa ufanisi. Wataalam wetu wa TANESCO walibadilisha vifaa chakavu na kufunga vifaa vipya ili mtambo huu uanze kuhudumia wilaya hizi mbili,” alisema Mwijage.

>>Inatoka Uk. 2

Wiki hii Serikali kupitia Kipindi cha Jambo Tanzania kinachorushwa na Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC1) ilieleza kuhusu mipango kadhaa ambayo itapelekea taifa letu kuzalisha kiwango kikubwa cha nishati ya umeme wa uhakika na wa gharama nafuu kwa watumiaji mara baada ya Miradi yake Mikubwa inayotekelezwa katika maeneo mbalimbali nchini itakapokamilika ikiwemo Mradi wa Gesi Asilia.

Kwa mantiki hiyo ni wazi kuwa, mikakati hiyo inalenga katika kuhakikisha kwamba Tanzania inaingia katika uchumi wa kati kupitia nishati hiyo ya umeme ambayo inaelezwa kuwa kichocheo kikuu cha ukuaji uchumi ikizingatiwa kuwa, shughuli nyingi za uzalishaji vikiwemo viwanda ili viweze kuzalisha na kuendelea vinahitaji umeme.

Kutokana na namna ambavyo Kamishna Msaidizi wa Nishati anayeshughulikia Umeme, Mhandisi Innocent Luoga ameeleza, Serikali imelenga katika kuhakikisha kwamba hadi ifikapo mwaka 2035, nchi nzima inakuwa imeunganishwa na nishati hiyo.

Kwa Mujibu wa Luoga na taarifa kadhaa ambazo zimekuwa zikitolewa na Wizara, mipango hiyo si ya kusadikika kutokana na ukweli kwamba lengo lililokuwa limewekwa na Serikali la kufikia asilimia 30 limevukwa na kufikia asilimia 40, hivyo, wananchi hatuna budi kuunga mkono jitihada zinazofanywa na Serikali katika kuhakikisha kwamba sote kama Taifa tunafaidika kupitia nishati hii.

Ikiwa Serikali imelenga kutupatia umeme wa kutosheleza mahitaji na ziada kuuzwa, wananchi tunatakiwa kuwa wavumilivu wakati miradi hiyo inatekelezwa.

Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage (wa kwanza kushoto) akiangalia housing ya kifaa kilichopata hitilafu (crankshaft) katika mtambo wa kuzalisha umeme wa kilowati 650 uliofungwa wilayani Bharamulo ambao umeanza kuzalisha umeme hivi karibuni. Anayetoa maelezo ni mtaalam kutoka Shirika la Umeme nchini (Tanesco), Mhandisi John Magembe.

Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage (katikati) akiweka saini katika Kitabu cha Wageni alipofika katika Ofisi za Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) wilayani Biharamulo kukagua maendeleo ya ukarabati wa kifaa kilichopata hitilafu (crankshaft) katika mtambo wa kuzalisha umeme wa kilowati 650 uliofungwa wilayani Bharamulo ambao umeanza kuzalisha umeme hivi karibuni.

Page 4: MEM 77.pdf

4 BulletinNewshttp://www.mem.go.tzHabari za nisHati/madini

TUGHE GST yaongeza wanachama >> Yawatafutia wafanyakazi viwanja vya makazi

Uongozi wa TUGHE kutoka mikoa mbalimbali wakiwa na uongozi wa TUGHE tawi la GST katika mkutano wa tathmini ya ushirikiano baina ya TUGHE na wanachama wake.

GST yaandaa KITABU CHA HISTORIANa Samwel MtuwaDodoma

Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST) umeandaa kitabu cha Historia Andishi tangu kuanzishwa kwake

kitakachoeleza mafanikio ya utendaji kazi na mpango mkakati wa taasisi wa kila baada ya miaka mitano.

Mwenyekiti wa kamati ya kuandaa kitabu hicho, Yorkbeth Myumbilwa amesema kuwa GST imeandaa andishi hilo kwa lengo la kuonesha utendaji kazi wake tangu kuanzishwa kwake na

kuhifadhi historia yake katika maandishi.Myumbilwa aliyafafanua kuwa

kutokana na waraka huo, GST iliunda kamati maalum ambayo imeandaa kitabu hicho kinachoelezea historia ya GST katika vipengele mbalimbali vya maudhui ikiwemo lengo la kuanzishwa Wakala, Dira, Dhima, maadili makuu , majukumu ya Wakala kwa Taifa, tathmini ya utendaji kazi kabla na baada ya kuwa Wakala , mabadiliko na maendeleo ya Rasilimali watu , Mapato na matumizi pamoja na Matumizi ya TEHAMA kwa Wakala.

Kwa upande wake Katibu wa kamati, Priscus Benard alisema kuwa kitabu hicho cha historia na mafanikio ya utendaji kazi kwa GST kimekamilika na hivi sasa

kipo katika hatua za uchapishaji, huku kikieleza kwa undani juu ya vipengele mbalimbali kama vile kuanzishwa kwake, Dira, Dhima, changamoto pamoja matarajio ya GST kwa miaka ijayo.

Naye mmoja wa wajumbe, alisema kuwa, ifikapo tarehe 1 Agosti, 2015, GST itaeleza juu ya mafanikio ya utendaji kazi wa Serikali ya Awamu ya Nne, kutokana na umuhimu wa siku hiyo, kitabu hicho kitasambazwa katika taasisi mbalimbali ikiwamo Wizara ya Nishati na Madini (MEM), Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma(OR-MUU), Idara ya Habari MAELEZO, tovuti ya Wizara na Taasisi na kusambazwa kwa wananchi.

Na Samwel Mtuwa- Dodoma

Chama Cha Wafanyakazi wa Afya na Serikali kuu (TUGHE) kupitia tawi la Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST) kimeongeza idadi ya wanachama ambapo

imefikia jumla ya wanachama 162 kati ya wafanyakazi 168 ambao ni sawa na asilimia 90 ya wanachama wote.

Hayo yameelezwa na Katibu wa TUGHE tawi la GST, Elisa Mphuru wakati akiongea na Makatibu wa TUGHE kutoka mikoa mbalimbali nchini waliotembelea Wakala huo mjini Dodoma hivi karibuni.

Mphuru aliongeza kuwa uwepo wa tawi hilo umeongeza mahusiano mazuri baina ya mwajiri na mwajiriwa, mahusiano ambayo yamepelekea kuongeza tija na ufanisi wa kazi na kuongeza ushirikiano mwema baina ya mtumishi mmoja na mwingine.

Akieleza zaidi alisema kuwa tawi hilo, limeweza kufungua akaunti katika benki ya NMB kwa ajili ya kuhifadhi asilimia tano ya makato ya wanachama na kuongeza kuwa, tawi limeweza kuwatafutia wafanyakazi viwanja vya kujenga nyumba za makazi kwa watumishi.

Kwa upande wake katibu wa TUGHE mkoa wa Njombe, Edward Simwembe aliwaeleza wanachama juu ya sheria, kanuni na taratibu zinazomuongoza mtumishi wa umma ikiwepo utunzaji wa nyaraka.

Aidha, alifafanua kuhusu umuhimu wa mikataba bora ya hiyari kwa mtumishi wa umma kulingana na sheria Na.6 ya mwaka 2004 inayozungumzia mikataba ya hali bora ya kazi kwa mtumishi wa umma.

Ziara hiyo ya Makatibu wa TUGHE kutoka mikoa ya Pwani, Katavi, Mbeya, Singida, Mara, Njombe, Mwanza, Dodoma, Arusha, na Dar es salaam iliendelea kutembelea taasisi nyingine za umma katika mkoa wa Dodoma.

Msafara huo ulipokelewa na uongozi wa TUGHE tawi la GST ukiongozwa na Mwenyekiti wa TUGHE tawi, Justus Mshashu.

Page 5: MEM 77.pdf

5BulletinNewshttp://www.mem.go.tz Habari za nisHati/madini

Wajemolojia nchini kutathmini madini vitoNa Veronica Simba

Serikali inatarajia kutoa taarifa kuhusu hali ya tasnia ya madini ya Almasi na Vito nchini kwa mwaka wa fedha uliomalizika (2014/15).

Mkurugenzi wa Kitengo cha Uthaminishaji wa Madini ya Almasi na Vito cha Wizara ya Nishati na Madini (TANSORT), Archard Kalugendo, alisema taarifa hiyo itatolewa wakati wa Mkutano wa Mwaka wa Wajemolojia unaotarajiwa kufanyika mwezi Agosti, jijini Mwanza.

Vilevile, Kalugendo alisema “Mkutano huo utatoa fursa kwa Wajemolojia nchini kujadili na kubadilishana mawazo kuhusu teknolojia mpya zilizojitokeza katika tasnia ya madini ya Almasi na Vito.”

Aidha, aliongeza kuwa Wajemolojia hao watajadili mbinu mpya za uthamini na mwenendo wa bei ya Almasi na Vito katika soko la Dunia.

Kalugendo alitaja suala jingine muhimu litakalojadiliwa na Wajemolojia katika mkutano wao kuwa ni maandalizi ya ushiriki wa Tanzania katika Maonesho ya Kimataifa ya Vito na Usonara yanayotarajiwa kufanyika tarehe 10 hadi 14 Septemba mwaka huu jijini Bangkok nchini Thailand.

Tanzania imekuwa ikishiriki katika Maonesho ya Vito na Usonara ya Bangkok kwa lengo la kuhakikisha wananchi wanaojishughulisha na biashara ya madini hayo wanapata uzoefu na kujifunza kupitia wafanyabiashara wenzao kutoka nchi mbalimbali duniani, ili waweze kunufaika ipasavyo kupitia kazi hiyo pamoja na kulinufaisha Taifa kwa ujumla kwa kukuza uchumi wa nchi.

ORMAT waonesha nia kuwekeza JotoardhiNa Rhoda James

Kampuni ya ORMAT ya nchini Israel imeonesha nia ya kuwekeza nchini katika chanzo cha nishati ya Jotoardhi.

Hayo yamebainika hivi karibuni wakati wa kampuni hiyo ilipokutana na wajumbe wa Wizara ya Nishati na Madini pamoja na wajumbe wa Kampuni Tanzu ya uendelezaji wa jotoardhi nchini (TGDC) katika ukumbi wa mikutano wa Wizara jijini Dar es Salaam lengo likiwa ni kujadili uendelezaji wa Jotoardhi.

Meneja Biashara wa ORMAT, Nissan Yamini, amesema kampuni ya ORMAT imekuja kwa ajili ya kujitambulisha na kuonesha uzoefu walionao hasa katika kufanya tafiti mbalimbali zikiwemo za kijiolojia, kijiokemia, kijiofizikia na kujenga mtambo wa uzalishaji umeme.

Yamini ameongeza kuwa Kampuni yao pia inauwezo wa kuchimba visima virefu ambavyo vinatoa mvuke kwa ajili ya kuzalisha umeme.

Kaimu Kamishna Msaidizi wa Nishati Mbadala, Paul Kiwele alisema

Wizara kupitia Kampuni ya TGDC imeishauri Kampuni ya ORMAT kuandaa makubalianao ya awali ambayo yataonesha muda (Time Frame) wa utekelezaji wa kazi zitakazofanyika pamoja na kazi watakaozoshirikiana na kampuni ya TGDC.

Wizara ya Nishati na Madini imeishukuru Kampuni ya ORMAT kwa ushirikiano, na utayari wa kushirikiana na serikali ya Tanzania katika kuendeleza nishati hiyo ambayo itasaidia katika kukuza uchumi nchini.

Pia, Kalugendo alisema Serikali inayo nia na imejipanga kuhakikisha Tanzania inakuwa kitovu cha biashara ya madini

ya vito na usonara katika Bara la Afrika na kwamba inatumia njia mbalimbali kufanikisha hilo ikiwemo kuendelea

kuboresha Maonesho ya Vito na Usonara ya Arusha (Arusha Gem Fair – AGF) yanayofanyika kila mwaka.

Makamu wa Rais wa Taasisi ya Wafanyabiashara wa Madini ya Vito – Thailand, ambao huandaa Maonesho ya Vito ya Bangkok, Tony Brooke akizungumza na baadhi ya Watanzania walioshiriki katika moja ya Maonesho hayo nchini Thailand alipotembelea Banda la Tanzania. Sambamba naye (mwenye shati la kitenge) ni Mkurugenzi wa Kitengo cha Uthaminishaji wa Madini ya Almasi na Vito cha Wizara ya Nishati na Madini (TANSORT), Archard Kalugendo.

Wateja mbalimbali wakihudumiwa katika Banda la Tanzania kwenye moja ya maonesho ya vito na usonara ya Bangkok ambayo hufanyika nchini Thailand.

Aina mbalimbali za madini vito yanayopatikana Tanzania.

Kamishna Msaidizi wa Umeme Mhandisi Innocent Luoga katikati, pamoja na wajumbe kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Kampuni Tanzu TGDC na ujumbe kutoka ORMAT wakiwa katika kikao kilichofanyika katika Ofisi ya Wizara ya Nishati na Madini Mjini Dar es Salaam.

Kaimu Kamishna Msaidizi wa Nishati Mbandala Bw. Paul Kiwele kutoka kushoto na Mtendaji Mkuu wa TGDC Mhandisi Boniface Njombe wa pili kutoka kushoto na wajumbe wengine kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Kampuni Tanzu TGDC pamoja na wajumbe kutoka Kampuni ya ORMAT wakiwa wanasikiliza Meneja wa Maendeleo ya Biashara (Business Development Manager) Bw. Nissan Yamini wa Kampuni ya ORAMAT katika kikao hicho.

Page 6: MEM 77.pdf

6 BulletinNewshttp://www.mem.go.tzHabari za nisHati/madini

Na Asteria Muhozya,Dar es Salaam

Tanzania inatarajiwa kuwa na umeme wa uhakika mara baada ya kukamilika kwa miradi mbalimbali inayoendelea nchini ikiwemo

pia mradi wa Bomba la gesi asilia na mradi wa kuboresha miundombinu ya umeme katika Jiji la Dar es Salaam.

Aidha, nishati hiyo imetajwa kuwa na mchango mkubwa kiuchumi kwa nchi yoyote duniani hususan kwa nchi zinazoelekea katika uchumi wa kati kwa kuwa, uwepo wake unawezesha shughuli za viwanda na kijamii kuweza

kufanyika.Hayo yameleezwa na Kamishna

Msaidizi wa Nishati anayeshughulikia Umeme kutoka Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Innocent Luoga, wakati akizungumza katika Kipindi cha Jambo Tanzania hivi karibuni kinachorushwa na Televisheni ya Taifa (TBC1).

Mhandisi Luoga aliongeza kuwa, yapo mabadiliko makubwa ambayo yamefanyika ndani ya kipindi cha miaka mitatu iliyopita ambayo yamechangia kuondoa tatizo la kukatika na mgao wa umeme kutokana na maboresho kadhaa ambayo yamefanywa katika sekta hiyo.

“Mabadiliko yaliyofanywa kwa kiasi

kikubwa yameondoa tatizo la mgao wa umeme, hivi sasa hakuna mgao na umeme unaokatika sasa unatokana na shughuli za kuboresha miundombinu ya umeme na ujenzi wa niradi inayoendelea maeneo mbalimbali nchini na si mgao kama wengi wanavyodhani,” alisisitiza Luoga.

Aidha, alisema kuwa, Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) wanajitahidi katika kuhakikisha kuwa tatizo la umeme linakuwa historia nchini.“Tunataka kwenda mbele tutoke hapa tulipo, tumeanza sasa na baada ya miaka miwili ambapo miradi mikubwa itakuwa imekamilika ikiwemo ya Gesi asilia,

tutaondokana na tatizo la uhaba wa umeme,”aliongeza Luoga.

Akizungumzia upande wa Dar es Salaam, alisema kuwa ipo miradi ipatayo sita ambayo inaendelea hivi sasa ikiwemo inayofadhiliwa na Shirika la Maendeleo la Japan (JICA) na Finland ambayo itawezesha kuwekwa mfumo mpya wa umeme katika jiji hilo.

Aidha, aliitaja mikakati mingine kuwa, Serikali imedhamiria kuachana na uzalishaji wa kutumia mafuta mazito kama ambayo inatumiwa katika maeneo ya Kigoma na Mpanda na kuongeza kuwa, mara baada ya kukamilika kwa miradi mikubwa historia ya uhaba wa nishati hiyo na matatizo ya kukatika umeme yatakuwa historia.

“Serikali imedhamiria kusambaza umeme nchi nzima kwa uhakika, wenye kutosheleza mahitaji na wenye gharama nafuu. Aidha, gharama za umeme hivi sasa zimepungua sana na zitaendelea kupungua baada ya miradi kukamilika, ninachotaka kuwaeleza wananchi ni kwamba, bei ya umeme haiwezi kuwa sawa muda wote”, alisema Luoga.

Vilevile, Luoga alisema kuwa, awali Serikali iliweka malengo ya kufikia asilimia 30 ifikapo 2015, lakini hivi sasa lengo hilo limevukwa kufika asilimia 40.

“Tulilenga asilimia 30 ifikapo 2015, sasa tumevuka lengo, tumelenga asilimia 75 ifikapo 2025 na mwaka 2035 tuwe tumeifikia nchi nzima. Wananchi tusihofu hii si mipango ya kusadikika, kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na TANESCO tumefikia kule ambako haikutarajiwa umeme kufika, hata haya yatawezekana”, aliongeza Luoga.

Aidha, Mhandisi Luoga aliwataka wananchi kote nchini kutoa taarifa kwa TANESCO kuhusu vishoka na wizi wa umeme unaofanywa na watu wasiokuwa waminifu na kutumia muda huo kuwataka wananchi kushirikiana na Serikali katika kulinda miundombinu ya umeme nchini.

Miradi ya umeme kuipatia Tanzania umeme wa uhakika

Kamishna Msaidizi wa Nishati anayeshughulikia umeme, Mhandisi Innocent Luoga (kulia) katika Kipindi cha Jambo Tanzania kinachorushwa na Televisheni ya Taifa (TBC1). Kushoto ni Mtangazaji wa TBC1, Joseph Mchomhe.

Dola Mil 10 kuokoa mazingira migodiniNa Asteria Muhozya

Benki ya Dunia (WB) kwa kushirikiana na Mfuko wa Dunia wa Mazingira ulio chini ya Umoja wa Mataifa (GEF), imeridhia kupitisha maombi ya

mradi wa kuboresha njia za utupaji taka pamoja na kurejesha mazingira ya miji na migodi iliyoathiriwa na shughuli za uchimbaji katika hali yake ya asili, wenye thamani ya kiasi cha Dola za Marekani 10,000,000.

Akimnukuu mratibu wa GEF Tanzania, Mkurugenzi wa Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais, Dkt.Julius Ningu, Meneja Mradi wa Usimamizi Endelevu

wa Rasilimali Madini Nchini (SMMRP) Mhandisi Idrisa Yahya ameieleza MEM Bulletin kuwa, mara baada ya maombi ya mradi huo kupitishwa,Wizara kupitia SMMRP wataanza kutengeneza detail proposal ya Mradi husika na shughuli za utekelezaji wa mradi zitafanywa na kusimamiwa na Wizara ya Nishati na Madini, kupitia Mradi wa SMMRP. Pia kiasi cha fedha hizo zitatumika kusaidia kupunguza matumizi ya Zebaki katika kuchenjua madini Kama inavyotakiwa katika mkataba wa Minimata Convection.

Aliongeza kuwa, suala la uhifadhi wa mazingira ni kipaumbele cha Taifa na dhamira ya Serikali katika udhibiti wa masuala ya tabia nchi kama ambavyo imeridhiwa katika Mikataba Umoja ya Mataifa kuhusu masuala ya mazingira.

Meneja Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Rasilimali Madini Nchini (SMMRP) Mhandisi Idrisa Yahya akizungumza jambo katika moja ya mikutano yake, anayemsikiliza ni Kamishna Msaidizi wa Madini Menejimenti ya Baruti, Oforo Ngowi

Page 7: MEM 77.pdf

7BulletinNewshttp://www.mem.go.tz Habari za nisHati/madini

UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

MINISTRY OF ENERGY AND MINERALSUNITED REPUBLIC OF TANZANIA

MINISTRY OF ENERGY AND MINERALS    

Energy Sector Capacity Building ProjectCredit Number: 5217-Tanzania/ESCBP

Project ID No. 126875

Energy Sector Capacity Building ProjectCredit Number: 5217-Tanzania/ESCBP

Project ID No. 126875

RE-ADVERTISEMENT RE-ADVERTISEMENTRequest for Expression of Interest

For Consultancy Services for an Advisor for

Vocational Education and Skills Development

Request for Expression of InterestFor

Consultancy Services for a Resident Health and Safety Advisor.

Expression of Interest Number: ME/008/2014-15/HQ/ESCBP-VETA/C/01

Expression of Interest Number: ME/008/2014-15/HQ/ESCBP-OSHA/C/01

Date: 24th July, 2015

The Ministry of Energy and Minerals has received financing from the World Bank toward the cost of the Energy Sector Capacity Building Project (ESCBP), and intends to apply part of the proceeds for consulting services for an advisor for vocational education and skills development. VETA was established by an Act of Parliament No. 1 of 1994 charged with broad tasks of coordinating, regulating, financing, Promoting and providing vocational education and training in Tanzania. The vision of VETA is an excellent Vocational Education Training (VET) system that is capable of supporting national social economic development in a global context. Based on this vision, the mission of VETA is to ensure provision of quality VET that meets labour market needs, through effective regulation, coordination, financing, and promotion, in collaboration with stakeholders The Ministry of Energy and Minerals now invites eligible Consultants to indicate their interest in providing the Services. Interested Consultants should provide information demonstrating that they have the required qualifications and relevant experience to perform the Services. The short listing criteria are: consultant’s profile, description of similar assignments, experience in similar conditions, etc.

The attention of interested Consultants is drawn to paragraph 1.9 of the World Bank’s Guidelines: Selection and Employment of Consultants under IBRD Loans and IDA Credits & Grants by World Bank Borrowers dated January 2011 (“Consultant Guidelines”), setting forth the World Bank’s policy on conflict of interest. A Consultant will be selected in accordance with the Individual Consultant Selection method set out in the Consultant Guidelines.Further information can be obtained at the address below during office hours 0800 to 1500 hours’ local time.Expressions of interest must be delivered in a written form to the address below by 7th August, 2015 10000hours local time

Secretary, Ministerial Tender BoardMinistry of Energy and Minerals (MEM) 5 Samora Avenue, 6th

Floor, Room No. 10 Wing B 11474 Dar es salaam, Tanzania

Date: 24th July, 2015

The Ministry of Energy and Minerals has received financing from the World Bank toward the cost of the Energy Sector Capacity Building Project (ESCBP), and intends to apply part of the proceeds for consulting services for a resident health and safety advisor. OSHA is among of the credit beneficiary intends to apply part of the proceeds for the ESCBP to procure a resident Occupational Safety and Health Adviser for OSHA in the Upstream, Midstream and Downstream Petroleum Industry. A resident advisor will provide advisory services related to adopting the internationally accepted approach to HSE in all sectors of the oil and gas industry viz upstream, midstream and downstream, by reviewing previous and existing HSE scenarios to identify hazards, assess risks and establish risk-reducing measures, including gender issues The Ministry of Energy and Minerals now invites eligible Consultants to indicate their interest in providing the Services. Interested Consultants should provide information demonstrating that they have the required qualifications and relevant experience to perform the Services. The short listing criteria are: consultant’s profile, description of similar assignments, experience in similar conditions, etc.

The attention of interested Consultants is drawn to paragraph 1.9 of the World Bank’s Guidelines: Selection and Employment of Consultants under IBRD Loans and IDA Credits & Grants by World Bank Borrowers dated January 2011 (“Consultant Guidelines”), setting forth the World Bank’s policy on conflict of interest. A Consultant will be selected in accordance with the Individual Consultant Selection method set out in the Consultant Guidelines.Further information can be obtained at the address below during office hours 0800 to 1500 hours’ local time.Expressions of interest must be delivered in a written form to the address below by 7th August, 2015 10000hours local time

Secretary, Ministerial Tender BoardMinistry of Energy and Minerals (MEM) 5 Samora Avenue, 6th

Floor, Room No. 10 Wing B 11474 Dar es salaam, Tanzania

Page 8: MEM 77.pdf

8 BulletinNewshttp://www.mem.go.tzHabari za nisHati/madini

TANZANIA PETROLEUM DEVELOPMENT CORPORATION

GENERAL PROCUREMENT NOTICE (GPN) PROCUREMENT PLAN FOR GOODS, WORKS, CONSULTANCY SERVICES AND NON – CONSULTANCY

SERVICES IN FINANCIAL YEAR 2015/16.

1.0 The Tanzania Petroleum Development Corporation has set aside funds for the operations during the financial year

2015/16.

2.0 The Tanzania Petroleum Development Corporation is now issuing the General Procurement Notice in accordance

with the requirement of Public Procurement Act 2011 and Regulations 2013 for the purpose of informing bidders,

suppliers and the general public on tender opportunities during the financial year 2015/16.

3.0 Potential bidders desiring additional information on the procurement in question particularly on specific items

should contact the procuring entity at the following address: Managing Director, Tanzania Petroleum

Development Corporation, P.O. Box 2774, Dar Es Salaam. Benjamin William Mkapa Pension Towers, Tower

“A” 10th Floor Room number 101, From 9:00 am to 3:30 pm. Monday to Friday except Public Holidays.

Further to this publication of the General Procurement Notice, subsequent announcement of specific tenders will be advertised in the local newspapers

1

GOODS

S/N Description

Tende

r No.

Lot No.

Procurement

Method

Gen. Proc

Notice Advert

PRE-QUALIFICATION INVITATION AND AWARD OF BIDS

Invitation Date

Closing-Openin

g

Notification of

Applicants

Bid Invitation Date

Bid Closing-Opening

Approval Eval

Report

Award Notification Date

1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13

1 Prequalification of suppliers for supply of safety gears 1 NCB 20/7/15 20/8/15 10/9/15 24/9/15 N/A N/A N/A N/A

2

Supply of Office Stationeries and Computer Consumables - TPDC

2

1

FWC/ GPSA 20/7/15 N/A N/A N/A N/A N/A N/A N/A

GASCO 2 Gas Pipeline 3 Madimba Processing Plant 4 Songo Songo Processing Plant 5

3 Supply of Staff Uniforms 3 FWC/ GPSA 20/7/15 N/A N/A N/A N/A N/A N/A N/A

4 Supply of Food and Beverages 4 FWC/ GPSA 20/7/15 N/A N/A N/A N/A N/A N/A N/A

5 Supply of Drinking Water 5 1 FWC/

GPSA 20/7/15 N/A N/A N/A N/A N/A N/A N/A

Gas Pipeline 2

6 Supply of Sport Facilities 6 FWC/ GPSA 20/7/15 N/A N/A N/A N/A N/A N/A N/A

7 Supply of Laboratory Chemicals, Hardware

and Consumables 7 1

FWC/ GPSA 20/7/15 N/A N/A N/A N/A N/A N/A N/A 2

3

8

Supply of Fuel and Lubricants

8

1

FWC/ GPSA 20/7/15 N/A N/A N/A N/A N/A N/A N/A

Fuel and Lubricants - GASCO 2 Fuel and Lubricants - Gas Pipeline 3 Fuel and Lubricants - Madimba Processing

Plant 4

Fuel and Lubricants - Songo Songo Processing Plant 5

9 Supply of Office Consumables 9 FWC/ GPSA 20/7/15 N/A N/A N/A N/A N/A N/A N/A

10 Supply of ICT Equipment 10 FWC/ GPSA 20/7/15 N/A N/A N/A N/A N/A N/A N/A

2

11 Supply of Office Furniture and Fittings 11 FWC/ GPSA 20/7/15 N/A N/A N/A N/A N/A N/A N/A

12 Supply of Laboratory Equipment 12

FWC/ GPSA 20/7/15 N/A N/A N/A N/A N/A N/A N/A

13

Supply of Safety Gears and Equipment 13

1 FWC/ GPSA 20/7/15 N/A N/A N/A 29/9/15 20/10/15 3/11/15 17/11/15

GASCO 2

14 Supply of Gas Pipeline & Processing Plants Spare Parts 14 R/T 20/7/15 N/A N/A N/A 20/8/15 10/9/15 24/9/15 10/10/15

15

Supply and Installation of Computerized Maintenance Management system - Gas Pipeline 15

1 ICB 20/7/15

N/A

N/A

N/A

20/8/15 10/9/15 24/9/15 10/10/15

Madimba Processing Plant 2 Songo Songo Processing Plant 3

16 Supply of Workshop Facilities 16 FWC/ GPSA 20/7/15 N/A N/A N/A 10/9/15 1/10/15 15/10/15 29/10/15

17 Supply of Processing Plant Consumables 17 NCB 20/7/15 N/A N/A N/A 10/9/15 1/10/15 15/10/15 29/10/15

18 Supply of Lubricant for Power generation system, compressors & other Rotating Machine

18 NCB 20/7/15 N/A N/A N/A 10/9/15 1/10/15 15/10/15 29/10/15

19

Printing expenses

19

1

C/Q 20/7/15 N/A N/A N/A N/A N/A N/A N/A

Printing expenses - GASCO 2

Printing expenses - Gas Pipeline 3 Printing Expenses - Madimba Processing Plant 4

Printing expenses -Songo Songo Processing Plant 5

20 Supply of Geochemical Analysis Software 20 NCB 20/7/15 N/A N/A N/A 10/11/15 1/12/15 22/12/15 12/1/16

21 Printing of Promotional Materials 21 C/Q 20/7/15 N/A N/A N/A N/A N/A N/A N/A 22 Supply and Installation of SCADA System 22 ICB 20/7/15 N/A N/A N/A 13/10/15 12/11/15 3/12/15 24/12/15

23

Supply and Installation of File tracking system 23

1 NCB

20/7/15 N/A N/A N/A 30/9/15 21/10/15 11/11/15 2/12/15

Supply and Installation of Contract Management Database Software 2 20/7/15 N/A N/A N/A 30/9/15 21/10/15 11/11/15 2/12/15

24 Supply and Installation of Production Software 24 NCB 20/7/15 N/A N/A N/A 13/10/15 3/11/15 24/11/15 15/12/15

25 Supply and Installation of Risk Management Software 25 NCB 20/7/15 N/A N/A N/A 26/8/15 16/9/15 30/9/15 14/10/15

26 Upgrading of IPBX Software at TPDC HQ and Upanga Offices 26 S/S 20/7/15 N/A N/A N/A 1/10/15 22/10/15 5/11/15 19/11/15

3

27 Upgrading of Door Security System 27 S/S 20/7/15 N/A N/A N/A 1/10/15 22/10/15 5/11/15 19/11/15

28 Supply and Installation of Upstream Database Management Software 28 NCB 20/7/15 N/A N/A N/A 13/10/15 3/11/15 24/11/15 15/12/15

29 Supply and Installation of Vmware and SharePoint 29 NCB/SS 20/7/15 N/A N/A N/A 1/9/15 22/9/15 6/10/15 20/10/15

30 Supply and Installation of Network Attached Storage 200TB 30 NCB 20/7/15 N/A N/A N/A 1/9/15 22/9/15 6/10/15 20/10/15

31 Reconstruction of Local Area Network at Kinyerezi, Undali and Mikocheni 31 NCB 20/7/15 N/A N/A N/A 1/9/15 22/9/15 6/10/15 20/10/15

4

NON CONSULTANCY SERVICES

S/N Description

Tende

r No.

Lot No.

Procurement

Method

Gen. Proc

Notice Advert

PRE-QUALIFICATION INVITATION AND AWARD OF BIDS

Invitation Date

Closing-Openin

g

Notification of

Applicants

Bid Invitation Date

Bid Closing-Opening

Approval Eval

Report

Award Notification Date

1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13

1

Provision of Insurance Services

1

1

S/S 20/7/15 N/A N/A N/A N/A N/A N/A 20/8/15

Insurance Services –Gas Pipeline 2 Insurance Services – Madimba Processing Plant 3

Insurance Services – Songo Songo Processing Plant 4

2

Provision of Fumigation Services - TPDC

2

1 FWC/ GPSA

20/7/15 N/A N/A N/A N/A N/A N/A 20/11/15

Gas Pipeline 2 Madimba Processing Plant 3 Songo Songo Processing Plant 4

3 Service and Repair of Air Conditioners 3 FWC/ GPSA

20/7/15 N/A N/A N/A N/A N/A N/A N/A

4 Service and Repair of Photocopying Machine 4 S/S 20/7/15 N/A N/A N/A N/A N/A N/A N/A

5 Services and Repair of Fire Extinguisher 5 FWC/ GPSA

20/7/15 N/A N/A N/A N/A N/A N/A N/A

6

Services and Repair of Motor Vehicles

6

1

S/S 20/7/15 N/A N/A N/A N/A N/A N/A N/A GASCO office 2 Gas Pipeline office 3

Madimba Processing Plant 4 Songo Songo Processing Plant 5

7

Service and Repair of Generator

7

1

S/S 20/7/15 N/A N/A N/A N/A N/A N/A N/A

Service and Repair of Generator - Gas Pipeline 2

Service and Repair of Generator - Madimba Processing Plant 3

Service and Repair of Generator - Songo Songo Processing Plant 4

8 Provision of Advertisement and Media services - TPDC 8

1 C/Q 20/7/15 N/A N/A N/A N/A N/A N/A N/A

GASCO 2

5

Gas Pipeline 3 Madimba Processing Plant 4 Songo Songo Processing Plant 5

9 Provision of Security Services 9 1 S/S 20/7/15 N/A N/A N/A N/A N/A N/A 20/8/15 GASCO 2

10

Provision of Cleaning services 10

1 FWC/ GPSA 20/7/15 N/A N/A N/A N/A N/A N/A 20/8/15 Provision of Cleaning services - GASCO 2

11 Provision of Gardening and Maintenance of

TPDC Compound 11 FWC/ GPSA 20/7/15 N/A N/A N/A N/A N/A N/A 20/8/15

12 Provision of Parking Services 12 1

S/S 20/7/15 N/A N/A N/A N/A N/A N/A 20/8/15

Parking Services - GASCO 2

13 Provision of Garbage Collection 13 C/Q 20/7/15 N/A N/A N/A N/A N/A N/A 20/8/15

14 Provision of Travelling Services

14 1 FWC/

GPSA 20/7/15 N/A N/A N/A N/A N/A N/A 20/8/15 Provision of Travelling services – GASCO 2

15 Repair and Maintenance of Hardware and Software 15

S/S 20/7/15 N/A N/A N/A N/A N/A N/A N/A

16 Supply of Emails Encryption and Website

Protection Software 16 FWC/ GPSA 20/7/15 N/A N/A N/A N/A N/A N/A N/A

17 Community Awareness Program to various places 17 S/S 20/7/15 N/A N/A N/A N/A N/A N/A N/A

18 Running of TPDC Social Centre 18 NCB 20/7/15 N/A N/A N/A 30/9/15 21/10/15 11/11/15 2/12/15 19 Provision of Medical Services 19 NCB 20/7/15 N/A N/A N/A 21/8/15 11/9/15 25/9/15 11/10/15

20 Provision of Catering Services 20 NCB 20/7/15 N/A N/A N/A 21/8/15 11/9/15 25/9/15 11/10/15

21 Provision of Internet Services 21 S/S 20/7/15 N/A N/A N/A N/A N/A N/A N/A

22 Provision of Housekeeping 22 NCB 20/7/15 N/A N/A N/A 2/9/15 23/9/15 7/10/15 21/10/15

23

Maintenance of office machines/equipment - GASCO

23

1

S/S 20/7/15 N/A N/A N/A N/A N/A N/A N/A

Gas Pipeline 2 Madimba Processing Plant 3

Songo Songo Processing Plant 4

24 Provision of Waste Management Services – Gas Pipeline 24

1 R/T 20/7/15 N/A N/A N/A 2/9/15 23/9/15 7/10/15 21/10/15

Madimba Processing Plant 2

7

WORKS

S/N Description Tender No.

Lot No.

Procurement Method

Gen. Proc Notice Advert

PRE-QUALIFICATION INVITATION AND AWARD OF BIDS

Invitation Date

Closing-Opening

Notification of

Applicants

Bid Invitation

Date

Bid Closing-Opening

Approval Eval

Report

Award Notificatio

n Date

1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 1 Prequalification of Contractors 1 NCB 20/7/15 24/8/15 14/9/15 28/9/15 N/A N/A N/A N/A 2 Rehabilitation of TPDC Residential Houses 2 NCB 20/7/15 20/10/15 10/11/15 1/12/15 22/12/15 13/1/16 3/2/15 24/2/15 3 Upgrading of Mikocheni Estate Road to

Bitumen standard 3 NCB 20/7/15 N/A N/A N/A 24/8/15 14/9/15 28/9/15 12/10/15

4 Drilling of Water Wells at TPDC Mikocheni Housing Estate 4 S/S 20/7/15 N/A N/A N/A 6/10/15 27/10/15 10/11/15 24/11/15

5 Maintenance of Mikocheni Archive 5 R/T 20/7/15 N/A N/A N/A 18/9/15 2/10/15 16/10/15 6/11/15

6 Acquisition of 2D infill seismic for West SongoSongo 6 ICB 20/7/15 N/A N/A N/A 10/11/15 10/12/15 31/12/15 21/1/16

7 Drilling of Ten Shallow Stratigraphic

Borehole 7 NCB 20/7/15 N/A N/A N/A 8/10/15 29/10/15 19/11/15 10/12/15

8 Construction of Natural Gas Distribution Trunk Lines 8 ICB 20/7/15 19/11/15 21/12/15 11/1/16 1/2/16 2/3/16 23/2/16 13/4/16

9 Construction of 15 vehicles refueling Stations 9 ICB 20/7/15 19/11/15 21/12/15 11/1/16 1/2/16 2/3/16 23/2/16 13/4/16

10 Connection of Industrial Customers to

Ubungo-Mikocheni Pipeline 10 ICB 20/7/15 15/1/16 14/2/16 7/3/16 28/3/16 27/4/16 18/5/16 8/6/16

11 Rehabilitation of Fuel Tank No.8 11 ICB 20/7/15 2/9/15 2/10/15 23/10/15 6/11/15 7/12/15 28/12/15 18/1/16

12 Construction of Office Building at Mlalakuwa Plot 12 ICB 20/7/15 15/1/16 14/2/16 7/3/16 28/3/16 27/4/16 18/5/16 8/6/16

13

Renovation of Core Storage Facilities at Mikocheni/Mlalakuwa WH and HQ and Server Room

13

R/T 20/7/15 N/A N/A N/A 7/1/16 28/1/16 11/2/16 3/3/16

14 Renovation of COPEC Petrol Stations 14 ICB 20/7/15 N/A N/A N/A 24/8/15 14/9/15 28/9/15 12/10/15 15 Renovation of TPDC server room 15 R/T 20/7/15 N/A N/A N/A 18/9/15 2/10/15 16/10/15 6/11/15

16 Rehabilitation of Mlalakuwa residential building 16 S/S 20/7/15 N/A N/A N/A 24/8/15 14/9/15 28/9/15 12/10/15

17

Camp maintenance – Somanga & Kinyerezi 17

1 C/Q 20/7/15 N/A N/A N/A 7/10/15 21/10/15 4/11/15 14/11/15

Madimba Processing Plant 2

8

Songo Songo Processing Plant 3

18

Office Repair And Maintenance - GASCO

18

1

C/Q

20/7/15 N/A N/A N/A 7/10/15 21/10/15 4/11/15 14/11/15 Gas Pipeline 2

20/7/15 N/A N/A N/A 7/10/15 21/10/15 4/11/15 14/11/15

Madimba Processing Plant 3 Songo Songo Processing Plant 4

19 Wayleave Maintenance and Management 19 NCB 20/7/15 N/A N/A N/A 24/8/15 14/9/15 28/9/15 12/10/15 20 Communication Towers Maintenance 20 R/T 20/7/15 N/A N/A N/A 11/9/15 2/10//15 16/10/15 30/10/15

6

Songo Songo Processing Plant 3

25

Software and Hardware for maintenance, Pipeline control room, power generation control system – Gas Pipeline 25

1 R/T 20/7/15 N/A N/A N/A 2/9/15 23/9/15 7/10/15 21/10/15

Madimba Processing Plant 2 Songo Songo Processing Plant 3

26 Provision of Waste Water System Management – Gas Pipeline 26 NCB 20/7/15 N/A N/A N/A 2/9/15 23/9/15 7/10/15 21/10/15

Page 9: MEM 77.pdf

9BulletinNewshttp://www.mem.go.tz Habari za nisHati/madini

UNITED REPUBLIC OF TANZANIAMINISTRY OF ENERGY AND MINERALS

 

Energy Sector Capacity Building ProjectCredit Number: 5217-Tanzania/ESCBP

Project ID No. 126875

RE-ADVERTISEMENTSCALING UP RENEWABLE ENERGY PROGRAM (SREP)

GEOTHERMAL ENERGY DEVELOPMENT PROJECT(ENERGY SECTOR)

REQUEST FOR EXPRESSIONS OF INTERESTFor

CONSULTANCY SERVICES FOR PREPARATION OF GEOTHERMAL ENERGY DEVELOPMENT PROJECT

PROPOSAL DOCUMENT AND M&E SYSTEM MANUAL FOR THE PROJECT

Project ID No: P-TZ-FA0-012 EOI No. : ME/008/2014-15/GDP/C/02

24th JULY, 2015The United Republic of Tanzania has received financing from the African Development Bank toward the cost of the Geothermal Development Project, (recommended by the Investment Plan for Tanzania, April 21st, 2013) and intends to apply part of the agreed amount of this grant for payments of the Consultancy services for Preparation of Geothermal Energy Development Project Proposal Document and M&E System Manual for the Project. The services included under this project is provision of technical support to the Government, through the Ministry of Energy and Minerals to prepare a comprehensive project document for implementation of the Geothermal Power Development Project as detailed in the SREP-IP for Tanzania and development of a system for monitoring and evaluation of the project implementation a period of ten years.

The Ministry of Energy and Minerals now invites eligible consultants to indicate their interest in providing these services. Interested consultants must provide information indicating that they are qualified to perform the services (academic qualifications, reference of similar assignments and experience in similar conditions). This assignment requires an Individual Consultant. The selection procedure shall be in accordance with the African Development Bank’s “Rules and Procedures for the use of Consultants” May 2008, revised July 2012, which is available on the Bank’s website at http://www.afdb.org. Borrowers are under no obligation to shortlist any individual consultant who expresses interest.Interested individual consultants may obtain further information at the address below during office hours 8:30am to 3:30pm local time (East African time) on Monday to Friday inclusive except on public holidays.Expressions of interest must be delivered to the address below by 7thAugust, 2015 at 10:00am local time (East African time) and mention Consultancy Services for Preparation of Geothermal Energy Development Project Proposal Document and M&E System Manual for the Project.

Secretary, Ministerial Tender Board, Ministry of Energy and Minerals (MEM) 5 Samora Avenue, 6th Floor,

Room No.10 Wing B 11474 Dar es Salaam, TanzaniaTelephone: +255222117156-9

Fax +255222111749E-mail: [email protected]

Website: www.mem.go.tz

“OMCTP- Huduma za leseni Kiganjani Mwako”

Wizara ya Nishati na Madini ilizindua mfumo wa Huduma za Leseni kwa njia ya mtandao tarehe 8 Juni, 2015. Uzinduzi huo ulifanyika baada ya kipindi cha mwaka mzima wa maandalizi ya mfumo huo wa kielektroniki ujulikanao kama Online Mining Cadastre Transactional Portal (OMCTP). Pamoja na malengo mengine, Mfumo huo umeanzishwa ili kutekeleza agizo la Serikali la kutaka Wizara na taasisi za Serikali ziwe zinapokea malipo ya Serikali kwa njia za kielektroniki. Licha ya kuwawezesha wateja kufanya malipo ya leseni na mrabaha kwa njia ya kielektroniki, mfumo huo wa kielektroniki wa OMCTP utawawezesha wateja waliosajiliwa kutuma maombi ya leseni, kuhakiki taarifa za leseni wanazomiliki, kutuma taarifa za utendaji kazi na kadhalika. Aidha, Mfumo wa OMCTP utawawezesha wateja kupata taarifa mbalimbali za sekta ya Madini zikiwamo ramani za kijiolojia na taariza za migodi mikubwa.

1. UTARATIBU WA KUJISAJILI KATIKA MFUMO WA OMCTPIli kujisajili kwenye mfumo huo wa OMCTP, hatua zifuatazo

zinahusika.1.1. Kujaza na Kuwasilisha Fomu ya Usajilia. Fomu ya kuomba usajili wa OTMCP zinapatikana kwenye tovuti ya

Wizara au kwenye Ofisi ya Madini iliyo karibu na wewe. Jaza Fomu hizo kadiri ya maelekezo yaliyomo kwenye Fomu husika;

b. Wamiliki wa leseni za madaraja A na B wawasilishe maombi yao katika Ofisi za Makao Makuu ya Wizara (MEM HQ) wakiambatisha leseni halisi pamoja na stakabadhi za malipo ya leseni husika kutokea leseni husika ilipohuishwa kwa mara ya mwisho hadi wakati wa kuomba usajili. Leseni zilizopatikana kwa njia ya sihia ziambatishwe na hati halisi ya sihia (transfer certificate);

c. Wamiliki wa leseni za madaraja C na D watahudumiwa kupitia ofisi za madini za mikoani (ZMO/RMO) zinazohusika na usimamizi wa leseni husika. Maombi ya usajili yaambatane na leseni halisi pamoja na stakabadhi za malipo ya ada kutokea leseni husika ilipohuishwa kwa mara ya mwisho hadi wakati wa kuomba usajili. Leseni zilizopatikana kwa njia ya sihia ziambatishwe na hati halisi ya sihia; na

d. Wamiliki wa leseni watakaotuma mawakala kwa ajili ya kujisajili na mfumo wa OTMCP, ni lazima wawape mawakala husika nguvu za uwakili (Power of Attorney) za kuwaruhusu mawakala husika kushughulikia leseni. Hati halisi ya Nguvu za Uwakili ziwasilishwe pamoja na fomu ya kuomba kujisajili kwenye mfumo wa OMCTP.

e. Wadau wengine ambao hawamiliki leseni, na wangependa kusajiliwa, wawasilishe fomu a usajili pamoja na hati za utambulisho katika Ofisi ya Wizara au Katika ofisi za Madini za Kanda au Ofisi za Madini za Wakazi.

1.2.UhakikiwaTaarifaKatikaOfisiyaMadiniMwombaji anapaswa kushiriki katika uhakiki wa taarifa za leseni

zilizowasilishwa pamoja na maombi ya usajili kama ifuatayo:-a. Afisa wa leseni atakuwa na muhtasari wa taarifa za leseni husika

kutoka kwenye masjala ya leseni (MCIMS) utakaoonesha wamiliki wa leseni, malipo ya ada, taarifa zilizopokelewa, nk ili kuoanisha na taarifa zilizowasilishwa na mwombaji;

b. Afisa wa leseni atahakiki taarifa za leseni husika na kuhuisha taarifa ambazo zinahitajika ikiwa ni pamoja na taarifa za malipo ya ada;

c. Pindi taarifa za leseni zote za mwombaji zitakapohuishwa kwenye masjala ya mfumo wa MCIMS, ombi husika la usajili litashughulikiwa. Aidha, mwombaji husika atajulishwa kama kuna mapungufu katika taarifa alizowasilisha na kutakiwa awasilishe upya;

1.3. Kusajiliwa kwenye Mfumo wa OMCTPa. Afisa wa Leseni atamsajili mmiliki wa leseni kuwa mtumiaji wa

OTMCP baada ya kupokea ombi la usajili na kufanya uhakiki wa taarifa za leseni za mmiliki Mwombaji;

b. Mwombaji aliyekamilisha usajili kwenye mfumo wa OMCTP atapokea ujumbe wa barua pepe au ujumbe mfupi wa simu (SMS) kuthibitisha usajili wake; na

c. Kabla ya kuanza kutumia huduma ya leseni kupitia mfumo wa OMCTP, msajiliwa atatakiwa kubadilisha namba yake ya siri (password).

Huduma ya Usajili wa OMCTP inatolewa katika ofisi ya makao makuu ya wizara na kwenye ofisi 21 za mikoani (RMO na ZMO). Aidha, ofisi mpya nne zitaanza kutoa huduma hiyo katika kipindi cha miaka miwili ijayo.

Page 10: MEM 77.pdf

10 BulletinNewshttp://www.mem.go.tzHabari za nisHati/madini

Na Jacqueline MattowoSTAMIGOLD

Mkuu wa Wilaya ya Biharamulo, Darry Rwegasira amehimiza mgodi wa dhahabu

Biharamulo kuangalia uwezekano wa kutoa elimu ya benki za kijamii kwa vikundi vya ujasiriamali vilivyo jirani na mgodi hususani vikundi vya wanawake ili kuviwezesha kuwa na miradi endelevu itakayo wasaidia kujikwamua kiuchumi badala ya kutegemea kuwezeshwa na mgodi pekee.

Ushauri huo ulitolewa hivi karibuni wakati Meneja Mkuu wa Mgodi wa Biharamulo Mhandisi Dennis Sebugwao alipofika katika ofisi ya Mkuu huyo mpya wa Wilaya ya Biharamulo kwa nia ya kujitambulisha na kueleza shughuli mbalimbali zinazofanywa na mgodi wa Biharamulo ambao ni mgodi pekee wa dhahabu katika wilaya ya Biharamulo na mkoa wa Kagera.

Mhandisi Sebugwao alieleza shughuli mbalimbali zinazofanywa na mgodi tangu ulipokabidhiwa kutoka kwa Kampuni ya African Barrick Gold sasa ACACIA mwishoni mwa mwaka 2013 na kubainisha mafanikio mbalimbali yaliyofikiwa na mgodi yakiwemo kulipa ushuru wa huduma wa 0.3% ya mauzo kwa Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo kiasi cha Shillingi milioni 40.9 mpaka June 2015, kuajiri wafanyakazi wa Kitanzania 340 wa fani mbalimbali za kitaalamu, na wakandarasi wa Kitanzania 281 pamoja na kubainisha changamoto mbalimbali zinazokabili mgodi kubwa ikiwa ufinyu wa mtaji wa kuendesha shughuli mbalimbali za mgodi.

Kwa upande wake Afisa Mahusiano ya Jamii wa Mgodi wa Biharamulo, Anna Samwel alisema kuwa mgodi umekuwa ukizisaidia jamii zilizo jirani na mgodi kupunguza changamoto mbalimbali zinazowakabili ikiwa ni pamoja na kugawa madawati 1000 kwa shule zenye upungufu katika Wilaya za Biharamulo, ujenzi wa choo cha wanafunzi katika Shule ya Msingi Mavota, ukamilishaji

wa ujenzi wa madarasa manne katika Shule ya Msingi Mpago, ukarabati wa miundo mbinu, kutoa ajira za muda mfupi 43 kwa wakazi waishio jirani na mgodi pamoja na kuwawezesha wananchi kiuchumi kupitia vikundi vitatu vya ujasiriamali kwa kununua vyakula vya asili, mbogamboga na matunda wanayozalisha.

“Nimefurahi kusikia mgodi umewezesha kuundwa kwa vikundi vitatu vya ujasiriamali ambavyo vina soko la uhakika mgodini kwa bidhaa wanazozalisha, hilo ni jambo la kupongezwa ukizingatia vikundi hivyo vinaundwa zaidi na kina mama ambao ndio walezi wakubwa wa familia hivyo ningeshauri kutafuta wataalam wa masuala ya benki za kijamii mfano VICOBA ili kupitia mapato ya kikundi wanachama wapate elimu ya kuweka akiba na kukopa ili kujitengenezea njia zaidi za kujiongezea kipato na kubuni miradi endelevu itakayo wasaidia kujikwamua kiuchumi badala ya kutegemea kuwezeshwa na mgodi pekee. Pia naahidi kutembelea vikundi hivyo ili kufahamu namna vinavyojiendesha na changamoto wanazokabiliana nazo,” alieleza Rwegasira.

Wakati huohuo Mhandisi sebugwao alikubali ombi la Mkuu wa Wilaya la kusaidia ununuzi wa vifaa vya maabara katika Shule ya Sekondari Mubaba pamoja na ombi la kutafuta mtaalam wa kuvisaidia vikundi vya ujasiriamali vilivyoundwa kwa msaada wa mgodi na pia kuomba msaada wa wilaya kusaidia kutatua tatizo la mifugo kuingia katika maeneo ya mgodi hasa sehemu uchimbaji unapoendelea hali inayohatarisha usalama wa mifugo na waendeshaji wa mitambo ombi ambalo mkuu wa wilaya aliahidi kulifanyia kazi.

Watendaji wa STAMIGOLD walioambatana na Meneja Mkuu wa mgodi wa Biharamulo ni pamoja na Meneja wa Maendeleo Endelevu, Korodias Shoo, Mrakibu wa Ulinzi, Kanali Mstaafu Rueshwa Katakweba, Msimamizi wa Mawasiliano Jacqueline Mattowo, Afisa Mahusiano ya Jamii, Anna Samwel, Msaidizi wa Meneja Mkuu, Renate Rwambuka pamoja na Msimamizi wa ulinzi SUMA JKT, Meja Cresentious Magori.

Mkuu wa wilaya Biharamulo ahimiza uwezeshwaji wajasiriamali

Kwa wadau wa sekta za Nishati na Madini, tembelea kurasa mpya za Wizara kwenye Mitandao ya Kijamii ya Twitter na Facebook kwa anuani ya ‘Nishati na Madini’ Karibu tuhabarishane na tujadili kuhusu sekta za Nishati na Madini kwa

maendeleo ya Watanzania wote.

Mkuu wa Wiaya ya Biharamulo Bi Darry Rwegasira, ( wa tatu kushoto) na Meneja Mkuu wa Biharamulo Dennis Sebugwao, (wa tatu kulia) wakiwa katika picha ya pamoja nje za ofisi ya mkuu wa wilaya mara baada ya mkutano. wengine katika picha ni watendaji wa vitengo mbalimbali kutoka mgodini.