72
Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato Watu Wazima MAHUSIANO YA MKRIST0 Aprili – Juni, 2017

Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

  • Upload
    others

  • View
    48

  • Download
    6

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato Watu Wazima

MAHUSIANO YA MKRIST0

Aprili – Juni, 2017

Page 2: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato Vol. 93, No. 22

YALIYOMO 1 Mwenyezi Mungu na Uumbaji

wake/ 5 2. Yesu Kristo: Kielelezo chetu / 10 3. Roho Mtakatifu: Mwongozo wetu

wa Uungu / 15 4. Nafsi inayotembea pamoja na

Mungu / 20 5. Kanuni ya Thamani iliyo hai / 25 6. Chagua Marafiki Zako / 31 7 Kuoa na Kuolewa / 36 8. Familia ya Mkristo / 41 9. Kuishi pamoja na ndugu zetu (I) / 4610. Kanisa la Nyumbani (familia) (II) / 5211 Kanisa: Nuru ya Ulimwengu / 5712. Uaminifu katika shughuli (Biashara) / 62

13. Wajibu wetu kwa Serikali / 67

GeNeRAL CONFeReNCe

5240. Hollins Road Roanoke - Virginia24019 5048 USAInternet: www.sdarm.orgE-mail: [email protected]

Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza. Nukuu itolewe kwa ufupi sana kama ikiwezekana, kwa ajili ya kuelekeza ufahamu. [ ] Mabano huwekwa baadhi ya sehemu ili kusaidia kuelewa maana ya jambo kwa usahihi na uwezo wa kuelewa kwa ulaini, jifunze zaidi katika chanzo kilichopendekezwa.

Page 3: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato , Vol. 93, No. 2 3

UTANGULIZITabia zetu zinavutiwa na kiwango na mahusiano ambayo tunaya-

fanya. Mungu angekuwa mvuto bora zaidi tena muhimu katika maisha yetu kwa sababu mahusiano yetu pamoja naye huathiri mahusiano yote kwa wengine. Mungu ni muumbaji wetu, naye hutaka kuwa mwokozi wetu na kiongozi wetu katika maisha.

„Pasipo Imani iliyohai katika Kristo Yesu kama mwokozi pekee, haiwezekani kufanya mvuto wetu katika Dunia yenye wasiwasi. Hatuwezi kutoa kwa wengine kile ambacho sisi wenyewe hatujakamiliki. Ni kwa uwiano wa Ibada zetu wenyewe na kujiweka wakfu kwa Kristo kwamba tuwekwe kwenye mvuto kwa ajili ya Baraka na ubinadamu kuinuliwa. Kama huduma ya kweli haipo, upendo wa kweli haupo, uzoefu wa kweli haupo, nguvu za kusaidia hakuna, uhusiano na mbingu hakuna, Radha ya Kristo katika maisha haipo. Vinginevyo Roho Mtakatifu aweza kututumia kama mawakala ambao kupitia kwake tuungwe katika dunia kama ilivyo kwa Kristo Yesu, tuko kama chumvi iliyopoteza radha yake. Kwa ukose-fu wa Neema ya Kristo tunauthibitishia ulimwengu kuwa, ukweli ambao tunadai kuamini hauna nguvu ya kutakasa, na hivyo mpaka sasa mvuto wetu huendelea, hatufanyi madhara kwenye Neno la Mungu.” -Review and Herald 27 Julai,1905.

„Maisha yetu hayana budi kufungwa pamoja na Kristo inatupasa kila mara tupate nguvu kutoka kwake, Tumtumikie yeye aliye mkate ulioshuka toka mbinguni tupate maji toka kwenye chemichemi ambayo siku zote ni safi, na ambayo wakati wote inatoa hazina zake. Mara kwa mara tutajaliwa na furaha ya kuelewa kuwa tuko pamoja na Yesu. Mara kwa mara mioyo yetu ndani itawaka anapotukaribia ili kuwasiliana nasi, kama alivyofanya kwa Henoka. Wakati ukweli huu unapotimizwa ndani ya Kristo, katika maisha yake huonekana hali ya utulivu, unyenyekevu, upole na kujidhili moyo, ambavyo vinadhihirisha kwa wote ambao ana-shirikiana nao, kwamba amekuwa na Yesu na amejifunza kwake.” -Vielelezo vya Mafundisho ya Kristo Uk. 129,130.

Kadri tunavyompokea Yesu kama Mwokozi na rafiki yetu atatupa mwongozo katika mahusiano yote na wengine. Atatusaidia kuchagua marafiki zetu kwa busara. Tutabarikiwa na marafiki zetu na familia zetu. Tutatembea pamoja na ndugu na binti zetu katika Imani kwa kuwafikia wengine. Tutaheshimu kanuni na sheria Mungu tusaidie kadri tunavyoji-funza Robo hii inayohusu. “Mahusiano ya Mkristo”. Tujifunze namna ya uhusiano sahihi pamoja na Mungu, na wale wanaotuzunguka, kuufunua upendo wa Mungu kwa wanadamu.

Idara ya shule Sabato Baraza kuu

Page 4: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato Vol. 93, No. 24

Sabato ya tarehe, 01 april, 2017

Sadaka ya Sabato ya kwanza ni kwa ajili ya upanuzi wa Kanisa nchini Urusi Moscow.

Moscow ni Mji Mkuu wa nchi ya Urusi. Ni nchi kubwa ulimwenguni ni ya tisa kwenye wakazi wengi. Tafiti zinaonyesha kuwa karibu ya (70%) ya wakazi ni Wakristo wa dhehebu kubwa kuliko la Orthodox, Moscow yenyewe inao uwezo wa kubeba zaidi ya watu mili-oni ishirini. Jiji hilo lina makutano mengi ku-liko ya njia za Urusi na nchi zake jirani. Kila siku njia za mamilioni ya watu kutoka katika nchi mbalimbali na Mabara mbalim-bali, hupitia hapa.

Kazi ya matengenezo ilianza hapa wakati wa zama za Ukomunisiti, wakati watendakazi walipoishi katika jiji hili kwa mda. Hakuna majengo kwa ajili ya mikutano, waumini walikuwa wakikusanyikia kwenye ma-jengo binafsi.

„Kazi kuu imeahidiwa kwa wale wanaowasilisha ukweli katika... Urusi, na Mamilioni ya Miji... ambayo nafsi ni za thamani mbele za Mun-gu kama sisi wenyewe. Wale ambao hawajui ukweli maalumu kwa ajili ya wakati huu.” Evangelism Ukr. 408.

Mwaka 2001 Mtendakazi pamoja na familia yake alitumwa kwenda kufanya kazi katika Mkoa huu. Mnamo mwaka 2002 waumini walinunua kipande cha Ardhi jiji Moscow, ambacho walijenga lakini hawakukami-lisha kujenga. Mwaka huo huo walikamilisha ujenzi wa jengo na kuliweka wakfu kama nyumba ya kuabudia. Kadri kazi ilivyozidi kuendelea miliki hiyo ikawa Makao makuu ya Misheni Filid nchini Urusi. Toka katika jiji hili kazi ilienda mbele katika nchi za Asia ya kati Belarusi na Lativia.

Kazi inaendelea katika Mkoa huu, Kadri wageni wengi wasioamini huwakilisha madhehebu mengine wanapotutembelea katika mikutano yetu, ndani ya Kanisa hawawezi kukaa wote waliohudhuria. Kwa sababu hiyo ilishauriwa kupanua Kanisa. Wakati huu tunajenga Kanisa kubwa katika sehemu ile ile ya kipande cha Ardhi. Lakini uwezo wetu hautoshi kukamilisha mradi huu tunahitaji maombi yenu na juhudi yenu ya ki-fedha. Watu wengi watakuja na kushuru katika Kanisa hili ushauri wako, pamoja nawe tunakwenda kuona utimilifu wa ahadi za Mungu, kwa ku-linda na kubaliki kila zawadi na kusikia kila ombi. Tunashukuru kwa ajili ya msaada wako.

Ni ndugu na Dada zenu nchini Urusi Moscow

Page 5: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato , Vol. 93, No. 2 5

Somo la 1 Sabato ya tarehe, 01 aprili 2017

MWENYEZI MUNGU NA UUMBAJI WAKe

Mungu akasema, natufanye mtu kwa sura yetu, akatawale samaki wa baharini na ndege wa angani na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi. (Mwanzo. 1:26).

“Baada ya Dunia na wanyama na maisha ya mimea kuwepo, bin-adamu fahari ya muumbaji ambaye kwake uzuri wa Dunia ulitimia, Aliumbwa.” Wazee na Manabii. Ukr. 44

Imependekezwa kujifunza: Wazee na manabii Ukr. 31-55.

Jumapili tarehe, 26 Machi

1. FURAHA YA UUMBAJIa. Biblia huelezeaje kila kitu ambacho Mungu alikuwa ameki-

fanya? Mwanzo 1:31.

“Kadri Dunia ilivyotoka mikononi mwa Muumba wake, ilikuwa na uzuri wa ajabu. Uso wake ulitofautishwa na vilima, milima na mabonde yalijawa na mito mizuri na maziwa ya kupendeza... Mimea na maua yenye utukufu yalionekana machoni kila mahali... mandhari yote ilikuwa nzuri na kupambwa na ardhi yenye Makasri mazuri. Jeshi la Malaika walian-galia kwa furaha na kufurahia kazi ya ajabu ya Mungu.” - Wazee na Manabii. ukr. 44.

b. Kitu gani kingetuongoza kumsifu Mungu? Zaburi 139:14

“Ushahidi halisi wa Mungu aliye hai hayupo katika nadharia, ni katika Imani ambayo Mungu amaeandika katika mioyo yetu. Inaangaza na kulie-lezea Neno lake. Ni nguvu iliyo hai katika kazi za matendo yake, kuyaona kwa macho ambayo Roho Mtakatifu ameyaangazia.” -Shuhuda ya 8. ukr. 325

Page 6: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato Vol. 93, No. 26

Jumatatu tarehe, 27 Machi

2. KUSUDI LA ULIMWeNGU WeTU a. Maandiko hutufundisha nini kuhusiana na asili ya kuumbwa

vitu vyote? Mwanzo 2:4; Kolosai 1:16

“Mtawala wa Ulimwengu hakuwa peke yake katika kazi yake. Ali-kuwa na Mshirika - Mtenda kazi mwenzie ambaye angethamini makusudi yake , na angeshiriki Furaha yake kwa viumbe..., Baba aliongea na Mwana wake wakati wa uumbaji wa viumbe vya Mbinguni.” Wazee na Manabii ukr 34.

“Mungu alisema, Maneno yake yaliumba matendo yake ya asili ya ulimwengu. Uumbaji wa Mungu ni hifadhi ya namna aliyoifanya tayari kwa ajili yake kwa kujiajiri mara moja kwa kufanya mapenzi yake” - Lift him up ukr 66.

b. Mungu aliufanya ulimwengu kwa makusudi gani? Isaya 45:18; Ufunuo 4:11.

“Dunia iliumbwa na Mungu ilikuwa na makazi matakatifu, Furaha ya viumbe. Ambapo makusudi yatakuwa ymekamilika wakati itakapo-fanywa upya na nguvu za Mungu na kuwekwa huru kutoka kwenye dhambi na huzuni. Itakuwa nyumba ya milele ya waliokombolewa” - Nyumbani mwa Mkristo ukr 540.

c. Adam na eva waliumbwa kwa namna gani, na mpango wa Mungu ulikuwa ni upi kwa ajili yao? Mwanzo 1:26; Zaburi 8:5,6.

“Waliumbwa kwa “Sura na utukufu wa Mungu” (1 Wakor 11:7) Adam na Hawa walipokea wakfu usio wastahili wa hatima yao. Wakiwa na uzuri na umbo lililolingana, lililofanana na uzuri katika sura, Nyuso zao ziling’aa kwa rangi yenye afya na nuru ya furaha na matumaini, nuru waliyokuwa nayo hakufananishwi na Muumba wao. Hata hivyo mfano huu ulidhihi-rika katika asili ya kimwili tu. Nguvu ya akili na roho iliakisi utukufu wa Mwenyezi Mungu Muumbaji, walijaliwa pamoja kuwa na kipawa cha juu kiakili na kiroho , Adamu na Hawa walifanywa. “ Lakini mdogo pun-de kuliko malaika. Ebrania 2:7 ili wapate siyo tu kupambanua maajabu ya ulimwengu yanayoonekana , bali kuelewa majukumu na wajibu wa kimaa-dili.” - Elimu ukr 20.

Page 7: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato , Vol. 93, No. 2 7

Jumanne tarehe, 28 Machi

3. YeHOVA: MUNGU ALIYe HAI NA WA KWeLI a. Ni kwa jinsi gani Bwana Mungu wa kweli hutofautishwa na

miungu mingine? Yeremia 10:11, 12

“Katika kila jani msituni na kila jiwe katika milimani , katika kila nyota zing’aazo, hewa, katika ardhi, na Anga, jina la Mungu liliandikwa. Mpan-gilio na maelewano kwa vilivyo umbwa vilizungumza Hekima na Nguvu za milele.” - Wazee na manabii ukr 51.

b. Kwanini Mungu hustahili utii wetu wote na heshima juu ya mambo mengine yote? Isaya 42:5; 45:5; Zaburi 139:13-16.

“Yehova, wa milele, Mwenye uwezo wa kuwepo Mwenyewe, ambaye Hakuumbwa. Yeye mwenyewe akiwa chanzo na mtoaji wa vyote, Ni yeye peke yake mwenye haki ya kuheshimiwa na kuabudiwa. Mwanadamu amekatazwa kutoa nafasi ya kwanza kwa kitu au kiumbe chochote katika upendo kwa Mungu au kuingilia utumishi wetu kwake, hicho kinatufanya tuwe na miungu.” - Ibid ukr 305 .

c. Tunaweza kujifunza nini kutoka kwenye Mtazamo wa Malai-ka mbele za Mungu? Isaya 6:1-3; Zaburi 96:8, 4.

“Unyenyekevu na kicho lazima vionekane Kwa wale wanaomkaribia Mungu. Kwa jina la Yesu tunaweza kwenda mbele zake kwa ujasiri lakini hatutakiwi kumkaribia kwa majivuno, kana kwamba tuko sawa na Yeye. Wapo wanaoonyesha nguvu na utakatifu wa Mungu ambaye anakaa ka-tika Nuru isiyofikiwa, kama vile wanavyoweza, yuko sawa au aliye chini yao. Wapo wanaojiongoza wenyewe katika nyumba yake, ambavyo wa-singeweza kufanya hivyo mbele ya watu katika mtawala wa dunia. Hawa wanapaswa kukumbuka kwamba wanaonekana na Mungu mbele zake, ambaye Maserafi wanaabudu mbele zake Malaika wanafunika nyuso zao. Mungu anapaswa kuabudiwa Kwa kicho¸ wote wanaokubali uwepo wake wanaanguka kwa unyenyekevu mbele zake.” Ibid ukr 252

Pendo kuu la Mungu litaonyeshwa na kila mwanaume na mwanamke ambaye ni Mfuasi wa kweli wa Yesu… Sisi tu viumbe wake ni kazi ya mikono yake. Yeye ni mwenye Haki na haki ya kicho. Mtukufu na pen-do…” - Alama za Nyakati, 04 Machi 1897.

Page 8: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato Vol. 93, No. 28

Jumatano tarehe, 29 Machi

4. MUNGU MTOAJI WA UZIMAa. Je, Mungu alitoaje Uzima kwa Mwanadamu wa kwanza?

Mwanzo 2:7. Kwa sababu ya uwezo wake wa kutoa Uzima, je Mungu anaelezewaje? Zaburi 36:9.

“Wakati Mungu alipomuumba Mwanadamu kwa sura yake, umbo la binadamu lilikuwa kamili katika Mipangilio yote, lakini lilikuwa halina uzima, kisha nafasi ya uwepo wa pumzi ya Mungu ikawekwa kwenye umbo na mwanadamu akawa hai kiumbe chenye akili, sehemu zote za binadamu ziliwekwa katika kufanya kazi.” - Huduma ya Uponyaji ukr. 415.

“Moyo unaodunda, Kutweta kwa mapigo ya moyo, Kila mshipa na misuli ikawa katika kiumbe hai. Iliwekwa katika utaratibu na shughuli, Kwa uwepo wa Mungu daima.”- Ibid ukr 417 .b. Kwanini Ibrahimu aliamini kuhusu uwezo wa Mungu kwa

kurejesha Uzima? ebrania 11:19.

“Kadri (Baba na Mwanae) walipofika sehemu ambayo Mungu alikuwa amemwelekeza Ibrahimu, Ibrahimu alijenga Madhabahu na kuweka kuni kwa utaratibu tayari kwa ajili ya kafara, ndipo akamjulisha Isaka Amri ya Mungu kwa kumtoa yeye (Isaka) kama sadaka ya kuteketezwa. Aliirudia kwake ahadi ambayo kwa nyakati kadhaa aliifanya kwake, kwamba ku-pitia kwa kumchinja mwanae, Mungu angetimiliza Ahadi yake, maana aliweza kumfufua toka katika wafu.” - Mpango wa Ukombozi ukr 82.

c. Kwa jinsi gani nguvu hizi zitadhihirika tena hapo baadae? Rumi 8:11, 1Wakoritho 15:51-54.

“Dunia ilitetemeka kwa nguvu sana kadri sauti ya Mwana wa Mungu ilipowaita watakatifu waliokuwa wamelala. Waliitikia wito na kufufuka wakiwa wamevikwa utukufu wa kutokufa… Ndipo watakatifu walio hai pamoja na waliofufuliwa wakapaza sauti zao kwa nguvu, kwa shangwe ya ushindi . Miili ile iliyozikwa ikiwa na alama za magonjwa na vifo, sasa inafufuka ikiwa na afya na nguvu zisizo haribika. Watakatifu walio hai wanabadilishwa Mara. Kufumba na kufumbua na kuungana na wale wali-ofufuka na kwa pamoja wanamlaki Bwana wao hewani.” - Maandiko ya Awali ukr 287.

Page 9: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato , Vol. 93, No. 2 9

alhamisi tarehe, 30 Machi

5. KUUMBWA KAMA SeHeMU YA FAMILIA YA MUNGU a. Uhusiano wa Adamu kwa Mungu unaelezwaje? Mwanzo 1:27;

Luka 3: 38. Je, asili yake ilikuwa Kama nani kabla ya Anguko?

“Mwanadamu alipaswa kuwa na mfano wa Mungu katika mwoneka-no wa nje na katika tabia. Kristo pekee ndiye chapa ya nafsi yake (Ebrania 1:3 ) ya Baba. Bali mwanadamu aliumbwa kwa mfano wa Mungu. Akili yake ilikuwa na uwezo wa kuelewa mambo ya Mbinguni. Upendo wake ulikuwa safi, hamu ya chakula na hisia zake zilikuwa chini ya utawala wake. Alikuwa mtakatifu na mwenye furaha katika kuibeba Sura ya Mun-gu na Ukamilifu kwa utii wa sheria yake.”

“Mwanadamu alipotoka mikononi mwa Muumba wake, alikuwa mwenye umbo kubwa lililo na uwiano sawia , mwonekano wake wa uso ulikuwa na afya wenye Nuru ya uzima na furaha . Urefu wa Adamu uli-kuwa ni zaidi ya wanaume wanaokaa duniani leo. Hawa alikuwa na umbo dogo kiasi, hata hivyo umbo lake lilikuwa bora tena lililojawa Uzuri.” - Wa-zee na Manabii ukr 34.

b. Ni Uhuru gani Mungu huipatia kila nafsi? Rumi 14:12 (mwishoni).

“Sheria ya upendo imekuwa ndio msingi wa serikali ya Mungu , Fura-ha ya viumbe vyote inategemea utii kamili wa kanuni kuu za Haki. Mungu hutamani kutoka katika viumbe vyake vyote utumishi wa upendo... utu-mishi unaotoka kwenye chemichemi ya thamani ya tabia yake. Hafurahii katika utii wa kulazimishwa, na kwa wote anatoa uhuru wa utii, ili wawe-ze kujitoa kwake kwa huduma ya kujitolea.” - Wazee na Manabii ukr, 34

ijumaa tarehe, 31 Machi

MASWALI BINAFSI YA KUTAFAKARI 1. Kwa jinsi gani Mungu hufahamu zaidi athari kamili za uhusiano

wetu pamoja naye? 2. Kusudi la Mungu lilikuwa ni lipi katika uumbaji? 3. Ni kwa jinsi gani utii wa hiari kwa Mungu na mapenzi yake kwetu

hutusaidia kumuheshimu?4. Kwa namna gani uwepo wetu unategemea juu ya Yehova?5. Kwanini Mungu ametupa uhuru wa kuchagua katika Mahusiano

yetu pamoja naye?

Page 10: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato Vol. 93, No. 210

Somo la 2 Sabato ya tarehe, 08 aprili 2017

Yesu Kristo Kielelezo chetu“Kwa kuwa nimeshawapa kielelezo, Ili kwamba mtende Kama

nilivyo watendea ninyi.” (Yohana 13:15).“Pendo la Mungu ni juhudi na bidii za utukufu wake , pia ni upen-

do kwa mwnaadamu aliyeanguka kwa kumleta kristo duniani aje ku-sumbuka na kuhangaika hadi kifo, nguvu hii ilikuwa ikiongoza kati-ka maisha yake. Kanuni hii huagiza kwetu kutunza.” – Tumaini la vizazi Vyote Ukr 330.

Imependekezwa kujifunza: Tumaini la vizazi vyote ukr 71 – 74, 426-431.

Jumapili tarehe, 02 aprili

1. YeSU KAMA MWANADAMU a. Ni sifa gani Yesu aliidhihirisha alipokuwa Duniani? Wafilipi

2:8; Luka 22:42.

“Wema, upendo, huruma, upole, uangalifu daimaKwawengine (kris-to) aliiwakilisha tabia Mungu. Na siku zote alijiingiza katika huduma kwa ajili ya Mungu na Mwanadamu… Kadri Yesu alipokuwa katika asili ya mwanadamu, ndivyo Mungu humanisha wafuasi wake wawe hivyo. Kati-ka nguvu na uweza wake tunaishi katika nguvu ya utakaso na Uungwana, ambavyo Mwokozi aliishi.” - Wana na binti za Mungu, ukr 21.

b. Yapi yalikua malengo ya maisha ya Yesu duniani? Yohana 17:4; 4:34 Zaburi 40:8.

“(Yesu) alivumilia kila jaribu ambalo kwetu ni somo, alitekeleza kwa makusudi yake mwenyewe, haipo nguvu iliyotolewa kwetu isiyo ya ku-jitolea kwamba si kwa hiari. Kama mwanadamu alikutana na majaribu na alishinda katika nguvu na uwezo aliopea kutoka kwa Mungu. Anase-ma nitafanya mapenzi yako, Ee Mungu wangu, Naam sheria yako imo moyoni mwangu, Zaburi 40:8. Kadri alivyokwenda kila mahali akitenda mema na kuwaponya wote waliokuwa wameteswa na shetani aliiweka wazi kwa watu tabia ya sheria ya Mungu na asili ya huduma yake. Maisha yake hushuhudia ya kwamba inawezekana kwetu pia kutii sheria za Mun-gu” -Tumaini la vizazi vyote ukr 24.

Page 11: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato , Vol. 93, No. 2 11

Jumatatu tarehe, 03 aprili

2. KUMUWEKA MUNGU AWE WA KWANZAa. Katika Maisha yetu nini tungekifanya kipaumbele cha juu ka-

bisa? Mathayo 6:33; 1Thesalonike 2:11, 12.

“Nira ambaye hutufunga na huduma ni sheria ya Mungu. Ni sheria kuu ya upendo iliyofunuliwa Edeni, ilitangazwa juu ya Sinai, na katika agano jipya imeandikwa mioyoni. Ni ile ambayo humfunga binadamu mfanyakazi kwa mapenzi ya Mungu... Nilishuka kutoka mbinguni, siyo kufanya mapenzi yangu mwenyewe, bali kuyatenda mapenzi yake aliyenituma. (Yoh. 6:38) (Kristo huwaagiza wote ambao wanauhudumia ulimwengu). Kutafuta kwanza ufalme wa Mungu na haki yake. Na ahadi yake ni kwamba mahitaji yao kwa ajili ya miasha yao yataongezwa.” Tu-maini la vizazi vyote Ukr. 329 – 330.

b. Nini kinahitajika katika kumfuata Mungu kikamilifu? Yere-mia 29:13; Luka 14:33; Galatia 2:20

“Mfuate Mungu kwa moyo wako wote. . . katika moyo safi katika shauku lia mbe za Mungu.Pigana pamoja na mawalaka wa kimbingu mpaka upate ushindi. Weka ubinadamu wako katika mikono ya Bwana Nafsi, mwili, pamoja na Roho, na ukusudie kuwa na upendo wake, wakala mwenye wakfu, ongozwa na Makusudi yake, ongozwa na Busara zake, na ujazwe Roho wake.” - Wito wetu Mkuu wa Ukr. 131.

c. Nini kitakuwa matokeo mazuri wakati tunapingia kwenye mahusiano ya kina pamoja na Mungu, kujisalimisha kwake sisi kikamilifu? Isaya 26:3; Mathayo 5:16.

“Watu wanaomchukua Kristo katika Neno lake na kujitoa kufuata anavyoagiza, watapata burudiko. Hakuna kitu kitakachowafanya wahu-zunike duniani, wakati Yesu huwafanya wafurahi kwa kuweko kwake. Katika kukubali kikamilifu kuna pumziko kamili... Maisha yetu yanawe-za kuonekana kana kwamba yana matatizo, lakini kadri tunavyojitoa wenyewe kwa mtendakazi Mkuu mwenye Hekma, yeye atatuleta kweye mfumo wa maisha na tabia ambayo itakuwa ni kwa ajili ya utukufu wake mwenyewe.” Tumaini la vizazi vyote. Ukr. 331.

Page 12: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato Vol. 93, No. 212

Jumanne tarehe, 04 aprili

3. MAISHA YA UTUMISHI WA UPeNDOa. Kuna misingi gani miwili ya kanuni za Kikristo? Mathayo

22:36–40. Kwa namna gani tunaonyesha upedo wetu kwa maji-rani zetu? Luka 10:29 – 37.

“Katika kisa cha Msamaria mwema, Kristo huelezea asili ya Dini ya kweli. Anaonyesha kwamba siyo katika mifumo, kanuni za kiimani, au Ibada, bali ni katika utendaji wa matendo ya upendo, katika wema Mkuu kwa wengine na katika uzuri halisi…

Hatima ya Mwanadamu itajulikana kwa utii wake wa sheria yote. Upen-do Mkuu wa Mungu na pendo lisilo na upendeleo kwa watu ni kanuni ya kututoa kwenye dhambi na kutupatia uzima.” – Tumaini la vizazi vyote Uk. 497-498.

b. Upi ungekuwa Msingi wetu kwa ajili ya maisha ya Huduma kwa ulimwengu? 1 Yohana 4:11, 12; 3:16 – 18.

“Ukristo unaoendelea huchota Nia yake ya utekelezaji kutoka kwenye kina cha moyo wake wa upendo kwa ajili ya Bwana wake. Kupitia mizizi ya upendo wake kwa ajili ya Kristo hutoa upendeleo usio na ubinafsi kwa ndugu zake. Upendo... huangaza uso na unatiisha sauti, hutakasa na kui-nua ubinadamu wote.” – Huduma ya Uponyaji. Ukr. 490.

c. Upi ulikuwa utume wa Maisha ya Yesu? Luka. 19:10.

“Tangia miaka yake ya mwanzoni (Yesu) alikuwa na kusudi moja, ali-ishi kwa kuwabariki wengine.” -Tumaini la vizazi vyote. Ukr. 70.

“Yesu alitembea kupunguza kila tatizo la wagonjwa aliowaona. Ali-kuwa na pesa kidogo sana ya kutoa, lakini mara zote alijinyima chakula ili awasaidie wale ambao walionekana wanauhitaji zaidi kuliko yeye... Alikuwa na umahiri na Adabu ambayo hakuna hata mmoja wa (Ndugu zake) aliyekuwa nayo au aliyetamani kuipata. Wakati walipoongea kwa ukali kwa masikini, viumbe walioathirika Yesu aliwatafuta hawa mara moja na kuongea nao maneno ya kufariji na kutia moyo. Kwa wale am-bao walikuwa kwenye uhitaji aliwapa kikombe cha maji ya baridi. Na kwa utulivu aliwapa sehemu ya mlo wake mwenyewe mikononi mwao. Kadri alivyosaidia masumbufu yao, ukweli nao aliufundisha ulishirikia-na na matendo yake ya Rehema, na huu (ukweli) uligongwa ribiti katika ubongo.” – Ibidi. Ukr. 87.

Page 13: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato , Vol. 93, No. 2 13

Jumatano tarehe, 05 aprili

4. KUFANYA KAZI KWA AJILI YA HITAJI LA KIROHO KWA WeNGINe

a. Tabia gani njema tunaihitaji kwa ajili ya kuwahudmiwa wen-gine kama vile alivyofanya Yesu? Wafilipi 2:5-8; Luka 22:26; Mathayo 23:11, 12.

“Katika maisha yake na masomo yake, Kristo ametoa kielelezo kamili cha huduma isiyo na ubinafsi, ambayo asili yake ina Uungu. Mungu haishi kwa ajili yake mwenyewe. Kwa kuumba ulimwengu, na kuyainua mambo mengine, Daima yeye huwatumikia wengine. Hulifanya jua lake liangaze juu ya wenye matendo mema na waovu pia, na kuwanyeshea mvua watu wanyofu na wabaya. Mathayo. 5:45. Huu ni mfano bora wa huduma. Ma-isha yake yote yalikuwa chini ya sheria ya Mungu, na kwa mfano wake huonyesha jinsi tunavyoitii.” - Tumaini la vizazi vyote ukr. 649.

b. Kundi gani la watu ambalo Yesu alilihamasisha hasa kuja kwake kwa ajili ya Msaada? Marko 10:13 – 16.

c. Pamoja na Nani Mwingine Yesu anatutaka tufanye kazi? Luka 5:32.

“Mkombozi Alikuja kumwakilisha Baba kwa kuleta ujumbe wa matumaini na wokovu kwa ulimwengu wetu. Hakuishi kwa ajili yake mwenyewe. Hakufanya ushauri na raha za Anasa kwa ajili yake, haku-fanya mavuno ya majaribu. Alitenda wema hadi kufa kwa ajili ya wenye dhambi ikawakomboa na kuishi milele katika makao aliyoyaandaa kwa ajili yao. Utume wake ni kwa ajili ya kuzifundisha nafsi zinazofia dham-bini. Kazi hii Kristo ameiweka juu ya kila mmoja ambaye amemnunua.” - Lift him up, Ukr. 208.

Page 14: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato Vol. 93, No. 214

alhamisi tarehe, 06 aprili

5. MUNGU HUFANYA KAZI KUPITIA KWETUa. Kipi kilikuwa chanzo cha nguvu za Yesu? Yohana 14:10

“Kama Kristo anakaa ndani ya mioyo yetu, atafanya kazi ndani yetu popote kwa kutaka na kutenda kusudi lake jema”. Wafilipi. 2:13. Tuta-fanya kazi kama vile yeye alivyofanya, tutaidhihirisha Roho ile ile. Kwa hiyo kumpenda yeye na kuzama ndani yake.“Tutainuliwa juu kwake kati-ka mambo yote ambayo ni kichwa sawasawa na Kristo, Efeso. 4:15.” - Hatua za Kristo Ukr. 75.

b. Ni kwa namna gani tunaweza kuupata uzoefu huu, Na mato-keo yake yatakuwa nini? Yohana 15:7.

“Kama mkikaa ndani yangu na maneno yangu yakikaa ndani yenu, ombeni mlitakalo nanyi mtatendwa wakati wakati muambapo kuwepo kwa ahadi hii. Ni fursa yetu kwenda kwake na mwili wa utakaso. Kadri tu-navyomuomba katika unyenyekevu aruhusu nuru yake iangaze juu yetu, Atasikia na kujibu maombi yetu. Lakini lazima tuishi sawasawa na ma-ombi yetu, atasikia na kujibu maombi yetu, hayatakuwa kitu kama tuki-tembea kinyume pamoja nayo.” - Child Guidance Ukr. 499.

“Kuwa na uhakika ya kwamba Kristo yumo ndani yako, kwamba moyo wako upondeke kwa utiifu na unyenyekevu. Mungu atapokea tu moyo mnyenyekevu na uliopondeka. Mbinguni ni pa thamani pa maisha marefu, dumisha juhudi ndiyo, ni cha thamani kila kitu. Mungu atakusaidia katika juhudi zako kama ukijitahidi tu katika yeye.” – Shuhuda ya 4. Ukr. 259.

ijumaa tarehe, 07 aprili

MASWALI BINAFSI YA KUTAFAKARI1. Yesu aliiwakilishaje tabia ya Mungu wakati yeye alipokuwa hapa

Duniani?2. Tunawezaje kulitafuta pumziko na amani ambayo Mungu anawe-

za kutoa?3. Ni upendo gani utaongoza kwa ajili ya Mungu, na kwa jinsi gani

utajihatarisha mwenyewe.4. Yesu aliona nini katika watoto walioletwa kwake, na aliwahudu-

mia kwa namna gani?5. Inamaanisha nini “kuishi sawasawa na maombi yetu”?

Page 15: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato , Vol. 93, No. 2 15

Somo la 3 Sabato ya tarehe, 16 april, 2017.

ROHO MTAKATIFU-MWONGOZO WeTU WA UUNGU

“Na masikio yako yatasikia neno nyuma yako likisema, njia ni hii ifuateni mgeukapo kwenda mkono wa kulia, na mgeukapo kwenda mkono wa kushoto” (Isaya 30 :21).

“Uungu ulisisimka kwa huruma kwa ajili ya jamii iliyoanguka, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu walijitoa wenyewe kufanya kazi ya Mpango wa ukombozi.” - Maajabu ya Utukufu wa Mungu Ukr 190. Imependekezwa Kujifunza: Matendo ya Mitume Ukr 47-56. Wito wetu Mkuu ukr 150- 154 .

Jumapili tarehe, 09 april

1. NAFSI YA TATU YA UUNGUa. Tunajuaje ya kwamba Roho Mtakatifu anayo Nafsi ? 1Wakori-

tho 2:11; Rumi 8:16, 26.

“Roho Mtakatifu ana Nafsi. Mwingine hawezi kushuhudia katika roho zetu pamoja na nafsi zetu - ya kwamba sisi tu watoto wa Mungu. Yeye pia lazima awe Nafsi ya Uungu. Mwingine hawezi kutafuta au kupata siri am-bazo zimejificha katika akili ya Mungu” - Evangelism ukrs 617

“Tunahitajika kujua ya kwamba Roho Mtakatifu, ambaye ni kama Nafsi, ni Nafsi kabisa halisi kama Mungu alivyo Nafsi, anatembea kupitia viwanja hivi... (From a Talk to the students at the Avondale school).” -Ibid ukr 616.

b. Katika jina gani la Tatu mtu abatizwe? Na kwani nini? Mathayo 28:19.

“Kuna Nafsi hai Tatu za Uungu. Katika majina haya matatu yenye nguvu kuu -Baba, Mwana na Roho Mtakatifu - wale wanaompokea Kristo na kuwa na Imani iliyohai, wanabatizwa na nguvu hizi, watashirikiana pamoja na masomo ya utii wa mbinguni katika juhudi zao za kuishi mais-ha mapya katika Kristo.” - Ibid ukr 615 .

Page 16: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato Vol. 93, No. 216

Jumatatu tarehe, 10 aprili

2. MWALIMU WA KIMBINGU a. Ni jina gani jingine amepewa Roho Mtakatifu katika Maandiko,

na kazi gani huifanya kwa ajili yetu? Yohana 14:16, 26.

“Mfariji anaitwa “Roho wa kweli kazi yake ni kufafanua na kudumisha ukweli kwanza hukaa ndani ya moyo kama Roho wa kweli, na hivyo yeye huwa Mfariji au Msaidizi. Kuna faraja katika ukweli, lakini hakuna faraja katika uongo. Kupitia nadharia na mopokeo ya uongo shetani hutawala akili za watu kanuni hupotosha Tabia. Kupitia Maandiko Roho Mtaka-tifu husema katika akili na kuuvutia ukweli ndani ya Moyo. Hivyo hu-tafunua makosa na kuyatoa kutoka Moyoni. Kwa hakika ndani ya Moyo. Hivyo huyafunua makosa na kuyatoa kutoka moyoni kwa njia ya Roho wa kweli, huku akitenda kazi kwa neno la Mungu, Kristo huwatiisha kwake mwenyewe watu wake aliowachagua.” - Tumaini la vizazi vyote ukr 671 .

b. Ni Kwa namna gani Roho Mtakatifu hutuongoza? Yohana 16:13.

“Kama watu wanataka kuwa na ukamilifu, kuna kuletwa kwenye utakaso wa mwili wote, Roho Mtakatifu atayachukua mambo ya Mungu na kuyatia Muhuri juu ya Nafsi. Na nguvu zake za njia ya uzima itakuwa wazi, hakuna hata mmoja anayehitaji atakosa kuwemo” - Matendo ya Mitu-me ukr 53.

“Kwa jinsi gani tungeomba kwa bidii kwamba yeye ambaye huyachun-guza mambo yote hata mambo ya ndani kabisa ya Mungu, yeye ambaye wajibu wake ni kuyaleta mambo yote kwenye kumbukumbu ya watu wa Mungu na kuwaongoza kwenye kweli yote, aweze kuwa pamoja nasi kati-ka uchunguzi wa neno lake Takatifu.” – Shuhuda za Watendakazi ukr 111.

c. Ipi ni njia ya moja kwa moja ya Roho Mtakatifu ya kuvutia ukweli juu ya akili zetu? Luka 24 :34.

“Ahadi ya Roho Mtakatifu, ambaye angetuma baada ya yeye kupaa kwenda kwa baba yake , daima ni akzi makinikwa ajili ya sadaka kuu rasmijuu ya msalaba wa kalvani na upendo wa mungu usiosemeka kwa ulimwenguni na watu na kufungua hatia ya nafsi mambo ya thamani kati-ka maandiko.” - Reflecting Christ ukr 132.

Page 17: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato , Vol. 93, No. 2 17

Jumanne tarehe, 11 april

3. WAKALA ANAYe FUFUA, AU KUHUISHAa. elezea ufanyaji kazi wa Roho Mtakatifu, Yohana 3:18

“Ingawa hatuwezi kumwona Roho wa Mungu, tunajua ya kwam-ba watu ambao wamekufa katika makosa na dhambi, wanapata hatia, na kubadilishwa, na pia kuongelewa chini ya shughuli zake. Kutojali na Ukaidi unakuwa mbaya zaidi. Ugumu wa kutubu dhambi zao, na Imani dhaifu, kutoamini, Kamari, na Ulevi, Huuruhusu, Badala ya kuwa thabiti, kuwa na Kiasi, na Usafi. Uasi pamoja na Ushupavu unakuwa Wema mfano wa Kris-to. Tunapoona mabadiliko haya katika tabia, tunaweza kuwa na uhakika kwamba nguvu ya Mungu ya kuongoa imembadilisha Mwanadamu. Roho Mtakatifu hatumuoni, lakini tunaona ushahidi wa kazi na matendo yake, juu ya badiliko la tabia kwa wale ambao walikuwa Wagumu na wenye dhambi. Kama vile upepo upigavyo miti kwa nguvu zake na kuingia hadi chini ndivyo Roho Mtakatifu awezavyo kufanya kazi ndani ya Moyo wa Mwanadam hakika hakuna mwanadamu anayeweza kueleza mambo hayo jinsi kazi ya Mungu ilivyo.”- Evangelism Ukr 288.

b. Je, Roho Mtakatifu atawezaje kutengeneza mvuto ndani ya Moyo? Yohana 16:8.

“Wakati ukweli pekee unapoongozana na Moyo pamoja na Roho Mtakatifu, utaihusisha dhamiri au kuyabadili Maisha. Mtendakazi anao-nekana kuwa na uwezo wa kuwasilisha neno la Mungu vizuri, Anaweza kuwa na Uzoefu, na sheria, na ahadi zake, lakini upandaji wake wa mbegu ya Injili haufanikiwi. Mpaka mbegu hii iwe hai katika Uzima na umande wa Mbinguni. Pasipo Ushirikiano na Roho wa Mungu, hakuna kiwango cha juu cha Elimu, wala faida kubwa kuliko, inayotolewa kufanyika katika njia ya Uzima.” – Injili ya Watendakazi Ukr 284.

“Ni nani lakini, Ni Roho Mtakatifu awasilishaye mbele kiwango cha maadili mema ya haki na usadikishaji wa dhambi, na kuzalisha masikitiko ya thamani yaletayo toba kwa Yule ambaye hakuhitaji toba na kumwamini Yeye Peke yake ambaye anaweza kuokoa kutoka katika dhambi?.” - Reflec-ting Chirst uk 132.

“Manufaa gani yangekuwa kwetu, kwamba mwana pekee wa Mun-gu alikuwa amejinyenyekeza mwenyewe, na kustahimili majaribu ya adui mjanja na akashindana naye wakati wa uhai wake duniani, akafa tu kwa ajili ya wanadamu wasio na haki wenye dhuluma ili wasiangamie ikiwa Roho (Mtakatifu) alikuwa hajatolewa kikamilifu kufanya kazi ya kuhusisha wakala aletaye uzima jambo gani limekuwa likitendeka nje na mkombozi wa ulimengu.” - Jumbe zilizoteuliwa vol. 3, ukr 137.

Page 18: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato Vol. 93, No. 218

Jumatano tarehe, 12 april

4. KAZI YA ROHO NDANI YA MOYOa. Roho Mtakatifu hutuchocheaje tufanye mema gani? Isaya

30:21

“Yeye atendaye mapenzi ya Mungu, ambaye hutembea katika njia am-bazo Mungu ameziwekea alama, hawezi kujikwaa na kuanguka. Nuru ya Uongozi wa Roho wa Mungu hutolewa kwake isafishe mitizamo na waji-bu wake, na Nuru humuongoza hadi kufungwa kwa kazi yake...”- Tumaini la vizazi vyote ukr 527.

“Lakini wale ambao wanatamani kuwa wa kweli kwa Kristo watai-sikia sauti ile isemayo.Hii ndiyo njia tembea ndani yake (Isaya 30:21)wa-taamua kuchukua mafunzo ya Haki japo ni vigumu zaidi kujiingiza mau-mivu makali zaidi yafuatia, kuliko njia za mioyo yao wenyewe.” - That I may know Him ukrs 251.

b. Katika udhaifu wetu, je Roho Mtakatifu hutusaidiaje? Rumi 8:26.

“Kristo Mpatanishi wetu na Roho Mtakatifu daima anaomba kwa nia-ba ya wanadamus. Lakini Roho haipatikani kwa ajili yetu kama vile kris-to ambaye alitoa damu yake, iliyomwagika tokea misingi ya Dunia Roho hufanya kazi juu ya mioyo yetu, huzivutia sala , namna ya kutubu , kusifu na kushukuru . Shukrani ambazo hutiririka kutoka katika midomo yetuni matokeo ya Roho katika kumbukumbu za nafsi takatifu na kuamsha mziki ndani ya moyo - The SDA Bible Commentary vol. 6, ukr 1077 , 1078.

c. Ni jukumu gani Roho hushughulikia katika Uongofu wetu? ezekiel 36:25-27.

“Mtu anaweza kuwa mshiriki wa kanisa, na anaweza kuonekana aki-fanya kazi kwa usahihi na bidii, kufanya mizunguko ya majukumu tokea mwaka hadi mwaka, lakini bado anakuwa hajaongoka. Lakini wakati akiupokea ukweli wa moyo ukapenya katika dhamiri na kuteka nafsi na kanuni zake takatifu. Ukawekwa ndani ya moyo na Roho Mtakatifu amba-ye hufunua uzuri wake wa akili, Ndipo badiliko lake linaweza kuonekana katika Tabia.” - Reflecting Christ ukr 217.

Page 19: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato , Vol. 93, No. 2 19

alhamisi tarehe, 13 aprili

5. HAKUNA LAWAMA a. Jambo gani limeandikwa kuhusu msimamo wetu na Mungu

wakati tunapo ongozwa na Roho wake? Rumi 8:1.

“Kwa maana wewe, si mali yako mwenyewe, umenunuliwa kwa tha-mani kuu “Ninyi mmekombolewa si kwa vitu viharibikavyo, kwa fedha, au dhahabu... Bali kwa damu ya thamani ya Kristo, kama ya Mwana kon-doo asiye na mawaa” 1 Petro 1:18-19, Kupitia tendo hili jepesi la kumwa-mini Mungu, Roho Mtakatifu anazaa maisha mapya katika moyo wako. Unakuwa kama mtoto wa kuzaliwa kwenye familia ya Mungu, na Mungu hukupenda kama vile ampendavyo mwanae.”

“Sasa kwa kuwa umejitoa mwenyewe kwa Kristo, usirudi nyuma, wala kuchukua msimamo wa kukaa mbali kutoka kwake, lakini siku kwa siku sema ‚Mimi ni Wakristo’ nimejitoa mwenyewe kwake, na umuombe akupe Roho wake na akulinde kwa Neema yake. Kama ilivyo kwa kujitoa mwenyewe kwa Mungu na Kumwamini Yeye, kwamba umekuwa mtoto wake na unaishi ndani yake. Mtume anasema “kama nilivyompokea Kristo Yesu Bwana enendeni vivyo hivyo katika Yeye.” (Kolosai 2:6) - Hatua za Kristo ukr 51, 52.

b. Ni kwa jinsi gani makusudi ya mahusiano yetu yanafanywa karibu na Kristo? Mathayo 10:20

“Kisha Yesu anapofanya kazi ndani yako, utadhihirisha Roho uileile na kutenda matendo yale yale mema… ya kazi njema ya Haki na utii... Eneo letu la tumaini la pekee ni kuhesabiwa kwetu haki kwa njia ya kristo na katika kumfanya Roho wake afanye kazi kupitia kwetu.” - Ibid, ukr 63.

iJumaa tarehe, 14 aprili

MASWALI BINAFSI YA KUTAFAKARI1. Ni uhusiano gani hufanywa na Roho Mtakatifu kuupata kwa Baba

na Mwana?2. Kwa jinsi gani Roho Mtakatifu hufanya kazi kwa kutia Muhuri

juu ya akili?3. Tunajuaje ya kwamba Roho Mtakatifu anafanya kazi ndani ya ma-

isha ya mtu?4. Roho Mtakatifu huombaje kwa ajili yetu?5. Kadri Roho Mtakatifu asababishavyo maisha mapya ndani ya

moyo, nini kitakuwa kinatuongoza kufanya kila Leo?

Page 20: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato Vol. 93, No. 220

Somo la 4 Sabato ya tarehe, 22 april 2017

NAFSI INAYOTEMBEA PAMOJA NA MUNGU

“Onjeni na Muone ya kuwa Bwana yu mwema Heri mtu Yule anaye mtumaini.” Zaburi 34:8.

“Mungu huwa anatamani kuirejesha sura yake ndani yako.Amini kwamba yeye ni msaada wako. Dhamiria kumfahamu zaidi kadri unavyozidi kumkaribia zaidi kwa kukiri na ungamo la Toba , Naye atakukaribia kwa msamaha na Rehema.”-Review and herald 15 Februari, 1912. Imependekezwa kujifunza: elimu, ukr 253- 261.

Jumapili tarehe, 16 april

1. BADILIKO LA MOYO a. Asili ya mioyo yetu ni ipi ? na je Mungu hutaka atupe nini sisi

kwa ajii ya kuibadili? Yeremia 17:9 ezekiel 36:26.

“Wakati Yesu anapoongelea Moyo mpya humanisha, Akili na maisha, ya kiumbe chote kizima. Kupata badiliko la moyo ni pale unapojitenga kabisa na tamaa za Kiulimwengu na kuzifunga juu ya Kristo. Ilikupata Moyo mpya, lazima uwe na akili mpya, Makusudi mapya na mvuto mpya. Ishara ya moyo mpya ikoje? Ni Badilikola kuishi, Kila siku, kila saa ufie ubinafsi na kiburi” - God’s Amazing Grace ukrs 100.

b. Ni uzoefu gani Mungu anataka tuwe nao kadri tunavyopokea Moyo mpya? Ayubu 22:21; Yeremia 24:7.

“Kwa namna yoyote mstari wa uchungu tunaukimbilia kwa lengo la dhati ili kuufikia ukweli. Tunaletwa katika Mguso usioonekana, Mweza mkuu Yule afanyaye kazi Kwa waelevu wa kupindukia. Akili ya mwa-nadamu huletwa katika ushirikiano pamoja na akili za Mungu. Athari za ushirikiano wa akili na mwili na Roho ni zaidi ya makisio.

“Katika ushirikiano huu hupatikana Kwa kiwango cha elimu ya juu.” - My life to day ukr 264.

Page 21: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato , Vol. 93, No. 2 21

Jumatatu tarehe, 17 aprili

2. MWAMINI MUNGU KAMA BABA YeTUa. Kielelezo gani tunakipata kutoka kwenye Maandiko ambayo

yanaonyesha Imani kuu? Luka 23:46; Mwanzo 22: 7-9.

“Katikati ya giza la kutisha uwepo wa Mungu ulifichika, Kristo ali-kuwa akikinywea kikombe cha hasira cha ole wa Mwanadamu. Katika masaa hayo ya kutisha, alikuwa nategemea ushahidi wa kukubalika kwa Baba yake kama alivyokuwa amempa hapo awali. Baba alikuwa pamo-ja na Mwanae Kristo aliitambua haki yake, Rehema zake na pendo lake kuu. Kwa Uaminifu na Imani kuu alipumzika kwake Yule amabye daima imekuwa furaha yake na utii. Na kadri alivyonyenyekea alijitoa mwenyewe kwa Mungu. Hisia ya hasara ya fadhila za Baba yake zilitoweka. Kristo ali-kuwa mshindi.” - Tumaini la vizazi vyote ukr, 756.

b. Jambo gani huhusisha katika kumtumaini Mungu? Mithali 3:5-6.

“Kuegemea ufahamu wako wewe mwenyewe, ndugu mpendwa kadri unavyofanya njia zako mwenyewe za kupitia hapa duniani, Utavu-na masikitiko na hutokuwa na matumaini. Mtumaini Bwana kwa moyo wako wote naye ataziongoza hatua zako katika Hekma na Busara, na mvu-to wako utakuwa salama katika ulimwengu huu, na ule ujao.” Shuhuda ya 5, ukr 427.

c. Katika yupi huwa tunaweka mwelekeo wa asili wa Tumaini letu, Na ushahidi gani Mungu hutupatia? Zaburi 118:8-9; Mi-thali 29:25.

“Nafasi yoyote katika maisha tunaweza kuichukua, kuwa na shuhguli zozote, lazima tuwe na unyenyekevu wa kutosha kwa kuhisi hitaji letu la msaada. Lazima tuegemee kwa kina juu ya mafundisho ya neno la Mungu, Kukiri majaliwa yake katika mambo yote, na kuwa Waaminifu kwa kuzi-mimina nafsi zetu katika Maombi.” - 1bid .

“Kila mtu binafsi lazima amtafute kwa bidii Mungu kwa ajili yake wenyewe, na iwe hivyo… Leta mizigo yako yote, iwe ya siri, au ile ya ha-dharani Kwa Bwana na usubiri kwake. Ndipo utakuwa na uzoefu binafsi kwa uwepo wake bayana na utayari wake wa kusikia maombi yako. Kwa ajili ya hekima na kwa ajili ya maelekezo amabyo yatakupa uhakika na kujiamini katika utayari wa Bwana kwa kukusaidia wewe katika mambo ya kutatanisha.” - This Day with God, ukr 82

Page 22: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato Vol. 93, No. 222

Jumanne tarehe, 18 aprili

3. TUMIA MUDA KWA NeNOa. Ni uzoefu gani Bwana hutaka tuwe nao katika majifunzo yetu

binafsi ya Biblia? Yeremia 15:16; Zaburi 34:8.

“Nafsi ambayo imejilisha kwenye mkate wa Uzima , hakuwa na mwe-lekeo wa kutiwa uzima na Roho wa Mungu.” Shuhuda ya 6, ukr 153.

“Kila mmoja lazima awe sahihi na Baraka za nafsi yake mwenyewe, Vinginevyo hatalishwa... unajua huwezi kula pamoja na wengine kwenye meza safi ndefu. Tunaweza kufa kama hatushiriki chakula cha kimwili, na tutapoteza nguvu zetu za kiroho na uwezo kama hatujilishi katika mkate wa Uzima...

“Wale ambao wanakula na kujilisha neno hili wanafanya washiriki sehemu ya kila tendo kila kinachotokana na tabia , kukua katika uimara wa nguvu za mungu na uwezo. Nafsi hupewa nguvu ya kuishi milele, uzoefu mtimilifu na kuletwa katika furaha ambayo itakaa daima.” – Kwa Imani Naishi, ukr 22.

b. Kitu gani cha kufanya ili tuweze kuongea na wengine maten-do makuu ya Mungu? Zaburi 119:27.

“Roho Mtakatifu hupenda kushughulika na vijana na wagundue ha-zina ya Uzuri ya neno la Mungu, Ahadi za kuongea na Mfundishaji mkuu atateka akili na nafsi iliyo hai kwa nguvu za kiroho ambazo ni za kim-bingu. Kuna kukua katika tunda la kiakili uzoefu wa mambo ya Mungu amabyo yatakuwa Ngome dhidi ya majaribu.

“Maneno ya ukweli yatakuwa katika umuhimu, na fikra pana na uka-milifu wa maana mabo hatuwezi kuiwaza. Uzuri na utajiri wa neno huwa unashawishi mvuto juu ya akil na tabia. Nuru ya upendo wa mbinguni itaanguka juu ya moyo kama msukumo…” -Vielelezo vya Mafundisho ya Kristo, ukr 132.

c. Ni Baraka gani nyingine huja kwetu kadri tunavyotumia muda katika kujifunza neno la Mungu? Zaburi 17:4; 119:1,93.

“Moyo ambao umetunza ukweli wa thamani wa neno la Mungu hui-marika dhidi ya majaribu ya shetani, dhidi ya mawazo potofu na matendo machafu. - My life to day ukr 28.

Page 23: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato , Vol. 93, No. 2 23

Jumatano tarehe, 19 april

4. ZUNGUMZA NA MUNGUa. Kipi tusingepaswa kukisahau katika kuleta sala na dua zetu

kwa Mungu? Wafilipi 4:6.

“Nawe Ushukru Kwa kila jambo jema ambalo Bwana amekupatia. Sifa na shukrani zingeonyeshwa kwa Mungu kwa ajili ya Mibaraka na kwa ajili ya faraja za kila namna ambazo huzimwaga juu yetu. Mungu angepen-da kuwa kila familia ambayo anaiandalia makao ya milele imtukuze Yeye kwa ajili ya hazina ya utajiri wa Neema yake” - Mwongozo wa watoto, ukr 148.

“Kama tuanamweka Bwana daima mbele yetu kwa kuiruhusu mioyo yetu itoe sifa na shukrani na kumtukuza Yeye. Tutakuwa na burudiko da-ima katika maisha yetu ya kidini. Maombi yetu yatachukua mfumo wa Mazungumzo pamoja na Mungu kama vile tunataka kuzungumza na ra-fiki. Naye ataongea siri zake binafsi kwetu- mara zote itakuja kwetu furaha tamu kwa kuhisi uwepo wa Yesu.” - Vielelezo vya Mafundisho ya Kristo ukr 129.

(b) Kipi kilikuwa kielelezo cha ushirika pamoja na Baba yake wakati Yesu alipokuwa duniani? Luka 6:12

“Mwokozi alikuwa mfanyakazi asiyechoka, hakupima nguvu zake kwa kazi za masaa. Muda wake, Moyo wake, alijitoa kufanya kazi kwa manufaa ya Mwanadamu. Siku nzima alijitoa kazini, na usiku mzima uli-tumika katika maombi na sala, ambazo zingemwezesha kukutana na adui mjanja katika kazi zake za udanganyifu mkuu, kwa kufanya kazi yake ya kuinua na kuurejesha ubinadamu.” - Shuhuda ya 9, ukr 45.

c. Mara kwa mara tungeomba kwa namna gani? Zaburi 5:3 ; 55:17; 1Thesalonike 5:17

“Kama tungeiendeleza tabia ambayo Mungu anaweza kuipokea, ni lazima tuwe na tabia njema na kuunda mfumo sahihi wa Maisha yake ya kidini. Maisha ya kiroho menyewe ni kama chakula cha kidunia cha us-tawi wa kimwili. Tunapaswa kujizoeza wenyewe kwa mara zote kuyainua mawazo kwa Mungu katika maombi. Iwapo akili inapotea, lazima tuiru-dishe mwanzoni kwenye juhudi za kudumu, Hatimaye tabia itafanywa kuwa rahisi.” - Ujumbe kwa Vijana, ukr 114.

Page 24: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato Vol. 93, No. 224

alhamisi tarehe, 20 aprili

5. MUNGU ANAYe SIKIAa. Kuna hali ya tabia gani juu ya Mungu ambaye husikia na kuji-

bu Maombi? Isaya 57:15 Mathayo 21:22

“Maombi ni njia iliyowekwa na Mbingu ya kupata ushindi katika Pambano dhidi ya dhambi na dhidi ya maendeleo ya tabia ya kikristo. Mi-vuto ya Kimbingu inayokuja kama jibu kwa maombi ya Imani, itafanikiwa kutenda katika moyo wa mwombaji ambaye yeye huungama. Kwa ajili ya msamaha wa dhambi, kwa Roho Mtakatifu kwa tabia kama Yesu kristo kwaajili ya hekima na nguvu kwwa kufanya kazi yake, na kwa kipawa chochote ameahidi , Tunaweza kuomba , na Ahadi yake ni ombeni nanyi mtapata.” - Matendo ya Mitume, ukr 564.

“Mwombeni Mungu afanye mambo ambayo hamuwezi kuyafanya ninyi wenyewe. Mwambieni Yesu kila jambo. Fungua na uweke wazi siri za moyo wako wote mbele zake. Kwa kuwa macho yake husaka na kutafu-ta pale palipo na nafasi ya siri, naye husoma mawazo yako kama kitabu kilicho wazi. Wakati unapoomba kwa ajili ya mambo ambayo ni ya lazima naya muhimu kwa uzuri wa nafsi, Amini ya kwamba umeyapokea na uta-yapata.” - Nyumbani mwa Mkristo, ukr 299.

b. Ni wakati gani Mungu hushindwa kusikia maombi yetu? Za-buri 66:18.

“Kutenda dhambi makusudi inayojulikana hunyamanzisha sauti ya Roho Mtakatifu na hujitenga na nafsi toka kwa Mungu... Mungu huwahes-himu tu wale ambao humtukuza Yeye.” - Ujumbe Kwa vijana ukr 114.

ijumaa tarehe, 21 aprili

MASWALI BINAFSI YA KUTAFAKARI 1. Kuwa na moyo mpya humanisha nini?2. Kwa jinsi gani Kristo aliamini katika Baba yake hata wakati ali-

pokuwa chini ya masumbufu ya kupoteza mapenzi ya Baba yake?3. Kadri tunavyo zijaza akili zetu neno la Mungu uzoefu wetu wa

Kikristo utakuwa kama?4. Ni kwa namna iliyoje maombi yetu kuwa kama mazungumzo

pamoja na Mungu?5. Ni Mambo ya Namna gani tuanweza kumwambia Mungu katika kuom-

ba, na kwa jinsi gani inaaweza kuathiri uhusiano pamoja naye?

Page 25: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato , Vol. 93, No. 2 25

Somo la 5 Sabato ya tarehe, 25 aprili 2017

KANUNI YA THAMINI ILIYOHAI“Basi mambo yote mtakayo mtendewe na watu, nanyi watende-

eni hivyo hivyo”. Mathayo. 7:12.“Kanuni ya thamani ni kanuni ya hisani ya kweli na ukweli wake ni

mfano unaonekana katika maisha na tabia ya Yesu.” – Mlima wa Baraka. Ukr. 135.Imependekezwa Kujifunza: Shuhuda ya 2 Ukr 133-136.

Jumapili tarehe, 23 aprili

1. KUFAFANUA KANUNI YA THAMANIa. Kanuni ya thamani Ikoje? Mathayo 7:12

“Wayahudi walikuwa na wasiwasi kuhusiana na kile ambacho wan-gepaswa kukipokea, mzigo wa wasiwasi wao ulikuwa wa kudumu kwa kile walichodhani juu ya heshima na madaraka na nguvu juu ya huduma zao. Lakini Kristo hufundisha kwamba, Wasiwasi wetu usiwepo, kwamba tunapokea kiasi gani? bali tuweza kutoa kiasi gani? Kiwango cha wajibu wetu kwa wengine kipatikane katika namna ile ilivyo kwetu wenyewe ku-husiana na wajibu wao kwetu.

“Kwa kushirikiana pamoja na wengine, kwa kujiweka mwenyewe katika nafasi zao na sehemu zao, kuingia katika hisia zao, Magumu yao, Kukatishwa tamaa kwao, Furaha yao, na huzuni zao na masikitiko yao, Jishusha pamojanao, penda wawe pamoja nawe, hii ni kanuni ya thamani ya kweli ya Uaminifu” – Mlima wa Baraka. Ukr. 134.

a. Msingi wa kanuni ya thamani ni upi? Mathayo 22:37-39

“Katika maisha yako umeonyesha nini maana ya kumpenda Mungu kwa Moyo wako wote, na kumpenda jirani kwa moyo wako wote kama wewe mwenyewe. Shikamana pamoja na hekma na pendo la Mungu, uta-uthibitishia ulimwengu ukweli kwamba hauishi kwa ajili ya ulimwengu huu, bali ni kwa kile ambacho si cha mda mfupi, ni cha Milele.” – That I may know Him Ukr. 90.

Page 26: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato Vol. 93, No. 226

Jumatatu tarehe, 24 aprili

2. KUWAJALI WASIO NA NEEMAa. Ni kwa akina nani tuna deni la upendeleo wa kutoa ujumbe

wa Injili pote kwa Amri na kwa kielelezo? Rumi 1:14-15.

“Kila mtu ambaye amefanywa kuwa mhudumu wa Neema mba-limbali za Mungu, ameitwa juu ya kuwapa Roho walio katika ujinga na giza hata kama alikuwa katika maeneo yao, angetamani waipate kwake... kwa wale wote wanaoutambua upendo wa Mungu, na wale wote ambao wamepokea utajiri wa karama za Neema yake juu zaidi, wanaweza kuan-gamiza nafsi ikiwa wanapuuza na kuwa na mashaka katika nafsi juu ya kupata karama hizi kutoka kwake.” –Mlima wa Baraka Ukr. 135.

b. Ni kwa nani mwingine tunayo huduma maalumu kwa ajili ya maisha haya? Yakobo 1:27; Ayubu 29:15-16.

“Chochote unachokimiliki juu ya wenzako, Kinadaiwa. Kwa namna yoyote na wale ambao hawana ufadhili. Utajiri tulio nao, hata kama ni faraja ya Maisha, upo chini ya wajibu makini zaidi kwa ajili ya kuwajali wanaosumbuka na kuumwa, Wajane na Yatima, kama vile hasa wanavyo-tamani kuwajali.”- Ibid, Ukr 136.

“Kwa upendo wetu na huduma kwa ajili ya mahitaji ya watoto Kristo tunathibitisha Pendo letu halisi kwa ajili yake”. – Huduma ya Uponyaji, Ukr 205.

c. Kwa nini Yesu hakupokelewa na watu wengi wakati ali-pokuwa akiishi hapa duniani? Isaya 53:2

Tunaweza kujifunza nini kutoka katika kumbukumbu za Biblia tuna-pojaribu kuwasaidia wengine?

“Badala ya kutafuta kuwa mwenye kujipenda mwenyewe, au kuwa mmoja mwenye kujivuna, ambaye waweza kuwa mwenye kujijali sana, Angalia kama hakuna mtoto masikini ambaye hana ufadhili, kwake hu-jaonyesha wema na upole maalumu. Na ulifanye hili swala kuwa moja ya tahadhari ya kutokuwa na ubinafsi. Wale ambao hasa wamevutiwa wata-kuwa hawajapotea kwa kuwa marafiki. Wakati wale ambao hawajapende-za katika mwonekano, ambao ni waoga, wagumu kufahamu, wanaweza kuchagua sifa za tabia, wamenunuliwa kwa damu ya thamani ya Kristo” – Wito wetu Mkuu Ukr. 229.

Page 27: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato , Vol. 93, No. 2 27

Jumanne tarehe, 25 aprili

3. UTIMILIFU WA KANUNI ZA SHERIAa. Yesu aliziishi vipi kanuni za sheria? Matendo 10:38.

“Oo, Mionzi ya Nuru ya uzuri kiasi gani iliyoangaza katika maisha ya mwokozi wetu ya kila siku! Utamu kiasi gani ulifuatia kutoka katika kila uwepo wake. Roho ile ile itaonekana tena katika wafuasi wake. Wale ambao hukaa pamoja na Kristo watazungukwa na anga la Uungu. Mavazi yao meupe safi yatakuwa na harufu nzuri na manukato mazuri tokea kati-ka Bustani ya Bwana. Nyuso zao zitaagaza Nuru kutoka kwake, kuzianga-zia sehemu na njia kwa ajili ya miguu iliyochoka.” – Mlima wa Baraka Ukr. 135.

b. Kwa nini ni lazima kwa ajili yetu kumfuata Kristo katika Pendo la Mungu na kwa wanadamu wenzetu? Luka 9:23; Galatia 2:20.

“Mtu anatakiwa kumpenda Mungu kwa moyo Mkuu, kwa nguvu zake, akili, na kwa uwezo wake, na jirani yake kama nafsi yake mwenyewe. Hili jambo hawezi kulifanya liwezekane, vinginevyo ajikane mwenyewe. Kuji-kana nafsi humanisha kuutawala moyo wakati shauku inapokuhangaisha, pinga majaribu, Epuka maneno ya kuudhi na kusuta, kuwa mvumilivu, mwenye subira kwa mtoto ambaye ni mbaya, na yule ambaye mwenendo wake ni mchungu na wenye majaribu. Simama kwenye nguzo ya wajibu hata kama wengine wanaweza kushindwa. Inua majukumu popote na wakati wowote pale wajibu unapohitajika. Siyo kwa kupata vigelegele, si kwa ajili ya sera, bali ni kwa ajili ya Mwalimu mfundishaji Mkuu, Ambaye amempa kila mfuasi wake kazi ambayo anatakiwa kuifanya kwa juhudi na uaminifu. Kujikana nafsi ina maana ya kufanya mema, wakati mwelekeo ungeweza kusababisha kutuongoza kuwatumikia na kufurahiana sisi wenyewe. In-amaanisha kuvumilia kazi na kufurahi mema ya wengine. Ingawa juhudi zetu zinaweza kuonekana kutokukubabalika.” - In heavenly place Ukr. 223.

c. Ni kwa namna gani Yesu hutuwezesha kufuata mfano wake? Tito 2:14.

“Kukubalika kwetu kwa Mungu, uhakika pekee upo kwa njia ya Mwanae mpendwa wake matendo mema yapo, lakini ni matokeo ya kazi yake ya upendo wa msamaha anayesamehe dhambi. Hawana faida nasi, wala hatuna kitu cha kuwapa kwa ajili ya matendo yetu mema ambayo tunaweza kudai sehemu ya wokovu wa Roho zetu. Wokovu ni zawadi tena ni kipawa cha Bure toka kwa Mungu, amepewa muumini kwa ajili ya Kristo pekee.” – SDA Bible commentary Vol. Ukr. 1123.

Page 28: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato Vol. 93, No. 228

Jumatano tarehe, 26 aprili

4. KUWAPeNDA WASIOPeNDAa. Tunawezaje kuvuka ng’ambo ya kiwango cha kidunia cha

wema? Mathayo 5:44–47

“[Kristo] anatupenda na wale wanatukandamiza na kutufanyia ma-dhara. Siyo lazima tueleze kwa maneno na vitendo ya Roho waliyoidhihi-risha wao, bali tuwahakikishie kwa kila nafasi kwa kuwatendea mema.” - The upward Look Uk. 220.

“Yeye ambaye juu ya mlima alitoa Agizo” Wapendeni maadui zenu” Mwenyewe ni kielelezo mfano wa kanuni, siyo kulipa ubaya kwa ubaya, au matusi kwa matusi, bali wenye Baraka na kubariki”– Math. 5:44, 1 Petro 3:9 – Tumaini la vizazi vyote Uk. 265.

b. Tunawezaje kukiishi kiwango cha upendo wa Kristo katika njia ya matendo halisi? Mithali 20:22; 24:29, 17; 25:21-22.

“Ulikuwa umeletwa Mkate wa uzima kuja kwa maadui zake, ambapo Mwokozi wetu aliacha mbingu nyumbani kwake. Ingawa dhuluma na mateso yalirundikwa juu yake tokea utotoni hadi kaburini. Aliwaita waje kwake kwa usemi wa msamaha wa upendo. Kupitia Nabii Isaya husema, “Naliwatolea wapigao mgongo wangu na wang’oao ndevu mashavu yangu sikuficha uso wangu usipate fedheha na kutemewa mate. Alionewa lakini alinyenyekea wala hakufunua kinywa chake, kama mwanakondoo ape-lekwaye machinjio, Na kama kondoo anyamazavyo mbele yao wakatao manyoya yake, Naam hakufunua kinywa chake.” Isaya 50:6, 53:7. Kutokea msalabani pale Kalvari yanashuka maombi kwa wauwaji wake na ujumbe wa matumaini kwa mwizi aliyehukumiwa kifo”. – Mlima wa Baraka Ukr. 71.

c. Hutokea jambo gani kwa wale wanaojitoa kwa wengine? Mathayo. 7:2 (Sehemu ya pili) Luka 6:38.

“Chochote tunachotoa, tutakipata tena. Baraka za kidunia tunazozitoa kwa wengine inawezekana kuwa nazo, hurudishwa kwa aina yake. Sisi hutoa nini katika muda wa mahitaji mara nyingi huturudia katika kipimo cha mara nne katika sarafu za kiulimwengu. Lakini zaidi ya hayo, zawadi zote zinalipwa tena hata katika maisha haya, katika kumfuata mtoaji tele wa pendo lake ambalo ni jumla ya Utukufu wote wa Mbinguni na hazina zake.” – Ibid Ukr. 136.

Page 29: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato , Vol. 93, No. 2 29

alhamisi tarehe, 27 aprili

5. HUDUMA ISIYO NA UBINAFSIa. Ni mtazamo gani wa lazima ili kufuata kielelezo cha Yesu ka-

tika huduma isiyo na ubinafsi? Filipi 2:4.

“Moyo ambao upendo wa Kristo unatawala, utakuwa na upendo am-bao hautafuti mambo yake mwenyewe.” Wazee na manabii Ukr. 133.

“Paulo alikuwa na wasiwasi wa kina kuwa udhalilishwaji na fedheha ya Yesu ingeonekana kutambuliwa na kukubalika. Alishawishika kuwa, Kama watu wangeweza kuongozwa kwa kuzingatia maajabu ya kafara iliyofanyika kwa kutolewa mfalme wa Mbinguni, Ubinafsi ungeteketea kutoka mioyoni mwao.” – Huduma ya uponyaji Ukr. 501.

“Kila mmoja ambaye humpokea Kristo kama Mwokozi wake pekee, ata-tamani sana fursa ya kuokolewa na Mungu. Tafakari, ni jambo gani mbin-gu zimefanya kwa ajili yake, moyo wake unaongozwa na upendo usio na ukomo na shukrani. Ana shauku na shukrani kwa kubidisha uwezo wake katika utumishi wa Mungu. Anatamani kuonyesha upendo wake kwa ajili ya Kristo kwamba yeye ni Milki yake aliyenunuliwa.” – Ibid Ukr. 502.

b. Jambo gani rahisi tungelikumbuka kadri tunavyofanya kazi pamoja kama Kanisa? Rumi 12:16, 17; 1Korintho 1:10.

“Nguvu ya watu wa Mungu iko katika muungano wao pamoja naye kupitia njia ya mwanaye pekee, na muungano wao unakuwa mmoja. Ha-kuna majani mawili ya mti yanayofanana kabisa, au kufanya akili yote ikimbie katika mwelekeo ule ule, bali wakati huu ni hivyo, kunaweza kuwepo umoja katika utofauti.” – The SDA Bible Commentary Vol. 6. Ukr. 1083.

ijumaa tarehe, 28 aprili

MASWALI BINAFSI YA KUTAFAKARI1. Kuifuata kanuni ya Thamani ina maanisha nini?2. Kwa jinsi gani kanuni ya thamani inahusika kutoa ujumbe wa In-

jili?3. Ni njia gani baadhi za kimatendo halisi naweza kuzikataa

mwenyewe?4. Yesu alifunuaje upendo wake mbele yao waliomnyanyasa?5. Kadri ninavyozingatia ukubwa wa kafara ya Yesu aliyoifanya kwa

ajili yangu, nawezaje kuonyesha upendo wangu kwake?

Page 30: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato Vol. 93, No. 230

Sabato ya tarehe, 06 Mei 2017

Sadaka ya Sabato ya kwanza Ni kwa ajili ya Utume ulimwen-guni.Tunaishi katika kipindi cha dakika za

mwisho wa Historia ya Sayari ya Dunia na Bwana amesubiri kwa shauku ya mda mrefu kutuchukua ili kutupeleka nyum-bani. Matukio ya Unabii usiopinda mbele za macho yetu, hutuambia kuwa tukio la ujio wa Yesu mara ya pili liko karibu, tena mlan-goni- Kwa bahati mbaya ujumbe wa Injili haujafi-ka hadi miisho ya Dunia, na kila mmoja hajapata nafasi ya kuusikia ukweli wa wakati huu. “Watu hivi karibuni watalazimika ku-fanya maamuzi ya hali ya juu, Lazima wapate nafasi ya kusikia na kufa-hamu ukweli wa Biblia, ili kwamba waweze kuchukua msimamo wao wa akili timamu upande wa haki.” Evangelism Ukr. 25.

Tukiwa Kama washiriki wa Kanisa la Mungu, ni nafasi yetu ya upen-deleo kuielekezea tabia yake na kuchukua nafasi katika kuieneza injili hadi mwisho wa dunia kwa kutumia wakati wetu, nguvu zetu, na rasilimali fedha, kwenye hii kazi muhimu.

Shukrani kwa maombi na michango ya kifedha kutoka kwa washiriki wetu na marafiki zetu. Maeneo mapya yamekuwa yakianzishwa katika kanda mbalimbali. Misheni hizi mpya bado zinahitaji juhudi zetu hadi hapo zitakapoimalika vizuri na kujitegemea zenyewe. Pia tunahitaji kwen-da mbele katika ufunguzi wa misheni mpya chache. Kila mwaka tunaku-sanya sadaka maalumu kwa ajili ya kuzigawa ili kwenda kueneza injili katika sehemu mpya.

“Katika wakati huu kungekuwepo na wawakilishi wa ukweli wa leo katika kila mji, na katika maeneo ya mbali ya ulimwengu. Dunia yote iwe imeangazwa pamoja na Utukufu wa Mungu wa kweli. Nuru inaangaza katika nchi yote na kwa watu wote. Inatoka kwa wale ambao wamepokea Nuru ile inayoangaza pote.” – Ibid Ukr. 407.

Wamishonari wanahitajika katika maeneo ambayo yamekuwa na shi-da kuyafikia. Maeneo mapya yafunguliwe kwa wingi. Ukweli utafasiriwe katika lugha mbalimbali, kwamba Mataifa yote yafurahie uzuri wake, yavutiwe na maisha ya kujitoa. – Ibid Ukr. 409.

Sabato hii tunaomba kwa dhati kwako, uunganishe juhudi zako pamo-ja na hao wamishionari pamoja na familia zoa kwa kujitoa kwa wingi kwa kuziunga mkono na kusaidia misheni zetu ulimwenguni. Kwa njia hii tu-naweza kwa pamoja kusaidia kuingaza dunia kwa utkufu wa Mungu na kurudi kwa Yesu upesi.

Ni ndugu zenu kutoka katika Idara ya Utume Duniani.

Page 31: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato , Vol. 93, No. 2 31

Somo la 6 Sabato ya tarehe, 06 Mei 2017

KUCHAGUA MARAFIKI ZAKOJe, watu wawili waweza kutembea pamoja pasipo kupatana?

Amos 3:3.“Ningependa kuwaonya wote vijana na wazee, muwe makini tena wa-

angalifu, ni urafiki gani unaoufanya na mwenzi gani unachagua, jihadhari, unafikiriaje sasa kwamba dhahabu safi inageuka kuwa msingi wa koko-to”- Alama za Nyakati 26 Novemba, 1896.Imependekezwa kujifunza: Nyumbani mwa Mkristo, 455-465.

Jumapili tarehe, 30 aprili

1. RAFIKI WA KWeLIa. Rafiki mwema tungempata katika baadhi ya sifa gani? Mithali

17:17, 18:24 (Mwanzoni).

“Wale ambao wanapigana vita vya maisha katika matumaini makuu wanaweza kutiwa nguvu na kuimarishwa kwa juhudi kidogo, kwamba gharama pekee ni juhudi za upendo. Kwa hiyo uwezo na nguvu ya kuu-fahamu mkono wa Msaada wa rafiki ni wa thamani zaidi kuliko fedha na dhahabu. Maneno ya upole ni kama tabasamu, naam ni kama tabasamu la Malaika.” – Huduma ya Uponyaji Ukr. 158”.

“Mambo yatakwenda vibaya kwa kila mmoja, huzuni na kukatishwa tamaa utaisonga kila nafsi, kisha upweke, Rafiki ambao watakutia nguvu na kukufariji, watarudi nyuma kwa mishale ya Adui ambayo imelenga kuangamiza. Marafiki wa Kikristo hawatakuwa nusu, kama walivyokuwa wengi. Katika saa ya majaribu, saa ya mapambano, Nani rafiki wa thamani wa kweli!. . ., ambaye atakutia matumaini, kufariji na kuinua juu nafsi na Imani. Ooo!! Msaada huo ni wa thamani zaidi kuliko Lulu ya Thamani.” Shuhuda ya 3 Ukr. 226.

b. Rafiki wa kweli mwaminifu ni wa namna gani? Yohana 15:13. Ayubu 6:14. (Mwanzoni).

Page 32: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato Vol. 93, No. 232

Jumatatu tarehe, 01 Mei

2 CHAGUA KWA BUSARA

a. Ni baadhi ya mambo gani muhimu ya kuzingatia pin-di uchaguapo marafiki? Rumi 12:9; 1Wakor 15:33.

“Ni makosa kwa Wakristo kujiunga na kushirikiana na wale ambao wana maadili potofu, mwingiliano wa karibu kila siku ambao huchukua muda pasipo kusaidia upeo wowote wa nguvu za kiakili au maadili mema, ni Hatari. Kama anga la maadili mema linalowazunguka watu si safi na lililotakaswa, bali ni lenye uozo na uharibifu, wale ambao wanapumua ka-tika anga hili, watapata shida juu ya akili na Moyo, Ni sumu ya uharibifu.

“Ni hatari kubwa kuwa pamoja na wenye kujua kila jambo, pamoja na wale wenye akili ya chini kuchukua mambo. Hatua kwa hatua wale walio na uangalifu wa asili na upendo uliotakaswa utakuja katika kiwango kile kwa kushiriki kuunga mkono katika kuzuia baa la kuporomosha maadili ambalo mara kwa mara huletwa katika mawasiliano hayo...”

Hakuna kitu kinachoweza kuzuia upendona kukomesha mvuto na hisia nzuri na matamanio mema, kuliko ushirikiano usiofaa, kutojali, na watu wenye akili zilizo haribika... Chagua kushirikiana na wale ambao wanapenda kuutakasa ukweli, wenye tabia njema zisizo legea, wenye maadili safi.” – Shuhuda ya 3 Ukr 125-126.

b. Urafiki wa Daudi na Yonathani unaelezewa kwa nam-na gani? 1Samwel 18:1.

c. Ni baadhi ya sifa gani nyingine za kuangalia katika kuchagua rafiki mwema? Mithali 11:13; Luka 7:13; Ga-latia 5:22,23.

“Vaa kilemba cha upole na Roho ya utulivu, iliyo mbele za Mungu wenye thamani kuu. Linda na uitunze Neema ya Upendo, Furaha, Amani, Uvumilivu na utu wema. Hii ni tunda la mti wa Kikristo uliopandwa kan-do ya maji ya mto, Daima unaleta matunda yake ndani ya msimu.

“Kama tunao upendo wa Kristo katika nafsi zetu, itakuwa matokeo ya asili kwa ajili yetu, uaminifu, upole na kiasi...

“Wakati upendo wa Yesu kuwa umehifadhiwa ndani ya Moyo... uwe-po wake utaonekana.” - Maisha yangu leo, Ukr. 50.

Page 33: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato , Vol. 93, No. 2 33

Jummane tarehe, 02 Mei

3. JIFUNZE KUTOKA KATIKA MAKOSA YA WENGINEa. Tuna yajuaje maelezo ya kihistoria yanayotolewa katika Ma-

andiko? 1Wakor. 10:11, 12.

“Kama maovu ya Waebrania yangeondolewa kutoka kwenye kum-bukumbu Takatifu na kuelezewa tu fadhila zao, Historia yao ingeshindwa kutufundisha somo ambalo hujifunza.” – Shuhuda ya 4, Ukr. 11.

b. Samsoni alichagua rafiki wake wa karibu kwa namna gani? Na matokeo yake yalikuwaje? Waamuzi. 14:3.

“Kama Samsoni angetii amri za mbinguni kwa uaminifu kama wa-zazi wake walivyofanya, mwisho wake ungekuwa mzuri na wenye fura-ha. Lakini karibu na nchi ya Wafilisiti Samson alikwenda kujichanganya nao kwa makubaliano ya urafiki. Hivyo katika ujana wake urafiki ukakua, mvuto ambao ulitia giza maisha yake yote- Mwanamke kijana aliyekuwa akiishi katika Mji wa Wafilisiti ulioitwa Timna alijihusisha na Samsoni ka-tika urafiki, Na alidhania kumfanya awe mke wake. Kwa wazazi wake waliokuwa wakimcha Mungu, ambao walijitahidi kumzuia aache mpan-go wake, jibu lake lilikuwa “Ananipendeza sana”. Hatimaye wazazi wa-limwacha katika nia yake, na ndoa ikafanyika. Wakati anafikia umri wa mtu mzima, mda ambao anapaswa kutimiza kazi yake ya kimbingu mda ambao ni wa pekee ili awe mwaminifu kwa Mungu – Samsoni alijiunga na maadui wa Israeli.” – Wazee na Manabii Ukr. 562,563.

c. Kama vile Luthu alivyochagua mahali pa kuishi, Nini kili-kuwa kipengele cha maamuzi, Na alipuuza jambo gani hasa? Mwanzo.13:10-13. Madhara gani aliyapata kwa familia yake juu ya kushirikiana na Sodoma na familia yake? 2Petro 2:7-8; Mwanzo 19:14.

“Mvuto wa mke wake Luthu, na kujiunga na Mji mwovu ungemfanya kumuasi Mungu, kama yasingekuwa maagizo aliyoyapata siku za Sodo-ma ulikuwa muunganiko wa kwanza wa mnyororo wa matukio maovu ulimwenguni katika vizazi vingi.” – Wazee na Manabii Ukr. 174.

Page 34: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato Vol. 93, No. 234

Jumatano tarehe, 03 Mei

4. URAFIKI USIO SALAMAa Mungu huutazama kwa namna gani urafiki pamoja na

ulimwengu? Yakobo 4:4.

“Kati ya watu wa kiulimwengu na mmoja ambaye ni mwaminifu kumtumikia Mungu, kuna shimo kubwa mno lililothibitishwa juu yake kuna somo zito, - Mungu na ukweli na umilele – Mawazo yao, matendo yao na hisia zao ni kwa ajili ya ghala za Mungu, Tabaka jingine ni kama magugu kwa ajili ya kuteketezwa na moto. Je, itawezekanaje kuwepo na umoja wa malengo na mipango au matendo kati yao.” – Uinjilisti Ukr. 620.

b. Ni ushauri gani Mungu hutoa juu ya Urafiki wa kiulimwengu? 2. Wakor 6:14, 17.

“Huwezi kuchanganyikana na watu wa ulimwengu kwa kushiriki Roho zao na kufuata mifano na namna yao, na wakati huo huo uwe mto-to wa Mungu. Muumbaji wa ulimwengu hukuelekeza wewe kama Baba wa upendo. Kama ukijitenga na ulimwengu kwa upendo wako, ukabaki huru toka kwenye uchafu wake, Na kuukimbia uharibifu uliomo duni-ani kupitia tamaa, Mungu atakuwa Baba yako, atakupokea katika familia yake nawe utakuwa mrithi wake. Ulimwengu atautoa kwenu, kwa ajili ya maisha ya utii na ufalme chini ya mbingu yote. Atawapeni utukufu mzito wa milele na maisha ya milele kama yeye alivyo wa milele.” – Shuhuda ya 2 Ukr. 44.

c. Je, aina ya urafiki huu inaonyesha hali gani ya mioyo yetu? Je, Mungu huatazamaje juu ya hili? Mathayo 10:37, 38.

“Mungu huita Moyo wenye hali ya kutojisalimisha na usio na upendo kwake. Kama unawapenda marafiki, kaka na Dada, Baba au mama, nyum-ba au mashamba, kuliko mimi, Yesu anaseama. “Huna thamani mbele zangu.” – Ibid Vol 3, Ukr. 45.

“Kumbuka ya kwamba katika maisha ya wafuasi wa Kristo lazima uo-nekane ule Moyo wa bidii, ule unaongozwa kwenye kazi ya Mungu na kila mali ya jamii na upendo kwa walimwengu, ule ulioonekana katika maisha yake (Kristo). Madai ya Mungu lazima yawe makubwa daima.” – Mashauri ya Watendakazi Ukr. 52.

Page 35: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato , Vol. 93, No. 2 35

alhamisi tarehe, 04 Mei

5. URAFIKI WA NDANIa. Katika kuchagua marafikia zetu wa karibu, hasa wale wanao-

ishi kwenye ndoa, Ni jambo hatupaswi kulisahau? Mathayo 22:37; Luka 14:33.

“Kila ushirikiano tunaoufanya, kwa namna yoyote finyu, hugandami-za baadhi ya mivuto juu yetu. Kiasi ambacho tunavuna kwenye mivuto itakayoamua kwa kiwango cha urafiki wa ndani. Uaminifu wa maingilia-no na upendo wetu na heshima kwa ajili ya ambaye tunashirikiana naye.” Nyumbani mwa Mkristo Uk. 459.

“Katika uwiano wa nguvu ya urafiki, utakuwa kiasi cha mvuto am-bao, urafikis utagandamini mmoja juu ya mwingine, kwas mema au kwa mabaya . . . Iwapo uchaguzi wa mwenza unafanywa kwa aliye na hofu ya Bwana au anayemcha Mungu, Mvuto utaongoza kwenye kweli, wajibu na Utakatifu.”- Ibid Ukr. 455,456.

b. Kwa nini hatupaswi kuchagua marafiki wa ndani kutoka mi-ongoni mwa wale ambao hawajashiriki Imani yetu, au kutoka kwa wale ambao hawajaongoka bado? Amosi 3:3.

“Kadri mke wa Sulemani moyo wake ulipogeuka mbali kutoka kwa Mungu na kugeukia Ibada za sanamu, ndivyo alivyotenda kwa ujinga kwa mwenzi wake, ambaye hakuwa na kanuni ya kina, aliigeuzia mbali mioyo ya wale ambao wlaikuwa na uadilifu na ukweli, kwenda kwenye ubatili, raha za uharibifu na uovu wa wazi.” – Mapambano na ujasiri Ukr. 192.

ijumaa tarehe, 05 Mei

MASWALI BINAFSI YA KUTAFAKARI.1. Ni baadhi mambo gani rafiki wa kweli atayafanya kwa ajili yako?2. Kwa nini ni hatari kushirikiana karibu kwa undani na wale wenye

akili zinazofanya kazi kinyume cha maadili?3. Tunaweza kujifunza nini kutoka kwenye makosa ya Samsoni kati-

ka kuchagua rafiki yake?4. Hali ya mioyo yetu isiyotaka kujisalimisha inahusishwaje na upen-

do wa Mungu wetu?5. Kipengele gani kinaamua tuvune kiasi cha mivuto ya tunaoshiriki-

ana nao?

Page 36: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato Vol. 93, No. 236

Somo la 7 Sabato ya tarehe, 13 Mei 2017

KUOA NA KUOLeWA “Kwa maana kama vile siku zile zilizokuwa kabla ya Gharika,

watu walikuwa wakila na kunywa, wakiona na kuolewa, hata ile siku aliyoingia Nuhu kwenye Safina” (Mathayo 24:38).

“Njia ya uzima wa milele ina milima na mabonde, usibebe mzigo mkubwa unarudisha nyuma maendeleo yako.” Ujumbe kwa vijana Ukr. 441.Imependekezwa kujifunza: Nyumbani mwa Mkristo. Ukr. 94-120.

Jumapili tarehe, 07 Mei 2017

1. SIKU ZA NUHUa. Ni dhambi gani walichagua kuifanya watu wa Mungu siku za

Nuhu? Mwanzo 6:1, 2.

“Dhambi kubwa katika ndoa za siku za Nuhu ilikuwa ni ile ya Wana wa Mungu kufanya muungano wa ndoa na binti za watu. Wale ambao walishudiwa kuwa na maarifa na ufahamu wa Mungu, walishirikiana na kuungana pamoja na wale waliokuwa na mioyo michafu. Pasipo kubagua waliowana na kila aliyemtaka.” – Ujumbe kwa vijana Ukr. 456.

b. Kabla ya kurudi kwa Yesu hali itakuwaje? Mathayo 24:37, 38.

“Kuna wengi katika siku hizi ambao hawana ufahamu wa kina wa ki-dini, ambao hakika watafanya mambo yale yale yaliyotendeka katika siku za Nuhu. Wataingia kwenye ndoa pasipo uangalifu, wala kuomba kwa kina. Wengi walichukua viapo vyao wenyewe kama hawana akili timamu kadri walivyoweza kuingia kwenye shughuli za kibiashara. Upendo wa dhati haupo kwa ajili ya Ushirikiano.” Ibid.

“Katika kula na kunywa penyewe hakuna dhambi, au katika kuoa na kuolewa... Bali katika siku za Nuhu watu walioa pasipo mashauri ya Mungu ama kutafuta mwongozo na maelekezo yake.”– Nyumbani mwa Mkristo Ukr. 121.

Page 37: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato , Vol. 93, No. 2 37

Jumatatu tarehe, 08 Mei

2. FUATA MFANO WA ISAKAa. Katika kuchagua mke wa Isaka, Ibrahim alitoa matakwa gani

kwa mtumwa wake Mwaminifu? Mwanzo 24:3; 2 Wakor 6:14.

“Kamwe si jambo la hatari kwa watu wa Mungu, kuoana kadri ya anayeamini na asiyeamini limekatazwa vikali na Mungu. Mara zote Roho isiyoongoka hufuata na kutamani matakwa yake yenyewe. Ndoa isiyosa-babishwa Mungu mwenyewe ni sumu...

“Wale wanaoshuhudia wakiukanyaga ukweli juu ya Mapenzi ya Mungu katika swala la kuoa na kuolewa na wasioamini, wanapoteza Nee-ma zake na kuifanya kazi ya toba kuwa ngumu na ya machungu. Asiyea-mini anaweza kuwa na maadaili na tabia njema, lakini ukweli ni kwamba hajakiri madai ya Mungu, naye amekataa wokovu na kuupuuza, hii ni sa-babu tosha inayofanya umoja huu wa ndoa usifanyike. Pengine tabia ya yule asiyeamini inaweza kufanana na yule kijana ambaye Yesu alimwam-bia maneno haya. “Umepungukiwa na neno moja.” Hilo lilikuwa jambo muhimu sana ni neno lenye kuhitaji sana.” - Nyumbani mwa Mkristo. Ukr. 63.

b. Mtumishi mwaminifu aliyefanya chaguo ni nani, na jaribu gani lilitolewa? Mwanzo 24:12-14.

“Akikumbuka maneno ya Ibrahimu, kwamba Mungu atatuma Malai-ka awe pamoja naye, aliomba kwa dhati ili apate jibu sahihi. Katika familia ya Bwana wake alikuwa mtu mwema na mkarimu na sasa aliomba kwam-ba, kitendo cha upendo kielekeze kwa binti ambaye Bwana amemchagua.

“Ombi lilitolewa kwa kina kabla ya majibu kutolewa. Miongoni mwa wanawake waliokusanyika kisimani, mwonekano wa mmoja ulimvu-tia. Na alipokuwa anatoka kisimani, mgeni alikwenda kukutana naye, akimwomba maji kutoka katika mtungi uliokuwa mabegani mwake. Ombi lilipokelewa kwa jibu la maneno mazuri na kujitolea kuwapa pia ngamia maji. Kitendo kilichokuwa cha desturi ya mabinti wa wafalme kukifanya katika kuwapa Ng’ombe na kondoo wa baba zao. Hivyo ishara iliyotakiwa ilionekana. Msichana alikuwa “Mzuri wa kutazama.” na upendo wake ta-yari ulionyesha moyo wake mwema na uwezo wake wa asili wa kufanya kazi.” – Wazee na Manabii Ukr. 172,173.

Page 38: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato Vol. 93, No. 238

Jumanne tarehe, 09 Mei

3. MAKUSUDI YA MUNGU KATIKA NDOAa. Kwa nini Mungu alichagua “Msaidizi kwa ajili ya Mwanau-

me” Na uzuri wa mke unaelezewaje? Mwanzo. 2:18, Mithali 18:22, 19:14.

“Mungu mwenyewe alimpa Adamu Mwenza. Alimtoa kwa ajili ya kumsaidia – Msaidizi pamoja naye, mmoja ambaye yuko karibu mwenzi wake. Ambaye pia angekuwa mmoja pamoja naye katika upendo na hu-ruma. Eva aliumbwa kutoka katika ubavu uliochukuliwa kutoka kwa Adamu, ikimaanisha kuwa yeye (Eva) siyo wa kumtawala kama kichwa, wala siyo wa kukanyagwa chini ya miguu aliye duni, mnyonge, Bali kwa kusimama pembeni yake wakiwa sawa kwa kupendwa naye na kulindwa naye. Ni sehemu ya mwanaume mfupa wa mifupa yake, nyama katika nyama zake, Hawa alikuwa nafsi yake ya pili Adamu. Kuonyesha muun-gano wa karibu na mapenzi ya upendo ambao ungekuwepo katika mahu-siano haya, imeandikwa “Maana hakuna mtu anayeuchukia mwili wake popote, bali huulisha na kuutunza.” “Efeso 5:29” – Kwa Imani Naishi, Ukr 251.

“Mungu alimuumba mwanamke kutoka kwa mwanaume, awe msai-dizi wa kufanana naye, awe mmoja pamoja naye akimfurahisha, kumtia moyo, na kumbariki akiwa pembeni yake kama msaidizi mwenye nguvu Imara. Wote wanaoingia kwenye mahusiano ya ndoa pamoja na maku-sudi mema. – Mme anapata upendo safi wa moyo wa mwanamke. Mke apunguze makali na kuimarisha tabia ya mme wake na atoe utimilifu wa kusudi la Mungu kwa ajili yao.” – Nyumbani mwa Mkristo Ukr. 99.

b. Mungu alitoa sharti gani ndani ya familia baada ya kuingia dham-bini ? Mwanzo 3:16 (mwishoni) Kolosoi 3:18, 19; efeso 5:22, 25.

“Katika uumbaji Mungu alimuumba (Eva) sawa sawa na Adamu. Walikuwa watii wa sheria ya Mungu kwa kuendana pamoja na sheria ya upendo, - daima wangekuwa na uelewana na kila mwenzie lakini dhambi ilileta ugomvi, na sasa muungano wao ungeimarishwa na maelewano yao kwa upande wa mwingine tu. Eva alikuwa wa kwanza kuvunja sheria, na alianguka kwenye majaribu kwa kujitenga na mwenzi wake, kinyume na mpango wa Mungu. Na sasa alikuwa yuko chini ya mamlaka ya Mume wake. Kanuni ilikuwa njema katika kuifurahia sheria ya Mungu iliyo bora kwa jamii iliyoanguka. Kauli hiyo kwa kuongezeka matokeo ya dhambi, ingeonekana Baraka kwao, lakini matumizi mabaya ya Ukuu huo ulioto-lewa kwake, mara zote umezidi kugeuka kuwa uchungu mkali sana kwa kila mwanamke.” – Ibid Ukr. 115.

Page 39: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato , Vol. 93, No. 2 39

Jumatano tarehe, 10 Mei

4. KUFUATA MFANO WA UUNGUa. Kwa namna gani Mume na Mke angeiga mfano wa njia ya

Yesu kuhusiana na Baba yake? Yohana 5:20 (Sehemu ya mwi-sho); Yohana 8:29.

“Hebu toa upendo pasipo kushurutishwa. Pandeni kile kilicho bora katika nafasi zenu, na muwe wepesi wa kutambua sifa njema za kila mmo-ja. Fahamu kuwa kukubariki ni kichocheo cha ajabu chenye kuridhisha. Huruma na heshima huchochea kujilisha jitihada za ubora, na upendo wenyewe huongezeka kama kichocheo cha malengo na mawazo mema.

“Si Mume wala Mke, wanapaswa upweke wao kwa mwingine kila mmoja anauhusiano binafsi na Mungu. Kwake kila mmoja anaomba, “Haki ni nini” “Kuna kosa gani?” “Kwa namna gani ninaweza kutimiza malengo bora ya maisha? Hebu utajiri wa upendo wako umwagike mbele yake ambaye alitoa maisha yake kwa ajili yenui. Mfanye Kristo awe wa kwanza na wa mwisho na bora katika kila kitu. Kadri upendo wako kwake unapokuwa wa kina zaidi na nguvu, upendo wako kwa kila mmoja – Uta-takaswa na kuimarishwa”– Huduma ya Uponyaji Ukr. 361.

b. Ni Sifa gani nyingine mhimu alizionyesha Yesu katika uhusi-ano pamoja na Baba yake? Yohana 10:30; efeso. 4:3.

“Bila uvumilivu wa kuheshimiana na upendo, hakuna nguvu ya kiu-limwngu inayoweza kukushikilia wewe na Mume wako katika vifungo vya Umoja wa Kikristo. Wenza wako katika mahusiano ya ndoa unapaswa uwe wa karibu, wenye upole, Mtakatifu unaoinua nguvu za kiroho katika maisha yako, ili uweze kuwa kila kitu kwa kila mmoja ambaye hutamani Neno la Mungu. Unapofikia hali hiyo, Bwana hutamani ufike katika hatua hizo, utaipata Mbingu hapa chini, na Mungu katika maisha yako.”– Nyum-bani mwa Mkristo, Uk. 112.

“Kila kitu ambacho kingeharibu upendo, Amani na Umoja wa familia kingekomeshwa kwa uhakika. Wema, upole na upendo ungetawala. Yeye ambaye hudhihirisha Roho ya wema, kuheshimiana, na upendo utapata kuiangaza ile Roho ije juu yake. Wakati huo Roho wa Mungu hutawala, hakutakuwa na maongezi yasiyo matamu katika uhusiano wa ndoa. Kama Kristo akiumbika kabisa ndani ya moyo, kutakuwa na umoja na ushirikia-no nyumbani. Kristo akidumishwa katika Moyo wa Mke, atakuwa kwenye makubaliano ya kudumu pamoja na Kristo ndani ya moyo wa Mume wake. Watakuwa Imara pamoja kwa ajili ya makao Kristo amekwenda kuwaandaliwa wale wote wampendao.” – Ibid ukr. 120.

Page 40: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato Vol. 93, No. 240

alhamisi tarehe, 11 Mei5. KUSHUGHULIKA NA MIGOGORO a. Roho gani lazima idhihirishwe na kuwekwa wazi kwa Waume

na Wake, hasa kwenye kipindi cha matatizo? Yakobo. 4:6, 7, 10.

“Ni jambo gumu la kurekebisha matatizo ya falimia, hata katika waka-ti Mume na Mke wanapotafuta kufanya Haki na makazi kuhusiana na ma-jukumu ya kadhaa Iwapo wameshindwa kuwasilisha mioyo yao mbele za Mungu.” - Nyumbani mwa Mkristo Ukr. 119.

“Ingawa matatizo, mambo ya kutatanisha, na kukatisha tamaa yanawe-za kutokea, basi Mume au Mke wala asikimbilie kudhani kwamba muun-gano wao ni wa kimakosa au wa kukatisha tamaa. Tambua kuwa yote hayo inawezekana kuwepo kwa wengine. Endeleza uangaifu wa mwanzoni kati-ka kila njia ya ujasiri kupambana na vita vya maisha. Jifunze kuendeleza fu-raha ya kila mwingine. Kuwepo na upendo wa kuheshimiana na kuthami-niani. Kisha ndoa, badala ya kuwa ya mwisho kwa upendo, itakuwa kama ilivyokuwa Mwanzoni kwa upendo. Joto la mahusiano ya kweli, upendo ambao huufunga moyo, na moyo ni kipaumbele cha furaha ya mbinguni.

“Wote wanapaswa kulima uvumilivu na kutenda kwa Uvumili-vu kuwa wema, Wapole na wenye uvumilivu. Pendo la kweli linaweza kutunza joto katika moyo, na viwango vya upendo vitakuzwa, ambapo mbingu zitathibitisha.” – Ibid Ukr. 106.

c. elezea upendo ambao Yesu hutaka tuwe nao kwa wengine, hasa mambo yasipokwenda katika njia zetu, Yohana 15:12; 1 Wakor 13:4-7.

“Upendo wa kweli utasamehe makosa mengi, pendo lao halitakoma.” Ibid. uk. 47.

ijumaa tarehe, 12 Mei

MASWALI BINAFSI YA KUTAFAKARI1. Kwanini Ndoa nyingi katika siku za Nuhu zilichukuliwa na

dhambi?2. Kwa nini ni makosa kuoana na wale walio na tabia njema lakini si

waumini?3. Lengo Takatifu la Mungu lilikuwa ni lipi kwenye ndoa?4. Tunawezaje kuwatia moyo wengine kuishi maisha ya wema?5. Kuna ulazima gani ili kufanya kazi kupitia matatizo ya familia?

Page 41: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato , Vol. 93, No. 2 41

Somo la 8 Sabato ya tarehe, 20 Mei 2017

FAMILIA YA MKRISTOenyi watoto watiini wazazi wenu katika Bwana , maana hii

ndiyo Haki nanyi akina Baba msiwachokoze watoto wenu, bali wa-leeni katika adabu na maonyo ya Bwana (efeso 6:1, 4 )

“Kipimo bora cha nyumba ya Mkristo ni aina ya tabia ambayo ma-tokeo yake yanatokana na mvuto wake. Kazi ya kwanza kabisa kwa wazazi ni kupata na kutunza Baraka za Mungu katika Mioyo yao wenyewe, ndipo wazilete Baraka hizi ndani ya nyumba zao.” - The bible Echo 15, oct 1894 Imependekezwa kujifunza: Nyumbani mwa Mkisto ukr 181 -2008.

Jumapili tarehe, 14 Mei

1. LeNGO LeTU LA MSINGI

a. Kwa ajili ya familia zetu, tunafanya kazi pamoja na lengo gani? Isaya 8:18.

“Wazazi, Mungu huwatamani awafanye familia yake, kielelezo cha familia ya Mbinguni. Tunza na kulinda watoto wako. Kuwa mwema na mwenye huruma kwao... Familia moja yenye usikivu, familia safi yenye utaratibu, ni nguvu kubwa katika kuonyesha ufanisi wa Kikristo kuliko Mahubiri yote ya ulimwengu. Wakati Baba na Mama wanapotambua jinsi ya watoto wao kuwafanya wawaige wao, wataangalia kwa makini na uan-galifu kila neno na viashirilia.” – The SDA Bible Commentary vol 6 , ukr 1118.

b. Katika kuwafundisha watoto wetu, Ni jambo gani lenye umuhimu mkubwa zaidi? efeso 6:4.

“Idadi kubwa ya wazazi wamepuuza kazi yao waliyopewa na Mun-gu wanashindwa kuwaelimisha na kuwafundisha watoto wao kutoka kwenye sababu ya chimbuko la kwanza la kumjua na kumpenda Kristo. Kwa juhudi zenye maumivu makubwa wazazi wanaangalia kwa uwazi akili sikuvu na kufanya kila kitu katika maisha ya pili ya nyumbani, kwa kufanya wajibu halali uliounganishwa juu yao na Mungu, kwa kutoa ma-funzo na kuwafundisha watoto wao katika nidhamu na utawala wa Bwa-na.” – Nyumbani mwa Mkristo ukr 183 .

Page 42: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato Vol. 93, No. 242

Jumatatu tarehe, 15 Mei

2. DINI YA NYUMBANIa. Ni aina ya mtazamo gani wazazi wangeshirikiana na watoto

wao? efeso 4:2, 32.

“Kadri unaposhiriki katika mahusiano ya familia uwe mwengalifu kusema aina ya maneno yenye huruma, ambayo yatawafariji na kuwatia moyo. Usisahau matendo ya wema, tenda kwa wingi ili kusaidia Mshiriki wa familia ambaye anakabiliwa na udhaifu, ambao hayupo mwenye kuu-elewa, bali yeye mwenyewe anayeweza kuutambua.”

“Hakuna malipo kwa kuendelea na njia zako mwenyewe, kutokuwa radhi katika mambo madogo ambayo matokeo yake ni madogo, Hivyo hu-leta uchungu na hasira ndani ya familia. Maisha ni mafupi mno, Yamejaa huzuni na masikitiko. Hatuna hata mda wa ziada kwa ajili ya kujikuna panapo washa, Moyo unashawishika.

“Hebu kila mmoja awe mwema tena mpole kwa wengine. Kamwe usifumbe macho yako katika usingizi pasipo kuitenda haki hata kidogo. Kamwe jua lisizame juu ya ghadhamu yako. Matatizo magumu amabyo Yana umia na kuipanda nafsi.”- This daywith Good.

b. Je, Nyumbani ungeonyeshwa upendo wa namna gani? Rumi 12:9, 10.

“Katika familia nyingi kuna ukosefu mkubwa kwa mmoja kuonyesha upendo kwa ajili ya mwingine. Huna haja ya kuibua mawazo ya hisia, bali kuna haja ya kuonyesha upendo na huruma safi, njia za heshima nzuri. Wengi wanapanda ugumu wa mioyo katika maneno na matendo, wana-funua sehemu ya tabia ya kishetani, Upendo mwororoo daima ungefura-hiwa kati ya Mume na Mke, wazazi na watoto, kaka na dada. Kila neno la Pupa linapaswa kuchunguzwa, na haipaswi hata kuonekana kuna uko-sefu wa upendo upande mmoja kwa ajili ya mwingine. Ni wajibu wa kila mmoja katika familia kuwa mzuri, na kuongea kwa upole.

“Panda huruma , Upendo na pendo la usemi, kuwa na usemi wa staha na Uangalifu.” - Nyumbani mwa Mkristo ukr 198 .

“Basi hebu huruma na Rehema ambazo Yesu alizifunua katika ma-isha yake ya thamani, uwe mfano kwetu wa namna ambayo tunapaswa kuwatendea viumbe wenzetu... Wengi wamezimia na kukata tamaa katika vita kubwa ya kupambana na maisha. Kwake neno moja la upole na lenye kuutia nguvu Moyo na Ujasiri, lingeimarisha Moyo na kuwa Mshindi. Ha-tuwezi kusema jinsi ya kufika mbali, labda maneno yetu ya wema na upo-le, juhudi zetu kama Kristo kuibeba baadhi ya mizigo. Hakuna njia nyin-gine inayoweza kurejeza hali ya upotofu, kuliko njia ya upole, utu wema, Roho ya Upendo na huruma.” - My life today uk 235.

Page 43: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato , Vol. 93, No. 2 43

Jumanne tarehe, 16 Mei

3. UAMINIFU NA HeSHIMA NYUMBANIa. Amri ya tano inasema nini, Na kuna Umuhimu gani katika

sheria hii? Kutoka 20:12. efeso 6:2. Kwa namna gani watoto wanaweza kuwa bora wakifundishwa kutii Amri hii?

“Wazazi wana haki, kiwango na daraja la upendo na heshima ambayo haitokani na mtu mwingine. Mungu mwenyewe ameweka kwao wajibu na majukumu kwa ajili ya nafsi alizozifanya, amepanga kuwa wakati wa miaka ya mwanzoni ya maisha ya wazazi, watasimama mahali pa Mungu kwa watoto wao. Yeyote anayekataa mamlaka halali ya wazazi wake, ni sawa na kuikataa Mamlaka ya Mungu. Amri ya tano siyo tu kutoa heshi-ma, na utii kwa wazazi, bali pia kutoa upendo kwao na huruma, kwa uzito wa kujali kwao, na kutunza sifa zao, kuwasaidia na kuwafariji katika umri wa uzee...

“Kama watoto wakikosa heshima na uaminifu kwa wazazi wao wa kidunia, hawata muheshimu na kumpenda Mungu Muumbaji wao” - Nyu-mani mwa Mkristo ukr 293

“Njia bora ya kuwaelimisha watoto ili kumuheshimu Baba na Mama, ni kuwapa nafasi ya kuona sadaka ya kipaumbele cha wema wa Baba kwa Mama. Na utoaji wa heshima wa Mama anayompatia Baba. Kwa kutaza-ma upendo katika wazazi wao, Ambapo upendo utawaongoza kutii Amri ya tano na kulisikia agizo” Enyi watoto watiini wazazi wenu katika Bwa-na, maana hii ndiyo Haki.”—Ibid 198,199.

b. Nani Mwingine tunapaswa kumheshimu? Walawi 19:32 , Mi-thali 16:31.

“Heshima inapaswa kuonyeshwa kwa ajili ya wawakilishi wa Mun-gu –wahudumu, walimu na wazazi ambao wameitwa kusema na kuten-da kazi kwa niaba yake, katika kuwaheshimu wazazi, ni kumuheshimu Mungu. Mungu ameunganisha heshima maalumu hasa mbele za wazee anasema, “Kichwa chenye mvi ni taji ya utukufu” Mithali 16:31. Inaeleza pamano la vita na ushindi uliopatikana, mizigo na majaribu yaliyo pum-zishwa. Inaeleza miguu iliyochoka inakaribia pumziko lao, hivi karibuni watawekwa huru. Saidia watoto kufikiri juu ya hili, watailainisha njia ya uzee kwa adabu na heshima , na kuleta Neema na uzuri kwenye maisha ya vijana wao.” – Elimu, ukr 244.

Page 44: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato Vol. 93, No. 244

Jumatano tarehe, 17 Mei

4. FAMILIA IMARAa. Ni sifa gani iliyobaki itadhihirika kwa kila familia ya kweli ya

Mkristo? 1 Wakor 14:40. Inawezekanaje kushirikiana pamoja katika kudumisha utaratibu nyumbani?

“Kila Mshiriki wa Famili anapaswa kutambua kuwa jukumu lipo juu yake binafsi, kufanya sehemu yake katika kuongeza faraja, utaratibu, na ulinganifu wa familia. Kazi ya mwingine haipaswi kufanywa na mwingine. Wote wanapaswa kushirikiana na kuungana katika kazi njema ya kumtia Moyo mwingine, wajizoeze upole, uvumilivu na Subira , kuongea taratibu, utulivu wa kutosha, kujiepusha na machafuko, na kila atendalo linaangaza mizigo ya Mama. Mambo hayapaswi kuachwa katika uhuru usio na mi-paka. Yote wanayoyatetea wenyewe katika wajibu, mengine wawaachie ambayo wanaweza kuyafanya wenyewe. Mambo haya yanaweza kuwa madogo sana lakini wakati wanapoyaweka pamoja wanafanya machafuko makubwa, na kuangusha Sura ya Mungu. Ni kuupuza mambo madogo madogo ambayo ni sumu ya furaha ya maisha. Kutenda kwa uaminifu katika mambo madogo kwa ujumla ni kufanikisha katika haya maisha” Shuhuda ya 2, Ukr 699,700.

b. Baadhi ya Baraka za kazi ni zipi? Kolosai 3: 23, 24 Muhubiri 5:12 tunapaswa kuwafurahisha nini watoto wetu kuhusiana na kudumisha kazi?

“Mungu aliweka kazi iwe mbaraka kwa wanadamu, ili akili yake ifanye kazi, ili akili yake iwe na ngvu, na mwili uwe na nguvu na kuen-delea kukuza uwezo wa kufanya kazi… furaha ya maisha kamili inapa-tikana tu kwa Mwanamume na Mwanamke wanaofanya kazi. Wazee na Manaii ukr 50.

“Iwapo watoto wakishiriki kazi pamoja na Mama zao watajifunza ku-jali ajira muhimu kama kwa umuhimu wa furaha, na kujiheshimu, kuliko udhalilishaji” – Ibid ukr 349.

Page 45: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato , Vol. 93, No. 2 45

alhamisi tarehe, 18 Mei

5. HUDUMA YA NYUMBANI.a. Tunaweza kuwafundisha Watoto wetu ili kuwaandaa kwa ajili

ya huduma ya Bwana? Galatia 5:13 (sehemu ya mwisho) Mi-thali 15:33, 1 Petro 5:5.

“Somo la mapema kabisa la kumsaidia mtoto linapaswa kufundishwa haraka iwezekanavyo kadri Nguvu na uwezo wa kufikiri unapoende-lea kiasi cha kutosha. Anatakiwa kupewa majukumu ya kufanya nyum-bani anapaswa kutiwa moyo pale anapojaribu kusaidia Baba na Mama, atiwe moyo wa kujikana na kujiongoza yeye mwenyewe, kwa kuweka furaha kuwafariji na kuwasaidia kaka na dada pamoja na anaocheza nao, kuonyesha wema na upole kwa Wazee, Wagonjwa, na wenye matatizo. Roho ya ukamilifu zaidi ya huduma ya ukweli husambaa nyumbani. Uka-milifu zaidi utakuwa maendeleo katika maisha ya watoto. Watajifunza kupata furaha katika huduma na kujitoa sadaka kwa ajili ya mema kwa wengine. - Mwongozo wa mtoto ukr 36

b. Tunawezaje kuficha ushahidi wa Ukristo wetu kama tusi-pokuwa makini? 2 Wakoritho15:33.

“Usalama haupo kwa Wakristo kuchagua kushirikiana na wale am-bao hawana Muungano pamoja na Mungu, na ambao wanasababisha ku-tompenda Yeye... Wengi wanakaribisha majumbani mwao ndugu ambao hawafai, hata kidogo, waovu wasiomcha Mungu, mara nyingi mifano na mivuto ya hawa wasio na dini hushinda na kuzalisha hisia za kudumu juu ya watoto nyumbani “ - Ujumbe kwa Viajana, ukr 432.

ijumaa tarehe, 09 Mei

MASWALI BINAFSI YA KUTAFAKARI 1. Umuhimu kiasi gani Kwa wazazi kuwafundisha watoto wao

kumjua na kumpenda Kristo?.2. Nini hutokea wakati tunapojikita kwenye njia zetu wenyewe kati-

ka mambo ya heshima?3. Kwa namna gani wazazi wawafundishe watoto wao kuwaheshimu

wao?4. Baadhi ya faida za kazi ni zipi?5. Katika huduma za kweli, ni mahali gani tutapata furaha?

Page 46: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato Vol. 93, No. 246

Somo la 9 Sabato ya tarehe, 27 Mei 2017

KUISHI PAMOJA NA NDUGU ZETU“Bali uwe kielelezo kwao waaminio, katika usemi na mazungumzo na kati-

ka Upendo, sifa njema, katika Roho, na Imani na katika usafi” (1Timotheo 4:12) “Usivune Madai yako ya kidini na upendeleo kwa ajili ya kufurahisha

matakwa ya ndugu na marafiki zako wasioongoka na kutakasika. Umeitwa kuja kuchukua msimamo juu ya ukweli, hata kama ingekuwa ni kinyume kabisa na wale ambao umeungana nao karibu na wewe” Shuhuda ya 4 uk117.

Imependekezwa kujifunza: Shuhuda ya 5, Ukr 542- 549 Wana na binti za Mungu, ukr 51, 52

Jumapili tarehe, 21 Mei

1. TANGULIZA MUNGU KWANZA a. Ni eneo gani Mungu anapaswa kuwepo katika maisha yetu?

Vipi kuhusu mahusiano yetu Kwa wengine? Mathayo 22:37-39

“Wakati Roho wa Mungu anapokuwa ndani ya mtu humuongoza kwenye faraja badala ya kumweka kwenye mateso... tunajari kila tatizo la mateso na kuangaliana sisi kwa sisi kama mawakala wa Mungu kwa kuwaongoza masikini na wahitaji kwa uwezo wetu wa mwisho... Kuna baadhi ambao wanadhihirisha upendo mkuu kwa ajili ya ndugu zao na kwa marafiki zao wawapendao, Bado wameshindwa kuwa wema na wapole kwa wale ambao wanahitaji huruma, na utu wema na wale wanao-hitaji upendo...” - Wana na binti za Mungu ukr 52.

b. Ni ahadi gani tuliyonayo wakati tunapomweka Mungu mbe-le kwenye kifungo chochote cha kibinadamu? Mathayo 19:29; ebrania 13:5 (sehemu ya pili).

“Kama umetengwa na kuachwa na Baba, Mama, Kaka, Dada, Mume, Mke pamoja na watoto kwa ajili ya Kristo, hautakosa Marafiki. Mungu ata-kupatiwa kwenye familia yake. Unakuwa mshiriki wa nyumba ya kifalme, Mwana na Binti wa Mfalme ambaye hutawala Mbingu na Mbingu zote.” - Shuhuda ya 1 ukr 510

Page 47: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato , Vol. 93, No. 2 47

Jumatatu tarehe, 22 Mei

2. TUSAIDIE FAMILIA ZETU KAMA VILE NYINGINE. a. Tunapaswa kuanzia wapi kazi yetu kwaajili Kristo? Isaya 8:18

“Katika kufanya uhusiano pamoja na Kristo kufanywa upya kwa mtu kunafuata nyuma ya maelezo yake ya mahusiano pamoja na Mungu….. Ma-jukumu yake siyo ya kweli humzunguka kwa karibu na kwa mbali. Wajibu wake wa kwanza ni kwa watoto wake, na kwa jamaa na ndugu wa karibu. Hakuna kitu kinachoweza kumdhuru kutokana na kupuuza jamii ya ndani inayomzunguka, kwa ajili ya jamii kubwa iliyoko nje...

“Kadri wazazi waaminifu wanapofanya wajibu wao katika familia, jitihada, kutoa ushauri, kuwaongoza, ushauri nasaha na kuelekeza…. Baba Kama kuhani mkuu wa familia, Mama kama Mmishonari wa Nyum-bani….. wanajaza anga la Mungu bila wao kuhisi. Kwa uaminifu wana-fanya wajibu wao ndani ya nyumba wanazidi kuwa mawakala wa kuten-da mema nje ya familia. Wanakuwa bora zaidi Kwa kufungamana na kazi za kanisa. Kwa mafundisho yao kidogo kundi lote linakuwa lenye busa-ra, ujasari, kwa kuambatana na watoto wao wenyewe pamoja na Mungu. Baba na Mama wanakuwa watendakazi pamoja na Mungu.” - Wana na Binti za Mungu ukr 223.

b. Iwapo Kristo hukaa ndani yetu, kwa jinsi gani tutawaponya wengine? Isaya 50:4 “Yeye ambaye ni Mkristo atakuwa na maneno ya Upole kwa ndugu na

jamaa zake na kuishirikiana. Atakuwa mpole, mwema, mwenye upendo, mwenye kuhurumia, na kujielimisha yeye mwenyewe kwa ajili ya makazi ya familia ya juu” - My life today, ukr 196.c. Tunaweza kujifunza nini kutoka kwenye kielelezo cha Kristo

katika huduma yake, wakati majaribu yanapoelekezwa Kwa nguvu zote ndani ya familia zetu? Luka 19:10

“Ni lazima tuweke chini uchoyo na ubinafsi chini ya miguu yetu na kuonyesha kwenye maisha yetu Roho ya kujinyima na kupendelea uka-rimu ulioonyeshwa na Yesu alipokuwa hapa duniani. Wote tunapaswa kuwa na upendo kwa ndugu na jamaa zao, lakini hatupaswi kuwaruhu-su wao wenyewe kujifunga wao kwa wao kana kwamba wao pekee ndio Yesu alikuja kuwaokoa” - Shuhuda ya 2ukr 77.

Page 48: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato Vol. 93, No. 248

Jumanne tarehe, 23 Mei

3 USIPINDISHE KANUNI ZETUa. Ni Kwa sababu gani tuko watengenezaji wa afya siku hizi?

1Wakoritho 6:9,20; 10:31; 2Timotheo 1:7; Isaya 7:15. Kwa nini hatutakiwi kubadili desturi na mazoea yetu ya kiafya pale tu-napokutana na ndugu, jamaa na marafiki?

“Wale ambao wanainua kiwango cha afya kwa ukaribu wanaweza utaratibu wa Mungu, kulingana na Nuru aliyowapa Mungu kupitia neno lake na ushuhuda wa Roho wake, wasiobadili mwenendo wao wa ma-tendo, kwa kukidhi na kutekeleza matakwa ya ndugu, jamaa na mara-fiki wawe wengi awe mmoja au kwenye umati wa watu ambao wanaishi kinyume na utaratibu na hekma za Mungu. Kama tunatemea na kanuni hizi katika mambo haya, kama tukitunza sheria hii kali ya kanuni ya ulaji, kama wakristo, tunajielimisha wenyewe juu ya ladha na mpango wa Mun-gu, tutaweka mvuto amao utakutana na akili ya Mungu….. Swali ni hili, je tuko tayari kuwa wanamatengenezo wa ukweli wa afya ? - Mashauri juu ya chakula Na kiasi ukr 35, 36

b. Tunamaanisha nini kuishi maisha ya kikristo? 1Yohana 3:18, Mathayo 5:16; 1Theosalonike 2:12; Hatari gani inatukabili pale tukibalidi desturi na mazoea yetu ili kuwafurahisha ndugu, ja-maa na marafiki wapagani?

“Wengi wanajisikia kwamba lazima wafanye baadhi ya makubalia-no Kwa ajili ya kuwafurahisha ndugu, jamaa, na marafiki zao wapagani, wasio na dini. Mara nyingi siyo rahisi kuchora Mstari, kukubaliana mara moja huandaa njia nyingine, hata wale ambao wamewahi kuwa wafuasi wazuri wa kweli wa Kristo katika Tabia na maisha watafanana na des-turi na mpokeo ya kiulimwengu. Uhusiano pamoja na Mungu unavunjika, wanakuwa Wakristo wa jina tu”-Ujumbe kwa vijana, ukr 432.

c. Kwa jinsi gani Mungu hutuita tuishi wakati tunapokuwa nje ya kanisa? 1Timotheo 4:12; 2Wakoritho 6:17-18; Tito 2:14.

“Sababu tuliyonayo kuwa na mvuto mdogo kwa wale wasioamini, ndugu jamaa na marafiki na tunaoshirikiana nao, ni pale tunapodhihirisha kidogo sana katika kuwa tofauti katika destruri zetu na mazoezi kutoka wale wa kiulimwengu” - Misingi ya Elimu ya Kikirsto ukr 289.

“Katika uwepo wa ndugu, jamaa na marafiki zako, katika mahusiano ya shughuli zako zote katika kushirikiana nao pamoja hapa duniani -- Kwa vyovyote, Mahali Popote, Chini ya jambo lolote, Simama Imara kwa ajili ya Yesu” - Shuhuda ya 5 ukr 341.

Page 49: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato , Vol. 93, No. 2 49

Jumatano tarehe, 24 Mei

4. SIMAMA IMARA KATIKA MAAMUZI YETU.a. Badala ya kuwa na ushawishi na mvuto kwa Ndugu na mara-

fiki wa kiulimwengu, uamuzi wetu tunapaswa tuufanye kwa namna gani? 1Wakorinto 1:11 yakobo, 1:5, Zaburi 119:105, Ga-latia 5:24

“Ukiruhusu maneno ya ndugu na jamaa zako na marafiki muhimu kushawishi maazimio yako na kuathiri maamuzi yako, kuwaamini kwa urahisi na kuingiza maoni yao katika mawazo yako mwenyewe, Mara zote wanakuongeza Upotevuni... Maamuzi yako, hisia zako, maoni yako, mivuto yao ikuelekee wewe, nguvu na uwezo mkubwa utakuwa umewekwa katika mtiririko na mwelekeo potofu, vinginevyo uwe na Unyenyekevu na kujiweka wakfu kikamilifu kwa Mungu.” - Shuhuda ya 3 ukr 506 .

“Maisha ya thamani Mungu ameyatoa kwetu siyo yaharibiwe na uhusiano wa ndugu na jamaa wapagani wasio amini kwa njia ya kufura-hisha nia ya akili, Bali yatumike katika hali na tabia njema ambayo Mungu anaweza kuikubali.” - Ibid vol 4 ukr 236

b. Ni jukumu gani limetolewa Kwa wazazi kuhusiana na watoto wao? Mithali 22:6. ndugu jamaa na marafiki wanawezaje kui-zuia hii kazi?.

“Kuwa makini tena mwangalifu jinsi ya kuiachia serikari ya watoto wako kwa wengine, hayupo anaweza kupunguza kwa usahihi majukumu uliyo-pewa na Mungu… waaume na wanawake wanapswa kutoa heshima zote na staha kutokana na wazazi wao, lakini katika suala na kuwaongoza watoto waow enyewe, wasiwaruhusu kuwaingilia, bali washikilie hatamuza serikali na malmala katika mikono yao wenyewe.” - Mwongozo wa Watoto ukr 288.

(c) Onyo gani limetolewa Kwa wale ambao hawatadumisha ka-nuni zao za Kikirsto popote pale watakapokuwa? Yakobo 1:6 (sehemu ya pili), 8.

“Mungu humpa kila mtu akili yake binafsi, imsaidie kuongoza chombo chake mwenyewe aingie salama bandarini. Neema ya Kristo ni ya muhi-mu kila siku. Neema yake isiyo na kifani na ya kipekee inaweza kuokoa miguu yetu kutoka kwenye Anguko.” - SDA Bible commentary vol 6 ukr 1109.

“Huwezi kuvuna ukweli kwa kumridhisha kila mmoja, Amua, Jikaze, kuwa Imara, usiwe na akili zenye mashaka na wasiwasi.” - Karama za Roho, Vol 4 ukr 266.

Page 50: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato Vol. 93, No. 250

alhamisi tarehe, 25 Mei

5. KAZI MAALUMUa. Kuna kazi gani Kwa wale ambao wanaishi katika makazi ya-

liyogawanyika? 1Wakoritho 7:12-14, 16.

“Tumepokea barua nyingi zikiomba ushauri, mama mmoja akasema Mume wake ni mtu asiyeamini, ana watoto lakini watoto wao wanafun-dishwa kutomuheshimu Mama. Ana mzigo mzito Kwa hao watoto wake. Hajui ni njia ipi aendelee nayo. Bado anaonyesha wasiwasi wa kufanya jambo kwa sababu ya Mungu Mwenyezi. Na anauliza, kama ninafikiri na kudhani kuwa anao wajibu wa kuiacha familia yake, kama amesadiki ha-taweza kutenda mema kwao.

“Napenda kujibu: Dada yangu siwezi kuona ni njisi gani unaweza kuwa wazi mbele za Bwana na kumwacha Mume wako na watoto wako, siwezi kufikiri ungeweza kujisikia kwamba ufanye jambo hili mwenyewe , Hilo ni shamba lako, unayo kazi iliyoteuliwa kwako...

“Kwa kuwa shetani anamtumia Baba wa mtoto wako, ili kukabiliana na kupambana na kazi yako, usikate tamaa usife moyo vitani. Tenda kama wanavyotaka uwafanyie. Mponye Mumeo kwa upole na wema nyakati zote na kwa mambo yote na matukio yote, na uwatendee watoto kwa kam-ba za moyo wako wa upendo.

“Hii huifanya kazi ya wazi kwa kuiacha Nuru yako iangaze ndani ya nyumba, mahali ambapo shetani yuko kazini , ili ajipatie watoto wako kwake mwenyewe ..Usiongee na usikiri wala kusihi kwa ajali ya hu-ruma za Mumeo na watoto wako, bali tu kuishi maisha ya Kristo. Kwa maneno,katika Roho, kwa tabia katika upole, kwa uvumilivu na uchan-gamfu , kuwa nguzo ya ishara onyesha njia ambayo huongoza kwenda Mbinguni.”- Shuhuda juu Tabia ya Unyumba, ukr 44, 45.

ijumaa tarehe, 26 Mei

MASWALI BINAFSI YA KUTAFAKARI 1. Kama tunampenda Mungu Kwa hali ya juu, je wengine tu-

tawaponya Kwa namna gani? Nani tutamjali siyo kumpuuza?2. Kundi gani la watu linadai wajibu wetu kwanza, je huu ni wajibu

wetu?3. Tunaweza kuwa na mvuto wa uhakika kwa ndugu na jamaa wasio

amini?4. Nani ameshikilia hatima za kuongoza juu ya watoto Kwa nini?5. Ni kazi gani ya utume ipo Kwa wazazi wanaoishi katika nyumba

iliyogawanyika?.

Page 51: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato , Vol. 93, No. 2 51

Sabato ya tarehe, 0 3 JUNi 2017

Sadaka ya Sabato ya Kwanza ni kwa ajili ya mali za Kanisa la Ma-dridi Hispania ni jimbo huru kwa

kiasi kikumbwa imejiingiza Katika mkono wa bahari katika Ulaya ya ku-sini magharibi. Pia ina visiwa vidogo vidogo katika bahari ya Mediteraniani na Atlantic na maeneo kadhaa yaliyoko karibu na pwani ya Afrika ya kaskazini. Ina mfumo wa kiuongozi na Utawala wa zaidi ya watu milioni (46), ina Bunge na Katiba ya kifalme. Hispania ina sekta ya us-tawi wa Utalii, imekuwa nchi ya tatu ulimwenguni

Kutembelewa zaidi Mwaka wa 2014. Kulingana na Utafiti wa mwaka (2015) asilimia 71.8% ya idadi ya Hispania yenyewe ni Wakatoliki. Kwa nam-na yoyote asilimia 48.4% tu kati ya umri wa miaka 18 – 2 4 wanasema ni Waka-tholiki. Wakati asilimia 47.1% hawazingatii maswala ya dini, ama wasioamini au hawaamini uwepo wa Mungu.

Madridi, kihistoria ilipangwa kama kijiji, ni mji mkuu wa Hispania ikiwa na wakazi wapato milioni 3.2, ni manispaa ya jumuiya ya Madridi. Idadi ya watu ya eneo la mji mkuu ni milioni 6.5, ni msingi na kitovu cha biashara kwa makampuni mengi ya kimataifa, na pia kisiasa , kiuchumi na kituo cha utama-duni cha Hispania .

Waadiventista wasabato Wanamatengenezo walisajiriwa rasmi Hispa-nia mwaka 1972 Kama wasiokiri Ukatholiki. Tangia hapo, waumini wengi wachungaji na wafanya kazi wanafanya kazi ngumu ya kuhubiri injili ya Bwa-na wetu Yesu kristo katika eneo hili.

Kutokana na hali ya kufanya kazi vizuri waamini wetu wengi walihamia kutoka katika nchi mbalimbali miaka ya 2000 na kuendelea. Hii ilifanya hitaji la kununua rasilimali mjini Madridi, ambayo kwa baadae tulifanya nyumba ya kuabudia. Ili kutusaidia sisi kuimalisha nyumba ya nuru ya Bwana, tu-nayomakubaliano na benki ya kibiashara. Mpaka sasa tumeshalipa awamu tatu zaidi ya kile tulichokuwa tunadaiwa. Kwa kila hali, uchumi wa Hispania umeshuka katika miakahii ya karibuni,waumini wengi walilazimika kuhamia katika nchi nyingine, hivyo washiriki wamepungua katika kanisa la Madridi.Hili limeleta ugumu kwetu hapa katika kusanyiko la ahadi muhimu ili kupata mali za kanisa.

Kwa sababu hiyo tunaomba kwa moyo safi kwa ndugu zetu na Dada, wa-toto, na marafiki wanaotuzunguka duniani kote, tafadhali tusaidieni katika hitaji hili toeni sadaka ya ukarimu kwa sababu hiyo. Mapema na kwa moyo wote tunatoa shukrani zetu, Tunaomba Bwana awabariki ninyi nyote na fa-milia zenu.

Ni ndugu zenu na Dada kutoka Kanisa la Madridi.

Page 52: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato Vol. 93, No. 252

Somo la 10 Sabato ya tarehe, 03 Juni

KANISA LA NYUMBANIUpendo wa ndugu na udumu (ebrania 13:1)“Wote tu wakosaji, hakuna aliye-mkamilifu. Bwana Yesu Kristo

alikufa kwa ajili ya wakosaji ili wapate kusamehewa, Siyo kazi yetu kuhukumu, Yesu hakuja kuhukumu, bali alikuja kuokoa” - In heavenly place ukr 292.Imependekezwa kujifunza: Shuhuda ya 2, ukr 73- 77.

Jumapili tarehe, 28 Juni

1. KUSAIDIA WALE WANAOTUZUNGUKAa. Ni makundi gani ya watu tunapata faraja maalumu? Galatia

6:10, na kwa nini? Mathayo 12:50.

“Niliona kuwa majaliwa na kudra za Mwenyezi Mungu, kwam-ba Wajane na Yatima , vipofu viziwi, vilema, na watu ambao wana-hangaika na kuteseka katika njia mbalimbali, wamewekwa karibu na uhusiano wa Kikristo na Kanisa lake. Kuwahakikisha watu wake na kuendeleza tabia zao za kweli. Malaika wa Mungu. Malaika wa Mungu wanaangalia waone jinsi tunavyo shughulika kwa watu hawa ambao wanahitaji huruma, upendo na wasiotaka makuu, wakarimu. Hili ni jaribu la Mungu kwa Tabia zetu. Kama tuna dini ya kweli ya Biblia, tu-tahisi kuwa na deni la upendo wema, na upendeleo wa kweli kwa Kris-to kwa niaba ya ndugu zake. Hatuwezi kufanya udhaifu, badala yake tuonyeshe shukrani zetu kwa upendo wake usiopimika kwa ajili yetu, wakati tulipokuwa wenye dhambi wasio na thamani wa Neema yake, na wenye Upendo wa kina usio na ubinafsi kwa ajili ya hao ambao ni ndugu zetu, na wale ambao hawana bahati kuliko sisi wenyewe.” - Shu-huda ya 3 ukr 511.

b. Kama dini ya kweli tunayo, ni wajibu gani tutautimiza? Yako-bo 1:27 marko 14:7

“Popote pale palipo na uhitaji, na mateso ya mwanadamu, kuna sham-ba na eneo kwa ajili ya kazi ya utume na umishonari” - Huduma ya ustawi wa Jamii, ukr 35 .

Page 53: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato , Vol. 93, No. 2 53

Jumatatu tarehe, 29 Mei

2. VUNA UPeNDO WA KINDUGUa. Ulikuwa upendo gani wa Mungu alio uonyesha mbele yetu?

Chini ya sharti gani pendo hili huwekwa kwetu? 1 Yohana 4:9, 11. Yohana 3:16

“Wakati mwenye dhambi amwonapo Mwokozi wake akifa juu ya msalaba chini ya laana ya dhambi awe mbadala wake. Mwenye dhambi humpenda kristo , sababu kristo alimpenda kwanza Yeye.” - Jumbe zilizoteu-liwa vol. 1, ukr 374.

“Kristo akidumu katika nafsi hatakuwa na mzozo pamoja na nafsi nyingine. Lazima tujifunze kubeba sura ya kipekee kwa wale wanaotu-zunguka walio karibu nasi. Kama mapenzi yetu yako chini ya uongozi wa mapenzi ya Kristo, tunaweza kuwa na ugomvi na ndugu zetu? Kama tunaugomvi, tunaweza kujua na kufahamu kuwa hiyo ni sababu pekee inayoitajika kusurubiwa. Kristo ambae huweka huru, ni huru kweli kweli. Hatuwezi kukamilika katika Kristo mpaka tupendane kila mmoja kama Kristo alivyotoa Amri, ndipo tutatoa ushaidi kwamba tumekamilika kati-ka Yeye.”- This day with God ukr 262.

b. Lazima tuwe na uhusiano gani pamoja na Mungu kabla ya kuweza kuwapenda ndugu na dada? 1 Yohana 4:7,12.

“Wote ambao wamekuwa wakizaliwa kwenye familia ya kimbingu, maana yake pekee ni ndugu wa Bwana wetu. Upendo wa Yesu umfunga pamoja katika familia yake, popote ambapo upendo unafanywa kudhiilika na kufunuliwa, pana mahusiano ya Mungu yaliyofunuliwa.” - Tumaini la vizazi vyote ukr 938.

“Wajibu wetu ni kuishi katika anga la upendo wa Kristo, kwa kupum-zika katika pendo lake la kina, na kuakisi joto lake linalotuzunguka.”- Wito wetu Mkuu, ukr 175.

c. Kwa jinsi gani tumpende mtu mwingine? 1 Petro 1:12,23.

“Mungu pekee anayeweza kukuongoza kutambua Rehema zake, upen-do wake na kustahili ambapo utapata imani ile ifanyayo kazi kwa upendo na nafsi iliyotakaswa, Hii ndiyo kalamu ya Mungu.” - Lift him up, ukr 252

“Tunahitaji furaha ya upendo ndani ya mioyo yetu. Hatupaswi kuwa tayari kufikiri uovu wa ndugu zetu. Lazima angalau tukitafasiri kile wanachofanya au kile wanachosema. Lazima tuwe Wakristo wa Biblia.” - This day with God ukr 83.

Page 54: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato Vol. 93, No. 254

Jumanne tarehe, 30 Mei

3. KUKUA KATIKA UZOEFU WETU.a. Umeweza kuchagua jambo gani, nami nilifanye kwa ajili ya

kukua katika uzoefu wa Kikristo? efeso 4:21-24.

“Badiliko ni kazi ambayo inafanyika pasipo kujua. Siyo jambo dogo kuyabadili ya kiulimwengu, akili ipendayo dhambi inaletwa kwenye upendo wa Kristo usiosemeka, uzuri wa Neema yake na ukuu wa Mungu, hivyo nafsi itajazwa upendo wa Mungu na kutekwa na siri nzito za Mbin-guni. Yeye ayafahamuye mambo haya, maisha yake ya zamani huonekana si ya furaha yenye kuchukiza. Huichukia dhambi, nafsi yake inavunjika mbele za Mungu, humdhihirisha Kristo kama uzima na furaha ya moyo wake, huikataa anasa yake ya zamani. Ana akili mpya, mapenzi mapya, mvuto mpya, makusudio mapya, masikitiko mapya, matamanio na yake na pendo lake vyote vitakua vipya... Neno la Mungu ambalo lilionekana baya lisilopendwa, sasa analichagua kuwa kama sehemu ya utafiti wake, tena Mshauri wake. Ni kama barua aliyoandikiwa yeye kutoka kwa Mun-gu, imebeba Maandiko ya milele. Fikra zake, maneno yake na matendo yake yanaletwa kwenye sheria na kanuni hii na yanajaribiwa. Na Kutete-meka mbele ya utisho wa Amri uliomo ndani. Wakati anapokuwa imara katika ufahamu wa ahadi zake, nguvu zake hukazwa kwa kujitwalia ahadi ziwe kwake mwenyewe.”-Kwa Imani naishi, ukr 139.

b. Ni katika njia gani tunakua kiroho? 2 Petro 3:18.

“Mkristo anapata nguvu kwa kuwaimalisha wengine, yeye aliye maji atakuwa amejitilia pia maji yeye mwenyewe,hii sio ahadi tu bali ni sheria ya Mungu, sheria ambayo Mungu ukusudia iwe mito ukarimu, kama maji ya vilindi vikuu, kututunzwa daima kuzungukwa kitatiririka siku zote kwenye vyanzo vyake. Katika kuitimiza sheria hii ni siri ya ukuaji wa ki-roho...

“Kwa namna gani inawezekana kwamba tupate kukua katika neema? Inawezekana kwetu tu kama tukiiacha wazi mioyo yetu na kuuwasilisha ukwelli mbingini, kwa kupokea kipimo kikuu cha neema yake.” - Ellen G White Comments vol. 7, ukr 947.

“Tupate kuyajua zaidi nazaidi ya yesu kwa kupitia mvuto wa kuyachunguza maandiko kasha neema watakua imara katika imani na ku-songa mbele.” - Ujumbe kwa vijana uk 121.

Page 55: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato , Vol. 93, No. 2 55

Jumatano tarehe, 31 Mei

4. KUSHUGULIKA NA WALIO POTeAa. Katika mwingiliano wetu pamoja na ndugu na Dada , tuna-

paswa kukumbuka nini? Luka 21:19 Yohana 15:12.

“Toa upendo kwa wale ambao wanauitaji zaidi kwa bahati mbaya zaidi wale ambao wanatabia isiyo badilika wanaitaji upendo wetu, wema wetu, huruma yetu.wale ambao wanajaribu uvumilivu wetu wanahitaji zaidi upendo” - Misingi ya Elimu ya Kikristo 281.

“Hatuhitaji kuanza kujaribu upendo kwa wengine, upendo wa Yesu Kristo ndani ya moyo ndio unaohitajika. Uchoyo na ubinafsi unapoza-mishwa kwa kristo chemichemi za upendo wa hiari wa kweli zinatokea nje.” - Injili wa Watenda kazi, uk 497.

“Kuna haja ya kuonyesha uvumilivu kama wa Kristo na upendo wa mkosaji lakini pia kuna hatari kubwa sana ya kuonyesha uvumilivu mkubwa sana kwa ajili ya kosa lake, kwamba atatazamwa yeye mwenyewe kama wasiostahili wa kuonywa kama asiye na wito kwa ajili ya wosia na haki.” - Matendo ya Mitume ukr 503.

“Unapaswa kuwasaidia wale ambao wanasimama zaidi katika uhi-taji wa msaada wale ambao wako katika hali ya chini, ambao ni wakosaji wenye dhambi ambao wanaweza kukujeruhi na kukujaribu imanai yako na uvumilivu wako mkubwa na haki yao kama vile yesu huwaurumia kwasababu shetani ananguvu zaidi juu yao daima amechukua faida ya udhaifu wao na kuwalenga mishale yake kwenye vidonda vyao na maje-raha yao yasio na ulinzi.” - Shuhuda ya 2, ukr 75

b. Kama ndugu akuudhi mambo kadhaa na tunaskia kuhusu hili, hatua ya kwanza tunayopaswa kuchukua ni ipi? Matayo 18:15; Walawi 19:15

“Usijaribu kusikiliza habari au taarifa dhidi ya ndugu au dada, muulize anaeleta mashtaka iwapo analitii neon la Mungu kuhusiana na hilo tatizo, christo ameacha maelekezo wazi kwamba nini kifanyike, nenda kwa ndu-gu yako na umwambie kosa lake kati yake na wewe pekee yako…………

“Pengine wala sio lalamiko kati yako na Yule anaeshitakiwa na kula-lamikiwa mahakama ya kristo ni sawa, ndugu zako wanahitaji msaada mwambie yeye wala sio kumwambia mtu mwingine kwamba taarifa zina-sambaa na kuzagaa juu yake, mpe nafasi ya kujieleza inawezekana kuwa taarifa hizo ni za uongo na kwamba matatizo yanaweza kuongezwa na baadhi ya maelezo rahisi tuba ni hii, kila mtu adhanie yuko katika makosa na dhambi.” - In heavenly place, ukr 292

Page 56: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato Vol. 93, No. 256

alhamisi tarehe, 01 Juni

5. KUZA MATENGENEZOa. Mtazamo gani tunapaswa kuwa nao mbele ya walio makosani?

Je ni malengo gani tunapaswa kuwa nayo? Galatia 6:1, 2 ; 1 Pe-tro 4:8; Tito 3:2

“Kumbuka ya kuwa kazi ya matengenezo ni mzigo wetu, kazi hii siyo ya kufanywa katika ufahari, kimbelembele , na njia ya ustadi mkubwa...

“Anayepunguza mahitaji ya lazima ya ndugu yake atakuwa katika majaliwa ya Mungu yakuletwa katika historia ile ile ambayo ndugu zake wamesafiri kwa majaliwa na huzuni, na kwa uzoefu mchungu utakuwa umethibitishwa kwake, kwamba yeye ni mnyonge, masikini kama alivyo-teseka na kuhangaika mmoja aliyefukuzwa.” - Shuhuda ya 6, ukr 398,399.

b. Mara zote nini huzuia Matengenezo ya kimakosa? Mithali 11:13, 18:8.

“Umbea, Uongo na Maringo, watoaji wa siri, na wenye tabia ya kuji-tenga, Nafsi inayojitenga kutoka kwa Mungu. Ni kifo cha kiroho, na mvu-to wa dini tulivu.

“Wakristo wangekuwa waangalifu juu ya maneno yao, kamwe wasin-gebeba taarifa isiyofaa kutoka kwa mmoja wa marafiki zao kwenda kwa mwingine, hasa pale wanapotambua kuwa kuna ukosefu wa muungano kati yao. Ni udhalimu kudokeza na kusingizia, kana kwamba marafiki wengine kuna kile wanachopuuza. Kwa vile kudokeza kwa undani zaidi na kutengeneza mivuto isiyo na maana, kuliko kusema ukweli kuhusia-na na ukweli wa tabia isiyo na uongo. Je ni madhara gani kwa kanisa la Kikristo halijateseka juu ya mambo haya?” - Ibid vol. 2, ukr 185, 186.

ijumaa tarehe, 02 Juni

MASWALI BINAFSI YA KUTAFAKARI.1. Kwa jinsi gani tunaonyesha kwamba tuna dini ya kweli ya Biblia?2. Kwa namna gani Biblia ya kikristo inawachukulia ndugu na dada

zao katika imani?3. Tunawezaje kuwa wakristo wenye nguvu?4. Tunaweza vipi kuwapenda wengine? Kwanini haswa tunapaswa

kuonyesha upendo?5. Kama tunakataa kusaidiwa katika matengenezo ya makosa yetu ya

kaka na dada, nini kitatokea kwetu?

Page 57: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato , Vol. 93, No. 2 57

Somo la 11 Sabato ya tarehe, 10,Juni.

KANISA: NURU YA ULIMWeNGU.Ninyi ni Nuru ya ulimwengu (Mathayo 5:14)“Kile ambacho Mungu alikusaidia kukifanya kwa ajili ya ulimwen-

gu kupita Israeli, Taifa teule, Hatimaye atakamilisha kupitia Kanisa lake siku hizi duniani.” - Manabii na Wafalme Ukr. 713.

Imependekezwa kujifunza: Matendo ya Mitume Ukr. 9-24.

Jumapili tarehe, 04 Juni

1. WATU WAIFUNUe TABIA YA MUNGU.a. Kusudi gani linakamilishwa kupitia Kanisa? efeso 3:9-11; 2

Wakorinto 4:6; 1 Petro 2:9.

“Tangu mwanzo umekuwa ni mpango wa Mungu kwamba kupitia Kanisa lake litaudhihirishia ulimwengu wote ukamilifu na kutosheka kwake. Washiriki wa Kanisa amewaita watoke kwenye giza waje kwenye Nuru yake ya ajabu, wautangaze utukufu wake. Kanisa ni hazina ya utajiri wa Neema ya Kristo; kupitia Kanisa hatimaye itadhihirika wazi, “Hata ka-tika falme na mamlaka katika ulimwengu wa Roho” Hatimaye upendo wa Mungu utaonekana wazi (Waefeso 3:10).” - Matendo ya Mitume Ukr. 9.

b. Ni huduma gani Mungu ameitoa kwetu? Na kwa namna gani tunakuwa washiriki katika huduma hii? 2 Wakorintho 5:18- 19. Yohana 20:21.

“Mwanadamu alikuwa ameharibiwa na dhambi ambapo ilikuwa vi-gumu kwake yeye mwenyewe katika nafsi yake kuja katika maelewano na ambaye asili yake ni Usafi na Wema. Lakini Kristo, baada ya kumkomboa mwanadamu kutoka katika adhabu na laana ya sheria, angeweza kuwapa watu uwezo katika Uungu kwa kuunganisha na juhudi za kibinaadamu. Hivyo kwa kutubu mbele za Mungu na kwa Imani katika Kristo, watoto wa Adamu walianguka mara moja wanaweza zaidi kuwa “Wana wa Mun-gu (1 Yohana 3:2).” – Wazee na Manabii Ukr. 64.

Page 58: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato Vol. 93, No. 258

Jumatatu tarehe, 05 Juni

1. KUFANYA KAZI KATIKA UMOJA NA KRISTO.

a. Yesu alimwomba nini Baba kwa niaba ya wanafunzi wake, ili wapate nguvu ya kuushuhudia ulimwengu? Yohana 17:20, 21.

“Katika hawa wanafunzi wa kwanza (walitengwa na Kristo) wawaki-lishe alama ya utofauti. Walitakiwa kuwa walimu wa Dunia, na waliwaki-lisha aina pana sana ya Tabia, ili waweze kufanikiwa kupeleka mbele kazi ambayo walikuwa wameitiwa. Watu hawa wanatofautina katika sifa za asili na katika tabia ya kuishi, walihitajika kuja kwenye umoja pamoja naye.” – Matendo ya Mitume Ukr. 20.

“Tunashida kubwa sana kupata nafsi mbili zilizo sawa sawa, miongoni mwa binadamu kama vile miongoni mwa mambo ya asili ya ulimwengu yaliyotofauti. Umoja katika utofauti miongoni mwa watoto wa Mungu – Ni udhihirisho wa upendo na uvumilivu licha ya utofauti wa hulka na ta-bia – Huu ni ushuhuda ya kwamba Mungu alimtuma Mwanae ulimwen-guni kuja kuokoa wenye dhambi.” Wana na Binti za Mungu Ukr. 286.

“Ukaribu wetu pamoja na kushirikiana naye Kristo, utakuwa ukaribu wa umoja wetu katika kushirikiana pamoja na wengine.” – Wana na Binti za Mungu, Ukr. 286.

b. Mtazamo gani ndani ya Kanisa ni ushahidi wa nguvu kwa wengine wa kweli tunakiri kuuamini? efeso 4:1–3; 31, 32.

“Tunayo tabia ya kudumisha, bali ni tabia ya Yesu Kristo. . . Kristo yumo ndani yetu tutakutana na Kristo ndani ya ndugu zetu, naye Roho Mtakatifu atatupatia ule umoja wa Roho na Matendo ambayo huushuhu-dia ulimwengu ya kwamba sisi tu watoto wa Mungu.” – Neema za maajabu ya Mungu Ukr. 211.

“Jifunze na Mwalimu Mkuu, maneno ya wema na huruma itafanya kazi kama dawa, na itaponya nafsi zilizo kata tamaa. Maarifa ya Neno la Mungu yatakuleta kwenye maisha ya kutenda, utapata uponyaji na buru-diko la nguvu.” – Injili ya Watendakazi ukr. 163.

“Wengi wamedhoofika na kukata tamaa katika vita kuu ya maisha, ambapo neno moja la kufurahisha lenye huruma na ujasiri, wangepata nguvu ya kushinda... hatuwezi kusema jinsi ilivyo mbali kuyafikia mane-no ya huruma na wema wetu, juhudi zetu kama Kristo kuangazia baadhi ya mizigo ya upole, wema, Uungwana na pendo la wema.” – My Life to day Ukr. 235.

Page 59: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato , Vol. 93, No. 2 59

Jumanne tarehe, 06 Juni

2. KUUFUNUA UPeNDO WA MUNGU KWA WeNGINe.

a. Tunapaswa kutenda katika hali gani mbele za kaka na dada zetu walio katika Imani? Filipi 2:3. Kwa nini tunapaswa kuwa wanyenyekevu katika mawazo yetu wenyewe? Mathayo 23:8, 1 Wakorintho 4:7, 2 Wako-rintho 10:12.

“Wale ambao katika Roho kuna Upwendo wa Yesu watakuwa wamoja pamo-ja naye, watakuwa karibu wafuasi wenzake mmoja na mwingine wanakuwa wamefungwa juu ya kamba za zuria la upendo.” -Wana na Binti za Mungu ukr. 300.

“Jisurubishe mwenyewe, waheshimu wengine zaidi kuliko wewe mwenyewe. Hivyo utakuwa umewalea kwenye umoja pamoja na Kristo. Mbele za mbingu iliyoenea, mbele za Kanisa, na mbele za ulimwengu na dunia, utakuwa umebeba ushahidi usiokosewa, kwamba ninyi ni wana na Binti za Mungu. Mungu atakuwa ametukuzwa katika kielelezo ambacho yeye alikiweka.” – Shuhuda ya 9 ukr. 188.

b. Ni wai ambapo hakuna uvunjaji wa wazi wa kanuni, tuna-paswa kufuata kanuni gani katika kuhsehimu kila Nia yaw engine? Rumi. 14:10, 13.

“Kuna haki ambayo ni mali ya kila mtu. Tunayo nafsi na sura kwamba ni yetu wenyewe. Hakuna mtu anayeweza kuzamisha sura yake ie kwa mwingine yeyote. Wote lazima tutende kwa ajili yetu wenyewe, kulingana na waliyatoa dhamira zao wenyewe.” – Shuhuda kwa watendakazi Ukr. 422.

“Hakuna sauti ya mwanadamu na ushawishi wa mvuto unaopaswa daima kufuatwa kuwa ni nguvu ya kuongoza”- Medical Ministry Ukr. 165.

c. Ni hali gani lazima tukutane nayo kama tunapata kuwa washi-riki wa kweli pamoja na Ndugu na Dada zetu? Nini kitatokea baadaye katika uzoefu wetu? 1 Yohana. 1:7.

“Mungu atampokea kila mmoja ambaye ajaye kwake kwa kumwamini ka-bisa na kutegemea wema wa mwokozi aliyesulubiwa. Chemichemi za upendo hububujika ndani ya Moyo. Hakutakuwa na hali ya kurukwa mawazo, bali kuna uaminifu na Tumaini la amani ya kudumu. Kila mzigo ni mwepesi na laini kwa ajili ya Nira ambayo hapo kabla ilionekana kufunikwa giza, inageuka kwa kung’aa mng’aro mkali kutoka katika jua la Haki. Hii ni kutembea katika Nuru kama Kristo alivyo katika Nuru.” – Jumbe zilizoteuliwa sehemu ya 1 Ukr. 353.

Page 60: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato Vol. 93, No. 260

Jumatano tarehe, 07 Juni

4. KUFANYA KAZI AKTIKA MAELEWANOa. Kwa jinsi gani katika uzoefu wa Paulo kwenye barabara ya

Dameskasi na kubadilishwa kwake unafunuliwa mpango wa Mungu kuwatumia washiriki wa Kanisa kuwaokoa wenye dhambi? Matendo 9:6, 10, 11, 15.

“Katika kuongolewa kwa Paulo tunapatiwa kanuni muhimu ambayo tunapaswa daima kuweka katika akili. Mkombozi wa ulimwengu hana uzoefu wa vikwazo na mfumo wake katika uhuru wa mambo ya Dini na kulijulisha Kanisa, popote alipo ana Kanisa.

“Wengi wanawaza kwamba, wanawajibika kwa Kristo peke yake kwa ajili ya Nuru yao na uzoefu wao wafuasi wake huru waliokubalika duni-ani. Lakini hii ni laana kwa Yesu, juu ya mafundisho yake, katika kielelezo na ukweli wa mambo ambao ameutoa kwa ajili ya kutuelekeza sisi. Hapa alikuwa Paulo mmoja ambaye Kristo alimuweka kwa ajili ya kazi muhi-mu zaidi, mmoja ambaye alichaguliwa chombo kwake, kuletwa moja kwa moja hadi kwenye uwepo wa Kristo, Bado hakumfundisha masomo ya ukweli. Alikamatwa kwa sababu ya hatia yake. Wakati anauliza. “Wataka mimi nifanye nini?” Mwokozi hakumjibu moja kwa moja, bali aweke Mu-unganiko wake kwenye Kanisa lake, Nao watakuambia nini unachopaswa kufanya.” – Shuhuda ya 3 Ukr. 432, 433.

b. Ni mwingiliano wa mahusiano gani upo kati yetu, mwili wa Kanisa na Kristo? efeso 4:14-16

“Ingawa kundi la Wakristo wameunganisha uwezo katika Kanisa, wote hawana vipaji vya kufanana, bado kila mmoja anaowajibu wa ku-fanya. Vipaji mbalimbali, lakini kila mtu amepewa kazi yake. Wote wana-tegemea juu ya Kristo ndani ya Mungu. Yeye ni Mkuu wa utukufu wa ha-dhi yote na matabaka ya watu yameshirikishwa kupitia Imani katika Neno la Mungu. Wamefungwa pamoja kwa Imani ya kawaida katika kanuni za mbinguni, wote utegemezi wao uko juu yake yeye ambaye anamamlaka na mwenye kutimiza Imani yao. Ameziumba kanuni ambazo huzaa umoja unaoenea kote na upendo kwa wote. Wafuasi wake wanapaswa kutafakari upendo wake, hawapaswi kuacha kufikia kiwango kilichowekwa mbele yao. Kama kanuni za Kikristo zinaishi, Wakristo watazalisha maelewa-no kote na amani kamilifu. Wakati moyo unapokuwa umefungamana na Roho wa Kristo, hakutakuwa na ugomvi, hatakuwa na kutafuta ukuu, ha-kuna jitihada za kutumikia mabwana.” – Kutazama juu Ukr. 104.

Page 61: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato , Vol. 93, No. 2 61

alhamisi tarehe, 08 Juni

5. KUJIANDAA KWA AJILI YA HUDUMA.a. Upendo wetu kwa Ndugu na Dada zetu tungeudhihirisha kwa

namna iliyoje? 1 Yohana. 3:18.

“Wale wote ambao wamezaliwa kwenye familia ya kimbingu, kati-ka maana halisi ni ndugu wa Bwana wetu. Upendo wa Yesu huwafunga pamoja na washiriki wa familia yake. Na popote ambapo Pendo limefanya kudhihirika kuna uhusiano wa kimbingu unaolifunua. Kila apendaye amezaliwa na Mungu, naye anamjua Mungu (1 Yoaha 4:7)”.

“Wale ambao Kristo huwasifia katika hukumu inawezekana walii-fahamu kidogo sana Elimu ya Dini(Theolojia). Lakini walifurahishwa na kanuni zake. Kupitia mvuto wa Roho wa Mungu wamekuwa Baraka ku-husiana Nao” - Tumaini la vizazi vyote Ukr. 638.

b. Kwa namna gani Yesu alionyesha kwamba maisha ya huduma ya-lihusika katika ukweli Mkuu? Marko 9:35, Mathayo. 20:25 – 28.

“Maisha ya Mwokozi hayakuwa maisha rahisi rahisi na kujitukuza yeye mwenyewe. Alikuwa mvuja jasho, mwenye juhudi mwenye bidii kwa ajili ya wanadamu waliopotea. Tokea Horini hadi Kalvari alifuata njia ya kujinyima, hakutaka kutolewa katika majukumu magumu, safari ndefu za kuchosha na zenye maumivu, Alifanya ...”

“Uliokuwa mlo na kinywaji chake ni kufanya mapenzi ya Baba yake na kuimaliza kazi yake. Uchoyo na ubinafsi haikuwa sehemu ya kazi yake. Hivyo wote ambao ni washirika wa Neema ya Kristo watakuwa tayari ku-fanya kafara yoyote ya kujitolea, kwa wengine kwa ajili ya yule aliyekufa ili waweze kushiriki zawadi ya kimbingu, watafanya yote wanayoweza ku-fanya ubora wa dunia kwa ajili ya kuishi ndani yake.” - Hatua za Kristo Ukr. 78.

ijumaa tarehe, 09 Juni

MASWALI BINAFSI YA KUTAFAKARI.1. Ni kanisa gani lililodhamiria kuufunulia ulimwengu?2. Tunawezaje kuonyesha muungano na Ushirikiano ndani ya Kanisa?3. Tunawazaje kuwa na lile pendo kwa ajili yaw engine ambalo hu-

enda ng’ambo ya fikira?4. Ni dhamana gani ya kawaida hutuunganisa sisi kwa ndugu na

Dada zetu?5. Kama tunafuata kielelezo cha Kristo kwa wengine, tutakuwa na

mapenzi gani ya kufanya?

Page 62: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato Vol. 93, No. 262

Somo la 12 Sabato ya tarehe, 17 Juni 2017

UAMINIFU KATIKA KAZI“Je, wamwona mtu mwenye bidii katika kazi zake? Atasimama

mbele ya mfalme; Hatasimama mbele ya watu wasio na cheo” (Mi-thali 22:29).

“Dini lazima ifanywe kuwa kazi kuu Maishani, kila kitu kingine kina-paswa kuwa chini ya dini. Nguvu zetu zote za nafsi, mwili na roho, lazima zishiriki vita vya Kikristo. Lazima tumwangalie Kristo kwa vile Yesu ali-kufa kwa ajili yetu”. - Maisha ya Utakaso ukr 93.Imependekezwa kujifunza : elimu ukr 135-145.

Jumapili tarehe, 11 Juni

1. KUFUATA UTARATIBUa. Tunapaswa kuyaongoza mambo yetu yote ya shughuli kwa

gani? ebrania 8:48.

“Katika yote ambayo mkristo huweka mikono yake yangekuwa ya ku-suka na kufuma maisha milele ya milele. Kama kazi inayofanyika ni ya kilimo au ufundi wa mitambo katika asili yake, itabakia kuwa ni mfumo wa baadae wa mbinguni... Kupitia neema ya kristo kila sharti limefanywa kwa ajili ya utimilifu wa tabia kama ya kristo, Mungu wakuheshimu waka-ti watu wake wa napokuwa katika shughuli zote za kijamii na biashara zao zihusike kufunua kanuni za mbinguni”. - In heavenly place 154 .

b .Yesu alikuwa anampendeza nani katika kazi za maisha yake kabla hajachukua huduma zake? Luka 2:52.

“Yesu alishinda kwenye zake kwa uchangamfu kwa furaha na heki-ma. Huhitajika uvumilivu mwingi sana tena wa kiroho kulete dini ya bi-blia katika maisha ya nyumbani na kwenye karakana. Fanya kazi za mvu-to wa kidunia lakini bado jicho moja liwe kwenye utukufu wa Mungu. Hii ni mahali ambapo Yesu alikuwa mtoaji, alijitoa sana katika mahitaji ya walimwengu kana kwamba hana muda au fikra za mambo ya mbinguni”. - Tumaini la vizazi vyote ukrs 73.

Page 63: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato , Vol. 93, No. 2 63

Jumatatu tarehe, 12 Juni

2. USIACHe UADILIFU a. Je, Mungu hutupimaje katika mizani ya Mbinguni? 1Samweli 2:3,

“Mungu hupima Nia , Makusudi na tabia za watu wote wanapimwa

katika mizani ya patakatifu. Mungu anatambua huu ukweli wote…….. Hakuna nia ndani ya vina vya moyo, hakuna siri ndani yetu , hali-

po kusudi ambalo Mungu hatalitambua kikamilifu……….. Mungu moyo akili nafsi na nguvu zote kumpenda jirani yako kama nafsi yako hili li-mewekwa katika kipimo kimoja…

Siku ya Mungu ya mwisho itakuwa jambo la kutisha, kwa hiyo tuna takiwa kuwa karibu na kuzichunguza nia zetu wenyewe na matendo yetu kwa kuziangalia sheria takatifu za mungu kwa kutubu kila tendo la uasi na iwapo mwenye dhambi akisihi na kuomba tabia njema ya kristo itoe ma-pungufu damu ya yesu pekee italifanya jambo hilo” - Wito wetu Mkuu, ukr 139.

b. Ni kwa namna gani Mungu hututaka kutenda katika mienen-do yetu yote pamoja na wengine? Rumi 12: 17, Ayubu 31:6.

“Mtu mwaminifu kamwe hatachukua mapato ya uovu au udhalimu ili kujaza pesa mifuko yake mwenyewe. Hupokea haki yake halali kwa kile alichokiiza, kama kuna kasoro katika kilichouzwa, huwaambia ukweli ndigu zake au majirani zake, ingawa kwa kufanya hivyo anaweza kuwa amefanya kazi dhidi ya maslahi yake mwenyewe.

Katika kumbukumbu zote za maisha kanuni kali kabisa za uaminifu zina zinatakiwa kutunzwa .Kanuni hizi siyo zile ambazo zinauongoza ulimwengu kwa shetani , mdanganyifu, mwongo mwonevu mkuu na ku-fuata somo lake na kutekeleza makusudi yake ndani ya Mungu bila kujali faida zote binafsi wanazopata” - My life today, ukr 330.

c. Mungu huahidi nini kwa wale ambao ni waaminifu? Fili-pi 4:9.

“Biashara yoyote unaweza kuifanya mwenyewe kwa kuingia ndani yake kamwe usikaribishe wazo kwamba huwezi kupata mafanikio yake pasipo kanuni za kutoa kafara”. - Review and herald, 19/08/1884

Page 64: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato Vol. 93, No. 264

Jumanne tarehe, 13 Juni

3. MKRISTO MFANYABIASHARAb. Maadui wa Danieli walilazimika kuingilia nini kuhusiana na

kazi yake? Daniel 6:4. Tunaweza kujifunza nini toka katika uzoefu wake?

“Wale ambao wako katika mstari wa kufanya kazi ya biashara wana-paswa kuchukua kila tahadhari dhidi ya kuanguka kwenye makosa ku-pitia mbinu au kanuni za kimakosa. Kumbukumbu yao inaweza kuwa kama ya Danieli katika mahakama ya Babeli. Shughuli zake zote zilikuwa zinakabiliwa na uchunguzi za kazi ya maisha yake ya biashara ingawa ha-ina ukamilifu lakini hupatikana somo la thamani. Linafunua ukweli am-bao mfanyabiashara siyo lazima kuwa na taratibu za fitina na njama katika sera za watu. Anaweza kuwa mtu anayeelekezwa na Mungu kila hatua. Wakati Daniel akiwa waziri mkuu wa ufalme wa Babel alikuwa nabii wa mungu akipokea nuru ya uongozi wa mbinguni. Maisha yake ni kielele-zo cha kila namna kwa kila mkristo mfanyabiashara anavyoweza kuwa” - Shuhuda ya 7 ukr 248.

b. Tunaweza kujifunza nini kutoka kwa Ibrahimu kuhusiana na kuziongoza shughuli zetu? Mwanzo 23: 7-16.

“Alichunguza (Ibrahimu) kama yeye hujihusisha katika shughuli za kibiashara na wana wa Hethi, kwa kununua mahali pa mapumziko kwa ajili ya Sara. Katika huzuni zake Ibrahimu hakusahau kuwa na adabu, ana-inama mbele yao ingawa anaheshimika mbele za Mungu. Ibrahimu alijua ukweli halisi uliokuwapo na nini kilikuwa halali kutoka kwa watu wanau-me wenzeke”

“Tunapaswa kuwa na msamaha wa kipekee daima tuangalie fulsa za kuwafurahisha wengine kwa kuwabebea masikitiko yao na mizigo yao kwa kutenda matendo ya wema na upole na kwa upendo. Hizi ni heshima stahi-vu ambazo zinaanzia katika familia zetu hupanua nje mzunguko wa familia na kusaidia kutengeneza maisha ya furaha ya juu” - My life today ukr 192.

c. Ni kielelezo gani Yesu alifanya kwetu? efeso 5:2.

“Nakuelekeza kwenye maisha ya Yesu kama kielelezo kamili. Mais-ha yake yalikuwa na sifa ya ukarimu yasio na upendeleo……. Kafara ya aina gani aliyoifanya kwa ajili yetu, kwamba tusiangamie bali kuwa na uzima wa milele. Mbingu itakuwa rahisi kama tukiachana na kila moyo wa uchoyo na ubinafsi tutaipata Mbingu” - Shuhuda ya 4, ukr 218.

Page 65: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato , Vol. 93, No. 2 65

Jumatano tarehe, 14 Juni

4. KUJIKITA KATIKA BIASHARAa. Toa mfano wa mtu katika Biblia ambaye alikua hana Uaminifu

katika matendo ya biashara yake. Luka 19:2-7.

“Mtoza ushuru mkuu Zakayo alikuwa Myahudi alichukiwa sana na wananchi wenzake. Cheo chake, na mali zake, zilikua chukizo lao, amba-zo zilisababisha awe na jina jingine la dhuruma na unyang’anyi. Bado ali-vokua akioneka chini ya muonekano wa kuipenda dunia na kiburi alichi-kua nacho, moyoni alihusishwa mvuto wa Uungu”. – Tumaini la Vizazi Vyote.

b. Kitu gani kilimwongoza kufanya? Luka 19:8.

“Kila nafsi iliyobadili nia kama Zakayo inaashiria kuingia kwa Kristo ndani yake na kuyaacha matendo yasiyo ya haki ambayo ameyafanya ka-tika maisha yake. Kama mtoza ushuru mkuu, naye atatoa uthibitisho wa ukweli wake kwa kufanya ukombozi. Bwana anasema iwapo mwovu aki-rudisha mali iliyowekwa dhamana (rehani) na kumkabidhi tena mtu mali yake aliyomnyang’anya, akitenda katika sheria za uzima pasipo kutenda uovu wowote..., dhambi zake alizozitenda haipo hata moja itakayokum-bukwa juu yake… hakika ataishi. (Ezekieli 33:15-16)

“Kama tumewajeruhiwa wengine kupitia katika makubaliano yoyote yasiyo ya haki ya kibiashara, Iwapo tumejikita zaidi katika biashara au kumpunja mtu yoyote hata katika sheria inayofifia tunapaswa kuunga-ma makosa yetu na kufanya ukombozi kama upo katika nguvu zetu. Ni haki yetu kurejesha sio tu kila ambacho tumechukua bali vyote amba-vyotungevikusanya kama ni haki na busara vitumike zinapokua miliki yetu”. - Ibid, ukr 556.

c. Nani aliyekuwa mfanya biashara asiye mwaminifu? Kwanini? Yohana 12:4-6.

“Yuda alikua Mtunza hazina wa Mitume kutoka katika hazina yao ndogo Yuda alikua Katibu, alikuwa akitoa pesa kwa matumizi yake binafsi, Ilifanya kupunguza vyanzo vyao vya kipato kidogo. Yuda hakuwa na moyo mwema kwa maskini. Manukato ya maruham aliyokuwa ame-nunua Mariamu, kama ingeendelea kuanguka mikononi mwake, Maskini wasingepokea na kupata faida yoyote” - Ibid ukrs 559.

Page 66: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato Vol. 93, No. 266

alhamisi tarehe, 15 Juni

5. USHAURI WA KIVITeNDO a. Ushauri gani tumepewa kuhusu kushirikiana kazi na Wasioa-

mini? Amosi 3:3. 2Wakorintho 6:14-15.

“Baadhi ya ndugu zetu wamejisisha katika shughuli hawaitunzi saba-to kama ilivyoamliwa. Wengine wamekua katika ushirikiano na wasioa-mini na mivuto ya kushirikiana na hao wavunja sabato imekua na madha-ra yake juu yao. Wengine wamekua vipofu wamepofushwa kiasi kwamba hawawezi kuitambua hatari katika uhusiano kama huo, lakini tu sababu kubwa kabisa hawana utambuzi” Historical sketches ukrs 215.b. Shughuli zetu tunapaswa kuziendesha kwa namna gani, huku

tukijua ya kwamba Yesu anakuja upesi? Mithali 22:29.

“Amini ukaribu wa tukio la ujio wa Mwana wa Adamu juu ya mawin-gu ya Mbinguni, lakini haitosababisha Mkristo wa kweli kuwa mzembe na asiyejali maisha ya kawaida. Ambao wanasubiri kutokea na kuonekana upesi kwa Kristo hawatokuwa wazembe, bali wenye busara na bidii ya kazi. Kazi zao hazitafanyika ovyo ovyo kwa udanganyifu bali kwa Uami-nifu, kwa haraka na kwa ukamilifu. Wale ambao wanajisifu wao wenyewe kwa kutojali na kutoangalia mambo ya maisha haya, ni ushahidi wa hali yao ya kiroho ya mtengano kwa na Ulimwengu uko chini ya Udanganyifu mkubwa. Ukweli wao, uaminifu na uadilifu wao unajaribiwa na kupimwa na umethibitika katika mambo ya muda mfupi yasiyo dumu. Kama ni waaminifu katika lililodogo sana watakua waaminifu pia katika mambo makubwa” - Shuhuda ya 4 ukrs 309.

ijumaa tarehe, 16 Juni

MASWALI BINAFSI YA KUTAFAKARI 1. Ni mawazo gani tunapaswa kuyachukua sisi katika kila kitu tu-

nachokifanya?2. Jambo gani hatupaswi kuliruhusu wenyewe kuhusu mafanikio ya

kazi zetu?3. Tunaweza kujifunza nini kutoka katika matendo ya kazi za Daniel

wakati anafanya kazi katika mataifa?4. Wajibu wetu nini kama tunatafta kwamba tuwe wadanganyifu

kwa kila mtu?5. Kazi zetu zingefanyika kwa namna gani kwa kuzingatia Yesu ana-

kuja upesi?

Page 67: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato , Vol. 93, No. 2 67

Soma la 13 Sabato ya tarehe, 24 Juni 2017.

WAJIBU WETU KWA SERIKALI. “Basi mlipeni Kaisari yaliyo ya Kaisari na Mungu yaliyo ya

Mungu” (Mathayo 22:21)“Mvuto wa Mkristo wa kweli umewekwa kwa ajili ya kuikami-

lisha kazi ya Mungu aliyoielekeza, ni wakala wa thamani, lazima pa-siwepo na umoja katika siasa au kujiunga ndani ya shilikisho la vya-ma pamoja na wasioamini. Mungu ni kituo kipendezacho” - Misingi ya Elimu ya Kikristo, ukr 483, 484.

Imependekezwa kujifunza: Shuhuda ya 6 ukr 394 – 397 Ibid vol 9 ukr 232-244.

Jumapili tarehe, 18 Juni

1. MKRISTO NA KAULI.a. Kuna mtazamo gani kwa watu wa Mungu mbale ya serikali za

kidunia? Rumi 13:1-4, 1Petro 2:13, 14, 17. Tito 3:1. Tuna nini cha kufanya pale sheria ya Mungu inapowekwa kando na kanuni za kidunia? Matendo 4: 19.

“Naliona kwamba ni wajibu wetu kutii katika kila jambo, katika sheria za nchi yetu, pasipo wao kugombana na sheria kuu ambayo Mungu aliizungumza kwa sauti kuu ya kusikika pale Sinai, na baada ya hapo aliichonga juu ya mawe kwa kidole chake mwenyewe” Shuhuda ya 6 ukrs 361.

b. Jamii yetu ingekua na hali gani iwapo ililetwa chini ya nguvu ya kizuizi ya sheria ya Mungu? Isaya 48:18, 32:17.

“Katika kupatana na matakwa ya Mungu kuna nguvu inayobadilisha ambayo huleta amani na mapenzi mema miongoni mwa Wanadamu. Kama mafundisho ya neno la Mungu yalitengeneza mvuto wa kuongoza maisha ya kila Mwanamume na Mwanamke, Iwapo akili na roho ikiletwa chini nguvu yake ya kizuizi, Uovu ambao upo sasa katika Taifa na katika maisha ya jamii, yasingepata nafasi” - Manabii na Wafalme ukrs 192.

Page 68: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato Vol. 93, No. 268

Jumatatu tarehe, 19 Juni

2. KUWA SeHeMU YA UFALMe WA MUNGUa Kwa kuwa sisi ni raia hapa duniani, pia ni somo kwa watawala

kama vile Mungu alivyoelekeza, Je, msingi wetu wa uraia upo wapi? Filipi 3:20. Je, Yesu husema nini kuhusiana na ufalme wake? Yohana 18:36, Luka 17:21.

“Ufalme wa Mungu huanzia Moyoni”. - Tumaini la vizazi vyote ukrs 506.

b. Jinsi gani sisi kama Wakristo kuishi nje na kanuni za ufal-me wa Mungu wakati tupo hapa duniani? Yohana 3:5,1:12-13 Marko 1:14-15.

“Si kwa maamuzi ya Kimahakama, au Mabaraza, au kwa Kusanyiko la watunga sheria (Wabunge), wala si kwa upendeleo wa mtu Mkuu wa du-nia wa kuuimalisha Ufalme wa Kristo, bali ni kwa kupandwa katika asili ya Ubinadamu wa Kristo kupitia kazi ya Roho Mtakatifu. “Kwa vile wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika wana wa Mungu, hata wale wanaoliamini jina lake, wale walio zawadiwa, si kwa damu wala si kwa mapenzi ya Kimwili au kwa mapenzi ya mtu, bali kwa Mungu (Yohana 1:12-13). Hapa ni nguvu pekee ile iwezayo kufanya kazi ya kumuinua mtu, wakala wa kibinabamu kwa ajili ya kuimalisha kazi hii kwa kufundisha na kulishika neno la Mungu”.- Ibid, ukr 509,510.

c. Jambo gani tunaweza kujua Asili ya Ufalme wa Mungu? Za-buri 145:13, 2Petro 1:11. Kwa jinsi gani hii iliathiri njia ya Yesu kushugulika na Serikali za kidunia?.

“Chini ya serikali ambayo Yesu aliishi ilikua potofu na yenye uone-vu na ukandamizaji kila upande walilia Unyanyaswaji, Unyang’anyi na kutokuwa na uvumilivu, dhuruma na ukatiri. Hata hivo Mwokozi haku-fanya harakati za ukombozi wa kiraia (kisiasa). Wala hakulishambulia tai-fa kwa unyanyasaji au kuwalaumu maadui wa taifa. Hakufanya mwingili-ano wowote na wenye mamlaka, watawala wa hayo Mamlaka. Yeye ndiye alikuwa kielelezo chetu kwa kutunza utaratibu toka kwenye serikali za kidunia. Siyo kwa sababu yeye alikuwa tofauti na matatizo ya watu, bali kwa kujirekebisha, hakuwa na uongo kabisa katika Ubinadamu na maten-do ya nje. Ili kuwa na ufanisi lazima uponyaji umfikie mtu mmoja, lazima moyo ufanywe upya” - Ibid ukr 509.

Page 69: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato , Vol. 93, No. 2 69

Jumanne tarehe, 20 Juni

3. MKRISTO KIELELEZO CHA JAMII.a. Maneno gani ya Yesu wakati mwingine yalishidwa kueleweka

kama ilivyo kusudiwa kwenye kuapa kiapo? Mathayo 5:34-34. Kwa Nani, kisha Yesu alikusudia nini hasa?

“Naliona maneno ya Bwana wetu “msiape kamwe” wala kiapo ma-hakamani. Maelezo yenu yawe ndiyo kama ni ndiyo na siyo kama ni siyo, Kwa maana zaidi ya haya huleta uovu. Hii hudumisha mazungumzo ya kawaida wengine wanakuza jambo na kutia chumvi katika lugha zao, wengine wanaapa kwa maisha yao wenyewe, wengine wanaapa kwa akili zao kana kwamba wao wana uhakika na uhai wao, kana kwamba uhai ni hakika yao. Baadhi wanaichukulia Mbingu kama dunia na kuthibitisha kuwa mambo ndivyo yalivyo. Baadhi wanatumaini kuwa Mungu atawa-pigania kama kile wanachokisema hata kama si cha kweli. Ni aina hii hii ya kuapa kinyume Yesu aliwaonya wanafunzi wake ……

“Nalionyeshwa kuwa wakati ni wa muhimu hasa, wanaitwa kutoa ushahidi katika utaratibu halali, hakuna kukiuka neno la Mungu kwa ajili ya watoto wake kwa heshima wanamchukua Mungu kwa ushahidi kwamba wanachosema ni ukweli, hakuna uongo bali ni ukweli” - Shuhuda ya 1, ukr 201, 202.

b. Tabia yetu inapaswa kuwa ya namna gani kuhusu ushiriki wa siasa? Kwa nini ? 1 Thimotheo 2:1-3. ebrania 11:13. Kwanini hatutakiwi kuchagua vyama vya siasa?.

“Bwana angependa watu wazike maswala ya kisiasa katika mazingira haya kubaki kimya ni ufahamu …… hatuwezi kuwa na usalama kwa ku-vichagua vyama vya kisiasa, kwa maana hatumjui tunayemchagua. Hatu-takuwa salama kwa kushiriki miradi ya vyama vya siasa”. Misingi ya Elimu ya Kikristo ukr 475.

c. Kwanini tunapaswa kulipa? Mathayo 22: 21, Rumi 13:7.

“Akiwa ameshikilia katika mikono yake Sarafu ya Rumi, iliyo na Mu-huri, jina na sura ya Kaisari, Yesu alitangaza kuwa, kwa vile wao wali-kuwa wakiishi chini ya ulinzi wa nguvu za kirumi, wanapaswa kutoa us-hirikiano wa kile inachodai, hivyo kwa muda mrefu jambo hili halikuleta mgogoro pamoja na Wakuu. Lakini pale Amani inapokuwa chini ya sheria za nchi, Nyakati zote wanapaswa kutoa utii wao wa kwanza kwa Mungu”. - Tumaini la vizazi vyote, ukr 602.

Page 70: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato Vol. 93, No. 270

Jumatano tarehe, 21 Juni

4: AMANI, SHeRIA YA KUDUMU YA WATU(a) Ni kwa kiasi gani tunapaswa kuendeleza Amani pamoja na

watu wengine? Mathayo 5:9, Rumi 12:8

“Siyo Busara kutafuta makosa na nini kifanyike kwa watawala wa Se-rikali, Siyo kazi yetu kushambulia watu binafsi au Taasisi….. Kazi yetu ni kumwandaa mtu asimame imara katika siku kuu ya Mungu…..

“Tunapaswa kuyapalilia Maandiko yetu na matamushi kila usemi ujieleze wenyewe. Inaweza kushindwa kufahamika na kueleweka kama ikionekana kuna Uadui wa Sheria na Utaratibu. Kila kitu kingeangaliwa kwa Uangalifu tusije kujiweka wenyewe katika matendo ya moyo wa Uhaini kwa kutotii Sheria za nchi. Hatutakiwi kuwadharau watu wenye Mamlaka. Wakati unakuja kwa sababu ya kuutetea ukweli wa Biblia, tu-tachukuliwa nakutendewa kama Wasaliti. Lakini wakati huu tusiwepo na haraka kwa kuchochea harakati za Uadui na Ugomvi. - Shuhuda ya 6, ukr 394.

(b) Katika njia ipi wafuasi wa Kristo wanaweza kudumisha Amani? Rumi 12:14-21, 1Petro 3:8-11. Kwa jinsi gani mwenendo wetu unapaswa kuwaelekea ndugu na dada zetu? Mathayo 7:12.

“Linda heshina kuu kwa ajili ya haki na ukweli, na chuki kwa ajili ya yote ya Ukatili na Ukandamizaji. Tenda kwa wengine kama wewe upen-davyo kutendewa. Mungu hukuzuia wewe kwa upendeleo pekee, kwa hasara ya wengine”. (Ellen G White comments) vol. 7, ukr 942.

(c) Kwanini kwetu sio rahisi kwenda vitani? Yohana 18:36. Mathayo 26:51,52. Luka 9:56. Nafasi gani iliyokuwa imetolewa kwa Wajumbe wa Bwana kuhusiana na Vita vya Kiraia nchini Marekani?.

“Nalionyeshwa na Bwana kuwa watu wa Mungu ambao ni hazina yake ya pekee, hawawezi kushiriki katika vita hivi vya kufadhaisha, kwa maa-na ni kinyume cha kila kanuni ya Imani yao . katika jeshi hawawezi kuutii ukweli, na wakati huo huo wakatii Matakwa na Amri za Makamanda wao. Kungekuwa na ukiukwaji wa dhamiri. Watu wa ulimwengu wanasimami-wa na kanuni za Kiulimwengu. Hawawezi kumthamini mwingine. Sera za kidunia na mawazo ya umma yanaunda kanuni ya hatua inayosimamiwa na wao…. Lakini watu wa Mungu hawawezi kusimamia mivuto na Nia kama hizo” - Shuhuda ya 1, ukr 361.

Page 71: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato , Vol. 93, No. 2 71

alhamisi tarehe, 22 Juni

5. JINSI YA KUIKABILI DHULUMA.a. Kwa jinsi gani tunapaswa kushughulika pamoja na wale am-

bao wanatutendea isivyo haki, hata ndani ya serikali? Rumi 12:19, Kolosai 4:6 efeso 429.

“Basi, Mungu ana umuhimu wa kuzilaumu na kuzipatiliza Mamlaka zote na Serikali katika Uangalizi wa Zenyewe. Katika Wema, Upole na Upendo, Zitetea kwa zamu Kanuni za Ukweli kama ilivyo ndani ya Yesu”. - Shuhuda wa kweli 6 ukrs 397.

“Wakati Kristo na Mbingu zinapotazamwa sana kwa Mawazo ya kina, Mazungumzo yatatoa ushaidi wa kweli. Hotuba itakuwa imekolezwa na Neema. Na Mnenaji ataoonyesha kwamba amepata Elimu kutoka kwa mwalimu wa Kimbingu” - Mashauri kwa wazazi, Walimu na wanafunzi, ukr 443.

(b) Tunapaswa kufuata kielelezo cha Yesu kwa namna gani, kati-ka kuwahudumia wengine wakati itakapo lazimika kwa ajili yetu kuiabudu jumapili? Matendo 10:38.

“Wakati tunapoitenga Jumapili kwa siku ya kazi ya Umishonari, Mije-redi na Bakora zitachukuliwa mikononi mwa wakereketwa na mashabiki holela, ambao watafurahia mno kuwadhalilisha Waadventista Wasabato. Wanapoona kwamba tumejipa ajira wenyewe katika siku ya Jumapili kwa kuwatembelea watu na kufungua Maandiko na kuyasoma kwao, watajua kwamba ni Upuuzi na haina maana kwao kwa kujaribu kuzuia kazi zetu kwa kuiweka sheria ya Jumapili” - Shuhuda ya 9, ukrs 232, 233.

ijumaa tarehe, 23 Juni

MASWALI BINAFSI YA KUTAFAKARI1. Upi ni wajibu wetu kuhusiana na sheria za nchi yetu?2. Kwa nini Yesu aliyatunza manyanyaso ya serikali za kidunia?3. Ni kwa nini tunapaswa kijiepusha na upigaji kura? Na kwa nini?4. Kwa nini hatupaswi kukosoa sheria na kanuni za serikali?5. Kwa jinsi gani tunaweza kushuhudia katika njia sahihi kupitia ho-

tuba zetu, kwa namna gani hili mara zote hukamiliaka katika njia isiyo sawa?

Page 72: Watu Wazima - files.sdarm.org · Masomo ya Biblia ya shule Sabato ni utaratibu wa majifunzo ya kila siku, Ni msingi pekee juu ya Biblia na Roho ya Unabii pasipo maelezo ya nyongeza

Masomo Ya Bibiliya Ya Shule Sabato Vol. 93, No. 272

2015 G.C Session

Northern africa Delegate G.C 2015