90
SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA WAZIRI WA BIASHARA NA VIWANDA KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA WA FEDHA 2019/2020 MHESHIMIWA: BALOZI AMINA SALUM ALI (MBM)

WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

  • Upload
    others

  • View
    40

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR

WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA

HOTUBA YA WAZIRI WA BIASHARA NA VIWANDA KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI

KWA MWAKA WA FEDHA 2019/2020

MHESHIMIWA: BALOZI AMINA SALUM ALI (MBM)

Page 2: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,
Page 3: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 i

YALIYOMO

1 UTANGULIZI: ........................................................ 1

2 MWENENDO WA BIASHARA .................................... 5

2.1 Hali ya Uchumi na Biashara Duniani: ........................ 5

2.2 Hali ya Biashara Zanzibar ........................................ 9

3 HALI YA VIWANDA: .............................................. 16

4 UTEKELEZAJI WA BAJETI NA MIPANGO YA WIZARA

KWA MWAKA 2018/2019: ........................................ 22

4.1 PROGRAMU KUU YA UENDESHAJI NA URATIBU WA

WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA ....................... 24

4.1.1 Programu ndogo ya Uendeshaji na Uratibu wa Wizara

ya Biashara: ........................................................... 25

4.1.2 Programu ndogo ya Uratibu wa Mipango, Sera na

TafitizaWizara.......................................................28

4.1.3 Programu ndogo ya Uratibu na Utekelezaji wa

Shughuli za Wizara Pemba ...................................... 31

4.2 PROGRAMU KUU YA MAENDELEO YA VIWANDA NA

UJASIRIAMALI ........................................................ 33

4.2.1 Programu Ndogo ya Ukuzaji Viwanda ..................... 33

4.2.2 Programu ndogo ya Maendeleo ya Ujasiriamali ....... 36

4.3 PROGRAMU KUU YA UKUZAJI NA UENDELEZAJI WA

BIASHARA ............................................................. 39

4.3.1 Programu ndogo ya Ukuzaji wa Masoko na

Usafirishaji.............................................................39

Page 4: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 ii

4.3.2 Programu ndogo ya Ushindani Halali wa Kibiashara

na Kumlinda Mtumiaji ............................................. 46

4.3.3 Programu ndogo ya Urahisishaji Biashara na Ukuzaji

Biashara za Ndani ................................................... 50

4.3.4 Programu ndogo ya Usimamizi wa Usajili wa Biashara

na Mali .................................................................. 54

4.4 PROGRAMU KUU YA VIWANGO NA TATHMINI YA

UBORA .................................................................. 56

4.4.1 Programu ndogo ya Viwango na Udhibiti wa Ubora ... 57

4.5 SHIRIKA LA BIASHARA LA TAIFA (ZSTC): ................. 58

4.5.1UvunajinaUsafirishajiKarafuu:...............................58

4.5.2BeiyakununuliaKarafuu:.......................................59

4.5.3UzalishajiwaMafutayaMakonyonaMimea.............60

5 CHANGAMOTO NA UTATUZI WAKE: ......................... 61

6 PROGRAMU ZA WIZARA KWA MWAKA 2019/2020 ..... 63

6.1 PROGRAMU YA UENDESHAJI NA URATIBU WA

WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA ....................... 70

6.2 PROGRAMU YA MAENDELEO YA VIWANDA NA

UJASIRIAMALI ....................................................... 70

6.3 PROGRAMU YA UKUZAJI NA UENDELEZAJI

BIASHARA .............................................................. 71

6.4 PROGRAMU YA VIWANGO NA TATHMINI YA

UBORA .................................................................. 73

6.5 SHIRIKA LA BIASHARA LA TAIFA – ZSTC .................. 74

7 SHUKRANI: ............................................................ 76

Page 5: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 iii

8 MAOMBI YA FEDHA KWA PROGRAMU KWA MWAKA

WA FEDHA 2019/2020 ............................................ 78

9 HITIMISHO: ........................................................... 80

10 VIAMBATANISHO .................................................... 81

10.1 Kiambatanisho Namba 1: Matumizi ya Fedha kwa

kipindi cha Julai 2018 – Machi 2019 ......................... 82

10.2 Kiambatanisho Namba 2: Mwenendo wa Biashara

Zanzibar (2014 – 2018) TZS.MIL .............................. 82

10.3 Kiambatanisho Namba 3: Biashara Baina ya Zanzibar

na Tanzania Bara: ................................................... 83

10.4 Kiambatanisho Namba 4: Wastani wa Uingizaji wa

Chakula Zanzibar .................................................... 83

Page 6: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,
Page 7: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 1

HOTUBA YA WAZIRI WA BIASHARA NA VIWANDA

MHESHIMIWA BALOZI AMINA SALUM ALI, KATIKA BARAZA LA WAWAKILISHI LA ZANZIBAR

KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA WA FEDHA 2019/2020:

1 UTANGULIZI:

1. Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja kwamba Baraza lakoTukufu sasa likae kamaKamati yaMapatona Matumizi kwa madhumuni ya kupokea, kupitia, kujadili na hatimae kuidhinisha makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Biashara na Viwanda kwa kazi za kawaidanamaendeleokwamwakawafedha2019/2020.

2. Mheshimiwa Spika, awali ya yote nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema kwa kutujaalia uzima na afya njema nakutuwezesha kukutana hapa leo katika Baraza hili Tukufu tukiwa salama katika hali ya amani na utulivukwa ajili ya kuiwasilisha na kuijadili bajeti yetu hii.

3. Mheshimiwa Spika, baada ya kumshukuru Mwenyezi MunguMtukufu,naombanitumienafasihiikumpongezaRais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mheshimiwa Dk. Ali Mohamed Shein, ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi kwa

Page 8: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2

kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleokatika nyanja za kiuchumi, kijamii, kisiasa na kiutamaduni. Uongozi wake imara na makini umeiwezesha Serikali kutekeleza kwa kiwango kikubwa Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi ya mwaka 2015 hadi 2020.

4. Mheshimiwa Spika, Pia nachukua fursa hiikumpongeza Makamu wa Pili wa Rais, Mheshimiwa Balozi Seif Ali Iddi kwa jitihada zake za dhatianazozichukua za kumsaidia Mheshimiwa Rais wetu wa Zanzibar katika kuwatumikia wananchi wa Zanzibar. Vile vile kwa kutupa miongozo, maelekezo na michango yake katika maendeleo ya nchi yetu.

5. Mheshimiwa Spika, Aidha, nikupongeze wewe Mheshimiwa Spika, Mheshimiwa Naibu Spika, na Wenyeviti wa Baraza kwa kuliongoza vyema na kwa umahiri mkubwa Baraza letu la Wawakilishi. Vilevile, ninawapongeza Wenyeviti na Wajumbe wa Kamati mbali mbali za Baraza, kwa kufanya kazi zao kwauadilifu,umakininaweledi.Kamatihizizimewezakutoaushauri na maelekezo yanayosaidia sana utekelezaji wa majukumuyaWizarakwamwakawafedha2018/2019.

6. Mheshimiwa Spika, mapendekezo ya bajeti hii yamepitia katika hatua na ngazi mbali mbali za awali ikiwemo Kamati ya Fedha, Biashara na Kilimo ya Baraza laWawakilishi. Naomba kuchukua fursa hii kuishukuru

Page 9: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 3

sana Kamati hii inayoongozwa na Mheshimiwa Mwinyihaji Makame Mwadini, Mwakilishi wa Jimbo la Dimani kwa kuchambua mapendekezo ya awali ya bajeti hii na hatimae kuridhia kuwasilishwa mbele ya Baraza lako Tukufu kwa kujadiliwa na kuidhinishwa.

7. Mheshimiwa Spika, aidha, shukurani zangu za pekee zimwendee Naibu Waziri wa Wizara hii Mheshimiwa Hassan Khamis Hafidh kwa msaada na mashirikianoyake makubwa anayonipatia katika kuhakikisha malengo ya Wizara yanafikiwa. Pia nawashukuru kwa dhatiKatibu Mkuu na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hii, Wakurugenzi na viongozi wote wa Taasisi na Mashirika yaliyo chini ya Wizara yangu pamoja na wafanyakaziwote wa Wizara kwa juhudi zao kubwa za kuchapa kazi pamoja na mashirikiano makubwa wanayonipatia yaliyosaidia katika utekelezaji mzuri wa majukumu yangu.

8. Mheshimiwa Spika, Wizara yetu na nchi kwa jumla imepatwa na pigo kubwa kwa kuondokewa na Katibu Mkuu wake Ndugu Juma Ali Juma katika kipindi hiki ambacho tumejipangia malengo mengi ya kuifanyaZanzibar kuwa nchi ya viwanda. Tunatoa pole kwa familia,ndugunamarafikikwakifohikichamwenzetu.

9. Mheshimiwa Spika, Matayarisho ya bajeti hii yamezingatianyenzomuhimuzifuatazo:

Page 10: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 4

i. Maelekezo ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Dr. Ali Mohamed Shein;

ii. Ilani ya CCM ya mwaka 2015 -2020;

iii. Malengo ya Dira ya Maendeleo ya Zanzibar ya 2020;

iv. Mpango wa Ukuzaji Uchumi na Kuondoa Umasikini

Zanzibar (MKUZA III); v. Ukomo wa Rasilimali Fedha uliowekwa kwa Wizara

na

vi. Miongozo mbalimbali ya kisera inayosimamiwa na Wizara.

10. Mheshimiwa Spika, pamoja na mazingatio ya hapo juu, utayarishaji wa mapendekezo haya ulizingatia pia matukio mbali mbali yaliyojitokeza ulimwenguni ambayo yamekuwa na athari za moja kwa moja katika mwenendo wa biashara, viwanda na uchumi duniani. Matukio hayo ni kama vile mwenendo wa uwekezajiduniani,maendeleoyabiasharanafedhapiamasuala ya kisiasa katika baadhi ya maeneo ya dunia.

11. Mheshimiwa Spika, katika hotuba yangu hii, nitaanza kwa kufanya mapitio ya jumla kuhusu mwenendo wa

Page 11: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 5

biashara na hali ya viwanda, utekelezaji wa malengo ya bajeti ya Wizara kwa mwaka 2018/2019, nitabainisha changamoto zilizojitokeza katika kutekeleza bajeti ya mwaka 2018/2019 na hatimae nitawasilisha mapendekezo ya bajeti kwa programu za Wizara kwa mwaka 2019/ 2020.

2 MWENENDO WA BIASHARA

2.1 Hali ya Uchumi na Biashara Duniani:

12. Mheshimiwa Spika, mwenendo wa uchumi na biashara duniani umepungua kutoka asilimia 4.7 mwaka 2017 hadi asilimia 3.9 mwaka 2018. Kupungua huko kumetokana na kuwekwa kwa mikakati ya kibiashara (trade measure) ambayo inalengo la kuzuia usafirishaji kwa nchi zenyeuchumi mkubwa na kupelekea kupungua kwa uwekezaji. PiamabadilikoyaSerazakifedhakatikanchizinazoendeleayalipelekea kutokuwa na utulivu wa kiwango cha ubadilishaji wa kifedha. Aidha, taarifa zinaonyeshakupungua zaidi kwa ukuaji huo kwa mwaka 2019.

13. Mheshimiwa Spika, Nchi za Marekani ya Kaskazini

ziliongoza kwa kusafirisha bidhaa kwa asilimia 4.8zikifuatiwananchi zaAsiakwaasilimia4.2nanchi zaUlaya kwa asilimia 2.8. Kwa upandewa nchi za Afrikana nchi nyingine , zimeendelea kutoa mchango mdogo katikausafirishajiwabidhaaambapokwamwaka2018zilisafirishabidhaakwaasilimia2.7zausafirishajiwote.

Page 12: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 6

14. Mheshimiwa Spika, kwa upande wa Uagiziaji wa bidhaa duniani kwa mwaka 2018 nchi za Asia ziliongoza kwa kuagiza bidhaa za asilimia 6.1 ya uagiziaji wote, zikifuatiwa na nchi za Marekani ya Kusini kwa asilimia5.5, nchi za Marekani ya Kaskazini ziliagiza bidhaa za asilimia 4.8. Kwa upande wa nchi za Afrika,ziliagiza bidhaa za asilimia 0.5. za uagizaji wote.

Mheshimiwa Spika, Mwenendo huo wa usafirishaji na uagiziaji wa bidhaa duniani ni kwamujibu wa taarifa ya makisio ya Shirika la Biasharala Dunia (WTO) kwa kipindi cha mwaka 2018.

Biashara baina ya Zanzibar na Jumuiya za Kikanda (EAC na SADC)

15. Mheshimiwa Spika, moja ya madhumuni ya nchi kujiunga katika Jumuiya za kikanda ni kupunguza vikwazo vyakibiasharanakuuongeza fursambalimbali ikiwemoza masoko, ajira na uwekezaji. Zanzibar ikiwa ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni mwanachama waJumuiyayaAfrikaMashariki(EAC)nahivyoinafanyabiashara na nchi wanachama wa Jumuiya hii. Katika mwaka 2018,Zanzibarilisafirishakwaujumlabidhaazenyethamaniya Shilingi bilioni 58.19, kati ya hizo bidhaa zenye thamani ya Shilingi bilioni 1.06 sawa na asilimia 1.8 ya thamaniyabidhaahizozilisafirishwakwendaJumuiyayaAfrikaMashariki.Bidhaanyingizaidizilisafirishwanchini

Page 13: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 7

Kenya zikiwa na thamani Shilingi milioni 553 ambazo ni mpira, magari aina ya convoy na bidhaa nyingine.

16. Mheshimiwa Spika, kwa upande wa uagiziaji, Zanzibar iliagiza jumla ya bidhaa zenye thamani ya Shilingi bilioni 335.85, ambapo bidhaa za thamani ya Shilingi bilioni 2.42 sawa na asilimia 0.7 ya uagiziaji zimetoka Jumuiya ya Afrika Mashariki. Bidhaa zaidi zimeagizwakutokaKenyazikiwemovifaavyanyumbani(Householdarticles). Mheshimiwa Spika Takwimu zinaoonyesha kuwa, kwa kipindi cha miaka minne usafirishaji katikasokolaJumuiyayaAfrikaMasharikiulikuwaukiongezeka.Kwa mwaka 2018 usafirishaji umepungua na Uagiziajiumeongezeka kutoka Jumuiya hii na kusababisha kwa nakisi ya urari wa biashara. Hali ya biashara kati ya Zanzibar na Jumuiya ya Afrika Mashariki ni kamainavyoonekana katika Mchoro namba 1 hapa chini.

Mchoro Namba 1: Mwenendo wa Biashara baina ya Zanzibar

na Jumuiya ya Afrika Mashariki 2014-2018

Chanzo: Takwimu za OCGS, 2019

!"#$%&'(&')&*+,+'-&'.+&/0&,&'1&'2+-&13&'4567845' ';'!

thamani Shilingi milioni 553 ambazo ni mpira, magari aina ya convoy na bidhaa nyingine.

16. Mheshimiwa Spika, kwa upande wa uagiziaji, Zanzibar iliagiza jumla ya bidhaa zenye thamani ya Shilingi bilioni 335.85, ambapo bidhaa za thamani ya Shilingi bilioni 2.42 sawa na asilimia 0.7 ya uagiziaji zimetoka Jumuiya ya Afrika Mashariki. Bidhaa zaidi zimeagizwa kutoka Kenya zikiwemo vifaa vya nyumbani (Household articles). Mheshimiwa Spika Takwimu zinaoonyesha kuwa, kwa kipindi cha miaka minne usafirishaji katika soko la Jumuiya ya Afrika Mashariki ulikuwa ukiongezeka. Kwa mwaka 2018 usafirishaji umepungua na Uagiziaji umeongezeka kutoka Jumuiya hii na kusababisha kwa nakisi ya urari wa biashara. Hali ya biashara kati ya Zanzibar na Jumuiya ya Afrika Mashariki ni kama inavyoonekana katika Mchoro namba 1 hapa chini.

Mchoro Namba 1: Mwenendo wa Biashara baina ya Zanzibar na Jumuiya ya Afrika

Mashariki 2014-2018 !

6,075

46

4,563 3,851

1,061

10,413

1,0231,860

1,222

2,421

02,0004,0006,0008,000

10,00012,000

2014 2015 2016 2017 2018

Tham

ani (M

ilioni)

Usafirishaji Uagiziaji

Chanzo: Takwimu za OCGS, 2019!

17. Mheshimiwa Spika, Tanzania ni mwanachama wa Jumuiya ya

Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), hivyo Zanzibar ikiwa ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inafanya biashara na nchi wanachama wa jumuiya hii. Hali ya biashara inaonesha

Page 14: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 8

17. Mheshimiwa Spika, Tanzania ni mwanachama wa JumuiyayaMaendeleoKusinimwaAfrika(SADC), hivyo Zanzibar ikiwa ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inafanya biashara na nchi wanachamawa Jumuiya hii. Hali ya biashara inaonesha kwamba katika mwaka 2018, jumla ya bidhaa zenye thamani ya Shilingi milioni 326.3 ambayo ni sawa na asilimia 0.6 yausafirishajiwotezilisafirishwakwendanchi zaSADCambapoasilimiakubwayausafirishajinikatikanchiyaAfrikayaKusinikwabidhaazenyethamaniyaShilingi milioni 200.2 ikifuatiwananchiyaZambiakwabidhaaza thamani ya Shilingi milioni 111.8. Takwimu hizi pia zinaoneshakuwaZanzibarinayonafasiyakulitumiavizurizaidisokohilolaSADCkwakusafirishabidhaazaviungo.

18. Mheshimiwa Spika, kwa upande wa uagiziaji wa bidhaa katika mwaka huo huo, Zanzibar iliagiza bidhaa zenye thamani ya Shilingi bilioni 10.19 kutoka nchi za Jumuiya ya SADC sawa na asilimia 3.0 ya uagizaji wote. Nchi ambayo uagizaji ulikuwa mkubwa ni Afrika ya Kusini ambapo Zanzibar imeagiza bidhaa zavyakula, vifaa vya ujenzi na vifaa vya umeme.Hali yabiashara kati ya Zanzibar na Jumuiya ya SADC ni kama inavyoonekana katika Mchoro namba 2 hapa chini.

Page 15: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 9

2.2 Hali ya Biashara Zanzibar

Usafirishaji na Uagiziaji wa Bidhaa:

19. Mheshimiwa Spika, Hali ya biashara kwa ujumla inaonesha kwamba Zanzibar imefanya biashara yenyethamani ya Shilingi bilioni 394.04 kwa mwaka 2018 ikilinganishwa na biashara ya Shilingi bilioni 357.17 mwaka 2017 sawa na ongezeko la asilimia 10.3. Biashara hiyo ilikuwa ni usafirishaji wa bidhaa kwenda nje yaZanzibar na uagiziaji wa bidhaa kuja Zanzibar. Bidhaa ambazo Zanzibar ilisafirisha nchi za nje ni pamoja nakarafuu,mwaninamazaoyabaharini(majongoonadagaa).

!"#$%&'(&')&*+,+'-&'.+&/0&,&'1&'2+-&13&'4567845' '<'!

kwamba katika mwaka 2018, jumla ya bidhaa zenye thamani ya Shilingi milioni 326.3 ambayo ni sawa na asilimia 0.6 ya usafirishaji wote zilisafirishwa kwenda nchi za SADC ambapo asilimia kubwa ya usafirishaji ni katika nchi ya Afrika ya Kusini kwa bidhaa zenye thamani ya Shilingi milioni 200.2 ikifuatiwa na nchi ya Zambia kwa bidhaa za thamani ya Shilingi milioni 111.8. Takwimu hizi pia zinaonesha kuwa Zanzibar inayo nafasi ya kulitumia vizuri zaidi soko hilo la SADC kwa kusafirisha bidhaa za viungo.

18. Mheshimiwa Spika, kwa upande wa uagiziaji wa bidhaa katika mwaka huo huo, Zanzibar iliagiza bidhaa zenye thamani ya Shilingi bilioni 10.19 kutoka nchi za Jumuiya ya SADC sawa na asilimia 3.0 ya uagizaji wote. Nchi ambayo uagizaji ulikuwa mkubwa ni Afrika ya Kusini ambapo Zanzibar imeagiza bidhaa zikiwemo vyakula, vifaa vya ujenzi na vifaa vya umeme. Hali ya biashara kati ya Zanzibar na Jumuiya ya ‘SADC’ ni kama inavyoonekana katika Mchoro namba 2 hapa chini.

Mchoro Namba 2:

Mwenendo wa Biashara baina ya Zanzibar na Jumuiya ya ‘SADC’ 2014-2018

!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

578 635 632 573 326

5,380

3,844 4,0793,366

10,193

0

2,000

4,000

6,000

8,000

10,000

12,000

2014 2015 2016 2017 2018

Tham

ani (

Milio

ni)

Usafirishaji Uagiziaji!

Chanzo: Takwimu za OCGS, 2019!

!"#$%&'(&')&*+,+'-&'.+&/0&,&'1&'2+-&13&'4567845' '<'!

kwamba katika mwaka 2018, jumla ya bidhaa zenye thamani ya Shilingi milioni 326.3 ambayo ni sawa na asilimia 0.6 ya usafirishaji wote zilisafirishwa kwenda nchi za SADC ambapo asilimia kubwa ya usafirishaji ni katika nchi ya Afrika ya Kusini kwa bidhaa zenye thamani ya Shilingi milioni 200.2 ikifuatiwa na nchi ya Zambia kwa bidhaa za thamani ya Shilingi milioni 111.8. Takwimu hizi pia zinaonesha kuwa Zanzibar inayo nafasi ya kulitumia vizuri zaidi soko hilo la SADC kwa kusafirisha bidhaa za viungo.

18. Mheshimiwa Spika, kwa upande wa uagiziaji wa bidhaa katika mwaka huo huo, Zanzibar iliagiza bidhaa zenye thamani ya Shilingi bilioni 10.19 kutoka nchi za Jumuiya ya SADC sawa na asilimia 3.0 ya uagizaji wote. Nchi ambayo uagizaji ulikuwa mkubwa ni Afrika ya Kusini ambapo Zanzibar imeagiza bidhaa zikiwemo vyakula, vifaa vya ujenzi na vifaa vya umeme. Hali ya biashara kati ya Zanzibar na Jumuiya ya ‘SADC’ ni kama inavyoonekana katika Mchoro namba 2 hapa chini.

Mchoro Namba 2:

Mwenendo wa Biashara baina ya Zanzibar na Jumuiya ya ‘SADC’ 2014-2018

!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

578 635 632 573 326

5,380

3,844 4,0793,366

10,193

0

2,000

4,000

6,000

8,000

10,000

12,000

2014 2015 2016 2017 2018

Tham

ani (

Milio

ni)

Usafirishaji Uagiziaji!

Chanzo: Takwimu za OCGS, 2019!

Page 16: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 10

20. Mheshimiwa Spika, Zanzibar ilisafirisha nje bidhaazenye thamani ya Shilingi bilioni 58.19. Kiwango hicho chausafirishajinisawanapungufuyaasilimia60.1kwakulinganishanausafirishajiwabidhaazenyethamaniyaShilingi bilioni 145.76uliofanyikakipindichamwaka2017.Katikausafirishajihuo,zao lakarafuu lilikuwanathamani ya Shilingi bilioni 15.54 sawa na asilimia 26.7 ya usafirishaji wote. Kushuka huku kumechangiana msimu mdogo wa karafuu ambapo kulipelekeakupunguakwatanizaununuziwakarafuuukilinganishana mwaka 2017. Karafuu hii ilisafirishwa katika nchiza Singapore, India na Falme za Kiarabu (UAE). Kwa mwaka fedha2018/19 Indiandionchi iliyoongoza kwaununuziwakarafuuzaZanzibarikifuatiwanaSingapore.

21. Mheshimiwa Spika, kwa upande wa uagiziaji bidhaa, nchi yetu iliagiza bidhaa zenye thamani ya Shilingi bilioni 335.85 kwa mwaka 2018 ikilinganishwa na uagiziaji wa Shilingi bilioni 211.41 mwaka 2017. Bidhaa ambazo Zanzibar imeagiza kutoka nchi za nje ni pamoja na vyombo vyausafiri,bidhaazaelektronikikamavilekompyuta,simu,bidhaa za nguo na chakula. Mwenendo huu wa biashara umefanya kuongezeka kwanakisi ya urariwabiasharakutoka Shilingi bilioni 65.66 hadi Shilingi bilioni 277.66. Mchoro Namba 3 hapa chini unaonyesha hali hii.

Page 17: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 11

22. Mheshimiwa Spika, ongezeko hilo la nakisi linaonyesha kutokufanyavizurikwabiasharakutokanakupunguakwausafirishajinakuongezekakwauagiziajiwabidhaakatikanchiyetuhasabidhaazanguo,magari,vifaavyausafiri(aircraft vessel), bidhaa zaelectronikin.k.Kwakulionahilo Wizara yangu, imefanya jitihada za kuwatafutawawekezaji ambao wataweza kuwekeza katika viwanda vya kutengeneza nguo. Kwa sasa Wizara ya Biashara na Viwanda imeshafanya mazungumzo ya awali nawawekezaji kutoka Kenya na China wenye nia ya kuwekeza katika viwanda vikubwa vya nguo, kanga na vitenge. Aidha, Wizara kwa kushirikiana na taasisi nyengine za

!"#$%&'(&')&*+,+'-&'.+&/0&,&'1&'2+-&13&'4567845' '>'!

Mchoro Namba 3:

Mwenendo wa Biashara Zanzibar (2010 – 2018)

!Chanzo: Takwimu za OCGS, 2019

22. Mheshimiwa Spika, ongezeko hilo la nakisi linaonyesha kutokufanya vizuri kwa biashara kutokana kupungua kwa usafirishaji na kuongezeka kwa uagiziaji wa bidhaa katika nchi yetu hasa bidhaa za nguo, magari, vifaa vya usafiri (aircraft vessel), bidhaa za electroniki n.k. Kwa kuliona hilo Wizara yangu, imefanya jitihada za kuwatafuta wawekezaji ambao wataweza kuwekeza katika viwanda vya kutengeneza nguo. Kwa sasa Wizara ya Biashara na Viwanda imeshafanya mazungumzo ya awali na wawekezaji kutoka Kenya na China wenye nia ya kuwekeza katika viwanda vikubwa vya nguo, kanga na vitenge. Aidha, Wizara kwa kushirikiana na taasisi nyengine za serikali inafanya jitihada za kurejesha hali ya biashara kwa kushajiisha uzalishaji wa bidhaa za kuuza nje ya nchi.

Page 18: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 12

serikali inafanya jitihada za kurejesha hali ya biasharakwa kushajiisha uzalishaji wa bidhaa za kuuza nje ya nchi.

Biashara Baina ya Zanzibar na Tanzania Bara (Inter-State Trade Balance):

23. Mheshimiwa Spika, biashara baina ya Zanzibar na Tanzania Bara inahusisha utoaji wa bidhaa kutoka Zanzibar kwenda Tanzania bara na uingizaji wa bidhaa kutoka Tanzania Bara kuja Zanzibar. Biashara hiyo inahusisha bidhaazavyakula,vifaavyaelektroniki,magari,madawana vinywaji. Kwa miaka ya hivi karibuni, biashara kutoka Zanzibar kwenda Bara zimeendelea kupungua na hivyo kusababisha urari mkubwa wa biashara kati ya Zanzibar na Tanzania Bara. Hali hii ilitokana na vikwazo vya biashara visivyokuwa vya kiushuru hasa vibali vya ruhusa ya kuingiza bidhaa na masuala ya usajili wa bidhaa. Mwenendo wa biashara baina ya pande mbili hizi unaonekana katika Mchoro Namba 4 hapa chini.

Page 19: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 13

24. Mheshimiwa Spika, Kwa kipindi cha mwaka 2018, Zanzibar ilipeleka bidhaa Tanzania Bara zenye thamani ya Shilingi bilioni 24.29, ikilinganishwa na bidhaa zenye thamani ya Shilingi bilioni 33.66 zilizopelekwa mwaka 2017. Hali hii ya kushuka imesababishwa na kupungua kwa upelekaji wa bidhaa hasa magari tokea mwaka 2015 na bidhaa zengine za viwanda zilizoshindwa kuingia katika soko hilo.

Aidha, kwa mwaka 2018, Zanzibar iliagiza kutoka Tanzania Bara bidhaa zenye thamani ya Shilingi bilioni 244.24 ikilinganishwa na uagiziaji wa bidhaa zenye thamani ya Shilingi bilioni 206.48 mwaka 2017. Uingizaji

!"#$%&'(&')&*+,+'-&'.+&/0&,&'1&'2+-&13&'4567845' '7'!

Biashara Baina ya Zanzibar na Tanzania Bara (Inter-State Trade Balance):

23. Mheshimiwa Spika, biashara baina ya Zanzibar na Tanzania

Bara inahusisha utoaji wa bidhaa kutoka Zanzibar kwenda Tanzania bara na uingizaji wa bidhaa kutoka Tanzania Bara kuja Zanzibar. Biashara hiyo inahusisha bidhaa za vyakula, vifaa vya elektroniki, magari, madawa na vinywaji. Kwa miaka ya hivi karibuni, biashara kutoka Zanzibar kwenda Bara zimeendelea kupungua na hivyo kusababisha urari mkubwa wa biashara kati ya Zanzibar na Tanzania Bara. Hali hii ilitokana na vikwazo vya biashara visivyokuwa vya kiushuru hasa vibali vya ruhusa ya kuingiza bidhaa na masuala ya usajili wa bidhaa. Mwenendo wa biashara baina ya pande mbili hizi unaonekana katika Mchoro Namba 4 hapa chini.

Mchoro Namba 4:

Biashara Baina ya Zanzibar na Tanzania Bara: TZS. (Milioni)

!"#####

!$#####

!%#####

#

%#####

$#####

"#####

&#####

'#####

$#%& $#%' $#%( $#%) $#%*!"#$

#%&'()&*&+%

&,

+,-.-

/01-23-4567-8 .,94:-2;-45-46-2<-8- =8-862,-2<6->?-8-

Chanzo: Takwimu za OCGS, 2019

!"#$%&'(&')&*+,+'-&'.+&/0&,&'1&'2+-&13&'4567845' '7'!

Biashara Baina ya Zanzibar na Tanzania Bara (Inter-State Trade Balance):

23. Mheshimiwa Spika, biashara baina ya Zanzibar na Tanzania

Bara inahusisha utoaji wa bidhaa kutoka Zanzibar kwenda Tanzania bara na uingizaji wa bidhaa kutoka Tanzania Bara kuja Zanzibar. Biashara hiyo inahusisha bidhaa za vyakula, vifaa vya elektroniki, magari, madawa na vinywaji. Kwa miaka ya hivi karibuni, biashara kutoka Zanzibar kwenda Bara zimeendelea kupungua na hivyo kusababisha urari mkubwa wa biashara kati ya Zanzibar na Tanzania Bara. Hali hii ilitokana na vikwazo vya biashara visivyokuwa vya kiushuru hasa vibali vya ruhusa ya kuingiza bidhaa na masuala ya usajili wa bidhaa. Mwenendo wa biashara baina ya pande mbili hizi unaonekana katika Mchoro Namba 4 hapa chini.

Mchoro Namba 4:

Biashara Baina ya Zanzibar na Tanzania Bara: TZS. (Milioni)

!"#####

!$#####

!%#####

#

%#####

$#####

"#####

&#####

'#####

$#%& $#%' $#%( $#%) $#%*!"#$

#%&'()&*&+%

&,

+,-.-

/01-23-4567-8 .,94:-2;-45-46-2<-8- =8-862,-2<6->?-8-

Chanzo: Takwimu za OCGS, 2019

Page 20: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 14

mkubwa kutokaTanzania bara umefanyika kwabidhaaza kilimo, vyakula, vyuma, magari, vinywaji na dawa.

Hali ya Chakula na Bei katika Soko la Zanzibar

25. Mheshimiwa Spika, Takwimu za uingizaji chakula kwa mwaka 2018 kutoka nje zinaonesha kwamba jumla ya Tani 89,477 za mchele, Tani 50,248 za sukari na Tani 48,628 za unga wa ngano zilikuwepo katika kipindi hicho kwa ajili ya matumizi ya soko la ndani, kama inavyoonekana katika Mchoro Namba 5 hapo chini.

26. Mheshimiwa Spika, Pia uzalishaji wa bidhaa za ndani ikiwemo mchele, sukari na unga wa ngano umeongezeka, kwa upande wa sukari kutoka tani 677 mwaka 2017

!"#$%&'(&')&*+,+'-&'.+&/0&,&'1&'2+-&13&'4567845' '66'!

Mchoro Namba 5: Wastani wa Uingizaji wa Chakula Muhimu

katika Soko la Zanzibar 2018 (Tani):

Chanzo: Wizara ya Biashara na Viwanda, 2019

26. Mheshimiwa Spika, Pia uzalishaji wa bidhaa za ndani ikiwemo mchele, sukari na unga wa ngano umeongezeka, kwa upande wa sukari kutoka tani 677 mwaka 2017 mpaka tani 3,339 mwaka 2018 sawa na asilimia 79.7. Uzalishaji wa unga wa ngano umeongezeka kutoka tani 25,196 mwaka 2017 mpaka tani 26,963 mwaka 2018, ambapo ni sawa na ongezeko la asilimia 7.0 na mchele umeongezeka kutoka tani 39,683 mwaka 2017 mpaka tani 47,570 mwaka 2018.

27. Mheshimiwa Spika, bei za bidhaa muhimu kama vile mchele na unga wa ngano ziliongezeka kidogo katika soko la ndani. Kwa upande wa sukari wastani wa bei ulipungua kwa mwaka 2018. Napenda kuliarifu Baraza lako tukufu kwamba Serikali inaendelea na utaratibu wa kusimamia bei za bidhaa muhimu (mchele, sukari na unga wa ngano) kama ilivyo kwenye Sheria ya Biashara ya mwaka 2013 na kuangalia uwezekano wa kuongeza aina nyingine za bidhaa zinazowagusa sana wananchi. Pia nachukua fursa hii

Page 21: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 15

mpaka tani 3,339 mwaka 2018 sawa na asilimia 80. Uzalishaji wa unga wa ngano umeongezeka kutoka tani 25,196 mwaka 2017 mpaka tani 26,963 mwaka 2018, ambapo ni sawa na ongezeko la asilimia 7.0 na mchele umeongezeka kutoka tani 39,683 mwaka 2017 mpaka tani 47,570 mwaka 2018 sawa na asilimia 47.5.

27. Mheshimiwa Spika, bei za bidhaa muhimu kama vile mchele na unga wa ngano ziliongezeka kidogo katika soko la ndani. Kwa upande wa sukari wastani wa bei ulipungua kwamwaka2018.NapendakuliarifuBarazalakotukufukwamba Serikali inaendelea na utaratibu wa kusimamia bei za bidhaa muhimu (mchele, sukari na unga wa ngano) kama ilivyo kwenye Sheria ya Biashara ya mwaka 2013 na kuangalia uwezekano wa kuongeza aina nyingine za bidhaa zinazowagusa sana wananchi. Pia nachukua fursahiikuwaombawafanyabiasharakufuatabeielekezizinazotolewanaSerikaliilikuwapawananchinafuuhasakatikakipindihichichamwezimtukufuwaRamadhani.Kwa jumla wastani wa bei za reja reja za bidhaa muhimu kwa mwaka 2018 katika masoko ya Zanzibar ni kama zinavyoonekana katika Jadweli Namba 1 hapa chini:

!"#$%&'(&')&*+,+'-&'.+&/0&,&'1&'2+-&13&'4567845' '64'!

kuwaomba wafanyabiashara kufuata bei elekezi zinazotolewa na Serikali ili kuwapa wananchi nafuu hasa katika kipindi hichi cha mwezi mtukufu wa Ramadhani. Kwa jumla wastani wa bei za reja reja za bidhaa muhimu kwa mwaka 2018 katika masoko ya Zanzibar ni kama zinavyoonekana katika Jadweli Namba 1 hapa chini:

Jadweli Namba 1:

Wastani wa Bei za Reja Reja za Chakula Muhimu katika soko la Zanzibar:

(TZS/Kilo) Bidhaa Julai - Sept Okt – Dis Jan – Machi

Mchele 1,386 1,627 1,590 Sukari 1,749 1,770 1,784 Unga Ngano 1,313 1,308 1,354

Chanzo: Wizara ya Biashara na Viwanda, 2019

28. Mheshimiwa Spika, kutokana na mwenendo wa hali ya bei za chakula muhimu katika masoko ya Zanzibar kama inavyoonekana katika Jadweli la hapo juu, imeonekana kuwepo kwa ongezeko dogo kwa bei ya mchele katika robo ya pili na kushuka katika robo ya tatu. Hali hii imesababishwa na kuchelewa kwa mavuno kwa nchi ambazo wafanyabiashara wetu huagiza bidhaa hiyo, kwa kawaida mavuno huanza katika kipindi cha mwezi 9. Katika kipindi cha mwaka 2018 mavuno yameanza mwishoni ya mwezi wa 10. Hata hivyo, upatikanaji wa bidhaa hizo na utulivu wa bei pamoja na uwepo wa mchele unaolimwa Zanzibar kwa kiasi cha tani 47,570 kwa mwaka 2018 ziliweza kurahisisha maisha ya wananchi.

3 HALI YA VIWANDA:

29. Mheshimiwa Spika, Katika ujenzi wa uchumi wa viwanda Sekta hii ni kiungo muhimu cha kuhamasisha maendeleo ya sekta nyingine zikiwemo sekta za kilimo, uvuvi, mifugo na biashara. Kwa upande mwingine, sekta ya viwanda inategemea miundombinu ya

Page 22: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 16

28. Mheshimiwa Spika, kutokana na mwenendo wa hali ya bei za chakula muhimu katika masoko ya Zanzibar kama inavyoonekana katika Jadweli la hapo juu, imeonekana kuwepo kwa ongezeko dogo kwa bei ya mchele katika robo ya pili na kushuka katika robo ya tatu. Hali hii imesababishwa na kuchelewa kwa mavuno kwa nchi ambazo wafanyabiashara wetu huagiza bidhaa hiyo,kwa kawaida mavuno huanza katika kipindi cha mwezi 9. Katika kipindi cha mwaka 2018 mavuno yameanza mwishoni ya mwezi wa 10. Hata hivyo, upatikanaji wa bidhaa hizo na utulivu wa bei pamoja na uwepo wa mchele unaolimwa Zanzibar kwa kiasi cha tani 47,570 kwa mwaka 2018 ziliweza kurahisisha maisha ya wananchi.

3 HALI YA VIWANDA:

29. Mheshimiwa Spika, Katika ujenzi wa uchumi wa viwanda Sekta hii ni kiungo muhimu cha kuhamasisha maendeleo yasektanyinginezikiwemosektazakilimo,uvuvi,mifugona biashara. Kwa upande mwingine, sekta ya viwanda inategemeamiundombinuyausafiri,nishati,mawasiliano,huduma mbalimbali pamoja na rasilimali watu. Vilevile viwanda vidogo vidogo ni muhimu ili kukuza sekta kuu ya viwanda kwa kutoa malighafi, vipuri na kuwafikiawananchi kwa urahisi. Hivyo ili sekta hii ikue na kuleta maendeleo ya kiuchumi inahitaji ushiriki wa wadau wengi katika ngazi zote wakiwemo sekta binafsi.Kukua kwauchumi wa viwanda kutapelekea kuongezeka kwa ukuaji wa uzalishaji katika sekta za kilimo, kupunguza uagiziaji

Page 23: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 17

wabidhaakutokanjeyanchi,kuongezausafirishajiwabidhaa nje, kuongeza ajira kwa wananchi, kuongeza wigo wawalipakodinahatimaekuongezekakwapatolataifa.

30. Mheshimiwa Spika, miongoni mwa mambo yanayopima maendeleo ya Nchi duniani ni mchango wa Sekta ya Viwandakatikapato laTaifa.WizarayanguimeendeleakufanyajuhuditofautikuhakikishamchangowaViwandaunaongezekasikuhadisikukwakuwapatiamafunzoyauzalishaji Wajasiriamali, kuhakikisha ubora wa bidhaa ili kuweza kuingia katika soko la ushindani na kujenga misingi ya ushindani halali. Hivyo mchango wa Viwanda katika pato la Taifa umeendelea kuongezeka kutoka asilimia17.0 mwaka 2017 hadi kufikia asilimia 17.8 mwaka 2018 hii ni sawa na asilimia 0.8. Ongezeko hili ni baada yakufanyavizurisektambalimbalizaViwandaikiwemouchimbaji ambao umeongezeka kwa asilimia 1.2, ujenzi asilimia 9.5 na uzalishaji Viwandani kwa asilimia 5.7.

31. Mheshimiwa Spika, uzalishaji kwa upande wa viwanda vikubwa kwa mwaka 2018/2019 unaendelea kuimarika licha ya kuwepo kwa changamoto ya kuongezeka kwa ushuru wa maziwa yanayozalishwa nje ya Tanzania bara, ambapo ilipelekea kukifunga kwamuda kiwandacha maziwa cha Fumba kwa kipindi cha Julai-Septemba, 2018. Wizara yangu kwa kushirikiana na muwekezaji huyo imeweza kuzitatua changamoto hizo na kwa sasa kiwanda kinaendelea na uzalishaji. Hata hivyo, kiwanda cha Sukari cha Mahonda na Kiwanda cha Unga wa ngano kilichopo

Page 24: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 18

Mtoni vimeendelea kuimarika kutokana na kuongezeko kwa uzalishaji viwandani hapo. Aidha, kwa mwaka 2019/2020 kiwanda cha sukari, kinatarajia kuzalisha tani zipatazo 8,000 kutoka tani 3,339 za sukari zilizozalishwa mwaka 2018.

32. Mheshimiwa Spika, Katika kipindi cha mwaka 2018/2019 hali ya uzalishaji viwandani imeonekana kuimarika kutokana na kuongezeka kwa idadi ya viwanda Zanzibar. Kulingana na Sensa ya Viwanda ya mwaka 2016, idadi ya viwanda Zanzibar imeongezeka kutoka 23,355 katika kipindi cha mwaka 2012 mpaka 27,281 kwa mwaka 2016 ambapo ni sawa na ongezeko la asilimia 16.8 ya viwanda vilivyopo. Jumla ya watu 180,851 wameajiriwa ambapo ni sawa na wastani wa watu 7.0 kwa kila kiwanda. Mkoa wa Mjini Magharibi umeongoza kwa kuwa na waajiriwa wengi wa viwandani ambao ni asilimia 56.3 katika kipindi hicho.

33. Mheshimiwa Spika, Katika kipindi cha mwaka 2018/19 kumeongezeka kwa kasi kujengwa viwanda hapa Zanzibar, viwanda vilivyoanzishwa na kufanya kazi ni pamoja naviwanda vyamafuta ya kupikia ya alizeti, viwanda vyatungule,Vibiriti,mavutayanazi,mifukoyakufungashiana misumari. Viwanda vinavyotarajiwa kujengwa ni pamojanavyakusarifumwani,maziwa,chumvi,paipuza mifereji na mafuta ya majani ya Karafuu. Viwandahivi vitaongeza ajira, bidhaa nchini na Pato la Taifa.Orodha ya viwanda vinavyotarajiwa kujengwa ni kama zinavyoonekana katika Jadweli Namba 2 hapa chini:

Page 25: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 19

!"#$%&'(&')&*+,+'-&'.+&/0&,&'1&'2+-&13&'4567845' '6:'!

cha sukari, kinatarajia kuzalisha tani zipatazo 8,000 kutoka tani karibu 3,339 za sukari zilizozalishwa mwaka 2018.

32. Mheshimiwa Spika, Katika kipindi cha mwaka 2018/2019 hali ya uzalishaji viwandani umeonekana kuimarika kutokana na kuongezeka kwa idadi ya viwanda Zanzibar. Kulingana na Sensa ya Viwanda ya mwaka 2016, idadi ya viwanda Zanzibar imeongezeka kutoka 23,355 katika kipindi cha mwaka 2012 mpaka 27,281 kwa mwaka 2016 ambapo ni sawa na ongezeko la asilimia 16.8 ya viwanda vilivyopo. Jumla ya watu 180,851 wameajiriwa ambapo ni sawa na wastani wa watu 7.0 kwa kila kiwanda. Mkoa wa Mjini Magharibi umeongoza kwa kuwa na waajiriwa wengi wa viwandani ambao ni asilimia 56.3 katika kipindi hicho.

33. Mheshimiwa Spika, Katika kipindi cha mwaka 2018/19 kumeongezeka kwa kasi kujengwa viwanda hapa Zanzibar, viwanda vilivyoanzishwa na kufanya kazi ni pamoja na viwanda vya mafuta ya kupikia ya alizeti, viwanda vya tungule, Vibiriti, mavuta ya nazi, mifuko ya kufungashia na misumari. Viwanda vinavyotarajiwa kujengwa ni pamoja na vya kusarifu mwani, maziwa, chumvi, paipu za mifereji na mafuta ya majani ya Karafuu. Viwanda hivi vitaongeza ajira, bidhaa nchini na pato la taifa. Orodha ya viwanda vinavyotarajiwa kujengwa ni kama zinavyoonekana katika Jadweli Namba 2 hapa chini:

Jadweli Namba 2: Aina ya Viwanda Vipya vinavotarajiwa kujengwa.

Nam Aina ya bidhaa Mahala kitakapojengwa

Aina ya kiwanda

Matarajio ya ajira mpya

1. Kiwanda cha Mwani Chamanangwe- Pemba Kikubwa Zaidi ya ajira 100

2. Kiwanda cha Chumvi Chamanangwe – Pemba

Kikubwa Zaidi ya ajira 100

3. Kiwanda cha Maziwa Chamanangwe – Pemba

Cha kati Zaidi ya ajira 50

4. Kiwanda Mafuta ya Majani ya karafuu

Kusini Pemba Kikubwa Zaidi ya ajira 100

!"#$%&'(&')&*+,+'-&'.+&/0&,&'1&'2+-&13&'4567845' '6;'!

5. Kiwanda cha Bomba za Plastiki

Maruhubi - Unguja Kikubwa Zaidi ya ajira 100

6. Kiwanda cha Tungule na Pilipili

Shakani - Unguja Kikubwa Zaidi ya ajira 100

7. Kiwanda cha Vifungashio Uzi – Unguja Kikubwa Zaidi ya ajira 100

8. Kiwanda cha Vifungashio Nyamanzi – Unguja Cha kati Zaidi ya ajira 100

9. Kiwanda cha Vifungashio Wilaya ya kati - Unguja Kikubwa Zaidi ya ajira 100

10. Kiwanda cha Vifungashio Tunguu - Unguja Cha kati Zaidi ya ajira 50

11. Kiwanda cha Vibiriti Wilaya ya kati - Unguja Cha kati Zaidi ya ajira 50

12. Kiwanda cha Minofu ya Kuku

Wilaya ya kati – Unguja Cha kati Zaidi ya ajira 50

13. Kiwanda cha Chakula cha Mifugo

Wilaya ya kati - Unguja Cha kati Zaidi ya ajira 50

14. Kiwanda cha kutotolea Vifaranga vya kuku

Wilaya ya kati - Unguja Cha kati Zaidi ya ajira 50

15. Kiwanda cha Ushoni Buyu – Unguja Kikubwa Zaidi ya ajira 100

16. Kiwanda cha kuzalisha Vitambaa

Cotex, Maruhubi - Unguja

Kikubwa Zaidi ya ajira 100

17. Kiwanda cha Viatu Mtoni – Unguja Cha kati Zaidi ya ajira 50

18. Kiwanda cha Ushoni Mtoni – Unguja Cha kati Zaidi ya ajira 50

19. Kiwanda cha kukaushia Dagaa

Malindi - Unguja Cha kati Zaidi ya ajira 50

20. Kiwanda cha mafuta ya Mkaratusi

Wawi - Pemba Cha kati Zaidi ya ajira 50

21. Kiwanda cha kusarifu Ndimu

Chwaka – Unguja Cha kati Zaidi ya ajira 50

22. Kiwanda cha kusarifu Tungule

Mtule , Paje - Unguja Cha kati Zaidi ya ajira 50

Page 26: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 20

34. Mheshimiwa Spika, Matarajio ni kuongezeka kwa idadi yaviwandanawaajiriwabaadayakufanyikakwajuhudikubwazaserikalizikiwemokufanyamapitioyaSerayaviwanda, kuimarisha Wakala wa Kusimamia na Kuendeleza viwanda vidogo vidogo na vya kati (SMIDA), Kuanzisha maeneo maalum ya viwanda (Industrial Parks), kuanzisha Mfuko maalum wa kuwaendeleza na kuwakopeshawajasiriamali na kuendeleza viwanda vya kati.

35. Mheshimiwa Spika,ShirikalaBiasharalaTaifalimetilianasaini mkataba wa mashirikiano na Kampuni ya Kunshan AsianAromayaChinailikufanyaukarabatiwaKiwandachaMakonyonakukubalikununuatani1,000zamafutayamakonyonatani2,000zamafutayamkaratusi.Hatuazimechukuliwa kwa kuongeza eneo la kuweka mitambo mipya ya kuchemsha makonyo na majani ya mikaratusi.

36. Mheshimiwa Spika, Kiwanda cha Makonyo kinatarajiwa kuongeza uzalishaji baada ya kufunga (boiler) jinginejipya lenye uwezo wa kuzalisha mvuke wa maji tani nane (8)kwasaapamojanaufungajiwavyunguvipyavitano

!"#$%&'(&')&*+,+'-&'.+&/0&,&'1&'2+-&13&'4567845' '6;'!

5. Kiwanda cha Bomba za Plastiki

Maruhubi - Unguja Kikubwa Zaidi ya ajira 100

6. Kiwanda cha Tungule na Pilipili

Shakani - Unguja Kikubwa Zaidi ya ajira 100

7. Kiwanda cha Vifungashio Uzi – Unguja Kikubwa Zaidi ya ajira 100

8. Kiwanda cha Vifungashio Nyamanzi – Unguja Cha kati Zaidi ya ajira 100

9. Kiwanda cha Vifungashio Wilaya ya kati - Unguja Kikubwa Zaidi ya ajira 100

10. Kiwanda cha Vifungashio Tunguu - Unguja Cha kati Zaidi ya ajira 50

11. Kiwanda cha Vibiriti Wilaya ya kati - Unguja Cha kati Zaidi ya ajira 50

12. Kiwanda cha Minofu ya Kuku

Wilaya ya kati – Unguja Cha kati Zaidi ya ajira 50

13. Kiwanda cha Chakula cha Mifugo

Wilaya ya kati - Unguja Cha kati Zaidi ya ajira 50

14. Kiwanda cha kutotolea Vifaranga vya kuku

Wilaya ya kati - Unguja Cha kati Zaidi ya ajira 50

15. Kiwanda cha Ushoni Buyu – Unguja Kikubwa Zaidi ya ajira 100

16. Kiwanda cha kuzalisha Vitambaa

Cotex, Maruhubi - Unguja

Kikubwa Zaidi ya ajira 100

17. Kiwanda cha Viatu Mtoni – Unguja Cha kati Zaidi ya ajira 50

18. Kiwanda cha Ushoni Mtoni – Unguja Cha kati Zaidi ya ajira 50

19. Kiwanda cha kukaushia Dagaa

Malindi - Unguja Cha kati Zaidi ya ajira 50

20. Kiwanda cha mafuta ya Mkaratusi

Wawi - Pemba Cha kati Zaidi ya ajira 50

21. Kiwanda cha kusarifu Ndimu

Chwaka – Unguja Cha kati Zaidi ya ajira 50

22. Kiwanda cha kusarifu Tungule

Mtule , Paje - Unguja Cha kati Zaidi ya ajira 50

Page 27: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 21

(5)vyakuzalishiaMafutayaMkaratusi.Uimarishajihuuwa kiwanda unatarajiwa kukamilika ndani ya mwaka 2019nautaongezauzalishajiwamafutayamimeakwakiasi kikubwa. Hivi sasa kwa mara ya kwanza uzalishaji wa mafuta ya makonyo umepindukia tani 70 tangukiwanda kufungwa kwa thamani ya Shilingi bilioni 1.3.wananchi mnahimizwa kupeleka makonyo kwa wingi katika shirika letu ili kukuza uzalishaji wa mafuta.

37. Mheshimiwa Spika, katika jitihada za kuendeleza bidhaa ya chumvi, wizara tayari imetia saini makubaliano ya kusimamia uanzishwaji wa kiwanda cha kuongeza thamani chumvi ya Zanzibar ili iweze kupata soko la ndani na nje ya nchi. Kiwanda kinatarajiwa kujengwa katika eneo la viwanda la Chamanangwe Pemba. Aidha katika eneo hilo piakinatarajiwakujengwaKiwandachakusarifumwani,ambapo Serikali kupitia ZSTC imeingia makubaliano na wawekezaji kutoka Indonesia ili kukuza zao hili. Viwanda vyote hivi vitakuza zaidi sekta hii na kuongeza ajira kwa wananchi na kuongeza mapato ya serikali.

38. Mheshimiwa Spika, Katika kutekeleza mradi wa kuwaendeleza vijana ili wajiajiri, wizara kwa kushirikiana na wizara na taasisi nyingine za serikali inawahamasisha vijana wajiunge katika vikundi ambavyo vitapewa mtaji na misaada mingine ili walime pilipili hoho ambayo tayari ina soko la uhakika. Kwa kuanzia na mikoa 4, vijana ya zaidi ya 320watajipatia ajira binafsi katika ukulimawa pilipili ambao utasimiamiwa na Shirika letu la ZSTC.

Page 28: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 22

39. Mheshimiwa Spika,Wizarapiaimefanyamazungumzona mwekezaji mwenyeji ambae anatarajia kuja kuwekeza katika mradi wa kuongeza thamani ufugaji wa kuku.Mwekezaji huyu anatarajia kuwekeza katika ufugajiwa kuku, utengenezaji wa chakula cha kuku, utotoaji nauuzajiwa kukuna vifaranga kwawafugajiwenginewadogowadogopamojanakutoamafunzokwawafugaji.Wizara tayari inaandaa eneo na imemualika rasmi.

40. Mheshimiwa Spika, baada ya shukrani na maelezo hayo ya awali kuhusu hali ya biashara na viwanda, naomba sasa niwasilishe utekelezaji wa Bajeti ya Wizara yaBiasharanaViwandakwamwakawafedha2018/2019na mwelekeo wa malengo ya mwaka 2019/2020.

4 UTEKELEZAJI WA BAJETI NA MIPANGO YA WIZARA KWA MWAKA 2018/2019:

Ukusanyaji wa Mapato

41. Mheshimiwa Spika,Kwamwakawafedha2018/2019,Wizara yangu ilipangiwa kukusanya mapato ya shilingi bilioni 1.513 kwa mwaka kutoka katika vyanzo vyake mbali mbali. Katika kipindi cha miezi Tisa Wizara ilipangiwa kukusanya shilingi Milioni 832.52, Hadi kufikia mwezi wa Machi, 2019, jumlaya shilingi milioni 708.82 sawa na asilimia 85 zilikusanywanakuingizwakatikaMfukoMkuuwaSerikali.

Page 29: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 23

42. Mheshimiwa Spika, Mchanganuo wa Mapato hayo ni kama unavyoonekana katika Jadweli Namba 3 hapa chini;

Matumizi ya Wizara kwa Mwaka wa Fedha 2018/ 2019

43. Mheshimiwa Spika, Katika mwaka wa fedha2018/2019, Wizara ya Biashara na Viwanda, iliidhinishiwa matumizi ya jumla ya shilingi bilioni 11.36 kwa ajili ya kutekeleza program zake. Kati ya hizo shilingi bilioni 6.66 kwa ajili ya kazi za kawaida na shilingi bilioni 4.70 kwakazizamaendeleo.HadikufikiaMachi2019,Wizara iliingiziwa jumla ya shilingi bilioni 6.04 ambazo ni sawa na asilimia 53 ya bajeti ya mwaka. Mchanganuo wa matumizi hayo kwa kila program ulikuwa kama unavyoonekana katika Kiambatanisho Namba 1.

!"#$%&'(&')&*+,+'-&'.+&/0&,&'1&'2+-&13&'4567845' '6>'!

42. Mheshimiwa Spika, Mchanganuo wa Mapato hayo ni kama unavyoonekana katika Jadweli Namba 3 hapa chini;

Jadweli Nam 3: Mapato ya Wizara kwa Kipindi cha Julai 2018 – Machi 2019

KIFUNGU MAELEZO Makadirio

Julai– Machi Makusanyo Julai– Machi

Asilimia ya Makusanyo

Julai - Machi R1146 Idara ya Biashara na

Ukuzaji Masoko 623,239,890 565,841,821 91

1422014 Ukaguzi wa Mezani na Vipimo 80,740,000 61,096,205 76 1422077 Malipo ya Kazi za Biashara 542,499,890 504,745,616 93

R0106 Wakala wa Usajili wa

Biashara na Mali 209,278,300 142,982,500 68

1146002 Ada ya Mali Maiti 906,000 1,259,501 139 1422030 Alama za Biashara 107,602,200 22,060,699 21 1422031 Uandikishaji wa Makampuni 61,314,000 81,460,400 133 1422032 Uandikishaji wa Majina ya

Biashara 21,624,500 10,246,000 47

1422034 Ujira wa Kutengeneza Nyaraka 17,831,600 27,955,900 157

Jumla Kuu 832,518,190 708,824,321 85 Chanzo: Wizara ya Biashara na Viwanda, 2019

Matumizi ya Wizara kwa Mwaka wa Fedha 2018/ 2019

43. Mheshimiwa Spika, Katika mwaka wa fedha 2018/2019, Wizara

ya Biashara na Viwanda, iliidhinishiwa matumizi ya jumla ya shilingi bilioni 11.36 kwa ajili ya kutekeleza program zake. Kati ya hizo shilingi bilioni 6.66 kwa ajili ya kazi za kawaida na shilingi bilioni 4.70 kwa kazi za maendeleo. Hadi kufikia Machi 2019, Wizara iliingiziwa jumla ya shilingi bilioni 6.04 ambazo ni sawa na asilimia 53 ya bajeti ya mwaka. Mchanganuo wa matumizi hayo kwa kila program ulikuwa kama unavyoonekana katika Kiambatanisho Namba 1.

44. Mheshimiwa Spika, sababu kubwa ya matumizi ya asilimia 52 ni utekelezaji wa miradi ya wizara umechukua muda mrefu kutokana na taratibu zake. Miradi yenyewe ni ujenzi wa Maabara

Page 30: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 24

44. Mheshimiwa Spika, sababu kubwa ya matumizi ya asilimia 53 ni utekelezaji wa miradi ya wizara umechukua muda mrefu kutokana na taratibu zake.Miradi yenyewe ni ujenzi wa Maabara na ofisi zaTaasisiyaViwango(ZBS),ujenziwaofisizaWakalawakusimamia na kuendeleza viwanda vidogo vidogo na vya kati (SMIDA) pamoja na uandaaji wa maeneo ya viwanda (Industrial Parks). Mheshimiwa Spika, Matarajio nikuwakablayakumalizikamwakawafedha2018/2019utekelezaji utakamilika kwa asilimia kubwa zaidi.

Utekelezaji wa Malengo ya Wizara

45. Mheshimiwa Spika, utekelezaji wa bajeti ya Wizara ya Biashara na Viwanda ulifanyikakulingana na huduma na shughuli zilizowekwa katika programu za Wizara kama ifuatavyo:

4.1 PROGRAMU KUU YA UENDESHAJI NA URATIBU WA WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA

46. Mheshimiwa Spika, Programu kuu ya Uendeshaji na Uratibu wa Wizara ya Biashara na Viwanda imeundwa na Programu ndogo tatu ambazo ni Utawala na Uendeshaji wa Wizara; Uratibu wa Mipango, Sera na Tafiti; na Uratibu na Utekelezaji wa Shughuli za Wizara Pemba. Katika kutekeleza majukumu yake, program hii ilipangiwa matumizi ya shilingi bilioni 2.62kwamwakawafedha2018/2019.

Page 31: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 25

Napenda kuliarifu Baraza lako tukufu kwamba, hadikufikia Machi 2019, programu hii imeingiziwa jumlaya shilingi bilioni 2.09 ikiwemo mishahara na kazi nyengine za uendeshaji sawa na asilimia 80 ya makadirio ya mwaka. Utekelezaji wa huduma zilizopangwa katika kila program ndogo nilizozitaja kama ifuatavyo:

4.1.1 Programu ndogo ya Uendeshaji na Uratibu wa Wizara ya Biashara:

47. Mheshimiwa Spika, Programu hii ndogo ya Uendeshaji na Uratibu wa Wizara ya Biashara inasimamiwa na Idara ya UendeshajinaUtumishi.Kwamwakawafedha2018/2019,programu hii ndogo ilikuwa na jukumu la kutoa huduma yaununuziwavifaavyaofisinausafiripamojanahudumaya usimamizi wa rasilimali watu na huduma kwa ujumla ambayo inahusisha kazi za uimarishaji wa mazingira mazuri ya kufanyia kazi, utoaji wa huduma kwa Idarazote za Wizara na uratibu wa mikutano ya majadiliano yandani,yaKikandanayaKimataifa.Programhiindogoilipangiwa matumizi ya shilingi bilioni 1.71 kwa mwaka wafedha2018/2019.HadikufikiaMachi2019,programuhii ndogo imeingiziwa jumla ya shilingi bilioni 1.58 ikiwemo mishahara na kazi nyengine za uendeshaji sawa na asilimia 92 ya makadirio ya mwaka. Huduma za Program ndogo ya Utawala na Uendeshaji zilitekelezwa kamaifuatavyo:-

Page 32: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 26

Usimamizi wa Rasilimali Watu na Huduma kwa Ujumla:

48. Mheshimiwa Spika, Katika kuimarisha mazingira ya utendaji kazini, Wizara imeendelea kuwalipa wafanyakazimishahara yao na stahiki zao kwamujibuwa Sheria. Aidha, Wizara iliwapatia likizo na stahiki zao wafanyakazi27,katiyahaowafanyakazi17wamepatiwalikizo la kawaida, 7 likizo la dharura na 3 likizo la uzazi. Kadhalika,Wizaraimeajiriwafanyakaziwapya32,katiyahao sita (6) ni Ofisi kuu Pemba. Taratibu za uajiri wawafanyakaziarobaininanne(44)waWizaranaTaasisizakeumokatikahatuazamwisho.Jumlayawafanyakaziwanne (4) wamepatiwa huduma za gharama za mazishi.

49. Mheshimiwa Spika, Wizara imeendelea kuratibu na kuwapatia mafunzo wafanyakazi wake kulinganana mahitaji husika ambapo kwa mwaka wa fedha2018/2019jumlayawafanyakaziwatano(5)wanapatiwamafunzo ya muda mrefu katika fani ya Takwimu nauendeshaji, Secretarial management, Maendeleo ya mji (Rural/Urban Development) Utawala na Uchumi katika ngazi ya Uzamili na Uzamivu. Wafanyakaziwawili (2) wanaendelea na masomo katika fani yaSheria na Uhandisi kwa ngazi ya shahada ya kwanza.

50. Aidha, Wizara imewapatia mafunzo elekezi waajiriwawapya 32 kuhusu nidhamu na sheria za kazini ili kuongeza ufanisiwakazikatikasehemuzakazi.Wafanyakaziwatatu

Page 33: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 27

(3)wamepatiwamafunzo yamudamfupi nchini Chinayaliohusiana na uandaaji wa bajeti, pamoja na kumpatia Mfanyakazimmoja(1)mafunzoyamudamfupiyanayohusuMpango wa manunuzi yaliofanyika Dar-es-Salaam.

51. Mheshimiwa Spika, Wizara imeendelea Kuratibu na kushiriki mikutano ya majadiliano ya biashara na viwandayaKitaifa,KikandanaKimataifa.WizarailishirikiMikutano ya majadiliano ya biashara katika ngazi za wataalamu na Mawaziri. Mikutano hiyo ni Mkutano wa kumi na nne (14) wa Jukwaa la kuanzisha eneo huru la biasharalaAfrika(AFCFTA)Misri,MkutanowaJumuiyaya Utatu (COMESA, EAC, SADC) Kenya, Mkutano wa Jukwaa la Majadiliano ya Uanzishwaji wa Eneo huru la BiasharalaAfrika,Mkutanowa28waBarazalaMawaziriEAC Burundi, mazungumzo na kampuni ya Ocean Fresh na Kappa Nusantara Carrageenan ya kuanzisha kiwanda cha Mwani Zanzibar nchini Indonesia, Maonesho ya Kibiashara ya China Asian EXPO na ziara ya mafunzoya uendeshaji wa maeneo huru ya viwanda Ethiopia.

Huduma ya Ununuzi wa Vifaa vya Ofisi

52. Mheshimiwa Spika, Katika kuimarisha mazingira mazuri yaufanyajikazinaupatikanajiwahudumakwawakatikwamwakawafedha2018/2019,Wizaraimeendeleakufanyamanunuzi kwa kuzingatia mpango wa manunuzi wa mwaka. Manunuzihayanipamojanavifaavyakuandikia,mafuta,vifaa vya usafiri, Komputa na vifaa vyake na vifaa vya

Page 34: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 28

usafiri.Aidha,Wizaraimefanyamatengenezoyamaegeshoyamagari,uwekajiwamfumowamajisafinamajitakanautengenezajiwaghalalakuhifadhiavifaavyamaonesho.

4.1.2 Programu ndogo ya Uratibu wa Mipango, Sera na Tafiti za Wizara

53. Mheshimiwa Spika, Programu ndogo ya Uratibu wa Mipango,SeranaTafitiilikuwanajukumulakutayarisha,kuchambua na kutathmini utekelezaji wa mipango na malengo maalum ya Wizara. Huduma ambazo zimesimamiwa na Programu hii ndogo ni Uandaaji na Uibuaji wa Sera na Tafiti za Wizara, Uandaaji naUtekelezaji wa Mipango ya Wizara na Usimamizi wa Takwimu za Biashara na Viwanda. Program hii ndogo ilipangiwa matumizi ya shilingi milioni 411.62 kwa mwakawa fedha 2018/2019.Hadi kufikiaMachi 2019,programu hii ndogo imeingiziwa jumla ya shilingi milioni 214.72 milioni ikiwemo mishahara na kazi nyengine za uendeshaji sawa na asilimia 52 ya makadirio ya mwaka.

54. Mheshimiwa Spika, katika utekelezaji wa programu hii ndogo, huduma ambazo nimezitaja hapo juu zimetekelezwakamaifuatavyo:-

Uandaaji na Uibuaji wa Sera na Tafiti za Wizara

55. Mheshimiwa Spika, katika kuweka mazingira mazuri ya ufanyajibiasharanauwekezajiWizaraimefanyamapitio

Page 35: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 29

yaSerayaBiasharayamwaka2006.Serahiiimefanywakwa mashirikiano na “TradeMarkEastAfrica” na taratibu za kuiwasilisha Serikalini zinaendelea. Aidha, Wizara yangu kwa kushirikiana na mshauri elekezi kutoka taasisi ya ‘Economic and Social Research Foundation’ (ESRF) imekamilishaSerampyayaMaendeleoyaSektaBinafsi.Kadhalika, Wizara imekamilisha mapitio na uandaji wa Mpango kazi wa sera ya Maendeleo ya Viwanda ya mwaka 2017. Sera hizo zitasaidia katika kuweka mazingira mazuri ya biashara na uwekezaji wa Viwanda Zanzibar.

56. Mheshimiwa Spika, Wizara kwa kushirikiana na “Trade MarkEastAfrica(TMEA)” imefanyautafitiwautambuziwa Vikwazo vya Biashara visivyokuwa vya kiushuru (Non Tarrif Barriers - NTBs) kati ya Zanzibar na Tanzania. Matokeoyautafitihuoumeoneshakuwawafanyabiasharahukumbana na vikwazo mbali mbali vikiwemo; ukaguzi wa bidhaa ya aina moja kwa Taasisi za Zanzibar na Tanzania bara ambazo ni; Taasisi za Viwango (ZBS na TBS; ZFDA na TFDA). Lengo la kufanya utafiti huo ni kuangaliachangamotozinazowakabiliwafanyabiasharawaZanzibarkatikauagiziajinausafirishajiwabidhaa.Niimaniyangukuwa utafiti huu utakuwa ndio chachu ya maendeleokwa kupunguza vikwazo vya biashara vilivyopo baina ya Zanzibar na Tanzania bara. Aidha, Katika hatua ya kuimarishaSektaBinafsiWizaraimefanyautafitimdogowakuangalia uwezekano wa kuanzishwa kwa Taasisi ya Sekta Binafsi Zanzibar (Zanzibar Private Sector Foundation).

Page 36: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 30

Uandaaji na Utekelezaji wa Mipango ya Wizara

57. Mheshimiwa Spika, katika kuhakikisha utekelezaji wa malengo ya Wizara tuliopanga kwa mwaka wa fedha2018/2019 yamefikiwa,Wizara imeandaampango kaziwa Wizara na mpango wa ufuatiliaji na tathmini kwakazi za maendeleo. Aidha, ripoti za utekelezaji wa miradi na kazi za kawaida kwa kila kipindi cha robo mwaka zimeandaliwa pamoja na kuandaa vipaumbele kwa sekta yaBiasharanaViwandakwamwakawafedha2019/2020.

58. Mheshimiwa Spika, katika kuhakikisha ukondoeshaji wa masuala mtambuka unazingatiwa kwenye mipango na shughuli za Wizara, warsha mbili kuhusu UKIMWI na rushwa kwa wafanyakazi zimefanyika. Warsha hizozilihusuuimarishajiwauadilifunamapambanodhidiyarushwa katika utumishi wa umma na athari za unyanyapaa kwa waathirika wa virusi vya UKIMWI. Washiriki wa warsha hizo ni pamoja na wahasibu, wakaguzi wa ndani, washika fedha, madereva na matarishi.

Usimamizi wa Takwimu za Biashara

59. Mheshimiwa Spika, Wizara imefanya utafiti mdogo(survey) wa maduka ambapo matokeo ya utafiti huoyameonesha kuna maduka 8,835 ya bidhaa mbali mbali. Asilimia 77 ya maduka hayo yapo Mkoa wa Mjini Magharibi ukilinganisha na mikoa mingine iliyobakia. Maduka ya vyakula na vinywaji yapo 1,969 sawa na asilimia 28.1

Page 37: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 31

yakifuatiwanamadukayanguo1,662sawaasilimia24 ukilinganishanamadukayabidhaanyengine.Aidha,taarifaya ukusanyaji wa takwimu za biashara zimeandaliwa na kuwasilishwakwaMtakwimuMkuuwaSerikali.Taarifayamwenendo wa biashara kati ya Zanzibar na Tanzania-bara pamoja na bidhaa zinazoingia nchini kutoka nje ya nchi.

4.1.3 Programu ndogo ya Uratibu na Utekelezaji wa Shughuli za Wizara Pemba

60. Mheshimiwa Spika, Programu ndogo ya Ofisi KuuPemba ina jukumu la kutekeleza na kusimamia shughuli zote za Wizara ya Biashara na Viwanda kwa upande wa Pemba. Program hii ndogo ilipangiwa matumizi ya shilingi milioni 496.39 kwa mwaka wa fedha2018/2019, na hadi kufikia Machi 2019, programu hiindogo imeingiziwa jumla ya shilingi milioni 297.31 ikiwa ni mishahara na kazi nyengine za kawaida sawa na asilimia 60 ya makadirio ya mwaka. Huduma iliyopangwa kutolewanaProgramuhiiimetekelezwakamaifuatavyo:-

Uratibu wa Shughuli za Wizara Pemba

61. Mheshimiwa Spika, katika kutekeleza huduma hii, Wizarailifanyashughulimbalimbalizikiwemo;

i. Utoajiwa huduma na ununuziwa vifaa ambapoWizara kupitia Afisi Kuu Pemba ilifanya ununuziwa vifaa vya kufanyia kazi, ununuziwa huduma

Page 38: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 32

za umeme, maji na mawasiliano, kufanyamatengenezo yamagari, ununuzi wamafuta nakutoahudumayausafirikwamaafisawaWizarakwaajiliyaufuatiliajiwakazimbalimbalizawizara;

ii. Usimamizi rasilimali watu na huduma kwa ujumla katika kuhakikisha wafanyakazi wanapatiwastahiki zao, Wizara kupitia ofisi kuu PembaimewapatialikizojumlayaWafanyakazi20.Aidha,Ofisi imefanya uajiri wa Wafanyakazi wapya12 wakiwemo Afisa Sera, Afisa Utafiti, AfisaBiashara na Maafisa wa utunzaji kumbukumbu;

iii. Kufanyaukaguziwavikundi65vyawajasiriamalikatika Wilaya zote za Pemba na kuwasaidia katika shughulizaozauzalishaji.Piaofisiiliratibuushirikiwa Wajasiriamali katika maonesho ya kibiashara ya Sabasaba, Tamasha la Biashara la Zanzibar na Tamasha la Nairobi, Kenya. Kwa upande mwengine, OfisiimeratibunakuwapelekaWajasiriamaliwatano(5)MkoaniTangakwalengolakujifunzakivitendokwa Wajasiriamali wa viungo wa Mkoa huo;

iv. Kufanya ukaguzi wa mizani na vipimo kwamujibu wa Sheria ambapo jumla ya mizani 849, mita ndogo za mafuta 44, mita 6 kubwa zakutoleamafutakatikabandari yaWesha,magari11 ya kubebea mafuta zimekaguliwa katikashehia mbali mbali za wilaya zote za Pemba na;

Page 39: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 33

v. Kufanya ukaguzi wa maduka, maghala nabekari. Katika ukaguzi huo jumla ya maduka 1,603 maghala 23 na bekari 39 zimekaguliwa. Kaguzi zote hizi hufanyika ikiwa ni sehemu zahatua za kuwalinda watumiaji kwa kuhakikisha ubora na usalama wa bidhaa zinazouzwa.

4.2 PROGRAMU KUU YA MAENDELEO YA VIWANDA NA UJASIRIAMALI

62. Mheshimiwa Spika, Programu kuu ya Maendeleo ya Viwanda ambayo utekelezaji wake unasimamiwa na Idara ya Maendeleo ya Viwanda na Wakala wa Maendeleo ya Viwanda vidogo vidogo, vidogo na vya kati inajumuisha Programu ndogo mbili ambazo ni Ukuzaji Viwanda na Maendeleo ya Wajasiriamali. Program hii kuu ilipangiwa jumla ya shilingi bilioni 3.83 kwa mwaka wa fedha2018/2019.Hadi kufikiaMachi 2019,programuhii kuuimeingiziwa jumla ya shilingi bilioni 1.24 ikiwemo mishahara, kazi za maendeleo na kazi nyengine za kawaida, sawa na asilimia 32 ya makadirio ya mwaka. Programndogohizoutekelezajiwakenikamaufuatavyo:-

4.2.1 Programu Ndogo ya Ukuzaji Viwanda

63. Mheshimiwa Spika, Programu ndogo ya Ukuzaji Viwanda ina jukumu la kutoa huduma ya kuimarisha sekta ya viwanda. Program hii ndogo ilipangiwa jumla ya shilingi bilioni 3.67kwamwakawafedha2018/2019,na

Page 40: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 34

hadikufikiaMachi2019,programuhiindogoimeingiziwajumla ya shilingi bilioni 1.19 ikiwemo mishahara, kazi za maendeleo na kazi nyengine za kawaida, sawa na asilimia 33 ya makadirio ya mwaka. Utekelezaji wa program ndogo ya Ukuzaji Viwanda ulikuwa kama ifuatavyo:-

Uimarishaji wa Sekta ya Viwanda

64. Mheshimiwa Spika, Wizara inaendelea na mpango wake wa kurahisisha na kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji katika sekta ya viwanda kwa kuainisha na kupima maeneo maalumu ya viwanda (Industrial Parks) kwa kila Mkoa hapa Zanzibar. Katika kutekeleza hilo, Wizara yangu kwa kushirikiana na Kamisheni ya Ardhi imeweza kuanisha maeneo ya Nungwi, Dunga, Nyamanzi na Chamanangwe kwa Pemba. Eneo la Chamanangwe Pemba litakuwa maalum kwa ajili ya Viwandavyakusarifumazaoyakilimoikiwemochumvi,mwani na maziwa. Hatua inayofuata ni kuandaaMpango wa matumizi (Master Plan) wa maeneo hayo.

65. Mheshimiwa Spika, Katika kuimarisha Sekta ya Chumvi, Wizara imesimamia utiaji saini wa Hati ya mashirikiano kati ya muwekezaji Swahili Coast Salt Ltd na Ushirika wa Uzalishaji wa Chumvi (ZASPO) ambapo Serikali kupitia wizara itakuwa msimamizi. Malengo ya Kampuni hiyo ni kuzalisha chumvi tani 1,700 kwa mwaka 2019, tani 9,500 mwaka2023natani17,000ifikapomwaka2029.Mradihuuutawapatia ajira vijana wengi na kuongeza mapato yao.

Page 41: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 35

66. Mheshimiwa Spika, Katika kutambua umuhimu wa zaolamwanikatikauchumiwataifa,Wizaraimewapatiamafunzo ya usarifu wa mwani Wajasiriamali thelathini(30) wanaotengeneza bidhaa zinazotokana na mwani. Mafunzohayoyalilengakatikauzalishajiwa“carrageen”matumizi yake pamoja na bidhaa zinazozalishwa kutumia “carrageen”.Mafunzohayoyaliendeshwanawataalamukutoka Indonesia ambao wamekubali kufanya kazi naSerikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa kuanzisha kiwanda chakusarifumwanikwaajiliyasokolanjenandaniyanchi.

Kadhalika, Wizara yangu imefanya utafiti mdogo wakuwatambua mafundi seremala waliopo Unguja naPemba.Matokeoyaawaliyautafitihuuyanaonyeshakuwamafundiwengihawajapatamafunzo,nawanatengenezabidhaa za aina moja na wanakabiliwa na changomoto ya upatikanaji wa malighafi. Wizara inajipanga kuwapatiamafunzo waweze kutengeneza fanicha zenye ubora iliziwezekupatasokonakuwezaushindaninafanishazanje.

67. Mheshimiwa Spika, katika kutengeneza mazingira

ya mazuri ya ufanyaji kazi Wakala wa Kusimamiana Kuendeleza Viwanda Vidogo vidogo na vya Kati (SMIDA), wizara imelifanyia matengenezo Jengo laOfisi lililopo Maruhubi ambalo kwa sasa linatumikakwa uendeshaji wa shughuli za kiofisi. Aidha Mshaurielekezi wa kuchora ramani pamoja na kusimama wa ujenzi wa Makao Makuu ya SMIDA katika eneo la Maruhubi tayari amepatikana na anatarajia kuanza kazi mara baada ya taratibu za kisheria zitakapo kamilika.

Page 42: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 36

68. Mheshimiwa Spika, kwa kutambua umuhimu wa sekta ya viwanda katika kukuza uchumi pamoja na kuhakikisha utekelezaji wa majukumu unakwenda sambamba kwa mujibu wa mipango tuliojipangia, Wakala ameandaa Mpango Mkakati wa miaka mitano (5) unaoonesha dira na malengo ili kuhakikisha kuwa sekta ya Viwanda vidogo inaleta tija na maendeleo yaliyotarajiwa. Aidha, jumla ya vikundi sitini na saba (67) vya wazalishaji wadogo wadogo na wa kati vimetembelewa, kati ya hivyo vikundi 41 kwa upande wa Unguja na vikundi 26 Pemba kwa lengo la kuzipatia ufumbuzi changamoto za sekta ya viwanda.

69. Mheshimiwa Spika, Kwa sasa Wizara yangu imeshakamilishakanunizamfukowakuwapatiamikopowazalishaji wadogo wadogo na imeweza kujenga uelewa kwa Jamii juu ya huduma zinazotolewa na Wakala. Jumla ya mikutano 11 iliyowajumuisha Masheha 425 wa Wilaya zotezaZanzibarnaMakongamanomawili yamefanyikaambapo zaidi ya wadau 240 wa sekta ya viwanda kutoka taasisi za serikali zikiwemo ZBS, ZFDA, SIDO, BLRC, TaasisiBinafsi,Asasizakiraiya,JumuiyazaWajasiriamalina wenye Viwanda kwa Unguja na Pemba walishiriki.

4.2.2 Programu ndogo ya Maendeleo ya Ujasiriamali

70. Mheshimiwa Spika, Programu ndogo ya Maendeleo ya Ujasiriamali ilipangiwa jumla ya shilingi milioni 166.10 kwa mwaka wa fedha 2018/2019. Hadi kufikia Machi2019, programu hii ndogo imeingiziwa jumla ya shilingi

Page 43: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 37

milioni 38.64 kwa kazi za kawaida, sawa na asilimia 23 ya makadirio ya mwaka. Utekelezaji wa program ndogo yaMaendeleoyaUjasiriamali ulikuwakama ifuatavyo:-

Kutoa msaada kwa Wajasiriamali

71. Mheshimiwa Spika, Wizara kwa kushirikiana na UNIDO inaendelea kufanya mapitio ya Sera ya Maendeleo ya

Wajasiriamali (MSME’s Policy) na tayari imeshajadiliwa katika ngazi mbalimbali na wadau wa utekelezaji wa sera hiyo. Sera hii mpya imetilia mkazo maeneo makuu kumi yakiwemo urasimishaji, mazingira, jinsia, upatikanaji wa mitaji na masoko, ambayo yote yanakwenda sambamba na wakati na mabadiliko ya kiujasiriamali yanayotokea duniani. Ni imani yangu kwamba kukamilika kwa sera hii kutatoa muongozo wa kuendeleza na kusimamia sekta ya ujasiriamali nchini kupitia mikakati mipya iliyowekwa.

72. Mheshimiwa Spika, ujasiriamali ni miongoni mwa sekta tegemezi inayokuwa kwa kasi sana hapa nchini na imeajiri watu wengi wanaojiongezea kipato. Kwa kuliona hilo, Wizara yangu kwa kushirikiana na Taasisi ya Zanzibar Enterpreneurship Education (ZAYEE), imeratibu shughuli ya kuadhimisha kilele cha wiki ya Ujasiriamli ambayohusherekewaDunianikotekilainapofikatarehe12- 18 Novemba ya kila mwaka. Wajasiriamali 80 pamoja na waalikwa kutoka katika taasisi mbali mbali za serikali na sekta binafsi zilishiriki katika maadhimisho hayo.Mada zinazohusiana na maendeleo ya ujasiriamali,

Page 44: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 38

miongozo ya kuendeleza sekta hii na changamoto zinazowakabili wajasiriamali na namna ya kuzikabili changamoto hizo ziliwasilishwa. Inatarajiwa kwamba maadhimisho ya siku hii mwaka huu yatakuwa makubwa na yatawashirikisha wajasiriamali na wadau wengi zaidi.

73. Mheshimiwa Spika, katika kuwaendeleza wajasiriamali, Wizaraimefanyavikaoviwili(2)vyakamatiyaushauriyawajasiriamali ambayo inaundwa na wajumbe kutoka sekta yaummanasektabinafsi.Kupitiavikaohivyowajumbewanajadilijuuyakazizawajasiriamalinamafanikioyao,changamoto wanazokumbana nazo pamoja na kutoa ushauri serikalini juu ya namna bora ya kuendeleza sekta ya ujasiriamali. Pamoja na hayo, imeonekana kwamba kuna mwamko mkubwa wa wananchi hasa vijana kujiajiri katika shughuli za ujasiriamali hasa kilimo na uzalishaji bidhaa.

74. Mheshimiwa Spika, katika kuhakikisha ufanisiunapatikana kwa sekta ya ujasiriamali, Wizara yangu kupitiaIdarayaViwandaimefanyaukaguzikwamiradiyaWajasiriamali pamoja na kuwapatia ushauri wa kitaalamu wa kuendeleza miradi hiyo. Jumla ya vikundi 200 vya miradi ya Wajasiriamali vilikaguliwa ikiwemo miradi ya uzalishaji viungo, chumvi, sabuni, mwani, uhunzi, utengezaji makubadhi, utengenezaji dawa na asali, miradi ya viwanda vya Useremala na wazalishaji dagaa. Aidha, jumla ya Wajasiriamali 100 waliohusiana na miradi hiyo walipatiwamafunzoyanamnayakuendelezamiradiyao.

Page 45: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 39

4.3 PROGRAMU KUU YA UKUZAJI NA UENDELEZAJI WA BIASHARA

75. Mheshimiwa Spika, Programu kuu ya Ukuzaji na Uendelezaji wa Biashara inajumuisha Programu ndogo nne (4) ambazo ni Ukuzaji waMasoko na Usafirishaji,Ushindani Halali wa Kibiashara na Kumlinda Mtumiaji, Urahisishaji wa Biashara na Ukuzaji Biashara za Ndani pamoja na Usajili wa Biashara na Mali. Program hii ilipangiwa matumizi ya shilingi bilioni 2.33 kwa mwaka wa fedha 2018 /2019. Hadi kufikia Machi2019, programu hii imeingiziwa jumla ya shilingi bilioni 1.66 ikiwemo Mishahara, Ruzuku, Miradi na kazi nyengine za uendeshaji, sawa na asilimia 71 ya makadirio ya mwaka. Utekelezaji wa kazi zilizopangwa katikakilaprogramndogonilizozitajanikamaifuatavyo:

4.3.1 Programu ndogo ya Ukuzaji wa Masoko na Usafirishaji

76. Mheshimiwa Spika, Programu ndogo ya Ukuzaji wa Masoko na Usafirishaji inasimamiwa na Idara yaBiashara na Masoko pamoja na Idara ya Mipango, Sera na Utafiti. Huduma ambazo zimesimamiwa nakutekelezwa na Programu hii ndogo ni uimarishaji wa mazingira mazuri ya biashara pamoja na kuongeza Fursa za Masoko na Urahisishaji Biashara.

Page 46: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 40

Program hii ndogo ilipangiwa jumla ya shilingi milioni 681.80 kwamwakawa fedha2018/2019.HadikufikiaMachi 2019, programu hii ndogo imeingiziwa jumla ya shilingi milioni 396.69 kwa ajili ya mishahara, kazi za maendeleo na kazi nyengine za kawaida sawa na asilimia 58 ya makadirio ya mwaka. Utekelezaji wa huduma za program ndogo hii ni kama ifuatavyo;

Fursa za Masoko na Urahisishaji Biashara

77. Mheshimiwa Spika, Wizara iliendelea kuangalia mwenendo wa masoko kwa bidhaa zetu pamoja na kuangalia changamoto zilizopo. Shughuli hii ilikwenda sambamba na jitihada ya Wizara kuzitangaza bidhaa zetu katika masoko ya Kanda ikiwemo ya Afrika Mashariki,SADC pamoja na nchi za Ethiopia, Misri, Djibouti.

78. Mheshimiwa Spika, Wizara iliratibu ushiriki wa Zanzibarkatikamaoneshoya42yaKimataifayaBiashara(sabasaba)yaliyofanyikaDaresSalaammweziwaJulai2018. Taasisi sita (6) za Serikali zilishiriki katika maonesho hayo ambazo ni Shirika la Taifa la Biashara, Taasisi yaViwango Zanzibar, Shirika la Bima la Zanzibar, Kamisheni ya Utalii, Mamlaka ya Ukuzaji Vitega Uchumi ya Zanzibar na Chuo cha Mafunzo ya Amali Mkokotoni pamoja nawajasiriamali 38 kutoka Unguja na Pemba. Bidhaa ambazo zilionyeshwa na wajasiriamali walioshiriki katika maonesho hayo ni pamoja na bidhaa za kusindika, kazi za mikono, sabuni, dawa za asili, bidhaa za viungo (spices),

Page 47: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 41

mafuta yamimea na nyenginezo. Aidha,Maonesho yaSabasaba yaliweza kutoa fursa kwawajasiriamaliwetukutangaza bidhaa zao na kuweza kupata wateja wengi zaidi. Katika maonyesho haya ya 42, wajasiriamali saba wa viungo walipata ‘order’ ya kupeleka bidhaa zao katika maduka na watumiaji wengine wakubwa.

79. Mheshimiwa Spika, Wizara imeratibu na kushiriki katikamaoneshoyabiasharayaKikandanaKimataifakwalengolakuhakikishakuwaWajasiriamaliwanapatafursaza kuzitangaza bidhaa zao katika masoko hayo. Jumla ya Wajasiriamali 60 walishiriki katika maonesho ya Kikanda ya Juakali/NguvuKaziyaliyofanyikaEldoratenchiniKenya.Kati ya hao wajasiriamali 10 walisaidiwa nauli kwa ajili ya kuweza kushiriki katika maonesho hayo. Aidha, Wizara yangu iliratibu maonesho ya Expo yaliyofanyika nchiniChina ambapo jumla ya wajasiriamali 5 waliweza kupata fursayakuwezakuzitangazabidhaazaokatikamasokoyaKimataifa.Bidhaazilizotangazwanipamojanabidhaaza viungo (spices), kazi za mikono, na Sanaa za uchoraji.

80. Mheshimiwa Spika, Wizara katika hatua ya kuimarisha Mashirikiano ya kibishara ya Kikanda na Kimataifaimeweza kushiriki katika mikutano mbali mbali ya kikanda na kimataifa yanayohusiana na maswala yaBiashara ambapo Mikutano hiyo ni pamoja na vikao vya majadiliano ya uanzishwaji wa biashara huru barani Afrika (Continental Free Trade Africa), vikao vya itifakiya biashara ya huduma Afrika Mashariki, mkutano wa

Page 48: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 42

kuwasilisha Sera ya Biashara ya Tanzania katika Shirika la Biashara la Dunia (WTO), vikao vya kuondosha vikwazo visivyo vya kiushuru (NTBs) kwa lengo la kurahisisha ufanyaji biashara katika soko la kikanda na Kimataifa.

81. Mheshimiwa Spika, katika kuhakikisha kuwa wafanyabiashara na wajasiriamali wanaweza kupatamasoko ya uhakika ya bidhaa zao, Wizara yangu iliratibu nakutayarishaTamashalaBiasharaambalohufanyikakilamwakaifikapoJanuari ikiwanisehemuyakuadhimishasherehe za Mapinduzi ya Zanzibar. Kwa mwaka huu Tamasha hili lilikuwa ni la tano ambalo lilijumuisha jumla ya washiriki 290 kati ya hao 55 kutoka Taasisi za Serikali, 44 kutoka Tanzania bara na 12 kutoka nje ya nchi zikiwemo Misri, Kenya, Uganda, Rwanda, na Burundi.

Aidha, Tamasha hilo la tano la biashara liliandaa majadiliano katika siku maalum 4 zilizowekwa kwa madhumuni ya kutoa nafasi kwa wafanyabiashara naTaasisi kuweza kujadiliana kuhusiana na ukuzaji wa sekta ya biashara. Siku hizo ni siku ya Viwanda (Industrial Day), SikuyaUbunifu (Innovation Day), Siku ya Utalii (Tourism Day) na Siku Viwango (Standards Day). Washindi tisa katika siku ya Ubunifu walizawadiwa vyeti pamoja napesa taslimu ambapo wengi wao walikuwa vijana.Lengo kuu la kuweka siku hizi ni kuweza kuwakutanisha watumiaji, wazalishaji wa bidhaa pamoja na Taasisi zinaohusika na maswala ya biashara na uzalishaji kufanyamajadiliano,kuibuachangamotozinazowakabili

Page 49: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 43

wafanyabiasharanawazalishaji,nakutoamapendekezokatika kuboresha sekta ya biashara na uzalishaji nchini.

82. Mheshimiwa Spika, katika hatua nyengine ya kuhakikisha kuwa linapatikana eneo la kudumu la kufanyiamatamashanamaonyeshombalimbali,Wizaraimeanza hatua ya kuliendeleza eneo la Nyamanzi ambapokwahatuazaawalitumeanzakufanyautaratibuwa kulisafisha eneo hilo pamoja na kutayarishampango kazi wa kuweka miundo mbinu ya awali.

83. Mheshimiwa Spika, mbali na jitihada hizo Wizara yangu kwa kushirikiana na mshauri elekezi imefanyautafiti kwa bidhaa ambazo zitaweza kupelekwa katikasoko la AGOA, pamoja na kuaandaa Mpango kazi ambao utasimamia suala la kuwawezesha wajasiriamali kuweza kulitumia soko la AGOA kwa ajili ya kupeleka bidhaa zao Marekani. Utafiti huo tayari umekamilika na ripoti yaawaliimewasilishwanamshaurielekezi.Katikautafitihuomakundi manne ya bidhaa ndiyo yaliyopendekezwa kuingia katika soko hilo zikiwemo bidhaa za viungo (spices), kazi za mikono, bidhaa za ngozi na bidhaa za nguo.

84. Mheshimiwa spika, Wizara ya Biashara imeanza kazi ya kufanyamapitioyasherianakanunizabiasharakwalengola kuweka utaratibu mzuri wa usimamizi wa maswala ya biashara nchini ikiwa ni pamoja na usimamizi wa maswala ya bei na bidhaa zilizo chini ya udhibiti wa Serikali ya Mapinduzi

Page 50: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 44

ya Zanzibar. Katika kuitekeleza Sheria ya Biashara ya Zanzibar ya mwaka 2013, Kamati ya ushauri wa biashara tayari imeundwa na imeshazinduliwa kama ilivyoagizwa katika sheria hiyo. Kamati hiyo imejumuisha wajumbe 10 kutokaTaasisimbalimbali za Serikali na sekta binafsi.

85. Mheshimiwa Spika, miongoni mwa hatua nyengine ambazo zimechukuliwa ni kuweka mazingira mazuri ya kufanya biashara. Wizara imeandaa muongozomaalumwausafirishaji nauagiziaji (export and import guideline) kwa lengo la kuwarahisisha upatikanaji wa taarifa zinazohusiana na maswala ya usafirishaji nauagiziaji kwa wafanyabiashara wote. Muongozo huoutamrahisishiamfanyabiasharakujuamahitajiyanyarakaambazo anahitajika kuwa nazo wakati wa usafirishajiau uaigiziaji, na Taasisi za serikali zinazohusika na kutoa nyaraka hizo. Sambamba na muongozo huo Wizara inaendelea na utayarishaji wa daftari maalumla wafanyabiashara (business directory) ili kutoa fursakwa wananchi kufahamu biashara zilizopo nchini nakufahamumaeneo na namna ya kupata huduma hizo.

86. Mheshimiwa Spika, Wizara yangu kwa kushirikiana na Tume ya Mipango pamoja na MKURABITA imetoa mafunzo kwa wajasiriamali 150 walioko katika Wilayaya Kaskazini ‘B’, Wilaya ya Magharibi A’ Unguja, na Wilaya yaMkoani Pemba.Mafunzo hayo yamewalengawajasiriamali kupata uwelewa kuhusiana na umuhimu

Page 51: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 45

wa kusajili biashara zao ili kuweza kutambulika kisheria na kuweza kupata fursa zinazopatikanakatika kuendesha biashara katika mfumo rasmi.

Uimarishaji wa Mazingira Mazuri ya Biashara

87. Mheshimiwa Spika, katika uimarishaji wa mazingira mazuri ya biashara, Wizara ya biashara kupitia Mkakati wa “Branding” inaandaa Mpango Mkakati (Strategic Plan) ya utekelezaji wa mradi wa “Branding”. Lengo la kuandaa mkakati huu ni kuongeza kipato cha wazalishaji wazalendo nawasafirishaji wa bidhaa za karafuu, kwasasa dhana ya awali ya uandaaji wa Mkakati huo tayari imekamilika. Aidha, kupitia mradi wa kukuza bidhaa za Zanzibar (Made in Zanzibar products), Wizara yangu kwa kushirikiana na Mshauri elekezi imeandaa Mkakati wa kutambua vikwazo na fursa katika mazao ya Zanzibarili kuweza kushindana katika soko la Kimataifa. Ripotiya awali (Inception report) tayari imeshawasilishwa katika Wizara yangu kutoka kwa mshauri elekezi.

88. Mheshimiwa Spika, Kupitia mradi huu, pia Wizara yangu inatarajia kuingia makubaliano na mshauri elekezi wa kuanisha mimea na bidhaa tiba zinazopatikana Zanzibar. Ripoti yake itatuongoza katika kuendeleza utafiti katika program yetu ya afya na uzalishaji wavipodozi na dawa zisizokuwa na athari katika mwili. Lengo ni kupunguza kuingiza bidhaa katika nchi yetu zenye kemikali ambazo huathiri afya ya Wazanzibari.

Page 52: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 46

4.3.2 Programu ndogo ya Ushindani Halali wa Kibiashara na Kumlinda Mtumiaji

89. Mheshimiwa Spika, Programu ndogo ya Ushindani Halali wa Kibiashara na Kumlinda Mtumiaji inasimamiwa na Kitengo cha Mizani na Vipimo, Tume ya Ushindani Halali wa Biashara. Program ndogo hii ilipangiwa jumla ya shilingi milioni 254.96 kwa mwaka wa fedha 2018/2019. Hadi kufikia Machi 2019,programu hii imeingiziwa jumla ya shilingi milioni 239.50 kwa ajili ya mishahara na kazi nyengine za kawaida sawa na asilimia 94 ya makadirio ya mwaka.

Uimarishaji Ushindani Halali wa Kibiashara

90. Mheshimiwa Spika, Tume ya Ushindani Halali wa Biashara na Kumlinda Mtumiaji ina jukumu la kusimamia masuala ya ushindani halali wa biashara baina ya wafanyabiashara na Makampuni, kuzuia mienendo yabiashara isiyo ya ushindani pamoja na kuthibiti bidhaa bandia katika soko. Sambamba na kuzuia mienendo ya biashara isiofaa kama vilematumizimabaya ya nguvuza soko, kushusha bei ili kumuondosha mpinzani.

91. Mheshimiwa Spika, katika kuitekeleza Sheria ya Ushindani Halali na Kumlinda Mtumiaji ya mwaka 2017, Tume tayari imeandaa kanuni mbili ambazo ni Kanuni ya Ushindani Halali wa Biashara na Kanuni ya Mkataba ya Utoaji Huduma na Bidhaa kwa

Page 53: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 47

Watumiaji (Standard Form Consumer Contract) ili kuzingatia misingi na taratibu za kisheria.

92. Mheshimiwa Spika, katika kuimarisha ushindani halali wa kibiashara katika maeneo ya biashara, Wizara yangu imefanya ukaguzi wa bidhaa katika maduka makubwa10 yakiwemo (Supermarkets) na Bandarini. Ukaguzi huo ulizingatia maeneo matano muhimu ya biashara ambayo ni; Kutambulisha bei za bidhaa (Price display), Kuangalia maelezo ya bidhaa (Product description), Haki ya kupewa risiti kwa Watumiaji (Tax Receipt), Kupewa dhamana ya bidhaa kwa watumiaji (Product Guarantee) pamoja na Uthibiti wa bidhaa bandia (Anti-Counterfeit Goods).

Aidha, ukaguzi huo umebaini kuwa kuna uelewa

mdogo kwa wananchi kuhusu Sheria iliyounda Tume ambayo imempa jukumu la kusimamia masuala hayo. Wizara yangu kupitia Tume ya Ushindani Halali na Kumlinda Mtumiaji imeandaa mpango maalum wa kujenga uelewa wa Sheria hiyo kwa wadau.

93. Mheshimiwa Spika, kwa upande wa Bandarini, Tume ilifanikiwa kukamata kontena moja ya bidhaabandia ya Tomato Paste yenye alama ya biashara ya Al-mudhish ambayo imeingizwa nchini kinyume cha Sheria. Alama halisi ya bidhaa hiyo imesajiliwa kisheria Zanzibar na kampuni ya “OmanFoodStaffFactoryLCC” ya Oman. Suala hili limeshafanyiwa kazi na kutolewamaamuzi ya kuiondosha katika soko bidhaa hiyo bandia.

Page 54: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 48

94. Mheshimiwa Spika, katika kuhakikisha ufanisi wakaziunapatikana,Tumeimewapatiamafunzoyasiku10watendaji wake yaliyoendeshwa na Tume ya Ushindani yaTanzaniaBara“TFCC”kwakushirikiananaShirika laUmojawaMataifalaMaendeleoyaBiashara“UNCTAD”.MafunzohayoyalijikitazaidikatikakusimamiaUshindanihalali wa Biashara na Kumlinda Mtumiaji kwa kuangalia udhibiti wa bidhaa bandia katika soko pamoja na wajibu na haki za mtumiaji. Sambambana hilo Mheshimiwa Spika, Tume imeshiriki pia katika vikao vya kujenga uelewa wa Sheria ya Ushindani (Sensitization Workshop) na kikao cha uandaaji wa mpango Mkakati wa Mamlaka yaUshindaniyaAfrikaMasharikivilivyoandaliwana East AfricanCompetitionAuthority (EACA). Aidha, Rasimu ya awali ya Muundo wa Utumishi (SchemeOfService) na muundo wa Tume (Organisation structure) vimeandaliwa.

95. Mheshimiwa Spika, Wizara ina jukumu la kufanyaukaguzi wa mizani na vipimo mbalimbali vikiwemo, vituo vyamafuta,magariyamafuta,matangiyamafuta,pampuza kuuzia mafuta na mita kubwa za mafuta (Deport). Katika kupanua wigo wa kiutendaji, Wizara yangu imeanza kuongeza kazi zake za ukaguzi na kwa sasa ukaguzi unafanyikakatikabidhaazinazozalishwakatikaviwandambali mbali vilivyopo hapa Zanzibar ili kuhakikisha vipimo vinavyotumika vinafanyika kwa usahihi. Katikaukaguzi wa vipimo hivi, jumla ya TZS 72,055,500 zimekusanya ikiwa ni ada inayotokana na ukaguzi huo.

Page 55: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 49

Kwamwakawafedha2018/2019,Wizarailifanyaukaguzikama inavyoonekana katika Jadweli Nam.4 la hapo chini.

96. Mheshimiwa Spika, kitengo cha mezani na vipimo kimekamilisha kazi ya uandaaji wa kanuni mbali mbali za usimamizi wa kazi za vipimo kwa lengo la kuhakikisha kuwa vipimo vinatumika kwa usahihi. Aidha, ununuzi wa vifaa mbali mbali kwa ajili ya kazi za vipimoumefanyika ikiwa ni pamoja na tanki ya kuthibitishavipimo (prover), mihuri na Wizara inakamilisha tarartibu za ununuzi wa gari maalum kwa ukaguzi.

!"#$%&'(&')&*+,+'-&'.+&/0&,&'1&'2+-&13&'4567845' '9='!

95. Mheshimiwa Spika, Wizara ina jukumu la kufanya ukaguzi wa mizani na vipimo mbalimbali vikiwemo, vituo vya mafuta, magari ya mafuta, matangi ya mafuta, pampu za kuuzia mafuta na mita kubwa za mafuta (Deport). Katika kupanua wigo wa kiutendaji, Wizara yangu imeanza kuongeza kazi zake za ukaguzi na kwa sasa ukaguzi unafanyika katika bidhaa zinazozalishwa katika viwanda mbali mbali vilivyopo hapa Zanzibar ili kuhakikisha vipimo vinavyotumika vinafanyika kwa usahihi. Katika ukaguzi wa vipimo hivi, jumla ya TZS 72,055,500 zimekusanya ikiwa ni ada inayotokana na ukaguzi huo. Kwa mwaka wa fedha 2018/2019, Wizara ilifanya ukaguzi kama inavyoonekana katika Jadweli Nam.4 la hapo chini.

Jadweli Nam.4: Huduma ya Ukaguzi

Eneo la Ukaguzi Jumla Mezani ndogo 2,001 Mezani kubwa (Platform) 63 Mezani (Weigh bridge) 4 Mita za Depot (Flow Meter) 29 Pampu za kuuzia mafuta 208 Fillers 17 Magari ya kusambaza mafuta 17 Matangi ya mafuta 16 Uthibitisho wa tanks (Certification) 1 Usajili wa Kampuni za mafuta 1 Bidhaa za Viwandani zilizofungashwa

103

Chanzo: Wizara ya Biashara na Viwanda, 2019 96. Mheshimiwa Spika, kitengo cha mezani na vipimo kimekamilisha

kazi ya uandaaji wa kanuni mbali mbali za usimamizi wa kazi za vipimo kwa lengo la kuhakikisha kuwa vipimo vinatumika kwa usahihi. Aidha, ununuzi wa vifaa mbali mbali kwa ajili ya kazi za vipimo umefanyika ikiwa ni pamoja na tanki ya kuthibitisha vipimo (prover), mihuri na Wizara inakamilisha tarartibu za ununuzi wa gari maalum kwa ukaguzi.

Page 56: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 50

4.3.3 Programu ndogo ya Urahisishaji Biashara na Ukuzaji Biashara za Ndani

97. Mheshimiwa Spika, Program ndogo ya Urahisishaji Biashara na Ukuzaji Biashara za Ndani ilitekelezwa na BarazalakusimamiamfumowaUtoajiLeseninaBarazala Taifa la Biashara ambapo ilipangiwa kutumia jumlaya shilingi milioni 600.00 kwa mwaka wa fedha2018/2019.HadikufikiaMachi2019,programuhiindogoimeingiziwa jumla ya shilingi milioni 494.58 kwa ajili matumizi ya kazi za kawaida, Ruzuku na kazi za maendeleo sawa na asilimia 82 ya makadirio ya mwaka. Programu ndogo ya Urahisishaji Biashara na Ukuzaji Biashara za Ndani ina jukumu la kutekeleza huduma zifuatazo:-

Usimamizi wa Mamlaka zinazotoa Leseni

98. Mheshimiwa Spika, huduma hii ilitekelezwa na Baraza la kusimamia Mfumo wa Utoaji Leseni ambalolilipangiwa matumizi ya jumla ya shilingi milioni 350 kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2018/2019 ambaposhilingi milioni 300 kwa ajili ya kazi za kawaida na shilingi milioni 50kwakazizamaendeleo.HadikufikiaMachi 2019, Baraza liliingiziwa jumla ya shilingi milioni 274.20 kwa matumizi ya kazi za kawaida na kazi za maendeleo sawa na asilimia 78 ya makadirio ya mwaka.

Page 57: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 51

99. Mheshimiwa Spika, katika kuhakikisha usimamizi wa Mamlaka zinazotoa leseni unasimamiwa ipasavyo, Baraza lilifanya vikao sita (6) vyawadau kutoka sektabinafsi na Mamlaka za utoaji leseni zinazohusiana namasuala ya Usafirishaji, Uagizaji, Nishati, Uwekezaji,Biashara, Utangazaji na huduma za kitaalamu kwa kufanyamapitioyaMfumowautoajiwaLeseni.Taasisizilizokaguliwa ni pamoja na Mamlaka za Udhibiti wa nishatinamaji(ZURA),UsafiriBaharini(ZMA),Manispaamjini (ZMC), Kamisheni ya Utalii (ZCT), Idara ya Biashara, Wakala wa chakula, dawa na vipodozi (ZFDA) na taasisi ya Viwango (ZBS). Aidha, Baraza limefanyaseminazamafunzokuhusuusimamiziwautoaji Lesenikwa Wakurugenzi wa Halmashauri na Mabaraza ya miji, Masheha na Madiwani na viongozi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) katika mikoa ya Unguja na Pemba.

100. Mheshimiwa Spika, Kwa upande mwingine, Baraza limefanyaUtafitiwakutathminimazingirayaUrahisiwaUfanyajiBiasharaZanzibarkwakutumiavigezovyaBenkiyaDunia.Kiujumlautafitiumeoneshakwamba;uanzishajiwabiasharaumefanyavizurinaumechukuaasilimia76 kutokana na kupungua kwa hatua na kuanzishwa kwa mfumowakielektroniki.Usimamiajiwamikataba,sokolaajira na upatikanaji wa umeme ni miongoni mwa maeneo yaliofanyavizuri.Maeneoyausajiliwamalinabiasharakatikamipakanimaeneoambayohayakufanyavizurinayamepata chini ya asilimia 40 kutokana na kuwepo kwa taratibu na siku nyingi. Rasimu ya kwanza imepelekwa

Page 58: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 52

kwa wadau wa Serikali kwa uhakiki na baadae itapelekwa kwa wadau wote wakiwemo sekta binafsi. Hatimaeutafiti huu utaletwa Serikali na kuchapishwa rasmi.

101. Mheshimiwa Spika, katika kuweka mazingira wezeshi ya ufanyajikazi,BarazalimefanyauajiriwawafanyakaziwawiliwapyakatikafaniyaBiasharanauwekajikumbukumbu,kufanyamatengenezo ya ofisi, ununuziwa huduma zaumeme,mafuta,vifaavyaofisivifaavyatehamanausafiri.

Uimarishaji wa Mashirikiano baina ya Sekta ya Umma na Serikali

102. Mheshimiwa Spika, huduma ya Uimarishaji wa Mashirikiano baina ya Sekta ya Umma na Serikali inakusudia kuweka Jukwaa la Majadiliano baina ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi ili kuwa na makubaliano ya pamojakatika kukuza na kuimarisha biashara hapa Zanzibar. Kupitia huduma hii, ambayo inatekelezwa na Baraza la TaifalaBiasharalaZanzibar,Serikaliimeipangiakutumiajumla ya shilingi milioni 250.00 ikiwa ni Ruzuku kwa ajili ya matumizi yake ya kawaida na kazi za maendeleo kwamwakawafedha2018/2019.HadikufikiamweziwaMachi,2019BarazalaTaifalaBiasharalilikwishaingiziwajumla ya shilingi milioni 220.38 sawa na asilimia 88.

103. Mheshimiwa Spika, kama nilivyoeleza katika hotuba yangu ya Bajeti kwa mwaka 2017/2018, kuhusiana na kuanzishwa kwa Sheria Nam. 10 ya mwaka 2017 ya

Page 59: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 53

(ZNBC) pamoja na masharti yaliyotaka kuanzishwa na kuitisha Mabaraza ya Biashara ya Mikoa, kuandaa Baraza la Biashara pamoja na Jukwaa la Biashara la Zanzibar. Napenda kuliarifu Baraza lako kwambaMabaraza tayari yameanzishwa kwa mikoa yote mitano na Mikutano ya Mabaraza hayo yamefanyika. Vile vileBaraza limetoamafunzo ya kuielewa Sheria ya Barazala Biashara pamoja na kuandaa muongozo (guidelines) kwa ajili ya kuendesha Mabaraza ya Biashara ya Mikoa.

104. Mheshimiwa spika, MkutanowapiliwaBarazalaTaifalaBiasharaulifanyikanakwamwakahuukaulimbiuyamkutano huo ilikuwa ni “Ubia baina ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi iwe ni fursa kwa ajira ya Vijana”. Baada ya kumalizika Mkutano wa Baraza, Jukwaa la Biashara la Tisa lilifanyika ambalo lilijadili kero mbalimbali za wafanyabiashara na kuazimia kuzifanyia kazikero hizo. Kero hizo zilikuwa ni pamoja na mrundikano wa makontena katika Bandari ya Zanzibar, kulipwa kwa kodi ya biashara ya asilimia 5 (5% Trade Levy) kwa bidhaa zamalighafi za viwandani, kuanzishamikakatimaalumya kushajihisha matumizi ya bidhaa zinazozalishwa nchini ili kukidhi soko la ndani na la utalii ikiwemo ulazima wa matumizi ya bidhaa za ndani (local content conditionality), kushajihisha vijana kuanzisha Jumuiya na Ushirika katika maeneo ya uzalishaji hasa katika sekta ya kilimo, ufugaji, uvuvi na viwanda vidogo vidogo.

Page 60: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 54

105. Mheshimiwa Spika, napenda kuliarifu Barazalako kwamba, Serikali imewaagiza watendaji wakuu wa Taasisi ambazo zipo Bandarini kuhakikisha wanatoa huduma kwa masaa 24 ili kuweza kuondosha msongamano wa makontena katika Bandari. Aidha Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) imeshafungua Tawi ndani ya Bandari ya Zanzibar kwalengo la kuwapunguzia usumbufu wafanyabiashara.

4.3.4 Programu ndogo ya Usimamizi wa Usajili wa Biashara na Mali

106. Mheshimiwa Spika, huduma hii ilitekelezwa na Wakala wa Usajili wa Biashara na Mali (BPRA) ambayo ilipangiwa matumizi ya jumla ya shilingi milioni 794.70 kwa kipindi chamwakawa fedha2018/2019nahadikufikiaMachi2019, Wakala iliingiziwa jumla ya shilingi milioni 532.62 kwa matumizi yakiwemo ya kazi za kawaida na matumizi mengineyo sawa na asilimia 67 ya makadirio ya mwaka.

107. Mheshimiwa Spika, Lengo kuu la kuanzishwa Wakala wa Usajili wa Biashara na Mali Zanzibar (BPRA) ni kufanyausajiliwabiasharanamali ikijumuishahati zamaliubunifu pamojanausajiliwanyarakambalimbalizinazowahusu wananchi na wageni wanaofanyashughuli zao Zanzibar. Kwa kipindi cha Julai hadi Machi 2018/2019 BPRA imeweza kusajili Kampuni 378, Majina ya Biashara 629, Jumuiya za kiraia 73 na Nyaraka 3,789.

Page 61: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 55

108. Mheshimiwa Spika, Wizara ya Biashara na Viwanda kupitiaBPRAimeanzakutumiamfumowausajiliwakisasakwa kutumia mtandao (Online Registration System) baada ya kuzinduliwa rasmi na Mhe. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohammed Shein. Mfumo huu ndani yake kunasehemu mbili; Usajili wa Taasisi za Biashara na Usajili wa Dhamana kwa Mali zinazohamishika. Kuwepo kwa mfumohuukutawapunguziagharamazausajilinakuokoamuda kwa wadau na Wananchi mbalimbali popote walipo duniani watapata huduma za usajili na taarifa kupitiamtandao “Online Registration Services’ na hawatalazimika kufikakatikaofisizaBPRAkwaajiliyakufuatahuduma.

109. Mheshimiwa Spika, kama unavyofahamu kuwateknolojia ya habari na mawasiliano (TEHAMA) ni moja kati ya Sekta zinazokua kwa kasi hapa nchini na duniani kote na imekuwa ikichangia kwa kiasi kikubwa katika maendeleo ya Taifa na pia imekuwa ikiwezesha sekta nyinginekukua na kuimarika siku hadi siku, na hatimaye maisha ya wananchi na huduma za jamii kwa ujumla kuimarika. Hivyo, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imeamua kujikita katika matumizi ya TEHAMA ili kuhakikisha inaimarisha na kurahisisha utoaji wa huduma kwa wananchi. BPRA ni mfano wa Taasisi za Serikali zilizojiongezea uwezowa utekelezaji wa kazi na majukumu yake katika maeneoyausajili,kuhifadhikumbukumbunautoajiwataarifa (information services) kwa kutumia TEHAMA.

Page 62: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 56

110. Mheshimiwa Spika,KupitiaBarazalakotukufunapendakuwashajihisha wananchi, wafanyabiashara na wadauwotewaliosajiliwakablayakuanzakutumikakwamfumohuukuingiza taarifazaozausajilikatikamfumohuo ilikuwezakutambulikakatikamfumohuonakuwezakupatataarifanatakwimusahihizausajiliwataasisizabiashara.

111. Mheshimiwa Spika, katika kuhamasisha wananchi kufanya usajili kwa mfumo huo, Wizara yangu ilitoaelimukwawadau juuyamageuzi yamfumowausajiliwa Taasisi za biashara na usajili wa dhamana za mali zinazohamishika kwa kutumia mfumo wa usajili kwanjia ya mtandao. Kadhalika BPRA imefanya mapitioya sheria mpya ya usajili wa biashara ya mtu pekee na ubia (Sole Proprietorship and Partnership Act).

4.4 PROGRAMU KUU YA VIWANGO NA TATHMINI YA UBORA

112. Mheshimiwa Spika, Programu kuu ya Viwango na Tathmini ya Ubora inasimamiwa na Taasisi ya Viwango Zanzibar na Idara ya Mipango, inajumuisha Programu moja ndogo ambayo ni Viwango na Uthibiti wa Ubora. Programu hii ilipangiwa matumizi ya shilingi bilioni 2.58 kwamwakawafedha2018/2019.HadikufikiaMachi2019, programu hii imeingiziwa jumla ya shilingi bilioni 1.05 ambayo ni Ruzuku ya mishahara ya kazi za kawaida na kazi za maendeleo sawa na asilimia 41 ya makadirio

Page 63: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 57

ya mwaka. Utekelezaji wa huduma zilizopangwa katika programndogoniliyoitaja hapo juuni kama ifuatavyo:

4.4.1 Programu ndogo ya Viwango na Udhibiti wa Ubora

Uandaaji na Ukuzaji wa Viwango

113. Mheshimiwa Spika, Taasisi ya Viwango imeendelea na jukumu lake la kuandaa viwango ambapo jumla ya viwango 47 vimeandaliwa na kuidhinisha sawa na asilimia 118 la lengo la uandaaji viwango. Katika kuendelea na kazi yake ya uchunguzi ili kuhakikisha ubora wa bidhaa, sampuli 196 zimekusanywa na kupelekwa maabara kwa hatua za upimaji wa ubora. Ripoti za uchunguzi kwa sampuli 193 zimetolewa majibu, kati ya hizo ripoti 79 za sampuli zimepimwa katika maabara za Shirika la Viwango Tanzania (TBS), 109 sampuli zimepimwa na Taasisi ya Viwango Zanzibar (ZBS) na sampuli 5 zimepimwa na maabara ya InterTek Dar-es-Salaam

114. Mheshimiwa Spika, Taasisi ya viwango imefanyaukaguziwabidhaanaimefanikiwakutoaVyetivyauborawa bidhaa 3,514 na magari yaliyotumika 3,055. Kati hizo bidhaa 31 zilibainika kuwa chini ya kiwango na hatua stahili zimechukuliwa ikiwemo kurejeshwa zilikotoka na zingine zimeangamizwa. Katika hatua za kuhakikisha bidhaa zinazozalishwa na zinazoingia nchini zimezingatia viwango

Page 64: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 58

katika nchi yetu, ZBS imetoa leseni 10 za alama ya ubora kwa bidhaa mbalimbali zinazozalishwa nchini na nje ya nchi.

Uthibiti wa Ubora wa Bidhaa

115. Mheshimiwa Spika, Uthibiti Ubora wa bidhaa unaendelea kufanyika kwa bidhaa chache kutokana naufinyuwaeneonavifaa,SerikalikupitiamradiMaendeleowa kuimarisha Taasisi yetu ya viwango, imeanza ujenzi wa maabara nyingi na ofisi katika eneo la Maruhubi.Mheshimiwa Spika napenda kulijulisha Baraza lako kuwa UjenziwaMaabaranaofisihizikwaawamuyakwanzaumekamilika na kuwekewa jiwe la msingi katika sherehe za Mapinduzi Januari, 2019. Aidha, vifaa vyamaabaraya chakula na nishati ya mafuta tayari vimeagizwa.

4.5 SHIRIKA LA BIASHARA LA TAIFA (ZSTC):

4.5.1 Uvunaji na Usafirishaji Karafuu:

116. Mheshimiwa Spika, Katikamwakawafedha2018/19,Shirika liliendelea kutekeleza majukumu yake kwa kuzingatia Mpango Mkakati wa Shirika (Corporate Strategic Plan) ambao uliweka dhamira ya utekelezaji wa Mpango wa Mageuzi wa miaka 10 kuanzia 2011 hadi 2021. Katika kipindi cha mwaka 2018/19, Shirika lilikabiliwa na msimumdogowavunolaKarafuunakushukakwabeiyakarafuukatikasokoladuniaambaoumepelekeakuwepokwa changamoto katika utekelezaji wa majukumu

Page 65: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 59

yake. Hata hivyo, Shirika liliendelea kuimarisha maeneo mengine ikiwemo kiwanda cha Makonyo kwa lengo la kuongeza kipato na kuhuisha ustawi wa Shirika.

117. Mheshimiwa Spika, kwa mwaka wa fedha 2018/19Shirikalilijipangiakununuajumlayatani3,000zakarafuuukilinganisha na mwaka 2017/2018 Shirika lilipanga kununua tani 6,770. Hadi kufikia tarehe 31/03/2019Shirika limenunua jumla ya tani 191.40 zenye thamani ya shilingi bilioni 2.6. Kupungua kwa manunuzi ya karafuu kwa mwaka 2018/2019 kumesababishwa nakuwepo kwa msimu mdogo wa mwaka 2018/2019. Aidha, Shirika limeendelea kununua bidhaa za Kilimo Hai kutoka kwawakulimaambapohadi kufikia 31/03/2019jumla ya kilo 632 za Pilipili hoho zenye thamani ya shilingi 7,641,000, kilo 69.75 za Mdalasini zenye thamani ya shilingi 1,395,000 na kilo 434.5 za Pilipili Manga zenye thamani ya shilingi 2,172,500.

4.5.2 Bei ya kununulia Karafuu:

118. Mheshimiwa Spika, Shirika bado linaendelea kununua KarafuukulingananaSerayaSerikaliyakununuaKarafuukwa bei ya asilimia 80 ya bei ya kuuzia nje. Aidha,kwa mwaka wa fedha 2018/2019 Shirika limejipangiakufanyamauzoyatani3,250zakarafuuzenyethamaniya USD 26,325,000.00 sawa na TZS 58.4 bilioni.

Page 66: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 60

4.5.3 Uzalishaji wa Mafuta ya Makonyo na Mimea

119. Mheshimiwa Spika, Shirika limefikia hatua kubwaya kukifanyia marekebisho Kiwanda cha Makonyo kwakufungamitambomipyanavipuriilikuongezauzalishajiwa mafuta. Kiwanda kimeanza mwaka 2018/2019kikiwa na bakaa ya mafuta ya mimea kg 3,786.74zenye thamani ya shilingi milioni 163.42. Aidha, Shirika lilipanga kukusanya shilingi bilioni 1.78 kutoka katika vyanzo mbalimbali vya mapato ikiwemo mauzo yamafuta yamimea, ukodishajiwa ukumbi nanyumba za wageni pamoja na mapato kutoka Shamba la Mtakata. Hadi kufikia tarehe 31/03/2019 jumlaya shilingi bilioni 1.31 zimekusanywa kutoka kwa vyanzohivyovyamapato.Matarajiahadikufikiamwishowa mwaka 2018/2019 ni kukusanya shilingi bilioni 1.71. Mapato ya kiwanda kwa muda wa miaka mitano ni kama inavyoonekana katika Jadweli Namba.5

120. Mheshimiwa Spika, kwa upande wa matumizi kwa mwaka wa fedha 2018/2019 Kiwanda cha Makonyo

!"#$%&'(&')&*+,+'-&'.+&/0&,&'1&'2+-&13&'4567845' ':;'!

4.5.3 Uzalishaji wa Mafuta ya Makonyo na Mimea

119. Mheshimiwa Spika, Shirika limefikiahatua kubwa ya kukifanyia marekebisho Kiwanda cha Makonyo kwa kufunga mitambo mipya na vipuri ili kuongeza uzalishaji wa mafuta. Kiwanda kimeanza mwaka 2018/2019 kikiwa na bakaa ya mafuta ya mimea kg 3,786.74 zenye thamani ya shilingi milioni 163.42. Aidha, Shirika lilipanga kukusanya shilingi bilioni 1.78 kutoka katika vyanzo mbalimbali vya mapato ikiwemo mauzo ya mafuta ya mimea, ukodishaji wa ukumbi na nyumba za wageni pamoja na mapato kutoka Shamba la Mtakata. Hadi kufikia tarehe 31/03/2019 jumla ya shilingi bilioni 1.31 zimekusanywa kutoka kwa vyanzo hivyo vya mapato. Matarajia hadi kufikia mwisho wa mwaka 2018/2019 ni kukusanya shilingi bilioni 1.71. Mapato ya kiwanda kwa muda wa miaka mitano ni kama inavyoonekana katika Jadweli Namba.5

Jadweli Namba.5: Mapato ya Uzalishaji wa Kiwanda

2013-2018 MWAKA MAPATO UZALISHAJI (TANI)

2013/2014 103,000,000 18.142

2014/2015 37,000,000 25.55

2015/2016 - -

2016/2017 1,287,813,880 32.64

2017/2018 2,289,292,000 73.07

Chanzo: Wizara ya Bishara na Viwanda, 2019

120. Mheshimiwa Spika, kwa upande wa matumizi kwa mwaka wa

fedha 2018/2019 Kiwanda cha Makonyo kilijipangia kutumia jumla ya shilingi bilioni 1.62 hadi kufikia tarehe 31/03/2019 Kiwanda cha Makonyo kimetumia jumla ya shilingi bilioni 1.21 sawa na asilimia 74.5 ya makadirio ya mwaka. Uzalishaji wa mafuta kwa kipindi cha miaka mitano (5) katika Kiwanda cha Makonyo ni kama inavyoonekana katika Jedwali namba 6 hapo chini.

Page 67: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 61

kilijipangia kutumia jumla ya shilingi bilioni 1.62 hadi kufikiatarehe31/03/2019KiwandachaMakonyokimetumiajumla ya shilingi bilioni 1.21 sawa na asilimia 74.5 ya makadirioyamwaka.Uzalishajiwamafutakwakipindichamiaka mitano (5) katika Kiwanda cha Makonyo ni kama inavyoonekana katika Jedwali namba 6 hapo chini.

121. Mheshimiwa Spika, Kwa upande wa matumizi, Shirika lilikadiria kutumia jumla ya shilingi bilioni 14.07 ikiwa ni gharama mbali mbali za uendeshaji, wakati matumizi halisi hadi kumalizika kwa miezi tisa ni shilingi bilioni 5.77. Upungufuhuowagharamazauendeshajiumetokananamsimuwakarafuukwamwaka2018/2019kuwamdogo.

5 CHANGAMOTO NA UTATUZI WAKE:

122. Mheshimiwa Spika, Pamoja na mafanikio makubwakatika utekelezaji wa malengo na majukumu mbali mbali ya Wizara kwa mwaka 2018 /2019, pia zipo changamoto zilizo athiri utekelezaji wa malengo yaliyopangwa katika sekta ya biashara na viwanda.

!"#$%&'(&')&*+,+'-&'.+&/0&,&'1&'2+-&13&'4567845' ':<'!

Jadweli namba.6: Hali ya Uzalishaji Wa Mafuta Ya Mimea Kwa Kipindi cha

2013 -2018

MWAKA Makonyo (KGS)

Mchaichai (KGS)

Mdalasini (KGS)

Mkaratusi Madawa(KGS)

Mkaratusi Manukato(KGS)

Mrihani (KGS)

Majani ya Mkarafuu (KGS)

Jumla

2013/2014 14,901.00 48.8 53 635.5 472.5 6.5 2,042.50 18,159.80

2014/2015 21,900.00 45.9 16 659 - 7 1,266.00 23,893.90

2015/2016 13,347.00 40.2 - 124.5 242.5 10.8 948.9 14,713.90

2016/2017 29,662.00 95.1 70.4 304 456 5.7 2,032.20 32,625.40

2017/2018 71,390.00 139.45 25.2 633.3 11 11.9 852.5 73,063.35

Chanzo: Wizara ya Biashara na Viwanda, 2019.

121. Mheshimiwa Spika, Kwa upande wa matumizi, Shirika lilikadiria

kutumia jumla ya shilingi bilioni 14.07 ikiwa ni gharama mbali mbali za uendeshaji, wakati matumizi halisi hadi kumalizika kwa miezi tisa ni shilingi bilioni 5.77. Upungufu huo wa gharama za uendeshaji umetokana na msimu wa karafuu kwa mwaka 2018/2019 kuwa mdogo.

5 CHANGAMOTO NA UTATUZI WAKE:

122. Mheshimiwa Spika, Pamoja na mafanikio makubwa katika utekelezaji wa malengo na majukumu mbali mbali ya Wizara kwa mwaka 2018 /2019, pia zipo changamoto zilizo athiri utekelezaji wa malengo yaliyopangwa katika sekta ya biashara na viwanda. Miongoni mwa changamoto hizo ni kama ifuatavyo:-

i. Upimaji wa maeneo ya viwanda umechukua muda mrefu

hivyo kuchelewesha utekelezaji wake. Wizara tayari imefuatilia kwa karibu suala hili na tayari Hati ya umiliki wa eneo la Chamanangwe imekabidhiwa kwa wizara na maeneo mengine yamo katika hatua za mwisho za kupatiwa Hati.

ii. Kwa kipindi hiki kulitokea malalamiko ya ongezeko la bei ya

mikate na ukubwa wa mikate kutofautiana. Wizara ilikaa na wamiliki wa mabekari na wafanyabiashara ili kupata undani

Page 68: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 62

Miongoni mwa changamoto hizo ni kama ifuatavyo:-

i. Upimaji wa maeneo ya viwanda umechukua muda mrefu hivyo kuchelewesha utekelezaji wake.Wizara tayari imefuatilia kwakaribu sualahili natayari Hati ya umiliki wa eneo la Chamanangwe imekabidhiwa kwa wizara na maeneo mengine yamo katika hatua za mwisho za kupatiwa Hati.

ii. Kwa kipindi hiki kulitokea malalamiko ya ongezeko la bei ya mikate na ukubwa wa mikate kutofautiana. Wizara ilikaa na wamiliki wamabekarinawafanyabiasharailikupataundaniwaongezeko hili na kupunguza athari kwa wananchi. Ufumbuziutapatikanakwakutoavibatielekezivyamikate kwa nchi nzima pamoja na kuandaa bei elekezi na viwango kwa mujibu wa Sheria zetu.

iii. UkosefuwaeneolakudumunavifaakwaajiliyaTamasha la Biashara ambapo, Tamasha la Tano la Biashara, kulikuwa na mwamko mkubwa wa washiriki na kupelekea ukosefu wa nafasi katikamabanda yaliyoandaliwa. Ili kutatua tatizo hili Wizara iliagizwa kuwa na eneo la kudumu pamoja nakuongezavifaavyamaonyesho;agizoambalowizaraimepangakulifanyiakazikatikabajetiijayo.

iv. Wawekezaji wa ndani wanapata changamoto ya kupata maeneo ya kuwekeza miradi yao,

Page 69: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 63

hivyo kuwavunja moyo. Wizara inatoa wito kwa wafanyabiasharanawawekezajiwandaniwafikeWizara ya Biashara na Viwanda kwa kuwapatia maeneo ya kuweka vitega uchumi vyao. Hadi sasa Viwanda mbalimbali vimeanza kupatiwa maeneo ikiwemo kiwanda cha kutengeneza mabomba (pipe) ya maji na vifaa vya ujenzi.

123. Mheshimiwa Spika, kupitia Baraza lako, Wizara

inawaomba wadau wote wa biashara na viwanda wakiwemo wananchi, Serikali, Sekta binafsi, Jumuiyambali mbali kushirikia na kutatua changamoto zinazowakabili wananchi.

6 PROGRAMU ZA WIZARA KWA MWAKA 2019/2020

124. Mheshimiwa Spika,Kwamwakawafedha2019/2020,Wizara ya Biashara na Viwanda katika utekelezaji wa majukumu yake imepanga vipaumbele katika maeneo ya uendelezaji viwanda, uwekaji wa mazingira ya mazuriyabiashara,utafutajiwamasokonausaidiziwawajasiriamali na wazalishaji wadogo wadogo. Aidha, kazi nyengine ambazo zitapewa umbele ni pamoja na utekelezaji wa majukumu ya Wakala wa Kusimamia na Kuendeleza Viwanda Vidogo Vidogo na vya Kati (SMIDA) na Tume ya Ushindani Halali wa Biashara.

125. Mheshimiwa Spika, Wizara ya Biashara

na Viwanda inatarajia kutekeleza shughuli

Page 70: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 64

mahsusi zifuatazo katika bajeti ya mwaka wafedha wa 2019/2020 kama vipaumbele vyake:-

i. Kuyaendeleza na kuyapima maeneo ya viwanda, Mheshimiwa Spika, Wizara inatarajia kuandaa Mpango wa matumizi (Master Plan) kwa maeneo ya Chamanangwe, Nungwi na Dunga ili wawekezaji waliokuwa tayari kuwekeza wapimiwe na kuanza ujenzi. Vile vile wizara itaendelea kuyapima maeneo mapya yatakayoanishwa na Kamisheni ya Ardhi likiwemo la Mkoa wa Kusini kwa ajili ya viwanda vya uvuvi, Uwanja wa Ndege na Mkokotoni kwa maghala makubwa yakuwekea vitu vinavoharibika (cold storage) na bidhaa nyengine.

ii. Kuendeleza ujenzi wa Ofisi na Maabara za ZBS kwa awamu ya pili

Mheshimiwa Spika, Kama tulivyoeleza hapo

awali kuwaawamuyakwanzayaujenziwaofisina maabara imekamilika. Wizara itaendelea na awamu ya pili ili kukamilisha ujenzi wa maabara na ofisi za ZBS Maruhubi. AidhaWizara inakusudia Kuimarisha maabara za ZBS zilizopo Amani pamoja na kuimarisha miundombinu na vifaa vya ukaguzi wa gari.

Page 71: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 65

iii. Kuandaa Matamasha mbalimbali na kuendeleza Eneo maalum kwa ajili ya matamasha

Mheshimiwa Spika, Wizara inaandaa Dhana (Concept) ya kukuza masoko nchini. Kwa hivyo haja ya kuwapatia masoko wazalishaji wa ndani ni muhimu, Matamasha ya ndani huwapatia nafasi ya kuuza bidhaa zao. Wizara inaangaliauwezekanowakufanyamaoneshonamatamashana masoko maalum kwa ajili ya kukuza soko la wajasiriamali. Hivyo kwa mwaka wa fedha2019/20, Wizara itaendeleza eneo la Nyamanzi pamoja na kuongeza vifaa vya maonesho.

iv. Kuandaa Mfumo wa pamoja wa Tehama na kuunganisha Mamlaka za utoaji Leseni

Mheshimiwa Spika, katika kuhakikisha mazingira mazuri ya urahisishaji ufanyaji biashara hapaZanzibar, Wizara itaandaa mfumo maalum waTehamaambaoutatoataarifanahudumamuhimuza usajili, uwekezaji na leseni na vibali vinavyotakiwa kwawawekezajinawafanyabiashara.

v. Kuimarisha Tume ya Ushindani Halali wa Biashara na Kumlinda Mtumiaji:

Mheshimiwa Spika, katika kuimarisha mazingira mazuri ya ushindani halali wa kibiashara na kumlinda mtumiaji, Wizara itaendelea kuimarisha mazingira ya ufanyaji kazi kwa

Page 72: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 66

kuandaa kanuni na taratibu zengine kwa lengo la kurahisisha utekelezaji wa majukumu ya Tume.

vi. Mheshimiwa Spika, katika kuhamasisha ujasiriamali, Wizara itaendelea kuwapatia ushauri, misaada, mikopo na kuwawezesha vijana kupitia mfukomaalumulionzishwa, fedha zamfukohuuzimepangiwa kwenye bajeti ya Serikali. Vile vile Wizara itaendelezaujenziwaOfisimakaomakuuya SMIDA hapo Maruhubi pamoja na vituo vya maendeleo ya viwanda (industrial development centres) katika mikoa.

vii. Kuendeleza usarifu wa mwani: Mheshimiwa Spika, katika kuhakikisha kuwa

mwani wa Zanzibar unaleta tija kwa wananchi, Wizara kupitia ZSTC inatarajia kuanzisha kiwanda cha kusarifu mwani kwa kushirikianana wawekezaji kutoka Indonesia. Kiwanda kinatarajiwa kuwepo katika eneo la Chamanangwe Pemba. Wizara imeanza mchakato wa awali kuanzisha mashamba darasa kwa Mikoa mine (4) ilikuwafundishawakulimaukulimaboranawenyetija wa zao la mwani. Vilevile kuweza kuuza mwani kwa wahusika Wetu kwa bei nzuri ya uhakika.

viii. Kuendeleza na kufanya tafiti mbalimbali za biashara na viwanda

Page 73: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 67

Mheshimiwa Spika, Kwa mwaka 2019/20, wizara itaendeleanautafitiwaMazingiraMazuriyaBiashara(Easy ofDoingBusiness), Utafitiwa bidhaa kwasokolaAGOAnautafitiwabidhaazamadawaasilia.

ix. Uimarishaji wa Mashirikiano baina ya Sekta ya Umma na Serikali

Mheshimiwa Spika, Wizara inatarajia kuendeleza mashirikiano haya kwa kuyasimamia mabaraza ya mikoa, kuandaa Baraza la Biashara na Jukwaa la Kumi(10)laBiasharakwamwakawafedha2019/20.

x. Kwa upande wa Shirika la Biashara la Taifa,linatarajiakununuaKarafuunaMakonyokwamsimuwa mwaka 2019/20, kuendeleza matengenezo ya Kiwanda cha Makonyo, shamba la Mtakata pamoja na kuanza kupanuwa mashamba kwa kupanda miti ya mikaratusi. Vilevile kukuza mradi wa utengenezaji wa mafuta ya majani makavuya mikarafuu kwa kushirikiana na kampuni yaIndesse ya Indonesia. Chungu cha kwanza cha majaribio kitafikishwa Zanzibar mwezi wa Julai.

xi. Kusimamia progamu maalum ya wajasiriamali inayopata msaada kutoka mfuko wa kutokaFalme za nchi za Kiarabu pamoja na mchango wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.

Page 74: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 68

Matumizi ya Wizara kwa mwaka 2019/2020

126. Mheshimiwa Spika, Kwamwaka wa fedha 2019/20,Wizara ya Biashara na Viwanda imepangiwa matumizi ya jumla ya shilingi bilioni 15.59.KatiyafedhahizoJumla ya shilingi bilioni 7.55 zimetengwa kwa ajili ya Matumizi ya kazi za kawaida na Mishahara na shilingi bilioni 8.05 kwa kazi za Maendeleo, kama Mchanganuo wafedhahizounavyoonekanakatikaJadweli namba.8.

Mheshimwa Spika, Kwa mwaka wa fedha 2019/20

Wizara yangu imepanga kutekeleza miradi mikuu mitano (5) ya maendeleo ambayo ni: - Kuimarisha maendeleo ya viwanda, Mazingira bora ya biashara, Kuimarisha Taasisi ya Viwango Zanzibar, Mfumo wa utowaji leseni kwamaendeleoyasektabinafsinakuimarishawajasiriamali.

127. Mheshimiwa Spika, kwa mwaka wa fedha2019/2020, Wizara yangu itaendelea kutekeleza program kuu nne (4) na program ndogo kumi (10). Programu kuu hizo kama zifuatavyo:

i. Programu ya Uendeshaji na Uratibu wa Wizaraii. Programu ya Maendeleo ya Viwanda na Ujasiriamaliiii. Programu ya Ukuzaji na Uendelezaji Biasharaiv. Programu ya Viwango na Uthibiti Ubora

Page 75: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 69

6.1 PROGRAMU YA UENDESHAJI NA URATIBU WA WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA

128. Mheshimiwa Spika, Programu kuu ya Uendeshaji na Uratibu wa Wizara ya Biashara na Viwanda imegawika katika Programu ndogo tatu kwa mujibu wa huduma ambazoinazitoa.Programhizondogonikamazifuatazo:

i. Utawala na Uendeshaji wa shughuli za Wizara ya Biashara na Viwanda;

ii. UratibuwaMipango,SeranaTafitizaWizara;naiii. Uratibu na Utekelezaji wa Shughuli za Wizara

Pemba

129. Mheshimiwa Spika, Programu ndogo ya Utawala na Uendeshaji wa shughuli za Wizara ya Biashara na Viwanda ambayo inatekelezwa na Idara ya Uendeshaji na Utumishi itakuwa na jukumu la kutoa huduma ya usimamizi wa rasilimaliwatunahudumazakiofisikwaujumlapamojana ununuzi wa vifaa. Ili kutekeleza majukumu yake,program hii ndogo imepangiwa matumizi ya shilingi bilioni 2.09 kwa mwaka wa fedha 2019/ 2020.

130. Mheshimiwa Spika, kwa upande wa program ndogo yaUratibuwaMipango,SeranaTafitizaWizaraambayoutekelezaji wake utasimamiwa na Idara ya Mipango, SeranaUtafiti,itakuwanajukumulauandaajinauibuajiwaseranatafitizaWizara,uandaajinautekelezajiwamipango ya Wizara pamoja na usimamizi wa takwimu

Page 76: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 70

za Biashara na Viwanda. Katika kutekeleza huduma hizo, programu ndogo ya uratibu wa Mipango, Sera na Tafiti imepangiwa matumizi ya shilingi milioni 411.99 kwa mwaka wa fedha wa 2019/2020.

131. Mheshimiwa Spika, Program ndogo ya Uratibu na Utekelezaji wa Shughuli za Wizara Pemba ambayo inaratibu shughuli za uendeshaji wa Wizara ya Biashara na Viwanda kwa upande wa Pemba imepangiwa matumizi ya shilingi milioni 485.98 kwamwakawa fedhawa2019/2020.

132. Mheshimiwa Spika, Ili kuweza kutekeleza shughuli zilizopangwa katika Programu kuu ya Uendeshaji na Uratibu wa Wizara ya Biashara na Viwanda kwa mwaka 2019 – 2020, naliombaBaraza lako tukufu kuidhinishamatumizi ya shilingi bilioni 2.99 kwa program hii kuu.

6.2 PROGRAMU YA MAENDELEO YA VIWANDA NA UJASIRIAMALI

133. Mheshimiwa Spika, Programu kuu ya Maendeleo ya Viwanda na Ujasiriamali imegawika katika Programu ndogo mbili kwa mujibu wa huduma ambazo inazitoa. Program hizo ndogo ni kama zifuatazo:

i. Ukuzaji Viwandaii. Maendeleo ya Ujasiriamali

Page 77: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 71

134. Mheshimiwa Spika, Programu ndogo ya Ukuzaji Viwanda itakuwa na jukumu la kutoa huduma ya Uimarishaji wa Sekta ya Maendeleo ya Viwanda ikiwemo kusimamia ujenzi wa maeneo maalum ya viwanda (Industrial Parks), Utekelezaji wa SMIDA, mwani na chumvi ambapo utekelezaji wake utasimamiwa na Idara ya Maendeleo ya Viwanda. Ili kutekeleza huduma hii, programu hii ndogo imepangiwa matumizi ya shilingi bilioni 3.29 kwa mwaka 2019/2020.

135. Mheshimiwa Spika, kwa upande wa programu ndogo ya Maendeleo ya Ujasiriamali ambayo ina jukumu la kutoa msaada kwa wajasiriamali, Ili kutekeleza huduma hii, programu hii ndogo imetengewa shilingi bilioni 3.57 kwa mwaka 2019/2020.

136. Mheshimiwa Spika, Ili kutekeleza majukumu ya Program kuu ya Maendeleo ya Viwanda na Ujasiriamali kwa mwaka 2019/2020, naomba Baraza lako liidhinishe matumizi ya shilingi bilioni 6.85 kwa ajili ya kutekeleza shughuli za programu hii kuu.

6.3 PROGRAMU YA UKUZAJI NA UENDELEZAJI BIASHARA

137. Mheshimiwa Spika, Programu ya tatu itakayotekelezwa na Wizara kwa mwaka 2019/2020 ni Ukuzaji na Uendelezaji Biashara. Kwa ajili ya utekelezaji mzuri wa malengo yake, programu hii imegawanyika

Page 78: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 72

katika Programu ndogo nne (4) kama zifuatavyo:

i. Ukuzaji Masoko na Usafirishajiii. Ushindani Halali wa Biashara na Kumlinda Mtumiaji iii. Urahisishaji Biashara na Ukuzaji Biashara za Ndaniiv. Usajili wa Biashara na Mali

138. Mheshimiwa Spika, Programu ndogo ya Ukuzaji Masoko na Usafirishaji itakuwa na jukumu la kutoahuduma za uimarishaji wa mazingira mazuri ya biashara, kuongeza fursa za masoko pamoja na urahisishajibiashara ambapo utekelezaji wake utasimamiwa na Idara ya Biashara. Ili kutekeleza huduma hizo, programu ndogoyaUkuzajiwaMasokonaUsafirishajiimetengewashilingi milioni 754.85 kwa mwaka 2019/2020.

139. Mheshimiwa Spika, kwa upande wa programu ndogo ya Ushindani Halali wa Kibiashara na Kumlinda Mtumiaji ambayo itakuwa na jukumu la kuimarisha ushindani halali wa kibiashara na kumlinda mtumiaji kwa kuendelea kutoa hudumazaukaguzinauhakikiwavifaavyamizani,vipimo,ukaguzi wa biashara na maghala pamoja na ushajihishaji na utoaji wa elimu kwa watumiaji, ambapo utekelezaji wake utasimamiwa na Tume ya Ushindani Halali wa Biashara na idara ya Biashara. Ili kutekeleza huduma hizo, naliomba Baraza lako liidhinishe matumizi ya shilingi milioni 344.81 kwa mwaka wa fedha 2019/2020.

140. Mheshimiwa Spika, Programu ndogo ya Urahisishaji

Page 79: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 73

Biashara na Ukuzaji Biashara za Ndani itakuwa na jukumu la kutoa huduma za usimamizi wa mamlaka zinazotoa leseni kwa kufanya utafiti na kuweka vigezovinavyohusu leseni chini ya Baraza la Kusimimamia Mfumowautoajileseni.Aidha,BarazalaTaifalaBiasharalitasimamia uimarishaji wa majadiliano baina ya sekta ya umma na sekta binafsi kwa kuandaa majukwaambalimbali ya biashara nchini. Ili kutekeleza huduma hizo zilizopangwa chini ya Programu hii ndogo, naliomba Baraza lako liidhinishe matumizi ya shilingi bilioni 1.11

141. Mheshimiwa Spika, Programu ndogo ya Usajili wa Biashara na Mali ambayo itakuwa na jukumu la usimamizi wa usajili wa biashara na mali kwa kukamilisha Mfumo wa kielektronik na kuimarishamifumo ya usajili wa biashara na mali. Ili kutekelezahuduma hizo, naliomba Baraza lako liidhinishe shilingi milioni 820.90 kwa mwaka 2018/2019.

142. Mheshimiwa Spika, Ili kutekeleza huduma zilizopangwa katika Programu kuu hii ya Ukuzaji na Uendelezaji Biashara kwa mwaka 2019/2020, naliomba Baraza lako liidhinishe jumla ya shilingi bilioni 3.03 kwa program hii kuu.

6.4 PROGRAMU YA VIWANGO NA TATHMINI YA UBORA

143. Mheshimiwa Spika, Programu kuu ya nne itakayotekelezwa na Wizara kwa mwaka 2018/2019 ni Viwango na Tathmini ya Ubora. Kwa ajili ya utekelezaji

Page 80: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 74

mzuri wa malengo yake, programu hii imepangiwa kuwa na programu ndogo moja ya Viwango na Uthibiti wa Ubora ambayo itakuwa na huduma za Uandaaji na Ukuzaji wa Viwango pamoja na huduma za Tathmini ya Ubora wa Bidhaa. Utekelezaji wake utasimamiwa na Taasisi ya Viwango Zanzibar (ZBS). Ili kutekeleza shughuli zilizopangwa katika programu hii, naliomba Baraza lako liidhinishe shilingi bilioni 2.72 kwa mwaka wa fedha 2019/2020 kwa program hii kuu.

144. Mheshimiwa Spika, Taarifa kamili ya Wizara hiiimeelezwa katika kitabu cha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha kwa Bajeti inayotumia Programu (PBB) kwa mwaka wa fedha 2019/2020 – 2021/2022kutoka ukurasa wa R01 mpaka ukurasa wa R016.

6.5 SHIRIKA LA BIASHARA LA TAIFA – ZSTC

Shughuli za Shirika kwa mwaka wa fedha 2019/2020

145. Mheshimiwa Spika, Katika kipindi cha mwaka wa fedha 2019/ 2020, Shirika la Biashara la Taifalinatarajia kutekeleza shughuli kuu zifuatazo;

i. Ununuziwakarafuupamojanamakonyo;

ii. Uimarishajiwamasokonautafiti;

iii. Uimarishaji wa shamba la Mtakata;

Page 81: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 75

iv. Kukifanyia matengenezo makubwa kiwanda chaMakonyo;

v. Kuimarisha upandaji wa mikaratusi pamoja na miche mengine ya mimea;

vi. Kukamilisha taratibu za uanzishwaji wa kiwanda chakusarifumwani.

Ununuzi na Mauzo ya Karafuu

146. Mheshimiwa Spika,Kwamwakawafedha2019/2020,beiyakununuliaKarafuukutokakwawakulimainatarajiwakutobadilika kutoka TZS 14,000 kwa kilo moja daraja la kwanza, TZS 12,000 kwa daraja la pili na TZS 10,000 kwa darajalatatu.Aidha,ShirikalinatarajiakununuaKarafuuza Kilimo Hai kwa wastani wa TZS 17,500 kwa kilo.

147. Mheshimiwa Spika, Katika kuimarisha Kiwanda cha Makonyonashamba laMtakata,kwamwakawafedha2019/2020, Shirika linaendelea na ufungajiwa “Boiler”jipya lenye uwezo wa kuzalisha mvuke wa maji tani nane(8)kwasaapamojanaufungajiwavyunguvipyavitano (5) vya kuzalishia Mafuta ya Mkaratusi. Aidha,kwa upande wa shamba la Mtakata, Shirika limepanga kujaza miche iliyokufa, kuendeleza wa maeneomapya, pamoja na Uatikaji wa miche kwenye vitalu ili kufanya uzalishaji katika vyungu vipya vitano (5).

Page 82: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 76

148. Mheshimiwa Spika,Katikakipindichamwakawafedha2019 /2020, Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Biashara laTaifalimeidhinishamatumiziyaJumlayashilingibilioni114.2 katika kutekeleza kazi za kawaida na Maendeleo.

7 SHUKRANI:

149. Mheshimiwa Spika, mafanikioyaWizarayaliyopatikanani matokeo ya mashirikiano makubwa ya Wajumbe wa Baraza hili chini ya uongozi wako mahiri. Ninakushukuru wewe binafsi, Wenyeviti wa Kamati za kudumu zaBaraza na Wajumbe wote kwa ushauri na michango mliyotupa katika kipindi cha utekelezaji wa bajeti. Shukrani zangu pia ziende kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha, Biashara na Kilimo Mheshimiwa Mwinyihaji Makame Mwadini, Mwakilishi wa Jimbo la Dimani, wajumbe na Makatibu wote wa Kamati hiyo kwa ushauri na miongozo waliyoitoa katika mapendekezo ya Bajeti ya Wizara yangu na hatimae kuridhia mapendekezo haya ya wasilishwe katika Baraza hili.

150. Mheshimiwa Spika, mafanikio ya kiutendajiyaliyojitokeza katika kipindi cha mwaka 2018/2019 ni matokeo ya ushirikiano mkubwa uliopatiwa Wizara yangu kutoka wadau mbali mbali wa ndani na nje ya nchi yetu. Kwa madhumuni ya kutambua mchango mkubwa wa Wadau hao kwa Wizara, naomba kutoa shukrani zangu zadhatikwanchina taasisi zandaninanjezifuatazo;Jamhuri ya Watu wa China,India,Jumuiya ya Ulaya

Page 83: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 77

(EU),USAID,MpangowaMaendeleowaUmojawaMataifa(UNDP), Shirika la UmojawaMataifa laMaendeleo yaViwanda (UNIDO), Shirika la Kimataifa la Tasnia yaMalibunifu(WIPO),BenkiyaMaendeleoyaAfrika(AfDB),TradeMarkEastAfrica (TMEA),Benki yaDunia (WorldBank),Shirika la Biashara Duniani (WTO), TANTRADE,Tume ya Sayansi na Teknolojia ya Tanzania (COSTECH),Zanzibar Seaweed Cluster Initiative (Zasci), Milele Foundation, Jumuiya za Wafanyabiashara, Wenye Viwanda naWakulima ya Zanzibar (ZNCCIA) na Wafanyabiasharawote wakubwa , wadogo na Wawekezaji wa Viwanda.

151. Mheshimiwa Spika, napenda nichukue fursa hii kwamaranyinginetenakuwapongezakwadhatiwafanyakaziwote wa Wizara ya Biashara na Viwanda kwa kazi kubwa yenye ufanisi mzuri wanayoifanya kila siku licha yakukabiliwa na changamoto mbali mbali, ni matarajio yangu kwambawataongezajuhudizaoilikuzidishaufanisikwakuwahudumia wananchi na kutekeleza majukumu yao ipasavyo.Kadhalika,napendakuwapongezawafanyakaziwote walioshiriki katika maandalizi ya Hotuba hii kwa kazi nzuriwaliyoifanya,nawaombeaduanjemakatikakazizao.

152. Mheshimiwa Spika, naomba niwashukuru wafanyabiashara na wenye viwanda wote wakubwa,wakati na wadogo kwa juhudi zao kubwa za kuwahudumia wananchi kwa kuwapatia huduma mbali mbali pamoja na bidhaa muhimu za nguo, chakula, vyombo vya moto, navifaavyaujenzi.Nawaombawaendeleekushirikiana

Page 84: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 78

naWizarayangukwakufanyakazipamojakwalengolakuimarisha biashara na kutoa huduma bora kwa wananchi.

8 MAOMBI YA FEDHA KWA PROGRAMU KWA MWAKA WA FEDHA 2019/2020

Mapato ya Serikali:

153. Mheshimiwa Spika,kwamwakawafedha2019/2020,Wizara yangu imepanga kukusanya jumla ya shilingi bilioni 1.895. Mapato hayo yatakusanywa kutoka vianzio vifuatavyokamainavyoonekanakatikaJadweli Nam.7:-

Matumizi:

!"#$%&'(&')&*+,+'-&'.+&/0&,&'1&'2+-&13&'4567845' ';>'!

kushirikiana na Wizara yangu kwa kufanya kazi pamoja kwa lengo la kuimarisha biashara na kutoa huduma bora kwa wananchi.

8 MAOMBI YA FEDHA KWA PROGRAMU KWA MWAKA WA FEDHA 2019/2020

Mapato ya Serikali:

153. Mheshimiwa Spika, kwa mwaka wa fedha 2019/2020, Wizara yangu imepanga kukusanya jumla ya shilingi bilioni 1.895. Mapato hayo yatakusanywa kutoka vianzio vifuatavyo kama inavyoonekana katika Jadweli Nam.7:-

Jadweli Nam.7: Mapato ya Wizara kwa Mwaka wa Fedha 2019 - 2020

KIFUNGU MAELEZO MAKADIRIO R0104 Idara ya Biashara na Ukuzaji

Masoko 687,963,000

1422014 Ukaguzi wa Mezani na Vipimo 118,000,000 1422077 Malipo ya kazi za biashara 569,963,000

R0106 Wakala wa Usajili wa Biashara

na Mali 508,000,000

1146002 Ada ya Mali Maiti 1,000,000 1422030 Alama za Biashara 240,000,000 1422031 Uandikishaji wa Makampuni 173,000,000 1422032 Uandikishaji wa Majina ya Biashara 51,000,000 1422034 Ujira wa kutengeneza nyaraka 43,000,000 R0107 Taasisi ya Viwango Zanzibar 700,000,000 1112008 Malipo yatokanayo na usimamizi

wa viwango 700,000,000

Jumla Kuu

1,895,963,000

Chanzo: Wizara ya Biashara na Viwanda, 2019

Page 85: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 79

154. Mheshimiwa Spika, Kwa upande wa matumizi na ili Wizara yangu iweze kutekeleza programu zake ilizojiwekea kwa mwaka wa fedha 2019/2020,naliomba Baraza lako liidhinishe matumizi ya jumla ya shilingi 15,597,400,000 kwa programu nne (4) kama inavyoonekana katika Jadweli Nam.8 :

!"#$%&'(&')&*+,+'-&'.+&/0&,&'1&'2+-&13&'4567845' ';7'!

Matumizi: 154. Mheshimiwa Spika, Kwa upande wa matumizi na ili Wizara

yangu iweze kutekeleza programu zake ilizojiwekea kwa mwaka wa fedha 2019/2020, naliomba Baraza lako liidhinishe matumizi ya jumla ya shilingi 15,597,400,000 kwa programu nne (4) kama inavyoonekana katika Jadweli Nam.8 :

Jadweli Nam.8:

Maombi ya Fedha (TZS Mil) Geresho (Code)

Programu Kuu/Programu ndogo Makadirio 2019 - 2020

(mil) PR0101 Uendeshaji wa Uratibu wa Wizara ya

Biashara na Viwanda 2,992.62

SR010101 Utawala na Uendeshaji wa Wizara ya Biashara na Viwanda.

2,094.63

SR010102 Uratibu wa Mipango, Sera na Tafiti za Wizara 411.99 SR010103 Uratibu na Utekelezaji wa shughuli za Wizara

Pemba 485.98

PR0102 Maendeleo ya Viwanda na Ujasiriamali 6,853.91 SR010201 Ukuzaji wa Viwanda 3,286.51 SR010202 Maendeleo ya Ujasiriamali 3,567.39

PR0103 Ukuzaji na Uendelezaji wa Biashara 3,026.06 SR010301 Ukuzaji wa Masoko na Usafirishaji 754,857 SR010302 Ushindani Halali wa Kibiashara na Kumlinda

Mtumiaji 344.81

SR010303 Urahisishaji biashara na Ukuzaji Biashara za Ndani

1,105.50

SR010304 Usajili wa Biashara na Mali 820.90

PR0104 Viwango na Tathmini yaUbora 2,724.80 SR010401 Viwango na Uthibiti Ubora 2,724.80

JUMLA KUU 15,597,400

Chanzo: Wizara ya Biashara na Viwanda, 2019

Page 86: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 80

9 HITIMISHO:

155. Mheshimiwa Spika, naomba kwa mara nyengine tena kukushukuru wewe binafsi pamoja na WaheshimiwaWajumbe wa Baraza lako na wananchi kwa ujumla kwa kunisikiliza. Nawatakia IDDI MUBARAK!

156. Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja.

Page 87: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 81

!"#$%&'(&')&*+,+'-&'.+&/0&,&'1&'2+-&13&'4567845' '<6'!

10 VIAMBATANISHO

10.1 Kiambatanisho Namba 1:

Matumizi ya Fedha kwa kipindi cha Julai 2018 – Machi 2019

Chanzo: Wizara ya Biashara na Viwanda, 2019

S/N Programu Kuu Fedha Zilizotengwa kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Tzs

Fedha Zilizopatikana kwa Kipindi cha Miezi Tisa (Julai - Machi, 2019) Tzs

Asilimia ya Fedha Iliyopatikana

PRO1

Uendeshaji na Uratibu wa Wizara ya Biashara 2,617,636,455 2,093,939,721

80

Utawala na Uendeshaji wa Wizara

1,709,627,895 1,581,900,028

92

Uratibu wa Mipango, Sera na Utafiti 411,620,950 214,729,638

52

Uratibu na Utekelezaji wa shughuli za Wizara Pemba

496,387,610 297,310,055

60

PR02

Maendeleo ya Viwanda na Ujasiriamali

3,831,399,240

1,237,632,716

32

Ukuzaji Viwanda 3,665,290,000 1,198,982,737 33

Maendeleo ya Ujasiriamali

166,109,240 38,649,979

23

PR03

Ukuzaji na Uendelezaji wa Biashara

2,331,463,860

1,663,400,245

71

Ukuzaji Masoko na Usafirishaji

681,804,860 396,692,440

58

Ushindani Halali wa Kibiashara na Kumlinda Mtumiaji

254,959,000 239,507,000

94

Urahisishaji wa Biashara na Ukuzaji biashara za ndani

600,000,000 494,581,255

82

Usajili wa Biashara na Mali

794,700,000 532,619,550

67

PR04 Viwango na Tathmini ya Ubora. 2,583,300,000

1,049,457,008

41

Viwango na Udhibiti Ubora.

2,583,3000 1,049,457,008

41

JUMLA KUU

11,363,800,000

6,044,429,690 53

Page 88: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 82

!"#$%&'(&')&*+,+'-&'.+&/0&,&'1&'2+-&13&'4567845' '<4'!

10.2 Kiambatanisho Namba 2:

Mwenendo wa Biashara Zanzibar (2014 – 2018) TZS.MIL.

Chanzo: Ofisi ya Mtakwimu Mkuu, 2019 !

10.3 Kiambatanisho Namba 3:

Biashara Baina ya Zanzibar na Tanzania Bara:

Mwaka 2014 2015 2016 2017 2018

Kuja Zanzibar

81,384.4 94,650.3 134,059.5 206,482.2 269,665.40

Kwenda Tanzania Bara

366,354.2 401,219.4 84,760.9 33,657.7 24,291.1

Urari wa Biashara

284,969.8 306,569.1 -49,298.6 - 172,824.5

-245,374.3

Chanzo: Ofisi ya Mtakwimu Mkuu, 2019 !

MAELEZO 2014 2015 2016 2017 2018

Uagiziaji ( imports)

279,552.8 156,941.1 167,088.0 211,413.4 335,847.70

Usafirishaji ( exports)

133,587.7 42,407.0 96,234.9 145,756.8 58,187.00

Wingi wa biashara (Volume of Trade)

413,140.5 199,348.2 263,322.9 357,170.2 394,034.7

Urari wa Biashara (Trade Balance)

-145,965.0

-114,534.1

-70,853.1

-65,656.54

-277,660.60

!"#$%&'(&')&*+,+'-&'.+&/0&,&'1&'2+-&13&'4567845' '<4'!

10.2 Kiambatanisho Namba 2:

Mwenendo wa Biashara Zanzibar (2014 – 2018) TZS.MIL.

Chanzo: Ofisi ya Mtakwimu Mkuu, 2019 !

10.3 Kiambatanisho Namba 3:

Biashara Baina ya Zanzibar na Tanzania Bara:

Mwaka 2014 2015 2016 2017 2018

Kuja Zanzibar

81,384.4 94,650.3 134,059.5 206,482.2 269,665.40

Kwenda Tanzania Bara

366,354.2 401,219.4 84,760.9 33,657.7 24,291.1

Urari wa Biashara

284,969.8 306,569.1 -49,298.6 - 172,824.5 -245,374.3

Chanzo: Ofisi ya Mtakwimu Mkuu, 2019 !

MAELEZO 2014 2015 2016 2017 2018

Uagiziaji ( imports)

279,552.8 156,941.1 167,088.0 211,413.4 335,847.70

Usafirishaji ( exports)

133,587.7 42,407.0 96,234.9 145,756.8 58,187.00

Wingi wa biashara (Volume of Trade)

413,140.5 199,348.2 263,322.9 357,170.2 394,034.7

Urari wa Biashara (Trade Balance)

-145,965.0

-114,534.1

-70,853.1

-65,656.54

-277,660.60

Page 89: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 83

!"#$%&'(&')&*+,+'-&'.+&/0&,&'1&'2+-&13&'4567845' '<9'!

10.4 Kiambatanisho Namba 4:

Wastani wa Uingizaji wa Chakula Muhimu katika soko la Zanzibar Jan-Sept, 2018 (Tani):

Maelezo Mchele Sukari Unga wa

Ngano Jumla

Uingizaji wa Chakula

89,477 50,248 48628 188,353

Matumizi 74,682 27,000 33,111 134,793

Bakaa 14,795 23,248 15,517 53,560

Chanzo: Wizara ya Biashara na Viwanda, 2019 !

10.5 Kiambatanisho Namba 5:

Mwenendo wa Biashara ya Karafuu kwa Mwaka 2014 – 2019.

MWAKA JUMLA TANI

WASTANI WA

MANUNUZI TZS

MAUZO TZS TANI

ZILIZOUZWA ZILIZONUNULIWA

MANUNUZI KWA KILO

(IN BILLION)

(IN BILLION)

2014/2015 2826.5 14010.3 39.6 53.3 2766 2015/2016 5764.8 14033.4 80.9 98.2 5667 2016/2017 2277 14030.0 31.95 38.4 2253 2017/2018 8543.9 14030.0 119.2 140.2 7958 2018/2019 190.05 13680.6 2.6 58.4 3250 JUMLA 19,602.25 274.25 388.5 21,894

Chanzo: Shirika la Taifa la Biashara, 2019 !

Page 90: WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA HOTUBA YA ...Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 2 kuliongoza vyema Taifa letu na kutuletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii,

Hotuba ya Waziri wa Biashara na Viwanda 2019/20 84

Bidhaa za kampuni ya INAYA ZANZIBAR baada ya uzalishaji

Uzalishaji wa Sabuni ukiendelea katika Kampuni ya INAYA ZANZIBAR LTD

Uzalishaji wa maji ukiendelea katika Kampuni ya Sky Cola

UzalishajiwamifukoukiendeleakatikaKampuni ya Turky huko Mgeni Haji

Mashineyakusarifutomatopastekatikakijiji cha Mtule

UzalishajiwamifukokatikaKiwandachaTurkyMifukoCo.LtdhukoMgeniHaji