45

KIswahili Schemes F4 Final - yatmackinc.weebly.comyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_schemes_f4.pdf · Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha Nne,

  • Upload
    others

  • View
    70

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: KIswahili Schemes F4 Final - yatmackinc.weebly.comyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_schemes_f4.pdf · Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha Nne,
Page 2: KIswahili Schemes F4 Final - yatmackinc.weebly.comyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_schemes_f4.pdf · Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha Nne,
Page 3: KIswahili Schemes F4 Final - yatmackinc.weebly.comyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_schemes_f4.pdf · Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha Nne,

286

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha Nne, Maazimio ya Kazi: Muhula wa Kwanza

Kusikiliza na kuzungumza

Fasihi

Ufahamu

Utu ni bora kuliko mali

Fasihi yetu: Chimbuko na sifa bainifu za fasihi simulizi

Ndio msingi wa mangi

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya utu.• kufafanua maadili na mafunzo katika

somo.• kujadili kwa ufasaha mada waliyopewa.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza chimbuko la fasihi simulizi.• kufafanua sifa bainifu za fasihi simulizi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma shairi kwa ufasaha.• kukariri shairi kwa mahadhi.• kujibu maswali kwa usahihi.• kufafanua ujumbe wa shairi.

1

2

3

JUM

A 1

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 1

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 1-3

• Magazeti au majarida

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 1-3

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 3-4

• Vielelezo vya sifa bainifu za fasihi simulizi

• Vielezo vya vipera vya fasihi simulizi

• Kanda za sauti na video kuhusu fasihi simulizi

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 3-4

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 4-5

• Vielelezo vya maadili yanayohimizwa na shairi

• Vibonzo vya watu wanaotukanana

• Wanafunzi wenyewe

• Maelezo na ufafanuzi

• Mjadala• Maswali na majibu• Ufahamu na

kusikiliza• Masimulizi

• Majadiliano katika makundi

• Ufaraguzi• Maelezo na

ufafanuzi• Maswali na majibu• Kazi mradi

• Kuigiza• Usomaji• Utatuzi wa mambo• Tajriba• Uchunguzi kifani

Page 4: KIswahili Schemes F4 Final - yatmackinc.weebly.comyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_schemes_f4.pdf · Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha Nne,

287

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili Fasaha

4

5-6

1

Sarufi

Fasihi

Ufasaha wa lugha

Upatanisho wa kisarufi

Tamthilia: Kifo kisimani – Utangulizi

Lugha ya simu

• kueleza matumizi ya lugha.• kuzingatia mafunzo ya shairi.Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana na manufaa ya

upatanisho wa kisarufi.• kukamilisha sentensi ili kuleta

upatanisho wa kisarufi.• kugeuza sentensi za wingi ziwe kwa

umoja na za umoja ziwe kwa wingi.• kusahihisha makosa katika sentensi.• kutunga sentensi zenye upatanisho wa

kisarufi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kutaja na kugusia yaliyomo katika

tamthilia.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza sifa za lugha ya simu.• kutumia sifa za lugha ya simu katika

utendaji.

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 4-8

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 5-7

• Vielelezo• Majedwali • Vitu halisi

• Kifo kisimani

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 8-9

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 7-8

• Vielelezo vya mazungumzo ya simu

• Wanafunzi wenyewe• Vibonzo

• Tajriba• Maswali na majibu• Mifano

• Kusikiliza• Kuandika• Kujadiliana• Uchambuzi

• Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu• Majadiliano• Uigizaji

JUM

A 1

JUM

A 2

Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

Muhula wa Kwanza

Page 5: KIswahili Schemes F4 Final - yatmackinc.weebly.comyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_schemes_f4.pdf · Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha Nne,

288

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili Fasaha

2

3

4

5

Fasihi teule

Utunzi

Kusikiliza na kuzungumza

Fasihi

Chimbuko la mashairi ya arudhi

Barua ya kirafiki

Ujirani mwema baina ya nchi

Kifo kisimani

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza chimbuko la mashairi ya arudhi.• kupambamua sifa za mashairi ya arudhi.• kuhakiki shairi la arudhi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza kanuni za uandishi wa barua ya

kirafiki.• kubainisha muundo wa barua ya kirafiki.• kuandika barua ya kirafiki kwa usahihi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusimulia hadithi.• kujibu maswali kwa sauti na ufasaha.• kueleza maana ya maneno na misemo.• kuzingatia mafunzo katika hadithi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kufafanua vitushi mbalimbali katika

tamthilia.

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 9-10

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 8

• Mikusanyo ya mashairi ya arudhi au jadi

• Chati ya mashairi ya arudhi

• Kanda za sauti au video kutoka KIE

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 10

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 8-9

• Vielelezo vya barua za kirafiki

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 11

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 9-12

• Ramani• Kadi za hoja• Mikusanyo

magazetini

• Kifo kisimani – Onyesho la Kwanza

• Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu• Majadiliano• Uchunguzi • Kazi ya vikundi

• Mifano halisi ya barua za kirafiki

• Tajriba • Maswali na majibu• Maelezo na ufafanuzi• Kuandika

• Masimulizi• Maelezo• Tajriba• Ufahamu wa

kusikiliza

• Kusoma • Kuandika• Maelezo

JUM

A 2

Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

Muhula wa Kwanza

Page 6: KIswahili Schemes F4 Final - yatmackinc.weebly.comyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_schemes_f4.pdf · Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha Nne,

289

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili Fasaha

6

1

2

3

Fasihi

Ufahamu

Sarufi

Fasihi teule

Chimbuko na sifa bainifu za fasihi andishi

Kutegea kazi

Umoja na wingi

Chimbuko la mashairi huru

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza asili na maendeleo ya fasihi

andishi.• kufafanua sifa zinazobainisha fasihi

andishi.• kujibu maswali kwa usahihi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kukariri shairi.• kujibu maswali kwa usahihi.• kufafanua matumizi ya lugha.• kueleza ujumbe wa shairi.• kuzingatia mafunzo.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kubainisha maumbo ya maneno katika

umoja na wingi.• kugeuza sentensi katika umoja na wingi.• kueleza mabadiliko ya viambishi vya

ngeli na upatanisho wa kisarufi katika umoja na wingi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufafanua wakati na sababu za

kuchipuka kwa mashairi huru.• kupambanua pingamizi dhidi ya

mashairi huru.• kutoa maoni kuhusu mgogoro wa

mashairi wa jadi na huru.

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 11-12

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 12-13

• Vielelezo• Vitabu vya fasihi

andishi• Chati ya sifa bainifu

za fasihi andishi

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 13-14

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 13-14

• Mabango• Magazeti• Picha au michoro

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 15-17

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 14-15

• Chati ya viambishi vya ngeli

• Vielelezo • Majedwali • Ubao

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 19-20

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 16-17

• Mikusanyo ya mashairi huru

• Picha za washairi wa kimapinduzi

• Ramani

• Mjadala• Maswali na majibu• Uvumbuzi

• Kuigiza• Usomaji• Utatuzi wa mambo• Uchunguzi kifani

• Mifano• Maelezo• Ufaraguzi• Tajriba

• Dayolojia• Maelezo• Utafiti• Tajriba• Mifano

JUM

A 2

Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

Muhula wa KwanzaJU

MA

3

Page 7: KIswahili Schemes F4 Final - yatmackinc.weebly.comyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_schemes_f4.pdf · Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha Nne,

290

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili Fasaha

4

5

6

1

Utunzi

Ufasaha wa lugha

Fasihi

Kusikiliza na kuzumgumza

Mchezo wa kuigiza: Njia za kufufua na kuendeleza viwanda nchini

Muhtasari

Kifo kisimani

Imla:Kukonda kupita kiasi

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kuandika mchezo wa kuigiza kwa

kuzingatia kanuni za utunzi wake.• kubainisha njia za kufufua na

kuendeleza viwanda nchini.• kutumia alama za uakifishaji ipasavyo.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufafanua umuhimu wa muhtasari. • kueleza mambo muhimu ya kuzingatia

katika ufupisho.• kuandika muhtasari wa taarifa kwa

usahihi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kuelezea mchezo katika onyesho la pili.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusikiliza na kuandika taarifa kwa

usahihi.• kufafanua ujumbe• kueleza matumizi ya alama za

uakifishaji.• kuzingatia mafunzo ya ujumbe.

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 20

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk.17-18

• Uandishi wa insha • Waalikwa• Makala magazetini• Picha za

viwanda na watu waliosimamishwa kazi

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 18

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 15-16

• Kazi za hoja• Vielelezo vya

ufupisho• Vidokezo ubaoni

• Kifo kisimani – Onyesho la Pili

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 21

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 18-19

• Mikusanyo ya picha magazetini na habari kuhusu watu

• Maigizo• Kazi mradi• Vikundi• Utatuzi wa mambo• Kuandika

• Maswali na majibu• Majadiliano• Kuandika

• Kusoma • Kuandika• Kujadiliana• Uchambuzi

• Mifano• Tajriba• Maelezo na ufafanuzi• Ufahamu wa

kusikiliza • Imla

JUM

A 3

JUM

A 4

Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

Muhula wa Kwanza

Page 8: KIswahili Schemes F4 Final - yatmackinc.weebly.comyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_schemes_f4.pdf · Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha Nne,

291

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili Fasaha

2

3

4

5

Fasihi yetu

Ufahamu

Sarufi

Ufasaha wa lugha

Methali

Vyama vya ushirika

Nomino

Uakifishaji

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kupambanua chanzo cha methali.• kufafanua matumizi ya methali. • kutumia methali katika mazungumzo.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma kwa sauti na kimya.• kujibu maswali ya taarifa kwa usahihi.• kueleza maana za maneno na methali.• kueleza hasara na manufaa ya vyama vya

ushirika.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kuanisha nomino na kutoa mifano ya

aina za nomino.• kutumia nomino katika sentensi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kubainisha alama za uakifishaji.• kuafisha maandishi.

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 21-22

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 19-20

• Waalikwa• Mikusanyo ya methali• Miktadha ya

matumizi

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 22-25

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 20-21

• Mikusanyo kuhusu vyama vya ushirika

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 25-27

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 21-22

• Mabango ya vyama vya ushirika

• Vielelezo ubaoni

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 27-29

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 22-23

• Kanda za sauti na video

• Chati ya alama za uakifishaji

• Vielelezo

• Utafiti• Mifano• Kazi mradi• Uchunguzi

• Usomaji• Maelezo• Utatuzi wa mambo• Maswali na majibu

• Tajriba• Mifano• Mashindano• Upambanuzi

• Mifano• Maelezo na ufafanuzi

JUM

A 4

Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

Muhula wa Kwanza

Page 9: KIswahili Schemes F4 Final - yatmackinc.weebly.comyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_schemes_f4.pdf · Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha Nne,

292

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili Fasaha

6

1

2

3

Fasihi

Fasihi teule

Utunzi

Kusikiliza na kuzungumza

Kifo kisimani

Fani katika mashairi ya arudhi

Insha ya methali

Haki za wafanyakazi viwandani

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza mtiririko wa onyesho la tatu

kwa muhtasari.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana na umuhimu wa fani

katika mashairi ya arudhi.• kufafanua muundo, mtindo, wahusika

na matumizi ya lugha ya mashairi ya arudhi.

• kuchambua fani katika mashairi ya arudhi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya methali.• kufafanua muundo wa insha za methali.• kupambanua sifa za insha za methali.• kuandika insha ya methali.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kubadilisha mawazo kwa njia ya

majadiliano.• kusikiliza kwa makini na kutekeleza.• kueleza haki za wafanyakazi.

• Kifo kisimani – Onyesho la Tatu

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 29-32

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 23-24

• Mikusanyo ya mashairi ya arudhi

• Vielelezo• Chati za miundo na

mpangilio wa vina na mizani

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 32

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 24-25

• Tarasha• Vielelezo• Mazingira halisi

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 33

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 25-27

• Picha, michoro na vibonzo

• Taarifa kutoka redio, runinga na mtandao

• Makala ya gazeti

• Uchunguzi• Kusoma• Kujadili• Kuandika

• Udadisi• Uchunguzi• Mifano• Maswali na majibu• Uhakiki

• Masimulizi• Uchunguzi• Mifano• Kuandika

• Majadiliano• Uchunguzi na udadisi• Utatuzi wa mambo• Makundi

JUM

A 4

JUM

A 5

Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

Muhula wa Kwanza

Page 10: KIswahili Schemes F4 Final - yatmackinc.weebly.comyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_schemes_f4.pdf · Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha Nne,

293

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili Fasaha

4

5

6

1

Fasihi yetu

Ufahamu

Fasihi

Sarufi

Misemo

Mfinyanzi hulia gaeni

Kifo kisimani

Vitenzi: Mzizi na viambishi

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya misemo na umuhimu

wake.• kutoa mifano ya misemo na kuitumia

katika sentensi kimantiki na kisarufi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma taarifa kwa ufasaha na usahihi.• kujibu maswali ya taarifa kwa usahihi.• kueleza maana ya maneno kama

yalivyotumika katika taarifa.• kuzingatia mafunzo na maadili katika

taarifa.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza yaliyomo katika onyesho la nne

na tano.• kueleza matumizi ya lugha katika

onyesho la nne na tano.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza dhana ya mzizi na viambishi

katika vitenzi.• kubainisha mzizi na viambishi awali na

tamati katika vitenzi.

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 33-34

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 27-28

• Jedwali la misemo na maana zake

• Vielelezo vya misemo

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 35-37

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 28-29

• Magazeti na majarida • Taarifa kutoka redio,

runinga na mtandao• Picha na michoro

• Kifo kisimani – Onyesho la Nne na

Tano

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 37-40

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 29-31

• Jedwali la kubainisha mzizi na viambishi katika vitenzi

• Kamusi ya Kiswahili Sanifu

• Vielelezo vya maumbo ya vitenzi

• Mashindano • Majadialiano katika

makundi• Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu

• Kusoma• Maswali na majibu• Mjadala• Utafiti• Ufaraguzi

• Kusoma• Kujadiliana• Kuandika• Kuhakiki

• Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu• Majadiliano katika

vikundi• Tajriba

JUM

A 5

JUM

A 6

Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

Muhula wa Kwanza

Page 11: KIswahili Schemes F4 Final - yatmackinc.weebly.comyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_schemes_f4.pdf · Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha Nne,

294

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili Fasaha

2

3

4

5

Ufasaha wa lugha

Fasihi teule

Utunzi

Kusikiliza na kuzungumza

Matumizi ya maneno maalumu

Fani katika mashairi huru

Insha ya mazungumzo

Mjadala –Umoja wa Afrika hauna faida

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana na kubainisha matumizi

sahihi ya maneno maalumu.• kutunga sentensi kwa kutumia maneno

maalumu.• kusahihisha matumizi mabaya ya

maneno maalumu.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana na umuhimu wa fani.• kufafanua fani katika mashairi huru.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza insha ya mazungumzo.• kufafanua muundo wa insha ya

mazungumzo.• kuandika insha ya mazungumzo.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kuendesha mjadala darasani.• kujadili hoja muhimu kwa ufasaha na

mantiki.• kuzingatia mitindo ya kujadili.

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 40-43

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 31

• Magazeti na majarida• Vielelezo vya sentensi

zenye maneno maalumu

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 43-46

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 31-33

• Vielelezo • Chati ya vipengele vya

fani• Mikusanyo ya

mashairi huru

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 46

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 33

• Mazingira ya wanafunzi

• Wanafunzi wenyewe• Mikusanyo ya insha

za mazungumzo

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 47

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 33-34

• Ramani • Picha • Mikusanyo ya makala

• Maelezo na ufafanuzi• Majadiliano katika

makundi• Tajriba• Maswali na majibu• Mifano

• Udadisi• Uchunguzi• Mifano • Maswali na majibu• Uhakiki

• Maelezo na ufafanuzi• Majadiliano• Ufaraguzi wa

mazungumzo• Tajriba• Maswali na majibu• Kuandika

• Mjadala • Maelezo na ufafanuzi• Kazi ya vikundi

JUM

A 6

Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

Muhula wa Kwanza

Page 12: KIswahili Schemes F4 Final - yatmackinc.weebly.comyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_schemes_f4.pdf · Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha Nne,

295

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili Fasaha

6

1

2

3

Fasihi

Fasihi yetu

Ufahamu

Sarufi

Kifo kisimani

Mafumbo

Historia ya Umoja wa Afrika

Aina za vitenzi

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza mtiririko wa onyesho la sita na

yaliyomo katika onyesho hili.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kutoa maana ya mafumbo.• kueleza sifa bainifu za mafumbo.• kupambanua dhima ya mafumbo.• kutoa mifano ya mafumbo.• kufumbua mafumbo.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma maandishi kwa ufasaha.• kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi.• kueleza maana za maneno.• kuzingatia mafunzo.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya vitenzi.• kubainisha vitenzi katika sentensi.• kutunga sentensi kwa kutumia vitenzi

vikuu, visaidizi, vishirikishi, vishirikishi-vipungufu na vitenzi sambamba.

• Kifo kisimani – Onyesho la Sita

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 47-49

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 34-35

• Chati za mafumbo• Wanafunzi wenyewe• Kadi za mafumbo• Vielelezo

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 49-51

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 35-36

• Ramani • Picha za viongozi• Magazeti na majarida• Waalikwa• Tarakimu, grafu na

chati

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 51-54

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 36-38

• Mandhari ya shule• Chati ya aina za

vitenzi na mifano yake

• Vielelezo

• Kusoma • Kujadili • Kuandika• Uhakiki

• Ufumbuzi wa mafumbo

• Uvumbuzi huria• Michezo ya lugha• Maelezo ya ufafanuzi• Mifano

• Usomaji• Maswali na majibu• Mahojiano• Utafiti

• Maelezo • Mifano• Tajriba

JUM

A 6

JUM

A 7

Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

Muhula wa Kwanza

Page 13: KIswahili Schemes F4 Final - yatmackinc.weebly.comyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_schemes_f4.pdf · Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha Nne,

296

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili Fasaha

4

5

6

1

Ufasaha wa lugha

Fasihi teule

Fasihi

Kusikiliza na kuzungumza

Muhtasari: Kiswahili baada ya uhuru

Maudhui katika mashairi ya arudhi

Kifo kisimani

Unene wa kupindukia

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufupisha taarifa kuambatana na

maagizo.• kueleza maendeleo ya Kiswahili tangu

Kenya ipate uhuru.• kubainisha matatizo yanayoikabili lugha

ya Kiswahili na ustawi wake.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya maudhui.• kupambanua hatua za kupata maudhui.• kusoma shairi na kujibu maswali ya

ufahamu.• kufafanua maudhui ya shairi la arudhi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza mtiririko wa onyesho la saba

na kudondoa matukio makuu katika onyesho hilo.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza hoja kwa mantiki na ufasaha.• kujadili chanzo na madhara ya unene wa

kupindukia.• kupendekeza hatua za kukabiliana na

unene wa kupindukia.

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 55-56

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 38-39

• Ripoti magazetini• Chati • Historia ya Kiswahili

(OUP)• Picha na michoro• Ramani

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 57-58

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 39-40

• Mikusanyo ya visa vya udhalimu magazetini

• Mikusanyo ya mashairi ya arudhi

• Kifo kisimani – Onyesho la Saba

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 59

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 41-43

• Makala• Picha na michoro• Wanafunzi

• Kuandika• Kufupisha• Utatuzi wa mambo• Mahojiano

• Maelezo na ufafanuzi• Mifano• Ugunduzi• Makundi• Uhakiki

• Kusoma• Kujadili• Kuandika• Uhakiki

• Mjadala• Makundi• Maelezo• Maswali na majibu• Ufahamu wa

kusikiliza

JUM

A 7

JUM

A 8

Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

Muhula wa Kwanza

Page 14: KIswahili Schemes F4 Final - yatmackinc.weebly.comyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_schemes_f4.pdf · Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha Nne,

297

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili Fasaha

2

3

4

5

Fasihi yetu

Ufahamu

Sarufi

Ufasaha wa lugha

Lakabu

Usafiri wa umma siku hizi

Viwakilishi

Muhtasari: Manufaa ya taka

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya lakabu.• kufafanua sifa za lakabu.• kutoa mifano na kufafanua maana za

lakabu katika vitabu vya fasihi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma ufahamu wa ufasaha.• kujibu maswali ya taarifa kwa usahihi.• kueleza ujumbe wa taarifa.• kueleza maana za maneno.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya viwakilishi.• kuanisha viwakilishi mbalimbali na

mifano yake.• kufafanua matumizi ya viwakilishi.• kutunga sentensi sahihi kwa kutumia

viwakilishi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma taarifa kwa ufasaha na ufahamu.• kudondoa hoja kuu kutoka katika

taarifa.• kueleza hoja kwa muhtasari bila

kupoteza au kubadili maana.• kujibu maswali ya ufupisho kwa usahihi

kulingana na vidokezo.

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 59-60

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 43-44

• Vielelezo • Wanafunzi

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 60-63

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 44-45

• Picha na michoro• Mazingira ya

wanafunzi

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 63-66

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 45-46

• Majedwali • Maandishi kutoka

magazeti na vitabu

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 66-67

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 46

• Wanafunzi wenyewe• Kielelezo cha hatua za

kufupisha habari

• Maelezo • Usomaji• Maswali na majibu• Tajriba• Utafiti • Majadiliano

• Maelezo• Usomaji• Maswali na majibu• Tajriba• Utafiti

• Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu• Majadiliano • Tajriba

• Maelezo• Ufafanuzi• Majadiliano• Kutoa mifano• Maswali na majibu• Kusoma • Kuandika

JUM

A 8

Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

Muhula wa Kwanza

Page 15: KIswahili Schemes F4 Final - yatmackinc.weebly.comyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_schemes_f4.pdf · Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha Nne,

298

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

MA

8

6

1

2

Fasihi teule

Utunzi

Kusikiliza na kuzungumza

Mafunzo na tathmini katika mashairi

Mashairi ya arudhi na huru

Mawazo

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kuonyesha mambo muhimu ya

kushughulikiwa katika tathmini ya ushairi.

• kufafanua hatua za kupitia wakati wa kujibu maswali ya mashairi.

• kujibu maswali ya ushairi kwa usahihi.• kueleza mafundisho katika ushairi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kutunga mashairi ya arudhi na

huru kwa kuzingatia utunzi wao na maudhui waliyopewa.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma kwa ufasaha.• kusikiliza kwa makini.• kujadili hoja kwa ufasaha.

• Majadiliano• Makundi• Utendaji• Maswali na majibu• Maelezo na

ufafanuzi

• Maelezo • Tajriba• Utafiti• Utungaji wa kisanii

• Maelezo• Mdahalo• Maigizo• Uchunguzi

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 68-70

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 46-48

• Kanda za sauti au video

• Vielelezo• Mashairi kutoka

vitabu mbalimbali

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 71-72

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 48-49

• Vielelezo• Mikusanyo ya

mashairi• Makala toka

magazeti

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 73-74

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 49-50

• Vielelezo• Wanafunzi• Waalikwa• Vibonzo

JUM

A 9

Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

Muhula wa Kwanza

Page 16: KIswahili Schemes F4 Final - yatmackinc.weebly.comyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_schemes_f4.pdf · Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha Nne,

299

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

MA

9

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 74-76

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 50-52

• Kamusi ya Sheng• Kanda za sauti na

video• Idhaa mbalimbali za

redio• Mikusanyo ya

misimu• Magazeti, hasa ya

udaku

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 77-78

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 52-53

• Magazeti• Vielelezo vya barua

rasmi

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 79-81

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 53-54

• Chati za vivumishi• Maandishi

mbalimbali

• Kifo kisimani – Onyesho la Nane

• Mifano• Ufaraguzi• Utafiti• Maelezo na

ufafanuzi• Michezo ya lugha

• Ugunduzi wa kuongozwa

• Maswali na majibu• Utafiti• Tajriba• Usomaji

• Maelezo na ufafanuzi

• Utafiti• Mifano• Tajriba

• Kusoma • Kujadiliana • Kuandika• Uhakiki

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza misimu.• kueleza sababu ya misimu kuchipuka.• kufafanua sifa za misimu.• kutoa mifano na maana za misimu.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma kwa makini.• kupambanua sifa za barua rasmi.• kujibu maswali kwa usahihi.• kueleza matumizi ya lugha.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza vivumishi.• kuanisha vivumishi.• kutoa mifano ya vivumishi.• kubainisha maumbo ya vivumishi.• kutumia vivumishi katika sentensi

kwa usahihi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kuelezea mtiririko wa onyesho la

nane.• kutambua matukio makuu katika

onyesho la nane.

Misimu

Barua wazi kwa Mkurugenzi

Vivumishi

Kifo kisimani

Fasihi yetu

Ufahamu

Sarufi

Fasihi

3

4

5

6

Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

Muhula wa Kwanza

Page 17: KIswahili Schemes F4 Final - yatmackinc.weebly.comyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_schemes_f4.pdf · Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha Nne,

300

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

MA

10

1

2

3

4

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma na kufupisha habari ipasavyo.• kufafanua wajibu wa Kiswahili.• kueleza maenezi ya lugha ya

Kiswahili.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kuandika kwa usahihi akizingatia

muundo, maudhui na hatua za barua rasmi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kutetea hoja kikamilifu.• kuwasilisha hoja kwa kuzingatia

kanuni za kuendesha midahalo.• kuzungumza kwa ufasaha na usahihi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya ngano.• kufafanua muundo na umuhimu wa

ngano.• kuanisha ngano.• kuhakiki ngano.

• Kufupisha• Utafiti• Majadiliano• Kazi mradi• Usomaji• Kuandika

• Mifano• Maelezo• Majadiliano• Uchunguzi• Kuandika

• Ufafanuzi• Mjadala• Tajriba• Utendaji au uigizaji

• Maelezo na ufafanuzi

• Masimulizi• Majadiliano• Maswali na majibu• Makundi• Uhakiki

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 82-83

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 54-55

• Ramani• Magazeti• Redio na mdahilishi• Vielelezo

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 85-86

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 56-58

• Vielelezo • Chati • Mikusanyo

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 87

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 58-60

• Makala• Kanda za sauti• Wanafunzi

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 87-89

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 60-63

• Chati za muundo, aina na umuhimu wa ngano

• Kanda za sauti kutoka KIE

• Vielelezo

Ufasaha wa lugha

Utunzi

Kusikiliza na kuzungumza

Fasihi yetu

Muhtasari: Wajibu wa Kiswahili kitaifa na kimataifa 1

Barua rasmi

Mjadala

Ngano

Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

Muhula wa Kwanza

Page 18: KIswahili Schemes F4 Final - yatmackinc.weebly.comyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_schemes_f4.pdf · Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha Nne,

301

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

MA

10

5

6

1

2

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 90-92

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 63-64

• Picha na michoro• Magazeti

na majarida yanayogusia ubakaji

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 92-94

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 64-66

• Majedwali • Vielelezo

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 95-96

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 66-69

• Vielelezo vya wasifu na tawasifu

• Kanda za sauti au video zenye mada hii

• Picha na michoro

• Kifo kisimani – Onyesho la Tisa

• Usomaji• Majadiliano• Maelezo na

ufafanuzi• Maswali na majibu

• Maelezo na ufafanuzi

• Maswali na majibu• Majadiliano• Mashindano• Makundi

• Maelezo na ufafanuzi

• Tajriba na mifano• Maswali na majibu• Majadiliano

• Kusoma • Kujadiliana• Uchambuzi

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma kwa ufasaha.• kubainisha maudhui au ujumbe wa

taarifa.• kueleza maana ya msamiati.• kujibu maswali kwa usahihi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya neno viunganishi.• kubainisha viunganishi vya asili ya

Kibantu na vya kukopwa.• kufafanua sifa na dhima za

viunganishi.• kutunga sentensi kwa kutumia

viunganishi kwa usahihi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya wasifu na tawasifu.• kueleza umuhimu wa wasifu na

tawasifu.• kutoa mifano ya wasifu na tawasifu.• kufafanua mafunzo kutokana na

mifano ya wasifu na tawasifu.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza mtiririko wa onyesho la tisa.

Ubakaji

Viunganishi

Wasifu na tawasifu

Kifo kisimani

Ufahamu

Sarufi

Ufasaha wa lugha

Fasihi

JUM

A 1

1

Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

Muhula wa Kwanza

Page 19: KIswahili Schemes F4 Final - yatmackinc.weebly.comyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_schemes_f4.pdf · Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha Nne,

302

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

MA

11

3

4

5

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza muundo na hatua za kuandika

insha za wasifu na tawasifu.• kuandika insha za wasifu na tawasifu

kwa usahihi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusikiliza kwa makini.• kujibu maswali kwa usahihi.• kueleza shughuli za mkutano na

umuhimu wake.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza miviga.• kufafanua dhima ya miviga.• kueleza sifa za miviga.• kutoa mifano ya miviga.

• Uchunguzi• Mifano• Tajriba• Maswali na majibu• Maelezo na

ufafanuzi• Kuandika

• Mjadala• Makundi• Mifano• Maelezo na

ufafanuzi

• Mifano• Tajriba• Utafiti• Maigizo• Maelezo na

ufafanuzi

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 98

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 70

• Vielelezo vya insha za wasifu na tawasifu

• Magazeti na majarida yenye wasifu au tawasifu

• Kanda za sauti au video juu ya maisha ya watu maarufu

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 99-101

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 70-71

• Mikusanyo ya kumbukumbu

• Ripoti za mikutano magazetini

• Vielelezo

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 101-102

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 71-72

• Mikusanyo ya miviga• Mwalikwa• Kanda za sauti• Picha za sherehe

Utunzi

Kusikiliza na kuzungumza

Fasihi yetu

Insha ya wasifu na tawasifu

Mkutano Mkuu wa Mwaka

Miviga

Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

Muhula wa Kwanza

Page 20: KIswahili Schemes F4 Final - yatmackinc.weebly.comyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_schemes_f4.pdf · Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha Nne,

303

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

MA

11

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 102-104

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 72-73

• Picha za maeneo• Ripoti za visa vya

maonevu kazini• Tarakimu za

wahasiriwa wa ukimwi

• Magazeti na majarida

• Kanda za video

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 104-106

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 73-74

• Mabango• Ramani• Mandhari katika

ujirani wa shule

• Kifo kisimani – Onyesho la Kumi

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 106-107

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 74

• Magazeti• Mdahilishi• Redio• Vielelezo• Historia ya

Kiswahili (OUP)

• Ufaraguzi• Utatuzi wa mambo• Maswali na majibu• Usomaji

• Tajriba• Kazi mradi • Masimulizi• Uigizaji

• Kusoma • Kujadiliana• Kuandika• Uchambuzi

• Maswali na majibu• Usomaji• Kuandika• Maelezo• Majadiliano• Uchunguzi

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma kwa makini.• kueleza hali ya wahasiriwa wa ukimwi

katika mazingira ya kazini.• kufafanua maana za maneno.• kujibu maswali kwa usahihi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya vielezi.• kuainisha vielezi vya mahali na idadi.• kutumia vielezi kutungia sentensi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza mtiririko katika onyesho la

kumi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma na kufupisha habari ipasavyo.• kufafanua wajibu wa Kiswahili.• kueleza ufundishaji wa Kiswahili

katika vyuo vikuu.• kupima matumizi ya Kiswahili katika

vyombo vya habari.

Ufahamu

Sarufi

Fasihi

Ufasaha wa lugha

Kitengo cha ukimwi chazinduliwa

Vielezi

Kifo kisimani

Muhtasari:Wajibu wa Kiswahili kitaifa na kimataifa 2

6

1

2

3JUM

A 1

2

Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

Muhula wa Kwanza

Page 21: KIswahili Schemes F4 Final - yatmackinc.weebly.comyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_schemes_f4.pdf · Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha Nne,

304

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

MA

12

4

5

6

1

Utunzi

Fasihi yetu

Ufahamu

Mtihani na kusahihisha

Kumbukumbu

Mighani

Mwacha mila

Marudio na mazoezi ya stadi zote

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kuandika insha ya kumbukumbu kwa

usahihi akizingatia mbinu za uandishi wake.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza mighani.• kuonyesha sifa za mighani.• kufafanua sifa za mighani kuhusu

Nyerere.• kusimulia mighani.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma taarifa kwa makini na ufasaha.• kutoa maoni kuhusu mila ya kuzika

maiti ‘kwao’.• kujibu maswali ya ufahamu kwa

usahihi.• kueleza maana za maneno.• kuzingatia mafunzo katika taarifa.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kupitia yote waliyojifunza.• kubuni na kujieleza.• kusahihisha makosa waliyoyafanya.

• Utatuzi wa mambo• Tajriba• Ufaraguzi• Mazungumzo• Kuandika

• Maswali na majibu• Maelezo na ufafanuzi• Tajriba• Majadiliano• Masimulizi

• Mjadala• Maswali na majibu• Mifano • Usomaji • Tajriba• Maelezo na ufafanuzi

• Tajriba ya wanafunzi

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 110

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 75-76

• Vielelezo• Ubao• Mikusanyo

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 111-114

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 79-80

• Vielelezo vya mighani

• Magazeti, majarida na makala toka kwenye wavuti yenye mighani

• Wanafunzi wenyewe

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 114-116

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 79-80

• Vielelezo• Mikusanyo ya visa

magazetini

• Karatasi za mitihani• Kalamu

JUM

A 1

3

Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

Muhula wa Kwanza

Page 22: KIswahili Schemes F4 Final - yatmackinc.weebly.comyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_schemes_f4.pdf · Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha Nne,

305

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

MA

1

1

2

3

Sarufi

Fasihi

Ufasaha wa lugha

Vihusishi

Kifo kisimani

Uundaji wa maneno

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya vihusishi.• kufafanua dhima ya vihusishi.• kubainisha aina za vihusishi.• kutumia vihusishi katika sentensi kwa

usahihi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza mbinu mbalimbali za lugha

ambazo zimetumika.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza sababu za lugha kuendelea

kuunda maneno kila wakati.• kutaja mifano ya maneno ambayo

yamezuka katika nyanja mbalimbali kutokana na maendeleo ya jamii.

• kueleza mojawapo ya njia ambazo hutumiwa katika kuunda maneno.

• kufafanua namna maneno yanavyotumiwa kuunda maneno mengine.

• kutoa maneno yaliyoundwa kutokana na mengine katika sentensi kwa usahihi.

• Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu• Majadiliano• Tajriba

• Kujadiliana• Kuandika• Kusoma• Uchambuzi

• Tajriba• Majadiliano• Mifano• Majibu na maswali• Maelezo na ufafanuzi

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 116-118

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 80-81

• Majedwali• Vielelezo• Mikusanyo ya sentensi

zenye vihusishi

• Kifo kisimani

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 118-120

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 81-83

• Chati ya aina za maneno

• Vielelezo vya maneno yaliyoundwa kutokana na mengine

• Makala yenye maandishi

Kiswahili, Kidato cha Nne, Maazimio ya Kazi: Muhula wa Pili

Page 23: KIswahili Schemes F4 Final - yatmackinc.weebly.comyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_schemes_f4.pdf · Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha Nne,

306

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

MA

1

4-5

6

1

Fasihi teule

Utunzi

Kusikiliza na kuzungumza

Fani katika hadithi fupi

Uandishi wa matangazo

Hotuba:Balozi wa Umoja wa Mataifa juu ya mazingira

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma hadithi fupi.• kupambanua vipengele vya fani.• kuchambua fani katika mkusanyo wa

hadithi fupi.• kujibu maswali kwa usahihi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza matangazo. • kueleza umuhimu wa matangazo.• kubainisha aina za matangazo.• kuandika matangazo.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusikiliza kwa makini.• kufafanua ujumbe wa hotuba kwa

ufasaha.• kueleza matatizo ya uharibifu wa

mazingira na ufumbuzi wake.• kueleza maana za maneno.• kupambanua mchango wa vijana

katika kuhifadhi mazingira.

• Tajriba• Maswali• Uhakiki• Kazi mradi• Udadisi• Usomaji • Maelezo na ufafanuzi

• Tajriba• Maswali na majibu• Uchunguzi• Makundi • Kuandika

• Mdahalo• Maigizo• Makundi• Utatuzi wa mambo• Kazi mradi• Kuhutubu

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 120-123

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 83-84

• Mandhari halisi• Chati ya vipengele

vya fani• Kitabu kiteule cha

hadithi fupi (Mayai Waziri wa Maradhi)

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 123-124

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 84-85

• Mabango • Mdahilishi, runinga,

redio• Picha magazetini• Mandhari halisi

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 125-126

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 85-86

• Mabango• Mdahilishi, runinga

video na redio• Picha magazetini• Mandhari halisi

Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

Muhula wa PiliJU

MA

2

Page 24: KIswahili Schemes F4 Final - yatmackinc.weebly.comyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_schemes_f4.pdf · Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha Nne,

307

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

MA

2

2

3

4

Fasihi yetu

Ufahamu

Sarufi

Ulumbi

Haki za watoto na wanawake

Vihisishi

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza ulumbi.• kueleza majukumu ya walumbi.• kupambanua sifa za ulumbi.• kutoa mifano ya walumbi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma kwa ufasaha na makini.• kujibu maswali ya ufahamu kwa

usahihi.• kueleza maana za maneno na methali.• kuzingatia mafunzo katika taarifa.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza vihisishi.• kuanisha vihisishi.• kutoa mifano ya vihisishi katika

Kiswahili.• kutumia vihisishi katika maandishi na

mazungumzo.

• Mifano• Utazamaji• Uchunguzi kifani• Maelezo na

ufafanuzi

• Ufaraguzi• Maelezo• Maswali na majibu• Mahojiano na

majadiliano

• Maigizo• Utafiti• Mifano• Masimulizi

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 127-128

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 86-87

• Kanda za sauti• Picha• Waalikwa

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 128-130

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 87-88

• Vibonzo• Waalikwa• Vyombo vya habari • Makala • Kamusi

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 130-133

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 88-89

• Kanda za sauti au video

• Mikusanyo ya vihisishi

• Mazungumzo kwenye runinga au redio

Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

Muhula wa Pili

Page 25: KIswahili Schemes F4 Final - yatmackinc.weebly.comyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_schemes_f4.pdf · Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha Nne,

308

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

MA

2

5

6

1

Ufasaha wa lugha

Fasihi teule

Fasihi teule

Mwingiliano wa aina za maneno

Fani katika riwaya

Maudhui katika riwaya

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kubainisha dhana ya mwingiliano wa

maneno.• kutambulisha aina za maneno.• kutunga sentensi kudhihirisha

mwingiliano wa maneno mbalimbali.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya fani.• kubainisha mambo muhimu katika

fani.• kufafanua umuhimu wa fani.• kuhakiki riwaya teule kifani.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maudhui na dhamira.• kupambanua hatua na vigezo vya

kupata maudhui. • kufafanua maudhui ya riwaya teule.

• Mifano• Utafiti• Uchunguzi

• Maelezo na ufafanuzi

• Maswali na majibu• Uchambuzi • Majadiliano• Makundi

• Majadiliano• Makundi• Maswali na majibu• Tajriba• Ugunduzi• Utafiti• Uhakiki

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 130-133

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 89-90

• Kadi za maneno• Jedwali la aina za

maneno• Mandhari ya

wanafunzi

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 107-110

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 75

• Riwaya teule• Chati• Kanda za sauti

kutoka KIE

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 135-136

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 90

• Kanda za sauti kutoka KIE

• Riwaya teule• Picha za watu, vitu,

hali na mandhari mbalimbaliJU

MA

3

Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

Muhula wa Pili

Page 26: KIswahili Schemes F4 Final - yatmackinc.weebly.comyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_schemes_f4.pdf · Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha Nne,

309

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

MA

3

2

3

4

Utunzi

Kusikiliza na kuzungumza

Fasihi yetu

Uandishi wa hotuba: Kenya tuitakayo

Mahojiano: Jopo la waajiri

Soga

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya hotuba.• kufafanua sifa za hotuba.• kueleza muundo wa hotuba na hatua

za kuiandika.• kuandika hotuba.• kuzingatia ujumbe katika hotuba.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza sifa za mahojiano katika jopo

la waajiri.• kuendesha mahojiano ya jopo la

waajiri kwa usahihi.• kuandika insha ya mahojiano ya kazi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya soga.• kufafanua sifa za soga.• kubainisha mafunzo katika soga• kutoa mfano wa soga.

• Maigizo ya hotuba• Muundo wa hotuba• Jinsi ya kuandika

hotuba• Ujumbe katika hotuba• Ufahamu wa kusikiliza

• Maelezo na ufafanuzi• Maigizo• Ufaraguzi• Mahojiano• Majadiliano• Tajriba• Maswali na majibu

• Maelezo na ufafanuzi• Maigizo • Ufaraguzi• Maswali na majibu• Majadiliano

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 136

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 90-92

• Vielelezo vya hotuba mbalimbali

• Magazeti na majarida ya hotuba

• Picha za mandhari kutoka nchi mbalimbali

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 137-138

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 92-93

• Vielelezo vya maswali yanayoulizwa na jopo

• Wanafunzi wenyewe

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 138-139

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 93-94

• Vielelezo vya soga mbalimbali

• Jedwali• Kanda za sauti

Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

Muhula wa Pili

Page 27: KIswahili Schemes F4 Final - yatmackinc.weebly.comyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_schemes_f4.pdf · Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha Nne,

310

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

MA

3

5

6

1-2

3

Fasihi

Ufahamu

Sarufi

Ufasaha wa lugha

Kifo kisimani

Kazi mbi si mchezo mwema

Vijenzi vya sentensi 1

Dayolojia:Uwajibikaji wa viongozi waliochaguliwa

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kuzitambua mbinu na fani mbalimbali

za lugha zilizotumika katika tamthilia.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma ufahamu kwa ufasaha.• kueleza yaliyomo katika taarifa.• kujibu maswali kwa usahihi.• kueleza maana za maneno na vifungu. • kuzingatia mafunzo katika taarifa.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kubainisha vijenzi vya sentensi.• kutunga sentensi ili kudhihirisha

vijenzi maalumu.• kutoa mifano ya vijenzi vya sentensi

ambavyo vinashughulikiwa.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma na kuigiza dayolojia kwa

ufasaha.• kujibu maswali kutokana na dayolojia

kwa usahihi.• kuandika dayolojia nyingine kama

walivyoelekezwa kwa usahihi.

• Kujadiliana• Kusoma• Kuandika• Uchambuzi

• Maelezo na ufafanuzi• Usomaji• Maswali na majibu• Majadiliano• Tajriba

• Maelezo na ufafanuzi• Uchunguzi• Majadiliano• Maswali na majibu

• Uigizaji• Makundi• Majadiliano• Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu

• Kifo kisimani

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 140-142

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 94-96

• Picha na michoro • Makala ya magazeti • Kamusi ya

Kiswahili Sanifu

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 142-146

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 96-97

• Vielelezo vya vijenzi vya sentensi

• Mikusanyo ya maandishi, kama vitabu viteule, magazeti na kamusi

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 146-148

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 97-98

• Wanafunzi wenyewe• Vielelezo vya

dayolojia

Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

Muhula wa PiliJU

MA

4

Page 28: KIswahili Schemes F4 Final - yatmackinc.weebly.comyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_schemes_f4.pdf · Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha Nne,

311

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

MA

4

4

5-6

1

2

Fasihi teule

Fasihi

Utunzi

Kusikiliza na kuzungumza

Maudhui katika hadithi fupi

Kifo kisimani

Mahojiano

Wavuti

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya maudhui.• kueleza vigezo vya kuzingatia katika

uchambuzi wa maudhui.• kufafanua maudhui ya hadithi

mbalimbali katika mkusanyo teule wa hadithi fupi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kutambua maudhui yanayoendelezwa

katika tamthilia.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kufafanua muundo wa mahojiano.• kuandika insha ya mahojiano kwa

usahihi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kutumia wavuti ipasavyo.• kuendesha majadiliano kutokana na

ujumbe katika wavuti kwa ufahasa.• kuzingatia ujumbe katika wavuti.

• Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu• Tajriba• Ugunduzi wa

kuongozwa• Uhakiki

• Kusoma• Kujadili• Kuandika• Uchambuzi

• Maelezo • Kuandika • Mahojiano• Kuigiza• Mifano• Maswali na majibu• Makundi

• Uchunguzi• Tajriba• Majadiliano• Maelezo na ufafanuzi

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 148-150

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 98-99

• Kitabu kiteule cha hadithi fupi

• Kanda za uhakiki kutoka KIE

• Kifo kisimani

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 150

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 99-100

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 151

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 100-101

• Wavuti• Ramani• Picha kutoka

magazeti

Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

Muhula wa PiliJU

MA

5

Page 29: KIswahili Schemes F4 Final - yatmackinc.weebly.comyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_schemes_f4.pdf · Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha Nne,

312

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

MA

5

3

4

5-6

Fasihi yetu

Ufahamu

Fasihi

Malumbano ya utani

Taarifa ya wavuti kuhusu ajira ya watoto

Kifo kisimani

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kuchunguza mifano ya malumbano ya

utani.• kupambanua aina za utani.• kueleza matumizi ya lugha katika

malumbano ya utani.• kufafanua dhima ya malumbano ya

utani.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma kwa makini.• kujibu maswali ya ufahamu kwa

usahihi.• kueleza maana za maneno.• kuzingatia mafunzo katika taarifa.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kutambua maudhui yanayoendelezwa

katika tamthilia hii.

• Uchunguzi kifani• Mifano• Tajriba• Maswali na majibu• Maswali na majibu

• Tajriba• Uchunguzi kifani• Maelezo na ufafanuzi

• Kusoma • Kujadiliana• Kuandika• Uchambuzi

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 151-153

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 101

• Kanda za sauti• Mikusanyo ya

malumbano ya utani• Ripoti za utafiti

kuhusu utani

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 153-155

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 101-103

• Wavuti• Picha katika

magazeti na majarida

• Redio, runinga na video

• Kamusi ya Kiswahili Sanifu

• Kifo kisimani

Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

Muhula wa Pili

Page 30: KIswahili Schemes F4 Final - yatmackinc.weebly.comyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_schemes_f4.pdf · Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha Nne,

313

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

MA

6

1-2

3

4

5-6

Sarufi

Ufasaha wa lugha

Fasihi teule

Fasihi

Vijenzi vya sentensi 2

Muhtasari: Ponografia na athari zake

Mafunzo na tathmini katika riwaya

Kifo kisimani

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza vijenzi vya sentensi.• kubainisha vijenzi mbalimbali vya

sentensi kama shamilisho, vishazi na virai.

• kutoa mifano ya vijenzi vya sentensi.• kufunga sentensi kudhihirisha vijenzi

maalumu vya sentensi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kufupisha habari.• kueleza chanzo cha ponografia.• kufafanua sababu na njia za kuenea

kwa ponografia.• kujadili athari za ponografia.• kupendekeza njia za kukabiliana na

ponografia katika jamii.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza mafunzo na tathmini.• kupambanua vipengele vya mafunzo

na tathmini.• kufafanua mafunzo ya riwaya teule.• kufanya tathmini ya riwaya teule.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maudhui katika tamthilia ya

kifo kisimani.

• Mifano • Uchunguzi • Tajriba• Maelezo na ufafanuzi

• Maswali na majibu• Uchunguzi kifani• Maelezo na ufafanuzi• Kuandika

• Tajriba• Utatuzi wa mambo• Maswali na majibu• Maelezo na ufafanuzi• Majadiliano• Uhakiki

• Kusoma • Kujadiliana• Kuandika• Uhakiki

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 155-159

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 103-104

• Vielelezo• Mikusanyo ya

maandishi

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 160-161

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 104-105

• Mifano ya vyombo vya mawasiliano

• Mwalikwa

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 162-163

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 105-106

• Riwaya teule• Mwalikwa

• Kifo kisimani

Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

Muhula wa Pili

Page 31: KIswahili Schemes F4 Final - yatmackinc.weebly.comyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_schemes_f4.pdf · Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha Nne,

314

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

MA

7

1-2

3

4

Utunzi

Kusikiliza na kuzungumza

Fasihi yetu

Memo, baruameme na ujumbe wa rununu

Mjadala

Mawaidha katika fasihi simulizi

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya memo, baruameme

na ujumbe wa rununu.• kupambanua sifa za memo,

baruameme na ujumbe wa rununu.• kubainisha tofauti na mfanano baina

ya barua rasmi na memo, baruameme na ujumbe wa rununu.

• kuandika memo, baruameme na ujumbe wa rununu kwa usahihi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kuendesha mjadala darasani.• kujadili hoja muhimu kwa mantiki na

ufasaha.• kuzingatia mitindo ya kujadili.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana na umuhimu wa

mawaidha kama kipera cha fasihi simulizi.

• kufafanua sifa na dhima ya mawaidha.• kuchambua mawaidha waliyopewa.• kuandika mawaidha kwa usahihi.

• Maelezo na ufafanuzi • Mifano• Uvumbuzi• Kuandika• Utafiti • Maswali na majibu

• Maelezo na ufafanuzi• Mjadala• Mashindano

• Ufaraguzi• Utafiti• Majadiliano• Makundi• Maelezo na ufafanuzi

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 164-166

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 106-107

• Vielelezo• Mikusanyo ya

memo, baruameme na ujumbe wa rununu

• Tarasha za matangazo

• Mdahilishi • Rununu

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 167

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 107-109

• Kielelezo cha mdahilishi

• Hoja kuhusu manufaa na madhara ya mdahilishi katika magazeti, majarida na mtandao

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 167-168

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 109-111

• Vielelezo vya mawaidha

• Mwalikwa

Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

Muhula wa Pili

Page 32: KIswahili Schemes F4 Final - yatmackinc.weebly.comyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_schemes_f4.pdf · Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha Nne,

315

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

MA

7

5

6

1

2-3

Fasihi teule

Fasihi

Ufahamu

Sarufi

Mafunzo na tathmini katika fasihi simulizi

Kifo kisimani

Utandawazi

Uchanganuzi wa sentensi

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kufafanua mafunzo yanayojitokeza

katika vipera vya fasihi.• kueleza hatua za kuzingatia wakati

wa kushughulikia mtihani wa fasihi simulizi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maudhui katika tamthilia.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma taarifa kwa ufasaha.• kueleza ujumbe wa taarifa.• kueleza maana ya msamiati.• kujibu maswali kwa usahihi.• kuzingatia mafunzo katika somo.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya uchanganuzi wa

sentensi.• kufafanua sentensi sahili, ambatano na

changamano.• kuchanganua sentensi mbalimbalai

kwa njia za majedwali, mistari, mishale na michoro ya matawi.

• kueleza vijenzi vya sentensi baada ya uchanganuzi.

• Majadiliano• Makundi• Tajriba• Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu

• Kusoma • Kujadiliana• Kuandika• Uchambuzi

• Uvumbuzi• Majadiliano• Makundi• Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu

• Maelezo• Majadiliano• Mifano• Tajriba• Maswali na majibu

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 97-98

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 69

• Vielelezo vya tathmini ya kazi za fasihi simulizi

• Kifo kisimani

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 169-171

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 111-113

• Kamusi ya Kiswahili Sanifu

• Magazeti na majarida

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 171-175

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 113-124

• Vielelezo vya sentensi zilizochanganuliwa kupitia kwa majedwali, mistari, mishale na michoro ya matawi

Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

Muhula wa PiliJU

MA

8

Page 33: KIswahili Schemes F4 Final - yatmackinc.weebly.comyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_schemes_f4.pdf · Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha Nne,

316

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

MA

8

4-5

6

1

2

Ufasaha wa lugha

Fasihi

Fasihi teule

Utunzi

Ukanushaji wa nyakati na hali

Mtindo wa mwandishi katika tamthilia

Mafunzo na tathmini katika hadithi fupi

Insha ya masimulizi

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya ukanushaji. • kufafanua jinsi ya kukanusha kwa

kutegemea nafsi, nyakati na hali.• kubainisha maumbo ya viambishi vya

ukanushaji.• kubadilisha sentensi katika hali

yakinifu au hali kanushi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza mtindo wa mwandishi katika

tamthilia ya kifo kisimani.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kufafanua mafunzo yanayojitokeza

katika hadithi fupi.• kueleza namna ya kushughulikia

tathmini katika utanzu wa hadithi fupi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kufafanua sifa za insha ya masimulizi.• kusimulia kisa kwa sauti.• kuandika insha aliyosimulia kwa

usahihi.

• Tajriba• Majadiliano• Mifano• Maswali na majibu• Maelezo na ufafanuzi

• Majadiliano• Maswali na majibu • Kuandika• Uchambuzi

• Majadiliano• Makundi• Maelezo na ufafanuzi• Tajriba

• Makundi • Majadiliano• Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu• Kuandika

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 176-180

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 124-125

• Vielelezo vya sentensi katika hali yakinifu na hali kanushi

• Jedwali la viambishi vya ukanushaji

• Kifo kisimani

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 180-182

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 126

• Mkusanyo teule wa hadithi fupi

• Vielelezo vya hatua za kuzingatia wakati wa kushughulikia tathmini ya hadithi fupi

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 182

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 126-127

• Vielelezo vya insha za masimulizi

• Kanda za video au sauti zenye masimulizi

• Chati

Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

Muhula wa PiliJU

MA

9

Page 34: KIswahili Schemes F4 Final - yatmackinc.weebly.comyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_schemes_f4.pdf · Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha Nne,

317

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

MA

9

3

4

5

6

Kusikiliza na kuzungumza

Fasihi yetu

Ufahamu

Fasihi

Ilani na onyo

Maigizo

Tohara

Wahusika

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza ilani na onyo.• kutoa mifano ya ilani na onyo.• kujadili ujumbe katika ilani na onyo.• kuzingatia ujumbe katika ilani na

onyo.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya maigizo.• kufafanua sifa za maigizo.• kutoa mifano ya maigizo.• kuzingatia ujumbe katika maigizo.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma shairi kwa mdundo ufaao.• kujibu maswali kwa usahihi.• kuzingatia ujumbe wa shairi• kueleza maana za maneno.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza sifa za wahusika wakuu katika

tamthilia

• Maigizo• Mifano• Uchunguzi• Maelezo na ufafanuzi• Kuandika

• Maigizo • Mifano• Ugunduzi• Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu

• Maswali na majibu• Uvumbuzi• Maelezo na ufafanuzi• Makundi• Usomaji na kukariri

• Majadiliano• Maelezo• Maswali na majibu• Uchambuzi

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk.183-185

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 127-128

• Mikusanyo ya ilani na onyo

• Picha na michoro• Hali halisi

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 185-186

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 128-129

• Vielelezo • Kanda za sauti na

video

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 187-188

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 129-130

• Visa vya tohara magazetini

• Michoro au picha• Wasakatonge

• Kifo kisimani

Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

Muhula wa Pili

Page 35: KIswahili Schemes F4 Final - yatmackinc.weebly.comyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_schemes_f4.pdf · Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha Nne,

318

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

MA

10

1-2

3

4

5-6

Sarufi

Ufasaha wa lugha

Fasihi teule

Fasihi

Mnyambuliko wa vitenzi 1

Muhtasari:Janga la Tsunami

Chimbuko na usuli wa tamthlia

Wahusika

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza mnyambuliko wa vitenzi.• kuainisha kauli mbalimbali za vitenzi.• kufafanua maana ya vitenzi katika

kauli mbalimbali.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma taarifa kwa makini.• kufupisha habari.• kufafanua hoja kuhusu janga la

Tsunami.• kuzingatia mafunzo katika taarifa.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza chimbuko na usuli wa

tamthilia.• kueleza mikondo ya tamthilia.• kufafanua mambo ya kuzingatia katika

uchunguzi wa usuli.• kupambanua usuli wa tamthilia.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza sifa za wahusika wote katika

tamthilia.

• Kuandika• Maelezo na ufafanuzi• Mifano• Uchunguzi• Tajriba

• Utatuzi wa mambo• Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu• Mifano

• Uvumbuzi• Tajriba• Utafiti• Uchunguzi kifani

• Majadiliano• Maswali na majibu• Uhakiki • Kuandika

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 188-194

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 130-131

• Vielelezo• Chati ya viambishi

vya kauli za vitenzi• Mandhari halisi

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 194-196

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 131-132

• Ramani• Picha

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 196-198

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 132-133

• Picha• Kanda za sauti• Mikusanyo ya

tamthilia

• Kifo kisimani

Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

Muhula wa Pili

Page 36: KIswahili Schemes F4 Final - yatmackinc.weebly.comyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_schemes_f4.pdf · Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha Nne,

319

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

MA

11

1

2

3-4

5

Utunzi

Kusikiliza na kuzungumza

Fasihi yetu

Ufahamu

Ratiba ya tamasha ya sanaa za maonyesho

Wimbo: Ufisadi ukome!

Nyimbo

Mgawanyo wa majukumu katika familia

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kubainisha sifa za ratiba.• kueleza mambo ya kuzingatia katika

maandalizi ya ratiba.• kupambanua umuhimu wa ratiba.• kukamilisha ratiba ya mashindano ya

sanaa ya maonyesho.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kuimba wimbo kwa mahadhi

yanayovutia.• kujadili ujumbe wa wimbo• kuanisha wimbo• kuzingatia mafunzo katika wimbo

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya wimbo. • kupambanua sifa na muundo wa

nyimbo.• kuainisha aina mbalimbali ya nyimbo.• kuzingatia mafunzo katika nyimbo.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma ufahamu kwa ufasaha.• kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi. • kueleza kwa tafsili maana za maneno

na vifungu.• kuzingatia mafunzo.

• Uchunguzi kifani• Kazi mradi• Tajriba• Ufaraguzi• Kuandika

• Maelezo na ufafanuzi• Majadiliano• Utendaji, hasa uimbaji• Vikundi• Tajriba

• Maelezo na ufafanuzi • Utendaji• Majadiliano• Maswali na majibu• Makundi

• Maelezo na ufafanuzi• Majadiliano• Tajriba• Usomaji• Maswali na majibu

• Maelezo na ufafanuzi

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 198-200

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 133

• Vielelezo vya ratiba• Kalenda• Saa• Orodha ya mambo

ubaoni

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 201

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 133-135

• Vielelezo vya nyimbo• Wanafunzi

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 201-205

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 135-137

• Kanda za kunasia sauti

• Ala za muziki• Waalikwa (waimbaji)• Vielelezo vya nyimbo

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 205-207

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 137-139

• Magazeti na majarida• Kanda za sauti

Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

Muhula wa Pili

Page 37: KIswahili Schemes F4 Final - yatmackinc.weebly.comyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_schemes_f4.pdf · Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha Nne,

320

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

MA

11

6

1

2-3

Sarufi

Ufasaha wa lugha

Fasihi teule

Hali ya kuamuru

Muhtasari:Nyimbo za kazi

Fani katika tamthlia

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza dhana ya kuamrisha.• kubainisha vigezo vinavyotawala hali

ya kuamrisha.• kutunga sentensi katika hali ya

kuamrisha katika umoja na wingi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma taarifa kwa ufasaha.• kufafanua ujumbe wa taarifa.• kufupisha taarifa kulingana na

maagizo.• kufafanua dhima ya nyimbo za kazi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza vipengele vya fani, kama vile

mtindo na muundo, matumizi ya lugha na usawiri wa wahusika.

• kufafanua matumizi na umuhimu wa mtindo, muundo, matumizi ya lugha na usawiri wa wahusika katika tamthilia.

• kuchambua fani katika tamthilia teule.

• Majadiliano• Uchunguzi• Tajriba

• Maelezo na ufafanuzi• Uvumbuzi• Tajriba• Maswali na majibu• Usomaji• Kuandika

• Uchunguzi• Udadisi• Ugunduzi• Maigizo• Maswali na majibu• Uhakiki

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 207-209

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 139-140

• Jedwali la viambishi vinavyohusika katika hali ya kuamisha

• Sentensi vielelezo katika hali yakinishi na kuamuru

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 209-211

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 140-141

• Vielelezo vya nyimbo za kazi

• Vielelezo vya habari iliyofupishwa

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 211-214

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 141

• Majedwali ya miainisho tofauti ya tamthilia

• Vielelezo vya fani• Tamthilia teule

Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

Muhula wa PiliJU

MA

12

Page 38: KIswahili Schemes F4 Final - yatmackinc.weebly.comyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_schemes_f4.pdf · Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha Nne,

321

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

MA

12

4

5

6

Utunzi

Kusikiliza na kuzungumza

Fasihi yetu

Mtihani na kusahihisha

Maagizo na maelekezo katika mazingira ya kazi

Mjadala bungeni

Maghani

Marudio na mazoezi ya stadi zote

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya maagizo na

maelekezo.• kufafanua umuhimu wa maagizo na

maelekezo katika mazingira ya kazi.• kueleza sifa au muundo wa maagizo na

maelekezo.• kuandika maagizo na maelekezo.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kuigiza mjadala bungeni ipasavyo.• kufafanua majukumu ya watu

mbalimbali bungeni.• kutoa maoni kuhusu mjadala bungeni.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya maghani.• kutoa mfano wa maghani.• kupambanua sifa za maghani.• kufafanua umuhimu wa maghani.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kupitia yote waliyojifunza.• kubuni na kujieleza.• kusahihisha makosa waliyoyafanya.

• Maelezo na ufafanuzi• Tajriba• Ufaraguzi• Maswali na majibu• Makundi• Kuandika

• Uchunguzi kifani• Maigizo• Ziara bungeni• Mifano

• Maelezo na ufafanuzi • Maigizo• Uchunguzi kifani• Mifano• Maswali na majibu

• Tajriba ya wanafunzi

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 214

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 142

• Vielelezo• Magazeti

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 215-217

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 142-143

• Picha na michoro ya bunge

• Mikusanyo ya ripoti za bunge magazetini

• Nakala za Hansard• Vipindi katika

redio na televisheni kuhusu bunge

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 217-218

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 143

• Kanda za sauti• Mikusanyo ya

mwalimu na wanafunzi

• Karatasi za mitihani• Kalamu

JUM

A 1

3

Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

Muhula wa Pili

Page 39: KIswahili Schemes F4 Final - yatmackinc.weebly.comyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_schemes_f4.pdf · Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha Nne,

322

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

MA

1

Ufahamu

Sarufi

Ufasaha wa lugha

Mfumo wa soko huru haufai

Viambishi maalumu

Muhtasari:Matatizo ya Kiswahili

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma kwa makini na kwa ufasaha.• kutoa hoja kwa mantiki na ufasaha.• kueleza faida na hasara za mfumo wa

soko huru.• kufafanua maana za maneno.• kujibu maswali ya ufahamu kwa

usahihi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza viambishi maalumu.• kufafanua matumizi ya viambishi

maalumu vya -ku-, -ndi- na –ji-.• kutoa mifano ya viambishi maalumu.• kutumia viambishi maalumu kutungia

sentensi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma na kufupisha habari ipasavyo.• kueleza matatizo ya Kiswahili.• kufafanua namna ya kusambaza

Kiswahili.

• Mjadala • Tajriba• Maigizo• Maelezo na ufafanuzi• Usomaji

• Vielelezo• Tajriba• Maelezo na ufafanuzi• Mifano• Majadiliano

• Maelezo• Mifano• Tajriba• Mjadala• Utatuzi wa mambo

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 218-220

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 144-145

• Kamusi ya Kiswahili Sanifu

• Mikusanyo ya taarifa magazetini

• Picha za viwanda vilivyofungwa

• Mabango ya bidhaa zilizoagizwa kutoka nje

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 220-223

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 145-146

• Vielelezo vya viambishi maalumu

• Jedwali la sentensi na viambishi maalumu

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 223-225

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 146

• Ripoti magazetini• Historia ya Kiswahili

(OUP)

1

2

3

Kiswahili, Kidato cha Nne, Maazimio ya Kazi: Muhula wa Tatu

Page 40: KIswahili Schemes F4 Final - yatmackinc.weebly.comyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_schemes_f4.pdf · Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha Nne,

323

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

MA

1

Fasihi teule

Utunzi

Kusikiliza na kuzungumza

Fasihi yetu

Maudhui katika tamthilia

Insha ya maelezo

Umuhimu wa utafiti

Ngomezi

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maudhui na dhamira.• kubainisha vipengele vinavyobeba

maudhui.• kufafanua maudhui ya tamthlia teule.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kufafanua sifa za insha za maelezo.• kubainisha dhana ya magulio.• kuandaa vidokezo vya insha.• kuandika insha ya maelezo kwa

usahihi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza utafiti ni nini.• kueleza umuhimu wa utafiti.• kufafanua maana ya msamiati.• kuzingatia mafunzo kutokana na mada.• kueleza maana za istilahi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya ngomezi. • kuainisha ngomezi.• kufafanua matumizi na manufaa ya

ngomezi katika jamii ya sasa.

• Tajriba• Mjadala• Maigizo• Maswali na majibu• Kuandika• Uchambuzi

• Maelezo• Utazamaji• Utafiti• Kuandika• Mahojiano • Ziara

• Mafunzo • Ufahamu wa kusikiliza• Maelezo • Uchunguzi• Tajriba• Makundi• Majadiliano

• Maelezo na ufafanuzi • Maigizo • Ufaraguzi• Maswali na majibu• Utafiti• Majadiliano

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 225-227

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 146-147

• Kifo kisimani• Kanda za sauti

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 111, 227-228

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 76-78, 147-148

• Picha• Vidokezo ubaoni

• Kiswahili Fasaha KcM 4, uk. 229

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 148-150

• Vielelezo • Vyombo vya habari

na mawasiliano

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 229-230

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 150-152

• Mikusanyo• Zana halisi• Kanda za sauti• Wanafunzi

4-5

6

1-2

3

Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

Muhula wa TatuJU

MA

2

Page 41: KIswahili Schemes F4 Final - yatmackinc.weebly.comyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_schemes_f4.pdf · Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha Nne,

324

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

MA

2

4

5-6

1-2

Ufahamu

Sarufi

Ufasaha wa lugha

Kuchelewa ni ada ya Mwafrika?

Mnyambuliko wa vitenzi kutokana na shina 2

Muhtasari: Mikakati ya kuimarisha Kiswahili

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma kwa ufasaha.• kufafanua ujumbe wa taarifa.• kueleza maana za maneno.• kuzingatia mafunzo ya taarifa.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kubainisha maumbo ya vitenzi katika

kauli ambazo zinashughulikiwa katika somo.

• kugeuza vitenzi kutoka kauli moja hadi nyingine.

• kutunga sentensi kwa kutumia vitenzi katika kauli zinazoshughulikiwa katika somo.

• kufafanua maana ya sentensi walizotunga katika kauli mbalimbali.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kufafanua mikakati inayoweza

kutumika ili kukiimarisha Kiswahili.• kueleza mchango wa wanafunzi katika

kuimarisha Kiswahili.• kuandika muhtasari wa habari

kulingana na maagizo.• kuzingatia mafunzo katika taarifa.

• Maswali na majibu• Maelezo na ufafanuzi• Majadiliano• Tajriba• Usomaji

• Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu• Tajriba• Majadiliano

• Utatuzi wa mambo• Maelezo na ufafanuzi• Mifano• Masimulizi• Majadiliano• Kufupisha • Kuandika

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 230-232

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 152-153

• Kielelezo cha saa• Kamusi ya

Kiswahili Sanifu

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 232-235

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 153-155

• Vielelezo vya sentensi zilizonyambuliwa katika kauli ambazo zinashughulikiwa

• Kamusi ya Kiswahili Sanifu (toleo la pili)

• Jedwali la vitenzi vilivyonyambuliwa katika kauli mbalimbali

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 235-237

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 155-156

• Kamusi ya Kiswahili Sanifu

• Ramani • Historia ya

Kiswahili (OUP)• Chati

JUM

A 3

Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

Muhula wa Tatu

Page 42: KIswahili Schemes F4 Final - yatmackinc.weebly.comyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_schemes_f4.pdf · Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha Nne,

325

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

MA

3

3-4

5-6

1-2

Fasihi teule

Utunzi

Mitihani

Mafunzo na tathmini katika tamthilia

Barua kwa mhariri wa gazeti

Mtihani Mwigo 1:Karatasi 1

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza namna ya kupata mafunzo

katika tamthilia.• kupambanua mafunzo kwenye

tamthilia teule.• kufafanua mahitaji ya mwanafunzi

katika kujibu maswali kutokana na tamthilia kwa usahihi na kikamilifu.

• kueleza yanayolengwa katika tathmini ya tamthilia.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza muundo wa barua kwa mhariri

wa gazeti.• kufafanua sifa za barua kwa mhariri wa

gazeti.• kuzingatia mafunzo.• kuandika barua kwa mhariri wa gazeti.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kupitia yote waliyojifunza.• kubuni na kujieleza.• kusahihisha makosa waliyoyafanya.

• Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu• Uhakiki• Uchanganuzi• Tajriba• Majadiliano

• Kutoa mifano • Makundi• Maswali na majibu• Maelezo na ufafanuzi• Majadiliano• Tajriba• Kuandika

• Tajriba ya wanafunzi

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 237-240

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 156-157

• Vielelezo vya maswali ya tamthilia na mafunzo

• Kifo kisimani

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 240

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 157-158

• Kurasa za barua kwa mhariri katika magazeti

• Kanda za kunasia sauti

• Mazingira ya mwanafunzi yanayoonyesha uzembe kazini

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 241

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 159-160

• Karatasi• Kalamu

Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

Muhula wa TatuJU

MA

4

Page 43: KIswahili Schemes F4 Final - yatmackinc.weebly.comyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_schemes_f4.pdf · Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha Nne,

326

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili Fasaha

3-4

5-6

1-2

3-4

Mitihani

Mitihani

Mitihani

Mitihani

Mtihani Mwigo 1:Karatasi 2

Mtihani Mwigo 1:Karatasi 3

Mtihani Mwigo 2:Karatasi 1

Mtihani Mwigo 2:Karatasi 2

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kupitia yote waliyojifunza.• kubuni na kujieleza.• kusahihisha makosa waliyoyafanya.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kupitia yote waliyojifunza.• kubuni na kujieleza.• kusahihisha makosa waliyoyafanya.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kupitia yote waliyojifunza.• kubuni na kujieleza.• kusahihisha makosa waliyoyafanya.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kupitia yote waliyojifunza.• kubuni na kujieleza.• kusahihisha makosa waliyoyafanya.

• Tajriba ya wanafunzi

• Tajriba ya wanafunzi

• Tajriba ya wanafunzi

• Tajriba ya wanafunzi

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 241-248

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 160-170

• Karatasi• Kalamu

• Kiswahili Fasaha KcM 4, uk. 248-252

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 170-175

• Karatasi• Kalamu

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 252-253

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 175

• Karatasi• Kalamu

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 253-256

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 175-177

• Karatasi• Kalamu

JUM

A 4

JUM

A 5

Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

Muhula wa Tatu

Page 44: KIswahili Schemes F4 Final - yatmackinc.weebly.comyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_schemes_f4.pdf · Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha Nne,

327

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili Fasaha

5-6 Mitihani Mtihani Mwigo 2:Karatasi 3

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kupitia yote waliyojifunza.• kubuni na kujieleza.• kusahihisha makosa waliyoyafanya.

• Tajriba ya wanafunzi

• Kiswahili Fasaha, KcM 4, uk. 257-260

• Kiswahili Fasaha, MwM 4, uk. 178-184

• Karatasi• KalamuJU

MA

5

Marudio na Mitihani ya KCSE

JUM

A 6

-12

Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi

Muhula wa Tatu

Page 45: KIswahili Schemes F4 Final - yatmackinc.weebly.comyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_schemes_f4.pdf · Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha Nne,