32
Kitabu cha mwalimu Kwa umri wote Rahisi Wastani Iliyoendelea sana Ngumu

Kitabu cha - Amazon S3 · zaidi.kitabu cha mathayo kime gawanyishwa kwenye sura 2-3 kila wiki, kwa hivyo wakisoma kazi ya ziada ya bibilia ya wiki, wanafunzi iatabidi wamesoma kitabu

  • Upload
    others

  • View
    22

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: Kitabu cha - Amazon S3 · zaidi.kitabu cha mathayo kime gawanyishwa kwenye sura 2-3 kila wiki, kwa hivyo wakisoma kazi ya ziada ya bibilia ya wiki, wanafunzi iatabidi wamesoma kitabu

Kitabu cha mwalimuKwa umri wote

Rahisi Wastani Iliyoendelea sanaNgumu

Page 2: Kitabu cha - Amazon S3 · zaidi.kitabu cha mathayo kime gawanyishwa kwenye sura 2-3 kila wiki, kwa hivyo wakisoma kazi ya ziada ya bibilia ya wiki, wanafunzi iatabidi wamesoma kitabu

neno la Mungu!neno la Mungu!

1

Ni kwa furaha kurudi kwenye kifaa cha kwanza cha shule ya jumapili. niliandika miaka iliyopita wakati tulikuwa tunaanza wizara ya watoto. Kwenye mwaka wetu wa kwanza katika Sonora, mexico tuliishi kwenye nyumba ya trela kwenye ploti kubwa ya uchafu wa chumvi…hakuna maji, hakuna maji ambayo yanayo bubujika, na hakuna stima. Lakini hapo hii kifaailizaliwa. Ile siku nilimaliza somo la mwisho, Mungu aliongea na mimi kuendelea kuandika vifaa vya wizara ya watoto.na mtaala huu ,ikaanza kile ambacho sai naita wizara: kupatia vifaa za kiuchumi kwa mwili wa kristo na wasidie kulea kizazi kijacho kuwa wafuasi wa yesu na ibada kamili. Tumebadilisha vitu kadhaa kutoka kwa nyenzo ya asili; hila na michoro ya kupendeza zaidi, lakini ujumbe wa siri wa kila wiki ukiwa na funguo la avkodare itakuwa na raha kwa watoto kama vile ilikuwa mara ya kwanza. Kile ambacho kilianza na kanisa 30, na kisha ikakua hadi mamia na sasa imefi kia maelfu ya makanisa duniani kote. Nashukuru Mungu kwa kunipee changamoto na kunisukuma, nashukuru yakuwa nilitii mwito ambao Mungu aliweka kwenye maisha yangu.

Hadithi za yesu kutoka kwenye kitabu cha mathayo zimekuwa moja ya maufahamu ambayo napenda.Kwenye mkono mmoja, hii nyenzo ndio ile ya rahisi tushai fanya, lakini ukifi kiria kuhusu hadithi za yesu,lakini hakuna ujumbe rahisi ndani yazo. Yesu alichagua kufunza halaiki ya watu na vitendawili na waruhusu watu wajaribu kuelewa mafunzo yake,lakini alielezea wafuasi wake.

Kazi yako kama mwalimu nikufanya mawazo ya wanafunzi yapeperuke, ukiwafanya wafi kirie yakuwa wao ni wapelelezi.wata gundua hapo badae kile yesu aliwa ana maanisha kwa kila hadithi ambayo tutasoma kwenye wiki hizi tatu.vile wanafunzi wanajipelelzea zaidi,ndivyo watasoma zaidi kwa kila somo. Hivi karibuni wataelewa neno la siri la nyenzo hilo;yakuwa ufalme wa Mungu unaweza patikana…”

Nyakua kioo chako cha kuongeza ukbwa

na avkodare ya siri kwa sababu...

..Ni wakati wa kuingia kwenye…

Ndani ya Yesu,

Dada Kristina Krauss

1 2 3 4 5 6 7 8 9 1 0

k a t i k a m o y o w a k o11 12 13 14

Swahili.ChildrenAreImportant.com – Children’s ministry resources, Sunday School, and Vacation Bible School (VBS) curriculum for churches and teachers.

Page 3: Kitabu cha - Amazon S3 · zaidi.kitabu cha mathayo kime gawanyishwa kwenye sura 2-3 kila wiki, kwa hivyo wakisoma kazi ya ziada ya bibilia ya wiki, wanafunzi iatabidi wamesoma kitabu

W A K O

SNI

Somo kuu

VielelezoMaswali

Mchezo

Kitabu cha mwanafunziMaujumbe za siri na funguo la kusimbua

Majibu

Kata na kuweka

W

Magugu222MchezoVifaa:Bibilia,taulo kubwa,mipiraOngoza mchezo:1. Gawanyisha watoto wakuwe kwa timu tano.pee kila timu taulo na mpira.2. Watoto wanne kutoka Kwa kila timu watainua katikati mwao.mtoto huyo mwigine amewekwa kwenye upande huo mwingine wa mchezo na anatupa mpira ili watoto hao wengine wanaweza shika na taulo/kama watashika mpira,ule mtoto aliyetupa anakimbia hadi kwa taulo na anabadilisha na mtoto wengine mahala.mtoto mpya atabeba mpira katikati ya eneo la mchezo,na anatupa mpira ili watoto hao wengine wanaweza ishika na taulo tena.3. Watoto wanaendelea kubadilishana katikati mwa kurusha na kutupa, ukihesabu mara zile timu inashika mpira na taulo.timu zinapata jina “mbegu mzuri” wakati ambapo wanashika mpira.Timu ya kwanza kupata mpira mara 8(ikimaliza neno “)mbegu mzuri”ana piga

7

2

Vitabu za mwanafunzi ni chombo cha mwalimu kuweka umakinifu wa wanafunzi na kufanya darasa ikue na raha zaidi.Vitabu vinahusisha vitendo vifuatavyo:• Ufahamu wa bibilia – tumeongeza ufahamu wa bibilia kwenye vitabu ili usome bibilia kwa urahisi darasani.• Aya ya kukaririwa• Shughuli za fumbo• Ujumbe wa siri(kwa wanafunzi wazee kiasi)-fuata maagizo yaliyo kwa ajili ya kugundua ujumbe wa siri wa kila wiki,na uhakikishe yakuwa kila mwanafunzi akona funguo la avkodare.• Kusoma mathayo(kwa wanafunzi waliozeeka kidogo)-hii ni programu zaidi ya kufunza wanafunzi wako kusoma bibilia zaidi.kitabu cha mathayo kime gawanyishwa kwenye sura 2-3 kila wiki, kwa hivyo wakisoma kazi ya ziada ya bibilia ya wiki, wanafunzi iatabidi wamesoma kitabu chote cha mathayo kwa wiki 13 ya mtaala huu.inategemea na wewe kama mwalimu kupeana lengo kwa programu ya kusoma kama unataka wanafunzi wako wapiti kwenye hii program.

Masomo na mawazo makuu ya mwalimu nikumakinia pointi kuu.

Hii ni niia ya raha kuanzisha somo ama kufurahisha darasa lako na kitu kutoka kwa nyumba yako kila wiki.

Maswali hii zimepaeanwa kwa wale wanafunzi wazee kiasi,kuwasaidia kuhakikisha yakuwa wanaelewa maana ya hadithi.

Masomo inaonyesha yakuwa 90% ya wanafunzi kwenye madarasa duniani kotr wamechoka.tumia michezo hii kuweka wanafunzi wako wakiwa wamemakinika SIO wakiwa wame choka. Na mchezo,, unaweza kuwa na wanafunzi wako wakizunguka, huku ukiwasaidia kulenga pointi kuu.

Kwenye mtaala huu, “Wapelelezi: Kuchunguza Ufalme wa Mungu” utapata vifaa tofauti kufanya darasa lakolikuwe la kufanikiwa.…

Kila wiki kuna ujumbe wa siri kwenye vitabu za mwanafunzi ambayo itatumika kwenye somo. Nyuma ya vitabu vya mwanafunzi(za wanafunzi waliozeeka pekee) kuna FUNGUO LA KUSIMBUA). Na makasi, toa funguo la kusimbua kutoka nyuma ya kitabu na utumie kwa kila sehemu, kwa wiki zote 13. Tunakuagiza ufunike na karatasi ama uwache zi laminatiwe ili zidumu miezi tatu.usuzitume nyumbani na wanafunzi, lakini weka kanisani ili utakuwa nazo kila wiki.Kupata ujumbe wa siri,weka pinde kutoka kwenye FUNGUO ambayo inaonyesha kwenye umbo ambayo unatafuta. (Ona mfano kwenye kulia mwako)pinde ambayo iko kwenye kitabu cha mwanafunzi utaelekeza kuelekea jibu. Gundua neno Kila somo lina herufi imefi chwa kwenye kila kurasa.mara mtoto anapata herufi ,wanahitajika kuisimbua na FUNGUO zao, na kisha waendee kwenye kurasa ya kwanza ya vitabu zao na waandike herufi kwenye sanduku linalolingana.kila wiki wanaongeza herufi ingine kwenye neno la siri, ili kavla ya wiki 13 ziishe(miezi 3)wamepata jibu..”kwenye nyoyo zenu”)

Kwenye hii kurasa kwenye kulia kwa kila somo kuna majibu ya vitendo kwenye vitabu za wanafunzi.

S

(kwa watoto wanaotumia vitabu ngumu na zilizoenea)

Kita

bu

F

ungu

o

(Kwa wanafunzi kutumia vitabu rahisi na vya kati)

Watoto wanapenda vibandiko!kwa ajili ya watoto wadogo, tumepaeana tendo kila wiki ya kukata kibandiko na kuweka gundi kwenye kurasa ya somo lao.wacha watoto waweke vibandiko ndani ya eneo lililo na mstari uliona madoa na kisha wapake rangi.

Vifaa:Bibilia,taulo kubwa,mipiraOngoza mchezo:1. Gawanyisha watoto wakuwe kwa timu tano.pee kila timu taulo na mpira.2. Watoto wanne kutoka Kwa kila timu watainua katikati mwao.mtoto huyo mwigine amewekwa kwenye upande huo mwingine wa mchezo na anatupa mpira ili watoto hao wengine wanaweza shika na taulo/kama watashika mpira,ule mtoto aliyetupa anakimbia hadi kwa taulo na anabadilisha na mtoto wengine mahala.mtoto mpya atabeba mpira katikati ya eneo la mchezo,na anatupa mpira ili watoto hao wengine wanaweza ishika na taulo tena.3. Watoto wanaendelea kubadilishana katikati mwa kurusha na kutupa, ukihesabu mara zile timu inashika mpira na taulo.timu zinapata jina “mbegu mzuri” wakati ambapo wanashika mpira.Timu ya kwanza kupata mpira mara 8(ikimaliza neno “)mbegu mzuri”ana piga kelele,”IMEFANYIKA!”

Hiari1. Chezea nje ikiwezekana.2. Badilisha umbali wa kutupa mpira ikilingana na umri wa watoto.3. Timu zile ambazo ziko na zaidi ya watoto watano wanaweza tengeneza mstari,pakiwa na foleni nyuma ya anaye tupa mpira kisha zunguka.

Vielezo

Maswali

Somo kuu yesu mwenyewe anatupa maelezo mazuri ya hadithi ya magugu,muda mdogo badae

kwenye sura io hio.anatuambia yakuwa wanadamu wote wamewakilishwa kwenye hadithi.Mathayo 13:37-43Hii hadithi inatukumbusha yakuwa kuna watu wabaya kwenye dunia.wewe na mimi huwa tunaona vitu mbaya zikifanyika kila wakati.tunaona watoto wengine wakiibia mtihani shuleni,tunaona marafi ki wakidandanya hadi kanisani,na mara mingi tunaona watu wakiskuma kupata kile ambacho wanataka,na inaweza kuwa yaku katisha tama kuona watu wakifanya vitu mbaya wakati hawashikwi ama kuadhibiwa. Habari nzuri za hii hadithi ni yakuwa Mungu ndie msimamizi na anaona kila kitu.ule mtoto anaibia mtihani na hashikwi ama kupewa adhabu,hataweza kupotea milele. Yesu anatuonyesha yakuwa Mungu atafanya zote ziishi uhai wakifanya vyema ama maovu,na adhabu ya zile vitu mbaya iatakuja badae.kwa hivyo tunaweza tulia kwa sabau Mungu anaona kila kitu na ata tuzawadi kulingana na vitendo vyetu. Mungu anajua kama wewe ni ngano ama gugu.

Peana mfano wa mtu uliona wiki iliyopita akifanaya kitu mbaya na hakushikwa.Peana mfano wa mtu uliona wiki iliyo pita akifanya kitu mbaya atakama alishikwa haku .dhibiwaNi wakati upi wanapata adhabu yao kwa zile vitu wamefanya? (katika mwisho wa dunia)Mwisho wa dunia ni lini? (bibilia inase

Balooni ikiwa na helium,ikiwa imefungwa na kamba.pee balooni jiann. Ndani ya chumba,ifanye iende juu hadi kwa dari,na uambie watoto,kwa mfano,”andy” alipotea.funza watoto yakuwa wakati mwingine sisi wote huwa tunakosea kama balooni,lakini Mungu huwa anatuvuta hadi kwake.(vuta kamba ya ballooni) achilia balooni tena na uiache hapo.uliza watoto kama Mungu anaweza tuacha?.jibu ni …………APANA!

Kifungu cha bibilia: Mlango 13:24-30Kariri:“Mwana wa Adamu atawatuma malaika zake, nao watakusanya kutoka katika ufalme wake machukizo yote, na hao watendao maasi, .. Ndipo wenye haki watakapong’aa kama jua katika ufalme wa Baba yao..” Mathayo 13:41, 43aKusoma kazi ya nyumbani: Ngumu - Mathayo 4 Ngumu zaidi - Mathayo 4-6

ma tuko kwa hii dunia kwa mudsa mfu-pi na ati yakuwa yesu atarudi mwisho wa dunia na kila mtu atahukumiwa)Ni kazi yetu kuona dhambi za wengine? (apana. Ni kazi ya Mungu kukabiliana na dhambi za kila mtu.)

Swahili.ChildrenAreImportant.com – Children’s ministry resources, Sunday School, and Vacation Bible School (VBS) curriculum for churches and teachers.

Page 4: Kitabu cha - Amazon S3 · zaidi.kitabu cha mathayo kime gawanyishwa kwenye sura 2-3 kila wiki, kwa hivyo wakisoma kazi ya ziada ya bibilia ya wiki, wanafunzi iatabidi wamesoma kitabu

Mpanzi (sower)

Magugu

Mbegu la haradali

Hamira

Hazina iliyofi chwa na lulu

Kondoo iliyo potea

WapeleleziWapelelezi

3

Mungu Munguufalme ufalme Nyayo 1

Nyayo 2

Nyayo 3

Nyayo 4

Nyayo 5

Nyayo 6

1

2

3

4

5

6

3

God

123456

Mstari wa Kukariri:“Naye aliyepandwa penye udongo mzuri, huyo

ndiye alisikiaye lile neno, na kuelewa nalo; yeye

ndiye azaaye matunda, huyu mia, na huyu sitini,

na huyu thelathini. ” Mathayo 13:23

Mstari wa Kukariri:“Mwana wa Adamu atawatuma malaika zake, nao watakusanya kutoka katika ufalme wake machukizo yote, na hao watendao maasi, .. Ndipo wenye haki watakapong'aa kama jua katika ufalme wa Baba yao.." Mathayo 13:41, 43a

Mstari wa Kukariri:"Akawatolea mfano mwingine, akisema, Ufalme wa mbinguni umefanana na punje ya haradali, aliyoitwaa mtu akaipanda katika shamba lake; ... nayo ni ndogo kuliko mbegu zote;" Mathayo 13:31b, 32a

Mstari wa Kukariri:“Ufalme wa mbinguni umefanana na chachu aliyoitwaa mwanamke, akaisitiri ndani ya pishi tatu za unga, hata ukachachwa wote pia.” Mathayo 13:33b

Mstari wa Kukariri:"Tena ufalme wa mbinguni umefanana na mfanya biashara, mwenye kutafuta lulu nzuri; naye alipoona lulu moja ya thamani kubwa, alikwenda akauza alivyo navyo vyote, akainunua.” Mathayo 13:45-46

Mstari wa Kukariri:"Vivyo hivyo haipendezi mbele za Baba yenu aliye mbinguni kwamba mmoja wa wadogo hawa apotee. " Mathayo 18:14

kuchunguzakuchunguzaMungu wa wa

Swahili.ChildrenAreImportant.com – Children’s ministry resources, Sunday School, and Vacation Bible School (VBS) curriculum for churches and teachers.

Page 5: Kitabu cha - Amazon S3 · zaidi.kitabu cha mathayo kime gawanyishwa kwenye sura 2-3 kila wiki, kwa hivyo wakisoma kazi ya ziada ya bibilia ya wiki, wanafunzi iatabidi wamesoma kitabu

Mtumishi asiye na huruma

Wafanyikazi

Wana wawili

Wapangaji

Karamu ya harusi

Bikira kumi

Sarafu za dhahabu44

Nyayo 7

Nyayo 8

Nyayo 9

Nyayo 10

Nyayo 11

Nyayo 12

Nyayo 13

10

7

8

9

11

12

13

78910111213

Mstari wa Kukariri:"Ewe mtumwa mwovu, nalikusamehe wewe deni ile yote, uliponisihi; nawe, je! Haikukupasa kumrehemu mjoli wako, kama mimi nilivyokurehemu wewe?” Mathayo 18:32b-33

Mstari wa Kukariri:“Vivyo hivyo wa mwisho watakuwa wa kwanza, na wa kwanza watakuwa wa mwisho.” Mathayo 20:16

Mstari wa Kukariri:"Kwa sababu Yohana alikuja kwenu kwa njia ya haki, ninyi msimwamini; lakini watoza ushuru na makahaba walimwamini, nanyi hata mlipoona, hamkutubu baadaye, ili kumwamini." Mathayo 21:32

Mstari wa Kukariri:“Kwa sababu hiyo nawaambia, Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu, nao watapewa taifa lingine lenye kuzaa matunda yake." Mathayo 21:43

Mstari wa Kukariri:“Basi enendeni hata njia panda za barabara, na wote mwaonao waiteni arusini. Watumwa wale wakatoka wakaenda njia kuu, wakakusanya wote waliowaona, waovu kwa wema; arusi ikajaa wageni.” Mathayo 22:9-10

Mstari wa Kukariri:"Basi kesheni, kwa sababu hamwijui siku wala saa." Mathayo 25:13

Mstari wa Kukariri:“Bwana wake akamwambia, Vema, mtumwa mwema na mwaminifu ulikuwa mwaminifu kwa machache, nitakuweka juu ya mengi; ingia katika furaha ya bwana wako. ” Mathayo 25:21

Swahili.ChildrenAreImportant.com – Children’s ministry resources, Sunday School, and Vacation Bible School (VBS) curriculum for churches and teachers.

Page 6: Kitabu cha - Amazon S3 · zaidi.kitabu cha mathayo kime gawanyishwa kwenye sura 2-3 kila wiki, kwa hivyo wakisoma kazi ya ziada ya bibilia ya wiki, wanafunzi iatabidi wamesoma kitabu

1111111111111111111Vielezo

Maswali

Mchezo

Somo kuu

Mpanzi (sower)

Vifaa:Nyuzi,sahani.. Tayarisha mchezo:Tumia uzi kuunda mstari ambao unaenda popote.wacha mstari uanze na uishie tu sehemu moja.Tayarisha mstari kwa kila watoto 10.Ongoza mchezo1. Watoto pangeni mstari katika mwanzo wa kila mstari katika vikundi zisizidi watu 10.pee kila mtoto wa kwanza katika kila kila mstari sahani mbili.wacha watoto wasimame katika sahani mbili.2. Kwa ishara yako,mtoto wa kwanza wa kila mstari anaanza kutembea kwenye mstari,wakitembeza miguu yao kwenye sahani.wakati mtoto anamaliza mwendo,mtoto anayefuata anaanza.mchezo unaendelea hadi kila mtu amekuwa na wakati wake.

Hiari (option) 1 :badilisha mstari wa uzi baada ya watoto kadhaa kuwa na nafasi. 2 :peana sahani mpya wakati wa mchezo ikibidi 3 :toa chapa kila neno ya aya kwa kadi tofauti.weka kadi kwa njia ya kiholela kwenye mstari.huku. Watoto wakienda kwenye laini,wanaokota kadi za aya na kuziweka kwa mpango sawa.

Ndege ambao wanachukua nafaka kwenye barabara wanawakilisha shetani.mahala

ambapo palikuwa na mawe pana wakilisha watu wale ambao hawana mizizi,wana pokea neno na furaha lakini haidumu kwenye maisha yao.miiba ina wakilisha kujali kwa maisha na pesa ambayo inanyonga ujumbe huo.hatimaye,mchanga ule mzuri unawakilisha mtu Yule ambaye ana sikia neno na anaielewa. Hii inaweza zalisha vitu mzuri kwenye maisha yako,30,60 ama mara 100 zaidi ya kile kilicho pandwa.sasa hio inaweza kuwa maisha inayo fana.ni wangapi wenu wako tayari kushindana?basi,hapa ndio nafasi yako! Mungu anakutaka usikize maneno ya ufalme wa Mungu na uyaelewe. Katika kitengo hichi,tutakuwa tunasoma hadithi tofauti kadhaa ambazo yesu anaongea kuhusu ufalme wa Mungu..shida yako siu hii nikutayarisha moyo wako kuskiza na kuelewa.shida yako nikutayarisha moyo wako ukue mchanga mzuri,tayari kushika neno la Mungu. tunawezaje kuwa mchanga mzuri?fuata tu hadithi hio!hakikisha umepandwa kwenye ardhi(hakikisha umeelewa mafunzo). Hakikisha mizizi yako inaenda chini sana(usibadilishe maoni wakati shida zinakuja,kaa ukiwa mzima),hakikisah huja nyongwa na miiba(usijiachilie uzidiwe na mizigo ya wasiwasi wa maisha na pesa).kwa njia hii utakuwa tayari kutoa matokeo! Mungu anataka kila mmoja wetu akue na tunda la kiroho,lakini mazao yako itakuwa aje?unataka 30,60 ama mara 100 ya kile ambacho umepanda?

• Vielelezo kuanzaisha darasa lako• Somo kuuAmbiana hadithi,igiza na mchezo,Funika aya ya kukaririwa, na uwasidie kukariri aya hio.• Mchezo kupitia aya ya kukariwa• Vitabu vya mwanafunzi• Ujumbe wa siri(kwa wanafunzi waliozeeka) na vibandiko (kwa wanafunzi wadogo)• Kazi ya ziada ya bibilia

Ni nini uwanja unawakilisha kwenye hadithi hii?(moyo.)Ni kitu gani moja ambayo inaweza nyonga mafanikio yako kwa maisha? (wasiwasi wa maisha ama uwongo wa pesa.)Ni nini unahitaji kutimiza faida ya 30,60 ama mara 100 zaidi ya zile ulitumia kwa wakati ama pesa kwa Mungu? (kuchunga moyo wako na kuuweka kama “mchanga mzuri”)

Maisha nikama kinasa sauti. Zile vitu wewe huona na kusikia hua zinarudi badae nje kama maneno na vitendo.rekodi sauti ya watoto kwa kanda ama kwenye rununu yako,na uwachezee waskize.ambia watoto yakuwa sisi wotw nikama hio rekodi ya muziki,na lazima tuchunge ya kile ambacho tunaskiza na tunaruhusu ndani ya maisha yetu.

Ni kitu gani cha kwanza unahitaji kuwa mchanga mzuri? (elewa mafunzo ya bibilia.)Ni vizuri kushindana kwenye vitu za Mungu?(ndio,bibilia inasema kuhusu mtu wa kiroho akiwa wa umuhimu.inasema tuko kwenye mbio na inatupee moyo kukimbia kwa sisi kushinda.1 cor.9:24-27)Nani ako na wajibu wa moyo wako kuwa mchanga mzuri?(wewe)

RATIBA

LAKO

ya darasa

5

Kifungu cha bibilia: Mathayo 13:3-23

Kariri:“Naye aliyepandwa penye udongo mzuri, huyo ndiye alisikiaye lile neno, na kuelewa nalo; yeye ndiye azaaye matunda, huyu mia, na huyu sitini, na huyu thelathini. ” Mathayo 13:23

Kusoma kazi ya nyumbani: Ngumu - Mathayo 2 Ngumu zaidi - Mathayo 1-3

Swahili.ChildrenAreImportant.com – Children’s ministry resources, Sunday School, and Vacation Bible School (VBS) curriculum for churches and teachers.

Page 7: Kitabu cha - Amazon S3 · zaidi.kitabu cha mathayo kime gawanyishwa kwenye sura 2-3 kila wiki, kwa hivyo wakisoma kazi ya ziada ya bibilia ya wiki, wanafunzi iatabidi wamesoma kitabu

Ngumu zaidi

Ngumu

WastaniRahisi 1

Kutafuta neno

6

K

Majibu:Majibu:

Kutafuta neno

Kutafuta neno

Ujumbe wa siriN I T A K U W AM W A N G A L I F UW A M O Y OW A N G U

Kariri: (Rahisi)“Naye aliyepandwa penye udongo mzuri, huyo ndiye alisikiaye lile neno, na kuelewa nalo;” Mathayo 13:23a

Wacha watoto wakate vibandiko za wiki hii na aweke gundi kwenye kurasa ya somo lao ambalo lime wekwa alama. Kisha waache wapake rangi kurasa mzima.

Ujumbe wa siriN I T A K U W A M W A N G A L I F U

W A M O Y O I L I M B E G U

Y A M U N G U I K U E N D A N I

Y A N G U

S I K I A U KP A M B E G UA E M S Z I PD G Z I J U AN J I A I S NJ B Z K D B DA L I E N D A

N D E G E N R J K NY N H J G J I U O ZO M K U L I M A Y MN B J I N A D W O CG E W M A B I I M HW G A S I L I M E AA U T I K M B G S NN Z U R I J E Z I GP A N D A U Y A K AL U D C H I A N I GB E A Y E L E W A A

N D E G E N R J T E T Y DY N H J G J I U O M U F VO M K U L I M A J I N H MN B J I N A D F H M D P IG E E F D I L I M E A A IW G S M C H A N G A S N BA U F H E L E W A R E D AE N Z U R I T Y U H G A F

P A D ADA

T

N

IK M

J EY A

MI

N D E G EN

A B I I MM

SIKI

N Z R IU

E L E W AA AA

M

OYOMM

AA

NJ

J I N AAAM K U L M AI AM

L I M EI ANGA

MCHAA

JUAAM

BEGU

MM

NYONGWA

NN

AA

NJ

N D E G EN

J I N A

N Z U R I

M K U L M AM I

M C H A N G AAI L I M AA

AA

MI

M

AE

JUAAM

BEGU

MM

TUNDA

MIIBA

ANDA

PAA

NYONGWA

N

E L E W A

A

KUPANDAE N D AA L A

S I K I A

N J A

MZIZI

MJ U A

M B E G UM

IA I

D BA

Swahili.ChildrenAreImportant.com – Children’s ministry resources, Sunday School, and Vacation Bible School (VBS) curriculum for churches and teachers.

Page 8: Kitabu cha - Amazon S3 · zaidi.kitabu cha mathayo kime gawanyishwa kwenye sura 2-3 kila wiki, kwa hivyo wakisoma kazi ya ziada ya bibilia ya wiki, wanafunzi iatabidi wamesoma kitabu

2Vielezo

Maswali

Mchezo

Somo kuu

MaguguVifaa:Bibilia,taulo kubwa,mipiraOngoza mchezo:1. Gawanyisha watoto wakuwe kwa timu tano.pee kila timu taulo na mpira.2. Watoto wanne kutoka Kwa kila timu watainua katikati mwao.mtoto huyo mwigine amewekwa kwenye upande huo mwingine wa mchezo na anatupa mpira ili watoto hao wengine wanaweza shika na taulo/kama watashika mpira,ule mtoto aliyetupa anakimbia hadi kwa taulo na anabadilisha na mtoto wengine mahala.mtoto mpya atabeba mpira katikati ya eneo la mchezo,na anatupa mpira ili watoto hao wengine wanaweza ishika na taulo tena.3. Watoto wanaendelea kubadilishana katikati mwa kurusha na kutupa, ukihesabu mara zile timu inashika mpira na taulo.timu zinapata jina “mbegu mzuri” wakati ambapo wanashika mpira.Timu ya kwanza kupata mpira mara 8 (ikimaliza neno) “mbegu mzuri”ana piga kelele,“IMEFANYIKA!”

Hiari1. Chezea nje ikiwezekana.2. Badilisha umbali wa kutupa mpira ikilingana na umri wa watoto.3. Timu zile ambazo ziko na zaidi ya watoto watano wanaweza tengeneza mstari,pakiwa na foleni nyuma ya anaye tupa mpira kisha zunguka.

yesu mwenyewe anatupa maelezo mazuri ya hadithi ya magugu,muda mdogo badae

kwenye sura io hio.anatuambia yakuwa wanadamu wote wamewakilishwa kwenye hadithi.Mathayo 13:37-43Hii hadithi inatukumbusha yakuwa kuna watu wabaya kwenye dunia.wewe na mimi huwa tunaona vitu mbaya zikifanyika kila wakati.tunaona watoto wengine wakiibia mtihani shuleni,tunaona marafi ki wakidandanya hadi kanisani,na mara mingi tunaona watu wakiskuma kupata kile ambacho wanataka,na inaweza kuwa yaku katisha tama kuona watu wakifanya vitu mbaya wakati hawashikwi ama kuadhibiwa. Habari nzuri za hii hadithi ni yakuwa Mungu ndie msimamizi na anaona kila kitu.ule mtoto anaibia mtihani na hashikwi ama kupewa adhabu,hataweza kupotea milele. Yesu anatuonyesha yakuwa Mungu atafanya zote ziishi uhai wakifanya vyema ama maovu,na adhabu ya zile vitu mbaya iatakuja badae.kwa hivyo tunaweza tulia kwa sabau Mungu anaona kila kitu na ata tuzawadi kulingana na vitendo vyetu. Mungu anajua kama wewe ni ngano ama gugu.

Peana mfano wa mtu uliona wiki iliyo-pita akifanaya kitu mbaya na hakushik-wa.Peana mfano wa mtu uliona wiki iliyo pita akifanya kitu mbaya atakama ali-shikwa haku .dhibiwaNi wakati upi wanapata adhabu yao kwa zile vitu wamefanya? (katika mwisho wa dunia)Mwisho wa dunia ni lini? (bibilia inase-

Balooni ikiwa na helium,ikiwa imefungwa na kamba.pee balooni jiann. Ndani ya chumba,ifanye iende juu hadi kwa dari,na uambie watoto,kwa mfano,”andy” alipotea.funza watoto yakuwa wakati mwingine sisi wote huwa tunakosea kama balooni,lakini Mungu huwa anatuvuta hadi kwake.(vuta kamba ya ballooni) achilia balooni tena na uiache hapo.uliza watoto kama Mungu anaweza tuacha?.jibu ni …………APANA!

ma tuko kwa hii dunia kwa mudsa mfupi na ati yakuwa yesu atarudi mwisho wa dunia na kila mtu ata-hukumiwa)Ni kazi yetu kuona dhambi za wengine? (apana. Ni kazi ya Mungu kukabiliana na dhambi za kila mtu.)

7

Kifungu cha bibilia: Mlango 13:24-30Kariri:“Mwana wa Adamu atawatuma malaika zake, nao watakusanya kutoka katika ufalme wake machukizo yote, na hao watendao maasi, .. Ndipo wenye haki watakapong’aa kama jua katika ufalme wa Baba yao..” Mathayo 13:41, 43aKusoma kazi ya nyumbani: Ngumu - Mathayo 4 Ngumu zaidi - Mathayo 4-6

Swahili.ChildrenAreImportant.com – Children’s ministry resources, Sunday School, and Vacation Bible School (VBS) curriculum for churches and teachers.

Page 9: Kitabu cha - Amazon S3 · zaidi.kitabu cha mathayo kime gawanyishwa kwenye sura 2-3 kila wiki, kwa hivyo wakisoma kazi ya ziada ya bibilia ya wiki, wanafunzi iatabidi wamesoma kitabu

Ngumu zaidi

Ngumu

Wastani Rahisi2

8

A

Ujumbe wa siriN I M U N G U P E K E EA N A W E Z A O N AT O F A U T I K A T IY A N Z U R I N AM B A Y A

Majibu:Majibu:

Kariri: (Rahisi)“nao watakusanya kutoka katika ufalme wake machukizo yote, na hao watendao maasi, ” Mathayo 13:41b

Wacha watoto wakate vibandiko za wiki hii na aweke gundi kwenye kurasa ya somo lao ambalo lime wekwa alama. Kisha waache wapake rangi kurasa mzima.

N Z V M K U S A N Y AG G U B V U T A D E MA H N I B W L W B S AN A A N G O A A Y U GO L M G Z P U A L A UW A T U M I S H I A GV P A N D A M B E G UA D U I R U Z N A U K

Ujumbe wa siriN A F A A K U J U A Y A K U W A

N I M U N G U P E K E E

A N A W E Z A O N A

T O F A U T I K A T I Y A

N Z U R I N A M B A Y A N A

A T A W E Z A A N Z I S H A

H U K U M U M W I S H O W E

N G A N U B N M B EM Z M B I N G U N IB P A N D A A P A RE V G Y E V N N V UG U U H S U O K T ZU T G N A Y E S U NS A U I A L N Z S AK U S A N Y A H Y G

N A P Y E S BG H A L A G KA G N Z U R IN V D N V Z YO P A H K D EM B E G U L SZ V U N A G U

Nafaa kujua yakuwa ni Mungu pekee anaweza ona tofauti kati ya nzuri na mbaya na ataweza anzisha hukumu mwishowe.

L AH

V U N AM B E G

Z U R IYESU

ANO

NIRUZN

I

GU

G

MM

A

KUAU

NDA

PAN

NGANO

G

M B I N U NG IM

M I S H IA TW

K U S A N Y AA

Y E SHN AI A

GUG

VN D AP AYH S

A YA L

A

G

A

HA

G

MBEGU

K TU NS A

NU

VUTA

VU

A D U

G O A

V U T A

M B E G UUR U Z N

P A D A

K U S A N Y AKVUNA

GHALAA

ESU

YNGANOW

MAGUGUU

I

G

MBI

U

I

N

IIN

W L WAA L

I A

V UK

A

V UK

A U K

Swahili.ChildrenAreImportant.com – Children’s ministry resources, Sunday School, and Vacation Bible School (VBS) curriculum for churches and teachers.

Page 10: Kitabu cha - Amazon S3 · zaidi.kitabu cha mathayo kime gawanyishwa kwenye sura 2-3 kila wiki, kwa hivyo wakisoma kazi ya ziada ya bibilia ya wiki, wanafunzi iatabidi wamesoma kitabu

3333333333333333333333Mchezo

Vielezo

Maswali

Somo kuu

Mbegu la haradaliVifaa:Karatasi kubwa, alama, sarafu, karatasi, penseliTayarisha mchezo huo:Chora mti kwenye karatasi kubwa,igawanye kwa sehemu,na uipee nambari kwa kila sehemu.weka karatasi kwenye sakafu pale ambapo mchezo utachezewa. Ongoza mchezo: 1. Weka watoto kwa vikundi vya 3 ama 4.timu zimewekwa kwenye duara zikizunguka karatasi,umbali kutoka kwa karatasi usiende chini ya mita moja.pee kila kundi sarafu,kipande cha karatasi na penseli.2. Chagua nambari kutoka 30 ama juu kwenye akili yako.timu zinachukua zamu kutupa sarafu kwenye karatasi,kila mtoto na wakati wake.kila kutupa kunapata jumla ya pointi kulingana na pale sarafu inatua kwenye mti.mtoto mmoja kwa kila timu atakuwa anaweka alama ya timu yake,akiongeza pointi na kutangaza jumla baada ya kila zamu.3. Waambie waache wakifi kia nambari ambayo ulichagua hapo nyuma.waambie nambari yako ilikuwa nini,na ile timu iko karibu inashinda.mtoto wa ile timu imeshinda anaambia wengine yakuwa njia ya ufalme wa Mungu ni kubwa kuliko ionekanavyo.endelea kucheza kama kuna wakati,kila wakati ukibadilisha ile nambari ulichagua kwenye kichwa yako.

Na hadithi hii,yesu ana linganisha ufalme wa Mungu na mbegu ndogo sana. Namna

gani kitu KUBWA SANA inalinganishwa na kitu ndogo sana? Nwakati yesu alizaliwa,watu walikuwa wanatarajia yakuwa mwokozi atakuja kama mfl ame mkubwa,akiwa juu ya farasi,na watumishi wengi. Walitarajia mwokozi angechukua pahala pake kama mfalme wan chi yao. Badala yake alikuja kama mtoto myenyekevu. Alizaliwa kwa kibanda cha wanyama badala ya hospitali mzuri, ama hoteli ya kifahari pale ambapo mfl ame anafaa kuwa.wakati wafuasi walianza kufuata Mungu,labda walidhani yakuwa wangekuwa watu wengi wana fuata yesu lakini walikuwa tu 12 na waliishi maisha ya ufukara.kanisa yesu ni kubwa aje ukilinganisha na ji wenu? Mahali kwingi, kanisa la wakristo inaanza ikiwa ndogo sana,pakiwa na watu wadogo ambao wanasimama mbele ya watu na kusema yakuwa wao ni “wakristo” wanafuata Mungu ule mmoja!Usifanye kutoshana kwa kanisa yenu kukuvute chini. Kanisa lenu ni sehemu ya mwili wa yesu(ambao unahusisha kanisa zote za wakristo duniani kote). Itakuwa ikuwe mti mkubwa sana na kila mtu ataona yakuwa yesu ndiye njia ya ukweli nay a maisha.ata wale kwenye shule yenu ambao hawaamini,sikumoja wataona ukweli wa ufl ame wa Mungu. Sai hawawezi iona kwa sababu Mungu aliamua kuanza akiwa mdogo kama mbegu ya haradali,lakini sikumoja wanafunzi wote katika shule zote kwa kila mji,jiji na eneo lolote katika nchi yako wataona yakuwa yesu ndiye Mungu!

Kamera moja na picha kadhaa za familia.onyesha picha hizo kwa watoto huku ukiongea kuhusu familia,na vile picha hizo ni rembo.waulize ni vitu gani tunaweza piga picha,na zile hatuwezi(kama hewa,Mungu,upendo..)ambia wanafunzi wako yakuwa kuna vitu mingi ambazo hazionekani,lakini ni za umuhimu sana.

Wanaisraeli walifi kiria mwokozi wao am=ngekuaj aje? (kama mfl ame mkuu akiwa na watumishi wengi.kama mwanasiasa wa muda wake,akiwa na makelele mingi na gwaride,akitangaza na tarumbeta mingi.)Mbegu ya haradali kwa hii hadithi ina wakilisha nini? (ufalme wa Mungu)

Ufalme wa Mungu ni nini? (ni dunia ya kiroho na Mungu mwenyewe kama mfalme na wanaoishi kwa ufalme wa Mungu ni wakristo duniani kote.)Ni wakristo wangapi wako kwenye shule yenu na ni wanafunzi wangapi wako shuleni yenu? Mwishoni,ni wangapi wataona yesu kristo? (kila mtu)

9

Kifungu cha bibilia: Mathayo 13:31-32Kariri: “Akawatolea mfano mwingine, akisema, Ufalme wa mbinguni umefanana na punje ya haradali, aliyoitwaa mtu akaipanda katika shamba lake; ... nayo ni ndogo kuliko mbegu zote;” Mathayo 13:31b, 32aKusoma kazi ya nyumbani:Ngumu - Mathayo 5 Ngumu zaidi - Mathayo 7-9

Hiari1. Wapee karatasi mzito badala ya sarafu watupe2. Kwa watoto wenyte umri mkubwa,badala ya kutumia nambari,andika barua ikiwa na neni “mbegu ya haradali kwa kila sehemu ya mtitimu ya kwanza kutupa sarafu kwa kila sehemu anaambia wengine njia ya Mungu inatuonyesha ukuu wake.3. Kwa watoto wale wako na umri mdogo,tengeneza mti rahisi,na utumie nambari ndogo,chukua nambari kutoka 10-20.

Swahili.ChildrenAreImportant.com – Children’s ministry resources, Sunday School, and Vacation Bible School (VBS) curriculum for churches and teachers.

Page 11: Kitabu cha - Amazon S3 · zaidi.kitabu cha mathayo kime gawanyishwa kwenye sura 2-3 kila wiki, kwa hivyo wakisoma kazi ya ziada ya bibilia ya wiki, wanafunzi iatabidi wamesoma kitabu

Ngumu zaidi

Ngumu

Wastani

3Rahisi

Fumbo

10

T

Fumbo

Fumbo

Majibu:Majibu:

Kariri: (Rahisi)"Akawatolea mfano mwingine, akisema, Ufalme wa mbinguni umefanana na punje ya haradali, aliyoitwaa mtu akaipanda katika shamba lake; ... nayo ni ndogo kuliko mbegu zote;" Mathayo 13:31b, 32a

Wacha watoto wakate vibandiko za wiki hii na aweke gundi kwenye kurasa ya somo lao ambalo lime wekwa alama. Kisha waache wapake rangi kurasa mzima.

N A M U N G U

V I T U N D O G O

N I K U B W A

Ujumbe wa siri

Ujumbe wa siriN A F A A K U J U A

Y A K U W A N A

M U N G U V I T U

N D O G O N I K U B W A

Swahili.ChildrenAreImportant.com – Children’s ministry resources, Sunday School, and Vacation Bible School (VBS) curriculum for churches and teachers.

Page 12: Kitabu cha - Amazon S3 · zaidi.kitabu cha mathayo kime gawanyishwa kwenye sura 2-3 kila wiki, kwa hivyo wakisoma kazi ya ziada ya bibilia ya wiki, wanafunzi iatabidi wamesoma kitabu

4444444444444444444444444444444Mchezo

Vielezo

Maswali

Wazo zaidi

Wanafunzi wako hawajali kile

ambacho unajua hadi wajue yakuwa unajali

Somo kuu

HamiraVifaa:Balooni kubwa (balooni mbili kwa kila mtoto)Anzisha mchezo:1. Pee kila mtoto balooni aijaze na hewa kidogo na afunge.watoto wakae pamoja kwa maduara ambayo tasizidi watoto sita kwa kila kundi.wacha wakalie balooni ambazo hazijaa hewa na kila kundi inapewa balooni moja zaidi(imejaa hewa na kufungwa)2. Watoto kutoka kila kundi wajaribu kupatilishiana zile balooni zimejaa hewa mara kumi kwenye duara yao bila mpango,pila kutoka kwa zile baloni wamekitia.balooni ikiguza sakafu,ama ipasuke,peana balooni mpya na muanze tena.3. Baada ya kucheza mara kadhaa,timu zitajaribu kuona ni kundi gani ambalo zinaweza kaa kwemye hewa zaidi.ile timu ambayo inashinda inapata barua ikiwa na neno “hadithi”.endelea ama hadi muda uishe.

Hiari:1. Cheza bila kukalia balooni.2. Kuifanya ikuwe ngumu zaidi,jaribu kupea kila kikundi balooni ingine kuifanya ikae kwenye hewa.watoto wanawweza pia sema majina za kila aya huku wakipatilishiana balooni.ama badala ya kutumia mikono yao,wacha watumia visugudi,vichwa,miguu.ili ballooni ikae kwenye hewa.3. Chora mstari kwenye sakafu na ucheze mchezo kama voliboli.timu mbili kwa kiloa pande za mstari,na kishaa fuata sheria za voliboli.

Hamiri inakaa kama mbegu ndogo sana,lakini na kidogo yake ikiwa kwa unga,unaweza tengeneza mkate mtamu ambao unainua kikamilifu.hii inaweza wakilisha jina la Mungu ndani yetu.inaanza na kitu ndogo sana,na tukiiruhusu,inazidisha na kujaza maisha yetu!hamiri kwenye unga inafanya kazi kujiongeza na kutengeneza mkate kamili.ufalme wa Mungu unafanya kazi ndani yetu,ukiianza na nyoyo zetu.si kitu unaweza tumia nje,kama nguo,uchoraji ama mtazamo wa chochote.ufalme wa Mungu uko ndani yako na utaongezeka ndani ya maisha yako huku ukiruhusu Mungu afanye kazi ndani yako.

Unaweza pia tumia gilasi inayoonekana ikiwa na siki.andika hamiri kwa kipande cha karatasi na uiweke jwenye gilasi. Kwa bakuli inayoonekana,weka soda ya kuoka na uiite “unga”.chunga watoto wasijue viungo unazo tumia.(ili wasipoteze hamu yao).weka siki juu ya soada ya kuoka na ona kile kitafanyika.

Tumia pakiti ya kinywaji kilicho changanyika. (kama kool-Aid) kuwakilisha mkate,na lita ya maji kuwakilisha hamiri.watoto wanaweza ona rahisi yakuwa maji iligeuka kuwa sharubati yenye rangi.

Nani anataka maisha ambayo yamejaa Mungu?(wapee muda wa kufi kiria na kujibu) Hii inatimizwa aje? (kuwachilia kwa maisha zile vitu ndogo za Mungu,ili iweze kukuwa kwa zaidi.)Ni lini vitu ambazo yesu alitangaza kupitia kwa hadithi zifi chwe? (kutoka kuundwa kwa dunia)

11

Kifungu cha bibilia: Mathayo 13:33-35

Kariri:“Ufalme wa mbinguni umefanana na chachu aliyoitwaa mwa-namke, akaisitiri ndani ya pishi tatu za unga, hata ukachachwa wote pia.” Mathayo 13:33b

Kusoma kazi ya nyumbani: Ngumu - Mathayo 6 Ngumu zaidi - Mathayo 10-12

Swahili.ChildrenAreImportant.com – Children’s ministry resources, Sunday School, and Vacation Bible School (VBS) curriculum for churches and teachers.

Page 13: Kitabu cha - Amazon S3 · zaidi.kitabu cha mathayo kime gawanyishwa kwenye sura 2-3 kila wiki, kwa hivyo wakisoma kazi ya ziada ya bibilia ya wiki, wanafunzi iatabidi wamesoma kitabu

Ngumu zaidi

Ngumu

Wastani

4Rahisi

Kutafuta neno

12

I

Kutafuta neno

Majibu:Majibu:

Kariri: (Rahisi)“Ufalme wa mbinguni umefanana na chachu aliyoitwaa mwanamke, akaisitiri ndani ya pishi tatu za unga, hata ukachachwa wote pia.” Mathayo 13:33b

Wacha watoto wakate vibandiko za wiki hii na aweke gundi kwenye kurasa ya somo lao ambalo lime wekwa alama. Kisha waache wapake rangi kurasa mzima.

Ujumbe wa siriK I D O G O

H U E N D A

N J I A M B A L I

M O Y A H T A M Y Y MU M H M C I G C I E WN U A C T H A H K S AG N I A H A N A O U NA G M C A D Y N N W KU U E M B I N G U N IM U F A G T A A F I KA F I T B H W N A C ET A C H E I A Y L H MI L H A M I R I M A U

M M W A N A M K E Y NS O A N J I A O U S G

Ujumbe wa siriN A F A A K U J U A Y A K U W A

K I D O G O I N A E N D A

N J I A M B A L I K W E N Y E

U F A L M E W A M U N G U

Kutafuta nenoM M U F A L M EG W A N D Y B YH A D I T H I EU N G A W A N SF A L M E D G OB M A M A I U GI K M W A T N AY E S U B H I E

M O Y A H T A M Y Y MA M H M C I G C I E WT U A C T H A H K S AH N I A H A N A O U ND G M C A D Y N N W KI U E M B I N G U N IT U F A G T A A F I KH F I T B H W N A C EO A C H E I A Y L H MY L H A M I R I M A UE M W A N A M K E Y NS O A N J I A O U S G

ANYI

CHAN

O

FALME

MUNGU

YESU

THI

HAD

IMEFICH

A

N U N IG UM B I

O Y A H T A MM

A M I R IH

C IC TA H

M CUGU

H

ME

M W A N A M K EK EW

O UN W

A

NU

N UG

O

ANYI

CHAN

D I T HH

FALME

AMK

MWM

A INGUNI

BI

M U F A L MMM M EM

S UY EE

G AU N

U

MUNGU

YESU

THI

HAD

A

H

EFICH

IM

N U N IG UM B I

O Y A H T A MMM

A M I R IH

U

C IC TA H

M CGU

H

ME

W A N A M K EM W K EW

UNGAUMATI

Swahili.ChildrenAreImportant.com – Children’s ministry resources, Sunday School, and Vacation Bible School (VBS) curriculum for churches and teachers.

Page 14: Kitabu cha - Amazon S3 · zaidi.kitabu cha mathayo kime gawanyishwa kwenye sura 2-3 kila wiki, kwa hivyo wakisoma kazi ya ziada ya bibilia ya wiki, wanafunzi iatabidi wamesoma kitabu

5Mchezo

Vielezo

Maswali

Somo kuu

Hazina iliyofichwa Na Lulu

VifaaBibilia,sarafu ndogo,mfuko wa plastiki.Tayarisha mchezo:Mzunguko wa eneo la mchezo,fi cha sarafu mbili kwa ajili ya kila mtoto. Anzisha mchezo:Watoto wamewekwa kwa vikundi viwili.wacha wachague neno la siri ambalo linatumiwa kati yenu pekee.(piga makofi mara tatu,itana neno maalum,mbinja,kelele,na zaidi)kati ya vikundi,mtoto mmoja anatafuta hazina,na mwingine anangoja kwenye ukuta na mfuko wa plastiki. Wakati mwalimu anasema, “enda”mtoto wa kwanza anaanza kutafuta.wakati anapata sarafu,hawezi ichukua.lazima afanye codi la funuo la siri kuita mtotohuyo mwingine kutoka kwa timu yake.wakati huyo mtoto mwingine anakuja akikimbia kutoka kwa timu yake.wakati mtoto huyo mwingine anakuja akikimbia,anaweza ichukua na kuiweka kwenye mfuko wao.wacha watoto waendelee hadi kila mtu amepata sarafu moja.anzza tena,lakini wakibadilisha kazi za kila mtoto.Hiari:1. Wacha watoto wahesabu hazina zao kuona ni nani atashinda. Alika ile timu ambayo ina shinda kusoma aya ama kitu kutoka kwenye somo.2. Tumia chokoleti badala ya sarafu za ukweli.

hizi hadithi mbili zinaongea kuhusu wanaume ambao wamepata kitu cha thamana.yule mwanaume ambaye alipata hazina aliona

thamani kwenye uwanja huo ambao wengine hawakuona.alikuwa tayari kuuza kiula kitu kwa ajili ya hazina ambayo ilikuwa na thamani kubwa zaidi kuliko mali yake yote yakiwa pamoja.yule mwanaume alipata lulu ya thamani kubwa.alijua yakuwa maisha ingekuwa bora zaidi na lulu ya thamani kuliko kila kitu chake.hii inatuonyesha thamani kuu ya ufalme wa mbinguni.Kwenye ufalme wa mbinguni,mimi na wewe tumepata thamani zaidi ya tahani zote duniani,tunafaa kuwa tayari kupoteza kila kitu ili upate tena.mwanaume mwenye busara sana ,jim Elliot, aliandika,” yeye si mjinga ambaye ana poteza kile ambacho hawezi weka ili apate kile ambacho hawezi poteza.”Shida ni atikila mahali tunaona watu wanafanya kile kinahitajika kushinda nyenzo za kidunia AMBAZO zitapotea,huku hauko na nia ya maisha ya milele.dunia inaishi kutafuta kile ambacho kinaenda kinyume cha kile ambacho tumesoma kwenye hadithi ya leo. ni ngumu kuamini kitu wakati kila mtu haamini.kwa hivyo ndio maana lazima uone hazina iliyofi chwa,hakuna mtu mwingine ambaye anaona.lakini Mungu anatukumbusha yakuwa ni ya tahani kuuza kila kitu ili upate ufalme wa mbinguni!

Barua ama baruapepe.uliza watoto ni wangapi wao wamepata barua ya posta, ama baruapepe, ujumbe wa maandishi,ama kama ushai ongea na rafi ki kutoka kwa mtandao.ongea na wao vile inaweza kuwa vizuri kupata baruapepe kutoka kwa Mungu. Ambia watoto yakuwa UKO na baruapepe ama barua kutoka kwa Mungu.wasomee kitu kutoka kwa bibilia.(kitu chochote) kishaa waambie yakuwa bibilia ni barua ambayo Mungu alitutumia,na tunaweza ipata kama hazina!

Kwa nini ni sawa kupoteza kila kitu uko nayo? (kwa sababu mwishowe,utapoteza kila kitu mwishowe.)Kwa nini ni busara kuacha kila kitu na upate ufalme wa mungu? (kwa sababu

ina thamani kubwa na hakuna mtu anaweza ichukue.)Ni vitu gani mbili ambazo bibilia inatuonyesha ni kinyume? (ufalme wa Mungu na uelewaji wa dunia).

13

Kifungu cha bibilia: Mathayo13:44-46Kariri: “Tena ufalme wa mbinguni umefanana na mfanya biashara, mwenye kutafuta lulu nzuri; naye alipoona lulu moja ya thamani kubwa, alikwenda akauza alivyo navyo vyote, akainunua.” Mathayo 13:45-46Kusoma kazi ya nyumbani: Ngumu - Mathayo 7 Ngumu zaidi - Mathayo 13-14

Swahili.ChildrenAreImportant.com – Children’s ministry resources, Sunday School, and Vacation Bible School (VBS) curriculum for churches and teachers.

Page 15: Kitabu cha - Amazon S3 · zaidi.kitabu cha mathayo kime gawanyishwa kwenye sura 2-3 kila wiki, kwa hivyo wakisoma kazi ya ziada ya bibilia ya wiki, wanafunzi iatabidi wamesoma kitabu

Kufanya kazi na watoto kuna thamani ya milele

Ngumu zaidi

Ngumu

Wastani

5Rahisi

14

Jina iliyo fi chwa

Jina iliyo fi chwa

K

Ni jukumu letu kufunza watoto kwa njia za Mungu

Jina iliyo fi chwa

Majibu:Majibu:

Kariri: (Rahisi)“naye alipoona lulu moja ya thamani kubwa, alikwenda akauza alivyo navyo vyote, akainunua.” Mathayo 13:46

Wacha watoto wakate vibandiko za wiki hii na aweke gundi kwenye kurasa ya somo lao ambalo lime wekwa alama. Kisha waache wapake rangi kurasa mzima.

Ujumbe wa siriN A F A A K U J U A Y A K U W AN I K W A T H A M A N IK U A C H A K I L A K I T UK W A A J I L I Y A Y E S U

Ujumbe wa siriN i k w at h a m a n ik u a c h ak i l a k i t uk w a a j i l iy a Y e s u

Swahili.ChildrenAreImportant.com – Children’s ministry resources, Sunday School, and Vacation Bible School (VBS) curriculum for churches and teachers.

Page 16: Kitabu cha - Amazon S3 · zaidi.kitabu cha mathayo kime gawanyishwa kwenye sura 2-3 kila wiki, kwa hivyo wakisoma kazi ya ziada ya bibilia ya wiki, wanafunzi iatabidi wamesoma kitabu

666666666666666666666666666666666666666666666666666666666666666666666666666666Mchezo

Vielezo

Maswali

Usikose mtoto yeyote kwenye darasa lako.

Somo kuu

Kondoo iliyo poteaVifaa:Makasi,uzi, kitu cha kupima nacho

Tayarisha mchezo:Kata sehemu za uzi kwa urefu tofauti, kati ya 20 na centimita100, kwa kila mtoto ndani ya darasa.Ficha sehemu za uzi kwa darasa yako ama kwenye eneo la mchezo.

Anzisha mchezo: 1. Gawanyisha watoto kwa timu tatu ama nne2. Wakati mwalimu anawashiria,watoto wanafaa kuanza kutafuta uzi zilizo fi chwa. Kila timu inafunga pamoja uzi kuunda moja mrefu.3. Baada ya kupata uzi zote,walinganishe kuona ni timu gani ambayo ina uzi mrefu zaidi.

Hiari:1. Chezea nje mara mingi iwezekanavyo2. Ni vizuri kuwa na watoto 1 ama 2 kutoka kwa kila timu ambao hawaatafuti uzi,lakini wanabaki kufunga uzi, na wengine wakitafuta.3. Mwishowe,pee watoto changamoto ya kuunda neno na uzi wao mrefu.

Tunaona kwa hii hadithi yakuwa kila mtu ako na thamana kwa Mungu.kila mmoja wetu ako na umuhimu hadi Mungu anaaacha umati kuja kututafuta kama tumepotea.lakini mistari 10 na 14 inataja wale wadogo, na wengi wanasema yakuwa yesu anamaanisha watoto. Mungu anapenda watoto sana na anawajali,kwa hivyo tunafaa kuwa thamini. Ni kwa umuhimu yakuwa tusipuuze wale ni wadogo. Mungu aliambia wafuasi wake,ambao walikuwa wazima, wasi dunishe watoto. unaamini yakuwa ni kwa umuhimu tusi dunishe wengine ambao ni wadogo ama wale hawana umbile mzuri kutuliko?ni muhimu tujaliwale wamepotea kiroho. Hiyo inamaanisha yakuwa wakikosea, fi cha kutoka kwa Mungu ama kutoka kwa wazazi wao,kuacha kuenda kanisa,ama kuanza kusema uwongo.tuko wa umuhimu kwa Mungu,na atakija kututafuta kama tutapotea kutoka kwake.sisi wote ni wa umuhimu kwa Mungu!

Fumbo. uliza watoto kama wanapenda mafumbo?.waonyeshe moja ambayo imewekwa pamoja, lakini inakosa sehemu.(fi cha sehemu inayokosa darasani mwako ama eneo.)waulize kama sehemu moja ni ya umuhimu kuliko ile ingine.(apana) jaribu kujaza nafasi hiyo na sehemu ingine. (huwa haifanyi kazi). Uliza watoto kutafuta ile sehemu ambayo inakosekana. Taja yakuwa kila mmoja wetu ni wa umuhimu kwa Mungu.

Ni nini Mungu atafanya ukimuacha? (ataenda kukutafuta.)Ni nani Mungu anapea umuhimu maalum? (wale wadogo.)Taja watu ambao ni wadogo kukuliko. Ni wagani ni wa umuhimu kwa Mungu? (kila mtu)

Ni vitendo gani unaweza fanya kusaidia ndugu ama dada yako mdogo? (wasidie kufanya kazi yao ya nyumbani,wasidie kubadilisha nguo,kuvuta mtaa,tengeneza sandwichi.)Ni nini inawakilisha watu kwa hii hadithi? (kondoo)

15

Kifungu cha bibilia: Mathayo18:10-14Kariri: “Vivyo hivyo haipendezi mbele za Baba yenu aliye mbinguni kwamba mmoja wa wadogo hawa apotee. “ Mathayo 18:14Kusoma kazi ya nyumbani: Ngumu - Mathayo 8 Ngumu zaidi - Mathayo 15-16

Swahili.ChildrenAreImportant.com – Children’s ministry resources, Sunday School, and Vacation Bible School (VBS) curriculum for churches and teachers.

Page 17: Kitabu cha - Amazon S3 · zaidi.kitabu cha mathayo kime gawanyishwa kwenye sura 2-3 kila wiki, kwa hivyo wakisoma kazi ya ziada ya bibilia ya wiki, wanafunzi iatabidi wamesoma kitabu

Ngumu zaidi

Ngumu

Wastani

6

Rahisi

Fumbo

Fumbo

Fumbo

16

A

Majibu:Majibu:

Kariri: (Rahisi) "Vivyo hivyo haipendezi mbele za Baba yenu aliye mbinguni kwamba mmoja wa wadogo hawa apotee." Mathayo 18:14

Wacha watoto wakate vibandiko za wiki hii na aweke gundi kwenye kurasa ya somo lao ambalo lime wekwa alama. Kisha waache wapake rangi kurasa mzima.

Ujumbe wa siriN A F A A K U J U A Y A K U W AM I M I N I W A U M U H I M UK W A M U N G U

Ujumbe wa siriM I M I N I W A

U M U H I M U S A N E

K W A M U N G U

Swahili.ChildrenAreImportant.com – Children’s ministry resources, Sunday School, and Vacation Bible School (VBS) curriculum for churches and teachers.

Page 18: Kitabu cha - Amazon S3 · zaidi.kitabu cha mathayo kime gawanyishwa kwenye sura 2-3 kila wiki, kwa hivyo wakisoma kazi ya ziada ya bibilia ya wiki, wanafunzi iatabidi wamesoma kitabu

7777777777777777777777777777777Mchezo

Vielezo

Maswali

Somo kuu

Mtumishi asiye na hurumaVifaa:Bibilia, muziki wa watoto,karatasi,tazama na mkono wa pili.

Tayarisha mchezo:Piga chapa jina, ”samehe” kwa sehemu za karatasi ama kadi, herufi moja kwa kila kadi. Tengeneza pakiti ya kadi kwa kila watoto 3-6. Changanya kadi zako zote na uziweke zikiwa zimeangalia uso chini kwa duara kubwa kwenye sakafu.

Anzisha mchezo:1. Watoto wanatengeneza timu za wanafunzi 3-6.peana jina ama nambari kwa kila timu. Wafuasi wa timu zote wanajiweka kwenye duara wakizunguka cadi.2. Ukicheza muziki, watoto watembee mzunguko wa duara.kata muziki baada ya sekunde 15-20.wakti muziki unasimama,kila mtoto anachukua ile kadi iko karibu na watafute wafuasi wa timu zao. Wanachama wa kila timu wanalinganisha kadi ambazo wao wamechukua, kuweka kadi zitakazo tengeneza jina kusamehe na kurudisha (uso chini) na utoe nakala za kadi kwenye duara. Weka kadi zingine kwenye duara ili lazima kuwe na kadi kwa kila mtoto.3. Timu inashinda wakati imeshikanisha pakiti mzima kuandika jina msamaha, ama unaweza acha mchezo wakti timu zinashikanisha kadi,lakini badae uliza maswali na heshims ya somo kwa ajili ya kuona ni timu ipi inashinda.rudia kama muda utaitikia.

Hiari:1. Wanafunzi wanatayarisha kadi darasani.

2. Kama una wanafunzi wadogo kuliko 6 kwenyeb darasa lako, wanafunzi wanaunda jozi ama wacheze mtu pekee yako.

3. Kwa watoto wakubwa,weka kadi kadhaa na herufi ambazo haziko kwenye jina “samehe” (a,b,g)

Hii hadithi inatuoyesha vizuri umuhimu wa Mungu ambao ako nao kwa kusameheana.hakuna mtu anaweza kataa kile yesu alikuwa ana sema hapa. Amesamehea sisi wote kwa dhambi zetu,lakini Mungu kwa huruma zake ametusamehea, na ana tulinganisha na mtu ambaye ana daiwa sarafu za dhahabu. Tunahitaji kifo na jehanamu kwa ajili ya dhambi zetu,lakini Mungu kwa huruma yake ametusamehea. Na sasa anatarajia yakuwa tunafaa kusamehe wale ambao wanatukosea ama kutufanyia kitu mbaya. Dhambi zile ambazo tuko nazo,ambazo saa zingine zinahisi kubwa, Mungu analinganisha dhambi zetu na zile sarafu ndogo 100, ambazo zilikuwa idadi ndogo. Mungu anatuambia akuwa wakati wale wanatuzunguka wakitukosea,wakituibia,kutusimamisha, ni bure ukilinginisha na zile dhambi tumekosea Mungu nazo. Anatutarajia tusamehe kabisa. Kwenye mwisho wa hadithi, anaweka mlinganisho na adhabu ya matesi gerezani,na wengi wanaamini yakuwa yesu ana sema ni jehenamu. Unafi kiria yakuwa Mungu ako makini na somo la kusameheana? Ni vizuri vile sisi kama wakristo, tunaweka umakinifu mingi kwa dhambi za nje kama kunywa pombe,mihadarati,kuvuta sigara, ama kukosa kuenda kanisa, lakini neno takatifu haipei umakinifu kwa dhambi hizi ina makinika na dhambi za kutosamehe.kwa uhakika, kuna watu watatukosea, lakini Mungu anaamuru tuwasamehe, kama vile alivyo tusamehe,

Kuna kitu kishai angukia macho yako? Labda uchafu wakati uko kwa baiskeli yako. Haistareheshi wakati kitu kiko kwa macho yako, sindio? Inaumiza sindio? Hua inahisi aje wakati sabuni iko kwa macho yako? Ni nini inafanyika wakati hii inashikana kwa macho yako? (chukua mti mkubwa kutoka nyuma yako) soma mstari mathayo 7:5 na watoto,wakati yesu anatuambia kutoa mti kutoka kwa macho yako. Waonyeshe waone ufananishaji kati ya hadithi zote mbili.

Ni mandhari ipi ya umuhimu kutoka kwa hii hadithi? (msamaha)Kulingana na hadithi hii,ni nini itafanyika tusiposameheana? (kiroho, tutatupwa kwenye mahala pa mateso. Jehanamu)Ni mara ngapi tunafaa kusamehe mtu ambaye anatukosea? 70 x7=490,tunafaa kuelewa yakuwa yesu alimaanisha tusihesabu mara zile tunasameheana.

tunafaa kusameheana bila kuacha)Tengeneza orodha ya zile dhambi unajua.Kutoka kwa hizi dhambi, ni nini yesu anamakinika kwake kwa hadithi hizi zote?(ukosaji wa msamaha) angalia kwenye orodha za masomo 13 ukitaka,na utaona yakuwa zingine hazilengi dhambi hio kama vile hii inafanya.17

Kifungu cha bibilia: Mathayo 18:21-35Kariri: “Ewe mtumwa mwovu, nalikusamehe wewe deni ile yote, uliponisihi; nawe, je! Haikukupasa kumrehemu mjoli wako, kama mimi nilivyokurehemu wewe?” Mathayo 18:32b-33Kusoma kazi ya nyumbani: Ngumu - Mathayo 12 Ngumu zaidi - Mathayo 17-18

Swahili.ChildrenAreImportant.com – Children’s ministry resources, Sunday School, and Vacation Bible School (VBS) curriculum for churches and teachers.

Page 19: Kitabu cha - Amazon S3 · zaidi.kitabu cha mathayo kime gawanyishwa kwenye sura 2-3 kila wiki, kwa hivyo wakisoma kazi ya ziada ya bibilia ya wiki, wanafunzi iatabidi wamesoma kitabu

Ngumu zaidi

Ngumu

Wastani7

Rahisi

J T V Z MZ RTAQZ MZ

LHLH

18

M

Jibu: "Kuwa na subra na mimi"

Ni nini mtumishi alisema wakati alipiga magoti mbele ya mfalme?

Majibu:Majibu:

Kariri: (Rahisi)"nawe, je! Haikukupasa kumrehemu mjoli wako, kama mimi nilivyokurehemu wewe?” Mathayo 18:33

Wacha watoto wakate vibandiko za wiki hii na aweke gundi kwenye kurasa ya somo lao ambalo lime wekwa alama. Kisha waache wapake rangi kurasa mzima.

Ni nini mtumishi alisema wakati alipiga magoti mbele ya mfalme?

______________

_____________________

__________________

Ujumbe wa siriL A Z I M A

N I S A M E H E

K U T O K A

K W A M O Y O

Ujumbe wa siriN A F A A K U J U A Y A K U W A

L A Z I M A N I S A M E H E

K U T O K A K W A M O Y O

KUWA NASUBRA NA

MIMI

Swahili.ChildrenAreImportant.com – Children’s ministry resources, Sunday School, and Vacation Bible School (VBS) curriculum for churches and teachers.

j b i i

Page 20: Kitabu cha - Amazon S3 · zaidi.kitabu cha mathayo kime gawanyishwa kwenye sura 2-3 kila wiki, kwa hivyo wakisoma kazi ya ziada ya bibilia ya wiki, wanafunzi iatabidi wamesoma kitabu

888888888888888888888888888888888888888888888888888Mchezo

Vielezo

Maswali

Somo kuu

Wafanyikazi Vifaa:Karatasi,penseli,saa,ama timer.

Anzisha mchezo: 1. Kila mtoto anachora mkono wake mmoja kwenye sheeti ya karatasi. (mkono unaonyesha mikono ambayo wanatumia kufanya kazi kwenye shamba ya mzabibu,.)

2. Pee watoto moja ama vitendo tano, kwa mfano: kutingiza mkono ama kuweka mkonno kwenye bega lao.weka saa yako sekunde 60. (kama una kundi kubwa, unaweza itikia masaa zaidi.)

3. Watoto lazima watembee kwenye chumba na wafanye kazi na watoto wengi iwezekanavyo kabla ya muda uishe.wakati watoto wawili wamefanya kitendo,wana andika herufi za kwanza za jina kwenye karatasi “mkono” wa mtoto huo mwingine. Lengo nikupata herufi za kwanza za jina kama iwezekanavyo

4. Wakati muda utaishi, watoto wahesabu nambari ya herufi walizo nazo mkononi. Mtot ambaye atakuwa na herufi mingi atasema kitu ambacho atataka kufanya na marafi ki zake na atoe oni kwa upande unaofuata.tumia upande huo mwingine wa karatasi kucheza tena. (ama sheeti ingine ya karatasi)

Hiari:Badala ya kutumia makaratasi na penseli,watoto wanaweza tumia penseli za kuchora ambazo zinafutika (ama kitu ingine ambacho kinaweza futika) kuandika herufi zao kwa mikono yao.

Kwa hadithi hii,tunaweza ona huruma kubwa ya Mungu kwa binadamu wote. Mungu ni mkarimu sana hadi anatupa uokovu na maisha ya milele kwa wale wataita jina yake, hadi wakati wataamua kufi ka kwenye miguu ya yesu dakika ya mwisho. Uokovu ni wa bure, na ni inatoshana kwa kila mtu, bila kujali sa zile waliipata kwa maisha yao. Mtu anaweza itikia Mungu akiwa mdogo na watumikie Mungu maisha yao yote. Wakati mtu mwingine anaishi maisha yake yote vile wanataka kwenye dhambi, na wakati wako wazee wapee nyoyo zao kwa Mungu.huyu mwenye dhambi anapata maisha ya milele na ambao unatoshana. Inaonekana Mungu anataka kupeana funzo kwa ndugu ambao wanalia si haki. Viongozi wa kidini wa siku hizo walijiweka tofauti ya yesu ana ,mara mingi, tunafanya ivo mara mingi.uokaji ni wa bure kwa kila mtu, hailingani na kuchelewa kwako kufi ka kwa yesu. Kwa hivyo usifanye yesu akupate kama wale wafanyi kazi chini ya mti, hawakuwa hawafanya kitu.jua maisha yako huku duniani si ya haki. Kama vile yesu alisema, “kwa hivyo wale wa mwisho watakuwa wa kwanza na wale wa kwanza watakuwa wa mwisho.”

Tumia sarafu tatu,kuwapa majina ni kama ni watu wa ukweli.ziliishi kwa mfuko, na ile ilikuwa na thamana kubwa ilikuwa inaongea chini kwa zile za thamana ndogo kuiliko. Alidhani yeye ni wa umuhimu sana, siku moja kwa duka,mwenye duka hakuwa na chenji,kwa hivyo sarafu kubwa haikutumika!aliaibika.yule mtu alitumia zile sarafu ndogo,ambazo zilimfurahisha.

Kutakuwa na haki iliyokamilika huku duniani? (APANA)Ni nini Mungu anataka tufanye kwa maisha? (kazi)Tunaweza fanya hakuna? (apana)Kuna viwango tofauti za ukombozi? (apana)

Ni nini Mungu anataka tufanye tukimwona akibariki wengine? (sherehekea nao)Kuna mtu ataingia mbinguni wiki moja baada ya kuitikia Mungu kisha anakufa? (ndio,hio ndio pointi kuu ya hadithi hii)

19

Kifungu cha bibilia: Mathayo 20:1-16

Kariri: “Vivyo hivyo wa mwisho watakuwa wa kwanza, na wa kwanza watakuwa wa mwisho.” Mathayo 20:16Kusoma kazi ya nyumbani: Ngumu - Mathayo15 Ngumu zaidi - Mathayo 19-20

Swahili.ChildrenAreImportant.com – Children’s ministry resources, Sunday School, and Vacation Bible School (VBS) curriculum for churches and teachers.

Page 21: Kitabu cha - Amazon S3 · zaidi.kitabu cha mathayo kime gawanyishwa kwenye sura 2-3 kila wiki, kwa hivyo wakisoma kazi ya ziada ya bibilia ya wiki, wanafunzi iatabidi wamesoma kitabu

shiaaM yaaanh kiha tawika nignewim_______________________

Ngumu zaidi

Ngumu

Wastani

8

Rahisi

Jibu: "Maisha hayana haki wakati mwingine."

Kupanga:

20

o

Jibu: "Maisha hayana

haki wakati mwingine."

Kupanga:

Majibu:Majibu:

Kariri: (Rahisi)“Vivyo hivyo wa mwisho watakuwa wa kwanza, na wa kwanza watakuwa wa mwisho.” Mathayo 20:16

Wacha watoto wakate vibandiko za wiki hii na aweke gundi kwenye kurasa ya somo lao ambalo lime wekwa alama. Kisha waache wapake rangi kurasa mzima.

Ujumbe wa siriM A A D I L I

Y A M U N G U

N I

T O F A U T I

Swahili.ChildrenAreImportant.com – Children’s ministry resources, Sunday School, and Vacation Bible School (VBS) curriculum for churches and teachers.

Ujumbe wa siriN A F A A K U J U A

M A A D I L I Y A M U N G U

N I T O F A U T I S A N A N A

M A A D I L I Y E T U

Page 22: Kitabu cha - Amazon S3 · zaidi.kitabu cha mathayo kime gawanyishwa kwenye sura 2-3 kila wiki, kwa hivyo wakisoma kazi ya ziada ya bibilia ya wiki, wanafunzi iatabidi wamesoma kitabu

99999999999999999999999999999999999999999999999999Mchezo

Vielezo

Maswali

Somo kuu

Wana Wawili Vifaa:Utepe ama uzi,sarafu.

Tayarisha mchezo:Tumia utepe kutengeneza laini mbili krokiga kwenye sakafu ama ardhini kwenye eneo lako la mchezo,ukiacha nafasi ili watoto wanaweza unda mstari nyuma ya laini.

Anzisha mchezo: 1. Weka watoto kwa timu mbili.kila timu zipange laini nyuma ya laini moja krokinga.kwa huu mchezo,wakati sarafu inaanguka kichwa kikiwa juu,watoto wanaenda mbio kwenye laini na njia rahisi ya kukumbuka ambayo ni vizuri kutii amri za Mungu.kama sarafu itaanguka mkia ukiwa juu, mtoto anafaa kuenda chini ya mstari kwa njia ngumu kukumbuka yakuwa kutotii amri za Mungu kunaleta mashida.

2. Mtoto aliye kwenye mstari wa kwanza anatupa sarafu. Kama safafu itaanguka kichwa kikiwa juu, aambia mtoto yakuwa wanaweza enda laini chini kwa njia rahisi(ruka ama tembea). Kama sarafu inaanguka mkia ukiwa juu, ambia mtoto yakuwa wanaweza mstari chini kwa njia ngumu(kutembea kama kaa kwa miguu nne,ama watembee kinyumenyume,) baada ya mtoto wa kwanza amemaliza mstari, mtoto ambaye anafuata anatupa srafu na anaenda kulingana na vile imeanguka. Endelea hadi watoto wote wa kila timu wamemaliza laini. Kama muda utaitikia, fanya tena na mienendo mipya.

Hiari1. Badilisha ugumu wa kila mchezo ukilingana na umri watoto2. Saidia watoto na mawazo ya kuenda chini mstari,rahisi ama ngumu

Hapa tuko na mfano mzuri wa unafi ki na yesu anaeleza vizuri.” Mandugu wa kidini” ambao

wanaongea vizuri, ndio wanasema wataenda uwanjani, lakini kama hawaishi na mafunzo ya yesu,hawajatii, na kwa uhakika hawakuenda kwenye uwanja. Wale ambao wanasema kwa Mungu HAWATAENDA kwa uwanja wao c waamini. Jibu lao la kwanza ni APANA, lakini nyumaye wanatubu dhambi zao na wafi ke kwa miguu ya yesu.hapa Mungu wetu anasema kuhusu vile ni muhimu kujweka kwa vitendo kile ambacho tunaamini na ati kile ambacho tunaona na macho si ya thamana ata.unaweza fi kiria umedanganya kila mtu , na ndugu na dada zako waliokaribu na wewe wanaweza kuamini, lakini Mungu anajuwa nyoyo zetu.somo hili ni la umuhimu kwa sisi katika dunia ya leo.tunaona unafi ki ukituzunguka na ina udhi. Lakini tunafaa kujua yesu anaona pia, na anajua ni nani anatii kutoka kwa moyo wake.wakati mimi na wewe tunakariri vitu ambazo tumesoma kwa kanisa ama kutoka kwa bibilia, lakini hatuishi nayo,tuko na shida. Yesu anatuita wabinafsi. Tunaweza imbia Mungu kutoka kwa maisha iliyoshindwa.lakini jumatatu ,kama hatuishi shule, tunakuwa ule mwana kutoka kwa hii hadithi ambaye alisema NDIO lakini hakuenda. Kwa hivyo ni kwa umuhimu SANA KUISHI ile ambacho tunasoma kutoka kwa bibilia,sio KUSOMA tu.kwa sababu wewe na mimi tunataka kuwa watoto wa Mungu ambayo anasema NDIO kwa Mungu wetu,na kisha badae enda kwa uwanjani kwa kumtii Mungu.

Mchezo wa kuigiza na watoto wawili kwa chumba chafu. Kina mama wao waliwauliza kusafi sha chuma chao na kuwaletea nguo chafu zao. Mwanzoni ,mama ya ule mwana alisema “apana” alikasirika, lakini anapotii,ana punguza hasira. Kisha mwishowe,mwana wake akasema “ndio” lakini hakufanya kitu ndiye aliyepata adhabu. Alienda kulala bila kula chajio.

Ni aina nani hao hawataki kuenda uwanjani, lakini wanatubu dhambi na kwenda? (wale watu hawaendi kanisa,hawajaokoka bado,na hawaishi kwa yesu.)Ni akina nani ambao wanasema “ndio” kwa Mungu,lakini hawaendi kwa uwanja? (wakristo ambao wanaenda kanisa,wakipeana na kuomba,lakini hawa tii mafunzo ya yesu na vitendo.)Inamaanisha nini kwenda kwa uwanja?

(kugawanyisha uaminifu wetu na wengine,kupenda wengine kama yesu anavyo kupenda wewe,kuwa mkarimu kwa maadui wako,kuishi uaminifu wako mbele ya wengine.)Ni nini unaweza fanya ukijuwa yakuwa huja tii na hujaenda kwenye uwanja?(tubu na ubadilike)Ni muhimu kwa Mungu sisi kuamini na kutii? (NDIO)

21

Kifungu cha bibilia: Mathayo 21:28-32

Kariri: “Kwa sababu Yohana alikuja kwenu kwa njia ya haki, ninyi msimwamini; lakini watoza ushuru na makahaba walimwamini, nanyi hata mlipoona, hamkutubu baadaye, ili kumwamini.” Mathayo 21:32Kusoma kazi ya nyumbani: Ngumu - Mathayo 16 Ngumu zaidi - Mathayo 21-22

Swahili.ChildrenAreImportant.com – Children’s ministry resources, Sunday School, and Vacation Bible School (VBS) curriculum for churches and teachers.

Page 23: Kitabu cha - Amazon S3 · zaidi.kitabu cha mathayo kime gawanyishwa kwenye sura 2-3 kila wiki, kwa hivyo wakisoma kazi ya ziada ya bibilia ya wiki, wanafunzi iatabidi wamesoma kitabu

Ngumu zaidi

Ngumu

Wastani

9Rahisi

Fumbo

Fum

bo

22

y

Fumbo

Majibu:Majibu:

Kariri: (Rahisi)imwamini, nanyi hata mlipoona, hamkutubu baadaye, ili kumwamini." Mathayo 21:32b

Wacha watoto wakate vibandiko za wiki hii na aweke gundi kwenye kurasa ya somo lao ambalo lime wekwa alama. Kisha waache wapake rangi kurasa mzima.

Ujumbe wa siriK U T I I

N I K W A

U M U H I M U

K U L I K O

M A A R I F A

Swahili.ChildrenAreImportant.com – Children’s ministry resources, Sunday School, and Vacation Bible School (VBS) curriculum for churches and teachers.

Ujumbe wa siriN A F A A K U J U A

Y A K U W A K U T I I N I

K W A U M I H I M U

K U L I K O M A A R I F A

Page 24: Kitabu cha - Amazon S3 · zaidi.kitabu cha mathayo kime gawanyishwa kwenye sura 2-3 kila wiki, kwa hivyo wakisoma kazi ya ziada ya bibilia ya wiki, wanafunzi iatabidi wamesoma kitabu

1011111111111111111111111111000000000000000000000000000000000000100101011111111Mchezo

Vielezo

Maswali

Somo kuu

WapangajiVifaa:shuka, viti mbili,tepu, na balooni ikiwa na hewa.

Tayarisha mchezo:Kwenye katikati mwa eneo la kucheza, weka shuka katikati ya viti mbili ili ikuwe inaningina wima.(ona picha) tayarisha eneo la mchezo kwa ajilia ya kila kundi la watoto 20.

Anzisha mchezo:1. Gawanyisha kundi kwa timu mbili na zisidi watu watoto kumi kwa kila timu, ukituma timu kwa pande tofuati za shuka. Watoto wanakaa chini kwa sakafu, wakipeana nafasi zinazotoshana kuzunguka eneo la mchezo na wakikaa kwa njia ambayo hawawezi ona kupita shuka.(ona picha)2. Watoto wanacheza mchezo kama voliboli, lakini wanakaa wakiwa wameketi wakati wa mchezo na hawabadilishi nafasi.. pee timu moja balloni. Bila onyo ama tangazo, mtot kutoka kwa timu ambayo in baaloni anatupa mpira juu ya shuka mahala popote kwenye eneo la mchezo. Watoto kwenye upande wa kulaki wanangoja balooni ikuje wakati wowotw, shika balooni na ugonge polepole mara mbili kwa wale walioko kwenye timu yako kabla ya kuigonga iende kwa timu hio ingine. Timu zinaona ni mara ngapi wanaweza gonga balooni iende ju ya shuka bila balooni kuguza chini.

Hiari:1. Ili uweze kuganyisha kunfi hili kwa timu, tuma kila mtoto atafute rafi ki. Wacha rafi ki aende upande mmoja wa shuka na huyo mwingine upande mwingine.(hii itagawanya kundi lako na nusu)2. Weka uzi ama tepu nyuma ya eneo la mchezo.3. Kama una watoto wadogo, cheza mchezo bila shuka.

Hadithi hii inatupea picha ya kile kitafanyika na yesu kristo, mwana wa Mungu.baba kwa

hadithi hii ni Mungu mwenyewe. Anatuma watumishi wake ambao ni wanabii na wakristo ambao wamehubiri ukweli wa Mungu. Baadaye anatuma mwana wake, yesu kristo mwenyewe, lakini wanamuua.wakati yesu anapena hadithi hii, hakuwa amekufa bado, na anaongea kuhusu siku za usoni. Viongozi wa dini siku za nyumaye hawangeweza kulaki yesu ,lakini walimuua. Ilifanyika kama kwenye hadithi. tunaweza tumia hadithi hii kwa maisha yetu leo, kwa sababu yesu anatupea mstari huu wa umuhimu: “kwa hivyo nawaambia yakuwa ufl ame wa Mungu utachukuliwa toka kwenyu na upaeanwe kwa watu ambao watatoa matunda.” Tena, tunaona umuhimu wa kuwana tunda la kiroho katika maisha yetu ya ukristo , tunda hili ni kukongoja na kunyeyekea kwenye maisha yetu ama vile sisi hutumikia kanisani. Inamaanisha tunafaa kusaidia wengine ama tukuwe wakarimu na tugawe na mtu ambaye ana cheo cha chini kutuliko. Tusipo onyesha tunda la Mungu kwenye maisha yetu, kila kitu kitatolewa toka kwa miasha yetu na ipeanwe kwa mtu mwingine ambaye ataweza toa matunda.

Waambie hadithi ya ukweli kuhusu miti 40 ambayo ilepeanwa kwa mkulima kama zawadi. Yote ilikuwa midogo lakini ilipandwa kwa uchafu mzuri na kisha kumwagiliwa maji vizuri. Baada ya wiki 6 ya kumwagilia maji vizuri, mwenyewe ana hesabu ile yote ilikuwa imeeanza kumea. Ni 18 tu ndio ilikuwa na majani ya kijani kibichi. Mwenyewe anahitaji kufanya nini na hio miti 22 ingine ambayo imekauka? Anafaa kuacha kutumia wakati wake na kuipee maji? Ndio! Anafaa kupanda miti ingine ambayo sikumoja itampee kivuli kwenye shamba lake.

Ni nani baba? (Mungu)Ni akina nani wapangaji? (ni sisi)Ni akina nani watumishi? ( wanabii, wachungaji, na wale huhubiri.)Ni nani mwana? (yesu kristo)Ni tunda gani lile sisi hutoa kwenye maisha yetu? (amani, furaha,kungoja, unyeyekevu,ukarimu…)

Ni nini Mungu atafanya kama hatuna tunda kwenye maisha yetu? (ataichukua kile ambacho tunacho na atapeana kw mtu mwingine ambaye anaweza toa matunda.)

23

Kifungu cha bibilia: Mathayo 21:33-45

Kariri: "Kwa sababu hiyo nawaambia, Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu, nao watapewa taifa lingine lenye kuzaa matunda yake.” Mathayo 21:43

Kusoma kazi ya nyumbani: Ngumu - Mathayo 18 Ngumu zaidi - Mathayo 23-24

Swahili.ChildrenAreImportant.com – Children’s ministry resources, Sunday School, and Vacation Bible School (VBS) curriculum for churches and teachers.

Page 25: Kitabu cha - Amazon S3 · zaidi.kitabu cha mathayo kime gawanyishwa kwenye sura 2-3 kila wiki, kwa hivyo wakisoma kazi ya ziada ya bibilia ya wiki, wanafunzi iatabidi wamesoma kitabu

Ngumu zaidi

Ngumu

Wastani10Rahisi

Kutafuta neno

24

O

Kutafuta neno

Majibu:Majibu:

Kariri: (Rahisi)Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu, nao watapewa taifa lingine lenye kuzaa matunda yake." Mathayo 21:43

Wacha watoto wakate vibandiko za wiki hii na aweke gundi kwenye kurasa ya somo lao ambalo lime wekwa alama. Kisha waache wapake rangi kurasa mzima.

F A U G N U M Z IY B O N U V A M MM A Z A B I B U MK U U L I W A F WA R W F A N Y A AZ I T U N D A L NI D H E S H I M AE H F U U M M E AS I H T I R M U R

M A B A Y AU W K F G MN R A A Z RG T Z N B IU F I Y A TM M E A B HT U N D A I

Kutafuta neno

Ujumbe wa siriW E K A K W A

V I T E N D O

K I L E

M U N G U

A N A T U F U N Z A

T K J A Y A B A M U U J WU U F A L M E S W M M E AK U P I G W A M A W E P PU L M B A B A Y N A F M DR I W F C H A P A H R D ZI W A P A N G A J I G I XD A M A V U N O T U N D AH E S H I M A H V U N O JI C H K A Z I M U N G U I

WA

LI

W

UU

KU

A P A N G A JWWU N D A

M M E A

MH R D

J I GO T

A H VM

J IT U

P I G W A MK U W E

MUNGU

M

AA

MWM

A

HI

URIDH E S H I M AH

M U N G U

M A V U N OO

F A L M EU

C H A P AAA Y A FN

K A Z II

M A Z A B I U

M M E AAT U N D AA

M A B A Y AMM

A Y A B A MM

A

AA

MM

B

L

UFA

U

ZI

K

YAA

FAN

A

BABAA

WR

MUMMM AMM

KAZ

ANY

BA

MWAN

I

RIDH

AZI

MMM

U G N U MM

H E S H I M AM A

U U L I W AUKF A N Y A

O N U V MA

H T I R MIM M E AE

T U N D AA

MRITHI

Swahili.ChildrenAreImportant.com – Children’s ministry resources, Sunday School, and Vacation Bible School (VBS) curriculum for churches and teachers.

Ujumbe wa siriN A F A A K U W E K A K W AV I T E N D O K I L A K I T U

M U N G U A N A T U F U N Z A

Page 26: Kitabu cha - Amazon S3 · zaidi.kitabu cha mathayo kime gawanyishwa kwenye sura 2-3 kila wiki, kwa hivyo wakisoma kazi ya ziada ya bibilia ya wiki, wanafunzi iatabidi wamesoma kitabu

111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111Mchezo

Vielezo

Maswali

Somo kuu

Karamu ya harusiVifaa:Karatasi, makasi, penseli ya alama

Tayarisha mchezo:Tengeneza miraba midogo na karatasi, ile kidig 10 kwa kila mwanafunzi

Anzisha mchezo: 1. Pee sehemu 10 za karatasi kwa kila mwanafunzi na penseli ya kuchora. Wanafunzi waandike nambari 1-10 kwa kila karatasi na kisha waweke hizo nambari chini kwenye katikati mwa eneo la kucheza.(unaweza tayarisha hizi mbele ya muda.)2. Gawanyisha wanafunzi kwenye vikundi viwili. Waweke kwenye mistari kinyume,wakiangaliana.pee kial mwanafunzi nambari ili wacheze mchezo.(ona picha)3. Itana namba mbili. Wale wanafunzi wako na hizi nambari wako na sekunde 5 kupata miraba mingi iwezekanavyo. Wanarudi kwenye eneo zao na miraba yao. Hesabu nambari ambazo zimeandikwa kwenye kila duara kupata jumla. Yule mtoto na zile na zile nambari mingi anashinda.4. Ili kuendelea kucheza, rudisha miraba na uendelee na watoto wengine..

Hiari:1. Kama una chin ya watoto 10 kwenye daras lako, tengeneza zaid ya miraba 20 kwa kila mtoto. Gawanyisha watoto kwenye timu mbili, lakini watume kutafuta miaraba kwa muda mmoja. Wanafunzi wanayakua miraba hadi wamalize. Hesabu pointi kwenye karatasi kwa wakati mmoja. Za timu mzima na upate ni nani alishinda.2. Tengeneza umbo kutoka kwenye karatasi ndogo za kuenda na mada ya somo lako.3. Kwa watoto wadogo, hesabu ni miaraba mingapi bila kitu kingine, bila kuhesabu nambari ambazo zimeandikwa kwa kila mraba.

Ni wangapi wenu wanaweza taka kuenda kwenye sherehe?zina raha, hasa ikiwa

na chakula kitamu, switi, keki, na muziki.unajuwa nini? Wewe na mimi tumeitwa kwenye sherehe kubwa ya harusi! Mungu mwenyewe ametualika kwenye sherehe kubwa sana na amepee kila mwaliko kwa kila mtu! Kwenye hadithi hii yesu anaambia, mtu huyo mwanzoni anaalika wale muhimu, wale wa kitengo cha juu. Lakini wakati ulikuwa ni wakati wa sherehe kuanza,hawa matajiri, walio na masomo ya juu, watu wa Mungu walikataa kwenda. Walipeana sababu tofauti ya kukosa kwenda. Wenfi walikuwa na shughuli mingi kwa ajili ya Mungu,na hawakupata masaa kwa ajili ya Mungu. Na kwa hivyo Mungu alibadilisha mawazo yake, na akafungua sherehe kwa kila mtu. Sio wale wenye pesa pekee, ama wale warembo ama wale wenye maumbile mazuri wa shule, ama watu ambao wanajulikana kufurahia sherehe. Apana, alienda akatuma mwaliko kwa kila mtu!kwa muda mfupi sherehe ilikuwa imejaa watu, lakini bibilia inasema ya kuwa walikuwa maskini,waliovunjika miguu,vipofu, na wasioweza kutembea.hii ndio kile hufanyika leo. Ni ngumu kwa mtu wa kitengo cha juu kuitikia mwaliko wa yesu kwa sababu watakuwa wana ngengana na maringo yake. Wanafi kiria yakuwa wao ni wa umuhimu, hadi hawawezi pata muda wa yesu, na wanapeana sababu aina zote. Hawa ndio watu wanaotuzunguka wakipuuza Mungu na mwaliko wake. Tumealikwa kushiriki kwenye karamu ya milele ya Mungu mbinguni. Kile ambacho tunaelewa kutoka kwenye hadithi hii ni ati yakuwa kutakuwa na watu wengi wa cheo cha chini kwenye eneo za JUU mbinguni, kwa sababu waliskiza kwa mwaliko na wakaitikia Mungu, Mungu amekualika! Uko tayari kuskiza Mungu,kuitikia mwito wake na kuenda kwenye karamu?

Mchezo wa kuigiza:msichana mmoja amealikwa kwenda sherehe. Amefurahi kwenda ila ako na shughuli mingi. Anafi kiria yakuwa ataenda, lakini hatimaye anasahau ni siku gani, na anakosa kwenda. Nyumaye, wasichana wao wengine wanaongea kuhusu vile sherehe ilikuwa nzuri na anahuzunika kwa sababu hakuenda. Kuwa na keki ndogo kuwakilisha sherehe.

Nani amealikwa kwenye harusi? (Wale wanaacha kila kitu kwenda.)Je, inawezekana kuwa na shughuli nyingi mno kwa ajili ya Bwana? (Ndiyo) Vipi? (Kazini, shule, au moyoni

25

mwako, kama na msichana au kijana, nk)Waliokuwa wateule walikuwa nani? (Wale waliohudhuria kweli.)Je, utakubali mwaliko?

Kifungu cha bibilia: Mathayo 22:1-14

Kariri: “Basi enendeni hata njia panda za barabara, na wote mwaonao waiteni arusini. Watumwa wale wakatoka wakaenda njia kuu, wakakusanya wote waliowaona, waovu kwa wema; arusi ikajaa wageni.” Mathayo 22:9-10

Kusoma kazi ya nyumbani: Ngumu - Mathayo 26 Ngumu zaidi - Mathayo25-26

Swahili.ChildrenAreImportant.com – Children’s ministry resources, Sunday School, and Vacation Bible School (VBS) curriculum for churches and teachers.

Page 27: Kitabu cha - Amazon S3 · zaidi.kitabu cha mathayo kime gawanyishwa kwenye sura 2-3 kila wiki, kwa hivyo wakisoma kazi ya ziada ya bibilia ya wiki, wanafunzi iatabidi wamesoma kitabu

Ngumu zaidi

Ngumu

Wastani

11

Rahisi

?

?

Fumbo

Fumbo

26

W

Majibu:Majibu:

Kariri: (Rahisi)“‘Basi enendeni hata njia panda za barabara, na wote mwaonao waiteni arusini. .. waovu kwa wema; arusi ikajaa wageni.” Mathayo 22:9-10

Wacha watoto wakate vibandiko za wiki hii na aweke gundi kwenye kurasa ya somo lao ambalo lime wekwa alama. Kisha waache wapake rangi kurasa mzima.

Ujumbe wa siriN I K O N A

M U D A K W A

A J I L I Y A

Y E S U

Swahili.ChildrenAreImportant.com – Children’s ministry resources, Sunday School, and Vacation Bible School (VBS) curriculum for churches and teachers.

Ujumbe wa siriN A F A A K U W A M W A N G A L I F U

K I L A W A K A T I K U P A T A

M U D A K W A A J I L I Y A Y E S U

K R I S T O M U N G U W E T U

Page 28: Kitabu cha - Amazon S3 · zaidi.kitabu cha mathayo kime gawanyishwa kwenye sura 2-3 kila wiki, kwa hivyo wakisoma kazi ya ziada ya bibilia ya wiki, wanafunzi iatabidi wamesoma kitabu

1211111111111111111111111111222222222222222222212222222222222222212121211111111Mchezo

Vielezo

Maswali

Somo kuu

Bikira kumiVifaa:Kiti kwa kila mtoto.kitu cha kupatilishiana kama taa la plastiki,tochi, chupa ya mafuta, ama kipande cha karatasi. (Moja kwa kila wanafunzi 6-8)Tayarisha mchezo:Weka viti kwa mistari miwili kama picha iliyo chini’ Anzisha mchezo: 1. Weka watoto kwa vikundi vya watu 6-8 na uwafanye wakalie viti.2. Pena kitu hicho kwa mtu wa kwanza kwa mstari. Wakati mwalimu akisema, wanapatilishiana kwa mkono hadi kwa mwisho wa mstari. Mtoto wa mwisho anachukua anakimbia nayo hadi mwanzo. Wakati anakimbia, hao wengine wanaondoa vitu zao,wakiacha kiti moja bola mtu hapo mbele. Baada ya yeye kuketi,peana kitu tena.endelea na kila mwanafunzi hadi kila mwanafunzi maerudi kwa kiti chake cha asiili. Timu ya kwanza kuzunguka viti inashinda3. Mtoto kutoka kwa ile timu inashinda anapena jibu kwa swali kutoka kwa somo. Unaweza unganisha timu na undelee kucheza.

Hairi:1. Unaweza tumia kipande cha karatasi na kitu kingine kutoka kwa somo lako, ama na aya ya kukaririwa.2. Unaweza tumia matawi kutoka kwa mti, ama maua, ama kitu kingine ambacho kiko uhai.3. Kama idadi ya watoto haitoshani kwa kila timu,wacha viongozo waingie kufanya timu zitoshane.

Bibilia inasema yakuwa siku moja yesu atarudi kwa wale wamempee maisha yao kwake. Kwenye hii hadithi,tunaona yakuwa yesu anataka tukuwe tayari kwa kuja kwake kwa pili. Sisi ni bi arusi wa yesu(kanisa) na yakuwa tunangoja yesu kurudi. Tunafaa kuwa tayari. Kuna wale ambao wanafi kirianyakuwa wanaweza cheza kidogo,sherehekea na watende dhambi kwa miaka kadhaa. Labda wanafi kiria yakuwa badae wataweza tubu dhambi kwa wakati mwema. Lakini, yesu anaweza rudia kanisa siku yoyote, na tunafaa kuwa tayari. Wakati atarudi, tunafaa kupatewa tunaishi kwa ajili yake. Wengine pengine wanakaa nikaa wanaishi maisha ya ukristo , lakini mioyoni mwao,hawajajisalimisha kwa Mungu. Hawataki kutii wakati anawaulizia wasamehe wengine ama wakuwe wakarimu kwa wengine tunaweza fanikiwa kudanganya watu, lakini Mungu anaweza ona nyoyo zetu. Kutoka kwa hii hadithi, tunakumbushwa yakuwa tunafaa kuishi kwa Mungu, ukitii amri zake kwa sababu hatuwezi jua kurudi kwake.

Mchezo wa kuigiza pale wanafunzi wanacheza na fi limbi. Kila mtu anafanya vizuri nikama wanatayarishia tamasha ambayo inakuja hivi karibuni. Hawajui tarehe ya tamasha, kwa hivyo wanafaa kuja na fi limbi zao kila siku. Siku moja tamasha itafi ka ghafl a lakini ni watoto 5 kati ya 10 ambao wana fi limbi zao na wanaweza shiriki. Wengine wameachwa wakiwa na huzuni lakni hawakuweza kushiriki.

Ni akina nani bikira? (sisi)Ni nani bwana harusi? (Yesu)nani anajuwa ile tarehe yesu atarudi? (hakuna)Ni nini tunaweza fanya kuwa tayari kwa kurudi kwa Yesu? (kupenda wengine,kuwa mkarimu,tii Mungu,)Ni nini mtu ambaye ameamka anafaa kufanya? (anatembea,kula,kufanya kazi,kuwa msafi )

27

Kifungu cha bibilia: Mathayo 25:1-13

Kariri: “Basi kesheni, kwa sababu hamwijui siku wala saa.” Mathayo 25:13Kusoma kazi ya nyumbani: Ngumu - Mathayo 28 Ngumu zaidi - Mathayo 27-28

Swahili.ChildrenAreImportant.com – Children’s ministry resources, Sunday School, and Vacation Bible School (VBS) curriculum for churches and teachers.

Page 29: Kitabu cha - Amazon S3 · zaidi.kitabu cha mathayo kime gawanyishwa kwenye sura 2-3 kila wiki, kwa hivyo wakisoma kazi ya ziada ya bibilia ya wiki, wanafunzi iatabidi wamesoma kitabu

Ngumu zaidi

Ngumu

Wastani12Rahisi

Kut

afut

a ne

no

28

A

Kutafuta neno

Kutafuta neno

Majibu:Majibu:

Kariri: (Rahisi)"Basi kesheni, kwa sababu hamwijui siku wala saa." Mathayo 25:13

Wacha watoto wakate vibandiko za wiki hii na aweke gundi kwenye kurasa ya somo lao ambalo lime wekwa alama. Kisha waache wapake rangi kurasa mzima.

Ujumbe wa siriI S H I K A M A

M K R I S T O K I L A

S I K U Y A

M A I S H A Y A N G U

Z S T A Z A M AU F A L M E B FM S L I U K I SJ T A N O K N OI A T M U N G UN A U J I N U MG Z F S A A N JA L A L U K I IK U M I B F O N

S T U K G N BM A F U T A IJ N U M A T HS O B I A M AI I S A I N RK S M U N G UU F U T A M SB I H A R U I

Ujumbe wa siriN A F A A K U I S H I

K A M A M K R I S T O W A

U K W E L I K I L A S I K U

Y A M A I S H A

A L U K A M A S H W A M NL A K I S M J I N G A W YF M U L A B U C J I N E EM L T Z I I S U K T A N OB W A N A H A R U S I Y TI T F E H A T U F A M E SN B U N M R Z T A A L B IG U T O K U L A L A A U RU S A Y U S N C M F N S KN U N E M I A G E A G A MI B W S I K U W U L O R KT A Z U T Z M B I N G A U

YEBUS

MWE

ARA

L AK AK

T U MMT F

LT Z

AMB

MBINGUNI

A RN AWW A N S IB

S K U

J I N G AM J

ME

L

FU

SI

RA

BI

A

B

H

N CA G

W U

MKK

SUK

UM

KK

I

MLAN

M

GO

M

T A ON O

AAS

I

SAI U F L M E

AT A A

TSIRKM

O

NO

T

I

SA L

A

MJING

AA

TUF

UNIO

N

B

AS

A N OTT A

U KA LA A

U K SI

K U M IMM

M U N U

T A Z A M AT M

N

O

A AL U

MM

G

FM A A

USI

BIHAR

AA

TMI

KU

SIKU

M U N G US A I

Swahili.ChildrenAreImportant.com – Children’s ministry resources, Sunday School, and Vacation Bible School (VBS) curriculum for churches and teachers.

Page 30: Kitabu cha - Amazon S3 · zaidi.kitabu cha mathayo kime gawanyishwa kwenye sura 2-3 kila wiki, kwa hivyo wakisoma kazi ya ziada ya bibilia ya wiki, wanafunzi iatabidi wamesoma kitabu

131111111111333333333333333333313131311111111Mchezo

Vielezo

Maswali

Somo kuu

Sarafu za dhahabuAsante

Vifaa:Kadi kwa kila mtoto na penseli ya kuchora.Tayarisha mchezo:Andika idadi ya sarafu kutoka 1-10 kwa kila kadi. Ficha darasani. Anzisha mchezo: Wakati mwalimu anapeana ishara, watoto waende kutafuta kadi moja. Hawaezi badilisha kadi na watoto wengine. Watoto lazima waruke mara mbili ya idadi ya ile wamepata. Mtoto na mruko mmoja anaruka mara mbili. Yule mtoto ambaye ana 10 itabidi aruke mara 20. Rudia na nyakati tofauti, ukibadilisha kile wanafanya kuzidisha sarafu zao.(kukimbia kwenye upande huo mwingine wa chumba, vidole zikiguzana,kufanya kitu kwa muda wa sekunde 10..)

Hiari:Kama huwezi fi acha kadi ju ya kukosa nafasi ama jua ya sababu zingine, pee kila mtoto moja. Kunja ili wasione. Wakati mwalimu anapeana ishara, wnanfunzi wanapatilishiana kadi. Wakati muda unaisha, kila mtoto anafungua kad yake na kuona nambari ambayo amepata.

“Umefanya vizuri, mtumishi mzuri na mwaminifu:nitkuweka ukuwe msimamizi wa vitu mingi. Kuja ugawe na furaha ya bwana!” Kila mtu anataka kuskia maneno haya kutoka kwa Mungu. Kwa hivyo ni nini Mungu anasema kwetu kwa hadithi hii? Tunaweza kuwa na tabia gani ili tusikie maneno haya kutoka kwa yesu? Kwanza, ni muhimu tufanye kitu na pesa, zawadi, na muda wetu ambazo Mungu amesema. Mungu anataka tunda toka kwa maisha yetu, na tunaweza tumia raslimali ambazo tuko nazo. Pili, tunaweza gundua yakuwa Mungu atatu hukumu kulingana na kile tunaanza nacho. Mungu hakuagiza kwa sarafu kumi toka kwa mtu ambaye alikuwa amempee mbili tu. Alikuwa ametosheka na zile nne kwa sababu alizidisha idadi ambalo alikuwa amempee. Hii ni dhana ni ya kufurahisha.si lazima nifanye wizara kama ya ndugu yangu kwa sababu ako na pesa mingi,zawadi ama muda kuniliko. Lakini kama ako na kidogo, na ananipita na mingi?kile kitu cha umuhimu ni ati tufanye kitu na raslimali ambazo Mungu ametupee. Na tukifanya hivi,Mungu anatuahidi atatupee zaidi. Pia ni kwa umuhimu yakuwa tusikuwe na malengo na wizara za watu wengine na tuanze kujilinganisha.ni Mungu pekee anajua ni nini tunapata tukilinganisha na kile alitupee mwanzoni.

kwa kutumia muda wako na talanta

kuangalia watoto!

aa za watu

ua ni nini tunap

Mchezo wa kuigiza: : Mtu mmoja ana koleo mbaya ambayo haifanyi kazi vizuri, wakati mtu mwingine ana koleo mpya. Mkubwa wao anawapa kazi kila mmoja, kazi ya kuchimba shimo la mita moja ya mraba. Mtu aliye na koleo mbaya anapata mahali penye ardhi ngumu sana na mawe nyingi. Mtu aliye na koleo nzuri anapata ardhi laini sana. Aliye na koleo mpya na ardhi laini anaanza kumdharau ule mwingine, na kuashiria kwamba hajui jinsi ya kufanya kazi. Anamtania akimwambia sio lazima awe na misuli mingi na ni lazima achukue nafasi nyingi za kupumzika. Mwishowe, mkubwa wao anarudi, na ameridhika sana na mtu wa pili, kwa kuwa alifanya mengi na kile kidogo alichokuwa nacho.

Ni sarafu zipi za dhahabu tofauti ambazo Mungu ametupee? (pesa, zawadi za kiroho,talanta za kiasili,busara,muda)Kwa kuwa wewe ni mkristo,kazi yako ni ya umuhimu? (ndio)Mbona? (kwa sababu tunafaa kuweka kwa kazi kile ambacho Mungu ametupee;kwa sababu kile tunafanya

kinatuonyesha sisi ndio nani.!)Unaweza linganisha kazi yako na wengine? (apana, kwa sababu hatujui kile Mungu amewapee kuanzia!)Ni nini kinafanyika tukitoa maradufu ya kile Mungu ametupee? (“Mungu atasema, kazi nzuri mtumishi mwaminifu” na utupee zaidi.)29

Kifungu cha bibilia: Mathayo 25:14-30

Kariri: "Bwana wake akamwambia, Vema, mtumwa mwema na mwaminifu ulikuwa mwaminifu kwa machache, nitakuweka juu ya mengi; ingia katika furaha ya bwana wako. ” Mathayo 25:21b

Kusoma kazi ya nyumbani: TAFUNA NA UFASHE!

Swahili.ChildrenAreImportant.com – Children’s ministry resources, Sunday School, and Vacation Bible School (VBS) curriculum for churches and teachers.

Page 31: Kitabu cha - Amazon S3 · zaidi.kitabu cha mathayo kime gawanyishwa kwenye sura 2-3 kila wiki, kwa hivyo wakisoma kazi ya ziada ya bibilia ya wiki, wanafunzi iatabidi wamesoma kitabu

Ngumu zaidi

Ngumu

Wastani13Rahisi

Toa majina kutafuta ujumbe.

30

Majibu:Majibu:

Kariri: (Rahisi)Vema, mtumwa mwema na mwaminifu ulikuwa mwaminifu kwa machache, nitakuweka juu ya mengi....” Mathayo 25:21b

Wacha watoto wakate vibandiko za wiki hii na aweke gundi kwenye kurasa ya somo lao ambalo lime wekwa alama. Kisha waache wapake rangi kurasa mzima.

Ujumbe wa siriT U M I A P E S A

Y A N G U

T A L A N T A N A

M U D A K W A

V I T U Z A

M U N G U

Usiruhusu Yesu akupate

ukiwa umeketi kama

hufanyi kitu.

Toa majina kutafuta ujumbe.

( hUriususu) ( seuY )

( puktaae ) ( wukia )

( wukia ) ( tekiemu)

( maka)

( fuiyahn ) ( tiku)

Usiruhusu Yesu

akupate ukiwa

ukiwa umeketi

kama

hufanyi kitu

Ujumbe wa siriN A F A A K U K U M B U K A

K I L A W A K A T I

K U T U M I A P E S A Y A N G U

T A L A N T A N A M U D A

K W A A J I L I Y A V I T U

Z A M U N G U

hUriususu seuY puktaae wukia tekiemu maka fuiyahn tiku

K

14

O

Swahili.ChildrenAreImportant.com – Children’s ministry resources, Sunday School, and Vacation Bible School (VBS) curriculum for churches and teachers.

Page 32: Kitabu cha - Amazon S3 · zaidi.kitabu cha mathayo kime gawanyishwa kwenye sura 2-3 kila wiki, kwa hivyo wakisoma kazi ya ziada ya bibilia ya wiki, wanafunzi iatabidi wamesoma kitabu

Detectives Teacher Swahili

www.ChildrenAreImportant.cominfo@childrenareimportant.comTunapatikana Mexico.

SNIMUDXZCJLHRWEQVAOGKBTYFP FUNGUO

Jaribu VBS yetu:

ww

w.ChildrenAreIm

portant.com/galaxy

Pale ambapo watoto wanapata kukutana na ukuu

wa Mungu!

Swahili.ChildrenAreImportant.com – Children’s ministry resources, Sunday School, and Vacation Bible School (VBS) curriculum for churches and teachers.