210
HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. ALI JUMA SHAMUHUNA (MBM) KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA WA FEDHA 2015/16 Juni, 2015

HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

  • Upload
    others

  • View
    60

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI

MHE. ALI JUMA SHAMUHUNA (MBM)

KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA WA

FEDHA 2015/16

Juni, 2015

Page 2: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

ii

YALIYOMO

UTANGULIZI.................................................. 1

MAFANIKIO YALIYOPATIKANA KATIKA KIPINDI

CHA MIAKA MITANO 2010 – 2015………………………

4

MAELEZO YA UTEKELEZAJI KWA MWAKA

2014/2015................................................................................

5

IDARA YA SERA, MIPANGO NA UTAFITI...................... 5

Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo kwa Mwaka

2014/2015................................................................................

5

Mradi wa Uimarishaji wa Elimu ya Maandalizi .................... 6

Mradi wa Uimarishaji wa Elimu ya Msingi............................ 6

Mradi wa Uimarishaji wa Elimu ya Lazima .......................... 8

Mradi wa Uimarishaji wa Elimu ya Mbadala na Amali ........ 9

Mradi wa Uimarishaji wa Elimu ya Ufundi............................ 10

Mradi wa Ujenzi wa Vyuo vya Kiislam.................................. 10

Utafiti………………………………………………………. 10

Ukusanyaji na Uchambuzi wa Taarifa za Elimu.................... 11

Maendeleo ya Kisera............................................................... 12

Ufuatiliaji na Tathmini............................................................ 12

IDARA YA UENDESHAJI NA UTUMISHI........................ 13

IDARA YA ELIMU YA MAANDALIZI NA MSINGI........ 15

Elimu ya Madrasa na Vyuo vya Kuran.................................. 15

Elimu ya Maandalizi............................................................... 16

Elimu ya Msingi……………………………………….……. 18

IDARA YA ELIMU YA SEKONDARI................................. 19

Serikali za Wanafunzi............................................................ 21

Huduma za Wanafunzi............................................................ 21

Kazi za Ujasiriamali................................................................ 21

IDARA YA TEKNOLOJIA YA HABARI NA

MAWASILIANO KATIKA ELIMU.....................................

22

Sera ya ICT katika Elimu …………………………............... 22

Kuimarisha Matumizi sahihi ya TEHAMA katika kujifunza

na kufundishia………………………………………………

22

Utekelezaji wa Mradi wa TZ-21 .......................................... 23

Page 3: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

iii

Kuimarisha Njia za Mawasiliano na Usambazaji wa Taarifa

kupitia TEHAMA....................................................................

23

IDARA YA ELIMU MBADALA NA WATU

WAZIMA................................................................................

25

Kisomo ................................................................................... 24

Elimu Mbadala……………………………………………… 24

Vituo vya Kujiendeleza.......................................................... 25

Programu za Wanawake…………………………………….. 26

Vyombo vya Habari................................................................ 26

IDARA YA MAFUNZO YA UALIMU................................. 27

Mafunzo ya Ualimu Kazini..................................................... 27

IDARA YA MICHEZO NA UTAMADUNI………………. 30

OFISI YA MKAGUZI MKUU WA ELIMU.......................... 32

TAASISI YA ELIMU ZANZIBAR........................................ 33

MAMLAKA YA MAFUNZO YA AMALI........................... 34

TAASISI ZA ELIMU YA JUU.............................................. 35

TAASISI YA KARUME YA SAYANSI NA

TEKNOLOJIA........................................................................

35

CHUO KIKUU CHA TAIFA CHA ZANZIBAR................... 36

CHUO KIKUU CHA KUMBUKUMBU YA

ABDULRAHMAN AL-SUMAIT …………………………..

38

CHUO KIKUU CHA ZANZIBAR......................................... 39

BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU............................ 40

BARAZA LA MITIHANI LA ZANZIBAR........................... 41

BODI YA HUDUMA ZA MAKTABA.................................. 43

KITENGO CHA UHASIBU................................................... 45

KITENGO CHA HABARI, ELIMU NA

MAWASILIANO....................................................................

46

KITENGO CHA UNUNUZI NA UGAVI.............................. 46

KITENGO CHA UKAGUZI WA HESABU ZA NDANI..... 47

KITENGO CHA URATIBU WA ELIMU YA JUU.............. 48

KITENGO CHA ELIMU MJUMUISHO NA STADI ZA

MAISHA ………………………………................................

49

Elimu Mjumuisho................................................................... 49

Page 4: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

iv

Ushauri Nasaha....................................................................... 50

Masuala ya Jinsia................................................................... 51

Mapambano dhidi ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya......... 52

KITENGO CHA URAJISI..................................................... 53

Baraza la Elimu...................................................................... 53

Bodi za Elimu za Wilaya na Mikoa 53

Leseni za Walimu................................................................... 53

Usajili wa Skuli za Serikali na Binafsi..................................... 54

Kesi za Ujauzito na Ndoa za Wanafunzi............................... 54

MAPATO................................................................................ 54

MPANGO WA UTEKELEZAJI KWA MWAKA 2015/2016

KATIKA MFUMO WA PROGRAMU……………………….

54

MUUNDO WA PRAGRAMU................................................ 56

MAELEZO YA PROGRAMU ................................................ 56

PROGRAMU YA KWANZA: ELIMU YA MAANDALIZI

NA MSINGI............................................................................

57

PROGRAMU YA PILI: ELIMU YA SEKONDARI............... 58

PROGRAMU YA TATU: ELIMU YA JUU............................ 59

PROGRAMU YA NNE: ELIMU MBADALA NA

MAFUNZO YA AMALI...........................................................

62

PROGRAMU YA TANO: UBORA WA ELIMU.................... 65

PROGRAMU YA SITA: UTAWALA NA UONGOZI........... 69

MGAWANYO WA FEDHA KWA PROGRAMU ................. 71

JUMLA YA GHARAMA ZA WIZARA YA ELIMU NA

MAFUNZO YA AMALI...........................................................

74

SHUKRANI................................................................................ 74

Page 5: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

1

HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO KWA

MWAKA WA FEDHA 2015/2016

UTANGULIZI 1. Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja kwamba

Baraza lako Tukufu sasa liingie katika Kamati ili niweze kutoa maelezo ya makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali kwa mwaka wa fedha 2015/16.

2. Mheshimiwa Spika, kwanza namshukuru Mwenyezi

Mungu, muumba ardhi na mbingu kwa kutuwezesha kukutana tena katika kikao cha Bajeti cha Baraza hili tukiwa wazima wenye afya njema na namuomba aniwezeshe kuiwasilisha hotuba hii. Hiki ni kikao cha tano cha bajeti tangu kuingia madarakani kwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ya awamu ya saba yenye muundo wa Umoja wa Kitaifa.

3. Mheshimiwa Spika, pili, napenda kumpongeza Mheshimiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein kwa alivyokuwa karibu sana na Wizara yangu kwa kutupa miongozo na maelekezo ambayo yamechangia kwa kiasi kikubwa kuiendeleza sekta ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Mheshimiwa Maalim Seif Sharrif Hamad, Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar na Mheshimiwa Balozi Seif Ali Iddi, Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar kwa michango yao katika kuiendeleza sekta ya elimu.

4. Mheshimiwa Spika, naomba nawe upokee pongezi na

shukrani zangu kwa uwezo mkubwa unaouonesha

Page 6: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

2

katika kuliongoza Baraza lako tukufu kwa hekima, busara na uadilifu mkubwa.

5. Mheshimiwa Spika, Vile vile napenda kuipongeza na

kuishukuru Kamati ya Ustawi wa Jamii na Maendeleo ya Wanawake ya Baraza la Wawakilishi inayoongozwa na Mheshimiwa Mgeni Hassan Juma kwa ushauri wao mzuri na miongozo waliyotupatia wakati wa kuichambua na kuijadili hotuba ya bajeti ya Wizara yangu kwa undani kabisa na hatimaye kuipitisha.

6. Mheshimiwa Spika, Pia, namshukuru kwa dhati

kabisa msaidizi wangu, Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mheshimiwa Zahra Ali Hamad, kwa juhudi zake, mashirikiano anayonipa na uadilifu wake katika kutekeleza majukumu tuliyopewa na Taifa. Aidha, napenda kuwapongeza watendaji wakuu na wafanyakazi wote wa Wizara yangu wakiwemo Katibu Mkuu, Manaibu Katibu Wakuu, Wakurugenzi, maafisa wa ngazi mbalimbali za elimu, wazazi, walimu na wafanyakazi wengine wote kwa juhudi, nidhamu na ushirikiano wao katika kutekeleza majukumu yao. Pia, nazipongeza Taasisi zote za Elimu zinazojitegemea, Baraza la Elimu, Bodi za Elimu za Mikoa, Wilaya na Kamati za Skuli kwa utendaji wao wa kazi ambao umechangia sana katika kuleta ufanisi katika Wizara yetu.

7. Mheshimiwa Spika, nachukua nafasi hii kuishukuru

kwa dhati kabisa Wizara ya Fedha kwa ushirikiano mkubwa iliyotupa katika mwaka 2014/15. Kwa ujumla, upatikanaji wa rasilimali fedha ulikuwa wa wastani kwani hadi mwishoni mwa mwezi wa Mei 2015, jumla ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Page 7: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

3

zilipatikana kutoka Serikalini ikiwa ni sawa na asilimia 30.3 ya makadirio ya mwaka 2014/15. Kwa upande wa kazi za kawaida, jumla ya Tsh 60,540,859,677/= zilipatikana ikiwa ni sawa na asilimia 70.23 ya makadirio. Jadweli Namba 10(a) na 10(b) zinatoa uchambuzi zaidi. Ni matumaini yangu kwamba ushirikiano huu utadumishwa.

8. Mheshimiwa Spika, katika kipindi cha mwaka

2014/2015, Baraza lako tukufu lilipata msiba wa kuondokewa na Mheshimiwa Salmin Awadh Salmin aliyekuwa Mnadhimu wa Chama cha Mapinduzi na Mwakilishi wa Jimbo la Magomeni ambaye alifariki dunia tarehe 19/02/2015. Pia kumetokea vifo, majeruhi na uharibifu wa mali katika upepo mkali uliotokea katika Kisiwa Panza Pemba pamoja na maafa ya mvua na mafuriko yaliyotokea katika sehemu mbalimbali za nchi yetu. Baadhi ya familia ambazo nyumba zao zilibomoka au kujaa maji zimepatiwa makaazi ya muda katika skuli ya Mwanakwerekwe “C”. Mwenyezi Mungu awalaze mahali pema peponi wale wote waliopoteza maisha. Pia tunamuomba awaponye haraka wale wote waliojeruhiwa. Amin.

9. Mheshimiwa Spika, Serikali ya awamu ya saba

imetimiza miaka mitano. Hivyo katika hotuba yangu, naomba uniruhusu nieleze walau kwa muhutasari, baadhi ya mafanikio yaliyopatikana katika Wizara hii kwa kipindi chote cha miaka mitano iliyopita kabla ya kuelezea utekelezaji wa shughuli za Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali kwa kipindi cha mwaka 2015/16.

Page 8: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

4

MAFANIKIO YALIYOPATIKANA KATIKA KIPINDI CHA MIAKA MITANO 2010 - 2015

10. Mheshimiwa Spika, Wizara yangu imepata mafanikio

makubwa katika kipindi cha miaka mitano. Miongoni mwa mafanikio hayo ni :-

Ongezeko la uandikishaji wa wanafunzi katika ngazi ya elimu ya lazima (maandalizi, msingi na sekondari) kutoka wanafunzi 317,278 mwaka 2010 na kufikia wanafunzi 390,464 mwaka 2015.

Kufunguliwa kwa kampasi mpya ya Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar huko Tunguu ambako kumepelekea kuongezeka kwa idadi ya wanafunzi wanaojiunga na Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar kutoka wanafunzi 1,205 mwaka 2010 hadi wanafunzi 2,538 mwaka 2015. Pia, Chuo Kikuu kimeweza kupanua shughuli zake kwa kuanzisha programu za masomo mbalimbali za Shahada, Shahada ya Uzamili na Uzamivu.

Chuo Cha Ualimu cha Benjamin William Mkapa kilichokuwepo Wete, kuhamia huko Mchanga Mdogo Pemba, baada ya kukamilika kwa ujenzi wa kampasi mpya. Chuo hicho kitakuwa Kampasi ya Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar kuanzia Mwezi Julai 2015.

Kukamilika kwa ujenzi na kufanya kazi kwa skuli mpya 19 za sekondari za kisasa katika maeneo mbalimbali ya Unguja na Pemba.

Kuongezeka kwa mashirikiano kati ya Wizara yetu na washirika mbalimbali wa maendeleo ya elimu wa ndani na nje; mfano Global Partnership for Education (GPE), Milele Zanzibar Foundation (MZF) na OPEC Fund for International Development (OFID).

Page 9: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

5

MAELEZO YA UTEKELEZAJI KWA MWAKA 2014/15

11. Mheshimiwa Spika, baada ya kueleza kwa ufupi mafanikio yaliyopatikana katika kipindi cha miaka 5, sasa naomba uniruhusu nieleze utekelezaji wa shughuli mbalimbali zilizotekelezwa katika Idara na taasisi za Wizara yangu kwa mwaka 2014/15 na matarajio na malengo ya mwaka 2015/16. IDARA YA SERA, MIPANGO NA UTAFITI

12. Mheshimiwa Spika, Idara ya Sera, Mipango na Utafiti ina majukumu ya kuandaa mipango ya maendeleo, kuratibu na kufuatilia rasilimali na misaada ya wahisani, kufanya mapitio ya tathmini ya sera, mipango na miradi mbalimbali inayotekelezwa na Wizara, kuratibu shughuli za utafiti wa kielimu na kusimamia ukusanyaji, uchambuzi na uwasilishaji wa takwimu mbalimbali za kielimu kwa wadau.

Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo kwa Mwaka 2014/15

13. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha wa 2014/15, Wizara ilipanga kutekeleza miradi sita ya maendeleo iliyotengewa jumla ya Tsh. 26,152,450,130/=. Kati ya fedha hizo Tsh. 3,300,000,000/= za Serikali, Tsh. 9,362,128,000/= ni ruzuku kutoka kwa wahisani mbalimbali wa maendeleo na Tsh. 13,490,322,130/= ni mkopo kutoka Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Benki ya Kiarabu kwa Maendeleo ya Afrika (BADEA) na Benki ya Dunia. Hadi kufikia Mei, 2015, jumla ya Tsh. 1,000,000,000/= za Serikali zilipatikana ikiwa ni sawa na asilimia 30.3 ya makadirio. Kwa upande wa Washirika wa Maendeleo,

Page 10: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

6

jumla ya Tsh. 4,884,031,899/= sawa na asilimia 21.8 ya makadirio zilipatikana. Utekelezaji halisi wa miradi ulikuwa kama ifuatavyo:- Mradi wa Uimarishaji wa Elimu ya Maandalizi

14. Mheshimiwa Spika, mradi huu ulitengewa jumla ya Tsh. 1,300,000,000/=. Kati ya hizo 100,000,000/= ni za Serikali na 1,200,000,000/= ni za GPE na UNICEF. Hadi kufikia mwezi Mei, 2015 hakuna fedha za SMZ zilizopatikana na Tsh. 56,300,400/= za wafadhili ambazo ni sawa na asilimia 4.7 zilipatikana. Utekelezaji halisi wa malengo ulikuwa kama hivi ifuatayo:-

i) Mafunzo ya elimu ya maandalizi kwa walimu 350 kwa njia ya TEHAMA kupitia vituo vya walimu yametolewa.

ii) Moduli 4 na 5 pamoja na video zake kwa ajili ya kutolea mafunzo kwa walimu wakufunzi zimeandikwa, na uandishi wa moduli ya 6 ya wenye mahitaji maalum kwa ajili ya walimu wa maandalizi unaendelea.

iii) Vifaa vya kujifunzia watoto wa Tucheze Tujifunze (TUTU) vimenunuliwa zikiwemo kadi za nambari, kadi za maneno na vibao vya kuandikia.

iv) Uandishi wa vitabu vya wanafunzi na miongozo ya walimu kwa masomo ya Kiswahili, Hisabati na Sayansi na Teknolojia unaendelea.

Mradi wa Uimarishaji wa Elimu ya Msingi

15. Mheshimiwa Spika, mradi huu ulitengewa Tsh. 12,362,128,000/=, kati ya fedha hizo Tsh. 1,000,000,000/= ni za SMZ na Tsh. 11,362,128,000/= ni ruzuku na mkopo kutoka Sida, UNICEF, UNESCO, GPE, OPEC Fund, Imperial

Page 11: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

7

College of Science and Technology ya UK, Milele Zanzibar Foundation na USAID. Hadi kufikia tarehe mwezi Mei 2015, Tsh. 85,000,000/= za SMZ sawa na asilimia 8.5 na Tsh. 778,428,033.1/= za wahisani sawa na asilimia 35.5 ya makadirio zimepatikana. Utekelezaji wa malengo ulikuwa kama hivi ifuatavyo:- i) Jumla ya madarasa 125 yamekamilishwa kati ya

hayo 79 yapo Unguja na 46 Pemba. ii) Ukarabati wa madarasa 35 ya skuli saba za

Unguja na madarasa 24 katika skuli tatu za Pemba umekamilika.

iii) Jumla ya seti 3,187 za viti na meza na madawati 3,490 yamechongwa na kusambazwa katika skuli za msingi za Unguja na Pemba. Pia, Benki ya NMB imetoa msaada wa madawati 100 na kusambazwa katika Skuli za Msingi za Mwanakwerekwe “E” na Bububu “A”. Vile vile, kampuni ya Jambo plastiki imetoa msaada wa viti na meza 45 kwa Skuli ya Msingi ya Kiembesamaki “A”.

iv) Mkataba wa Mkopo wa ujenzi wa skuli 10 katika sehemu mbali mbali za Unguja na Pemba umetiwa saini kati ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano na Mfuko wa OPEC. Mpango kazi wa manunuzi na utekelezaji wa ujenzi huo umeandaliwa na kupitishwa na Mfuko wa OPEC. Aidha, tangazo la kukaribisha kampuni za usanifu michoro na usimamizi wa ujenzi limetolewa na kampuni kadhaa zimewasilisha maombi ya kazi na yanaendelea kufanyiwa tathmini.

v) Ujenzi wa vyoo na miundombinu ya maji umekamilika katika Skuli za Mfenesini,

Page 12: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

8

Mwanakwerekwe “G” na “H”, Chukwani, Kibweni, Kiembesamaki na Pale.

vi) Uandishi wa vitabu vya madarasa ya tano na sita kwa masomo ya Sayansi, Hisabati, English, Kiswahili, Historia, Uraia, Jiografia, Michezo, TEHAMA na Mafunzo ya Amali unaendelea.

vii) Ununuzi na usambazaji wa aina mbalimbali za vyakula kwa wanafunzi unaendelea katika skuli 9 za majaribio ambazo ni Mbuyutende, Kijini, Mfurumatonga, Kigunda na Kidagoni kwa Unguja na Makangale, Mkia wa Ng‟ombe, Mgogoni na Kinowe kwa Pemba. Mwongozo wa uendeshaji wa mradi wa chakula kwa skuli za msingi umetafsiriwa kwa lugha ya Kiswahili ili kuwawezesha wadau wengi wanaosaidia katika utekelezaji wa mradi huo kuuelewa kwa kina.

viii) Vifaa vya kujifunzia masomo ya Hisabati na Sayansi (Maths and Science Kits) kwa skuli za msingi vimenunuliwa.

Mradi wa Uimarishaji wa Elimu ya Lazima

16. Mheshimiwa Spika, Mradi huu unatekelezwa kwa mashirikiano kati ya SMZ na BADEA ambao ulitengewa jumla ya Tsh. 4,611,006,260/=, kati ya hizo Tsh.1,200,000,000/= za SMZ na 3,411,006,260/= ni za BADEA. Hadi mwezi Mei, 2015, jumla ya Tsh. 844,466,718/= za SMZ ambazo ni sawa na asilimia 70.4 na Tsh. 1,039,947,899/= za BADEA sawa na asilimia 14.3 zilipatikana. Utekelezaji wa malengo ni kama hivi ifuatavyo:-

i) Ujenzi wa skuli mpya za sekondari za Paje Mtule, Kombeni na Jumbi umekamilika na skuli hizo zimeanza kutumika.

Page 13: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

9

ii) Ujenzi wa skuli mpya za sekondari Kibuteni na Mkanyageni unaendelea.

iii) Mchakato wa kununua vifaa vya maabara na samani kwa skuli mpya za sekondari za Mkanyageni na Kibuteni unaendelea.

iv) Ujenzi wa uzio kuzunguka Skuli ya sekondari ya Lumumba unaendelea.

Mradi wa Uimarishaji wa Elimu Mbadala na Amali

17. Mheshimiwa Spika, Kwa mwaka 2014/15, mradi ulitengewa jumla ya Tsh. 7,579,315,870/=. Kati ya hizo, Tsh. 700,000,000/= za SMZ na Tsh. 6,879,315,870/= kutoka kwa Benki ya Maendeleo ya Afrika (ADB). Hadi kufikia mwezi Mei, 2015, Tsh. 70,553,282/= za SMZ ambazo ni sawa na asilimia 10.1 ya makadirio na Tsh. 299,844,042/= sawa na asilimia 4.4 kutoka kwa ADB zilipatikana. Utekelezaji wa malengo ulikuwa kama hivi ifuatavyo:

i) Zabuni za ujenzi wa vituo vipya viwili vya Mafunzo ya Amali, vituo viwili vya Elimu Mbadala, ukarabati na upanuzi wa Taasisi ya Karume ya Sayansi na Teknolojia na Chuo cha Maendeleo ya Utalii Zanzibar na ujenzi wa Makao Makuu ya Mamlaka ya Mafunzo ya Amali zilitangazwa, zilifunguliwa na zimefanyiwa tathmini. Ripoti za tathmini zimepelekwa ADB kwa kupatiwa uamuzi.

ii) Kazi za uandaaji wa mitaala kwa ajili ya mafunzo ya wakufunzi wa Chuo cha Maendeleo ya Utalii Zanzibar na wakufunzi wa Mafunzo ya Amali zinaendelea.

iii) Uandishi wa moduli 11 za wanafunzi na miongozo 11 ya walimu kwa ajili ya kufundisha

Page 14: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

10

wanafunzi wa vituo vya Elimu Mbadala unaendelea.

iv) Ujenzi wa Kituo cha Elimu Mbadala cha Wingwi Mtemani unaendelea.

Mradi wa Uimarishaji wa Elimu ya Ufundi

18. Mheshimiwa Spika, Mradi huu ulitengewa Tsh. 300,000,000/= za SMZ kwa ujenzi wa dakhalia mpya ya wavulana katika skuli ya Sekondari ya Ufundi ya Kengeja na ukarabati wa miundombinu ya umeme katika Taasisi ya Karume ya Sayansi na Teknolojia. Mradi haukutekelezwa kutokana na ukosefu wa fedha. Mradi wa Ujenzi wa Vyuo vya Kiislamu:

19. Mheshimiwa Spika, mradi huu unatekelezwa na SMZ kwa kushirikiana na Serikali ya Falme ya Oman wenye lengo la kuendeleza ujenzi wa Kituo cha Utamaduni wa Kiislamu katika eneo la Chuo cha Kiislamu Mazizini. Gharama za ujenzi zinalipwa na Serikali ya Falme ya Oman moja kwa moja. Kazi za ujenzi zinaendelea. Utafiti

20. Mheshimiwa Spika, kazi za utafiti zimeendelezwa katika mwaka 2014/15. Maafisa watatu wa Wizara walishiriki katika mafunzo ya uchambuzi na uandishi wa taarifa za utafiti wa SACMEQ IV. Kazi za uchambuzi na uandishi wa ripoti ya utafiti huo kwa nchi zote 15 wanachama wa SACMEQ unaendelea. Aidha, Wizara imekamilisha uandishi wa ripoti ya Tathmini ya Elimu kwa Wote kwa kipindi cha miaka 13 (EFA – End of Decade Assessment 2001–2013) ambayo imetathmini Malengo ya Milenia na ya Elimu kwa Wote ifikapo mwaka 2015. Nakala 500 za ripoti hiyo zimechapishwa na kusambazwa kwa wadau mbalimbali wa elimu

Page 15: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

11

wakiwemo Wajumbe wa Baraza la Mapinduzi na Makatibu Wakuu wa Wizara za Zanzibar, watendaji na viongozi wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali. Vile vile, Wizara imekamilisha uandishi wa ripoti ya utafiti wa tathmini ya hali ya Kisomo cha Watu Wazima ili kubaini maendeleo na changamoto zinazokikabili kisomo hicho. Mbali na tafiti hizi, Wizara pia imefanya utafiti wa kuwatambua walimu wa masomo ya sanaa wenye uwezo wa kusomesha masomo ya sayansi katika ngazi ya sekondari ya awali pindipo kama watapatiwa mafunzo kazini.

Ukusanyaji na Uchambuzi wa Taarifa za Elimu

21. Mheshimiwa Spika, Wizara imewapatia mafunzo ya takwimu, watakwimu 6 katika ngazi ya cheti. Idadi hiyo itafanya watakwimu waliopatiwa mafunzo kufikia 12. Watakwimu hao watakapomaliza mafunzo yao watapangiwa vituo vya kazi katika Ofisi za Elimu na Mafunzo ya Amali za Wilaya ili kuhakikisha takwimu zinazokusanywa zinakuwa za ubora unaotakiwa. Watakwimu 6 wa awamu ya kwanza wamehitimu mafunzo yao na tayari wamepangiwa kazi katika ofisi za Wilaya za Kusini na Kaskazini “B” kwa Unguja na Wilaya ya Micheweni, Wete na Chake chake kwa Pemba. Aidha, walimu 486, maafisa 20 kutoka Ofisi za Elimu Wilaya na Waratibu wanane wa Vituo vya Walimu walipatiwa mafunzo ya uchambuzi wa taarifa kwa kutumia kompyuta (EMIS).

22. Mheshimiwa Spika, Wizara kwa kushirikiana na Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali imechapisha kitabu cha takwimu (Statistical Abstract) kwa miaka mitatu ya 2010 – 2013. Takwimu hizo zimewasilishwa kwa watendaji mbalimbali wa Wizara katika ngazi za kitaifa,

Page 16: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

12

kiwilaya na kiskuli. Aidha, Wizara imezijengea uwezo ofisi zake za Takwimu za Unguja na Pemba kwa kuzipatia vifaa mbalimbali, vikiwemo printa 3, mashine za fotokopi 2 na vespa 2. Maendeleo ya Kisera

23. Mheshimiwa Spika, Wizara imeitafsiri kwa Kiswahili Sera ya Elimu ya mwaka 2006 ili kutoa fursa kwa wadau wengi zaidi kuielewa ipasavyo na kushiriki kikamilifu katika utekelezaji wa Sera hiyo. Jumla ya nakala 500 zimechapishwa na kusambazwa katika skuli za Serikali na za binafsi. Wizara pia, imeiwasilisha Sera hiyo kwa walimu wakuu wa skuli za Serikali na za binafsi kupitia mkutano wa siku moja kwa kila Wilaya.

Ufuatiliaji na Tathmini

24. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2014/15, maafisa watano wa Ufuatiliaji na Tathmini wamehudhuria mafunzo ya muda mfupi ya wiki mbili huko Tanzania Bara. Mafunzo hayo yalilenga kuwaongezea uwezo wao katika masuala ya ufuatiliaji na tathmini. Maafisa hao kwa sasa wanaendelea na kazi za ufuatiliaji na tathmini ya mipango ya kielimu. Vile vile, Maafisa 21 wa ufuatiliaji na tathmini walipatiwa mafunzo kazini.

25. Mheshimiwa Spika, Wizara kupitia Divisheni ya Ufuatiliaji na Tathmini ilifanya kazi kwa karibu na Tume ya Mipango kwa kujengewa uwezo wa utayarishaji wa ripoti ya robo mwaka ya MKUZA II. Aidha, mfumo wa Ufuatiliaji na Tathmini kwa Mpango Mkuu wa Elimu ulitayarishwa na baadhi ya taarifa zimeanza kukusanywa kwa kutumia viashiria vya Mpango Mkuu wa Elimu na viashiria vya Sera ya Elimu ili kutathmini utekelezaji wake kwa lengo la kuzitumia taarifa hizo

Page 17: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

13

katika kuandaa Mpango Kazi Mkuu wa Elimu wa miaka mitano 2016 – 2020. IDARA YA UENDESHAJI NA UTUMISHI

26. Mheshimiwa Spika, Idara hii inahusika na masuala yote ya kiutumishi na uendeshaji, kusimamia sheria na kanuni za kazi pamoja na maslahi ya wafanyakazi. Idara pia inahusika na shughuli za kuratibu safari za wafanyakazi wote ndani na nje ya nchi, utunzaji wa kumbukumbu za Idara na inaratibu mafunzo mbalimbali ya wafanyakazi kulingana na mahitaji ya Wizara.

27. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2014/15, jumla ya wafanyakazi 202, walimu 199 (108 Unguja na 91 Pemba) na watumishi wengine 3 waliajiriwa. Kati yao walimu 73 wenye shahada ya kwanza ya Sayansi, 33 wa Shahada ya Sanaa na 1 Cheti cha daraja la 3A na 1 Stashahada ya Ufundi Umeme wameajiriwa kwa skuli za Unguja na kwa Pemba, walimu wenye Shahada ya sayansi 25, 36 wenye shahada ya sanaa, 2 wa Statashahada ya Sayansi na walimu 30 wa Cheti cha daraja la 3A, waliajiriwa. Wizara pia iliajiri mhudumu 1 na mlinzi 1 kwa Unguja na fundi bomba 1 kwa Pemba.

28. Mheshimiwa Spika, jumla ya wafanyakazi 1,372 (778

Unguja na 594 Pemba) wenye vyeti na uzoefu wa kazi wa zaidi ya miaka 30 walifanyiwa marekebisho ya mishahara yao ambapo jumla ya Tsh. 513,561,000/= zilitumika. Pia, Jumla ya Tsh. 156,700,000/= zilitumika kuwalipa posho la likizo wafanyakazi 1,567 (1,025 Unguja na 542 Pemba).

29. Mheshimiwa Spika, katika jitihada za kuwaendeleza watumishi wa Wizara yangu, jumla ya wafanyakazi 937

Page 18: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

14

(753 Unguja na 184 Pemba) walipatiwa fursa ya kujiunga na masomo katika vyuo mbalimbali vya ndani na nje ya nchi katika ngazi tofauti baada ya kukamilisha masharti ya kiutumishi na ya vyuo. Vilevile, wafanyakazi 30 wa Idara ya Uendeshaji na Utumishi walipatiwa mafunzo kazini, 26 walipatiwa mafunzo maalumu mafupi ya siku 10 ya kuwajengea uwezo katika Chuo cha Utumishi wa Umma cha Tanzania Bara na wafanyakazi 4 wamejiunga na mafunzo ya Stashahada ya Uwekaji wa Kumbukumbu katika Chuo wa Utawala wa Umma cha Zanzibar (IPA).

30. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2014/15, jumla ya wafanyakazi 138 walistaafu kwa mujibu wa sheria, wafanyakazi 4 waliacha kazi kwa hiari, wafanyakazi 4 walipewa uhamisho wa kuendelea na kazi katika Wizara na Taasisi mbalimbali za Serikali, wafanyakazi 27 walichukua likizo bila ya malipo na 10 wamefariki dunia. Mola awalaze mahali pema peponi, Amin. Hadi kufikia mwezi Mei, 2015 Wizara ilikuwa na jumla ya wafanyakazi 13,852 (8,670 ni wanawake, 5,182 wanaume), wafanyakazi 10,082 wa Unguja (6,839 wanawake na 3,243 wanaume) na 3,770 kwa Pemba (wanawake 1,831 na wanaume ni 1,939). Kati ya wafanyakazi hao, wafanya 12,916 wapo katika kada ya ualimu na 935 wasiokuwa katika kada ya ualimu.

31. Mheshimiwa Spika, katika kuendeleza juhudi za kuwasaidia wafanyakazi wetu katika kujikwamua na matatizo ya kimaisha, Wizara imewadhamini wafanyakazi 662 (462 Unguja na 200 Pemba) kupata mikopo ya fedha taslim, vifaa vya ujenzi, vipando na

Page 19: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

15

vifaa vya matumizi ya nyumbani. Thamani ya mikopo yote ni Tsh. 2,232,989,429/=.

32. Mheshimiwa Spika, napenda kuchukua nafasi hii kuushukuru uongozi wa Benki ya Watu wa Zanzibar, Benki ya Posta Tanzania, CRDB, Benki ya Barclays na SACCOS zote kwa kuwapatia mikopo watumishi wa Wizara yangu. Nawaomba waendeleze ushirikiano huo. IDARA YA ELIMU YA MAANDALIZI NA MSINGI

33. Mheshimiwa Spika, Idara ya Elimu ya Maandalizi na Msingi ina jukumu ya kusimamia utoaji wa elimu bora kwa ngazi ya maandalizi na msingi pamoja na uratibu wa elimu ya vyuo vya Kurani na madrasa hapa nchini. Aidha, Idara inasimamia skuli binafsi za maandalizi na msingi ili kuhakikisha kuwa elimu inayotolewa na skuli hizo inafuata mtaala ulioidhinishwa na Wizara.

Elimu ya Madrasa na Vyuo vya Kur-an

34. Mheshimiwa Spika, Idara inashughulikia jumla ya Vyuo vya Kur-ani 2,296 na skuli za maandalizi za madrasa za jamii 85 Unguja na Pemba. Skuli hizo zinasimamiwa na kuhudumiwa kupitia jumuiya ya “Madrasa Early Childhood Programme‟‟ ambazo ufundishaji wake unafuata misingi ya dini ya kiislam.

35. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2014/15, walimu 700 wa vyuo vya Kur-an (400 kwa Unguja na 300 Pemba) walipatiwa mafunzo yanayohusu mbinu shirikishi za kufundishia, malezi ya Kiislamu na utambuzi wa udhalilishaji wa mtoto. Aidha, Vyuo vya Kur-ani 200 pamoja na walimu wa vyuo vya Kur-ani wamepewa miongozo ya ufundishaji wa masomo yanayohusu dini ya Kiislam. Idara pia imefanya ziara ya kuvitembelea

Page 20: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

16

vyuo 400 vya Unguja na Pemba na kugawa juzuu 2,000.

Elimu ya Maandalizi 36. Mheshimiwa Spika, Kwa mwaka 2014/15, idadi ya

vituo vya maandalizi zimefikia 270 kati ya hivyo 239 vya binafsi ambavyo vina jumla ya wanafunzi 22,801 na vituo 31 vya Serikali vyenye jumla ya wanafunzi 18,930 Jumla ya wanafunzi wote walioko katika ngazi hii ni 41,731 wakiwemo wanawake 21,345 na wanaume 20,386 ambayo ni sawa na asilimia 30.7 Jadweli namba 13(a) linatoa ufafanuzi zaidi.

37. Mheshimiwa Spika, Katika mwaka 2014/15, Idara iliendelea kuzisaidia skuli za maandalizi zenye mazingira magumu katika upatikanaji wa vifaa vya kufundishia na kujifunzia kama vile chaki, madaftari ya mahudhurio, madaftari ya wanafunzi na manila ili kuwapunguzia wazazi mzigo wa kuchangia ununuzi wa vifaa hivyo.

38. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2014/15, Idara iliwajengea uwezo walimu 350 wa msingi wa Unguja na Pemba ili wawe na uwezo wa kufundisha vizuri madarasa ya maandalizi yanayofunguliwa katika skuli zao. Wizara pia imeyaimarisha maeneo ya kuchezea watoto katika skuli 30 za maandalizi za Unguja na Pemba.

Aidha, Wizara kwa kushirikiana na Madrasa Early Childhood Programme kupitia ufadhili wa Shirika la Kiraia “Dubai Care” imewaendeleza walimu 100 kwa kuwapatia mafunzo ya ualimu wa maandalizi ngazi ya cheti ili watambulike rasmi kuwa ni walimu wa kufundisha katika ngazi hii ya elimu. Pia walimu 154 wa

Page 21: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

17

msingi wamepatiwa mafunzo kazini ya elimu ya maandalizi yaliyowezesha kufunguliwa madarasa 48 ya maandalizi katika skuli 48 za msingi, 30 kati ya skuli hizo ziko Pemba. Aidha, kupitia programu ya “Madrasa Early Childhood” walimu 17 wa msingi wamepatiwa mafunzo ya jinsi ya kuwapokea wanafunzi wanaotoka katika madarasa ya maandalizi kwa wilaya ya Mjini na Magharibi.

39. Mheshimiwa Spika, Wizara katika mwaka 2014/15, iliendelea kutoa elimu ya maandalizi kwa njia ya redio (ZBC) kupitia programu za “Tucheze Tujifunze” (TUTU). Jumla ya vituo 51 vipya vya TUTU vimeanzishwa katika Wilaya za Kaskazini „B‟ Unguja na Wilaya ya Mkoani, Pemba. Vituo hivyo vinasimamiwa na walimu wasaidizi 102, ambao wanawaongoza wanafunzi kulingana na maelekezo yanayotolewa na wakufunzi kupitia ZBC redio. Kwa kupitia njia ya redio, watoto 7,871 wameweza kupata elimu ya maandalizi hasa vijijini ambako bado skuli za maandalizi ziko chache. Jadweli namba 13(c) linatoa ufafanuzi zaidi. Juhudi za kuielimisha jamii kuhusu umuhimu na faida za kuwaandikisha watoto katika skuli za maandalizi wanapotimia umri wa miaka minne zinaendelezwa.

40. Mheshimiwa Spika, Wizara kwa kushirikiana na UNICEF, iliandaa Mkutano wa Kimataifa wa Elimu bora ya Maandalizi uliofanyika Zanzibar Beach Resort na ulilenga kuzungumzia haki za mtoto, mazingira yake na namna ya kujifunza. Washiriki 160 kutoka nchi za Afrika zilizo chini ya Jangwa la Sahara walihudhuria mkutano huo.

Page 22: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

18

Elimu ya Msingi 41. Mheshimiwa Spika, hadi kufikia mwezi Mei 2015,

Elimu ya Msingi inatolewa katika skuli 370 zikiwemo skuli 273 za Serikali na 97 za binafsi. Idadi ya wanafunzi katika ngazi hii imefikia 261,212 sawa na asilimia 98.4 ikilinganishwa na wanafunzi 252,938 sawa na asilimia 102.5 wa mwaka uliopita. Kati yao wanawake ni 131,226 na wanaume 129,986. Jumla ya wanafunzi 36,608 walioandikishwa kuanza darasa la kwanza katika skuli za Serikali wamepatiwa nafasi. Miongoni mwa watoto hao 17,742 ni wanawake na 18,866 ni wanaume. Jadweli namba 14 na 15 zinatoa uchambuzi zaidi.

42. Mheshimiwa Spika, Walimu 20 walipatiwa mafunzo ya kusimamia klabu za afya katika skuli. Wizara pia, ilishirikiana na Wizara ya Afya kupitia kitengo cha malaria, kuwapatia mafunzo walimu 24, wanafunzi 24 na Maafisa Elimu Mikoa wa Unguja juu ya mbinu za kujikinga na maradhi ya malaria kwa jamii na kusaidia kuufikia mkakati wa kumaliza malaria nchini.

43. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2014/15, Wizara

kwa kushirikiana na Shirika linaloshughulikia maendeleo ya watoto “Partnership for Child Development (PCD)” la Uingereza, imeanzisha mpango wa majaribio wa kutoa chakula katika skuli 9 za msingi za Unguja na Pemba. Skuli hizo ni Mfurumatonga, Kijini, Kidagoni, Kigunda na Mbuyutende katika wilaya ya Kaskazini “A”, Unguja na Makangale, Mgogoni, Mkia ng‟ombe na Kinowe katika Wilaya ya Micheweni, Pemba. Malengo ya mpango huu ni kupunguza utoro kwa wanafunzi, kuongeza utulivu na ufahamu wa masomo kwa wanafunzi pamoja na kuongeza kipato cha wakulima wadogo wadogo, kwani

Page 23: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

19

vyakula vinavyoliwa na wanafunzi hawa vinanunuliwa kutoka kwa wakulima wadogo wadogo katika maeneo husika.

44. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2014/15, Idara

ilifanya mikutano miwili ya kuhamasisha jamii juu ya kupambana na utoro wa wanafunzi katika wilaya ya Mjini na Magharibi. Jumla ya wanajamii 100 walifikiwa katika uhamasishaji huo wakiwemo wajumbe wa kamati za skuli, masheha na wazazi wa wanafunzi. Uhamasishaji huu unatarajiwa kusaidia kuongeza uwelewa wa jamii juu ya umuhimu wa watoto kubakia darasani badala ya kuachwa kuzurura au kujiwekeza katika shughuli za kiuchumi (ajira za watoto).

IDARA YA ELIMU YA SEKONDARI 45. Mheshimiwa Spika, Idara hii ina majukumu ya

kusimamia utekelezaji kazi za ufundishaji kwa ujumla, kupanga walimu katika skuli zote za sekondari za Serikali, kuwapangia skuli wanafunzi waliofaulu kuendelea na masomo ya sekondari katika ngazi mbalimbali, kusaidia usimamizi wa shughuli za uzalishaji mali na uwekaji wa kumbukumbu za mapato na matumizi ya skuli, kufuatilia utendaji wa Serikali za wanafunzi na huduma za dakhalia.

46. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2014/15, Elimu ya Sekondari ilikuwa inatolewa katika skuli 263 kati ya hizo skuli 208 ni za Serikali na 55 za binafsi. Skuli hizo zilikuwa na jumla ya wanafunzi 86,969 kuanzia Kidato cha kwanza hadi cha Sita. Kati yao, wanaume ni 40,176 na wanawake ni 46,793. Wanafunzi waliokuwepo katika ngazi ya Elimu ya lazima kidato cha 1 na 2 ni 55,523 (wanawake 29,326 na wanaume 26,197) ambao ni

Page 24: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

20

sawa na asilimia 76.3 ya watoto wenye umri wa miaka 14 – 15 wanaotarajiwa kuwepo skuli. Kwa upande wa kidato cha 3 na 4 wanafunzi 21,658 (12,295 wanawake na 9363 wanaume) walisajiliwa skuli za Serikali na 2,648 (1402 wanawake na 1246 wanaume) wa skuli za binafsi. Pia wanafunzi 2,640 wa kidato cha 5 na 6, kati yao 1,460 wanawake (2,375 wa Serikali na 265 wa binafsi) walipata fursa ya kujisomea. Jadweli namba 16 - 22 yanatoa uchambuzi zaidi.

47. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2014/15, Idara ilinunua kompyuta 50, mashine za fotokopi 3 na projekta 2 kwa ajili ya skuli za sekondari za michepuo ya Kompyuta na Biashara. Idara pia, imenunua vifaa vya maabara za sayansi kwa ajili ya kuwawezesha wanafunzi kufanya mazoezi ya vitendo wakati wa kujifunza. Vifaa hivyo vilisambazwa katika skuli 145 zenye kidato cha 4 (Unguja 95 na 50 Pemba) na skuli 6 za sekondari ya juu (4 Unguja na 2 Pemba). Idara pia ilipokea msaada wa kompyuta 50 kutoka katika Kampuni ya ZTE ya China na mafeni 30 kutoka kwa Mbunge wa Jimbo la Kiembesamaki kwa skuli ya sekondari ya Kiembesamaki. Aidha, Idara imeongeza fursa kwa wanafunzi ya kujifunza fani ya michezo, upishi na ushoni, uchoraji na lugha ya Kifaransa. Masomo hayo yanatarajiwa kuzalisha rasilimali watu wenye utaalamu wa msingi katika fani husika wanaohitajika nchini. Hadi mwezi Mei, 2015, somo la michezo limeanza kufundishwa katika skuli 10, lugha ya Kifaransa kwa wanafunzi wasio wa michepuo inafundishwa katika skuli 5 na uchoraji katika skuli 3, wakati ushoni na upishi katika skuli moja.

Page 25: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

21

Serikali za Wanafunzi

48. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2014/15, Idara ilitoa mafunzo juu ya wajibu na maadili ya wanafunzi, mapambano dhidi ya udhalilishaji wa kijinsia, kujiepusha na vitendo vya uasharati, athari za matumizi ya madawa ya kulevya na mapambano dhidi ya VVU na

UKIMWI.

Aidha, Serikali za Wanafunzi kwa upande wake zinaendelea kutekeleza majukumu yao ya kuwasimamia wanafunzi katika upatikanaji wa elimu bora. Shughuli wanazozitekeleza ni pamoja na kusimamia usafi wa skuli, nidhamu na kuhakikisha walimu wanaingia

madarasa kwa mujibu wa vipindi vyao.

Huduma za wanafunzi 49. Mheshimiwa Spika, Hadi mwezi Mei 2015, idadi ya

wanafunzi waliopo dakhalia imefikia 1921, kati yao wanaume 1,048 na wanawake 873. Katika kuimarisha huduma za dakhalia zetu, Idara inatayarisha mwongozo wa kuchukua wanafunzi watakaoishi dakhalia. Kazi za Ujasiriamali

50. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2014/15, shughuli za ujasiriamali katika skuli zetu ziliendelea kama kawaida na fedha zinazopatikana zinatumika kutatua matatizo ya kitaaluma na kijamii yanayojitokeza skuli. Jumla ya walimu wajasiriamali 145 walipatiwa mafunzo ya utunzaji bora wa kumbukumbu za mapato na matumizi.

Page 26: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

22

IDARA YA TEKNOLOJIA YA HABARI NA MAWASILIANO KATIKA ELIMU

51. Mheshimiwa Spika, Idara hii ina jukumu la kuandaa na kusimamia Sera ya TEHAMA katika Elimu, kusimamia matumizi sahihi ya TEHAMA katika kujifunza na kufundishia katika ngazi mbalimbali za elimu, kuimarisha huduma ya mawasiliano na usalama wa taarifa, kuratibu na kutoa mafunzo ya TEHAMA kwa walimu na watumishi wengine wa Wizara na kuandaa programu mbalimbali za kompyuta ambazo zitaongeza ufanisi wa shughuli za Wizara. Sera ya TEHAMA katika Elimu

52. Mheshimiwa Spika, katika kipindi cha mwaka 2014/15 Idara ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano katika Elimu ilikamilisha rasimu ya mwisho ya Sera ya TEHAMA katika Elimu na sasa ipo tayari kupelekwa Serikali kuu kwa kuthibitishwa. Matayarisho ya awali ya kuandika Mpango Mkakati wa Sera ya TEHAMA katika Elimu yameanza.

Kuimarisha matumizi sahihi ya TEHAMA katika kujifunza na kufundishia

53. Mheshimiwa Spika, jumla ya watendaji 54 wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali walipatiwa mafunzo mafupi ya TEHAMA ndani na nje ya nchi. Kati ya hao, 32 walipatiwa mafunzo katika Taasisi ya Karume ya Sayansi na Teknolojia, 17 walipatiwa mafunzo ya kitaalamu juu ya uendeshaji na usimamizi wa mtandao wa kompyuta yaliyoendeshwa na Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar na watendaji 5 wamepatiwa mafunzo mafupi nje ya nchi yaliyohusu matumizi ya teknolojia katika kujifunza na kufundishia. Lengo la mafunzo hayo ni kuwajengea uwezo na kuimarisha ufanisi wa kazi za

Page 27: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

23

kila siku. Pia mafunzo hayo yalilenga kutatua baadhi ya changamoto zinazowakabili wafanyakazi wakati wa matumizi ya TEHAMA. Utekelezaji wa Mradi wa (TZ -21)

54. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2014/15, mradi huu uliendesha mafunzo mbalimbali yaliyohusu mbinu bora za kufundishia na matumizi na utunzaji wa vifaa vya TEHAMA vilivyotolewa na mradi huo. Hivyo, jumla ya watendaji 8, kati ya hao 5 ni kutoka Unguja na 3 Pemba walipatiwa mafunzo mafupi ya ufundi wa vifaa vya TEHAMA vilivyotumika katika mradi huu. Walimu 974 na Maafisa 21 walishiriki mafunzo ya kuhimiza kusoma na mbinu bora za kufundisha darasa la kwanza na la pili. Aidha, TZ-21 kwa mashirikiano na “Children Book Publishers”waliandika aina 5 za vitabu vyenye maudhui tofauti na kuchapisha nakala 43,700 na kuzigawa kwa skuli 248 za msingi ambazo zimo katika mradi. Pia, mgao huo ulilenga vituo vyote vya walimu, Ofisi za Elimu Mkoa na Wilaya, Ofisi ya Taasisi ya Elimu Zanzibar, Ofisi za TZ-21 na Children Book Publishers. Kuimarisha Njia za Mawasiliano na Usalama wa Taarifa kupitia TEHAMA.

55. Mheshimiwa Spika, Wizara kwa mashirikiano na Wizara ya Miundombinu na Mawasiliano, Ofisi ya Serikali ya Mtandao (e-Government Office), Zantel na ZTE inaendelea na jitihada za kuziunganisha taasisi zake na mkonga wa Taifa. Vituo vyote vya Walimu vimekaguliwa kwa nia ya kuviunganisha na mkonga wa Taifa ili hatimae navyo viunganishe skuli wanazozihudumia. Sambamba na hilo, matumizi ya tovuti ndani ya Wizara yameimarishwa. Tovuti inatumiwa kutoa taarifa za elimu kwa wananchi na

Page 28: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

24

wadau wa elimu. Taarifa hizi ni pamoja na zile zinahusu utendaji wa Wizara, fursa za masomo nchini na nchi za nje, taarifa za matokeo ya mitihani ya darasa la saba, kidato cha Pili, cha Nne na kidato cha Sita. Ufuatiliaji na Tathmini

56. Mheshimiwa Spika, Idara katika kipindi cha 2014/15, ilifuatilia skuli 203 (78 za Unguja na 125 za Pemba) kuangalia utunzaji na matumizi ya vifaa vya TEHAMA katika kujifunza na kufundishia. Mafanikio makubwa yaliyopo katika sekta hii ni mwamko wa walimu, wanafunzi na jamii kwa ujumla juu ya kupenda kutumia teknolojia hii. Hata hivyo, matumaini haya mazuri yamekabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo, uhaba na uchakavu wa vifaa. IDARA YA ELIMU MBADALA NA WATU WAZIMA

57. Mheshimiwa Spika, Idara hii ina jukumu la kuondoa tatizo la kutojua kusoma, kuandika na kuhesabu kwa wananchi wote, kuwapatia elimu mbadala vijana walioacha masomo njiani na wale ambao hawakubahatika kuandikishwa kabisa, pamoja na kuwaendeleza kielimu wale wote wenye nia ya kufanya hivyo. Kisomo

58. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2014/15, jumla ya madarasa mapya 9 ya kisomo yamefunguliwa Unguja na Pemba. Idadi ya madarasa ya kisomo ni 440 yenye wanakisomo 7,331 wakiwemo wanawake 6,257 na wanaume 1,074. Jumla ya wanakisomo 6,225 wamefanyiwa upimaji katika hatua zote nne na wanakisomo 448 wa hatua ya nne wamekombolewa. Aidha, katika kuyaendeleza madarasa yaliyopo vifaa

Page 29: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

25

mbalimbali vya kujifunzia na kufundishia vilitolewa yakiwemo mabuku, penseli, mbao, chaki, mistari, miwani kwa wanakisomo wenye matatizo ya macho Unguja na Pemba. Elimu Mbadala

59. Elimu Mbadala inalenga kuwapatia elimu vijana wenye umri kati ya miaka 10 hadi 15 walio nje ya skuli, wakiwemo walioacha masomo njiani kutokana na sababu mbalimbali. Katika mwaka 2014/15, jumla ya wanafunzi 734 (288 Pemba na 446 Unguja), wanahudhuria masomo ya elimu Mbadala katika madarasa 21 Unguja na 19 Pemba.

60. Mheshimiwa Spika, Kituo cha Elimu Mbadala Rahaleo, kina jumla ya vijana 403 (wanawake 100 na wanaume 303) ambao wanasoma masomo ya kawaida na mafunzo ya fani mbalimbali zikiwemo ushoni, upishi, umeme, uchongaji, udobi, mafunzo ya kompyuta na utunzaji wa nyumba. Kituo hiki hadi sasa, kimeshatowa wahitimu 3,438 tangu kuanzishwa, (wanawake 2,409 na wanaume 1,029) wa fani mbalimbali ambao wametunukiwa vyeti. Fani zinazofundishwa zina nafasi nzuri katika soko la ajira. Vituo vya Kujiendeleza

61. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2014/15, jumla ya wanafunzi 2,434 (wanawake 1,191 na wanaume 1,243) wamesajiliwa katika Vituo mbalimbali vya kujiendeleza Unguja na Pemba. Wanafunzi 4,658 wamefanya mtihani wa faragha wa kidato cha Nne ambapo wanafunzi 1,891 sawa na asilimia 40.6 ya watahiniwa wote wamefaulu. Kwa mwaka wa masomo 2013/14, jumla ya wanafunzi 745 wa Unguja na Pemba walifanya mtihani

Page 30: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

26

wa faragha wa kidato cha sita, kati yao wanawake ni 403 na wanaume ni 342, watahiniwa 217 ambao ni sawa na asilimia 29.1 walifaulu.

62. Mheshimiwa Spika, kituo cha sayansi kimu, kilichopo Forodhani kina jumla ya vijana 127 (106 ni wanawake). Vijana hawa wanafundishwa fani mbalimbali ikiwemo upishi, ushoni, kudarizi, kufuma, kompyuta na uchongaji. Tokea kuanzishwa kwa kituo hiki, wahitimu 2,350 wamehitimu mafunzo yao na wengi wao wameajiriwa na wengine wamejiajiri wenyewe. Aidha, mpango wa majaribio wa YELP (Youth Empowerment of life Program) katika wilaya ya mjini ambao husomesha vijana masomo ya lugha, ujasiri amali, umeme na utunzaji wa nyumba umeonesha mafanikio kwa kutoa wahitimu 165 (wanawake 84 na wanaume 81) waliotunukiwa vyeti. Programu za Wanawake

63. Mheshimiwa Spika, Idara hii pia inajukumu la kuwahamasisha wananchi na hasa wanakisomo waliofikia hatua ya nne kujiunga na vikundi vya programu za wanawake ili kujikwamua na tatizo la umasikini kwa kujiongezea kipato. Idara ina jumla ya vikundi 103 vyenye wanachama 2,097 (vikundi 73 vipo Unguja na 30 Pemba). Vikundi hivyo vimepatiwa vifaa mbalimbali vikiwemo vyerehani 8, majembe, keni za kumwagilia maji na viatu.

Vyombo vya Habari

64. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2014/15, Idara ilirusha hewani vipindi 15 vya redio na kimoja cha TV. Idara pia, iliandaa makala moja iliyochapishwa katika gazeti la Zanzibar Leo.

Page 31: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

27

IDARA YA MAFUNZO YA UALIMU

65. Mheshimiwa Spika, Idara hii ina jukumu la kusimamia mafunzo ya ualimu vyuoni na mafunzo ya ualimu kazini. Mafunzo ya ualimu hutolewa katika vyuo vitatu navyo ni Chuo cha Kiislamu Mazizini Unguja, Chuo cha Kiislamu Kiuyu na Chuo cha Benjamin William Mkapa Pemba. Vyuo hivi vinatoa mafunzo ya Ualimu ya Stashahada ya Sanaa, Stashahada ya Sayansi kwa sekondari, Stashahada ya Ualimu Msingi, Stashahada ya somo la Dini na Kiarabu na Cheti cha Ualimu wa Elimu Mjumuisho. Kwa mwaka wa fedha wa 2014/15, vyuo hivi vilikuwa na jumla ya wanafunzi 750 (wanaume 166 na wanawake 584). Jadweli namba 30 (a)-(c) zinatoa ufafanuzi zaidi. Mafunzo ya Ualimu Kazini

66. Mheshimiwa Spika, katika kuhakikisha kuwa mafunzo ya ualimu kazini yanawafikia walimu wengi, Wizara inatumia vituo vya walimu vya kila wilaya kuwaendeleza walimu kitaaluma ili wamudu vyema kazi yao ya ufundishaji. Kila kituo husimamia skuli ambazo zimo katika klasta yake. Hivi sasa, vipo vituo vya walimu kumi na tatu, viwili kati ya hivyo ni vituo vya walimu wa maandalizi na kimoja ni Kituo cha Taifa cha Walimu (NTRC). Katika mwaka 2014/15, Idara imeanzisha kituo kipya cha walimu huko Mwanda ambacho kinahudumia baadhi ya skuli za Wilaya ya Kaskazini “B”. Vituo hivi vinatoa mafunzo kwa walimu katika masomo mbalimbali.

67. Mheshimiwa Spika, katika juhudi za kuimarisha ufundishaji wa masomo ya Sayansi, Idara inashirikiana na jumuiya ya “Strengthening of Mathematics and

Page 32: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

28

Science Education in Africa (SMASE Africa)” kutoa mafunzo ya mbinu za ufundishaji wa masomo ya Sayansi na Hisabati kwa walimu wa Zanzibar. Walimu wanne walishiriki katika mafunzo ya wiki tatu nchini Kenya yanayohusiana na mbinu za ufundishaji wa Sayansi na Hisabati. Walimu hawa watakuwa wakufunzi wa kuendesha mafunzo kwa walimu wa Sayansi na Hisabati waliomo katika skuli zetu.

68. Mheshimiwa Spika, kazi ya kutambua mada ngumu

katika somo la Hisabati, Sayansi na Kiingereza kwa madarasa ya juu ya msingi ilitekelezwa na watafiti kutoka SUZA. Ripoti ya kazi hiyo iliwasilishwa na kujadiliwa kwa wadau mbalimbali wa elimu kabla ya kuwasilishwa rasmi kwa viongozi wa Wizara. Idara ya Mafunzo ya Ualimu imeitumia ripoti hiyo kwa kuandaa moduli pamoja na kutoa mafunzo kwa wakufunzi 23 Unguja na 18 Pemba. Kwa mwaka 2014/15, walimu 300 walipatiwa mafunzo katika vituo vya walimu vitano vya Kitogani, Mkwajuni na Bububu kwa Unguja na kwa Pemba ni Miti-Ulaya na Mizingani ambapo kila kituo kilitoa walimu 60; walimu 20 kwa kila somo.

69. Mheshimiwa Spika. Idara kwa kushirikiana na kitengo cha Elimu Mjumuisho na Stadi za maisha imetoa mafunzo yanayohusiana na elimu mjumuisho, stadi za maisha na mambo mtambuka. Jumla ya walimu 240 (140 Unguja, 100 Pemba) wamepatiwa mafunzo hayo. Idara pia, inaratibu na kusimamia mafunzo ya miaka miwili yanayoendeshwa kwa kutumia mbinu ya TEHAMA katika vituo vyote 12 vya walimu Unguja na Pemba. Mafunzo hayo yanalenga kuwatayarisha walimu wa kufundisha madarasa ya maandalizi. Jumla ya walimu

Page 33: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

29

352 (202 Unguja na 150 Pemba) wanashiriki mafunzo hayo.

70. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2014/15, Idara imeshirikiana na mashirika mbalimbali katika kuendesha mafunzo kazini kwa walimu wa ngazi tofauti. Walimu 500 wa sekondari (Unguja 300 na Pemba 200) wamepatiwa mafunzo ya kuinua uwezo wao wa kufundisha masomo ya Hisabati na Sayansi. Walimu 300 (wanaume 145 na wanawake 155) wa Sayansi darasa la 5 na 6 walipatiwa mafunzo ya kukuza lugha ya kiingereza na mawasiliano katika vituo 10 Unguja na Pemba. Idara kwa kushirikiana na Ubalozi wa Marekani inaendesha mafunzo ya lugha ya Kiingereza na mbinu za kufundisha kwa njia ya mtandao (online study) na walimu 350 kutoka Unguja na Pemba wamepatiwa mafunzo ya mbinu za kufundisha madarasa ya maandalizi.

71. Mheshimiwa Spika, Jumla ya walimu 565 kati yao, 351 wa Unguja (wanawake 331) na walimu 214 wa Pemba (wanawake 175) wa mkupuo wa nne wamekamilisha mafunzo ya Cheti cha ualimu Daraja la IIIB kwa njia ya elimu masafa katika vituo tisa vya walimu vya Unguja na Pemba.

72. Mheshimiwa Spika, Idara inaendelea na juhudi zake za kuwaelimisha wafanyakazi wake. Wakufunzi wanane wa vyuo vya ualimu wamekwenda masomoni ambapo wawili wamejiunga na shahada za uzamivu, 5 wanachukua shahada za uzamili na 1 shahada ya kwanza ya Elimu Mjumuisho. Wafanyakazi 2 wanaendelea na mafunzo ya uzamili kupitia Chuo Kikuu

Page 34: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

30

Huria na wafanyakazi 10 wamepata mafunzo mafupi ya kuandika miradi na utafiti. IDARA YA MICHEZO NA UTAMADUNI

73. Mheshimiwa Spika, Idara hii ni mpya na imeanzishwa kwa lengo la kutekeleza Sera ya Taifa ya michezo katika skuli na kuibua, kukuza, kuimarisha na kuendeleza vipaji vya wanafunzi ili kupata wanamichezo bora katika taifa letu. Idara imechukua nafasi ya Kitengo cha Michezo na Utamaduni ambacho kilikuwa na majukumu hayo.

74. Mheshimiwa Spika, wanafunzi walishiriki katika mashindano ya skuli za Sekondari Afrika Mashariki (FEASSSA) yaliyofanyika Dar es salaam. Timu zilizoshiriki ni za mpira wa miguu, wanaume, mpira wa mikono na wavu wanaume zilizoshika nafasi ya tatu katika makundi yaliyozijumuisha timu za Kenya, Uganda, Sudan ya Kusini na Rwanda. Mchezo wa riadha, timu yetu ilishika nafasi ya nne kiujumla.

Pia, Idara iliandaa mashindano ya tatu ya riadha ya mbio za nyika “Elimu Cross Country” kwa wanafunzi wa skuli za msingi na sekondari, yaliyofanyika mwezi Machi 2015. Jumla ya wakimbiaji 370 wa skuli za msingi na 296 wa sekondari walishiriki, ambapo wanafunzi watano walitoka skuli ya msingi Filbert Bayi ya Kimara na watano ni kutoka skuli ya sekondari Filbert Bayi ya Kibaha. Mashindano hayo yameibua hamasa na ushindani mkubwa miongoni mwa wanafunzi kushiriki na hivyo kuongezeka kwa idadi ya washiriki kila mwaka. Mashindano haya mbali ya kuibua hamasa ya kupenda michezo pia yanasaidia kukuza ushirikiano kwa

Page 35: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

31

wanafunzi. Idara itaiendeleza michezo hii kila mwaka kwa Unguja na Pemba.

75. Mheshimiwa Spika, Idara ilishirikiana na Taasisi ya Elimu Zanzibar kutoa mafunzo kwa walimu wanaofundisha somo la michezo katika skuli za msingi juu ya matumizi ya Kadi za Michezo (TOPs Card) zilizoandaliwa kwa ajili ya kufundishia. Jumla ya walimu 574 (352 Unguja na 222 Pemba) walifaidika na mafunzo hayo. Mbali na mafunzo kwa walimu, Idara ilifanya kazi ya kuwahamasisha wanafunzi kupenda michezo na kuunda klabu za michezo katika skuli zao. Uongozi wa Idara pia, ulifanya mazungumzo na walimu wakuu na walimu wengine wa skuli za Unguja katika Wilaya ya Kusini, Kati, Mjini na Kaskazini “A” na “B” juu ya umuhimu wa kuwepo harakati za michezo katika skuli zao ikiwa ni pamoja na kufuatilia ili kuona utekelezaji wa mafunzo yanayotolewa.

76. Mheshimiwa Spika, tamasha la miaka 50 ya Elimu Bila ya Malipo liliadhimishwa kwa shughuli mbalimbali zikiwemo za michezo na utamaduni kuanzia ngazi ya Kanda, Wilaya, Mkoa hadi Taifa. Wanafunzi walishiriki kikamilifu katika shughuli za michezo na utamaduni na kuonesha vipaji vyao katika tasnia hizo. Ushiriki wao umesaidia kufanyika kwa tathmini ya jumla ya shughuli za michezo na mafunzo yanayotolewa.

77. Mheshimiwa Spika, Timu zetu za mpira wa miguu kwa wanaume na wanawake, mpira wa kikapu, mpira wa wavu, netiboli, mpira wa mikono, riadha, mpira wa meza, ngoma, kwaya, maigizo na bao zinaendelea na maandalizi ya mashindano ya UMISSETA

Page 36: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

32

yatakayofanyika huko Butimba Mwanza kuanzia tarehe 09/06/2015. OFISI YA MKAGUZI MKUU WA ELIMU

78. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2014/15, Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Elimu ilitekeleza majukumu yake kwa kuzifanyia ukaguzi skuli 376 (286 za Serikali na 90 za binafsi) na kuzipitia ripoti za ukaguzi unaofanywa na walimu wakuu. Miongoni mwa yaliyojitokeza katika kaguzi hizo ni baadhi ya walimu wakuu kwa kushirikiana na walimu wao wanasimamia vyema upatikanaji na utoaji wa elimu bora katika skuli zao kwa kiwango cha kuridhisha. Hata hivyo, ilijitokeza kwamba baadhi ya walimu wakuu wanakabiliwa na changamoto nyingi za kiutendaji, zikiwemo uhaba wa walimu wa masomo ya sayansi na hisabati. Hali iliyopelekea walimu wa sanaa kusomesha masomo ya sayansi. Skuli nyingi zinakabiliwa na tatizo la kutokuwa na hati miliki na kupelekea uvamizi wa maeneo ya skuli husika.

79. Mheshimiwa Spika, Ofisi kwa kushirikiana na Wizara ya Elimu, wanasheria pamoja na wadau wengine imeendelea na mchakato wa kuandika sheria ya kuanzishwa Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Elimu kwa kuandika waraka rasmi (concept paper) kwa ajili ya kuwasilishwa katika kikao cha makatibu wakuu na baadae kufikishwa katika ngazi zinazofuata kisheria. Mswada huu unatarajiwa kuwa sheria kamili katika mwaka wa 2015/16. Kumalizika kwa sheria hii, kutaiwezesha Ofisi ya Mkaguzi wa Elimu kuwa na mamlaka ya kuanzisha ofisi za ukaguzi za wilaya na kufanya ukaguzi kwa kanda utaopelekea skuli nyingi kukaguliwa kwa wakati na kuongeza ufanisi katika utendaji na uwajibikaji.

Page 37: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

33

80. Mheshimiwa Spika, matayarisho kwa ajili ya ukaguzi

wa kanda yameanza kwa kununua vifaa vya kufanyia kazi za ofisi za kanda/wilaya zikiwemo komputa 10, printa 10, scanner 10, meza 10 na viti 20. TAASISI YA ELIMU ZANZIBAR

81. Mheshimiwa Spika, Taasisi ya Elimu Zanzibar ina majukumu ya kubuni na kuandaa mitaala na mihutasari ya elimu ya maandalizi, msingi, sekondari, ualimu na elimu ya kujiendeleza nje ya mfumo rasmi. Katika mwaka 2014/15, Taasisi ya Elimu Zanzibar ilikamilisha uandishi wa viwango vya kujifunzia (achievement standards) kwa elimu ya msingi na sekondari ya awali (kidato cha 1 na cha 2). Taasisi pia, ilitoa mafunzo ya namna ya kutumia viwango vya kujifunza kupima maendeleo ya wanafunzi kwa washauri wa masomo 34 (20 kutoka Unguja na 14 Pemba). Taasisi iliandaa mafunzo ya namna ya kutumia viwango hivyo kupima maendeleo ya mwanafunzi kwa walimu wa msingi 3,532 (1,071 kutoka Pemba na 2,461 Unguja). Aidha, ilitoa mafunzo ya mtaala mpya kwa washauri wa masomo 29 (15 Unguja na 14 Pemba).

82. Mheshimiwa Spika, Pia, Taasisi ya Elimu iliandaa

mafunzo ya matumizi ya mtaala mpya kwa walimu 450 (290 Unguja na 160 Pemba) wanaofundisha madarasa ya 5 na 6. Vile vile, Taasisi ilitayarisha vigezo kwa ajili ya uandishi wa vitabu vya maandalizi, msingi kwa darasa la tano na sita na ilitayarisha vigezo kwa ajili ya ununuzi wa vifaa vya kufundishia Sayansi na Hisabati (Science and Mathematics Kits). Aidha, Taasisi ilifanya upembuzi yakinifu wa matayarisho ya mtaala wa walimu wa maandalizi.

Page 38: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

34

MAMLAKA YA MAFUNZO YA AMALI

83. Mheshimiwa Spika, Mamlaka ya Mafunzo ya Amali inaendelea kutoa, kusimamia na kuratibu shughuli zote za elimu ya mafunzo ya amali hapa Zanzibar. Katika mwaka 2014/15, jumla ya wanafunzi 468 (132 wanawake na 336 wanaume) wanahudhuria mafunzo ya kazi za amali katika vituo vitatu vya Serikali vya Mkokotoni, Mwanakwerekwe na Vitongoji. Vijana hawa wanajifunza fani mbalimbali za ufundi zikiwemo useremala, ushoni, uhunzi, upishi, uchoraji na uandishi wa alama, uashi, ufundi bomba, Teknolojia ya Habari na Mawasiliano, huduma za chakula na vinywaji, elektroniki, ufundi magari, umeme na ufundi mafriji na viyoyozi. Jadweli Namba 40(a) linatoa ufafanuzi zaidi.

84. Mheshimiwa Spika, kwa mwaka 2014/15, Mamlaka imeendelea na ukaguzi wa vituo vya mafunzo ya amali vya binafsi na vya Serikali. Jumla ya vituo vya amali 20 vimefanyiwa ukaguzi wa kawaida kuangalia kwa makini mafunzo yanayotolewa yanakidhi mahitaji na vituo 10 vimefanyiwa ukaguzi kwa ajili ya usajili baada ya kukamilisha kujaza fomu za maombi.

85. Mheshimiwa Spika, kwa mwaka 2014/15, Mamlaka imeajiri wafanyakazi 8 (wanawake 3 na wanaume 5) kati yao, walimu 5 na maafisa 3. Pia katika kuviimarisha vituo Mamlaka imeajiri Afisa uzalishaji mali ambaye atasimamia uzalishaji na ukusanyaji wa mapato katika vituo vyetu.

86. Mheshimiwa Spika, Tarehe 29 Disemba, 2014 Mamlaka ya Mafunzo ya Amali ilifanya mahafali ya kwanza ambapo jumla ya wahitimu 239 (wanawake 94 na wanaume 145) walitunukiwa vyeti baada ya

Page 39: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

35

kukamilisha mafunzo ya miaka mitatu katika vituo vya Mkokotoni, Mwanakwerekwe na Vitongoji. Mamlaka pia inaratibu shughuli mbalimbali za Mitihani ya Taifa ya ufundi stadi “CBA” na “Competency Based Education and Training” (CBET) ya Tanzania Bara, jumla ya vijana 754 walifanya mitihani hio, kati yao 378 walifaulu ikiwa ni sawa na asilimia 50.13. Katika kujenga uwezo wa wafanyakazi, wafanyakazi 4 wanahudhuria masomo kutoka ngazi ya cheti na kuendelea na Diploma. Jadweli namba 41(a) - 41(c) yanatoa ufafanuzi zaidi. TAASISI ZA ELIMU YA JUU

87. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2014/15, zilikuwepo jumla ya taasisi nne za elimu ya juu. Kati ya hizo, mbili zinamilikiwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na mbili ni taasisi binafsi. TAASISI YA KARUME YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA

88. Mheshimiwa Spika, Taasisi ya Karume ya Sayansi na Teknolojia ni Taasisi inayotoa huduma za kielimu za uhandisi katika ngazi ya Stashahada (NTA level 4 – NTA level 6) na pia mafunzo ya kujiendeleza katika fani mbalimbali za ufundi. Taasisi inajukumu la kuendeleza na kukuza elimu ya uhandisi, sayansi na teknolojia ndani ya Zanzibar.

89. Mheshimiwa Spika, Taasisi hii ina jumla ya wanafunzi 1,444 (wanawake 303 na wanaume 1,141), kati ya hao wanafunzi 342 wanajifunza Stashahada ya ufundi (wanaume 252 na wanawake 90), 69 Stashahada ya TEHAMA (wanaume 44 na wanawake 25). Vile vile, wapo wanafunzi 765 wanaojifunza mafunzo ya amali (733 wanaume na 32 wanawake). Aidha, wapo

Page 40: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

36

wanafunzi 131 (wanaume 94 na wanawake 37) wanaofanya matayarisho ya kujiunga na Stashahada ya Ufundi kwa mwaka 2015/16. Aidha, Taasisi inawapatia mafunzo walimu wa msingi 137 ya kuwaongezea uwezo wa kufundisha masomo ya Sayansi na Hisabati kwa elimu ya msingi (119 wanawake na 18 wanaume).

90. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2014/15, Taasisi ilikamilisha baadhi ya malengo iliyojiwekea ikiwemo kuanzisha mafunzo kwa wajasiri amali kwa wahitimu kutoka vyuo na sehemu tofauti nchini. Mafunzo hayo yalitolewa kwa mashirikiano na Wizara ya Uwezeshaji, Ustawi wa Jamii, Vijana, wanawake na Watoto. Mafunzo hayo yanalenga kuwalea (Business incubator) na hatimae wahitimu waweze kujiajiri, kuajiri wengine au kuajiriwa. Aidha, Taasisi iliimarisha miundombinu ya nishati ya umeme, ilikamilisha ukarabati wa miundombinu ya umeme kwa dakhalia zote mbili. Pia, Taasisi iliwapatia mafunzo ya Shahada ya Pili wakufunzi 7 na wasio wakufunzi 5, Shahada ya Kwanza 3, ya pili mmoja na Cheti mmoja.

CHUO KIKUU CHA TAIFA CHA ZANZIBAR 91. Mheshimiwa Spika, Chuo Kikuu cha Taifa cha

Zanzibar kimefanikiwa kwa kiasi kikubwa katika kutekeleza shughuli zake kuu ambazo ni kufundisha, kufanya tafiti na kutoa ushauri wa kitaaluma. Chuo kimetimiza miaka 13 tangu kuanzishwa kwake na kina jumla ya wanafunzi 2,538, programu za masomo 29 kati ya hizo 1 ni ya Shahada ya Uzamivu, 4 Shahada ya Uzamili, 11 za Shahada ya kwanza, 11 za stashahada na 2 za cheti.

Page 41: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

37

92. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa masomo 2014/2015 Chuo kilianzisha programu mpya sita (6), nazo ni za Stashahada ya Elimu Mjumuisho na mahitaji maalum, Stashahada ya Elimu ya Michezo, Shahada ya kwanza ya Sanaa katika Huduma na Utalii, Shahada ya kwanza katika fani ya Sayansi ya Teknolojia ya Habari na Ualimu, Shahada ya Uzamili wa Usimamizi wa Biashara na Shahada ya Uzamili ya Kiswahili. Chuo kimeanza awamu ya pili ya kozi ya uzamivu (PhD) ya Kiswahili ambapo wanafunzi 10 wamejiunga na kozi hiyo. Pia, wanafunzi wageni 124 (wanaume 53 na wanawake 71) wamejiunga na Chuo kwa ajili ya kujifunza lugha ya Kiswahili kwa wageni. Jadweli namba 26 (a) na 26(c) yanatoa ufafanuzi zaidi.

93. Mheshimiwa Spika, Chuo kilifanya mahafali yake ya 10 tarehe 20 Disemba, 2014. Katika mahafali hayo, Mkuu wa Chuo ambaye ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Dkt. Ali Mohamed Shein aliwatunuku shahada, stashahada na vyeti wahitimu 741, wakiwemo wanaume 266 na wanawake 475 waliohitimu katika programu mbali mbali.

94. Mheshimiwa Spika, katika kipindi cha mwaka wa fedha 2014/15, Chuo kimeajiri wafanyakazi 12 kati yao 5 wa kada ya taaluma na 7 wafanyakazi wa kada ya uendeshaji. Aidha, Chuo kimeendelea kuwalipia ada za masomo wafanyakazi wake 54 ambao wapo masomoni kwenye ngazi za shahada ya Uzamivu (33), Uzamili (13), shahada ya kwanza (4) na stashahada (4). Katika kutekeleza mradi wa “Retooling” unaodhamimiwa na Benki ya Dunia, Chuo kimeweza kuwapatia mafunzo walimu 500 wa masomo ya sayansi Unguja na kununua

Page 42: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

38

gari mbili pamoja na vifaa vya studio kwa ajili ya uazishwaji wa SUZA TV.

95. Mheshimiwa Spika, Chuo kimefanya matengenezo

mbalimbali ya majengo katika kampasi zake na ununuzi wa vifaa vya TEHAMA kwa ajili ya shughuli zake za kawaida na mafeni 120 kwa ajili ya kampasi ya Tunguu. Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar kampasi ya Tunguu kimemaliza ujenzi wa kituo cha afya. Kituo hicho kinatarajiwa kuanza kutoa huduma zake kwa wanafunzi pamoja na wananchi waishio karibu na chuo baada ya kupokea vifaa kupitia Shirika la Kimataifa la Maendelea la Uturuki (TIKA). CHUO KIKUU CHA KUMBUKUMBU YA AL SUMAIT

96. Mheshimiwa Spika, Chuo hichi kabla kilikuwa kikijulikana kwa jina la Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Zanzibar kilichopo Chukwani na sasa kimekuwa Chuo Kikuu kamili kuanzia mwezi Julai 2014. Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Al Sumait kina jumla ya wanafunzi 1,914, kati yao 1,769 (wanawake 1,139 na wanaume 630) wanasomea Shahada ya kwanza ya Ualimu, wanafunzi 81 wanasomea mafunzo ya Cheti na 64 Stashahada. Jadweli namba 27 inatoa ufafanuzi zaidi.

97. Mheshimiwa Spika, kwa mwaka 2014/15, jumla ya wanafunzi 266 (wanawake 129 na wanaume 137) walihitimu masomo yao ya Shahada ya Kwanza katika fani mbali mbali. Chuo kimetoa wahitimu 1,970 tangu kuanzishwa kwake mwaka 2000/01. Chuo kimenunua kompyuta kwa ajili ya maktaba ya mtandao (e-library). Maktaba hiyo ina uwezo wa kuchukua wanafunzi 70 kwa wakati mmoja. Pia, Chuo kimefanya matengenezo makubwa ya kituo chake cha afya kinachotoa huduma

Page 43: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

39

za matibabu kwa wanafunzi, wafanyakazi na wananchi wa maeneo ya karibu. Matengenezo hayo yanalenga kukipandisha hadhi kituo hicho na kuwa na uwezo wa kutoa huduma nyingi ikiwemo upasuaji, huduma za kinamama, maabara na vipimo mbalimbali kikiwemo cha “Ultra-sound”.

98. Mheshimiwa Spika, Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Al Sumait kinaendelea na mpango wa kuwapeleka masomoni wahadhiri wake ili waweze kujitosheleza kwa wataalamu. Katika mwaka 2014/15, wahadhiri wawili mmoja wa Historia na mwengine wa Jiografia wamehitimu masomo ya Shahada ya Uzamivu. Pia, Chuo kimewapeleka masomoni wahadhiri wa masomo ya Hisabati, Kemia, Maktaba, Kiswahili na Dini ya Kiislamu kwa kiwango cha Udaktari wa Falsafa (Ph.D). Wahadhiri watatu wa fani ya Kemia wanasoma katika ngazi ya Shahada ya Uzamili. Kiwanda cha uchapishaji kimeendelea kutoa huduma za uchapaji kwa chuo, Taasisi za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Taasisi za Serikali ya Jamhuri ya Muungano pamoja na Taasisi za Sekta binafsi Zanzibar.

CHUO KIKUU CHA ZANZIBAR 99. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2014/15, Chuo

Kikuu cha Zanzibar kilikuwa na jumla ya wanafunzi 3,295 (wanaume 1,556 na wanawake 1,739). Kati ya hao, wanafunzi 23 wanasomea shahada ya Uzamili ya Sheria na Shariah, 74 shahada ya Uzamili ya Utawala wa Biashara, 65 shahada ya Uzamili ya Utawala wa Umma na 59 wanasomea shahada ya Uzamili ya Uchumi. Aidha, wanafunzi 2,534 wanasomea shahada za kwanza katika fani za Biashara na Fedha, Masoko, Teknolojia ya Mawasiliano ya Kibiashara, Manunuzi,

Page 44: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

40

Sheria na Shari‟ah, Uchumi, Utawala wa Umma, Huduma za Jamii, Teknolojia ya Mawasiliano na Elimu, Benki ya Kiislamu, Lugha na Elimu, Uhandisi wa Simu, Uhandisi wa Kompyuta na Teknolojia na Uuguzi.

Jumla ya wanafunzi 540 wanasoma katika ngazi za “University Qualification Framework “ Level 6, Stashahada na Cheti katika fani za Benki ya Kiislamu na Fedha, Uhandisi wa Habari na Mawasiliano, Teknolojia ya Mawasiliano, Uhusiano wa Kimataifa, Haki ya Mtoto, Upangaji na Uendeshaji wa Miradi na Teknolojia ya Mawasiliano ya Kibiashara. Jadweli namba 28 inatoa uchambuzi zaidi.

100. Mheshimiwa Spika, Chuo kina jumla ya wahadhiri 54

wazalendo na 11 kutoka nje ya Tanzania. Mhadhiri mmoja amemaliza masomo yake ya Shahada ya Uzamivu (PhD) na wengine sita wanaendelea na masomo yao ya shahada ya uzamivu. Lengo ni kujitosheleza kwa wahadhiri wenye sifa za juu na uwezo wa kusomesha katika ngazi mbalimbali na kupunguza utegemezi wa wahadhiri kutoka nchi za nje. BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU

101. Mheshimiwa Spika, Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu ya Zanzibar ni taasisi iliyopewa majukumu ya kutoa mikopo kwa wanafunzi na wafanyakazi wanaojiunga na masomo ya elimu ya juu, kufuatilia na kupokea marejesho ya mikopo hiyo kwa wahitimu. Hii ina lengo la kuendelea kuwakopesha wahitaji wengine. Bodi pia inatafuta fursa za kielimu na ufadhili wa masomo ya elimu ya juu kutoka kwa wafadhili mbali mbali wa ndani na nje ya nchi.

Page 45: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

41

102. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2014/15, Bodi ilipanga kuwadhamini wanafunzi wapya 1,200 kujiunga na masomo ya elimu ya juu. Hata hivyo, Bodi iliwadhamini wanafunzi 1,611 sawa na ongezeko la asilimia 34 ya kiwango kilichopangwa. Wanafunzi 411 walioongezeka walitokana na nafasi za ziada za ufadhili zilizopatikana pamoja na kuanza kutumia fedha za marejesho ya madeni.

103. Mheshimiwa Spika, Bodi ilifuatilia wanafunzi waliokopa ambao walipaswa kurejesha madeni baada ya kuanza kazi. Kiwango cha makusanyo kimeongezeka kutoka TSh. 249,000,000/= kwa mwaka 2013/14 na kufikia TSh. 360,000,000/= hadi Mei, 2015. Wahitimu 12 wamemaliza kulipa madeni yao kikamilifu.

BARAZA LA MITIHANI LA ZANZIBAR 104. Mheshimiwa Spika, Baraza la Mitihani lina jukumu la

kusimamia shughuli za mitihani ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ikiwemo utungaji, uchapishaji, usimamizi na usahihishaji wa mitihani ya darasa la saba, kidato cha pili na mafunzo ya Ualimu ngazi ya Stashahada ya elimu ya msingi na Stashahada ya Dini na Kiarabu. Baraza pia lina jukumu la kutathmini mwenendo mzima wa malengo ya utoaji elimu pamoja na mitihani.

105. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2014/15, jumla ya wanafunzi 25,749 walifanya mtihani wa darasa la saba kutoka skuli za msingi 251 (152 Unguja na 99 Pemba). Kati ya wanafunzi hao, 105 walichaguliwa kujiunga na madarasa ya vipawa vya juu, ambao ni sawa na asilimia 0.4 na wanafunzi 1,558 sawa na asilimia 6.05 walifaulu na kuchaguliwa kuingia madarasa ya michepuo katika skuli mbalimbali za sekondari. Wanafunzi 24,086

Page 46: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

42

wameendelea na masomo katika madarasa ya kawaida ya kidato cha kwanza.

106. Mheshimiwa Spika, mwaka 2015 Wizara imeanza rasmi kuwashirikisha wanafunzi wa kidato cha pili wa michepuo na wa skuli binafsi. Jumla ya wanafunzi 21,944 kutoka skuli 252 (167 Unguja na 85 Pemba) walifanya mtihani huo. Kati ya wanafunzi hao, 14,384 sawa na asillimia 65.6 walifaulu na kuchaguliwa kuendelea na masomo ya kidato cha tatu. Kiwango hiki cha ufaulu kimepanda kwa asilimia 6.2 ikilinganishwa na matokeo ya mwaka 2013 ambapo asilimia ya ufaulu ilikuwa 59.4. Jadweli namba 32 linatoa ufafanuzi zaidi.

107. Mheshimiwa Spika, kwa upande wa mtihani wa Taifa wa Kidato cha Nne kwa mwaka 2014, wanafunzi 12,812 wa skuli za Serikali na binafsi walifanya mtihani huo. Kati ya hao, wanafunzi 7,713 wamefaulu sawa na asilimia 60.2. Kiwango cha ufaulu cha watahiniwa wa Kidato cha Nne kimeshuka kwa asilimia 6.3 ikilinganishwa na matokeo ya mwaka 2013 ambapo asilimia ya ufaulu ilikuwa 66.5. Kati ya wanafunzi waliofaulu 1,885 (wanawake 942 na wanaume 943) wamechaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano katika skuli za Serikali mwaka 2015/16, wakiwemo wanafunzi 1,503 kutoka skuli za Serikali, 274 wa skuli za binafsi na 108 wanafunzi wa faragha.

108. Mheshimiwa Spika, Mitihani ya Taifa ya kidato cha sita iliyofanyika Mei, 2014 ilijumuisha wanafunzi 1,159 wa skuli za Serikali na binafsi. Kati yao, 1,107 sawa na asilimia 95.5 wamefaulu. Kiwango cha ufaulu kwa wanafunzi wa kidato cha sita kimepanda kwa asilimia 16.4 ikilinganishwa na mwaka 2013 ambapo ufaulu

Page 47: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

43

ulikuwa asilimia 79.1. Aidha, mitihani ya Taifa ya kidato cha 6 kwa mwaka 2015, imefanyika mwezi Mei na imejumuisha wanafunzi 728 (670 wa Serikali na 58 wa binafsi). Matokeo ya mtihani huo yatatolewa baada ya usahishaji wa mitihani.

109. Mheshimiwa Spika, kwa upande wa mitihani ya Stashahada ya Ualimu, walimu wanafunzi 276 kutoka vyuo vitatu vya ualimu walifanya mitihani. Kati ya hao, walimu wanafunzi 219 sawa na asilimia 79.3 walifaulu na 54 ambao ni sawa na asilimia 19.6 watarudia mitihani yao.

110. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2014/15, Baraza liliandaa muundo mpya wa mitihani ya Kidato cha Pili na Darasa la Sita ambao umefuta ule uliokuwepo kabla. Hali hii itapelekea kufanya mitihani yenye viwango na ubora ambayo itapima nyanja zote za ufahamu. Baraza pia, lilifanya mikutano ya kutathmini matokeo ya mitihani ya mwaka 2014 iliyowajumuisha walimu wakuu wa skuli zote za msingi na sekondari zilizohusika katika kufanya mtihani huo. Pia, Baraza limekamilisha uandishi wa kanuni za mitihani, uandishi wa mpango mkakati na kuajiri waratibu watano kati ya 11 watakaosaidiana na watendaji wengine wa Baraza katika kuhakikisha maswali yanatungwa kwa kuzingatia mitaala inayofundishwa na yenye uwiano na kiwango cha elimu cha watahiniwa wa ngazi husika.

BODI YA HUDUMA ZA MAKTABA

111. Mheshimiwa Spika, Shirika la Huduma za Maktaba ni taasisi yenye jukumu la kuanzisha, kusimamia na kusambaza huduma za maktaba katika maeneo yote ya Zanzibar. Kwa mwaka 2014/15, taasisi hii imeendelea

Page 48: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

44

na juhudi zake za kuhakikisha kuwa huduma za maktaba zinawafikia wananchi popote walipo, mjini na vijijini. Shirika pia, limeendelea kuihamasisha jamii kuwa na mwamko wa matumizi ya maktaba kwa ajili ya kupata maarifa ya nyanja tofauti za maisha ikiwemo elimu, biashara, utamaduni, afya na kilimo kwa kupitia programu mbalimbali zikiwemo za watoto, usambazaji vitabu skuli na katika maktaba za skuli.

112. Mheshimiwa Spika, Shirika limeingiza vitabu vipya 4,482 vya watoto na watu wazima. Vitabu hivyo vimeingizwa katika maktaba kuu iliyopo Unguja na tawi lake liliopo Chake Chake Pemba. Katika jitihada za kuwawezesha watoto kuandika, kusoma na kujifunza, Shirika limeendesha programu ya watoto ndani ya maktaba kuu ya Maisara kwa Unguja na Maktaba Kuu ya Chachani Pemba. Programu hizi huendeshwa kila mwisho wa mwezi kwa kujumuisha wanafunzi 40 kutoka skuli za msingi. Vilevile, fursa iko wazi kwa skuli yoyote kuwapangia wanafunzi wao kufanya ziara za kimasomo katika maktaba.

113. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2014/15, Shirika lilisimamia utoaji wa mafunzo juu ya uendeshaji na usimamizi wa maktaba kwa walimu 720 wa msingi na sekondari, kati yao 520 Unguja na 200 Pemba. Aidha, vitabu 12,333 vimegaiwa katika skuli 60 za Wilaya nne za Pemba. Kwa upande wa Unguja, vitabu 9,559 vya msaada kutoka kwa “Children International” ya Marekani vilisambazwa katika skuli 46 (30 ni za msingi na skuli 16 za sekondari). Kati ya vitabu hivyo, vitabu 3,143 vilisambazwa katika skuli za msingi na 9,190 skuli za sekondari ili kufanikisha uazishwaji wa maktaba za skuli.

Page 49: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

45

114. Mheshimiwa Spika, Shirika la huduma za Maktaba

kwa kushirikiana na Shirika la “Book Aid International” limeanzisha maktaba za sanduku katika skuli 10 za Wilaya ya Wete na kufanya idadi ya skuli zote zenye maktaba za sanduku kufikia 55. Kati ya hizo 5 ni za Wilaya ya Mjini, 20 za Kaskazini “A”, 20 za Micheweni na 10 za Wete. Kufuatia utolewaji wa vitabu kwa skuli hizo, mafunzo ya namna ya kuzisimamia na kuziendesha maktaba hizo yalitolewa kwa walimu 110 yenye lengo la kukuza na kuendeleza mwamko wa kujisomea kwa vijana. Aidha, kitengo cha TEHAMA na “American Corner” vinatoa huduma za mtandao kwa watumiaji wa maktaba kuu iliyopo Unguja.

115. Mheshimiwa Spika, Shirika la Huduma za Maktaba limeendelea na utaratibu wake wa kutoa mafunzo ngazi ya awali kwa wakutubi waliokosa sifa za kujiunga moja kwa moja na mafunzo ya cheti cha ukutubi. Kwa mwaka 2014/15, jumla ya mikupuo mitatu yenye wakutubi 40 wamemaliza mafunzo hayo.

KITENGO CHA UHASIBU

116. Mheshimiwa Spika, kwa mwaka wa fedha 2014/15 Kitengo kimeendelea kusimamia matumizi yote ya fedha za kawaida na fedha za maendeleo kwa mujibu wa sheria ya fedha namba 12 yamwaka 2005 na sheria ya manunuzi na uondoshaji wa vifaa chakavu namba 9 ya 2005 na kanuni zake kwa mujibu wa bajeti iliyotengwa. Aidha, Kitengo kimeimarisha utayarishaji wa ripoti ya fedha za robo mwaka pamoja na kuwasilisha ripoti ya mwaka 2013/14 kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali. Kitengo pia, kimeendeleza mashirikiano na Wizara ya Fedha katika kutumia

Page 50: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

46

mtandao wa IFMS ambao husaidia kwa kiwango kikubwa usimamizi wa bajeti ya Wizara na hivyo kuimarisha udhibiti wa fedha za umma

KITENGO CHA HABARI, ELIMU NA MAWASILIANO

117. Mheshimiwa Spika, kwa mwaka 2014/15, Kitengo kiliendelea na majukumu yake ya kuratibu shughuli za utoaji wa habari sahihi za kielimu kwa jamii na kuendeleza mahusiano mazuri kati ya Wizara na Taasisi za ndani na za nje. Nimeweza kukutana na Waheshimiwa mabalozi wa nchi mbalimbali kama vile Uholanzi, Ufaransa, Comoro, Nigeria na Sweden. Pia, nilikutana na Mabalozi wadogo wa Jamhuri ya Watu wa China na Oman. Aidha, viongozi wa Mashirika mbalimbali ya Kimataifa ikiwemo Benki ya Dunia, Benki ya Maendeleo ya Africa, UNICEF, GPE, SBS – Korea, Good Neighbors International na Milele Zanzibar Foundation walifika Wizarani na kufanya nao mazungumzo kuhusu maswala mbalimbali ya kielimu.

118. Mheshimiwa Spika, Kitengo kimetangaza habari sahihi za maendeleo ya Wizara kupitia vyombo mbalimbali vya habari vya Zanzibar na Tanzania Bara katika mambo yanayohusika na elimu. Kitengo pia kiliandaa kipindi maalum cha maadhimisho ya kutimia miaka 51 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, na kutoa Jarida la Wizara.

KITENGO CHA UNUNUZI NA UGAVI

119. Mheshimiwa Spika, Kitengo cha Ununuzi na Ugavi ni sekretariati ya Bodi ya Zabuni ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali. Katika mwaka 2014/15, kitengo kwa kushirikiana na Bodi ya Zabuni kilitayarisha, kilitangaza

Page 51: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

47

na kuzifanyia tathmini zabuni 16 za manunuzi ya bidhaa, huduma na kazi za ujenzi zenye thamani ya jumla ya TShs. 19,288,984,112/=

KITENGO CHA UKAGUZI WA HESABU ZA NDANI

120. Mheshimiwa Spika, kitengo cha ukaguzi wa hesabu za ndani kina jukumu la kutoa ushauri wa matumizi ya fedha na uwekaji sahihi wa kumbukumbu na vielelezo vya matumizi katika utekelezaji wa shughuli zote za Wizara katika shughuli zote za Wizara na Taasisi zake. Ushauri huo unasaidia kuboresha na kuongeza ufanisi katika uendeshaji wa shughuli za Wizara na kupelekea kufikia malengo yaliyowekwa.

121. Mheshimiwa Spika, katika utekelezaji wa majukumu yake mwaka 2014/15, kitengo kimezikagua Hesabu za Taasisi 2, vitengo 8 na Idara 8. Kitengo pia, kimezikagua skuli 120 (75 za Unguja na 45 Pemba) sawa na asilimia 54.5 ya lengo lililopangwa la kukagua hesabu za skuli 220. Vile vile, kitengo cha ukaguzi wa ndani kilitoa mafunzo juu ya usimamizi wa fedha kwa walimu wakuu 50, washika fedha 50 pamoja na wenyeviti wa Kamati za skuli 50 ili waweze kuweka kumbukumbu za fedha vizuri kwa mujibu wa sheria. Pia, Kitengo kiliratibu vikao vitano vya kamati ya ukaguzi wa ndani (Audit Committee) ambavyo vilijadili ripoti za mkaguzi wa hesabu za ndani, ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali kwa mradi wa ALSD II na ripoti ya mkaguzi wa nje wa hesabu (Imara Consultant kuhusiana na mradi wa Sida na kupitia na kuipitisha mipango ya ukaguzi.

Page 52: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

48

KITENGO CHA URATIBU WA ELIMU YA JUU 122. Mheshimiwa Spika, kitengo kiliendelea na utekelezaji

wa majukumu yake ya kuratibu maendeleo ya elimu ya juu, kukuza mashirikiano ya kiutendaji na Idara ya Elimu ya Juu ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, Kamisheni ya Vyuo Vikuu, Vyuo vikuu na Taasisi mbalimbali zinazotoa elimu ya juu zilizopo Zanzibar na Tanzania Bara. Katika mwaka wa fedha 2014/15 Kitengo kiliratibu elimu ya juu kwa kufuatilia na kutathmini utendaji kazi wa taasisi za elimu ya juu, kutangaza nafasi za masomo za nje ya Tanzania na kuweka kumbukumbu za wanaohitimu masomo yao.

123. Mheshimiwa Spika, kwa mwaka 2014/15 nafasi za masomo kutoka China, Algeria, Uturuki, Mauritius, Urusi na Jumuiya ya Madola zilitangazwa. Jumla ya waombaji 55 walijitokeza, kati yao, 21 walifanikiwa kupata nafasi hizo. Wanafunzi 14 wamekwenda nchini China kusomea Shahada ya Uzamili, 5 Udaktari, 3 Uhandisi wa umeme, mafuta na gesi, 1 Sayansi ya mazingira, 2 Uongozi wa fedha, 1 Uongozi wa Elimu, 2 Uongozi wa Biashara na Masoko. Aidha, wanafunzi 7 wa Shahada ya Uzamili wamekwenda nchini Algeria kusomea; 2 Kemia, 2 Uhandisi wa usanifu majengo, 1 Uhandisi umeme, 1 “Hydrocarbon” na 1 Sayansi ya kompyuta. Waombaji 4 waliojitokeza kwa nafasi za masomo katika fani ya mafuta na gesi, Kompyuta na sayansi ya habari, Kemia na Hisabati nchini Urusi wanaendelea na mchakato huo.

Aidha, wanafunzi 16 (wanaume 07 na wanawake 09) walirejea kutoka masomoni. Kitengo kimewapatia barua za utambulisho kupeleka Tume ya Utumishi kwa ajili ya taratibu za kupatiwa ajira.

Page 53: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

49

KITENGO CHA ELIMU MJUMUISHO NA STADI ZA MAISHA

124. Mheshimiwa Spika, kitengo kina jukumu la kusimamia na kuhakikisha watoto wote wanapata elimu wakiwemo wenye mahitaji maalumu. Kitengo pia kina dhamana ya kuwapatia walimu, wakufunzi na wanafunzi stadi za maisha, ushauri nasaha, elimu juu ya VVU/UKIMWI, athari ya madawa ya kulevya na masuala ya jinsia ili wawe raia wema.

Elimu Mjumuisho

125. Mheshimiwa Spika, kwa mwaka 2014/15, kitengo kimefanya ufuatiliaji na kutathmini utelekelezaji wa programu ya elimu mjumuisho katika skuli 39 (18 za Unguja na 21 za Pemba). Kitengo kimetoa mafunzo kwa wakufunzi 78 wa vyuo vitatu vya Ualimu juu ya elimu mjumuisho na mazingira rafiki ya kufundishia na kujifunzia. Aidha, mafunzo ya nukta nundu yalitolewa kwa wanafunzi 30 wasioona (wanawake 15 na wanaume 15), na walimu 27 (9 wanaume na 18 wanawake) wanaofundisha wasioona. Pia, mafunzo ya lugha ya alama yalitolewa kwa walimu 24 (wanaume 11 na wanawake 13) na wanafunzi viziwi na wasiokuwa viziwi 46 (21 wanaume na 25 wanawake). Mafunzo ya elimu mjumuisho na stadi za maisha yalitolewa kwa walimu 107 (28 wanaume na 79 wanawake) wa Unguja na Pemba.

126. Mheshimiwa Spika, Kitengo kimesimamia upimaji wa wanafunzi 2,836 wenye mahitaji maalumu kwa Unguja na Pemba ili kuzitambua na kuzifanyia kazi changamoto zinazowakabili wakati wa kujifunza. Wanafunzi 8 walipatiwa rufaa kwa uchunguzi na matibabu Zaidi,

Page 54: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

50

wanafunzi 4 walipelekwa Mnazimmoja hospitali, 3 KCMC Moshi na 1 Muhimbili.

127. Mheshimiwa Spika, katika kuimarisha taaluma ya elimu mjumuisho na kuhakikisha kuna wataalamu wa kutosha, watendaji wawili wa kitengo na wakufunzi saba wa vyuo vya Ualimu wanasomea shahada ya kwanza ya elimu mjumuisho katika vyuo vya Tanzania na Uganda. Walimu 39 (29 wanawake na 10 wanaume) wanaendelea na masomo katika fani hiyo kwa ngazi ya Diploma SUZA na walimu 44 (wanawake 41 na 3 wanaume) wapo ngazi ya Cheti katika chuo cha Ualimu - Mazizini. Aidha, watendaji 14 wa Kitengo (8 wanawake na 6 wanaume) pamoja na walimu washauri 14 wa elimu mjumuisho wa vituo vya walimu na walimu wasaidizi (resource teachers) 14 wamepatiwa mafunzo ya utafiti vitendo. Mafunzo hayo yanalengo la kuwasaidia walimu kutatua changamoto wanazokumbana nazo katika utekelezaji wa elimu mjumuisho kwenye maeneo yao ya kazi. Aidha, watendaji wa Kitengo wamepatiwa mafunzo ya kufanya kazi kwa ushirikiano wa pamoja (Team building) kwa lengo la kurahisisha utendaji wao.

128. Mheshimiwa Spika, Kitengo kimekamilisha uandaaji wa kamusi ya lugha ya alama ambalo litatumika kurahisisha mawasiliano baina ya walimu na wanafunzi viziwi na kati ya wanafunzi viziwi na wanafunzi wengine hasa katika mchakato mzima wa kufundishia na kujifunza.

Ushauri Nasaha 129. Mheshimiwa Spika, kwa mwaka 2014/15, Kitengo

kimefanya ufuatiliaji katika skuli 9 za wilaya ya Mjini

Page 55: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

51

kwa lengo la kuwawezesha wanafunzi kujiepusha na vishawishi. Kitengo pia, kilifanya mkutano na masheha 40 wa wilaya ya Mjini kwa lengo la kupanga mikakati ya pamoja juu ya kupunguza kesi za udhalilishaji wa wanafunzi. Aidha, Kitengo kimefanya mkutano na walimu washauri wa skuli 20 za mkoa wa Mjini Magharibi wenye lengo la kujadili changamoto wanazokabiliana nazo katika kazi zao za ushauri na kuzitafutia ufumbuzi utakao wasaidia katika kutekeleza kazi hizo kwa ufanisi mkubwa na wanafunzi kuweza kujifunza bila ya matatizo.

130. Mheshimiwa Spika, katika kuhakikisha kuwa walimu washauri wanafanya kazi zao kwa ufanisi, Kitengo kimefanya mkutano na viongozi 33 wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali (11 wanaume na 22 wanawake) wenye lengo la kuziwasilisha changamoto za walimu washauri nasaha na kuzitafutia ufumbuzi sahihi kwa pamoja. Kitengo kinafuatilia kesi inayoendelea ya udhalilishwaji aliofanyiwa mwanafunzi wa kike wa darasa la 3 wa skuli ya Kizimkazi.

Masuala ya Jinsia

131. Mheshimiwa Spika, Kitengo cha Elimu Mjumuisho na Stadi za Maisha kimeendelea kutoa mafunzo kwa walimu wa skuli mbalimbali za maandalizi, msingi na sekondari ili waweze kuwaelimisha wanafunzi wa skuli zao mbinu za kuepukana na vitendo vya udhalilishaji vilivyoshamiri kwa wanafunzi. Katika mwaka 2014/15, jumla ya walimu 350 wa Unguja na Pemba (144 wanaume na 206 wanawake) walipatiwa mafunzo hayo yenye lengo la kupunguza na hatimae kuondosha kabisa vitendo vyote vya udhalilishaji.

Page 56: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

52

132. Mheshimiwa Spika, kitengo, kwa kushirikiana na walimu washauri 40 (21 wanaume na 19 wanawake) kutoka skuli 40 za Unguja na Pemba kilifanya mikutano na wanafunzi wa kike wa skuli hizo lengwa. Lengo la mikutano hiyo ilikuwa ni kuwahamasisha wanafunzi wa kike waepukane na vishawishi vinavyoweza kuwapelekea kupata mimba pamoja na ndoa za mapema na badala yake waongeze bidii katika masomo yao. Jumla ya wanafunzi wa kike 6,746 walifikiwa kupitia mikutano hiyo, kati ya 2,410 ni wa skuli za msingi na 4,336 wa skuli za sekondari.

Mapambano Dhidi ya UKIMWI na Dawa za Kulevya

133. Mheshimiwa Spika, katika mapambano dhidi ya VVU/UKIMWI, Kitengo kimeandaa mafunzo ya elimu ya afya ya uzazi, UKIMWI na dawa za kulevya kwa walimu 10 wenye idadi sawa kwa jinsi zote mbili na wanafunzi 40 (20 wanawake na 20 wanaume) ambao ni waelimishaji rika na viongozi wa klabu za Afya za skuli 10 za wilaya za Kaskazini, Kusini na Magharibi. Aidha, Kamati ya UKIMWI ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali ilijadili changamoto za kiutendaji na kupanga mikakati ya kuzikabili changamoto hizo kwa sekta ya Elimu.

134. Mheshimiwa Spika, kongamano la kujadili changamoto zinazowakabili wanafunzi wenye mahitaji maalum katika janga la UKIMWI lilifanyika katika maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani. Jumla ya washiriki 160 walihudhuria Kongamano hilo, wakiwemo maafisa UKIMWI kutoka Wizara mbalimbali, walimu washauri, wanafunzi wenye mahitaji maalum, wajumbe kutoka jumuia ya Zapha+ na Zaca, walimu wa klabu na

Page 57: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

53

wanafunzi wanaoishi na VVU kwa Unguja. Zoezi hili pia lilifanyika Pemba kwa kufanywa igizo la zero 3, maonyesho ya vitabu na vipeperushi mbalimbali vinavyotoa elimu ya UKIMWI na athari za unyanyapaa.

KITENGO CHA URAJIS Baraza la Elimu

135. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2014/15, Baraza la Elimu lilifanya kikao kimoja ambacho kilijadili mapendekezo ya usajili wa kudumu kwa skuli za binafsi na taarifa za Bodi za Elimu za Mikoa yote ya Zanzibar. Wajumbe pia, walifanya ziara na kujadili maombi ya uanzishwaji wa vyuo vya ualimu vya binafsi ngazi ya cheti na stashahada.

Bodi za Elimu za Wilaya na Mikoa 136. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2014/15, Bodi za

Elimu za Wilaya na Mikoa zilifanya kikao kimoja kimoja. Vikao hivyo vilikuwa na lengo la kujadili maendeleo na changamoto za kielimu za ndani ya Wilaya na Mkoa husika. Leseni za Walimu

137. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2014/15, walimu 422 walipatiwa leseni za kusomeshea. Kati ya walimu hao 207 wamesomea kazi ya ualimu na 215 hawajasomea. Kitengo pia, kimefanya ukaguzi wa leseni za walimu, ufuatiliaji wa sera, sheria, kanuni na miongozo ya Wizara ya Elimu jinsi inavyofuatwa katika skuli. Kitengo kilipanga kukagua skuli 200 za Serikali na binafsi (150 Unguja na 50 Pemba). Hadi kufikia Mei, 2015, skuli 140 sawa na asilimia 70 ya lengo (44 za Serikali za Unguja na 25 Pemba na skuli 51 za binafsi Unguja na 20 za Pemba) zimekaguliwa.

Page 58: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

54

Usajili wa skuli za Serikali na za Binafsi 138. Mheshimiwa spika, katika mwaka 2014/15, skuli 17

za Serikali (moja ya maandalizi, 5 za msingi na 11 za sekondari) zimepatiwa usajili. Skuli 24 za binafsi zimewasilisha maombi ya usajili wa muda kati ya hizo, 11 za maandalizi, 11 za ngazi ya maandalizi na msingi, na 2 za ngazi ya sekondari na skuli 2 zimewasilisha maombi ya usajili wa kudumu. Kesi za Ujauzito na Ndoa kwa Wanafunzi

139. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2014/15, jumla ya kesi 9 za ujauzito kwa wanafunzi ziliripotiwa na kujadiliwa. Wanafunzi wote 9 baada ya kupatiwa ushauri wamekubali kuendelea na masomo yao. Kitengo pia kilipokea kesi 9 za ndoa kwa wanafunzi. Kwa mujibu wa Sheria ya Elimu namba 6, 1982 kifungu 20(3) wanafunzi hawa wamezuiliwa kuendelea na masomo.

MAPATO 140. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2014/15, Wizara

ilikadiriwa kukusanya TSh. 30,000,000/= kutoka vianzio vya ada za leseni za walimu pamoja na uandikishaji wa skuli za binafsi. Hadi kufikia Mei, 2015, jumla ya TSh. 24,731,000/= ikiwa ni sawa na asilimia 82.4 zimekusanywa na kuwasilishwa Hazina.

MPANGO WA UTEKELEZAJI KWA MWAKA 2015/16 KATIKA MFUMO WA PROGRAMU

141. Mheshimiwa Spika, baada ya kutoa taarifa ya utekelezaji wa bajeti kwa mwaka wa fedha 2014/15 naomba sasa niwasilishe vipaumbele vya Wizara na kisha Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa mwaka 2015/16 katika mfumo wa Programu.

Page 59: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

55

Vipaumbele

142. Mheshimiwa Spika, kwa mwaka 2015/16, vipaumbele vya sekta ya elimu ni:

Kuongeza upatikanaji wa fursa za elimu kwa usawa katika ngazi zote za elimu na mafunzo ya amali;

Kuinua ubora wa elimu na kujenga stadi katika ngazi zote za elimu na mafunzo.

Katika kuchangia utekelezaji wa vipaumbele vya sekta ya elimu, Serikali imechukua hatua zifuatazo:

Michango iliyokuwa ikitolewa na wanafunzi katika ngazi ya elimu ya msingi itafutwa rasmi kuanzia mwezi Julai 2015. Badala yake Serikali itagharimia elimu ya maandalizi na msingi kwa kuzipatia skuli na wanafunzi vifaa vya kusomea na kufundishia kama vile vitabu, chaki, madaftari, gharama za umeme na chakula kwa wanafunzi wa skuli za maandalizi za Serikali;

Ada zinazotozwa kwa ajili ya Mitihani ya Taifa kwa ngazi ya elimu ya msingi na sekondari zitalipwa na Serikali.

Wizara kwa kushirikiana na wadau wote wa

elimu itaandaa Mpango wa Maendeleo ya Elimu wa muda wa miaka 5 kuanzia mwaka 2016/17 hadi 2020/21. Mpango huo utaandaliwa kwa utaratibu wa Maabara. Hatua hio inatokana na kukaribia kumaliza muda kwa Mpango unaotekelezwa wa mwaka 2008 hadi 2016.

Page 60: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

56

143. Mheshimiwa Spika, Naomba sasa, kuwasilisha mpango wa maendeleo ya elimu kwa mwaka 2015/16 unaotumia mfumo wa Programu. MUUNDO WA PROGRAMU

144. Mheshimiwa Spika, Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali ina programu kuu sita nazo ni; Programu ya 1: Elimu ya Maandalizi na Msingi Programu ya 2: Elimu ya Sekondari. Programu ya 3: Elimu ya Juu Programu ya 4: Elimu Mbadala na Mafunzo ya Amali Programu ya 5: Ubora wa Elimu Programu ya 6: Uongozi na Utawala Kila programu imegawika katika programu ndogo ndogo na baadhi ya Programu zina maeneo ya utoaji huduma. Programu kuu zimeelezwa kwa umakini juu ya jina la programu na madhumuni. Kila programu ndogo au eneo la utoaji huduma linaeleza Madhumuni, Matokeo ya muda mfupi, Viashiria na Shabaha za Utekelezaji. Madhumuni yanaundwa kwa kushabihisha matokeo makuu ya programu ambayo yanaunganisha bajeti ya programu na malengo ya sera. Programu zote hizo zinatekeleza lengo la kwanza la MKUZA II kwa Klasta II la kuhakikisha usawa katika kutoa elimu bora inayozingatia jinsia.

MAELEZO YA PROGRAMU 145. Mheshimiwa Spika, yafuatayo ni maelezo ya

programu za Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali, yanayohusisha Madhumuni, Matokeo ya muda mfupi, Viashiria na Shabaha za utekelezaji kwa kila programu.

Page 61: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

57

PROGRAMU YA KWANZA: ELIMU YA MAANDALIZI NA MSINGI

146. Mheshimiwa Spika, Programu hii madhumuni yake ni kumtayarisha mwanafunzi aweze kusoma, kuandika na kuhesabu. Pia programu hii ina madhumuni ya kumtayarisha mtoto kimwili na kiakili kwa ajili ya elimu ya msingi na kumuwezesha mwanafunzi aweze kusoma, kuandika na kuhesabu.

Matokeo ya muda mfupi; Kumtayarisha mtoto kwa ajili ya elimu ya msingi

Kutoa elimu ya msingi. Viashiria vya matokeo;

Uwiyano halisi wa uandikishaji wa wanafunzi katika ngazi ya maandalizi na msingi,

Wastani wa mahudhurio kwa mwaka kijinsia, Uwiyano wa idadi ya walimu kwa nyumba za

wafanyakazi katika maeneo yasiyofikika kirahisi

Uwiyano wa wanafunzi kwa madarasa. Shabaha za utekelezaji;

Kuongeza kiwango halisi cha uandikishaji wanafunzi wa maandalizi kutoka asilimia 20.1 katika mwaka 2014 hadi kufikia asilimia 30.0 ifikapo mwaka 2015

Kuongeza kiwango halisi cha uandikishaji wanafunzi wa msingi kutoka asilimia 81.5 katika mwaka 2014 hadi kufikia asilimia 95.0 ifikapo mwaka 2015.

147. Mheshimiwa Spika, Shughuli za programu hii

zinatekelezwa na Idara ya Elimu ya Maandalizi na

Page 62: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

58

Msingi. Kwa mwaka wa fedha 2015/16, programu hii imepangiwa jumla ya Tsh. 29,261,785,000/= kwa kazi za kawaida na Tsh. 4,879,250,000/= kwa kazi za maendeleo (kati ya fedha za maendeleo 1,000,000,000/= ni mchango wa SMZ)

PROGRAMU YA PILI: ELIMU YA SEKONDARI 148. Mheshimiwa Spika, Programu ya Elimu ya Sekondari

madhumuni yake makubwa ni kumtayarisha mwanafunzi aweze kuendelea na masomo katika ngazi za juu zaidi. Matokeo ya muda mfupi;

Kutoa Elimu ya Sekondari. Viashiria vya matokeo;

Uwiyano wa wanafunzi wanaomaliza elimu ya lazima,

Uwiano halisi wa undikishaji wa wanafunzi katika ngazi ya kidato cha nne na cha sita,

Uwiyano wa idadi ya walimu kwa nyumba za wafanyakazi katika maeneo yasiyofikika kirahisi

Uwiyano wa wanafunzi kwa madarasa. Shabaha za utekelezaji;

Kuongeza kiwango halisi cha uandikishaji wanafunzi kutoka asilimia 38.2 katika mwaka 2014 hadi kufikia asilimia 60.0 ifikapo mwaka 2015.

149. Mheshimiwa Spika, Shughuli za programu hii zinatekelezwa na Idara ya Elimu ya Sekondari. Kwa mwaka wa fedha 2015/2016, programu hii imepangiwa jumla ya Tsh. 20,044,323,000/= kwa kazi za kawaida

Page 63: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

59

na Tsh. 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo ambazo ni mchango wa SMZ. PROGRAMU YA TATU: ELIMU YA JUU

150. Mheshimiwa Spika, Programu hii madhumuni yake ni kutoa elimu itakayomuwezesha muhitimu kujiajiri au kuajiriwa. Programu hii ina programu ndogo moja na maeneo madogo manne ambayo ni:- Programu ndogo ya Mafunzo ya Ualimu

151. Mheshimiwa Spika, programu hii ina madhumuni ya kuwawezesha wanafunzi kuwa wabunifu, wataalamu na wenye uwezo wa kuongoza ili kukuza ubora wa elimu. Matokeo ya muda mfupi;

Elimu ya Diploma ya Ualimu kutolewa Viashiria vya matokeo;

Idadi ya wanafunzi wote walio katika vyuo. Shabaha za Utekelezaji;

Kuongeza kiwango cha asilimia ya walimu wenye sifa kutoka asilimia 94 mwaka 2014 hadi kufikia asilimia 98 mwaka 2015.

152. Mheshimiwa Spika, Shughuli za programu hii zinatekelezwa na Idara ya Mafunzo ya Ualimu. Kwa mwaka wa fedha 2015/16, programu hii imepangiwa jumla ya TSh. 1,215,160,000/= kwa kazi za kawaida.

Page 64: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

60

Huduma ya Elimu ya Juu, Ushauri na Utafiti 153. Mheshimiwa Spika, Huduma hii ina madhumuni ya

kumtayarisha mwanafunzi kuingia katika fani za kitaalamu na ajira.

Matokeo ya muda mfupi;

Kiwango cha elimu ya Stashahada, Shahada ya kwanza, Shahada ya pili na Shahada ya tatu kutolewa.

Viashiria vya matokeo;

Idadi ya wanafunzi wanaomaliza ngazi ya stashahada,

Idadi ya wanafunzi wanaomaliza ngazi ya Stashahada ya uzamili,

Shahada ya kwanza, ya pili na ya tatu, Idadi ya tafiti zinazofanywa.

Shabaha za Utekelezaji;

Kuongeza idadi ya wanafunzi wa Chuo Kikuu kutoka 3,624 mwaka 2014 hadi kufikia 6,000 mwaka 2015

154. Mheshimiwa Spika, Shughuli za Huduma hii zinatekelezwa na Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA). Kwa mwaka wa fedha 2015/16, huduma hii imepangiwa ruzuku ya TSh. 5,207,000,000/= Huduma ya Elimu ya Sayansi na Teknolojia

155. Mheshimiwa Spika, Huduma hii ina madhumuni ya kuimarisha elimu ya sayansi na teknolojia. Matokeo ya muda mfupi;

Ufundishaji na kujifunza Sayansi, Hisabati na Teknolojia

Page 65: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

61

Ufundi kuimarishwa.

Viashiria vya matokeo; Idadi ya wanafunzi wahitimu katika taasisi, Uwiyano wa wanafunzi kwa madarasa.

156. Mheshimiwa Spika, Shughuli za Huduma hii

zinatekelezwa na Taasisi ya Karume ya Sayansi na Teknolojia. Kwa mwaka wa fedha 2015/16, programu hii imepangiwa ruzuku ya Tsh. 976,000,000/=

Huduma ya Mikopo ya Elimu ya Juu

157. Mheshimiwa Spika, Huduma hii ina madhumuni ya kutoa mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya Juu. Matokeo ya muda mfupi;

Mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu kutolewa.

Viashiria vya matokeo;

Idadi ya wanafunzi wanaopokea mikopo Shabaha za Utekelezaji;

Kuongeza utowaji wa mikopo kwa wanafunzi kutoka asilimia 10 mwaka 2014 hadi kufikia asilimia 30 ifikapo mwaka 2015.

Kukusanya angalau asilimia 25 ya mikopo iliyotolewa kwa wanafunzi ifikapo mwaka 2015.

158. Mheshimiwa Spika, Shughuli za huduma hii zinatekelezwa na Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu. Kwa mwaka wa fedha 2015/16, programu hii imepangiwa ruzuku ya Tsh. 8,259,000,000/=.

Page 66: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

62

Huduma ya Uratibu wa Elimu ya Juu 159. Mheshimiwa Spika, Huduma hii ina madhumuni ya

usimamizi na tathmini ya elimu ya juu. Matokeo ya muda mfupi;

Tathmini ya elimu ya juu katika vyuo vinavyotoa elimu ya juu kufanyika.

Viashiria vya matokeo;

Idadi ya wanafunzi wanaoendelea na masomo ya elimu ya juu kijinsia.

160. Mheshimiwa Spika, Shughuli za huduma hii zinatekelezwa na Kitengo cha Uratibu wa Elimu ya juu. Kwa mwaka wa fedha 2015/16, programu hii imepangiwa jumla ya Tsh. 30,000,000,/= kwa kazi za kawaida.

PROGRAMU YA NNE: ELIMU MBADALA NA MAFUNZO YA AMALI

161. Mheshimiwa Spika, Programu hii madhumuni yake ni kutoa elimu ya mafunzo ya amali kwa mwanafuzi kulingana na mahitaji ya soko la ajira. Programu hii ina programu ndogo ndogo mbili kama ifuatavyo;

Programu ndogo ya Mafunzo ya Amali

162. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya kutoa elimu itakayowawezesha vijana kujiajiri ili kujikwamua na umasikini. Matokeo ya muda mfupi;

Mafunzo ya Amali na ufundi kutolewa.

Viashiria vya matokeo; Ukosefu wa ajira kwa vijana kupungua

Page 67: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

63

Idadi ya wanafunzi wanaomaliza mafunzo ya amali kuongezeka.

Shabaha za utekelezaji:

Kupunguza ukosefu wa ajira kwa vijana kutoka kiwango cha asilimia 19.6 kwa mwaka 2009 hadi asilimia 11.4 ifikapo mwaka 2015

163. Mheshimiwa Spika, Shughuli za programu hii zinatekelezwa na Mamlaka ya Mafunzo ya Amali. Kwa mwaka wa fedha 2015/16, Mamlaka imetengewa ruzuku ya TSh. 1,356,000,000/= kwa kazi za kawaida. Programu ndogo ya Elimu Mbadala na Watu Wazima

164. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya kupunguza kiwango cha kutojua kusoma, kuandika na kuhesabu miongoni mwa wanajamii. Matokeo ya muda mfupi;

Elimu mbadala na ya watu wazima kutolewa.

Viashiria vya matokeo; Kiwango cha kujua kusoma, kuandika na

kuhesabu kwa watu wazima,

Idadi ya watu wazima wanaoshiriki katika madarasa ya wanakisomo,

Idadi ya vijana waliojiunga na madarasa na vituo vya elimu mbadala.

Shabaha za Utekelezaji;

Kuongeza kiwango cha kujua kusoma na kuandika kutoka Asilimia 75.8 mwaka 2005 hadi kufikia asilimia 90 ifikapo mwaka 2015.

Page 68: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

64

165. Mheshimiwa Spika, Shughuli za programu hii

zinatekelezwa na Idara ya Elimu Mbadala na Watu Wazima. Kwa mwaka wa fedha 2015/16, programu hii imetengewa jumla ya Tsh. 788,969,000/= kwa kazi za kawaida na TSh. 18,019,250,000/= kwa kazi za maendeleo (kati ya fedha za maendeleo TSh. 500,000,000/= ni mchango wa SMZ).

PROGRAMU YA TANO: UBORA WA ELIMU

166. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya kutoa elimu bora kwa ngazi zote za elimu, ina programu ndogo ndogo tatu na maeneo matano ya kutoa huduma kama yafuatayo;

Huduma ya Mitaala na Vifaa vya Kufundishia

167. Mheshimiwa Spika, Huduma hii ina madhumuni ya kutayarisha mitaala ya elimu na vifaa vya kufundishia na kujifunzia kwa ngazi za maandalizi, msingi, sekondari na mafunzo ya Ualimu. Matokeo ya muda mfupi;

Mitaala ya Elimu na vifaa vya kufundishia na kujifunzia kwa ngazi zote kutayarishwa.

Viashiria vya matokeo; Idadi ya Mitaala na vifaa vya kufundishia na

kujifunzia kwa ngazi zote kutayarishwa.

168. Mheshimiwa Spika, Shughuli za utowaji wa huduma hii zinatekelezwa na Taasisi ya Elimu Zanzibar. Kwa mwaka wa fedha 2015/2016, Taasisi imetengewa ruzuku ya TSh. 87,880,000/= kwa kazi za kawaida.

Page 69: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

65

Huduma ya Upimaji na Tathmini ya Elimu 169. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya

kupima na kutathmini utekelezaji wa utoaji wa elimu. Matokeo ya muda mfupi;

Malengo ya elimu kupimwa. Viashiria vya matokeo;

Asilimia ya walimu wenye sifa Asilimia ya wanafunzi na kiwango cha mpito

katika ngazi za darasa la sita, kidato cha pili, kidato cha nne na cha sita kupimwa.

Shabaha za Utekelezaji;

Kuongeza kiwango cha asilimia ya walimu wenye sifa kutoka asilimia 94 mwaka 2009 hadi kufikia asilimia 98 mwaka 2015 katika ngazi zote za elimu.

Kiwango cha mpito kutoka kidato cha pili kwenda cha tatu kuongezeka kutoka asilimia 58.2 mwaka 2010 hadi kufikia asilimia 70 ifikapo mwaka 2015.

Kiwango cha mpito kutoka kidato cha nne kwenda cha tano kuongezeka kutoka asilimia 23.3 mwaka 2009 hadi asilimia 50 ifikapo mwaka 2015.

170. Mheshimiwa Spika, Shughuli za programu hii zinatekelezwa na Baraza la Mitihani la Zanzibar. Kwa mwaka wa fedha 2015/16, programu hii imepangiwa ruzuku ya Tsh. 1,508,000,000/=.

Page 70: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

66

Huduma ya Ukaguzi wa Elimu 171. Mheshimiwa Spika, utoaji wa huduma hii una

madhumuni ya kusimamia utoaji wa elimu unaofuata mtaala na kuhakikisha ufanisi na ubora wa elimu. Viashiria vya matokeo;

Idadi ya skuli zilizokaguliwa Idadi ya ripoti za ukaguzi

172. Mheshimiwa Spika, Shughuli za huduma hii

zinatekelezwa na Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Elimu. Kwa mwaka wa fedha 2015/16, programu hii imepangiwa ruzuku ya Tsh. 106,000,000/= kwa kazi za kawaida.

Programu ndogo ya Elimu Mjumuisho na Stadi za Maisha

173. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya kutoa elimu kwa wote wakiwemo watoto wenye mahitaji maalum. Matokeo ya muda mfupi;

Vifaa vya kufundishia na kujifunzia kwa watoto wenye mahitaji maalum kutolewa

Viashiria vya matokeo;

Idadi ya wanafunzi na walimu katika Elimu Mjumuisho.

174. Mheshimiwa Spika, Shughuli za programu hii

zinatekelezwa na Kitengo cha Elimu Mjumuisho na Stadi za Maisha. Kwa mwaka wa fedha 2015/16, Kitengo kimepangiwa kutumia jumla ya Tsh 60,000,000,/= kwa kazi za kawaida.

Page 71: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

67

Huduma za Maktaba 175. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya

kutoa fursa ya kutumia vitabu na vyanzo vyengine vya taaluma kwa wananchi. Matokeo ya muda mfupi;

Kutoa nafasi kwa wanafunzi na watu wengine ya kupata taarifa mbalimbali kupitia maktaba.

Viashiria vya matokeo;

Idadi ya watu wanaotumia maktaba Idadi ya vitabu, CDs, magazeti na majarida

yaliyopo katika maktaba. Idadi ya skuli zilizokuwa na maktaba kamili.

176. Mheshimiwa Spika, Shughuli za huduma hii

zinatekelezwa na Shirika la Huduma za Maktaba Zanzibar. Kwa mwaka wa fedha 2015/16, programu hii imepangiwa kutumia ruzuku ya Tsh 365,000,000/= kwa kazi za kawaida. Programu ndogo ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (ICT)

177. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya kuifanya teknolojia ya habari na mawasiliano itumike katika kujifunza, kufundisha na ngazi ya utawala na katika maisha ya kila siku. Matokeo ya muda mfupi;

Walimu wanapatiwa mafunzo juu ya matumizi ya Teknolojia ya kisasa.

Viashiria vya utekelezaji;

Page 72: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

68

Idadi ya walimu wenye ujuzi wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano,

Idadi ya vifaa vya Teknolojia ya Habari na mawasiliano katika skuli na Wizara

Idadi ya Taasisi za elimu zilizounganishwa na mkonga wa Taifa.

Mafunzo ya matumizi ya kompyuta kutolewa kuanzia katika skuli za msingi.

178. Mheshimiwa Spika, Shughuli za programu hii

zinatekelezwa na Idara ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano Katika Elimu. Katika mwaka wa fedha 2015/16, programu hii imepangiwa kutumia jumla ya Tsh 387,600,000/= kwa kazi za kawaida.

Huduma ya Urajisi wa Elimu

179. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya kuhakikisha Sheria, Sera na taratibu za Wizara zinafuatwa. Pia kutoa leseni kwa walimu na kusajili skuli za Serikali na za binafsi. Matokeo ya muda mfupi;

Skuli za serikali na binafsi zenye viwango bora kusajiliwa

Leseni za walimu kutolewa.

Viashiria vya matokeo;

Idadi ya leseni za walimu Idadi ya skuli zilizosajiliwa Sheria ya Elimu inapitiwa na kurekebishwa.

180. Mheshimiwa Spika, Shughuli za utowaji wa huduma

hii zinatekelezwa na Ofisi ya Mrajisi wa Elimu. Kwa mwaka wa fedha 2015/16, programu hii imepangiwa

Page 73: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

69

kutumia jumla ya TSh. 47,000,000/= kwa kazi za kawaida. Programu ndogo ya Michezo na Utamaduni katika Skuli

181. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya kumuandaa mwanafunzi kimwili, kiafya na kiakili katika kujifunza kwa kupitia michezo. Matokeo ya muda mfupi;

Kuinua taaluma ya michezo katika skuli.

Viashiria vya matokeo; Idadi ya walimu wenye taaluma ya michezo, Idadi ya viwanja vya michezo kwa watoto

Idadi ya vifaa vya michezo kwa wanafunzi

182. Mheshimiwa Spika, Shughuli za programu hii zinatekelezwa na Idara ya Michezo na Utamaduni katika skuli. Kwa mwaka wa fedha 2015/16, programu hii imepangiwa kutumia jumla ya Tsh 271,022,000/= kwa kazi za kawaida.

PROGRAMU YA SITA: UTAWALA NA UONGOZI 183. Mheshimiwa Spika, programu hii madhumini yake

makubwa ni kuhakikisha nyenzo zilizo bora zinapatikana na zinatumika kwa kuimarisha utoaji wa elimu. Programu hii ina programu ndogo mbili kama ifuatavyo:-

Programu ndogo ya Uongozi kiujumla

184. Mheshimiwa Spika, programu hii ina madhumuni ya kutoa ufanisi wa Uongozi na utawala wa rasilimali za Wizara.

Page 74: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

70

Matokeo ya muda mfupi;

Kupatikana kwa Ufanisi wa Uongozi na Utawala wa Rasilimali za Wizara.

Viashiria vya matokeo; Idadi ya wafanyakazi wanaoajiriwa na kustaafu,

Mafunzo yanayotolewa kwa wafanyakazi.

Shabaha za Utekelezaji; Kukuza ufanisi katika kutoa huduma kwa

wafanyakazi na upatikanaji wa nyenzo za kufanyia kazi.

185. Mheshimiwa Spika, Shughuli za programu hii zinatekelezwa na Idara ya Utumishi na Uendeshaji. Kwa mwaka wa fedha 2015/16, programu hii imepangiwa kutumia jumla ya TSh. 2,187,521,000/= kwa kazi za kawaida.

Programu ndogo ya Uratibu wa Shughuli za Mipango, Sera na Utafiti

186. Mheshimiwa spika, programu hii ina madhumuni ya kufanikisha na kuratibu Mipango, Sera na Utafiti katika Wizara. Matokeo ya muda mfupi; Kupatikana kwa sera na mipango ya Wizara, kufanya utafiti, na kufanya ufuatiliaji na tathmini.

Viashiria vya matokeo;

Page 75: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

71

Idadi za tafiti zilizofanywa pamoja Ripoti za utekelezaji na ripoti za tathmini.

187. Mheshimiwa Spika, Shughuli za programu hii

zinatekelezwa na Idara ya Sera, Mipango na Utafiti. Kwa mwaka wa fedha 2015/16, programu hii imepangiwa kutumia jumla ya TSh. 2,269,916,000/= kwa kazi za kawaida. Programu ndogo ya kuratibu shughuli za elimu Pemba

188. Mheshimiwa Spika, programu hii ina madhumuni ya kuratibu na kusimamia shughuli zote za elimu kwa upande wa Pemba. Matokeo ya muda mfupi na shabaha za utekelezaji zinazotumika ni kama zile zilizoelezwa katika programu za hapo juu.

189. Mheshimiwa Spika, msimamizi wa shughuli za programu hii ni Afisa Mdhamini wa Wizara yangu kupitia katika Divisheni ya Idara ya Uendeshaji na Utumishi Pemba.

190. Mheshimiwa Spika, kwa mwaka wa fedha 2015/16, programu hii imepangiwa kutumia jumla ya Tsh. 22,427,724,000/= kwa kazi za kawaida. MGAWANYO WA FEDHA KWA PROGRAMU

191. Mheshimiwa Spika, Sehemu hii inaonesha mgawanyo wa fedha kwa Programu za Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali yenye kuzingatia gharama za Idara/Vitengo/Taasisi zilizomo katika programu husika.

Page 76: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

72

Programu 1: ELIMU YA MAANDALIZI NA MSINGI Idara Husika: Idara ya Elimu ya Maandalizi na Msingi

Gharama za Programu: Jumla ya shilingi 34,141,035,000/= zimepangwa kwa ajili ya kufanikisha programu hii. Kati ya fedha hizo, shilingi 29,261,785,000/= ni kwa kazi za kawaida na shilingi 4,879,250,000/= kwa kazi za maendeleo.

Programu 2: ELIMU YA SEKONDARI Idara Husika: Idara ya Elimu ya Sekondari Gharama za Programu: Jumla ya shilingi 21,044,323,000/= zimepangwa kwa ajili ya kufanikisha programu hii. Kati ya fedha hizo, shilingi 20,044,323,000/= ni kwa kazi za kawaida na shilingi 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo. Programu 3: ELIMU YA JUU Taasisi Husika: Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA), Taasisi ya Karume ya Sayansi na Teknolojia, Mafunzo ya Ualimu, Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu na Kitengo cha Uratibu wa Elimu wa Juu. Gharama za Programu: Jumla ya shilingi 15,685,160,000/= zimepangwa kwa kufanikisha programu hii kwa kazi za kawaida.

Page 77: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

73

Program 4: ELIMU MBADALA NA MAFUNZO YA AMALI Idara Husika: Mamlaka ya mafunzo ya Amali pamoja na Idara ya Elimu Mbadala na Watu Wazima. Gharama za Programu: Jumla ya shilingi 20,164,219,000/= zimepangwa kwa ajili ya kufanikisha programu hii. Kati ya fedha hizo, shilingi 2,144,969,000/= ni kwa kazi za kawaida na shilingi 18,019,250,000/= kwa kazi za maendeleo

Program 5: UBORA WA ELIMU Idara Husika: Taasisi ya Elimu Zanzibar, Baraza la Mitihani la Zanzibar, Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Elimu, Kitengo cha Elimu Mjumuisho na Stadi za Maisha, Shirika la Huduma za Maktaba Zanzibar, Idara ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano Katika Elimu, Ofisi ya Mrajisi wa Elimu, Idara ya Michezo na Utamaduni Katika Skuli. Gharama za Programu: Jumla ya shilingi 2,806,502,000/= zimepangwa kwa ajili ya kufanikisha programu hii kwa kazi za kawaida. Program 6: UONGOZI NA UTAWALA Idara Husika: Idara ya Utumishi na Uendeshaji na Idara ya Mipango Sera na Utafiti.

Gharama za Programu: Jumla ya shilingi 26,885,161,000/= zimepangwa kwa ajili ya kufanikisha programu hii kwa kazi za kawaida.

Page 78: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

74

192. Mheshimiwa Spika, mapato ya Wizara ya Elimu na

Mafunzo ya Amali yanatokana na utoaji wa leseni za walimu nausajili wa skuli binafsi. Kwa mwaka wafedha 2015/16 Wizara yangu inakusudia kukusanya Tsh. 24,713,000/=. JUMLA YA GHARAMA ZA WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI

193. Mheshimiwa Spika, gharama kwa programu zote sita za Wizara ni shilingi 120,726,400,000/=, sawa na bajeti yote ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali inayotumia programu iliyoainishwa Barazani. Kati ya fedha hizo, 96,827,900,000/= zimetengwa kwa kazi za kawaida na 23,898,500,000/= kwa kazi za maendeleo. Kati ya fedha za maendeleo, shilingi 2,900,000,000/= ni mchango wa SMZ na Shilingi 20,998,500,000/= ni mchango wa Wahisani. SHUKRANI

194. Mheshimiwa Spika, napenda kuchukua fursa hii kutoa shukurani za dhati kwa washirika wote wa sekta ya elimu wakiwemo wananchi, washirika wa maendeleo na mashirika ya misaada ya kimataifa kwa kutunga mkono katika jitihada zetu za kuendeleza elimu. Tunatoa shukurani zetu za pekee kwa Serikali ya Sweden, Marekani, Oman na Serikali ya Watu wa China, India na Misri. Pia, napenda kuyashukuru mashirika mbali mbali yakiwemo, Sida, USAID, UNESCO, UNICEF, ILO, VSO, OPEC Fund, GPE na Partnership for Child Development kupitia Imperial College of Science and Technology (UK). Pia shukurani zetu za dhati kwa Aga Khan Foundation, Benki ya Dunia, Benki ya Kiarabu kwa Maendeleo ya Afrika na

Page 79: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

75

Benki ya Maendeleo ya Afrika. Napenda pia, kuyashukuru mashirika yasio ya kiserikali yakiwemo Milele Zanzibar Foundation, ZAYADESA, NFU, FAWE, Save the Children Fund, Book Aid International na ZAPDD. Vile Vile napenda kuyashukuru makampuni na mashirika mbali mbali ya kifedha kama vile ZTE, Benki ya watu wa Zanzibar, CRDB, NBC, Postal Bank, ZANTEL, Tigo kwa misaada yao kwa sekta ya elimu.

195. Mwisho, napenda kutoa shukrani zangu kwa viongozi wenzangu kuanzia wewe Mheshimiwa Spika na wajumbe wa Baraza lako Tukufu kwa ushirikiano mkubwa walionipa na kwa namna watakavyoichangia hotuba yangu hii. Nasema ahsanteni sana. Pia napenda kuwashukuru wananchi wa Jimbo la Donge kwa kunipa heshima ya kuwatumikia na ushirikiano mkubwa walionipa katika utekelezaji wa majukumu yangu ya jimbo na ya kitaifa.

196. Mheshimiwa Spika, sasa naliomba Baraza lako Tukufu liidhinishe makadirio ya matumizi ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali ya jumla ya Shilingi 120,726,400,000/= kwa mwaka wa fedha 2015/16, ili kuiwezesha Wizara kutekeleza majukumu yake.

Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja.

Page 80: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

76

KIAMBATISHO

(Takwimu za Maendeleo ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali

kwa kipindi cha 2010 – 2015 na Hali halisi ya Elimu na Mafunzo

Amali Mwaka 2014/15)

Page 81: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

77

JADWELI NAM. 1

2014 SERIKALI BINAFSI JUMLA

SKULI ZA MAANDALIZI 242 253 278 279 31 246 277

SKULI ZA MSINGI (DAR I - VII) 200 194 234 250 200 60 260

SKULI ZA MSINGI/KATI 'A' (DAR I - KID 2) 48 58 50 50 45 4 49

SKULI ZA MSINGI/KATI 'B' (DAR I - KID 4) 64 73 57 57 28 29 57

SKULI ZA MSINGI/SEKOND.(DAR I - KID 6) 9 6 3 2 0 4 4

SKULI ZA KATI 'A' FORM 1 - FORM 2 3 2 1 2 3 1 4

SKULI ZA SEKOND. FORM 1 - FORM 4 89 93 104 107 111 11 122

SKULI ZA SEKOND. YA JUU (FORM 1 - 6) 14 12 19 13 9 2 11

SKULI ZA MCHEPUO WA KIFARANSA 1 1 1 1 1 0 1

SKULI ZA MCHEPUO WA UFUNDI 3 3 3 3 2 1 3

SKULI ZA MCHEPUO WA BIASHARA 2 2 2 4 1 0 1

SKULI ZA MCHEPUO WA KIISLAMU 2 2 2 2 2 0 2

SKULI ZA MCHEPUO WA SAYANSI JAMII 2 3 3 5 2 1 3

SKULI ZA MCHEPUO WA SAYANSI 1 1 4 8 4 0 4

SKULI ZA MCHEPUO WA KOMPYUTA 2 2 3 2 1 0 1

VITUO VYA MAFUNZO YA AMALI 3 3 3 3 3 0 3

VYUO VYA UALIMU 1 3 3 3 3 0 3

TAASISI YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA 1 1 1 1 1 0 1

CHUO KIKUU CHA TAIFA Z'BAR (SUZA) 1 1 1 1 1 0 1

CHUO CHA ELIMU CHUKWANI 1 1 1 1 0 1 1

CHUO KIKUU CHA ZANZIBAR 1 1 1 1 0 1 1

JUMLA 690 715 774 795 448 361 809Mwezi wa kigezo: Machi.

2015

UKUAJI WA IDADI NA AINA ZA VITUO VYA ELIMU VILIVYOSAJILIWA, 2011- 2015

AINA ZA VITUO 2012 20132011

Page 82: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

78

Page 83: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

79

Page 84: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

80

Page 85: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

81

JADWELI NAM. 3

WAS J'LA WAS J'LA WAS J'LA WAS J'LA WAS J'LA WAS J'LA WAS J'LA WAS J'LA

Darasa I 20097 41263 20320 41366 21104 42862 21129 42848 19311 39362 2417 4827 21728 44189 1.97 1.73

Darasa II 18180 36675 18838 38167 19804 39987 20343 40996 18324 37119 2040 4197 20364 41316 2.88 3.02

Darasa III 17268 34930 17516 35053 18529 37120 19484 38867 18258 36577 1825 3557 20083 40134 3.85 3.53

Darasa IV 17106 34539 16720 33518 17383 34121 18121 36245 17575 35114 1564 3104 19139 38218 2.85 2.56

Darasa V 16650 32507 16597 32989 16378 32792 16581 32370 16947 33535 1326 2558 18273 36093 2.35 2.65

Darasa VI 14774 29608 16293 32100 16164 32034 16236 32461 14665 27619 1130 2174 15795 29793 1.68 0.16

Darasa VII 14547 28168 13592 26234 14930 28437 15094 29151 15070 29948 774 1521 15844 31469 2.16 2.81

Kid. I (Michepuo) 610 1105 532 1014 545 1146 722 1465 657 1275 21 21 678 1296 2.68 4.07

Kid I (Wengine) 13606 25810 13531 26307 13109 25327 14286 27032 13718 26509 1065 2046 14783 28555 2.10 2.56

Kid.2 (Michepuo) 393 791 596 1096 576 1084 688 1532 634 1331 20 20 654 1351 13.58 14.32

Kid. 2 (Wengine) 11784 22228 12335 22691 12286 22420 11799 21880 12267 22607 944 1714 13211 24321 2.90 2.28

Kid. 3 (Michepuo) 442 919 443 1525 612 1104 553 1075 570 1227 18 32 588 1259 7.40 8.19

Kid. 3 (Wengine) 7490 13293 6710 12497 7545 12904 7622 13293 6643 11906 876 1628 7519 13534 0.10 0.45

Kid. 4 (Michepuo) 431 928 476 956 366 736 489 909 532 1016 21 21 553 1037 6.43 2.82

Kid. 4 (Wengine) 6884 12597 7181 12757 6594 11985 7385 12476 6501 11362 856 1496 7357 12858 1.68 0.51

Kid 5 na NTA 4 1187 2288 791 1595 650 1265 747 1794 977 1874 135 190 1112 2064 -1.62 -2.54

NTA 5 8 63 20 87 22 103 16 85 16 83 0 0 16 83 18.92 7.14

Kid 6 na NTA 6 979 1953 1068 2181 51 147 603 1213 346 733 62 82 408 815 -19.65 -19.63

Jumla 162436 319665 163559 322133 166648 325574 171898 335692 163011 319197 15094 29188 178105 348385 2.33 2.17

2015

20132012 JUMLA

UKUAJI WA IDADI YA WANAFUNZI KATIKA MADARASA, 2011 - 2015

MADARASASERIKALI BINAFSI2011 2014

ONGEZEKO

KWA MWAKA (%)

Page 86: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

82

JADWELI NAM. 4

WALIOSOMEA WASIOSOMEA JUMLA % WASIOSOMEA WALIOSOMEA WASIOSOMEA JUMLA %WASIOSOMEA WALIOSOMEA WASIOSOMEA JUMLA %WASIOSOMEA

2011 9939 574 10513 5.5 827 382 1209 31.6 10766 956 11722 8.2

2012 8645 496 9141 5.4 831 364 1195 30.5 9476 860 10336 8.3

2013 9503 391 9894 4.0 1178 346 1524 22.7 10681 737 11418 6.5

2014 9832 129 9961 1.3 1225 407 1632 24.9 11057 536 11593 4.6

2015 9942 89 10031 0.9 1441 354 1795 19.7 11383 443 11826 3.7

Takwimu hizi hazijumuishi Walimu wa Chuo cha Karume na Skuli za Maandalizi

UKUAJI WA IDADI YA WALIMU KATIKA NGAZI YA MSINGI NA SEKONDARI

JUMLA

(DARASA LA 1 - KIDATO 6) 2011 - 2015 SKULI ZA SERIKALI NA BINAFSI

MWAKA

SKULI ZA BINAFSISKULI ZA SERIKALI

Page 87: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

83

JADWELI NAM. 5

IDADI YA IDADI YA W'FUNZI KWA IDADI YA IDADI YA W'FUNZI KWA IDADI YA IDADI YA W'FUNZI KWA

WANAFUNZI WALIMU WALIMU WANAFUNZI WALIMU WALIMU WANAFUNZI WALIMU WALIMU

2011 298,927 10513 28 20616 1209 17 319,543 11,722 27

2012 273,162 9141 30 20175 1195 17 293,337 10,336 28

2013 277,291 9894 28 20039 1524 13 297,330 11,418 26

2014 282,773 9961 28 22348 1632 14 305,121 11,593 26

2015 318,955 10031 32 29226 1795 16 348,181 11,826 29

UKUAJI WA WANAFUNZI NA WALIMU (PUPIL TEACHER RATIO)

KATIKA NGAZI YA MSINGI NA KATI (DAR. 1 - KID. 6) 2011- 2015

SKULI ZA SERIKALI NA BINAFSI

MWAKA

SKULI ZA SERIKALI SKULI ZA BINAFSI JUMLA

Page 88: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

84

JADWELI NAM. 6a(i)

WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA

2010 8800 11055 19855 4889 6673 11562 55.6 60.4 58.2

2011 9119 10547 19666 4975 6066 11041 54.6 57.5 56.1

2012 8644 11035 19679 4427 6768 11195 51.2 61.3 56.9

2013 8662 10660 19322 4805 6678 11483 55.5 62.6 59.4

2014 10119 11825 21944 6373 8011 14384 62.9 67.7 65.5

MATOKEO YA MITIHANI WA KIDATO CHA 2, 2010- 2014

MWAKA

WATAHINIWA WALIOFAULU KIMA CHA KUFAULU (%)

Page 89: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

85

JADWELI NAM 6a(ii)

NAFASI 2010 2011 2012 2013 2014

1 Kusini Mjini Micheweni Kaskazini B Mjini

2 Mjini Magharibi Kaskazini 'B' Mjini Magharibi

3 Wete Kati Chake chake Mkoani Chake Chake

4 Micheweni Kusini Mkoani Micheweni Micheweni

5 Magharibi Kaskazini 'B' Kati Wete Wete

6 Chake - Chake Micheweni Magharibi Chake chake Kati

7 Kati Wete Mjini Kati Mkoani

8 Mkoani Chake chake Kusini Kusini Kaskazini A

9 Kaskazini 'A' Kaskazini 'A' Wete Kaskazini A Kusini

10 Kaskazini 'B' Mkoani Kaskazini 'A' Magharibi Kaskazini B

NAFASI ZA WILAYA KATIKA MATOKEO YA MTIHANI

WA KIDATO CHA PILI (2010 - 2014)

Page 90: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

86

JADWELI NAM. 6a(iii)

NAFASI 2010 2011 2012 2013 2014

1 Kajengwa Mwanakwerekwe "B" Mtoni Madungu Sekondari Madungu 'A' Sek.

2 Kiuyu Nyerere Msuka Upenja Chambani

3 Maungani Michakaini Kiuyu Muembe Makumbi Kisiwani

4 Charawe Kinuni M/Makumbi Piki Jendele

5 Chukwani Kijitoupele Upenja Kusini Makangale

6 Mwanakwerekwe 'B' Kibeni Mwanakwerekwe 'B' Mwambe Jongowe

7 Darajani Chokocho Mfenesini Jongowe Muyuni

8 Kinuni Muembemakumbi Kiwengwa Matemwe Vikunguni

9 Marumbi Pwani Mchangani Mgambo Mizingani Cheju

10 Chwaka Kibondeni Michakaini Ukongoroni Mfurumatonga

NAFASI ZA SKULI KUMI BORA KATIKA MATOKEO YA MTIHANI

WA KIDATO CHA PILI (2010 - 2014)

Page 91: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

87

JADWELI NAM. 6(b)(i)

JUMLA JUMLA

DIV.I-IV DIV. I-IV

2010 7658 60 101 737 4609 5507 0.8 1.3 9.6 60.2 71.9

2011 5491 33 62 384 3539 4018 0.6 1.1 7.0 64.5 73.2

2012 5651 17 80 287 2627 3011 0.3 1.4 5.1 46.5 53.3

2013 5542 74 283 637 2587 3581 1.3 5.1 11.5 46.7 64.6

2014 5267 57 326 614 2170 3167 1.08 6.19 11.66 41.20 60.13

MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA 4, 2010- 2014 WAVULANA

WALIOFAULU KIMA CHA KUFAULU (%)

DIV. II DIV. III DIV. IV DIV. IMWAKA DIV. II DIV. III DIV. IVWATAHINIWA DIV. I

Page 92: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

88

JADWELI NAM. 6(b)(ii)

JUMLA JUMLA

DIV. I-IV DIV. I - IV

2010 9372 29 72 599 5995 6695 0.3 0.8 6.4 64.0 71.4

2011 6386 27 45 388 4542 5002 0.4 0.7 6.1 71.1 78.3

2012 7400 28 70 275 3551 3924 0.4 0.9 3.7 48.0 53.0

2013 6662 56 251 652 3570 4529 0.8 3.8 9.8 53.6 68.0

2014 7545 52 301 681 3512 4546 0.69 3.99 9.03 46.55 60.25

MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA 4, 2010 - 2014. WASICHANA

WALIOFAULU KIMA CHA KUFAULU (%)

MWAKA WATAHINIWA DIV.I DIV.II DIV.III DIV.IV DIV. IVDIV. I DIV. II DIV. III

Page 93: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

89

JADWELI NAM. 6(b)(iii)

JUMLA JUMLA

DIV. I - IV DIV. I - IV

2010 17030 89 173 1336 10604 12202 0.5 1.0 7.8 62.3 71.7

2011 11877 60 107 772 8081 9020 0.5 0.9 6.5 68.0 75.9

2012 13051 45 150 562 6178 6935 0.3 1.1 4.3 47.3 53.1

2013 12204 130 534 1289 6157 8110 1.1 4.4 10.6 50.5 66.5

2014 12812 109 627 1295 5682 7713 0.85 4.89 10.11 44.35 60.2

DIV.I DIV.II DIV. III DIV. IVDIV. III DIV. IV DIV. I DIV. II

MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA 4, 2010 - 2014

JUMLA YA WAVULANA NA WASICHANA

WALIOFAULU KIMA CHA KUFAULU (%)

MWAKA WATAHINIWA

Page 94: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

90

JADWELI NAM. 6(c)(i)

JUMLA JUMLA

DIV. I - IV DIV. I - IV

2009/10 1190 34 100 630 245 1009 2.9 8.4 52.9 20.6 84.8

2010/11 1041 14 68 455 254 791 1.3 6.5 43.7 24.4 76.0

2011/12 898 9 32 409 211 661 1.0 3.6 45.5 23.5 73.6

2012/13 1010 1 20 529 222 772 0.1 2.0 52.4 22.0 76.4

2013/14 586 26 98 295 129 548 4.44 16.72 50.34 22.01 93.52

MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA 6, 2009/10 - 2013/14 WAVULANA

KIMA CHA KUFAULU U(%)WALIOFAULU

MWAKA WATAHINIWA DIV.I DIV. II DIV. III DIV. IVDIV.IV DIV.I DIV. II DIV. III

Page 95: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

91

JADWELI NAM. 6(c)(ii)

JUMLA JUMLA

DIV. I - IV DIV. I - IV

2009/10 1118 7 89 609 234 939 0.6 8.0 54.5 20.9 84.0

2010/11 918 10 50 435 231 726 1.1 5.4 47.4 25.2 79.1

2011/12 915 8 55 400 217 680 0.9 6.0 43.7 23.7 74.3

2012/13 1057 0 20 595 249 864 0.0 1.9 56.3 23.6 81.7

2013/14 573 25 96 334 104 559 4.36 16.75 58.29 18.15 97.56

MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA 6, 2010/11 - 2014/15 WASICHANA

WALIOFAULU KIMA CHA KUFAULU (%)

MWAKA WATAHINIWA DIV. I DIV. II DIV. III DIV. IVDIV. IV DIV. I DIV. II DIV. III

Page 96: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

92

JADWELI NAM. 6(c)(iii)

JUMLA JUMLA

DIV. I - IV DIV. I - IV

2009/10 2308 41 189 1239 479 1948 1.8 8.2 53.7 20.8 84.4

2010/11 1959 24 118 890 485 1517 1.2 6.0 45.4 24.8 77.4

2011/12 1813 17 87 809 428 1341 0.9 4.8 44.6 23.6 74.0

2012/13 2067 1 40 1124 471 1636 0.05 1.9 54.4 22.8 79.1

2013/14 1159 51 194 629 233 1107 4.4 16.7 54.3 20.1 95.5

DIV. I DIV. II DIV. III DIV. IVDIV. III DIV.IV DIV.I DIV. II

MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA 6, 20110/11 - 2014/15

WALIOFAULU KIMA CHA KUFAULU (%)

JUMLA YA WAVULANA NA WASICHANA

MWAKA WATAHINIWA

Page 97: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

93

JADWELI NAM. 6(d)

WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA

17 624 7

144 23914 38

(23.5%`) (11.3%`) (9.7%`) (15.9%`)

9 427 24

55 10110 22

77.8% 57.1% 9.9% 21.8%

12 59 0 0

80.0% 84.3% 0 0

10 11 145 196

19.6% 16.9% 71.4% 75%

17 69 161 219

85.0% 84.1% 75.6% 79%

MATOKEO YA MITIHANI MINGINE YA TAIFA YA TANZANIA 2009/10 - 2013/14

MWAKA

WATAHINIWA

FTC / DIPLOMA YA UFUNDI NTA 6

WALIOFAULU

15

20010/11

0

WALIOFAULUWATAHINIWA

UALIMU DIPLOMA

70

2009/10

020011/12

260

2013/14

20 82 213 276

2012/13

51 65 203

Page 98: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

94

JADWELI NAM. 7

W'FANYA W'FAULU % W'FANYA W'FAULU % W'FANYA W'FAULU % W'FANYA W'FAULU % W'FANYA W'FAULU %

MJINI 1872 747 39.9 2182 1305 59.8 1705 300 17.6 1321 517 39.1 1321 517 39.14

MAGHARIBI 2416 1194 49.4 3351 2013 60.1 4265 883 20.7 1136 475 41.8 1127 475 42.15

KASKAZINI 'A' 842 404 48.0 1030 619 60.1 1113 174 15.6 405 177 43.7 405 177 43.70

KASKAZINI 'B' 315 159 50.5 477 341 71.5 329 40 12.2 129 48 37.2 129 48 37.21

KATI 894 611 68.3 1513 1189 78.6 1136 106 9.3 370 142 38.4 370 142 38.38

KUSINI 337 182 54.0 523 380 72.7 390 37 9.5 142 61 43.0 142 61 42.96

MICHEWENI 477 186 39.0 436 299 68.6 538 63 11.7 185 72 38.9 185 72 38.92

WETE 822 427 51.9 1030 690 67.0 836 131 15.7 470 210 44.7 470 210 44.68

CHAKE CHAKE 729 310 42.5 667 333 49.9 610 121 19.8 337 121 35.9 337 121 35.91

MKOANI 679 295 43.4 649 404 62.2 474 80 16.9 172 68 39.5 172 68 39.53

ZANZINBAR 9383 4515 48.1 11858 7573 63.9 11396 1935 17.0 4667 1891 40.5 4658 1891 40.60

2011 20122010

WILAYA

2014

MATOKEO YA MTIHANI KWA WATAHINIWA WA FARAGHA KIDATO

CHA 4 VITUO VYA ZANZIBAR, 2010 - 2014

2013

Page 99: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

95

JADWELI NAM. 8

2013/2014

WATAHIN

IWA

WALIO

FAULU

KIMA C

HA

KUFAULU (%)

2012/2013

WATAHIN

IWA

WALIO

FAULU

KIMA C

HA

KUFAULU (%)

WATAHIN

IWA

WALIO

FAULU

WALIO

FAULU

KIMA C

HA

KUFAULU (%)

WATAHIN

IWA

WALIO

FAULU

MATOKEO YA MTIHANI KWA WATAHINIWA WA FARAGHA,

KIDATO CHA 6, VITUO VYA ZANZIBAR, 2009/2010 - 2013/2014

JUMLA YA WAVULANA NA WASICHANA

KIMA C

HA

KUFAULU (%)

KIMA C

HA

KUFAULU (%)

WATAHIN

IWA

2010/20112009/2010

KITUO

2011/2012

Lumumba 431 232 53.83 237 133 56.12 131 39 29.77 108 43 39.81 108 43 39.81

F/Castro 36 15 41.67 19 6 31.58 5 2 40.00 8 4 50.00 8 4 50.00

Ben-Bella 81 43 53.09 131 82 62.60 114 22 19.30 104 23 22.12 113 23 20.35

Zanzibar Comm. 81 59 72.84 60 36 60.00 32 8 25.00 15 5 33.33 15 5 33.33

Utaani 42 32 76.19 67 35 52.24 47 25 53.19 32 13 40.63 32 13 40.63

Shamiani 137 88 64.23 91 63 69.23 61 19 31.15 41 11 26.83 41 11 26.83

Pemba Islamic 134 93 69.40 70 33 47.14 25 9 36.00 19 4 21.05 17 16 94.12

Hamamni 187 121 64.71 73 40 54.79 31 8 25.81 14 4 28.57 14 4 28.57

Tumekuja 35 16 45.71 0 0 0.00 0 0 #DIV/0! 0 0 #DIV/0! 0 0 #DIV/0!

SOS 0 0 0.00 0 0 0.00 0 0 #DIV/0! 0 0 #DIV/0! 0 0 #DIV/0!

Uweleni 86 48 55.81 59 21 35.59 39 8 20.51 23 6 26.09 23 6 26.09

CCK 220 150 68.18 130 70 53.85 98 24 24.49 36 8 22.22 33 8 24.24

WATAHIN

IWA

WALIO

FAULU

KIMA C

HA

KUFAULU (%)

WATAHIN

IWA

WALIO

FAULU

KIMA C

HA

KUFAULU (%)

WATAHIN

IWA

WALIO

FAULU

WALIO

FAULU

KIMA C

HA

KUFAULU (%)

WATAHIN

IWA

WALIO

FAULU

KIMA C

HA

KUFAULU (%)

KIMA C

HA

KUFAULU (%)

WATAHIN

IWA

KITUO

Page 100: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

96

JADWELI NAM.8 Inaendelea

Kiponda 43 26 60.47 34 17 50.00 35 15 42.86 31 11 35.48 31 11 35.48

Al - Falah 88 62 70.45 75 32 42.67 23 8 34.78 14 8 57.14 14 8 57.14

Nyuki JWTZ 28 18 64.29 35 20 57.14 14 7 50.00 12 7 58.33 12 7 58.33

Mbarali 2 1 50.00 35 17 48.57 39 8 20.51 14 1 7.14 14 1 7.14

Mkwajuni 30 20 66.67 33 19 57.58 36 12 33.33 25 5 20.00 24 5 20.83

M/kwe 'C' 35 25 71.43 107 54 50.47 79 13 16.46 55 17 30.91 55 17 30.91

Philter F.School 30 19 63.33 41 11 26.83 39 10 25.64 0 0 0.00 0 0 #DIV/0!

TAKILUKI 31 23 74.19 0 0 0.00 0 0 0.00 0 0 0.00 0 0 #DIV/0!

AL HARAMAIN 0 0 0.0 85 53 62.35 62 38 61.29 45 24 53.33 0 0 #DIV/0!

HAILE-SELASSIE 0 0 0.0 51 25 49.02 36 11 30.56 33 11 33.33 33 11 33.33

Mchangamdogo 0 0 0.0 0 0 0.0 41 13 31.71 0 0 0.00 57 27 47.37

K/Samaki 0 0 0.0 0 0 0.0 6 2 33.33 24 8 33.33 0 0 #DIV/0!

HIGH VIEW 0 0 0.0 21 15 71.43 0 0 0.00 0 0 0.00 0 0 #DIV/0!

Jumla 1454 782 53.78 993 301 30.31 653 213 32.62 644 220 34.16 644 220 34.16

Page 101: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

97

JADWELI NAM. 9

(TSH.000,000)

PATO LA

TAIFA KAWAIDA MAENDELEO JUMLA KAWAIDA MAENDELEO JUMLA PLT SERIKALI

2010/11 946,800 193,430 39,490 232,920 42,618 4,475 47,093 5.0 20.2

2011/12 1,198,000 234,175 37,945 272,120 45,308 4,500 49,808 4.2 18.3

2012/13 1,342,600 307,857 47,900 355,757 71,050 5,100 76,150 5.7 21.4

2013/14 1,442,800 376,492 65,900 442,392 80,200 5,350 85,550 5.9 19.3

2014/15 2,133,500 431,404 51,880 483,284 60,541 1,000 61,541 2.9 12.7

Chanzo Cha Takwimu za Pato la Taifa na Matumizi ya Maendeleo ya Serikali 2015.

Hotuba ya Waziri wa Fedha na Uchumi, Kuhusu Mpango wa Maendeleo na Makadiro ya Mapato na

Matumizi ya Serikali kwa mwaka 2014/2015, May 2015

MATUMIZI YA ELIMU KWA ULINGANISHO NA MATUMIZI

YA SERIKALI NA PATO LA TAIFA 2010/11 - 2014/15

MWAKA

MATUMIZI YA SERIKALI MATUMIZI YA ELIMU MGAO WA ELIMU (%) KWA

Page 102: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

98

JADWELI NAM. 10 (a)

KASMA MRADI MCHANGO WA MAKADIRIO YA MISAADA MAKADIRIO % %

SMZ RUZUKU MKOPO JUMLA SMZ RUZUKU MIKOPO

RUZUKU/M

IKOPO SMZ

0801/680005 UIMARISHAJI ELIMU YA MAANDALIZI 100,000,000 1,200,000,000 1,300,000,000 56,300,400 4.69 -

801/680006 UIMARISHAJI ELIMU YA MSINGI 1,000,000,000 11,362,128,000 12,362,128,000 85,000,000 4,039,586,723 35.55 8.50

0401/680015 UIMARISHAJI WA ELIMU YA LAZIMA 1,200,000,000 3,411,006,000 4,611,006,000 844,466,718 488,300,734 14.32 70.37

0401/720003 UIMARISHAJI ELIMU YA UFUNDI 300,000,000 300,000,000 -

1201/680008 UIMARISHAJI WA ELIMU MBADALA 700,000,000 6,879,316,000 7,579,316,000 70,533,282 299,844,042 4.36 10.08

JUMLA 3,300,000,000 12,562,128,000 10,290,322,000 26,152,450,000 1,000,000,000 4,095,887,123 788,144,776 21.37 30.30

KILICHOPATIKANA JULY,2014-MARCH,2015

UPATIKANAJI WA FEDHA KWA KWA MIRADI YA MAENDELEO, SERIKALI NA WAHISANI, KWA MWAKA 2014/2015

Page 103: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

99

JADWELI 10 (b)

KWA MWAKA WA FEDHA JULAI, 2014-MEI, 2015

KWA KAZI ZA KAWAIDA

BAJETI KILICHOPATIKANA %

2014/2015 JULAI,2014 - MEI,2015

211101 UWAJIRI/MISHAHARA 51,518,100,000 39,699,839,970 77.06

211104 LIKIZO 900,000,000 220,223,463 24.47

211105 POSHO LA NAULI 1,700,000,000 1,475,776,000 86.81

211115 POSHO LA UALIMU 1,574,090,000 1,014,476,000 64.45

211116 POSHO LA K/ WADHIFA - -

212101 ZSSF 5,152,240,000 3,975,538,340 77.16

211117 POSHO LA BAISKELI 3,000,000 - 0.00

211108 POSHO LA SAFARI 164,620,000 85,861,200 52.16

211107 MALIPO BAADA YA SAA ZA KAZI 34,247,000 15,890,000 46.40

211120 KINGA NA MATUBABU 15,000,000 3,707,500 24.72

211201 KODI YA NYUMBA - -

211202 SARE 4,380,000 380,000 8.68

220101 SIMU 15,178,000 6,472,259 42.64

220103 FAX 3,120,000 - 0.00

220104 GH/POSTA 2,480,000 257,500 10.38

220105 VIFAA VYA UCHAPAJI 71,697,000 11,940,000 16.65

220107 GHARAMA ZA KURIKODI 2,025,000 - 0.00

220106 GH/MATANGAZO 22,000,000 6,770,000 30.77

220108 GH/MTANDAO 47,897,400 5,392,782 11.26

220110 UNUNUZI WA NYARAKA NA MISWADA 17,000,000 - 0.00

221111 MALIPO YA HUDUMA ZA STUDIO 450,000 - 0.00

220201 CHAKULA/VIBURUDISHAJI 110,799,000 68,121,080 61.48

220202 ZAWADI 2,550,000 300,000 11.76

220203 VIBUDISHAJI 46,719,000 14,864,300 31.82

220301 SAFARI ZA NDANI 77,114,000 37,559,500 48.71

220302 SAFARI ZA NJE 94,900,000 42,927,750 45.23

220303 VISA 2,500,000 - 0.00

220304 HUDUMA ZA VIWANJA VYA NDEGE 570,000 - 0.00

220305 BOARD AND LODGE 7,680,000 5,705,920 74.30

WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI

FEDHA ZILIZOPATIKANA KUTOKA WIZARA YA FEDHA

CODE KASMA

Page 104: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

100

220401 PETROL 78,239,000 31,189,535 39.86

220402 DIEZEL 122,396,200 38,684,368 31.61

220403 MAFUTA YA TAA - -

220404 VILAINISHAJI 8,970,000 414,000 4.62

220407 KODI ZA MAJI 9,180,000 680,000 7.41

220408 GH/UMEME 44,000,000 17,789,500 40.43

220501 VIFAA VYA KUANDIKIA 150,374,400 26,225,879 17.44

220502 MABUKU NA MAGAZETI 216,000 18,500 8.56

220503 UNUNUZI WA MABUKU 10,150,000 - 0.00

220504 VIFAA VYA COMPUTER 38,589,000 7,617,822 19.74

220505 MATUMIZI MADOGO 6,710,000 5,003,923 74.57

220506 VIFAA VYA USAFI 4,767,000 986,000 20.68

220507 UFUKIZAJI 5,200,000 - 0.00

220508 MAGAZETI NA MAJARIDA 4,200,000 2,938,040 69.95

220509 ADA YA USHAURI WA KITAALAM 20,000,000 - 0.00

220513 USAFIRISHA MIZIGO - -

220515 VIFAA VYA MICHEZO 170,000,000 44,839,600 26.38

220516 VIFAA VYA KUFUDISHIA 560,763,000 499,013,000 88.99

220517 UTAYARISHAJI WA MPANGO/BAJETI 18,000,000 13,375,000 74.31

220519 U/NASAHA KWA WANAFUNZI - -

220599 MATUMIZI MADOGO MADOGO - -

220601 MAPAZIA NA MAZULIA 4,650,000 2,410,220 51.83

220603 UNUNUZI WA SAMANI 2,010,270,000 693,032,276 34.47

220602 VIFAA VYA JIKONI 1,110,000 411,000 37.03

220701 MATENGENEZO M/MADOGO 102,160,000 30,550,595 29.90

220702 M/MAJENGO 199,200,000 10,874,000 5.46

220801 MATENGENEZO YA ZANA 1,600,000 1,000,000 62.50

220802 UNUNUZI WA SPE/ZANA 7,979,000 1,198,000 15.01

Page 105: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

101

220803 MATENGENEZO YA MAGARI 52,810,000 14,083,240 26.67

220804 SPEYA 18,051,000 5,848,500 32.40

220806 BIMA 27,700,000 2,756,000 9.95

221102 MAFUNZO NDANI 166,320,000 29,735,300 17.88

221103 MAFUNZO NJE - -

221104 ADA 34,445,000 16,137,993 46.85

221105 MSAADA KWA WANAFUNZI 4,000,000 1,000,000 25.00

221199 VIFAA VYA MAFUNZO 73,515,000 19,965,125 27.16

263178 USHAURI NASAHA (AIDS/HIV) - -

263166 HUDUMA ZA UTAFITI 89,085,000 - 0.00

263188 NTRC 6,750,000 2,982,000 44.18

272106 VITENGO/USHAURI NASAHA 350,000,000 167,174,680 47.76

272108 KUSAIDIA SHUGHULI ZA K KIJAMII - -

281402 GHARAMA ZA KUKODI UKUMBI 18,200,000 2,648,500 14.55

281499 SEMINA NA MIKUTANO 33,200,000 8,244,480 24.83

282101 GHARAMA ZA MITIHANI 858,410,000 203,390,000 23.69

282109 MAZISHI 17,000,000 2,750,000 16.18

282111 SHEREHE ZA KITAIFA 38,587,000 38,008,500 98.50

282114 MATUMIZI YASIOTARAJIWA - -

282115 CHAKULA CHA WANAFUNZI 25,500,000 2,099,900 8.23

282118 MIKUTANO YA USH/ WA KIMATAIFA 3,197,000 - 0.00

282199 UNUNUZI WA BENDERA 1,000,000 - 0.00

311203 UNUNUZI WA VIPANDO 33,500,000 3,150,000 9.40

311204 UNUNUZI WA FANICHA 3,450,000 - 0.00

311205 UNUNUZI WA FRIJI 2,200,000 - 0.00

311206 UNUNUZI WA A/C 7,500,000 2,242,000 29.89

311207 PURCHASES OF COMPUTER 219,700,000 17,882,100 8.14

311208 UNUNUZI WA PRINTER 5,400,000 1,458,000 27.00

311210 UNUNUZI WA KURUDUFU 3,900,000 375,000 9.62

311214 UNUNUZI WA TELEVISHENI - -

311215 UNUNUZI WA GENERETA - -

311297 COMPUTER/PTRINTER - -

311299 UNUNUZI WA FRIJI - -

311298 TELEPHONE/FACSMILES - -

311230 UNUNUZI WA TRANSFOMA 0 0

JUMLA YA FEDHA ZA KAWAIDA 67,262,500,000.00 48,662,186,140.00 47.44

Page 106: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

102

KASMA RUZUKU

703 SHIRIKA LA H/ ZA MAKTABA 380,000,000.00 223,060,515.00 58.70

702 BARAZA LA ELIMU 50,000,000.00 17,000,000.00 34.00

1402 CHUO CHA KIISLAMU PEMBA 30,000,000.00 20,664,000.00 68.88

1405 BENJAMIN MKAPA Pemba 30,000,000.00 20,664,000.00 68.88

1403 CHUO CHA KIISLAMU - UNGUJA 30,000,000.00 10,000,000.00 33.33

1404 TAASISI YA KARUME 1,056,600,000.00 648,510,660.00 61.38

1406 CHUO KIKUU CHA TAIFA ( SUZA) 5,050,000,000.00 3,740,484,997.00 74.07

1407 MAMLAKA YA MAFUNZO YA AMALI 1,750,000,000.00 738,102,710.00 42.18

1408 BODI YA MKOPO YA ELIMU YA JUU 8,792,400,000.00 4,947,507,600.00 56.27

1409 BARAZA LA MITIHANI 1,590,000,000.00 1,452,679,060.00 91.36

1410 OFISI YA MKAGUZI MKUU WA ELIMU 86,000,000.00 28,666,664.00 33.3

1411 TASISI YA ELIMU 94,000,000.00 31,333,331.00 33.3

JUMLA RUZUKU 18,939,000,000.00 11,878,673,537.00 62.7207

JUMLA KUU 86,201,500,000.00 60,540,859,677.00 70.23

Page 107: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

103

JADWELI NAM. 11(a)

SKULI MADARASA AFISI GHALA MENGINEYO MFADHILI

1 Nyerere 3 2 1 chumba cha mtihani 1 SMZ/SIDA/Wananchi

JUMLA 3 2 1 1

1 Bububu 0 2 0 Vyumba viwili (2) vya komyuta SMZ/SIDA/Wananchi

2 Regezamwendo 5 0 0 chumba cha mtihani 1 SMZ/SIDA/Wananchi

3 Mtopepo 0 0 0 maabara 1 na chumba cha mtihani 1SMZ/SIDA/Wananchi

4 Langoni 4 1 0 chumba cha mtihani 1 SMZ/SIDA/Wananchi

5 Maandalizi Dole 4 1 0 0 SMZ/SIDA/Wananchi

JUMLA 13 4 0 6

1 0 0 0 SMZ/SIDA/Wananchi

2 Mfurumatonga 4 0 0 SMZ/SIDA/Wananchi

3 Kilimajuu 4 2 0 0 SMZ/SIDA/Wananchi

4 Kigunda 2 0 0 0 SMZ/SIDA/Wananchi

JUMLA 14 2 0 0

1 Matetema 4 0 0 0 SMZ/SIDA/Wananchi

2 Donge Muanda Msingi 3 0 0 0 SMZ/SIDA/Wananchi

JUMLA 7 0 0 0

1 Kibele 2 0 0 chumba cha mtihani 1 SMZ/SIDA/Wananchi

JUMLA 2 0 0 1

1 Makunduchi 2 2 0 0 SMZ/SIDA/Wananchi

2 3 0 maktaba 1, maabara 1 na chumba cha kompyuta 1SMZ/SIDA/Wananchi

3 Uzi 2 0 0 chumba cha kompyuta 1 na chumba cha mtihani 1SMZ/SIDA/Wananchi

4 Jendele 4 0 0 chumba cha mtihani 1 SMZ/SIDA/Wananchi

JUMLA 11 5 0 6

WILAYA YA KUSINI

WILAYA YA KATI

WILAYA YA KASKAZINI B

WILAYA YA KASKAZINI A

WILAYA YA MJINI

WILAYA YA MAGHARIBI

MADARASA YALIYOKAMILIKA

Moga

Marumbi

Page 108: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

104

WILAYA YA MICHEWENI

1 Finya 5 1 1 0 SMZ/SIDA/Wananchi

2 Kinyasini 7 1 0 Chumba cha maktaba SMZ/SIDA/Wananchi

3 Mjananza 8 1 1 0 SMZ/SIDA/Wananchi

JUMLA 20 3 2 1

WILAYA YA WETE

0 0 0 0

JUMLA 0 0 0 0

WILAYA YA CHAKE

1 Pujini 3 0 0 0 SMZ/SIDA/Wananchi

2 Ziwani 3 0 0 0 SMZ/SIDA/Wananchi

3 Ng'ambwa 5 0 0 0 SMZ/SIDA/Wananchi

JUMLA 11 0 0 0

WILAYA YA MKOANI

1 Ngomeni 2 1 1 0 SMZ/SIDA/Wananchi

2 Chwaka 3 0 0 SMZ/SIDA/Wananchi

3 Minazini 2 1 1 Vyoo 4 SMZ/SIDA/Wananchi

4 Muambe 8 0 0 0 SMZ/SIDA/Wananchi

JUMLA 15 2 1 1

JUMLA KUU 96 18 4 16

Page 109: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

105

SKULI MADARASA AFISI GHALA MENGINEYO MFADHILI

0 0 0 - -JUMLA 0 0 0

1 Kinuni sekondari 4 1 0 - Wananchi/SMZJUMLA 4 1 0

1 Tumbatu sekondari Jengo la utawala (Rangi na Wananchi/SMZ2 Matemwe 0 0 0 Chumba cha Mtihani 1 Wananchi/SMZ3 Banda maji 3 0 0 - Wananchi/SMZ

JUMLA 3 0 0 2

1 Fujoni 1

Maabara 1 na chumba cha

mtihani 1 Wananchi/SMZ2 Upenja 0 0 0 Nyumba ya walimu Wananchi/SMZ3 vyoo Wananchi/SMZ4 Kiwengwa 4 0 0 Wananchi/Mfadhili

5 Donge Sekondari 12 3 3

Chumba cha Mtihani 1 na

chumba cha walimu 1 Wananchi/SMZJUMLA 18 3 3 5

WILAYA YA KATI0 0 0 - -

JUMLA 0 0 0 0

WILAYA YA KUSINI1 Miwaleni sek. 4 0 0 vyoo 6 na ukumbi wa mitihani 1 SMZ/Wananchi

JUMLA 4 0 0 3

WILAYA YA KASKAZINI 'B'

Kitope sekondari

JADWELI NAM.11(b)

MADARASA YALIYOKWISHAEZEKWA LAKINI

KAZI ZA UPIGAJI WA PLASTA NA SAKAFU HAZIJAKAMILIKA

WILAYA YA MJINI

WILAYA YA MAGHARIBI

WILAYA YA KASKAZINI 'A'

Page 110: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

106

WILAYA YA WETE1 Kojani 3 0 0 - SMZ/WANANCHI2 Ukunjwi 4 0 0 SMZ/WANANCHI3 Shengejuu 2 0 0 Ukumbi SMZ/WANANCHI

JUMLA 9 0 0

WILAYA YA MICHEWENI1 Micheweni 11 0 0 - MILELE/SMZ

JUMLA 11 0 0

WILAYA YA CHAKE1 Vitongoji 6 0 0 - SMZ/WANANCHI

JUMLA 6 0 0

WILAYA YA MKOANI1 Mkanyageni 6 1 0 - SMZ/WANANCHI2 Mahduthi 8 2 1 Nyumba ya Familia 2 SMZ/MILELE

JUMLA 14 3 1

JUMLA KUU 69 7 4

Page 111: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

107

SKULI MADARASA AFISI GHALA MENGINEYO MFADHILI

1 - 0 0 0 -

JUMLA 0 0 0

1 Magogoni 2 chumba cha mtihani 1 Wananchi

2 Mfenesini Msingi 2 2 1 - Wananchi

3 Kinuni Msingi 6 2 0 0 SMZ/Wananchi

4 Kinuni Sekondari 4 1 0 Bado kazi za plasta na sakafu Wananchi

5 Kitongani (Fuoni) 2 0 0 Wananchi

6 Sharifu Msa 7 1 0 Wananchi

7 Mtoni Kidatu 7 2 Wananchi

JUMLA 30 8 1 1

WILAYA YA KASKAZINI 'A'

1 Kibuyuni maandalizi 2 1

2 Kibuyuni msingi 4 0 0 0 SMZ/SIDA/Wananchi

3 Kiwengwa 6 1 maabara 1,chumba cha kompyuta 1 na chumba cha mtihani 1, vyoo 2SMZ/SIDA/Wananchi

4 Shehia ya chutama 4 0 0 - SMZ/SIDA/Wananchi

5 Pwanimchangani 0 0 0 chumba cha mtihani 1 SMZ/SIDA/Wananchi

6 Bandamaji 3 0 0 SMZ/SIDA/Wananchi

7 Kilindi 0 0 0 chumba cha kompyuta SMZ/SIDA/Wananchi

8 Kibeni 0 0 0 chumba cha kompyuta SMZ/SIDA/Wananchi

9 0 0 chumba cha kompyuta 1 na maktaba 1 SMZ/SIDA/Wananchi

10 kituo cha walimu mkwajuni 0 0 0 chumba cha mtihani 1 SMZ/SIDA/Wananchi

11 Kandwi 4 0 0 0 SMZ/SIDA/Wananchi

12 Mkokotoni msing 0 0 0 nyumba ya walimu 1 SMZ/SIDA/Wananchi

13 Mkwajuni msingi 2 0 0 0 SMZ/SIDA/Wananchi

JUMLA 25 2 0 10

WILAYA YA KASKAZINI B

1 Kinduni 3 0 0 chumba cha mtihani 1 Wananchi

2 Mgambo 7 0 0 Wananchi

3 0 0 0 Wananchi

4 Bumbwini sekondari 0 0 0 chumba cha mtihani 1 Wananchi

5 Kipange 1 0 0 0 Wananchi

6 Makoba 1 0 0 chumba cha mtihani 1 Wananchi

7 Zingwezingwe 4 2 Skuli mpya Wananchi

8 Mahonda sekondari 0 0 0 chumba cha mtihani 1 Wananchi

9 Mangapwani 4 1 1 nyumba ya walimu 1 Wananchi

JUMLA 21 3 1 5

MADARASA YALIYOFIKIA HATUA YA KUTAKA KUEZEKWA

JADWELI NAM. 11( c)

WILAYA YA MJINI

WILAYA YA MAGHARIBI

Kidoti

Donge msingi

Page 112: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

108

WILAYA YA KATI

1 Mgenihaji 0 0 0 Wananchi

2 Kidimni 5 1 0 Wananchi

3 Pongwe Mwera 2 2 0

maabara 1,chumba cha kompyuta 1 na

chumba cha mtihani 1 Wananchi

3 Tunguu 4 1 0 - Wananchi

JUMLA 11 4 0 3

WILAYA YA KUSINI

1 Kajengwa Maandalizi 4 1 1 Ukumbi 1, Jiko 1, vyoo 6 Wananchi

2 Kizimkazi sekondari. 5 2 - vyoo 2 na ukumbi wa mitihani 1 Wananchi

JUMLA 9 3 1 4

WILAYA YA MICHEWENI

1 KARUME 9 - - - WANANCHI

2 MTEMANI 9 - - - WANANCHI

3 SIMAI 5 - - - WANANCHI

4 SIZINI 5 - - - WANANCHI

5 TUMBE SEKONDARI 7 - - - WANANCHI

6 TUMBE MSINGI 4 - - - WANANCHI

7 HAROUN 4 1 - - WANANCHI

8 MAKANGALE 1 - - - WANANCHI

9 MKIA WA NG'OMBE 4 - - - WANANCHI

10 KINOWE 4 - - - WANANCHI

11 MGOGONI 4 - - - WANANCHI

JUMLA 56 1 0 0

Page 113: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

109

WILAYA YA WETE

1 MINUNGWINI MSINGI 2 - - - WANANCHI

2 SHENGEJUU MSINGI 3 1 - WANANCHI

3 KANGAGANI 7 1 1 UKUMBI WA MITIHANI WANANCHI

4 GANDO 3

JUMLA 15 2 1 1

WILAYA YA CHAKE

1 CHANJAMJAWIRI SEK. 2 - - CHUMBA CHA WALIMU WANANCHI

2 KILINDI SEKONDARI 2 1 1 CHUMBA CHA MAABARA WANANCHI

3 KILINDI MSINGI 1 - - -

4 PUJINI SEKONDARI 2 - - UKUMBI WA MITIHANI WANANCHI

5 CHANJAANI MSINGI 4 1 - - WANANCHI

6 MICHAKAINI 4 - - - WANANCHI

7 KWALE MSINGI 5 1 - - WANANCHI

8 MBUZINI SEK - 1 1 - WANANCHI

9 WESHA MSINGI 4 - - - WANANCHI

10 UWANDANI MSINGI 2 - - - WANANCHI

11 VITONGOJI 6 - - - WANANCHI

12 VIKUNGUNI SEK - 1 1 CHUMBA CHA MAABARA

JUMLA 32 5 3 4

WILAYA YA MKOANI

1 CHOKOCHO 4 - - - WANANCHI

2 MAKOMBENI SEK - - 1 Chumba cha Maabara 1 WANANCHI

3 KISIWA PANZA SEK 1 - - Chumba cha Maabara 1 WANANCHI

4 MKANYAGENI SEKONDARI 2 1 1 - WANANCHI

5 MTAMBILE SEK - - - Chumba cha Maabara 1 WANANCHI

6 MICHENZANI 4 - - - WANANCHI

7 KENGEJA MSINGI 2 1 1 VYOO 2 WANANCHI

8 UKUTINI 4 1 - - WANANCHI

9 CHAMBANI 2 1 - VYOO 4 WANANCHI

JUMLA 19 4 3 5

JUMLA KUU 218 32 10 33

Page 114: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

110

JADWELI NAM. 11(d)(i)

SKULI MADARASA AFISI GHALA MENGINEYO MFADHILI

1 - 0 0 0 0 -

JUMLA 0 0 0

1 - 0 0 0 0 -

JUMLA 0 0 0

1 Kigunda 2 0 0 - Wananchi

JUMLA 2 0 0

WILAYA YA KASKAZINI B

1 - 0 0 0 0

JUMLA 0 0 0 0

1 Miwani 5 1 0 ukumbi wa mitihani 1 Wananchi

2 Charawe 4 1 0 ukumbi wa mitihani 1 Wananchi

3 Kibele 4 0 0 0 Wananchi

JUMLA 13 2 0 2

1 - 0 0 0 - -

JUMLA 0 0 0

WILAYA YA WETE

1 PIKI 3 - - - WANANCHI

JUMLA 3 0 0 0

WILAYA YA MICHEWENI

1 MICHEWENI MSINGI 6 - - - WANANCHI

2 CHIMBA 4 1 1 -

JUMLA 10 1 1 0

WILAYA YA CHAKE

1 SHUNGI 4 - - - WANANCHI

2 MGELEMA 5 - - - WANANCHI

3 KICHUANI 5 1 1 - WANANCHI

4 VITONGOJI SEK 11 1 1 -

5 MATALE 4 - - - WANANCHI

JUMLA 29 2 2

WILAYA YA MKOANI

1 TASINI KIWANI 6 - 1 CHUMBA CHA WALIMU WANANCHI

2 MWAMBE SHAMIANI 5 - - - WANANCHI

3 CHAMBANI SEKONDARI 4 1 - UKUMBI NA CH. KOMPYUTA WANANCHI

4 MTANGANI 4 1 1 - WANANCHI

5 NGWACHANI 3 1 - - WANANCHI

6 KIWANI MSINGI 1 1 - -

7 CHWAKA 5 - - -

6 WAMBAA 4 - - - WANANCHI

7 MTUHALIWA 4 - - - WANANCHI

JUMLA 36 4 2 2

JUMLA KUU 93 9 5 4

MADARASA AMBAYO YAMO KATIKA UJENZI WA KUTA NA NGUZO

WILAYA YA MJINI

WILAYA YA MAGHARIBI

WILAYA YA KASKAZINI A

WILAYA YA KATI

WILAYA YA KUSINI

Page 115: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

111

SKULI MADARASA AFISI GHALA MENGINEYO MFADHILI

0 0 0 0 0

JUMLA 0 0 0

0 0 0 0 0

JUMLA 0 0 0

0 0 0 0

JUMLA 0 0 0

WILAYA YA KASKAZINI B

0 0 0 -

JUMLA 0 0 0

0 0 0 0

JUMLA 0 0 0

0 0 0 0 0

JUMLA 0 0 0

WILAYA YA WETE

- - - - - WANANCHI

JUMLA 0 0 0 0

WILAYA YA MICHEWENI

1 Maandallizi Konde - - - - WANANCHI

JUMLA 0 0 0 0

WILAYA YA CHAKE

1 PONDEANI - - - UKUMBI NA VYOO 2 WANANCHI

2 MADUNGU MSINGI 2 - - - WANANCHI

JUMLA 2 0 0 2

WILAYA YA MKOANI

1 NG'OMBENI 5 - - - WANANCHI

2 MIZINGANI MSINGI 6 - - - WANANCHI

3 MICHENZANI SEK. 8 1 1 CH. WALIMU WANANCHI

4 WAMBAA 2 1 1 - WANANCHI

JUMLA 21 2 2 1

JUMLA KUU 23 2 2

WILAYA YA KASKAZINI A

WILAYA YA KATI

WILAYA YA KUSINI

JADWELI NAM. 11(d)(ii)

WA VIFAA

MADARASA YALIYO KATIKA HATUA ZA UKUSANYAJI

WILAYA YA MJINI

WILAYA YA MAGHARIBI

Page 116: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

112

JADWELI NAM. 11(d)(iii)

WILAYA SKULI NGAZI MFADHILI

Micheweni MJANAZA Msingi SMZ/SIDA/WANANCHI

Micheweni MNARANI Msingi SMZ/SIDA/WANANCHI

Mkoani MINAZINI Msingi SMZ/SIDA/WANANCHI

Mkoani MAHUDUTHI Msingi SMZ/SIDA/WANANCHI

SKULI MPYA AMBAZO UJENZI WAKE UMEKAMILIKA , 2014/2015

Page 117: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

113

JADWELI NAM. 12(a)

SKULI MADARASA AFISI GHALA MENGINEYO MFADHILI

0 0 0 -

0 0 0 0 SMZ

1 Kilombero 4 1 1 - SMZ

JUMLA 4 1 1

WILAYA YA KASKAZINI B

0 0 0 0 SMZ

0 0 0 0 SMZ

WILAYA YA KUSINI

1 Muyuni 4 0 0 - SMZ

JUMLA 4 0 0 0

WILAYA YA WETE

1 PANDANI 18 - - - SMZ/MILELE

2 MINUNGWINI 4 - - - SMZ/MILELE

JUMLA 22 0 0 0

WILAYA YA MICHEWENI

1 MICHEWENI MSINGI 7 1 1 - SMZ/MILELE

2 MSUKA 4 1 - - SMZ/MILELE

JUMLA 11 2 1 0

WILAYA YA CHAKE

1 MADUNGU 15 1 VYOO 2 NA CHUMBA CHA MWALIMU 1

2 MICHAKAINI 'A' 6 - - -

3 MICHAKAINI 'B' 9 1 CHUMBA CHA MWALIMU

4 ZIWANI 4 - VYOO 6 SMZ/MILELE

5 CHANJAMJAWIRI 11 1

6 BIRIKAU 4 - - - SMZ/WANANCHI

JUMLA 49 3 0 3

WILAYA YA MKOANI1 NG'OMBENI 5 - - - SMZ2 MAKOMBENI 8 1 1 WANANCHI

3 MIZINGANI 8 1 1

MIUNDO MBINU YA MAJI

MACHAFU NA MNARA SMZJUMLA 21 2 2 1

JUMLA KUU 111 8 4 4

SKULI AMBAZO UKARABATI UMEKAMILIKA

WILAYA YA MJINI

WILAYA YA MAGHARIBI

WILAYA YA KASKAZINI A

WILAYA YA KATI

Page 118: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

114

JADWELI NAM. 12(b)

SKULI MADARASA AFISI GHALA MENGINEYO MFADHILI

0 0 0 0

1 Mwanakwerekwe H 0 0 0 0 SMZ

1 Nungwi 3 2 0 0 SMZ

2 Kijini 4 0 2 SMZ

WILAYA YA KASKAZINI B

1 Uzini 12

2 Muanda 12

0 0 0 0

WILAYA YA KUSINI

0 0 0 0

WILAYA YA WETE

0 0 0 0 -

WILAYA YA MICHEWENI

- - - SMZ

WILAYA YA CHAKE-CHAKE

- - - SMZ

WILAYA YA MKOANI

0 - - - -

JUMLA 29 2 2 0

SKULI AMBAZO UKARABATI UNAENDELEA

WILAYA YA MJINI

WILAYA YA MAGHARIBI

WILAYA YA KASKAZINI A

WILAYA YA KATI

Page 119: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

115

JADWELI NAM. 12 ( c )

SKULI MADARASA AFISI GHALA MENGINEYO MAELEZO

1 Mwembeladu 8 0 0 0 Paa/kuta/sakafu

2 Rahaleo 5 0 0 0 Paa/kuta/sakafu

1 Fuoni sekondari 14 4 0 Maabara 1 Paa/kuta/sakafu

2 Langgoni msingi 4 1 0 Paa/kuta/sakafu

3 0 0 Paa/kuta/sakafu

4 Fuoni msingi 4 1 Paa/kuta/sakafu

WILAYA YA KASKAZINI A

1 Mkwajuni Msingi 6 Paa

2 Mkwajuni Sekondari 2 0 0 0 Paa

3 Kinyasini 4 Paa

4 Pale sekondari 4 0 0 0 Paa/kuta/sakafu

5 Mkwajuni Msingi 4 0 0 0 Paa

6 Kigomani Msingi 4 2 0 0 Paa/kuta/sakafu

1 Kiongwe 4 1 0 0 Paa/kuta/sakafu

2 dong karange 0 0 0 Vikuta vya vyoo

3 Gamba msingi appron

4 Kibuyuni 4 0 0 0 Paa

WILAYA YA KATI

1 Mwera 11 2 0 0 Paa/kuta/sakafu

2 Bambi 7 2 0 Maabara 1, Maktaba 1Paa/kuta/sakafu

3 Jendele 10 2 1 - Paa/kuta/sakafu

4 Mpapa 3 2 0 jiko 1 Paa/kuta/sakafu

5 Mwera 6 0 0 - Paa/kuta/sakafu

WILAYA YA KUSINI

1 Uzi 8 2 0 - Paa/kuta/sakafu

SKULI AMBAZO UKARABATI UKO KATIKA HATUA ZA MAANDALIZI

WILAYA YA MJINI

WILAYA YA MAGHARIBI

Langoni sekondari

WILAYA YA KASKAZINI B

Page 120: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

116

1 MAANDALIZI JADIDA 3 1 1 Vyoo SMZ

2 BWAGMOYO 6 1 1 - SMZ

3 PIKI 6 1 1 - SMZ

1 SIZINI

2 MAANDALIZI WINGWI 3 1 1 Vyoo 4 SMZ

3 WINGWI MSINGI B 16 1 1 SMZ

4 TUMBE MSINGI 11 1 1 - SMZ

5 KONDE MSINGI 12 - - - SMZ

WILAYA YA CHAKE

1 KWALE 7 1 1 - MILELE

2 KILINDI 3 1 1 - MILELE

3 WAWI 4 - - - MILELE

4 VITONGOJI 3 1 1 - MILELE

5 WESHA 4 - - - MILELE

6 VIKUNGUNI 3 1 1 - MILELE

WILAYA YA MKOANI

1 MAKOONGWE 7 1 1 - MILELE

2 KISIWA PANZA 2 1 1 - MILELE

3 KIWANI MSINGI 10 1 1 - MILELE

4 KENGEJA SEK 3 - - - MILELE

5 CHAMBANI 5 1 1 - MILELE

6 MTANGANI 4 1 - - MILELE

7 NGWACHANI 7 - - - MILELE

8 KANGANI 8 - -

NYUMBA YA

WALIMU MILELE

JUMLA KUU 243 34 15 5

WILAYA YA MICHEWENI

WILAYA YA WETE

Page 121: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

117

JADWELI NAM. 12(d)

SKULI IDADI HATUA YA UJENZI MFADHILI

JUMLA 0

1 CHUKWANI 12 Ujenzi Umekamilika SMZ/UNICEF

2 KIEMBE SAMAKI MSINGI 12 Ujenzi Umekamilika SMZ/UNICEF

3 KIBWENI 12 Ujenzi Umekamilika SMZ/UNICEF

4 KWEREKWE H & F 24 Ujenzi Umekamilika SMZ/UNICEF

JUMLA 60

WILAYA YA KASKAZINI A

JUMLA 0

WILAYA YA KASKAZINI B

1 PALE 12 Ujenzi Umekamilika SMZ/UNICEF

0

JUMLA 12

WILAYA YA KATI

JUMLA 0

WILAYA YA KUSINI

JUMLA 0

WILAYA YA WETE

JUMLA 0

WILAYA YA MICHEWENI

JUMLA 0

WILAYA YA CHAKE

1 NGOMENI 6 UJENZI UMEKAMILIKA WANANCHI

2 SHUNGI 6 UJENZI UMEKAMILIKA WANANCHI

JUMLA 12

JUMLA KUU 84

SKULI AMBAZO UJENZI WA VYOO KWA AJILI YA WALIMU NA WANAFUNZI UPO KATIKA HATUA

MBALI MBALI

WILAYA YA MAGHARIBI

WILAYA YA MJINI

Page 122: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

118

SKULI MADAWATI

VITI VYA

W'FUNZI

MEZA YA

W'FUNZI

VITI VYA

WALIMU

MEZA YA

WALIMU

1 DARAJANI MSINGI 180 0 0 0 0

2 K/CHEKUNDU 'A' MSINGI 150 0 0 0 0

3 BEN BELLA SEKONDARI 0 100 100 0 0

4 LUMUMBA 0 90 90 0 0

5 JANG'OMBE 'A' MSINGI 200 0 0 0 0

6 K/CHEKUNDU 'B' MSINGI 150 0 0 0 0

JUMLA 680 190 190 0 0

1 ZANZIBAR COMMERCIAL 0 85 85 0 0

2 KISAUNI 0 90 90 0 0

JUMLA 0 175 175 0 0

1 KIDOTI MSINGI 90 0 0 6 6

2 KINYASINI MSINGI 120 0 0 8 8

3 GAMBA MSINGI 150 0 0 10 10

4 MKOKOTONI 70 0 0 7 7

5 KINYASINI MAANDALIZI 0 45 45 1 1

JUMLA 430 45 45 32 32

1 DONGE SEKONDARI 0 90 90 2 2

2 BUMBWINI MSINGI 100 0 0 9 9

3 KINDUNI MSINGI 30 0 0 2 2

4 KIYONGWE MSINGI 30 0 0 2 2

5 KARANGE 30 0 0 2 2

6 MAHONDA SEKONDARI 0 100 100 5 5

JUMLA 190 190 190 22 22

1 DUNGA SEKONDARI 0 90 90 3 3

2 KIBOJE MSINGI 45 0 0 3 3

3 BAMBI SEKONDARI 0 90 90 3 3

4 KIBOJE SEKONDARI 0 135 135 0 0

5 MACHUI MSINGI 45 0 0 3 3

JUMLA 90 315 315 12 12

WILAYA YA KUSINI

1 MUYUNI MSINGI 150 0 0 0 0

2 JAMBIANI SEKONDARI 0 45 45 0 0

3 MAKUNDUCHI SEKONDARI 0 90 90 0 0

4 KIJIGONI MAANDALIZI 0 180 180 3 3

JUMLA 150 315 315 3 3

JUMLA UNGUJA 1540 1040 1040 47 47

WILAYA YA KATI

WILAYA YA KASKAZINI 'A'

JADWELI NAM. 12(e)

SKULI ZILIZOPATIWA MADAWATI, VITI NA MEZA

WILAYA YA MJINI

WILAYA YA MAGHARIBI

WILAYA YA KASKAZINI 'B'

Page 123: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

119

1 MICHEWENI MAANDALIZI 0 200 200 0 0

2 KONDE SEKONDARI 0 150 150 11 11

JUMLA 0 350 350 11 11

WILAYA YA WETE

UONDWE MSINGI 60 0 0 9 9

MAZIWANI MSINGI 75 0 0 10 10

MKOTE MSINGI 60 0 0 6 6

OLE MSINGI 60 0 0 5 5

SHENGEJUU MSINGI 45 0 0 9 9

JUMLA 300 0 0 39 39

WILAYA YA CHAKE

1 DODO MSINGI 105 0 0 12 12

2 WAWI SEKONDARI 0 135 135 10 10

3 CHANJAMJAWIRI 60 0 0 12 12

4 FIDEL CASTRO 0 90 90 0 0

165 225 225 34 34

WILAYA YA MKOANI

1 KISIWA PANZA SEKONDARI 0 90 90 0 0

2 MJIMBINI MSINGI 90 0 0 10 10

3 SHIDI MSINGI 60 0 0 8 8

4 MAKOONGWE MSINGI 60 0 0 6 6

5 MTUHALIWA MSINGI 30 0 0 6 6

240 90 90 30 30

JUMLA PEMBA 705 665 665 114 114

JUMLA KUU 2245 1705 1705 161 161

WILAYA YA MICHEWENI

JUMLA

JUMLA

Page 124: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

120

JADWELI NAM. 13 (a)

WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA

Mjini 8556 8899 17455 718 738 1456 3326 3543 6869 4044 4281 8325 47.3 48.1 47.7

Magharibi 21024 22144 43168 911 1019 1930 4592 4733 9325 5503 5752 11255 26.2 26.0 26.1

Kaskazini 'A' 5014 5470 10484 1571 1733 3304 332 345 677 1903 2078 3981 38.0 38.0 38.0

Kaskazini 'B' 4297 4773 9070 820 884 1704 328 374 702 1148 1258 2406 26.7 26.4 26.5

Kati 3456 3524 6980 659 549 1208 447 431 878 1106 980 2086 32.0 27.8 29.9

Kusini 1641 1630 3271 368 370 738 446 421 867 814 791 1605 49.6 48.5 49.1

Micheweni 6237 6322 12559 1819 1992 3811 318 337 655 2137 2329 4466 34.3 36.8 35.6

Wete 5580 5832 11412 201 227 428 542 530 1072 743 757 1500 13.3 13.0 13.1

Chake Chake 5241 5360 10601 765 760 1525 500 493 993 1265 1253 2518 24.1 23.4 23.8

Mkoani 5532 5433 10965 1332 1494 2826 391 372 763 1723 1866 3589 31.1 34.3 32.7

Jumla 66578 69387 135965 9164 9766 18930 11222 11579 22801 20386 21345 41731 30.6 30.8 30.7

ASILIMIA YA UANDIKISHAJI WA WATOTO KATIKA SKULI ZA MAANDALIZI, MACHI - 2015

WILAYA

WATOTO WENYE UMRI WA

SKULI ZA SERIKALI SKULI ZA BINAFSI

JUMLA SKULI ZA KIMA CHA

MIAKA 4 - 6 SERIKALI NA BINAFSI UANDIKISHAJI (%)

Page 125: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

121

JADWELI NAM 13 (b)

WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA

MJINI 4 600 623 1223 3 118 115 233 0 0 0 0

MAGHARIBI 1 78 75 153 9 393 420 813 5 177 214 391

KASKAZINI 'A' 5 276 312 588 4 148 171 319 9 155 160 315

KASKAZINI 'B' 2 52 71 123 10 183 207 390 5 140 162 302

KATI 4 268 225 493 4 151 120 271 9 240 204 444

KUSINI 4 276 264 540 4 85 99 184 1 7 7 14

MICHEWENI 5 282 285 567 5 108 118 226 1 0 0 0

WETE 2 133 142 275 1 45 54 99 1 23 31 54

CHAKE 2 182 197 379 12 540 537 1077 1 43 26 69

MKOANI 2 106 133 239 18 518 543 1061 2 99 74 173

JUMLA 31 2253 2327 4580 70 2289 2384 4673 34 884 878 1762

IDADI

YA

SKULI

IDADI YA WANAFUNZI IDADI

YA

SKULI

IDADI YA WANAFUNZI

UANDIKISHAJI WA WATOTO WA MAANDALIZI WANAOSOMA KATIKA SKULI

ZA SERIKALI ZA MAANDALIZI, MSINGI NA MSINGI NA KATI, KIWILAYA MACHI - 2015

WILAYA

MAANDALIZI MSINGI MSINGI NA KATI

IDADI

YA

SKULI

IDADI YA WANAFUNZI

Page 126: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

122

JADWELI NAM 13 ( c )

WAVULANA WASICHANA JUMLA WAVULANA WASICHANA JUMLA

MJINI 66 3326 3543 6869 0 0 0 0

MAGHARIBI 100 4592 4733 9325 11 263 310 573

KASKAZINI 'A' 8 332 345 677 77 970 1068 2038

KASKAZINI 'B' 11 328 374 702 41 445 444 889

KATI 13 447 431 878 0 0 0 0

KUSINI 11 446 421 867 0 0 0 0

MICHEWENI 8 318 337 655 91 1429 1589 3018

WETE 8 542 530 1072 0 0 0 0

CHAKE 13 500 493 993 0 0 0 0

MKOANI 8 391 372 763 40 609 744 1353

JUMLA 246 11222 11579 22801 260 3716 4155 7871

Angalia: RISE - Radio Instruction to Strengthen Education

UANDIKISHAJI WA WANAFUNZI NGAZI YA MAANDALIZI KATIKA

VITUO/SKULI ZA BINAFSI, KIWILAYA MACHI - 2015

WILAYA

SKULI VITUO (RISE)

IDADI YA

SKULI

IDADI YA WANAFUNZI

IDADI YA

VITUO

IDADI YA WANAFUNZI

Page 127: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

123

JADWELI NAM. 14

WAVULANA WASICHANA JUMLA WAVULANA WASICHANA JUMLA WAVULANA WASICHANA JUMLA WAVULANA WASICHANA JUMLA WAVULANA WASICHANA JUMLA

Mjini 17634 18335 35969 14000 14740 28740 3247 3463 6710 17247 18203 35450 97.8 99.3 98.6

Magharibi 40905 43806 84711 30538 31851 62389 6059 6219 12278 36597 38070 74667 89.5 86.9 88.1

Kaskazini 'A' 6942 10593 17535 10638 11043 21681 18 15 33 10656 11058 21714 153.5 104.4 123.8

Kaskazini 'B' 8405 8650 17055 5956 5873 11829 10 20 30 5966 5893 11859 71.0 68.1 69.5

Kati 7353 6862 14215 7924 7821 15745 285 245 530 8209 8066 16275 111.6 117.5 114.5

Kusini 3494 3113 6607 3933 3625 7558 196 169 365 4129 3794 7923 118.2 121.9 119.9

Micheweni 12279 12024 24303 10599 10590 21189 137 123 260 10736 10713 21449 87.4 89.1 88.3

Wete 11354 11243 22597 12791 12579 25370 119 109 228 12910 12688 25598 113.7 112.9 113.3

Chake Chake 10072 10929 21001 11034 10699 21733 680 623 1303 11714 11322 23036 116.3 103.6 109.7

Mkoani 10970 10628 21598 11711 11329 23040 111 90 201 11822 11419 23241 107.8 107.4 107.6

Jumla 129408 136183 265591 119124 120150 239274 10862 11076 21938 129986 131226 261212 100.4 96.4 98.4

ASILIMIA YA UANDIKISHAJI KATIKA NGAZI YA MSINGI (DARASA LA I - VII), MACHI - 2015

WILAYA

WATOTO WENYE UMRI WA UANDIKISHAJI KATIKA NGAZI YA MSINGI ASILIMIA YA

MIAKA 7 - 13 SERIKALI BINAFSI JUMLA UANDIKISHAJI

Page 128: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

124

JADWELI NAM. 15

WAVULANA WASICHANA JUMLA WAVULANA WASICHANA JUMLA WAVULANA WASICHANA JUMLA

Mjini 1995 2005 4000 1995 2005 4000 100.0 100.0 100.0

Magharibi 4133 4139 8272 4133 4139 8272 100.0 100.0 100.0

Kaskazini 'A' 1964 1849 3813 1964 1849 3813 100.0 100.0 100.0

Kaskazini 'B' 1180 1026 2206 1180 1026 2206 100.0 100.0 100.0

Kati 1588 1209 2797 1588 1209 2797 100.0 100.0 100.0

Kusini 665 585 1250 665 585 1250 100.0 100.0 100.0

Micheweni 1655 1655 3310 1655 1655 3310 100.0 100.0 100.0

Wete 2071 1921 3992 2071 1921 3992 100.0 100.0 100.0

Chake Chake 1721 1607 3328 1721 1607 3328 100.0 100.0 100.0

Mkoani 1894 1746 3640 1894 1746 3640 100.0 100.0 100.0

Jumla 18866 17742 36608 18866 17742 36608 100.0 100.0 100.0

UANDIKISHAJI NA UCHUKUAJI WA WANAFUNZI KATIKA DARASA

LA KWANZA KATIKA SKULI ZA SERIKALI - 2015

WATOTO WALIOANDIKISHWA

WILAYA

WATOTO WALIOCHUKULIWA % YA WALIOCHUKULIWA

Page 129: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

125

JADWELI NAM. 16

WAVULANA WASICHANA JUMLA WAVULANA WASICHANA JUMLA WAVULANA WASICHANA JUMLA WAVULANA WASICHANA JUMLA WAVULANA WASICHANA JUMLA

Mjini 4700 5843 10543 5270 5473 10743 334 381 715 5604 5854 11458 119.2 100.2 108.7

Magharibi 9609 13087 22696 6242 6968 13210 1109 1399 2508 7351 8367 15718 76.5 63.9 69.3

Kaskazini 'A' 2576 3087 5663 1833 2513 4346 0 0 0 1833 2513 4346 71.2 81.4 76.7

Kaskazini 'B' 2071 2366 4437 1066 1296 2362 0 0 0 1066 1296 2362 51.5 54.8 53.2

Kati 1786 2158 3944 1702 1812 3514 83 60 143 1785 1872 3657 99.9 86.7 92.7

Kusini 809 955 1764 842 839 1681 25 24 49 867 863 1730 107.2 90.4 98.1

Micheweni 2914 3233 6147 1429 1595 3024 0 0 0 1429 1595 3024 49.0 49.3 49.2

Wete 2793 3259 6052 2271 2476 4747 32 36 68 2303 2512 4815 82.5 77.1 79.6

Chake-Chake 2664 3190 5854 1830 2122 3952 168 150 318 1998 2272 4270 75.0 71.2 72.9

Mkoani 2700 2931 5631 1961 2182 4143 0 0 0 1961 2182 4143 72.6 74.4 73.6

Jumla 32622 40109 72731 24446 27276 51722 1751 2050 3801 26197 29326 55523 80.3 73.1 76.3

ASILIMIA YA UANDIKISHAJI KATIKA NGAZI YA KATI (KIDATO 1 - 2), MACHI - 2015

WILAYA

WATOTO WENYE UMRI WA UANDIKISHAJI KATIKA NGAZI YA KATI (KIDATO 1 - 2) ASILIMIA YA

MIAKA 14 - 15 SERIKALI BINAFSI JUMLA UANDIKISHAJI

Page 130: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

126

JADWELI NAM. 17

IDADI YA

SKULI WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA

Mjini 12 1179 1374 2553 924 1279 2203 2103 2653 4756

Magharibi 24 1106 1566 2672 839 1382 2221 1945 2948 4893

Kaskazini 'A' 16 415 597 1012 470 607 1077 885 1204 2089

Kaskazini 'B' 8 178 262 440 174 323 497 352 585 937

Kati 19 357 452 809 363 438 801 720 890 1610

Kusini 9 190 213 403 177 201 378 367 414 781

Micheweni 10 331 374 705 386 351 737 717 725 1442

Wete 16 475 511 986 327 455 782 802 966 1768

Chake-chake 14 351 468 819 300 450 750 651 918 1569

Mkoani 18 454 491 945 367 501 868 821 992 1813

JUMLA 146 5036 6308 11344 4327 5987 10314 9363 12295 21658

UANDIKISHAJI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA 3 NA 4 WA MIKONDO YA KAWAIDA

(ISIYOKUWA MICHEPUO) KIWILAYA KATIKA SKULI ZA SERIKALI MACHI - 2015

KIDATO 3 KIDATO 4

WILAYA

JUMLA KUU

Page 131: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

127

JADWELI NAM. 18

WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA

SUNNI 34 38 72 22 37 59 56 75 131MEMON ACADEMY 32 18 50 23 23 46 55 41 96AL - RIYAMI ACADEMY 29 17 46 30 13 43 59 30 89BILAL ISLAMIC SEMINARY 30 34 64 18 33 51 48 67 115SUN CITY 12 11 23 15 17 32 27 28 55GLORIUS ACADEMY 24 40 64 18 40 58 42 80 122NDAME ACADEMY 16 15 31 19 16 35 35 31 66STONE TOWN INTERNATIONAL 4 5 9 3 5 8 7 10 17JUMUIYA GIRLS 0 0 0 0 14 14 0 14 14ENGLISH SPEAKING INT. SCHOOL 12 13 25 0 0 0 12 13 25SUFA 3 12 15 8 8 16 11 20 31LAUREATE 36 40 76 33 41 74 69 81 150HIFADHI 4 7 11 5 7 12 9 14 23FEZA 11 11 22 12 9 21 23 20 43MOMBASA CENTRAL 10 13 23 14 18 32 24 31 55SOS 37 36 73 27 32 59 64 68 132MBARALI PREPARATORY 28 20 48 16 29 45 44 49 93ZANZIBAR PROGRESSIVE 22 19 41 8 23 31 30 42 72INTERNATIONAL SCHOOL 1 8 9 2 2 4 3 10 13NYUKI 50 33 83 38 40 78 88 73 161HIGH VIEW 25 24 49 13 34 47 38 58 96AL - FALAH 23 31 54 23 30 53 46 61 107DOLE 11 9 20 10 13 23 21 22 43TRIFONA 30 34 64 20 25 45 50 59 109FRANCIS MARIA LBERMAN 28 24 52 27 30 57 55 54 109ROYAL INTERNATIONAL 21 19 40 0 0 0 21 19 40RAUDHA ACADEMY 35 46 81 10 31 41 45 77 122PHILTER FEDERAL 9 7 16 26 19 45 35 26 61HIGH PERFOMANCE 1 1 2 0 1 1 1 2 3AL HARAMAYN 31 38 69 23 41 64 54 79 133JKU SEC. SCHOOL 23 20 43 18 15 33 41 35 76BEIT-RAS 11 23 34 7 12 19 18 35 53SHAH HIGH SCHOOL 19 16 35 26 15 41 45 31 76AL - MUBARAK 1 4 5 0 0 0 1 4 5JUBA ISLAMIC SCHOOL 9 7 16 13 13 26 22 20 42MAHAD ISTIQAMA 32 23 55 15 0 15 47 23 70JUMLA 704 716 1420 542 686 1228 1246 1402 2648

UANDIKISHAJI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA 3 NA 4 WA MIKONDO YA KAWAIDA SKULI ZA BINAFSI, 2015

SKULI

KIDATO 3 KIDATO 4 JUMLA KUU

Page 132: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

128

JADWELI NAM. 19

WAS J'LA WAS J'LA WAS J'LA WAS J'LA WAS J'LA

Kiembesamaki 34 50 20 58 16 53 27 58 97 219

Kiuyu 21 49 15 39 6 39 8 21 50 148

55 99 35 97 22 92 35 79 147 367

Kifaransa Kiponda 27 36 22 42 17 39 20 36 86 153

Skuli ya Biashara 22 57 8 47 17 46 22 52 69 202

Kiembesamaki 20 53 0 0 0 0 0 0 20 53

Chasasa 14 40 15 43 11 28 13 29 53 140

83 186 45 132 45 113 55 117 228 548

Skuli ya Biashara 20 49 20 52 13 40 21 51 74 192

Ben Bella 51 51 54 54 48 48 0 0 153 153

Chasasa 7 40 22 53 0 0 0 0 29 93

Utaani B 0 0 0 0 12 36 8 29 20 65

78 140 96 159 73 124 29 80 276 503

Mikunguni 24 50 13 49 8 64 14 45 59 208

Kengeja 6 38 11 50 5 24 11 41 33 153

30 88 24 99 13 88 25 86 92 361

Lumumba 61 135 38 101 46 133 57 157 202 526

F/Castro 28 74 61 139 48 132 113 178 250 523

89 209 99 240 94 265 170 335 452 1049

Vikokotoni 80 204 94 201 56 144 111 192 341 741

Utaani B 0 0 0 0 18 49 4 24 22 73

Chasasa 11 43 14 38 0 0 0 0 25 81

Kiponda 0 0 0 0 21 41 0 0 21 41

Kiembesamaki 29 57 0 0 0 0 0 0 29 57

Tumekuja 56 120 83 234 0 0 0 0 139 354

91 247 108 239 95 234 115 216 409 936

Utaani A 46 46 42 42 32 32 0 0 120 120

Madungu 33 49 28 53 16 30 0 0 77 132

Chasasa 13 54 17 50 8 31 0 0 38 135

Hamamni 0 0 66 126 0 0 0 0 66 126

Mikindani 34 52 19 39 28 74 0 0 81 165

Ben Bella 105 105 55 55 144 144 103 103 407 407

231 306 227 365 228 311 103 103 789 1085

657 1275 634 1331 570 1227 532 1016 2393 4849

Ufundi Dodeani (Binafsi) 0 0 0 0 0 14 0 0 0 14

Sayansi ya jamii Al -Ihsani 21 21 20 20 18 18 21 21 80 80

21 21 20 20 18 32 21 21 80 94

678 1296 654 1351 588 1259 553 1037 2473 4943

Biashara

Kompyuta

JUMLA KUU

JUMLA (BINAFSI)

Jumla Ndogo

Kiislam

Jumla Ndogo

Jumla Ndogo

Jumla Ndogo

Sayansi

Jumla Ndogo

JUMLA (SERIKALI)

Jumla Ndogo

Vipawa vya juu

Jumla Ndogo

Ufundi

Sayansi jamii

UANDIKISHAJI KATIKA AINA MBALI MBALI ZA MICHEPUO - 2015

MCHEPUO

KIDATO 1 KIDATO 2 KIDATO 3 KIDATO 4 JUMLA KUU

SKULI

Page 133: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

129

JADWELI NAM. 20

WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA

1. SKULI ZA SERIKALI

KIDATO CHA 1 12791 13718 26509 618 657 1275 13409 14375 27784

KIDATO CHA 2 10340 12267 22607 697 634 1331 11037 12901 23938

KIDATO CHA 3 5263 6643 11906 657 570 1227 5920 7213 13133

KIDATO CHA 4 4861 6501 11362 484 532 1016 5345 7033 12378

JUMLA 33255 39129 72384 2456 2393 4849 35711 41522 77233

2. SKULI ZA BINAFSI

KIDATO CHA 1 981 1065 2046 0 21 21 981 1086 2067

KIDATO CHA 2 770 944 1714 0 20 20 770 964 1734

KIDATO CHA 3 752 876 1628 14 18 32 766 894 1660

KIDATO CHA 4 640 856 1496 0 21 21 640 877 1517

JUMLA 3143 3741 6884 14 80 94 3157 3821 6978

JUMLA KUU 36398 42870 79268 2470 2473 4943 38868 45343 84211

UANDIKISHAJI KATIKA NGAZI YA SEKONDARI (KIDATO 1 - 4), MACHI - 2015

ELIMU YA KATI ELIMU YA MICHEPUO JUMLA

DARASA

Page 134: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

130

JADWELI NAM. 21

WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA

Mjini 9273 10870 20143 8065 9016 17081 686 784 1470 8751 9800 18551 94.4 90.2 92.1

Magharibi 18004 23391 41395 8711 10369 19080 1980 2610 4590 10691 12979 23670 59.4 55.5 57.2

Kaskazini 'A' 4773 5523 10296 2718 3717 6435 0 0 0 2718 3717 6435 56.9 67.3 62.5

Kaskazini 'B' 3947 4274 8221 1418 1881 3299 0 0 0 1418 1881 3299 35.9 44.0 40.1

Kati 3422 3836 7258 2422 2703 5125 130 83 213 2552 2786 5338 74.6 72.6 73.5

Kusini 1604 1720 3324 1209 1253 2462 25 24 49 1234 1277 2511 76.9 74.2 75.5

Micheweni 5204 6066 11270 2189 2334 4523 14 0 14 2203 2334 4537 42.3 38.5 40.3

Wete 5181 5870 11051 3445 3731 7176 48 64 112 3493 3795 7288 67.4 64.7 65.9

Chake-Chake 4834 5856 10690 2703 3328 6031 274 256 530 2977 3584 6561 61.6 61.2 61.4

Mkoani 4757 5461 10218 2831 3190 6021 0 0 0 2831 3190 6021 59.5 58.4 58.9

Jumla 60999 72867 133866 35711 41522 77233 3157 3821 6978 38868 45343 84211 63.7 62.2 62.9

BINAFSI JUMLA

ASILIMIA YA UANDIKISHAJI KATIKA NGAZI YA SEKONDARI ( KIDATO 1 - 4) MACHI - 2015

WILAYA

WATOTO WENYE UMRI ASILIMIA YA

WA MIAKA 14 - 17 SERIKALI UANDIKISHAJI

UANDIKISHAJI KATIKA NGAZI YA SEKONDARI (KIDATO 1-4)

Page 135: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

131

JADWELI NAM. 22

WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA

Lumumba 52 142 42 101 94 243

Vikokotoni 51 79 25 51 76 130

Ben - Bella 118 118 75 75 193 193

Hamamnj 86 186 0 0 86 186

Kiembe Samaki 50 108 25 70 75 178

Biashara Mombasa 22 56 14 27 36 83

Chukwani 14 42 0 0 14 42

Mwanakwerekwe 'C' 86 145 21 30 107 175

Mpendae 39 109 16 58 55 167

Tumekuja 16 29 0 0 16 29

Kiponda 26 51 11 40 37 91

Mkwajuni 17 44 8 13 25 57

Faraja 57 86 0 0 57 86

Jang'ombe 30 42 0 0 30 42

Chuo cha Kiislamu (Pemba) 17 37 9 13 26 50

Madungu 13 23 15 31 28 54

Shamiani 30 66 0 0 30 66

Fidel-Castro 70 121 38 89 108 210

Chasasa 92 129 22 36 114 165

Utaani 'A' 0 30 8 12 8 42

Uweleni 26 44 0 0 26 44

M/Mdogo 24 42 0 0 24 42

JUMLA SERIKALI 936 1729 329 646 1265 2375

SUZA 29 68 16 25 45 93

SOS 38 29 26 37 64 66

Al Ihsaan 48 48 20 20 68 68

Al - Falah 12 18 0 0 12 18

Nyuki 4 16 0 0 4 16

International School 2 4 0 0 2 4

Raudha 2 7 0 0 2 7

JUMLA BINAFSI 135 190 62 82 197 272

JUMLA KUU 1071 1919 391 728 1462 2647

UANDIKISHAJI KATIKA NGAZI YA ELIMU YA SEKONDARI YA JUU 2015

SKULI

KIDATO CHA 5 KIDATO CHA 6 JUMLA

Page 136: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

132

JADWELI NAM. 23

WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA

Mjini 22334 24178 46512 19270 20213 39483 3581 3844 7425 22851 24057 46908 102.3 99.5 100.9

Magharibi 50514 56893 107407 36780 38819 75599 7168 7618 14786 43948 46437 90385 87.0 81.6 84.2

Kaskazini 'A' 9518 13680 23198 12471 13556 26027 18 15 33 12489 13571 26060 131.2 99.2 112.3

Kaskazini 'B' 10476 11016 21492 7022 7169 14191 10 20 30 7032 7189 14221 67.1 65.3 66.2

Kati 9139 9020 18159 9626 9633 19259 368 305 673 9994 9938 19932 109.4 110.2 109.8

Kusini 4303 4068 8371 4775 4464 9239 221 193 414 4996 4657 9653 116.1 114.5 115.3

Micheweni 15193 15257 30450 12028 12185 24213 137 123 260 12165 12308 24473 80.1 80.7 80.4

Wete 14147 14502 28649 15062 15055 30117 151 145 296 15213 15200 30413 107.5 104.8 106.2

Chake-Chake 12736 14119 26855 12864 12821 25685 848 773 1621 13712 13594 27306 107.7 96.3 101.7

Mkoani 13670 13559 27229 13672 13511 27183 111 90 201 13783 13601 27384 100.8 100.3 100.6

Jumla 162030 176292 338322 143570 147426 290996 12613 13126 25739 156183 160552 316735 96.4 91.1 93.6

ASILIMIA YA UANDIKISHAJI KATIKA NGAZI YA MSINGI NA KATI (DARASA I - KIDATO 2) 2015

WILAYA

WATOTO WENYE UMRI UANDIKISHAJI KATIKA NGAZI YA MSINGI NA KATI (DARASA LA 1 - KIDATO 2) ASILIMIA YA

WA MIAKA 7 - 15 SERIKALI BINAFSI JUMLA UANDIKISHAJI

Page 137: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

133

JADWELI NAM. 24

DAKHALIA WAVULANA WASICHANA JUMLA

1 Mbweni 'A' 100 68 168

2 Mbweni 'B' 24 0 24

2 C.C.K (Mazizini) 0 66 66

3 Fidel-Castro 315 339 654

4 Utaani 260 210 470

5 Kengeja 114 32 146

7 C.C.K (Kiuyu) 103 87 190

8 Chuo cha Ufundi - Mkokotoni 44 44 88

9 Chuo cha Ufundi - Vitongoji 88 27 115

Jumla 1048 873 1921

IDADI YA WANAFUNZI WANAOKAA DAKHALIA, 2015

Page 138: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

134

JADWELI NAM. 25(a)

Namb JINA LA CHUO W'ME W'KE JUMLA

1 UNIVERSITY COLLEGE OF EDUCATION ZANZIBAR 48 60 108

2 OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA 5 0 5

3 STATE UNIVERSITY OF ZANZIBAR 188 244 432

4 ZANZIBAR INSTITUTE OF FINANCIAL ADMINISTRATION 87 131 218

5 ZANZIBAR UNIVERSITY 356 521 877

6 ARDHI UNIVERSITY 3 1 4

7 COLLEGE OF BUSINESS EDUCATION - DAR 14 5 19

8 COLLEGE OF BUSINESS EDUCATION - DODOMA 3 1 4

9 DAR ES SALAAM INSTITUTE OF TECHNOLOGY 12 5 17

10 DAR ES SALAAM MARITIME INSTITUTE 4 0 4

11 ARCHBISHOP JAMES UNIVERSITY COLLEGE 0 1 1

12 HUBERT KAIRUKI MEMORIAL UNIVERSITY 2 7 9

13 INSTITUTE OF ACCOUNTANCY ARUSHA 4 1 5

14 INSTITUTE OF FINANCIAL MANAGEMENT 21 6 27

15 INSTITUTE OF ADULT EDUCATION 1 1 2

16 INSTITUTE OF RURAL DEVELOPMENT AND PLANNING 6 7 13

17 INSTITUTE OF TAX ADMINISTRATION 5 5 10

18 ARCHBISHOP MIHAYO UNIVERSITY COLLEGE TABORA (AMUTA) 1 0 1

19 KAMPALA INTERNATIONAL UNIVERSITY 14 15 29

20 CATHOLIC UNIVERSITY OF HEALTH AND ALLIED SCIENCES

(BUGANDO)

0 1 1

21 MWENGE UNIVERSITY COLLEGE OF EDUCATION 2 2 4

22 MBEYA INSTITUTE OF SCIENCE AND TECHNOLOGY 8 1 9

WANAFUNZI WALIOKO MASOMONI CHINI YA UDHAMINI ZHELB KATIKA VYUO MBALI MBALI

TANZANIA MWAKA 2015/2016

Page 139: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

135

23 CENTER FOR FOREIGN RELATIONS DAR-ES-SALAAM 4 7 11

24 MUHIMBILI UNIVERSITY OF HEALTH AND ALLIED SCIENCES 3 5 8

25 MUSLIM UNIVERSITY OF MOROGORO 8 2 10

26 COMMUNITY DEVELOPMENTTRAINING INSTITUTE 2 1 3

27 MZUMBE UNIVERSITY 16 8 24

28 SEBASTIAN KOLOWA UNIVERSITY COLLEGE 2 2 4

29 INSTITUTE OF PROCUREMENT AND SUPPLY 1 3 4

30 IMTU 9 10 19

31 MOUNT MERU UNIVERSITY 0 1 1

32 NATIONAL INSTITUTE OF TRANSPORT 12 3 15

33 STEPHANO MOSHI MEMORIAL UNIVERSITY COLLEGE 1 0 1

34 SOKOINE UNIVERSITY OF AGRICULTURE 6 0 6

35 RUAHA UNIVERSITY COLLEGE 2 0 2

36 ST JOHN'S UNIVERSITY OF TANZANIA - DAR 1 4 5

37 ST. JOSEPH UNIVERSITY IN TANZANIA IN 9SJUT) DA-ES-SALAAM 16 6 22

38 ST. JOSEPH UNIVERSITY COLLEGE OF INFORMATION TECHNOLOGY -

SONGEA4 0 4

39ST. JOSEPH UNIVERSITY COLLEGE OF AGRICULTURE SCIE.AND

TECHNOLOGY - SONGEA1 0 1

40 TANZANIA INSTITUTE OF ACCOUNTANCY - MBEYA 2 0 2

41 S/WORK 6 5 11

42 TMBI 11 20 31

43 TANZANIA INSTITUTE OF ACCOUNTANCY 16 11 27

44 TUMAINI DAR ES SALAAM COLLEGE 0 3 3

45 TUMAINI UNIVERSITY MAKUMIRA UNIVERSITY COLLEGE 2 0 2

46 EASTC 3 5 8

47 UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM 16 16 32

48 UNIVERSITY OF DODOMA 37 11 48

49 UNIVERSITY OF ARUSHA 0 1 1

50 UNIVERSITY OF BAGAMOYO 12 3 15

51 UNIVERSITY OF IRINGA 9 5 14

52 OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA - ZANZIBAR CENTRE 52 29 81

53 OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA - PEMBA CENTRE 23 17 40

1061 1193 2254TOTAL

Page 140: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

136

NCHI W'ME W'KE JUMLA

1 MALAYSIA 2 1 3

2 CHINA 29 39 68

3 UKRAINE 8 5 13

4 URUSI 3 - 3

5 SUDAN 51 38 89

6 OMAN 5 2 7

9 QATAR 1 - 1

11 TURKEY 1 1 2

12 UGANDA 4 3 7

INDIA 1 1 2

EGYPT 3 - 3

JUMLA 108 90 198

WANAFUNZI WALIOKO MASOMONI KATIKA VYUO

MBALI MBALI NJE YA TANZANIA MWAKA 2015/2016

JADWELI NAM. 25(b)

Page 141: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

137

JADWELI NAM. 26(a)

M’me W’ke M’me W’ke M’me W’ke M’me W’ke

Shahada ya uzamivu kiswahili 5 5 - - 7 1 12 6 18

Shahada ya uzamili Kiswahili 7 14 - - - - 7 14 21

Shahada ya uzamili chemia 5 5 9 4 - - 14 9 23

Shahada ya uzamili sayansi mazingira 7 5 5 3 - - 12 8 20

Shahada ya Uwalimu Sayansi 43 42 40 33 11 13 94 88 182

shahada ya Uwalimu Sanaa 83 158 55 83 60 77 198 318 516

Shahada ya Sayansi ya kompyuta 17 11 15 7 11 6 43 24 67

Shahada ya Uwalimu IT 10 6 - - - - 10 6 16

Shahada ya Habari na Mawasiliano 30 17 15 12 - - 45 29 74

Shahada ya Sanaa -Utalii na 15 7 - - - - 15 7 22

Shahada ya Sanaa Gographia 15 26 7 4 - - 22 30 52

Shahada ya Sayansi Afya ya Mazingira 34 32 11 22 - - 45 54 99

shahada ya Udakitari 19 32 14 17 - - 33 49 82

Shahada ya Sanaa Historia 5 4 6 1 - - 11 5 16

Shahada ya Lungha/Kiswahili 16 62 20 34 2 17 38 113 151

Stashahada Lungha/Elimu 20 74 46 133 - - 66 207 273

Stashahda ya Sayansi/Elimu 37 59 20 15 - - 57 74 131

Stashahada Elimu/ Uongozi 7 27 9 36 - - 16 63 79

Stashahada Kazi za Jamii 12 39 12 46 - - 24 85 109

Stashahada Elimu ya Michezo 10 4 - - - - 10 4 14

Stashahada IT 41 33 48 30 - - 89 63 152

Stashahada Sayansi ya Kompyuta 21 5 21 5 - - 42 10 52

Stashahada Utaliii na urithi 6 6 2 8 - - 8 14 22

Stashada ya Ukutubi 7 61 14 57 - - 21 118 139

Stashahada Elimu Mjumuisho 11 29 - - - - 11 29 40

Cheti cha Ukutubi 6 38 - - - - 6 38 44

Cheti Cha Teknologia ya Kompyuta. 18 18 - - - - 18 18 36

Pre - Diploma (sayansi) 20 47 - - - - 20 47 67

UQFL 6 (pre - entry) 13 8 - - - - 13 8 21

JUMLA 540 874 369 550 91 114 1,000 1,538 2,538

JUMLA

UANDIKISHAJI ELIMU YA JUU MACHI, 2015

CHUO KIKUU CHA TAIFA ZANZIBAR (SUZA)

AINA YA PROGARAMUMWAKA 1 MWAKA 2 MWAKA 3 JUMLA

Page 142: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

138

JADWELI NAM. 26(b)

NCHI WALIZOTOKA WANAFUNZI WAVULANA WASICHANA JUMLA

Marekani 43 21 64Korea Kusini 2 1 3Norway 3 - 3Ufaransa 3 3 6Ujerumani 10 2 12Uingereza 1 4 5Algeria - 4 4Libya 4 11 15Sudan - 4 4Japan 2 - 2Msumbiji 1 - 1Pakistani - 1 1Belgium - 1 1Ireland - 1 1Netherlands - 1 1Uswisi 1 - 1Urusi 1 - 1

JUMLA 71 54 125

UANDIKISHAJI WA WANAFUNZI WA KIGENI KATIKA SKULI

YA KISWAHILI NA LUGHA ZA KIGENI - MACHI, 2015

Page 143: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

139

JADWELI NAM. 27

CHUO KIKUU CHA ABDULRAHMAN AL SUMAIT MEMORIAL

JUMLA

M'me W'ke M'me W'ke M'me W'ke M'me W'ke KUU

Shahada ya Sayansi ya Ualimu 23 13 29 20 17 14 69 47 116

Shahada ya 'Sanaat' ya Ualimu 122 256 193 369 203 451 518 1076 1594

Shahada ya sayansi ya kompyuta 12 1 12 0 6 4 30 5 35

Shahada ya Teknhama 8 10 0 0 0 0 8 10 18

Shahada ya Teknolojia ya habari 5 1 0 0 0 0 5 1 6

Stashahada ya Ualimu 16 48 0 0 0 0 16 48 64

Cheti cha Ualimu 20 64 0 0 0 0 20 64 84

JUMLA 206 393 234 389 226 469 666 1251 1917

UANDIKISHAJI ELIMU YA JUU MACHI, 2015

JUMLA

AINA YA PROGRAMU

Mwaka 1 Mwaka 2 Mwaka 3

Page 144: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

140

JADWELI NAM. 28

JUMLA

M'me W'ke M'me W'ke M'me W'ke M'me W'ke KUU

Shahada ya uzamili Sheria 3 4 15 9 0 0 18 13 33

Shada ya uzamili Utawala wa Uma 16 14 26 5 0 0 42 19 68

Shahada ya uzamili Uchumi 19 8 33 13 0 0 52 21 85

Shahada ya uzamili Uongozi wa Biashara 16 14 38 32 0 0 54 46 92

Shahada ya masoko (marketing) 0 0 8 13 9 22 17 35 34

shahada ya Uongozi wa Biashara 38 41 57 61 40 60 135 162 232

Shada ya IT 46 43 31 22 20 26 97 91 148

Shahada ya Uwalimu IT 64 67 45 64 0 0 109 131 154

Shada ya Manunuzi na Matunzo 22 28 72 99 0 0 94 127 166

Shada ya Uchumi 20 15 25 21 27 13 72 49 124

Shada ya Utawala wa Uma 10 8 21 25 13 17 44 50 78

Shada ya Sayansi ya Uuguzi 32 44 16 49 0 0 48 93 64

Shada ya (Social Work) 45 106 40 91 0 0 85 197 125

Shahada ya Lungha/Kiswahili 13 56 14 52 0 0 27 108 41

Shada ya Islamic Banking 6 21 20 46 0 0 26 67 46

Shada ya Sheria 11 7 28 24 31 27 70 58 129

Shahada ya Sayansi ya computa 24 11 19 6 0 0 43 17 62

stashahada ya Islamic banking 17 44 0 0 0 0 17 44 17

Stashahad ya manunuzi na Matunzo 22 28 0 0 0 0 22 28 22

Stashahada IT 14 21 0 0 0 0 14 21 14

Stashahada ya Uchumi na Fedha 26 37 0 0 0 0 26 37 26

Stashahada ya Child Right Protection 8 21 0 0 0 0 8 21 8

Cheti cha Islamic Banking 9 21 0 0 0 0 9 21 9

Cheti cha Manunuzi na Matunzo 14 18 0 0 0 0 14 18 14

Cheti cha Child Right Protection 7 6 0 0 0 0 7 6 7

Cheti cha IT 15 13 0 0 0 0 15 13 15

Cheti cha Mipango na Miradi 6 6 0 0 0 0 6 6 6

UQFL 6 (pre - entry) 96 76 0 0 0 0 96 76 96

JUMLA 619 778 508 632 140 165 1267 1575 1915

UANDIKISHAJI ELIMU YA JUU MACHI, 2015

CHUO KIKUU CHA ZANZIBAR

JUMLA

AINA YA PROGRAMUMwaka 1 Mwaka 2 Mwaka 3

Page 145: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

141

JADWELI NAM. 29

FANI WANAUME WANAWAKE JUMLA

Civil Engineering and Transportation NTA - 4 27 12 39

Civil Engineering and Transportation NTA - 5 12 5 17

Civil Engineering and Transportation NTA - 6 19 5 24

Mechanical and Automotive Engineering NTA - 4 32 1 33

Mechanical and Automotive Engineering NTA - 5 20 1 21

Mechanical and Automotive Engineering NTA - 6 14 0 14

Electrical Engineering NTA - 4 26 15 41

Electrical Engineering NTA - 5 27 2 29

Electrical Engineering NTA - 6 24 1 25

Telecommunication and Electronic Engineering NTA - 4 11 8 19

Telecommunication and Electronic Engineering NTA - 5 4 4 8

Telecommunication and Electronic Engineering NTA - 6 10 5 15

Computer engineering - NTA - 4 8 5 13

Computer engineering - NTA - 5 4 4 8Computer engineering- NTA - 6 3 6 9

JUMLA NTA 4 104 41 145

JUMLA NTA 5 67 16 83

JUMLA NTA 6 70 17 87

JUMLA KUU 241 74 315

Angalia:

NTA = National Technical Award

UANDIKISHAJI KATIKA TAASISI YA KARUME YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA

MACHI - 2015

Page 146: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

142

JADWELI NAM. 30(a)

W'ME W'KE W'ME W'KE W'ME W'KE

Ualimu Stashahada Sanaa Sekondari 0 0 0 0 0 0 0

Ualimu Stashahada Sayansi Msingi 7 13 10 40 17 53 70

Ualimu Stashahada Sanaa Msingi 6 125 4 50 10 175 185

Stashahada ya masomo ya Kiislamu - Sekondari 13 19 3 13 16 32 48

Stashahada ya masomo ya Kiislamu - Msingi 3 63 4 32 7 95 102

Elimu Mjumuisho 4 38 0 0 4 38 42

Jumla 33 258 21 135 54 393 447

JUMLA KUUDARAJA ZA MASOMO

IDADI YA WANAFUNZI KATIKA CHUO CHA KIISLAMU MAZIZINI UNGUJA, MACHI - 2015

Mwaka wa Kwanza Mwaka wa Pili JUMLA

Page 147: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

143

JADWELI NAM. 30(b)

DARAJA ZA MASOMO WANAUME WANAWAKE JUMLA

Wanafunzi wa Kidato cha 1 28 21 49

Wanafunzi wa Kidato cha 2 24 15 39

Wanafunzi wa Kidato cha 3 30 6 36

Wanafunzi wa Kidato cha 4 13 8 21

Wanafunzi wa Kidato cha 5 17 20 37

Wanafunzi wa Kidato cha 6 9 4 13

Ualimu Stashahada (Mwaka 1) 13 25 38

Ualimu Stashahada (Mwaka 2) 12 25 37

Jumla 146 124 270

IDADI YA WANAFUNZI KATIKA CHUO CHA KIISLAMU KIUYU PEMBA, MACHI - 2015

Page 148: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

144

JADWELI NAM. 30(c)

DARAJA ZA MASOMO

M'ME M'KE M'ME M'KE M'ME M'KE

Wanafunzi wa stashahada ya msingi - Sanaa 24 57 26 22 50 79 129

Wanafunzi wa stashahada ya msingi - Sayansi 16 27 17 27 33 54 87

Wanafunzi wa stashahada ya sekondari - Sanaa 0 0 4 8 4 8 12

Jumla 40 84 47 57 87 141 228

IDADI WANAFUNZI KATIKA CHUO CHA BENJAMIN MKAPA, MACHI - 2015

MWAKA 1 MWAKA 2 JUMLA

JUMLA KUU

Page 149: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

145

JADWELI NAM. 31

WAVULANA WASICHANA JUMLA WAVULANA WASICHANA JUMLA WAVULANA WASICHANA JUMLA

Mjini 2066 2140 4206 1560 1877 3437 75.5 87.7 81.7

Magharibi 3189 3772 6961 2336 3162 5498 73.3 83.8 79.0

Kaskazini 'A' 914 1276 2190 578 848 1426 63.2 66.5 65.1

Kaskazini 'B' 594 693 1287 380 551 931 64.0 79.5 72.3

Kati 859 917 1776 491 724 1215 57.2 79.0 68.4

Kusini 441 410 851 249 322 571 56.5 78.5 67.1

Micheweni 792 953 1745 525 628 1153 66.3 65.9 66.1

Wete 1203 1184 2387 884 885 1769 73.5 74.7 74.1

Chake-Chake 1035 1188 2223 747 941 1688 72.2 79.2 75.9

Mkoani 994 1129 2123 547 680 1227 55.0 60.2 57.8

Jumla 12087 13662 25749 8297 10618 18915 68.6 77.7 73.5

MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA VII WA 2014 NA

WALIOTEULIWA KUENDELEA NA MASOMO - 2015

WILAYA

WALIOFANYA MTIHANI WALIOTEULIWA KUENDELEA ASILIMIA YA WANAOENDELEA

Page 150: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

146

JADWELI NAM. 32

WAVULANA WASICHANA JUMLA WAVULANA WASICHANA JUMLA WAVULANA WASICHANA JUMLA

Mjini 1759 2089 3848 1429 1005 2434 81.2 48.1 63.3

Magharibi 2117 2586 4703 1701 1227 2928 80.3 47.4 62.3

Kaskazini 'A' 661 956 1617 583 421 1004 88.2 44.0 62.1

Kaskazini 'B' 398 499 897 190 290 480 47.7 58.1 53.5

Kati 608 676 1284 330 434 764 54.3 64.2 59.5

Kusini 338 351 689 176 221 397 52.1 63.0 57.6

Micheweni 502 566 1068 314 339 653 62.5 59.9 61.1

Wete 739 890 1629 470 544 1014 63.6 61.1 62.2

Chake-Chake 706 785 1491 373 510 883 52.8 65.0 59.2

Mkoani 771 897 1668 440 511 951 57.1 57.0 57.0

Jumla 8599 10295 18894 6006 5502 11508 69.8 53.4 60.9

Mchepuo/Binafsi 1520 1530 3050 1427 1449 2876 93.9 94.7 94.3

JUMLA KUU 10119 11825 21944 7433 6951 14384 73.5 58.8 65.5

MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA PILI - 2014 NA

WILAYA

WALIOFANYA MTIHANI WALIOTEULIWA KUENDELEA ASILIMIA YA WANAOENDELEA

WALIOTEULIWA KUENDELEA NA MASOMO - 2015

Page 151: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

147

JADWELI NAM. 33a(i)

WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA TZ ZNZ

WILAYA YA MJINI

Lumumba 31 67 3 13 18 36 8 13 1 4 30 66 96.8 98.5 95 1

Mikunguni 16 38 0 1 5 14 8 12 3 11 16 38 100.0 100.0 102 9

Kiponda 17 38 0 8 8 18 2 9 7 9 17 44 100.0 115.8 97 7

Forodhani 81 151 0 0 0 0 1 3 46 85 47 88 58.0 58.3 2091 70

Jang'ombe 118 222 0 0 0 3 15 28 63 109 78 140 66.1 63.1 1782 39

H/Sellassie 70 122 0 0 2 7 10 11 96 148 108 166 154.3 136.1 2013 57

B/Bella 78 137 2 10 19 40 44 64 11 21 76 135 97.4 98.5 196 8

K/Chekundu 179 303 0 0 0 1 8 21 97 156 105 178 58.7 58.7 1985 54

K/Pura 127 188 0 0 1 4 11 13 54 79 66 96 52.0 51.1 2052 63

Vikokotoni 106 174 0 1 18 33 51 75 33 59 102 168 96.2 96.6 333 16

Hurumzi 72 115 0 0 5 5 2 8 41 60 48 73 66.7 63.5 1746 37

Mwembe Ladu 192 331 0 0 0 0 6 10 98 144 104 154 54.2 46.5 2214 89

Nyerere 174 314 0 0 1 2 5 14 64 100 70 116 40.2 36.9 2237 94

Faraja 213 323 0 0 0 0 3 6 72 125 75 131 35.2 40.6 2242 95

Mpendae 95 147 0 0 0 3 7 20 41 64 48 87 50.5 59.2 1573 26

Chumbuni 142 250 0 0 1 3 7 17 88 133 96 153 67.6 61.2 1888 46

Jumla 1711 2920 5 33 78 169 188 324 815 1307 1086 1833 63.5 62.8

PASS

MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE, SKULI ZA SERIKALI - 2014

KIMA CHA KUFAULU NATIJAWATAHINIWA JUMLA

SKULI

DISTINCTION MERIT CREDIT

Page 152: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

148

WALAYA YA MAGHARIBI

1 Kinuni 87 124 0 0 0 1 2 2 49 59 51 62 58.6 50.0 2169 82

2 Bububu 171 270 0 0 0 0 7 25 111 160 118 185 69.0 68.5 1759 38

3 Mwanakwerekwe 'A' 281 447 0 0 3 6 16 29 136 210 155 245 55.2 54.8 2000 55

4 Fuoni 119 175 0 0 0 0 5 7 65 93 70 100 58.8 57.1 2118 76

5 Kiembe Samaki 183 301 0 0 9 12 28 39 83 145 120 196 65.6 65.1 1542 23

6 Mfenesini 75 133 0 0 3 3 2 7 28 45 33 55 44.0 41.4 2176 84

7 Z/Commercial 44 81 3 5 17 29 14 31 9 15 43 80 97.7 98.8 188 7

8 Chukwani 39 96 0 0 0 3 5 8 10 28 15 39 38.5 40.6 2098 72

9 Langoni 20 37 0 0 0 0 0 1 12 17 12 18 60.0 48.6 1778 52

10 Regeza Mwendo 45 73 0 0 1 3 1 3 20 33 22 39 48.9 53.4 1957 52

11 Kombeni 28 42 0 0 0 0 2 3 10 19 12 22 42.9 52.4 2076 67

12 Mtopepo 167 259 0 0 0 1 6 13 85 125 91 139 54.5 53.7 2113 75

13 Mikindani Dole 47 74 0 0 0 0 2 3 15 29 17 32 36.2 43.2 2170 83

14 Chuini 76 115 0 0 0 1 2 3 26 38 28 42 36.8 36.5 2229 91

15 Kisauni 35 55 0 0 2 2 0 2 24 36 26 40 74.3 72.7 1730 35

16 Maungani 16 22 0 0 0 0 2 3 10 14 12 17 75.0 77.3 1133 28

17 Mwanakwerekwe 'C' 155 257 0 0 2 5 6 11 69 114 77 130 49.7 50.6 2105 73

Jumla 1588 2561 3 5 37 66 100 190 762 1180 902 1441 56.8 56.3

Jadweli Nam. 33(a) Linaendelea

Page 153: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

149

WILAYA YA KASKAZINI 'A'

1 Tumbatu 17 35 0 1 0 1 1 3 10 12 11 17 64.7 48.6 1357 32

2 Mkwajuni 120 175 0 0 0 0 0 3 38 57 38 60 31.7 34.3 2263 101

4 Fukuchani 26 34 0 0 0 0 0 0 7 13 7 13 26.9 38.2 1882 59

5 Jongowe 25 41 0 0 0 0 1 2 22 36 23 38 92.0 92.7 1546 24

6 Potoa 43 58 0 0 0 0 2 3 23 31 25 34 58.1 58.6 2058 65

7 Kinyasini 54 83 0 0 0 2 0 0 14 22 14 24 25.9 28.9 2179 86

8 Pale 33 57 0 0 0 0 0 0 11 13 11 13 33.3 22.8 2296 109

9 Gamba 30 44 0 0 0 0 0 0 12 25 12 25 40.0 56.8 2295 108

10 Pwani Mchangani 23 44 0 0 0 0 0 1 10 16 10 17 43.5 38.6 2264 102

11 Kijini 8 17 0 0 0 0 0 0 5 8 5 8 62.5 47.1 1963 65

12 Nungwi 25 48 0 0 0 0 5 10 18 32 23 42 92.0 87.5 1069 18

13 Mlimani 30 63 0 0 0 2 0 2 9 14 9 18 30.0 28.6 2244 96

14 Mapinduzi 80 142 0 0 0 0 0 1 31 53 31 54 38.8 38.0 2266 104

JUMLA 514 841 0 1 0 5 9 25 210 332 188 309 36.6 36.7

1 Donge 90 107 0 0 0 1 1 2 39 50 40 53 44.4 49.5 2055 64

2 mahonda 20 35 0 0 0 3 4 7 15 23 19 33 95.0 94.3 411 21

3 Fujoni 57 88 0 0 0 0 1 3 31 44 32 47 56.1 53.4 2178 85

4 Bumbwini 64 102 0 0 1 1 4 0 23 38 28 39 43.8 38.2 2218 90

5 Makoba 37 60 0 0 0 0 1 2 23 37 24 39 64.9 65.0 2048 62

6 Kitope 23 42 0 0 0 0 2 4 17 29 19 33 82.6 78.6 1742 36

7 Muanda 25 53 0 0 0 0 0 0 17 36 17 36 68.0 67.9 2138 78

JUMLA 316 487 0 0 1 5 13 18 165 257 179 280 56.6 57.5

Jadweli Nam. 33(a) Linaendelea

WILAYA YAKASKAZINI 'B'

Page 154: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

150

1 Mpapa 24 36 0 0 0 1 0 1 11 14 11 16 45.8 44.4 1714 48

2 Uroa 21 52 0 0 0 0 0 5 17 39 17 44 81.0 84.6 1588 27

3 Ndijani 44 64 0 0 0 0 1 2 34 45 35 47 79.5 73.4 1970 53

4 Mwera 74 115 0 1 3 4 5 10 37 55 45 70 60.8 60.9 1661 30

5 Dunga 20 36 0 0 0 0 2 5 16 27 18 32 90.0 88.9 950 25

6 U/Ukuu 20 39 0 0 0 0 0 2 4 8 4 10 20.0 25.6 1953 64

7 Ukongoroni 8 22 0 0 0 0 0 2 3 13 3 15 37.5 68.2 1536 38

8 Kiboje 25 47 0 0 0 1 2 3 9 16 11 20 44.0 42.6 2188 87

9 Bambi 22 42 0 0 0 1 2 4 15 26 17 31 77.3 73.8 1631 28

10 Machui 24 44 0 0 0 0 1 3 8 12 9 15 37.5 34.1 2245 97

12 Charawe 7 10 0 0 0 0 0 0 4 6 4 6 57.1 60.0 1699 47

13 Jendele 14 24 0 0 0 0 2 3 8 13 10 16 71.4 66.7 1229 30

14 kikungwi 19 33 0 0 0 0 0 0 6 10 6 10 31.6 30.3 1996 68

15 Jumbi 32 46 0 0 0 1 4 0 17 29 21 30 65.6 65.2 1386 22

16 Kibele 17 41 0 0 0 0 2 4 11 25 13 29 76.5 70.7 1797 40

17 Chwaka 27 37 0 0 0 0 0 3 13 17 13 20 48.1 54.1 1440 35

19 Umoja uzini 54 74 0 0 2 3 5 6 34 46 41 55 75.9 74.3 1547 25

JUMLA 452 762 0 1 5 11 26 53 247 401 278 466 61.5 61.2

WILAYA YA KATI

Jadweli Nam. 33(a) Linaendelea

Page 155: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

151

1 Paje 20 29 0 0 0 0 2 3 14 21 16 24 80.0 82.8 1056 26

2 Makunduchi 47 100 0 0 0 5 2 5 29 46 31 56 66.0 56.0 1847 44

3 kitogani 16 32 0 0 0 0 0 1 10 18 10 19 62.5 59.4 1648 45

4 jambiani 17 35 0 0 0 0 0 2 9 17 9 19 52.9 54.3 1720 49

5 Kusini 19 42 0 0 0 1 1 2 8 16 9 19 47.4 45.2 2135 77

6 Bwejuu 28 48 0 0 0 1 0 2 13 26 13 29 46.4 60.4 1898 48

7 Kizimkazi 24 33 0 0 0 0 0 0 4 10 4 10 16.7 30.3 2046 69

8 Kizimkazi Dimbani 15 30 0 0 0 0 2 2 6 15 8 17 53.3 56.7 1670 46

9 Muyuni 8 14 0 0 0 0 3 6 5 7 8 13 100.0 92.9 325 18

JUMLA 194 363 0 0 0 7 10 23 98 176 108 206 55.7 56.7

Jadweli Nam. 33(a) Linaendelea

WILAYA YA KUSINI

Page 156: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

152

1 Pemba Islamic 32 49 2 3 4 8 11 18 14 18 31 47 96.9 95.9 332 15

2 Tumbe 21 40 0 0 0 0 0 1 15 24 15 25 71.4 62.5 2084 69

3 Wingwi 54 111 0 0 1 4 2 7 22 45 25 56 46.3 50.5 2027 58

4 Shumba 27 48 0 0 1 1 0 2 13 20 14 23 51.9 47.9 2160 80

5 Chwaka Tumbe 15 52 0 0 0 0 0 1 6 20 6 21 40.0 40.4 2236 93

6 Kinyasin 32 40 0 0 0 0 0 0 14 18 14 18 43.8 45.0 2235 92

7 Micheweni 18 55 0 0 0 0 0 5 10 26 10 31 55.6 56.4 2074 66

8 Kiuyu 23 49 0 0 0 0 0 0 2 17 2 17 8.7 34.7 1839 43

9 Makangale 15 34 0 0 0 0 0 1 5 10 5 11 33.3 32.4 1992 67

10 Kinowe 17 38 0 0 0 1 3 4 11 19 14 24 82.4 63.2 1388 34

11 Konde 66 102 0 0 1 1 2 5 18 25 21 31 31.8 30.4 2265 103

JUMLA 320 618 2 3 7 15 18 44 130 242 136 273 42.5 44.2

Jadweli Nam. 33(a) Linaendelea

WILAYA YA MICHEWENI

Page 157: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

153

1 Utaani 89 168 0 1 3 11 13 18 27 54 43 84 48.3 50.0 1713 32

2 M/Mdogo 37 91 0 0 1 2 4 7 29 66 34 75 91.9 82.4 1948 51

3 Ole 35 43 0 0 0 1 2 5 6 14 8 20 22.9 46.5 1059 27

4 Minungwini 25 41 0 0 0 0 11 16 23 27 34 43 136.0 104.9 2246 98

6 Piki 34 61 0 0 0 0 5 12 11 22 16 34 47.1 55.7 2259 100

7 Kangagani 33 68 0 1 0 3 3 6 18 34 21 44 63.6 64.7 1225 21

8 Gando 28 51 0 0 0 0 0 0 7 22 7 22 25.0 43.1 2270 106

9 Kojani 28 80 0 0 0 1 4 8 15 36 19 45 67.9 56.3 1818 41

10 Makongeni 22 40 0 0 0 0 0 0 2 6 2 6 9.1 15.0 1981 66

11 Uondwe 14 42 0 0 0 0 0 1 6 13 6 14 42.9 33.3 2268 105

12 Shengejuu 18 37 0 0 0 4 0 4 9 18 9 26 50.0 70.3 1714 33

14 Limbani 16 34 0 0 0 0 4 4 5 15 9 19 56.3 55.9 1542 40

16 Fundo 2 7 0 0 0 0 0 0 2 2 2 2 100.0 28.6 2062 70

17 M/Takao 25 34 0 0 0 0 2 2 7 12 9 14 36.0 41.2 1859 58

18 CHWALE 24 38 0 0 1 3 0 0 19 24 20 27 83.3 71.1 1310 31

Chasasa 53 90 0 0 1 5 3 10 25 43 29 58 54.7 64.4 1201 20

Wete Sec. 36 64 0 0 0 1 2 4 25 37 27 42 75.0 65.6 1887 45

19 Ukunjwi 19 22 0 0 0 0 1 1 8 14 9 15 47.4 68.2 1541 39

JUMLA 538 1011 0 2 6 31 54 98 244 459 304 590 56.5 58.4

Jadweli Nam. 33(a) Linaendelea

WILAYA YA WETE

Page 158: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

154

1 Utaani 89 168 0 1 3 11 13 18 27 54 43 84 48.3 50.0 1713 32

2 M/Mdogo 37 91 0 0 1 2 4 7 29 66 34 75 91.9 82.4 1948 51

3 Ole 35 43 0 0 0 1 2 5 6 14 8 20 22.9 46.5 1059 27

4 Minungwini 25 41 0 0 0 0 11 16 23 27 34 43 136.0 104.9 2246 98

6 Piki 34 61 0 0 0 0 5 12 11 22 16 34 47.1 55.7 2259 100

7 Kangagani 33 68 0 1 0 3 3 6 18 34 21 44 63.6 64.7 1225 21

8 Gando 28 51 0 0 0 0 0 0 7 22 7 22 25.0 43.1 2270 106

9 Kojani 28 80 0 0 0 1 4 8 15 36 19 45 67.9 56.3 1818 41

10 Makongeni 22 40 0 0 0 0 0 0 2 6 2 6 9.1 15.0 1981 66

11 Uondwe 14 42 0 0 0 0 0 1 6 13 6 14 42.9 33.3 2268 105

12 Shengejuu 18 37 0 0 0 4 0 4 9 18 9 26 50.0 70.3 1714 33

14 Limbani 16 34 0 0 0 0 4 4 5 15 9 19 56.3 55.9 1542 40

16 Fundo 2 7 0 0 0 0 0 0 2 2 2 2 100.0 28.6 2062 70

17 M/Takao 25 34 0 0 0 0 2 2 7 12 9 14 36.0 41.2 1859 58

18 CHWALE 24 38 0 0 1 3 0 0 19 24 20 27 83.3 71.1 1310 31

Chasasa 53 90 0 0 1 5 3 10 25 43 29 58 54.7 64.4 1201 20

Wete Sec. 36 64 0 0 0 1 2 4 25 37 27 42 75.0 65.6 1887 45

19 Ukunjwi 19 22 0 0 0 0 1 1 8 14 9 15 47.4 68.2 1541 39

JUMLA 538 1011 0 2 6 31 54 98 244 459 304 590 56.5 58.4

Jadweli Nam. 33(a) Linaendelea

WILAYA YA WETE

Page 159: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

155

1 F/Castro 59 111 6 15 19 41 24 37 9 14 58 107 98.3 96.4 156 5

2 Shamiani 109 154 0 0 0 2 4 9 43 57 47 68 43.1 44.2 2083 68

3 Ch/Mjawiri 30 38 0 0 1 1 2 4 15 16 18 21 60.0 55.3 1605 42

4 Vitongoji 35 44 0 0 0 1 0 2 12 13 12 16 34.3 36.4 2037 59

5 Wawi 36 65 0 0 0 0 1 6 21 34 22 40 61.1 61.5 1890 47

6 Pujini 18 33 0 0 0 0 0 1 10 21 10 22 55.6 66.7 1484 36

7 Wesha 21 40 0 0 0 0 1 3 14 29 15 32 71.4 80.0 1679 31

8 Kilindi 21 41 0 0 0 0 1 2 11 13 12 15 57.1 36.6 1497 37

9 Furaha 9 22 0 0 0 0 0 0 11 17 11 17 122.2 77.3 1930 61

10 Ziwani 22 38 0 0 0 0 0 0 11 16 11 16 50.0 42.1 1946 62

11 Chwale 24 39 0 0 1 3 0 0 19 24 20 27 83.3 69.2 1310 31

12 Pondeani 56 103 0 0 1 2 1 4 26 48 28 54 50.0 52.4 2107 74

13 N'gambwa 35 54 0 0 0 0 2 3 24 35 26 38 74.3 70.4 1940 50

15 Uwandani 35 54 0 0 0 0 0 1 12 15 12 16 34.3 29.6 1759 51

16 MADUNGU 61 91 0 0 1 2 7 10 17 29 25 41 41.0 45.1 2097 71

17 MBUZINI 27 39 0 0 0 0 0 1 17 21 17 22 63.0 56.4 1820 55

18 Vikunguni 19 32 0 0 1 1 1 2 14 23 16 26 84.2 81.3 1359 33

JUMLA 617 998 6 15 24 53 44 85 286 425 360 578 58.3 57.9

Jadweli Nam. 33(a) Linaendelea

WILAYA YA CHAKE

Page 160: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

156

1 Kengeja Tech. 9 33 0 0 2 8 0 4 2 11 4 23 44.4 69.7 499 22

2 Kiwani 5 12 0 0 0 0 0 0 1 7 1 7 20.0 58.3 1780 53

3 Mkanyageni 31 51 0 0 0 0 1 4 15 24 16 28 51.6 54.9 2045 61

4 M/Ngwachani 33 48 0 0 0 1 1 1 19 26 20 28 60.6 58.3

5 Kangani 33 48 0 1 0 3 3 6 18 34 21 44 63.6 91.7 1225 21

6 Uweleni 91 142 0 0 0 1 8 13 60 84 68 98 74.7 69.0 1832 42

7 Kengeja Sec. 25 58 0 0 0 0 1 6 11 19 12 25 48.0 43.1 1164 29

9 Mtambile 27 53 0 0 1 2 4 10 19 31 24 43 88.9 81.1 1200 19

10 Wambaa 35 61 0 0 0 1 0 3 16 27 16 31 45.7 50.8 2044 60

11 Mizingani 12 19 0 0 0 0 0 0 7 12 7 12 58.3 63.2 1744 50

12 Mwambe 34 67 0 0 0 2 0 3 21 38 21 43 61.8 64.2 1903 49

13 Makombeni 13 34 0 0 0 1 0 2 9 16 9 19 69.2 55.9 1642 44

16 Chokocho 37 57 0 0 0 0 0 0 6 8 6 8 16.2 14.0 2319 110

17 Ukutini 13 18 0 0 0 0 0 0 11 14 11 14 84.6 77.8 1624 43

18 MICHENZANI 37 56 0 0 0 0 1 1 17 21 18 22 48.6 39.3 2255 99

19 Chambani 18 33 0 0 0 3 1 1 17 26 18 30 100.0 90.9 657 24

JUMLA 453 790 0 1 3 22 20 54 249 398 254 445 56.1 56.3

JUMLA KUU 6703 11351 16 61 161 384 482 914 3206 5177 3795 6421 56.6 56.6

Jadweli Nam. 33(a) Linaendelea

WILAYA YA MKOANI

Page 161: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

157

JADWELI NAM. 33a(ii)

WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA TZ ZNZ

1 Sunni Madrassa 42 60 5 6 11 13 13 24 13 17 42 60 100.0 100.0 226 9

2 Bilal Islam 25 35 4 5 6 6 8 12 7 11 25 34 100.0 97.1 106 10

3 Al - Riyami 13 41 1 2 2 3 7 21 3 14 13 40 100.0 97.6 296 12

4 Zanzibar Progressive 16 25 0 2 8 12 7 10 1 1 16 25 100.0 100.0 53 2

5 English Speaking 22 32 2 2 6 10 4 6 9 12 21 30 95.5 93.8 108 11

6 Ndame Academy 9 21 0 0 0 0 0 0 1 3 1 3 11.1 14.3 2064 71

7 Glorius Academy 36 60 1 1 17 30 16 27 2 2 36 60 100.0 100.0 143 4

8 Stone town 8 14 1 1 3 4 1 5 3 4 8 14 100.0 100.0 81 5

9 Jumuiya Girls 23 23 0 0 1 1 5 5 13 13 19 19 82.6 82.6 549 23

10 Suncity 16 24 0 0 0 0 0 1 9 13 9 14 56.3 58.3 1547 41

Jumla 210 335 14 19 54 79 61 111 61 90 190 285 90.5 85.1

PASS JUMLA KIMA CHA KUFAULU NATIJA

WILAYA YA MJINI

MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE SKULI ZA BINAFSI - 2014

SKULI

WATAHINIWA DISTINCTION MERIT CREDIT

Page 162: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

158

WALAYA YA MAGHARIBI

1 SOS 44 65 12 13 9 18 12 20 9 12 42 63 95.5 96.9 160 6

2 Nyuki 23 51 0 0 0 3 6 19 16 25 22 47 95.7 92.2 494 17

3 Laureate 28 55 2 6 12 23 9 15 5 11 28 55 100.0 100.0 141 3

4 Dole 0 4 0 0 0 0 0 0 0 4 0 4 #DIV/0! 100.0 1836 56

5 Al Ihsan Girls 46 46 2 2 10 10 20 20 14 14 46 46 100.0 100.0 283 10

6 High View 25 43 1 2 5 8 10 17 9 16 25 43 100.0 100.0 284 11

7 Sufa 12 16 1 1 2 2 2 3 7 9 12 15 100.0 93.8 321 17

8 Trifonia 13 27 0 0 5 15 6 10 2 2 13 27 100.0 100.0 44 1

9 Al - Falah 24 37 3 3 10 15 4 9 7 10 24 37 100.0 100.0 80 4

10 Mbarali 34 61 0 0 1 3 6 10 10 19 17 32 50.0 52.5 1659 29

11 Philter Federal 14 23 0 1 2 4 8 12 4 6 14 23 100.0 100.0 98 8

12 Raudha 12 22 0 0 3 7 4 9 5 6 12 22 100.0 100.0 95 6

13 SHA 19 56 0 0 0 0 0 5 9 23 9 28 47.4 50.0 2142 79

14 ROYAL Inter. 23 36 0 0 0 1 1 1 9 13 10 15 43.5 41.7 1814 54

15 Alharamyn 13 41 1 2 2 3 7 21 3 14 13 40 100.0 97.6 296 12

16 JKU 4 10 0 0 1 2 1 4 2 4 4 10 100.0 100.0 132 12

19 BET-EL-RAS 14 18 0 0 0 1 3 4 10 12 13 17 92.9 94.4 256 16

18 Mombasa Central 7 16 0 0 2 3 3 5 1 7 6 15 85.7 93.8 156 15

### Juba 22 35 0 0 0 0 5 5 8 10 13 15 59.1 42.9 1883 60

20 Francis Maria 21 41 1 5 7 20 13 16 0 0 21 41 100.0 100.0 97 2

Jumla 398 703 23 35 71 138 120 205 130 217 344 595 86.4 84.6

Jadweli Nam. 33(a) Linaendelea

Page 163: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

159

1 Dodeani 0 2 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 #DIV/0! 0.0 2080 72

Jumla 0 2 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 #DIV/0! 0.0

1 Connecting Continents 22 44 0 1 2 4 10 26 9 12 21 43 95.5 97.7 331 14

Jumla 22 44 0 1 2 4 10 26 9 12 21 43 95.5 97.727

JUMLA KUU 630 1084 37 55 127 221 191 342 200 319 555 923 88.1 85.1

WILAYA YA MICHEWENI

WILAYA YA CHAKE CHAKE

Page 164: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

160

JADWELI NAM. 33b(i)

WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA

Lumumba 31 67 30 67 96.8 100.0 30 66 0 0 30 66 100.0 98.5

Mikunguni 16 38 16 38 100.0 100.0 0 0 14 29 14 29 87.5 76.3

Kiponda 17 38 17 37 100.0 97.4 12 30 0 0 12 30 70.6 81.1

Forodhani 81 151 48 88 59.3 58.3 3 5 0 0 3 5 6.3 5.7

Jang'ombe 118 222 77 140 65.3 63.1 18 36 0 0 18 36 23.4 25.7

H/Sellassie 70 122 14 24 20.0 19.7 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0

B/Bella 78 137 77 135 98.7 98.5 71 127 0 0 71 127 92.2 94.1

K/Chekundu 179 303 94 178 52.5 58.7 12 26 0 0 12 26 12.8 14.6

K/Pura 127 188 55 96 43.3 51.1 13 18 0 0 13 18 23.6 18.8

Vikokotoni 106 174 102 168 96.2 96.6 55 143 0 0 55 143 53.9 85.1

Hurumzi 72 115 48 73 66.7 63.5 7 14 0 0 7 14 14.6 19.2

Mwembe Ladu 192 331 88 154 45.8 46.5 7 13 0 0 7 13 8.0 8.4

Nyerere 174 314 84 116 48.3 36.9 8 16 0 0 8 16 9.5 13.8

Faraja 213 323 71 131 33.3 40.6 4 9 0 0 4 9 5.6 6.9

Mpendae 95 147 48 87 50.5 59.2 9 29 0 0 9 29 18.8 33.3

Chumbuni 142 250 96 153 67.6 61.2 9 24 0 0 9 24 9.4 15.7

JUMLA 1711 2920 965 1685 56.4 57.7 258 556 14 29 272 585 28.2 34.7

KIDATO CHA 5 + FTC KUENDELEA

WILAYA YA MJINI

MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE, SKULI ZA SERIKALI - 2014

SKULI

WALIOFANYA

WALIOFAULU

KIMA CHA

IDADI YA WANAOENDELEA NA MASOMO

KIDATO

FTC

JUMLA YA ASILIMIA YA

MTIHANI KUFAULU (%) CHA 5

Page 165: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

161

Kinuni 87 124 50 62 57.5 50.0 2 3 0 0 2 3 4.0 4.8

Bububu 171 270 112 185 65.5 68.5 12 33 0 0 12 33 10.7 17.8

Mwanakwerekwe 'A'281 447 159 245 56.6 54.8 23 38 0 0 23 38 14.5 15.5

Fuoni 119 175 66 100 55.5 57.1 5 7 0 0 5 7 7.6 7.0

Kiembe Samaki 183 301 64 196 35.0 65.1 39 54 0 0 39 54 60.9 27.6

Mfenesini 75 133 31 55 41.3 41.4 9 15 0 0 9 15 29.0 27.3

Z/Commercial 44 81 43 80 97.7 98.8 33 64 0 0 33 64 76.7 80.0

Chukwani 39 96 14 39 35.9 40.6 4 13 0 0 4 13 28.6 33.3

Langoni 20 37 12 18 60.0 48.6 0 4 0 0 0 4 0.0 22.2

Regeza Mwendo 45 73 22 39 48.9 53.4 2 6 0 0 2 6 9.1 15.4

Kombeni 28 42 12 22 42.9 52.4 2 3 0 0 2 3 16.7 13.6

Mtopepo 167 259 92 139 55.1 53.7 9 18 0 0 9 18 9.8 12.9

Mikindani Dole 47 74 17 32 36.2 43.2 2 3 0 0 2 3 11.8 9.4

Chuini 76 115 28 42 36.8 36.5 2 6 0 0 2 6 7.1 14.3

Kisauni 35 55 25 40 71.4 72.7 4 6 0 0 4 6 16.0 15.0

Maungani 16 22 12 17 75.0 77.3 2 3 0 0 2 3 16.7 17.6

Mwanakwerekwe 'C'155 257 78 130 50.3 50.6 8 17 0 0 8 17 10.3 13.1

JUMLA 1588 2561 837 1441 52.7 56.3 158 293 0 0 156 293 18.6 20.3

WILAYA YA MAGHARIBI

Page 166: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

162

Tumbatu 17 35 10 18 58.8 51.4 1 5 0 1 5 10.0 27.8

Mkwajuni 120 175 37 60 30.8 34.3 0 5 0 0 0 5 0.0 8.3

Chaani 24 39 15 20 62.5 51.3 0 0 0 0 0 0.0 0.0

Fukuchani 26 34 7 13 26.9 38.2 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0

Jongowe 25 41 22 38 88.0 92.7 1 2 0 0 1 2 4.5 5.3

Potoa 43 58 25 34 58.1 58.6 2 3 0 0 2 3 8.0 8.8

Kinyasini 54 83 31 45 57.4 54.2 0 3 0 0 0 3 0.0 6.7

Pale 33 57 14 24 42.4 42.1 2 5 0 0 2 5 14.3 20.8

Gamba 30 44 9 13 30.0 29.5 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0

Pwani Mchangani 23 44 10 17 43.5 38.6 0 1 0 0 0 1 0.0 5.9

Kijini 8 17 5 8 62.5 47.1 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0

Nungwi 25 48 23 42 92.0 87.5 6 11 0 0 6 11 26.1 26.2

Mlimani 30 63 9 18 30.0 28.6 0 5 0 0 0 5 0.0 27.8

Mapinduzi 80 142 30 54 37.5 38.0 0 1 0 0 0 1 0.0 1.9

JUMLA 401 670 200 326 49.9 48.7 11 39 0 0 12 41 6.0 12.6

WILAYA YA KASKAZINI 'A'

Page 167: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

163

Donge 90 107 39 53 43.3 49.5 2 4 0 0 2 4 5.1 7.5

mahonda 20 35 19 33 95.0 94.3 5 11 0 0 5 11 26.3 33.3

Fujoni 57 88 32 47 56.1 53.4 2 3 0 0 2 3 6.3 6.4

Bumbwini 64 102 27 43 42.2 42.2 6 0 0 0 6 0 22.2 0.0

Makoba 37 60 24 39 64.9 65.0 2 4 0 0 2 4 8.3 10.3

Kitope 23 42 19 33 82.6 78.6 2 5 0 0 2 5 10.5 15.2

Muanda 25 53 16 36 64.0 67.9 36 0 0 0 0 0 0.0 0.0

JUMLA 316 487 176 284 55.7 58.3 53 27 0 0 19 27 10.8 9.5

WILAYA KASKAZINI 'B'

Page 168: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

164

Mpapa 24 36 11 16 45.8 44.4 0 2 0 0 0 2 0.0 12.5

Uroa 21 52 18 44 85.7 84.6 0 7 0 0 0 7 0.0 15.9

Ndijani 44 64 35 47 79.5 73.4 1 2 0 0 1 2 2.9 4.3

Mwera 74 115 45 70 60.8 60.9 11 18 0 0 11 18 24.4 25.7

Dunga 20 36 17 32 85.0 88.9 3 7 0 0 3 7 17.6 21.9

U/Ukuu 20 39 4 14 20.0 35.9 0 2 0 0 0 2 0.0 14.3

Ukongoroni 8 22 3 15 37.5 68.2 0 2 0 0 0 2 0.0 13.3

Kiboje 25 47 11 20 44.0 42.6 2 4 0 0 2 4 18.2 20.0

Bambi 22 42 17 31 77.3 73.8 2 6 0 0 2 6 11.8 19.4

Machui 24 44 9 15 37.5 34.1 1 3 0 0 1 3 11.1 20.0

Charawe 7 10 4 6 57.1 60.0 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0

Jendele 14 24 10 16 71.4 66.7 2 4 0 0 2 4 20.0 25.0

kikungwi 19 33 6 10 31.6 30.3 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0

Jumbi 32 46 21 34 65.6 73.9 6 8 0 0 6 8 28.6 23.5

Kibele 17 41 13 29 76.5 70.7 2 3 0 0 2 3 15.4 10.3

Chwaka 27 37 13 20 48.1 54.1 0 3 0 0 0 3 0.0 15.0

Umoja uzini 54 74 42 55 77.8 74.3 10 13 0 0 10 13 23.8 23.6

JUMLA 452 762 279 474 61.7 62.2 32 84 0 0 40 84 14.3 17.7

WILAYA YA KATI

Page 169: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

165

Paje 20 29 15 24 75.0 82.8 2 4 0 0 2 4 13.3 16.7

Makunduchi 47 100 31 56 66.0 56.0 1 10 0 0 1 10 3.2 17.9

kitogani 16 32 9 19 56.3 59.4 0 1 0 0 0 1 0.0 5.3

jambiani 17 35 9 19 52.9 54.3 1 2 0 0 1 2 11.1 10.5

Kusini 19 42 9 19 47.4 45.2 1 2 0 0 1 2 11.1 10.5

Bwejuu 28 48 11 29 39.3 60.4 1 6 0 0 1 6 9.1 20.7

Kizimkazi 24 33 4 6 16.7 18.2 0 1 0 0 0 1 0.0 16.7

Kizimkazi Dimbani 15 30 8 17 53.3 56.7 2 0 0 0 2 0 25.0 0.0

Muyuni 8 14 8 13 100.0 92.9 5 9 0 0 5 9 62.5 69.2

JUMLA 194 363 104 202 53.6 55.6 11 35 0 0 13 35 12.5 17.3

WILAYA YA KUSINI

Page 170: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

166

Pemba Islamic 32 49 31 47 96.9 95.9 19 31` 0 0 19 31 61.3 66.0

Tumbe 21 40 13 25 61.9 62.5 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0

Wingwi 54 111 25 56 46.3 50.5 2 10 0 0 2 10 8.0 17.9

Shumba 27 48 14 23 51.9 47.9 1 3 0 0 1 3 7.1 13.0

Chwaka Tumbe 15 52 7 21 46.7 40.4 0 1 0 0 0 0.0 0.0

Kinyasin 32 40 14 18 43.8 45.0 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0

Micheweni 18 55 9 31 50.0 56.4 0 6 0 0 0 6 0.0 19.4

Kiuyu 23 49 17 40 73.9 81.6 0 6 0 0 0 6 0.0 15.0

Makangale 15 34 5 11 33.3 32.4 0 1 0 0 0 1 0.0 9.1

Kinowe 17 38 15 24 88.2 63.2 3 5 0 0 3 5 20.0 20.8

JUMLA 254 516 150 296 59.1 57.4 25 32 0 0 25 31 16.7 10.5

WILAYA YA MICHEWENI

Page 171: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

167

Utaani 89 168 56 84 62.9 50.0 16 37 0 0 16 37 28.6 44.0

M/Mdogo 37 91 17 44 45.9 48.4 1 0 0 0 1 0 5.9 0.0

Ole 35 43 11 16 31.4 37.2 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0

Wete sec 36 64 27 42 75.0 65.6 3 6 0 0 3 6 11.1 14.3

Minungwini 25 41 12 17 48.0 41.5 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0

Piki 34 61 21 44 61.8 72.1 3 11 0 0 3 11 14.3 25.0

Kangagani 33 68 6 22 18.2 32.4 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0

Gando 28 51 19 35 67.9 68.6 2 7 0 0 2 7 10.5 20.0

Kojani 5 15 2 6 40.0 40.0 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0

makongeni 22 40 6 14 27.3 35.0 0 1 0 0 0 1 0.0 7.1

Uondwe 14 42 10 26 71.4 61.9 1 9 0 0 1 9 10.0 34.6

Shengejuu 18 37 10 19 55.6 51.4 5 0 0 0 5 0 50.0 0.0

Limbani 7 9 2 2 28.6 22.2 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0

M/Takao 6 19 4 11 66.7 57.9 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0

Ukunjwi 20 27 10 15 50.0 55.6 3 0 0 0 3 0 30.0 0.0

Chasasa 53 90 38 61 71.7 67.8 5 21 0 0 5 21 13.2 34.4

JUMLA 462 866 251 458 54.3 52.9 27 60 0 0 39 92 15.5 20.1

WILAYA YA WETE

Page 172: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

168

F/castro 59 111 58 107 98.3 96.4 51 95 0 0 51 95 87.9 88.8

Shamiani 109 154 55 72 50.5 46.8 4 12 0 0 4 12 7.3 16.7

Ch/Mjawiri 30 38 18 21 60.0 55.3 3 5 0 0 3 5 16.7 23.8

Vitongoji 35 44 12 16 34.3 36.4 0 3 0 0 0 3 0.0 18.8

Wawi 36 65 22 40 61.1 61.5 0 5 0 0 0 5 0.0 12.5

Pujini 18 33 10 22 55.6 66.7 1 2 0 0 1 2 10.0 9.1

Kilindi 21 41 15 32 71.4 78.0 1 4 0 0 1 4 6.7 12.5

Furaha 9 22 1 6 11.1 27.3 0 2 0 0 0 2 0.0 33.3

Ziwani 22 38 10 16 45.5 42.1 2 0 0 0 2 0 20.0 0.0

Chwale 24 39 20 27 83.3 69.2 1 3 0 0 1 3 5.0 11.1

Pondeani 56 103 28 54 50.0 52.4 2 5 0 0 2 5 7.1 9.3

Uwandani 35 54 26 38 74.3 70.4 3 6 0 0 3 6 11.5 15.8

Vikunguni 19 32 12 16 63.2 50.0 0 1 0 0 0 1 0.0 6.3

Madungu 61 91 24 41 39.3 45.1 7 11 0 0 7 11 29.2 26.8

JUMLA 534 865 311 508 58.2 58.7 75 153 0 0 75 154 24.1 30.3

WILAYA YA CHAKE

Page 173: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

169

Kengeja Tech 9 33 4 23 44.4 69.7 0 0 2 12 2 12 50.0 52.2

Kiwani 5 12 3 7 60.0 58.3 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0

Mkanyageni 31 51 16 28 51.6 54.9 1 4 0 0 1 4 6.3 14.3

M/Ngwachani 33 48 20 28 60.6 58.3 1 3 0 0 1 3 5.0 10.7

Kangani 34 61 21 44 61.8 72.1 3 11 0 0 3 11 14.3 25.0

Uweleni 91 142 68 98 74.7 69.0 9 16 0 0 9 16 13.2 16.3

Kengeja 14 35 12 26 85.7 74.3 1 5 0 0 1 5 8.3 19.2

Kisiwa Panza 28 55 24 43 85.7 78.2 5 13 0 0 5 13 20.8 30.2

mtambile 37 63 16 31 43.2 49.2 2 5 0 0 2 5 12.5 16.1

wambaa 35 61 16 31 45.7 50.8 2 6 0 0 2 6 12.5 19.4

Mwambe 35 67 26 43 74.3 64.2 1 4 0 0 1 4 3.8 9.3

Makombeni 37 53 6 8 16.2 15.1 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0

makoongwe 13 18 11 14 84.6 77.8 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0

Chokocho 37 57 18 24 48.6 42.1 2 2 0 0 2 2 11.1 8.3

Chambani 18 33 18 31 100.0 93.9 11 5 0 11 5 61.1 16.1

JUMLA 457 789 279 479 61.1 60.7 33 60 0 0 40 86 14.3 18.0

JUMLA KUU 6078 10365 3392 5905 55.81 56.97 666 1312 14 29 691 1428 20.4 24.2

WILAYA YA MKOANI

Page 174: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

170

JADWELI NAM. 34

WAS J'LA WAS J'LA WAS J'LA WAS J'LA WAS J'LA WAS J'LA TZ ZNZ

MCHANGAMDOGO* 9 25 0 0 4 9 4 13 1 3 9 25 141 3*

KIPONDA 45 84 4 6 17 28 23 45 1 4 45 83 145 4

SOS 27 44 1 3 10 19 15 21 1 1 27 44 104 2

SUZA* 12 24 0 2 1 4 9 16 2 2 12 24 143 4*

PEMBA ISLAMIC* 7 17 1 2 1 3 3 9 1 2 6 16 149 6*

LUMUMBA 31 140 2 3 2 14 19 67 7 39 30 123 257 10

BEN BELLA 89 101 0 0 9 9 57 59 17 24 83 92 268 14

DUNGA* 5 14 1 1 1 2 2 7 1 3 5 13 147 5

UTAANI 20 49 4 14 5 14 9 19 1 1 19 48 81 1

AL - IHSANI GIRLS SCH* 21 21 1 1 1 1 11 11 7 7 20 20 174 8*

UWELENI* 7 18 0 1 2 2 4 10 1 5 7 18 161 7*

AL - FALAAH 13 37 1 1 0 1 8 18 4 14 13 34 261 11

SHAMIANI 20 40 2 4 4 13 12 19 1 3 19 39 136 3

ZNZ. COMMER* 8 15 4 6 2 4 2 5 0 0 8 15 44 1*

MKWAJUNI* 8 13 0 0 0 0 5 8 3 5 8 13 178 9*

FIDEL CASTRO 20 68 0 0 0 1 10 31 8 30 18 62 267 13

NYUKI* 8 14 0 0 1 4 7 10 0 0 8 14 125 2*

HAILE SELASSIE 19 41 0 1 2 6 10 32 7 11 19 50 250 9

CHUKWANI 25 53 1 2 4 14 14 29 6 8 25 53 182 6

KIEMBE SAMAKI 50 84 0 1 6 9 33 55 11 18 50 83 242 8

M/KWE 'C'' 44 78 1 1 8 12 28 54 7 10 44 77 205 7

VIKOKOTONI 53 84 2 2 13 20 35 57 3 5 53 84 178 5

MAZIZINI 32 96 0 0 3 6 14 44 14 38 31 88 264 12

JUMLA 573 1160 25 51 96 195 334 639 104 233 559 1118

* Skuli zenye idadi ya wanafunzi chini ya 30

NATIJADIV. I DIV. II DIV. III DIV. IV JUMLA

MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA WA KIDATO CHA 6

(A - LEVEL), MWAKA 2013/2014

SKULI

WATAHINIWA

WALIOFAULU

Page 175: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

171

JADWELI NO. 35

UANDIKISHAJI WA WANAKISOMO KIWILAYA, MACHI -2015

W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA

MJINI 15 14 15 206 259 101 116 70 86 27 40 8 17 206 259

MAGHARIBI 18 8 18 207 285 94 132 69 93 38 49 11 14 212 288

KASKAZINI ' A' 104 64 104 1709 1958 515 605 438 485 254 277 36 38 1243 1405

KASKAZINI ' B' 48 29 48 625 904 105 133 152 197 115 187 66 106 438 623

KATI 24 16 24 251 328 85 124 79 95 56 72 15 23 235 314

KUSINI 9 5 9 115 122 12 15 20 24 21 21 27 28 80 88

MICHEWENI 72 57 72 1555 1711 652 691 348 379 320 355 54 64 1374 1489

WETE 72 54 72 1430 1624 719 797 373 419 44 56 68 96 1204 1368

CHAKE-CHAKE 35 27 35 618 718 211 236 163 192 110 127 53 72 537 627

MKOANI 43 29 43 811 975 216 253 221 266 158 196 133 155 728 870

JUMLA 440 303 440 7527 8884 2710 3102 1933 2236 1143 1380 471 613 6257 7331

IDADI YA WALIMU

IDADI YA WANAKISOMO

WA KUJIANDIKISHA

WILAYA MADARASA

WANAKISOMO WALIOMO MADARASANI

JUMLAHATUA I HATUA II HATUA III HATUA IV

Page 176: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

172

JADWELI NAM. 36

JINA LA

KITUO W'ME W'KE J'LA MAD W'KE J'LA MAD W'KE J'LA MAD W'KE J'LA MAD W'KE J'LA MAD W'KE J'LA MAD W'KE J'LA MAD W'KE J'LA

WILAYA YA MJINI

HAMAMNI 10 0 10 0 0 0 0 0 0 2 34 73 1 19 31 0 0 0 0 0 0 3 53 104

AL RAJABIA 5 1 6 0 0 0 0 0 0 1 12 33 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 12 33

MWENBELADU 5 0 5 0 0 0 0 0 0 2 25 52 1 21 39 3 46 91

HAILE SELLASIE 10 0 10 0 0 0 0 0 0 1 22 36 2 35 89 0 0 0 0 0 0 3 57 125

KIJANGWANI 6 0 6 0 0 0 0 0 0 2 27 65 0 0 0 0 0 0 0 0 0 2 27 65

MIKUNGUNI 6 0 6 0 0 0 0 0 0 2 34 57 1 13 44 0 0 0 0 0 0 3 47 101

HAMAMNI PR. SCHOOL 6 0 6 0 0 0 0 0 0 1 12 27 1 5 14 0 0 0 0 0 0 2 17 41

ELIMU MBADALA 8 1 9 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 2 25 62 0 0 0 2 25 62

MAKADARA 5 0 5 0 0 0 0 0 0 2 21 53 0 0 0 0 0 0 0 0 0 2 21 53

MIEMBENI EDUCATION 7 1 8 0 0 0 0 0 0 4 76 162 0 0 0 0 0 0 0 0 0 4 76 162

KWAALAMSHA 4 1 5 0 0 0 0 0 0 0 0 0 3 67 115 0 0 0 1 8 19 4 75 134

LUMUMBA 31 2 33 0 0 0 0 0 0 2 44 72 3 81 155 0 0 0 0 0 0 5 125 227

LUMUMBA "A" LEVEL 5 1 6 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 2 17 35 2 17 35

JUMLA 108 7 115 0 0 0 0 0 0 19 307 630 12 241 487 2 25 62 3 25 54 36 598 1233

JUMLAFORM VI

UANDIKISHAJI KATIKA VITUO VYA KUJIENDELEZA KWA MWEZI, MACHI - 2015

WALIMU UFUNDI NABE Q - TEST SHERIAFORM IV

Page 177: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

173

Jadweli 36 inaendelea

WILAYA YA MAGH.

BUBUBU 7 1 8 0 0 0 0 0 0 1 10 16 1 9 13 0 0 0 0 0 0 2 19 29

BIASHARA 7 2 9 0 0 0 0 0 0 1 5 9 1 5 14 0 0 0 0 0 0 2 10 23

CCK 10 0 10 0 0 0 0 0 0 1 6 15 1 10 15 0 0 0 0 0 0 2 16 30

FUONI 10 2 12 0 0 0 0 0 0 1 20 44 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 20 44

KWEREKWE 'C' 4 1 5 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 9 17 0 0 0 0 0 0 1 9 17

NYUKI JWTZ 7 2 9 0 0 0 0 0 0 2 47 79 0 0 0 0 0 0 0 0 0 2 47 79

SHA 5 0 5 0 0 0 0 0 0 1 15 36 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 15 36

AL RAJU 5 0 5 0 0 0 0 0 0 1 7 16 1 12 20 0 0 0 0 0 0 2 19 36

ALFALAH 6 2 8 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 19 41 0 0 0 0 0 0 1 19 41

AL-IHSAN 6 0 6 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 37 37 0 0 0 0 0 0 1 37 37

DIMANI 7 0 7 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 1 4 0 0 0 0 0 0 1 1 4

JUMLA 74 10 84 0 0 0 0 0 0 8 110 215 8 102 161 0 0 0 0 0 0 16 212 376

WILAYA YA KASK.'A'

KINYASINI 4 1 5 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 6 12 0 0 0 0 0 0 1 6 12

AL-MAAHAD 5 0 5 0 0 0 0 0 0 1 7 19 1 15 28 0 0 0 0 0 0 2 22 47

JONGOWE 6 1 7 0 0 0 0 0 0 1 9 14 1 16 27 0 0 0 0 0 0 2 25 41

JUMLA 15 2 17 0 0 0 0 0 0 2 16 33 3 37 67 0 0 0 0 0 0 5 53 100

WILAYA YA KASK.'B'

DONGE SEC SCHOOL 7 0 7 0 0 0 0 0 0 1 7 18 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 7 18

BUMBWINI 4 0 4 0 0 0 0 0 0 1 10 26 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 10 26

FUJONI 6 0 6 0 0 0 0 0 0 1 9 19 1 15 37 0 0 0 0 0 0 2 24 56

JUMLA 17 0 17 0 0 0 0 0 0 3 26 63 1 15 37 0 0 0 0 0 0 4 41 100

WILAYA YA KATI

UZI 5 0 5 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 12 25 0 0 0 0 0 0 1 12 25

UNGUJA UKUU 5 1 6 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 10 17 0 0 0 0 0 0 1 10 17

TUNAWEZA 1 0 1 1 5 41 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 5 41

JUMLA 11 1 12 1 5 41 0 0 0 0 0 0 2 22 42 0 0 0 0 0 0 3 27 83

Page 178: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

174

Jadweli 36 inaendelea

WILAYA YA KUSINI

MAKUNDUCHI 5 1 6 0 0 0 0 0 0 1 9 14 1 16 37 0 0 0 0 0 0 2 25 51

JUMLA 5 1 6 0 0 0 0 0 0 1 9 14 1 16 37 0 0 0 0 0 0 2 25 51

WILAYA YA MICHE.

WINGWI 6 0 6 0 0 0 0 0 0 1 14 32 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 14 32

CCK 8 0 8 0 0 0 0 0 0 1 7 18 1 6 12 0 0 0 0 0 0 2 13 30

JUMLA 14 0 14 0 0 0 0 0 0 2 21 50 1 6 12 0 0 0 0 0 0 3 27 62

WILAYA YA WETE

WETE EDUCATION 3 0 3 0 0 0 0 0 0 1 7 11 1 3 10 0 0 0 0 0 0 2 10 21

MCHANGAMDOGO 5 3 8 0 0 0 0 0 0 1 11 23 1 18 34 0 0 0 0 0 0 2 29 57

UTAANI 3 3 6 0 0 0 0 0 0 1 13 21 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 13 21

BOPWE 5 1 6 0 0 0 0 0 0 1 5 12 1 7 13 0 0 0 0 0 0 2 12 25

JUMLA 16 7 23 0 0 0 0 0 0 4 36 67 3 28 57 0 0 0 0 0 0 7 64 124

Page 179: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

175

Jadweli 36 inaendelea

WILAYA YA CHAKE

AFISINI CHAKE 2 0 2 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 2 11 0 0 0 0 0 0 1 2 11

FIDEL CASTRO 7 2 9 0 0 0 0 0 0 1 18 34 1 9 23 0 0 0 0 0 0 2 27 57

ZIWANI 7 2 9 0 0 0 0 0 0 1 7 12 1 2 13 0 0 0 0 0 0 2 9 25

SWAFAA 9 2 11 0 0 0 0 0 0 1 21 39 1 13 49 0 0 0 0 0 0 2 34 88

JUMLA 25 6 31 0 0 0 0 0 0 3 46 85 4 26 96 0 0 0 0 0 0 7 72 181

WILAYA YA MKOANI

KENGEJA SECONDARY 3 1 4 0 0 0 0 0 0 1 6 14 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 6 14

KIWANI 6 0 6 0 0 0 0 0 0 1 10 18 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 10 18

MTAMBILE 5 0 5 0 0 0 0 0 0 1 11 20 1 14 17 0 0 0 0 0 0 2 25 37

MWAMBE 5 2 7 0 0 0 0 0 0 1 15 33 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 15 33

UWELENI 5 1 6 0 0 0 0 0 0 1 16 22 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 16 22

JUMLA 5 4 28 0 0 0 0 0 0 5 58 107 1 14 17 0 0 0 0 0 0 6 72 124

JUMLA LA KUU 5 38 347 1 5 41 0 0 0 47 629 1264 36 507 1013 2 25 62 3 25 54 89 1191 2434

Page 180: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

176

JADWELI NAM. 37(a)

IDADI % IDADI %

WILAYA YA MJINI

1 LUMUMBA 165 0 0.00 79 47.88

2 MIKUNGUNI 70 0 0.00 15 21.43

3 CHUMBUNI 28 0 0.00 10 35.71

4 H/SELASSIE 48 0 0.00 9 18.75

5 BEN-BELLA 32 1 3.13 18 56.25

6 KIPONDA 24 0 0.00 15 62.50

7 MWEMBELADU 47 0 0.00 16 34.04

8 JANG'OMBE 47 0 0.00 24 51.06

9 BILAL ISLAMIC 101 0 0.00 49 48.51

10 KWAMTIPURA 38 0 0.00 13 34.21

11 KIDONGO-CHEKUNDU 62 0 0.00 24 38.71

JUMLA 662 1 0.15 272 41.09

WILAYA YA MAGHARIBI

1 CHUKWANI 3 0 0.00 1 33.33

2 LANGONI 20 0 0.00 13 65.00

3 MTOPEPO 31 0 0.00 11 35.48

4 MBUZINI 5 0 0.00 0 0.00

5 MAZIZINI 38 0 0.00 22 57.89

6 BUBUBU 48 1 2.08 19 39.58

7 MOMBASA CENTRAL 9 0 0.00 2 22.22

8 MWANAKWEREKWE 'A' 18 0 0.00 6 33.33

9 ZANZIBAR COMMERCIAL 48 0 0.00 21 43.75

10 KOMBENI 10 0 0.00 3 30.00

11 MBARALI 37 0 0.00 17 45.95

12 K/SAMAKI 21 0 0.00 7 33.33

13 FUONI 45 0 0.00 6 13.33

14 Z'BAR PROGRESSIVE SEC 9 0 0.00 8 88.89

15 MWANAKWEREKWE 'C' 57 0 0.00 31 54.39

16 AL-FALAAH 90 0 0.00 43 47.78

17 ROYAL INTERNATIONAL 6 0 0.00 3 50.00

18 CHUINI 26 0 0.00 10 38.46

19 REGEZA MWENDO 13 0 0.00 7 53.85

20 SHA HIGH SCHOOL 20 0 0.00 7 35.00

JUMLA 554 1 0.18 237 42.78

WILAYA YA KASKAZINI 'A'

1 TUMBATU 7 0 0.00 2 28.57

2 FUKUCHANI 2 0 0.00 0 0.00

3 MKWAJUNI 31 0 0.00 9 29.03

4 CHAANI 15 0 0.00 5 33.33

5 KINYASINI 29 0 0.00 14 0.00

6 PALE 33 0 0.00 7 0.00

7 POTOA 17 0 0.00 8 47.06

8 GAMBA 7 0 2.00 2 28.57

9 KIDOTI 20 0 0.00 10 50.00

10 JONGOWE 12 0 0.00 6 50.00

JUMLA 173 0 0.00 63 36.42

MATOKEO YA MTIHANI KWA WATAHINIWA WA FARAGHA, KIDATO

CHA 4 VITUO VYA ZANZIBAR- 2014, WAVULANA TU

"3" AU ZAIDI WOTE WALIOFAULU

NAM. KITUO

WALIOFANYA

WALIOFAULU CREDITS

Page 181: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

177

Jadweli 37(a) inaendelea

WILAYA YA KASKAZINI 'B'

1 FUJONI 9 0 0.00 3 33.33

2 DONGE 5 0 0.00 1 20.00

3 MAHONDA 11 0 0.00 3 27.27

4 MAKOBA 4 0 0.00 1 25.00

5 KITOPE 21 0 0.00 10 47.62

6 BUMBWINI 7 0 0.00 2 28.57

7 MFENESINI 9 0 0.00 1 11.11

JUMLA 66 0 0.00 21 31.82

WILAYA YA KATI

1 UZINI 9 1 11.11 4 44.44

2 NDIJANI 21 0 0.00 5 23.81

3 UROA 9 0 0.00 3 33.33

4 MWERA 24 0 0.00 8 33.33

5 UNGUJA UKUU 25 0 0.00 10 40.00

6 BAMBI 6 0 0.00 3 50.00

7 DUNGA 16 0 0.00 4 25.00

8 UBAGO 25 0 0.00 8 32.00

9 KIBELE 25 0 0.00 12 48.00

10 MACHUI 6 0 0.00 2 33.33

11 JUMBI 6 0 0.00 1 16.67

12 NG'AMBWA 15 0 0.00 11 73.33

13 MPAPA 2 0 0.00 2 100.00

JUMLA 189 1 0.53 73 38.62

WILAYA YA KUSINI

1 MAKUNDUCHI 43 0 0.00 15 34.88

2 PAJE 8 0 0.00 2 25.00

4 BWEJUU 4 0 0.00 4 100.00

5 MUYUNI 12 0 0.00 5 41.67

6 KUSINI 19 0 0.00 9 47.37

8 CHARAWE 4 0 0.00 2 50.00

JUMLA 90 0 0.00 37 41.11

WILAYA YA MICHEWENI

1 TUMBE 20 0 0.00 9 45.00

2 MICHEWENI 31 0 0.00 11 35.48

3 SHUMBA VYAMBONI 15 0 0.00 5 33.33

4 WINGWI 21 0 0.00 8 38.10

5 SIZINI 18 0 0.00 9 50.00

6 KINOWE 13 0 0.00 6 46.15

7 KONDE 11 0 0.00 4 36.36

JUMLA 129 0 0.00 52 40.31

WILAYA YA WETE

1 PANDANI 7 0 0.00 2 28.57

2 OLE 2 0 0.00 0 0.00

3 MCHANGA MDOGO 51 0 0.00 25 49.02

4 MINUNGWINI 29 0 0.00 15 51.72

5 PEMBA ISLAMIC COLLEGE 8 0 0.00 3 37.50

6 GANDO 19 0 0.00 10 52.63

7 SHENGEJUU 13 0 0.00 5 38.46

8 UONDWE 10 0 0.00 5 50.00

9 KIUYU 31 0 0.00 6 19.35

10 KANGAGANI 2 0 0.00 2 100.00

11 KOJANI 6 0 0.00 1 0.00

12 MZAMBARAOTAKAO 13 0 0.00 7 0.00

13 UTAANI 93 0 0.00 42 0.00

JUMLA 284 0 0.00 123 43.31

Page 182: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

178

Jadweli 37(a) inaendelea

WILAYA YA CHAKE-CHAKE

1 SHAMIANI 41 0 0.00 7 17.07

2 FIDEL-CASTRO 44 0 0.00 14 31.82

3 NGWACHANI 7 0 0.00 7 100.00

4 VITONGOJI 17 0 0.00 4 23.53

5 CHANJA MJAWIRI 3 0 0.00 2 66.67

6 PIKI 5 0 0.00 1 20.00

7 WESHA 12 0 0.00 5 41.67

8 PUJINI 6 0 0.00 5 83.33

9 PONDEANI 12 0 0.00 6 50.00

10 ZIWANI 11 0 0.00 7 63.64

11 CHWALE 6 0 0.00 3 50.00

12 WAWI 15 0 0.00 8 53.33

JUMLA 179 0 0.00 69 38.55

WILAYA YA MKOANI

1 CHOKOCHO 19 0 0.00 2 10.53

2 KANGANI 7 0 0.00 4 57.14

3 UWELENI 9 0 0.00 5 55.56

4 MKANYAGENI 15 0 0.00 6 40.00

5 MTAMBILE 11 0 0.00 2 18.18

6 CHAMBANI 7 0 0.00 3 42.86

7 MWAMBE 12 0 0.00 9 75.00

8 MIZINGANI 1 0 0.00 0 0.00

9 WAMBAA 11 0 0.00 7 63.64

10 MAKOMBENI 4 0 0.00 2 50.00

11 KENGEJA 2 0 0.00 1 50.00

JUMLA 98 0 0.00 41 0.00

JUMLA KUU 2424 3 0.12 988 40.76

Page 183: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

179

JADWELI NAM. 37(b)

IDADI % IDADI %

WILAYA YA MJINI

1 LUMUMBA 172 0 0.00 55 31.98

2 MIKUNGUNI 82 0 0.00 30 36.59

3 CHUMBUNI 21 0 0.00 11 52.38

4 H/SELASSIE 63 0 0.00 15 23.81

5 BEN-BELLA 49 0 0.00 25 51.02

6 KIPONDA 11 0 0.00 5 45.45

7 MWEMBELADU 44 0 0.00 11 25.00

8 JANG'OMBE 21 0 0.00 8 38.10

9 BILAL ISLAMIC 97 0 0.00 43 44.33

10 KWAMTIPURA 35 0 0.00 15 42.86

11 KIDONGO-CHEKUNDU 64 0 0.00 27 42.19

JUMLA 659 0 0.00 245 37.18

WILAYA YA MAGHARIBI

1 CHUKWANI 7 0 0.00 1 14.29

2 LANGONI 16 0 0.00 10 62.50

3 MTOPEPO 29 0 0.00 10 34.48

4 MBUZINI 5 0 0.00 2 40.00

5 MAZIZINI 30 0 0.00 12 40.00

6 BUBUBU 59 0 0.00 23 38.98

7 MOMBASA CENTRAL 13 0 0.00 1 7.69

8 MWANAKWEREKWE 'A' 21 0 0.00 10 47.62

9 ZANZIBAR COMMERCIAL 45 0 0.00 17 37.78

10 KOMBENI 23 0 0.00 6 26.09

11 MBARALI 35 0 0.00 13 37.14

12 K/SAMAKI 36 0 0.00 12 33.33

13 FUONI 60 0 0.00 15 25.00

14 Z'BAR PROGRESSIVE SEC 21 0 0.00 13 61.90

15 MWANAKWEREKWE 'C' 40 0 0.00 15 37.50

16 AL-FALAAH 61 0.00 41 67.21

17 ROYAL INTERNATIONAL 10 0 0.00 4 40.00

18 CHUINI 21 0 0.00 11 52.38

19 REGEZA MWENDO 14 0 0.00 7 50.00

20 SHA HIGH SCHOOL 36 0 0.00 15 41.67

JUMLA 582 0 0.00 238 40.89

NAM. KITUO

MATOKEO YA MTIHANI KWA WATAHINIWA WA FARAGHA, KIDATO

CHA 4 VITUO VYA ZANZIBAR- 2014, WASICHANA TU

WALIOFAULU CREDITS

"3" AU ZAIDIWALIOFANYA WOTE WALIOFAULU

Page 184: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

180

WILAYA YA KASKAZINI 'A'

1 TUMBATU 10 0 0.00 8 80.00

2 FUKUCHANI 5 0 0.00 1 20.00

3 MKWAJUNI 48 0 0.00 26 54.17

4 CHAANI 24 0 0.00 15 62.50

5 KINYASINI 27 0 0.00 8 29.63

6 PALE 19 0 0.00 5 26.32

7 POTOA 30 0 0.00 18 60.00

8 GAMBA 7 0 0.00 4 57.14

9 KIDOTI 23 0 0.00 9 39.13

10 JONGOWE 39 0 0.00 20 51.28

JUMLA 232 0 0.00 114 49.14

WILAYA YA KASKAZINI 'B'

1 FUJONI 17 0 0.00 5 29.41

2 DONGE 4 0 0.00 2 50.00

3 MAHONDA 7 0 0.00 3 42.86

4 MAKOBA 0 0 #DIV/0! 0 0.00

5 KITOPE 10 0 0.00 3 30.00

6 BUMBWINI 10 0 0.00 6 60.00

7 MFENESINI 15 0 0.00 8 53.33

JUMLA 63 0 0.00 27 42.86

WILAYA YA KATI

1 UZINI 15 0 0.00 4 26.67

2 NDIJANI 19 0 0.00 5 26.32

3 UROA 5 0 0.00 1 20.00

4 MWERA 25 0 0.00 9 36.00

5 UNGUJA UKUU 12 0 0.00 6 50.00

6 BAMBI 12 0 0.00 4 33.33

7 DUNGA 26 0 0.00 7 26.92

8 UBAGO 15 0.00 12 80.00

9 KIBELE 21 0 0.00 9 42.86

10 MACHUI 2 0 0.00 0 0.00

11 JUMBI 15 0 0.00 7 46.67

12 NG'AMBWA 9 0 0.00 4 44.44

13 MPAPA 5 0 0.00 1 20.00

JUMLA 181 0 0.00 69 38.12

Jadweli 37(b) inaendelea

WILAYA YA KUSINI

1 MAKUNDUCHI 13 0 0.00 4 30.77

2 PAJE 8 0 0.00 3 37.50

3 BWEJUU 11 0 0.00 6 54.55

4 MUYUNI 8 0 0.00 3 37.50

5 KUSINI 6 0.00 3 50.00

6 CHARAWE 6 0 0.00 5 83.33

JUMLA 52 0 0.00 24 46.15

WILAYA YA MICHEWENI

1 TUMBE 11 0 0.00 4 36.36

2 MICHEWENI 5 0 0.00 1 20.00

3 SHUMBA VYAMBONI 5 0 0.00 2 40.00

4 WINGWI 16 0 0.00 6 37.50

5 SIZINI 2 0 0.00 2 100.00

6 KINOWE 11 0 0.00 2 18.18

7 KONDE 6 0 0.00 3 50.00

JUMLA 56 0 0.00 20 35.71

Page 185: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

181

WILAYA YA WETE

1 PANDANI 12 0 0.00 6 50.00

2 OLE 2 0 0.00 2 100.00

3 MCHANGA MDOGO 35 1 2.86 19 54.29

4 MINUNGWINI 13 0 0.00 7 53.85

5 PEMBA ISLAMIC COLLEGE 5 0 0.00 3 60.00

6 GANDO 12 0 0.00 5 41.67

7 SHENGEJUU 6 0 0.00 3 50.00

8 UONDWE 19 0 0.00 4 21.05

9 KIUYU 13 0 0.00 2 15.38

10 KANGAGANI 4 0 0.00 1 25.00

11 KOJANI 3 0 0.00 1 33.33

12 MZAMBARAOTAKAO 6 0 0.00 4 66.67

13 UTAANI 56 0 0.00 30 53.57

JUMLA 186 0 0.00 87 46.77

Jadweli 37(b) inaendelea

WILAYA YA CHAKE-CHAKE

1 SHAMIANI 44 0 0.00 9 20.45

2 FIDEL-CASTRO 42 0 0.00 12 28.57

3 NGWACHANI 6 0 0.00 4 66.67

4 VITONGOJI 6 0 0.00 1 16.67

5 CHANJA MJAWIRI 6 0 0.00 4 66.67

6 PIKI 6 0 0.00 2 33.33

7 WESHA 5 0 0.00 2 40.00

8 PUJINI 8 0 0.00 6 75.00

9 PONDEANI 21 0 0.00 6 28.57

10 ZIWANI 6 0 0.00 2 33.33

11 CHWALE 3 0 0.00 2 66.67

12 WAWI 5 0 0.00 2 40.00

JUMLA 158 0 0.00 52 32.91

WILAYA YA MKOANI

1 CHOKOCHO 4 0 0.00 1 25.00

2 KANGANI 7 0 0.00 3 42.86

3 UWELENI 10 0 0.00 4 40.00

4 MKANYAGENI 11 0 0.00 2 18.18

5 MTAMBILE 8 0 0.00 4 50.00

6 CHAMBANI 5 0 0.00 1 20.00

7 MWAMBE 8 0 0.00 2 25.00

8 MIZINGANI 5 0 0.00 4 0.00

9 WAMBAA 8 0 0.00 3 37.50

10 MAKOMBENI 6 0 0.00 3 50.00

11 KENGEJA 2 0 0.00 0 0.00

JUMLA 74 0 0.00 27 36.49

JUMLA KUU 2243 0 0.00 903 40.26

Page 186: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

182

JADWELI NAM. 37(c)

IDADI % IDADI %

WILAYA YA MJINI

1 LUMUMBA 337 0 0 134 39.8

2 MIKUNGUNI 152 0 0 45 29.6

3 CHUMBUNI 49 0 0 21 42.9

4 H/SELASSIE 111 0 0 24 21.6

5 BEN-BELLA 81 1 3.13 43 53.1

6 KIPONDA 35 0 0 20 57.1

7 MWEMBELADU 91 0 0 27 29.7

8 JANG'OMBE 68 0 0 32 47.1

9 BILAL ISLAMIC 198 0 0 92 46.5

10 KWAMTIPURA 73 0 0 28 38.4

11 KIDONGO-CHEKUNDU 126 0 0 51 40.5

JUMLA 1321 1 0.08 517 39.1

WILAYA YA MAGHARIBI

1 CHUKWANI 10 0 0 2 20.0

2 LANGONI 36 0 0 23 63.9

3 MTOPEPO 60 0 0 21 35.0

4 MBUZINI 10 0 0 2 20.0

5 MAZIZINI 68 0 0 34 50.0

6 BUBUBU 107 1 2.08 42 39.3

7 MOMBASA CENTRAL 22 0 0 3 13.6

8 MWANAKWEREKWE 'A' 39 0 0 16 41.0

9 ZANZIBAR COMMERCIAL 93 0 0 38 40.9

10 KOMBENI 33 0 0 9 27.3

11 MBARALI 72 0 0 30 41.7

12 K/SAMAKI 57 0 0 19 33.3

13 FUONI 105 0 0 21 20.0

14 Z'BAR PROGRESSIVE SEC 30 0 0 21 70.0

15 MWANAKWEREKWE 'C' 97 0 0 46 47.4

16 AL-FALAAH 151 0 0 84 55.6

17 ROYAL INTERNATIONAL 16 0 0 7 43.8

18 CHUINI 47 0 0 21 44.7

19 REGEZA MWENDO 27 0 0 14 51.9

20 SHA HIGH SCHOOL 56 0 0 22 39.3

JUMLA 1136 1 0.09 475 41.8

NAM.

WALIOFANYA

MATOKEO YA MTIHANI KWA WATAHINIWA WA FARAGHA, KIDATO

CHA 4 VITUO VYA ZANZIBAR- 2014, JUMLA WASICHANA NA WAVULANA

KITUO

WALIOFAULU CREDITS

"3" AU ZAIDI WOTE WALIOFAULU

Page 187: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

183

WILAYA YA KASKAZINI 'A'

1 TUMBATU 17 0 0 10 58.8

2 FUKUCHANI 7 0 0 1 14.3

3 MKWAJUNI 79 0 0 35 44.3

4 CHAANI 39 0 0 20 51.3

5 KINYASINI 56 0 0 22 39.3

6 PALE 52 0 0 12 23.1

7 POTOA 47 0 0 26 55.3

8 GAMBA 14 0 2 6 42.9

9 KIDOTI 43 0 0 19 44.2

10 JONGOWE 51 0 0 26

JUMLA 405 0 0.00 177 43.7

WILAYA YA KASKAZINI 'B'

1 FUJONI 26 0 0 8 30.8

2 DONGE 9 0 0 3 33.3

3 MAHONDA 18 0 0 6 33.3

4 MAKOBA 4 0 0 1 25.0

5 KITOPE 31 0 0 13 41.9

6 BUMBWINI 17 0 0 8 47.1

7 MFENESINI 24 0 0 9 37.5

JUMLA 129 0 0.00 48 37.2

Jadweli 37(c) inaendelea

WILAYA YA KATI

1 UZINI 24 1 11.11 8 33.3

2 NDIJANI 40 0 0 10 25.0

3 UROA 14 0 0 4 28.6

4 MWERA 49 0 0 17 34.7

5 UNGUJA UKUU 37 0 0 16 43.2

6 BAMBI 18 0 0 7 38.9

7 DUNGA 42 0 0 11 26.2

8 UBAGO 40 0 0 20 50.0

9 KIBELE 46 0 0 21 45.7

10 MACHUI 8 0 0 2 25.0

11 JUMBI 21 0 0 8 38.1

12 NG'AMBWA 24 0 0 15 62.5

13 MPAPA 7 0 0 3 42.9

JUMLA 370 1 0.27 142 38.4

Page 188: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

184

WILAYA YA KUSINI

1 MAKUNDUCHI 56 0 0 19 33.9

2 PAJE 16 0 0 5 31.3

3 BWEJUU 15 0 0 10 66.7

4 MUYUNI 20 0 0 8 40.0

5 KUSINI 25 0 0 12 48.0

6 CHARAWE 10 0 0 7 70.0

JUMLA 142 0 0.00 61 43.0

WILAYA YA MICHEWENI

1 TUMBE 31 0 0 13 41.9

2 MICHEWENI 36 0 0 12 33.3

3 SHUMBA VYAMBONI 20 0 0 7 35.0

4 WINGWI 37 0 0 14 37.8

5 SIZINI 20 0 0 11 55.0

6 KINOWE 24 0 0 8 33.3

7 KONDE 17 0 0 7

JUMLA 185 0 0.00 72 38.9

WILAYA YA WETE

1 PANDANI 19 0 0 8 42.1

2 OLE 4 0 0 2 50.0

3 MCHANGA MDOGO 86 1 2.86 44 51.2

4 MINUNGWINI 42 0 0 22 52.4

5 PEMBA ISLAMIC COLLEGE 13 0 0 6 46.2

6 GANDO 31 0 0 15 48.4

7 SHENGEJUU 19 0 0 8 42.1

8 UONDWE 29 0 0 9 31.0

9 KIUYU 44 0 0 8 18.2

10 KANGAGANI 6 0 0 3 50.0

11 KOJANI 9 0 0 2 22.2

12 MZAMBARAOTAKAO 19 0 0 11 57.9

13 UTAANI 149 0 0 72 48.3

JUMLA 470 1 0.21 210 44.7

WILAYA YA CHAKE-CHAKE

1 SHAMIANI 85 0 0 16 18.8

2 FIDEL-CASTRO 86 0 0 26 30.2

3 NGWACHANI 13 0 0 11 84.6

4 VITONGOJI 23 0 0 5 21.7

5 CHANJA MJAWIRI 9 0 0 6 66.7

6 PIKI 11 0 0 3 27.3

7 WESHA 17 0 0 7 41.2

8 PUJINI 14 0 0 11 78.6

9 PONDEANI 33 0 0 12 36.4

10 ZIWANI 17 0 0 9 52.9

11 CHWALE 9 0 0 5 55.6

12 WAWI 20 0 0 10 50.0

JUMLA 337 0 0.00 121 35.9

WILAYA YA MKOANI

1 CHOKOCHO 23 0 0 3 13.0

2 KANGANI 14 0 0 7 50.0

3 UWELENI 19 0 0 9 47.4

4 MKANYAGENI 26 0 0 8 30.8

5 MTAMBILE 19 0 0 6 31.6

6 CHAMBANI 12 0 0 4 33.3

7 MWAMBE 20 0 0 11 55.0

8 MIZINGANI 6 0 0 4 66.7

9 WAMBAA 19 0 0 10 52.6

10 MAKOMBENI 10 0 0 5 50.0

11 KENGEJA 4 0 0 1 25.0

JUMLA 172 0 0.00 68 39.5

JUMLA KUU 4667 4 0.09 1891 40.5

Page 189: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

185

JADWELI NAM. 38(a)

IDADI % IDADI %

M/kwerekwe 'C' 29 2 6.90 12 41.38

Z/Commercial 10 0 0.00 4 40.00

Uweleni 12 0 0.00 1 8.33

Nyuki JWTZ 7 0 0.00 5 71.43

Haile Sellasie 13 0 0.00 4 30.77

Chuo cha Kiislamu 6 0 0.00 3 50.00

Hamamni 9 0 0.00 2 22.22

Lumumba 70 1 1.43 24 34.29

Al-Falah 8 0 0.00 5 62.50

Utaani 9 0 0.00 2 22.22

Ben - Bella 55 1 1.82 14 25.45

Kiembe samaki 20 0 0.00 3 15.00

Mkwajuni 8 0 0.00 2 25.00

Shamiani 18 1 5.56 7 38.89

Fidel Castro 7 0 0.00 4 57.14

Ubago 23 0 0.00 2 8.70

Kiponda 12 1 8.33 4 33.33

Mbarali Preparatory 4 0 0.00 1 25.00

Jumla 320 6 1.88 99 30.94

MATOKEO YA MTIHANI KWA WANAFUNZI WA FARAGHA KIDATO

CHA 6 VITUO VYA ZANZIBAR - 2012/2013 - WAVULANA TU

WATAHINIWAKITUO

WALIOFAULU

P2 + S1 AU ZAIDI

WOTE

WALIOFAULU

Page 190: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

186

JADWELI NAM. 38(b)

IDADI % IDADI %

M/kwerekwe 'C' 26 0 0.00 5 19.23

Z/Commercial 5 0 0.00 1 20.00

Uweleni 11 0 0.00 5 45.45

Nyuki JWTZ 5 1 20.00 2 40.00

Haile Sellasie 20 1 5.00 7 35.00

Chuo cha Kiislamu 27 0 0.00 5 18.52

Hamamni 5 0 0.00 2 40.00

Lumumba 38 4 10.53 19 50.00

Al-Falah 6 0 0.00 3 50.00

Utaani 23 1 4.35 11 47.83

Ben - Bella 58 0 0.00 9 15.52

Kiembe samaki 13 0 0.00 4 30.77

Mkwajuni 16 0 0.00 3 18.75

Shamiani 23 0 0.00 4 17.39

Fidel Castro 1 0 0.00 0 0.00

Ubago 62 0 0.00 8 12.90

Kiponda 19 0 0.00 7 36.84

Mbarali Preparatory 10 0 0.00 0 0.00

Jumla 368 7 1.90 95 25.82

MATOKEO YA MTIHANI KWA WANAFUNZI WA FARAGHA KIDATO

CHA 6 VITUO VYA ZANZIBAR - 2012/2013 - WASICHANA TU

KITUO WATAHINIWA

WALIOFAULU WOTE

P2 + S1 AU ZAIDI WALIOFAULU

Page 191: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

187

JADWELI NAM. 38(c)

IDADI % IDADI %

M/kwerekwe 'C' 55 2 3.64 17 30.91

Z/Commercial 15 0 0.00 5 33.33

Uweleni 23 0 0.00 6 26.09

Nyuki JWTZ 12 1 8.33 7 58.33

Haile Sellasie 33 1 3.03 11 33.33

Chuo cha Kiislamu 33 0 0.00 8 24.24

Hamamni 14 0 0.00 4 28.57

Lumumba 108 5 4.63 43 39.81

Al-Falah 14 0 0.00 8 57.14

Utaani 32 1 3.13 13 40.63

Ben - Bella 113 1 0.88 23 20.35

Kiembe samaki 33 0 0.00 7 21.21

Mkwajuni 24 0 0.00 5 20.83

Shamiani 41 1 2.44 11 26.83

Fidel Castro 8 0 0.00 4 50.00

Ubago 85 0 0.00 10 11.76

Kiponda 31 1 3.23 11 35.48

Mbarali Preparatory 14 0 0.00 1 7.14

Jumla 688 13 1.89 194 28.20

0 0 0 #DIV/0! 0 #DIV/0!

Jumla 1376 26 1.89 388 28.20

MATOKEO YA MTIHANI KWA WANAFUNZI WA FARAGHA KIDATO

CHA 6 VITUO VYA ZANZIBAR - 2013/2014 - WAVULANA NA WASICHANA

KITUO WATAHINIWA

WALIOFAULU

P2 + S1 AU ZAIDI

WOTE

WALIOFAULU

Page 192: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

188

JADWELI NAM. 39a

WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA

CHUMBUNI 0 0 0 5 0 5 2 14 2 24

KILIMAHEWA 1 5 2 5 0 4 0 0 3 14

M/SHAURI 0 2 1 3 1 3 0 0 2 8

SHAURIMOYO 0 3 1 3 0 0 1 1 2 7

K/CHEKUNDU 2 4 1 5 0 2 0 0 3 11

NYERERE 2 4 1 5 0 3 0 0 3 12

DARAJANI 2 3 1 2 0 2 0 0 3 7

MUUNGANO 0 0 0 5 1 1 3 4 4 10

M/KWEREKWE 'B' 2 5 1 6 1 3 0 1 4 15

FUONI 2 4 2 2 0 2 0 1 4 9

MTOPEPO 3 6 1 3 2 5 0 3 6 17

MFENESINI 1 1 0 1 0 0 0 2 1 4

MKWAJUNI 0 0 0 1 0 3 0 6 0 10

GAMBA 0 3 0 2 0 0 0 4 0 9

KINDUNI 0 2 1 3 0 2 2 5 3 12

KIBENI 0 2 0 3 0 2 0 0 0 7

UZINI 0 2 0 0 0 3 0 6 0 11

KIKOBWENI 0 0 0 5 0 0 0 0 0 5

KINYASINI 0 5 0 2 0 3 0 0 0 10

JUMLA 15 51 12 61 5 43 8 47 40 202

IDADI YA WANAFUNZI WALIOFAULU ELIMU MBADALA NA

KUJIUNGA KATIKA MADARASA YA KAWAIDA, UNGUJA - 2015

JUMLAIII IV V VI

KITUO

Page 193: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

189

JADWELI NAM. 39b

WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA

N'GOMBENI 0 2 0 3 0 2 0 0 0 7

PUJINI 0 0 2 4 0 0 0 0 2 4

GOMBANI 2 7 1 2 0 0 0 0 3 9

KENGEJA 2 5 0 5 0 2 0 0 2 12

MTONI 3 5 0 5 0 1 0 0 3 11

TONDOONI 2 4 1 5 0 3 0 0 3 12

M/MATATU 0 3 1 3 0 0 1 1 2 7

KIJINI 2 3 1 2 0 5 0 0 3 10

MICHEWENI 2 7 1 8 0 0 0 1 3 16

UWANDANI 2 4 2 2 0 2 0 1 4 9

S/MJINI 0 2 9 40 0 15 1 6 10 63

JUMLA 15 42 18 79 0 30 2 9 35 160

IDADI YA WANAFUNZI WALIOFAULU ELIMU MBADALA NA

KUJIUNGA KATIKA MADARASA YA KAWAIDA, PEMBA - 2015

KITUO

III IV V VI JUMLA

Page 194: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

190

MME MKE MME MKE MME MKE MME MKE MME MKE MME MKE MME MKE MME MKE MME MKE

1 Useremala 1 0 4 0 3 0 0 0 0 0 0 0 6 0 3 0 7 0

2 Ushoni 1 8 1 3 0 4 1 12 0 14 1 9 1 14 1 11 1 9

3 Uchoraji na Uandishi 0 0 0 2 0 3 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

4 Mafriji 6 0 7 0 5 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

5 Elektroniki 1 0 7 0 6 1 0 0 0 0 0 0 4 0 5 0 14 0

6 Uwashi 0 0 1 0 1 1 24 0 15 0 9 0 0 0 0 0 0 0

7 Ufundi Bomba 7 0 8 1 4 1 17 4 16 3 17 1 0 0 0 0 0 0

8 Magari 6 0 6 0 3 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

9 Uhunzi 2 0 0 0 1 0 10 0 7 0 5 0 0 0 0 0 0 0

10 Upishi 5 4 3 1 1 1 5 2 1 1 3 1 0 0 0 0 0 0

11 Umeme 0 0 0 0 0 0 26 2 16 2 17 6 0 0 0 0 0 0

12 Teknolojia na Mawasiliano 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 4 0 4 2 2 5

13 Huduma za Mahoteli 0 0 4 4 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

JUMLA 29 12 41 11 24 11 83 20 55 20 52 17 15 14 13 13 24 14

MWAKA I MWAKA II MWAKA III

VITONGOJI

MWAKA I MWAKA II MWAKA III

MWANAKWEREKWE

JADWELI NAM. 40(a)

MKOKOTONI

MWAKA I MWAKA II MWAKA III

IDADI YA WANAFUNZI KATIKA VITUO VYA AMALI, MACHI - 2015

Nam FANI

Page 195: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

191

JADWELI 41a

WME WKE WME WKE WME WKE WME WKEUmeme 0 0 41 0 41 0 82 0 82

Magari 0 0 3 0 0 0 3 0 3

Ufundi bomba 0 0 3 0 0 0 3 0 3

Mafriji 0 0 4 0 3 0 7 0 7

Mansory 0 0 5 0 0 0 5 0 5

Welding 0 0 4 0 0 0 4 0 4POLISI Magari 0 0 19 0 0 0 19 0 19

Ushoni 0 0 0 16 0 0 0 16 16

MKOKOTONI Useremala 0 0 2 0 0 0 2 0 2

Electronic 0 0 0 0 3 2 3 2 5

Uashi 0 0 0 2 0 0 0 2 2

Ufundi bomba 0 0 2 1 0 0 2 1 3

Uchoraji 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Ushoni 0 0 0 2 0 8 0 10 10

Welding 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Mafriji 0 0 0 0 5 0 5 0 5

Magari 0 0 3 0 5 0 8 0 8

KARUME Umeme wa magari 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Ufundi bomba 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Uchoraji wa ramani 0 0 7 0 0 0 7 0 7

Magari 0 0 3 0 0 0 3 0 3

Mafriji 0 0 14 0 0 0 14 0 14

Umeme 0 0 45 0 0 0 45 0 45

Huduma za Vinywaji 0 0 0 0 1 3 1 3 4

Uzalishaji wa chakula 0 0 0 1 7 3 7 4 11

Huduma za Mahoteli 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Huduma za nyumbani 0 0 0 1 0 4 0 5 5

Magari 0 0 0 0 10 0 10 0 10

Mafriji 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Umeme 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Umeme 0 0 2 0 0 0 2 0 2

Magari 0 0 10 0 0 0 10 0 10

UPENDO Ushoni 0 0 0 7 0 1 0 8 8

Upishi 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Umeme 0 0 0 2 0 0 0 2 2

Huduma za Mahoteli 0 0 2 0 2 0 4 0 4

Ushoni 0 0 0 10 0 5 0 15 15

Electronic 0 0 0 0 0 0 0 0 0

ICT 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Ushoni 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Umeme 0 0 44 0 0 0 44 0 44

Tailoring 0 0 0 7 0 0 0 7 7

Carpentry 0 0 0 0 7 0 7 0 7

Electrical 0 0 27 0 14 0 41 0 41

Fbs 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Rac 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Tailoring 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Welding 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Plumbing 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Masonry 0 0 0 0 0 0 0 0 0

0 240 49 98 26 338 75 413

MIKUNGUNI

FORODHANI

JKU MTONI

ADULT EDUC.

MACHUI

COMERCIAL

INSTITUTE

MATREKTA

M'KWEREKWE

WALIFANYA MITIHANI TA VETA (CBET), 2014

KITUO

FANI NGAZI JUMLA

KUUI II III JUMLA

Page 196: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

192

JADWELI 41 b

TOTAL

M F M F M F M F M

Magari 6 0 6 0 3 0 15 0 15

Majokufu na vipoza hewa 6 0 7 0 5 0 18 0 18

Ushoni 1 8 1 3 0 4 2 15 17

Uchoraji na Mapambo 0 0 0 2 0 3 0 5 5

Welding 2 0 0 0 1 0 3 0 3

Useremala 1 0 4 0 3 0 8 0 8

Upishi

5 4 3 1 1 1 9 6 15

Huduma za mahoteli 0 0 4 4 0 0 4 4 8

Uashi 0 0 1 0 1 1 2 1 3

Electronics 1 0 7 0 6 1 14 1 15

Ufundi bomba 7 0 8 1 4 1 19 2 21

TOTAL 22 12 33 10 20 10 75 32 107

Umeme 23 0 16 2 19 6 58 8 66

Ushoni 0 7 0 14 1 9 1 30 31

Uashi 17 4 17 3 17 1 51 8 59

Ufundi bomba 2 1 1 1 1 4 4 6 10

Upishi 13 0 15 0 9 0 37 0 37

Welding 8 0 7 0 5 0 20 0 20

TOTAL 171 52 223

Ushoni 1 14 1 11 1 9 3 34 37

Electronics 4 0 5 0 5 0 14 0 14

ICT 5 3 4 2 2 5 11 10 21

Useremala 6 0 3 0 7 0 16 0 16

Total 16 17 13 13 15 14 44 44 88

MK

OK

OTO

NI

VIT

ON

GO

JIM

/KW

EREK

WE

WALIOJIUNGA NA VYUO VYA MAMLAKA YA MAFUNZO YA AMALI 2015 -2016

KIT

UO

OCCUPATIONLEVEL I LEVEL II LEVEL III TOTAL

Page 197: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

193

JADWELI NAM. 42

Mjini 4 66 70 19 16 35 1 8 9 18 2 20 42 92 134

Magharibi 1 100 101 37 33 70 8 27 35 18 5 23 64 165 229

Kaskazini 'A' 5 8 13 17 1 18 13 0 13 12 0 12 47 9 56

Kaskazini 'B' 2 11 13 13 1 14 5 0 5 7 0 7 27 12 39

Kati 4 13 17 16 0 16 19 1 20 11 0 11 50 14 64

Kusini 4 11 15 8 1 9 8 1 9 8 0 8 28 13 41

Micheweni 5 8 13 19 0 19 3 0 3 11 1 12 38 9 47

Wete 2 8 10 22 0 22 8 1 9 16 0 16 48 9 57

Chake-Chake 2 13 15 22 1 23 6 4 10 15 2 17 45 20 65

Mkoani 2 8 10 27 2 29 2 0 2 19 0 19 50 10 60

Jumla 31 246 277 200 55 255 73 42 115 135 10 145 439 353 792

IDADI YA SKULI ZA MAANDALIZI, MSINGI NA KATI

NA SEKONDARI ZILIZOSAJILIWA KIWILAYA, MACHI - 2015

MAANDALIZI MSINGI TU MSINGI NA KATI JUMLA

WILAYA SERIKALIBINAFSISERIKALI JUMLABINAFSI SERIKALI SERIKALIBINAFSI JUMLAJUMLA

SEKONDARI TU

SERIKALI BINAFSI JUMLAJUMLA BINAFSI

Page 198: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

194

JADWELI NAM. 43(a)

W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA

Mjini 22 23 681 741 12 16 2 4 446 559 336 566 1499 1909

Magharibi 26 35 881 1017 5 9 0 2 714 871 365 577 1991 2511

Kaskazini 'A' 2 11 237 399 5 6 0 0 166 320 54 161 464 897

Kaskazini 'B' 5 6 225 304 2 4 0 0 94 179 42 105 368 598

Kati 2 3 242 385 5 11 0 2 145 288 81 208 475 897

Kusini 0 0 105 198 1 3 0 1 59 114 7 55 172 371

Micheweni 9 27 104 188 0 8 1 1 57 163 11 123 182 510

Wete 14 38 188 314 4 7 0 2 122 230 58 178 386 769

Chake-Chake 23 28 241 319 8 26 1 2 129 195 81 170 483 740

Mkoani 8 29 194 317 3 11 0 1 100 240 47 142 352 740

Jumla 111 200 3098 4182 45 101 4 15 2032 3159 1082 2285 6372 9942

WILAYA

CHINI YA KID 4 KID. 4

IDADI NA AINA MBALI MBALI ZA WALIMU WA MSINGI NA

SEKONDARI ( DAR. I - KID. 6 ) WALIOSOMEA KWA UCHAMBUZI WA KIWILAYA

KATIKA SKULI ZA SERIKALI, MACHI - 2015

DIGRII NA ZAIDI JUMLAKID. 6 DIPLOMAFTC

Page 199: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

195

JADWELI NAM. 43b)

W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA

Mjini 0 0 1 1 1 5 0 3 0 3 5 6 7 18

Magharibi 5 6 6 6 4 5 1 2 0 0 1 6 17 25

Kaskazini 'A' 4 5 1 2 3 4 0 1 0 3 0 3 8 18

Kaskazini 'B' 1 1 0 1 1 4 0 0 0 0 0 0 2 6

Kati 0 2 1 3 1 2 0 0 0 0 0 0 2 7

Kusini 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Micheweni 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Wete 0 0 0 0 0 4 1 1 0 0 0 0 1 5

Chake-Chake 1 1 1 1 0 0 0 0 0 0 0 0 2 2

Mkoani 0 4 0 1 1 3 0 0 0 0 0 0 1 8

Jumla 11 19 10 15 11 27 2 7 0 6 6 15 40 89

KID.6 JUMLA

WILAYA

IDADI NA AINA MBALI MBALI ZA WALIMU WA MSINGI NA

SEKONDARI ( DAR. I - KID. 6 ) WASIOSOMEA KWA UCHAMBUZI WA KIWILAYA

KATIKA SKULI ZA SERIKALI, MACHI - 2015

CHINI YA KID 4 KID. 4 FTC DIPLOMA DIGRII NA ZAIDI

Page 200: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

196

JADWELI NAM. 43(c)

W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J"LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA

Mjini 22 23 682 742 13 21 2 7 446 562 341 572 1506 1927

Magharibi 31 41 887 1023 9 14 1 4 714 871 366 583 2008 2536

Kaskazini 'A' 6 16 238 401 8 10 0 1 166 323 54 164 472 915

Kaskazini 'B' 6 7 225 305 3 8 0 0 94 179 42 105 370 604

Kati 2 5 243 388 6 13 0 2 145 288 81 208 477 904

Kusini 0 0 105 198 1 3 0 1 59 114 7 55 172 371

Micheweni 9 27 104 188 0 8 1 1 57 163 11 123 182 510

Wete 14 38 188 314 4 11 1 3 122 230 58 178 387 774

Chake-Chake 24 29 242 320 8 26 1 2 129 195 81 170 485 742

Mkoani 8 33 194 318 4 14 0 1 100 240 47 142 353 748

Jumla 122 219 3108 4197 56 128 6 22 2032 3165 1088 2300 6412 10031

WILAYA

DIGRII NA ZAIDICHINI YA KID.4 KID. 4 KID. 6

IDADI NA AINA MBALI MBALI ZA WALIMU WOTE WA MSINGI NA

SEKONDARI, ( DARASA 1 - KIDATO 6 ) WASIOSOMEA NA WALIOSOMEA KWA

UCHAMBUZI WA KIWILAYA KATIKA SKULI ZA SERIKALI, MACHI - 2015

JUMLAFTC DIPLOMA

Page 201: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

197

JADWELI NAM. 43d)

W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA

Mjini 100 100 100 100 92 76 100 57 100 99 99 99 100 99

Magharibi 84 85 99 99 56 64 0 50 100 100 100 99 99 99

Kaskazini 'A' 33 69 100 100 63 60 0 0 100 99 100 98 98 98

Kaskazini 'B' 83 86 100 100 67 50 0 0 100 100 100 100 99 99

Kati 100 60 100 99 83 85 0 100 100 100 100 100 100 99

Kusini 0 0 100 100 0 100 0 100 100 100 100 100 100 100

Micheweni 100 100 100 100 0 100 100 100 100 100 100 100 100 100

Wete 100 100 100 100 100 64 0 67 100 100 100 100 100 99

Chake-Chake 96 97 100 100 100 100 100 100 100 100 100 100 100 100

Mkoani 100 88 100 100 75 79 0 100 100 100 100 100 100 99

Jumla 91 91 100 100 80 79 67 68 100 100 99 99 99 99

ZA SERIKALI, KIWILAYA, MACHI - 2015

DIGRII NA ZAIDIDIPLOMA JUMLA

( DAR. 1 - KID. 6 ) WALIOSOMEA KATI YA WALIMU WOTE WA SKULI

ASILIMIA ZA WALIMU MBALI MBALI WA MSINGI NA SEKONDARI

WILAYA

CHINI YA KID 4 KID. 4 KID. 6 FTC

Page 202: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

198

JADWELI NAM. 44a)

MADARASA WANAFUNZI WANAFUNZI WASTANI WA

(VYUMBA VYA KWA CHUMBA KWA MKONDO SHIFTI ZA

(DAR.I - KID 2) KUSOMEA) KIMOJA MM0JA MASOMO

Mjini 46908 903 978 52 48 1.08

Magharibi 90385 1536 1566 59 58 1.02

Kaskazini 'A' 26060 531 531 49 49 1.00

Kaskazini 'B' 14221 292 345 49 41 1.18

Kati 19932 572 546 35 37 0.95

Kusini 9653 262 226 37 43 0.86

Micheweni 24473 331 439 74 56 1.33

Wete 30413 507 531 60 57 1.05

Chake-Chake 27306 462 546 59 50 1.18

Mkoani 27384 419 500 65 55 1.19

Jumla 316735 5815 6208 54 51 1.07

UWIANO WA WANAFUNZI, MADARASA NA MIKONDO KATIKA NGAZI YA MSINGI NA KATI

(DAR 1 - KID. 2) KWA UCHAMBUZI WA KIWILAYA: SKULI ZA SERIKALI NA BINAFSI, MACHI - 2015

UANDIKISHAJI

MIKONDOWILAYA

Page 203: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

199

JADWELI NAM. 44(b)

MADARASA WANAFUNZI WANAFUNZI WASTANI WA

(VYUMBA VYA KWA CHUMBA KWA MKONDO SHIFTI ZA

(DAR 1 -KIDATO 2) KUSOMEA) KIMOJA MMOJA MASOMO

Mjini 39483 600 609 66 65 1.02

Magharibi 75599 930 1010 81 75 1.09

Kaskazini 'A' 26027 530 530 49 49 1.00

Kaskazini 'B' 14191 287 344 49 41 1.20

Kati 19259 549 523 35 37 0.95

Kusini 9239 249 213 37 43 0.86

Micheweni 24213 325 434 75 56 1.34

Wete 30117 498 522 60 58 1.05

Chake-Chake 25685 404 501 64 51 1.24

Mkoani 27183 413 494 66 55 1.20

Jumla 290996 4785 5180 61 56 1.08

UWIANO WA WANAFUNZI, MADARASA NA MIKONDO KATIKA NGAZI YA

MSINGI NA KATI KWA UCHAMBUZI WA KIWILAYA: SKULI ZA SERIKALI, MACHI - 2015

WILAYA

UANDIKISHAJI

MIKONDO

Page 204: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

200

JADWELI NAM. 44(c)

MADARASA WANAFUNZI WANAFUNZI WASTANI WA

(VYUMBA VYA KWA CHUMBA KWA MKONDO SHIFTI ZA

(DAR 1 -KIDATO 2) KUSOMEA) KIMOJA MMOJA MASOMO

Mjini 7425 303 369 25 20 1.22

Magharibi 14786 606 556 24 27 0.92

Kaskazini 'A' 33 1 1 33 33 1.00

Kaskazini 'B' 30 5 1 6 30 0.20

Kati 673 23 23 29 29 1.00

Kusini 414 13 13 32 32 1.00

Micheweni 260 6 5 43 52 0.83

Wete 296 9 9 33 33 1.00

Chake-Chake 1621 58 45 28 36 0.78

Mkoani 201 6 6 34 34 1.00

Jumla 25739 1030 1028 25 25 1.00

WILAYA

UANDIKISHAJI

MIKONDO

UWIANO WA WANAFUNZI, MADARASA NA MIKONDO KATIKA NGAZI YA MSINGI

NA KATI KWA UCHAMBUZI WA KIWILAYA: SKULI ZA BINAFSI, MACHI - 2015

Page 205: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

201

JADWELI NAM. 45(a)

UANDIKISHAJI

WA WANAFUNZI

(DAR I - KID 6) WALIOSOMEA WASIOSOMEA JUMLA ALIYESOMEA ASIYESOMEA JUMLA

Mjini 45729 2295 129 2424 20 354 19

Magharibi 88694 3371 219 3590 26 405 25

Kaskazini 'A' 24489 900 18 918 27 1361 27

Kaskazini 'B' 13277 600 6 606 22 2213 22

Kati 19001 945 7 952 20 2714 20

Kusini 9181 380 16 396 24 574 23

Micheweni 23702 514 10 524 46 2370 45

Wete 29251 781 10 791 37 2925 37

Chake-Chake 26644 843 20 863 32 1332 31

Mkoani 26116 754 8 762 35 3265 34

Jumla 306084 11383 443 11826 27 691 26

UWIANO WA WANAFUNZI NA WALIMU KATIKA NGAZI YA MSINGI NA KATI (DAR.1 - KID 6)

KWA UCHAMBUZI WA KIWILAYA KATIKA SKULI ZA SERIKALI NA BINAFSI - MACHI, 2015

IDADI YA WANAFUNZI

KWA MWALIMU MMOJA

WILAYA

IDADI YA WALIMU

Page 206: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

202

JADWELI NAM. 45b)

UANDIKISHAJI WA

WANAFUNZI

(DAR I - KID 6) WALIOSOMEA WASIOSOMEA JUMLA ALIYESOMEA ASIYESOMEA JUMLA

Mjini 37549 1909 18 1927 20 2086 19

Magharibi 71554 2511 25 2536 28 2862 28

Kaskazini 'A' 24456 897 18 915 27 1359 27

Kaskazini 'B' 13247 598 6 604 22 2208 22

Kati 18258 897 7 904 20 2608 20

Kusini 8767 371 0 371 24 0 24

Micheweni 23428 510 0 510 46 0 46

Wete 28911 769 5 774 38 5782 37

Chake-Chake 24811 740 2 742 34 12406 33

Mkoani 25915 740 8 748 35 3239 35

Jumla 276896 9942 89 10031 28 3111 28

IDADI YA WANAFUNZI KWA

UWIANO WA WANAFUNZI NA WALIMU KATIKA NGAZI YA MSINGI NA KATI (DAR.1 - KID 6)

KWA UCHAMBUZI WA KIWILAYA KATIKA SKULI ZA SERIKALI - MACHI, 2015

WILAYA

IDADI YA WALIMU MWALIMU MMOJA

Page 207: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

203

JADWELI NAM. 45(c)

UANDIKISHAJI

WA WANAFUNZI

(DAR I - KID 6) WALIOSOMEA WASIOSOMEA JUMLA ALIYESOMEA ASIYESOMEA JUMLA

Mjini 8180 386 111 497 21 74 16

Magharibi 17140 860 194 1054 20 88 16

Kaskazini 'A' 33 3 0 3 11 0 11

Kaskazini 'B' 30 2 0 2 15 0 15

Kati 743 48 0 48 15 0 15

Kusini 414 9 16 25 46 26 17

Micheweni 274 4 10 14 69 27 20

Wete 340 12 5 17 28 68 20

Chake-Chake 1833 103 18 121 18 102 15

Mkoani 201 14 0 14 14 0 14

Jumla 29188 1441 354 1795 20 82 16

KWA MWALIMU MMOJAIDADI YA WALIMU

UWIANO WA WANAFUNZI NA WALIMU KATIKA NGAZI YA MSINGI NA KATI (DAR.1 - KID 6)

KWA UCHAMBUZI WA KIWILAYA KATIKA SKULI ZA BINAFSI - MACHI, 2015

WILAYA

IDADI YA WANAFUNZI

Page 208: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

204

WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI

MAKADIRIO YA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO KWA MWAKA WA FEDHA 2015/2016

KASMA MRADI MCHANGO WA MAKADIRIO YA MISAADA MAKADIRIO

SMZ RUZUKU MKOPO JUMLA

0801/680005 UIMARISHAJI ELIMU YA MAANDALIZI 400,000,000.00 861,316,000.00 1,261,316,000.00

801/680006 UIMARISHAJI ELIMU YA MSINGI 1,000,000,000.00 2,274,317,000 343,617,000.00 3,617,934,000.00

0401/680015 UIMARISHAJI WA ELIMU YA LAZIMA 1,000,000,000.00 1,000,000,000.00

0401/720003 UIMARISHAJI ELIMU YA UFUNDI - - -

1201/680008 UIMARISHAJI WA ELIMU MBADALA 500,000,000.00 - 17,519,250,000.00 18,019,250,000.00

JUMLA 2,900,000,000.00 3,135,633,000.00 17,862,867,000.00 23,898,500,000.00

JADWELI NAM.46

Page 209: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

205

JADWELI NAM. 47

FEDHA ZA MAPATO ZILIZOKUSANYWA KWA KIPINDI CHA JULY,2014-MARCH,2015

KIFUNGU MAELEZO MAKISIO YA KILICHOPATIKANA %

IDARA YA MIPANGO SERA NA

UTAFITI MAPATO JULAI,2014 - MEI, 2015

0401/142201 LESENI ZA WALIMU 14,000,000.00 7,838,000.00 55.99

0401/142202 LESENI ZA USAJILI WA SKULI BINAFSI 16,000,000.00 16,532,500.00 103.33

JUMLA 30,000,000.00 24,370,500.00 81.24

WIZARA YA ELIMU YA MAFUNZO YA AMALI

Page 210: HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. …€¦ · BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU..... 40 BARAZA LA MITIHANI LA ... ya Tsh 1,000,000,000/= kwa kazi za maendeleo

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2015/2016

206

JADWELI NAM. 48

Maelezo

Idara ya Mipango, Sera na Utafiti

0401/142201 LESENI ZA WALIMU 15,731,000.00

0401/142202 LESENI ZA USAJILI WA SKULI ZA BINAFSI 9,000,000.00

Jumla Kuu 24,731,000.00

MAKISIO YA MAPATO KWA MWAKA 2015/2016

KIFUNGU

MAKISIO YA

MAPATO