25
Tafakari ya Maneno Saba ya Yesu Msalabani Mheshimiwa Padre Leonard Maliva kutoka Jimbo Katoliki la Iringa, mwanafunzi mtaalamu wa Maandiko Matakatifu, Chuo Kikuu cha Kipapa cha rbaniana, katika !iku hii Mama Kanisa anapotafakari mateso na kifo cha Kristo Msalabani kwa a"ili #a ukombozi wa mwanadamu, anat ushiri kis ha taf aka ri #a kina kuhus u maneno saba #a $ esu aki wa "u u Ms al aban i% &u u ni ut a" iri mkubwa unaotuo n" esha huruma na upendo wa Kristo kwa a"ili #a wadhambi%  YESU MSALABANI 'akati huo huo wan#ang(an#i wawili wakasulibiwa pamo"a na#e, mmo" a mk ono wake wa kuume, na mmo" a mk ono wa ke wa kushoto% )ao waliokuwa wakipita n"iani wakamtukana, wakitikisatikisa vichwa v#ao, wakisema, *+we mwen#e kulivun"a hekalu na kuli"enga kwa siku tatu, "iokoe nafsi #ako kiwa ndiwe Mwana wa Mungu, shuka msalabani%- Kadhalika na wale wakuu wa makuhani wakamdhihaki pamo"a na waandishi na wazee, wakisema, *.liokoa wengine, hawezi ku"iokoa mwen#ewe%  $ e#e ni mfalme wa Israeli, na ashuke sasa msalabani, nasi tukamwamini% .memtegemea Mungu/ na amwokoe sasa, kama anamtaka% Kwa maana alisema, 0Mimi ni Mwana wa Mungu%(- Pia wal e wan#ang(an#i wal ios uli bi wa pamo"a na#e wal ims hutumu

Tafakari Ya Maneno Saba Ya Yesu Msalabani

Embed Size (px)

Citation preview

8/16/2019 Tafakari Ya Maneno Saba Ya Yesu Msalabani

http://slidepdf.com/reader/full/tafakari-ya-maneno-saba-ya-yesu-msalabani 1/25

Tafakari ya Maneno Saba ya Yesu

Msalabani

Mheshimiwa Padre Leonard Maliva kutoka Jimbo Katoliki la Iringa,

mwanafunzi mtaalamu wa Maandiko Matakatifu, Chuo Kikuu cha

Kipapa cha rbaniana, katika !iku hii Mama Kanisa anapotafakari

mateso na kifo cha Kristo Msalabani kwa a"ili #a ukombozi wa

mwanadamu, anatushirikisha tafakari #a kina kuhusu maneno

saba #a $esu akiwa "uu Msalabani% &uu ni uta"iri mkubwaunaotuon"esha huruma na upendo wa Kristo kwa a"ili #a

wadhambi%

 YESU MSALABANI

'akati huo huo wan#ang(an#i wawili wakasulibiwa pamo"a na#e,

mmo"a mkono wake wa kuume, na mmo"a mkono wake wa

kushoto% )ao waliokuwa wakipita n"iani wakamtukana,

wakitikisatikisa vichwa v#ao, wakisema, *+we mwen#e kulivun"a

hekalu na kuli"enga kwa siku tatu, "iokoe nafsi #ako kiwa ndiwe

Mwana wa Mungu, shuka msalabani%- Kadhalika na wale wakuu

wa makuhani wakamdhihaki pamo"a na waandishi na wazee,

wakisema, *.liokoa wengine, hawezi ku"iokoa mwen#ewe%

 $e#e ni mfalme wa Israeli, na ashuke sasa msalabani, nasi

tukamwamini% .memtegemea Mungu/ na amwokoe sasa, kama

anamtaka% Kwa maana alisema, 0Mimi ni Mwana wa Mungu%(- Pia

wale wan#ang(an#i waliosulibiwa pamo"a na#e walimshutumu

8/16/2019 Tafakari Ya Maneno Saba Ya Yesu Msalabani

http://slidepdf.com/reader/full/tafakari-ya-maneno-saba-ya-yesu-msalabani 2/25

vilevile-% Mathayo 27:38-44

!ehemu hii #a In"ili #a Mata#o inatuthibitishia kuwa, $esu akiwa

msalabani, kuna watu ambao walimwambia maneno #a

kumdhihaki% !ambamba na In"ili #a Mata#o, pia In"ili za Marko,

Luka na $ohane zinathibitisha maneno #a dhihaka dhidi #a $esu

pale msalabani% Lakini pia walikuwepo watu wengine ambao

katika tukio hilo la kusulibiwa walimkubali $esu kuwa ni mkombozi

wao na ni mwana wa Mungu%

 1ukio hilo la $esu kusulibiwa msalabani linaweza kuwa ni chachu

#a imani kwa wengi na pia linaweza kuwa ni kikwazo kwa

wengine% Kama inav#oonesha katika maneno #a watu mbalimbali

waliomwona $esu akisulibiwa% !isi hatukumuona $esu pale

msalabani/ lakini habari zake tunazo%

&abari hizo zimetugawa katika makundi mawili kama iliv#okuwa

siku ile pale msalabani2 tupo ambao tungependa kusikia kuwa

 $esu alishuka msalabani na kwenda zake, pia tupo wale ambao

tungependa kusikia kuwa watesi wake wanatubu na kumtambua

 $esu kuwa ni mwana wa Mungu na Mkombozi% !iku ile pale

msalabani wengi walimtaka $esu ashuke msalabani na aende

zake ili kuonesha nguvu na uweza wake% )i wachache tuwaliomtambua $esu kuwa ni mwana wa Mungu ana#ewakomboa

kwa n"ia hi#o ngumu #a mateso% 'ewe na mimi tupo upande upi3

Maneno ya Watu mbalimbali kwa Yesu Msalaban

8/16/2019 Tafakari Ya Maneno Saba Ya Yesu Msalabani

http://slidepdf.com/reader/full/tafakari-ya-maneno-saba-ya-yesu-msalabani 3/25

Maneno #a 4hihaka Maneno #a Imani

+we mwen#e kulivun"a hekalu

na kuli"enga kwa siku tatu,

 "iokoe nafsi #ako%

&akika mtu hu#u alikuwa

Mwana wa Mungu%

kiwa ndiwe mwana wa

Mungu, shuka msalabani%

+e $esu, nikumbuke

utakapoingia katika ufalme

wako%

.liokoa wengine, hawezi

ku"iokoa mwen#ewe%

 

 $e#e ni mfalme wa Israeli, na

ashuke sasa msalabani, nasi

tumwamini%

.memtegemea Mungu, na

amwokoe sasa, kama

anamtaka, kwa maana alisema

mimi ni mwana wa Mungu%

 1azama, anamwita +li#a%

.cheni/ na tuone kwamba

+li#a anaku"a kumtelemsha%

Kama wewe ndiwe mfalme wa

'a#ahudi, u"ikoe mwen#ewe%

 Je, wewe si Kristo3 Jiokoe nafsi

#ako na sisi%

Mtume Paulo anatufundisha wewe na mimi tuwe upande wa wale

waliomkiri $esu kuwa na mwana wa Mungu na Mkombozi wao2

Kwa sababu neno la msalaba kwao wanaopotea ni upuuzi, bali

kwetu sisi tunaookolewa ni nguvu #a Mungu% Kwa kuwa

8/16/2019 Tafakari Ya Maneno Saba Ya Yesu Msalabani

http://slidepdf.com/reader/full/tafakari-ya-maneno-saba-ya-yesu-msalabani 4/25

imeandikwa2 )itaiharibu hekima #ao wen#e hekima, na akili zao

wen#e akili nitazikataa% $u wapi mwen#e hekima3 $u wapi

mwandishi3 $u wapi mleta ho"a wa zamani hizi3

 Je, Mungu hakuifan#a hekima #a dunia kuwa upumbavu3 Kwa

maana katika hekima #a Mungu, dunia isipopata kum"ua Mungu

kwa hekima #ake, Mungu alipenda kuwaokoa waaminio kwa

upuuzi wa lile neno linalohubiriwa% Kwa sababu wa#ahudi

wanataka ishara, na wa#unani wanatafuta hekima, bali sisi

tunamhubiri Kristo ali#esulibiwa%

Kwa wa#ahudi ni kikwazo, na kwa wa#unani ni upuuzi, bali kwa

waitwao, wa#ahudi kwa wa#unani ni Kristo, nguvu #a Mungu na

hekima #a Mungu% Kwa sababu upumbavu wa Mungu una hekima

zaidi #a wanadamu, na udhaifu wa Mungu una nguvu zaidi #a

wanadamu%

1 Wakorintho 1:18-25

Msalaba ni nguvu #a Mungu kwa kuwa $esu ameutumia kama

kiunganishi kati #a Mungu mwen#e huruma na mwanadamu

mwen#e dhambi% &uruma #a Mungu na dhambi #a mwanadamu

vinapokutana hutokea ukombozi 5&uruma 6 4hambi 7 ukombozi8%

Msalaba ni kama alama #a ku"umlisha/ miti miwili imekutana

ikatengeneza msalaba% Mti mmo"a ni huruma #a Mungu na mti

mwingine ni dhambi #a mwanadamu% 1ukumbuke kuwa dhambi ile

#a awali n#akati za .damu na +va, ilianzia kwen#e mti% )di#o

maana ili kuiondoa hi#o dhambi, $esu alichagua kutumia mti wa

msalaba%

8/16/2019 Tafakari Ya Maneno Saba Ya Yesu Msalabani

http://slidepdf.com/reader/full/tafakari-ya-maneno-saba-ya-yesu-msalabani 5/25

Palepale ilipoanzia dhambi ndipo hapohapo pia $esu

ameiangamiza% 4hambi #a awali au #a asili ilianza pale watu wa

kwanza walipodangan#wa na shetani ili kumkataa Mungu% !hetani

alitumia mti wa matunda kumwingiza mwanadamu kwen#e

dhambi2

9asi n#oka alikuwa mwerevu kuliko wan#ama wote wa mwitu

aliowafan#a 9wana Mungu% .kamwambia mwanamke, *.ti &ivi

ndiv#o aliv#osema Mungu, 0Msile matunda #a miti #ote #a

bustani(3- Mwanamke akamwambia n#oka, *Matunda #a miti #abustanini twaweza kula/ lakini matunda #a mti ulio katikati #a

bustani Mungu amesema, 0Msi#ale wala msi#aguse, msi"e mkafa%-

)#oka akamwambia mwanamke, *&akika hamtakufa, kwa maana

Mungu ana"ua #a kwamba siku mtaka#okula matunda #a mti huo,

mtafumbuliwa macho, nan#i mtakuwa kama Mungu, mki"ua

mema na maba#a%- Mwanamke alipoona #a kuwa ule mti wafaa

kwa chakula, wapendeza macho, nao ni mti wa kutamanika kwa

maarifa, basi alitwaa katika matunda #ake akala, akampa na

mumewe, na#e akala% 'akafumbuliwa macho wote wawili

waka"i"ua kuwa wa uchi, wakashona ma"ani #a mtini, waka"ifan#ia

nguo% Mwanzo 3:1-7 $esu na#e alitumia mti wa msalaba kumtoa

mwanadamu katika dhambi% Mti alioutumia shetani kumwingiza

mwanadamu kwen#e dhambi ulikuwa unavutia kwani ulikuwa na

matunda%

8/16/2019 Tafakari Ya Maneno Saba Ya Yesu Msalabani

http://slidepdf.com/reader/full/tafakari-ya-maneno-saba-ya-yesu-msalabani 6/25

Kumbe mti alioutumia $esu kumtoa mwanadamu kwen#e dhambi

unatisha kwani ni mzito na una mateso% $esu msulibiwa ndi#e

tunda la mti wa msalaba ambalo halivutii ila linatisha na

kukatisha tamaa%

 $esu amedhihirisha umungu wake "uu #a msalaba/ ingawa

watu walidhihirisha ufalme wake "uu #a punda%$esu

amedhihirisha ukombozi wake "uu #a msalaba/ ingawa watu

walidhihirisha ukombozi wake katika miu"iza #ake%

Kwa hi#o, msalaba ni chombo ambacho Mungu amekitumia kamakielelezo cha umungu wa $esu na ukombozi wake% $esu, hata

kama asingefundisha kitu chochote au asingefan#a muu"iza

wowote, ingetosha tukio hilo la kusulibiwa msalabani

kumtambulisha kuwa #e#e ni mwana wa Mungu na Mkombozi%

)di#o maana Kanisa linatufundisha na kutusisitiza kusali )"ia #a

Msalaba2 ++ 9'.). $+! K:I!1; 1).K.94 ).

 1).K!&K:/ K'. K'. M+IK;M9;. 4)I. $;1+ K'.

M!.L.9. '.K; M1.K.1I<% Maneno ha#o #anadhihirisha kuwa

Kanisa linatambua kuwa, kazi #a $esu msalabani ilikuwa #a

ukombozi wetu% Maneno ali#o#asema $esu pale msalabani ni

&abari )"ema #a kombozi% )i maneno #ana#o"itosheleza kuwa ni

mafundisho kwa wafuasi wake kwa n#akati zote% Ingetosha tukuelewa vizuri maneno ha#o na ku#aishi bila hata kusoma

maneno mengine katika 9iblia%

Maneno Saba ya Yesu Msalabani

8/16/2019 Tafakari Ya Maneno Saba Ya Yesu Msalabani

http://slidepdf.com/reader/full/tafakari-ya-maneno-saba-ya-yesu-msalabani 7/25

  Maneno #a $esu In"ili

= 9aba uwasamehe, kwa kuwa hawa"ui

watendalo

Luka 23:34

> .min, nakuambia, leo hivi utakuwapamo"a nami mbinguni%

Luka 23:43

? Mama 1azama mwanao/ 1azama mama

#ako%

Yohane 19:26-27

@ +loi, +loi lama sabakthani3 Mungu

wangu, Mungu wangu, mbona

umeniacha3

Marko 19:34

A )aona kiu% Yohane 19:28B Imekwisha 5$ametimia8 Yohane 19:30

+e 9aba, mikononi mwako naiweka roho

#angu%

Luka 23:46

)amba saba, kama iliv#o namba arobaini katika desturi za

Ki#ahudi ina maana #a utimilifu au ukamilifu% )amba saba

inathibitisha kuwa kitu ni kamili au kina"itosheleza% 1utafakari kwa

pamo"a maneno saba #a $esu msalabani2

- (i) Baba uwasame!e" kwa kuwa !awa#ui waten$alo

)a walipoDka mahali paitwapo <uvu la Kichwa, ndipo

walipomsulibisha #e#e, na wale wahalifu, mmo"a upande wa

kuume, na mmo"a upande wa kushoto% $esu akasema, *9aba,uwasamehe, kwa hawa"ui watendalo%- 'akagawana mavazi #ake,

wakapiga kura% Luka 23:33-34

8/16/2019 Tafakari Ya Maneno Saba Ya Yesu Msalabani

http://slidepdf.com/reader/full/tafakari-ya-maneno-saba-ya-yesu-msalabani 8/25

)eno la kwanza la $esu msalabani lahusu msamaha% Msamaha ni

tabia kuu #a Mungu% Mtakatifu .gustino anasema kuwa, kama

Mungu hangekuwa na huruma ingekuwa vigumu sana kwetu

kuamini kuwa #e#e ni Mungu% kuu wa Mungu haupo tu katika

kazi kubwa na a"abu #a uumba"i, bali pia ukuu wake upo katika

tabia #ake #a kusamehe%

)eno la kwanza la $esu msalabani ni habari n"ema #a wokovu%

Inatosha neno hilo mo"a la msamaha kumtambua $esu kuwa ni

mkombozi% )a kama $esu hangalisema neno hilo, labda sisi leotungetia shaka kuwa #e#e ni mwana wa Mungu mkombozi% Kazi

#ote #a kuhubiri na kufan#a miu"iza ilikuwa inahusu msamaha%

Msamaha ndi#o hasa u"umbe mkuu wa mafundisho #ote na

miu"iza #ote #a $esu%

Mafundisho #ote #a $esu #alimwelekeza Mungu kuwa ni 9aba

mwen#e huruma, mafundisho ha#o #alimwelekeza mwanadamu

atumie vizuri tabia hi#o kuu #a Mungu kwa kuomba msamaha%

Miu"iza #ote #a $esu ilihusu msamaha wa dhambi/ ndi#o maana

wengi ambao aliwafan#ia miu"iza aliwaambia, umesamehewa

dhambi zako%

)eno la kwanza la $esu msalabani linatufundisha kuwa "ambo la

kwanza kabisa kwetu sisi katika kuhusiana na Mungu ni kuomba

msamaha% ;mbi linaloweza kukubalika mbele #a Mungu ni

kuomba msamaha wa dhambi zetu% Mara n#ingi sisi mbele #a

8/16/2019 Tafakari Ya Maneno Saba Ya Yesu Msalabani

http://slidepdf.com/reader/full/tafakari-ya-maneno-saba-ya-yesu-msalabani 9/25

Mungu tunaomba mambo mengine amba#o tunaamini kuwa na

mazuri na tunasahau kuomba "ambo kuu kuliko #ote mbele #a

Mungu%

Leo $esu anatufundisha "insi #a kuomba mbele #a Mungu%

 $esu anatuonea huruma sisi wanadamu anav#otuona tunatenda

dhambi/ ndi#o maana anasema hatu"ui tutendalo% )i kweli kabisa

 1unapotenda dhambi hatu"ui tundendalo kwani sisi asili #etu ni

Mungu/ tuliumbwa kwa sura na mfano wa Mungu% 1unapotenda

dhambi tunaifuta sura na mfano wa Mungu ili tufanane na ibilisi%Mtoto anapochezea kiwembe ha"ui alitendalo, kwani kiwembe

hakichezewi na mtoto/ kitamkata na ataumia%

Lakini, $esu anatufundisha pia kuwa nasi kati #etu #atupasa

kuombana msamaha% Katika mafundisho #ake anasema2 Iweni na

huruma kama 9aba #enu wa mbinguni aliv#o na huruma% &ata

tunaposali, $esu anatufundisha kuwa Mungu atatumia kipimo

kilekile tunachotumia sisi kusameheana kati #etu2 tusamahe

makosa #etu kama na sisi tunav#owasamehe wale waliotukosea%

 $esu anatufundisha tusameheane siku zote, katika lolote na mara

zote2

Kisha Petro akamwendea akamwambia, *9wana, ndugu #angu

anikose mara ngapi nami nimsamehe3- &ata mara saba3 $esu

akamwambia, *!ikuambii hata mara saba, bali hata saba mara

8/16/2019 Tafakari Ya Maneno Saba Ya Yesu Msalabani

http://slidepdf.com/reader/full/tafakari-ya-maneno-saba-ya-yesu-msalabani 10/25

sabini%-

Mathayo 18:21-22

.mri kuu #a Mungu ni upendo% Kielelezo kikuu cha upendo ni

msamaha% $esu ametufundisha kupendana, na #e#e mwen#ewe

anakuwa mfano mzuri kwa kutangaza msamaha pale msalabani%

Mkristo asi#e"ua kusamehe, hu#u bado ha"awa mkristo% $esu

anasema/ mkipendana kati #enu, wote wata"ua kuwa nin#i ni

wafuasi wangu% Kwa hi#o, kitambulisho cha ukristo ni upendo/

kitambulisho cha upendo ni msamaha%

 1ena, $esu katika mafundisho #ake, anasisitiza tuwapenda hata

maadui zetu na tuwaombee ili tuweze kuwa kweli wana wa

Mungu%

*Mmesikia kwamba imenenwa2 mpende "irani #ako, na,

mchukie adui #ako/ lakini mimi nawaambia2 'apendeni adui

zenu, waombeeni wanaowaudhi, ili mpate kuwa wana wa 9aba

#enu ali#e mbinguni/ maana #e#e huwaangazia "ua lake waovu na

wema, huwan#eshea mvua wen#e haki na wasio haki%

Maana mkiwapenda wanaowapenda nin#i mwapata thawabu

gani3 &ata watoza ushuru, "e, nao hawafan#i #a#o ha#o3 1ena

mkiwaamkia ndugu zenu tu, mnatenda tendo gani la ziada3 &ata

watu wa mataifa, "e, nao hawafan#i kama ha#o3 9asi nin#i

mtakauwa wakamilifu, kama 9aba #enu wa mbinguni aliv#o

mkamilifu%-Mathayo 5:43-48

8/16/2019 Tafakari Ya Maneno Saba Ya Yesu Msalabani

http://slidepdf.com/reader/full/tafakari-ya-maneno-saba-ya-yesu-msalabani 11/25

 $esu ni mfano mzuri kwetu kwani pale msalabani anawasamehe

adui zake wanaomsulibisha na anawaombea msamaha kwa

Mungu% &akika $esu ni mwalimu halisi kwani kile alichofundisha

kwa maneno, #e#e mwen#ewe ametekeleza kwa

matendo%Msamaha una pande mbili2 kuomba msamaha na kutoa

msamaha% Kati #a ha#a mawili ni lipi gumu zaidi3

 Jiulize/ wewe waweza kumsamehe mtu kwa lolote alilokufan#ia3

Kumbuka2 kutenda dhambi ni ubinadamu/ kusamehe ni umungu%

(ii) Amin" nakuambia" leo !i%i utakuwa &amo#a nami

mbin'uni

)a mmo"a wa wale wahalifu waliotungikwa alimtukana, akisema,

*Je, wewe si Kristo3 Jiokoe nafsi #ako na sisi%- Lakini #ule wa pili

akam"ibu, akamkemea, akisema, *'ewe humwogopi hata Mungu,

nawe u katika hukumu i#o hi#o3 )a#o ni haki kwetu sisi, kwa

kuwa tunapokea malipo tuli#ostahili kwa matendo #etu/ bali hu#u

hakutenda lolote lisilofaa%- Kisha akasema, *+e$esu, nikumbuke

utakapoingia katika ufalme wako%- $esu akamwambia, *.min,

nakuambia, leo hivi utakuwa pamo"a nami mbinguni%- Luka 23:39-

43

)eno la pili la $esu msalabani lathibitisha kuwa msamaha una

nguvu kuliko dhambi% $esu amefundisha "uu #a msamaha kwa

kuwaombea msamaha watesi wake% $esu ameonesha kuwa #e#e

8/16/2019 Tafakari Ya Maneno Saba Ya Yesu Msalabani

http://slidepdf.com/reader/full/tafakari-ya-maneno-saba-ya-yesu-msalabani 12/25

ni Mungu kwa kutumia tabia kuu #a Mungu #a kusamehe% $ule

mhalifu ametambua kosa lake na amemtambua $esu kuwa ni

Mungu na akaomba msamaha/ $esu mara mo"a akamsamehe kwa

kumpa nafasi mbinguni%

Leo hii utakuwa pamo"a nami mbinguni2 )eno hili ni habari n"ema

amba#o kila mmo"a wetu angefurahi kuambiwa na $esu% &apa

 $esu anatufundisha kuwa, Mungu humpa msamaha papo kwa

papo mtu #e#ote ana#eomba msamaha bila ku"ali amekosa nini%

)i dhambi kubwa kuishi na dhambi bila kuomba msamaha%Kutoomba msamaha kwa Mungu ni dharau kubwa% $ule mhalifu

mwingine alimdharau Mungu na kumtaka amshushe msalabani/

kumbe hu#u mwingine alimwogopa Mungu na kuomba msamaha%

Katika neno la kwanza $esu alifundisha kuwa "ambo la kwanza

mbele #a Mungu ni kuomba msamaha% Mhalifu wa kwanza

hakuelewa mafundisho ha#o, ndi#o maana badala #a kuomba

msamaha akaomba muu"iza wa kushushwa msalabani%

Muu"iza huo hakuupata kamwe% Kumbe #ule mhalifu wa pili

alielewa vema mafundisho #a $esu/ akaomba msamaha% &u#u

alipata alichokiomba palepale bila kupewa ahadi/ Leo hii utakuwa

pamo"a nami mbinguni%

kombozi ni msamaha wa dhambi zetu na kuingizwa mbinguni%

kombozi ni tendo au "ambo la leo na sio kesho% kombozi

8/16/2019 Tafakari Ya Maneno Saba Ya Yesu Msalabani

http://slidepdf.com/reader/full/tafakari-ya-maneno-saba-ya-yesu-msalabani 13/25

hautafutwi kesho na wala hauombwi kesho% kombozi daima ni

leo/ ndi#o maana $esu anasema2 Leo utakuwa pamo"a nami

mbinguni% $esu hakusema, )go"a kwanza nifufuke siku #a tatu

nitakukaribisha mbinguni%

)eno L+; katika In"ili #a Luka lina maana #a kufuta #ali#opita na

kumwingiza mtu katika maisha map#a%

 $esu alipozaliwa malaika waliwaambia wachunga"i2 L+;

katika m"i wa 4audi, kwa a"ili #enu amezaliwa mwokozi ndi#e

Kristo 9wana% $esu alipoanza kuhubiri n#umbani kwao )azareth

aliwaambia2 L+; Maandiko ha#a #ametimia masikioni

mwenu%

 $esu alipokutana na mtu mwen#e dhambi aitwa#e Eaka#o

alimwambia2 Eaka#o shuka upesi, kwa kuwa L+; imenipasa

kushinda n#umbani mwako% )a alipoenda n#umbani kwa

Eaka#o alimwambia2 L+; wokovu umeDka n#umbani humu,

kwa sababu hu#u na#e ni mwana wa Ibrahimu% )a mwisho

 $esu alimwambia #ule mhalifu ali#eomba msamaha2 L+; hii

utakuwa pamo"a nami mbinguni%

Kwa hi#o, neno L+; lina maana #a kufuta historia #a zamani #a

dhambi na kumwingiza mtu katika historia mp#a #a neema, #aani

uwepo wa Mungu rohoni mwetu% $esu anatualika mimi na wewe

tuingie leo hii katika historia mp#a% Katika ukombozi hakuna neno

kesho/ ukombozi ni leo%

8/16/2019 Tafakari Ya Maneno Saba Ya Yesu Msalabani

http://slidepdf.com/reader/full/tafakari-ya-maneno-saba-ya-yesu-msalabani 14/25

.nza leo hii kuomba msamaha kwa Mungu% .nza leo kuomba

msamaha kwa wote uliowakosea% .nza leo kuwasamehe wote

waliokukusea% Leo hii, utakuwa mwana wa Mungu na mbinguni

ndiko kutakuwa n#umbani kwakomilele%

  (iii) Mama taama mwanao* Taama mama yako

)a pen#e msalaba wake $esu walikuwa wamesimama mama#e,

na umbu la mama#e, Mariamu wa Klopa, na Mariamu Magdalene%

9asi $esu alipomwona mama #ake, na #ule mwanafunzi

ali#empenda amesimama karibu, alimwambia mama #ake,*Mama tazama mwanao%-

Kisha akamwambia #ule mwanafunzi, *1azama, mama #ako%- )a

tangu saa ile mwanafunzi #ule akamchukua n#umbani kwake%

Yohane 19:25-27

)eno la tatu la $esu msalabani linahusu watu wawili/ Maria, mama

#ake na $ohane, mwanafunzi na mtume wake% $esu ana uhusiano

mkubwa sana na mama #ake kuliko mtu mwingine #e#ote%

)i kawaida #a mila na desturi za watu mahali popote duniani

kuwa mtu kuwa na uhusiano wa "irani sana na wazazi wake%

'azazi ndi#o waliomleta mtoto duniani, wanaomlea na

kumfundisha katika hatua zake za kwanza za maisha% Mungu

mwen#ewe ametufundisha kuwa mzazi anachukua nafasi #a pili/

nafasi #a kwanza ni Mungu%

8/16/2019 Tafakari Ya Maneno Saba Ya Yesu Msalabani

http://slidepdf.com/reader/full/tafakari-ya-maneno-saba-ya-yesu-msalabani 15/25

Katika amri =F za Mungu/ amri ? za kwanza zahusu uhusiano

wetu na Mungu, amri zilizobaki zahusu uhusiano wetu% Katika

hizo amri zinazohusu uhusiano uhusiano wetu sisi wanadamu,

amri #a kwanza 5#aani #a nne8 inahusu wazazi wetu2 'aheshimu

9aba na Mama upate miaka mingi na heri duniani%$esu akiwa

msalabani anatukumbusha siri #a kuishi miaka mingi na kupata

mafanikio duniani/ siri hi#o ipo katika amri #a nne #a Mungu%

'azazi ndi#o miungu wetu hapa duniani/ watu wote waliotuzidi

umri ni wazazi wetu%

 $esu alimheshimu na kumpenda sana mama #ake na hata hapo

msalabani anamkabidhi kwa mtume ki"ana zaidi #a mitume

wengine%

 $esu alimfahamu vema mama #ake kuwa ni mcha Mungu% )i wazi

kuwa $esu ali"ifunza mambo mengi #a Mungu toka kwa mama

#ake%

Kumlea mtoto ni mo"a kati #a kazi za mzazi/ hiv#o basi Maria na

 $osefu ndi#o waliomfundisha $esu habari za kwanza za Mungu%

 $esu ni mwalimu na hapo chini #a msalaba anamkabidhi

mwanafunzi wake $ohane mikononi mwa 9ikira Maria% $esu

anataka kumwambia $ohane kuwa sasa 9ikira Maria ndi#e

mwalimu wako%

8/16/2019 Tafakari Ya Maneno Saba Ya Yesu Msalabani

http://slidepdf.com/reader/full/tafakari-ya-maneno-saba-ya-yesu-msalabani 16/25

!isi sote ni wanafunzi wa $esu/ $esu ametukabidhi kwa mama

Maria aendelee kuwa ni mwalimu wetu% 1una"ifunza toka kwa

9ikira Maria mambo mengi na hasa un#en#ekevu%

9ikira Maria ni mama #etu ana#etufundisha kulisoma )eno la

Mungu na kulitafakari mo#oni% .natufundisha kumfuata $esu

tangu kuzaliwa hadi kufa% 9ikira Maria alimfuata $esu katika

mafundisho #ake hadi hapo chini #a msalaba% Maria

anatufundisha kumuomba $esu katika mahita"i #etu 5&arusi

#a Kana8% 9ikira Maria alisali daima na mitume wa $esu hata

siku #a Pentekoste alikuwepo pale kwen#e chumba cha "uucha Karamu #a Mwisho%

Mtume $ohane analiwakirisha Kanisa pale chini #a msalaba% $esu

aliliasisi Kanisa baada #a kuiona imani #a mitume wake%

.kalianzisha Kanisa na kulipa uweza wa kimungu wa kutangaza

msamaha wa dhambi na kuiondoa dhambi2 *'ewe ndiwe Petro,

na "uu #a mwamba huu nitali"enga Kanisa langu, wala milango #a

kuzimu haitalishinda%

)ami nitakupa wewe funguo za falme wa Mbinguni/ na lolote

utakalolifunga duniani, litakuwa limefungwa mbinguni, na lolote

utakalolifungua duniani, litakuwa limefunguliwa mbinguni-

 $esu anapomkabidha mama #ake kwa $ohane na $ohane kwa

mama #ake/ maana #ake, anamkabidhi mama #ake kwa kanisa,

pia analikabidhi Kanisa kwa mama #ake% $esu anataka Kanisa

lisitengane kamwe na mama #ake% 'akristo ambao hawampi

8/16/2019 Tafakari Ya Maneno Saba Ya Yesu Msalabani

http://slidepdf.com/reader/full/tafakari-ya-maneno-saba-ya-yesu-msalabani 17/25

Mama Maria heshimu ali#opewa na $esu pale msalabani, hao sio

wafuasi wa $esu%

Kanisa linampa Mama Maria nafasi #a kwanza kabisa kati #a

watakatifu kwani $esu mwen#ewe mwasisi wa Kanisa ndiv#o

aliv#ofan#a%

 1endo la $esu kumkabidhi mama #ake kwa mtume $ohane pia

linathibitisha kuwa Mama Maria hakuwa na watoto wengine zaidi

#a $esu% $esu alizaliwa peke #ake kwa mama #ake/ #aani, 9ikira

Maria hakuwa na watoto wengine zaidi #a $esu% 1ukio la $esu

kusulibiwa msalabani ni tukio kubwa sana kwa $esu na kwa ndugu

zake% Kama $esu angekuwa na wadogo zake wa tumbo mo"a,

lazima siku ile, pale chini #a msalaba wangekuwepo% Kama

angekuwa na wadogo zake asingemkabidhi mama #ake kwa

 $ohane amba#e wala si ndugu #ake/ angelimkabidhi kwa wadogo

zake wamtunze mama #ao% $esu alipokufa msalabani, ni $osefu

wa .rimate#o ndi#e alienda kwa Pilato akaomba amzike $esu%

Kuzika mtu ilikuwa ni wa"ibu wa baba mzazi au ndugu wa tumbo

mo"a/ lakini $esu alizikwa na $osefu wa .rimate#o kwa kuwa baba

#ake mlishi $osefu alishakufa zamani% &ii ina maana kuwa $esu

hakuwa na wadogo zake ambao ndi#o wangechukua nafasi #a

baba mzazi ali#ekufa%

 $esu alimkabidhi $ohane kwa mama #ake ili mama hu#o awe

mwombezi wa kwanza wa Kanisa% Mama Maria ndi#e mwombezi

wetu kwani #e#e ni mama#etu%

8/16/2019 Tafakari Ya Maneno Saba Ya Yesu Msalabani

http://slidepdf.com/reader/full/tafakari-ya-maneno-saba-ya-yesu-msalabani 18/25

(i%) Mun'u wan'u" Mun'u wan'u" mbona umenia+!a,

)a ilipokuwa saa sita, palikuwa na giza "uu #a nchi #ote, hata saa

tisa% )a saa tisa $esu akapaza sauti #ake kwa nguvu, *+loi, +loi,

lama sabakthani3- maana #ake, *Mungu wangu, Mungu wangu,

mbona umeniacha3- )a baadhi #ao waliosimama pale, walisema,

*1azama, anamwita +li#a-%

Marko15:33-35

)eno la nne la $esu msalabani lahusi kilio chake kwa 9aba #ake%

Kilio hicho kina ladha #a kukata tamaa% Je, ni kweli kuwa $esu

aliachwa na 9aba #ake3 Je, ni kweli kuwa $esu alikata tamaa3

Kilio cha $esu msalabani hakikuwa ni kilio cha kuachwa na 9aba

#ake/ wala hakikuwa ni kilio cha kukata tamaa% $esu pale

msalabani alikuwa anasali Eaburi #a >>% Eaburi hii ilitungwa na

mfalme 4audi na akaiita ni zaburi #a mateso na matumaini #a

mwadilifu% Katika zaburi hii ukisoma utaona kuwa mtu hu#o

anaanza kumuuliza Mungu kwa nini amemwacha, kisha anaanza

kuelezea sifa za Mungu%

&alafu ndi#o anaanza kumweleza Mungu wake mateso #ake,

lakini katika ha#o mateso anamwambia Mungu kuwa #e#e ni

tegemeo na tumaini lake% )a mwisho anamhakikishia Mungu

kuwa hata katika mateso #ake ataendelea kumsifu na kumtukuza

Mungu mbele za watu wote%

8/16/2019 Tafakari Ya Maneno Saba Ya Yesu Msalabani

http://slidepdf.com/reader/full/tafakari-ya-maneno-saba-ya-yesu-msalabani 19/25

 1ukumbuke kuwa, wa#ahudi walizi"ua zaburi zote kwa kichwa/

hawakuwa na vitabu v#a kutosha% Ku"ifunza kwa kichwa ilikuwa

ndi#o namna #a kawaida kuweza kueleaw vitu% &awa wa#ahudi

walikuwa wanasali daima, na zaburi ndizo zilikuwa sala zao%

Kila mwaka wakati wa Pasaka wa#ahudi waliokuwa mbali na

 $erusalemu walikuwa wanakwenda huko kuhi"i% )#akati hizo

hakukuwa na magari/ hiv#o basi walitembea kwa miguu au

kupanda punda, na safari ilikuwa #a siku kadhaa% 'akiwa n"iani

walisali zaburi wanapotembea% )a kwa kuwa walikuwa wanazi"ua

zaburi zote =AF kwa kichwa/ ilitosha ukita"a maneno #a kwanza #a

zaburi kuwa umesali zaburi #ote% )div#o $esu aliv#ofan#a pale

msalabani/ alisema tu maneno #a kwanza #a zaburi #a >> Mungu

wangu, Mungu wangu mbona umeniacha3 &ii ilikuwa ni sala #a

 $esu pale msalabani% 9aadae ukaisome zaburi #a >> utaelewa

kuwa si zaburi #a mtu ali#ekata tamaa bali ni sala nzuri #en#e

matumaini makubwa katika mateso%

 $esu hapo anatufundisha kuwa katika mateso tusikate tamaa bali

tumkimbilie Mungu% !isi kwa kawaida kwen#e matatizo twaenda

kwa waganga wa kien#e"i na wachawi kwani tunadhani Mungu

ametuacha na kutusahau% Kumbe, wakati wa matatizo ndi#o hasa

wakati muafaka wa kusali zaidi na kumkimbilia Mungu%

(%) Naona kiu

9aada #a ha#o $esu, hali aki"ua #a kuwa #ote #amekwisha

kumalizika ili andiko litimizwe, akasema, *)aona kiu%- Kulikuwa

8/16/2019 Tafakari Ya Maneno Saba Ya Yesu Msalabani

http://slidepdf.com/reader/full/tafakari-ya-maneno-saba-ya-yesu-msalabani 20/25

huko chombo kime"aa siki/ basi wakatia sifongo ili#o"aa siki "uu #a

uDto wa hisopo, wakampelekea kin#wani% Yohane 19:28-29

)eno la tano la $esu msalabani lahusu hita"i la msingi la uhai wa

watu/ ma"i% &apa kiu #a ma"i inawakilisha n"aa% Kati #a ma"anga

makubwa kwa wanadamu ni n"aa, kukiwa n"aa basi kifo

kimeshaDka, tena ni kifo cha taratibu kwa mateso makubwa% $esu

ametumia neno kiu na sio n"aa kwa kuwa kiu huuma zaidi kuliko

n"aa% )i kweli kuwa n"aa #a chakula na kiu #a ma"i huenda

pamo"a, lakini kiu #a ma"i inatesa zaidi kuliko n"aa #a chakula%

Mwanadamu bila chakula na kin#wa"i hakika hawezi kuishi bali

atakufa% Chakula na kin#wa"i ni hita"i la lazima katika maisha%

Kiu ali#ona#o $esu pale msalabani haikuwa #a kin#wa"i/ ilikuwa ni

kiu #a kuona kuwa kazi ali#oianzisha inaendelezwa% $esu aliku"a

duniani kutangaza msamaha wa dhambi/ hiv#o basi ni kiu #ake

kubwa kuona kwa watu wanamuelewa na wanaomba msamaha

wa dhambi zao kwa Mungu% Mafundisho #ote #a $esu na miu"iza

#ake #ote ina"ikita kwen#e msamaha wa dhambi% Kanisa lake

alilianzisha ili lifan#e kazi hi#o #a kusamehe na kuondoa dhambi2

*Pokeeni :oho Mtakatifu% 'owote mtakaowaondolea dhambi,

wameondolewa/ na wowote mtakaowafungia dhambi,

wamefungiwa-% )i kiu #a $esu kuona kuwa, mimi na wewetunaungama na tunatubu dhambi zetu% Kuungama dhambi zetu ni

kielelezo cha kuthamini kazi #a $esu msalabani% Kuungama

dhambi zetu ni kumpa $esu ma"i ili akate kiu #ake pale msalabani%

Kuishi na dhambi bila kuungama ni sawa na kumpa $esu siki

8/16/2019 Tafakari Ya Maneno Saba Ya Yesu Msalabani

http://slidepdf.com/reader/full/tafakari-ya-maneno-saba-ya-yesu-msalabani 21/25

badala #a ma"i pale msalabani katika kiu #ake2 wakanipa uchungu

kuwa chakula changu, nami nilipokuwa na kiu wakanin#wesha

siki% !iki ni divai ili#opoteza radhi #ake na hiv#o huongeza

maumivu kwa mtu mwen#e kiu #a ma"i%

(%i) Imekwis!a- Yametimia

9asi $esu alipokwisha kuipokea ile siki, alisema, *Imekwisha-%

.kainama kichwa, akaisalimu roho #ake% Yohane19:30

)eno la sita la $esu msalabani lina uhusiano mkubwa na neno la

sita/ au ni mwendelezo wake% )i neno linalohusu kiu% ."abu ni

kwamba $esu alipopewa ile siki ili ain#we, hakuin#wa bali

akasema kuwa kiu #ake imekwisha% &apa ndipo twatambua kuwa

 $esu hakuwa na kiu #a ma"i kama kin#wa"i, bali alikuwa na kiu #a

kuona wanafunzi wake au wafuasi wake wanabadilika% Mabadiliko

ana#o#aleta $esu ni toba% 1oba ni tendo la mtu kutafuta rehema

au huruma #a Mungu%

Katika .gano la Kale watu walipotaka kumpendeza Mungu

walimtolea sadaka% Kumbe katika .gano Jip#a $esu anatuambia

kuwa Mungu hataki tena sadaka bali anataka rehema% :ehema ni

tendo len#e pande mbili/ upande mmo"a ni mtu kutambua dhambi

zake na kuziungama, upande mwingine ni Mungu kumsamehe

mkosefu ali#ezitambua na kuzi"uta dhambi zake%

 $esu anaposema kuwa kiu #ake imekwisha anataka kuonesha

kuwa kiu #ake haitulizwi kwa siki% !iki ni divai ili#oisha nguvu

amba#o hutumika kuua wadudu na pia hutumika kuwatesea

8/16/2019 Tafakari Ya Maneno Saba Ya Yesu Msalabani

http://slidepdf.com/reader/full/tafakari-ya-maneno-saba-ya-yesu-msalabani 22/25

wahalifu ili kuwaongezea maumivu kwen#e makovu #ao% 'ale

watesi wa $esu walimpa siki sio kwa lengo la kutuliza kiu bali kwa

lengo la kumtesa zaidi% !iki hata siku mo"a haitulizi kiu #a mtu

wala kiu #a mn#ama%

 $esu daima anaona kiu, na anatuambia wewe na mimi kuwa

anaona kiu% Je, tumpe siki au ma"i% Kila tunapozitambua dhambi

zetu na kuomba msamaha kwa Mungu na kwa wale tuliowakosea

tunakuwa tunampa $esu ma"i ili kiu #ake iishe% Lakini tunapoishi

na dhambi zetu bila kuungama na kuomba msamaha, basi sisi

tunampa $esu siki ili aendelee kuteseka zaidi% $esu anatara"ia

kuwa tutampa ma"i na sio siki% !isi wafuasi wake #atupasa kumpa

 $esu ma"i ili asione kiu tena%

Kubadilisha maisha #etu ni zawadi kubwa sana tuna#oweza

kumpa $esu katika mateso #ake% Je, wewe bado unampa $esu siki3

Kiu #a $esu ni kutubadilisha% Kumbuka alipomwambia #ulemwanamke msamaria pale kisimani2 )ipe ma"i nin#we% $esu

alikuwa na n"aa na kiu akawatuma wanafunzi wake waende m"ini

kutafuta chakula, lakini walipomletea chakula aliwaambia2

chakula changu ndicho hiki2 ni#afan#e mapenzi #a 9aba

ali#enipeleka, nikaimalize kazi #ake% $esu alipomfundisha #ule

mwanamke na kumfan#a atubu dhambi zake, $esu hakuona n"aa

tena/ maana n"aa #ake ilikuwa ni kumuokoa #ule mwanamke%

Kumbe kiu na n"aa #a $esu ni kufan#a mapenzi #a Mungu% )eno

mapenzi #a Mungu lina maana #a kile anachokitaka Mungu%

8/16/2019 Tafakari Ya Maneno Saba Ya Yesu Msalabani

http://slidepdf.com/reader/full/tafakari-ya-maneno-saba-ya-yesu-msalabani 23/25

.nachokitaka Mungu ni kumuona mwanadamu anau"ua ukweli,

anatubu dhambi zake na kuingia mbinguni%

(%ii) Ee Baba mikononi mwako naiweka ro!o yan'u

&apo ilikuwa #apata saa sita, kukawa giza "uu #a nchi #ote hata

saa kenda, "ua limepungua nuru #ake/ pazia la hekalu likapasuka

katikati% $esu akalia kwa sauti kuu, akasema, *+e 9aba, mikononi

mwako naiweka roho #angu%-.lipokwisha kusema ha#o alikata

roho% Luka 23:44-47

)eno la saba na la mwisho la $esu msalabani lahusu kifo% Kifo ni

tukio la mwisho kwa mtu #e#ote na ni tukio lisilokwepeka% Kila

mtu ni lazima akutane na kifo/ apende asipende, a"ue asi"ue, kifo

kipo na kinatungo"ea% 'akati ule adhabu #a msalaba ilikuwa na

lengo la kumuua mtu/ ilikuwa ni hukumu #a kifo% &ii ilikuwa ni

adhabu #a 'arumi% Kumbe kwa 'a#ahudi kutundikwa msalabani

ilikuwa ni "ambo pa#a zaidi #a kifo/ ilikuwa ni kifo cha laana2 kwaniali#etundikwa "uu #a mti amelaaniwa na Mungu%

Kifo cha $esu pale msalabani kilihesabika kuwa ni laani kadiri #a

imani #a 'a#ahudi% Lakini kumbe $esu kwa kufa msalabani

aliigeuza hi#o imani #ao #a kale na kuwaingiza katika imani mp#a2

Kristo alitukomboa katika laana #a torati, kwa kuwa alifan#wa

laana kwa a"ili #etu/ maana imeandikwa2 .melaaniwa kila mtu

aangikwa#e "uu #a mti/ ili kwamba baraka #a Ibrahimu iwaDkilie

mataifa katika $esu Kristo, tupate kupokea ahadi #a :oho kwa n"ia

#a imani% Wagaatia 3:13-14

8/16/2019 Tafakari Ya Maneno Saba Ya Yesu Msalabani

http://slidepdf.com/reader/full/tafakari-ya-maneno-saba-ya-yesu-msalabani 24/25

Kumbe $esu amekufa kwa a"ili #a watu wa mataifa #ote ili

mapenzi #a Mungu #a kuwaalika watu wote mbinguni #atimie%

 $esu anapokufa msalabani kwa mateso makubwa anatukumbusha

kuwa mwisho wa mateso #etu upo katika kifo chema% Kufa kwake

msalabani kwa mateso lakini kwa kutamka maneno mazuri #a

kuisalimisha roho #ake kwa Mungu ni "ambo kubwa kwetu

ku"ifunza% )i kweli kuwa siku mo"a lazima kila mmo"a wetu

atakufa/ tuna uhakika wa kifo chetu kwa asilimia mia mo"a% Lakini,

tutakufa vipi3 Gizuri au viba#a3

Kufa viba#a ni kufa katika hali #a dhambi% ana#ekufa na dhambi

anakuwa ameisalimisha roho #ake mikononi mwa ibilisi% Kufa

vizuri ni kufa katika hali #a neema, #aani kuisalimisha roho #ako

mikononi mwa Mungu% 1ukumbuke kuwa $esu alikufa msalabani ili

kuushinda utawala wa ibilisi ulioleta dhambi na kifo% Kila

tunapotenda dhambi tunakuwa tumekufa na ku"iweka mikononi

mwa ibilisi% Lakini, kila tunapoungama dhambi zetu tunakuwa

tumefufuka pamo"a na $esu na kumshinda ibilisi% Kuungama

dhambi zetu katika sakramenti #a kitubio ni mata#arisho #a kifo

chema%

 $esu kabla #a kufa alikumbuka kusali na kuiweka roho #ake

mikononi mwa Mungu%

 $esu alisali zaburi #a mfalme 4audi amba#o ni sala #a kusali

wakati wa ma"aribu2 *Mikononi mwako naiweka roho #angu/

umenikomboa, +e 9wana, Mungu wa kweli% Mimi na wewe, "e,

tutakumbuka kusali saa #a kufa kwetu na ku"iweka mikononi mwa

Mungu% .u kabla #a kufa tutaanza kukumbuka mambo #etu #a

8/16/2019 Tafakari Ya Maneno Saba Ya Yesu Msalabani

http://slidepdf.com/reader/full/tafakari-ya-maneno-saba-ya-yesu-msalabani 25/25

duniani na kusahau kuwa tupo mlangoni mwa mbinguni au

motoni% kiwa na dhambi unapokaribia kufa unakuwa upo

mlangoni mwa motoni/ #akupasa usali na kuomba kitubio% kiwa

na neema unapokaribia kufa upo mlangoni mwa mbinguni/

#akupasa usali na kumshukuru Mungu%

.itimis!o

Maneno #a $esu msalabani #anatosha kabisa kutufan#a sisi leo hii

tumkiri #e#e kuwa ni mwana wa Mungu na mkombozi wetu% $esu

anamwalika kila mmo"a wetu auchukue msalaba wake na kisha

amfuate katika mafundisho #ake2 *Mtu #e#ote asi#echukua

msalaba wake na ku"a n#uma #angu, hawezi kuwa mwanafunzi

wangu%-

Ee, Bwana Yesu Kristo tunakuabudu na tunakushukuru:

Kwa kuwa, umeikomboa dunia yote kwa msalaba wako

mtakatifu.