SIFA ZA MWOMBAJI ST. JOHN COLLEGE OF UJIPATIE · PDF fileMazingira ya chuo MIHURA MIPYA YA MASOMO 2016/2017 ... kwa ufaulu wa Daraja D katika masomo ya ... WANAFUNZI — COMMUNITY

Embed Size (px)

Citation preview

  • Kwa Maelezo Zaidi Wasiliana Nasi Kwa:

    Mkuu wa Chuo

    St. John College Of Health Science

    Mtaa wa Hali ya Hewa

    S.L.P 1526, Mbeya - Tanzania.

    Simu: +255 754331443 / +255 754014410

    Nukushi/Fax: +255 252503337

    Barua pepe:

    [email protected]

    Tovuti :www.stjohncollegeofhealthscience.ac.tz

    Fomu za maombi ya kujiunga na chuo zinapatika-na chuoni St.John College of Health Science Mkoa wa Mbeya.

    USAJILI WA CHUO.

    Chuo kimesajiliwa na NACTE kwa No. REG/HAS/126.

    MAHALI CHUO KILIPO

    Chuo kipo Mkoa wa Mbeya Airport ya zamani Mtaa wa Hali ya Hewa.

    Mazingira ya chuo

    MIHURA MIPYA YA MASOMO 2016/2017 ITAAZA

    MACHI, SEPTEMBA NA NOVEMBA.

    KARIBU ST. JOHN COLLEGE OF HEALTH SCIENCE MBEYA UJIPATIE UJUZI UTAKAO KUWEZESHA KUPATA AJIRA KATIKA SECTA YA AFYA.

    WAHI NAFASI NI CHACHE

    ST. JOHN COLLEGE OF

    HEALTH SCIENCE - MBEYA

    HEALTH FOR BETTER LIFE

    SIFA ZA MWOMBAJI

    MAZOEZI KWA VITENDO FANI YA UUGUZI

    COMPUTER LAB

    Chuo kinatoa mafunzo ya computer kwa kozi zote ili kuwawezesha wanafunzi kuendana na mabadiliko ya kiteknolojia katika secta ya afya.

    Mwombaji awe na cheti cha Mtihani wa Elimu ya Sec-

    ondary (OLevel) kwa ufaulu wa Daraja D katika

    masomo ya sayansi: Biology, Chemistry na Physics.

    TUNATOA KOZI ZIFUATAZO:

    KOZI ZA MWAKA MMOJA:

    1. BASIC TECHNICIAN CERTIFICATE IN

    PHARMACEUTICAL SCIENCE.

    2. BASIC CERTIFICATE IN COMMUNITY HEALTH NURSING

    KOZI ZA MIAKA MIWILI:

    1. TECHNICIAN CERTIFICATE IN NURSING.

    2. TECHNICIAN CERTIFICATE IN PHARMACEUTICAL SCIENCE

  • Saint John College Of Health Science ni Taasisi Binafsi iliyosajiliwa

    kwa Namba. REG/HAS/126 Kutoa MafunzoYa Elimu ya Afya katika

    fani zifuatazo kwa ngazi ya Cheti; Nursing, Pharmaceutical Science na

    Community Health.

    HUDUMA YA HOSTELI.

    Chuo kinatoa huduma ya Hosteli yenye mazingira safi na rafiki kwa

    wanafunzi wote kwa Kipindi chote cha masomo yao.

    UTANGULIZI

    2. BASIC CERTIFICATE IN COMMUNITY

    HEALTH (NTA LEVEL 4).

    KOZI ZINAZOTOLEWA.

    Saint John College Of Health Science ni chuo kinachotoa kozi 4 kwa

    ngazi ya Cheti (Certificate). Mafunzo hutolewa na Wakufunzi Walio

    bobea sana katika Afya (Doctors, Nurses, na Pharmasist ).

    KOZI ZA BASIC TECHNICIAN CERTIFICATE.

    1. BASIC CERTIFICATE IN PHARMACEUTICAL

    SCIENCE (NTA LEVEL 4)

    Mwombaji katika fani hii anatakiwa awe na ufaulu wa Daraja D kati-

    ka masomo manne yakiwemo Chemistry na Biology., pia anatakiwa

    kufika chuoni ST. JOHN COLLEGE OF HEALTH SCIENCE

    MBEYA ujipatie FORM YA MAOMBI.

    Mwombaji katika fani hii anatakiwa awe na ufaulu wa

    Daraja D katika masomo manne ikiwemo somo la Biology,

    pia Mwombaji atatuma maombi kupitia NACTE au Fika

    chuoni kwa Msaada zaidi kuhusu namna ya kuomba nafasi

    kupitia NACTE.

    MAZINGIRA YA HOSTELI ZETU

    WANAFUNZI PHARMACEUTICAL SCIENCE

    WANAFUNZI COMMUNITY HEALTH NURSING

    KOZI ZA TECHNICIAN CERTIFICATE

    1. TECHNICIAN CERTIFICATE IN NURSING

    (NTA LEVEL 5)

    Mwombaji katika fani hii anatakiwa awe na ufaulu wa Daraja D kati-

    ka masomo manne yakiwemo Chemistry na Biology na Physics,

    Kujiunga na fani hii Mwombaji atatuma maombi kupitia NACTE au

    Fika chuoni kwa Msaada zaidi kuhusu namna ya kuomba nafasi

    kupitia NACTE.

    WANAFUNZI NURSING

    CHUO KINA MAABARA ZA KISASA ZILIZO

    SHEHENI VIFAA VYA KUJIFUNZIA.

    USAFIRI KWA

    WANAFUNZI

    MA

    ZIN

    GIR

    A Y

    A C

    HU

    O

    2. TECHNICIAN CERTIFICATE IN PHARMACEUTICAL

    SCIENCE (NTA LEVEL 5)

    Mwombaji katika fani hii anatakiwa awe na ufaulu wa Daraja D kati-

    ka masomo manne yakiwemo Chemistry na Biology na Physics, pia

    Mwombaji ataomba nafasi ya kujiunga na chuo kupitia NACTE au

    Fika chuoni kwa Msaada zaidi kuhusu namna ya kuomba nafasi kupitia

    NACTE.