8
mambo mazuri kama haya tungeyasikia redioni tu”. Mama Nyandaro Chaya alionyesha furaha yake alipohojiwa na Jarida hili kwa kusema haya ndiyo matunda ma- zuri. Mrs Lazaro Zengo aliele- za kuwa “Kwa kweli Jarida ni zuri sana, kwa kweli umelitengeneza vizuri sana kiasi kwamba kila mtu ana hamu kusoma bila kuchoka”. Ndugu Ndimila Mandago mfanya bi- ashara maarufu wa karikoo alipohojiwa na Jarida hili alitoa ponge- zi kwa namna ambavyo kamati ya jamii na TEHAMA Zilivyoleta na kuanzisha mambo mazuri ambayo tume- zoea kuyasoma kwa wengine. Jarida la JAMBO USHIRIKIANO lilianzish- wa mwezi uliopita (Saba) na litatolewa kila mwezi na tovuti ya ushirikiano ilizinduliwa mwezi uliopita . Www.ushirikiano.or.tz. Hongera sana Bw. John Athanas na Kamati nzima ya Masuala ya Jamii kwa ubunifu wa kuanzisha JARIDA la JAMBO USHIRIKIANO! Inaonyesha speed ya ajabu ya kwenda na wakati kwa ku-take off kwa kasi kama ya AIR FORCE ONE! CONGRATULATIONS! Maneno hayo yalitolewa na Ndugu Mdongo, NDJ alipoku- wa analieleza jarida hili na alivyoguswa. Naye Ndugu Lazaro zengo alisema “Jarida limetulia,hongera kaka John na timu yako kwa kazi nzuri”. Wakihojiwa na waandishi wetu katika nafasi mbalimbali , Advocate Mrs Evelyne D . Mwigulu Dede aliipongeza kamati ya TEHAMA na kamati ya JAMII kwa kufanya Ushirikiano kuwa wa matawi ya juu Zaidi. Kwa wakati tofauti Ndugu Ntemi Gimbishi alifurahishwa na jarida pamoja na tovuti iliyoanzinshwa na alisema “Hongereni sana ka- mati ya jamii kwa kazi nzuri na ya kupendeza ubunifu wenu unaleta picha nzuri sana katika ushirikiano. Pia pongezi nyigi mno kwa kamati ya TEHAMA bila wao Majohe ilikuwa ni sehemu isiyofahamika kwa wengi , hii ndiyo sehemu kikao cha mwezi wa Saba cha wanaushirikiano kilipofanyika nyumba kwa familia ya Ndugu Mahango Sitta , Pamoja na asilimia kubwa ya wageni kupotea , sehemu hii ilibadilisha mandhari ya wengi wanaposikia Majohe . Ilikuwa furaha ya aina yake wajumbe walipo pokelewa kwa ukarimu wa pekee , kupata chakula , kunywa and kuend- ndesha kikao kizuri na cha aina yake. Pamoja na kumaliza kikao Mapema wajumbe hawakupenda kuondoka kwa ukarimu walio- pewa na wenyeji wao. Jambo Ushirikiano na Tovuti Ya Ushirikiano Vyapokelewa kwa Furaha. YALIYOMO Jambo Ushirikia Fu- 1 Majohe Raha TUPU 1 Nhendes Pub Gumzo 2 Nini Siri ya Ndoa Imara 3 Happy Birthday 4 Yaemavyo Maadili na Nidhamu 5 Unajua anakotoka …… Edward 6 Majohe Rada - Ni Raha Tupu…July. JAMBO USHIRIKIANO 1ST AUGUST 2013 VOLUME 1 ISSUE 2 PATA TAARIFA MBALIMALI ZA KUVUTIA NDANI YA JAMBO USHIRIKIANO. Jambo Ushirikiano na Tovuti vyapokelewa kwa Furaha, Nhendes Pub Gumzo la Kibada - Kigamboni Majohe Rada ni Raha Tupu Hongera Patrick Bwire Sitta Lusenga Masanja Karibu Mwana Mpotevu…. Nini Siri ya NDOA Kutumu Je Unafahamu Alikotea Edward Nhendes Kwalu. Akinamama watoa zawadi kwa mzazi / motto. Itandula Afanikisha Ndoa ya Mdogo wake Mwau- koli. NPE—MBUZI HEWANI Naaaaaaa kadahalika …………….. ??????????

Jambo Ushirikiano Newsletter issue 2 2013.pdfBariadi alisoma shule ya msingi Bu-namhala na kuhamia Mwakisandu— Meatu hakubahatika kuendelea na shule ya sekondari ingawa kichwa kilikuwa

  • Upload
    others

  • View
    4

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: Jambo Ushirikiano Newsletter issue 2 2013.pdfBariadi alisoma shule ya msingi Bu-namhala na kuhamia Mwakisandu— Meatu hakubahatika kuendelea na shule ya sekondari ingawa kichwa kilikuwa

mambo mazuri kama haya tungeyasikia redioni tu”. Mama Nyandaro Chaya alionyesha furaha yake alipohojiwa na Jarida hili kwa kusema

haya ndiyo matunda ma-zuri. Mrs Lazaro Zengo aliele-za kuwa “Kwa kweli Jarida ni zuri sana, kwa kweli umelitengeneza

vizuri sana kiasi kwamba kila mtu ana hamu kusoma bila kuchoka”.

Ndugu Ndimila Mandago mfanya bi-ashara maarufu wa karikoo alipohojiwa na Jarida hili alitoa ponge-zi kwa namna ambavyo

kamati ya jamii na TEHAMA Zilivyoleta na kuanzisha mambo mazuri ambayo tume-zoea kuyasoma kwa wengine. Jarida la JAMBO USHIRIKIANO lilianzish-wa mwezi uliopita (Saba) na litatolewa kila mwezi na tovuti ya ushirikiano ilizinduliwa mwezi uliopita .

Www.ushirikiano.or.tz.

Hongera sana Bw. John Athanas na Kamati nzima ya Masuala ya Jamii kwa ubunifu wa kuanzisha JARIDA la JAMBO USHIRIKIANO! Inaonyesha speed ya ajabu ya kwenda na wakati kwa ku-take

off kwa kasi kama ya AIR FORCE ONE! CONGRATULATIONS! Maneno hayo yalitolewa na Ndugu Mdongo, NDJ alipoku-wa analieleza jarida hili na alivyoguswa. Naye Ndugu Lazaro zengo alisema “Jarida limetulia,hongera

kaka John na timu yako kwa kazi nzuri”. Wakihojiwa na waandishi wetu

katika nafasi mbalimbali , Advocate Mrs Evelyne D . Mwigulu Dede aliipongeza

kamati ya TEHAMA na kamati ya JAMII kwa kufanya Ushirikiano kuwa wa matawi ya juu Zaidi. Kwa wakati tofauti Ndugu Ntemi Gimbishi alifurahishwa na jarida pamoja na tovuti iliyoanzinshwa na alisema “Hongereni sana ka-mati ya jamii kwa kazi nzuri na ya kupendeza ubunifu wenu unaleta picha nzuri sana katika ushirikiano. Pia pongezi nyigi

mno kwa kamati ya TEHAMA bila wao

Majohe ilikuwa ni sehemu

isiyofahamika kwa wengi , hii

ndiyo sehemu kikao cha mwezi

wa Saba cha wanaushirikiano

kilipofanyika nyumba kwa familia

ya Ndugu Mahango Sitta , Pamoja

na asilimia kubwa ya wageni

kupotea , sehemu hii ilibadilisha

mandhari ya wengi wanaposikia

Majohe . Ilikuwa furaha ya aina

yake wajumbe walipo pokelewa

kwa ukarimu wa pekee , kupata

chakula , kunywa and kuend-

ndesha kikao kizuri na cha aina

yake. Pamoja na kumaliza kikao

Mapema wajumbe hawakupenda

kuondoka kwa ukarimu walio-

pewa na wenyeji wao.

Jambo Ushirikiano na Tovuti Ya Ushirikiano

Vyapokelewa kwa Furaha.

YAL IYOMO

Jambo

Ushirikia Fu-

1

Majohe Raha

TUPU

1

Nhendes Pub

Gumzo

2

Nini Siri ya Ndoa

Imara 3

Happy Birthday 4

Yaemavyo Maadili

na Nidhamu 5

Unajua anakotoka

…… Edward 6

Majohe Rada - Ni Raha Tupu…July.

JAMBO USHIRIKIANO 1 S T A U G U S T 2 0 1 3 V O L U M E 1 I S S U E 2

PATA TAARIFA MBALIMALI ZA

KUVUTIA NDANI YA JAMBO

USHIRIKIANO.

• Jambo Ushirikiano na

Tovuti vyapokelewa kwa

Furaha,

• Nhendes Pub Gumzo la

Kibada - Kigamboni

• Majohe Rada ni Raha

Tupu

• Hongera Patrick Bwire

Sitta Lusenga Masanja

• Karibu Mwana

Mpotevu….

• Nini Siri ya NDOA

Kutumu

• Je Unafahamu Alikotea

Edward Nhendes Kwalu.

• Akinamama watoa

zawadi kwa mzazi /

motto.

• Itandula Afanikisha Ndoa

ya Mdogo wake Mwau-

koli.

• NPE—MBUZI HEWANI

• Naaaaaaa kadahalika

…………….. ??????????

Page 2: Jambo Ushirikiano Newsletter issue 2 2013.pdfBariadi alisoma shule ya msingi Bu-namhala na kuhamia Mwakisandu— Meatu hakubahatika kuendelea na shule ya sekondari ingawa kichwa kilikuwa

P A G E 2

HONGERA PATRICK

BWIRE SITTA

LUSENGA

MASANJA

AKINAMAMA WAMPONGEZA MAMA MZAZI NA KUTOA ZAWADI ZA MTOTO

Hongera Patrick Bwire Sitta Lusenga Masanja

Pamoja na kufanya kikao cha mwezi wa July kwenye

Familia ya Ndugu Mahango Sitta , wanaushirikiano wali-

tumia fursa hii kumuona mwanaushirikiano mpya ali-

yepatikana hivi karibuni katika familia hii.

Mwenyekiti wa Ushirikiano Ndugu Michael Gambamala

alikabidhiwa rasmi kwa Niaba ya wanaushirikiano kulea

motto huyo kwa mara ya kwanza. Ilikuwa siku ya Pekee

kwa namna matukio

haya yalivyojitokeza.

Mtoto huyu ali-

tambulishwa majina yake ambayo ilionekana yanatambulisha ukoo

mzima wa Bwire na Sitta . Mtoto huyu anaitwa Patrick Bwire

Sitta Lusenga Masanja hata hivyo wajumbe wote waliruhusiwa

kumshika motto baada ya mwenyekiti kukamilisha zoezi la

kumpokea na kumlea motto kwa mara ya kwanza.

Hongera familia ya Mahango na kuwaombea kumlea vizuri motto

huyu kadri ya mapenzi ya Mwenyezi Mungu.

na ambavyo wanaushieikiano wanapendana

wanapomkosa

mwenzao mara

nyingi wanakuwa

na hamu ya ku-

muona. Mjumbe

mmoja alisikika

tunamsubiri

Magaka Felefu

ambaye Pia ni

mjumbe

wamepotezana naye kwa muda mrefu.

Ilikuwa ni siku ya Pekee wajumbe wa

UG walipompokea kwa makofi na vifijo

mjumbe Ndugu John Elias ghafla ali-

poingia ukumbini huko majohe siku ya

kikao cha mwezi wa saba . Waandishi na

wapiga Picha wa Jarida hili walikuwa

wako tayari kuchukua tukio hili ambalo

wengi walifurahi kumwona mpendwa

wao akiwasili kwa kutokuwa naye muda

mrefu katika vikao vilivyopita. Kwa nam-

turi ya akinamama hawa wa

Ushirikiano group. Kitendo hiki kilishuhudiwa na Mwenyekiti

wa Ushirikiano Group Ndugu

Michael Gambamala

Luchunga anayeoneka-

na kulia kwenye Picha.

Hongera Mama Hapi-

ness Bwire ndiyo

maneno mengi yali-

yowatoka akinamama

wa ushirikiano.

Ni Jambo la kawaida kum-

pongeza mzazi na kuleta zawa-

di kwa ajili ya motto aliyezali-

wa . Ndicho kitendo kilichofan-

yika tarehe 27/7/2013 huko

Majohe , Dar es salaam am-

bapo wanawake wa

Ushirikiano Group walipom-

pongeza mama Mzazi Mrs Hap-

piness Bwire Mahango kwa

kuwaletea motto wa Kiume

Patrick . Hii ni kawaida na des-

Akupendaye

kwa Dhati

ndiye Rafiki

wa Kweli.

J A M B O U S H I R I K I A N O

KARIBU MWANA MPOTEVU ……………………..

Our Core Value

Team work

Ushirikiano

Intergrity

Uaminifu

Impartiality

Kutopendelea

Accountability

Uwajibikaji

Page 3: Jambo Ushirikiano Newsletter issue 2 2013.pdfBariadi alisoma shule ya msingi Bu-namhala na kuhamia Mwakisandu— Meatu hakubahatika kuendelea na shule ya sekondari ingawa kichwa kilikuwa

Mwanachama Mpya Apokelewa Ushirikiano

P A G E 3 V O L U M E 1 I S S U E 2

Ilikuwa siku ya aina yake Tarehe

27/7/2013 wanaushirikiano wali-

popokea mwanahama mpya Ndugu

Veronica Kilulu Adamu aliyevutiwa

na ushirikiano na kudiriki kujaza

fomu ya kujiunga ili kutimiza azima

yake ya kuwa mmoja wa wanau-

shirikiano alipohojiwa na Jarida hili

Veronica alionekana kuwa mwenye

furaha kwa namna ambavyo

ameweza kukubaliwa kwa ilioneka-

na wanachama wapya wanaweza

wasipokelewa idadi itakapofikia 30

na yeye alikuwa ni mwanchama

namba 26 , alisema nimewakilisha

fomu na michango ataipeleka

kwenye account ili kuwasilisha listi

kwa Mweka hazina.

Wanachama walimpokea kwa Ma-

kofi Mwanachama mpya ambaye

atakuwa msichana pekee aliyeamua

kujiunga katika kikundi hiki.

ilikuwa ni sherehe ya aina yake Watu waliowengi wanafikiria kufani-

kisha Ndoa ya kisasa ni Mjini tu la

hasha , Mwezi wa sita Mwanau-

shirikiano Ndugu ITANDULA Ga-

malagi alifanikisha ndoa ya mdogo

wake Ndugu Mahusi Gambalagi

andyefanya kazi Morogoro aliweza

kuuacha ukapera alipofunga pingu za

maisha katika Kijiji cha Mwaukoli ,

tarafa ya Kisesa—Meatu –Simiyu

iliyopanwa katika mtindo ambo

walijisikia wako Sheraton , sherehe

zilichagiwa na wanakijiji kujitokeza

kwa wiki kushuhudia sherehe ya

aina yake ambayo haijapata kutokea.

Ndugu itandula alieleza kuwa

anamshukuru mwenyezi mungu kwa

kumaliza jukumu hili ambalo lilimpa

wasiwasi mwingi anawapongeza

kuunganishwa kisheria lakini hazidu-

mu .

Jarida hili lilitaka kujua uzoefu kwa

watu waliodumu katika Ndoa Muda

Mrefu na sasa wanaitwa Babu na

bibi , Ndugu Ezekiel Malongo na

Mama Lyongo - Wazazi wa watoto

4 wakiwa na Mjukuu mmoja alieleza

Siri kubwa ya Ndoa ni kuwa na

Upendo , Uvumilivu , Amani na

Mshikamano ndani ya familia . Kila

mmoja akitambua wajibu wake ndani ya

familia ndoa inadumu na mwenyezi

mungu ataibariki tu , kuwa watu wa-

kumcha mungu ndiyo nguzo iliyo imara.

Kila mmoja Baba , Mama , Mtoto akijua

yeye ni nani ana wajibu gani katika familia

hapa ndiyo utamu wa

Ndoa yenye furaha na

upendo utajionyesha.

Hayo vijana wetu

wanapashwa kujifun-

za.

Ndoa ni muungano wa watu wawili

Baba na Mama alioamua kuishi

pamoja na kufanya familia , Ndoa

nyingi katika thama hizi hazidumu

utakuta haichukui hata mwaka

baada ya

kwenda

Kanisani ,

msikitini

na

serikalini

Nini Siri ya NDOA Imara ?.......

ITANDULA Afanikisha Harusi ya Mdogo wake Mwaukoli

Itandula Gambalagi

FAMILIA NI

SHULE YA

UPENDO ,

AMANI ,

UVUMILIVU.

MR. AND MRS MAHUSI GAMBALAGI WAKIINGIA UKUMBINI –MWAUKOLI MEATU

Page 4: Jambo Ushirikiano Newsletter issue 2 2013.pdfBariadi alisoma shule ya msingi Bu-namhala na kuhamia Mwakisandu— Meatu hakubahatika kuendelea na shule ya sekondari ingawa kichwa kilikuwa

P A G E 4

Our Core Value

Team work

Ushirikiano

Intergrity

Uaminifu

Impartiality

Kutopendelea

Accountability

Uwajibikaji

Nhendes Pub

Gumzo la Kibada

Wanaushirikiano wengi wazaliwa 2012/13

Hongera!! Birthday, Komunio, Kipaimara

Nhendes Pub Imekuwa Gumzo la Kibada Kigamboni.

Baada ya kuzinduliwa na

wanaushirikiano Mwezi mmoja

uliopita , Mwandishi wetu ali-

tembelea siku ya Iddi ambapo

alikuta Pub imejaa magari hata

sehemu ya kupaki haikupatika-

na watu walijaa kupita kiasi ,

Jarida hili lilipoongea na Maneja

wa Nhendes Pub alieleza kuwa

tumekuwa na mafanikio toka

siku ya uzinduzi ambapo tu-

mekuwa bize kwa siku zote za

wiki , sasa hivi mbuzi tunao-

chinja ni kuanzia 2 mpaka 4

kwa siku , wateja wanakuwepo

hata mpaka saa 7 za usiku na

hasa siku hii ya sikukuu tume-

zidiwa wateja .

Mwandishi wetu alipoongea na

Mteja mmoja ambaye alisema

asitajwe jina lake alieleza kuwa

Nhendes Pub ni gumuzo la Kibada ,

baa mchara zote sasa hivi wafunge

tu alisema mteja huyo.

Mkurugenzi wa Nhendes Pub ali-

pohojiwa alieleza mambo yanaenda

vizuri wanaimarisha miundo mbinu

na endambo Daraja la Kigamboni

litakapokamilka mambo yatakuwa

mazuri zaidi.

Katika mwezi wa July tuungane

na wanafamilia wafuatao kwa

Happy Birthday !!

Mwenyekiti wa kamati ya

Jamii amewaomba wanachama

waweze kuleta orodha ya

wanafamilia ili kuwa na oro-

dha ya wanafamilia ikiwa na

siku za kuzaliwa. Hii ni ku-

shirikishana kwa siku hizi

muhimu

kuwapongeza kusherehekea siku za

kuzaliwa,

Happy Birthday !!!!!!!!!!!!

HAPPINESS PROTAS BWIRE 7-Jul

JULIANA S. MASOME 7-Jul

ELIADA TIMOTHY MABAGALA 7-Jul

PASTORY S. MAYILA 9-Jul

HENRY D

WESE JOHN 12-Jul

KUNDI S. SITTA 14-Jul

• Familia ya Fransics Luber-

ti.

• Familia ya John Athanas.

• Familia ya John Elias.

• Familia ya Ntami Gim-

bishi

• Familia ya Mahango Sitta.

Wanaushirikiano waliziponge-

za familia hizi kwa namna

tofauti na ukweli tunapoanza mwa-

ka mwingine ni kitendo cha kum-

shukuru Mungu kwa zawadi hii.

Ni furaha iliyoje katika familia

za wanaushirikiano katika

mwaka huu uliopita kujaliwa

wanaushirikiano wapya. Familia

zifuatazo zilibahatika kupata

watoto katika kipindi cha Mwa-

ka 2012 /13;

• Familia ya Emmanuel Eze-

kiel Malongo.

• Familia ya Justine Dede.

J A M B O U S H I R I K I A N O

Page 5: Jambo Ushirikiano Newsletter issue 2 2013.pdfBariadi alisoma shule ya msingi Bu-namhala na kuhamia Mwakisandu— Meatu hakubahatika kuendelea na shule ya sekondari ingawa kichwa kilikuwa

JICHO la TEHAMA…….. www.ushirikiano.0r.tz on line

P A G E 5 V O L U M E 1 I S S U E 2

Kamati ya Tehama baada ya kufani-

kiwa kuiweka hewani Tovuto sasa

hivi imeanza mchakato wakuijenga

tovuti iwe na na taarifa nyingi zaidi.

Mwenyekiti wa Tehama aliliambia

Jarida hili sasa ni muda muafaka wa

kujenga Tovuti iliyo

bora kwani kila se-

hemu ya kufungua

inatakiwa iwe na

maelezo na viam-

batanisho , kwa hiyo

kila kamati husika

itatoa muonekano na

taarifa ya vitu ambavyo ingependa

vionekane na vitatolewa update ,

kwa mfano kamati ya Uchumi ,

fedha na Mipango taarifa zake zote

za fedaha , michango , kanuni na

vingine vinatakiwa vipatikane kwa

wanachama kwa kuona moja kwa

moja . Hii ndiyo hatua tunayotaka kuijenga ili

tuwe na tovuti yenye ubora.

Mwenyekiti alieleza kuwa atazidi

kuwaelimisha wanachama hatua

kwa hatua.

Www.ushirikiano.or.tz

Hongera Kamati Ya Tehama.

kwenda Mwandoya kwa miguu—km

30 hivi, biashara hii ilimtoa mpaka

akapata mtaji wa kuanza kununua

mitumba na kutembeza kwenye

magulio na baadaye mtaji ulikuwa

akanunua baiskeli iliyomsaidia kufu-

ata mali (mitumba)wilaya yaMagu.

Edward alioa miaka 25 iliyopita na

baadaye biashara ikakua na kuhamia

Maswa akajenga guest iliyoitwa

Edward Kwalu mjukuu wa mzee

Gakenyeli alizaliwa miaka ya 60

huko Bunamanhala Mbugani—

Bariadi alisoma shule ya msingi Bu-

namhala na kuhamia Mwakisandu—

Meatu hakubahatika kuendelea na

shule ya sekondari ingawa kichwa

kilikuwa kinachemka. Mara baada ya

kumaliza shule alianza ujasiliamali

wa kuuza MIWA akifuata sakasaka

Nhendes. Biashara iliendelea kukua

na baadaye alihamia Mwanza alijenga

na kuendesha hotel - FRORIDA

HOTEL Lakini kwa matamanio yake

alitaka kufanya biashara DSM na sasa

anafanya biashara Kariakoo. Edward

ni Mkurugenzi wa Florida Hotel ,

Majeng’s Brothers co. Ltd , Nhendes

Pub , Kariokoo Edwards Fashions na

Nhendes Mini Supermarket. Edward

ana mke na watoto 5 ambao familia

imejaliwa. Edward aliliambia Jarida hili ,

Ndoto zake ni kuwa mfanyabiashara

mwenye mafanikio.

Jamii , Tehama and ile ya UChumi

fedha na mipango kazi sasa ndiyo

imeandaliwa na wanakamati wen-

zangu na kufikia kikao cha mwezi

unaofuata mwezi wa nane wanacha-

ma wategemee kanuni hizi kuanza

kuzijadili , hata hivyo aliwahakikishia

wanachama wategemee mambo

mazuri na yenye kujenga umoja na

siyo kubomoa kwa sababu kikundi

hiki ni cha watu wenye ushirikiano

Jarida la Ushirikiano lilitembelea

Dawati la kamati ya maadili na ni-

dhamu ili kudodosa mipango iliyopo

katika kuhakikisha ni lini kanuni za

wanaushirikiano zitakuwa tayari .

Mwenyekiti wa kamati ya Maadili na

Nidhamu Ndugu Ezekiel Malongo

aliliambia jarida hili kwamba sasa

mambo yataiva karibuni baada ya

kupokea kanuni zote za kamati ya

TEHAMA

NI KILA

KITU

KATIKA

MAISHA

YASEMAVYO—MAADILI NA NIDHAMU

Unajua alikotokea ?……… Edward Kwalu Nhendes.

USHIRIKIANO

NI NGUZO YA

FAMILIA

Edward Kwalu Nhendes

Umoja na nidhamu tayari hii ni kuhakikisha tu tunakuwa na mwongozo. Ndugu Malongo alisema kamati itasimamia tu katiba na kanuni zote zilizowekwa na wanachama.

Ndugu Ezekiel MAlongo— Mwenyekiti Kamati ya Maadili

EDWARD

Page 6: Jambo Ushirikiano Newsletter issue 2 2013.pdfBariadi alisoma shule ya msingi Bu-namhala na kuhamia Mwakisandu— Meatu hakubahatika kuendelea na shule ya sekondari ingawa kichwa kilikuwa

BIRTH DAY SCHEDULEBIRTH DAY SCHEDULEBIRTH DAY SCHEDULEBIRTH DAY SCHEDULE

FAMILIA YA JINA LA MWANAFAMILIA UHUSIANO KUZALIWA

AUGUST

PASTORY S. MAYILA HAPPINESS P. S. MAYILA MTOTO 1-Aug

JOHN ATHANAS MLYABOPE ROSEMARY NGOLO JOHN MTOTO 13-Aug

ITANDULA GAMBALAGI EMMANUEL JUNIOR ITANDULA MTOTO 13-Aug

NG'HONGE JOSHUA MDONGO PETER MASABO N.D.J. MDONGO MTOTO 17-Aug

GAMBAMALA LUCHUNGA EMILIA LUCHUNGA MTOTO 20-Aug

SEPTEMBER

NG'HONGE JOSHUA MDONGO NG'HONGE JOSHUA MDONGO BABA 2-Sep

OCTOBER

PASTORY S. MAYILA REBECCA P. S. MAYILA MTOTO 15-Oct

NOVEMBER

FRANCIS CHARLES LUBETI FRANCIS CHARLES LUBETI BABA 13-Nov

GAMBAMALA LUCHUNGA SITTA GAMBAMALA MTOTO 26-Nov

DECEMBER

NDAKI TITO NDAKI Y. TITO BABA 6-Dec

JOHN ATHANAS MLYABOPE JOHN ATHANAS BABA 9-Dec

MAHANGO SITTA MAHANGO SITTA BABA 12-Dec

SAYI SITTA MAKANDA NSHOLA M. ADAM MAMA 14-Dec

SAYI SITTA MAKANDA SITTA S. SITTA MTOTO 14-Dec

FRANCIS CHARLES LUBETI THECLA FRANCIS MTOTO 21-Dec

NTEMI M.GIMBISHI NTEMI M.GIMBISHI BABA 22-Dec

ITANDULA GAMBALAGI ITANDULA GAMBALAGI BABA 24-Dec

FRANCIS CHARLES LUBETI HAPPINESS FRANCIS MTOTO 25-Dec

GAMBAMALA LUCHUNGA AGNESS LUCHUNGA MAMA 26-Dec

P A G E 6

Page 7: Jambo Ushirikiano Newsletter issue 2 2013.pdfBariadi alisoma shule ya msingi Bu-namhala na kuhamia Mwakisandu— Meatu hakubahatika kuendelea na shule ya sekondari ingawa kichwa kilikuwa

MPE—MBUZI….

Uwajibikaji Ndiyo Ufike

Ushirikiano

KUPENDELEA

00% HUKO

Uaminifu Kipaumbele Huko

ZE LODI

TU !!

@@@@mmmmppppeeeemmmmbbbbuuuuzzzziiii 2222000011113333

P A G E 7

Page 8: Jambo Ushirikiano Newsletter issue 2 2013.pdfBariadi alisoma shule ya msingi Bu-namhala na kuhamia Mwakisandu— Meatu hakubahatika kuendelea na shule ya sekondari ingawa kichwa kilikuwa

P.O.BOX 41449

DAR ES SALAAM

TANZANIA

E-MAIL: [email protected]

CORNER YA EDITOR:

Tunamshukuru mwenyezi mungu kwa namna ya pekee

kuwawezesha wanaushirikiano kuanzisha Jarida na Tovuti

ambazo ni nguzo muhimu katika kuleta mawasiliano ya

karibu kati ya wanaushirikiano.

Ni mategemeo yetu wanachama wataona umuhimu wa

vyombo hivi na kuvitumia ipasavyo kushirikiana na familia

zao ili kuleta hamasa ya aina yake nani ya umoja huu.

Ni vizuri wahusika waweze kubuni Habari na taarifa

zitakazoleta msisimuko wa aina yake ili vionekane na ub-

ora wa juu zaidi.

ALUTA KONTINYUA WANAUSHIRIKIANO , KAMATI

YA JANII NA TEHAMA.

Ushirikiano Group Tanzania

Ushirikiano Day !!! Inakuja ………

NGUVU YETU NI:

Ushirikiano , Uaminifu , Kutopendelea na Uwajibikaji

Www.ushirikiano.or.tz

P A G E 8