16
ISSN 0856 - 3861 Na. 1004 RABBIUL THAN 1433, IJUMAA MACHI 23-29, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu Uandikishaji unaendelea. Gharama za Hijja ni kama Hijja iliyopita mwaka jana, USD 3850. Tarehe za safari ni 8 na 10 Oktoba, 2012 na kurudi tarehe 31 Oktoba, 2012. Jiandikishe sasa. Kwa mawasiliano: +255 22 2181577, 0717 000065, 0786383820, 0754 261910 E-mail: [email protected], [email protected] Website: wwwhajjtrusttz.org Safari ya Hijja Hijiria 1433 Hali ya hatari yanukia Mwanza Nzengo watishia kumpiga mapanga Muislam Wamzuia kuchota maji, kununua vitu dukani Waislamu wasema, ‘Jihad’ itaanzia Mahina Matatizo ya Waislamu nchini sio ya kikatiba Ubakaji na mauwaji Nani atawahukumu wauwaji hawa Jaji Mkuu Chande aepuka balaa Polisi wana njama kumhami muuwaji Ni yule aliyeuwa Muislamu Kahama Masheikh wakataa kupanda karandinga Mpaka akina Kabwe, Hamad Rashid ‘wasilimu’ Jukwaa, Sheikh Mataka, ni kisa cha matishari (?) Mhe. Zi�o Kabwe Mhe. Hamad Rashid Mhe. Anne Makinda Mhe. Benard Membe Uk. 8 JAJI Mkuu, Othman Chande Uk. 2 Masjid ALLAH KARIM Kazimzumbwi Kisarawe, inawaalika Waislamu wote katika Maulid ya Mtume Muhammad (S. A.W) itakayofanyika Kazimzumbwi Kisarawe tarehe 24/3/2012, Jumamosi saa 2:30 usiku baada ya swala ya Inshaa. Wafadhili wa Maulidi haya ni Rafiki Nurmohamed Satya, Abdulwahid Mohamed na familia ya Madenge . Nyote mnakaribishwa Maulid! Maulid! Mwantumu Rajabu.

Zanzibar Yetu - Tarehe za safari ni 8 na 10 Oktoba, 2012 na ......ISSN 0856 - 3861 Na. 1004 RABBIUL THAN 1433, IJUMAA MACHI 23-29, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu

  • Upload
    others

  • View
    6

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: Zanzibar Yetu - Tarehe za safari ni 8 na 10 Oktoba, 2012 na ......ISSN 0856 - 3861 Na. 1004 RABBIUL THAN 1433, IJUMAA MACHI 23-29, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu

ISSN 0856 - 3861 Na. 1004 RABBIUL THAN 1433, IJUMAA MACHI 23-29, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

Sauti ya WaislamuUandikishaji unaendelea. Gharama za Hijja ni kama Hijja iliyopita mwaka jana, USD 3850. Tarehe za safari ni 8 na 10 Oktoba, 2012 na kurudi tarehe 31 Oktoba, 2012. Jiandikishe sasa.

Kwa mawasiliano:+255 22 2181577, 0717 000065, 0786383820, 0754 261910E-mail: [email protected], [email protected]: wwwhajjtrusttz.org

Safari ya Hijja Hijiria 1433

Hali ya hatari yanukia MwanzaNzengo watishia kumpiga mapanga MuislamWamzuia kuchota maji, kununua vitu dukaniWaislamu wasema, ‘Jihad’ itaanzia Mahina

Matatizo ya Waislamunchini sio ya kikatiba Ubakaji na mauwaji

Nani atawahukumu wauwaji hawa Jaji Mkuu Chande aepuka balaa

Polisi wana njamakumhami muuwaji

Ni yule aliyeuwa Muislamu KahamaMasheikh wakataa kupanda karandinga

Mpaka akina Kabwe, Hamad Rashid ‘wasilimu’Jukwaa, Sheikh Mataka, ni kisa cha matishari (?)

Mhe. Zi�o Kabwe Mhe. Hamad Rashid

Mhe. Anne Makinda Mhe. Benard Membe

Uk. 8JAJI Mkuu, Othman Chande

Uk. 2

Masjid ALLAH KARIM Kazimzumbwi Kisarawe, inawaalika Waislamu wote katika Maulid ya Mtume Muhammad (S. A.W) itakayofanyika Kazimzumbwi Kisarawe tarehe 24/3/2012, Jumamosi saa 2:30 usiku baada ya swala ya Inshaa. Wafadhili wa Maulidi haya ni Rafiki Nurmohamed Satya, Abdulwahid Mohamed na familia ya Madenge .

Nyote mnakaribishwa

Maulid! Maulid!

Mwantumu Rajabu.

Page 2: Zanzibar Yetu - Tarehe za safari ni 8 na 10 Oktoba, 2012 na ......ISSN 0856 - 3861 Na. 1004 RABBIUL THAN 1433, IJUMAA MACHI 23-29, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu

2 AN-NUUR RABBIUL THAN 1433, IJUMAA MACHI 23 - 29, 2012 TAHARIRI/TANGAZOAN-NUUR

S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786Cel: 0784 370 208, 0713 110148, 0755 260 087, DSM.

www.ipctz.org E-mail: [email protected] zetu zipo: Manzese Tip Top

Usangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

MAONI YETU

MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad amesema jamii inapaswa kushirikiana katika kuwasaidia watoto yatima ili waweze kuishi kwa furaha kama walivyo watoto wengine.

A m e s e m a s u a l a l a kuwasaidia watoto hao sio la hiari, bali ni jambo lililoamrishwa na Mwenyezi M u n g u l i f a n y w e k w a kutegemea malipo mema k u t o k a k wa k e s i k u ya

Yatima wahurumiweMuzdalfah, IHH-Uturuki watoa misaada

Na Mwandishi Wetu kiyama. Makamu wa Kwanza

wa Rais ametoa kauli hiyo huko Kiwengwa Mkoa wa Kaskazini Unguja katika maadhimisho ya siku ya watoto yatima yaliyoandaliwa na Jumuiya ya Muzdalifah kwa kushirikiana na Jumuiya ya IHH ya Uturuki.

Maalim Seif amesema, Serikali inatambua umuhimu wa kuwalea na kuwatunza watoto yatima na kwamba itatoa kila msaada unaohitajika katika kuwafanya yatima kuishi maisha bora.

A m e f a h a m i s h a k u wa serikali itaendelea kutekeleza azma hiyo kwa kuendelea kuwajengea makaazi ya kisasa watoto yatima na kuwapatia malezi ambayo yatazingatia maadili mema ya Kiislamu.

Ameongeza kuwa, ni jukumu la kila mmoja kufikiria kuanzisha vituo vya kusaidia watoto yatima au kupeleka misaada katika nyumba za kulelea watoto hao, pamoja na kuwa na utaratibu wa kuwatambua watoto yatima ambao hawaishi kwenye

Polisi wana njama kumhami muuwajiJESHI la Polisi Mkoani Shinganga limetuhumiwa kutaka ‘kufuta’ kesi ya mauwaji inayomkabil i Stefano, anayetuhumiwa kumuuwa kijana Ismaili.

Tuhuma hizo zimekuja kufuatia hatua ya Polisi kutaka kufanyika kikao cha pamoja kati ya Waislamu na Wakristo kuzungumzia kadhia ya kuuliwa Jumapili Ismaili inayomkabili Mussa Stefano.

K a t i k a h a t u a h i y o uongozi wa Polisi Mkoa wa Shinyanga uliziita pande zote mbili yaani Waislamu ambao ndio walalamikaji na Wasabato wa Kakola kwenda mjini Shinyanga kwa mazungumzo.

Hata hivyo, kikao hicho hakikufanyika kwa sababu Waislamu walikataa kupanda ‘karandinga’ la Polisi ambalo ndio lilikuja kuwachukua.

Kwa mujibu wa maelezo ya Sheikh wa BAKWATA, Kahama, Sheikh Ibrahim Manyangali, Polisi walituma g a r i a m b a y o i l i k u w a iwachukue Waislamu na Wakristo pamoja kutoka Kahama kwenda Shinyanga lakini Waislamu na Masheikh wao wakakataa kupanda ‘karandinga’ hi lo kama

wahalifu.A n a s e m a , Wa i s l a m u

w a l i s e m a k w a m b a haiwezekani wasafiri katika msafara huo pamoja na wahalifu ambao ni baadhi ya vijana wanaotuhumiwa k u s h i r i k i k u m p i g a n a kumuuwa marehemu.

“ H a t u k u k u b a l i kudhalilishwa kusafiri na watuhumiwa wa mauaji ya ndugu yetu huku wao wakiwa wamekaa chini na sisi tusimame”, alisema Sheikh Manyangali.

Waislamu wa Kahama walioongea na mwandishi wa n a s e m a k u wa wa n a was iwas i huenda kuna juhudi za Polisi kutaka kufuta kesi ya mauwaji ndio maana wanahangaika kuwakutanisha Waislamu na Wasabato.

“ K wa n i n i wa n a o n a umuhimu wa kukutana na Waislamu hivi sasa, juhudi hizi wangezifanya mapema wakati Waislamu wanatukanwa mauwaji yale yasingetokea”, alisema muumini mmoja.

Ni kutokana na wasiwasi huo, Waislamu wametakiwa kuendelea kufuatilia kadhia hii kwa makini kwa kukhofia kesi kuvurugwa.

Wa k a t i h u o h u o , m t u h u m i w a M u s s a S t e f a n o a m e f i k i s h w a

tena mahakamani katika M a h a k a m a ya K a h a m a akikabi l iwa na kes i ya mauwaji.

Hata hivyo, baada ya kutajwa kesi, hakutakiwa kujibu lolote.

Alirudishwa rumande hadi kesi hiyo itakapotajwa tena tarehe 3 April, 2012 Mahakamani hapo.

Itakumbukwa kwamba kijana Jumapili Ismail wa Kakola Bulyanhulu Mkoani Shinyanga, al ipigwa na kujeruhiwa hatimaye akafariki dunia katika hospitali ya Wilaya ya Kahama siku ya Jumanne tarehe 6.3.2012 saa 10.30 jioni na kuzikwa siku ya Jumatano baada ya swalatu Dhuhr katika makaburii ya Waislamu Kahama.

Marehemu alifariki baada ya kupigwa wakati akihoji kwa nini Stefano anachezesha CD yenye wimbo wenye kukashifu Jiwe Jeusi katika Al Qa’aba tukufu.

Wimbo katika CD hiyo umerekodiwa na kusambazwa na Kwaya ya Shuhuda SDA, Kakola, Shinyanga.

Wimbo huo “ Jiwe Jeusi” ambao pia ndiyo jina la DVD yao umevuruga kwa kiasi kikubwa hali ya maelewano kati ya Wakristo hao wa dhehebu la SDA na Waislamu nchini.

Na Mwandishi Wetu

Hili sio la kisiasabali tuhuma nzito

KAMPENI za Uchaguzi mdogo wa Ubunge katika jimbo la Arumeru Mashariki zimezua jambo. Katika kampeni hizo yamesemwa mengi na wapiga kampeni hususan kwa vyama viwi l i v inavyoonekana kuchuana vikali vya CCM na CHADEMA.

Awali Rais mstaafu Benjamin Mkapa katika kufungua kampeni za mgombea wa Chama Cha Mapinduzi , S io i Sumari , pamoja na kuzungumzia mambo mengi mbele ya halaiki ya wana Arumeru waliohudhuria mkutano huo, alisema hajawahi kusikia Vicent Nyerere , Naibu meneja wa kampeni wa mgombea wa CHADEMA akitajwa katika familia ya marehemu Mwalimu Nyerere, ambaye alifanya naye kazi kwa muda mrefu.

Kauli hiyo ya Mhe. Mkapa i l izua munkari kwa Bw. Nyerere, ambaye naye aliamua kumkosoa Rais huyo mstaafu kwamba ndiye chanzo cha kuifikisha Tanzania hapa i l ipo, yaani katika l indi kubwa la umasikini baada ya kufanya ubinafsishaji holela wa rasilimali za Watanzania wakati alipokuwa Rais.

Malumbano yamepamba m o t o k a t i k a k a m p e n i hizo, kauli za kuumbuana, kuaibishana na kukosoana zinaonekana kuwa sehemu ya mtaji wa kujihakikishia wagombea kushinda kiti hicho cha ubunge katika uchaguzi huo mdogo.

Yote hayo yanakuja wakati huu baada ya Mzee Jeremiah Sumari kufariki na kuacha wazi kiti cha ubunge katika jimbo hilo.

P a m o j a n a k u w e p o m a l u m b a n o h a y o , lakini tunaona si vyema k u a c h a k u f u a t i l i a ya l e y a n a y o z u n g u m z w a n a wapiga kampeni hao, ambao wengi wao ni watu maarufu, wengine wakitumikia nyadhifa kubwakubwa serikalini na kwenye vyama. Kwa nafasi zao na kwa umaarufu wao, tunaamini kauli wanazozitoa katika kampeni zinazoendela j imboni humo zinahita j i kufuatiliwa kwa kina na kuthibitishwa ili kubainisha ukweli wake na kuwaondoa wananchi katika mashaka.

N i v i g u m u k u a m i n i k w a m b a v i o n g o z i h a o watasimama jukwaani halafu

wakatoa tuhuma au madai ya uongo au kughushi, hasa kwa kuzingatia nafasi walizo nazo serikalini, katika vyama vya siasa na kwa umma wa Watanzania.

K a t i k a m k u t a n o wa k a m p e n i z a k u m n a d i mgombea wa CCM Bw. Sioi Sumari, zilizofanyika Machi 19,2012 huko Ngarananyuki, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais anayeshughulikia masuala ya Uhusiano wa Jamii Bw. Stephen Wassira alisema hadharani kwamba Katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt. Wilbroad Slaa, alifukuzwa Upadre baada ya kuiba fedha za ujio wa Papa John Paul II, (Marehemu) ambaye alizuru nchini mwaka 1991.

Katika mkutano huo, Waziri Wassira alidaiwa kusema kuwa Dkt. Si mwaminifu kwa kuwa aliwahi kufukuzwa ukasisi wa Kanisa Katoliki baada ya kufanya ufisadi wa fedha za mapokezi ya aliyekuwa kiongozi huyo wa kidini wakati alipokuja nchini.

Hizi ni tuhuma nzito dhidi ya Dkt. Slaa. Kwa walio wengi wanaomfahamu Dkt. Slaa na harakati zake za kisiasa, hususan katika vita vya ufisadi na ufujaji wa mali za umma, tunaamini kauli hii ya Waziri Wassira iliwashtua na wangependa kujua undani wa jambo hili ili kujiridhisha.

Kulingana na sifa aliyo nayo Dkt. Slaa katika siasa za Tanzania, na kwa kuzingatia umahiri wake wa kufafanua kashfa zinazoelekezwa kwake na zile anazoekeza kwa wengine, tulidhani angetoa ufafanuzi wa kina juu ya kashfa aliyoiibua Wasira ili kulinda heshma yake mbele ya umma unaomwamini.

Hata hivyo tunashangazwa na majibu ya mkato aliyoyatoa katika mikutano hiyo hiyo ya kampeni huko Arumeru kufuatia kashfa hiyo, kwamba Wassira ni mwongo na hajui asemalo. Dkt. Slaa anasema kwamba tangu mwaka 1991 mpaka hivi leo yupo, hivyo kitendo cha serikali kutomfungulia mashitaka ya wizi wa fedha hizo, basi hiyo ni serikali dhaifu na ijiuzulu.

Kat ika mazingi ra ya kawaida, hatudhani kwamba majibu haya ya jumla ya Dkt. Silaa yanatosheleza na

kukidhi uzito wa tuhuma hii iliyoelekezwa kwake. Kulingana na umahiri wake katika medani ya kupambana na ufisadi na ufafanuzi, ni wazi kwamba angetoa ufafanuzi maridhawa kiasi c h a k u m s h a w i s h i k i l a mtanzania kutoamini moja kwa moja madai hayo dhidi yake.

Lakini pia muda mfupi baada ya kutupiwa kashfa hiyo, Kanisa nalo liliwahi kukana na kumtaka Wassira kuthibitisha kwa vielelezo na ushahidi juu ya madai yake. Rais wa Baraza la Maskofu (TEC) Thadeus Ruwa’ich, alinukuliwa na gazeti moja la kila siku akisema kuwa madai ya Wassira hayana

msingi na kwamba kanisa halijawhi kumtuhumu Dkt. Slaa kuhusu ufisadi huo.

Zaidi aliasa kuwa wanasiasa waache siasa wanaofanya kampeni za kuchafuana waache na wafanye siasa za kistaarabu. Kwamba ukiona mwanasiasa anamchafua m w e n z a k e a t a k u w a amefilisika.

Hata h ivyo, kama ni kuchafuana, hatudhani kama Dkt. Slaa ndiye wa kwanza kuchafuliwa katika kampeni za ubunge zinazoendela Arumeru.

L a b d a h i l i halitashughulisha Maaskofu kwa kuwa madai ya fedha za mapokezi zinazotuhumiwa kutafunwa sio za wananchi

wote au serikali, ndio maana linaonekana ni jambo dogo. Lakini inafahamika kwamba kama ni fedha zinazotolewa na waumini, nao ni Watanzania na fedha za waumini nazo pia sio halali kufanyiwa ufisadi.

Hata hivyo hoja yetu ya msingi ni kwamba hivi sasa Dkt. Slaa ni kiongozi anayeongoza sehemu ya umma wa Watanzania kupitia chama cha siasa. Pia aliwahi kuwa mbunge na mgombea Urais . Ameaminiwa na watu na wanamjua kuwa ni k iongozi muadi l i fu . Kutokanana na mazingira hayo, haidhaniwi kwamba angewezwa kuhusishwa na tuhuma za kifisadi.

Inaendelea Uk. 5

Page 3: Zanzibar Yetu - Tarehe za safari ni 8 na 10 Oktoba, 2012 na ......ISSN 0856 - 3861 Na. 1004 RABBIUL THAN 1433, IJUMAA MACHI 23-29, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu

3RABBIUL THAN 1433, IJUMAA MACHI 23 - 29, 2012 AN-NUURHABARI

Hali ya hatari yanukia MwanzaWaislamu jijini Mwanza wamesema kuwa ‘vita ’ i l i y o t a n g a z w a d h i d i y a m u u m i n i m w e n z a o M u s w a d i q u M i k i d a d i pamoja na mkewe Mwantumu Rajabu, ni ya Waislamu wote wa Mwanza.

Kwamba, watasimama kulipiza kisasi iwapo waumini wenzao hao watadhuriwa kwa namna yoyote ile.

Katika kutimiza wajibu huo na amri ya mafundsho ya Qur’an na Hadithi kumhami ndugu Muislamu, Waislamu w a n a t a r a j i a k u f a n y a kongamano kubwa kulielezea suala hi l i na kuchukua maazimio ya pamoja.

A i d h a , wa n a k u s u d i a kufanya jambo hili l iwe agenda za Khutba za Ijumaa ili Waislamu walielewe na kushiriki katika ‘Jihad’ hii.

“Tunachosema ni kuwa a k i d h u r i wa M u i s l a m u m we n z e t u k wa n a m n a yoyote ile, hatutakubali, na serikali pamoja na vyombo vya usalama itabidi vibebe lawama na kuwajibika kwa kulifumbia macho tatizo hili.”

Hiyo ni kauli ya mmoja ya waumini wanaolifuatilia suala hili akiongeza na mwandishi jijini Mwanza Jumanne wiki hii.

Harakati za kuchukua hatua hizo zimekuja kufuatia familia moja kutangaziwa uadui, kutengwa na sasa kutolewa kitisho kwamba itahamishwa kwa nguvu ama kwa kuchomewa nyumba au kufanyiwa jambo lolote litakalowafanya wahame.

Hatua hiyo ya kutengwa n a k u t a n g a z i wa u a d u i ilikuja baada ya familia h i y o y a M u s w a d i q u kukataa kushiriki taratibu za Nzengo (UWAWARU) ambazo zinakiuka sheria za Kiislamu.

Katika kikao cha wana-N z e n g o k i l i c h o f a n y i k a n y u m b a n i k wa B a l o z i Getrude Maige Machi 13, 2012 ilipitishwa kuwa Muswadiqu na mkewe watengwe.

Hakuna kuchota maji katika kisima cha mtaa, hakuna kununua na kuuziwa chochote katika maduka na soko, asisalimiwe wala kusaidiwa kwa lolote.

Adhabu hiyo ilibarikiwa na serikali ya mtaa kwa vile alihudhuria Mwenyekiti wa Mtaa Bwana J. L. Malisa na kuusimamia.

Kufuatia ‘hukumu’ hiyo, M u s wa d i q u n a m k e we walifikisha suala hili kwa mwanasheria wa serikali ambaye naye aliwaelekeza kwenda polisi kufungua jalada kwa usalama wao. Hiyo ilikuwa Machi 15.

H a t u a h i yo i l i f u a t i a kuitishwa kikao kingine cha tarehe 18 Machi mtaani

Na Mwandishi Wetu hapo ambapo walihudhuria M w e n y e k i t i wa M t a a , Mweyekiti wa Kamati ya Maafa, Kamanda wa Ulinzi Shirikishi-Polisi Jamii, mkoa wa Mwanza, Afisa Mtendaji, Kata ya Butimba na Polisi kutoka kituo cha Butimba.

Mpasha habari ambaye alikuwa katika kikao hicho anafahamisha kuwa baada ya Mwenyekiti Malisa kueleza kuwa hukumu waliyopewa wanafamilia wale ni ‘halali’ kwa sababu imetolewa na wananchi na yeye akiwemo, Kamanda Ulinzi Shirikishi aliwafahamisha kuwa kila mtu ana haki ya kuishi popote, kuwa na imani ya dini yoyote na kwamba kujiunga na kikundi ni hiyari ya mtu pia.

K wa m a a n a h i yo , s i halali kwa wanajamii hao wa Mahina, Tambukareli kumtenga na kumsusia mwananchi mwenzao.

Kufuatia kauli hiyo ya ufafanuzi, liliibuka zogo akizomewa polisi na kutakiwa amchukue Muswadiqu na mkewe aondoke nao kwani wana-Mahina hawamtaki.

Katika zogo hilo ndio yakatoka maneno ya kukazia hukumu ya awali na kuongeza kuwa watamchomea nyumba a u k u m k a t a m a p a n g a wamhamishe us iku wa manane.

Wanafamilia hao walifikisha tena suala hilo polisi mkoa wakilalamikia kutishwa ambapo walirudishwa kituo cha polisi Igogo.

Yote hayo yanawakuta Waislamu hao kwa kukataa k u s h i r i k i U WAWA R U

w a N z e n g o a m b a p o h u m l a z i m i s h a k i l a mwanamtaa, bila kujali dini, kushiriki shughuli za pamoja, Wakristo na Waislamu, mtaani hapo hata kama zinavunja taratibu za Kiislamu.

Kubwa ni katika msiba ambapo kuna kuwa na vyombo vya pamoja na wana-Nzengo wote hushiriki kwa kupika na kula pamoja na kushughulika mambo mengine katika mazishi.

Kosa la waumini hawa ni kuwa walikataa kutumia vifaa vya kupikia na kulia vya Nzengo kwa sababu vimekuwa vikizunguka na kutumiwa katika majumba ya watu wanaofuga nguruwe.

Lakini pia hufanyika mambo mengine ambayo ni haramu na kinyume kabisa na taratibu na adabu anazotakiwa kufanyiwa maiti Muislamu.

K u t o k a n a n a d a r a s a la akina mama lililokuwa likifanyika mtaani hapo M a h i n a , Ta m b u k a r e l i , baadhi ya Waislamu waliona upotofu wa kufanya mazishi ya pamoja ambapo katika k u c h a n g a n y i k a h u k o Waislamu na Wakristo katika ibada ya mazishi, taratibu za Kiislamu hukiukwa.

Mke wa Muswadiqu Bi Mwantumu Rajabu ndiye anaonekana kuwa kikwazo na kutangaz iwa ubaya kwa sababu ndiye alikuwa akiendesha darasa hilo.

Naye alipata mwamko huo baada ya kuwa amekuwa a k i h u d h u r i a d a r a s a lililokuwa likiendeshwa na Mwalimu Zabibu ikawa kila anachojifunza naye huweka

darsa nyumbani kwake kuwaelimisha akina mama jirani zake.

Wakati huo huo, tatizo h i l i l i m e f i k i s h wa k wa Katibu Mkuu wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania ( B A K WATA ) m k o a wa M wa n z a a m a b ye n a ye a m e c h u k u a h a t u a y a kumwandikia Afisa Mtendaji wa Kata ya Butimba akitaka kujua ufafanuzi wa kadhia hiyo.

“Nimepokea malalamiko

kutoka kwa baadhi ya waumini wa Kiislamu kuwa Mama Mwantumu ametengwa na Serikali ya Mtaa na kwamba wale waumini wa Kiislamu waliokuwa wakisoma Qur’an pale (Mahina) wamekatazwa wasisome….nataka kupata picha (maelezo) kutoka kwako ili tuweze kulimaliza tatizo hili kwa salama na amani.”

Imesema barua ya Katibu wa Bakwata Mkoa wa Mwanza ya tarehe 14 Machi, 2012 kwenda kwa Afisa Mtendaji, Butimba.

MWENYEKITI wa Chama Cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, a m e s e m a m a s i l a h i yatokanayo na rasilimali za taifa zigawanywe kwa wananchi na liingizwe katika Katiba mpya ili kuwapunguzia wananchi umasikini.

Amesema rasilimali za nchi kama vile dhahabu, almasi na gesi, ni mali ya wananchi wenyewe hivyo ni vyema ikawa ni kwa manufaa yao na iwe kwa mujibu wa Katiba kwa vitendo si kwa maneno.

P r o f e s a L i p u m b a ameyasema hayo mapema wiki hii akiwahutubia wananchi katika viwanja vya Mwembe Yanga, Jijini Dar es Salaam, ukiwa ni

Wananchi wanufaike na rasilimali za nchiNa Bakari Mwakangwale mkutano wake wa kwanza

toka arejee nchini akitokea nchini Marekani alikokuwa zaidi ya miezi mitano katika tafiti za masuala ya kiuchumi duniani.

“ I l i k u p u n g u z a ama kuondoa kabisa umas ik in i nch in i , n i vyema suala la rasilimali za Taifa zigawanywe kwa wananchi wenywe kwa sababu rasilimali za nchi, maliasili ya nchi ni mali ya wananchi wenyewe na hii iingizwe katika Katiba mpya. Wananchi waelewe hizi ni mali zao wenyewe na wao wawe mstari wa mbele kuzilinda.” Alisema Prof. Lipumba.

A l i s e m a , h a l i h i yo itawapunguzia makali ya m a i s h a wa n a n c h i endapo sehemu ya fedha zinazopatika kutoka katika rasimali hizo zitagawanywa

kwa wananchi ili waweze kusomesha watoto na hata kuwapatia matibabu bora na kujenga afya zao.

P r o f e s a L i p u m b a , alisema baada ya kazi aliyoifanya Marekani, amerejea nyumbani akiwa na jukumla la kufanyia kazi utafiti wake uliojikita katika kutatua umasikini.

A l i s e m a , s u a l a l a kukuza uchumi na kuleta mabadiliko ya kukuza demokrasia ni suala la kuwapa uhuru wananchi wenyewe katika masuala ya kisiasa na kiuchumi.

Alisema, pamoja na kuwa na ardhi kubwa, lakini bei ya chakula inapanda, huku akisema, kuwa Benki Kuu inasema mfumuko wa bei ni asilimia 20, lakini alidai hali halisi ukiwauliza wananchi ni zaidi ya hapo.

“ C C M , wa m e z o e a

kusema, nchi hii ni changa, miaka 50 sio nchi changa, Korea ya Kusini imefanya mabadil iko makubwa n d a n i ya m i a k a 5 0 . Tanzania ndani ya miaka hiyo chini ya utawala wa CCM, tulichokipata ni kuongezeka umasikini.” Alisema Prof. Lipumba.

A k i z u n g u m z a i a suala la umeme, Profesa Lipumba alisema, mwaka 2008 Serikali ilitangaza kwamba ina mpango wa kufufua uchumi kwa gharama ya Tirilion moja, milioni mia saba, ambazo i l ie lezwa z i takwenda katika kuimarisha sekta ya umeme nchini.

Alisema, leo hii baada ya kutumia pesa hiyo, kilichopo ni mfumuko wa bei, umeme wa uhakika hakuna. Akahoji, pesa hiyo imekwenda wapi?

Muswadiqu Mikidadi pamoja na mkewe Mwantumu Rajabu.

Page 4: Zanzibar Yetu - Tarehe za safari ni 8 na 10 Oktoba, 2012 na ......ISSN 0856 - 3861 Na. 1004 RABBIUL THAN 1433, IJUMAA MACHI 23-29, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu

4 AN-NUUR RABBIUL THAN 1433, IJUMAA MACHI 23 - 29, 2012 Habari/Matangazo

Jumuiya ya Wataalam wa Kiislam Tanzania (TAMPRO) Inawakaribisha Wanafunzi, Wazazi, Walezi, Walimu, Wanachama wa TAMPROna Wadau Wengine wa Elimu Katika Uzinduzi wa Kitabu Cha Muongozo wa Kujiunga na Vyuo Ngazi ya Certificate na Diploma.Hii ni juhudi ya kujibu kilio cha wanafunzi na wazazi.

Kitabu Hicho Kinaonyesha Orodha ya Vyuo, Kozi Zinazotolewa, Sifa za Kujiunga, Gharama za Masomo, Muda Wa Maombi, Kipindi Cha Masomo, n.k.Pamoja na Uzinduzi huo, Kutakuwa na Mada ya Kuchambua Matokeo ya Kidato cha Nne kwa Mwaka 2011 kwa Shule za Kiislamu, Wananchi (Kata) na za Binafsi zingine. Pia, Hatua za Kuchukuwa ili kuwasaidia wanafunzi katika shule hizo zitapendekezwa.

Mahala: Ukumbi wa Lamada Hotel, Ilala Boma, Dar es Salaam

Siku: Jumapili, Tarehe 25/03/2012

Muda: Saa 3:00 Asubuhi – Saa 6:00 Mchana

Kwa Maelezo Zaidi Piga Simu Na: 0716 776226, 0717 070795

Njoo Upate Muongozo wa Kujiendeleza au Kumuendeleza Kijana Wako Hata Kama Hakufaulu Vizuri Mitihani Yake.

Wote Mnakaribishwa

UZINDUZI WA KITABU CHA MUONGOZO KWA WAHITIMU WA KIDATO CHA NNE NA KIDATO

CHA SITA

KATIKA toleo lililopita tuliangalia Nafsi, huku Mtume (s a w), akitoa maelezo kuwa jihadi kubwa ni ya nafsi, na vita hii ni ya ndani kwa ndani hivyo basi ukiona Nafsi yako inakutamanisha sana jambo jifikirie kwa makini, na ukiona jambo unalichukia mno katika nafsi yako inawezekana jambo hilo lina maslahi makubwa katika mwili na Roho.

Leo tuangalie baadhi ya magonjwa ya Nafsi. Nafsi kwa kawaida ina magonjwa yake hayo ni kama vile kujiona, kusengenya, hofu, tamaa, tabia za uchoyo na hata kutoridhika na ulichonacho kuwa ndio kadari yako aliyokukadiria Allah (SWT).

“ Tu k a s e m a , s h u k e n i nyote, na kama ukikufikieni uwongofu utokao kwangu, basi watakao fuata uongofu wangu huo ha i takuwa k h o f u j u u y a o w a l a hawatahuzunika.” (Qur an 2:38).

Hakuna sababu ya kuwa na hofu pindi ambapo umeamua kufuata ama kuitikia amri ya Allah. Anayefata uongofu wa Allah, hawapaswi kuwa na hofu yoyote. Hofu katika kuitikia amri za Mwenyezi Mungu ni mwanzo wa kuijengea kutu nafsi yako.

Uchoyo, ni katika njia

Magonjwa ya nafsiNa Bakari Mwakangwale

ya ubakhili, hususan katika mali uliyoneemeshwa na Mwenyezi Mungu kwa fadhila zake. Hii inapelekea kutokutoa katika njia iliyo ya kheri, na ubakhili huo huona kama ni kheri yao. Lakini Mwenyezi Mungu anasema kuwa hiyo ni shari yenye matokeo mabaya kwao, ambapo ujira wake ni kulipwa malipo maovu siku ya kiyama.

“Wala wasidhani kuwa wale ambao wanafanya ubakhili katika aliyowapa Mwenyezi Mungu katika fadhila zake kuwa ni kheri yao. Bal i hiyo ni shari kwao……………., (Qur an 4:180).

M w e n y e z i M u n g u anasema wale wanaofanya choyo na mali yao wasitoe katika fiisabilillahi (njia ya Allah) kisha wakawaamrisha watu pia wafanye ubakhili, basi Mwenyezi Mungu pia hawahitaji.

“A m b a o w a n a f a n y a ubakhili, na wanaamrisha watu wafanye ubakhili na anayegeuka, basi Mwenyezi Mungu ni mwenye kujitosha, msifiwa.” (Qur an 57:24).

K u s e n g e n ya . H i i n i hal i ya kumzungumzia vibaya au vizuri mtu asiye

kuwepo hata kama hayo yanayozungumzwa juu yake ni kweli. Kusengenya hakuishii tu kwenye ulimi bali hata kwa ishara ya macho, ulimi, midomo, mikono na hata kuigiza miondoko yake. Lakini pia hata mtu amekaa sehemu anasikiliza habari za kusengenya naye pia kwa mujibu wa hadithi naye anahesabiwa amesengenya.

Ibn ‘Umar amesimulia kuwa Mtume wa Allah amesema:- Msikilizaji (wa maneno ya usengenyaji ) naye ni mmoja wa wasengenyaji” (Tibrani). Hivyo kusengenya ni miongoni mwa maradhi ya nafsi, na Allah (SWT) a n a t u t a h a d h a r i s h a n a usengenyaji katika Qur an (104:1)

“ A d h a b u k a l i itamthubutukia kila mlamba kisogo, msengenyaji”

K u s e n g e n y a kumeruhusiwa kwa namna ta tu , kwan za kus tak ia dhulma anayofanyiwa na mtu. Pili, kueleza ubaya wa mtu kwa anayemuhusu ili amrekebishe, na tatu kuwatahadharisha wengine na tabia mbaya ya mtu ili wasiathirike. Kuwa na Kibri ni kuwa na majivuno. Kibri na kujiona husababishwa

na neema alizoruzukiwa mja na Mola wake kama vile mali, Elimu, nguvu na hata uzuri wake. Kwa mujibu wa mafundisho ya Uislamu, mwenye chembe ya kibri, Peponi haingii, na Mtume naye anasema kuwa, Kibri ni joho lake Allah (sw), kuwa hakuna mwingine ila yeye. Yeye (Allah) ni kweli hakuna ila yeye, Je, na wewe ni kweli hakuna ila wewe?

Abuu Hurai rah ( r.a ) amesimulia kuwa Mtume wa Allah amesema, “Allah (sw) amesema, “Utukufu ni nguo yangu na kibri ni kilemba changu. Yoyote atakayeshindania kimoja wapo katika hivi ataangamia. (Muslim)

“ N a w a l e watakaokadhibisha aya zetu na kuzifanyia kiburi hao watakuwa watu wa Motoni, watakaa humo daima. (Qur an 7:146).

Hasadi, ni moja ya gonjwa lingine la Nafsi. Hasadi ni hali ya mtu kuchukia neema ya ndugu yake/mwenzake, pale anaponeemeka. Hasadi huchukia na kuumia sana ndani ya nafsi yake, ili kujijua kama una gonjwa hili jaribu kujipima kutokana na hali hiyo.

Mtu mwenye husda ana donda la chuki ndani ya nafsi yake juu ya neema alizoneemeshwa mwingine na Mwenyezi Mungu. Hasidi kutokana na chuki yake huwa tayari kwa hali na mali kumdhuru mja mwenzake asiye na hatia yoyote.

J u u y a h a s a d i anavyochukia neema kwa mwenzake, mshairi mmoja anasema, hajapata kumuona dhwalimu aliyekaa nafasi ya kudhulumiwa kama hasadi, hasidi yeye ndiyo dhwalimu, lakini ndiye anayekonda k w a k u o n a m w e n z i e akineemeka.

Angalia hulka ya Hasadi, kuna kisa kimoja kinasema, watu walikwenda kutoa mtihani kwa mwenye hasadi na mchoyo. Walianza kwa m c h o yo wa k a m u u l i z a , ‘Sema chochote unachotaka tukupatie, ila kwa sharti kuwa unachotaka tutakupa lakini mwinzio tutampa mara mbili yako (mfano akipewa Gari moja mwenzie atapata magari mawili). Mchoyo aliinama akifikiria, alipoinuka akasema ‘Ondokeni, sitaki chochote’!

Jamaa walimwendea hasidi (mwenye hasadi) na kumpa maelezo yale yale aliyopewa mchoyo, Hasadi aliuliza swali la nyongeza, “Mnamaanisha

nikitaka chochote kimoja mwenzangu itakuwa mara mbili yake?” jibu likawa ndiyo, kwa msisitizo!

Hasadi, alisema “basi naomba mnitoe jicho moja”! Akimaanisha mwenzie akaondolewe macho yote mawili, (kwa ahadi ile ya moja kwa mbili) ili walu yeye abakie na jicho moja mwenzie awe kipofu kabisa. Hiyo ndio tabia ya hasadi angekuwa na uwezo basi kila kitu angependa kiwe kwake na mwenzie akose kabisa!

Ndio maana Mwenyezi Mungu alishusha aya inayotoa muongozo wa kujikinga na shari za viumbe vyake, akiwemo Hasidi. Katika surat Faraq, Mwenyezi Mungu mbali ya kutoa muongozo wa mwanadamu kujikinga na kupata ulinzi kutoka kwake na shari ya kila mwenye shari ya viumbe vyake, shari ya usiku unapoingia, pamoja na shari ya mafisadi wanaoharibu mahusiano baina ya watu, mwisho wa sura hii amesema:-

“Na shari ya hasidi anapo husudu.” Qur an 113:5.

Hapa Mwenyezi Mungu anatutaka kusoma sura hi i kama ul inzi kwetu kwa mambo mbalimbali w a k i w a m o M a h a s i d i , wanaotamani kuondoa neema alizowapa Mungu waja wake, mfano wa huyo hasidi kwa mwenzie mchoyo!

Husda husababishwa na kutotosheka na kutoridhika na neema za Mwenyezi Mungu. Hasidi anataka kila aliyotunukiwa mwingine awe nayo yeye na mwingine akose kabisa

Hivyo basi Musilamu anatakiwa a j i takase na maradhi ya na fs i kwa k u ya e p u k a k wa k a d r i awezavyo, kwa kujipamba na tabia njema. Ama kuhusu husda, tunatakiwa tujitakase na uovu huu wa husda (kutotosheka) kwa kutosheka na kile tulicho nacho, kwa kujua kuwa kila neema aliyopewa Mwanaadamu imekadiriwa na Mwenyezi Mungu.

N a k wa m b a h a p a n a yeyote mwenye uwezo wa kupunguza neema ya mtu aliyekadiriwa na Mola wake hata kwa kiasi kidogo.

Pia Muislamu wa kweli n i y u l e a n a y e j i t a h i d i kujiepusha na husuda ili asije akaziunguza amali zake njema alizozitanguliza na akawa miongoni mwa watakao hasirika katika maisha ya akhera.

A b u H u r a i r a ( r . a ) . amesimulia kuwa Mtume wa Allah amesema:- “Kuweni waangalifu juu ya husda kwani husda inaunguza amali njema za mtu kama moto unavyounguza kuni.” (Abuu Daud)

Page 5: Zanzibar Yetu - Tarehe za safari ni 8 na 10 Oktoba, 2012 na ......ISSN 0856 - 3861 Na. 1004 RABBIUL THAN 1433, IJUMAA MACHI 23-29, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu

5RABBIUL THAN 1433, IJUMAA MACHI 23 - 29, 2012 AN-NUURHABARI ZA KIMATAIFA

Ofisi ya Munazzamat Al-Daawa Al- Islamiya ( MDI) iliyopo Mbezi Beach-Tangi Bovu jijini Dar es Salaam, inapenda kuwatangazia nafasi za masomo kwa wale wote wanaotaka kujiunga na Chuo Kikuu cha INTERNATIONAL UNIVERSITY OF AFRICA, Khartoum Sudan.

Kozi zinazotolewa ni; 1. Shahada katika Medicine, Pharmacy, Dentist, Nursing, Laboratory Sciences, Engineering, Computer Science, Pure Science, Economics. 2. Shahada katika Law & Shari’a, Education, Arts (Mass communication, Arabic, Geography and History, General Psychology).3. Diploma katika Education

Fomu za maombi zinapatikana kwa Tsh. 10,000/= tu, kuanzia Tarehe 02 - 16/4/2012 katika ofisi za Munadhwama Dar es salaam na katika ofisi ya Munadhwama Zanzibar ( Kituo cha kusaidia watoto Yatima) kilichopo eneo la Mpendae kwa mchina mwisho, mkabala na skuli ya Kijangwani, saa 3:00 asubuhi mpaka saa 7:00 mchana.

Mtihani (Written Interview) utafanyika tarehe 28/4/2012, saa 2:00 asubuhi, siku ya Jumamosi katika Ofisi za MDI Dar es Salaam na katika Chuo cha Kiislam Zanzibar.

Sifa za muombaji:Awe amefaulu kwa kupata angalau Division Three kidato cha Nne na Sita au Thanawiya.

Kwa maelezo zaidi piga simu namba 0786 806662 au 0773 249015 au 0767 806662 au 0652 806662 au 0712 600725 au 0779 660326.

Kwa upande wa Zanzibar piga simu No. 0777 415 835, au 0715 415 835.

Pia nafasi za kidato cha tano kwa mwaka 2012 bado zina patikana katika shule yetu ya KUNDUCHI GIRLS ISLAMIC HIGH SCHOOLMichepuo (Combination) inayo toa ni PCB, CBG, PCM, PGM, HE, HKL,HGK,KLA,ECA. Kwa mawasiliano piga simu na 0713465437 AU 0713515054.

Mr. Khamisi M. LiyenikeK.n.y Mkurugenzi MDI, TZ.

NAFASI ZA MASOMO SUDAN 2012/2013

LONDONWaislamu wanaotaka mfumo wa sheria za Kiislamu utekelezwe Uingereza wamezidi kuongezeka na wengi sasa wanakwenda kutatua mashauri yao katika mahakama zilizopo za Kiislamu.

Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na Taasisi ya Citivas, mwaka 2009 k u l i k u wa n a k a r i b u mahakama 85 za Kiislamu mjini London. Hivi sasa mael fu ya Wais lamu Uingereza wanapaza sauti zao wakitaka kesi zao zisikilizwe katika mahakama rasmi zinazotoa hukumu kwa mujibu wa

Waislam Uingereza wanataka Mfumo wa Sheria za Kiislamu

Mahakama ya Kadhi ilianza London mwaka 1982sheria za Kiislamu.

S h e i k h H a y t h a m Haddad, mmoja kati ya Majaji katika Mahakama za Kiislamu Uingereza amesema kuwa katika kipindi cha miaka mitano iliyopita, idadi ya watu wanaotaka matatizo yao ya kisheria yatatuliwe kat ika mahakama za Kiislamu imeongezeka mara tatu”.

S h e i k h H a y t h a m ameongeza kuwa jambo hili linaonyesha kuwa hivi sasa Waislamu wanataka mfumo wa sheria za Kiislamu na wanaifahamu vyema dini yao tofauti na huko nyuma.

Mahakama za Kiislamu

nchini Uingereza zilianza kufanya kazi mwaka 1982 chini ya usimamizi wa

mabaraza ya kieneo na kwa mujibu wa sheria za nchi hiyo.

Nchi kadhaa za Jumuiya ya Madola zimeshaanzisha mahakama za Kiislamu ambazo katika Afrika Mashariki zinajulikana kama ‘Mahakama za Kadhi’.

TUNISMAELFU ya wananchi wa Tunisia wameandamana nje ya jengo la Bunge mjini Tunis, wakitaka sheria za Kiislamu zitekelezwe nchini humo.

Katika maandamano hayo, wananchi wametangaza bayana kwamba watapinga katiba yoyote itakayopitishwa pasi na kuwepo sheria za Kiislamu ndani yake.

Kauli ‘Wananchi wanataka sheria za Mwenyezi Mungu zitekelezwe’ na ‘Tunisia ni nchi ya Kiislamu’ zilikuwa zikitolewa na waandamanaji hao. Aidha makundi zaidi 200

Wananchi Tunisia waandamana wakitaka sheria za Kiislamuya kisiasa na kiraia yametia saini taarifa ya kutaka sheria za Kiislamu zitekelezwe nchini humo.

Bunge la Waasisi la Tunisia l iko katika mkakati wa kuandika katiba mpya ya nchi hiyo. Zoezi la kuandika katiba hiyo linatazamiwa kumalizika katikati ya mwaka

huu wa 2012.Utawala wa kiimla wa

Tu n i s i a u l i o n d o l e w a madarakani Januari 14 mwaka jana kufuatia mwamko wa Kiislamu wa wananchi.

Rais wa zamani wa Tunisia aliyetimuliwa madarakani, Zine el Abidine Ben Ali, kwa sasa amepewa hifadhi na utawala wa Saudi Arabia.

LONDONAfisa mmoja wa ngazi za juu wa Wizara ya Fedha ya Uingereza amekiri kuwa, mashirika ya kibiashara yanayokwepa kutekeleza vikwazo dhidi ya Iran yanaongezeka siku baada ya siku.

Naibu Waziri wa Fedha wa Uingereza, David Gauke, amesema mbele ya wabunge wa nchi h iyo kwamba mashirika ya Uingereza yanayo jar ibu kukwepa kutekeleza vikwazo dhidi ya Iran, yameongezeka maradufu katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita.

Nalo gazet i la Dai ly Telegraph la mjini London

Uingereza yakiri kuongezeka wanaokwepa kutekeleza vikwazo dhidi ya Iran

l i m e n u k u u t a k w i m u rasmi na kuripoti katika ukurasa wake wa Intaneti kwamba, kwa mujibu wa takwimu hizo rasmi, idadi ya mashirika ya Uingereza ambayo yamejaribu kukwepa kutekeleza vikwazo dhidi ya Iran katika kipindi cha miaka mitatu i l iyopita, yameongezeka kwa zaidi ya mara mbili.

Gazeti hilo limeongeza kuwa, tangu mwanzoni mwa mwaka huu wa fedha wa 2011-2012 hadi hivi sasa, mashirika 84 ya Uingereza yamejaribu kukwepa kutekeleza vikwazo dhidi ya Iran, wakati katika mwaka wa fedha wa 2008-2009 yalikuwa ni mashirika 40 tu.

Yatima Inatoka Uk. 2

vituo maalum, ili waweze kusaidiwa katika mahitaji yao muhimu.

Ameyataja mahitaji hayo kuwa ni pamoja na elimu, chakula, mavazi na makazi.

Maalim Seif ameipongeza jumuiya ya Muzdalifah kwa kutoa malezi mema kwa watoto yatima, sambamba na washirika wa maendeleo wanaosaidia malezi hayo, Jumuiya ya IHH ya Uturuki na Jumuiya ya WEFA ya Ujerumani.

Katika hafla hiyo Maalim Seif ameahidi kuchangia Kompyuta mbili kwa ajili ya kuwasaidia watoto hao kupata elimu.

K a t i k a r i s a l a y a o iliyosomwa na mwanafunzi Firdaus Kassim, watoto hao wameiomba serikali kuifanya siku hiyo kuwa ya kitaifa, sambamba na kuanzishwa kwa mfuko maalum wa mayatima ili uweze kusaidia maendeleo ya watoto hao.

Watoto hao wameelezea kufurahishwa kwao na jinsi jumuiya ya Muzdalifah ilivyowaunganisha kuwa kama watoto wa familia moja wakiwa na matarajio ya kuijenga nchi yao kwa pamoja.

Jumuiya ya Muzdalifah kwa upande wake imesifu mashirikiano wanayoyapata kutoka serikalini, na kuomba yaendelezwe ili kuleta faraja kwa watoto hao, ambapo hadi sasa wanawasaidia watoto yatima wapatao mia tano kutoka Unguja na Pemba.

Mwakilishi wa Jumuiya ya IHH ya Uturuki Bwana Yussuf Armagan amesema nchi yake inapata faraja kuona watoto yatima wanasaidiwa, na kwamba iwapo watu wengi zaidi watajitokeza kuwasaidia watoto hao wataweza kupata mafanikio yaliyotarajiwa.

Amesema jumuiya hiyo ambayo kwa sasa inawasaidia watoto yatima katika nchi 130 dunia, itaendelea kutoa misaada yake kwa Zanzibar i l i k u h a k i k i s h a k u wa watoto hao wanaishi katika mazingira mazuri.

Page 6: Zanzibar Yetu - Tarehe za safari ni 8 na 10 Oktoba, 2012 na ......ISSN 0856 - 3861 Na. 1004 RABBIUL THAN 1433, IJUMAA MACHI 23-29, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu

6 AN-NUUR RABBIUL THAN 1433, IJUMAA MACHI 23 - 29, 2012 Makala/Habari

Matatizo ya Waislamu nchini sio ya kikatiba

KATIKA mambo ambayo Mzee Kitwana Selemani Kondo hatayasahau katika m a i s h a y a k e , n a k i l a akikumbuka hucheka; ni yeye kushindwa na Frank Magoba wa CUF katika kugombea ubunge, Jimbo la Kigamboni, Uchaguzi Mkuu mwaka 2000. Mzee Kitwana Kondo ni Mzaliwa wa Dar es Salaam, ni Mzaramo mzalendo. Mzee Kitwana Selemani Kondo, ni Mbunge pekee aliyeweza k u t h u b u t u k u s i m a m a Bungeni na kuhoji juu ya mauwaji ya Mwembechai, kupigwa risasi kijana Chuki Athumani na kisha kuachwa bila matibabu huku akiwa kafungwa pingu mpaka akapooza. Ni Mzee Kitwana Selemani Kondo aliyesemea kwa uzito wake ndani ya Bunge suala la Waislamu kubaguliwa katika elimu, k u t o h e s h i m i w a m u d a wa swala siku ya Ijumaa n a a g e n d a n y i n g i z a Waislamu.

Ukimuul iza Ki twana K o n d o , m a a r u f u K K , atakwambia, hayo ndiyo yaliyomponza asirudi tena Bungeni. Anajua mwenyewe nini kilitokea huko ndani ya CCM na mtandao wao wa kuhakikisha kuwa miaka yote CCM inashinda kwa kishindo. Lakini swal i muhimu ni kwa hawa wapiga kura wa Kigamboni. Swali ni je, wale Waislamu aliowatetea Bungeni walikuwa asilimia ngapi katika wapiga kura wa Jimbo la Kigamboni mwaka 2000? Je, kwa kumnyima kura Kitwana Kondo, walitegemea kuwa Frank Magoba ndiye atatetea zaidi agenda ya OIC, Mahakama ya Kadhi, MoU, kubaguliwa Waislamu katika elimu na ajira na masuala mengine ya Waislamu? Hiyo ‘Home Work’ ya kwanza Waislamu wakae nayo wakati wakichakarika na mabadiliko ya katiba.

Sheikh Ilunga aliwahi kutaja kisa cha yule mbunge wa Urambo (sina hakika kwamba ni kweli au ni mzaha tu) ambaye baada ya kumsikia mbunge mwenzake wa Zanzibar akisema kuwa tatizo la Bandari ya Zanzibar ni matishari, aliposimama naye akasema, Mheshimiwa Spika nami nasema hata Urambo nao wana tatizo l a m a t i s h a r i . M b u n g e m w e n z a k e a l i y e k u w a pembeni akambonyeza, wewe unajua tishari ni nini? Urambo kutakuwaje

Eeh TANU yajenga nchi itaendelea kuwatesaMpaka akina Kabwe, Hamad Rashid ‘wasilimu’Jukwaa, Sheikh Mataka, ni kisa cha matishari (?)

Na Omar Msangi

Mhe. Zito Kabwe

na matishari. Mheshimiwa huyo, wakati ule Ndugu, uheshimiwa ulikuwa bado, akakazia hoja yake kwa kujiamini na kwa kupaza sauti zaidi, “hata kama siijui hiyo matishari, lakini nasema Wananchi wa Urambo nao wana shida ya matishari.” Hizo zilikuwa zile zama Bunge likiwa Karimjee Hall Spika akiwa Chifu Adam Sapi Mkwawa.

Sasa labda tujiulize, sisi tulipoingia katika vyama vingi, tuliingia na agenda gani. Je, tulikuwa tukivihitaji vyama? Au ni mbunge wa Urambo kutaka tishari kwa vile wa Unguja anataka! Kama si mambo ya Mbunge wa Urambo kutaka matishari, vipi Waislamu wa Kigamboni wamnyime kura KK aliyetetea agenda za Waislamu Bungeni wakampe Frank! Inaweza kujengwa hoja kuwa ilikuwa siasa za vyama kuwa ilikuwa ni suala la CCM vs CUF na ikawa CUF ndiyo yenye nguvu. Hiyo si kweli. Kama ingekuwa hoja ndiyo hiyo, huko Tunduru, Pwani na Kusini yote mpaka Tanga, CUF isingekosa wabunge. Wa i s l a m u w a l i o C U F walimnyima kura KK kwa sababu waliingia CUF bila ya agenda zaidi ya kutaka tishari. Katika hali hiyo, wakawarahisishia kazi yao wale walioingia katika vyama na agenda ambao kwao hoja

sio chama gani unaingia nacho Bungeni, bali muhimu ni kusimamia agenda ya Kanisa. Na hapana shaka ndio hao hao ambao pamoja na kuipa CUF ubunge K i g a mb on i n a Bu k o b a Mjini, walihakikisha kuwa haipati Jimbo jingine Bara hata pale ambapo ilikuwa wazi kwamba ni ngome ya Ngangari.

Kama tutakumbuka vizuri, tarehe 10 Februari, 2012 siku ya Ijumaa, ndiyo siku Bunge lilipokuwa linafungwa likisubiri kikao cha Aprili. Ilifika muda wa Khatibu kupanda katika Mimbar kuanza Khutba ya Ijumaa, alisimama Spika Mheshimiwa Anne Makinda na kutoa hoja. Katika maelezo yake Spika alisema kuwa, kwa kuwa siku hiyo ndiyo ilikuwa ya kufunga Bunge na kwa kuwa bado kulikuwa na mambo mengi ya kujadili, anaongeza muda wa majadilinao kwa nusu saa (dakika 30) kabla ya kwenda mapumziko. Wakati anatoa maelezo hayo ilikuwa saa 6 na dakika 50. Akiongeza dakika 30 ni kuwa Bunge litaendelea mpaka saa 7 na dakika 20. Khutba ya Ijumaa ishamalizika ni Iqama inasimama swala ya Aljumaa.

Akisimulia jambo hili katika moja ya mawaidha yake, Sheikh Ilunga Hassan Kapungu anasema kuwa

a l i chokuwa ametara j ia ni kuwa wabunge vijana machachari kama Zitto Zuberi Kabwe angesimama na kutaka mwongozo wa Spika. Kwamba, Mheshimiwa Spika, huu ni muda wa swala ya Al Jumaa na wewe unaongeza muda hadi saa 7 na dakika 20, nini mwongozo wako juu ya haki ya Wabunge Waislamu kwenda kuswali na Haki yao kushiriki mjadala Bungeni katika dakika hizi 30 ulizoongeza. Lakini wapi. Akakuta kumbe ujasiri wa Zi�o ni kutoa tu Hoja binafsi ndeeefu juu ya mashamba ya mkonge na kuchachamaa katika kusimamia fedha za mashirika ya umma.

Ilunga anasema akadhani huenda Uislamu wa wabunge wa Bara labda mwepesi, lakini Hamad Rashid na wenzake kutoka Unguja na Pemba, hawatakubali. Watasimama kuomba mwongozo wa Spika, bunge lisimame Wabunge Waislamu wakawahi Ijumaa. Wapi, wote kimyaa!

Sasa labda tujiulize, wapi Katiba ya Nchi, hii iliyopo hivi sasa, inamlazimisha Mbunge Muislamu kushiriki kikao wakati Imam yupo katika Mimbar siku ya Ijumaa? Kifungu gani katika Katiba ya Nchi kinampa ruhusa, nguvu na ujasiri Spika wa Bunge Anne Makinda apuuzilie kwa mbali uhuru na haki ya wabunge Waislamu ya kwenda kuswali?

Hiyo ‘Home Work’ ya pili, Waislamu turudi Diamond Jubilee, na Jukwaa letu la Katiba, tukajadili.

Hivi tunavyochakarika na kutaka Katiba Mpya tukidhani (tukijidanganya) kuwa ndiyo itatupa OIC, M a h a k a m a ya K a d h i , Mapumziko Ijumaa, kuondoa ubaguzi katika elimu na ajira; serikali inaendelea kutoa mabilioni ya shilingi kuzipa taasisi za Kikristo kupitia ile MoU. Badala ya serikali kujenga, kuboresha na kuimarisha hospitali zake za Wilaya, Mikoa na zile za rufaa, inachukua fedha za walipa kodi na kuzipa taasisi za Kikristo. Lakini zaidi ya hivyo kwa mujibu wa MoU, serikali huwajibika pia kuwatafutia Wakristo wafadhili na kuwapa nafasi za upendeleo vijana wa Kikristo katika nafasi za masomo katika vyuo vya serikali.

Wa p i k a t i k a K a t i b a hii iliyopo inatoa ruhusa k wa s e r i k a l i k wa m b a ikishakusanya kodi kutoka kwa Waislamu na Wakristo, ikae pembeni na Wakristo pekee na kuwapa fungu la

kuendesha shule na hospitali zao! Wapi Katiba hii inatoa maelekezo kwamba, serikali yetu iwe na makubaliano na Wakristo mithili ya zile “Concordats” za Vatican na Mussolin pamoja na Adolf Hitler?

Hili ni swali jingine ambalo pengine tumwombe Sheikh Khamisi Mataka na Masheikh wake aliowakutanisha pale Hoteli ya Lamada na watoa mada Profesa Safari na Dr. Mvungi, watufafanulie. Hoja ni kwamba Katiba hii iliyopo ina kifungu ambacho kinasema ni Marufuku mtu yeyote kubaguliwa (au kupewa upendeleo) kwa sababu ya dini yake, rangi, kabila, na mahali anapotoka, l a k i n i b a d o Wa i s l a m u wanabaguliwa huku Wakristo wakipendelewa kama ilivyo katika hii MoU. Kitu gani kinawapa Waislamu tamaa kwamba hiyo Katiba Mpya itawapa haki na kuwaondolea matatizo yao?

Katika Ilani ya CCM ya mwaka 2005, CCM waliahidi kuwa wakirejea madarakani watashughulikia suala la Mahakama ya Kadhi. Swali ni je, baada ya CCM kushinda, kuna mahali popote ilitaja tena jambo hilo? Na Waislamu walipohoji CCM ilijibu nini?

Hoja hapa sio Ilani inasema nini kama ambavyo hoja sio tu Katiba Mpya au Katiba ya Zamani, lakini muhimu pia ni nani anasimamia Katiba hiyo? Nani ana mamlaka ya kusimamia hiyo Katiba? Nani ameshikilia mpini? Nani ana mamlaka ya kusema lipi lifanyike na lipi marufuku?

Katika suala la OIC, baada ya kutumia fedha nyingi za walipa kodi kuchunguza na kutafiti uzuri na ubaya wa kujiunga na taasisi hiyo ya Kiislamu ya kimataifa, serikali kupitia Waziri wake wa Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mheshimiwa Bernard Membe alitoa taarifa akisema kuwa serikali imeona jambo hilo halina tatizo ila manufaa, hivyo (itajiunga).

Kauli hiyo Mheshimiwa Membe hakuitoa barabarani, kijiweni, maskani au katika porojo katika vilabu vya ulevi (kwenye baa). Aliongelea Bungeni. Kwa hiyo ni kauli rasmi ya serikali.

Nini kilifuata! Aliitwa na Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Muadhama Polycarp Kardinali Pengo na kuambiwa OIC marufuku Tanzania. Sasa ukitaka kugombana na Mheshimiwa Membe, nenda kamuulize habari za OIC.

Tunataka Masheikh wetu akina Mohammed Issa ambao pengine baadhi yao hivi sasa wanapigana vikumbo kutaka kuingia katika ile Tu m e i t a k a y o t e u l i w a n a M h e s h i m i wa R a i s ,

Inaendelea Uk. 7

Page 7: Zanzibar Yetu - Tarehe za safari ni 8 na 10 Oktoba, 2012 na ......ISSN 0856 - 3861 Na. 1004 RABBIUL THAN 1433, IJUMAA MACHI 23-29, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu

7RABBIUL THAN 1433, IJUMAA MACHI 23 - 29, 2012 AN-NUURMakala

Matatizo ya Waislamu nchini sio ya kikatibaInatoka Uk. 6watuambie, wapi Katiba hii ya sasa inasema ruhusa Tanzania kuwa na Ubalozi wa Vatican lakini marufuku kujiunga na Taasisi za Kimataifa za Kiislamu (kama OIC)? Kifungu gani katika Katiba hii tuliyo nayo kinasema kuwa Askofu Mkuu atakuwa ndiye mwenye kauli ya mwisho juu ya masuala mbalimbali ya serikali. Kifungu gani cha Katiba tuliyo nayo kinampa mamlaka Kadinali Pengo kutengua maamuzi ya serikali? Sheria gani na kanuni gani katika taratibu, sheria na maadili ya utumishi wa Umma, yanampa maelekezo M t u m i s h i wa S e r i k a l i kwamba pamoja na sheria na taratibu za kiserikali, lakini azingatie Askofu anasema nini na kwamba inapotokea m s i m a m o wa s e r i k a l i unapingana na wa Askofu, basi atupilie kwa mbali wa serikali ashike wa Askofu.

Labda nisirefushe sana. Niseme kuwa hoja hapa sio Waislamu wasishiriki mchakato wa mabadiliko ya Katiba. Washiriki. Lakini ipo dhana potofu inajengeka kuwa Katiba Mpya ndiyo i t a o n d o a m a t a t i z o ya Waislamu. Itawapa OIC, Mahakama ya Kadhi, kufuta MoU n.k. Sio kweli. Matatizo ya Waislamu katika nchi hii ni makubwa na mazito. Si ya kutatuliwa na Katiba kwa sababu hayakusababishwa na Katiba.

Wale Wais lamu pale B u n g e n i , wa l i s h i n d wa kuomba mwongozo wa Spika kuhusu swala ya Ijumaa kwa sababu, waliingia Bungeni bila ya Uislamu wakati Katiba iliyopo inawaambia kwamba wana uhuru wa kuabudu.

Walitupa Uislamu ndio wakaingia Bungeni kinyume na matakwa ya Katiba.

Spika Anne Makinda, hakuona vibaya kuwanyima Waislamu haki yao ya kwenda kuswali, kwa sababu aliingia Bungeni na Ukristo wake. Hakujali kwamba Katiba na Sheria za nchi zinazosimamia Bunge na kiti chake cha Uspika zinamkataza kuwanyima Wabunge haki yao ya kwenda kuswali Ijumaa.

Hii yote ni kutokana na sababu kwamba wakati Waislamu wakiimba, Eeh TANU yajenga nchi, TANU aah, huku wakimshambulia Mzee Suleiman Takadiri kwa kumtuhumu Mwalimu Nyerere kwamba ataleta udini, Wakristo waliingia TANU na Ukristo wao. Wakati Waislamu wakiuza kadi za TANU Misikitini, lakini wakishiriki siasa bila Uislamu, Nyerere alikuwa akipeleka salamu kwa Baba Askofu Kardinali Rugambwa kumhakikishia kwamba yeye ni Mkatoliki safi, hatalisaliti kanisa lake na kwamba atafanya ki la awezalo , kuhakikisha kuwa Kanisa Katoliki linakuwa na nguvu Tanzania.

Nyerere aliingia TANU na Ukatoliki wake. Nyerere aliongoza CCM na kukaa Ikulu na Ukatoliki wake. Ukisoma kitabu cha Padiri John Sivalon na kile cha Profesa Njozi, “Muslim and State in Tanzania”, jambo moja lipo wazi. Kila Mkristo aliyepo serikalini, kaingia na Ukristo wake. Lakini kubwa zaidi, Kanisa kwanza, serikali

baadae. Kanisa kwanza, CCM, CHADEMA baadae. Kanisa kwanza Tanzania baadae.

Sasa njoo upande wa Wa i s l a m u . M u i s l a m u akishaingia katika siasa na hasa akipata cheo katika Chama na serikali, dini h u w e k a p e m b e n i . N a ukimjia na jambo la Kiislamu a n a o n a k a m a u n a t a k a k u m u h a r i b i a . Wa k a t i Mawaziri wenzao, Makatibu Wakuu, Wakurugenzi na Wakuu wa Mikoa wenzao, ni Walei, Wazee wa Kanisa na Mawakala wa Kanisa ndani ya serikali; wao wapo mbali na Waislamu wenzao wakibaki kuwalaumu kwamba hawana mipango.

M k u u wa M k o a wa Mtwara Kanali Mstaafu Joseph Simbakalia amepewa Nishani na Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani, Baba Mtakatifu Benedikto wa 16. Nishani hiyo ni kwa kutambua mchango wake na utumishi wake kwa Kanisa Katoliki wakati akiwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma.

Sasa maadhali tutaendelea kuwa na akina Joseph serikalini na COBA wengine, huku kwa upande mwingine wanaowakilisha Waislamu serikalini ni sampuli ya akina Makamba walioitikia na kutii maelekezo ya Paroko Lwambano, ije Katiba Mpya na nzuri itakavyokuwa, dhiki na taabu ya Waislamu itakuwa pale pale.

S wa l i l a we z a k u wa , tutawapataje Waislamu wa kupigana vibega na akina ‘Joseph’ serikalini, Bungeni

na katika vyama vya siasa? Jibu jepesi na la kweli, ni kujiuliza, Wakristo waliwapataje akina Anne Makinda?

Kila Muislamu hivi sasa ni mwanaharakati. N i M w a n a d a ’ w a h . Ni Mujahidina. Lakini w a n a h a r a k a t i s i s i tungependa sana kuona ghafla tunakuwa Omar Mukhtar tukipambana na Wataliano. Tunaona fahari tukiangalia filamu y a O m a r M u k h t a r n a k u t a m a n i k u o n a wanaharakati sisi tukiwa na akina Omar Mukhtar mitaani, serikalini na katika CCM na Chadema. Lakini kabla ya Omar Mukhtar kuingia katika uwanja wa mapambano na Wataliano, anaonyeshwa akiwa katika darasa za vibarazani akisomesha na kulea watoto. Akiwapa Tawheed, mtizamo na kuwajenga kuwa Waislamu kwanza kabla ya kuwa Walibya.

S i s i h i i k a z i t u n a i o n a n g u m u . Tunaona tunachelewa. Tunawasubiri akina Kabwe wakishaingia Bungeni, ndio tuwatarajie wapiganie agenda za Waislamu.

Pamoja na agenda za majukwani na Diamond J u b i l e e , t u j u e k u wa Program za kila siku za kuwaendea Waislamu

m i t a a n i , v i j i j i n i n a katika taasisi za elimu kuwaelimisha, kuwalea na kuwajenga wajitambue na watambue wajibu wao, ndipo ilipo nusura yetu. Kama ni kuingia Chadema, Bungeni, vijana waingie na Uislamu wao. Wakiwa katika biashara au katika ajira serikalini na katika taasisi binafsi, Waislamu waingine na Uislamu wao.

Lakini pia tuzingatie kuwa muhimu kwetu kwa sasa hivi ni kupambana na mfumokristo. Ije Katiba yoyote i takayokuwa, maadhali msimamizi wa Katiba hiyo a takuwa mfumokr is to , hatuendi kokote. Ila tujue kwamba tatizo halipo tu kwa waheshimiwa Wabunge na Mawaziri Waislamu. Hata kwa sisi Waislamu mitaani na tunaoji i ta Waislamu wanaharakati. Tunapanda mabasi tupo kimyaa watu wa miziki ya Injili wakitamba katika video vilivyo katika mabasi ya kwenda Arusha, Moshi, Mwanza, Mbeya, Dodoma n.k. Mbona hatusemi zifungwe au iwekwe na Qur’an au kanda za Maalim Bassaleh na Kishki? Kukaa kwetu kimya tuna tofauti gani na wale waheshimiwa wabunge walioshindwa kumwambia Spika kuwa wakati wa swala ya Ijumaa umefika?

Kwa hali hii, tutashiriki s i asa za vyama v ing i , tutashiriki katika mchakato wa katiba mpya; lakini mwisho wa yote tutaishia katika ule msemo wa vijana, “hata ukinawa huli.”

KILA sifa njema ni za M w e n y e z i M u n g u n a rehema na amani zimfikie mbora wa mitume bwana wetu Muhammad na kwa jamaa zake na Masahaba zake wote .

Ama baada ya utangulizi huu. Hakika dini ya Kiislamu ni Dini nyepesi na upole. Basi wepesi ni alama ya Uislamu na ujumbe wake nao ni wepesi wake katika lazima zake, nyepesi katika

Na Sheikh Waheed Mansur

Wepesi ni alama ya UislamuIbada, nyepesi katika kuishi na viumbe wengine na kushirikiana.

Ameonyesha Mwenyezi Mungu Mtukufu katika kitabu chake juu ya uhakika wa mambo hayo, akasema, “na hakuwawekeeni katika dini ugumu”, yaani uzito na amesema “ anataka Mwenyezi Mungu, kwenu wepesi na wala hataki uzito” na amesema vile vile“ halazimishi Mwenyezi Mungu nafsi isipokuwa lile linaloweza Nafsi” na Mtume (SAW) amebainisha hayo vile vile akasema “Hakika dini ni nyepesi, na hakuna atakayet ia ugumu dini yeyote ila itamshinda, basi zibeni mianya na karibieni n a p e a n e n i b i a s h a r a , saidianeni, asubuhi na jioni na kipande cha usiku” na hivyo ameamrisha Masahaba zake kuwepesisha , akasema “ wepesisheni na wala msitie uzito na wabashirieni na wala msiwafukuze” na pale alipowatuma Bwana Muadhi

bini Jabali (wepesisheni na wala msitie uzito na wapeni maneno mazuri na wala msiwafukuzishe katika dini hii).

Alikuwa Mtume hapewi kuchagua kati ya mambo mawili, isipokuwa kuchagua lililo jepesi zaidi, ikiwa halina makosa na likiwa na makosa anakuwa mbali nalo jambo hilo kuliko watu wote.

Vielelezo vya uwepesi na Uislamu katika Ibada:-Kwanza: SWALA, Hakika swala ni Ibada bora na tukufu. Na tunaona wazi juu ya wepesi wake Sahaba Mkubwa Mtukufu Kaabu Bin Ajrati pale aliposhitaki kwa Mtume juu ya ugonjwa wake mtume akasema, “Swali wima, ikiwa huwezi swali umelala na kama utashindwa basi swali umelala ubavu. Na vilevile katika kukusanya na kupunguza swala ukiwa safarini na unapoumwa n a m v u a n a s e h e m u nyinginezo.

Pili: FUNGA, Ameruhusu

Mwenyezi Mungu kula m c h a n a k wa m g o n j wa n a m s a f i r i , a k a s e m a “atakapokuwa miongoni mwenu mgonjwa au yupo safarini na ale atalipa pale atakapo pona na kufika safari” na hivyo hivyo, mwenye mimba na anayenyonyesha na kikongwe (mzee) na wale wanaofanya kazi nzito. Hii yote inaonyesha juu ya wepesi wa Dini hii na baada ya hapo anasema, Mwenyesi Mungu, “anataka Mwenyezi Mungu wepesi kwenu na wala hawatakii uzito.

Tatu: KATIKA ZAKA, Zaka ni nguzo katika nguzo tano za Kiislamu, lakini haikulazimishwa isipokuwa ni kwa matajiri ambao, wanaomiliki kiwango cha kutolea zaka na ameamrishwa Mtume kuchukua zaka za wastani na sio zile nyingi kama alivyomuusia hayo Bwana Muadhi, Akasema “ Jitahadhari na mali zao zilizo bora.

Nne: HIJA, Na hija ni

Ibada ya mali na mwili. Amelazimisha Mwenyezi Mungu Ibada hii katika umri wote mara moja tu, kwa mtu anayeweza tu, akasema “ Amewalazimisha Mwenyezi Mungu watu kwenda kuhiji katika nyumba Kongwe kwa mwenye kuweza tena kwa njia zake”. Na huu ndio utukufu wa sheria za Kiislamu na vile vile utukufu wa Uislamu unajitokeza na kuonekana katika kuishi vizuri. Kwani Uislamu unahimiza juu ya upole , uwepesi, ulaini, pale aliposema Mtume (SAW) “ Amrehemu Mwenyezi Mungu mtu ambaye akiuza husamehe na anaponunua husamehe na anapokopesha husamehe.

AGIZO: Dini ya Kiislamu ni dini ya uwepesi, lakini sio maana ya kuzembea katika kila kitu, Hapana, bali ina makali yake katika Adhabu ili kudhibiti jamii katika kufanya makosa ambayo yanazusha mianya na kuchanguka kwa jamii. Akaanza Mtume (SAW) kulibainisha hilo pale aliposema “Lau kama Fatuma Bint Muhammada, ameiba, basi angekatwa mkono wake” Ewe Mwenyezi Mungu, tupe Elimu ya Dini – Amani.

Page 8: Zanzibar Yetu - Tarehe za safari ni 8 na 10 Oktoba, 2012 na ......ISSN 0856 - 3861 Na. 1004 RABBIUL THAN 1433, IJUMAA MACHI 23-29, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu

8 AN-NUUR RABBIUL THAN 1433, IJUMAA MACHI 23 - 29, 2012 Makala

Inaendelea Uk. 9

KWA muda wa siku tatu mfululizo, habari za kimataifa za vyombo vya habari nchini zilikuwa zimepambwa na habari y a k u k a m a t w a k w a aliyekuwa Mkuu wa Idara ya Usalama wa Libya Abdallah al-Senussi. Habari hizo zilihusu kukamatwa kwake huko Mourtania na ule wito kutoka kwa serikali ya mpito ya Libya pamoja na nchi za Ulaya kwamba Senussi afikishwe katika Mahkama ya Kimataifa ya Uhalifu, ICC. Madai ni kuwa Abdallah al-Senussi alihusika kuamru kuuliwa kwa watu waliokuwa wakiandamana kupinga utawala wa Kiongozi wa Libya Kannal Muammar Gadhafi.

Kukamatwa kwa kachero huyo kumeshabikiwa sana na kupigiwa chapuo na Rais wa Ufaransa Nicholas Sarkozy ambaye alikuwa mstari wa mbele katika k u i s h a m b u l i a L i b ya mpaka kuuliwa Gadhafi.K a d i r i h a b a r i h i z o zilivyopambwa na kwa kadiri mtu ukipima kauli za akina Sarkozy, Obama na akina Ocampo na Hillary Clinton, unapata picha kuwa kachero huyo wa Libya alikuwa mtu muovu pengine kuliko mtu yeyote katika dunia ya leo. Lakini kwa upande mwingine, ni kana kwamba unaambiwa kuwa kama wapo watu wastaarabu, watetezi wa haki, watetezi wa watu, watenda haki, basi ni hawa akina Obama, Sarkozy na Cameron. Kama lipo la ziada, unachoambiwa ni kuwa hawa akina José Luis Moreno Ocampo na Mahakama yao ya ICC, ni watenda haki, wasimamia h a k i , m a h a k a m a ya uadi l i fu , was imamia haki ya wadhulumiwa na kiboko ya wauwaji na wahalifu!

Lakini wakati linaibuka suala hili la kukamatwa Abdal lah a l -Senuss i , kulikuwa na kadhia ya mauwaji ya kikatili na kinyama yaliyofanywa na askari wa Marekani kule Kandahar. Katika tukio moja askari wa Marekani walivamia vijiji wakauwa wanawake na watoto wapatao 16 na kufanya ubakaj i nyumba kwa nyumba kabla ya kufanya mauwaji hayo. Kwa mujibu wa taarifa za maofisa wa serikali ya Afghanistan zilizonukuliwa na vyombo vya habari, Machi 11 mwaka huu 2012 askari

Na Omar Msangi Ubakaji na mauwajiNani atawahukumu wauwaji hawaJaji Mkuu Chande aepuka balaa

wa Marekani wapatao 20 walivamia vijiji vitatu Kandahar na kufanya ubakaji kabla ya kupita nyumba kwa nyumba wa k i f a n ya m a u wa j i . Kufuatia mauwaji hayo, R a i s H a m i d K a r z a i ameiomba serikali ya Marekani kuhakikisha k u w a a s k a r i w a k e wanabakia katika kambi zao za ki jeshi na sio kuzurura mitaani na vijijini.

Kwa upande wake ser ikal i ya Marekani imesema kuwa aliyehusika na mauwaj i hayo n i askari mmoja tu na tayari ishamuondoa Afghanistan. Hata hivyo taarifa ya uchunguzi iliyofanywa na Bunge la Afghanistan inasema kuwa haiwezekani m a u wa j i h a yo ya we yamefanywa na askari mmoja kwani yalifanyika katika vijiji tofauti na kwa wakati mmoja. Watu waliohojiwa wanaeleza kuona askari wa Marekani wakishushwa kutoka helkopta katika vijiji hivyo na ndipo ukafuatia ubakaji na mauwaji.

Mauwaji kama haya si ya kwanza kufanywa na askari wa Marekani. Mamia kwa maelfu ya raia, wanawake na watoto wasio na hatia wameuliwa kwa mtindo huu katika Afghanistan na Pakistan ukiacha wale wanaouliwa kwa drone. Hata hivyo h u t a w a s i k i a a k i n a Sarkozy na Ocampo wao wakizungumzia uhalifu

wa kivita wala hatia ya mauwaji kwa askari hao wa Marekani na maofisa wao.

Akizungumzia mauwaji haya ya Kandahar ya Machi 11, mwandishi M A Niaz katika makala yake, “Washington’s dirty li�le secret is out! The Kandahar Massacre”, anasema:

“These killings, My Lai, Haditha, Kandahar, all took place under occupation, and indicate the nature of American occupation: It is not just neo-colonial, but it is staffed by violent people.”

M wa n d i s h i k a t i k a makala yake anaonyesha kuwa mchezo huu wa Marekani ni wa miaka mingi toka kule Vietnam a m b a p o s e r i k a l i ya M a r e k a n i i m e k u w a ik i fanya mauwaj i ya watu wasio na hatia kwa namna ya kikatili kabisa kama ilivyokuwa pale My Lai ambapo askari wa Marekani kabla ya kuuwa wa l i b a k a wa n a wa k e na wasichana wadogo kisha baada ya kuuwa wakawa wanazikatakata na kuziharibu mait i . Lakini kabla ya My Lai, waliangamiza halaiki ya watu, wanyama na mimea kwa kuwamiminia sumu kutoka angani kwa helkopta.

Hiyo ndiyo Marekani toka My Lai, Vitenam mpaka leo mchezo wake ni huo huo kuuwa watu wasio na hat i lakini hutasikia habari ya uhalifu wa kivita wala uhalifu na ukatili dhidi ya binadamu u k i t a j wa i n a p o h u s u askari na maofisa wa serikali ya Marekani. Mtu unaweza kumuuliza José Luis Moreno Ocampo, kama kuvamia wanakijiji n a k u f a n ya u b a k a j i k i s h a k u u wa , k a m a walivyofanya askari hawa wa Marekani, sio uhalifu dhidi ya binadamu, nini maana basi ya msemo huu? Au unategemea nani kauwa na nani kauliwa?

Kinachomwandama Senussi ni jinamizi lile lile linalomtafuna Rais Bashar Al Assad hivi leo. Maadhali mabeberu walishafikia maamuzi ya kumng’oa m a d a r a k a n i K a n a l Muammar Gadhafi, kila sababu na kila kisingizio k i l i t a f u t wa k u j e n g a

hoja. Mbinu ya kwanza ni kumtangazia uhalifu dhidi ya binadamu yeye na kila anayemzunguka. Hilo likishatimia inakuja hoja ya kuwanusuru ‘binadamu’ kwa kuweka “No Fly Zone”, kusaidia waasi kwa silaha na fedha na kuichagiza ICC iwakamate wasiotakiwa.

Tu k i a c h a t u h u m a zinazodaiwa za huko nyuma, lakini kama kuna ambalo Senussi na serikali ya Libya walifanya ni lile lile ambalo lingefanywa na serikali yoyote duniani. Kukabiliana kwa silaha na waasi wenye silaha. Taarifa rasmi za kiutafiti z i n a o n y e s h a k u w a waasi hawa waliokuwa wa k i p e wa s i l a h a n a Marekani na nchi za Ulaya, wameuwa na kutesa wananchi wengi katika kipindi cha mapambano kuliko waliouliwa na jeshi la Libya. Lakini nchi za Marekani, Uingereza na Ufaransa ambazo kwa pamoja chini ya NATO zilikuwa zikiishambulia Libya, wameuwa watu wengi zaidi na kufanya uharibifu mkubwa kuliko uliofanywa na majeshi ya serikali na yale ya waasi.

W a n a c h o t u a m b i a akina Obama, Sakorzy na Ocampo ni kwamba wanawalilia wale watu waliouliwa wakati serikali ya Muammar Gadhafi ikipambana na waasi. Labda swali ni je, wale watu zaidi ya 30,000 waliouliwa na majeshi ya NATO wakishirikiana na waasi, nani atawalilia? Je, Walibya wenye haki ya kuliliwa ni wale tu waliouliwa na ‘Gadhafi na Senussi? Hawa wal ioul iwa na NATO je, wao si watu? Au ndiyo ile bei ya kumng’oa Gadhaffi? Ni “collateral damage” ya kung’oa kisiki kinachokwaza uporaji wa mafuta katika visima vya mafuta vya Libya.

Kama ni l ivyosema, yaliyotokea Libya ndio yanafanyika Syria hivi sasa. Nchi za Marekani na baadhi ya wanachama wa NATO katika Ulaya wanawapa s i laha na kila msaada waasi na magaidi ili wapambane kung’oa utawala wa Rais Bashar Al Assad. Waasi hawa wanauwa askari,

wanajeshi, raia na kulipua madaraja, ofisi na mabomba ya mafuta. Serikali inajibu mapigo. Lakini hutasikia ‘wastaarabu’ hawa wa NATO na Ocampo wa ICC wakizungumzia uhalifu na mauwaji yanayofanywa na makundi ya waasi wenye silaha. Anayesakwa na kuandamwa ni Rais Assad.

Labda turudi tena katika lile tukio la Kandahari. Baadhi ya vyombo vya habari vikinukuu habari za uchunguzi vinasema kuwa askari wa Marekani walikuwa wakimuuwa kila mwanamke wanayemaliza kumbaka na katika baadhi ya vijiji walichoma maiti za wanawake hao.

“The Afghan probe team said US soldiers systematically went from house to house in two villages, raped two women before murdering them, and at least 14 others. Some victim bodies were then set ablaze.” Liliripoti gazeti moja la India la Machi 18.

Kat ika mauwaj i ya Fallujah watoto wadogo w a l i k u s a n y w a n a kushuhudia wazazi wao wakipigwa risasi, mume akashikiwa mtutu atizame mkewe na mabinti zake wakibakwa, maelfu ya watu waliuliwa, fedha na vitu vya ndani vikaporwa. Nyumba zaidi ya 26,000 ziliharibiwa na Misikiti 70 na shule 50 zikavunjwa. M i t a m b o y a m a j i ikalipuliwa na kuharibiwa watu wakakosa maji , majeruhi waliokimbilia M i s i k i t i n i k u n u s u r u maisha yao walifuatwa huko huko na kupigwa r i sas i , chakula , maj i na madawa vikazuiwa kuingia mjini.

Tafiti za wataalamu mbalimbali zinaonyesha kuwa askari wa Marekani wamekuwa wakifanya v i t e ndo vya u b ak a j i na ulawiti kuwafanyia wanawake kwa wanaume wa Afghanistan na Iraq, kuanzia wafungwa mpaka raia mitaani. Kwa bahati mbaya, kama ilivyowahi kuripotiwa na gazeti la Daily Telegraph (Mei 2009) la Uingereza likimnukuu Generali Mstaafu Antonio Taguba akisema kuwa serikali ya Obama imekuwa ikifumbia macho uhalifu huo utadhani askari wa Marekani hiyo ni moja ya mafunzo yao kwamba lazima wabake na kuuwa raia.

“Victims are helpless targets, including young girls and boys sodomized with phosphorescent tubes, c lubs , wire , and other

Hillary Clinton

Page 9: Zanzibar Yetu - Tarehe za safari ni 8 na 10 Oktoba, 2012 na ......ISSN 0856 - 3861 Na. 1004 RABBIUL THAN 1433, IJUMAA MACHI 23-29, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu

9RABBIUL THAN 1433, IJUMAA MACHI 23 - 29, 2012 AN-NUURTangazo/Makala

Inatoka Uk. 8implements to inflict pain. Instead of holding those responsible accountable, Obama suppressed their crimes. As a result, they continue. The latest Afghan victims represent a drop in the ocean. International and US law principles are ignored. Atrocities follow others repeatedly.

“Wars ref lect more than hell. They manifest generations of condoned US barbarity. It’s been institutionalized to permit wanton rape , sodomy, torture, sadism, murder, and virtually all other imaginable atrocities with impunity.”

Anaeleza mwandishi Stephen Lendman wa Chicago katika makala yake, “Rape and Murder in Afghanistan” aliyoitoa

Machi 19, 2012. Ufupi wa m a n e n o S t e p h e n anasema kuwa tukio hili la kubakwa na kisha kuuliwa wanawake Kandahar, ni kama tone la maji katika bahari kwani uhalifu wanaofanya askari wa Marekani ni mkubwa mno na wa kutisha. Amesema wahanga wakubwa ni mabinti na vijana wa kiume ambao hubakwa na kulawitiwa kisha kuuliwa. Au wakati mwingine kufanyiwa unyama tu kwa ‘kusukumizwa’ marungu, chupa, waya na vi tu mbalimbali katika tupu zao za mbele na nyuma.

Akimalizia makala yake Stephen anasema kuwa kinachosikitisha ni kuwa

si sheria za Marekani wala za kimataifa (ikiwemo hiyo ICC) ambazo zinajali kuwashughulikia wahalifu hawa wa kimatifa. Matokeo yake ni kuwa kila uchao watakuwa wakiendeleza ukatili na uhalifu huu.

S a s a h i i n d i y o Mahakama ya ICC ambayo tuliwahi kuambiwa kuwa huenda Jaji Mkuu wetu Mheshimiwa Jaji Mohamed Chande Othman angekuwa mmoja wa watu ambao wa n g e s h i n d a n i s h wa k u t e u l i w a m t u atakayemrithi Ocampo. Pamoja na kuwa kuna baadhi ya watu waliona kuwa hiyo ingekuwa heshma kwa Tanzania, lakini mimi naona kushika

nafasi hiyo ni kujitafutia balaa na laana. Kwanza ni fedheha kwa sababu inavyoonekana unatumika tu kama kibaraka au kujibwa cha kuelekezwa nani wa kumbwekea na ikibidi kumng’ata. Wengine hata wakiuwa mamia kwa maelfu ya wanawake na watoto wa shule kama Marekani inavyoendelea kuuwa kwa ndege zake za kijasusi kule Pakistan, Afghanistan, Yemen na Somal ia , huruhusiwi ‘kubweka.’

Sasa hiyo sio heshma kwa Jaji wala kwa taifa lake. Ni utumishi wa kutumikia watu wanaofanya ufisadi katika ardhi kwa kumwaga damu. Ni ukibaraka na kujidhalilisha.

NA. JINA LA MWANAFUNZI MCHEPUOWASICHANA

1 AISHA A. MOH’D PCB2 AISHA OMAR MILALI PCM3 AMINA KHAMIS HKA4 AMRIYA A. MOHAMED HGL5 ARAFA MARSAL ECA6 ASHA HASSAN OMAR HGL7 ASHA JAHA CBG8 ASIA SAID MWINYIWIWA HKL9 ASYA MOHAMME ABDULLAH PCB

10 AYSHA SALEH MOHAMED CBG11 FAIZA SAID RAMADHAN CBG12 FARIDOSA A. HASSAN EGM13 HABIBA GODA HGE14 JASMINE A. ABDUSALUM HKL15 JOHARI MUSTAPAH KAOMBWE HKL16 MARYAM OMAR SADICK HGL17 MARYM SEIFDIN PCB18 MARYAM SALUM ISSA PCB19 NASRA A. NJAU HKL20 NASRA A. SHABANI HGK21 NEEMA Y. MBAGO HGL22 NUSRA M. BYARUSHENGO HGE23 PILI SALUM PEMBE HGK24 RABIA ABDALLAH SAID PCB25 RABIA OMAR SAID PCM26 RAMLA HAIBE MOHAMED HGE27 RAYA YUSUF MASOUD PCM28 REHEMA SHABANI ALLY HGE29 ROSE SHAYO HKL30 SABRINA HASSANI HGE31 SADA AHMED RASHID HKL32 SAFINA H. MSEMO HGE33 SALAMA M. CHANZI ECA34 SHARIF SULTANI MALELA PCM35 SHARIFA W. FARAJI HKL36 SITTI ISMAIL BANDAR HGL37 ZAITUNI IDD SAID HKL38 ZIADA JUMA MASOUD HGK39 ZAMDA HAMID KALIMA HKL40 SHUFAA H. HUSSEIN HGL41 NASRA TWALIB HKL42 FATMA HUSSEN EGM

UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOLWanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano, 2012/2013 WAVULANA

43 ABBAS SWALEH MTWAGURA PCB44 ABDLRAZAQ ADAM HUSSEIN ECA45 ABDULAZIZ TWAHA SULEIMAN ECA46 AHMED J. SELEMAN HGK47 ALLY HAROUB ALLY PCM48 AMIR MFAUME HGL49 ASAD BASHIRU AHMED ECA50 ASHAM M. NGANOGELA HGL51 ATHMANI SINGA ECA52 BADI S. BADI CBG53 BURHANI ADAM KIPWATA HKL54 FAISAL MOHAMED JUMA ECA55 HARID HAMIS MSESE HKL56 HASSAN A. LUSEWA ECA57 HASSAN H. MSALLA HGL58 IDRISA FADHIL MEREVI HGL59 ISSA M. MVOGOG HKA60 ISSA S. SINGA 61 JAKSON MESHAKI HGE62 JAMAL M. SAID PCB63 KASSIM I. KANYIKA PCB64 KASSIM IBRAHIM HGL65 KASSIM YAHYA SULEIMAN KLA66 KHAMIS NURU MSANGI HGE67 LUGANO LUFUMBI MWAIPOPO PCB68 MAARUF M. MYAGA EGM69 MOHAMME H. ABDALLA CBG70 MOHAMMED JUMA AMOUR EGM71 MUDRIK KHAMIS KLA72 MUSSA J. KAJIVU HGK73 NAHID NASSOR RASHID HKL74 NASSOR S. KHAMIS PCB75 NDEKERO IMAM KADEGHE 76 OMAR HASSAN HKL77 OMAR MOHAMMED MBARAKA EGM78 PAULO E. MDEE HGK79 RAMADHAN RAJABU PCB80 RAMIYA MOHAMED A PCB81 RIFFA JAFFAR PCB82 SAMEER S. ABDUL EGM83 TAKIYU ABDULWAHABU HGK84 USSAMA MOHAMED ECA

Ubakaji na mauwaji

Fomu za maelekezo ya kujiunga na shule zinapatikana shuleni Ubungo Islamic High School.

Wabillah Tawfiiq

JAJI Mkuu, Othman Chande

Page 10: Zanzibar Yetu - Tarehe za safari ni 8 na 10 Oktoba, 2012 na ......ISSN 0856 - 3861 Na. 1004 RABBIUL THAN 1433, IJUMAA MACHI 23-29, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu

10 AN-NUUR RABBIUL THAN 1433, IJUMAA MACHI 23 - 29, 2012 Makala

Ni jambo la kawaida k w a m b a p a l e p a n a p o z u n g u m z w a umwinyi basi maana yake ni Uislamu; ama pale mtu anapoaswa asifanye USWAHILI maana yake anaonywa awe makini. Asilete upuuzi hapa pana jambo muhimu linalohitaji mtu kuwa makini. Hakika hizo sio sifa nzuri lakini zote zinahusishwa na Uislamu na Waislamu.

Makuli wengi waliokuwa wakifanya kazi bandarini siku zile za kupakuwa na kupakia meli kwa mikono, walikuwa ni watu wa Pwani wengi wao Waislamu. Bahati mbaya tu kuwa wengi wa watu wa Pwani ni Waislamu na wao ndio hakika wanaohusishwa na umwinyi kwa kiasi kikubwa sana. Kwa nini watu wa pwani wanahusishwa na tabia hiyo inataka utafiti wa k isayansi makini kabisa. Lakini kwanza ile hali ya kuwa joto sana huweza kuwachokesha upesi wale wafanyao kazi ya harubu na hivyo wakati mwingi kutumiwa kwa mapumziko. Ikiwa ni hivyo huo sio uvivu. Hali hiyo huwakumba Waislamu na wasio Waislamu.

I n a w e z e k a n a p i a Waarabu walipoingia nchi hizi wao kwa kiasi kikubwa walikuwa wanyapara tu huku wale waliokuwa wakifanya kazi za mikono walikuwa ni wenyeji. Hapa wasomaji haizungumziwi “utumwa”; ila ni ufanyakazi s h a m b a n i k a m a v i l e kuchuma karafuu au nazi na kadhalika. Kutokufanya kazi ikaonekana kama ni “uungwana”; ni “mtwana” tu ndiye anastahili kufanya kazi ya harubu. Wakati nilipotembelea Pangani takriban miaka zaidi ya kumi na tano iliyopita nilielezwa jinsi gani mtu anaunuua umwinyi mpaka akakubalika miongoni mwa wale waliomtangulia. Huyu atakuwa katika wale ambao sio alwatan ama

Na Khalid S Mtwangi

Waislamu wafanye kazi kama WachinaKujitegemea kwanza misaada baadae

amezaliwa katika ukoo wa umwinyi. Ni kama vile kule Uingereza mtu atoe pesa kuutafuta na awe kwa mfano “Lord Mtalimbo of Kasozi Nyanza” ama kitu kama hicho. Inasemekana k u w a h i l o h u t o k e a sana tu miongoni mwa matajiri wakubwa ambao hutoa michango minene minene kwa chama cha siasa hiki ama kile. Sasa kwa huku kwetu wale wanaoitwa mamwinyi ndio wale ambao nao hulewa sifa hiyo na kweli huwa hawafanyi kazi. Maisha yao huwategemea s a n a w a n a n d u g u k u wa e n d e s h e a h a yo maisha ya kimwinyi ya kutokutaka kufanya kazi. Huwa ni fakhri kubwa kwamba mtu huweza kuvaa nadhifu na kula vizuri lakini hafanyi kazi.

Nchi yeyote ile duniani haiwezi kuendelea na Wananchi wake kuwa na maisha ya nafuu ama hata mazuri bila wao wenyewe kufanya kazi na kufanya kazi hiyo kwa bidii kweli kweli kuzalisha mali. Tunaona leo jinsi gani China inavyowakosesha usingizi wale waliokuwa waki j iona kuwa wao ndio wanaimiliki dunia hii kutokana na utajiri wao. Na hawa wa-China h u f a n y a k a z i k a m a mchwa utadhani hawana muda wa kula na wala hawapumziki. Uhodari wao huo ul ionekana mara ya kwanza pale walipokuwa wakijenga Reli ya Uhuru, yaani TAZARA iendayo Zambia. Kwa hali

jinsi ilivyo ni muhimu s a n a k wa Wa i s l a m u wawe wachapa kazi kwa bidii. Kuna sababu mbili kubwa.

Kwanza maendeleo yao lazima yatokane na wao wenyewe; maendeleo haya yawe ya mtu binafsi ama ya waumini kwa jumla. Malalamiko ya kuwa kuna dhulma kwa mfano kuhusu elimu hali hiyo ingekuwa kichochezi cha mzazi kuhakikisha kuwa anapata pesa pengine za kutosha kumpeleka mtoto hata shule binafsi. Kweli gharama ya kumsomesha kijana shule za binafsi ni kubwa sana, lakini kama kijana huyo hakupata nafasi shule ya serekali, na wengi inakuwa hivyo, ni jukumu la mzazi kujaribu na kujitahidi kwa kila njia mtoto asome. Hilo linawezekana tu ikiwa mzee ama ana kibarua a u a n a j i s h u g h u l i s h a binafsi. Yote haya mawili y a t a k u w a m a g u m u sana kwa yule mwinyi asiyetaka kujishughulisha na anakuwa baraza la kahawa ni yeye na soga katika baraza la kahawa ni yeye tu. Hiyo inaweza k u w a s a b a b u m o j a kwa nini watoto wengi wanaotembeza maandazi mijini ni vijana wenye wazazi Waislamu ama y u l e m z a z i m m o j a anayefahamika, mara nyingi akiwa ni mama peke yake atakuwa ni Muislamu. Kwa sababu ya maendeleo yao na ya Uislamu ni lazima Waislamu wawe katika mstari wa mbele kufanya

kazi kutengeneza maisha ya watoto wao ambao ndio watakuwa Waislamu wa kesho.

Pili ni kule kutafuta maendeleo ya Uislamu. T u n a a m b i w a k i l a s i k u u m u h i m u w a kuhakikisha kuwa watoto wanafundishwa pamoja na dini pia yale maadili ya Kiislamu. Hii maana yake ni kwamba kuwepo MADRASA na shule (skuli) za wanafunzi na vyuo vya wakufunzi wa Kiislamu. Haya yote yana gharama kubwa sana kupatikana na gharama hiyo, kwa kiwango kikubwa sana siku hizi, lazima ibebwe na Waislamu wenyewe. Ni bahati mbaya sana kuwa Waislamu walio nje ya Tanzania na wenye uwezo mkubwa kifedha siku hizi wanamuogopa Marekani kuwasaidia Waislamu wenzao walio na hali dhaifu kifedha kama ilivyo Tanzania. Kwa wao Marekani kila Muislamu ambaye anataka kutekeleza Uislamu wake kama sheria inavyotaka, basi huyo ni adui wa Marekani na lazima apigwe vita ya kila aina. Bahati mbaya kuna nchi nyingi za Kiislamu ambazo zimesalimu amri na wamekuwa wagumu sana kuwasaidia Waislamu wenzao wanaota futa m a e n d e l e o h a s a y a Uislamu. Kujenga msikiti peke yake ambayo ndio hasa miradi ambayo wako tayari kusaidia haitoshi bila kuwa na madrasa na shule kamili. Kwa hiyo kuj i tegemea ni jambo

muhimu sana kwa Waislamu wa nchi hii. Ndugu yangu mmoja muumini wa Kanisa La Kiinjili la Kilutheri ananiambia kuwa katika kanisa anakohudhuria ibada siku za Jumapili wao huweza kuchangia mpaka shilingi milioni sita kwa siku ile moja.

I t a k u w a s i s a h i h i kuamini kuwa ni michango k a m a h i y o t u n d i y o inayowawezesha kuwa na miradi mingi na kabambe ya maendeleo. Ukweli ni kwamba wanapata misaada mingi na mikubwa kutoka kwa waumini wa makanisa yao huko nje ya nchi hasa Ulaya na Marekani. Kuwa hivyo ndivyo ilivyo niliwahi kuhakikishiwa na viongozi wa makanisa mawili tofauti na kwa nyakati tofauti. Wa k a o n g e z a k wa m b a panapokuwa na miradi mikubwa ni hawa waliotoka U l a ya a m a M a r e k a n i ndio wao wanaosimamia miradi hiyo. Wasomaji nawaomba muamini kuwa haya niliambiwa na hao viongozi nikizungumza nao mimi mwenyewe. Natia mkazo huo kwa sababu katika mkutano mmoja wa waumini wa imani mbali mbali al i tokea Askofu mmoja ambaye ubini wake ni jina la Kiislamu akilaani sana kupokea misaada ya pesa kutoka nje, akiasa kuwa kabla ya kupokea ni vizuri kujiuliza kwa nini mtu yuko tayari kutoa misaada kiasi hicho. Hakutaka kutaja kuwa kanisa lake linapokea sana misaada kutoka nje kiasi kwamba walinadi hawatokubali kupokea misaada kutoka kwa wenzao wanaoruhusu “ushoga”. Ilikuwa hakuna sababu ya kunadi hayo kama hawapokei misaada kutoka nje.

Mwisho; kuna mambo m a w i l i W a i s l a m u wayatafakari kwa makini sana. Ni wao ndio wana jukumu la maendeleo yao. Katika hali ya leo wakati Marekani bado anatanda duniani itakuwa vigumu sana kupata misaada kutoka nje ya nchi. Pili ni kwamba i l i k u w e z a k u t i m i z a jukumu hilo, ni muhimu sana kufanya kazi kwa bidii na uaminifu wa hali ya juu sana. Hivi sasa vijana na hata wakubwa hupenda kutafuta njia za mkato kupata pesa haraka ati kujitajirisha; mara nyingi njia hiyo haifiki mbali. Tufanye kazi tupate pesa za kuchangia maendeleo ya Uislamu na Waislamu wa nchi hii.

Hapa maana yake ni KUJITEGEMEA kwanza misaada iwe ni ziada tu.

Page 11: Zanzibar Yetu - Tarehe za safari ni 8 na 10 Oktoba, 2012 na ......ISSN 0856 - 3861 Na. 1004 RABBIUL THAN 1433, IJUMAA MACHI 23-29, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu

11RABBIUL THAN 1433, IJUMAA MACHI 23 - 29, 2012 AN-NUURMakala/Tangazo

WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO MACHI 2012.

NA JINA LA MWANAFUNZI JINSIA MCHEPUO1 ABDULKARIM SADICK ME ECA2 ABUBAKAR MEENA ME HGE3 ABUSHIR A. OMAR ME PCM4 ADAM R.MFAUME ME CBG5 ADORA TWAIB KE ECA6 AHMED OMAR BAKAR ME KLA7 AMINA N.MNYONE KE CBG8 AMINA SULEIMAN YUSUF KE EGM9 ANNUARY S.MOHAMED ME CBG10 ASIA Y.MBAWALA KE HKL11 BAKARI A.MVUNGI ME PCB12 BINZUA A.MSANGI KE PCM13 FARIDA DAUDI HAJI KE CBG14 FAYZAT SAID KE PCB15 HABIBA S.ISMAIL KE CBG16 HALIMA S.BRAIN KE HGE17 HAMISI A.MWENDA ME HGE18 HAMISI IBRAHIM ISMAIL ME CBG19 HAWA C.MAGORI KE CBG20 HUSSEIN ABDALLAH ME HGK21 HUSSEIN M.AHMED ME CBG22 IBRAHIM H.KITILINGA ME PCM23 ISMAIL MIRAJI ISMAIL ME EGM24 JUMA M.IDD ME ECA25 KHADIJA M.KHAMISI KE PCB26 KOBA SALUM ME HGL27 LAYLA M.KASSIM KE CBG28 MARIAM SELEMANI KE ECA29 MARIAM SALUM ISSA KE PCB30 MAZRUI HUSSEIN JAFARI ME EGM31 MIGEZO K.RAMADHANI KE CBG32 MOHAMED YAHYA MOHAMED ME HGL33 MUNAKHIR ABOUD KHAMIS ME PCM34 MWAJUMA YUSUF ALLY KE HGL35 NDEKERO IMANI KADEGHE ME HGE36 NUSRA M.BYARUSHENGO KE HGK37 RAHMA KASSIM RAJAB KE HGE38 RAJABU BAKAR ABDALLAH ME HGK39 RAJABU KABELWA ME CBG40 RAMADHANI HAJI ME EGM41 RASHID MSUYA ME CBG42 REHEMA IDRISA CHOGOGWE KE PCB43 REHEMA STIMA ABDALLAH KE HGK44 RUKIA RAMADHANI KE HKL45 SABAHA KH.JUMA KE CBG46 SABIANA Z.NJAKILAE KE EGM47 SALMA JALMADIN KE CBG48 SHAKILA M.ABDALLA KE HKL49 SHANI A.MAPONDELA KE ECA50 UMMUL-KHEIR ABDUL-AZIZ KE ECA51 YUSRA TUM ALLY KE EGM52 ZAITUNI ABDI KE HGK53 ZAWADI M.YUSUF KE HGE54 ZUWENA M.ISSA KE HGL

KIRINJIKO ISLAMIC SEC. SCHOOL P.O.BOX 62, SAME-KILIMANJARO Email: [email protected]

TEL.255272758180 MOB. 0784296424 & 0784681784

MAELEZO.

1. Shule inafunguliwa tarehe 31/03/2012. Wanafunzi wanapaswa kuripoti shuleni siku hiyo kabla ya saa 11.00 alasiri.

2. Maelezo ya kujiunga na shule yanapatikana shuleni Kirinjiko na Ubungo Islamic.

3. Kwa wanafunzi wanaotokea D,Salaam kutakuwa na usafiri wa pamoja.

Mwisho wa kulipa nauli ni tarehe 29/03/2012.

WABILLAH TAUFIIQ.

Ndugu Mhariri,NINGEPENDA kuanza barua hii kwako kwa kuwakumbusha wasomi wenzangu kuwa dunia ndivyo ilivyo. Waingereza wana msemo unaosema “It takes all sorts of people to make the world.” Kwa hivyo jema hapa ni kuvumiliana tu.

H a y a y a m e k u j a kutokana na makala iliyochapishwa katika gazeti la Raia Mwema la tarehe 14 Machi chini ya harufi zilizonona wino LIJUE LENGO KUU LA AZIMIO LA ABUJA. M w a n d i s h i a k i w a Mtumishi wa Mungu Padri Babtiste Mapunda. Bila shaka Padri huyu ni kiongozi katika Kanisa Katol ikin ambako ni huko kunatakikana kuwa na nidhamu kali sana. Katika barua aliyowahi kuwaandikia Jesuits wa Ureno, St Ignatius de Loyola aliwaasa kuwa: “We must see black as white, if the Church says so.” Kwa wale wanaofuatilia maponi na mienendo ya waumini wa Kanisa hilo hawatakuwa wamekosea sana kama wataona hali ni hiyo miongoni mwa wengi wa waumini wa Kanisa hilo. Bila shaka ni nidhamu hiyo ndio iliyomtuma Padi Mapunda kuandika hayo anayofikiri yatalisaidia sana Kanisa lake na Ukristo kwa jumla.

AZIMIO LA ABUJA (kama alivyolitaja yeye) ni kiini macho kilichotungwa na wasanii wa Kimarekani ambao kwa imani yao walifikiri watausaidia sana Ukristo kuumaliza Uislamu Afrika hasa ikikumbukwa kwamba wale wenye sauti na nguvu katika Nyanja nyingi ni Wakristo. Katika kijitabu chao kiitwacho M A F U N D I S H O YA KANISA KUHUSU JAMII, kanisa Katoliki limeandika “…….Wakristo ni wengi na ndio wanashikilia ama wanaongoza Serekali..” Hivyo upotoshaji kama huu wa Padri Babtiste Mapunda unaongeza nguvu yao kabisa kwa k u t u n g a k i s i n g i z i o k u w a “ W a i s l a m u wanatushambulia.”

Hata hivyo hivi kweli Padri Babtiste Mapunda na kusoma kwake kote huko anaweza kuamini a l i y o ya s o m a k a t i k a jarida huko Kenya? Kiasi

Lijue lengo kuu la azimio la Abujakwamba akaona naye awahubirie wasomaji w a R A I A M W E M A hayo aliyoyagundua? Anathubutu kuandika ati “….kama Tanzania itajiunga na Umoja huu (OIC) wa nchi za Kiislamu itabidi dini nyingine zisizokubalika kwa imani ya Kiislamu basi zifutwe.” Kweli Padri Mapunda unaamini h ivyo kwa moyo wako wote? Vipi utekelezaji wa Azimio la Abuja unakuja pole pole, hauna haraka. Rev Padri Mabunda hebu waeleze Wananchi wa Tanzania. Hii wakati Muhasham Polycarp Cardinal Pengo anajigamba mbele ya Rais wa nchi hii kwamba anayo majeshi yenye kura nyigi chini yake na itakuwa vizuri kama Rais atazungumza naye Cardinal vizuri kama anataka kuzipata kura za waumini wa Kanisa Katoliki.

Kwa ufahamisho Rev Padri Babtiste Mapunda n y a r a k a k u h u s u l inaloi twa Azimio la Abuja, ziliunganishwa na mkutano uliofanywa Nigeria juu ya Islam In Africa. Nyaraka hizo ni za kughushi na hilo lilihakikishiwa watu wote duniani takriban zaidi ya miaka kumi iliyopita hapa Dar es Salaam. Ni “ f o r g e d d o c u m e n t s ” ambayo ilikuwa kazi ya mtu na mkewe, Bwana na Bibi Mitchel kutoka Marekani walioandika kitabu kilicho na uwongo mtupu kiitwacho “The Two Headed Dragon”.

H i v i k w e l i P a d r i M a p u n d a a n a w e z a kuamini kuwa Waislamu w a Ta n z a n i a , a m a kutoka sehemu yeyote ile, wanaweza kuwa na uwezo wa kusilimisha Afrika nzima na kila Mwafrika akawa mumini wa dini Uislamu? Kwanza Muislamu yeyote atakaye kuwa na dhamira ya kufanya hivyo kwa nguvu a t a k u wa a n a k h a l i f u mafundisho ya dini yake. Kinyume na Ukristo na wanavyofanya kila siku viongozi wa Kikristo, ni kosa, yaani kharam, kumlazimisha mtu afuate d i n i U i s l a m u k a m a mtu huyo mwenyewe h a t a k i . H a i r u h u s i w i k u m l a z i m i s h a m t u k u f u a t a U i s l a m u . L a k i n i i n a f a h a m i k a k u wa Wa k r i s t o k i l a

Inaendelea Uk. 12

Page 12: Zanzibar Yetu - Tarehe za safari ni 8 na 10 Oktoba, 2012 na ......ISSN 0856 - 3861 Na. 1004 RABBIUL THAN 1433, IJUMAA MACHI 23-29, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu

AN-NUUR RABBIUL THAN 1433, IJUMAA MACHI 23-29, 2012 12 Shairi/Barua

Ndugu Mhariri, Namshukuru Allah (s.w) kwa kunijaalia neema mbali mbali ikiwemo neema ya mikono na kuweza kuandika barua hii. Pia napenda kuwapongeza kwa kazi nzuri mnayoifanya, Allah s.w awalipe yaliyo ya kheri na awape malipo yanayostahili.

Napenda kuchukua fursa hii adhimu ya kueleza kwa ufupi yale yanayo ikabili jamii ya Watanzania hasa ile ya Kiislamu, kwa kuwa madhila haya waliokuwa sio Waislamu hawayaoni.

Siku moja nikiwa niko safarini kutoka Mwanza kwenda Dar es Salaam ulitokea mzozo ndani ya gari na kuleta mtafaruku mkubwa. Mzozo ulianza punde tu baada ya TV i l iyopo ndani ya gar i kuanza kuonyesha kwaya ya Kikristo yenye jina la “Yesu nibebe- Nibembeleze, n i p e l e k e m b i n g u n i kwa baba”. Hapo ndipo nilipomuomba kondakta (Rose) atubadilishie kwani a l i k u w e p o p i a d a d a m w i n g i n e n i l i ye k u wa

Waislamu wasipande mabasi ya kwaya za Yesun i m e k a a n a e a k i w a hakuridhishwa na jambo lile. Hivyo tukawa wawili ndani ya gari. Baada ya ombi letu konda akajibu kuwa tuombe huduma nyingine kwani hiyo tuliyoomba ipo nje ya uwezo wake kwa sababu aliyeweka kwaya hiyo ni mwenye gari. Hapo hapo wakatokea abiria na washabiki wa kwaya, kama hutaki sisi tunataka na wala hakuna sheria inayowakataza wasisikilize hiyo kwaya. Hiyo ni hoja lakini? Ipo sheria inayowaruhusu? J i b u n i h a p a n a . Vi p i kama ningeweka Quraan wagekubali? Jibu ni hapana. Kama ndivyo kwa nini wasiweke filamu isiyohusu imani ya mtu.

M a j i b i z a n o h a y o hayakuzaa matunda naye kunyanyuka na kumwambia konda (Rase) mwenye gari tunamfahamu ni Muislamu mzuri na wala hawezi kufanya upuuzi huo isitoshe ujinga huu mnafanya nyie huku ndani ya gari msimsingizie bure. Kuanzia pale likazuka suala la udini hoo! Mnaleta udini, Lo! Nyie manaleta Ual-kaida nikawaambia

mnaoshabikia Yesu ni bebe sio wadini ila sisi tunaotaka itolewe ndio na kuwekwa filamu ya Da God Must be Crizy ndio wadini. Yule dada akanyanyuka na kumuita dereva tubadilishie huo wimbo hatutaki, dereva naye akaonyesha dharau badala ya kubadilisha akaongeza sauti na abiria wote kushangilia na kujiona wao ni washindi.

Mbali na hilo kulikuwa na Waislamu wengi ndani ya basi lakini wamenyamaza kimya wakificha imani zao.

Kama ni kuhudumia abiria, basi makondakta na madereva waweke kwaya na mahubiri ya Kikristo, wakitoa waweke ya Kiislamu. Vinginevyo, iwe filamu au chochote kisicho cha dini moja. Vinginevyo, itabidi Waislamu wachague mabasi ya kupanda.

Natoa wito kwa matajiri Waislamu wanunue mabasi na kutoa huduma za usafiri kwa njia zote nchini ili Waislamu wasinyanyaswe na wenye mabasi ya “Yesu nibebe.”

Tesua A.IDar es Salaam

Ndugu Mhariri,Ni jambo la kusikitisha na la kushangaza kuona watu wasomi wenye akili timamu zilizopevuka (si za kitoto) wenye kujua dhamana zao, majukumu yao na wajibu wao kwa wananchi wenzao walio katika dhiki ya maradhi wakawaacha wateseke, wadhalilike mpaka wafa

Mgomo wa Madaktarikwa sababu tu dai lao la kufukuzwa kazi Waziri na Naibu Waziri wake halikutimizwa. Ni ajabu viongozi akilini!.

Imekuwa wote kwa umoja wao wanavutwa kwa nguvu za Ibl is i wakawa wanaburuzwa tu, bila kuwa na uwezo w a k u t a f a k a r i n a kumfanyia mgomo huyo

Iblis ili wasiburuzwe naye, au kama kuna nguvu fulani mfano wa sumaku inayowavuta na wao wakafata tu bila kuj i tambua. Si bure, leo madaktari, kesho walimu, keshokutwa wachukuzi, mtondo goo wa kulima, kila kikundi kinataka Waziri husika afukuzwe kazi, au ndo panahakikishwa nchi haitawaliki?

H a w a w a n o j i i t a wanaharakati waomekosa haya katika nyuso zao. Ni wanafiki si wa kweli wamo katika mchezo wa kuigiza tu. Kama watetezi kweli wangetetea wagonjwa kwa kujitAhidi kuleta suluhu kwa hekma na busara il i mgomo uepukike, badala yake wanafanya kinyume chake. Inaonesha madaktari na hao wanaojiita watetezi wa haki za binaadamu mpango wao ni mmoja, w a m e k a a p a m o j a wakapanga walopanga ratiba yao ndo wanaifanyia kazi kwa pamoja.

Wananchi wenzangu, t u w e m a c h o n a h a wa wa n a h a r a k a t i wapotoshaji, waigizaji wakubwa wanayoyasema kwa nguvu na hoja tele, ni kupamba propaganda yao tu, hayana uzito wa kusadikika, wanalo lao la siri. Mungu atulinde na vurugu wanayotafuta. Amini.

Mama AliZanzibar

Lijue lengo kuu la azimio la AbujaInatoka Uk. 11

s i k u w a o h u j a r i b u s a n a k u wa l a z i m i s h a Wa i s l a m u w a i a c h e dini yao na wabatizwe. Vi j a n a wa K i i s l a m u wanaosoma shule za makanisa ni mfano mzuri sana; wanalazimishwa kuhudhuria misa kila siku na kuwafanya vijana hawa wakufuru.

J a m b o l i n g i n e l a k u t a f a k a r i . U z o e f u unaonyesha kuwa wengi walio wafuasi wa dini Kikristo huwa tayari kabisa kuvunja Amri ya Tisa katika zile alizopewa Nabii Musa AS, yaani USIMSHUHUDIE JIRANI YAKO UONGO (Kutoka 20 : 16, Biblia Maandiko Matakatifu, Union Version, The BIBLE SOCIETY OF

TANZANIA, DODOMA, 1997. Sina Catholic Bible lakini nadhani kwa mada yetu ya leo hakuna tofauti na hii ya Protestant. Kwa nini wako tayari kumkosea Mungu il i muradi tu kumkomoa Muislamu? Wanauogopa ule ukweli mtupu uliomo katika Kur’ani?

P a d r i M a p u n d a amenukuu aya Mathayo 5: 13-16. Hawa walioambiwa h i v y o w a l i k u w a wanafunzi wa Yesu ama Mitume? Kutokana na kulikubali na kuamini kwake uongo wa Azimio la Abuja; hivi Padri Babtiste Mapunda kwe l i p ia unaamini yaliyoandikwa kat ika aya Mathayo 10:34? Ama Luka 12 :51 na huyu Luka Myunani ambaye kabisa hakuwa

mmoja wa mwanafunzi (au mtume) wa Yesu na ambaye hakuwahi kufika ile nchi takatifu hata siku moja. Hivi kweli Yesu, ambaye sio tu Nabii bali MJUMBE (Rasul-ul-Llah kwa Waislam) wa Mwenyeezi Mungu, anaweza kufundisha hayo kweli? Ikiwa ni hivyo basi itaeleweka kwa nini Padri Babtiste Mapunda anaamini aliyoyasoma juu ya uwongo unaoitwa Azimio la Abuja. Pole sana Reverend.

N a s h i n d wa k u t o a maoni juu yale uliyoandika kuhusu “Baba wa Taifa Mtumishi wa Mungu M w a l i m u J u l i u s K N ye r e r e ” ; n i k i f a n ya hivyo Mhariri ataitupa barua yangu hii kapuni na kuisahau. Lakini

nikujulishe tu maoni ya mtu mmoja niliyewahi kuzungumza naye na a k i wa m u u m i n i wa Kanisa Katoliki. Alisema kuwa itapotokea kuwa Kanisa l i tamtangaza Mwalimu Nyerere kuwa Mtakatifu (Saint?), basi yeye atalihama kanisa hilo. Hakusema kama ataingia Uislamu. Padri Rev Babtiste Mapunda nataka kukuhakikishia kuwa huu si uzushi. Ni kweli kabisa na niliyasikia hayo kwa masikio yangu mwenyewe. Kama kweli atafanya hivyo siwezi kukuhakikishia.

Ahsante sana Bwana Mhariri,

Msomaji Wako,

Khalid Shaabani Mtoka Mtwangi

Mbili ziro ziro tatu, za mwezi Machi mwakani,Ilikuwa Jumatatu, ya alasiri jioni,Alitutoka mwenzetu, muahidina safuni,Shujaa kukumbukwa, Burhani wa Mtengwa.

Mioyo ilihuzunika, ya waumini nchini,Kwa rijali kututoka, mchapakazi makini,Usukani aloshika, wa kuihusisha dini,Shujaa kukumbukwa, Burhani wa Mtengwa.

Jengole wake msingi, ni Kiwangwani nyumbani,Akakazia msingi, kikaroni ugenini, wa miaka nane msingi, Ukatimia shuleni,Shujaa kukumbukwa, Burhani wa Mtengwa.

Kutaze akainua, Minaki pwani shuleni,Paaze akapaua, Tabora pale chuoni,Jengo likaendelea, Kingurunyembe chuoni,Shujaa kukumbukwa, Burhani wa Mtengwa.

Jengo akakamilisha, Chuo Kikuu jijini,Mipango akaanzisha, ya uhuishaji dini, Fikra akaanzisha, za shule zetu nchini,Shujaa kukumbukwa, Burhani wa Mtengwa.

Sekondari yetu Quba, ikaibuka nchini,Jabal-hira si haba, mchongowe ukawini,Hatimaye akabeba, jukumu Haramaini,Shujaa kukumbukwa, Burhani wa Mtengwa.

Ununio kadhalika, na Kunduchi za jijini,Na Ubungo kuibuka, zote mchangowe ndani,Ni nyingi alosimika, taasisi za nchini,Shujaa kukumbukwa, Burhani wa Mtengwa.

Elimu alihimiza, bara nako visiwani,Kote akasisitiza mijini na vijijini,Lengo dini kueneza, kona zote za nchini,Shujaa kukumbukwa, Burhani wa Mtengwa.

Alielimisha watu, lukuki hapa nchini, Akawaondosha kutu, zilizosheheni bongoni,Hata walokuwa butu, wakaing`amua dini,Shujaa kukumbukwa, Burhani wa Mtengwa.

Alijusurisha watu, watetee yao dini,Wakaanza kuthubutu, kuinusuru yao dini,Ili waupate utu, na uhai wa thamani,Shujaa kukumbukwa, Burhani wa Mtengwa.

Tamati nimefika, kalamu naweka chini,Shabaha kukumbushia, amiri kumthamini,Kwa muhanga kujitoa, wa kuinusuru dini.Shujaa kukumbukwa, Burhani wa Mtengwa.

Abuu NyamkomongiMwanza.

Shujaa wa kukumbukwa!

Page 13: Zanzibar Yetu - Tarehe za safari ni 8 na 10 Oktoba, 2012 na ......ISSN 0856 - 3861 Na. 1004 RABBIUL THAN 1433, IJUMAA MACHI 23-29, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu

13RABBIUL THAN 1433, IJUMAA MACHI 23-29, 2012 AN-NUUR

MUSLIM UNIVERSITY OF MOROGOROP.O. BOX 1031 Morogoro, Tanzania

Tel: +255 23 2600256 Fax: +255 23 2600286E-mail address:[email protected]

Website: www.mum.ac.tz

UNDERGRADUATE ADMISSIONS FOR THE 2012/2013 ACADEMIC YEAR

Muslim University of Morogoro (MUM) invites suitably qualified Tanzanian and non-Tanzanian candidates to apply for admission into various degree programmes shown below for the academic year 2012/2013.

Candidates must fill in the Application Forms, give full particulars of citizenship (including a copy of birth certificate), and provide photo copies of academic Certificates as indicated in the application forms, e.g. O – Level and A – Level or Diploma, etc. Dully completed Application Forms should be submitted to the Muslim University of Morogoro either in person, or by mail, using the following address:-

Deputy Vice Chancellor (Academic), Muslim University of Morogoro, P.O. Box 1031, Morogoro. TANZANIATelephone: +255 023 2600256. Fax +255 023 2600286. E-mail address: [email protected]

Please note that Muslim University of Morogoro continues to use the conventional admission system of applying directly to the University.

NB: The deadline for submitting Application Forms is 30th May, 2012.

All applicants, who have completed Form VI or Diploma should apply. Paper copies of the Application Forms are available at the MUM office in Morogoro, the MUM Website and also from the following designated agents in the country:-

1. ZANZIBAR Office of Umoja wa Kiislamu wa Elimu, Uchumi na Maendeleo OR Al - Falah Secondary School (Mombasa), ZANZIBAR 024 - 223546

2. DAR ES SALAAM Ubungo Islamic High School – DAR ES SALAAM 0776- 2929463. TANGA Maawal Sec School – TANGA (Mr. Nyumbwe) 0713 - 5495044. ARUSHA Ustadh Ali Shemkhande – ARUSHA 0754 – 878615, 0655 - 1010045. MWANGA Mr. Amani Msuya – Mwanga KILIMANJARO 0712 - 8159846. DODOMA Mr. Hamisi Amani – DODOMA 0714 - 6968147. KIGOMA Mr. Shaabani Shatta – KIGOMA 0754 - 9241228. BUKOBA Ustadh Suleiman Ntale – BUKOBA 0784 - 7224499. PWANI Sotele Secondary School – Mkuranga, COAST REGION 0774 - 65721610. KASULU Murubona Muslim Scondary School – KASULU (Jumanne Khamis) 0714 – 710802, 0713 - 46027411. RUVUMA Msamala Muslim Secondary School – RUVUMA 0717 - 04398112. IRINGA Dhynurain Schools – IRINGA 0784 - 44848413. MWANZA Madam Bora Bazo - MWANZA 0717 – 794613, 0754 - 652305 14. MTWARA MIDECE (Yusuf Said) – MTWARA 0784 - 59670715. DAR ES SALAAM Ofiices of An-Nur Newspaper-Manzese DSM 0714-11166916. KONDOA Abubakar Nyenye – KONDOA Mjini 0784 - 34510617. TABORA Rashid Lupala – Mwanza Rd. TABORA 0754 - 60190718. SUMBAWANGA- RUKWA ( HAMIM MDUMA) 0785 -73466219. MBEYA – JUMANNE MANGI 0718 – 42531920. SONGEA – M.A KAWANGA 0713 – 24926421. TABORA – SAIDI MANGI 0783 - 07914622. SHINYANGA – ABDULADHIM S. MUSTAFA 0684 – 94094123. MUSOMA – MANENO JOSEPH 0714 - 58719324. MOSHI – SHAMIMU KEMPANJU 0654 – 72341825. SINGIDA – JAFARI KINDI 0784 – 84105526. KOROGWE – ABEID A MOHAMED 0715 – 97388027. TUNDURU – ABDUL KASEMBE 0787 – 538265/0652 -12915528. JAALAB ENTERPRISES -ONE WAY STREET BUKOBA 0713 – 343635/0784-34363529. MASASI – HUSSEIN MCHOMOLO 0789 – 80529930. LINDI (WAPEMBA STORE) 0715 – 139197/ 0784 – 97404131. KIBONDO HALFAN MGALA 0752 – 14618232. LUSHOTO MUHUSIN N. MAGOGO 0713 62846633. IRINGA ZUBERI ADINANI 0714 - 522122

UNDERGRADUATE ADMISSIONS FOR THE

2012/2013 ACADEMIC YEAR

Linaendelea Uk. 14

Tangazo

Page 14: Zanzibar Yetu - Tarehe za safari ni 8 na 10 Oktoba, 2012 na ......ISSN 0856 - 3861 Na. 1004 RABBIUL THAN 1433, IJUMAA MACHI 23-29, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu

14 AN-NUUR RABBIUL THAN 1433, IJUMAA MACHI 23 - 29, 2012 Tangazo

The Application Forms may be alternatively downloaded from the University Website: www.mum.ac.tz

Candidates, who wish to study at Muslim University of Morogoro (MUM) should only apply to this University. MUM would not deal with candidates who also applied in another institution.

University fees can be viewed from the University website or Prospectus. All academic documents submitted by candidates will be thoroughly checked against the NECTA database. Legal action may be taken against any applicant who presents forged documents.

Admission to the University is also conditional upon presentation of satisfactory medical report from a recognised medical practitioner; this will be needed during registration. All students shall be required to abide by the University Regulations and failure to do so may lead to dismissal from the University.

Degree Programmes and Admission Requirements for Direct Entry

S/N Programme Faculty Admission requirements

Direct Entry

MinimumA C S E points for Admission

ProgrammeDuration

11.

Bachelor of Arts in Mass Communication Arts and Humanities Two principal passes, with a credit pass in English

at O-Level 2 3 years

2. Bachelor of Law with Shariah Law and Shariah Two principal passes in History, Kiswahili, English, Arabic, Geography or Islamic Knowledge 2 4 years

3.Bachelor of Islamic Studies with Education Islamic Studies Two principal passes in History, English, Kiswahili,

Arabic, one of which should be Islamic Knowledge 2 3 years

4. Bachelor of Business Studies Business Studies Two principal passes one of which should be in business subjects, economics or mathematics 2 3 years

5. Bachelor of Arts with Education Arts and Humanities Two principal passes in teaching subjects 2 3 years

6. Bachelor of Arts in Languages & Interpretation

Arts and HumanitiesTwo principal passes in Kiswahili, Arabic, French, English and any other language offered, in the Faculty 2 3 years

7.Bachelor of Science wi th Education Science Two principal passes in Chemistry, Physics, Biology,

Mathematics and Geography 2 3 years

Admission Requirements for Equivalent Qualifications (eg. Diploma, etc)

A candidate may apply for admission to the University with the following qualifications:

Diploma, or Certificate (of not less than 2 years study) equivalent to it and of not lower than Second Class/Credit level with 3 Credits or 5 passes of C.S.E.E., and approved by the University Senate.

For foreign applicants with Ordinary Certificate of Secondary Education and from countries whose education systems are based on 8 years of primary school education, 4 years of secondary school education, and 4 years of University education, the minimum entrance requirements shall be as follows:

In addition to having an appropriate equivalent Diploma/Certificate of not less than Second Class/Credit level and approved by the University Senate, and 3 credit passes or 5 passes at C.S.E.E. the candidate must have successfully completed one year of study in a University in their own home country or must have taken in Tanzania the Advanced Certificate of Secondary Education Examinations, or its equivalent or have baccalaureate certificate in approved subjects.

For Bachelor of Islamic Studies with Education or Bachelor of Laws with Shariah candidates need to have a Diploma or one-year Certificate in Islamic Studies, Shariah or Law, of not lower than 2nd class level, with at least 3 credit passes at Secondary School.

Prof. A. JumaAg. Deputy Vice Chancellor (Academic)

Linatoka Uk. 13

Page 15: Zanzibar Yetu - Tarehe za safari ni 8 na 10 Oktoba, 2012 na ......ISSN 0856 - 3861 Na. 1004 RABBIUL THAN 1433, IJUMAA MACHI 23-29, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu

15RABBIUL THAN 1433, IJUMAA MACHI 23 - 29, 2012 AN-NUURHabari/TaarifaMaalim ataka CUF imara kuelekea uchaguzi 2015

Inatoka Uk. 16

k a t i k a m a p o k e z i ya M we n ye k i t i wa o wa Taifa.

A l i s e m a , h a l i i l e inaonyesha kuwa ni jinsi gani watu walivyokuwa na imanai na CUF, lakini pia alidai imedhihirisha kuwa Chama Cha Wananchi CUF, bado kipo ngangari.

Alisema, kutokana na hamasa ile, changamoto kubwa inayowakabil i hivi sasa ni kuendeleza moto wa hamasa ambao umewashwa na wananchi ili waweze kufika mwaka 2012, katika joto hilo hilo ambalo lilionekana katika ujio wa Profesa Lipumba.

P r o f e s a L i p u m b a a l i s e m a , C U F n i chama cha wanyonge, makabwela ndio maana umma ulijitokeza siku ya kumpokea ulikuwa mkubwa kwani alidai kwa asilimia kubwa hao ndio wanachama wao, wanyonge wan chi hii.

“Hali ile ilinidhihirishia kwa CUF, kweli ni chama cha wanyonge, walala hoi wanaoteseka na hawa ndio tunao wapigania na kuwasimamia siku zote kwani hata sera za chama zinawalenga wao kuwakwamua kiuchumi.” Alisema Prof. Lipumba.

Akitoa taari fa kwa Baraza Kuu la Uongozi wa Chama hicho, Maalima

S e i f , a m b a ye p i a n i Makamu wa kwanza wa Rais Zanzibar, alisema, wajumbe waliobaki katika Baraza Kuu la Uongozi wa Taifa, baada ya wengine kuondolewa na wengine kujiuzulu ni 55.

Alisema, katika ya hao 40, walimehudhuria katika kikao hicho, ambao ni zaidi ya nusu kwa mujibu wa Katiba ya Chama hicho, hivyo alisema kikao hicho ni halali na maamuzi yatakayo fanywa yatakuwa pia ni halali.

Kwa upande wake Makamu wa Mwenyekiti wa C U F, Ta i f a M h . Machano, alisema Chama Cha wananchi CUF, ni kwa ajili ya wananchi na si kwa ajili ya mtu, au kiongozi yoyote.

“Mwenyeki t i mimi nakuhakikishai na wewe mwenyewe ni shahidi, umeikuta CUF ile ile, na zaidi imejipanga kushinda wanaotaka kuidhoofisha kwa kuwaonyesha wao wamekomaa kisiasa, wala siku zote CUF, haibahatishi kinapofanya maamuzi ya k e . ” A l i s e m a M h . Machano.

Akiongea katika kikao hicho, Profesa Lipumba, a l i s e m a B a r a z a K u u lilifanya maamuzi ya msingi na kuonyesha kwamba CUF ni Taasisi, inayofata utaratibu wake wa Katiba na si vinginevyo.

A l i s e m a , s u a l a h i l o l i l i k u wa j e p e s i ukilinganisha na maamuzi m a g u m u a m b a y o wa l i ya f a n ya m wa k a 2000/2001, wakati Katibu Mkuu (Maalim Seif) akiwa nje ya nchi.

Akifafanua alisema, maamuzi ya kufanya maandamano ya kudai K a t i b a m p ya , k u d a i Tume huru ya Uchaguzi, kudai utawala bora na hata kudai uchaguzi wa mwaka 2000, Zanzibar urudiwe yalifanywa chini ya uongozi wake.

“Maandamano yale pamoja na kuwapoteza watu, ndiyo yalianza kujenga misingi mpaka hatimae tukaweza kufikia maridhiano ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa, Zanzibar.” Alisema Profesa Lipumba.

A l i s e m a , C U F n i chama cha wanyonge, makabwela ndio maana umma uliojitokeza siku ya mapokezi yake ulikuwa mkubwa, kwani alidai kwa asilimia kubwa hao ndio wanachama wao, wanyonge wa nchi hii.

“Hali ile ilinidhihirishia kuwa kweli CUF, ni chama cha wanyonge, walalahoi na hawa ndio tunaowapigania na hata sera za chama kinawalenga wananchi kama hawa kwa lengo la kuwakuwakwamua k i u c h u m i . ” A l i s e m a Profesa Lipumba.

Mfumo Bima wa KiislamuInatoka Uk. 16

Kwa mujibu wa ripoti ya utekelezaji na ubainishaji wa m a f a n i k i o ya k i l a mwaka katika soko la bima nchini, ambayo imetolewa hivi karibuni, inaonyesha kwamba Mamlaka ya Bima Tanzania (TIRA) inafanya utafit i wa kina kuhusu uwezekano wa kuanzishwa mfumo wa bidhaa ya bima ya Kiislamu pamoja na mfumo wa urekebishaji wa sheria husika (Tanzania Insurance Regulatory Authority ) kwa kushirikiana na Chama cha Wanabima nchini (ATI).

A i d h a u t a f i t i h u o umeelezwa kuwa unalenga k u l i n g a n i s h a u t a f i t i uliofanywa na mifumo ya udhibiti na shariah za Takaful katika maeneo husika ambapo kwa pamoja, yaani Takaful na mfumo wa utoaji huduma za bima wa kawaida uliopo, yote itaongozwa kwa misingi ya sheria husika katika udhibiti na utekelezaji.

TIRA pia inafanya utafiti wa kina kuhusu suala la uelewa na utambuzi, upokeaji na utumiaji wa huduma hiyo mpya ya bima kwa kutumia vigezo vya wawekezaji na bima Zanzibar.

HUDUMA YA MATIBABUBURE KISUKARI, PRESHA

• WAT O A H U D U M A : M A D A K TA R I WA PRINCE SAUD WAKISHRIKIANA NA MADAKTARI BINGWA WA SUKARI NA PRESHA (TANZANIA DIABETIC ASSOCIATION)

• MAHALI: PRINCE SAUD HEALTH CENTER – TABATA MUSLIM, BIMA (ALFAROQ) KARIBUNA KITO CHA MAFUTA CHA OIL COM.

• SIKU: JUMAMOSI, TAREHE: 24/03/2012.

• MUDA: SAA 2:00 ASUBUHI HADI 10:00 JIONI

• WAHUSIKA: WATU WOTE WANAUME NA WANAWAKE.

NYOTE MNAKARIBISHWA

SELECTED STUDENTS TO JOIN NYASAKA ISLAMIC HIGH SCHOOL AND THEIR COMBINATION

S/No NAME SEX COMB.1 AMINA HAMID ABDI F PCB2 AMINA KIKWAMBA F HGK3 FATMA ISACK NYEME F HGL4 FATMA OMARY NKUMBI F HGL5 HABIBA HABIBU ALLY F EGM6 KURUTHUM ZUBERI F CBG7 MAIYA SIRAJI F EGM8 NURU AMIN SULEIMAN F PCB9 NURU SAID F PCB

10 SALHA S. SAID F HGL11 SHUFAA SEIF ABDALLAH F PCB12 ZAWADI DIWANI MRUTU F HGK13 ABDULSHAKUR A KAGIMBO M HGK14 AJIRI ANAS M HKL15 ALLY HASSAN DASSI M HGK16 ATHUMAN HABILI ATHUMAN M PCB17 DAUDI DIDAS BUJUNA M PCM

18 HASSAN CHAULEMA M ECA19 HEMED MUSSA M HGK20 IMRANI MIRAJI MFINANGA M PCB21 ISMAIL HAMIS MAYALA M PCB22 JONAS MWITA M EGM23 JUMA MASHAKA M HGK24 KHALFAN MSHUMBA KHALFAN M PCB25 LUQMAN SEIF SIMBA M HGL26 MAHD ZIAD OMARY M PCB27 MAHMOUD KHALID M HGL28 MOHAMMED ATHUMAN KHAMIS M PCB29 MOSHI MOSHI SHABAN M PCB30 OMARY KAMANYI ABDUDI M HKL31 SAID SADALA M EGM32 SHABAN RAMADHAN SALUM M PCB33 SHARIFU SIRAJI M HGE34 SIRAJI BILISHANGA M CBG35 TAWFIQ RASHID M EGM36 YAHYA MASOUD M HGL37 AZIZA H. BARUTI F HGK

P.O.BOX 11404, TEL: 0786/0717-417685, OR 0717/0785 -417680 MWANZA – TANZANIA Email: [email protected]

NYASAKA ISLAMIC HIGH SCHOOL

Page 16: Zanzibar Yetu - Tarehe za safari ni 8 na 10 Oktoba, 2012 na ......ISSN 0856 - 3861 Na. 1004 RABBIUL THAN 1433, IJUMAA MACHI 23-29, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu

16 AN-NUUR RABBIUL THAN 1433, IJUMAA MACHI 23 - 29, 2012

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Limited, S.L.P. 78495 Dar es Salaam.

AN-NUUR16 RABBIUL THAN 1433, IJUMAA MACHI 23-29, 2012

USIKOSE KUSOMA AN-NUUR

KILA IJUMAA

TANZANIA ni miongoni mwa nchi zitakazofaidika na kuanzishwa kwa huduma ya bima kwa mfumo wa Kiislamu katika soko la bima.

Mfumo Bima wa Kiislamu wabisha hodi nchiniNa David Lunize

K AT I B U M k u u w a Chama Cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif H a m a d , a m e w a t a k a viongozi wa Chama hicho kukiimarisha Chama kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.

Wito huo umekuja siku chache baada ya maelfu ya wananchi na wapenzi wa CUF, kujitokeza kwa hamasa kubwa Jijini Dar es Salaam, katika mapokezi ya Mwekiti wa Chama hicho, Profesa Ibrahim Lipumba, akitokea nchini Marekani, alikoshiriki katika utafiti wa Uchumi Duniani.

Akiongea katika kikao

Maalim ataka CUF imarakuelekea uchaguzi 2015Na Bakari Mwakangwale cha Baraza Kuu la Uongozi

wa Taifa wa Chama hicho, kilichofanyika juzi katika Hoteli ya Lamada, Jijini Dar es Salaam, chini ya Mwenyekiti wake wa Taifa Profesa Ibrahim Haruna Lipumba, Maalim Seif, amesema, changamoto i n a y o w a k a b i l i s a s a viongozi ni kuendeleza moto wa hamasa kama ilivyojitokeza Machi 11, 2012.

M a a l i m S e i f , a l i m u h a k i k i s h i a Mwenyekiti wake wa Taifa Prof . Lipumba, kuwa CUF, bado iko imara kama il ivyojidhirisha katika mapokezi yake (Machi, 11), huku akisema

yaliyokuwa yakiripotiwa katika vyombo vya habari yalikuwa yakikuzwa zaidi na uhalisia wake.

“ C h a m a c h a k o n i imara kama ulivyokiacha, h a y o m e n g i n e y o t e yanayosemwa ni vyombo vya habari vinapenda kuandika wanavyotaka wa o , l a k i n i h a wa n a ukweli katika uhalisia katika kuandika.” Alisema Maalim Seiff.

Akimaanisha kuwa chama hicho kilielezwa kuwa kinakufa, Maalim Sei f f , a l isema chama kinachokufa kisingeweza kushawish i watu na kujitokeza kwa maelfu

I m e e l e z w a k w a m b a iwapo matokeo ya utafiti unaoendelea kufanyika hivi sasa utakusanya ushahidi wa kutosha kuhusu mahitaji na iwapo utoaji wa huduma hiyo utahitajika nchini, basi huduma hiyo ya bima kwa mfumo wa Shariah

utaanzishwa nchini.Hayo yameelezwa na

Mamlaka ya Bima nchini (TIRA) jijini Dar es Salaam hivi karibuni.

Imefahamishwa kwamba h u d u m a ya b i m a k wa mfumo wa Kiislam (Takaful) ina teke leza ma jukumu

yake kwa kujikita katika mfumo wa Shariah, ambapo wanachama huchangia fedha katika mfuko mmoja kwa lengo la kuhakikisha usalama wa kila mmoja dhidi ya hasara au uharibifu kwa misingi ya faida sawa kwa wote na kwa ushirikiano.

Kwamba mfumo huo wa huduma ya bima Kiislamu utakuwa n j ia mbadala ambayo utakuwa unafanya kazi kinyume na mfumo wa bima ya kawaida unaotumika hivi sasa nchini katika kutoa huduma za bima.

NATOWizara ya Mambo ya Nje ya Urusi imetoa t a m k o k u h u s i a n a na ripoti ya Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Kimataifa (Amnesty International) kuhusu waathirika wa mashambulizi ya NATO nchini Libya na kutaka Umoja huo wa kijeshi wa nchi za Magharibi kutoa maelezo ni kwa nini walivamia kijeshi nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

Katika tamko lake, Wizara ya Mambo ya Nje ya Urusi imesema kuwa, ripoti shirika hilo imetoa ushahidi wa kina wa kuuliwa zaidi ya raia kwa maelfu wakiwemo watoto wadogo na wanawake wakati NATO i l ipokuwa inafanya mashambulizi yake nchini humo, hivyo kuna wajibu wa kufanyika u c h u n g u z i h u r u kuhusiana na waathirika

Urusi yaikaba koo NATO Yataka itoe maelezo kwa nini iliivamia kijeshi Libya

wa mashambulizi hayo ya NATO, hasa kwa vile kuna uwezekano idadi ya waathirika wa mashambulizi hayo ikawa kubwa zaidi.

Iwapo jambo hilo litathibitika, basi NATO itapaswa kuwajibika m b e l e y a f a m i l i a z a w a a t h i r i k a w a mashambulizi hayo na itapaswa kufidia hasara zilizosababishwa na mashambulizi yake.

Wizara ya Mambo ya Nje ya Urusi aidha imesema, hatua ya NATO ya kuivamia kijeshi Libya ilikiuka azimio namba 1973 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na kwamba, jinai zote zilizofanyika katika vita vya kumng’oa madarakani Kanal i Muammar Gaddafi , hasa jinai zilizofanywa n a N AT O , i n a b i d i zifuatiliwe kimataifa na watendaji wake nao watiwe mbaroni.

Inaendelea Uk. 15

Inaendelea Uk. 15

MAMIA ya wapenzi wa chama cha Wananchi CUF wakiashiria kuunga mkono hoja zilizokuwa zikitolewa na viongozi wao katika mkutano wa hadhara uliofanyika Mwembeyanga jijini Dar es Salaam Machi 21, 2012. (Picha na Bakari Mwakangwale)