26
Neno la Uzima Mwezi Aprile 2012

Neno la Uzima

  • Upload
    tex

  • View
    120

  • Download
    15

Embed Size (px)

DESCRIPTION

Neno la Uzima. Mwezi Aprile 2012. Ninyi mmekwisha kuwa safi kwa sababu ya lile neno nililowaambia. (Yo 15, 3). Nadhani kuwa moyo wa mitume, waliposikia neno hilo la kutia moyo wa Yesu, uliruka kwa furaha. Jinsi ingekuwa heri, ikiwa Yesu anaweza kutwambia na sisi pia. - PowerPoint PPT Presentation

Citation preview

Page 1: Neno la Uzima

Neno la UzimaNeno la Uzima

Mwezi Aprile 2012

Mwezi Aprile 2012

Page 2: Neno la Uzima

Ninyi mmekwisha kuwa safi kwa sababu ya lile neno nililowaambia.

(Yo 15, 3)

Ninyi mmekwisha kuwa safi kwa sababu ya lile neno nililowaambia.

(Yo 15, 3)

Page 3: Neno la Uzima

Nadhani kuwa moyo wa mitume, waliposikia neno hilo la kutia moyo wa Yesu, uliruka kwa furaha.

Page 4: Neno la Uzima

Jinsi ingekuwa heri, ikiwa Yesu anaweza kutwambia na sisi pia.

Ili tuweze kustahili kidogo, tujaribu kulielewa.

Page 5: Neno la Uzima

Yesu alikwisha kutumia mfano wa mzabibu na matawi. Yeye ni mzabibu wa kweli, Baba ni mkulima,

anayeondoa kila matawi lisilozaa, na kusafisha kila tawi lizaalo, ili lizidi kuzaa.

Page 6: Neno la Uzima

Kisha kusema hayo, anaongeza:

Ninyi mmekwisha kuwa safi kwa sababu ya lile neno nililowaambia. Ninyi mmekwisha kuwa safi kwa

sababu ya lile neno nililowaambia.

Page 7: Neno la Uzima

“Ninyi mmekwisha kuwa safi...”. Anaongelea usafi gani?

Page 8: Neno la Uzima

Ni hali ile ya roho inayotakiwa ili

kuweza kusimama mbele ya Mungu,

isiyo na vizuio (kama kwa mfano

dhambi) vinavyozuilia

kukaribia matakatifu, kukutana na

Mungu.

Page 9: Neno la Uzima

Ili tupate usafi huo, tunahitaji msaada kutoka juu.

Page 10: Neno la Uzima

Hata katika Agano la Kale, mtu alitambua kwamba hawezi kumkaribia Mungu kwa nguvu zake tu.

Alihitaji kuwa Mungu autakase moyo wake; kumpa moyo mpya.

Page 11: Neno la Uzima

Zaburi nzuri sana husema: “...Ee Mungu, uniumbie moyo safi”.

Page 12: Neno la Uzima

Ninyi mmekwisha kuwa safi kwa sababu ya lile neno nililowaambia. Ninyi mmekwisha kuwa safi kwa

sababu ya lile neno nililowaambia.

Page 13: Neno la Uzima

Kwake Yesu kuna njia ya kuwa safi, nayo ni Neno lake.Neno lile ambalo wanafunzi walilosikia,

na kulikubali, limewatakasa.

Page 14: Neno la Uzima

Naam, Neno la Yesu si kama maneno ya watu.Ndani yake yumo Kristo, jinsi, kwa namna nyingine,

yumo katika Ekaristi. Kwa njia yake Kristo anaingia ndani yetu sisi.

Tukilikubali na kutekeleza, linafanya kuwa Yesu azaliwe na kukua katika moyo wetu.

Page 15: Neno la Uzima

Baba Mtakatifu Paulo wa VI alikuwa

akisema: “Anawezaje Yesu kuwemo katika roho za watu? Kwa

njia ya kutushirikisha Neno, mawazo ya

Mungu hupita, hupita Neno, Mwana wa

Mungu aliyejifanya mtu.

Tungeweza kusema kuwa Bwana

anachukua mwili ndani yetu

tunapokubali kwamba Neno lije

kuishi ndani yetu”.

Page 16: Neno la Uzima

Ninyi mmekwisha kuwa safi kwa sababu ya lile neno nililowaambia.Ninyi mmekwisha kuwa safi kwa

sababu ya lile neno nililowaambia.

Page 17: Neno la Uzima

Neno la Yesu linafananishwa pia na mbegu iliyotupwa ndani ya mwumini.

Lilipopokelewa, huingia ndani ya mtu na, kama mbegu, huchipuka na kukua, na kuzaa matunda,

linatufanya “kuwa Kristo”, kwa kutufanya tufanane na Kristo.

Page 18: Neno la Uzima

Neno, likiingizwa na Roho Mtakatifu, lina kweli uwezo na nguvu ya kumshika Mkristo mbali na

maovu: hadi anakubali kuacha Neno litende ndani yake, atakuwa huru na dhambi, basi atakuwa safi.

Atatenda dhambi ikiwa anaacha kutii ukweli.

Page 19: Neno la Uzima

Ninyi mmekwisha kuwa safi kwa sababu ya lile neno nililowaambia. Ninyi mmekwisha kuwa safi kwa

sababu ya lile neno nililowaambia.

Page 20: Neno la Uzima

Basi, tutaishije ili kustahili nasi

sifa ya Yesu?Kwa kutekeleza

kila Neno la Mungu,

tukilishwa nalo saa hadi saa, kwa kufanya maisha yetu kuwa kazi ya

uinjilishaji daima.

Page 21: Neno la Uzima

Hilo tupate kufika kuwa mawazo na hisia ya Yesu, kuishi yeye katika dunia, kumwonyesha katika jamii,

ambayo mara nyingi imevurugwa na mabaya na dhambi, kuonyesha usafi wa kimungu, na mwangaza

inaotupa Injili.

Page 22: Neno la Uzima

Halafu, katika mwezi huu, ikiwezekana (yaani ikiwa wengine wanashiriki nia zetu), tujitahidi kutekeleza kwa namna ya pekee lile neno linalodhihirisha amri

ya mapendano

Page 23: Neno la Uzima

Mwinjili Yohane, anayeandika Neno

la Yesu tulilotafakari leo, anaona ulingano kati ya Neno la Kristo na amri

mpya.Kwake yeye, ni

katika mapendano kwamba tunaishi Neno pamoja na matokeo yake ya usafi, utakatifu,

tusitende dhambi, kuzaa matunda, kuwa karibu na

Mungu.

Page 24: Neno la Uzima

Mtu katika upweke hawezi kudumu kushinda misukumo ya ulimwengu,

Page 25: Neno la Uzima

mbali katika mapendano hupatikana nafasi ya kufaa

ya kulinda maisha ya Kikristo halisi.

Page 26: Neno la Uzima

““Parola di Vita”,Parola di Vita”, pubblicazione mensile del Movimento dei Focolari.

Testo di: Chiara Lubich, scritta nel 1982

Grafica Anna Lollo in collaborazione con don Placido D’Omina (Sicilia, Italia)

Questo commento alla Parola di Vita è tradotto in 96 lingue e idiomi,

e raggiunge vari milioni di persone in tutto il mondo

tramite stampa, radio, TV e via internet.

Per informazioni www.focolare.org

Questo PPS, in diverse lingue, è pubblicato su www.santuariosancalogero.org

(da dove si può scaricare)

““Parola di Vita”,Parola di Vita”, pubblicazione mensile del Movimento dei Focolari.

Testo di: Chiara Lubich, scritta nel 1982

Grafica Anna Lollo in collaborazione con don Placido D’Omina (Sicilia, Italia)

Questo commento alla Parola di Vita è tradotto in 96 lingue e idiomi,

e raggiunge vari milioni di persone in tutto il mondo

tramite stampa, radio, TV e via internet.

Per informazioni www.focolare.org

Questo PPS, in diverse lingue, è pubblicato su www.santuariosancalogero.org

(da dove si può scaricare)

Ninyi mmekwisha kuwa safi kwa sababu ya lile neno nililowaambia.

(Yo 15, 3)