48
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU Umetayarishwa na: Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) kwa kushirikiana na: TIE, TCU, NACTE, VETA na ILO Mwongozo wa Taifa wa Ufundishaji Ujasiriamali (NETF)

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA...yake kuanzia shule ya msingi na shule ya sekondari mpaka kwenye vyuo vya ualimu. Pia, taasisi mbalimbali za elimu ya juu zimeanza ufundishaji wa ujasiriamali

  • Upload
    others

  • View
    20

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

M w o n g o z o w a Ta i f a w a U f u n d i s h a j i U j a s i r i a m a l i ( N E T F )

a

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

OFISI YA WAZIRI MKUU

Umetayarishwa na:

Baraza la Tai fa la Uwezeshaj i Wananchi Kiuchumi (NEEC) kwa kushir ik iana na: TIE, TCU, NACTE, VETA na ILO

Mwongozo wa Taifa waUfundishaji Ujasiriamali (NETF)

M w o n g o z o w a Ta i f a w a U f u n d i s h a j i U j a s i r i a m a l i ( N E T F )

b

M w o n g o z o w a Ta i f a w a U f u n d i s h a j i U j a s i r i a m a l i ( N E T F )

iii

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

OFISI YA WAZIRI MKUU

MWONGOZO WA TAIFA WA UFUNDISHAJI

UJASIRIAMALI (NETF)

Umetayarishwa na:

Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC)

Kwa Kushirikiana Na: VETA, NACTE, TCU, TIE, na ILO

M w o n g o z o w a Ta i f a w a U f u n d i s h a j i U j a s i r i a m a l i ( N E T F )

iv

M w o n g o z o w a Ta i f a w a U f u n d i s h a j i U j a s i r i a m a l i ( N E T F )

v

YaliyomoYaliyomo ........................................................................................................................................... i

ORODHA YA MAJEDWALI ...............................................................................................................ii

SHUKRANI .......................................................................................................................................iv

1.0 UTANGULIZI .............................................................................................................................. 1

1. 1 Usuli .................................................................................................................................... 1

1.2 Urazini ................................................................................................................................. 2

1.3 Madhumuni ya Mwongozo wa Taifa wa Ufundishaji Ujasriamali (NETF) ............................. 3

1.4 Mawanda ya Mwongozo wa Taifa wa Ufundishaji Ujasiriamali NETF .................................. 3

1.5 Namna Mwongozo wa Taifa wa Ufundishaji Ujasiriamali Ulivyoandaliwa .............................. 3

1.6 Muundo wa Mwongozo wa Taifa wa Ufundishaji Ujasiriamali (NETF) ................................. 4

1.7 Namna ya Kuutumia Mwongozo Huu.................................................................................. 4

2.0 DHANA YA UJASIRIAMALI NA MADHUMUNI YA UFUNDISHAJI UJASIRIAMALI ................... 6

2.2 Madhumuni ya Ufundishaji Ujasiriamali ............................................................................... 6

2.3 Stadi Zitakazokuzwa ........................................................................................................... 7

2.4 Njia Kuu Itakayotumiwa Kufundishia Ujasiriamali ............................................................... 8

3.0 UFUNDISHAJI UJASIRIAMALI KWENYE NGAZI YA SHULE YA AWALI .................................... 9

3.1 Madhumuni ya Elimu ya Ujasiriamali ................................................................................... 9

3.2 Stadi Zitakazokuzwa Kwenye Ngazi ya Shule ya Awali ...................................................... 9

3.3 Mbinu na Mikakati ya Kufundishia .................................................................................... 10

3.4 Upimaji Ujuzi wa Wanafunzi .............................................................................................. 11

3.5 Wawezeshaji ...................................................................................................................... 11

4.0 UFUNDISHAJI UJASIRIAMALI KWENYE NGAZI ZA SHULE YA MSINGI NA SHULE YA SEKONDARI ......................................................................................................................... 11

4.1 Madhumuni ya Ufundishaji Ujasiriamali Kwenye Ngazi za Shule ya Msingi na Shule ya Sekondari ................................................................................................................................... 11

4.2 Stadi Zitakazokuzwa Kwenye Ngazi za Shule ya Msingi na Shule ya Sekondari ................. 12

4.3 Mbinu na Mikakati ya Kufundishia .................................................................................... 15

4.5 Wawezeshaji ...................................................................................................................... 17

5.0UFUNDISHAJI UJASIRIAMALI KWENYE NGAZI YA VYUO VYA UALIMU ............................... 18

5.1 Madhumuni ya Elimu ya Ujasiriamali Kwenye Ngazi ya Vyuo vya Ualimu ........................ 18

5.2 Stadi Zitakazokuzwa Kwenye Ngazi ya Vyuo vya Ualimu ................................................. 19

5.3 Njia, Mbinu na Mikakati ya Kufundishia ............................................................................ 23

5.4 Upimaji wa Ujuzi wa Wanafunzi ........................................................................................ 24

5.5 Wawezeshaji ...................................................................................................................... 25

6. 0 UFUNDISHAJI UJASIRIAMALI KWENYE NGAZI YA ELIMU YA JUU ................................... 27

M w o n g o z o w a Ta i f a w a U f u n d i s h a j i U j a s i r i a m a l i ( N E T F )

vi

6.1 Madhumuni ya Elimu ya Ujasiriamali Kwenye Ngazi ya Elimu ya Juu ............................... 27

6.2 Stadi Zitakazokuzwa Kwenye Ngazi ya Elimu ya Juu ....................................................... 28

6.3 Njia, Mbinu na Mikakati ya Kufundishia ............................................................................ 32

6.4 Upimaji wa Ujuzi wa Wanafunzi ........................................................................................ 33

6.5 Wawezeshaji ...................................................................................................................... 34

7.0 UFUNDISHAJI UJASIRIAMALI KWENYE NGAZI YA ELIMU ISIYO RASMI .............................. 36

7.1 Madhumuni ya Elimu Isiyo Rasmi ya Ujasiriamali .............................................................. 36

7. 2 Stadi Zitakazokuzwa Kwa Biashara Mpya Zilizopo na Ambazo Zina Uwezekano wa ....... 37

Kuanzishwa ..................................................................................................................... 37

7.3 Stadi Zitakazokuzwa kwa Ajili yaKuimarisha na Kukuza Biashara ..................................... 38

7.4 Stadi Zitakazokuzwa kwa Ajili ya Kuziwezesha Biashara Kuwa za Kimataifa ................... 40

7.5 Stadi Zitakazokuzwa kwa Ajili ya Ujasiriamali wa Ndani ................................................... 41

7.6 Stadi Zitakazokuzwa kwa Ajili ya Ujasiriamali wa Kijamii ................................................. 41

7.7 Njia, Mbinu na Mikakati ya Kufundishia ............................................................................ 41

7.8 Upimaji wa Ujuzi wa Wanafunzi ........................................................................................ 42

7.9 Wawezeshaji ...................................................................................................................... 43

8.0CHANGAMOTO NA MIKAKATI YA UTEKELEZAJI ................................................................... 45

8.1 Changamoto Zinazotarajiwa ............................................................................................. 45

8.2 Mikakati ya Utekelezaji ..................................................................................................... 46

M w o n g o z o w a Ta i f a w a U f u n d i s h a j i U j a s i r i a m a l i ( N E T F )

vii

VIFUPISHO

CBOs Community Based OrganizationAsasi za Kijamii

CEE Consortium for Entrepreneurship Education

CEFE Creation of Economies through Formation of Entrepreneurs

DFID Department for International Development

DSM Dar es Salaam

EMPRETEC Emprendedoresy Tecnología (UNCTAD Entrepreneurship Training Program)

FBO Faith Based Organization

GETs General Enterprising Tendencies

ILO International Labour Organization

IMED Institute of Management and Entrepreneurship Development

INSET In-Service Training

MKUKUTA Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kuondoa Umaskini (National Strategy for Growth and Reduction of Poverty)

MoEVT Ministry of Education and Vocational Training

MoU Memorandum of Understanding

NCGE National Council for Graduate Entrepreneurship

NCSEE National Contents Standards for Entrepreneurship Education

NEEC National Economic Empowerment Council

NETF National Entrepreneurship Training Framework

NGO Non-Governmental Organization

NQF National Qualifications Framework

PEC Personal Entrepreneurial Competencies

RGZ Revolutionary Government of Zanzibar

SIYB Start and Improve Your Business

SMEs Small and Medium Enterprises

TCU Tanzania Commission for Universities

TIE Tanzania Institute of Education

UDEC University of Dar es Salaam Entrepreneurship Centre

UK United Kingdom

URT United Republic of Tanzania

VETA Vocational Education and Training Authority

M w o n g o z o w a Ta i f a w a U f u n d i s h a j i U j a s i r i a m a l i ( N E T F )

viii

Maandalizi ya Mwongozo wa Taifa wa Ufundishaji Ujasiriamali (NETF) yalitokana na jitihada za pamoja ambazo ziliwashirikisha wadau wengi. Mafanikio ya ukamilishaji wa maandalizi hayo yaliwezekana kutokana na jitihada za pamoja za taasisi, mashirika, na watu binafsi kadhaa ambao kwa pamoja tunawashukuru sana kwa kushiriki kwao.

Tunaishukuru Serikali kupitia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi kwa kuliunga mkono na kuliidhinisha wazo la kuuandaa Mwongozo huu bila ya kusita. Tunatoa shukrani za dhati kwa Shirika la Kazi Duniani (ILO) kwa msaada wake wa kifedha na kwa kuendelea kuliunga mkono wazo la kuujumuisha ujasiriamali kwenye mfumo mzima wa elimu wa Tanzania. Kadhalika, tunawashukuru sana washiriki wetu wakuu kwenye shughuli hii zikiwemo: Taasisi ya Elimu ya Tanzania (TIE), Tume ya Vyuo Vikuu ya Tanzania (TCU), Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE), na Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi (VETA).

Aidha tunatoa shukrani za pekee kwa wataalam waliounganisha michango mbalimbali ya mawazo yaliyotolewa na kulitunga chapisho hili yaani: Dkt. Donath Olomi (Taasisi ya Menejimenti na Uendelezaji Ujasiriamali [IMED]), Dkt. Mariam Nchimbi (Kituo cha Ujasiriamali cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam [UDEC]), Bi. Razia Ramadhani (Taasisi ya Elimu ya Tanzania [TIE]), na Bw. Oswald Karadisi (Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi [NEEC]).

Maoni na mapendekezo yaliyopatikana kwenye mkutano wa wadau ambao uliipitia rasimu ya kwanza tarehe 18 Desemba, 2012 ulithibitisha kuwa wa manufaa sana kwenye urekebishaji na ukamilishaji vizuri wa chapisho hili. Kwa sababu hiyo, tunawashukuru washiriki wote walioshiriki kwenye warsha hiyo kwa michango yao.

Muawana na ufuatiliaji endelevu wa kazi hii, vitu ambavyo vimendelea kufanywa na wajumbe wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) wakiongozwa na Mwenyekiti, Mzee Emmanuel Kamba vinathaminiwa sana. Tunawasifu watumishi wa NEEC na TIE wakiongozwa na Dkt. Joyce Peters Chonjo pamoja na Bibi Angela Katabaro kwa kuhusika kwa dhati kwenye matayarisho na ukamilishaji wa chapisho hili.

Ni imani yetu kwamba ushirikiano na ari ya umilikaji Mwongozo huu ulivyodhihirishwa na wadau mbalimbali utadumishwa kwenye utekelezaji wake.

Dkt. Anacleti K. KashulizaKATIBU MTENDAJI

Shukrani

M w o n g o z o w a Ta i f a w a U f u n d i s h a j i U j a s i r i a m a l i ( N E T F )

1

1. 1 UsuliKutokana na kutambua fika dhima ya kimkakati ya uendelezaji ujasiriamali kwa maendeleo ya watu wake, Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2025 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inanena kwamba:

Utamaduni wenye mwelekeo wa kimaendeleo na ustawi unatakiwa kukuzwa ili kuuhusisha na jadi na desturi za watu kwa minajili ya kuyafikia malengo ya dira ya maendeleo hasa kuhusu kuukuza na kuulea utamaduni wa ujasiriamali na maendeleo ya mtu binafsi: kufanya kazi za ubunifu na uvumbuzi kwa bidii, kutimiza wajibu wao, kuwa na nidhamu, kujali maisha yao na elimu, kuweka akiba kwa manufaa yao ya baadaye na kuwa na vitega uchumi na kukuza ari ya kujiamini na kujistahi (URT, 2025 uk. 7).

Tamko hili linakubaliana na Sera ya Elimu ya Kujitegemea ya 1967 ambayo ilirekebisha mapungufu ya elimu ya wakati na baada ya enzi za ukoloni katika kuwatayarisha Watanzania kwa maisha. Sera ya 1967 inanena:

Elimu lazima ihimize maendeleo ya raia wenye kujivunia nchi yao, walio huru ambao wanajitegemea kwa maendeleo yao wenyewe…… (Nyerere, 1967).

Kwa mujibu wa Sera ya Elimu ya Kujitegemea, shule zinatakiwa kuongezeka kwa idadi kama vituo vya uzalishaji ambavyo vinawawezesha wanafunzi kukuza ujuzi wa kiutendaji wa ukwasi na uanzishaji kazi mbalimbali, kulipia baadhi ya gharama za mafunzo yao na kuthamini uhusiano baina ya kazi na hali njema.

Sawasawa na machapisho yaliyotangulia hapo juu, Sera ya Taifa ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (2004), Sera ya Maendeleo ya Vijana (2007), Sera ya Elimu na Mafunzo (1995), Sera ya Taifa ya Ajira (2008) pamoja na Sera ya Maendeleo ya Biashara Ndogo na za Kati (2003) zinasisitiza umuhimu wa kujumuisha ujasiriamali kwenye mfumo wetu wa elimu. Lengo ni kuukuza utamaduni wa kijasiriamali kwenye jamii na kuwawezesha wanafunzi kuchangia ipasavyo maendeleo yao wenyewe na ya taifa ikiwa ni pamoja na kuwa washindani bora zaidi kwenye soko la ajira na kwenye utengenezaji kazi mbalimbali na ukwasi. Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi (MoEVT) imeingiza stadi za kazi zinazohusiana na ujasiriamali kwenye mitaala yake kuanzia shule ya msingi na shule ya sekondari mpaka kwenye vyuo vya ualimu. Pia, taasisi mbalimbali za elimu ya juu zimeanza ufundishaji wa ujasiriamali kama somo na/au kama elimu isiyo rasmi kwa vikundi mbalimbali.

1.2 UraziniKama ilivyoelezwa kwenye Sera ya Elimu ya Kujitegemea ya 1967 na Dira ya 2025, Mwongozo wa sasa wa elimu unahitaji kufungamanishwa vema zaidi na mabadiliko ya mazingira. Wahitimu hawana budi kujipatia, kabla ya kuhitimu, “ujuzi wa kuajirika” ama wao wenyewe au kwenye ajira zenye mshahara kwenye mashirika ya aina mbalimbali, madogo na makubwa. Hawana budi kuwa wamejiandaa kiakili na kuwa na ujuzi unaotakiwa: (i) kutwaa jukumu la umilikaji na uongozi wa elimu na maendeleo yao, (ii) kuweza kuanza

1.0Utangulizi

M w o n g o z o w a Ta i f a w a U f u n d i s h a j i U j a s i r i a m a l i ( N E T F )

2

kujiajiri kwa kutumia kitu chochote walicho nacho hata kama ni kidogo sana, (iii) kufanya kazi ili kujifunza na (iv) kusababisha mikono yao kuchafuka.

Hatua mbalimbali zimekwisha chukuliwa kutekeleza sera hizi. Utekelezaji ipasavyo wa Sera ya Elimu ya Kujitegemea kwenye mfumo wa shule ulihitaji mabadiliko makubwa kwenye mitazamo ya watendaji mbalimbali kwenye mfumo mzima wa elimu, uongozi uliodhamiria utekelezaji wa sera hiyo na kufafanuliwa kinagaubaga kwa minajili ya kuwawezesha watendaji wote muhimu kuwa na kauli moja. Hata hivyo, mitazamo haikubadilika kuitambua ari ya sera hiyo jambo ambalo lilichangia sana sera husika kushindwa kuleta matokeo yaliyotarajiwa.

Mashirika mbalimbali ya umma na ya binafsi, ya hapa hapa nchini na ya kimataifa, yamekuwa yanajishughulisha na kuunga mkono elimu na mafunzo rasmi na yasiyo rasmi ya ujasiriamali kulingana na Dira ya 2025. Hata hivyo, juhudi hizi za uratibu, ulinganifu na rasilimali zimekuwa ni changamoto kutokana na kukosa ufanisi wa kutosha.

Tafiti za karibuni (IMED [2012] na NEEC [2012]) zimethibitisha kwamba hakuna maafikiano kuhusu uelewa wa pamoja wa dhana nzima ya ufundishaji ujasiriamali, madhumuni yake, matarajio yanayotazamiwa kufikiwa na mwanafunzi baada ya kufundishwa na mbinu na vifaa mujarabu vya kufundishia ili kutimiza matokeo yanayotakiwa. Kwa sababu hiyo, kuna haja ya wadau kuwa na mwongozo wa pamoja unaoonyesha malengo, mawanda, njia za ufundishaji, zana za kutumia kupima ujuzi wa mwanafunzi, na wawezeshaji. Kwa mantiki hiyo, chapisho hili linawasilisha Mwongozo wa Taifa wa Ufundishaji wa Ujasiriamali (NETF) kukidhi lengo hilo.

1.3 Madhumuni ya Mwongozo wa Taifa wa Ufundishaji Ujasriamali (NETF)Lengo la jumla la NETF ni kubainisha matarajio ya msingi yanayotarajiwa kufikiwa na mwanafunzi baada ya kujifunza ujasiriamali, njia za kufundishia, mwongozo wa ubora kwa wawezeshaji na mbinu za upimaji ujuzi wa mwanafunzi zitakazotumiwa kwenye ufundishaji ujasiriamali ili jitihada zitakazochukuliwa zichangie kwa ufanisi zaidi kuwawezesha Watanzania kuboresha mitazamo, maarifa na ujuzi wao kama inavyotarajiwa kwenye Dira ya Taifa ya 2025 pamoja na sera mbalimbali za kisekta.

Madhumuni mahususi ya NETF ni kutoa mwongozo juu ya:

(i) Madhumuni muhimu ya ufundishaji ujasiriamali kwa kila ngazi ya elimu rasmi na elimu isiyo rasmi;

(ii) Ustadi wa msingi ambao unatakiwa kukuzwa kwa kila ngazi ya elimu rasmi;

(iii) Stadi ambazo zinatakiwa kukuzwa kwa kila aina na ngazi kuu ya elimu isiyo rasmi;

(iv) Njia, mbinu na mikakati ya kufundishia, zana za kupimia ujuzi wa wanafunzi na wawezeshaji watakaotumiwa kuleta matarajio yanayotazamiwa kufikiwa kwa ngazi mbalimbali.

1.4 Mawanda ya Mwongozo wa Taifa wa Ufundishaji Ujasiriamali NETFMwongozo huu unafaa kwa matumizi ya elimu iliyo rasmi na elimu ambayo si rasmi ila msisitizo wake uko kwenye kuelekeza kujifunza kuwe zaidi ni kwa ajili ya kudumisha ari ya ujasiriamali kuliko kujifunza kuhusu ujasiriamali. Msukumo mkubwa wa Mwongozo huu upo kwenye kukuza ujasiriamali kama “ustadi wa maisha kupitia elimu na ufundishaji.” Kwa nyongeza, Mwongozo pia unakuza ujasiriamali kama ustadi wa kibiashara msisitizo ukiwa kwenye stadi zinazohitajika kuanzisha na kuendeleza mashirika mapya na yale yanayokua kibiashara. Kwenye elimu rasmi, Mwongozo unajihusisha na elimu ya awali (shule za chekechea), elimu ya msingi, elimu ya sekondari na elimu ya juu hadi ngazi ya shahada ya kwanza. Kwenye elimu isiyo rasmi, Mwongozo unajihusisha na biashara mpya, uimarishaji na ukuzaji biashara, uwezeshaji biashara kuwa za kimataifa, uendelezaji wa ujasiriamali wa ndani wa pamoja na ujasiriamali wa kijamii. Mwongozo unadhihirisha madhumuni, stadi muhimu zitakazokuzwa, njia za kufundishia, wawezeshaji na upimaji wa ufundishaji ujasiriamali kwa kila ngazi.

M w o n g o z o w a Ta i f a w a U f u n d i s h a j i U j a s i r i a m a l i ( N E T F )

3

1.5 Namna Mwongozo wa Taifa wa Ufundishaji Ujasiriamali UlivyoandaliwaMchakato wa kuandaa Mwongozo huu uliongozwa na Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) ambalo kisheria limepewa mamlaka na Sera ya Taifa ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (2004) na Sheria yake ya kuliwezesha kusimamia uendelezaji ujasiriamali nchini. Hata hivyo, ubunifu wa wazo hili ulifanywa na NEEC kwa ushirikiano na Taasisi ya Elimu ya Tanzania (TIE) ambayo ina jukumu la kusanifu na kukuza mitaala, kuendesha programu za INSET kwa walimu na wakufunzi pamoja na mafunzo ya nje ya kituo cha kazi kwa walimu. Mchakato mzima ulikuwa wenye ushirikiano na shirikishi ukiwashirikisha watendaji muhimu kwenye sekta ya umma, sekta binafsi pamoja na asasi za kiraia. Mchakato ulianza na mkutano wa wadau ili kuafikiana juu ya masuala mapana na mchakato wenyewe ambavyo ungefanyika. Mkutano huo ulifuatiwa na uchunguzi wa kitaifa ili kuthibitisha hali halisi ya elimu ya ujasiriamali na kupata maoni ya wadau juu ya mawanda stahiki ya Mwongozo wa Ufundishaji Ujasiriamali. Uchunguzi ulikamilishwa na uhakiki wa kina wa vitabu na nyaraka mbalimbali muhimu ukiwemo uzoefu na utekelezaji wa kupigiwa mfano. Mifumo kadhaa ya ujasiriamali na elimu ilihakikiwa ikiwa sehemu ya ule uhakiki wa - kina wa vitabu na nyaraka mbalimbali muhimu. Mwongozo huu wa NETF uliandaliwa na timu ya wataalam wanne (4) kitaifa wenye uzoefu mkubwa katika uendelezaji ujasiriamali, ukuzaji na uendelezaji mitaala, na uwezeshaji. Mwongozo huu ulijadiliwa na kuhalalishwa na wadau kutoka taasisi mbalimbali zinazoendesha mafunzo mbalimbali, wadhibiti wa taasisi hizo, watoaji wa huduma ya ufundishaji ujasiriamali wasio rasmi, watayarishaji mbalimbali wa sera na washirika mbalimbali wa maendeleo, kupitia warsha ya wadau iliyoendeshwa mwezi Disemba 2012.

1.6 Muundo wa Mwongozo wa Taifa wa Ufundishaji Ujasiriamali (NETF)Mwongozo wa Taifa wa Ufundishaji Ujasiriamali umepangwa katika sura nane (8). Baada ya Utangulizi, Sura ya 2 inawasilisha dhana ya ufundishaji ujasiriamali na madhumuni yake. Sura hii inafuatiwa na Sura tano, yaani Sura ya 3 hadi ya 7, ambazo zinajikita zaidi kwenye: ngazi na aina tofauti za elimu (elimu ya awali, elimu ya msingi na sekondari pamoja na elimu ya juu), na makundi tofauti ya walengwa kwenye elimu isiyo rasmi (biashara mpya, uimarishaji na ukuzaji biashara, uwezeshaji biashara kuwa za kimataifa, uendelezaji ujasiriamali wa ndani na ujasiriliamali wa kijamii). Kila sura miongoni mwa Sura hizo tano, inabainisha: madhumuni ya kujifunza ujasiriamali, stadi zitakazokuzwa, mbinu na mikakati ya kufundishia na kujifunzia, njia za upimaji wa ujuzi wa mwanafunzi, na wawezeshaji watakaotumiwa kufanya ufundishaji. Sura ya 8, inafanya uchanganuzi kwa ufupi wa changamoto zinazotarajiwa kwenye utekelezaji wa mwongozo huu na inahitimisha kwa kupendekeza mikakati ya utekelezaji.

1.7 Namna ya Kuutumia Mwongozo HuuMwongozo huu unatakiwa utumike kama kiongozi kwenye utayarishaji, utekelezaji na kuhakiki upya mitaala ya ufundishaji ujasiriamali kwenye miktadha ya elimu rasmi na elimu ambayo siyo rasmi. Mwongozo huu wa NETF umevichagua kabla vikundi vifuatavyo vya watumiaji wake pamoja na matakwa yao halisi:

(i) Wakuzaji wa mitaala na wataalam wa ujasiriamali watautumia Mwongozo huu kuujumuisha ujasiriamali kwenye mitaala ya elimu ya awali, elimu ya msingi, elimu ya sekondari na elimu ya ualimu (elimu ya vyuo vya ualimu);

(ii) Wakuzaji na wahakiki wa mitaala kwenye taasisi za elimu ya juu watautumia Mwongozo huu kama kitabu muhimu cha rejea kwenye ufundishaji wa ujasiriamali;

(iii) Wadhibiti wa mafunzo mbalimbali nchini, watazishauri taasisi zinazoendesha mafunzo mbalimbali kuutumia Mwongozo huu na watautumia kwenye kutathmini mitaala itakayowasilishwa kwao kwa ajili ya uthibitishaji na uidhinishaji;

(iv) Watoaji wa huduma ya ukuzaji na uendelezaji biashara watautumia Mwongozo huu kama kiongozi kwenye kusanifu na ufundishaji elimu ya ujasiriamali isiyo rasmi na kwenye jitihada zao nyingine watakazofanya.

M w o n g o z o w a Ta i f a w a U f u n d i s h a j i U j a s i r i a m a l i ( N E T F )

4

2.1 Dhana ya UjasiriamaliJapo ujasiriamali ni wa muhimu sana kwenye kuanzisha na kujishughulisha na biashara na kuitafuta faida, dhana hii ina maana pana zaidi. Kwa sababu hiyo, tumeamua kutumia fasili pana zaidi ya ujasiriamali kuwa ni:

Namna ya kufikiri, kuwaza kimantiki na kutenda ambayo husababisha uanzishaji, utengenezaji, uboreshaji, ufanikishaji, na utengenezaji upya thamani ya mtu binafsi, kundi, shirika, jamii. Kwenye kiini cha mchakato huu kuna uanzishaji na/au utambuzi wa fursa mbalimbali ukifuatiwa na utashi na kuwa na moyo wa kujituma kufahamu vizuri fursa hizo na kuzitumia (kwa ubunifu) (Gibb, 2005).

Kwa hiyo, ujasiriamali ni shughuli ya uanzishaji njia na mbinu za kusababisha mabadiliko yanayotakiwa kwenye ngazi ya mtu binafsi, shirika au jamii. Ujasiriamali unakuwa na utumiaji wa fursa mbalimbali (kwenye uwanja wowote) bila kujali rasilimali ambazo zinadhibitiwa kwa sasa.

2.2 Madhumuni ya Ufundishaji UjasiriamaliMwongozo huu hauuchukulii ujasiriamali kama mada, somo au sifa ya kitaaluma. Badala yake, msisitizo wake upo kwenye uendelezaji stadi ambazo hazina budi kudhihirishwa kwenye mtazamo, utendaji na mazoea na tabia ya mwanafunzi. Ufundishaji ujasiriamali unalenga kuzalisha wahitimu wenye “utashi, ujuzi na utayari wa kuchangamkia fursa wazi kwenye soko la ajira, biashara na fursa nyingine zozote.” Lengo mahususi ni kuzalisha wahitimu ambao ni hodari kwenye kujishughulisha wenyewe na kwa sababu hiyo:

(i) Wanaweza kuanzisha au kutambua na kutumia fursa wazi kwenye muktadha wowote;

(ii) Wanahamasika na wanaweza kubadili kabisa hali ya mambo kwenye muktadha wowote;

(iii) Wanahamasika na wanaweza kutumia rasilimali kidogo sana kuanzisha na kukuza kiubunifu biashara zenye ufanisi.

2.3 Stadi ZitakazokuzwaKwenye mwongozo huu, neno: “ustadi” (katika umoja) na “stadi” (katika wingi) limetumiwa kutaja mchanganyiko wa maarifa, ujuzi na mtazamo. Ndani yake kuna vipawa vingi vilivyoungana pamoja vinavyovutia uwezo, fikra na maadili ya utambuzi, mwingiliano na watu wengine, athari kwa hisia na utendaji, mambo ambayo kwa pamoja yanahitajika sana, kwa mtu kufaa kwenye kazi, shirika, nafasi au dhima fulani.

Mwongozo huu unajikita zaidi kwenye aina pana mbili za stadi:1. Mielekeo ya ubunifu na usanifu wa mtu kujishughulisha mwenyewe; pamoja na

2. Uanzishaji na uendelezaji biashara.

2.0Dhana ya Ujasiriamali na Madhumuni ya Ufundishaji Ujasiriamali

M w o n g o z o w a Ta i f a w a U f u n d i s h a j i U j a s i r i a m a l i ( N E T F )

5

Uendelezaji wa kila stadi miongoni mwa hizi utajikita kwenye: mitazamo, maarifa na ujuzi. Mtazamo unahusiana na namna ya mtu kufikiri, silika yake, au maadili yake. Mitazamo ni kichocheo muhimu cha hamasa na tabia. Mitazamo ya maana sana ya kijasiriamali ni pamoja na ari ya kujiamini, haja kubwa ya mafanikio na ubunifu. Mitazamo hii inajengwa kienyeji kupitia kuishi na kufanya kazi mbalimbali kwa pamoja nyumbani, kwenye jamii na sehemu ya kazi. Pia, inajengwa kupitia njia rasmi zilizozoeleka kupitia mwongozo sanifu wa elimu.

Ujuzi unahusiana na uwezo wa kufanya jambo fulani. Ujuzi hupatikana kupitia kuangalia mambo kwa makini, uzoefu na ufundishaji rasmi. Ujuzi wa nyanja za jumla za elimu unahitajika kufanikisha matarajio mbalimbali ilhali ujuzi wa nyanja mahususi ni wa manufaa sana hasa kwa ajili ya aina fulani ya shughuli au kazi. Ujuzi wa kijasiriamali kama vile ari ya kujiamini, kuwa na ushawishi mkubwa na ubunifu ni muhimu sana kwa mafanikio kwenye jitihada zilizo nyingi. Kwa sababu hiyo, ujuzi huo ni ujuzi wa nyanja za jumla za elimu. Ujuzi huo unakamilisha mitazamo kwenye kuwawezesha watu binafsi kuwa na mwenendo wa kijasiriamali kwenye muktadha wowote. Tofauti na ujuzi wa nyanja za jumla za elimu, ujuzi wa biashara unafaa kwenye muktadha wa kuanzisha na kuendeleza biashara mbalimbali. Kwa sababu hiyo, ujuzi huo ni ujuzi wa nyanja mahususi. Mchanganyiko wa mitazamo na ujuzi wa kijasiriamali utamwezesha mtu fulani kuwa na mwenenendo wa kijasiriamali kwenye muktadha wowote. Ujuzi wa biashara utamwezesha mtu binafsi kuanzisha na kuendeleza shughuli za biashara kwa ubunifu na ufanisi.

Maarifa yanamaanisha uzoefu na kitu fulani kama vile uzoefu na mambo fulani ya hakika, habari na taarifa fulani na maelezo fulani. Kiasi fulani cha maarifa kuhusu ujasiriamali ni ya manufaa katika kuendeleza mitazamo na ujuzi wa kijasiriamali. Mitazamo mikuu, maarifa na ujuzi ambao ufundishaji ujasiriamali unajitahidi kuendeleza kupitia elimu ni kama ifuatavyo:1

Jedwali ya 2.1: Stadi za Jumla Zitakazokuzwa Kupitia Ufundishaji Ujasiriamali

ENEO LA USTADI

MITAZAMO MAARIFA UJUZI

Mielekeo ya ubunifu na usanifu wa mtu kujishughulisha mwenyewe

·Haja ya mtu kujitawala na ya uhuru.

·Haja ya mafanikio.·Uvumbuzi na ubunifu.·Jitihada ya kutafuta na

kutumia fursa.·Kufanya mambo

hatarishi baada ya kupima kwa makini faida na hasara.

·Kupenda kuwasiliana na kuwa na mitandao ya kubadilishana mawazo na taarifa mbalimbali.

·Uadilifu.

·Sifa dhahiri za kijasiriamali.·Uaminifu kwa

mafanikio ya mtu binafsi.·Utambuzi wa kazi

na fursa wazi.

·Ubunifu na ufumbuzi wa matatizo.

·Kuweza kuwasiliana na kuwa na mitandao ya kubadilishana mawazo na taarifa mbalimbali.

·Kuweza kujifunza bila kukoma.

·Kutafuta maendeleo ya mtu binafsi na y a kijamii.

·Kuweza kupanga mapema mambo na kuwa na mpangilio na utaratibu maalumu wa kuyatekeleza mambo hayo.

·Matumizi sahihi ya teknolojia.

Uanzishaji na uendelezaji biashara

·Shauku ya kufanya kazi ya kijasiriamali.

·Mchakato wa kuanzisha biashara.·Kupanga na

kusimamia biashara.

·Uongozi wa biashara.

1 Inapaswa izingatiwe kwamba orodha hii imetolewa kama kiongozi tu. Wakuzaji wa mitaala watatumia orodha mujarabu zaidi kutegemea na muktadha.

M w o n g o z o w a Ta i f a w a U f u n d i s h a j i U j a s i r i a m a l i ( N E T F )

6

Mitazamo, maarifa na ujuzi huu vinafafanuliwa kwa undani kwenye stadi mahususi kwenye kila ngazi na aina ya mafunzo hapo chini. Hata hivyo, inapaswa kuzingatiwa kwamba orodha hii ya stadi na orodha zile zitakazofuata hazipendekezi katu masomo wala mada za kufundisha. Stadi zilizo nyingi zinatakiwa kujumuishwa kwenye mitaala sanifu na zitaendelezwa hasa kupitia njia na mikakati mbalimbali ya kufundishia na kujifunzia ambayo inazikuza stadi kadhaa sawia. Kwa nyongeza, stadi mbalimbali ni za kimzunguko. Kwa hiyo, lengo ni kuzijumuisha stadi hizo kulingana na kiwango cha mwanafunzi.

2.4 Njia Kuu Itakayotumiwa Kufundishia UjasiriamaliUfundishaji ujasiriamali kwenye elimu rasmi na elimu ambayo siyo rasmi unaweza kutumia mchanganyiko wa taratibu kukiwemo ujumuishaji ujasiriamali kwenye maudhui na shughuli mbalimbali za kufundisha na kijifunza, shughuli za nje ya ratiba ya shule, miradi ya shule, masomo au mada kwenye kozi zilizoteuliwa n.k. Mazingira ya kufundishia na kujifunzia hayana budi kutoa fursa kadri inavyowezekana kwa ajili ya kuwawezesha wanafunzi kuishi na kufanya kazi mbalimbali pamoja ili hatimaye waweze kuwa na mwenendo wa kijasiriamali. Hivyo, tabia ya viongozi na watumishi wa shule, michakato ya ndani ya taasisi husika na uhusiano baina ya shule na jamii inayoizunguka, kwa pamoja vinatakiwa kuwavutia na kuwatia moyo wanafunzi kuwa watendaji wa yale wanayofundishwa, kuwa wabunifu, kujiamini, na kuwa na shauku ya kutimiza malengo yao na hatimaye kuweza kuongeza thamani ya jitihada zao.

M w o n g o z o w a Ta i f a w a U f u n d i s h a j i U j a s i r i a m a l i ( N E T F )

7

3.1 Madhumuni ya Elimu ya UjasiriamaliKwenye Ngazi ya Shule ya Awali

Madhumuni ya elimu ya awali ni kulea tabia ya mtoto na kumwandaa kwa elimu ya msingi. Katika umri huu mdogo, tabia ya mwanafunzi inaweza kuundwa kirahisi zaidi, jambo ambalo linatoa fursa bora sana ya mtoto husika kuendeleza haiba ya kijasiriamali. Mkazo kwenye ngazi hii utakuwa kwenye kuendeleza maadili, mitazamo na ujuzi wa jumla wa kijasiriamali, ujenzi wa silika chanya kuelekea kazi ya kijasiriamali.

3.2 Stadi Zitakazokuzwa Kwenye Ngazi ya Shule ya AwaliMwongozo wa shule unatakiwa ujitahidi kukuza stadi zifuatazo kwenye ngazi ya elimu ya awali:

3.0Ufundishaji Ujasiriamali kwenye Ngazi ya Shule ya Awali

M w o n g o z o w a Ta i f a w a U f u n d i s h a j i U j a s i r i a m a l i ( N E T F )

8

Jedwali ya 3.1: Stadi Zitakazokuzwa Kwenye Ngazi ya Elimu ya Awali

ENEO LA USTADI

MITAZAMO MAARIFA UJUZI

Mielekeo ya ubunifu na usanifu wa mtu kujishughulisha mwenyewe

HAJA YA MTU KUJITAWALA NA YA UHURU·Kuwa makini·Kujiamini.·Maadili mema.·Kuthamini vitu mbalimbali ikiwa ni

pamoja na kujali muda.·Uungwana.HAJA YA MAFANIKIO (KUWA NA HAMASA)·Shauku ya kutimiza malengo.·Kujali sana matokeo ·Kuthamini vitu mbalimbali ikiwa ni

pamoja na kujali muda.·Uvumilivu.· Ari ya kuwa mshindani.UVUMBUZI NA UBUNIFU·Ubunifu.·Kuwa mwepesi kubadilika kulingana na

mazingira.·Udadisi.·Kuwa na uwezo wa kuhisi na kuelewa

jambo fulani haraka bila kufikiria sana.KUFANYA MAMBO HATARISHI BAADA YA KUPIMA KWA MAKINI FAIDA NA HASARA·Kuthubutu kufanya jambo lolote bila

hofu.KUPENDA KUWASILIANA NA KUWA NA MITANDAO YA KUBADILISHANA MAWAZO NA TAARIFA MBALIMBALI·Ari ya kuwa na ushawishi mkubwa.·Utayari wa kuwashirikisha watu wengine

taarifa mbalimbali.·Ari ya kung’ang’ania jambo.·Ari ya kuwa msikivu.·Ari ya kupenda kuendelea kujifunza.MAADILI MEMA KWA MANUFAA YA

MTU BINAFSI NA YA KIJAMII·Maadili.

KUWA NA HAMASA NA FURSA MBALIMBALI ·Kukuza ari ya kujitambua.·Utambuzi wa mazingira (watu, jiografia).MWENENDO WA KIJASIRIAMALI·Utambuzi wa jinsi watu wengine walivyoweza kufanikiwa.·Kujifunza kutoka kwenye vyanzo mbalimbali.

UJUZI WA KUWA MBUNIFU NA KUFANYA UFUMBUZI WA MATATIZO·Kuwaza kimantiki.·Ufumbuzi wa matatizo.·Ubunifu.UJUZI WA KUWASILIANA NA KUWA NA MITANDAO YA KUBADILISHANA MAWAZO NA TAARIFA MBALIMBALI·Kusikiliza.·Kuongea.·Kuwasilisha hoja, taarifa

n.k. kwa ufasaha.·Kujifunza.KUJIFUNZA BILA KUKOMA·Ubunifu.·Kuwashirikisha watu

wengine taarifa mbalimbali.

UJUZI WA KUTAFUTA MAENDELEO YA MTU BINAFSI NA YA KIJAMII·Kuwa na marafiki.·Kujiongoza mwenyewe.UJUZI WA KUPANGA MAPEMA MAMBO NA KUWA NA MPANGILIO NA UTARATIBU MAALUMU WA KUYATEKELEZA MAMBO HAYO·Kujiwekea malengo.

Uanzishaji na uendelezaji biashara

· Shauku ya kufanya kazi ya kijasiriamali.

MATUMIZI SAHIHI YA TEKNOLOJIA· Teknolojia ya habari

(IT).

3.3 Mbinu na Mikakati ya Kufundishia

Wanafunzi wa elimu ya awali kwa kiasi kikubwa hujifunza kupitia shughuli mbalimbali za kiutendaji kama vile uimbaji, michezo, uchoraji, utambaji hadithi, uigizaji wajibu au tukio fulani ziara za kimasomo matumizi ya vielelezo mbalimbali vya kusikia na kuona (kama vile video, picha), kucheza ngoma, kuchunguza wenyewe jambo fulani kwa makini kwa macho n.k. Ili kujenga stadi zilizokusudiwa, walimu wanatakiwa kutumia kadri inavyowezekana shughuli mbalimbali zenye kukusudia kumshughulisha mwanafunzi na kumwezesha kufanya ufumbuzi wa matatizo mbalimbali pamoja na kumtunza mwanafunzi tunzo zinazolenga kukuza stadi zilizokusudiwa.

M w o n g o z o w a Ta i f a w a U f u n d i s h a j i U j a s i r i a m a l i ( N E T F )

9

3.4 Upimaji Ujuzi wa WanafunziUpimaji uwezo wa mwanafunzi kujifunza ujasiriamali katika ngazi ya shule ya awali kwa kiasi kikubwa unafanywa kupitia kuchunguza mwenyewe udhihirisho wa ujuzi fulani kwa makini kwa macho kwa kutumia jalada maalumu la kuhifadhia takwimu mbalimbali na jedwali la kukusaidia kufanya uchunguzi huo, lenye orodha ya mienendo muhimu ya kuchunguzwa (kujiamini, moyo wa ushirikiano baina ya mwanafunzi na wanafunzi wengine, ubunifu, uaminifu, uvumilivu n.k.).

3.5 WawezeshajiWawezeshaji kwenye ngazi ya shule ya awali, wanatakiwa kuwa na sifa za msingi zinazotakiwa kwa walimu wa ngazi hiyo. Kwa nyongeza wanatakiwa kuwa wamekwisha hitimu mafunzo ya juu ya namna ya kujumuisha ujasiriamali kwenye elimu kutoka taasisi inayotambulika. Pia, wawezeshaji hawana budi kuonyesha mfano mzuri wa kuwa na mwelekeo wa kujishughulisha wao wenyewe. Hivyo, wanatakiwa kuwa na mitazamo chanya, kujiamini, kuwa na shauku na kazi yao, na kuwa tayari kujifunza bila kukoma.

M w o n g o z o w a Ta i f a w a U f u n d i s h a j i U j a s i r i a m a l i ( N E T F )

10

4.1 Madhumuni ya Ufundishaji Ujasiriamali Kwenye Ngazi za Shule ya Msingi na Shule ya Sekondari

Madhumuni makubwa ya ufundishaji ujasiriamali kwenye ngazi ya shule ya msingi na shule ya sekondari ni kujenga silika ya kijasiriamali ndani ya mwanafunzi pamoja na kumhamasisha kuelekea kupenda kazi ya kijasiriamali. Kwa nyongeza, kwa kuwa baadhi ya wanafunzi wataondoka kabisa kwenye mwongozo wa elimu ama katika ngazi ya shule ya msingi au ngazi ya shule ya sekondari, ufundishaji ujasiriamali hauna budi kuwawezesha wanafunzi kutumia rasilimali na fursa zinazowazunguka kwa kuanzisha na kusimamia biashara ambazo wanazimiliki na kuziendesha wao wenyewe. Kufanya hivyo hakuna lengo katu la kuwalazimisha wahitimu kujishughulisha na biashara ndogo ndogo tu. Hata hivyo, kwa usahihi zaidi, ni ukweli usiopingika kwamba: (i) wahitimu hawatakuwa na uzoefu au rasilimali za kutosha kuanzisha biashara, na (ii) wale watakaoendelea na masomo kwenye elimu ya juu wataweza kujifunza vipengele vingi zaidi kwa wakati mwafaka kama vile vipengele vinavyohusiana na urasimishaji na ukuzaji biashara, na kuweza kufanya biashara za kimataifa.

4.0Ufundishaji Ujasiriamali Kwenye Ngazi za Shule ya Msingi na Shule ya Sekondari

M w o n g o z o w a Ta i f a w a U f u n d i s h a j i U j a s i r i a m a l i ( N E T F )

11

4.2 Stadi Zitakazokuzwa Kwenye Ngazi za Shule ya Msingi na Shule ya SekondariJedwali ya 4.1: Stadi Zitakazokuzwa Kwenye Ngazi za Shule ya Msingi na Shule ya Sekondari

ENEO LA USTADI

MITAZAMO MAARIFA UJUZI/ STADI

Mielekeo ya ubunifu na usanifu wa mtu kujishughulisha mwenyewe

HAJA YA MTU KUJITAWALA NA YA UHURU

Kuwa makini.· Kujiamini.· Uhuru.· Kuthamini vitu mbalimbali ikiwa ni

pamoja na kujali muda.· Uungwana.· Umilikaji.· Kung’ang’ania jambo.· Kujitahidi kutafuta habari na taarifa

mbalimbali.·Uwajibikaji.HAJA YA MAFANIKIO (KUWA NA HAMASA)·Kujali sana matokeo ·Ari ya kuwa mchapa kazi.·Kuthamini vitu mbalimbali ikiwa ni

pamoja na kujali muda.·Uvumilivu.·Ari ya kuwa na matumaini mema.·Ari ya kuwa mshindani.·Kuamini kuwa tunzo ni matokeo ya

kufanya jitihada.UVUMBUZI NA UBUNIFU·Ubunifu.·Udadisi.·Utayari wa kukabiliana na changamoto

mbalimbali.·Kujali sana ubora KUFANYA MAMBO HATARISHI BAADA YA KUPIMA KWA MAKINI FAIDA NA HASARA·Kufanya mambo hatarishi.KUPENDA KUWASILIANA NA KUWA NA MITANDAO YA KUBADILISHANA MAWAZO NA TAARIFA MBALIMBALI·Ari ya kuwa na ushawishi mkubwa.·Kugangamalia jambo.·Ari ya kuwa msikivu.·Ari ya kupenda kuendelea kujifunza.KUFANYA JITIHADA YA KUTAFUTA

NA KUTUMIA FURSA·Kujali sana utendaji.MAADILI MEMA KWA MANUFAA YA

MTU BINAFSI NA YA KIJAMII·Uaminifu.·Uungwana.·Kuamini kuwa tunzo ni matokeo ya

kufanya jitihada.·Moyo wa kuwa na ushikirikiano na

wanafunzi wengine.

KUWA NA HAMASA NA KAZI NA FURSA WAZI ZA AJIRA · Vidokezo vya kazi

ya kijasiriamali.· Utambuzi wa jinsi

watu wengine walivyoweza kufanikiwa.

· Aina mbalimbali za kazi zilizopo za kijasiriamali.

· Uwezo, vipaji, upendeleo na uchu wa kihisia wa mtu binafsi.

· Kukuza ari ya kujitambua.

·Kuzitambua fursa wazi za biashara kwenye mazingira yanayomzunguka.

MWENENDO WA KIJASIRIAMALI·Utambuzi wa jinsi

watu wengine walivyoweza kufanikiwa.

·Kujifunza kutoka kwenye vyanzo mbalimbali.

·Kukuza mwelekeo wa kujishughulisha mwenyewe.

KUWA MWADILIFU KWA MANUFAA YA MTU BINAFSI NA BIASHARA·Utambuzi wa

dhana na maadili muhimu kuhusu biashara.

·Maadili.

STADI ZA UBUNIFU NA NAMNA YA KUTATUA MATATIZO· Namna ya Kufikiri· Kuwaza kiuhakiki· Kukuza mbinu za

kutatua tatizo· Ubunifu

STADI ZA MAWASILIANO NA ZA KIMTANDAO· Kusikiliza· Kuzungumza· Uwasilishaji mada · Utafutaji habari· Kujitetea · Kujieleza kiufasaha · Usomaji· Kuwasiliana

kimtandao

STADI ZA UJIFUNZAJI WA KUDUMU· Kuweza kujisomea

mwenyewe· Kunasihi· Kushirikishana

habari· Kujifunza toka

mtandaoni · Ujuzi wa kifedha

STADI ZA KIJAMII NAMAENDELEO BINAFSI· Namna ya kuwa na

marafiki· Kujitandaisha · Stadi za mahusiano

baina ya watu· Stadi za Uongozi· Utawala Binafsi· Uwezo wa

kushawishi· Uwezo kufanya kazi

kama timu

UJUZI WA KUPANGA NA KURATIBU MAMBO· Kuweka Malengo

M w o n g o z o w a Ta i f a w a U f u n d i s h a j i U j a s i r i a m a l i ( N E T F )

12

ENEO LA USTADI

MITAZAMO MAARIFA UJUZI/ STADI

Uanzishaji na uendelezaji biashara

·Shauku ya kufanya kazi ya kijasiriamali. MCHAKATO WA KUANZISHA BIASHARA

· Ufahamu wa msingi wa mazingira ya biashara.

· Sababu muhimu za mafanikio kwa aina fulani ya biashara.

· Vyanzo mujarabu vya msaada wa kawaida na wa kiutaalamu.

· Utambuzi wa wazo la biashara.

· Kufanya tathmini ya wazo la biashara.

· Aina za biashara.· Kupangilia

biashara.URATIBU NA USIMAMIZI WA BIASHARA· Utambuzi na

ukadiriaji fursa wazi za biashara.

· Uuzaji.· Kujali mteja.· Kugharimia

biashara kutoka vyanzo mujarabu.

· Kuandaa mpango wa biashara.

· Kutii matakwa ya sheria.

UJUZI WA BIASHARA

· Kutambua na kutathmini fursa za biashara)

· Uuzaji ) · Kuandaa mpango

biashara Kutii matakwa ya sheria

M w o n g o z o w a Ta i f a w a U f u n d i s h a j i U j a s i r i a m a l i ( N E T F )

13

4.3 Mbinu na Mikakati ya Kufundishia Ajenda ya ufundishaji ujasiriamali itaendelea kufundishwa kwenye shule kwa kutumia njia mbalimbali. Kozi au mada maalumu zitaanzishwa ambazo zimesanifiwa kwa minajili ya kukuza stadi za kijasiriamali zilizobainishwa hapo juu. Kila shule na kila mwezeshaji atatakiwa kuongoza kwa makusudi mtindo wa kujifunza uliozoeleka kwa namna ambayo itakuza stadi zinazotakiwa. Jambo hili litafanyika kwa kujumuisha jumbe na masomo muhimu kwenye maudhui ya mtindo huo uliozoeleka pamoja na kupitia matumizi ya mbinu na mikakati mbalimbali ya kufundishia na kujifunzia na shughuli mbalimbali za nje ya ratiba ya shule zinazokuza stadi zilizokusudiwa. Kufundisha na kujifunza vinatakiwa kufanya kadri inavyowezekana kutumia: shughuli mbalimbali zinazolenga kumshughulisha mwanafunzi na kumwezesha kufanya ufumbuzi wa matatizo, pamoja na utoaji wa mrejesho na tunzo zenye kukuza sawia stadi mbalimbali zinazokusudiwa. Mbinu mahususi zinazopendekezwa ni pamoja na hizi zifuatazo:

Jedwali ya 4.2: Mbinu na Mikakati Inayopendekezwa Kufundishia Kwenye Ngazi za Shule ya Msingi na Shule ya Sekondari

·Uimbaji.·Uchoraji.·Utambaji hadithi.·Shughuli mbalimbali za

kufanywa na mtu mmoja mmoja

·Utoaji wa taarifa kwa kusimulia (taarifa simulizi).

·Uhakiki wa kina wa vitabu na machapisho mengine.

·Matembezi kwenye nyumba za sanaa.

·Ualikaji wageni kuwa wazungumzaji

·Uchangiaji mawazo papo kwa papo kutoka kwa washiriki wote waliopo ili kutatua tatizo fulani au kujibu swali fulani

·Kufanya majadiliano kwenye kikundi.

·Uwasilishaji taarifa mbalimbali kwa mdomo.

·Ziara za kimasomo.·Matumizi ya vielelezo mbalimbali

vya kusikia na kuona.·Michezo-fumbo ya kupanga

vipande ili hatimaye kupata picha kamili

·Uigaji.·Chemsha bongo.

·Ujifunzaji kwa njia ya uigizaji ·Midahalo.·Miradi ya kiutendaji.·Wanafunzi wa rika moja

kupeana ushauri·Kuwazia kazi za kufikirika tu /

kazi kivuli. ·Kufanya uchunguzi kifani.·Uandishi wa insha.·Mashindano na utoaji wa

tunzo.

4.4 Upimaji wa Ujuzi wa WanafunziTukizingatia kwamba ufundishaji ujasiriamali unalenga kubadili uwezo na mazoea ya kiutendaji ya mwanafunzi, upimaji kwa kiasi kikubwa unatakiwa ujikite zaidi kwenye tabia hizi kuliko kupima tu uwezo wa mwanafunzi wa kupata maarifa ya kinadharia au kukariri mambo fulani ya hakika. Kwenye ngazi za shule ya msingi na shule ya sekondari:

M w o n g o z o w a Ta i f a w a U f u n d i s h a j i U j a s i r i a m a l i ( N E T F )

14

· Upimaji unatakiwa kufanywa kila baada ya kipindi fulani shuleni, darasani na kwenye ngazi ya mwanafunzi mmoja mmoja binafsi.

· Upimaji unatakiwa utathmini mabadiliko ya tabia na ujuzi uliokusudiwa kama vinavyodhihirishwa kwa mawazo yanayotolewa na mwanafunzi ya ubunifu, shughuli na miradi mbalimbali inayoanzishwa, ufumbuzi wa changamoto mbalimbali unaofanywa, mitandao ya ushirikiano inayoanzishwa, kujiamini kunakodhihirishwa, ari ya kung’ang’ania jambo inayodhihirishwa, mambo hatarishi yanayofanywa, uthibitisho wa wanafunzi kupendelea kujifunza kwa hiari yao, ari ya uongozi inayodhihirishwa, ubora wa mipango inayoandaliwa, matatizo yanayotatuliwa, ubora wa taarifa simulizi zinazowasilishwa, ufanisi unaodhihirishwa kwenye kuwashawishi wengine, utunzaji wa muda, hiari ya kupendelea kazi ya kijasiriamali, uaminifu n.k

· Upimaji wa mabadiliko ya tabia na ujuzi unatakiwa kuwa sehemu ya upimaji rasmi uliozoeleka kwenye kozi au mada ambazo kwa kiasi kikubwa zimesanifiwa kukuza ujuzi wa maisha au ujuzi wa biashara. Upimaji kwa kiasi kikubwa unapaswa utokane na upimaji wa siku zote kwa kutumia vifaa mbalimbali kuzibaini stadi mbalimbali badala ya kutumia upimaji wa maarifa ya nadharia pekee.

· Walimu binafsi wa masomo makuu yaliyozoeleka kama vile Uchumi, Kiingereza, Hisabati, Jiografia, Sayansi na Kilimo, wanatakiwa watenge sehemu ya maksi, kwenye maksi zinazotolewa kwa ajili ya upimaji wa siku zote kwa kila somo, kwa ajili ya mabadiliko yaliyodhihirishwa na mwanafunzi kwenye uwezo na tabia mbalimbali miongoni mwa mwanafunzi mmoja mmoja wakati wa kujifunza somo fulani maalumu. Upimaji wa aina hiyo unaweza kufanywa kwa kutumia orodha ya mienendo muhimu inayotakiwa kuchunguzwa na/au miraba fito ya upimaji. Jambo hili linaweza kufanyika kila baada ya kipindi fulani sanjari na shughuli mahususi za wanafunzi kama vile miradi, taarifa simulizi, midahalo yao n.k.

· Upimaji wa kufanywa na wanafunzi wa rika moja unatakiwa ufanywe kila baada ya kipindi fulani ambapo wanafunzi ama mmoja mmoja au kwenye vikundi wanawatathmini wanafunzi wenzao kisha wanawaeleza matokeo ya tathmini hiyo kwa kutumia miradi fito ya upimaji na fomu maalumu za kutumia kuchunguza mienendo muhimu inayotakiwa kuchunguzwa zilizotolewa na mwezeshaji.

· Utambuzi wa fursa, sheria, taratibu na kanuni za msingi za biashara utafanyiwa tathmini kupitia miradi ya kiutendaji, uchunguzi kifani au mipango ya biashara, majaribio na mitihani. Majaribio na mitihani vinatakiwa kupewa uzito mdogo kwenye mchakato mzima wa upimaji.

4.5 WawezeshajiWawezeshaji kwenye ngazi ya shule ya msingi na shule ya sekondari wanatakiwa:

· Kuwa na sifa za msingi zinazotakiwa kwa walimu wa ngazi hizo;

· Kuwa wamekwisha hitimu mafunzo ya namna ya kujumuisha ujasiriamali kwenye elimu sanifu kama sehemu ya mafunzo yao ya ualimu au kutoka kwenye taasisi inayotambulika;

· Kuwa kama mfano wa kuigwa kutokana na kujishughulisha wenyewe. Hivyo, wanatakiwa kujiamini, kuwa na mtazamo chanya, kuwa na shauku na kazi yao, na kuwa tayari kuendelea kujifunza;

· Kubakia na ufahamu ni jinsi gani ubora na ufanisi wa kazi yao unavyochangia haiba yao binafsi na jinsi haiba yao inavyoathiri majaliwa yao. Ni wakati huo pekee wanaweza kuchangia ujenzi wa utamaduni wa utendaji miongoni mwa wanafunzi.

Kwa nyongeza, mbali ya walimu waliofunzwa rasmi, shule zinatakiwa ziwatumie pia watu binafsi wanaojituma wao wenyewe wakiwemo wajasiriamali wa kijamii, wajasiriamali wenye biashara, na wajasiriamali ambao ni washirika kwa minajili ya kuwahamasisha wanafunzi. Jambo hili linawezekana wakialikwa darasani kama wageni wazungumzaji, na kuwataka wanafunzi kuwahoji watu kama hao kwa kutumia orodha ya maswali waliyopewa na mwalimu n.k.

M w o n g o z o w a Ta i f a w a U f u n d i s h a j i U j a s i r i a m a l i ( N E T F )

15

5.1 Madhumuni ya Elimu ya Ujasiriamali Kwenye Ngazi ya Vyuo vya UalimuWalimu ni wawakilishi/wakala wa jamii wanaosaidia kufanikisha malengo ya jamii wenye uwezo mkubwa. Mbali na ufundishaji rasmi, baadhi ya walimu huwa wakuzaji wa mitaala, maofisa elimu, mameneja wa shule, wakaguzi, watahini na waandaaji wa sera ya elimu. Kwa makusudi ya Mwongozo huu, elimu ya ufundishaji walimu, ni pamoja na ufundishaji mameneja wa elimu. Kwa sababu hiyo, ufundishaji ujasiriamali utapaswa ujumuishwe kwenye programu rasmi za ufundishaji walimu. Hata hivyo, kwa wakati huu, njia nyingine mbadala, ni pamoja na vile kozi fupi ambazo zitatumiwa kuwafundisha walimu.

Lengo la elimu ya ujasiriamali kwenye ngazi ya elimu ya ufundishaji walimu ni kuwaandaa walimu na mameneja wa elimu ili kuwawezesha kuwa wawezeshaji fasaha kwenye ufundishaji ujasiriamali kupitia njia rasmi na ambazo siyo rasmi za mawasiliano. Kwa kuwa walimu na mameneja wa elimu wote watatakiwa kujumuisha ujasiriamali kwenye ufundishaji masomo yao pamoja na uongozi na utawala wa elimu, ufundishaji ujasiriamali unatakiwa uwawezeshe kumudu:

(i) Kudhihirisha stadi mbalimbali za kijasiriamali na kwa sababu hiyo kuwa mfano wa kuigwa kwa wanafunzi;

(ii) Kupima kwa ufasaha ukuzaji wa mielekeo ya wanafunzi kujishughulisha wao wenyewe;

(iii) Kuwaongoza wanafunzi kutambua na kuzihusisha fursa za kazi na biashara kwenye masomo yao makuu yaliyozoeleka;

(iv) Kuandaa vifaa vya aina tofauti kwa ajili ya kuwezesha na kupima ukuzaji wa mielekeo ya wanafunzi kujishughulisha wao wenyewe; na

(v) Kuandaa na kuendeleza mazingira ya kujifunzia yanayokuza mienendo ya mtu kujishughulisha mwenyewe darasani, kwenye vitengo mbalimbali shuleni na kwenye shule nzima.

Kwa nyongeza, baadhi ya walimu watatakiwa kuwezesha ukuzaji wa “ujuzi wa biashara” kupitia mada au masomo maalumu. Kwa kundi hilo la walimu, madhumuni mahususi ya ufundishaji walimu yatakuwa kuwawezesha:

(i) Kuanzisha na kusimamia biashara kwa ufanisi; na

(ii) Kupima kwa ufasaha ukuzaji wa ujuzi wa kuanzisha na kusimamia biashara.

5.2 Stadi Zitakazokuzwa Kwenye Ngazi ya Vyuo vya UalimuKulingana na madhumuni yaliyotajwa hapo juu, stadi zitakazokuzwa kwenye ngazi ya elimu ya ufundishaji walimu ni hizi zifuatazo:

5.0Ufundishaji Ujasiriamali Kkwenye Ngazi ya Vyuo vya Ualimu

M w o n g o z o w a Ta i f a w a U f u n d i s h a j i U j a s i r i a m a l i ( N E T F )

16

ENEO LA USTADI

MITAZAMO MAARIFA UJUZI

Mielekeo ya mtu kujishughulishamwenyewe

HAJA YA MTU KUJITAWALA NA YA UHURU Kuwa makini. Kupendezwa na umilikaji. Kujiamini. Kugangamalia jambo. Dira. Kujali sana utendaji. Kupenda kuendelea

kujifunza bila kukoma. Kujitahidi kutafuta habari

na taarifa mbalimbali. Upinzani dhidi ya mfadhaiko

unaotokana nachangamoto mbalimbali.

Uwajibikaji. HAJA YA MAFANIKIO Dira. Shauku. Kujali sana matokeo. Ari ya kuwa mchapa kazi. Kuwa na nia ya kufanya

jambo fulani. Kuwa na msimamo thabiti. Kuthamini vitu mbalimbali

ikiwa ni pamoja na kujali muda.

Uvumilivu. Kuweza kuingiliana na

watu wengine ili kufuatilia utendaji.

Ari ya kuwa mshindani. UVUMBUZI NA UBUNIFU Ubunifu. Uvumbuzi. Uwezo wa kubadilika kwa

urahisi kulingana na mazingira mapya.

Kuwa mwepesi kurekebishika. Udadisi. Ubunifu. Ari ya kuwa hodari na

kupendelea vitu mbalimbali. Umakinifu. Utayari wa kukabiliana na

changamoto mbalimbali. Uwezo wa kutengeneza

kitu kwa haraka bila vifaa vyake hasa.

KUWA NA HAMASA NA KAZI NA FURSA WAZI ZA AJIRA Fursa za biashara na ajira. Vidokezo vya kazi ya

kijasiriamali. Utambuzi wa jinsi watu

wengine walivyoweza kufanikiwa.

Kujitambua. Utambuzi na hamasa ya

kijasiriamali. MWENENDO WA KIJASIRIAMALI

Utambuzi wa jinsi watu

wengine walivyoweza kufanikiwa. Uchunguzi wa mazingira ili

kutambua furasa wazi zilizopo (za kiuchumi, za kijamii, na kiutamaduni).

Kujifunza kutoka kwenye vyanzo mbalimbali.

Tabia ya kupenda kujishughulisha mwenyewe na stadi za kijasiriamli za mtu binafsi kuzaliwa nazo.

Kuanzisha mitandao na ushirikiano ambao ni kwa manufaa ya washirika wote).

Kuazisha na kuendeleza darasa, shule, au shirika linalo jishughulisha lenyewe.

KUWA MWADILIFU KWA MANUFAA YA MTU BINAFSI NA BIASHARA Utambuzi wa dhana na

maadili muhimu kuhusu kazi na biashara.

Maadili ya biashara. UWESHAJI KUJIFUNZA UJASIRIAMALI Mikakati ya kufundishia na

kujifunzia ujasiriamali. Kujipanga na kujiandaa

kufundisha masomo ya ujasiriamali.

Kuanzisha shirika linalojishughulisha lenyewe.

Upimaji wa elimu ya ujasiriamali.

UJUZI WA KUWA MBUNIFU NA KUFANYAUFUMBUZI WA MATATIZO

Kuwaza kimantiki. Kukadria matatizo na

kutafuta ufumbuzi wake. Umakinifu. Kuwa na fikra za pembeni.

Ufumbuzi wa kiutendaji wa matatizo.

Ubunifu. UJUZI WA KUWASILIANA NA KUWA NA MITANDAO YA KUBADILISHANA MAWAZO NA TAARIFA MBALIMBALI Kusikiliza. Kuongea. Kuwasilisha hoja, taarifa

n.k. kwa ufasaha. Kujua mambo ya msingi

ya kifedha. Kuweza kuhadithia jambo

fulani. Kujitahidi kutafuta habari

na taarifa mbalimbali. Kugangamalia jambo. Kujieleza kwa ufasaha. Kujifunza. Kuwa na mitandao ya

washirika. Kushirikiana na watu

wengine wakati wa utendaji.

UJUZI WA KUENDELEA KUJIFUNZA Ubunifu. Kusimamia mwenyewe

mchakato wa kujifunza. Kuchangia kwenye

mchakato wa kujifunza. Kutoa ushauri kwa watu

wengine. Utayari wa kuwashirikisha

watu wengine taarifa mbalimbali.

Kujifunza kupitia mitandao ya washirika.

Jedwali ya 5.1: Stadi Zitakazokuzwa Kwenye Ngazi ya Vyuo vya Ualimu

M w o n g o z o w a Ta i f a w a U f u n d i s h a j i U j a s i r i a m a l i ( N E T F )

17

ENEO LA USTADI

MITAZAMO MAARIFA UJUZI

KUFANYA MAMBO HATARISHI BAADA YA KUPIMA KWA MAKINI FAIDA NA HASARA Kufanya mambo hatarishi. Kuthubutu. Kufuatilia mambo hatarishi. Utayari wa kuanzia kwenye

hali ya chini. Uhalisia. KUPENDA KUWASILIANA NA KUWA NA MITANDAO YA KUBADILISHANA MAWAZO NA TAARIFA MBALIMBALI Kujitahidi kutafuta habari

na taarifa mbalimbali. Kuwa na ushawishi mkubwa. Utayari wa kuwashirikisha

watu wengine taarifa mbalimbali.

Kugangamalia jambo. Ari ya kugangamalia jambo

Ari ya kupenda kuendelea kujifunza bila kukoma.

Kuthamini mitandao ya kubadilishana mawazo na taarifa mbalimbali na ujuzi wa mbinu mbalimbali za utekelezaji mambo mbalimbali.

KUFANYA JITIHADA YA KUTAFUTA NA KUTUMIA FURSA Shauku ya kufuatilia

mazingira. Mwelekeo wa kimkakati. Utayari wa kuanzia kwenye

hali ya chini. Uwezo wa kubadilika kwa

urahisi kulingana na mazingira mapya.

Kujali sana utendaji. Ari ya kuongozwa na

matukio katika kuamua jambo la kufanya.

MAADILI MEMA KWA MTU BINAFSI NA JAMII

Maadili. Uadilifu.

UJUZI WA MAENDELEO YA MTU BINAFSI NA YA KIJAMII

Kuwa na marafiki. Kuwa na mitandao ya

washirika. Ujuzi wa kuwa na uhusiano

mwema na watu wengine. Kuwa na ujuzi wa uongozi. Kuweza kujisimamia

mwenyewe. Kuweza kuwafundisha watu

wengine. Utambuzi na udhibiti wa

hisia za watu wengine. Kuwa na ushawishi

mkubwa. Kuweza kuhadithia jambo

fulani. UJUZI WA KUPANGA MAPEMA MAMBO NA KUWA NA MPANGILIO NA UTARATIBU MAALUMU WA KUYATEKELEZA MAMBO HAYO Kujiwekea lengo. Kumudu mambo

changamano yasiyoelezeka kwa urahisi na yasiyotabirika.

Kumudu mahusiano na watu wengine.

Kuwa na ujuzi wa kufuatilia mambo na kuyafanyia tathmini.

Usimamizi wa muda.

M w o n g o z o w a Ta i f a w a U f u n d i s h a j i U j a s i r i a m a l i ( N E T F )

18

Kwenye elimu ya ufundishaji walimu, kuna tunzo za Cheti, Stashahada na Shahada2

2 Stadi zilizobainishwa hapo juu zinatakiwa kujumishwa kulingana na ngazi na kiwango cha wanafunzi kwa sababu zinaingiliana.

ENEO LA USTADI

MITAZAMO MAARIFA UJUZI

Wepesi wa kuhisi hisia za mteja.

Uungwana/fadhila. Weledi. Uwajibikaji. Kuwa na imani kuwa tunzo

ni matokeo ya kufanya jitihada.

Moyo wa kushirikiana na watu wengine.

Uanzishaji na uendelezaji biashara

Shauku ya kufanya kazi ya kijasiriamali.

MCHAKATO WA KUANZISHA BIASHARA Ufahamu wa msingi wa

mazingira ya biashara. Sababu muhimu za mafanikio

kwa aina fulani ya biashara. Vyanzo mujarabu vya msaada

wa kawaida na wa kiutaalamu. Utambuzi wa wazo la biashara. Kufanya tathmini ya wazo la

biashara. Fomu za biashara. Kupangilia biashara. Ufanisi katika kuanzisha na

kuendeleza biashara. URATIBU NA USIMAMIZI WA BIASHARA Kadria mahitaji ya kuanzisha

biashara. Utambuzi na ukadriaji fursa

wazi za biashara. Kutafuta wateja. Uuzaji. Kujali mteja. Kupanga bei kwa bidhaa

na/au huduma. Tathmini na kujifunza

kutokana na ushindani. Kufuatilia mazingira ya

biashara kwa kutumia rasilimali chache.

Kujiwekea viwango vya utendaji na kuvisimamia.

Kugharimia biashara kutoka vyanzo mujarabu.

Kuandaa mpango wa biashara.

Kutii matakwa ya sheria. Kuandaa mipango kimkakati.

UJUZI WA BIASHARA Utambuzi na ukadriaji wa

fursa wazi na wazo la biashara.

Elimu ya soko kwa biashara ndogo (kutafuta wateja, uuzaji, utangazaji wa biashara kwa gharama ndogo, kujali mteja, kupanga bei).

Tathmini na kujifunza kutokana na ushindani.

Ukadriaji gharama. Ukadriaji maendeleo. Maadalizi ya mipango ya

kuongoza utekelezaji. Ufundishaji ujasiriamali kwa

kutumia njia zinazo mshughulisha mwanafunzi

Kufuatilia mazingira ya biashara kwa kutumia rasilimali chache.

Kujiwekea viwango vya utendaji na kuvisimamia.

Kuandaa mpango wa biashara.

Kutii matakwa ya sheria. Kuandaa mipango

kimkakati. Kufanya utafiti. MATUMIZI SAHIHI YA TEKNOLOJIA Teknolojia ya habari (IT). Biashara ya kielektroniki

M w o n g o z o w a Ta i f a w a U f u n d i s h a j i U j a s i r i a m a l i ( N E T F )

19

5.3 Njia, Mbinu na Mikakati ya KufundishiaAjenda ya ufundishaji ujasiriamali itaendelea kwenye elimu ya kuwafundisha walimu kwa kutumia njia mbalimbali. Kozi au mada zitaanzishwa ambazo zimesanifiwa kwa minajili ya kukuza stadi za ujasiriamali zilibainishwa hapo juu. Kwa nyongeza, kila chuo cha ualimu na kila mwezeshaji atatakiwa kuongoza kwa makusudi mtindo wa kujifunza uliozoeleka kwa namna ambayo itakuza stadi zinazotakiwa. Jambo hili litafanyika kwa kujumuisha jumbe na masomo muhimu kwenye maudhui ya mtindo huo uliozoeleka pamoja na kutumia mbinu na mikakati ya kufundishia na kujifunzia na shughuli mbalimbali za nje ya ratiba ya chuo zinazokuza stadi zilizokusudiwa. Kufundisha na kujifunza vinatakiwa kufanya kadri inavyowezekana kutumia: shughuli mbalimbali zinazolenga kumshughulisha mwanafunzi mwenyewe na kumwezesha kufanya ufumbuzi wa matatizo, pamoja na kumpatia mwanafunzi mrejesho na tunzo zenye kukuza sawia stadi mbalimbali zinazokusudiwa.

Mbinu na mikakati inayopendekezwa ni pamoja na hii ifuatayo:

Jedwali ya 5.2: Mbinu na Mikakati Inayopendekezwa Kufundishia Kwenye Ngazi ya Vyuo vya Ualimu

·Uimbaji.·Uchoraji.·Utambaji hadithi.·Shughuli mbalimbali za

kufanywa na mtu mmoja mmoja

·Utoaji wa taarifa kwa kusimulia (taarifa simulizi).

·Uhakiki wa kina wa vitabu na machapisho mengine.

·Matembezi kwenye nyumba za sanaa.

·Ualikaji wageni kuwa wazungumzaji.

·Uchangiaji mawazo papo kwa papo kutoka kwa washiriki wote waliopo ili kutatua tatizo fulani au kujibu swali fulani).

·Kufanya majadiliano kwenye kikundi.

·Uwasilishaji taarifa mbalimbali kwa mdomo.

·Ziara za kimasomo. ·Matumizi ya vielelezo mbalimbali

vya kusikia na kuona.·Michezo-fumbo ya kupanga

vipande ili hatimaye kupata picha kamili.

·Uigaji.·Chemsha bongo. ·Mazoezi ya kufundisha kabla ya

kuhitimu mafunzo ya ualimu.

·Uigizaji wajibu Fulani. Midahalo.

·Miradi ya kiutendaji. Wanafunzi wa rika moja kupeana ushauri

·Kuwazia kazi za kufikirika tu ·Kufanya uchunguzi kifani.·Uandishi wa insha.·Mashindano na utoaji wa

tunzo.

5.4 Upimaji wa Ujuzi wa WanafunziTukizingatia kwamba ufundishaji ujasiriamali unalenga kubadili uwezo na mazoea ya kiutendaji ya mwanafunzi, upimaji kwa kiasi kikubwa unatakiwa ujikite zaidi kwenye tabia hizi kuliko kupima tu uwezo wa mwanafunzi wa kupata maarifa ya kinadharia au kukariri mambo fulani ya hakika. Kwenye ngazi ya vyuo vya ualimu:

· Upimaji unatakiwa kufanywa kila baada ya kipindi fulani chuoni, darasani na kwenye ngazi ya mkufunzi mmoja mmoja binafsi.

· Upimaji unatakiwa utathmini mabadiliko ya tabia na ujuzi uliokusudiwa kama vinavyodhihirishwa kwa: mbinu za uwezeshaji zinazotumiwa, thamani inayoongezwa kwa madarasa au shule ambapo wakurufunzio wanfanya mazoezi ya ufundishaji kwa vitendoi, mawazo ya ubunifu yanayotolewa, shughuli na miradi mbalimbali inayoanzishwa, ufumbuzi wa changamoto mbalimbali unaofanywa, mitandao ya ushirikiano inayoanzishwa, kujiamini kunakodhihirishwa, ari ya kugangamalia jambo inayodhihirishwa, mambo hatarishi yanayofanywa, uthibitisho wa wakurufunzi kupendelea

M w o n g o z o w a Ta i f a w a U f u n d i s h a j i U j a s i r i a m a l i ( N E T F )

20

kujifunza kwa hiari yao, ari ya uongozi inayodhihirishwa, ubora wa mipango inayoandaliwa, matatizo yanayotatuliwa, ubora wa taarifa simulizi zinazowasilishwa, ufanisi unaodhihirishwa kwenye kuwashawishi wengine, utunzaji wa muda, hiari ya kupendelea kazi ya kijasiriamali, uaminifu n.k

· Upimaji wa mabadiliko ya tabia na ujuzi unatakiwa kuwa sehemu ya upimaji rasmi uliozoeleka kwenye kozi au mada ambazo kwa kiasi kikubwa zimesanifiwa kukuza ujuzi wa maisha au ujuzi wa biashara. Upimaji kwenye kozi au mada kama hizo kwa kiasi kikubwa unapaswa kutokana na upimaji wa siku zote ili kuruhusu matumizi ya vifaa mbalimbali kuzibaini stadi mbalimbali badala ya kutumia upimaji wa maarifa ya nadharia pekee.

· Wakufunzi binafsi wa kozi kuu zilizozoeleka kama vile Saikolojia ya Elimu, Usimamizi wa Elimu, Jiografia na Historia wanatakiwa watenge sehemu ya maksi, kwenye maksi zinazotolewa kwa ajili ya upimaji wa siku zote kwa kila somo, kwa ajili ya mabadiliko yaliyodhihirishwa na mkurufunzi kwenye uwezo na tabia mbalimbali miongoni mwa mkurufunzi mmoja mmoja wakati wa kujifunza somo fulani maalumu. Upimaji wa aina hiyo unaweza kufanywa kwa kutumia orodha ya mienendo muhimu inayotakiwa kuchunguzwa na/au miraba fito ya upimaji. Jambo hili linaweza kufanyika kila baada ya kipindi fulani sanjari na shughuli mahususi za wakurufunzi kama vile miradi, taarifa simulizi, midahalo yao n.k.

· Upimaji wa kufanywa na wakufunzi wa rika moja unatakiwa ufanywe kila baada ya kipindi fulani ambapo wakufunzi ama mmoja mmoja au kwenye vikundi wanawatathmini wakurufunzi wenzao kisha wanawaeleza matokeo ya tathmini hiyo kwa kutumia miradi fito ya upimaji na fomu maalumu za kutumia kuchunguza mienendo muhimu inayotakiwa kuchunguzwa zilizotolewa na mwezeshaji.

· Utambuzi wa furasa wazi, sheria, taratibu na kanuni za msingi za biashara utafanyiwa tathmini kupitia miradi ya kiutendaji, uchunguzi kifani au mipango ya biashara, majaribio na mitihani. Majaribio na mitihani vinatakiwa kupewa uzito mdogo kwenye mchakato mzima wa upimaji.

5.5 WawezeshajiWawezeshaji kwenye ngazi ya vyuo vya ualimu wanatakiwa:

· Kuwa na sifa za msingi zinazotakiwa kwa wakufunzi wa ngazi hiyo;

· Kuwa wamekwisha hitimu mafunzo ya namna ya kujumuisha ujasiriamali kwenye elimu sanifu kama sehemu ya mafunzo yao ya ualimu au kutoka kwenye taasisi inayotambulika;

· Kutenda kama mfano wa kuigwa kutokana na kujishughulisha wenyewe. Hivyo, wanatakiwa kujiamini, kuwa na mtazamo chanya, kuwa na shauku na kazi yao, na kuwa tayari kuendelea kujifunza;

· Kubakia na ufahamu ni jinsi gani ubora na ufanisi wa kazi yao unavyochangia haiba yao binafsi na jinsi haiba yao inavyoathiri majaliwa yao. Ni wakati huo pekee wanaweza kuchangia ujenzi wa utamaduni wa utendaji miongoni mwa wakurufunzi.

Kwa nyongeza, mbali ya wakufunzi waliofunzwa rasmi, vyuo vya ualimu vinatakiwa viwatumie pia watu binafsi wanaojituma wao wenyewe wakiwemo: wakufunzi waliotambulika kwa kujali sana kazi zao, mameneja wa elimu, wajasiriamali wenye biashara kwa minajili ya kuwahamasisha wakufunzi. Jambo hili linawezekana wakialikwa darasani kama wageni wazungumzaji, na kuwataka wakufunzi kuwahoji watu kama hao kwa kutumia orodha ya maswali waliyopewa na wakufunzi wao, n.k.

M w o n g o z o w a Ta i f a w a U f u n d i s h a j i U j a s i r i a m a l i ( N E T F )

21

6.1 Madhumuni ya Elimu ya Ujasiriamali Kwenye Ngazi ya Elimu ya JuuElimu ya juu ni pamoja na ngazi ya elimu ya ufundi, elimu ya ufundi stadi, na elimu ya chuo kikuu. Kwenye ngazi hizi, kazi za aina mbalimbali zinaweza kuendeshwa na wanafunzi wakiwa na matarajio mbalimbali baada ya kujifunza kozi hizo kukiwemo taaluma kuu kwenye ujasiriamali. Hata hivyo, msisitizo wa Mwongozo huu upo kwenye ufundishaji wa msingi wa ujasiriamali unaopendekezwa kwenye programu zote wala hauendi nje ya ngazi ya shahada ya kwanza.

Lengo la ufundishaji ujasiriamali kwenye ngazi ya elimu ya juu ni kuendelea kuilea hulka ya kijasiriamali ili wanafunzi waweze kuwa washindani na kufaulu kwenye kazi watakazozichagua. Lengo mahususi kwenye ngazi zote za elimu ya juu ni kuwawezesha wanafunzi: (i) Kukuza utambuzi wa vipawa vyao, rasilimali zao binafsi na uwezo wao; (ii) Kudhihirisha tabia ya kujishughulisha wao wenyewe; (iii) Kuzitambua fursa wazi za kazi na biashara kwenye maeneo ya kozi

wanazochukua.

Kwa nyongeza, wanafunzi wanatakiwa kukuza ujuzi wa kuanzisha na kusimamia biashara ambao mawanda na changamano zake zitategemea kiwango cha elimu:

· Kwenye ngazi ya elimu ya ufundi, wanafunzi wanatakiwa waweze kuanzisha na kusimamia kwa ufanisi biashara wanazozimiliki na kuziendesha wao wenyewe;

· Kwenye ngazi ya cheti na stashahada, wanafunzi wanatakiwa waweze kuanzisha na kusimamia kwa ufanisi biashara wanazozisimamia na kuziendesha wao wenyewe zenye mifumo yenye dhima yenye kikomo au mifumo isiyo rasmi; na

· Kwenye ngazi ya shahada, wanafunzi wanatakiwa waweze kuanzisha na kuendeleza shughuli ya biashara iliyorasimishwa yenye mifumo muhimu ya biashara pamoja na kushughulikia masuala muhimu kama vile masuala ya jinsia na familia.

6.2 Stadi Zitakazokuzwa Kwenye Ngazi ya Elimu ya JuuIli kutimiza madhumuni yaliyotajwa hapo juu, yafuatayo ni matarajio yanayopendekezwa yafikiwe na wanafunzi baada ya kujifunza ujasiriamali kwenye ngazi hii:

6.0Ufundishaji Ujasiriamali kwenye Ngazi ya Elimu ya Juu

M w o n g o z o w a Ta i f a w a U f u n d i s h a j i U j a s i r i a m a l i ( N E T F )

22

Jedwali ya 6.1: Stadi Zitakazokuzwa Kwenye Ngazi ya Elimu ya Juu

ENEO LA USTADI

MITAZAMO MAARIFA UJUZI

Mielekeo ya mtu kujishughulisha mwenyewe

HAJA YA MTU KUJITAWALA NA YA UHURU Kuwa mtendaji wa yale

anayofundishwa. Kupendezwa na umilikaji.

Kujiamini. Kugangamalia jambo. Dira. Kujali sana utendaji. Kujali sana kuendelea

kujifunza. Kuwa na mategemeo sana ya baadaye. Kujitahidi kutafuta habari na taarifa mbalimbali.

Upinzani dhidi ya mfadhaiko unaotokana na changamoto mbalimbali. Uwajibikaji.

HAJA YA MAFANIKIO (KUWA NA HAMASA)

Dira. Shauku. Kuwa na lengo. Kuwa

na mategemeo sana ya baadaye. Kujali sana matokeo.

Ari ya kuwa mchapa kazi. Kuwa na nia ya kufanya

jambo fulani Kuwa na msimamo

thabiti. Kuthamini vitu

mbalimbali ikiwa ni pamoja na kujali muda.

Uvumilivu. Kufuatilia utendaji. Kuweza kuingiliana na

watu wengine ili kufuatilia utendaji.

Ari ya kuwa mshindani. UVUMBUZI NA UBUNIFU

Ubunifu. Uvumbuzi. Uwezo wa kubadilika

KUWA NA HAMASA NA KAZI NA FURSA WAZI ZA AJIRA Utambuzi wa fursa za biashara

na ajira kwenye eneo ambalo anasomea.

Fursa za biashara na ajira. Vidokezo vya kazi ya

kijasiriamali. Utambuzi wa jinsi watu wengine

walivyoweza kufanikiwa. Kujitambua.

MWENENDO WA KIJASIRIAMALI Utambuzi wa jinsi watu wengine

walivyoweza kufanikiwa. Kujifunza kutoka kwenye vyanzo

mbalimbali. Kuwa na tabia dhahiri za

kijasiriamali. Kuanzisha mitandao na

ushirikiano ambao ni kwa manufaa ya washirika wote.

KUWA MWADILIFU KWA MANUFAA YA MTU BINAFSI NA BIASHARA Utambuzi wa dhana na maadili

muhimu kuhusu kazi na biashara.

Maadili ya biashara. Kuheshimu miiko ya kazi.

UJUZI WA KUWA MBUNIFU NA KUFANYA UFUMBUZI WA MATATIZO Kuwaza kimantiki. Kukadiria matatizo na

kutafuta ufumbuzi wake.

Umakinifu. Kufikiri kimantiki na

kwa fikra za pembeni. Ufumbuzi wa kiutendaji wa matatizo.

Ubunifu. UJUZI WA KUWASILIANA NA KUWA NA MITANDAO YA KUBADILISHANA MAWAZO NA TAARIFA MBALIMBALI Kusikiliza. Kuongea. Kuwasilisha hoja,

taarifa n.k. kwa ufasaha. Kujua mambo ya

msingi ya kifedha. Kuweza kuhadithia

jambo fulani. Kujitahidi kutafuta

habari na taarifa mbalimbali.

Kunga’ng’ania jambo. Kujieleza kwa ufasaha. Kujifunza. Kuwa na mitandao ya

washirika. UJUZI WA KUENDELEA KUJIFUNZA Ubunifu. Kusimamia

mwenyewe mchakato wa kujifunza.

Kuchangia kwenye mchakato wa kujifunza.

Kutoa ushauri kwa watu

M w o n g o z o w a Ta i f a w a U f u n d i s h a j i U j a s i r i a m a l i ( N E T F )

23

ENEO LA USTADI

MITAZAMO MAARIFA UJUZI

kwa urahisi kulingana na mazingiramapya.

Kuwa mwepesi kurekebishika.

Udadisi. Ubunifu. Umakinifu. Utayari wa kukabiliana

na changamoto mbalimbali.

Uwezo wa kutengeneza kitu kwa haraka bila vifaa vyake hasa. KUFANYA MAMBO HATARISHI BAADA YA KUPIMA KWA MAKINI FAIDA NA HASARA

Kufanya mambo hatarishi.

Kuthubutu. Kufuatilia utendaji. Kufuatilia mambo

hatarishi. Utayari wa kuanzia

kwenye hali ya chini. Uhalisia.

KUPENDA KUWASILIANA NA KUWA NA MITANDAO YA KUBADILISHANA MAWAZO NA TAARIFA MBALIMBALI

Kujitahidi kutafuta habari na taarifa mbalimbali.

Kuwa na ushawishi mkubwa.

Utayari wa kuwashirikisha watu wengine taarifa mbalimbali.

Kung’ang’a’nia jambo. Ari ya kungangamalia

jambo. Kuwa msikivu. Kuweza kujieleza kwa

ufasaha.

wengine. Utayari wa

kuwashirikisha watu wengine taarifa mbalimbali.

Kujifunza kupitia mitandao ya washirika. UJUZI WA MAENDELEO YA MTU BINAFSI NA YA KIJAMII

Kuwa na marafiki. Kuwa na mitandao ya

washirika. Ujuzi wa kuwa na

uhusiano mwema na watu wengine

Kuwa na ujuzi wa uongozi.

Kuweza kujisimamia mwenyewe.

Kuweza kuwafundisha watu wengine.

Utambuzi na udhibiti wa hisia za watu wengine. Kuwa na ushawishi mkubwa. UJUZI WA KUPANGA MAPEMA MAMBO NA KUWA NA MPANGILIO NA UTARATIBU MAALUMU WA KUYATEKELEZA MAMBO HAYO

Kujiwekea lengo. Kumudu mambo

changamano yasiyoelezeka kwa urahisi na yasiyotabirika. Kumudu mahusiano na watu wengine.

Kuwa na ujuzi wa kufuatilia mambo na kuyafanyia tathmini.

Usimamizi wa muda. Kuweza kusimamia

rasilimali.

M w o n g o z o w a Ta i f a w a U f u n d i s h a j i U j a s i r i a m a l i ( N E T F )

24

ENEO LA USTADI

MITAZAMO MAARIFA UJUZI

Ari ya kupenda kuendelea kujifunza bila kukoma.

Kuthamini mitandao ya kubadilishana mawazo, taarifa mbalimbali na ujuzi wa mbinu mbalimbali za utekelezaji mambo mbalimbali.

KUFANYA JITIHADA YA KUTAFUTA NA KUTUMIA FURSA Kufuatilia utendaji. Mwelekeo wa

kimkakati. Utayari wa kuanzia kwenye hali ya chini.

Uwezo wa kubadilika kwa urahisi kulingana na mazingira mapya.

Kujali sana utendaji. Ari ya kuongozwa na matukio katika kuamua jambo la kufanya.

Kuwa na utayari wa kuona mikono yake imechafuka.

Maadili. Uadilifu. Wepesi wa kuhisi hisia

za mteja. Weledi. Uwajibikaji. Kuwa na imani kuwa

tunzo ni matokeo ya kufanya jitihada.

Moyo wa kushirikiana na watu wengine.

Kumudu mambo hatarishi.

Uanzishaji na uendelezaji biashara

Shauku ya kufanya kazI ya kijasiriamali.

MCHAKATO WA KUANZISHABIASHARA Ufahamu wa msingi wa mazingira ya biashara.

Sababu muhimu za mafanikio kwa aina fulani ya biashara.

Vyanzo mujarabu vya msaada wa kawaida na wa kiutaalamu. Utambuzi wa wazo la biashara. Kufanya tathmini ya wazo la

UJUZI WA BIASHARA

Utambuzi na ukadriaji wa fursa za wazi za biashara.

Elimu ya soko kwa biashara ndogo (kutafuta wateja, uuzaji, utangazaji wa biashara kwa gharama

biashara.

MAADILI MEMA KWA MTU BINAFSINA JAMII

M w o n g o z o w a Ta i f a w a U f u n d i s h a j i U j a s i r i a m a l i ( N E T F )

25

6.3 Njia, Mbinu na Mikakati ya KufundishiaAjenda ya ufundishaji ujasiriamali itaendelea kutekelezwa na kupewa umuhimu kwenye elimu ya juu kwa kutumia njia mbalimbali. Kozi au mada hizi zitatumiwa kadri inavyowezekana. Hata hivyo, kila taasisi ya elimu ya juu na kila mwezeshaji atatakiwa kuongoza kwa makusudi mtindo wa kujifunza uliozoeleka kwa namna ambayo itakuza stadi zinazotakiwa. Jambo hili litafanyika kwa kujumuisha jumbe na masomo muhimu kwenye maudhui ya mtindo uliozoeleka pamoja na kutumia mbinu na mikakati ya kufundishia na kujifunzia shughuli mbalimbali za nje ya ratiba ya taasisi husika zinazokuza stadi zilizokusudiwa. Kufundisha na kujifunza vinatakiwa kufanywa/ kuhamasishwa kwa kadri inavyowezekana kwa kutumia: shughuli mbalimbali zinazolenga kumshughulisha mwanafunzi na kumwezesha kufanya ufumbuzi wa matatizo, pamoja na kumpatia mwanafunzi mrejesho na tunzo zenye kukuza sawia stadi mbalimbali zinazokusudiwa.

ENEO LA USTADI

MITAZAMO MAARIFA UJUZI

Fomu za biashara. Kupangilia biashara.

URATIBU NA USIMAMIZI WA BIASHARA Kadria mahitaji ya kuanzisha biashara.

Utambuzi na ukadriaji fursa wazi za biashara.

Kutafuta wateja. Uuzaji. Kujali mteja. Kupanga bei kwa bidhaa na/au huduma.

Kumudu uhusiano wa kijinsia kwenye biashara.

Kuandaa mifumo ya kibiashara. Kuwasimamia wafanyakazi. Tathmini na kujifunza kutokana na ushindani.

Kufuatilia mazingira ya biashara kwa kutumia rasilimali chache.

Kujiwekea viwango vya utendaji na kuvisimamia.

Kugharimia biashara kutoka vyanzo mujarabu.

Kuandaa mpango wa biashara. Kutii matakwa ya sheria. Kuandaa mipango kimkakati. Masuala yanayohusiana na biashara ya familia.

Ukuaji wa biashara. Kuziwezesha biashara kuwa za kimataifa.

ndogo, kujali mteja, kupanga bei).

Kuandaa mifumo ya biashara.

Kuwasimamia wafanyakazi.

Tathmini na kujifunza kutokana na ushindani.

Kufuatilia mazingira ya biashara kwa kutumia rasilimali chache.

Kujiwekea viwango vya utendaji na kuvisimamia.

Kuandaa mpango wa biashara.

Kutii matakwa ya sheria.

Kuandaa mipango kimkakati.

Kufanya utafiti. Uimarishaji biashara. Kuziwezesha biashara

kuwa za kimataifa. Ujasiriamali wa kijamii. Usimamizi wa biashara

ya familia. MATUMIZI SAHIHI YA TEKNOLOJIA Teknolojia ya habari

(IT). Biashara ya

kielektroniki.

M w o n g o z o w a Ta i f a w a U f u n d i s h a j i U j a s i r i a m a l i ( N E T F )

26

Mbinu zinazopendekezwa ni pamoja na hizi zifuatazo:Jedwali ya 6.2: Mbinu na Mikakati Inayopendekezwa Kufundishia Kwenye Ngazi ya Elimu ya Juu

·Uimbaji.·Uchoraji.·Utambaji hadithi.·Shughuli mbalimbali za

kufanywa na mtu mmoja mmoja

·Utoaji wa taarifa kwa kusimulia (taarifa simulizi).

·Uhakiki wa kina wa vitabu na machapisho mengine.

·Matembezi kwenye nyumba za sanaa.

·Ualikaji wageni kuwa wazungumzaji).

·Uchangiaji mawazo papo kwa papo kutoka kwa washiriki wote waliopo ili kutatua tatizo fulani au kujibu swali fulani.

·Kufanya majadiliano kwenye kikundi.

·Uwasilishaji taarifa mbalimbali kwa mdomo.

·Ziara za kimasomo).·Matumizi ya vielelezo mbalimbali

vya kusikia na kuona.·Michezo-fumbo ya kupanga

vipande ili hatimaye kupata picha kamili.

·Uigaji.·Chemsha bongo.·Mazoezi ya kufundisha kabla ya

kuhitimu mafunzo ya ualimu ·Uigizaji wa wajibu fulani.·Midahalo.·Miradi ya vitendo.

·Wanafunzi wa rika moja kupeana ushauri

·Kuwazia kazi za kufikirika tu ·Kufanya uchunguzi kifani.·Uandishi wa insha.·Mashindano na utoaji wa

tunzo.·Maswali na majibu. Utafiti wa

kiutendaji.

6.4 Upimaji wa Ujuzi wa WanafunziTukizingatia kwamba ufundishaji ujasiriamali unalenga kubadili uwezo na mazoea ya kiutendaji ya mwanafunzi, upimaji kwa kiasi kikubwa unatakiwa ujikite zaidi kwenye tabia hizi kuliko kupima tu uwezo wa mwanafunzi wa kupata maarifa ya kinadharia au kukariri mambo fulani ya hakika. Kwenye ngazi ya elimu ya juu:

· Upimaji unatakiwa kufanywa kila baada ya kipindi fulani kwenye taasisi husika darasani na kwenye ngazi ya mkufunzi wa ualimu na mwanafunzi mwingine yeyote mmoja mmoja binafsi.

· Upimaji unatakiwa utathmini mabadiliko ya tabia na ujuzi uliokusudiwa kama vinavyodhihirishwa kwa mawazo yanayotolewa na mwanafunzi ya ubunifu, shughuli na miradi mbalimbali inayoanzishwa, ufumbuzi wa changamoto mbalimbali unaofanywa, mitandao ya ushirikiano inayoanzishwa, kujiamini kunakodhihirishwa, ari ya kugangamalia jambo inayodhihirishwa, mambo hatarishi yanayofanywa, uthibitisho wa wanafunzi kupendelea kujifunza kwa hiari yao, ari ya uongozi inayodhihirishwa, ubora wa mipango inayoandaliwa, matatizo yanayotatuliwa, ubora wa taarifa simulizi zinazowasilishwa, ufanisi unaodhihirishwa kwenye kuwashawishi wengine, utunzaji wa muda, hiari ya kupendelea kazi ya kijasiriamali, uaminifu n.k

· Upimaji wa mabadiliko ya tabia na ujuzi unatakiwa kuwa sehemu ya upimaji rasmi uliozoeleka kwenye kozi au mada ambazo kwa kiasi kikubwa zimesanifiwa kukuza ujuzi wa maisha au ujuzi wa biashara. Upimaji kwa kiasi kikubwa unapaswa kutokana na upimaji wa siku zote kwa kutumia vifaa mbalimbali kuzibaini stadi mbalimbali badala ya kutumia upimaji wa maarifa ya nadharia pekee.

· Walimu binafsi wa masomo makuu yaliyozoeleka (kama vile Utafiti wa Soko, Taaluma za Maendeleo, Mazingira ya Majini, Uhandisi wa Uchoraji, Historia ya Usanifu Majengo, n.k.), wanatakiwa watenge sehemu ya maksi, kwenye maksi zinazotolewa kwa ajili ya upimaji wa siku zote kwa kila somo, kwa

M w o n g o z o w a Ta i f a w a U f u n d i s h a j i U j a s i r i a m a l i ( N E T F )

27

ajili ya mabadiliko yaliyodhihirishwa na uwezo na tabia miongoni mwa mwanafunzi mmoja mmoja wakati wa kujifunza somo fulani maalumu. Upimaji wa aina hiyo unaweza kufanywa kwa kutumia orodha ya mienendo muhimu inayotakiwa kuchunguzwa na/au miraba fito ya upimaji. Jambo hili linaweza kufanyika kila baada ya kipindi fulani sanjari na shughuli mahususi za mwalimu kama vile miradi, taarifa simulizi, midahalo, n.k.

· Upimaji wa kufanywa na wanafunzi wa rika moja unatakiwa ufanywe kila baada ya kipindi fulani ambapo wanafunzi ama mmoja mmoja au kwenye vikundi wanawatathmini wanafunzi wenzao kisha wanawaeleza matokeo ya tathmini hiyo kwa kutumia miradi fito ya upimaji na fomu maalumu za kutumia kuchunguza mienendo muhimu inayotakiwa kuchunguzwa na mwezeshaji.

· Utambuzi wa fursa wazi, sheria, taratibu na kanuni za msingi za biashara utafanyiwa tathmini kupitia miradi ya kiutendaji, uchunguzi kifani au mipango ya biashara, majaribio na mitihani. Majaribio na mitihani vinatakiwa kupewa uzito mdogo kwenye mchakato mzima wa upimaji.

· Kila taasisi inatakiwa kujitahidi kufanya tafiti za ufuatiliaji utendaji wa wahitimu wake baada ya kuhitimu mafunzo yao.

6.5 WawezeshajiWawezeshaji kwenye ngazi ya elimu ya juu wanatakiwa:

· Kuwa na sifa za msingi zinazotakiwa kwa walimu wa ngazi hizo;

· Kuwa wamekwisha hitimu mafunzo ya namna ya kujumisha ujasiriamali kwenye elimu sanifu kama sehemu ya mafunzo yao ya ualimu au kutoka kwenye taasisi inayotambulika;

· Kutenda kama mfano wa kuigwa kutokana na kujishughulisha wenyewe. Hivyo, wanatakiwa kujiamini, kuwa na mtazamo chanya, kuwa na shauku na kazi yao, na kuwa tayari kuendelea kujifunza;

· Kubakia na ufahamu ni jinsi gani ubora na ufanisi wa kazi yao unavyochangia haiba yao binafsi na jinsi haiba yao inavyoathiri majaliwa yao. Ni wakati huo pekee wanaweza kuchangia ujenzi wa utamaduni wa utendaji miongoni mwa wanafunzi.

Kwa nyongeza, mbali ya wakufunzi na wahadhiri waliofunzwa rasmi, taasisi za elimu ya juu zinatakiwa ziwatumie pia watu binafsi wanaojituma wao wenyewe wakiwemo wajasiriamali wa kijamii, wajasiriamali wenye biashara, na wajasiriamali ambao ni washirika, kwa minajili ya kuwahamasisha wanafunzi. Jambo hili linawezekana wakialikwa darasani kama wageni wazungumzaji, na kuwataka wanafunzi kuwahoji watu kama hao kwa kutumia orodha ya maswali waliyopewa na walimu wao, n.k.

M w o n g o z o w a Ta i f a w a U f u n d i s h a j i U j a s i r i a m a l i ( N E T F )

28

7.1 Madhumuni ya Elimu Isiyo Rasmi ya UjasiriamaliNeno ufundishaji ambao usio rasmi lina maana ya mfumo wa ufundishaji ambao muundo wake sio rasmi, sio sanifu wala hautambuliki wala kufanyiwa tathmini rasmi. Kwa sababu hiyo, ufundishaji usio rasmi wa ujasiriamali unaweza kuendeshwa kwa kutumia njia mbalimbali zikiwemo: kozi fupi zinazoendeshwa kwa urefu tofauti wa muda, utoaji wa ushauri, uatamishaji biashara au kwa kutumia mchanganyiko wa njia hizi za ufundishaji. Mafunzo yasiyo rasmi ya ujasiriamali yanahitajiwa na watendaji wa aina mbalimbali wakiwemo:

· Wale watu wanaojishughulisha au wenye shauku ya kuanzisha biashara;· Wale watu wanaotaka kuimarisha na kukuza biashara hai zilizopo;· Wale watu wanaokusudia kuzifanya biashara zao kuwa za kimataifa au ambao shughuli zao za

biashara zimekwisha kuwa za kimataifa;· Watumishi wanaotaka kupitisha na kuufanyia kazi ujasiriamali kwenye Taasisi walizoajiriwa;· Watu binafsi ambao ama ni au wanatamani kuwa wajasiriamali wa kijamii.

Lengo la jumla la ufundishaji usio rasmi wa ujasiriamali ni kuwawezesha watu binafsi, taasisi na asasi mbalimbali na jamii kujinufaisha na rasilimali na fursa zilizowazunguka kwa maendeleo yao wenyewe. Madhumuni mahususi yanabainishwa kwa kila kundi lengwa kama ifuatavyo:

Jedwali ya 7.1: Madhumuni Mahususi ya Elimu Isiyo Rasmi ya Ujasiriramali kwa Kila Kundi Lengwa

Kundi Lengwa Madhumuni Mahususi (wanafunzi wanatakiwa waweze:)Watu wote ·Kuwa na mwenendo wa kijasiriamali zaidi.

Watu wanaojishughulisha au wenye shauku ya kuanzisha biashara

·Kuanzisha na kuendesha biashara kwa ufanisi.

Watu wanaotaka kuimarisha na kukuza biashara hai zilizopo

·Kuimarisha na kukuza biashara kwa ufanisi.

Watu wanaotaka kuzifanya biashara zao kuwa za kimataifa

·Kuzifanya shughuli za biashara zao kuwa za kimataifa kwa ufanisi.

Watu wanaotaka kufanya ujasiriamali wa pamoja

·Kumudu kufanya mabadiliko na maboresho ya asasi zao zilizopo kwa ufanisi.

Wajasiriamali wa kijamii ·Kuanzisha na kuongoza utekelezaji wa hatua walizochukua ili kukabiliana na matatizo fulani ya kijamii.

7.0Ufundishaji Ujasiriamali kwenye Ngazi ya Elimu Isiyo Rasmi

M w o n g o z o w a Ta i f a w a U f u n d i s h a j i U j a s i r i a m a l i ( N E T F )

29

7. 2 Stadi Zitakazokuzwa Kwa Biashara Mpya Zilizopo na Ambazo Zina Uwezekano wa Kuanzishwa

Uanzishaji biashara unahitaji: mwelekeo na ujuzi unaomwezesha mtu kuanzisha na kuijenga biashara husika kwa kutumia rasilimali chache; ubunifu; uwezo na hiari ya kuchungua mambo na kujifunza kwa kutenda; pamoja na uwezo wa kuidumisha hamasa aliyo nayo mtu husika licha ya kupambana na vizuizi mbalimbali njiani. Kwa sababu hiyo, stadi mahususi zifuatazo zitakuzwa kwa biashara mpya zilizopo na biashara ambazo zina uwezekano wa kuanzishwa: Jedwali ya 7.2: Stadi Zitakazokuzwa kwa Biashara Mpya Zilizopo na Ambazo Zina Uwezekano wa Kuanzishwa

ENEO LA USTADI

MITAZAMO MAARIFA UJUZI

Uanzishaji na uendelezaji biashara

·Shauku ya kufanya kazi ya kijasiriamali na kuwa na msimamo thabiti katika kuifanya kazi hiyo

·Kuwa na hamasa ya kukuza biashara.

MCHAKATO WA KUANZISHA BIASHARA·Ufahamu wa msingi wa mazingira ya

biashara.·Sababu muhimu za mafanikio kwa aina

fulani ya biashara.·Vyanzo mujarabu vya msaada wa

kawaida na wa kiutaalamu.·Utambuzi wa wazo la biashara.·Kufanya tathmini ya wazo la biashara.·Fomu za biashara.·Kupangilia biashara.·Kumudu matakwa ya kisheria.URATIBU NA USIMAMIZI WA BIASHARA·Kadiria mahitaji ya kuanzisha biashara.·Utambuzi na utathmini wa fursaza

biashara.·Kutafuta wateja.·Uuzaji.·Kujali mteja.·Kupanga bei kwa bidhaa na/au huduma.·Kuandaa mifumo ya kibiashara.·Kuwasimamia wafanyakazi.·Tathmini na kujifunza kutokana na

ushindani.·Kufuatilia mazingira ya biashara kwa

kutumia rasilimali chache.·Kujiwekea viwango vya utendaji na

kuvisimamia.·Kugharimia biashara kutoka vyanzo

mujarabu.·Kuandaa mpango wa biashara.·Kutii matakwa ya sheria.·Kuandaa mipango kimkakati.·Masuala yanayohusiana na biashara ya

familia.·Ukuaji wa biashara.·Kuziwezesha biashara kuwa za kimataifa.·Ufahamu wa mnyororo wa thamani

stahiki. ·Kujifunza kutokana na mazingira ya

biashara.·Kujifunza kutokana na makosa.

UJUZI WA BIASHARA·Utambuzi na ukadiriaji

wa fursa za biashara.·Elimu ya soko kwa

biashara ndogo (kutafuta wateja, uuzaji, utangazaji wa biashara kwa gharama ndogo, kujali mteja, kupanga bei).

·Kuandaa mifumo ya biashara.

·Kuwasimamia wafanyakazi.

·Tathmini na kujifunza kutokana na ushindani.

·Kufuatilia mazingira ya biashara kwa kutumia rasilimali chache.

·Kujiwekea viwango vya utendaji na kuvisimamia.

·Kuandaa mpango wa biashara.

·Kutii matakwa ya sheria.·Kuandaa mipango

kimkakati.·Kufanya utafiti.·Uimarishaji biashara.·Kuziwezesha biashara

kuwa za kimataifa.·Ujasiriamali wa kijamii.·Usimamizi wa biashara

ya familia.·Uchunguzi wa hali halisi MATUMIZI SAHIHI YA TEKNOLOJIA·Teknolojia ya habari (IT).·Biashara ya kielektroniki.

M w o n g o z o w a Ta i f a w a U f u n d i s h a j i U j a s i r i a m a l i ( N E T F )

30

7.3 Stadi Zitakazokuzwa kwa Ajili ya Kuimarisha na Kukuza BiasharaWatu ambao tayari wanaendesha biashara zao wanahitaji utambuzi, hamasa na ujuzi wa kuimarisha biashara zao ili waweze kuwa fanisi na washindani zaidi na hatimaye waweze kukuza biashara zao husika. Kwa sababu hiyo, ufundishaji ujasiriamali kwa kundi hili utaandaliwa kwa minajili ya kukuza hamasa ya walengwa kukuza biashara zao na uwezo wao wa kuwa washindani, kuchungua mambo kwa ubunifu na kukadiria fursa wazi za kukuza biashara zao pamoja na kuweza kugharimia na kusimamia vema ukuzi huo. Stadi mahususi zitakazokuzwa ni hizi zifuatazo:

Jedwali ya 7.3: Stadi Zitakazokuzwa kwa Ajili ya Kukuza kwa Ajili ya Kukuza na Kuimarisha Biashara

ENEO LA USTADI

MITAZAMO MAARIFA UJUZI

Uanzishaji na uendelezaji biashara

·Kuwa na hamasa ya kukuza biashara.

·Kuwa na msimamo thabiti katika kuifanya kazi ya kijasiriamali.

MCHAKATO WA KUKUZA BIASHARA·Mchakato wa kukuza biashara.·Vidokezo muhimu vya ukuzaji biashara.KURATIBU NA KUSIMAMIA UKUZI WA BIASHARA·Kusimamia mchakato wa

ukuzaji biashara.·Kukadiria mahitaji ya ukuzaji

biashara.·Kuandaa mifumo ya utawala

wa biashara.·Kugharamia ukuzaji biashara.·Kuandaa mipango kimkakati.·Kusimamia masuala ya

familia.·Kumudu mambo hatarishi.·Kujifunza kutokana na

makosa.·Kujifunza kutokana na

mazingira ya biashara.

UJUZI WA BIASHARA·Kutambua na kukadiria fursa

wazi za za ukuzaji biashara.·Kuandaa muundo wa utawala.·Kuukadria ushndani na

kujifunza kutokana na ushindani.

·Kufuatilia mazingira ya biashara kwa rasilimali chache.

·Kuweka viwango vya utendaji na kusimamia utekelezaji wake.

·Kugharimia ukuzaji biashara.·Kuandaa mpango wa biashara.·Kuandaa mipango kimkakati.·Utafiti wa soko.·Kuanzisha mitandao na

ushirikiano na wabia mbalimbali.

·Kuwatumia wataalamna washauri wa biashara.

MATUMIZI SAHIHI YA TEKNOLOJIA·Teknolojia ya habari (IT).·Biashara ya kielektroniki.

M w o n g o z o w a Ta i f a w a U f u n d i s h a j i U j a s i r i a m a l i ( N E T F )

31

7.4 Stadi Zitakazokuzwa kwa Ajili ya Kuziwezesha Biashara Kuwa za Kimataifa

Lengo la kuwafundisha ujasiriamali wajasiriamali ambao wanakusudia kuzifanya biashara zao kuwa za kimataifa au ambao tayari wanaendesha biashara za kimataifa, ni kujenga uwezo wanaouhitaji kutumia kimkakati fursa wazi kwenye biashara za kimataifa ikiwa ni pamoja na kujirekebisha kulingana na fursa na changamoto za kipekee zilizopo kwenye mazingira ya kimataifa. Kwa sababu hiyo, stadi mahususi zitakazokuzwa ni pamoja na:

Jedwali ya 7.4: Stadi Zitakazokuzwa kwa Ajili ya Kuziwezesha Biasha Kuwa za Kimataifa

ENEO LA USTADI

MITAZAMO MAARIFA UJUZI

Uanzishaji na uendelezaji biashara

·Kuwa na hamasa ya kukuza biashara.

·Kuwa na shauku ya kufanya biashara ya kimataifa.

BIASHARA ZA KIMATAIFA·Kuelewa mazingira ya

biashara za kimataifa.·Kuelewa mienendo ya

kimataifa ·Taratibu za kuingiza na

kutoa bidhaa nchini.·Ushirikiano wa

kimataifa.KURATIBU NA KUSIMAMIA BIASHARA YA KIMATAIFA·Kutambua na kukadiria

fursa wazi za biashara za kimataifa.

·Kufuatilia mazingira ya biashara za kimataifa kwa rasilimali chache.

UJUZI WA BIASHARA ZA KIMATAIFA·Usimamizi wa taarifa za biashara.·Kukadiria ushindani wa kimataifa

na kujifunza kutokana na ushindani huo.

·Kufuatilia mazingira ya biashara kwa rasilimali chache.

·Kuweka viwango vya utendaji na kusimamia utekelezaji wake.

·Kugharimia biashara ya kimataifa.·Kuandaa mpango wa biashara.·Kusimamia matakwa ya kibiashara

kuhusu biashara ya kimataifa.·Usimamizi wa ubora.·Utayarishaji bidhaa Usimamizi wa

mikataba.·Kuandaa mipango kimkakati.·Tafiti.·Kujirekebisha kulingana na

utamaduni MATUMIZI SAHIHI YA TEKNOLOJIA·Teknolojia ya habari (IT).·Biashara ya kielektroniki.63

M w o n g o z o w a Ta i f a w a U f u n d i s h a j i U j a s i r i a m a l i ( N E T F )

32

7.5 Stadi Zitakazokuzwa kwa Ajili ya Ujasiriamali wa NdaniUjasiriamali wa ndani unamaanisha ari ya kufikiri na kutenda kijasiriamali ukiwa ndani ya shirika madhubuti ama kwenye biashara, kwenye jamii au kwenye sehemu ya umma. Lengo la ufundishaji ujasiriamali wa ndani ni kukuza mwelekeo na ujuzi wa kuanzisha na kuongoza mabadiliko na maboresho kwenye muktadha wowote. Kwa sababu hiyo, stadi mahususi zitakazokuzwa zitakuwa hizi zifuatazo:

Jedwali ya 7.5: Stadi Zitakazokuzwa kwa Ajili ya Ujasiriamali wa Ndani na Ujasiriamali wa Pamoja

ENEO LA USTADI

MITAZAMO MAARIFA UJUZI

Kuanzisha na kusimamia mabadiliko na maboresho

·Kuthamini mchango wa mabadiliko na maboresho.

·Moyo wa ushirikiano.·Utayari wa kuongoza

mabadiliko.·Utayari wa kushiriki

ustahilifu wa mabadiliko na maboresho yaliyofanywa.

·Utayari wa kufanya kazi na watu wenye sifa njema

·Utayari wa kubadilisha kazi na amali.

·Kanuni za ujasiriamali wa pamoja.

·Mabadiliko ya ujasiriamali wa pamoja.

·Vichocheo vya ujasiriamali wa pamoja.

·Vizuizi vya ujasiriamali wa pamoja.

·Uongozi wa kimageuzi

·Usimamizi wa mabadiliko.

·Kuwahamasisha watu wengine.

7.6 Stadi Zitakazokuzwa kwa Ajili ya Ujasiriamali wa KijamiiLengo la ufundishaji ujasiriamali wa kijamii ni kukuza mwelekeo na ujuzi wa kuanzisha na kuongoza mabadiliko na maboresho ya kijamii. Kwa sababu hiyo, stadi mahususi zitakazokuzwa ni hizi zifuatazo:

Jedwali ya 7.6: Stadi Zitakazokuzwa kwa Ajili ya Ujasiriamali wa Kijamii

ENEO LA USTADI

MITAZAMO MAARIFA UJUZI

Shughuli ya kijasiriamali ya kijamii

·Kuyaona matatizo ya kijamii kama fursa wazi.

·Dhamira za kijamii.·Uwajibikaji kwa soko

na Jimbo la Uchaguzi.

·Bahatisha ufadhili.·Kutambua matatizo ya

kijamii.·Kutafuta njia za kudumisha

juhudi zako.·Kufanya kadri

inavyowezekana kuhakikisha mawazo yako yanakuwa na athari ya kudumu.

·Uhamasishaji jamii.·Utangazaji jamii.·Kuhamasisha

upatikanaji wa rasilimali.

·Usimamizi wa mradi.

7.7 Njia, Mbinu na Mikakati ya KufundishiaAjenda ya ufundishaji ujasiriamali kwenye elimu isiyo rasmi kutekelezwa kwa kutumia utaratibu tofauti. Kozi fupi, kampeni za kuhamasisha umma kwa kutumia vyombo vya habari kubadili tabia, programu za uatamishaji biashara, kambi za vijana, vilabu mbalimbali, mashindano na utoaji tunzo, kutoa ushauri, ufundishaji mtu, n.k. Hata hivyo, kwa nyongeza kila njia itakayotumika kujenga uwezo wa mwanafunzi, zikiwemo shughuli za kiufundi au za kijumla zitatakiwa zijumuishe ukuzaji wa hulka ya mtu kujishughulisha mwenyewe. Jambo hili litafanyika kwa kujumuisha jumbe na masomo muhimu kwenye maudhui ya mtindo huo uliozoeleka pamoja na kupitia matumizi ya mbinu na mikakati mbalimbali ya kufundishia na kujifunzia na shughuli mbalimbali za nje ya ratiba ya shule zinazokuza stadi zilizokusudiwa. Kufundisha na kujifunza vinatakiwa kufanya kadri inavyowezekana kutumia: shughuli mbalimbali zinazolenga kumshughulisha

M w o n g o z o w a Ta i f a w a U f u n d i s h a j i U j a s i r i a m a l i ( N E T F )

33

mwanafunzi na kumwezesha kufanya ufumbuzi wa matatizo, pamoja na utoaji wa mrejesho na tunzo zenye kukuza sawia stadi mbalimbali zinazokusudiwa. Mbinu mahususi zinazopendekezwa ni pamoja na hizi zifuatazo:

Jedwali ya 7.7: Mbinu na Mikakati Inayopendekezwa Kufundishia Kwenye Elimu Isiyo Rasmi

· Uimbaji.· Uchoraji.· Utambaji hadithi.· Shughuli mbalimbali

za kufanywa na mtu mmoja mmoja.

· Matembezi kwenye nyumba za Sanaa.

· Ualikaji wageni kuwa wazungumzaji.

· Uchangiaji mawazo papo kwa papo kutoka kwa washiriki wote waliopo ili kutatua tatizo fulani au kujibu swali fulani.

· Kufanya majadiliano kwenye kikundi.

· Uwasilishaji taarifa kwa mdomo.

· Ziara za kimasomo.

· Matumizi ya vielelezo mbalimbali vya kusikia na kuona.

· Michezo-fumbo ya kupanga vipande ili hatimaye kupata picha kamili.

· Uigaji.· Ziara za kimasomo.· Chemsha bongo.· Mazoezi ya kufundisha kabla

ya kuhitimu mafunzo ya ualimu.

· Uigizaji wa wajibu fulani.· Midahalo.· Miradi ya kiutendaji.

· Wanafunzi wa rika moja kupeana ushauri.

· Kuwazia kazi za kufikirika tu.

· Kufanya uchunguzi kifani.

· Uandishi wa insha.· Mashindano na utoaji

wa tunzo.· Utafiti wa kiutendaji.· Uatamiaji biashara.· Kutoa ushauri.

7.8 Upimaji wa Ujuzi wa WanafunziTukizingatia kwamba ufundishaji ujasiriamali unalenga kubadili uwezo na mazoea ya kiutendaji ya mtu anayejifunza upimaji kwa kiasi kikubwa unatakiwa ujikite zaidi kwenye tabia hizi kuliko kupima tu uwezo wa mwanafunzi wa kupata maarifa ya kinadharia au kukariri mambo fulani ya hakika. Kwenye elimu isiyo rasmi:

· Upimaji unatakiwa kufanywa kila baada ya kipindi fulani kwenye ngazi ya kikundi na mwanafunzi mmoja mmoja binafsi.

· Upimaji unatakiwa utathmini mabadiliko ya tabia na ujuzi uliokusudiwa kama vinavyodhihirishwa kwa mawazo yanayotolewa na mwanafunzi ya ubunifu, shughuli na miradi mbalimbali inayoanzishwa, ufumbuzi wa changamoto mbalimbali unaofanywa, mitandao ya ushirikiano inayoanzishwa, kujiamini kunakodhihirishwa, ari ya kugangamalia jambo inayodhihirishwa, mambo hatarishi yanayofanywa, uthibitisho wa wanafunzi kupendelea kujifunza kwa hiari yao, ari ya uongozi inayodhihirishwa, ubora wa mipango inayoandaliwa, matatizo yanayotatuliwa, ubora wa taarifa simulizi zinazowasilishwa, ufanisi unaodhihirishwa kwenye kuwashawishi wengine, utunzaji wa muda, hiari ya kupendelea kazi ya kijasiriamali, uaminifu n.k.

· Mada au kozi kuu moja moja au mahususi zinatakiwa zitenge sehemu ya maksi, kwenye maksi zinazotolewa kwa ajili ya upimaji wa siku zote kwa kila somo, kwa ajili ya mabadiliko yaliyodhihirishwa na mwanafunzi kwenye uwezo na tabia mbalimbali miongoni mwa mwanafunzi mmoja mmoja wakati wa kujifunza somo fulani maalumu. Upimaji wa aina hiyo unaweza kufanywa kwa kutumia orodha ya mienendo muhimu inayotakiwa kuchunguzwana/au miraba fito ya upimaji. Jambo hili linaweza kufanyika kila baada ya kipindi fulani sanjari na shughuli mahususi za mwalimu kama vile miradi, taarifa simulizi, midahalo n.k.

· Upimaji wa kufanywa na wanafunzi wa rika mojaunatakiwa ufanywe kila baada ya kipindi fulani ambapo wanafunzi ama mmoja mmoja au kwenye vikundi wanawatathmini wanafunzi wenzao

M w o n g o z o w a Ta i f a w a U f u n d i s h a j i U j a s i r i a m a l i ( N E T F )

34

kisha wanawaeleza matokeo ya tathmini hiyo kwa kutumia miradi fito ya upimaji na fomu maalumu za kutumia kuchunguza mienendo muhimu inayotakiwa kuchunguzwa zilizotolewa na mwezeshaji.

· Kila mtoa mafunzo anatakiwa kuchukua/kufanya ufuatiliaji wa wahitimu wa masomo yake.

7.9 WawezeshajiWawezeshaji kwenye ngazi ya elimu isiyo rasmi wanatakiwa:

· Kuwa wamekwisha hitimu mafunzo ya namna ya kujumisha ujasiriamali kwenye elimu sanifu kama sehemu ya mafunzo yao ya ualimu au kutoka kwenye taasisi inayoheshimika;

· Kuwa kama kielelezo/mfano wa kuigwa kutokana na kujishughulisha wenyewe. Hivyo, wanatakiwa kujiamini, kuwa na mtazamo chanya, kuwa na shauku na kazi yao, na kuwa tayari kuendelea kujifunza;

· Licha ya hivyo, wanatakiwa wawe na uzoefu wa ama kuanzisha na kuendesha shirika/taasisi au kuanzisha na kuongoza mabadiliko na maboresho kwenye mashirika yaliyopo.

Watoaji wa mafunzo ya ujasiriamali wanatakiwa wawatumie pia wajasiriamali wenye biashara, wajasiriamali wanaojishughulisha na ujasiriamali wa pamoja na wajasiriamali wa kijamii waliofanikiwa kwa minajili ya kuwahamasisha wanafunzi. Jambo hili linawezekana kwa kuwaalika wajasiriamali kama hao darasani kama wageni wazungumzaji, na kuwataka wanafunzi kuwahoji watu kama hao kwa kutumia orodha ya maswali waliyopewa na walimu wao, n.k.

M w o n g o z o w a Ta i f a w a U f u n d i s h a j i U j a s i r i a m a l i ( N E T F )

35

8.1 Changamoto Zinazotarajiwa

Ni muhimu sana kutambua na kutathimini changamoto ambazo Mwongozo wa Taifa wa Ufundishaji Ujasiriamali (NETF) utakutana nazo ili kuweza kukabiliana nazo kwa kutumia mikakati stahiki. Kwa mantiki hiyo, utekelezaji wa Mwongozo huu wa NETF utakabiliana na baadhi ya changomoto zifuatazo:(i) Ukosefu wa mkakati kuhusu ukuzaji ujasiriamali nchini. Kwa usahihi, Mwongozo huu unatakiwa

kujulishwa fika na mkakati wa taifa kuhusu elimu na ufundishaji ujasiriamali. Ila kwenye ombwe la mkakati stahiki, Mwongozo huu uliopendekezwa, kwa kiasi kikubwa msingi wake mkubwa umewekwa zaidi kwenye utendaji na uzoefu usio kifani wa kimataifa na wa hapa hapa nchini mwetu. Kwa sababu hiyo, ni muhimu kuandaa mkakati stahiki siku zijazo ili kuhakikisha kunakuwepo mtazamo wazi na unaoleweka fika kitaifa.

(ii) Kuwepo na idadi pungufu ya wawezeshaji bora kwenye ufundishaji ujasiriamali. Kizuizi kikubwa kuliko vyote kwa ufundishaji ujasiriamali ni kuwepo idadi isiyotosha ya wawezeshaji waliofunzwa vizuri na wenye uzoefu kwenye uwezeshaji. Ni kwenye ngazi ya elimu ya ufundi tu ambaopo mitaala ya ufundishaji walimu tayari inawaandaa walimu kuwezesha ufundishaji ujasiriamali. Sekta ya utoaji huduma ya ukuzaji biashara imedumaa na imevurugika, na kwa sababu hiyo si busara kuanzisha matakwa au viwango vikali.

(iii) Ukosefu wa zana za kufanikisha kujifunza ambako kunamshughulisha zaidi mwanafunzi mwenyewe. Kuna idadi ndogo ya zana mujarabu za ufundishaji ujasiriamali kwenye mazingira ya nchini mwetu ambazo zimekwisha tayarishwa (vikiwemo vitabu, kesi, michezo, n.k.).

(iv) Kiwango kidogo cha utambuzi na ukosefu wa msimamo thabiti miongoni mwa waandaaji wa sera na wenye madaraka wengine. Wadau walio wengi ama wana utambuzi kidogo au hawajui kabisa maana na mawanda ya ufundishaji ujasiriamali. Wazazi na jamii nzima kwa kawaida hutoa mchango mkubwa kwenye kukuza maadili na mitazamo mbalimbali. Hata hivyo, kwa kiasi kikubwa hawajui umuhimu wa wajibu wao.

(v) Upungufu wa uratibu wa juhudi mbalimbali.Kuna watendaji wengi na jitihada nyingi zinazofanywa kwenye ukuzaji wa ufundishaji ujasiriamali. Hata hivyo, kwa sehemu kubwa juhudi hizo hubakia bila kuratibiwa ipasavyo. Hali hii husababisha changamoto mbalimbali kama vile kuwepo kushindwa kubaini kirahisi jinsi gani juhudi zote hizo zinaweza kusaidiwa, kufuatiliwa na kufanyiwa tathmini.

(vi) Rasilimali chache huku kukiwa na upanuzi wa haraka katika elimu. Sekta ya elimu kwenye ngazi zote imeshuhudia ongezeko kubwa sana kwenye uandikishaji wanafunzi ambao haulingani na utoaji wa rasilimali. Matokeo yake, taasisi nyingi za elimu zina madarasa makubwa sana na uwiano mkubwa sana baina ya wanafunzi na mwalimu mmoja mmoja. Tatizo hili linasababisha changamoto kubwa mno kwenye matumizi yaliyopendekezwa na Mwongozo huu ya utumiaji mbinu za ufundishaji zinazohimiza kumshughulisha zaidi mwanafunzi mwenyewe, kwa kuwa mbinu hizo zinahitaji sana matumizi zaidi ya

7.0Changamoto na Mikakati ya Utekelezaji

M w o n g o z o w a Ta i f a w a U f u n d i s h a j i U j a s i r i a m a l i ( N E T F )

36

rasilimali mbalimbali kuliko baadhi ya mbinu nyingi za kimapokeo za ufundisjhaji.

(vii) Mtaala uliojazwa maudhui kupita kiasi. Mtaala tayari umesheheni maudhui mengi kupita kiasi na iwapo hatua stahiki hazitachukuliwa haraka kuhusiana na ukweli huu kuhusu umuhimu wa ujumuishaji ujasiriamali, tatizo hili linaweza kusabaisha hali kuwa mbaya zaidi hata kusababisha upinzani dhidi ya Mwongozo huu. Kadri inavyowezekana, ajenda ya ujumuishaji ujasiriamali inatakiwa ikamilishe maudhui ambayo tayari yamo kwenye mtaala, badala ya kuongeza matatizo zaidi.

8.2 Mikakati ya Utekelezaji

Ili kukabiliana na changamoto zilizobainishwa, mikakati kadhaa inapendekezwa:

8.2.1 Uratibu, Ufuatiliaji na Tathmini

NEEC itaongoza na kuratibu juhudi mbalimbali za utayarishaji Mwongozo wa Ufundishaji Ujasiriamali nchini pamoja na mwongozo wa utekelezaji wake. Baraza la NEEC pia litakuwa na jukumu la kuwa kiungo baina ya wadau mbalimbali. Kwa kusudi la kusimamia mchakato wa uendelezaji Mwongozo huu, NEEC itaratibu kuwepo kwa jukwaa la wadau mbalimbali ambalo litajumuisha watayarishaji será, wawakilishi wa wazazi, NECTA, wadhibiti mbalimbali (kama vile TCU, NACTE, VETA na TIE), ADEM na vyuo vikuu, shirikisho la waajiri (ATE), vyombo vya habari, asasi za kiraia, na watoaji wa huduma ya uendelezaji biashara (BDS). Kwa nyongeza, NEEC itaratibu kuanzishwa kwa Kamati ya Uendeshaji ambayo itakuwa na dhima ya kufuatilia na kutoa taarifa kwenye baraza la wadau mbalimbali. NEEC itaandaa mkutano wa mwaka wa wadau mbalimbali kupitia upya maendeleo ya utekelezaji, kushirikishana mafunzo yoyote na kukabiliana na masuala yoyote mapya yanayojitokeza.

8.2.2 Maandalizi ya Mwongozo wa Utekelezaji

Baada ya Mwongozo huu kupitishwa, miongozo ya kina itatakiwa iandaliwe ikiwa pamoja na zana za kujifunzia, (kama vile vitabu vyenye kuhamasisha wanafunzi, kesi, hadithi, sampuli za mazoezi, njia mbalimbali za kupima ujuzi wa wanafunzi, uigaji, miongozo ya wawezeshaji au vitabu vya kiada, n.k.), ambazo wanafunzi na walimu wanaweza kutumia kwa urahisi. Miongozo inatakiwa itoe ufafanuzi zaidi kuhusu ukuzaji wa mitazamo na ujuzi.

8.2.3 Maandalizi ya Wawezeshaji

Ili kuandaa idadi kubwa ya walimu watakaokuwa wawezeshaji ufundishaji ujasiriamali:a) Walimu wengi wanaofundisha, kadri inavyowezekana, waelekezwe pia jinsi ya kutumia mbinu

mbalimbali za kufundishia na kujifunzia zinazohimiza mtu kujishughulisha mwenyewe;b) Mtaala wa elimu ya ufundishaji walimu unatakiwa upitiwe upya ili ujumuishe stadi za ujasiriamali

na njia/mbinu mbalimbali zinazotangamana za kujifunza;c) Uchunguzi wa kitaifa wa watoaji huduma za uendelezaji biashara (BDS) na walimu wa ujasiriamali

unatakiwa ufanyike halafu stoo kubwa ya kielektroniki yenye taarifa zao ianzishwe;d) Wawezeshaji wanatakiwa waelekezwe njia mbalimbali za ufundishaji wanazoweza kutumia kwenye

mazingira magumu ya sasa (mazingira ya upungufu wa rasilimali na zana za kufundishia, n.k.).

8.2.4 Tafsiri ya Mwongozo na Mwongozo WakeIli Mwongozo huu na kanuni zake ziweze kupatikana kwa urahisi kwa idadi kubwa ya watu, vitatafsiriwa kwa lugha ya Kiswahili.

8.2.5 Ukuzaji wa Uelewa wa Umma NEEC itaongoza kampeni ya kukuza hulka ya kila mtu kujishughulisha mwenyewe miongoni mwa wazazi na jamii. Pia, itahimiza malezi yanayokuza hulka ya kila mtu kujushughulisha mwenyewe. Kampeni hiyo itawalenga maofisa elimu, mameneja wa shule, wazazi, wakaguzi wa shule, wakuzaji mitaala, watahini, n.k. Kampeni, pia itavishirikisha vyombo mbalimbali vya habari na kusambaza sana Mwongozo huu kwa lugha ya Kiingereza na ya Kiswahili.

M w o n g o z o w a Ta i f a w a U f u n d i s h a j i U j a s i r i a m a l i ( N E T F )

37

C.E.E. Assessment Rubric for National Standards of Practice for Entrepreneurship Education: Consortium for Entrepreneurship Education (www.entre-ed.org).

Durham University. 2010. Ideas into Action: Enterprise Handbook.

Gibb, A. 2005.Towards the Entrepreneurial University. National Council for Graduate Entrepreneurship (UK).Unpublished Report, Durham University, UK

IMED, 2012.Scoping Study on Formal and Informal Entrepreneurship Education and Training in Tanzania. Unpublished Report commissioned by the International Labour Organization and conducted by the Institute of Management and Entrepreneurship Development.

I. Spaces Basics, 2011. Re-envisioning, revitalizing and reorganizing science education in Tanzania.Sites.google.compsvispaces/inspaces-basics, 2012

Mboneko M., 2006. Early Learning improves business skills. Business standard, 19thSeptember, 2006.

NCSEE, 2012.National Contents Standards for Entrepreneurship Education (entre-ed.org/standard toolkit.

NEEC, 2012.Towards Establishing a National Entrepreneurship Training Framework (NETF), Field Report prepared in collaboration between the National Economic Empowerment Council (NEEC) and Tanzania Institute of Education (TIE)

Nelson, E. 2013.Enterprise in Education: parameters of curriculum development: A concept paper for TIE’s curriculum developers, TSM Business School. Tanzania Institute of Education (TIE).Working paper: NUFFIC/TIE project number NICHE/TZA/074

Ngaleya, G., 2005. Towards entrepreneurship education in primary schools.KAD Associates, Dar es Salaam.

Niyonkuru, R. 2005. Entrepreneurship education at tertiary training institutions in Rwanda: A situational analysis. Master’s thesis, Faculty of Economics and Management Sciences, University of Western Cape.

Nyerere, J.K. 1967. Education for Self Reliance. Policy Booklet Published in 1967.

Marejeleo

M w o n g o z o w a Ta i f a w a U f u n d i s h a j i U j a s i r i a m a l i ( N E T F )

38

Olomi, D.R. (Ed) 2009.“Framework for Entrepreneurship Education and Training”, in African Entrepreneurship and Small Business Development: Context and Process. Otme Company.

Olomi, D.R. 2009.Mainstreaming Entrepreneurship in a Resource Constrained Environment: The experience of the University of Dar es Salaam, Tanzania.

Revolutionary Government of Zanzibar (RGZ) 2007.Zanzibar Employment Policy, First Draft.

Precision Consulting. Graduate Employability Skills: Discussion Paper prepared for Australian Industry Group and the Business-Industry-H.E Collaboration Council.

UNCTAD, 2012._Entrepreneurship_Policy_Framework, Area 3: Enhancing Entrepreneurship Education and Skills Development (http://unctad.org/en/Pages/DIAE).

URT.1999.National Higher Education Policy, Ministry of Higher education, Science and Technology, United Republic of Tanzania.

URT, 2003.Small and Medium Enterprise Development Policy, Ministry of Industry, Trade and Marketing, United Republic of Tanzania.

URT, 2004.National Economic Empowerment Policy, President’s Office, Planning and Privatization, United Republic of Tanzania.

URT, 2004.National Economic Empowerment Act, United Republic of Tanzania.

URT, 2005.National Strategy for Growth and Reduction of Poverty (MKUKUTA – under review). Vice Presidents Office, United Republic of Tanzania.

URT, 2005.The Tanzania Development Vision 2025, Planning Commission, United Republic of Tanzania.

URT, 2007.National Youth Development Policy. Ministry of Labour, Employment and Youth Development. United Republic of Tanzania.

URT, 2008.National Employment Policy. Ministry of Labour, Employment and Youth Development.

World Economic Forum, 2009.Educating the next wave of entrepreneurs: unlocking entrepreneurial capabilities to meet the global challenge of the 21st Century. A report of the Global Education Initiative. Geneva, Switzerland.

World Bank, 2010.Stepping up skills for more jobs and higher productivity. Washington DC.

M w o n g o z o w a Ta i f a w a U f u n d i s h a j i U j a s i r i a m a l i ( N E T F )

39

M w o n g o z o w a Ta i f a w a U f u n d i s h a j i U j a s i r i a m a l i ( N E T F )

40

Kimetayarishwa na

Kwa Kushir ik iana Na: VETA, NACTE, TCU, TIE, na ILO

Baraza la Taifa la Uwezeshaj i Wananchi KiuchumiKivukoni FrontS.L.P. 1734 Dar es Salaam TanzaniaNamba ya Simu: +255 22 2125596Namba ya Faksi: +255 22 2125596Barua pepe: [email protected]: www.uwezeshaji.go.tz