14
TAARIFA FUPI YA HALI YA VIFO VITOKANAVYO NA UZAZI MKOANI MWANZA 24/02/2017

TAARIFA FUPI YA HALI YA VIFO VYA VITOKANAVYO … za afya ya uzazi na mtoto •Mkoa una Jumla ya vituo 388 vinavyotoa huduma za afya. •Kati ya vituo hivyo vituo 314 vinatoa huduma

  • Upload
    vuthuan

  • View
    295

  • Download
    12

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: TAARIFA FUPI YA HALI YA VIFO VYA VITOKANAVYO … za afya ya uzazi na mtoto •Mkoa una Jumla ya vituo 388 vinavyotoa huduma za afya. •Kati ya vituo hivyo vituo 314 vinatoa huduma

TAARIFA FUPI YA HALI YA VIFO

VITOKANAVYO NA UZAZI

MKOANI MWANZA

24/02/2017

Page 2: TAARIFA FUPI YA HALI YA VIFO VYA VITOKANAVYO … za afya ya uzazi na mtoto •Mkoa una Jumla ya vituo 388 vinavyotoa huduma za afya. •Kati ya vituo hivyo vituo 314 vinatoa huduma

Utangulizi

Mkoa wa Mwanza ni miongoni mwa mikoa ya kanda ya ziwa na una halmashauri za wilaya 8.

Mkoa una Jumla ya wakaazi 3,250,817

Watoto chini ya mwaka mmoja ni 122,537

Watoto chini ya miaka mitano ni 586,465.

Akina mama wenye umri wa kuzaa 15 - 49 ni 743,772

Vijana wenye umri wa miaka 10-24 ni 1,047,337

Ongezeko la ukuaji wa wakaazi ni 3.2.

Page 3: TAARIFA FUPI YA HALI YA VIFO VYA VITOKANAVYO … za afya ya uzazi na mtoto •Mkoa una Jumla ya vituo 388 vinavyotoa huduma za afya. •Kati ya vituo hivyo vituo 314 vinatoa huduma

Huduma za afya ya uzazi na mtoto

• Mkoa una Jumla ya vituo 388 vinavyotoa huduma za afya.

• Kati ya vituo hivyo vituo 314 vinatoa huduma jumuishi za afya ya uzazi na mtoto ikiwemo;

Uzazi wa mpango, kuzuia maambukizi ya VVU kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto, huduma za saratani ya matiti na kizazi, Huduma za chanjo na huduma kwa wahanga wa ukatili wa kijinsia.

Page 4: TAARIFA FUPI YA HALI YA VIFO VYA VITOKANAVYO … za afya ya uzazi na mtoto •Mkoa una Jumla ya vituo 388 vinavyotoa huduma za afya. •Kati ya vituo hivyo vituo 314 vinatoa huduma

KIWANGO CHA MATUMIZI YA UZAZI WA MPANGO

CHANGAMOTO!

Changamoto kubwa zamatumizi ya uzazi wampango ni uelewa mdogowa njia za kisasa za uzaziwa mpango.

Upungufu wa ujuzi kwawatumishi.

Upungufu wa huduma zauzazi wa mpango karibuna jamii.

Imani potofu kwawanaume kuhusumatumizi ya njia za kisasaza uzazi wa mpango.

15%

12%

38%

20%18%

34%

0

5

10

15

20

25

30

35

40

Njia zote za

uzazi wa

mpango

Njia za kisasa

za uzazi wa

mpango

wahitaji

walikosa

huduma za

uzazi wa

mpango

2010

2016

Page 5: TAARIFA FUPI YA HALI YA VIFO VYA VITOKANAVYO … za afya ya uzazi na mtoto •Mkoa una Jumla ya vituo 388 vinavyotoa huduma za afya. •Kati ya vituo hivyo vituo 314 vinatoa huduma

MAHUDHURIO YA KLINIKI KWA WAJAWAZITO

• Changamoto kubwa yahudhurio chini ya wiki 12 za umri wa mimbani:

Upungufu wa vipimomuhimu Mfano wingiwa damu, protinikwenye mkojo nk

Uelewa mdogo wajamii juu ya umuhimuwa kuhudhuria kliniki

chini ya wiki 12 zamimba.

100%

10%

37%

Mahudhuri ya kliniki kwa wajawazito

Mahudhurio chini ya wiki 12

Mahuddhurio wiki 4+

Page 6: TAARIFA FUPI YA HALI YA VIFO VYA VITOKANAVYO … za afya ya uzazi na mtoto •Mkoa una Jumla ya vituo 388 vinavyotoa huduma za afya. •Kati ya vituo hivyo vituo 314 vinatoa huduma

HUDUMA ZA KUJIFUNGUA Mkoa bado unakabiliwa na changamoto

za kujifungulia kwenye vituo vya kutolea

huduma ikiwemo:-

– Upungufu mkubwa wa watumishi

wa afya.

– Miundo mbinu isiyo rafiki kwa

kina mama kujifungua.

– Imani potofu kwenye jamii.

– Upungufu wa vituo vya kutolea

huduma za afya.

– Upungufu wa vifaa tiba na

madawa. Asilimia 22 tu ya

zahanati na vituo vya afya zinatoa

huduma za msingi na za kina za

dharura (EmONC services)

46%44%

53% 54%

0

10

20

30

40

50

60

kujifungua

kwenye vituo

vya kutolea

huduma

Kujifungua kwa

kusaidiwa na

mjuzi

2010

2016

Page 7: TAARIFA FUPI YA HALI YA VIFO VYA VITOKANAVYO … za afya ya uzazi na mtoto •Mkoa una Jumla ya vituo 388 vinavyotoa huduma za afya. •Kati ya vituo hivyo vituo 314 vinatoa huduma

TAKWIMU ZA VIFO VYA KIMA MAMA – 2010 HADI 2016

• Kwa ujumla vifo

vinavyotokana na uzazi

viko juu(150).

• Hopitali ya rufaa ya

Bugando imechangia kwa

31% ya vifo vyote vya

mkoa. Mwanza kati ya

hivi 26% vinatoka nje ya

mkoa wa Mwanza.4338

182

66

29

151

0

20

40

60

80

100

120

140

160

180

200

Nyamagana Sengerema Mkoa

2010

2016

Page 8: TAARIFA FUPI YA HALI YA VIFO VYA VITOKANAVYO … za afya ya uzazi na mtoto •Mkoa una Jumla ya vituo 388 vinavyotoa huduma za afya. •Kati ya vituo hivyo vituo 314 vinatoa huduma

Sababu kubwa za Vifo vitokanavyo na uzazi

37%12%

10%

5% Kutokwa na damu

nyingi wakati na baada

ya kujifungua

Kifafa cha mimba

Uambukizo

Upungufu wa damu

wakati wa ujauzito

Page 9: TAARIFA FUPI YA HALI YA VIFO VYA VITOKANAVYO … za afya ya uzazi na mtoto •Mkoa una Jumla ya vituo 388 vinavyotoa huduma za afya. •Kati ya vituo hivyo vituo 314 vinatoa huduma

Visababishi vya vifo kwa kinamama (%)

35

16

21

1412

4 4

0

5

10

15

20

25

30

35

40

inadequate

suppy and

equip

Inadequate

skills

Delay decion

at FL

Delay

receiving RX

late reffera delay transp

frm

commmunity

Traditional

practises

Page 10: TAARIFA FUPI YA HALI YA VIFO VYA VITOKANAVYO … za afya ya uzazi na mtoto •Mkoa una Jumla ya vituo 388 vinavyotoa huduma za afya. •Kati ya vituo hivyo vituo 314 vinatoa huduma

Idadi ya vifo vya watoto wachanga siku 0-28 (2010/2016)

Vifo vya watoto wachanga siku 0-28 vimepungua kwa 37% (2010 -2016) Sababu kubwa za vifo ni kushindwa kupumua 36%; watoto kuzaliwa njiti15% & uambukizo 10%.

Ukosefu wa vyumba vya kuhudumia watoto wachanga na vifaa tiba imeendeleakuwa ni changamoto kubwa ya inayochangia vifo vya watoto.

192 180

696

160 154

506

0

100

200

300

400

500

600

700

800

Nyamagana Sengerema Mkoa

2010

2016

Page 11: TAARIFA FUPI YA HALI YA VIFO VYA VITOKANAVYO … za afya ya uzazi na mtoto •Mkoa una Jumla ya vituo 388 vinavyotoa huduma za afya. •Kati ya vituo hivyo vituo 314 vinatoa huduma

MAFANIKIO1. Ongezeko la njia za kisasa za uzazi wa mpango kwa asilimia 12% (2010)-18%

(2016)

2. Kupungua kwa vifo vya watoto wachanga wenye umri wa siku 0-28 asilimia30.

3. Kuongezeka kwa akinamama waliojifungulia kwenye vituo vya afya kutoka46% mwaka 2010 hadi kufikia 53% mwaka 2016.

4. Vifo vya wazazi vinaendelea kupungua kutoka vifo (182)2010 – 151 (2016)

5. Wakina mama wajawazito wanaohudhuria kliniki kwa hudhurio la kwanza 98%

6. Kupungua kwa vifo vinavyosababishwa na kuharisha kwa watoto chini yamiaka mitano

7. Kiwango kikubwa cha chanjo kwa watoto chini ya miaka mitano 92%

8. Mkoa umefanikiwa kuwa na vituo vya afya 4 vinavyotoa huduma ya upasuajikwa wakina mama wajawazito

Page 12: TAARIFA FUPI YA HALI YA VIFO VYA VITOKANAVYO … za afya ya uzazi na mtoto •Mkoa una Jumla ya vituo 388 vinavyotoa huduma za afya. •Kati ya vituo hivyo vituo 314 vinatoa huduma

CHANGAMOTO

1. Upungufu/ufinyu wa vyumba vya kutolea huduma zaafya ya uzazi na mtoto.

2. Uhaba wa watumishi wa afya.

3. Watumishi wa afya kutokuwa na ujuzi wa kutoshakutoa huduma za afya ya mama na mtoto.

4. Upungufu wa vyumba vya kuhudumia watotowachanga

5. Upungufu wa vifaa tiba na madawa

6. Wajawazito na watoto kuchelewa kufika kwenye vituovya kutolea huduma za afya mara wanapopatamatatizo ya kiafya.

7. Huduma sizizoridhisha wakati wa ujauzito

Page 13: TAARIFA FUPI YA HALI YA VIFO VYA VITOKANAVYO … za afya ya uzazi na mtoto •Mkoa una Jumla ya vituo 388 vinavyotoa huduma za afya. •Kati ya vituo hivyo vituo 314 vinatoa huduma

CHANGAMOTO…..

• Upungufu wa vituo vya huduma za dharura

kwa kinamama; Mfano Mkoa una vituo vya

afya 4 tu kati ya 45 vinavyotoa huduma za

dharura.

• Imani potofu kwa jamii juu ya matumizi ya

njia za kisasa za uzazi wa mpango.

• Tabia ya kinamama wajawazito kuchelewa

kuwahi kliniki hususani chini ya wiki 12 za

ujauzito.

Page 14: TAARIFA FUPI YA HALI YA VIFO VYA VITOKANAVYO … za afya ya uzazi na mtoto •Mkoa una Jumla ya vituo 388 vinavyotoa huduma za afya. •Kati ya vituo hivyo vituo 314 vinatoa huduma

Mikakati ya kukabiliana na changamoto

• Kusimamia fedha za RBF ziweze kuchangia katika kukarabati

vyumba vya kujifungua na kliniki za wajawazito kwenye vituo 112

pamoja na vyumba vya kuhudumia watoto wachanga.

• Kuboresha huduma za dharura kwa kufanya usimamizi ekekezi

mentorship na usimamizi shirikishi kwenye vituo vya kutolea

huduma

• Kujenga/kukarabati vyumba vya upasuaji (theathre)7, moja kwa kila

halmashauri.

• Kutoa mafunzo ya huduma ya huduma za dharura kwa watumishi

696

• Kufanya uhamasishaji wa jamii kuhusu umuhimu wa njia za kisasa

za uzazi wa mpango kupitia vyombo vya habari