View
70
Download
0
Category
Preview:
Citation preview
286
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha Nne, Maazimio ya Kazi: Muhula wa Kwanza
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi
Ufahamu
Utu ni bora kuliko mali
Fasihi yetu: Chimbuko na sifa bainifu za fasihi simulizi
Ndio msingi wa mangi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya utu.• kufafanua maadili na mafunzo katika
somo.• kujadili kwa ufasaha mada waliyopewa.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza chimbuko la fasihi simulizi.• kufafanua sifa bainifu za fasihi simulizi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma shairi kwa ufasaha.• kukariri shairi kwa mahadhi.• kujibu maswali kwa usahihi.• kufafanua ujumbe wa shairi.
1
2
3
JUM
A 1
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 1
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 1-3
• Magazeti au majarida
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 1-3
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 3-4
• Vielelezo vya sifa bainifu za fasihi simulizi
• Vielezo vya vipera vya fasihi simulizi
• Kanda za sauti na video kuhusu fasihi simulizi
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 3-4
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 4-5
• Vielelezo vya maadili yanayohimizwa na shairi
• Vibonzo vya watu wanaotukanana
• Wanafunzi wenyewe
• Maelezo na ufafanuzi
• Mjadala• Maswali na majibu• Ufahamu na
kusikiliza• Masimulizi
• Majadiliano katika makundi
• Ufaraguzi• Maelezo na
ufafanuzi• Maswali na majibu• Kazi mradi
• Kuigiza• Usomaji• Utatuzi wa mambo• Tajriba• Uchunguzi kifani
287
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
4
5-6
1
Sarufi
Fasihi
Ufasaha wa lugha
Upatanisho wa kisarufi
Tamthilia: Kifo kisimani – Utangulizi
Lugha ya simu
• kueleza matumizi ya lugha.• kuzingatia mafunzo ya shairi.Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana na manufaa ya
upatanisho wa kisarufi.• kukamilisha sentensi ili kuleta
upatanisho wa kisarufi.• kugeuza sentensi za wingi ziwe kwa
umoja na za umoja ziwe kwa wingi.• kusahihisha makosa katika sentensi.• kutunga sentensi zenye upatanisho wa
kisarufi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kutaja na kugusia yaliyomo katika
tamthilia.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza sifa za lugha ya simu.• kutumia sifa za lugha ya simu katika
utendaji.
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 4-8
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 5-7
• Vielelezo• Majedwali • Vitu halisi
• Kifo kisimani
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 8-9
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 7-8
• Vielelezo vya mazungumzo ya simu
• Wanafunzi wenyewe• Vibonzo
• Tajriba• Maswali na majibu• Mifano
• Kusikiliza• Kuandika• Kujadiliana• Uchambuzi
• Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu• Majadiliano• Uigizaji
JUM
A 1
JUM
A 2
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
288
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
2
3
4
5
Fasihi teule
Utunzi
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi
Chimbuko la mashairi ya arudhi
Barua ya kirafiki
Ujirani mwema baina ya nchi
Kifo kisimani
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza chimbuko la mashairi ya arudhi.• kupambamua sifa za mashairi ya arudhi.• kuhakiki shairi la arudhi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza kanuni za uandishi wa barua ya
kirafiki.• kubainisha muundo wa barua ya kirafiki.• kuandika barua ya kirafiki kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusimulia hadithi.• kujibu maswali kwa sauti na ufasaha.• kueleza maana ya maneno na misemo.• kuzingatia mafunzo katika hadithi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kufafanua vitushi mbalimbali katika
tamthilia.
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 9-10
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 8
• Mikusanyo ya mashairi ya arudhi au jadi
• Chati ya mashairi ya arudhi
• Kanda za sauti au video kutoka KIE
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 10
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 8-9
• Vielelezo vya barua za kirafiki
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 11
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 9-12
• Ramani• Kadi za hoja• Mikusanyo
magazetini
• Kifo kisimani – Onyesho la Kwanza
• Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu• Majadiliano• Uchunguzi • Kazi ya vikundi
• Mifano halisi ya barua za kirafiki
• Tajriba • Maswali na majibu• Maelezo na ufafanuzi• Kuandika
• Masimulizi• Maelezo• Tajriba• Ufahamu wa
kusikiliza
• Kusoma • Kuandika• Maelezo
JUM
A 2
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
289
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
6
1
2
3
Fasihi
Ufahamu
Sarufi
Fasihi teule
Chimbuko na sifa bainifu za fasihi andishi
Kutegea kazi
Umoja na wingi
Chimbuko la mashairi huru
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza asili na maendeleo ya fasihi
andishi.• kufafanua sifa zinazobainisha fasihi
andishi.• kujibu maswali kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kukariri shairi.• kujibu maswali kwa usahihi.• kufafanua matumizi ya lugha.• kueleza ujumbe wa shairi.• kuzingatia mafunzo.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kubainisha maumbo ya maneno katika
umoja na wingi.• kugeuza sentensi katika umoja na wingi.• kueleza mabadiliko ya viambishi vya
ngeli na upatanisho wa kisarufi katika umoja na wingi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufafanua wakati na sababu za
kuchipuka kwa mashairi huru.• kupambanua pingamizi dhidi ya
mashairi huru.• kutoa maoni kuhusu mgogoro wa
mashairi wa jadi na huru.
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 11-12
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 12-13
• Vielelezo• Vitabu vya fasihi
andishi• Chati ya sifa bainifu
za fasihi andishi
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 13-14
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 13-14
• Mabango• Magazeti• Picha au michoro
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 15-17
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 14-15
• Chati ya viambishi vya ngeli
• Vielelezo • Majedwali • Ubao
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 19-20
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 16-17
• Mikusanyo ya mashairi huru
• Picha za washairi wa kimapinduzi
• Ramani
• Mjadala• Maswali na majibu• Uvumbuzi
• Kuigiza• Usomaji• Utatuzi wa mambo• Uchunguzi kifani
• Mifano• Maelezo• Ufaraguzi• Tajriba
• Dayolojia• Maelezo• Utafiti• Tajriba• Mifano
JUM
A 2
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa KwanzaJU
MA
3
290
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
4
5
6
1
Utunzi
Ufasaha wa lugha
Fasihi
Kusikiliza na kuzumgumza
Mchezo wa kuigiza: Njia za kufufua na kuendeleza viwanda nchini
Muhtasari
Kifo kisimani
Imla:Kukonda kupita kiasi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kuandika mchezo wa kuigiza kwa
kuzingatia kanuni za utunzi wake.• kubainisha njia za kufufua na
kuendeleza viwanda nchini.• kutumia alama za uakifishaji ipasavyo.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufafanua umuhimu wa muhtasari. • kueleza mambo muhimu ya kuzingatia
katika ufupisho.• kuandika muhtasari wa taarifa kwa
usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kuelezea mchezo katika onyesho la pili.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusikiliza na kuandika taarifa kwa
usahihi.• kufafanua ujumbe• kueleza matumizi ya alama za
uakifishaji.• kuzingatia mafunzo ya ujumbe.
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 20
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk.17-18
• Uandishi wa insha • Waalikwa• Makala magazetini• Picha za
viwanda na watu waliosimamishwa kazi
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 18
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 15-16
• Kazi za hoja• Vielelezo vya
ufupisho• Vidokezo ubaoni
• Kifo kisimani – Onyesho la Pili
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 21
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 18-19
• Mikusanyo ya picha magazetini na habari kuhusu watu
• Maigizo• Kazi mradi• Vikundi• Utatuzi wa mambo• Kuandika
• Maswali na majibu• Majadiliano• Kuandika
• Kusoma • Kuandika• Kujadiliana• Uchambuzi
• Mifano• Tajriba• Maelezo na ufafanuzi• Ufahamu wa
kusikiliza • Imla
JUM
A 3
JUM
A 4
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
291
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
2
3
4
5
Fasihi yetu
Ufahamu
Sarufi
Ufasaha wa lugha
Methali
Vyama vya ushirika
Nomino
Uakifishaji
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kupambanua chanzo cha methali.• kufafanua matumizi ya methali. • kutumia methali katika mazungumzo.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma kwa sauti na kimya.• kujibu maswali ya taarifa kwa usahihi.• kueleza maana za maneno na methali.• kueleza hasara na manufaa ya vyama vya
ushirika.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kuanisha nomino na kutoa mifano ya
aina za nomino.• kutumia nomino katika sentensi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kubainisha alama za uakifishaji.• kuafisha maandishi.
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 21-22
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 19-20
• Waalikwa• Mikusanyo ya methali• Miktadha ya
matumizi
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 22-25
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 20-21
• Mikusanyo kuhusu vyama vya ushirika
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 25-27
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 21-22
• Mabango ya vyama vya ushirika
• Vielelezo ubaoni
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 27-29
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 22-23
• Kanda za sauti na video
• Chati ya alama za uakifishaji
• Vielelezo
• Utafiti• Mifano• Kazi mradi• Uchunguzi
• Usomaji• Maelezo• Utatuzi wa mambo• Maswali na majibu
• Tajriba• Mifano• Mashindano• Upambanuzi
• Mifano• Maelezo na ufafanuzi
JUM
A 4
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
292
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
6
1
2
3
Fasihi
Fasihi teule
Utunzi
Kusikiliza na kuzungumza
Kifo kisimani
Fani katika mashairi ya arudhi
Insha ya methali
Haki za wafanyakazi viwandani
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza mtiririko wa onyesho la tatu
kwa muhtasari.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana na umuhimu wa fani
katika mashairi ya arudhi.• kufafanua muundo, mtindo, wahusika
na matumizi ya lugha ya mashairi ya arudhi.
• kuchambua fani katika mashairi ya arudhi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya methali.• kufafanua muundo wa insha za methali.• kupambanua sifa za insha za methali.• kuandika insha ya methali.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kubadilisha mawazo kwa njia ya
majadiliano.• kusikiliza kwa makini na kutekeleza.• kueleza haki za wafanyakazi.
• Kifo kisimani – Onyesho la Tatu
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 29-32
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 23-24
• Mikusanyo ya mashairi ya arudhi
• Vielelezo• Chati za miundo na
mpangilio wa vina na mizani
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 32
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 24-25
• Tarasha• Vielelezo• Mazingira halisi
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 33
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 25-27
• Picha, michoro na vibonzo
• Taarifa kutoka redio, runinga na mtandao
• Makala ya gazeti
• Uchunguzi• Kusoma• Kujadili• Kuandika
• Udadisi• Uchunguzi• Mifano• Maswali na majibu• Uhakiki
• Masimulizi• Uchunguzi• Mifano• Kuandika
• Majadiliano• Uchunguzi na udadisi• Utatuzi wa mambo• Makundi
JUM
A 4
JUM
A 5
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
293
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
4
5
6
1
Fasihi yetu
Ufahamu
Fasihi
Sarufi
Misemo
Mfinyanzi hulia gaeni
Kifo kisimani
Vitenzi: Mzizi na viambishi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya misemo na umuhimu
wake.• kutoa mifano ya misemo na kuitumia
katika sentensi kimantiki na kisarufi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma taarifa kwa ufasaha na usahihi.• kujibu maswali ya taarifa kwa usahihi.• kueleza maana ya maneno kama
yalivyotumika katika taarifa.• kuzingatia mafunzo na maadili katika
taarifa.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza yaliyomo katika onyesho la nne
na tano.• kueleza matumizi ya lugha katika
onyesho la nne na tano.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza dhana ya mzizi na viambishi
katika vitenzi.• kubainisha mzizi na viambishi awali na
tamati katika vitenzi.
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 33-34
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 27-28
• Jedwali la misemo na maana zake
• Vielelezo vya misemo
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 35-37
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 28-29
• Magazeti na majarida • Taarifa kutoka redio,
runinga na mtandao• Picha na michoro
• Kifo kisimani – Onyesho la Nne na
Tano
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 37-40
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 29-31
• Jedwali la kubainisha mzizi na viambishi katika vitenzi
• Kamusi ya Kiswahili Sanifu
• Vielelezo vya maumbo ya vitenzi
• Mashindano • Majadialiano katika
makundi• Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu
• Kusoma• Maswali na majibu• Mjadala• Utafiti• Ufaraguzi
• Kusoma• Kujadiliana• Kuandika• Kuhakiki
• Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu• Majadiliano katika
vikundi• Tajriba
JUM
A 5
JUM
A 6
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
294
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
2
3
4
5
Ufasaha wa lugha
Fasihi teule
Utunzi
Kusikiliza na kuzungumza
Matumizi ya maneno maalumu
Fani katika mashairi huru
Insha ya mazungumzo
Mjadala –Umoja wa Afrika hauna faida
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana na kubainisha matumizi
sahihi ya maneno maalumu.• kutunga sentensi kwa kutumia maneno
maalumu.• kusahihisha matumizi mabaya ya
maneno maalumu.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana na umuhimu wa fani.• kufafanua fani katika mashairi huru.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza insha ya mazungumzo.• kufafanua muundo wa insha ya
mazungumzo.• kuandika insha ya mazungumzo.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kuendesha mjadala darasani.• kujadili hoja muhimu kwa ufasaha na
mantiki.• kuzingatia mitindo ya kujadili.
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 40-43
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 31
• Magazeti na majarida• Vielelezo vya sentensi
zenye maneno maalumu
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 43-46
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 31-33
• Vielelezo • Chati ya vipengele vya
fani• Mikusanyo ya
mashairi huru
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 46
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 33
• Mazingira ya wanafunzi
• Wanafunzi wenyewe• Mikusanyo ya insha
za mazungumzo
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 47
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 33-34
• Ramani • Picha • Mikusanyo ya makala
• Maelezo na ufafanuzi• Majadiliano katika
makundi• Tajriba• Maswali na majibu• Mifano
• Udadisi• Uchunguzi• Mifano • Maswali na majibu• Uhakiki
• Maelezo na ufafanuzi• Majadiliano• Ufaraguzi wa
mazungumzo• Tajriba• Maswali na majibu• Kuandika
• Mjadala • Maelezo na ufafanuzi• Kazi ya vikundi
JUM
A 6
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
295
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
6
1
2
3
Fasihi
Fasihi yetu
Ufahamu
Sarufi
Kifo kisimani
Mafumbo
Historia ya Umoja wa Afrika
Aina za vitenzi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza mtiririko wa onyesho la sita na
yaliyomo katika onyesho hili.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kutoa maana ya mafumbo.• kueleza sifa bainifu za mafumbo.• kupambanua dhima ya mafumbo.• kutoa mifano ya mafumbo.• kufumbua mafumbo.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma maandishi kwa ufasaha.• kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi.• kueleza maana za maneno.• kuzingatia mafunzo.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya vitenzi.• kubainisha vitenzi katika sentensi.• kutunga sentensi kwa kutumia vitenzi
vikuu, visaidizi, vishirikishi, vishirikishi-vipungufu na vitenzi sambamba.
• Kifo kisimani – Onyesho la Sita
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 47-49
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 34-35
• Chati za mafumbo• Wanafunzi wenyewe• Kadi za mafumbo• Vielelezo
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 49-51
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 35-36
• Ramani • Picha za viongozi• Magazeti na majarida• Waalikwa• Tarakimu, grafu na
chati
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 51-54
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 36-38
• Mandhari ya shule• Chati ya aina za
vitenzi na mifano yake
• Vielelezo
• Kusoma • Kujadili • Kuandika• Uhakiki
• Ufumbuzi wa mafumbo
• Uvumbuzi huria• Michezo ya lugha• Maelezo ya ufafanuzi• Mifano
• Usomaji• Maswali na majibu• Mahojiano• Utafiti
• Maelezo • Mifano• Tajriba
JUM
A 6
JUM
A 7
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
296
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
4
5
6
1
Ufasaha wa lugha
Fasihi teule
Fasihi
Kusikiliza na kuzungumza
Muhtasari: Kiswahili baada ya uhuru
Maudhui katika mashairi ya arudhi
Kifo kisimani
Unene wa kupindukia
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufupisha taarifa kuambatana na
maagizo.• kueleza maendeleo ya Kiswahili tangu
Kenya ipate uhuru.• kubainisha matatizo yanayoikabili lugha
ya Kiswahili na ustawi wake.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya maudhui.• kupambanua hatua za kupata maudhui.• kusoma shairi na kujibu maswali ya
ufahamu.• kufafanua maudhui ya shairi la arudhi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza mtiririko wa onyesho la saba
na kudondoa matukio makuu katika onyesho hilo.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza hoja kwa mantiki na ufasaha.• kujadili chanzo na madhara ya unene wa
kupindukia.• kupendekeza hatua za kukabiliana na
unene wa kupindukia.
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 55-56
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 38-39
• Ripoti magazetini• Chati • Historia ya Kiswahili
(OUP)• Picha na michoro• Ramani
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 57-58
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 39-40
• Mikusanyo ya visa vya udhalimu magazetini
• Mikusanyo ya mashairi ya arudhi
• Kifo kisimani – Onyesho la Saba
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 59
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 41-43
• Makala• Picha na michoro• Wanafunzi
• Kuandika• Kufupisha• Utatuzi wa mambo• Mahojiano
• Maelezo na ufafanuzi• Mifano• Ugunduzi• Makundi• Uhakiki
• Kusoma• Kujadili• Kuandika• Uhakiki
• Mjadala• Makundi• Maelezo• Maswali na majibu• Ufahamu wa
kusikiliza
JUM
A 7
JUM
A 8
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
297
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
2
3
4
5
Fasihi yetu
Ufahamu
Sarufi
Ufasaha wa lugha
Lakabu
Usafiri wa umma siku hizi
Viwakilishi
Muhtasari: Manufaa ya taka
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya lakabu.• kufafanua sifa za lakabu.• kutoa mifano na kufafanua maana za
lakabu katika vitabu vya fasihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma ufahamu wa ufasaha.• kujibu maswali ya taarifa kwa usahihi.• kueleza ujumbe wa taarifa.• kueleza maana za maneno.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya viwakilishi.• kuanisha viwakilishi mbalimbali na
mifano yake.• kufafanua matumizi ya viwakilishi.• kutunga sentensi sahihi kwa kutumia
viwakilishi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma taarifa kwa ufasaha na ufahamu.• kudondoa hoja kuu kutoka katika
taarifa.• kueleza hoja kwa muhtasari bila
kupoteza au kubadili maana.• kujibu maswali ya ufupisho kwa usahihi
kulingana na vidokezo.
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 59-60
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 43-44
• Vielelezo • Wanafunzi
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 60-63
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 44-45
• Picha na michoro• Mazingira ya
wanafunzi
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 63-66
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 45-46
• Majedwali • Maandishi kutoka
magazeti na vitabu
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 66-67
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 46
• Wanafunzi wenyewe• Kielelezo cha hatua za
kufupisha habari
• Maelezo • Usomaji• Maswali na majibu• Tajriba• Utafiti • Majadiliano
• Maelezo• Usomaji• Maswali na majibu• Tajriba• Utafiti
• Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu• Majadiliano • Tajriba
• Maelezo• Ufafanuzi• Majadiliano• Kutoa mifano• Maswali na majibu• Kusoma • Kuandika
JUM
A 8
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
298
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU
MA
8
6
1
2
Fasihi teule
Utunzi
Kusikiliza na kuzungumza
Mafunzo na tathmini katika mashairi
Mashairi ya arudhi na huru
Mawazo
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kuonyesha mambo muhimu ya
kushughulikiwa katika tathmini ya ushairi.
• kufafanua hatua za kupitia wakati wa kujibu maswali ya mashairi.
• kujibu maswali ya ushairi kwa usahihi.• kueleza mafundisho katika ushairi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kutunga mashairi ya arudhi na
huru kwa kuzingatia utunzi wao na maudhui waliyopewa.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma kwa ufasaha.• kusikiliza kwa makini.• kujadili hoja kwa ufasaha.
• Majadiliano• Makundi• Utendaji• Maswali na majibu• Maelezo na
ufafanuzi
• Maelezo • Tajriba• Utafiti• Utungaji wa kisanii
• Maelezo• Mdahalo• Maigizo• Uchunguzi
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 68-70
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 46-48
• Kanda za sauti au video
• Vielelezo• Mashairi kutoka
vitabu mbalimbali
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 71-72
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 48-49
• Vielelezo• Mikusanyo ya
mashairi• Makala toka
magazeti
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 73-74
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 49-50
• Vielelezo• Wanafunzi• Waalikwa• Vibonzo
JUM
A 9
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
299
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU
MA
9
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 74-76
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 50-52
• Kamusi ya Sheng• Kanda za sauti na
video• Idhaa mbalimbali za
redio• Mikusanyo ya
misimu• Magazeti, hasa ya
udaku
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 77-78
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 52-53
• Magazeti• Vielelezo vya barua
rasmi
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 79-81
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 53-54
• Chati za vivumishi• Maandishi
mbalimbali
• Kifo kisimani – Onyesho la Nane
• Mifano• Ufaraguzi• Utafiti• Maelezo na
ufafanuzi• Michezo ya lugha
• Ugunduzi wa kuongozwa
• Maswali na majibu• Utafiti• Tajriba• Usomaji
• Maelezo na ufafanuzi
• Utafiti• Mifano• Tajriba
• Kusoma • Kujadiliana • Kuandika• Uhakiki
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza misimu.• kueleza sababu ya misimu kuchipuka.• kufafanua sifa za misimu.• kutoa mifano na maana za misimu.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma kwa makini.• kupambanua sifa za barua rasmi.• kujibu maswali kwa usahihi.• kueleza matumizi ya lugha.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza vivumishi.• kuanisha vivumishi.• kutoa mifano ya vivumishi.• kubainisha maumbo ya vivumishi.• kutumia vivumishi katika sentensi
kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kuelezea mtiririko wa onyesho la
nane.• kutambua matukio makuu katika
onyesho la nane.
Misimu
Barua wazi kwa Mkurugenzi
Vivumishi
Kifo kisimani
Fasihi yetu
Ufahamu
Sarufi
Fasihi
3
4
5
6
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
300
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU
MA
10
1
2
3
4
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma na kufupisha habari ipasavyo.• kufafanua wajibu wa Kiswahili.• kueleza maenezi ya lugha ya
Kiswahili.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kuandika kwa usahihi akizingatia
muundo, maudhui na hatua za barua rasmi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kutetea hoja kikamilifu.• kuwasilisha hoja kwa kuzingatia
kanuni za kuendesha midahalo.• kuzungumza kwa ufasaha na usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya ngano.• kufafanua muundo na umuhimu wa
ngano.• kuanisha ngano.• kuhakiki ngano.
• Kufupisha• Utafiti• Majadiliano• Kazi mradi• Usomaji• Kuandika
• Mifano• Maelezo• Majadiliano• Uchunguzi• Kuandika
• Ufafanuzi• Mjadala• Tajriba• Utendaji au uigizaji
• Maelezo na ufafanuzi
• Masimulizi• Majadiliano• Maswali na majibu• Makundi• Uhakiki
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 82-83
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 54-55
• Ramani• Magazeti• Redio na mdahilishi• Vielelezo
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 85-86
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 56-58
• Vielelezo • Chati • Mikusanyo
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 87
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 58-60
• Makala• Kanda za sauti• Wanafunzi
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 87-89
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 60-63
• Chati za muundo, aina na umuhimu wa ngano
• Kanda za sauti kutoka KIE
• Vielelezo
Ufasaha wa lugha
Utunzi
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi yetu
Muhtasari: Wajibu wa Kiswahili kitaifa na kimataifa 1
Barua rasmi
Mjadala
Ngano
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
301
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU
MA
10
5
6
1
2
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 90-92
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 63-64
• Picha na michoro• Magazeti
na majarida yanayogusia ubakaji
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 92-94
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 64-66
• Majedwali • Vielelezo
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 95-96
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 66-69
• Vielelezo vya wasifu na tawasifu
• Kanda za sauti au video zenye mada hii
• Picha na michoro
• Kifo kisimani – Onyesho la Tisa
• Usomaji• Majadiliano• Maelezo na
ufafanuzi• Maswali na majibu
• Maelezo na ufafanuzi
• Maswali na majibu• Majadiliano• Mashindano• Makundi
• Maelezo na ufafanuzi
• Tajriba na mifano• Maswali na majibu• Majadiliano
• Kusoma • Kujadiliana• Uchambuzi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma kwa ufasaha.• kubainisha maudhui au ujumbe wa
taarifa.• kueleza maana ya msamiati.• kujibu maswali kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya neno viunganishi.• kubainisha viunganishi vya asili ya
Kibantu na vya kukopwa.• kufafanua sifa na dhima za
viunganishi.• kutunga sentensi kwa kutumia
viunganishi kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya wasifu na tawasifu.• kueleza umuhimu wa wasifu na
tawasifu.• kutoa mifano ya wasifu na tawasifu.• kufafanua mafunzo kutokana na
mifano ya wasifu na tawasifu.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza mtiririko wa onyesho la tisa.
Ubakaji
Viunganishi
Wasifu na tawasifu
Kifo kisimani
Ufahamu
Sarufi
Ufasaha wa lugha
Fasihi
JUM
A 1
1
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
302
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU
MA
11
3
4
5
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza muundo na hatua za kuandika
insha za wasifu na tawasifu.• kuandika insha za wasifu na tawasifu
kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusikiliza kwa makini.• kujibu maswali kwa usahihi.• kueleza shughuli za mkutano na
umuhimu wake.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza miviga.• kufafanua dhima ya miviga.• kueleza sifa za miviga.• kutoa mifano ya miviga.
• Uchunguzi• Mifano• Tajriba• Maswali na majibu• Maelezo na
ufafanuzi• Kuandika
• Mjadala• Makundi• Mifano• Maelezo na
ufafanuzi
• Mifano• Tajriba• Utafiti• Maigizo• Maelezo na
ufafanuzi
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 98
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 70
• Vielelezo vya insha za wasifu na tawasifu
• Magazeti na majarida yenye wasifu au tawasifu
• Kanda za sauti au video juu ya maisha ya watu maarufu
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 99-101
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 70-71
• Mikusanyo ya kumbukumbu
• Ripoti za mikutano magazetini
• Vielelezo
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 101-102
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 71-72
• Mikusanyo ya miviga• Mwalikwa• Kanda za sauti• Picha za sherehe
Utunzi
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi yetu
Insha ya wasifu na tawasifu
Mkutano Mkuu wa Mwaka
Miviga
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
303
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU
MA
11
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 102-104
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 72-73
• Picha za maeneo• Ripoti za visa vya
maonevu kazini• Tarakimu za
wahasiriwa wa ukimwi
• Magazeti na majarida
• Kanda za video
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 104-106
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 73-74
• Mabango• Ramani• Mandhari katika
ujirani wa shule
• Kifo kisimani – Onyesho la Kumi
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 106-107
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 74
• Magazeti• Mdahilishi• Redio• Vielelezo• Historia ya
Kiswahili (OUP)
• Ufaraguzi• Utatuzi wa mambo• Maswali na majibu• Usomaji
• Tajriba• Kazi mradi • Masimulizi• Uigizaji
• Kusoma • Kujadiliana• Kuandika• Uchambuzi
• Maswali na majibu• Usomaji• Kuandika• Maelezo• Majadiliano• Uchunguzi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma kwa makini.• kueleza hali ya wahasiriwa wa ukimwi
katika mazingira ya kazini.• kufafanua maana za maneno.• kujibu maswali kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya vielezi.• kuainisha vielezi vya mahali na idadi.• kutumia vielezi kutungia sentensi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza mtiririko katika onyesho la
kumi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma na kufupisha habari ipasavyo.• kufafanua wajibu wa Kiswahili.• kueleza ufundishaji wa Kiswahili
katika vyuo vikuu.• kupima matumizi ya Kiswahili katika
vyombo vya habari.
Ufahamu
Sarufi
Fasihi
Ufasaha wa lugha
Kitengo cha ukimwi chazinduliwa
Vielezi
Kifo kisimani
Muhtasari:Wajibu wa Kiswahili kitaifa na kimataifa 2
6
1
2
3JUM
A 1
2
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
304
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU
MA
12
4
5
6
1
Utunzi
Fasihi yetu
Ufahamu
Mtihani na kusahihisha
Kumbukumbu
Mighani
Mwacha mila
Marudio na mazoezi ya stadi zote
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kuandika insha ya kumbukumbu kwa
usahihi akizingatia mbinu za uandishi wake.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza mighani.• kuonyesha sifa za mighani.• kufafanua sifa za mighani kuhusu
Nyerere.• kusimulia mighani.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma taarifa kwa makini na ufasaha.• kutoa maoni kuhusu mila ya kuzika
maiti ‘kwao’.• kujibu maswali ya ufahamu kwa
usahihi.• kueleza maana za maneno.• kuzingatia mafunzo katika taarifa.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kupitia yote waliyojifunza.• kubuni na kujieleza.• kusahihisha makosa waliyoyafanya.
• Utatuzi wa mambo• Tajriba• Ufaraguzi• Mazungumzo• Kuandika
• Maswali na majibu• Maelezo na ufafanuzi• Tajriba• Majadiliano• Masimulizi
• Mjadala• Maswali na majibu• Mifano • Usomaji • Tajriba• Maelezo na ufafanuzi
• Tajriba ya wanafunzi
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 110
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 75-76
• Vielelezo• Ubao• Mikusanyo
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 111-114
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 79-80
• Vielelezo vya mighani
• Magazeti, majarida na makala toka kwenye wavuti yenye mighani
• Wanafunzi wenyewe
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 114-116
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 79-80
• Vielelezo• Mikusanyo ya visa
magazetini
• Karatasi za mitihani• Kalamu
JUM
A 1
3
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
305
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU
MA
1
1
2
3
Sarufi
Fasihi
Ufasaha wa lugha
Vihusishi
Kifo kisimani
Uundaji wa maneno
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya vihusishi.• kufafanua dhima ya vihusishi.• kubainisha aina za vihusishi.• kutumia vihusishi katika sentensi kwa
usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza mbinu mbalimbali za lugha
ambazo zimetumika.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza sababu za lugha kuendelea
kuunda maneno kila wakati.• kutaja mifano ya maneno ambayo
yamezuka katika nyanja mbalimbali kutokana na maendeleo ya jamii.
• kueleza mojawapo ya njia ambazo hutumiwa katika kuunda maneno.
• kufafanua namna maneno yanavyotumiwa kuunda maneno mengine.
• kutoa maneno yaliyoundwa kutokana na mengine katika sentensi kwa usahihi.
• Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu• Majadiliano• Tajriba
• Kujadiliana• Kuandika• Kusoma• Uchambuzi
• Tajriba• Majadiliano• Mifano• Majibu na maswali• Maelezo na ufafanuzi
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 116-118
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 80-81
• Majedwali• Vielelezo• Mikusanyo ya sentensi
zenye vihusishi
• Kifo kisimani
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 118-120
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 81-83
• Chati ya aina za maneno
• Vielelezo vya maneno yaliyoundwa kutokana na mengine
• Makala yenye maandishi
Kiswahili, Kidato cha Nne, Maazimio ya Kazi: Muhula wa Pili
306
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU
MA
1
4-5
6
1
Fasihi teule
Utunzi
Kusikiliza na kuzungumza
Fani katika hadithi fupi
Uandishi wa matangazo
Hotuba:Balozi wa Umoja wa Mataifa juu ya mazingira
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma hadithi fupi.• kupambanua vipengele vya fani.• kuchambua fani katika mkusanyo wa
hadithi fupi.• kujibu maswali kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza matangazo. • kueleza umuhimu wa matangazo.• kubainisha aina za matangazo.• kuandika matangazo.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusikiliza kwa makini.• kufafanua ujumbe wa hotuba kwa
ufasaha.• kueleza matatizo ya uharibifu wa
mazingira na ufumbuzi wake.• kueleza maana za maneno.• kupambanua mchango wa vijana
katika kuhifadhi mazingira.
• Tajriba• Maswali• Uhakiki• Kazi mradi• Udadisi• Usomaji • Maelezo na ufafanuzi
• Tajriba• Maswali na majibu• Uchunguzi• Makundi • Kuandika
• Mdahalo• Maigizo• Makundi• Utatuzi wa mambo• Kazi mradi• Kuhutubu
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 120-123
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 83-84
• Mandhari halisi• Chati ya vipengele
vya fani• Kitabu kiteule cha
hadithi fupi (Mayai Waziri wa Maradhi)
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 123-124
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 84-85
• Mabango • Mdahilishi, runinga,
redio• Picha magazetini• Mandhari halisi
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 125-126
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 85-86
• Mabango• Mdahilishi, runinga
video na redio• Picha magazetini• Mandhari halisi
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa PiliJU
MA
2
307
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU
MA
2
2
3
4
Fasihi yetu
Ufahamu
Sarufi
Ulumbi
Haki za watoto na wanawake
Vihisishi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza ulumbi.• kueleza majukumu ya walumbi.• kupambanua sifa za ulumbi.• kutoa mifano ya walumbi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma kwa ufasaha na makini.• kujibu maswali ya ufahamu kwa
usahihi.• kueleza maana za maneno na methali.• kuzingatia mafunzo katika taarifa.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza vihisishi.• kuanisha vihisishi.• kutoa mifano ya vihisishi katika
Kiswahili.• kutumia vihisishi katika maandishi na
mazungumzo.
• Mifano• Utazamaji• Uchunguzi kifani• Maelezo na
ufafanuzi
• Ufaraguzi• Maelezo• Maswali na majibu• Mahojiano na
majadiliano
• Maigizo• Utafiti• Mifano• Masimulizi
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 127-128
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 86-87
• Kanda za sauti• Picha• Waalikwa
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 128-130
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 87-88
• Vibonzo• Waalikwa• Vyombo vya habari • Makala • Kamusi
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 130-133
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 88-89
• Kanda za sauti au video
• Mikusanyo ya vihisishi
• Mazungumzo kwenye runinga au redio
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
308
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU
MA
2
5
6
1
Ufasaha wa lugha
Fasihi teule
Fasihi teule
Mwingiliano wa aina za maneno
Fani katika riwaya
Maudhui katika riwaya
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kubainisha dhana ya mwingiliano wa
maneno.• kutambulisha aina za maneno.• kutunga sentensi kudhihirisha
mwingiliano wa maneno mbalimbali.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya fani.• kubainisha mambo muhimu katika
fani.• kufafanua umuhimu wa fani.• kuhakiki riwaya teule kifani.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maudhui na dhamira.• kupambanua hatua na vigezo vya
kupata maudhui. • kufafanua maudhui ya riwaya teule.
• Mifano• Utafiti• Uchunguzi
• Maelezo na ufafanuzi
• Maswali na majibu• Uchambuzi • Majadiliano• Makundi
• Majadiliano• Makundi• Maswali na majibu• Tajriba• Ugunduzi• Utafiti• Uhakiki
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 130-133
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 89-90
• Kadi za maneno• Jedwali la aina za
maneno• Mandhari ya
wanafunzi
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 107-110
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 75
• Riwaya teule• Chati• Kanda za sauti
kutoka KIE
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 135-136
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 90
• Kanda za sauti kutoka KIE
• Riwaya teule• Picha za watu, vitu,
hali na mandhari mbalimbaliJU
MA
3
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
309
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU
MA
3
2
3
4
Utunzi
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi yetu
Uandishi wa hotuba: Kenya tuitakayo
Mahojiano: Jopo la waajiri
Soga
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya hotuba.• kufafanua sifa za hotuba.• kueleza muundo wa hotuba na hatua
za kuiandika.• kuandika hotuba.• kuzingatia ujumbe katika hotuba.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza sifa za mahojiano katika jopo
la waajiri.• kuendesha mahojiano ya jopo la
waajiri kwa usahihi.• kuandika insha ya mahojiano ya kazi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya soga.• kufafanua sifa za soga.• kubainisha mafunzo katika soga• kutoa mfano wa soga.
• Maigizo ya hotuba• Muundo wa hotuba• Jinsi ya kuandika
hotuba• Ujumbe katika hotuba• Ufahamu wa kusikiliza
• Maelezo na ufafanuzi• Maigizo• Ufaraguzi• Mahojiano• Majadiliano• Tajriba• Maswali na majibu
• Maelezo na ufafanuzi• Maigizo • Ufaraguzi• Maswali na majibu• Majadiliano
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 136
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 90-92
• Vielelezo vya hotuba mbalimbali
• Magazeti na majarida ya hotuba
• Picha za mandhari kutoka nchi mbalimbali
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 137-138
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 92-93
• Vielelezo vya maswali yanayoulizwa na jopo
• Wanafunzi wenyewe
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 138-139
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 93-94
• Vielelezo vya soga mbalimbali
• Jedwali• Kanda za sauti
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
310
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU
MA
3
5
6
1-2
3
Fasihi
Ufahamu
Sarufi
Ufasaha wa lugha
Kifo kisimani
Kazi mbi si mchezo mwema
Vijenzi vya sentensi 1
Dayolojia:Uwajibikaji wa viongozi waliochaguliwa
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kuzitambua mbinu na fani mbalimbali
za lugha zilizotumika katika tamthilia.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma ufahamu kwa ufasaha.• kueleza yaliyomo katika taarifa.• kujibu maswali kwa usahihi.• kueleza maana za maneno na vifungu. • kuzingatia mafunzo katika taarifa.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kubainisha vijenzi vya sentensi.• kutunga sentensi ili kudhihirisha
vijenzi maalumu.• kutoa mifano ya vijenzi vya sentensi
ambavyo vinashughulikiwa.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma na kuigiza dayolojia kwa
ufasaha.• kujibu maswali kutokana na dayolojia
kwa usahihi.• kuandika dayolojia nyingine kama
walivyoelekezwa kwa usahihi.
• Kujadiliana• Kusoma• Kuandika• Uchambuzi
• Maelezo na ufafanuzi• Usomaji• Maswali na majibu• Majadiliano• Tajriba
• Maelezo na ufafanuzi• Uchunguzi• Majadiliano• Maswali na majibu
• Uigizaji• Makundi• Majadiliano• Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu
• Kifo kisimani
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 140-142
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 94-96
• Picha na michoro • Makala ya magazeti • Kamusi ya
Kiswahili Sanifu
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 142-146
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 96-97
• Vielelezo vya vijenzi vya sentensi
• Mikusanyo ya maandishi, kama vitabu viteule, magazeti na kamusi
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 146-148
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 97-98
• Wanafunzi wenyewe• Vielelezo vya
dayolojia
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa PiliJU
MA
4
311
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU
MA
4
4
5-6
1
2
Fasihi teule
Fasihi
Utunzi
Kusikiliza na kuzungumza
Maudhui katika hadithi fupi
Kifo kisimani
Mahojiano
Wavuti
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya maudhui.• kueleza vigezo vya kuzingatia katika
uchambuzi wa maudhui.• kufafanua maudhui ya hadithi
mbalimbali katika mkusanyo teule wa hadithi fupi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kutambua maudhui yanayoendelezwa
katika tamthilia.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kufafanua muundo wa mahojiano.• kuandika insha ya mahojiano kwa
usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kutumia wavuti ipasavyo.• kuendesha majadiliano kutokana na
ujumbe katika wavuti kwa ufahasa.• kuzingatia ujumbe katika wavuti.
• Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu• Tajriba• Ugunduzi wa
kuongozwa• Uhakiki
• Kusoma• Kujadili• Kuandika• Uchambuzi
• Maelezo • Kuandika • Mahojiano• Kuigiza• Mifano• Maswali na majibu• Makundi
• Uchunguzi• Tajriba• Majadiliano• Maelezo na ufafanuzi
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 148-150
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 98-99
• Kitabu kiteule cha hadithi fupi
• Kanda za uhakiki kutoka KIE
• Kifo kisimani
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 150
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 99-100
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 151
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 100-101
• Wavuti• Ramani• Picha kutoka
magazeti
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa PiliJU
MA
5
312
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU
MA
5
3
4
5-6
Fasihi yetu
Ufahamu
Fasihi
Malumbano ya utani
Taarifa ya wavuti kuhusu ajira ya watoto
Kifo kisimani
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kuchunguza mifano ya malumbano ya
utani.• kupambanua aina za utani.• kueleza matumizi ya lugha katika
malumbano ya utani.• kufafanua dhima ya malumbano ya
utani.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma kwa makini.• kujibu maswali ya ufahamu kwa
usahihi.• kueleza maana za maneno.• kuzingatia mafunzo katika taarifa.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kutambua maudhui yanayoendelezwa
katika tamthilia hii.
• Uchunguzi kifani• Mifano• Tajriba• Maswali na majibu• Maswali na majibu
• Tajriba• Uchunguzi kifani• Maelezo na ufafanuzi
• Kusoma • Kujadiliana• Kuandika• Uchambuzi
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 151-153
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 101
• Kanda za sauti• Mikusanyo ya
malumbano ya utani• Ripoti za utafiti
kuhusu utani
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 153-155
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 101-103
• Wavuti• Picha katika
magazeti na majarida
• Redio, runinga na video
• Kamusi ya Kiswahili Sanifu
• Kifo kisimani
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
313
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU
MA
6
1-2
3
4
5-6
Sarufi
Ufasaha wa lugha
Fasihi teule
Fasihi
Vijenzi vya sentensi 2
Muhtasari: Ponografia na athari zake
Mafunzo na tathmini katika riwaya
Kifo kisimani
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza vijenzi vya sentensi.• kubainisha vijenzi mbalimbali vya
sentensi kama shamilisho, vishazi na virai.
• kutoa mifano ya vijenzi vya sentensi.• kufunga sentensi kudhihirisha vijenzi
maalumu vya sentensi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kufupisha habari.• kueleza chanzo cha ponografia.• kufafanua sababu na njia za kuenea
kwa ponografia.• kujadili athari za ponografia.• kupendekeza njia za kukabiliana na
ponografia katika jamii.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza mafunzo na tathmini.• kupambanua vipengele vya mafunzo
na tathmini.• kufafanua mafunzo ya riwaya teule.• kufanya tathmini ya riwaya teule.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maudhui katika tamthilia ya
kifo kisimani.
• Mifano • Uchunguzi • Tajriba• Maelezo na ufafanuzi
• Maswali na majibu• Uchunguzi kifani• Maelezo na ufafanuzi• Kuandika
• Tajriba• Utatuzi wa mambo• Maswali na majibu• Maelezo na ufafanuzi• Majadiliano• Uhakiki
• Kusoma • Kujadiliana• Kuandika• Uhakiki
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 155-159
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 103-104
• Vielelezo• Mikusanyo ya
maandishi
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 160-161
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 104-105
• Mifano ya vyombo vya mawasiliano
• Mwalikwa
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 162-163
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 105-106
• Riwaya teule• Mwalikwa
• Kifo kisimani
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
314
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU
MA
7
1-2
3
4
Utunzi
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi yetu
Memo, baruameme na ujumbe wa rununu
Mjadala
Mawaidha katika fasihi simulizi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya memo, baruameme
na ujumbe wa rununu.• kupambanua sifa za memo,
baruameme na ujumbe wa rununu.• kubainisha tofauti na mfanano baina
ya barua rasmi na memo, baruameme na ujumbe wa rununu.
• kuandika memo, baruameme na ujumbe wa rununu kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kuendesha mjadala darasani.• kujadili hoja muhimu kwa mantiki na
ufasaha.• kuzingatia mitindo ya kujadili.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana na umuhimu wa
mawaidha kama kipera cha fasihi simulizi.
• kufafanua sifa na dhima ya mawaidha.• kuchambua mawaidha waliyopewa.• kuandika mawaidha kwa usahihi.
• Maelezo na ufafanuzi • Mifano• Uvumbuzi• Kuandika• Utafiti • Maswali na majibu
• Maelezo na ufafanuzi• Mjadala• Mashindano
• Ufaraguzi• Utafiti• Majadiliano• Makundi• Maelezo na ufafanuzi
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 164-166
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 106-107
• Vielelezo• Mikusanyo ya
memo, baruameme na ujumbe wa rununu
• Tarasha za matangazo
• Mdahilishi • Rununu
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 167
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 107-109
• Kielelezo cha mdahilishi
• Hoja kuhusu manufaa na madhara ya mdahilishi katika magazeti, majarida na mtandao
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 167-168
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 109-111
• Vielelezo vya mawaidha
• Mwalikwa
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
315
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU
MA
7
5
6
1
2-3
Fasihi teule
Fasihi
Ufahamu
Sarufi
Mafunzo na tathmini katika fasihi simulizi
Kifo kisimani
Utandawazi
Uchanganuzi wa sentensi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kufafanua mafunzo yanayojitokeza
katika vipera vya fasihi.• kueleza hatua za kuzingatia wakati
wa kushughulikia mtihani wa fasihi simulizi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maudhui katika tamthilia.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma taarifa kwa ufasaha.• kueleza ujumbe wa taarifa.• kueleza maana ya msamiati.• kujibu maswali kwa usahihi.• kuzingatia mafunzo katika somo.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya uchanganuzi wa
sentensi.• kufafanua sentensi sahili, ambatano na
changamano.• kuchanganua sentensi mbalimbalai
kwa njia za majedwali, mistari, mishale na michoro ya matawi.
• kueleza vijenzi vya sentensi baada ya uchanganuzi.
• Majadiliano• Makundi• Tajriba• Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu
• Kusoma • Kujadiliana• Kuandika• Uchambuzi
• Uvumbuzi• Majadiliano• Makundi• Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu
• Maelezo• Majadiliano• Mifano• Tajriba• Maswali na majibu
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 97-98
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 69
• Vielelezo vya tathmini ya kazi za fasihi simulizi
• Kifo kisimani
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 169-171
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 111-113
• Kamusi ya Kiswahili Sanifu
• Magazeti na majarida
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 171-175
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 113-124
• Vielelezo vya sentensi zilizochanganuliwa kupitia kwa majedwali, mistari, mishale na michoro ya matawi
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa PiliJU
MA
8
316
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU
MA
8
4-5
6
1
2
Ufasaha wa lugha
Fasihi
Fasihi teule
Utunzi
Ukanushaji wa nyakati na hali
Mtindo wa mwandishi katika tamthilia
Mafunzo na tathmini katika hadithi fupi
Insha ya masimulizi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya ukanushaji. • kufafanua jinsi ya kukanusha kwa
kutegemea nafsi, nyakati na hali.• kubainisha maumbo ya viambishi vya
ukanushaji.• kubadilisha sentensi katika hali
yakinifu au hali kanushi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza mtindo wa mwandishi katika
tamthilia ya kifo kisimani.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kufafanua mafunzo yanayojitokeza
katika hadithi fupi.• kueleza namna ya kushughulikia
tathmini katika utanzu wa hadithi fupi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kufafanua sifa za insha ya masimulizi.• kusimulia kisa kwa sauti.• kuandika insha aliyosimulia kwa
usahihi.
• Tajriba• Majadiliano• Mifano• Maswali na majibu• Maelezo na ufafanuzi
• Majadiliano• Maswali na majibu • Kuandika• Uchambuzi
• Majadiliano• Makundi• Maelezo na ufafanuzi• Tajriba
• Makundi • Majadiliano• Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu• Kuandika
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 176-180
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 124-125
• Vielelezo vya sentensi katika hali yakinifu na hali kanushi
• Jedwali la viambishi vya ukanushaji
• Kifo kisimani
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 180-182
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 126
• Mkusanyo teule wa hadithi fupi
• Vielelezo vya hatua za kuzingatia wakati wa kushughulikia tathmini ya hadithi fupi
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 182
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 126-127
• Vielelezo vya insha za masimulizi
• Kanda za video au sauti zenye masimulizi
• Chati
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa PiliJU
MA
9
317
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU
MA
9
3
4
5
6
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi yetu
Ufahamu
Fasihi
Ilani na onyo
Maigizo
Tohara
Wahusika
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza ilani na onyo.• kutoa mifano ya ilani na onyo.• kujadili ujumbe katika ilani na onyo.• kuzingatia ujumbe katika ilani na
onyo.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya maigizo.• kufafanua sifa za maigizo.• kutoa mifano ya maigizo.• kuzingatia ujumbe katika maigizo.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma shairi kwa mdundo ufaao.• kujibu maswali kwa usahihi.• kuzingatia ujumbe wa shairi• kueleza maana za maneno.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza sifa za wahusika wakuu katika
tamthilia
• Maigizo• Mifano• Uchunguzi• Maelezo na ufafanuzi• Kuandika
• Maigizo • Mifano• Ugunduzi• Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu
• Maswali na majibu• Uvumbuzi• Maelezo na ufafanuzi• Makundi• Usomaji na kukariri
• Majadiliano• Maelezo• Maswali na majibu• Uchambuzi
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk.183-185
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 127-128
• Mikusanyo ya ilani na onyo
• Picha na michoro• Hali halisi
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 185-186
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 128-129
• Vielelezo • Kanda za sauti na
video
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 187-188
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 129-130
• Visa vya tohara magazetini
• Michoro au picha• Wasakatonge
• Kifo kisimani
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
318
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU
MA
10
1-2
3
4
5-6
Sarufi
Ufasaha wa lugha
Fasihi teule
Fasihi
Mnyambuliko wa vitenzi 1
Muhtasari:Janga la Tsunami
Chimbuko na usuli wa tamthlia
Wahusika
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza mnyambuliko wa vitenzi.• kuainisha kauli mbalimbali za vitenzi.• kufafanua maana ya vitenzi katika
kauli mbalimbali.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma taarifa kwa makini.• kufupisha habari.• kufafanua hoja kuhusu janga la
Tsunami.• kuzingatia mafunzo katika taarifa.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza chimbuko na usuli wa
tamthilia.• kueleza mikondo ya tamthilia.• kufafanua mambo ya kuzingatia katika
uchunguzi wa usuli.• kupambanua usuli wa tamthilia.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza sifa za wahusika wote katika
tamthilia.
• Kuandika• Maelezo na ufafanuzi• Mifano• Uchunguzi• Tajriba
• Utatuzi wa mambo• Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu• Mifano
• Uvumbuzi• Tajriba• Utafiti• Uchunguzi kifani
• Majadiliano• Maswali na majibu• Uhakiki • Kuandika
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 188-194
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 130-131
• Vielelezo• Chati ya viambishi
vya kauli za vitenzi• Mandhari halisi
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 194-196
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 131-132
• Ramani• Picha
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 196-198
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 132-133
• Picha• Kanda za sauti• Mikusanyo ya
tamthilia
• Kifo kisimani
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
319
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU
MA
11
1
2
3-4
5
Utunzi
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi yetu
Ufahamu
Ratiba ya tamasha ya sanaa za maonyesho
Wimbo: Ufisadi ukome!
Nyimbo
Mgawanyo wa majukumu katika familia
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kubainisha sifa za ratiba.• kueleza mambo ya kuzingatia katika
maandalizi ya ratiba.• kupambanua umuhimu wa ratiba.• kukamilisha ratiba ya mashindano ya
sanaa ya maonyesho.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kuimba wimbo kwa mahadhi
yanayovutia.• kujadili ujumbe wa wimbo• kuanisha wimbo• kuzingatia mafunzo katika wimbo
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya wimbo. • kupambanua sifa na muundo wa
nyimbo.• kuainisha aina mbalimbali ya nyimbo.• kuzingatia mafunzo katika nyimbo.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma ufahamu kwa ufasaha.• kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi. • kueleza kwa tafsili maana za maneno
na vifungu.• kuzingatia mafunzo.
• Uchunguzi kifani• Kazi mradi• Tajriba• Ufaraguzi• Kuandika
• Maelezo na ufafanuzi• Majadiliano• Utendaji, hasa uimbaji• Vikundi• Tajriba
• Maelezo na ufafanuzi • Utendaji• Majadiliano• Maswali na majibu• Makundi
• Maelezo na ufafanuzi• Majadiliano• Tajriba• Usomaji• Maswali na majibu
• Maelezo na ufafanuzi
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 198-200
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 133
• Vielelezo vya ratiba• Kalenda• Saa• Orodha ya mambo
ubaoni
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 201
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 133-135
• Vielelezo vya nyimbo• Wanafunzi
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 201-205
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 135-137
• Kanda za kunasia sauti
• Ala za muziki• Waalikwa (waimbaji)• Vielelezo vya nyimbo
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 205-207
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 137-139
• Magazeti na majarida• Kanda za sauti
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
320
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU
MA
11
6
1
2-3
Sarufi
Ufasaha wa lugha
Fasihi teule
Hali ya kuamuru
Muhtasari:Nyimbo za kazi
Fani katika tamthlia
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza dhana ya kuamrisha.• kubainisha vigezo vinavyotawala hali
ya kuamrisha.• kutunga sentensi katika hali ya
kuamrisha katika umoja na wingi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma taarifa kwa ufasaha.• kufafanua ujumbe wa taarifa.• kufupisha taarifa kulingana na
maagizo.• kufafanua dhima ya nyimbo za kazi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza vipengele vya fani, kama vile
mtindo na muundo, matumizi ya lugha na usawiri wa wahusika.
• kufafanua matumizi na umuhimu wa mtindo, muundo, matumizi ya lugha na usawiri wa wahusika katika tamthilia.
• kuchambua fani katika tamthilia teule.
• Majadiliano• Uchunguzi• Tajriba
• Maelezo na ufafanuzi• Uvumbuzi• Tajriba• Maswali na majibu• Usomaji• Kuandika
• Uchunguzi• Udadisi• Ugunduzi• Maigizo• Maswali na majibu• Uhakiki
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 207-209
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 139-140
• Jedwali la viambishi vinavyohusika katika hali ya kuamisha
• Sentensi vielelezo katika hali yakinishi na kuamuru
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 209-211
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 140-141
• Vielelezo vya nyimbo za kazi
• Vielelezo vya habari iliyofupishwa
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 211-214
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 141
• Majedwali ya miainisho tofauti ya tamthilia
• Vielelezo vya fani• Tamthilia teule
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa PiliJU
MA
12
321
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU
MA
12
4
5
6
Utunzi
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi yetu
Mtihani na kusahihisha
Maagizo na maelekezo katika mazingira ya kazi
Mjadala bungeni
Maghani
Marudio na mazoezi ya stadi zote
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya maagizo na
maelekezo.• kufafanua umuhimu wa maagizo na
maelekezo katika mazingira ya kazi.• kueleza sifa au muundo wa maagizo na
maelekezo.• kuandika maagizo na maelekezo.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kuigiza mjadala bungeni ipasavyo.• kufafanua majukumu ya watu
mbalimbali bungeni.• kutoa maoni kuhusu mjadala bungeni.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya maghani.• kutoa mfano wa maghani.• kupambanua sifa za maghani.• kufafanua umuhimu wa maghani.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kupitia yote waliyojifunza.• kubuni na kujieleza.• kusahihisha makosa waliyoyafanya.
• Maelezo na ufafanuzi• Tajriba• Ufaraguzi• Maswali na majibu• Makundi• Kuandika
• Uchunguzi kifani• Maigizo• Ziara bungeni• Mifano
• Maelezo na ufafanuzi • Maigizo• Uchunguzi kifani• Mifano• Maswali na majibu
• Tajriba ya wanafunzi
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 214
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 142
• Vielelezo• Magazeti
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 215-217
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 142-143
• Picha na michoro ya bunge
• Mikusanyo ya ripoti za bunge magazetini
• Nakala za Hansard• Vipindi katika
redio na televisheni kuhusu bunge
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 217-218
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 143
• Kanda za sauti• Mikusanyo ya
mwalimu na wanafunzi
• Karatasi za mitihani• Kalamu
JUM
A 1
3
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
322
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU
MA
1
Ufahamu
Sarufi
Ufasaha wa lugha
Mfumo wa soko huru haufai
Viambishi maalumu
Muhtasari:Matatizo ya Kiswahili
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma kwa makini na kwa ufasaha.• kutoa hoja kwa mantiki na ufasaha.• kueleza faida na hasara za mfumo wa
soko huru.• kufafanua maana za maneno.• kujibu maswali ya ufahamu kwa
usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza viambishi maalumu.• kufafanua matumizi ya viambishi
maalumu vya -ku-, -ndi- na –ji-.• kutoa mifano ya viambishi maalumu.• kutumia viambishi maalumu kutungia
sentensi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma na kufupisha habari ipasavyo.• kueleza matatizo ya Kiswahili.• kufafanua namna ya kusambaza
Kiswahili.
• Mjadala • Tajriba• Maigizo• Maelezo na ufafanuzi• Usomaji
• Vielelezo• Tajriba• Maelezo na ufafanuzi• Mifano• Majadiliano
• Maelezo• Mifano• Tajriba• Mjadala• Utatuzi wa mambo
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 218-220
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 144-145
• Kamusi ya Kiswahili Sanifu
• Mikusanyo ya taarifa magazetini
• Picha za viwanda vilivyofungwa
• Mabango ya bidhaa zilizoagizwa kutoka nje
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 220-223
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 145-146
• Vielelezo vya viambishi maalumu
• Jedwali la sentensi na viambishi maalumu
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 223-225
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 146
• Ripoti magazetini• Historia ya Kiswahili
(OUP)
1
2
3
Kiswahili, Kidato cha Nne, Maazimio ya Kazi: Muhula wa Tatu
323
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU
MA
1
Fasihi teule
Utunzi
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi yetu
Maudhui katika tamthilia
Insha ya maelezo
Umuhimu wa utafiti
Ngomezi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maudhui na dhamira.• kubainisha vipengele vinavyobeba
maudhui.• kufafanua maudhui ya tamthlia teule.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kufafanua sifa za insha za maelezo.• kubainisha dhana ya magulio.• kuandaa vidokezo vya insha.• kuandika insha ya maelezo kwa
usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza utafiti ni nini.• kueleza umuhimu wa utafiti.• kufafanua maana ya msamiati.• kuzingatia mafunzo kutokana na mada.• kueleza maana za istilahi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya ngomezi. • kuainisha ngomezi.• kufafanua matumizi na manufaa ya
ngomezi katika jamii ya sasa.
• Tajriba• Mjadala• Maigizo• Maswali na majibu• Kuandika• Uchambuzi
• Maelezo• Utazamaji• Utafiti• Kuandika• Mahojiano • Ziara
• Mafunzo • Ufahamu wa kusikiliza• Maelezo • Uchunguzi• Tajriba• Makundi• Majadiliano
• Maelezo na ufafanuzi • Maigizo • Ufaraguzi• Maswali na majibu• Utafiti• Majadiliano
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 225-227
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 146-147
• Kifo kisimani• Kanda za sauti
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 111, 227-228
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 76-78, 147-148
• Picha• Vidokezo ubaoni
• Kiswahili Fasaha KcM 4, uk. 229
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 148-150
• Vielelezo • Vyombo vya habari
na mawasiliano
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 229-230
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 150-152
• Mikusanyo• Zana halisi• Kanda za sauti• Wanafunzi
4-5
6
1-2
3
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa TatuJU
MA
2
324
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU
MA
2
4
5-6
1-2
Ufahamu
Sarufi
Ufasaha wa lugha
Kuchelewa ni ada ya Mwafrika?
Mnyambuliko wa vitenzi kutokana na shina 2
Muhtasari: Mikakati ya kuimarisha Kiswahili
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma kwa ufasaha.• kufafanua ujumbe wa taarifa.• kueleza maana za maneno.• kuzingatia mafunzo ya taarifa.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kubainisha maumbo ya vitenzi katika
kauli ambazo zinashughulikiwa katika somo.
• kugeuza vitenzi kutoka kauli moja hadi nyingine.
• kutunga sentensi kwa kutumia vitenzi katika kauli zinazoshughulikiwa katika somo.
• kufafanua maana ya sentensi walizotunga katika kauli mbalimbali.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kufafanua mikakati inayoweza
kutumika ili kukiimarisha Kiswahili.• kueleza mchango wa wanafunzi katika
kuimarisha Kiswahili.• kuandika muhtasari wa habari
kulingana na maagizo.• kuzingatia mafunzo katika taarifa.
• Maswali na majibu• Maelezo na ufafanuzi• Majadiliano• Tajriba• Usomaji
• Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu• Tajriba• Majadiliano
• Utatuzi wa mambo• Maelezo na ufafanuzi• Mifano• Masimulizi• Majadiliano• Kufupisha • Kuandika
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 230-232
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 152-153
• Kielelezo cha saa• Kamusi ya
Kiswahili Sanifu
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 232-235
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 153-155
• Vielelezo vya sentensi zilizonyambuliwa katika kauli ambazo zinashughulikiwa
• Kamusi ya Kiswahili Sanifu (toleo la pili)
• Jedwali la vitenzi vilivyonyambuliwa katika kauli mbalimbali
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 235-237
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 155-156
• Kamusi ya Kiswahili Sanifu
• Ramani • Historia ya
Kiswahili (OUP)• Chati
JUM
A 3
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Tatu
325
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU
MA
3
3-4
5-6
1-2
Fasihi teule
Utunzi
Mitihani
Mafunzo na tathmini katika tamthilia
Barua kwa mhariri wa gazeti
Mtihani Mwigo 1:Karatasi 1
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza namna ya kupata mafunzo
katika tamthilia.• kupambanua mafunzo kwenye
tamthilia teule.• kufafanua mahitaji ya mwanafunzi
katika kujibu maswali kutokana na tamthilia kwa usahihi na kikamilifu.
• kueleza yanayolengwa katika tathmini ya tamthilia.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza muundo wa barua kwa mhariri
wa gazeti.• kufafanua sifa za barua kwa mhariri wa
gazeti.• kuzingatia mafunzo.• kuandika barua kwa mhariri wa gazeti.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kupitia yote waliyojifunza.• kubuni na kujieleza.• kusahihisha makosa waliyoyafanya.
• Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu• Uhakiki• Uchanganuzi• Tajriba• Majadiliano
• Kutoa mifano • Makundi• Maswali na majibu• Maelezo na ufafanuzi• Majadiliano• Tajriba• Kuandika
• Tajriba ya wanafunzi
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 237-240
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 156-157
• Vielelezo vya maswali ya tamthilia na mafunzo
• Kifo kisimani
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 240
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 157-158
• Kurasa za barua kwa mhariri katika magazeti
• Kanda za kunasia sauti
• Mazingira ya mwanafunzi yanayoonyesha uzembe kazini
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 241
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 159-160
• Karatasi• Kalamu
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa TatuJU
MA
4
326
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
3-4
5-6
1-2
3-4
Mitihani
Mitihani
Mitihani
Mitihani
Mtihani Mwigo 1:Karatasi 2
Mtihani Mwigo 1:Karatasi 3
Mtihani Mwigo 2:Karatasi 1
Mtihani Mwigo 2:Karatasi 2
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kupitia yote waliyojifunza.• kubuni na kujieleza.• kusahihisha makosa waliyoyafanya.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kupitia yote waliyojifunza.• kubuni na kujieleza.• kusahihisha makosa waliyoyafanya.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kupitia yote waliyojifunza.• kubuni na kujieleza.• kusahihisha makosa waliyoyafanya.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kupitia yote waliyojifunza.• kubuni na kujieleza.• kusahihisha makosa waliyoyafanya.
• Tajriba ya wanafunzi
• Tajriba ya wanafunzi
• Tajriba ya wanafunzi
• Tajriba ya wanafunzi
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 241-248
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 160-170
• Karatasi• Kalamu
• Kiswahili Fasaha KcM 4, uk. 248-252
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 170-175
• Karatasi• Kalamu
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 252-253
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 175
• Karatasi• Kalamu
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 253-256
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 175-177
• Karatasi• Kalamu
JUM
A 4
JUM
A 5
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Tatu
327
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
5-6 Mitihani Mtihani Mwigo 2:Karatasi 3
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kupitia yote waliyojifunza.• kubuni na kujieleza.• kusahihisha makosa waliyoyafanya.
• Tajriba ya wanafunzi
• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 257-260
• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 178-184
• Karatasi• KalamuJU
MA
5
Marudio na Mitihani ya KCSE
JUM
A 6
-12
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Tatu
Recommended