85
MKUTANO MKUU WA WA WANAHISA NA TAARIFA YA BENKI KWA MWAKA 18

MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

  • Upload
    others

  • View
    22

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

MKUTANO MKUU WA

WA WANAHISA NA TAARIFA YA BENKI KWA MWAKA

18

Page 2: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 1BENKI YA BIASHARA YA DCB

YALIYOMO

Page 3: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 2 MKUTANO MKUU WA 18 MWAKA 27 JUNE 2020

Ukurasa 00 Yaliyomo .............................................................................................................................................................. 01

01 Taarifa ya kampuni ......................................................................................................................................... 03

02 Huduma za Benki ............................................................................................................................................ 08

03 Kuridhia ajenda ya Mkutano Mkuu wa 18 wa Mwaka ....................................................................... 12

04 Kupitia na kuthibitisha kumbukumbu za Mkutano Mkuu wa 17 .................................................. 15

05 Kupitia na kuridhia utekelezaji wa yatokanayo na Mkutano Mkuu wa 17 ................................. 20

06 Barua ya Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi .................................................................................... 22

07 Ujumbe wa Mkurugenzi Mtendaji ............................................................................................................. 26

08 Wasifu wa Bodi ya wakurugenzi na menejimenti ............................................................................... 31

09 Taarifa ya fedha kwa mwaka ulioisha 2019 .......................................................................................... 46

10 Kuridhia na kupitisha gawio kwa mwaka ulioishia 2019 ................................................................. 54

11 Kupokea na kuridhia pendekezo la malipo ya ada kwa wajumbe wa bodi .............................. 56

12 Taarifa ya kustaafu, kujiuzuru na kuongeza muda wa wajumbe wa bodi ................................. 58

13 Kuteua mkaguzi huru wa mahesabu kwa mwaka wa fedha 2020 ............................................... 60

14 Kupanga tarehe ya mkutano wa 19 .......................................................................................................... 62

15 Kufunga Mkutano ........................................................................................................................................... 64

16A Orodha ya Kesi ................................................................................................................................................. 67

16B Orodha ya Mahudhurio ya mkutano mkuu wa 17 .............................................................................. 72

Page 4: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 3BENKI YA BIASHARA YA DCB

01TAARIFA YA KAMPUNI

Page 5: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 4 MKUTANO MKUU WA 18 MWAKA 27 JUNE 2020

Ofisi iliyosajiliwaJengo la DCB HouseKiwanja Na. 182 Magomeni MwembechaiS.L.P 19798Dar es Salaam

BenkiBenki Kuu ya TanzaniaS.L.P 2939Dar es Salaam

Benki ya Biashara ya NMBS.L.P 9213 Dar es Salaam

Benki ya Biashara ya CRDBS.L.P 268Dar es Salaam

Benki ya Biashara ya D.T.BS.L.P 115Dar es Salaam

Katibu wa kampuniMs Regina MdumaJengo la DCB HouseKitalu Na. 182 - RMagomeni MwembechaiS.L.P 19798Dar es Salaam

WakaguziPricewaterhouseCoopers Limited369 Mtaa wa Toure, Oysterbay,S.L.P 45Dar es Salaam

Page 6: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 5BENKI YA BIASHARA YA DCB

Uanzishaji wa Benki Benki ilianzishwa rasmi mwaka 2001 chini ya Sheria ya Makampuni namba 212 na imeorodheshwa katika Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE). Benki Kuu ya Tanzania (BOT) chini ya Sheria ya Mabenki na Fedha, 2006, imeipa kibali cha hiyo kuendesha huduma zake kama benki ya biashara.

DiraDira ya Benki ya Biashara ya DCB ni kuwa taasisi ya kifedha inayoaminiwa kwa kutoa huduma bora nchini Tanzania.

Dhamira Dhamira ya Benki ya Biashara ya DCB ni kutoa huduma za kifedha bora zinazofaa zinazopatika kwa urahisi na zenye ubunifu kwa wateja, wakati huo huo ikichangia maendeleo ya kiuchumi nay a kijamii huku ikiwapa faida wanahisa.

Majukumu Makuu ya Benki Majukumu ya benki ni kuchukua amana za wateja, kutoa huduma za mikopo ya muda mfupi na kati na huduma nyingine za kibenki ambazo zinaruhusiwa chini ya Sheria ya mabenki na fedha ya mwaka 2006.

Muundo wa mtaji Mtaji Uliodhinishwa Hisa za kawaida 400,000,000 kwa thamani ya TSh 250 kila moja.

Mtaji Ulioombwa na kulipwa kikamilifu Hisa za kawaida 92,363,896 kwa thamani ya TSh 250 kila moja.

Taarifa juu ya Mauzo ya Hisa za Upendeleo Benki ya Biashara ya DCB ilitekeleza kwa mafanikio makubwa zoezi la kuuza hisa za upendeleo mnamo Tarehe 31 Januari 2019 ambalo. Mauzo ya hisa za benki hiyo yamekamilika kwa mujibu wa sheria na taratibu za Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA).

Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) iliidhinisha waraka wa matarajio wa Benki ya DCB kuuza hisa za upendeleo 33,913,948. Mauzo hayo yalifunguliwa mnamo tarehe 12 Novemba 2018 na kufungwa tarehe 31 Januari 2019, ambapo wanahisa wa benki hiyo walipatiwa fursa ya kununua hisa moja ya upendeleo kwa kila hisa mbili walizomiliki. Aidha, mauzo hayo yalitoa fursa kwa wanahisa wapya na umma kwa ujumla kununua hisa kwa bei ile ile ya hisa za upendeleo.

Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa mauzo ya asilimia 108. Kati ya hisa zilizouzwa, hisa 23,681,321 zilinunuliwa na wanahisa waliopo wa benki ya DCB, wakati hisa 12,954,114 zilinunuliwa na wanahisa wapya wa benki hiyo. Mauzo hayo yanatarajia kukusanya kiasi cha Tsh bilioni 9.7 ikilinganishwa na Tsh bilioni 8.98 zilizotarajiwa kukusanywa, ikiwa ni sawa na ongezeko la asilimia 108. Aidha, miongoni mwa fedha hizo, fedha taslimu zilizokwisha kupokelewa na benki hadi tarehe 31 Disemba 2019 ilikuwa ni Tsh bilioni 6.5, wakati Tsh bilioni 3.2 ziliiendelea kupokelewa kutoka kwa wanahisa wakuu.

Mafanikio katika mauzo ya hisa za Benki ya DCB yanadhihirisha imani waliyonayo wawekezaji kwa benki yao na masoko ya mitaji hapa nchini. Kupitia mauzo hayo, mtaji wa benki unatarajiwa kuongezeka kutoka Tsh bilioni 16.9 kufikia Tsh bilioni 26.7 ikiwa ni ongezeko la asilimia 57.

Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) imeidhinisha daftari la wanahisa wapya wa benki hiyo ambapo hisa zao zimeorodheshwa na kuanza kuuzwa katika Soko la Hisa la Dar es Salaam mnano tarehe 17 Mei 2019.

Page 7: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 6 MKUTANO MKUU WA 18 MWAKA 27 JUNE 2020

Wanahisa wa benki Hadi kufikia tarehe 31 Disemba 2019 benki ilikuaa na wanahisa 7,239 (2018: 4,771 wanahisa). Mchanganuo wa Hisa za benki ni kama ifutatavyo:Hadi kufikia 31 Disemba 2019

Jina Idadi ya Hisa Thamani ya hisa kwa Tsh. % Asilimia

UTT-AMIS 23,111,479 5,777,869,750 25.02

Jiji la Dar es Salaam 6,832,094 1,708,023,500 7.40

Manispaa ya Ilala 6,357,426 1,589,356,500 6.88

Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya 6,000,000 1,500,000,000 6.50

Manispaa ya Kinondoni 5,625,019 1,406,254,750 6.09

Manispaa ya Temeke 3,422,252 855,563,000 3.71

Manispaa ya Ubungo 2,500,009 625,002,250 2.71

Manispaa ya Kigamboni 2,281,502 570,375,500 2.47

Wanahisa wengine 7,231 36,234,115 9,058,528,750 39.23

Jumla ya mtaji wa hisa 92,363,896 23,090,974,000 100.00

Hadi Tarehe 31 December 2018

Jina Idadi ya Hisa Thamani ya hisa kwa Tsh. % Asilimia

UTT-AMIS 15,414,454 3,853,613,500 22.73

Jiji la Dar es Salaam 6,832,094 1,708,023,500 10.07

Manispaa ya Ilala 6,357,426 1,589,356,500 9.37

Mfuko ya Taifa wa Bima ya Afya 4,000,000 1,000,000,000 5.90

Manispaa ya Kinondoni 3,750,013 937,503,250 5.53

Manispaa ya Temeke 3,422,252 855,563,000 5.05

Manispaa ya Ubungo 2,500,009 625,002,250 3.69

Manispaa ya Kigamboni 2,281,502 570,375,500 3.36

Wanahisa wengine 4,763 23,270,147 5,817,536,750 34.31

Jumla ya mtaji wa hisa 67,827,897 16,956,974,250 100.00

Uhusiano wa Uongozi na wafanyakazi Benki ina wafanyakazi wa kutosha wenye weledi na uzoefu unaotakiwa katika nafasi zote muhimu ili kuhakikisha kuwa utendaji ndani ya Benki unakuwa wa kuridhisha na pia malengo ya kibiashara yanafikiwa. Hadi kufikia Disemba 31, 2019 Benki ilikuwa imeajiri wafanyakazi 212. (2018: 266).

Benki imeendelea kuimarisha uhusiano kati ya Uongozi wa Benki na watumishi wake Malalamiko husuluhishwa kupitia majadiliano na vikao. Hali ya morali mahali pa kazi ni nzuri na migogoro mingi inasuluhishwa ndani ya benki badala ya kupelekwa mahakamani.

Benki inaajiri bila kujali tofauti ya rangi, kijinsia, dini, ulemavu, hali ya ndoa wala makabila. Benki imejikita katika suala la kutoa fursa sawa katika nafasi za ajira na inahakikisha kuwa mtu mwenye sifa ndiye anateuliwa katika nafasi yoyote bila ubaguzi wa aina yoyote.

Mafunzo kazini Katika kipindi cha mwaka mmoja, Benki ya DCB imetumia jumla ya Tsh 44.5 milioni kwa ajili ya kugharamia mafunzo ya watumishi wake (2018: Tsh 71.89 milioni). Program za mafunzo zimekuwa zikiboreshwa ili kuhakikisha kwamba mafunzo hayo yanaendana na mpango mkakati wa benki na yanawanufaisha wafanyakazi katika ngazi zote.

Page 8: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 7BENKI YA BIASHARA YA DCB

Mikopo kwa wafanyakazi Benki inatoa mikopo binafsi, mikopo ya nyumba (midogo na mikubwa i.e mortgage and housing micro finance), na mikopo ya elimu kwa wafanyakazi wake. Pia benki inatoa malipo ya awali ya mishahara ili kuwawezesha wafanyakazi wake kukabiliana na mahitaji mbalimbali ya kifedha na kuimarisha ukuaji wa maisha yao binafsi. Mikopo ya wafanyakazi inazingatia vigezo maalum vilivyoidhinishwa na Bodi ya wakurugenzi wa DCB. Katika kipindi hiki cha mwaka 2019 benki imetoa mikopo ya jumla ya Tsh 5.2 bilioni kwa wafanyakazi wake 164 (2019: Tsh 3.4 bilioni kwa wafanyakazi 115) na jumla ya mikopo ambayo bado haijalipwatokea benki imeanzishwa hadi mwisho wa mwaka ilikuwa ni Tsh 6.5 bilioni (2018: Tsh 5.141 bilioni).

Matibabu Benki inalipia gharama za matibabu kwa wafanyakazi wake wote na Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi. Huduma pia inatolewa kwa wanafamilia wa wafanyakazi wa benki wasiozidi wane(4) kwa kupitia utaratibu wa bima ya afya iliyoingia mkataba na benki.

Mafao ya kustaafu Benki inachangia katika mafao ya kustaafu ya watumishi wake katika Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF). Wajibu wa Benki katika uchangiaji wa mifuko hiyo ni asilimia 15 ya kiwango cha mshahara wa mtumishi.

Usawa kijinsiaBenki iko mtari wa mbele katika kuhakikishwa kwamba wanawake wanapewa nafasi za uongozi na kufanya kazi katika benki bila kubagua katika kutoa ajira. Hadi kufikia Disemba 31, 2019, Benki ilikuwa na mpangilio ufuatao wa watumishi kwa jinsia zao. Ingawa idadi ya wanawake kwa ujumla imepungua kidogo, idadi hiyo imeongezeka katika menejimenti ya benki.

Jinsi 2019 % 2018 %

Wanawake 101 47.6 112 49.6

Wanaume 111 52.4 114 50.4

Jumla 212 100 226 100

Michango ya kisiasa Benki haikutoa michango yoyote ya kisiasa katika kipindi cha mwaka.

Uhusiano na wadau Benki iliendeleza uhusiano mzuri na wadau wake wakiwemo mamlaka mbalimbali za udhibiti.

Kutoa misaada kwa jamii Benki inashiriki kikamilifu katika shughuli za kijamii na program za maendeleo. Mchango kupitia misaada katika jamii kwa mwaka ulioishia Disemba 31, 2019 ilifikia Tsh 2 milioni. (2018: Tsh 1 milioni) na kiwango hicho kilielekezwa katika vituo vya watoto yatima kupitia mbio za Familia (Family Marathon).

Kwa malaka ya bodi ______________________________ _________________________________Prof. Lucian A. Msambichaka Ms. Zawadia J. Nanyaro Mwenyekiti Mkurugenzi

______________________________14 April 2020

Page 9: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 8 MKUTANO MKUU WA 18 MWAKA 27 JUNE 2020

02HUDUMA ZABENKI

Page 10: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 9BENKI YA BIASHARA YA DCB

Huduma za Benki

Vikundi vidogo – Wanawake na Vijana Hii ni huduma kinara kwa benki ambapo benki hutoa huduma zake kadhaa za kifedha kupitia vikundi vidogo vya wajasiriamali katika maeneo mbalimbali. Katika kundi hili, benki inawawezesha wajasiriamali hawa kujiunga pamoja na kutengeneza vikundi vipatavyo 50 vya watu watano watano. Wanakikundi kwa pamoja wanatoa dhamana ya kurejesha mkopo na upatikanaji wa mikopo unategemea urejeshwaji wa mikopo iliyochukuliwa awali na wanakikundi hao.

Maofisa wa Benki huvitembelea vikundi hivi mara kwa mara na kutoa huduma zinazohitajika pamoja na mafunzo hasa kuhusu udhibiti wa fedha. Lengo la huduma hii ni kutoa suluhisho la matatizo ya kifedha ili kusaidia kukua kwa shughuli za kiuchumi hasa miongoni mwa wanawake na vijana walio katika sekta isiyo rasmi, pia wajasiriamali wadogo wadogo na wa kati ambao wanaweza kutengeneza ajira kupitia shughuli zao.

Wafanyabiashara Wadogo Huduma kwa wafanyabiashara imetengenezwa ili kukidhi matakwa na matarajio ya wateja ambao wanajihusisha na biashara. Kuna huduma kadhaa zilizoandaliwa ili kukidhi mahitaji ya kibiashara ya wateja hawa. Akaunti ya kawaida ya akiba inamwezesha mfanyabiashara kupata huduma kadhaa ikiwemo cheki, kuhamisha na kutoa/kuweka fedha. Benki pia hutoa huduma za kifedha mahsusi kwa mahitaji ya mteja wa chini na wa kati kulingana na aina ya biashara anazozifanya.

Mikopo ya aina mbalimbali inayomwezesha mteja kutatua matatizo yake ya kifedha ya muda mfupi na muda mrefu. Benki pia hutoa huduma za uwekaji fedha na uwekezaji ambazo ni muhimu kuhakikisha mustakabali mzuri wa kifedha wa wateja wa kundi hili. Huduma hizi zitawasaidia wateja hawa kufikia malengo yao na kutimiza ndoto zao.

Benki inahakikisha kuwa inakuwa na mfumo endelevu wa kutambua maendeleo ya wateja wa makundi mbalimbali ili kuweza kuwatofautisha.

Makundi haya ni pamoja na wafanyabiashara binafsi na wale walio katika ubia au kampuni. Lengo ni kuhakikisha kuwa wateja wa kundi la wafanyabiashara wadogo walio katika ngazi ya chini nao wanakuza mitaji yao na biashara zao na kufikia ngazi ya juu kwa kipato.

Bima za Mikopo na Amana Benki hivi sasa inatoa huduma mahiri za bima kwa wateja wake na watu wengine kupitia Wakala wa bima wa DCB. Benki imeshawafikia zaidi ya wateja 100,000 ambao hivi sasa wanaweza kupata aina mbalimbali za huduma za bima na malengo ni kuwafikia wateja 200,000 hadi kufikia mwishoni mwa mwaka 2019. Huduma mbalimbali za bima zinatolewa ikiwemo bima ya magari, mikopo, moto na majanga mengine, bidhaa zinazosafirishwa, bima za biashara za aina mbalimbali na pia bima za hatari za kifedha. Huduma za bima zinatolewa katika matawi yote yaliyopo Dar es Salaam na Dodoma. Pia, Benki inatoa huduma za bima binafsi kwa wateja ambao wangependa kuwekea bima mali zao iwapo zitaharibiwa na moto na majanga ya aina nyingine yatakayoainishwa. Kupata bima hii ni rahisi sana kwani inahitaji taarifa ya thamani ya mali husika. Benki pia inatoa Bima kwa mikopo ya nyumbaikimaanisha kuwa kiasi kilichosalia cha mkopo wa mteja kitalipwa na Benki iwapo mteja atafariki au atapata ulemavu wa kudumu.

Watu binafsi Benki inatoa huduma kadhaa kwa mahitaji binafsi ya kibenki ya kila siku kwa mtu mmoja mmoja ikiwemo waajiriwa wa taasisi mbalimbali na wastaafu walio kwenye mfumo wa pensheni. Huduma hizi zimetengenezwa kukidhi mahitaji na matakwa ya wateja binafsi. Akaunti za kawaida za wateja binafsi zina huduma kadhaa za kuweka fedha na uwekezaji zinazolenga kumwezesha mteja kukidhi mahitaji yake na kufikia malengo. Kwa upande mwingine, kuna wigo mpana wa huduma za mikopo kwa mahitaji ya wateja binafsi. Kwa mfano, kutoa fedha zaidi kunawawezesha wateja wetu kuendeleza shughuli zao na kuhakikisha mzunguko wao wa fedha hauathiriki pale wanapokumbana na matumizi makubwa ya fedha kuliko akiba zao. Hii inawawezesha kukidhi mahitaji yao ya kifedha yanayoibuka bila kutarajiwa.

Page 11: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 10 MKUTANO MKUU WA 18 MWAKA 27 JUNE 2020

Benki ya DCB ni sehemu ya mtandao wa mashine za kutolea fedha wa Umoja Switch. Hivi sasa, Umoja Switch ina zaidi ya mashine za kutolea fedha (ATM) 260 kote nchini ikiwemo Unguja na Pemba. Benki inaendesha ATM za Umoja zinazotumia kadi janja kutunza taarifa badala ya kadi za sumaku. Benki imejidhatiti kutoa huduma ambazo zinaendana na mahitaji ya mahali mteja anapoishi au kufanyia shughuli zake na kumwezesha kudhibiti fedha zake bila matatizo.

Akaunti ya Kidijitali Katika dunia ya sasa, teknolojia ndio inatawala maisha ya kila siku na ni kitu muhimu katika utoaji wa huduma yoyote. Ikiwa na uelewa huo, benki ya DCB imejenga mifumo mahiri na mahsusi inayowezesha kupata na kufaidi huduma za kibenki kupitia simu ya mkononi. Kupitia huduma zetu za kidijiti, mteja anaweza kufanya miamala ya kibenki kwa kutumia simu yake kupitia mfumo wa kisasa na pia anaweza kufanya miamala ya moja kwa moja nchi nzima kupitia mawakala wa Benki.

Hadi kufikia Disemba, 2019 benki ilikuwa na zaidi ya mawakala 769 ambao walikuwa katika mikoa 12 ya Tanzania, huku lengo likiwa ni kufikia Zaidi ya mawakala 1,000 ifikapo mwishoni mwa mwaka 2020. Benki imekuwa ikitanua huduma zake za Kibenki kupitia akaunti za kidijitali ambapo kuna zaidi ya watumiaji 150,000. Tumeweza kuunganisha mifumo yetu na kampuni zote za simu za mikononi na watoza ankara jambo ambalo linawawezesha wateja wenye akaunti za kidijitali kufanya malipo na kufanya miamala ya fedha kwa urahisi, usalama na ufanisi mkubwa.

Mikopo ya Makazi Huduma ya Dhamana za nyumba (Mortgage Financing) ya Benki ya DCB aghalabu ni huduma ya mkopo wa muda mrefu unaotolewa kwa wateja na wale wanaotaka kuwa wateja kwa lengo la kuwawezesha kujenga, kununua au kukarabati nyumba na makazi. Dhamana hii imewekwa kulingana na matakwa ya mteja kupitia huduma zifuatazo; Ununuzi wa nyumba – kwa wateja wanaotaka kununua nyumba ili kutimiza ndoto zao, Ujenzi – kwa wateja wanaotaka kujenga nyumba waipendayo, Kugharamia – kwa wateja wanaotaka mkopo kwa kutumia nyumba iliyopo kama dhamana ili kufanya ukarabati au upanuzi na Uhamishaji – kwa wateja ambao wanataka

kuhamisha mkopo wao kutoka kwa mkopeshaji mwingine kuja Benki ya DCB.

Masharti ya dhamana za mkopo kama vile ukubwa wa mkopo, kuiva kwa mkopo, kiwango cha riba, njia za malipo ya mkopo, na mambo mengine yanaweza kuwa tofauti sana kati ya mteja ambaye ameajiriwa na analipwa mshahara na mteja ambaye amejiajiri mwenyewe na wateja walio nje ya nchi. Kiwango cha juu cha mkopo ni Shilingi Milioni 500 katika kipindi cha malipo cha miaka 20 kwa wateja binafsi wenye umri wa kati ya miaka 21 na 60. Pia, tunatoa kiwango rafiki cha riba hadi kufikia asilimia 90 (90%) ya gharama za ununuzi au ujenzi wa nyumba na bima ya mkopo (iwapo mdaiwa atafariki au kupata ulemavu wa kudumu). Zifuatazo ni faida za mkopo wa nyumba wa DCB; • Fursa ya kumiliki nyumba ya matarajio yako katika kipindi kifupi bila kusubiri muda mrefu wa kuweka akiba. • Uwezo wa kujipangia matumizi ya kipato chako kwa kulipia kiasi kidogo kila mwezi kwa muda mrefu wa hadi miaka 20. • Uwezo wa kupitia malipo ya kila mwezi unakuwezesha kumaliza mkopo wako haraka hasa pale kipato chako kinapoongezeka. • Malipo kupitia Utaratibu Maalum au akaunti maalum inayokuwezesaha kuweka kiwango maalum cha malipo kwa mwezi.

Akaunti mbalimbali DCB ina aina nyingi za akaunti za kuweka fedha zikiwa na malengo tofauti kulingana na matakwa ya mteja. Akaunti hizi ni rahisi kuzifungua na zinapata riba kwa fedha zinazowekwa. Akaunti hizi ni akaunti ya akiba ya mtu binafsi, akaunti za SACCOs, akaunti ya pamoja, akaunti ya mwanafunzi, akaunti ya watoto, akaunti ya Wahi, akaunti ya muda maalum, Call Account, akaunti ya jamii/klabu/ chama/Wadhamini.

Akaunti ya akiba ya mtu binafsi - Ukiwa na akaunti hii unaweza kuweka na kutoa fedha wakati wowote na kupata riba kwa fedha unazoziweka. Benki itakupatia kadi siku ambayo utafungua akaunti hii na kuhakikisha kuwa mteja amejisajili na DCB Pesa.

Akaunti ya akiba ya watoto - Akaunti hii hufunguliwa bila gharama yoyote na wazazi wanashauriwa kufungua akaunti kwa ajili ya kuweka fedha kwa ajili ya elimu ya watoto wao. Hakuna gharama za kutoa fedha au gharama

Page 12: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 11BENKI YA BIASHARA YA DCB

nyingine kwenye akaunti hii. Mzazi anaweza kufungua akaunti hii kwa ajili ya mtoto wake ambaye hajafikisha umri wa miaka 18 na akaorodheshwa kama mlinzi/mlezi wa akaunti. Hii inamwezesha mzazi kuwafundisha watoto utamaduni wa kujiwekea akiba kidogo kidogo tangu wakiwa wadogo.

Akaunti ya akiba ya pamoja - Akaunti hii inaweza kufunguliwa iwapo watu wawili au zaidi wanapanga kuweka fedha kwa pampja iwe kwa muda mrefu au hata mfupi. Hii inaweza kuhusisha wazazi wako, ndugu, jamaa, washirika wa biashara na wengineo.

Akaunti ya akiba ya wanafunzi - Akaunti hii ni maalum kwa ajili ya wanafunzi. Wanaweza kuitumia wakati wowote na mahali popote ikiwa na kiwango cha chini ya kuweka cha Shilingi 5,000 na haina gharama zozote kuiendesha. Mwanafunzi anapomaliza masomo yake, akaunti hii inageuka kuwa akaunti ya akiba ya mtu binafsi.

Akaunti ya akiba ya Vicoba - Akaunti hii inaweza kuhusisha wanachama binafsi wa Vicoba, NGO’S, SACCOs na vikundi vingine vya kijamii. Vina riba kubwa na uwezekano mkubwa wa kupata mikopo wa hadi asilimia themanini (80%).

Akaunti ya biashara binafsi - Ni muhimu kwa mfanyabiashara kuwa na akaunti ya biashara ambayo ni tofauti na akaunti yake ya mambo binafsi katika shughuli zake za kila siku. Ni akaunti ya akiba ambayo inamwezesha mteja kupata kadi ya benki na hundi. Akaunti inaruhusu kuweka fedha tasilimu au hundi kwa kutumia ATM, DCB mobile, tawi, au kuweka fedha moja kwa moja. Hundi kwa ajili ya biashara ndogo huwa zinapata riba. Akaunti hii ni maalum kwa mmiliki mmoja wa biashara ili kumwezesha kuwa na rekodi nzuri za kifedha.

Akaunti ya biashara – kampuni - Tunazipatia kampuni huduma zote za kibenki zilizoandaliwa kwa ajili ya kukidhi matakwa na mahitaji yao.

Kampuni zinaweza kufungua akaunti; kupata riba baada ya kuweka fedha na hivyo kuwawezesha kupata kipato cha ziada kugharamia shughuli zao.

Akaunti ya chama/kikundi - DCB inawapenda na inasimama pamoja na watu walioamua kuunda vikundi kwa ajili ya kujikwamua kiuchumi. Ndio maana benki inatoa ushirikiano na kusaidia klabu na vyama mbalimbali. Tunatoa huduma za hundi kwa akaunti za aina hii, kwa ajili ya vyama na vilabu ambavyo bado havifayi kazi kama biashara iliyostawi.

Akaunti ya kipindi maalum - Benki inatoa huduma kadhaa kuhusiana na akaunti ya muda maalum ambapo mteja anaweza kuweka fedha zake kwa kipindi maalum katika kiwango cha riba atakachokubaliana na Benki. Kipindi cha kuweka fedha kinaweza kuwa kati ya miezi mitatu na mwaka mmoja. Akaunti za aina hii ni pamoja na akaunti ya muda maalum, akaunti ya Wahi au akaunti ya Call. Kwa kutumia akaunti hii mteja anaweza kutoa fedha katika kipindi ambacho amekubaliana na benki ambacho kinakuwa ni kila baada ya miezi mitatu, sita, tisa au miaka miwili na kuhakikisha usalama wa uwekezaji wa mwanzo. Mteja mwenye akaunti hii anaweza kupewa mkopo akiitumia akaunti kama dhamana.

Akaunti maalum ya WAHI - Aina hii ya akaunti inampa mteja uhuru wa kupanga kiwango cha fedha anachotaka kuweka kila mwezi hadi akaunti itakapoiva na kupata riba kila mwezi. Tofauti kati ya akaunti ya WAHI na ya kipindi maalum ni kuwa mteja mwenye akaunti ya WAHI anapata riba kubwa, anaweza kuweka fedha kila mwezi hadi akaunti itakapoiva wakati kwenye akauti ya kipindi maalum mteja huweka fedha mara moja tu.

Page 13: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 12 MKUTANO MKUU WA 18 MWAKA 27 JUNE 2020

03KURIDHIA AJENDA YA MKUTANO MKUU WA 18 WA MWAKA

Page 14: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 13BENKI YA BIASHARA YA DCB

TAARIFA NA AJENDA YA MKUTANO MKUU WA 18 WA MWAKA

Taarifa inatolewa kwamba, Mkutano Mkuu wa kumi na nane wa wanahisa wa DCB Commercial Bank Plc, utafanyika siku ya Jumamosi tarehe 27 Juni 2020 kwa njia ya mtandao wa Zoom, kuanzia saa 4:00 asubuhi.

Ajenda1. Kufungua Mkutano2. Kuridhia agenda ya Mkutano Mkuu wa kumi na nane.3. Kuthibitisha kumbukumbu za Mkutano wa 17 wa wahisa uliofanyika tarehe 1, Juni 2019.4. Kupokea na kuridhia utekelezaji wa yatokanayo na Mkutano Mkuu wa 17 uliofanyika tarehe 1,

Juni 2019.5. Kupokea na kuridhia

5.1 Taarifa ya wakurugenzi na mwaka ulioishia tarehe 31 Disemba, 20195.2 Taarifa ya mkaguzi huru na ya hesabu zilizokaguliwa za mwaka ulioishia tarehe 31 Disemba

2019.6. Kuridhia na kupitisha Gawio kwa mwaka ulioishia tarehe 31 Disemba 20197. Kupokea na kuridhia pendekezo la malipo ya ada kwa wajumbe wa bodi8. Kustaafu na kuthibitisha wajumbe wa bodi9. Kuteua mkaguzi huru wa hesabu kwa mwaka wa fedha 202010. Mengineyo

Maelezo:1. Kutokana na tishio la janga la ugonjwa unaosababishwa na virusi vya corona (COVID-19), na

kufatia maelekezo ya wataalamu wa afya yanayotolewa na serikali kupitia wizara ya Afya kuhusu kuepuka mikusanyiko, wanahisa wanashauriwa kushiriki katika Mkutano kwa njia ya Mtandao wa Zoom kwa kiunganishi (link) kitakachotolewa kuanzia tarehe 22 Juni 2020.

2. Wanahisa wataotaka kushiriki katika mkutano kwa njia ya mtandao, wanatakiwa kutoa taarifa kwa Katibu wa Kampuni kwa njia ya simu na. 22 2172200/1 au kwa barua pepe kupitia [email protected] au [email protected] kuanzia tarehe 22 Juni 2020 ili kupata kiunganishi cha mkutano huo.

3. Mwanahisa yoyote anayestahili kuhudhuria na kupiga kura kwenye Mkutano ana haki ya kuchagua mwakilishi au wawakilisha na kupiga kura kwa niaba yake. Endapo mwanahisa ni taasisi/ kampuni, mwakilishi anatakiwa kuwa na fomu za uwakilishi ziwe zimegongwa muhuri wa kampuni. Mwanahisa anatakiwa kuwasilisha Jina la Mbadala wake (Proxy) kwa katibu wa benki kabla ya saa 04:00 asubuhi Alhamisi ya tarehe 25 Juni 2020 katika ofisi za Makao Makuu ya Benki na barua pepe iliyotajwa hapo chini. Kwa makampuni, fomu inapaswa kuwa katika lakiri ya kampuni mwanahisa.

4. Taarifa ya mwaka na hesabu zilizokaguliwa za mwaka ulioishia tarehe 31 Disemba 2019 zitapatikana kupitia tovuti ya benki www.dcb.co.tz kuanzia tarehe 15 Juni 2020.

Page 15: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 14 MKUTANO MKUU WA 18 MWAKA 27 JUNE 2020

5. Hisa za Benki zilianza kuuzwa kama ifuatavyo: Mwanzo wa mauzo ya hisa pamoja na haki ya gawio -tarehe 5 Juni - 19 Juni 2020 Mwisho wa mauzo ya hisa pamoja na haki ya gawio -tarehe 19 Juni 2020 Mwanzo wa mauzo ya hisa bila haki ya gawio -tarehe 23 Juni 2020 Kufungwa kwa Rejesta ya Wanahisa -tarehe 23 Juni 2020 Malipo ya gawio -kuanzia tarehe 21 Septemba 2020

KWA IDHINI YA BODI

___________________________________Katibu wa KampuniRegina MdumaMei 2020

Page 16: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 15BENKI YA BIASHARA YA DCB

04KUPITIA NA KUTHIBITISHA KUMBUKUMBU ZA MKUTANO MKUU WA 17

Page 17: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 16 MKUTANO MKUU WA 18 MWAKA 27 JUNE 2020

MUHTASARI WA MKUTANO MKUU WA KUMI NA SABA WA WANAHISA WA DCB COMMERCIAL BANK PLC ULIOFANYIKA TAREHE 01 JUNI 2018 KATIKA UKUMBI WA DIAMOND JUBILEE, DAR ES SALAAM.

Waliohudhuria:1. Prof. Lucian A. Msambichaka : Mwenyekiti wa Mkutano2. Bw. Maharage Chande : Makamu Mwenyekiti 3. Bi. Zawadia Nanyaro : Mjumbe wa Bodi4. Bi. Sipora Liana : Mjumbe wa Bodi5. Bw. Godfrey Ndalahwa : Mkurugenzi Mtendaji6. Bi. Regina M. Mduma : Katibu wa Kampuni

Wanahisa ni kama ifuatavyo: a) Wanahisa Wakuu Bi. Sipora Liana : Halmashauri ya Jiji la Dar-es-Salaam Matao A. Adolf : Halmashauri ya Manispaa ya Ilala Maximillian M. Tabonwa : Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni Madiya M. Magesa : Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo Charles Paul Lawisso : Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni

b) Wanahisa kutoka Taasisi Michael Hebel Zellah : UTT-AMIS Irene Katarahiya : NHIF

c) Wanahisa binafsi : Orodha imeambatanishwaWaalikwa:1. Mhe. Kandege : Naibu Waziri TAMISEMI2. Mstk. Mayor Isaya Mwita : Jiji la Dar Es Salaam3. Bw. Alex G. Mgongolwa : Mwanasheria Mshauri wa DCB4. Anna Gabriel : Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA)5. Diana Sallanga : Soko la Hisa la Dar-es-Salaam (DSE)6. Bw. George Fumbuka : CORE Securities Ltd, Dalali wa Soko la Hisa la DSM7. Bw. Samwel Karoli : Mkaguzi Huru – Pricewaters Coopers

UTANGULIZI:Kabla ya kuanza kikao meya wa jiji la Dar es Salaam, Mstahiki Meya Isaya Mwita alikaribishwa kutoa salamu kwa wanahisa wote na wananchi wa mkoa wa Dar es Salaam. Baada ya hapo Mgeni Rasmi Mhe. Kandege, Naibu Waziri wizara ta TAMISEMI akimuwakilisha Waziri wa TAMISEMI Mhe. Suleiman Jafo alitoa hotuba fupi. Aliipongeza bodi na menejimenti ya benki kwa kuipa benki sura nzuri na kufanya benki ta DCB kuwa benki ya kuigwa Tanzania. Mgeni rasmi alitoa pongezi kwa Bodi na Menejimenti ya benki kwa kukamilisha zoezi la kuuza hisa na kuvuka malengo kufikia asilimia 108%.

Mgeni Rasmi alizipongeza Halmashauri za Manispaa zote za Dar-esSalaam na Halmashauri ya Jiji la Dar-es-Salaam kwa kuwekeza katika benki ya DCB na kutoa rai kwa Halmashauri zote nchini kuitikia wito wa waziri wa TAMISEMI wa kuwekeza katika benki ya DCB na kufungua akaunti za makusanyo katika benki ya DCB.

Page 18: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 17BENKI YA BIASHARA YA DCB

KUFUNGUA MKUTANO:Mnamo saa 4:30 asubuhi, Mwenyekiti aliwakaribisha wanahisa na baada ya Mwanasheria wa benki kuridhia kuwa akidi kama ilivyoandikwa kwenye kifungu cha 24 cha Katiba ya benki, Mwenyekiti alitangaza kufunguliwa rasmi Mkutano Mkuu wa Kumi na Saba wa Wanahisa.

KURIDHIA AGENDA Wajumbe waliridhia dondoo za Mkutano Mkuu wa Kumi na saba kama zilivyoorodheshwa kwenye notisi/tangazo la mkutano na kama lilivyoandikwa katika kitabu cha Mkutano Mkuu wa17 wa benki.

KUTHIBITISHA KUMBUKUMBU ZA MKUTANO MKUU WA KUMI NA SITAWajumbe walithibitisha kumbukumbu za Mkutano Mkuu wa Kumi na sita uliofanyika tarehe 2 Juni 2018 baada ya kufanya marekebisho ya kuongeza majina ya wanahisa walioshiriki katika Mkutano huo.

KUPOKEA NA KURIDHIA UTEKELEZAJI WA YATOKANAYO NA MKUTANO MKUU WA KUMI NA SITA ULIOFANYIKA TAREHE 2 JUNI 2018.Taarifa ya utekelezaji wa maagizo yaliyotolewa na Mkutano Mkuu kumi na sita wa mwaka iliwasilishwa na Wajumbe walipokea, walijadili na kuridhia utekelezaji wa maagizo hayo.

TAARIFA YA WAKURUGENZI NA TAARIFA YA HESABU ZILIZOKAGULIWA KWA MWAKA ULIOISHIA TAREHE 31 DISEMBA, 2018.Mkutano ulifahamishwa kuwa kwa kipindi kilichoishia tarehe 31 Disemba 2018, benki ilipata faida ghafi (kabla ya kodi) ya Tsh bilioni 1.6 ikilinganishwa na hasara ya Tsh bilioni 6.0 kabla ya kodi iliyopatikana mwaka 2017. Faida baada ya kodi ilifika Tsh Milioni 995. Wajumbe walifahamishwa kwamba mageuzi ya faida yametokana na mipango ya benki ya kutumia fursa zote mbili za ukuaji wa mizania na ufanisi wa uendeshaji na kuhakikisha kwamba benki ina muundo toshelezi wa utendaji.

Pia Wajumbe walifahamishwa kuwa jumla ya mali za benki imepungua kwa asilimia 14 kufikia Tsh bilioni 132.8 mwaka 2018 na haya yote ni kwasababu ya kushuka kwa mikopo, ukwasi wa benki na ongezeko la viwango vya tengo la mikopo chechefu baada ya kuanza kutimia mfumo mpya wa kihasibu wa IFRS 9.

Wajumbe walifahamishwa kwamba kufuatia changamoto za ukwasi, amana za wateja zimepungua kwa asilimia 17 kutoka Tsh bilioni 90.4 hadi Tsh bilioni 75.1. Mikopo ghafi (kabla ya kuzingatia masharti ya kihasibu ya IFRS 9) iliongezeka kwa Tsh. Bilioni 2.0. Jumla ya mikopo iliyotolewa kwa mwaka ni sawa na Tsh. Bilioni 65 ukuaji wa kutoka kiwango cha bilioni 55 ndani ya mwaka 2017.

Vilevile, Wajumbe walifahamishwa kuwa ndani ya nusu mwaka na baada ya benki kurudi katika faida, benki ilipiga hatua ya maendeleo muhimu kwa kukubali mabadiliko ya teknolojia, kuimarisha benki mara kwa mara na kuimarisha uhusiano wa benki na wateja wake.

Aidha, Wajumbe walipewa taarifa ya ongezeko la mtaji kupitia mauzo ya hisa stahiki/ za upendeleo kwamba benki iliweza kuongeza mtaji wake kuvuka malengo iliyojiwekea kwa asilimia 108 na hivyo kuipa uwezo wa kujiendesha kwa ushindani zaidi.

Pia repoti ya awamu tofauti ambazo benki inapitia kufuatia mkakati wake wa miaka mitano ilitolewa. Wajumbe walifahamishwa kwamba benki imekamilisha awamu ya kwanza ya mabadiliko ya kuitoa benki kwenye hasara kwenda kwenye faida. Baadhi ya hatua zilizochukuliwa katika awamu hii ni pamoja na kupunguza gharama za uendeshaji, kuanzisha mchakato imara wa usimamizi wa viashiria hatarishi, kuboresha mtandao wa matawi, kuanzisha mfumo wa usimamizi wa rasilimali watu,

Page 19: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 18 MKUTANO MKUU WA 18 MWAKA 27 JUNE 2020

utamaduni mpya wa uwajibikaji kiutendaji na kuruhusu wafanyakazi kustaafu mapema kwa hiari.

Wajumbe waliarifiwa kwamba benki imekamilisha awamu ya pili ya mageuzi na kujiimarisha ambapo benki iliweka malengo ya kupata faida kabla ya kodi ya Tsh. Bilioni 1.8 kufikia decemba, 2018 na benki imefanikiwa kwa kiasi kikubwa katika hili na imepata faida ya Tsh. Bilioni 1.6 kabla ya kodi. Zaidi ya hapo benki imefanikiwa kuongeza mtaji wake na kurudi sokoni katika soko la hisa la Dar es Salaam. Wajumbe walijulishwa kwamba awamu ya tatu ya ukuaji na upanuzi wa biashara inatarajiwa kufanyika ndani ya mwaka 2019 na kuendelea mpaka mwaka 2022. Katika awamu hii benki inataraji ukuaji wa mikopo, amana, vianzio na ufuatiliaji wa karibu wa mali zake na kutumia teknolojia, hasa ya kidigitali, kuimarisha shughuli za kibenki na kupanua wigo wake kwa kuhakikisha inatumia njia hizo kuwafikia wateja wengi zaidi.

Wajumbe walifahamishwa kuwa Hesabu za Benki zimethibitishwa kuwa sahihi na zenye kuonyesha hali halisi ya benki na kupewa hati safi na Mkaguzi Huru –PriceWatershouseCoopers (PWC). Mwakilishi kutoka ofisi ya Mkaguzi Huru wa Mahesabu Bw. Samweli Karoli alidhibirisha usahihi wa mahesabu kwenye mkutano.

Wajumbe walipokea na kuridhia barua ya Mwenyekiti, ujumbe wa Mkurugenzi Mtendaji na taarifa ya hesabu zilizokaguliwa kwa mwaka 2018. Wajumbe waliipongeza Bodi na Menejimenti kwa kutoka kwenye hasara na kurudi kwenye faida. Aidha, Wajumbe waliagiza yafuatayo:

a. Benki ijitahidi kupanua wigo lake na kuwa na mawakala sehemu mbalimbali Dar es Salaam na mikoani.

b. Uongozi wa benki uweke mikakati dhabiti kupunguza mikopo chechefu.

GAWIO KWA MWAKA ULIOISHIA TAREHE 31 DESEMBA, 2018.Ilipendekezwa kuwa kutokana na faida baada ya kodi ya Shi. Milioni 995, na kufuatia kwamba benki imetoka kwenye hasara ya Tsh. Bilioni 6.0 mwaka uliopita, faida iliyopatikana ilimbizwe ili kuimarisha mtaji wa benki.

Wajumbe walijadili na kuridhia kiasi cha Tsh milioni 995 kulimbikizwa kwa ajili ya kuimarisha mtaji.

KUPITISHA AZIMIO LA KUREKEBISHA KANUNI ZA KATIBA YA KAMPUNIWajumbe walifahamishwa kwamba ili kuweza kutatua changamoto za akidi katika kuendesha mikutano ya Bodi kwa madhumuni ya kuimarisha utawala bora na vilevile ili kuiwezesha benki kuanzisha Asasi yake, benki inapaswa kufanya mabadiliko ya Katiba. Ilipendekezwa kwamba benki iongeze idadi ya Wajumbe wa Bodi kutoka 10 hadi kufikia 12 na kwamba benki ianzishe Asasi yake (Foundation) itakayoiwezesha kushiriki katika shughuli za kijamii. Baada ya kujadili vifungufu vya sharia kama vilivyoorodheshwa kwenye kitabu cha Taarifa za Mkutano Mkuu wa Kumi na Saba, Wajumbe walipitisha vifungu vyote vipya vya Katiba ya benki na kuelekeza kwamba Bodi ya Wakurugenzi itekeleze vifungu hivyo kwa kuteua Wajumbe wawili wa Bodi na kusimamia suala zima ya kuanzishwa kwa Asasi ya benki.

KUONGEZA MUDA WA MJUMBE WA BODIWajumbe walifahamishwa kuwa Bw. Maharage Ally Chande ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Wametimiza miaka mitatu kama Mjumbe wa Bodi hivyo basi kufuatia Katiba ya benki muda wake unaweza kuongezwa kwa kipindi kingine cha miaka mitatu iwapo wanahisa wataridhia.

Wajumbe walifahamishwa kwamba Kamati ya Uteuzi ya Bodi inapendekeza muda wa mjumbe huyu kuongezwa kutokana na weledi wake katika masuala ya teknolojia, umahiri na utendaji kazi wake na uzoefu wake katika utawala bora.

Page 20: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 19BENKI YA BIASHARA YA DCB

Wajumbe walijadili na kuridhia pendekezo la kuongeza muda wa mjumbe huyokama Mjumbe anayewakilisha kundi la wanahisa binafsi.

MALIPO KWA WAJUMBE WA BODI.Liliwasilishwa pendekezo la kutobadilisha malipo ya Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi la Tsh. 3,500,000 baada ya kodi kwa mwaka kwa kila Mkurugenzi.

Wajumbe walijadili na kuridhia pendekezo la ada ya Wajumbe wa Bodi kwa mwaka 2019 kuwa Tsh. milioni 3,500,000 baada ya kodi.

KUTEUA MKAGUZI HURU.Ilipendekezwa kuwa PriceWatershouseCoopers (PWC) ateuliwe kuwa Mkaguzi Huru kwa mwaka 2019 baada ya kuonyesha nia ya kuendelea na kazi hiyo.

Wajumbe waliridhia pendekezo la kumteua PriceWatershouseCoopers (PWC) kuwa Mkaguzi Huru kwa mwaka 2019.

TAREHE YA MKUTANO MKUU WA MWAKA UNAOFUATA.Wajumbe waliazimia kuwa Mkutano Mkuu wa Kumi na Nane wa Wanahisa ufanyike siku ya Jumamosi, tarehe 30 Mei 2020 katika Ukumbi wa Diamond Jubilee, Upanga Dar-es-Salaam.

Mkutano ulifungwa saa 7:45 mchana

___________________________ ____________________Prof. Lucian A. Msambichaka Tarehe Mwenyekiti

___________________________ ____________________Katibu wa Kampuni TareheRegina Mduma

01 Juni 2019

01 Juni 2019

Page 21: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 20 MKUTANO MKUU WA 18 MWAKA 27 JUNE 2020

05KUPITIA NA KURIDHIA UTEKELEZAJI WA YATOKANAYO NA MKUTANO MKUU WA 17

Page 22: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 21BENKI YA BIASHARA YA DCB

Kupokea na kuthibibitisha utekelezaji wa Masuala Yaliyojitokeza katika Mkutano Mkuu wa Mwaka wa 17 Uliofanyika Juni 1, 2019

NAMBA MAAGIZO HATUA ZILIZOCHUKULIWA

1. Benki ijitahidi kupanua wigo lake na Benki inaendelea na mkakati wake wa kuongeza

kuwa na mawakala sehemu mbalimbali mawakala na mpaka sasa ina mawakala zaidi ya

Dar es Salaam na mikoani. 769 nchini, vituo vya huduma vitano (5) na matawi

nane (8).

2. Kuongeza wajumbe wawili wa bodi Bodi ya Wakurugenzi ilitangaza nafasi za wajumbe

(Kusaili na kuteua) wawili wa Bodi kwenye gazeti la mwananchi na daily

news mnamo tarehe 8 Februari 2020 na 11 Machi 2020.

Bodi ilipokea maombi, ilifanya usaili na iko katika hatua

za mwisho za kukamilisha agizo la Wanahisa.

3. Uongozi wa benki uweke mikakati dhabiti Mikakati imewekwa ya kuboresha makusanyo ya

kupunguza mikopo chechefu. mikopo chechefu ambapo tumeazisha kitengo cha

ndani cha kukusanya na kufuatilia mikopo

iliyocheleweshwa kulipwa kwa wakati, pia

tumeweka mawakala wa nje wa kufuatilia makusanyo

ya mikopo chechefu na tunawalipa kamisheni

kuendana na wanachokusanya. Pia tunahakikisha

mikopo mipya inayotolewa inakidhi matakwa ya benki

na pia uhakiki wa biashara na dhamana

zinazowekwa benki na mteja zinahakikiwa ipasavyo.

Kupitia mikakati hii benki iliweza kupunguza

mikopo chechefu (NPL) kutoka asilimia 19% (2018)

mpaka kufikia asilimia 14% (2019).

Page 23: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 22 MKUTANO MKUU WA 18 MWAKA 27 JUNE 2020

06BARUA YA MWENYEKITI WA BODI YA WAKURUGENZI

Page 24: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 23BENKI YA BIASHARA YA DCB

Prof. Lucian A. MsambichakaMwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi

Ndugu Wanahisa,Tunafanya Mkutano Mkuu wa Mwaka, tukiwa na hali ya simanzi huku ulimwengu kwa jumla ukikabiliana na athari za ugonjwa wa Covid -19 ambao pia umekuwa na athari kwa uchumi. Tangu mwanzo, benki ya DCB iliweka kipaumbele chake katika kuhakikisha usalama wa wafanyikazi wake, wateja na jamii kwa njia ya kutoa habari na vifaa muhimu vya kujikinga wakati wa mapambano dhidi ya kuenea kwa ugonjwa huo. Njia zetu mbadala za kuaminika ikiwa ni pamoja na majukwaa ya kidijitali ya mtandao wa ATM za UMOJA zilituwezesha kuwahudumia wateja wetu kwa urahisi huku tukihakikisha usalama wa kila mmoja kwa kufuata kanuni ya kujitenga kwa kukaa mita moja.

Pamoja na ukubwa wa janga hili, bado nina matumaini kuwa uchumi wetu utaimarika taratibu. Tunashukuru juhudi za Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kuulinda uchumi kutokana na athari mbaya za Covid-19 zilizolenga kulinda pia mhimili wa sekta ya fedha. Hatua mbalimbali zilizochukuliwa na msimamizi wetu zimejielekeza kushughulikia moja kwa moja changamoto za ukwasi ambazo zinaweza kuathiri mabenki na wateja vibaya.

Mwenendo wa benkiNinaandika barua hii nikiwa najivunia yale ambayo tumefanikiwa kuyatekeleza mwaka jana. Mwenendo wetu wa kifedha uliotia fora mwaka jana, kwa kiasi kikubwa umetokana na mchango mkubwa kutoka kwenu wanahisa wetu pamoja na wadau wengine wakiwemo wateja wetu, wasimamizi na washindani wetu. Benki ilifanikiwa kukua kwa asilimia 30 katika faida yake, kila mwaka, tukiweka rekodi ya kupata faida kabla ya kodi TZS bilioni 2.1 kwa mwaka uliomalizika Disemba 31, 2019.

Mwaka 2019, benki, kupitia mchango mkubwa kutoka kwa wanahisa wetu, iliweza kufanikiwa kuongeza mtaji wake kupitia zoezi la uuzwaji wa hisa stahiki, zoezi ambalo ununuzi wake uliongeza mtaji wetu wa hisa hadi kufikia bilioni 25 mwaka 2019 kutoka TZS bilioni 16 mwaka 2018. Katika mwaka huo huo, benki iliendesha kampeni ya uhamasishaji wa kuweka amana iliyofanikiwa kupata TZS bilioni 18.5 dhidi ya malengo iliyojiwekea ya kupata TZS bilioni 15 na baadaye ilipitia tena shughuli zake huku ikiongeza ufanisi wa kiutendaji. Mafanikio ya mikakati hii ilikuwa muhimu katika kuhakikisha tunaendelea kutengeneza faida huku tukielekea katika hatua ya ukuaji na upanuzi wa benki ndani ya mpango wetu wa miaka 5.

Mwaka 2019, benki, kupitia mchango mkubwa

kutoka kwa wanahisa wetu, iliweza kufanikiwa

kuongeza mtaji wake kupitia zoezi la uuzwaji wa hisa stahiki, zoezi ambalo ununuzi wake uliongeza mtaji wetu wa hisa hadi kufikia bilioni 25 mwaka

2019 kutoka Tsh bilioni 16 mwaka 2018.

Page 25: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 24 MKUTANO MKUU WA 18 MWAKA 27 JUNE 2020

Ninaendelea kutafakari kwa kujivunia juu ya safari ya benki ya DCB tangu kuanzishwa kwake mwaka 2002 ikiwa benki ya wananchi. Ni heshima kubwa sana kwangu kuwa sehemu ya timu ambayo ilifanya kazi kwa pamoja kufanya ndoto za wakazi wengi wa Dar-es-Salaam wakati huo kuwa ukweli, na sasa, hasa baada ya kuwa benki ya kibiashara na kupitia mipango yetu ya ukuaji na upanuzi, itakuwa ukweli ambao watu wengi nchini watafurahia. Benki ya DCB inaendelea kutekeleza dhamira yake ya kutoa huduma rahisi za kifedha, bora na zenye ubunifu kwa wateja wetu wapendwa, zinazochangia maendeleo yao ya kijamii na kiuchumi huku zikiongeza thamani kwa wanahisa.

Tangu kuanzishwa kwake, benki yetu imeonja sehemu ya mafanikio na changamoto pia. Tunapozungumzia changamoto, miaka ya 2016 na 2017 iliacha makovu. Benki ili rekodi hasara iliyotokana na upungufu wa ufanisi lakini zaidi, athari zilizotokana na jitihada za serikali kuwaondoa wafanyikazi hewa na waajiriwa wote waliokuwa na vyeti vya kughushi (bandia), zoezi ambalo lilimaanisha kuongezeka kwa mikopo isiyolipika na upotezaji wa mapato ya benki; athari ambayo ilichangia pia katika viwango vya tengo la mikopo chechefu na mtaji wa benki. Bodi ya wakurugenzi ilianzisha mara moja hatua za kuokoa benki hiyo ambayo ilihusisha mabadiliko ya uongozi ambao pamoja na bodi ya wakurugenzi waliandaa na kupitisha mpango mkakati wa miaka 5 ambao umesaidia katika mabadiliko chanya ya utendaji wa benki hiyo.

Gawio kwa mwaka 2019Benki imekuwa ikitoa gawio kila mwaka kuanzia mwaka 2006 hadi kufikia mwaka 2015. Mwaka 2016 benki ilipata hasara ya Tsh 3.0 bilioni na mwaka 2017 hasara ya Tsh 6.0 bilioni hivyo haikuweza kutoagawio. Mnamo mwaka 2018 benki ilipata faida ya Tsh 995 milioni lakini wanahisa waliazimia kutumiafaida hiyo kuimarisha mtaji, hivyo kulikuwa hakuna gawio.Kwa mara nyingine tena benki imeweza kupata faida ya Tsh 2.038 bilioni lakini kulingana na hali ya kiuchumi nchini, athari za ugonjwa wa homa ya mapafu covid-19 Bodi ya wakurugenzi inapendekeza kutoa gawio la Tsh 500 milioni ili kuendelea kuimarisha mtaji wa Benki na kuiwezesha benki kuendelea kufanya kazi kwa ufanisi na kupata faida.

Kwa idhini ya Benki Kuu na azimio la Wanahisa, Bodi ya Wakurugenzi inapendekeza gawio la Tsh. 5.4 lilipwe kwa kila hisa ikiwa ni jumla ya Tsh. 500,000,000 iliyotokana na faida ya Tsh. 2.038 bilioni baada ya kodi kwa mwaka ulioishia tarehe 31 Disemba 2019. Mkutano unaombwa kupokea taarifa hii, na kupitisha azimio la kukubali kulipa gawio la Tsh. 5.4 kwa kila hisa kwa mwaka ulioishia tarehe 31 Disemba 2019

Mkakati wa uimarishaji wa benkiUimarishaji wa shughuli za benki kwa miaka mingi ijayo, ni msingi wa benki hii, na tunatambua kuwa mbali na utendaji wa kifedha, benki ina jukumu kwa jamii inayoizunguka. Kwa kushirikiana na wateja wetu, wanahisa, wafanyikazi na wadau wengine, tumejidhatiti kufuata utamaduni ambao ni nyeti na unaoendana na kanuni za shughuli za kifedha. Tunawajibika katika kila ngazi, kuanzia juu kabisa.

Mwaka 2019, Benki ya DCB ilitambuliwa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi (NBAA) kama “Mtoa Taarifa bora za Kifedha” katika kipengele cha benki ndogo na za Kati kwa mwaka wa 2018. Katika mwaka huo huo, Benki ya DCB ilishinda nafasi ya 3 kwenye Tuzo ya Makampuni Bora ya Uuzaji wa Uwekezaji (MIMs) ya mwaka wa 2018 chini ya Sekta ya Benki na Uwekezaji wakati wa hafla ya Tuzo za wanachama wa Soko la Hisa la Dar-es-Salaam (DSE), wakitupongeza juu ya utawala bora wa kampuni, ulinzi sahihi wa wawekezaji, utekelezaji bora wa sera za mazingira, ukuaji endelevu kwenye biashara, uhusiano mzuri na wawekezaji na umma na ushiriki mzuri katika uwajibikaji wa Jamii (CSR).

“Benki ilifanikiwa kukua kwa asilimia 30 katika

faida yake, kwa mwaka, tukiweka rekodi ya kupata

faida kabla ya kodi Tsh bilioni 2.1 kwa mwaka

uliomalizika Disemba 31, 2019”.

Page 26: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 25BENKI YA BIASHARA YA DCB

Bodi ya Wakurugenzi inapendekeza gawio la Tsh. 5.4 lilipwe kwa kila

hisa ikiwa ni jumla ya Tsh. 500,000,000 iliyotokana

na faida ya Tsh. 2.038 bilioni baada ya kodi kwa

mwaka ulioishia tarehe 31 Disemba 2019.

Mazingira ya shughuli za benki ya 2019Kwa mwaka wote wa 2019, sera ya fedha ya Benki Kuu ya Tanzania iliendelea kufanya kazi lakini ikiwa na hatua zilizoboreshwa zaidi ambazo zilihakikisha ukwasi wa sekta ya benki uko thabiti na ukuaji wa uchumi unaotarajiwa unafikiwa. Shughuli za fedha zilizoongezewa ufanisi kuwezesha ukuaji endelevu, kupitia juhudi zinazopendekezwa za kuongeza ukusanyaji wa mapato na matumizi katika miradi ya maendeleo.Ukuaji wa Pato la Taifa uliongezeka kwa asilimia 6.8 mwaka 2019, ulipanda kati ya asilimia 6.6 na asilimia 7.2, hii yote ni kutokana na thamani iliyoongezwa katika ujenzi, kilimo, madini na shughuli za usafirishaji, zote kwa pamoja zinachangia karibu asilimia 67.0 ya ukuaji. Shughuli zilizokuwa zikikua kwa kasi ni za ujenzi, ambao ulikua kwa asilimia 19.6, madini na uchimbaji (asilimia 17.2), habari na mawasiliano (asilimia 11.0) na maji kwa asilimia 10.0.

Sekta ya habari na mawasiliano ilirekodi kiwango cha ukuaji thabiti zaidi, ikifuatiwa na ujenzi, maji, madini na uchimbaji. Ukuaji endelevu wa shughuli za ujenzi ulihusishwa na uwekezaji unaoendelea katika miundombinu, ikiwa ni pamoja na ujenzi wa reli ya kisasa (SGR), kituo cha kufua umeme cha Julius Nyerere, barabara, madaraja, vifaa vya usambazaji maji na majengo. Ukuaji wa habari na mawasiliano ulisababishwa na kuongezeka kwa matumizi ya muda wa maongezi unaofanywa na wateja wa simu za mikononi na upanuzi wa huduma za simu na mtandao. Ukuaji katika shughuli za uchimbaji madini na uchimbaji kwa ujumla ulitokana na

uzalishaji mkubwa wa madini ya dhahabu, fedha na gesi asilia. Kuongezeka kwa idadi ya dhahabu zinazozalishwa pia kunasaidiwa na maboresho katika ufuatiliaji wa taarifa kufuatia kuanzishwa kwa vituo vya biashara vya madini.

Mfumuko wa bei wa mwaka uliongezeka kwa asilimia 3.5, iliyokuwa chini ya lengo la kati la nchi la asilimia 5.0 na viwango vya umoja kwa EAC ni asilimia 8.0 (dari) na SADC ni asilimia 3.0-7.0. Kwa mwaka uliopita, hata hivyo, viwango vya mfumuko wa bei vimekuwa chini ya shinikizo la juu zaidi, vikipanda kutoka asilimia 3.1 katika robo ya kwanza hadi kufikia takriban asilimia 3.7 mwezi Disemba. Usambazaji wa chakula wa kutosha wakati wa mwanzo wa mwaka na bei za mafuta thabiti zimeimarisha viwango vya mfumuko wa bei. Kiwango cha mfumuko wa bei ya chakula kiliongezeka kwa asilimia 1.8 mwaka 2019, ikilinganishwa na asilimia 3.2 mwaka 2018, wakati mfumuko wa bei ya bidhaa zisizo kuwa chakula uliongezeka hadi kufikia wastani wa asilimia 4.9 kutoka asilimia 4.1, kwa sababu ya kuongezeka kwa gharama ya usafirishaji.

Shukrani Kwa niaba ya Bodi ya Wakurugenzi, napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa wanahisa wetu ambao wameendelea kuwa na sisi na kutuunga mkono pale tunapohitaji, iwe ni kuhusu uongezaji mtaji au uhusiano wa kibiashara, wateja wetu wapendwa ambao wanaendelea na sisi katika safari hii; asante kwa kutuamini. Shukrani za dhati zinaenda kwa vyombo vyote vya udhibiti, kwa usimamizi wao mzuri na mwongozo na wadau wengine, ambao kwa njia moja au nyingine wamechangia uwepo wa benki na umuhimu wake leo.

Nikiwa nastaafu rasmi kuwa mwenyekiti wa bodi ya Benki ya DCB Plc, ninajivunia ushupavu wetu kama timu na ninaamini kuwa tunaweza kufikia chochote tunachokiwekea jitihada. Kwa kuangalia kiwango cha kujituma kilichoonyeshwa na bodi ya wakurugenzi, uongozi na wafanyakazi kwa miaka sasa, hatua ya mwisho ya safari ya miaka 5- itakuwa nyepesi zaidi.

Page 27: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 26 MKUTANO MKUU WA 18 MWAKA 27 JUNE 2020

07UJUMBE WA MKURUGENZI MTENDAJI

Page 28: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 27BENKI YA BIASHARA YA DCB

Godfrey NdalahwaMkurugenzi Mtendaji

Ndugu Wanahisa,Tunapofanya Mkutano huu Mkuu wa Mwaka, sehemu mbalimbali za ulimwengu ikiwa ni pamoja na ukanda wetu, zinakabiliana na janga la Covid -19 na athari zake za uchumi. Mawazo yetu yapo pamoja na jamii iliyotuzunguka lakini pia wafanyakazi wa huduma za afya na wale wote walioko mstari wa mbele katika mapambano dhidi ya ugonjwa huu.

Benki ya DCB imejijengea sifa ya kuwa karibu na wateja wetu na jamii katika nyakati ngumu, hali hii haina tofauti na nyakati zingine ngumu zilizowahi kutukumba. Tulichukua hatua za dhabiti za kulinda wafanyakazi wetu na wateja kwa kuwapa taarifa muhimu na vifaa maalumu vya kujikinga wakati wa kupambana dhidi ya kuenea kwa maambikizi ya ugonjwa huu. Jukwaa letu thabiti la kidijitali, mtandao wenye nguvu wa ATM za UMOJA na teknolojia ilituwezesha kuhudumia wateja wetu kwa urahisi na ikawaruhusu baadhi ya wafanyakazi wetu kufanya kazi wakiwa nyumbani bila usumbufu wa huduma.

Benki hiyo ilikaribisha hatua za sera ya Benki Kuu kupitia Kamati yake ya Sera ya Fedha ili kuulinda uchumi kutokana na athari mbaya za Covid-19

zilizolenga kulinda uimara wa sekta ya fedha. Hatua mbali mbali zilizochukuliwa na msimamizi wetu zimejielekeza kushughulikia moja kwa moja changamoto za ukwasi ambazo zinaweza kuathiri mabenki na wateja vibaya.

Mwenendo wa benkiMwaka 2019 ulikuwa mwaka mwingine wa mafanikio makubwa kwa benki, ambapo tulipata faida kabla ya kodi ya TZS bilioni 2.10, ongezeko

la asilimia 30 ikilinganishwa na 2018 ambapo faida ilikuwa TZS bilioni 1.62. Muendelezo huu wa faida ulichochewa na ukuaji wa mizania na uboreshaji ufanisi wa kiutendaji. Jitihada hizi zilisababisha ukuaji wa asilimia 14 katika amana za wateja, ukuaji wa asilimia 11 kwa mikopo ya wateja, ukuaji wa asilimia 22 katika mapato yasiyofadhiliwa na asilimia 9 kupungua kwa gharama za uendeshaji.

Uwiano wa madeni yasiyolipika umepungua kutoka asilimia 19 mwaka 2018 na kufikia asilimia 14 mwaka 2019, na kiwango cha uwiano cha asilimia 71 (uwiano wa Sekta ya Viwanda: 58.3%). Mfumo mzuri wa ununuzi wa hisa zote ambazo hazijanunuliwa na ufuatiliaji sambamba na uokoaji fedha zinazotokana na mikopo isiyolipika yenye thamani ya TZS 1.8 Bilioni kwa mwaka 2019 (2018: TZS 986 Milioni) ilisababisha kupungua kwa viwango vya uhamishaji kutoka asilimia 2.66 mwaka 2018 hadi asilimia 0.13 mwaka 2019 na gharama zitokanazo na mikopo isiyolipwa kwa wakati zipatazo TZS bilioni 1.8 ziliokoa kiasi cha TZS milioni 615 kugharamia hasara za mikopo hiyo. Gharama za kukabiliana na hasara iliyotokana na mikopo kwa mwaka

Mwaka 2019 ulikuwa mwaka mwingine wa

mafanikio makubwa kwa benki, ambapo tulipata

faida kabla ya kodi ya TZS bilioni 2.10, ongezeko la

asilimia 30 ikilinganishwa na 2018

Page 29: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 28 MKUTANO MKUU WA 18 MWAKA 27 JUNE 2020

huo ilikuwa TZS bilioni 9.04, hatua kubwa kutoka kiwango cha TZS bilioni kwa mwaka 2018 14.1 haswa kutokana na uboreshaji jalada la bidhaa za benki.

Kuanzia 2020 na kwenda mbeleTunapoangalia mbele, ni muhimu kufanya marejeo ya safari yetu kuona ni wapi tumefika kama benki. Mwaka 2017, Uongozi na Bodi ya Wakurugenzi iliandaa na kupitisha mpango mkakati wa miaka mitano (2018-2022) ambao ulilenga kuirejesha benki katika mstari kutoka kwenye hasara hadi faida, kuiimarisha benki ili kuiweka sawa na tayari kwa ukuaji endelevu na upanuzi. Kufikia mwisho wa mwaka 2018, benki ilikuwa imekamilisha awamu ya kwanza ya mpango huo baada ya kupata faida ya TZS bilioni 1.6 (2017: TZS -6.0 bilioni).

Wakati tunafunga mwaka 2019, benki ilikuwa imekamilisha hatua ya pili ya mpango mkakati huo ikiwa ni uimarishaji wakati kupitia mafanikio ya zoezi la Uuzaji wa Hisa stahiki kwa wanahisa na kupata TZS bilioni 9.7 kutoka kwenye lengo la TZS bilioni 8.9, ikiongeza mtaji wa hisa kutoka TZS bilioni 16 mwaka 2018 hadi bilioni 25 mwaka 2019. Hisa hizi mpya ziliorodheshwa na kwa sasa zinaendelea kuuzwa katika soko la hisa. Katika mwaka huo huo, benki iliendesha kampeni ya uhamasishaji uwekaji amana katika benki hiyo, iliyoitwa ‘Tisha Tutishe’ kwa mafanikio ikiwa na bidhaa kuu ya (Lamba Kwanza) ambayo ilichangia kupatikana kwa TZS bilioni 18.5 dhidi ya lengo la TZS bilioni 15. Tukilindwa na silaha yetu ya mtaji mkubwa utakaosaidia kufanikisha matarajio yetu ya ukuaji, tukiwa na uhakika wa ukwasi wa benki

yetu na jalada la mikopo linalodhibitiwa, benki iliendelea kutengeneza faida huku ikiongeza thamani ya mwanahisa.

Mkakati wa benki wa ukuaji unazingatia mipango yenye ufanisi inayoendana na thamani ya gharama na yenye tija, ikiwa na mchakato wa kuongeza matawi 5 na vituo 28 ifikapo 2022 katika maeneo yaliyochaguliwa kwa ajili ya mkakati wa kiuchumi. Benki tayari imefungua vituo 6 vya huduma, vikiwa ni Tegeta, Singida, Kondoa, Morogoro, Mwanza na Mbeya ambavyo kwa sasa vinahudumia eneo letu la huduma za mikopo midogo midogo. Vituo hivi vinatarajiwa kukua na kuwa matawi yaliyokamilika ambayo yataendelea kutoa huduma zetu zingine ikiwamo huduma za benki kwa watu binafsi na biashara. Pamoja na ufunguzi wa vituo vipya na matawi, tunaendelea kupanua wigo wetu wa kidijitali ikichagizwa na kuongezeka kwa idadi ya huduma za kutuma na kupokea fedha kidijitali (idadi ya waleti kwa 2019: 131,556, idadi ya waleti kwa 2018: 123,285) na mawakala wanaopatikana kote nchini (mawakala kwa 2019: 769, na mawakala 2018: 642).

Mwaka 2020, benki imepanga kukuza mikopo kwa wateja kutoka TZS bilioni 93.36 hadi TZS bilioni 108.26. Tuko katika nafasi nzuri ya kufikia lengo hili na ikiwa robo ya kwanza inaonyesha tukiwa na kiasi cha TZS bilioni 97.01. Tukitumia vyema teknolojia yetu ya kidijitali, benki ilianza kutoa mikopo kwa wateja wetu wa mikoani kupitia vituo vilivyofunguliwa zaidi, huku ikiendelea kuongoza katika soko la huduma za mikopo midogo midogo kupitia bidhaa yetu iliyopo sokoni kwa sasa ya “Solidarity Group Lending”. Mikopo hii inasimamiwa kikamilifu kupitia jukwaa letu la kidijitali na tunaelekea kuifikia bajeti iliyotengwa kukopesha TZS bilioni 26.5 kufikia mwishoni wa mwaka huu dhidi ya TZS bilioni 18.12 bilioni zilizotengwa mwaka 2019. Kiasi cha TZS bilioni 50 zaidi zinatarajiwa kutengwa kwa ajili ya maeneo ya huduma za benki kwa watu binafsi kwa mwaka huu dhidi ya kiasi cha TZS bilioni 42.31 zilizotengwa mwaka 2019.

Sambamba na ajenda yetu ya ukuaji na upanuzi, benki ilianza kuhamasisha uwekaji wa amana zisizo na gharama kubwa kwa lengo la kukuza amana za wateja kwa ukuaji endelevu na kuongeza thamani za wanahisa. Oktoba mwaka jana, benki ilizindua kampeni ya “Safari ya

Asilimia 14 katika amana za wateja, ukuaji wa

asilimia 11 kwa mikopo ya wateja, ukuaji wa

asilimia 22 katika mapato yasiyofadhiliwa na asilimia 9 kupungua kwa gharama

za uendeshaji.

Page 30: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 29BENKI YA BIASHARA YA DCB

Ajenda yetu ya huduma kwa wateja imejikita

katika kuwapa wateja wetu uzoefu wa huduma ya kuvutia na iliyo bora.

Ushindi” na bidhaa yake maarufu ya “Akaunti ya DCB Skonga” ambayo iliendeshwa kwa miezi 6 kati ya Oktoba 2019 na Machi 2020. “Akaunti ya Skonga” na bidhaa zingine maalum za uwekaji akiba zitahakikisha uimara wa amana ambazo ni nafuu na hazileti hatari ya mrundikano na hivyo kuongeza kasi ya ukuaji wa mizania. Kampeni hii inakwenda bega kwa bega na usimamizi wa uhusiano wa wateja ili kudumisha na kuimarisha uhusiano uliopo.

Huduma kwa wateja Ajenda yetu ya huduma kwa wateja imejikita katika kuwapa wateja wetu uzoefu wa huduma ya kuvutia na iliyo bora. Benki imeendelea kuwekeza katika kuboresha mzunguko mzima wa uhai wa wateja kuhakikisha panakuwepo na uwezo wa uhakika ndani ya benki katika utoaji wa huduma bora na zenye uhakika kwa wateja. Hii inatarajiwa kuwa suluhisho katika kupunguza muda wa kuwahudumia wateja katika maeneo mbalimbali wakati benki ikiendelea kuwawezesha wafanyakazi wake kwa kupitia mafunzo kuhusu bidhaa, utoaji huduma na huduma bora kwa wateja. Jukwaa la maoni liitwalo ‘Ongea Nasi’ limezinduliwa hivi karibuni ili kutusaidia kupata maoni moja kwa moja kutoka kwa wateja wetu sambamba na kituo chetu cha huduma kwa wateja. Njia hizi huongeza uwazi na pia husaidia katika kufupisha muda wa utatuzi wa matatizo na maswali ya wateja wetu.

Benki pia inayo malengo katika kuboresha huduma bora kwa wateja na kiufasaha kuongeza mapato yake kupitia suluhisho la huduma za malipo kwa kwa wateja wetu. Huduma zetu la malipo kwa njia ya mtandao, mfumo wa ulipaji wa maduhuli ya serikali kwa kupitia mtandao (GePG) na kwa kupitia wadau wengine huwawezesha wateja wetu kufanya miamala yao ya kila siku kwa urahisi na bila usumbufu. Tumedhamiria kuboresha huduma bora kwa wateja kupitia

uzinduzi wa huduma za kibenki njia ya mtandao wa intaneti pamoja na ulipaji wa malipo kwa njia ya Kadi ya ATM aina ya VISA ili kumpa mteja uchaguzi mpana njia ipi ya kufanya miamala yake ya kifedha. Uboreshaji thamani ya chapa kwa watejaBenki imeendelea kujidhatiti katika ushiriki wake katika kusaidia shughuli za kijamii (CSR). Katika robo ya kwanza ya mwaka Benki ya DCB ikishirikiana na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazeena Watoto kwa kushirikiana na Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), kwa kutoa msaada wa vifaa vya vifaa maalumu vya kutakasia mikono pamoja na vitakasa mikono kwa Jiji la Dar es Salaam kusaidia juhudi za serikali katika mapambano dhidi ya Ugonjwa wa Covid-19. Vifaa hivyo viligawiwa maeneo tofauti 100 jijini humu ikiwa ni pamoja na masoko, vituo vya mabasi, na vituo vya usafiri wa mabasi yaendeyo haraka. Benki ya DCB imejitolea kuendelea kushirikiana na wadau katika kufadhili jitihada ambazo zinaleta athari chanya kwa jamii kwa na baadaye kukuza thamani ya chapa ya DCB kwa wateja.

Baada ya Mkutano Mkuu wa Mwaka wa mwaka jana kuidhinisha uanzishwaji wa Taasisi ya DCB, uongozi wa benki hiyo iliihusisha Benki kuu kuwapa mwongozo wa juu ya kile kinachohitajika kwa kibali na usajili wa taasisi. Jitihada zinaendelea kupata idhini, usajili na uzinduzi. Taasisi hii inatarajiwa kusaidia kuongeza rasilimali na fedha kufanya shughuli zaidi za kijamii katika siku zijazo.

Hatua zingine bado zinaendelea kuongeza ufahamu wa chapa na kujulikana kama vile kuongeza uwepo wa benki katika mitandao ya kijamii na kuinua matawi yetu na vituo vyetu kwenda sanjari na uzoefu wa aina yake wa wateja.

Udhibiti wa viashiria hatarashiUwezo wetu wa kudhibiti athari zilizoibuka katika mazingira ya biashara umetusaidia kusimama imara bila kupata matukio ya wizi na upotuvu wa rasilimali za benki. Tunavyo tazamia kukua zaidi na kuongeza wigo wa kibiashara ili kuwafikia wateja wetu,tumejiandaa kikamilifu kuongeza viwango vyetu katika kusimamia athari na uthibiti wa viashiria hatarishi.

Page 31: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 30 MKUTANO MKUU WA 18 MWAKA 27 JUNE 2020

Watu wetuTimu yetu ya wafanyakazi 212 wameendelea kufanya kazi kwa bidii kutimiza malengo na mikakati ya benki iliyopelekea tija ya uzalishaji kwa wafanyakazi ikilinganishwa na faida kuongezeka kufikia TZS milioni 110.8 mwaka 2019 kutoka TZS milioni 81.3 mwaka 2018. Benki inajikita katika kuboresha utamaduni wa utendaji kazi mzuri kwa kuimarisha mazingira sahihi ya ukuaji na maboresho endelevu. Benki inaendelea kuwekeza katika mtaji wake wa rasilimali watu kuhakikisha kuwa nguvukazi inapatiwa mafunzo sahihi na program za maendeleo kuimarisha ujuzi na weledi kwa ufanisi ulioboreshwa, uthabiti na tija. Uongozi unaendelea kutambua mchango wa wafanyakazi wanaoleta matokeo chanya kwa benki na kuwapongeza ipasavyo.

Mwaka jana 2019, benki ilifanya mapitio na kuunda sera zinazoangalia maslahi ya wafanyakazi kutathimi kwa kina shughuli za benki na hatua za kusaidia utekelezaji wa mkakati wa benki. Benki pia ilifanya marekebisho ya muundo wa jalada la kibiashara na huduma za mikopo midogo midogo ili kuunganisha miundo hiyo kwa pamoja na itakayotekeleza mpango mkakati wa benki. Ajenda ya rasilimali watu ni sehemu ya msingi wa benki kuhakikisha kuwa tuna watu sahihi wanaofanya majukumu sahihi na wenye uwezo sahihi tunapoelekea kutekeleza mpango mkakati wa benki.

Page 32: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 31BENKI YA BIASHARA YA DCB

08WASIFU WA BODI YA WAKURUGENZI NA MANEJIMENTI

Page 33: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 32 MKUTANO MKUU WA 18 MWAKA 27 JUNE 2020

WakurugenziWakurungenzi ambao wametumikia benki tangu Januari 1,2019 hadi kutolewa kwa ripoti hii, yumkini imetajwa vinginevyo, ni wafuatao:

Name Nafasi Umri Uraia Kisomo/ Taaluma Tarehe ya kuteuliwa/

Kujiuzulu

Prof. Lucian A. Mwenyekiti 77 Mtanzania Shahad ya Uzamivu (Ph. D) - Aliteuliwa Mei 24, 2017

Msambichaka Uchumi wa Kilimo, Shahada ya

Uzamili ya Sayansi (M. Sc) -

Uchumi wa Kilimo, na Shahada

ya Sayansi (B. Sc) - Kilimo.

Bw. Maharage A. Makamu 45 Mtanzania Shahada za Uzamili - Uongozi Aliteuliwa Juni 2, 2019

Chande Mwenyekiti wa Biashara na Shahada ya

Sayansi (B. Sc) - Electroniki na

Mawasiliano

Bi. Sipora K. Mjumbe 56 Mtanzania Shahada ya Uzamili - Maendeleo Aliteuliwa Mei 28, 2016

Liana ya Kiuchumi ya Jamii na Shahada

ya Elimu ya Kilimo

Mr. Aron T. Mjumbe 56 Mtanzania Shahada ya Uzamili - Utawala Aliteuliwa Mei 28, 2016

Kagurumjuli wa Elimu, Mipango na Sera Elimu.

Shahada ya Sayansi ya Siasa na

Utawala wa Umma, Stashahada

ya Elimu ya Watu wazima

Ms. Zawadia J. Mjumbe 47 Mtanzania Shahada ya Uzamili ya Utawala Aliteuliwa Mei

Nanyaro wa Biashara (MBA) - Fedha, 27, 2017

Shahada ya Biashara (B. Com) -

Uhasibu, Mhasibu Aliyethibitishwa

– Utendaji wa Umma (CPA-PP),

Mkaguzi wa Mifumo ya Taarifa

Aliyethibitishwa –(CISA)

Ms. Pamela F. Mjumbe 38 Mtanzania Shahada ya Uzamili - Uongozi Aliteuliwa Mei 27, 2017

Nchimbi wa Biashara, Shahada ya

Biashara (B. Com) - Fedha,

Cheti cha Uuzaji (Dealing),

Muuzaji (Dealer) Mwakilishi

Aliyethibitishwa, Mchambuzi wa

Mambo ya Fedha Hatua ya Kwanza

- Aliyethibitishwa, Cheti cha

Mambo ya Dhamana cha Msingi.

Mr. Benard H. Mjumbe 39 Mtanzania Shahada ya Uzamili - Uchumi Aliteuliwa Mei 27,

Konga (Sera na Mipango) Shahada ya 2017 Akajiuzulu

Uchumi (Sera & Mipango) Octoba 2019

Bw. Godfrey Mkurugenzi 44 Mtanzania Shahada ya Uzamili - Uongozi Aliteuliwa

Ndalahwa Mtendaji wa Biashara, Shahada ya Biashara Januari 1, 2018

(B. Com) - Uhasibu, Mhasibu

Aliyethibitishwa – (CPA-T).

Wakurugenzi

Page 34: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 33BENKI YA BIASHARA YA DCB

Wakurugenzi (IMEENDELEA)

Hisa za wakurugenzi ndani ya benki Jina la Mkurugenzi Hisa alizomiliki 2019 Hisa alizomiliki 2018

Prof. Lucian A. Msambichaka 138,449 126,449

Bw. Maharage A. Chande 243,879 2,000

Bi. Zawadia J. Nanyaro 21,832 288

Bi. Pamela F. Nchimbi 4,885 4,885

Bw. Godfrey P. Ndalahwa 113,208 -

Bi. Sipora J. Liana 10,000 -

Jumla ya hisa zinazomilikiwa na wakurugenzi 532,253 133,622

KATIBU WA KAMPUNI/MWANASHERIAHadi kufikia tarehe 31 Disemba 2019 Mwanasheria wa Benki alikuwa Bi. Regina Mduma.

UTAWALA WA BENKIKatika uendeshaji wake, benki inaamini na kuzingatia kanuni za utawala bora. Wakurugenzi wanatambua umuhimu wa weledi, uwazi na uwajibikaji. Hadi kufikia tarehe 31 Disemba, 2019, benki ilikuwa na Wakurugenzi 7 pamoja na Mkurugenzi Mtendaji. Zaidi ya Mkurugenzi mtendaji hakuna Mkurugenzi mwingine mwenye cheo cha utendaji ndani nya benki.

Bodi inachukua jukumu la jumla la kusimamia benki, ikiwa ni pamoja na uwajibikaji wa kutambua maeneo muhimu ya hatari, kuzingatia na kufuatilia maamuzi ya uwekezaji, kwa kuzingatia masuala makubwa ya kifedha, na kupitia ufanisi wa mipango ya usimamizi wa biashara na bajeti.

Bodi pia inayo wajibu wa kuhakikisha kuwa mfumo kamili wa sera na taratibu za udhibiti wa ndani zinafanya kazi, na kufuata kanuni nzuri za utawala bora wa kampuni. Bodi ya wakurgenzi inatakiwa kukutana angalau mara nne (4) kwa mwaka.

Bodi hutoa usimamizi wa biashara kwa Mkurugenzi Mtendaji anayesaidiwa na timu imara ya usimamizi. Timu ya usimamizi huwa inaalikwa kuhudhuria vikao vya bodi na kuwezesha ufanisi wa udhibiti wa shughuli zote za uendeshaji wa Benki, wakiwa kama njia kuu ya mawasiliano kati ya vitengo vyote vya benki.

Bodi Ya WakurugenziNdani ya mwaka 2019 bodi iliitisha mikutano 5 ya kawaida na 3 maalumu. Mahudhurio yalikuwa kama ilivyoainishwa hapo chini: Na Jina Nafasi Idadi ya mikutano Idadi ya mikutano

aliyohudhuria

1. Prof. Lucian A. Msambichaka Mwenyekiti 7 7

2. Mr. Maharage A. Chande M/Mwenyekiti 7 4

3. Ms. Zawadia J. Nanyaro Mjumbe 7 7

4. Ms. Sipora J. Liana Mjumbe 7 7

5. Mr. Aron T. Kagurumujuli Mjumbe 7 1

6. Ms. Pamela F. Nchimbi Mjumbe 7 7

7. Mr. Benard H. Konga Mjumbe 5 0

8. Mr. Godfrey Ndalahwa Mjumbe 7 7

Page 35: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 34 MKUTANO MKUU WA 18 MWAKA 27 JUNE 2020

UTAWALA WA BENKI (INAENDELEA)

Kamati za BodiKila Kamati ina kazi ya kusimamia majukumu pamoja na ufanisi wa utendaji wa bodi. Katika mwaka huo, Bodi ilikuwa na kamati ndogo za Bodi zifuatazo ili kuhakikisha kiwango cha juu cha utawala wa kampuni.

a. Kamati ya bodi ya ukaguzi, usimamizi wa viashiria hatarishi na na udhibiti (BARC)Kamati ya BARC ilikuwa na vikao vinne (4) vya kawaida na kimoja maalum na mahudhurio yanaonyeshwa katika jedwali hapo chini:

Na Jina Nafasi Idadi ya mikutano Idadi ya mikutano

aliyohudhuria

1. Ms. Zawadia J. Nanyaro Mwenyekiti 6 6

2. Mr. Maharage A. Chande Mjumbe 6 6

3. Mr. Aron T. Kagurumujuli Mjumbe 6 0

4. Ms. Pamela F. Nchimbi Mjumbe 6 6

b. Kamati ya Bodi ya uteuzi na rasilimali watu (BHRNC)Kamati ya BHRNC ilikuwa na vikao vinne (4) vya kawaida na kimoja maalum na mahudhurio yanaonyeshwa katika jedwali hapo chini:

Na Jina Nafasi Idadi ya mikutano Idadi ya mikutano

aliyohudhuria

1. Ms. Sipora J. Liana Mwenyekiti 5 5

2. Mr. Maharage A. Chande Mjumbe 5 5

3. Ms. Zawadia Nanyaro Mjumbe 5 5

c. Kamati ya bodi ya mikakati na mikopoKamati ya BSC ilikuwa na vikao vinne (4) vya kawaida na kimoja maalum na mahudhurio yanaonyeshwa katika jedwali hapo chini:

Na Jina Nafasi Idadi ya mikutano Idadi ya mikutano

aliyohudhuria

1. Bw. Maharage A. Chande Mwenyekiti 4 4

2. Bi. Zawadia J. Nanyaro Mjumbe 4 4

3. Bi. Pamela F. Nchimbi Mjumbe 4 4

4. Bw. Benard Konga Mjumbe 3 0 Bodi ya Wakurugenzi inatoa mwelekeo wa kimkakati wa kampuni, kuweka sera na taratibu, kugawa rasilimali na inakubali na kuidhinisha mipango ya kimkakati na ya uendeshaji.Bodi ya Wakurugenzi ya benki ya biashara ya DCB inajumuisha wajumbe kumi. Wakurugenzi wote ni raia wa Kitanzania.

Page 36: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 35BENKI YA BIASHARA YA DCB

Wasifu wa Bodi ya Wakurugenzi

Prof. Lucian A. Msambichaka (77) MtanzaniaAna Stashahada ya Sayansi katika Kilimo, Stashahada ya Uzamili ya Sayansi katika Kilimo Uchumi na Stashada ya Uzamivu (Ph.D) katika Uchumi wa Kilimo kutoka Chuo Kikuu cha Leipzig.

Prof. Msambichaka ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi tangu mwaka 2017. Kabla ya hapo alishika nafasi ya makamu mwenyekiti wa bodi tangu benki ilipoanzishwa mwaka 2001. Kwa sasa anafanya kazi katika Idara ya Uchumi katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kama Profesa wa Uchumi wa Kilimo.

Amewahi kuwa kiongozi katika kazi kadhaa za ushauri ikiwa ni pamoja na utafiti wa IFAD wa Huduma za Fedha za Vijijini mwaka 1999/2000, na pia mpango wa mikopo ya miaka mitano kwa Maendeleo ya Fedha 1988/89 - 1992/93.

Yeye ni Mjumbe wa Bodi ya Kituo cha Uwekezaji Tanzania na pia Mwenyekiti wa Bodi ya FISEDA Co Ltd na Dunduliza Co Ltd. Prof. Msambichaka amefanya kazi katika nafasi mbalimbali Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kuanzia mkufunzi msaidizi, mtafiti msaidizi, mtafiti mshiriki, mshirika mkuu wa utafiti, Mkurugenzi wa Ofisi ya Utafiti wa Uchumi, Profesa Mshirika na Mkurugenzi wa ushauri Chuo Kikuu na Profesa kutoka 1972 hadi sasa.

Amechapisha machapisho zaidi ya 48 na ripoti za Serikali 17, vitabu 10, amehudhuria warsha 33 / semina na taarifa zaidi ya 74 za ushauri.

Maharage Ally Chande (45) MtanzaniaAna shahada za uzamivu katika Uongozi wa Biashara kutoka Chuo Kikuu cha Afrika Kusini na ana shahada ya kwanza ya Electroniki na Mawasiliano kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

Chande ni Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya DCB. Alichaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Mei,2016 akiwakilisha maslahi ya wanahisa binafsi.

Bw. Chande ni Afisa Mkuu Mtendaji wa Multichoice Afrika Mashariki na Afrika Magharibi. Kabla ya hapo alikuwa Afisa Mkuu Mtendaji wa Multichoice Tanzania. Kabla ya kujiunga na Multichoice alikuwa Mkurugenzi wa Huduma katika ofisi ya raisi kitengo cha ufuatiliaji na utekelezaji wa miradi (President Delivery Bureau)

Prof. Lucian A. MsambichakaMwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi

Maharage Ally ChandeMakamu Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi

Page 37: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 36 MKUTANO MKUU WA 18 MWAKA 27 JUNE 2020

kutoka kwa mwaka 2014 hadi 2016, Afisa Mkuu wa uendeshaji wa benki ya Taifa ya Biashara (NBC Ltd) kutoka 2010 - 2014, Mkurugenzi Mtendaji wa TEHAMA, Data na Huduma za Kuongeza Thamani katika kampuni ya Vodacom Tanzania Ltd kati ya mwaka 2004 - 2010, Mkuu wa kitengo Teknolojia ya Habari nchini mwaka 2000 – 2004 ndani ya benki ya Standard Chartered Tanzania na Meneja wa Ufundi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Computing Center (UCC) mwaka 1999 - 2000.

Chande amehudhuria kozi tofauti na warsha fupi katika maeneo mbalimbali.

Sipora Jonathan Liana (56), TanzaniaAna Shahada ya Uzamivu katika Maendeleo ya Kiuchumi ya Jamii kutoka Chuo Kikuu Huria na Shahada ya kwanza ya Kilimo kutoka Chuo Kikuu cha Sokoine.

Bi. Liana alijiunga na Bodi ya wakurugenzi ya DCB mwezi Mei, 2016. Liana ni Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam na anawakilisha maslahi ya Baraza la Bodi. Amekuwa Mkurugenzi wa Mikoa ya Arusha na Tabora. Kabla ya kuwa Mkurugenzi katika Halmashauri ya Jiji alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Wilaya za Mkuranga, Monduli na Moshi. Pia alifanya kazi kama Afisa wa Mifugo na Kilimo huko Njombe kati ya 1988 na 2004. Liana amehudhuria kozi tofauti na warsha fupi katika maeneo mbalimbali.

Aron Titus Kagurumjuli (56), MtanzaniaAna Shahada ya Uzamili katika Utawala wa Elimu, Upangaji na Sera za Elimu kutoka Chuo Kikuu Huria cha Tanzania. Pia ana Shahada ya Sayansi ya Siasa na Utawala wa Umma kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Pia ana Stashahada katika Elimu ya Watu wazima kutoka Taasisi ya Elimu ya Watu wazima na Astashahada ya Ufundishaji ya Daraja A ya Chuo cha Walimu wa Bunda.

Kagurumjuli alijiunga na Bodi ya DCB mwezi Mei, 2016. Yeye ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa la Kinondoni ambaye anawakilisha maslahi ya Halmashauri katika Bodi. Kabla ya kuteuliwa kwake katika Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni alikuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba (2015) na akafanya kazi kama Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo kabla ya kuthibitishwa (2013 - 2015). Alikuwa afisa wa taaluma katika mikoa ya Kigoma, Shinyanga na Arusha (1995-2012) na

Mwalimu Mkuu (1989-1993). Kagurumjuli amehudhuria kozi tofauti na warsha katika eneo tofauti.

Sipora Jonathan LianaMjumbe wa Bodi

Aron Titus KagurumjuliMjumbe wa Bodi

Page 38: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 37BENKI YA BIASHARA YA DCB

Zawadi Nanyaro (47), MtanzaniaYeye ana Shahada ya Uzamili ya Utawala wa Biashara katika Fedha na Shahada ya kwanza ya Biashara katika Uhasibu, Shahada zote mbili alizipata Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, CPA (T) katika Shughuli za Umma (CPA-PP), Mhakiki wa Mfumo wa Taarifa (CISA) mwenye Ithibati na Mkurugenzi aliyeidhinishwa kutoka Taasisi ya Wakurugenzi Tanzania.

Nanyaro alijiunga na Bodi ya Wakurugenzi ya DCB mnamo Mei, 2017 kama mkurugenzi anayewakilisha kundi la wanahisa binafsi. Zawadia alianza kazi mwaka 1997 na PricewaterhouseCoopers (PWC) ambapo alifanya kazi kama Mkaguzi wa huru wa hesabu kwa miaka mitano; baadaye alijiunga na Benki ya Exim ambako alifanya kazi kwa miaka miwili kama Meneja wa Ukaguzi huru wa ndani akiongoza idara ya ukaguzi wa ndani ya benki. Mwaka 2004 alijiunga na Kampuni ya Tanzania Breweries

(TBL)kama Meneja wa Ukaguzi wa Ndani kuanzia mwaka 2004 - 2007. Baada ya kufanya kazi na TBL, Zawadia alijiunga na Mamlaka ya Ukanda Maalumu wa Uwekezaji (EPZA) kama Mkurugenzi wa Maendeleo na baadae kama Mkurugenzi wa ukuzaji na uwezeshaji katika miaka ya 2008 - 2016. Kwa sasa yeye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Ukaguzi Huru na Ushauri wa Kodi ya Lilac Lines Tanzania.

Pamela F. Nchimbi (38), MtanzaniaAna Shahada za Uzamivu ya Usimamizi wa Biashara, pia ana Shahada ya Biashara katika Masuala ya Fedha. Kadhalika ana Astashahada ya kushughulikia ACI, Cheti cha Usalama wa Msingi, Cheti cha Usimamizi wa Mali na Uwekezaji na Mwakilishi wa Muuzaji aliyeidhinishwa, Mwanafunzi aliye katika daraja la 1 katika Program ya Mchambuzi wa Masuala ya Fedha.

Nchimbi ni Mjumbe wa bodi kutoka Julai 2017 ili kuwakilisha maslahi ya Taasisi ya UTT-AMIS. Yeye ndiye Mkurugenzi wa sasa wa Idara ya Uwekezaji ya UTT katika Usimamizi wa Mali na Huduma za Wawekezaji tangu 2013. Kabla ya kuwa hapo alifanya kazi kama Afisa Mkuu wa Uwekezaji (2011-2013), Afisa Mkuu wa Uwekezaji (2011) na Afisa wa Uwekezaji (2008 - 2010) katika kampuni ya Unit Tanzania (UTT). Nchimbi alianza kazi yake na Benki ya Biashara ya Afrika ambapo alifanya kazi kama Msajili wa Hazina tangu mwaka 2006 - 2008.

Pamela F. ChimbiMjumbe wa Bodi

Zawadi NanyaroMjumbe wa Bodi

Page 39: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 38 MKUTANO MKUU WA 18 MWAKA 27 JUNE 2020

Godfrey Ndalahwa (44), MtanzaniaAna astashahada ya Uongozi kutoka GIBS-University of Pretoria, Ni mhasibu anayetambulika na bodi ya wakaguzi wa mahesabu (NBAA CPA – (T)), na ana Shahada ya Uhasibu na biashara kutoka Chuo kikuu cha Dar es Salaam

Godfrey Ndalahwa alijiunga na DCB mwezi Octoba 2017 kama Mkurugenzi mtendaji Aliteuliwa rasmi katika nafasi hiyo Januari 2018.

Ana miaka 15 ya uzoefu wa kazi za kibenki na uhasibu. Kabla ya hapo amefanya kazi KCB Bank (T) kama Kaimu Mkurugenzi Mkuu na Mjumbe wa bodi wa benki ya DCB Burundi. Godfrey aliongoza idara ya fedha ya KCB Bank kuanzia 2013 hadi 2017. Akiwa katika nafasi hiyo alihusika katika kubadilisha benki kutoka kwenye nafasi ya hasara hadi kufikia kupata faida.

Kati ya mwaka 2010 na 2013, Bw Ndalahwa alifanya kazi NBC Bank Ltd kama mkuu wa kitengo cha Mikakati na Mapato, huku akikaimu nafasi ya Ukuu wa Fedha. Akiwa NBC, Godfrey alifanikiwa kuzuia upoteaji wa mapato huku akiongoza programu ya mapitio ya gharama za uendeshaji na kushinda tuzo ya Benki bora kati ya benki 12 zilizo chini ya mwavuli wa Kundi la Mabenki chini ya Barclays.

Godfrey alifanya kazi kama mkuu wa kitengo cha ukaguzi benki ya Barclays mnano mwaka 2007 hadi 2009 na kuongoza idara ya fedha kwa miaka miwili hadi 2010. Kabla ya hapo, amefanya kazi katika kampuni ya Coca-Cola Sabco (2004 – 2007) kama mkuu wa kitengo cha ukaguzi na Deloitte and Touche upande wa ukaguzi (2003-2004).

Godfrey NdalahwaMkurugenzi Mtendaji

Page 40: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 39BENKI YA BIASHARA YA DCB

SAFU YA MENEJIMENTIWASIFI WA MENEJIMENTI YA DCBKufikia tarehe 31 Disemba 2019, menejimenti ya Benki iliyokuwa chini ya Mkurugenzi Mkuu, akisaidiwa na wafuatao:-

Mkurugenzi Mtendaji Bw. Godfrey Ndalahwa

Meneja Mkuu – Fedha Bw. Zacharia Kapama

Meneja Mkuu – Sheria na Katibu wa Kampuni Bi. Regina Mduma

Meneja Mkuu – Uendeshaji wa Benki na Tehama Bw. Nelson Swai

Meneja Mkuu – Mikopo Bw. Isidori Msaki

Meneja Mkuu – Viashiria Hatarishi na Udhibiti Bi. Doreen Joseph

Mkaguzi Mkuu wa Ndani Bw. Deogratius Thadei

Meneja Mkuu – Rasilimali watu Bi. Evelyn Rugambo

Meneja Mkuu – Biashara Bw. James Ngaluko

Meneja Mkuu – Mikopo Midogo Midogo Bi. Haika Machaku

Page 41: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 40 MKUTANO MKUU WA 18 MWAKA 27 JUNE 2020PAGE 40BENKI YA BIASHARA YA DCB

Bw. Godfrey NdalahwaAna astashahada ya Uongozi kutoka GIBS-University of Pretoria, Ni mhasibu anayetambulika na bodi ya wakaguzi wa mahesabu (NBAA CPA – (T)), na ana Shahada ya Uhasibu na biashara kutoka Chuo kikuu cha Dar es Salaam

Godfrey Ndalahwa alijiunga na DCB mwezi Octoba 2017 kama Mkurugenzi mtendaji Aliteuliwa rasmi katika nafasi hiyo Januari 2018.

Ana miaka 15 ya uzoefu wa kazi za kibenki na uhasibu. Kabla ya hapo amefanya kazi KCB Bank (T) kama Kaimu Mkurugenzi Mkuu na Mjumbe wa bodi wa benki ya DCB Burundi. Godfrey aliongoza idara ya fedha ya KCB Bank kuanzia 2013 hadi 2017. Akiwa katika nafasi hiyo alihusika katika kubadilisha benki kutoka kwenye nafasi ya hasara hadi kufikia kupata faida.

Kati ya mwaka 2010 na 2013, Bw Ndalahwa alifanya kazi NBC Bank Ltd kama mkuu wa kitengo cha Mikakati na Mapato, huku akikaimu nafasi ya Ukuu wa Fedha. Akiwa NBC, Godfrey alifanikiwa kuzuia upoteaji wa mapato huku akiongoza programu ya mapitio ya gharama za uendeshaji na kushinda tuzo ya Benki bora kati ya benki 12 zilizo chini ya mwavuli wa Kundi la Mabenki chini ya Barclays.

Godfrey alifanya kazi kama mkuu wa kitengo cha ukaguzi benki ya Barclays mnano mwaka 2007 hadi 2009 na kuongoza idara ya fedha kwa miaka miwili hadi 2010. Kabla ya hapo, amefanya kazi katika kampuni ya Coca-Cola Sabco (2004 – 2007) kama mkuu wa kitengo cha ukaguzi na Deloitte and Touche upande wa ukaguzi (2003-2004).

Bw. Zacharia Kapama CPA(T), B.Com Hons (Uhasibu), Certificate - Strategic Performance Management (ESAMI). Mjumbe wa NBAA na IIA Tanzania.

Bw Zacharia Kapama kwa sasa anafanya kazi pia kama Meneja Mkuu wa fedha wa DCB Commercial Bank akiwa na majukumu ya kutoa mwelekeo wa kimkakati kuiwezesha benki kufikia malengo na dhamira zake. Ana uzoefu wa jumla ya miaka 13 katika Udhibiti wa fedha, Ripoti za fedha, Ukaguzi na Mikakati; miaka 11 kati yake akifanya kazi katika nafasi za juu za uongozi.

Kabla ya kujiunga na DCB Commercial Bank, alifanya kazi kama Meneja Biashara na Mikakati katika TIB Corporate Bank Ltd; akiwajibika kuimarisha utendaji wa benki na pia kutoa uongozi katika kufuatilia na kudhibiti utekelezaji wa mikakati, pamoja na majukumu mengine. Kabla ya hapo, alifanya kazi KCB Bank Ltd na

Godfrey NdalahwaMkurugenzi Mtendaji

Zacharia KapamaMkurugenzi wa Idara - Fedha

Page 42: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 41BENKI YA BIASHARA YA DCB

Barclays Bank kama Business Performance Manager. Katika miaka mitano ya kwanza, alifanya kazi Deloitte (assurance) na Coca Cola (Mkaguzi Mkuu wa Ndani).

Kapama aliiwezesha kuanzishwa kwa mpango mkakati wa miaka mitano ya TIB Corporate Bank na baadae kusimamia utekelezaji wake kati ya 2015 na 2017.

Kabla ya hapo, aliboresha kwa kiasi kikubwa taarifa za usimamizi na jukumu la utendaji wa biashara katika benki ya KCB kupitia mfumo wa usimamizi wa utendaji binafsi na kuanzishwa kwa jukumu la kushirikiana na biashara.Akiwa Benki ya Barclays, aliweza kuboresha kwa kiasi kikubwa umiliki wa akaunti na mchakato wa kupitia mchakato wa upatanisho, kuwapa watumiaji mafunzo na kuhamasisha mradi huo.

Bi. Regina MdumaShahada ya Kwanza katika Sheria kutoka katika Chuo Kikuu cha Lesotho, Shahada ya Uzamili katika Sheria za masuala ya uuzaji na ununuaji wa bidhaa nje ya nchi (Sheria ya Biashara za Kimataifa) kutoka Chuo Kikuu cha North West, Kampasi ya Potchefstroom iliyopo Afrika Kusini na kwa sasa anaendelea na masomo yake ya Shahada ya Uzamivu katika Ufilisi wa Mabenki katika Ukanda wa SADC. Pia, ana Cheti cha masomo ya bima za muda mfupi na mrefu kutoka katika Chuo cha Bima cha Afrika Kusini.

Bi. Regina aliteuliwa kuwa Meneja Mkuu wa Masuala ya Sheria na Katibu wa Kampuni tangu Januari, mwaka 2018. Ana uzoefu wa kitaalamu wa miaka 14 katika masuala ya sheria na Mshauri wa Ndani wa Masuala ya Kisheria. Awali, amesajiliwa kama Wakili katika mataifa matatu ambayo ni nchi ya Lesotho mwaka 2004, Jamhuri ya Botswana mwaka 2007 na Tanzania mwaka 2012. Regina pia alihudhuria mafunzo ya

kitaalam katika kukuza taaluma ya sheria na utawala wa makampuni.

Kabla ya kujiunga na DCB, Regina alikuwa anafanya kazi na Kampuni ya Mawakili wa kujitegemea ya Excellent Attorneys Advocates akiwa kama Afisa Mwandamizi na Mkufunzi wa muda mfupi katika Shule ya Sheria ya Tanzania. Alikuwa kiongozi wa Idara ya Uhusiano wa Makampuni akishughulika na makampuni ya biashara, benki na mashirika binafsi nay a umma. Kabla ya hapo alifanya kazi katika Jamhuri ya Botswana katika kampuni ya Thari Legal Shield T/U Penrich Insurance Brokers, ikiwa kampuni dada ya Benki ya Gaborone. Alianza kama Mshauri wa Sheria na baadae kupandishwa cheo kuwa Meneja wa Huduma za Sheria. Kabla ya hapo alikuwa akifanya kazi na kampuni ya Luke & Associates (Attorneys at law) akiwa kama Mshirika kwa mwaka 1.

Bi Regina MdumaMkurugenzi wa Idara - Sheria na Katibu wa Kampuni

Page 43: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 42 MKUTANO MKUU WA 18 MWAKA 27 JUNE 2020

Bw. Nelson SwaiBw. Nelson Swai ni mhitimu wa Shahada ya Uzamili katika sheria za maswala ya habari na mawasiliano(TEHAMA) iliyotolewa na Muungano wa Mawasiliano ya Kimataifa (ITU) & Chuo cha Mawasiliano cha Uingereza (UKTA), amehitimu Shahada ya kwanza katika Sayansi ya Kompyuta na Hisabati iliyotolewa na Chuo Kikuu cha Bangalore, India . Ni Mshirika aliyethibitishwa wa Oracle (OCA), Cisco (CCNA), ni kiongozi aliyethibitishwa na ISO katika usimamizi wa Usalama wa Habari (ISO 27001 Certified) pamoja na kuwa kiongozi aliyethibitishwa na ISO katika usimamizi wa mwendelezo wa biashara(ISO 22301 Certified).

Bw. Nelson Swai alijiunga na Benki ya DCB mnamo Julai, 2019 kama Mkurugenzi wa Idara ya Uendeshaji na Tehama. Awali ya hapo alikuwa mkuu wa idara ya Tehama Ecobank Tanzania kati ya mwaka 2015-2019. Kabla ya hapo alifanya kazi

kampuni ya simu ya Vodacom kuanzia mwaka 2010 hadi 2015.

Nelson anauzoefu wa miaka tisa katika masuala ya Tehama na uendeshaji wa makampuni katika sekta za mawasiliano na benki. Amehusika katika miradi mbalimbali inayolenga kusaidia wateja kupata njia rahisi za kuendesha biashara na huduma kwa kutumia teknolojia ya kisasa. Bw Nelson Swai amebobea katika Usanifu na urahisishaji wa mifumo ya kibiashara kwa kutumia Tehama, na uzoefu katika kutekeleza mikakati ya kibiashara.

Bw. Isidori John MsakiMhitimu wa Shahada ya Uzamili katika Ujasiriamali na Uendelezaji wa Biashara Ndogo Ndogo, kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) na Shahada ya Kwanza ya Sanaa katika Uchumi kutoka Agra, India.

Ndugu Isidori amehudhuria kozi mbalimbali za usimamizi wa hatari katika taasisi, utoaji huduma za mikopo, ukusanyaji, urudishaji madeni na uongozi. Ana miaka 18 ya uzoefu wa shughuli za kibenki. Akifanikiwa kufanya kazi Benki ya Akiba Tanzania kuanzia mwaka 2000 mpaka 2007; Nyadhifa alizoshika; Afisa Mikopo, Meneja wa Tawi, na Meneja wa Huduma za Kifedha kwa wajasiriamali ikiwa ndiyo nyadhifa nyeti kuwahi kuishika. Alifanikiwa kuanzisha huduma bora za utoaji mikopo kwa wateja na kufundisha zaidi ya Maafisa Mikopo 100 kuhusu njia bora za ukopeshaji, tathmini ya mikopo, usimamizi wa Jalada la watejanaurejeshaji wa mikopo.

Bw. Nelson SwaiMkurugenzi wa Idara – Uendeshaji na Tehama

Bw. Isidori John MsakiMkurugenzi wa Idara - Mikopo

Page 44: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 43BENKI YA BIASHARA YA DCB

Pia, alihudumu katika Benki ya Barclays Tanzania kuanzia mwaka 2007 mpaka 2010; Mkuu wa Kitengo cha Utoaji wa Mikopo ya Rejareja akiwa Barclays aliweza kuanzisha Kituo cha Uchakataji Mikopo nchini pia aliweza kufanya kazi kwa karibu na Kundi la Makampuni la Barclays na kuanzisha Kadi maalumu kwa ajili ya Mikopo isiyokuwa na dhamana (score card) katika benki hiyo.

Alifanya kazi na Benki ya NBC kuanzia mwaka 2010 mpaka 2017; akiwa Meneja wa Wajasiriamali wadogo wadogo kwa miaka 2 na baadae kuhudumu miaka 5 akiwa Mkuu wa Kitengo cha Utoaji wa Mikopo ya Rejareja. Aliweza kuunda Idara ya Mikopo ya Rejareja, aliajiri watu wenye vipawa stahiki sambamba na kufanikiwa kuweka michakato inayoleta matokeo tarajiwa ya mikopo. Isidori aliweza kuwa mwasisi wa mchakato wa Uharibifu wa mikopo ya rejareja chini ya IAS39 kuanzia mwaka 2011.

Isidori hakuishia hapo, aliweza kuhama NBC na kwenda Benki ya DCB mwezi Oktoba mwaka 2017 akiwa kama Meneja Mkuu wa Mikopo nafasi ambayo mpaka sasa ndiyo anayoishikilia.

Bw. Deogratius ThadeiMhasibu wa Umma (CPA) mwenye cheti cha Ithibati kutoka Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi Tanzania (NBAA) na Mwanachama wa Chama cha Wafanyabiashara cha (ACCA-UK). Ana shahada ya kwanza katika uhasibu wa biashara na Fedha kutoka Chuo Kikuu cha Mzumbe.

Huyu ni Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Benki ya Biashara ya DCB tangu Novemba 20, mwaka 2017. Ana ujuzi wa masuala ya ukaguzi wa hesabu za ndani na nje, masuala ya fedha na usimamizi wa akaunti. Fani yake yenye wigo mpana unaoishi mpaka sasa umehudumu katika kada za ukaguzi na ushauri katika benki mbalimbali, kampuni za bima na makampuni ya utengenezaji bidhaa mbalimbali. Kabla ya kujiunga na Benki ya Biashara ya DCB, Deogratius alikuwa Meneja wa Ukaguzi wa Hesabu za Ndani wa Benki ya kwanza ya Taifa ambapo alikuwa anasimamia Idara ya Ukaguzi wa Hesabu za ndani na pia alikuwa na wajibu wa kusimamia miradi ya ukaguzi wa hesabu za benki. Kabla yahapo, Deogratius alifanya kazi na Deloitte and Touché akiwa kama Mkaguzi Mshirika mwaka 2011. Alifanikiwa kupanda wadhifa na kuwa Mkaguzi Mwandamizi wa Hesabu za Kampuni akiwa hapo Deloitte.

Bi. Doreen JosephMtaalamu waUsimamizi wa hatari akiwa na Shahada ya Kwanza ya Biashara na Usimamizi aliyohitimu Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Shahada ya Uzamili ya Usimamizi wa Biashara (Fedha) aliyohitimu katika Shule ya Biashara ya UDSM.

Bi, Doreen alianza kuitumikia taaluma yake katika kampuni ya Kimataifa ya Deloitte and

Doreen JosephMkurugenzi wa Idara - Viashiria Hatarishi na Uthibiti

Page 45: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 44 MKUTANO MKUU WA 18 MWAKA 27 JUNE 2020

Touché akiwa Mkaguzi wa Hesabu za Nje, Mkaguzi wa Masuala ya fedha na ushauri katika udhibiti wa wa ndani akikidhi viwango vya kimataifa vilivyowekwa vya udhibiti na ukaguzi wa ndani.Pia, alipata fursa ya kufanya kazi na Kampuni ya NBC LTD (ABSA) inayohusika na Utekelezaji na Udhibiti wa Majanga yenye mahusiano na ile ABSA Capital ya Afrika Kusini. Alishawahi kufanya kazi na Benki ya Maendeleo ya TIB katika kitengo cha usimamizi wa hatari na sheria, ikiwa ni sehemu ya kufanya mageuzi ya kwenda katika DFI, alianzisha jitihada za usimamizi wa hatari na utekelezaji wakimuundo. Jambo hili lilimpa fursa ya kufanya kazi na IDC ya Afrika Kusini. Kabla ya kujiunga DCB alifanya kazi na Benki ya Twiga katika mizania sawa ya uongozi. Ana ukwasi wa uzoefu usimamizi wa hatari/hatari katika biashara ndogo, hatari za kisheria, hatari za uendeshaji wa kampuni, hatari za mikopo, hatari za masoko na ukwasi, Tathmini ya Mradi na Udhibiti wa hatari, mipango mikakati ya kampuni, usimamizi

wa utendaji kazi wa kampuni na uongozi kupitia fursa mbalimbali na mafunzo nje na ndani ya nchi.

Bw. James NgalukoNi Mhitimu wa Shahada ya Kwanza ya Biashara katika UhasibuChuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) mwaka 2005, Shahada ya Uzamili ya Usimamizi wa Biashara kutoka ESAMI mwaka 2016, Mhasibu Mwenye Cheti cha Ithibati cha Umma – NBAA (ACPA-2012).

James ana uzoefu mpana katika masuala ya kibenki kwa zaidi ya miaka 12, wajasiriamali wadogo wadogo na huduma za kibenki za makampuni akihuduma katika benki mbalimbali hapa Tanzania. Kabla ya kujiunga na Benki ya Biashara ya DCB, James alifanya kazi katika Benki ya CRDB kwa kipindi cha miaka 5 (kutoka 2005 mpaka 2010) na baadae Benki ya NMB kwa miaka 7 ( kutoka 2010 mpaka 2018) ambako alikuwa akiangalia na kusimamia ukuaji wa biashara bora kwa wajasiriamali wadogo wadogo na makampuni mbalimbali kama Kiongozi wa Timu katika kampuni inayokua.

Bi. Evelyn RugamboAna Shahada ya Uzamili katika Usimamizi wa Rasilimali Watu na Maendeleo ya Kimataifa kutoka katika Chuo Kikuu cha Manchester, Uingereza na Shahada ya kwanza katika Usimamizi wa Biashara kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM).

Bi. Evelyn alijiunga na Benki ya DCB mwezi Juni 2018 kama Meneja Mkuu wa Idara yaRasilimali Watu na Utawala kwa zaidi ya miaka 8 ya uzoefu wa Rasilimali za Watu.

Amefanya kazi kwenye mashirika mbalimbali ya

Bw. James NgalukoMkurugenzi wa Idara - Biashara

Bi. Evelyn RugamboMkurugenzi wa Idara - Rasilimali Watu

Page 46: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 45BENKI YA BIASHARA YA DCB

kimataifa: Standard Chartered Bank (1998-2000) kama Mshauri binafsi wa Fedha, Vodacom Tanzania (2000-2004) kama Mtendaji Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Wateja na Barclays Bank Tanzania (2007-2011) kama Mtaalamu wa Mafunzo na Maendeleo ambako aliunga mkono ukuaji wa haraka wa benki kwa kuendeleza nguvu ya mauzo na kama mjumbe katika mradi wa mabadiliko ya huduma kwa wateja akifanya kazi na washauri katika kufundisha na kuendeleza idara ya huduma ya wateja ili kuboresha ubora wa huduma.

Yeye ni Mchambuzi mwenye Cheti cha Ithibati cha Masuala ya Rasilimali Watu kutoka Taasisi ya Ithibati ya (HRCI)-Marekani na Chartered Human Resource Business Professional (HRBP) kutoka Chama cha Usimamizi wa Rasilimali Watu (SHRM) kutoka Marekani, Pia yeye ni mwanachama wa Chama cha Usimamizi wa Rasilimali Watu cha Tanzania (HRSTA).

Bi. Haika Machaku - Mkurugenzi wa Mikopo Midogo MidogoHaika Machaku- Meneja Mkuu wa Mikopo midogo. Ana uzoefu wa zaidi ya miaka 25 katika sekta ya benki, miaka 10 katika nafasi ya utawala. Ana uzoefu mkubwa katika biashara za taasisi za kifedha na huduma za mikopo midogo midogo.

Katika upande wa Taaluma; ana Shahada ya Uzamili ya Usimamizi wa Biashara (MBA) na Astashahada ya Shahada za Masomo ya Elimu ya Juu ya mikopo midogo midogo (PGDMF) zote akizipata kutoka Chuo Kikuu vha Dar es Salaam (UDSM). Ana Astashahada ya masuala ya kibenki kutoka Chuo cha Masomo ya Benki (TIOB).

Alishiriki mafunzo mbalimbali ndani na nje ya nchi; ikiwemo Taasisi ya Wakurugenzi Tanzania ((IODT), udhibiti majanga na mitazamo ya kiusimamizi, mafunzo ya kimataifa ya huduma za kibenki za simu za mkononi na wakala

yaliyofanyika katika Shule ya Masomo ya Fedha Kenya, safari za mafunzo ya biashara ndogo na za kati yaliyofanyika India na Bangladesh, mkutano wa kuangalia mustakabali wa uwezeshaji wa wafanyabiashara wadogo na kati wa wakurugenzi wakuu na viongozi waandamizi, ubadilishanaji uzoefu wa biashara ndogo na za kati uliofanyika Instabul, Uturuki, Semina ya mafunzo ya uwezeshaji wa mikopo kwa ajili ya nyumba iliyofanyika katika Chuo Kikuu cha Pennsylvania kilichopo Philadelphia, Marekani, uwezeshaji wa mikopo kwa ajili ya nyumba kwa kaya maskini iliyofanyika katika Chuo cha Huduma za Mikopo midogo midogo cha Boulder kilichopo Turin, Italia, mengine ni usimamizi wa mikopo, tathmini ya mikopo, mauzo na huduma kwa wateja.

Ni mtaalamu wa huduma za kibenki na alifanya tafiti mbalimbali za huduma za mikopo midogo midogo, mfumo wa kumbukumbu ya ofisi ya mkopo pamoja na usimamizi wa changamoto za mikopo. Utafiti wa kwanza ulikuwa unahusu athari za taasisi za huduma za mikopo midogo midogo katika kupunguza umaskini, sampuli ya Dar es salaam Community bank (DCB), 2007.

Utafiti wa pili ulihusu utendaji kazi wa ofisi ya taarifa za mikopo; sampuli ya Chama cha Mabenki Tanzania (TBA), 2010 na utafiti wa mwisho ulikuwa ni Athari za Usimamizi wa Changamoto za Mikopo katika Utendaji wa benki; sampuli ya Benki za kibiashara Tanzania, 2014.

Bi. Haika MachakuMkurugenzi wa Mikopo Midogo Midogo

Page 47: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 46 MKUTANO MKUU WA 18 MWAKA 27 JUNE 2020

09TAARIFA YA FEDHA KWA MWAKA ULIOISHA 2019

Page 48: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 47BENKI YA BIASHARA YA DCB

VIASHIRIO VIKUU VYA UTENDAJI WA KIFEDHAAlama kuu zifuatazo za kupima utendaji ni mahiri katika kupima ufanisi wa mikakati ya benki ya mafanikio katika biashara.

Alama ya upimaji Tafsiri na njia ya kukokotoa 2019 2018

Mapato ya hisa Mapato ya jumla/Jumla ya hisa 6% 5%

Mapato ya rasilimali Mapato ya jumla/Rasilimali zote 1% 1%

Uwiano wa gharama Gharama za uendeshaji /Mapato ya jumla 66% 66%

na kipato

Kiwango cha riba katika Jumla ya mapato ya 18% 22%

rasilimali riba /(dhamana za Serikali + mapato ya kukopesha

mabenki + uwekezaji katika dhamana nyingine +

mikopo)

Mapato yasiyo ya riba Mapato yasiyo riba /mapato ya jumla 18% 12%

mapato yote

Mapato kwa kila hisa Mapato ya jumla /idadi ya hisa zilizouzwa 22 15

Mikopo chechefu dhidi ya Mikopo chechefu /jumla ya mikopo yote 14% 19%

mikopo yote

Mapato kutoka rasilimali Mapato ya rasilimali/Rasilimali zote 75% 76%

Kukua kwa rasilimali (Jumla ya rasilimali katika mwaka /rasilimali 7% (14%)

mwaka uliopita) - 1*100%

Kukua kwa mikopo kwa (Mikopo iliyotolewa mwaka huu /Mikopo mwaka uliyopita) 10% (6%)

wateja – 1*100%

Kukua kwa amana (Amana kwa mwaka huu /Amana mwaka uliopita) - 1*100% 13% (17%)

Mtaji

Mtaji Daraja 1 Mali zenye hatari kubwa hii ni pamoja na taarifa 19% 9%

mbalimbali za kifedha/ Mtaji wa msingi

Mtaji daraja1 + Mali zenye hatari kubwa hii ni pamoja na taarifa 20% 10%

Daraja 2 mbalimbali za kifedha/Jumla ya Mtaji

Page 49: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 48 MKUTANO MKUU WA 18 MWAKA 27 JUNE 2020

TAARIFA YA BODI YA WAKURUGENZISheria ya makampuni Na 12 ya mwaka 2002 inawataka wakurugenzi kuandaa tarifa za fedha kila mwaka wa fedha ambazo zinaonyersha hali halisi na utendaji wa Benki mwishoni mwa mwaka husika ikionyesha faida au hasara. Pia inawataka wakurugenzi kuhakikisha kuwa benki na matawi yake zinatunza rekodi sahihi za hesabu ambazo zinaonyesha, kwa usahihi, hali ya kifedha ya benki. Pia, wana wajibu wa kuzilinda rasilimali za Benki na hivyo kuchukua hatua zinazofaa kuzuia na kubaini wizi, ubadhirifu makosa na ukiukwaji mwingine wa kanuni.

Wakurugenzi wanawajibika kwa taarifa za fedha, ambazo zimeandaliwa kwa kufuata sera za kihasibu zilizopo kwa kuzingatia uamuzi na makadirio unaoendana na Kanuni za Kimataifa za Ripoti za Fedha (IFRS) pamoja na matakwa ya Sheria ya Makampuni Na 12 na mwaka 2002.

Kwa maoni yao Wakurugenzi wanaamini kuwa taarifa za fedha zinatoa hali halisi ya kifedha ya Benki na faida kulingana na (IFRS). Wakurugenzi pia wanakubaliana na rekodi za hesabu zinazoandaliwa kwa mujibu wa kanuni husika na pia mifumo ya udhibiti wa ndani iliyotumika wakati wa kuandaa taarifa ya fedha na kuwa hakukuwa na udanganyifu wa aina yoyote kutokana na uhalifu au makosa.

Hivyo basi, hesabu hizi zinakubaliwa kwa mujibu wa fungu 4(e) na fungu 5.5 katika ripoti hii ya fedha.

Imesainiwa kwa niaba ya Bodi ya wakurugenzi na:

___________________________ ___________________________ Prof. Lucian A. Msambichaka Ms. Zawadia J. NanyaroMwenyekiti Mkurugenzi

___________________________

14 April 2020

Page 50: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 49BENKI YA BIASHARA YA DCB

TAARIFA YA MAPATO NA FAIDA

2019 2018

Fungu Tsh’000 Tsh’000

Mapato ya Riba 8 19,585,711 22,458,167

Gharama za Riba 9 (7,059,073) (6,698,526)

Mapato ya jumla ya Riba 12,526,638 15,759,641

Gharama za mikopo 23 1,193,094 (272,289)

Riba baada ya gharama za mikopo 13,719,732 15,487,352

Mapato ya ada 10 2,938,306 2,337,963

Mapato ya fedha za nje 11 82,950 45,687

Mapato mengine/Hasara) 12 1,191,380 757,544

Jumla ya Mapato 4,212,636 3,141,194

Jumla ya Mapato ya uendeshaji 17,932,368 18,628,546

Gharama za uendeshaji

Gharama za wafanyakazi 13 (8,560,168) (8,929,031)

Gharama za utawala 14 (4,814,210) (6,421,293)

Kushuka kwa thamani 15 (2,450,308) (1,656,708)

Jumla gharama za uendeshaji (15,824,686) (17,007,032)

Faida/(hasara) kabla ya kodi 2,107,682 1,621,514

Kodi ya mapato/mkopo 19 (69,493) (626,383)

Faida/(hasara) kwa mwaka 2,038,189 995,131

Mapato mengine, kodi - -

Jumla ya Mapato / (hasara) kwa mwaka 2,038,189 995,131

Mapato/(hasara) kwa hisa (halisi na jumuisho) 35 22 15

Page 51: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 50 MKUTANO MKUU WA 18 MWAKA 27 JUNE 2020

TAARIFA YA WARAKA MIZANI HADI DISEMBA 31 2019

2019 2018 2017

Fungu Tsh’000 Tsh’000 Tsh’000

RASILIMALI

Fedha taslimu na fedha zilizohifadhiwa

Benki Kuu 20 12,218,789 8,696,396 12,930,874

Mikopo kwa mabenki 21 6,340,933 10,666,970 15,421,506

Dhamana za serikali 22 13,869,506 12,273,497 24,107,513

Mikopo kwa wateja 23 84,325,296 76,351,754 81,231,010

Uwekezaji wa mtaji 24 1,804,200 1,804,200 1,120,000

Rasilimali nyingine 27 971,507 3,170,701 1,018,012

Mali za kudumu inayogusika 25 4,895,942 8,303,855 8,531,074

Mali za kudumu isiyogusika 26 4,124,507 4,742,452 5,262,960

Marejesho ya Kodi 28 1,958,826 1,631,681 2,075,888

Haki ya kutumia mali 38 6,870,925 - -

Kodi iliyoahirishwa 30 4,813,686 5,112,854 3,184,201

Jumla ya Rasilimali 142,194,117 132,754,360 154,883,038

Madeni

Kwa benki nyingine 29.a 11,624,267 19,271,481 28,803,316

Amana za wateja 29.b 85,188,856 75,155,541 90,402,375

Mikopo 31 10,253,881 8,590,061 7,500,000

Madeni mengine 32 2,541,153 9,461,670 3,971,606

Dhamana ya ukodishaji 38 3,737,989 - -

Jumla ya dhima 113,346,146 112,478,753 130,677,297

Mtaji

Mtaji wa hisa 33 22,741,149 16,956,974 16,956,974

Gawio la hisa 34(a) 4,104,046 4,104,046 4,104,046

Kuendeleza ushirikiano wa mtaji 34(b) 750,000 - -

Jumla ya hasara (580,333) (1,968,715) (4,502,834)

Akiba kukabili hatari 1,354,169 - 6,961,742

Akiba kuu - 704,362 685,813

Akiba ya tathimini 478,940 478,940 -

Jumla Mtaji 28,847,971 20,275,607 24,205,741

Jumla ya madeni na mtaji 142,194,117 132,754,360 154,883,038

Taarifa ya fedha kati ya ukurasa wa 21 na 104 zilithibitishwa kwa ajili ya kutangazwa na Bodi ya wakurugenzi mnamo 2019 na zilisainiwa kwa niaba yao na:

___________________________ ________________________Prof. Lucian A. Msambichaka Ms. Zawadia J. NanyaroMwenyekiti Mkurugenzi

Page 52: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 51BENKI YA BIASHARA YA DCB

TAARIFA YA MABADILIKO YA MTAJI

Mta

ji M

apat

o

Kuen

dele

za

Jum

la y

a **

Aki

ba

* Aki

ba

Aki

ba

Jum

la

wa

hisa

ya

his

a us

hiri

kian

o

hasa

ra

ya

kuu

ya

ya m

taji

wa

mta

ji

taha

dhar

i

tath

min

i

Tsh’

000

Tsh’

000

Tsh’

000

Tsh’

000

Tsh’

000

Tsh

‘000

’ Ts

h’00

0 Ts

h’00

0

Dis

emba

31,

201

9

Janu

ari 0

1, 2

019

16,9

56,9

74

4,10

4,04

6 -

(1,6

07,3

66)

- 70

4,36

2 47

8,94

0 20

,636

,956

Mab

adili

ko k

ipin

di k

ilich

opita

-

- -

(361

,349

) -

- -

(361

,349

)

16,9

56,9

74

4,10

4,04

6 -

(1,9

68,7

15)

- 70

4,36

2 47

8,94

0 20

,275

,607

Map

ato

men

gine

yo

Faid

a kw

a m

wak

a -

- -

2,03

8,18

9 -

- -

2,03

8,18

9

Jum

la y

a m

apat

o -

- -

2,03

8,18

9 -

- -

2,03

8,18

9

Ham

isho

kut

oka

mfu

ko m

kuu*

-

- -

704,

362

- (7

04,3

62)

- -

Ham

isho

kw

a m

fuko

wa

taha

dhar

i**

- -

- (1

,354

,169

) 1,

354,

169

- -

-

Mia

mal

a na

wan

ahis

a

Mta

ji ul

iong

ezw

a 5,

784,

175

- -

- -

- -

5,78

4,17

5

Kuen

dele

za u

shiri

kian

o w

a m

taji

- -

750,

000

- -

- -

750,

000

Dec

embe

r 31,

201

9 22

,741

,149

4,

104,

046

750,

000

(580

,333

) 1,

354,

169

- 47

8,94

0 28

,847

,971

* M

fuko

mku

u un

ahus

isha

asi

limia

moj

a (1

%) y

a m

ikop

o am

bayo

hai

jaw

ekw

a kw

enye

mad

araj

a (v

itabu

vya

sas

a) k

ulin

gana

na

mat

akw

a ya

Kan

uni z

a Be

nki K

uu, 2

014.

Aki

ba k

uu

inat

enge

nezw

a kw

a ku

ham

isha

aki

ba k

utok

a kw

enye

aki

ba n

dogo

ndo

go.

**M

fuko

wa

taha

dhar

i una

husi

sha

kias

i kili

chot

engw

a kw

a aj

ili y

a ku

ghar

amia

has

ara

itoka

nayo

na

mik

opo

ili k

uend

ana

na m

iong

ozo

ya B

enki

Kuu

. Mfu

ko h

uu s

i kw

a aj

ili y

a m

gaw

o

wow

ote.

Page 53: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 52 MKUTANO MKUU WA 18 MWAKA 27 JUNE 2020

Mta

ji w

a hi

sa

Map

ato

ya h

isa

Jum

la y

a **

Aki

ba y

a * A

kiba

kuu

A

kiba

ya

Jum

la

hasa

ra

taha

dhar

i

tath

imin

i

Tsh’

000

Tsh’

000

Tsh’

000

Tsh’

000

Tsh

‘000

’ Ts

h’00

0 Ts

h’00

0

Dis

emba

31,

201

8 16

,956

,974

4,

104,

046

(4,1

41,4

85)

6,96

1,74

2 68

5,81

3 -

24,5

67,0

90

Mab

adili

ko y

a m

atum

izi y

a aa

li ya

IFRS

9, j

umla

ya

kodi

-

- (5

,404

,205

) -

- 47

8,94

0 (4

,925

,265

)

iliy

oahi

rishw

a (F

ungu

2.1

(c))

Baki

had

i Jan

uari

1 2

018

baad

a ya

mar

ekeb

isho

16

,956

,974

4,

104,

046

(9,5

45,6

90)

6,96

1,74

2 68

5,81

3 47

8,94

0 19

,641

,825

ya IF

RS 9

Faid

a kw

a m

wak

a -

- 99

5,13

1 -

- -

995,

131

Ziliz

oham

ishw

a m

fuko

mku

u -

- (1

8,54

9)

- 18

,549

-

-

Ziliz

oham

ishw

a ku

toka

mfu

ko w

a ta

hadh

ari

- -

6,96

1,74

2 (6

,961

,742

) -

- -

Dis

emba

31,

201

8 16

,956

,974

4,

104,

046

(1,6

07,3

66)

- 70

4,36

2 47

8,94

0 20

,636

,956

Janu

ari 1

, 201

7 16

,956

,974

4,

104,

046

4,08

0,58

3 4,

675,

76

798,

895

- 30

,616

,259

Has

ara

kwa

mw

aka

- -

(6,0

49,1

69)

- -

- (6

,049

,169

)

Ham

isho

kut

oka

mfu

ko m

kuu

* -

- 11

3,08

2 -

(113

,082

) -

-

Ham

isho

kw

a m

fuko

wa

taha

dhar

i **

- -

(2,2

85,9

81)

2,28

5,98

1 -

- -

Dis

emba

31,

201

7 16

,956

,974

4,

104,

046

(4,1

41,4

85)

6,96

1,74

2 68

5,81

3 -

24,5

67,0

90

* M

fuko

mku

u un

ahus

isha

asi

limia

moj

a (1

%) y

a m

ikop

o am

bayo

hai

jaw

ekw

a kw

enye

mad

araj

a (v

itabu

vya

sas

a) k

ulin

gana

na

mat

akw

a ya

Kan

uni z

a Be

nki K

uu, 2

014.

Aki

ba k

uu

inat

enge

nezw

a kw

a ku

ham

isha

aki

ba k

utok

a kw

enye

aki

ba n

dogo

ndo

go.

**M

fuko

wa

taha

dhar

i una

husi

sha

kias

i kili

chot

engw

a kw

a aj

ili y

a ku

ghar

amia

has

ara

itoka

nayo

na

mik

opo

ili k

uend

ana

na m

iong

ozo

ya B

enki

Kuu

. Mfu

ko h

uu s

i kw

a aj

ili y

a m

gaw

o

wow

ote.

Page 54: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 53BENKI YA BIASHARA YA DCB

TAARIFA YA MZUNGUKO WA FEDHA

Fungu 2019 2018

Mzunguko wa fedha Tsh’000 Tsh’000

Faida/(Hasara) kabla ya kodi ya mapato 2,107,682 1,621,514

Imerekebishwa kwa:

Kushuka kwa thamani 15 2,450,308 1,656,708

Gharama ya dhamana ya ukodishaji 38 310,819 -

Mauzo ya rasilimali na vifaa 25 - 41,895

Gharama za mikopo 857,759 923,117

Gawio (18,960) (19,315)

Mzunguko wa fedhakutoka/(kutumika kwa) 5,707,608 4,223,919

gharama za uendeshaji kabla ya mabadiliko

na rasilimali na madeni

Mabadiliko ya rasilimali na madeni: Mabadiliko ya akiba ya msingi 20 559,614 1,860,436

Mabadiliko ya mikopo kwa wayeja (7,973,542) (2,841,036)

Mabadiliko ya rasilimali nyingine 2,081,798 (2,152,690)

Mabadiliko ya amana za mabenki (7,647,214) (9,531,835)

Mabadiliko ya amana za wateja 10,033,315 (15,246,834)

Mabadiliko ya madeni mengine (6,920,517) 5,490,064

Mabadiliko ya dhamana za serikali zinazoiva (1,596,009) (4,128,845)

baada ya miezi mitatu

Fedha tasilimu (zilizotumika)/gharama za (5,852,417) (22,326,821)

uendeshaji Kodi ya mapato iliyolipwa (97,470) -

Jumla ya fedha (zilizotumika)/zilizopatikana (5,852,417) (22,326,821)

katika uendeshaji Mzunguko wa fedha kutokana na uwekezaji

Manunuzi ya vifaa 24 (876,747) (834,011)

Manunuzi ya rasilimali 25 - (116,866)

Gawio lililopatikana 18,960 19,315

Mapato ya uuzaji wa vifaa - -

Fedha zilizotumika kwenue uwekezaji (857,787) (931,562)

Mzungoko wa fedha kutokana na ongezeko la mtaji Mapato ya Mikopo 3,000,000 2,000,000

Malipo ya mikopo (1,336,180) (1,000,000)

Malipo ya riba (857,759) (833,056)

Jumla ya fedha zilizoingia /(kutumika) 6,466,174 166,944

kugharamia uendeshaji

(Pungufu)/Ziada ya fedha (244,030) (23,091,439)

Fedha na thamani ya fedha mwanzo mwa mwaka 12,158,522 35,249,961

Fedha na thamani ya fedha mwanzo mwa mwaka 35 11,914,492 12,158,522

Page 55: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 54 MKUTANO MKUU WA 18 MWAKA 27 JUNE 2020

10KURIDHIA NA KUPITISHA GAWIO KWA MWAKA ULIOISHIA 2019

Page 56: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 55BENKI YA BIASHARA YA DCB

GAWIO KWA MWAKA 2019Benki imekuwa ikitoa gawio kila mwaka kuanzia mwaka 2006 hadi kufikia mwaka 2015. Mwaka 2016 benki ilipata hasara ya Tsh 3.0 bilioni na mwaka 2017 hasara ya Tsh 6.0 bilioni hivyo haikuweza kutoa gawio. Mnamo mwaka 2018 benki ilipata faida ya Tsh 995 milioni lakini wanahisa waliazimia kutumia faida hiyo kuimarisha mtaji, hivyo kulikuwa hakuna gawio.

Kwa mara nyingine tena benki imeweza kupata faida ya Tsh 2.038 bilioni lakini kulingana na hali ya kiuchumi nchini, athari za ugonjwa wa homa ya mapafu covid-19 Bodi ya wakurugenzi inapendekeza kutoa gawio la Tsh 500 milioni ili kuendelea kuimarisha mtaji wa Benki na kuiwezesha benki kuendelea kufanya kazi kwa ufanisi na kupata faida.

Kwa idhini ya Benki Kuu na azimio la Wanahisa, Bodi ya Wakurugenzi inapendekeza gawio la Tsh. 5.4 lilipwe kwa kila hisa ikiwa ni jumla ya Tsh. 500,000,000 iliyotokana na faida ya Tsh. 2.038 bilioni baada ya kodi kwa mwaka ulioishia tarehe 31 Disemba 2019.

Mkutano unaombwa kupokea taarifa hii, na kupitisha azimio la kukubali kulipa gawio la Tsh. 5.4 kwa kila hisa kwa mwaka ulioishia tarehe 31 Disemba 2019.

Page 57: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 56 MKUTANO MKUU WA 18 MWAKA 27 JUNE 2020

11KUPOKEA NA KURIDHIA PENDEKEZO LA MALIPO YA ADA KWA WAJUMBE WA BODI

Page 58: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 57BENKI YA BIASHARA YA DCB

MALIPO YA ADA KWA WAKURUGENZI WA BODI.Kwa kipindi cha miaka sita mfululizo Wakurugenzi wa Bodi ya DCB benki wamekuwa wanalipwa kiasi cha Tsh. 292,000 baada ya kodi kila mwezi ambayo hufanya jumla ya Tsh. 3,500,000 baada ya kodi kwa mwaka. Kiasi hiki kilipitishwa wakati wa Mkutano Mkuu wa 12 wa Mwaka uliofanyika Mei 2014.

Benki imefanya tafiti ya malipo ya Wajumbe wa Bodi wa benki katika mabenki mbali mbali zilizoorodheshwa kwenye soko la hisa na ambazo hazijaorodheshwa kwenye soko la hisa. Tafiti ililenga benki zenye ukubwa wa kati. Iligundulika kwamba benki ya DCB ndio benki yenye malipo ya chini zaidi ya benki nyingine. Kwa kuzingatia mabadiliko ya kiuchumi, ukubwa wa kazi katika kuhakikisha Bodi inafanya kazi zake kiufanisi zaidi ikiwa na lengo la kuwapatia wanahisa faida ya uwekezaji wao na ili kuhakikisha kwamba benki inaendelea kuwa katika ushindani wa sekta ya benki na pia katika kutimiza lengo la kuhifadhi Wajumbe wa Bodi wazuri wenye weledi na uwezo wa kusimamia shughuli za benki. Bodi inapendekeza kufanya mabadiliko katika malipo ya ada ya Wajumbe wa Bodi utoka Tsh 292,000 hadi Tsh 500, 000 baada ya kodi kwa mwezi, yaani Tsh 6, 000,000 kwa mwaka baada ya kodi. Hata baada ya pendekezo hili, bado Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya DCB wataendelea kuwa na malipo ya chini ukulinganisha na benki nyingine hapa Tanzania.

Page 59: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 58 MKUTANO MKUU WA 18 MWAKA 27 JUNE 2020

12KUSTAAFU NA KUTHIBITISHA WAJUMBE WA BODI

Page 60: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 59BENKI YA BIASHARA YA DCB

Kuongeza muda wa Mjumbe wa BodiBodi ya Wakurugenzi inapendekeza kuongeza muda wa Mkurugenzi Zawadia J. Nanyaro. Zawadia ni Mkurugenzi pekee aliye na ujuzi katika fani ya uhasibu na ukaguzi wa hesabu. Ni Mhasibu Aliyethibitishwa – Utendaji wa Umma (CPA-PP), Mkaguzi wa Mifumo ya Taarifa Aliyethibitishwa (CISA), Mkurugenzi aliyeidhinishwa na Taasisi ya Wakurugenzi Tanzania (IoDT) na mwenyekiti wa sasa wa Kamati ya Bodi Ukaguzi, Usimamizi wa Viashiria Hatarishi na Udhibiti wa Bodi ya DCB.

Kulingana na Katiba ya benki, mjumbe wa Bodi anaweza kushika wadhifa wa ujumbe wa Bodi kwa muda wa miaka mitatu na baada ya hapo anaweza kuongezwa kwa kipindi kingine cha miaka mitatu na Kamati ya Uteuzi wa Bodi na Mkutano Mkuu wa Mwaka wa wanahisa. Hivyo basi, Kamati ya Uteuzi wa Bodi inapendekeza muda wa Mkurugenzi Zawadia Nanyaro kuongezwa kwa kipindi kingine cha miaka mitatu kwa sababu zifuatazo;• Zawadia ni mahiri na ana uzoefu wa kutosha katika maswala ya ukaguzi, udhibiti, usimamizi wa

viashiria hatarishi, mapitio ya mikakati na utawala bora.• Kwa kipindi cha miaka mitatu ameweza kutumikia katika Bodi ya DCB akiwa kama mwenyekiti wa

kamati ya Bodi ya ukaguzi wa mahesabu, viashiria hatarishi na utekelezaji wa sheria na sera kwa uaminifu na ameweza kuelekeza menejimenti kwa ufanisi mkubwa

• Yeye ni mmoja kati ya Wakurugenzi wenye muda mrefu zaidi katika Bodi hivyo kuwa na uwezo wa kudumisha na kuendeleza mipango na mikakati iliyowekwa na benki.

Wanahisa wanaombwa kuzingatia kwamba Zawadia Nanyaro ndiye Mkurugenzi pekee wa Bodi aliye na taaluma ya hesabu na uzoefu katika masuala ya ukaguzi. Zaidi ya hayo, kamati ya ukaguzi ni kamati muhimu ya Bodi na uwepo wake ni takwa la kisheria. Hivyo basi, wanahisa wanaombwa kuidhinisha kuongeza, muda wa Zawadia J. Nanyaro kwa kipindi cha miaka tatu.

Kustaafu Bodi inapenda kutoa taarifa kwamba muda wa Prof. Lucian Msambichaka katika bodi ya DCB umefikia ukomo. Prof Lucian Msambichaka ambaye ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi muda wake ulifikia ukomo tarehe 30 Mei 2020. Prof Msambichaka amekuwa mjumbe wa Bodi tangu kuundwa benki mnamo mwaka 2002 hadi sasa. Kwamjibu vifungu vya Katiba ya DCB muda wake ulimalizika mnamo mwaka 2017. Benki kupitia wanahisa wake iliomba Benki Kuu ya Tanzania kuongeza muda wake. Benki Kuu ya Tanzania ilimpa nyongeza ya muda wa kutumika kama mjumbe wa Bodi kwa miaka mitatu. Bodi ya Wakurugenzi inapenda kutoa shukurani za dhati kwa Profesa Msambichaka kwa kujitolea kwake kwa benki, michango yake muhimu katika nyanja mbali mbali za mikakati na ukuaji wa benki.

KujiuzuluBodi inawataarifu kwamba mnamo 10 Oktoba 2019 benki ilipokea barua ya kujiuzulu kutoka kwa Bwana Bernard Konga aliyekuwa mjumbe wa Bodi toka taasisi akiwakilisha NHIF. Bwana Konga alijiuzulu katika nafasi yake ya Uongozi katika benki ya DCB kutokana na ratiba zake nyingi kama Mkurugenzi Mkuu wa NHIF. Kwa kuwa muda wa ujumbe wa Bodi ulikuwa haujafikia ukomo na kwamba alikuwa akiwakilisha kundi la wanahisa wa taasisi, ilikuwa jukumu la taasisi husika kuteua mjumbe mbadala. Hivyobasi, NHIF ilimteua Bwana Alexander Meleck Sanga ambaye ni Mkurugenzi wa TEHAMA huko NHIF kuchukua nafasi ya Bwana Konga. Benki iliwasilisha vyeti vya Mr. Sanga Benki Kuu ya Tanzania kwa ajili ya kumuidhinishwa. Benki Kuu ya Tanzania kupitia barua yake yenye kumbukumbu namba FA.56 / 433/41/34 ya tarehe 17 Aprili 2020 iliidhinisha kuteuliwa kwake kama mjumbe wa Bodi ya Benki ya DCB anayewakilisha nguzo ya taasisi NHIF.

Page 61: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 60 MKUTANO MKUU WA 18 MWAKA 27 JUNE 2020

13KUTEUA MKAGUZI HURU WA MAHESABU KWA MWAKA WA FEDHA 2020.

Page 62: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 61BENKI YA BIASHARA YA DCB

UTEUZI MKAGUZI HURU KWA MWAKA 2020Mkaguzi Huru aliyeteuliwa katika Mkutano Mkuu wa Kumi na Saba – PricewaterhouseCoopers ameonyesha nia ya kuendelea na kazi hiyo kwa mwaka huu 2020.

Kwa hiyo, Bodi ya Wakurugenzi inapendekeza kuwa Mkutano huu uridhie na kumteua PricewaterhouseCoopers kuwa Mkaguzi Huru wa benki tena kwa kipindi cha mwaka 2020.

Page 63: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 62 MKUTANO MKUU WA 18 MWAKA 27 JUNE 2020

14KUPANGA TAREHE YA MKUTANO WA 19

Page 64: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 63BENKI YA BIASHARA YA DCB

KUMTEUA MKAGUZI WA HURU WA HESABU KWA MWAKA 2018Taarifa ya wakurugenzi iliwakilisha kwa wanahisa pendekezo la kumteua Price Waters Coopers kama mkaguzi huru wa hesabu wa mwaka 2018.

Mkutano ulipokea pendekezo hilonna baada ya majadiliano, wanahisa waliithinsha uteuzi wa Price Waters Coopers kuwa mkaguzi wa huru wa hesabu kwa mwaka 2018.

Bodi inapendekeza mkutano wa mwaka wa 19 ufanyike Jumamosi tarehe 5 Juni 2020 Jijini Dar es Salaam.

Page 65: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 64 MKUTANO MKUU WA 18 MWAKA 27 JUNE 2020

15KUFUNGA MKUTANO

Page 66: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 65BENKI YA BIASHARA YA DCB

Page 67: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 66 MKUTANO MKUU WA 18 MWAKA 27 JUNE 2020

16VIAMBATANISHO(A) ORODHA YA KESI (B) MAHUDHURIO

Page 68: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 67BENKI YA BIASHARA YA DCB

16AORODHA YA KESI

Page 69: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 68 MKUTANO MKUU WA 18 MWAKA 27 JUNE 2020

1. Kesi na kiasi kinachodaiwa/kudai katika mahakama mbalimbali

Hadi tarehe 31 Disemba 2019, kulikuwa na jumla ya kesi 40. Kati ya hizo kesi 40, 15 zimekamilika na 25 zinaendelea kusikilizwa kama zinavyoonyeshwa katika jedwali hapa chini.

a. Kesi zilizokamilika

S/N Jina Chanzo Maendeleo 1. Madai ya Ardhi Na.288 ya 2018 Kuzuia uuzaji wa nyumba Shauri hili liliondolewa katika orodha ya Mohamed Shomari Pongwe iliyowekwa kama dhamana. mahakama baada ya mleta maombi dhidi ya DCB & Bahari A/Mart. kulipa mkopo wote 2 Madai ya Ardhi Na. 138 ya 2018 Kutengua uuzwaji wa dhamana Shauri hili lilifutwa na Baraza la Nyumba Philip Ernest Temu dhidi ya DCB & uliofanyika kwa mnada. na Ardhi tarehe 06/02/2019 Msolopa Inv.Co Ltd 3. Madai ya Ardhi Na.158 ya2018 Madai ya kuvunja mkataba Shauri hili liliondolewa kwenye orodha Athumani Mohamed Nyamgunda ya kesi katika Baraza la Nyumba dhidi ya Rajabu Hassan na Ardhi na Mdai tarehe 21/01/2019 Nyamgunda & DCB 4 Rufaa Na.81 ya 2018 Rufaa kupinga uamuzi ambao Rufaa iliamuliwa tarehe 15/02/2019 DCB dhidi ya Ittise Peter Laurent ulimpa ushindi mjibu rufaa ambapo Mahakama Kuu ilikubaliana na rufaa ya Benki 5 Maombi ya Ardhi Na.58 ya 2016 Kuzuia uuzaji wa nyumba Shauri lilisuluhishwa tarehe 21/05/2019 Mtumwa & Eric Co. Ltd dhidi ya iliyowekwa kama dhamana. DCB & Yono Auction Mart 6 Maombi ya Biashara Na.187 ya Kuzuia uuzaji wa nyumba Yalitolewa uamuzi tarehe 24/04/2019 2018 iliyowekwa kama dhamana. ambapo Mahakama Kuu iliruhusu Alphonce Nicas Buhatwa dhidi kuuzwa kwa dhamana ya DCB 7 Maombi ya Ardhi Na. 95 ya 2019 Kuzuia uuzaji wa nyumba Yaliondolewa katika Baraza la Nyumba Maricki Kassim Gongoro dhidi ya iliyowekwa kama dhamana. na Ardhi na Mdai tarehe 25/06/2019 DCB & Steam Generation baada ya kulipa mkopo wote Recoveries Ltd 8 Maombi ya Ardhi Na. 236 ya 2019 Kuzuia uuzaji wa nyumba Yalifutwa na Baraza la Nyumba na Ardhi Shida Farahani mzee dhidi ya iliyowekwa kama dhamana. tarehe 08/02/2019 Ramadhani Bakari Lwambo, DCB & Amana Bank 9 Madai Na. 94 ya 2019 Kuzuia uuzaji wa nyumba Yaliondolewa Mahakamani na Mdai tarehe Salha Ibrahim Issa t/a Salha iliyowekwa kama dhamana 17/10/2019 baada ya Mdhamini Fashion & General Supplies dhidi kulipa mkopo wote ya DCB & Shia Debt Management 10 Maombi ya Ardhi Na. 365 ya 2019 Kuzuia uuzaji wa nyumba Yalifutwa na Baraza la Nyumba na Salma Swalehe Simba dhidi ya iliyowekwa kama dhamana. Ardhi tarehe 06/11/2019 Ramadhani Bakari Lwambo, DCB & Amana Bank 11 Madai Na. 108 ya 2019 Kuzuia uuzaji wa nyumba Yaliondolewa Mahakamani na mdai Abdallah Abdul Simba dhidi iliyowekwa kama dhamana. tarehe 22/11/2019 ya DCB & Shia Debt Management

Page 70: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 69BENKI YA BIASHARA YA DCB

12 Maombi ya Ardhi Na. 71 ya 2019 Kuzuia uuzaji wa nyumba Shauri lilisuluhishwa tarehe Majuto Msigwa t/a Netto Traders iliyowekwa kama dhamana. 22/07/2019 dhidi ya DCB & Harvest Tanzania Ltd 13 Maombi ya Ardhi Na. 20 ya 2017 Kuzuia uuzaji wa nyumba Shauri lilisuluhishwa tarehe 22/07/2019 Rehema Shilolo dhidi ya DCB & iliyowekwa kama dhamana. Msolopa Investment Co. Ltd 14 Maombi Na. 621/2018 Maombi ya marejeo dhidi ya Shauri lilisuluhishwa tarehe 28/08/2019 Jovin Marco Ndungi dhidi ya DCB uamuzi wa CMA 15 Maombi ya Ardhi Na. 127 ya 2010 Maombi kutengua uuzwaji wa Uamuzi ulitolewa dhidi ya benki Peter Raphael Wambura dhidi dhamana tarehe 16/08/2019 ya DCB

b. Kesi zinazoendelea

S/N Jina Chanzo Maendeleo 1 Madai ya Ardhi Na. 175 ya 2016 Kuzuia uuzaji wa nyumba Inaendelea katika Mahakama Kuu Kasanga Juma dhidi ya DCB iliyowekwa kama dhamana kitengo cha Ardhi Commercial Bank Plc , Maimuna Mpanda & Yono Auction Mart 2 Madai Na. 22 ya 2016 Madai ya fidia Inaendelea katika Mahakama Kuu Mikidadi Said Ulaya dhidi ya Zainab Ahmed Mlindwa & DCB Plc 3 Maombi ya Ardhi Na.318 ya 2015 Kuzuia uuzaji wa nyumba Inaendelea katika Baraza la Nyumba Mwita Kiginga Chacha dhidi ya iliyowekwa kama dhamana na Ardhi Ilala Mikopo Finance Ltd, Mbogo Auction Mart, Amina Nyahori Yusufu, Amrose Chacha Nicholous, DCB Commercial Bank Plc & Majembe Auction Mart 4 Maombi ya Ardhi Na. 311 ya 2015 Kuzuia uuzaji wa nyumba Inaendelea katika Baraza la Nyumba Jaffari Hamis Mussa a.k.a Hamis iliyowekwa kama dhamana na Ardhi Temeke Magodoro dhidi ya DCB 5 Maombi ya Ardhi Na. 38 ya 2016 Kuzuia uuzaji wa nyumba Inaendelea katika Baraza la Nyumba Shohani A. Shoo dhidi ya DCB & iliyowekwa kama dhamana na Ardhi Ilala Yono Auction Mart 6 Maombi ya Ardhi Na. 287 ya 2018 Kuzuia uuzaji wa nyumba Inaendelea katika Baraza la Nyumba Alliance Academy Ltd dhidi ya iliyowekwa kama dhamana na Ardhi Kinondoni DCB & Harvest Tanzania Ltd 7 Maombi ya Ardhi Na. 109 ya 2017 Kuzuia uuzaji wa nyumba Inaendelea katika Mahakama Kuu Max Ayoub Mbonye dhidi ya DCB iliyowekwa kama dhamana & Yono Auction Mart 8 Maombi ya Ardhi Na. 22 ya 2017 Maombi kutambua kuwa Inaendelea katika Baraza la Nyumba Kagwa Peter Mbassa dhidi ya nyumba yenye mgogoro ni na Ardhi Kinondoni DCB & Harvest Tanzania Ltd mali ya marehemu

Page 71: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 70 MKUTANO MKUU WA 18 MWAKA 27 JUNE 2020

9 Maombi ya Ardhi Na. 236 ya 2019 Maombi ya kurejesha shauri Inaendelea katika Baraza la Nyumba Shida Farahani mzee dhidi ya lililofutwa na kuzuia uuzaji na Ardhi Temeke Ramadhani Bakari Lwambo, wa nyumba iliyowekwa kama DCB & Amana Bank dhamana 10 Maombi ya Ardhi Na. 105 ya 2018 Madai ya kulipwa fidia Inaendelea katika Baraza la Solomoni Solomoni dhidi ya DCB, Nyumba na Ardhi Temeke Majembe Auction Mart & Shomari Zuberi Mzee 11 Maombi ya Ardhi Na. 104 ya 2017 Kuzuia uuzaji wa nyumba Inaendelea katika Baraza la Nyumba Bazil Gasper Mwanga dhidi ya zilizowekwa kama dhamana na Ardhi Ilala DCB, Mbogo Auction Mart & Paulina Augustino Mwanga 12 Madai ya Ardhi Na.101/2019 Kutengua uuzwaji wa Inaendelea Mahakama Kuu Nassoro Hanziruni Shaha dhamana uliofanyika kitengo cha Ardhi & Joha Kilabuka kwa mnada 13 Maombi ya Ardhi Na. 210 ya 2019 Kuzuia uuzaji wa nyumba Inaendelea katika Baraza la Nyumba Ramadhani Mfaume Mselem dhidi iliyowekwa kama dhamana na Ardhi Ilala ya DCB & Shia Debt Management 14 Madai Na. 112 ya 2019 Madai ya kulipwa fidia Inaendelea katika Mahakama ya Theonald Faustin Ndekuonia Wilaya Ilala dhidi ya DCB 15 Maombi ya Ardhi Na. 277 Kutengua uuzwaji wa Inaendelea katika Baraza la Nyumba ya 2019 dhamana uliofanyika na Ardhi Temeke Abdallah Athuman Afai kwa mnada dhidi ya DCB, Mussa Austino, Violeth Mosha, Asha Nassoro & Shia Debt Management 16 Maombi ya Ardhi Na. 295 ya 2019 Kuzuia uuzaji wa nyumba Inaendelea katika Baraza la Nyumba Philimoni Eliesikia Mavoo dhidi iliyowekwa kama dhamana na Ardhi Ilala ya DCB & Shia Debt Management 17 Maombi ya Ardhi Na. 506 ya 2019 Kuzuia uuzaji wa nyumba Inaendelea katika Baraza la NyumbA Grace Elias Kidogo dhidi ya DCB iliyowekwa kama dhamana na Ardhi Kinondoni & Nutmeg Auctioneers 18 Maombi ya Ardhi Na. 277 ya 2019 Kuzuia uuzaji wa nyumba Inaendelea katika Baraza la Nyumba Mohamed Nassoro Ramadhani iliyowekwa kama dhamana na Ardhi Temeke dhidi ya DCB, Athuman Diwan Hassan & Shia Debt Management 19 Maombi ya Ardhi Na. 304 ya 2019 Kuzuia uuzaji wa nyumba Inaendelea katika Baraza la Nyumba Janeth Baitwa dhidi ya DCB & Shia iliyowekwa kama dhamana na Ardhi Ilala Debt Management 20 Maombi Na. 402/2017 Kuzuia uuzaji wa nyumba Maombi kupinga uamuzi DCB dhidi ya Holiness Mongi iliyowekwa kama dhamana Inaendelea Mahakama Kuu Kitengo wa CMA cha Kazi 21 Rufaa Na. 163/2017 Rufaa kupinga uamuzi wa Inaendelea katika Mahakama ya Mgombaeka Investment ushindi dhidi ya benki Rufani Co. Ltd dhidi ya DCB na wenzake wa Tano 22 Maombi ya Ardhi Na. 42 Kuzuia uuzaji wa nyumba Inaendelea katika Baraza la Nyumba ya 2019 iliyowekwa kama dhamana na Ardhi Ilala Aqwilina Silayo t/a Maliasili Pharmacy dhidi ya DCB & Harvest Tanzania Ltd

Page 72: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 71BENKI YA BIASHARA YA DCB

23 Madai ya Ardhi Na.15 ya 2017 Kuzuia uuzaji wa nyumba Inaendelea katika Mahakama Kuu Blankets & Textile Manufactures iliyowekwa kama dhamana (1998) Ltd dhidi ya DCB 24 CMA/DSM/KIN/440/19 Maombi ya kurejeshwa kazini Inaendelea katika Tume ya Usuluhishi Balinda Chaula dhidi ya DCB mfanyakazi aliyeachishwa na Uamuzi Dar es Salaam 25 CMA/DSM/KIN/441/19 Maombi ya kurejeshwa Inaendelea katika Tume ya Usuluhishi Susan Kabogo dhidi ya DCB kazini mfanyakazi na Uamuzi Dar es Salaam aliyeachishwa

Page 73: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 72 MKUTANO MKUU WA 18 MWAKA 27 JUNE 2020

16BORODHA YA MAHUDHURIO YA MKUTANO MKUU WA 17

Page 74: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 73BENKI YA BIASHARA YA DCB

1. ABBAS SALUM MWAPELEMBWA2. ABDALLAH HASSAN NJOVU3. ABDALLAH IBRAHIM ALMAS4. ABDALLAH ISSA FUMO5. ABDULRAHMAN BAKARI BAKARI6. ABEL ISMAIL NYAMWELU7. ABUBAKARI HABIBU MANGO8. ADAM ANDREA MWANGWEMBE9. ADAM LAWI NYAMBOHA10. ADELINA BARNABA KIDULILE11. ADELINA YONAH KULANGA12. ADRIAN JOAKIM MAKELELE13. AGGREY SHIFWAYA SAMSON14. AGNESS JULIUS SIMUMBA15. AGWEYO SALVIN ROBERT16. AHMED SAID MWIRU17. AISHA ALLY MAGESA18. AJALLAH MUSTAFA SONGAMBELE19. AKILA JOSEPH SANGA20. AKILI SAID CHANZI21. ALATUKOLELA LEVI LWENDO22. ALBINUS BALTHASAR NTWALE23. ALEXANDER ELIOT MZIKILA24. ALFRED RUGEIYAMU KINYONDO25. ALI SINDO MTULA26. ALIAMINI RAMADHAN MGALLAH27. ALLY ATHUMAN HATIBU28. ALLY DIHONI ALLY29. ALLY OMARY MBWAMBO30. ALPHONCE DAVID MWERI31. AMANI MASATU MWALIKI32. AMBANGILE SAMSON MWAKILEMBE33. ANA CHEYO MAFUNDA34. ANASI MUSSA35. ANDREA GREYSON ANDREA36. ANDREW JOHN NKOMA37. ANGELINA METUSELA MASANJA38. ANGELO KAIZA KYEBYALA39. ANICET KALINJUNA LUGAIMUKAMU40. ANISIA NDALAHWA PETRO41. ANITHA AMIRI YEKENYA42. ANITHA MJENGA MINJA43. ANNA JUMA KIDEKWA44. ANNA JUSTIN MBELE45. ANNA PHILLO KOMBA46. ANNA SOLOMON KASYUPA47. AQUILINA EUSTACE NGEMELA48. ASHA IDDY MKESSA49. ASHA KONDO CHUMU50. ASHA MIHAYO MATINDE51. ASHURA KASSIM MBOLEMBOLE52. ASNATH MATHEW MAFOLE

53. ATHANAS BWAKILA54. ATHUMANI ALLY KAWAMBWA55. ATHUMANI HASSANI MDOE56. AURELIA SUPU KAPINGA57. AYOUB JOHN KILASI58. BAKARI HEMED MDOE59. BAKARI MOHAMED CHATA60. BALA HAMZAT OSMAN61. BARTHOLOMEO KUNG’ALO62. BEATRICE ANDREW KASILATI63. BEATRICE NDEONASIA MOSHA64. BEATRICE OMARY MUYA65. BEATRICE PATRIC MOGELA66. BEATRICE ZACHARIA KILELE67. BEDA MARTIN KIMARO68. BENIGNA MAURUS SINYANGWE69. BENSON DAWSON70. BERNADINA KELVIN NKWERA71. BERNARD ADAM MWAKABANGA72. BERNARD BENJAMIN TEKELO73. BERTORD NJAWIKE74. BETHUEL ELINAJA TEMU75. BETTY ELIEZA MWAKILLA76. BETTY SEVERIN TARIMO77. BHOKE R MAHEKE78. BLANCA STEPHEN MLATIE79. BONIFACE GODWIN MWAMPOSA80. BONIFACE T MWASENGA81. BOYD DONALD MWAISAME82. BRIGHTON A. MOLAI83. BUPE ANYANDWILE84. BUSHIRI SAID BUSHIRI85. CAROLINE GABRIEL NNKO86. CAROLINE GAMBA87. CATHERINA FRANCIS NYAMITI88. CATHERINE PAUL LYAKULWA89. CECILIA BENEDICT BUNGA90. CECILIA MWENDO WASAA MANGOLI91. CHANDE OMARI92. CHARLES BINAMUNGU MUBI93. CHARLES CHEYO DAUDI94. CHARLES JACKSON NDALIO95. CHARLES MAHUNDI96. CHARLES MATATA KIGOMBOA97. CHEPA RAMADHANI RAUNA98. CHIKU MWALUTAMBI99. CHRISTIAN MPIZIWA FUNDISHA100. CHRISTINA HOZZA TOGOLAI101. CHRISTINA MALANGWA NGHUMBI102. CHRISTINE ANTHONY MNDOLWA103. CHRISTOPHER MARTIN SHENYAU104. CHRISTOPHER VEDASTO MUTALEMWA

Page 75: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 74 MKUTANO MKUU WA 18 MWAKA 27 JUNE 2020

105. CLARA MANASE URASA106. CLEMENTINA ANTHONY MSAE107. COCENSIA ISSAACK SOKONI108. COLETHA JEREMAIH CHUMA109. CONSOLATA BAZIL LYIMO110. CONSOLATA HENRY KABUHAYA111. CROWN TECH-CONSULT LTD112. DAMAS AUGUSTINO MWERANGI113. DAN YONA TEMU &/OR SARA MKESA

TEMU114. DANIEL JULDAN TIMOTHEO115. DANIEL NGODA116. DATIVA AUGUST MALLE117. DAUDI ISSA SOSSORA118. DAVID SALVATORY PATRICK119. DAWSON MASAKI ITF ALPHA D. MASAKI120. DEBORA ZACHARIA KILELE121. DEMETRIUS MARKARD KAIGARULA122. DEOGRATIUS THADEI MACKTAUO123. DISMAS RAPHAEL NTABINDI124. DOMINA DANIEL TAZA125. DOMINIC PHILIPO JOKU126. DONALD NZAGA WARIOBA KISURI127. DORAH MGOVANO KALINGA128. DOREEN JUDICAH JOSEPH129. DORIS AMIRI GAMA130. DOUGLAS C NKLIDA131. DROSTA ELIAS TIBAIJUKA132. EDGAR LUTAINULWA KAHABWA.133. EDINA YOUNGSON MWASHILANGA134. EDITH MANENO MUNG’ONG’O135. EDNA HIYOBO MPAZI136. EDNA THOMAS NGOLLE137. EDRICK ELIEZEA MAGAYANE138. ELFRIEDE SAMWEL AKANIWA139. ELIA MWAISUMBE MWAKITAPWA140. ELIAS MALILA KABEGA SABUNI141. ELISA ELIFASI KAWA142. ELISIYA DIDAS OR JUSTA BAHATI MLYAUKI143. ELIZABETH LUCAS LUMASHI144. ELIZABETH SAMWEL MOLANGO145. ELIZABETH SEBASTIAN SHAYO146. ELZABETH MWANGA147. EMELIANA MBWIGA KAJAMBA148. EMMANUEL CLEMENS TARIMO149. EMMANUEL YAKOBO MUSHI150. EMMANUELLA EMMANUEL BUKAGILE151. ENEA KENETH KABUNGU152. ERASTO MICHAEL GWIMILE153. ERICA MBAROUK MWANDORO154. ERICK JOSEPH HILLY155. ERICK STEPHEN LAIZER

156. ERNEST ADAMU MWASADA157. ESTER ELIAS KAGYA158. ESTER GILBERT BGOYA159. ESTER JUSTIN MANYANGA160. ESTER TOYI NZIGO161. ETMAS KAZINJEMA MSAMBA162. EUPHRASIA GASPER FUNDI163. EVELYN MZIBA RUGAMBO164. EVELYNE PATRICK LUTARE165. EVERLASTING - GRACE OBEDI166. EVODIA TITUS KAMUGISHA167. FAINALA DAVID LUKALI &/ SHEM

MWAKAYOKA168. FANUEL NGASA NYANDA169. FARIDA RAMADHAM SELEMANI170. FATUMA ABDALLAH CHARLES171. FATUMA ALI MTALAME172. FATUMA ATHUMANI MRISHO173. FATUMA B. SHABANI174. FATUMA HAMISI KISANGILE175. FATUMA SHABANI NKHANGAA176. FAUSTA EVORD MALIMBA177. FAUSTA EVORD MALIMBA ITF DANIEL

IBRAHIM JEREMIAH178. FELIX HUSSEIN MTONGA179. FESTO NGOZI NDALEMYE180. FILBERT ALPHONCE LEMASANI181. FLORA CHARLES MCHAINA182. FLORA PHILIP KOMBA183. FLORA SLIVESTER ANTONI184. FORTUNATA BENEDICT OLOMI185. FRANK MOSES MHILU186. FRANK SOSTHENES MAGAZINE187. FRED CALIST MBARAKA188. FREDRICK WILFREM MWAKITWANGE189. FREDY JOSEPH MAPUNDA190. FRIDA ELINAFIKA MSHANA191. FUMAO SAMLI CHONYA192. GABRIEL MARCO MIHAMBO193. GEORGE B. BARAKA194. GEORGE EPAFRA LAUWO195. GEORGE JOSEPH MLAY196. GEORGE MAHIMBO SALIM197. GEORGE MUSSA198. GEORGE NEMES MASSAWE199. GEORGE SAWE200. GERALD NOEL MANDE201. GERVAS JOSEPH KAVISHE202. GERVASI LUCIAN MARIAN203. GETRUDE ADELARD NGUMA204. GIBSON EMMANUEL MONGI205. GLORIOUS JOSEPH MBUYA

Page 76: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 75BENKI YA BIASHARA YA DCB

206. GODFREY MOSES NDUNGURU207. GODFREY NDALAHWA PETRO208. GODWIN MOSES MNGULU209. GODWIN SIMON MEENA210. GRACE AMINIELI MUSHI211. GRACE FILBERT MAGOHA212. GRACE HERMAN RINGO213. GRACE KUNDASAI NJAU214. GREEN MARWA MOHABE215. GSM ROYAL ICT216. HABIBA KASHINDE217. HABIBA RAMADHANI KITTAPA218. HABIBU HASSAN GEUZA219. HADIWA BONDO220. HAFSA R.LYANA221. HAIKA MICHAEL MACHAKU222. HALFAN RAJAB MFAUME223. HALIMA ALLY SHARIF224. HALIMA MUSSA RAMADHANI225. HAMAD SALUM TIMBANGA226. HAMIDU ABDALLAH KALASA227. HAMIS WAZIR MSOMBA228. HAMISI A.MSUMI229. HAMISI IDD MELLIA230. HAMZA MWINYIMVUA DINONGO231. HAPPYBEATRICE HUMPHREY MAEDA232. HARUNA OMARY SAIDI233. HASSAN MBWANA MARENDA234. HASSAN SAID TULLIY235. HASSAN SALUM MBONDO236. HASSANI RAMADHANI CHANDO237. HASSANI ZUBERI TITU238. HATANAWE ABDALLAH KITOGO239. HATIBU SEBASTIAN MHANDO240. HAWA SELEMANI NGUYURO241. HAYUNA HILYA SULLEY242. HELENA S GUSTAFU243. HELLEN ERNEST BOYO244. HENRY FRANCIS KESSY245. HERIET NYAKALES KABENDE246. HERMAN CHILIPWELI247. HERMAN LUDOVICK MARO ITF JESCA

LUDOVICK248. HERMAN LUDOVICK MARO ITF JOSHUA

HERMAN MARO249. HERMINA MICHAEL KAHUKA250. HIDAYA SADIKI KARAMATA251. HILDA KYOMA KIBONDE252. HIZA FRANCIS253. HUKI MOHAMMED IDI254. HURUKA RASHIDI ISSA255. HURUMA DAVID KUNDY

256. IBRAHIM ISSA SOSSORA257. IBRAHIM JAMES MTWIGU258. IBRAHIM JEREMIAH KICHEKELO259. IBRAHIM KAJEMBO260. IBRAHIM MALUNGUMU261. IDA PIUS KALEMBE262. IDOWA OMARI ABDALLAH263. IDOWA OMARI AND/OR ABDULAH264. IGNAS EDWARD MAEMBE265. IMELDA BURUKADI KATO266. IMMAUEL MICHAEL MNUBI267. INESS WINSTON BARUTI268. IPYANA LAZARO269. IRENE CECIL MSONDE270. IRENE NNAKAYONGA KAYUNGA271. ISABELLAH HUSSEIN KAPERA272. ISACK CLEMENCE MWIHAVA273. ISDORY FULGENCY BAYONA274. ISESYA JORAM MARWA275. ISIDORI JOHN MSAKI276. ISLAM SAID SALEH277. ISMAIL HASSAN MPUHTA278. ISRAEL LWEYEMAMU MIHIGO LWEGALULA279. ISSA AMIRI MNAMATA280. ISSA ISIHAKA CHUKI281. ISSA RASHID MFINANGA282. IVONE WINSTON BARUTI283. IWIRINAMSO MANASE JOHN MEENA284. JACKSON MACHA285. JACQUELINE RICHARD KINGALU286. JAFFAR MOHAMED ALLY287. JAMES NGALUKO288. JAMES PAUWA KIONDO289. JAMES SULEIMAN MUNGA290. JAMES THOMAS PETRO291. JAMILA SAID MFAUME292. JANE JONATHAN RUTAGWELERA293. JANE JOSEPHAT GEORGE294. JANEL BERNARD LUKINDO295. JANETH WILSON SUDA296. JAPHET FRANK JAPHET MWASHAMBWA297. JAQUELINE MICHAEL NGOMUO298. JEAN NAMAHIA299. JEMA SAMWEL MWIHAVA300. JEMA W KAJEMBO301. JEREMIA JAPHET MUNA302. JEREMIAH CALEB ODINGA303. JOACHIM G LYIMO304. JOACHIM NEOPHITUS MEGABE305. JOHA MOHAMED CHAUREMBO306. JOHANES TUMAINI RICHARD307. JOHN PASCHAL RUGEMALIRA

Page 77: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 76 MKUTANO MKUU WA 18 MWAKA 27 JUNE 2020

308. JOHN WILBARD MSOFFE309. JOMO MWANJOKOLO310. JOSEPH KARSISI MSAKI311. JOSEPH MAURICE SOSELEJE (REV. FR.)312. JOSEPH MELKIOR KINABO313. JOSEPH THADEI TEWELE314. JOSHUA ROYAL MALEKO315. JOVINA MALCHADES RUTAINULWA316. JOYCE CHARLES MSASA317. JOYCE J. SEMKUYA & MARTIN E.

SHEKILUWA318. JOYCE J. SEMKUYA & RICHARD J. SEMKUYA319. JOYCE J. SEMKUYA & ROBERT J. SEMKUYA320. JOYCE MASEGELA321. JOYCE WILSON PANDE322. JUDITH HUMPHREY MAEDA323. JULIA NIWAGANYILA BYAKWAGA324. JULIUS RAPHAEL DETEBA325. JUMA BAKARI MUSSA326. JUMA HAMISI SELEMANI327. JUMA HOKELAI YOHANA328. JUMA SAIDI KATAPALA329. JUMA SAIDI LUSUNGA330. JUMANNE RAJAB KAPAGA331. JUSILINA CHARLES BUHANZA332. JUSTA BAHATI OR DIDAS MAJALIO

MLYAUKI333. JUVENAL KASMIR RWECHUNGURA334. KAIFA ALLY MSHAMU335. KAZWEBA JUMA KISSONGO336. KEBRON ANDERSON MAHOO337. KENED ANSELM MALANGALILA338. KENNETH BERNARD NGAILLAH339. KHALID RAMADHAN KAYUPAYUPA340. KHALID SHARIFF341. KHARIM KHALFAN ZITTU342. KIDAWA MOHAMED NAMPACHA343. KILUMBA SALUM WAKULICHOMBE344. KULWA FESTO MNYAMA345. LAILATI OMARY AMANZI346. LEOCADIA BLASIUS MWENDA347. LEONARD ELIASHUKA MWASHA348. LEONARD J. MWANDENUKA349. LEONARD LAMECK NSIGAYE350. LEONTIA IBIKA RWECHUNGURA351. LILIAN BINFACE SAMSON352. LILIAN BOIFAYA KISUMBI353. LINA J. KASEGE354. LOYCE YUSUF BIPPA355. LUCIA KOKUHANGWA MULENGERA356. LUCY DIU SIMTOWE357. LUKELA IR VICOBA ULONGONI ‘’B’’

358. MAGRET JOSEPH LUMBILA359. MAGRETH AYUMA SULE360. MARCUS DAVID KITOSI361. MARGETH MAPUNDA LUHUNDILA362. MARIA ALPHONCE MDUDA363. MARIAM ALMASI SHOMVI364. MARIAM JAMAL MOHAMED365. MARIAM MOSHI NYENGELE366. MARIAM SAIDI NTILE367. MARIANA ANSGAR CHIKAWE368. MARIANUS BARNABAS MROPE369. MARIETA I KAKOKO370. MARIETHA JOHN CHANDE371. MARIOUS REGINALD MBONDE372. MARIUM RAJABU SIMBA373. MARTIN JAMBI SEKELLA374. MARTIN RAPHAEL SIWINGWA375. MARY AGNES MUZO376. MARY JOACHIM KIRIA377. MARY KANYILILI MLENZI378. MARY KOKA LEWANGA379. MARY LILIAN MLEMBE380. MARY MAHOCHO MSEMWA381. MARY MARTIN NANGALANGA382. MARY MRUHU MKAKA383. MARY PATRIC MULAMULA384. MASHABANI JUMA SHAHAH385. MASHIBE MADUKA SENI386. MATAO ALEXANDER ADOLFU387. MATHEW SABUNI HOZZA388. MATHIAS PENDO BANZI389. MATHIAS ZAKAYO FUMBUKA390. MATILDA B. KIWANGO ITF BRYGHTON

AFRICAN MOLAI391. MAUA HASSAN MSOMA392. MAURICE SAMWILU MWAFFISI393. MAXIMILLIAN MSHAILE KIWALEY394. MBARAKA LALLI SULEIMANI395. MBARUKU KOMBO MHINA396. MECKTRIDA KURWA LAURENT397. MENTA ELIAMLIS KOMBE398. MERCY REGINALD MWANAMBILIMBI399. MESHACK A. UKANI400. MESHACK CHACHA MANG’ENG’I401. MFAUME MUSSA KILANGI402. MICHAEL ALEXANDER TUMAI403. MILTON MWIJAGE BYEMERWA404. MIRIAM SIMON MWASAJONE405. MKOLO SUDI KIMENYA406. MLAMLENI KIMBANGULILE GROUP407. MODESTUS JOHN SIKADA408. MOHAMED HUSSEIN NYANZA

Page 78: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 77BENKI YA BIASHARA YA DCB

409. MOHAMED JAFFER MOHAMEDALI SIWJI410. MOHAMED MUSA NJECHELE411. MOHAMED MZEE KONDO412. MOHAMED RAMADHAN KITWANA413. MOHAMED RAMADHANI SHOMARI414. MOHAMED S. NAMTUKA415. MONITORY ANATORY RUGAIMUKAMU416. MORIS MHOJA SHIJA417. MOSES REGINALD MBONDE418. MSHAMU MWALIMU419. MUBASHIR MOHAMED JAFFER420. MUHARRAM SALUM MCHUME421. MUHSINI MUSA MKALA422. MUSA ZUBERI GWABABA423. MWAJABU HASSAN MPOGO424. MWAJUMA ALLY SALEHE425. MWAJUMA MUSA MLOWEZI426. MWAKAYOKA CHRISTOPHER SHEM &/

SHEM MWAKAYOKA427. MWALUSAMBO MWENE SHEM &/ SHEM

MWAKAYOKA428. MWANAHARUSI MUHIDIN FADHILLY429. MWANAIDI A. MOHAMED430. MWANTAKANI MWADUGH CHOKOTE431. MWASITI HAMISI RAMADHANI432. MWINYIJUMA MIKIDADI MWINYIAMANI433. NAENDWA TIMOTHY KIBAKAYA434. NAFTALI BEATUS MWAVIKA435. NAILAH MAHMOUD PONGWE436. NAMTERO JOHN NEWA437. NANCY ENOCK KYUSA438. NANCY KENNEDY MWANDWANI439. NANTAIKA SHABANI MAUFI440. NASSORO HUSSEIN KIRUMBI441. NATHAN DISMAS NYABENDA442. NATHAN DISMAS NYABENDA443. NDENI ANANDE SHOO444. NDESAMRO MARY KABEHO445. NDILA JOSEPH NDILA446. NEEMA JONATHAN MANWA447. NELLY DOGRAS KAVIZO448. NELSON CHIBANHILA MABRUKI449. NELSON PAUL MONYO450. NESTA VERIAN SEKWAO451. NGAILLAH ELECTRICAL CONTRACTOR452. NGASA MAJURA KAZINA453. NICHOLAS CHARUKULA NYONYO454. NICHOLAS CHIYENGO BYAKWAGA455. NICHOLAUS ISWESHA MALANDO456. NOVATUS NICOLAUS TEMBA457. NURU OMARI BANGILA458. NYANJURA MUGETA KUNYARANYARA

459. NYOTA NJEMA WOMEN GROUP460. OCTAVIAN ELIMENY MSHIO461. OKULI PETER MUSHI462. OLIVA MWIZARUBI463. OMAR M. ALI464. OMARI MUSSA KIMARO465. OMARI SALUMU BANGILA466. OMARY ALLY HASSANI467. OMARY SAID MAYANGA468. ORBIT SECURITIES COMPANY LIMITED469. ORINA WILFRED SHINYANGE470. OSCAR ANDREW CHAULA471. OSCAR JOSEPH MKUDE472. OSMOND BATAZALI MKANULA473. PASKAZIA WISTON BARUTI474. PATRICIA FRANCIS KIMATHI475. PATRICK ANDREW SEMKIWA476. PATRICK MATHEW MOGELA477. PAUL FRANCIS478. PENDO DAUDI KAMWELA479. PERAGIA KAWAMALA CHARLES480. PERPETUA NAZAR NDIRAHISHA481. PETER BENEDICT MGASSA482. PETER J. BUGUYE483. PETER JOHN NDAMA484. PETER MASANJA KILIMA485. PETER SANGALI486. PHANUEL RUGAYA MUBAMBA487. PHILEMON JANUARY MBOYA488. PHILEMON JOHN 489. PILI ABDALLAH DIKINE490. PIUS CHARLES KAPUNGU491. PIUS LEONARD MATANA492. PIUS SAMWEL MTUMBI493. PONTIAN DANIEL KAGENYI &/OR JOYCE

MARCUS KAGENYI494. PRIMI NDEWERO495. PRINCEALEN SAIMON MABELE496. PRISCA NDAIGEZE497. RAHMA GEMINA NGASSA498. RAJABU ALLY MOHAMED499. RAJABU BAKARI ZAYUMBA500. RAKIBU AMIRI KIMATA501. RAMADHANI A MATIBU502. RAMADHANI MOHAMED SHOMVI503. RAMADHANI MVUGALO504. RAMLA IBRAHIM KUMWENDA505. RANCILIX MEDIC506. RAPHAEL DANIEL NGAICHA507. RASHID JUMA NGWALI508. RASHID SELEMAN RAMADHANI509. RASHID SELEMANI KAWAWA

Page 79: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 78 MKUTANO MKUU WA 18 MWAKA 27 JUNE 2020

510. RASHIDI MUSTAFA KASEKO511. RASHIDI SHAFII BARUTI512. REBECA NALOGWA MISAYO513. REHEMA DOMINIC LUENA514. REHEMA HATIBU MOHAMEDI515. REMIGIUS JOHN SHIRIMA516. REMIGIUS KAMUGISHA TRYPHONE517. RICHARD MARCELLINO KAYOMBO518. ROBERT DASTAN MHANDO519. ROBERT FRANCIS NGOTY520. ROGASIAN KALIST KIMARYO521. ROGERS G MBEMBE522. ROMAN PETER MALLYA523. ROMANA MICHAEL SHOKI524. ROSALDINA ADRIAN CELESTINE MAJUVA525. ROSE ANTONY WILLIAM526. ROSE DAVID SANGA527. ROSE GORDON NGILANGWA528. ROSE JULIAS MOSHI529. ROSE JULIUS KALALU530. ROSE NICHOLAUS MDOE531. ROSEMARY MICHAEL MASAGA532. ROSEMARY RAPHAEL MKEMANGWA533. ROSEMARY RICHARD BGOYA534. ROSEMARY SEBASTIAN ANSELIM535. ROSI JAMES JOSEPH536. ROZALIA BERNARD MWAKABANGA537. ROZINA ARISTARK MBOYA538. RUKIA YUSUPH MKAPA539. SABINA PETER MALLYA540. SADA ALLY KAUGA541. SADICK ABDUL MAKENGE542. SAFARI MSAFIRI543. SAID BAKARI MKUMBA544. SAID HAMIDU KUSOMA545. SAID MOHAMMED ATHUMANI546. SAID SALUM PENDEZA547. SAIDI SHABANI BOFU548. SALIMA MUSSA ALLY549. SALIMU ABED WENDO550. SALMA HAMOUD BARKAT551. SALMA JUMA MSARE552. SALMAH MEZIANA JOSE CHIA553. SALOME FRANK MOSHI554. SALOME RISHIAELI TARETO555. SALUM ABDALLAH MWAKINGINDA556. SALUM OMARI MCHOPA557. SALUMU K KILIMBA558. SALUSTIAN THOBIAS NKOLA559. SAMIA ZUBERI KALAGE560. SAMSON JOB KIBONDE561. SAMSON MASHALA GIBE

562. SAMWEL KAROLI563. SAMWEL PETER564. SARA MHINA565. SARAH HENRY MPONGO566. SARAH REGINALD MBONDE567. SAUMU SADIKI MANDARI568. SAVELINA EDWARD MUTAFUNGWA569. SEBASTIAN FABIAN KILATO(ADMIN)

SABINA JACOB KILATO(DECEASED)570. SELEMANI HASSAN CHINDUTU571. SELEMANI MUSSA MWAMBA572. SEMENI ALLY MTAKUA573. SHAABAN RAMADHANI CHIKI574. SHAABAN SAID MCHUMIRA575. SHABANI MRISHO WANBANGURU576. SHABANI MUSTAFA KASEKO577. SHABANI OMARY MSISI578. SHABANI STAMBULI579. SHAIBU RASHIDI ALLY580. SHENAZ HASHAM TALIB581. SHITA MOHAMED KANUKA582. SHUNDI DIASON MRUTU583. SIGIFRID FLORIANI LUKA584. SIJAONA MOHAMMED MWISHESHE585. SIKUJUMA HASSSAN CHAMBUSO586. SILLA JOHN NYENZA587. SIPORA LIANA588. SIXTHA KEVIN KOMBA589. SIYAWEZI IDD MATIMA590. SIZWE AIDAN BONDO591. SOCIAL ACTION TRUST FUND592. SOFIA BAKARI ALMASI593. SOMOE SELEMANI SHAIBU594. SOPHIA J ABDALLAH595. SOSTHENES TRIDA596. STANLEY F. KAVISHE & FIDES C. MOSHI597. STELINA OSWARD MGAYA598. STELLA ELIAS599. STELLA GEORGE KATENGA600. STELLA MIKA MWENEGOHA601. STELLA MSOFE602. STRATON ELIAS603. SUBIRA ELVIS NYANKOJO604. SULEIMAN AHMED SULEIMAN605. SULEMANI ISSA SOSSORA606. SUZANA KANOGELEKE MASHIKU607. SUZY MARY DAUD608. SWALEHE SWALEHE609. TABITHA IJUMBA SIWALE610. TATU MUSA NTIMIZI611. TAUSI ALLY SHOMVU612. TCCIA INVESTMENT COMPANY LTD

Page 80: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 79BENKI YA BIASHARA YA DCB

613. THELESIA ESTARCHI KAGOROBA614. THERESIA GEORGE MAJULA615. THERESIAMUHODE616. TRIPHONIA AMBROSE MALLYA ITF

JAELYNN BERNARD LUKINDO617. TULINAGWE NAHMAN MWAKAPANGO618. TUMAINI YURED MINJA619. TUMSIFU ELIONA NKYA620. UBWA HASSAN KISSAGA621. UMOJA WA WAUZA DAGAA NA SAMAKI622. UPENDO FOUNDATION623. URAFIKI - SACCOS624. USENGWILE GROUP625. VAILET B.MKUDE626. VENANCE EPHRAHIM KALUMANGA627. VENERANDA NGAWESAWE LEKULE628. VERONICA ELIAS KIBWALU629. VERONICA FRANK JAPHET MWASHAMBWA630. VERONICA JACKSON KIMARO631. VICTORIA E.W MSOMA632. VUSHA FISHERY COOP. SOCIETY LTD633. WAMBURA GASPAR MARO634. WEMA ABDALLAH POGOLA635. WESLEY WINSTON RUGAZIA636. WESTEN WISTON BARUTI637. WILLIAM PETER NYAMKONGO638. WINFRIDA BENEDICT BUNGA639. WINFRIDA REGINALD MBONDE640. WINSTON R. BARUTI641. WITNESS GOWELLE642. YONAZA DANIEL KISSINGO KISUYO643. YUSTA RASHIDI KAMATA644. YUSUPH HAKIKA LIWOWA645. ZACHARIA ANTHONY KAPAMA646. ZACHARIA JILAONEKA NG’UMBI647. ZAHORO RASHID DACHI648. ZAINAB ISMAIL NKAYA649. ZAINAB MOHAMED MAGAYUKA650. ZAINABU ATHUMANI MRISHO651. ZAINABU R. KHALID652. ZAINABU RAMADHAN TIMBANGA653. ZANIA MWIJUMA MSHANA654. ZAWADI ELISHA NKO655. ZENAIS TELESFOR MALIMA

Page 81: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 80 MKUTANO MKUU WA 18 MWAKA 27 JUNE 2020

Page 82: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 81BENKI YA BIASHARA YA DCB

Page 83: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 82 MKUTANO MKUU WA 18 MWAKA 27 JUNE 2020

Page 84: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

PAGE 83BENKI YA BIASHARA YA DCB

Page 85: MKUTANO MKUU WA - DCB Commercial Bank Plc · Kupitia mauzo hayo, Benki ya DCB imefanikiwa kuuza hisa 36,635,435 ikilinganishwa na hisa 33,913,948 zilizotarajiwa kuuzwa, ikiwa ni sawa

Jengo la DCB HouseKitalu Na. 182 - RMagomeni MwembechaiS.L.P 19798Dar es Salaam