86
Makanisa Ya Kikristo Ya Mungu [269] Unabii Wa Uongo (Toleo 2.0 20050130-20050130-20070608) Katika nakala haya, tutajishungulika na swala la unabii wa uongo katika kanisa katika karne mawili iliopita. Katika muda huo, imekuwa janga kuu. Kila kanisa kuu iliidhinishwa na kuegenzwa katika unabii wa uongo. Hawa manabii wa uongo, waliathiri uhuru wa wanachama ambao walishurutishwa na haja ya kufahamu ukweli. Kwa njia hii waliambukiza utendakazi wa kanisa la Mungu na maisha ya mamilioni. Christian Churches of God PO Box 369, WODEN ACT 2606, AUSTRALIA E-mail: [email protected] (Copyright 2005, 2007 Wade Cox) (Tr. 2009) Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia. Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya

Unabii Wa Uongo [269]kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p269.doc · Web view“Kabla ya mtumishi wa bwana kuja kwenye hekalu na kuanza kutafsiri mambo ya Mungu, kikundi cha

  • Upload
    others

  • View
    10

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

Makanisa Ya Kikristo Ya Mungu[269]

Unabii Wa Uongo(Toleo 2.0 20050130-20050130-20070608)

Katika nakala haya, tutajishungulika na swala la unabii wa uongo katika kanisa katika karne mawili iliopita. Katika muda huo, imekuwa janga kuu. Kila kanisa kuu iliidhinishwa na kuegenzwa katika unabii wa uongo. Hawa manabii wa uongo, waliathiri uhuru wa wanachama ambao walishurutishwa na haja ya kufahamu ukweli. Kwa njia hii waliambukiza utendakazi wa kanisa la Mungu na maisha ya mamilioni.

Christian Churches of GodPO Box 369, WODEN ACT 2606, AUSTRALIA

E-mail: [email protected]

(Copyright 2005, 2007 Wade Cox)(Tr. 2009)

Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia. Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.

Masomo haya pia yanapatikana Ulimwenguni kote katika tovuti yetu ya:http://www.logon.org na http://www.ccg.org

Page 2 Unabii wa Uongo

Unabii Wa Uongo

Yaliomo

Bwana Mungu amenena kuhusu manabii wa uongo na utabiri.

Mungu alinena kwanza kuhusu ukahaba miongini mwa manabii. Ikiwa nabii atakubali uabudu wa sanamu au Mungu mingine, nabii atakubali atakufa.

Ikiwa mtu atasema “Bwana amesema” na kisha hajaitimizwa au inapingana na bibilia, basi huyo nabii atakufa, kwa hivyo kila mmoja ya manabii ambao wamebatizwa katika mwili wa Kristo, ameshikiliwa kwa ufufuo

Kumb 18:20 Lakini nabii katakaye thubutu kutabiri mambo ambayo sijanene na wala sijamuamuru kunena au atakaye nena kwa jina la Miungu, hata huyo banii atakufa.

Kumbukmbu 18:22 Ikiwa nabii atanena kwa jina la bwana ikiwa jambo hilo halitatendeka wala kutimilika basi halijanenwa na bwana, lakini msiheshimu aliyenena mambo hayo.

Kwa hivyo Mungu aliyeai, amenena kupitia watumishi wake, manabii.

Hitaji la kwanza wa kanisa la Mungu, ni kuwa na ukweli, kwani Mungu ni ukweli na neno lake ni ukweli (Yohana 17:17). Roho mtakatifu ni roho wa ukweli (Yohana 14:17; 15:26). Roho mtakatifu unatuongoza katika ukweli na ukweli unatuweka huru. Roho mtakatifu unafanya kazi miongoni mwa uongozi ambao ndio waelekezi wa maajabu za Mungu. Kwa hivyo Roho mtakatifu ni ukweli na unaendeleza mpango wa Mungu kupitia kanisa lake (soma karatasi Truth [No. 168]).

Viongozi ni wale wanaofuata amri za Mungu na ushuhuda (au imani) wa Yesu Kristo (Ufunuo 12:17; 14:12) wanaabudu Mungu kwa kiroho na ukweli (Yohana 4:24).

Katika ujumbe wake kwa Korintho, Paulo anatuambia kwamba upendo haupotoki.

Amri zote za Mungu imeishinishwa kwa imani kama ilivyoandikwa kwenye agano mbili kuu za amri za sheria za Mungu. Hizi nguzo mbili za sheria ni upendo wa Mungu na upendo wa mwanadamu mwenzetu (soma karatasi, the first Great Commandment (No 252) na the Second Great commandment No. 257).

Tunaelezea kwamba upendo haupotoki, lakini unabii utapotoshwa kwani ndimi zita teleza. Tunafahamu kwa upande na unabii kwa upande lakini ikiwa kile kilichosafi itakuja basi kile kilicho nusu itaangamizwa. Kwa hivyo sote tutaua ukweli na unabii utakoma (Korintho 13:8-10). Hadi siku hiyo Mungu anadhirihisha mpango wake na njia zake na kueleza maajabyu zake kupitia makanisa za Mungu na kupitia watumishi wake, manabii ambao wanahudumia kamanisa hayo na kuonja binadamu.

Unabii wa uongo ndio dhambi kuu ya maandiko kwani inapingana na neno la Mungu na kisha kutumiwa na wakafiri kama ushahidi kwamba maandiko hayajatimishwa mara nyingi, ni maneno tu za mtumishi aliyepotoka, au ni chochezi wa shetani kwa kai ya Mungu.

Ukurasa za kwaza wa kitabu cha Wa – Rumi unashugulika na ushikilizi wa kweli wa Mungu kwa njia potovu na utukufu.

Unabii na wanabii wa uongo wanapinana na nguvu za Mungu kama vile ilidhirihishwa na mwili wa Kristo. Wanabii wa uongo wanajitafutia unaarufu ilhali mtumishi wa Mungu napaswa kuwa mtumishi wa wote katika mwili wa Kristo.

Tunanuia kukumbana kwa ustadi na kushugulikia na mashaka haya na pia chanzo cha kutoelewa unabii wa Bibilia kama ilivyodhirihishwa na Mungu kupitia watumishi wake manabii. Tunaamini kwamba watu wa mataia yote watafahamu uongo ambazo imeenezwa au ambazo bado

Title Page 3

zinaenezwa na kujitenda nazo baadaye.

Tunaangazia mwaka baada ya mwaka unabii wa uongo ambazo imeenezwa na manabii wa kisasa na watu ambao wameelekezwa uongo hizo.

Tunatazama mafunzo za kupotosha ya shehebu la Jehova Witness, kuteleza kwa makanisa za Mungu na unabii za uongo wa Herbert W. Armstrong pamoja na washirika wake ambao walielekea katika unabii wake wa uongo. Wao wenyewe wangali wanaendeleza tamaduni wa uongo. Wao wenyewe wangali wanaendeleza tamaduni hii ya unabii wa uongo kana kwamba ni shuka la Elija. Haya pamoja na zingine zitachunguzwa mpaka nyakati za leo.

Hatimaye tutachunguza kile kitakachofanyika na kanisa na nafasi yake kwa unabii na maajabu za Mungu.

Kile kinachoudhi sana ni kwamba wafuasi wa wanabi hawa wa uongo wanaonekana hawajali na kuendelea na kupotoshwa watu.

Sote tunafanya makosa, lakini ustadi na uwazi utapewa nafasi ya mbele. Ata wale wanaofahamu maajabu za Mungu, wanaweza kuteleza katika kufahamu taratibu ya unabii ikiwa hawana idhini ya Mungu. Ikiwa taratibu ya unabii ikawa hawana idhani ya Mungu. Ikiwa mtu natatakakuajibika bila shaka lazima awe sahihi.

Chano Cha Utengamano Wa Makanisa

Nyakati za Ki-Thyratia ulikamilika na kurekebishwa na pia kuhukumiwa kwa vugurugu la Sabbataria huko Uropa na wa Prostentanti waliokuwa wakijitokeza. Kutambuliwa na kuhukumiwa kwa makundi haya iko kwenye karatasi, General Distribution of Sabbath-keeping Churches (No. 122) na pia The Role of the Fourth Commandment in the Historical Sabbath-keeping Churches of God (No. 170).

Ukirekebisha hiyo hakunuia kuangamiza uabudu wa uongo wa jumapili na makanisa za Ki-Trinity huko Uropa. ilitengenezwa

kulinda mafunzo potovu wa dhehebu la Sun ambayo yalikumba na hatari ya kuangamizwa na uovu za Ki-Katholiki. Hali iliyojitokeza wakati huo pia inajirudia kwa nyakati hizi kama vile tunavyoona kupitia kulaumiwa kwa kanisa kwa ajili ya mienendo yao potovu. Makanisa za Ki-Prostestati hawakurekebisha chochote yenye umuhimu. Kile walichofanya ni kuidhinisha na kuipa nguvu mipangilio kinyume na Ukristo. Wachapishaji wa vitabu walishuhudia uwepo wa bibilia ya bei ya chini ambayo ilikuwa na mafunzo hayo potovu. Usomaji wa Bibilia haingeweza kukomeshwa. Hiyo ilijaribiwa na kushindwa. Wa prostestanti walijiita kwa maneno Pro-Teste yaani (kwa kweli) ya agano la Mungu. Wa Katholiki wakaibadilisha kumaanisha kutokubaliana na sheria za Katoliki.

Waprotestanti hawakurudi nyuma katika karne ya nne katika kutuata ukweli. Kwa hivyo waliendeleza uongo za Augustine wa Hippo na kujitokeza kwa dhehebu la Trinity. Kwa kweli walihukumu makanisa za Mungu hata zaidi kushinda Roman Catholic.Wa-Prostentants wengi walijotokeza kupitia wazee wa kanali. Ikiwa imeidhinishwa kwenye vikundi kama kanisa la Freemasonry makanisa kama, Churches of Jesus Christ of lader days ikabuniwa. Walijulikana kama Marmons kwa sababu ya imani yao kuhusu wafu. Mormo alikuwa ni Mungu wa wafu miongoni wa makafiri. viongozi wao pia walijihusisha na unabii ya uongo na waliuwawa na Wa_mason kufuatia utumizi yao ya tamaduni za Ki-Mason kama kushinda na madhehebu mengine. Watu hawa pia walizidi kuwa Wa unarati lakini akili yao ilikuwa ya kupotosha. Ingali sasa inasahihishwa kufuatana na CCG na pia sheria za uwepo wa Mungu.

Katika karne ya 19 kilichokuwa ni nyakati za sardis, kilikuweko na vugu vugu kuu kilichotazama kurusi kwa Mesaih. Ilikuwa imenuia kupotosha ujumbe safi ya Bibilia kuhusu kurudi kwa Messiah na kufanya watu watoamini Bibilia na unabii wake. Vugu vugu la kanisa la Mungu, kwa dhana ya wahanga wa Mesaih. Mfunzo mengi ya

Page 4 Unabii wa Uongo

kutoposha yalijitokeza kwa wa – Prostestati, kwa mfano ujumbe wa unyakuzi ilijitokeza huko uingereza katika karne ya 18th. (Angalia The Millenium and the Rapture (No. 95))

Mapepo yalivuma nyakati hizo ili hali iliyoandikwa kwenye agano jipya kwamba “Bwana amechelewesha kurudi kwake,” itimizwe.

Watu hawa walijumishwa kwenye makanisa za Mungu ambayo ilikuwa na wafanyi kazi ambao walikuwa wanenaji wa maajabu za Mungu. Ukweli ni kwamba taratibu ya Ki-Sardis uliangamia na imekufa, na wala haikakuwa na uelewana wa unabii wa bibilia. Hali hiyo ililetwa kwa sababu jawakushikilia ukweli na sheria za Mungu. Hawaku idhinisha kikamilifu kalenda ya Bililia kama ilivyo kwenye kanisa ya zamani. Jawabu lake ilikuwa kwamba wa Adeuntisti hawakufurahi mpangilia ya jubilee na kalenda. Waliifahamu mpaka sabato pekee. Hata hivyo walikuwa Waunitari na hawakujumuisha uwepo wa Mungu. Kwa kikundi hicho ambacho kilifuatilia mafundisho za William Miller na wazungu, ikaingizwa tena sheria zingine za mapepo kinachofanana na kile cha vegetarianism. Nabii wa kike wa uongo, Elleh G. White kisha akapewa umuhimu zaidi na mafundisho zake ikatiliwa mkano. Mafundisho yake iliashiriwa sana kwa kukataa uwepo wa kweli wa mpangilio wa Millennium hapa duniani chini ya watakatifu unabii wa Ki-bibilia ulionyesha kwamba mpango wa millennia hautakuwa ki-vegetarian. Watu watakula nyma kwa hali iliyothibithwa.

Mashaka haya yameshughulikia kwenye karatasi The Pre–Advent Judgment (No. 176) and The Millennium and the Rapture (No. 95).

Ellen G. White alikuwa nabii wa uongo hatari sana, kuhusu kuhifadhi sahata. Kulikuweko tu na wachache waliomuandama katika kupotosha kazi ya Mungu na unabii wa maajabu ya Mungu. Mmoja wa watu hao alikuwa anaitwa Charles Taze Russell. Alikuwa akishiriki kwenye kanisa la Mungu

katika karne ya 19 na akaona umuhimu wa mpangilio ya sheria hiyo kama vile alivyoelezwa. Alitazama kwamba sabato ilikuwa ni kizingiti katika biashara iliyokuwa ikiendeleza katika makanisa ya USA. Yeye pamoja na wengine wachache wakabuni nakala za Watchtower na Track Society. Ushirikiano huo kisha ikazaliz kinachojulikana sasa kama Jehova’s Witness. Wamepotosha unabii wa bibilia na kuimbatanisha na uabudu wa jumapili, hata ingawa wameshikilia sheria za uwepo wa Mungu iliyobuniwa kwenye makanisa za Mungu katika karne ya 19. Wanajulikana kama Wa-Unitaric hadi kwa sasalakini uelewano wa unabii wao unapotosha.

Maendeleo mengine katika makanisa ya Mungu ulikuwepo kwa sababu kanisa la Mungu, haikuwa imeangamizwa kikamilifu na manabii hawa wa uongo zinaelekea kuchukulia mpangilio ya kalenda ya kanisa. Chini ya Herbert W. Armstrong ambaye alibuni mpangilio ya Jewish Hiller na kupotosha hao makanisa za sabato ambao kwa kweli walihifadhi kalenda ya kweli. Wa Sabbataria katika Uropa mashariki sambamba mpaka uongozi wa Ki-Nasi. Walipunguza katika nyakati hizo. ungu hawajawekea mzigo yoyote tena (soma the Sabbateria H. Transyvania CCG publishing 1998).

Tutaamza mwaka wa 1832 na kutazama maono ya Joseph Smith na utabiri zake za uongo. Yunaona kwamba watu hawa na washiriki wao, hawajaomba radhi.

Joseph Smith 1932Mnamo mwaka 1832, Joseph Smith mwanzilishi wa vugu vugu wa Mormon alisikia sauti na kuitafsiri kumaanisha kwamba, ikiwa ataishi hadi miaka 85 Yesu atarudi. Mwaka huo ungekuwa 1890. Kwa bahati mbaya mwaka wa 1890 Smith alikuwa amefariki kwa zaidi ya nusu karne.

1833Januari 5, 1833, Smith alitabiri:

“Kufuatia mamlaka wa Yesu Kristo kwamba sio miaka mingi itapita kabla. Njaa (magonjwa), tetemeko la ardhiitafagia wale waovu wote wa

Title Page 5

ardhi hii. (USA) kufungua na kutayarisha njia jwa kurudi kwa makabila iliyoponea ya Israeli kutoka kwa mataifa ya juu”

1835Re Joseph Smith:

Rais Smith kisha akasema kwamba mkutano uliitishwa kwa sababu Mungu aliamuru, na ilidhihirishwa kwake kupitia maono na roho mtakatifu… ilikuwa ni amri ya bwana kwamba waidhinishwe katika utumishi na kuenda kutayarisha shamba la mzabibu kwa mara ya mwishom kwa ajili ya kurudi kwa bwana, abayo imekaribia hata miaka 56 inaweza kukamilisha muda huo. (History of the Church, vol. 2, page 182)(Mormons)

1838Aprili 17, Joseph Smith Akasema:

“Sana, bwana amesema; Ni hekima kwenye mtumishi wangu David W Petter kwamba alianzisha biashara yake haraka iwezekanayo na anaweza kuendeleza biashara yake ili aweze kunihudumia msimu ijayo.Akiwa na wengine hata 12 watatubu kwa jina langu na kuleta mazuri duniani. (Doctrine & Covenants 114:1) Mormons (note that David W. Patten died in October of 1838 and thus never went on a mission the following spring.)

Neno ‘Kweli “asema bwana”unamsababisha Smith kuwa nabii wa uongo kulingana na sheria za bibilia na utabulisho. Aliendelea kupotosha watu hivyo na tutaona. Sasa tunapata unabii wa uongo wa William Miller pamoja na yale ya Joseph Smith.

1843William Smith mwanzilishi wa vugu vugu wa Millerite a litabiri kwamba Yesu atarudi katika tarehe Marcur 21 1843.

May 18 1843, Joseph Smith akasema: “Ninatabiri katika neno la Bwana mungu wa Israeli, Ikiwa Marekani hawata tambua mabaya wanotenda dhidi ya watakatifu wa Missouri na kuhukuma maovu yaliyotendwa na mafias wake, basi kwa miaka michache serikali itapinduliwa na kuharibiwa, na hakuna kitu kitakacho baki”

Ellen G. White1850Ellen G White alitoa utabiri katika tarehe 27 Juni, 1850 kwamba ni miaka michache tu inayobaki kufika mwisho wa dunia. Aliandika.

“Malaika mwandamizi wangu amesema”,

nyakati imekwisha. Jitayarishe, jitayarish, jitayarishe … sasa nyakati imekwisha. … na kika tumekuwa tukifunza kwa miaka watakuwa wajifundisha kwa miezi”.

Mwaka wa 1856 au baadaye. Katika tabiri lake la mwisho Ellen White alisema kwamba ameonyeshwa kupitia maono yatakayokumba waliohudhuria mkutano wa kanisa la SDA 1856. Kisha akaandika.

“Nimeonyeshwa wanachama waliohudhuria mkutano huo. Malaika akase, a. Wengine chakula cha wadudu wengine watakubwa na mikasa mibaba wengine watakuwa hai na kubaki duniani kubadilishwa kwa kurudi kwa Yesu”

Kwa hivyo alitabiri kwamba baadhi ya waliohudhuria mkutano huo, watafariki kupitia magonjwa ya kawaida wengine watakufa nyakati za mwisho na wengine watakuwa hai mpaka wakati Yesu atakaporudi.

“Manamo mwaka 1900 wale wote waliokuwa wamhudhurai mkutani huo walikuwa wamefariki, wakaacha kanisa na ugumu wa kueleza upotovu huo wa unabii wa uongo”

Unabii wao wa uongo ulinuiwa kuidhinisha mafundisho za wapinga Kristo kwa kutumia wale waliochkuliwa kama watumishi wa kweli wa Mungu inaonekana, kwa njia hii waliweza kuingiza kanisani mafunzo potovu kwenye waumini.

Tutageukia sasa dini ya Jehova’s Witness (JW) kuchunguza unabii zao za uongo za kujirusia rudia.

Charles Taze Na Jevova’s WitnessMakundi mahache bado wangali na unabii nyingi za uongo nab ado inamudu umati mkubwa ya waumini, wasiyopinga sera zao, Jehovah Witness, hwakuwa sawa na wa –Aventisti na kisha baadaye kuanzishwa kwa kituo cha redio cha Church of God iliyeenea kute duniani. Unabii wa uongo ulianza kwa hali ya juu kwa kuidhinishwa kwa dhehebu la “Advent of Christ" kama bwana harusi. Bibilia inasema wazi kwamba kila jicho lita mtazama lakini wengine watamwamini.

1879“Jehova Witness, walidai katika mwaka huo kwamba

“Kristo alikuja kwa mfano wa bwana harusi….

Page 6 Unabii wa Uongo

katika mwanzo wa injili mavuno” (watchtower Oct 1979 pg4)

1880Katika mwaka 1880, walisema:

“Hatuhitaji kurudia hapa kwamba “tarumbeta saba” ilianza kulia mwaka A.D 1840 na zitazidi lulia mpaka mwisho wa nyakati wa shida na mwisho wa wahanga” A.D 1914, na hiyo ndiyo janga la “siku hii kuu” ambayo liko hapa kimfano na inaitwa sauti ya malaika mkuu atakapoanzisha utakazaji ya Israeli, “kwa wakati huo makaeli atasimama, malaika mkuu anayesimamia watoto wa watu wake na kutakuweko nyakati za matatizo ambayo haikaonekana tangu jadi”. Dan xii. wla hatutasikia tena thibitisho ya bibilia kwamba bwana alijia bibi harusi wake mnamo 1874, na kwamba ana kazi zilizoonekana kama mvunaji wa matunda ya kwanza wa nyakati hizi za injili (Zion’s Watchtower, Nov. 1880 p.1).

Kutambuliwa kwa mwisho wa nyakati za wahanga ulikuwa na msingi wake kwenye kutofahamu nyakati za vita za carchemish iliyotokea 605 BC na juhusi yake katika kufahamu nyakati hizo. Watu wa Jehova Witness walishikilia kwamba hiyo vita ilifanyika 607 BC katika makala yao ya baadaye. Kuthibitisha unabii huu wa uongo. Hawaku fahamu kwamba muda huo uliongozwa na unabii wa bibilia ulionenwa na Mungu kupitia nabii Ezekieli. Hii ndio, unabii uliojulikana kama unabii wa mkono wa Farao iliovunjikana inaoongoza tarehe zao kuwa 605 BC hadi 1916 na wala sio 1914 kama walivyoandika. Unabii huo uliendelea kwa miaka zingine themanini katika msururu wa miaka arobaini. Hitilafu hii pia ilijidhihirishwa katika unabii za uongo za Herbert W. Armstrong, kuhusu kuwasili kwa Misri na kanali ya Suez kutoka 1953-1956 (soma The Fall of Egypt (No. 36): The Prophecy of Pharaoh’s Broken Arms.

1886Katika mwaka wa 1886, wana Jehova Witness, walishikilia hitilafu hii na hawakutaka kukosolewa, katikati ya 1886 na 1914 iliweka msingi wa uteuzi wao na ilikuwa iendelee kama kifaa na mtumizi kwa miaka mingi iliyofuata kabla ya uongo huo.

“Uwepo wake wa nje katika ufunguzi wa mwaka mpya ina vielezo zngine vya kutia moyo.

Ushahidi wa nje ni kwamba matayarisho ya mahanga wa vita vya siku kuu ya Mungu, inaendelea na fununu za vita imeanza”.

… Wakati imefika kwa Mesia kuchukua usukani wa uongozi wa dunia na kutibua viongozi wafisadi wa dunia (Ufunuo 19:15 na 11:17, 18) maandalizi ya kuidhinisha amani ya kudumu kama nguzo ya ukweli. (Zion's Watchtower, January 1886; Watchtower Reprints I, p. 817)

1887“Mwisho wa dunia hii, hiyo ndio mwisho wa injili na mwanzo wa nyakati za millennia uko karibu kinyume na watu wanavyotarajia; kwa kweli tayari tumefika nyakati za mapito, ambayo lazima ikuwe nyakati za dhiki, abayo haijawahi kushuhudiwa. Dan. 12:3 (Zion watatower, January 1886, Watchtower represents 1, p 8n). (N.H. Barbour and C.T. Russell, Three Worlds, and the Harvest of This World, p. 17)

1888“Katika haya hii tunawasilisha Bibilia kama ushahidi ukithibitisha kwamba nyakati za mwisho utafikiwa 1914 AD; na kwamba tarehe hiyo hakuwa ya mwisho kabisa kwa wanadamu waovu. Na kwamba ichunguzwe ni ikiwa jambo hili litathibitishwa kuwa kweli kulingana na maandiko, itathibitishwa. Kwanza kwamba wakati huo, ufalme wa Mungu ambao bwana wetu alitunza kuomba “ufalme wako uje” utakuwa na mamlaka kamili na kwamba itabuniwa hapa duniani juu ya mabaki ya vita vilivyoko sasa” (studies in the scriptuires Vol. 2) “ The time Is At Hand,” 1888, p 76,77)

1889“Msishanganye, iwapo katika haya zitakazofuata tutawasilisha ushahidi ambayo yameashiriwa kwa unabii kama kwamba kuanza kazi hiyo mwaka 1878 AD na kwamba vita za siku kuu ya Mungu mkuu (uf 16 14) ambayo itaisha AD 1914 na kutibuliwa kwa viongozi vya dunia kutokana na neno la Mungu (Studies in the Scriptures, vol. 2, “The Time Is At Hand,” 1889 Ed., p. 101. The 1915 edition of these texts changed "A.D. 1914" to read “A.D. 1915”)

Wana Jevoha Witness walipuuza kazi kuu ya askofu Usher na kupangwa tena kwa vitabu vya bibilia kama ilivyowekwa katika makala ya kwanza ya King James Version (KJV), ambayo iliweka, kuumbwa kwa Adam katika mwaka 4004 BC na badala yake wakawekelwa tarehe iliyoisha 1873. Chanzo cha madai hayo ya uongo haikaenea. Zilikuwa inasema.

“Hapa tunakamilisha ushahidei kwamba kutoka

Title Page 7

kuumbwa kwa Adam hadi AD 1873 ilikuwa miaka elfu sita. Na kwamba ingawa bibilia haina maelezo kamili kwamba elfu saba itakuwa miaka za uongozi wa Kristo, siku kuu ya sabato na ilhali tabia hizo haina msingi wowote” (C.T. Russell, Studies in the Scriptures, Vol 2, p. 39, 1889).

Kuhesabu tarehe ya Mungu siyo ngumu vile vielelezo vyote viko kwenye Bibilia. mpangilio yote imewekwa juu ya miaka hamsini za kuinuliwa. Mpangilio huo imetengenezwa kutoka kwa vidokezo tofauti CCG amefanya utengenezaji hii na dokezo lake iko kwa kina kwenye kazi yake Reading the Law with Ezra and Neamiah (No. 250). Kuhesabu miaka elfu sita za uongozi wa shetani katika dunia hii lazima lanze kwenye dunia iliyohukumiwa na hiyo haingefanyik kabla ya mwaka wa kwanza wa kuinuliwa baada ya hukumu wa Adam, ambayo haingefanyika hadi alipokuwa miaka thelathini (i.e. in the year 3974/3 for the Jubilee year and the year 3973/2 for the commencement of the rule of Satan). Miaka elfu sita kwa hivyo haingeweza kuhitimisha kabla ya uinuliaji wa 120 katika mwaka wa 2027. Hizi vidokezo rahisi vya bibilia ungefanya utabiri wa Russell na manabii wengine wa uongo kutoendelea. Shida kuu ni kwamba walijumuisha sheria za Mungu na hawakuelewa kwa sababu walikuwa wapuinga Kristo na wakaacha amri za Mungu, sana sana amri ya nne inayohusu siku ya sabato. Wameshikilia kwamba Mungu hakutilia mkazo neno lake na sheria na kalenda. Hitiladu zao kwa hivyo ulianzia kwa msimamo huu. Kwa kiwango ndogo au kubwa, hii ilikuwa ijitokezee na wengine chini kwa mipango za Armstrong na kwa nyakati za sasa. Ukiambatana na mpangilio wa Bibilia millennium haiwezi kuanza kwa tarehe ya kwanza ya 2028. Kristo anaweza kuja mapema ya tarehe hio, lakini uinuliaji bado itakuwa 2027 na mipango zote lazima zitafanyika kwa siku hiyo, mtiririko umeshughulikiwa katika karatasi Outline Timetable of the Age (No. 272).

“Ikiwa muda wa miaka elfu saba za historia ya dunia iwe wa utawala wa Kristo, tutakuwa tunaonyesha kwamba ilianza 1873, tukithibitisha kwamba tungali ndani yake” (Studies in the Scripture Vol. 2, p 40, 1889).

Kwa hivyo ilikuwa mafunzo ya Jevoha Witness kwamba millennium ilikuwa imetimilika 1873, ilhali wakadai baadaye kwamba Kristo hakurudi hadi 1914. Hii ni kinyume na mpangilio na unabii wa kitabu cha udunuo. Lakini hakuna hata mmoja wa wafuasi wao wamekuwa na swali. Wanaonekana kwamba wamemeza ngamia na kuamua shingini mwao. Hata Russell hakushtumiwa.

“Katika miaka 26 zijazo, serikali zote zilizoko zitapinduliwa na kuangamizwa” (Studies in the Scripture Vol. 2, p. 98-99, 1889).

“Katika ukurasa huu tunawasilisha ushahidi wa Bibilia ambayo inaonyesha kwamba miaka elfu sita kutoka kuumbwa kwa Adam ilikuwa kamilifu mwaka AD 1872; na kwa hivyo AD 1872 zimewekwa kwenye mpangilio katika elfu saba za miaka za millennia (Studies in the Sriptures, Vol. 2, p 33, 1889).

“Kumbuka kwamba miaka 40 mavuno yaw a Jew iliisha Octoba AD 69 na ukafuatia na upenduzi wa taifa hilo na kwamba vile vile miaka 40 za injili utafika kimono Octoba, 1914, na kwamba vile vile upenduzi wa “Christendom”lazima utarajiwe kufuata haraka (Studies in the Scriptures, Vol. 2, p. 245).

1891Kumbuka Smith wa Mormoi alitoa unabii iliyokuwa ikifikia kikomo kabla ya 1891. Tuna tazama tena unabii huo. Mnamo Februari 14 1835, Joseph Smith mwanzilishi wa LDS au Mormo, alihudhuria mkutano wa viongozi wa makanisa. Anaripotiwa kusema aliamuru. Alitangaza kwamba Yesu atarudi baada ya miaka 56 – yaani kabla ya Februari 15 1891 (History of the Church, 2:182).

1894“Miaka 17 iliopita watu walisema, kuhusu nyakati ilioangaziwa kwenye nakala ya “millennial Dawn”, walionekana wenye maana kwa njia tofauti, lakini mabadiliko makubwa kama haya haingeweza kutendeka kati ya mwaka wa 1914. Ikiwa ulithibitisha kwamba itatokea yapatayo karne mbili au moja, pengine inawezekama kuwa ukweli. Je mabadiliko gani yametendeka na hatua gani imepigwa kila siku. “Vitu vya zamani zinatoweka na vipya kuchukua pahali pao. Sasa kufuatia shida iliyotoea ya ajira, wasomaji wetu wameandika kufuatia shida iliyotea ya ajira. wasomaji wetu wameandika kufuatia shida iliyotoea ya ajira, wasomaji wetu wameandika kujuwa ikiwa hakutakuweko na hitilafu katika tarehe ya 1914. Wanasema

Page 8 Unabii wa Uongo

kwamba hawaoni vile matukio ya sasa yanaweza kuimudu changamoto ilioko. Hatuoni sababu lolote la kubadilisha nyukta hizo wala hatuwezi kuzibadilisha. Tunaamini ni matarehe za Mungu wala sio zetu. Lakini jua kwamba mwisho wa 1914 sio tarehe ya mwisho lakini mwisho wa nyakati za shida (Zion's Watchtower, “Can It Be Delayed until 1914?” C. T. Russell, July 15, 1894; also in Watchtower Reprints, l894, p. 1677)

Kila mwanafunzi wa WWI atafahamu kwamba mwaka qa 1914 ilikuwa ni mwnzo wa shida. Kakuwa hadi 1916 ambapo huaribifu kamilifu ulifikiwa katika mataifa za magharibu, na wa Urisi hawaku paa katika vita hdi 1917. Baada ya makubaliano huko vita katika mataifa za masharii ilifika kikomo huko Urusi. Watu hawa hawakuwa na sababu kuhusu matukio iliyowakumba. Hakuwa na nabii yeyote katika dhehebu la Rehova’s Witness mwenye nguvu hata kidogo. Wala hakungeweza kuwa hata mmoja kama tutakavyoona. Mungu pamoja na Roho mtakatifu hakuwa na watu hawa pamoja na kiongozi yao Russel.

“Miaka mingine michache itakamilisha uwepo wa vita kwa sasa, na kisha dunia hii potovu itakumbana ana kwa ana na ufalme wa Mungu. Na kisha laana ya kanisa itamalizwa katika nyaka za muda itakaokuja” (Watchtower p. 56,1894).

“Hatuoni sababu yoyote ya kubadilisha nyukta hizo – wala hatuwezi kuzibadilisha kamwe. Tunaamini ni matarehe za Mungu wala sio zetu. Lakini jua kwamba mwisho wa 1914 sio tarehe ya mwanzo, lakini ni mwisho wa nyakati za shida” (Watchtower July 15, 1894 p, 266; p 1677 Reprints).

1897Unabii ulitolewa kuhusu upimiaji wa urefu wa njia iliogunduliwa ndani ya mnara wa pyramids. Upimiaji huo haukuwa na kielelezo chochote cha maandiko. Russel kisha katumia ubanifu wa nyakati hizo kusema.

“…Upimiaji huo ni mita 3416, inayosimamia miaka 3416….. hesabu hio inaonyesha A.D 1874 kama mwanzo wa msimu wa taabu …” (Russell, Studies in the Scriptures: “Thy Kingdom Come”, Series III, p. 342, 1897 edition).

Nakala ya 1916 ilibadilisha kuwa:“Yumeigundua kuwa mita 3457, kusimamia

miaka 3457 kwa hicyo washahidi wa pyramid wamegundua kwaba mwisho wa 1914 itakuwa mwanzo wa taabu….”

Kwa hivyo walikuwa katikati ya WWI na unabii hizo zilikuwa mbali na ukweli. Bado miaka miwili ilikuwa imebaki ili WWII angeibeba. Kitu kinachojulikana kama WWIII na mgongano kubwa na hivi haikutambuliwa na mmoja wao. Tumeingia katika nyakati hizo na hatujaingia katika vita. Wakati Yesu atarusi, atahudumia wale ambao wamekuwa wakimngoja kwa hamu. Ikiwa hataingilia kazi basi hakutakuwa na mwili wowote wnye uhai. Neno hilo la Bibilia ni wazi kabisa kwa kila mtu. Lakini Russel wala washiriki wake hawangeifahamu kabisa. Tabia yao ya kukusoa maandiko na kutumia sayansi kuthibithsa uongo zao imekuwa janga kuu.

“Uharibifu kamili wa anguvu za dunia hii – siasa, biashara itakuwa katika mwisho wa nyakati za wahanga, Octoba AD 1914” (C.T. Russell, Studies in the Scriptures, iv, p 622, 1892).

“Bwana wetu mfalme mteule, angali hapa tangu Octoba 1874 AD na kuapishwa rasmi kwa ufalme wake itaaza Aprili 1878 AD” (Russell, ibid., Studies in the Scriptures, vol. 4, p. 621, 1897).

Matamshi hizi ni maarufu sana miongoni mwa wanafunzi wa Roman catholic ambapo askofu wa Roma alichukua usukani katika huduma ya Kristo. Kwa hivyo Russel alimweka Kristo chini, pahali inapojulikaka nay eye pamoja na watu wake. Kwa hivyo walikuwa wasemaji wa Kristo. Wana Jehova Witness kwa hivyo walikuwa tofauti na wakatoliki ambao walikuwa wanavamia.

“Watengenezaji pombe, viwanda, masaluni, na kila biashara itakomeshwa; na watumishi wo kupitiwa kitu kingine cha kufanya ya kuwafaidisha. “Vile vile utengenezaji wa meli za vita. Vifaa vya vita na za usalama utakomeshwa na majeshi zitaharibiwa. Ufalme mpya haitahitaji hizo tena, lakini itakuwa na nguvu ya kupambana na waovu” Biashara kama za benki na za fedha ambazo zimeimarika sana hapa duniani, haitapata nafasi hapo, kwani katika uongozi huo, kila mtu atatakiwa kumhudumia mwenzake kama watu wa familia moja na vita kama mikopo itakuwa zimepita. Wenye nyumba pamoja na waajiri, pia watapewa ajira mpya

Title Page 9

kwani mfalme mpya hatatambua stakabadhi zao….” Kwa hivyo kulingana na uwezo ulioko sasa ikiwa watu wote watawekwa pamoja wafanye kazi kwa masaa yasiyozidi matatu basi utendakazi wa kila mtu itakuwa wa haja” (Studies, ibid., vol. IV, pp. 633 – 635, 1897).

1902“Kulingana na ushahidi huu wa Bibilia kuhusu nyakati za wananga, tunaichukulia kama kweli kwamba mwisho wa ufalme wa dunia hii na kuidhinishwa kwa ufalme wa binguni utafanyika mwishoni mwa mwaka AD 1914” (The Time Is At Hand, 1902 edition, p 99).

1903Watu wa “Watchtower” walianza kazi yao kulingana na watabiri wa kisayansi “waliandika”.

“Ikiwa masayari ya Uranus na Jupita watakutana machoni pa mwanadamu katika mwaka 1914, basi nyaka iliyoandikwa itakuwa imeanza kuwaweka huru binadamu na kutimisha ndoto, kazi na mitazamo ya wanashairi na wanahistoria” (Watchtower, May, 1, 1903, p. 130–131, p 3184 Reprints).

Hakuna nabii yeyote wa Bibilia ambaye ameunga mkono utabiri wa nyota.

1904Nyakati za wahanga haikueleweka vizuri. Walikuwa na dokezi ya unabii huo, lakini wakaipotosha vibaya.

“Kulingana na matarajio yetu wenyewe, shida za nyakati kuu za mahangaiko itajutia hivi karibuni, yapatayo kati ya miaka 1910 na 1912 ikiandamana na mwisho wa nyakati za wahanga Octoba 1914” (The New Creation, Studies in the Scriptures, vol. 6, p. 579, 1904).

1908 Kulingana na shahidi kuu ya Bibilia kulingana na nyakati za wahanga, tunaishugulikia kuwa kweli kwamba mwisho wa ufalme za dunia na uidhinisho wa ufalme wa Mungu utafanyika AD 1914” (The time is at hand, 1889, 1908, ed p 99). Kweli inatarajia mambo makuu kwamba katika miaka 26 ijayo, serikali zote za dunia zitatimuliwa na kuharibiwa” (The Time Is At Hand, 1889, 1908 ed., p. 99).

1914Mwaka wa 1914, vita ndio ilikuwa imekuja duniani, wala sio Kristo – kwa hivyo waliongeza muda huo kwa miaka zingine kumi.

“Hata ikiwa nykati za mabadiliko zetu hata kuja kwa miaka kumi, tutauliza nini tena? Si tumeharikiwa, na ni wenye furaha? Mungu wetu si ni mwenye huruma? Ikiwa yeyote unajua kitu kingine nzuri, wach aichukuliwa. Ikiwa mmoja wenu atakuwa na chochot nzuri, tunaamini vitatueleza” (Watchtower, Dec, 15, 1914, p. 376).

“Kusoma maneno ya Mungu, tumepima miaka 2520, muda za kuashiria kutoka mwaka 606BC. na ukapata kwamba ilifika Octoba 1914, karibu sana tulivyokuwa tukidhani. Hakusema kwamba hio ndio itakuwa mwisho (Watchtower, Nov 1, 1914, p. 325).

Tazama kwamba wametumia nyakati za 606 13CE badala ya 605 BCE kwa vita carchemisa wakati Nebukadineza alichukua usukaki pamoja na babake. Hawakufahamu kwamba hakukuwa na mwakwa wa 0 na kwa hivyo walilazimishwa kuibadilisha kuwa 607 BCE kufika 1914 kwa miaka 2520 au mara saba. Waliona mara saba za siku za Nebukadineza kuwa sambamba na nyakati za wahanga, lakini wakaibatilisha kuwa 1914 kwa sababu ya kutolelewa kwao.

“Ingawa yaweza kuwa kwamba armagedon inaweza anza msimu ijayo, lakini haiwezi kubashiriwa ni lini. Tunatazama kwamba kunatofauti kati ya kalenda yaw a – Jew nay a injili. Tofauti hayo inaonekana kuashiria mwaka tulioko sasa yaani miezi za kwanza” (watchtower reprints, vi, Sept 1, 1914, p 5527).

“Hakuna sababu yeyote kwa wanafunzi wa Bibiliam kushuku kuanza kwa nyakati za injili na kwamba imefika kwenye lango na kwamba itakamilika kama vile maandiko imesema kwamba itakuwa shida kuu ambayo haijawai onekana. Tunaona msisimuko katika changamoto hii….. shida kuu, uongongano kuu, ambayo imesimamiwa na moto ambay itachoma bingu za ki-Ecelestiates na dunia hii, ingali karibu.” (Watchtower Reprints, vi, May, 1914, p 5450).

1915“Vita inayoendelea Uropa ndio mwanzo wa armageddoa wa maandiko (Ufunuo 19:16-20). Hitimizwa kwa kupinguliwa kwa serikali zote za dunia ambazo zimenyanyasa watu wa Mungu na kuharibu dunia. Tunaamini vita hivyo haviwezi kuendelea kwa muda mrefu kabla ya unyakuzi”, (C.T. Russell, Pastor Russell’s Sermons, p 676, sometime during WWI).

Kwa hivy tunaona kwamba baada ya vita vya

Page 10 Unabii wa Uongo

kwanza kuanza 1914 na shida kuu kuanza badala ya kumalizwa (kinyume na unabii wa Russel) kwa hivyo Russel akabadili maoni yake na kutumia 1914 kama mwanzo wa vita vya Armageddon. Haikuwa tukio hilo kama sote tunajua. Hiyo tukio ya ki unabii angali mbele yetu na yote kwamba baada ya vita viwili vya dunia, na misururu za vita vidogo vidogo na kwamba hatujawahi kuwa na amani kwa miaka mia moja iliyopita.

Matamshi ya 1989 ilibadilishwa kuwa:“Hapa tunakamilisha ushahidi kwamba, kutoka kuumbwa kwa Adam AD 1973 ilikuwa miaka elfu sita, na ingawa bibilia haina stakabadhi kamili kwamba miaka elfu saba itakuwa ni mwanzo wa ufalme wa Kristo, sikukuu ya sabati kwa dunia, ingawa tamaduni wanaoshikilia haina msingi thabiti. (The Time Is At Hand, 1889, 1915 ed., p. 39).

Ikiwa kwamba miaka elfu saba ni mda wa unyakuzi uliotambuliwa kama wakati wa utawala wa Kristo basi tuta onyesha kwamba ilianza mwaka AD 1873, tunathibitisha kwamba tajiri tukondani yake. (The Time Is At Hand, 1889, 1915 ed., p. 40).

Kwanza kwamba kwa tarehe hiyo (1914) ufalme wa Mungu ambayo Bwana alitufundisha tuombe kwa jina lake kwa kusema “ufalme wako uje” itaanza kuchukua usukani na kwamba itaundwa baadaye hapo duniani kwa mahaki ya vitu vilivyokuwa. (The Time Is At Hand, 1889, 1915 ed., p. 77).

Kwa hivyo baada ya tukio walikuwa wanadai kwamba ufalme wa Mungu ilikuwa umeundwa na vita vya kwanza vya dunia ilikuwa moja wapo wa uongozi wa Kristo, walianzisha kiendeleza mwishoni mwa 1916, ingawa kwamba wasilaumiwe.

“Kwa ajili ya ushahidi kuu wa Bibilia, nyakati za wahanga, tunaitambua kama kweli kwamba tamati ya ufalme wa dunia hii umefika, na uidhinisho kamili wa ufalme wa Mungu, utakimiliki karibu na mwisho wa mwaka AD.1915” (The Time Is At Hand, 1915 edition, p. 99).

Hiyo haikufaulu, kwani vita bado ilikuwa kali sana. Marekani haikuingia hadi mwaka wa 1917, na haya madai haikukumbwa na waliyostahili.

“Msishangae kwani kwa ukurasa unaofuata, tunawasilisha ushahidi, kwamba kuundwa kwa ufalme wa Mungu tayari umeanza, kwamba

imeandikwa kwenye unahii kwamba imeanza imeanza kutenda kazi katika mwaka AD1878, na kwamba vitu kuu ya siku ya Mungu (Ufunuo 16:14) ambayo itaisha AD1915, na kupinduliwa kwa viongozi wa sasa wa dunia tayari umeanz.”(The Time Is At Hand, 1889; 1915 ed. p. 101)

Si hiyo ni kutotimizwa kwa unabii? Mwaka wa 1915 kama tunavyo juwa, haikuwa na mapinduzi nyingi ingawa tu misukosuko machache.

“Kama ilivyo kwenye tarehe hiyo, miaka mitatu na nusu haada ya kifo cha Kristo ulitia kikomo kwa mapendeleo kwa wa Juda na kuipa mapendeleo mahanga. kwa hivyo tunatambua mwaka wa AD 1881 kama mwisho wa upako kwa wachache, lakini kuridhi ufalme na Kristo pamoja” (The Time Is At Hand, 1889; 1915, p.235)

“Kwa hivyo pia ilikuwa kwenye mavuno hiyo mpaka mwaka wa AD1878, wakati unabii na maswala za uwepo wa bwana kama hapa, ilidhihirishwa ingawa kwa udogo. Hiyo ndiyo ilikuwa ujumbe wetu. Tangu siku hiyo kazi, hiyo imeenea, na tazamo la ukweli zingine pia imeangaziwa sana; lakini maswala hayo na maandiko yanayofundisha mambo hayo, hayajapingwa wala kukosolewa. (The Time Is At Hand, 1889; 1915 ed., p.236)

Nyakati za unyakuzi inathibitisha kwamba serekali zote za sasa lazima zipinduliwe katika mwaka wa 1915; na sambamba na hayo, inaonyesha kwamba nyakati hii, inapakana sana na mwaka wa 70 baada ya kifo cha yesu ambayo tulishuhudia kusambaratika kwa serekali ya Juda. (The Time Is At Hand, 1915 edition, p. 242)

1915Kwa hivyo hakuna kilichotendeka na tukalazimishwa kuangazia hitilafu hiyo, kwa hivyo tunarudi nyuma katika mwaka wa 1872 na tuseme, tayari tuko kwenye millennia ya saba. Ikiwa hiyo ilikuwa hivyo, basi ni akili gani Kristo anayo?

“Tayari tunaishi kwenye millennia ya saba tanu octoba 1872. (The Time Is At Hand, 1889; 1915 ed., p. 363)

Vita ya Armayeddon, ambapo vita hivi vinavyo elewekea, itakuwa ni pambano kuu kati ya wasema kweli na wasema uongo, na itaashiria upinduzi kamili wa uovu na uidhinisho wa milele yab uongozi wa mesia, kwa haraka ya dunia. Huruma yetu inawaendea wale watu wanaoishi maisha ya uovu, kwani tumaini letyu ni kubwa na lenye mapana kutosha kujumuishwa

Title Page 11

kwenye baraka ambazo bwana wetu atakuja nayo katika uongozi wake utakaokuja. (Watchtower Reprints, VI, April 1, 1915, p. 5659)

“Kwa namna tunavyoelewa swali hili la urithi wa pamoja na bwana wetu, kama wanachama wa viumbe vipya vya Mungu, ilikoma mwaka wa 1881.” (The New Creation, 1899, 1915 ed., p. 95)

Sasa mwaka wa 1915, ilikamilika na tutadhani kwamba wanachama wazimu wa watchtower “Bible and trace society” waliomba radhi kufuatia unabii woa wa uongo na uwakilishi mbaya wa maandiko. Hawakufanya jambo kama hilo, kile waliochofanya kwamba hakuna kilichotendeka waliendelea na kazi yao kama kawaida na kuendelea uongo ya kote kote.

Walirudia kwa mara nyingine unabii wao wa uongo na wakaichapisha mwaka wa 1873 na tena 1916.

1916“Mpangilio wa Bibilia kama ilivyowasilishwa hapa, inaonyesha kwamba miaka elfu moja zilizoanza na Adam zimekwisha na kwamba siku kuu ya saba, ambayo ni miaka 1,000 za utawala wa Kristo ulianza mwaka 1873” (The Time Is At Hand, Foreword, p 2, 1916)

“Hatuna sababu ya kutia kwamba nyakati za unyakuzi ulikamilika Octoba, 1914 na kwamba miaka mingine michache itashuhudia kusambaratika kwao na uidhinisho wa ufalme wa Mungu mikononi kwa Mesia” (Watchtower Reprints, VI, Sept. 1, 1916, p. 5950)

Waliendelea kushikilia kwamba mwaka wa 1914 ndio mwisho wa nyakati za wakimbizi na ilikuwa miaka mingine michache wao kusambaratishwa mikononi kwa Mesia. Kisha wamafuatilia mpaka kusambaratika kwa urerumani katika vita vya kwanza vya dunia, na kwamba ilikuwa tu ni mda mchache ili mamlka ya ki-millenia ianze. Hawaelewi kufufuka kwa wafu au uwepo wa kiroho au kimwili katika mtandoa huo. Mapepo hawka danganya, kwa kweli kila mtu anaye fuatilia mafundisho yao na kisha kuponea unyakuzi basi ataingia kwenye millennia akiwa na mwili wake wa – kibinadamu. Wanadhani Abrahamu atakuwa na mwili wa binadamu pamoja na watu

wengine pia, watu hawa hawatambui walichotendewa na mapepo kupotosha watu kwa unabii za uongo.

1917“Hakutakuwa na hitilafu – Abrahamu ataingia makazi yake aliyohadiwa katika mwaka wa 1925” (Watchtower, Oct. 15, 1917, p. 6157).

“Msimu wa masika wa mwaka 1918 italeta dhiki kuu dhidi ya Christendom na hata ile iliyoshuhudiwa katika misambaratisho ya mwaka 1914…. janga inayokuja itakuwa juu ya wasiokuwa wazayuni, “Christendom” … “Babylon” na itakuwa janga kuu lenye huzuni…” Janga kama hiyo haijawahi kushuhudiwa hapa duniani” (The Finished Mystery, p. 62 [stated to be the "Posthumous Work of Pastor Russell" on p. 2])

“Bila shaka shetani aliamini kuwa ufalme wa millennia ulikuwa karibu kuundwa katika mwaka 1915………liwe liwala kuna ushahidi kwamba uidhinisho wa ufalme wa palestina iatakuwa mwaka wa 1925, miaka mikumi baadaye kinyume na tulivyotarajia”. (Studies In The Scriptures, vol. 7, The Finished Mystery, p. 128)

Sasa viongozi hao walijishungulisha na kukarabati manane yalinenwa na Russel na kupotoka. Waliisema pia lakini tumesahau historia hiyo ya kukera sana. Ilikuwa nyakati za “maarufu 20”. Hiyo ilikuwa katikati ya nyakati ya mbali sana kutoka kwa akili ya watu wao.

Walizidi Katika vita vya kwanza vya dunia kuanza kujisahishwa kwa nyakati ngumu sana kwa matafia za magharibi.

“Matukio mengine ya kushangaza kulingana na kubuniwa kwa ufalme yaweza kutokea kwa mwaka 1920, miaka sita baadaye ya nyakati za shida kuanza. Haitakuwa ajabuiwapo hii itakuwa kweli; nutapo kumbuka kwamba baada ya miaka 40 za kutangatanga janguani, wa – Israeli walipewa nchi walioahidiwa ya Canan baada ya miaka zingine sita. Kwa vile mambo haya bado ziko mbele, tunaweza tu kuketi na kungojea. Tunabashiri kwamba, tetemeko la ardhi itatokea mwaka wa 1918 na kwamba moto itakuja katika mwaka wa 1920” (The Finished Mystery, 1917, p. 178, Comments on Revelation 11:13. [The 1926 ed. reads: "and that the 'fire' will follow in due course."])

Waliendelea kusasilisha unabii hizi za uongo bila kutilia mkazo, kalenda wa Mungu na

Page 12 Unabii wa Uongo

maneno kamili ya maandiko, walibadilisha tu maneno yao baada ya unabii yao kutotimizwa.

“Na milima haikupatikana. Hata mataifa zitapotea katika masambaratiko ya mwaka 1920. Na milima haikupatikana kila ufalme wa dunia utapita na kuangamizwa”. (The Finished Mystery, 1917 edition, p. 258)

Hizi unabii za kusikitisha ingewapotosha watu wengie katika vita vya 1914-18 lakini muda wa bibilia inaonyesha kwamba nyakati waliotengewa ingali bado kidogo. Katika mwaka wa.

1917 walianza kutabiri kuhusu mvua kubwa ambayo ingetokea katika mwaka wa 1918. Hii ilikuwa na ukweli mdogo kwamba tukio la Armistice ulitiwa sahihi tarehe 11 Novemba 1918 na mda huo ukakamilishwa. Ujerumani hata hivyo ulikumbwa na changamoto kuu la kulipishwa kisasi. Kisha wakaanza kutabiri kutolewa kwa yote kutoka mwaka 1918.

“Juhudi la askofu Russel, ulikuwa kuwashauri wa Kristo kuhusu siku ya mwisho inayowadia, katika nykati za shida kuu za dunia. Ni hukumu la kiroho juu ya mataifa… hakutakuwa na nafasi ya kuhepa maangamizi, kupitia mataifa… janga hili ni kulingana na ukaribu au siku ya Kristo, yaani millennia. Ni siku ya mahangaiko, ambayo ilianza katika vita vya kwanza vya dunia ya 1914 na ambayo itatokezea kama mvua kubwa ya majonzi mwaka wa 1918” (The Finished Mystery, 1917, p. 404).

“Mpaka mwaka wa 1878 kanisa la kwanza kikuwa ni kama nguzo ya Mungu; lakini alikuwa siku hiyo akiashiria mwaka wa 1918 kuitoa kwa mkurupuko wa magonjwa ya sheria potovu na matukio. Kanisa ilikuwa ndio nguvu ya ukristo, ambayo uzima wake ulisimamia na pahali ambapo nyumba zake ilijengwa. Ilikuwa ni tarajio la wengi ambao wakristo wengi walipendelea. Hta hivyo Mungu alikuwa ajitokezee kulingana na vile wafuasi wa Eclesiastes walitarajia kanisa. Na “watoto wa kanisa” wataangamia kwa mikuki za vita, na kwa mikuki za roho itawaonyesha kwamba wamepoteza msimamo kwa uzima na kwamba milango imefungwa” (Studies In The Scriptures, vol. 7, 1917, p. 484).

“Pia katika mwaka wa 1918, wakati Mungu ata angamiza makanisa na wanachama wao kwa mimioni. Hakuwa ni kwamba yeyote atakaye ponea ata rejelea kazi ya Russel kujifunza maana

ya kuanguka kwa ukristo. (The Finished Mystery, 1917 edition, p. 485)

Maunabii wa nyakati hizi zilikuwa tu za kutumbuiza kulingana na uongo wao. Na iwapo natabiri hizo zingetibuka wana Jehova Witness, bado walikuwa na wafuasi kana kwamba unabii wa uongo ndio njia ya kupata wafuasi wengi. Hawana chochote cha ukweli katika kiwango hichi na rekodi inaonyesha kwamba walikuwa manabii wa uongo ambao wangeuwawa kwa kupigwa mawe katika milango za Jerusalemu katika miaka ya zamani ilhali walinzi kuandikisha wafuasi wengi.

“Wakati wakristo wapendao vita za dunia wanapoendelea uunga mkono mabadiliko na anasa tatu juvunia kwa kurithi mamlaka baada ya mwaka wa 1918, ndivyo Mungu atafanya kwa vugu vugu za mabadiliko itakuwa bila umuhimu wowote, “ata yote”. Hakuna hata upande mmoja utakao ponea uharibifu huo wa dunia kote, katika mwaka 1920” (Ufunuo II, 7-13) (The Finished Mystery, 1917, p. 542).

Makala ya kwaka 1926 ya kazi hii inasema “Katika mwisho wa nykati za janga”. Hii rekebisho ulikuwa ya haja kwa sababu walikosa kutabiri vita kuu ya dunia uliotokea mwaka wa 1920. Kwa hivyo Pasaka ya mwaka wa 1920 ulikuja na kumalizika na kisha pentekosti na tukio lao lika ambulia kama samaki aliyekufa jinsi manabii wao walikuwa.

Kwa hivyo walifanya nini? walicho fanya nit u kubadilisha tarehe za makala zao ili kupotosha na kuzidi kupata pesa na hawaktakuwa na sababu. Kuomba radhi? Hilo la maanisha nini? Lakini mwaka wa 1917 ilikuwa ni mwaka nzuri wa manabii za uongo wakati vita ilivyokuwa ikiendelea. Na wakaendelea kuchapisha.

“Tazama la nabii Ezekiel inaashiria ufalme wa Mungu hapa duniani, kijamii, kidoni, kiroho na kidunia… dhahabu… ni aina tena mfano za vitu vizuri vijayo” baada ye vuta, makubaliano na heka heka za miaka za 1914 hadi 1925 imepita (The Finished Mystery, 1917, p. 569).

Tena tunaona mabadiliko baada ya unabii hizo kutotimizwa na makala ya 1926 inasema” wakati wa shida imepita.”

Title Page 13

1918Katikamwaka 1918 walishingulikia mda wa mwaka 1925 bila maelezo yoyote jinsi waliipata. Pengine walidhani kwamba Mungu alijitokeza na kuambia alikuwa anabadilisha akili yake tena.

“Kwa hivyo tutarajia kwamba mwaka wa 1925 itatimisha kurudi kwa Ibrahim, Isaka na Yakobo na manabii wa zaman waaminifu san asana waliyotambulia na mtumishi katika Hibrania II kwa hali kamili ya mwanadamu” (Millions Now Living Will Never Die, p. 89).

Chnguza kwamba wameshikilia mafundisho ya kutakazwa kwa binadamu na kunuia kwamba hakuna uwepo wa kiroho wa kufufuka. Bibilia iwazi kwa kusema “Kila mwanadamu lazima atakufa maramoja”.

Baada ya vita vya kwanza za dunia, mwisho wa dunia ulianza kutabiriwa na watu wengi. Swala la safari kugongana ilikuwa ni fundisho la tazamo la kisayansi. Na imeendea mpaka sasa. Madnini pia walijiingiza kwenye msisimuko hii kuhusu mwaka wa 2000 au Y2Kbug na wakadai mambo mengi za kupumbavu nab ado angli inaendelea (soma karatasi; Significance of the Year 2000 (No. 286)).

1919 Msomaji wa vitu za anga Aibert Porta alitabiri kwamba kugongana kwa sayari sita itasababisha joto jingi na kusababisha jua kuchoma dunia mwaka 1919.

Kwa wakati huo wana “Jehova Witness” wakaunga mkono utabiri huo wa uongo. Hata hivyo waongo hawa waliendelea bila kikosolewa. Mwaka wa 1920 ulikuwa mwanzo wa uvumi.

1920 “…. Tunaweza kutarajia mwaka wa 1925 kama kurudi kwa makafiri hawa wa Israeli kutoka kwa wafu,” (Millions Now Living Will Never Die, 1920, p. 88)

Waliendelea kucheza na kalenda hiyo yao na kwa vile hawangeweza hata kutazama siku ya sabato, hawange tarajia kuielewa hata kidogo.

“Hesabu kidogo ya matukio hizi inatuleta kwa suluhisho’ matukio 70 sa miaka 50 utakuwa jumla ya miaka 3500, mda huo utaanza mwaka 1575 baada ya A.D.I ambayo utaisha mwakani 1925. Ni nini sasa tutatarajie kufanya? Lazima kutakuwepo na uinuliaji wa kila kitu. Kitu kikuu cha kuinuliwa itakuwa ni binadamu. Na kwamba vile maandiko mengine inasema kwamba kutakuwa na ufufuo wa Ibrahimu, Isaka na Yakobo na kwamba watapewa nafasi ya mbele, tutarajiae mwaka wa 1925 kuwa mwaka wa kurudi kwa watu hawa. Walihisia kwamba, baada ya kurudi kwa Kristo, viumbe vyote vitazidi kuishi. Bibilia haisemi hiyo. Kwa kweli haikusema kwamba itafanyika katika mwaka wa 1925 na watu waliyoisema wote wamefariki na wana Israeli kutoka kwa hotuba ya kufa, kufuliwa na kuwekwa huru tena na kuwekwa kuonekana Ulimwenguni. (Millions Now Living Will Never Die, 1920, pp. 89-90)

Hawakuonekana kuelewa kwamba mwaka wa 1 AD ilikuwa tu ni mzaha wa wakafiri. “Dennis the short” na haikuamini chochote. Kristo kwa kweli hangeweza kuzaliwa mwana wa 1 AD na hiyo ilijulikana kwa wakati watu hawa walikuwa wakianguka. Inaonekana kwamba hawakuwa wamesoma chochote kulingana na kalenda ya Kristo nay a Bibilia. Kwani hawakutazama sheria walidhani kalenda haikuwa ya maana, na kisha wakahuni mbini zao. Walikomeshwa kuwa manabii wa Mungu.

Pia alisema:“Kwa hivyo tutatarajia kwamba mwaka wa 1925 utaadhimishwa kurudi kwa Ibrahimu, Isake na Yakobo na manabii wengine waliokuwa waaminifu (Millions Now Living Will Never Die, 1920, pp. 89-90).

Sababu pia ilikuwa kwamba:“Kulingana na malumbano iliyo mbele yetu, kwamba dunia ya zamani inatamatika na kwamba njia mpya inakuja na kwamba mwaka wa 1925 itaidhimisha kufufuka kwa waumini, na pia mwanzo wa ukarabati ni bayana sasa kumaliza kwamba mamilion wa watu wanaoishi sasa duniani, bado watakuwa hai hadi mwaka wa 1925. Tena kulingana na ahadi iliyobuniwa na dunia, lazima tukubaliane kwamba mamilioni za watu walioko hai sasa hawata kufa” Millions Now Living Will Never Die, 1920, p. 97)

Walifikiria kua, kwa thiologia yao, baada ya Kristo kurudi Binadamu wote wata endelea kuwa hai kupitia milianiamu. Bibilia asemi kuwa. Na pia haikusema itafanyika kwa miaka ya 1925, na watu waliyosema hayo

Page 14 Unabii wa Uongo

walikufa. Kwa kujiendelea wa Imani kuhusu kufufuka ni Karatasi kufufuka kwa wafu (No. !43).

1921Katika mwaka wa 1921, walikuwa wakitania kwa wakati huo wa mabadiliko huko ufaransa, kwani watu wa “Advetisti” waliibuka tena na unabii mwingine wa uongo, mengi ya hitilafu hizo moja wapo ni ile inayohusiha kuinuliwa kwa Justin mwishoni mwa utawala wa Roma. Hiki karatsi The Millennium and the Rapture (No. 95). Waliamua kwamba mwaka wa 1799 ina umuhimu zaidi wa kinabii. Muda huu ulikuwa kati ya 1719–1874. Hakuna maelezo yoyote kuhusu wakati huo. Pia walianza na kiwango kidogo cha ukweli kama vile tutakavyoona wakuwa na msingi ya siku 360 za kuinabii. Kisha wakaendelea kutoka uhongo juu ya hiyo pia.

“Wakati wa mwisho unaanzia mwaka wa 1799 AD kama tumedokeza hapo juu, hadi nyakati za kupinguliwa kwa utawala wa shetani na uidhinisho wa ufalme wa Mesia. Wakati wa uwepo wa Mungu unaanzia mwaka wa 1874, kama ilivyo andikwa. Nyakati za mwisho pia iko kwenye mpangilio hiyo na wakati huo ukajulikana kama nyakati za mwisho” (The Harp of God, 1921, p. 236).

“Katika mpangilio wa Bibilia, saa moja ina maanisha mwaka moja yenye miezi kumi na mbili wa siku thelathini ambao ni sku 360. Kila siku inasimamia mwaka … Hapa masaa matatu na nusu inasimamia siku 360 za siku za kuinabii, au ujumia wa siku 1260 za kiunabii, iliyo sawa na miaka 1260. Nabii kwa hivyo ilionyesha kwamba miaka utaadhimisha mwanza wa nyakati za mwisho. Miaka 1260 kutokea AD 539 inatuleta kwa 1799… Dhihirisho ingine kwamba mwaka wa 1799 unafikisha nyakati za mwisho ambao watafufuliwa na kurejeshwa kikamilifu kwa ubinadamu na kufanywa kuonekama kama dunia itakayo kuja mpya “….kitu kikubwa sana ambacho manabii wote wanaashiria na ambacho watumishi wote wamekuwa wakitazamia ni kurudi kwa bwana. Imeelezwa na nabii kama mmjoa aliyebarikiwa. Danieli kisha akasema “mwenye baraka ni yule aliye na subira na anaye kuja kwa muda wa miaka elfu tatu na thelathini na tano” (Danieli 12:12). Waangalifu hapa ni waliongamiza na bwana kutazamia kurudi kwake. Tarehe hii kwa hivyo ikichunguzwa, itaunganisha nyakati ambazo bwana yukatibu kurejea. Tukitumia mbinu hiyo basi kwa siku moja badala ya mwaka siku 1335 baada ya 539 AD inatuleta kwenye AD 1874 ambaye

kuchanga na bibilia siku ya kuridi kwa bwana ikarisu. Ikiwa hesabu hii ni sawa kuanzia wakati huo kuja mbele tunapaswa kuwa na ushahidi kuhusu kuwepo kwa bwana”. (Harp of God, 1921, pp. 229-230)

Kwa hivyo hapa tuonaona msingi wa hitilafu kuhusu mwaka wa 1874. Walichukua hitilafu wa “Adventisti” kuhusu miaka 1260 kutoka kwa kuinuliwa kwa Justin. kwa Hivyo waliongeza mda katika Danieli na siku 1335 kama miaka na wakafikia tarehe 1874. Kwa ufupi waliongeza tu matunda na machungwa kisha wakataga yai lingine kinachoshangaza ni kwamba, hawajatenda tarehe hii hadi wa sasa. Ni kwamba wamenaswa kwenye mtego wa nyakati na hawajui jinsi ya kujinasua. Waliongezo miaka 40 kwa 1878, ambayo ni miaka mitatu na nusu kutokea Octoba 1974 ni kufika mwaka wa 1918. Lakini hii ilikuwa baada ya tukio na walionekana kujiabisha na hitilafu zao.

“Hadithi ya mavuno ulitumiwa na bwana kudhinirisha mavuno yake ya wakristo, katika mavuno, miongoni mwa wa Yuda ilikuwa istadi yan kutakasa shamba baada ya mavuno. Lazima tutarajie kupata msimu wa mavuno kutoka mwaka wa 1878 hadi 1918 na kisha mda wa kutakasa samba baada ye mavuno, ambayo tutaonyesha swali sasa ni je, tunayo muda wa kuvuna katika umri wa injili baada ye 1874, ambayo inatimiza unabii wa bwana? (Studies in the Scriptures, Vol. 7, 1921, p. 236)

Msururu huo wote inaonekana kuengezwa kwa bwana C.T Russel, kuhusu mchapishaji zake kama tunavyoona kwenye kaandiko yafuatayo. Sasa ni kweli kwamba kazi ya Mungu kwa wanadamu ni bayana, na pia atatumia mwili wa Kristo kufanya kazi. Hata hivyo lazima tuwe waaminifu kwa amri za Mungu, au hakuna mwangaza juu yetu (Isak 8:20). Russel aliazima tu mpangilio wa makanisa za Mungu na kitilafu yaw a advenstisi, na kisha kuondoa mambo mengine kama mari ya nne; na kwa hivyo inaonekana kwa unabii hizi kwamba ulitupilia mbali mai za sita na za tisa, na kisha zingine zikaenda baada ya hiyo.

“Mwaka huo huo, wa 1881 imesahihishwa kama wakati wa kutolewa kwa mapendeleo kwa kanisa mapendeleo ambao ilianza kutolewa katika mwaka wa 1878…. mwaka ambayo ma askofu walikomeshwa kwa waakilishi wa neno la kiroho

Title Page 15

na wakati askofu Russel alipoanza kazi yake kwa kuchapisha nakala 50,000 kuhusu kurudi kwa bwana. Mwaka wa 1878 mpangilio wa Mungu mafundisho wa ukweli wa bibilia, ulichukuliwa kutoka kwa mahubiri ambao hawakuwa maaminifu kwa mafundisho yao. Katika mda wa mpito mwaka wa 1881 uongozi mpya ulikuwa unajitayarisha kupata ukweli wa Bibilia na maandiko ya kutoa injili hadi kipengele wa mwisho wa dhehebu la Ki-Hibrania ilikuwa tayari. Kisha katika mwaka wa 1818 alikuwa mlinzi wa Mungu ya Wa-Kristo wote na akaanza kazi yake kuu ya ushahidi”. (Studies in the Scriptures, Vol. 7, 1921, pp. 386-387)

“Maandiko yana idhirisha maoni tofauti kuhusu wa Yuda na mda wa injili. Tofauti ipo kulingana na nyakati na matukio, mda yaw a Juda ulikamilika na mavuno ambayo ilianzika na kupaa angani kwa Bwana wetu katika mwaka wa AD 33, neno hili la “mavuno” imetuma kumaanisha kukusanywa kwa Wa – Yuda waliobaki na kuwaleta kwa Kristo. Tamko la Yesu ni kwamba mda wa injili itaisha kwa mavuno ambayi kwa wait huo yeye atakuwepo. Hapa duniani miaka mitatu na nusu kutoka kwa wakati wa kupakwa na kubatizwa kwake, Yesu alikuwa akiwatayarisha Wa-Yuda kwa nyakati hizo za mavuno. Tarajie kupata tofauti kuhusu maelezo hii kuhusu nyakati ya mavuno. Kwa kuhesabu miaka mitatu na nusu kutoka 1874, wakati wa uwepo wake unatuleta hadi 1878, katika uwepo wa Bwana kutokea mwaka 1874 hadi 1878, alikuwa anafanya matayarisho kwa nyakati ya mavuno. Msimu wa mavuno yaw a Jew ulichukua mda wa miaka 40, ukatamatika mwaka wa AD 73. Tunapaswa kutarajia kwamba mavuno ya kijumia ya nyakati za mwisho utakamilika mwaka wa 1918” (Harp of the God, 1921, pp. 235–236).

Katika maandiko haya tunaona matuere ya kuelewa kwa matarajio wa Yona lakini tena kutoelewa historia. Walidhani kwamba miaka 40 baada ya kifo cha Kristo, ulikuwa sawa kwa kutubu kwa yonah na kwa hivyo mwaka wa 73 CE ungekuwa ni siku bora, tukibashiri kwamba Kristo alikufa mwaka wa 33CE. Jambo kuu ni kwamba Kristo alifariki mwaka wa 30Ce na yona alipewa miaka 40 kutubu lakini alikataa. Katika nisani moja wa 70CE, Yerusalemu ulizingirwa na majeshi ya Roma chini ya Titus. Yerusalemu ulilainishwa katika mwisho wa miaka 70CE. K wa hivyo hakuna kilicho haki katika mwaka wa 73CE. Manabi, hawa wa uongo, hawange tabiri ukweli kuihusu. The Sign of Jonah and the History of the Reconstruction

of The Temple (No. 13).

Kisha wakaendelea kupotosha watu tena zadi kuhusu 1925 kutoka mwaka 1922 kuelekea mbele. Kama kitu kingine ambacho walitabiri, pia ilikuwa uongo.

1922“Wakati huo lazima ikamilike mwaka wa 1925. Ikikamilishwa kwa namna hiyo, basi mwaka wa 1925 bila shaka imewekwa kwenye kilele. Maandiko ina sema wazi kwamba kilele itakuwa ni kuanguswa kwa utawala wa shetani na kuidhinishwa kwa ufalme wa Mesia.Kilele hicho kitafikishwa katika mwaka wa 1925, na kwamba imeanzisha mwanzo wa kutimizwa kwa haraka kwamba mamilioni ya watu wanaoishi kwa sasa, wataendelea kuishi lakini waliotenda wema, wataishi milele. kwa hivyo inaweza semwa kwamba, mamilioni za watu wanaoishi kwa sasa hawatafariki.” (Golden Age, Jan. 4, 1922, p. 217)

Hii pia ililinganishwa na tarehe hizo za uongo. Utabiri wa kibibilia ni kama kusoma ramani. Lazima ujuwe mahali uliopo kabla ya mwendo.

“Maswala, yasiopingika, unaonyesha kwamba kurudi kwa Bwana ulianza 1874” (The Watchtower, March 1, 1922)

Kwa ubusara yote, ulianza na mambo ya uongo mwisho wako pia itakuwa yenye uongo na kwa hivyo walipotoka “Hatuna shaka lolote kulingana na mpangilio wa matarehe za 1874,1914,1918 na 1925. Ilikuwa kwenye mwaka 1914 na 1918 pasipo na hitilafu yoyote. Mshauri gani tena tunahitaji? Tukitumia kipimo hicho hicho – ni kitu rahisi sana kusasilisha san asana kwenye kusambaratika kwa waovu. Ha kuwezi kuwa na swali lingine kuhusu mwaka wa 1925 kushinda iliyokuwa mwakani 1914” (Watchtower, p. 150, May 15, 1922)

Kwa hivyo wanaeleza ujasiri yao na mwanafunzi mmoja wa somo la bibilia angeweza kuisoa. Lakini walifanywa kuogopa.

“Ni katika msingi kama huo na washikaradu wengi – kuambatana na sheria za sayansi kwamba tunasisitiza kwamba kisayansi na kihistroria, mpangilio tulio nayo kwa sasa ni kweli bila shaka. Ukweli wake umehidhinishwa na katarehe na matukio za 1874, 1914, 1918. Mpangilo wa sasa ni msingi salama ambayo mwana wa Mungu atatumia atakaporudi” (Watchtower, June 15, 1922).

Page 16 Unabii wa Uongo

Maandishi hayo yanafundisha upumbavu. Wanayo mpangilio wa kisasa hapa ambayo inaonekana kumaanisha “kila tunaosema kwa sasa ni kweli na tutaibadilisha ikiwa itakuwa uongo”. Ni kiskitisha kusema kwamba uongo kama hii unautia watu wengi sana. Wasomaji washikilie hukumu, wanapokumbana na mafundisho hayo. Lazima hata hivyo, katika mwaka wa 1922 walisema ilitoka kwa Mungu.

“Mpangilo hii haijatokea kwa mwanadamu. Ikiwa yenye msingi wa kiroho, mpangilo wa nyakati hizi ipo kwenye nafasi yake ya kipekee, ambayo ni ukweli bayana…..” (Watchtower, July 15, 1922, p. 217).

Walisema pia katika 1922:“1914 ili malizika kwa Wagenti …tarehe 1925 jioni ya kukombolewa kuandikwa na maandiko…wakati huo jita kuu itafikiwa na kupitwa”. (Watchtower, Sept. 1, 1922, p. 262)

Walijaribu tena kuhakikishwa watu kwamba miaka za 1923 na 1925 ulikuwa kwenye maandiko.

“1925 ni wazi katika maandiko …kristo hako na wengi ambayo imani kushinda Noah kuwanayo (sasa vile maandiko usema) ambaye huwekwa kwa imani yake. (Watchtower, April 1, 1923, p. 106)

1923Pia katika mwaka wa 1923

“Mwaka wa 1925 bila shaka ulitengwa na maandiko. Kama nuhu, wakristo sasa wana msingi dhibiti ya kuwekelea imani yao, inayoshinda aliyokuwa nayo nuhu (Watchtower, p. 106, March 1, 1923).

Naam kungeweza kuwa na meli ya Nuhu iliyobeba wanyama wengi walioshangazwa na tukio hili.

1924Kisha katika mwaka wa 1924 akawaita moyo watoto:

“Bila shaka wavulana na wasichana ambao walisoma katika hichi wataona, Ibrahimu, Isaka, Yakobo, Yosefu. Danieli na wale watu wote wa zamani wakifa na utukufu. Haita chukuwa mda mrefu kwa Kristo kuteua wanadamu kwa nafasi zoa za hadhi na mamlaka kama hitaji lake la dunia. Dunia na vitu zake za kisasa itawashanga kwanza lakini baadaye watu zoea, stima ndege na vitu vingi ambavyo sisi tumezoea simu, redio, stima, ndege na vitu vingi ambavyo sisi tumezoea (The Way to Paradise, 1924, p. 226).

Na kwa wenye shaka miongoni mwao ya kwamba Kristo alikuwa nyuma yake na amekuwa tangu 1974, walisima katika mwaka huo huo wa 1924.

“Hakika hakuna nafasi hata kidogo kwa shaka katika akili za watoto wa Mungu kwamba bwana Yesu yuko au mekuwepo tangu 1874” (Watchtower, Jan 1, 1924, p. 5).

Maneno zingine hata mpumbavu anaweza juwa kwamba mwaka wa 1925 alikuwa wazi kwenye maandiko hata kbla ya mwaka wa 1914, lakini hakuelezea dunia.

“Mwaka wa 1925 ni tarehe bila shaka na imetambulia na maandiko hata wazi kuliko ile ya 1914 (Watchtower, 1924, p. 211).

Kukumbana na wakosheaji ambao pengine walikuwa wakitazama walisema katika mwaka wa 1924.

”Hatuwezi kulaumiwa kwa kuwasilisha ushahidi kwa maandiko, ambayo inatuelekeza kuamini kwamba tukio Fulani, itatendeka kwa nyakati Fulani. Wakati mwingine bwana anawafanya watu wake kutafuta kitu kuzuri kwa wakati mbaya. Lakini maadui wote wa ukweli wanatamani kwamba wasomi wa bibilia wasifaulu katika mwaka wa 1925 katika kutafuta kitu kizuri kama ilivyokuwa mwaka 1914Ikiwa ni wao, itakuwa ni yule mtu mwingine ambaye atakuwa aeleze watu. Wala siyo sisi (The Golden Age, Feb 13, 1924, p. 314)

1925Mwaka wa 1925 ulifika na hakukuwa na shaka kwamba shetani angetumia mwaka huu kudanganya waumini, kudhani kwamba, kutakuweko na mwisho kwa kazi, kwa hivyo wakasema:

“Inatarajiwa kwamba shetani atajaribu kuingiza katika akili za watu kwamba mwaka wa 1925, lazima ikuwe mwisho wa kazi.” (Watchtower, Sept 1925, p.262)

Tunawezaje kukabiliana na jambo kwamba mwaka wa 1925 haikuonyesha dalili yoyote wa ahadi na kulikuwa na uongo? Ilikuwa ni hitilafu yao, kwa hivyo wanatuambia:

“Ugumu ni kwamba, marafiki wetu walipanua dfikra zao kupita mpaka, na kwamba wakati fikra zao iliambuliwa, walinuia kutupa kila kitu.” (Watchtower , 1925, p. 56)

Usipoteze imani; mwaka wa 1925 bado iko:“Mwaka hu wa 1925 ingali hapa. Na matarajii makuu wakristo wametazamia, mmwaka huu.

Title Page 17

Wengi wameamini kwamba wanachama wote wa mwili wa Kristo watabadilishwa kuwa viumbe vya mbinguni katika mwaka huo. Hii pengine itatimizwa au la. kwa mda wa ziada (Watchtower, Jan. 1, 1925, p. 3).

“Mungu atakamilisha mpango wake kwa watu wake. Wakristo hawapaswi, kushugulika na kile kitachotendeka kwa mwaka huo.”

“Maneneo zingine ambaye itaisha katika 1925, lakini Bwana hakusema hiyo. Kwa hivyo ugumu ni kw marafiki kwa mafikiria zao bila kufikiria, na pia vile malengo yao inakuwa, waliwekwa kutupa kilakitu.” (Watchtower, 1926, p. 232)

Kumbuka tulisema hii katika mwaka wa 1925, kwa hvyo hatukukosea? Miujiza ni kwamba watu waliikubali wote. Lakini hawakukosea. Ushaidi wa ki-maandiko iko hapo, ama inaonekana.

1927Katika mwaka wa 1927 walisema pia:

“Ushaidi wa maandiko ni kwamba wakati wa uwepo wake, na siku ya matayarisho waMungu ni mwaka wa 1874 AD ukiendelea. Kurudi kwa Bwana, kwa hivyo ulianza mwaka wa 1874; na tarehe hiyo na miaka ni za 1914 na 1918 na zimetambuliwa kama siku ya kurudi kwake” (Creation, 1927, p. 289 early editions, p. 310 later editions)

Katika mwaka wa 1927 watu wa watchtower walionekana kusema “Hakuna mwenye lawama, kwani unabii haiwezi kueleweka hadi upito na kwamba ikifanyika tutaelewa kama ilivyofanyika” kwa maneno zingine “Tutakapo angamizwa na mitambo za armagedon na Kristo ataumbie kilichoteka basi tutajuwa na kwamba msitulaumu kwa unabii za uongo”

Walisema:“Unabii hauwezi kueleweka hadi itimizwe ama ikiwa kwenye harakati ya kutimizwa kutokea mwaka wa 1874 hadi 1914 unabii kuhusu kurudi kwa bwana ulikuwa unatimizwa na haikuweza kueleweka na wale walioamini Bwana na waliokuwa wakitazama matukio hizo” (Creation, 1927, p 290).

Kwa njia ingine, watu wengine walielewa, lakini wakaweka Unabii bila saka. Inastua, ua sio?

Mwaka ika endlea kwa kurekebishwa wa

1799 siku iliyowekwa na Napoleon:“Napoleon alianza hii huku misri katika 1978, nakuimaliza, alafu akarudi Ufaransa Okoktoba 1, 1799. Kampeni ikaanza, baadaye akaeleza unabii wake, kifungi 40-44; na ina malizwa katika 1799 mariko, kulingana na maneno ya Unabii, kuanzia “wakati wa mwisho.” (Creation, 1927, p. 293)

Inaonekana kufanana na unabii za uongo wa Ellen G. White wa – advenstisti.

Ukurasa chache baadaye wakaandika:“Tukitumia mbinu sawa ya siku moja kwa mwaka siku 1335 baada ya 539 AD inatuleta katika mwaka 1874 Ad ambayo kulingana na matukio ya Bibilia, kurejea kwa Bwana ni karibu.” (Creation 1927, p. 294)

Muujiza ni kwamba unabii hii ya uongo haikuwa na uzito wowote.

Pia ukurasa wa nne baadaye tunasoma:“Ukiweka amri hiyo, siku hiyo wa mwaka, 1335 siku baada 539 A.D inatuleta 1874 A.D ambayo siku, kulingana na Bibilia, Siku sa Pili wa Bwana.” (Creation, 1927, p. 298)

Maajabu ni kuwa wanabii wauongo hawakuwekwa huru na baba.

1928Katika mwaka wa 1928 na 1929 waliendelea kubuni maneno zingine za uongo katika nusu ya karne.

“Nyaki ya kurudi kwa Bwana utaanza 1874 kama ilivyoandikwa” (The Harp of God, p, 236, 1928 edition).

1929“Watu wale wanaombwa kutoka kwa ushuhuda wa Bibilia ambayo ni neno la Jehova Mungu na ushahidi kwamba ufalme wa Mungu umeanza kubuniwa, itakuwa yenye manufaa kwa watu wote wa dunia. Na kwamba utawala utakaongoza haitakuwa wazi kwa binadamu na kwamba ufalme wa Mungu, itakuwa na waakilishi hapa duniani ambao watajaribia mataifa chini ya kiongo asiyeonekana, Kristo kwamba miongoni mwa watakaokuwa waakilishi wa serikali hiyo atakuwa Daudi ambaye kwa wakati moja aliongoza Israeli, na Gideon na Baraka na Samson na Japhas na Yosefu na Samueli nabii na waaminifu wengine waliyokuwa kwenye bibilia katika kitabu cha Hibrani” (Rutherfod’s Original legal deed to Beth Sarim 1929).

Kisha wakatamka neno ingine ya ukweli,

Page 18 Unabii wa Uongo

lakini bila kujuwa.“Ikiwa unabii hizi hazitatimizwa na ikiwa uwezo wao umepita basi manabii hawa ni waoungo” (Prophesy, 1929, p, 22).

Kisha wakasema kitu ingine uongo:“Ushahidi wa maandiko ni kwamba uwepo wa pili wa Bwana Yesu Kristo ni 1874 AD” (Prophesy 1929, p. 65).

Hakuna ushahidi unaoweza kuwa juu ya hitilafu hii

“Wengi kama hao wamekuwa wa kitazamiwa bwana kurejea na kuwapelekea binguni na waidhani itatendeka katika mwaka wa 1914. Mwaka wa 1914 ilikuwa tarehe iliyotengwa lakini iliashiria tu kitu kutendeka ambayo haikutendeka (Prophecy, 1929, 1,589,000 ed., p. 89)

Kwa hivyo iliwekwa alama lakini hatungeweza kuona kiliwatendeka. Ukweli mgani iliyoko kwenye unabii za uongo. Ni kama hadithi ya mfalme aliyokuwa bila nguo. Kile walicho hitaji ni mtoto mdogo kuwasaidia kujuwa ukweli.

Hawakuwa wameambiwa “kwamba yeyote ambaye anadai ni Mkristo na pia kudai kwamba watenda binguni baada ya kufa si wakristo bali wanadanganya”. Tuliambia Wa- Rumi swala hilo katikati ya kwa kweli hawakuwa wamesoma kitabu cha Justin Martyr.

Nani kweli walitarajia Daudi na wengine kurudi wakati wa ufufuo? La jawakutarajia kama vile tutasoma hapa chini.

1930 “Lakini mtamtambuaje mfalme Daudi au wakilishi wengine wa Mungu? Rutheiford aliambiwa. “Nilifikiria mambo hayo saana kabla ya kuandika mhukumu alijibu shingo upange “Nimetambua uwezekano wa nyota ilyokuwa inagaa sana na kukiri kwamba ilikuwa Daudi. Wanaume ambao nimewajibia kujarishu utambulisho wa watu hawa ni ma afisa wa kikosi chetu ambao wamejisalimisha kwa Bwana, watapewa upako wa kutambua Bwana wetu kutoka kwa wadanganyifu” (The San Diego Sun, Saturday, March 15, 1930).

Kwa hicyo ma afisa wa kikosi hicho watatambua makala za kweli. Watasababisha uhasi ambayo haikunuiwa katika mwaka wa 1930 gazeti hilo likaandika:

“Hukumu Joseph Fredrick Rutherford, 60 anaishi kwa jumba kubwa huko Unispania namba 4440 san diegeo calif. Juma iliyopita alinunua piloto namba 4440 inayopakana na garaji la magari na pia vifaru vingine kwa mfalme Daudi, Gideon, Barrack, Samson, Japhthae, Samuel na wakuu wengine wa Palestine. Uzuri ni kwamba wako karibu kurudi tena duniani alisema “Ninetakasa mahali hapo kwa mafuta ya nazi ili wakuu hawa wafurahi” (Time Magazine, March 31,1930).

Unabii za uongo uliwakejeli sana wafuasi wao.

“Makala ya “watchtower” na uchapishaji wake kwa miaka 40 umesisitiza kwamba mwaka wa 1914, utashuhudia kubuniwa kwa ufalme wa Mungu na pia kuinuliwa kwa kanisa. Katika muda huo wa miaka 40, watu wa Mungu walikuwa wanafanya kazi ya ushuhuda. Watu wote wa Bwana walitazamia mwaka wa 1914 kwa matarajia. Wakati huo ilipokuwa na kupita kulikuwa na huzuni kwa watu wa Bwana walikejeliwa na wahubiri na kulaumiwa kwasababu walione mambo mengi kuhusu 1914 na kile kitakacho tokea, lakini unabii zao haukutimizwa” (Light, Book 1, 1930, p. 194).

Ilhali Rutherford alikuwa anaendelea kana kwamba ilikuwa ukweli katika mwaka wa 1930 alisema:

“Kilele cha mango iko hapo wafalme wa dunia sasa wakumbane na mwamba wa kipekee” (J.F. Rutherford, Light, II, 1930, p. 327).

1931Walipokuwa wamepotosha unabii wa Bibilia, Rutherford na washirika wake katika mwaka wa 1931 walisisitiza kwamba waumini waliona nguo mpya ya mfalme

“Waamini wa Mungu hapa dunia walisisitza umunima wa mtarehe 1914 na 1918 na 1925. Walikuwa na mambo mengi kusema kuhusu tarehe hizo na kitakachotendeka lakini kila kitu walichotabiri haikutendeka” (J.F. Rutherford Vidication, Vol. 1, p. 146).

Hata hivyo Armageddon bado ilikuwa itendeke baadaye, ingawa hawakuielewa kwa mara tatu mfululizo.

“Ufalme wa Mungu umeanza huduma. Siku yako ya huduma ni sasa na Armageddon pia imeanza na iko karibu kuangukia wakristo na kwa hiyo hivi karibuni. Hukumu ya Mungu iko juu yaw a-Kristo na hivi karibuni itatekelezwa” (Rutherford, Vindication, ibib, p. 147).

“Kilikuweko na kutotosheka miongoni mwa waumini wa Jehova hapa duniani kuhusu miaka za 1914, 1918 na 1925. Baadaye waumini walifahamu kwamba tarehe hizo kwa kweli

Title Page 19

ziliwekwa katika maandiko na pia walijifunza kutotumia tarehe na kutotabiri kitakachotendeka mbeleni lakini kutolingana na neno la Mungu kwani matukio lazima zitendeka.” (J.F. Rutherford, Vindication, ibid., pp, 338– 339).

Kwa hivyo walikomesha unabii ya uongo na kufuata bibilia. Lakini bado walidai kwamba vitu hici vilitendeka nab ado walibishia watu kuwashurutisha kuamini uongo hizo.

Kulikuweko na mdai kwa kesi ya amwaka 1931, lakini ‘hakimu’ alijuwa hangeweza kuwa Daudi. Pengine hakuwa amesoma kipengee ambacho Thomas aliweka kidole chake kwenye shimo kujuwa kwambva ailikuwa ni Kristo. Hata hivyo walikuwa salama kwamo, Daudi alikuwa afufuke na kila mtu. Ripoti hiyo ya zama ni kama ifuatayo!

Mtu mmoja mwenye akili punguani ndiye amedai kwamba ni mwenye jumba la DOK 75,000 huko Califonia kusini ambayo inadaiwa ni wa mfalme Daudi tangu itengwe mfalme huo wa ki-Bibilia mwaka moja uliopita. Hii Ilidhihirika leo na jaji James Rutherford ambaye ni kaimu mwenye jumba hilo la kifahari iliyoko kwenye barabara ya 440 huko wilaya ya Kinesigton. Katika matukio ingine yasiyo ya kawaida Rutherford ambaye ni rais wa International Bible Society na pia kiongozi wa watchtower ameidhinisha kutengewa kwa mtaa huo wa kifahari kwa wafalme hao wa Israeli. Mauaji wa Goliath na waandamanaji wake wataishi kwenye jumba hilo la kisasa punde tu watakapombulia na Rutherford pamoja na ushirika wake. Asubuhi mmoja nilipokuwa nikielekea kwa nyumba kutoka kwa Garas, kiumbemoj cha kuogofya ilinitokezea na kuanza kulia. “Hakimu mkuu mimi ndiye Daudi”. Newa uwaeleza watu jambo hilo. “Nika mjibu na kisha akatoweka bila kutamka chochote. Ningeweza kuona vizuri kwmaba hangeweza kuwa Daudi. hakuwa vile nadhani Daudi angekuwa. Alipoulizwa kueleza jinsi alifikia Daudi angekuwa bila kupoteza wakati. Rutherford alifungua Bibilia yake kubwa na kuchunguza ukurasa uliyosema kwaba mfalme wa ulimwengu atafufuka kama mtu mtakatifu. Nilitafsiri hiyo kumaanisha jaji huyu Samueli kwamba Daudi, Gideoni, Barak, Samson, Jephram, Yosefu na Samueli watumwa hapa kutoa ulimwengu kutoka kwa shetani, wakiwa wamevaa mavazi ya kisasa tena wakiwa na uwezo wa kuongea lugha zetu. “Rutherford alikuwa na taswira ya mabalozi hao wa bibilia pengine wakiwa na suti na kofia za kisasa. Katika Beth Sarim” (Jumba la mfalme) kama vile Rutherford alivyotambua jumba hilo, Daudi

atapata vifaa vya kisasa vilivyoundwa kwa sayansi. Wakati wageni waheshimiwa watakapo ingia mlango wa pili, watapata ofisi kubwa iliyo na kiti nyekundu pamoja na meza yenye fahari inayong’aa. Hata simu za kifafasi inangojea upako wa mfalme wakifungua lango kuu, wana halisi wa Palestina wataingia kwenye jumba kuu la kuogea iliyowekwa mifereji mizuri na vifaa vingine vya huduma. Ni jambo kuu kiasi gani kwamba mtu mkuu kama Samsini aliyebomoa jingo kubwa peke pake atakaribishwa kwenye makao kama haya! Rutherford alijenga jumba cha pili cha kulala abayo kwa sasa anamoishi mapana yaliyopambwa tena inayoonekana kwa mashariki chumba hicho cha kulala kimepodoshwa sana. Waongozi wa dunia watakuwa na mahitaji za kawaida, jaji huoyo mkuu wandikiri hicyo, ingawa meza yako imejazwa na magazeti za kueneza uongo. Rutherford ameazima mafuta kutoka Koniach, Wasser, na Ujerumani kupodosha nyuso hizo za wana-ufalme baada ya kunyolewa. Kofia nyeusi ya kuvalia kwa kichwa pia imeanikwa kwenye kitanda kuja kwa Daudi na waandamanaji wake utakuwa ni habari kuu zaidi ya yote, ruterford alitabiri “Mimi siyo mtu wa kunena ili kujipatia umaarufu” Rutherford akasema “Lakini nahisi kwamba dunia inapaswa kujua kurud kwao. itakuwa ni habari kuu”. Habari kuhusu nyumba ya mfalme Daudi umeenea kote duniani, jaji huyo akasema, “Kila niliendapo watu waliniuliza kuhusu mahali hapa” Rutherford akasema. Huko Chikago, mhuni moja alijitolea kujengea Daudi jumba jingine, lakini nilikataa, “Kwa kweli watu wengi wamefika mahali hapa kutazama; Rutherford akaendelea, “wengi wamekuja kwenye miago na katibu wangu amewaambia mahali hapa. Mahali hapa imepambwa kwa dhahabu na mafuta ya nazi pamoja na maua mazuri. Chini kuelekea lango kuu njia zimetengwa ili Daudi pamoja na wenzake wapate kutembea kwa furaha. Matunda nyingi na miti zamani za Palestine zita wakatibisha watakapodika. Katika garaji mbili karibu na mlango kuna gari jipya yenye nguvu ambayo itapatiwa viongozi hawa pamoja na kila kitu”. Kila kitu kitakuwa chao, nyumba, shamba, mipambo na hata nguo ikiwa watahitaji judge Rutherford akisema “Nitafanya nini? oh usifadhaike juu ya mimi. nitaweza pengine. “Hakimu akacheka. Hao wanaume sasa hawatakuwia kabla ya kustarehe Mungu kupigana na shetani katika vita vya Armageddon, Rutherford aliamini, “Lakini watabuka washindi”. “Bwana atahukumu shetani wakidanganya wahubiri na wanasiasa kwamba wamekuwa wakidanganya watu, Rutherford akasema. Rutherford atasafiri na meli kwenda Europe mnamo Mei 9 na atahudhuria kongamano huko Berlin, Pari na London (San Diego Sun Newspaper, Jan 9, 1931).

Na kwa hicyo tungojee kurudi kwa Daudi na

Page 20 Unabii wa Uongo

Musa pamoja na manabii wote wa kweli. Je imekomesha manabii wa uongo? Kisha wacho tuchukulie kwa kuibuka kwa Herbert Armstrong kwa kutuo cha kanisa la Mungu (sabato) na tumfuate pamja na ushirika wake na pia “watchtower” katika kutafuta ukweli wa bibilia.

Kiwango kinachofuata inajumuisha mwaka wa 1931 hali kuanguka kwa unabii wa Armstrong katika mwaka wa 1975.

Tutaendela sasa kuchunguza unabii wa uongo katika makanisa ya Mungu na zile kanisa ambayo haitambui uwepo wa utatu wa bwana, au ambao wamethiriwa na makanisa ya Mungu.

Herber Armstrong na kanisa ya Mungu

Tunaanzia mahali ambapo Herbet Armstrong anaanza kutoa uhahi wake ya uongo baada ya kuungwa mkono na kanisa ya Mungu kama mhudumiaji wao mwakani 1932. Alipozaliwa katika mwaka 1940 kwa kuanzisha kalenda ya Hillel na kupotosha sabato na mambo mengine.

Tutafuatilia kazi ya nabii bandia ya Radio Churuch of God (RCH) baadaye Worldwide Church of God (WCG) na pia ushirika ya Watchtower Bible au Jehoca Witness (JW). Upande huu utajumuisha mwaka wa 1934 hadi 1975 baada ya kutumizwa kwa unabii yao kuhusu kurudi kwa Mesia.

Madai ya uongo na upumbavu inayotoka kwenye wa pentekosti itaanza kupenya kwenye dunia kwa kawaida kupitia vituo vya utangazaji za Marekani, baada ya mwaka 1975. Kukatibia mwisho tutaona mengi ya unabii yao za uongo kama tutaona baadaye. Mara nyingine imeonekana kwamba hakuna ukweli hata kidogo katika maneno yao kwani lolote wanaotabiri hayatimizwi. Ni kana kwamba kuwa nabii ya uongo ndio njia ya kupewa uongozi katika makanisa za Marekani.

Watu wa zamani ya Marekani walisema kwamba mtoto mmoja anazaliwa kila saa moja, na inaonekana ni kweli, kumbuka

sababu ni kuangamiza huduma na kuathiri unabii wa Bibilia na mapepo iliwapatia ngucu kwa kiwango hicho. Watu wanapenda, manabii wa uong kwani wanawafanya kuoenekana kuwa salama.

1934Katika mwaka wa 1934 jarida la “Plain Truth” (PT) iliyoanzishwa na Herbert Armstrong alianza kunena mambo ya uongo na utabiri. Alisema “Kristo atarudi mwaka wa 1936” hiyo ilikuwa ya haki au siyo? Kwani kulingana na Ufunuo II washahidi wawili walihitajika kuwa Yerusalemu kwa miaka 1260 na baadaye kukufa kwenye mitaa kwa miaka mitatu na nusu, kulingana na Ufunuo. Kwa vile hawakuwa wamefika kwa wakati huu, Armstrong lazima angedhani kwamba walifika tayari. Baadaye akadai kwamba yeye alikuwa ni mmoja wao. Hata hivyo tutazama hiyo baadaye.

Katika mwaka wa 1934 Herbert alifuatilia mpango ya “watchtower” na kusema.

“…Mwaka wa 1936 utakuwa ni mwisho wa nyakati za vita hadi mwaka 1936”… baada ya hiyo tarajie mifano za mbinu jua na mwezi ambayo itafutiwa na siku ya bwana” (Herbert Armstrong, The Plain Truth, June–July 1934 1934, p 5).

Katika 1934/35 PT Magazine ilisema kuwa Mussolini itikuwa udikitata. Hiki hali ya ujinga inaendelea kwa muda.

1935Katika 1935 ilikuwa wasi kuwa Germani hawangekubali udogo wa 1918 Armistice. Hitler na Nazis walikuwa wazi na ukweli nguvu ambaye iliwekwa Mapi ya Uropa na hilo lilikuwa wazi. Wa Nabii wetu walisema kuwa:

“… mwandishi uzaidi na na inaonekana ni kweli, kumbuka sababu ni kuangamiza huduma na kuathiri unabii wa Bibilia na mapepo iliwapatia ngucu kwa kiwango hicho. Watu wanapenda, manabii wa Kukatibia mwisho tutaona mengi ya unabii yao za uongo kama tutaona baadaye. Mara nyingine imeonekana kwamba hakuna ukweli hata kidogo katika maneno yao kwani lolote wanaotabiri hayatimizwi. Ni kana kwamba kuwa nabii ya uongo ndio njia . (Universal War Near, 1935, p.3, 26-27)

Title Page 21

Wanabii wauonga na kukataliwa kwa kuzaa ya watoto wa kusoma Bibilia kwa wakati huo wa Yahudi walikuwana katakalia watu kuwa na watoto. Hawa watu wa Bizzarre walikuwa wachukuliwe na Radio kanisa la Mungu, baadaye Worldwide Church of God, chini ya Armstrong. Ilitokea kwa kusiolewana kwa kiwango ambayo Millenium kwawakati. Hakuna imani ingine, bila tu RCG/WCG kutibwa imani, ingefa ikuwe kuiharibu, isio kuwa ya balogia na kwa dinomia kufurahiwa na masomo. Hili ilikuwa kuwekwa juu wa Nazis uko Uropa. Vita ya Dunia wa II ilikuwa kwa Horizoni na tu kwa wajinga, au Neville Chamberlain, walifikiria Hivo. Kwa jumla Armstrong na RCG, na pia Rutherford na JWs akaruka kwa Bandwagon.

1938Katika mwaka wa 1938 wana “Jehova Witness” bado walikuwa wanasisitiza.

“….Mwaka kwa maneno ya Yesu, ambayo inasisitiza kutozaliwa watoto baasa au kabla ya Armageddon ……. itaonekana kwamba hakuna sababu ya kukomesha kuzaa watoto hapa hapa duniani baada ya Armageddon” sasa tuko wapi? (Watchtower, Nov 1, 1938, p. 324).

Katika wakati huu, Freddy alidhani kwamba vita ilikuwa njiani. Armstrong alijaribu kuingiza mabo zake katika Bibilia na ikaonekana kuingia kwa mwanzo. Kwa kiwango aliweza kuitumia kumfaidisha mwakani 1938, alisema:

“Misalini pamoja na papa watakuwa na mjadala ya kuweka jiji kuu kuwa Yerusalemu na kwa hivyo wanajeshi wa Mussolini wataingia Palestina (Danieli 11:41) na hatimaya watateka nusu ya Yerusalemu pekee (Zacharia 14:2)”. (Herbert Armstrong, The Plain Truth, March 1938, p.8)

Bila kupoteza hamu, wanajehova witness waliamua kuchukua njia ingine kueleza hadithi yao kwani njia ingine

“Waliubiri kwamba Mungu atapindua” Ukristo. Wengi waliashiria mwaka wa 1925 kama siku hiyo, na wakati hiyo ilipokos kufika ulisongeshwa hadi 1932. Tena mwaka wa ilipokosa kufika ulisongenshwa hadi 1932. Tena mwaka wa 1932 ukaji na “Ukristo” haukuharibiwa na sasa iligunduliwa kwamba “Ukristo” utasamehewa kidogo kwa ajili ya watu wa Jonadab nah ii iliwafanya viongozi wanaochaguliwa kufurahi sana kiasi cha wazimu. (Watchtower, Feb 15, 1938, p. 54)

Katika mwaka wa 1938, manabii wa uongo walianza kuambia watu kutooa na kutozaa. Ushirikiani ya mataifa ya Britain walifuata njia hii katika vita vya kwanza na wakaoni vile ilikuwa ya ujinga na kwa hivyo wengi walioa kabla ya vitoa. Hata hivyo haikujalisha kwa manabii wa uongo.

“Je itakuwa bora kulinga na maandiko wao kuoa na kuzalisha watoto? La ndio jawabu ambayo imeungwa mkono na maandiko……itakuwa bora kuwa bila mzigo wowote na watafnya vile Mungu anataka na vile ameamuru na vile vile kufuata sheria wakti wa Armageddon ……wale wanaotamani ndoa itakuwa bora kwao kungoja miaka michache hadi janga la armagoddon imekamilika” (Face the Facts, 1938, pp, 46,47,50).

Pia walishikila unabii zingine za uongo kama shahidi kwao.

“Zamani mnamo mwaka wa 1880 jarida la “watchtower” iliashiria mwaka wa AD 1914 kama tarehe inayokamilisha mwisho wa dunia ambayo kwa nyakati hizo janga kuu itaangukia mataifa; lakini kwa wakati huo watu wa Mungu hapa duniani hwakuiona kwamba vita hiyo itakuwa ni kati ya Yehova na washirika wa shetani. Kwa miaka mingi, iliaminiwa nao, na pia ikachapishwa kwenye “watchtower” kwamba “wakati wa shida” utakuwa ni mapigano kati ya makundi mbali mbali za dunia kama ajira na pesa. Ilikuwa baada ya mwaka wa 1925 ambao “siku ya shida” ilielweka ki-maandiko. (Watchtower, p. 35, Feb. 1, 1938)

1939Hakimu Rutherford mshirika wa nabii uongo Russel alijitokeza mwakani 1939.

“Wengi wa ushahidi wa ki-maandiko pamoja na ushahidi zingine za wazi ambao zimetimizwa inathibitisha kwamba wakati wa vita kuu ya siku kuu ya Mungu ni karibu na kwamba katika vita hiyo madui zote za Mungu wataangamia na dunia kutakazwa”…”Vile vile leo, mataifa yote na watu wa dnuia watakumbwa na jambo la dharura. Wanaonywa kwamba janga la Armageddon imekarinia” (J.F. Rutherford, Salvation, 1939, pp. 310, 361).

Watu wa Jehova Witness waliona jambo hili kama mbinu ya kuunganisha mwaka wa 1939 kwa 1914 na kujitenda na kile ilichokuwa kitendeko. Herbert Armstrong aliamua kwamba viya ambayo ina kuja ikuwe viya ya Armageddon kwa hivyo iliunganisha unabii huo na vita na wahusika wakuu wa vita vya

Page 22 Unabii wa Uongo

pili ya dunia ikawa wahuskika wa Bibilia. Hakuna kilichoweza kuwa rahisi na hakuna kilichoweza kuwa mbaya. Hakuna na uelewana hata kidogo wa mda wa unabii. Yeye pamoja na wana Jehova Witness walipotoka na kwa hicyo wasiwe na madai yoyote ya unabii.

“Punde tu vita vya dunia irudiwe lazima iondelee katika shida kuu, mifano za bingu, magonjwa na kurudi kwa Kristo katika vita vya mwisho vya Armageddon!.... Lakini hii mtaweza kufahamu! Vita hici vitakomeshwa na kurudi kwa Kristo! Na vita vitaanza kwa mda wa wiki sita! Tuko karibu sana na kurudi kwa Kristo” (Herbert Armstrong, The Plain Truth, Aug 1939, p6).

Watu wa watchtower na viongozi wao waliambia dunia tena walichofanya kulingana na Beth Sarim huko San Diego hata hivyo ilikuwa inavutia.

“Katika San Diego, Califonia kunayo shamba ndogo ambayo katika Beth Sarim. Neno la Hibrania ya Beth Sarim, inamaanisha “Nyumba ya mwana mflame” na dhamira ya kununua mali kama hiyo ilikuwa ni kwamba, kunayo waumini wengine wa Mungu ambao waliamini kuwa manabii wa zamani watafufuka pamoja na Bwana hapa duniani na kuchukua usukani wa uongo wa dunia hii. Kidokezo hicho “cha beth Sarim” imo kwenye jarida ya watchtower na kwamba imetumiwa na rais wa shirika hilo pamoja na wasaidizi wake. kwa hivyo ni ushuhuda kwa Jehova na kwamba ikiwa mwaka mfalme watarudi na wengine wao kuchukuwa makao hayo, basi itakuwa dhitihisho kwamba imani na ukweli ilichangia kujengwa kwa Beth Sarim (Salvation, 1939, p 311).

Katika msisimuko huo kwa gwaride hiyo, Herbert alitoa utabiri katika mwaka wa 1939 kwamba:

“Mussolini ata pigana na Kristo!” (Herbert Armstrong, The Plain Truth, Jan 1939, p 4).

Katika mwaka wa 1939 Herbert alianza kuchunguza chanzo cha makali hayo ki-unabii chochote Herbert Armstrong alinena haikuwa ukweli. Hakuwa na jambo lolote kuhusu matukio na mazalisha ya viya hivyo. Alisema kwamba “Ethiopia na Libya watajiunga na USSR katika vita vya pili vya dunia” (PT 1939). Kila mwafunzi anajuwa kwamba chi za Ethiopia na Libya walitekwa kutoka Italia na wanajeshi wa

commonwealth baada ya miaka 2. Muungano wa USSR ilikuwa ni mshirika Libya alikuwa tu mwanachama wao. Lakini hawakufanya chochote.

Herbert aliamua kwamba Mussoloni alikuwa mshitika wa mpango wa shetani na pia ailijaribu kuhusisha Franco na wa-Unispania nae. Katika makala ya PT wa mwaka huo wameandika “Franco atampa Mussolini nguvu zake”. Kwa kweli Franco alijiepusha na migongano na kukaa uongozini kwa miaka 30 baada ya kifo cha Mussoloni. Mnamo Disemba 1939 jarida ya PT alisema ‘Hitier ampa Mussolini nguvu zake”. Hii ilikuwa ni hali gani ya kutoelewa matukio ya vita vya pili za dunia ya jukumu la Hitlier na wa – Nazi huko Uropa.

1940Vita vya maneno ya 1939 ulitamatika na ulimwengu ukaanza viya kuu ya hali ya juu ya kuchinjana. Nchi ya marekani bado ilikuwa ikiamua cha kufanya. Biashton ya US ilimpenda na kuunga mkono Hitler IBM ilimsaidia kuweka rekodi ya maadui wako wa Uropa kama Wa-Juda na wa-Gypsis kwamba wangewamaliza.

Madai mwingine wa uongo alitabiri mwisho wa dunia kuwa ni mwaka wa 1940 au 1941. Walimu wa bibilia kutoka Australia, Leonard sale-Harison, aliongoza misururu ya mikutono kaskazini mwa marekani katika mwaka wa 1930. Alitabiri kwamba dunia itaisha mwaka wa 1990 au 1941.

Mauaji Wa Halaiki

Dhana ya mauwaji ya halaiki iliwasilishwa na Armstrong pamoja na wana RCE katika mwaka wa 1940. Swala hilo la kishetani “ilikuwa hewani” ikisambazwa na mwanamfalme wa nguvu ya hewa na ikachukuliwa na waliodai kuwa manabii wa Mungu.

Katika mwaka wa 1940, Armstrong alisema:“Mungu amekariri kwamba nchi ya Great Britain na mataifa za Marekani walishirikiana ili kuwaondoa wa Turiki kutoka kwa dunia hii” (Herbet Armstrong, The Plain Truth, Nov-Dec. 1940, p. 7).

Title Page 23

Hiyo ingesaidia mwananchi wa Uturuki kuamini msimamo yao. Kwa bahati mbaya uturuki haikutilia makazo mambo hayo, hata ikiwa walizifahamu.

Kutoelewa ahadi za Ibrahimu na unabii ya Bibilia katikaMwaka wa 1940 armstrong alisema:

“Ni mpango wa Mungu kwamba Britain itavamiwa na kushindwa …..” (Herbert Armstrong, The Plain Truth, Nov-Dec. 1940).

Alisinzia kwamba ahadi za Mungu kwa iraeli, tutekelezwa kwa vita vya pili za dunia Britain na wanachana wa commonwealth. Alikuwa starehe huko marekani ambayo bado ilikuwa naijaingia kwenye janga la vita.

Katika mwaka wa 1940 Armtrong alifanya hitilafu ya kuongeza nambari ya idadi wanajeshi. Nakuwa amesoma jinsi vita hivyo vilipigwa. Gazeti za PT la Agosti na Sept iliandika “Mussolini atavamia Egypt na Palestine”. Hii ilikuwa miezi mitatu baada ya kuzama kwa majeshi ya Italic. Armstrong alitatizwa sana na ripoti hiyo ambayo ilionyesha hali ya kutatanisha ya Britain kuvamia Egypt. Watu wengi wamefanya kosa katika harakati ya kufahamu majeshi ya commonwealth. Wakati Italia ilitangaza vita mnamo Juni 10, 1940 dhidi ya Britain na Ufaransa ya Britain huko kaskazini mwa Afrika ulipotoshwa kabisa. Shikiko la wanajeshi wa Uk ulipeka wansjeshi yao 40,000 huko 200000 wa ItaliaLibya na wengine 250,000 huko kusini mwa Eithipia napia nchini Somalia.

Armstrong alitoa unashiri kuhusu mwisho wa vita sawa na wezake wa Marekani ulikosea.

Waveli alifanya jaribio Juni 10, kwa kutuma jeshi ndogo nchini Libya kupeleka kendera yao. Hii ilikuwa ni mwanzo wa vita. wa Italic, chini ya Marshal D’ Armata Rodolfo Graziani, alivamia na kuteka nchi ya Somali mnamo Agosti 19, 1940 na kukatisha wa Marekani na bidhaa zao kwenye Red Sea na pia kutenganisha Britain na India.

Mnamo Septemba 13, Graziani alivamia Misri baada ya kushurutishwa na Mussolini.

Tarehe hii ndiyo ilikuwa ya mwisho kabisa wa jarida ya PT, ilionekana kwamba wa – Italia huko Somalia walikuwa na nafasi ya kuongoza Red Sea na kukatisha Britain kutoka India na kwa hivyo Armstrong alianza kazi.

Desemba 9, waveli alituma wanajeshi 30,000 chini ya kiongozi wao “Richard O’Connor kukomboa Sidi Barani huko nchini Misri yapatayo kilp,ota 65 kutoka mpaka wa Libya wa Italia walikinga sana jiji hilo lakini wa Britain waliwadhangaza kwa kuwatekangara watu 20,000. Kiongozi huyo kisha akageuza vamizi huo kuwa vamizi kuu ya nchi ya Libay, wakati watu wengi na kakachukua nchi ya Torbua Bengazi na mkoa wote wa Cyrenaica nchini Libya. Wafungwa 130,000 wa Italia walimiminika nchini Misri.

Kisha mageuzi makuu wa mamlkaka ikatokwa. Waveli aliamuriwa kutoka wanajeshi wake nwa kuwarejesha nchini Greece. Hilter alituma kikundi cha Africa Korps kusaidia Italia, wakiongozwa na Generalteutant Erwin aliogoza mashambulizi dhidi yaw a Britain ikiwemo makundi kutoka autralia waliingia kwenye vita hivyo.

Churchill alipuuza waelekezi wako na kutuma vifaa vingine vya vita kwa Waveli ambayo alijaribu sana kupenya Rommel hadi Tobruk. Rommel aligundua akija wa vita katika jangwa akitumia bundiku za ndege kupambana na matungi za vitu ili kupambana na Britain. Wavell alilazimishwa kujiuzulu kwa sababu ya shida hizo.

Njama ya kutumia maji maka silaha ya vita ulibuniwa na kiongozi wa Britain, Basil, Lydell – Hart, baada ya vita vya kwanza lakini nchi za UK na US walipuuza mbinu hizo kwa bahati mbaya kwao. Wa jerumani waliwalazimisha kuhitaji kusoma na hiyo ikafanya kubuniwa “bilitzkrieg” ambayo iliwasaidia. Kiongozi wa Britain pekee bwana, Percy Hobart ndiye alishughulika kuichunguza.

Gerenali Sir Claude Auchinleck alifika mnamo Novemba 1941. Kikosi cha Uk majeshi ya jangua ilikuwa ndio jeshi la nane

Page 24 Unabii wa Uongo

lao. Katika huduma lake aliondoa marufuku ya siku 242 dhidi ya jiji la Tobruk na kisha akarudi El Agheila na kuangamiza robo kikosi cha Afrika Korps na karibu nusu ya jeshi la italiza nchini Libya.

Lakini Wa-Britain walilemewa sana kiasi cha kutoajibika Auchinleck na kisiwa cha maita. Romel alisalimisha jeshi lako na kuwaelekeza El Angeila na kuteka Beghasi na Tobruk wa-Britain waliangukia mstari wa Gazali ambayo ni kikundi cha ngome yenye madini.

Makundi haya yote yalinuia kuongezea nguvu vikosi vyao May, 26, 1942 Rommel alianzisha tena vamizi lake, lakini alikomeshwa na upinzani mkali kwenye msitari wa Gazali. “Rommel” mbweha wa janga alielekezea Britain. Alichinja watetezi wa bir Itacheim na kuchukua Tobruk Juni 17, Rommel alikamata watetezi 30,000 katika uvamizi huo.

Hilter alipandisha ngazi Rommel kwa kiwango cha Feldmarchall. Alipoambiwa kuhusu nafasi yake mpya, Rommel alisema “Ingekuwa bora kama angelitumia kikosi kingine” Wa-Britain walianguka katika uvamizi wao wa kwanza dhidi ya Misri. Walianguka katika mwaka wa June 1942.

Rommel pamoja na njia yake ya mawasiliano iliimarika ingawa walivamia maghala makubwa ya Britain njiani. Rommel hangeweza kuvunja laini ya El Alamein ambayo ilikuwa kinga cha mwisho kabla ya Alexandria. Churchil alimwachisha kazi Auchinleck na kumhadilisha na General William HOG, ambaye aliuwawa katika ajili ya ndege akiwa kazini.

Churchil akiwa ameshangazwa na kushindwa kwa Turruk chini ya uvamizi wa Afrika kusini alitatuto mtu mwenye kuchukua nafasi ya Goh ambaye angesaidia Alexandria na Misri kwa jumla kutojisalimisha. Alichagua kiongozi cha Britain Lietenant General Bernard Law montogory ambaye alishugulikwa sana na kufundihsa kikosi cha nane. Agosti 31, 1942, Rommel alivamia laini ya El Alamein lakini alifukuzwa na

mashambulizi ya hali ya juu.

Makundi ya Anzac na India walikuwa na jukumu kubwa katika kushindwa kwa vikozi vya Afrika. Kile kilichojulikana kama kikosi cha nane cha Britain ilikuwa ni jeshi la mvungano ambayo iliharibu nguvu ya Afrika kaskazini. Mafuta ilikuwa chanzo kuu cha vita hivyo Urusi na mashariki ya kati pia walikuwa na azma hiyo hiyo.

Vita ya El Alamein na kushindwa kwa Italia, ingefundisha Armstrong funzo kuu kuhusu unabii lakini haikufanyika hivyo. Makanisa ya Marekani ilionekana kufutilia habrai ya nje uvumi wa kisasa kama unabii mara nyingi ni waongo.

Matamshi ya Armstrong wa Uk na ushirikiano wa commonwealth, ulikuwa ya utani kwani zilikuwa uongo. Alidai mwakani 1940 kwamba. “Kwamba utabiri baada ya miaka mitatu na nusu ya mahangaiko mnamo Octoba 43”. Mnamo Aprili / May 1940 PT, Armstrong alisema: “Leo uingereza ni dikteta kama vile tu Hilter Mussolini alikuwa”.

Churchil alikuwa asema:“Kwa kweli imesemwa kwamba demokrasia ndio serikali mbaya zaidi, ambazo imejaribiwa nyakati baada ya nyakati”. (Hansard, November 11, 1947).

Katika mwaka wa 1940 wengine pia walijitosa kwenye kibunda hicho wa vita vya kwanza ilipokuwa ikimalizika “Mwaka wa 1940 lazima itakuwa mwaka muhimu sana mwani siku ya Armageddon imekaribia”. inataka yeyote anayependa ukweli kuweka juhudi zote kuitangaza ilhali faida yake ilikuwa bayana”. (Informant, April 1940, p 1).

1940“Ufalme ukahapa ufalme ameidhinishwa nae Amargeddon amekufa. Utawala tukufu wa Kristo itakayoleta baraka itafuatilia baadaye. Kwa hivyo kilele kuu imedikiwa majaribio imewaangukia wale wanao simama na Bwana (The Messenger, Sept, 1940, p 6).

Katika mwaka wa 1940, Rutherford alisema:Sasa imedhihirika wazi inaonyesha kwamba mwisho wa dini umefika na kwa tamati lake unafikisha kupinduliwa kwa shirika la shetani.” (J.F. Rutherford, Religion, p. 336, 1940).

Title Page 25

Rutherford pamoja na watchtower, katika mwaka wa 1940 walisema:

“Kazi ya ushahidi wa viongozi wa dini sasa inaonekana imefanyika katika mataifa mengi ya Wa-Kristo. Sasa viongozi wa jumla umeathiri ujumbe ya viongozi ya dini na inapaswa kutarajiwa kwamba watakapo maliza vita dhidi yao wenyewe viongozi wao watabadili nia yao kwa kuathiri kila kitu kuhusu serikali hiyo ya kidini. Ina maanisha nini sasa kwamba serikali zote za kidini zimeathiriwa kwa mataifa mengi? Inamaanisha kwamba wakati unafaa kwa haraka watika ‘alama’ ya Armagedoon itashinirishwa na wote waliooko upande wa Yehova wataiona”. (Watchtower, Sept, 1, 1940, p. 265. [White, p. 335 quotes from the 1942 Yearbook (p. 29), Kumalizwa na Rutherford kabla ya kufa: “Rokodi bili iko kichpisshwa, kwa uso wa, kuonyesha kuwa Theocratic aliona kazi Dunia.”])

Mwaka wa 1940 Habert alizidi na unabii zingine za uongo:

“Zazis watateka Britain. “Uturuki itasaliti Britain (PT). Kama tunavyofahamu Turuki haikupendela upande wowote. Unabii ya uongo na madai inafuata moja baada ya mwingine pamoja na Armstrong na ushirika wake.

1941Mwaka wa 1941 Herbert Armstrong alifanya hitilafu ingine ambayo ilionyesha kwamba alipotosha matendo ya Hitler na wafalme wa kiskazini pahali habari alienda nje kuangamiza watu wengi. Eneo la vita ya Urusi ulikuwa nchini Ukraine na Stalingrad. Maeneo haya yalikuwa kaskazini mashariki mwa Yerusalemu na wala sio kaskazini magharibi.

“Unabii wa Bibilia haitambui kwamba Hitler lazima awe mshindi katika uvamizi wake wa Urusi………. Hitler atarejea kutoka mamponi yake ya Urusi akiwa mwenye ngvu kushinda zamani na huru kugeuza jeshi lake dhidi ya majeshi Britain na Marekani!” (Herbert Armstrong, The Plain Truth, Sept-Oct, 1941, p 7).

Maoni ya Herbert Armstrong inaonyesha ujinga katika kunabili unabii wa Bibilia, kwa vile zilijitokeza chini ya kalenda ya Mungu. vile, vile watu wa Jehova Witness walikuwa wapumbavu na wenye nia mbaya.

Mwaka wa 1941 Rutherford bado alikuwa kishauri watu kuto zaa watoto.

“Siku ya Armogeddon kwa kweli ni karibu na katika wakati huo, Mungu atasafisha dunia…….. Na kutokea sasa tutakuwa na sala zetu za kiroho kwenye dini, tukiwa tumejuwa kwamba hivi karibuni tutasafiri pamoja miele hapa duniani. Tunaini letu ni kwamba baada ya miaka michache ndoa yetu itajereshwa kwa upande wake bwana na kwamba tutakuwa na watoto wazuri ambao wataogopa bwaba wetu. Vile vile tunaweza kuhairisha ndoa yetu hadi amani irejelea duniani yetu” (J.F. Rutherford, Children, 1941, p. 366).

Tena katika mwaka wa 1941 wakesema:“Kupokea zawadi (kitabu cha watoto) watoto hao ambao walikuwa wakiandamana walichukulia kama sio tu kifaa cha kuchezea bali kifaa muhimu walichopewa na bwana kwa kazi muhimu kwa miezi michashe inayobaki kabla ya janga la Armageddon.” (Watchtower, Sept, 15, 1941, p 288).

1942Mwaka wa 1942 maoni ya wana Jehova Witness ilikuwa ni kwamba Armageddon imefika:

“Sasa ikiwa Armageddon imetufikia ni kila la kufa au kupon. Wale watakao kuwa wa bwana, wata unda umati mkuu wa waponaji wa Armageddon. Na kuishi kwa furaha duniani milele, na lazima wapate jibu kwa swali muhimu sana.” (Watchtower, April 1, 1942, p 139)

Tena mwakani 1942:“Duniani mpya iko langoni mda ni mchache wale wasio jifahamisha na wasiochagua dunia mpya sasa ambayo nguvu ya juu itaunda hawataishi kuingia katika baraka na uukufu”. (The New world, 1942, p 10)

Tena katika mwaka wa 1942 walisema “Tarajieni waliofufuka kurudi wakati wowote.” Kristo alikuwa hekalini na hukumu ulikuwa umeanza. Alikusanya hekalu peke yake.

“Bwana Yesu sasa amekujia hekalu kwa hukumu na mahaki ya wanachama wa mwili wake hapa duniani wamekusanyika ndani ya hekalu pamoja nae (Malachi 3:11-13) na kwa hivyo wao wanaoume waaminifu wa zamani, watatarajiwa kurejea kutoka kwa wafu sasa. Maandiko inatoa sababu nzuri kuamini kwamba itakuwa mda mfupi kabla ya janga la Armageddon. Kwa matarajio haya jumba katika San Digo Calefonia ambayo imeangaziwa kwa nia mbaya ilijengwa katika mwaka wa 1930 na ikapewa jina “Beth Sarim” kumaanisha “Nyumba ya mwana

Page 26 Unabii wa Uongo

mfalme” utasikia siku ya mwisho. Kwa wale wanaharakati wa kidini na washirika wao, kurudi kwa watu hawa wa Mungu hautawaletea raha yoyte. Lakini kwa watu ambao malaika aliwatungia nyumbo” watu na nia nzuri”. Itakuwa ni furasa ya furaha, na watajipanga kwenye upande wa waakilishi wa ufalme wa bingu.” (The New World, 1942, pp 104–105)

Na tena mwaka wa 1942 walieleza kuwa kumiminika kwao wa mwaka 1914, na unyakuzi wa binguni uliwafanya kutochapisha ujumbe wa kweli:

“Kazi kama hiyo kuchapisha ufalme wa Mungu na kubafisha jina lake kutoka kwa hila za shetani kwa dini, ili sahaulikwa na kupewa mahali karibu na kutengeneza bibi harusi wa kiwango cha Kristo ya ndoa ya binguni katika mwaka wa 1914 kama vile wengine walidhania.” (The New World, 1942, 2,000,000 ed., pp. 273–274)

Katika mwaka wa 1942 walitambua hitilafu katika mpangilio yao, kikundi cha wanaofanya kazi na viongozi wao kama wapasha habari.

“Kabla ya mtumishi wa bwana kuja kwenye hekalu na kuanza kutafsiri mambo ya Mungu, kikundi cha wafanyi kazi wamekuwa wakinena mambo yasiyokuwa na hekima, kwa hivyo sio wakati nzuri ya kuwasilisha na hekima, kwa hivyo sio wakati nzuri ya kuwasilisha hekima kama hiyo. Wengi wa waumini walidhani watapelekwa binguni kwa wakati huo, ili kusaidia Mungu kuongoza ulimwengu. (The New World; 1942, 2,000,000 ed., p. 308)

Katika mwaka wa 1942 walisema matayarisho wa ukurasa wa imani katika Hibrania II wangekuwa ni viongozi wa kesho. Walikuwa warudi wakati “wowote”.

Matendo maaminidu wa wanaume waliojulikana kama mababu za Israeli wamehesabiwa katika mlango wa II wa Hibrania. Mwanzo 12:1-3; 28:13, 14, Acts 7:28 – Wanaume hawa watakuwa kielelezo cha waakilishi wa kidini, ambayo ni serikali iliyotengezwa na Mungu. Ushahidi mwingine kwamba wanafalme hawa watachukua usukani hapa duniani unapatikana katika unabii wa Danieli lakini fuata njia yangu hadi mwisho wa siku hizo. (Danieli 12:13.) Kundi la Danieli ni lile la wanawafalme hawa. Ushahidi sasa umewasilishwa, kwamba tunaishi kwenye nyakati za mwisho na tutarajie kuona Danieli na wafalme wote waliotajwa” (Consolation, April 27, 1942, p. 13).

Kwa wakati huo, Amstrong alihamisha maoni yake kuhusu Mussnini kwa Romwel

na kisha Hitler na Nazis.Maoni yake yangeweza kuwa ya uongo sana.

Katika mwaka wa 1942, Herbert Amstrong alisema kwamba Romwel angeteka Yerusalem, na Misri akiwa na usaidizi wa Ujerumani waliotokezea kusini mwa Russia. Swala kuu ni kwamba makundi ya kijerumani waliharifiwa huko Stalingrad na wengine 100,000 kutekwa nyara. Watu wa Ujerumani walipatwa na wmadhara mengi katika mda huo wa Agosti 1942 na kisha ikasambaa katika ya Afrika kuungana na wa Marekani ambao walijikuta huko Tripili. Watu wa Australia walitambaa kutoka Palestina hadi Syria na kushinda wa Faransa chini ya kiongozi chao vichy French, majeshi hayo hata hivyo hawakukanyaga Palestina. Kikosi cha majeshi cha jangua cha Australia, kisha wakarudi Pacific kujiunga na wenzao ambao walishinda wa Japani huko Papua Guinea. Pamoja na marekani walipenya na Canada walibaki na Britain kushinda majeshi ya German, na pia wa Japani huko “Berma” ingawa wa Afrika kusini wangi walitekwa nyara.

Kuelewa kwa Herbert Armstrong kwa kurudi kwa Kristo na matukio ya vita vya kwanza, ilikuwa upumbavu kibibilia na pia kisiasa. Ilikuwa na Marekani pekee ambayo angeweza kutumikia maneno yake ya kupubavu.

1943Katika mwaka wa 1943 armstrong alitabiri vita ya Kristo na nabii wa uongo na kuwaunganisha na Hilter.

“Lakini hilter na nabii wa uongo watapigana na Kristo! (Herbert Armstrong, The Plain Truth, March–April 1943, p 6).

Manabii pekee wa uongo kuponea jambo hilo ni Armstrong.

Vile vile kuelewa kwake wa Bibilia inayochaga na sayansi pia ni ya kupotosha. Pia katika mwaka wa 1943 alisema.

“Binadamu hawezi kuwa ndege au vifaa vya vita au kwa njia nyingine kupata barua ya hewa ambayo ni karibu sana na dunia yetu……” (The Truth Shall Make you Free, p. 285, 1943 edition).

Title Page 27

Maendeleo katika mpango ya V1/V2 bila shaka ilichangia maoni yake. Hata hivyo baadaye mwakani 1943, alianza kuelewa kwamba vita vya kwanza vya dunia, ahingeweza kuwa wa mwisho kwani nazi na Ujerumani walileweka sana. Alidhani vita hivyo vingechukua miaka kumalizika katika matamshi yake ya 1944, lakini alijaribu kubuni ubashiri yake ili kutoonekana mjinga zaidi ingawa hiyo haikuonekana kumwanza hapo awali na hata baadaye.

Aliendela kusema katika mwaka wa 1943:“Vita vya mwisho itakuja na mshangao sana……hata hivyo kujitokeza kwa wanaoharibu pahali takatifu bi ushahidi kwamba siku hiyo ya siri na saa wa mwanzo wa vita vya mwisho imekaribia sana”. (The Truth Shall Make you Free, 1943, p341).

1944Katika mwaka wa 1944 uidhinisho wa muungano wa mataifa ulishuhudiwa.

“Kama moja wapo ya ushahidi kwamba ufalme wa binguni umekaribia na kwamba mwisho ya mpangilio ya mambo za dunia imekaribia. Yesu alitabiri kuanzishwa kwa makundi yanayopinga Kristo” (The Kingdom is at Hand, 1944, p 342).

Armstrong alianza kuhamisha uoga wake kwa japani wakati ujerumani uliharibiwa mwaka wa 1944:

“Tumefanya makosa madogo tu katika vita dhidi ya Japani na kama jinsi ilivyo itatuchukua miaka 20 kuwashinda (PT).

1945Kisha aliazima mbinu ya nguvu ya atomic kutoka kwa wa Japani ingawa ujerumani ilikuwa imepoteza nia ya kuitengeneza alisema katika Julai 1945:

“Ingawa Ujerumani umeharibiwa, Japani itabuni mzinga ya atomic kuharibu Marekani.”

Ingawa hii ilikuwa kinyume na dhana kwanza Marekani ilikuwa imeanzisha makombora zake huko lo Alamos. Mambo mengi yaliomo ilibuniwa huko Washington ambayo ilikuwa kaskazini mwa Armstrong, ambaye ilikuwa Oregen. Hakuna na sababu yoyote ya kinabii kwamba vitu hivi vingefanyika jinsi ilivyotendeka. Agosti 1945 mabomu mawili ya Marekani, iliangushwa kuho Japani. kitendo hicho kilifanya Japani kujisalimisha na ikamaliza

vita. Ni kama kwamba alikusanya maoni na habari za uvumi na kuzigeukia watu wke, hata ikiwa inaonekana wazi ni wao waliyotengeneza mabomu.

Matukio Baaday Ya Vita Na Unabii Wa Uongo

Baada ya vita unabii hizo badop zilikuwa hazitimizwa na ilionekana kwamba mpango huo ilikuwa ielezwa baadaye. Kila mtu hata bila kusoma Bibilia angefahamu jambo hilo hata hivyo ilikuwa ni njia salama ya kuanzisha mambo. Hata hivyo Herbart aliwacha ujinga wake kuwa juu na technolovy ya kisasa.

1946Aliendelea baada ya vita mwaka 1946:

“Janga la Armgeddon kubwa zaidi ya iliyokumba Sodom na Gomorra imefika”. (Let God be True, 1946, p 194)

Katika miongo iliyofuata alitakikana kutoa madai ya ujinga ambayo ilionyesha upumbavu wa sayansi na pia umarufu wake wa kutangaza.

1946/7Alidai jwenye jarida la PT kwamba Ujerumani ndege ya viya aina ya ya super – V2 Rocket kuharibu miji za Marekani.

Pia katika mwaka wa 1946/47 alisai. “Hitakuwa na taifa lolote la wa – Yuda huko Palestine. “Maoni yake ilikuwa ni kwamba Britain na Marekani tayari ni wa – Isreali na kwa hivyo Palestina lazima watengewe swala kwamba Yuda ilikuwa ni Judea ilikuwa inakosekana kwake. Pia ahadi ya kwamba “watu wataitwa Yerusalemu,” haikuonekana kwake.

Kutengenezwa kwa ma roketi, ilikuwa inafanywa huko marekani na muungano wa savieti, wanasayansi wote wa Ujerumani walijumuisha kufanya kazi huko. Armstrong mwenyewe hakuona vita vya maneno na hali ya baada ya dunia.

1948/9Katika 1948/49 (PT) ilidai kwamba Ujerumani itakuwa kiongozi kuu wa dunia

Page 28 Unabii wa Uongo

kwa miaka mitano. Ukweli ulikuwa kwamba muungano wa Soviet ilijaribu makombora yake kutokea 1949 na mwaka wa 1953. Hakuwa na maoni yoyote ya kibanii kuhusu nyati za mwisho. Hakuna na maoni yoyote ya kibanii kuhusu nyati za mwisho. Ujerumani ilipigwa marafuko kutotengeneza chochote ambacho kingeweza kuleta madhara katika vita vya dunia.

1950 Katika mwaka wa 1950 katika jarida la (PT) alisema: “Wakati Ujerumani itaungana itageukia marekani ikiandamana na silaha za nuclea ambayo itafanya dunia kutingika”. Kuonekana kwa miaka zingine 40, Ujerumani ilibakia mshirika wa Merikani, katika muungano wa NATO na ujerumani ikabakia kwa democrasia. Hadi wa sasa mipango zake ni za mipaka na kwa sasa inajishughulisha na kubuniwa kwa muungano wa uchimi wa bara Uropa. Ukweli ni kwamba wa Britain na US wamekuwa ghala ya sikua katika muungano wa mataifa (UN) hakuona jambo hilo.

Mwishoni mwa 1950 Armstrong alisema kwamba “Binadamu hatawahi kuingia katika anga za juu” kama tunavyojuwa, wa Urusi walikuwa wa kwanza katika mwaka 1961 kuingia katika anga, wakiongozwa na Yuri Gagarin na wa Marekani wafuatilia. Watu na US waliweza kuweka binadamu kwenye mwezi mnamo 1969 na kuwarejesha nyumbani salama.

Katika mwaka wa 1950 Herbert Armstrong alisema “US hawata shinda vita ingine tena,” vita vya Vietnam ilikuwa mfano nzuri wa utabiri huo, kwani walijiondoa kwenye vita hivyo. Hata hivyo mwaka wa 1950/51 alisaidia Korea kusini kushindwa. Marekani na wanaungwa mkono wahusika wakuu kweye vita hivyo, wakiwa wanaungwa mkono na wenzao kama Uturuki, ambayo Armstrong alisema kwamba itageukia Britain katika vita vya kwanza muungano ya US ilipata ushindi ifuatayo; mwaka wa 1982 Arenada; 1989 Panama; 1991 Iraq. Jeshi hilo la nne lenye nguvu duniani iliharibiwa kwa siku 40.

Walikuwa warudie Iraq na ingawa walipata ushindi kubwa wamejiingiza kwenye kampuni mbaya inayoweza kuwarudisha kwenye vita mbaya kama ya Vietnam na inakisikwa wataingilia Iran hivi karibuni.

1951/52Mwanzoni mwa 1950 Herbert Armstrong alitabiri katika gazeti la (PT) kwamba hakutakuwa na kiongozi halisi ya Misri kuongoza taifa hilo. Hii ilidhinisha kutofahamu unabii ya Bibilia na kitabu cha Ezekieli (soma kurasa the fall of Egypt (No. 36) Unabii ya mkono uliovunjika wa Farao). Katika mwaka wa 1953, Gamal Abdel Nasser alichukuwa uongozi. Herbet aliitika kwa madai kwamba Nasser alikuwa mwarabu wal aio M-Misri kama ilivyotarajiwa nay a suez, ilisindua uhuru wa Misri kama ilivyotarajiwa na Ezekieli na Danieli. Katika mwaka wa 1970 Nasser alifariki na kurithiwa na Anwar Sadat, M-Misri mweusi kutoka kusini mwa Misri. Kwa hivyo unabii wa Armstrong alithinithswa kuwa ya uongo. Unabii kamili na maelezo ya matukio haya ziko kwenye karatasi The Fall of Egypt (No. 36).

Watu wa Jehova witness bado walifahamu kwamba wamepotoka kuhusu mwaka wa 18914, lakini walijaribu kificha hitiladu zao. Katika mwaka 1951 wakasema:

“Chini ya ulinzi wa Mungu wa uhuru, jarida ya siku hizi kwa jina watchtower iliyo julikana zamani kama zion watch tower, ilianza kuchapishwa July, 1879. Katika mwaka wa kwanza wa kuchapishwa kwake, iliashiria tarehe ya 1914 kama iliyotiwa alama kwenye Bibilia.” (What Has Religion Done for Mankind? 1951, p 308)

Ili kuaminiwa kurudi cha RCG chini ya Armstrong ilianza kusema kwamba katika nusu ya kwanza ya 1950, kwa “Kristo atarejelea mwaka wa 1957”. Mjano hii ilisongeshwa tu mbele, kwani kila tarehe ilifika na kupita.

1953Katika mwaka wa 1953 Armstrong alisema:

“Ndio inaonekana Mungu amekubali miaka ingine 19 kumalizka na kuendeleza injili yake katika ufalme wa dunia hii mgonjwa……… kuna kazi kubwa kufanywa kwa mda mrefu sana iliyoko mbele yetu. (Herman Hoeh, The Plain

Title Page 29

Truth, June, 1953, p 13)

Walionekana kurajibu kueleza rekodi yao ya unabii ya uongo.

Katika mwaka wa 1953 wakasema:“Baada ya takriban miaka elfu sita ya dhiki kwa binadamu na kifo mwishowe furaha ya mielele imekaribia na itashuhudiwa kwa muda unaokuja.” (New Heavens And A New Earth, 1953, p.7)

Mda huo ni miaka 40 na kwa upande huo, wakati huo ilikamilika mwakani 1993. Hiyo ilifikisha mwisho wa muungano wa WCG na kuanzisha kikundi cha trinity, kwa hivyo kwa hakika dunia ilipata pumzi kutokana na utabiri zoa za uongo, kwani misingi ya ilitolewa.

Katika mwaka wa 1953 katika unabii ya mshariki ya hati, HWA alitabiri kwamba Urisi na Uchina hawata tengana lakini watazidi kuungana hadi kurudi kwa Kristo. Walitengana mwaka wa 1918 na kubakia wahasidi kuu kwa zaiid ya miaka 30, wakipigana. walibaki wapinzani, lakini kushirikiana kwa mambo mengine, kama vile Urusi unavyo fanya na mataifa za magharibi. Unabii ya Armstrong, inaonekana kuonyesha uwezo kuangaza zaidi ya siasa za nyakati hizo.

Katika makala mengine ya PT ya mwaka 1953, HWA alitabiri kwamba wapinga umoja watajitokeza mashariki mwa Berlin na kusahanisha uhuru wa Nazi huku Ujerumani.

Katika mwaka wa 1953 (PT) makala ya Herman Noel alisema “Kremlin amepanga miaka 20 kwa Korea”. ukweli ilikuwa kwamba Esienhower alisilubisha tofauti hizo kwa mda wa mwezi moja.

1955Kama kawaida shirika la Armstrong wote walipotosha kwa unabii zao.

Katika mwaka wa 1955 pia tuliona:“Katika mwangaza wa kutimizwa kwa unabii wa Bibilia ni wazi kwamba vita vya Armageddon, ina karibia kutokea.” (You may survive Armageddon into God's new world, 1955, p. 331)

Herman Hoeh katika mwaka wa 1955 akasema:

“Mungu mwenzi amenena kupitia mtumishi wake manabii kwamba ata hukumu watu wetu kwa dhambi zao. Atasababisha ulafi wetu kusababisha ukame, mafuriko, janga na njaa kwamba tukamalizwa kabisa na kutekwa nyara na mataifa nyingine kama watumwa katika mda wa miaka 20.” (Herman Hoeh, The Plain Truth Oct, 1955, p 16)

Kwa wakati huo maendeleo katika ukulima ilikuwa muhimu sana kukumbana na ukosefu wa chakula. Hoeh pamoja na Armstrong walitumia shida ya nyakati hizo bila kufahamu madhara yake.

Katika mwaka wa 1955 (PT) Herman akasema:

“Tutakumbwa na janga la kitaifa mnamo mwaka 1975….. tutamalizwa kabisa na kutekwa na mataifa mengine kama watumwa katika miaka 20.”

Hii ilikuwa ni maneno tupu. Hawakufahamu nafasi ya US na BC kwa kuzindua mpangilio mpya ya dunia.

Pia katika mwaka wa 1955, Herman Hoea akasema:

“Kwa miaka 2o taifa hili litapinduliwa kwa ukame mbaya zaidi kwa historia yake.”

Kiwango cha chakula kwa wakati huo ulikuwa muhimu na katika mwaka wa 1975, ambayo ilikuwa mwaka ya mauuna mara tatu, kwa mwaka wa sahati wa 1976, nay a 1977, Merikani ilikuwa na nafaka chungu nzima na kuuza zingine kwa mataida za Soviet.

Kwa juhudi ya kupotosha msa wa miaka 6,000 watu wa Jehova witness walianza na kucheza na nyakati za Adam ili kulilia shaka muda huo wa miaka 6000. Walifanyia kosa hapo awali na tunaweza tazama hapo juu.

Katika mwaka wa 1955 alisema:“Ukweli bayana kwamba kama siri ya Jehova kakuna yeyote kwa sasa anayeweza kutambua mda gani, Adam na Eva waliishi tangu kuumbwa kwa hivyo hakuna anayeweza kutambua wakati mwaka 6000 za Jehova utakao kamilika. Ni wazi kwamba kiwango cha miaka 930 ambazo Adamu

Page 30 Unabii wa Uongo

aliishi kabla ya kuanza kwa muda huo siku ya saba Jehova alipopumsika wakati huo usiojulikana lazima iongezewe kwa tarehe ya 1976.” (Watchtower, February, 1, 1955, p 95)

Kwa vile hakuwafuatilia muda wa mwaka 4004BCE kwa sababu haikuwafaa kwa hivyo waliamua kupotosha ili kuendelea kutambua tarehe bandia kuwafaidisha.

1956Bila kukosolewa, Armstrong pamoja na ushirika wake waliendelea kutoka unabii za uongo.

Katika mwaka wa 1956 alisema. “Britain tiasambaratika katika njaa na janga katika musa wa miaka 3-5.”

Tena katika mwaka wa 1956, Herman Hoe akasema:

Miaka hizi saba za shida itatumaliza ikiwa tarehe ambazo ziliandikwa na manabii hawa ni kweli, kutokea mwaka wa 1962 hadi 1972!” (Herman Hoeh, The Plain Truth, April 1956, p.22).

Kwa muda huo wa 1956 wakatahadhari baada ya miaka 25 za unabii ya uongo ambao hawakusema ukweli hata kwa siku moja. Na wakasema:

“Lakini ni nano leo anaelewa kilichoharibiwa na manabii? Ni kwa nini basi watumishi ndio maneno yao yanatimizwa? Wale ambao wameteuliwa na kuongozwa na Mungu! Wale ambao matamshi yao hayatimizwi hawaja sema ukweli. Tunawapa rekodi ya kila kitu tumedai kwa muda wa miaka miwili – ujumbe ambalo hakuna sauti yeyote ambayo amejaribu kunana… lakini tuliyokuwa tukiwatahadharisha sasa inatendeka! Kama tulivyo andika….. Jinsi hii mnaweza kufahamu kwamba kazi yetu siyo ya binadamu, bali ni ya Mungu.” (Dec 1956, p 3)

Katika jarida la 1956 Aprili Herman Hoen anasema:

“Shika zinakuja …na kulingana na unabii huu ni baada ya miaka miwli kutokea sasa.

Alisema tena:“Tuko karibu kufikia kilele cha idadi ya watu kinyume na ubashiri wa wapaungaji wa sisasa na uchumi wetu”.

Kwa kweli hakuwa na jawabu. Idadi ya Marekani katika mwaka wa 1956 ilikuwa

milioni 180. Idadi ya marekani kwa hivyo iliongezeka kwa silimia 50 mwaka wa 1998 hadi kiwango cha milioni 270.

Kwa mwaka huo tena Hoen akasema:“Wengi wenu wata kumbuka kwamba yapatayo miaka mitatu iliyopita, tuliwaambia kwamba nusu ya kazi ya Mungu ya kueneza habari ya ufalme wake utamalizika mwaka wa 1972.”

Kwa hivyo kutokea nyakati hizo wakaunda mafunzo ya mwaka wa 1972 ya “place od safety” pamoja na mwaka 1975 ya mwisho wa dunia. kuelewa kwao kwa petra kama “pahali pa usalama” ulikuwa kwenye msingi wa uongo, iliyobuniwa na wasiyojuwa bibilia na madhehebu mengine. Herbert Armstrong hakufanya upelelezi wa kutosha katika katika kazi yake. Maneno zake haziku kubalika. Aliiba wingi wa uandishi wake kutoka kwa kazi ya G.G. Rupert, na kwa J. Allen’s work, Judah’s Sceptre and Joseph’s Birthright.

Katika mwaka wa 1956 na kuendelea baada ya Suez kanisa la Radio church of God ilianza kusma kwamba wa Britain hawatakomboa mali yao iliyopotea kwenye vita. Britain ilianza kubuni sera yake ya “mahariki ya suez” katika mda huu. Katika mwaka wa 1982 britain iliingia kwenye vita na Agentina na kuchukua tena kisiwa cha Falkland, ambayo kwa kawaida ilikuwa ni lango kuu ya kuingia Atlanta kusini. Kwa mara nyingie hii ni unabii ya uongo.

Mwaka wa 1956 gazeti la PT iliichapisha utabiri nyingi za uongo. Walitabiri kwamba, Oh Von Hassburg angeteka Hungary baada ya 1956. Hata hivyo mpango huo ilitubika.

Aprili 1956 (PT) ilichapisha kwamba “magonjwa inatisha baada ya miaka miwili.” Katika mwaka wa 1956 karida inayoitwa “Nani atatuzika” ikatabiri kwamba, wa Komunisti wataongoza Marekani kama tunavyojuwa, haikutendeka. ilisambaratika 1991.

Katika mwaka wa 1956 PT, walisema kwamba Franz Josef ndiye atakuwa mnyama na mtu aliyesemwa kwenye kitabu cha Hosea.

Title Page 31

Ni historia, kwamba Strauss, hakuwa kiongozi wa Ujerumani. Alishindwa na Helmut Schmidt katika mwaka wa 1982 na akafa 1988. Alikuwa mshirika mkuu wa US na Israeli maisha yake yote.

Kutoka mwaka wa 1956, baada ya Suez, walisema Britain haitawai ongoza tena. Historia inaonyesha kwamba ni ya uongo, ingawa wanajishugulisha na mamba za mashariki ya kati sasa. Shida siyo vitav lakini ni kuleta amani.

Herman Hoeh alisema, “Kwa miaka mingine kumi, kwa uoga wa ugaidi wa ki-komunist, haitakuwa salama kuishi bara Asia na Afrika. “Yapatayo mwaka wa 1975, majeshi ya marekani hatimaye walifukuzwa nje wa Vietnam na Indochina, lakini majeshi ya US walibaki salama huko Asia, pahali ambapo raia wa Marekani walikubwa na janga ya ugaidi ilikuwa tu ni mashariki ya kati; Afrika ya juu na Asia ilikuwa salama. Tena hizi zilikuwa utabiri za uongo.

Herbet Hoeh, Bdo katika mwaka wa 1956, inaashiria “kuja kwa wazinduzi wa kidini wa Uropa ambao wata vamia sisi katika mda iliyotajwa na unabii ya miaka 17.” Katika mwaka wa 1973,Rais Nixon, na katibu wa taifa, Henry Kissinger alikariri kuwa “mwaka wa Uropa “ wanachama wa Uropa, walipanuka hadi Britain na Ireland na wengine. Kwa hivyo hakukuwa na makabiliano yoyote. changamoto kwa Marekani unatokea Arebia na mataifa mengine yanayotoa mafuta ambao waliongeza bei ya mafuta na kusambaratisha uchumu wa Uropa. Unabii hizo zilikuwa kinyume na kweli.

1957Katika mwaka wa 1957, Cearmer Ted Armstrong, pia alisema:

“Marekani miwili iliyopita, bwana. Herman Hoea alionyesha katika jarida hilo, vile Mungu alitabiri magonjwa kwamba itavamia Markani kwa mkiaka miwili! Mmakurupuko hayo yameanza sasa!Na zitazidi sana! unabii wa Mungu unasema itatokezea baada ya miaka kumi na tano, takriban thuluthi moja ya idadi yetu watakufa kwa magonjwa na njaa! “(Garner Ted Armstrong, The Plain Truth, Dec 1957, p.23).

Katika mwaka wa 1957, Roderick Mereditu moja ya manabii wao, alisema:

“Hakuna kanisa lingine au kazi hapa duniani, ambayo inadai mambo haya!......hii ni kazi ya Mungu!...sana unatahadharishwa!” (Roderick Meredith, The Plain Truth, Aug 1957, p.6)

Katika 1957, Armstrong alisema: “ Britain hawata Jiunga na Uropa kwa Soko”, lakini 1973 Britain alijiunga Uropa Na soko kuu, unabii ingine ya uongo ilitengenezwa na kuvunjwa kwa saboto kupitia.

Katika mwaka wa 1957, timu ya Armstrong, ilisema:

“Katika mwisho wa ukame na mafuruko, sasa tunaanza kutaabika, taifa hili inaenda kuhukumiwa na magonjwa mabaya.”

Lini? Anaashiria makala ya miaka 1956 ya Plain Truth, inayosema:”Janga la ugonjwa inatishia U.S.A kwa mda wa miaka miwili! “kwa uwazi, alimaanisha mwaka wa 1958.

Mareditu aliendelea:“Kuongezea kwa onyo hizo…tutagundua kwamba, ugojwa wa mguu na mdomo utaenea sana, bila kuthibitiwa.”

Katika makala hiyo hiyo, akaendelea kutabiri kwamba:

”Baada ya 1965 tumezingiriwa na shida kuu na mataifa za wakimbizi, Amerika na Britain wataanza kutaabika na changamoto za kibiashara iliyowekwa wataanza kutaabika na changamoto za kibiashara iliyowekwa na Brown pamoja na wenzake na puia kuja kwa muungano wa mataifa ya Uropa….tutaanza kushuhudia mahangaiko, kutokana na ukosefu wa chakula”

Unabii huu wa Robert Meredith, haikuwa uongo tu, bali ilikuwa kinyume cha kilichotendeka, na ilionyesha kutoelewa kwa uimarishaji wa uchumi wa dunia ambayo ilikuwa muhimu sana kwa kuundwa kwa nguvu za unabii. Hakukuwa na shida za biashara kwa wakati huu. Wchimbaji wa mafuta wa Arabia, haikuleta changamoto katika mwaka wa 1973-1974, lakini Armstrong na timu yake kama Meredetu, walionekana kutofahamu, kilichokuwa kunatendeka. Walionekana kutokuwa na uwezo kupinga mambo hayo na kuona madhara zao kwa matukio ya dunia,

Page 32 Unabii wa Uongo

kulingana na unabii wa bibilia. Siku kufanywa, bila saka kama kitu itafanyika katika 1957, Aprili 1957, Gazeti ya Watchtower ikisomwa Mihran Ask aliuliza, Mjungaji kutoka California, akisema katika 1957(Januari) kuwa:

“Wakati mwingine April 16 na 13, 1957, Ammageddon ata lala Ulimwengu! Millioni ya watu wata kufa kwa moto na ardhi itaisha.”

Katika 1957 PT andiko walisema kwa ukumbo wa Roma, uumbo wa Uropa soko, wate.

1958Katika Octoba 1958, Herman Hoeh aliandika kwa kichwa “U.S. and Britain and Nazi UNDERGROUND Behind Arab Crisis.” Hainge kuwa na mtawalo wa Nazi kwa wa Arabu. Nazi alikua hamtaki Semtic na Wa Arabu walikuwa Semites. Wangfaa wakuwe kiolela na wajinga kwa wafuasin wa Nazis. Herman Hoeh hakuwa hivyo tuu kuelewa Historian a umuhimu ya kitu aliyosema. Vita hi Yordan, Lebanon na Iraq katika 1958 ni ujinga wa Waarabu. Kama wengine wameitazama, umuhimu bado inatazamwa na kuchukuliwa baadayw katika Ba’athist Tazamo wa Syria na Iraq. Walingwa mikono kwa siasa na nguvu, n asana muugano wa Soviet.

WCG kuelewa na wa Uropa Na nguvu za Wakatoliki kuchukua Yerusalemu imewafanya kulia mara mingi.

Katika 1958 Herman Hoeh alisisitiza vitu zingine za fedha kuungwa mikono na Armstrong alitazmwa akisema:

“ Sonko wa Germany ambaye ataongoza kwa mika 13 kutoka sasa Nchi 10 katika Uropa (Ku 17:12-13) ni mfalme wa kusini. Ata vuruta mikono yake kwa Nnchi: na Nchi ya Misri ata eepaI(Dan.11:42). Kutakwa na mgawanyo kati ya Nasser na wafuasi wake wa Gernan. Nasser Nazi wakuu wake wanelekea ku makna. Germanu itachukua Suez kutoka Misri. Germany itachukua Syria Mafuta, sasa chini ya Nasser.” (Herman Hoeh, The Plain Truth, Oct.1958, p.4)

Kama vile tuna jua, Germany hakufany hicho kitendo na haingafanya kitu ambacho waliambiwa. WCG kuelewa ilikuwa muhimu kufanywa kwa kisiasa, ikuacha unabii.

Fikiria Kuwa EEC itakuwa “nnchi kumi” kutoka kwa kusiolewana wa vichwa kumi, wazi, Armstrong hawakuwa na fikiria kuwa lengo wa EEc na ujazuri wao. Kama wange kuwa nayo hawange fanya makosa mengi na unabii kuhusu.

1959Ujumbe wa Meredit ulidhihirisho uongo walitamka unabii wa uongo na Rod Meredith alijaribu kudai kinyume.

“Tumekuwa tukijaribu kinyume na kanisa yoyote duniani kuai matukio Fulani za Ki unabii kutendeka na kweli zinatendeka… Kwa matukio Fulani za kinabii ambayo kanisa hii pekee inadai hivi karibuni itadhihirika kuwa ukweli! hakutakuwa na majadiliano au malumbano kuhusu hili. Mtaona na kuhisi vitu hivi vikitendeka” (Rod Meredith, The Plain Truth, Jun 1959, p 32).

Kama ma ripoti wa matukio ya kila siku vile vile walipotosha katika mwaka wa 1959 Herman Hoen alisema: “Uchina umepanga kuumia India” walimaanisha msimu wa 1959 sio baadaye bado tunangoja.

Katika jarida ingine ya 1959 (PT) walisemakwamba itakuwa; “Dhiki kwa Marekani kwa miaka 10-15.”

Miongo Za 1960

Katika mwanzo wa mwaka wa 1960, walichapisha katika gazeti la PT kwamba “Binadamu hatawahi tembea mwezini”

Gazeti la PT katika mwaka wa 1960 ilichapisha jambo la unabii ya uongo, iliyonuiwa kwa muungano hizo na matukio ambayo ilikuwa ikatatiza mpango wa shetani kwa uharibiu wa mipango za dunia. Ni kwamba sauti ziliongea vinywani mwao kwa msingi mfululizo ambayo ilienda kinyume na matarajio ya shetani.

Katika mwaka wa 1960 gazeti la plain truth ilidai katika mwaka wa 1972 kwamba itakua ni siku ya kurudi kwa Kristo.

Katika gazeti hilo la PT ya mwaka 1960 HWA na mwanawe GTA walidai kwamba changamoto la Arabia kuhusu mafuta

Title Page 33

atafanya Ujerumani na Japani kujihami kwani marekani haingeweza kuwalinda.

Katika vita vya Gulf ya mwaka 1991 kinyume kilitendeka na mataifa yote yalisita walipoitwa.

Kwa chapisho ya 1960 PT, vile walidai kwamba Marekani haingeweza kugeuza wimbi la komunisti kwenye dunia. Komunisti, ilififia peke yake kwa ajili ya hitilafu zake huko Urusi. wa uchini sasa wametahadharika ili kukinga madhara kama hiyo kutokea.

Katika makala ya PT ya 1960 Rod Meredith alichukua dhamira hiyo kwamba “Uturuki utakinga Marekani kutoroka nazi huko Uropa na kwamba itaharibu America na Britain. Na baadaye itaangamizwa kwa ajili ya hila kama hii”. Alikuwa muongo na unabii zake haikuwa uwongo tu bal hayakutilia mkazo mpango na nguvu ya NATO. Bila shaka itaangaziwa tena hapo mbeleni lakini nguvu yake bado itakuwa uwongo.

Pia walitoa unabii ya uongo juu ya mpango ya ukulima katika mwaka wa 1960. Walisema kwamba ngano mpya na miema za hali ya juu utaleta njaa nyingi. Lakini kinyume ilitendeka. Hali ya mavuno ilienda juu kwa mataifa masikini na wanaoendela kama Asia, Afrika na Latin Amerika kwa miaka zingine 20.

Katika miaka za 1960 pia walisema kwamba kutakuwepo na mmomonyoko wa udongo katika mataifa Marekani mnamo mwaka wa 1972. Mmonyoko huo ungesababisha janga kuu la chakula. Ukweli ni kwamba mmonyoko huo wa udongo ulikuwa kinyume katika mwaka wa 1980. Mamlaka ya Reagan ya idaya ya ukulima na mpango wa kupanda miti ulinuia kukumbana na shida hiyo. Kwa hivyo walikuwa wanapotosha tena.

Shirika lote la kanisa ya Radio Church of God na idara yake walitamka unabii za uongo kwa njia ya mfululizo.

1960Katika mwaka wa 1960 walisema kwamba

ikiwa John F. Kennedy angechaguliwa kama rais, papa angekuwa na urahisi wa kuongoza ulimwengu.

Katika mwaka huo tena unabii mwingine pia ulingunduliwa kuwa ya uongo. Piazzi Smith aliyekuwa msomaji wa anga wa Scotland aliandika itabu inayoitwa “Urithi wetu wa mnara kuu”. Ilikuwa rahisi kueneza imani hiyo ya Ki-mnara kote duniani. Hii ni imani kwamba siri zimefichwa kweye mipaka kama vile ilivyokuwa kwenye mnara kuu. Alikamilisha kwenye upelelezi wake, kwamba millennium utaanza kabla ya mwisho wa mwaka wa 1960 CE.

Katika mwaka wa 1960, Ted Armstrong alijiunga na wengine kueneza unabii ya uongo. alijiona kama mirth wa biashara ya unabii ya uongo na haikujalisha chochote mtu aliena bora tu ni neno. Haikujalisha kama ni kweli au uongo watu bado walitoa pesa zao.

“Hizi shida zote za ndani paoja na kuinuliwa nguvu kwa Uropa, inaenda kuletea Amerika janga kuu na Britain katika miaka za 60….. inaenda kutendeka! Sio hata malumbano, shaka au lawama itaibadilisha! Mwenyezi Mungu na neno lake kuu, inayo nguruma kutoka kwa kiti chake cha enzi katika anga kwamba unabii hizi zote zitatimizwa! (Garner Ted Armstrong, The Plain Truth, March, 1960, p 10).

1961Katika mwaka wa 1961, wana Jehova Witness bado walikuwa wanabashiri ujumbvo na wakasema:

“Kama Elija wa zamani walikuwa na shaka sana, kupoteza imani na kudhani kwamba nyakati za mwisho imo njiani. Hii ilikuwa ndiyo hali kwani mabaki hayo yalikuwa ni kipande cha bibi harusi wa Kristo, na akakosa kuzalisha imani yake ya kuwa na utakatifu pamoja na Yesu katika mwaka wa 1914 na sasa 1918. (Let Your Name Be Sanctified, 1961, p. 313)

Bado wakiwa wanajaribu kueleza kuibuka kwa mpango ya Uropa katika mwaka wa 1961, HWA alitabiri kwamba vita vya Berlin, italetea kusambaratika kwa marekani na kuinuka kwa muungano wa nazi huko Ujerumani.

Lakini kinyume ndio ilitendeka. Mavazi ya

Page 34 Unabii wa Uongo

Marekani huk Berlin ulidhihirisha uongozi wa US katika bara Uropa kwa zaidi ya miongo mitatu. Ujerumani ulibakia kwa utengamano kwa zaidi ya miaka thelathini. Wakati ilinganishwa ilifanya hivyo kama taifa la demokrasia kwenye muungano wa E.E.C. ambayo ni mshirika wa NATO.

Katika chapisho la 1962 HWA alionyesha ujinga wake kwa mambo ya uchumi. Alidai. “Hakuna uimarishaji inayotajariwa hivi karbuni.” Wakati Marekani ilianza kuimarika katika nyakati hiyo nap engine dunia yote.

1962

Katika mwaka wa 1962 kosa la Armstrong kutojuwa kilichokuwa kikitendeka katika kiteknologia na ki unabii ilidhihirishwa kwa namana ifutayo.

“Katika vitabu vya Joel! Matayo 24, Mariko 13, Luka 21 na Yohana 13, Ufunuo 6, na vingine vya unabii, mabadiliko kwenye halin ya 1970-72 na imetabiriwa. Pia imetabiriwa majanga na makurupuko ya magonjwa! thuluthi ya watu wa Merikani na Britain watafariki kutokana na janga hili.” (The Plain Truth, Herbert Armstrong, Feb, 1962, pp. 5,7)

Dhana hili la unabii ulichukuliwa kwenye kitabu cha ufunuo, lakini haikutiliwa makazo. Joto la ulimwengu na jukumu lake hata haikutajwa kama kipande cha tukio hilo.

Ted Armstrong alikuwa anadhinisha babake kama nabii wa kweli, kwamba ataendelea kwa nyayo zake. Alifanya hilo vizuri kwani si yeye wala wasaidizi wake walipato chochote cha kweli.

Katika mwaka wa 1962 alisema:“Hachitaji ujuzi wowote wa bibilia au majadiliano kukubali kwamba kile ambacho bwana Herbert W. Armstrong alinena kabla na wakati wa vita vya pili ya dunia na kile ambacho yeye na wengine wamekuwa wakinena siku nenda siku rudi, kwa kweli inatendeka sasa.” (Garner Ted Armstrong. The Plain Truth, Nov, 1962, p 21)

1963Katika jarida lake la kwanza, katika Marchi 1963 PT Gene Hugberg alisema, hali mbaya zaidi ya anga katika miongo, inamaanisha

mwanzo wa kiangazi. Inaonekna kwamba kila mmoja aliajibika kumfuata kiongozi wake katika kutoa unabii za kiungo. Walikubali na kutekeleza matamshi hayo za uongo kwa kila mtu kuamini,

Katika mwaka wa 1963 watu wa Jehova Witness hawakucha nyuma pia katika utabiri za uongo:

“Ni kwa umuhimu gani hii inayo leo? ina maanisha kwamba kuanguka kwa mwanadamu katika mwaka wa 1963, imekaa katika dunia hii kwa miaka 5, 988. Je inamaanisha kwamba mwaka wa 1963, tulikuwa tumeendela kwa miaka 5, 988 kwa siku ya Jehova (mwanzo 2:3) la kwa kuumbwa kwa Adamu laimbatani na siku ambayo Jehova alipumzika. Kufuatiya kuumbwa kwa Adamu nab ado katika siku sita za kazi, Jehova anaonekana bado alikuwa akiumbe wanyama wengine na ndege. Pia alimfanya Adam kuzipa majina wanyama wengine na ndege. Pia alimfanya Adam kuzipa majina wanyama hao, ambayo ilichukua mda na kisha akaendela kuumba Eva (mwanzo 2:18-22). Mda wowote iliyobaki kati ya kuumbw kwa Adamu na siku Jehova alipumzika lazima iondolewe kwenye miaka 5,988 kuifanya sahihi. Haifadhishi kutumia maelzo ya Bibilia kutoa ubashiri kwa tarehe ambazo ziko mbali kwa sasa” (All Scripture is inspired of God and Beneficial, 1963, page 286).

Hakuna mbinu yeyote iliyotambulika ambayo ingedhihirisha msururu hii, na mtandao wa kuapisha haikutazamwa kama ingetazamwa, ingeonyesha kwamba matamshi haya si ya kweli.

Mnamo Novemba 30, 1963, Herbert Armstrong baadaye akasema: “Tumebakia miaka minane pekee kumaliza kazi hii”. Na katika barua ingine ya Novemba 22, 1963, alisema kwamba: “Kwa miaka minane ijayo na waziri wetu wote watanyambazishwa.” Alimaanisha kwamba kuhukumiwa kwa kidini, ingenyamazisha huduma ya kazi ya Mungu duniani pengine angetutenga na unabii huu ya uongo.

1964Katika mwaka wa 1964 Ron Kelly alijiunga na manabii hawa wa uongo na kusema:

“Kuungananishwa kwa Ujerumani? Pengine itafanyika karibuni sana kinyume na tulivyotarajia! Kuunganisha kwa mataifa kumi zsa uropa ikakaribu kuletwa baada ya miaka michache”. (Ron Kelly, The Plain Truth, Sept,

Title Page 35

1964, p 20)

Waliamua kwamba vita vya kutumia mizinga aina ya H-bomb ilikaribia kwa hivyo kuingiza kwenye kalenda yao, wakasema katika barua yao ya 1964 kwamba “Miaka misaba pekee kabla ya vita vya kutumia H bomb ianze.”

1965Katika mwaka wa 1965 waliandika kwamba mnamo mwaka wa 1969 Britain itakua bila nguvu na kuingiliwa na umaskini na kutafuta misaasa ujerumani. Roderick Meredith katika mwaka wa 1965 alisema:

“Kwa kweli, matukio mengi yaliyotabiriwa inaonyesha kwamba, mabadiliko haya ya mwisho wa ufalme wa Roma na kuhukumiwa kwa waumini wengi wakristo itafanyika katika miaka zingine saba au kumi ya maisha yenu!” Rod Meredith, The Plain Truth, Feb 1965, p 48).

Katika mwaka huo Rod Meredith alisema tena kwamba kuna “ushahidi kwamba Hiltier hakufa uongozi wake”.

Katika mwaka wa 1965 aliendelea kusema:“Unabii ya Bibilia inaonyesha kwamba mavamizi ya mwisho wa US na Britain na “mnyama” huyu aneyekuja yaweza kutokea pengine mwanzoni wa msimu wa baridi ya mwaka wa 1972 au baadaye……….” (Rod Meredith, The Plain Truth, May, 1965, p 45).

Rod Meredith alidai kwamba “shida ya biashara katika masoko ya Uropa italemaza Britain na US”

Mwaka wa 1965 alichafuliwa na matamshi za kupumbavu na uongo ambayo haikuwa na msimamo wowote. Zingine zilikuwa mamb tu za utani. Walisema kwamba mashariki mwa Yerusalemu, itakuwa mkononi mwa wakimbizi hadi Kristo atakaporudi na takribani miaka miwili baadaye wa Israeli wakaiteka.

Chapisho la May 1965 ilidai kwamba: “Hitler atafufuliwa kimakosa na papa.”

Katika Disemba 1965, barua ya Hitler Armstrong ilisema: “Tukio kwenye kilele cha unyakuzi – miaka sita pekee imebaki”.

Unabii ya Herman Hoen unapitwa na wakati

umethibitishwa kuwa ya uongo kwa kila kitu alisema:

“Kisu cha ki – Kumuniti na kwa waongo wa kati na kusini mwa Uropa utaanza (1965) kutoweka chini kwenye magoti yetu.”

Miaka 40 baadaye, bado haijatimizwa.

Baadaye katka mwaka wa 1960 walianza kudai kati kati ya mwaka wa 1970, Britain itakuwa imepoteza lango zake zote za habati. Britain ikazindua mswada wake wa “mashariki mwa Suez” kwa wakati huu na baada ya kusaidia Malaysia na Singapore kupata uhuru ikajiondoa. Britain ilicha huru Hong Kong baada ya miaka 200 ya kuiteka mwishoni mwa karne ya 20 lakini bado imethibiti Gibraltar, Cyprus, Ascension, Mauritus na pahali pengine, ilitangazwa wazi lakini waliamua kuifanya kama utabiri yao wenyewe na wakaikosa.

1966Katika makala ya 1966 na Dale Schurter tuliambiwa “Kujiandaa kwa ukame huko US katika mda wa miaka 3-5”.

Kukosa kwa shirika la RCC / WCG kuelewa kalenda ya bibilia, ilimaanisha kwamba walipeana ushauri mbaya na kisha kuitumia kama ushahidi kwamba kiangazi itatokea ni haikutokea.

Herbert Armstrong alitahadharisha watu dhidi ya kutumia mbolea na mamia ya wakulima wa WWCG waliteseka kwa ajili ya dundisho lake kwamba ilikuwa dhambi. Kukosa kwao kuinua kalenda ya jubilee pia ilimaanisha kwamba wakulima hawakuwa sambamba na kalenda ya kweli.

Roderick Meredith aliripotiwa kusema katika mwaka wa 1966 kwamba katika miaka mitatu mnamo 1969 jamioi itakua imesambaratika huko Marekani. Alisema kwamba mamilioni ya watu watatorokea miji mikuu. Sababu mtu kukimbilia miji mkuu wakati wa vita inashangaza, lakini alisema. Haitakutendeka kama sote tunavyojuwa.

Katika mwaka wa 1966 mpangilio wa mpita pia ikatupiliwa mbali na watu wakachukulia mwaka wa 1975 kama mwisho wa muda wa

Page 36 Unabii wa Uongo

miaka 6,000. Msingi ya fikira hilo ni ajabu kiasi cha kile cha wana Jehova Witness.

“Kulingana na bibilia tukufu miaka elfu sita baada ya kuumbwa kwa binadamu utamalizika 1975 na mda wa saba wa miaka elfu moja wa historia ya binadamu itaanza mwishoni mwa 1975 CE, miaka elfu sita za kuwepo kwa mwanadamu duniani, hivi karibuni itakamilka. Utawala wa Kristo…..utaenda sambamba na millennia ya saba………” (Life Everlasting in Freedom of the Sons of God, 1966, pp.29-30)

Kwa hivyo katika mwaka wa 1966, tunaona Jehova Witness walikuwa wanatumia mwaka wa 1975 na GCG. Hii ilionekana kuwa swala la “mbwa wangu anambweka tu akisikia ya jirani ikibweka”.

“Majadiliano ya 1975 ilikuwa yenye uzito kuliko lolote. Kitabu kipya ina tushurutisha kufahamu kwamba Armageddon imekaribia sana” (Watchtower, 15/10/1966, p 629).

Katika mwaka wa 1966 walikimbia pamoja na kitabu chake na kuitumiwa kama ushahidi wa mtandao mpya.

“Katika karne hii ya ishirini, somo huru limefanywa ambalo halifuatilii mambo mengine za kale za hesabu za wa – Kristo na mpangilio wa mambo kutoka kwa sono hili inatoa tarehe ya kuumbwa kwa binadamu kama 4026 BCE. Kwa hivyo miaka elfu sita za kuwepo kwa mwanadamu hapa duniani itaishi karibuni katika familia hii.” (Life Everlasting in Freedom of the Sons of God, p.29, 1966)

Ilionekana kuoambatanishwa na tarehe ya 4025 BCE inayoisha miaka 6000 katika mwaka wa 1975. Tukitazama kuumbwa kwa Adam, mwaka wa 4004 BCE, ambayo ni kulingana na kalenda ya kwanza, kisha tunachukua dhana kwamba Adam aliumbwa kama mwanamne na tunaweza kufikia tarehe ya mwanzo wa 4024. Hii pengine inaweza kuwa tarehe iliyotumiwa lakini tarehe hizo zilikuwa miaka miwili nje kama vile wana Jehova Witness wanasema. Tabia yao ya kunitilafiana na ukosefu wa ujuzi wa historia ndio chanzo cha hitilafu hizi kwa hivyo mwaka wa kuinuliwa ya 1977/8 ndiyo moja wao. Shida pia imeenezwa kwa sala kwamba dunia haikulaumiwa kwa janga lingine kwa hivyo haikuanza hadi mwisho wa miaka za Adam mpaka alipofikisha miaka thelathini.

Kwa hivyo mwisho wa miaka 6,000 ndio wa kwanza kabisa katika mda wa 2027 na wala sio 1977. ikiwa Herbert Armstrong ana wana watchtower Bible walikuwa wanatazama kalenda ya Mungu sawa, hawange fanya kosa hili (see also the paper God’s Calendar (No. 156)).

1967Haya makanisa na mashirika ziliendelea hivyo katika mwaka wa 1967.

“Hebu kumbuka 1975 naadhimisha mwisho wa miaka 6000 za binadamu hapa duniani… Je itakuwa wakati Mungu atahukumu waovu?.... pengine itakuwa lakini tutangoja tuone.” (Watchtower, 1/5/1967, p 262)

“Siku ya miele” iliyotabiriwa takriban zaidi ya manabii thelathini itatokea kati ya miaka 5 na 10 kuanza sasa! siandiki mambo za ujinga, lakini ya kweli kwa idhini ya Kristo anayeishi.” (Herbert Armstrong, The Plain Truth, Feb. 1967, p.47)

Kwa hivyo Herbert Armstrong alidai kunena kwa idhini ya Kristo na kufanya Kristo kuhusisha na unabii wake ya uongo.

Katika July 5, 1967 barua ya HWA iliandika: “Wa –Yuda watavunja ngome katika mwamba.”

Pia aliweka makubaliano na mamlaka za nguvu na kwamba hangeweza kutekeleza chochote aliyopanga mambo hizi zote zilionyesha kwamba hakuwa na uwezo wowote wa ki unabii.

“Alikuwa asema kwamba” kwa sasa yani kabla ya miaka mitano au kabla ya siku kuu ya bwana, Kristo ameingia haraka kufungua milango zote muhimu ambazo zimefungwa tangu nyakati za mitume!” ……..mwenyezi Mungu amefungua dunia ya kesho, yaani lango kuu ya radio kuu kutoka Jerusalemu!........ Tumekubaliana na serikali ja Jordan, juu ya makataa ya miaka mitano…….. “Na wakati hii ikifika ni kwa nini Mungu alifungulia vifaa hivi vya kifahari vya redio? Sio kwa wa Roma, Katoliki wala makubaliano na serikali ya Jordan kwa ajili ya kazi yake…… Hii inathibitisha ni sauti gani duniani ambayo ni ya Mungu…. Ikiwa anashaka kuhusu kazi ya Mungu, unapaswa kufahamu!” (ibid., p6) (Herbert Armstrong, Co-worker letter of April 17, 1967, pp.3-4).

Armstrong tena akasema:“Kutakuweko na hekalu jerusalemu na sadaka ya

Title Page 37

kila siku ikitolewa tena --- Yerusalemu utazingirwa na kutekwa na wa Nazi haramu wa ufalme wa Uropa, tayari wameanza kujitokeza sasa kutoka kwenye soko huru”. (Herbert Armstrong, PT, p 7, June 1967, p2)

Katika mwaka huo huo wa 1967 alisema “wa Israeli wata kubaliana na vitacan kujenga hekalu ya tau mwaka wa 1972.”

Mwaka wa 1967 katika Pasaka, akiongea huko Uingereza Herbert Armstrong alisema katika mwaka huo Jordan atateka magharibi mwa Yerusalemu. Ukweli ni kwamba baada ya majuma sita, Israeli ikanyakua Jerusalemu yote na kuinyang’anya Jordan.

1968Jehova witness katika mwaka wa 1968 alisema:

“Miaka zijazo kwa wakike itatimizwa na matukio za hali ya hewa, Kwani muda huu wa zamani unakaribia kuisha. Baada ya miaka michache, angalau sehemu bibilia yenye unahii kama hii utatimizwa na sababisha unyakozi ya watu kwenye utawala kuu ya miaka 1000 ya Kristo” (Watctower, 1/5/1968)

Walichukulia muda mwingini na baada kuiboresha katika mwaka wa 1968 wakasema:

“Miaka minane baada ya msimu wa Autume ya 1967, utatuleta kwenye msimu wa Autume wa mwaka 1975 kamili kwenye miaka 6000 za mungu na katika siku ya saba ya mapumziko (Watchtower, May 1, 1968, p.271).

Tena wakasema:“Kwa nini mnatazamia mwaka 1975 “- “Ni mambo gani haya yanayohusu mwaka wa 1975? Majadiliano, zingine za uvumi, yemeibuka katika miezi iliyopita miongoni mwa wanafunzi. Imani yao imewekwa na imani kwamba mwaka wa 1975 itaaduimisha mwisho wa miaka 6000 za kuishi kwa sina damu tangu kuombwa kwa Adam.Uwepo karibu wa terehe kama hiyo muhimu,inazua hisia na kuleta majadiliano “(Watchtower, Aug 15,1968, p.494).

Katika jarida hiyo pia wakasema:“Adam ambaye aliumbwa katika siku ya sita,je sasa inataa kuhisia kwamba vita vya Armageddon itakuwa imeisha katika msimu wa joto la 1975, na utawala wa kisto wa miaka 4000 itaauza?Inawezekana,lakini tungoje kuona vile itakuwa .Pengine itajumuisha tafauti machache cha miezi au miaka “(Watctower, Aug,15, 1963, p.499).

Unahii wa uongo na hisia, ilionekana kuenea katika mamlaka ya utulu ya “Waite House”na waka sio mwaka wa 1968 pekee.

“Ninajua ya kutosha kuhusu kinachoendelea, kukuharifu kwamba, miaka kumi na tano ijayo dunia hii inaenda kuwa pahali hatari zaidi kuishi. (Truth That Leads To Eternal Life, p 9, 1968 edition, Quoting USA Secretary of State Dean Acheson in 1960, [1981 edition deleted "in fifteen years from today" i.e. in 1975])

Pia walibeba unabii za uongo za RCG. Ilionekana walichoka na unabii mwingine za uongo. Wana Jehova witness wakasema:

“Hivi majuzi, kitabu kiitwacho “Njaa 1975” [by W. & P. Paddock, 1967, pp. 52,55,61.] ilisema kuhusu saidi ya sasa ya chakula kwamba. “Njaa imeingia katika kila taifa, bara maeneo yote Chauge moto la leo. Inaweza kutambaa kwa upande mmoja pekee kuwa mbaya zaidi .Leo mataifa yenye njaa,na za kesho “-----“Katika misukosuko ya kisiasa ya 1975, tabu utawala kiimla,uchumi mbaya,hali mbaya ya mawasiliano itakuwa hali siku, (The Truth That Leads To Eternal Life, pp. 88-89, 1968).

“Mwaka wa 1914, iliwekwa alama. Kabla hiyo, wanafunzi wengi walitambua kwamba mwaka wa 1914 ilikuwa yenye umuhimu. Walitarajia mabadiliko mengi, na sitakihadhi ikaonyesha kwamba mwaka wa 1914 iliwekwa alama,” (The Truth That Leads To Eternal Life, 1968, 40,000,000, p.91)

“Bibilia inaongea kuhusu nyakati tunayoishi kama nyakati za mwisho ‘(2Timothy3:1, Daniel 11:40).Mambo yanayo onyesha kwamba hii ni muda michache,ambayo ina mwanzo wake.Ilianza mwaka wa 1914 wakati Kristo alitawazwa kama mfalme wa binguni.Itaisha wakati mungu atangamiza utawala huu wa uovu. Je itakuwa lini? Mwanawe Mungu, Yesu Kristo alipeana jibu. Baada ya kuzua hisia kwa vitu vingi vinavyo adhimisha mda wa 1914 kuendlea, kama “nyakati za mwisho” Yesu alisema: “Jamii hii bila shaka itapotelea mbali, mpaka vitu hivi vifanyike” (Mathayo 24:34). Alimaanisha jamii gani? Yesu aliashiria wale watu ambao “wangeoni vita hivyo.” Na vitu hivyo ni matukio ambayo yametendeka tangu mwaka wa 1914 na yale ambayo yako njiani. (Mathayo 24:33) wale waliozaliwa miaka hamsini iliopita hawangeweza kuona “mamb haya” zilidhirihika baada ya matukio yaliyotabiriwa kutendeka. Lakini kuna watu sasa ambao walikuwa hai katika mwaka wa 1914 na kuona kilicho tendeka na waliokuwa kubwa kutosha kuelewa mambo. Idadi kubwa ya watu hawa kwa sasa wamefariki. Ilhali Yeu alisema “Jamii hii ya sasa haitaisha

Page 38 Unabii wa Uongo

bila mambo haya kutendeka.” Wengine wao wataishi kuona mwisho wa maovu haya. Hii ina maanisha mda mchache ndo imebaki!” (Truth That Leads To Eternal Life, p. 94, 1968)

Hapa wana Jehova Witness, walibadili jambo hilo kuhusu “mwaka yenye umuhimu” badala ya mwisho wa nyakati kama walivyo sema zamani.

Katika mwaka wa 1968 walisema:“Hebu kumbukeni wandugu yamebakia tu miezi 90 kabla ya kuadhimisha miaka 6000 ya mwanadamu duniani ……… wengi wa watu wanaoishi leo, watakuwa hai kushuhudia Armageddon ikitendeka na hakutakuwa na matumaini ya ufufuo wa watakao kufa kwa vita hivyo. Kwa hivyo kuna haka ya kutotii roho ya kutaka mambo mengi.” (Kingdom Ministry, March 1968, p. 4 [the calculation is based on 1968 + 90 months = 1975]).

Mara nyingine walikosea.

Katika mwaka wa 1968 walieleza kwamba ilikuwa Mungu ambaye alizuia mambo hayo kutendeka katika msimu ya vita vya kwanza vya dunia kwa hivyo hawakufanya kosa hilo tena katika vita vya pili. Au walifanya? Hata hivyo wanarudia jambo hilo tena sasa bila kujali waliyosema mwanzoni.

“Katika vita vya kwanza vya dunia watu wa Mungu wanaitarajia kuelekea moja kwa moja kwenye vita vya Armageddon, lakini Jehova alizuia mambo hayo. Hatuku patikana kwa mambo hayo katika vita vya pili vya dunia.” (Kingdom Ministry, Jan. 1968, p 5)

Waliendelea kwenye mwaka wa 1968 kama ifuatayo.

“Lakini leo inahusu nini? Leo tumepata ushahidi wa kutosha kuihusu. Na leo tumegundua kwamba viashirio vingi vikuu vya nyakati za mwisho zinaonekana pamoja na maanidko ya Bibilia” (Awake! Oct 8, 1968, p 23).

Katika Mwaka wa 1968 wana “Jehova witness” waliwatambua kama manabii ya uongo, waliotamka mambo haya, walisema kwamba kilichokosekama kwa watu hawa ni ukweli wa Mungu, na ushahidi aliyotumia kuwaongoza. Amen-Tumekubali.

“Ukweli kumekuweko na watu ambao waliwatabiri “mwisho” wa dunia na hata kutoa tarehe fulani. Ilhali hakuna kilichotendeka mwisho haikufika. Waliabika kwa uongo wao. Kwa nini? Nini kilichokosekana? Ukweli wa

Mungu ndio ilikosekana kwa watu hao na ushahidi aliyetumia kuwaongoza.” (Awake, Oct. 8, 1968)

1969Mtindo huo uliendelea katika mwaka wa 1969 na wana Jehova Witness walikuwa wanabuni mtindo yao. Ilikuwa kuanzia mwaka huu, kama tutakavyoona RCG ilianza mtindo yao kwa njia ingine.

“Kunayo muda mfupi kabla Jehova kuangamiza njia za watu waovu”. (Watchtower Jan, 15, 1969)

“Kulingana na mda mchache unaobaki, uamuzi wa kutafuta kazi katika mtandao huu, sio tu ni ya upumbavu bali pia ni hatari – mandugu wengi na wadasa walipewa kandarasi ya masomo au ajira yenye mshasha mzuri. Hata hivyo walizikataa na kuweka mahitaji ya kiroho kwanza.” (Kingdom ministry, June 1969, p.3)

Mwakani 1969 walisema kwamba wametazama upya mpango wao, na kusema kwamba millennia ya sita utaisha kati kati mwa miaka za sabini. Hakuna hesabu kama hiyo iliyokuwa inawezekana, iwapo walikuwa sasa. Kulingana na tarehe zao za mwanzo wa uongozi wa shetani, ilianza kabla ya kuumbwa kwa Adamu na wala sio baadaye. Hiyo ilikuwa hitilafu raisi lakini muhimi sana. Kwa maneno zingine walimaanisha kwamba shetani alikuwa uongozi hata kwenye shamba la Eden. Maelezo yao haikuwa sawa na ile ya kwanza na kulingana naye bado wanatetea ile mpango wa mwaka wa 1914, inayo anza 1874/1876 kama tulivyo tazama.

“Hivi majuzi, wapepelezi wa Bibilia takatifu wamerejela kutazama mpangilio yake. Kulingana na hesabu yao, millennia sita za maisha ya binadamu duniani, utaisha miaka za sabibi kwa hivyo milenia ya saba kutokea kuumbwa kwa binadamu, utaanza baada ya miaka kumi. Kando na mabadiliko ya ulimwengu kwamba mabadiliko ya dunia ya sasa imekaribia.…..ili Bwana Yesu awe hata bwana wa siku ya sabato utawala wake wa miaka mia moja itakuwa ni ya sasa, kwenye misururu ya miaka za millennia (Mathayo 12:8, AV) kwa hivyo itakuwa ni utawala wa ki-sabato. Tangu zamani katika uwepo wa binadamu kutaabika, na kufanya dunia kujazwa na maovu kabla ya mafuriko makuu ya siku Nuhu. Hivi karibuni millennium sita za uongozi wake wa kuhangaisha mwanadamu, utafikia kikomo katika miaka za wale walioshuhudia matukio ya

Title Page 39

1914, kucunga na maneno za ki nabii za Yesu kwenye (Mathayo 24:34) kwa hivyo miaka hizo za millennia zitakuwa mwanzo wa jehoca Mungu kuanza utawala wake kwa viumbe vyote. Kweli kabisa! Na mfalme wake Yesu Kristo itakuwa Bwana wa sabato hiyo”. (Watchtower, Nov. 15, 1969, pp. 622, 623)

Baada ya mwaka wa 1960, Herbert Armstrong alianza kukubaliana na watu wa Jehova witness na kudai kwamba kurudi kwa Kristo utakuwa mwaka wa 1975, ilhali katika mwaka wa 1960 alidai itakuwa 1972 kama tulivyoona.

Madai ya mwaka wa 1970

Misururu za unabii za ajabu na za uongo zilitokeza mwakani 1970.

Mwanzoni mwa 1970 habarua za wasomi zilianza kutoea.

Herbert Armstrong alisema “Prince Charles atakuwa mfalme wa uingereza na kuwa kiongozi mbaya zaidi iliyotabiriwa kwnye kitabu cha Isaya”.

Madai ya Armstrong alikuwa kwamba Ujerumani unge danya makubaliano na Soviet kuchukua mashariki mwa Uropa. Lakini ilikuwa ni Marekani iliyojadiliana na Soviet kujiondoa kutoka mashariki mwa Uropa mwakani 1989-1991.

Marekani Moses David (David Berg) alikuwa mwanzilishi wa kikundi cha wakristo kiitwacho watoto wa Mungu [The Children of God]. Alitabiri kwamba nyota Fulani itagonga dinia katika miaka za 1970 na kuharibu maisha zote. Katika Marekani. Wengine walisema kwamba aliamini itendeke 1973.

Mhubiri wa televisheni Arnold Murray alifundisha imani ya kupinga ki – trinity kuhusu Mungu na utambulisho wa Kristo katika mwaka wa 1970, alitabiri kwamba wapinga Kristo wangepenya kabla ya mwaka 1981.

1971Katika mwaka wa 1971 wana Jehova Witness walisema:

“Baadaye kidogo baada ya karne 20” vitu katika siku ya Jehova itaanza dhidi ya wapinga ukristo wa Jesalemu wa sasa. (The Nations Shall Know That I Am Jehovah, 1971, 2nd ed., p, 216).

1972Baada ya Leonid Brezhen kiongozi wa soviet katika mwaka wa 1964 tofauti kati ya vifaa vya nuclea ikatoweka pole pole. Katika mwaka wa 1972, Brezhev na Nixon walianzisha msimu wa uongozi wa kiimla. Uliwekwa juu ya Herbert Armstrong na Herman Hoen ambao kwa wakati huo walidai Marekani itaangamizwa. Ni kama kwamba walitoa matamshi kwa hisia ya mapepo ambao hakuwa ruhusiwa kujitokeza kwa wakati Fulani.

Wakati mwaka wa 1972 ilikaribia tulisikia mambo mengi kutoka kwa shirika la Armstrong. Mwakani 1972 Herbert Armstrong alisema.

“Hatu tengi tarehe… ilhali kulingana na msisimuko wetu wa kibinadamu, tunayo nyakati chache karibu nayo na tunasikitika sana… tukitenda tarehe Fulani, nadhani hakuna haja kuomba radhi”. (Herbert Armstrong, Tommorow’s World, Feb 1972, p. 31)

Nini mtu anapaswa kufanya kufaulu katika kuweka tarehe ikiwa hakufanya hiyo?

Watu wa Jehova witness kwa wakati huo walikuwa njiani kwa kosa lingine la kushangaza katika mwaka wa 1972 walisema:

“Kwa kweli ni raisi kusema kwamba kundi hili lina fanya kali kama, nabii wa Mungu. Ni kazi kingine kuithibitisha njia ya kipekee ya kutekeleza jambo hilo ni kutazama upya kazi hiyo. Inayonyesha nini? (Watchtower, April 1, 1972, p 197).

“Je, kukariri kwao kufanya makosa, inawatambua kama manabii wa uongo? Sio vile kani manabii wa uongo hawakubali kosa”. (Watchtower, Nov. 1, 1972, p 644).

Ikiwa tutakubali kwamba sisi ni manabii wa ungo, kwa kweli si is wauongo. Hivyo ndivyo waliomaanisha. Ilhali angalia katika waliosema tena. Ambayo ilikuwa wazi kwamba walikuwa manabii wa uongo.

“Ikiwa ni kwa ajili yake kuona dunia hii kurembeshwa katika mwisho wa mwaka wake w

Page 40 Unabii wa Uongo

asana wa uumbaji, basi wakati umefika wa kuharibiwa kwa dunia na waovu ambao watakomeshwa na nguvu ya kidini na mabadiliko yenye baraka kuanza. Tayari miaka elfu sita ya uwepo wa binadamu umekaribia. Lazima tunakaribia mwanzo wa utawala huo wa Yesu Kristo ambayo lazima iandamane na paradise kulingana na alichufunsiah Yesu katika mlima Kalvari.” (Paradise Restored to Mankind - By Theocracy, 1972; p. 18)

Kanisa mpya ya world wide church of God ikasema katika mwaka wa 1973 kuendelea kwamba.

“Britain itajiondoa kwenye muungano wa Ulaya”.

Sasa ni miaka thelathini na britain bado ni mwanachama. Hakuna kura ya maoni inayohitajika ili mtu kujiondoa. Ingawa wao wenyewe wangejiondoa wakihitaji kuta ya maoni.

Sasa ni mwaka wa thelathini na Britania bado wako. Hakuna kura ya maoni wanakub kuwa na kuraliwa kuacha.isipokuwa wanaweza kuaacha kama wange kuwa na kura ya maoni. Katika 1974 Herbert Armstrong alisema kuwa: Baada ya Nixon Kujuuzulu, U.S hawatata

wal tena duniani na kuwa na nguvu vitani.

Silaha ya US itadhibitisha Kukubali na Uwezo kuenda vita kuchunga duia ya mafuta kutoka sehemu y Persian.

Tume kuwa na vita mbili uko Persina Gulf na Iraq na hakuna dalili kusimamisa vita hiyo. Inatia shaka na kusukumwa kwa US, Armstrong na wizara yake hakuono hiki.

Katika mwaka wa 1974 wa Jehova Witness bado walikuwa wanachunguza hitilau zao za unabii.

“Hawa mibaki ya wateule wamejitambulisha katika ukurasa wa historia tangu 1914CE. kabla ya mwaka huu wanachama wateule walikuwa wanasama neno la Mungu, waliweka Bibilia takatifu mbele ya dini za binadamu. Mwanzoni 1876 walichapisha kwamba nyakati za wakimbizi wa miaka 2, 520 unge malizika katika mwaka wa 1914. Matukio ambayo yemtokea kuanzia mwaka huu, ulithibitisha kwamba walikosea” (God's "Eternal Purpose" Now

Triumphing For Man's Good, 1974, pp. 178-179).

“Ndio ni kwamba mwisho wa utawala huu umekaribia sana! Je huo si ni sababu kukaza kazi yetu? ……..maripoti inasikizwa ya mandugu kuuza nyumba zao na mali kumalizia siku zao zinazohakia katika mda huu. Kwa kweli hii ni njia nzuri kutumia wakati mdogo unaobaki kabla ya dunia hii mwovu kuisha.” (Kingdom Ministry, May 1974, p3)

“Pia inatuambia kwamba millennium lazima ifuatiwe kwa karibu na vita vikuu kufika historia ya mwanadamu. Sasa tunaweza kuona viongozi wa kisasa……….ku kusanywa……….kwa vita hivyo vukuu…..” (Watchtower, July 1, 1974, p 397).

Kitu walichoeleza ukweli ni kwamba millennium itafuatwa na vita kuu katika historia ya binadamu. Hta hivyo Armstrong wana Jehova witness hawakuelewa.

Katika mwaka wa 1974 mtabiri wa nyota John Gribber na Stephen Plageman walitabiri “janga la sayari”. Walisema kwamba ikiwa sayari zote zitakuja upande mmoja wa jua, mawimbi yenye nguvu iasababisha hitilafu ya anga, mvua na hali ya joto na pia tetemekola ardhi. Sayari haziku rundikizana katika kwaka wa 1984 kama walivyo fanya katika mwaka iliyopita. Hali hiyo ikitazamwa kutoka duniani, hakikuona chochote cha ajabu.”

1975Mwaka wa 1975 ulifika na matatizo zilikuwa sawa na zilizopatwa na Jehova Witness na unabii zao za uongo katika kwaka wa 1925.

“Mwaka wa 1925 ulikuja na kutolewa wateule wa Yesu bado walikuwa duniani kama darasa. Waumini wa zamani kama, Ibrahim, Daudi na wengine hawakuwa wamefufuliwa kuongoza dunia. (Zab 45:16) kwa hivyo vile Anna me Donald anakumbuka: mwaka 1925 ulikuwa wenye huzuni kwa ndugu zetu. Wengine wao walitelezwa. Matumaini zao zilipotezwa…..Badala ya kuchukuliwa kuwa “ubashiri” wakaichukua kama “ukweli” na wengine walijitayarisha kupokea wapendwa wao wakitarajia kufufuliwa.” (Yearbook, 1925, p 146)

“Kwa mda mchango ulifanywa kwa ajili ya kujenda nyumba huko San Diego kwa nduguye Rutherford kuhsu mali hii, kitabu cha wokovu wa 1939 ulisema”. Katika san Diego, Califonia

Title Page 41

kunayo upande mdogo wa shamba, ambayo katika Beth Sarim.” (Yearbook, 1975, p 194)

“Je hii inamaanisha kwamba binadamu sasa amefikisha miaka 6,000 katika mda wa miaka 7,000 ambayo Mungu alibariki na kutenga kama mapumziko? ……….La! haimaanishi hiyo.” (Watchtower, 1/10/1975 p. 579)

Walisema kinyume hadi wa sasa. inaonekana wafuasi wao watakubaliana na matamshi yao bila kuongaza ya kale. Watu wetu wamekumbwa na uvumi kama huu kote duniani. Mfumo hii itaharibu uhuru wetu na uajibikaji ya viongozi wetu.

Walisema katika mwaka wa 1975:“Hata hivyo hatimaye mwisho wa vita vya kwanza vya dunia ulifika. Haikuendelea jinsi wasomi wa Bibilia walitarajia katika mabadiliko au vita vya Armageddon. Na kwa waabudu Jehova waaminidu katika agano jipya kupitia Yesu Kristo, bado walijimufu hapa duniani”. (Man's Salvation Out Of World Distress At Hand, 1975, p. 98)

“Kwa miaka mingi mabaki yaw a-israeli kuanzia 1876 wamekuwa wakitazamia, kukamilika kwa nyakati za ukimbizi katika msimu wa mwaka wa 1914. walitarajia ufalme wa Mungu kuidhinishwa binguni na pia watakatifu wa Israeli kupewa utukufu pamoja na Yesu Kristo katika utukufu wao. Amelezo yote wa maandiko matakatifu yalielekenzwa upande huu. Na wakati mwaka wa 1914 ulipomalizika kufuatia mioto za vita vya kwanza, walifikiri kwamba wangepewa utukufu katika mwaka wa 1918, miaka mitatu na nusu baada ya mwisho wa nyakati za wakimbizi. (Man's Salvation Out Of World Distress At Hand, 1975, p. 136)

Lakini kama kawaida, haikuwa na tofauti yoyote kwao au kwa wana World Wide Church of God. Kosa hili ilikuwa ghadhabu kuu kwa makanisa hayo. Watu wengi waliuliza mali yao na kupitia kanisa pesa hizo wakitarajia kupelekwa kwa pahali pa usalama mwakani 1972, mali hayo haikurejeshwa. shirika hilo lilitumia pesa hizo kwa haja zao wenyewe, matatizo haya yalishuhudiwa mwaka wa 1844 na pia chini ya wana Jehova witness. Watu wengi inaonekana walipoteza kila kitu.

Pahali pa kitilia mkazo sana hapa ni baada ya miaka za 1972-1975 walipo kosea, na kusalimishwa kwa unabii wa 1975 na WCG, idadi kubwa ya maelezo iliandikwa. Herbert

Armstrong alirejea maelezo hayo ya kile ambacho kueneza injili inamaanisha.

Kwa tahadhari wengi wa viongozi walitolewa kwenye afisi zao au kuwawa (kama Rais wa chile) katika mda wa mwezi moja ya kukutana naye.

Jambo lililokubaliwa la kanisa ya World Wide Church ni kwamba, “Shetani anatoa watu hawa, kabla washughulikie ujumbe wa Mungu. “Hukuna aliyegundua kwamba maoni hii ilikuweka shetani kuma mwenye nguvu kushinda Mungu. Jambo la wezi iliyojjitokeza ni kwamba watu hawa wali. Pewa laana kwa kukutana na Herbert Armstrong ama kumsikiza. Pia ni kwamba waliajibika kwa sababu zingine ata ingawa Herbert Armstrong Mwenyewe, hangekuwakulingani na huduma yake.

Kiwango cha unabii wa uongo ulianza kudidimia kwa wakati huu, kwani viongozi wao walizeeka na kutokuwa na uwezo wa kuhadilisha maandisho yao. Wengine nao hawakufahamu chochote.

Baada ya mwaka 1975 hali Baadaye kwa wakati huu, Kristo hakuwa amerjea kama vile kwa wakati huu, Kristo hakuwa amerejea kama vile ilitabiriwa. Kwa kweli WCG hakuwa tu ameenda Petra kama pahali pa usalama, kama ilivyo nenwa na Armstrong na shiko lake, haikuonekana kuelekea popote. Uongo unao zingira unabii hii imo kwenye kartasi. The Place of Safety (No. 194). Kama tulivyoona sio hata unabii mmoja waliotoa pamoja na Jehova witness ilitimizwa.

Kukumiana na kujisifu ulianza bila kujikiri.

Kati kati mwa mwaka wa 1970, Herbert Armstrong alikuwa na shida juu ya idadi kubwa ya wahuduma wanaotoa maneno yenye hitilafu na siasa.

Kwa juhudi ya kujaribu kuzithibiti alisema kwa barua mwakani 1970.

“Wahuduma wanaojitenga nami na kuacha ushirikiano huu watarudishwa chini kiasi cha kutumia mikono yako.”

Page 42 Unabii wa Uongo

Ilitazamwa na waandishi wengine ambao walitoroka shikika la WCG, kwamba maoni hayo ilikuwa ni matamshi kuhusu jinsi aliona “Uungawana wa kazi” kwa kweli wengi wao hawakuwa wamefanya chochote ikiwa tu tutahesabu masomo ya Bibilia na uhubiri wa sabato kama kazi.

Bila kujali ukweli wa mambo kunayo shirika mbili kama hii ambayo ilimwacha na kisha wakawa tajiri. Art Makarrow na Robert Kuhn, walikuwa ma milionea, mwingine Ernest Marth alikuwa mfanisi na pia kuheshimiwa katika huduma ya bibilia. Kwa kweli ikiwa Earnest Marto angeskizwa akiwa WCG mengi hitilafu za Armstrong zingerekebishwa nap engine wengi ya watu bado wangekuwa hai kufuatia mafundisho hayo.

1976Mwaka wa 1976 ulishikiliwa kuadhimisha “mwanzo muda wa elimu katika neno iliyoandikwa ya Mungu kutoka kwa unabii ya Bibilia ieleweka vizuri baada ya kutimiwza kwa hivyo kulihitajika kuwa na rekebisho kwa maoni yetu ya awali na wa Israeli na wa Israeli wa kiroho waliobaki…….. hii mpango mpya ya bibilia ilikuwa na madhara kwa waliobaki. Ilielekea kazi yao kwenye njia nzuri”. (Man’s salvation out of world disthess at hand, 1975, p 191)

“Inaweza kuwa kwamba baadhi ya wale ambao wamekuwa wanahudumia Mungu wamepanga maisha yao kulingana na maoni, potovu, kuhusu kilichokifanyika kwa tarehe fulani kwa mwanavyotakiwa kuongozo. Lakini wamekosea onyo za Bibilia kuhusu mwisho wa mambo za dunia, na wa kidhani kwamba bibilia inaonyesha tarehe hiyo.” (Watchtower, July 15, 1976, p 440)

Baada ya makosa mengi, wana Jehova witness sasa wakaanza kukataa kwamba bibilia imeandika tarehe hiyo kwa maneno mengine hawakuelewa maajabu za Mungu na kwa hivyo kupinga uwepo wake.

1977Herbart Armstrong hakukoma kutoa matamshi za uongo, ingawa alipotoka kwa kila wakati alitoa unabii. Kwa sababu zisizoeleweka, nap engine hakujuwa sababu aliuotoa kwenye maelezo ya mwaka nap engine hakujuwa sababu aliyotoa kwenye maelezo ya mwaka 1927. Ilikuwa mwaka wa

ziada iliopita ambayo alikuwa akinena na ambayo kwenyewe ilikuwa ni mwaka wa ziada. Angetoa ukweli Fulani hapo lakini alikosea. Badala yake alisema.

“Katika wakati huu, katika miaka 60-90 au michache kutokea 1927, Kristo atarudi tena……..” (HWA, Co-worker letter, Jan 20, 1977, p 4).

Hii ndio unabii wa pekee ambayo Armstrong alinena yenye uwezekano wa kuwa ukweli lakini sasa kwa miaka 90 wala sio miaka 60 alivyosema awali. Ikiwa alielewa mbinu ya kalenda ya jubilee angetengeneza mambo mengi kwa wakati huu, ambayo kwa kweli ilikuwa ni mwaka wa mwisho. Ikiwa miaka elfu sita inayosimamiwa na siku sita za wiki ina ukweli wowote na tarehe ya 4004BCE wa Bibilia ni sahihi, basi shetani ataongeza kwa mwaka wa 2027 CE. Mwaka huo ni miaka 6,000 kutoka kwa 3974/3BCE, ambayo iliadhimisha kulaaniwa kwa dunia na kuanza kwa msimu wa mwaka 3973BCE.

Wakati ambao imekatishwa ndio wkati ambao mesia atatumwa duniani, kuokoa waliomtazamia. Maelezo haya rahisi haikutiliwa mkazo na Armstrong, Hoen Meredith au mwanachama wowote wa WCG au kanisa la (seventh day) au Jehova Witness. Hii ndio ilikuwa kuelelezo cha msingi lakini haikutumiwa vizuri. Kalenda ya Mungu ni muhimu katika kuelewa unabii za bibilia. Kuelewa lazima tuiweke vizuri na lazima tuwe na msingi wa somo la “mwezi mpya”.

Katika mwaka wa 1977 pia, Jeohova witness walikuwa wanatazamia mwaka wa sabato wa 1926 katika msimu uliopita. Walionekana kutotosheka na umuhimu wake, ingawa ilifutallia ghadhabu ya 1925 na hii ilionekana kuwa sababu. Pia ingekuwa sababu kuwa Herbert Armstrong alichukua mwaka wa 1927, nap engine kutoka kwa maelezo yao maovu. Herbert alikuwa muingizaji mkuu na inaonekana aliiba hitilafu hizi kutoka kwa wana Jehova Witness kwani wana JW walisema:

“Kweli mwaka wa 1926 ilistahili kutiwa alama kama siku ya furaha katika mda wa siku 1,335 wale wa watu sa “Danieli” ambao walikuwa na matarajio na kufika mwisho wa siku 1,335 walingizwa kwenye furaha isiyokwisha, lakini

Title Page 43

hiyo pamoja na shida zingine za dunia zimeendelea. (Our Incoming World Government God’s Kingdom, pp 146-147, 1977)

1978Kwa wakati uhubiri wa runinga ulianzika kwa hali ya juu na kulikuweka na unabii za uongo kila pahali. Katika mwaka wa 1978, Chuck Smith mhubiri wa costa mesa, alitabiri unyakuzi katika mwaka wa 1981.

Katika mwaka wa 1978, barua ya HWA ilitabiri kwamba papa mtakatifu atakae fuata ataunganisha haraka Uropa. Jambo hili la papa ya mwaka wa 1978 ilikuwa ni jambo kuu la unabii lakini hakuelewa mambo itakayofuata.

Yohana Paulo I aliuliwa katika Vatican baada ya mwezi moja ofisini, na kabla kuleta mabadiliko. Yohana Paulo II, ambaye haku unganisha Uropa, alichukua hukumu. Lakini, wan a EEC wame endelea kupitia uongozi wake. Yohan Paulo II alinyazwa mara ma ingi na alitarajiwa kufa kwa muda mrefu. (Mwishowe alikufa Aprili 2005.) Angalia karatasi Papa wa mwiho: Examining Nostradamus na Malachy (No. 288).

1979Katika 199 Wa Jehova Witness alichapisha Vitu zingine kwa kujiendelea kwa kutazama Bibilia na wakuu wa Boma. Wana waita “Waminufu na Wanyazwa.” Na wanaitwa “darasa ya wanyanyaswa”wi ana sema kuwa sehemu waliunga Kiristo kwa Mungu waliwekwa moto kama hivyo kupitia unabii wa Russell na Rutherford hawaku barikiwa. Kupitia kukebaliwa hii tuna weza uunda mtazamo mbili na kuweugawanyiko.

1. Bibilia kuthibitiswa.2. Maandiko wa Jws hawaku thibitswa

na haijakuwa tangu kuwekwa.

“Kwasababu ya hili imani, “waminifu walio nyanyaswa” wamebadili watu wote wa Mungu kwa wakati kutaja jina La Mungu kutawala ulimwengu. Kupitia hiki, inafaitazamwe “waminifu walio nyanyaswa” hawakuwa Dhibitiswa, hawakuwa wenye busara. Maandiko hizo wana wanchama wengine wa “darasa la wanynyswa ambaye walitoka sehemu ya ukristo ya Mungu wali dhibitiswa na kuwekwa huru, lakini hiko si ukweli kwa andiko hilo. Vitu ilochapiswa hawakuwa sawa wakati wa Charles

Taze Russell, moja Rais wa Watch Towes Bible Tract Society; au hawaku sawa kwa siku wa J.F. Rutherford, aliyochukua Rais. Ongezeko wa taa kwa maneno ya Mungu na kwa historia imeongezeka kutaka mabadiliko. lakini wacha tusishauo kuwa “wanyanyaswa” ilikuwa wazi, kuwa na maana. (The Watchover, March 1, 1979, p.24)

Ikiwa zilikuwa na maana nzuri makosa zingesababisha hisia na marekebisho katika matukio za shirika la watchtower Bible Society. Hawakuta sababu lolote la makosa yao. Vile vile walisema:

“Kwa sababu ya hisia ya kutoka kuwa hai wakati Kristo ataingia uongozini, kumekuweko na waumini ambao walianza kutafuta wakati ambao mambo za uongo na uovu zitaondolewa. Hii imefanyika sasa kwa wakati huu ‘wa msiho’ na kurudia ulimwengu kwa kutimizwa kwa maneno za Petero, hata tumeisikia sauti ya wapingamizi.” (2 Petero 2:3, 4)” (Choosing The Best Way Of Life, 1979, p. 169)

Katika mwaka wa 1979 jarida ilitoandikwa na Gene Hogberg ilisema kwamba makubailiani ya panama inamaanisha kwamba Marekani imepoteza uthiri wa Ranama Canal.

Katika mwaka wa 1989, Marekani ilivamia Panama na kungoa mpinzani wa Marekani, Noriega. Hata hivyo kupotezwa kwa Panama Canal kwa Marekani bado ni jambo la kuzua hisia katika siasa za ndani.

1980Katika mwaka wa 1980 Helad Jensin kiongozi wa [Baha'i World Faith] Bahai ambacho ni kikundi cha wakristo litabiri kwamba janga la nuclear ingefanyika mwakani 1980. Hii ingefuatiwa na miongo miwili za vita, ambayo ingeishia katika uzindizi wa ufalme wa Mungu dunia.

Makali za nuclear inaonekana wazi kulingana na maandiko ya Bibilia. Hata hivyo, kando na Japani hazikutokea katika karne ya 20 kando na manabii hawa.

Jehowa witness bado walikuwa wakisongeza unabii yao, wakitoa matamshi mwakani 1975. Sasa walikuwa wanadai kwamba wengine walisema ni ubashiri wala sio ukweli. Wasomaji wanaweza kuona mambo

Page 44 Unabii wa Uongo

wenyewe ambao walisema. Walionekama kuandika tena mambo kutoshea matamshi yao. Maono yao kuhusu tetekeko la ardhi pia imechunguzwa kuingine, kuonyesha kwamba ilikuwa kinyume na kilicho daiwa katika karne ya 20 baada ya mwaka 1914, lakini hiyo ni jambo la siku ingine.

“Katika kutitakaza kwa kitabu kiitwacho ‘uhuru wa miele kwa wana wa Mungu” na maoni zake kuhusu vile itakuwa katika utawala wa millennium wa Kristo, kuenda sambamba na millennia ya saba ya uwepo wa binadamu, matarajio makuu ilitokea kuhusu mwaka wa 1975. kwa bahati mbaya, pamoja na ujumbe hiyo, kulikuweko na matamshi mengine ambayo yaliadhiria tumaini kama hiyo, iliyosisitiza kwamba, hii ilikuwa tu ni uwezekano. Inasikitiwa kwamba matamshi haya ya baadaye, ilifunika yale maovu na kuleta hali ya matarajio makuu ambayo yalikuwa yamefanywa…… kwa kusema mtu yeyote, watchtower ilijumuisha wale watu wote wa Jehova waliyoghadhabika, kwa hivyo kuhusisha wachapishaji wa ujumbe ambayo ilizua hali ya matumani katika tarehe hiyo (Watchtower, March 15, 1980, pp 17-18).

Hata hivyo, bado hawawezi kutupilia mbali matamshi ya uovu walisema:

“Ikiwa nji ya uovu wa dunia hii itaponea hadi kubadilika kwa karne (mwaka 2000) ambayo haiwezekani kulingana na jinsi mambp za dunia inaendelea na kutekelezwa kwa unabii wa Bibilia, bado kutakuweko na mahanga wa vita vya kwanza vya dunia. Hata hivyo sababu kwamba idadi yao inapungua ni dhirihisho kwamba ‘kumalizika kwa dunia hii imekaribia.” (The Watchtower, Oct. 15, 1980, p.31).

Ukweli ni kwamba watu walioshi kwenye mwaka wa 1914 karibu wote wamefariki, na karne hiyo imekwisha. Bado hatujapatia mambo ambayo yanapswa itendeka, kabla ya Mesia kurudi. Mwenye umri mdogo zaidi atakuwa miaka 90 katika mwanzo wa mwaka 2005.

1981Katiak 1981 Rev. Sun Myung Moon, walionza wa Unification Church, na kutazamwa kuwa Ufadhi wa Mbinguni itawekwa kwa kwa mwaka. Haikuwa na kutazama, na akajiungana watu wa Wanabii wa uongo.

1982Katika mwaka wa 1982 JW walianza kusema

kwamba utabiri zao zilikuwa kweli na kwamba vitu vilianza mwakani 1914 kama walivyotabiri. Mtu anapaswa tu kuangalia waliyo sema hapa juu na kujuwa uongo wa unabii wao. Ata madai yao kuhusu kilichosemwa na viongozi wa dunia ni uongo. Nguvu za dunia ziliingia kwenye vita kwanza vya dunia, kwa ajili ya kupata mamlaka walisema:

“Bibilia haikutabiri tu vitu hivi, bali kuonyesha kwamba mambo haya yatafanyika kwa kiwango cha dunia kite. Pia bibilia ikasema mambo haya yatatendeka wale wote waliozaliwa mwakani 1914. Basi ni nini viongozi hawa maarufu walitabiri kabla ya mwaka 1914? Walisema hali inayowezesha kukuza amani duniani haikuonekana. Ilhali majanga hatari ilitabiriwa na bibilia iliaza mwaka wa 1914! Kwa kweli viongozi vya dunia sasa wanasema mwaka wa 1914, ilikuwa ni mwaka ya ki-historia. Baada ya kuzua hisia ya watu wengi kuhusu mambo yatakayotendeka mwaka wa 1914 kuendelea, Yesu alisema: “Jamii hii haitaisha hadi vitu hivi vitendeke, (Mathayo 24:34, 14). Ni jamii gain Yesu alimaanisha?” Alimaanisha jamii inayoishi katika mwaka wa 1914. waliobaki kwa sasa katika jamii hiyo wamezeeka. Hata hivyi wengine wao, bado wataishi kuona mwisho wa uovu. Hivi karibuni tutashuhudia mwisho ya waovu katika vita vya Armageddon.” (You Can Live Forever In Paradise On Earth, p. 154, 1982)

Katika mwaka wa 1982 Pat Rubertson alijiunga manabii wa uongo. Alitabiri miaka michache kabla kwamba dunia ungemalizika katika mwaka wa 1980.

Katika mwaka wa 1982, Herbert Armstrong alitia unabii mwingie ya uongo na kaonyesha ujinga wake kuhusu wa Britain. Katika barua yake ailiwaambia waumini kutarajia Argentina kuzama kwenye meli ya Royal Navy katika vita vya Flaklad. Hiyo haikutendeka ingwa waharibifu wa Britain walipatikana kuwa na uzito katika mambo ya habari. Chuma ya meli hiyo ilibadilisha na vyuma vingine ambavyo havikuwezi kushika moto, ilikuongeza mbio na kutoa uzito. Vitu vingine vichache vilipotezwa lakini ilikuwa ni ushahidi kuu kwa Britain katikamda wa miezi miwili. Wanajeshi wa maji wa arjentina walilamazwa hapo bararani na wanajeshi wa hewa wakaangamizwa. Viongozi wa Arjentina na wafuasi wao waliangushwa.

Title Page 45

Katika barua ingine ya 1982 aliandika:“Ninatuhami kutmia Petra kama pahali pa kuweka wakimbizi wakati wa janga kuu nitakapoona mfalme Hussein ombeni kwa ajili ya jambo hili.”

Kila mtu ambaye angekuwa katika eneo hilo angeomba kwa ajili ya kinyume. Hata katika mwaka wa 1992, bado kulikuwa na watu wenye maoni kwamba pahala pa usalama upon a ilikuwa Petra. Kulikuweko na makala pa usalama uliyochapishwa kwa ajili ya jambo hilo. Mmoja way a CCG alitoa uhibiri juu ya Petra katika kwama wa 1988. ilikuwa mchanganyiko wa maandiko yaliyounganishwa kuonyesha neon hilo lilimaanisha Petra. Popote neon Selah ilitamkwa ilimaanisha Petra. Selah alitumiwa kwa uhusiano na Kadeh Barnea, ambayo ili potoshwa katika eneo la Dead sea. Selah ilitolewa kwenye ukurasa wa zaburi na kutumiwa kuashiria kwa Petra. Ilitumiwa kabisa kinyumeacha maana. Mahubiri hayo yalisisimua kwa sababu ya ujinga wao.

1984Maunabii za Armstrong hazikuwa sahihi na hakuna mtu aliyemchukulia sawa ila tu watu wa WCG ambao bado hawakuwa wametoa uamuzi.

Imeangaziwa na watu wengi kwamba katika safari yake ya mwisho huko Yerusalemu mwakani 1984, Herbert Armstrong alianza kutambua kwamba alichukuliwa kupotoka au zaidi. Viongozi wa Israeli hawakumchukulia vizuri. Kwa wakati huu alilemewa kifedha vibaya. Ina daiwa kwamba alilia mbele ya wahudhiriaji kwamba shida na mahangaiko inamfuata. Alikufa Januari 16 kisha ikawa tarehe ya mwanzo wa wanabii wa uongo kama kanisa la Mungu la Phaliselphia.

Laana zake kwa Israeli ilionekana kutokuwa na umuhimu vita na Labanon ilimazilika baadaye. Miongo iliyofuata ilioa amani na ukuaji wa uchimi na maendeleo kwa Israeli na Yerusalemu. Kukuwa kwa Palestina mwakani 1987 haingeweza kuthibiti Israeli.

Ilikuwa pengine kwamba kupotezwa kwa Jerusalemu kwa Jordan na ufalme kwa Israeli

ilitatiza Armstrong. Ilikomesha kutangaza mtu anaweza kusema kwamba Mungu alimnyamazisha kuwa nafasi ya kuwa shahidi au kwa kweli nabii.

Katika mwaka wa 1984 JW badp walikuwa wanabadhiri vile wahanga wa mwaka wa 1914 wangedumu hadi mwisho. Hata baada ya hitilafu hizo zote na unabii za uongo bado walikuwa wanatenga terehe ambayo kristo hakuwa na mpango wa kuhifadhi.

“Wengine wa jamii hiyo” (1914) wangepona hadi mwisho wa karne. Lakini kuna ishara nyingi kwamba ‘mwisho’ umekaribia sana! (The Watchtower, March 1, 1984, pp 18-19).

Katika mwaka wa 1984 waliandika maana ya kitamaduni ya neon ‘jamii’ ilichukuliwa kumaanisha mda wa miaka 40 na mda huo ulihisisha kutubu pia. Walipashwa kuiendeleza kumaanisha wale waliozaliwa katika mwaka huo nab ado wako hai kwa sasa. Hata kwa wakati huo, walikuwa manaishiwa na saa. Walisema:

“Maelezo haya yanahushisha wale waliozaliwa katika msimu ya tukio la kihistroria na wote waliokuwa hai wakati huo. Ikiwa Yesu alitumia neon “Jamii” katika muktadha huo na tuithisishe na mwaka wa 1914, basi watoto wao sasa wana umti wa miaka 70 au zaidi. Na wengine waliokuwa hai mwaka wa 1914 sasa umri zao ni 80 au 90 wengine wachache pia wamefikisha miaka mia moja. Bado kunayo wataishi hadi vitu hivi kutendeka.” (Watchtower, 15 May 1984, p.5)

Ukweli ni kwamba hata walipokosea kiasi gain hawangejiondoa kutoka uongo. Haweelewi mda wa bibilia ya kupeana wakati na hawajui jinsi ya kusahihisha walichosema, ikiwa walihifadhi amri za Mungu na kuzitii, wangejifundisha wote na kusahihisha maoni zao, kwa kufuta kile ambacho CCG alitenda na kusema. Wote wanapswa kuanza na sheria ya Mungu na kutazama sababu za Mungu kwanza na kasha kuelewa wataongezewa kwani waaminidu. Herbert Armstrong alikotofisha kalenda ya Mungu katika kanisa la Mungu miongini mwa madhambi zingine na kwa hivyo ujarisi ilitolewa kwake pamoja na sherika lake.

1986Katika mwaka wa 1986 JW bado walikuwa wanajaribu kuthibitisha mwaka wa 1914

Page 46 Unabii wa Uongo

kama tarehe muhimu sana ya unabii ambayo haikuwa. Walisema:

“Katika zama za 1976 Jehova’s Witness waligundua kwamba Bibilia na unabii wake uiadhimisha mwaka wa 1914 CE kama wakati ambao matukio makuu zitatendeka ambazo sababu kwa ajili ya jambo hili kusambaa. (True Peace And Security, 1986, p. 70)

Katika ukurasa huo pia walisema:“Maneno ya kinabii zilizoko kwenye bibilia kuhusu siku yetu, imebeba mambo yafuatayo… (4) kupona kwa angalau jamii zingine ambao waliona kuanzika kwa “mwisho wa mambo za kisasa” (True Peace And Security, 1986, p. 70)

Sasa maelezo hii ni kinyume sana na unabii wa bibilia kwa sababu hawaelewi kufufuka kwa wafu (No. 143). Mungu alisema kupitia nabii Isaya kwamba wazuri walipelekwa mahali ili kuwakinga na maovu haya) Isa 57:1-2).

1988Unyakuzi ulitabiriwa kutendeka Octoba 3 mwaka wa 1988 na Edgar E. Whisenant. Kitu kama hicho hakikutendeka. Kama tunavyofahamu kwa kweli haingeweza kutenda. Ni kinyuem cha unabii ya Bibilia kama tulivyoeleza kwenye Millennium na Unyakuzi (No. 95). Kasha alidai kwamba, hesabu yake ilikuwa mbaya

Katika mwaka 1989 JW bado walijihusisha na mamba haya maovu.

“Mtume Paulo alikuwa anasambaza mambo ya ukristo. Pia alikuwa anaweka msingi kwenye kazi ambayo itakamilika katika karne yetu ya lo.” (Watchtower, Jan. 1, 1989, p. 12 [the bound volume changed "20th century" to "day"])

Katika mwaka huu walianza kuchunguza vile wana JW wa zamani walikuwa katika dhahabu ambayo iliazimia kuhukumia kwa Russel. Kwa hivyo uongozi huo ulijitenga na unabii za uongo ingawa wao wenyewe walikuwa wanapigania jambo hilo walisema:

“Katika mwanzoni mwa karne ya 20, baada ya 1919 wasomi wa bibilia kama vile Jehova witness walivyotamblika walikuwa waondolewa kwenye utumwa wa kiroho katika mafunzo na matendo ya dini ya uongo. Ingawa walikataa mafunzo ya uongo kama hayo bado walifundishwa na tamaduni za Babulon. Wengi walibuni tabia ya utakatifu wa kujidai. Wengine waliabudu viumbe, wakaingia kwenye dini za uongo abayo ilijushungulisha na Charles T.

Russel, aliyekuwa rais wa kwanza wa kikundi cha watchtower na Track society. Bila msingi wowote wa bibilia walitazamia krismasi na siku za kuzaliwa. Msamaha bado ilikuwa muhimu katika maisha yao. Wengine pia walivaa mifano za msalaba katika shingo zao na wengine wakijitafutilia heshima.” (The Watchtower, May 1, 1989, p 3)

Chunguza bado walishikilia tamaduni zao za “church of God” na kukataa kile cha kiroho. Lakini msingi wa kukataa kwao mitindo haya ilitoka kwenye sheria ya Mungu, ambayyo walidai kwamba iliondolewa kutema sabato na kalenda yake. Mafunzo yao hayaeleweki. Imeidhinishwa na hitilafu za unabii za uongo, ambayo kwa sasa wanatetea kwa nini sasa wasitubu na kalenda sheria za Mungu? Ni vigumu sana na hawaelewi.

Katika mwaka wa 1989, walipaswa kueleza kwanini waliimarika. Walifurahia na jinsi vitu vilivyokuwa asante.

“Mwakani 1904 kitabu cha the new creation ilizua hisia juu ya muungano huu ambayo ilianzika katika karne ya kwanza CE. kujaribu kubashiri jinsi mwisho wa siku ya wahanga itakavyokuwa, kitabu hicho hakikuhusisho kazi ambayo ilikuwa karibu kufanyika baada ya mambo ya kulemaza za vitu vya kwanza vya dunia.” (The Watchtower, Sept, 1, 1989, pp 12-13)

Walibadilisha Tena utabiri zao za awali. walitambua watu wa Roman Katholik kwa kufanya ambacho walikuwa wamefanya. Katika mwaka wa 1989 walisema utawala wa Yesu ya miaka elfu moja ulimazilika 1799 wakati majeshi ya ufaransa uliteka Roma na kupindua papa kama kiongozi wake, kwa hivyo alishikwa kama mtumwa huko ufaransa, ambapo alikufia.” (Watchtower, Sept 1, 1989, p 12)

Walibadlisha vitu zingine za awali na wakti. Wali sawa shisha Warumi Katoliki kufanya kitu kwao binafsi. Katika 1989 walisema:

“ Wangine warumi katoliki wanasema kuwa Yesu Kristo kutawala ilimalizika 1799 wakati ufaransa jeshi walichukua Rumi na kuweka watu, kwa hivyo walichukuliwa ka Mfungwa Ufaransa, ambaye alikufa.’ (Watchtower, Sept. 1, 1989, p.12. Katika 1927 (Creation) uumbaji walifanya sawa vitondo hilo 293 na 294.)

Title Page 47

Waliendelea kutafsiri kwamba vile waliachwa hai baada ya mwaka 1918 na hiyo pengine iliwazuia kuelewa vizuri ufufuo wa wafu.

1989“Kuhifadhiwa kwa mabaki ya viumbe vipya vya kiroho hadi mwisho wa vita vya kwanza vya dunia katika mwaka 1918 na pia kuwa hai katika mwaka wa 1914 ulikuja kwa mshangao mkubwa.” (Watchtower, Sept 1, 1989, p13)

Kisha baadaye wakajitenga na unabii hizi za uongo lakini wakarejelea kilichojulikana kama “dorosa la watchtower” ambavyo viongozi wao walidai kufuata katika nje ya mitume. Ikiwa walifuata mitume wangefanya jinsi walivyofanya na kuhifadhi sabato miezi mpya na karamu za Mungu. Walisema kwamba walikuwa.

“Serikali ya kisasa ya mwilui wa wakristo wa zamani kutoka sehemu mbalimbali duniani ambao walitoo usaidizi iliyohitajika kuhusu matendo ya watu wa Mungu. watu hawa kama mitume na wanaume wa zamani wa Jerusalem katika karne ya kwanza ni wanachama waliyo pakwa na watumishi wa Kristo waliyopewa kazi na Yesu kuhudumia mahitaji yote ya ufalme wake. Historia njia ya roho mtakatifu na kwamba hawafuatani na ujasiri wa binadamu katika kufundisha umati wa Mungu” (The Watchtower, Dec 16, 1989, p 6).

Katika nyakati hizi za unabii za uongo, watu wa pentekosti hawakutaka kuachwa nyuma katika baridi kwa hivyo walijiunga na kundi hilo pia katika mwaka wa 1989. Katika tarehe 31 Desemba 1989, Benny Hinn akiongea katika kanisa ya oriado alisema kwamba.”

“Roho ananiambia …. ”Fidel Castro atakufa… katika miaka za 90, yapatayo 94-95, sio baada ya hapo, Mungu ataangamiza mataifa za ukahabu barani Africa. Lakini hataingamiza na kile ambacho akili nyingi imefikiri, ataiharibu na moto. Na wengi watabadilika na kuonekana, na wengi watakaidi na kuangamiwa.” (Beny Hinn Orlando Christian Center, 31 Dec, 1988)

1990Katika mwaka wa 1990 Elizabeth Clare ambaye ni nabii wa kanisa ya universe, alitabiri kwamba vita vya nuclear itatokea mwaka huo. Hii ilikuwa nabii ingine ya uongo.

Katika mwaka huu, JW bado walikuwa

wanajaribu kufurahisha watu walioghabika.“Wakristo wazima pia waweza kughadhabika nah ii kwa wakati mwingine umeshababisha janga la ki roho. Wengine wamewekelea imani yao kwenye tarehe ambayi walikuwa na haki kwamba, amageddon itatokea. Ikiwa chochote haikutendeka siku hiyo, walijihisi kughadhabika.” (The Watchtower, 4/15/1990, p, 27)

1992 Fuaka ya unabii wao za uongo watu wa JW bado hawakuwa wamejifundisha na katika mwaka wa 1992, walituongeza mambo zingine.

“Leo alisilimia ndogo ya binadamu bado wanaweza kukumbuka matukio za 1914. Je watu kama hao wata kufa. kabla ya Mungu kuokoa dunia kutoka kwa uharibifu? Sio kulingana na unabii wa bibilia, mkiona mambo haya yote, Yesu aliahidi, jueni kwamba yuko karibu. Kweli nina waambia kwamba jamii hii haitamalizika kabla ya mambo haya kutendeka! Mathayo 24:33, 34” (Watchtower, May 1, 1992, page 3: The Year That Shocked The World).

Tulishuhudia wanachama wapya kuongozwa katika idadi ya manabii katika mwaka wa 1992. Kanisa la Living Stone Mission ilitabiri kwamba Yesu angerudi tarehe 28 Oktoba 1992.

1993Katika mwaka wa 1995 watchtower Bible ilianza kuandika historia yake ya unabii na utabiri. Shirika hilo ilitoa kazi ambayo ilibeba historia ya mambo na tarehe muhimu za jamii na vugu vugu za kididni. Ilijulikana kama “wanadai ufalme wa Mungu, na ulichapishwa mwaka wa 1993. Kama vile watu weingi wametazama katika mwisho wa kitabu hichi kunayo upande wa anwani inayo julikana kama “Tarehe muhimu.” Wengi ya watazamaji wanshangaa kwamba utabiri za 1925 ambayo vile tutatazama, hazikomeshi mambo ya ubashiri. Wengine walisema kwamba ni marudio ya historia kwa waamini wapya.

Tena walitaja mwaka wa 1914 na 1925 katika maandiko yao ya mwaka huo. Hii inaonekana kama utumishi wa njama Fulani.

“Tena kijitabu kilichosambazwa cha “mamillions ya wanaoishi sasa hawatakufa” iliwasilisha maoni kwamba katika mwaka wa 1925, dhamira ya Mungu kuhusu kubadilisha

Page 48 Unabii wa Uongo

kwa dunia kuwa paradise na kufufuliwa kwa waumini inaaza kutimiwa……mwaka wa 1925 ilileta kukanilisha kwake lakini hakukuwa umefika bado! Tangu miaka za 1870, wanafunzi wa Bibilia walikuwa na tarehe Fulani akilini mwao- kwanza 1914 kisha 1925. Sasa wamegundua kwamba ni lazima wafanye kazi kwa mda ambayo Jehova amependa” (Watchtower, Nov, 1993, p 18).

1995Katika 1995 Jws aliswahili kiungo kingine kwa msemo hikiwakati kutumika katika Mathayo 24 na Kristo, kuzidi waliotumia awali kwa kufanya katika 1914. Waisema:

“Sasa hivi kwakulenga watu wadunia, ambaye wanoana dalili ya Kristo na kukosa kurekebisha hali yao” (Watchtower, November 1, 1995, p.12).

Pia walisema katika mwaka wa 1995 Juni:“Wasomi wa Bibilia, fahamu tangu 1931 kama Jehova witness, pia inatarajiwa kwamba mwaka wa 1925 utashuhusia kutimizwa kwa unabii za Bibilia…’ Hivi karibuni washahidi wengi walikubali kwamba matukio yatakayo andamana na mwanzo wa utawala wa Kristo, yataanza mwaka wa 1975. Bashiri lao lilikuwa kwenye msingi kwamba millennia ya saba ya historia ya binadamu itaanza hapo.” (Awake!, June 22, 1995, p 9)

Mabadiliko iliyojitokeza kwenye andiko la Novemba 1, 1995 katika watchtower iliangaziwa katika uchapishaji wa wake mwakani 1995. Kabla ya Novemba 8, 1995 walisema:

“Muhimu sana jarida hili linajenga jna nzuri ya ahadi ya muumba wa dunia yenye amani na usalama ambayo imekaribia kurithi dunia hii wa sasa”.

Baada 8 Novemba 1995 kuangali hadi “1914 generatio” ilifutwa. Na ilisema:

“Vitu ya muhimu. Kwa hiki karatsi kwa uumbaji kuwekwa wa amani na kupata ulimwengu hii ni kwasababu kwa vitu.”

Kwa hicyo kama vile shirika la Orwel katika uchapishaji wa mwaka wa 1984, ambayo Winton alitumia bila kuchoka kuandika tena historia ya zamani, kueleza mambo ya kisasa, tunaona unabii zimeandikwa tena kuficha dhana kwamba viongozi ni waongo na kudai kunena mambo ya Mungu, ilhali hawakapewa idhini hiyo.

Kitu muhimu sana ni kwamba ikiwa yeyote anaye dai kuenea Mungu hajanena kulingana na sheria na ushuhuda, hakuna mwangaza kwao (Isa 8:20).

Herbert Armstrong hakuwa tu nabii wa Mungu bali hakutoa unabii wowote ambayo ni ya kweli. kwa hivyo aliaguka mtihani wa kwanza. Alikuwa mhudumiaji tu katika dhehebu la church of Godd (SD) ambaye alipata uhuru na kuhudumia kanisa huru. Alitambulia na wana juu kama mtumishi halisi wa Mungu.

Pia tutampuzilia mbali churches Taza Russel na jija Rutherford na kila mtu ambaye amemahi toa unabii ya uongo. Wao si manabii walikuwa tu maofisa katika shirika la adventisti abao walichukua mafunzo hayo na kuzitumia kwa binadamu yao wenyewe kama vile alivyofanya Herbert Armstrong.

Historia ya viongozi wa watchtower Bible na Track society

Charles Taze Russel alizaliwa Februari 16, 1952 katika Pihsburg huko Pennisyluania. alilelewa kama m-preshyteric lakini akawa m-Kongelisti. Akiwa na miaka 16, mamo 1868, alijipata kupoteza imani. Alianza kutilia shaka sio tu kwa kanisa na mafundisho yake bali pia Mungu na Bibilia nyewewe katika wakati huu, alitpara kurejesha imani na akawekwa chini ya mhubiri wa pili wa adventisti, Jonas Wandell.

Alikumbana na wahubiri wengi wa adventisti mmoja wa watu hawa ni mhudumiaji wa Advent Christian church george Stetson na mchapishaji wa mitihani George Storrs. Alikutana pia na marafiki wa kawaida, kujadili Bibilia, na kikundi hichi cha wasomi walimchagua kama kiongozi chao.

Russell alijihusisha na mambo za adventu ambayo alikumbana nayo Januari 1876 wakati alikuwa na miezi 23, Russel alipewa nakala yake ya gazeti hilo iliyochapishwa na Nelson H. Baeboor wa New York. Msomaji anaweza kukumbuka kutoka kwa machapisho yetu, kwamba wa adventi

Title Page 49

walifikia ghadhabu kuu katika mwaka wa 1844, wakati ujumbe ulisambaa wa kurudi kwa Mesia ilitibuka. Wa adventisti waliashiria mwaka wa 1842, wakidai itatendeka 1843 na kisha kuisongeza Machi 1844 na kuisha Octoba 1844. Unabii hizo zilikosa kumleta mesia. Wa adventisti walitaja kama ‘ghadhabu kuu’. Ellen G. White alikua kutokana na njia hii. millennium ya kibinguni ilinuiwa kuficha unabii ambayo ilithibitisha hali ya dunia ambayo watu walikula nyama wakati wa millennium. Milleniuma wa Mbinguni ililengwa kwa unbii wa uongo ambaye inonyehsa kuwa dunia yenyr inakula nyama sana wakati wa millennium. Tuna chora kutazmwa kwa hizi uongo na unabii za uongo katika karatasi The Pre-Advent Judgment (No. 176) na Tha Millenium and the Rapture (No. 95). 

Kanisa la the Church God (Seventh Day) ilikuwa imeundwa kutoka kwa makundi ya makanisa ya Mungu ambayo yalishikilia unabii hizo za uongo, na zilijitaja kutoka kwa wa-advensti kufutilia hitilafu za White na unabii za uongo za Ellen G. White, wengine katika kundi hilo la wa –adventisti walijumuisha makanisa za advent Christian life na advent Seventh Day Adventist na makundi mengine za ki-advensti.

Kikundi la Barbour ilibuka kutoka kwa wa-adventisti ambao waliathiriwa na ‘ghadhabu kuu’. Waliweza kukumbana na kosa hili kwa kurudi nyuma kisir, na mnamo mwaka wa 1870 walikuwa na shirika huru ambao wangetumia kuchapisha madai yao. Kikundi chao kwa wakati huo ilidai kwamba Kristo alirudi kisiri mwaka wa 1874.

Barbour alijitokeza na msingi ya kutafsiri tena kurudi kwa Kristo kisir. Katika matafsiri ya Benjamin Wison wa agano jipya neno ‘kuja’ katika nakala ya King James wa (Mathayo 24:27,37,39) imetafsiriwa kumaanisha ‘uwepo’ mabadiliko haya, ilisaidia Barbour na kikundi chake kudai kwamba Kristo alikuwepo kisiri.

Katika Januari 1876 Russel aliona dhana hii katika gazeti la Herald na ikazua hisia yake.

Aliona uwezo wa kikundi wa wahasi wa advensti. kwa njia hii kukosa kwa Kristo kujitokeza mwakani 1844 kama walivyotabiri ilithibitiwa. Ni kosa kusema kwamba kikundi hicho kilisema tu kwamba Kristo atarudi 1844, lakini kisiri. Wangefanya hivyo mapema lakini hakuna rekodi ya mambo kama hayo. Hata hivyo tarehe iliyochapisha ilitengenezwa mwakani 1874, miaka 30 baada yye baada ya uchapishaji wa Wilson Diagloh.

Russell alikuwa tajiri kiasi na kwa hivyo alighatam safari ya Barbour huko philedelphia na kukutana naye kujadili imani zao na fedha. Kuta kwa majadiliano haya Russel alikuiwa mdadhili kuu wa gazeti hilo. Alifanywa msaidizi ya mhariri. Alikusanya makala zi kuchapisha na za kifesha, kwa njia hiyo kikundi kilichokuwa na Russel ilijihishisha na kikundi cha Barhoul ni mbinu hiyo ikaletwa kukumbana na hali hiyo.

Kwa hivyo kusita kwa watu kukubali mabadiliko haya ilithibitiwa na wakawa na wafuasi.

Mwanzoni Russell na Barbour walizindua imani na kufundisha kwamba Kristo alirudi kisiri mwaka wa 1874 na utafuatiwa na kupelekwa binguni kwa waumini iliyojulikana kama ‘unyakuzi’ kaika mwaka wa 1878.

“Unyakuzi” ulikuwa fundisho la uongo ambayo haikutokwa kwa wa –adventisti, lakini inaonekana ilibuniwa na Russel na Barbour kwa ajili yao wenyewe.

Kwa hivyo waliambukizwa na mafundisho maongo ambayo inaweza kuwa chanza cha mafunzo za uongo zilizochukuliwa na “the whetes’ kufuatia millennium kuwa binguni.

Wana Jehova witness hawa amini ‘unyakuzi’ katika imani yao la leo na kwamba watu 144,000 ndio wataenda binguni.

Katika nyakati za kael za karne ya 19, wa advensti walikuwa mchanganyiko yaw a unitary na trinity na vile vile watazamaji wa sabato na waabudu sababu. Wanachama wa

Page 50 Unabii wa Uongo

Woldens walinuiwa kutiwa baada ya Peter Waldo, mmoja wa viongozi wao wa kati kati. Kinyume ndio ilifanyika. Alipewa jina la Veldez au waldo baada ya vallenso ambayo ni bondo waliyokuwa wa kilishi. Watu walijiunga na vugu vugu la advensti hawakutoka tu kwenye kanisa la Church of God bali pia kwenye wa prostentanti.

Katika siku ya zamamni wa kardne ya 19th

Adventisia, na wasabato ilikuwa msanyiko wa Unitaians na Trinitarians kama ville kugawanywa kwa wenye wanatazama Juma pili-Waombaji. Hiki fungo pia inatumia na karatasi Role of the Fouth Commandment Hiki maneno hiki ilikuwa Sana sawa kama vile ilikuwa kwanzia mwisho wa kuunda wakati Sabato kuintwa Waldensians Kukosa kufanya nao ambayo walitubu kwa makosa ya Trinitarian. Wana Waldensian waliambiwa lakini kwa makosa kuwekwa nyuma ya Petero Waldo, mmoja wa Wakati wa kati. Keis ikiwa linguine, alipewa jina Valdez au Waldo, nyuma ya Vallense, kuwa bonde ambaye waliokaa.

Baada ya kukosekana kwa unyakuzi wa 1878 Barbour mhariri wa Herald alirekebisha hii na mambo mengine mengine mapya. Russel alitoroka jarida la advensti na kuanzisha kinyume kiitwacho Zion’s Watchtower na Herald of Christ’s Presence. Ilichapisha mara ya kwanza July, 1879. Pia aliona mara francis Acley katika mwaka huo. Akitumia anusani ya gazeti hilo la Herald, Russel aliaza vita vya maandishi.

Charles Russel aliza kuwatazama miller na Barbour kama ala zilizo chaguliwa na Mungu kuongoza watu wake hapo zamani. Russel hakukosana na wa-Adventisti, lakini na mafunzo ya NH Barbour na Herald.

Jarida la zions watchtower iliendelea na kuhimiza wa protesti, na Russel aliongea kwenye makanisa hizi mara nyingi na vile vile kwa wafuasi wake wenyewe katika vikundi 30 vingine kutoka ohio.

Hapo awali Russel lifuata mpangilio wa

kutotazamisha wa kutokashifu utrinitari kama mbaya. Wa trinitary kwa kweli waliishi vizuri katika ushirikiano na Brhour na wahariri wengine wa Herald.

John H. Paton ambaye alikuwa M-trinity. Katika mwaka wa 1882 Paton, alitengana na Russel juu ya jambo hili na jarida hiyo ilikuwa wazi yaw a Unitari na trinitari.

Wafuasi wa Russel walikuja kwenye maoni kwamba yeye alikuwa ‘mwaminidu’ na ‘mtumishi’ mjasiri wa Mathayo 24:45 na ‘mpasha habari wa Leodica’ mnenaji wa mwisho wa Mungu kwa makanisa ya Kristo.

Aliishi kuona maovu na uongo wa unabii wake. Alikufa tarehe 30 Octoba 1916, zaidi ya miaka miwili baada ya hali ya sasa ya dunia ilidaiwa kumalizika kuchagua na hesabu yake, mwanzoni mwa Octoba 1914. Hii ilikuwa msimu ya Halioween na karamu hiyo ilikuwa kama kilele kwa wengine kuadhimisha kifo chake. Hata sanamu ya pyramid karibu na kaburi lake inayomtabgua kama mpasha habari ya Leodica. Kwa hivyo wafuasi wake walijitazama kama wa Leodica. Utambulisho kama huu umetumiwa pia na wa-adventisti alikotoka.

Walitoka kwenye msimu ya Sardis wa kanisa la Mungu. Msimu huo kama ilivyotabiriwa kwenye Ufunuo 3:1 na uundaji wa kanisa la living church of God. Misimu hizo miwili ilihusisha msingi na mbinu za manabii za uongo wa karne za 19 na 20 na wameendelea hadi sasa.

Russell aliamurisha kwamba mrithi wake katika uraisi utaungana mamlaka na kamati ya wahariri na shirika la watchtower bible and track society ambayo Russel aliteuwa.

Hata hivyo naibu wake mshauri mkuu ataweka mamlaka zote katika mkono wake.

Joe (Judge) Rutherford alizaliwa katikati umaskini huko missions manamo Novemba 8, 1869, Rutherford alisoma sheria na kupita mtihani wake 1982 baadaye alikuwa kaimu jaji ambayo jina hilo lake lilitokezea.

Title Page 51

Alikuwa mshauri mkuu wa Russell. Pengine alichangia matukio kwani alitumia mwanya katika kazi yake kuharibia kazi wengi wa wakuu kwenye shirika la watchtower, bila kuitisha kura ya uanachama. Alidaiwa kuitishwa na polisi katika afisi za society, kuharibu mkutano yao na kuwaondoa. (A.H Macmillan, Faith on the March, pp.78-80)

Rutherford alitengenezwa katika ya muungano huo. Kisha akachukua uongozi wa shirika hilo kupitia mhadiliko ya uongizi waliochagulia chini yake. kwa njia hiyo umati huo wa ki-demokrasia iliundwa kwa kiwango kizuri chini ya uongozi wake.

Hali hii ya kushikilia uongozi ulishuhudia makundi yaliyoasi kama, Chikago Bible Students na Dawn Bible Students na Laymen’s Home Missionary Movement na akawatambulisha na makundi mengine.

Russell alijishughulisha na tabia ya binafsi katika maendeleo. Rutherford alinizizia watu wengine kwa kubalisha eneo kwa kuunda ushahidi wa kazi na akaanza kusambaza kazi ya shirika hilo kutoka mlango hadi mlango.

Katika mwaka 1927 Rutherford alihitaji ushahidi wa lango hadi lango na kusambazwa kwa michapisho kwa wanachama wote. Rutherford alifanya mashambulizi katika nyanja nne. Serikali kununi biashara kubwa – kubwa na kanisa la Roman Cathilic kwa wakati huu Rutherford alizindua mtandao wa redio. Alitumia mbinu za kupinga kutiririka kupara wafuasi wengine.

Mashasmbulizi nyingi hayo yalidaiwa kuelekezwa kwa washahidi wa nyakati hizo na hadi vita vya kwanza vya dunia, ni kwa ajili ya uoga na mshambulizi ambayo wadhahidi hao walifanyia wengine kupita vipaza zaauti zilizowekwa kwenye magari zilizokuwa nje ya nyumba zao. Kwa njia hii walikaribisha vita kutoka kwa uma. Tabia zao hainge kuhaliwa leo.

Rutherford alikuwa nasi wa uongo kama tumeona, kwa kweli anakubali katika uchapishaji wa watchtower 1984 alisema:

“Nilijirenga mfano” (Watchtower, Octoba 1,

1984 p 24).

Rutherford anadaiwa kuunga mkono vugu vugu la nazi huko Uropa ata ingawa wa nazi waliuwa, wapelekezi wengi wa bibilia.

Iliripotiwa kwamba Rutherford alisema:“Serikali ya sasa ya ujerumani umepiga marufuku biashara kubwa kubwa na upinzani kwa dini ya uongo katika mambo za siasa za nchi. Hio ndio msimamo wetu. Badala ya kupinga sera za serikali, tumesimama kidete na kutambua kwamba Jehova Mungu kupitia Kristo Yesu ataleta kutimizwa kwa mambo haya.” Joseph Franklin Rutherford (Watchtower Bible and Tract Society).

Mengi ya haya ilikuwa kama kukuzwa kwa Nozi na vikundi vyote. Wengi walidhania kwamba haitakuwa awamu yao.

Makamu ya rais Nathan Homer Knorr alirithi uongozi baada ya kifo cha Rutherford mwakani 1947. Knorr aliacha mambo za sheria mikononi mwa Fredrick W. Franz ambayo ilijiunga nao chini ya Russel, na amekuwa akihudumia Brookkeyn tangu mwaka wa 1920.

Knorr alikosa ujasiri na ujanja wa Russell pamoja Rutherford. Baada yake alijishughulisha na kuendeleza kikundi hicho. Knorr waliwashurutisha wafuasi katika kundi ‘mzazi’ badala ya yeye mwenye.

Chini ya Knorr kwa mara ya kwanza shirika la watchtower ilianza kutoa makala ambayo yaliandikwa kisiri siri. Shirika hilo iliweza kuthibitiwa kwa nji hii wasomaji walielezewa.

“Kuonyesha heshima wetu kwa kikundi cha Jehova kwani ndio mama wetu na bibi wa bingu”. (The Watchtower, May, 1, 1995, p 285)

Ilikuwa wakati huo ambao wana WCG walivamia kujaribu kuweka imani yao kwa kanisa baada ya kifo cha Armstrong kwani alikuwa kiongozi kuu na hata Miungu katika kikundi hicho.

Knorr alitoa maono ya kikundi hicho kutoka kwa uongozi thabiti. Ulianzisha warsha ya kuelemisha, kubadilisha makurutu kwa wanachama wema. Wana Jehova Witness

Page 52 Unabii wa Uongo

walianza kupewa amri ya kuongea kwa kushurutisha. Wanaume wanawake na watoto waliagizwa kutoa mahubiri juu ya mambo mbali mbali katika mlangoni.

Kama vile kiongozi chake Fred Franz alifanya juhudi ya kurekebisha imani katika maswala yao. Kama tulivyona maudhui ya kutotimizwa kwa unauli za 1925 ni janga, lakini uongozi haunge kiri kosa lao hadi miongo nyingi. Bado ya Rutherford kwa maneno yake mwenywe.

Sheria hizo zilikubadilisha ilionyesha kwamba Kristo angerudi kisiri mwakani 1914 na wala sio 1874. Katika mwaka za 1960 kama tulivyoona kazi hii, machapishi ya kikundi hichi walianza kuashiria kwa mwaka wan 1975 kama wakati ambayo Armageddon angetokea mwishoni mwa dunia.

Uvumi ulisambaa miongoni mwa watu wa Jehova witiness leo, ni kwamba shirika hilo halikutabiri ‘mwisho’ kwa mwaka wa 1975, lakini kwamba wanachama wengine wenye hila walitafsiri vibaya ujumbe wao. Hata hivyo unabii huo ilitolewa jinsi tulivyotazama. Makala mengine kwa mfano ni” kwa nini mnatazamia mwaka wa 1975.” (The Watchtower, August 15, 1968, pp.494-501)

Majadiliani ya kina inaishia.“Je tusinzie kwenye kutoka kwa somo hili, vita vya Armageddon itakuwa imemalizika katika msimu ya baridi wa 1975 na miaka elfu moja iliyotazamiwa ya utawala wa Kristo kuanzia? Yawezekana lakini tungoje kuona ukaribu wa miaka saba ya uwepo wa mwadamau itaambatana na wakati huo wa Kristo…. Itahusisha tofauti, kidogo ya wiki au miezi sio mwaka mingi” (p. 499). (For other 1975 quotes see also David A. Reed, Index of Watchtower Errors, Baker Book House, 1990, pp. 106-110.)

Mikutano za masomo iliyoanzishwa na Knorr, ilingazia maazimio ya franz wa mwaka wa 1975, iliyounganishwa kuleta ukuaji wa haraka ya wanachama.

Herbert Armstrong alianzisha mbinu sawa na hizo katika mda wa 1932, kuhusu matangazo ya redio. Hii ilikuwa kulingana na ubunifu

wa Rutherford. Hawakuwa wafanisi kama wa JW chini ya Knorr kwa sababu Knorr aliendelea wanachama kama washawishi wa lango hadi lango.

Armstrong hakuamini wala kuendeleza watu wake katika njia hiyo. Na walizuiliwa kwa sababu ya vizingiti vya sabato. Ilikuwa rahisi kutojali sabato na sherehe zingine badala ya kuzihifadhi na swala la kuenda lango hadi lango ilikuwa na uzito mkubwa kwa watu wengi.

Ukuaji wa mwaka ilipanda hadi asilimia 13.5 (1924) uhudhiriaji katika hekalu ya JW ilipanda kutoka 100,000 mwaka wa 1941 hadi milioni 5, 1975. Kulikuweko na ukuaji wa pole pole katika mwaka mingi. Kulikuweko na milioni 11.5 mwakani 1992 katika sherehe ya kuadhimisha kifo cha Kristo. Kwa sasa idadi hiyo imesimamia milioni 13.5)

Ukuaji huo ni sawa na kiel cha Seventh-Day advenstist ambao wako na idadi sawa na hiyo na ukuaji.

Katika miaka za 1970 uongozi wa mtu mmoja kutoka watchtower ilipewa upinzani. Katika kujaribu kuiga wa Kristo katika mwaka wa 1971, walibuni kitengo kingine iliyokuwa na wanachama kumi na mbili, ikiweka viongozi saba wa zamani ambao wameonekana kusisitiza uongozi wa raisi moja ambayo kwa kweli ilikuwa chini sheria ya poasyvania.

Kwa kweli Nathan Knorr aliendelea kuongoza JW zaidi kushinda Russel na Rutherford kabla yake. Katika mwaka wa 1975 shirika la uongozi wa wanachama ilianza kusisitiza nguvu waliopewa.

Franza alipotezewa imani kupitia uongo zake za ki unabii na vile vile Armstrong kabla yake katika kikundi cha WCG. Kando na kukataa kwake, kamari iliyounda ilianza huduma wakati Knorr alitfariki mwakani 1977, franza hakufurahia mamla yake kama warithi wake.

Ilipotiwa kwamba hata afisi kuu ya Brooklyn

Title Page 53

vikundi vya kusoma Bibilia vilianza kuuliza ubashiri wa mwaka wa 1914 iliyotoa makataa ya 1975.

Fundisho hilo pia iliheshimu watu. Watu wa zamani walifundisha kwamba ‘kuitwa kwa binguni’ ya waumini ilimalizika mwaka wa 1935. Waumini wapya baada ya tarehe hiyo walitazamia paradise ya dunia kama mshaara wao. Maoni hii pia ilishukiwa kwani ni kinyume na bibilia.

Mwaka wa 1975 ilitazamia upungufu ya watu kutoka kwa afisi kuu. Upungufu hiyo iliripotiwa kwenye makala hii ilimfanya rais, Franz na uongozi wake kuthibiti waovu katika msimu wa 1980. Waliunda kamati ya wanasheria na kuvunja uhuru wa vikundi vya wasoma wa Bibilia. Kasha walihukumu wahusika kwa kosa la ugaidi na kutoheshimu.

1975 iliona upungufu wa nambari na upotevu wa watu ambay wali wekwa “ nambari” kutoka HQ. Hasara ili semwa kwa maneno mingine katika Los Angelas Times wa Januari 30, 1982 (pp.4-5). Hiki msemo ilifanya Rais, Franz, na watu wengine wengiwao walioko Serikalini, kugawanyika kwa Mfumo wa 1980. Walitengeneza Mahakam kamiti na kuleta Vikundi huru ya kosoma Bibilia. Alafu waka weka viongozi wazuri kwa Majaribio “Wasiofa” na “Wanaofaa”.

Tofauti hiyo ilimshurutisha kujiuzulu kwa mwanachama wa bodi la uongozi, V. Franz ambaye alikuwa nduguyo raisi. Jarida hilo la “Time Magazime’ ilitenga ukurasa moja kwa ajili ya tukio hili (Feb. 22, 1982, p. 66).

Chini ya uoga, hata wale wanachama, waliowacha kisiri na kwa kujitolea kwao, walitangazwa kukosa heshima waliamriwa kukashifiwa.

Fredrick W. Franz alikuwa mhibiri mkuu wa kikundi hicho kutoka kifo cha rais wa Knorr mwakani 1942 hadi kifo chake mwenyewe Disema 22, 1992. Alihudumu kwa miaka 50 na kupita unabii zake za uongo kwa mda wa miaka 15.

Herbert Armstrong pia lifanya jambo sawa na hilo ingawa aliishi kwa mda mrefu. Armstrong aliimarisha uongozi wa uoga juu ya kukashifiwa. Kwa njia hiyo Franz alikomesha kwa muda uandikishaji wa wanachama.

Wakati WCG inajifanyanga kwamba hawakusema waliochosema, yeye pamoja na Franz walishurutisha wapinzani. Franz alifanya hiyo kuhifadhi lake na kuendeleza uongozi wake. Kikosi cha WCG haikuwa na jambo lolote kuhusu ni nini maelekezi ya kidini, kwani Armstrong alilemewa kifedha katika miaka za 1980 na akafa Januari 1986. Mrithi wake Joseph W. Track hakuwa na ujasiri wa kutosha na hakujuwa thelogia nini. Alifanya chochote alivhoambiwa na washauri wake. Walitoka nje kuharibu shirika hilo. Kwa hivyo watu walipata walichostahili.

Milton G. Henschel alichaguliwa kama rais wa nne wa watchtower mnamo Disemba 30, 1992. alionekana kama mzee ambaye angeleta mabadiliko kwenye kundi hilo.

Katika umri wa miaka 72 Henschel alikuwa mwanachama wapili mdogo wa bodi ya uongozi. Umri wa chini zaidi kwa wait wake Henshel ilikuwa miaka 82. Wanachama ambao walikuwa katika umri zao za miaka 80 walijuwa kubinzia katika mikutano na kuunga mkono mambo yanayopingwa. (See eyewitness an account in Raymond Franz's Crisis of Conscience, p. 40.)

Bodi hilo lionekana kupoteza uelekeo na uwezo wake wa kutoka uongpzi thabiri. Kwa vile mafunzo yao zilikuwa na hitilafu, tangu mwanzo na viongozi hawakuelewa Bibilia, waliamini unabii za uongo. Warithi wa Russell na Rutherford walishurutishwa kuandika mambo zao. Mafunzo yao kuhusu uponyaji sio hatari kushinda yale ya WCG, na wa fuasi walikuwa matokea ya waliyo mwamini. kwa wakti huu , kupitia makosa, watu wengi , wanaendlea kufa na kutoelewa vitendo na mpango wa Mungu. 

[Some of the above comments on the recent

Page 54 Unabii wa Uongo

JW activities and errors are adapted from the books by David A. Reed, Worse Than Waco: Jehovah's Witnesses Hide a Tragedy, copyright © 1993, (P.O. Box 819, Assonet, MA 02702); BLOOD ON THE ALTAR, Amherst, NY: Prometheus Publishers, 1996; and Index of Watchtower Errors, Baker Book House, 1990.] The behaviour and scandal reported and attributed to the Society is not reported here, as the subject of this paper is False Prophecy and the effect of organisations on Bible prophecy.

Imedaiwa na washahidi wengine kwamba Lorna Armstrong alikuwa mshahidi mwenyewe na kwmba Herbert Armstrong alipewa upako na ni moja wapo ya watu 144,000 madai haya yamerudiwa hata hivi majuzi.

Kwa hivyo siyo vigumu kuona ouvu wa unabii ambazo zimejitokeza kutokana na furasa ya kuona maajabu haya ya Mungu katika makanisa ya Mungu. Kukubaliwa kwa wa Trinity na Binitario katika makanisa yao imechangia kwa wa protestati wengine kudai kwamba u-unitari haikukuwepo au kutokana na maono yao wenyewe ambayo alikataa kata kata. Ki-Ardvatisti ilikuwa ki Unitery wa karne ya 20. Hali ya kutaka chote ya watu hawa iliharibu kanisa la Mungu na mafunzo yake kuhusu uwepo wa Mungu.

Watu wa kundi hilo ambao waliwatambua kama manabii wa Mungu, lazima wapuziliwe. Ya umuhimu mtanani wa pili inalekezewa kila mtu pia ambayo anadai kuwanenea na hiyo ndio msingi na mtihani kubwa zaidi ya yote. “Je wanaongea kulinga na sheria na ushuhuda? Na jawabu lazima ni “LA”.

Hawatazami kalenda na hekalu ya Mungu. Wengi waliyotajwa hapa hata hawatazami amri za Mungu kabisa. Wanabishia watu mlango, na wanapopatikana wanakiri kwamba sheria za Mungu zimeondolewa. Pia hawatambui amri kumi bila kutaja miezi mpya na sabato na siku kuu.

Mengi ya unabii za uongo imekuwa ni kuingizwa kwa waovu, kwenye kikundi

hicho. Wengine ambao walisambaratisha walitumia tawi zake kukorofisha mafundisho na sheria zake.

Kayika wakati huu, CCG kuna watu wengine wanataka kujiunga na kanisa na kuchukuwa muda wao kujaribu kutafuta maneno kuharibu kanisa na watu wetu, Imani yetu, Katiba yetu. Waki pata hakuna menigi ya Kuharibu, Wanajribu kuiweka , sazingin e ni kuziba makosa Yao ya ufisadi na unyonge yao.

Zingine wengi ambaye iko sawa walisema kuwa Mashasmbulizi nyingi hayo yalidaiwa kuelekezwa kwa washahidi wa nyakati hizo na hadi vita vya kwanza vya dunia, ni kwa ajili ya uoga na mshambulizi ambayo wadhahidi hao walifanyia wengine kupita vipaza zaauti zilizowekwa kwenye magari zilizokuwa nje ya nyumba zao. Kwa njia hii walikaribisha vita kutoka kwa uma. Tabia zao hainge kuhaliwa leo. Witness walivyotamblika walikuwa waondolewa kwenye utumwa wa kiroho katika mafunzo na matendo ya dini ya uongo. Ingawa walikataa mafunzo ya uongo kama hayo bado walifundishwa na tamaduni za Babulon. Wengi walibuni tabia ya utakatifu wa kujidai. Wengine waliabudu viumbe, wakaingia kwenye dini za uongo abayo ilijushungulisha na Charles Mungu, aliyekuwa rais wa kwanza wa kikundi cha watchtower na Track society. Bila msingi wowote wa bibilia walitazamia krismasi maajabu ya Mungu.

Wengi wa watu hawa kama Charles Taze Russell na F.B Rutherford, na kuwaurahisi Herbert Armstrong, ambaye aliona njia wa kukamua gulliblie kwa uwasi ambaye hakuwekwa kwakutosha kufuata Fuzo la Bibilia kwa ukweli.

Kwa kuwa na huruma, ni muhimu kuwa jua kuwa kila moja wetu huanizisha ulimwenguni ambaye imechangia Mokosa Bibilia na Wakati Bibilia inasomwa inapatikana kuwa tofauti kwa kitu inayofundishwa na waitwayo mafunzo ya kikristo. Hiki ndiyo hadithi kwa watu wengi katika Kanisa La Mungu. Tume kuja kwa

Title Page 55

ukweli kutokea kwa busara kwa kujua ukweli, na hapo ndipo haya mafunzo mbaya wametokea. Zimeingia kwa kuchagua ukweli kwapitia ubinafsi.

Kitu kimoja tu ambayo tunaweza kuwa na hakikisho ni kuwa kila mutu kuitwa kwa Mwili wa Kristo ni mwenye dhambi, na inahitaji Ubatiso na Roho mtakatifu. Sis zote tume kosa, wa ndugu wengine wame wanya

makosa kubwa na wengine wame pelekwa kotini na kufungua.

Ni jambo la Imani ambaye si mfano wanaume na kikundi. Kuendelea wa Mwili wa Kristo inalingana na imani wa kila mutu kwa ukweli na mambo ya Mungu.