ANNUUR 1205a

Embed Size (px)

Citation preview

  • MAALIM Seif Sharif Hamad. DKT. Aman Abeid Karume.

    DKT. Ali Mohamed Shein.ALHAJ Mzee Ali Hassan Mwinyi.

    ISSN 0856 - 3861 Na. 1205 SAFAR 1437, IJUMAA , NOV. 27 - DES. 3, 2015 BEI TShs 800/=, Kshs 50/=

    Sauti ya Waislamuwww.annuurpapers.co.tz au facebook:[email protected]

    Ujio wa 'ukafiri' katika dini...

    Mtihani wa kwanza kwa Rais MagufuliDini sasa kufundishwa kama taalumaYadaiwa Ibada hazijengi mshikamanoMasheikh wasubiriwa kupitisha muswada

    Kwa haya ya Afande Msangi

    Zanzibar inaelekea kubaya

    Baada ya Karume kuwavusha salamaWanaelekea kutangatanga JangwaniSaamiriyyu wanawavuruga

    W A Z A N Z I B A R I t u t a f a k a r i n a k u j i h a d h a r i . T u m t a m b u e S a a m i r i y y u tumuepuke.

    Hatutoi Nchi kwa Kara tas i . Waki taka wapindue, ni kauli za akina Saamiriyyu.

    Hao ni pamoja na wale ambao wanatuambia kuwa katika watoto p a c h a , y u l e w a Jamhuri halal i , i la mwenzie Zanzibar, mwanaharamu.

    Bila uamuzi wa busara na kurejea kwenye haki na ukweli, tutaonja joto ya jiwe la Bani Israil.

    K u t a n g a t a n g a Jangwani miaka arobaini t u k i t a f u t a n c h i , Amani na Maendeleo, hatutaipata.

    Tu t a z a m a k a t i k a Idhilali na hatutapata wa kutunusuru wala kuona mlango wa kutokea.Uk.9

    Wazanzibari wapaza sautiWhite House Washington

    ANNUUR NEW.indd 1 11/26/2015 6:13:19 PM

  • 2 AN-NUURSAFAR 1437, IJUMAA NOV. 27- DES. 3, 2015

    Mafundisho ya Quran Aal Imran: 64Makala

    Fethullah-Gulen

    SEMA enyi watu wa kitabu njooni kwenye neno lililo sawasawa k a t i k a t i ye t u n a k a t i yenu nalo ni kwamba t u s i m w a b u d u y e y o t e i s i p o k u w a M w e n y e z i Mungu na tusikishirikishe naye kitu chochote, na wasifanye baadhi yetu kuwafanya baadhi kuwa waungu, k inyume cha Mwenyezi Mungu [Aali-Imrani 64].

    Kuufanya msimamo laini mbele za watu wa kitabu ni amri katika amri za Quran. Siyo watu wa kitabu tu, bali Mwenyezi Mungu mtukufu alimwamrisha Mussa (a.s.) aseme maneno laini kwa Firauni;

    S e m a n a ye m a n e n o laini huenda akaonyeka au akamcha Mwenyezi Mungu. [Twaha 44]

    Kwa msingi huo, maneno magumu hayana nafasi kabisa katika Uislamu au kulaumu kwa nguvu kuwalaumu watu katika kuwaita kwa Mwenyezi Mungu.

    N a a ya i l i y o j u u n i k ie le lezo k ikubwa cha maneno laini yaliyokaribu na nyoyo za watu na maneno yenye kuvutia katika kutoa ujumbe. Iwapo tutaufikiria Uislamu kuwa ni ngome ambayo imezungushwa kuta zinazojengeka katika mipaka ya Mwenyezi Mungu, hapana shaka kwamba kuna milango mingine ya ngome hiyo na kuna njia nyingi sana kwa idadi ya viumbe z i n a z o we z e s h a k u f i k a kwenye milango hiyo. Na unasimama Uislamu na njia yake maalumu kwa kuwakumbatia watu katika njia yoyote katika njia hizo na katika kituo chochote katika vituo hivyo ili kuwarahisishia kuingia katika mmoja katika milango hiyo. Kwa hakika kutokuwa wazi kwa hatua hizi au kutolielewa jambo hilo kumewaongoza baadhi ya watu huko nyuma na mpaka sasa bado kunaendelea kuwaongoza kwenye makosa yanayojulikana.

    Aya hii inawapokea watu wa kitabu, katika kimoja cha vituo vya nj ia hizi na inajisogeza kwao kwa

    uso wenye bashasha na maneno matamu mazuri na inawaambia: Njooni kwangu elekeeni kwangu Wakati inapowasemesha hivyo, inawaambia: Kwa hakika lile ambalo ninawaita kwenye hilo si jambo jipya juu yenu na si kitu ambacho hamkijui, bali kitu hicho ni kile ambacho mmekwisha kuki jua na mmekizoea huko nyuma. Isipokuwa k i n a w e z e k a n a k w e n u mkawa mmekisahau au mmekikumbuka, kwa fursa ya makosa.

    Na mfano wa miito kama huu, unajenga daraja kati yetu na watu wa kitabu na unazigusa nafsi zao kwa upande ambao wanaliwazika nao. Utaratibu huu katika kulingania kwenye Uislamu ni muhimu sana. Mnaweza mkauita kwa msemo ambao u l ienea ka t ika mas iku haya kwa kuita Njia ya majadiliano. Ndiyo kwa hakika wito wa Uislamu kwa watu wa kitabu, kwenye nukta ambayo imezoeleka k w a o k u n a w e z e k a n a kuufupisha wito huo katika tamko moja fupi, kwa sababu Quran imetaka kwao kitu kimoja tu nacho ni kulivuka daraja hili linaloonekana mbele ya macho yao na kufika kwenye mlango huu. Pindi tutakapoyaweka mambo yote pembeni kwani tamko Sawaa lililo sawa sawa peke yake linaelezea eleweko hili la kina ambalo ni laini na ukunjufu wa kifua na raghba katika kujenga madaraja ya kipekee na sifa za daraja hili.

    H a p a t u n a o n a kwamba Quran badala ya kuzungumzia kuhusu k u j i s h u g h u l i s h a n a kuli tolea taari fa jambo ambalo limethibitishwa, i n a j i s h u g h u l i s h a n a kulionyesha lile ambalo limekanushwa mbele ya macho. Kwa hiyo inaingia katika maudhui haya kwa sura ifuatayo: Kwanza ni kwamba watu wa kitabu wa l i k u wa wa n a m j u wa Mwenyezi Mungu, kwa mfumo wao maalumu, i s i p o k u wa n i k wa m b a baada ya kupita kwa zama nyingi, vumbi lilipanda juu ya maarifa haya ambayo yalipoteza mtizamo wake na upya wake. Kwa sababu hiyo, lilikuwa ni jambo la lazima kusimama upya kazi ya kusafisha na kutwaharisha. Itakapokamilika kazi hii, zitadhihiri katika hali ya kuwa wazi mbele ya macho yote. Na kunawezekana

    kuona kazi hii ya usafishaji katika sentensi hii.

    Tusimwambudu yeyote a s i y e k u w a M w e n y e z i Mungu.

    M a a n a n i k w a m b a , Uislamu unaanza kila kazi kwa kitendo cha kusafisha na kutwaharisha. Kwa hiyo huzisafisha akili na fikra zenye makosa na mambo ya kiovyo na unayasafisha macho na kupondoka na wakati inapotaja kwa kusema Asiye kuwa Mwenyezi Mungu, Quran inasimama kabla ya kukitolea taarifa kitu ambacho ni chanya. Inasimama na kazi ya kifikra na kazi ya kiakili, bali huenda ikasimama na kazi ya kifursa upya. Kwa msingi huo, aya hii badala ya kusema :

    Na tufanye hivi na vile inasema; Tuacheni tusifanye kitu kadha.

    Ndiyo, watu wa kitabu baadhi yao wal ipotoka kwa sababu ya kupita kwa zama nyingi wakaelekea k we n ye k u m s h i r i k i s h a M w e n y e i z M u n g u , wa k a a n z a k u m h u s i s h a Mwenyezi Mungu mtukufu na watoto wanamume na watoto wanawake, mfano wao, mfano wa wale wenye kuabudu masanamu na wakaingia pia katika mambo yasiyoeleweka ya makosa mfano wa kusema kwamba: moja ni tatu, na tatu ni moja. Wakawapa wana wazuoni wao na watawa wao uwezo wa kimungu. Mfano wa kukubali toba ya ushirikishaji na mengine katika ibada. Na msemo ambao amekuja katika aya kuhusu kufanya kwao wanawazuoni wao na watawa wao waungu kinyume cha Mwenyezi Mungu, unafungamana na mambo ya maisha ya kila siku, na unathibitisha kwamba wao hawamiliki haki ya kuweka sheria. Kwa msingi huo, Quran inaanza kwa kuzisafisha nyoyo na akili na kuzitwaharisha na kumshirikisha Mwenyezi Mungu mtukufu na kuelekeza ibada kwake yeye peke yake tu. Kunapasa kuwa swala na swaumu na Hijja na zakat, ni kwa ajili ya Mwenyezi Mungu. Na kutolewa sadaka na wanyama wanaochinjwa kwa ajili yake peke yake. Hapa wanaweza kusema watu wa kitabu kwa urahisi kabisa kwa hakika sisi yote haya tunayafanya katika njia ya Mwenyezi Mungu. (Maelezo juu ya aya hii yataendelea wiki ijayo.)

    Jee Unajua?

    MASUALA1.Walioshi na Mtume (SAW) wakiwa wa Islamu wanaitwaje? Jawabu:

    Sahaba.2.Mwaka aliozaliwa Mtume (SAW) waitwaje? Jawabu: Mwaka wa Tembo.3.Ami yake Mtume (SAW) jina lake. Jawabu: Abu Talib4.Mtume Muhammad (SAW) alipomuoa Bibi. Khadija alikuwa na umri

    gani na Bibi Khadija akiwa na umri gani? Jawabu: 25 Mtume (SAW) 40 Bi. Khadija.

    5.Jina la ami yake Mtume Muhammad (SAW) aliouwawa katika vita vya Uhud. Jawabu: Hamza

    6.Majina ya watoto wa kiume wa Mtume Muhammad (SAW. Jawabu: Kassim, Abdalla, Ibrahim.

    7.Chakula alacho mnyama Panda. Jawabu: Bamboo.8.Mnyama Kangaroo maarufu anaonekana nchi gani? Jawabu: Australia.9.Millennium 1,000 au 10,000 au 1,000,000. Jawabu: 1,00010.Mwanadamu ana mbavu ngapi? Jawabu: 2

    JAWABU CHEMSHA BONGO NAMBA: 27

    MASUALA1.Uislamu ni dini: (i)Inayopungua idadi kila siku (ii) Inakua kwa

    kasi, (iii) Ina idadi kubwa Asia.2.Uislamu unaruhusu kuoa mpaka wake wangapi? 1, 4, 0.3.Mtume Muhammad kazaliwa mwaka 570 CE, 670 CE, 622 CE.4.Vugu vugu la Waislamu Weusi Marekani linajulikana kama,

    Nation of Islam, Black Muslim, Elijah Muhammed.5.Waislamu walio wengi wanaonekana barani Africa, Asia, Ulaya?6.Mtume (SAW) alikuwa hana mke mwengine alipoishi na Bibi

    Khadija binty Khuwayld. Ndio au Sio?7.Mtume alikuwa na umri wa miaka mingapi alipofariki mama

    yake? 3, 6, 12.8.Uislamu una pinga haki za mwanamke na inasisitiza

    ukandamizwaji wa Wanawake. Ndio au Sio?9.Quran imeteremshwa kwa kipindi cha miaka 23, 33, 43. 10. Aya ipi ilioelezea kuwa Leo nimekukamiliishieni Dini

    yenu, na nimekutimizieni neema yangu, na nimekupendeleeni UISLAMU uwe ndiyo Dini. Na mwenye kushurutishwa na njaa, bila ya kupendelea dhambi, basi hakika Mwenyezi Mungu ni Msamehevu

    1. Misikiti 10 yenye haiba duniani wa mwanzo ni Al-Haram uliopo Makka ukifwatiwa na Al-Masjid an-Nabawi uliop Madina, Al-Aqsa-Palestina, Hassan II-Morocco, Sultan Omar Ali Saifuddin-Brunei, Masjd Zahir-Malaysia, Masjid Faisla-Islamabad/Pakistan, Taj ul uliopo Bhopal nchini India, Masjid Badshaihi uliopo Lahore Pakistan na MAsjid Sulta-Singapore: http://www.wonderslist.com/10-most-beautiful-mosques-in-the-world/

    2. Nchi 10 zenye Waislamu wakazi wengi duniani inayoongoza kuwa na idadi kubwa ni nchi ya Indonesia ikifwatiwa na Pakistan, India, Bangladesh, Misri, Nigeria, Iran, Uturuki, Algeria na Morocco: http://malaysiandigest.com/features/555150-10-countries-with-the-largest-muslim-population-in-the-world.html au link hii: http://www.mapsofworld.com/world-top-ten/world-top-ten-countries-with-largest-muslim-populations-map.html

    3. Nchi inayoongoza kuwa na Waislamu wengi barani Afrika kwa asilimia (%) inayoongoza ni Mauritania ikiwa na asilimia 100, ikifwatiwa na Libya 99.8, Algeria 99.7, Comoro 98, Sudan 97, 96 Djibouti, 95 Niger, Misri 95: http://www.muslimpopulation.com/africa/

    4. Katika nchi za Ulaya Albania inaongoza kuwa na asilimia kubwa ya Waislamu ikiwa na idadi ya asilimia 79.9 (%) ikifwatiwa na Bosnia Heregzovinian 60.06, Macedonia 34.9: http://www.muslimpopulation.com/Europe/

    B M W A K A W A T E M B O

    A K A S S I M J U M A N A

    M A B D A L L A S A L U M

    B I B R A H I M A L I S A

    O B I L A L H I S H A M U

    O Z U B E Y R A W A M N L

    2 H A M Z A A B U B A K R

    6 A B U T A L I B U M A R

    8 S A H A B A 25 35 45 40 20 30

    A U S T R A L I A 1 0 0 0

    N A T I O N O F I S L A M

    A L M A I D A A Y A 3 M A

    A W A H I D N A U R U M C

    S J U M A A L K H A M I S

    U I J U M A M O S I N A K

    A L B A Q A R A A Y A 125 45

    3 6 12 56 24 35 33 23 33 43 11 22

    A S I A N D I O B A S I O

    570 CE 4 B L A C K M U S L I M

    I N A K U A K W A K A S I

    ANNUUR NEW.indd 2 11/26/2015 6:13:22 PM

  • 3 AN-NUURSAFAR 1437, IJUMAA NOV. 27- DES. 3, 2015Habari

    Wazanzibari wapaza sautiWhite House Washington

    Kura zao, maamuzi yao yaheshimiweMshindi wa uchaguzi mkuu atangazwe

    Na Mwandishi wetu Washington-Mzalendo.

    net

    M S H I N D I w a u c h a g u z i a t a n g a z w e . M a a m u z i y a W a z a n z i b a r i yaheshimiwe. Bila haki hakuna Amani.

    Wakati vikao vya siri vya kuta fu ta su luhu ya mzozo wa kis iasa visiwani Zanzibar vikiwa vikiripotiwa kuendelea, j u h u d i z a k u u p a t i a ufumbuzi mzozo huo zimefika Ikulu ya Marekani (White House).

    Wanachama wa Jumuia ya Wazanzibar wanaoishi nchini Marekani (ZADIA) kutoka majimbo tofauti nchini humo, wakionyesha mabango yao mnamo Novemba 21 waliandamana hadi kwenye Ikulu ya nchi hiyo ikiwa ni katika juhudi za kutafuta uingiliaji kati wa kimataifa ili kuupatia suluhisho mzozo huo.

    A k i z u n g u m z a n a waandishi wa habari mbele ya Ikulu hiyo, Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo iliyoandaa maandamano hayo Bw. Omar Haji Ali, alisema k u w a m a a n d a m a n o hayo yamekuja ikiwa ni juhudi za Jumuiya hiyo kutafuta uingiliaji kati wa kimataifa katika kuukwamua mgando wa kisiasa visiwani Zanzibar.

    Bw. Omar Haji, alisema kuwa maandamno hayo pia yalikuwa na lengo la kumkumbusha Rais Barack Obama wa Marekani , kutekeleza ahadi yake ya kuilinda demokrasia Barani Afrika.

    Katika hotuba yake aliyoitoa kwenye Makao Makuu ya Umoja wa Afrika mapema mwaka huu, Rais Obama alisema ... pale ambapo raia hawawezi kutekeleza haki zao, basi ulimwengu una jukumu la kukemea. Na Marekani i t a f a n ya h i v y o , h a t a kama wakati mwengine itakuwa inauma..., Bw. Ali al ikumbusha kwa kunukuu matamshi ya Obama.

    A l i o n g e z a k u w a Wananchi wa Zanzibar wameshindwa kutekeleza haki yao kwa zaidi ya nusu karne sasa na kwamba, wakati umefika sasa kwa ulimwengu kuchukua jukumu lake.

    W a k a t i u m e f i k a s a s a k w a M a r e k a n i siyo tu kukemea, lakini pia kuchukua hatua za kivitendo ili kuhakikisha kuwa sauti za Wazanzibari

    z i n a s i k i l i z w a n a kuheshimiwa, alisema.

    Mwenyekiti huyo wa ZADIA alipoulizwa ni hatua gani watakazochukuwa iwapo Serikali ya Marekani haikuchukua hatua yoyote kusaidia kumaliza mgando wa k is iasa Zanzibar , alisema wana imani na Rais Obama na tayari wamemfikishia barua ya malalamiko yao na wanachosubiri ni jibu lake.

    Alisema, imani yao ni kuwa atachukua hatua m a d h u b u t i , h u s u s a n i k i z i n g a t i w a k u w a Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania ulikuwa wa kwanza kutoa taarifa kuelezea kuwa uchaguzi wa Zanzibar ulikuwa wa haki na huru.

    Aliongeza kuwa iwapo hali itaendelea kubaki kama ilivyo, basi ZADIA itaelekea kwenye Umoja wa Mataifa.

    Katika maandamano hayo yaliyowashirikisha pia wapenda amani na demokrasia kutoka sehemu mbalimbali ulimwenguni, waandamanaji walibeba mabango yaliyokuwa na maneno kama vile Mshindi wa uchaguzi atangazwe, maamuzi ya Wazanzibari ya h e s h i m i we , b i l a haki hakuna amani na mengineyo.

    Aidha waandamanaji hao walipaza makelele wakidai, tunataka matokeo yetu ya

    uchaguzi..A k i z u n g u m z a n a

    Swahilivilla, raia mmoja wa Marekani aliyeshiriki kwenye maandamano hayo alisema, Nilimpeleka m w a n a n g u k w e n d a kusoma kule, bado ana mapenzi na Zanzibar

    Marekani.Wananchi wa Zanzibar

    wal ipiga kura kat ika uchaguzi mkuu wa Oktoba 25 mwaka huu, lakini Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Bw. Jecha Salum Jecha, baadae Oktoba 28 alitangaza kufutwa u c h a g u z i h u o M k u u visiwani humo katika hatua za mwisho za majumuisho ya kura, kitendo ambacho wataalamu wa Sheria w a m e s e m a k u w a kinakwenda kinyume na Katiba ya Zanzibar.

    Wachambuzi wanaona k u wa h a t u a h i y o ya Bw. Jecha ilikuja wakati a s i l i m i a k u b w a y a m a t o k e o ya l i y o k u wa y a m e s h a t a n g a z w a y a l i k u w a y a m e m p a ushindi mgombea wa urais wa Zanzibar kutoka chama cha upinzani CUF, Maalim Seif Shariff Hamad.

    Kitendo cha kufutwa kwa uchaguzi huo ambao wachunguzi wa nje na ndani waliulezea kuwa ulikuwa wa haki na huru, kimezua mtafaruku wa kisiasa visiwani Zanzibar, na juhudi za ndani na nje zimekuwa zikifanyika ili kumaliza mgogoro wa kisiasa visiwani humo.

    N o v e m b a 1 9 Wazanzibari wanaoishi nchini Uingereza walikuwa wa mwanzo kufanya maandamano katika nchi

    za nje, wakidai haki ya kutangazwa mshindi katika uchaguzi mkuu wa Zanzibar uliofanyika Octoba 25 mwaka huu.

    M a a n d a m a n o h a y o yaliandaliwa na Jumuiya ya Z a n z i b a r We l f a r e Assoc ia t ion (ZAWA), ambapo wazanzibari hao kutoka maeneo mbalimbali katika miji ya nchi hiyo wal ikusanyika kat ika eneo Downing Street, iliko Ofisi ya Waziri Mkuu wa Uingereza, David Cameron na uongozi huo kukabidhi barua yao yenye malalamiko ya kutaka suala la Zanzibar lishughulikiwe.

    W a z a n z i b a r i h a o walivalia nguo za rangi n ye k u n d u n a b u l u u , huku wengine wakiwa wamebeba mabango yenye maandishi mbalimbali na picha za Mgombea Urais wa tiketi ya Chama Cha Wananchi (CUF) Maalim S e i f S h a r i f H a m a d , wal ionekana wakiwa na furaha wakat i wa maandamano hayo.

    M a a n d a m a n o h a y o yamefanyika kwa lengo la kuongeza shinikizo kwa mamlaka ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuchukua hatua za haraka ya kuhakikisha Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) inakamil isha kazi ya kutangaza matokeo ya uchaguzi huo.

    B a r u a h i y o iliyowasilishwa na Rashid Ali, ambaye ni kiongozi wa Z AWA w e n y e w e wanaamini kwamba suala la Zanzibar litashughulikiwa ili wananchi wa Zanzibar waweze kuendelea na maisha yao ya kawaida.

    Mwakilishi wa ZAWA, Hassan Khamis alisema wameamua kupe leka barua kwenye ofisi za Waziri Mkuu wakiamini suala hilo litashughulikiwa ikiwa pamoja na serikali ya Tanzania kuchukua hatua madhubuti na za haraka katika kushughulikia suala hilo ambalo limewaweka wazanzibari roho juu.

    Tunaumia tukisikia ndugu zetu wa Zanzibar wana mgogoro mwengine uliotokana na uchaguzi kwa sababu ni miaka mingi kulikuwa na hali kama hiyo miaka mitano n y u m a k u k a t a f u t wa Maridhiano lakini sasa tunarejea nyuma miaka 15 iliyopita, haipendezi na pia inatutia sisi wasiwasi ambao tupo mbali na ndugu zetu, alisema mmoja wa wanawake walioandamana.

    Mshindi wa uchaguzi

    a t a n g a z w e . M a a m u z i y a W a z a n z i b a r i y a h e s h i m i w e .

    Bila haki hakuna Amani.

    na amenisimulia habari nzuri za amani, utulivu na ukarimu wa watu wake. Amekuwa akifuatilia hali ilivyo, na kwa hamasa kubwa alipopata habari za maandamano haya, akaniomba tuje kuwaunga mkono Wazanzibari katika kudai haki yao

    T u t a f a n y a maandamano kuitaka Ser ikal i ya Marekani kuingilia kati na kuweka shindikizo kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ili mshindi aliyeshinda atangazwe na serikali ya umoja wa kitaifa iundwe Wazanzibar i , washirikiane wajenge nchi yao, alisema mmoja wa Wazanzibari anayeishi

    ANNUUR NEW.indd 3 11/26/2015 6:13:22 PM

  • 4 AN-NUURSAFAR 1437, IJUMAA NOV. 27- DES. 3, 2015

    Rais kumteua Waziri anayepimika kwa matokeo ya utendaji wake na wenye maono thabiti juu ya taifa lake ni bora na vizuri zaidi. Mtendaji wa serikali bora, anayepima matokeo ya utendaji wake na mwenye maono thabiti juu ya nchi yake, ni dhahiri ataweza kutatua na kupunguza kero nyinyi zaidi, kuliko yule atakayeteuliwa kwa mazoea na ambaye amedhihirisha kufanya kazi kwa mazoea huko alikopita.

    K a t i k a u l i m w e n g u wa sasa wa ushindani , ulimwengu unaomlazimu kila mtu kusaka kwa udi na uvumba mafanikio kwa ajili ya mustakabali mzuri wa maisha yake, familia na jamii kwa ujumla. Viongozi w a n a t a k i w a k u a c h a kuongoza kwa mazoea, lakini pia Watanzania wanatakiwa kuacha kuchagua viongozi wao kwa mazoea.

    Habari za kujuana katika kusaka watu wa kuongoza taifa au katika utendaji serikalini na katika jamii kwa ujumla, habari za kupeana nafasi kwa kigezo cha huyu ni mwenzetu , ametumikia chama muda mrefu nk. ni chanzo cha uzembe na sababu kubwa ya kuua taifa kiuchumi na maendeleo ya jamii na hatimaye kudhoofisha ustawi wa wananchi wengi.

    Ukiacha sintofahamu il iyopo Zanzbar, tayari Tanzania kumeshafanyika U c h a g u z i M k u u , waliochaguliwa, hususan Rais, wabunge na madiwani. Hawa tunaweza kusema ni viongozi waliochaguliwa na wananchi wenyewe na kwa namna moja au nyingine, watakuwa wakiwajibika m o j a k w a w a n a n c h i waliowachagua.

    Lakini wapo viongozi na watendaj i wakubwa wa serikali, ambao pamoja n a k w a m b a w e n g i n e wanatokana na hao hao wabunge, lakini wanapewa mamlaka ya kiutendaj i serikalini na Rais.

    Kwamba Rais anateua Mawaziri na Manaibu Waziri watakaokuwa wanamsaidia kazi. Wao ndio watakaokuwa wapangaji, waidhinishaji, watendaji, wafuatiliaji na wasimamizi wa rasilimali za serikali zinazoelekezwa kwa ajili ya maendeleo ya wananchi.

    Hapa ndipo tulipoona kuna haja ya kupasemea japo katika kiwango cha kutoa maoni yetu.

    K w a w a l e a m b a o watabahatika kuteuliwa kuwa Mawaziri au Manaibu Mawazir i , kwa hakika wanapaswa kuacha mara moja kutekeleza majukumu yao kwa mazoea. Na mwanzo, ishara aliyokwisha kuonesha Mheshimiwa Rais, huenda ikaleta mageuzi makubwa katika utendaji wa serikali.

    Kwa mtazamo wetu , tuliona kwamba viongozi w e t u w a l i o t a n g u l i a , walikuwa wakiteua wasaidizi wao kwa mazoea. Yaani kigezo cha uteuzi mara kadhaa kimeonekana kama ni uswahiba, fadhila, ufariki, udugu, ukanda, ukereketwa wa kiitikadi na hata wakati mwingine udini umetumika kwa kificho.

    Na tunapozingatia kuwa mazoea hugeuka kuwa kawaida, tuna maana wengi wa Mwaziri wa serikali zilizopita walizoea kufanya kazi kwa hiari zaidi na hakuna aliyewabughudhi hata pale walipovurunda. Ndio maana tumeshuhudia wakati mwingine watendaji hawa wakiitwa mizigo na kusababisha serikali kuitwa d h a i f u n k . K wa k u wa pamoja na kupewa nafasi, walishindwa kabisa kutoa matokeo yaliyokusudiwa. Badala yake waliingizia serikali katika hasara.

    Awamu hii kuna haja ya Rais John Pombe Magufuli, kuepukana na yale mazoea ya kuteua watendaji kwa mazoea na kisingizio kikawa ni uzoefu na ukongwe serikalini. Kwamba mtu fulani amekaa muda mrefu ak i tumikia ser ika l i au chama itoshe kuwa tiketi ya kuteuliwa.

    Tunadhani msingi wa mtendaji mzuri anayeteuliwa na Rais ni matokeo ya kazi yake na si uzoefu wa kukaa serikalini au katika chama kwa muda mrefu bila kupima matokeo.

    Tunaamini kabisa kwamba, wengi wanaotenda kwa mazoea, ndio wanaofanya ufisadi kwa taifa letu kwa kuwa wamebweteka ndani ya mfumo zaidi ya miaka 40, hawakuwa na matokeo na hakuna aliyehoji.

    Tunaamini kazi kama ndio msingi mkuu wa maendeleo na mafanikio. Na kwa kupitia

    kazi bora ndio tutaweza kujenga jamii bora na yenye maendeleo . Tunaamini kwamba kazi ndio italeta maendeleo binafsi na ya jamii kwa ujumla.

    Hatuamini kwamba kuna njia ya mkato ya kufikia m a f a n i k i o ya k u d u m u ambayo haihusishi kazi. Hatuamini kwamba misaada inaweza kutuletea mafanikio kama Taifa, kama watendaji hawatakuwa tayari kufanya kazi kwa ubunifu na kupima matokeo ya kazi zao.

    Hakuna kikwazo kikubwa cha mafanikio kwenye kazi kama kufanya kazi kwa

    mazoea. Watendaji wabunifu, waliopata nafasi kwa umahiri wao, ni hamasa mpya katika utendaji wa serikali na mara zote wanakuwa na shauku ya kufanya kazi ili kuendelea kuweka rekodi ya mafanikio.

    Ni matarajio yetu kwamba Rais Magufuli, safari hii hatakuwa Rais wa kulipa watu fadhila, si waliofanya naye kampeni, wala hatajali wale alikuwa amezoeana nao katika Baraza la Mawaziri lililopita.

    Tunakumbuka wakati wa kufunga kampeni kule Mwanza, Rais mstaafu alisifia sana kituo kimoja

    c h a t e l e v i s h e n i k w a kumsaidia sana kumpigia kampeni, hivyo akamshihi Magufuli katika ufalme wake asimsahau Bosi wa huyo wa vyombo vya habari.

    Tu s e m e t u k wa m b a , utendaj i hupimwa kwa matokeo. Bila shaka Rais Magufuli anawajua watendaji wanaojali matokeo, wateue utasalimika.

    Ukifuata ushauri wa usimsahau fulani wakajaa maswahiba, mwenzetu, utaunda serikali ya walipwa f a d h i l a n a we u t a i s h i a kukarabati serikali kipindi chote cha miaka mitano.

    Tahariri

    AN-NUUR S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

    Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM. www.annuurpapers.co.tz E-mail: [email protected]

    Ofisi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House, barabara ya Morogoro, D'Salaam

    Mtihani wa kwanza kwa Rais MagufuliS E R I K A L I i m e t o a mwongozo wa ufundishaji na ujifunzaji wa somo la dini ambao unaondoa masuala ya ibada.

    Mwongozo huo na sera hiyo mpya ya ufundishaji wa Somo la Dini kwa watoto wa shule za msingi, utakuwa mtihani wa mwanzo kwa R a i s D r . J o h n P o m b e Magufuli kwani ni jambo ambalo lilikwisha kupingwa na Wakristo na Waislamu l i l ipo le twa na ser ika l i zilizotangulia.

    Mwongozo huo ambao utatumika katika kuandaa mitaala ya usomeshaji wa Somo la Dini katika elimu ya msingi (darasa la I-VI), unaelekeza kuwa Somo la Dini lifundishwe kama taaluma na si ibada.

    H o j a ya s e r i k a l i n i k u w a i b a d a h a i w e z i kuwaunganisha Watanzania wa dini tofauti, bali kuwaletea chuki, mifarakano na hata kuleta uvunjifu wa Amani.

    Na kwa maana hiyo, kinachotakiwa sasa ni Somo la Dini kufundishwa kwa lengo la kuwaunganisha W a t a n z a n i a w e n y e Imani tofauti za kidini ili kuwafanya wapendane na sio kuwafanya wanafunzi kuwa wachamungu kwa mujibu wa dini zao.

    Kwa mujibu wa taarifa z i l i z o p a t i k a n a k u t o k a Islamic Education Panel, chombo kinachohusika na kuandaa mitaala na vitabu vya usomesjaji wa Somo la Dini ya Kiislamu, hivi sasa serikali kupitia Taaasisi ya Elimu Tanzania (TET) ishasambaza mwongozo huo kwa wadau wa Elimu na hivi karibuni kitaitishwa kikao cha kuupitisha na kuubariki mwongozo huo.

    W a d a u m u h i m u wanaotarajiwa kuitwa katika kikao hicho ni taasisi kuu za Kiislamu na zile za Kikristo.

    Awali kulifanyika kikao ambapo taasisi hizo zilipewa kabrasha la Mwongozo huo na kuambiwa kwamba mara baada ya uchaguzi mkuu wataitwa tena ili kuupitisha.

    Hata hivyo, taarifa kutoka

    Na Mwandishi Weti

    Islamic Education Panel (IEP) zinasema kuwa, katika kikao cha awali, ambapo wadau kutoka taasisi za kidini walishiriki, mpango huo wa serikali ulipingwa.

    Ser ika l i ikashaur iwa k u a c h a s u a l a l a n i n i kifundishwe, waachiwe wenye dini.

    K w a u p a n d e w a k e Islamic Education Panel wamemwandikia barua Kaimu Mkurugenzi, Taasisi ya Elimu Tanzania, wakijenga hoja za kutokukubaliana na mpango huo.

    Baada ya kupitia kwa makini mwongozo uliotajwa, tumegundua kuwa unalenga kuweka mfumo wa watoto wetu wadogo wa shule za msingi wa dini tofauti wafundishwe dini moja. Kwa msingi huu na kwa kuitakia mema nchi yetu, tunapinga mwongozo huu wa ufundishaji na ujifunzaji wa somo la dini katika elimu ya msingi (darasa la I-VI)

    Imeanza barua ya IEP kuweka hoja ya msingi ya pingamizi inayofichua lengo linalokusudiwa kabla ya kunyumbulisha sababu nyingine.

    Kuhusu hoja kuwa Somo lifundishwe kama taaluma, IEP wamesema kuwa ni j a m b o l i s i l o w e z e k a n a k u m f u n d i s h a m t o t o mdogo taaluma ya dini bila kumfundisha ibada.

    Na kisha kusisitiza kuwa watoto wasipofundishwa I b a d a , h a i w e z e k a n i kuwajenga kimaadili kwa sababu ibada na kumuabudu Mwenyezi Mungu ndio

    msingi wa maadili.Watoto wadogo wa shule

    ya msingi kufundishwa elimu ya dini ili wawe waumini wazuri wa dini kwa mujibu wa imani zao ni jambo jema, ambalo litawaimarisha pia kuwapenda na kuwahurumia watu wengine, hata kama sio raia kwani wote ni waja wa Mwenyezi Mungu.

    Imesema sehemu ya barua ya IEP kwa Mkurugenzi Taasisi ya Elimu ambayo imenakiliwa kwa Baraza la Maaskofu, Jumuiya ya Kikristo Tanzania na Katibu Mkuu, Wizara ya Elimu.

    Barua hiyo ya hivi karibuni ikaongeza kuwa ni jambo lisilokubalika, mwalimu Muislamu kuwafundisha watoto wadogo wa shule ya msingi wa Kikatoliki Elimu ya dini ya Kikristo au kinyume chake, kwa hoja tu kwamba anaifundisha kama taaluma.

    IEP iliongeza hoja hiyo kwa msingi kwamba kama Somo la Dini litafundishwa kama taaluma, ina maana anaweza kuchukul iwa mwal imu Muis lamu akafundisha somo la Dini ya Kikristo na kinyume chake.

    Ikasisitizwa katika barua hiyo kwamba Mwalimu mahiri wa wa Elimu ya Dini ya Kikatoliki, lazima awe Mkatoliki mzuri anayeakisi mafundisho ya dini hiyo, na sio tu mwalimu japo akijua Biblia vizuri lakini si mfuasi wa dini hiyo.

    Na kwamba mwalimu wa namna hiyo atakuwa a n a f u n d i s h a m a m b o asiyoyaamini na hivyo hawezi kumuathiri mtoto kimalezi.

    Katika hoja ya serikali ya kuhusisha dini na uvunjifu wa Amani, IEP wanatoa hoja kuwa machafuko mengi yanayosababisha uvunjifu wa Amani na hata ukitizama hapa nchini, ni kwa sababu za kisiasa.

    Wanasema, matukio mengi ya uvunjifu wa amani na hata watu kupoteza maisha, yaliyojiri nchini baina ya 2010 na 2015, yametokana na uchochezi na mihemko ya kisiasa.

    Inaendelea Uk. 9

    Baraza la Mawaziri kigezo isiwe ukongwe serikalini

    ANNUUR NEW.indd 4 11/26/2015 6:13:23 PM

  • 5 AN-NUURSAFAR 1437, IJUMAA NOV. 27- DES. 3, 2015

    WAKATI wazee wa Tanzania wakiishi maisha ya taabu katika uzee wao, wakiishi bila kuwepo huduma za matuinzo za serikali, wakikosa hata huduma za matibabu licha ya kuwepo mpango wa matibabu bure kwa wazee, waja wazito na watoto, serikali ya China imekuwa mfano wa kuigwa kwa kuenzi maisha ya wazee.

    Serikali ya Tanzania k w a m u d a m r e f u imeshindwa kuwa na sera zinazotekelezeka za kuwahudumia wazee. Serikali wala haionekani kushughulishwa na suala zima za kuwahudumia wazee wetu, l icha ya k u t u m i a n g u v u z a o nyingi kuzaa na kulea k i z a z i c h a s a s a c h a watanzania. Kutumia nguvu zao kutumikia Taifa letu katika nyanja mbalimbali za kihuduma na kimaendeleo. Leo wanaachwa na wastani wa umri wao wa kuishi umeshuka kutokana na kukosa huduma nzuri za malezi.

    Hata zile kambi chache za kuwatunza kama ile ya Nunge Kigamboni na ile Funga Funga iliyopo mkoani Morogoro, badala ya kuwa mfano mzuri wa kuwaenzi wazee wetu kwa kuwapa huduma nzuri na bora za malezi, zenyewe zimegeuka kuwa mfano kambi za kuwadhalilisha babu na bibi zetu. Wanaishi kwa kutegemea majaaliwa ya wale wanaojisikia kutoa misaada na sadaka. Kwa kutizamama mifano ya kambi hizi mbili za serikali, hakuna mtanzania ambaye anatamani mzee wake akaishi huko kwa udhalili.

    Serikali imeshindwa kutambua ukweli kwamba kila mtoto au kijana wa leo ni mzee wa kesho. Kwa msingi huo ni wajibu serikali kuandaa sera ya kulea wazee pamoja na kuweka mazingira safi na salama ya kuwawezesha wazee kuishi maisha ya stara na salama hata baada ya nguvu zao za uzalishaji kwisha.

    L i c h a ya k wa m b a desturi na utamaduni wa kitanzania haujazoea k u w a t u n z a w a z e e k a t i k a v i t u o v y a serikali, lakini ni ukweli usipopingika kwamba kama kungekuwepo na huduma za kuridhisha za wazee katika vituo vichache vilivyopo, wezee wengi wangehifadhiwa huko. Hii ni kutokana na ukweli kwamba si kila familia inaweza kuishi na kuwatunza wazee wao.

    Kuna haja ya serikali yetu, kwa makusudi kabisa kujifunza kwa swahiba

    wake mkubwa China, namna ilivyoweza kutoa huduma na kusimamia maslahi ya kimaisha ya wazee wake.

    Katika miaka ya hivi karibuni, China imejizatiti kikamilifu kukabiliana na ongezeko kubwa la watu wenye umri mkubwa, hali i l iyolazimu nchi hiyo kufikiri namna ya kuwatunza wazee hao.

    I m e e l e z w a k u w a ongezeko la wazee China limetokana na mabadiliko katika muundo wa idadi ya watu, kutokana na utekelezaji wa sera ya mtoto mmoja.

    Aidha kuongezeka kwa kiwango cha maisha na kuboreka kwa huduma za afya, wachina kwa sasa wanaishi kwa muda m r e f u , h a l i a m b a y o imefanya idadi ya wazee kuongezeka.

    Hata hivyo ongezeko hilo la idadi ya wazee l imeleta changamoto nyingine nchini humo, ambayo ni namna ya kuwatunze wazee hao.

    China ni nchi yenye watu bilioni 1.3, na ni moja kati ya nchi ambazo idadi ya wazee inaongezeka kwa kasi. Hivi sasa wananchi wa China wenye umri wa zaidi ya miaka 60 wamefikia watu milioni 144, idadi ambayo ni nusu ya idadi ya wazee wa bara zima la Asia.

    I n a k a d i r i wa k u wa hadi kufikia mwaka 2020, idadi hiyo inatarajiwa kuongezeka na kufikia

    watu milioni 100. Wakati idadi ya wazee ikiongezeka, namna ya kuhakikisha wazee wanaishi kwa raha mustarehe ni suala linalofuatiliwa na jamii ya China.

    M a i s h a y a r a h a mustarehe kwa wazee si kama tu yanahusu chakula, bali pia yanahusu afya ya kisaikolojia. Pamoja na matatizo mbalimbali yanayosababishwa na uzee, wazee pia wamekuwa wakikabiliwa na tatizo la kisaikolojia, hususan wazee ambao waume au wake zao walishafariki dunia, wanasumbuliwa na upweke na hofu ya kifo.

    Wazee wanaonekana kuwa na huzuni na ni rahisi kukosa matumaini ya kuendelea kuishi . Kwa hiyo katika miaka ya hivi karibuni suala la kuwatunza wazee kisaikoloj ia l imeanza kuzingatiwa katika jamii ya China, lengo likiwa ni kuwasaidia waondokane na upweke unaotokana na kukosa mawasiliano na jamaa na marafiki zao.

    K a t i k a e n e o l a kuendeleza uchumi na teknolojia la Taifa huko Tianjin, mji uliopo pwani ya Kaskazini mwa China, kutokana na ushauri wa serikali ya lilianzishwa shirika la wazee, ambalo l i n a f a n y a s h u g h u l i mbalimbali za maonesho ya sanaa na michezo katika makazi.

    Hivi sasa shirika hilo lina wanachama zaidi ya

    elfu moja, na asilimia 95 ya wazee wanaoishi katika eneo hi lo wamewahi kushiriki kwenye shughuli mbalimbali zilizoandaliwa na shirika hilo. Wazee wa huko walieleza kuwa, kila ifikapo siku ya wazee ambayo ni siku ya jadi katika jamii ya China, sherehe kubwa inafanyika katika eneo hilo na kila mwanachama wa shirika la wazee anapewa zawadi ya maua.

    S h i r i k a h i l o l a wazee pia l i l ianzisha v i k u n d i m b a l i m b a l i vinavyoshirikisha wazee, vikiwemo vikundi vya baiskeli, mpira wa meza, d a n s i , wa n a m i t i n d o wazee, upigaji picha na kwaya.

    S h i r i k a linawahamasisha wazee k u f a n y a s h u g h u l i mbalimbali kama vile kusafiri kwa baiskeli kuzunguka kando ya bahari nk.

    Kutokana na shughuli za namna hiyo, wazee wamekuwa na matumaini makubwa zaidi ya maisha.

    Pamoja na maendeleo yaliyopatikana katika shughuli za kuwahudumia w a z e e , s e r i k a l i y a China imeweka bayana changamoto zinazoikabili katika kutimiza lengo la kuhakikisha wazee w a n a i s h i k w a r a h a mustarehe.

    Kuongezeka kwa idadi ya wazee kumeongeza mzigo kwa mfumo wa kuwahudumia wazee.

    Kwa mujibu wa takwimu, kwa kila wazee elfu moja wa China wana vitanda 10 tu katika vituo vya kuwatunza wazee, huku idadi hiyo ya vitanda ni kati ya 50 na 70 katika nchi zilizoendelea. Asilimia 60 ya wazee wa China wanaishi katika maeneo ya vijiji, ambapo mifumo ya kuwahudumia wazee, matibabu na hifadhi ya jamii bado haijakamilika.

    Serikali ya China imetoa ahadi kwamba, itaendelea kutenga fedha zaidi katika hifadhi ya jamii, hatua kwa hatua kukamilisha mfumo wa kuwahudumia wazee unaowanufaisha wananchi wote na unaolingana na maendeleo ya uchumi na jamii ya China, ili wazee ama wanaoishi mijini au vijijini waishi kwa raha mustarehe.

    Naibu Mkurugenzi wa o f i s i ya k a m a t i inayoshughulikia mambo ya wazee ya taifa ya China Bw. Li Bengong, alifafanua mpango wa China katika miaka kadhaa ijayo.

    Katika kipindi kati ya mwaka 2006 na 2010, v i l i t i m i z w a v i g e z o k a d h a a h a l i s i . K wa mfano kuongeza vitanda milioni 2.2 katika vituo vya kuwatunza wazee wanaoishi vijijini, ambao hawana kipato wala uwezo wa kufanya kazi.

    Aidha serikali katika ngazi mbalimbali ilipanga hatua kwa hatua kuongeza f e d h a z i n a z o t u m i k a katika ujenzi wa vifaa v i n a v y o w a h u d u m i a wazee, elimu ya wazee, u t a f i t i w a s a y a n s i unaohusu wazee , na shughul i mbal imbal i zinazowashirikisha wazee, lengo likiwa ni kuhakikisha wazee wanaishi kwa raha mustarehe. CRI

    Awali serikali ilitoa waraka kuhusu maendeleo ya sekta ya huduma ya wazee nchini China ulitolewa tarehe 12 mwezi Desemba 2006 Beijing. Waraka huo uliainisha kwamba katika miaka ya karibuni idadi ya wazee nchini China inaongezeka kwa kasi.

    I l i k u k a b i l i wa n a changamoto hiyo, serikali ya China ilichukua hatua za kiuchumi, kisheria na kiutawala kuhakikisha maslahi na haki ya wazee na kuhimiza maendeleo ya shughuli za utoaji huduma kwa wazee.

    Waraka huo wa serikali unaeleza mambo saba yanayohusu kuongezeka kwa kasi idadi ya wazee nchini China, ujenzi wa mfumo wa dhamana kwa wazee na kuimarisha dhamana kwa stahili na maslahi ya wazee.

    Hadi kufikia mwishoni mwa mwaka 2005, idadi

    Inaendelea Uk. 15

    Habari za Kimataifa

    Maisha ni marefu ChinaYaongoza kwa idadi ya wazeeLakini serikali imemudu kuwalea

    Na Shaaban Rajab

    WAZEE nchini China.

    ANNUUR NEW.indd 5 11/26/2015 6:13:28 PM

  • 6 AN-NUURSAFAR 1437, IJUMAA NOV. 27- DES. 3, 2015

    Kiasi cha miaka 20 au 25 iliyopita, niliwahi kusoma kitabu cha hadithi cha mwandishi mmoja wa Kimarekani anayeitwa Mario Puzo. Huyu ni mwandishi wa hadithi moja maarufu sana duniani inayoitwa 'THE GOD FATHER'. Na kama ilivyokuwa katika hadithi ya 'THE GOD FATHER' , maudhui ya hadithi ninayoizungumzia pia yalikuwa yanahusisha harakati za genge la uhalifu la MAFIA.

    K a t i k a h a d i t h i h i y o n i l i y o s o m a , a m b a y o nadhani kichwa chake cha habari kilikuwa kinaitwa 'FOOLS DIE' au 'ORMETA', sikumbuki vizuri kipi ni kipi, kuna kauli ya mmoja wa wahusika ambayo ilininasa sana. Kauli hii ilitolewa katika mkutano wa viongozi wakuu wa MAFIA na mmoja wa viongozi hao, akiwa na nia ya kuwashawishi wenzake kubadili mbinu za uhalifu.

    "KUNA HAJA GANI YA KUENDELEA NA WIZI WA KUTUMIA SILAHA, WAKATI NJIA BORA ZA KUIBA, TENA AMBAZO NI HALALI ZIPO? Alihoji kiongozi huyo.

    "NI MBINU GANI HIZO?" Wenzake walitaka kujua.

    "BENKI. TUANZISHENI BENKI! UKIWA NA BENKI UTAIBA UPENDAVYO NA RAHA YENYEWE NI KWAMBA WIZI WENYEWE K W E N Y E M A C H O YA SHERIA UTAKUWA NI HALALI!"

    Wakati huo sikuipa hii kauli uzito wowote, pamoja na kwamba ilinasa kwenye ubongo wangu na kubakia. Nadhani sababu ya kutoipa uzito wa kutosha wakati huo ni uzoefu mdogo niliokuwa nao wakati huo kuhusu masuala ya fedha, na utendaji wa mabenki. Uzoefu wangu uliishia katika kujua kuwa benki ilikuwa ni mahala salama pa kuweka fedha zako, na unapokuwa na shida unakwenda kuzichukua.

    Hata hivyo kadri miaka i l ivyokuwa inakwenda, n d i v y o j i n s i a m b a v y o nimezidi kumuelewa yule kiongozi wa genge la MAFIA na kuukiri ukweli uliosheheni k w e n y e k a u l i y a k e . Uchunguzi wangu umebaini kuwa njia zinazotumiwa na mabenki kuibia wateja wao ni nyingi na baadhi yao ni hizi zifuatazo:

    Kwanza ni kuwarubuni watu kufungua akaunti za akiba na amana kwa ahadi ya kuwapa riba mwisho wa mwaka ya (3% au 4% kama ni akaunti za akiba na 7% kama ni akaunti za amana). Haraka haraka unaweza usione kuwa kuna tatizo hapa, lakini lipo.

    Benki zinachukua fedha zako hizo na kuwakopesha watu wenye kuhitaji kwa tozo la riba kubwa (wastani wa 18% hadi 60%! kwa mabenki mengi yaliyoko nchini). Katika 18% i l iyotozwa, benki inachukua 4% au 7%, inakupa; inabaki na 14% au 11% , na kisha inatangaza ni jinsi gani benki hiyo ni madhubuti, kiasi cha kuweza kutengeneza faida kubwa!

    Aidha, wakat i benki zinapokuhitaji uhifadhi fedha zako kwao kwa muda mrefu hawakuambii kuwa kitendo hicho kinaweza kukutia hasara kwa njia ya fedha zako kupoteza thamani. Kwa nchi kama Tanzania ambayo mfumuko wa bei ni zaidi ya 5% kwa mwaka, na shilingi yake inapoteza thamani mara kwa mara dhidi fedha za kigeni, fedha zinazowekwa tu bila kuingizwa kwenye mzunguko z ikaza l i sha fedha nyingine, aghalabu zinapoteza thamani kwa zaidi ya 5% kila mwaka kutokana na mfumuko wa bei pekee, achilia mbali thamani inayopotea kutokana na kushuka kwa thamani ya shilingi. Hata kama benki itakupa hiyo riba ya 3% au 4% au 7%, bado utakuwa umekula hasara kutokana na thamani iliyopotea kwenye fedha zako.

    Njia ya pili ni kujenga mazingira ya kumlazimisha mteja kulipia baadhi ya huduma bila sababu za msingi. Kwa mfano, siku hizi kila benki inatumia mashine nyingi za ATM ikiwa ni njia ya kurahisisha uchukuaji wa fedha katika akaunti za akiba za wateja. Katika kila muamala unaofanya katika hizi mashine, iwe ni kutoa pesa, kuomba salio au kuomba risiti ya muamala, akaunti yako inakatwa kiasi fulani cha pesa! Ukisema

    uache kutumia ATM uende dirishani, huko unaambiwa utapewa pesa lakini ukubali k u a d h i b i wa ( a g h a l a b u adhabu husika ni makato makubwa kuliko hata hayo ya ATM) kwa kuacha kutumia ATM zilizoko.

    Tatu ni kutumia ujuzi m d o g o wa wa t e j a wa mambo ya fedha kuwaibia kupitia riba isiyopungua (FLAT INTEREST), pale wanapoomba mikopo. Kwa kawaida unapokopa, kwa mfano shilingi milioni 20, kwa mkataba wa kuulipa mkopo huo ndani ya miezi 12 kwa mfano, unaambiwa pia na kiwango cha riba inayohusika. Kwa mfano, kama utaambiwa kuwa riba husika ni 18%, maana yake ni kwamba iwapo utalipa fedha hiyo kwa mkupuo mmoja baada ya miezi 12 utalipa

    na riba ya 18% ambayo ni Tshs 3,600,000.00. Kwa bahati mbaya baadhi ya mabenki hukupangia marejesho ya kila mwezi lakini inapokuja k we n ye s u a l a l a r i b a , wanakutoza kana kwamba fedha yote ya mkopo unailipa kwa mkupuo mmoja!

    Tofauti iliyopo ni kwamba, kama unaul ipa mkopo huo kwa mafungu ya kila mwezi, riba unayotozwa inatakiwa iendelee kupungua kila mwezi (REDUCING INTEREST) kwa sababu mkopo unaodaiwa nao unapungua kila mwezi, kutokana na marejesho unayofanya. Kwa kutumia mfano wetu huu hapa wa mkopo wa milioni 20, riba katika mwezi wa kwanza wa marejesho itakuwa Tshs 300,000.00 na katika mwezi wa mwisho wa marejesho,

    itakuwa Tshs 27,097.00. Kwa utaratibu huu jumla ya riba yote utakayokuwa umelipa kwa mwaka mzima itakuwa Tshs 2,003,198.00. Tofauti kati ya mtu aliyetozwa riba kwa mfumo huu, na yule aliyetozwa kwa mfumo wa riba isiyopungua ni Ths 1,596,000.00! Kiasi hiki, ambacho kimsingi unaibiwa, ni karibia 80% ya riba halisi uliyokuwa unatakiwa kulipa.

    Njia ya nne, ni kutumia muda wa mkataba wa kulipa deni kama kigezo cha kukulazimisha kulipa riba ya kipindi chote cha mkataba, hata kama utaamua kuachana na deni lako kabla ya muda uliomo kwenye mkataba kufikia ukomo. Kuna wakati baada ya kuhudumia mkopo wako kwa muda, mfano miezi mitatu, unapata fungu kubwa la fedha kutoka vyanzo vingine (kwa mfano unalipwa fedha ulizokuwa unadai mahala) na unaamua kutumia fedha hizi kulipa mkopo unaodaiwa katika fungu moja na kuachana nao . Haikusa id i i k i tu ! Haikusaidii kwa sababu benki itang'ang'ania ulipe riba yote iliyobaki. Kwa mfano, kama mkopo ulikuwa wa miezi 12, basi benki itakutaka ulipe riba ya miezi 9 iliyokuwa imebakia katika kipindi cha mkataba wako!

    Kuibiwa kwa namna hii ndiko kulikodhamiriwa kwenye kauli ya yule kinara wa MAFIA. Wizi hadharani, na hakuna mtu anakuuliza! Hii ina maana kuwa, kama ni lazima ukope, basi kabla hujaamua kutafuta mkopo huo, ni bora kuingia kazini na kutembelea mabenki mengi kadri inavyowezekana, kutafuta benki ambayo iko tayari kukupa mkopo unaohitaji kwa masharti ambayo hayatakuumiza sana! Benki ambayo haitatumia shida yako kukuibia.

    Hoja ya Juma Kilaghai

    Unataka kuiba fedha kihalali? Anzisha Benki!

    Uongozi wa Shule ya SOTELE SEKONDARI (iliyo chini ya TAMPO) iliyopo kata ya Dondo Tarafa ya Kisiju wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani inawatangazia Waislamu wote nafasi za masomo kwa mwaka mpya wa masomo 2016 kwa kidato cha I,II,III,IV fomu zinapatikana katika mikoa ifuatayo: -

    Mkoa wa DSM Imamu Mwinyikai, Sheikhat Hisa Magomeni Kichangani,Juma Nchia Ununio College Boko, Tampro Magomeni Usalama, Imamu Shaabani Masjid Tungi Temeke. Imamu Mkadam Masjid Haqa Buguruni, Imamu Yusufu kwa mwalimu Daudi Masjid Mtambani Kinondoni mkoa wa Pwani Rufiji Mwl Sodungu 0719 402695 sotele shuleni mkuranga. Mkoani Tanga Sheikh Koja mtihani wa Usajili utafanyika tarehe 29/11/2015 katika vituo vifuatavyo: Ridhwaa Seminary Kinondoni Mkwajuni DSM na Sotele Sekondari Mkuranga- Pwani Saa 2:30 Asubuhi kwa maelezo zaidi wasiliana na MWL Saiboko 0784 299 945, Mwl Pilly 0784 657216, Pazi Mwinyimvua 0655 654900 Yusufu Shaabani 0715 818187, Mwl Ally 0784 879197 Omar Tampro makao makuu 0714 151532, Mkoa wa Tanga Sheikh Koja 0717 247297, Mkoani Mtwara Mwl. Jazari 0717 235011, Masasi Imamu Mcholo 0715 181485, Newala Idd Abdul 0785 722988, Mkoani Lindi Imam Maarufu 0716 260035, Kilwa Masoko Abdallah Kaundunde 0784 610444, Mkoani Singida Mwl. Mangola 0787 105182 na Zanzibar Ofisi za UKUEM Makao Makuu 0777 125074.

    Nafasi za Masomo Sotele Sekondari 2016

    ANNUUR NEW.indd 6 11/26/2015 6:13:28 PM

  • 7 AN-NUURSAFAR 1437, IJUMAA NOV. 27- DES. 3, 2015Mhe. Ban Ki Moon

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa

    Mhe. Magniz Lyketoft M/kiti wa Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa

    Mhe. Mathayo Rekroft M/kiti wa Baraza la Usalama

    Mhe. Ford Sik M/kiti wa Kamati husika ya haki za Wapalestina zisizo hamishika.

    Napenda kuchukua nafas i h i i kuf ik i sha salamu za Palestina na za wananchi wake, waliohudhuria na kwa marafiki kote duniani, walioshiriki nao katika maadhimisho ya siku hii ya kimataifa ya kuungana na Wapalestina.

    H i i n i b a a d a ya miezi miwili tu tokea k u p e p e r u s h wa k wa shangwe na nderemo, bendera ya Palestina mjini New York Marekani, jambo linalotufurahisha wote.

    Rais pia amechukua nafasi kuzishukuru nchi zote zilizokubali uwepo wa dola ya Palestina, pia zile zote zilizochangia ufanisi wa suala hilo kupitia kura zao katika Umoja wa Mataifa na sekta zake zote.

    M c h a n g o h u o n i katika ufanisi wa sekta na maazimio mbalimbali yahusuyo Pa les t ina , kikiwemo kituo chake n d a n i ya u m o j a wa Mataifa kitachosaidia kuleta amani ya kweli Mashariki ya Kati na duniani kwa ujumla.

    A i d h a a m e r e j e a shukrani zake kwa taasisii zisizokuwa za kiserikali, asasi za kiraia, marafiki n a wa d a u w o t e wa uhuru na amani duniani, wanaosimama kidete na ndugu zao Wapalestina katika kufikia uhuru wao, ili kuleta amani ya kudumu.

    Ameongeza kuwa, U m o j a w a M a t a i f a umeshughulikia suala la Palestina tokea mwanzo na kuliweka katika agenda za vikao vingi vya kimataifa, huku ikilijengea mikakati na maazimio mbalimbali yas iyo epukika kwa lengo la kufikia suluhisho lifaalo.

    Hivyo tunathibitisha uwepo wa suala hilo kwake hadi hapo patapofikia ufumbuzi unaoridhiwa na pande husika kwa mujibu wa kanuni za kimataifa.

    Hivyo, tunapongeza juhudi zinazofanywa na Katibu Mkuu wa Umoja wa mataifa Mhe. Ban Ki Moon, pia kamati husika ya haki za Wapalestina zisizo hamishika, iliyo chini ya M/kiti wake balozi wa Senegal Mhe.

    Ford Sik. Vilevile wajumbe, nchi

    waangalizi, sekta zote za Umoja wa mataifa, hasa inayojihusisha na wakimbizi wa Kipalestina (UNNRWA), Mashirika y o t e y a n a y o s a i d i a Pa l e s t i n a i l i k u f i k i a mpango wa amani.

    Umoja wa Mataifa na sekta zake pia Mahakama ya kimataifa ya uadilifu n a u s a w a , t a y a r i v i m e s a i n i m a a z i m i o nafuu kwa Palestina. Hivyo tunasikitika kuona hayajapitishwa maazimio hayo, jambo lililosababisha kuzidi mivutano kwa m u d a m r e f u , h u k u Palestina ikiathirika kwa kiasi kikubwa.

    Kufeli kwa utekelezaji wa kanuni na maazimio hayo, daima kunainyima Palestina haki zake za kimsingi, huku ikieleweka uwepo wa baadhi ya vigezo katika Umoja wa Mataifa vihusuvyo Israeli havijapitishwa, jambo linaloipa jeuri na kujiona ni dola iliyo juu ya sheria haiwezi kuadhibiwa.

    Rais Abbas ameongeza k u s e m a k w a m b a , kuendelea kuwepo kwa uvamizi wa Israeli katika ardhi yetu, ujenzi endelevu wa makazi ya kilowezi, kuzidi kwa utekaji nyara, kuwanyonga vijana na watoto wetu, uwepo wa vikwazo katika ukanda wa Gaza na mengine mengi ya kinyama yafanywayo na waisraeli.

    Ni uthibitisho tosha kuwa nchi hiyo inavunja kanuni za kimataifa ,

    inapuuza mpango wa amani na kuendeleza u v a m i z i w a k e w a kimabavu.

    M i a k a m i n g i imetahadharisha matokeo ya yanayoendelea mjini Jerusalem iliyovamiwa kimabavu na maeneo yake ya jirani, yakiwemo mambo kadhaa mabaya dhidi ya Wapalestina, huku walowezi wakiwa chini ya kivuli cha majeshi ya kizayuni ya Israeli ili kubadili historia ya Msikiti M t u k u f u wa A g s wa iliyopo tokea mwaka 1967.

    Hii inalenga kugeuza migogro ya kisiasa na kisheria iwe ya kidini za idi , j ambo ambalo litaleta matokeo mabaya mno kwa wote na ambalo ha l ikuba l ik i kamwe. Hivyo ni lazima kusitisha juhudi za kuendeleza makazi ya walowezi na zile zote za Israeli zinazolenga kuharibu bali kufuta kabisa historia ya Wapalestina na mji mtukufu ili Israeli ichukue Msikiti Mtukufu na eneo zima.

    Kwa kufe l i juhudi za jamii ya kimataifa k u i e p u s h a Pa l e s t i n a na dhuluma za Israeli, imepelekea wananchi wa Pales t ina kukosa mustakabali mwema, hasa vijana. Tunatilia mkazo wa kufanyika juhudi zaidi za kimataifa ili kuleta amani Mashariki ya kati, kwa msingi wa kuwepo dola mbili iliyopo tokea mwaka 1967.

    K w a m u j i b u w a maazimio ya Umoja wa

    Matai fa yal iyof ik iwa mjini Madrid-Hispania kuhusu amani na usalama wa Kiarabu yanataja pia kumaliza uvamizi huo wa Israeli, kwani hakuna haja tena ya kupoteza muda bali ni lazima ifanyike kazi ya ziada ili kufanikisha mpango wa amani.

    Rais ameendelea zaidi kusema kuwa, ninyi nyote mnajua kwamba lengo letu ni kuleta amani, ndio maana bado tunaendelea kutoa fursa ya hilo. Mara kadhaa Israeli imeharibu juhudi hizo, ili iendelee k u j e n g a m a k a z i y a kilowezi na ukuta wa kibaguzi katika ardhi ya Palestina.

    Tunajiuliza nini lengo la Israeli katika kuweka kiasi cha makazi laki sita (600,000) ndani ya ardhi ya Palestina, huku ikielewa kuwa kufanya hivyo ni miongoni mwa uhalifu wa kivita kwa mujibu wa maazimio ya Geneva ya mwaka 1949 , p ia inapingana na ufumbuzi wa kuwepo dola mbili.

    H a t u a y a I s r a e l i k u b o m o a m i s i n g i i l i y o w e k wa k i s i a s a , kiuchumi na kiusalama, inatufanya tushindwe kuendelea na utekelezaji wa maazimio hayo upande mmoja bila ya Israeli. Isipokuwa tunaendelea kutekeleza sheria na ahadi za kimataifa kwa nia njema ili kufikia mpango wa amani.

    Hivyo, tutaendelea kujiunga na jamii za kimataifa na mikataba yake i l i kulinda haki zetu, huku tukihakikisha usalama wa taifa letu kwa njia mbalimbali za kisheria na kiusalama t u l i z o n a z o . H a k i k a kuliondolea dhuluma taifa letu ni jukumu la kitabia na kibinaadamu, tunazidi kuiomba jamii ya kimataifa kuilazimisha I s r a e l i k u a c h a n a n a kuikandamiza Palestina, bali ifanyie kazi maazimio ya kimataifa ili kumaliza hali hiyo.

    Kwa upande mwingine, Rais Abbas amehoji kuwa, hadi lini itaachwa Israeli ikikiuka maazimio ya kimataifa kana kwamba ni dola iliyo juu ya sheria? H u k u wa n a n c h i wa Palestina wakiendelea kukaliwa kimabavu na kudhulumiwa haki zao kwa maslahi ya walowezi wachache wa kigaidi wanaofumbia macho maovu yao na adhabu yao?

    H a k i k a j a m i i y a kimataifa inatakiwa zaidi leo kuilinda Palestina muda wote wa uvamizi, huku ikiisaidia kupata haki yake na kupanga m u s t a k a b a l i w a k e , ikiwemo haki ya kupata uhuru wake na kuwa dola yenye mji mkuu wake Jerusalem ya Mashariki kama ilivyo katika mipaka ya mwaka 1967.

    H i i i t a t u w e z e s h a kuishi kwa amani na jirani yetu Israeli huku t u k i h e s h i m i a n a k wa mujibu wa makubaliano ya Umoja wa Mataifa na kimataifa, pia kuwepo suluhisho la wakimbizi wa Palestina kwa mujibu wa agizo la Mkutano Mkuu waUmoja huo namba 194, inayotaja pia kuwatoa wafungwa na waliotekwa nyara wote wa Kipalestina waliopo katika jela za Israeli.

    Rais ametilia mkazo k w a m b a , l e n g o n i kumaliza kabisa uvamizi wa Israeli katika ardhi ya Palestina, pia kupata uhuru wake na uongozi wake na sio kumdhulumu yeyote kama wanavyodai baadhi ya watu. Ni dola itayosifika na yote mazuri bila ya ubaguzi wa aina yoyote, hivyo tutaendelea na harakati kwa msaada wa marafiki na wote wengine ili kufikia lengo hilo.

    Vile vile mikono yetu bado imenyooshwa kutaka amani ya kweli kwa misingi ya sheria za kimataifa na maazimio ya Umoja wa Mataifa, kinyume na hivyo ni kurefusha muda wa mgogoro, kukata matarajio m e m a n a k u z i d i s h a kinyongo na chuki kwa walengwa.

    Wananchi wa Palestina ni haki yao kupata neema ya uhuru na yote mazuri chini ya dola yao huru yenye mji mkuu wake Jerusalem ya Mashariki, hili ni jambo la lazima ili kuleta amani, usalama na utulivu katika Mashariki ya kati. Amani ndio lengo letu kuu na ndio maslahi hasa ya Palestina, nchi za Kiarabu na dunia kwa ujumla.

    Rais Mahmuud Abbas amemalizia hotuba yake kwa kusema kwamba; Hilo linawezekana endapo tu kukiwepo uongozi thabiti na uthubutu wa kisiasa unaoongozwa na nia njema, kwa lengo la kujenga mustakabali mwema kwa wote.

    Contact us: P.O Box 20307, 612 UN Road Upanga West, Dar es Salaam Tel: 2152813, 2150643 Fax: 2153257 E m a i l : p i c t @ p a l - t z .orgWebsite: www.pal-tz. Org.

    MAKALA

    M/KITI WA KAMATI TENDAJI YA JUMUIYA YA UKOMBOZI WA PALESTINA (PLO)MNASABA WA SIKU YA KIMATAIFA YA MSHIKAMANO NA WAPALESTINA23 NOVEMBER 2015

    Hotuba ya Rais Mahmuud Abbas wa Palestina

    Rais Mahmuud Abbas wa Palestina

    ANNUUR NEW.indd 7 11/26/2015 6:13:29 PM

  • 8 AN-NUURSAFAR 1437, IJUMAA NOV. 27- DES. 3, 2015

    KWANZA nianze k w a k u w a t a k a radhi waungwana wote hapa barzani kwa kuadimika kwangu au kukaa kimya kirefu j a p o k u w a n i l i u t o l e a ufafanuzi ukimya huu kabla, lakini kwa kuwa nimezidisha muda, basi w a j i b u k u a n z a k w a kutakana radhi. Lakini pia kabla ya yote au awalani ya hayo, ni lazima sana kuanza kwa kumshukuru Mola wetu kwani bila yeye hapa leo tusingekutana kuongea, kunongonezana au kuambizana neno.

    Uchaguzi umekwisha k a m a t u n a v y o j u a n a mshindi anajulikana, ingawa hakutangazwa bado na wahusika na tunavyoambiwa kuwa ametenda dhambi m b a ya s a n a i l i y o j u u y a u h a i n i k w a k u w a amejitangaza mwenyewe na hilo ni kosa kwa sheria za Zanzibar kama nchi, ZEC, polisi au CCM kwa ujumla. Binafsi silioni kosa hapa kwa sababu halipo. Mgombea wa urais Maalim Seif Sharrif Hammad wa chama cha CUF hakuvunja sheria yoyote na wala hajatamka kuwa yeye ndie RAIS wa Zanzibar. Alichokisema na kudai ni kutaka chombo husika yaani ZEC wamtangaze yeye mshindi baada ya kuweka wazi au kuonyesha kura zake HALALI zilizothibitishwa na kuwekwa sahihi na mihuri na wahusika wote na vituo vyao wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar na zile za mpinzani wake.

    Kuhusu Zanzibar kama nchi, nafikiri tumeshawahi kupata jawabu ya kitendawili hicho wakati wa ile kesi iliyowakabili watuhumiwa waliotaka kupindua visiwa hivi na kesi kufika mahakama ya kuu/rufaa ya Tanzania na ndipo tulipo pata jawabu ya kuwa hapa hakuna nchi, kuna nini... hilo mtanisaidia.

    Kilichotendeka Oktoba 25 siku ya uchaguzi ndio kile kile nilisema sana hapa kuwa chama changu, yaani CCM kitashindwa vibaya. Nimeandika sana kuhusu hatma hii hapa na wengi mtakuwa mashahidi wangu kwa kuwa haya sio mageni k we t u s o t e h a s a wa l e tunaotumia muda mrefu na kuumiza vichwa vyetu kwa kuitakia kheri nchi hii isiyotakiwa na Tanganyika. Nilifika kuweka wazi kuwa nitakuwa tayari kuja mbele yenu tena hapa kuwataka radhi ikiwa CCM itashinda uchaguzi huu, tutashinda pia niliyajua zamani kuwa hapa hapana uchaguzi, bali tujitayarishe na uchafuzi na ndio huu unaoendelea sasa baada ya mwenyekiti wa ZEC bwana Jecha kuamua kuufuta uchaguzi na kuanza machafuzi ya makusudi ili kukinusuru chama chetu baada ya kuona matokeo halali na halisi ya uchaguzi

    Tathmini ya uchaguzi naViburi Mauti Zanzibar

    wenyewe.Ni vema tukayadhukuru

    yote ya nyuma ili tuweze kujua wapi tulikosea au wapi hakuhitaji marekebisho na nini la kufanya tuepukane na maafa tunayotengenezewa na viongozi wetu wa CCM Zanzibar na Tanganyika waliopo madarakani na wale waliostaafu, lakini bado wanafanya kazi za chama Cha Mapinduzi kwa malipo wanayoyajua wao wenyewe. Kwa sababu hakuna karatasi au vocha hata moja utakayo iona inayoidhinisha malipo ya viongozi hao akiwemo Bwana Ali Hassan Mwinyi. Sasa la kujiuliza safari zote hizi za Zanzibar/Dar za kila kukicha, zinafanywa kwa mapenzi ya nchi peke yake? Au chama peke yake? Au kuna tija gani ndani yake?

    S a b a b u k u b w a y a mwenyekiti wa ZEC kufuta u c h a g u z i i n a y o p e w a kipaumbele hapa visiwani na watetezi wengi kama si wote wa chama changu cha CCM isipokuwa mimi, au baadhi yetu tusiopenda au kufarijika kwa kujidanganya makusudi kwa sababu kuna uwezekano mtu ukajidanganya kwa bahat i mbaya , n i kule kusema kuwa Pemba ndio kumetokea uchafuzi wa hali ya juu na huko ni sawa na kusema kuwa hakukuwa na wasimamizi wala ukaguzi wa kura hata uhesabuji wa kura pia ulifanyika chini ya miti kwa kuwa ofisi zilikuwa zinavuja maji na viti vinawasha kama upupu. Pia nambari za uhakiki wa kura na vitambulisho zilifutwa na kuandikwa kwa wino baada ya kukarabatiwa. Huu ni uongo uliojaa uzandiki. Pemba hawana bahati siku zote kwa sababu wameamua kwa kujua tena kwa ridhaa yao na kwa makusudi matupu kuikataa CCM miaka yote na kuinyima kura hata ya balozi wa nyumba

    kumi kumi kwa sababu wametumia haki yao ya kidemokrasia ya kukichagua chama wanachokitaka hata kama hakitowafaa huko usoni, lakini huo ni uamuzi wao na ni lazima hatuna hiari tuuheshimu na kuulinda uamuzi wao huo.

    Sio rahisi kwa chama changu kupata usingizi na kuukubali ukweli huu. Tutawasingizia Pemba miaka yote tukipenda kwa raha zetu, lakini kamwe hautokuwa ukweli wa hali halisi. Hali halisi CCM hatutakiwi tena hapa visiwani na wengi ya wananchi wetu. Hii sio siri tena. Kwa nini tumekuwa wakaidi na vipofu?

    Shemeji yangu alikuwa mmoja ya wasimamizi wa uchaguzi pale Kibanda Maiti alichokuja kunihadithia yeye kil imshitua, mimi kilinichekesha. Chumba alichopangiwa kukisimamia ilikuwa ni cha waajiriwa wa vikosi vya SMZ peke yao au niseme wengi nitakuwa niko sahihi wakati ulipofika wa kuhesabu kura ulipofika waligundua yeye na wenziwe waajiriwa hao wapya na wakongwe wa vikosi vya SMZ nusu yao wamempigia kura mgombea wa CUF yaani Maalim Seif juu ya kutishwa kufukuzwa kazi kulikofanywa na viongozi wa CCM na makamanda wao. Sasa bado tutazituma lawama zetu Pemba wakati kura za urais zilizo mpa ushindi Maalim karibu zote zimetoka Zanzibar (Unguja).

    Nirudi kwenye katiba i l i y o t u l e t e a b a l a a s i s i CCM tulipojikusanya pale Dodoma na kumtukana Mzee Warioba na rasimu zake mbili alizoziandika akishirikiana n a m wa n a d i p l o m a s i a Mohamad Yussuf Mshamba pamoja na wasomi wengine waliobobea katika sheria na lugha. Tulijiona tuko juu ya ulimwengu wa siasa

    na Tanzania, ni shamba la shemeji yetu na hati miliki ya eka hizi anazo dada yetu chini ya mto kwa amani kabisa hatukuwa na budi kulala usingizi mnono kwa sababu shemeji hawezi kuipata hati miliki ya shamba hili bila kumuamsha dada yetu. Kitu ambacho hatukujua, hati miliki haikuwepo uchagoni kama tulivyodhani. Wenye n c h i w a l i k u w a n a y o mikononi siku nyingi wala hawakulala usingizi. Siku imefika wanataka nchi yao siku za kucheza na kuimba mguu mbele mguu nyuma z i m e k w i s h a , s i s i n d i o tunataka uchaguzi urudiwe ili tuendelee kuburudika na muzeka wapi haya tumeyakaanga wenyewe kwa miaka yote hii tuliyoifanya dhulma kwa viumbe hawa wa kila rangi wanaopumua hapa vis iwani na wale waliotangulia. Tumehutubia ubaguzi wakati wote wa kampeni tukiongozwa na borafya huku viongozi wa juu wakiwa nyuma ya majukwaa wakitoa baraka zao! Leo tunavuna matunda ya ubaguzi tuliyo yapigia debe kama wendawazimu k w a k u w a h o f i a Waislamu wenzetu sijui wa n g e l i k u wa m a k a f i r i tungeliwasherekekea vipi?

    Z a n z i b a r k w a s a s a t u n a e n d a k a m a M V Jamhuri. Kwa wale wanao ikumbuka yaani bega moja, viburi vil ivyojaa mauti ndio vinavyoongoza visiwa hivi. Kwa sasa tumechoka na amani ya miaka mingi. Hatuna budi kuitafuta shari kwa bei yoyote. Hayo ndio yaliyomo ndani ya mioyo ya watawala wetu ambao kwa sasa neno watawala ndio neno sahihi kabisa kwa kuwa hawana ridhaa yetu kutuongoza na hatutaki kuongozwa kwa nguvu au

    mabavu. Niliwahi kusema nchi itajiinamia. Nililitumia hilo neno kwa kuwa ndilo nililoliona linafaa. Kwa hali hii leo hii Zanzibar imegeuka ya maaskari na bunduki, vifaru na zana zote za kijeshi, zimeletwa hapa kutulinda tusilaumiane? Kwa kweli inasikitisha sana kuona visiwa vya marashi ya karafuu kwa sasa vinakaribia kunukia baruti. Kinachosubiriwa ni ama askari mmoja aliye taahira afyatue risasi ovyo au wenye haki wadai haki yao kwa amani au fujo tena itakuwa tumeshapata sababu ya kuhalalisha UCHAGUZI URUDIWE kwa sababu tunachohitaji kwa bahati mbaya sana ni tone la damu limwagike i l i watawala waendelee kula nchi au kututawala tukitaka tusitake.

    Kumuapisha Maal im seif kuwa rais ndio mtihani mkubwa wa CCM. Kwa sasa matokeo wameshayakubali s i k u n y i n g i , t a t i z o n i kiongozi mwenyewe sijui anaogopwa nini bwana huyu na utu uzima huu alio nao sasa. Kuna wakati hata mimi nikimuogopa huyu muungwana, ukweli niseme, lakini sio leo hekima tupu imejaa kichwani mwake mengi yamemkuta katika uhai wake hasa wa siasa. Mandela alitegemewa na wengi aje na kuna waliomtaka na kumlazimisha alipize kisasi kwa yote aliyofanyiwa binafsi na watu wake Weusi kwa Weupe, lakini alikataa na alikuja na busara za kiongozi mpevu mpaka leo Afrika ya Kusini iko shwari.

    Uholanzi wanakotoka Wadachi kiasili, walijenga miji maalum kwa kuwapokea Wazungu wa Afrika ya Kusini baada ya kupata uhuru na kufukuzwa huko. Hivi sasa wanajaza wakimbizi toka duniani kote kwa kuwa wale Wazungu walio watarajia hawakupatikana. Tuondoe viburi mauti kwa kuogopana kusiko kuwa na tija. Tunajitia vijiti vya macho kwa kudhania tunajipura kwa wanja. Tusisubiri upofu ndio tujifunze kuona.

    Naona kwa leo niishie hapa. Naomba radhi kwa makosa yatakayojitokeza. Nina mengi sikuwahi au ku jaa l iwa kunena l eo , Inshaallah nitapata muda nitajaribu tena kuelezea kilichojiri, kinachojiri na kitakachojiri hapa kwetu. Tusisite kuomba salama. Visiwa hivi vinafukuta moshi mtupu kwa sasa. Wapulizaji wako wengi. Magari ya zima moto tunayo mawili tu, na moja bovu. Kwa maana hiyo, limebaki moja nalo kongwe. Kwa ufupi, moto una kila sababu ya kuwaka na utushinde kuuzima. Sasa wakati umefika wa kuachana na viburi mauti.

    AsanteniMzeekondo, comrade.

    DKT. Ali Mohamed Shein MAALIM Seif Sharif Hamad JECHA Salum Jecha

    Makala

    ANNUUR NEW.indd 8 11/26/2015 6:14:10 PM

  • 9 AN-NUURSAFAR 1437, IJUMAA NOV. 27- DES. 3, 2015Inatoka Uk. 4 Mtihani wa kwanza kwa Rais Magufuli

    N I M E S O M A k w a mshi tuko taar i fa ya Pol i s i Zanzibar juu ya kushitakiwa watu wanaodaiwa kuchafua uchaguzi mkuu Zanzibar. Na ikatajwa katika jumla ya madai kwamba kuna watu walikutwa na visu na mapanga katika vituo vya kupigia kura.

    Akifafanua miongoni m w a m a k o s a h a y o ni pamoja na kukutwa watuhumiwa na silaha katika vituo vya uchaguzi kama vile visu na mapanga, kuvamiwa au kupigwa mawakala na kutolewa mawakala katika vituo vya kupigia kura.

    Limeandika gazeti la Zanzibar Leo katika toleo lake la jana Novemba 26, 2015, likinukuu taaifa ya Naibu Mkurugenzi wa Upelelezi Mashitaka ya Jinai, Salum Msangi.

    Ta a r i f a ya A f a n d e Sa lum Msangi kama alivyonukuliwa na gazeti hilo ikasema kuwa mengi ya matukio hayo ya kihalifu na kuchafua uchaguzi yalifanyika Pemba, japo na Unguja yalikuwepo.

    N i m e s e m a nimeshtushwa kwa sababu kubwa mbili. Moja ni kuwa siku mbili kabla

    Zanzibar inaelekea kubaya

    RAIS Mstaafu Amani Abeid Karume.

    MAALIM Sei f Shari f Hamad.

    ya taarifa hii ya Polisi Zanzibar, kulikuwa na taarifa katika mitandao ya kijamii kwamba kuna mashitaka yanaandaliwa kuwabambikiza kesi feki za kuchafua uchaguzi M a k a m i s h n a w a Uchaguzi ili kushadidia na kuipa nguvu hoja ya kuhar ib ika uchaguzi ili kujenga uhalali na kukubalika kwa wananchi

    kurejewa kwa uchaguzi huo. Na ikatajwa kuwa wanaokwenda mbio na jambo hili ni Polisi.

    Kushangaa kwangu hakutokani na misingi n a s a b a b u z a P o l i s i kuandaa mashitaka kama haya ikizingatiwa ukweli wa taarifa zilizokwisha kutolewa na waangalizi wa ndani na nje juu ya namna uchaguzi ulivyokwenda

    n a u k i z i n g a t i a p i a kwamba Polisi hao hao ndio walikuwa wakilinda usalama katika vituo vya kupigia na kuhesabia kura, lakini hakuna tukio lolote ambapo walikamata watu wakiwa na silaha ambao walidhuru watu na silaha hizo kiasi cha kuvuruga u c h a g u z i . K u s h t u k a k wa n g u k u n a t o k a n a na jinsi taarifa katika mtandao zilivyofuatana na hili analosema Afande Msangi.

    Nashtuka mara ya pili kwa kuona taarifa nyingine katika mitandao ya kijamii ikitoa tahadhari kwamba kuna mpango umeandaliwa ambapo watatumika wahuni wa ndani au watu wa nje ya nchi kulipua mabomu. Mpango wa kuutatua mzozo wa Uchaguzi kwa kutega mabomu, ndivyo taarifa hizo zinavyosema na kufafanua kuwa lengo ni kuleta mkanganyiko na kuzuiya juhudi zozote za kuleta utatuzi wa amani ili yale yanayotakiwa na waliohusika na kufuta uchaguzi yatimie.

    S a s a h a p a l a z i m a nishtuke kwa sababu kama

    hili la mashitaka lilitangulia kwanza kurushwa katika mitandao ya ki jamii , halafu Polisi wanaibuka na majalada ya kesi, lazima hapa wananchi wawe na wasiwasi zinaposambazwa taarifa kwamba kuna watu wanapandikizwa kufanya mashambulizi ya kigaidi ya kupanga. Na mambo kama haya kama yapo, lililo la uhakika ni kuwa hayawezi kuiacha nchi salama. Itakuwa ni nuksi na balaa juu ya balaa. Allah atunusuru kwa Rehma zake, maana inavoonekana miongoni mwetu wapo walio dhamiria shari. Liwalo na liwe ilimradi yetu tunayotaka yatimie.

    I t a k u m b u k w a kuwa mara baada ya maridhiano yaliyofikiwa na waheshimiwa Amani Abeid Karume na Maalim Sei fu Shar i f f Hamad ya kuacha tofauti zao za kisiasa na kuundwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa, gazeti hili Na. 874 la tarehe 22/01/2010, liliandika makala iliyobeba kichwa cha: Zanzibar yampata Jalali Mfalme na Mtaabadi Karama.

    Makala hiyo ilijikita ka t ika kuwapongeza wa u n g wa n a K a r u m e na Seifu kwa hatua yao

    WA Z I R I M k u u , M h e . Majaliwa Kassim Majaliwa.

    Makala

    Na A. S. M Chachika

    Inaendelea Uk. 10

    Na kwa maana hiyo, kinachotakiwa ni kuimarisha Somo la Uraia (Civics), ili liweze kuwaweka pamoja watoto wa dini zote na kuwapatia mafunzo yote yanayohusu kuwa raia wema.

    Pengine la kutaja hapa kwa muktadha wa nukta hii ya IEP ni kuwa mauwaji ya mwaka 2001 mara baada ya uchaguzi mkuu, haikuwa kwa sababu za watoto wa Pemba wanafundiswa sana kuswali na kusimama Qiyamul layl.

    Lakini hata ukitizama zogo lililotokea Arusha hadi kuuliwa watu baada tena ya uchaguzi mkuu 2010 huku wengine wakitamba kuwa wataifanya nchi isitawalike, haikuwa kwa sababu watoto wa Kikatoliki na Kiislamu walisomeshwa na kuhimizwa kunyenyekea katika Sala zao.

    Hivi sasa kuna mgogoro unaofukuta Geita unaotishia hali ya amani kutokana na kuul iwa a l iyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA m k o a n i h u m o , B wa n a Alphonce Mawazo.

    W a n a o t u h u m i w a k u m u u w a M a w a z o , hawajafanya jinai hiyo kwa sababu Tanzania imechelewa kufuata nyayo za Liberia kufundisha Somo la Dini kama taaluma.

    H i v i s a s a C h a r l e s McArthur Ghankay Taylor anatumikia kifungo cha

    yasiyo ya staha makanisani na misikitini, wakati huo huo serikali inaruhusu uingizaji wa kanda za ngono z i n a z o o n e s h wa h o v y o mitaani na kisha inaanzisha programu za kuwaelekeza na kuwahimiza watoto wa shule za msingi kutumia kondomu.

    A i d h a , i n a r u h u s u mashindano ya kupita nusu uchi hadharani kwa kisingizio cha kuibua vipaji vya urembo, na mambo mengine machafu kama hayo.

    Katika kuhitimisha hoja zao IEP, walikumbusha kuwa mpango kama huu wa kufundisha dini moja ulitangazwa bungeni mwaka 2004 na Waziri wa Elimu na Utamaduni wa wakati huo Mh. Joseph Mungai.

    Hata hivyo, ulipingwa na wadau wa dini zote. Na kwamba katika mkutano wa wadau wa dini wa Mei 2007 uliofanyika TET chini ya Kamishna wa Elimuwa wakati huo Rick Mpama, wadau wa dini walipinga hoja ya serikali kutaka kubeba dhamana ya kuandaa maudhui ya somo la dini.

    Serikali ikakumbushwa kuwa baada ya mashauriano ya kina iliamuliwa kwamba kila asasi ya dini iandae mihutasari ya ngazi zote kwa kufuata maudhui ya dini yake huku ushirikiwa TET ukiwa ni katika kushauri na kuhakikisha kuwa utaalamu

    unazingatiwa katika kuandaa mihutasari na vitabu husika.

    K w a m u j i b u w a mafundisho ya Uislamu, dini iliyovuliwa ibada ni ukafiri.

    Ukisema unafundisha dini kama taaluma, maana yake ni kuwa ni kama unavyofundisha kemia au jiografia, sio lazima msomaji atumie taaluma hiyo katika maisha yake ya kila siku.

    Kwa hiyo, unamfundisha mtu Uislamu, usio na kuswali, kutoa zaka, kufunga na ibada nyingine.

    U n a m f u n d i s h a m t u Ta w h e e d , l a k i n i unamwambia hapana mbaya akiwa mshirikana.

    Tawheed kama taaluma, inaishia kumwambia mtoto kuwa Waislamu wanasema Mungu ni mmoja, lakini Wakristo wao wana Utatu.

    Haelekezwi wala halelewi n a k u h i m i z wa n a m n a Tawheed hiyo inavyotakiwa kuathiri maisha yake ya kila siku.

    Katika Uislamu, hili ni chukizo kubwa mbele ya Mwenyezi Mungu.

    Quran inasema: Enyi mlioamini! Mbona mnasema msiyoyatenda? Ni chukizo kubwa mbele ya Mwenyezi Mungu kusema msiyotenda. (61:2-3)

    Na dini yoyote haiwezi kuwa na maana kama sio Imani, Ibada Maalum na vitendo vya kila siku vya muumini katika maisha kwa kuzingati imani ya Dini husika.

    miaka 50 katika moja ya magereza ya Uingereza baada ya kupatikana na hatia ya uhaini wa kivita na mauwaji yaliyofanyika wakati wa vita ya wenyewe kwa wenyewe S ier ra Leone . Al ipewa hukumu hiyo na Mahakama Maalum ya Umoja wa Mataifa juu ya Sierra Leone (UN-backed Special Court for Sierra Leone-SCSL).

    S i e r r a L e o n e h a i k u t u m b u k i a k a t i k a machafuko na mauwaji yaliyokuja kumtupa Charles Taylor katika gereza la The Hague kwa sababu ilikuwa

    h a i n a M w o n g o z o wa Ufundishaji na Ujifunzaji wa Somo la Dini uliotayarishwa na serikali isiyo na dini.

    L a k i n i i l i k u w a n i mambo ya siasa na ugomvi wa wakubwa kugombea dhahabu.

    J u z i h a p a k u a m k i a uchaguzi mkuu, Rais Mstaafu Jakaya Mrisho kikwete, alitangaza kuimarishwa kwa jeshi na polisi wakimiminiwa vifaa.

    Ser ika l i ha ikuwa na wasiwasi kwamba kwa vile watoto wa Kikristo na Kiislamu katika shule za msingi, hawasomi dini kama taaluma, basi watatengana na kugombana katika masiku ya uchaguzi mkuu.

    Na hivi sasa moshi unafuka Zanzibar, wala likitokea la kutokea haitakuwa kwa sababu Zanzibar wao hawapo katika mpango huu wa TET kusomesha Somo la Dini kama taaluma Tanganyika.

    Juu ya hoja ya serikali k u w a s o m o l a d i n i limeshindwa kutoa raia wema wenye maadili na ndio maana matukio ya uovu yamekithiri, IEP imesema kuwa wa kulaumiwa ni serikali yenyewe.

    Katika kulifafanua hilo wakasema kuwa wakati v i o n g o z i w a s e r i k a l i wakihimiza watu wa dini kufundisha watu tabia njema na kukemea vitendo vya uasherati na mavazi

    ANNUUR NEW.indd 9 11/26/2015 6:14:11 PM

  • 10 AN-NUURSAFAR 1437, IJUMAA NOV. 27- DES. 3, 2015

    Inatoka Uk. 9ya kusahau tofauti zao, kuweka kando ukubwa wao katika taasisi zao na kuangalia umuhimu w a k u w a o n d o l e a Wazanzibari madhila yaliyokuwa yakiwasibu. Tul i f ik ia uamuzi wa kuwanasibisha na Mfalme Jalali na Mtaabadi Karama kama walivyosimuliwa na Marehemu Shaaban Robert katika riwaya yake ya Kusadik ika , walivyoafikiana kuwaacha huru vi jana wao sita waliotiwa Jela bila kuwa na kosa la kisheria. Vijana hao walileta uongozi ulioweza kuwakomboa Wasadikika kutokana na madhila ya ujahili.

    Pamoja na kuwapongeza waungwana Karume na Seif, tulitumia pia makala i le kuwatahadharisha k u wa : Wa j i e p u s h e n a k u l a u m i a n a , wajitahadharishe na wale miongoni mwao ambao ni mfano wa Saluli katika kisa cha Muhajirina na Answar.

    Katika gazeti hilo hilo Na. 874, Mhariri aliweka Tahariri iliyochambua kwa undani na waledi na ushahidi mzito mengi yanayoisibu Zanzibar. Nitakumbushia machache tu lakini msomaji zingatia kuwa haya yote hayakuwa mawazo wala maoni ya Mhariri , bali marejeo yaliyohifadhiwa katika

    vitabu na nyaraka tofauti za Kilimwengu.

    Yote aliyoyachambua Mhariri yanatokana na Kitabu cha Don Peterson; Revolution in Zanzibar, An Americans cold War Tale . Moja linasema; Baada ya Mapinduzi ya Zanz ibar huenda Zanzibar inakuwa kama Malaysia au Singapore kimaendeleo. Marekani ilihofia kwa maendeleo hayo na kuhofia kuwa itakuwa kama Cuba.

    La pili ni kuwa, Hofu ya Mwalimu Nyerere ilikuwa kubwa, kama Zanzibar itapiga hatua hiyo kimaendeleo huku Dar es Salaam ikibaki m a s i k i n i . J i n g i n e n i hofu ya Nyerere na Jobu Lusinde kuwa, Zanzibar ikiachwa iende kivyake, itaipiku Tanganyika katika maendelo . Ni mengi sana yalichimbuliwa na kuchambuliwa. Na kwa hakika ni vyema msomaji ukapata gazeti hilo upate kufaidi yaliyonukuliwa humo.

    A l l a h ( S W ) Ametuelekeza ndani ya Quran Tukufu kuwa turejee katika historia ili tujifunze kutoka wale waliotutangulia. Ndio maana aya kadhaa za

    Rais wa Muungano na Wabunge wa Muungano ambao uchaguzi huo ni halali. Inakuwaje kura walizopiga kuchagua Rais wa Zanzibar na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi ziwe haramu? Hiki ni kiroja cha watoto pacha, mmoja wa halali mwingine wa haram (bastard).

    Tujiulize, hivi mama mjamzito akajifungua mapacha, kuna uwezekano watoto hao mmoja ni mtoto halali ndani ya ndoa na pacha wake yeye ni wa nje ya ndoa?

    M z a n z i b a r g a n i mwenye akili timamu a s i ye h u z u n i s h wa n a uamuzi wa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi (ZEC) kuhalalisha pacha mmoja na kuharamisha pacha wa pili.

    Tutafakari na tumuombe A l l a h a t u e p u s h e n a fitina inayotunyemelea. Bila uamuzi wa busara na kurejea kwenye haki, u a d i l i f u n a u k we l i , tutaonja joto ya jiwe la Bani Israil kuhangaika miaka arubaini tukitafuta n c h i , A m a n i n a Maendeleo, hatutaipata. Tutazama katika Idhilali na hatutapata wa kutunusuru wala kuona mlango wa kutokea.

    Quran Tukufu zinaanza n a w i t o wa : H a l - a t a a k a h a d i t h . , Alantara kaifafa ala.., Wadhikur fiikitab.. Haya na mengine mengi ndani ya Quran Tukufu yanamuagiza Mtume (SAW) na Uma wake kuwa wajifunze mengi kutoka kwa watu waliotangulia.

    Kwa muktadha huo, haya yanayojiri Zanzibar hivi sasa tutayanasibisha na kisa cha Nabii Musa na Harun, na Bani Israil. Kwa mujibu wa Quran, nabii Musa na Harun (AS) waliwatoa wana wa Israil katika utumwa wa Farao wa Misri na kuwavusha bahari ya Sham kwa idhini ya Allah (SW). Wakiwa pale jangwani, Nabii Musa (AS) akaitwa mlimani na Allah (SW) kupokea wahay. Wakati akiwa mlimani alijitokeza mtu akiitwa Samiriy na kuwalaghai wana wa Israil na kuwatengenezea ndama wa dhahabu ili wamuabudu badala ya Allah (SW). (Quran 20:85 na 95 97)

    Waheshimiwa Amani Karume na Maalim Seif walifanya juhudi kubwa kuwatoa Wazanzibar k a t i k a m a d h i l a y a kuhasimiana, kufarakana

    kiasi cha kufikia hata kutokuzikana baina ya wana CCM na wana CUF.

    H a t u a y a k u f i k i a muafaka wa kuweka kando tofauti zao na k u f i k i a m a a m u z i ya kuundwa kwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa ilikuwa ya kuenziwa. Hata hivyo, wengine mingoni mwao hawakufurahia hali hiyo kwani ni miongoni mwa wale walikuwa hawataki Zanzibar istawi. Sasa huyo ambaye amejivika uhasimu kama ule wa yule Samiriy aliyewaghilibu Ban Israil ni nani?

    K w a h a k i k a t u s i p o m t a m b u a atatufikisha hatua kama ile ya Waisrail kumwambia Musa (AS), hatuingii s i s i huko. Hal i h iyo iliwasababishia kuzuiwa kuingia huko na kupewa adhabu ya kutangatanga jangwani kwa miaka arubaini. (Quran 5:23 29)

    Hebu sisi Wazanzibari tutafakari na kujihadhari. Tumtambue huyo Samiriy wa Kizanzibari tumuepuke. Kauli kama: Hatutoi Nchi kwa Karatas i . Wakitaka wapindue, z i t u t u m e k u t a f u t a suluhu. Tujiulize, kama wapiga kura wa Zanzibar n d i o wa l i o m c h a g u a

    TA A S I S I y a E l i m u T a n z a n i a ( T E T ) i m e t o a M w o n g o z o w a U f u n d i s h a j i n a Ujifunzaji wa Somo la Dini katika Elimu ya Msingi Tanzania Bara. Mwongozo huu unapiga marufuku kusomesha Somo la Dini kama Ibada, bali sasa lisomeshwe kama taaluma. Hoja ya TET ni kuwa Somo la Dini likisomeshwa k w a m w e l e k e o w a kumfanya mtoto kufanya ibada na kuwa mcha-Mungu, itavunja umoja na msihikamano wa Wa t a n z a n i a n a h a t a kuvuruga amani iliyopo. Kwamba somo likitoa wahitimu Waswaliji na wafungaji wazuri wa Kiislamu, watajiona bora kuliko watu wengine, kujenga chuki, mfarakano na mwishowe kuhatarisha amani.

    N i m a o n i ya T E T (Serikali) kuwa Somo la Dini l ikisomeshwa kama taaluma, litakuwa c h o m b o m a d h u b u t i c h a k u wa u n g a n i s h a

    Dr. Leonard, agenda hii ya nani?Msemayo hayana ukweli wala maslahi na nchi

    Na Omar Msangi

    Watanzania wenye imani tofauti na kuwafanya wapendane, kuvumiliana na kuthamini utu. Na kwamba katika usomeshaji h u o , y a z i n g a t i w e m a m b o y a m s i n g i yanayotuunganisha sote

    kama binadamu, ndio maana mambo ya ibada yanawekwa pembeni.

    Tafiti zimefanyika, yakachambul iwa na kuandikwa mengi sana juu ya mgogoro wa Ivory Coast (Cote d'Ivoire

    Cote d'Ivoire.) Mgogoro u l i o s a b a b i s h a m a m i a kwa maelfu ya watu kufa. Tunaambiwa kuwa nchi hiyo ikiongozwa na Flix Houphout-Boigny baada ya kupata uhuru wake kutoka kwa Wafaransa mwaka 1960 ilipata maendeleo makubwa katika miaka ya mwanzo ya uhuru. Na alijitahidi sana katika hiyo miaka ya mwanzo kuwaweka watu wake, wa kabila na dini tofauti kama taifa moja.

    Hata hivyo, kidogo kidogo na chini kwa chini yakaanza k u i b u k a m a l a l a m i k o kwamba, baadhi ya watu walikuwa wakipendelewa huku wengine wakibaguliwa n a k u t u p w a n y u m a katika maendeleo. Katika waliokuwa wakiona kuwa hawatendewi haki, ni watu kutoka Kaskazini mwa nchi hiyo ambao wengi wao walikuwa Waislamu.

    Alipofariki Rais Boigny m wa k a 1 9 9 3 , n a n c h i kushikwa na Henri Konan B d i , h u y u a n a t a j wa kuimarisha upendeleo kwa watu wa kabila lake na watu

    wa Kusini kwa ujumla ambao wengi wao ni Wakristo. Kilio na malalamiko kutoka kwa watu wa Kaskazini yakawa yanaongezeka kila uchao na hasa Rais Bdi alipomzuiya Alassane Ouattara kutoka Kaskazini kugombea urais mwaka 1995.

    Ubaguzi wa Bdi uliingia mpaka serikalini na jeshini a m b a p o w a t u k u t o k a Kaskazini walijiona kama wanatengwa na kunyimwa fursa za vyeo na marupurupu m b a l i m b a l i t o f a u t i n a wenzao wa Kusini. Hali hiyo ilipelekea jeshi kupindua serikali na ulipofanyikwa uchaguzi mwaka 2000 , Alassane Ouattara, kutoka Kaskazini, alizuiwa tena kugombea. Katika uchaguzi ule Gbagbo alitangazwa mshindi.

    After becoming president, Gbagbo began to consolidate power for his own ethnic group and continued the exclusion of northerners in the government and military.

    Ndivyo taarifa mbalimbali z i n a v y o s e m a k wa m b a , alichofanya Gbagbo baada ya kushika serikalini, ni kuimarsiha ubaguzi ndani ya serikali na jeshini kwa kuzidi kuwatenga watu wa Kaskazini (Waislamu), hali

    KAIMU Mkurugenzi wa TET, Dkt. Leonard D. Akwilapo

    Zanzibar inaelekea kubaya

    Makala

    Inaendelea Uk. 11

    ANNUUR NEW.indd 10 11/26/2015 6:14:12 PM

  • 11 AN-NUURSAFAR 1437, IJUMAA NOV. 27- DES. 3, 201511 AN-NUUR

    Dr. Leonard, agenda hii ya nani?Inatoka Uk. 10iliyosababisha wanajeshi kutoka Kaskazini kufanya j a r i b i o l a m a p i n d u z i Septemba 2002 wakiongozwa na Guillaume Soro. Baadae wanajeshi hao waliunda k i k o s i c h a o c h a u a s i wakikiita New Forces (FN) na wakafanikiwa kukamata na kuiweka chini ya udhibiti wao sehemu kuibwa ya Kaskazini ya Ivory Coast na hapo ndio machafuko na vita kamili ya wenyewe kwa wenyewe ikaanza rasmi. Ilikuwa ni vita kati ya serikali ya Kikristo Kusini (Christian southern government) dhidi ya waasi wa Kiislamu wa Kaskazini (Muslim northern rebels.)

    Vi ta hiyo i l imal izwa mwaka 2007 kwa kusainiwa makubaliano ya Ougadougou (Ouagadougou Agreement) ambapo pamoja na mambo mengine ilikubaliwa kuwa Gbagbo abaki kuwa Rais na Soro awe Waziri Mkuu.

    Katika uchaguzi mkuu wa Desemba 2010, matokeo ya awali yalionyesha kuwa Ouattara alikuwa mshindi kwa asilimia 54%. Ghafla ikatangazwa kuwa matokeo hayo yamefutwa na badala yake Laurent Gbagbo akatangazwa kuendelea kuwa Rais. Kilichofuatia k i n a j u l i k a n a . N i n c h i kutumbukia tena katika machafuko na mauwaji ambapo inakisiwa kuwa zaidi ya watu 3000 waliuliwa.

    A decade ago, Ivory Coast was seen as a haven of peace and prosperity in West Africa. But under the surface, the country has long been deeply divided along ethnic, religious and economic lines.

    Ndivyo mchambuzi mmoja anavyohitimisha utafiti wake juu ya nini kiliisibu Ivory Coast. Kwamba haitoshi watu kusema kuwa nchi ni kisiwa cha amani, lakini je, katika hali halisi hakuna malalamiko, japo ya chini kwa chini, ya baadhi ya watu kubaguliwa na kuonewa? Panapofuka moshi, dalili ya mvua mawingu na cheche huzaa moto.

    Ukija kwa Anti-Balaka na Se leka , Jamhur i ya Afrika ya Kati, mchezo ni huo huo. Inaelezwa kuwa Waislamu ambao ni kama asilimia 10 mpaka 15 ya wananchi wa Afrika ya Kati, wakiwa kama wapo katika Bahari ya Ukatoliki, wamekuwa wakibaguliwa kiasi unaambiwa kuwa maeneo yao yameachwa bila ya miundo mbinu ya msingi kiasi kwamba unaambiwa nchi haipitiki kwa zaidi ya nusu mwaka (wakati wa mvua). Hakuna barabara, shule wala hospitali za kueleweka. Na kwa vile ni vigumu kwao kufika miji kama Bangui yenye huduma nzuri za afya, Waislamu wa Aftika ya Kati wamejikuta wakikimbilia hospitali za miji

    ya mpakani ya Chad na hasa mji wa Nyala, Sudan kupata matibabu. Na ili kupata elimu wanalazimika kuwapeleka watoto wao Khartoum.

    Ubaguzi, unyanyasaji, upendeleo na hujuma za namna hii zinazofanywa na serikali dhidi ya makundi tofauti ya raia, ndiyo iliyozaa Anti-Balaka na Seleka.

    Sasa turudi kwa Taasisi yetu ya Elimu ambayo katika kusisitiza nukta yake kwamba suala la ibada lisihusishwe katika Somo la Dini, inasema kuwa, ibada na uchamungu ukisomeshwa utaondoa upendo na uvumilivu baina ya waumini wa dini na madhehebu tofauti. Kwamba baadhi ya waumini wataona kuwa dini yao na dhehebu lao ni bora Zaidi kuliko jingine hali itakayosababisha dharau, chuki na kejeli baina ya watu wa dini na madhehebu tofauti.

    Chuki iliyozaa machafuko

    na mauwaji Cote d'Ivoire, haikutokana na uchamungu w a Wa k a t o l i k i w a l a Waislamu. I l i tokana na ubaguzi uliokuwa ukifanywa na serikali dhidi ya kundi moja katika jamii.

    Katika Cote d'Ivoire, tumeona jinsi ambavyo, ser ika l i i l i f ik ia mpaka mahali pa kuwazuiya raia wake kutoka Kaskazini kushiriki uchaguzi kama wagombea na hata hatimaye walipoingia wakashinda, serikali ikaingilia kati na kufuta matokeo. Yakazuka machafuko na mauwaji.

    Sasa leo pale Zanzibar tukifuata nyayo zile zile za akina Flix Houphout-Boigny na Laurent Gbagbo dhidi ya Alassane Ouattara wa CUF na Wazanzibari wake, likitokea la kutokea hatuwezi kulaumu Ukristo au Uislamu kuwa umeshindwa kujenga mshikamano, uvumilivu na amani Pemba na Unguja.

    Catherine Samba-Panza, Afrika ya Kati

    Mwalimu Nyerere alikuwa Mkatoliki , na al ipofika Dar es Salaam wenyej i wake walikuwa wazee wa Kiislamu na Masheikh. Mwalimu Nyerere aliwahi kueleza mwenyewe kuwa wakati mwingine alikuwa akiungana na Masheikh na Wazee wa Kiislamu katika funga za Sunna na Dua. Leo Taasisi ya Elimu inatuambia kuwa kama dini haitafundishwa kama taaluma, italeta ubaguzi na chuki baina ya Wakatoliki na Waislamu. Sheikh Ramia na Mzee Tambaza na akina Mshume Kiate na Dossa Azizi waliompokea na kumlea Julius Nyerere Mkatoliki, h a w a k u w a w a n a j u a Ukatoliki wa Mwalimu unasema nini. Uislamu wao waliusomea katika Madrasa wakihimizwa kuwa wacha-Mungu. Tena wakati ule wakiwa na Mahakama ya Kadhi. Sasa leo kama serikali inaona kuwa kunaanza kuibuka chuki na mpasuko baina ya Waislamu na Wakristo, ijiulize kimetokea nini. Lakini isisingizie dini. Cote d'Ivoire na Afrika ya Kat i wameuwana Waislamu na Wakristo, lakini sababu haikuwa Dini. Sababu i l ikuwa serikali inayowabagua n a k u w a k a n d a m i z a Waislamu.

    Sasa kama leo tunafikia mahal i pa kuwatoza Watanzania kodi, lakini huku pembeni na kwa siri serikali ikawa na MoU na baadhi ya makundi ya kidini, huku mitaani napo kanzu, ki lemba na ndevu ikawa sababu ya mtu kukamatwa na kuingizwa Shimoni na Guanatanamo, hii ni hali ile ile aliyosema mwandishi mmoja juu ya Ivory Coast kwamba Ivory Coast was seen as a haven of peace and prosperity in West Africa. But under the surface, the country has long been deeply divided along ethnic, religious and economic lines.

    Na hilo sio tatizo la somo la dini. Sio tatizo la j insi Somo la Dini linavyosomeshwa. Na ndio maana machafuko ya Ivory Coast hayakumalizwa kwa kufundisha Somo la Dini kama taaluma.

    Bi la shaka maofisa wa TET watakuwa na kumbukizi za kadhia ya mabucha ya nguruwe. Katika tukio lile Waislamu waliwasilisha malalamiko yao serikalini wakiomba sheria za miji zizingatiwe j u u y a u f u g a j i w a nguruwe na uwekaji wa mabucha ya nyama ya mnyama huyo. Maimamu

    LAURENT Gbagbo.

    saba katika Wilaya ya Kinondoni waliandika barua serikalini baada ya nguruwe wanaofugwa ovyo kuranda na kuingia katika misikiti kadhaa eneo la Ubungo. Na katika tukio jingine, mama wa Kiislamu akauziwa nyama ya nguruwe bila kujua. Serikali ilipuuza barua ile wala haikujibu. Vijana wakachukua hatua.

    Mtu mmoja aliwahi k u n i a m b i a k w a m b a India ikitokea nguruwe kuingia msikitini, baada ya dakika tano, tukio hilo sio habari tena. Habari itakuwa makumi kwa mamia ya watu waliouliwa na makanisa/misiki t i iliyochomwa moto. Ndio sasa mtu utauliza kwa nini watu wameuwana na kuchoma makanisa na misikiti, ndio utajuwa kuwa kuna mtu alivunja sheria ya mipango miji juu ya ufugaji, nguruwe wake akaingia Msikitini!

    Labda tuwaulize TET, vijana wale walichukua hatua ya kuvunja mabucha ya nguruwe kwa sababu walisoma Somo la Dini kama ibada badala ya kulitizama kama taaluma? Mbona wale Masheikh wa l i o m p o k e a J u l i u s Nyerere Mkatoliki nao hawakuwa wamesoma kwa mtindo huu wanaoleta sasa TET?

    Ukija katika Kadhia ya Mauwaji ya Mwembechai, sura ni hiyo hiyo. Serikali kusimama upande wa dini moja dhidi ya watu wa dini nyingine. Kauli ya Paroko Lwambano ilikuwa kama agizo kwa serikali. Wa t u w a k a v a m i w a misikitini na majumbani m w a o n a k u t u p w a rumande ikidaiwa kuwa wanatukana na kukashifu Ukristo.

    Kwa vile hapakuwa na kosa wala kesi, Serikali i k a a m u a k u w a t e s a Masheikh, Maimamu na Waislamu wale kwa kuwashikilia rumande kwa zaidi ya miezi sita bila ya dhamana, hatimaye kesi zikafutwa.

    L a b d a t u w a u l i z e tena TET, je, hali kama h i i i n a j e n g a u m o j a , mshikamano na upendo baina ya Waislamu na Wakristo hata kama Somo la Dini litasomeshwa kama taaluma?

    Ni kwa kuzingatia yote haya, inabidi kumuuliza Kaimu Mkurugenzi wa TET, Dkt. Leonard D. Akwilapo, hii agenda ya kutaka Somo la Dini lisomeshwe kama taaluma, ya nani? Lengo lake nini? Mbona hoja na sababu z inazoto lewa haz ina ukweli wala uhusiano katika kujenga Tanzania yenye umoja, upendo na mshikamano?

    ALASSANE Ouattara

    Makala

    ANNUUR NEW.indd 11 11/26/2015 6:14:18 PM

  • 12 AN-NUURSAFAR 1437, IJUMAA NOV. 27- DES. 3, 2015

    YULE nyoka akatupwa, yule mkubwa, nyoka wa zamani, aitwaye Ibilisi na Shetani, audanganyaye u l i m w e n g u w o t e , akatupwa hata nchiOle wa nchi na bahari! Kwa maana yule Ibilisi a m e s h u k a k w e n u m w e n y e g h a d h a b u nyingi, akijua kuwa ana wakati mchache tu! (Biblia, Ufunuo wa Yohana 12: 9, 12)

    Naomba wasomaji wa makala hii kabla au baada ya kumaliza kuisoma, wafungue rejea zifuatayo na naamini bado zitakuwa z i n a p a t i k a n a k a t i k a mtandao:

    1. Tw o T i m e r s - Multiple Role Crisis Actors Revealed.

    2. 2. James Foley ISIS Beheading Hoax Siblings Kate and Michael Duping Delight - Fake Tears Obama Style!

    Itizame mpaka mwisho mpaka uungane kucheka na mshereheshaji wa Makala. Tazama pia:

    Same Actor playing in two different crisis acting roles-(One as Michael Foley-Brother of James Foley in the 2014 ISIS beheading HOAX and another as Victim Jamie Rohrs in the 2012 Batman theater shooting hoax.)

    Usichoke, tazama tena video hii: The Hacked Jihad John Footage Smoking Gun Evidence that Emwazi is CIA. Au CIA Caught Filming Fake ISIS Beheading.

    W a l i m w e n g u wamehamanika na hasa katika ulimwengu wa Ulaya na Marekani . Ki la uchao, utas ikia limefanyika hili au lile ka t ika kuwasaka na kuwatia adabu watu wanaodaiwa kufanya shambulizi la kigaidi Paris pamoja na washirika wao. Waislamu katika Ufaransa na Ubeligiji hawana raha. Uki la la hu jui iwapo itakuwa zamu yako ya kuvamiwa na Polisi na kubambikwa ugaidi au itakuwa jirani yako. Ilimuradi harakati za kuwasaka wanaodaiwa kuwa magaidi wakitajwa kuwa ni IS au Waislamu wa siasa kali, linakwenda kwa kasi . Na mpaka sasa zoezi limefanikiwa kwa kiwango kikubwa kuhuisha kitisho c