676
KITABU CHA MORMONI USHUHUDA MWINGINE WA YESU KRISTO

KITABU CHA MORMONI

  • Upload
    dodan

  • View
    1.868

  • Download
    17

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: KITABU CHA MORMONI

KITABU CHA

MORMONI USHUHUDA MWINGINE

WA YESU KRISTO

Page 2: KITABU CHA MORMONI

Kitabucha

MormoniUSHUHUDA

MWINGINE

WA

YESU KRISTO

Page 3: KITABU CHA MORMONI
Page 4: KITABU CHA MORMONI

Kitabu cha MormoniHISTORIA ILIYOANDIKWA KWA

MKONO WA MORMONIKWENYE BAMBA

ZILIZOCHUKULIWA KUTOKA BAMBA ZA NEFI

Kwa hivyo, huu ni ufupisho wa maandishi ya watu wa Nefi, napia ya Walamani — Iliyoandikiwa Walamani, ambao ni sazo lanyumba ya Israeli; na pia kwa Myahudi na kwa Myunani — Imea-ndikwa kutokana na amri, na pia kwa roho ya unabii na ufunuo —Imeandikwa na kufungwa, na kufichwa katika Bwana, ili isihari-biwe — Ipate kutolewa kwa karama na uwezo wa Mungu na hatautafsiri wake — Ulifungwa kwa mkono wa Moroni, na kufichwakatika Bwana, ili ije itolewe wakati wa kufaa kupitia Myunani —Na kutafsiriwa kwa karama ya Mungu.

Na pia ufupisho kutoka kitabu cha Etheri pia, ambayo ni maa-ndishi kuhusu watu wa Yaredi, ambao walitawanyishwa wakatiBwana alipochanganyisha lugha za watu, walipokuwa wakijengamnara ili wafike mbinguni — Ambayo ni kuonyesha sazo la nyu-mba ya Israeli vitu vikubwa ambavyo Bwana aliwatendea babazao; na ili wajue maagano ya Bwana, kuwa hawakutupiliwa mbalimilele — Na pia kuwathibitishia Myahudi na Myunani kwambaYesu ndiye Kristo, Mungu wa Milele, anayejidhihirisha kwamataifa yote — Na sasa, kama kuna makosa ni hitilafu ya wanada-mu; kwa hivyo, usilaumu vitu vya Mungu, ili usipatikane na doakwenye kiti cha hukumu cha Kristo.

Tafsiri asili ya Kiingereza kutoka kwa bambana Joseph Smith, Mdogo

Nakala ya kwanza ya Kiingereza ilichapishwaPalmyra, New York, USA, katika 1830

Page 5: KITABU CHA MORMONI
Page 6: KITABU CHA MORMONI

v

DIBAJI

Kitabu cha Mormoni ni chuo cha maandiko matakatifu sawasawa na Biblia. Ni maandishi kuhusu jinsi Mungu alivyowa-

tendea wenyeji wa kale wa bara za Amerika na inayo utimilifu wainjili isiyo na mwisho.

Kitabu hiki kiliandikwa na manabii wengi wa kale kwa roho yaunabii na ufunuo. Maneno yao, yaliyoandikwa kwenye bamba zadhahabu, yalikaririwa na kufupishwa na mwanahistoria nabiialiyeitwa Mormoni. Maandishi yanaelezea kuhusu historia ya ta-maduni mbili kuu zenye ustaarabu katika nyakati tofauti. Kimojakilitoka Yerusalemu mwaka wa 600 kabla ya kuzaliwa kwa Kristo,na baadaye kugawanyika kuwa mataifa mawili, ambayo yalijuli-kana kama Wanefi na Walamani. Kile kingine kilikuja awali kabi-sa wakati Bwana alipochanganya lugha katika Mnara wa Babeli.Kikundi hiki kinajulikana kama Wayaredi. Baada ya maelfu yamiaka, wote waliangamizwa isipokuwa Walamani, na hasa hawandiyo babu wakuu wa Wahindi wekundu wa Kiamerika.

Kisa cha kilele ambacho kimeandikwa katika Kitabu cha Mormonini huduma ya kibinafsi ya Bwana Yesu Kristo miongoni mwaWanefi mara baada ya ufufuko wake. Kinaeleza mafundisho yainjili, inadokeza juu ya mpango wa wokovu, na kuwaambia bina-damu vitu vinavyo wapasa kufanya ili wapate amani katika hayamaisha duniani na wokovu wa milele katika maisha yanayokuja.

Baada ya Mormoni kukamilisha maandishi yake, akamkabidhimwana wake Moroni hiyo historia, na yeye akaongeza manenoyake machache na kuficha hizo bamba katika kilima Kumora.Mnamo Septemba 21, 1823, huyo Moroni, sasa akiwa ametuku-zwa, mwanadamu ambaye amefufuliwa, akamtokea nabii JosephSmith na kumshauri kuhusu yale maandishi ya kale na utafsiriwake katika lugha ya Kiingereza.

Hatimaye Joseph Smith akazipokea zile Bamba, na akazitafsirikwa karama na uwezo wa Mungu. Hayo maandishi sasa yame-chapishwa kwa lugha nyingi ikiwa ushuhuda mpya na wa kuo-ngezea kuwa Yesu Kristo ndiye Mwana wa Mungu aishiye nakwamba wote ambao watamjia na kutii sheria na masharti ya injiliyake wataokolewa.

Kuhusu maandishi haya nabii Joseph Smith alisema: “Niliwaa-mbia ndugu kwamba Kitabu cha Mormoni ndicho kitabu sahihiduniani, na ndicho jiwe la katikati la teo la dini yetu, na kuwamwanadamu angemkaribia Mungu zaidi kwa kufuata mafunzoyake, zaidi ya kitabu kingine.”

Pamoja na Joseph Smith, Bwana aliwachagua wengine kumi na

Page 7: KITABU CHA MORMONI

vi

moja kujionea bamba zile za dhahabu na kuwa mashahidi maa-lum wa ukweli na utakatifu wa kitabu cha Mormoni. Ushuhudawao wameuandika na umechapishwa hapa na kujulikana kama“Ushuhuda wa Mashahidi Watatu” na “Ushuhuda wa MashahidiWanane.”

Tunawakaribisha watu wote kutoka kila mahali kusoma Kitabucha Mormoni, kutafakari mioyoni mwao ujumbe wake, na kishakumuuliza Mungu, Baba wa Milele, katika jina la Kristo kama hikikitabu ni cha kweli. Wale ambao watafuata njia hii na kuuliza kwaimani watapata ushuhuda wa ukweli na utakatifu wake kwa ngu-vu za Roho Mtakatifu. (Soma Moroni 10:3–5.)

Wale ambao wanapata ushuhuda huu mtakatifu kutokana naRoho Mtakatifu watajua pia kutokana na huo uwezo kwambaYesu Kristo ndiye Mwokozi wa ulimwengu, na kwamba JosephSmith ndiye mfunuzi na nabii wake katika siku hizi za baadaye,na kwamba Kanisa la Yesu Kristo la Watakatifu wa Siku za Mwi-sho ndilo falme la Bwana ambalo limejengewa mara ingine hapaulimwenguni kwa matayarisho ya ujio wa pili kwa Masiya.

Page 8: KITABU CHA MORMONI

vii

USHUHUDA WA MASHAHIDI WATATU

Ijulikane kwa kila taifa, jamaa, lugha, na watu, ambao watafiki-wa na kazi hii: Kwamba sisi, kwa neema ya Mungu Baba, naBwana wetu Yesu Kristo, tumeona bamba ambazo zilikuwa nahistoria hii, ambayo ni historia ya watu wa Nefi, na pia ya Wala-mani, ndugu zao, na pia ya watu wa Yaredi, ambao walitoka ulemnara ambao tayari umezungumziwa. Na pia sisi tunajua kwa-mba yametafsiriwa kwa karama na uwezo wa Mungu, kwani kwasauti yake imetutangazia; kwa hivyo tunajua kwa uhakika kwa-mba kazi hii ni ya kweli. Na pia tunashuhudia kwamba tumeonamichoro ambayo iko kwenye bamba; na tumeonyeshwa haya kwauwezo wa Mungu, wala sio wa binadamu. Na tunatangaza kwamaneno ya kiasi, kwamba malaika wa Mungu aliteremka kutokambinguni, na akaleta na kulaza mbele ya macho yetu, na tukata-zama na kuona hizo bamba, na michoro yake; na tunajua kwambani kwa neema ya Mungu Baba, na ya Bwana wetu Yesu Kristo,kwamba tuliona na tunashuhudia kwamba vitu hivi ni kweli. Nani ya kustaajabisha machoni mwetu. Walakini, sauti ya Bwanailituamuru kwamba tuishuhudie; kwa hivyo, kwa kutii amri zaMungu, tunashuhudia hivi vitu. Na tunajua kuwa kama tutakuwawaaminifu kwa Kristo, tutatakaza mavazi yetu kutokana na damuya watu wote, ili tusipatikane na doa kitini cha hukumu chaKristo, na tutaishi na yeye milele mbinguni. Na utukufu uwe kwaBaba, na Mwana, na Roho Mtakatifu, ambao ni Mungu mmoja.Amina.

Oliver CowderyDavid WhitmerMartin Harris

Page 9: KITABU CHA MORMONI

viii

USHUHUDA WA MASHAHIDI WANANE

Ijulikane kwa kila taifa, jamaa, lugha, na kwa watu, ambao wata-fikiwa na kazi hii: Kwamba Joseph Smith, mdogo, mfasiri wa kazihii, ametuonyesha bamba ambazo tayari zimezungumziwa,ambazo zina muundo wa dhahabu; na tumegusa kwa mikonoyetu kurasa ambazo yule Smith ametafsiri; na pia kuona michorojuu yake, yote ikiwa na mfano wa kazi ya kale, na ufundi maalu-mu. Na tunashuhudia haya kwa maneno ya kiasi, kwamba Smithaliyetajwa ametuonyesha, kwani tumeona na kuinua, na kujuakwa uhakika kwamba Smith aliyetajwa anazo bamba ambazotayari tumezungumzia. Na tunaupatia ulimwengu majina yetu, ilikushuhudia kwa ulimwengu yale ambayo tumeyaona. Na hatu-danganyi, Mungu akishuhudia hii.

Christian Whitmer Hiram PageJacob Whitmer Joseph Smith, MkubwaPeter Whitmer, Mdogo Hyrum SmithJohn Whitmer Samuel H. Smith

Page 10: KITABU CHA MORMONI

ix

USHUHUDA WA NABII JOSEPH SMITH

Maneno yenyewe ya nabii Joseph Smith kuhusu ufunuo wa Kita-bu cha Mormoni ni haya:

“Mnamo jioni ya tarehe . . . ishirini na moja, mwezi wa Septemba[1823] . . . nilianza sala na maombi kwa Mwenyezi Mungu. . . .

“Nilipokuwa katika hali ya kumwomba Mungu, niligunduakwamba kulikuwa na mwangaza unaingia chumbani mwangu,ambao uliendelea kuangaza hadi chumba kikang’aa zaidi yamwangaza wa adhuhuri, kwa ghafla malaika akatokea kando yakitanda changu, akasimama hewani, kwani miguu yake haikugu-sa sakafu.

“Alikuwa amevaa joho jeupe maridadi. Ilikuwa nyeupe zaidi yachochote nilichokuwa nimeona duniani; wala siamini kwambakuna kitu chochote duniani ambacho kinaweza kufanywa kuwacheupe na kung’ara kama hivyo. Mikono yake ilikuwa uchi, hadijuu kidogo ya viwiko; hivyo vivyo, pia, miguu yake ilikuwa uchi,hadi juu kidogo vifundoni. Kichwa chake na shingo lake pia vili-kuwa wazi. Nikagundua kwamba hakuwa amevaa vazi lolotezaidi ya lile joho, kwa maana lilikuwa wazi, ili nione kifua chake.

“Siyo tu joho lake lilikuwa jeupe zaidi, lakini hata kiwiliwilichake kilikuwa na utukufu usioelezeka, na uso wake kwa ukweliukawa kama umeme. Chumba kiling’aa kabisa, lakini siyo zaidiya pale aliposimama huyo mtu. Nilipomtazama mara ya kwanza,niliogopa; lakini hatimaye woga ukanitoka.

“Aliniita kwa jina langu, na kuniambia kwamba alikuwa mju-mbe aliyetumwa kwangu kutoka uwepo wa Mungu, na kwambajina lake lilikuwa Moroni; kwamba Mungu alikuwa na kazi amba-yo mimi ningefanya; na kwamba jina langu lingekuwa la mema namaovu miongoni mwa mataifa yote, kabila, na lugha, au lingeta-jwa kwa wema na kwa uovu miongoni mwa watu wote.

“Akasema kulikuwa na kitabu kimesalimishwa, kimeandikwakwenye bamba za dhahabu, kinaeleza historia ya wenyeji wa kalewa bara hili, na mwanzo ambako walikotokea. Akasema pia kwa-mba utimilifu wa Injili isiyo na mwisho ulikuwa ndani ya kitabuhicho, kama ilivyotolewa na Mwokozi kwa wenyeji wa kale;

“Pia, kwamba yalikuwa mawe mawili katika pinde za fedha —na haya mawe, yalifungwa kwenye dirii, na hii ndio inaitwaUrimu na Thumimu — ikiwa imesalimishwa na hizo bamba; naumiliki na utumiaji wa haya mawe ndio ulikuwa mwito wa Mwo-naji wa kale au wa zamani; na kwamba Mungu alikuwa ameyata-yarisha kwa sababu ya utafsiri wa hiki kitabu.

* * * * * * *

Page 11: KITABU CHA MORMONI

x

“Akaniambia, tena, nikizipata hizo bamba ambazo alikuwa amezi-zungumzia — kwani wakati wa kuzipokea haukuwa umetimia —Nisizionyeshe kwa mtu yeyote; wala ile dirii pamoja na Urimu naThumimu; isipokuwa tu kwa wale ambao nitaamriwa kuwaonye-sha; ikiwa nitazionyeshana nitaangamizwa. Alipokuwa akinizungu-mzia kuhusu hizo bamba, ono likafunguliwa katika mawazo yanguili nione mahali ambapo zile bamba zilisalimishwa, na ilikuwa wazina dhahiri kwamba ningepajua hapo mahali nikipatembelea tena.

“Baada ya haya mawasiliano, nikaona mwangaza uliokuwachumbani ukimzingira yule mtu aliyekuwa akinizungumzia, naukaendelea kufanya hivyo, hadi chumba kikawa tena na giza,isipokuwa tu mahali alipokuwa amesimama, ambapo kwa ghaflanikaona, ni kama njia imefunguka hadi mbinguni, na akapandanayo hadi akatoweka kabisa, na chumba kikawa kama vile kili-vyokuwa kabla ya ule mwangaza wa mbinguni kuingia.

“Nikalala nikiwaza kwa upweke kuhusu hilo jambo, na nika-shangazwa sana na yale niliyokuwa nimeambiwa na huyu mju-mbe mgeni; ambapo, miongoni mwa mawazo yangu, nikagunduakwa ghafla kwamba chumba changu kilianza tena kuangazwa, naikawa kwamba kwa mara moja, kama ilivyokuwa, mjumbe yuleyule wa mbinguni alikuwa tena kando ya kitanda changu.

“Akaanza, na tena kuniambia vitu vile vile alivyofanya hapoawali, bila tofauti yoyote; baada ya kufanya hivyo, akanijulishakuhusu hukumu kali ambazo zilikuwa zinakuja ulimwenguni,pamoja na ukiwa mkubwa wa njaa, upanga, na tauni; na kwambahizi hukumu kali zitakuja ulimwenguni katika kizazi hiki. Baadaya kusimulia vitu hivi, akapanda juu tena kama alivyokuwa ame-fanya hapo awali.

“Kwa wakati huu, mawazo yangu yalikuwa mazito sana, kwa-mba usingizi ukapotea machoni mwangu, na nikajilaza nikizimiamoyo kwa mshangao kwa yale niliyokuwa nimeona na kusikia.Lakini mshangao mkubwa ulikuwa wakati ambao nilimwona te-na yule yule mjumbe kando ya kitanda changu, na nikamsikiatena akirudia vile vitu vya awali; na akaongeza onyo, akaniambiakwamba Shetani angejaribu kunishawishi (akitumia hali ya umas-kini wa jamii ya baba yangu), kuzichukua zile bamba kwa kusudila kutafuta utajiri. Hii alinikanya, akisema lazima nisiwe na lengolingine la kuzichukua zile bamba ila tu kumtukuza Mungu, nakwamba lazima nisiongozwe na kusudi lingine ila tu la kujengaufalme wake; kama si hivyo sitazipata.

“Baada ya hili tukio la tatu, akapanda tena mbinguni kamahapo awali, na nikaachwa tena nikiwaza kwa mshangao kwa yaleambayo nilikuwa tu nimeshuhudia; ambapo karibu kwa mara

Page 12: KITABU CHA MORMONI

xi

moja baada ya yule mjumbe wa mbinguni kupanda mara ya tatu,jogoo akawika, na nikafahamu kwamba siku ilikuwa inapamba-zuka, kwamba mazungumzo yetu lazima yalikuwa yamechukuausiku wote.

“Baada ya muda mfupi nikaamka kutoka kitandani, na kamakawaida, nikaenda kufanya kazi inayonipasa kila siku; lakini ni-kajaribu kufanya kazi kama nyakati zingine, nikaishiwa na nguvunikawa mchovu nisijiweze. Baba yangu, ambaye alikuwa anafa-nya kazi karibu na mimi, akagundua kwamba nilikuwa na kasorofulani, na akaniambia nirejee nyumbani. Nikaanza nikiwa na ku-sudi la kurejea nyumbani; lakini nikijaribu kuvuka ua ambaoulikuwa umezingira ule uwanja ambamo tulikuwa, nikaishiwanikaanguka hoi chini, na kwa muda sikujisikia kabisa.

“Kitu cha kwanza ambacho naweza kukumbuka ni sauti ikini-zungumzia, ikiniita kwa jina langu. Nikatazama juu, na nikaonamjumbe yule yule amesimama karibu na kichwa changu, akiwaamezingirwa na mwangaza kama hapo awali. Akanielezea tenayale ambayo alinielezea usiku uliopita, na akaniamuru niendekwa baba yangu na nimwambie kuhusu lile ono na amri ambazonilipokea.

“Nikatii nikarejea kwa baba yangu huko uwanjani, na nika-mwambia vitu vyote. Akanijibu kwamba yalikuwa ni ya Mungu,na akaniambia niende na nitende niliyoamriwa na yule mjumbe.Nikatoka uwanjani, na nikaenda mahali pale yule mjumbe alinie-lezea kuwa zile bamba zilizosalimishwa zipo; na kwa sababu yaudhahiri wa lile ono nililoona kuhusu mahali hapo nilipajua maramoja nilipowasili.

“Karibu na kijiji cha Manchester, jimbo la Ontario, New York,kuna mlima mkubwa kiasi na ni mrefu zaidi ya chochote hapomtaani. Magharibi mwa mlima huu, karibu na kilele, chini ya jiwela kipimo kikubwa, zile bamba zilikuwemo, zilifungiwa ndani yasanduku la jiwe. Jiwe hili lilikuwa nene na upande wa juu katikatililikuwa kama mviringo, na pande zake zilikuwa nyembamba,kwamba lingeonekana katikati kutoka chini, lakini pande zakezote zilifunikwa na udongo.

“Baada ya kutoa udongo, nikachukua mtaimbo, ambao niliuko-komea chini ya upande wa lile jiwe, na kwa bidii kidogo nikalii-nua. Nikatazama ndani, na pale kwa kweli nikaziona zile bamba,Urimu na Thumimu, pamoja na dirii, kama ilivyoelezwa na yulemjumbe. Lile sanduku ambalo zilikuwemo lilikuwa limejengwakwa saruji na mawe. Chini ya lile sanduku palikuwa na mawemawili yamepitana, na juu ya haya mawe zilikuwa zimekomele-wa zile bamba pamoja na hivyo vitu vingine.

Page 13: KITABU CHA MORMONI

xii

“Nikajaribu kuzitoa, lakini nikakatazwa na yule mjumbe, nika-ambiwa tena wakati wa kuzitoa haukuwa umetimia, wala hau-ngetimia, kabla ya miaka minne kupita tangu ile siku; lakini aka-niambia nirudi mahali pale baada ya mwaka moja halisi kutokasiku ile, na kwamba atakutana na mimi pale, na kwamba niende-lee kufanya hivyo hadi wakati wa kuzichukua bamba utimie.

“Kulingana na vile nilivyoamrishwa, nilienda kila mwisho wamwaka, na kila wakati nilimpata mjumbe yule yule hapo, na kilawakati wa mazungumzo nikapokea mashauri na ufahamu kutokakwake kuhusu yale Bwana atatenda, na vipi na jinsi gani ufalmewake utaendeshwa katika siku za mwisho.

* * * * * * *“Hatimaye wakati ukatimia wakuzichukua zile bamba, Urimu

na Thumimu, na ile dirii. Mnamo tarehe ishirini na mbili mweziwa Septemba, mwaka wa elfu moja mia nane ishirini na saba,baada ya kwenda kama kawaida katika mwisho wa mwaka mwi-ngine mahali zilimosalimishwa, mjumbe yule yule wa mbinguniakanikabidhi zile bamba na hili agizo: Kwamba ni wajibu wangu;na kwamba nisipozichunga, au kwa sababu ya kutojali kwangu,nitatupiliwa mbali; lakini nikizitunza na kufanya bidii yote ilikuzihifadhi, hadi yeye, mjumbe, aziitishe, zitalindwa.

“Kwa haraka nikagundua shauri ya kuniagiza kwa ukali kuzi-weka salama, na ni kwa nini yule mjumbe alisema kuwa nikitimi-za yanayohitajika mkononi mwangu, ataziitisha. Kwani kwa ha-raka ilijulikana kwamba nilikuwa nazo, kuliko juhudi za nguvuzilitumika kuzichukua kutoka kwangu. Kila hila iliyopatikanailitumika kwa kusudi hilo. Madhulumu ikawa magumu na kalimno zaidi ya hapo awali, na wengi walikuwa tayari kila marakuzichukua kutoka kwangu kama ingewezekana. Lakini kwa he-kima ya Mungu, zikawa salama mikononi mwangu, hadi nikati-miza nazo kilichohitajika kwa mkono wangu. Kulingana na mipa-ngo; wakati mjumbe alipoziitisha, nilizikabidhi kwake; na hadisasa ziko chini ya ulinzi wake, ikiwa tarehe mbili mwezi wa Mei,mwaka wa elfu moja mia nane, thelathini na nane.”

Kwa historia kamili, angalia Joseph Smith—Historia katika Luluya Thamani Kuu, na History of The Church of Jesus Christ of Latter-daySaints (Historia ya Kanisa la Yesu Kristo la Watakatifu wa Siku zaMwisho), kitabu cha 1, mlango wa kwanza hadi sita.

Historia hiyo ya kale ilitolewa kwenye ardhi kama sauti ya watuwakizungumza kutoka mavumbini, na ikatafsiriwa kwa lugha yakisasa kwa karama na uwezo wa Mungu kama ilivyoshuhudiwa naUshuhuda mtakatifu, ulichapishwa mara ya kwanza ulimwengunikwa Kiingereza mwaka wa 1830 kama The Book of Mormon.

Page 14: KITABU CHA MORMONI

xiii

MAELEZO MAFUPI KUHUSU

Kitabu cha MormoniKitabu cha Mormoni ni historia takatifu ya watu wa kale waAmerika, na ilikuwa imechorwa kwenye bamba za chuma. Ainanne za bamba za chuma zinaelezewa kwenye kitabu chenyewe:1. Bamba za Nefi, ambazo zilikuwa za aina mbili: Bamba ndogo na

Bamba Kubwa. Za kwanza zilishirikishwa hasa zaidi na vituvya kidini na huduma pamoja na mafundisho ya manabii, nazohizo za pili zilikuwa na historia ya kiulimwengu kuhusu haowatu (1 Nefi 9:2–4). Ingawaje, kutokea wakati wa Mosia, zilebamba kubwa pia zilikuwa na vitu muhimu vya kidini.

2. Bamba za Mormoni, ambazo zilikuwa na ufupisho wa Mormonikutoka Bamba Kubwa za Nefi, na ufafanuzi mwingi. Hizi ba-mba pia zilikuwa na maongezo ya kihistoria iliyoandikwa naMormoni pamoja na majumlisho ya mwana wake Moroni.

3. Bamba za Etheri, ambazo zilikuwa na historia ya Kiyaredi. Histo-ria hii ilifupishwa na Moroni, ambaye aliongeza maneno yakena kuchanganya hayo maandishi katika historia ya jumla ijuli-kanayo kama “Kitabu cha Etheri.”

4. Bamba za shaba nyeupe zilizoletwa na watu wa Lehi kutoka Yeru-salemu mwaka wa 600 kabla ya kuzaliwa kwa Kristo. Hizizilikuwa na “vitabu vitano vya Musa, . . . Na pia maandishi yaWayahudi tangu mwanzo, . . . hadi wakati Zedekia, mfalme waYuda alipoanza kutawala; Na pia unabii wa manabii watakati-fu” (1 Nefi 5:11–13). Mateuzi mengi kutoka bamba hizi, yakim-taja Isaya na manabii wengine wa Biblia na wasio wa Biblia,yanaonekana katika Kitabu cha Mormoni.Kitabu cha Mormoni kina sehemu kubwa au fungu kumi na

tano, zinazojulikana, isipokuwa kimoja, kama vitabu, kila kimojakimeitwa kwa jina la mwandishi mkuu wake. Fungu la kwanza(vitabu sita vya kwanza, cha mwisho kikiwa Omni) ni utafsirikutoka Bamba Ndogo za Nefi. Katikati ya vitabu vya Omni naMosia kuna maongezo yajulikanayo kama Maneno ya Mormoni.Haya maongezo yanaunganisha maandishi yaliyochorwa kwenyezile Bamba Ndogo pamoja na ufupisho wa Mormoni wa zileBamba Kubwa.

Sehemu ambayo ni ndefu zaidi, kutoka kitabu cha Mosia hadiMormoni, mlango wa saba, yote pamoja, ni tafsiri ya ufupisho waMormoni kutoka zile Bamba Kubwa za Nefi. Sehemu ya Kufungakutoka Mormoni, mlango wa nane, hadi mwisho wa kitabu,ilichorwa na mwana wa Mormoni ambaye, ni Moroni, ambaye

Page 15: KITABU CHA MORMONI

xiv

baada ya kumaliza kuandika mwanahistoria wa baba yake, alifu-pisha historia ya Wayaredi (kama Kitabu cha Etheri) na baadayeakaongeza sehemu ijulikanayo kama Kitabu cha Moroni.

Katika au kama mwaka wa 421 baada ya kuzaliwa kwa Kristo,Moroni, ambaye ndiye alikuwa nabii na mwanahistoria wa Wane-fi, alifunga yale maandishi matakatifu na kuyaficha katika Bwa-na, ili yatolewe katika siku za baadaye, kama vile ilivyotabiriwana sauti ya Mungu kupitia manabii wake wa kale. Katika mwakawa 1823 baada ya kuzaliwa kwa Kristo, huyo huyo Moroni, akiwamtu aliyefufuliwa, alimtokea Nabii Joseph Smith na hatimayeakamkabidhi zile bamba zenye michoro.

Page 16: KITABU CHA MORMONI

xv

MAJINA NA TARATIBU YA VITABU KATIKA

Kitabu cha MormoniJina Ukurasa

Kitabu cha Kwanza cha Nefi . . . . . . . . . . . 1

Kitabu cha Pili cha Nefi . . . . . . . . . . . . . 64

Kitabu cha Yakobo . . . . . . . . . . . . . . . 143

Kitabu cha Enoshi . . . . . . . . . . . . . . . 165

Kitabu cha Yaromu . . . . . . . . . . . . . . . 169

Kitabu cha Omni . . . . . . . . . . . . . . . 171

Maneno ya Mormoni . . . . . . . . . . . . . . 174

Kitabu cha Mosia . . . . . . . . . . . . . . . 176

Kitabu cha Alma . . . . . . . . . . . . . . . 251

Kitabu cha Helamani . . . . . . . . . . . . . . 454

Nefi wa Tatu . . . . . . . . . . . . . . . . . 503

Nefi wa Nne . . . . . . . . . . . . . . . . . 575

Kitabu cha Mormoni . . . . . . . . . . . . . . 579

Kitabu cha Etheri . . . . . . . . . . . . . . . 603

Kitabu cha Moroni . . . . . . . . . . . . . . . 642

Page 17: KITABU CHA MORMONI
Page 18: KITABU CHA MORMONI

Kitabu cha Kwanza cha Nefi

UTAWALA NA HUDUMA YAKE

Historia ya Lehi na mkewe Saria, na wanawe wanne, wanaoitwa,(kuanzia kifungua mimba) Lamani, Lemueli, Samu, na Nefi.

Bwana anamwonya Lehi aondoke kutoka nchi ya Yerusalemu,kwa sababu alitoa unabii kuhusu maovu ya watu nao wanatafutakutoa uhai wake. Anaelekea nyikani na kusafiri kwa siku tatuakiwa na jamii yake. Nefi anawachukua kaka zake na kurejea nchiya Yerusalemu kuchukua maandishi ya Wayahudi. Historia yamateso yao. Wanawaoa mabinti za Ishmaeli. Wanachukua jamaazao na kuelekea nyikani. Mateso na masumbuko yao wakati wakiwanyikani. Njia zao safarini. Wanafikia maji makubwa. Kaka za Nefiwanamuasi. Anawafadhaisha, na kujenga merikebu. Walipaitapahali pa Neema. Wanavuka bahari na kufika katika nchi yaahadi, na hali kadhalika. Haya ni kulingana na historia ya Nefi; hiiina maana kwamba, mimi, Nefi, ndiye niliyeandika maandishi haya.

MLANGO WA 1

Nefi anaanza maandishi ya watuwake — Lehi aona ono la nguzo yamoto na kusoma kutoka kitabu chaunabii — Anamsifu Mungu, ana-tabiri kuja kwa Masiya, na kutoaunabii kuhusu maangamizo yaYerusalemu — Anateswa na Wa-yahudi. Karibu mwaka wa 600kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

MIMI, aNefi, nikiwa nime-zaliwa na bwazazi cwema,

kwa hivyo nilikuwa dnimefu-nzwa karibu yote ambayo babayangu alijua; na baada ya ku-shuhudia emasumbuko mengimaisha mwangu, haidhuru, ni-

kiwa nimebarikiwa na Bwanamaishani mwangu; ndio, nikiwanimepokea ufahamu wa wemana fsiri za Mungu, kwa hivyonaandika gmaandishi juu yamambo ya maisha yangu.

2 Ndio, naandika maandishikwa alugha ya baba yangu,ambayo ni pamoja na elimu yaWayahudi na lugha ya Wamisri.

3 Na ninajua kwamba maandi-shi ambayo ninaandika ni yaakweli; na ninayaandika kwamkono wangu; na ninayaandikakadiri nijuavyo.

4 Kwani ikawa mwanzoni mwamwaka wa akwanza wa utawalawa bZedekia, mfalme wa Yuda,(baba yangu, Lehi, akiwa amei-

[1 nefi]1 1a mwm Nefi, Mwana

wa Lehi.b M&M 68:25, 28.

mwm Wazazi.c Mit. 22:1.d Eno. 1:1; Mos. 1:2–3.

mwm Fundisha,

Mwalimu.e mwm Shida.f mwm Siri za Mungu.g mwm Maandiko.

2a Mos. 1:2–4;Morm. 9:32–33.

3a 1 Ne. 14:30; Mos. 1:6;Eth. 5:1–3;

M&M 17:6.4a mwm Wendo—

598 k.k.b 2 Nya. 36:10;

Yer. 52:3–5;Omni 1:15.

Page 19: KITABU CHA MORMONI

1 Nefi 1:5–14 2

shi katika cYerusalemu maishayake yote); na katika mwakahuo walikuja dmanabii wengi,wakitoa unabii na kuwaambiawatu kwamba lazima watubu,au sivyo mji mkuu wa eYerusa-lemu lazima uangamizwe.5 Kwa hivyo ikawa baba

yangu, aLehi, aliendelea mbelealiomba dua kwa Bwana, ndio,hata na bmoyo wake wote, kwaniaba ya watu wake.

6 Na ikawa alipokuwa aki-mwomba Bwana, palitokea motomfano wa anguzo na ukatua juuya mwamba uliokuwa mbeleyake; na akaona na kusikiamengi; na kwa sababu ya vitualivyoona na kusikia aliteteme-ka na kutapatapa kupita kiasi.

7 Na ikawa kwamba alirejeanyumbani kwake Yerusalemu;na akajitupa kitandani mwake,akiwa aamelemewa na Roho navitu alivyoviona.

8 Na ikiwa amelemewa naRoho, alichukuliwa kwa aono,hata kwamba aliona bmbinguzikifunguka, na akadhani kuwaalimwona Mungu ameketi kwe-nye kiti chake cha enzi, akizingi-rwa na malaika wasio na idadiwakiwa katika hali ya kumwi-mbia na kumsifu Mungu wao.

9 Na ikawa kwamba alimwonaMmoja akishuka kutoka katikatiya mbingu, na akaona amng’arowake ulikuwa zaidi ya jua laadhuhuri.

10 Na pia akaona wengineakumi na wawili wakimfuata,na mng’aro wao ulikuwa zaidiya ule wa nyota angani.

11 Na wakaja chini na wakate-mbea usoni mwa dunia; na wakwanza akaja na kusimamambele ya baba yangu, na akam-patia akitabu, na akamwamuruasome.

12 Na ikawa alipokuwa akiso-ma, al i jazwa na a Roho waBwana.

13 Na akasoma, akisema: Ole,ole kwa Yerusalemu, kwani ni-meona amachukizo yako! Ndio,na vitu vingi vilisomwa na babayangu kuhusu bYerusalemu —kwamba itaangamizwa, na we-nyeji wake pia; wengi wange-kufa kwa upanga, na wengicwangetekwa nyara na kupele-kwa Babilonia.

14 Na ikawa kwamba baadaya baba yangu kusoma na kuo-na vitu vingi vikubwa na vyaajabu, alipaza sauti kwa Bwanaakisema vitu vingi; kama: Kazizako ni kuu na za ajabu, Ewe

4c 1 Nya. 9:3.d 2 Fal. 17:13–15;

2 Nya. 36:15–16;Yer. 7:25–26.mwm Nabii.

e Yer. 26:18;2 Ne. 1:4;Hel. 8:20.

5a mwm Lehi, Babawa Nefi.

b Yak. (Bib.) 5:16.6a Kut. 13:21;

Hel. 5:24, 43;

M&M 29:12;JS—H 1:16.

7a Dan. 10:8;1 Ne. 17:47;Musa 1:9–10;JS—H 1:20.

8a 1 Ne. 5:4.mwm Ono.

b Eze. 1:1;Mdo. 7:55–56;1 Ne. 11:14;Hel. 5:45–49;M&M 137:1.

9a JS—H 1:16–17.10a mwm Mtume.11a Eze. 2:9.12a M&M 6:15.13a 2 Fal. 24:18–20;

2 Nya. 36:14.b 2 Fal. 23:27; 24:2;

Yer. 13:13–14;2 Ne. 1:4.

c 2 Fal. 20:17–18;2 Ne. 25:10;Omni 1:15.

Page 20: KITABU CHA MORMONI

3 1 Nefi 1:15–20

Bwana Mungu Mwenyezi! Kitichako cha enzi kiko juu mbi-nguni, na nguvu zako, na wemawako, na rehema zako ziko juuya wakazi wote wa dunia; na,kwa sababu una huruma, huta-kubali wale ambao awatakujakwako waangamie!

15 Na baba yangu alitumiamaneno kama haya kwa kum-sifu Mungu wake; kwani nafsiyake ilishangilia, na moyo wakewote ulijaa furaha, kwa sababuya vitu vile alivyokuwa ameona,ndio, vile Bwana alivyokuwaamemwonyesha.

16 Na sasa mimi, Nefi, siandikimaandishi yote ambayo babayangu aliandika, kwani amea-ndika vitu vingi ambavyo alionakwa maono na kwa ndoto;na pia ameandika vitu vingiambavyo alitoa aunabii na ku-waambia watoto wake, ambayomimi sitaandika yote.

17 Lakini nitaandika maandi-shi ya matendo yangu maishanimwangu. Tazama, aninafupishabmaandishi ya baba yangu, nakuyaandika kat ika bambaambazo nilitengeneza kwa mi-kono yangu mwenyewe; kwahivyo, baada ya kufupisha ma-andishi ya baba yangu ndiponitaandika maandishi kuhusumaisha yangu.

18 Kwa hivyo, ningetaka mjue,kwamba baada ya Bwana ku-mwonyesha baba yangu, Lehi,

vitu vingi vya ajabu, ndio,kuhusu akuangamizwa kwaYerusalemu, tazama aliendamiongoni mwa watu, na akaa-nza kutoa bunabii na kuwata-ngazia vile vitu alivyokuwaameviona na kusikia.

19 Na ikawa kuwa Wayahudiwalimfanyia amzaha kwa saba-bu ya vitu vile alivyowashuhu-dia; kwa kweli aliwashuhudiakuhusu uovu wao na machuki-zo yao; na akawashuhudiakwamba vitu vile ambavyo ali-vyokuwa ameviona na kusikia,na pia vitu ambavyo alikuwaamesoma katika kitabu, vilidhi-hirisha wazi kuja kwa bMasiya,na pia ukombozi wa ulimwengu.

20 Na wakati Wayahudi wali-posikia vitu hivi, walimkasiri-kia; ndio, jinsi ilivyokuwa kwamanabii wa kale, ambao wali-kuwa awamewatupa nje, nakuwapiga kwa mawe, na ku-waua; na pia walimtafuta iliwatoe uhai wake. Lakini taza-ma, mimi, Nefi, nitawaonyeshanyinyi kuwa Bwana ana bhuru-ma nyororo juu ya wale ambaoamewachagua, kwa sababu yaimani yao, kuwatia nguvu hatakwenye uwezo wa ukombozi.

MLANGO WA 2

Lehi anachukua jamii yake nyikanikando ya Bahari ya Shamu — Wa -

14a Alma 5:33–36;3 Ne. 9:14.

16a 1 Ne. 7:1.17a 1 Ne. 9:2–5.

b 1 Ne. 6:1–3; 19:1–6;2 Ne. 5:29–33;M&M 10:38–46.

18a 2 Ne. 25:9–10;M&M 5:20.

b mwm Toa unabii,Unabii.

19a 2 Nya. 36:15–16;Yer. 25:4;1 Ne. 2:13; 7:14.

b mwm Masiya.20a Hel. 13:24–26.

b Alma 34:38;M&M 46:15.mwm Rehema,Rehema, enye.

Page 21: KITABU CHA MORMONI

1 Nefi 2:1–11 4

naacha mali yao — Lehi anamtoleaBwana dhabihu na anawafundishawana wake kuweka amri—Lamanina Lemueli wananung’unika dhidiya baba yao — Nefi ni mtiifu naanasali kwa imani; Bwana anam-zungumzia na anachaguliwa ku-waongoza kaka zake. Karibu mwakawa 600 kabla ya kuzaliwa kwaKristo.

Kwani tazama, ikawa kuwaBwana alimzungumzia babayangu, ndio, hata katika ndoto,na akamwambia: Umebarikiwaewe Lehi, kwa sababu ya vituambavyo umetenda; na kwasababu umekuwa mwaminifuna kuwatangazia hawa watuvile vitu nilivyokuamrisha,tazama, wanakutafuta awatoeuhai wako.

2 Na ikawa kuwa Bwana aaka-mwamrisha baba yangu, hatakwenye bndoto, kuwa caichukuejamii yake na aelekee nyikani.3 Na ikawa kuwa alikuwa

amtiifu kwa neno la Bwana,kwa hivyo alitenda kulinganana yale Bwana aliyomwamuru.4 Na ikawa kuwa akatoka na

kuelekea nyikani. Na akaachanyumba yake, na nchi yake yaurithi, na dhahabu yake, nafedha yake, na vitu vyake vyathamani, na hakubeba chochote,isipokuwa jamii yake, na maa-kuli, pamoja na mahema, naaakaelekea nyikani.

5 Na akashuka mipakanikaribu na ufuko wa Bahari yaaShamu; na akasafiri nyikanimipakani ambayo imekaribiaBahari ya Shamu; na akasafirinyikani na jamii yake, ambayoilikuwa ni mama yangu, Saria,na kaka zangu wakubwa ambaowalikuwa ni bLamani, Lemueli,na Samu.

6 Na ikawa kuwa baada yayeye kusafiri nyikani kwa sikutatu, alipiga hema lake abondenikando ya mto wa maji.

7 Na ikawa kwamba alijengaa madhabahu ya b mawe, naakamtolea Bwana dhabihu, nackumshukuru Bwana Munguwetu.

8 Na ikawa kwamba aliuitaule mto, Lamani, na ulitiririkaukielekea Bahari ya Shamu; nabonde lilikuwa mipakani karibuna kinywa cha huo mto.

9 Na wakati baba yangu alipo-ona kwamba maji ya ule mtoyalitiririka kwenye chemchemiya Bahari ya Shamu, alimzu-ngumzia Lamani, na kusema:Ee kwamba uwe kama mtohuu, daima ukitiririka kwenyechemchemi ya haki yote!

10 Na pia akamzungumziaLemueli: Ee kwamba uwe kamabonde hili, imara na thabiti, naasiyetingishika kwa kuwekaamri za Bwana!

11 Sasa aliyazungumza hayakwa sababu ya ugumu wa

2 1a 1 Ne. 7:14.2a 1 Ne. 5:8; 17:44.

b mwm Ndoto.c Mwa. 12:1;

2 Ne. 10:20;Eth. 1:42;Ibr. 2:3.

3a mwm Mtiifu, Tii,Utii.

4a 1 Ne. 10:4; 19:8.5a 1 Ne. 16:14;

M&M 17:1.b mwm Lamani.

6a 1 Ne. 9:1.

7a Mwa. 12:7–8;Kut. 24:4; Ibr. 2:17.

b Kut. 20:25;Kum. 27:5–6.

c mwm Shukrani,Shukrani, enye,Toa shukrani.

Page 22: KITABU CHA MORMONI

5 1 Nefi 2:12–20

Lamani na Lemueli; kwanitazama awalinung’unika kwavitu vingi dhidi ya bbaba yao,kwa sababu alikuwa ni mtu wacmaono, na alikuwa amewatoakutoka nchi ya Yerusalemu,kuacha nchi yao ya urithi, nadhahabu zao, na fedha zao, navitu vyao vya thamani, kua-ngamia nyikani. Na wakasemaalikuwa ametenda haya kwasababu ya mafikira ya ujingamoyoni mwake.12 Na hivyo ndivyo Lamani

na Lemueli, wakiwa wakubwa,walivyonung’unika dhidi yababa yao. Na walinung’unikakwa sababu ahawakujua mate-ndo ya yule Mungu aliyewau-mba.

13 Wala hawakuamini kuwaYerusalemu, mji ule mkuu,aungeangamizwa kulingana namaneno ya manabii. Na wali-kuwa kama Wayahudi walio-kuwa Yerusalemu, ambao wa-limtafuta baba yangu wakitakakumtoa uhai wake.14 Na ikawa kwamba baba

yangu akawazungumzia katikabonde la Lemueli, akwa nguvu,akiwa amejazwa na Roho, hadimiili yao bikatetemeka mbeleyake. Na aliwafadhaisha, kwa-mba hawakunena lolote kinyu-me chake; kwa hivyo, wakate-nda alivyowaamrisha.

15 Na baba yangu ali ishikwenye hema.

16 Na ikawa kuwa mimi, Nefi,nikiwa mdogo, ingawa nilikuwana mwili mkubwa, na pia niki-wa na hamu ya kujua asiri zaMungu, kwa hivyo, nikamliliaBwana; na tazama bakanijiamimi, na cakanigusa moyowangu kwamba dnikaamini ma-neno yote ambayo ebaba yangualikuwa amezungumza; kwahivyo, mimi sikumwasi kamakaka zangu.

17 Na nikazungumza na Samu,nikimjulisha vile vitu ambavyoBwana alikuwa amenidhihiri-shia kwa Roho Mtakatifu. Naikawa kwamba aliamini mane-no yangu.

18 Lakini, tazama, Lamani naLemueli hawakusikiza manenoyangu; na nikiwa animehuzuni-shwa na ugumu wa mioyo yaonikamlilia Bwana kwa niabayao.

19 Na ikawa kwamba Bwa-na akanizungumzia, akisema:Umebarikiwa ewe, Nefi, kwasababu ya aimani yako, maanaumenitafuta kwa bidii, kwaunyenyekevu wa moyo.

20 Na kadiri utakavyozishikaamri zangu, wewe autafanikiwa,na utaongozwa kwa bnchi yaahadi; ndio, hata nchi ambayonimekutayarishia wewe; ndio

11a 1 Ne. 17:17.mwm Manung’uniko.

b Mit. 20:20.c 1 Ne. 5:2–4.

12a Musa 4:6.13a Yer. 13:14;

1 Ne. 1:13.14a mwm Uwezo.

b 1 Ne. 17:45.

16a mwm Siri za Mungu.b Zab. 8:4;

Alma 17:10;M&M 5:16.mwm Ufunuo.

c 1 Fal. 18:37; Alma 5:7.d 1 Ne. 11:5.e mwm Baba, Mwili

wenye kufa; Nabii.

18a Alma 31:24;3 Ne. 7:16.

19a 1 Ne. 7:12; 15:11.20a Yos. 1:7; 1 Ne. 4:14;

Mos. 1:7.b Kum. 33:13–16;

1 Ne. 5:5; 7:13;Musa 7:17–18.mwm Nchi ya Ahadi.

Page 23: KITABU CHA MORMONI

1 Nefi 2:21–3:8 6

nchi ambayo ni bora kuzidinchi zingine.21 Na kadiri kaka zako wata-

kavyokuasi wewe, awatatengwambali na Bwana.

22 Na kadiri utakavyo wekaamri zangu, wewe utakuwaamtawala na mwalimu wa kakazako.23 Kwani tazama, katika siku

ile watakaponiasi, anitawalaa-n i h a t a n a l a a n a k a l i , n ahawatakuwa kwa uwezo juuya uzao wako ijapokuwa pianao waniasi.

24 Na kama wataniasi, wata-kuwa amjeledi kwa uzao wako,kwa bkuwavuruga wakumbukenjia zangu.

MLANGO WA 3

Wana wa Lehi warejea Yerusalemukuchukua bamba za shaba—Labanianakataa kupeana hizo bamba —Nefi anawasihi na kuwatia moyokaka zake—Labani anaiba mali yaona anajaribu kuwauwa — Lamanina Lemueli wanawapiga Nefi naSamu na wanarudiwa na malaika.Kutoka karibu mwaka wa 600 hadi592 kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

Na ikawa kuwa mimi, Nefi,nilirudi kwenye hema la babayangu, baada ya kusema naBwana.

2 Na ikawa kuwa akaniseme-

sha, na kuniambia: Tazamanimeota andoto, ambapo Bwanaameniamrisha kwamba wewena kaka zako mtarejea Yerusa-lemu.

3 Kwani tazama, Labani anayomaandishi ya Wayahudi na piaanasaba ya babu zangu, naimechorwa kwenye bamba zashaba nyeupe.

4 Kwa hivyo, Bwana amenia-mrisha mimi kwamba wewe nakaka zako mwende nyumba-ni kwa Labani, mtafute hayomaandishi, na kuyaleta hapanyikani.

5 Na sasa, tazama kaka zakowananung’unika, wakisemakuwa ni kitu kigumu ninacho-kihitaji kutoka kwao; lakini,tazama mimi sijahitaji hilokwao, lakini ni amri ya Bwana.

6 Kwa hivyo nenda, mwanawangu, nawe utapendeka kwaBwana, kwa sababu weweahujanung’unika.7 Na ikawa kuwa mimi, Nefi,

n i l imwambia baba yangu:aNitaenda na kutenda vituambavyo Bwana ameamuru,kwani ninajua kwamba Bwanahatoi bamri kwa watoto wawatu, isipokua cawatayarishienjia ya kutimiza kitu ambachoamewaamuru.

8 Na ikawa kwamba baada yababa yangu kusikia manenohaya alifurahi sana, maana

21a 2 Ne. 5:20–24;Alma 9:13–15; 38:1.

22a Mwa. 37:8–11;1 Ne. 3:29.

23a Kum. 11:28;1 Ne. 12:22–23;M&M 41:1.

24a Yos. 23:13;

Amu. 2:22–23.b 2 Ne. 5:25.

3 2a mwm Ndoto.3a 1 Ne. 5:14.6a mwm Kuwakubali

Viongozi wa Kanisa.7a 1 Sam. 17:32;

1 Fal. 17:11–15.

mwm Imani;Mtiifu, Tii, Utii.

b mwm Amri zaMungu.

c Mwa. 18:14;Flp. 4:13;1 Ne. 17:3, 50;M&M 5:34.

Page 24: KITABU CHA MORMONI

7 1 Nefi 3:9–22

alijua kuwa nimebarikiwa naBwana.9 Na mimi, Nefi, na kaka

zangu tukachukua safari nyi-kani, pamoja na mahema yetu,tukielekea nchi ya Yerusalemu.

10 Na ikawa kwamba tulipo-kuwa tumesafiri hadi nchiya Yerusalemu, mimi na kakazangu tulijadiliana.

11 Na atukapiga kura — ninani kati yetu ataingia nyu-mbani mwa Labani. Na ikawakwamba kura ikamwangukiaLamani; na Lamani akaendanyumbani mwa Labani, naakaongea na yeye alipokuwaameketi nyumbani mwake.

12 Na akamwomba Labaniyale maandishi yaliyokuwayamechorwa kwenye bamba zashaba, ambayo yalikuwa naanasaba ya baba yangu.13 Na tazama, ikawa kwamba

Labani alikasirika, na akamtoanje; na asitake kumpatia yalemaandishi. Kwa hivyo, aka-mwambia: Tazama wewe nimnyang’anyi, na nitakuua.

14 Lakini Lamani alitorokakutoka kwake, na akatuelezeavitu ambavyo Labani alitufa-nyia. Na tulishikwa na huzuninyingi, na kaka zangu walikuwakaribu kurudi nyikani kwababa yangu.

15 Lakini tazama nikawaa-mbia kwamba: Kadiri Bwanaaishivyo, na tuishivyo sisi, ha-tutarudi kwa baba yetu nyika-

ni mpaka tukamilishe kile kituambacho Bwana alituamrishasisi.

16 Kwa hivyo, tuwe waaminifukatika kushika amri za Bwana;kwa hivyo tuteremke hadi kwanchi ya aurithi ya baba yetu,kwani tazama aliacha dhahabuna fedha, na kila aina ya utajiri.Na haya yote ametenda kwasababu ya bamri za Bwana.17 Kwani alijua kwamba lazi-

ma Yerusalemu aiangamizwe,kwa sababu ya uovu wa watu.

18 Kwani tazama, awamekataamaneno ya manabii. Kwa hi-vyo, kama baba yangu ataishikatika nchi baada ya bkuamri-wa atoroke nchi hiyo, tazama,pia yeye ataangamia. Kwahivyo, inabidi lazima atorokenchi hiyo.

19 Na tazama, ni hekimakatika Mungu tupate kuchukuahaya amaandishi, ili tuwezekuhifadhia watoto wetu lughaya baba zetu;

20 Na pia kwamba atuwahifa-dhie maneno yaliyonenwa kwavinywa vya manabii watakati-fu, ambayo walipewa na Rohona nguvu za Mungu, tangumwanzo wa ulimwengu, hadinyakati za sasa.

21 Na ikawa kwamba niliwa-shawishi kaka zangu kwa ma-neno haya, ili wawe waaminifukwa kushika amri za Mungu.

22 Na ikawa kwamba tuli-shuka na kuenda katika nchi

11a Neh. 10:34;Mdo. 1:26.

12a 1 Ne. 3:3; 5:14.16a 1 Ne. 2:4.

b 1 Ne. 2:2; 4:34.

17a 2 Nya. 36:16–20;Yer. 39:1–9;1 Ne. 1:13.

18a mwm Uasi.b 1 Ne. 16:8.

19a Omni 1:17;Mos. 1:2–6.

20a mwm Maandiko—Maandikoyahifadhiwe.

Page 25: KITABU CHA MORMONI

1 Nefi 3:23–4:1 8

yetu ya urithi, na tukakusanyaadhahabu yetu, na fedha yetu,na vitu vyetu vya thamani.23 Na baada ya kukusanya

hivi vitu pamoja, tukaendatena nyumbani mwa Labani.

24 Na ikawa kwamba tuliku-tana na Labani, na tukataka atu-patie yale maandishi ambayoyalikuwa yamechorwa kwenyeabamba za shaba, nasi tungem-patia dhahabu yetu, na fedhayetu, na vitu vyetu vyote vyathamani.25 Na ikawa kwamba wakati

Labani alipoona mali yetu, nakwamba ilikuwa nyingi sana,aaliitamani, hadi kwamba aka-tufukuza nje , na akatumawatumishi wake watuue, ilikwamba aweze kupata maliyetu.26 Na ikawa kwamba tuliwa-

kimbia watumishi wa Labani,na ikatubidi kuacha mali yetu,na ikangukia mikononi mwaLabani.

27 Na ikawa kwamba tulito-rokea nyikani, na watumishiwa Labani hawakutupata, natukajificha kwenye pango lamwamba.

28 Na ikawa kwamba Lamanialinikasirikia mimi, na babayangu pia; na pia Lemueli,kwani alisikiliza maneno yaLamani. Kwa hivyo Lamani naLemueli walituzungumzia kwamaneno mengi ya auchungu, sisikaka zao wadogo, na wakatu-piga sisi hata kwa bakora.

29 Na ikawa kwamba walipo-kuwa wakitupiga kwa bakora,tazama amalaika wa Bwana ali-kuja na akasimama mbele yao,na akawazungumzia, akisema:Mbona mnampiga kaka yenumdogo kwa bakora? Hamjuikuwa Bwana amemchagua yeyekuwa bkiongozi wenu, na hii nikwa sababu ya maovu yenu?Tazama mtarudi tena Yerusa-lemu, na Bwana atamkabidhiLabani mikononi mwenu.

30 Na baada ya amalaika ku-tuzungumzia, akatoweka.

31 Na baada ya malaika ku-toweka, Lamani na Lemueliwakaanza akunung’unika tena,wakisema: Vipi itawezekanakwamba Bwana atamkabidhiLabani mikononi mwetu? Taza-ma, yeye ni mtu shujaa, na ana-weza kuamuru watu hamsini;ndio, hata kuwaua watu ham-sini; je, kwa nini asituue sisi?

MLANGO WA 4

Nefi anamuua Labani kwa amri yaBwana na kisha anazipata bambaza shaba kwa werevu — Zoramuachagua kuandamana na jamii yaLehi nyikani. Kutoka karibu mwakawa 600 hadi 592 kabla ya kuzaliwakwa Kristo.

Na ikawa kwamba nikawazu-ngumzia kaka zangu, nikisema:Twendeni tena Yerusalemu, natuwe awaaminifu kwa kuzishikaamri za Bwana; kwani tazama

22a 1 Ne. 2:4.24a 1 Ne. 3:3.25a mwm Tamani.28a 1 Ne. 17:17–18.

29a 1 Ne. 4:3; 7:10.mwm Malaika.

b 1 Ne. 2:22.30a 1 Ne. 16:38.

31a mwm Manung’uniko.4 1a mwm Imani;

Ushujaa, Shujaa,enye.

Page 26: KITABU CHA MORMONI

9 1 Nefi 4:2–14

yeye ni bmkuu kupita ulimwe-ngu wote, basi kwa nini asiwemkuu kupita Labani na watuwake hamsini, ndio, au hatakupita kumi ya maelfu?

2 Kwa hivyo twendeni; tuweahodari kama bMusa; kwanializungumzia maji ya Bahariya cShamu na yakagawanyikasehemu mbili, na babu zetuwakapita, katika nchi kavu,kutoka utumwani, na majeshiya Farao yakafuata na kuzamamajini mwa Bahari ya Shamu.3 Tazama sasa mnajua kwa-

mba hii ni kweli; na pia mnajuakwamba amalaika amewazu-ngumzia; je mnaweza kuwana shaka? Twendeni; Bwanaanaweza kutukomboa, kamababa zetu, na kumwangamizaLabani, hata kama Wamisri.

4 Sasa baada ya mimi kunenamaneno haya, bado walikuwana hasira, na wakaendeleakunung’unika; walakini wali-nifuata hadi tukafika nje yakuta za Yerusalemu.

5 Na ilikuwa usiku; na nika-waambia wajifiche nje ya kuta.Na baada ya wao kujificha,mimi, Nefi, nilinyemelea hadindani ya mji na nikaelekeahadi nyumba ya Labani.

6 Na anikaongozwa na Roho,wala bsikujua kimbele vituambavyo ningefanya.

7 Walakini niliendelea mbele,na nilipokaribia nyumba ya La-

bani nilimwona mtu, na aliku-wa ameanguka kwenye ardhimbele yangu, kwani alikuwaamelewa kutokana na mvinyo.

8 Na nilipomkaribia niligu-ndua kwamba alikuwa Labani.

9 Na nikaona aupanga wake,na nikautoa kutoka uo wake;na mpini wake ulikuwa wadhahabu halisi, na uumbajiwake ulikuwa mzuri sana, nanikaona upanga wake ulikuwawa chuma chenye thamani.

10 Na ikawa kwamba Rohoaalinishurutisha nimuue Labani;lakini nikasema moyoni mwa-ngu: Sijawahi wakati wowotekumwaga damu ya mtu. Nanikasita na sikutaka kumuua.

11 Na Roho aliniambia tena:Tazama aBwana amemkabidhimikononi mwako. Ndio, na pianilijua kwamba alikuwa ame-nitafuta kunitoa uhai; ndio, napia hakusikiza amri za Bwana;na alikuwa pia bamechukuamali yetu.

12 Na ikawa kwamba Rohoaliniambia tena: Muuwe, kwaniBwana amemkabidhi mikononimwako;

13 Tazama Bwana ahuwauabwaovu ili atimize madhumuniyake ya haki. cYafaa mtu mmojaafe badala ya taifa kufifia nakuangamia katika kutoamini.

14 Na sasa, mimi, Nefi, nilipo-sikia maneno haya, nikakumbu-ka maneno ya Bwana ambayo

1b 1 Ne. 7:11–12.2a Kum. 11:8.

b mwm Musa.c Kut. 14:21;

1 Ne. 17:26;Mos. 7:19.

3a 1 Ne. 3:29–31; 7:10.

6a mwm Maongozi yaMungu, Shawishi;Roho Mtakatifu.

b Ebr. 11:8.9a 2 Ne. 5:14;

M&M 17:1.10a Alma 14:11.

11a 1 Sam. 17:41–49.b 1 Ne. 3:26.

13a 1 Ne. 17:33–38;M&M 98:31–32.

b mwm Ovu, Uovu.c Alma 30:47.

Page 27: KITABU CHA MORMONI

1 Nefi 4:15–29 10

alinizungumzia nyikani, akise-ma kwamba: aKadiri uzao wakoutakavyoshika bamri zangu,cwatafanikiwa katika dnchi yaahadi.

15 Ndio, na pia nikafikiriakwamba hawangeshika amriza Bwana kulingana na sheriaza Musa, hadi wawe na hizosheria.

16 Na pia nilijua kwambaasheria hizo zilikuwa zimecho-rwa katika bamba za shaba.17 Na tena, nilijua kwamba

Bwana alikuwa amemkabidhiLabani mikononi mwangu kwasababu hii — kwamba nipatekuchukua yale maandishi kuli-ngana na amri zake.

18 Kwa hivyo nikatii sauti yaRoho, na nikamshika Labanikwa nywele za kichwa chake,na nikamkata kichwa chakekwa aupanga wake.

19 Na baada ya kukata kichwachake kwa upanga wake, nili-chukua mavazi ya Labani nanikayavaa; ndio, hata kilachembe; na nikafunga vazi lavita lake kiunoni mwangu.

20 Na baada ya kutenda hivyo,nilielekea kwenye nyumba yahazina ya Labani. Na nilipoele-kea kwenye nyumba ya hazinaya Labani, tazama, nilimwonaamtumishi wa Labani ambayealikuwa na funguo za nyumbaya hazina. Na nikamwamrishanikiiga sauti ya Labani, kwa-mba aandamane na mimi hadinyumba ya hazina.

21 Na akadhania kwambamimi ni tajiri wake, Labani,kwani aliona mavazi na piaupanga nimeufunga kiunoni.

22 Na akanizungumzia kuhu-su wazee wa Wayahudi, yeyeakijua kwamba tajiri yake, La-bani, alikuwa nje miongonimwao usiku ule.

23 Nami nikazungumza nayeye kama kwamba nilikuwaLabani.

2 4 N a p i a n i k a m w a m b i akwamba inanibidi kuchukuamichoro, ambayo ilikuwa kwe-nye abamba za shaba, kwa kakazangu, waliokuwa nje ya kuta.

25 Na pia nikamwamuru ani-fuate.

26 Na yeye, akidhania kwambanilikuwa nikizungumza kuhusundugu wa kanisa, na kwambanilikuwa Labani ambaye nili-kuwa nimemwua, kwa hivyoalinifuata.

27 Na akanizungumzia maran y i n g i k u h u s u w a z e e w aWayahudi, nilipokuwa nikiele-kea kwa kaka zangu, ambaowalikuwa nje za kuta.

28 Na ikawa kwamba wakatiLamani aliponiona alishikwa nawoga mwingi, pia Lemueli naSamu. Na walinikimbia; kwaniwalidhani kuwa ni Labani, nakwamba alikuwa ameniua naalikuwa anajaribu kutoa uhaiwao pia.

29 Na ikawa kwamba niliwai-ta, na wakanisikia; kwa hivyowakaacha kunitoroka.

14a Omni 1:6; Mos. 2:22;Eth. 2:7–12.

b mwm Amri zaMungu.

c 1 Ne. 2:20.d 1 Ne. 17:13–14;

Yak. (KM) 2:12.16a mwm Torati ya Musa.

18a 1 Sam. 17:51.20a 2 Ne. 1:30.24a 1 Ne. 3:12, 19–24;

5:10–22.

Page 28: KITABU CHA MORMONI

11 1 Nefi 4:30–5:2

30 Na ikawa kwamba wakatimtumishi wa Labani alionakaka zangu alianza kuteteme-ka, na alikuwa karibu kutorokana kurejea katika mji wa Yeru-salemu.

31 Na sasa mimi, Nefi, nikiwamtu mwenye umbo kubwa, napia nikiwa nimepokea anguvunyingi za Bwana, kwa hivyonikamkamata mtumishi waLabani, na nikamzuia, kwambaasitoroke.

32 Na ikawa kwamba nikam-zungumzia, kwamba kamaangesikiza maneno yangu,kama Bwana anavyoishi, nakama ninavyoishi, endapoangesikiza maneno yetu, basitungehifadhi maisha yake.

33 Na nikamzungumzia, hatakwa akiapo, kwamba asiogope;kwamba atakuwa mtu hurukama sisi ikiwa atakwendanyikani pamoja nasi.

34 Na pia nikamzungumzia,nikisema: Kwa kweli Bwanaaametuamuru kutenda kituhiki; je hatutakuwa wenyejuhudi kuweka amri za Bwana?Kwa hivyo, kama utaendanyikani kwa baba yangu utapa-ta mahali pa kuishi pamojanasi.35 Na ikawa kwamba Zoramu

alifarijika na maneno ambayonilimzungumzia. Sasa aZoramulilikuwa jina lake huyo mtumi-shi; na akaahidi kwamba atae-nda huko nyikani kwa babayetu . Ndio , na pia a l iapa

kwamba ataishi pamoja nasikutoka siku ile na kuendelea.

36 Sasa tulitaka aishi nasikwa sababu hii, ili Wayahudiwasijue kuhusu ukimbizi wetuwa nyikani, na kutufuata iliwatuangamize.

37 Na ikawa kwamba wakatiZoramu alitupatia akiapo, hofuyetu kumhusu ikakoma.

38 Na ikawa kwamba tukazi-chukua bamba za shaba namtumishi wa Labani, na kuele-kea nyikani, na kusafiri hadikwenye hema la baba yetu.

MLANGO WA 5

Saria anamnung’unikia Lehi —Wote wawili wanashangilia kurudikwa wana wao—Wanatoa dhabihu— Bamba za shaba zina maandikoya Musa na manabii wengine —Bamba zinamtambulisha Lehi kuwauzao wa Yusufu — Lehi anatoaunabii kuhusu uzao wake na kuhi-fadhiwa kwa bamba. Kutoka karibumwaka wa 600 hadi 592 kabla yakuzaliwa kwa Kristo.

Na ikawa kuwa kwamba baa-da ya sisi kufika nyikani kwababa yetu, tazama, alijazwa nashangwe, na pia mama yangu,aSaria, alifurahi sana, kwanialikuwa ameomboleza kwa sa-babu yetu.

2 Kwani alikuwa amedhanikwamba tulikuwa tumeanga-mia nyikani; na pia alikuwaamemlalamikia baba yangu,

31a Mos. 9:17;Alma 56:56.

33a mwm Kiapo.34a 1 Ne. 2:2; 3:16.

35a 1 Ne. 16:7;2 Ne. 5:5–6.mwm Zoramu,Wazoramu.

37a Yos. 9:1–21;Mh. 5:4.mwm Kiapo.

5 1a mwm Saria.

Page 29: KITABU CHA MORMONI

1 Nefi 5:3–13 12

akimwambia kwamba yeye nimtu wa maono; na kusema:Tazama wewe umetuongozakutoka nchi yetu ya urithi, nawana wangu hawapo tena, natunaangamia nyikani.3 Na kwa lugha ya aina hii

mama yangu alimlalamikiababa yangu.

4 Na ikawa kwamba babayangu akamzungumzia, na ku-sema: Najua kwamba mimi niamtu wa maono; kwani kamanisingeona vitu vya Mungukatika bmaono nisingejua wemawa Mungu, lakini ningekaahuko Yerusalemu, na kuanga-mia pamoja na ndugu zangu.

5 Lakini tazama, nimepokeauthibitisho wa anchi ya ahadi,vitu ambavyo kwavyo ninafu-rahia; ndio, na bninajua kwambaBwana atawakomboa wanawangu kutoka mikononi mwaLabani, na kuwaleta hapa kwe-tu nyikani.

6 Na kwa lugha ya aina hiibaba yangu, Lehi, alimfarijimama yangu, Saria, kutuhusu,tulipokuwa tukisafiri kutokanyikani hadi nchi ya Yerusale-mu, kuchukua maandishi yaWayahudi.

7 Na tulipokuwa tumerudikwenye hema la baba yangu,tazama shangwe yao ilikuwatele, na mama yangu akafarijika.

8 Na mama yangu akazu-

ngumza, akisema: Sasa najuakwa hakika kwamba Bwanaaamemwamuru mume wangukutorokea nyikani; ndio, na pianajua kwa hakika kwambaBwana amewalinda wana wa-ngu, na kuwakomboa kutokamikononi mwa Labani , nakuwapatia uwezo wa bkutimizakitu ambacho Bwana aliwaamu-ru. Na hii ndio lugha ambayomama yangu alitumia.

9 Na ikawa kwamba walisha-ngilia sana, na wakamtoleaBwana adhabihu za kutekete-zwa kwa moto pamoja na sada-ka; na bkumshukuru Munguwa Israeli.

10 Na baada ya kumshukuruMungu wa Israeli, baba yangu,Lehi, alichukua yale maandishiambayo yalikuwa yamechorwakwenye abamba za shaba, naaliyapekua tangu mwanzo.

11 Na akagundua kwambayalikuwa na avitabu vitano vyaMusa, ambavyo vilieleza histo-ria ya kuumbwa kwa dunia,na pia kwa Adamu na Hawa,ambao ndio wazazi wetu wakwanza;

12 Na pia a maandishi yaWayahudi kutoka mwanzo,hadi mwanzo wa utawala waZedekia, mfalme wa Yuda;

13 Na pia unabii wa manabiiwatakatifu, tangu mwanzo,hadi mwanzoni mwa utawala

4a 1 Ne. 2:11.b 1 Ne. 1:8–13.

mwm Ono.5a 1 Ne. 2:20;

18:8, 22–23.mwm Nchi ya Ahadi.

b mwm Imani.8a 1 Ne. 2:2.

b 1 Ne. 3:7.9a Mos. 2:3;

3 Ne. 9:19–20.mwm Torati yaMusa.

b mwm Shukrani,Shukrani, enye,Toa shukrani.

10a 1 Ne. 4:24, 38; 13:23.mwm Mabamba yaShaba Nyeupe.

11a 1 Ne. 19:23.mwm Torati.

12a 1 Nya. 9:1.mwm Maandiko.

Page 30: KITABU CHA MORMONI

13 1 Nefi 5:14–6:1

wa aZedekia; na pia unabiimwingi ambao ulizungumzwakutoka kinywa cha bYeremia.

14 Na ikawa kwamba babayangu, Lehi, pia alipata kwe-nye abamba za shaba nasaba yababu zake; kwa hivyo akajuakwamba yeye ni wa kizazi chaYusufu; ndio, hata yule bYusufu,ambaye alikuwa mwana wac Yakobo, ambaye d aliuzwaMisri, na ambaye ealihifadhiwakwa mkono wa Bwana, i l iamhifadhi baba yake, Yakobo,na wote wa jamii yake wasia-ngamie kwa njaa.

15 Na awaliongozwa pia kuto-ka utumwani na kutoka nchi yaMisri, na yule Mungu ambayealikuwa amewahifadhi.

16 Na hivyo baba yangu, Lehi,al igundua nasaba ya babazake. Na Labani pia alikuwakizazi cha aYusufu, ndipo yeyena baba zake wakaweka yalemaandishi.

17 Na sasa baba yangu alipoo-na vitu hivi vyote, alijawa naRoho, na akaanza kutoa unabiikuhusu uzao wake —

18 Kwamba hizi bamba zashaba zipelekewe katika mata-ifa yote, kabila zote, lughazote, na watu wote wa uzaowake.

19 Kwa hivyo, alisema kwa-mba hizi bamba za shaba zisia-

ngamie akamwe; wala zisicha-kazwe na wakati. Na akatoaunabii wa vitu vingi kuhusuuzao wake.

20 Na ikawa kwamba mpakahapo mimi na baba yangu tuli-kuwa tumeweka amri ambazoBwana alikuwa ametuamuru.

21 Na tulikuwa tumepatayale maandishi ambayo Bwanaalikuwa ametuamuru, na ku-yachunguza na tukagunduakwamba yalikuwa ya kupende-za; ndio, hata yenye athamanikubwa kwetu sisi, kwani tunge-weza bkuhifadhi amri za Bwanana kuwapa watoto wetu.

22 Kwa hivyo, ilikuwa nihekima katika Bwana kwambatuyabebe tulipokuwa, tukisafi-ri nyikani tukielekea nchi yaahadi.

MLANGO WA 6

Nefi anaandika kuhusu vitu vyaMungu — Kusudi la Nefi ni ku-shawishi watu kumjia Mungu waIbrahimu ili waokolewe. Kutokakaribu mwaka wa 600 hadi 592kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

Na sasa mimi, Nefi, sitaandikanasaba ya baba zangu katikasehemu ahii ya maandishi ya-ngu; wala sitaiandika baadayewakati wowote katika hizi

13a 2 Fal. 24:18;Yer. 37:1.

b Ezra 1:1;Yer. 36:17–32;1 Ne. 7:14; Hel. 8:20.

14a 1 Ne. 3:3, 12.mwm Mabamba yaShaba Nyeupe.

b 2 Ne. 3:4; Alma 10:3.

mwm Yusufu,Mwana wa Yakobo.

c mwm Yakobo,Mwana wa Isaka.

d Mwa. 37:29–36.e Mwa. 45:4–5.

15a Kut. 13:17–18;Amo. 3:1–2;1 Ne. 17:23–31;

M&M 103:16–18;136:22.

16a 1 Ne. 6:2.19a Alma 37:4–5.21a mwm Maandiko—

Thamani yamaandiko.

b 2 Ne. 25:26.6 1a 2 Ne. 4:14–15.

Page 31: KITABU CHA MORMONI

1 Nefi 6:2–7:5 14bbamba ambazo ninaandika;kwani imeandikwa kwenye ma-andishi ambayo yamewekwa nacbaba yangu; kwa hivyo, sitaia-ndika katika bamba hizi.2 Kwani inanitosha kusema

kuwa sisi ni kizazi cha aYusufu.3 Na sio muhimu kwangu

kutoa taarifa kamili ya vitu vyababa yangu, kwani haviwezikuandikwa kwenye bambaahizi, kwani nahitaji nafasi yakuandika vitu vya Mungu.4 Kwani lengo langu kamili

ni akuwashawishi watu bwajekwa Mungu wa Ibrahimu, naMungu wa Isaka, na Munguwa Yakobo ili waokolewe.5 Kwa hivyo, sitaandika vitu

vile ambavyo avinafurahishaulimwengu, bali nitaandikayale ambayo yanamfurahishaMungu na wale wasio wa uli-mwengu.

6 Kwa hivyo, nitatoa amri kwauzao wangu, kwamba hawata-andika vitu visivyo na thamanikwa watoto wa watu kwenyebamba hizi.

MLANGO WA 7

Wana wa Lehi wanarejea Yerusale-mu na kumwalika Ishmaeli na jamiiyake waungane nao katika safariyao—Lamani na wengine wanaasi— Nefi anawasihi kaka zake wawena imani katika Bwana — Wana -

mfunga kwa kamba na kupanganjama za kumwangamiza — Ana-kombolewa kwa nguvu za imani— Kaka zake wanaomba msamaha— Lehi na kikundi chake wanatoadhabihu na sadaka za kuteketezwakwa moto. Kutoka karibu mwakawa 600 hadi 592 kabla ya kuzaliwakwa Kristo.

Na sasa n ingetaka mjue ,kwamba baada ya baba yangu,Lehi, kumaliza kutoa aunabiikuhusu uzao wake, ikawakwamba Bwana akamzungum-zia tena, akisema kuwa haifaiyeye, Lehi, kuipeleka jamii yakepekee nyikani; lakini kwambawana wake bwaoe cmabinti, iliwaweze kuendeleza uzao waBwana katika nchi ya ahadi.

2 Na ikawa kwamba Bwanaaakamwamuru kwamba mimi,Nefi, na kaka zangu, turuditena katika nchi ya Yerusalemu,na tumlete Ishmaeli na jamiiyake nyikani.

3 Na ikawa kwamba mimi,Nefi, pamoja na kaka zangu,atena, tukaenda nyikani nakuelekea Yerusalemu.

4 Na ikawa kwamba tuliingiakatika nyumba ya Ishmaeli, naIshmaeli akakubaliana nasi,hata tukamwelezea maneno yaBwana.

5 Na ikawa kwamba Bwanaaliulainisha moyo wa Ishmaeli,pia na jamii yake, hata wakasa-

1b 1 Ne. 9:2.c 1 Ne. 1:16–17;

19:1–6.2a 1 Ne. 5:14–16.3a Yak. (KM) 7:27;

Yar. 1:2, 14;Omni 1:30.

4a Yn. 20:30–31.Tazama ukurasawenye jina la Kitabucha Mormoni.

b 2 Ne. 9:41, 45, 51.5a 1 The. 2:4;

M ya Morm. 1:4.

7 1a 1 Ne. 5:17–19.b 1 Ne. 16:7.c mwm Ndoa, Oa,

Olewa.2a 1 Ne. 16:7–8.3a 1 Ne. 3:2–3.

Page 32: KITABU CHA MORMONI

15 1 Nefi 7:6–16

firi pamoja nasi hadi nyikanikwenye hema la Baba yetu.6 Na ikawa kwamba tulipoku-

wa tukisafiri nyikani, tazamaLamani na Lemueli, na mabintiwawili wa Ishmaeli, na waleawana wawili wa Ishmaeli najamii zao, waliasi dhidi yetu;ndio, dhidi yangu, Nefi, naSamu, na baba yao, Ishmaeli,na mke wake, na mabinti zakewengine watatu.7 Na ikawa katika kuasi kwao,

walitaka kurejea katika nchi yaYerusalemu.

8 Na sasa mimi, Nefi, nikiwaanimehuzunishwa na ugumuwa mioyo yao, kwa hivyo nika-wazungumzia, nikisema, ndio,hata kwa Lamani na Lemueli:Tazama nyinyi ndio kaka zanguwakubwa, je, kwa nini mnaugumu mioyoni yenu, na upofukatika akili zenu, hata mnahi-taji kwamba mimi kaka yenumdogo, niwazungumzie, ndio,hata kuwa kielelezo kwenu?9 Je, kwa nini hamjasikiza

neno la Bwana?10 Je, ni vipi a mmesahau

kwamba mliona malaika waBwana?

11 Ndio, na ni vipi kwambammesahau vitu vikubwa amba-vyo Bwana ametutendea, katikaakutukomboa kutoka mikononimwa Labani, na pia kwamba tu-kaweza kupata yale maandishi?12 Ndio, na ni vipi kwamba

mmesahau kuwa Bwana ana-weza kufanya avitu vyote kuli-ngana na nia yake, kwa watotowa watu, ikiwa watatekelezabimani kwake? Kwa hivyo, tuwewaaminifu kwake.

13 Na kama tutakuwa waami-nifu kwake, tutapokea anchi yaahadi; na hapo baadaye mtajuakwamba neno la Bwana litati-mia kuhusu bkuangamizwa kwamji wa Yerusalemu; kwani vituvyote ambavyo Bwana amezu-ngumza kuhusu kuangamizwakwa Yerusalemu lazima yati-mizwe.

14 Kwani tazama, Roho waBwana ataacha karibuni kuji-shughulisha nao; kwani tazama,awamewakataa manabii, nawamemtia bYeremia gerezani.Na wamemtafuta baba yangukumtoa cuhai wake, mpakawamemfukuza kutoka nchini.

15 Tazama sasa, nawaambiakama nyinyi mtarudi Yerusale-mu pia nanyi mtaangamia nao.Na sasa, mkiwa na uwezo wakuchagua, nendeni kwenyenchi, na kumbukeni manenoambayo nawazungumzia, kwa-mba kama mtaenda pia mtaa-ngamia; kwani Roho wa Bwanaananishurutisha kuzungumza.

16 Na ikawa kwamba baadaya mimi, Nefi, kuwazungumziakaka zangu maneno haya, wali-nikasirikia. Na ikawa kwambawalinikamata, kwani tazama,

6a 2 Ne. 4:10.8a Alma 31:2;

Musa 7:41.10a Kum. 4:9;

1 Ne. 3:29; 4:3.11a 1 Ne. 4.12a 1 Ne. 17:50;

Alma 26:12.b 1 Ne. 3:7; 15:11.

13a 1 Ne. 2:20.mwm Nchi ya Ahadi.

b 2 Fal. 25:1–21;2 Ne. 6:8; 25:10;Omni 1:15;

Hel. 8:20–21.14a Eze. 5:6;

1 Ne. 1:18–20; 2:13.mwm Uasi.

b Yer. 37:15–21.c 1 Ne. 2:1.

Page 33: KITABU CHA MORMONI

1 Nefi 7:17–8:3 16

walikuwa na hasira nyingi,na awakanifunga kwa kamba,kwani walitaka kunitoa uhaiwangu, kwamba wangeniachanyikani niliwe na wanyama wamwituni.

17 Lakini ikawa kwamba nili-mwomba Bwana, nikisema: EweBwana, kulingana na imaniyangu kwako, unikomboe kuto-ka mikononi mwa kaka zangu;ndio, hata unipatie nguvu ilianizikate kamba ambazo nime-fungwa nazo.18 Na ikawa kwamba baada ya

kusema haya maneno, tazama,kamba kwa mikono na miguuyangu zililegezwa, na nikasi-mama mbele za kaka zangu, nanikawazungumzia tena.

19 Na ikawa kwamba walini-kasirikia tena, na wakatakakunishika; lakini tazama, mmojawa amabinti za Ishmaeli, ndio,na mama yake pia, na mmojawa wana wa Ishmaeli, waka-wasihi kaka zangu, hadi waka-lainisha mioyo yao; na wakaa-cha kutaka kujaribu kutoa uhaiwangu.

20 Na ikawa kwamba walihu-zunishwa, kwa sababu yauovu wao, hadi wakaniinamia,na kunisihi niwasamehe kituambacho walikuwa wametendadhidi yangu.

21 Na ikawa kwamba aniliwa-samehe kwa ukweli na moyowangu wote kwa yote waliyofa-nya, na nikawahimiza kwambawamuombe Bwana Mungu wao

msamaha. Na ikawa kwambawalitenda hivyo. Na baadaya wao kumaliza kumwombaBwana, tulisafiri tena tukiele-kea kwenye hema la baba yetu.

22 Na ikawa kwamba tulifikakwenye hema la baba yetu. Nabaada ya mimi na kaka zangupamoja na nyumba yote yaIshmaeli kufika kwenye hemala baba yangu, walitoa ashukra-ni kwa Bwana Mungu wao; nawakamtolea bdhabihu na sadakaza kuteketezwa kwa moto.

MLANGO WA 8

Lehi anaona ono la mti wa uhai —Anakula matunda yake na kuta-mani jamii yake pia nao wale —Anaona fimbo ya chuma, na njianyembamba imesonga, na ukunguwa giza ambao unafunika wana-damu — Saria, Nefi, na Samu wa-nakula matunda, lakini Lamanina Lemueli wanakataa. Kutoka ka-ribu mwaka wa 600 hadi 592 kablaya kuzaliwa kwa Kristo.

Na ikawa kwamba tulikuwatumekusanya jinsi zote zambegu za kila aina, pamojana nafaka za kila aina, na piambegu za kila aina ya matunda.

2 Na ikawa kuwa wakati babayangu alipoishi nyikani alitu-zungumzia, akisema: Tazama,animeota ndoto; au kwa manenomengine, nimeona bono.

3 Na tazama, kwa sababu yakitu ambacho nilikuwa nime-

16a 1 Ne. 18:11–15.17a Alma 14:26–28.19a 1 Ne. 16:7.21a mwm Samehe.

22a mwm Shukrani,Shukrani, enye, Toashukrani.

b 1 Ne. 5:9.

8 2a mwm Ndoto;Ufunuo.

b 1 Ne. 10:17.mwm Ono.

Page 34: KITABU CHA MORMONI

17 1 Nefi 8:4–17

kiona, nina sababu ya kutoashukrani kwa Bwana kwa sa-babu ya aNefi na pia ya Samu;nina sababu ya kuamini kwa-mba wao, na pia wengi wauzao wao, watakombolewa.4 Lakini tazama, aLamani na

Lemueli, ninaogopa sana kwasababu yenu; kwani tazama,nilidhania niliona ndotoni mwa-ngu, nyika yenye giza na yenyekuhuzunisha.

5 Na ikawa kwamba nilionamtu, na alikuwa amevaa ajohojeupe; na akaja na kusimamambele yangu.

6 Na ikawa kwamba alinizu-ngumzia, na aliniamuru nim-fuate.

7 Na ikawa kwamba nilipoku-wa namfuata nilijiona kwambanilikuwa katika mahali penyegiza na ukiwa wa jangwa.

8 Na baada ya kusafiri kwamasaa mengi gizani, nilianzakumwomba Bwana aanihuru-mie, kulingana na wingi warehema na fadhili zake.9 Na ikawa kuwa baada

ya mimi kumwomba Bwana,niliona auwanja mkubwa nampana.

10 Na ikawa kwamba nilionaamti, ambao bmatunda yakeyalitamanika kumfurahishamwanadamu.

11 Na ikawa kwamba niliendana nikala amatunda yake; nanikagundua kwamba yalikuwa

matamu, zaidi ya yote ambayonilikuwa nimeonja. Ndio, nanikaona kwamba tunda lakelilikuwa leupe, kushinda bweu-pe wote ambao nilikuwa nime-uona.

12 Na nilipokula tunda lile li-lijaza nafsi yangu na ashangwetele ; kwa hivyo, nikaanzabkutaka jamii yangu na wao piawale; kwani nilijua kwambalilikuwa tunda la ckupendezazaidi ya yote.

13 Na nilipotazama hapa napale, ili pia labda nione jamiiyangu, niliona amto wa maji; naulitiririka, karibu na mti uleambao nilikuwa nikila matundayake.

14 Na nikatazama nione ulito-ka wapi; na nikaona chimbukolake mbali kidogo; na kwenyechimbuko nikaona mama yenuSaria, na Samu, na Nefi; nawalisimama wakawa kama ha-wajui wanapoenda.

15 Na ikawa kwamba niliwa-pungia mkono; na pia kwasauti kubwa nikawaambiawanikaribie, na wale tunda,ambalo lilikuwa la kupendezazaidi kuliko tunda lingine.

16 Na ikawa kwamba walini-karibia na kula tunda pia.

17 Na ikawa kwamba nilitakapia Lamani na Lemueli waje nakula tunda; kwa hivyo, nikata-zama kwenye chimbuko la mto,kwamba labda niwaone.

3a 1 Ne. 8:14–18.4a 1 Ne. 8:35–36.5a JS—H 1:30–32.8a mwm Rehema,

Rehema, enye.9a Mt. 13:38.

10a Mwa. 2:9;Ufu. 2:7; 22:2;1 Ne. 11:4, 8–25.mwm Mti wa Uzima.

b Alma 32:41–43.11a Alma 5:34.

b 1 Ne. 11:8.12a mwm Shangwe.

b Alma 36:24.c 1 Ne. 15:36.

13a 1 Ne. 12:16–18;15:26–29.

Page 35: KITABU CHA MORMONI

1 Nefi 8:18–30 18

18 Na ikawa kwamba niliwao-na, lakini ahawakunijia na kulatunda.19 Na nikaona a f imbo ya

chuma, na ilinyooka kando yaukingo wa mto, mpaka kwenyemti niliposimama.

20 Na pia nikaona njia nye-mbamba aimesonga, ambayoiliambatana na fimbo ya chuma,hata hadi ambapo nilipokuwanimesimama kwenye mti; napia ilielekea kwenye chimbukola chemchemi, hadi kwenyebuwanja mkubwa mpana, kamakwamba ni ulimwengu.

21 Na nikaona umati mkubwawa watu usio na idadi, wengiwao ambao walikuwa wanaso-gea mbele, ili wapate kufikiaanjia ambayo ilielekea kwenyemti ambapo nilikuwa nimesi-mama.22 Na ikawa kwamba walifika

hapo mbele, na kuipata njiailiyoelekea kwenye mti.

23 Na ikawa kwamba kulito-kea aukungu wa giza; ndio,hata ukungu mkubwa wa giza,hadi wale ambao walikuwawametangulia njia walipoteanjia, kwamba walizungukazu-nguka na kupotea.24 Na ikawa kwamba niliona

wengine wakisonga mbele, nawakafika mbele na wakashikamwisho wa fimbo ya chuma; nawakasonga mbele na kupenya

ukungu wa giza, wakishikiliafimbo ya chuma, hadi wakafikana kula amatunda ya mti.25 Na baada ya kula matunda

ya mti wakatupa macho yaohapa na pale wakawa kamaawanaaibika.26 Na pia nikatupa macho

yangu hapa na pale, na nikao-na, kwenye ng’ambo nyingineya mto wa maji, jengo kubwana apana; na lilikuwa ni kamalinaelea hewani, juu zaidi yaardhi.

27 Na lilikuwa limejaa watu,wazee kwa vijana, wanaumekwa wanawake; na mavazi yaoyalikuwa mazuri kupita kiasi;na walikuwa na atabia ya kufa-nya mzaha na kuwaonyeshakwa vidole vyao wale ambaowalikuwa wanakuja na kulamatunda.

28 Na baada ya akuonja matu-nda bwaliaibika, kwa sababuya wale waliokuwa wakiwadha-rau; na cwakaingia katika njiazilizokataliwa na wakapotea.

29 Na sasa mimi, Nefi, sizu-ngumzi maneno ayote ya babayangu.

30 Lakini, nikifupisha katikakuandika, tazama, aliona uma-ti mwingine ukisonga mbele;na wakaja na kushika mwishowa ile fimbo ya chuma; na wa-kasonga mbele, daima wame-shikilia ile afimbo ya chuma,

18a 2 Ne. 5:20–25.19a Zab. 2:9; Ufu. 12:5;

tjs, Ufu. 19:15;1 Ne. 8:30; 11:25;15:23–24.

20a Mt. 7:14;2 Ne. 31:17–20.

b Mt. 13:38.

21a mwm Njia.23a 1 Ne. 12:17; 15:24.24a 1 Ne. 8:10–12.25a Rum. 1:16;

2 Tim. 1:8;Alma 46:21;Morm. 8:38.

26a 1 Ne. 11:35–36; 12:18.

27a mwm Kiburi.28a 2 Pet. 2:19–22.

b Mk. 4:14–20; 8:38;Lk. 8:11–15;Yn. 12:42–43.

c mwm Ukengeufu.29a 1 Ne. 1:16–17.30a 1 Ne. 15:23–24.

Page 36: KITABU CHA MORMONI

19 1 Nefi 8:31–9:2

hadi wakafika na kuinama nakula matunda ya ule mti.31 Na pia akaona aumati mwi-

ngine ukipapasapapasa wakie-lekea kwa lile jengo kubwa napana.

32 Na ikawa kwamba wengiwalizama kwenye kilindi chaachemchemi; na wengi waka-potea asipate kuwaona, waki-zururazurura katika njia ngeni.

33 Na umati ule ulioingiakwenye lile jengo geni ulikuwamkubwa. Na baada ya kuingiakwenye lile jengo walitufanyiaishara za amadharau kwa vido-le vyao mimi na wale ambaowalikuwa wakila matunda;lakini hatukuwasikiza.

34 Haya ndio maneno ya babayangu: Kuwa wengi awaliowa-sikiza, walianguka.

35 Na baba yangu akasemakuwa a Lamani na Lemuelihawakula matunda, alisemababa yangu.

36 Na ikawa kwamba baadaya baba yangu kuzungumzamaneno yote ya ndoto yake auono, ambayo yalikuwa mengi,akatuambia sisi, kwa sababuya vitu hivi vyote ambavyo ali-vyoona katika ono, aliwahofiakupita kiasi Lamani na Lemueli;ndio, alihofia wasije wakatupi-liwa mbali kutoka kwenyeuwepo wa Bwana.

37 Na aliwasihi kwa hurumazote za amzazi mwenye upendo,kwamba wasikilize maneno

yake, na pengine Bwana ange-warehemu, na asiwatupiliembali; ndio, baba yangu aliwa-hubiria.

38 Na baada ya kuwahubiria,na pia kuwatolea unabii wavitu vingi, aliwaamuru kuwekaamri za Bwana; na akakomakuwazungumzia.

MLANGO WA 9

Nefi anaandika aina mbili zahistoria — Kila kimoja kinaitwabamba za Nefi — Bamba kubwazinayo maandishi ya historia yakiulimwengu; bamba ndogo zinayoasili ya vitu vitakatifu. Kutokakaribu mwaka wa 600 hadi 592kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

Na baba yangu aliona vitu hivivyote, na kusikia, na kuvizu-ngumza, alipokuwa kwenyehema, katika abonde la Lemueli,na pia vitu vingi zaidi, ambavyohaviwezi kuandikwa kwenyebamba hizi.

2 Na sasa, kulingana na yalenimeyosema kuhusu hizi ba-mba, tazama sio zile bambaambazo ninaandika historiakamili ya watu wangu; kwaniabamba ambazo nimeandikahistoria kamili ya watu wangunimeziita kwa jina la Nefi; kwahivyo, zinaitwa bamba za Nefi,kufuatana na jina langu; napia hizi bamba zinaitwa bambaza Nefi.

31a Mt. 7:13.32a 1 Ne. 15:26–29.33a mwm Mateso, Tesa.34a Kut. 23:2.35a 1 Ne. 8:17–18;

2 Ne. 5:19–24.37a mwm Familia;

Wazazi.9 1a 1 Ne. 2:4–6, 8, 14–15;

16:6.

2a 1 Ne. 19:2, 4;Yak. (KM) 3:13–14;M ya Morm. 1:2–11;M&M 10:38–40.mwm Mabamba.

Page 37: KITABU CHA MORMONI

1 Nefi 9:3–10:4 20

3 Walakini, nimepokea amriya Bwana kwamba nizitenge-neze hizi bamba, kwa akusudimuhimu kwamba kuweko nahistoria iliyochorwa ya bhudu-ma ya watu wangu.4 Kwenye zile bamba nyingi-

ne ichorwe historia ya utawalawa wafalme, na vita na mabi-shano ya watu wangu; kwa hi-vyo hizi bamba sehemu kubwani ya huduma; na zile bambaanyingine sehemu kubwa ni yautawala wa wafalme na vita napia mabishano ya watu wangu.5 Kwa hivyo, Bwana amenia-

muru kuandika hizi bamba kwakusudi lake lenye ahekima,ambalo kusudi mimi silijui.

6 Lakini Bwana aanavijua vituvyote kuanzia mwanzoni; kwahivyo, anatayarisha njia ya ku-timiza kazi zake zote miongonimwa watoto wa watu; kwanitazama, ana buwezo wote wakutimiza maneno yake yote. Nahivyo ndivyo ilivyo. Amina.

MLANGO WA 10

Lehi abashiri kwamba Wayahudiwatatekwa mateka na Wababilonia— Anasimulia kuja kwa Masiya,Mwokozi, na Mkombozi, miongonimwa Wayahudi — Lehi pia anasi-mulia kuhusu kuja kwa yuleatakaye mbatiza Mwanakondoo wa

Mungu — Lehi anasimulia kifo naufufuko wa Masiya — Analinga-nisha kutawanyika na kukusanyikakwa Israeli na mzeituni — Nefianazungumza kuhusu Mwana waMungu, kipawa cha Roho Mtaka-tifu, na haja ya utakatifu. Kutokakaribu mwaka wa 600 hadi 592kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

Na sasa mimi, Nefi, ninaende-lea kuandika historia kuhusumatendo yangu kwenye ahizibamba, pamoja na utawala nahuduma yangu; kwa hivyo, iliniendelee na historia yangu,lazima nizungumze machachekuhusu vitu vya baba yangu,na pia kaka zangu.

2 Kwani tazama, ikawa kwa-mba baada ya baba yangukumaliza kuzungumza manenoya andoto yake, na pia kuwa-sihi waendelee kwenye jitiha-da, aliwazungumuzia kuhusuWayahudi —

3 Kwamba baada yao kuanga-mizwa, hata ule mji mkuuaYerusalemu, na wengi bkupe-lekwa uhamishoni cBabilonia,kulingana na nyakati za Bwana,dwatarejea tena, ndio, hata ku-rejeshwa kutoka uhamishoni;na baada ya kutolewa uhami-shoni watamiliki tena nchi yaoya urithi.

4 Ndio, hata baada ya miakamia asita tangu baba yangu ato-

3a M&M 3:19.b 1 Ne. 6:3.

4a Yak. (KM) 1:2–4;M ya Morm. 1:10.

5a 1 Ne. 19:3;M ya Morm. 1:7;Alma 37:2, 12, 14.

6a 2 Ne. 9:20;M&M 38:2;

Musa 1:6, 35.mwm Kujua yote.

b Mt. 28:18.10 1a 1 Ne. 9:1–5; 19:1–6;

Yak. (KM) 1:1–4.2a 1 Ne. 8.3a Esta 2:6;

2 Ne. 6:8;Hel. 8:20–21.

b 2 Ne. 25:10.mwm Wendo—587 b.k.

c Eze. 24:2; 1 Ne. 1:13;Omni 1:15.

d Yer. 29:10;2 Ne. 6:8–9.

4a 1 Ne. 19:8;2 Ne. 25:19; 3 Ne. 1:1.

Page 38: KITABU CHA MORMONI

21 1 Nefi 10:5–13

ke Yerusalemu, Bwana Munguatainua bnabii miongoni mwaWayahudi — hata cMasiya, au,kwa maneno mengine, Mwo-kozi wa ulimwengu.

5 Na pia akazungumzia kuhu-su manabii, jinsi wengi waowalivyokuwa awameshuhudiav i tu hiv i , kuhusu Masiyaambaye alikuwa amemzungu-mzia, au huyu Mkombozi waulimwengu.

6 Kwa hivyo, wanadamu wotewalikuwa wamepotea na wakokatika hali ya akuanguka, nawatakuwa hivyo hata milelewasipomtegemea huyu Mko-mbozi.7 Na alizungumza pia kuhusu

anabii ambaye angemtanguliaMasiya, ili kumtayarishia Bwa-na njia yake —8 Ndio, hata ataondoka mbele

na kutangaza nyikani: aItaya-risheni njia ya Bwana, na ya-nyosheni mapito yake; kwanimiongoni mwenu amesimamayeye msiyemjua; na yeye nimkuu kunishinda, ambayemimi sistahili kuilegeza gidamuya kiatu chake. Na baba yangualizungumza mengi kuhusukitu hiki.

9 Na baba yangu akasemaatabatiza katika aBethabara,

ng’ambo ya Yordani; na piaakasema kuwa batabatiza kwamaji; hata kwamba atambatizaMasiya kwa maji.

10 Na baada ya kumbatizaMasiya kwa maji, itambidikuona na kushuhudia kwambaalimbatiza aMwanakondoo waMungu, ambaye ataondoa dha-mbi za ulimwengu.

11 Na ikawa kwamba baadaya baba yangu kuzungumzamaneno haya aliwazungumziak a k a z a n g u k u h u s u i n j i l iambayo itahubiriwa miongonimwa Wayahudi, na pia kuhusuakufifia kwa Wayahudi katikabkutoamini. Na baada ya cku-muua Masiya, ajaye, na baadaya kuuwawa datafufuka kutokakwa wafu, na ajidhihirishe,kupitia nguvu za eRoho Mtaka-tifu, kwa Wayunani.

12 Ndio, baba yangu hataalizungumza mengi kuhusuWayunani , na pia kuhusunyumba ya Israeli, kwambawatalinganishwa na amzeituni,ambao matawi yake yatakatwana bkutawanywa kote koteusoni mwa dunia.

13 Kwa hivyo, akasema nilazima sote tuongozwe pamojahadi kwa anchi ya ahadi, ilimaneno ya Bwana yatimizwe,

4b 1 Ne. 22:20–21.c mwm Masiya.

5a Yak. (KM) 7:11;Mos. 13:33;Hel. 8:19–24;3 Ne. 20:23–24.

6a mwm Anguko laAdamu na Hawa.

7a 1 Ne. 11:27;2 Ne. 31:4.

8a Isa. 40:3; Mt. 3:1–3.9a Yn. 1:28.

b mwm YohanaMbatizaji.

10a mwm Mwanakondoowa Mungu.

11a Yak. (KM) 4:14–18.b Morm. 5:14.c mwm Kusulubiwa;

Yesu Kristo.d mwm Ufufuko.e mwm Roho

Mtakatifu.12a Mwa. 49:22–26;

1 Ne. 15:12;2 Ne. 3:4–5;Yak. (KM) 5; 6:1–7.mwm Mzeituni;Shamba la mzabibula Bwana.

b 1 Ne. 22:3–8.mwm Israeli—Kutawanyika kwaIsraeli.

13a 1 Ne. 2:20.mwm Nchi ya Ahadi.

Page 39: KITABU CHA MORMONI

1 Nefi 10:14–21 22

kuwa tutawanywe kote usonimwa dunia.14 Na baada ya nyumba ya

Israeli kutawanyika awataku-sanyika tena pamoja; au, kwausemi mwingine, baada yabWayunani kupokea utimilifuwa Injili, matawi ya asili yacmzeituni, au masazo ya nyu-mba ya Israeli, yatapandiki-zwa, au kumfahamu Masiyawa ukweli , Bwana wao naMkombozi wao.15 Na baba yangu alitumia

maneno haya kwa kuwatoleakaka zangu unabii, na kuwazu-ngumzia na pia vitu vingi mnoambavyo siandiki kwenye ki-tabu hiki; kwani nimeandikamengi yaliyonipasa kwa kilekitabu changu akingine.16 Na vitu hivi vyote, ambavyo

nimezungumza, vilifanyika wa-kati baba yangu aliishi kwenyehema, katika bonde la Lemueli.

17 Na ikawa kwamba mimi,Nefi, baada ya kusikia amanenoyote ya baba yangu, kuhusu vilevitu ambavyo alikuwa ameonakatika bono, na pia vile vitualivyozungumza kwa nguvuya Roho Mtakatifu, nguvualizopokea kwa imani katikaMwana wa Mungu — na Mwa-na wa Mungu alikuwa cMasiyaajaye — mimi, Nefi, nikatamani

nione pia, na kusikia, na kuvijuavitu hivi, kwa nguvu ya RohoMtakatifu, ambayo ni dkaramaya Mungu kwa wote waleambao humtafuta kwa ebidii,sio tu katika nyakati fzilizopita,lakini pia katika nyakati ana-jidhihirisha kwa watoto wawatu.

18 Kwani yeye ni ayule yulejana, leo, na milele; na njia ime-tayarishiwa wanadamu wotetangu msingi wa ulimwengu,ikiwa itakuwa kwamba wata-tubu na kuja kwake.

19 Kwani atafutaye kwa bidiiatapata; na watafunguliwa asiriza Mungu, kwa nguvu yabRoho Mtakatifu, kama ilivyo-kuwa katika nyakati hizi nanyakati za kale, na vile vilehizo nyakati za kale, na pianyakati zi jazo; kwa hivyo,cmpangilio wa Bwana ni mpa-ngilio imara milele.

20 Kwa hivyo kumbuka, Ewemwanadamu, autahukumiwakwa yale yote utendayo.

21 Kwa hivyo, kama uliteuakutenda maovu katika nyakatiza amajaribio yako, basi utapa-twa bmchafu mbele ya kiti chahukumu cha Mungu; na haku-na kitu kichafu chaweza kuishina Mungu; kwa hivyo, lazimautupiliwe mbali milele.

14a mwm Israeli—Kukusanyika kwaIsraeli.

b 1 Ne. 13:42;M&M 14:10.

c Yak. (KM) 5:8, 52, 54,60, 68.

15a 1 Ne. 1:16–17.17a Eno. 1:3; Alma 36:17.

b 1 Ne. 8:2.c mwm Masiya.

d mwm RohoMtakatifu.

e Moro. 10:4–5, 7, 19.f M&M 20:26.

18a Ebr. 13:8; Morm. 9:9;M&M 20:12.mwm Mungu,Uungu.

19a mwm Siri za Mungu.b mwm Roho

Mtakatifu.

c Alma 7:20;M&M 3:2; 35:1.

20a Mh. 12:14;2 Ne. 9:46.mwm Hukumu, yaMwisho.

21a Alma 34:32–35.b 1 Kor. 6:9–10;

3 Ne. 27:19;M&M 76:50–62;Musa 6:57.

Page 40: KITABU CHA MORMONI

23 1 Nefi 10:22–11:9

22 Na Roho Mtakatifu anani-patia mamlaka kuzungumzavitu hivi, na nisiyazuie.

MLANGO WA 11

Nefi anaona Roho wa Bwana naanaonyeshwa kwa ono mti wa uzi-ma — Anamuona mama wa Mwa-na wa Mungu na kufahamu kuhu-su ufadhili wa Mungu — Anaonaubatizo, huduma, na kusulibiwakwa Mwanakondoo wa Mungu —Pia anaona mwito na hudumaya Mitume Kumi na Wawili waMwanakondoo. Kutoka karibumwaka wa 600 hadi 592 kabla yakuzaliwa kwa Kristo.

Kwani ikawa baada ya kuta-mani kujua vitu ambavyo babayangu aliona, na nikiaminikwamba Bwana anaweza kuni-julisha haya kwangu, nikiwanimekaa anikiwaza moyonimwangu bnilinyakuliwa naRoho wa Bwana, ndio, hadikwenye cmlima mrefu zaidi,ambao sijawahi kuona hapoawali kamwe, na ambao juuwake sijawahi kukanyagisham g u u w a n g u h a p o a w a l ikamwe.2 Na Roho akaniambia: Taza-

ma, ni nini unachotamani?3 Na nilisema: Natamani kuo-

na vitu ambavyo baba yanguaaliona.4 Na Roho akaniambia: Unaa-

mini kwamba baba yako aliuonaamti ambao ameuzungumzia?5 Na nikasema: Ndio, wewe

unajua kwamba aninaaminimaneno yote ya baba yangu.

6 Na baada ya mimi kuzungu-mza haya maneno, Roho aka-paza sauti, na kusema: Hosanakwa Bwana, Mungu aliye juusana; kwani yeye ndiye Mungujuu ya aardhi yote, ndio, hatajuu ya yote. Na umebarikiwaewe, Nefi, kwa sababu buna-mwamini Mwana wa Mungualiye juu sana; kwa hivyo, we-we utaona vitu ulivyotamani.

7 Na tazama utapewa kituhiki kama aishara, kwamba ba-ada ya kuona mti ambao ulizaatunda ambalo baba yako alionja,wewe utaona pia mtu akitere-mka kutoka mbinguni , nawewe utashuhudia; na baadaya kumwona wewe butashuhu-dia kwamba yeye ni Mwana waMungu.

8 Na ikawa kwamba Rohoakaniambia: Tazama! Na nika-tazama na kuona amti; na uli-kuwa kama ule mti ambaobaba yangu aliuona; na urembowake ulikuwa hauna kipimo,ndio, zaidi ya urembo wote; nabweupe wake ulizidi weupe watheluji ivumayo.

9 Na ikawa baada ya kuonahuu mti, nikamwambia Roho:Nimeona kuwa umenionyeshamti aulioadimika zaidi ya yote.

11 1a M&M 76:19.mwm Tafakari.

b 2 Kor. 12:1–4;Ufu. 21:10;2 Ne. 4:25; Musa 1:1.

c Kum. 10:1;Eth. 3:1.

3a 1 Ne. 8:2–34.4a 1 Ne. 8:10–12;

15:21–22.5a 1 Ne. 2:16.6a Kut. 9:29;

2 Ne. 29:7;3 Ne. 11:14;

Musa 6:44.b mwm Amini, Imani.

7a mwm Ishara.b mwm Ushuhuda.

8a 1 Ne. 8:10.b 1 Ne. 8:11.

9a 1 Ne. 11:22–25.

Page 41: KITABU CHA MORMONI

1 Nefi 11:10–24 24

10 Na akaniambia: Nini una-chotamani?

11 Na nikamwambia: Kufa-hamu amaana yake — kwaninilimzungumzia kama mwa-nadamu; kwani niliona kuwaalikuwa kwa bmfano wa mwa-nadamu; walakini, nilijua kwa-mba ni Roho wa Bwana; naakanizungumzia kama mwa-nadamu anavyozungumzia namwingine.

12 Na ikawa kwamba akania-mbia: Tazama! Na nikatazamaili nimwone, na sikumwona;kwani alikuwa ameenda kutokamachoni mwangu.

13 Na ikawa kwamba nilitaza-ma na nikaona mji mkuu waYerusalemu, na pia miji mingi-ne. Na nikaona mji wa aNaza-reti; na katika mji wa Nazaretinikamwona bbikira, na alikuwamrembo na mweupe.

14 Na ikawa kwamba nilionaambingu zikifunguka; na mala-ika akateremka na kusimamambele yangu; na akaniambia:nini unachokiona, Nefi?15 Na nikamwambia: Ni biki-

ra, ambaye ni mrembo na mta-katifu zaidi ya bikira wenginewote.

16 Na akaniambia: Je wajuaufadhili wa Mungu?

17 Na nikamwambia: Najuakwamba anawapenda watoto

wake; walakini, sijui maana yavitu vyote.

18 Na akaniambia: Tazama,abikira unayemwona ni bmamawa Mwana wa Mungu, katikakimwili.

19 Na ikawa kwamba nilionaalinyakuliwa na Roho; na baadaya kunyakuliwa na aRoho kwamuda, malaika akanizungumi-zia, akisema: Tazama!

20 Na nikatazama na kumwo-na yule bikira tena, akimbebaamtoto mikononi mwake.21 Na malaika akaniambia:

Tazama aMwanakondoo waMungu, ndio, hata bMwana wacBaba wa Milele! Je, unajuamaana ya ule dmti ambao babayako aliuona?

22 Na nikamjibu, nikasema:Ndio, ni aupendo wa Mungu,ambao umejimimina mioyonimwa watoto wa watu, kwahivyo, ni wa kupendeza zaidiya vitu vyote.

23 Na akanizungumzia, nakusema: Ndio, na inafurahishamoyo kwa ashangwe.24 Na baada ya kusema mane-

no haya, akaniambia: Tazama!Na nikatazama, na nikamwonaMwana wa Mungu aakiendamiongoni mwa watoto wa watu;na nikawaona wengi wakiina-ma mbele ya miguu yake nakumuabudu.

11a Mwa. 40:8.b Eth. 3:15–16.

13a Mt. 2:23.b Lk. 1:26–27;

Alma 7:10.mwm Maria, Mamawa Yesu.

14a Eze. 1:1;1 Ne. 1:8.

18a Isa. 7:14;Lk. 1:34–35.

b Mos. 3:8.19a Mt. 1:20.20a Lk. 2:16.21a mwm Mwanakondoo

wa Mungu.b mwm Yesu Kristo.c mwm Mungu,

Uungu—Mungu Baba.

d 1 Ne. 8:10;Alma 5:62.mwm Mti wa Uzima.

22a mwm Upendo.23a mwm Shangwe.24a Lk. 4:14–21.

Page 42: KITABU CHA MORMONI

25 1 Nefi 11:25–33

25 Na ikawa kwamba nilionaile afimbo ya chuma, ambayobaba yangu aliiona, ilikuwaneno la Mungu, na ilielekeahadi kwenye chemchemi yamaji ya buhai, au kwenye cmtiwa uzima; maji ambayo ni kie-lelezo cha upendo wa Mungu;na pia nikaona kwamba ule mtiwa uzima ulikuwa pia kielelezocha upendo wa Mungu.

26 Na malaika akaniambiatena: Angalia na uone aufadhiliwa Mungu!27 Na nikatazama na akuona

Mkombozi wa ulimwengu,ambaye baba yangu alikuwaamenena kumhusu; na pianikaona bnabii atakayemtaya-rishia njia mbele yake. NaMwanakondoo wa Mungu aka-mwendea na cakabatizwa naye;na baada ya kubatizwa, nikaonambingu zikifunguka, na RohoMtakatifu akishuka kutokambinguni na kutua juu yakekwa mfano wa dnjiwa.28 Na nikaona kwamba alie-

nda na kuwahudumia watu,kwa auwezo na utukufu mkuu;na umati ukakusanyika kumsi-kiliza; na nikaona kwambawalimfukuza kutoka miongonimwao.

29 Na pia nikaona wengineakumi na wawili wakimfuata.Na ikawa kwamba walichuku-

liwa na Roho kutoka machonimwangu, na sikuwaona.

30 Na ikawa kwamba malaikaakanizungumzia tena, akisema:Angalia! Na nikaangalia, nakuona mbingu zikifungukatena, na nikaona amalaika wa-kiwashukia watoto wa watu;na kuwahudumia.

31 Na akanizungumzia tena,akasema: Angalia! Na nikaa-ngalia, na nikamwona Mwana-kondoo wa Mungu akiendamiongoni mwa watoto wawatu. Na nikaona umati wawatu waliokuwa wagonjwa, naambao walikuwa wakiuguakutokana na aina zote zamagonjwa, pamoja na aibilisina bpepo wachafu; na malaikaakazungumza na kunionyeshahivi vitu vyote. Na cwakapo-nywa kwa nguvu za Mwana-kondoo wa Mungu; na ibilisipamoja na pepo wachafuwakafukuzwa.

32 Na ikawa kwamba malaikaakanizungumzia tena, akisema:Angalia! Na nikaangalia nanikamwona Mwanakondoo waMungu, kwamba alikamatwana watu; ndio, Mwana waMungu asiye na mwisho aali-hukumiwa na ulimwengu; naniliona na kuyashuhudia.

33 Na mimi, Nefi, nikaonakwamba ali inuliwa juu ya

25a 1 Ne. 8:19.b mwm Maji ya Uzima.c Mwa. 2:9;

Alma 32:40–41;Musa 4:28, 31.

26a 1 Ne. 11:16–33.27a 2 Ne. 25:13.

b Mt. 11:10;1 Ne. 10:7–10;

2 Ne. 31:4.c mwm Batiza,

Ubatizo.d mwm Njiwa,

Ishara ya.28a M&M 138:25–26.29a mwm Mtume.30a mwm Malaika.31a Mk. 5:15–20;

Mos. 3:5–7.mwm Ibilisi.

b mwm Roho—Pepo wachafu.

c mwm Ponya,Uponyaji.

32a Mk. 15:17–20.

Page 43: KITABU CHA MORMONI

1 Nefi 11:34–12:4 26amsalaba na bkuuawa kwa dha-mbi za ulimwengu.34 Na baada ya yeye kusulu-

biwa nikaona umati wa dunia,ukiwa umekusanyika pamojakupigana dhidi ya mitumewa Mwanakondoo; kwani hivindivyo wale kumi na wawiliwaliitwa na malaika wa Bwana.

35 Na umati wa dunia uliku-sanyika pamoja; na nikaonakwamba walikuwa kwenyeajengo kubwa na pana, kamajengo lile baba yangu alilolio-na. Na malaika wa Bwana aka-nizungumzia tena, akisema:Tazama ulimwengu na hekimayake; ndio, tazama nyumba yaIsraeli imekusanyika pamojakupinga mitume kumi na wa-wili wa Mwanakondoo.36 Na ikawa kwamba niliona

na ninashuhudia, kwamba lilejengo kuu na pana lilikuwani akiburi cha ulimwengu; nalilianguka, na muanguko wakeulikuwa mkuu zaidi. Na malai-ka wa Bwana akanizungumiziatena, akisema: Hivyo ndivyomataifa yote, makabila yote,lugha zote, na watu wote,ambao wanawapinga wale mi-tume kumi na wawili wa Mwa-nakondoo wataangamizwa.

MLANGO WA 12

Nefi anaona katika ono nchi yaahadi; utakatifu, uovu, na uanga-mizo wa wenyeji wake; kuja kwa

Mwanakondoo wa Mungu mio-ngoni mwao; jinsi wale WanafunziKumi na Wawili pamoja na waleMitume Kumi na Wawili watahu-kumu Israeli; na hali ya machukizona uchafu ya wale ambao wanafifiakatika kutoamini. Kutoka karibumwaka wa 600 hadi 592 kabla yakuzaliwa kwa Kristo.

Na ikawa kwamba malaikaakaniambia: Angalia, na uoneuzao wako, na pia uzao wa kakazako. Na nikaangalia na kuonaanchi ya ahadi; na nikaonavikundi vya watu, ndio, hatahesabu yao ilikuwa nyingi kamamchanga wa bahari.

2 Na ikawa kwamba nilionavikundi vimekusanyika pamo-ja kupigana, moja dhidi yamwingine; na nikaona avita, nauvumi wa vita , na mauaj imakuu kwa upanga miongonimwa watu wangu.

3 Na ikawa kwamba nilionavizazi vingi vikipita, baada yavita vya namna hii na mabisha-no katika nchi; na nikaona mijimingi, ndio, hata sikuihesabu.

4 Na ikawa kwamba nilionaaukungu bmweusi usoni mwanchi ya ahadi; na nikaona ume-me, na nikasikia radi, na mite-temeko ya ardhi, na aina zoteza misukosuko na makelele; nanikaona ardhi, na miamba,kwamba ilipasuka; na nikaonamilima ikivunjika vipande vi-pande; na nikaona tambarareza ardhi, kwamba zilipasuka; na

33a Yn. 19:16–19;Mos. 3:9–10;3 Ne. 27:14.mwm Msalaba.

b mwm Lipia dhambi,

Upatanisho.35a 1 Ne. 8:26; 12:18.36a mwm Kiburi.12 1a mwm Nchi ya

Ahadi.

2a Eno. 1:24;Morm. 8:7–8.mwm Vita.

4a Hel. 14:20–28.b 1 Ne. 19:10.

Page 44: KITABU CHA MORMONI

27 1 Nefi 12:5–16

nikaona miji mingi cimezama;na nikaona mingi iliyochomwakwa moto; na nikaona mingiiliyoanguka chini, kwa sababuya ile mitetemeko.5 Na ikawa baada ya kuona

vitu hivi, nikaona ule aukunguwa giza, ukitoweka kutokausoni mwa ulimwengu; natazama, nikaona makundi yawale ambao hawakuangukakwa sababu ya hukumu kuu yakuhofisha kwa Bwana.

6 Na nikaona mbingu zikifu-nguka, na aMwanakondoo waMungu akiteremka kutokambinguni; na akashuka chinina akajionyesha kwao.7 Na pia niliona na ninashu-

hudia kwamba Roho Mtakatifualiwashukia wengine akumi nawawili; na walichaguliwa nakuteuliwa, na Mungu.

8 Na malaika akanizungumzia,na kusema: Tazama wale wana-funzi kumi na wawili wa Mwa-nakondoo, ambao wameteuliwakuhudumia uzao wako.

9 Na akaniambia: Je, unawa-kumbuka wale mitume akumina wawili wa Mwanakondoo?Tazama ni wao bwatakaohuku-mu yale makabila kumi namawili ya Israeli; kwa hivyo,wale wahudumu kumi nawawili wa uzao wako watahu-kumiwa na wao; kwani nyinyini wa nyumba ya Israeli.

10 Na hawa wahudumu akumina wawili uwaonao watahuku-mu uzao wako. Na, tazama,wao ni watakatifu milele; kwasababu ya imani yao katikaMwanakondoo wa Mungu bma-vazi yao yanafanywa kuwameupe kwa damu yake.

11 Na malaika akaniambia:Angalia! Na nikaangalia, nakuona vizazi avitatu vikiishikwa utakatifu; na mavazi yaoyal ikuwa meupe kama yaMwanakondoo wa Mungu. Namalaika akaniambia: Hawawamefanywa kuwa weupe kwadamu ya Mwanakondoo, kwasababu ya imani yao kwake.

12 Na mimi, Nefi, pia nikaonawengi katika kizazi cha annewakiishi katika utakatifu.

13 Na ikawa kwamba nilionavikundi vya dunia vimekusa-nyika pamoja.

14 Na malaika akaniambia:Tazama uzao wako, na piauzao wa kaka zako.

15 Na ikawa kwamba nilia-ngalia na kuona watu wa uzaowangu wamekusanyika pamo-ja katika vikundi akupiganana uzao wa kaka zangu; na wa-likusanyika pamoja wapiganevita.

16 Na malaika akanizungum-zia, akisema: Tazama chem-c h e m i y a m a j i a m a c h a f uambayo baba yako aliiona;

4c 3 Ne. 8:14.5a 3 Ne. 8:20; 10:9.6a 2 Ne. 26:1, 9;

3 Ne. 11:3–17.7a 3 Ne. 12:1; 19:12–13.9a Lk. 6:13.

b Mt. 19:28;M&M 29:12.

mwm Hukumu, yaMwisho.

10a 3 Ne. 27:27;Morm. 3:18–19.

b Ufu. 7:14;Alma 5:21–27;13:11–13;3 Ne. 27:19–20.

11a 2 Ne. 26:9–10;3 Ne. 27:30–32.

12a Alma 45:10–12;Hel. 13:5, 9–10;3 Ne. 27:32;4 Ne. 1:14–27.

15a Morm. 6.16a mwm Chafu, Uchafu.

Page 45: KITABU CHA MORMONI

1 Nefi 12:17–13:2 28

ndio, hata bmto ambao aliuzu-ngumzia; na kilindi chake nikilindi cha cjahanamu.17 Na aukungu wa giza ni

majaribio ya ibilisi, byanayopo-fusha macho, na ambayo ina-shupaza mioyo ya watoto wawatu, na kuwaelekeza kwenyenjia cpana, ili waangamie nakupotea.

18 Na ajengo kubwa na pana,ambalo baba yako aliliona, nibmawazo yasiyofaa na ckiburic h a w a t o t o w a w a t u . N adshimo kubwa la kuhofisha li-nawagawanya; ndio, hata nenola ehaki la Mungu wa Milele,na Masiya ambaye ni Mwana-kondoo wa Mungu, ambayeanashuhudiwa na Roho Mta-kat i fu , tangu mwanzo waulimwengu hadi sasa, na tangusasa hadi milele.

19 Na wakati malaika alipo-kuwa akisema maneno haya,nikatazama na kuona kwambauzao wa kaka zangu walicho-kozana na uzao wangu, kuli-ngana na maneno ya malaika;na kwa sababu ya kiburi chauzao wangu, na amajaribio yaibilisi, nikaona kwamba uzaowa kaka zangu bwaliwashindawatu wa uzao wangu.

20 Na ikawa kwamba nili-tazama, na kuona kwambawatu wa uzao wa kaka zanguwaliwashinda uzao wangu; na

wakendelea mbele katika viku-ndi kwenye uso wa nchi.

21 Na nikawaona wamekusa-nyika pamoja katika vikundi;na nikaona avita na uvumi wavita miongoni mwao; na nikao-na vizazi vingi vikiishi kwenyevita na uvumi wa vita.

22 Na malaika akaniambia:Tazama hawa awatafifia katikakutoamini.

23 Na ikawa kwamba niliona,baada ya wao kufifia katikakutoamini wakawa watu waagiza, wenye makuruhu, wenyebuchafu, waliojaa cuzembe nakila aina ya machukizo.

MLANGO WA 13

Nefi anaona katika ono kuanzi-shwa kwa kanisa la ibilisi miongo-ni mwa Wayunani, uvumbuzi nakutawaliwa kwa Amerika, kupoteakwa sehemu nyingi zilizo wazi naza thamani za Biblia, matokeo kati-ka hali ya ukengefu wa Myunani,urudishaji wa injili, uvumbuzi wamaandiko ya siku za mwisho, naujenzi wa Sayuni. Kutoka karibumwaka wa 600 hadi 592 kabla yakuzaliwa kwa Kristo.

Na ikawa kwamba malaika aka-nizungumzia, akisema: Angalia!Na nikaangalia na kuona mata-ifa mengi na falme nyingi.

2 Na malaika akaniambia:

16b 1 Ne. 8:13; 15:26–29.c mwm Jahanamu.

17a 1 Ne. 8:23; 15:24;M&M 10:20–32.

b mwm Ukengeufu.c Mt. 7:13–14.

18a 1 Ne. 8:26; 11:35–36.b Yer. 7:24.

c mwm Kiburi.d Lk. 16:26;

1 Ne. 15:28–30.e mwm Haki.

19a mwm Jaribu,Majaribu.

b Yar. 1:10;M ya Morm. 1:1–2.

21a Morm. 8:8;Moro. 1:2.mwm Vita.

22a 1 Ne. 15:13;2 Ne. 26:15.

23a 2 Ne. 26:33.b 2 Ne. 5:20–25.c mwm Mvivu, Uvivu.

Page 46: KITABU CHA MORMONI

29 1 Nefi 13:3–15

Nini unachoona? Na nikasema:Naona mataifa mengi na falmenyingi.3 Na akaniambia: Haya ni

mataifa na falme za Wayunani.4 Na ikawa kwamba niliona

miongoni mwa mataifa yaaWayunani mwanzo wa bkani-sa kuu.5 Na malaika akaniambia:

Tazama mwanzo wa kanisaambalo lina machukizo mengizaidi ya makanisa yote mengi-ne, ambalo alinawaua wataka-tifu wa Mungu, ndio, na kuwa-tesa na kuwafunga, na kuwatiabnira ya chuma, na kuwapelekautumwani.

6 Na ikawa kwamba nilionahili kanisa akuu la machukizo;na nikaona bibilisi, kwamba ndi-ye alikuwa mwanzilishi wake.7 Na pia nikaona adhahabu,

na fedha, na hariri, na nguo zarangi nyekundu, na kitani nzuri,na kila aina ya nguo ya thamani;na nikaona makahaba wengi.

8 Na malaika akanizungumzia,akisema: Tazama, dhahabu, nafedha, na hariri, na nguo zarangi nyekundu, na kitani nzuri,na nguo ya thamani, na maka-haba, ni atamaa za kanisa hilikuu la machukizo.9 Na pia kwa sababu ya sifa

za ulimwengu awanawaua wa-takatifu wa Mungu, na kuwa-peleka utumwani.

10 Na ikawa kwamba nilia-ngalia na kuona maji mengi;na yaliwagawanya Wayunanikutoka kwa uzao wa kakazangu.

11 Na ikawa kwamba malaikaakaniambia: Tazama ghadhabuya Mungu iko juu ya uzao wakaka zako.

12 Na nikaangalia na kuonamtu miongoni mwa Wayunani,ambaye alitenganishwa kuto-kana na uzao wa kaka zangu nayale maji mengi; na nikaonaa Roho ya Mungu, kwambailishuka na kumshawishi mtuhuyo; na akasafiri kwa yalemaji mengi, hadi akaufikiauzao wa kaka zangu, kwenyenchi ya ahadi.

13 Na ikawa kwamba nilionaRoho ya Mungu, kwamba ili-washawishi Wayunani wengi-ne, na walitoka utumwani, nakusafiri kwenye maji mengi.

14 Na ikawa kwamba nilionaavikundi vingi vya Wayunanikatika bnchi ya ahadi; na ni-kaona ghadhabu ya Mungu,kwamba ilikuwa juu ya uzaowa kaka zangu; na cwakata-wanywa na Wayunani na ku-pigwa.

1 5 N a n i k a o n a R o h o y aBwana, kwamba ilikuwa juu yaWayunani, na wakafanikiwa nakupata anchi kwa urithi wao;na nikaona kwamba walikuwa

13 4a mwm Wayunani.b 1 Ne. 13:26, 34;

14:3, 9–17.5a Ufu. 17:3–6;

1 Ne. 14:13.b Yer. 28:10–14.

6a M&M 88:94.mwm Ibilisi—

Kanisa la ibilisi.b 1 Ne. 22:22–23.

7a Morm. 8:36–38.8a Ufu. 18:10–24;

Morm. 8:35–38.9a Ufu. 13:4–7.

12a mwm Maongozi yaMungu, Shawishi.

14a 2 Ne. 1:11;Morm. 5:19–20.

b mwm Nchi ya Ahadi.c 1 Ne. 22:7–8.

mwm Israeli—Kutawanyika kwaIsraeli.

15a 2 Ne. 10:19.

Page 47: KITABU CHA MORMONI

1 Nefi 13:16–26 30

weupe, na bwarembo zaidi,k a m a w a t u w a n g u k a b l achawajauawa.16 Na ikawa kwamba mimi,

Nefi, niliona kwamba Wayu-nani waliotoka utumwani wa-linyenyekea kwa Bwana; naoawalikuwa na nguvu za Bwana.17 Na nikaona kwamba waasili

wa Wayunani walikusanyikapamoja kwenye maji, na piakwenye ardhi, ili kupiganadhidi yao.

18 Na nikaona kwamba wali-kuwa na nguvu za Bwana,na pia kwamba ghadhabu yaMungu ilikuwa juu ya walewote waliokusanyika pamojakupigana dhidi yao.

19 Na mimi, Nefi, nikaonakwamba wale Wayunani ambaowalitoka utumwani awaliko-mbolewa na nguvu za Mungukutoka mikononi mwa mataifamengine yote.

20 Na ikawa kwamba mimi,Nefi, niliona kwamba walifani-kiwa nchini; na nikaona akita-bu, ambacho walikuwa nachomiongoni mwao.

21 Na malaika akaniambia: Je,unajua maana ya hicho kitabu?

22 Na nikamjibu: Sijui.23 Na akaniambia: Tazama

kinatokana na kinywa chaMyahudi. Na mimi, Nefi, nika-kiona; na akaniambia: aKitabuunachokiona ni bmaandishi

ya cWayahudi, ambacho kinamaagano ya Bwana, ambayoaliagana na nyumba ya Israeli;na pia kina unabii mwingi wamanabii watakati fu; na nimaandishi kama michoro iliyokatika dbamba za shaba nyeku-ndu, ila tu sio nyingi vile; wala-kini, zina maagano ya Bwana,ambayo aliagana na nyumbaya Israeli; kwa hivyo, zina tha-mani kubwa kwa Wayunani.

24 Na malaika wa Bwanaakaniambia: Wewe umeonakwamba hicho kitabu kilitokakwenye kinywa cha Myahudi;na wakati kilitoka kwenyekinywa cha Myahudi kilikuwana utimilifu wa injili ya Bwana,ambaye anashuhudiwa namitume kumi na wawili; nawanashuhudia kulingana naukweli ambao uko na Mwana-kondoo wa Mungu.

25 Kwa hivyo, vitu hivivinatoka kwa usafi kutokakwa aWayahudi na kuwafikiabWayunani, kulingana na ukwe-li wa Mungu.

26 Na baada ya kusonga mbelekwa mikono ya wale mitumekumi na wawili wa Mwanako-ndoo, kutoka kwa Wayahudiahadi kwa Wayunani, weweunaona mwanzo wa lile bkanisackuu la machukizo, ambalo linamachukizo zaidi ya makanisayote; kwani tazama, dwameo-

15b 2 Ne. 5:21.c Morm. 6:17–22.

16a M&M 101:80.19a 2 Ne. 10:10–14;

3 Ne. 21:4; Eth. 2:12.20a 1 Ne. 14:23.23a 1 Ne. 13:38;

2 Ne. 29:4–12.

b mwm Maandiko.c 2 Ne. 3:12.d 1 Ne. 5:10–13.

25a 2 Ne. 29:4–6;M&M 3:16.mwm Wayahudi.

b mwm Wayunani.26a Mt. 21:43.

b mwm Ukengeufu—Ukengeufu waKanisa la kwanza laKikristo.

c 1 Ne. 13:4–6;14:3, 9–17.

d Morm. 8:33;Musa 1:41.

Page 48: KITABU CHA MORMONI

31 1 Nefi 13:27–34

ndoa kutoka kwa inj i l i yaMwanakondoo sehemu nyingiambazo ni e wazi na zenyethamani; na pia wamepunguzamaagano mengi ya Bwana.

27 Na haya yote wamefanyakwamba wachafue njia nzuriza Bwana, kwamba wapofushemacho na kushupaza mioyoya watoto wa watu kuwamigumu.

28 Kwa hivyo, wewe umeonakwamba baada ya hicho kita-bu kusonga mbele kupit iamikono ya hilo kanisa kuu lamachukizo, kwamba vitu vingivilivyo wazi na vyenye thama-ni viliondolewa kutoka kwe-nye hicho kitabu, ambacho nikitabu cha Mwanakondoo waMungu.

29 Na baada ya hivi vitu vili-vyo wazi na vyenye thamanikutolewa kiliyafikia mataifayote ya Wayunani; na baada yakufikia mataifa yote ya Wayu-nani, ndio, hata ng’ambo yayale maji mengi ambayo ulionawale Wayunani wakitoka utu-mwani, wewe unaona — kwasababu ya kuondolewa kwavitu vingi vilivyo wazi navyenye thamani kutoka hichokitabu, ambavyo vil ikuwawazi na kueleweka na watotowa watu, kulingana na udhahi-ri ulio katika Mwanakondoowa Mungu — kwa sababu yakuondolewa kwa vitu hiviambavyo vimetoka kwa injiliya Mwanakondoo, wengi zaidi

wamepotea, ndio, mpaka She-tani ana nguvu juu yao.

30 Walakini, wewe umeonakwamba wale Wayunani wali-otoka utumwani, na wakainu-liwa kwa nguvu za Mungu juuya mataifa mengine yote, usonimwa nchi ambayo ni nchi borazaidi ya nchi zingine, ambayondio nchi Bwana Mungu alia-gana na baba yako kwambauzao wake watapata kuwaanchi yao ya urithi; kwa hivyo,unaona kwamba Bwana Munguhatakubali kwamba Wayunaniwawaangamiza kabisa bmcha-nganyiko wa uzao wako, uliomiongoni mwa kaka zako.

31 Wala hatakubali kwambaWayunani awaiangamize uzaowa kaka zako.

32 Wala Bwana Mungu ha-takubali kwamba Wayunaniwataishi milele katika hali hiyombaya ya upofu, ambayo ume-ona wanayo, kwa sababu yasehemu zilizo wazi na zenyethamani za injili ya Mwana-kondoo ambazo zimefichwana lile kanisa la amachukizo,ambalo umeona uanzil ishiwake.

33 Kwa hivyo asema Mwana-kondoo wa Mungu: Nitaware-hemu Wayunani, kwa kute-mbelea sazo la nyumba yaIsraeli kwa hukumu kuu.

34 Na ikawa kwamba malaikawa Bwana akanizungumzia,akisema: Tazama, asema Mwa-nakondoo wa Mungu, baada

26e 1 Ne. 14:20–26;M ya I 1:8.

30a mwm Nchi ya Ahadi.b Alma 45:10–14.

31a 2 Ne. 4:7; 10:18–19;Yak. (KM) 3:5–9;Hel. 15:12;3 Ne. 16:8–9;

Morm. 5:20–21.32a mwm Ibilisi—

Kanisa la ibilisi.

Page 49: KITABU CHA MORMONI

1 Nefi 13:35–39 32

ya kuadhibu asazo la nyumbaya Israeli — na haya sazo hiliambalo nalizungumzia ni uzaowa baba yako — kwa hivyo,baada ya kuwaadhibu kwahukumu, na kuwapiga kwam k o n o w a W a y u n a n i , n abaada ya Wayunani bkupoteazaidi, kwa sababu ya kufichwakwa sehemu za cinjili ambazoni muhimu na kanisa la ma-chukizo, ambalo ni mama yamakahaba, asema Mwanako-ndoo — nitakuwa na hurumakwa Wayunani siku hiyo, hatakwamba dnitawaletea, kwanguvu zangu, wingi wa injiliyangu ambayo itakuwa wazi nayenye thamani, asema Mwana-kondoo.

35 Kwani, tazama, asemaMwanakondoo: Nitajidhirihishak w a u z a o w a k o , k w a m b awataandika vitu vingi amba-vyo nitawahudumia, ambavyovitakuwa wazi na vyenye tha-mani; na baada ya uzao wakokuangamizwa, na kufifia katikakutoamini, pia na uzao wakaka zako, tazama, vitu ahivivitafichwa, na kutolewa kwaWayunani, kwa karama nanguvu za Mwanakondoo.

36 Na kwa hayo itaandikwaainjili yangu, asema Mwanako-

ndoo, na bmwamba wangu nawokovu wangu.

37 aHeri wale ambao watata-futa kujenga bSayuni yangukatika siku ile, kwani watapatackarama na nguvu za RohoMtakatifu; na dwakivumilia hadisiku ya mwisho watainuliwakatika siku ya mwisho, na wa-taokolewa katika eufalme usiona mwisho wa Mwanakondoo;na yeyote fatakayetangaza ama-ni, ndio, habari za shangwe,jinsi gani watakavyokuwa wa-rembo milimani.

38 Na ikawa kwamba nilionasazo la uzao wa kaka zangu, napia akitabu cha Mwanakondoowa Mungu, ambacho kilitokakwenye kinywa cha Myahudi,kwamba kilitokana na Wayu-nani na bkuwafikia masazo yauzao wa kaka zangu.

39 Na baada ya kuwafikianikaona avitabu vingine, amba-vyo vilitolewa kwa nguvu zaMwanakondoo, kutoka kwaWayunani hadi kwao, ili bku-wasadikisha Wayunani na sazola uzao wa kaka zangu, na piaWayahudi waliotawanywa koteusoni mwa dunia, kwambamaandishi ya manabii na walemitume kumi na wawili waMwanakondoo ni ckweli.

34a mwm Yusufu,Mwana wa Yakobo.

b 1 Ne. 14:1–3;2 Ne. 26:20.

c mwm Injili.d M&M 10:62.

mwm Urejesho waInjili.

35a 2 Ne. 27:6; 29:1–2.mwm Kitabu chaMormoni.

36a 3 Ne. 27:13–21.

b Hel. 5:12;3 Ne. 11:38–39.mwm Mwamba.

37a M&M 21:9.b mwm Sayuni.c mwm Kipawa cha

Roho Mtakatifu.d 3 Ne. 27:16.

mwm Stahimili.e mwm Utukufu wa

Selestia.f Isa. 52:7;

Mos. 15:14–18;3 Ne. 20:40.

38a 1 Ne. 13:23;2 Ne. 29:4–6.

b Morm. 5:15.39a mwm Maandiko—

Maandikoyaliyotolewa unabiikwamba yatakuja.

b Eze. 37:15–20;2 Ne. 3:11–12.

c 1 Ne. 14:30.

Page 50: KITABU CHA MORMONI

33 1 Nefi 13:40–14:2

40 Na malaika akanizungum-zia, akisema: Haya maandishiya amwisho, ambayo umeonamiongoni mwa Wayunani, bya-tathibitisha juu ya kweli kwayale ya ckwanza, ambayo ni yawale mitume kumi na wawiliwa Mwanakondoo, na yatafa-hamisha vitu vilivyo wazi navyenye thamani viliyotolewakutoka kwao; na yatafahamishamakabila yote, lugha zote, nawatu wote, kwamba Mwanako-ndoo wa Mungu ndiye Mwanawa Baba wa Milele, na dMwoko-zi wa ulimwengu; na kwambalazima watu wote wamkubaliyeye, kama sio hivyo, hawawezikuokolewa.

41 Na ni lazima wamkubalikulingana na yale manenoambayo yatanenwa kwa kinywacha Mwanakondoo; na manenoya Mwanakondoo yatafumbu-liwa katika maandishi ya uzaowako, vile vile katika maandishiya wale mitume kumi na wawiliwa Mwanakondoo; kwa hivyozote mbili zitaunganishwa ku-wa amoja; kwani kuna Mungubmmoja na cMchungaji mmojaulimwenguni kote.

42 Na wakati unafika ataka-pojidhihirisha mwenyewe kwamataifa yote, kwa Wayahudi napia kwa aWayunani; na baada

ya kujidhihirisha mwenyewekwa Wayahudi na pia kwaWayunani, ndipo atajidhihiri-sha mwenyewe kwa Wayunanina pia kwa Wayahudi, na wabmwisho atakuwa wa ckwanza,na wa kwanza atakuwa wamwisho.

MLANGO WA 14

Malaika anamwambia Nefi kuhusubaraka na laana ambazo zitawate-remkia Wayunani — Kuna maka-nisa mawili pekee: Kanisa la Mwa-nakondoo wa Mungu na kanisa laibilisi — Watakatifu wa Mungukote ulimwenguni wanateswa nalile kanisa kuu la machukizo —Mtume Yohana ataandika kuhusumwisho wa ulimwengu. Kutokakaribu mwaka wa 600 hadi 592kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

Na itakuwa kwamba, ikiwaaWayunani watamsikiliza Mwa-nakondoo wa Mungu katikasiku hiyo atajidhirishia kwaneno, pia kwa bnguvu, na kwakila kitendo, kwa kuwaondoleacvikwazo vyao —2 Na wasishupaze mioyo yao

dhidi ya Mwanakondoo waMungu, watahesabiwa miongo-ni mwa uzao wa baba yako;ndio, awatahesabiwa miongoni

40a 2 Ne. 26:16–17; 29:12.mwm Kitabu chaMormoni.

b Morm. 7:8–9.c mwm Biblia.d Tazama ukurasa

wenye jina la Kitabucha Mormoni.Musa 1:6.

41a Eze. 37:17.b Kum. 6:4;

Yn. 17:21–23;2 Ne. 31:21.

c mwm MchungajiMwema.

42a M&M 90:8–9;107:33; 112:4.

b Yak. (KM) 5:63.c Lk. 13:30;

1 Ne. 15:13–20.14 1a 3 Ne. 16:6–13.

mwm Wayunani.

b 1 The. 1:5;1 Ne. 14:14;Yak. (KM) 6:2–3.

c Isa. 57:14;1 Ne. 13:29, 34;2 Ne. 26:20.

2a Gal. 3:7, 29;2 Ne. 10:18–19;3 Ne. 16:13; 21:6, 22;Ibr. 2:9–11.

Page 51: KITABU CHA MORMONI

1 Nefi 14:3–10 34

mwa nyumba ya Israeli; nawatakuwa watu wenye bbarakaza milele katika nchi ya ahadi;hawatatiwa utumwani tena; nanyumba ya Israeli haitacha-nganywa tena.

3 Na lile ashimo kuu, walilo-chimbiwa na lile kanisa kuu lamachukizo, ambalo lilianzishwana ibilisi na wana wake, iliaelekeze nafsi za watu hadijahanamu — ndio, lile shimokuu ambalo limechimbwa kwamaangamizo ya watu, litajazwana wale waliolichimba, kwakuangamizwa kwao kabisa,asema Mwanakondoo wa Mu-ngu; sio maangamizo ya nafsi,bali ni kutupwa katika bjahana-mu isiyo na mwisho.4 Kwani tazama, hii ni kuli-

ngana na utumwa wa ibilisi,na pia kulingana na haki yaMungu, kwa wale wote wata-kaotenda uovu na machukizombele yake.

5 Na ikawa kwamba malaikaalinizungumzia mimi, Nefi,akisema: Wewe umeona kwa-mba Wayunani wakitubu ita-kuwa vyema kao; na pia weweunajua kuhusu maagano yaBwana na nyumba ya Israeli;na pia wewe umesikia kwa-mba yeyote aasiyetubu lazimaaangamie.6 Kwa hivyo, aole kwa Wayu-

nani ikiwa watashupaza mioyo

yao dhidi ya Mwanakondoo waMungu.

7 Kwani wakati unafika, ase-ma Mwanakondoo wa Mungu,kwamba nitatenda kazi kuu naya amaajabu miongoni mwawatoto wa watu; kazi ambayohaitakuwa na mwisho, penginekwa upande mmoja au kwamwingine — labda kuwasadi-kisha kwa amani na buzima wamilele, au kwa kuwakabidhikwa ugumu wa mioyo yao naupofu wa fikira zao na kuwatiautumwani, na pia katika maa-ngamizo, ya kimwili na kiroho,kulingana na cutumwa wa ibili-si, ambao nimeuzungumzia.

8 Na ikawa kwamba wakatimalaika alipokuwa amenizu-ngumzia maneno haya, aka-niambia: Wewe unakumbukaamaagano ya Baba na nyumbaya Israeli? Nikamwambia, Ndio.

9 Na ikawa kwamba akania-mbia: Angalia, na tazama lilekanisa kuu na la machukizo,ambalo ni mama wa machukizo,ambaye mwanzilishi wake niaibilisi.10 Na akaniambia: Tazama

kuna ila tu makanisa amawilipekee; moja ni kanisa la Mwa-nakondoo wa Mungu, na blingi-ne ni kanisa la ibilisi; kwa hivyo,yule ambaye sio wa kanisa laMwanakondoo wa Mungu niwa kanisa lile kuu, ambalo ni

2b 2 Ne. 6:12; 10:8–14;3 Ne. 16:6–7; 20:27.

3a 1 Ne. 22:14;M&M 109:25.

b mwm Hukumu;Jahanamu.

5a mwm Toba, Tubu.6a 2 Ne. 28:32.

7a Isa. 29:14; 1 Ne. 22:8;2 Ne. 27:26; 29:1–2;M&M 4:1.mwm Urejesho waInjili.

b mwm Uzima waMilele.

c 2 Ne. 2:26–29;

Alma 12:9–11.8a mwm Agano la

Ibrahimu.9a 1 Ne. 15:35;

M&M 1:35.mwm Ibilisi.

10a 1 Ne. 22:23.b 1 Ne. 13:4–6, 26.

Page 52: KITABU CHA MORMONI

35 1 Nefi 14:11–18

mama wa machukizo; na yeyeni ckahaba wa ulimwengu wote.

11 Na ikawa kwamba nilia-ngalia na kuona kahaba waulimwengu wote, na aliketikwenye amaji mengi; na baliku-wa na mamlaka ulimwengunikote, miongoni mwa mataifayote, makabila yote, lugha zote,na watu.

12 Na ikawa kwamba nilionakanisa la Mwanakondoo waMungu, na hesabu yake ilikuwaachache, kwa sababu ya uovu namachukizo ya kahaba aliyeketikwenye maji mengi; walakini,nikaona kwamba kanisa laMwanakondoo, ambao waliku-wa ni watakatifu wa Mungu,pia nao walikuwa bkote usonimwa dunia; na utawala waousoni mwa dunia yalikuwamadogo, kwa sababu ya uovuwa yule kahaba mkuu niliye-muona.

13 Na ikawa kwamba nilionakuwa yule mama mkuu wamachukizo alikusanya pamojavikundi usoni mwote mwadunia, miongoni mwa mataifayote ya Wayunani, ili akupiga-na dhidi ya Mwanakondoo waMungu.

14 Na ikawa kwamba mimi,Nefi, niliona nguvu za Mwana-kondoo wa Mungu, kwambaziliwashukia watakatifu wa

kanisa la Mwanakondoo, nakwa watu wa agano wa Bwana,ambao walitawanyika koteusoni mwa dunia; na walikuwawamejikinga kwa utakatifu nakwa anguvu za Mungu katikautukufu mkuu.

15 Na ikawa kwamba ghadha-bu ya Mungu aililiteremkia lilekanisa kuu la machukizo, hatakukawa na vita na uvumi wavita miongoni mwa bmataifayote na makabila yote duniani.

16 Na kulipoanza kuwa naavita na uvumi wa vita miongo-ni mwa mataifa yote ambayoyalikuwa ya mama wa machu-kizo, malaika akanizungumzia,akisema: Tazama, ghadhabuya Mungu imemteremkia mamawa makahaba; na tazama, weweunaona vitu hivi vyote —

17 Na siku itakapofika awaka-ti bghadhabu ya Mungu itamte-remkia mama wa makahaba,ambalo ni lile kanisa kuu la ma-chukizo ulimwenguni mwote,ambaye mwanzilishi wake niibilisi, katika siku ile, ckazi yaBaba itaanza, katika kutayarishamatimizo ya dmaagano yake,ambayo ameagana na watuwake ambao ni wa nyumba yaIsraeli.

18 Na ikawa kwamba malai-ka akanizungumzia, akisema:Angalia!

10c Ufu. 17:5, 15;2 Ne. 10:16.

11a Yer. 51:13;Ufu. 17:15.

b M&M 35:11.12a Mt. 7:14;

3 Ne. 14:14;M&M 138:26.

b M&M 90:11.

13a Ufu. 17:1–6; 18:24;1 Ne. 13:5;M&M 123:7–8.

14a Yak. (KM) 6:2;M&M 38:32–38.

15a M&M 1:13–14.b Mk. 13:8; M&M 87:6.

16a 1 Ne. 22:13–14;Morm. 8:30.

17a mwm Siku zaMwisho.

b 1 Ne. 22:15–16.c 3 Ne. 21:7, 20–29.

mwm Urejesho waInjili.

d Morm. 8:21, 41.mwm Agano laIbrahimu.

Page 53: KITABU CHA MORMONI

1 Nefi 14:19–30 36

19 Na nikaangalia na kumwo-na mtu, na alikuwa amevaliajoho leupe.

20 Na malaika akaniambia:Tazama ammoja wa wale mitu-me kumi na wawili wa Mwana-kondoo.

21 Tazama, ataona na kuandi-ka vitu hivi vilivyobaki; ndio,na pia vitu hivi vingi vilivyo-kuwepo.

22 Na pia ataandika kuhusumwisho wa ulimwengu.

23 Kwa hivyo, vitu hivyoatakavyoandika ni vya haki nakweli; na tazama vimeandikwakwenye akitabu ulichoona kiki-toka kwenye kinywa cha Mya-hudi; na wakati kwenye kinywacha Myahudi, au, wakati kita-bu kilitoka kinywani mwaMyahudi, vitu vilivyoandikwavilikuwa wazi na vitakatifu,na vyenye bthamani na rahisikueleweka na watu wote.24 Na tazama, vitu ambavyo

huyu amtume wa Mwanako-ndoo ataandika ni vitu vingiambavyo umeona; na tazama,vilivyosalia wewe utaviona.

25 Lakini vitu utakavyoonabaadaye wewe hutaviandika;kwani Bwana Mungu amem-chagua mtume wa Mwanako-ndoo wa Mungu aaviandike.26 Na pia wengine ambao

wameishi, kwao amewaonyeshavitu vyote, na wameviandika;na avimefungwa na vitatokeakwa usafi, kulingana na ukweli

ulio na Mwanakondoo, na hivivitakuwa katika wakati waBwana, kwa nyumba ya Israeli.

27 Na mimi, Nefi, nilisikia naninashuhudia, kwamba jina layule mtume wa Mwanakondoolilikuwa ni aYohana, kulinganana neno la malaika.

28 Na tazama, mimi, Nefi,nimekatazwa kwamba nisiandi-ke vitu vilivyokuwa vimebakiambavyo niliviona na kusikia;kwa hivyo vitu ambavyo nime-andika vimenitosha; na nimea-ndika sehemu ndogo tu ya yaleniliyoona.

29 Ninashuhudia kwamba ni-liona vile vitu ambavyo ababayangu aliviona, na malaika waBwana alinifahamisha hayo.

30 Na sasa nakoma kuzungu-mza kuhusu vile vitu ambavyoniliviona nilipokuwa nimenya-kuliwa na Roho; na ikiwa vituvyote ambavyo niliviona havi-jaandikwa, vile vitu ambavyonimeviandika ni vya akweli. Nahivyo ndivyo ilivyo. Amina.

MLANGO WA 15

Uzao wa Lehi utapokea injili kuto-ka kwa Wayunani katika siku zamwisho — Kusanyiko la Israeliunafananishwa na mti wa mzeituniambao matawi yake ya asili yata-pandikizwa tena — Nefi anatafsiriono la mti wa uzima na anazu-ngumza kuhusu haki ya Mungu

20a Ufu. 1:1–3;1 Ne. 14:27.

23a 1 Ne. 13:20–24;Morm. 8:33.

b 1 Ne. 13:28–32.

24a Eth. 4:16.25a Yn. 20:30–31;

Ufu. 1:19.26a 2 Ne. 27:6–23;

Eth. 3:21–27; 4:4–7;

M&M 35:18;JS—H 1:65.

27a Ufu. 1:1–3.29a 1 Ne. 8.30a 2 Ne. 33:10–14.

Page 54: KITABU CHA MORMONI

37 1 Nefi 15:1–13

katika kuwatenga waovu kutokakwa watakatifu. Kutoka karibumwaka wa 600 hadi 592 kabla yakuzaliwa kwa Kristo.

Na ikawa kwamba baada yamimi, Nefi, kunyakuliwa katikaroho, na kuona vitu hivi vyote,nilirudi kwenye hema la babayangu.2 Na ikawa kwamba niliona

kaka zangu, na wal ikuwawakibishana kuhusu vile vituambavyo baba yangu aliwazu-ngumzia.

3 Kwa kweli aliwazungumziavitu vikubwa, vilivyokuwavigumu akueleweka, isipoku-wa mtu amuulize Bwana; nawao wakiwa wagumu mioyo-ni mwao, kwa hivyo hawaku-mtazama Bwana jinsi ilivyo-wapasa.4 Na sasa mimi, Nefi, nilihu-

zunika kwa sababu ya ugumuwa mioyo yao, na pia, kwa sa-babu ya vitu ambavyo niliviona,na nilijua lazima vitimizwekwa sababu ya uovu mkuu wawanadamu.

5 Na ikawa kwamba nilileme-wa na amasumbuko yangu, kwamaana nilidhani kwamba masu-mbuko yangu yalizidi yote, kwasababu ya bkuangamia kwawatu wangu, kwani nilikuwanimeona kuanguka kwao.

6 Na ikawa kwamba baadaya kupokea anguvu nikawazu-

ngumzia kaka zangu, nikitakakujua chanzo cha ugomvi wao.

7 Na wakasema: Tazama, ha-tuwezi kuelewa maneno amba-yo baba yetu amesema kuhusumatawi ya asili ya mti wa mzei-tuni, na pia kuhusu Wayunani.

8 Na nikawaambia: aJe mme-muuliza Bwana?

9 Na wakasema: Hapana; kwa-ni Bwana hatujulishi vitu hivi.

10 Tazama, nikawaambia: Kwanini hamtii amri za Bwana? Kwanini mwangamie, kwa sababuya augumu wa mioyo yenu?11 Kwani hamkumbuki vitu

ambavyo Bwana amesema? —Kama hamtashupaza mioyoyenu, na amniulize kwa imani,mkiamini kwamba mtapokea,kwa bidii katika kutii amrizangu, kwa kweli vitu hivi vi-tafanywa vijulikane kwenu.

12 Tazama, nawaambia, kuwanyumba ya Israeli ililingani-shwa na mti wa mzeituni, naRoho ya Bwana aliyekuwandani ya baba yetu; na tazamasi sisi tumetokana na nyumbaya Israeli, na si sisi ni atawi lanyumba ya Israeli?

13 Na sasa, kitu ambachobaba yetu anamaanisha kuhusukupandikizwa kwa matawi yaasili kwa kupitia utimilifu waWayunani, ni, kwamba katikasiku za baadaye, wakati uzaowetu utakuwa aumefifia katikakutoamini, ndio, kwa muda wa

15 3a 1 Kor. 2:10–12;Alma 12:9–11.

5a mwm Shida.b Eno. 1:13; Morm. 6:1.

6a Musa 1:10;JS—H 1:20, 48.

8a Mos. 26:13;

Alma 40:3.mwm Sala.

10a mwm Ukengeufu.11a Yak. (Bib.) 1:5–6;

Eno. 1:15;Moro. 7:26;M&M 18:18.

mwm Omba.12a Mwa. 49:22–26;

1 Ne. 10:12–14; 19:24.mwm Lehi, Baba waNefi.

13a 1 Ne. 12:22–23;2 Ne. 26:15.

Page 55: KITABU CHA MORMONI

1 Nefi 15:14–21 38

miaka mingi, na vizazi vingibaada ya bMasiya kudhihiri-shwa katika mwili kwa watotowa watu, ndipo utimilifu wacinjili ya Masiya utawafikiadWayunani, na kutoka kwaWayunani hadi kwa sazo lauzao wetu —14 Na katika siku ile sazo la

auzao wetu litajua kwamba waoni wa nyumba ya Israeli, nakwamba wao ni watu wa baganola Bwana; na kisha watajua napia kupata cufahamu wa babuzao, na pia ufahamu wa injili yaMkombozi wao, ambayo aliwa-hudumia babu zao; kwa hivyo,watamfahamu Mkombozi waona mambo halisi ya mafundi-sho yake, ili waweze kujua jinsiya kumkaribia na waokolewe.

15 Na basi katika siku ile,si watashangilia na kumsifuM u n g u a s i y e n a m w i s h o ,a mwamba wao na wokovuwao? Ndio, katika siku ile, siwatapokea nguvu na malishokutoka kwa ule bmzabibu wakweli? Ndio, si wataungana nazizi la kweli la Mungu?

16 Na tazama, nawaambia,Ndio; watakumbukwa tenamiongoni mwa nyumba yaIsraeli; awatapandikizwa ndani,wakiwa tawi la asili la mtiwa mzeituni, kwenye mti wamzeituni wa kweli.

17 Na hii ndio baba yetuanamaanisha; na anamaanishakwamba haitatimizwa hadiwatawanywe na Wayunani; naanamaanisha itatimizwa naWayunani, ili Bwana awaonye-she Wayunani nguvu zake, nakwa sababu hii aatakataliwa naWayahudi, au na nyumba yaIsraeli.

18 Kwa hivyo, baba yetu haja-zungumza juu ya uzao wetupekee, lakini pia nyumba yoteya Israel i , aki lenga aganoambalo litatimizwa katika sikuza baadaye; agano ambaloBwana aliagana na baba yetuIbrahimu, akisema: Kwa auzaowako makabila yote ya duniayatabarikiwa.

19 Na ikawa kwamba mimi,Nefi, niliwaambia mengi kuhu-su vitu hivi; ndio, niliwaambiakuhusu auamsho wa Wayahudikatika siku za baadaye.

20 Na nikawasimulia manenoya aIsaya, ambaye alizungumzakuhusu kurudi kwa Wayahudi,au nyumba ya Israeli; na baadaya wao kuamshwa hawatacha-nganyika tena, wala kutawa-nyika tena. Na ikawa kwambaniliwaelezea kaka zangu ma-neno mengi, hata kwambawaliridhika na bwakajinyenye-keza mbele ya Bwana.

21 Na ikawa kwamba walini-

13b mwm Masiya.c mwm Injili.d 1 Ne. 13:42; 22:5–10;

M&M 14:10.mwm Wayunani.

14a 2 Ne. 10:2;3 Ne. 5:21–26; 21:4–7.

b mwm Agano laIbrahimu.

c 2 Ne. 3:12; 30:5;Morm. 7:1, 9–10;M&M 3:16–20.Tazama pia ukurasawenye jina la Kitabucha Mormoni.

15a mwm Mwamba.b Mwa. 49:11; Yn. 15:1.

16a Yak. (KM) 5:60–68.

17a mwm Kusulubiwa.18a Mwa. 12:1–3;

Ibr. 2:6–11.19a 1 Ne. 19:15.

mwm Israeli—Kukusanyika kwaIsraeli.

20a 1 Ne. 19:23.b 1 Ne. 16:5, 24, 39.

Page 56: KITABU CHA MORMONI

39 1 Nefi 15:22–32

zungumzia tena, wakisema:Kitu hiki kinamaanisha niniambacho Baba yetu alikionandotoni? Nini maana ya uleamti aliouona?22 Na nikawaambia: Ni kiele-

lezo cha amti wa uzima.23 Na wakaniambia: Nini

maana ya afimbo ya chumaambayo baba aliona, ikielekezakwenye ule mti?24 Na nikawaambia kwamba

ilikuwa aneno la Mungu; nayeyote atakayesikiza hilo nenola Mungu, na balizingatie, hata-angamia; wala cmajaribu nad mishale ya moto ya e aduikuwalemea na kuwapofusha,ili kuwaelekeza kwenye maa-ngamio.25 Kwa hivyo, mimi, Nefi, nili-

wasihi awasikize neno la Bwana;ndio, niliwasihi kwa nguvu zoteza nafsi yangu, na kwa uwezowote ambao nilikuwa nao, kwa-mba wasikilize neno la Munguna wakumbuke kutii amri zakekila wakati katika vitu vyote.

26 Na wakaniuliza: Nini maa-na ya ule amto ambao babayetu aliuona?27 Na nikawaambia kwamba

yale amaji ambayo baba alionani buchafu; na mawazo yakeyalikuwa yamemezwa katika

vitu vingine kwamba hakuonauchafu wa yale maji.

28 Nikawaambia kwamba lili-kuwa ni ashimo la kuogopesha,ambalo liligawanya waovu ku-tokana na mti wa uzima, napia kutoka kwa watakatifu waMungu.

29 Nikawaambia kwamba ili-kuwa kielelezo cha ile ajahana-mu ya kuogopesha, ambayoyule malaika aliniambia imeta-yarishwa kwa waovu.

30 Na nikawaambia kwambababa yetu pia aliona kwambaahaki ya Mungu imewatengawaovu kutoka kwa watakatifu;na mng’aro wake ulikuwa nikama mng’aro wa moto, ambaounapaa kwa Mungu milele namilele, bila mwisho.

31 Na wakaniambia: Je, hiiinamaanisha mateso ya mwiliwakati wa amajaribio, au haliya mwisho ya nafsi baada yabkifo cha mwili, au inazungum-za kuhusu vitu ambavyo ni vyamuda?

32 Na ikawa kwamba niliwaa-mbia kuwa ilikuwa ni kielelezocha vitu ambavyo ni vya mudana kiroho; kwa maana siku ita-fika watakapohukumiwa kuli-ngana na amatendo yao, ndio,hata matendo yaliyotendwa

21a 1 Ne. 8:10–12.22a 1 Ne. 11:4, 25;

Musa 3:9.23a 1 Ne. 8:19–24.24a mwm Neno la

Mungu.b 1 Ne. 8:30;

2 Ne. 31:20.c 1 Ne. 8:23.

mwm Jaribu,

Majaribu.d Efe. 6:16;

M&M 3:8; 27:17.e mwm Ibilisi.

25a M&M 11:2; 32:4;84:43–44.

26a 1 Ne. 8:13.27a 1 Ne. 12:16.

b mwm Chafu, Uchafu.28a Lk. 16:26;

1 Ne. 12:18;2 Ne. 1:13.

29a mwm Jahanamu.30a mwm Haki.31a Alma 12:24; 42:10;

Hel. 13:38.b Alma 40:6, 11–14.

32a mwm Matendo.

Page 57: KITABU CHA MORMONI

1 Nefi 15:33–16:2 40

katika mwili wa muda katikasiku zao za majaribio.33 Kwa hivyo, awakifa katika

uovu wao lazima bwatupwepia, kulingana na vitu vya kiro-ho, ambavyo vinalingana nautakatifu; kwa hivyo, lazimawaletwe kusimama mbele yaMungu, cwahukumiwe kulinga-na na dmatendo yao; na kamamatendo yao yalikuwa machafulazima wao wawe wachafu; nakama wao ni ewachafu lazimaiwe kwamba hawawezi fkuishikatika ufalme wa Mungu; auikiwa hivyo, ufalme wa Mungulazima uwe mchafu pia.34 Lakini tazama, nawaambia,

ufalme wa Mungu sio amchafu,na hakuna kitu chochote kichafukiwezacho kuingia katika ufal-me wa Mungu; kwa hivyo lazi-ma pawe na mahali pa uchafuambapo pametayarishiwa yaleambayo ni machafu.

35 Na kuna pahali pameta-yarishwa, ndio, hata ile ajaha-namu ya kuogofya ambayonimeizungumzia, na bibilisindiye mtayarishaji; kwa hivyohali ya mwisho ya nafsi zawanadamu ni kuishi katikaufalme wa Mungu, au kutu-pwa nje kwa sababu ya ile chakiambayo nimezungumzia.

36 Kwa hivyo, waovu wame-kataliwa kutoka kwa watakati-

fu, na pia kutoka kwa amti wauzima, ambao matunda yake niyenye thamani na bbora zaidiya matunda mengine; ndio, nani karama ya Mungu ambayoni ckuu zaidi ya dkarama zote.Na hivyo ndivyo nilivyowazu-ngumzia kaka zangu. Amina.

MLANGO WA 16

Waovu wanachukua ukweli kuwamgumu — Wana wa Lehi wanaoamabinti za Ishmaeli — Liahonainawaongoza njiani huko nyikani— Ujumbe kutoka kwa Bwanaunaandikwa kwenye Liahona marakwa mara — Ishmaeli anafariki;jamii yake inanung’unika kwasababu ya masumbuko. Kutoka ka-ribu mwaka wa 600 hadi 592 kablaya kuzaliwa kwa Kristo.

Na sasa ikawa kwamba baaday a m i m i , N e f i , k u m a l i z akuwazungumzia kaka zangu,tazama wakaniambia: Weweumetuelezea vitu vigumu, ku-liko tunavyoweza kuvumilia.

2 Na ikawa kwamba niliwaa-mbia kuwa nilijua kwambanilikuwa nimezungumza vituvigumu kinyume cha waovu,kulingana na ukweli; na niliku-wa nimewathibitisha wenyehaki, na kushuhudia kwambawatainuliwa katika siku ya

33a Mos. 15:26;Moro. 10:26.

b Alma 12:12–16;40:26.

c mwm Hukumu, yaMwisho.

d 3 Ne. 27:23–27.e 2 Ne. 9:16;

M&M 88:35.

f Zab. 15:1–5; 24:3–4;Alma 11:37;M&M 76:50–70;Musa 6:57.

34a mwm Chafu, Uchafu.35a 2 Ne. 9:19;

Mos. 26:27.mwm Jahanamu.

b 1 Ne. 14:9;

M&M 1:35.c mwm Haki.

36a Mwa. 2:9; 2 Ne. 2:15.b 1 Ne. 8:10–12;

Alma 32:42.c M&M 6:13.d M&M 14:7.

mwm Uzima waMilele.

Page 58: KITABU CHA MORMONI

41 1 Nefi 16:3–14

mwisho; kwa hivyo, wenyeahatia huchukua bukweli kuwamgumu, kwani chuwakata hadisehemu zao za ndani.3 Na sasa kaka zangu, kama

nyinyi mngekuwa watakatifuna mngetaka kusikiza ukweli,na kuufuata, ili amtembee imarambele ya Mungu, basi hamnge-nung’unika kwa sababu yaukweli, mkisema: Unazungu-mza vitu vigumu dhidi yetu.4 Na ikawa kwamba mimi,

Nefi, niliwasihi kaka zangu,kwa bidii zote, watii amri zaBwana.

5 Na ikawa kwamba awaliji-nyenyekesha kwa Bwana; hatakwamba nikawa na shangwena matumaini mengi, kwambawatatembea katika njia zautakatifu.

6 Sasa, vitu hivi vyote vilizu-ngumziwa na kufanyika vilebaba yangu alipoishi kwenyehema katika bonde aliloliitaLemueli.

7 Na ikawa kwamba mimi,Nefi, nilimchukua abinti mmojawa Ishmaeli kuwa bmke wangu,na pia kaka zangu wakaoamabinti za Ishmaeli; na piacZoramu akamwoa binti mku-bwa wa Ishmaeli.8 Na hivyo baba yangu aliti-

miza amri zote ambazo alipewana Bwana. Na pia, mimi, Nefi,nilibarikiwa na Bwana zaidi.

9 Na ikawa kwamba sautiya Bwana ikamzungumzia baba

yangu usiku, na kumwamurukwamba kesho yake aanzekusafiri nyikani.

10 Na ikawa kwamba wakatibaba yangu alipoamka asubu-hi, na akaenda mlangoni mwahema, kwa mshangao wakemkuu, akaona hapo chin iampira wa ufundi maalumu; naulikuwa wa shaba nyeupe yahali ya juu. Na ndani ya huumpira kulikuwa mishale miwili;na moja ilionyesha njia tutaka-yofuata nyikani.

11 Na ikawa kwamba tuliku-sanya pamoja vitu ambavyotungebeba nyikani, na pia ma-baki ya maakuli ambayo Bwanaalikuwa ametupatia; na tuka-chukua mbegu za kila aina ilitubebe nyikani.

12 Na ikawa kwamba tulichu-kua hema zetu na kuelekeanyikani, na tukavuka ng’amboya mto Lamani.

13 Na ikawa kwamba tulisa-firi kwa muda wa siku nne,tukielekea karibu upande wakusini-kusini-mashariki, na tu-kapiga hema zetu tena; natukaita mahali pale Shazeri.

14 Na ikawa kwamba tulichu-kua pinde zetu na mishaleyetu, na kuenda nyikani kuwi-ndia jamii zetu; na baada yakuwindia jamii zetu chakulatulirejea tena kwa jamii zetuhuko nyikani, mahali palipoi-twa Shazeri. Na tulisafiri tenanyikani, tukielekea upande ule

16 2a Yn. 3:20; 2 Ne. 33:5;Eno. 1:23; Hel. 14:10.mwm Hatia.

b Mit. 15:10;2 Ne. 1:26; 9:40;Hel. 13:24–26.

c Mdo. 5:33; Mos. 13:7.3a M&M 5:21.

mwm Tembea,Tembea na Mungu.

5a 1 Ne. 16:24, 39; 18:4.7a 1 Ne. 7:1.

b mwm Ndoa, Oa,Olewa.

c 1 Ne. 4:35;2 Ne. 5:5–6.

10a Alma 37:38–46.mwm Liahona.

Page 59: KITABU CHA MORMONI

1 Nefi 16:15–26 42

ule, tukifuata sehemu ambazozilikuwa nzuri nyikani, amba-zo zilikuwa mipakani mwaBahari ya aShamu.15 Na ikawa kwamba tulisafi-

ri kwa muda wa siku nyingi,tukiwinda chakula chetu njiani,kwa pinde zetu na mishaleyetu na mawe yetu na kwakombeo zetu.

16 Na tulifuata amajira yaule mpira, ambayo ilituelekezakatika sehemu zenye rutubazaidi nyikani.

17 Na baada ya kusafiri kwamuda wa siku nyingi, tukapigahema zetu kwa muda mfupi, ilitujipumzishe tena na tutafutiejamii zetu chakula.

18 Na ikawa kwamba mimi,Nefi, nilipoenda kuwinda, taza-ma, nikavunja upinde wangu,ambao ulikuwa umetengene-zwa kwa a chuma nyororo;na baada ya kuvunja upindewangu, tazama, ndugu zanguwalinikasirikia kwa kupotele-wa na upinde wangu, kwasababu hatukupata chakulachochote.

19 Na ikawa kwamba tulirudikwa jamii zetu bila chakula, nawakiwa wamechoka zaidi, kwasababu ya kusafiri, walitesekasana kwa kutaka chakula.

20 Na ikawa kwamba Lamanina Lemueli na wana wa Ish-maeli walianza kunung’unikazaidi, kwa sababu ya matesoyao na masumbuko huko nyi-kani; na pia baba yangu alianza

kumnung’unikia Bwana, Mu-ngu wake; ndio, na wote wali-kuwa na huzuni zaidi, hatawakamnung’unikia Bwana.

21 Sasa ikawa kwamba mimi,Nefi, nikiwa nimeumizwa nakaka zangu kwa sababu ya ku-potelewa na upinde wangu, napinde zao zikiwa zimelegea nazimenyumbuka, ilianza kuwashida zaidi, ndio, hata tukakosachakula.

22 Na ikawa kwamba mimi,Nefi, niliwazungumzia kakazangu, kwa sababu walikuwawameshupaza mioyo yao tena,hata awakamnung’unikia Bwa-na Mungu wao.

23 Na ikawa kwamba mimi,Nefi, nikatengeneza upinde ku-toka kwa mbao, na kutoka kwakijiti kinyoofu, nikatengenezamshale; kwa hivyo, nikajiamikwa upinde, na mshale, kombeona mawe. Na nikamuuliza ababayangu: Niende kuwinda wapi?

24 Na ikawa kwamba aakamu-omba Bwana, kwani walijinye-nyekeza kwa sababu ya mane-no yangu; kwani niliwaambiavitu vingi kwa nguvu za nafsiyangu.

25 Na ikawa kwamba sauti yaBwana ikamjia baba yangu; naaakakemewa kwa kweli kwakumnung’unikia Bwana, hadiakadhilika kwa huzuni mwingi.

26 Na ikawa kwamba sauti yaBwana ikamwambia: Angaliakwenye ule mpira, na uonevitu vilivyoandikwa.

14a M&M 17:1.16a 1 Ne. 16:10, 16, 26;

18:12;Alma 37:38–46.

18a 2 Sam. 22:35.22a Kut. 16:8; Hes. 11:1.23a Kut. 20:12;

Mos. 13:20.

24a mwm Sala.25a Eth. 2:14.

mwm Kurudi,Kurudiwa.

Page 60: KITABU CHA MORMONI

43 1 Nefi 16:27–38

27 Na ikawa kwamba wakatibaba yangu alipoona vitu vili-vyoandikwa kwenye mpira,aliogopa na kutetemeka sana,pia na kaka zangu, na wana waIshmaeli na wake zetu.

28 Na ikawa kwamba mimi,Nefi , nil iona kwamba vilevyuma vilivyokuwa kwenyempira, vilifanya kazi kulinganana aimani na bidii na utiifu,ambao tulivipatia.29 Na pia paliandikwa juu

yao maandishi mengine ma-pya, ambayo yalikuwa rahisikwa kusomwa, ambayo yalitu-patia aufahamu kuhusu njia zaBwana; na yaliandikwa nakubadilishwa mara kwa mara,kulingana na imani na bidiiambayo tuliipatia. Na hivyotunaona kwamba kwa njiabndogo Bwana anaweza kuletavitu vikubwa.

30 Na ikawa kwamba mimi,Nefi, nilienda juu ya mlima,kulingana na maelezo yaliyo-kuwa kwenye mpira.

31 Na ikawa kwamba niliwi-nda wanyama wa mwitu, hatanikapata chakula cha jamii zetu.

32 Na ikawa kwamba nilirudikwenye hema zetu, nikibebawanyama ambao niliwinda; nasasa walipoona nilikuwa nime-pata chakula, walifurahia sana!Na ikawa kwamba walijinye-nyekeza kwa Bwana, na waka-mtolea shukrani.

33 Na ikawa kwamba tulianza

safari yetu tena, tukisafiri kwamajira karibu kama mwanzoni,na baada ya kusafiri kwa mudawa siku nyingi tulipiga hemazetu tena, ili tukae kwa muda.

34 Na ikawa kwamba aIshma-eli alifariki, na akazikwa mahalipalipoitwa Nahomu.

35 Na ikawa kwamba mabintiza Ishmaeli waliomboleza zaidi,kwa sababu ya kifo cha babayao, na kwa sababu ya amasu-mbuko yao nyikani; na waka-mnung’unikia baba yangu,kwa sababu aliwatoa nchi yaYerusalemu, wakisema: Babayetu amekufa; ndio, na tume-zunguka sana nyikani, na tu-mepata masumbuko mengi,njaa, kiu, na uchovu; na baadaya haya mateso yote tutaanga-mia nyikani kwa njaa.

36 Na hivyo wakalalamikadhidi ya baba yangu, na piadhidi yangu; na wakatakakurudi tena Yerusalemu.

37 Na Lamani akamwambiaLemueli na pia wana wa Ishma-eli: Tazama, atumuue baba yetu,na pia kaka yetu Nefi, ambayeamejifanya kuwa bmtawala namwalimu wetu, sisi ambao nikaka zake wakubwa.

38 Na sasa, anasema kwambaBwana amemzungumzia, na piakwamba amalaika wamemhu-dumia. Lakini tazama, tunajuakwamba anatudanganya; naanatuambia vitu hivi, na anate-nda vitu vingi kwa ujanja

28a Alma 37:40.mwm Imani.

29a mwm Ufahamu.b 2 Fal. 5:13;

Yak. (Bib.) 3:4;

Alma 37:6–7, 41;M&M 123:16.

34a 1 Ne. 7:2–6.35a mwm Shida.37a 1 Ne. 17:44.

mwm Mauaji.b Mwa. 37:9–11;

1 Ne. 2:22; 18:10.38a 1 Ne. 3:30–31; 4:3.

Page 61: KITABU CHA MORMONI

1 Nefi 16:39–17:7 44

wake, i l i atufunike machoyetu, akidhani, kwamba, labdaatatuelekeza kwenye nyika yaugeni; na baada ya kufanyahivyo, amepanga kujifanyamfalme na mtawala wetu, iliatutendee kulingana na nia namapenzi yake. Na jinsi hii ndi-vyo kaka yangu Lamani alivyo-chochea hasira mioyoni mwao.39 Na ikawa kwamba Bwana

alikuwa pamoja nasi, ndio, hatasauti ya Bwana ikaja na akuwa-zungumzia maneno mengi, naikawakemea zaidi; na baadaya kukemewa na saut i yaBwana wakaacha hasira yao,na wakatubu dhambi zao, hatakwamba Bwana akatubarikitena kwa chakula, kwambahatukuangamia.

MLANGO WA 17

Nefi anaamriwa kujenga merikebu—Kaka zake wanampinga—Ana-wasihi kwa kuwaelezea vile Mungualivyoitendea Israeli katika histo-ria — Nefi anajazwa na nguvu zaMungu—Kaka zake wanakatazwawasimguse, au sivyo watanyaukakama nyasi iliyokauka. Kutokakaribu mwaka wa 592 hadi 591kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

Na ikawa kwamba tulianzasafari yetu tena nyikani; natulisafiri tukielekea masharikitangu ule wakati. Na tulisafirina kupitia mateso mengi hukonyikani; na wanawake zetuwalizaa watoto nyikani.

2 Na baraka kuu za Bwanazilikuwa nasi, kwamba wakatitul ipokula nyama a mbichihuko nyikani, bibi zetu walipatamaziwa ya kutosha ya kunyo-nyesha watoto wao, na waliku-wa na nguvu, ndio, hata kamawanaume; na wakaanza kusa-firi bila kunung’unika.

3 Na hivyo tunaona kwambalazima amri za Mungu zitimi-zwe. Na kama watoto wa watuawatatii amri za Mungu atawa-lisha, na kuwatia nguvu, na ku-wapatia uwezo ili wakamilishekitu ambacho amewaamuru;kwa hivyo, balitupatia uwezotulipopitia nyikani.

4 Na tulipitia nyikani kwamuda wa miaka mingi, ndio,hata miaka minane nyikani.

5 Na tulifika nchi ambayotuliita Neema, kwa sababu yamatunda yake mengi na asaliya mwitu; na vitu hivi vyotevilitayarishwa na Bwana ilitusiangamie. Na tukaona baha-ri, ambayo tuliita Ireantumu,ambayo, maana yake, ni majimengi.

6 Na ikawa kwamba tulipigahema zetu pwani, ingawajetulipata amateso na masumbu-ko mengi, ndio, hata mengizaidi kwamba hatuwezi kua-ndika yote, tulishangilia sanawakati tulipofika pwani; natukaita pahali pale Neema,kwa sababu ya matunda yakemengi.

7 Na ikawa kwamba baada yamimi, Nefi, kuwa katika nchi

39a mwm Kurudi,Kurudiwa.

17 2a 1 Ne. 17:12.

3a Mos. 2:41;Alma 26:12.mwm Mtiifu, Tii, Utii.

b 1 Ne. 3:7.6a 2 Ne. 4:20.

Page 62: KITABU CHA MORMONI

45 1 Nefi 17:8–19

ya Neema kwa muda wa sikunyingi, sauti ya Bwana ikanijiana kuniambia: Ondoka, nauende mlimani . Na ikawakwamba niliinuka na kuendamlimani, na nikamlilia Bwana.8 Na ikawa kwamba Bwana

akanizungumzia, na kusema:Wewe utajenga merikebu, kuli-ngana na avile nitakavyokuo-nyesha, ili niwavushe watuwako haya maji.

9 Na nikasema: Bwana, niwapi nitakapoenda ili nipatemawe yenye madini ya kuye-yusha, ili nijenge vifaa vyakutengenezea merikebu jinsivile umenionyesha?

10 Na ikawa kwamba Bwanaakanieleza pa kwenda ili nipatemawe yenye madini, ili nijengevifaa.

11 Na ikawa kwamba mimi,Nefi, nilitengeneza mivuo yakupuliza moto, kwa ngozi zawanyama; na baada ya kute-ngeneza mivuo, ya kupulizamoto, niligongesha mawe ma-wili pamoja ili nipate moto.

12 Kwani Bwana hakuturu-husu tuwashe moto mwingi,tulipokuwa tukisafiri nyikani;kwani alisema: Nitafanya cha-kula chenu kiwe kitamu, hataahamtakipika;13 Na pia nitakuwa nuru yenu

huko nyikani; na anitawataya-rishia njia, kama mtatii amrizangu; kwa hivyo, vile mtaka-vyotii amri zangu mtaongozwahadi kwenye nchi ya bahadi;

na cmtajua kwamba ni mimininayewaongoza.

14 Ndio, na Bwana pia akase-ma kwamba: Baada ya kuwasi-li katika nchi ya ahadi, amtajuakwamba mimi, Bwana, ndiyebMungu; na kwamba mimi,Bwana, niliwakomboa kutokamaangamizoni; ndio, kwambaniliwatoa kutoka nchi ya Yeru-salemu.

15 Kwa hivyo, mimi, Nefi, ni-lijaribu kutii amri za Bwana, nanikawasihi kaka zangu wawewaaminifu na wenye jitihada.

16 Na ikawa kwamba nili-tengeneza vifaa kutoka kwamawe yenye madini ambayonilikuwa nimeyayeyusha kuto-ka kwa mwamba.

17 Na wakati kaka zangu wa-lipoona kwamba niko karibuakujenga merikebu, walianzakunung’unika dhidi yangu, nakusema: Kaka yetu ni mjinga,kwani anafikiri kuwa anawezakujenga merikebu; ndio, naanafikiri pia kwamba anawezakuvuka haya maji makuu.

18 Na hivyo ndivyo kaka za-ngu walilalamika dhidi yangu,na hawakutaka kufanya kazi,kwani hawakuamini kwambaningejenga merikebu; walahawakuamini kuwa nilifundi-shwa na Bwana.

19 Na sasa ikawa kwambamimi, Nefi, nilikuwa na huzunizaidi kwa sababu ya ugumuwa mioyo yao, na sasa walipo-ona kwamba nilianza kuwa

8a 1 Ne. 18:2.12a 1 Ne. 17:2.13a Alma 37:38–39.

b 1 Ne. 2:20;

Yak. (KM) 2:12.c Kut. 6:7.

14a 2 Ne. 1:4.mwm Ushuhuda.

b M&M 5:2.17a 1 Ne. 18:1–6.

Page 63: KITABU CHA MORMONI

1 Nefi 17:20–29 46

na huzuni walifurahi mioyonimwao, hata awakanishangiliakwa kusema: Tulijua kwambahuwezi kujenga merikebu, kwa-ni tulijua ulipungukiwa na ma-wazo; kwa hivyo, wewe huwezikutimiza kazi kubwa hivyo.

20 Nawe uko kama baba yetu,aliyepotoshwa na amawazo yaujinga moyoni mwake; ndio,ametutoa kutoka nchi ya Yeru-salemu, na tumezunguka nyi-kani kwa hii miaka mingi;na wanawake wetu wamefanyakazi ya kuchosha, wakiwa wa-jawazito; na wamezaa watotonyikani na kuteseka kwa vituvyote, ila kifo tu; na ingekuwavyema wafe kabla ya kutokaYerusalemu badala ya kutesekana haya masumbuko.21 Tazama, hii miaka mingi

tumeteseka nyikani, na penginehuu wakati tungefurahia maliyetu na nchi yetu ya urithi;ndio, na pengine tungekuwana furaha.

22 Na tunajua kwamba walewatu waliokuwa katika nchiya Yerusalemu walikuwa watuawatakatifu; kwani walitii ma-sharti na hukumu za Bwana, naamri zake zote, kulingana nasheria ya Musa; kwa hivyo,tunajua kwamba ni watu wata-katifu; na baba yetu amewahu-kumu, na ametupotosha kwasababu tulisikiza maneno yake;ndio, na kaka yetu ni kama

yeye. Na kwa lugha kama hii,kaka zangu walinung’unika nakulalamika dhidi yetu.

23 Na ikawa kwamba mimi,Nefi, nikawazungumzia nika-sema: Je, mnaamini kwambababa zetu, ambao walikuwawana wa Israeli, wangekombo-lewa kutoka mikononi mwaWamisri kama hawakutii ma-neno ya Bwana?

24 Ndio, mnadhania kwambawangetolewa utumwani, kamaBwana hakumwamuru Musaaawatoe utumwani?25 Sasa mnajua kwamba wana

wa Israeli walikuwa autumwa-ni; na mnajua kwamba waliku-wa na bmizigo mizito, ambayoilikuwa migumu kuvumilia;kwa hivyo, mnajua kwambalazima iwe ilikuwa kitu kizurikwao, kutolewa utumwani.

26 Sasa mnajua kwamba aMusaaliamriwa na Bwana kutendaile kazi kuu; na mnajua kwambakwa bmaneno yake, maji yaBahari ya Shamu yaligawanyi-ka huku na kule, na wakapitianchi kavu.

27 Lakini mnajua Wamisri wa-lizama katika Bahari ya Shamu,ambao walikuwa majeshi laFarao.

28 Na pia mnajua kwambawalilishwa kwa amana kutokambinguni huko nyikani.

2 9 N d i o , n a p i a m n a j u akwamba Musa, kwa neno lake

19a mwm Mateso, Tesa.20a 1 Ne. 2:11.22a 1 Ne. 1:13.24a Kut. 3:2–10;

1 Ne. 19:10;2 Ne. 3:9; 25:20.

25a Mwa. 15:13–14.b Kut. 1:11; 2:11.

26a Mdo. 7:22–39.b Kut. 14:21–31;

1 Ne. 4:2;Mos. 7:19;

Hel. 8:11;M&M 8:3;Musa 1:25.

28a Kut. 16:4, 14–15, 35;Hes. 11:7–8;Kum. 8:3; Mos. 7:19.

Page 64: KITABU CHA MORMONI

47 1 Nefi 17:30–40

kulingana na nguvu za Munguambazo alikuwa nazo, aaligo-nga mwamba, na pakatiririkamaji, ili wana wa Israeli watuli-ze kiu yao.30 Na ijapokuwa waliongo-

zwa, na Bwana Mungu wao,Mkombozi wao, akiwatangulia,akiwaongoza mchana na ku-wapatia nuru usiku, na kuwa-fanyia yote ayaliyompasa mwa-nadamu kupokea, waliposhu-paza mioyo yao na kupofushamawazo yao, na bwakamtusiMusa pamoja na Mungu ana-yeishi na wa kweli.

31 Na ikawa kwamba aaliwaa-ngamiza kulingana na nenolake; na bakawaongoza kuli-ngana na neno lake; na aliwate-ndea vitu vyote kulingana naneno lake; na hakuna lolote lili-lotendwa ila tu kulingana naneno lake.

32 Na baada ya kuvuka mtoYordani aliwatia nguvu zaakuwafukuza wana wa nchi ile,ndio, hata kuwatawanya kwamaangamizo.33 Na sasa, mnadhani kuwa

wana wa nchi hii, waliokuwakwenye nchi ya ahadi, waliofu-kuzwa na babu zetu, mnadhanikuwa walikuwa watakatifu?Tazama, nawaambia, Hapana.

34 Je, mnadhania kwambaBaba zetu wangekuwa borazaidi yao, kama wangekuwawatakatifu? Ninawaambia, Ha-pana.

35 Tazama, Bwana anawape-nda awatu wote sawa sawa;yule ambaye ni bmtakatifu cana-pendelewa na Mungu. Lakinitazama, hawa watu walikataakila neno la Mungu, na waliku-wa wamekomaa kwenye mao-vu; na utimilifu wa ghadhabuya Mungu ulikuwa juu yao; naBwana akalaani nchi dhidi yao,na akaibariki kwa babu zetu;ndio, alitamka laana dhidi yaokwa maangamizo yao, na akai-bariki kwa baba zetu ili wapatemamlaka juu yake.

36 Tazama, Bwana aameumbabdunia ili watu cwaishi ndaniyake; na ameumba wana wakeili wairithi.

37 Na ahuinua taifa takatifu,na kuangamiza mataifa maovu.

38 Na anawaongoza watakati-fu kwenye anchi za thamani,na waovu banawaangamiza, nakulaani nchi kwa sababu yao.

39 Anatawala juu mbinguni,kwani ndicho kiti chake chaenzi, na dunia ni akiti chake chakuegemesha miguu.

4 0 N a a n a w a p e n d a w a l e

29a Kut. 17:6; Hes. 20:11;Kum. 8:15;1 Ne. 20:21.

30a M&M 18:18; 88:64–65.b Kut. 32:8;

Hes. 14:2–3;Eze. 20:13–16;M&M 84:23–25.

31a Hes. 26:65.b 1 Ne. 5:15;

M&M 103:16–18.32a Hes. 33:52–53;

Yos. 24:8.35a Mdo. 10:15, 34;

Rum. 2:11;2 Ne. 26:23–33.

b Zab. 55:22;1 Ne. 22:17.

c 1 Sam. 2:30;Zab. 97:10; 145:20;Alma 13:4;M&M 82:10.

36a mwm Umba,Uumbaji.

b mwm Dunia.c Isa. 45:18;

Ibr. 3:24–25.37a Mit. 14:34;

1 Ne. 4:13;Eth. 2:10;M&M 117:6.

38a mwm Nchi ya Ahadi.b Law. 20:22.

39a Isa. 66:1;M&M 38:17;Ibr. 2:7.

Page 65: KITABU CHA MORMONI

1 Nefi 17:41–47 48

ambao watamkubali awe Mu-ngu wao. Tazama, aliwapendababa zetu na aakaagana nao,ndio, hata na Ibrahimu, bIsaka,na cYakobo; na akakumbukamaagano aliyoagana nao; kwahivyo, akawatoa kutoka nchiya dMisri.41 Na aliwanyosha kwa fimbo

yake huko nyikani ; kwaniawalishupaza mioyo yao, hatakama nyinyi; na Bwana aliwa-nyosha kwa sababu ya uovuwao. Aliwatumia bnyoka wakaliwarukao miongoni mwao; nabaada ya wao kuumwa akawa-tayarishia njia ya ckuponywa;na lile waliopaswa kutenda nikutazama; na kwa sababu yadwepesi wa njia, au urahisiwake, kulikuwa na wengi wali-oangamia.42 Na walishupaza mioyo yao

mara kwa mara, na awakamwasibMusa, na pia Mungu; walaki-ni, mnajua kuwa waliongozwakwa nguvu zake zisizoshindi-kana hadi wakafika katika nchiya ahadi.

43 Na sasa, baada ya vitu hivivyote, wakati umefika kwambawamekuwa waovu, ndio, kupitakiasi; na nafikiri inawezekanaleo wanakaribia kuangamizwa;kwani najua siku itafika amba-yo lazima waangamizwe, ila tuwachache, ambao watapelekwautumwani.

44 Kwa hivyo, Bwana aalimwa-muru baba yangu kukimbilianyikani ; na Wayahudi piawakajaribu kumtoa uhai; ndio,bnanyi pia mmejaribu kumtoauhai wake; kwa hivyo, nyinyini wauaji mioyoni mwenu nanyinyi mnafanana na wao.

45 Nyinyi ni awepesi kwa ku-tenda maovu lakini wanyongekumkumbuka Bwana Munguwenu. Mmeona bmalaika, naakawazungumzia; ndio, mme-sikia sauti yake mara kwamara; na amewazungumziakwa sauti ndogo tulivu, lakinimlikuwa mmekufa cganzi, kwa-mba hamkupata yale manenoyake; kwa hivyo, amewazu-ngumzia kwa sauti kama radi,ambayo ilisababisha duniakutetemeka kama ambayo ina-pasuka.

46 Na pia mnajua kwambakwa anguvu za neno lake kuuanaweza kusababisha duniaimalizike; ndio, na mnajuakwamba kwa neno lake anawe-za kusababisha palipopotokapawe pamenyooka, na palipo-nyooka pavunjike. Je, kwa nini,basi, muwe wagumu mioyonimwenu?

47 Tazama, nafs i yanguimevunjwa na uchungu kwasababu yenu, na moyo wanguunaumwa; nina hofu kwa-mba mtatupwa milele. Tazama,

40a mwm Agano laIbrahimu.

b Mwa. 21:12;M&M 27:10.

c Mwa. 28:1–5.d Kum. 4:37.

41a 2 Fal. 17:7–23.b Hes. 21:4–9;

Kum. 8:15;Alma 33:18–22.

c Yn. 3:13–15;2 Ne. 25:20.

d Alma 37:44–47;Hel. 8:15.

42a Hes. 14:1–12.mwm Uasi.

b M&M 84:23–24.44a 1 Ne. 2:1–2.

b 1 Ne. 16:37.45a Mos. 13:29.

b 1 Ne. 4:3.c Efe. 4:19.

46a Hel. 12:6–18.

Page 66: KITABU CHA MORMONI

49 1 Nefi 17:48–55animejazwa na Roho mtakatifuwa Mungu, hata kwamba kiwi-liwili changu bhakina nguvu.48 Na sasa ikawa kwamba

nilipozungumza maneno hayawalinikasirikia, na walitakakunitupa katika kilindi chabahari; na walipokuja kunika-mata nikawazungumzia, niki-sema: Katika jina la MwenyeziMungu, ninawaamuru amsini-guse, kwani nimejazwa nabnguvu za Mungu, hata kwa-mba kiwiliwili changu chawezakuungua; na yeyote atakayeni-gusa catakauka kama nyasiiliyokauka; na atakuwa burembele ya nguvu za Mungu,kwani Mungu atamwadhibu.

49 Na ikawa kwamba mimi,Nefi, niliwaambia wasilalami-ke tena juu ya baba yao; walawasikatae kunitumikia, kwaniMungu aliniamuru nijenge me-rikebu.

50 Na nikawaambia: aKamaMungu aliniamuru kutendavitu vyote ningevifanya. Kamaataniamuru niyaambie majihaya, yawe ardhi, yangekuwaardhi; na kama nikisema, inge-tendeka.

51 Na sasa, ikiwa Bwana anazonguvu nyingi hivyo, na amefa-nya miujiza mingi miongonimwa watoto wa watu, je, kwanini hawezi akunishauri, kwa-mba nijenge merikebu?

52 Na ikawa kwamba mimi,Nefi, niliwaambia kaka zangu

vitu vingi, mpaka wakafadhai-shwa wasiweze kubishana namimi; wala hawakuthubutukunigusa kwa mikono yao auvidole vyao, kwa muda wa sikunyingi. Sasa hawakuthubutukufanya hivyo ili wasikaukembele yangu, kwani aRoho yaMungu alikuwa na nguvu nyi-ngi; hata wakaguswa.

53 Na ikawa kwamba Bwanaaliniambia: Nyosha mkonowako tena kwa kaka zako, nahawatakauka mbele yako, lakininitawashitua, asema Bwana,na nitafanya hivi, ili wajuekwamba mimi ndimi BwanaMungu wao.

54 Na ikawa kwamba niliwa-nyoshea kaka zangu mkonowangu, na hawakukauka mbeleyangu; lakini Bwana aliwashi-tua, kulingana na neno ambaloalikuwa amelizungumza.

55 Na sasa, wakasema: Tuna-jua kwa hakika kwamba Bwanayuko nawe, kwani tunajuakwamba ni nguvu za Bwanazimetushitua. Na wakainamambele yangu, na walikuwakaribu akuniabudu, lakini si-kuwaruhusu, nikisema: Mimini kaka yenu, ndio, hata kakayenu mdogo; kwa hivyo, mwa-buduni Bwana Mungu wenu,na mheshimu baba yenu namama yenu, ili bmaisha yenuy a w e m a r e f u k a t i k a n c h iambayo Bwana Mungu wenuatawapatia.

47a Mik. 3:8.b 1 Ne. 19:20.

48a Mos. 13:3.b 2 Ne. 1:26–27.

mwm Uwezo.

c 1 Fal. 13:4–7.50a Flp. 4:13;

1 Ne. 3:7.51a Mwa. 6:14–16;

1 Ne. 18:1.

52a mwm RohoMtakatifu.

55a Mdo. 14:11–15.b Kut. 20:12;

Mos. 13:20.

Page 67: KITABU CHA MORMONI

1 Nefi 18:1–9 50

MLANGO WA 18

Merikebu inamalizika — Kuzaliwakwa Yakobo na Yusufu kunatajwa— Kundi lapakia kuelekea nchi yaahadi—Wana wa Ishmaeli na wakezao wanaungana kwa kuasi naugomvi—Nefi anafungwa, na me-rikebu inarudishwa nyuma nadhoruba kubwa—Nefi anaachiliwahuru, na kwa sala zake dhorubainatulia—Watu wanawasili katikanchi ya ahadi. Kutoka karibumwaka wa 591 hadi 589 kabla yakuzaliwa kwa Kristo.

Na ikawa kwamba walimua-budu Bwana, na wakajiunga namimi; na tukaunda mbao kwaufundi maalumu. Na Bwanaalinionyesha mara kwa maranamna ya kuunda zile mbao zamerikebu.2 Sasa mimi, Nefi, sikuunda

mbao kulingana na njia zilizo-fahamiwa na watu, wala sikuje-nga merikebu kulingana na njiaza watu; lakini niliijenga kuli-ngana na vile Bwana alivyoni-onyesha; kwa hivyo, haikuwakulingana na njia za wanadamu.

3 Na mimi, Nefi, nilienda mli-mani mara nyingi, na anilimuo-mba Bwana mara nyingi; kwahivyo Bwana balinionyesha vituvikubwa.4 Na ikawa kwamba baada

ya mimi kumaliza kujengamerikebu, kulingana na nenola Bwana, ndugu zangu walionakwamba ni nzuri, na ufundiwake ulikuwa stadi; kwa hivyo,

awakajinyenyekeza tena kwaBwana.

5 Na ikawa kwamba sauti yaBwana ikamjia baba yangu,kwamba tuinuke na kuingiakwenye merikebu.

6 Na ikawa kwamba keshoyake, baada ya kutayarishavitu vyote, matunda mengi naanyama kutoka nyikani, na asalinyingi, na maakuli kulinganana yale Bwana aliyotuamuru,tuliingia kwenye merikebu,pamoja na mizigo yetu yote nambegu zetu, na kitu chochoteambacho tulileta nasi, kila mmo-ja kulingana na umri wake; kwahivyo, tuliingia sote kwenyemerikebu, pamoja na wake zetuna watoto wetu.

7 Na sasa, baba yangu aliku-wa amepata watoto wawilinyikani; mkubwa aliitwa aYa-kobo na mdogo alikuwa nibYusufu.

8 Na ikawa kwamba baadaya sisi sote kuingia kwenyemerikebu, na kuchukua maa-kuli yetu na vitu ambavyo tuli-amriwa, tulitweka abaharini natukaendeshwa mbele na upepotukielekea nchi ya bahadi.

9 Na baada ya sisi kuende-shwa na upepo kwa muda wasiku nyingi, tazama, kaka zanguna wana wa Ishmaeli pia nawake zao walianza kujifurahi-sha, hata wakaanza kuchezangoma, na kuimba, na kuzu-ngumza kwa ujeuri sana, ndio,hata kwamba wakasahau kwanguvu gani waliletwa hapo;

18 3a mwm Sala.b mwm Ufunuo.

4a 1 Ne. 16:5.

6a 1 Ne. 17:2.7a 2 Ne. 2:1.

b 2 Ne. 3:1.

8a 2 Ne. 10:20.b 1 Ne. 2:20.

mwm Nchi ya Ahadi.

Page 68: KITABU CHA MORMONI

51 1 Nefi 18:10–19

ndio, waliinuliwa zaidi kwaujeuri.10 Na mimi, Nefi, nikaanza

kuogopa zaidi kwamba Bwanaatatukasirikia, na atupige kwasababu ya uovu wetu, hatatuzame kwenye kilindi chabahari; kwa hivyo, mimi, Nefi,nilianza kuwazungumzia kwamakini; lakini tazama awalini-kasirikia, wakisema: Hatuta-kubali kuwa kaka yetu mdogoawe bmtawala wetu.11 Na ikawa kwamba Lamani

na Lemueli walinikamata na ku-nifunga kwa kamba, na wakawawakali sana kwangu; walakini,Bwana aalikubali haya ili ao-nyeshe nguvu zake, kwa kuti-miza maneno yake aliyosemakuhusu wale waovu.

12 Na ikawa kwamba wali-ponifunga hata nisingewezakutembea, adira, ambayo Bwanaalikuwa ameitayarisha, ilikomakufanya kazi.13 Kwa hivyo, hawakujua

njia gani ambayo wangeelekezamerikebu, hata mpaka kukawana dhoruba kubwa, ndio, dho-ruba kuu na kali, na atukarudi-shwa nyuma majini kwa mudawa siku tatu; na wakaanzakuogopa kupita kiasi kwambawatazama baharini; walakinihawakunifungua.

14 Na baada ya kurudishwanyuma kwa siku nne, dhorubailianza kuwa kali zaidi.

15 Na ikawa kwamba tulikuwa

karibu kumezwa kilindini mwabahari. Na baada ya kurudi-shwa nyuma katika maji kwamuda wa siku nne, kaka zanguwakaanza akuona kwamba hu-kumu za Mungu zilikuwa juuyao, na kwamba lazima wafekama hawatatubu maovu yao;kwa hivyo, wakanijia na kuni-fungua kamba ambazo zilikuwakwa viwiko vyangu, na tazamavilikuwa vimefura zaidi; na piavifundo vyangu vilivimba sana,na uchungu ulikuwa mwingi.

16 Walakini, nilimtazama Mu-ngu wangu, na anilimsifu sikuyote nzima; na sikumlalamikiaBwana kwa sababu ya masu-mbuko yangu.

17 Sasa baba yangu, Lehi, ali-kuwa amewaambia vitu vingi,na pia kwa wana wa aIshmaeli;lakini, tazama, walitoa vitishovingi kwa yeyote ambaye alini-tetea; na wazazi wangu wakiwana umri mkuu, na wakiwawameteseka kwa hofu kuu kwasababu ya wana wao, walile-mewa, ndio, hadi wakauguliavitandani.

18 Kwa sababu ya hofu yaona huzuni nyingi, na maovu yakaka zangu, walikaribia kuku-tana na Mungu wao; ndio,mvi zao zilikaribia kulazwamavumbini; ndio, hata karibuwatupwe na huzuni katikakaburi la maji.

19 Na Yakobo na Yusufu pia,wakiwa wachanga, na wakihita-

10a 1 Ne. 17:17–55.b Mwa. 37:9–11;

1 Ne. 16:37–38;2 Ne. 1:25–27.

11a Alma 14:11.

12a 1 Ne. 16:10, 16, 26;2 Ne. 5:12;Alma 37:38–47;M&M 17:1.

13a Mos. 1:17.

15a Hel. 12:3.16a Alma 36:28.17a 1 Ne. 7:4–20.

Page 69: KITABU CHA MORMONI

1 Nefi 18:20–19:2 52

ji kulishwa sana, walihuzuni-shwa na masumbuko ya mamayao; pia na mke awangu namachozi yake na sala, na piawatoto wangu, hawakulaini-sha mioyo ya kaka zangu iliwanifungue.

20 Na hapakuwa chochote ilanguvu za Mungu, zilizowatishana maangamizo, kingelainishamioyo yao; kwa hivyo, walipo-ona kwamba walikuwa karibukuzama baharini walitubu kwakitu kile ambacho walitenda,hata wakanifungua.

21 Na ikawa kwamba baadaya wao kunifungua, tazama,nilichukua dira, na ilitendanilivyotaka. Na ikawa kwambanikamwomba Bwana; na baadaya mimi kusali, upepo ulikoma,na dhoruba ikaisha, na kukawana utulivu mkuu.

22 Na ikawa kwamba mimi,Nefi, niliendesha merikebu,hata tukasafiri tena tukielekeanchi ya ahadi.

23 Na ikawa kwamba baadaya kusafiri kwa muda wa sikunyingi tuliwasili katika nchi yaaahadi; na tukatembea kwenyeardhi, na tukapiga hema zetu;na tukaiita nchi ya ahadi.24 Na ikawa kwamba tulianza

kulima ardhi, na tukaanzakupanda mbegu; ndio, tulitiambegu zetu zote udongoni,tulizokuwa tumebeba kutokanchi ya Yerusalemu. Na ikawakwamba zilimea zaidi; kwahivyo, tukapata baraka tele.

25 Na ikawa kwamba tulipo-safiri nyikani, tulipata katika

nchi ya ahadi, wanyama hukoporini wa kila aina, ngombena dume, na punda na farasi,na mbuzi wa nyumbani nambuzi wa kichaka, na kila ainaya wanyama wa mwitu, ambaowalimfaidisha mwanadamu. Natukapata kila aina ya maweyenye madini, ya dhahabu, naya fedha, na shaba nyekundu.

MLANGO WA 19

Nefi anatengeneza bamba za ma-dini na kuandika historia ya watuwake — Mungu wa Israeli atakujabaada ya miaka mia sita tanguLehi kutoka Yerusalemu — Nefianaelezea kuhusu mateso Yakena kusulubiwa Kwake—Wayahudiwatadharauliwa na kutawanywahadi siku za baadaye, wakati wata-mrudia Bwana. Kutoka karibumwaka wa 588 hadi 570 kabla yakuzaliwa kwa Kristo.

Na ikawa kwamba Bwanaakaniamuru, kwa hivyo nilite-ngeneza bamba za mawe yenyemadini ili nichore juu yakemaandishi ya watu wangu. Nakwenye zile abamba ambazonilitengeneza, niliandika maa-ndishi ya baba yangu, na piasafari zetu nyikani, na unabiiwa bbaba yangu; na pia unabiiwangu mwingi mwenyewenimeuandika hapo.

2 N a s i k u j u a u l e w a k a t inilipozitengeneza kwamba ni-taamriwa na Bwana kuzitenge-neza ahizi bamba; kwa hivyo,maandishi ya baba yangu, na

19a 1 Ne. 7:19; 16:7.23a mwm Nchi ya Ahadi.

19 1a mwm Mabamba.b 1 Ne. 1:16–17; 6:1–3.

2a 2 Ne. 5:30.

Page 70: KITABU CHA MORMONI

53 1 Nefi 19:3–9

nasaba ya baba zake, na mengikuhusu yaliyotupata huko nyi-kani yamechorwa kwenye zilebamba za kwanza nilizozizu-ngumzia; kwa hivyo, vitu vili-vyotukia kabla ya kutengenezabhizi bamba, kwa kweli, vimee-lezwa zaidi kwenye zile bambaza kwanza.

3 Na baada ya kutengenezahizi bamba kwa amri, mimi,Nefi, nilipokea amri kwambaile huduma na unabii, sehemuzake zilizo wazi zaidi na zenyethamani, ziandikwe katikaahizi bamba; na kwamba vituvilivyoandikwa vihifadhiwekwa kuwashauri watu wangu,ambao watamiliki nchi, na piakwa sababu zingine zenyebhekima, sababu ambazo zina-julikana na Bwana.

4 Kwa hivyo, mimi, Nefi, nili-andika maandishi kwenye zilebamba zingine, ambazo zinae-leza, au ambazo zinafafanuazaidi kuhusu vita na mabishanon a m a a n g a m i z o y a w a t uwangu. Na nimetenda hivi, nakuwaamuru watu wangu kilewatakachofanya baada mimikuaga dunia; na kwamba hizibamba zipitishwe kutoka kizazikimoja hadi kingine, au kutokanabii mmoja hadi kwa mwingi-ne, mpaka Bwana atakapoa-muru vingine.

5 Na maelezo ya autengenezajiwa hizi bamba utaelezwa hapobaadaye; na kisha, tazama, ni-taendelea kulingana na yaleambayo nimezungumza; na ni-nafanya haya ili yale ambayo nimatakatifu zaidi byahifadhiwekwa ufahamu wa watu wangu.

6 Walakini, siandiki chochotekwenye hizi bamba, ila tu kileambacho nafikiri ni akitakatifu.Na sasa, kama nitakosea, walenao ambao walinitangulia wa-likosea; sio ati kwamba nitaji-halalisha mwenyewe kwa sa-babu ya watu wengine, lakinini kwa sababu ya bunyongeulio ndani yangu, kulingana namwili, nitajihalalisha.

7 Kwani vitu ambavyo watuwengine wanafikiria ni vyathamani kuu, kwa mwili nakwa roho, wengine awanavi-dharau na kuvikanyaga migu-uni mwao. Ndio, hata yuleMungu wa Israeli watu bhum-kanyaga miguuni; nasema,kumkanyaga miguuni mwaolakini ningezungumza kwa ma-neno mengine—wanamdharau,na hawasikilizi sauti ya mawa-idha yake.

8 Na tazama aanakuja, kulinga-na na maneno ya malaika, baadaya miaka mia bsita tangu babayangu alipotoka Yerusalemu.

9 Na ulimwengu, kwa sababu

2b 1 Ne. 9:1–5.3a Yak. (KM) 1:1–4;

3:13–14; 4:1–4.b 1 Ne. 9:4–5;

M ya Morm. 1:7;M&M 3:19–20;10:1–51.

5a 2 Ne. 5:28–33.b mwm Maandiko—

Maandikoyahifadhiwe.

6a Tazama ukurasawenye jina la Kitabucha Mormoni.mwm Mtakatifu.

b Morm. 8:13–17;Eth. 12:23–28.

7a 2 Ne. 33:2;

Yak. (KM) 4:14.b mwm Uasi.

8a mwm Yesu Kristo—Unabii juu yakuzaliwa na kifo chaYesu Kristo.

b 1 Ne. 10:4;2 Ne. 25:19.

Page 71: KITABU CHA MORMONI

1 Nefi 19:10–14 54

ya uovu wao, utamhukumukuwa jambo la dharau; kwahivyo wanampiga kwa mijeledi,na anavumilia; na wanamchapa,na anavumilia. Ndio, na awana-mtemea mate, na anavumilia,kwa sababu ya upendo wakemkarimu na subira yake kwawatoto wa watu.

10 Na aMungu wa baba zetu,ambao bwalitolewa Misri, ku-toka utumwani, na pia wakahi-fadhiwa nyikani na yeye, ndio,cMungu wa Ibrahimu, na waIsaka, na Mungu wa Yakobo,kulingana na maneno ya malai-ka, kama mtu, danajikabidhimikononi mwa watu waovu, ilieainuliwe, kulingana na mane-no ya fZenoki, na gkusulubiwa,kulingana na maneno ya Neu-mu, na kuzikwa hkaburini,kulingana na maneno ya iZeno,ambayo alizungumza kuhusuzile siku tatu za jgiza, ambazozitakuwa ni ishara imetolewa yakifo chake kwa wale watakaoi-shi katika visiwa vya bahari,muhimu zaidi itatolewa kwawale ambao ni wa knyumba yaIsraeli.11 Kwa hivyo alizungumza

nabii: Kwa hakika Bwana Mu-ngu aatatembelea nyumba yoteya Israeli katika siku ile, wengi-ne kwa sauti yake, kwa sababuya utakatifu wao, kwa shangweyao kuu na wokovu wao, nawengine kwa bradi na umemewa nguvu zake, kwa dhoruba,kwa moto, na kwa moshi ,na ukungu wa cgiza, na kwaupasukaji wa dardhi, na kwaemilima ambayo itainuliwa.12 Na hivi vitu avyote lazima

vitimizwe, asema nabii bZeno.Na cmiamba ya ardhi lazimaipasuke; na kwa sababu yamingurumo ya dunia, wafalmewengi wa visiwa vya bahariwatashawishiwa na Roho yaMungu, kupaza sauti: Munguwa asili anateseka.

1 3 N a k w a w a l e a m b a owatakuwa Yerusalemu, asemanabii, awatapigwa kwa mijeledina watu wote, kwa sababu bwa-namsulubu Mungu wa Israeli,na kugeuza mioyo yao upande,wakikataa ishara na maajabu,n a n g u v u n a u t u k u f u w aMungu wa Israeli.

14 Na kwa sababu wanageuzamioyo yao upande, asema nabii,

9a Isa. 50:5–6; Mt. 27:30.10a 2 Ne. 26:12;

Mos. 7:27; 27:30–31;Alma 11:38–39;3 Ne. 11:14–15.

b Kut. 3:2–10; 6:6;1 Ne. 5:15;M&M 136:22.

c Mwa. 32:9;Mos. 7:19;M&M 136:21.mwm Yehova.

d mwm Lipia dhambi,Upatanisho.

e 3 Ne. 27:14.

f Alma 33:15; 34:7;Hel. 8:19–20;3 Ne. 10:15–16.mwm Maandiko—Maandikoyaliyopotea; Zenoki.

g 2 Ne. 6:9; Mos. 3:9.mwm Kusulubiwa.

h Mt. 27:60; Lk. 23:53;2 Ne. 25:13.

i Yak. (KM) 6:1;Hel. 15:11.mwm Zeno.

j 1 Ne. 12:4–5;Hel. 14:20, 27;

3 Ne. 8:3, 19–23; 10:9.k 3 Ne. 16:1–4.

11a 3 Ne. 9:1–22;M&M 5:16.

b Hel. 14:20–27;3 Ne. 8:5–23.

c Lk. 23:44–45;3 Ne. 8:19–20.

d 2 Ne. 26:5.e 3 Ne. 8:10.

12a Hel. 14:20–28.b Yak. (KM) 5:1.c Mt. 27:51.

13a Lk. 23:27–30.b 2 Ne. 10:3.

Page 72: KITABU CHA MORMONI

55 1 Nefi 19:15–24

na awamemdharau yule Mtaka-tifu wa Israeli, watarandarandamaishani mwao, na kuangamia,na kuwa wa bkufanyiwa mzahana ckutukanwa, na kuchukiwamiongoni mwa mataifa yote.15 Walakini, wakati siku ile

itafika, asema nabii, kwambaahawatageuza tena mioyo yaoupande kinyume cha yuleMtakatifu wa Israeli, ndipoatakumbuka bmaagano amba-yo aliagana na baba zao.

16 Ndio, ndipo atakumbukaavisiwa vya bahari; ndio, nawatu wote ambao ni wa nyu-mba ya Israeli bnitawakusanya,asema Bwana, kutoka pembenne za ulimwengu, kulinganana maneno ya nabii Zeno.

17 Ndio, na ulimwengu woteautaona wokovu wa Bwana,asema nabii; kila taifa, kabila,lugha, na watu watabarikiwa.18 Na mimi, Nefi, nimewaa-

ndikia watu wangu vitu hivi, ilipengine niwashawishi wamku-mbuke Bwana Mkombozi wao.

19 Kwa hivyo, nazungumzakwa nyumba yote ya Israeli,kama watapokea ahivi vitu.20 Kwani tazama, nina jambo

rohoni, ambalo limenichoshahata kwamba viungo vyanguvyote vimenyong’onyea, kwawote ambao wako Yerusalemu;

kwani ikiwa Bwana hakuwana huruma, na kunionyeshayaliyowahusu, kama hata walemanabii wa kale, pia naminingeangamia.

21 Na kwa hakika aliwao-nyesha amanabii wa kale vituvyote bvilivyowahusu; na piaalionyesha wengi yaliyotuhusu;kwa hivyo, ni lazima tujue yali-yowahusu kwani yameandikwakatika bamba za shaba.

22 Na ikawa kwamba mimi,Nefi, niliwafunza kaka zanguvitu hivi; na ikawa kwambaniliwasomea vitu vingi, vili-vyochorwa kwenye zile abambaza shaba, ili wajue kuhusuvitendo vya Bwana katika nchizingine, miongoni mwa watuwa kale.

23 Na niliwasomea vitu vingiambavyo viliandikwa kwenyeavitabu vya Musa; lakini iliniwashawishi kabisa wamwa-mini Bwana Mkombozi waoniliwasomea yale ambayo yali-andikwa na nabii bIsaya; kwanicnililinganisha maandiko yotenasi, ili dyatufaidishe na kutu-elimisha.

24 Kwa hivyo niliwazungum-zia, nikisema: Sikizeni manenoya nabii, nyinyi ambao ni sazola nyumba ya Israeli, atawiambalo wamevunjwa; sikilizeni

14a Isa. 53:3–6;Mos. 14:3–6.

b mwm Wayahudi.c Kum. 28:37;

1 Fal. 9:7; 3 Ne. 16:9.15a 1 Ne. 22:11–12.

b mwm Agano laIbrahimu.

16a 1 Ne. 22:4;2 Ne. 10:21.

b Isa. 49:20–22.

mwm Israeli—Kukusanyika kwaIsraeli.

17a Isa. 40:4–5.19a Eno. 1:16;

Morm. 5:12; 7:9–10.21a 2 Fal. 17:13; Amo. 3:7.

mwm Nabii.b 3 Ne. 10:16–17.

22a 1 Ne. 22:1.23a Kut. 17:14; 1 Ne. 5:11;

Musa 1:40–41.b 1 Ne. 15:20;

2 Ne. 25:4–6;3 Ne. 23:1.

c mwm Maandiko—Thamani yamaandiko.

d 2 Ne. 4:15.24a Mwa. 49:22–26;

1 Ne. 15:12;2 Ne. 3:4–5.

Page 73: KITABU CHA MORMONI

1 Nefi 20:1–11 56

maneno ya nabii, ambayo yali-andikiwa nyumba yote yaIsraeli, na myalinganishe nanyi,ili mpate matumaini vile vilena ndugu zenu ambao mlita-wanyika kutoka kwao; kwanihivi ndivyo nabii ameandika.

MLANGO WA 20

Bwana anafunua makusudi yakekwa Israeli—Israeli imechaguliwakutoka kalibu ya masumbuko nainatakikana kuondoka mbele kutokaBabilonia — Linganisha Isaya 48.Kutoka karibu mwaka wa 588 hadi570 kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

Sikilizeni na msikie haya, Eenyumba ya Yakobo, ambao wa-najulikana kwa jina la Israeli,na wametoka katika maji yaYuda, au kutoka kwenye majiya aubatizo, ambao wanaapakwa jina la Bwana, na kutajaMungu wa Israeli, walakinihawaapi kwa ukweli wala kwautakatifu.

2 Walakini, wanajiita wakaziwa amji mtakatifu, lakini hawa-mtegemei Mungu wa Israeli,ambaye ni Bwana wa Majeshi;ndio, jina lake ni Bwana waMajeshi.3 Tazama, nimetangaza vitu

vilivyokuja aawali kutoka mwa-nzoni; na yalitoka kinywanimwangu, na niliyadhihirisha.Niliyadhihirisha kwa ghafla.

4 Na niliitenda kwa sababu

nilijua kwamba awewe ni mka-idi, na shingo yako ni ngumukama chuma, na paji lako kamashaba;

5 Na nimekutangazia hatatangu mwanzo, kabla hayaja-kuwa niliyaonyesha kwako; nanilikuonyesha usije ukasema—aSanamu yangu imezitenda, namfano uliochongwa wangu, namfano ulioyeyushwa wangundio imeziamuru.

6 Umeona na kusikia hayayote; na je wewe hutayatanga-za? Na kwamba nimekuonye-sha vitu vipya tangu wakatihuu, hata vitu vilivyofichwa,na wewe hukuvijua.

7 Yameumbwa sasa, na sitangu mwanzo, hata kabla ya ilesiku ambayo hukuyasikia yali-kuwa yametangazwa kwako, iliusiseme — Tazama niliyajua.

8 Ndio, na wewe hukusikia;ndio, wewe hukujua; ndio,tangu ule wakati sikio lako ha-likufunguliwa; maana nilijuakwamba ungetenda uhaini, naulikuwa amvunja sheria kutokatumboni.

9 Walakini, kwa sababu yaheshima ya ajina langu nitazuiaghadhabu yangu, na kwa saba-bu ya sifa zangu nitajizuiatokana nawe, kwamba nisikua-ngamize.

10 Kwani, tazama, nimekuta-kasa, nimekuchagua kutokakalibu ya amasumbuko.11 Kwa heshima yangu, ndio,

20 1a mwm Batiza,Ubatizo.

2a Isa. 52:1.mwm Yerusalemu.

3a Isa. 46:9–10.

4a m.y. Israeli.5a mwm Kuabudu

sanamu.8a Zab. 58:3.9a 1 Sam. 12:22;

Zab. 23:3;1 Yoh. 2:12.

10a mwm Shida.

Page 74: KITABU CHA MORMONI

57 1 Nefi 20:12–22

kwa heshima yangu nitatendahii, kwani sitakubali ajina la-ngu lichafuliwe, na bsitampatiamwingine utukufu wangu.12 Nisikilize mimi, Ee Yako-

bo, na Israeli wateule wangu,kwani mimi ndiye yeye; mimindiye wa akwanza, na pia mimindiye wa bmwisho.13 Mkono wangu pia aumeje-

nga msingi wa dunia, na mkonowangu wa kiume umetandazambingu. Naziita na zinasimamapamoja.14 Nyinyi nyote, kusanyikeni,

na msikie; ni nani miongonimwao amewatangazia vituhivi? Bwana amempenda; ndio,na aatatimiza neno lake ambaloamesema kupitia kwao; naatatendea bBabilonia nia yake,na mkono wake utanyoshewaWakaldayo.

15 Pia, Bwana asema; mimi,Bwana, ndio, nimesema; ndio,nimemuita kutangaza, nimem-leta, na atafanikiwa katika njiazake.

16 Njooni karibu na mimi;sijazungumza kwa asiri; tangumwanzo, tangu ilipotangazwanimezungumza; na BwanaMungu, na Roho yake, ameni-tuma.17 Na hivi ndivyo Bwana

anasema, aMkombozi wenu,Mtakatifu wa Israeli; nimemtu-ma, Bwana Mungu wenu anaye-kufundisha kufaidika, ambayebanakuongoza katika njia ina-yokupasa, ameitenda.

18 Ee kwamba ungesikizaaamri zangu — basi amani yakoingekuwa kama mto, na utaka-tifu wako ungekuwa kamamawimbi ya bahari.

19 aUzao wako ungekuwa piakama mchanga ; na k izaz icha matumbo yenu ingekuwakama changarawe yake; jinalake halingetupiliwa mbaliwala kuangamizwa kutokambele yangu.

20 aTokeni kutoka Babilonia,waondokeeni Wakaldayo, kwasauti ya kuimba tangazeni nyi-nyi, semeni haya, ambieni hadimwisho wa ulimwengu; semeninyinyi; Bwana amemkomboabmtumishi wake Yakobo.

21 Na hawakuona akiu; aliwa-ongoza majangwani; akasaba-bisha maji kutiririka kutokakwenye bmwamba kwa sababuyao; alipasua mwamba pia namaji yakatoka.

22 Ingawa ametenda hayayote, na makuu pia, hakunaaamani, asema Bwana, kwawaovu.

11a Yer. 44:26.b Isa. 42:8;

Musa 4:1–4.12a Ufu. 1:17; 22:13.

mwm Alfa na Omega;Mzaliwa wa Kwanza.

b mwm Alfa na Omega.13a Zab. 102:25.

mwm Umba,Uumbaji.

14a 1 Fal. 8:56;M&M 64:31; 76:3.

b mwm Babeli,Babilonia.

16a Isa. 45:19.17a mwm Mkombozi.

b mwm Maongozi yaMungu, Shawishi;Ufunuo.

18a Mh. 8:5.

19a Mwa. 22:15–19;Hos. 1:10.

20a Yer. 51:6;M&M 133:5-14.

b Isa. 44:1–2, 21.21a Isa. 41:17–20.

b Kut. 17:6; Hes. 20:11;1 Ne. 17:29;2 Ne. 25:20.

22a mwm Amani.

Page 75: KITABU CHA MORMONI

1 Nefi 21:1–9 58

MLANGO WA 21

Masiya atakuwa nuru ya Wayuna-ni na atawafungua wafungwa —Israeli itakusanywa kwa uwezokatika siku za mwisho — Wafalmewatakuwa baba zao walezi — Li-nganisha Isaya 49. Kutoka karibumwaka wa 588 hadi 570 kabla yakuzaliwa kwa Kristo.

Na tena: Sikiliza, Ee nyinyinyumba ya Israeli, nyote ambaommetenganishwa na kufuku-zwa kwa sababu ya uovu wawachungaji wa watu wangu;ndio, nyinyi nyote ambaommetenganishwa, na kutawa-nywa ugenini, wale ambao niwa watu wangu, Ee nyumba yaIsraeli. Sikilizeni, Ee avisiwa,nisikilizeni mimi, na watuwalio bmbali pia sikilizeni;Bwana ameniita kabla sijazali-wa, kutoka tumboni mwa mamayangu, ametaja jina langu.2 Na amefanya kinywa cha-

ngu kuwa kama upanga mkali;amenificha katika kivuli chamkono wake, na akanifanyamshale uliong’aa; amenifichakatika podo lake.

3 N a a k a n i a m b i a : W e w endiye amtumishi wangu, EeIsraeli, ambaye nitatukuzwandani yake.

4 Kisha nikasema, nimefanyakazi bure, nimetumia nguvuzangu bure na bila faida; kwahakika hukumu yangu iko na

Bwana, na vitendo vyangu naMungu wangu.

5 Na sasa, asema Bwana —ambaye a aliniumba kutokatumboni ili niwe mtumishiwake, kumrejesha Yakobo kwa-ke tena — ingawa Israeli haija-kusanyika, bado nitakuwamwenye utukufu machoni mwaBwana, na Mungu wangu ata-kuwa nguvu yangu.

6 Na alisema: Ni kitu rahisikuwa wewe uwe mtumishiwangu ili uinue amakabila yaYakobo, na kurudisha waliohi-fadhiwa kutoka Israeli. Nita-kufanya pia uwe bnuru kwacWayunani, kwamba uwe wo-kovu wangu hadi mwisho waulimwengu.

7 Hivyo asema Bwana, Mko-mbozi wa Israeli, Mtakatifuwake, kwa yule anayechukiwana watu, kwa yule anayedhara-uliwa na mataifa, kwa mtumishiwa watawala: Wafalme wataonana kuinuka, wana wa wafalmepia wataabudu, kwa sababu yaBwana ambaye ni mwaminifu.

8 Bwana asema hivi: Kwa wa-kati uliokubalika nimekusikia,Ee visiwa vya bahari, na kwasiku ya wokovu nilikusaidia; nanitakuhifadhi, na ninakupatiamtumishi awangu uwe agano lawatu, kuimarisha nchi, kuwa-sababisha kurithi makao yalio-kuwa yenye ukiwa.

9 Ili uwaambie awafungwa:Ondokeni; kwa wale ambao

21 1a 1 Ne. 22:4;2 Ne. 10:20–22.

b M&M 1:1.3a Law. 25:55;

Isa. 41:8;M&M 93:45–46.

5a Isa. 44:24.6a mwm Israeli—

Makabila kumi namarili ya Israeli.

b M&M 103:8–10;Ibr. 2:10–11.

c 3 Ne. 21:11.8a 2 Ne. 3:6–15;

3 Ne. 21:8–11;Morm. 8:16, 25.

9a mwm Wokovu kwaajili ya Wafu.

Page 76: KITABU CHA MORMONI

59 1 Nefi 21:10–22

wanaketi bgizani: Jidhihirisheni.Watakula njiani, na cmalishoyao yatakuwa juu ya majabali.10 Hawataona njaa wala kiu,

wala joto au jua kuwachoma;kwani yule anayewarehemuatawaongoza, hata kwenye che-mchemi za maji atawaongoza.

11 Na nitafanya milima yanguyote iwe anjia, na njia zanguzitainuliwa.

12 Na kisha, Ee nyumba yaIsraeli, tazama, ahaya yatatokambali; na tazama, haya kutokakaskazini na kutoka magharibi;na haya kutoka nchi ya Sinimu.13 aImbeni, Ee mbingu; na

ushangilie, Ee dunia; kwanimiguu ya wale ambao wakomashariki itaimarishwa; naanzeni kuimba, Ee milima;kwani hawatapigwa tena; kwa-ni Bwana amewafariji watuwake, na atawarehemu wanao-sumbuka.

14 Lakini, tazama, Sayuniimesema: Bwana ameniacha, naBwana wangu amenisahau —lakini ataonyesha kwamba ha-jafanya hivyo.

15 Kwani amwanamke anawe-za kusahau mtoto wake amba-ye anamnyonyesha, kwambaasiwe na huruma kwa mwanawa tumbo lake? Ndio, wana-weza bkusahau, lakini sitaku-sahau, Ee nyumba ya Israeli.

16 Tazama, nimekuchoraaviganjani mwa mikono yangu;

kuta zako daima ziko mbeleyangu.

17 Watoto wako wataharaki-sha dhidi ya waharibifu wako;na wale awaliokuharibu watao-ndoka kutoka kwako.

18 Inua macho yako pandezote na utazame; hawa woteawanakusanyika pamoja, nawatakuja kwako. Na vile nina-vyoishi, Bwana asema, weweutajivika na wao wote, kamapambo, na kujifunga kwaokama bibi arusi.

19 Kwani utupu wako nakwenye ukiwa, na nchi yakoya maangamizo, itakuwa hatasasa nyembamba kwa sababuya wakazi; na wale ambao wa-likumeza watakuwa mbali.

20 Watoto utakaopata, baadaya kupoteza wale wa kwanza,watasema tena masikioni mwa-ko: Hapa mahali ni apadogosana kwangu; nipe mahali iliniishi.

21 Kisha autasema moyonimwako: Nani alinizalia hawa,akiona nimepoteza watotowangu, na nina bukiwa, mtu-mwa, na akizurura hapa napale? Nani amelea hawa? Taza-ma, niliachwa pekee yangu;hawa, walikuwa wapi?

2 2 B w a n a M u n g u a s e m ahivi: Tazama, nitawanyoosheaaWayunani mkono wangu, nanitapeperusha bbendera yangumiongoni mwa watu; na wata-

9b 2 Ne. 3:5.c Eze. 34:14.

11a Isa. 62:10;M&M 133:23–32.

12a Isa. 43:5–6.13a Isa. 44:23.15a mwm Mwanamke,

Wanawake.b Isa. 41:17;

Alma 46:8;M&M 61:36.

16a Zek. 13:6.17a 3 Ne. 21:12–20.18a Mik. 4:11–13.

20a au yenye kubana, aunyembamba.

21a m.y. Sayuni.b Isa. 54:1;

Gal. 4:27.22a Isa. 66:18–20.

b Isa. 11:12; 18:3.

Page 77: KITABU CHA MORMONI

1 Nefi 21:23–22:4 60

leta wana wako kwa cmikonoyao, na mabinti zako watabe-bwa mabegani mwao.

23 Na awafalme watakuwababa zako walezi, nao malkiawao watakuwa mama zakobwalezi; watainama mbele yakonyuso zao zikiielekea ardhi, nakuramba mavumbi ya miguuyako; na utajua kwamba mimini Bwana; kwani hawataaibikacwanaoningojea.24 Kwani mateka watanya-

kuliwa kutoka kwa shupavu,au watumwa ahalali kukombo-lewa?

25 Lakini Bwana asema hivi,hata watumwa wa shupavuwatachukuliwa, na mateka wawale walio wa kutisha watako-mbolewa; kwani nitashindanana yule anayeshindana nawe,na nitaokoa watoto wako.

26 Na anitawalisha wanaoku-dhulumu kwa nyama yaowenyewe; watalewa kwa damuy a o w e n y e w e k a m a k w amvinyo mtamu; na watu wotebwatajua kwamba mimi, Bwana,ni Mwokozi wenu na Mkombo-zi wenu, Mwenyezi cMkuu waYakobo.

MLANGO WA 22

Israeli itatawanyika kote usoni mwaulimwengu — Wayunani watalea

na kulisha Israeli kwa injili katikasiku za mwisho — Israeli itakusa-nywa na kuokolewa, na waovuwataungua kama kapi — Ufalmewa ibilisi utaangamizwa, na She-tani atafungwa. Kutoka karibumwaka wa 588 hadi 570 kabla yakuzaliwa kwa Kristo.

Na sasa ikawa kwamba baadaya mimi, Nefi, kusoma vituhivi vilivyochorwa kwenyeabamba nyeupe, kaka zanguwalinijia na kuniambia: Ninimaana ya vitu hivi ambavyoumesoma? Tazama, je, vitafa-hamiwa kulingana na vitu vyakiroho, ambavyo vitatimizwakulingana na roho na sio mwili?

2 Na mimi, Nefi, niliwaambia:Tazama avilidhirihishwa kwanabii kwa sauti ya bRoho; kwanikwa Roho vitu vyote vinafunu-liwa kwa cmanabii, ambavyovitawajia watoto wa watu kuli-ngana na mwili.

3 Kwa hivyo, vitu ambavyonimesoma ni vitu vinavyolinga-na na vitu vya amuda na vyakiroho; kwani inaonekana kwa-mba nyumba ya Israeli, sasa aubaadaye, bitatawanyika usonimwote mwa dunia, na piamiongoni mwa mataifa yote.

4 Na tazama, tayari kunawengi ambao wamepotea ku-tokana na ufahamu wa waleambao walioko Yerusalemu.

22c 1 Ne. 22:8;2 Ne. 10:8–9.

23a Isa. 60:16.b 1 Ne. 22:6.c 2 Ne. 6:13;

M&M 98:2;133:10–11, 45.

24a 1 Ne. 21:25.

26a 1 Ne. 22:13–14.b Mos. 11:22.c mwm Yehova.

22 1a 1 Ne. 19:22;2 Ne. 4:2.

2a 2 Pet. 1:19–21.b mwm Roho

Mtakatifu.

c mwm Toa unabii,Unabii.

3a M&M 29:31–34.b 1 Ne. 10:12–14;

2 Ne. 25:14–16.mwm Israeli—Kutawanyika kwaIsraeli.

Page 78: KITABU CHA MORMONI

61 1 Nefi 22:5–11

Ndio, sehemu kubwa ya ama-kabila yote byamepotoshwa; nayametawanyika hapa na palekatika cvisiwa vya bahari; napale yalipo hakuna yeyote bainayetu ajuaye, ila tunajua kwambayamepotoshwa.5 Na kwa vile wamepotoshwa,

vitu hivi vimetabiriwa juuyao, na pia kuhusu wale woteambao watatawanywa baada-ye na kuchanganyika, kwasababu ya yule Mtakatifu waIsraeli; kwani watashupaza mi-oyo yao dhidi yake; kwa hivyo,watatawanywa miongoni mwamataifa yote na awatachukiwana watu wote.6 Walakini, baada ya wao

akulelewa na bWayunani, naBwana kunyoshea Wayunanimkono wake na kuwainuakama bendera, na cwatoto waowamebebwa mikononi mwao,na mabinti zao wamebebwamabegani mwao, tazama vituhivi ambavyo vimezungumzi-wa ni vya muda; kwani hayondiyo maagano ya Bwana nababa zetu; na inatuhusu katikasiku zijazo, na pia kaka zetuwote ambao ni wa nyumba yaIsraeli.7 Na inamaanisha kwamba

wakati unafika kwamba baadaya nyumba yote ya Israeli kuta-

wanywa na kuchanganywa,kwamba Bwana Mungu atainuataifa shupavu miongoni mwaaWayunani, ndio, hata usonimwa nchi hii; na kwa wao uzaowetu butatawanywa.

8 Na baada ya uzao wetu ku-tawanywa Bwana Mungu ataa-nza kutenda kazi ya amaajabumiongoni mwa bWayunani,ambayo itakuwa ya cthamanikubwa kwa uzao wetu; kwahivyo, unalinganishwa na waowakilishwa na Wayunani nawakibebwa mikononi mwaona mabegani mwao.

9 Na pia itakuwa yenye atha-mani kwa Wayunani; na siotu kwa Wayunani lakini bkwacnyumba yote ya Israeli, kwakujulisha dmaagano ya Baba waMbingu kwa Ibrahimu, akise-ma: Katika euzao wako makabi-la yote ya dunia fyatabarikiwa.

10 Na ningetaka, kaka zangu,kwamba mngejua kwamba ma-kabila yote ya dunia hayawezikubarikiwa isipokuwa awekemkono wake awazi machonimwa mataifa.

11 Kwa hivyo, Bwana Munguataendelea kuweka mkonowake wazi machoni mwa matai-fa yote, katika kutimiza maaga-no yake na injili yake kwa waleambao ni wa nyumba ya Israeli.

4a mwm Israeli—Makabila kumi yaIsraeli yaliyopotea.

b 2 Ne. 10:22.c 1 Ne. 21:1;

2 Ne. 10:8, 20.5a 1 Ne. 19:14.6a 1 Ne. 21:23.

b mwm Wayunani.c 1 Ne. 15:13.

7a 3 Ne. 20:27.

b 1 Ne. 13:12–14;2 Ne. 1:11.

8a Isa. 29:14;1 Ne. 14:7;2 Ne. 27:26.mwm Urejesho waInjili.

b 2 Ne. 10:10–11;3 Ne. 16:4–7;Morm. 5:19.

c 1 Ne. 15:13–18;

3 Ne. 5:21–26; 21:7.9a 1 Ne. 14:1–5.

b 2 Ne. 30:1–7.c 2 Ne. 29:13–14.d Kum. 4:31.e mwm Agano la

Ibrahimu.f Mwa. 12:2–3;

3 Ne. 20:27;Ibr. 2:9–11.

10a Isa. 52:10.

Page 79: KITABU CHA MORMONI

1 Nefi 22:12–19 62

12 Kwa hivyo, atawatoa tenautumwani, na awatakusanyikapamoja katika nchi yao yaurithi; na watatolewa kutokafumboni na kutoka bgizani; nawatajua kwamba cBwana nidMwokozi wao na Mkomboziwao, Mwenyezi e Mkuu waIsraeli.

13 Na damu ya lile kanisa kuuna la amachukizo, ambalo nikahaba wa ulimwengu wote,itakuwa juu ya vichwa vyaowenyewe; kwani bwatapiganawenyewe kwa wenyewe, naupanga wa mikono cyao utaa-ngukia vichwa vyao vyenyewe,na watalewa kwa damu yaowenyewe.14 Na kila ataifa ambalo lita-

pigana nawe, Ee nyumba yaIsraeli, watageukiana mmojadhidi ya mwingine, na bwataa-nguka kwenye shimo walilo-chimba kutega watu wa Bwana.Na wote cwatakaopigana dhidiya Sayuni wataangamizwa, nayule kahaba mkuu, ambayeameharibu njia sahihi za Bwana,ndio, lile kanisa kuu la machu-kizo, litaanguka dmavumbinina muanguko wake utakuwamkuu.

15 Kwani tazama, asema na-bii, wakati unafika kwa harakakwamba Shetani hatakuwa na

nguvu yoyote mioyoni mwawatoto wa watu; maana sikuinafika kwamba wote wenyekiburi na wale wanaotendamaovu watakuwa kama akapi;na siku inafika ambayo lazimabwachomwe.

16 Kwani wakati unafikamapema ambapo utimilifu waaghadhabu ya Mungu utakuwajuu ya watoto wa watu wote;kwani hatakubali kwambawaovu wawaangamize waliowatakatifu.

17 Kwa hivyo, aatawahifadhiwalio wa bhaki kwa nguvu zake,hata kama ghadhabu yaketimilifu ije, na watakatifu wa-hifadhiwe, hata katika maa-ngamizo ya maadui wao kwamoto. Kwa hivyo, watakatifuhawafai kuogopa; kwani hivyoasema nabii, wataokolewa, hatakama ni kwa moto.

18 Tazama, kaka zangu, nawa-ambia, kwamba vitu hivi lazimavitimizwe karibuni; ndio, hatadamu, na moto, na ukungu wamoshi lazima uje; na ni lazimaitendeke usoni mwa dunia hii;na inawajia binadamu kulinga-na na mwili ikiwa watashupazamioyo yao dhidi ya yule Mta-katifu wa Israeli.

19 Kwani tazama, watakatifuhawataangamia; kwani wakati

12a mwm Israeli—Kukusanyika kwaIsraeli.

b mwm Giza, Kiroho.c 2 Ne. 6:10–11.d mwm Mwokozi.e mwm Yehova.

13a mwm Ibilisi—Kanisa la ibilisi.

b 1 Ne. 14:3, 15–17.

c 1 Ne. 21:26.14a Lk. 21:10.

b Isa. 60:12; 1 Ne. 14:3;M&M 109:25.

c 2 Ne. 10:13; 27:3.d Isa. 25:12.

15a Isa. 5:23–24;Nah. 1:10; Mal. 4:1;2 Ne. 15:24; 26:4–6;M&M 64:23–24; 133:64.

b Zab. 21:9;3 Ne. 25:1;M&M 29:9.mwm Dunia—Kutakaswa kwadunia.

16a 1 Ne. 14:17.17a 2 Ne. 30:10;

Musa 7:61.b 1 Ne. 17:33–40.

Page 80: KITABU CHA MORMONI

63 1 Nefi 22:20–26

lazima kwa hakika ufike kuwawale ambao wanapinga Sayuniwataondolewa mbali.20 Na Bwana kwa kweli atata-

yarishia watu wake njia, kwakutimiza maneno ya Musa,ambayo alizungumza, akisema:Bwana Mungu wenu atawai-nulia nabii, kama mimi, yeyemtamsikiliza kwa vitu vyoteatakavyowaambia. Na itakuwakwamba wale wote ambaohawatamsikiliza anabii bwatao-ndolewa kutoka miongoni mwawatu.

21 Na sasa mimi, Nefi, ninawa-tangazia, kwamba huyu anabiialiyetajwa na Musa ni yule Mta-katifu wa Israeli; kwa hivyo,atapitisha bhukumu kwa haki.

22 Na watakatifu hawapaswikuogopa, kwani wao hawata-changanyika. Lakini ni ufalmewa ibilisi, ambao utajengwamiongoni mwa watoto wawatu, ambao ni ufalme ulioi-marishwa miongoni mwa walewanaoishi —

23 Kwani kwa haraka wakatiutafika ambapo amakanisa yoteambayo yamejengwa kwa ku-pata faida, na wote walioje-ngwa kwa kupata mamlaka juuya mwili, na wale ambao wali-jengwa ili wapate bsifa macho-ni mwa ulimwengu, na wale

wanaotafuta tamaa za mwili navitu vya ulimwengu, na kute-nda kila aina ya uovu; ndio,mwishowe, wale wote ambaoni wa ufalme wa ibilisi ndiowanafaa kuogopa, na kutete-meka, na ckutapatapa; waondio lazima washushwe chinimavumbini; wao ndio lazimadwatachomwa kama kapi; nahaya ni kulingana na manenoya nabii.

24 Na wakati unafika kwaharaka kwamba wale watakati-fu lazima waongozwe kamaa ndama wa zizini, na yuleMtakatifu wa Israeli lazima ata-wale kwa mamlaka, na uwezo,na nguvu, na utukufu mkuu.

25 Na aanawakusanya watotowake kutoka pembe nne zaulimwengu; na anahesabu ko-ndoo wake, na wanamjua; nakutakuwa na zizi moja nabmchunganji mmoja; na atali-sha kondoo wake, na kwakewatapata cmalisho.

26 Na kwa sababu ya utakatifuwa watu wake, aShetani hananguvu; kwa hivyo, hawezikufunguliwa kwa muda wamiaka b mingi; kwani hananguvu juu ya mioyo ya watu,kwani wanaishi katika utakati-fu, na yule Mtakatifu wa Israelicanatawala.

20a Yn. 4:19; 7:40.b M&M 133:63.

21a Kum. 18:15, 18;Mdo. 3:20–23;1 Ne. 10:4;3 Ne. 20:23.

b Zab. 98:9;Musa 6:57.

23a 1 Ne. 14:10;2 Ne. 26:20.

mwm Ukuhani wauongo.

b Lk. 6:26; Alma 1:3.c 2 Ne. 28:19.d 2 Ne. 26:6.

24a Amo. 6:4; Mal. 4:2;3 Ne. 25:2.

25a mwm Israeli—Kukusanyika kwaIsraeli.

b mwm MchungajiMwema.

c Zab. 23.26a Ufu. 20:2;

Alma 48:17;M&M 43:31; 45:55;88:110; 101:28.mwm Ibilisi.

b Yak. (KM) 5:76.c mwm Milenia.

Page 81: KITABU CHA MORMONI

1 Nefi 22:27–2 Nefi 1:4 64

27 Na sasa tazama, mimi, Nefi,ninawaambia kwamba lazimavitu hivi vyote vitimizwe kuli-ngana na mwili.

28 Lakini, tazama, mataifayote, makabila yote, lugha zote,na watu wote wataishi salamakatika Yule Mtakatifu wa Israeliikiwa awatatubu.

29 Na sasa mimi, Nefi, ninako-ma; kwani sitathubutu kuzu-ngumza zaidi kuhusu vitu hivi.

30 Kwa hivyo, kaka zangu,

ningetaka mjue kwamba vilevitu vilivyoandikwa kwenyeabamba za shaba ni vya kweli;na vinashuhudia kwamba lazi-ma mtu atii amri za Mungu.

31 Kwa hivyo, msidhani kwa-mba mimi na baba yangu ndiotumeshuhudia pekee, na kuya-fundisha. Kwa hivyo, kamamtatii aamri, na kuvumilia hadimwisho, mtaokolewa katikasiku ya mwisho. Na hivyondivyo ilivyo. Amina.

Kitabu cha Pili cha Nefi

Historia ya kifo cha Lehi. Kaka za Nefi wanamwasi. Bwanaanamwonya Nefi akimbilie nyikani. Safari zake nyikani na

kadhalika.

MLANGO WA 1

Lehi atoa unabii kuhusu nchi yauhuru—Uzao wake utatawanywana kuchapwa kama itamkataayule Mtakatifu wa Israeli — Ana-wasihi wana wake wajivike ma-vazi ya s i laha ya utakat i fu .Kutoka karibu mwaka wa 588hadi 570 kabla ya kuzaliwa kwaKristo.

NA ikawa kwamba baadaya mimi, Nefi, kumaliza

kufundisha kaka zangu, ababayetu, Lehi, naye pia aliwaele-zea vitu vingi, na akawaambia,jinsi Bwana alivyowafanyia

vitu vikuu kwa kuwatoa kutokanchi ya Yerusalemu.

2 Na aliwazungumzia kuhusuamaasi yao majini, na huruma zaMungu katika kuhifadhi maishayao, kwamba hawakuzama.

3 Na pia aliwaelezea kuhusunchi ya ahadi, ambayo walipo-kea — jinsi Bwana alivyokuwana huruma katika kutuonyakwamba tukimbie kutoka nchiya Yerusalemu.

4 Kwani, tazama, alisema,nimeona aono, ambalo najuakwamba Yerusalemu imeanga-mizwa; na kama tungebakibYerusalemu tungekuwa ctume-angamia pia.

28a mwm Samehe;Toba, Tubu.

30a 2 Ne. 4:2.31a Mt. 19:17.

mwm Amri za

Mungu.[2 nefi]1 1a mwm Kipatriaki,

Patriaki.2a 1 Ne. 18:9–20.

4a mwm Ono.b 2 Fal. 24:14–15;

Yer. 44:2; 1 Ne. 1:4;Hel. 8:20.

c Alma 9:22.

Page 82: KITABU CHA MORMONI

65 2 Nefi 1:5–11

5 Lakini, akasema, ingawatumepata masumbuko, tume-pokea anchi ya ahadi, nchiambayo ni bbora zaidi ya nchizingine zote; nchi ambayoBwana Mungu ameagana namimi kwamba itakuwa urithiwa uzao wangu. Ndio, Bwanacameagana na mimi kuhusunchi hii, na kwa watoto wangumilele, na pia wale wote ambaowatatolewa kutoka nchi zinginekwa mkono wa Bwana.

6 Kwa hivyo, mimi, Lehi, natoaunabii kulingana na mahimizoya Roho aliye ndani yangu,kwamba hakuna ayeyote ataka-yekuja katika nchi hii ila tu waleambao wataletwa na mkonowa Bwana.7 Kwa hivyo, anchi hii ime-

wekwa wakfu kwa yule ataka-yeletwa na yeye. Na ikiwakwamba watamtumikia kuli-ngana na amri ambazo amewa-patia, itakuwa nchi ya buhurukwao; kwa hivyo, hawatatekwanyara kamwe; au sivyo, itakuwani kwa sababu ya uovu; kwaniuovu ukiwepo, nchi citalaaniwakwa sababu yao, lakini kwawale watakatifu itabarikiwamilele.

8 Na tazama, ni hekima kwa-mba hii nchi ifichwe tokana naufahamu wa mataifa mengine;kwani tazama, mataifa mengiyangeinyakua hii nchi, hatakwamba pasiwe na mahali pakurithiwa.

9 Kwa hivyo, mimi, Lehi,nimepokea ahadi, kwambaa kama wale ambao BwanaMungu atawatoa kutoka nchiya Yerusalemu watatii amrizake, bwatafanikiwa katika nchihii; na watafichwa tokana namataifa mengine, kwamba wa-pokee nchi hii. Na kama cwatatiiamri zake watabarikiwa usonimwa nchi hii, na hakuna yeyoteatakayewaudhi, wala kuwa-nyang’anya nchi yao ya urithi;na wataishi salama milele.

10 Lakini tazama, wakatiukitimia watakapofifia katikakutoamini, baada ya kupokeabaraka nyingi kutoka mkono waBwana — wakiwa na ufahamuwa uumbaji wa dunia, na watuwote, wakielewa kazi kuu naya maajabu ya Bwana tanguuumbaji wa ulimwengu; na wa-kipewa nguvu za kutenda vituvyote kwa imani; wakiwa naamri zote tangu mwanzo, nawakiwa wameletwa kwa wemawake usio na kikomo katikanchi hii ya ahadi — tazama,nasema, kama siku itafikaambapo watamkataa yule Mta-katifu wa Israeli, yule aMasiyawa kweli, Mkombozi wao naMungu wao, tazama, hukumuza yule mwenye haki zitakuwajuu yao.

11 Ndio, atawaletea mataifaamengine, na atayapatia nguvu,na ataondoa kutoka kwao nchiile ambayo ni mali yao, na

5a mwm Nchi ya Ahadi.b Eth. 2:9–10.c mwm Agano.

6a 2 Ne. 10:22.7a Mos. 29:32;

Alma 46:10, 20.

b 2 Ne. 10:11.mwm Uhuru.

c Alma 45:10–14, 16;Morm. 1:17;Eth. 2:8–12.

9a 2 Ne. 4:4;

Alma 9:13.b Kum. 29:9.c mwm Mtiifu, Tii, Utii.

10a mwm Masiya.11a 1 Ne. 13:12–20;

Morm. 5:19–20.

Page 83: KITABU CHA MORMONI

2 Nefi 1:12–21 66

atawasababisha bkutawanywana kupigwa.

12 Ndio, wakati kizazi kitaka-popita kwa kingine kutakuwana aumwagaji wa damu, na ma-pigo makali miongoni mwao;kwa hivyo, wana wangu, ninge-taka mkumbuke; ndio, ningeta-ka kwamba msikilize manenoyangu.13 Ee kwamba nyinyi mngezi-

nduka; zindukeni kutoka usi-ngizi mzito, ndio, hata kutokausingizi wa a jahanamu, namjifungue bminyororo ambayommefungiwa, ambayo ni mi-nyororo inayowafunga watotowa watu, kwamba wanachuku-liwa mateka hadi kwenye lilecshimo la milele lenye matesona huzuni.14 Zindukeni! na muinuke

kutoka mavumbini, na msikiemaneno ya a mzazi dhaifu,ambaye viungo vyake hivikaribuni lazima mvitie kwenyebkaburi kimya lenye baridi,ambalo hakuna msafiri yeyoteanayeweza kurejea kutokahumo; siku chache zimebaki nanitaenda cnjia ya ulimwenguwote.

15 Lakini tazama, Bwanaa ameikomboa nafs i yangukutoka jahanamu; nimeuonautukufu wake, na nimezingirwa

milele katika bmikono ya cupe-ndo wake.

16 Na ninatamani kwambamkumbuke kuchunguza asheriana hukumu za Bwana; tazama,huu ndio wasiwasi wa nafsiwangu tangu mwanzoni.

17 Moyo wangu umechoshwana huzuni mara kwa mara,kwani naogopa kwamba tokanana ugumu wa mioyo yenuBwana Mungu wenu atawate-remkia kwa aghadhabu yaketimilifu, hata kwamba bmte-ngwe na kuangamizwa milele.

18 Au, kwamba laana itawapa-ta kwa muda wa vizazi avingi;na muadhibiwe kwa upanga,na kwa njaa, na mchukiwe, nakuongozwa kulingana na niana utumwa wa bibilisi.

19 Enyi wana wangu, kwa-mba vitu hivi visiwajie, lakinikwamba muwe watu awateulena wa kuheshimika na Bwana.Lakini tazama, nia yake itende-ke; kwani bnjia zake ni takatifumilele.

20 Na amesema kwamba:aKama mtashika bamri zangucmtafanikiwa nchini; lakini kamamtakataa amri zangu mtate-ngwa tokana na uwepo wangu.

21 Na sasa ili roho yanguiaeshangwe nanyi, na ili moyowangu uondoke ulimwengu

11b 1 Ne. 22:7.12a Morm. 1:11–19; 4:11.13a mwm Jahanamu.

b Alma 12:9–11.c 1 Ne. 15:28–30;

Hel. 3:29–30.14a mwm Wazazi.

b mwm Mauti, yaKimwili.

c Yos. 23:14.15a Alma 36:28.

mwm Lipia dhambi,Upatanisho.

b Yak. (KM) 6:5;Alma 5:33; 3 Ne. 9:14.

c Rum. 8:39.mwm Upendo.

16a Kum. 4:5–8;2 Ne. 5:10–11.

17a 2 Ne. 5:21–24;Alma 3:6–19.

b Mos. 12:8.

18a 1 Ne. 12:20–23.b mwm Ibilisi.

19a mwm Teule, Watelue.b Hos. 14:9.

20a Yar. 1:9;Mos. 1:6–7;Alma 9:13–14.

b Law. 26:3–14;Yoe. 2:23–26.

c Zab. 67:6;Mos. 2:21–25.

Page 84: KITABU CHA MORMONI

67 2 Nefi 1:22–30

huu ukifurahishwa nanyi, kwa-mba nisishushwe chini kaburinikwa hofu na huzuni, basi, inu-keni kutoka mavumbini, wanawangu, na muwe awanaume,na muamue kwa mawazo nakwa moyo bmmoja, mkiunganakwa vitu vyote, ili msiingieutumwani;

22 Ili msilaaniwe kwa laanakali; na pia, ili msijiletee gha-dhabu ya Mungu wa ahaki, kwakuangamizwa, ndio, kuangami-zwa milele kwa roho na mwili.

23 Zindukeni, wana wangu;jivikeni asilaha za utakatifu.Jifungueni minyororo ambayoimewafunga, na mtoke fumbo-ni, na muinuke kutoka mavu-mbini.24 Msimwasi kaka yenu tena,

ambaye maono yake yamekuwamatukufu, na ambaye ametiiamri tangu wakati tulipoondokaYerusalemu; na ambaye ame-kuwa chombo mikononi mwaMungu, katika kutuleta hadikwenye nchi ya ahadi; kwanikama sio yeye, lazima tungea-ngamia kwa anjaa huko nyikani;walakini, mlitaka bkumtoa uhaiwake; ndio, na ameteseka kwahofu nyingi kwa sababu yenu.

25 Na ninaogopa na kutete-meka zaidi kwa sababu yenu,kwamba atateseka tena; kwanitazama, mmemlaumu kwambaalitaka awe na uwezo na mam-laka juu yenu; lakini najua kwa-mba hakutaka awe na uwezo

wala amamlaka juu yenu, lakinialitaka kumtukuza Mungu, naustawi wenu wa milele.

26 Na mmenung’unika kwasababu amekuwa wazi kwenu.Mmesema kwamba ametumiaaukali; na mnasema kwambaamewakasirikia; lakini tazama,ukali wake ulikuwa ukali wanguvu za neno la Mungu,ambalo lilikuwa ndani yake; nalile mnaloliita hasira lilikuwaukweli, kulingana na ule uliondani ya Mungu, ambao hange-zuia, akidhihirisha kwa ujasirikuhusu maovu yenu.

27 Na ni lazima kwambaanguvu za Mungu ziwe nayeye, hata kwamba lazima mtiiakiwaamrisha. Lakini tazama,sio yeye, bali ilikuwa bRoho yaBwana iliyokuwa ndani yake,ambayo cilifungua kinywa cha-ke ili azungumze hata kwambahangefunga kinywa chake.

28 Na sasa mwana wangu, La-mani, na pia Lemueli na Samu,na pia wana wangu ambao niwana wa Ishmaeli, tazama,kama mtasikiliza sauti ya Nefihamtaangamia. Na kama mta-msikiliza nitawaachia abaraka,ndio, hata baraka yangu yakwanza.

29 Lakini ikiwa hamtamsikizaninaondoa baraka yangu yaakwanza, ndio, hata barakayangu, na itakuwa juu yake.

30 Na sasa, Zoramu, nakuzu-ngumzia wewe: Tazama, wewe

21a 1 Sam. 4:9;1 Fal. 2:2.

b Musa 7:18.22a M&M 3:4.23a Efe. 6:11–17.24a 1 Ne. 16:32.

b 1 Ne. 16:37.25a Mwa. 37:9–11.26a Mit. 15:10;

1 Ne. 16:2;Moro. 9:4;M&M 121:41–43.

27a 1 Ne. 17:48.b M&M 121:43.c M&M 33:8.

28a mwm Haki yaKuzaliwa.

29a Ibr. 1:3.

Page 85: KITABU CHA MORMONI

2 Nefi 1:31–2:5 68

ni amtumishi wa Labani; wala-kini, wewe umetolewa kutokanchi ya Yerusalemu, na ninajuakwamba wewe ni rafiki wakweli wa mwana wangu Nefi,milele.

31 Kwa hivyo, kwa vile ume-kuwa mwaminifu uzao wakoutabarikiwa apamoja na mbeguyake, hata kwamba wataishikwa mafanikio kwa mudamrefu katika nchi hii; na ha-kuna chochote, ila tu ni uovumiongoni mwao, kitakacho-wadhulumu au kusumbuamafanikio yao usoni mwa nchihii milele.32 Kwa hivyo, kama utatii amri

za Bwana, Bwana ameweka nchihii wakfu kwa usalama wauzao wako na uzao wa mwanawangu.

MLANGO WA 2

Ukombozi unatokana na MasiyaMtakatifu—Uhuru wa kuamua nimuhimu kwa kuish i na kwamaendeleo — Adamu alianguka iliwanadamu wawe — Wanadamuwako huru kuchagua uhuru nauzima wa milele. Kutoka karibumwaka wa 588 hadi 570 kabla yakuzaliwa kwa Kristo.

Na sasa, Yakobo, nakuzungu-mzia: Wewe ndiye mzaliwa waakwanza katika siku zangu zataabu nyikani. Na tazama, kati-ka utoto wako, umeteseka kwa

masumbuko na huzuni nyingi,kwa sababu ya ujeuri wa kakazako.

2 Walakini, Yakobo, mzaliwawangu wa kwanza nyikani,wewe unajua ukuu wa Mungu;na ataweka wakfu masumbukoyako kwa faida yako.

3 Kwa hivyo, nafsi yako itaba-rikiwa, na wewe utaishi salamana kaka yako, Nefi; na utamtu-mikia Mungu wako maishanimwako. Kwa hivyo, najua kwa-mba wewe umekombolewa,kwa sababu ya utakatifu waMkombozi wako; kwani weweumeona kwamba katika wakatimtimilifu yeye atakuja kuwale-tea wanadamu wokovu.

4 Na wewe aumeona ujananimwako utukufu wake; kwa hi-vyo, wewe umebarikiwa kamawale atakaowahudumia katikamwili; kwani Roho ni sawa,jana, leo, na milele. Na njiaimetayarishwa tangu kuangukakwa mwanadamu, na wokovuni bbure.5 Na wanadamu wanashauri-

wa kikamilifu kwamba awajuemema na maovu. Na wanada-mu wanapewa sheria. Na ha-kuna yeyote banayekubalikakwa sheria; au, kwa sheriawanadamu cwanatengwa. Ndio,walitengwa kwa sheria yamuda; na pia, kwa sheria yakiroho wanaangamizwa tokanana yale yalio mema, na wana-dhoofika milele.

30a 1 Ne. 4:20, 35.31a 2 Ne. 5:6.2 1a 1 Ne. 18:7.4a 2 Ne. 11:3;

Yak. (KM) 7:5.b mwm Neema.

5a Moro. 7:16.b Rum. 3:20;

2 Ne. 25:23;Alma 42:12–16.mwm Hesabu kwahaki, Kuhesabiwa

haki.c 1 Ne. 10:6;

2 Ne. 9:6–38;Alma 11:40–45;12:16, 24; 42:6–11;Hel. 14:15–18.

Page 86: KITABU CHA MORMONI

69 2 Nefi 2:6–13

6 Kwa hivyo, aukombozi una-kuja kupitia bMasiya Mtakatifu;kwani amejaa cneema na kweli.7 Tazama, anaj i toa kuwa

adhabihu ya dhambi, kutimizamasharti ya sheria, kwa walewote wenye moyo uliopondekana roho iliyovunjika; na hakunamwingine yeyote anayewezakutimiza bmasharti ya sheria.8 Kwa hivyo, ni muhimu sana

kuwajulisha wakazi wa duniakuhusu vitu hivi, ili wajuehakuna binadamu anayewezakuishi karibu na Mungu, abilafadhili, na rehema, na neema zaMasiya Mtakatifu, ambaye ana-toa maisha yake mwilini, nakuichukua tena kwa uwezo waRoho, ili alete bufufuo wa wafu,akiwa wa kwanza kufufuka.9 Kwa hivyo, yeye ni mali-

mbuko kwa Mungu, kwaniaatawaombea watoto wa watuwote; na wale watakaomwaminiwataokolewa.10 Na kwa sababu ya maombi

kwa wote, watu awote wanamjiaMungu; kwa hivyo, wanasima-ma kwenye uwepo wake, nabkuhukumiwa na yeye kuli-ngana na ukweli na cutakatifuwake. Kwa hivyo, masharti yasheria ambayo yule Mtakatifuametoa, yatalingana na maadhi-

bio na mapigo yake, haya maa-dhibio ni kinyume cha furahaya kutii amri, hii ni kutimizamasharti ya dupatanisho —11 Kwani lazima, kuwe na

aupinzani katika vitu vyote.Kama sio hivyo, mzaliwa wa-ngu wa kwanza nyikani, utaka-tifu haungepatikana, wala uovu,wala utakatifu au hofu, walauzuri au ubaya. Kwa hivyo, vituvyote lazima viwe kitu kimoja;kwa hivyo, kama ni kitu kimojalazima kikae kama mauti, bilauhai wala kifo, wala uharibifuau kutoharibika, furaha walahofu, wala kufahamu au kuto-fahamu.

12 Kwa hivyo, itakuwa kwa-mba kil iumbwa bure; kwahivyo itakuwa kwamba hakunaakusudi la kuumbwa kwake.Kwa hivyo, kitu hiki kinaanga-miza hekima ya Mungu namakusudi yake ya milele, napia nguvu, na rehema, na bhakiya Mungu.

13 Na kama mtasema ahakunasheria, mtasema pia hakunadhambi. Kama mtasema hakunadhambi, mtasema pia hakunautakatifu. Na kama hakunautakatifu hakuna furaha. Nakama hakuna utakatifu walafuraha basi hakuna adhabu

6a 1 Ne. 10:6;2 Ne. 25:20;Alma 12:22–25.mwm Mpango waUkombozi.

b mwm Masiya.c Yn. 1:14, 17;

Musa 1:6.7a mwm Lipia dhambi,

Upatanisho.b Rum. 10:4.

8a 2 Ne. 25:20; 31:21;

Mos. 4:8; 5:8;Alma 38:9.

b 1 Kor. 15:20;Alma 7:12; 12:24–25;42:23.mwm Ufufuko.

9a Isa. 53:1–12;Mos. 14:12; 15:8–9.

10a mwm Mkombozi.b mwm Hukumu,

ya Mwisho.c mwm Utakatifu.

d 2 Ne. 9:7, 21–22, 26;Alma 22:14; 33:22;34:9.

11a M&M 29:39; 122:5–9.mwm Shida.

12a M&M 88:25–26.mwm Dunia—Iliumbwa kwa ajiliya mwanadamu.

b mwm Haki.13a 2 Ne. 9:25.

Page 87: KITABU CHA MORMONI

2 Nefi 2:14–21 70

wala huruma. Na kama vitu hivihavipo basi hakuna Mungu.Na kama bhakuna Mungu basisisi hatupo, wala dunia; kwanihakungekuwa na uumbaji wavitu, wala kutenda au kutende-wa; kwa hivyo, vitu vyote lazi-ma vingetokomea.

14 Na sasa, wana wangu, na-waambia vitu hivi kwa faidayenu na elimu; kwani kunaMungu, na aameumba vitu vyo-te, mbingu na dunia, na vituvyote vilivyomo, vitu vya ku-tenda na vitu vya bkutendewa.

15 Na kutimiza amakusudioyake ya milele katika kikomocha mwanadamu, baada ya ku-umba wazazi wetu wa kwanza,na wanyama wa porini na nde-ge wa hewani, na mwishowe,vitu vyote vilivyoumbwa, ilibidilazima kuwe na upinzani, hatabtunda clililokataliwa kinyumecha mti wa duzima; mmoja uki-wa mtamu na mwingine ukiwachungu.

16 Kwa hivyo, Bwana Munguamemruhusu mwanadamu aku-jitendea mwenyewe. Kwa hi-vyo, mwanadamu hangewezakujitendea mwenyewe bila bku-vutiwa na moja au nyingine.

17 Na mimi, Lehi, kulinganana vitu ambavyo nimesoma, la-zima niwaze kwamba amalaikawa Mungu, balianguka kutokambinguni, kulingana na yale ya-meandikwa; kwa hivyo, akawacibilisi, kwani alitaka kutendamaovu machoni mwa Mungu.

18 Na kwa sababu aliangukakutoka mbinguni, na kuhuzu-nika milele, aaliwatakia wana-damu nao pia wahuzunike.K w a h i v y o , a k a m w a m b i abHawa, ndio, hata yule nyokawa zamani, ambaye ni ibilisi,ambaye ni baba wa cuwongowote, kwa hivyo akasema:Kuleni tunda lililokatazwa, nahamtakufa, lakini mtakuwakama Mungu, d mkifahamumema na maovu.

19 Na baada ya Adamu naHawa akula tunda lililokatazwawalifukuzwa kutoka bustaniya bEdeni, ili walime ardhi.20 Na wamezaa watoto; ndio,

hata ajamii ya dunia yote.21 Na maisha ya watoto wa

awatu yaliongezewa, kulinganana nia ya Mungu, ili wawezeb kutubu wakiwa hai ; kwahivyo, hali yao ikawa hali yacmajaribio, na wakati wao uka-

13b Alma 42:13.14a mwm Umba,

Uumbaji.b M&M 93:30.

15a Isa. 45:18; Alma 42:26;Musa 1:31, 39.

b Mwa. 3:6;Alma 12:21–23.

c Mwa. 2:16–17;Musa 3:17.

d Mwa. 2:9;1 Ne. 15:22, 36;Alma 32:40.

16a 2 Ne. 10:23;

Alma 12:31.mwm Haki yauamuzi.

b M&M 29:39–40.17a mwm Ibilisi.

b Isa. 14:12; 2 Ne. 9:8;Musa 4:3–4;Ibr. 3:27–28.

c mwm Ibilisi.18a 2 Ne. 28:19–23;

3 Ne. 18:18;M&M 10:22–27.

b mwm Hawa.c 2 Ne. 28:8;

Musa 4:4.d Mwa. 3:5; Alma 29:5;

Moro. 7:15–19.19a Alma 12:31.

mwm Anguko laAdamu na Hawa.

b mwm Edeni.20a M&M 138:38–39.21a Alma 12:24;

Musa 4:23–25.b Alma 34:32.

mwm Toba, Tubu.c mwm Hali ya kufa,

Kufa, enye.

Page 88: KITABU CHA MORMONI

71 2 Nefi 2:22–30

ongezewa, kulingana na amriambazo Bwana Mungu aliwa-patia watoto wa watu. Kwanialitoa amri kwamba lazimawanadamu wote watubu; kwa-ni alionyesha wanadamu wotekwamba dwalipotea, kwa sa-babu wazazi wao walivunjasheria.

22 Na sasa, tazama, kamaAdamu hangevunja sheria ha-ngeanguka, lakini angeishikatika bustani ya Edeni. Navitu vyote vilivyoumbwa vinge-baki katika hali yao ya kwanzabaada ya kuumbwa; na vinge-baki vivyo hivyo milele, nakuwa bila mwisho.

23 Na hawangezaa awatoto;na hivyo wangeishi katika haliya kitoto, bila shangwe, kwanihawakufahamu dhiki; bila ku-tenda mema, kwani hawakujuadhambi.24 Lakini tazama, vitu vyote

vimetendwa kwa hekima yayule aajuaye vitu vyote.

25 aAdamu balianguka ili wa-nadamu wawe; na wanadamucwapo, ili wapate dshangwe.

26 Na aMasiya anakuja katikawakati mtimilifu, ili bawako-mboe watoto wa watu tokanana mwanguko. Na kwa sababuwamekombolewa tokana namwanguko wamekuwa churu

milele, wakielewa mema namaovu; kujitendea wenyewena sio kutendewa, ila tu katikakuadhibiwa na dsheria katikasiku ile kuu ya mwisho, kuli-ngana na amri ambazo Munguametoa.

27 Kwa hivyo, wanadamuwana auhuru wanapoishi; nawamepewa vitu vyote ambavyoni muhimu kwa mwanadamu.Na wana haki bkuchagua uhuruna uzima wa cmilele, kupitiayule Mpatanishi mkuu wawanadamu wote, au kuchaguautumwa na kifo, kulingana nautumwa na nguvu za ibilisi;kwani anataka wanadamu wotewawe na dhiki kama yeye.

28 Na sasa, wana wangu, ni-ngetaka mtazame yule aMpata-nishi mkuu, na msikilize amrizake kuu; na muwe waaminifukwa maneno yake, na mchagueuzima wa milele, kulinganana mapenzi ya Roho Mtakatifuwake.

29 Na msichague kifo cha mi-lele, ambacho ni kulingana nania ya mwili na uovo ulio nda-ni yake, ambayo inaipatia rohoya ibilisi nguvu za akuteka nya-ra, na kukuleta bjahanamu, iliawatawale katika ufalme wake.

30 Nimewazungumzia nyi-nyi nyote, wana wangu, haya

21d Yak. (KM) 7:12.23a Musa 5:11.24a mwm Mungu,

Uungu.25a mwm Adamu.

b Musa 6:48.mwm Anguko laAdamu na Hawa.

c mwm Hali ya kufa,Kufa, enye.

d Musa 5:10.mwm Mwanadamu,Wanadamu;Shangwe.

26a mwm Masiya.b mwm Mpango wa

Ukombozi.c Alma 42:27;

Hel. 14:30.d mwm Sheria.

27a Gal. 5:1;Musa 6:56.

b mwm Haki yauamuzi.

c mwm Uzima waMilele.

28a mwm Mpatanishi.29a Rum. 6:16–18;

Alma 12:11.b mwm Jahanamu.

Page 89: KITABU CHA MORMONI

2 Nefi 3:1–7 72

maneno machache, katika sikuzangu za mwisho za majaribio;na nimechagua sehemu njema,kulingana na maneno ya nabii.Na sina lengo lingine lolote ilaustawi wenu usio na mwishowa nafsi zenu. Amina.

MLANGO WA 3

Yusufu akiwa Misri aliona Wanefikwenye ono — Alitoa unabii ku-husu Joseph Smith, mwonaji wasiku za mwisho; kuhusu Musa,ambaye atakomboa Israeli; na ku-tokea kwa Kitabu cha Mormoni.Kutoka karibu mwaka wa 588 hadi570 kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

Na sasa nakuzungumzia wewe,Yusufu, akitinda mimba wangu.Wewe ulizaliwa huko nyikaninikisumbuka; ndio, katika sikuza msiba wangu mkuu mamayako alikuzaa.

2 Na Bwana akuwekee wakfuanchi hii pia, ambayo ni nchibora zaidi, kwa urithi wako nakwa urithi wa uzao wako nakaka zako, kwa usalama wakomilele, kama utatii amri za yulealiye Mtakatifu wa Israeli.3 Na sasa, Yusufu, kitinda mi-

mba wangu ambaye nimemzaahuko nyikani nikisumbuka,Bwana akubariki milele, kwaniuzao wako ahautaangamizwakabisa.

4 Kwani tazama, wewe nimatunda ya kiuno changu; namimi ni uzao wa a Yusufubaliyeuzwa Misri. Na makubwayalikuwa maagano ya Bwanaambayo alimfanyia Yusufu.

5 Kwa hivyo, Yusufu kwahakika aaliona siku yetu. Naakapokea ahadi kwa Bwana,kwamba kutoka matunda yaviuno vyake Bwana Munguangeinulia nyumba ya Israeli,btawi ctakatifu; sio dMasiya, la-kini tawi ambalo lingekatwa,walakini, kukumbukwa katikamaagano ya Bwana kwambaMasiya angethirihishwa kwaokatika siku za baadaye, katikaroho ya nguvu, ya kuwatoaegizani hadi kwenye nuru —ndio, kutoka maficho ya giza nakutoka utumwani hadi kwenyeuhuru.

6 Kwani Yusufu alishuhudiakwa hakika, akisema: BwanaMungu wangu atainua amwo-naji, ambaye atakuwa mwonajibora kwa uzao wa b viunovyangu.

7 Ndio, Yusufu kwa hakikaalisema: Hivi ndivyo Bwanaananiambia: Ni amwonaji boranitakayeinua kutoka matundaya viuno vyako; na ataheshi-miwa zaidi miongoni mwamatunda ya viuno vyako. Nayenitamwamurisha afanyie ma-tunda ya viuno vyako kazi,

3 1a 1 Ne. 18:7.2a 1 Ne. 2:20.

mwm Nchi ya Ahadi.3a 2 Ne. 9:53.4a Mwa. 39:1–2; 45:4;

49:22–26;1 Ne. 5:14–16.

b Mwa. 37:29–36.

5a tjs Mwa. 50:24–38;2 Ne. 4:1–2.

b Mwa. 49:22–26;1 Ne. 15:12; 19:24.mwm Shamba lamzabibu la Bwana.

c Yak. (KM) 2:25.d 2 Ne. 6:14;

M&M 3:16–20.e Isa. 42:16.

6a 3 Ne. 21:8–11;Morm. 8:16.mwm Mwonaji.

b M&M 132:30.7a mwm Smith, Joseph,

Mdogo

Page 90: KITABU CHA MORMONI

73 2 Nefi 3:8–17

ndugu zake, ambayo itakuwaya thamani kuu kwao, hatakwa kuwafahamisha ufahamuwa maagano ambayo nimeaga-na na baba zenu.8 Na nitampatia amri kwamba

aasitende kazi nyingine, ila ilekazi nitakayomwamuru. Na ni-tamuinua juu machoni mwa-ngu; kwani atafanya kazi yangu.9 Na atakuwa mkuu kama

a Musa, ambaye nimesemanitamuinulia, bkukomboa watuwangu, Enyi nyumba ya Israeli.10 Na nitamuinua Musa, ili

akomboe watu wako kutokanchi ya Misri.

11 Lakini nitamuinua mwona-ji kutoka matunda ya viunovyako; na nitampatia anguvuza kuleta neno langu kwa uzaowa viuno vyako — na sio tukuwaletea neno langu pekee,asema Bwana, lakini hatakwa kuwathibitishia wao nenolangu, ambalo watakuwa wa-melipata awali.12 Kwa hivyo, uzao wa viuno

vyako autaandika; na uzao waviuno vya bYuda cutaandika;na yale yatakayoandikwa nauzao wa viuno vyako, na piayale yatakayo andikwa na uzaowa viuno vya Yuda, yatakuapamoja, kwa dkufadhaisha ma-fundisho ya uwongo na kuta-tua mabishano, na kuimarishaamani miongoni mwa uzao waviuno vyako, na ekuwapatia

fufahamu wa baba zao katikasiku za mwisho, na pia kufaha-mu maagano yangu, asemaBwana.

13 Na kutoka kwa unyongeatapewa nguvu, katika siku ileambayo kazi yangu itaanza mi-ongoni mwa watu wangu, kwakuwarudisha nyinyi, Enyi nyu-mba ya Israeli, asema Bwana.

14 Na hivi ndivyo Yusufualivyotoa unabii, akisema: Ta-zama, Bwana atambariki yulemwonaji; na wale ambao wa-nataka kumwangamiza wata-teketezwa; kwani ahadi hii,ambayo nimepokea kutoka kwaBwana, kuhusu uzao wa viunovyangu, itatimizwa. Tazama,nina hakika kwamba ahadi hiiitatimizwa;

15 Na ajina lake litakuwa kamalangu; na litakuwa sawa na bjinala baba yake. Na atakuwa kamamimi; kwani kuwa kitu, amba-cho Bwana atakileta kwa mkonowake, kwa uwezo wa Bwanaatawaleta watu wangu kwenyewokovu.

16 Ndio, hivi ndivyo Yusufualivyotoa unabii: Nina uhakikakwa kitu hiki, hata vile nilivyona uhakika wa ahadi ya Musa;kwani Bwana ameniambia,anitaihifadhi uzao wako milele.17 Na Bwana amesema: Nita-

muinua Musa mmoja; na nita-mpatia nguvu kwa fimbo; nanitampatia hukumu katika

8a M&M 24:7, 9.9a Musa 1:41.

b Kut. 3:7–10;1 Ne. 17:24.

11a M&M 5:3–4.12a mwm Kitabu cha

Mormoni.

b 1 Ne. 13:23–29.c mwm Biblia.d Eze. 37:15–20;

1 Ne. 13:38–41;2 Ne. 29:8; 33:10–11.

e Moro. 1:4.f 1 Ne. 15:14;

2 Ne. 30:5;Morm. 7:1, 5, 9–10.

15a M&M 18:8.b JS—H 1:3.

16a Mwa. 45:1–8.

Page 91: KITABU CHA MORMONI

2 Nefi 3:18–4:1 74

maandishi. Lakini sitalegezaulimi wake, ili aweze kuzungu-mza mengi, kwani sitamfanyaawe hodari kwa mazungumzo.Lakini anitamuandikia sheriazangu, kwa kidole cha mkonowangu; na nitampatia bmnenaji.18 Na Bwana aliniambia pia:

Nitainua uzao wa viuno vyako;na nitampatia mnenaji. Namimi, tazama, nitamwezeshakwamba aandike maandishi yauzao wa viuno vyako, kwa uzaowa viuno vyako; na mnenajiwa viuno vyako ataitangaza.

19 Na maneno atakayoandikayatakuwa maneno ambayo kwahekima yangu ni lazima yafikieamazao ya viuno vyako. Naitakuwa ni kama uzao wa viunovyako uliwalilia bkutoka ma-vumbini; kwani ni najua imaniyao.20 Na awatalia kutoka mavu-

mbini; ndio, hata toba kwandugu zao, hata baada ya vizazivingi kuwapitia. Na itakuwakwamba kilio chao kitapita,hata kulingana na wepesi wamaneno yao.

21 Kwa sababu ya imani yaoamaneno yao yatatoka kutokakinywa changu hadi kwa nduguzao ambao ni uzao wa viunovyako; na katika unyonge wamaneno yao nitawatia nguvukwa imani, ya kukumbukaagano langu ambalo niliaganana baba zako.22 Na sasa, tazama, mwana

wangu Yusufu, hivi ndivyo

baba yangu wa kale alitoaaunabii.23 Kwa hivyo, kwa sababu ya

hili agano umebarikiwa; kwaniuzao wako hautaangamizwa,kwani watatii maneno ya hichokitabu.

24 Na atainuka mmoja mio-ngoni mwao ambaye atakuwashujaa, ambaye atatenda memamengi, kwa maneno na kwavitendo, akiwa chombo miko-noni mwa Mungu, mwenyeimani kuu, kutenda maajabumakuu, na kutenda kile kituambacho ni kikuu machonimwa Mungu, kwa kutimizaufufuo wa nyumba ya Israeli,pamoja na uzao wa kaka zako.

25 Na sasa, Yusufu, umebariki-wa. Tazama, wewe ni mchanga;kwa hivyo sikiliza maneno yakaka yako, Nefi, na utatende-wa kulingana na yale manenoambayo nimezungumza. Ku-mbuka maneno ya baba yakoanayekufa. Amina.

MLANGO WA 4

Lehi anashauri na kubariki uzaowake — Anafariki na kuzikwa —Nefi anashangilia wema wa Mungu— Nefi anamwamini Bwana mi-lele. Kutoka karibu mwaka wa 588hadi 570 kabla ya kuzaliwa kwaKristo.

Na sasa, mimi, Nefi, ninazu-ngumza kuhusu ule unabiiambao baba yangu alitaja,

17a Kum. 10:2, 4;Musa 2:1.

b Kut. 4:16.19a M&M 28:8.

b Isa. 29:4;2 Ne. 27:13; 33:13;Morm. 9:30;Moro. 10:27.

20a 2 Ne. 26:16;Morm. 8:23.

21a 2 Ne. 29:2.22a 2 Ne. 3:5.

Page 92: KITABU CHA MORMONI

75 2 Nefi 4:2–12

kuhusu aYusufu, ambaye ali-pelekwa hadi Misri.2 Kwani tazama, kwa kweli

alitoa unabii kuhusu uzaowake wote. Na hakuna aunabiimwingi mkubwa, zaidi ya yalealiyoandika. Na alitoa unabiikutuhusu sisi, na vizazi vyetuvya baadaye; na umeandikwakwenye bamba za shaba.

3 Kwa hivyo, baada ya babayangu kukoma kuzungumzakuhusu unabii wa Yusufu, akai-ta wana wa Lamani, wana wake,na mabinti zake, na akawaa-mbia: Tazameni, wana wangu,na mabinti zangu, ambao niwana na mabinti za akifunguamimba wangu, ningependa kwa-mba msikilize maneno yangu.

4 Kwani Bwana Mungu amese-ma kwamba: aKadiri mtakavyotii amri zangu mtafanikiwanchini; na msipotii amri zangumtatengwa kutokana na uwepowangu.5 Lakini tazameni, wana wa-

ngu na mabinti zangu, siwezikufa kabla sijawapatia abaraka;kwani tazameni, ninajua kwa-mba kama mtalelewa kulinga-n a n a b n j i a i n a y o w a p a s ahamtaiacha.

6 Kwa hivyo, kama mmelaa-niwa, tazameni, ninawaachiabaraka yangu, kwamba ile laanaiondolewe kwenu na iwe ajuuya wazazi wenu.

7 Kwa hivyo, kwa sababu yabaraka yangu Bwana Mungu

ahatakubali kwamba mwanga-mie; kwa hivyo, batawarehemunyinyi na uzao wenu milele.

8 Na ikawa kwamba baada yababa yangu kumaliza kuzu-ngumzia wana na mabinti zaLamani, aliwasababisha wanana mabinti za Lemueli kusima-ma mbele yake.

9 Na akawazungumzia, akise-ma: Tazama, wana wangu namabinti zangu, ambao ni wanana mabinti za mwana wangu wapili; tazama ninawapatia barakakama ile ambayo niliwapatiawana na mabinti za Lamani;kwa hivyo, nyinyi hamtaanga-mizwa kabisa; lakini uzao wenuutabarikiwa mwishowe.

10 Na ikawa kwamba baadaya baba yangu kukoma kuwa-zungumzia, tazama, aliwazu-ngumzia wana wa aIshmaeli,ndio, na hata nyumba yake yote.

1 1 N a b a a d a y a k u k o m akuwazungumzia, alimwambiaSamu, akisema: Heri wewe,na uzao wako; kwani weweutarithi nchi kama vile kakayako Nef i . Na uzao wakoutahesabiwa na uzao wake; nawewe utakuwa kama kakayako, na uzao wako kama uzaowake; na wewe utabarikiwakatika siku zako zote.

12 Na ikawa kwamba baadaya baba yangu, Lehi, kumalizakuzungumzia jamaa yake yote,kulingana na mawazo ya moyowake na Roho ya Bwana amba-

4 1a Mwa. 39:1–2.2a 2 Ne. 3:5.3a mwm Mzaliwa wa

Kwanza.4a 2 Ne. 1:9.5a mwm Baraka za

Kipatriaki.b Mit. 22:6.

6a M&M 68:25–29.7a 2 Ne. 30:3–6;

M&M 3:17–18.b 1 Ne. 13:31;

2 Ne. 10:18–19;Yak. (KM) 3:5–9;Hel. 15:12–13.

10a 1 Ne. 7:6.

Page 93: KITABU CHA MORMONI

2 Nefi 4:13–26 76

ye alikuwa ndani yake, akawamzee. Na ikawa kwamba alifa-riki, na akazikwa.13 Na ikawa kwamba muda

mfupi baada ya kifo chake,Lamani na Lemueli pamoja nawana wa Ishmaeli walinikasi-rikia kwa sababu walirudiwana Bwana.

14 Kwani mimi, Nefi, nili-shurutishwa kuwazungumzia,kulingana na neno lake; kwaninilikuwa nimewazungumziavitu vingi, na pia baba yangu,kabla ya kifo chake; manenomengi ambayo yameandikwakwenye bamba zangu azingine;kwani sehemu kubwa zaidi yahistoria imeandikwa kwenyebamba zangu zingine.

15 Na katika ahizi nimeandikamambo ya nafsi yangu, namaandiko mengi ambayo yame-chorwa kwenye bamba zashaba. Kwani moyo wanguunafurahia maandiko, na moyowangu bhuyatafakari, na kuya-andika kwa celimu na faida yawatoto wangu.

16 Tazama, anafsi yangu hufu-rahia vitu vya Bwana; na bmoyowangu huyatafakari mara kwamara vitu ambavyo nimevionana kuvisikia.

17 Walakini, ingawa Bwanaana a wema mkubwa, hatakunionyesha kazi yake kuuna ya maajabu, moyo wanguunalia: Ewe mimi mtu bmwovu!

Ndio, moyo wangu unahuzu-nishwa kwa sababu ya mwiliwangu; moyo wangu unahofi-shwa na dhambi zangu.

18 Nimezingirwa, kwa sababuya majaribio na dhambi ambazoazinaninasa kwa urahisi.19 Na ninapotaka kushangilia,

moyo wangu huugua kwa sa-babu ya dhambi zangu; wala-kini, ninajua ninayemwamini.

20 Mungu wangu amekuwategemeo langu; ameniongozakatika masumbuko yangu nyi-kani; na amenihifadhi hatakutoka kilindi kikuu cha maji.

21 Amenijaza aupendo wake,hata kwa kumal iza mwil iwangu.

22 Amewafadhaisha amaaduiwangu, hata kuwasababishakutetemeka mbele yangu.

23 Tazama, amesikia kiliochangu mchana, na kunipatiaufahamu usiku kwa amaono.

24 Na kwa mchana animesalikwa ujasiri; ndio, nimepaza sa-uti yangu juu; na malaika wa-kateremka na kunihudumia.

25 Na kwenye mabawa yaRoho yake mwili wangu aume-bebwa na kuchukuliwa kwenyemilima mirefu zaidi. Na machoyangu yameona vitu vikuu,ndio, hata vikuu sana kwamwanadamu; kwa hivyo nilia-mriwa kwamba nisiviandike.

26 Ee basi, kama nimeona ma-mbo makuu hivi, kama Bwana

14a 1 Ne. 1:16–17; 9:4.15a 1 Ne. 6:4–6.

b mwm Maandiko;Tafakari.

c 1 Ne. 19:23.16a mwm Shukrani,

Shukrani, enye, Toa

shukrani.b mwm Moyo.

17a 2 Ne. 9:10;M&M 86:11.

b Rum. 7:24.18a Rum. 7:21–23;

Ebr. 12:1; Alma 7:15.

21a mwm Upendo.22a 1 Ne. 17:52.23a mwm Ono.24a Yak. (Bib.) 5:16;

1 Ne. 2:16.25a 1 Ne. 11:1;

Musa 1:1–2.

Page 94: KITABU CHA MORMONI

77 2 Nefi 4:27–35

kat ika ufadhi l i wake kwawatoto wa watu amewafarijiwanadamu kwa huruma kuuhivi, akwa nini moyo wanguulie na nafsi yangu kusitakatika bonde la hofu, na mwiliwangu kuwa mnyonge, nanguvu zangu kufif ia , kwasababu ya masumbuko yangu?27 Na kwa nini anitumikie

dhambi, kwa sababu ya mwiliwangu? Ndio, kwa nini niya-kubali bmajaribio, hata kwambayule mwovu apate nafasi mo-yoni mwangu ya kuangamizacamani na kusumbua nafsi ya-ngu? Kwa nini nikasirishwe naadui yangu?2 8 A m k a , r o h o y a n g u !

Usilemewe na dhambi tena.Shangilia, Ewe moyo wangu,na usimpatie aadui wa nafsiyangu mahali.29 Usikasirike tena kwa sababu

ya maadui zangu. Usipunguki-we na nguvu kwa sababu yamasumbuko yangu.

3 0 S h a n g i l i a , E w e m o y owangu, na umlilie Bwana, nakusema: Ewe Bwana, nitakusi-fu milele; ndio, nafsi yanguitashangilia ndani yako, Munguwangu, na amwamba wa woko-vu wangu.

31 Ewe Bwana, je, utaikomboanafsi yangu? Je, utaniopoakutoka mikononi mwa maaduizangu? Je, utanifanya kwambanitetemeke nikiona adhambi?

32 Na milango ya jahanamuifungwe mbele yangu daima,kwa sababu a moyo wanguumevunjika na nafsi yanguimepondeka! Ewe Bwana, je,usiifunge milango ya haki yakombele yangu, ili bnitembeekatika mapito ya bonde iliyochini, hata niwe mkali kwenyenjia iliyo wazi!

33 Ewe Bwana, je, utanizingi-ra na joho la haki yako! EweBwana, je, utanitayarishia njiaya kutorokea maadui wangu!Je, utaninyooshea mapito ya-ngu! Je, utaniwekea kikwazokwa njia yangu — lakini kwa-mba unifanyie njia zangu ziwewazi, na usizibe njia yangu,lakini njia za adui yangu.

34 Ewe Bwana, nimekuamini,na anitakuamini milele. Sita-weka btumaini langu kwenyemkono wa mwanadamu; kwanininajua amelaaniwa yule ana-yeweka c tumaini lake kwamkono wa mwanadamu. Ndio,amelaaniwa yule anayewekatumaini lake kwa mwanadamuau amfanyaye kuwa mkonowake.

35 Ndio, ninajua kwambaMungu humsaidia anayeombabila akizuizi. Ndio, Munguwangu atanipatia, bnikiombacbila kasoro; kwa hivyo nitaku-pazia sauti yangu; ndio, nitaku-lilia, Mungu wangu, mwambawa haki yangu. Tazama, nitaku-

26a Zab. 43:5.27a Rum. 6:13.

b mwm Jaribu,Majaribu.

c mwm Amani.28a mwm Ibilisi.30a 1 Kor. 3:11.

mwm Mwamba.31a Rum. 12:9;

Alma 13:12.32a mwm Moyo

Uliovunjika.b mwm Tembea,

Tembea na Mungu.

34a mwm Tegemea.b Zab. 44:6–8.c Yer. 17:5;

Morm. 3:9; 4:8.35a Yak. (Bib.) 1:5.

b mwm Sala.c Hel. 10:5.

Page 95: KITABU CHA MORMONI

2 Nefi 5:1–11 78

pazia sauti yangu milele, dmwa-mba wangu na Mungu wanguasiye na mwisho. Amina.

MLANGO WA 5

Wanefi wajitenga kutoka kwaWalamani, wanatii sheria ya Musa,na kujenga hekalu — Kwa sababuya kutoamini kwao, Walamaniwanaondolewa kutoka uwepo waBwana, wanalaaniwa, na wanaku-wa mjeledi kwa Wanefi. Kutokakaribu mwaka wa 588 hadi 559kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

Tazama, ikawa kwamba mimi,Nefi, nilimlilia Bwana Munguwangu, kwa sababu ya ahasiraya kaka zangu.

2 Lakini tazama, hasira yaoilinizidia, hata wakataka kuni-toa uhai.

3 Ndio, walininung’unikia,wakisema: Kaka yetu mdogoanataka akututawala; na tume-patwa na majaribu mengi kwasababu yake; kwa hivyo, tumu-ue sasa, ili tusisumbuke tenakwa sababu ya maneno yake.Kwani tazama, hatutakubaliawe mtawala wetu; kwaniutawala ni wetu, sisi ambao nikaka zake wakubwa, kuwata-wala hawa watu.

4 Sasa mimi siandiki kwenyebamba haya maneno yote amba-yo walininung’unikia. Lakiniinatosha mimi kusema, kwambawalitaka kunitoa uhai wangu.

5 Na ikawa kwamba Bwanaaalinionya, mimi, bNefi, kwa-mba niwaondokee na nikimbi-lie huko nyikani, pamoja nawale wote watakaonifuata.

6 Kwa hivyo, ikawa kwambamimi, Nefi, nilichukua jamaayangu pia na aZoramu na jamaayake, na Samu, kaka yangumkubwa, na jamaa yake, naYakobo na Yusufu, kaka zanguwadogo, pia na dada zangu, nawale wote ambao wangenifuata.Na wale wote ambao wangeni-fuata ni wale ambao waliaminibmaonyo na ufunuo wa Mungu;kwa hivyo, walitii manenoyangu.

7 Na tukachukua hema zetuna vitu ambavyo viliwezekanakwetu, na tukasafiri nyikanikwa muda wa siku nyingi. Nabaada ya kusafiri kwa mudawa siku nyingi tulipiga hemazetu.

8 Na watu wangu walitakatupaite pahali pale aNefi; kwahivyo, tulipaita Nefi.

9 Na wale wote waliokuwa namimi waliamua kujiita awatuwa Nefi.

10 Na tuliendelea kutii huku-mu, maagizo na amri za Bwanakatika vitu vyote, kulingana naasheria ya Musa.11 Na Bwana alikuwa pamo-

ja nasi; na tulifanikiwa zaidi;kwani tulipanda mbegu, nat u k a v u n a k w a w i n g i . N atukaanza kufuga mifugo, na

35d Kum. 32:4.5 1a 2 Ne. 4:13–14.3a 1 Ne. 16:37–38;

Mos. 10:14–15.5a mwm Maongozi ya

Mungu, Shawishi.b Mos. 10:13.

6a 1 Ne. 4:35; 16:7;2 Ne. 1:30–32.

b mwm Onya, Onyo.

8a Omni 1:12, 27;Mos. 9:1–4; 28:1.

9a Yak. (KM) 1:13–14.10a 2 Ne. 11:4.

mwm Torati ya Musa.

Page 96: KITABU CHA MORMONI

79 2 Nefi 5:12–21

makundi, na kila aina yawanyama.12 Na mimi, Nefi, nilikuwa

nimeleta maandishi yaliyokuwayamechorwa kwenye abambaza shaba; pamoja na bmpira, aucduara, ambayo baba yangualitengenezewa na mkono waBwana, kul ingana na yaleyameandikwa.

13 Na ikawa kwamba tulianzakufanikiwa zaidi, na kuonge-zeka katika nchi.

14 Na mimi, Nefi, nilichukuaaupanga wa Labani, na nikate-ngeneza panga nyingi kwaumbo lake, nikishuku kwambawale watu ambao sasa waliku-wa wanaitwa bWalamani wata-tushukia na kutuangamiza;kwani nilijua chuki waliyokuwanayo kwangu na kwa watotowangu na kwa wale walioitwawatu wangu.

15 Na niliwafundisha watuwangu kujenga majengo, nakutengeneza vitu vya kila ainakwa kutumia mbao, na kwaachuma, na kwa shaba nyeku-ndu, na kwa shaba, na kwa pua,na kwa dhahabu, na kwa fedha,na kwa mawe ya thamani,ambayo yalikuwa kwa wingi.16 Na mimi, Nefi, nilijenga

ahekalu; na nilijenga kwa umbola bhekalu la Sulemani ila tuhalikujengwa na vitu vingi vya

cthamani; kwani havikupatika-na nchini, kwa hivyo, haingeje-ngeka kikamilifu kama hekalula Sulemani. Lakini umbo lamjengo ulikuwa kama hekalula Sulemani; na ujenzi wakeulikuwa wa hali ya juu.

17 Na ikawa kwamba mimi,Nefi, niliwasababisha watu wa-ngu kuwa na abidii, na kutendakazi kwa mikono yao.

18 Na ikawa kwamba walita-ka niwe amfalme wao. Lakinimimi, Nefi, sikutaka wapatemfalme; walakini, niliwatendeakulingana na yale ambayo yali-kuwa kwenye uwezo wangu.

19 Na tazama, maneno yaBwana yametimia kwa nduguzangu ambayo alisema juu yao,kwamba nitakuwa amtawalawao na bmwalimu wao. Kwahivyo, nilikuwa mtawala waona mwalimu wao, kulingana naamri za Bwana, hadi ule wakatiambao walitaka kunitoa uhai.

20 Kwa hivyo, neno la Bwanalilitimizwa ambalo alinizu-ngumzia, akisema: Kadiri awa-takapokataa kusikiliza manenoy a k o w a t a t o l e w a k w e n y euwepo wa Bwana. Na tazama,bwaliondolewa kutoka uwepowake.

21 Na akasababisha alaanaiwashukie, ndio, hata laanakali, kwa sababu ya uovu wao.

12a Mos. 1:3–4.mwm Mabamba.

b Mos. 1:16.c 1 Ne. 16:10, 16, 26;

18:12, 21;Alma 37:38–47;M&M 17:1.

14a 1 Ne. 4:9;Yak. (KM) 1:10;

M ya Morm. 1:13.b mwm Walamani.

15a Eth. 10:23.16a mwm Hekalu,

Nyumba ya Bwana.b 1 Fal. 6; 2 Nya. 3.c M&M 124:26–27.

17a Mwa. 3:19;M&M 42:42.

18a Yak. (KM) 1:9, 11.19a 1 Ne. 2:22.

b mwm Fundisha,Mwalimu.

20a 2 Ne. 2:21.b Alma 9:14.

21a mwm Laani, Laana.

Page 97: KITABU CHA MORMONI

2 Nefi 5:22–34 80

Kwani tazama, walishupazamioyo yao kwake, kwambawakawa kama gumegume; kwahivyo, vile walikuwa weupe, nawenye ngozi nyororo na ya ku-vutia na bkupendeza, ili wasi-washawishi watu wangu BwanaMungu alisababisha wawe nacngozi ya weusi.22 Na Bwana Mungu akasema

hivi: Nitasababisha kwambawawe achukizo kwa watu wako,wasipotubu maovu yao.

23 Na italaaniwa uzao wa yuleaatakayechanganyika na uzaowao; kwani watalaaniwa kwalaana kama ile. Na Bwana akai-nena, na ikatendeka.24 Na kwa sababu ya laana

yao ambayo ilikuwa juu yaowakawa watu awavivu, walija-wa na ujanja na udanganyifu,na waliwinda wanyama wamwituni huko nyikani.25 Na Bwana Mungu akania-

mbia: Watakuwa mjeledi kwauzao wako, kuwachochea waokunikumbuka; na wasiponiku-mbuka, na kusikiza manenoyangu, watawapiga hadi ku-waangamiza.

26 Na ikawa kwamba mimi,Nefi, aniliwatenga Yakobo naYusufu, kwamba wawe maku-hani na walimu katika nchi yawatu wangu.27 Na ikawa kwamba tuliishi

kwa furaha.28 Na miaka thelathini ili-

kuwa imepita tangu tutokeYerusalemu.

29 Na mimi, Nefi, nilikuwanimeandika maandishi ya watuwangu, hadi ule wakati, kwe-nye zile bamba nilizokuwanimetengeneza.

30 Na ikawa kwamba BwanaMungu akaniambia: Tengenezabamba azingine; nawe utaandi-ka vitu vingi kwenye hizobamba ambavyo ni vyema ma-choni mwangu, kwa manufaaya watu wako.

31 Kwa hivyo, mimi, Nefi,kwa kuwa ni mtiifu kwa amri zaBwana, nilienda na kutengenezaahizi bamba ambazo nimeandi-kia vitu hivi.

32 Na niliandika yale ambayoyalimpendeza Mungu. Na kamawatu wangu watafurahishwana vitu vya Mungu watafurahi-shwa na maandishi yanguambayo yako kwenye bambahizi.

33 Na kama watu wanguwanataka kujua kikamilifuhistoria ya watu wangu lazimawasome zile bamba zanguzingine.

34 Na inanitosha kusemakwamba miaka arobaini ilikuwaimepita, na tayari tulikuwa navita na mabishano dhidi yakaka zangu.

MLANGO WA 6

Yakobo aeleza historia ya Waya -hudi: Uhamisho wa Kibabiloniana marejeo; huduma na kusulubiwa

21b 4 Ne. 1:10.c 2 Ne. 26:33;

3 Ne. 2:14–16.22a 1 Ne. 12:23.

23a mwm Ndoa, Oa,Olewa—Ndoa yaimani mbili.

24a mwm Mvivu, Uvivu.

26a Yak. (KM) 1:18–19;Mos. 23:17.

30a 1 Ne. 19:1–6.31a mwm Mabamba.

Page 98: KITABU CHA MORMONI

81 2 Nefi 6:1–8

kwa yule Mtakatifu wa Israeli;msaada uliopokelewa tokana naWayunani; na uamsho wa siku zamwisho kwa Wayahudi watakapo-mwamini Masiya. Kutoka karibumwaka wa 559 hadi 545 kabla yakuzaliwa kwa Kristo.

Maneno ya Yakobo, kaka yakeNefi, ambayo aliwazungumziawatu wa Nefi:

2 Tazameni, ndugu zangu wa-pendwa, mimi, Yakobo, nikiwanimeitwa na Mungu, na kuta-wazwa wake mtakatifu, nanikiwa nimetawazwa na kakayangu Nefi, ambaye mnamte-gemea kama amfalme au mlinzi,na ambaye pia mnamtegemeakwa usalama, tazameni mnajuakwamba nimewazungumziavitu vingi zaidi.

3 Walakini, nawazungumziatena; kwani ninajali ustawiwa nafsi zenu. Ndio, wasiwasiwangu ni mkubwa kwenu; nanyinyi mnajua imekuwa hivyotangu mwanzo. Kwani nime-washauri kwa bidii zote; nanimewafundisha maneno yababa yangu; na nimewazungu-mzia nyinyi kuhusu vitu vyotevilivyoandikwa, tangu kuu-mbwa kwa ulimwengu.

4 Na sasa, tazameni, ningewa-zungumzia kuhusu vitu vilivyo,na vile vitakavyokuja; kwahivyo, nitawasomea manenoya aIsaya. Na ni maneno yaleambayo kaka yangu anataka

niwasomee. Na ninawazungu-mzia kwa manufaa yenu, ilimjifunze na kulitukuza jina laMungu wenu.

5 Na sasa, maneno ambayonitasoma ni yale ambayo Isayaalizungumza kuhusu nyumbayote ya Israeli; kwa hivyo, ya-naweza kulinganishwa nanyi,kwani nyinyi ni wa nyumba yaIsraeli. Na kuna vitu vingiambavyo vimezungumzwa naIsaya ambavyo vinaweza ku-linganishwa nanyi, kwa saba-bu nyinyi ni wa nyumba yaIsraeli.

6 Na sasa, haya ndiyo maneno:Bwana Mungu asema ahivi:Tazama, nitawainulia Wayu-nani mkono wangu, na ku-wapeperushia watu bbenderayangu; na watawaleta wanawenu mikononi mwao, nakuwabeba mabinti zenu mabe-gani mwao.

7 Na wafa lme watakuwababa walezi wenu, na malkiawao watakuwa mama waleziwenu; watainamisha nyusozao mbele zenu zikielekea udo-ngoni, na kuramba mavumbiya miguu yenu; nanyi mtajuak w a m b a M i m i n i B w a n a ;kwani wale awanaonisubirihawataaibika.

8 Na sasa mimi, Yakobo,nitazungumza kuhusu manenohaya. Kwani tazama, Bwanaamenionyesha kwamba walewaliokuwa aYerusalemu, kule

6 2a Yak. (KM) 1:9, 11.4a 3 Ne. 23:1.6a Isa. 49:22–23.

b mwm Bendera.

7a Musa 1:6;M&M 133:45.

8a Esta 2:6;1 Ne. 7:13;

2 Ne. 25:10;Omni 1:15;Hel. 8:20–21.

Page 99: KITABU CHA MORMONI

2 Nefi 6:9–15 82

tulipotoka, wameuawa na bku-pelekwa utumwani.

9 Walakini, Bwana amenio-nyesha kwamba awatarejeatena. Na pia amenionyeshakwamba Bwana Mungu, aliyeMtakatifu wa Israeli, atajidhi-hirisha kwao katika mwili;na baada ya kujidhihirishawatampiga na bkumsulubu, ku-lingana na maneno ya malaikaaliyenizungumzia.

10 Na baada ya wao kushupa-za mioyo yao na kukaza shingozao kwa yule Mtakatifu waIsraeli, tazama ahukumu zayule aliye Mtakatifu wa Israelizitawateremkia. Na siku ina-kuja kwamba watachapwa nakusumbuliwa.

11 Kwa hivyo, baada yawao kufukuzwa hapa na pale,kwani malaika asema hivi,wengi watasumbuka sana mwi-lini, na hawatakubaliwa kua-ngamia, kwa sababu ya sala zawalio waaminifu; watatawa-nywa, na kupigwa, na kuchu-kiwa; walakini, Bwana ata-warehemu, kwamba awakatibwatakapomfahamu Mkomboziwao, cwatakusanywa pamojatena katika nchi yao ya urithi.

12 Na heri aWayunani, wale

ambao nabii ameandika juu yao;kwani tazama, kama watatubuna hawapigani na Sayuni, nawasijiunge na lile kanisa kuu labmachukizo, wataokolewa; kwa-ni Bwana Mungu atatimiza cma-agano yake aliyoagana na wa-toto wake; na ni kwa sababu hiinabii ameandika maneno haya.

13 Kwa hivyo, wale wanaopi-gana dhidi ya Sayuni na watuwa agano la Bwana watarambamavumbi ya miguu yao; nawatu wa Bwana ahawataaibika.Kwani watu wa Bwana ni walebwanaomsubiri; kwani badowanangoja kuja kwa Masiya.

14 Na tazama, kul inganana maneno ya nabii, Masiyaataanza tena kwa mara ya apilikuwakomboa; kwa hivyo, bata-jidhihirisha kwao kwa uwezona utukufu mkuu, kwa ckua-ngamiza maadui wao, wakatisiku ile itakapofika ambapowatamwamini; na hatamua-ngamiza yeyote yule atakaye-mwamini.

15 Na wale wasiomwaminiyeye awataangamizwa, kwabmoto, na kwa dhoruba, nakwa matetemeko ya ardhi, nakwa vita, na kwa ctauni, nakwa njaa. Na watajua kwamba

8b 2 Fal. 24:10–16;25:1–12.mwm Israeli—Kutawanyika kwaIsraeli.

9a 1 Ne. 10:3.b 1 Ne. 19:10, 13;

Mos. 3:9;3 Ne. 11:14–15.mwm Kusulubiwa.

10a Mt. 27:24–25.11a 1 Ne. 22:11–12;

2 Ne. 9:2.b Hos. 3:5.c mwm Israeli—

Kukusanyika kwaIsraeli.

12a 1 Ne. 14:1–2;2 Ne. 10:9–10.

b mwm Ibilisi—Kanisala ibilisi.

c mwm Agano laIbrahimu.

13a 3 Ne. 22:4.

b Isa. 40:31; 1 Ne. 21:23;M&M 133:45.

14a Isa. 11:11;2 Ne. 25:17; 29:1.

b 2 Ne. 3:5.c 1 Ne. 22:13–14.

15a 2 Ne. 10:16; 28:15;3 Ne. 16:8.mwm Siku zaMwisho.

b Yak. (KM) 6:3.c M&M 97:22–26.

Page 100: KITABU CHA MORMONI

83 2 Nefi 6:16–7:6

Bwana ni Mungu, yule Mtaka-tifu wa Israeli.16 aKwani mawindo yatanya-

ng’anywa kutoka wale wenyenguvu, au mateka bhalali kuko-mbolewa?17 Lakini Bwana asema hivi:

Hata amateka wa shujaa wata-nyakuliwa, na mawindo yawaovu kukombolewa; kwanibMwenyezi Mungu catawako-mboa watu wake wa agano.Kwani Bwana asema hivi :Nitashindana na wale wanao-shindana nawe —18 Na nitawalisha wale wana-

owadhulumu, kwa miili yaowenyewe; na watalewa kwadamu yao wenyewe kama vilekwa mvinyo mtamu; na miiliyote itafahamu kwamba mimiBwana ndiye Mwokozi wakona a Mkombozi wako, yuleMwenye bEnzi wa Yakobo.

MLANGO WA 7

Isaya azungumza kiumasiya —Masiya atakuwa na ulimi wa aliye-elimika — Atapeana mgongo wakekwa wale wampigao — Hatafadha-ishwa — Linganisha Isaya 50. Ku-toka karibu mwaka wa 559 hadi545 kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

Ndio, kwani Bwana asemahivi: Je, nimekuweka kando, aukukutenga milele? Kwani Bwa-

na asema hivi: Cheti cha talakacha mama yako kiko wapi?Kwa nani nimekuweka, au nikwa nani anayenidai nimekuu-za? Ndio, kwa nani nimekuuza?Tazama, ni kwa uovu wenuammejiuza, na ni kwa makosayenu mama yenu ametengwa.

2 Kwa hivyo, ni l ipokuja ,hakukuwepo mtu yeyote; anili-poita, ndio, hakukuwepo nayeyote wa kujibu. Ee nyumbaya Israeli, je, mkono wanguumefupishwa kwamba siwezikukomboa, au sina uwezo wakukomboa? Tazama, kwa ku-kemea kwangu ninakaushabbahari, ninafanya cmito yaokuwa nyika na dsamaki waokunuka kwa sababu maji yaoyamekauka, na wanakufa kwasababu ya kiu.

3 Ninavisha mbingu na aweu-si, na kusababisha bgunia iwemavazi yao.

4 Bwana Mungu amenipatiaaulimi wa aliyeelimika, kwambaniweze kujua jinsi ya kuwazu-ngumzia katika majira, Eenyumba ya Israeli . Wakatimmechoka anaamka asubuhikwa asubuhi. Anaamsha sikiolangu kusikia kama yule aliye-elimika.

5 Bwana Mungu amefunguaasikio langu, na sikuasi walakurudi nyuma.

6 Niliwapatia awalionipiga

16a Isa. 49:24–26.b m.y. watu wa agano

wa Bwana, kamailivyoelezwakatika aya 17.

17a 1 Ne. 21:25.b mwm Yehova.c 2 Fal. 17:39.

18a mwm Mkombozi.b Mwa. 49:24;

Isa. 60:16.7 1a mwm Ukengeufu.2a Mit. 1:24–25;

Isa. 65:12; Alma 5:37.b Kut. 14:21;

Zab. 106:9;

M&M 133:68–69.c Yos. 3:15–16.d Kut. 7:21.

3a Kut. 10:21.b Ufu. 6:12.

4a Lk. 2:46–47.5a M&M 58:1.6a Mt. 27:26; 2 Ne. 9:5.

Page 101: KITABU CHA MORMONI

2 Nefi 7:7–8:6 84

mgongo wangu, na mashavuyangu kwa waliong’oa nywele.Sikuuficha uso wangu tokanana aibu na kutemewa mate.7 Kwani Bwana Mungu ata-

nisaidia, kwa hivyo sitafadhai-shwa. Kwa hivyo nimekazauso wangu kama jiwe, na nina-jua kwamba sitaaibishwa.

8 Na Bwana yuko karibu, naananitetea. Nani atashindanana mimi? Tusimame pamoja.Nani adui yangu? Anikaribiemimi, na nitampiga kwa nguvuza kinywa changu.

9 Kwani Bwana Mungu atani-saidia. Na wale awatakaonihu-kumu, tazama, wote watakuwawazee kama nguo, na kuliwana nondo.10 Ni nani miongoni mwenu

anayemwogopa Bwana, anaye-tii asauti ya mtumishi wake,anayetembea kwa giza bilanuru?

11 Tazameni nyote mnaowa-sha moto, ambao mnajizingirakwa chembe za moto, tembeenikatika nuru ya moto awenu nakwa chembe za moto mnaowa-sha. Mtapata haya kutokamkono wangu — mtalala chinikwa huzuni.

MLANGO WA 8

Katika siku za mwisho, Bwanaataifariji Sayuni na kukusanya

Israeli—Waliokombolewa wataku-ja Sayuni kwa shangwe kuu —Linganisha Isaya 51 na 52:1–2.Kutoka karibu mwaka wa 559 hadi545 kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

Nisikizeni mimi, nyinyi ambaomnatafuta utakatifu. Tazameniamwamba kutoka ambapo mli-chongwa, na kwenye shimomlikotolewa.

2 Tazameni Ibrahimu, ababayenu, na bSara, aliyewazaa;kwani nimemwita pekee, nakumbariki.

3 Kwani Bwana atafari j iaSayuni, atafariji sehemu zakezote zenye ukiwa; na atasaba-bisha bnyika yake kuwa kamaEdeni, na jangwa lake kamabustani ya Bwana. Shangwe nafuraha itakuwa ndani yake, piana shukrani na sauti ya uimbaji.

4 Nisikilizeni, watu wangu;na mnipe sikio, Ee taifa langu;kwani asheria itatoka kwangu,na nitafanya hukumu zangukubaki kama bmwangaza kwawatu.

5 Haki yangu iko karibu; awo-kovu wangu umesonga mbele,na mkono wangu utahukumuwatu. bVisiwa vitaningoja, nawatauamini mkono wangu.

6 Elekezeni macho yenu mbi-nguni, na mtazame huko chiniduniani; kwani ambingu bzita-toweka kama moshi, na duniacitazeeka kama vazi; na wale

9a Rum. 8:31.10a M&M 1:38.11a Amu. 17:6.8 1a mwm Mwamba.

2a Mwa. 17:1–8;M&M 132:49.

b Mwa. 24:36.

3a mwm Sayuni.b Isa. 35:1–2, 6–7.

4a au fundisho.Isa. 2:3.mwm Injili.

b mwm Nuru, Nuruya Kristo.

5a mwm Wokovu.b 2 Ne. 10:20.

6a 2 Pet. 3:10.b ebr kutawanywa.

Zab. 102:25–27.c ebr oza.

Page 102: KITABU CHA MORMONI

85 2 Nefi 8:7–19

wanaoishi ndani yake wataku-fa vivyo hivyo. Lakini wokovuwangu utakuwa milele, na hakiyangu haitaondolewa.7 Nisikilizeni mimi, nyinyi

ambao mnajua haki, wale watuambao nimeandika sheria ya-ngu moyoni mwao, amsiogopemzaha wa wanadamu, walamsiogope matusi yao.8 Kwani nondo atawala kama

vazi, na mchango kuwala kamamanyoya. Lakini haki yanguitakuwa milele, na wokovuwangu utakuwa kutoka kizazihadi kizazi.

9 Inuka, inuka! Vaa anguvu, Eemkono wa Bwana; inuka kamakatika siku za kale. Kwani wewesio yule aliyemchinja Rahabu,na kuumiza joka?

10 Kwani wewe s io yuleambaye amekausha bahari,maji ya kilindi kikuu; ambayeamesababisha kilindi cha baharikuwa anjia ya wale walioko-mbolewa kupitia?11 Kwa hivyo, wale awalioko-

mbolewa na Bwana watarejea,na kuja Sayuni bwakiimba; nashangwe isiyo na mwisho nautakatifu itakuwa juu ya vichwavyao, na watapokea furaha nashangwe; huzuni na ckuombo-leza zitatoweka.12 aMimi ndiye; ndio, mimi

ndimi yule anayekufariji. Ta-zama, wewe ni nani, kwambabumwogope mwanadamu, ata-kayekufa, na mwanadamu,

ambaye atafanywa kuwa kamacnyasi?13 Na a kumsahau Bwana

muumba wako, ambaye ameta-ndaza mbingu, na kujengamsingi wa dunia, na ameende-lea kuogopa kila siku, kwa sa-babu ya hasira ya mdhalimu,kama aliye tayari kukuangami-za? Na hasira ya mdhalimu ikowapi?

14 Mateka mkimbizi anaha-rakisha, ili afunguliwe, nakwamba asife shimoni, walakwamba asikose mkate wake.

15 Lakini mimi ni BwanaMungu wako, ambaye amawi-mbi yake yalizuka; Bwana waMajeshi ni jina langu.

16 Na nimeweka manenoyangu kinywani mwako, nakukuficha katika kivuli chamkono wangu, ili nipandembingu na kujenga msingi wadunia, na kuambia Sayuni: Ta-zama, nyinyi ni awatu wangu.17 Inuka, inuka , s imama

wima, Ee Yerusalemu, ambayeamekunywa kutoka mkono waBwana akikombe cha bhasirayake — umekunywa mabaki yakikombe cha kuogopesha —

18 Na hakuna yeyote miongonimwa wana wake wote aliozaaanayeweza kumwongoza; walayule anayemchukua kwa mko-no wake, miongoni mwa wanawale wote aliolea.

19 Hawa awana wawili wame-kujia, ambao watakuhurumia—

7a Zab. 56:4, 11;M&M 122:9.

9a M&M 113:7–8.10a Isa. 35:8.11a mwm Komboa,

Kombolewa,

Ukombozi.b Isa. 35:10.c Ufu. 21:4.

12a M&M 133:47; 136:22.b Yer. 1:8.c Isa. 40:6–8; 1 Pet. 1:24.

13a Yer. 23:27.15a 1 Ne. 4:2.16a 2 Ne. 3:9; 29:14.17a Isa. 29:9; Yer. 25:15.

b Lk. 21:24.19a Ufu. 11:3.

Page 103: KITABU CHA MORMONI

2 Nefi 8:20–9:3 86

ukiwa na uangamizo wako, nanjaa na upanga — na ni kwakupitia nani nitakayekufariji?20 Wana wako wamezimia, ila

tu hawa wawili; wanangojakwenye njia zote; kama ndumewa kichakani kwenye wavu,wamejaa hasira ya Bwana, ke-meo la Mungu wako.

21 Kwa hivyo sikiliza hayasasa, wewe uliyesumbuka, naakulewa, na sio kwa mvinyo:22 Bwana wako asema hivi,

Bwana na Mungu wako aanate-tea maslahi ya watu wake;tazama, nimeondoa mkononimwako kikombe cha kuogope-sha, mabaki ya kikombe chahasira yangu; wewe hutaki-nywa tena.

23 Lakini aMimi nitakiwekamkononi mwa wale wanaoku-sumbua; wale ambao wameia-mbia nafsi yako: Inama chini,ili tupite juu—na wewe umela-za mwili wako chini na ukawakama njia kwa wale waliopita.24 aInuka, inuka, vaa bnguvu

zako, Ee cSayuni; vaa mavaziyako maridadi, Ee Yerusalemu,mji mtakatifu; kwani tangu sasawasiotahiriwa na walio wacha-fu dhawatakuingia.

25 Jitingishe kutoka mavu-mbini; ainuka, kaa chini, EeYerusalemu; jifungue tokanana bvifungo vya shingo lako, Eebinti mateka wa Sayuni.

MLANGO WA 9

Wayahudi watakusanywa katikanchi zao zote za ahadi — Upatani-sho ni ukombozi wa mwanadamukutoka Mwanguko—Miili ya wafuitafufuka kutoka kaburini, na rohozao zitatoka kuzimu na Peponi— Watahukumiwa — Upatanishounaokoa kutoka kifo, jahanamu,ibilisi na mateso yasiyo na mwisho— Watakatifu wataokolewa katikaufalme wa Mungu — Malipo yadhambi yanaelezwa — Mtakatifuwa Israeli ni mlinzi wa mlango.Kutoka karibu mwaka wa 559hadi 545 kabla ya kuzaliwa kwaKristo.

Na sasa, ndugu zangu wape-ndwa, nimesoma vitu hivi ilimfahamu kuhusu yale amaaga-no ya Bwana aliyoagana nanyumba yote ya Israeli —

2 Kwamba amezungumza kwaWayahudi, kwa kinywa chamanabii wake watakatifu, hatatangu mwanzo hadi chini, ki-zazi kwa kizazi, mpaka wakatiufike awatakaporejeshwa kwalile kanisa la kweli na zizi laMungu; wakati bwatakapoku-sanywa nyumbani kwenyecnchi zao za urithi, na wataima-rishwa katika nchi zao zote zaahadi.

3 Tazameni, ndugu zangu wa-pendwa, nawazungumzia vitu

21a 2 Ne. 27:4.22a Yer. 50:34.23a Zek. 12:9.24a Isa. 52:1–2.

b M&M 113:7–8.c mwm Sayuni.d Yoe. 3:17.

25a m.y. Inuka kutoka

mavumbini nauketi katikaheshima, ukiwaumekombolewahatimaye.

b M&M 113:9–10.9 1a mwm Agano la

Ibrahimu.

2a 2 Ne. 6:11.mwm Urejesho waInjili.

b mwm Israeli—Kukusanyika kwaIsraeli.

c 2 Ne. 10:7–8.mwm Nchi ya Ahadi.

Page 104: KITABU CHA MORMONI

87 2 Nefi 9:4–9

hivi ili kwamba mshangilie,na amuinue vichwa vyenu juumilele, kwa sababu ya barakaambazo Bwana Mungu atawa-teremshia watoto wenu.4 Kwani najua kwamba wengi

wenu, mmetafuta sana, kujuavitu vijavyo; kwa hivyo najuakwamba mnajua kuwa amiiliyetu lazima izeeke na kufa;walakini, katika miili yetu tu-tamuona Mungu.5 Ndio, najua kwamba mna-

jua kwamba atajidhihirishakimwili kwa wale walio Yeru-salemu, kule tulikotoka; kwanini lazima iwe miongoni mwao;kwani i l impasa a Muumbamkuu akubali kuwa chini yamwanadamu katika mwili, naafe kwa wanadamu bwote, iliwanadamu wote wawe chiniyake.

6 Kwani kifo kimewapatawanadamu wote, ili kutimizaampango wa huruma wa Muu-mba mkuu, inahitajika lazimapawe na nguvu ya bufufuo,na inahitajika lazima ufufuoumfikie mwanadamu kwa saba-bu ya cmwanguko; na mwa-nguko ulitokana na kosa; nakwa sababu mwanadamu alia-

nguka dalitengwa tokana nauwepo wa Bwana.

7 Kwa hivyo, unahitajikanaiwe aupatanisho busio na kipi-mo — bila huu upatanisho usiona kipimo huu uharibifu hau-wezi kuvaa kutoharibika. Kwahivyo, hukumu ya ckwanza ili-yompata mwanadamu lazimadingekuwa kwa muda usio namwisho. Na kama ni hivyo,miili hii lazima ingelala chinikuoza na kurudi mavumbiniilipotoka, bila kufufuka tena.

8 Ee ahekima ya Mungu, bhu-ruma zake na cneema! Kwanitazama, kama dmiili haifufukitena roho zetu lazima ziwe chiniya yule malaika ealiyeangukakutoka uwepo wa Mungu waMilele, na akawa fibilisi, bilakufufuka tena.

9 Na roho zetu lazima zinge-kuwa kama yeye, na tuwemashetani, amalaika kwa ibilisi,bkutengwa na uwepo wa Mu-ngu wetu, na kuishi na baba wacuwongo, katika huzuni, kamayeye mwenyewe; ndio, kwakile kiumbe dkilichodanganyawazazi wetu wa kwanza, amba-ye ehujigeuza kuwa fmalaikawa nuru, na huvuruga watoto

3a tjs, Zab. 24:7–10.4a Ayu. 19:26;

Alma 11:41–45; 42:23;Hel. 14:15;Morm. 9:13.

5a mwm Umba,Uumbaji.

b Yn. 12:32; 2 Ne. 26:24;3 Ne. 27:14–15.

6a mwm Mpango waUkombozi.

b mwm Ufufuko.c mwm Anguko la

Adamu na Hawa.

d 2 Ne. 2:5.7a mwm Lipia dhambi,

Upatanisho.b Alma 34:10.c Mos. 16:4–5;

Alma 42:6, 9, 14.d Mos. 15:19.

8a Ayu. 12:13; Ibr. 3:21.mwm Hekima.

b mwm Rehema,Rehema, enye.

c mwm Neema.d M&M 93:33–34.e Isa. 14:12;

2 Ne. 2:17–18;Musa 4:3–4;Ibr. 3:27–28.

f mwm Ibilisi.9a Yak. (KM) 3:11;

Alma 5:25, 39.b Ufu. 12:7–9.c mwm Kusema uongo.d Mwa. 3:1–13;

Mos. 16:3;Musa 4:5–19.

e 2 Kor. 11:14;Alma 30:53.

f M&M 129:8.

Page 105: KITABU CHA MORMONI

2 Nefi 9:10–16 88

wa watu kuwa na makundimaovu ya gsiri na ya mauaji nakila aina ya kazi za siri za giza.

10 Ee jinsi gani ilivyo kuuwema wa Mungu wetu, anaye-tutayarishia njia ya kuepukakunaswa na huyu mnyamamwovu; ndio, huyo mnyama,akifo na bjahanamu, ambayonaita kifo cha mwili, na pia kifocha roho.

11 Na kwa sababu ya njia yaaukombozi wa Mungu wetu,Mtakatifu wa Israeli, hiki bkifo,ambacho nimetaja, ambacho nicha muda, kitaachilia wafuwake; kifo ambacho ni kaburi.

12 Na akifo hiki ambachonimetaja, ambacho ni kifo chakiroho, kitaachilia wafu wake;kifo cha kiroho ambacho nib jahanamu; kwa hivyo, kifona jahanamu lazima ziachiliewafu wao, na jahanamu lazimai a c h i l i e r o h o z a k e z i l i z outumwani, na kaburi lazimaliachilie miili yake iliyo utu-mwani, na miili na croho za wa-nadamu ditaunganishwa tena;na ni kwa nguvu za ufufuo zayule Mtakatifu wa Israeli.

13 Ee jinsi gani ulivyo mkuua mpango wa Mungu wetu!Kwani katika njia nyingine,

bpeponi ya Mungu lazima iachi-lie roho za walio haki, na kaburiiachilie miili ya walio haki; naroho na mwili ckuunganishwatena, na wanadamu wote wawedwasioharibika, na wasiokufa,na wao ni nafsi zinazoishi,wakiwa na eufahamu fkamilikama sisi tulio na miili, ila tuufahamu wetu utakuwa kamili.

14 Kwa hivyo, tutakuwa naaufahamu kamili wa bhatiazetu, na uchafu wetu, na cuchiwetu; na walio haki watakuwana ufahamu kamili wa furahayao, na dutakatifu wao, wakiwaewamevishwa fusafi, ndio, hatakwa gjoho la utakatifu.

15 Na itakuwa kwamba baadaya wanadamu wote kupita ma-uti haya ya kwanza na kupatauzima, jinsi vile wamekuwawasiokufa, lazima watasimamambele ya kiti cha ahukumu chayule Mtakatifu wa Israeli; nakisha bhukumu itafika, na kishalazima wahukumiwe kulinganana hukumu takatifu ya Mungu.

16 Na kwa hakika, kama Bwa-na anavyoishi, kwani BwanaMungu amelizungumza, na nianeno lake la milele, ambalohalikosi bkutimizwa, kwambawale walio haki bado wataku-

9g mwm Makundimaovu ya siri.

10a Mos. 16:7–8;Alma 42:6–15.

b mwm Jahanamu.11a mwm Mwokozi.

b mwm Mauti, yaKimwili.

12a mwm Mauti, yaKiroho.

b M&M 76:81–85.c mwm Roho.d mwm Ufufuko.

13a mwm Mpango waUkombozi.

b M&M 138:14–19.mwm Peponi.

c Alma 11:43.d mwm Isiyo kufa,

Maisha ya kutokufa.e M&M 130:18–19.f mwm Kamilifu.

14a Mos. 3:25;Alma 5:18.

b mwm Hatia.c Morm. 9:5.

d mwm Haki, enye,Uadilifu.

e Mit. 31:25.f mwm Safi, Usafi.g M&M 109:76.

15a mwm Hukumu, yaMwisho.

b Zab. 19:9;2 Ne. 30:9.

16a 1 Fal. 8:56;M&M 1:38;Musa 1:4.

b M&M 56:11.

Page 106: KITABU CHA MORMONI

89 2 Nefi 9:17–25

wa haki, na wale walio cwaovubado watakuwa dwaovu; kwahivyo, wale ambao ni waovu nieibilisi na malaika wake; na wa-tatupwa kwenye moto usio nafmwisho, waliotayarishiwa; namateso yao ni kama gziwa lamoto na kiberiti ambacho ndi-mi zake zinapanda juu milelena daima bila mwisho.

17 Ee jinsi gani ilivyo kuuahaki ya Mungu wetu! Kwanianatimiza maneno yake yote, nayametoka kinywani mwake, nasheria yake lazima itimizwe.18 Lakini, tazama, awatakatifu,

wale wateule wa yule Mtakatifuwa Israeli, wale ambao wame-mwamini yule Mtakatifu waIsraeli, wale ambao wamevu-milia bmisalaba ya ulimwengu,na kudharau aibu yake, cwata-rithi dufalme wa Mungu, ambaowalitayarishiwa etangu mwanzowa dunia, na shangwe yaoitakuwa tele fmilele.19 Ee jinsi gani ilivyo kuu

rehema ya Mungu wetu, yuleMtakatifu wa Israeli! Kwaniahuwakomboa watakatifu waketokana na yule mnyama bmwo-vu yaani ibilisi, na kifo, nacjahanamu, na lile ziwa la motona kiberiti, ambalo ni matesoyasiyo na mwisho.

2 0 E e j i n s i g a n i u l i v y omkuu autakatifu wa Munguwetu! Kwani banafahamu vituvyote, na hakuna jambo loloteasilolijua.

21 Na anakuja ulimwenguniili aawaokoe wanadamu wotekama watakubali sauti yake;kwani tazama, anapokea bmau-mivu ya wanadamu wote, ndio,maumivu ya kila kiumbe kina-choishi, waume kwa wake, nawatoto, ambao ni wa jamii yacAdamu.22 Na anakubali haya ili ufu-

fuo uwafikie wanadamu wote,ili wote wasimame mbele yakekatika siku ile kuu ya hukumu.

23 Na anawaamuru wanada-m u w o t e k w a m b a l a z i m aawatubu, na bwabatizwe katikajina lake, wakiwa na imanikamili katika yule Mtakatifuwa Israel i , au kama sivyohawawezi kuokolewa katikaufalme wa Mungu.

24 Na kama hawatatubu nakuamini katika ajina lake, nakubatizwa kwa jina lake, nabkuvumilia hadi mwisho, lazi-ma wapate claana ya milele;kwani Bwana Mungu, yuleMtakatifu wa Israeli, amezu-ngumza.

25 Kwa hivyo, ametoa asheria;

16c mwm Chafu, Uchafu.d 1 Ne. 15:33–35;

Alma 7:21;Morm. 9:14;M&M 88:35.

e mwm Ibilisi.f Mos. 27:28.g Ufu. 21:8; 2 Ne. 28:23;

M&M 63:17.17a mwm Haki.18a mwm Mtakatifu.

b Lk. 14:27.

c M&M 45:58; 84:38.d mwm Kuinuliwa.e Alma 13:3.f mwm Uzima wa

Milele.19a M&M 108:8.

b 1 Ne. 15:35.c mwm Jahanamu.

20a mwm Utakatifu.b Alma 26:35;

M&M 38:2.21a mwm Wokovu.

b M&M 18:11; 19:18.c mwm Adamu.

23a mwm Toba, Tubu.b mwm Batiza, Ubatizo.

24a mwm Yesu Kristo—Kujichukulia Jinala Yesu Kristo juuyetu.

b mwm Stahimili.c mwm Hukumu.

25a Yak. (Bib.) 4:17.mwm Sheria.

Page 107: KITABU CHA MORMONI

2 Nefi 9:26–36 90

na ambapo b hakuna sheriaimetolewa hakuna adhabu; napasipo adhabu hakuna huku-mu; na pasipo hukumu rehemaza yule Mtakatifu wa Israelizinawadai, kwa sababu ya upa-tanisho; kwani wanakombolewakwa nguvu zake.

26 Kwani aupatanisho unati-miza madai yake ya bhaki kwawale ambao chawakupatiwadsheria, kwamba wanakombo-lewa tokana na yule mnyamamwovu, kifo na jahanamu, nayule ibilisi, na ziwa la motona kiberiti, ambalo ni matesobila mwisho; na wanarejeshwakwa yule Mungu aliyewapatiaepumzi, ambaye ni yule Mtaka-tifu wa Israeli.27 Lakini ole kwa yule ambaye

alipewa asheria, ndio, aliye nasheria zote za Mungu, kamasisi, na huzivunja, na yule ana-yepoteza siku za majaribio yake,kwani hali yake ni mbovu!

28 Ee ule ampango wa ujanjawa yule mwovu! Ee butupu,na ugoigoi , na upumbavuwa wanadamu! cWanapoelimi-ka wanadhani kwamba wanadhekima, na hawasikii emawai-dha ya Mungu, kwani wanaiwe-

ka kando, wakifikiria kwambawanajua wenyewe, kwa hivyo,hekima yao ni ujinga na haiwa-faidi. Na wataangamia.

29 Lakini kuelimika ni vyemaikiwa awatatii bmawaidha yaMungu.

30 Lakini ole kwa amatajiri,ambao ni matajiri kwa vitu vyaulimwengu. Kwani kwa saba-bu wao ni matajiri wanachukiawalio bmasikini, na wanawate-sa wale wapole, na mioyo yaoiko kwenye hazina yao; kwahivyo, hazina yao ni munguwao. Na tazama, hazina yaoitaangamia nao pia.

31 Na ole kwa viziwi wale awa-siosikia; kwani wataangamia.

32 Ole pia kwa wale waliovipofu wasioona; kwani naopia wataangamia.

33 Ole kwa wale wasiotairiwamoyoni, kwani ufahamu wamaovu yao utawasonga katikasiku ya mwisho.

34 Ole kwa aliye amdanganyi-fu, kwani atatupwa bjahanamu.

35 Ole kwa muuaji aanayeuaakitaka, kwani batakufa.36 Ole kwa wale wanaotenda

aukahaba, kwani watatupwajahanamu.

25b Rum. 4:15; 2 Ne. 2:13;Alma 42:12–24.mwm Kuwajibika,Uwajibikaji, Wajibika.

26a 2 Ne. 2:10;Alma 34:15–16.mwm Lipia dhambi,Upatanisho.

b mwm Haki.c Mos. 3:11.d Mos. 15:24;

M&M 137:7.e Mwa. 2:7;

M&M 93:33; Ibr. 5:7.27a Lk. 12:47–48.

28a Alma 28:13.b mwm Majivuno,

Siofaa.c Lk. 16:15;

2 Ne. 26:20; 28:4, 15.d Mit. 14:6; Yer. 8:8–9;

Rum. 1:22.mwm Hekima; Kiburi.

e Alma 37:12.mwm Ushauri.

29a 2 Ne. 28:26.b Yak. (KM) 4:10.

30a Lk. 12:34; 1 Tim. 6:10;M&M 56:16.

b mwm Maskini.

31a Eze. 33:30–33;Mt. 11:15; Mos. 26:28;M&M 1:2, 11, 14;Musa 6:27.

34a Mit. 19:9.mwm Kusema uongo;Mwaminifu,Uaminifu.

b mwm Jahanamu.35a Kut. 20:13;

Mos. 13:21.b mwm Adhabu Kuu.

36a 3 Ne. 12:27–29.mwm Usafi waKimwili.

Page 108: KITABU CHA MORMONI

91 2 Nefi 9:37–44

37 Ndio, ole kwa wale awanao-abudu masanamu, kwani ibilisiwa ibilisi wote huwafurahia.

38 Na, mwishowe, ole kwawale wote wanaokufa katikadhambi zao; kwani awatamre-jea Mungu, na kuona uso wake,na kubaki katika dhambi zao.39 Ee, ndugu zangu wape-

ndwa, kumbukeni uovu wakumkosea yule Mungu Mtaka-tifu, na pia uovu wa kukubaliushawishaji wa yule amwovu.Kumbukeni, kufikiria bkimwilini ckifo, na kufikiria kiroho niduzima wa emilele.40 Ee, ndugu zangu wape-

ndwa, sikilizeni maneno yangu.Kumbukeni ukuu wa yuleMtakatifu wa Israeli. Msisemekwamba nimezungumza vituvigumu dhidi yenu; kwanimkifanya hivyo, mtaasi kinyu-me cha aukweli; kwani nimene-na maneno ya Muumba wenu.Najua kwamba maneno yakweli ni bmakali kwa uchafuwote; lakini walio haki hawa-yaogopi, kwani wanapendaukweli na hawatingishwi.

41 Kisha, Ee ndugu zangu wa-pendwa, anjooni kwa Bwana,yule Mtakatifu. Kumbuka kwa-mba mapito yake ni matakatifu.Tazama, bnjia ya mwanadamu

ni cnyembamba, lakini imenyo-oka mbele yake, na dmlinziwa mlango ni yule Mtakatifuwa Israeli; na haajiri mtumishiyeyote pale; na hakuna njianyingine yoyote isipokuwa kwamlango; kwani hawezi kuda-nganywa, kwani Bwana Mungundilo jina lake.

42 Na kwa yeyote anayebisha,kwake yeye atamfungulia; nakwa wenye ahekima, na walio-elimika, na wale walio matajiri,ambao bwanajidai kwa sababuya elimu yao, na hekima yao,na utajiri wao — ndio, hao ndioanaochukia; na wasipoacha vituhivi , na waj ichukue kamacwajinga mbele ya Mungu, nadkunyenyekea, hatawafungulia.43 Lakini vitu vya wenye heki-

ma na walio werevu avitafichwakwao milele — ndio, furaha ileiliyotayarishiwa watakatifu.

44 Ee, ndugu zangu wape-ndwa, kumbukeni maneno ya-ngu. Tazama, navua mavaziyangu, na kuzisukasuka mbeleyenu; Naomba kwamba Munguwa wokovu wangu anitazamena jicho lake linaloona akilamahali; kwa hivyo, mtajua ka-tika siku ile ya mwisho, wakatiwanadamu wote watakapohu-kumiwa kulingana na kazi zao,

37a mwm Kuabudusanamu.

38a Alma 40:11, 13.39a 2 Ne. 28:20–22; 32:8;

Mos. 2:32; 4:14;Alma 30:53.

b Rum. 8:6.mwm Tamaa zakimwili.

c mwm Mauti, yaKiroho.

d Mit. 11:19.

e mwm Uzima waMilele.

40a mwm Ukweli.b 1 Ne. 16:2;

2 Ne. 28:28; 33:5.41a 1 Ne. 6:4;

Yak. (KM) 1:7;Omni 1:26;Moro. 10:30–32.

b 2 Ne. 31:17–21;Alma 37:46;M&M 132:22, 25.

c Lk. 13:24; 2 Ne. 33:9;Hel. 3:29–30.

d 2 Ne. 31:9, 17–18;3 Ne. 14:13–14;M&M 43:7; 137:2.

42a Mt. 11:25.b mwm Kiburi.c 1 Kor. 3:18–21.d mwm Mnyenyekevu,

Unyenyekevu.43a 1 Kor. 2:9–16.44a Yak. (KM) 2:10.

Page 109: KITABU CHA MORMONI

2 Nefi 9:45–53 92

kwamba Mungu wa Israelialishuhudia kwamba bnilijitoamzigo wa maovu yenu kutokanafsi yangu, na kwamba nasi-mama kwa usafi mbele yake,na kwamba damu yenu chaikojuu yangu.

45 Ee, ndugu zangu wape-ndwa, acheni dhambi zenu;jifungueni aminyororo ya yuleatakayewafunga; njooni kwayule Mungu aliye bmwambawa wokovu wenu.

46 Tayarisheni nafsi zenu kwasiku ile ya autukufu ambapowale walio watakatifu watahu-dumiwa kwa haki, hata siku ileya bhukumu, kwamba msitete-meke kwa woga; na kwambamsikumbuke chatia yenu yauovu katika ukamilifu, na mla-zimishwe kulia: Takatifu, taka-tifu ni hukumu zako, Ee BwanaMungu dMwenyezi—lakini na-jua hatia yangu; nilivunja sheriayako, na makosa yangu niyangu; na ibilisi amenipata, nakwamba mimi ni mawindokwa huzuni yake mbovu.

47 Lakini tazameni, nduguzangu, je, ni lazima niwafaha-mishe huu ukweli wa kutishawa vitu hivi? Je, ningesumbuanafsi zenu kama mawazo yenuyangekuwa mema? Ningekuwawazi kwenu kulingana na udha-hiri wa kweli kama mngepatauhuru wa dhambi?

48 Tazama, kama mngekuwawatakatifu ningewazungumziakuhusu utakatifu; lakini kwavile nyinyi sio watakatifu, namnanitegemea mimi kamamwalimu, lazima aniwafunzekuhusu matokeo ya bdhambi.

49 Tazama, nafsi yangu ina-chukia dhambi, na moyo wanguunafurahishwa na utakatifu;na anitalisifu jina takatifu laMungu wangu.

50 Njooni, ndugu zangu, kilammoja aliye na kiu, njoonikwenye amaji; na yule asiyena pesa, njoo ununue na ule;ndio, njooni mnunue mvinyona maziwa bila bpesa na bei.

51 Kwa hivyo, msitumie pesazenu kwa yale yasiyo na tha-mani, wala anguvu zenu kwayale yasiyotosheleza. Mnisikili-ze kwa makini, na mkumbukeyale maneno ambayo nimezu-ngumza; na mje kwa yuleMtakatifu wa Israeli, na bmleyale yasiyoangamia, wala ku-haribiwa, na mruhusu nafsizenu zifurahie unono.

52 Tazameni, ndugu zanguwapendwa, kumbukeni mane-no ya Mungu wenu; muombenibila kukoma kwa mchana, naamshukuru jina lake takatifukwa usiku. Acheni mioyo yenuishangilie.

53 Na tazameni jinsi ganiyalivyo makuu amaagano ya

44b Yak. (KM) 1:19.c Yak. (KM) 2:2;

Mos. 2:28.45a 2 Ne. 28:22;

Alma 36:18.b mwm Mwamba.

46a mwm Haki.b mwm Hukumu, ya

Mwisho.c Mos. 3:25.d 1 Ne. 1:14;

Musa 2:1.48a Alma 37:32.

b mwm Dhambi.49a 1 Ne. 18:16.50a mwm Maji ya Uzima.

b Alma 42:27.51a Isa. 55:1–2.

b 2 Ne. 31:20; 32:3;3 Ne. 12:6.

52a mwm Shukrani,Shukrani, enye, Toashukrani.

53a mwm Agano.

Page 110: KITABU CHA MORMONI

93 2 Nefi 9:54–10:7

Bwana, na jinsi gani ilivyo kuuufadhili wake kwa watoto wawatu; na kwa sababu ya ukuuwake, na neema yake na brehe-ma, ametuahidi kwamba uzaowetu hautaangamizwa kabisa,kimwili, lakini kwamba atawa-hifadhi; na katika vizazi vyabaadaye watakuwa ctawi taka-tifu kwa nyumba ya Israeli.54 Na sasa, ndugu zangu,

ningewazungumzia zaidi; laki-ni kesho nitawaelezea manenoyangu yaliyosalia. Amina.

MLANGO WA 10

Wayahudi watamsulubu Munguwao — Watatawanywa mpaka wa-anze kumwamini — Amerika ita-kuwa nchi ya uhuru ambayo hai-tatawaliwa na mfalme yeyote —Jipatanisheni na Mungu na pokeeniwokovu kwa neema yake. Kutokakaribu mwaka wa 559 hadi 545kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

Na sasa mimi, Yakobo, nawa-zungumzia tena, ndugu zanguwapendwa, kuhusu atawi hilitakatifu ambalo nimelitaja.2 Kwani tazama, ahadi amba-

zo tumepokea ni aahadi kwetukuhusu kimwili; kwa hivyo,kwa vile nimeonyeshwa kwa-mba watoto wetu wengi wataa-

ngamia kimwili kwa sababuya kutoamini, walakini, Munguatawarehemu wengi; na watotowetu watarejeshwa, ili wapokeekile ambacho kitawapatia ufa-hamu wa kweli wa Mkomboziwao.

3 Kwa hivyo, kama vile nili-vyowaambia, lazima inahitajikakwamba Kristo — kwani usikuuliopita amalaika aliniambiakwamba hili l i takuwa jinalake — batakuja miongoni mwaWayahudi, miongoni mwa waleambao ni waovu zaidi ulimwe-nguni; na cwatamsulubu — hi-vyo ndivyo ilimpasa Munguwetu, na hakuna taifa lingineduniani ambalo dlingemsulubueMungu wao.4 Kwani amiujiza mikuu inge-

tendwa miongoni mwa mataifamengine wangetubu, na wa-ngejua kwamba yeye ni Munguwao.

5 Lakini kwa sababu yaa ukuhani wa uongo, walioYerusalemu watamkazia shingozao, hata mpaka asulubiwe.

6 Kwa hivyo, kwa sababu yauovu wao, maangamizo, njaa,tauni, na umwagaji wa damu zi-tawapata; na wale ambao hawa-taangamizwa awatatawanywamiongoni mwa mataifa yote.

7 Lakini tazama, aBwana

53b mwm Rehema,Rehema, enye.

c mwm Shamba lamzabibu la Bwana.

10 1a 1 Ne. 15:12–16;2 Ne. 3:5;Yak. (KM) 5:43–45.

2a 1 Ne. 22:8;3 Ne. 5:21–26; 21:4–7.

3a 2 Ne. 25:19;

Yak. (KM) 7:5;Moro. 7:22.

b mwm Yesu Kristo—Unabii juu yakuzaliwa na kifocha Yesu Kristo.

c 1 Ne. 11:33;Mos. 3:9;M&M 45:52–53.

d Lk. 23:20–24.

e 1 Ne. 19:10.4a mwm Muujiza.5a Lk. 22:2.

mwm Ukuhani wauongo.

6a 1 Ne. 19:13–14.mwm Israeli—Kutawanyika kwaIsraeli.

7a mwm Bwana.

Page 111: KITABU CHA MORMONI

2 Nefi 10:8–18 94

Mungu anasema hivi: Sikubitakapofika watakaponiamini,kwamba mimi ni Kristo, basinimeagana na baba zao kwambawatarejeshwa kimwili, duniani,kwenye nchi za urithi wao.

8 Na itakuwa kwamba awata-kusanywa kutoka mtawanyikowao wa muda mrefu, kutokabvisiwa vya bahari, na kutokasehemu nne za dunia; na mata-ifa ya Wayunani yatakuwamakuu machoni mwangu, ase-ma Mungu, kwa ckuwapelekakatika nchi zao za urithi.9 aNdio, wafalme wa Wayuna-

ni watakuwa baba zao walezi,na malkia wao watakuwa mamawalezi; kwa hivyo, bahadi zaBwana ni kuu kwa Wayunani,kwani ameizungumza, na nanianayeweza kubisha?

10 Lakini tazama, nchi hii,Mungu alisema, itakuwa nchiya urithi wako, na aWayunaniwatabarikiwa katika nchi hii.

11 Na nchi hii itakuwa nchiya auhuru kwa Wayunani, nahakutakuwa na bwafalme katikanchi hii, ambao watainuka juuya Wayunani.12 Na nitaimarisha nchi hii

dhidi ya nchi zingine zote.13 Na yule aanayepigana na

Sayuni bataangamia, asemaMungu.

14 Kwani yule anayeniinuliamfalme ataangamia, kwanimimi, Bwana, amfalme wa mbi-ngu, nitakuwa mfalme wao, nanitakuwa bnuru kwao milele,kwa wale wanaosikia manenoyangu.

15 Kwa hivyo, kwa sababu hii,ili amaagano yangu niliyoaganana watoto wa watu yawezekutimizwa, yale nitakayowate-ndea kimwili, lazima nianga-mize kazi za bsiri za cgiza, na zamauaji, na za machukizo.

16 Kwa hivyo, yule anayepi-gana dhidi ya aSayuni, Myahudina Myunani, mateka na waliohuru, waume kwa wake, wata-angamia; kwani bwao ndio ma-kahaba wa dunia yote; kwanicwale dwasio wangu wako edhi-di yangu, asema Mungu.

17 Kwani anitatimiza ahadizangu ambazo niliagana nawanadamu, kwamba nitawate-ndea kimwili —

18 Kwa hivyo, ndugu zanguwapendwa, Mungu wetu asemahivi: Nitasumbua uzao wenukwa mkono wa aWayunani;walakini, nitalainisha mioyo yaWayunani, kwamba watakuwa

7b 2 Ne. 25:16–17.8a mwm Israeli—

Kukusanyika kwaIsraeli.

b 1 Ne. 22:4;2 Ne. 10:20–22;M&M 133:8.

c 1 Ne. 22:8.9a Isa. 49:22–23.

b 1 Ne. 22:8–9;M&M 3:19–20.

10a 2 Ne. 6:12.11a mwm Huru, Uhuru.

b Mos. 29:31–32.13a 1 Ne. 22:14, 19.

b Isa. 60:12.14a Alma 5:50;

M&M 38:21–22;128:22–23;Musa 7:53.

b mwm Nuru, Nuruya Kristo.

15a mwm Agano.b Hel. 3:23.

mwm Makundimaovu ya siri.

c mwm Giza, Kiroho.16a mwm Sayuni.

b 1 Ne. 13:4–5.c 1 Ne. 14:10.d 1 Ne. 22:13–23;

2 Ne. 28:15–32;3 Ne. 16:8–15;Eth. 2:9.

e Mt. 12:30.17a M&M 1:38.18a Lk. 13:28–30;

M&M 45:7–30.

Page 112: KITABU CHA MORMONI

95 2 Nefi 10:19–25

kama baba kwao; kwa hivyo,Wayunani bwatabarikiwa nackuhesabiwa miongoni mwanyumba ya Israeli.

19 Kwa hivyo, nitaiwekeaawakfu uzao wako hii nchi, nawale watakaohesabiwa mio-ngoni mwa uzao wako, milele,kuwa nchi yao ya urithi; kwanini nchi bora, Mungu anania-mbia, zaidi ya nchi zinginezote, kwa hivyo nitawatakawanadamu wote wanaoishi juuyake kwamba wataniabudu,asema Mungu.20 Na sasa, ndugu zangu

wapendwa, kwa vile Munguwetu wa huruma ametupatiaufahamu mkuu hivyo kuhusuvitu hivi, hebu tumkumbuke,na kuacha dhambi zetu, natusiinamishe vichwa vyetu,kwani hatujatupwa; walakini,atumefukuzwa kutoka nchiyetu ya urithi; lakini tumeo-ngozwa hadi nchi ile iliyobbora zaidi, kwani Bwana ame-sababisha bahari kuwa cnjiayetu, na tuko kwenye dkisiwacha bahari.

21 Lakini kubwa ni ahadi zaBwana kwa wale walio kwenyeavisiwa vya bahari; kwa hivyokama vile inavyosema visiwa,lazima pawe na zaidi ya haya,na pia wale wanaoishi humo nindugu zetu.22 Kwani tazama, Bwana

Mungu aametoa kutoka nyumbaya Israeli mara kwa mara, kuli-ngana na nia na furaha yake.Na sasa tazama, Bwana huku-mbuka wale wote waliotengwa,kwa hivyo anatukumbuka piasisi.

23 Kwa hivyo, changamshenimioyo yenu, na kumbukenikwamba mko ahuru bkujite-ndea — ckuchagua njia ya kifokisicho na mwisho au njia yauzima wa milele.

24 Kwa hivyo, ndugu zanguwapendwa, jipatanisheni na niaya Mungu, na sio kwa nia yaibilisi na mwili; na kumbukeni,baada ya kupatanishwa naMungu, kwamba ni kwa nakupitia aneema ya Mungu pekeebmnaokolewa.

25 Kwa hivyo, Mungu awafu-fue kutoka kwa wafu kwanguvu za ufufuo, na pia kutokakifo kisicho na mwisho kwanguvu za aupatanisho, kwambampokelewe katika ufalme wamilele wa Mungu, kwambammsifu kwa neema takatifu.Amina.

MLANGO WA 11

Yakobo alimwona Mkombozi wake— Sheria ya Musa inamwakilishaKristo na kuthibitisha kwambaatakuja. Kutoka karibu mwaka wa

18b Efe. 3:6.c Gal. 3:7, 29;

1 Ne. 14:1–2;3 Ne. 16:13;21:6, 22; 30:2;Ibr. 2:9–11.

19a 2 Ne. 3:2.20a 1 Ne. 2:1–4.

b 1 Ne. 2:20.mwm Nchi ya Ahadi.

c 1 Ne. 18:5–23.d Isa. 11:10–12.

21a 1 Ne. 19:15–16; 22:4.22a 1 Ne. 22:4.23a mwm Haki ya

uamuzi.

b 2 Ne. 2:16.c Kum. 30:19.

24a mwm Neema.b mwm Wokovu.

25a mwm Lipia dhambi,Upatanisho.

Page 113: KITABU CHA MORMONI

2 Nefi 11:1–8 96

559 hadi 545 kabla ya kuzaliwakwa Kristo.

Na sasa, aYakobo aliambia watuwangu vitu vingi zaidi katikaule wakati; walakini ni hivi vitupekee nimesababisha bviandi-kwe, kwani vitu nilivyoandikavimenitosha.2 Na sasa mimi, Nefi, naandi-

ka maneno zaidi ya aIsaya,kwani nafsi yangu inafurahiamaneno yake. Kwani nitalinga-nisha maneno yake kwa watuwangu, na nitayatuma kwa wa-toto wangu wote, kwani kwelialimwona bMkombozi wangu,hata vile nilivyomwona.

3 Na kaka yangu, Yakobo, piaaamemwona vile nilivyomwo-na; kwa hivyo, nitayatuma ma-neno yao kwa watoto wangukuwathibitishia wao kwambamaneno yangu ni ya kweli.Kwa hivyo, Mungu amesema,kwa maneno ya bwatatu, nitai-marisha neno langu. Walakini,Mungu huwatuma mashahidiwengi, na anathibitisha manenoyake yote.

4 Tazama, nafsi yangu inafu-rahia akuwathibitishia watuwangu ukweli wa bkuja kwaKristo; kwani, ni kwa lengo hilikwamba csheria ya Musa imeto-lewa; na vitu vyote vilivyopewana Mungu tangu mwanzo wadunia, kwa mwanadamu, nikielelezo chake.

5 Na pia moyo wangu unafu-rahia amaagano ya Bwana ali-yoagana na baba zetu; ndio,moyo wangu unafurahia neemayake, na katika haki yake, nanguvu, na rehema zilizo katikampango mkuu wa milele waukombozi kutoka mauti.

6 Na moyo wangu unafurahiakuwathibitishia watu wangukwamba aijapokuwa Kristo ajelazima wanadamu wote waa-ngamie.

7 Kwani kama hakuna Kristoahakuna Mungu; na kama ha-kuna Mungu basi nasi hatupo,kwani hakungekuwa na buu-mbaji. Lakini kuna Mungu, nayeye ni Kristo, na atakuja katikautimil i fu wa wakat i wakemwenyewe.

8 Na sasa naandika baadhi yamaneno ya Isaya, ili wowotewa watu wangu watakaoonamaneno haya wangeinua mioyoyao na kufurahia kwa wanada-mu wote. Sasa haya ndiyomaneno, na mnaweza kuyali-nganisha nanyi na kwa wana-damu wote.

MLANGO WA 12

Isaya anaona hekalu la siku zamwisho, kusanyiko la Israeli, nahukumu ya milenia na amani —Walio na kiburi na waovu wata-shushwa chini katika Ujio Wake

11 1a 2 Ne. 6:1–10.b 2 Ne. 31:1.

2a 3 Ne. 23:1.b mwm Mkombozi.

3a 2 Ne. 2:3;Yak. (KM) 7:5.

b 2 Ne. 27:12;

Eth. 5:2–4;M&M 5:11.

4a 2 Ne. 31:2.b Yak. (KM) 4:5;

Yar. 1:11;Alma 25:15–16;Eth. 12:19.

c 2 Ne. 5:10.5a mwm Agano la

Ibrahimu.6a Mos. 3:15.7a 2 Ne. 2:13.

b mwm Umba,Uumbaji.

Page 114: KITABU CHA MORMONI

97 2 Nefi 12:1–11

wa Pili — Linganisha Isaya 2. Ku-toka karibu mwaka wa 559 hadi545 kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

Neno ambalo aIsaya, mwana waAmozi, baliona kuhusu Yudana Yerusalemu:2 Na itakuwa kwamba katika

siku za mwisho, wakati amlimawa bnyumba ya Bwana itaje-ngwa kileleni mwa cmilima, naitainuliwa juu ya vilima, namataifa yote yataitiririkia.

3 Na watu wengi wataendana kusema, Njooni ninyi, nahebu twende juu ya mlima waBwana, kwenye nyumba yaMungu wa Yakobo; na atatufu-nza njia zake, na atutatembeakatika mapito yake; kwanikutoka Sayuni itatokea bsheria,na neno la Bwana kutokaYerusalemu.

4 Na aatahukumu miongonimwa mataifa, na kukemeawatu wengi: na watafua pangazao kuwa majembe, na mikukiyao itakuwa visu vya kupo-goa — taifa halitainua upangakwa taifa lingine, wala hawata-jifunza vita tena.

5 Ee nyumba ya Yakobo, njoonina tutembee katika nuru ya

Bwana; ndio, njooni, kwaninyote ammepotea, kila mojakatika njia zake mbovu.

6 Kwa hivyo, Ee Bwana, weweumewaacha watu wako, nyu-mba ya Yakobo, kwa sababuawamejaa na mila za mashariki,na wanati i wachawi kamabWafilisti, na cwanajifurahishana watoto wa wageni.

7 Nchi yao pia imejaa fedha nadhahabu, wala hakuna mwishowa hazina zao; nchi yao pia ime-jaa farasi, wala hakuna mwishowa magari yao makubwa.

8 Nchi yao pia imejaa asanamu;wanaabudu kazi ya mikono yaoyenyewe, yale ambayo vidolevyao vyenyewe vimeunda.

9 Na mtu wa kawaida ahai-nami chini, na yule mtu aliyejasiri hanyenyekei, kwa hivyo,usimsamehe.

10 Ee nyinyi mlio waovu,ingieni kwenye mwamba, naamjifiche wenyewe kwenyemavumbi, kwani woga waBwana na utukufu wa nguvuzake utawachapa.

11 Na itakuwa kwamba kiburicha mwanadamu kitanyenye-keshwa, na maringo ya wana-damu yatashushwa, na Bwana

12 1a Isaya mlango wa2–14 imenukuliwakutoka katikamabamba ya shabana Nefi katika2 Ne. 12–24; kunatofauti za manenoambazo inabidizizingatiwe.

b ebr kaza, maana yake“iliyoonwa.” Maanayake Isaya alipokeaujumbe wake kupitiaono kutoka kwa

Bwana.2a Yoe. 3:17.

mwm Sayuni.b mwm Hekalu,

Nyumba ya Bwana.c M&M 49:25.

3a mwm Tembea,Tembea na Mungu.

b ebr fundisho.mwm Injili.

4a 2 Ne. 21:2–9.5a 2 Ne. 28:14;

Mos. 14:6;Alma 5:37.

6a m.y. wamejazwa,wamepewa,mafundisho, imanizisizo za kweli.Zab. 106:35.

b mwm Wafilisti.c ebr kubaliana, au

fanya agano.8a mwm Kuabudu

sanamu.9a m.y. kwa Mungu;

huabudu sanamubadala yake.

10a Alma 12:14.

Page 115: KITABU CHA MORMONI

2 Nefi 12:12–13:2 98

pekee ndiye atainuliwa katikasiku ile.12 Kwani asiku ya Bwana wa

Majeshi hivi punde itatukiakwa mataifa yote, ndio, katikakila mmoja; ndio, kwa walewalio na bkiburi na maringo, nakwa kila mmoja aliyejiinua, naatashushwa chini.13 Ndio, na siku ya Bwana

itateremkia mierezi yote yaLebanoni, kwani iko juu nakuinuliwa; na juu ya mialoniyote ya Bashani;

14 Na juu ya milima yote mi-refu, na juu ya vilima vyote, najuu ya mataifa yote yaliyoinuli-wa, na juu ya kila watu;

15 Na juu ya kila mnara mrefu,na juu ya kila ukuta uliozungu-shwa;

16 Na juu ya meli zote zaabahari, na juu ya meli zote zaTarshishi, na juu ya picha zotenzuri.17 Na kiburi cha mwanadamu

kitashushwa, na maringo yawanadamu kuteremshwa; naBwana pekee ndiye atayeinuli-wa katika siku aile.18 Na ataangamiza sanamu

kabisa.19 Na zitaingia katika mashi-

mo ya miamba, na mapangoya dunia, kwani woga waBwana utawafikia na utukufuwa fahari yake utawapiga,

atakapoinuka kusukasuka uli-mwengu vikali.

20 Katika siku ile mwanadamuatatupa sanamu zake za fedha,na sanamu zake za dhahabu,ambazo alijiundia mwenyewekwa kuabudu, kwa fuko nakwa popo;

21 Kuingia katika mianya yamiamba, na vilele vya miambailiyopasuka, kwani woga waBwana utawajia na fahari yautukufu wake utawachapa,atakapoinuka kusukasuka uli-mwengu vikali.

22 Acha amwanadamu, amba-ye hupumua katika pua zake;kwani nini anacho?

MLANGO WA 13

Yuda na Yerusalemu zitaadhibi-wa kwa sababu ya maasi yao —Bwana hutetea na huhukumu watuwake — Mabinti wa Sayuni wana-laaniwa na kusumbuliwa kwasababu ya kupenda anasa—Linga-nisha Isaya 3. Kutoka karibumwaka wa 559 hadi 545 kabla yakuzaliwa kwa Kristo.

Kwani tazama, Bwana, Bwanawa Majeshi, huondoa kutokaYerusalemu, na Yuda, kijiti nabakora, bakora yote ya mkate,na kijiti chote cha maji —

2 Mwanadamu aliye shujaa,

12a mwm Ujio wa Piliwa Yesu Kristo.

b Mal. 4:1; 2 Ne. 23:11;M&M 64:24.

16a Toleo la Kiyunani(Septuaginto) linakifungu kimoja chamaneno ambachoKiebrania haina,

na Kiebrania inakifungu kimoja chamaneno ambachoKiyunani haina;lakini 2 Ne 12:16ina vyote.

17a m.y. siku ya ujiowa Bwana katikautukufu.

22a m.y. Achakumtegemeamwanadamu aliyekatika mwili wenyekufa; ni mwenyeuwezo kidogoakilinganishwana Mungu.Musa 1:10.

Page 116: KITABU CHA MORMONI

99 2 Nefi 13:3–16

na mwanadamu aliye wa vita,mwamuzi, na nabii, na aliye nahekima, na mzee;3 Kapteni wa wanajeshi ham-

sini, na yule anayeheshimika,na mshauri, na mganga mwe-revu, na mzungumzaji shujaa.

4 Na nitawapat ia watotokuwa wafalme wao, na watotowachanga watawatawala.

5 Na watu watadhulumiwa,kila mmoja na mwingine, na kilammoja na jirani yake; watotowatajivunia wazee, na mshenzikwa anayeheshimika.

6 Wakati mtu atamkumbatiakaka yake wa nyumba ya babayake, na kusema: Wewe unayomavazi, kuwa kiongozi wetu,na usikubali haya amaangamizokushukia kwa mkono wako —7 Katika siku ile ataapa, akise-

ma: Mimi sitakuwa amponyaji;kwani nyumbani mwanguhamna mkate wala mavazi;msinifanye kiongozi wa watu.8 Kwani Yerusalemu aimea-

ngamizwa, na Yuda bimeangu-ka, kwa sababu ndimi zaona matendo yao yamekuwakinyume cha Bwana , kwakuchokoza utukufu wa machoyake.9 Umbo la nyuso zao lina-

shuhudia dhidi yao, na kuta-ngaza kwamba dhambi yao nikama ya aSodoma, na hawawezi

kuificha. Ole kwa roho zao,kwani wamejilipiza kwa uovu!

10 Waambieni walio wataka-tifu kwamba wako asalama;kwani watakula matunda yamatendo yao.

11 Ole kwa wale walio waovu,kwani wataangamia; kwanimalipo ya mikono yao yataku-wa juu yao!

12 Na watu wangu, wanadhu-lumiwa na watoto, na kutawa-liwa na wanawake. Ee watuwangu, wale awanaowaongozawanawasababisha kukosa nakuangamiza njia ya mapitoyenu.

13 Bwana husimama akuwate-tea, na husimama kuhukumuwatu.

14 Bwana atawahukumu wa-zee wa watu wake na wana waawafalme wao; kwani bmmekulacmzabibu na dmali ya emaskininyumbani mwenu.

15 Mnamaanisha nini? Mna-wapiga watu wangu kuwavipande, na kusaga nyuso zamaskini, asema Bwana Munguwa Majeshi.

16 Zaidi ya hayo, Bwanaasema: Kwa sababu mabinti zaSayuni wanaringa, na kutembeana shingo mbele na macho yatamaa, na mwendo wa akiburi,na kuliza sauti ya njuga kwamiguu yao —

13 6a Isa. 3:6.7a ebr ufungaji

(wa jeraha);m.y., siwezi kutatuamatatizo yako.

8a Yer. 9:11.b Omb. 1:3.

9a Mwa. 19:1, 4–7, 24–25.mwm Ubasha.

10a Kum. 12:28.12a Isa. 9:16.13a ebr bisha.

Mik. 6:2;M&M 45:3–5.

14a ebr watawala, auviongozi.

b ebr unguzwa, auchomwa.

c Isa. 5:7.d m.y. kipato kwa njia

ya udanganyifu.e 2 Ne. 28:12–13.

16a m.y. kutembea kwahatua fupi, zaharaka harakakatika namnaya uongo.

Page 117: KITABU CHA MORMONI

2 Nefi 13:17–14:4 100

17 Kwa hivyo Bwana atachapakipaji cha mabinti za Sayuni,kwa kigaga, na Bwana aatagu-ndua sehemu zao za siri.18 Na katika siku ile Bwana

ataondoa urembo wa pambozao, na akofia zao zilizoshonwa,na ushanga na bduara ya mviri-ngo kama mwezi.19 Mikufu na bangil i , na

abuibui za vito;20 Kofia, na mavazi ya miguu,

na vitambaa vya kichwa, namarashi, na vipuli vya masikio;

21 Na pete, na vipuli vyapua;

22 Na mavazi mengi amazuri,na kanzu, na shali, na vibeti;23 Na avioo, na kitani dhaifu,

na shela, na setiri.24 Na itakuwa kwamba, bada-

la ya kunukia utamu kutakuwana uvundo; na badala ya mshi-pi, akiraka; na badala ya nywele,upara; na badala ya bnguo nzuri,mshipi wa gunia; ckuchomekabadala ya urembo.25 Wanaume wako wataangu-

ka kwa upanga na mashujaawako kwa vita.

26 Na milango yake italiana kuomboleza; na atakuwa naukiwa, na atakaa ardhini.

MLANGO WA 14

Sayuni na mabinti zake watako-mbolewa na kutakaswa katika sikuya milenia — Linganisha Isaya 4.Kutoka karibu mwaka wa 559 hadi545 kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

Na katika siku ile, wanawakesaba watamshika mwanaumemmoja, wakisema: Tutakulamkate wetu wenyewe, na kuvaamavazi yetu wenyewe; turuhu-su tu tuitwe kwa jina lako ilituondolewe aaibu yetu.

2 Katika siku ile a tawi laBwana litakuwa la urembo natukufu; matunda ya udongoyatakuwa mema na ya kupe-ndeza kwa wale waliokimbiakutoka Israeli.

3 Na itakuwa kwamba, walewaliobaki Sayuni na kubakiYerusalemu wataitwa wataka-tifu, kila mmoja aliyeandikwamiongoni mwa wale walio haiYerusalemu —

4 aWakati Bwana batakapoku-wa ameuosha uchafu wa mabi-nti za Sayuni, na kuisafishadamu ya Yerusalemu kutokakati yake kwa roho ya hukumuna kwa roho ya ckuchoma.

17a ebr fichua; msemounaomaanisha“kuwaabisha.”

18a Yawezekana wavuwa kufungianywele.Wataalamuhawakubalianamara zote kuhusuasili ya mapamboya kike yaliyooro-dheshwa katika ayaya 18–23.

b m.y. mapambo yaliyona umbo kama lamwezi mwandamo.

19a ebr shela.22a ebr mavazi ya

kupendeza.23a au mavazi yenye

kuangaza.24a ebr nguo chakavu.

b au joho.c au mhuri (ishara ya

utumwa).

14 1a m.y. waa lakutoolewa nakutokuwa na mtoto.

2a Isa. 60:21;2 Ne. 3:5;Yak. (KM) 2:25.

4a m.y. Wakati Bwanaatakapokuwaameitakasa dunia.

b mwm Osha, Oshwa,Uoshaji.

c Mal. 3:2–3; 4:1.

Page 118: KITABU CHA MORMONI

101 2 Nefi 14:5–15:9

5 Na Bwana ataumba juu yakila makao ya mlima wa Sayuni,na juu ya kila mkusanyikowake, awingu na moshi mchanana mng’aro wa miale ya motousiku; kwani juu ya utukufuwote wa Sayuni kutakuwa naulinzi.

6 Na kutakuwa na hekalula hema kwa kivuli mchanakwa sababu ya joto, na mahalipa akukimbilia, na kujifichanyakati za dhoruba na mvua.

MLANGO WA 15

Shamba la mizabibu la Bwana(Israeli) litakuwa lenye ukiwa, nawatu wake watatawanywa—Shidazitawajia katika maasi yao na haliya kutawanyika — Bwana atainuabendera na kuwakusanya Israeli—Linganisha Isaya 5. Kutoka karibumwaka wa 559 hadi 545 kabla yakuzaliwa kwa Kristo.

Na kisha nitamuimbia mpenziwangu awimbo wa mpenziwangu, kuhusu shamba lake lamizabibu. Mpenzi wangu ana-lo shamba la mizabibu katikakilima kinono sana.

2 Na alilizingira kwa ua, naakayatoa mawe yake, na aka-panda amizabibu iliyo bora, naakajenga mnara katikati yake,na akajenga pia kishinikizondani yake; na akaonelea kwa-

mba litazaa zabibu, nalo lika-zaa zabibu-mwitu.

3 Na sasa, Ee wakazi wa Yeru-salemu, nanyi watu wa Yuda,nawasihi, amueni, kati yanguna shamba langu la mizabibu.

4 Ni nini kingefanywa zaidikatika shamba langu la mizabi-bu ambacho sijafanya ndaniyake? Kwa hivyo, nilipotumainikwamba itazaa zabibu ikazaazabibu-mwitu.

5 Na sasa basi; nitawaambianitakachotenda kwenye shambalangu la mizabibu— anitaondoaua hili, nalo litaliwa; na nitabo-moa ukuta wake, nao utaka-nyagwa;

6 Na nitaliharibu; halitapo-golewa wala kulimwa; lakinil i tamea a mbigil i na miiba;mimi nitaamuru pia mawingukwamba byasinyeshe mvua juuyake.

7 Kwani ashamba la mizabibula Bwana wa Majeshi ni nyumbaya Israeli, na watu wa Yudandio mmea wake wa kupende-za; na alitafuta bhukumu, natazama, dhuluma; kwa haki,lakini tazama, kilio.

8 Ole kwa wale wanaounganaanyumba kwa nyumba, mpakapasiwe na mahali, kwambawawekwe bpeke yao katikati yadunia!

9 Katika masikio yangu, alise-ma Bwana wa Majeshi, hakika

5a Kut. 13:21.6a Isa. 25:4;

M&M 115:6.15 1a m.y. Nabii

anatunga wimbo aumfano wa kishairiwa shamba lamzabibu, akionyesha

rehema ya Mungu naukaidi wa Israeli.

2a Yer. 2:21.5a Zab. 80:12.6a Isa. 7:23; 32:13.

b Yer. 3:3.7a mwm Shamba la

mzabibu la Bwana.

b au haki.8a Mik. 2:1–2.

b m.y. kuachwa uishipeke yako.Wamilikiardhi matajiriwameyamezamashamba madogomadogo ya masikini.

Page 119: KITABU CHA MORMONI

2 Nefi 15:10–24 102

nyumba nyingi zitakuwa zenyeukiwa, na miji mikuu na mizuriitakuwa haina mtu.10 Ndio , ekar i kumi za

shamba la mizabibu zitazaaabathi moja, na mbegu yahomeri itatoa efa tu.

11 Ole wao waamkao alfajiri, iliawatafute pombe kali, wanaoe-ndelea hadi usiku wa manane,mpaka bmvinyo unawachomakama moto!

12 Na kinubi, na zeze, matari,na filimbi, na mvinyo zikokat ika karamu zao; lakiniahawashughuliki na kazi yaBwana, wala kuyafikiri mate-ndo ya kazi yake.

13 Kwa hivyo, watu wanguwamepelekwa utumwani, kwasababu hawana aufahamu; nawatu wao wanaoheshimikawana njaa, na wengi wao wa-mekauka kwa kiu.14 Kwa hivyo, jahanamu ime-

jipanua, na kufungua kinywachake bila kipimo; na utukufuwao, na wingi wao, na fahariyao, na yule anayefurahia, ata-teremka ndani yake.

15 Na mtu wa kawaida atashu-shwa chini, na yule mtu shujaaatanyenyekeshwa, na machoya aliye na kiburi yatanyenye-keshwa.

16 Lakini Bwana wa Majeshi

atainuliwa katika ahukumu, naMungu aliye mtakatifu atata-kaswa katika haki.

17 Kisha wanakondoo wata-kula kama kawaida yao, namahali palipoharibiwa pa walewanono pataliwa na wageni.

18 Ole kwa wale wavutaouovu kwa kamba za aubatili, nadhambi bkama kwa kamba yagari;

19 Wanaosema: Hebu aafanyeharaka, aihimize kazi yake,ili btuione; na hebu mawaidhaya yule Mtakatifu wa Israeliyaharakishwe na kutukia, ilituyafahamu.

20 Ole kwa wale awanaoitauovu wema, na wema uovu,watiao bgiza badala ya nuru, nanuru badala ya giza, watiaoukali badala ya utamu, na uta-mu badala ya ukali!

21 Ole kwa wao walio wenyea hekima katika macho yaowenyewe, na wenye busarakatika fikira zao wenyewe!

22 Ole kwa wale hodari wakunywa mvinyo, na wanaumewalio shujaa katika kuchanga-nya pombe;

23 Wanaompatia mwovu hakikwa kupokea zawadi, na aku-mwondolea haki yule aliyemtakatifu!

24 Kwa hivyo, kama vile amoto

10a Eze. 45:10–11.11a Mit. 23:30–32.

b mwm Neno laHekima.

12a Zab. 28:5.13a Hos. 4:6.

mwm Maarifa.16a mwm Yesu Kristo—

Mwamuzi.18a mwm Majivuno,

Siofaa.b m.y. Wamefungwa

na dhambi zao kamawanyama na mizigoyao.

19a Yer. 17:15.b m.y. Wamefungwa

na dhambi zao kamawanyama na mizigoyao.

20a Moro. 7:14, 18;M&M 64:16; 121:16.

b 1 Yoh. 1:6.21a Mit. 3:5–7;

2 Ne. 28:15.23a m.y. kumnyima haki

zake za kisheria.24a Oba. 1:18;

Mal. 4:1–2;2 Ne. 20:17.

Page 120: KITABU CHA MORMONI

103 2 Nefi 15:25–16:4

uchomavyo bmabua makavu,na mwali wa moto humalizacnyasi kavu, mzizi wao utaoza,na maua yao yatapeperushwakama vumbi; kwa sababu wa-meitupa sheria ya Bwana waMajeshi, na dkudharau neno layule Mtakatifu wa Israeli.

25 Kwa hivyo, ahasira ya Bwa-na imewawakia watu wake, naamewanyoshea mkono wakedhidi yao, na kuwachapa; navilima vilitetemeka, na mizogayao ilipasuliwa katikati ya njia.Lakini bado hasira yake haija-koma, bado amenyosha mkonowake.

26 Na atayainulia mataifakutoka mbali abendera, na ata-wapigia bmiunzi tokea mwishowa dunia; na tazama, cwatakujambio upesi sana; hakuna yeyotemiongoni mwao atakayechokawala kujikwaa.27 Hakuna yeyote atakayesi-

nzia wala kulala; wala mshipiwa viuno vyao kulegea, walakamba za viatu vyao kukatika;

28 Mishale yao itakuwa mikali,na pinde zao zote kupindika, nakwato za farasi zao zitahesabikakama gumegume, na gurudu-mu zao kama kimbunga, nangurumo zao kama simba.

29 Watanguruma kama wana-asimba; ndio, watanguruma, nakukamata mawindo, na kuya-

chukua kwa usalama, na haku-na yeyote atakayeokoa.

30 Na siku ile watawanguru-mia kama ngurumo ya bahari;na kama watatazama nchini, ta-zama, giza na huzuni, na nuruitatiwa giza katika mbingu zake.

MLANGO WA 16

Isaya anamwona Bwana — Isayaanasamehewa dhambi zake —Anaitwa kutoa unabii — Anatoaunabii kuhusu kukataliwa kwamafundisho ya Kristo na Wayahu-di — Sazo litarejea — LinganishaIsaya 6. Kutoka karibu mwaka wa559 hadi 545 kabla ya kuzaliwakwa Kristo.

Katika amwaka ule mfalmeUzia alifariki, nilimwona Bwanapia akikalia kiti cha enzi, kilichojuu na kuinuliwa, na bpindo zavazi lake zilijaza hekalu.

2 Na juu yake walisimamaamaserafi; kila mmoja alikuwana mabawa sita; kwa mawilialifunika uso wake, na kwamawili alifunika miguu yake,na kwa mawili aliruka.

3 Na mmoja alimwitia mwi-ngine, na akasema: Mtakatifu,mtakatifu, mtakatifu, ni Bwanawa Majeshi; dunia yote imejaautukufu wake.

4 Na avizingiti vya mlango

24b Yoe. 2:5;1 Ne. 22:15, 23;2 Ne. 26:4, 6;M&M 64:23–24;133:64.

c Lk. 3:17;Mos. 7:29–31.

d 2 Sam. 12:7–9.25a M&M 63:32;

Musa 6:27.26a mwm Bendera.

b au mbinja;m.y. ita kusanyiko.Isa. 7:18;2 Ne. 29:2.

c mwm Israeli—Kukusanyika kwaIsraeli.

29a 3 Ne. 21:12–13.16 1a m.y. karibu mwaka

ya 750 k.k.b m.y. upindo wa vazi

lake, au sketi yake.2a mwm Makerubi.4a ebr misingi ya

vizingiti ilitikisika.

Page 121: KITABU CHA MORMONI

2 Nefi 16:5–17:2 104

vilitetemeka kwa sauti ya yulealiyelia, na nyumba ilijaa moshi.5 Kisha nikasema: Ole wangu!

kwani anitaangamizwa; kwasababu mimi ni mtu mwenyemidomo michafu; na ninaishimiongoni mwa watu wenyemidomo michafu; kwani machoyangu yamemwona Mfalme,Bwana wa Majeshi.

6 Kisha mmoja wa wale mase-rafi aliruka na akanikaribia,akiwa na akaa la moto mkononimwake, ambalo alikuwa ameli-toa kwenye madhabahu kwamakoleo;

7 Na akaliweka kwa kinywachangu, na kusema: Tazama,hili limegusa midomo yako; naauovu wako umeondolewa, nadhambi zako kuoshwa.8 Pia nilisikia sauti ya Bwana,

ikisema: Nitamtuma nani, nani nani atakayeenda kwa niabayetu? Kisha nikasema: Nikohapa; nitume mimi.

9 Na akasema: Enenda na uwa-mbie watu hawa — Kwa kwelimlisikiliza, lakini hamkufahamu,mliona, lakini hamkuelewa.

10 Kinaisha moyo wa watuhawa uwe mgumu, na fanyamasikio yao yawe mazito, nafunga macho yao — wasi jewakaona kwa macho yao, naakusikia kwa masikio yao, nakufahamu kwa moyo wao, nawaongoke na kuponywa.

11 Kisha nikasema: Bwana,hadi lini? Na akasema: Hadimiji hii itakapokuwa na ukiwabila mkazi, na nyumba bila wa-nadamu, na nchi itakapokuwaganjo;

12 Na Bwana aamewahamishawatu mbali, kwani kutakuwana uhamisho mkuu miongonimwa nchi.

13 Lakini itasalia sehemu yakumi, na watarejea, na kuliwa,kama mvinje, na kama mwaloniambao nguvu zake ziko ndaniyake wakati majani yanaangu-ka; kwa hivyo mbegu takatifuitakuwa anguvu yake.

MLANGO WA 17

Efraimu na Shamu wanashambuliaYuda — Kristo atazaliwa na Biki-ra — Linganisha Isaya 7. Kutokakaribu mwaka wa 559 hadi 545kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

Na ikawa katika siku za Ahazimwana wa Yothamu, mwanawa Uzia, mfalme wa Yuda,kwamba Resini, mfalme waShamu, na Peka mwana waRemalia, mfalme wa Israeli,walienda kushambulia Yerusa-lemu, lakini hawakuiweza.

2 Na nyumba ya Daudi, ikaa-mbiwa: Shamu imeungana naaEfraimu. Na moyo wake uka-tetemeka, na moyo wa watu

5a ebr tenga;m.y., alielemewana ufahamu wadhambi zake nadhambi za watuwake.

6a m.y. ishara yakutakaswa.

7a mwm Ondoleo laDhambi.

10a Mt. 13:14–15.12a 2 Fal. 17:18, 20.13a m.y. Kama mti,

japokuwa majaniyake yametawanywauhai na uwezo wa

kuzaa mbegu badounabakia ndaniyake.

17 2a m.y. Israeli yote yakaskazini iliitwakwa jina la Efraimu,kabila kuu lakaskazini.

Page 122: KITABU CHA MORMONI

105 2 Nefi 17:3–18

wake, jinsi vile miti ya kichakahupeperushwa na upepo.3 Kisha Bwana akamwambia

Isaya: Nenda sasa ukamlakiAhazi, wewe na mwana wakoaShear-yashubu, huko mwishowa mfereji wa dimbwi la juukatika njia kuu ya uwanja wadobi;

4 Na umwambie: Sikiliza, nautulie; ausiogope, wala usifa-dhaike moyoni kwa sababu yahii mikia miwili ya mwengeitokayo moshi, kwa sababu yahasira kali ya Resini na Shamu,na ya mwana wa Remalia.

5 Kwa sababu Shamu, Efrai-mu, na mwana wa Remalia,wamekusudia maovu juu yako,wakisema:

6 Hebu twende dhidi ya Yudana kuichokoza, na tuigawanyekati yetu, na tuweke mfalmekati yake, ndio, mwana waTabeeli.

7 Bwana Mungu asema hivi:Haitasimama, wala kutimika.

8 Kwani kichwa cha Shamuni Dameski, na kichwa chaDameski, Resini; na katikamuda wa miaka sitini na tanoEfraimu itaangamizwa isiwetena kikundi cha watu.

9 Na kichwa cha Efraimu niSamaria, na kichwa cha Samariani mwana wa Remalia. Kamaahamtaamini kwa hakika ham-taimarishwa.

10 Tena, Bwana akazungumzazaidi na Ahazi, akamwambia:

11 Itisha aishara kutoka kwaBwana Mungu wako; iwe chinikwenye shimo, au juu kwenyemawingu.

12 Lakini Ahazi akasema: Sita-itisha, wala asitamjaribu Bwana.

13 Na akasema: Sikilizeni sasa,Enyi nyumba ya Daudi; Je, nikitu kidogo kwenu kuwacho-sha wanadamu, hata mkatakakumchosha Mungu wangu pia?

14 Kwa hivyo, Bwana mwe-nyewe atakupatia ishara — Ta-zama, aBikira atapata mimba,na atazaa mwanamume, naatamwita kwa jina bImanueli.

15 Atakula siagi na asali, iliajue kukataa maovu na kucha-gua mema.

16 Kwani kabla huyo amtotohajajua kukataa maovu na ku-chagua mema, nchi ile ambayounaichukia itakataliwa na wa-falme wake bwawili.

17 Bwana aatakuteremshia, najuu ya watu wako, na juu yanyumba ya baba yako, nyakatiambazo hazijawahi kuonekatangu siku ile bEfraimu alipoo-ndoka kutoka Yuda, mfalmewa Ashuru.

18 Na itakuwa kwamba katikasiku ile Bwana ataipigia amiu-nzi nzi aliye sehemu za mbaliza Misri, na kwa nyuki aliyekatika nchi ya Ashuru.

3a ebr masalia watarudi.4a m.y. Usiogopeshwe

na shambulio;wafalme hao wawiliwamebakiwa nanguvu kidogo.

9a 2 Nya. 20:20.

11a mwm Ishara.12a m.y. pima au

thibitisha.14a mwm Bikira.

b ebr Pamoja nasi yuMungu.mwm Imanueli.

16a 2 Ne. 18:4.b 2 Fal. 15:30; 16:9.

17a 2 Nya. 28:19–21.b 1 Fal. 12:16–19.

18a au mbinja;m.y., ashiria mwito.Isa. 5:26.

Page 123: KITABU CHA MORMONI

2 Nefi 17:19–18:6 106

19 Na watakuja, na wata-pumzikia wote katika mabondeyaliyo na ukiwa, na katikamashimo ya miamba, na kwe-nye miiba yote, na juu yavichaka vyote.

20 Na siku i le i le Bwanaaatanyoa kwa wembe ulioajiri-wa, na hao ng’ambo ya mto, nabmfalme wa Ashuru, kichwa,na malaika ya miguu; na piaitamaliza ndevu.21 Na itakuwa kwamba katika

siku ile, mtu aatalisha ng’ombemmoja na kondoo wawili;

22 Na itakuwa kwamba, kwawingi wa maziwa watakayotoaatakula siagi; kwani kila mmo-ja aliyesalia katika nchi ileatakula siagi na asali.

23 Na itakuwa kwamba katikasiku ile, kila mahali patakuwa,ambapo palikuwa mizabibuelfu inayo gharama afedha elfu,ambapo patakuwa na mbigilina miiba.24 Na watu wataenda huko na

mishale na pinde, kwa sababunchi yote itakuwa mbigili namiiba.

25 Na vilima vyote vitakavyo-limwa kwa jembe, hapatafikahuko woga wa mbigi l i namiiba; lakini hapo patakuwamahali pa kuelekeza ng’ombe,na mahali pa kukanyagwa naakondoo.

MLANGO WA 18

Kristo atakuwa kama jiwe la kuji-kwaa na mwamba wa kuchukiza— Mtafute Bwana, sio mlio wawachawi — Tegemea sheria naushuhuda kwa maongozo — Li-nganisha Isaya 8. Kutoka karibumwaka wa 559 hadi 545 kabla yakuzaliwa kwa Kristo.

Tena, neno la Bwana lilinia-mbia: Chukua hati ndefu, nauandike juu yake kwa kalamuya mwanadamu, kuhusu aMa-her-shalal-hash-bazi.

2 Na nilichukua amashahidiwaaminifu ili waandike, Uriayule kuhani, na Zekaria mwa-na wa Yeberekia.

3 Na nilimwendea huyo anabiiwa kike; na akapata mimba naakazaa mwana wa kiume. KishaBwana akaniambia: Muite jinalake, Maher-shalal-hash-bazi.4 Kwani tazama, kabla ya

huyo amtoto bhajajua kulia, babayangu, na mama yangu, utajiriwa Dameski na cmateka yaSamaria yatachukuliwa namfalme wa Ashuru.

5 Bwana alinizungumzia tena,akisema:

6 Kwa vile watu hawa wame-yakataa maji ya aShiloa yapita-yo polepole, na wanafurahiabResini na mwana wa Remalia;

20a m.y. Nchi itatiwaukiwa na mvamiziwa nje.

b 2 Fal. 16:5–9.21a m.y. Wabakiaji

wachache tuwatakaojimuduwatasalia.

23a au vipande vyafedha.

25a ebr kondoo, aumbuzi.

18 1a m.y. angamizoliko karibu.

2a mwm Shahidi,Ushahidi.

3a m.y. mke wake.4a 2 Ne. 17:16.

b Isa. 8:4.c 2 Fal. 15:29.

6a Mwa. 49:10;tjs, Mwa. 50:24.

b Isa. 7:1.

Page 124: KITABU CHA MORMONI

107 2 Nefi 18:7–19

7 Kwa hivyo sasa, tazama,Bwana ataleta maji ya huo mtojuu ayao, yenye nguvu, namengi, hata mfalme wa Ashu-ru na utukufu wake wote;atakuja na kupita juu ya mife-reji yake yote, na kingo zakezote.

8 Na aatapitia Yuda; atafurikana kuwa zaidi, atafika hatashingoni; na atakaponyoshamabawa yake yatajaa upanawa nchi, Ee bImanueli.

9 a J iunganishe, Ee nyinyiwatu, na mtavunjwa vipandevipande; na sikiliza nyinyinyote mtokao nchi za mbali;jiwekeni tayari na silaha, namtavunjwa vipande vipande;jiwekeni tayari na silaha, namtavunjwa vipande vipande.

10 Fanyeni shauri pamoja, nahamtafanikiwa; nena neno, nahalitatimia; akwani Mungu yupamoja nasi.

11 Kwani Bwana alinizu-ngumzia hivyo kwa kunionyavikali, na akanishauri kuwanisitembee katika njia za watuhawa, akisema:

12 Msiseme, aMuungano, kwawale wote ambao hawa watuwatasema, Muungano; wala

msiogope woga wao, walakuogopa.

13 Mtakaseni Bwana wa Maje-shi mwenyewe, na mkubali aweahofu yenu, na awe tisho lenu.14 Na atakuwa a kimbilio;

lakini bjiwe la kujikwaa, namwamba wa kuchukiza kwanyumba zote mbili za Israeli,na mtego na tanzi kwa wakaziwa Yerusalemu.

15 Na wengi miongoni mwaoawatajikwaa na kuanguka, nakuvunjwa, na kutegwa, nakukamatwa.

16 Ufunge huo ushuhuda, naufunge asheria miongoni mwawanafunzi wangu.

17 Na nitamngojea Bwana,ambaye ahuficha uso wakekutoka kwa nyumba ya Yakobo,na nitamtafuta.

18 Tazama, mimi na watotoambao Bwana amenipatia nikwa aishara na maajabu katikaIsraeli kutoka kwa Bwana waMajeshi, yule anayekaa katikaMlima Sayuni.

19 Na watakapokuambia: Ta-futa ushauri kwa watu wenyepepo wa autambuzi, na kwabwachawi wanaochungulia nakunong’ona — je, haiwapasi

7a m.y. juu ya Israeli yakaskazini kwanza.

8a m.y. Ashuruitaipenya Yuda pia.

b mwm Imanueli.9a m.y. Anzisha

mashirikiano.10a m.y. Juda (nchi ya

Emanueli)itahurumiwa.Zab. 46:7.

12a m.y. Yuda asitegemeemipango ya siri na

wengine kwausalama.

13a m.y. Uchaji naunyenyekevu mbeleya Mungu.

14a Eze. 11:15–21.b 1 Pet. 2:4–8;

Yak. (KM) 4:14–15.15a Mt. 21:42–44.16a ebr mafundisho.

mwm Injili.17a Isa. 54:8.18a m.y. Majina ya Isaya

na watoto wakewa kiume mojabaada ya jingineyanamaanisha:“Yehova anaokoa”;“Anahimizamateka”; na“Salio litarudi.”2 Ne. 17:3; 18:3.

19a Law. 20:6.b m.y. wachawi,

watabiri.

Page 125: KITABU CHA MORMONI

2 Nefi 18:20–19:7 108

watu kutafuta ushauri ckutokakwa Mungu i l i wanaoishiwasikie dkutoka kwa wafu?20 Kwa sheria na kwa ushu-

huda; na awao wasiponenakulingana na neno hili, ni kwasababu hakuna nuru ndani yao.

21 Nao awao watapita katikatiyake wamedhikika na wakiwana njaa; na itakuwa kwambawatakapopata njaa, watajikasi-risha wenyewe, na kumlaanimfalme wao na Mungu wao nakutazama juu.

22 Na watatazama ardhi nakutazama shida, na giza, kufamoyo, na wataingizwa gizani.

MLANGO WA 19

Isaya anazungumza kiumasiya —Watu wale walio gizani wataonanuru kuu—Kwetu sisi mtoto ame-zaliwa—Atakuwa Mwana Mfalmewa Amani na atatawala kwenyekiti cha enzi cha Daudi — Linga-nisha Isaya 9. Kutoka karibumwaka wa 559 hadi 545 kabla yakuzaliwa kwa Kristo.

Walakini, giza halitakuwakubwa kama ilipokuwa katikadhiki yake aliposhambuliwa,wakati hapo mwanzoni alitesakidogo anchi ya Zabuloni, nanchi ya Naftali, na baadaye kwa

uzito akapitia kwa njia ya Baha-ri ya Shamu ng’ambo ya Yorda-ni katika Galilaya ya mataifa.

2 Watu wale waliotembeaagizani wameona nuru kuu;wale wanaoishi katika nchi yakivuli cha kifo, wameangaziwana nuru.

3 Umeliongeza taifa, na akuzi-disha shangwe — wanajaa sha-ngwe mbele yako kulinganana shangwe ya mavuno, nakama vile watu wanavyofurahiawanapogawana nyara.

4 Kwani umevunja nira ya mzi-go wake, na gogo la bega lake,fimbo ya yule anayemdhulumu.

5 Kwani kila vita vya askarishujaa huunganishwa na make-lele, na mavazi yaliyovingiri-shwa kwenye damu; lakini hiiitakuwa ni ya kuchomwa nakuwa makaa ya moto.

6 Kwani kwetu sisi amtotoamezaliwa, kwetu tumepewamwana; na bserikali itakuwakwenye bega lake; nalo jinalake litaitwa, Ajabu, Mshauri,cMwenyezi Mungu, Baba asiyena dmwisho, Mwana Mfalmewa eAmani.

7 Na ahakuna mwisho waupanuzi wa bserikali na amani,katika kiti cha enzi cha Daudi,na juu ya utaratibu wa ufalmewake, na kuiimarisha kwa hu-

19c 1 Sam. 28:6–20.d au kwa niaba ya.

20a m.y. njia yamawasilianoya mwenyekuwasiliana namapepo.

21a m.y. Israeliatachukuliwa

utumwani kwasababu hakutakakusikia.

19 1a Mt. 4:12–16.2a “Giza” lilikuwa ni

ukengeufu naufungwa; “nurukuu” ni Kristo.

3a Isa. 9:3.

6a Isa. 7:14; Lk. 2:11.b Mt. 28:18.c Tit. 2:13–14.d Alma 11:38–39, 44.e Yn. 14:27.

7a Dan. 2:44.b mwm Utawala.

Page 126: KITABU CHA MORMONI

109 2 Nefi 19:8–21

kumu na kwa haki tangu sasa,na hata milele. Bidii ya Bwanawa Majeshi itatenda haya.8 Bwana alimtumia Yakobo

neno lake na l imemul ik iaaIsraeli.9 Na watu wote watajua, hata

Efraimu na wakazi wa Samaria,wanaosema kwa kiburi naugumu wa moyo:

10 Matofali yameanguka chini,lakini sisi tutajenga kwa maweyaliyochongwa; mikuyu ime-katwa, lakini sisi tutaibadilishaiwe mierezi.

11 Kwa hivyo Bwana atawai-nua maadui wa aResini dhidiyake, na kuwaunganisha maa-dui wake pamoja;

12 Waashuri mbele yao naWafilisti nyuma yao; na awata-mla Israeli kwa kinywa kilichowazi. Lakini hata baada yahaya bhasira yake haitapungu-ka, lakini bado amenyooshamkono wake.

13 Kwani watu ahawatamrejeaaliyewapiga, wala kumtafutaBwana wa Majeshi.

14 Kwa hivyo Bwana atakatakutoka Israeli kichwa na mkia,tawi na tete katika siku moja.

15 Mzee, ndiye kichwa; nanabii anayefunza uwongo, ndi-ye mkia.

16 Kwani viongozi wa watuhawa wanawasabisha wakose;

na wale wanaoongozwa naowanaangamia.

17 Kwa hivyo Bwana ahataku-wa na shangwe katika vijanawao, wala hatawahurumiayatima wao na wajane wao;kwani kila mmoja wao ni mna-fiki na mwovu, na kila mdomounanena bupumbavu. Kwa hayayote hasira yake haitapungua,lakini bado amenyoosha cmko-no wake.

18 Kwani uovu huteketeakama moto; itaila mibigili namiiba, na itawasha vichaka vyamwitu, na yatapaa juu kamakuinuka kwa moshi.

19 Kwa kupitia ghadhabu yaBwana wa Majeshi nchi inatiwagiza, na watu hao watakuwakama makaa ya moto; ahakunamtu yeyote atakayemhurumiakaka yake.

20 Na atapokonya upande wamkono wa kulia na kuwa nanjaa; na aatakula kwa upandewa mkono wa kushoto na ha-watatosheka; kila mtu atakulanyama ya mkono wake mwe-nyewe —

21 aManase dhidi ya Efraimu;na Efraimu dhidi ya bManase;wao wawili pamoja watamsha-mbulia cYuda. Kwa haya yotehasira yake haitapunguka, la-kini bado amenyoosha mkonowake.

8a m.y. Ujumbe wakinabii ambaounafuatia (aya ya8–21) ilikuwa nionyo kwa makabilakumi ya kaskazini,yanayoitwa Israeli.

11a 2 Fal. 16:5–9.12a 2 Fal. 17:6, 18.

b Isa. 5:25; 10:4.13a Amo. 4:6–12.17a mwm Rehema,

Rehema, enye.b 2 Ne. 9:28–29.

c Yak. (KM) 5:47; 6:4.19a Mik. 7:2–6.20a Kum. 28:53–57.21a mwm Manase.

b mwm Efraimu.c mwm Yuda.

Page 127: KITABU CHA MORMONI

2 Nefi 20:1–14 110

MLANGO WA 20

Maangamizo ya Ashuru ni kiele-lezo cha maangamizo ya waovuwakati wa Ujio Wake wa Pili —Watu wachache watasalia baadaya Bwana kurudi—Sazo la Yakobolitarejea katika siku ile — Lingani-sha Isaya 10. Kutoka karibu mwakawa 559 hadi 545 kabla ya kuzaliwakwa Kristo.

Ole wao ambao huweka maa-gizo yasiyo ya haki, na walewaandikao sheria ngumu amba-zo wameweka;2 Kuwageuza walio na mahi-

taji kutokana na haki, na kuwa-nyang’anya watu wangu mas-kini haki yao, ili awajane wawemateka wao, na ili wawaibiemayatima!3 Nanyi mtafanya nini katika

siku ya ahukumu, na katikaukiwa utokao mbali? mtamki-mbil ia nani awasaidie? namtaacha wapi utukufu wenu?4 Bila mimi watainamia wafu-

ngwa, na watakufa miongonimwa waliouawa. Lakini kwahaya yote hasira yake haitapu-nguka, lakini bado amenyooshamkono wake.

5 Ee Mwashuri, fimbo ya hasi-ra yangu, na bakora iliyo mko-noni mwao ni ghadhabu ayao.

6 Nitamtuma adhidi ya taifa lawanafiki, na dhidi ya watu waghadhabu yangu nitamwamurukuchukua mateka, na kuchukua

mawindo, na kuwakanyagakama matope ya barabara.

7 Lakini hivyo sivyo akusudi-avyo, wala sivyo moyo wakeunavyowaza; lakini katikamoyo wake akusudia kuanga-miza na kutenga mataifa na siomachache tu.

8 Kwani anasema: Si wakuuwangu wote ni wafalme?

9 Je, Kalno si kama Karke-mishi? Si Hamathi ni kamaArpadi? Si Samaria ni kamaDameski?

10 Kama vile mkono awanguuli jenga falme za sanamu,ambazo sanamu zake za ku-chongwa zilikuwa bora kulikoza Yerusalemu na za Samaria;

11 Je, si nitatendea Samaria nasanamu zake, vile nilitendeaYerusalemu na sanamu zake?

12 Kwa hivyo itakuwa kwa-mba baada ya Bwana kutendakazi yake yote kwenye MlimaSayuni na kwenye Yerusalemu,nitaadhibu amatunda ya moyothabiti wa mfalme wa bAshuru,na utukufu wa majivuno yamacho yake.

13 Kwani ayeye anasema: Kwanguvu za mkono wangu nahekima yangu nimetenda vituhivi; kwani mimi ni mwerevu;na nimesogesha mipaka yawatu, na kuiba hazina zao, nakuwaangusha wenyeji kamamtu shujaa;

14 Na mkono wangu umegu-ndua kwamba utajiri wa watu

20 2a mwm Mjane.3a m.y. adhabu.5a Isa. 10:5.6a m.y. dhidi ya Israeli.

10a m.y. mkono wa

mfalme wa Ashuru(aya ya 10–11).

12a m.y. majivunoyenye kiburi.

b Sef. 2:13.

13a m.y. mfalme waAshuru (aya ya13–14).

Page 128: KITABU CHA MORMONI

111 2 Nefi 20:15–26

ni kama kiota cha ndege; nakama vile mtu hukusanyamayai yalioachwa ndivyo ni-mekusanya dunia yote; na ha-kuna yeyote aliyetikisa bawa,au kufungua kinywa, au kulia.15 Je, ashoka blitajisifu dhidi

ya yule ambaye hukata nalo?Je, msumeno utajitukuza dhidiya yule anayeutingisha? Nikama fimbo ingejitikisa yenye-we dhidi ya waiinuayo, au nikama bakora ingeji inua nikama sio mbao!16 Kwa hivyo Bwana, Bwana

wa Majeshi, atawatumia walio-nona, kukonda; na kwa utukufuawake atawasha uteketeo kamauteketezo wa moto.17 Na nuru ya Israeli itakuwa

kama moto, na Mtakatifu wakeatakuwa kama muwako wamoto, na atachoma na kumalizamiiba yake na mbigili zakekatika siku moja;

18 Na atauteketeza utukufuwa msitu wake, na shamba lakelinalostawi, zote mbili anafsi namwili; na watakuwa kama vileyule mshika bendera anazimia.

19 Na miti ya msitu wakeainayosalia itakuwa michache,hata mtoto ataweza kuihesabu.

20 Na itakuwa kwamba katikasiku aile, kwamba sazo la Israeli,na wale walioepuka wa bnyu-mba ya Yakobo, hawatamtege-mea tena yeye aliyewapiga,lakini watamtegemea Bwana,yule Mtakatifu wa Israeli, kwaukweli.

21 aSazo litarejea, ndio, hatasazo la Yakobo, kwa mwenyeziMungu.

22 Kwani ingawa watu wakoIsraeli ni wengi kama mchangawa bahari, lakini bado sazo laolitarejea; amaangamizo yaliyo-wekwa byatafurika kwa haki.23 Kwani Bwana Mungu wa

Majeshi aatafanya maangamizo,kugeuza nchi yote.

24 Kwa hivyo, hivi ndivyoa s e m a B w a n a M u n g u w aMajeshi: Enyi watu wanguwanaoishi Sayuni, msiogopeMwashuri; atawapiga kwa fi-mbo, na kuwainulia gongo lake,kama ajinsi walivyofanya Misri.25 Kwani bado kwa muda

mfupi, na ghadhabu itaisha, nahasira yangu katika maanga-mizo yao.

26 Na Bwana wa Majeshi ata-msukumia mjeledi kama vilealivyoua aMidiani katika jabali

15a m.y. nabiianamlinganishamfalme na zana.

b Sitiari zote katikaaya hii zinaulizaswali moja;Mwanadamu (kwamfano mfalme waAshuru) kumshindaMungu?

16a m.y. mfalme waAshuru (pia aya ya17–19).

18a m.y. Ashuruitatoweka mojakwa moja.

19a m.y. masalia yajeshi la Ashuru.

20a m.y. siku za mwisho.b Amo. 9:8–9.

21a Isa. 11:11–12.22a M&M 63:34.

mwm Ulimwengu—Mwisho waulimwengu.

b m.y. Hata wakati

adhabu inapokuja,rehema hupatikana.

23a m.y. sababishaangamizolililotamkwa.

24a m.y. kama Wamisriwalivyofanya katikanyakati za awali.Kut. 1:13–14.

26a Mwa. 25:1–2;Amu. 7:25.

Page 129: KITABU CHA MORMONI

2 Nefi 20:27–21:5 112

la Orebu; na jinsi fimbo yakeilivyoinuliwa juu ya bahari,hivyo hivyo jinsi ataiinua jinsialivyofanyia Misri.27 Na itakuwa kwamba katika

siku ile amzigo wake utaondo-lewa kutoka bega lako, na nirayake kutoka shingo yako, nanira itaharibiwa kwa sababu yabkupakwa mafuta.

28 aYeye Amefika Ayathi,amepitia Migroni; na amewekamagari yake huko Mikmashi.

29 Wamevuka kipito; wame-lala Geba; Rama anaogopa;Gibea wa Shauli amekimbia.

30 Paza sauti, Ewe binti waGalimu; na ifanye isikike hadiLaisha, Ee Anathothi maskini.

31 Madmena amehamishwa;wakazi wa Gebimu wamejiku-sanya ili wakimbie.

32 Lakini bado siku ile ata-baki Nobu; atatikisa mkonowake dhidi ya mlima wa bintiwa Sayuni, kilima cha Yeru-salemu.

33 Tazama, Bwana, Bwana waMajeshi atayakata matawi kwamtisho; na walio na aukubwawatakatwa; na waliojiinua wa-tanyenyekeshwa.34 Na atavikata vichaka vya

msitu kwa chuma, na Lebanoniitaangushwa na mwenye nguvu.

MLANGO WA 21

Shina la Yese (Kristo) litahukumukwa haki — Elimu ya Mungu ita-funika dunia katika Milania —Bwana atainua bendera na kukusa-nya Israeli—Linganisha Isaya 11.Kutoka karibu mwaka wa 559 hadi545 kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

Na patatokea mbele afimbokutoka bShina la cYese, na tawilitamea kutoka mizizi yake.

2 Na aRoho ya Bwana itakuwajuu yake, roho ya hekima naufahamu, roho ya mashauri nauwezo, roho ya elimu na yakumcha Bwana;

3 Na atamsababisha awezekufahamu kwa haraka katikakumcha Bwana; na ahatahuku-mu kulingana na maono yamacho yake, wala kukemeakulingana na kusikia kwa ma-sikio yake.

4 Lakini kwa ahaki atahukumuwalio maskini, na bakemee kwaadili walio cwanyenyekevu wadunia; na ataipiga dunia kwafimbo ya kinywa chake, na kwapumzi ya midomo yake atawa-ua walio waovu.

5 Na haki itakuwa mshipiwa viuno vyake, na uaminifumshipi wa amafigo yake.

27a Isa. 14:25.b mwm Mpakwa mafuta.

28a m.y. Kusonga mbelekwa majeshi yaAshuru kunafua-tiliwa; kisha (aya ya33–34) tendo laBwana dhidi yaolinaelezewa katikalugha ya picha.

33a Hel. 4:12–13.21 1a M&M 113:3–4.

b M&M 113:1–2.c Yese alikuwa baba

wa Daudi; inatajwanasaba ya kifalmeya Daudi ambamondani yakehatimaye Yesuanazaliwa.

Mik. 5:2;Ebr. 7:14.mwm Yese.

2a Isa. 61:1–3.3a Yn. 7:24.4a Zab. 72:2–4;

Mos. 29:12.b ebr amua.c mwm Mpole, Upole.

5a au kiuno.

Page 130: KITABU CHA MORMONI

113 2 Nefi 21:6–16

6 Pia mbwa-mwitu ataishi namwanakondoo, na chui atalalana mwana mbuzi, na ndamana mwana simba na ng’ombem n o n o p a m o j a ; n a m t o t omchanga atawaongoza.

7 Na ng’ombe na dubu wata-kula pamoja; watoto wao wata-lala chini pamoja; na simbaatakula majani kama ng’ombe.

8 Na mtoto anayenyonyaatacheza kwenye tundu laanyoka, na mtoto aliyeachi-shwa kunyonya atatia mkonowake kwenye pango la bfira.9 aHawatadhuru wala kuhari-

bu katika mlima wangu wotemtakatifu, kwani dunia yote ita-jaa belimu ya Bwana, kama vilemaji yanavyoifunika bahari.

10 Na katika siku aile kutaku-wa na bmzizi wa Yese, ambaoutasimama kama bendera yawatu; na cWayunani dwatauta-futa; na pumziko lake litakuwatakatifu.

11 Na itakuwa kwamba katikasiku ile Bwana atanyooshamkono wake tena mara ya apilikurudisha sazo la watu wakelitakalobaki, kutoka Ashuru,na kutoka Misri, na kutoka

Pathrosi, na kutoka Kushi, nak u t o k a E l a m u , n a k u t o k aShinari, na kutoka Hamathi, nakutoka visiwa vya bahari.

12 Na atawatwekea mataifaabendera, na kuwakusanyawatu wa Israeli bwaliofukuzwa,na ckuwakusanya pamoja walewaliotawanywa wa Yuda kuto-ka pembe nne za dunia.

13 Na a wivu wa Efraimupia utaondoka, na maaduiwa Yuda watatengwa; Efraimubhatamhusudu cYuda, na Yudahatamuudhi Efraimu.

14 Lakini wao awatashambuliajuu ya mabega ya Wafilisti kue-lekea upande wa magharibi;watawapora wale kutoka ma-shariki pamoja; watainyoosheaEdomu na Moabu mkono wao;na watoto wa Amoni watawatii.

15 Na Bwana aatauangamizaulimi wa bahari ya Misri; nakwa upepo wake mkali atati-ngisha mkono wake juu yamto, na kuugawanya uwe vijitosaba, na kuwavusha watu kwamiguu mikavu.

16 Na kutakuwa abarabara kuukwa sazo la watu wake waliosa-lia, kutoka Ashuru, kama vile

8a nyoka mdogomwenye sumuwa Misri.

b nyoka mwinginemwenye sumu.

9a Isa. 2:4.mwm Milenia.

b M&M 101:32–33;130:9.

10a m.y. siku za mwisho.JS—H 1:40.

b Rum. 15:12;M&M 113:5–6.

c M&M 45:9–10.d au kwake.

11a 2 Ne. 6:14; 25:17; 29:1.

12a mwm Bendera.b 3 Ne. 15:15; 16:1–4.c Neh. 1:9;

1 Ne. 22:10–12;M&M 45:24–25.mwm Israeli—Kukusanyika kwaIsraeli.

13a Yer. 3:18.b Makabila

yakiongozwa naYuda na Efraimuyalikuwa ni maaduikihistoria (baada yamatukio ya1 Fal. 12:16–20).

Katika siku zamwisho uadui huuutaponywa.Eze. 37:16–22.mwm Husuda.

c mwm Yuda.14a m.y. shambulia

mabonde yamagharibi ambayoyalikwa ni himayaya Wafilisti.

15a Zek. 10:11.16a Isa. 35:8;

M&M 133:27.

Page 131: KITABU CHA MORMONI

2 Nefi 22:1–23:5 114

ilivyokuwa katika Israeli katikasiku ile waliyotoka nje ya nchiya Misri.

MLANGO WA 22

Katika siku ile ya milania watuwote watamsifu Bwana — Ataishimiongoni mwao—Linganisha Isa-ya 12. Kutoka karibu mwaka wa559 hadi 545 kabla ya kuzaliwakwa Kristo.

Na katika siku ile utasema:Ee Bwana, nitakusifu; ingawaulinikasirikia hasira yako ime-geuka, na unanifariji.2 Tazama, Mungu ni wokovu

wangu; anitatumaini, na walasitaogopa; kwani Bwana bYe-hova ndiye nguvu yangu nawimbo wangu; pia amekuwawokovu wangu.

3 Kwa hivyo, kwa shangweutateka amaji kutoka visimavya wokovu.

4 Na katika siku ile utasema:aMsifuni Bwana, liiteni jinalake, tangazeni matendo yakemiongoni mwa watu, taja jinalake ili liinuliwe.5 aMwimbieni Bwana; kwani

ametenda vitu vyema; haya ya-najulikana ulimwenguni kote.

6 Pazeni sauti na amlie, ewemkazi wa Sayuni; kwani mkuu

ni yule Mtakatifu wa Israelialiye baina yenu.

MLANGO WA 23

Maangamizo ya Babilonia ni mfanowa maangamizo katika wakati waUjio wa Pili — Itakuwa siku yaghadhabu na kulipiza kisasi — Ba-bilonia (ulimwengu) itaangukamilele — Linganisha Isaya 13. Ku-toka karibu mwaka wa 559 hadi545 kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.aMzigo wa bBabilonia, ambaoIsaya mwana wa Amozi aliuona.

2 Inueni a bendera juu yamlima mrefu, wapazieni sauti,bwapungieni mkono, ili waingiemilangoni mwa wakuu.

3 Nimewaamuru wale wanguawaliotakaswa, pia nimewaitamashujaa wangu, kwani hasirayangu haipo juu ya wote wana-ofurahia ukuu wangu.

4 Kelele za umati huko mili-mani ni kama za watu wengi,ngurumo na kelele za afalmeza mataifa bzilizokusanyika,Bwana wa Majeshi anapangajeshi kwa vita.

5 Wanatoka nchi ya mbali,kutoka mwisho wa mbingu,ndio, Bwana, na silaha za gha-dhabu yake; ili kuangamizanchi yote.

22 2a Mos. 4:6;Hel. 12:1.

b Kut. 15:2;Zab. 83:18.mwm Yehova.

3a mwm Maji ya Uzima.4a mwm Shukrani,

Shukrani, enye, Toashukrani.

5a M&M 136:28.

6a Isa. 54:1;Sef. 3:14.

23 1a m.y. ujumbe waangamizo.

b Angamizo lakihistoria la Babiloniovu lililotabiriwakatika Isa. 13 na 14,linafananishwa naangamizo la mwisho

la ulimwenguwote muovu.M&M 133:5, 7, 14.mwm Babeli,Babilonia.

2a mwm Bendera.b m.y. toa ishara.

3a m.y. Watakatifu.4a Zek. 14:2–3.

b Zek. 12:3.

Page 132: KITABU CHA MORMONI

115 2 Nefi 23:6–21

6 Pigeni yowe, kwani sikuya Bwana iko karibu; itakujakama maangamizo kutoka kwaMwenyezi.

7 Kwa hivyo mikono yoteitalegea, moyo wa kila mtuutayeyuka;

8 Na wataogopa; watashikwana kichomi na huzuni; wata-shangaa mmoja kwa mwingi-ne; nyuso zao zitakuwa kamandimi za moto.

9 Tazama, siku ya Bwanainafika, pamoja na ukali naghadhabu na hasira kuu, kuifa-nya nchi iwe na ukiwa; anaatawaangamiza wenye dhambikutoka ndani yake.

1 0 K w a m a a n a n y o t a z ambingu na makundi ya nyotahayatatoa nuru yao; ajua litati-wa giza wakati wa mwendowake, na mwezi hautasababishanuru yake kumulika.11 Na anitauadhibu ulimwengu

kwa sababu ya uovu, na waovukwa sababu ya maovu yao; nita-komesha fahari ya wenye bkibu-ri, na nitayalaza chini majivunoya watishao.

12 Nitamfanya amtu mmojakuadimika kuliko dhahabu safi;na hata watu kuliko kabari yadhahabu ya Ofiri.

13 Kwa hivyo, nitatingishambingu, na akuiondoa duniamahali pake, katika ghadhabuya Bwana wa Majeshi, na katikasiku ya hasira yake kali.

14 Na itakuwa kama paa aana-yekimbizwa, na kama kondooasiyechungwa; na kila mtu ata-rudi kwa watu wake wenyewe,na kila mmoja kukimbilia nchiyake.

15 Kila mtu ambaye ana ki-buri atadungwa kwa upanga;ndio, na yule ambaye ameu-ngana na mwovu atauawa kwaupanga.

16 Watoto wao wataaruliwavipande mbele ya macho yao;nyumba zao zitaporwa na wakezao watanajisiwa.

17 Tazama, nitawachocheaWamedi dhidi yao, ambaohawatafikiri fedha na dhahabu,wala hawatazifurahia.

18 Na pinde zao zitawakataka-ta vijana kwa vipande vipande;na hawatahurumia matunda yatumbo; macho yao haitawaachawatoto.

19 Na Babilonia, utukufu wafalme, na aurembo wa uborawa Wakaldayo, itakuwa kamawakati Mungu alivyopinduabSodoma na Gomora.

20 aHautakaliwa tena, walawatu hawataishi ndani yaketangu kizazi hadi kizazi: walaMwarabu kupiga hema hapo;wala wachungaji hawatalazamakundi yao huko.

21 Lakini wanyama awakaliwa jangwani watalala huko; nanyumba zao zitajaa wanyamawa kuhuzunisha; na bundi

9a mwm Dunia—Kutakaswa kwadunia.

10a mwm Ulimwengu—Mwisho waulimwengu.

11a Mal. 4:1.b M&M 64:24.

12a Isa. 4:1–4.13a mwm Dunia—Hali

ya mwisho ya dunia.14a au paa anayewindwa.

19a m.y. isiyofaa.b Mwa. 19:24–25;

Kum. 29:23;2 Ne. 13:9.

20a Yer. 50:3, 39–40.21a Isa. 34:14–15.

Page 133: KITABU CHA MORMONI

2 Nefi 23:22–24:9 116

wataishi huko, na bmbuzi wamwitu watacheza huko.

22 Na nyumbu wa visiwaniwatabweka katika anyumba zaozilizo na ukiwa, na bmajokakatika ngome zao nzuri; nawakati wake unakaribia, nasiku yake haitaongezeka. Kwaninitamwangamiza kwa haraka;ndio, kwani nitawarehemuwatu wangu, lakini waovuwataangamia.

MLANGO WA 24

Israeli itakusanywa na kufurahiapumziko la Milania—Lusiferi ali-fukuzwa kutoka mbinguni kwasababu ya maasi—Israeli itashindaBabilonia (ulimwengu) — Linga-nisha Isaya 14. Kutoka karibumwaka wa 559 hadi 545 kabla yakuzaliwa kwa Kristo.

Kwani Bwana atamrehemuYakobo, na hata hivyo aatacha-gua Israel i , na kuwawekakatika nchi yao wenyewe; nabwageni wataunganishwa nawao, na kuungana na nyumbaya Yakobo.2 Na awatu watawachukua na

kuwapeleka mahali pao; ndio,kutoka mbali hadi sehemu zamwisho za dunia; na watarejeakatika bnchi zao za ahadi. Nanyumba ya Israeli itawamiliki,na nchi ya Bwana itakuwa

ya cwatumishi na wajakazi; nawatawachukua wafungwa walewaliowafunga; na watawata-wala wadhalimu wao.

3 Na itakuwa kwamba katikasiku ile kwamba Bwana ataku-patia apumziko, kutoka kwahuzuni yako, na kutoka wogawako, na kutoka ufungwa mgu-mu ambao ulifanywa kutumika.

4 Na itakuwa kwamba katikasiku ile, kwamba utarudia me-thali hii dhidi ya mfalme waaBabilonia, na kusema: Jinsigani mwenye kudhulumuamekoma, na mji wa dhahabukukoma!

5 Bwana amelivunja gongola waovu, dalili za enzi zawatawala.

6 Yeye aliyewapiga watukatika ghadhabu kwa mapigoyasiyokoma, yeye aliyetawalamataifa kwa hasira, anaadhibi-wa, na hakuna yeyote anakaye-zuia.

7 Ulimwengu wote unapum-zika, na umekuwa kimya; wa-naanza akuimba.

8 Ndio, amisunobari inaku-sherekea, na pia mierezi yaLebanoni, ikisema: Tangu bula-zwe chini hakuna cyeyote ame-kuja dhidi yetu.

9 aJahanamu imetaharuki ku-kulaki utakapokuja; inawaam-sha bwafu kwa sababu yako,hata walio wakuu wote wa

21b ebr mbuzi dume,au pepo wachafu.

22a ebr makasri.b ebr (pengine)

mbweha, au mbwamwitu.

24 1a Zek. 1:17.b Isa. 60:3–5, 10.

2a m.y. Mataifa mengineyataisaidia Israeli.

b mwm Nchi ya Ahadi.c Isa. 60:14.

3a Yos. 1:13;M&M 84:24.

4a mwm Babeli,Babilonia.

7a Isa. 55:12.8a ebr mvinje.

b m.y. katika kifo.c ebr kikata mti

hakijaja dhidi yetu.9a mwm Jahanamu.

b m.y. roho ambazohaziko katika mwili.

Page 134: KITABU CHA MORMONI

117 2 Nefi 24:10–23

dunia; imewainua kutoka vitivyao vya enzi wafalme wotewa mataifa.10 Wote watanena na kukwa-

mbia: Je, nawe pia umekuwamnyonge kama sisi? Je, naweumekuwa kama sisi?

11 Fahari yako imeshushwachini kaburini; na kelele ya ma-zeze yako haisikiki; funza ame-tandazwa chini yako, na funzawamekufunika.

12 aJinsi gani umeanguka ku-toka mbinguni, Ee bLusiferi,mwana wa asubuhi! Je, umeka-twa chini, ambaye alidhoofishamataifa!13 Kwani umesema moyoni

mwako: aMimi nitapanda mbi-nguni, nitainua kiti changu chaenzi juu ya nyota za Mungu;nitaketi pia juu ya mlima wamkutano, katika pande zabkaskazini;

14 Nitapanda kupita vimovya mawingu; nitakuwa kamayeye Aliye Juu Sana.

15 Bado wewe utashushwachini jahanamu, hadi pande zaashimo.16 Wale watakaokuona wata-

kukazia macho kwa amakini,na kukufikiria, na watasema: Jehuyu ni yule mtu aliyeteteme-sha dunia, aliyetingisha falme?

17 Na kufanya ulimwengu

kama nyika, na kuangamizamiji iliyomo ndani yake, nahakufungua nyumba za wafu-ngwa wake?

18 Wafalme wote wa mataifa,ndio, wote, wamezikwa kwautukufu, kila mmoja wao kati-ka nyumba yake amwenyewe.19 Lakini wewe umetupwa

mbali na kaburi lako kama tawialinalochukiza, na sazo la wa-naouawa, wanaodungwa kwaupanga, ambao wanashukachini hadi kwenye bmawe yashimo; kama mzoga uliokanya-gwa chini miguuni.

20 Wewe hutaunganishwa nawao katika mazishi, kwa saba-bu umeangamiza nchi yakona kuwaua watu wako; auzaowa bwaovu hautaheshimiwakamwe.

21 Tayarisheni machinjo kwawatoto wao kwa sababu yaamaovu ya baba zao, ili wasijewakainuka, wala kumil ikinchi, wala kujaza uso wa duniana miji.

22 Kwani nitainuka dhidi yao,asema Bwana wa Majeshi, nakutenga kutoka Babilonia ajina,na sazo, na mwana, na bmpwa,asema Bwana.

23 Pia nitaifanya amakao yangojamaliko, na maziwa yamaji; na nitaifagia kwa ufagio

12a M&M 76:26.b ebr nyota ya

asubuhi, mwana waalfajiri. Mtawala waulimwengu muovu(Babiloni)anazungumziwakama Lusiferi,mtawala wauovu wote.mwm Ibilisi; Lusiferi.

13a Musa 4:1–4.b m.y. makazi ya

miungu kulinganana imani yaKibabiloni.Zab. 48:2.

15a 1 Ne. 14:3.16a ebr akutupie jicho

na akuwazie.18a m.y. kaburi la

familia yake.

19a m.y. tawilililokataliwa,lilipogolewa nakutupwa.

b m.y. chini kabisa.20a Zab. 21:10–11; 37:28.

b mwm Ovu, Uovu.21a Kut. 20:5.22a Mit. 10:7.

b Ayu. 18:19.23a Isa. 34:11–15.

Page 135: KITABU CHA MORMONI

2 Nefi 24:24–25:1 118

wa maangamizo, asema Bwanawa Majeshi.24 Bwana wa Majeshi amea-

pa, akisema: Kwa kweli vile ni-mefikiria, hivyo yatatimia; nayale niliyoamua, ndiyo yataba-ki imara —

25 Kwamba nitamleta aMwa-shuri nchini mwangu, na kwe-nye milima byangu nitamka-nyaga chini ya miguu; kishacnira yake itawaondokea, namzigo wake kuondoka kutokamabega yao.26 Hili ndilo kusudi lililonui-

wa ulimwenguni mwote; nahuu ndio mkono ulionyoshewamataifa ayote.27 Kwani Bwana wa Majeshi

amenuia, na nani atakayeliba-tilisha? Na mkono wake ume-nyooshwa, na nani atakayeu-rudisha nyuma?

28 Katika ule amwaka ambaomfalme bAhazi alikufa kuliku-wa na mzigo huu.

29 Usifurahi ewe, Ufilisti wote,kwa sababu fimbo ya aliyeku-piga imevunjika; kwani kutokamzizi wa nyoka atatoka fira, nauzao wake utakuwa nyoka wamoto arukaye.

30 Na kifungua-mimba wamaskini watakula, na walio nashida watalala kwa usalama;na nitaua mzizi wako kwa njaa,na ataua sazo lako.

31 Pigeni yowe, Ee lango; lia,Ee mji, wewe, Ufilisti wote,umeyeyuka; kwani kutokakaskazini kutakuja moshi, nahakuna yeyote atakayekuwapekee mahali alipopangiwa.

32 Nini hapo kitakacho wa-jibu wajumbe wa mataifa?Kwamba Bwana ameimarishaaSayuni, na walio bmaskini wawatu wake cwataitumaini.

MLANGO WA 25

Nefi anautukuza unyoofu — Una-bii wa Isaya utafahamika katikasiku za mwisho—Wayahudi wata-rejea kutoka Babilonia, watamsu-lubu Masiya, na watatawanywana kuadhibiwa — Watarudishwawakimwamini Masiya — Atakujakwanza miaka mia sita tangu Lehiaondoke Yerusalemu—Wanefi wa-natii sheria ya Musa na kumwa-mini Kristo, aliye Mtakatifu waIsraeli. Kutoka karibu mwaka wa559 hadi 545 kabla ya kuzaliwakwa Kristo.

Sasa mimi, Nefi, nasema ma-chache kuhusu maneno ambayonimeandika, ambayo yamene-nwa na kinywa cha Isaya. Kwa-ni tazama, Isaya alizungumzavitu vingi ambavyo vilikuwaavigumu kufahamika na watuwangu; kwani hawajui kuhusu

25a Mazungumzoyanabadilika kuwashambulio la Ashuruna kuanguka kwaYuda, 701k.k. (aya ya 24–27).2 Fal. 19:32–37;Isa. 37:33–38.

b m.y. milima yaYuda na Israeli.

c Isa. 10:27.26a m.y. Hatimaye

mataifa yote yaulimwenguyataangushwa hivi.

28a m.y. Karibu mwaka720 k.k. mzigo huuau ujumbe wamaangamizoulitabiriwa kuhusu

Wafilisti, wakatiYuda atakuwa.

b 2 Fal. 16:20.32a mwm Sayuni.

b Sef. 3:12.c au tafuta kimbilio

ndani yake.25 1a 2 Ne. 25:5–6.

Page 136: KITABU CHA MORMONI

119 2 Nefi 25:2–8

mtindo wa kutoa unabii mio-ngoni mwa Wayahudi.2 Kwani mimi, Nefi, sijawafu-

nza vitu vingi kuhusu desturiza Wayahudi; akwani kazi zaozilikuwa kazi za giza, na mate-ndo yao yalikuwa matendo yamachukizo.3 Kwa hivyo, ninawaandikia

watu wangu, kwa wale wotewatakaopokea hapo baadayevitu hivi ambavyo ninaandika,ili wajue hukumu za Mungu,kwamba zinashukia mataifayote, kulingana na neno ambaloamenena.

4 Kwa hivyo, sikilizeni, Enyiwatu wangu, ambao ni wanyumba ya Israeli, na msikilizemaneno yangu; kwani kwa sa-babu maneno ya Isaya sio wazikwenu, walakini ni wazi kwawale wote ambao wamejazwana aroho ya bunabii. Lakininawapatia unabii, kulingana naroho aliye ndani yangu; kwahivyo nitatoa unabii kulinganana cunyofu uliokuwa na mimitangu wakati nitoke Yerusale-mu na baba yangu; kwanitazama, nafsi yangu inafurahiaunyofu kwa watu wangu, iliwajifunze.5 Ndio, na nafsi yangu inafu-

rahia maneno ya aIsaya, kwaninilitoka Yerusalemu, na machoy a n g u y a m e o n a v i t u v y abWayahudi, na ninajua kwamba

Wayahudi wanafahamu vituvya manabii, na hakuna watuwengine wanaofahamu vituvilivyonenwa Wayahudi kamawao, ila tu kwamba wawewamefunzwa desturi ya vituvya Wayahudi.

6 Lakini tazama, mimi, Nefi,sijafunza watoto wangu desturiza Wayahudi; lakini tazama,mimi, mwenyewe, nimeishiYerusalemu, kwa hivyo najuakuhusu eneo karibu inayoizi-ngira; na nimewatajia watotowangu kuhusu hukumu zaMungu, ambazo azimefanyikamiongoni mwa Wayahudi, kwawatoto wangu, kulingana nayale yote ambayo Isaya amezu-ngumza, na siyaandiki.

7 Lakini tazama, ninaendeleana unabii wangu, kulinganana aunyofu wangu; ambamokwayo najua kwamba hakunamtu yeyote anayeweza kukosea;walakini, katika siku ambazounabii wa Isaya utatimizwawatu watajua kwa hakika,wakati yatatimizwa.

8 Kwa hivyo, yana athamanikwa watoto wa watu, na kwayule anayedhani kwamba ha-yana, kwa hawa nitawazungu-mzia zaidi, na kuyatilia mkazokwa watu bwangu; kwani nina-jua kwamba yatawafaidi sanakatika siku za cmwisho; kwanikatika siku hizo watayafahamu;

2a 2 Fal. 17:13–20.4a mwm Roho Mtakatifu.

b mwm Toa unabii,Unabii.

c 2 Ne. 31:3; 33:5–6;Yak. (KM) 4:13.

5a 1 Ne. 19:23;

3 Ne. 23:1.b mwm Wayahudi.

6a 2 Ne. 6:8;Hel. 8:20–21.

7a 2 Ne. 32:7;Alma 13:23.

8a mwm Maandiko—

Thamani yamaandiko.

b Eno. 1:13–16;Morm. 5:12–15;M&M 3:16–20.

c mwm Siku zaMwisho.

Page 137: KITABU CHA MORMONI

2 Nefi 25:9–16 120

kwa hivyo, ni kwa faida yaonimeyaandika.9 Na kama vile kizazi kimoja

miongoni mwa Wayahudiakimeangamizwa kwa sababuya uovu, hata hivyo wamea-ngamizwa kutoka kizazi hadikizazi kulingana na maovu yao;na hakuna aliyeangamizwabila bkuaguliwa na manabii waBwana.

10 Kwa hivyo, walikuwawameelezewa kuhusu maanga-mizo yatakayowajia, mara tubaada ya baba yangu alipotokaYerusalemu; walakini, walishu-paza mioyo yao; na kulinganana unabii wangu a wamea-ngamizwa, ijapokuwa walebwaliopelekwa utumwani hukoBabilonia.

11 Na sasa haya nazungumzakwa sababu ya roho iliyo ndaniyangu. Na ingawaje wameha-mishwa watarejea tena, nakumiliki nchi ya Yerusalemu;kwa hivyo, awatarudishwa tenakatika nchi yao ya urithi.

12 Lakini, tazama, watakuwana vita, na uvumi wa vita; nawakati siku inafika ambayoMzaliwa aPekee wa Baba, ndio,hata Baba wa mbingu na dunia,atajithirihisha mwenyewe kwaokatika mwili, tazama, watam-kataa, kwa sababu ya maovu

yao, na ugandamizo wa mioyoyao, na ugumu wa shingo zao.

13 Tazama, awatamsulubu; nabaada ya kulazwa katika bziarakwa muda wa siku ctatu datafu-fuka kutoka kwa wafu, na upo-nyaji katika mabawa yake; nawale wote watakaoamini kwajina lake wataokolewa katikaufalme wa Mungu. Kwa hivyo,moyo wangu unafurahia kutoaunabii kumhusu, kwani enime-ona siku yake, na moyo wanguunatukuza jina lake takatifu.

14 Na tazama itakuwa kwa-mba baada ya aMasiya kufufukakutoka kwa wafu, na kujithiri-hisha kwa watu wake, kwawengi kadiri watakavyoliaminikwa jina lake, tazama, Yerusale-mu bitaangamizwa tena; kwaniole kwa wale wanaopigana dhi-di ya Mungu na watu wa kanisalake.

15 Kwa hivyo, aWayahudibwatatawanywa miongoni mwamataifa yote; ndio, na cBabiloniapia itaangamizwa; kwa hivyo,Wayahudi watatawanywa namataifa mengine.

16 Na baada ya wao kutawa-nywa, na Bwana Mungu kuwa-piga kwa mataifa mengine kwamuda wa vizazi vingi, ndio,hata chini kutoka kizazi hadikizazi mpaka watashawishwa

9a Yer. 39:4–10;Mt. 23:37–38.

b Amo. 3:7;1 Ne. 1:13.

10a 1 Ne. 7:13;2 Ne. 6:8;Omni 1:15;Hel. 8:20–21.

b 2 Fal. 24:14;Yer. 52:3–16.

11a Ezra 1:1–4;Yer. 24:5–7.

12a mwm Mwana Pekee.13a Lk. 23:33.

b Yn. 19:41–42;1 Ne. 19:10.

c Lk. 24:6–7;Mos. 3:10.

d mwm Ufufuko.e 1 Ne. 11:13–34.

14a mwm Masiya.b Lk. 21:24;

JS—M 1:1–18.15a mwm Wayahudi.

b Neh. 1:8–9;2 Ne. 10:6.

c mwm Babeli,Babilonia.

Page 138: KITABU CHA MORMONI

121 2 Nefi 25:17–21akumwamini Kristo, Mwana waMungu, na upatanisho, ambaoni kwa wanadamu wote bilakikomo — na wakati ile sikuitakapofika kwamba watamwa-mini Kristo, na kumwabuduBaba katika jina lake, na mioyomieupe na mikono safi, na wa-simtazamie Masiya mwingine,kisha, katika ule wakati, sikuitafika ambapo itakuwa lazimawaamini vitu hivi.17 Na Bwana atanyoosha

mkono wake tena mara ya piliakuwarudisha watu wake ku-toka kwa hali yao ya kupoteana kuanguka. Kwa hivyo, atae-ndelea kutenda kazi bkuu namaajabu miongoni mwa watotowa watu.18 Kwa hivyo, atawaletea ma-

neno yake, amaneno yale byata-kayowahukumu katika sikuya mwisho, kwani yatapewakwao kwa lengo la ckuwasadi-kisha kuhusu Masiya wa kweli,aliyekataliwa nao; na kuwasa-dikishia kwamba hawana hajatena kumtazamia Masiya mwi-ngine aje, kwani hakuna mwi-ngine atakayekuja, ila tu aweMasiya wa dbandia atakayewa-danganya watu; kwani kunaMasiya mmoja tu anayezungu-mziwa na manabii, na huyo

Masiya ndiye yule atakayeka-taliwa na Wayahudi.

19 Kwani kulingana na mane-no ya manabii, aMasiya atakujabaada ya miaka mia bsita tangubaba yangu atoke Yerusalemu;na kulingana na maneno yamanabii, na pia neno la cmalaikawa Mungu, jina lake litakuwaYesu Kristo, Mwana wa Mungu.

20 Na sasa, ndugu zangu,nimezungumza wazi ili msiko-see. Na jinsi aishivyo BwanaMungu aaliyewatoa Israeli ku-toka nchi ya Misri, na akampatiaMusa uwezo kwamba baponyemataifa baada ya wao kuumwana cnyoka wenye sumu, kamawangemtazama nyoka ambayealiinua mbele yao, na pia aka-mpa uwezo kwamba agongedmwamba na maji yatokee;ndio, tazama nawaambia, kwa-mba jinsi vile hivi vitu ni kweli,na jinsi Bwana Mungu aishivyo,hakuna ejina lingine ambalolimetolewa chini ya mbingu ilatu awe huyu Yesu Kristo, amba-lo nimelizungumzia, ambamokwamba mwanadamu anawezakuokolewa.

21 Kwa hivyo, kwa sababuhii Bwana Mungu ameniahidikwamba hivi vitu ambavyoaninaandika vitawekwa na ku-

16a 2 Ne. 10:6–9; 30:7;Morm. 5:14.

17a 2 Ne. 21:11–12; 29:1.mwm Urejesho waInjili.

b Isa. 29:14;2 Ne. 27:26;3 Ne. 28:31–33.

18a 2 Ne. 29:11–12;33:11, 14–15.

b mwm Hukumu, yaMwisho.

c 2 Ne. 26:12–13.d mwm Mpinga Kristo.

19a mwm Yesu Kristo—Unabii juu yakuzaliwa na kifo chaYesu Kristo.

b 1 Ne. 10:4;3 Ne. 1:1, 13.

c 2 Ne. 10:3.20a Kut. 3:7–10;

1 Ne. 17:24, 31; 19:10.b Yn. 3:14; 1 Ne. 17:41.

c Hes. 21:8–9;Alma 33:19;Hel. 8:14–15.

d Kut. 17:6;Hes. 20:11;1 Ne. 17:29; 20:21.

e Hos. 13:4;Mdo. 4:10–12;Mos. 5:8;Musa 6:52.mwm Mwokozi.

21a 2 Ne. 27:6–14.

Page 139: KITABU CHA MORMONI

2 Nefi 25:22–29 122

hifadhiwa, na kutolewa kwauzao wangu, kutoka kizazihadi kizazi, ili ahadi atimiziweYusufu, kwamba uzao wakebhautaangamia kamwe kadiridunia itakavyosimama.

22 Kwa hivyo, hivi vitu vitae-ndelea kutoka kizazi kimojahadi kizazi kingine kadiri duniaitakavyokuwepo; na vitaende-lea kulingana na njia na mape-nzi ya Mungu; na mataifa yata-kayovimiliki ayatahukumiwakwavyo kulingana na manenoambayo yameandikwa.

23 Kwani tunajitahidi kuandi-ka, akuwashawishi watoto wetu,na pia ndugu zetu, kumwaminiKristo, na kupatanishwa naMungu; kwani tunajua kwambani kwa bneema kwamba tunao-kolewa, baada ya ckutenda yotetunayoweza.24 Na, ingawa tunamwamini

Kristo, atunatii sheria ya Musa,na kutazama mbele kwa utha-biti kwa Kristo, hadi sheriaitakapotimizwa.

25 Kwani, ni kwa kusudi hiliasheria ilitolewa; kwa hivyosheria b imekufa kwetu, natumefanywa hai katika Kristokwa sababu ya imani yetu;lakini bado tunatii sheria kwasababu ya amri.26 Na atunazungumza kuhu-

su Kristo, tunafurahia katika

Kristo, tunahubiri kuhusu Kris-to, tunatoa bunabii kumhusuKristo, na tunaandika kulinganana unabii wetu, ili cwatotowetu wajue asili ya kutegemeadmsamaha wa dhambi zao.27 Kwa hivyo, tunazungumza

kuhusu sheria ili watoto wetuwajue mauti ya sheria; na wao,kwa kujua mauti ya sheria;watatazama mbele kwa ule uhaiulio katika Kristo, na wafahamuni kwa kusudi gani sheria ilito-lewa. Na baada ya sheria kuti-mizwa katika Kristo, kwambawasishupaze mioyo yao dhidiyake wakati sheria itakapota-kiwa kuwekwa kando.

28 Na sasa tazama, watu wa-ngu, nyinyi ni watu wa shingoagumu; kwa hivyo, nimewazu-ngumzia kwa uwazi, ili msiele-we vibaya. Na maneno ambayonimezungumza yatabaki kamabushuhuda dhidi yenu; kwaniyanatosha ckumfundisha mtuyeyote njia iliyo sawa; kwaninjia iliyo sawa ni kuamini katikaKristo na kutomkana kwanikwa kumkana unawakana piamanabii na sheria.

29 Na sasa tazama, nawaa-mbia kwamba njia iliyo sawani kuamini katika Kristo, nakutomkana; na Kristo ndiyeMtakatifu wa Israeli; kwa hivyolazima msujudu mbele yake, na

21b Amo. 5:15;2 Ne. 3:16;Alma 46:24–27.

22a 2 Ne. 29:11; 33:10–15;3 Ne. 27:23–27.

23a mwm Mtoto, Watoto.b Rum. 3:23–24;

2 Ne. 2:4–10;Mos. 13:32;

Alma 42:12–16;M&M 138:4.mwm Neema.

c Yak. (Bib.) 2:14–26.mwm Matendo.

24a Yak. (KM) 4:4–5.25a mwm Torati ya

Musa.b Rum. 7:4–6.

26a Yak. (KM) 4:12;Yar. 1:11; Mos. 3:13.

b Lk. 10:23–24.c mwm Mtoto, Watoto.d mwm Ondoleo la

Dhambi.28a Mos. 3:14.

b mwm Ushuhuda.c 2 Ne. 33:10.

Page 140: KITABU CHA MORMONI

123 2 Nefi 25:30–26:8

mmwabudu kwa auwezo wenuwote, akili, na nguvu, na nafsizenu zote; na mkifanya hivi,hamtatengwa kwa njia yoyote.

30 Na, kadiri itakavyohitajika,lazima utii matendo na amashar-ti ya Mungu hadi sheria aliyo-pewa Musa itakapotimizwa.

MLANGO WA 26

Kristo atawahudumia Wanefi —Nefi anaona mbele maangamizoya watu wake — Watazungumzakutoka mavumbini — Wayunaniwatajenga makanisa ya bandia namakundi maovu ya siri — Bwanaanawakataza wanadamu wasifanyeukuhani wa uongo. Kutoka karibumwaka wa 559 hadi 545 kabla yakuzaliwa kwa Kristo.

Na baada ya Kristo akufufukakutoka kwa wafu batajidhihi-risha kwenu nyinyi, watotowangu, na ndugu zangu wape-ndwa; na maneno atakayowa-zungumzia yatakuwa csheriamtakayoitii.2 Kwani tazama, nawaambia

kwamba nimeona kwamba vi-zazi vingi vitapita, na kutaku-wa na vita kuu na mabishanomiongoni mwa watu wangu.

3 Na baada ya Masiya kujawatu wangu watapewa aisharakuhusu bkuzaliwa kwake, na piakuhusu kifo chake na kufufukakwake; na siku ile itakuwa kuu

na mbovu kwa wale waliowaovu, kwani wataangamia; nawanaangamia kwa sababu wa-liwafukuza manabii, na wata-katifu, na kuwapiga mawe, nakuwaua; kwa hivyo kilio chacdamu ya watakatifu kitapandakwa Mungu kutoka chini dhidiyao.

4 Kwa hivyo, wale wote waliona kiburi, na watendao maovu,siku itakayofika aitawachoma,asema Bwana wa Majeshi, kwa-ni watakuwa kama makapi.

5 Na wale wanaoua manabii,na watakatifu, awatamezwa nakina cha ardhi, asema Bwana waMajeshi; na bmilima itawafuni-ka, na vimbunga vitawabeba,na majengo kuwaangukia nakuwavunja kwa vipande nakuwasaga kama unga.

6 Na wataadhibiwa kwa radi,na umeme, na matetemeko yaardhi, na kila aina ya maanga-mizo, kwani moto wa hasiraya Bwana utawawakia, nawatakuwa kama makapi, na ilesiku inayokuja itawamaliza,asema Bwana wa Majeshi.

7 Ee uchungu, na maumivu yanafsi yangu kwa sababu yawatu wangu waliopotea kwakuuawa! Kwani mimi, Nefi,nimeiona, na inakaribia kuni-maliza katika uwepo wa Bwana;lakini lazima nimlilie Munguwangu: Njia zako ni za ahaki.8 Lakini tazama, wenye haki

29a Kum. 6:5;Mk. 12:29–31.

30a mwm Ibada.26 1a 3 Ne. 11:1–12.

b 1 Ne. 11:7; 12:6.c 3 Ne. 15:2–10.

3a 1 Ne. 12:4–6.

mwm Ishara.b mwm Yesu Kristo—

Unabii juu yakuzaliwa na kifo chaYesu Kristo.

c Mwa. 4:10;2 Ne. 28:10;

Morm. 8:27.4a 3 Ne. 8:14–24; 9:3, 9.5a 1 Ne. 19:11;

3 Ne. 10:14.b 3 Ne. 8:10; 9:5–8.

7a mwm Haki.

Page 141: KITABU CHA MORMONI

2 Nefi 26:9–16 124

wanaotii maneno ya manabii, nabila kuwaangamiza, lakini wa-namtazamia Kristo kwa uthabitina ishara zinazotolewa, ingawaamateso hayo yote — tazama,wao ndio wao ambao bhawata-angamia.9 Lakini Mwana wa Uadilifu

aatawatokea; na batawaponya,na watakuwa na camani nayeye, hadi vizazi dvitatu vita-kuwa vimepita, na wengi wakizazi cha e nne watakuwawamepita kwa uadilifu.

10 Na wakati vitu hivi vime-pita amaangamizo ya harakayatawajia watu wangu; kwaniingawa nafsi yangu ina uchu-ngu, nimeiona; kwa hivyo,najua kwamba itatimia; na wa-najiuza bure; kwani, kwa zawa-di ya kiburi chao na upumbafuwao watavuna maangamizo;kwani kwa sababu watajitoleaibilisi na kuchagua kazi za gizabadala ya nuru, kwa hivyo la-zima waende chini bjahanamu.

11 Kwani Roho ya Bwanadaima ahaitajishughulisha nawanadamu. Na wakati Rohoanakoma kujishughulisha nawanadamu basi maangamizoya haraka yanakuja, na hii ina-huzunisha nafsi yangu.12 Na kama nilivyosema kuhu-

su akuwasadikisha bWayahudi,kwamba Yesu ndiye cyule Kristo,

inahitajika lazima kwambaWayunani pia nao wasadiki-shiwe kwamba Yesu ndiyeKristo, Mungu wa Milele;

13 Na kwamba anajidhihirishakwa wale wote wanaomwamini,kwa nguvu za Roho aMtakati-fu; ndio, kwa kila taifa, kabila,lugha, na watu, akifanya maa-jabu makuu, ishara, na miujiza,miongoni mwa watoto wa watukulingana na imani yao.

14 Lakini tazama, nawatoleaunabii kuhusu siku za amwisho;kuhusu siku zile Bwana Mungubatakapowaletea watoto wawatu vitu hivi.

15 Baada ya uzao wangu nauzao wa kaka zangu kufifiakatika kutoamini, na wataku-wa wamepigwa na Wayunani;ndio, baada ya Bwana Mungukuwazingira, na kuwahusurukwa kilima, na kuinua ngomedhidi yao; na baada ya waokushushwa chini mavumbini,hadi wamalizwe kabisa, badomaneno ya wenye haki yataa-ndikwa, na sala za wauminiyatasikika, na wale wote ambaowamefifia katika kutoaminihawatasahaulika.

16 Kwani wale watakaoa-ngamizwa awatawazungumziakutoka ardhini, na sauti yaoitakuwa sauti kunjufu kutokamavumbini, na sauti yao itaku-

8a mwm Mateso, Tesa.b 3 Ne. 10:12–13.

9a 3 Ne. 11:8–15.b 3 Ne. 17:7–9.c 4 Ne. 1:1–4.d 1 Ne. 12:11–12;

3 Ne. 27:30–32.e Alma 45:10–12;

Hel. 13:9–10.

10a Alma 45:9–14;Morm. 8:1–9.

b mwm Jahanamu.11a Eth. 2:15.12a 2 Ne. 25:18.

b 2 Ne. 30:7;Morm. 5:14.mwm Wayahudi.

c Morm. 3:21.

13a mwm Roho Mtakatifu.14a mwm Siku za

Mwisho.b mwm Urejesho wa

Injili.16a Isa. 29:4; Moro. 10:27;

Musa 7:62.mwm Kitabu chaMormoni.

Page 142: KITABU CHA MORMONI

125 2 Nefi 26:17–27

wa kama moja ambayo ina pepoya utambuzi; kwani BwanaMungu atampatia uwezo, kwa-mba anong’one juu yao, hataiwe ni kama kutoka ardhini; nasauti yao itanong’ona kutokamavumbini.1 7 K w a n i B w a n a M u n g u

asema hivi: aWataandika vilevitu vitakavyotendwa miongonimwao, na vitaandikwa na kuti-wa muhuri katika kitabu, nawale waliofifia katika kutoaminihawatavipokea, kwani wanaja-ribu bkutafuta kuharibu vituvya Mungu.18 Kwa hivyo, kwa kuwa wale

walioangamizwa wameanga-mizwa kwa haraka; na kundi lawatu watishao watakuwa kamaamakapi yapitayo — ndio, hivindivyo asema Bwana Mungu:Itakuwa kwa muda, ghafula —19 Na itakuwa, kwamba wale

waliofifia katika kutoaminiawatapigwa kwa mkono waWayunani.

20 Na Wayunani wamejiinuakwa akiburi cha macho yao,na bwamejikwaa, kwa sababuya ckikwazo kikuu, kwambawamejenga dmakanisa mengi;walakini, wanadharau uwezona miujiza ya Mungu, na kuji-hubiria wao wenyewe hekimayao na eelimu yao, ili wafaidikena fkuseta uso wa maskini.

21 Na kuna makanisa mengi

ambayo yamejengwa yanayo-sababisha awivu, na ubishi, nachuki.

22 Na pia kuna makundi mao-vu ya asiri, hata kama sikuza kale, kulingana na makundiya ibilisi, kwani yeye ndiyechanzo cha vitu hivi vyote;ndio, chanzo cha mauaji, nakazi za giza; ndio, na huwao-ngoza kwa shingo na mkandawa kitani, hadi anawafungakwa mikanda yake milele.

23 Kwani tazama, nduguzangu wapendwa, nawaambiakwamba Bwana Mungu hatendikazi yake gizani.

24 Hafanyi chochote ila tukwa manufaa ya ulimwengu;kwani aanapenda ulimwengu,hata kwamba anatoa maishayake ili awavute wanadamub wote kwake . Kwa hivyo ,hamwamuru yeyote asipokeewokovu wake.

25 Tazama, je yeye huliliayeyote, na kusema: Niondoke-eni? Tazama, nawaambia, Ha-pana; lakini husema: aNjoonikwangu nyote kutoka pandezote za mwisho wa ulimwengu,bnunueni maziwa na asali, bilapesa na bila bei.

26 Tazama, je amemwamuruyeyote kutoka katika masinago-gi, au kutoka nyumba za ibada?Tazama, nawaambia, Hapana.

27 Je, amewaamuru wowote

17a 2 Ne. 29:12.b Eno. 1:14.

18a Morm. 5:16–18.19a 3 Ne. 16:8–9;

20:27–28.20a mwm Kiburi.

b 1 Ne. 13:29, 34.mwm Ukengeufu.

c Eze. 14:4.d 1 Ne. 14:10; 22:23;

Morm. 8:28.e Morm. 9:7–8;

2 Ne. 9:28.f Isa. 3:15;

2 Ne. 13:15.21a mwm Husuda.

22a mwm Makundimaovu ya siri.

24a Yn. 3:16.b 3 Ne. 27:14–15.

25a Alma 5:33–35;3 Ne. 9:13–14.

b Isa. 55:1–2.

Page 143: KITABU CHA MORMONI

2 Nefi 26:28–33 126

wasipokee awokovu wake?Tazama nawaambia, Hapana;lakini bameutoa bure kwa wana-damu wote; na amewaamuruwatu wake kwamba wawasha-wishi wanadamu wote cwatubu.28 Tazama, je, Bwana amewaa-

muru wowote wasipokee wemawake? Tazama nawaambia,Hapana; lakini wanadamua wote wana haki sawa, nahakuna yeyote anayekatazwa.29 Anaamuru kwamba kusi-

we na aukuhani wa uongo;kwani, tazama, ukuhani wauongo ni kwamba wanadamuwanahubiri na kujiinua wawenuru ya ulimwengu, ili wafaidi-ke na wapate bsifa za ulimwe-ngu; lakini hawajali ustawi waSayuni.

30 Tazama, Bwana amekatazakitu hiki; kwa hivyo, BwanaMungu ametoa amri kwambawanadamu wote wawe nahisani, ahisani ambayo ni bupe-ndo. Na bila kuwa na hisaniwao sio chochote. Kwa hivyo,kama wangekuwa na hisanihawangekubali mtumishi waSayuni kuangamia.31 Lakini mtumishi wa Sayuni

atatumikia aSayuni; kwani kamawatatumikia kwa sababu yabpesa wataangamia.

32 Na tena, Bwana Munguaameamuru kwamba wanada-mu wasiue; kwamba wasi-danganye; kwamba wasiibe;

kwamba wasiape bbure kwajina la Bwana Mungu wao; kwa-mba wasiwe na wivu; kwambawasiwe na chuki; kwamba wa-sibishane wao; kwamba kwawao wasifanye usherati; nakwamba wasitende vyovyotevya vitu hivi; kwani yeyoteatakayevitenda ataangamia.

33 Kwani hakuna yoyote yahaya maovu yatokayo kwaBwana; kwani anatenda yaleambayo ni mema miongonimwa watoto wa watu; na hate-ndi lolote lisilo wazi kwa wato-to wa watu; na anawakaribishawote kuja kwake na kupokeawema wake; na ahamkataziyeyote anayemjia, weusi kwaweupe, wafungwa na walioh u r u , w a k e k w a w a u m e ;na anawakumbuka bkafiri; nacwote ni sawa kwa Mungu, wotewawili, Myahudi na Myunani.

MLANGO WA 27

Giza na ukengeufu yataufunikaulimwengu katika siku za mwisho— Kitabu cha Mormoni kitatokea— Mashahidi watatu watakishu-hudia kitabu — Mtu aliyeelimikaatasema hawezi kukisoma kitabukilichotiwa muhuri — Bwana ata-tenda kazi kuu na ya maajabu —Linganisha Isaya 29. Kutoka karibumwaka wa 559 hadi 545 kabla yakuzaliwa kwa Kristo.

27a mwm Wokovu.b Efe. 2:8; 2 Ne. 25:23.c mwm Toba, Tubu.

28a Rum. 2:11;1 Ne. 17:33–35.

29a mwm Ukuhani wauongo.

b M&M 121:34–37.30a Moro. 7:47–48.

mwm Hisani.b mwm Upendo.

31a mwm Sayuni.b Yak. (KM) 2:17–19;

M&M 11:7; 38:39.

32a mwm Amri zaMungu.

b mwm Lugha chafu.33a Mdo. 10:9–35, 44–45.

b Alma 26:37.c Rum. 2:11;

1 Ne. 17:35.

Page 144: KITABU CHA MORMONI

127 2 Nefi 27:1–10

Lakini, tazama, katika siku zaamwisho, au katika siku zaWayunani — ndio, tazama ma-taifa yote ya Wayunani na piaWayahudi, wote watakaokujakatika nchi hii na wale wataka-okuwa katika nchi zingine,ndio, hata katika nchi zoteza dunia, tazama, watalewakwa maovu na aina zote zamachukizo —

2 Na siku ile itakapofikawataadhibiwa na Bwana waMajeshi, kwa radi na kwa mte-temeko wa ardhi , na kwangurumo, na kwa dhoruba, nakwa tufani, na kwa amwali wamoto unaounguza.3 Na amataifa yote byapigana-

yo dhidi ya Sayuni, na yaleyanayomuudhi, yatakuwa nikama ndoto ya maono usiku;ndio, itakuwa kwao, hata kamamtu mwenye njaa aotaye, natazama anakula lakini anaam-ka na nafsi yake ni tupu; aukama mtu aliye na kiu aotaye,na tazama anakunywa lakinianaamka na tazama anazirai, nanafsi yake ina hamu; ndio, hatahivyo ndivyo utakavyokuwaumati wa mataifa yote yapiga-nayo dhidi ya Mlima Sayuni.

4 Kwani tazama, nyote mnao-tenda maovu, kaeni mlipo namstaajabu, kwani mtalia, nakulia; ndio, mtalewa lakini siokwa mvinyo, mtayumbayumbalakini sio kwa pombe kali.

5 Kwani tazama, Bwana ame-wamwagia roho ya usingizi.Kwani tazama, mmefungamacho yenu, na mmewakataamwonaji; na watawala wenu,na manabii amewafunika kwasababu ya uovu wenu.

6 Na itakuwa kwamba BwanaMungu atawaletea aninyi ma-neno ya bkitabu, na yatakuwamaneno ya waliokufa.

7 Na tazama, hicho kitabukitakuwa kimetiwa amuhuri; nakatika kitabu hicho patakuwana bufunuo kutoka kwa Mungu,tangu mwanzo wa dunia hadicmwisho wake.8 Kwa hivyo, kwa sababu ya

vitu ambavyo vimetiwa amu-huri, vitu viliyotiwa muhuribhavitatolewa katika siku zauovu na machukizo ya watu.Kwa hivyo kitabu hicho kita-wekwa mbali nao.

9 Lakini kitabu hicho atapewaamtu, na atapewa maneno yakitabu hicho, ambayo ni mane-no ya wafu walio mavumbini,na atatoa maneno haya kwabmwingine;

10 Lakini maneno yaliyotiwamuhuri hatatoa, wala hatatoahicho kitabu. Kwani kitabuhicho kitatiwa muhuri kwanguvu za Mungu, na ufunuouliotiliwa muhuri utawekwakitabuni humo hadi wakatimkamilifu wa Bwana utimie,kwamba yajulikane; kwani

27 1a mwm Siku zaMwisho.

2a Isa. 24:6; 66:15–16;Yak. (KM) 6:3;3 Ne. 25:1.

3a Isa. 29:7–8.b 1 Ne. 22:14.

6a Yar. 1:2;Morm. 5:12–13.

b 2 Ne. 26:16–17; 29:12.mwm Kitabu chaMormoni.

7a Isa. 29:11–12;Eth. 3:25–27; 4:4–7.

b Mos. 8:19.c Eth. 13:1–12.

8a Eth. 5:1.b 3 Ne. 26:9–12;

Eth. 4:5–6.9a M&M 17:5–6.

b JS—H 1:64–65.

Page 145: KITABU CHA MORMONI

2 Nefi 27:11–21 128

tazama, yanafunua vitu vyotetangu msingi wa ulimwenguhadi mwisho wake.11 Na siku inafika ambapo

yale maneno ya kile kitabuyaliyotiwa muhuri yatasomwakutoka juu ya nyumba; na yata-somwa kwa uwezo wa Kristo;na vitu vyote avitafunuliwawatoto wa watu vile vilivyoku-wa miongoni mwa watoto wawatu, na vile vitakavyokuwahata hadi mwisho wa dunia.12 Kwa hivyo, katika siku ile

ambayo hicho kitabu kitatolewakwa yule mtu ambaye nimem-taja, kitabu hicho kitafichwatokana na macho ya ulimwe-ngu, kwamba hakuna machoyoyote yatakayokiona ila tuamashahidi bwatatu watakiona,kwa nguvu za Mungu, na kwayule ambaye atapewa kitabuhicho; na watashuhudia ukweliwa kitabu hicho na kwa vituvilivyomo.

13 Na hakuna yeyote ataka-yekiona, ila tu wachache kuli-ngana na nia ya Mungu, ku-shuhudia kuhusu neno lakekwa watoto wa watu; kwaniBwana Mungu amesema kwa-mba maneno ya waaminifuyatanena ni kama akutoka kwawafu.

14 Kwa hivyo, Bwana Munguataendelea kutoa maneno yakitabu hicho; na kwa vinywavya mashahidi wengi kama

apendavyo ataimarisha nenolake; na ole ni kwa yule aanaye-kataa neno la Mungu!

15 Lakini tazama, itakuwakwamba Bwana Mungu ata-mwambia yule aliyempa hichokitabu: Chukua maneno hayaambayo hayajawekwa muhurina umpat ie mwingine , i l iamwonyeshe aliyeelimika, aki-sema: aSoma hii, nakusihi.Na aliyeelimika atasema: Letahapa kitabu, na nitayasoma.

16 Na sasa, kwa sababu yautukufu wa ulimwengu nakupata afaida watasema haya,na sio kwa utukufu wa Mungu.

17 Na yule mtu atasema:Siwezi kuleta hicho kitabu,kwani kimetwa muhuri.

18 Kisha aliyeelimika atasema:Siwezi kukisoma.

19 Kwa hivyo itakuwa kwa-mba, Bwana Mungu atatoa tenakitabu hicho na maneno hayakwa yule asiyeelimika; na yulemtu asiyeelimika atasema: Mimisina elimu.

2 0 K i s h a B w a n a M u n g uatamwambia: Walioelimika ha-watayasoma, kwani wameya-kataa, na ninaweza kufanyakazi yangu mwenyewe; kwahivyo wewe utasoma yale ma-neno nitakayokupatia.

21 aUsiguse vitu vilivyotiwamuhuri, kwani nitavitoa katikawakati wangu mkamilifu; kwa-ni nitawaonyesha watoto wa

11a Lk. 12:3;Morm. 5:8;M&M 121:26–31.

12a Kum. 19:15.b 2 Ne. 11:3;

Eth. 5:2–4;

M&M 5:11, 15; 17:1.13a 2 Ne. 3:19–20;

33:13–15;Moro. 10:27.

14a 2 Ne. 28:29–30;Eth. 4:8.

15a Isa. 29:11–12;JS—H 1:65.

16a mwm Ukuhani wauongo.

21a Eth. 5:1.

Page 146: KITABU CHA MORMONI

129 2 Nefi 27:22–31

watu kwamba ninaweza kufa-nya kazi yangu mwenyewe.22 Kwa hivyo, ukishamaliza

kusoma maneno yale niliyo-kuamuru, na kupata waleamashahidi ambao nilikuahidi,basi utakitia kile kitabu muhu-ri tena, na kukificha kwangu,ili niyahifadhi maneno ambayohujasoma, hadi nitakapotakakatika hekima yangu kuwafu-nulia watoto wa watu mamboyote.23 Kwani tazama, mimi ni

Mungu; na mimi ni Mungu waamiujiza; na nitauonyesha uli-mwengu kwamba mimi bndiyeyule jana, leo, na milele; nakwamba mimi sitendi lolotemiongoni mwa watoto wawatu ila tu ckulingana na imaniyao.

24 Na tena itakuwa kwambaBwana atamwambia yule ata-kayesoma yale maneno ataka-yopewa:

25 aKwa sababu watu hawawananikaribia kwa kinywachao, na kwa midomo yaobwananisifu, lakini mioyo yaoiko mbali nami, na hofu yaokwangu mimi inafundishwakwa cnjia ya wanadamu —

26 Kwa hivyo, nitaendeleakufanya kazi ya akushangazamiongoni mwa watu hawa,ndio, kazi ya bkushangaza naya maajabu, kwani hekima yawalio werevu na wenye elimu

itaangamia, na ufahamu wawapiga ramli wao utafichwa.

27 Na aole kwa wale wanaoja-ribu kumficha Bwana mashau-ri yao! Na matendo yao yakogizani; na wanasema: Nanianayetuona, na nani anayetu-jua? Na pia wanasema: Kwahakika, upinduzi wako wa vitujuu chini utahesabiwa kamaudongo wa bmfinyanzi. Lakinitazama, nitawaonyesha, asemaBwana wa Majeshi, kwambanajua matendo yao yote. Kwanikitu kitamwambia aliyekiunda,kwamba hakuniunda? Au kitukilichojengwa kitamwambiamjenzi, hakuwa na ufahamu?

28 Lakini tazama, asema Bwa-na wa Majeshi: Nitaonyeshawatoto wa watu kwamba nimuda kidogo uliobaki kwambaLebanoni itageuzwa kuwa sha-mba lizaalo; na shamba lizaalolitakuwa kama msitu.

29 aNa katika siku ile viziwiwatasikia maneno ya kitabu,na macho ya vipofu yataonakutoka fumboni na giza.

30 Na awapole pia nao watao-ngezeka, na bshangwe yao ita-kuwa katika Bwana, na waliomasikini miongoni mwa wana-damu watashangilia katikayule Mtakatifu wa Israeli.

31 Kwa hakika jinsi Bwanaaishivyo wataona kwambayule ambaye ahutisha atakuwabure, na mwenye kudharau

22a mwm Mashahidiwa Kitabu chaMormoni.

23a mwm Muujiza.b Ebr. 13:8.c Ebr. 11; Eth. 12:7–22.

25a Isa. 29:13.

b Mt. 15:8.c 2 Ne. 28:31.

26a 1 Ne. 22:8;2 Ne. 29:1–2.mwm Urejesho waInjili.

b Isa. 29:14; 2 Ne. 25:17.

27a Isa. 29:15.b Yer. 18:6.

29a Isa. 29:18.30a mwm Mpole, Upole.

b M&M 101:36.31a Isa. 29:20.

Page 147: KITABU CHA MORMONI

2 Nefi 27:32–28:5 130

ameangamizwa, na kwambawale wote wanaotafuta uovuwanatengwa;32 Na wale awanaomkosesha

mtu kwa neno, na kumtegeamtego yule anayekemea blango-ni, na ckumkataa mwenye hakikwa kitu kisichofaa.

33 Kwa hivyo, hivi asemaBwana, aliyemkomboa Ibrahi-mu, kuhusu nyumba ya Yako-bo: Sasa Yakobo hataaibika,wala uso wake kugeuka rangiuwe mweupe.

34 Lakini aatakapoona watotowake, ambao ni kazi ya miko-no yangu, kati yake, watata-kasa jina langu, na kumtakasayule Mtakatifu wa Yakobo,na watamheshimu Mungu waIsraeli.

35 Wale nao pia awaliokoseakatika roho watafahamu, nawale walionung’unika bwataji-funza mafundisho ya dini.

MLANGO WA 28

Makanisa mengi ya bandia yataje-ngwa katika siku za mwisho —Yatafunza mafundisho ya uwo-ngo, yasiyofaidi, na ya kipumbavu— Ukengeufu utaendelea kwa sa-babu ya walimu wa bandia —Ibilisi atavuma katika mioyo yawanadamu — Atafunza kila ainaya mafundisho ya uwongo. Kutoka

karibu mwaka wa 559 hadi 545kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

Na sasa, tazameni, nduguzangu, nimewazungumzia,kulingana na vile Roho ame-niongoza; kwa hivyo, najuakwamba kwa kweli lazimayatimizwe.

2 Na vitu ambavyo vitaandi-kwa kutoka kwenye akitabuhicho vitakuwa vya bdhamanakuu kwa watoto wa watu, nahasa kwa uzao wetu, ambayo nisazo la nyumba ya Israeli.

3 Kwani itakuwa kwamba ka-tika siku ile amakanisa ambayoyamejengwa, na siyo kwa Bwa-na, wakati mmoja italiambianyingine: Tazama, Mimi, Mimini wa Bwana; na jingine litase-ma: Mimi, Mimi ni wa Bwana;na kila mmoja aliyejenga maka-nisa, yasiyo ya Bwana atasemahivyo —

4 Na watabishana mmoja namwingine; na makuhani waowatabishana mmoja na mwingi-ne, na watafunza kulingana naaelimu yao, na watamkana RohoMtakatifu, anayetoa maneno.

5 Na awanakana bnguvu zaMungu, yule Mtakatifu waIsraeli; na kuwaambia watu:Tusikilizeni sisi, na sikilizamawaidha yetu; kwani tazamachakuna Mungu leo, kwaniBwana na Mkombozi ametenda

32a Lk. 11:54.b Amo. 5:10.c 2 Ne. 28:16.

34a Isa. 29:23–24.35a 2 Ne. 28:14;

M&M 33:4.b Dan. 12:4.

28 2a mwm Kitabu chaMormoni.

b 1 Ne. 13:34–42; 22:9;3 Ne. 21:6.

3a 1 Kor. 1:10–13;1 Ne. 22:23;4 Ne. 1:25–29;

Morm. 8:28, 32–38.4a 2 Ne. 9:28.5a 2 Ne. 26:20.

b 2 Tim. 3:5.c Alma 30:28.

Page 148: KITABU CHA MORMONI

131 2 Nefi 28:6–15

kazi yake, na amewapatia wa-nadamu uwezo wake;6 Tazameni, sikilizeni mawai-

dha yangu; kama watasemakuna muujiza uliotendwa kwamkono wa Bwana, msiamini;kwani leo yeye sio Mungu waamiujiza; ametenda kazi yake.7 Ndio, na kutakuwa na wengi

ambao watasema: aKuleni, ku-nyweni, na mshangilie, kwanikesho tutakufa; na sisi tutakuwasalama.

8 Na kutakuwa pia na wengiambao watasema: Kuleni, ku-nyweni na mshangilie; wala-kini, mwogopeni Mungu —aataturuhusu kutenda dhambikidogo; ndio, bdanganya kidogo,tumieni wengine kwa sababuya maneno yao, mchimbie jira-ni yako cshimo; hakuna hatiakwa haya; na mtende vitu hivivyote, kwani kesho tutakufa,na kama tutakuwa na hatia,Mungu atatuadhibu kwa mije-ledi michache, na mwishowetutaokolewa katika ufalme waMungu.

9 Ndio, na kutakuwa na wengiwatakaofundisha kwa namnahii, uwongo na yasiyofaa naamafundisho ya bkipumbavu,na watajifurisha mioyoni mwao,na wata j i tahidi kumfichiaBwana mashauri yao; na mate-ndo yao yatakuwa gizani.

10 Na adamu ya watakatifuitalia kutoka chini dhidi yao.

11 Ndio, wote wamepoteaanjia; bwameharibika.

12 Kwa sababu ya akiburi, nakwa sababu ya walimu bandia,na mafundisho ya bandia,makanisa yao yameharibika, namakanisa yao yamejiinua; kwasababu ya kiburi yamefura.

13 aWanawapora bmaskini kwasababu ya makutaniko yaomazuri; wanawapora maskinikwa sababu ya mavazi yaomazuri; na kuwatesa walio wa-pole na maskini katika moyo,kwa sababu katika ckiburi chaowamefura.

14 aWanakaza shingo zao nakufanya vichwa vyao kuwa nakiburi; ndio, na kwa sababu yakiburi, na uovu, na machukizo,na usherati, wote bwamepoteaila tu wachache, ambao ni wa-fuasi wanyenyekevu wa Kristo;walakini, wanaongozwa, nainakuwa kwamba katika waka-t i mwingi wanakosea kwas a b a b u w a n a f u n z w a k w amawaidha ya wanadamu.

15 Ee wenye ahekima, na wali-oelimika, na matajiri, ambaowanajivuna kwa bkiburi charoho zao, na wale wote wanao-funza mafundisho ya bandia,na wale wote wanaofanyausherati, na kupindua njia zilizo

6a Morm. 8:26; 9:15–26.7a 1 Kor. 15:32;

Alma 30:17–18.8a Morm. 8:31.

b M&M 10:25;Musa 4:4.mwm Kusema uongo.

c Mit. 26:27;1 Ne. 14:3.

9a Mt. 15:9.b Eze. 13:3; Hel. 13:29.

10a Ufu. 6:9–11;2 Ne. 26:3;Morm. 8:27;Eth. 8:22–24;M&M 87:7.

11a Hel. 6:31.b Morm. 8:28–41;

M&M 33:4.12a Mit. 28:25.13a Eze. 34:8.

b Hel. 4:12.c Alma 5:53.

14a Mit. 21:4.b Isa. 53:6.

15a Mit. 3:5–7.b mwm Kiburi.

Page 149: KITABU CHA MORMONI

2 Nefi 28:16–28 132

sawa za Bwana, cole, ole, ole nikwao, asema Bwana MunguMwenyezi, kwani watatupwajahanamu!16 Ole kwa wale awanaokataa

la haki kwa kitu kisichofaana kushutumu kilicho chema,na kusema kwamba hakinathamani! Kwani siku inafikaambapo Bwana Mungu ataadhi-bu wakazi wa dunia kwa hara-ka; na katika siku ile ambayowatakuwa wameiva bkabisakatika maovu wataangamia.

17 Lakini tazama, kama wakaziwa dunia watatubu uovu waona machukizo hawataangami-zwa, asema Bwana wa Majeshi.

18 Lakini tazama, kanisa lilekuu la machukizo, yule akaha-ba wa ulimwengu wote, lazimabaporomoke duniani, na kubwautakuwa muanguko wake.

19 Kwani ufalme wa ibilisilazima autetemeke, na waleambao ni wake lazima wavuru-gwe hadi watubu, au bibilisi ata-wafunga kwa cminyororo yakeisiyo na mwisho, na wavuru-gwe, kwa hasira na waangamie.

20 Kwani tazama, katika sikuile aatavuma mioyoni mwawatoto wa watu, na awavurugewakasirikie yale ambayo nimema.

21 Na wengine aatawapatani-sha, na awapatie usalama wakimwili, kwamba watasema:Yote yako salama Sayuni; ndio,

Sayuni inafanikiwa, yote nimema — na hivyo bibilisi ana-danganya roho zao, na kuwape-leka kwa makini hadi jahanamu.

22 Na tazama, wengine ata-wadanganya, na kuwaambiakwamba hakuna ajahanamu;na kuwaambia: Mimi sio ibilisi,kwani hakuna yeyote—na ana-wanong’onezea hivyo masiki-oni mwao, hadi awashike nabminyororo yake miovu, kutokaambapo hakuna ukombozi.

23 Ndio, wamefungwa namauti, na jahanamu; na mauti,na jahanamu, na ibilisi, na walewote ambao wameshikwa nahao lazima watasimama mbeleya kiti cha enzi cha Mungu, naawahukumiwe kulingana namatendo yao, na kutoka hapolazima waende mahali wali-potayarishiwa, hata kwenyebziwa la moto na kiberiti, amba-yo ni mateso yasiyo na mwisho.

24 Kwa hivyo, ole kwa yuleanayestarehe Sayuni!

25 Ole kwa yule anayetangaza:Yote yako salama!

26 Ndio, ole kwa yule aanaye-tii mawaidha ya wanadamu,na kukana nguvu za Mungu,na kipawa cha Roho Mtakatifu!

27 Ndio, ole kwa yule anaye-sema: Tumepokea, na ahatuhi-taji zaidi!

28 Na mwishowe, ole kwawale wote wanaotetemeka, naawanakasirika kwa sababu ya

15c 3 Ne. 29:5.16a Isa. 29:21.

b Eth. 2:9–10.18a Ufu. 19:2.

b 1 Ne. 14:3, 17.19a 1 Ne. 22:23.

b Alma 34:35.

c Alma 12:11.20a M&M 10:20–27.21a Morm. 8:31.

b 2 Ne. 9:39.22a mwm Jahanamu.

b Alma 36:18.23a mwm Hukumu, ya

Mwisho; YesuKristo—Mwamuzi.

b 2 Ne. 9:16, 19, 26.26a 2 Ne. 9:29.27a Alma 12:10–11.28a 2 Ne. 9:40; 33:5.

mwm Uasi.

Page 150: KITABU CHA MORMONI

133 2 Nefi 28:29–29:2

ukweli wa Mungu! Kwani ta-zama, yule ambaye amejengwakatika bmwamba huyapokeakwa furaha; na yule aliyejengwakwenye msingi wa mchangahutetemeka asije akaanguka.29 Ole kwa yule atakayesema:

Tumepokea neno la Mungu, naahatuhitaji bmengine zaidi yamaneno ya Mungu, kwani tunaya kutosha!

30 Kwani tazama, hivi asemaBwana Mungu: Nitawapatiawatoto wa watu mstari juu yamstari, aamri juu ya amri, hapakidogo na pale kidogo; na heriwale wanaosikiza kanuni za-ngu, na kutii mashauri yangu,kwani watasoma b hekima;kwani kwa yule catakayepokeanitampatia dzaidi; na kutokakwa wale watakaosema, Tunaya kutosha, watapokonywa hatayale walio nayo.

31 Amelaaniwa yule ambayeanaweka a imani yake kwamwanadamu, au amfanyayekuwa mkono wake, au kusikizakanuni za wanadamu, isipoku-wa kanuni zao zipeanwe nanguvu ya Roho Mtakatifu.

32 aOle kwa Wayunani, asemaBwana Mungu wa Majeshi!Ingawa nitawanyoshea bmkonowangu siku kwa siku, watani-kana; walakini, nitawarehemu,

asema Bwana Mungu, kamawatatubu na kunijia mimi;kwani mkono wangu umenyo-oshwa siku yote, asema BwanaMungu wa Majeshi.

MLANGO WA 29

Wayunani wengi watakataa Kitabucha Mormoni — Watasema, Hatu-hitaji Biblia zaidi — Bwana huzu-ngumzia mataifa mengi — Atahu-kumu ulimwengu kutoka vitabuvitakavyoandikwa. Kutoka karibumwaka wa 559 hadi 545 kabla yakuzaliwa kwa Kristo.

Lakini tazama, kutakuwa nawengi—katika siku ile ambayonitaanza kutenda kazi ya amaa-jabu miongoni mwao, kwambanikumbuke bmaagano yanguambayo nilifanya na watoto wawatu, kwamba ninyooshe mko-no wangu tena mara ya cpilikurudisha watu wangu, ambaoni wa nyumba ya Israeli.

2 Na pia, ili nikumbuke ahadinilizokuahidi wewe, Nefi, napia kwa baba yako, kwambanitakumbuka uzao wako; nakwamba a maneno ya uzaowako utatoka kinywani mwa-ngu hadi kwa uzao wako; namaneno yangu yatapigwa bmi-unzi hadi mwisho wa dunia,

28b Mt. 7:24–27.mwm Mwamba.

29a 2 Ne. 29:3–10.b 2 Ne. 27:14; Eth. 4:8.

30a Isa. 28:9–13;M&M 98:12.

b mwm Hekima.c Lk. 8:18.d Alma 12:10;

M&M 50:24.31a M&M 1:19–20.32a 1 Ne. 14:6.

b Yak. (KM) 5:47; 6:4.29 1a 2 Ne. 27:26.

mwm Urejeshowa Injili.

b mwm Agano laIbrahimu.

c 2 Ne. 6:14;21:11–12; 25:17.mwm Israeli—Kukusanyika kwaIsraeli.

2a 2 Ne. 3:18–21.b Isa. 5:26;

2 Ne. 15:26;Moro. 10:28.

Page 151: KITABU CHA MORMONI

2 Nefi 29:3–9 134

kwani itakuwa cbendera kwawatu wangu, ambao ni wanyumba ya Israeli.

3 Na kwa sababu manenoyangu yatapigwa miunzi mbe-le — Wayunani wengi watase-ma: aBiblia! Biblia! TunayoBiblia, na hakuwezi kuwako naBiblia nyingine.

4 Lakini Bwana Mungu asemahivi: Enyi wajinga, watapataBiblia; na itatoka kwa aWaya-hudi, watu wangu wa kale wamaagano. Na wamewashukurubWayahudi vipi kwa ile cBibliawaliyoipokea kutoka kwao?Ndio, Wayunani wanamaanishanini? Je, wanakumbuka shida,mateso, na maumivu ya Waya-hudi, na bidii yao kwangumimi, katika kuwaletea Wayu-nani wokovu?

5 Ee nyinyi Wayunani, je,mmekumbuka Wayahudi, watuwangu wa kale wa maagano?Hapana; lakini mmewalaani,na akuwachukia, na hamkutakakuwarudisha. Lakini tazama,nitarudisha vitu hivi vyote juuya vichwa vyenu wenyewe;kwani mimi Bwana sijasahauwatu wangu.

6 Ewe mjinga, utakayesema:aBiblia, tunayo Biblia, na ha-tuhitaji Biblia ingine. Je, ume-pokea Biblia isipokuwa kwaWayahudi?

7 Je, hujui kwamba kuna

mataifa mengi zaidi ya moja?Je, hujui kwamba Mimi, BwanaMungu wako, animeumba wa-nadamu wote, na kwamba na-wakumbuka wale ambao wakobvisiwani vya bahari; na kwa-mba ninatawala juu mbingunina chini duniani; na kwambanitaleta mbele neno langukwa watoto wa watu, ndio,hata katika mataifa yote ya uli-mwengu?

8 Kwa hivyo unanung’unika,kwa sababu mtapokea manenoyangu zaidi? Je, hamjui kwambaushuhuda wa mataifa amawilini bushahidi kwenu kwambamimi ni Mungu, na kwambanakumbuka taifa moja kamalingine? Kwa hivyo, nazungu-mzia taifa moja maneno sawana lingine. Na wakati cmataifamawili yatakapoishi pamojaushuhuda wa hayo mataifamawili utaenda pia pamoja.

9 Ninafanya haya ili niwathi-bitishie wengi kwamba mimindiye ayule yule jana, leo, namilele; na kwamba ninazungu-mza maneno yangu nipenda-vyo. Na ati kwa sababu nime-nena bneno moja hamna hajakudhani kwamba siwezi kune-na lingine; kwani kazi yangubado haijakamilika; wala hai-takamilika hadi mwisho wamwanadamu, wala kutokawakati huo hadi milele.

2c 1 Ne. 21:22.mwm Bendera.

3a 1 Ne. 13:23–25.mwm Biblia; Kitabucha Mormoni.

4a M&M 3:16.b mwm Wayahudi.c mwm Yuda—

Kijiti cha Yuda.5a 3 Ne. 29:8.6a 1 Ne. 13:38.7a mwm Umba,

Uumbaji.b 1 Ne. 22:4.

8a Eze. 37:15–20;1 Ne. 13:38–41;

2 Ne. 3:12.b Mt. 18:16.

mwm Shahidi,Ushahidi.

c Hos. 1:11.9a Ebr. 13:8.

b mwm Ufunuo.

Page 152: KITABU CHA MORMONI

135 2 Nefi 29:10–30:1

10 Kwa hivyo, kwa sababumna Biblia msidhani kwambainayo amaneno yangu yote;wala hamna haja kudhanikwamba sijasababisha menginekuandikwa.

11 Kwani ninawaamuru wana-damu awote, kutoka masharikina magharibi, na kaskazini, nakusini, na katika visiwa vyabahari, kwamba bwataandikamaneno ambayo nitawazungu-mzia; kwani kutoka kwa cvitabuambavyo vitaandikwa dnitahu-kumu ulimwengu, kila mwa-nadamu kulingana na matendoyake, kulingana na yale yaliyo-andikwa.12 Kwani tazama, nitawazu-

ngumzia aWayahudi na watai-andika; na pia nitawazungum-zia Wanefi na bwataiandika; napia nitazungumzia makabilamengine ya nyumba ya Israeli,ambayo nimeyaongoza mbali,na wataiandika; na pia nitazu-ngumzia mataifa cyote ya duniana wataiandika.

13 Na i takuwa kwambaaWayahudi watapokea manenoya Wanefi, na Wanefi watapo-kea maneno ya Wayahudi; naWanefi na Wayahudi watapo-kea maneno ya makabila yaIsraeli byaliyopotea; na maka-bila ya Israeli yaliyopotea yata-

pokea maneno ya Wanefi naWayahudi.

14 Na itakuwa kwamba watuwangu, ambao ni wa anyumbaya Israeli, watakusanywa nyu-mbani katika nchi zao zakumiliki; na pia neno langulitakusanywa b pamoja. Nanitawaonyesha wale ambaowanapigana dhidi ya nenolangu na dhidi ya watu wangu,ambao ni wa cnyumba ya Israe-li, kwamba mimi ni Mungu,na kwamba dniliagana na Ibra-himu kwamba nitakumbukaeuzao wake fmilele.

MLANGO WA 30

Wayunani walioongoka watahe-sabika kuwa watu wa maagano —Walamani wengi na Wayahudiwataliamini neno na kuwa wema— Israeli itarudishwa na waliowaovu kuangamizwa. Kutoka ka-ribu mwaka wa 559 hadi 545 kablaya kuzaliwa kwa Kristo.

Na sasa tazama, ndugu zanguwapendwa, nitawazungumzia;kwani mimi, Nefi, sitakubalikwamba nyinyi mdhani kuwanyinyi ni watakatifu zaidi yavile Wayunani watakavyokuwa.Kwani tazameni, msipotii amriza Mungu nyote mtaangamia

10a mwm Maandiko—Maandikoyaliyotolewa unabiikwamba yatakuja.

11a Alma 29:8.b 2 Tim. 3:16.c mwm Kitabu cha

Uzima.d 2 Ne. 25:22;

33:11, 14–15.

mwm Hukumu, yaMwisho.

12a 1 Ne. 13:23–29.b 1 Ne. 13:38–42;

2 Ne. 26:17.c 2 Ne. 26:33.

13a Morm. 5:12–14.b mwm Israeli—

Makabila kumi yaIsraeli yaliyopotea.

14a Yer. 3:17–18.b Eze. 37:16–17.c 1 Ne. 22:8–9.d Mwa. 12:1–3;

1 Ne. 17:40;3 Ne. 20:27; Ibr. 2:9.mwm Agano laIbrahimu.

e M&M 132:30.f Mwa. 17:7.

Page 153: KITABU CHA MORMONI

2 Nefi 30:2–11 136

pia; na kwa sababu ya manenoambayo yamezungumzwa msi-d h a n i k w a m b a W a y u n a n iwameangamizwa kabisa.2 Kwani tazama, nawaambia

kwamba kadir i Wayunaniwatakavyotubu wao wanakuwawatu wa amaagano wa Bwana;na kadiri wengi bWayahudi wa-sivyotubu watatengwa; kwaniBwana haagani na yeyote ila tuwale cwanaotubu na kumwa-mini Mwana wake, ambayendiye Mtakatifu wa Israeli.

3 Na sasa, nitatoa unabii mcha-che zaidi kuhusu Wayahudi naWayunani. Kwani baada yakitabu kile nilichokizungumziakutokea, na kuandikiwa Wa-yunani, na kutiwa muhuri tenakatika Bwana, kutakuwa na we-ngi ambao awataamini manenoyaliyoandikwa; na bwao wata-yapelekea sazo la uzao wetu.4 Na kisha sazo la uzao wetu

litajua kutuhusu, vile tulivyo-toka Yerusalemu, na kwambawao ni ukoo wa Wayahudi.

5 Na injili ya Yesu Kristo itata-ngazwa miongoni amwao; kwahivyo, bwao watarejeshwa tenakwa ufahamu wa baba zao, napia kwa cufahamu wa YesuKristo, ambao ulikuwa mio-ngoni mwa baba zao.6 Na kisha watashangilia;

kwani watajua kwamba ni

baraka kwao kutoka mkono waMungu; na magamba yao yagiza yataanza kuanguka kuto-ka macho yao; na vizazi vingihavitapita miongoni mwao,ila tu watakuwa safi na watuawema.7 Na itakuwa kwamba aWaya-

hudi waliotawanyika bwataanzakumwamini Kristo; na wataa-nza kukusanyika katika uso wanchi; na kadiri wengi wataka-vyomwamini Kristo pia naowatakuwa watu wema.

8 Na itakuwa kwamba BwanaMungu ataanza kazi yakemiongoni mwa mataifa yote,kabila, lugha, na watu, kuletamarejesho ya watu wake katikadunia.

9 Na kwa utakatifu aBwanaMungu batawahukumu maski-ni, na kuwakemea kwa kiasikwa walio cwapole duniani. Naataipiga dunia kwa fimbo yakinywa chake; na kwa pumziya midomo yake atawaua waliowaovu.

10 Kwani awakati unafikaupesi ambapo Bwana Munguatasababisha b mgawanyikomkuu miongoni mwa watu, naataangamiza waovu; na cata-wahurumia watu wake, ndio,hata kama lazima daangamizewaovu kwa moto.

11 Na ahaki itakuwa mshipi wa

30 2a Gal. 3:26–29.b Mt. 8:10–13.

mwm Wayahudi.c mwm Toba, Tubu.

3a 3 Ne. 16:6–7.b 1 Ne. 22:8–9.

5a 3 Ne. 21:3–7, 24–26.b M&M 3:20.c 1 Ne. 15:14;

2 Ne. 3:12;Morm. 7:1, 9–10.

6a M&M 49:24; 109:65.7a 2 Ne. 29:13–14.

b 2 Ne. 25:16–17.9a Isa. 11:4–9.

b 2 Ne. 9:15.c mwm Mpole, Upole.

10a mwm Siku za

Mwisho.b M&M 63:53–54.c Musa 7:61.d 1 Ne. 22:15–17, 23.

mwm Dunia—Kutakaswa kwadunia.

11a Isa. 11:5–9.

Page 154: KITABU CHA MORMONI

137 2 Nefi 30:12–31:3

viuno vyake, na uaminifu uta-kuwa mshipi wa mafigo yake.12 Na kisha mbwa mwitu

aataaishi na mwanakondoo; nachui atalala na mwanambuzi,na ndama, na mwana-simba,na kinono, pamoja; na mtotomdogo atawaongoza.13 Na ng’ombe na dubu wata-

kula; na watoto wao watalalapamoja ; na s imba atakulamajani kama ng’ombe.

14 Na mtoto anayenyonyaatachezea katika tundu la nyokasumu, na mtoto aliyeachishwaatatia mkono wake kwenyepango la fira.

15 Hawatadhuru wala ku-haribu katika mlima wanguwote mtakatifu; maana duniaitajawa na ufahamu wa Bwanakama vile maji yanavyofunikabaharini.

16 Kwa hivyo, vitu vya mataifaayote bvitajulikana; ndio, vituvyote vitajulikana na watotowa watu.

17 Hakuna jambo ambalo nila siri ambalo ahalitafunuliwa;hakuna kazi ya giza ambayohaitafunuliwa katika nuru; nahakuna jambo lolote ambalolimetiwa muhuri duniani amba-lo halitafunguliwa.18 Kwa hivyo, vitu vyote

ambavyo vimewahi kufunuliwawatoto wa watu katika siku ilevitafunuliwa; na Shetani ahata-kuwa na nguvu juu ya mioyoya watoto wa watu tena, kwamuda mrefu. Na sasa, ndugu

zangu wapendwa, namaliziamaneno yangu hapo.

MLANGO WA 31

Nefi anaeleza ni kwa nini Kristoalibatizwa — Wanadamu lazimawamfuate Kristo, wabatizwe, wa-mpokee Roho Mtakatifu, na wavu-milie hadi mwisho ili waokolewe— Toba na ubatizo ndiyo lango lakuingia katika njia ile nyembambana iliyosonga — Uzima wa milelehuja kwa wale wanaotii zile amribaada ya ubatizo. Kutoka karibumwaka wa 559 hadi 545 kabla yakuzaliwa kwa Kristo.

Na sasa mimi, Nefi, namalizakuwatolea a unabi i , nduguzangu wapendwa. Na siwezikuandika isipokuwa tu vituvichache, ambavyo najua kwahakika lazima vitatimia; walasiwezi kuandika isipokuwa tumaneno machache ya kakayangu Yakobo.

2 Kwa hivyo, vitu ambavyonimeandika vimenitosha, ilatu maneno machache ambayolazima niyazungumze kuhusuamafundisho ya Kristo; kwahivyo, nitawazungumzia kwauwazi, kulingana na unyofuwangu ninapotoa unabii.

3 Kwani nafsi yangu inafura-hia unyoofu; kwani kwa namnahii ndivyo Bwana Mungu ana-vyotenda kazi miongoni mwawanadamu. Kwani Bwana Mu-ngu hutoa anuru kwa ufahamu;

12a Isa. 65:25.mwm Milenia.

16a M&M 101:32–35;121:28–29.

b Eth. 4:6–7.17a M&M 1:2–3.18a Ufu. 20:1–3;

Eth. 8:26.

31 1a 2 Ne. 25:1–4.2a 2 Ne. 11:6–7.3a mwm Nuru, Nuru

ya Kristo.

Page 155: KITABU CHA MORMONI

2 Nefi 31:4–13 138

kwani huzungumza na wana-damu kulingana na blugha yao,kwa ufahamu wao.

4 Kwa hivyo, ningependamkumbuke kwamba nimewahikuwazungumzia kuhusu yuleanabii ambaye Bwana alinio-nyesha, kwamba atambatizabMwanakondoo wa Mungu,ambaye ataondoa dhambi zaulimwengu.5 Na sasa, kama Mwana-

kondoo wa Mungu, akiwamtakatifu, alihitaji akubatizwakwa maji, ili kutimiza utakati-fu wote, Ee basi, jinsi ganitunahitaji zaidi sisi, tusio wata-katifu, kubatizwa, ndio, hatakwa maji!

6 Na sasa, ningewauliza nyi-nyi, ndugu zangu wapendwa,ni vipi Mwanakondoo wa Mu-ngu alitimiza utakatifu wotealipobatizwa kwa maji?

7 Je, hamjui kwamba alikuwamtakatifu? Lakini ingawa ali-kuwa mtakatifu, anawaonyeshawatoto wa watu kwamba, kuli-ngana na mwili anajinyenye-keza mbele ya Baba, na kum-shuhudia Baba kwamba yeyeatakuwa amwaminifu kwakekatika kutii amri zake.

8 Kwa hivyo, baada ya kubati-zwa kwa maji Roho Mtakatifualimshukia katika aumbo labnjiwa.

9 Na tena, inaonyesha watotowa watu unyofu wa njia, nawembamba wa alango, ambalowataliingilia, baada ya yeyekuwatolea mfano.

10 Na akawaambia watoto wawatu: aNifuateni mimi. Kwahivyo, ndugu zangu wape-ndwa, je, tunaweza bkumfuataYesu tusipokubali kushika amriza Baba?

11 Na Baba alisema: Tubuni,tubuni, na mbatizwe katika jinala Mwana wangu Mpendwa.

12 Na pia, sauti ya Mwanailinijia, ikisema: Yule anayeba-tizwa katika jina langu, aatape-wa Roho Mtakatifu na Baba,kama mimi; kwa hivyo, bnifua-teni, na mfanye vitu ambavyommeniona nikifanya.

13 Kwa hivyo, ndugu zanguwapendwa, najua kwambakama mtamtii Mwana, kwamoyo wa lengo moja, bila una-fiki na udanganyifu mbeleyake Mungu, lakini kwa kusu-di kamili, na kutubu dhambizenu, mkishuhudia kwa Babakwamba mnataka kujivika juuyenu jina la Kristo, kwa aubati-zo — ndio, kwa kumfuata Bwa-na wenu na Mwokozi wenuchini majini, kulingana na nenolake, tazameni, ndipo mtapo-kea Roho Mtakatifu; ndio, kishabubatizo wa moto na Roho

3b M&M 1:24.4a 1 Ne. 10:7; 11:27.

mwm YohanaMbatizaji.

b mwm Mwanakondoowa Mungu.

5a Mt. 3:11–17.mwm Batiza, Ubatizo.

7a Yn. 5:30.

mwm Mtiifu, Tii, Utii.8a 1 Ne. 11:27.

b mwm Njiwa,Ishara ya.

9a 2 Ne. 9:41;3 Ne. 14:13–14;M&M 22:4.

10a Mt. 4:19; 8:22; 9:9.b Moro. 7:11;

M&M 56:2.12a mwm Kipawa cha

Roho Mtakatifu.b Lk. 9:57–62;

Yn. 12:26.13a Gal. 3:26–27.

b mwm Kipawa chaRoho Mtakatifu;Moto.

Page 156: KITABU CHA MORMONI

139 2 Nefi 31:14–20

Mtakatifu unakuja; na kishamtaweza kuzungumza kwaclugha ya malaika, na kupigakelele za sifa kwa yule Mtakati-fu wa Israeli.14 Lakini, tazama, ndugu za-

ngu wapendwa, hivyo sauti yaMwana ilinijia, ikisema: Baadaya kutubu dhambi zenu, nakushuhudia Baba kwamba mkotayari kutii amri zangu, kwaubatizo wa maji, na kupokeaubatizo wa moto na wa RohoMtakatifu, na kuzungumza kwalugha mpya, ndio, hata lughaya malaika, na baada ya hayaamnikane, ingekuwa bvyemakama hamkunifahamu.15 Na nikasikia sauti kutoka

kwa Baba, ik isema: Ndio ,maneno ya Mpendwa wanguni ya kweli na maaminifu. Yuleatakayevumilia hadi mwisho,huyo ataokolewa.

16 Na sasa, ndugu zangu wa-pendwa, najua kwamba bila yamwanadamu akuvumilia hadimwisho, kwa kufuata bmfanowa Mwana wa Mungu aliyehai, hawezi kuokolewa.

17 Kwa hivyo, fanyeni vituambavyo nimewaambia nime-ona kwamba Bwana wenuna Mkombozi wenu atatenda;kwani, nimeonyeshwa hayakwa lengo hili, ili mjue ni

kwa lango gani mtakaloingilia.Kwani lango ambalo mtaingiliani toba na aubatizo kwa maji;na kisha unakuja bmsamaha wadhambi zenu kwa moto kwaRoho Mtakatifu.

18 Na kisha mnaingia katikaanjia hii nyembamba biliyoso-nga ambayo inaelekea uzimawa milele; ndio, mmeingia kwahilo lango; mmetenda kulinganana amri za Baba na Mwana; nammempokea Roho Mtakatifu,ambaye canawashuhudia Babana Mwana, katika kutimizaahadi ambayo ametoa, kwambamkiingia kwa njia mtapokea.

19 Na sasa, ndugu zanguwapendwa, baada yenu kuingiakatika njia hii nyembamba nailiyosonga, nauliza je, yoteayamekamilishwa? Tazama, na-waambia, Hapana; kwani ham-jafika hapa ila tu kwa neno laKristo na kwa bimani isiyoti-ngishika ndani yake, cmkitege-mea kabisa ustahili wa yulealiye mkuu kuokoa.

20 Kwa hivyo, lazima amso-nge mbele mkiwa na imaniimara katika Kristo, mkiwa namng’aro mkamilifu wa btumai-ni, na cupendo kwa Mungu nawanadamu wote. Kwa hivyo,kama mtasonga mbele, mkilana kusherekea neno la Kristo,

13c 2 Ne. 32:2–3.14a Mt. 10:32–33;

Alma 24:30;M&M 101:1–5.mwm Dhambi isiyosameheka.

b 2 Pet. 2:21.16a Alma 5:13; 38:2;

M&M 20:29.

b mwm Yesu Kristo—Mfano wa YesuKristo.

17a Mos. 18:10.mwm Batiza, Ubatizo.

b mwm Ondoleo laDhambi.

18a Mit. 4:18.mwm Njia.

b 1 Ne. 8:20.c Mdo. 5:29–32.

19a Mos. 4:10.b mwm Imani.c M&M 3:20.

20a mwm Tembea,Tembea na Mungu.

b mwm Tumaini.c mwm Upendo.

Page 157: KITABU CHA MORMONI

2 Nefi 31:21–32:7 140

na dmvumilie hadi mwisho, ta-zama, hivi ndivyo asema Baba:Mtapokea uzima wa milele.

21 Na sasa, tazama, ndugu za-ngu wapendwa, hii ndiyo anjia;na bhakuna cnjia nyingine walajina lililotolewa chini ya mbinguambalo mwanadamu anawezakuokolewa katika ufalme waMungu. Na sasa, tazama, hilindilo dfundisho la Kristo, nafundisho pekee na la kweli laeBaba, na la Mwana, na la RohoMtakatifu, ambao ni Mungufmmoja, bila mwisho. Amina.

MLANGO WA 32

Malaika wanazungumza kwa uwe-zo wa Roho Mtakatifu — Wanada-mu lazima wasali na kupokea ufa-hamu kwa wao wenyewe kutokakwa Roho Mtakatifu. Kutoka karibumwaka wa 559 hadi 545 kabla yakuzaliwa kwa Kristo.

Na sasa, tazama, ndugu zanguwapendwa, nadhani kwambamnawaza machache mioyonimwenu kuhusu yale mtakayo-tenda baada ya kuingia kwanjia hiyo. Lakini, tazama, kwanini mnawaza vitu hivi mioyonimwenu?2 Je, hamkumbuki kwamba

niliwaambia kwamba baadaya akupokea Roho Mtakatifumngezungumza kwa blugha yamalaika? Na sasa, vipi mnge-

zungumza kwa lugha ya mala-ika bila Roho Mtakatifu?

3 aMalaika wanazungumzakwa uwezo wa Roho Mtakatifu;kwa hivyo, wanazungumzamaneno ya Kristo. Kwa hivyo,niliwaambia, bshiriki manenoya Kristo; kwani tazama, mane-no ya Kristo yatawaelezea vituvyote mnavyostahili kutenda.

4 Kwa hivyo, na sasa baadaya kuzungumza maneno haya,kama hamwezi kuyafahamu,ni kwa sababu ahamuombi,wala kubisha; kwa hivyo,hamjaletwa kwenye nuru, lakinilazima mwangamie gizani.

5 Kwani tazama, tena nawaa-mbia kwamba kama mtaingiakwa njia hiyo, na kupokeaRoho Mtakatifu, atawaonyeshavitu vyote ambavyo mnastahilikutenda.

6 Tazameni, haya ndio mafu-ndisho ya Kristo, na hakutaku-wa na mafundisho mengineyatakayotolewa hadi aatakapo-jidhihirisha kwenu katika mwi-li. Na atakapojithirihisha kwenukatika mwili, mtachunguza nakufanya vile vitu atakavyowa-ambia.

7 Na sasa mimi, Nefi, siwezikuzungumza zaidi; Roho ana-yokomesha mazungumzo ya-ngu, na ninaachwa kuombolezakwa sababu ya akutoamini, nauovu, na ujinga, na majivunoya wanadamu; kwani hawata-

20d mwm Stahimili.21a Mdo. 4:10–12;

2 Ne. 9:41;Alma 37:46;M&M 132:22, 25.

b Mos. 3:17.c mwm Yesu Kristo—

Kujichukulia Jina laYesu Kristo juu yetu.

d Mt. 7:28;Yn. 7:16–17.

e mwm Mungu, Uungu.f 3 Ne. 11:27, 35–36.

mwm Umoja.

32 2a 3 Ne. 9:20.b 2 Ne. 31:13.

3a mwm Malaika.b Yer. 15:16.

4a mwm Omba.6a 3 Ne. 11:8.7a mwm Kutoamini.

Page 158: KITABU CHA MORMONI

141 2 Nefi 32:8–33:4

tafuta ufahamu, wala kuelewaufahamu wa juu, wanapoeleze-wa wazi bwazi, hata wazi vileneno linaweza kuwa.

8 Na sasa, ndugu zangu wa-pendwa, naona kwamba badomnatafakari mioyoni mwenu;na inanihuzunisha kwamba la-zima nizungumze kuhusu kituhiki. Kwani ikiwa mtasikilizaRoho ambaye anawafunza wa-nadamu akusali, mtajua kwa-mba lazima msali, kwani rohobmchafu hawafunzi mwanada-mu kusali, lakini humfunzakwamba lazima asisali.

9 Lakini tazameni, nawaa-mbia kwamba lazima amsalikila wakati, na msife moyo; nakwamba msifanye lolote kwaBwana bila kumuomba Babakwa bjina la Kristo, kwambaawatakasie matendo yenu, kwa-mba matendo yenu yawe nikwa cajili ya ustawi wa nafsiyako.

MLANGO WA 33

Maneno ya Nefi ni ya kweli—Yanamshuhudia Kristo — Waleambao wanamwamini Kristo wa-taamini maneno ya Nefi, ambayoyatasimama kama shahidi mbeleya baraza la hukumu. Kutoka kari-bu mwaka wa 559 hadi 545 kablaya kuzaliwa kwa Kristo.

Na sasa mimi, Nefi, siwezi

kuandika vitu vyote ambavyovilifundishwa miongoni mwawatu wangu; wala mimi sioashujaa kwa kuandika, kamanilivyo katika mazungumzo;kwani mwanadamu banapozu-ngumza kwa uwezo wa RohoMtakatifu uwezo wa RohoMtakatifu huyapeleka katikamioyo ya watoto wa watu.

2 Lakini tazama, kuna wengiawanaoshupaza mioyo yao dhi-di ya Roho Mtakatifu, kwambahana nafasi ndani yao; kwahivyo, wanatupa vitu vingiambavyo vimeandikwa na ku-vichukua kama vitu visivyofaa.

3 Lakini mimi, Nefi, nimea-ndika yale ambayo nimeandika,na kuyachukua kuwa yenyeathamani kuu, na zaidi kwawatu wangu. Kwani bnawao-mbea siku zote kwa mchana,na macho yangu huitia mtomaji usiku, kwa sababu yao;na ninamlilia Mungu wangukwa imani, na ninajua kwambaatasikia kilio changu.

4 Na ninajua kwamba BwanaMungu ataweka wakfu salazangu kwa faidha ya watuwangu. Na maneno ambayonimeandika kwa unyonge ya-tatiwa anguvu kwao; kwanibinawashawishi kutenda mema;inawafahamisha wao kuhusubabu zao; na inazungumzakuhusu Yesu, na kuwashawishikumwamini, na kuvumilia hadi

7b 2 Ne. 31:2–3;Yak. (KM) 4:13.

8a mwm Sala.b Mos. 4:14.

mwm Ibilisi.9a 3 Ne. 20:1;

M&M 75:11.

b Musa 5:8.c Alma 34:27.

33 1a Eth. 12:23–24.b M&M 100:7–8.

2a Hel. 6:35–36.3a mwm Maandiko—

Thamani ya

maandiko.b Eno. 1:9–12;

M ya Morm. 1:8.4a Eth. 12:26–27.

b Moro. 7:13.

Page 159: KITABU CHA MORMONI

2 Nefi 33:5–13 142

mwisho, ambao ni uzima wacmilele.5 Na inazungumza kwa aukali

dhidi ya dhambi, kulingana navile ukweli ulivyo bwazi; kwahivyo, hakuna mtu yeyote ata-kayekasirikia maneno ambayonimeandika ila tu awe na rohoya ibilisi.6 Nafurahia kwa uwazi; nafu-

rahia ukweli; namfurahia Yesuwangu, kwani aameikomboanafsi yangu kutoka jahanamu.

7 Nina ahisani kwa watu wa-ngu, na imani kuu katika Kristokwamba nitakutana na nafsinyingi zisizokuwa na mawaakatika kiti chake cha hukumu.

8 Nina hisani kwa Myahudi —nasema aMyahudi, kwa sababunina maana kwamba nilitokahuko.

9 Na pia nina hisani kwaaWayunani. Lakini tazama,siwezi kuwatumainia ila tuwao bwapatanishwe na Kristo,na kuingia katika lile lango cje-mbamba, na dwatembee katikanjia ile eiliyosonga inayoeleke-za uzima wa milele, na wae-ndelee katika njia hiyo hadimwisho wa siku ya majaribio.10 Na sasa, ndugu zangu

wapendwa, na pia Myahudi,na nyinyi nyote mlio pande

zote za ulimwengu, sikilizenimaneno haya na mwaminikatika Kristo; na kama hamwa-mini katika maneno haya aami-nini katika Kristo. Na kamamtamwamini Kristo mtaaminikatika bmaneno haya, kwani nicmaneno ya Kristo, na ameya-patia kwangu; na dyanafunzawanadamu wote kwamba wa-fanye mema.

11 Na kama sio maneno yaKristo, amueni nyinyi — kwaniKristo atawaonyesha, kwaa uwezo na utukufu mkuu,kwamba ni maneno yake, kati-ka siku ya mwisho; na wewe namimi btutasimama uso kwa usokwenye baraza lake; na utajuakwamba nimeamriwa na yeyekuandika vitu hivi, ingawamimi ni mnyonge.

12 Na ninamuomba Baba kwajina la Kristo kwamba wengiwetu, kama sio wote, waokole-we katika aufalme wake siku ilekuu ya mwisho.

13 Na sasa, ndugu zanguwapendwa, wale wote ambaoni wa nyumba ya Israeli, nanyote hadi mwisho wa ulimwe-ngu, nawazungumzia kamasauti ainayolia kutoka mavu-mbini: Kwa herini hadi siku ilekuu itakapofika.

4c mwm Uzima waMilele.

5a 1 Ne. 16:1–3;2 Ne. 9:40.

b 2 Ne. 31:3;Yak. (KM) 4:13.

6a mwm Komboa,Kombolewa,Ukombozi.

7a mwm Hisani.

8a mwm Wayahudi.9a mwm Wayunani.

b mwm Lipia dhambi,Upatanisho.

c 2 Ne. 9:41.d mwm Tembea,

Tembea na Mungu.e Hel. 3:29–30;

M&M 132:22.10a mwm Amini, Imani.

b mwm Kitabu chaMormoni.

c Moro. 10:27–29.d 2 Ne. 25:28.

11a Eth. 5:4; Moro. 7:35.b Ufu. 20:12;

Moro. 10:34.12a mwm Utukufu wa

Selestia.13a Isa. 29:4; 2 Ne. 26:16.

Page 160: KITABU CHA MORMONI

143 2 Nefi 33:14–Yakobo 1:5

14 Na wewe us iyekubal ikupokea wema wa Mungu, nakuheshimu maneno ya Waya-hudi, na pia amaneno yangu, nabmaneno yatakayotoka kutokakinywa cha Mwanakondoo waMungu, tazama, nakupigiakwaheri isiyo na mwisho, kwani

maneno haya cyatakuhukumusiku ya mwisho.

15 Kwani yale ambayo nina-yatia muhuri duniani, yatale-twa dhidi yako katika baraza laahukumu; kwani Bwana ame-niamuru hivi, na ni lazima nitii.Amina.

Kitabu cha Yakobo

KAKA YA NEFI

Maneno aliyowahubiria ndugu zake. Anamfadhaisha mtu ali-yetaka kupindua mafundisho ya Kristo. Maneno machache

kuhusu historia ya watu wa Nefi.

MLANGO WA 1

Yakobo na Yusufu wanatafutakuwashawishi wanadamu kumwa-mini Kristo na kutii amri zake —Nefi anafariki — Uovu unazidimiongoni mwa Wanefi. Kutokakaribu mwaka wa 544 hadi 421kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

KWANI tazama, ikawa kwa-mba miaka hamsini na

mitano ilikuwa imepita tanguLehi atoke Yerusalemu; kwahivyo, Nefi alinipatia mimi,aYakobo, bamri kuhusu bambazile cndogo, ambako vitu hivivimechorwa.

2 Na akanipatia mimi, Yakobo,amri kwamba niandike kwe-nye bamba hizi vitu vichacheambavyo nilivifikiria kuwa

vyenye thamani; na kwambanisiguse, ila kidogo tu, kuhusuhistoria ya hawa watu wanaoi-twa watu wa Nefi.

3 Kwani alisema kwambahistoria ya watu wake iandi-kwe kwenye zile bamba zakezingine, na kwamba nihifadhibamba hizi na kupokelezeauzao wangu, kutoka kizazihadi kizazi.

4 N a k a m a k u l i k u w a n amahubiri yaliyo matakatifu, auufunuo ulio mkuu, au kutoaunabii, kwamba nichore yaliyomuhimu katika bamba hizi, naniyagusie sana kama iwezeka-navyo, kwa ajili ya Kristo, nakwa faida ya watu wetu.

5 Kwani kwa sababu ya imanina wasiwasi mwingi, kwa haki-ka tulidhihirishiwa, kuhusu vile

14a mwm Biblia.b mwm Kitabu cha

Mormoni.c 2 Ne. 29:11; Eth. 4:8–10.

15a M ya Morm. 1:11.[yakobo]1 1a mwm Yakobo,

Mwana wa Lehi.

b Yak. (KM) 7:27.c 2 Ne. 5:28–33;

Yak. (KM) 3:13–14.mwm Mabamba.

Page 161: KITABU CHA MORMONI

Yakobo 1:6–14 144

vitu avitakavyowapata watuwetu.6 Na pia tulikuwa na ufunuo

mwingi, na roho ya unabiimwingi; kwa hivyo, tulijuakuhusu aKristo na ufalme wake,utakaokuja.7 Kwa hivyo tulifanya kazi

kwa bidii miongoni mwa watuwetu, kwamba tuwashawishiawaje kwa Kristo, na waonjewema wa Mungu, ili waingiekatika bpumziko lake, na ilikwa njia yoyote asiape katikaghadhabu yake kwamba cha-wataingia ndani, kama wali-vyomtia dhasira katika sikuza majaribio wakati wana waIsraeli walipokuwa enyikani.8 Kwa hivyo, tunatamani

kutoka kwa Mungu kamaingewezekana kwamba tunge-washawishi wanadamu woteawasimwasi Mungu, kumtiabhasira, lakini kwamba watuwote wangemwamini Kristo, nakutafakari kuhusu kifo chake,na kubeba cmsalaba wake nakuchukua aibu ya ulimwengu;kwa hivyo, mimi, Yakobo, naji-chukulia kutimiza amri yakaka yangu Nefi.

9 Sasa Nefi akaanza kuzeeka,na akajua kwamba anakaribiaakufariki; kwa hivyo, bakamtiamtu mafuta awe mfalme na

mtawala juu ya watu wakesasa, kulingana na utawala wacwafalme.10 Watu walikuwa wamem-

penda Nefi sana, kwa vilealikuwa mlinzi wao mkuu, nakuupunga aupanga wa Labanikwa ulinzi wao, na alikuwaametumikia kwa ustawi waokatika maisha yake yote —

11 Kwa hivyo, watu walitakakulikumbuka jina lake. Na ye-yote atakayetawala baada yakewatu walimwita, Nefi wa pili,Nefi wa tatu, na kadhalika,ku l ingana na utawala wawafalme; na hivyo ndivyowalivyoitwa na watu, haidhurujina lolote walilokuwa nalo.

12 Na ikawa kwamba Nefialifariki.

13 Sasa wale watu ambao ha-wakuwa aWalamani walikuwabWanefi; walakini, waliitwaWanefi, Wayakobo, Wayusufu,cWazoramu, Walamani, Wale-mueli, na Waishmaeli.

14 Lakini mimi, Yakobo, hapabaadaye sitawapambanua kwahaya majina, lakini wale wana-otaka kuangamiza watu waNefi anitawaita Walamani, nawale ambao ni marafiki waNefi nitawaita bWanefi, aucwatu wa Nefi, kulingana nautawala wa wafalme.

5a 1 Ne. 12.6a 1 Ne. 10:4–11;

19:8–14.7a 2 Ne. 9:41;

Omni 1:26;Moro. 10:32.

b mwm Pumziko.c Hes. 14:23;

Kum. 1:35–37;M&M 84:23–25.

d Ebr. 3:8.

e Hes. 26:65;1 Ne. 17:23–31.

8a mwm Uasi.b 1 Ne. 17:30;

Alma 12:36–37;Hel. 7:18.

c tjs, Mt. 16:25–26;Lk. 14:27.

9a 2 Ne. 1:14.b mwm Paka mafuta.c 2 Ne. 6:2; Yar. 1:7.

10a 1 Ne. 4:9; 2 Ne. 5:14;M ya Morm. 1:13;Mos. 1:16; M&M 17:1.

13a Eno. 1:13; M&M 3:18.b mwm Wanefi.c 1 Ne. 4:35;

4 Ne. 1:36–37.14a Mos. 25:12;

Alma 2:11.b 2 Ne. 4:11.c 2 Ne. 5:9.

Page 162: KITABU CHA MORMONI

145 Yakobo 1:15–2:5

15 Na sasa ikawa kwambawatu wa Nefi, chini ya utawalawa mfalme wa pili, walianzakuwa wagumu mioyoni mwao,na kujihusisha katika matendomaovu, kama vile Daudi wakale wakitamani awake wengina makahaba, na pia mwanawake, Sulemani.16 Ndio, na hata pia wakaa-

nza kutafuta dhahabu na fedhanyingi, na wakaanza kuinuliwakatika kiburi.

17 Kwa hivyo mimi, Yakobo,niliwapatia maneno haya nilipo-wafundisha katika ahekalu, niki-wa nimepokea kwanza bmwitowangu kutoka kwa Bwana.

18 Kwani mimi, Yakobo, nakaka yangu Yusufu tulikuwaatumetengwa tuwe makuhanina walimu kwa watu hawa, kwamkono wa Nefi.

19 Na tuliadhimisha aofisiyetu kwa Bwana, tukijichukuliabjukumu, na wajibu wa dhambiza watu vichwani mwetu kamahatungewafunza neno la Mu-ngu kwa bidii yote; kwa hivyo,tulitumikia kwa uwezo wetu ilicdamu yao isiwe katika mavaziy e t u ; l a s i v y o , d a m u y a oingekuwa katika mavazi yetu,na hatungepatikana bila alamakatika siku ile ya mwisho.

MLANGO WA 2

Yakobo anashutumu tamaa yautajiri, kiburi, na uasherati —

Wanadamu wamekubaliwa kutafu-ta utajiri kwa kusudi la kuwasaidiawanadamu wenzao—Yakobo ana-karipia desturi ya kuoa wake wengibila idhini — Bwana anafurahiausafi wa kimwili wa wanawake.Kutoka karibu mwaka wa 544hadi 421 kabla ya kuzaliwa kwaKristo.

Maneno ambayo Yakobo, kakaya Nefi, aliwazungumzia watuwa Nefi, baada ya kifo cha Nefi:

2 Sasa, ndugu zangu wape-ndwa, mimi, Yakobo, kulinganana jukumu langu kwa Mungu,kutukuza ofisi yangu kwaufahamu, na ili niyaondoleemavazi yangu dhambi zenu,naja hapa hekaluni siku hii iliniwatangazie neno la Mungu.

3 Na nyinyi mnajua mpakasasa kwamba nimekuwa nabidii katika ofisi niliyoitiwa;lakini siku ya leo nimelemewasana kwa hamu na wasiwasiwa ustawi wa nafsi zenu zaidiya vile nilivyokuwa hapo awali.

4 Kwani tazama, hadi sasa,mmekuwa watiifu kwa neno laBwana, ambalo nimewapatia.

5 Lakini tazama, nisikilizenimimi, na mjue kwamba kwausaidizi wa Muumba wa mbi-ngu na dunia na aliye na uwezowote naweza kuwaambia ku-husu amawazo yenu, jinsi vilemmeanza kutumikia katikadhambi, dhambi ambayo ni yamachukizo zaidi kwangu, ndio,na ya machukizo kwa Mungu.

15a M&M 132:38–39.17a 2 Ne. 5:16.

mwm Hekalu,Nyumba ya Bwana.

b mwm Ita, Itwa na

Mungu, Wito.18a 2 Ne. 5:26.19a mwm Ofisa, Ofisi.

b M&M 107:99–100.mwm Msimamizi,

Usimamizi.c 2 Ne. 9:44.

2 5a Alma 12:3;M&M 6:16.mwm Mungu, Uungu.

Page 163: KITABU CHA MORMONI

Yakobo 2:6–14 146

6 Ndio, inahuzunisha nafsiyangu na kunisababisha nijite-nge kwa aibu mbele ya uwepowa Muumbaji wangu, kwambalazima niwashuhudie kuhusuuovu wa mioyo yenu.

7 Na pia inanihuzunisha kwa-mba lazima nitumie manenoamakali nikizungumza kuwa-husu, mbele za wake zenu nawatoto wenu, ambao wengiwao mawazo yao ni mepesisana na yenye bunyoofu na yakuvutia mbele ya Mungu, kituambacho ni cha kupendeza kwaMungu;8 Na nimedhania kwamba

wamekuja kusikia aneno la ku-pendeza la Mungu, ndio, nenoambalo linaponya nafsi iliyoje-ruhiwa.

9 Kwa hivyo, inahuzunishanafsi yangu kwamba nina-shurutishwa, kwa sababu yaamri kali ambayo nimepokeakutoka kwa Mungu, kuwaonyakulingana na makosa yenu,kupanua vidonda vya waleambao wamejeruhiwa, badalaya kuwafari j i na kuponyavidonda vyao; na wale ambaohawajajeruhiwa, badala ya ku-jiburudisha kwa neno la kupe-ndeza la Mungu wamewekewavisu vidunge nafsi zao na kuje-ruhi mawazo yao mepesi.

10 Lakini, ingawa kazi hii nikuu, lazima nitende kulinganana aamri kali za Mungu, naniwaambie kuhusu uovu wenu

na machukizo yenu, katikauwepo wa walio safi moyoni,na moyo uliopondeka, na chiniya tazamo la jicho lenye bkupe-nya la Mwenyezi Mungu.

11 Kwa hivyo, lazima niwaa-mbie ukweli kulingana naaudhahiri wa neno la Mungu.Kwani tazama, nilipokuwanikimuomba Bwana, neno lika-nijia hivi, likisema: Yakobo,kesho uende hekaluni, na uwa-tangazie watu neno nitakalo-kupatia.

12 Na sasa tazameni, nduguzangu, hili ndilo neno ambalonawatangazia, kwamba wengiwenu mmeanza kutafuta dha-habu, na fedha, na kila aina yamawe yenye amadini, ambayoyamejaa tele , kat ika b nchihii, ambayo ni nchi ya ahadikwenu na kwa uzao wenu.

13 Na mkono wa majaliwaumewapendelea sana, hatakwamba mmepata utajiri mwi-ngi; na kwa sababu wenginewenu mmepata tele zaidi kuli-ko ndugu zenu ammejiinua juukwa kiburi cha mioyo yenu, nakukaza shingo zenu na kuinuavichwa vyenu kwa sababu yamavazi yenu yenye gharama,n a k u w a t e s a n d u g u z e n ukwa sababu mnadhani kwambanyinyi ni bora kuliko wao.

14 Na sasa, ndugu zangu,je, mnadhani kwamba Munguanawakubalia katika kitu hiki?Tazama, nawaambia, Hapana.

7a M&M 121:43.b mwm Wema.

8a Alma 31:5.10a mwm Amri za

Mungu.

b 2 Ne. 9:44.11a 2 Ne. 25:4; 31:2–3.12a 1 Ne. 18:25;

Hel. 6:9–11;Eth. 10:23.

b 1 Ne. 2:20.mwm Nchi ya Ahadi.

13a Morm. 8:35–39.

Page 164: KITABU CHA MORMONI

147 Yakobo 2:15–25

Lakini anawahukumu, na mki-endelea katika vitu hivi lazimahukumu zake ziwateremkiekwa haraka.15 Ee kwamba angewaonye-

sha kuwa anaweza kuwadunga,na kwa tazamo moja la jicholake anaweza kuwaangushamchangani!

16 Ee kwamba angewaondo-lea uovu huu na chukizo. Na,Ee kwamba mngesikiliza nenola amri zake, na msikubali hikiakiburi cha mioyo yenu kua-ngamiza nafsi zenu.17 Fikirieni ndugu zenu jinsi

mnavyojifikiria nyinyi wenye-we, na mfanye urafiki na wotena muwe wakarimu katikaautajiri wenu, ili bnao wawematajiri kama nyinyi.18 Lakini kabla ya kutafuta

autajiri, tafuteni bufalme waMungu.

19 Na baada ya kupokeatumaini katika Kristo mtapo-kea utajiri, kama mtautafuta;na mtautafuta kwa kusudi laakutenda mema — kuvisha wa-lio uchi, na kulisha wenye njaa,na kuwakomboa wafungwa,na kuwatolea msaada waliowagonjwa na wanaoteseka.20 Na sasa, ndugu zangu,

nimewazungumzia kuhusu ki-buri; na wale wenu ambaommetesa jirani yenu, na kum-dhulumu kwa sababu mlikuwana kiburi mioyoni mwenu, kwasababu ya vitu vile ambavyo

Mungu amewapatia, je, mnase-ma nini?

21 Je, hamdhani kwamba vitukama hivi ni vya kuchukizakwa yule aliyeumba watu wo-te? Na mwanadamu mmojani mwenye thamani machonimwake kama mwingine. Nawanadamu wote wametokamavumbini; na aliwaumbakwa kusudi moja, kwambawatii aamri zake na kumtukuzamilele.

22 Na sasa ninakoma kuwa-zungumzia kuhusu kiburi hiki.Na kama sio lazima kwambaniwazungumzie kuhusu mako-sa makuu zaidi, moyo wanguungeweza kushangilia sana kwasababu yenu.

23 Lakini neno la Mungu lina-nipatia mzigo kwa sababu yadhambi zenu kuu: Kwani taza-ma, Bwana asema hivi: Watuhawa wanaanza kutenda uovu;hawafahamu maandiko, kwaniwanatafuta kisingizio cha ku-tenda usherati, kwa sababu yavile vitu vilivyoandikwa kuhu-su Daudi, na Sulemani mwanawake.

24 Tazama, Daudi na aSule-mani kwa hakika walikuwa nawake bwengi na makahaba, kituambacho kilikuwa cha kuchuki-za mbele yangu, asema Bwana.

25 Kwa hivyo, Bwana asemahivi, nimewaongoza watu hawakutoka nchi ya Yerusalemu,kwa uwezo wa mkono wangu,

16a mwm Kiburi.17a mwm Sadaka, Utoaji

sadaka; Ustawi.b 4 Ne. 1:3.

18a 1 Fal. 3:11–13;Mk. 10:17–27;

2 Ne. 26:31;M&M 6:7.mwm Ukwasi.

b Lk. 12:22–31.19a Mos. 4:26.21a M&M 11:20;

Ibr. 3:25–26.24a 1 Fal. 11:1;

Neh. 13:25–27.b 1 Fal. 11:1–3;

Ezra 9:1–2;M&M 132:38–39.

Page 165: KITABU CHA MORMONI

Yakobo 2:26–35 148

ili niinue tawi atakatifu kutokakwa matunda ya viuno vyaYusufu.26 Kwa hivyo, mimi Bwana

Mungu sitakubali kwambawatu hawa watende kama walewa kale.

27 Kwa hivyo, ndugu zangu,nisikilizeni, na mtii neno laBwana: Kwani hakuna mtuyeyote miongoni mwenu amba-ye atakuwa na mke zaidi yaammoja; wala hatakuwa namasuria;

28 Kwani mimi, Bwana Mungu,nafurahia ausafi wa kimwili wawanawake. Na ukahaba ni chu-kizo mbele yangu; ndivyo hiviBwana wa Majeshi anavyosema.

29 Kwa hivyo, watu hawa wa-tatii amri zangu, asema Bwanawa Majeshi, la sivyo nchi aitala-aniwa kwa sababu yao.

30 Kwani kama, nitainuaakizazi kwangu, asema Bwanawa Majeshi, nitawaamuru watuwangu; la sivyo, watatii vitu hivi.31 Kwani tazama, mimi, Bwa-

na, nimeona huzuni, na kusikiamaombolezi ya mabinti zawatu wangu katika nchi yaYerusalemu, ndio, na katikanchi zote za watu wangu, kwasababu ya uovu na machukizoya mabwana wao.

32 Na sitakubali, asema Bwanawa Majeshi, kwamba vilio vyamabinti wazuri wa hawa watu,ambao niliwaongoza kutoka

nchi ya Yerusalemu, kunifikiamimi kwa sababu ya wanaumewa watu wangu, asema Bwanawa Majeshi.

33 Kwani hawatawapelekautumwani mabinti za watuwangu kwa sababu ya upolewao, la sivyo nitawaadhibu kwalaana kali, hata kuwaangamiza;kwani hawatatenda ausherati,kama wale wa kale, asemaBwana wa Majeshi.

34 Na sasa tazameni, nduguzangu, mnajua kwamba hiziamri zilitolewa kwa baba yetu,Lehi; kwa hivyo, mlizijua hapoawali; na mmepokea hukumukuu; kwani mmetenda vituhivi ambavyo hamkustahilikutenda.

35 Tazama, mmetenda maovuamakuu kuliko Walamani, ndu-gu zetu. Mmevunja mioyo yawake zenu wapole, na kuvunjatumaini la watoto wenu, kwasababu ya mifano miovu mbeleyao; na vilio vya mioyo yaokwa sababu yenu vinamfikiaMungu. Na kwa sababu yaukali wa neno la Mungu, unao-shuka dhidi yenu, mioyo mingiilikufa, ikiwa imedungwa navidonda vikubwa.

MLANGO WA 3

Walio safi moyoni wanapokeaneno la kupendeza la Mungu —

25a Mwa. 49:22–26;Amo. 5:15;2 Ne. 3:5;Alma 26:36.mwm Lehi, Babawa Nefi.

27a M&M 42:22; 49:16.

mwm Ndoa, Oa,Olewa.

28a mwm Usafi waKimwili.

29a Eth. 2:8–12.30a Mal. 2:15;

M&M 132:61–66.

33a mwm Kupendaanasa, Matamanioya anasa; Utovuwa maadili yakujamiiana.

35a Yak. (KM) 3:5–7.

Page 166: KITABU CHA MORMONI

149 Yakobo 3:1–9

Utakatifu wa Walamani unazidiule wa Wanefi — Yakobo anaonyakuhusu uasherati, tamaa, na kiladhambi. Kutoka karibu mwaka wa544 hadi 421 kabla ya kuzaliwakwa Kristo.

Lakini tazama, mimi, Yakobo,nitawazungumzia wale waliosafi moyoni. Mtegemeeni Mu-ngu kwa mawazo yenu yote,na mmuombe, kwa imani kuu,na atawafariji katika matesoyenu, na atatetea kesi yenu, nakuwateremshia hukumu walewanaotaka kuwaangamiza.

2 Ee nyinyi nyote mlio safimoyoni, inueni vichwa vyenuna kupokea neno la kupendezala Mungu, na kusherekea upe-ndo wake; kwani mnaweza,kama mawazo yenu yatakuwaaimara, daima.3 Lakini, ole, ole, kwa nyinyi

msio safi moyoni, wale ambaoni awachafu mbele ya Munguleo; kwani msipotubu nchiitalaaniwa kwa sababu yenu;na Walamani, ambao sio wa-chafu kama nyinyi, walakinibwamelaaniwa kwa laana kali,watawadhulumu hadi wawaa-ngamize.

4 Na wakati unafika haraka,kwamba msipotubu watamilikinchi yenu ya urithi, na BwanaMungu aatawaondoa wenyehaki miongoni mwenu.

5 Tazameni, Walamani nduguzenu, ambao mnawachukia kwasababu ya uchafu wao na laana

ambayo imeshika ngozi zao,n i watakat i fu za idi yenu;kwani ahawajasahau amri yaBwana, ambayo ilipewa kwababa yetu—kwamba waoe mkemmoja pekee, na wasiwe namakahaba, na wasitende ushe-rati miongoni mwao.

6 Na sasa, wanatii amri hiikwa bidii; kwa hivyo, kwasababu ya huu utiifu, katikakuweka amri hii, Bwana Munguhatawaangamiza, lakini aata-warehemu; na siku moja wata-kuwa watu wenye baraka.

7 Tazama, mabwana zao awa-nawapenda wake zao, na wakezao wanawapenda mabwanazao; na mabwana zao na wakezao wanawapenda watoto wao;na kutoamini kwao na chuki yaokwenu ni kwa sababu ya uovuwa baba zao; kwa hivyo, je, nyi-nyi ni wema zaidi yao, machonipa Muumba wenu mkuu?

8 Enyi ndugu zangu, nawaho-fia kwamba msipotubu dhambizenu ngozi zao zitakuwa nyeu-pe zaidi yenu, mtakapoletwapamoja na wao mbele ya kiticha enzi cha Mungu.

9 Kwa hivyo, nawapatia amri,ambayo ni neno la Mungu,kwamba msiwachukie tena kwasababu ya weusi wa ngozizao; wala hamtawachukia kwasababu ya uchafu wao; lakinimtakumbuka uchafu wenu we-nyewe, na kukumbuka kwambauchafu wao ulitokana na babazao.

3 2a Alma 57:26–27.3a mwm Chafu, Uchafu.

b 1 Ne. 12:23.

4a Omni 1:5–7, 12–13.5a Yak. (KM) 2:35.6a 2 Ne. 4:3, 6–7;

Hel. 15:10–13.7a mwm Familia;

Upendo.

Page 167: KITABU CHA MORMONI

Yakobo 3:10–4:3 150

10 Kwa hivyo, mtakumbukaawatoto wenu, jinsi mlivyo-dhulumu mioyo yao kwa saba-bu ya mfano mliowapatia; napia, kumbukeni kwamba mna-weza, kwa sababu ya uchafuwenu, kuwatia watoto wenukatika maangamizo, na dhambizao zitakuwa vichwani vyenukatika siku ya mwisho.11 Ee ndugu zangu, sikilizeni

maneno yangu; amsheni faha-mu za nafsi zenu; jitingisheniili amuamke kutoka katikausingizi wa kifo; na mjifunguekutoka katika uchungu wabjahanamu ili msiwe cmalaikawa ibilisi, na kutupwa katikaziwa la moto na kiberiti ambaloni dmauti ya pili.12 Na sasa mimi, Yakobo, nili-

wazungumzia watu wa Nefivitu vingi zaidi nikiwaonyawasitende auasherati na btamaa,na kila aina ya dhambi, nakuwaelezea matokeo yao.

13 Na haiwezakani kuandikahata asilimia moja ya yaleyaliotendwa na watu hawa,ambao waliongezeka kuwawengi, katika bamba ahizi;lakini matendo yao mengi ya-meandikwa katika zile bambakubwa, na vita vyao, na mabi-shano yao, na utawala wawafalme wao.14 Bamba hizi zinaitwa bamba

za Yakobo, na zilitengenezwakwa mkono wa Nefi. Na ninako-ma kuzungumza maneno haya.

MLANGO WA 4

Manabii wote walimwabudu Babakwa jina la Kristo — Sadaka yaIbrahimu ya kumtoa mwana wakeIsaka ilikuwa mfano wa Munguna Mwana Wake wa Pekee —Wanadamu wanapaswa kujipatani-sha na Mungu kwa Upatanisho —Wayahudi watalikataa jiwe la msi-ngi. Karibu mwaka wa 544 hadi421 kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

Tazama sasa, na ikawa kwa-mba mimi, Yakobo, nikiwanimewahudumia watu wangusana kwa kunena, (na siwezikuandika ila tu maneno ma-chache, kwa sababu ya ugumuwa kuchora maneno yetu kwe-nye bamba) na tunajua kwambavi tu ambavyo tunaandikakwenye bamba hizi lazimavitadumu;

2 Lakini vitu vyovyote tuna-vyoandika kwenye kitu kingi-ne isipokuwa kwenye bambalazima viangamie na kutowe-ka; lakini tunaweza kuandikamaneno machache kwenyebamba, ambayo yatawapatiawatoto wetu, na pia nduguzetu wapendwa, kiasi kidogocha ufahamu kutuhusu sisi, aukuhusu baba zao —

3 Sasa tunafurahia kitu hiki;na tunatumikia kwa bidi ikuchora maneno haya kwenyebamba, tukitumai kwamba ndu-gu zetu wapendwa na watoto

10a mwm Mtoto, Watoto.11a Alma 5:6–9.

b mwm Jahanamu.c 2 Ne. 9:8–9.

d mwm Mauti, yaKiroho.

12a mwm Uasherati.b mwm Ovu, Uovu;

Tamaa mbaya.13a 1 Ne. 19:1–4;

Yak. (KM) 1:1–4.

Page 168: KITABU CHA MORMONI

151 Yakobo 4:4–9

wetu watayapokea kwa mioyoya shukrani, na kuyatazamia iliwajifunze kwa shangwe na siokwa huzuni, wala kwa dharau,yanayowahusu wazazi wao wakwanza.4 Kwani, kwa madhumuni

haya tumeandika vitu hivi, iliwajue kwamba atulijua kuhusuKristo, na tulikuwa na matu-maini ya utukufu wake miakamia mingi kabla ya kuja kwake;na sio tu sisi pekee tuliokuwa natumaini la utukufu wake, lakinipia bmanabii wote watakatifuambao walikuwa mbele yetu.

5 Tazama, walimwamimi Kris-to na akumwabudu Baba katikajina lake, na pia sisi tunamwa-budu Baba katika jina lake. Nakwa madhumuni haya tunatiibsheria ya Musa, ambayo cinae-lekeza nafsi zetu kwake; nakwa lengo hili imetakaswakwetu sisi ili tuwe wenye haki,hata kama vile ilivyochukuliwakwa Ibrahimu huko nyikaniawe mtiifu kwa amri za Mungukwa kumtoa mwana wake Isakaawe sadaka, ambayo ilikuwa nimfano wa Mungu na Mwanawake wa dPekee.6 Kwa hivyo, tunawachungu-

za manabii, na tunao ufunuomwingi na roho ya aunabii; pa-

moja na bmashahidi hawa wotetunapokea tumaini, na imaniyetu haiwezi kutingishwa, hadikwamba kwa kweli tunawezackuamuru katika djina la Yesuna miti itutii, au milima, aumawimbi ya bahari.

7 Walakini, Bwana Munguhutuonyesha aunyonge wetu ilitujue kwamba ni kwa neemayake, na ufadhili wake mkuukwa watoto wa watu, kwambatunao uwezo wa kutenda vituhivi.

8 Tazama, kazi za Bwana nikuu na za kushangaza. Jinsigani azilivyofichika bsiri zake;na haiwezekani kwamba mwa-nadamu agundue njia zakezote. Na hakuna mwanadamuyeyote cajuaye dnjia zake bilakufunuliwa kwake; kwa hivyo,ndugu, msidharau ufunuo waMungu.

9 Tazama kwani, kwa nguvuza aneno lake bmwanadamu ali-kuja usoni mwa dunia, duniaambayo iliumbwa kwa nguvuza neno lake. Kwa hivyo, kamaMungu aliweza kuzungumzana ulimwengu ukawepo, nakuzungumza na mwanadamuakaumbwa, Ee basi, kwa niniasiweze kuamuru cdunia, aukazi ya mikono yake usoni

4 4a mwm Yesu Kristo.b Lk. 24:25–27;

Yak. (KM) 7:11;Mos. 13:33–35;M&M 20:26.

5a Musa 5:8.b 2 Ne. 25:24; Yar. 1:11;

Mos. 13:27, 30;Alma 25:15–16.mwm Torati yaMusa.

c Gal. 3:24.

d Mwa. 22:1–14;Yn. 3:16–18.mwm Mwana Pekee.

6a mwm Toa unabii,Unabii.

b mwm Shahidi,Ushahidi.

c mwm Uwezo.d Mdo. 3:6–16;

3 Ne. 8:1.7a Eth. 12:27.8a Rum. 11:33–36.

b M&M 19:10; 76:114.mwm Siri za Mungu.

c 1 Kor. 2:9–16;Alma 26:21–22.mwm Maarifa.

d Isa. 55:8–9.9a Morm. 9:17;

Musa 1:32.b mwm Mwanadamu,

Wanadamu;Umba, Uumbaji.

c Hel. 12:8–17.

Page 169: KITABU CHA MORMONI

Yakobo 4:10–16 152

mwa ulimwengu, kulingana nania yake na raha yake?10 Kwa hivyo, ndugu, msijari-

bu akumshauri Bwana, lakinimpokee ushauri kutoka mkonowake. Kwani tazama, nyinyiwenyewe mnajua kwambaanatoa ushauri juu ya kaziyake yote kwa bhekima, na kwahaki, na kwa rehema kuu.

11 Kwa hivyo, ndugu wape-ndwa, patanishweni na yeyekwa aupatanisho wa Kristo,Mwana wake wa bPekee, namnaweza kupokea cufufuo,kulingana na nguvu za ufufuoambazo zimo katika Kristo, namkabidhiwe kama dmalimbukoya Kristo kwa Mungu, mkiwana imani, na kupokea tumainijema la utukufu kwake kablahajajidhihirisha katika mwili.12 Na sasa, wapendwa, msi-

shangae kwamba ninawaambiavitu hivi ; kwani kwa niniaisizungumziwe upatanisho waKristo, na kupata ufahamu ka-mili kwake, ili kupokea ufaha-mu wa ufufuo na ulimwenguujao?13 Tazameni, ndugu zangu,

yule anayetoa unabii, hebuyeye atoe unabii wa kuelewekana wanadamu; kwani aRohohuzungumza ukweli wala siouwongo. Kwa hivyo, huzungu-

mza kuhusu vile vitu bvilivyo,na vile vitu vitavyokuwa; kwahivyo, tunadhihirishiwa vituhivi cwazi wazi, kwa wokovuwa nafsi zetu. Lakini tazama,sisi sio mashahidi wa pekeekatika vitu hivi; kwani Mungualivizungumza pia kwa mana-bii wa kale.

14 Lakini tazama, Wayahudiw a l i k u w a n i w a t u w e n y eashingo ngumu; na bwalidharaumaneno yaliyokuwa wazi, nawakawaua manabii, na waka-tafuta vitu ambavyo hawaku-weza kufahamu. Kwa hivyo,kwa sababu ya cupofu wao,upofu ambao ulitokana na kua-ngalia zaidi ya lengo, lazimawaanguke; kwani Mungu ame-uondoa udhahiri wake kutokak w a o , n a k u w a p a t i a w a ovitu vingi ambavyo dhawawezikufahamu, kwa sababu walivi-tamani. Na kwa sababu walivi-tamani Mungu alivitenda, iliwajikwaze.

15 Na sasa mimi, Yakobo, na-ongozwa na Roho kwa kutoaunabii; kwani ninahisi kwamatendo ya Roho aliye ndaniyangu, kwamba kwa akujikwaakwa Wayahudi bwatalikataacjiwe ambalo wangejenga juuyake na kuwa na msingi salama.

16 Lakini tazama, kulingana

10a 2 Ne. 9:28–29;Alma 37:12, 37;M&M 3:4, 13.

b mwm Hekima;Kujua yote.

11a mwm Lipia dhambi,Upatanisho.

b Ebr. 5:9.c mwm Ufufuko.d Mos. 15:21–23; 18:9;

Alma 40:16–21.12a 2 Ne. 25:26.13a mwm Roho

Mtakatifu; Ukweli.b M&M 93:24.c Alma 13:23.

14a Mt. 23:37–38;2 Ne. 25:2.

b 2 Kor. 11:3;1 Ne. 19:7;

2 Ne. 33:2.c Isa. 44:18;

Rum. 11:25.d 2 Ne. 25:1–2.

15a Isa. 8:13–15;1 Kor. 1:23;2 Ne. 18:13–15.

b 1 Ne. 10:11.c mwm Jiwe la

pembeni; Mwamba.

Page 170: KITABU CHA MORMONI

153 Yakobo 4:17–5:8

na maandiko, ajiwe hili litaku-wa lile kuu, na la mwisho, nabmsingi wa kweli ambao niwa pekee, ambao Wayahudikuweza kujenga juu yake.17 Na sasa, wapendwa wangu,

itawezekanaje, baada ya hawakukataa msingi wa kweli, aku-weza kujenga juu yake, kwambauwe kichwa cha pembe yao?

18 Tazameni, ndungu zanguwapendwa, nitawafunulia sirihii; kama sitatingishwa, vyo-vyote, kutokana na msimamowangu wa Roho, na kujikwaakwa sababu ya wasiwasi wangujuu yenu.

MLANGO WA 5

Yakobo anamdondoa Zeno kuhusufumbo la miti ya mizabibu ya kiasilina iliyofugwa — Ni mfano waIsraeli na Wayunani — Kutawa-nywa na kusanyiko la Israelikunawaziwa mbele — Wanefi naWalamani na nyumba ya Israeliyote wanatajwa kijuujuu — Wa-yunani watapandikizwa katikaIsraeli — Hatimaye shamba la mi-zabibu litachomwa. Karibu mwakawa 544 hadi 421 kabla ya kuzaliwakwa Kristo.

Tazameni, ndugu zangu, ham-kumbuki mliposoma manenoya nabii aZeno, ambayo alizu-ngumzia nyumba ya Israeli,akisema.

2 Sikilizeni, Ee nyinyi nyumba

ya Israeli, na msikie manenoyangu, nabii wa Bwana.

3 Kwani tazama, hivi ndivyoasema Bwana, nitakulinganisha,Ee nyumba ya aIsraeli, na bmze-ituni uliochukuliwa na mtu naakaulisha cshambani mwake;na ukakua, na kuzeeka, naukaanza dkuoza.4 Na ikawa kwamba bwana

wa shamba akaenda mbele, naakaona kwamba mzeituni wakeulianza kuoza; na akasema:Nitaupogoa, na kuupalilia, nakuulisha, ili pengine uchipukematawi yaliyo mazuri, na usia-ngamie.

5 Na ikawa kwamba aliupo-goa, na kuupalilia, na kuulishakulingana na neno lake.

6 Na ikawa kwamba baadaya siku nyingi ukaanza kutoamatawi machache, machanga nayaliyo nyororo; lakini tazama,kilele chake kikaanza kuanga-mia.

7 Na ikawa kwamba mwenyeshamba akaliona, na akamwa-mbia mtumishi wake: inanihu-zunisha kwamba nitaupotezamti huu; kwa hivyo, nendaukate matawi kutoka amcheke-le, na uyalete hapa kwangu;na tutayagoboa yale matawiyake ya kati ambayo yameanzakukauka, na tutayatia motoniili yachomeke.

8 Na tazama, asema Bwanawa shamba, ninaondoa matawihaya mengi yaliyo machanga

16a Zab. 118:22–23.b Isa. 28:16;

Hel. 5:12.17a Mt. 19:30;

M&M 29:30.

5 1a mwm Zeno.3a Eze. 36:8.

mwm Israeli.b Rum. 11:17–24.

mwm Mzeituni.

c M&M 101:44.mwm Shamba lamzabibu la Bwana.

d mwm Ukengeufu.7a Rum. 11:17, 24.

Page 171: KITABU CHA MORMONI

Yakobo 5:9–18 154

na miororo, na nitayapandikizapopote ninapotaka; na haidhurukama mzizi wa mti huu utaa-ngamia, Nitajihifadhia matundayake; kwa hivyo, nitachukuamatawi haya machanga namiororo, na nitayapandikizapopote nitakapo.9 Chukua ewe matawi mche-

kele, na uyapandikize, abadalayake; na haya ambayo nime-yagoboa nitayatupa motonina kuyachoma, ili yasikwazemchanga wa shamba langu.

10 Na ikawa kwamba mtumi-shi wa Bwana wa shambaalitenda kulingana na neno laBwana wa shamba, na akapa-ndikiza matawi amchekele.11 Na Bwana wa shamba

akasababisha kwamba ipalili-we, na ipogolewe, na ilishwe,akimwambia mtumishi wake:Inanihuzunisha kwamba nita-upoteza mti huu; kwa hivyo, ilipengine nihifadhi mizizi yakeili isiangamie, na ili nijihifa-dhie, nimetenda kitu hiki.

12 Kwa hivyo, fuata njia yako;chunga mti, na uulishe, kuli-ngana na maneno yangu.

13 Na haya anitayaweka kati-ka sehemu ya mbali shambanimwangu, mahali popote nita-kapo, na haikuhusu wewe;na ninaitenda ili nijihifadhiematawi ya asili ya ule mti; napia, kwamba nijiwekee, akibaya matunda wakati wa majira;kwani inanihuzunisha kwa-mba nitapotelewa na mti huuna matunda yake.14 Na ikawa kwamba Bwana

wa shamba akaenda njia zake,na akaficha matawi ya kiasiliya ule mzeituni sehemu zambali za shamba, mingine hapana mingine pale, kulingana nania yake na raha yake.

15 Na ikawa kwamba mudamrefu ukapita, na Bwana washamba akamwambia mtumi-shi wake: Njoo, hebu twendeshambani, i l i tufanye kazishambani.

16 Na ikawa kwamba Bwanawa shamba, na pia yule mtumi-shi, walienda shambani kufanyakazi. Na ikawa kwamba yulemtumishi akamwambia bwanawake: Tazama, angalia hapa;tazama ule mti.

17 Na ikawa kwamba Bwanawa shamba aliangalia na kuonaule mti ambao yale matawiya mchekele yalikuwa yame-pandikizwa; na ulikuwa umea-nza kuota na kuanza kuzaaamatunda. Na akaona kwambani mazuri; na matunda yakeyalikuwa kama matunda yakawaida.

18 Na akamwambia yulemtumishi: Tazama, matawi yaule mti wa mwituni yametoaumande kutoka mzizi wake,kwamba mzizi wake umeletanguvu nyingi; na kwa sababuya nguvu hizo nyingi za mziziyale matawi ya mwituni yame-zaa matunda ya kinyumbani.Sasa, kama hatungepandikizahaya matawi, ule mti ungea-ngamia. Na sasa, tazama, nita-weka matunda mengi, ambayoyamezaliwa na ule mti; na

9a Rum. 1:13.10a mwm Wayunani.

13a 1 Ne. 10:12.17a Yn. 15:16.

Page 172: KITABU CHA MORMONI

155 Yakobo 5:19–27

matunda yake nitajiwekea aki-ba, kwa wakati wa majira.19 Na ikawa kwamba Bwana

wa shamba akamwambia mtu-mishi: Njoo, twende katika se-hemu za mbali za shamba, natutazame kama matawi ya mtihayajazaa matunda mengi pia,ili nijiwekee akiba, mimi mwe-nyewe.

20 Na ikawa kwamba waliendapale pahali ambapo yule bwanaalikuwa ameficha matawi yaule mti wa kawaida, na aka-mwambia yule mtumishi: Ta-zama haya; na akaona ule waakwanza kwamba ulikuwa ume-zaa matunda mengi; na akaonapia kwamba yalikuwa mazuri.Na akamwambia yule mtumi-shi: Chukua matunda yake, nauyaweke kama akiba wakati wamajira, ili nijihifadhie, kwanitazama, akasema, nimeulishakwa muda huu wote, na ume-zaa matunda mengi.21 Na ikawa kwamba yule

mtumishi akamwambia bwanawake: Kwa nini ulikuja kupa-nda mti huu hapa, au tawi lamti huu? Kwani tazama, pali-kuwa ndipo pahali pabovu ka-tika shamba lako lote.

22 Na Bwana wa shamba aka-mwambia: Usinipatie mawai-dha; nilijua kwamba palikuwani pahali pabovu shambani;ndivyo, nikakwambia, nimeu-lisha huu muda mrefu, na we-we unaona kwamba umezaamatunda mengi.

23 Na ikawa kwamba Bwana

wa shamba akamwambia mtu-mishi wake: Tazama hapa; ta-zama nimepanda tawi linginela mti pia; na wewe unajuakwamba pahali hapa ni pabo-vu zaidi ya pale pa mwanzo.Lakini, tazama mti. Nimeuli-sha kwa muda huu mrefu, naumezaa matunda mengi; kwahivyo, uyavune, na uyawekekama hazina wakati wa majira,ili nijiihifadhie mimi mwenye-we.

24 Na ikawa kwamba yuleBwana wa shamba akamwa-mbia tena mtumishi wake: Ta-zama hapa; na uone atawi lingi-ne, ambalo pia nimelipanda;tazama pia nimelilisha, na li-mezaa matunda.

25 Na akamwambia mtumi-shi: Tazama hapa na uone lamwisho. Tazama, nimepandahili pahali apema pa shamba;na nimelilisha kwa muda huumrefu, na sehemu moja pekeeya mti imezaa matunda ya ki-nyumbani, na sehemu bingineya mti imezaa matunda yamwituni; tazama, nimeulishamti huu kama yale mengine.

26 Na ikawa kwamba Bwanawa shamba akamwambia mtu-mishi wake: Chuma yale mata-wi ambayo hayajazaa amatundamema, na uyatupe motoni.

27 Lakini tazama, yule mtu-mishi akamwambia: Hebu tuu-pogoe, na tuupalilie, na tuulishekwa muda mwingine mrefukidogo tena, kwamba pengineutakuzalia matunda mema, yale

20a Yak. (KM) 5:39.24a Eze. 17:22–24;

Alma 16:17;

3 Ne. 15:21–24.25a 1 Ne. 2:20.

b 3 Ne. 10:12–13.

26a Mt. 7:15–20;Alma 5:36;M&M 97:7.

Page 173: KITABU CHA MORMONI

Yakobo 5:28–38 156

ambayo unaweza kujiwekeaakiba wakati wa majira.28 Na ikawa kwamba yule

Bwana wa shamba na mtumi-shi wa Bwana wa shamba wali-lisha matunda yote ya shamba.

29 Na ikawa kwamba mudamrefu ulipita, na Bwana washamba akamwambia amtumi-shi wake: Njoo, twende kuleshambani, ili tufanye kazi tena.Kwani tazama, bwakati unaka-ribia, na cmwisho unafika hivikaribuni; kwa hivyo, lazimanijiwekee akiba, wakati wamajira.

30 Na ikawa kwamba Bwanawa shamba na mtumishi wakewalienda shambani; na wakafi-ka kwenye ule mti ambao ma-tawi yake ya kawaida yalivu-njwa, na matawi ya mwitunikupandikizwa; na tazama ma-tunda ya kila aaina yaliufunikaule mti.31 Na ikawa kwamba yule

Bwana wa shamba al ionjayale matunda, kila aina kuli-ngana na wingi wake: Na yuleBwana wa shamba akasema:Tazama, kwa muda huu mrefutumeulisha mti huu, na nimeji-wekea akiba kwa wakati wamajira.

32 Lakini tazama, wakatihuu umezaa matunda mengi,na ahakuna yoyote ambayo nimazuri. Na tazama, kuna kilaaina ya matunda mabaya; nahainifaidi chochote, ingawatumeuchokea sana; na sasa

inanihuzunisha kwamba nita-poteza mti huu.

33 Na Bwana wa shamba aka-mwambia yule mtumishi: Tuta-ufanya nini mti huu, ili nijihifa-dhie mimi mwenyewe matundamazuri?

34 Na yule mtumishi aka-mwambia bwana wake: Tazama,kwa sababu wewe ulipandikizamatawi ya mchekele, yamelishamizizi, hata iwe hai na isianga-mie; kwa hivyo wewe unaonakwamba bado ni mizuri.

35 Na ikawa kwamba Bwanawa lile shamba akamwambiamtumishi wake: Huu mti hau-nifaidi chochote, na mizizi ya-ke hainifaidi chochote ikiwautazaa matunda maovu.

36 Walakini, najua kwambamizizi yake ni mizuri, na kwashauri langu nimeihifadhi; nakwa sababu ya nguvu yao ime-zaa, kutoka kwa matawi yamwituni, matunda mazuri.

37 Lakini tazama, yale matawiya mwituni yamekua azaidi yamizizi yake; na kwa sababumatawi ya mwituni yamezidimizizi yake umezaa matundamengi maovu; na kwa sababuumezaa matunda mengi mao-vu wewe unaona kwambaumeanza kuangamia; na utao-za hivi karibuni, na kutupwamotoni, tusipotenda jambo ilikuuhifadhi.

38 Na ikawa kwamba Bwa-na wa shamba akamwambiamtumishi wake: Twende kule

29a M&M 101:55; 103:21.b mwm Siku za

Mwisho.

c 2 Ne. 30:10;Yak. (KM) 6:2.

30a mwm Ukengeufu.

32a JS—H 1:19.37a M&M 45:28–30.

Page 174: KITABU CHA MORMONI

157 Yakobo 5:39–48

sehemu za ndani ya shamba, natuone kama matawi ya kawai-da pia nayo yamezaa matundamaovu.

39 Na ikawa kwamba walie-nda katika sehemu za ndani zalile shamba. Na ikawa kwambawaliona kuwa yale matunda yamatawi ya kiasili pia nayo yali-kuwa yameharibika; ndio yaakwanza na ya pili na ya mwi-sho pia; na yote yalikuwa ya-meharibika.40 Na matunda ya amwituni

ya ule wa mwisho yalizidi se-hemu ile ya mti ambayo ilizaamatunda mema, hata kwambalile tawi likanyauka na kua-ngamia.

41 Na ikawa kwamba yuleBwana wa shamba alilia, naakamwambia mtumishi wake:Je, ningefanya anini zaidi ku-husu shamba langu?42 Tazama, nilijua kwamba

matunda yote ya lile shamba,isipokuwa haya, yalikuwa ya-meharibika. Na sasa hii amba-yo hapo awali ilizaa matundamema pia imeharibika; na sasamiti yote ya shamba langu hai-nifaidi chochote ila kukatwa nakutiwa motoni.

43 Na tazama huu wa mwi-sho, ambao tawi lake limekau-ka, nilikuwa nimeupanda kati-ka sehemu anzuri; ndio, hata ileambayo ilikuwa ni bora zaidiya sehemu zingine za shambalangu.

44 Na wewe ul iona pia

kwamba nilikata ile ailiyofuni-ka sehemu hii, ili nipande mtihuu pahala pake.

45 Na wewe uliona kwambasehemu moja ilizaa matundamema, na sehemu ingine ika-zaa matunda ya mwituni; nakwa sababu sikungo’a matawiyake na kuyatupa motoni, ta-zama, yamelemea tawi lile nje-ma hata kwamba likakauka.

46 Na sasa, tazama, ingawatulilitunza sana shamba langu,miti yake imeharibika, hatakwamba haizai matunda me-ma; na nilikuwa nimetarajiakuihifadhi, na kujiwekea hazi-na, wakati wa majira. Lakini,tazama, imekuwa kama ulemchekele, na haina faida ila tuakukatwa na kutupwa motoni;na inanihuzunisha kwambanitaipoteza.

47 Lakini ningefanya nini zai-di shambani mwangu? Je nime-legeza mkono wangu, hatakwamba sikuulisha? Hapana,nimeulisha, na kuupalilia, nakuupogoa, na nimeutia mbo-lea; na animeunyosha mkonowangu karibu siku yote, nabmwisho unakaribia. Na inani-huzunisha kwamba nitakatamiti yote ya shamba langu, nakuitupa motoni ili ichomeke.Ni nani aliyeharibu shambalangu?

48 Na ikawa kwamba yulemtumishi akamwambia bwanawake: Je, sio kiburi cha shambalako — kwamba matawi yake

39a Yak. (KM) 5:20, 23, 25.40a Morm. 6:6–18.41a 2 Ne. 26:24.43a 2 Ne. 1:5.

44a Eth. 13:20–21.46a 3 Ne. 27:11.47a 2 Ne. 28:32;

Yak. (KM) 6:4.

b mwm Ulimwengu—Mwisho waulimwengu.

Page 175: KITABU CHA MORMONI

Yakobo 5:49–59 158

yamezidi mizizi ambayo nimizuri? Na kwa sababu yalematawi yamezidi mizizi yake,tazama yalikua zaidi ya nguvuya mizizi, na kujichukulia ngu-vu. Tazama, nasema, je, si hiindio sababu ya uharibifu wamiti ya shamba lako?49 Na ikawa kwamba Bwana

wa shamba akamwambia mtu-mishi wake: Hebu twende natukate miti ile ya shamba natuitupe motoni, ili isifunikeardhi ya shamba langu, kwaninimeshatenda yote. Je, ni yapimengine ningeutendea sha-mba langu?

50 Lakini, tazama, yule mtu-mishi akamwambia Bwana washamba: Liachilie kwa amudamdogo zaidi.

51 Na Bwana akasema: Ndio,nitaliachilia kwa muda mdogozaidi, kwani inanihuzunishakwamba nitapoteza miti yashamba langu.

52 Kwa hivyo, hebu tukateamatawi mengine ya hii amba-yo nimepanda katika sehemuza ndani za shamba langu, nahebu tuyapandikize katika ulemti ambao yalitolewa; na hebutungo’e matawi kutoka ulemti ambao matunda yake nimachungu zaidi, na badalayake tupandikize matawi yakawaida.53 Na nitatenda haya ili ule

mti usiangamie, ili, pengine,nijihifadhie mizizi yake kwamatumizi yangu.

54 Na, tazama, mizizi ya yalematawi ya mti ambao nimeu-

panda popote nipendapo badoingali hai; kwa hivyo, ili nijihi-fadhie hayo pia kwa matumiziyangu mwenyewe, nitaondoamatawi ya mti huu, na anitaya-pandikiza ndani yake. Ndio,nitayapandikiza katika matawiya mti mzazi wao, ili nijihifa-dhie pia hiyo mizizi, ili itaka-popokea nguvu za kutoshapengine itanizalia matundamema, na ili bado nitukuzwena matunda ya shamba langu.

55 Na ikawa kwamba walichu-kua kutoka mti wa kawaidaambao ulikuwa umegeukakuwa wa mwituni, na kupandi-kiza katika miti ya kawaida,ambayo pia ilikuwa imegeukakuwa ya mwituni.

56 Na pia wakachukua kutokamiti ya kawaida ambayo iliku-wa imegeuka kuwa ya mwitu-ni, na kupandikiza katika ulemti mzazi wao.

57 Na Bwana wa shambaakamwambia mtumishi wake:Using’oe yale matawi ya mwi-tuni kutoka ile miti, ila tu yaleambayo ni machungu zaidi;na utapandikiza ndani yaokulingana na yale ambayonimesema.

58 Na tutalisha tena ile miti yashamba, na tutachenga matawiyake; na tutang’oa kutoka hiyomiti yale matawi yaliyooza,ambayo lazima yaangamie, nakuyatupa motoni.

59 Na nitatenda haya ili, pe-ngine, mizizi yake ipokee ngu-vu kwa sababu ya ubora wao;na kwa sababu ya mabadiliko

50a Yak. (KM) 5:27.52a mwm Israeli—

Kukusanyika kwaIsraeli.

54a 1 Ne. 15:12–16.

Page 176: KITABU CHA MORMONI

159 Yakobo 5:60–69

ya matawi, kwamba wema uzi-di ubaya.60 Na kwa sababu kwamba

nimehifadhi yale matawi yakawaida na mizizi yake, nakwamba nimepandikiza mata-wi ya kawaida tena katika ulemti mzazi wao, na nimehifadhimizizi ya ule mti mzazi wao,ili, pengine, miti ya shamba la-ngu izae tena amatunda mema;na ili nishangilie tena kwa ma-tunda ya shamba langu, na, ili,nishangilie zaidi kwamba ni-mehifadhi mizizi na matawi yamalimbuko —

61 Kwa hivyo, nenda, uleteawatumishi, ili tufanye bkazishambani kwa bidii na kwanguvu zetu, ili tuitayarishenjia, ili nirejeshe tena lile tundala kawaida, tunda la kawaidaambalo ni bora zaidi ya matu-nda mengine yote.

62 Kwa hivyo, hebu twendena tutumike kwa nguvu zetumara hii ya mwisho, kwani ta-zama mwisho unakaribia, nahi i ndio mara ya mwishoambayo nitapogoa shamba la-ngu.

63 Pandikizeni matawi; anze-ni na ya amwisho ili yawe yakwanza, na kwamba ya kwa-nza yawe ya mwisho, na mlimemiongoni mwa mit i , i l iyomchanga na iliyokomaa, yakwanza na ya mwisho; na yamwisho na ya kwanza, ili yoteilishwe tena kwa mara ya mwi-sho.

64 Kwa hivyo, chimbeni mio-

ngoni mwao, na muipogoe, nakuitia mbolea mara nyingine,kwa mara ya mwisho, kwanimwisho unakaribia. Na kamahaya mapandikizo ya mwishoyatakua, na kuzaa matunda yakawaida, basi mtayatayarishianjia, ili yakue.

65 Na itakapoanza kukuamtaondoa matawi yanayozaamatunda machungu, kulinga-na na nguvu na kipimo chauzuri wake; na ahamtaondoayaliyo mabaya kwa ghafla, isi-we kwamba mizizi yake inazi-di nguvu ya lile pandikizo, napandikizo hilo liangamie, nanipoteze miti ya shamba langu.

66 Kwani inanihuzunishakwamba nitapoteza miti yashamba langu; kwa hivyo mta-fyeka iliyo miovu kulingana navile iliyo mizuri itakavyomea,ili mizizi na kilele ziwe na ngu-vu sawa, hadi iliyo nzuri izidiiliyo mbovu, na iliyo mbovuikatwe na kutiwa motoni, iliisifunike ardhi ya shamba la-ngu; na hivyo ndivyo nitaufa-gia uovu kutoka shamba langu.

67 Na matawi ya mti wa ka-waida nitayapandikiza tenakwenye mti ule wa kawaida;

68 Na matawi ya mti wa ka-waida nitayapandikiza katikamatawi ya kawaida ya ule mti;na ndivyo nitakavyoiungani-sha pamoja tena, ili izae matu-nda ya kawaida, na iwe kitukimoja.

69 Na iliyo mbovu aitatupwambali, ndio, hata kutoka ardhi

60a Isa. 27:6.61a Yak. (KM) 6:2;

M&M 24:19.

b M&M 39:11, 13, 17.63a 1 Ne. 13:42;

Eth. 13:10–12.

65a M&M 86:6–7.69a 1 Ne. 22:15–17, 23;

2 Ne. 30:9–10.

Page 177: KITABU CHA MORMONI

Yakobo 5:70–75 160

yote ya shamba langu la miza-bibu; kwani tazama, ni kwa hiimara moja tu nitakayopogoashamba langu la mizabibu.70 Na ikawa kwamba Bwana

wa shamba la mizabibu alim-tuma amtumishi wake; na mtu-mishi akaenda na kutendakulingana na vile alivyoamriwana Bwana, na akaleta watu-mishi wengine; na walikuwabwachache.

71 Na Bwana wa shamba lamizabibu akawaambia: Nende-ni, na amkatumikie shamba lamizabibu, kwa uwezo wenu.Kwani tazama, hii ndiyo maraya bmwisho nitakayolisha sha-mba langu la mizabibu; kwanimwisho unakaribia, na wakatiunafika kwa haraka; na kamam t a t u m i k i a n a m i m i k w anguvu zenu c mtakuwa nashangwe katika matunda nita-kayojiwekea kwa wakati unao-karibia.72 Na ikawa kwamba watu-

mishi walienda na kutumikiakwa nguvu zao; na Bwana washamba la mizabibu akatumi-kia shambani pia nao; na waka-tii amri za Bwana wa shambala mizabibu katika vitu vyote.

73 Na matunda ya kawaidayakaanza kukua tena pale sha-mbani la mizabibu; na matawiya kawaida yakaanza kukuana kufanikiwa sana; na matawiya mwituni yakapobolewa nakutupwa mbali; na wakawekamizizi yake na kilele chake

kuwa sawa, kulingana na ngu-vu zake.

74 Na wakatumikia hivyo,kwa bidii zote, kulingana naamri za Bwana wa shamba lamizabibu, hadi iliyo bovu ika-tolewa shambani, na Bwanaalikuwa amejihifadhia kwa-mba ile miti ilikuwa matundaya kawaida tena; na ikawakama akitu kimoja; na matundayalikuwa sawa; na yule Bwanawa shamba la mizabibu aliku-wa amejihifadhia mwenyewematunda ya kawaida, ambayoyalikuwa bora zaidi tanguhapo mwanzoni.

75 Na ikawa kwamba wakatiyule Bwana wa shamba la mi-zabibu alipoona kuwa matu-nda yake ni mazuri, na kwa-mba shamba lake la mizabibuhalikuwa liharibifu tena, ali-waita watumishi wake, na ku-waambia: Tazama, tumelilishashamba langu la mizabibu kwamara hii ya mwisho; na nyinyimmeona kwamba nimetendakulingana na nia yangu; nanimehifadhi matunda ya ka-waida, na ni mazuri, kama vileyalivyokuwa hapo mwanzoni.Na aheri nyinyi; kwani kwa sa-babu mmekuwa na bidii katikakutumikia na mimi katika sha-mba langu la mizabibu, nammetii amri zangu, na kunile-tea tena matunda ya bkawaida,kwamba shamba langu siobovu tena, na iliyo bovu imetu-pwa mbali, tazama mtapokea

70a M&M 101:55; 103:21.b 1 Ne. 14:12.

71a Mt. 21:28;Yak. (KM) 6:2–3;

M&M 33:3–4.b M&M 39:17;

43:28–30.c M&M 18:10–16.

74a M&M 38:27.75a 1 Ne. 13:37.

b mwm Israeli.

Page 178: KITABU CHA MORMONI

161 Yakobo 5:76–6:5

shangwe na mimi kwa sababuya matunda ya shamba langula mizabibu.76 Kwani tazama, kwa muda

amrefu nitajiwekea matundaya shamba langu kwa wakatiwa majira, unaokaribia kwaharaka; na nimelisha shambalangu la mizabibu kwa mara yamwisho, na kulipogoa, na kuli-limia, na kulitia mbolea; kwahivyo nitajiwekea matunda,kwa muda mrefu, kulingana nayale ambayo nimezungumza.

77 Na wakati ule utakapofikaambao matunda maovu yata-kuja tena katika shamba langula mizabibu, basi nitasababishayale yaliyo mazuri na mabayakukusanywa; na yale mazurinitajiwekea, na yale mabayanitayatupa mahali pake. Nakisha wakati wa amajira utafikana mwisho; na nitasababishashamba langu la mizabibublichomwe kwa moto.

MLANGO WA 6

Bwana ataifufua Israeli katika sikuza mwisho — Ulimwengu utacho-mwa kwa moto — Lazima wana-damu wamfuate Kristo ili kuepukaziwa la moto na kiberiti. Karibumwaka wa 544 hadi 421 kabla yakuzaliwa kwa Kristo.

Na sasa, tazameni, ndugu za-ngu, kama vile nilivyowaambiakwamba nitatoa unabii, tazama,huu ndio unabii wangu — kwa-mba vile vitu ambavyo huyunabii aZeno alizungumza, ku-husu nyumba ya Israeli, amba-po aliwalinganisha na mzeituni,lazima vitimie.

2 Na siku ambayo atanyooshamkono wake tena mara ya piliili akuwaokoa watu wake, nisiku ile, ndio, hata mara yamwisho, ambayo bwatumishiwa Bwana wataenda mbelekwa cnguvu zake, dkulisha nakupogoa eshamba lake la miza-bibu; na baada ya hayo fmwishoutafika.

3 Na heri wale ambao wame-tumikia shamba lake la mizabi-bu kwa bidii; na jinsi ganiwatakavyolaaniwa wale ambaowatatupwa mahala pao! Naulimwengu autachomwa kwamoto.

4 Na jinsi gani alivyoturehe-mu sisi Mungu wetu, kwanianakumbuka nyumba ya aIsra-eli, mizizi pamoja na matawi;na anawanyoshea bmikono yakesiku yote na ni watu wenyecshingo ngumu na ubishi; lakiniwale wote ambao hawatashu-paza mioyo yao wataokolewakatika ufalme wa Mungu.

5 Kwa hivyo, ndugu zangu

76a 1 Ne. 22:24–26.mwm Milenia.

77a Ufu. 20:2–10;M&M 29:22–24;43:29–33; 88:110–116.

b mwm Ulimwengu—Mwisho waulimwengu.

6 1a Yak. (KM) 5:1.

2a 1 Ne. 22:10–12;M&M 110:11.mwm Urejeshowa Injili.

b Yak. (KM) 5:61.c 1 Ne. 14:14.d Yak. (KM) 5:71.e mwm Shamba la

mzabibu la Bwana.

f 2 Ne. 30:10.3a 2 Ne. 27:2;

Yak. (KM) 5:77;3 Ne. 25:1.

4a 2 Sam. 7:24.b Yak. (KM) 5:47.c Mos. 13:29.

Page 179: KITABU CHA MORMONI

Yakobo 6:6–7:1 162

wapendwa, ninawasihi kwamaneno ya kiasi kwamba mtu-bu, na mje kwa moyo wa lengomoja, na amjishikilie kwa Mu-ngu kama vile anavyowashiki-lia. Na msishupaze mioyo yenu,wakati amewanyoshea bmkonowake wa huruma mchana.

6 Ndio, leo, kama mtasikiasauti yake, msishupaze mioyoyenu; kwani, kwa nini amfe?

7 Kwani tazama, baada yenukulishwa kwa neno jema laMungu kwa siku yote , je ,mtazaa matunda maovu, iliamkatwe na kutupwa motoni?8 Tazameni, je, mtayakataa

maneno haya? Je, mtayakataamaneno ya manabii; na je,mtayakataa maneno yote amba-yo yamezungumzwa kuhusuKristo, baada ya wengi sanakuzungumza kumhusu yeye;na kukana neno jema la Kristo,na nguvu ya Mungu, na akipa-wa cha Roho Mtakatifu, nakuzimisha Roho Mtakatifu, nakufanyia mzaha ule mpangomkuu wa ukombozi, ambaommepangiwa nyinyi?9 Je, hamjui kwamba mkite-

nda vitu hivi, kwamba nguvuza ukombozi na ufufuo, ambazoziko katika Kristo, zitawaletakusimama katika a kit i chahukumu cha Mungu kwa aibuna bhatia kuu?

10 Na kulingana na nguvu zaahaki, kwani haki haiwezi ku-

zuiwa, lazima mtupwe kwenyelile bziwa la moto na kiberiti,ambalo ndimi zake za motohazizimiki, na ambalo moshiwake unapaa juu milele namilele, ambalo ziwa la moto nakiberiti ni cmateso dyasiyo namwisho.

11 Ee basi, ndugu zangu wa-pendwa, tubuni nyinyi, namuingie katika mlango aulio-songa, na mwendelee katikanjia ambayo ni nyembamba,hadi mtakapopokea uzima wamilele.

12 Ee pokeeni ahekima; nisemenini zaidi?

13 Mwishoni, nawaaga kwaheri, hadi nitakapokutana na-nyi kwa furaha katika kiti chaenzi cha Mungu, kiti ambachokinawatia walio waovu wogana hofu ya akutisha. Amina.

MLANGO WA 7

Sheremu anamkana Kristo, anabi-shana na Yakobo, anadai ishara,na anapigwa na Mungu — Mana-bii wote wamezungumza kuhusuKristo na upatanisho wake — Wa-nefi waliishi maisha yao kamawahamaji, wakizaliwa matesonina kuchukiwa na Walamani. Kari-bu mwaka wa 544 hadi 421 kablaya kuzaliwa kwa Kristo.

Na sasa ikawa kwamba baadaya miaka kadhaa kupita, pali-

5a mwm Umoja.b Alma 5:33–34;

3 Ne. 9:14.6a Eze. 18:21–23.7a Alma 5:51–52;

3 Ne. 27:11–12.8a mwm Kipawa cha

Roho Mtakatifu.9a mwm Hukumu,

ya Mwisho.b Mos. 15:26.

mwm Hatia.10a mwm Haki.

b 2 Ne. 28:23.

mwm Jahanamu.c mwm Hukumu.d M&M 19:10–12.

11a 2 Ne. 9:41.12a Morm. 9:28.13a Alma 40:14.

Page 180: KITABU CHA MORMONI

163 Yakobo 7:2–12

tokea mtu miongoni mwa watuwa Nefi, aliyeitwa Sheremu.2 Na ikawa kwamba alianza

kuhubiri miongoni mwa walewatu, na kuwatangazia kwa-mba hakutakuwa na Kristo. Naakahubiri vitu vingi ambavyovilikuwa vya kupendeza kwawatu; na alifanya hivi ili api-ndue mafundisho ya Kristo.

3 Na akatumika kwa bidii iliapotoshe mioyo ya watu, hadiakapotosha mioyo mingi; nayeye akijua kwamba mimi,Yakobo, nilikuwa na imanikwa Kristo atakayekuja, alita-futa nafasi ili anijie.

4 Na alikuwa ameelimika,hata kwamba alifahamu kika-milifu lugha ya wale watu; kwahivyo, angerairai, na alikuwa nauwezo wa kuzungumza sana,kulingana na nguvu ya ibilisi.

5 Na alikuwa anatumaini kwa-mba ataniondoa kutoka imani,ingawa nilikuwa na aufunuomwingi na vitu vingi ambavyonilikuwa nimeona kuhusu vituhivi; kwani kwa kweli nilikuwanimewaona malaika, na waliku-wa wamenihudumia. Na pia, ni-likuwa nimesikia sauti ya Bwa-na ikinizungumzia kwa manenodhahiri, mara kwa mara; kwahivyo, singetetemeshwa.6 Na ikawa kwamba alinijia,

na akanizungumzia hivi, aki-sema: Kaka Yakobo, nimetafu-ta nafasi ili nikuzungumzie;kwani nimesikia na pia ninajuakwamba wewe unasafiri sana,

ukihubiri ile ambayo unaiitainjili, au mafundisho ya Kristo.

7 Na umepotosha watu hawawengi kwamba wamegeuza njiaile sawa ya Mungu, na ahawatiiamri ya Musa ambayo ndio njiasawa; na kubadili sheria yaMusa kuwa ibada ya mtuambaye unasema kwamba ata-kuja baada ya miaka mia namia. Na sasa tazama, mimi,Sheremu, nakutangazia wewekwamba huu ni ukufuru; kwanihakuna mtu anayejua vitu hivi;kwani bhawezi kuzungumzakuhusu vitu vile vitakavyoku-wepo. Na Sheremu alibishanana mimi katika njia hii.

8 L a k i n i t a z a m a , B w a n aMungu alinishushia a Rohowake katika nafsi yangu, hadinikamfadhaisha katika manenoyake yote.

9 Na nikamwambia: Je, weweunamkana Kristo ambaye ata-kuja? Na akasema: kama Kristoatakuwepo, singemkana; lakininajua kwamba hakuna Kristo,wala hajakuwepo, wala hata-kuwepo.

1 0 N a n i k a m w a m b i a : J e ,wewe unaamini maandiko? Naakasema, Ndio.

11 Na nikamwambia: Basi ha-uyafahamu; kwani yanashuhu-dia Kristo kwa kweli. Tazama,nakuambia kwamba hakunamanabii walioandika, wala ku-toa aunabii, bila kuzungumzakuhusu huyu Kristo.

12 Na haya sio yote — imedhi-

7 5a 2 Ne. 11:3;Yak. (KM) 2:11.

7a Yak. (KM) 4:5.b Alma 30:13.

8a mwm Maongozi yaMungu, Shawishi.

11a Ufu. 19:10; 1 Ne. 10:5;Yak. (KM) 4:4;

Mos. 13:33–35;M&M 20:26.mwm Yesu Kristo.

Page 181: KITABU CHA MORMONI

Yakobo 7:13–22 164

hirishwa kwangu mimi, kwaninimesikia na kuona; na piaimedhihirishwa kwangu kwaanguvu za Roho Mtakatifu;kwa hivyo, najua kama hakunaupatanisho wanadamu wotebwatapotea.

13 Na ikawa kwamba alinia-mbia: Nionyeshe aishara kwahizi nguvu za Roho Mtakatifuambazo zinakuwezesha kujuahaya mengi.14 Na nikamwambia: Mimi

ni nani ili nimjaribu Munguakuonyeshe ishara kwa kituunachokijua kwamba ni akweli?Lakini bado wewe unalikana,kwa sababu wewe ni wa bibilisi.Walakini, nia yangu isitende-ke; lakini kama Mungu ataku-piga, hebu hiyo na iwe isharakwako kwamba ana nguvu,mbinguni na duniani; na pia,kwamba Kristo atakuja. Na niayako, Ewe Bwana, itendeke,sio yangu.15 Na ikawa kwamba wakati

mimi, Yakobo, nilizungumzamaneno haya, nguvu za Bwanazikamshukia, hadi akainamakwenye ardhi. Na ikawa kwa-mba alilishwa kwa muda wasiku nyingi.

16 Na ikawa kwamba aliwaa-mbia watu: Kusanyikeni pamojahapo kesho, kwani nitafariki;kwa hivyo, natamani kuzu-ngumza na watu kabla sijafariki.

17 Na ikawa kwamba umati

ulikusanyika pamoja keshoyake; na akazungumza kwaowazi wazi na akakana vile vitualivyokuwa amewafundisha, naakamkiri Kristo, na nguvu zaRoho Mtakatifu, na huduma yamalaika.

18 Na akawazungumzia wazi,kwamba alikuwa aamedanga-nywa na nguvu ya bibilisi. Naakazungumza kuhusu jahana-mu, na umilele, na adhabu yamilele.

1 9 N a a k a s e m a : N a h o f i akwamba nimetenda dhambiaisiyosamehewa, kwani nimese-ma uwongo mbele ya Mungu;kwani nilimkana Kristo, nanikasema kwamba niliaminimaandiko; na kwa kweli yana-mshuhudia yeye. Na kwa saba-bu nimemdanganya Mungunaogopa kwamba hali yanguitakuwa bmbaya; lakini ninatu-bu kwa Mungu.

20 Na ikawa kwamba baadaya kusema haya maneno haku-weza tena kusema mengine, naaakafariki.21 Na umati uliposhuhudia

kwamba alizungumza vitu hiviakiwa karibu ya kufariki, wali-shangazwa sana; hadi nguvu zaMungu zikawashukia, na awa-kazidiwa na kuinama ardhini.

22 Sasa, kitu hiki kilinifura-hisha mimi, Yakobo, kwaninilikuwa nimemwomba Babayangu aliye mbinguni; kwani

12a mwm Mungu,Uungu—MunguRoho Mtakatifu;Roho Mtakatifu.

b 2 Ne. 2:21.13a Mt. 16:1–4;

Alma 30:43–60.

mwm Ishara.14a Alma 30:41–42.

b Alma 30:53.18a Alma 30:53.

mwm Danganya,Kudanganya,Udanganyifu.

b mwm Ibilisi.19a mwm Dhambi isiyo

sameheka.b Mos. 15:26.

20a Yer. 28:15–17.21a Alma 19:6.

Page 182: KITABU CHA MORMONI

165 Yakobo 7:23–27

alisikia kilio changu na kujibusala yangu.23 Na ikawa kwamba amani

na upendo wa Mungu ulireje-shwa tena miongoni mwawatu; na awakasoma maandiko,na hawakutii tena maneno yahuyu mtu mwovu.

24 Na ikawa kwamba mbinunyingi zilitumiwa akuwarejeshaWalamani ili wapate ufahamuwa kweli; lakini yote yalikuwani bbure, kwani walifurahia cvitana umwagaji wa ddamu, nawalikuwa na echuki ya milelekwetu sisi, ndugu zao. Nawakataka kwa uwezo wao wasilaha kutuangamiza daima.

25 Kwa hivyo, watu wa Nefiwakajiimarisha dhidi yao kwasilaha zao, na kwa nguvu zaozote, wakimwamini Mungu naamwamba wa wokovu wao;kwa hivyo, wakawa, washindiwa maadui zao.26 Na ikawa kwamba mimi,

Yakobo, nilianza kuzeeka; namaandishi ya watu hawa yaki-wa yameandikwa katika zilebamba azingine za Nefi, kwa

hivyo, namaliza historia hii,nikikiri kwamba nimeandikakulingana na ufahamu wangukamili, na kusema kwambawakati ulipita pamoja nasi, napia bmaisha yetu yalipita kamandoto, sisi tukiwa watu wenyeupweke na unadhiri, wahamaji,tuliotupwa nje kutoka Yerusale-mu, tukizaliwa kwenye mateso,kwenye nyika, na kuchukiwa nandugu zetu, ambao walisababi-sha vita na mabishano; kwa hi-vyo, tuliomboleza maisha yetu.

27 Na mimi, Yakobo, nikafa-hamu kwamba lazima hivikaribu niende kaburini; kwahivyo, nikamwambia mwanawangu aEnoshi: Chukua hizibamba. Na nilimwambia vilevitu ambavyo kaka yangu Nefibaliniamuru, na akaahidi kutiizile amri. Na ninamaliza kua-ndika katika bamba hizi, ua-ndishi ambao umekuwa mfupi;n a k w a m s o m a j i n a k u a g akwa heri, nikitumaini kwambandugu zangu wengi watasomamaneno haya. Ndugu, Munguawe nanyi.

Kitabu cha Enoshi

Enoshi anasali kwa bidii na kupokeamsamaha wa dhambi zake — Ana-isikia sauti ya Bwana mawazonimwake ikiahidi wokovu kwa Wa-lamani katika siku za hapo usoni

—Wanefi walijaribu kuwakomboaWalamani — Enoshi anamshangi-lia Mkombozi wake. Kutoka karibumwaka wa 420 kabla ya kuzaliwakwa Kristo.

23a Alma 17:2.24a Eno. 1:20.

b Eno. 1:14.c Mos. 10:11–18.d Yar. 1:6;

Alma 26:23–25.e 2 Ne. 5:1–3;

Mos. 28:2.25a mwm Mwamba.26a 1 Ne. 19:1–6;

Yar. 1:14–15.mwm Mabamba.

b Yak. (Bib.) 4:14.27a Eno. 1:1.

b Yak. (KM) 1:1–4.

Page 183: KITABU CHA MORMONI

Enoshi 1:1–11 166

TAZAMA, ikawa kwambamimi, aEnoshi, nikijua kwa-

mba Baba yangu balikuwa mtuwa haki — kwani calinifunzakwa lugha yake, na pia katikadmalezi na maonyo ya Bwana—na jina la Mungu wangu libari-kiwe kwa hayo —2 Na nitakuelezea kuhusu

amweleka ambao nilikuwa naombele ya Mungu, kabla ya ku-pokea bmsamaha wa dhambizangu.

3 Tazama, nilienda kuwindawanyama porini; na manenoambayo nilikuwa nimezoeakumsikia baba yangu akizungu-mza kuhusu uzima wa milele,na ashangwe ya watakatifu, bya-kapenya ndani ya moyo wangu.

4 Na nafsi yangu ikapata anjaa;na nikapiga bmagoti mbele yaMuumba wangu, na nikamliliakwa csala kuu na nikamsihikwa nafsi yangu; na kwa sikunzima nikamlilia; ndio, na wa-kati usiku ulipofika bado nili-paza sauti yangu hata ikafikambinguni.

5 Na asauti ikanijia, ikisema:Enoshi, umesamehewa dhambizako, na wewe utabarikiwa.

6 Na mimi, Enoshi, nilijuakwamba Mungu hawezi kuse-ma uwongo; kwa hivyo, hatiayangu iliondolewa mbali.

7 Na nikasema: Bwana, je,inafanywa vipi?

8 Na akaniambia: Kwa sababuya aimani yako katika Kristo,ambaye wewe hujamwona ka-mwe wala kumsikia. Na miakamingi itapita kabla yeye hajaji-dhihirisha katika mwili; kwahivyo, nenda, imani yako ime-kufanya bmkamilifu.9 Sasa, ikawa kwamba baada

ya kusikia maneno haya nilia-nza akushughulika na ustawiwa ndugu zangu, Wanefi; kwahivyo, bnilimlilia Mungu kwaroho yangu yote kwa niabayao.

10 Na nilipokuwa nikishinda-na hivyo rohoni, tazama, sautiya Bwana ikanijia amawazonimwangu tena, ikisema: Nitaga-wanyia ndugu zako kulinganana bidii yao katika kutii amrizangu. bNimewapatia nchi hii,na hii ni nchi takatifu; na siwezickuilaani ila tu kwa sababu yadhambi; kwa hivyo, nitaga-wanyia ndugu zako kulinganana yale ambayo nimesema; nanitawateremshia juu ya vichwavyao wenyewe huzuni yadhambi zao.

11 Na baada ya mimi, Enoshi,kusikia maneno haya, imaniyangu kwa Bwana ikawa haiti-kisiki; na nikamwomba kwa

[enoshi]1 1a mwm Enosi, Mwana

wa Yakobo.b 2 Ne. 2:2–4.c 1 Ne. 1:1–2.d Efe. 6:4.

2a Mwa. 32:24–32;Alma 8:10.mwm Toba, Tubu.

b mwm Ondoleo laDhambi.

3a mwm Shangwe.b 1 Ne. 10:17–19;

Alma 36:17–21.4a 2 Ne. 9:51;

3 Ne. 12:6.b mwm Uchaji.c mwm Sala.

5a mwm Ufunuo.8a Eth. 3:12–13.

mwm Imani.b Mt. 9:22.

9a 1 Ne. 8:12;Alma 36:24.

b 2 Ne. 33:3;M ya Morm. 1:8;Alma 34:26–27.

10a mwm Maongozi yaMungu, Shawishi;Nia.

b 1 Ne. 2:20.c Eth. 2:7–12.

Page 184: KITABU CHA MORMONI

167 Enoshi 1:12–20

vilio vingi kwa niaba ya nduguzangu, Walamani.12 Na ikawa kwamba baada

ya akuomba na kumtumikiakwa bidii, Bwana akaniambia:Kwa sababu ya imani yako,nitakutendea kulingana nabmahitaji yako.

13 Na sasa tazama, hili ndilohitaji ambalo nilihitaji kwake—kwamba, kama watu wangu,Wanefi, wataanguka dhambi-ni, na kwa vyovyote awaanga-mizwe, na, Walamani wasia-ngamizwe, kwamba BwanaMungu bangehifadhi maandi-shi ya watu wangu, Wanefi;hata kama ni kwa nguvu zamkono wake mtakatifu, ilikatika siku za usoni cyafunuli-we kwa Walamani, ili, pengine,dwaokolewe —14 Kwani kwa sasa majaribio

yetu ya kuwarudisha katikaimani ya kweli yalikuwa niabure. Na wakaapa katika hasirazao, kwamba, kama itawezeka-na, bwataangamiza maandishiyetu pamoja nasi, na pia desturizote za baba zetu.

15 Kwa hivyo, mimi nikijuakwamba Bwana Mungu anawe-za akuhifadhi maandishi yetu,nilimlilia sana bila kukoma,kwani alikuwa ameniambia:Chochote utakachoomba kwaimani, ukiamini kwamba uta-

pokea kwa jina la Kristo, utaki-pokea.

16 Na nilikuwa na imani,na nikamlilia Mungu kwambaaangehifadhi yale bmaandishi;na akaagana na mimi kwambacatayafunua kwa Walamanikatika wakati wake.

17 Na mimi, Enoshi, nilijuakwamba itakuwa kulingana naagano alilofanya; kwa hivyonafsi yangu ikapumzika.

18 Na Bwana akaniambia:Baba zako nao pia wamenio-mba kitu hiki; na kitatendwakulingana na imani yao; kwaniimani yao ilikuwa kama yako.

19 Na sasa ikawa kwambamimi, Enoshi, nilienda miongo-ni mwa watu wa Nefi, nikitoaunabii kuhusu vitu vitakavyo-kuja, na nikishuhudia kuhusuvitu ambavyo nilikuwa nime-visikia na kuona.

20 Na ninashuhudia kwambawatu wa Nefi walijaribu kwabidii kuwarejesha Walamanikatika imani ya kweli ya Mu-ngu. Lakini akazi zetu zilikuwabure; na chuki yao ilikuwaimeimarishwa, na walitawaliwana maumbile yao maovu nawakawa wachokozi, wakali, nawatu wapendao bumwagaji wadamu na kuabudu csanamu nauchafu; wakila wanyama waporini; na kuishi katika mahe-

12a Morm. 5:21; 9:36.b Zab. 37:4; 1 Ne. 7:12;

Hel. 10:5.13a Morm. 6:1, 6.

b M ya Morm. 1:6–11;Alma 37:2.

c Alma 37:19;Eth. 12:22;M&M 3:18.

d Alma 9:17.14a Yak. (KM) 7:24.

b Morm. 6:6.15a mwm Maandiko—

Maandikoyahifadhiwe.

16a 3 Ne. 5:13–15;M&M 3:19–20;10:46–50.

b mwm Kitabu chaMormoni.

c 2 Ne. 27:6.20a Moro. 9:6.

b Yar. 1:6.c Mos. 9:12.

mwm Kuabudusanamu.

Page 185: KITABU CHA MORMONI

Enoshi 1:21–27 168

ma, na kuzunguka nyikani, nakuvaa ngozi za wanyama viu-noni mwao na kunyoa nywelezao; na ustadi wao ulikuwani wa dupinde, na upanga, nashoka. Na wengi wao hawakulachochote isipokuwa nyamambichi, na walijaribu kila marakutuangamiza.

21 Na ikawa kwamba watuwa Nefi walilima ardhi, naakupanda kila aina ya nafaka,na matunda, na makundi yawanyama, na makundi yote yakila aina ya ngombe, na mbuzi,na mbuzi wa mwitu, na piafarasi wengi.22 Na kulikuwa na amanabii

wengi sana miongoni mwetu.Na watu walikuwa watu wenyebshingo ngumu, wagumu katikakufahamu.

23 Na hakukuwa na chochoteila aukali mwingi, bmahubiri nakutoa unabii kuhusu vita, namabishano, na maangamizo,na ckuwakumbusha kila marakuhusu mauti, na kipindi chaumilele, na hukumu na nguvuza Mungu, na hivi vitu vyote —kuwavuruga d kila mara iliwamwogope Bwana. Nasemahapakuwa na mambo chini yavitu hivi, na mazungumzodhahiri, ili kuwafanya wasia-

ngamie kwa haraka. Na ninaa-ndika jinsi hii juu yao.

2 4 N a n i l i o n a v i t a v i n g imiongoni mwa Wanef i naWalamani maishani mwangu.

25 Na ikawa kwamba nilianzakuzeeka, na miaka mia moja,sabini na tisa ilikuwa imepitatangu baba yetu Lehi aaondokeYerusalemu.

26 Na nikaona kwamba nilazima ninakaribia kuelekeakaburini, nikiwa nimeweze-shwa na nguvu za Mungu ilinihubiri na niwatolee watuhawa unabii, na nitangaze nenokulingana na ukweli ulio kati-ka Kristo. Na nimeutangazakatika maisha yangu yote, nanimeufurahia zaidi ya yoteulimwenguni.

27 Na hivi karibuni naelekeamahala pa apumziko langu,ambapo ni pamoja na Mko-mbozi wangu; kwani najuakwamba nitapumzika na yeye.N a n i n a f u r a h i a s i k u i l eambayo huu mwili wenye bku-tokufa cutajivika, na kusimamambele yake, kisha nitaonauso wake kwa furaha, na atani-ambia: Njoo kwangu, heriwewe, umetayarishiwa mahalikatika dnyumba za Baba yangu.Amina.

20d Mos. 10:8.21a Mos. 9:9.22a M ya Morm. 1:16–18.

b Yar. 1:3.23a 1 Ne. 16:2;

2 Ne. 33:5.b mwm Hubiri.

c Hel. 12:3.d Yar. 1:12;

Alma 31:5.25a 1 Ne. 2:2–4.27a mwm Pumziko.

b mwm Hali ya kufa,Kufa, enye.

c mwm Isiyo kufa,Maisha ya kutokufa.

d Yn. 14:2–3;Eth. 12:32–34;M&M 72:4; 98:18.

Page 186: KITABU CHA MORMONI

Kitabu cha Yaromu

Wanefi wanatii sheria ya Musa,wanatazamia kuja kwa Kristo, nawanafanikiwa nchini — Manabiiwengi wanatumikia ili kuwafanyawatu waishi katika njia ya kweli.Karibu mwaka wa 399 hadi 361kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

SASA tazama, mimi, Yaromu,naandika maneno machache

kulingana na amri ya babayangu, Enoshi, ili anasaba yetuiwekwe.2 Na kwa vile ahizi bamba ni

bndogo, na kwa vile vitu hivicvimeandikwa kwa madhumu-ni ya kuwafaidi ndugu zetudWalamani, kwa hivyo, ni lazi-ma niandike machache; lakinisitaandika vitu kuhusu utoajiwa unabii wangu, wala kuhusuufunuo wangu. Kwani nawezakuandika nini zaidi ya yalebaba zangu waliyoandika?Kwani siwamefunua kuhusumpango wa wokovu? Nawaa-mbia, Ndio; na hii inanitoshe-leza.3 Tazama, ni lazima mengi

yatendwe miongoni mwa watuhawa, kwa sababu ya augumuwa mioyo yao; na uziwi wamasikio yao, na upofu wamawazo yao, na ugumu washingo zao; walakini, Mungu

anawarehemu sana, na badobhajawaondoa usoni mwa nchi.

4 Na kuna wengi miongonimwetu ambao wana aufunuomwingi, kwani sio wote wanyeshingo ngumu. Na kwa walewengi ambao hawana ugumuwa shingo na wana imani,wana bushirika na Roho Mtaka-tifu, ambaye anawadhihirishiawatoto wa watu, kulingana naimani yao.

5 Na sasa, tazama, miaka miambili ilikuwa imepita, na watuwa Nefi walikuwa wamepatanguvu katika nchi. Walitiabidii akutii sheria ya Musa napia siku ya bSabato kuwa taka-tifu kwa Bwana. Wala chawa-kutusi; au dkukufuru. Na sheriaza nchi zilikuwa kali sana.

6 Na walitawanyika sana usonimwa nchi, na pia Walamani.Na walikuwa ni wengi zaidiya Wanefi; na walipenda amau-aji na hata kunywa damu yawanyama.

7 Na ikawa kwamba walitu-shambulia mara nyingi sisi,Wanefi, ili tupigane. Lakiniawafalme na viongozi wetuwalikuwa ni watu mashujaakwa imani ya Bwana; na waka-funza watu njia za Bwana; kwahivyo, tuliwapiga Walamani

[yaromu]1 1a 1 Ne. 3:12; 5:14.2a Yak. (KM) 3:14;

Omni 1:1.b 1 Ne. 6:1–6.c mwm Maandiko—

Thamani ya maandiko.d 2 Ne. 27:6;

Morm. 5:12.

3a Eno. 1:22–23.b Eth. 2:8–10.

4a Alma 26:22;Hel. 11:23;M&M 107:18–19.mwm Ufunuo.

b mwm RohoMtakatifu.

5a 2 Ne. 25:24;

Alma 34:13–14.b Kut. 35:2.

mwm Siku ya Sabato.c mwm Lugha chafu.d mwm Kufuru,

Kukufuru.6a Yak. (KM) 7:24;

Eno. 1:20.7a Yak. (KM) 1:9, 11, 15.

Page 187: KITABU CHA MORMONI

Yaromu 1:8–15 170

na kuwaondoa kutoka nchibyetu, na tukaanza kujenganyua mij i yetu, au mahalipopote pa urithi wetu.

8 Na tukaongezeka sana, natukatawanyika usoni mwa nchi,na tukatajirika sana kwa dha-habu, na kwa fedha, na katikavitu vyenye thamani, na katikakazi nzuri za mbao, katikamajengo, na katika mitambo,na pia katika chuma na shabanyekundu, na shaba na chuma,na kutengeneza kila aina yavyombo vya kulima, na asilahaza vita — ndio, mshale mkali,na podo, na kiparara, na sagai,na matayarisho yote ya vita.

9 Na hivyo tukiwa tayarikukutana na Walamani, waohawakufanikiwa kwetu sisi.Lakini neno la Bwana lilithibi-tishwa, ambalo aliwazungum-zia Baba zetu, akisema kwamba:Kadiri mtakavyo tii amri za-ngu ndivyo mtakavyofanikiwanchini.

10 Na ikawa kwamba manabiiwa Bwana waliwatisha watuwa Nefi, kulingana na neno laMungu, kwamba kama hawa-kutii amri, lakini waangukedhambini, awangeangamizwakutoka usoni mwa nchi.

11 Kwa hivyo, manabii, namakuhani, na walimu, walitu-

mikia kwa bidii, wakiwaonyawatu kwa subira watie bidii;wakifunza asheria ya Musa, nakwa madhumuni gani ilitole-wa; kuwashawishi bwamtaza-mie Masiya, na wamwaminiyeye atakayekuja ckama viletayari yuko. Na hivi ndivyowalivyowafundisha.

12 Na ikawa kwamba kwakufanya hivyo waliwazuiawatu awasiangamizwe kutokausoni mwa nchi; kwani bwali-wadunga mioyo yao kwa neno,kila mara na kuwavuruga iliwatubu.

13 Na ikawa kwamba miakamia mbili, thelathini na minaneilikuwa imepita — kwa mudamkubwa wa huu wakati kuli-kuwa na vita, mabishano, namafarakano.

14 Na mimi, Yaromu, sitaa-ndika mengine, kwani bambani ndogo. Lakini tazameni,ndugu zangu, mnaweza kuso-ma bamba zile azingine za Nefi;kwani tazama, maandishi ku-husu vita vyetu yako humona yameandikwa, kulingana namaandiko ya wafalme, au yaleambayo waliamuru yaandikwe.

15 Na ninamkabidhi mwanawangu Omni bamba hizi, iliziwekwe kulingana na aamri zababa zangu.

7b M ya Morm. 1:14.8a Mos. 10:8.

10a 1 Ne. 12:19–20;Omni 1:5.

11a Yak. (KM) 4:5;

Alma 25:15–16.b 2 Ne. 11:4;

Eth. 12:18–19.c 2 Ne. 25:24–27;

Mos. 3:13; 16:6.

12a Eth. 2:10.b Alma 31:5.

14a 1 Ne. 9:2–4.15a Yak. (KM) 1:1–4.

Page 188: KITABU CHA MORMONI

Kitabu cha Omni

Omni, Amaroni, Kemishi, Abina-domu, na Amaleki, kila mmoja,anaweka yale maandishi — Mosiaanavumbua watu wa Zarahemla,ambao walitoka Yerusalemu katikasiku za Zedekia — Mosia anafa-nywa kuwa mfalme wao. Wazao waMuleki katika Zarahemla walikuwawamevumbua Koriantumuri, Mya-redi wa mwisho — Mfalme Benya-mini anamrithi Mosia — Inafaawanadamu wamtolee Kristo nafsizao kama sadaka. Karibu mwakawa 323 hadi 130 kabla ya kuzaliwakwa Kristo.

TAZAMA, ikawa, kwambamimi, Omni, nikiwa nimea-

mriwa na baba yangu, Yaromu,kwamba niandike kwenyebamba hizi, ili nasaba yetuihifadhiwe —

2 Kwa hivyo, ningetaka mjuekwamba, katika maisha yangu,nilipigana sana kwa upangaili kuwahifadhi watu wangu,Wanefi, wasianguke mikononimwa maadui wao, Walamani.Lakini tazama, mimi mwenye-we ni mtu mwovu, na sijatiiamri za Bwana na sheria zakekama vile ilivyonipasa.

3 Na ikawa kwamba miakamia mbili, sabini na sita ilikuwaimepita, na tulikuwa na vipindivingi vya amani; na tulikuwana vipindi vingi vya vita naumwagaji wa damu. Ndio, nakwa ufupi, miaka mia mbili,themanini na miwili ilikuwaimepita, na nilikuwa nimeweka

bamba hizi kulingana na aamriza baba zangu; na nikampatiamwana wangu Amaroni hizobamba. Na ninakoma hapa.

4 Na sasa mimi, Amaroni,naandika vitu ambavyo ninaa-ndika, ambavyo ni vichache,katika kitabu cha baba yangu.

5 Tazama, na ikawa kwambamiaka mia tatu na ishiriniilikuwa imepita, na sehemukubwa ya Wanefi waovu aikaa-ngamizwa.

6 Kwani Bwana hangeruhusu,baada ya kuwaongoza kutokanchi ya Yerusalemu na kuwa-hifadhi wasianguke mikononimwa maadui zao, ndio, hange-kubali kwamba yale manenoambayo aliwaambia baba zetu,yasithibitishwe, akisema kwa-mba: Msipoti i amri zanguhamtafanikiwa nchini.

7 Kwa hivyo, Bwana aliwaa-dhibu kwa hukumu kuu; wala-kini, aliwaokoa wenye hakikwamba wasiangamie, lakinialiwakomboa kutoka mikononimwa maadui zao.

8 Na ikawa kwamba nilimpa-tia Kemishi kaka yangu zilebamba.

9 Sasa mimi, Kemishi, naandi-ka vitu vichache, katika kitabusawa na kaka yangu; kwanitazama, niliona ya mwishoaliyoandika, kwamba aliandikakwa mkono wake mwenyewe;na aliyaandika siku ile aliyoni-patia. Na tunaweka maandishikatika njia hii, kwani ni kuli-

[omni]1 3a Yak. (KM) 1:1–4;

Yar. 1:15.5a Yar. 1:9–10.

Page 189: KITABU CHA MORMONI

Omni 1:10–18 172

ngana na amri za baba zetu. Naninakoma hapo.10 Tazama, mimi, Abinadomu,

ni mwana wa Kemishi. Tazama,ikawa kwamba mimi nilionavita vingi na ubishi kati ya watuwangu, Wanefi, na Walamani;na mimi, kwa upanga wangumwenyewe, nimeondoa maishaya Walamani wengi kwa ulinziwa ndugu zangu.

11 Na tazama, maandishi yawatu hawa yameandikwa kati-ka bamba ambazo zimekuwa nawafalme, kulingana na vizazi;na sijui ufunuo wowote ambaohaujaandikwa, wala unabii;kwa hivyo, yaliyoandikwa ya-metosha. Na ninakoma hapo.

12 Tazama, mimi ni Amaleki,mwana wa Abinadomu. Taza-ma, nitawazungumzia kuhusuMosia, ambaye alitawazwamfalme katika nchi ya Zarahe-mla; kwani tazama, yeye akiwaameonywa na Bwana kwambaatoroke kutoka nchi ya aNefi,na wale wengi watakaotii sautiya Bwana pia nao bwaondokenchini na yeye, na waelekeenyikani —

13 Na ikawa kwamba alitendakulingana na vile Bwana ali-vyomwamuru. Na walitokanchi ile na kuelekea nyikani,wote ambao walisikiliza sautiya Bwana; na waliongozwakwa mahubiri mengi na unabii.Na wakaonywa kila mara kwaneno la Mungu; na waliongo-zwa kwa nguvu za mkonowake, huko nyikani hadi waka-

fika katika nchi inayoitwa nchiya Zarahemla.

14 Na wakawavumbua watu,walioitwa watu wa aZarahemla.Sasa, kulikuwa na furaha kuumiongoni mwa watu wa Zara-hemla; na pia Zarahemla alifu-rahi sana, kwa sababu Bwanaalikuwa ametuma watu waMosia pamoja na bbamba zashaba ambazo zilikuwa namaandishi ya Wayahudi.

15 Tazama, na ikawa kwambaMosia alivumbua kuwa awatuwa Zarahemla waliondokaYerusalemu wakati bZedekia,mfalme wa Yuda, alipohami-shwa Babilonia utumwani.

16 Na wakasafiri nyikani, nawakavushwa kwa mkono waBwana katika yale maji makuu,hadi katika nchi ile ambayo Mo-sia aliwavumbua, na wakaishikatika nchi ile tangu wakati huo.

17 Na ule wakati Mosia alipo-wavumbua, walikuwa wame-kuwa wengi sana. Walakini,walikuwa wamekuwa na vitavingi na mabishano makubwa,na walikuwa wameanguka kwaupanga mara kwa mara; nalugha yao ilikuwa imechafuka;na hawakuwa wamebeba ama-andishi yoyote; na walikanauwepo wa Muumba wao; naMosia, wala watu wa Mosia,hawakuweza kuwaelewa.

18 Lakini ikawa kwambaMosia akasababisha kwambawafunzwe kwa lugha yake.N a i k a w a k w a m b a b a a d aya kufunzwa lugha ya Mosia,

12a 2 Ne. 5:6–9.b Yak. (KM) 3:4.

14a mwm Zarahemla.

b 1 Ne. 3:3, 19–20;5:10–22.

15a Mos. 25:2.

b Yer. 39:1–10;Hel. 8:21.

17a Mos. 1:2–6.

Page 190: KITABU CHA MORMONI

173 Omni 1:19–26

Zarahemla akatoa nasaba yababa zake, kulingana na uku-mbuko wake; na yameandikwa,lakini sio katika bamba hizi.19 Na ikawa kwamba watu

wa Zarahemla, na watu waMosia, awaliungana pamoja; nabMosia akateuliwa kuwa mfal-me wao.

20 Na ikawa kwamba katikasiku za Mosia, aliletewa jiwekubwa lililokuwa na maandi-shi juu yake; na aakatafsirihayo maandishi kwa karamana nguvu za Mungu.

21 Na yalieleza historia yammoja aliyeitwa aKoriantumuri,na mauaji ya watu wake. NaKoriantumuri alivumbuliwa nawatu wa Zarahemla; na akaishinao kwa muda wa miezi tisa.22 Na pia ilizungumza maneno

machache kuhusu babu zake.Na wazazi wake wa kwanzawalitoka katika ule amnara,wakati Bwana balipochanganyalugha za watu; na mapigo yaBwana yaliwashukia kulinga-na na hukumu zake, ambazo niza haki; na cmifupa yao ilitawa-nyika katika nchi za kaskazini.23 Na tazama, mimi, Amaleki,

nilizaliwa katika siku za Mosia;na nimeishi kuona kifo chake;na mwana wake, aBenyaminianatawala mahali pake.

24 Na tazama, nimeona, kati-

ka siku za mfalme Benyamini,vita vikali na umwagaji wadamu miongoni mwa Wanefina Walamani. Lakini tazama,Wanefi walipata ushindi juuyao; ndio, hadi mfalme Benya-mini akawafukuza kutoka nchiya Zarahemla.

25 Na ikawa kwamba nilianzakuzeeka; na nikiwa sina uzao,na nikijua kwamba MfalmeaBenyamini alikuwa mwenyehaki kwa Bwana, kwa hivyo,b nitamkabidhi bamba hizi ,nikiwasihi wanadamu wotewamjie Mungu, yule Mtakatifuwa Israeli, na kuamini katikaunabii, na katika ufunuo, nakuhudumu kwa malaika, nakatika kipawa cha kunena kwandimi, na katika kipawa chakutafsiri ndimi, na katika vituvyote vilivyo cvyema; kwani ha-kuna lolote jema lisilotokana naBwana: na kwamba yale yaliyomaovu yanatokana na ibilisi.

26 Na sasa, ndugu zanguwapendwa, natamani amje kwaKristo, ambaye ni Mtakatifu waIsraeli, na mpokee wokovu wake,na nguvu za ukombozi wake.Ndio, njooni kwake, na bmmto-lee nafsi zenu kama csadakakwake, na muendelee katikadkufunga na kusali, na kuvumi-lia hadi mwisho; na kama vileBwana anavyoishi mtaokolewa.

19a Mos. 25:13.b Omni 1:12.

20a Mos. 8:13–19.mwm Mwonaji.

21a Eth. 12:1.mwm Koriantumuri.

22a Eth. 1:1–5.b Mwa. 11:6–9;

Mos. 28:17;

Eth. 1:33.c Mos. 8:8.

23a M ya Morm. 1:3.25a M ya Morm. 1:17–18;

Mos. 29:13.b M ya Morm. 1:10.c Alma 5:40;

Eth. 4:12;Moro. 7:15–17.

26a Yak. (KM) 1:7;Alma 29:2;Moro. 10:32.

b mwm Dhabihu.c 3 Ne. 9:20.d mwm Funga,

Kufunga.

Page 191: KITABU CHA MORMONI

Omni 1:27–Maneno ya Mormoni 1:4 174

27 Na sasa nitazungumzamachache kuhusu wenginewalioelekea nyikani ili kurejeakatika nchi ya Nefi; kwani kuli-kuwa na wengi waliotamanikumiliki nchi yao ya urithi.

28 Kwa hivyo, walielekea nyi-kani. Na kiongozi wao akiwamtu mwenye nguvu na shujaa,na mtu mwenye shingo ngumu,kwa hivyo alisababisha ubishimiongoni mwao; na woteawakauawa, huko nyikani, isi-

pokuwa hamsini, na wakarejeakatika nchi ya Zarahemla.

29 Na ikawa kwamba waliwa-chukua wengine pia, na waka-elekea katika safari nyinginehuko nyikani.

30 Na mimi, Amaleki, nilikuwana kaka, ambaye pia alienda pa-moja nao; na tokea hapo sijajualolote juu yao. Na sasa ninakari-bia kulala katika kaburi langu;na bamba ahizi zimejaa. Na ni-namaliza mazungumzo yangu.

Maneno ya Mormoni

Mormoni afupisha bamba kubwa zaNefi — Anaweka bamba zile ndogona bamba zile zingine — MfalmeBenyamini anaimarisha amaninchini. Kutoka karibu mwaka wa385 baada ya kuzaliwa kwa Kristo.

NA sasa mimi, aMormoni,nikikaribia kuyakabidhi

yale maandishi ambayo nimea-ndika mikononi mwa mwanawangu Moroni, tazama nime-shuhudia karibu maangamizoyote ya watu wangu, Wanefi.

2 Na ni baada ya miaka miaakadha baada ya kuja kwaKristo ninapompatia mwanawangu maandishi haya; naninadhani kwamba atashuhudiamaangamizo yote ya watu wa-ngu. Lakini na Mungu amjalie

aweze kuishi, ili aandike juuyao, na kwa vyovyote kuhusuKristo, ili pengine bwafaidikekatika nyakati zingine.

3 Na sasa, ninazungumzakuhusu yale ambayo nimea-ndika; kwani baada ya kufanyaaufupisho kutoka zile bbambaza Nefi, hadi utawala wa huyumfalme Benyamini, ambayealizungumziwa na Amaleki,nilipekua miongoni mwa hayac maandishi niliyopewa, nanikapata hizi bamba, ambazozilikuwa na hii historia ndogoya manabii, kutoka Yakobohadi utawala huu wa mfalmedBenyamini, na pia manenomengi ya Nefi.

4 Na vitu ambavyo vimo kati-ka bamba hizi avikinifurahisha,

28a Mos. 9:1–4.30a 1 Ne. 6:1–6.[maneno ya mormoni]1 1a 3 Ne. 5:9–12;

Morm. 1:1–4; 8:1, 4–5.

mwm Mormoni,Nabii Mnefi.

2a Morm. 6:5–6.b M&M 3:16–20.

3a M&M 10:44.

b M&M 10:38–40.c Mos. 1:6; Hel. 3:13–15;

Morm. 4:23.d Omni 1:23.

4a 1 Ne. 6:5.

Page 192: KITABU CHA MORMONI

175 Maneno ya Mormoni 1:5–13

kwa sababu ya unabii wa kujakwa Kristo; na baba zanguwakijua kwamba vingi vimeti-mizwa; ndio, na pia najuakwamba vingi vilivyobashiriwakutuhusu sisi hadi siku hii vi-metimizwa, na vingi ambavyovitazidi leo lazima kwa ukwelivitimizwe —5 Kwa hivyo, nachagua vitu

ahivi, ili nimalize maandishiyangu juu yao, maandishiambayo nitatoa kutoka bbambaza Nefi; na siwezi kuandikahata sehemu moja ya cmia yavitu vya watu wangu.

6 Lakini tazama, nitachukuabamba hizi, ambazo zina unabiina ufunuo, na kuziweka pamojana mabaki ya yale maandishiyangu, kwani ni bora kwangu;na ninajua kwamba yatakuwabora kwa ndugu zangu.

7 Na ninatenda haya kwamadhumuni ya abusara; kwanininanong’onezewa, kulinganana kazi za Roho wa Bwanaaliye ndani yangu. Na sasa,sijui mambo yote; lakini Bwanabanajua vitu vyote vitakavyo-kuja; kwa hivyo, anafanya kazindani yangu ili nitende kuli-ngana na nia yake.

8 Na asala yangu kwa Munguni kuhusu ndugu zangu, kwa-mba wamfahamu Mungu tena,ndio, ukombozi wa Kristo; ilitena wawe watu bwema.

9 Na sasa mimi, Mormoni,namalizia maandishi yangu,ambayo ninayatoa kutoka ba-mba za Nefi; na ninayaandikakulingana na maarifa na ufaha-mu ambao Mungu amenipatia.

10 Kwa hivyo, ikawa kwambabaada ya Amaleki akumpatiaMfalme Benyamini bamba hizi,alizichukua na kuziweka pa-moja na zile bamba bzingine,ambazo zilikuwa na maandishiambayo yalitolewa na cwafal-me, kutoka kizazi hadi kizazimpaka siku za Benyamini.

11 Na yal ipi t i shwa chinikutoka mfalme Benyamini,kutoka kizazi hadi kizazi mpakazikafika mikononi amwangu.Na mimi, Mormoni, naombaMungu kwamba yahifadhiwetangu sasa. Na ninajua kwambazitahifadhiwa; kwani kunamambo makuu ambayo yame-andikwa juu yake, ambayobyatahukumu watu wangu nandugu zao katika siku ile kuuya mwisho, kulingana na nenola Mungu ambalo limeandikwa.

12 Na sasa, kuhusu huyumfalme Benyamini — alikuwana mabishano fulani miongonimwa watu wake.

13 Na ikawa kwamba pia ma-jeshi ya Walamani yaliondokaanchi ya Nefi, ili yapigane nawatu wake. Lakini tazama,mfalme Benyamini alikusanya

5a m.y. mamboyanayomfurahisha,yametajwa katikaaya ya 4.

b 1 Ne. 9:2.c 3 Ne. 5:8–11; 26:6–12.

7a 1 Ne. 9:5; 19:3;M&M 3:12–20;

10:1–19, 30–47.b mwm Kujua yote.

8a 2 Ne. 33:3–4;Eno. 1:11–12.

b 2 Ne. 30:6.10a Omni 1:25, 30.

b 1 Ne. 9:4.c Yar. 1:14.

11a 3 Ne. 5:8–12;Morm. 1:1–5.

b 2 Ne. 25:18; 29:11;33:11–15;3 Ne. 27:23–27.

13a Omni 1:12.

Page 193: KITABU CHA MORMONI

Maneno ya Mormoni 1:14–Mosia 1:2 176

pamoja majeshi yake, na akawa-pinga; na alipigana kwa nguvuya mkono wake mwenyewe,akitumia bupanga wa Labani.14 Na kwa nguvu za Bwana

walipigana dhidi ya maaduiwao, hadi wakawaua maelfumengi ya Walamani. Na ikawakwamba walipigana na Wala-mani hadi wakawaondoa kuto-ka nchi yao yote ya urithi wao.

15 Na ikawa kwamba baada yakuwa na aKristo wengi bandia,na vinywa vyao vikafungwa,na wakaadhibiwa kulingana namakosa yao;

16 Na baada ya kuwepo namanabii wa bandia, na wahu-biri bandia na walimu bandiamiongoni mwa watu, na hawawote wakiwa wameadhibiwakulingana na makosa yao; na

baada ya kuwepo na ubishimwingi na ukengefu mwingikwa Walamani, tazama, ikawakwamba mfalme Benyamini,kwa msaada wa amanabii wa-takatifu waliokuwa miongonimwa watu wake —

17 Kwani tazama, mfalmeBenyamini alikuwa mtu amta-katifu, na alitawala watu wakekwa haki; na kulikwa na watuwengi watakatifu nchini ile, nawalinena neno la Mungu kwabnguvu na mamlaka; na walitu-mia cukali mwingi kwa sababuya utukutu wa wale watu —

18 Kwa hivyo, kwa msaada wahawa, mfalme Benyamini, kwakutumikia kwa nguvu zote zamwili wake na uwezo wa nafsiyake yote, na pia manabii, aliima-risha tena amani katika nchi ile.

Kitabu cha Mosia

MLANGO WA 1

Mfalme Benyamini anafunza wanawake lugha na unabii wa babuzao — Dini yao na utamaduni waozimehifadhiwa kwa sababu yamaandishi yaliyowekwa kwenyebamba mbali mbali — Mosia ana-teuliwa kuwa mfalme na kupewajukumu la kuhifadhi yale maandishina vitu vingine. Karibu mwakawa 130 hadi 124 kabla ya kuzaliwakwa Kristo.

NA sasa kulikuwa hakunaubishi katika anchi yote

ya Zarahemla, miongoni mwawatu wote wa mfalme Benya-mini, hata kwamba mfalmeBenyamini akawa na amani ka-tika siku zake zote zilizo salia.

2 Na ikawa kwamba alipatawana watatu; na akawaita ma-jina yao, Mosia, na Helorumu,na Helamani. Na akasababi-sha kwamba awafunzwe kwablugha yote ya babu zake, ili

13b 1 Ne. 4:9;2 Ne. 5:14;Yak. (KM) 1:10;Mos. 1:16; M&M 17:1.

15a mwm Mpinga Kristo.

16a Eno. 1:22.17a Alma 13:26.

b Alma 17:2–3.c Moro. 9:4;

M&M 121:41–43.

[mosia]1 1a Omni 1:13.2a Mos. 4:14–15;

M&M 68:25, 28.b Morm. 9:32.

Page 194: KITABU CHA MORMONI

177 Mosia 1:3–9

wawe watu wenye ufahamu;na ili wajue kuhusu unabii uli-okuwa umezungumzwa kwavinywa vya babu zao, ambaoulikuwa umetolewa na mkonowa Bwana.3 Na pia akawafunza kuhusu

maandishi ambayo yalikuwayamechorwa kwenye zile ba-mba za shaba, akisema: Wanawangu, nataka mkumbukekwamba kama sio hizi abamba,ambazo zina maandishi hayana amri hizi, lazima tungetese-ka kwa bkutojua, mpaka wakatihuu, kwa kutofahamu siri zaMungu.

4 Kwani haingewezekanakwamba baba yetu Lehi, ange-vikumbuka vitu hivi vyote, ku-vifundisha kwa watoto wake,bila usaidizi wa bamba hizi;kwani yeye alikuwa amefu-nzwa kwa alugha ya Wamisrikwa hivyo yeye aliweza kuso-ma michoro hii, na kuwafunzawatoto wake, ili nao wawafunzewatoto wao, na hivyo kutimizaamri za Mungu, hadi wakatihuu.5 Nawaambia, wana wangu,

kama sio kwa sababu ya vituhivi, ambavyo vimewekwa naakuhifadhiwa kwa mkono waMungu, ili btusome na tufahamucsiri zake, na tuwe na amri zakekila mara machoni mwetu,hata kwamba baba zetu wa-ngefifia katika kutoamini, na

tungekuwa kama ndugu zetu,Walamani, ambao hawajuilolote kuhusu vitu hivi, au hatakwamba hawaviamini wana-pofundishwa, kwa sababu yaddesturi za baba zao, ambazosio sawa.

6 Enyi wana wangu, ningepe-nda mkumbuke kwamba hiimisemo ni ya kweli, na piakwamba haya maandishi ni yaakweli. Na tazama, pia bambaza Nefi, ambazo zina maandi-shi na misemo ya baba zetutangu walipotoka Yerusalemuhadi sasa, na ni za kweli; natunaweza kujua ukweli waokwa sababu ziko mbele macho-ni mwetu.

7 Na sasa, wana wangu, ni-ngependa kwamba amyapekuekwa bidii, ili mfaidike; na ni-ngependa kwamba bmtii amriza Mungu, ili cmfanikiwe nchi-ni kulingana na dahadi ambazoBwana aliwafanyia babu zetu.

8 N a n i v i t u v i n g i z a i d iambavyo mfalme Benyaminialiwafunza wana wake, amba-vyo havijaandikwa kwenyekitabu hiki.

9 Na ikawa kwamba baada yamfalme Benyamini kumalizakuwafunza wana wake, kwambaalizeeka, na akaona kwambalazima hivi karibuni aelekeekatika ile njia ya ulimwenguwote; kwa hivyo, akadhanikwamba ni muhimu aukabidhi

3a mwm Mabamba.b Alma 37:8–9.

4a JS—H 1:64.5a mwm Maandiko—

Maandikoyahifadhiwe.

b Kum. 6:6–8.c mwm Siri za Mungu.d Mos. 10:11–17.

6a 1 Ne. 1:3;2 Ne. 33:10–11;Moro. 10:27.

7a mwm Maandiko.b Mos. 2:22;

Alma 50:20–22.c Zab. 122:6;

1 Ne. 2:20.d Alma 9:12–14.

Page 195: KITABU CHA MORMONI

Mosia 1:10–18 178

ufalme wake kwa mmoja wawana wake.10 Kwa hivyo, akasababisha

Mosia asimamishwe mbeleyake; na haya ndiyo manenoambayo alimzungumzia, aki-sema: Mwana wangu, natakautangaze kote nchini hii mio-ngoni mwa watu hawa wote,au awatu wa Zarahemla, nawatu wa Mosia ambao wanai-shi katika nchi hii, kwambawakusanyike pamoja; kwanikesho nitawatangazia watuwangu kwa kinywa changukwamba wewe ni bmfalme namtawala juu ya hawa watu,ambao Bwana Mungu wetuametupatia.

11 Na juu ya hayo, nitawa-patia watu hawa ajina, ili wa-weze kutofautishwa kutokanana watu wote ambao BwanaMungu aliwatoa kutoka nchi yaYerusalemu; na hivi ninatendakwa sababu wamekuwa watuwa bidii kwa kutii amri zaBwana.12 Na ninawapa jina amba-

lo hal i tafutwa, i la tu kwaadhambi.13 Ndio, na zaidi ninakwaa-

mbia, kwamba ikiwa watuhawa walioheshimiwa na Bwa-na zaidi wataanguka kwenyeadhambi, na wawe waovu nawatu wazinifu, kwamba Bwanaatawatoa, ili wawe bwanyongekama ndugu zao; na chatawali-nda tena kwa nguvu zake

zisizokuwa na kipimo; kamavile alivyowahifadhi babu zetu.

14 Kwani ninakwambia, kwa-mba kama hangenyosha mkonowake kuwahifadhi babu zetulazima wangeanguka mikononimwa Walamani, na waumiekwa sababa ya chuki yao.

15 Na ikawa kwamba baadaya mfalme Benyamini kumalizakumzungumzia mwana wake,kwamba aliweka mikononimwake mambo yote ya ufalme.

16 Na zaidi ya hayo, aliwekamikononi mwake yale maa-ndishi yaliyochorwa kwenyeabamba za shaba; na pia zilebamba za Nefi; na pia, bupangawa Labani, na cdira au kieleke-zo, ambacho kiliwaelekeza babuzetu kupita nyikani, ambachokilitayarishwa na mkono waBwana ili waelekezwe, kilammoja kulingana na utiifu nabidii waliompatia.

17 Kwa hivyo, kwa vile hawa-kuwa waaminifu hawakufani-kiwa wala kuendelea katikasafari yao, lakini awalirudishwanyuma, na kujiteremshia hasiraya Mungu juu yao; na kwahivyo walipigwa kwa njaa namaumivu makali, ili kuwavu-ruga wakumbuke jukumu lao.

18 Na sasa, ikawa kwambaMosia alienda na kutenda kuli-ngana na yale baba yake aliyo-mwamuru, na kuwatangaziawatu wote waliokuwa katikanchi ya Zarahemla kwamba

10a Omni 1:14.b Mos. 2:30.

11a Mos. 5:8–12.12a mwm Dhambi.13a Ebr. 6:4–6.

b Hel. 4:24–26.c M&M 103:8–10.

16a Mos. 1:3.b 1 Ne. 4:8–19;

M ya Morm. 1:13;

M&M 17:1.c 1 Ne. 16:10.

17a 1 Ne. 18:12–13.

Page 196: KITABU CHA MORMONI

179 Mosia 2:1–8

wajikusanye pamoja, ili wae-nde kwenye hekalu kusikizamaneno ambayo baba yakeatawazungumzia.

MLANGO WA 2

Mfalme Benyamini anahutubiawatu wake—Anawakumbusha ku-husu haki, wema, na ustawi wakiroho wa utawala wake — Ana-washauri wamtumikie Mfalme waowa Mbinguni — Wale ambao wa-namuasi Mungu, watateseka kwahuzuni iliyo kama moto usiozimi-ka. Kutoka karibu mwaka wa 124kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

Na ikawa kwamba baada yaMosia kutenda kulingana navile baba yake alivyomwamu-ru, na kutangaza nchini kote,kwamba watu walikusanyikapamoja nchini kote, ili waendekwenye hekalu kusikia mane-no ambayo mfalme Benyaminiatawaelezea.

2 Na walikuwa idadi kubwa,hata kuwa wengi sana kwambahawakuhesabika; kwani wali-kuwa wameongezeka zaidi nakuwa wengi katika nchi.

3 Na pia walichukua amali-mbuko ya mifugo yao, i l iwatoe bdhabihu na csadaka zakuteketezwa kwa moto dkuli-ngana na sheria ya Musa;

4 Na pia kwamba wamtoleeBwana Mungu wao shukrani,ambaye alikuwa amewaleta ku-

toka nchi ya Yerusalemu, naambaye alikuwa amewakomboakutoka mikono ya maadui zao,na akuwachagulia watu wenyehaki kuwa bwalimu wao, na piamtu mwenye haki kuwa mfalmewao, ambaye alikuwa amea-nzisha amani katika cnchi yaZarahemla, na ambaye aliwa-funza dkutii amri za Mungu, iliwashangilie na kujazwa naeupendo kwa Mungu na kwawatu wote.

5 Na ikawa kwamba walipo-wasili kwenye hekalu, walipigahema zao kando yake, kila mtukulingana na ajamii yake, akiwana mke wake, na wana wake, namabinti zake, na wana wao, namabinti zao, kutoka mkubwahadi kwa aliye mdogo, kila jamiiikiwa imetengana na nyingine.

6 Na wakapiga hema zao nakuizingira hekalu, kila mtuakielekeza mlango wa ahemalake kwenye hekalu, ili wakaendani ya hema zao na kusikiamaneno ambayo mfalme Be-nyamini angewazungumzia;

7 Kwani umati ulikuwa mku-bwa sana hata kwamba mfalmeBenyamini hangeweza kuwa-funza wote katika kuta zahekalu, kwa hivyo akaamurumnara ujengwe, ili watu wakewasikie maneno ambayo ange-wazungumzia.

8 Na ikawa kwamba alianzakuwazungumzia watu wake ku-toka mnarani; na wote hawa-

2 3a Mwa. 4:4.b mwm Dhabihu.c 1 Ne. 5:9.d 2 Ne. 25:24;

Alma 30:3; 34:13–14.

4a mwm Ita, Itwa naMungu, Wito.

b Mos. 18:18–22.mwm Fundisha,Mwalimu.

c Omni 1:12–15.d Yn. 15:10.e mwm Upendo.

5a mwm Familia.6a Kut. 33:8–10.

Page 197: KITABU CHA MORMONI

Mosia 2:9–16 180

ngeweza kusikia maneno yakekwa sababu ya wingi wa umati;kwa hivyo akasababisha kwa-mba maneno aliyozungumzayaandikwe na kupelekwa mio-ngoni mwa wale ambao hawa-kuwa karibu na sauti yake, iliwao pia wapokee maneno yake.9 Na haya ndiyo maneno

aaliyozungumza na kusababishayaandikwe, akisema: Nduguzangu, nyote ambao mmekusa-nyika pamoja, nyinyi ambaomtasikia maneno yangu amba-yo nitawazungumzia leo; kwa-ni sijawaamrisha kuja hapaili bkuchezacheza na manenoambayo nitawazungumzia, la-kini kwamba cmnisikilize, namfungue masikio yenu i l imsikie, na dmioyo yenu ilimfahamu, na eakili zenu ili fsiriza Mungu zifunguliwe machonimwenu.

10 Sijawaamuru kuja hapail i a mniogope, au kwambamnidhanie kwamba mimi mwe-nyewe ni zaidi ya binadamu.

11 Lakini mimi niko kamanyinyi, kwa unyonge wa kilaaina mwilini na akilini; walakininimechaguliwa na watu hawa,na kutakaswa na baba yangu,na nikaruhusiwa kwa mkonowa Bwana kwamba niwe mta-wala na mfalme wa watu hawa;na nimelindwa na kuhifadhi-wa kwa uwezo wake usio nakipimo, ili niwatumikie kwauwezo wote, na nguvu ambazoBwana amenipatia.

12 Ninawaambia kwamba kwavile nimekubaliwa kuwatumi-kia nyinyi maishani mwangu,hata hadi sasa, na sijatazamiakupata faida ya adhahabu aufedha au aina yoyote ya utajirikutoka kwenu;

13 Wala sijaruhusu kwambamfungwe gerezani, wala nyinyiwenyewe kuwafanya wenginewatumwa, wala kuua, au ku-pora, au kuiba, au kuzini; walahata mimi sijawaruhusu kwa-mba mtende aina yoyote yauovu, na nimewafunza nyinyikwamba mtii amri za Bwana,katika vitu vyote ambavyoamewaamuru —

14 Na hata mimi, mwenyewe,animefanya kazi kwa mikonoyangu mwenyewe ili niwatu-mikie nyinyi , na kwambamsilemewe na makodi, nakwamba msipatwe na chochoteambacho hamuwezi kuvumi-lia — na nyinyi ni mashahidileo, kwa vitu vyote ambavyonimewazungumzia siku hii.

15 Lakini, ndugu zangu, sija-tenda vitu hivi ili nijivune, walasisemi vitu hivi ili niwalaumu;lakini nawaambia vitu hiviili mjue kwamba sina lawamakatika adhamira yangu mbeleya Mungu siku ya leo.

16 Tazama, nawaambia kwa-mba kwa sababu niliwaambiakuwa nimewatumikia maishanimwangu, sitamani kujivuna,kwani nimekuwa tu katikautumishi wa Mungu.

9a Mos. 8:3.b M&M 6:12.c mwm Sikiliza.d Mos. 12:27;

3 Ne. 19:33.e mwm Nia.f mwm Siri za Mungu.

10a mwm Hofu.

12a Mdo. 20:33–34.14a 1 Kor. 9:18.15a mwm Dhamiri.

Page 198: KITABU CHA MORMONI

181 Mosia 2:17–26

17 Na tazama, nawaambiavitu hivi ili mpate ahekima; ilimjifunze kwamba bmnapowa-tumikia wanadamu cwenzenumnamtumikia tu Mungu wenu.18 Tazama, mmeniita mfalme

wenu; na kama mimi, ambayemnaniita mfalme wenu, ninaji-chosha akuwatumikia, je, hai-wapasi nanyi kujichosha kutu-mikiana?19 Na tazama pia, kama mimi,

ambaye mnaita mfalme wenu,ambaye amewatumikia sikuzake zote nyinyi, na walakiniamekuwa katika utumishi waMungu, ninastahili shukranikutoka kwenu, Je, inawapasajinsi gani nyinyi akumshukuruMfalme wenu wa mbinguni!20 Ninawaambia, ndugu za-

ngu, kwamba kama mtamtoleashukrani zote na asifa ambazonafsi zenu zina uwezo wa kuwanazo, bMungu aliyewaumba, naaliyewaweka na kuwahifadhi,na kuwasababisha nyinyi ku-furahi, na kuwezesha kwambanyinyi muishi kwa amani katiyenu —

21 Ninawaambia kwamba ka-ma mtamtumikia yule ambayealiwaumba tangu mwanzo, naanawahifadhi siku kwa siku,kwa kuwaazima pumzi, kwa-mba muishi na mtembee nakutenda kulingana na ania zenu,

na hata kuwasaidia muda kwamuda — nasema, kama mtam-tumikia kwa nafsi zenu zotekwa jumla bado mtakuwawatumishi bwasioleta faida.

22 Na tazama, yote ambayoanahitaji kutoka kwenu ni aku-tii bamri zake; na amewaahidikwamba kama mtatii amri zakemtafanikiwa nchini; na kamwechageuki kutoka kwa yale ali-yosema; kwa hivyo, kamadmtatii amri zake atawabarikina kuwafanikisha.

23 Na sasa, kwanza, amewau-mba, na kuwapatia uhai wenu,ambao anawadai.

24 Na cha pi l i , anahi ta j ikwamba nyinyi mtende yaleambayo amewaamuru; kwanikama mtatenda hivyo, aatawa-bariki papo hapo; na kwa hivyoamewalipa. Na hivyo basibado anawadai, na hata sasa,na baadaye hadi milele na mi-lele; kwa hivyo, je, mna niniambacho mnajivunia?

25 Na sasa nauliza, je mnawe-za kujiongezea chochote we-nyewe? Ninawajibu, Hapana.Hamwezi kusema mko hata ku-zidi mavumbi ya dunia; ingawaamliumbwa kutoka bmavumbiya dunia; lakini tazama, ni yakeyule aliyewaumba.

26 Na mimi, hata mimi, amba-ye mnaniita mfalme wenu, sio

17a mwm Hekima.b Mt. 25:40;

Yak. (Bib.) 1:27;M&M 42:29–31.mwm Utumishi.

c mwm Dada;Kaka, Ndugu.

18a Mt. 20:26–27.19a mwm Shukrani,

Shukrani, enye, Toashukrani.

20a 1 Ne. 18:16.b mwm Mungu, Uungu.

21a mwm Haki yauamuzi.

b Lk. 17:7–10.22a Law. 25:18–19;

2 Ne. 1:9.

b mwm Amri za Mungu.c M&M 3:1–2.d M&M 14:7; 58:2–3.

24a mwm Baraka, Bariki,Barikiwa.

25a mwm Umba,Uumbaji.

b Mwa. 3:19;Yak. (KM) 2:21.

Page 199: KITABU CHA MORMONI

Mosia 2:27–34 182

bora zaidi ya vile mlivyo; kwanimimi pia nilitoka katika ma-vumbi. Na mnaona kwambamimi ni mzee, na ninakaribiakuupeleka mwili huu kwenyeudongo.27 Kwa hivyo, kama vile nili-

vyowaambia kwamba niliwa-tumikia, anikiwa na dhamirailiyo safi kwa Mungu, hatahivyo wakati huu mimi nime-sababisha kwamba mkusanyi-ke pamoja, ili nisipatikane nalawama, na kwamba bdamuyenu isiwe juu yangu, nitaka-posimama mbele ya Mungu ilinihukumiwe kwa vile vitualivyoniamrisha kuwahusu.

28 Nawaambia kwamba nime-sababisha mkusanyike pamojaili anitoe damu yenu kutoka ma-vazi yangu, wakati huu ambaoninakaribia kaburi langu, iliniende kwa amani, na brohoyangu isiyokufa iungane nackwaya za juu katika kuimbasifa za Mungu aliye wa haki.

29 Na zaidi ya hayo, ninawaa-mbia kwamba nimesababishamkusanyike pamoja, ili niwa-tangazie kwamba siwezi kue-ndelea kuwa mwalimu wenu,wala mfalme wenu;

30 Kwani hata sasa, mwili wa-ngu wote unatetemeka ninapo-jaribu kuwazungumzia; lakiniBwana Mungu ananisaidia, naameniruhusu niwazungumzie,na ameniamuru kwamba niwa-tangazie leo, kwamba mwanawangu Mosia ni mfalme namtawala wenu.

31 Na sasa, ndugu zangu,nataka mtende kama vile tayarimmetenda. Hadi sasa mmetiiamri zangu, na pia amri zababa yangu, na mmefanikiwa,na mmelindwa kwamba msia-ngukie mikono ya maaduiwenu, hata hivyo mkitii amri zamwana wangu, au amri zaMungu ambazo mtapewa naye,mtafanikiwa nchini, na maaduiwenu hawatapata uwezo juuyenu.

32 Lakini, Enyi watu wangu,jihadharini kwamba pasiwe naamabishano miongoni mwenu,na mchague kutii pepo mchafu,ambaye alizungumziwa na babayangu Mosia.

33 Kwani tazama, ole kwa yuleanayechagua kutii huyo pepo;kwani akichagua kumtii, nakuishi na afariki katika dhambizake, yeye anakunywa aadha-bu kwa nafsi yake; kwani yeyehupokea kwa mshahara wakeadhabu isiyo na bmwisho, kwasababu ya kuvunja sheria yaMungu kinyume cha ufahamuwake.

34 Ninawaambia, kwambahakuna yeyote miongoni mwe-nu, ila tu watoto wenu wadogoambao hawajafunzwa kuhusuvitu hivi, asiyejua kwambamnadaiwa milele na Baba wenuwa mbinguni, kumtolea yotemliyo nayo na vile mlivyo; napia mmefundishwa kuhusumaandishi ambayo yana unabiiambao umezungumziwa namanabii watakatifu, hata hadi

27a mwm Tembea,Tembea na Mungu.

b Yak. (KM) 1:19.

28a Yak. (KM) 2:2.b mwm Roho.c Morm. 7:7.

32a 3 Ne. 11:29–30.33a mwm Hukumu.

b M&M 19:6, 10–12.

Page 200: KITABU CHA MORMONI

183 Mosia 2:35–41

wakati baba yetu, Lehi, alipo-toka Yerusalemu;35 Na pia, yote ambayo yame-

zungumzwa na baba zetu hadisasa. Na tazama, pia, walizu-ngumza yale ambayo waliam-riwa na Bwana; kwa hivyo, niya haki na kweli.

36 Na sasa, nawaambia, nduguzangu, kwamba baada ya kujuana kufunzwa vitu hivi vyote,kama mtakosa na kutendakinyume cha yale yaliyozungu-mzwa, kwamba mnajitenga naRoho wa Bwana, kwamba hananafasi ndani yenu ili awaongozekatika njia za hekima ili mpatebaraka, mafanikio, na kuhifa-dhiwa —

37 Ninawaambia, kwamba,yule mtu anayetenda haya,huyo ndiye ambaye aanamuasiMungu kiwazi; kwa hivyo ana-chagua kutii pepo mchafu, nakuwa adui wa haki yote; kwahivyo, Bwana hana nafasi ndaniyake, kwani yeye haishi katikahekalu bzisizo takatifu.38 Kwa hivyo kama mtu huyu

ahatatubu, na aishi na afe akiwaadui wa Mungu, matakwa yabhaki takatifu huzindua nafsiyake isiyokufa kwa chatia yakemwenyewe, ambayo humsaba-bisha kutetemeka mbele yaBwana, na hujaza kifua chake nahatia, na uchungu, na huzuni,ambayo ni kama moto usiozi-mika, ambao miale yake hupaajuu milele na milele.

39 Na sasa ninawaambia,kwamba ahuruma haina dai juuya mtu huyo; kwa hivyo huku-mu yake ya mwisho ni kuvu-milia mateso yasiyo na mwisho.

40 Ee nyinyi , watu wotewazee, na pia nyinyi vijana, nanyinyi watoto wachanga mna-oweza kuelewa maneno yangu,kwani nimezungumza wazikwenu ili muweze kuelewa,naomba kwamba muamke kwaaukumbusho wa mahali pakuogofya ya wale walioangukakwenye dhambi.

41 Na zaidi, ningetamani mta-fakari juu ya hali ya baraka nayenye afuraha ya wale wanaotiiamri za Mungu. Kwani tazama,bwanabarikiwa katika vitu vyo-te, vya muda na vya kiroho; nakama watavumilia kwa cuami-nifu hadi mwisho watapokewadmbinguni, kwamba hapo wai-shi na Mungu katika hali yafuraha isiyo na mwisho. Enyikumbukeni, kumbukeni kwa-mba vitu hivi ni vya kweli;kwani Bwana Mungu ameya-zungumza.

MLANGO WA 3

Mfalme Benyamini anaendelea nahotuba yake — Bwana Mwenyeziataahudumia miongoni mwa wa-nadamu katika hekalu la udongo— Damu itatiririka kutoka kilakinyweleo atakapokuwa akilipia

37a Mos. 3:12;Hel. 8:24–25.mwm Uasi.

b Alma 7:21.38a mwm Toba, Tubu.

b mwm Haki.

c mwm Hatia.39a Alma 34:8–9, 15–16.

mwm Rehema,Rehema, enye.

40a Alma 5:18.41a 4 Ne. 1:15–18.

mwm Shangwe.b mwm Baraka, Bariki,

Barikiwa.c M&M 6:13.d mwm Mbinguni.

Page 201: KITABU CHA MORMONI

Mosia 3:1–9 184

dhambi za ulimwengu — Jina lakepekee ndilo ambalo wokovu unaku-ja — Wanadamu wanaweza kum-vua yule mtu wa kawaida na kuwawatakatifu kwa Upatanisho —Mateso ya wale waovu yatakuwani kama ziwa la moto na kiberiti.Karibu mwaka wa 124 kabla yakuzaliwa kwa Kristo.

Na tena ndugu zangu, natakamnisikilize, kwani nina mengi-ne ya kuwazungumzia; kwanitazama, nina vitu vya kuwaa-mbia kuhusu vile vitakavyokuja.2 Na vile vitu nitakavyowaa-

mbia nimejulishwa hivyo naamalaika wa Mungu. Na alinia-mbia: Amka; na nikaamka, natazama alisimama mbele yangu.3 Na akaniambia: Amka, na

usikilize yale maneno nitaka-yokuambia; kwani tazama, ni-mekuja kukutangazia habarianjema ya shangwe kuu.4 Kwani Bwana amesikia sala

zako, na ameuhukumu utakati-fu wako, na amenituma kwakonikutangazie kwamba usha-ngilie; na kwamba wewe uwa-tangazie watu wako, kwambawao wajazwe na shangwe.

5 Kwani tazama, wakati una-kuja, na sio mbali sana, kwa-m b a k w a u w e z o , a B w a n aMwenyezi ambaye anatawala,

ambaye al ikuwa, na yukokutoka milele yote hadi mileleyote, atashuka chini kutokambinguni miongoni mwa wa-toto wa watu, na ataishi katikabhekalu la udongo, na ataendamiongoni mwa watu, akitendacmiujiza mikuu, kama kuponyawagonjwa, kufufua wafu, ku-sababisha viwete kutembea,vipofu kupata kuona, na viziwikusikia, na kuponya kila ainaya magonjwa.

6 Na atatoa amashetani, aupepo wachafu wanaoishi katikamioyo ya watoto wa watu.

7 Na lo, atavumilia amajaribu,na maumivu ya mwili, bnjaa,kiu, na uchovu, hata zaidi yavile mtu anaweza ckuteseka, ilatu hadi kifo; kwani tazama,ddamu inatiririka kutoka kwakila kinyweleo, emateso yakeyatakuwa makuu kwa sababuya maovu na machukizo yawatu wake.

8 Na ataitwa aYesu Kristo,bMwana wa Mungu, cBaba wambingu na dunia, Muumba wavitu vyote tangu mwanzo; nadmama yake ataitwa eMariamu.

9 Na lo, anawajia walio wake,ili awokovu uwafikie watotowa watu hata kupitia bimanikwa jina lake; na hata baada yahaya yote bado watamdhania

3 2a mwm Malaika.3a Lk. 2:10–11.5a mwm Yehova.

b Mos. 7:27;Alma 7:9–13.

c Mt. 4:23–24;Mdo. 2:22;1 Ne. 11:31.mwm Muujiza.

6a Mk. 1:32–34.

7a mwm Jaribu,Majaribu.

b Mt. 4:1–2.c M&M 19:15–18.d Lk. 22:44.e Isa. 53:4–5.

8a mwm Mungu,Uungu—MunguMwana.

b Alma 7:10.

c Hel. 14:12;3 Ne. 9:15.

d Mt. 1:16;1 Ne. 11:14–21.

e mwm Maria, Mamawa Yesu.

9a mwm Wokovu.b mwm Imani.

Page 202: KITABU CHA MORMONI

185 Mosia 3:10–17

kuwa yeye ni mwanadamu, nakusema kwamba amepagawana cibilisi, na dkumpiga, naekumsulubu.10 Na aatafufuka siku ya btatu

kutoka kwa wafu; na tazama,anasimama kuhukumu ulimwe-ngu; na tazama, vitu hivi vyotevinafanyika ili chukumu takati-fu iwashukie watoto wa watu.11 Kwani tazama, na pia

adamu yake binalipiza dhambiza wale ambao cwameangukakwa sababu ya dhambi yaAdamu, ambao wameaga duniabila kuelewa nia ya Mungujuu yao, au ambao wametendadhambi dbila kujua.12 Lakini ole, ole kwa yule

anayefahamu kwamba aanamu-asi Mungu! Kwani wokovuhaumjii yeyote ila tu kwa kutu-bu na kwa imani katika bBwanaYesu Kristo.

13 Na Bwana Mungu amewa-tuma manabii wake watakatifumiongoni mwa watoto wa watu,kutangaza vitu hivi kwa kilakabila, taifa, na lugha, ili hapokwamba yeyote atakayeaminikwamba Kristo atakuja, hao wa-tapokea amsamaha wa dhambi,na kushangilia kwa shangwe

kuu zaidi, bkama vile tayariamekuja miongoni mwao.

14 Lakini Bwana Mungu alionakwamba watu wake walikuwawenye shingo ngumu, na aka-wapatia sheria, hata asheria yaMusa.

15 Na ishara nyingi, na maaja-bu, na amifano, na vivuli aliwa-onyesha kwao, kuhusu kujakwake; na pia manabii wataka-tifu waliwazungumzia kuhusukuja kwake; na bado walishu-paza mioyo yao, na hawakufa-hamu kuwa bsheria ya Musahaifaidi chochote isipokuwakupitia upatanisho wa damuyake.

16 Na hata kama ingeweze-kana kwamba awatoto wadogowangetenda dhambi hawange-weza kuokolewa; lakini nina-kuambia bwamebarikiwa; kwa-ni tazama, kama vile katikaAdamu, au kwa maumbile, wa-naanguka, hata hivyo damu yaKristo inalipiza dhambi zao.

17 Na zaidi ya hayo, ninawaa-mbia, kwamba ahakuna jinalingine litatolewa wala njiaingine wala mbinu yoyoteambayo bwokovu utawashukiawatoto wa watu, ila katika na

9c Yn. 8:48.d Mk. 15:15.e Lk. 18:33;

1 Ne. 19:10;2 Ne. 10:3.mwm Kusulubiwa.

10a mwm Ufufuko.b Mt. 16:21;

2 Ne. 25:13;Hel. 14:20–27.

c mwm Amua,Hukumu.

11a mwm Damu.

b mwm Lipia dhambi,Upatanisho.

c mwm Anguko laAdamu na Hawa.

d 2 Ne. 9:25–26.12a Mos. 2:36–38;

Hel. 8:25.mwm Uasi.

b mwm Bwana.13a mwm Ondoleo la

Dhambi.b 2 Ne. 25:24–27;

Yar. 1:11.

14a mwm Torati yaMusa.

15a mwm Yesu Kristo—Mifano au ishara zaKristo.

b Mos. 13:27–32.16a mwm Mtoto, Watoto.

b Moro. 8:8–9.17a Mdo. 4:10–12;

2 Ne. 31:21.b mwm Wokovu.

Page 203: KITABU CHA MORMONI

Mosia 3:18–26 186

kupitia jina la cKristo pekee,Bwana Mwenyezi.18 Kwani tazama anahukumu,

na hukumu yake ni ya haki;na mtoto mchanga anayefarikiuchangani mwake haangamii;lakini wanadamu hunywaadhabu kwa nafsi yao isipoku-wa wajinyenyekeze na akuwakama watoto wadogo, na kua-mini kwamba wokovu ulikuwa,na upo, na utakuja, kwa nakatika bupatanisho wa damuya Kristo, Bwana Mwenyezi.

19 Kwani mwanadamu waakawaida ni adui kwa Mungu,na amekuwa tangu bkuangukakwa Adamu, na atakuwa, milelena milele, casipokubali ushawi-shi wa dRoho Mtakatifu, nakumvua mtu wa kawaida nakuwa emtakatifu kupitia upata-nisho wa Kristo aliye Bwana,na kuwa kama fmtoto, mtiifu,mpole, mnyenyekevu, mvumi-livu, mwenye upendo tele,aliye tayari kukubali vitu vyoteambavyo Bwana anampatia,hata kama vile mtoto hunye-nyekea kwa baba yake.

20 Na zaidi ya hayo, ninaku-ambia, kwamba wakati unaka-ribia ambako aufahamu waMwokozi utapenya bkila taifa,kabila, lugha, na watu.21 Na tazama, wakati huo uta-

kapofika, hakuna yeyote ataka-yepatikana bila alawama mbele

ya Mungu, isipokuwa watotowadogo, isipokuwa tu kupitiakwa toba na imani katika jina laBwana Mungu Mwenyezi.

22 Na hata wakati huu, wa-kati utakapokuwa umewafunzawatu wako vitu vile ambavyoBwana Mungu wako amekua-muru, hata hivyo bado hawata-patikana na lawama machonimwa Mungu, tu kulingana nayale maneno ambayo nimeku-zungumzia.

23 Na sasa nimezungumzamaneno ambayo Bwana Munguameniamuru.

24 Na Bwana asema hivi:Watasimama kama ushuhudaung’arao kinyume cha watuhawa, siku ile ya hukumu;ambako watahukumiwa, kilamtu kulingana na matendoyake, kama ni mema, au kamani maovu.

25 Na kama ni maovu watato-lewa kwa amawazo mabaya yahatia yao na machukizo, amba-yo inawasababisha kukimbiakutoka uwepo wa Bwana nakuingia katika hali ya bhofu namateso yasiyo na mwisho, kuto-ka ambapo hawawezi kurejeatena; kwa hivyo wanajiletea hu-kumu ya milele katika nafsi zao.

26 Kwa hivyo, wamekunywakutoka kikombe cha ghadhabuya Mungu, haki ambayo hai-wezi kuwazuia kama vile hai-

17c mwm Yesu Kristo—Kujichukulia Jina laYesu Kristo juu yetu.

18a Mt. 18:3.b Mos. 4:2; Hel. 5:9.

19a 1 Kor. 2:11–14;Mos. 16:2–3.mwm Mwanadamu

wa Tabia ya Asili.b mwm Anguko la

Adamu na Hawa.c 2 Nya. 30:8.d Moro. 10:4–5.

mwm Roho Mtakatifu.e mwm Mtakatifu.f 3 Ne. 9:22.

20a M&M 3:16.b mwm Kazi ya

kimisionari.21a mwm Kuwajibika,

Uwajibikaji,Wajibika.

25a Alma 5:18; 12:14–15.b Morm. 8:38.

Page 204: KITABU CHA MORMONI

187 Mosia 3:27–4:6

ngezuia aAdamu aanguke kwasababu ya kula btunda lililoka-tazwa; kwa hivyo, hawawezikupokea churuma milele.27 Na amateso yao ni kama

bziwa la moto na kiberiti, amba-lo miale yake haiwezi kuzimika,na moshi wake hupaa juu milelena milele. Na hivi ndivyo Bwa-na ameniamuru mimi. Amina.

MLANGO WA 4

Mfalme Benyamini anaendeleakatika hotuba yake—Wokovu una-patikana kwa sababu ya Upatanisho— Muamini Mungu ili uokolewe— Hifadhi msamaha wa dhambizako kwa uaminifu — Shirikianana walio masikini kwa mali yako— Tenda vitu vyote kwa hekimana mpango. Karibu mwaka wa 124kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

Na sasa, ikawa kwamba baadaya mfalme Benyamini kuma-l iza kuzungumza manenoambayo alikuwa amepewa namalaika wa Bwana, kwambaalitupa macho kwenye umati,na tazama walikuwa wameina-ma ardhini, kwani awoga waBwana ulikuwa umewajia.2 Na walikuwa wamejiona

wenyewe katika hali yao yaakimwili, hata kuwa bndogozaidi ya mavumbi ya dunia. Nawote wakalia kwa sauti moja,

wakisema: Ewe tuhurumie, nautumie damu ya cupatanisho waKristo kwamba tupokee msama-ha wa dhambi zetu, na mioyoyetu isafishwe; kwani tuna-mwamini Yesu Kristo, Mwanawa Mungu, daliyeumba mbinguna dunia, na vitu vyote; ambayeatashuka chini miongoni mwawatoto wa watu.

3 Na ikawa kwamba baada yawao kuzungumza maneno hayaRoho wa Bwana aliwashukia,na wakajazwa na shangwe,wakiwa wamepokea amsamahawa bdhambi zao, na kupataamani katika dhamira zao, kwasababu ya cimani tele waliyo-kuwa nayo katika Yesu Kristoatakayekuja, kulingana na ma-neno ambayo mfalme Benya-mini aliwazungumzia.

4 Na mfalme Benyamini tenaakafungua kinywa chake nakuanza kuwazungumzia, aki-sema: Marafiki zangu na nduguzangu, ukoo wangu na watuwangu, naomba tena mnisikilize,kwamba msikie na kufahamumaneno yangu yaliyosalia.

5 Kwani tazama, ikiwa ufaha-mu wa wema wa aMungu wa-kati huu umewaamsha kwakuona udhaifu wenu, na kwa-mba hamna thamani katikahali yenu ya kuanguka —

6 Ninawaambia, kama mme-pokea aufahamu wa wema wa

26a Morm. 9:12.b Mwa. 3:1–12;

2 Ne. 2:15–19;Alma 12:21–23.

c mwm Rehema,Rehema, enye.

27a mwm Hatia.b 2 Ne. 9:16;

Yak. (KM) 6:10;M&M 76:36.

4 1a mwm Hofu.2a mwm Tamaa za

kimwili.b Hel. 12:7–8.c Mos. 3:18;

Hel. 5:9.

d mwm Umba,Uumbaji.

3a mwm Ondoleo laDhambi.

b mwm Dhamiri.c mwm Imani.

5a Musa 1:10.6a mwm Mungu, Uungu.

Page 205: KITABU CHA MORMONI

Mosia 4:7–12 188

Mungu, na nguvu zake zisizona kifani, na hekima yake, nasubira yake, na uvumilivu wakekwa watoto wa watu; na pia,bupatanisho uliotayarishwa ta-ngu cmsingi wa ulimwengu, iliwokovu umshukie yeyote data-kayemwamimi Bwana, na awemwenye bidii katika kushikaamri zake, na kuendelea katikaimani hata hadi mwisho wamaisha yake, ninamaanishamaisha ya mwili wa muda —

7 Ninasema, kwamba huyundiye yule mtu anayepokeawokovu, kupitia kwa upatani-sho ambao ulitayarishwa tangumsingi wa ulimwengu kwawanadamu wote, ambao wali-kuwa wakati wowote tanguakuanguka kwa Adamu, auwale walio, au wale watakao-kuwepo wakati wowote, hatahadi mwisho wa ulimwengu.8 Na hii ndiyo njia ambayo

kwayo wokovu unakuja. Naahakuna wokovu mwingine ilahuu ambao umezungumziwa;wala hakuna masharti mengi-ne ambayo kwayo mwanada-mu anaweza kuokolewa ilatu masharti yale ambayo nime-waambia.9 Mwamini Mungu; amini

kwamba yupo, na kwambaaliumba vitu vyote, katika mbi-ngu na katika ardhi, amini

kwamba ana ahekima yote,na uwezo wote, mbinguni naardhini; mwamini kwambamwanadamu bhafahamu vituvyote ambavyo Bwana anavyo-weza kufahamu.

10 Na tena, mwamini kwambalazima amtubu dhambi zenu nakuziacha, na kujinyenyekezambele ya Mungu; na muombekutoka moyo wa kweli ili bawa-samehe; na sasa, kama cmnaa-mini hivi vitu vyote hakikishenikwamba dmnavitenda.11 Na tena nawaambia vile

nilivyosema awali, kwambakama vile mmefahamu utukufuwa Mungu, au kama mmejuawema wake na akuonja upendowake, na kupokea bmsamahawa dhambi zenu, ambao una-waletea shangwe tele nafsinimwenu, hata hivyo nataka mku-mbuke, na kila wakati mshiki-lie ukumbusho, wa ukuu waMungu, na cunyonge wenu, nadwema wake na subira yakekwenu nyinyi; viumbe vinyo-nge, na mjinyenyekee kwaeunyenyekevu mwingi, fmkili-lingana jina la Bwana kila siku,na kusimama imara katikaimani kwa yale yanayokuja,ambayo yalizungumzwa kwakinywa cha malaika.

12 Na tazama, ninawaambiakwamba kama mtafanya haya

6b mwm Lipia dhambi,Upatanisho.

c Mos. 15:19.d Zab. 36:7;

2 Ne. 22:2;Hel. 12:1.mwm Tegemea.

7a mwm Anguko laAdamu na Hawa.

8a Mdo. 4:12;2 Ne. 31:21;Mos. 3:17.

9a Rum. 11:33–34;Yak. (KM) 4:8–13.

b Isa. 55:9.10a mwm Toba, Tubu.

b M&M 61:2.c Mt. 7:24–27.

d 2 Ne. 31:19–21.11a Alma 36:24–26.

b mwm Ondoleo laDhambi.

c Musa 1:10.d Kut. 34:6; Moro. 8:3.e mwm Mnyenyekevu,

Unyenyekevu.f mwm Sala.

Page 206: KITABU CHA MORMONI

189 Mosia 4:13–21

mtapokea furaha daima, na ku-jazwa na aupendo wa Mungu,na daima bkuhifadhi msamahawa dhambi zenu; na mtaende-lea mkiwa katika ufahamu wautukufu wa yule aliyewaumba,au katika ufahamu wa yaleyaliyo ya haki na kweli.

13 Na hamtataka kuumizana,lakini mtaishi kwa aamani,na kumpatia kila mtu anachos-tahili.

14 Na hamtakubali awatotowenu kupatwa na njaa, aukukaa uchi; wala hamtakubalikwamba wavunje sheria zaMungu, na bkupigana na kute-tanisha moja kwa mwingine,na kumtumikia ibilisi, ambayeni bwana wa dhambi, au aliyepepo mchafu ambaye alizu-ngumziwa na babu zetu, yeyeakiwa adui wa utakatifu wote.15 Lakini nyinyi amtawafunza

bkutembea katika njia za kwelina za kiasi; mtawafunza ckupe-ndana, na kutumikiana.16 Na pia, wenyewe amtawa-

saidia wale wanaohitaji usaidi-zi wenu; mtawatolea misaadawale wanaohitaji; na hamta-kubali kwamba maombi yabmwombaji kuwa bure, na ku-mfukuza ili aangamie.

17 Pengine wewe autasema:Huyu mtu amejiletea taabu;kwa hivyo nitazuia mkonowangu, na sitampatia chakula

changu, wala kumtolea msaadaili asiteseke, kwani maadhibioyake ni ya haki —

18 Lakini nakwambia, Ewemwanadamu, yeyote anayefa-nya hivyo basi huyo anayosababu kuu ya kutubu; na asi-potubu hilo ambalo ametendaataangamia milele, na hanahaja na ufalme wa Mungu.

19 Kwani tazama, s i s i s iwote ni waombaji? Je, si sisisote tunamtegemea yule Mmo-ja, aliye Mungu, kwa mali yotetuliyo nayo, kwa chakula namavazi, na kwa dhahabu, nakwa fedha, na kwa kila utajiritulio nao?

20 Na tazama, hata sasa hivi,mmekuwa mkililingana jinalake, na mkiomba msamaha wadhambi zenu. Na je amefanyamuombe bure? La; amewashu-shia roho yake, na kusababishakwamba mioyo yenu ijae asha-ngwe, na kusababisha vinywavyenu vifungwe ili msipatekuongea, kwa sababu ya ileshangwe yenu tele.

21 Na sasa, kama Mungu, ali-yewaumba, ambaye mnamtege-mea kwa mahitaji yenu na kwayote mlio nayo na vile mlivyo,huwapatia chochote mnachoomba kilicho sahihi, kwa imani,mkiamini kwamba mtapokea,Ee hata, inawapasa nyinyi aku-saidiana mmoja kwa mwingine.

12a mwm Upendo.b Mos. 4:26;

Alma 4:13–14;5:26–35;M&M 20:31–34.

13a mwm Msuluhishi.14a 1 Tim. 5:8; M&M 83:4.

b mwm Ushindani.

15a M&M 68:25–28;Musa 6:58.mwm Fundisha,Mwalimu.

b mwm Tembea,Tembea na Mungu.

c Mos. 18:21.16a mwm Hisani;

Utumishi.b Kum. 15:7–11;

Mit. 21:13;Isa. 10:1–2.

17a Mit. 17:5.20a mwm Shangwe.21a mwm Ustawi;

Utumishi.

Page 207: KITABU CHA MORMONI

Mosia 4:22–30 190

22 Na kama aunamhukumumtu yule anayekulilia kwa msa-ada ili asiangamie, na kumshu-tumu, jinsi gani hukumu yakoitakuwa ya haki kwa sababu yabkuzuia msaada wako, ambaosio wako bali ni wa Mungu,ambaye pia maisha yako niyake; na walakini humlilii, walakutubu kwa kile kitu ambachoumetenda.

23 Ninawaambia, ole kwa yulemtu, kwani ataangamia na maliyake; na sasa, ninasema vituhivi kwa wale walio amatajirikwa vitu vya ulimwengu huu.24 Na tena, nawaambia walio

masikini, nyinyi ambao hamnalakini mnayo ya kutosha, kwa-mba muishi siku kwa siku;n a m a a n i s h a n y i n y i n y o t eambao mnawanyima mwo-mbaji, kwa sababu hamna;ningetaka mseme mioyonimwenu kwamba: Simpi kwasababu sina, lakini kama ni-ngekuwa nayo, aningempa.25 Na sasa, kama mtasema

hivi mioyoni mwenu mtakuwahamna hatia, la sivyo ammehu-kumiwa; na hukumu yenu niya haki kwa sababu mnatamaniyale ambayo hamjapokea.

26 Na sasa, kwa sababu yavitu hivi ambavyo nimewazu-ngumzia — kwamba, ili mhifa-dhi msamaha wa dhambi zenusiku kwa siku, ili amtembeebila hatia mbele ya Mungu —

ningetaka kwamba bmuwapa-tie cmasikini mali yenu, kilamtu kulingana na ile aliyonayo, kwa mfano d kulishawenye njaa,kuvisha walio uchi,kuwatembelea wagonjwa nakuwahudumia katika haja zao,kiroho na kimwili, kulinganana matakwa yao.

27 Na mhakikishe kwambavitu hivi vyote vinafanywakwa hekima na mpango; kwanihaimpasi mwanadamu kuki-mbia azaidi kuliko nguvu zake.Na tena, ni lazima awe na bidii,ili ashinde zawadi; kwa hivyo,vitu vyote lazima vitendekekwa mpango.

28 Na ningependa mkumbu-ke, kwamba yeyote miongonimwenu anayeazima chochotekutoka kwa jirani yake lazimaarudishe kile alicho kiazima,kulingana na vile alivyokubali,la sivyo utatenda dhambi; napengine wewe utamsababishajirani yako kutenda dhambi pia.

29 Na mwishowe, siwezi ku-waelezea vitu vyote ambavyovinaweza kuwasababisha ku-tenda dhambi; kwani kuna njianyingi na mbinu, nyingi sanahata kwamba siwezi kuzihesabu.

30 Lakini kwa haya nawezakuwaambia hivi, kwamba amsi-pojichunga wenyewe, na bma-wazo yenu, na cmaneno yenu,na matendo yenu, na kufuatasheria za Mungu, na kuendelea

22a Mt. 7:1–2; Yn. 7:24.b 1 Yoh. 3:17.

23a M&M 56:16.24a Mk. 12:44.25a M&M 56:17.26a mwm Tembea,

Tembea na Mungu.

b Yak. (KM) 2:17–19.c Zek. 7:10;

Alma 1:27.mwm Sadaka, Utoajisadaka.

d Isa. 58:10–11;M&M 104:17–18.

27a M&M 10:4.30a Alma 12:14.

mwm Kesha, Walinzi.b Mk. 7:18–23.

mwm Mawazo.c Mt. 15:18–20.

mwm Lugha chafu.

Page 208: KITABU CHA MORMONI

191 Mosia 5:1–8

kwa imani katika mambo yalemmesikia kuhusu kuja kwaBwana, hadi mwisho wa mai-sha yenu, lazima mtaangamia.Na sasa, Ee mwanadamu, ku-mbuka, na usiangamie.

MLANGO WA 5

Watakatifu huwa wana na mabintiza Kristo kwa imani—Kisha wana-itwa kwa jina la Kristo — MfalmeBenyamini anawaonya wawe imarana wasiotingishika katika matendomema. Karibu mwaka wa 124 kablaya kuzaliwa kwa Kristo.

Na sasa, ikawa kwamba wakatimfalme Benyamini alipomalizakuwazungumzia watu wake,a l i tuma ujumbe miongonimwao, akitamani kujua kamawatu wake wameyaamini ma-neno ambayo alikuwa amewa-zungumzia.

2 Na wote wakalia kwa sautimoja, wakisema: Ndio, tunaa-mini maneno yote ambayo ume-tuzungumzia; na pia, tunajuauhakika na ukweli wao, kwasababu ya Roho wa BwanaMwenyezi, ambaye ameletaamabadiliko makuu ndani yetu,au mioyoni yetu, hata kwambahatuna tamaa ya kutenda bma-ovu tena, lakini kutenda memadaima.

3 Na sisi, wenyewe, pia, kwawema mkuu wa Mungu, na

madhihirisho ya Roho wake,tunayo maono makuu ya yaleyatakayokuja; na kama ingefaa,tungetoa unabii wa vitu vyote.

4 Na ni kwa imani katika vituvile ambavyo mfalme wetuametuzungumzia ambavyo vi-metuletea ufahamu huu mkuu,ambayo kwayo tunasherekeakwa shangwe kuu sana.

5 Na tunataka atuagane naMungu wetu ili tutende niayake, na tuwe watiifu kwa amrizake kwa vitu vyote atakavyo-tuamuru, katika maisha yetuyaliyosalia, kwamba tusijileteesisi wenyewe mateso byasiyona mwisho, kama vile alivyose-ma cmalaika, kwamba tusinywekutoka kile kikombe cha gha-dhabu ya Mungu.

6 Na sasa, haya ndiyo manenoambayo mfalme Benyamini ali-watakia; na kwa hivyo akawa-ambia; Mmezungumza manenoyale ambayo nilitaka; na aganoambalo mmefanya ni aganotakatifu.

7 Na sasa, kwa sababu ya aga-no lile ambalo mmefanya mtai-twa awatoto wa Kristo, wanawake, na mabinti zake; kwanitazama, siku hii bamewazaa ki-roho; kwani mnasema kwambacmioyo yenu inabadilishwakwa imani katika jina lake; kwahivyo, damewazaa na mkawaewana wake na mabinti zake.8 Na chini ya jina hili mmefa-

5 2a Alma 5:14.mwm Zaliwa naMungu, ZaliwaTena.

b Alma 19:33,.5a Mos. 18:10.

b Mos. 3:25–27.c Mos. 3:2.

7a Mos. 27:24–26;Musa 6:64–68.mwm Wana naMabinti wa Mungu.

b mwm Zaliwa.c mwm Moyo.d Mos. 15:10–11.

mwm Zaliwa naMungu, Zaliwa Tena.

e M&M 11:30.

Page 209: KITABU CHA MORMONI

Mosia 5:9–6:1 192

nywa ahuru, na bhakuna jinalingine ambalo linaweza ku-wafanya muwe huru. Hakunac jina lingine ambalo kwayohuleta wokovu; kwa hivyo,ningependa dmjivike juu yenujina la Kristo, nyote ambaommeingia katika agano na Mu-ngu kwamba mtakuwa watiifuhadi mwisho wa maisha yenu.9 Na itakuwa kwamba yeyote

atakayefanya hivi atakuwa ka-tika mkono wa kulia wa Mungu,kwani atajua jina ambalo anai-twa; kwani ataitwa kwa jina laKristo.

10 Na sasa itakuwa kwamba,yeyote asiyejitundika jina laKristo lazima aitwe kwa jinaalingine; kwa hivyo, anajikutakwenye mkono wa bkushotowa Mungu.

11 Na nataka pia mkumbuke,kwamba hili ndilo ajina ambalonilisema kwamba nitawapatiaambalo kamwe halitafutwa, ilatu kwa dhambi; kwa hivyo, ji-chungeni kwamba msiangukedhambini, kwamba jina hilolisifutwe kutoka mioyo yenu.12 Ninawaambia, nataka kwa-

mba mkumbuke akudumishajina ambalo limeandikwa mio-yoni mwenu, kwamba msipati-kane kwenye mkono wa kusho-to wa Mungu, lakini kwambamsikie na kujua sauti ambayoitawaita, na pia, lile jina ambaloatawaita.

13 Kwani ni vipi mtu aatamjuayule bwana ambaye hajamtumi-kia, na aliye mgeni kwake, nayuko mbali katika mawazo nania za moyo wake?

14 Na tena, je mtu huchukuapunda wa j i ran i yake , nakumweka? Ninawambia, La;hatakubali hata ale miongonimwa mifugo yake, lakini atam-fukuza, nakumtupilia mbali.Nawambia, itakuwa hivyo na-nyi msipojua ni kwa jina ganimtakaloitwa.

15 Kwa hivyo, nataka muweimara na msiotingishika, daimamkitenda matendo mema, iliKristo, Bwana Mungu Mwe-nyezi, awaweke amuhuri wake,ili mletwe mbinguni, ili mpo-kee wokovu usio na mwisho nauzima wa milele, kwa hekima,na uwezo, na haki na rehemaza yule baliyeumba vitu vyote,mbinguni na ardhini, ambayeni Mungu juu ya yote. Amina.

MLANGO WA 6

Mfalme Benyamini anaandikamajina ya watu na kuwateua ma-kuhani wa kuwafunza — Mosiaanatawala akiwa mfalme wa haki.Kutoka karibu mwaka wa 124 hadi121 kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

Na sasa, mfalme Benyaminialifikiria ni vyema, baada yakumaliza kuongea kwa watu

8a Rum. 6:18; Gal. 5:1;Hel. 14:30.

b Mdo. 4:10, 12;Alma 21:9.

c Mos. 26:18.d Mdo. 11:26;

Alma 46:15.

10a Alma 5:38–39.b Mt. 25:33.

11a Mos. 1:11–12.mwm Yesu Kristo—Kujichukulia Jinala Yesu Kristojuu yetu.

12a M&M 18:23–25.13a Mos. 26:24–27.15a mwm Utakaso;

Wito na Uteuzi.b Kol. 1:16;

Mos. 4:2;Alma 11:39.

Page 210: KITABU CHA MORMONI

193 Mosia 6:2–7:3

wake, kwamba aachukue majinaya wale wote ambao walikuwawameingia kwenye agano naMungu kutii amri zake.

2 Na ikawa kwamba hapaku-wa yeyote, ila tu watoto wado-go, ambao hawakuingia kwe-nye agano na kujitundika jinala Kristo.

3 Na tena, ikawa kwamba wa-kati mfalme Benyamini alipo-maliza vitu hivi vyote, na kum-tawaza mwana wake aMosiakuwa mtawala na mfalme wawatu wake, na kumpatia ma-sharti yote kuhusu ule ufalme,n a p i a b k u t e u a m a k u h a n icwafunze watu, ili wasikie nakujua amri za Mungu, na ku-wachochea ili wakumbuke kiledkiapo walichofanya, akalikizaule umati, na wakarejea, kilammoja, kulingana na jamii zao,manyumbani kwao.4 Na aMosia akaanza kutawala

badala ya baba yake. Na alianzakutawala alipokuwa na umri wamiaka thelathini, ikatimia, mia-ka mia nne, sabini na sita btanguLehi aondoke Yerusalemu.5 Na mfalme Benyamini akai-

shi miaka mitatu na kufariki.6 Na ikawa kwamba mfalme

Mosia alifuata njia za Bwana, nakufuata hukumu zake na maagi-zo yake, na kutii amri zake kati-ka vitu vyote alivyomwamuru.

7 Na mfalme Mosia akasaba-bisha watu wake kulima ardhi.Na pia yeye, mwenyewe, akali-ma ardhi, ili aasiwe mzigo kwa

watu wake, na kwamba atendekulingana na vile baba yakealivyotenda katika vitu vyote.Na hapakuwa na ubishi mio-ngoni mwa watu wake wotekwa kipindi cha miaka mitatu.

MLANGO WA 7

Amoni agundua nchi ya Lehi-Nefi,ambapo Limhi ni mfalme — Watuwa Limhi wako utumwani kwaWalamani — Limhi anaeleza his-toria yao — Nabii (Abinadi) aliku-wa amewashuhudia kwamba Kristoni Mungu na Baba wa vitu vyote—Wale ambao wanapanda uchafuwatavuna tufani, na wale wanao-mwamini Bwana watakombolewa.Karibu mwaka wa 121 kabla yakuzaliwa kwa Kristo.

Na sasa, ikawa kwamba baadaya mfalme Mosia kuwa naamani kwa kipindi cha miakamitatu, alitaka kujua kuhusuwale watu awalioenda kuishikatika nchi ya Lehi-Nefi, au ka-tika mji wa Lehi-Nefi; kwaniwatu wake hawakusikia cho-chote kutoka kwao tanguwaondoke nchi ya bZarahemla;kwa hivyo, walimchokesha kwamaswali yao.

2 Na ikawa kwamba mfalmeMosia akaruhusu vijana waokumi na sita wenye nguvu wa-ende katika nchi ya Lehi-Nefi,kupeleleza kuhusu ndugu zao.

3 Na ikawa kwamba keshoyake walianza safari yao, waki-

6 1a M&M 128:8.3a Mos. 1:10; 2:30.

b mwm Kutawaza,Kutawazwa.

c Alma 4:7.d Mos. 5:5–7.

4a mwm Mosia, Mwanawa Benyamini.

b 1 Ne. 1:4.7a 2 Kor. 11:9.

7 1a Omni 1:27–30.b Omni 1:13.

Page 211: KITABU CHA MORMONI

Mosia 7:4–15 194

wa na mmoja aliyeitwa Amoni,yeye akiwa mtu mwenye nguvuna shujaa, na uzao wa Zarahem-la; na alikuwa pia kiongozi wao.4 Na sasa, hawakujua njia

watakayosafiria huko nyikaniili wafike nchi ya Lehi-Nefi;kwa hivyo walizungukazu-nguka huko nyikani kwa sikunyingi, hata siku arubaini wali-ozunguka.5 Na walipozunguka siku aru-

baini walifika kwenye kilima,ambacho kiko kaskazini mwanchi ya aShilomu, na hapowakapiga hema zao.

6 Na Amoni akawachukuandugu zake watatu, na majinayao yalikuwa Amaleki, Helemu,na Hemu, na wakaelekea katikanchi ya aNefi.

7 Na tazama, wakakutana namfalme wa watu waliokuwakatika nchi ya Nefi, na katikanchi ya Shilomu; na wakazingi-rwa na walinzi wa mfalme, nawakakamatwa, na kufungwa,na kuwekwa gerezani.

8 Na ikawa kwamba baadaya kuwa gerezani siku mbiliwaliletwa tena mbele ya mfal-me, na mafungo yao yakafungu-liwa; na wakasimama mbele yamfalme, na walikubaliwa, kwausahihi zaidi kuamriwa, kwa-mba wajibu maswali ambayoatawauliza.

9 Na akawaambia: Tazama,mimi ni aLimhi, mwana waNuhu, ambaye alikuwa mwanawa Zenivu, ambaye alitoka nchiya Zarahemla kurithi nchi hii,ambayo ilikuwa nchi ya baba

zao, ambaye aliteuliwa kuwamfalme kwa sauti ya watu.

10 Na sasa, nataka kujua kwanini mlikuwa jasiri hata mka-karibia kuta za mji, wakatimimi, mwenyewe, nilikuwa nawalinzi wangu huko nje?

11 Na sasa, ni kwa kusudi hilinimeruhusu mhifadhiwe, iliniwaulize, au kama sio hivyoningeamuru kwamba walinziwangu wawaue. Mmeruhusiwakuongea.

12 Na sasa, wakati Amoni ali-pofahamu kwamba ameruhu-siwa kuongea, alisogea mbelena kuinama mbele ya mfalme;na akainuka na kusema: Eemfalme, ninamshukuru Munguleo kwamba bado niko hai, nanimeruhusiwa kuongea; na ni-tajaribu kuongea kwa ujasiri;

13 Kwani nina hakika kwambakama ungenijua hungeruhusukwamba nifungwe kwa hizikamba. Kwani mimi ni Amoni,na mimi ni uzao wa aZarahemla,na nimekuja kutoka nchi yaZarahemla kupeleleza kuhusundugu zetu, ambao Zenivu ali-watoa kutoka nchi hiyo.

14 Na sasa, ikawa kwambabaada ya Limhi kusikia manenoya Amoni, alikuwa na furahatele, na akasema: Sasa, najuakwa hakika kwamba nduguzangu ambao walikuwa katikanchi ya Zarahemla bado wakohai. Na sasa, nitasherehekea;na kesho nitawasababisha watuwangu washerehekee pia.

15 Kwani tazama, sisi tukoutumwani mwa Walamani, na

5a Mos. 9:6, 8, 14.6a 2 Ne. 5:8.

9a Mos. 11:1.13a Omni 1:12–15.

Page 212: KITABU CHA MORMONI

195 Mosia 7:16–22atunatozwa kodi ambayo ningumu kuvumilia. Na sasa,tazama, ndugu zetu watatuko-mboa kutoka huu utumwawetu, au kutoka mikononi mwaWalamani, na tutakuwa watu-mwa wao; kwani ni afadhalituwe watumwa wa Wanefibadala ya kulipa kodi kwamfalme wa Walamani.16 Na sasa, mfalme Limhi aka-

waamuru walinzi wake kwa-mba wasimfunge tena Amoniwala ndugu zake, lakini akawa-sababisha kuenda katika kilimakile kilichokuwa kaskazini mwaShilomu, na kuleta ndugu zakemjini, ili wale, na kunywa, nawajipumzishe kutoka uchovuwa safari yao; kwani walikuwawameteseka katika vitu vingi;walikuwa wamepata matesoya njaa, kiu, na uchovu.

17 Na sasa, ikawa kwambakesho yake mfalme Limhi aka-tuma tangazo miongoni mwawatu wake, kwamba wakusa-nyike pamoja kwenye ahekalu,ili wasikie maneno ambayoangewazungumzia.

18 Na ikawa kwamba walipo-kusanyika pamoja aliwazungu-mzia hivi, akisema: Ee nyinyi,watu wangu, inueni vichwavyenu na mfarijiwe; kwanitazameni, wakati umewadia, auhauko mbali sana, ambapohatutakuwa chini ya utawalawa maadui zetu tena, ijapokuwajitihada zetu nyingi, ambazozimekuwa za bure; lakini naa-

mini kwamba bado tunawezakupata ushindi.

19 Kwa hivyo, inueni vichwavyenu, na msherehekee, namuweke imani yenu kwa aMu-n g u , k a t i k a h u y o M u n g uambaye alikuwa ni Mungu waIbrahimu, na Isaka, na Yakobo;na pia, yule Mungu baliyewa-toa wana wa Israeli kutokanchi ya Misri, na kusababishakwamba watembee katika Ba-hari ya Shamu kwa nchi kavu,na kuwalisha cmana ili wasia-ngamie huko nyikani; na ali-watendea vitu vingi zaidi.

20 Na tena, huyo Mungu ame-watoa babu zetu akutoka nchiya Yerusalemu, na amewawekana kuwahifadhi watu wake hadisasa; na tazameni, ni kwa saba-bu ya maovu na machukizoyetu kwamba ametuleta utu-mwani.

21 Na nyote ni mashahidi sikuya leo, kwamba Zenivu, amba-ye alifanywa kuwa mfalme wawatu hawa, yeye akiwa mwe-nye abidii nyingi kwa kurithinchi ya babu zake, kwa hivyoalidaganyika kwa ujanja nahila za mfalme Lamani, ambayebaada ya kuingia katika mkata-ba na mfalme Zenivu, na baadaya kumpatia sehemu ya ilenchi, au hata mji wa Lehi-Nefi,na mji wa Shilomu; na ardhiiliyoizingira —

22 Na alitenda haya yote, kwakusudi moja, la akuwatia hawawatu chini au utumwani. Na

15a Mos. 19:15.17a 2 Ne. 5:16.19a Kut. 3:6;

1 Ne. 19:10.

b Kut. 12:40–41;Alma 36:28.

c Kut. 16:15, 35;Hes. 11:7–8;

Yos. 5:12.20a 1 Ne. 2:1–4.21a Mos. 9:1–3.22a Mos. 10:18.

Page 213: KITABU CHA MORMONI

Mosia 7:23–32 196

tazameni, sasa sisi tunalipaushuru kwa mfalme wa Wala-mani, ambayo ni nusu ya mahi-ndi yetu, na shayiri yetu, nahata kila aina ya nafaka yetu,na nusu ya mazao ya mifugo nawanyama wetu; na hata nusuya chochote ambacho tunachomfalme wa Walamani hutudai,au maisha yetu.23 Na sasa, si hii ni vigumu

kuvumiliwa? Na je, si hayamaumivu yetu, ni makuu?Tazameni sasa, jinsi gani tunasababu kuu ya kuomboleza.

24 Ndio, nawaambia, sababuza kuomboleza kwetu ni kuu;kwani tazameni, ni ndugu zetuwangapi wameuawa, na damuyao kumwagwa bure, na yotekwa sababu ya dhambi.

25 Kwani kama watu hawa ha-wangeanguka dhambini Bwanahangeruhusu kwamba ovu hilikubwa liwashukie. Lakini ta-zameni, hawakusikiza manenoyake; lakini mabishano yalito-kea miongoni mwao, hatakwamba wakamwaga damumiongoni mwao.

26 Na wamemuua anabii waBwana; ndio, mtu aliyeteuliwana Mungu, ambaye aliwaelezeakuhusu uovu wao na machuki-zo yao, na kutoa unabii wa vituvingi vitakavyokuja, ndio, hatakuja kwa Kristo.27 Na kwa sababu aliwaambia

kwamba Kristo ndiye aMungu,Baba wa vitu vyote, na kusema

kwamba atajichukulia bmfanowa mwanadamu, na utakuwani ule mfano ambao mwanada-mu alikuwa ameumbwa naotangu mwanzo; au kwa mane-no mengine, alisema kwambamwanadamu aliumbwa kwamfano wa cMungu, na kwambaMungu atashuka chini mio-ngoni mwa watoto wa watu,na atachukua juu yake mwilina damu, na aende usoni mwadunia —

2 8 N a s a s a , k w a s a b a b ualisema hivi, walimuua; nawalifanya vitu vingi ambavyoviliwashushia ghadhabu yaMungu. Kwa hivyo, ni nanianayeshangaa kwamba wakoutumwani, na kwamba wame-pigwa kwa mateso makali?

29 Kwani tazameni, Bwanaamesema: Mimi asitawafarijiwatu wangu katika siku ile yadhambi zao; lakini mimi nitazu-ia njia zao kwamba wasifaniki-we; na matendo yao yatakuwani kama kizuizi mbele yao.

30 Na tena, anasema: Kamawatu wangu watapanda aucha-fu bwatavuna makapi katika tu-fani; na matokeo yake ni sumu.

31 Na tena anasema: Kamawatu wangu watapanda uchafuwatavuna upepo wa amashariki,ambao huleta maangamizo yaghafla.

32 Na sasa, tazameni, ahadi yaBwana imetimizwa, na mmepi-gwa na kusumbuliwa.

26a Mos. 17:12–20.27a mwm Mungu, Uungu.

b Mwa. 1:26–28;Eth. 3:14–17;M&M 20:17–18.

c Mos. 13:33–34; 15:1–4.29a 1 Sam. 12:15;

2 Nya. 24:20.30a mwm Chafu, Uchafu.

b Gal. 6:7–8;

M&M 6:33.mwm Mavuno.

31a Yer. 18:17;Mos. 12:6.

Page 214: KITABU CHA MORMONI

197 Mosia 7:33–8:9

33 Lakini kama amtamrudiaBwana kwa moyo wa lengomoja, na kumwamini, na kum-tumikia kwa bidii yote akilini,kama mtafanya hivi , yeyeatawaokoa, kutoka utumwani,kul ingana na nia yake namapenzi yake.

MLANGO WA 8

Amoni anawafunza watu wa Limhi—Anajulishwa kuhusu zile bambaishirini na nne za Kiyaredi — Ma-andishi ya kale yanaweza kutafsi-riwa na waonaji—Hakuna kipawakikuu kuliko uonaji. Karibu mwa-ka wa 121 kabla ya kuzaliwa kwaKristo.

Na ikawa kwamba baada yamfalme Limhi kumaliza kuwa-zungumzia watu wake, kwanialiwazungumzia vitu vingi nani vichache tu nilivyoandikakatika kitabu hiki, aliwaambiawatu wake vitu vyote kuhusundugu zao waliokuwa katikanchi ya Zarahemla.

2 Na akasababisha Amoni asi-mame mbele ya ule umati, nakuwaelezea yale yote ambayoyaliwapata ndugu zao tanguZenivu aondoke kutoka nchiile hadi ule wakati ambao yeyemwenyewe aliondoka kutokanchi ile.

3 Na pia akakariri yale mane-no ya mwisho ambayo mfalmeBenyamini aliwafunza, na aka-yafafanua kwa watu wa mfalmeLimhi, ili wafahamu yale mane-no yote ambayo alizungumza.

4 Na ikawa kwamba baada yakufanya haya yote, kwambamfalme Limhi alilikiza uleumati, na kusababisha kilammoja arudi nyumbani kwake.

5 Na ikawa kwamba alisaba-bisha zile bamba ambazo zili-kuwa na amaandishi ya watuwake tangu watoke nchi yaZarahemla, ziletwe mbele yaAmoni, ili azisome.

6 Sasa, baada ya Amoni kuso-ma yale maandishi, mfalme ali-muuliza kama anajua kutafsirilugha, na Amoni akamwambiakwamba hangeweza.

7 Na mfalme akamwambia:Nikiwa nimehuzunishwa namasumbuko ya watu wangu,nilisababisha watu wangu aru-baini na watatu wasafiri nyika-ni, ili pengine waweze kuipatanchi ya Zarahemla, ili tuwao-mbe ndugu zetu watukomboekutoka utumwani.

8 Na walipotea huko nyikanikwa muda wa siku nyingi,lakini bado walikuwa na bidii,na hawakuipata ile nchi yaZarahemla lakini walirejea ka-tika nchi hii, baada ya kusafirikatika nchi iliyo miongonimwa maji mengi, wakiwa wa-megundua nchi iliyojaa mifupaya wanadamu, na ya wanyama,na pia ilijaa mabaki ya majengoya kila aina, wakiwa wamegu-ndua nchi iliyomilikiwa nawatu waliokuwa wengi kamaWaisraeli.

9 Na ili kuthibitisha kwambavitu walivyosema ni vya kweliwameleta bamba aishirini na

33a Morm. 9:6. 8 5a Mos. 9–22. 9a Eth. 1:1–2.

Page 215: KITABU CHA MORMONI

Mosia 8:10–19 198

nne ambazo zimejaa michoro,na ni za dhahabu kamili.10 Na tazama, pia, wameleta

adirii, ambazo ni kubwa, na niza bshaba na shaba nyekundu,na zingali nzuri.

11 Na tena, wameleta panga,ambazo pini zake zimeharibika,na ndimi zake kupata kutu; nahakuna yeyote nchini anaye-weza kutafsiri ile lugha aumichoro iliyo kwenye bamba.Kwa hivyo nilikuuliza: Je una-weza kutafsiri?

12 Nakuambia tena: Je, unajuayeyote anayeweza kutafsiri?Kwani natamani kwamba hayamaandishi yatafsiriwe katikalugha yetu; kwani, pengine,yatatupatia ufahamu wa sazola wale watu walioangamizwa,kule haya maandishi yalikoto-kea; au, pengine, yatatupatiaufahamu wa hawa watu ambaowameangamizwa; na natamanikujua sababu ya kuangamizwakwao.

13 Sasa Amoni akamwambia:Naweza kukuambia kwa uha-kika hivi, Ee mfalme, kuna mtuambaye anaweza akutafsirihaya maandishi; kwani kunakitu ambacho anaweza kutaza-ma, na kutafsiri maandishiyote ya kale; na ni kipawakutoka kwa Mungu. Na hivyovitu vinaitwa bvitafsiri, na ha-kuna mtu yeyote anayewezakutazama ndani yake bi lakuamriwa, la sivyo ataona yaleasiyostahili na aangamie. Nayeyote anayeamrishwa kutaza-

ma ndani yake, huyo anaitwacmwonaji.14 Na tazama, mfalme wa

watu walio katika nchi ya Zara-hemla ndiye yule mtu ambayeameamriwa kufanya vitu hivi,na aliye na kipawa hiki cha juukutoka kwa Mungu.

15 Na mfalme akasema kwa-mba mwonaji ni mkuu zaidi yanabii.

16 Na Amoni akasema kwa-mba mwonaji ni mfunuzi nanabii pia; na hakuna kipawakingine kikuu ambacho mwa-nadamu anaweza kupata, ilakuwa na uwezo wa Mungu,na hakuna yeyote anayeweza;walakini mwanadamu anawezakupokea uwezo mkuu kutokakwa Mungu.

17 Lakini mwonaji anawezakujua vitu vilivyopita, na piavitu vitakavyokuja, na kupitiakwao vitu vyote vitafunuliwa,kwa usahihi zaidi, vitu vya sirivitadhihirishwa, na vitu vilivyo-fichwa kuletwa katika nuru,na vitu visivyojulikana vitaju-lishwa na kwao, na pia vituambavyo havingejulikana vita-julishwa na wao.

18 Kwa hivyo Mungu ametoanjia ili mwanadamu, kwa imani,aweze kutenda miujiza mikuu;kwa hivyo anafaidi zaidi bina-damu wenzake.

19 Na sasa, wakati Amoni ali-pomaliza kuzungumza manenohaya mfalme alifurahia sana,na akamshukuru Mungu, aki-sema: Bila shaka kuna siri akuu

10a Eth. 15:15.b Eth. 10:23.

13a Mos. 28:10–17.

b mwm Urimu naThumimu.

c mwm Mwonaji.

19a Eth. 3:21–28; 4:4–5.

Page 216: KITABU CHA MORMONI

199 Mosia 8:20–9:4

iliyo katika hizi bamba, na hivivitafsiri bila shaka vilitayari-shwa kwa madhumani ya ku-funua siri zote za aina hii kwawatoto wa watu.20 Jinsi gani kazi za Bwana

zilivyo za kushangaza, na nikwa muda gani mrefu ambaoanawasubiri watu wake; ndio,na jinsi gani watoto wa watuwalivyopofuka na hawawezikupenyeka katika fahamu zao;kwani hawatatafuta hekima,wala hawataki kwamba awata-wale.

21 Ndio, wako kama mifugowenye kichaa wanaomtorokamchungaji, na kutawanyika, nakupotea, na kuliwa na wanya-ma wa mwituni.

Maandishi ya Zenivu — His-toria ya watu wake, tangu wao-ndoke nchi ya Zarahemla hadiule wakati waliokombolewa ku-toka mikononi mwa Walamani.

Yenye milango ya 9hadi 22 yote pamoja.

MLANGO WA 9

Zenivu aongoza kikundi kutokanchi ya Zarahemla ili wamilikinchi ya Lehi-Nefi — Mfalme waWalamani anawakubalia kurithinchi—Kuna vita kati ya Walamanina watu wa Zenivu. Karibu mwakawa 200 hadi 187 kabla ya kuzaliwakwa Kristo.

Mimi, Zenivu, nikiwa nimefu-nzwa kwa lugha yote ya Wanefi,

na nikiwa ninajua anchi ya Nefi,au nchi ya kwanza ya urithi wababa zetu, na nikiwa nimetu-mwa kama mpelelezi miongo-ni mwa Walamani kwambanipeleleze jeshi lao, ili jeshi letuliwashambulie na kuwaanga-miza — lakini nilipoona yaleyaliyokuwa mazuri miongonimwao sikutaka waangamizwe.

2 Kwa hivyo, nikabishana nandugu zangu nyikani, kwaninilitaka mtawala wetu afanyemkataba nao; lakini yeye akiwamwenye ukali na mtu aliyepe-nda kumwaga damu aliamurukwamba niuawe; lakini nilio-kolewa kwa umwagaji wa damunyingi; kwani kulikuwa na vitakati ya baba kwa baba, na kakakwa kaka, hadi sehemu kubwaya jeshi letu likaangamizwahuko nyikani; na tukarejea,wale kati yetu waliopona, kati-ka nchi ya Zarahemla, kuelezeawatoto wao na mabibi zaokuhusu ule mkasa.

3 Na bado, mimi nikiwa nauharara mkuu wa kurithi nchiya baba zetu, niliwakusanyawengi waliotaka kuenda nakuimiliki ile nchi, na tukaanzatena safari yetu ya nyikani kue-lekea ile nchi; lakini tulipatwana njaa na mateso makali; kwa-ni hatukumkumbuka BwanaMungu wetu.

4 Walakini, baada ya kuzu-nguka huko nyikani siku nyingitulipiga hema zetu mahali palendugu zetu walipouawa, amba-po palikuwa ni karibu na nchiya babu zetu.

9 1a 2 Ne. 5:5–8; Omni 1:12.

Page 217: KITABU CHA MORMONI

Mosia 9:5–17 200

5 Na ikawa kwamba niliendatena mjini na watu wangu wa-nne, kwa mfalme, ili nijue haliya yule mfalme, na ili nijuekama nitakubaliwa kuingianchi ile pamoja na watu wanguna kuimiliki kwa amani.

6 Na nikamwendea mfalme,na akaagana na mimi kwambaniimiliki nchi ya Lehi-Nefi, nanchi ya Shilomu.

7 Na pia akaamuru kwambawatu wake waondoke kutokanchi ile, na mimi na watuwangu tukaingia nchi ile ilituimiliki.

8 Na tukaanza kujenga maje-ngo, na kurekebisha kuta zamji, ndio, hata kuta za mji waLehi-Nefi, na mji wa Shilomu.

9 Na tukaanza kulima ile ardhi,ndio, kwa kila aina ya mbegu,kwa mbegu za mahindi, nangano, na shayiri, na nizi, nasheumu, na mbegu za matundaya aina zote; na tukaanza kuo-ngezeka na kufanikiwa katikanchi ile.

10 Sasa ilikuwa ni ujanja nawerevu wa mfalme Lamani,akuwatia watu wangu utumwa-ni, ndipo akaacha nchi ile ilituimiliki.11 Kwa hivyo ikawa kwamba,

baada ya sisi kuishi katika nchiile kwa kipindi cha miaka kumina miwili kwamba mfalmeLamani alianza kuwa na wasi-wasi, kwamba watu wanguwatakuwa wenye nguvu nyi-ngi katika nchi ile, na kwambahawangeweza kuwalemea nakuwatia utumwani.

12 Sasa walikuwa watu wavivuna wenye kuabudu asanamu;kwa hivyo walitamani kutuwe-ka utumwani, ili wajikinaishena jasho la mikono yetu; ndio,ili wafanye karamu kwa mifugoya mashamba yetu.

13 Kwa hivyo ikawa kwambamfalme Lamani alianza kuwa-chochea watu wake kwambawabishane na watu wangu; kwahivyo kulianza kuwa na vita namabishano katika nchi ile.

14 Kwani, katika mwaka wakumi na tatu wa utawala wangukatika nchi ya Nefi, mbali kusinimwa nchi ya Shilomu, wakatiwatu wangu walipokuwa wa-nalisha na kunywesha mifugoyao, na kulima mashamba yao,kikundi kikubwa cha Walamanikiliwashukia na kuanza kuwa-ua, na kuchukua mifugo yao,na nafaka ya mashamba yao.

15 Ndio, na ikawa kwambawale wote ambao hawakupa-twa, walitoroka, hadi mji waNefi, na wakaniomba ulinzi.

16 Na ikawa kwamba niliwapasilaha kama vile pinde, misha-le, panga, na visu, na rungu, nakombeo, na kila aina ya silahaambayo tungevumbua, na mimina watu wangu tukaenda kupi-gana na Walamani.

17 Ndio, kwa nguvu za Bwanatulienda kupigana na Walama-ni; kwani mimi na watu wangutulimlilia Bwana kwa nguvu iliatukomboe kutoka mikononimwa maadui zetu, kwani tuli-kumbushwa kuhusu ukomboziwa babu zetu.

10a Mos. 7:21–22.12a Eno. 1:20.

mwm Kuabudusanamu.

Page 218: KITABU CHA MORMONI

201 Mosia 9:18–10:8

18 Na Mungu aalisikia viliovyetu na akajibu sala zetu; natukaendelea kwa nguvu zake;ndio, tuliwashambulia Walama-ni, na kwa mchana mmoja nausiku tuliwaua elfu tatu, aru-baini na tatu; tuliwaua hadi tu-kawafukuza kutoka nchi yetu.19 Na mimi, mwenyewe, kwa

mikono yangu, nilisaidia kuzi-ka wafu wao. Na tazama, kwahoi yetu kuu na maombolezo,ndugu zetu mia mbili sabini natisa waliuawa.

MLANGO WA 10

Mfalme Lamani anafariki — Watuwake wanakuwa wakaidi na wako-rofi na kuamini mila za uwongo —Zenivu na watu wake wanawa-lemea. Karibu mwaka wa 187hadi 160 kabla ya kuzaliwa kwaKristo.

Na ikawa kwamba tulianza tenakuimarisha ufalme na kumilikinchi ile kwa amani. Na nilisa-babisha kwamba silaha za kilaaina zitengenezwe, ili niwe nasilaha kwa watu wangu wakatiWalamani wangetushambulia.

2 Na nikaweka walinzi waizi-ngire ile nchi, ili Walamaniwasituvamie tena kwa ghaflana kutuangamiza; na hivyondivyo nilivyowalinda watuwangu na mifugo yangu, nakuwachunga wasianguke mi-kononi mwa maadui wetu.

3 Na ikawa kwamba tulirithinchi ya baba zetu kwa miaka

mingi, ndio, kwa kipindi chamiaka ishirini na miwili.

4 Na nikasababisha kwambawanaume walime ardhi, nakupanda kila aina ya anafakana matunda ya kila aina.

5 Na nikasababisha kwambawanawake wasokote, na kuji-tahidi, na kufanya kazi, na ku-shona kila aina ya kitani bora,ndio, na anguo za kila aina, ilituvishe uchi wetu; na hivyotulifanikiwa nchini — na hivyotukaendelea kupata amaninchini kwa kipindi cha miakaishirini na miwili.

6 Na ikawa kwamba mfalmeaLamani alifariki, na mwanawake akaanza kutawala badalayake. Na akaanza kuwachocheawatu wake ili wazushe uasidhidi ya watu wangu; kwahivyo wakaanza kujitayarishakwa vita, na kuja kuwasha-mbulia watu wangu.

7 Lakini niliwatuma wapele-lezi wangu karibu na nchi yaaShemloni, ili nigundue mipa-ngo yao, na kwamba nijikingena wao, ili wasiwashambuliewatu wangu, na kuwaangamiza.

8 Na ikawa kwamba walikujan a k u f i k a k a s k a z i n i m w anchi ya Shilomu, na umati waomkubwa, wanaume wakiwaawamebeba bpinde, na mishale,na panga, na sime, na mawe,na kombeo; na vichwa vyao vi-likuwa vimenyolewa kwambawalikuwa uchi; na walikuwawamejifunga mishipi ya ngoziviunoni mwao.

18a Mos. 29:20.10 4a Mos. 9:9.

5a Alma 1:29.

6a Mos. 9:10–11; 24:3.7a Mos. 11:12.8a Yar. 1:8.

b Alma 3:4–5.

Page 219: KITABU CHA MORMONI

Mosia 10:9–18 202

9 Na ikawa kwamba nilisaba-bisha kwamba wake na watotowa watu wangu wafichwenyikani; na pia nikasababishakwamba wanaume wangu wotewazee ambao wangeweza kube-ba silaha, na pia vijana wanguwote ambao wangeweza kube-ba silaha, wakusanyike pamojaili wapigane na Walamani; nanikawapanga kwa mistari, kilamtu kulingana na umri wake.

10 Na ikawa kwamba tuliendakupigana dhidi ya Walamani;na mimi, hata mimi, katikauzee wangu, nilienda kupiganadhidi ya Walamani. Na ikawakwamba tulienda kwa anguvuza Bwana kupigana.

11 Sasa, Walamani hawakujualolote kuhusu Bwana, walanguvu za Bwana, kwa hivyowalitegemea nguvu zao we-nyewe. Lakini walikuwa watuwenye nguvu, kulingana nanguvu za wanadamu.

12 Walikuwa awakaidi, na wa-korofi, na watu wapendao ku-mwaga damu, wakiamini bmilaya baba zao, ambayo ndiyohii — Kuamini kwamba walifu-kuzwa kutoka nchi ya Yerusa-lemu kwa sababu ya maovu yababa zao, na kwamba waliko-sewa huko nyikani na nduguzao, na kwamba pia walikosewawalipokuwa wakivuka bahari;

13 Na tena, kwamba waliko-sewa walipokuwa katika nchiya urithi wao wa akwanza, baa-da ya kuvuka bahari, na haya

yote ni kwa sababu Nefi aliku-wa mwaminifu katika kutiiamri za Bwana — kwa hivyo,balipendelewa na Bwana, kwaniBwana alisikia sale zake na ku-zijibu, na aliwaongoza kwenyesafari yao huko nyikani.

14 Na kaka zake walimkasi-rikia kwa sababu ahawakufa-hamu njia za Bwana; na piabwalimkasirikia huko majinikwa sababu walishupaza mioyoyao dhidi ya Bwana.

15 Na tena, walimkasirikiawalipowasili katika nchi yaahadi, kwa sababu walisemakwamba aliondoa autawala wawatu mikononi mwao; na wa-kajaribu kumuua.

16 Na tena, walimkasirikiakwa sababu alikimbilia nyikanikama vile Bwana alivyokuwaamemwamuru, na akachukuaamaandishi yale yaliyokuwayamechorwa kwenye bamba zashaba, kwani walisema kwambabaliwaibia.

17 Kwa hivyo wamewafunzawana wao kwamba wawachu-kie, na kwamba wawaue, nakwamba wawaibie na kuwapo-ra, na kutenda yale yote wali-yoweza ili wawaangamize; kwahivyo wana chuki ya milelekwa wana wa Nefi.

18 Ni kwa sababu hii mfalmeLamani, kwa ujanja wake,na werevu wake, na ahadizake nzuri, alinidanganya, hatakwamba nikawaleta watu hawawangu katika nchi hii, ili wa-

10a mwm Tegemea.12a Alma 17:14.

b 2 Ne. 5:1–3.13a 1 Ne. 18:23.

b 1 Ne. 17:35.14a 1 Ne. 15:7–11.

b 1 Ne. 18:10–11.15a 2 Ne. 5:3.

16a 2 Ne. 5:12.b Alma 20:10, 13.

Page 220: KITABU CHA MORMONI

203 Mosia 10:19–11:6

waangamize; ndio, na tumepa-ta mateso miaka nyingi katikanchi hii.19 Na sasa mimi, Zenivu,

baada ya kuvisema vitu hivivyote kwa watu wangu kuhu-su Walamani, niliwacheche-mua waende vitani kwa nguvuzao, wakimwamini Bwana;kwa hivyo, tulipigana nao, anakwa ana.

20 Na ikawa kwamba tuliwa-fukuza tena kutoka nchi yetu;na tuliwauwa wengi, hata kwa-mba hatukuweza kuwahesabu.

21 Na ikawa kwamba tulirejeatena kwenye nchi yetu, nawatu wangu wakaanza tenakufuga mifugo yao, na kulimamashamba yao.

22 Na sasa mimi, nikiwa mzee,niliutawaza ufalme wangu juuya mwana wangu mmoja; kwahivyo, sisemi mengine. NaBwana awabariki watu wangu.Amina.

MLANGO WA 11

Mfalme Nuhu anatawala kwa uovu— Anajifurahisha kwa maisha yaulevi pamoja na wake zake namakahaba — Abinadi atoa unabiikwamba hao watu watapelekwautumwani — Mfalme Nuhu ana-taka kumuua. Karibu mwaka wa160 hadi 150 kabla ya kuzaliwakwa Kristo.

Na sasa ikawa kwamba Zenivualiutawaza ufalme juu ya Nuhu,

mmoja wa wana wake; kwahivyo Nuhu akaanza kutawalabadala yake; na hakutembeakatika njia za baba yake.

2 Kwani tazama, hakutii amriza Mungu, walakini alifuatatamaa za moyo wake. Na aliku-wa na wake wengi na amakaha-ba. Na balisababisha watu wakekutenda dhambi, na kutendayale ambayo yalikuwa yanam-chukiza Bwana. Ndio, na wali-fanya cukahaba na kila aina yauovu.

3 Na aliwatoza kodi fungu latano kwa chochote walichoku-wa nacho, fungu la tano kwadhahabu yao na kwa fedhayao, na fungu la tano la azifuyao, na shaba nyekundu yao, nashaba nyeupe yao, na chumayao; na fungu la tano la mifugoyao; na pia fungu la tano lanafaka yao yote.

4 Na alitenda haya yote iliajisaidie mwenyewe, na wakezake na makahaba wake; na ma-kuhani wake, na wake zao namasuria wao; na hivyo alibadi-lisha mipango ya ule ufalme.

5 Kwani aliwateremsha ma-kuhani wote ambao walikuwawameteuliwa na baba yake, nakuteua wengine wapya mahalipao, na wao walikuwa wameji-inua kwa kiburi cha mioyo yao.

6 Ndio, na hivi ndivyo walisa-idiwa katika uvivu wao, naukafiri wao, na ukahaba wao,kwa zile kodi ambazo mfalmeNuhu aliwatoza watu wake;

11 2a Yak. (KM) 3:5.b 1 Fal. 14:15–16;

Mos. 29:31.c 2 Ne. 28:15.

3a ebr manenoyanayohusiana:kivumishi,“inayong’aa”; kitenzi,

“kuzungushia aukupakaa madini yachuma.”

Page 221: KITABU CHA MORMONI

Mosia 11:7–17 204

kwa hivyo watu walijichoshazaidi kusaidia uovu.7 Ndio, na pia wakawa wana-

abudu masanamu, kwa sababuwalidanganywa na maneno yabure na ya ubembelezaji yamfalme na makuhani; kwaniwaliwazungumzia vitu vyaubembelezaji.

8 Na ikawa kwamba mfalmeNuhu alijenga mijengo mingimizuri na mikubwa; na akaire-mbesha kwa vitu vizuri vyambao, na kila aina ya vitu vye-nye thamani, vya dhahabu, navya fedha, na vya chuma, navya shaba, na vya zifu, na vyashaba nyekundu;

9 Na pia aliji jengea ikulukubwa, na hapo katikati kiti chaenzi, ambayo yote yalikuwa yambao bora na kurembeshwakwa dhahabu na fedha na vituvyenye thamani.

10 Na pia akawaamuru mafu-ndi wake warembeshe kuta zahekalu, kwa mbao nzuri, shabanyekundu, na shaba.

11 Na viti ambavyo vilikuwavimewekewa wale makuhaniwakuu, ambavyo vilikuwa juuya viti vingine vyote, alivire-mbesha kwa dhahabu kamili;na akasababisha vijengewe uambele yao, ili wapumzishemiili yao na mikono yao wana-powazungumzia watu wakemaneno ya uwongo na yasiyona busara.

12 Na ikawa kwamba alijengamnara karibu na hekalu; ndio,amnara mrefu sana, hata mrefusana kwamba angesimama juu

yake na kuona nchi ya Shilomu,na pia nchi ya Shemloni, amba-yo ilikuwa imemilikiwa naWalamani; na hata angeonanchi yote ambayo ilikuwa ime-wazingira.

13 Na ikawa kwamba alisaba-bisha mijengo mingi ijengwekatika nchi ya Shilomu; naakasababisha mnara mkubwaujengwe katika kilima kilicho-kuwa kaskazini mwa nchi yaShilomu, ambayo ilikuwa nikimbilio kwa watoto wa Nefiwalipotoroka kutoka nchi ile;na haya alitenda kwa utajirialioupata kwa kuwatoza watuwake kodi.

14 Na ikawa kwamba aliutiamoyo wake katika utajiri wake,na aliutumia wakati wake kati-ka maisha ya anasa na wakezake na masuria wake; na piamakuhani wake waliutumiawakati wao kwa makahaba.

15 Na ikawa kwamba alipa-nda mizabibu kote nchinimle; na akajenga vishinikizo, nakutegeneza divai kwa wingi;na kwa hivyo akawa amlevi, napia watu wake.

16 Na ikawa kwamba Wala-mani walianza kuwashambuliawatu wake, kwa vikundi vido-go, na kuwaua mashambanimwao, na walipokuwa wakili-sha mifugo yao.

17 Na mfalme Nuhu akatumawalinzi wake nchini kuwafu-kuza; lakini hakutuma hesabuya kutosha, na Walamani wali-washambulia na kuwaua, nakuwanyang’anya mifugo yao

12a Mos. 19:5–6. 15a mwm Neno la Hekima.

Page 222: KITABU CHA MORMONI

205 Mosia 11:18–28

kutoka nchini; na hivyo Wala-mani walianza kuwaangamiza,na kuwafanyia chuki.18 Na ikawa kwamba mfalme

Nuhu aliwatumia jeshi lake;na walisukumwa nyuma, auwaliwasukuma nyuma kwamuda; kwa hivyo, walirejeawakifurahia mateka wao.

19 Na sasa, kwa sababu yaushindi huu mkuu walijiinuasana kwa kiburi cha mioyo yao;awalijivunia nguvu zao, waki-sema kwamba kikosi chaocha wanajeshi hamsini kiliwezakupigana na wanajeshi maelfuya Walamani; na hivyo ndivyowalijivuna, na kufurahia damu,na umwagaji wa damu ya ndu-gu zao, na hii kwa sababu yauovu wa mfalme wao na maku-hani wao.20 Na ikawa kwamba kuliku-

wa na mtu miongoni mwaoaliyeitwa aAbinadi; na aliendamiongoni mwao, na akaanzakutoa unabii, akisema: Tazama,asema Bwana hivi, na amenia-muru hivi, akisema, Nenda,na uwaambie watu hawa, hiviasema Bwana — Ole kwa watuhawa, kwani nimeona machu-kizo yao, na maovu yao, naukahaba wao; na wasipotubunitawatembelea kwa ghadhabuyangu.

21 Na wasipotubu na kumrejeaBwana Mungu wao, tazama,nitawakabidhi mikononi mwamaadui wao; ndio, na wata-wekwa autumwani; na wata-

nyanyaswa kwa mkono wamaadui wao.

22 Na itakuwa kwamba wata-jua kuwa mimi ni Bwana Mu-ngu wao, na mimi ni Mungumwenye ahamasa, na huadhibumaovu ya watu wangu.

23 Na itakuwa kwamba hawawatu wasipotubu na kumrejeaBwana Mungu wao, watawe-kwa utumwani; na hakunayeyote atakayewakomboa, ilatu Bwana Mwenyezi Mungu.

24 Ndio, na itakuwa kwambawatakaponililia, anitakawia ku-sikia vilio vyao; ndio, na nitaru-husu maadui wao wawapige.

25 Na wasipotubu kwa guniana majivu, na wamlilie kwanguvu Bwana Mungu wao, asi-tasikia sala zao, wala sitawako-mboa kutoka kwa masumbukoyao; na hivi ndivyo asemaBwana, na ameniamuru hivyo.

26 Na ikawa kwamba wa-kati Abinadi alipowazungumziamaneno haya walimkasirikia,na walitaka kumtoa uhai wake;lakini Bwana alimkomboa ku-toka mikono yao.

27 Sasa wakati mfalme Nuhualiposikia maneno ambayoAbinadi aliwazungumzia watuwale, na yeye pia alikasirika;na akauliza: Je, Abinadi ni nani,kwamba ahukumu watu wanguna mimi, au Bwana ni anani,hata kwamba ateremshie watuwangu mateso makuu hivi?

28 Nawaamuru kwamba mm-lete Abinadi hapa, ili nimuue,

19a M&M 3:4.mwm Kiburi.

20a mwm Abinadi.21a Mos. 12:2; 20:21;

21:13–15; 23:21–23.22a Kut. 20:5;

Kum. 6:15;Mos. 13:13.

24a Mik. 3:4; Mos. 21:15.25a Isa. 1:15; 59:2.27a Kut. 5:2;

Mos. 12:13.

Page 223: KITABU CHA MORMONI

Mosia 11:29–12:7 206

kwani amesema vitu hivi iliawachochee watu wangu wa-kasirikiane mmoja kwa mwi-ngine, na kuzusha mabishanomiongoni mwa watu wangu;kwa hivyo nitamuua.29 Sasa macho ya watu yali-

kuwa ayamepofuka; kwa hivyobwalishupaza mioyo yao dhidiya maneno ya Abinadi, natangu wakati huo walijaribukumkamata. Na mfalme Nuhualishupaza moyo wake dhidiya neno la Bwana, na hakutubumatendo yake maovu.

MLANGO WA 12

Abinadi atiwa gerezani kwa sababuya kutoa unabii kuhusu maangami-zo ya wale watu na kifo cha MfalmeNuhu — Makuhani wa uwongowanataja maandiko na kudai kwa-mba wanatii amri za Musa —Abinadi anaanza kuwafundishaAmri Kumi. Karibu mwaka wa148 kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

Na ikawa kwamba baada yakipindi cha miaka miwili kwa-mba Abinadi alikuja miongonimwao kwa mwigo, na hawaku-mjua, na akaanza kutoa unabiimiongoni mwao, akisema:Bwana ameniamuru hivi, aki-sema — Abinadi, enda ukawa-tolee watu hawa wangu unabii,kwani wameshupaza mioyo yaodhidi ya maneno yangu; hawa-jatubu matendo yao maovu;

kwa hivyo, anitawatembeleakwa ghadhabu yangu, ndio,katika ghadhabu yangu kalinitawaadhibu kwa sababu yauovu na machukizo yao.

2 Ndio, ole kwa uzao huu!Na Bwana akaniambia: Nyoshamkono wako na utoe unabii,ukisema: Bwana asema hivi, ita-kuwa kwamba uzao huu, kwasababu ya uovu wao, watatiwaautumwani, na watapigwa bsha-vuni; ndio, na watafukuzwa nawatu, na kuuawa; na koho waangani, na mbwa, ndio, na wa-nyama wa mwituni, watakulamiili yao.

3 Na itakuwa kwamba amai-sha ya mfalme Nuhu yatakuwana thamani kama nguo iliyokatika btanuu, kwani atajuakwamba Mimi ni Bwana.

4 Na itakuwa kwamba nita-wapiga watu wangu hawa kwamapigo makali, ndio, kwa njaana atauni; na nitawasababishabwalie siku yote.

5 Ndio, na nitafanya wabebeamizigo migongoni mwao; nawataendeshwa kama pundabubu.

6 Na itakuwa kwamba nitate-remsha mvua ya mawe mio-ngoni mwao, na itawapiga; napia watapigwa na upepo waamashariki; na bwadudu wata-sumbua nchi yao pia, na kuha-ribu nafaka yao.

7 Na watapigwa kwa maradhimakuu — na nitatenda haya

29a Musa 4:4.b Alma 33:20;

Eth. 11:13.12 1a Isa. 65:6.

2a Mos. 11:21; 20:21;

21:13–15; 23:21–23.b Mos. 21:3–4.

3a Mos. 12:10.b Mos. 19:20.

4a M&M 97:26.

b Mos. 21:9–10.5a Mos. 21:3.6a Yer. 18:17;

Mos. 7:31.b Kut. 10:1–12.

Page 224: KITABU CHA MORMONI

207 Mosia 12:8–20

yote kwa sababu ya amaovuyao na machukizo yao.8 Na itakuwa kwamba wasipo-

tubu anitawaangamiza kutokauso wa dunia; walakini wataa-cha bmaandishi yao nyuma, nanitayahifadhi kwa mataifa me-ngine ambayo yataimiliki nchi;ndio, nitafanya haya ili niya-dhihirishie mataifa menginemachukizo ya watu hawa. NaAbinadi alitoa unabii wa vituvingi dhidi ya watu hawa.

9 Na ikawa kwamba walimka-sirikia; na wakamchukua nakumpeleka mbele ya mfalmeakiwa amefungwa, na waka-mwambia mfalme: Tazama,tumemleta mtu mbele yakoambaye ametoa unabii mwovukuhusu watu wako, na kusemakwamba Mungu atawaanga-miza.

10 Na pia anatoa unabii mwo-vu kuhusu maisha yako, nakusema kwamba maisha yakoyatakuwa kama nguo iliyokatika tanuu ya moto.

11 Na tena, anasema utakuwakama ubua, hata kama ubuawa shambani uliokauka, ambaounakimbiwa na wanyama nakukanyagwa kwa miguu.

12 Na tena, anasema weweutakuwa kama maua ya mwiba,ambalo, kama limeiva, na kamaupepo ukivuma, linapeperu-shwa kokote usoni mwa nchi.Na anadai kwamba Bwana ame-yasema. Na anasema kwambahaya yote yatakupata usipotu-bu, na haya ni kwa sababu yamaovu yako.

13 Na sasa, Ee mfalme, ni uovugani mkuu uliotenda, au nidhambi gani kuu ambazo watuwako wametenda, hata kwambatuhukumiwe na Mungu autuhukumiwe na mtu huyu?

14 Na sasa, Ee mfalme, taza-ma, hatuna hatia, na wewe,Ee mfalme, hujatenda dhambi;kwa hivyo, mtu huyu amesemauwongo kukuhusu, na ametoaunabii wa bure.

15 Na tazama, tuna nguvu, ha-tutatiwa utumwani, au kutekwanyara na maadui wetu; ndio,na wewe umefanikiwa nchini,na wewe pia utafanikiwa.

16 Tazama, mtu huyo ndiyehuyu hapa, tunamkabidhishamikononi mwako; unawezakufanya utakavyo naye.

17 Na ikawa kwamba mfalmeNuhu aliamuru kwamba Abina-di atiwe gerezani; na akaamurukwamba amakuhani wakusanyi-ke pamoja ili wafanye barazana yeye kuhusu kile atakacho-mtendea.

18 Na ikawa kwamba wali-mwambia mfalme: Mlete hapaili tumwulize maswali; na mfal-me akaamuru kwamba aletwembele yao.

19 Na wakaanza kumwulizamaswali, ili wamfanye ajikanu-she, ili wapate sababu ya kum-laumu; lakini akawajibu kwaujasiri, na kujibu maswali yaoyote, ndio, kwa mshangao wao;kwani aalivumilia maswali yaoyote, na kuwatunduwaza katikamaneno yao yote.

20 Na ikawa kwamba mmoja

7a M&M 3:18.8a Alma 45:9–14.

b Morm. 8:14–16.17a Mos. 11:11.

19a M&M 100:5–6.

Page 225: KITABU CHA MORMONI

Mosia 12:21–34 208

wao alimuuliza: Je, nini maanaya maneno ambayo yameandi-kwa, na ambayo yamefunzwana baba zetu, yakisema:21 aJinsi gani ilivyo vizuri juu

ya milima miguu yake aletayehabari njema; anayeleta amani;anayeleta habari njema ya ma-mbo mema; aletaye wokovu;anayeiambia Sayuni, Munguwako anatawala;22 Walinzi wako watapaza

sauti; kwa sauti moja wotewataimba; kwani wataona jichokwa jicho Bwana atakapoletatena Sayuni;

23 Shangilieni kwa shangwe;imbeni pamoja enyi mahali paukiwa pa Yerusalemu; kwaniBwana amefariji watu wake,amekomboa Yerusalemu;

24 Bwana ameuweka amkonowake mtakatifu wazi mbeleya macho ya mataifa yote, nanchi zote za ulimwengu zitau-ona wokovu wa Mungu?

25 Na sasa Abinadi akawaa-mbia: Je, nyinyi ni amakuhani,na mnadai kwamba mnafundi-sha watu hawa, na kwambamnafahamu roho ya kutoaunabii, na bado mnataka kujuakutoka kwangu maana ya vituhivi?

26 Nawaambia, ole kwenukwa sababu ya kuchafua njiaza Bwana! Kwani kama mme-fahamu vitu hivi hamjavifunza;kwa hivyo, mmechafua njia zaBwana.

27 Hamjajitolea mioyo yenu

kwa aufahamu; kwa hivyo, ha-mjakuwa wenye hekima. Kwahivyo, ni kitu gani ambachomnafunza watu hawa?

28 Na wakasema: Tunafunzasheria ya Musa.

29 Na tena akawaambia: Ikiwamnafunza asheria ya Musa kwanini hamuitii? Kwa nini mna-weka mioyo yenu kwa utajiri?Kwa nini mnatenda bukahabana kupoteza nguvu zenu namakahaba, ndio, na kufanyawatu hawa watende dhambi,kwamba Bwana ana sababu yakunituma nitoe unabii kinyumecha watu hawa, ndio, hata uovumkuu dhidi ya watu hawa?

30 Je, hamjui kwamba nazu-ngumza ukweli? Ndio, mnajuakwamba nazungumza ukweli;na inawapasa kutetemeka mbe-le ya Mungu.

31 Na itakuwa kwamba mta-pigwa kwa sababu ya maovuyenu, kwani mmesema kwambamnafunza sheria ya Musa.Na nini mnachoelewa kuhususheria ya Musa? aJe, wokovuunakuja kwa sheria ya Musa?Mnasema nini?

32 Na wakamjibu kwambawokovu unakuja kwa sheria yaMusa.

33 Lakini sasa Abinadi akawa-ambia: Najua kwamba mkitiiamri za Mungu mtaokolewa;ndio, kama mtatii amri ambazoBwana alimpatia Musa katikamlima wa aSinai, akisema:34 aMimi ndimi Bwana Mungu

21a Isa. 52:7–10;Nah. 1:15.

24a 1 Ne. 22:11.25a Mos. 11:5.

27a mwm Ufahamu.29a mwm Torati ya Musa.

b mwm Uzinzi.31a Mos. 3:15; 13:27–32;

Alma 25:16.33a Kut. 19:9, 16–20;

Mos. 13:5.34a Kut. 20:2–4.

Page 226: KITABU CHA MORMONI

209 Mosia 12:35–13:10

wako, baliyekutoa kutoka nchiya Misri, kutoka nyumba yautumwa.

35 Usiwe na Mungu amwingi-ne mbele yangu.36 Usijifanyie sanamu ya ku-

chonga, au mfano wa chochotekilicho juu mbinguni, au vituvilivyo chini ulimwenguni.

37 Sasa Abinadi akawauliza,Je, mmefanya haya yote? Nawa-ambia nyinyi, La, hamjafanya.Na ammewafunza hawa watuwatende vitu hivi vyote? Nawa-ambia, La, hamjafanya hivyo.

MLANGO WA 13

Abinadi analindwa kwa nguvu ta-katifu — Anafunza Amri Kumi —Wokovu hauji kwa sheria ya Musapekee—Mungu mwenyewe atatoaupatanisho na awakomboe watuwake. Karibu mwaka wa 148 kablaya kuzaliwa kwa Kristo.

Na sasa mfalme alipoisikia ma-neno haya, aliwaambia maku-hani wake: Mwondolee huyumtu mbali, na mmuue; kwanitutafanya nini na yeye, kwaniana kichaa.

2 Na wakasimama na kumso-gelea na kujaribu kumkamata;lakini aliwazuia, na akawaa-mbia:

3 Msiniguse, kwani Munguatawapiga mkinishika, kwanisijatoa ujumbe ambao Bwanaalinituma kuutoa; wala sijawa-ambia yale ambayo amliniuliza

niwaambie; kwa hivyo, Munguhatakubali kwamba niangami-zwe sasa.

4 Lakini lazima nitimize amriambazo Mungu ameniamuru;na kwa sababu nimewaambiaukweli mnanikasirikia. Na tena,kwa sababu nimezungumzaneno la Mungu mmenihukumukuwa mimi nina kichaa.

5 Na sasa ikawa kwambabaada ya Abinadi kuzungumzamaneno haya watu wa mfalmeNuhu hawakumkamata tena,kwani Roho wa Bwana alikuwana yeye; na uso wake aulimeta-meta kwa mng’aro mkuu, hatavile uso wa Musa ulivyong’arakatika mlima wa Sinai, alipo-kuwa akizungumza na Bwana.

6 Na alizungumza kwa auwezona mamlaka kutoka kwa Mu-ngu; na akaendelea na manenoyake, akisema:

7 Mnaona kwamba hamnauwezo wa kuniua, kwa hivyonamaliza ujumbe wangu. Ndio,na ninaona kwamba ainawakeramioyoni yenu kwa sababunimewaambia ukweli kuhusumaovu yenu.

8 Ndio, na maneno yanguinawajaza na mshangao nabumbuazi, na hasira.

9 Lakini namaliza ujumbewangu; na kisha haijalishi niwapi nitakapoenda, ikiwa kamanitaokolewa.

10 Lakini nawaambia haya,yale mtakayonifanyia, baadaya haya, yatakuwa ni kama

34b Kut. 12:51;1 Ne. 17:40;Mos. 7:19.

35a Hos. 13:4.

mwm Kuabudusanamu.

37a Mos. 13:25–26.13 3a Mos. 12:20–24.

5a Kut. 34:29–35.6a mwm Uwezo.7a 1 Ne. 16:2.

Page 227: KITABU CHA MORMONI

Mosia 13:11–27 210amfano au kivuli cha vitu vita-kavyokuja.11 Na sasa nitawasomea aamri

za Mungu zilizosalia, kwaninahisi kwamba hazijaandikwamioyoni yenu; nahisi kwambammesoma na kufunza uovu kwamuda mrefu maishani mwenu.

12 Na sasa, mnakumbuka kwa-mba niliwaambia: Hamtajite-ngenezea sanamu ya kuchonga,au mfano wa vitu vyovyote vi-livyo juu mbinguni, au vilivyochini ardhini, au vilivyo majinichini ya ardhi.

13 Na tena: Hamtaviinamia,wala kuvitumikia; kwani mimiBwana Mungu wako ni Munguwa hamasa, niteremshiaye wa-toto maovu ya babu zao, kwakizazi cha tatu na cha nne kwawale wanaonichukia;

14 Na kuonyesha rehema kwamaelfu ya wale wanaonipendana kutii amri zangu.

15 Usichukue jina la BwanaMungu wako bure; kwani yuleanayeapa bure kwa jina laBwana bure atakuwa na hatia.

16 Kumbuka siku ya asabato,kuiweka takatifu.

17 Utafanya kazi kwa sikusita, na kufanya kazi yako yote.

18 Lakini siku ya saba, sabatoya Bwana Mungu wako, usifa-nye kazi yoyote, wewe, walamwana wako, wala binti wako,wala mtumishi wako wa kiume,wala mjakazi wako, wala mifu-

go yako, wala mgeni wakoanayeishi nawe;

19 Kwani kwa siku asita Bwanaaliumba mbingu na dunia, nabahari, na vyote vilivyo ndaniyake; kwa hivyo Bwana aliibari-ki siku ya sabato, na kuitakasa.

20 aHeshimu baba yako namama yako, ili maisha yakoyawe marefu katika ya nchiambayo Bwana Mungu wakoamekupatia.

21 aUsiue.22 aUsizini. bUsiibe.23 Usitoe ushahidi wa auwo-

ngo dhidi ya jirani yako.24 aUsitamani nyumba ya jirani

yako, usitamani mke wa jiraniyako, wala mfanyi kazi wake,wala mjakazi wake, wala dumewake, wala punda wake, walachochote cha jirani yako.

25 Na ikawa kwamba baadaya Abinadi kumaliza kusemahaya maneno kwamba akawaa-mbia: Mmewafunza watu hawakutii vitu hivi vyote ili watiihizi amri?

26 Nawaambia, La; kwanikama mngekuwa mmefanyahivyo, Bwana hangenisababishanije na nitoe unabii wa uovukuhusu watu hawa.

27 Na sasa mmesema kwambawokovu huja kwa asheria yaMusa. Nawaambia kwamba nimuhimu mtii sheria ya Musasasa; lakini nawaambia, kwambawakati utafika ambapo bhaita-

10a Mos. 17:13–19;Alma 25:10.

11a Kut. 20:1–17.16a mwm Siku ya Sabato.19a Mwa. 1:31.20a Mk. 7:10.

21a Mt. 5:21–22;M&M 42:18.mwm Mauaji.

22a mwm Uzinzi.b mwm Iba, Wizi.

23a Mit. 24:28.

mwm Kusemauongo.

24a mwm Tamani.27a mwm Torati ya

Musa.b 3 Ne. 9:19–20; 15:4–5.

Page 228: KITABU CHA MORMONI

211 Mosia 13:28–14:2

kuwa muhimu kutii sheria yaMusa.28 Na juu ya hayo, nawaambia,

kwamba awokovu hauji kwabsheria pekee; na kama sio kwasababu ya cupatanisho, ambaoMungu atautoa kwa sababu yadhambi na uovu wa watu wake,kwamba lazima waangamie,ingawa sheria ya Musa ipo.

29 Na sasa nawaambia kwa-mba ilikuwa lazima kwambawana wa Israeli wapewe she-ria, ndio, sheria iliyo angumu,kwani walikuwa watu wenyeshingo ngumu, walio na bharakaya kutenda maovu, na wavi-vu kwa kumkumbuka BwanaMungu wao;30 Kwa hivyo kulikuwa na

asheria ambayo walipewa, ndio,sheria ya sherehe na bmasharti,sheria ambayo walitakiwa cku-itii siku kwa siku, ili kuwaku-mbusha Mungu na jukumu laokwake.

31 Lakini tazama, nawaa-mbia, kwamba vitu hivi vyotevilikuwa ni amfano wa vilevitakavyokuja.32 Na sasa, je, walifahamu

sheria? Nawaambia, La, wotehawakufahamu ile sheria; nahii ni kwa sababu ya ugumuwa mioyo yao; kwani hawaku-fahamu kwamba hakuna yeyoteangeokolewa aila tu kwa uko-mbozi wa Mungu.

33 Kwani tazama, si Musaaliwatolea unabii kuhusu kujakwa Masiya, na kwamba Mu-ngu atawakomboa watu wake?Ndio, na hata manabii awoteambao wametoa unabii tangumwanzo wa ulimwengu — Je,hawajanena mengi au machachekuhusu vitu hivi?

34 Je, hawajasema kwambaaMungu mwenyewe atashukachini miongoni mwa watoto wawatu, na ajivike hali ya mwa-nadamu, na atembee usonimwa dunia kwa uwezo mkuu?

35 Ndio, na je, hawakusemapia kwamba atawezesha aufu-fuo wa wafu, na kwamba yeye,mwenyewe, atanyanyaswa nakusumbuliwa?

MLANGO WA 14

Isaya anazungumza kuhusu Ma-siya — Manyanyaso na mateso yaMasiya yanafafanuliwa — Anatoanafsi yake kama malipo ya dhambina kutetea wanaovunja sheria —Linganisha Isaya 53. Karibumwaka wa 148 kabla ya kuzaliwakwa Kristo.

Ndio, si hata Isaya anasema: Ninani ambaye ameamini ujumbewetu, na ni kwa nani mkonowa Bwana umefunuliwa?

2 Kwani atakua mbele yakekama mmea mwororo, na kama

28a Gal. 2:16.mwm Komboa,Kombolewa,Ukombozi; Wokovu.

b Gal. 2:21;Mos. 3:14–15;Alma 25:15–16.

c mwm Lipia dhambi,

Upatanisho.29a Yos. 1:7–8.

b Alma 46:8.30a Kut. 20.

b mwm Ibada.c Yak. (KM) 4:5.

31a Mos. 16:14;Alma 25:15.

mwm Uashiriaji.32a 2 Ne. 25:23–25.33a 1 Ne. 10:5;

Yak. (KM) 4:4; 7:11.34a Mos. 7:27; 15:1–3.

mwm Mungu,Uungu.

35a Isa. 26:19; 2 Ne. 2:8.

Page 229: KITABU CHA MORMONI

Mosia 14:3–15:1 212

mzizi kutoka nchi kavu; hanaumbo nzuri wala urembo; natutakapomuona hana urembowa kutuvutia.3 Amechukiwa na kukataliwa

na watu; mtu wa huzuni, naaliyezoea huzuni; na tukafichanyuso zetu kutoka kwake; ali-chukiwa, na hatukumheshimu.

4 Kwa hakika aamechukuabghamu zetu, na kubeba huzunizetu; na tulimdhania kuwa ame-pigwa, na Mungu, na kuteswa.

5 Lakini alijeruhiwa kwa ama-kosa yetu, alichubuliwa kwamaovu yetu; adhabu ya amaniyetu ilikuwa juu yake; na kwamapigo yake btunaponywa.

6 Sisi sote, kama akondoo,tumepotea; kila mmoja wetuamegeukia njia yake; na Bwanaamemwekea maovu yetu sisisote.7 Alidhulumiwa, na aliteswa,

lakini hakufungua kinywachake; ayeye analetwa kamabmwanakondoo machinjoni, nakama vile kondoo ni bubumbele ya wanaokata manyoyayake hakufungua kinywa chake.

8 Alichukuliwa kutoka gere-zani na kutoka kwenye huku-mu; na ni nani atatangaza uzaziwake? Kwani aliondolewa kuto-ka nchi ya wanaoishi; kwa ma-kosa ya watu wangu alipigwa.

9 Na kaburi lake lilikuwapamoja na waovu, na amatajiri

kifoni mwake; kwa sababuhakuwa ametenda buovu wo-wote, wala hapakuwa na uwo-ngo wowote kinywani mwake.

10 Lakini Bwana alipendezwakumchubua; amemhuzunisha;utakapotoa nafsi yake kuwadhabihu ya dhambi ataonaauzao wake, ataongeza sikuzake, na mapenzi ya Bwana ya-tafanikiwa mkononi mwake.

11 Ataona taabu ya nafsi yake,na kuridhika; kwa maarifayake mtumishi wangu mwenyehaki atawafanya wengi kuwawenye haki; kwani aatayachu-kua maovu yao.

12 Kwa hivyo nitamgawiasehemu pamoja na wakuu, naatagawanya nyara pamoja namashujaa; kwa sababu ametoaroho yake hata kufa; na akahe-sabiwa na wenye dhambi; naalibeba dhambi za wengi, naakuwatetea wenye dhambi.

MLANGO WA 15

Vile Kristo alivyo Baba na Mwana— Atawatetea na kutwika makosaya watu wake — Wao na manabiiwote watakatifu ni uzao wake —Analeta Ufufuo — Watoto wadogowana uzima wa milele. Karibumwaka wa 148 kabla ya kuzaliwakwa Kristo.

Na sasa Abinadi akawaambia:

14 4a Alma 7:11–12.b Mt. 8:17.

5a Mos. 15:9;Alma 11:40.

b 1 Pet. 2:24–25.6a Mt. 9:36;

2 Ne. 28:14;Alma 5:37.

7a Mk. 15:3.mwm Yesu Kristo.

b mwm Mwanakondoowa Mungu; Pasaka.

9a Mt. 27:57–60;Mk. 15:27, 43–46.mwm Yusufu waArimathaya.

b Yn. 19:4.10a Mos. 15:10–13.11a Law. 16:21–22;

1 Pet. 3:18;M&M 19:16–19.

12a 2 Ne. 2:9;Mos. 15:8;Moro. 7:27–28.

Page 230: KITABU CHA MORMONI

213 Mosia 15:2–11

Nataka mfahamu kwamba aMu-ngu mwenyewe atashuka mio-ngoni mwa watoto wa watu,na batawakomboa watu wake.

2 Na kwa sababu aanaishikatika mwili ataitwa Mwanawa Mungu, na akiwa amewekamwili kuwa chini ya mape-nzi ya bBaba, akiwa Baba naMwana —

3 Baba, kwa asababu balizaliwakwa nguvu za Mungu; na Mwa-na, kwa sababu ya mwili; kwahivyo akawa Baba na Mwana—

4 Na wao ni Mungu ammoja,ndio, yule yule bBaba wa cMilelewa mbingu na wa dunia.5 Na hivyo mwili ukiwa chini

ya Roho, au Mwana kwa Baba,wakiwa Mungu mmoja, aanate-swa kwa majaribio, na hakubalimajaribio, lakini anakubali afa-nyiwe mzaha, na bkupigwa, nakutupwa nje, na ckukataliwa nawatu wake.

6 Na baada ya haya yote,baada ya kutenda miujiza mingimikuu miongoni mwa watotowa watu, ataongozwa, ndio,hata akama vile Isaya alipose-ma, kama vile kondoo huwabubu mbele ya yule anayem-

nyoa, kwa hivyo bhakufunguakinywa chake.

7 Ndio, hata hivyo ataongo-zwa, aasulubiwe, na kuuawa,mwili ule ukinyenyekea hatahadi mauti, bnia ya Mwana iki-mezwa na nia ya Baba.

8 Na hivyo ndivyo Munguanavyokata akamba za kifo,baada ya bkushinda mauti;akimpa Mwana uwezo wackutetea watoto wa watu —9 Baada ya kupaa mbinguni,

na kuwa na moyo wa rehema;akiwa amejawa na upendo kwawatoto wa watu; na kusimamakati yao na haki; baada ya ku-kata kamba za kifo, na kujitwi-ka amwenyewe maovu yao namakosa yao, baada ya kuwako-mboa, na bkutosheleza madaiya haki.

10 Na sasa nawaambia, ni naniatakayetangaza kizazi chake?Tazama, nawaambia, kwambabaada ya nafsi yake kutolewakama dhabihu ya dhambi atao-na auzao wake. Na sasa mnase-ma nini? Na ni nani atakuwauzao wake?

11 Tazama nawaambia, kwa-mba yeyote ambaye amesikia

15 1a 1 Tim. 3:16;Mos. 13:33–34.mwm Yesu Kristo.

b mwm Komboa,Kombolewa,Ukombozi.

2a Mos. 3:5; 7:27;Alma 7:9–13.

b Isa. 64:8;Yn. 10:30; 14:8–10;Mos. 5:7;Alma 11:38–39;Eth. 3:14.

3a M&M 93:4.b Lk. 1:31–33;

Mos. 3:8–9;Alma 7:10;3 Ne. 1:14.

4a Kum. 6:4;Yn. 17:20–23.mwm Mungu,Uungu.

b Mos. 3:8; Hel. 14:12;3 Ne. 9:15; Eth. 4:7.

c Alma 11:39.5a Lk. 4:2; Ebr. 4:14–15.

b Yn. 19:1.c Mk. 8:31; Lk. 17:25.

6a Isa. 53:7.b Lk. 23:9; Yn. 19:9;

Mos. 14:7.7a mwm Kusulubiwa.

b Lk. 22:42; Yn. 6:38;3 Ne. 11:11.

8a Mos. 16:7;Alma 22:14.

b Hos. 13:14;1 Kor. 15:55–57.

c 2 Ne. 2:9.9a Isa. 53; Mos. 14:5–12.

b mwm Lipia dhambi,Upatanisho.

10a Isa. 53:10;Mos. 5:7; 27:25;Moro. 7:19.

Page 231: KITABU CHA MORMONI

Mosia 15:12–22 214

maneno ya amanabii, ndio, ma-nabii wote watakatifu ambaowametoa unabii kuhusu kujakwa Bwana — Nawaambia, kwa-mba wale wote ambao wamesi-kia maneno yao, na kuaminikwamba Bwana atawakomboawatu wake, na kuitazamia sikuile kwa msamaha wa dhambizao, nawaambia, kwamba hawani uzao wake, au ndiyo warithiwa bufalme wa Mungu.12 Kwani hawa ndiyo wale

dhambi zao aamebeba; hawandiyo aliwafia, kuwakomboakutoka kwa makosa yao. Nasasa, je, wao sio uzao wake?13 Ndio, je, na sio manabii,

kila mmoja aliyefungua kinywachake kutoa unabii, na hajaa-nguka kwenye makosa, nama-anisha manabii wote watakatifutangu mwanzo wa ulimwengu?Nawaambia kwamba wao niuzao wake?

14 Na hawa ndiyo awameita-ngaza amani, walioleta habarin j e m a y a m a m b o m a z u r i ,ambao wametangaza wokovu;na kuiambia Sayuni: Munguwako anatawala!15 Na Ee jinsi gani miguu yao

ilivyo mizuri juu ya milima!16 Na tena, jinsi gani ilivyo

mizuri juu ya milima miguu yawale ambao bado wanatangazaamani!

17 Na tena, jinsi gani ilivyomizuri juu ya milima miguu ya

wale watakaoitangaza amanibaadaye, ndio, kutoka wakatihuu hadi milele!

18 Na tazama, nawaambia, hiisio yote. Kwani Ee jinsi ganiilivyo rembo juu ya milimaamiguu ya yule anayeleta habarinjema, ambaye ni mwanzilishiwa bamani, ndio, hata Bwana,ambaye amewakomboa watuwake; ndio, yule ambaye ame-wapatia watu wake wokovu;

19 Kwani kama sio kwa saba-bu ya ukombozi aliowatoleawatu wake, ambao ulitayari-shwa tangu amsingi wa uli-mwengu, nawaambia, kamasio kwa sababu hii, wanadamuwote lazima bwangeangamia.20 Lakini tazama, kamba za

kifo zitakatwa, na Mwana ana-tawala, na ana nguvu juu yawafu; kwa hivyo, anawezeshaufufuo wa wafu.

21 Na kutakuja ufufuo, hataufufuo wa akwanza; ndio, hataufufuo wa wale ambao waliku-wa, na ambao wapo, na walewatakaokuwa, hadi hata ufu-fuo wa Kristo — kwani ataitwahivyo.

22 Na sasa, ufufuo wa mana-bii wote, na wale wote ambaowameamini maneno yao, auwale wote ambao wametii amriza Mungu, watakuja mbelewakati wa ufufuo wa kwanza;kwa hivyo, wao ndiyo ufufuowa kwanza.

11a M&M 84:36–38.b mwm Ufalme wa

Mungu au Ufalmewa Mbinguni;Wokovu.

12a Mos. 14:12;Alma 7:13; 11:40–41.

14a Isa. 52:7;Rum. 10:15;1 Ne. 13:37;Mos. 12:21–24.mwm Kazi yakimisionari.

18a 3 Ne. 20:40;

M&M 128:19.b Yn. 16:33.

mwm Amani.19a Mos. 4:6.

b 2 Ne. 9:6–13.21a Alma 40:16–21.

Page 232: KITABU CHA MORMONI

215 Mosia 15:23–16:1

23 Wanainuliwa ili awaishi naMungu ambaye amewakomboa;kwa hivyo wanao uzima wamilele kupitia Kristo, ambayebamekata kamba za kifo.

24 Na hawa ndiyo wale ambaowana nafasi katika ufufuo wakwanza; na hawa ndiyo walewaliokufa mbele ya kuja kwaKristo, walipokuwa hawajui,na hawakuwa wamehubiriwaawokovu. Na hivi ndivyo Bwa-na huleta uamsho wa hawa;na wanayo nafasi katika ufufuowa kwanza, au wanao uzimawa milele, baada ya kukombo-lewa na Bwana.25 Na awatoto wachanga nao

pia wana uzima wa milele.26 Lakini tazama, na auogope,

na utetemeke mbele ya Mungu,kwani inakubidi kutetemeka;kwani Bwana hawakomboiwale bwanaomuasi na ckufakatika dhambi zao; ndio, hatawale wote ambao wameanga-mia katika dhambi zao tangumwanzo wa ulimwengu, waleambao kwa hiari yao wame-muasi Mungu, wale ambaowamezijua amri za Mungu, nahawazitii; dhawa ndiyo waleambao ehawana nafasi katikaufufuo wa kwanza.

27 Kwa hivyo haiwapasi kute-temeka? Kwani wokovu haujikwa kama hawa; kwani Bwanahajakomboa kama hawa; ndio,

wala Bwana hawezi kukomboakama hawa; kwani hawezikujikanusha; kwani hawezi ku-zuia ahaki inapohitajika.28 Na sasa nawaambia kwa-

mba wakati unafika ambapowokovu wa Bwana autatanga-zwa katika kila taifa, kabila,lugha, na watu.

29 Ndio, Bwana, awalinzi wakowatapaza sauti yao; kwa sautipamoja wataimba; kwani wata-onana ana kwa ana, wakatiBwana atakapoleta tena Sayuni.

30 Shangilieni, imbeni pamoja,enyi mahali pa ukiwa pa Yeru-salemu; kwani Bwana amewa-fariji watu wake, amekomboaYerusalemu.

31 Bwana ameuweka mkonowake wazi mbele ya machoya mataifa yote; na nchi zoteza ulimwengu zitaona wokovuwa Mungu wetu.

MLANGO WA 16

Mungu hukomboa wanadamu ku-toka hali yao ya kuanguka — Waleambao wana tamaa za kimwiliwanaishi kama kwamba hakunaukombozi—Kristo husababisha ku-timizwa ufufuo kwa maisha yamilele au laana ya milele. Karibumwaka wa 148 baada ya kuzaliwakwa Kristo.

Na sasa, ikawa kwamba baada

23a Zab. 24:3–4;1 Ne. 15:33–36;M&M 76:50–70.

b mwm Mauti, yaKimwili.

24a 2 Ne. 9:25–26;M&M 137:7.

25a M&M 29:46; 137:10.

mwm Wokovu—Wokovu wa watoto.

26a Kum. 5:29;Yak. (KM) 6:9.

b 1 Ne. 2:21–24.c Eze. 18:26;

1 Ne. 15:32–33;Moro. 10:26.

d Alma 40:19.e M&M 76:81–86.

27a Alma 34:15–16; 42:1.28a mwm Kazi ya

kimisionari.29a mwm Kesha,

Walinzi.

Page 233: KITABU CHA MORMONI

Mosia 16:2–10 216

ya Abinadi kuzungumza mane-no haya alinyosha mkono wakena kusema: Wakati utakujaambapo wote wataona awoko-vu wa Bwana; wakati kila taifa,kabila, lugha, na watu wataonaana kwa ana na bkutubu kwaMungu kwamba hukumu zakeni za haki.2 Na kisha waovu awatatupwa

nje, na watakuwa na sababu yakupiga makelele, na bkulia, nakuomboleza, na kusaga menoyao; na haya ni kwa sababuhawakutii sauti ya Bwana; kwahivyo Bwana hawakomboi.

3 Kwani wana a tamaa nauibilisi, na bibilisi ana uwezojuu yao; ndio, hata yule nyokawa kale c aliyewadanganyaw a z a z i w e t u w a k w a n z a ,ambayo ilikuwa ni sababu yadkuanguka kwao; ambayo nisababu ya wanadamu wotekuwa na tamaa, tamaa zakimwili, uibilisi, ekujua uovuna wema, na kujitolea kwaibilisi.4 Hivyo wanadamu wote

awalipotea; na tazama, wange-kuwa wamepotea daima kamasio kwamba Mungu aliwako-mboa watu wake kutoka haliyao ya upotevu.

5 Lakini kumbuka kwambayule anayeendelea na kufuatahali yake ya atamaa, na kue-ndelea katika njia za dhambina kumuasi Mungu, hubakikatika hali yake ya kuangukana ibi l is i ana uwezo wotejuu yake. Kwa hivyo kwakeyeye ni kama bukombozi hau-kufanywa, akiwa adui kwaMungu; na pia ibilisi ni aduiwa Mungu.

6 Na sasa kama Kristo hange-kuja ulimwenguni, akizungu-mza kuhusu vitu vitakavyokujaakama tayari vimeshakuja, ha-kungekuwa na ukombozi.

7 Na kama Kristo hangefufukakutoka kwa wafu, au kuvunjakamba za kifo kwamba kaburilisiwe na ushindi, na kwambakifo kisiwe na auchungu, haku-ngekuwa na ufufuo.

8 Lakini kuna aufufuo, kwahivyo kaburi halina ushindi, nauchungu wa bkifo umemezwakatika Kristo.

9 Yeye ni anuru na uzima waulimwengu; ndio, nuru isiyona mwisho, ambayo haiwezikuwekwa giza; ndio, na piauzima usio na mwisho, kwambahakutakuwa tena na kifo.

10 Hata huu mwili wenye

16 1a mwm Wokovu.b Mos. 27:31.

2a M&M 63:53–54.b Mt. 13:41–42;

Lk. 13:28;Alma 40:13.

3a Gal. 5:16–25;Mos. 3:19.mwm Mwanadamuwa Tabia ya Asili.

b 2 Ne. 9:8–9.mwm Ibilisi.

c Mwa. 3:1–13;Musa 4:5–19.

d mwm Anguko laAdamu na Hawa.

e 2 Ne. 2:17–18, 22–26.4a Alma 42:6–14.5a Alma 41:11.

mwm Tamaa zakimwili.

b mwm Komboa,Kombolewa,Ukombozi.

6a Mos. 3:13.7a Hos. 13:14;

Mos. 15:8, 20.8a Alma 42:15.

mwm Ufufuko.b Isa. 25:8;

1 Kor. 15:54–55;Morm. 7:5.

9a M&M 88:5–13.mwm Nuru, Nuruya Kristo.

Page 234: KITABU CHA MORMONI

217 Mosia 16:11–17:4

kufa utajivika akutokufa, na hiiiharibikayo itavaa isiyoharibika,na italetwa bkusimama mbele yakiti cha hukumu cha Mungu,ckuhukumiwa na yeye kulinga-na na matendo yao kama nimema au kama ni maovu —11 Kama ni wema, watafufuli-

wa katika maisha na furahaaisiyo na mwisho; na kamani waovu, watafufuliwa katikalaana ya bmilele, na kuwekwakwa ibilisi, ambaye amewata-wala, ambayo ni laana —

12 Kwa vile walienda kuli-ngana na nia zao za tamaana tamaa za kimwili; wakiwawamekosa kumlingana Bwanawaliponyoshewa mikono yarehema; kwani walinyoshewamikono ya arehema, na hawa-kukubali; wao wakiwa wameo-nywa kuhusu uovu wao lakinihawakuuacha; na waliamriwawatubu lakini hawakutubu.

13 Na sasa, haiwapasi nyinyikutetemeka na kutubu dhambizenu, na kukumbuka kwambani kwa na katika Kristo pekeemnakoweza kuokolewa?

14 Kwa hivyo, kama mnafunzaasheria ya Musa, funzeni piakwamba ni kivuli cha vile vituvitakavyokuja —

15 Wafunze kwamba ukombo-zi huja kwa Kristo aliye Bwana,ambaye ni Baba kamili hasa waaMilele. Amina.

MLANGO WA 17

Alma anaamini na kuandika ma-neno ya Abinadi — Abinadi ana-fariki kwa kuchomwa kwa moto —Anatoa unabii wa ugonjwa namauti kwa moto juu ya wauajiwake. Karibu mwaka wa 148 kablaya kuzaliwa kwa Kristo.

Na sasa ikawa kwamba baadaya Abinadi kumaliza mazungu-mzo haya, kwamba mfalmealiamuru kwamba amakuhaniwamkamate na kumuua.

2 Lakini kulikuwa na mmojamiongoni mwao ambaye jinalake lilikuwa aAlma, yeye piaakiwa uzao wa Nefi. Na aliku-wa kijana, na baliamini manenoambayo Abinadi alizungumza,kwani alijua kuhusu ule uovuambao Abinadi alikuwa ame-shuhudia dhidi yao; kwa hivyoakaanza kumsihi mfalme kwa-mba asimkasirikie Abinadi, la-kini kwamba amruhusu aendekwa amani.

3 Lakini mfalme alipandwana hasira zaidi, na akaamurukwamba Alma aondolewe kuto-ka miongoni mwao, na kuwatu-ma watumishi wake wamfuateili wamuue.

4 Lakini alitoroka na kujifichahata kwamba hawakumpata.Na yeye akiwa amejifichiwakwa siku nyingi, aaliyaandika

10a Alma 40:2.mwm Isiyo kufa,Maisha ya kutokufa.

b mwm Hukumu, yaMwisho.

c Alma 41:3–6.11a mwm Uzima wa

Milele.b mwm Hukumu.

12a mwm Rehema,Rehema, enye.

14a mwm Torati yaMusa.

15a Mos. 3:8; 5:7;

Eth. 3:14.17 1a Mos. 11:1, 5–6.

2a Mos. 23:6, 9–10.mwm Alma Mzee.

b Mos. 26:15.4a mwm Maandiko.

Page 235: KITABU CHA MORMONI

Mosia 17:5–20 218

maneno yote ambayo Abinadialikuwa amezungumza.5 Na ikawa kwamba mfalme

alisababisha walinzi wake wam-zingire Abinadi na kumkamata;na wakamfunga na kumtiagerezani.

6 Na baada ya siku tatu, baadaya kushauriana na makuhaniwake, aliamuru tena kwambaaletwe mbele yake.

7 Na akamwambia: Abinadi,tumekupata na lawama, nawewe unastahili kifo.

8 Kwani wewe umesemakwamba aMungu mwenyeweatashuka miongoni mwa watotowa watu; na sasa, kwa sababuhii utauliwa usiporudisha yalemaneno yote maovu ambayoumezungumza kunihusu nawatu wangu.9 Sasa Abinadi akamwambia:

ninakwambia, sitarudisha ma-neno ambayo nimekuzungum-zia kuhusu watu hawa, kwanini ya kweli; na ili ujue uhakikawa haya maneno nimekubalikuanguka mikononi mwako.

10 Ndio, na nitateseka hadikifo, na sitarudisha manenoyangu, na yatakuwa ushahididhidi yenu. Na mkiniua mta-mwaga damu aisiyo na hatia, nahii nayo pia itakuwa ni ushahididhidi yenu siku ya mwisho.

11 Na sasa mfalme Nuhu ali-kuwa karibu kumwachilia huru,kwani aliogopa maneno yake;kwani aliogopa kwamba huku-mu za Mungu zitamshukia.

12 Lakini makuhani walipiga

makelele, na kuanza kumshu-tumu, wakisema: Amemtusimfalme. Kwa hivyo mfalmealimkasirikia, na akamtoa iliauawe.

13 Na ikawa kwamba walim-kamata na kumfunga, na kum-piga ngozi yake kwa kuni zamoto, ndio, hata akafariki.

14 Na sasa wakati miale yamoto ilianza kumchoma, ali-walilia, akisema:

15 Tazameni, hata vile mme-nifanyia, ndivyo itakavyokuwakwamba uzao wenu utawafa-nya wengi kuteseka kwa uchu-ngu kama ule ambao mmenitesanao, hata uchungu wa akifo kwamoto; na haya ni kwa sababuwanaamini wokovu wa BwanaMungu wao.

16 Na itakuwa kwamba mta-sumbuliwa na aina zote zamagonjwa kwa sababu ya mao-vu yenu.

17 Ndio, na amtapigwa kutokakila mkono, na mtafukuzwa nakutawanywa hapa na pale, hatakama vile mifugo ya mwitunihukimbizwa na wanyama katilina wakali.

18 Na katika siku ile mtawi-ndwa, na kukamatwa kwa mi-kono ya maadui zenu, na kishamtateseka, kama vile ninavyo-teseka, uchungu wa akifo kwamoto.

19 Na hivyo ndivyo Munguhulipiza akisasi juu ya walewanaowaangamiza watu wake.Ee Mungu, pokea nafsi yangu.

20 Na sasa, baada ya Abinadi

8a Mos. 13:25, 33–34.10a Alma 60:13.15a Mos. 13:9–10;

Alma 25:4–12.17a Mos. 21:1–5, 13.18a Mos. 19:18–20.

19a mwm Kisasi.

Page 236: KITABU CHA MORMONI

219 Mosia 18:1–9

kusema maneno haya, alia-nguka chini, akiwa amepatamateso ya kifo kwa moto; ndio,akiwa ameuawa kwa sababua l i k a t a a k u k a n a a m r i z aMungu, akiwa ametilia muhuriukweli wa maneno yake kwakifo chake.

MLANGO WA 18

Alma anahubiri kwa siri — Anae-leza kuhusu agano la ubatizo naanabatiza katika maji ya Mormoni— Anaanzisha Kanisa la Kristo nakuwateua makuhani — Wanajisa-idia wenyewe na kufunza watu —Alma na watu wake wanakimbiakutoka kwa Mfalme Nuhu na kue-nda nyikani. Karibu mwaka wa147 hadi 145 kabla ya kuzaliwakwa Kristo.

Na sasa, ikawa kwamba Alma,ambaye alikuwa ametorokakutoka kwa watumishi waMfalme Nuhu, aalitubu dha-mbi zake na maovu yake, naakaenda kwa siri miongonimwa watu, na kuanza kufunzamaneno ya Abinadi —

2 Ndio, kuhusu yale ambayoyatakuja, na pia kuhusu ufufuowa wafu, na aukombozi wawatu, ambao ungewezeshwakwa buwezo, na mateso, na kifocha Kristo, na ufufuko wake nakupaa mbinguni.

3 Na kwa wengi waliotakakusikiliza neno lake aliwafunza.Na aliwafunza kwa siri, ili

mfalme asijue. Na wengi wali-amini maneno yake.

4 Na ikawa kwamba wengiwaliomwamini walienda ama-hali palipoitwa Mormoni, kwanipaliitwa kwa jina la mfalme,pakiwa mpakani mwa nchiambayo ilikuwa imejaa, wa-nyama wa mwitu nyakati zote.

5 Sasa, hapo Mormoni paliku-wa na chemchemi ya maji safi,na Alma alikimbilia hapo,kwani karibu na maji hayopalikuwa na kichaka cha mitimidogo, na alijificha hapo wa-kati wa mchana ili asipatikanena misako ya mfalme.

6 Na ikawa kwamba walewengi waliomwamini waliendahapo kusikia maneno yake.

7 Na ikawa kwamba baada yasiku nyingi kulikuwa na kiku-ndi kikubwa kimekusanyikapamoja mahali pa Mormoni,ili kusikia maneno ya Alma.Ndio, wote walioamini nenolake walikusanyika pamoja,kumsikiliza. Na aaliwafunza,na akawahubiria toba, na uko-mbozi, na imani kwa Bwana.

8 Na ikawa kwamba aliwaa-mbia: Tazameni, hapa kuna majiya Mormoni (kwani hivi ndivyoyaliitwa) na sasa, kwa vileamnatamani kujiunga na bzizi laMungu, na kuitwa watu wake,na mko cradhi kubeba mizigoya mmoja na ya mwingine, iliiwe mepesi;

9 Ndio, na mko tayari kuombo-leza na wale wanaoomboleza;

18 1a Mos. 23:9–10.2a mwm Komboa,

Kombolewa,Ukombozi.

b mwm Lipia dhambi,Upatanisho.

4a Alma 5:3.7a Alma 5:11–13.

8a M&M 20:37.b mwm Kanisa la

Yesu Kristo.c mwm Huruma.

Page 237: KITABU CHA MORMONI

Mosia 18:10–18 220

ndio, na kufariji wale ambaowanahitaji kufarijiwa, na kusi-mama kama amashahidi waMungu nyakati zote na katikavitu vyote, na katika mahalipopote mlipo, hata hadi kifo, ilimuweze kukombolewa na Mu-ngu, na kuhesabiwa pamoja nawale wa ufufuko wa bkwanza,ili mpokee uzima wa cmilele —10 Sasa ninawaambia, ikiwa

hili ndilo pendo la mioyo yenu,ni nini mnacho dhidi ya akuba-tizwa kwa jina la Bwana, kamaushahidi mbele yake kwambammeingia kwenye bagano nayeye, kwamba mtamtumikiana kushika amri zake, ili awa-teremshie Roho yake juu yenuzaidi?

11 Na sasa wakati watu wali-posikia haya maneno, walipigamakofi kwa shangwe, na wa-kasema kwa nguvu: Hili ndilopendo la mioyo yetu.

12 Na sasa ikawa kwambaAlma alimchukua Helamu, yeyeakiwa wa kwanza, na kuendana kusimama majini, na kupazasauti yake, akisema: Ee Bwana,mteremshie mtumishi wakoRoho wako, ili afanye kazi hiikwa utakatifu wa moyo.

13 Na aliposema maneno haya,aRoho wa Bwana alishuka juuyake, na akasema: Helamu,bnakubatiza wewe, nikiwa na

cmamlaka kutoka kwa Mwe-nyezi Mungu, kama ushahidikwamba umeingia kwenyeagano kumtumikia hadi utaka-pofariki mwilini; na Roho waBwana akuteremkie; na akupeuzima wa milele, kupitia kwadukombozi wa Kristo, ambayeamemtayarisha tangu emsingiwa ulimwengu.

14 Na baada ya Alma kusemamaneno haya, Alma pamoja naHelamu awalizikwa majini; nawakainuka na wakatoka majiniwakishangilia wakiwa wame-jazwa na Roho.

15 Na tena, Alma akamchukuamwingine, na kuingia majinimara ya pili, na akambatizakama yule wa kwanza, lakinihakujizika kwa maji tena.

16 Na hivi ndivyo alivyobatizakila mmoja aliyeenda mahalipa Mormoni; na walikuwawatu mia mbili na nne; ndio, naawalibatizwa katika maji yaMormoni, na wakajazwa nabneema ya Mungu.

17 Na waliitwa akanisa laMungu, au kanisa la Kristo,kutoka siku ile na kuendeleambele. Na ikawa kwamba ye-yote aliyebatizwa kwa uwezona mamlaka ya Mungu alio-ngezwa katika kanisa lake.

18 Na ikawa kwamba Alma,akiwa na amamlaka kutoka kwa

9a mwm Kazi yakimisionari; Shahidi,Ushahidi; Shuhudia.

b Mos. 15:21–26.c mwm Uzima wa

Milele.10a 2 Ne. 31:17.

mwm Batiza, Ubatizo.b mwm Agano.

13a mwm Roho Mtakatifu.b 3 Ne. 11:23–26;

M&M 20:72–74.c M ya I 1:5.

mwm Ukuhani.d mwm Komboa,

Kombolewa,Ukombozi.

e Musa 4:2; 5:9.

14a mwm Batiza,Ubatizo—Ubatizokwa kuzamishwa.

16a Mos. 25:18.b mwm Neema.

17a 3 Ne. 26:21; 27:3–8.mwm Kanisa laYesu Kristo.

18a mwm Ukuhani.

Page 238: KITABU CHA MORMONI

221 Mosia 18:19–30

Mungu, aliwateua makuhani;hata kuhani mmoja kwa kilakikundi cha hamsini aliwata-waza kuwahubiria, na bkuwa-funza kuhusu vitu vya ufalmewa Mungu.

19 Na akawaamuru kwambawasifunze chochote ila tu vituvile ambavyo alikuwa amewa-funza, na ambavyo vilikuwavimezungumzwa na manabiiwatakatifu.

20 Ndio, hata aliwaamurukwamba awasihubiri chochoteila tu toba na imani kwa Bwana,ambaye alikuwa amewakomboawatu wake.

21 Na akawaamuru kwambawasiwe na aubishi wao kwawao, lakini kwamba watazamekwa jicho bmoja, kwa imanimoja ubatizo mmoja, na mioyoyao ikiwa imeunganishwa pa-moja kwa cumoja na kwa kupe-ndana wao kwa wao.

22 Na hivi ndivyo alivyowaa-muru kuhubiri. Na hivyo wa-kawa awatoto wa Mungu.23 Na akawaamuru kwamba

waiheshimu siku ya asabato, nakuiweka iwe takatifu, na piakwamba wamshukuru BwanaMungu wao kila siku.24 Na pia akawaamuru kwa-

mba makuhani wale ambaoalikuwa amewateua wafanyeakazi kwa mikono yao ili waji-tegemee.

25 Na kulikuwa na siku mojakwa kila juma ambayo ilite-ngwa ili wakusanyike pamojakuwafunza watu, na akumua-budu Bwana Mungu wao, napia, mara kwa mara kama wali-vyo na uwezo, kukusanyikapamoja.

26 Na makuhani wasitegemeewatu kwa chakula chao; lakiniwatapokea aneema ya Mungukwa sababu ya utumishi wao,ili wapokee nguvu za Roho, nabkumfahamu Mungu, ili wafu-nze kwa uwezo na mamlakakutoka kwa Mungu.

27 Na tena Alma akaamurukwamba watu wa kanisa watoemali yao, akila mmoja kulinga-na na kile alichokuwa nacho;kama yuko na tele basi na yeyeatoe kwa wingi; na kwa yuleambaye ana chache, basi chachendizo zitahitajika; na yuleambaye hana basi naye apewe.

28 Na hivyo watoe mali yaokwa hiari yao na nia njema kwaMungu, na kwa wale makuhaniwaliohitaji, ndio, na kwa kilamtu aliyehitaji, na aliye uchi.

29 Na hivi aliwaambia, akiwaameamriwa na Mungu; naawalitembea imara mbele yaMungu, bwakisaidiana kimwilina kiroho kulingana na mahitajiyao na matakwa yao.

30 Na sasa ikawa kwambahaya yote yalifanywa katika

18b mwm Fundisha,Mwalimu.

20a M&M 15:6; 18:14–16.21a 3 Ne. 11:28–30.

mwm Ushindani.b Mt. 6:22;

M&M 88:67–68.c mwm Umoja.

22a Mos. 5:5–7;Musa 6:64–68.

23a Mos. 13:16–19;M&M 59:9–12.

24a Mdo. 20:33–35;Mos. 27:3–5;Alma 1:26.

25a mwm Kuabudu.

26a mwm Neema.b mwm Maarifa.

27a Mdo. 2:44–45;4 Ne. 1:3.

29a mwm Tembea,Tembea na Mungu.

b mwm Ustawi.

Page 239: KITABU CHA MORMONI

Mosia 18:31–19:7 222

Mormoni, ndio, karibu na amajiya Mormoni, katika mwituuliokuwa karibu na maji yaMormoni; ndio, mahali paMormoni, maji ya Mormoni,mwitu wa Mormoni, jinsi ganiyalivyo na wema machonimwa wale ambao walimfahamuMkombozi wao hapo; ndio, najinsi gani wamebarikiwa, kwa-ni wataimba sifa zake milele.

31 Na vitu hivi vilifanywaamipakani ya nchi, ili visijuli-kane na mfalme.32 Lakini tazama, ikawa kwa-

mba mfalme, akiwa amegunduakuwa kuna njama miongonimwa watu, alituma watumishiwake kuwachunguza. Kwa hi-vyo siku ile waliyokuwa wana-kusanyika pamoja kusikia nenola Bwana waligunduliwa kwamfalme.

33 Na sasa mfalme akasemakuwa Alma alikuwa anawa-chochea watu ili wamuasi; kwahivyo alituma jeshi lake kuwa-angamiza.

34 Na ikawa kwamba Alma nawatu wa Bwana awalijulishwakuhusu uvamizi wa jeshi lamfalme; kwa hivyo walichu-kua hema zao na jamii zao nakukimbilia nyikani.

35 Na walikuwa hesabu yawatu karibu mia nne na hamsini.

MLANGO WA 19

Gideoni anajaribu kumuua Mfal-me Nuhu—Walamani wanavamianchi — Mfalme Nuhu anauawa

kwa kuchomwa na moto — Limhiatawala akiwa mfalme shokoa.Karibu mwaka wa 145 hadi 121kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

Na ikawa kwamba jeshi, lamfalme li l ire jea, baada yamsako wao wa watu wa Bwanakukosa kufua dafu.

2 Na sasa tazama, vikosi vyamfalme vilikuwa vidogo, vikiwavimepunguzwa, na pakaanzakuwa na mgawanyiko miongonimwa watu waliosalia.

3 Na ile sehemu ndogo ikaa-nza kumtolea mfalme vitisho,na kukawa na ubishi mkuumiongoni mwao.

4 Na sasa miongoni mwaokulikuwa na mtu ambaye jinalake lilikuwa Gideoni, na yeyeakiwa mtu mwenye nguvu naadui ya mfalme, kwa hivyoalichomoa upanga wake, nakuapa kwa hasira kwambaatamuua mfalme.

5 Na ikawa kwamba alipiganana mfalme; na mfalme alipoonakwamba alikuwa karibu kushi-ndwa, alikimbia na kupandakwenye amnara uliokuwa kari-bu na hekalu.

6 Na Gideoni alimkimbizana al ikaribia kupanda ulemnara ili amuue mfalme, namfalme akatazama nchi yaShemloni, na tazama, jeshi laWalamani lilikuwa mipakanimwa nchi.

7 Na sasa mfalme alilia kwamaumivu ya nafsi yake, na ku-sema: Gideoni, nisamehe, kwa-ni Walamani wanatushambulia,

30a Mos. 26:15.31a Mos. 18:4.

34a Mos. 23:1.19 5a Mos. 11:12.

Page 240: KITABU CHA MORMONI

223 Mosia 19:8–22

na watatuangamiza; ndio, wa-taangamiza watu wangu.8 Na sasa mfalme hakujali

watu wake kama vile alivyojalimaisha yake; walakini, Gideonialiyaokoa maisha yake.

9 Na mfalme akaamuru watuwake kwamba wawakimbiembele Walamani , na yeyemwenyewe akawaongoza, nawakakimbilia nyikani, pamojana wake zao na watoto wao.

10 Na ikawa kwamba Walama-ni waliwafuata, na kuwafikia,na kuanza kuwaua.

11 Sasa ikawa kwamba mfal-me aliamuru wanaume wotekwamba wawaache wake zaona watoto wao, na wawatorokeWalamani.

12 Sasa kulikuwa na wengiambao hawakuwaacha, lakiniwaliona vizuri kubaki nao nakuangamia nao. Na wenginewaliacha wake zao na watotowao na kukimbia.

13 Na ikawa kwamba walewaliobaki na wake zao na wa-toto wao waliwafanya mabintizao walio warembo kusimamambele ya Walamani na kuwasihikwamba wasiwaue.

14 Na ikawa kwamba Walama-ni waliwaonea huruma, kwaniwalivutiwa na urembo wawanawake wao.

1 5 K w a h i v y o W a l a m a n iwaliokoa maisha yao, na kuwa-chukua kama mateka na kuwa-peleka katika nchi ya Nefi, nakuwaruhusu kwamba warithinchi ile, na kuwapatia mashartikwamba watamkabidhi mfalme

Nuhu mikononi mwa Walama-ni, na kutoa mali yao, hata nusuya yote waliyokuwa nayo; nusuya dhahabu yao, na fedha yao,na vitu vyao vyote vyenye tha-mani, na hivyo ndivyo watalipaushuru kwa mfalme wa Wala-mani mwaka kwa mwaka.

1 6 N a s a s a k u l i k u w a n ammoja wa wana wa mfalmemiongoni mwa wale waliochu-kuliwa kama mateka, aliyeitwakwa jina la aLimhi.17 Na sasa Limhi hakutaka

baba yake aangamizwe; wala-kini, Limhi hakukosa kuonamaovu ya baba yake, yeyemwenyewe akiwa mtu mwenyehaki.

18 Na ikawa kwamba Gideonialituma watu nyikani kwasiri, kumsaka mfalme na walewaliokuwa na yeye. Na ikawakwamba waliwapata watu wotenyikani, ila tu mfalme na ma-kuhani wake.

19 Sasa walikuwa wameapamioyoni mwao kwamba watare-jea katika nchi ya Nefi, na kamawake zao na watoto wao wame-uawa, na pia wale waliobakinao, kwamba wangelipiza ki-sasi, na pia kuangamia nao.

20 Na mfalme akawaamurukwamba wasirejee; na walimka-sirikia mfalme, na kusababishakwamba aafariki, kwa moto.21 Na walikuwa karibu ya

kuwakamata makuhani pia nakuwaua, na waliwatoroka.

22 Na ikawa kwamba waliku-wa karibu ya kurejea katikanchi ya Nefi, na wakakutana na

16a Mos. 7:9. 20a Mos. 17:13–19; Alma 25:11.

Page 241: KITABU CHA MORMONI

Mosia 19:23–20:5 224

watu wa Gideoni. Na watuwa Gideoni wakawaelezea yaleyaliyowapata wake zao na wa-toto wao; na kwamba Walamaniwalikuwa wamewaruhusu ku-miliki nchi kwa kulipa kodikwa Walamani kiasi cha nusuya mali yote waliyokuwa nayo.23 Na wale watu wakawaa-

mbia watu wa Gideoni kwambawalikuwa wamemuua mfalme,na makuhani wake walikuwawametorokea nyikani.

24 Na ikawa kwamba baadaya wao kumaliza ile sherehe,kwamba walirejea katika nchiya Nefi, wakishangilia, kwasababu wake zao na watotowao hawakuwa wameuawa;na wakamwambia Gideoniyale waliyokuwa wamemfanyiamfalme.

25 Na ikawa kwamba mfalmewa Walamani alikula akiapona wao, kwamba watu wakehawatawaua.26 Na pia Limhi, akiwa mwa-

na wa mfalme, akiwa amepewaufalme ana watu, aliapa kwamfalme wa Walamani kwambawatu wake watamlipa ushuru,kiasi cha nusu ya chochotewalicho nacho.

27 Na ikawa kwamba Limhialianza kuimarisha ufalme nakudumisha amani miongonimwa watu wake.

28 Na mfalme wa Walama-ni aliweka walinzi waizingirenchi, ili awaweke watu waLimhi katika nchi ile, ili wasio-ndoke na kwenda nyikani; naaliwalisha walinzi wake kwa

ushuru aliopokea kutoka kwaWanefi.

29 Na sasa mfalme Limhi ali-kuwa na amani katika ufalmewake kwa kipindi cha miakamiwili , kwamba Walamanihawakuwavamia wala kutakakuwaangamiza.

MLANGO WA 20

Baadhi ya mabinti za Walamaniwanatekwa nyara na makuhaniwa Nuhu — Walamani wanamva-mia Limhi na watu wake kwa vita—Walamani wavamizi wanakome-shwa na kutulizwa. Karibu mwakawa 145 hadi 123 kabla ya kuzaliwakwa Kristo.

Sasa palikuwa na pahali katikaShemloni ambapo mabinti zaWalamani walikusanyika pa-moja kuimba, na kucheza, nakujifurahisha.

2 Na ikawa kwamba sikumoja kikundi chao kidogo kili-kusanyika pamoja ili waimbena wacheze.

3 Na sasa makuhani wa mfal-me Nuhu, wakiona aibu yakurejea katika mji wa Nefi,ndio, na pia wakiogopa kwa-mba watu watawaua, kwahivyo hawakuwarudia wakezao na watoto wao.

4 Na baada ya kungoja nyikani,na baada ya kugundua mabintiza Walamani, walijificha nakuwatazama;

5 Na wakati walikuwa niwachache tu waliokusanyikapamoja kucheza, waliondoka

25a Mos. 21:3. 26a Mos. 7:9.

Page 242: KITABU CHA MORMONI

225 Mosia 20:6–17

pahali pao pa siri na kuwashikana kuwapeleka nyikani; ndio,mabinti ishirini na nne wa Wa-lamani waliwapeleka nyikani.6 Na ikawa kwamba Walamani

walipogundua kwamba mabintizao walikuwa wamepotea, wa-likasirikia watu wa Limhi,kwani walidhani kuwa ni watuwa Limhi.

7 Kwa hivyo walituma majeshiyao; ndio, hata mfalme aliongo-za watu wake; na wakaelekeanchi ya Nefi kuwaangamizawatu wa Limhi.

8 Na sasa Limhi alikuwa ame-waona kutoka kwa mnara, hatamatayarisho yao yote ya vitaalikuwa ameyaona; kwa hivyoaliwakusanya watu wake, naakawangoja huko mwituni navichakani.

9 Na ikawa kwamba Walama-ni walipokuja, wale watu waLimhi walianza kuwashambuliakutoka pahali pao pa kujificha,na kuanza kuwaua.

10 Na ikawa kwamba vita vili-pamba moto, kwani walipiganakama simba kwa mawindo yao.

11 Na ikawa kwamba watu waLimhi walianza kuwakimbizaWalamani; ingawa hawakuwawengi kama Walamani. Lakiniawalipigania maisha yao, nawake zao, na watoto wao; kwahivyo walijitahidi na wakapi-gana kama joka.12 Na ikawa kwamba walim-

pata mfalme wa Walamanimiongoni mwa wafu wao; wa-lakini hakuwa amefariki, akiwaamejeruhiwa na kuachiliwa

chini, kwani watu wake wali-toroka kwa haraka.

13 Na wakamchukua na kufu-nga majeraha yake, na kumpele-ka mbele ya Limhi, na kusema:Tazama, hapa kuna mfalme waWalamani; alijeruhiwa na aka-wa ameanguka miongoni mwawafu wao, na wamemuacha; natazama, tumemleta mbele yako;na sasa hebu tumuue.

14 Lakini Limhi akawaambia:Hamtamuua, lakini mletenihapa ili nimuone. Na wakam-leta. Na Limhi akamwambia:Ni sababu gani iliyokufanyakushambulia watu wangu? Ta-zama, watu wangu hawajavunjaakiapo nilichofanya nawe; kwahivyo, kwa nini uvunje kiapoulichofanya na watu wangu?

15 Na sasa mfalme akasema:Nimevunja kiapo kwa sababuwatu wako waliwachukua ma-binti za watu wangu; kwahivyo, kwa hasira yangu nili-wafanya watu wangu wawa-shambulie watu wako.

16 Na sasa Limhi hakuwaamesikia lolote kuhusu jambohili; kwa hivyo akasema: Nita-tafuta miongoni mwa watuwangu na yeyote ambaye ame-tenda kitu hiki ataangamia.Kwa hivyo akaamuru msakoufanywe miongoni mwa watuwake.

17 Sasa aGideoni aliposikiavitu hivi, yeye akiwa kapteniwa mfalme, alienda na kumwa-mbia mfalme: Nakuomba usubi-ri na usiwasake watu hawa, nausiwashutumu kwa kitu hiki.

20 11a Alma 43:45. 14a Mos. 19:25–26. 17a Mos. 19:4–8.

Page 243: KITABU CHA MORMONI

Mosia 20:18–21:3 226

18 Kwani hukumbuki maku-hani wa baba yako, ambao watuhawa walitaka kuangamiza?Na je, hawako huko nyikani? Naje, si wao ndio waliowachukuamabinti za Walamani?

19 Na sasa, tazama, mwambiemfalme kuhusu vitu hivi, iliawaambie watu wake na iliwatulizwe nasi; kwani tazamatayari wanajitayarisha kutuva-mia; na tazama sisi ni wachache.

20 Na tazama, wanakuja namajeshi yao; na ijapokuwamfalme awasihi kwa niaba yetulazima tuangamie.

21 Kwani si maneno ya Abina-di ayanatimizwa, yale aliyotoaunabii kinyume chetu — nahaya yote kwa sababu hatukutiimaneno ya Bwana, na kuachamaovu yetu?22 Na sasa hebu tumtulize

mfalme, na tutimize kiapoambacho tulifanya kwake; kwa-ni ni afadhali tuwe utumwanibadala ya kupoteza maishayetu; kwa hivyo, hebu tukome-she umwagaji wa damu nyingi.

23 Na sasa Limhi akamwambiamfalme vitu vyote kuhusu babayake, na amakuhani waliokimbi-lia nyikani, na akawashutumukwa kuwachukua mabinti zao.

24 Na ikawa kwamba mfalmealitulizwa na watu wake; naakawaambia: Hebu twende tu-kalaki watu wangu, bila silaha;na ninaapa kwa kiapo kwambawatu wangu hawatawaua watuwako.

25 Na ikawa kwamba wali-mfuata mfalme, na wakaenda

kuwalaki Walamani bila silaha.Na ikawa kwamba walikutanana Walamani; na mfalme waWalamani akainama mbeleyao, na kuwatetea watu waLimhi.

26 Na Walamani walipoonawatu wa Limhi, kwamba ha-wakuwa na silaha, waliwaoneaahuruma na wakatulizwa nawao, na wakarejea na mfalmewao kwa amani nchini mwao.

MLANGO WA 21

Watu wa Limhi wanashambuliwana kushindwa na Walamani —Watu wa Limhi wanakutana naAmoni na kubadilishwa — Wana-mwambia Amoni kuhusu zile ba-mba ishirini na nne za Kiyaredi.Karibu mwaka wa 122 hadi 121kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

Na ikawa kwamba Limhi nawatu wake walirejea katika mjiwa Nefi, na wakaanza kuishitena kwa amani katika nchi.

2 Na ikawa kwamba baada yasiku nyingi Walamani walianzatena kuzusha hasira na Wanefi,na wakaanza kusogea karibuna mipaka iliyozingira nchi.

3 Sasa hawakuthubutu kuwa-ua, kwa sababu ya kile kiapoambacho mfalme wao alikuwaamemuapia Limhi; walakiniwaliwacharaza makofi kwenyeamashavu, na kuwa na mamlakajuu yao; na kuwabebesha bmizi-go mizito kwa migongo yao, nakuwakimbiza kama vile wana-vyomfanyia punda bubu —

21a Mos. 12:1–8.23a Mos. 19:21, 23.

26a mwm Huruma.21 3a Mos. 12:2.

b Mos. 12:5.

Page 244: KITABU CHA MORMONI

227 Mosia 21:4–17

4 Ndio, haya yote yalifanywaili neno la Bwana litimizwe.

5 Na sasa mateso ya Wanefiyalikuwa ni makuu, na hapa-kuwa na njia yoyote ya kujiko-mboa kutoka mikononi mwao,kwani Walamani waliwazingirakwa kila upande.

6 Na ikawa kwamba watuwalianza kumnung’unikia mfal-me kwa sababu ya mateso yao;na wakaanza kutamani kupi-gana nao. Na walimsumbuamfalme kwa malalamiko yao;kwa hivyo akawaruhusu wafa-nye kulingana na tamaa yao.

7 Na wakakusanyika pamojatena, na kuvaa silaha zao, nakuwaendea Walamani ili wa-wafukuze kutoka nchi yao.

8 Na ikawa kwamba Walama-ni waliwapiga, na kuwasukumanyuma, na kuwaua wengi wao.

9 N a s a s a k u l i k u w a n aamaombolezo makuu na kiliomiongoni mwa watu wa Limhi,mjane akiomboleza mume wake,mwana na binti wakiombolezababa yao, na kaka kwa kakazao.

10 Sasa kulikuwa na wajanewengi nchini, na walilia sanasiku kwa siku, kwani wogamkuu wa Walamani uliwaingia.

11 Na ikawa kwamba viliovyao viliwachochea wale watuwaliobaki wa Limhi kuwakasi-rikia Walamani; na wakaendavitani tena, lakini walisukumwanyuma tena, na wakapata maafamakuu.

12 Ndio, walienda tena maraya tatu, na wakateseka kamahapo awali; na wale ambaohawakuuawa walirejea tena ka-tika nchi ya Nefi.

13 Na wakanyenyekea mpakamavumbini, na kujitoa kwa niraya utumwa, na kukubali kupi-gwa, na kukimbizwa hapa napale, na kulemeshwa, kulinganana matakwa ya maadui wao.

14 Na awalinyenyekea chinikabisa na hata kuwa chiniya unyenyekevu; na walimliliaMungu sana; ndio, hata sikuyote walimlilia Mungu waokwamba awakomboe kutokanana mateso yao.

15 Na sasa Bwana alikuwa naaupole wa kusikia kilio chaokwa sababu ya maovu yao;haidhuru Bwana alisikia viliovyao, na akaanza kulainishamioyo ya Walamani kwambawakaanza kupunguza mizigoyao; walakini Bwana hakuone-lea vyema kuwakomboa kutokautumwani.

16 Na ikawa kwamba walia-nza kufanikiwa nchini kiasikwa kiasi, na wakaanza kupa-nda nafaka kwa wingi, namifugo, na wanyama, kwambahawakuteseka kwa njaa.

17 Sasa kulikuwa na wanawa-ke wengi, zaidi ya wanaume;kwa hivyo mfalme Limhi akaa-muru kwamba kila mwanaumeaatoe ili bwajane na watoto waowapate kusaidiwa, na ili wasia-ngamie kwa njaa; na walitenda

9a Mos. 12:4.14a Mos. 29:20.

mwm Mnyenyekevu,

Unyenyekevu.15a Mit. 15:29;

Mos. 11:23–25;

M&M 101:7–9.17a Mos. 4:16, 26.

b mwm Mjane.

Page 245: KITABU CHA MORMONI

Mosia 21:18–29 228

haya kwa sababu wengi waowalikuwa wameuawa.18 Sasa watu wa Limhi waliishi

kwa kikundi kama ilivyoweze-kana, na kulinda nafaka yao namifugo yao;

19 Na mfalme mwenyewe ali-hofia maisha yake nje ya ukutawa mji, isipokuwa awe na wali-nzi wake na yeye, akiogopakwamba ingewezekana aangu-ke mikononi mwa Walamani.

20 Na akasababisha watu wakewashike zamu kila mahali nchi-ni, ili ikiwezekana wawakamatemakuhani ambao walikuwawametorokea nyikani, ambaowalikuwa wamewachukua ama-binti za Walamani, na ambaowalikuwa wamesababisha ma-angamizi makuu kuwapata.

21 Kwani walitamani kuwa-kamata na kuwaadhibu; kwasababu walikuwa wameingiakatika nchi ya Nefi wakati wausiku, na kuiba nafaka yao navitu vyao vingi vyenye thama-ni; kwa hivyo walijificha nakuwangoja.

22 Na ikawa kwamba haku-kuwa na ghasia yoyote miongo-ni mwa Walamani na watu waLimhi, hadi ule wakati ambaoaAmoni na ndugu zake walipo-wasili katika nchi.

23 Na mfalme akiwa nje yalango la mji na walinzi wake,aliwaona Amoni na ndugu zake;na akidhani kwamba wao nimakuhani wa Nuhu, kwa hivyoaliamrisha kwamba washikwe,na kufungwa, na kuwekwa

agerezani. Na kama wangekuwamakuhani wa Nuhu, angeamu-ru wauawe.

24 Lakini alipofahamu kwa-mba sio wao, walakini waliku-wa ndugu zake, waliotoka nchiya Zarahemla, alijazwa na sha-ngwe kuu.

25 Sasa mfalme Limhi aliku-wa ametuma, kikundi akidogocha watu bkutafuta nchi yaZarahemla, kabla ya kuwasilikwa Amoni; lakini hawakuipa-ta, na walipotea huko nyikani.

26 Walakini, walipata nchiambamo watu walikuwa wa-meishi; ndio, nchi ambayoilijaa amifupa iliyokauka; ndio,nchi ambayo watu walikuwawameishi na ambao waliku-wa wameangamizwa; na wao,wakidhani kuwa ni nchi yaZarahemla, walirejea katikanchi ya Nefi, wakiwa wame-wasili mipakani mwa nchi sikuchache kabla ya kufika kwaAmoni.

27 Na walileta maandishi,hata maandishi ya watu waleambao walipata mifupa yao; nayalikuwa yamechorwa kwenyebamba za chuma.

28 Na sasa Limhi ali jawashangwe tena alipoambiwa kwakinywa cha Amoni kwambamfalme Mosia al ikuwa naakarama kutoka kwa Mungu,ambayo ingemwezesha kutaf-siri michoro kama ile; ndio, nahata Amoni pia alifurahi.

29 Walakini Amoni na nduguzake walijawa na huzuni kwa

20a Mos. 20:5.22a Mos. 7:6–13.23a Hel. 5:21.

25a Mos. 8:7.b Mos. 7:14.

26a Mos. 8:8.

28a Omni 1:20–22;Mos. 28:11–16.

Page 246: KITABU CHA MORMONI

229 Mosia 21:30–22:2

sababu ndugu zao wengi wali-kuwa wameuawa;30 Na pia kwamba mfalme

Nuhu na makuhani wake wali-kuwa wamewafanya watu kum-tendea Mungu dhambi nyingina maovu; na pia waliombolezaa ki fo cha Abinadi ; na piabkuondoka kwa Alma na watuwalioenda na yeye, ambao wa-likuwa wameanzisha kanisa laMungu kwa nguvu na uwezowa Mungu, na kwa imani katikayale maneno yaliozungumzwana Abinadi.

31 Ndio, waliomboleza kuo-ndoka kwao, kwani hawakujuawalikotorokea. Sasa wangeu-ngana nao bila kusita, kwaniwao wenyewe walikuwa wame-ingia kwenye agano na Mungukwamba watamtumikia na kutiiamri zake.

32 Na sasa tangu kuwasili kwaAmoni, mfalme Limhi pia ali-kuwa ameingia kwenye aganona Mungu, na pia watu wakewengi, kumtumikia na kutiiamri zake.

33 Na ikawa kwamba mfalmeLimhi na watu wake wengiwalitamani kubatizwa; lakinihapakuwa na yeyote katikanchi ile aliyekuwa na amamlakakutoka kwa Mungu. Na Amonialikataa kufanya kitu hiki,akijidhania kwamba yeye nimtumishi asiyestahili.

34 Kwa hivyo wakati ulehawakujiunda pamoja kamakanisa, wakimsubiri Roho waBwana. Sasa walitamani kuwakama Alma na ndugu zake,

ambao walikuwa wametorokeanyikani.

35 Walitamani kubatizwakama ushahidi na ushuhudakwamba wako tayari kumtu-m i k i a M u n g u k w a m i o y oyao yote; walakini waliongezawakati; na maelezo ya ubatizowao ayatatolewa hapo baadaye.

36 Na sasa mawazo yote yaAmoni na watu wake, na mfal-me Limhi na watu wake, yali-kuwa ni jinsi ya kujikomboakutoka mikono ya Walamanina kutoka utumwa.

MLANGO WA 22

Mipango inatayarishwa ili watuwatoroke kutoka utumwa wa Wala-mani — Walamani wanaleweshwa— Watu wanatoroka, na kurejeaZarahemla, na kutawaliwa namfalme Mosia. Karibu mwaka wa121 hadi 120 kabla ya kuzaliwakwa Kristo.

Na sasa ikawa kwamba Amonina mfalme Limhi walishaurianana watu jinsi ya kujikomboakutoka utumwani; na hatawalisababisha kwamba watuwote wakusanyike pamoja; nawalifanya hivi ili wapate sautiya watu kuhusu jambo hili.

2 Na ikawa kwamba hawa-kupata njia yoyote ya kujitoautumwani, ila tu wawachukuewake zao na watoto wao, namifugo yao, na wanyama wao,na hema zao, na kuenda nyika-ni; kwani Walamani wakiwawengi mno, ilikuwa haiwezeka-

30a Mos. 17:12–20.b Mos. 18:34–35.

33a mwm Mamlaka.35a Mos. 25:17–18.

Page 247: KITABU CHA MORMONI

Mosia 22:3–15 230

ni kwa watu wa Limhi kupigananao, wakifikiria kujikomboakutoka utumwani kwa upanga.3 Na sasa ikawa kwamba

Gideoni alienda na kusimamambele ya mfalme, na kumwa-mbia: Sasa Ee mfalme, weweumekuwa ukisikiliza manenoyangu mara nyingi wakati tuli-pokuwa tunabishana na nduguzetu, Walamani.

4 Na sasa Ee mfalme, kamawewe hujaniona kuwa mimi nimtumishi asiyeleta faida, aukama wewe umesikiliza mane-no yangu kwa kiasi chochote, nayamekuwa yenye huduma kwa-ko, hata hivyo natamani kwa-mba usikilize maneno yanguwakati huu, na nitakuwa mtu-mishi wako na kuwakomboawatu hawa kutoka utumwani.

5 Na mfalme akamruhusukwamba azungumze. Na Gide-oni akamwambia:

6 Tazama ule mlango wa nyu-ma, kupitia ukuta wa nyumaulio upande wa nyuma wa mji.Walamani, au walinzi wa Wala-mani, huwa wamelewa usiku;kwa hivyo hebu tutume tangazomiongoni mwa watu hawa kwa-mba wakusanye pamoja mifugoyao na wanyama wao, ili wawa-peleke kwa usiku huko nyikani.

7 Na nitaenda kulingana naamri yako ili nilipe ushuru wamwisho wa mvinyo kwa Wala-mani, na watalewa; na tutapitiamlango wa siri ulio kushotomwa kambi yao watakapokuwawamelewa na kulala.

8 Na hivyo tutaondoka na

wake zetu na watoto wetu, mi-fugo yetu, na wanyama wetuna kuenda nyikani; na tutasafirikando ya nchi ya Shilomu.

9 Na ikawa kwamba mfalmealisikiliza maneno ya Gideoni.

10 Na mfalme Limhi alisaba-bisha kwamba watu wakewakusanye mifugo yao pamoja;na akatuma ushuru wa mvinyokwa Walamani; na pia alitumamvinyo zaidi, kama zawadikwao; na walikunywa kwawingi ule mvinyo uliotumwakwao na mfalme Limhi.

11 Na ikawa kwamba watu wamfalme Limhi waliondoka usi-ku na kuenda nyikani pamojana mifugo yao na wanyamawao, na walizunguka nchi yaShilomu nyikani, na wakapindanjia yao na kuelekea nchi yaZarahemla, wakiongozwa naAmoni na ndugu zake.

12 Na walikuwa wamechukuadhahabu yao yote, na fedha,na vitu vyao vya thamani, vileambavyo waliweza kubeba, napia maakuli yao, na kuendanyikani; na wakaendelea nasafari yao.

13 Na baada ya kuwa nyikanikwa siku nyingi walifika katikanchi ya Zarahemla, na kuunga-na na watu wa Mosia, na kuwawatu wake.

14 Na ikawa kwamba Mosiaaliwapokea kwa shangwe; napia alipokea amaandishi yao, napia bmaandishi ambayo yalipa-twa na watu wa Limhi.

15 Na sasa ikawa kwambawakati Walamani walipogu-

22 14a Mos. 8:5. b Mos. 8:9.

Page 248: KITABU CHA MORMONI

231 Mosia 22:16–23:11

ndua kwamba watu wa Limhiwalikuwa wameondoka nchiniusiku, walituma jeshi hukonyikani kuwafuata;16 Na baada ya kuwafuata

kwa siku mbili, hawangefuatanyayo zao tena; kwa hivyowalipotea huko nyikani.

Historia ya Alma na watu waBwana, ambao walikimbizwanyikani na watu wa MfalmeNuhu.

Yenye milango ya 23 na 24.

MLANGO WA 23

Alma anakataa kuwa mfalme —Anatumika kama kuhani mkuu —Bwana anawakemea watu wake,na Walamani wananyakua nchiya Helamu — Amuloni, kiongoziwa makuhani waovu wa mfalmeNuhu, anatawala chini ya mfalmewa Walamani. Karibu mwaka wa145 hadi 121 kabla ya kuzaliwakwa Kristo.

Sasa Alma, akiwa ameonywana Bwana kwamba majeshi yamfalme Nuhu yatawavamia, nabaada ya kujulisha watu wake,kwa hivyo walikusanya pamojamifugo yao, na kuchukua nafa-ka yao, na wakaondoka na kue-lekea nyikani mbele ya majeshiya mfalme Nuhu.2 Na Bwana aliwaongezea

nguvu, kwamba watu wa mfal-me Nuhu wasiwafikie na ku-waangamiza.

3 Na wakasafiri kwa muda wasiku nane huko nyikani.

4 Na wakaja katika nchi fulani,ndio, nchi iliyo rembo na nzuri,nchi ya maji safi.

5 Na wakapiga hema zao,na wakaanza kulima ardhi, nakuanza kujenga majengo; ndio,walikuwa wenye bidii, na wa-lifanya kazi sana.

6 Na watu walitaka kwambaAlma awe mfalme wao, kwanialipendwa na watu wake.

7 Lakini aliwaambia: Tazame-ni, haistahili kwamba tuwe namfalme; kwani Bwana asemahivi : a Hamtatukuza mwil immoja zaidi ya mwingine, aumtu asidhani kwamba yuko juuzaidi ya mwingine; kwa hivyonawaambia haistahili muwe namfalme.

8 Walakini, kama ingewezeka-na muwe na watu wenye hakinyakati zote wawe wafalmewenu ingekuwa ni vyema kwe-nu muwe na mfalme.

9 Lakini kumbukeni amaovuya mfalme Nuhu na makuhaniwake; na mimi mwenyewebnilinaswa katika mtego, nanilifanya vitu vingi ambavyovilikuwa vinachukiza machonimwa Bwana, na vilinisababishiashida kuu ya kutubu;

10 Walakini, baada ya ashidanyingi, Bwana alisikia viliovyangu, na akajibu sala zangu,na amenifanya kuwa chombomikononi mwake cha kuweze-sha wengi wenu bsana kuwa naufahamu wa ukweli wake.

11 Walakini, kwa hii mimi

23 7a Mos. 27:3–5.9a Mit. 16:12;

Mos. 11:1–15.b Mos. 17:1–4.

10a M&M 58:4.b Mos. 18:35.

Page 249: KITABU CHA MORMONI

Mosia 23:12–25 232

sijitukuzi, kwani mimi sistahilikujitukuza mwenyewe.12 Na sasa nawaambia, mme-

dhulumiwa na mfalme Nuhu,na mmekuwa utumwani kwakena kwa makuhani wake, nakuwekwa kwenye uovu nao;kwa hivyo mlifungwa kwaakanda za maovu.13 Na sasa kwa vile mmeko-

mbolewa kwa nguvu za Mungukutoka kwa hii minyororo;ndio, kutoka kwa mikono yamfalme Nuhu na watu wake,na pia kutoka kwa minyororoya maovu, hata hivyo ninatakaamsimame imara kwenye huobuhuru ambao kwa hii mmeko-mbolewa, na kwamba cmsi-mwamini mtu yeyote kuwamfalme juu yenu.

14 Na pia msimwamini yeyo-te kuwa amwalimu wenu walamhubiri wenu, ila tu awe mtuwa Mungu, anayetembea katikanjia zake na kutii amri zake.15 Hivi ndivyo Alma alivyo-

wafunza watu wake, kwambakila mtu aampende jirani yakejinsi anavyojipenda mwenye-we, kwamba kusiwe na bubishimiongoni mwao.16 Na sasa, Alma alikuwa

kuhani wao amkuu, yeye akiwamwanzilishi wa kanisa lao.

17 Na ikawa kwamba hakunayeyote aliyepokea amamlaka yakuhubiri au kufundisha ilatu kwa yule wa kutoka kwa

Mungu. Kwa hivyo aliwatakasamakuhani wao wote na wa-limu wao wote; na hakunayeyote aliyetakaswa ila tu walewanadamu waliokuwa wenyehaki.

18 Kwa hivyo waliwalindawatu wao, na akuwalisha vituvilivyohusu utakatifu.

19 Na ikawa kwamba walia-nza kufanikiwa sana nchini; nawakaiita nchi ile Helamu.

20 Na ikawa kwamba walio-ngezeka na kufanikiwa sanakatika nchi ya Helamu; nawakajenga mji, ambao waliuitamji wa Helamu.

21 Walakini Bwana anaoneleavyema akuwarekebisha watuwake; ndio, anajaribu bsubirana imani yao.

22 Walakini—yeyote atakaye-weka aimani yake kwake, yeyebatainuliwa juu siku ya mwisho.Ndio, na hivi ndivyo ilivyoku-wa na watu hawa.

23 Kwani tazama, nitakuo-nyesha kwamba walitiwa utu-mwani , na hakuna yeyoteambaye angewakomboa ila tuBwana Mungu wao, ndio, hataMungu wa Ibrahimu na Isakana wa Yakobo.

24 Na ikawa kwamba aliwako-mboa, na akawaonyesha uwezowake mkuu, na walifurahi sana.

25 Kwani tazama, ikawa kwa-mba walipokuwa katika nchiya Helamu, ndio, katika mji wa

12a 2 Ne. 28:19–22.13a Gal. 5:1.

b mwm Uhuru.c Mos. 29:13.

14a Mos. 18:18–22.15a mwm Upendo.

b 3 Ne. 11:28–29.16a Mos. 26:7.17a mwm Mamlaka;

Ukuhani.18a 1 Tim. 4:6.21a Hel. 12:3;

M&M 98:21.mwm Kurudi,Kurudiwa.

b mwm Subira.22a mwm Tegemea.

b 1 Ne. 13:37.

Page 250: KITABU CHA MORMONI

233 Mosia 23:26–39

Helamu, walipokuwa wakilimaardhi ambayo imeizingira, taza-ma jeshi la Walamani lilikuwakatika mipaka ya nchi.26 Sasa ikawa kwamba ndugu

za Alma walitoroka kutokamashamba yao, na kujikusanyapamoja kwenye mji wa Helamu;na walikuwa na woga mwingikwa sababu ya kuonekana kwaWalamani.

27 Na Alma aliwaendea nakusimama miongoni mwao, nakuwasihi kwamba wasiogope,lakini kwamba wamkumbukeBwana Mungu wao na atawa-komboa.

28 Kwa hivyo wakatulizawoga wao, na kuanza kumliliaBwana kwamba alainishe mioyoya Walamani, ili wawahurumie,na wake zao, na watoto wao.

29 Na ikawa kwamba Bwanaalilainisha mioyo ya Walamani.Na Alma na ndugu zake wakae-nda na kujitoa mikononi mwao;na Walamani wakamiliki nchiya Helamu.

30 Sasa majeshi ya Walamani,yaliokuwa yamefuata watu wamfalme Limhi, yalipotea nyi-kani kwa siku nyingi.

31 Na tazama, waliwapatawale makuhani wa mfalmeNuhu, katika mahali walipoitaAmuloni; na walikuwa wame-anza kumiliki nchi ya Amulonina kuanza kulima ardhi.

32 Sasa jina la yule kiongozi wamakuhani lilikuwa Amuloni.

33 Na ikawa kwamba Amulonialiwasihi Walamani; na piaakawatuma wake zao, ambao

walikuwa amabinti za Walama-ni, kusihi ndugu zao, kwambawasiwaangamize waume wao.

34 Na Walamani waliwaoneaahuruma Amuloni na nduguzake, na hawakuwaangamiza,kwa sababu ya wake zao.

35 Na Amuloni na ndugu zakewaliungana na Walamani, nawalikuwa wakisafiri nyikaniwakitafuta nchi ya Nefi wali-poigundua nchi ya Helamu,ambayo ilikuwa imemilikiwana Alma na ndugu zake.

36 Na ikawa kwamba Wala-mani wakawaahidi Alma nandugu zake, kwamba kamawangewaonyesha njia ya kue-lekea hadi nchi ya Nefi wange-okoa maisha yao na kuwapatiauhuru wao.

37 Lakini baada ya Almakuwaonyesha njia iliyoelekeahadi nchi ya Nefi Walamanihawakutimiza ahadi yao; lakiniwaliwawekea Alma na nduguzake awalinzi, kuizingira nchiya Helamu.

38 Na waliosalia waliendakatika nchi ya Nefi; na wenginewao walirejea katika nchi yaHelamu, na pia kuwaleta wakena watoto wa walinzi walioa-chwa katika nchi.

39 Na mfalme wa Walamanialikuwa amemruhusu Amulonikwamba awe mfalme na mta-wala wa watu wake, ambao wa-likuwa katika nchi ya Helamu;walakini hakuwa na uwezo wakufanya lolote ambalo lilikuwakinyume cha matakwa ya mfal-me wa Walamani.

33a Mos. 20:3–5. 34a mwm Huruma. 37a Mos. 24:8–15.

Page 251: KITABU CHA MORMONI

Mosia 24:1–11 234

MLANGO WA 24

Amuloni anawatesa Alma na watuwake — Watauawa kama watasali—Bwana anaifanya mizigo yao iwemiepesi — Anawokomboa kutokautumwani, na wanarajea Zarahe-mla. Karibu mwaka wa 145 hadi120 kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

Na ikawa kwamba Amulonialipendelewa na mfalme waWalamani; kwa hivyo, mfalmewa Walamani aliwaruhusu yeyena ndugu zake wateuliwe kuwawalimu wa watu wake, ndio,hata juu ya watu waliokuwakatika nchi ya Shemloni, na ka-tika nchi ya Shilomu, na katikanchi ya Amuloni.

2 Kwani Walamani walikuwawamemiliki nchi hizi zote; kwahivyo, mfalme wa Walamanialikuwa amewateua wafalmekatika nchi hizi.

3 Na sasa jina la mfalme waWalamani lilikuwa Lamani, aki-itwa kwa jina la baba yake;na kwa hivyo aliitwa mfalmeLamani. Na alikuwa mfalmewa watu wengi.

4 Na aliwateua walimu wandugu za Amuloni katika kilanchi iliyomilikiwa na watuwake; na hivyo lugha ya Nefiilianza kufunzwa miongonimwa watu wote wa Walamani.

5 Na walikuwa watu ambaowalipendana wao kwa wao,walakini hawakumjua Mungu;wala ndugu za Amuloni hawa-kuwafunza chochote kuhusuBwana Mungu wao, wala sheria

ya Musa; wala hawakuwafunzamaneno ya Abinadi;

6 Lakini waliwafunza kuhifa-dhi maandishi yao, na kwambawaandikiane wao kwa wao.

7 Na hivyo Walamani wakaa-nza kufanikiwa kwa utajiri,na wakaanza kufanya biasharawao kwa wao na kuwa nanguvu, na wakaanza kuwawajanja na watu wenye heki-ma, kulingana na hekima yaulimwengu, ndio, watu wenyeujanja mwingi, na kufurahi-shwa na kila aina ya uovu nauporaji, ila tu miongoni mwandugu zao.

8 Na sasa ikawa kwambaAmuloni alianza akuwanya-nyasa Alma na ndugu zake, nakuanza kumtesa na kuwasaba-bisha watoto wake kuwatesawatoto wao.

9 Kwani Amuloni alikuwaamemjua Alma, kwamba aliku-wa ammoja wa makuhani wamfalme, na kwamba ni yeyealiyeamini maneno ya Abinadina kufukuzwa kutoka mbele yamfalme, na kwa hivyo alikasi-rishwa na yeye; kwani alikuwachini ya mfalme Lamani, nabado aliwanyanyasa, na kuwa-fanyisha kazi bngumu, na ku-wawekea manyapara.

10 Na ikawa kwamba matesoyao yalikuwa makuu hata kwa-mba wakaanza kumlilia Mungu.

11 Na Amuloni akawaamurukwamba waache vilio vyao; naaliwawekea walinzi kuwalinda,kwamba yeyote atakayepatika-na akimlingana Mungu auawe.

24 8a M&M 121:39. 9a Mos. 17:1–4; 23:9. b Mos. 21:3–6.

Page 252: KITABU CHA MORMONI

235 Mosia 24:12–23

12 Na Alma na watu wakehawakupaza sauti zao kwaBwana Mungu wao, lakini awa-limfunulia mioyo yao; na alijuamawazo ya mioyo yao.

13 Na ikawa kwamba sauti yaBwana iliwafikia katika matesoyao, ikisema: lnueni vichwavyenu na msherehekee, kwanininajua agano ambalo mlinifa-nyia; na nitaagana na watuwangu na kuwakomboa kutokautumwani.

14 Na pia nitawapunguziamizigo ambayo imewekwa ma-begani yenu, hata kwambahamtaisikia kamwe migongonimwenu, hata mkiwa utumwani;na nitafanya haya ili muweamashahidi wangu hapo baada-ye , na kwamba mjue kwahakika kwamba mimi, BwanaMungu, huwatembelea watuwangu katika bmateso yao.

15 Na sasa ikawa kwambamizigo ambayo ilikuwa wame-wekewa Alma na ndugu zakeilipunguzwa; ndio, Bwana ali-wapatia anguvu kwamba wabe-be bmizigo yao kwa urahisi, nawalinyenyekea kwa furaha nacsubira kwa mapenzi ya Bwana.16 Na ikawa kwamba imani

yao na subira yao ilikuwa kuusana hata kwamba sauti yaBwana ikawajia tena, ikisema:Shangilieni, kwani hapo keshonitawakomboa kutoka utu-mwani.

17 Na akamwambia Alma:

Wewe utaenda mbele ya hawawatu, na nitaenda nawe na ku-wakomboa watu hawa kutokaautumwani.18 Na sasa ikawa kwamba

Alma na watu wake walikusa-nya mifugo yao pamoja usiku,na pia nafaka yao; ndio, hatausiku wote walikusanya mifugoyao pamoja.

19 Na asubuhi Bwana alisaba-bisha usingizi amzito uwapateWalamani, ndio, na manyapa-ra wao wote walilala usingizimzito.

20 Na Alma na watu wake wa-lienda nyikani; na walipokuwawamesafiri mchana wote wali-piga mahema zao katika bonde,na wakaliita lile bonde Alma,kwa sababu aliwaongoza njianiwakielekea nyikani.

21 Ndio, na katika bonde laAlma walimpigia Mungu waoashukrani kwa sababu aliware-hemu, na kupunguza mizigoyao, na kuwakomboa kutokautumwani, kwani walikuwautumwani, na hakuna yeyoteambaye angewakomboa ila tuBwana Mungu wao.

22 Na wakamshukuru Mungu,ndio, waume wao wote na wakezao wote na watoto wao woteambao waliweza kuzungumzawalipaza sauti zao na kumshu-kuru Mungu wao.

23 Na sasa Bwana akamwa-mbia Alma: Jiharakishe wewena utoe watu hawa kutoka nchi

12a mwm Sala.14a mwm Shahidi,

Ushahidi.b mwm Shida.

15a Mt. 11:28–30.

b Alma 31:38; 33:23.c M&M 54:10.

mwm Subira.17a mwm Ufungwa.19a 1 Sam. 26:12.

21a mwm Shukrani,Shukrani, enye,Toa shukrani.

Page 253: KITABU CHA MORMONI

Mosia 24:24–25:11 236

hii, kwani Walamani wameam-ka na wanakufuata; kwa hivyojiondoe kutoka nchi hii, nanitawazuia Walamani katikabonde hili ili wasiwafuate watuhawa.24 Na ikawa kwamba walio-

ndoka bondeni, na kuelekeanyikani.

25 Na baada ya kuwa nyikanikwa siku kumi na mbili walifikakatika nchi ya Zarahemla; namfalme Mosia aliwapokea kwashangwe.

MLANGO WA 25

Mbegu ya Muleki katika Zarahemlawanakuwa Wanefi — Wanajifunzakuhusu watu wa Alma na Zenivu— Alma anawabatiza Limhi nawatu wake wote — Mosia anam-ruhusu Alma kuanzisha Kanisa laMungu. Karibu mwaka wa 120kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

Na sasa mfalme Mosia alisaba-bisha kwamba watu wote wa-kusanyike pamoja.

2 Sasa hakukuwa na watotowa Nefi wengi, au wale wengiwaliokuwa uzao wa Nefi, kamavile wale awatu wa Zarahemla,ambaye alikuwa ni wa uzao wabMuleki, na wale ambao wali-kuja na yeye nyikani.

3 Na watu wa Nefi na watu waZarahemla hawakuwa wengikama Walamani; ndio, hatahawakuwa nusu yao.

4 Na sasa watu wote wa Nefiwalikuwa wamekusanyika pa-moja, na pia watu wote wa

Zarahemla, na walikuwa wame-kusanyika pamoja kwa vikundiviwili.

5 Na ikawa kwamba Mosiaalisoma, na akasababisha kuso-mwa, kwa maandishi ya Zenivukwa watu wake; ndio, alisomamaandishi ya watu wa Zenivu,tangu ule wakati walipoondokakutoka nchi ya Zarahemla hadiule wakati waliporejea tena.

6 Na pia alisoma historia yaAlma na ndugu zake, na matesoyao yote, tangu waondoke nchiya Zarahemla hadi ule wakatiambao walirejea tena.

7 Na sasa, Mosia alipomalizakusoma yale maandishi, watuwake ambao walikuwa wame-baki katika nchi ile walijazwana mshangao na kustaajabu.

8 Kwani hawakujua la kufiki-ria; kwani walipotazama waleambao walikuwa wamekombo-lewa akutoka utumwani wali-kuwa wamejazwa na shangwekuu zaidi.

9 Na tena, walipofikiri kuhusuvile ndugu zao walivyouawa naWalamani walijazwa na huzuni,na hata kumwaga machozimengi ya huzuni.

10 Na tena, walipofikiri kuhu-su wema wa Mungu ulio kamili,na uwezo wake katika kuwa-komboa Alma na ndugu zakekutoka mikono ya Walamanina utumwa, walipaza sauti zaona kumshukuru Mungu.

11 Na tena, walipofikiri juu yaWalamani, ambao walikuwa nindugu zao, jinsi walivyokuwakatika hali ya dhambi na iliyo-

25 2a Omni 1:13–19.b Hel. 6:10.

mwm Muleki.8a Mos. 22:11–13.

Page 254: KITABU CHA MORMONI

237 Mosia 25:12–22

chafuka, walijazwa na auchunguna maumivu kwa sababu yaustawi wa bnafsi zao.12 Na ikawa kwamba wale

ambao walikuwa watoto waAmuloni na ndugu zake, ambaowalikuwa wamewachukua ma-binti za Walamani kuwa wakewao, hawakufurahishwa natabia za babu zao, na hawaku-taka waitwe tena kwa majinaya babu zao, kwa hivyo waliji-chukulia jina la Nefi, ili waitwewatoto wa Nefi na kuhesabiwamiongoni mwa wale walioitwaWanefi.

13 Na sasa watu wote waZarahemla awalihesabiwa pa-moja na Wanefi, na hii ni kwasababu ufalme haukukabidhiwayeyote ila tu wale waliokuwawa uzao wa Nefi.14 Na sasa ikawa kwamba

Mosia alipomaliza kuzungumzana kusomea watu, alitaka Almapia azungumzie watu.

15 Na Alma aliwazungumzia,walipokusanyika pamoja kwavikundi vikubwa, na aliendakutoka kwa kikundi kimojahadi kingine, akiwahubiriawatu toba na imani katikaBwana.

16 Na akawasihi watu waLimhi na ndugu zake, walewote ambao walikuwa wame-kombolewa kutoka utumwani,kwamba wakumbuke kuwa niBwana ambaye alikuwa ame-wakomboa.

17 Na ikawa kwamba baadaya Alma kuwafunza watu vitu

vingi, na kumaliza kuwazungu-mzia, kwamba mfalme Limhialitaka abatizwe; na watu wakewote pia walitaka kubatizwa.

18 Kwa hivyo, Alma aliingiakatika maji na akuwabatiza;ndio, aliwabatiza jinsi alivyo-batiza ndugu zake katika yalebmaji ya Mormoni; ndio, na walewote aliobatiza waliingia katikakanisa la Mungu; na hii ilikuwani kwa sababu yao kuaminimaneno ya Alma.

19 Na ikawa kwamba mfalmeMosia alimruhusu Alma kua-nzisha makanisa kote katikanchi ya Zarahemla; na akampaauwezo wa kuwatawaza maku-hani na walimu katika kilakanisa.

20 Sasa haya yalitendeka kwasababu kul ikuwa na watuwengi hata kwamba hawange-tawaliwa na mwalimu mmoja;wala hawangesikia neno laMungu wakiwa katika kikundikimoja;

21 Kwa hivyo walikusanyikapamoja katika vikundi tofauti,na kuitwa makanisa; kila kanisalikiwa na makuhani wake nawalimu wake, na kila kuhaniakihubiri neno kulingana navile lilivyotolewa kwa kinywacha Alma.

22 Na hivyo, licha ya kuwa namakanisa mengi, yote yalikuwaakanisa moja, ndio, hata kanisala Mungu; kwani hakuna lingi-ne lolote lililohubiriwa maka-nisani ila tu toba na imani katikaMungu.

11a Mos. 28:3–4;Alma 13:27.

b mwm Nafsi—

Thamani ya nafsi.13a Omni 1:19.18a Mos. 21:35.

b Mos. 18:8–17.19a mwm Ukuhani.22a Mos. 18:17.

Page 255: KITABU CHA MORMONI

Mosia 25:23–26:10 238

23 Na sasa kulikuwa namakanisa saba katika nchi yaZarahemla. Na ikawa kwambawowote waliotaka kulichukuaajina la Kristo, au la Mungu,walijiunga na makanisa yaMungu;24 Na waliitwa a watu wa

Mungu. Na Bwana aliwatere-mshia Roho wake juu yao, nawakabarikiwa, na kufanikiwakatika nchi.

MLANGO WA 26

Washirika wengi wa Kanisa wa-naelekezwa dhambini na wasioa-mini—Alma anaahidiwa uzima wamilele—Wale ambao wanatubu nakubatizwa wanapokea msamaha—Washirika wa Kanisa ambao wakokatika dhambi wakitubu na kuu-ngama kwa Alma na kwa Bwanawatasamehewa; la sivyo, hawata-hesabiwa miongoni mwa watu waKanisa. Karibu mwaka wa 120 hadi100 kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

Sasa ikawa kwamba kulikuwana wengi wa uzazi mchangaambao hawakufahamu manenoya mfalme Benyamini, kwaniwalikuwa watoto wadogo alipo-wazungumzia watu wake; nahawakuamini mila za babu zao.

2 Hawakuamini yale ambayoyalikuwa yamezungumzwa ku-husu ufufuo wa wafu, walahawakuamini kuhusu kuja kwaKristo.

3 Na sasa kwa sababu ya kuto-

amini kwao ahawakufahamuneno la Mungu; na mioyo yaoilikuwa imeshupazwa.

4 Na hawakubatizwa; walahawakujiunga na kanisa. Nawalikuwa watu tofauti kulinga-na na imani yao, na waliishihivyo daima, katika hali yaoya akimwili na yenye dhambi;kwani hawakumkimbilia Bwa-na Mungu wao.

5 Na sasa katika utawala waMosia hawakuwa wengi kiasinusu kama watu wa Mungu;lakini kwa sababu ya amafara-kano miongoni mwa nduguwaliongezeka.

6 Kwani ikawa kwamba wali-wadaganya wengi kwa manenoyao ya mzaha, ambao walikuwakanisani, na kuwasababishakutenda dhambi nyingi; kwahivyo ilibidi wale ambao wali-kuwa kanisani, na kutendadhambi, awaonywe na kanisa.7 Na ikawa kwamba walile-

twa mbele ya makuhani, nakukabidhiwa kwa makuhani nawalimu; na makuhani waka-waleta mbele ya Alma, ambayealikuwa ni kuhani amkuu.

8 Sasa mfalme Mosia alikuwaamempatia Alma mamlaka juuya kanisa.

9 Na ikawa kwamba Almahakujua mengi juu yao; lakinikulikuwa na mashahidi wengikinyume chao; ndio, watu wa-lisimama na kushuhudia sanakuhusu uovu wao.

10 Sasa kulikuwa kitu kama

23a mwm Yesu Kristo—Kujichukulia Jina laYesu Kristo juu yetu.

24a mwm Agano.

26 3a mwm Ufahamu.4a mwm Mwanadamu

wa Tabia ya Asili.5a mwm Ukengeufu;

Ushindani.6a Alma 5:57–58; 6:3.

mwm Onya, Onyo.7a Mos. 29:42.

Page 256: KITABU CHA MORMONI

239 Mosia 26:11–23

hicho hakijawahi kutendekakanisani; kwa hivyo Alma ali-sononeka rohoni mwake, naakasababisha kwamba waletwembele ya mfalme.11 Na akamwaambia mfalme:

Tazama, hapa kuna wengiambao tumewaleta mbele yako,na ambao wameshtakiwa nandugu zao; ndio, na wamepati-kana katika maovu mengi. Nahawatubu maovu yao; kwahivyo tumewaleta mbele yako,ili uwahukumu kulingana nahatia zao.

12 Lakini mfalme Mosia ali-mwambia Alma: Tazama, mimisitawahukumu; kwa hivyo ana-wakabidhi mikononi mwakoili wahukumiwe.

13 Na sasa roho ya Alma iliso-noneka tena; na akaenda nakumwuliza Bwana yale ataka-yotenda kuhusu jambo hili,kwani aliogopa kwamba atafa-nya vibaya mbele ya Mungu.

14 Na ikawa kwamba baadaya kumfunulia Mungu rohoyake, sauti ya Bwana ilimjia, nakusema:

1 5 H e r i w e w e , A l m a , n aheri wale ambao walibatizwakatika amaji ya Mormoni. Weweumebarikiwa kwa sababu yabimani yako kuu katika mane-no pekee ya mtumishi wanguAbinadi.

16 Na wamebarikiwa wao kwasababu ya imani yao kuu katika

yale maneno ambayo umewa-zungumzia.

17 Na wewe umebarikiwa kwasababu umeanzisha akanisamiongoni mwa watu hawa; nawataimarishwa, na watakuwawatu wangu.

18 Ndio, heri watu hawa kwasababu wako tayari kulichukuaajina langu; kwani wataitwakwa jina langu; na watakuwawangu.

19 Na kwa sababu weweumeniuliza kuhusu mwenyedhambi, wewe umebarikiwa.

20 Wewe ni mtumishi wangu;na ninaagana na wewe kwambautapokea uzima wa amilele; nautanitumikia na kuendeleambele kwa jina langu, na utaku-sanya pamoja kondoo wangu.

21 Na yule atakayesikia sautiyangu atakuwa akondoo wangu;na yeye utampokea kanisani,na pia mimi nitampokea.

22 Kwani tazama, hili ni kanisalangu; yeyote aatakayebatizwaatabatizwa ubatizo wa toba. Nayeyote utakayempokea atalia-mini jina langu; na yeye bnita-msamehe bila sharti.

23 Kwani ni mimi ambayeanajichukulia dhambi za uli-mwengu juu yangu; kwani nimimi ambaye bniliwaumba; nani mimi ambaye nampatia yuleanayeamini hadi mwisho ma-hali kwa mkono wangu wakuume.

12a M&M 42:78–93.15a Mos. 18:30.

b Mos. 17:2.mwm Imani.

17a Mos. 25:19–24.18a Mos. 1:11; 5:8.

mwm Yesu Kristo—

Kujichukulia Jina laYesu Kristo juu yetu.

20a mwm Teule,Wateule; Uteuzi;Uzima wa Milele.

21a mwm MchungajiMwema.

22a 2 Ne. 9:23.mwm Batiza, Ubatizo.

b mwm Ondoleo laDhambi; Samehe.

23a mwm Mkombozi.b mwm Umba,

Uumbaji.

Page 257: KITABU CHA MORMONI

Mosia 26:24–36 240

24 Kwani tazama, kwa jinalangu wanaitwa; na ikiwaawananijua watakuja mbele, nawatapata mahali pa milele kwamkono wangu wa kuume.25 Na itakuwa kwamba taru-

mbeta ya apili itakapopigwa,basi wale ambao hawajawahibkunijua watakuja mbele nakusimama mbele yangu.

26 Na ndipo watajua kwambamimi ni Bwana Mungu wao, nakwamba mimi ni Mkomboziwao; lakini hawakutaka kuko-mbolewa.

27 Na kisha nitakiri kwaokwamba asikuwajua; na bwata-elekea kwenye moto usio nacmwisho ambao umetayarishi-wa ibilisi na malaika wake.28 Kwa hivyo nakwaambia,

kwamba yule ambaye ahatasikiasauti yangu, huyo hutampokeakatika kanisa langu, kwani yeyesitampokea katika siku yamwisho.29 Kwa hivyo nakuambia,

Nenda; na yeyote ambaye ana-nikosea, huyo autamhukumubkulingana na dhambi ambazoametenda; na kama cataunga-ma dhambi zake mbele yakona mimi, na datubu kwa moyowake kwa kweli, eutamsamehe,na pia nitamsamehe.

30 Ndio, na akila mara watu

wangu bwatatubu, nitawasame-he makosa yao dhidi yangu.

31 Na pia nyinyi amtasamehe-ana makosa yenu; kwa kwelinawaambia, yule ambaye hata-msamehe jirani yake makosaanaposema kuwa ametubu,huyu amej iweka chini yahukumu.

32 Sasa nakwambia, Nenda; nayeyote asiyetubu dhambi zake,huyo hatahesabiwa miongonimwa watu wangu; na hii itafu-atwa kutoka wakati huu nadaima.

33 Na ikawa kwamba wakatiAlma alipokuwa amesikia ma-neno haya aliyaandika chini iliawe nayo, na kwamba awezekuwahukumu watu wa kanisal i le kul ingana na amri zaMungu.

34 Na ikawa kwamba Almaalienda na kuwahukumu waleambao walikuwa wamepatika-na na maovu, kulingana na nenola Bwana.

35 Na yeyote ambaye alitubudhambi zake na akuungama,aliwahesabu wao miongonimwa watu wa kanisa;

36 Na wale ambao hawakutu-bu dhambi zao na maovu yao,wao hawakuhesabiwa miongo-ni mwa watu wa kanisa, namajina yao ayalifutwa.

24a Yn. 17:3.25a M&M 88:99, 109.

b M&M 76:81–86.27a Mt. 7:21–23.

b Lk. 13:27.c M&M 76:43–44.

28a 2 Ne. 9:31; M&M 1:14.29a mwm Amua,

Hukumu.

b mwm Kuwajibika,Uwajibikaji, Wajibika.

c 3 Ne. 1:25.mwm Kiri, Kukiri.

d mwm Toba, Tubu.e mwm Samehe.

30a Moro. 6:8.b Eze. 33:11, 15–16;

Mdo. 3:19–20;

Mos. 29:19–20.31a 3 Ne. 13:14–15;

M&M 64:9–10.35a mwm Kiri, Kukiri.36a Kut. 32:33;

Alma 1:24.mwm Kitabu chaUzima; Kutengwa naKanisa.

Page 258: KITABU CHA MORMONI

241 Mosia 26:37–27:6

37 Na ikawa kwamba Almaaliongoza mambo yote ya kani-sa; na wakaanza tena kupataamani na kufanikiwa sanakatika mambo ya kanisa, waki-tembea kwa uangalifu mbeleya Mungu, wakipokea wengi,na kubatiza wengi.

38 Na sasa hivi vitu vyote ndi-vyo vile ambavyo Alma na wa-tumishi wenzake waliokuwa juuya kanisa walifanya, wakitembeakwa uangalifu, wakifunza nenola Mungu katika vitu vyote, wa-kiteseka kila aina ya mateso, nakuteswa na wale wote ambaohawakuwa wa kanisa la Mungu.

39 Na waliwaonya nduguzao; na pia nao awalionywa,kila mmoja wao kwa neno laMungu, kulingana na dhambizake, au dhambi ambazo aliku-wa ametenda, na kuamriwa naMungu bwasali bila ckukoma,na kushukuru kwa vitu vyote.

MLANGO WA 27

Mosia anakomesha mateso na ana-amrisha usawa — Alma Mdogo nawana wanne wa Mosia wanajari-bu kuangamiza Kanisa — Malaikaanawatokea na kuwaamuru waachemwenendo wao wa uovu — Almaanapigwa na kuwa bubu — Wana-damu wote lazima wazaliwe tenaili wapokee wokovu — Alma nawana wa Mosia wanahubiri habarinjema. Karibu mwaka wa 100 hadi92 kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

Na sasa ikawa kwamba yalemateso ambayo yaliwekelewakanisa na wasioamini yalikuwamakuu hata kwamba kanisa li-kaanza kunung’unika, na kula-lamikia viongozi wao kuhusuhilo jambo; na walimlalamikiaAlma. Na Alma akamwelezeamfalme wao, Mosia, hii kesi.Na Mosia alishauriana na ma-kuhani wake.

2 Na ikawa kwamba mfalmeMosia alituma tangazo kotenchini kwamba wale wasioa-mini awasiwatese wale ambaowalikuwa wa kanisa la Mungu.

3 Na kulikuwa na amri kalikatika makanisa yote kwambakusiwe na mateso miongonimwao, na kwamba kuwe naausawa miongoni mwa watuwote;

4 Kwamba wasikubali kiburiau maringo kuharibu aamaniyao; kwamba kila mtu bamhe-shimu jirani yake jinsi anavyoji-heshimu, na kufanya kazi kwamikono yao wenyewe ili waishi.

5 Ndio, na makuhani wao wotena walimu wao wote iliwabidikufanya akazi kwa mikono yaoili waweze kuishi, katika kilahali isipokuwa wanapougua,au wakiwa na taabu nyingi; nakwa kufanya vitu hivi, walipo-kea bneema ya Mungu.6 Na kukawa na amani kubwa

tena katika nchi; na watu wa-kaanza kuongezeka sana, nawakaanza kutawanyika hukuna kule usoni mwa dunia, ndio,

39a mwm Onya, Onyo.b 2 Ne. 32:8–9.c mwm Shukrani,

Shukrani, enye, Toa

shukrani.27 2a mwm Mateso, Tesa.

3a Mos. 23:7; 29:32.4a mwm Amani.

b mwm Tukuza.5a Mos. 18:24, 26.

b mwm Neema.

Page 259: KITABU CHA MORMONI

Mosia 27:7–16 242

kaskazini na kusini, masharikina magharibi, wakijenga mijimikubwa na vijiji katika sehe-mu zote za nchi.7 Na Bwana aliwatembelea

na kuwafanikisha, na wakawawatu wengi na matajiri.

8 Sasa wana wa Mosia walihe-sabiwa miongoni mwa walemakafiri; na pia amwana mmojawa Alma alihesabiwa miongonimwao, yeye akiitwa Alma,kama baba yake; walakini, aka-wa mtu mwovu na mwenyekuabudu bsanamu. Na alikuwamtu wa maneno mengi, na ali-waelezea watu maneno mengiya mzaha; kwa hivyo aliwao-ngoza watu wengi watendemaovu kama yake.

9 Na akawa pingamizi kuukwa mafanikio ya kanisa laMungu; aakiiba mioyo ya watu;akisababisha mafarakano mio-ngoni mwa watu; na kumpatiaadui wa Mungu nafasi yakuwatawala kwa uwezo wake.10 Na ikawa kwamba alipo-

kuwa akienda hivyo ili aanga-mize kanisa la Mungu, kwanialienda hivyo kwa kisiri nawana wa Mosia ili waangamizekanisa, na kuwapotosha watuwa Bwana, kinyume cha amriza Mungu, au hata mfalme —

11 Na kama vile nilivyowaele-zea, jinsi vile awalivyomuasiMungu, tazama, bmalaika waBwana caliowatokea; na alishu-ka kama kwa wingu; na alizu-

ngumza kwa sauti kama radi,iliyosababisha ardhi kuteteme-ka pale waliposimama;

12 Na walikuwa na mshangaomkuu, hata kwamba wakaina-ma kwenye ardhi, na hawaku-fahamu maneno yale ambayoaliwazungumzia.

13 Walakini alipaza sauti tena,akisema: Alma, inuka na usima-me, kwa nini wewe unalitesakanisa la Mungu? Kwani Bwanaamesema: aHili ni kanisa langu,na nitalijenga; na hakuna lolotelitakalolipinga, ila tu watuwangu watende dhambi.

14 Na tena, malaika akasema:Tazama, Bwana amesikia asalaza watu wake, na pia sala zamtumishi wake, Alma, ambayeni baba yako; kwani ameombakwa imani kubwa kukuhusu iliupate kuelimika kwa ukweli;kwa hivyo, ni kwa sababu hiinimekuja kukusadikisha ku-husu uwezo na mamlaka yaMungu, kwamba bsala za watu-mishi wake zijibiwe kulinganana imani yao.

15 Na sasa tazameni, je unawe-za kupinga nguvu za Mungu?Kwani tazama, si sauti yanguinatingisha ardhi? Na pia huni-oni mbele yako? Na nimetumwakutoka kwa Mungu.

16 Sasa nakwambia: Nenda,na ukumbuke utumwa wa babuzako katika nchi ya Helamu, nakatika nchi ya Nefi; na kumbukavile vitu vikuu ambavyo ame-

8a mwm Alma, Mwanawa Alma.

b mwm Kuabudusanamu.

9a 2 Sam. 15:1–6.

11a mwm Uasi.b mwm Malaika.c Mdo. 9:1–9;

Alma 8:15.13a mwm Yesu Kristo—

Kichwa cha Kanisa.14a Alma 10:22.

b Morm. 9:36–37.

Page 260: KITABU CHA MORMONI

243 Mosia 27:17–25

watendea; kwani walikuwautumwani, na aamewakomboa.Na sasa nakuambia wewe,Alma, enda njia yako, na usija-ribu kuangamiza kanisa tena,ili sala zao zijibiwe, na hivihata kama wewe mwenyeweutataka kutupiliwa mbali.

17 Na sasa ikawa kwambahaya ndiyo yalikuwa manenoya mwisho ambayo malaika ali-mwambia Alma, na akaondoka.

18 Na sasa Alma na wale we-ngine aliokuwa nao waliinamatena kwenye ardhi kwani msha-ngao wao ulikuwa mkuu; kwanikwa macho yao walikuwa wa-meona malaika wa Bwana; nasauti yake ilikuwa kama radi,ambayo ilitingisha ulimwengu;na walijua kwamba hakunakingine chochote ila tu nguvuza Mungu ambazo zingetingi-sha ulimwengu mpaka ioneka-ne kama itapasuka.

19 Na sasa mshangao waAlma ulikuwa mkubwa sanakwamba akawa bubu, asiwezekufungua kinywa chake; ndio,na akawa mnyonge, hata kwa-mba hakuweza kunyosha miko-no yake; kwa hivyo alibebwa nawale ambao walikuwa na yeye,akiwa hajiwezi, hata mpaka wa-lipomweka mbele ya baba yake.

20 Na wakamwambia babayake yote ambayo yaliwatokea;na baba yake alifurahi, kwaniali jua kwamba ulikuwa niuwezo wa Mungu.

21 Na akasababisha kwambaumati ukusanywe pamoja iliushuhudie yale ambayo Bwanaalikuwa amemtendea mwanawake, na pia kwa wale ambaowalikuwa na yeye.

22 Na akasababisha kwambamakuhani wakusanyike pamo-ja; na wakaanza kufunga, nakumwomba Bwana Mungu waokwamba afungue kinywa chaAlma, ili azungumze, na piakwamba viungo vyake vipokeenguvu — kwamba macho yawatu yafunuliwe ili waone nawatambue wema na utukufuwa Mungu.

23 Na ikawa kwamba baadaya wao kufunga na kuombakwa muda wa siku mbili ku-chwa, kucha, viungo vya Almavilipokea nguvu, na akasimamana akaanza kuwazungumzia,na kuwaalika kwamba wawena faraja:

24 Kwani, alisema, nimetubudhambi zangu, na akukombo-lewa na Bwana; tazama nime-zaliwa kwa Roho.

25 Na Bwana akaniambia: Usi-shangae kwamba wanadamuwote, ndio, wanaume na wana-wake, mataifa yote, lugha, kabi-la, na watu, lazima awazaliwemara ya pili; ndio, wazaliwe naMungu, bwabadilishwe kutokahali yao ya ckimwili na ya kua-nguka, kwa hali ya utakatifu,na kukombolewa na Mungu,na kuwa wana na mabinti zake;

16a Mos. 23:1–4.24a 2 Ne. 2:6–7.

mwm Komboa,Kombolewa,Ukombozi.

25a Rum. 6:3–11;Mos. 5:7; Alma 5:14;Musa 6:59.mwm Zaliwa naMungu, Zaliwa Tena.

b Mos. 3:19; 16:3.c mwm Tamaa za

kimwili.

Page 261: KITABU CHA MORMONI

Mosia 27:26–35 244

26 Na hivyo wanakuwa viu-mbe vipya; na wasipofanyahivi, ahawawezi kwa vyovyotekurithi ufalme wa Mungu.27 Nawaambia, isipokuwa

hivi, lazima watengwe; na hiinajua, kwa sababu karibu miminitengwe.

28 Walakini, baada ya kupitiamateso mengi, na kukaribiakifo kwa kutubu, Bwana kwarehema zake ameonelea kwa-mba ni vyema kuninyakua ilinisiungue amilele, na nimezali-wa na Mungu.

29 Nafsi yangu imekombole-wa kutoka nyongo ya uchunguna vifungo vya uovu. Nilikuwakatika shimo la giza nyingi;lakini sasa naona mwangaza waajabu wa Mungu. Nafsi yanguailisononeshwa na uchunguusio na mwisho; lakini nime-nyakuliwa, na nafsi yangu hainamaumivu tena.

30 Nilimkataa Mkombozi wa-ngu, na kuyakana yale ambayoyalizungumzwa na babu zetu;lakini sasa ili waone kuwa ata-kuja, na kwamba yeye huku-mbuka kila kiumbe ambachoameumba, atajidhihirisha kwawote.

31 Ndio, akila goti litainama,na kila ulimi utakiri mbele yake.Ndio, hata katika siku ya mwi-sho, ambapo wanadamu wotewatasimama bkuhukumiwa nayeye, kisha watakiri kwambayeye ni Mungu; na kisha wata-kiri, wale ambao wanaishi uli-

mwenguni cbila Mungu, kwa-mba hukumu ya adhibio isiyona mwisho ambayo iko juu yaoni ya haki; na watatetemeka, nakutikisika, na kuogopa mbeleya tazamo la jicho lake ambalohuona dkote.32 Na sasa ikawa kwamba

Alma alianza kutoka wakatihuu na kwenda mbele kufunzawatu, na wale ambao walikuwana Alma wakati ambao malaikaaliwatokea, wakisafiri kotenchini, wakiwatangazia watuwote vitu vile ambavyo wali-kuwa wameona na kusikia, nakuhubiri neno la Mungu kwamateso mengi, wakiteswa sanana wale wasioamini, na waki-pigwa na wengi wao.

33 Licha ya haya yote, walili-fariji kanisa sana, na kuthibiti-sha imani yao, na kuwaonyakwa subira kuu na uchunguwazitii amri za Mungu.

34 Na wanne wao walikuwani awana wa Mosia; na majinayao yalikuwa ni Amoni, naHaruni, na Omneri, na Himni;haya ndiyo yalikuwa majina yawana wa Mosia.

35 Na walisafiri katika nchiyote ya Zarahemla, na miongo-ni mwa watu wote ambaowalitawaliwa na mfalme Mosia,wakijibidiisha kuponya maje-raha yote ambayo walikuwawamelifanyia kanisa, wakitubudhambi zao zote, na kutangazavitu vyote ambavyo walikuwawameona, na wakieleza unabii

26a Yn. 3:5.28a 2 Ne. 9:16.29a Mos. 2:38.31a Flp. 2:9–11;

Mos. 16:1–2;M&M 88:104.

b mwm Yesu Kristo—Mwamuzi.

c Alma 41:11.d mwm Mungu.

34a mwm Amoni, Mwanawa Mosia.

Page 262: KITABU CHA MORMONI

245 Mosia 27:36–28:7

na maandiko kwa wote ambaowalitaka kuyasikia.36 Na hivyo walikuwa vyo-

mbo mikononi mwa Mungukwa kuwezesha wengi kufaha-mu ukweli, ndio, kwa ufahamuwa Mkombozi wao.

37 Na jinsi gani walivyobariki-wa! Kwani awalitangaza amani;walitangaza habari bnjema yamambo mema; na waliwata-ngazia watu kwamba Bwanaanatawala.

MLANGO WA 28

Wana wa Mosia wanaenda kuwa-hubiria Walamani—Akitumia yalemawe mawili ya mwonaji, Mosiaanatafsiri bamba za Kiyaredi. Kari-bu mwaka wa 92 kabla ya kuzaliwakwa Kristo.

Sasa ikawa kwamba baada yaawana wa Mosia kufanya vituhivi vyote, walichukua kiku-ndi kidogo na kurejea kwababa yao, mfalme, na wakatakawaruhusiwe, wao pamoja nawale ambao walikuwa wame-wateua, kwamba waende hadikatika nchi ya bNefi ili wahubirivitu vile ambavyo walikuwawamesikia, na ili wawapatiendugu zao, Walamani, neno laMungu —2 Ili pengine wawafahamishe

kuhusu Bwana Mungu wao, nakuwasadikisha kuhusu maovu

ya baba zao; na ili pengine wa-ponye achuki yao kwa Wanefi,ili pia wawezeshwe kumshere-hekea Bwana Mungu wao, iliwawe marafiki wao kwa wao,kwamba kusiwe na mabishanokatika nchi yote ambayo Bwa-na Mungu wao alikuwa ame-wapatia.

3 Sasa walitamani kwambawokovu utangaziwe kila kiu-mbe, kwani ahawangevumiliakwamba bnafsi ya mwanada-mu yeyote iangamie; ndio, hatamafikira kwamba kuna nafsiyoyote itakayopata kuteswakwa cmilele iliwafanya kutete-meka na kutikisika.

4 Na hivyo ndivyo Roho waBwana alivyowatendea, kwaniwao ndio waliokuwa wenyedhambi ambovu zaidi. Na Bwa-na katika brehema yake alione-lea kwamba inafaa awaachilie;walakini waliteseka sana katikanafsi zao kwa sababu ya maovuyao, wakiteseka sana na kuogo-pa kwamba watatengwa milele.

5 Na ikawa kwamba walimsi-hi baba yao kwa siku nyingi iliwaende katika nchi ya Nefi.

6 Na mfalme Mosia akaendakumwuliza Bwana ili ajue kamaatawaruhusu wana wake wae-nde kuhubiria neno miongonimwa Walamani.

7 Na Bwana akamwaambiaMosia: Waruhusu waende, kwa-ni wengi wataamini maneno

37a Isa. 52:7;Mos. 15:14–17.mwm Hubiri.

b mwm Injili.28 1a Mos. 27:34.

b Omni 1:12–13;

Mos. 9:1.2a Yak. (KM) 7:24.3a Alma 13:27;

3 Ne. 17:14;Musa 7:41.

b mwm Nafsi—

Thamani ya nafsi.c Yak. (KM) 6:10;

M&M 19:10–12.4a Mos. 27:10.

b mwm Rehema,Rehema, enye.

Page 263: KITABU CHA MORMONI

Mosia 28:8–20 246

yao, na watapokea uzima wamilele; na anitawakomboa wanawako kutoka mikono ya Wala-mani.8 Na ikawa kwamba Mosia

aliwaruhusu waende na kute-nda kulingana na haja yao.

9 Na awakasafiri nyikani iliwahubiri neno miongoni mwaWalamani; na nitatoa bhistoriaya matendo yao hapo baadaye.

10 Sasa mfalme Mosia haku-wa na yeyote wa kumkabidhiufalme wake, kwani hakukuwana yeyote miongoni mwa wanawake aliyekubali ufalme.

11 Kwa hivyo alichukua maa-ndishi ambayo yalikuwa yame-chorwa katika abamba za shaba,na pia bamba za Nefi, na vituvyote alivyokuwa ameweka nakuhifadhi kulingana na amri zaMungu, baada ya kutafsiri nakuandikisha maandishi yaliyo-kuwa katika bbamba za dhaha-bu ambazo zilikuwa zimepatwana watu wa Limhi, na ambazoalipewa kwa mkono wa Limhi;

12 Na alifanya hivi kwa saba-bu ya wasiwasi mkuu wa watuwake; kwani walitamani sanakujua kuhusu wale watu ambaowalikuwa wameangamizwa.

13 Na sasa alizitafsiri kwakuyatumia yale amawe mawiliambayo yalikuwa yamefungi-liwa katika ile mizingo miwiliya pinde.14 Sasa vitu hivi vilikuwa vi-

metayarishwa tangu mwanzo,

na vilipitishwa kutoka kizazihadi kizazi, kwa lengo la kutaf-siri lugha;

15 Na vimewekwa na kuhifa-dhiwa kwa mkono wa Bwana,ili afichulie kila kiumbe amba-cho kitamiliki nchi maovu namachukizo ya watu wake;

16 Na yeyote aliye na vitu hivianaitwa amwonaji, kama zilenyakati za kale.

17 Sasa baada ya Mosia kuma-liza kutafsiri maandishi haya,tazama, yalieleza historia yawatu ambao awaliangamizwa,kutoka ule wakati walioanga-mizwa hadi ule wakati ulemnara bmkuu uliojengwa, ulewakati ambao Bwana calicha-nganya lugha ya watu na wa-katawanywa kote usoni mwaulimwengu, ndio, na hata ku-toka wakati huo kurudi nyumahadi uumbaji wa Adamu.

18 Sasa historia hii iliwafanyawatu wa Mosia kuombolezasana, ndio, walijazwa na hofu;walakini iliwapa ufahamu mwi-ngi, ambao uliwafurahisha.

19 Na historia hii itaandikwahapo baadaye; kwani tazama, nimuhimu watu wote kujua vituambavyo vimeandikwa katikahistoria hii.

20 Na sasa, kama vile nilivyo-waambia, kwamba baada yamfalme Mosia kutenda vitu hivi,alichukua zile bamba za ashaba,na vitu vyote ambavyo aliku-wa ameweka, na kumkabidhi

7a Alma 19:22–23.9a Alma 17:6–9.

b Alma 17–26.11a mwm Mabamba ya

Shaba Nyeupe.

b mwm Mabamba yaDhahabu.

13a mwm Urimu naThumimu.

16a Mos. 8:13–18.

mwm Mwonaji.17a Mos. 8:7–12.

b Eth. 1:1–5.c Mwa. 11:6–9.

20a Alma 37:3–10.

Page 264: KITABU CHA MORMONI

247 Mosia 29:1–9

Alma, ambaye alikuwa nimwana wa Alma; ndio, maa-ndishi yote, na pia bvitafsiri, nakumpatia yeye, na akamwamu-ru kwamba aviweke na cavihi-fadhi, na pia aweke maandishiya wale watu, na kuvipitishakutoka kizazi hadi kizazi, hatakama vile vilikuwa vimepiti-shwa tangu ule wakati Lehialipoondoka Yerusalemu.

MLANGO WA 29

Mosia anashauri kwamba waamuziwateuliwe badala ya mfalme —Wafalme wasio na haki wanao-ngoza watu wao kwenye dhambi—Alma Mdogo anachaguliwa kuwamwamuzi mkuu kwa sauti ya watu— Yeye pia ni kuhani mkuu waKanisa—Alma Mkubwa na Mosiawanafariki. Karibu mwaka wa 92hadi 91 kabla ya kuzaliwa kwaKristo.

Sasa baada ya Mosia kufanyahivi alituma kote nchini, mio-ngoni mwa watu wote, akitakakujua walitaka nani awe mfal-me wao.2 Na ikawa kwamba sauti ya

watu ilikuja, ikisema: Tunatakamwana wako Haruni awe mfal-me wetu na mtawala wetu.

3 Sasa Haruni alikuwa amee-nda katika nchi ya Nefi, kwahivyo mfalme hangempatiaufalme; wala Haruni hakukuba-li ufalme; wala hakuna yeyotemiongoni mwa awana wa Mosiaaliyetaka kuchukua ufalme.

4 Kwa hivyo mfalme Mosiaalituma tena miongoni mwawatu; ndio, alituma miongonimwa watu kwa maandishi. Nahaya ndiyo maneno yalioandi-kwa, yakisema:

5 Tazameni, Ee nyinyi watuwangu, au ndugu zangu, kwaninawaheshimu hivyo, natakamfikirie jambo ambalo mnata-kiwa kufikiria — kwani mnata-mani kupata amfalme.

6 Sasa nawatangazia kwambayule anayestahili kupokea ufal-me amekataa, na hatauchukuaufalme.

7 Na sasa kama kuna mwingi-ne atakayeteuliwa badala yake,tazama naogopa kwamba ku-tazuka mabishano miongonimwenu. Na ni nani ajuaye kamamwana wangu, ambaye ufalmeni wake, atakasirika na kuchu-kua sehemu ya watu hawa,ambayo itasababisha vita namabishano miongoni mwenu,ambayo itasababisha umwagajiwa damu nyingi na kuchafuanjia za Bwana, ndio, na kua-ngamiza nafsi za watu wengi.

8 Sasa nawaambia, hebu tuwena hekima na tuwaze vitu hivi,kwani hatuna haki ya kumwa-ngamiza mwana wangu, walahatuna haki ya kumwangamizamwingine kama atachaguliwabadala yake.

9 Na kama mwana wanguatarudia kiburi chake ataku-mbuka vitu vile alivyokuwaamesema, na adai haki yake ka-tika ufalme, ambayo itamsaba-

20b mwm Urimu naThumimu.

c mwm Maandiko—

Maandikoyahifadhiwe.

29 3a Mos. 27:34.

5a 1 Sam. 8:9–19.

Page 265: KITABU CHA MORMONI

Mosia 29:10–20 248

bisha yeye na pia watu hawakutenda dhambi.10 Na sasa hebu tuwe na heki-

ma na tutazamie vitu hivi, natufanye lile ambalo litawaleteawatu hawa amani.

11 Kwa hivyo nitakuwa mfal-me wenu katika siku zanguambazo zimesalia; walakini,hebu atuchague bwaamuzi, iliwahukumu watu hawa kulinga-na na sheria yetu; na tutapangaupya mambo ya watu hawa,kwani tutachagua watu wenyehekima kuwa waamuzi, ambaowatahukumu watu hawa kuli-ngana na amri za Mungu.

12 Sasa ni afadhali mwana-damu ahukumiwe na Mungubadala ya mwanadamu, kwanihukumu za Mungu ni za hakidaima, lakini hukumu za mwa-nadamu sio za haki daima.

13 Kwa hivyo, kama ingewe-zekana muwe na watu wenyeahaki wawe wafalme wenu,ambao wangeimarisha sheriaza Mungu, na kuhukumu hawawatu kulingana na amri zake,ndio, kama mngekuwa na watuwawe wafalme wenu ambaowangetenda kama baba yangubBenyamini alivyowatendeawatu hawa — Nawaambia, kamaingekuwa hivi daima basi inge-kuwa inafaa daima muwe nawafalme wa kuwatawala.14 Na hata mimi mwenyewe

nimetumika kwa nguvu zote nauwezo ambao ninao, kuwafu-

nza amri za Mungu, na kuimari-sha amani kote nchini, kwambakusiwe na vita wala mabisha-no, wala kuiba, wala uporaji,wala uuaji, wala uovu wa ainayoyote;

15 Na yeyote ambaye amete-nda maovu, animemuadhibukulingana na hatia ile ambayoametenda, kulingana na sheriaambayo tumepewa na babazetu.

16 Sasa nawaambia, kwambakwa sababu sio wanadamuwote walio wenye haki, haifaimuwe na mfalme au wafalmekuwatawala.

17 Kwani tazama, jinsi vilemfalme mmoja amwovu ana-vyosababisha buovu mkuu ku-tendwa, ndio, na ni mashakamakuu!

18 Ndio, kumbuka mfalmeNuhu, uovu wake na machuki-zo yake, na pia auovu na ma-chukizo ya watu wake. Tazamajinsi yale maangamizo makuuyalivyowapata; na pia kwasababu ya maovu yao waliwe-kwa butumwani.19 Na kama sio kwa sababu ya

kuingilia kwa Muumba waomwenye hekima, na haya kwasababu ya kutubu kwao kwakweli, wangekuwa lazima wa-naishi utumwani hadi sasa.

20 Lakini tazama, aliwako-mboa kwa sababu awalijinye-nyekea mbele yake; na kwasababu bwalimlilia sana aliwa-

11a Mos. 29:25–27.b Kut. 18:13–24.

13a Mos. 23:8, 13–14.b M ya Morm. 1:17–18.

15a Alma 1:32–33.

17a Mos. 23:7–9.b Alma 46:9–10.

18a Mos. 11:1–15.b 1 Sam. 8:10–18;

Mos. 12:1–8;

Eth. 6:22–23.20a Mos. 21:13–15.

b Kut. 2:23–25;Alma 43:49–50.

Page 266: KITABU CHA MORMONI

249 Mosia 29:21–31

komboa kutoka utumwani; nahivi ndivyo Bwana anavyote-nda katika hali zote kwa uwezowake miongoni mwa watotowa watu, na kuunyosha mkonowake wa crehema kwa walewote ambao dwanamwamini.21 Na tazama, sasa nawaambia

nyinyi, hamuwezi kumpinduamfalme mwovu ila tu kwa ubi-shi mwingi, na umwagaji wadamu nyingi.

22 Kwani tazama, ana amara-fiki wake katika uovu, na anaji-zingira na walinzi; na anavunjasheria za wale ambao walita-wala kwa haki kabla yake; nahuzikanyaga chini ya miguuyake amri za Mungu.23 Na hutoa sheria mpya, na

kuzituma miongoni mwa watuwake, ndio, sheria ambazo zi-nafuata auovu wake; na yeyoteambaye hatii amri zake anasa-babisha aangamizwe; na yeyo-te ambaye anamuasi anatumiamajeshi yake kumpiga, na kamaanaweza, atawaangamiza; nahivyo ndivyo mfalme mwovuhuchafua njia za haki.

24 Na sasa tazama nawaa-mbia, haifai kwamba machuki-zo kama haya yawapate.

25 Kwa hivyo, chagueni kwasauti ya watu hawa, waamuzi,kwamba mhukumiwe kulinga-na na sheria ambazo mlipewana baba zetu, ambazo ni zakweli, na ambazo zilitolewakwao na mkono wa Bwana.

26 Sasa sio kawaida kwambasauti ya watu itake lile ambalo

ni kinyume cha lile lililo la haki;lakini ni kawaida kwa sehemundogo ya watu kutaka lile lisilola haki; kwa hivyo mtafuata hiina kuifanya iwe sheria yenu —kufanya shughuli zenu kuli-ngana na sauti ya watu.

27 Na akama utafika wakatiambao sauti ya watu itachaguamaovu, basi huo ndio wakatiambao hukumu za Mungu zi-tawashukia; ndio, kisha atawa-tembelea kwa maangamizomakuu kama vile ameshatembe-lea nchi hii.

28 Na sasa kama mtakuwa nawaamuzi, na hawawahukumukulingana na sheria ambayoimetolewa, mnaweza kufanyawahukumiwe na waamuzimkuu.

29 Kama waamuzi wenu wa-kuu hawahukumu kwa haki,mtawakusanya waamuzi wenuwadogo kwa kikundi, na wata-wahukumu waamuzi wenuwakuu, kulingana na sauti yawatu.

30 Na ninawaamuru kutendavitu hivi kwa kumuogopaBwana; na ninawaamuru mte-nde vitu hivi , na kwambamsiwe na mfalme; ili kamawatu hawa wakitenda dhambina maovu, yatakuwa juu yavichwa vyao wenyewe.

31 Kwani tazama nawaambia,dhambi za watu wengi zimesa-babishwa na maovu ya wafal-me wao; kwa hivyo maovu yaoyanadaiwa juu ya vichwa vyawafalme wao.

20c Eze. 33:11, 15–16;Mos. 26:30.

d mwm Tegemea.22a 1 Fal. 12:8–14.

23a mwm Ovu, Uovu.27a Alma 10:19.

Page 267: KITABU CHA MORMONI

Mosia 29:32–42 250

32 Na sasa sitaki aubaguzi huuuwe tena katika nchi hii, hasamiongoni mwa watu hawa wa-ngu; lakini nahitaji kwambanchi hii iwe nchi ya buhuru, nackila mtu afurahie haki zake naheshima zake kwa usawa, kadirivile Bwana atakavyoonelea nivyema tuishi na kurithi nchihii, ndio, hata kadiri vile uzaowetu utaishi katika nchi hii.33 Na vitu vingi vingine

mfalme Mosia aliwaandikia,na kuwafungulia majaribio nashida zote za mfalme mtakati-fu, ndio, mateso yote ya nafsikwa niaba ya watu wao, na piamalalamiko ya watu kwa mfal-me wao; na akawaelezea yote.

34 Na akawaambia kwambalazima mambo haya hayatakiwikuweko; lakini kwamba uzitolazima uwe kwa watu wote,na kwamba kila mtu abebesehemu yake.

35 Na pia akawaelezea kuhu-su shida ambazo watakuwanazo, wakitumikia chini yautawala wa mfalme mwovu;

36 Ndio, uovu wake wote namachukizo, na vita vyote, namabishano, na umwagaji wadamu, na wizi, na uporaji, nakutenda usherati, na kila aina yamaovu ambayo hayawezi kuhe-sabika — akiwaambia kwambalazima vitu hivi havitakiwikuwepo, na kwamba vilikuwani kinyume cha amri za Mungu.

37 Na sasa ikawa kwamba,baada ya mfalme Mosia kutumavitu hivi miongoni mwa watu

walisadiki kuhusu ukweli wamaneno yake.

38 Kwa hivyo waliacha hajayao ya mfalme, na wakatakakila mtu apate nafasi yake kati-ka nchi yote; ndio, na kila mtuakawa tayari kuchukua wajibuwa dhambi zake.

39 Kwa hivyo, ikawa kwambawalijikusanya kwa vikundikatika nchi, ili wapige kura nakuchagua waamuzi wao, wata-kaowahukumu kulingana naasheria ambayo walipewa; nawalifurahi sana kwa sababu yabuhuru ambao walipewa.

40 Na waliendelea kumpendaMosia sana; ndio, walimheshi-mu zaidi ya mtu mwingineyeyote; kwani hawakumchukuakama mkorofi aliyetaka kupatafaida, ndio, kwa mapato yaaibu yanayochafua nafsi; kwanihakuwa amewanyang’anya uta-jiri, wala kufurahia umwagajiwa damu; lakini alikuwa amei-marisha aamani katika nchi, naalikuwa amewaruhusu watuwake wakombolewe kutokakila aina ya utumwa; kwa hivyowalimheshimu, ndio, kupitakipimo.

41 Na ikawa kwamba walicha-gua awaamuzi wa kuwatawala,au kuwahukumu kulingana nasheria; na walifanya haya kotekatika nchi.

42 Na ikawa kwamba Almaalichaguliwa kuwa mwamuzimkuu wa kwanza, pia akiwakuhani mkuu, baada ya babayake kumpatia ofisi hio, na

32a Alma 30:11.b 2 Ne. 1:7; 10:11.

mwm Uhuru.

c Alma 27:9.39a Alma 1:14.

b mwm Uhuru.

40a mwm Msuluhishi.41a Mos. 29:11.

Page 268: KITABU CHA MORMONI

251 Mosia 29:43–Alma 1:1

baada ya kumpatia jukumu juuya shughuli zote za kanisa.43 Na sasa ikawa kwamba

Alma aalitembea katika njia zaBwana, na akatii amri zake, naalitoa hukumu za haki; na ama-ni ikaimarika kote katika nchi.

44 Na hivyo utawala wa waa-muzi ukaanza kote katika nchiya Zarahemla, miongoni mwawatu wote walioitwa Wanefi; naAlma alikuwa mwamuzi mkuuna wa kwanza.

45 Na sasa ikawa kwambababa yake alifariki, akiwa na

umri wa miaka themanini namiwili, baada ya kuishi na ku-timiza amri za Mungu.

46 Na sasa ikawa kwambaMosia akafariki pia, katikamwaka wa thelathini na tatu wautawala wake, akiwa na umriwa miaka asitini na mitatu; iki-wa miaka mia tano na tisa tanguLehi aondoke Yerusalemu.

47 Na hivyo utawala wa wafal-me ukaisha kwa watu wa Nefi;na hivyo siku zikaisha za Alma,ambaye alikuwa mwanzilishiwa kanisa lao.

Kitabu cha Alma

MWANA WA ALMA

Historia ya Alma, ambaye alikuwa mwana wa Alma, mwamuzimkuu wa kwanza juu ya watu wa Nefi, na pia kuhani mkuu

wa Kanisa. Historia kuhusu utawala wa waamuzi, na vita namabishano miongoni mwa wale watu. Na pia historia ya vitamiongoni mwa Wanefi na Walamani, kulingana na maandishi yaAlma, mwamuzi mkuu wa kwanza.

MLANGO WA 1

Nehori anafunza mafunzo ya uwo-ngo, anaanzisha kanisa, anaanzishaukuhani wa uongo, na anamuuaGideoni—Nehori anauawa kwa sa-babu ya hatia zake — Ukuhani wauongo na mateso yanaenea miongonimwa watu — Makuhani wanajili-sha, watu wanawajalia wale waliomasikini, na Kanisa linafanikiwa.Kutoka karibu mwaka wa 91 hadi88 kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

SASA ikawa kwamba katikamwaka wa kwanza wa uta-

wala wa waamuzi juu ya watuwa Nefi, tangu wakati huu nakuendelea mbele, mfalme Mosiaakiwa aameelekea njia ya uli-mwengu wote, akiwa amepi-gana vita vyema, akiwa amete-mbea wima mbele ya Mungu,akiwa hajaacha yeyote kutawalabadala yake; walakini alikuwaameanzisha bsheria, na ziliku-baliwa na watu; kwa hivyo

43a mwm Tembea,Tembea na Mungu.

46a Mos. 6:4.

[alma]1 1a Mos. 29:46.

b Yar. 1:5;

Alma 4:16;Hel. 4:22.

Page 269: KITABU CHA MORMONI

Alma 1:2–12 252

iliwabidi kuishi kulingana nasheria alizokuwa ameweka.2 Na ikawa kwamba katika

mwaka wa kwanza wa utawa-la wa Alma katika kiti chahukumu, kulikuwa na amtummoja ambaye aliletwa mbeleyake ili ahukumiwe, mtu ali-yekuwa mkubwa, na alifaha-mika kwa sababu ya nguvuzake nyingi.

3 Na alikuwa ameenda mio-ngoni mwa watu, akiwa ame-wahubiria yale ambayo aaliitaneno la Mungu, bakipinga ka-nisa; akiwatangazia watu kwa-mba inafaa kila kuhani na kilamwalimu awe cmashuhuri; nadhaifai wafanye kazi kwa miko-no yao, lakini kwamba inafaawalishwe na watu.4 Na alishuhudia kwa watu

pia kwamba wanadamu wotewataokolewa katika siku yamwisho, na kwamba haistahiliwaogope au kubabaika, lakinikwamba wainue vichwa vyaona washangilie; kwani Bwanaalikuwa ameumba wanadamuwote, na pia kuwakomboa wa-nadamu wote; na, mwishowe,wanadamu wote watapokeauzima wa milele.

5 Na ikawa kwamba alifunzavitu hivi sana hata kwambawengi waliamini maneno yake,wengi sana hata wakaanzakumlisha na kumpatia pesa.

6 Na akaanza kujiinua kwakiburi cha moyo wake, na kuvaa

mavazi ya thamani nyingi, ndio,na hata akaanza kuanzishaakanisa kulingana na mafundi-sho yake.

7 Na ikawa kwamba alipoku-wa akienda, kuhubiria walewalioamini neno lake, alikutanana mtu ambaye alikuwa wakanisa la Mungu, ndio, hatammoja wa walimu wao; naakaanza kubishana na yeyekwa ukali, ili awapotoshe watuwa kanisa; lakini yule mtualimpinga, na kumwonya kwaamaneno ya Mungu.8 Sasa jina la yule mtu lilikuwa

aGideoni; na ni yeye ndiye aliye-kuwa chombo mikononi mwaMungu cha kuwakomboa watuwa Limhi kutoka utumwani.

9 Sasa, kwa sababu Gideonialimpinga kwa maneno yaMungu alimkasirikia Gideoni,na akauchomoa upanga wakena akaanza kumjeruhi. SasaGideoni alikuwa amelemewakwa umri mkuu, kwa hivyohakuweza kuvumilia mapigoyake, kwa hivyo aaliuawa kwaupanga.

10 Na mtu aliyemuua alichu-kuliwa na watu wa kanisa, nakuletwa mbele ya Alma, aku-hukumiwa kulingana na kosaalilotenda.

11 Na ikawa kwamba alisima-ma mbele ya Alma na kujiteteakwa ushujaa mwingi.

12 Lakini Alma akamwambia:Tazama, hi i ndio mara ya

2a Alma 1:15.3a Eze. 13:3.

b mwm Mpinga Kristo.c Lk. 6:26;

1 Ne. 22:23.d Mos. 18:24, 26; 27:5.

6a 1 Ne. 14:10.7a mwm Neno la Mungu.

8a Mos. 20:17; 22:3.9a Alma 6:7.

10a Mos. 29:42.

Page 270: KITABU CHA MORMONI

253 Alma 1:13–21

kwanza kwamba aukuhani wauongo umeletwa miongonimwa watu hawa. Na tazama,hatia yako sio tu ya ukuhaniwa uongo, lakini umejaribukuulazimisha kwa upanga; nakama ukuhani wa uongo utala-zimishwa miongoni mwa watuhawa utathibitisha maangamizoyao kabisa.

13 Na wewe umemwaga damuya mtu mwenye haki, ndio, mtuambaye ametenda wema mwi-ngi miongoni mwa watu hawa;na kama tutakuachilia basi damuyake itatujia kulipiza akisasi.

14 Kwa hivyo umehukumiwakufa, kulingana na sheria amba-yo tulipewa na Mosia, mfalmewetu wa mwisho; na imekuba-liwa na watu hawa; kwa hivyolazima watu hawa awafuatesheria hiyo.15 Na ikawa kwamba walim-

chukua; na jina lake lilikuwaaNehori; na wakambeba na ku-mpeleka juu ya kilima Manti,na hapo akalazimishwa, kwausahihi zaidi akakubali, katiya mbingu na ardhi, kwambayale ambayo alikuwa amefu-nza watu yalikuwa kinyume chaneno la Mungu; na hapo aka-pata bkifo cha aibu.

16 Walakini, hii haikukomeshakuenea kwa ukuhani wa uongokatika nchi; kwani kulikuwa nawengi ambao walipenda vituvya ulimwengu visivyo na

faida, na wakaendelea kuhubirimafunzo ya uwongo; na wali-tenda haya ili wapate autajirina heshima.

17 Walakini, hawakuthubutuakudanganya, kama ingejulika-na, kwa kuogopa sheria, kwaniwaongo waliadhibiwa; kwa hi-vyo walidai kwamba walikuwawanahubiri kulingana na imaniyao; na sasa sheria haikuwa nauwezo wowote juu ya bimaniya mtu yeyote.

18 Na hawakuthubutu akuiba,kwani waliogopa sheria, kwanikama hao waliadhibiwa; walahawakupora, wala kuua, kwaniyule baliyeua alihukumiwa ckifo.

19 Lakini ikawa kwamba ye-yote ambaye hakuwa wa kanisala Mungu alianza kuwatesawale ambao walikuwa wakanisa la Mungu, na waliokuwawamejivika jina la Kristo.

20 Ndio, waliwatesa, na ku-wasumbua kwa maneno ya kilaaina, na haya yalikuwa ni kwasababu ya unyenyekevu wao;kwa sababu hawakuwa namajivuno katika macho yaowenyewe, na kwa sababu wali-funzana neno la Mungu, waokwa wao, bila kutozana apesana bila gharama.

21 Sasa kulikuwa na sheriakali miongoni mwa watu wakanisa, kwamba kusiwe na mtuyeyote, miongoni mwa washiri-ki wa kanisa, atakayeinuka na

12a 2 Ne. 26:29.mwm Ukuhani wauongo.

13a mwm Kisasi.14a mwm Adhabu Kuu.15a Alma 1:2.

b Kum. 13:1–9.16a mwm Majivuno,

Siofaa; Ukwasi.17a mwm Mwaminifu,

Kusema uongo;Uaminifu.

b Alma 30:7–12;M ya I 1:11.

18a mwm Iba, Wizi.b mwm Mauaji.c mwm Adhabu Kuu.

20a Isa. 55:1–2.

Page 271: KITABU CHA MORMONI

Alma 1:22–30 254akuwatesa wale ambao sio wa-shiriki wa kanisa, na kwambakusiwe na mateso miongonimwao.22 Walakini, kulikuwa na

wengi miongoni mwao ambaowalianza kuwa na kiburi, nakuanza kubishana vikali nawapinzani wao, hata wakapi-gana kwa ngumi; ndio, walipi-gana kwa ngumi wao kwa wao.

23 Sasa hii ilikuwa katikamwaka wa pili wa utawala waAlma, na ilikuwa ni chanzo chamateso mengi kwa kanisa; ndio,ilikuwa ni chanzo cha majaribiomengi kwa kanisa.

24 Kwani mioyo ya wengiilishupazwa na majina yaoayalifutwa, hata kwamba hawa-kukumbukwa tena miongonimwa watu wa Mungu. Na piawengi bwalijiondoa kutoka mi-ongoni mwao.25 Sasa hili lilikuwa ni jaribio

kuu kwa wale ambao walikuwawamesimama imara katika ima-ni; walakini, walikuwa wamei-marishwa na hawangeondole-wa katika kutii amri za Mungu,na walivumilia kwa asubiramateso yale waliyotundikwa.26 Na wakati makuhani wali-

poacha akazi zao ili watoe nenola Mungu kwa watu, watu naopia waliacha kazi zao ili wasi-kie neno la Mungu. Na maku-hani walipomaliza kuwafunzaneno la Mungu wote walirudiakazi zao kwa bidii; na kuhani,

hakujiinua zaidi ya wale ambaowalimsikiliza, kwani mhubirihakuwa bora zaidi kuliko waleambao walimsikiliza, walamwalimu hakuwa bora kulikomwanafunzi; na hivyo wotewalikuwa sawa, na wote wali-fanya kazi, kila mtu bkulinganana nguvu zake.

27 Na awalipeana mali yao,kulingana na uwezo wao, kwabmasikini, na waliohitaji, nawagonjwa, na walioteswa; nahawakuvaa mavazi ya thamanikubwa, lakini walikuwa wasafina wa kuvutia.

28 Na hivyo waliimarishamambo ya kanisa; na hivyowakaanza kuwa na amani bilakikomo tena, ingawa walikuwawamepata mateso mengi.

29 Na sasa, kwa sababu yauthabiti wa kanisa walianzaakutajirika sana, wakipokea kwautele vitu vyote walivyohitaji—utele katika mifugo na wanya-ma, na vinono vya kila aina, napia utele wa nafaka, na wa dha-habu, na wa fedha, na wa vituvya thamani, na utele wa bharirina kitani nzuri, na kila aina yanguo ya kuvutia.

30 Na hivyo, hata katika haliyao ya akufanikiwa, hawakum-fukuza yeyote aliyekuwa buchi,au walio na njaa, au walio nakiu, au wale ambao walikuwawagonjwa, au wale ambaohawakuwa wamelishwa; nahawakuweka mioyo yao katika

21a mwm Mateso, Tesa.24a Kut. 32:33; Mos. 26:36;

Alma 6:3.mwm Kutengwa naKanisa.

b Alma 46:7.

mwm Ukengeufu.25a mwm Subira.26a Mos. 18:24, 26; 27:3–5.

b Mos. 4:27; M&M 10:4.27a mwm Sadaka, Utoaji

sadaka.

b Lk. 18:22; Mos. 4:26;M&M 42:29–31.

29a mwm Ukwasi.b Alma 4:6.

30a Yak. (KM) 2:17–19.b mwm Maskini.

Page 272: KITABU CHA MORMONI

255 Alma 1:31–2:4

utajiri; kwa hivyo walikuwawakarimu kwa wote, wote wa-zee kwa vijana, wote watumwana walio huru, wote wanaumekwa wanawake, washiriki wakanisa na wale wasio washirikiwa kanisa, bila ckubagua walewote walio na shida.31 Na hivyo walifanikiwa na

wakawa matajiri zaidi ya waleambao hawakuwa washiriki wakanisa.

32 Kwani wale ambao hawa-kuwa washiriki wa kanisawalijishughulisha na uchawi, nakuabudu asanamu au buvivu, nackusengenyana, na dwivu nakuzusha mzozo; wakivaa ma-vazi yaliyo ghali; ewakijiinuakwa kiburi machoni mwao;kutesana, kusema uwongo, ku-iba, kupora, kufanya ukahaba,na kuua, na kila aina ya uovu;walakini, sheria ilitimizwa kwawale wote ambao waliivunja,kwa vyovyote ilivyowezekana.

33 Na ikawa kwamba kwa ku-timiza amri juu yao, kila mtuakiteseka kulingana na yaleambayo alitenda, wakawa wa-tulivu zaidi, na hawakutendauovu wowote ikiwa ungegu-nduliwa; kwa hivyo, kulikuwana amani kuu miongoni mwawatu wa Nefi hadi mwaka watano wa utawala wa waamuzi.

MLANGO WA 2

Amlisi anataka kuwa mfalme na

anakataliwa na kura ya watu —Wafuasi wake wanamtawaza kuwamfalme — Waamlisi wanapigana naWanefi na kushindwa—Walamanina Waamlisi wanaungana na ku-shindwa—Alma anamuua Amlisi.Karibu mwaka wa 87 kabla ya ku-zaliwa kwa Kristo.

Na ikawa kwamba kat ikamwanzo wa mwaka wa tano wautawala wao kulianza kuwa naubishi miongoni mwa watu;kwani mtu fulani, aliyekuwaanaitwa Amlisi, yeye akiwamjanja sana, ndio, mtu mwenyehekima kulingana na hekimaya ulimwengu, yeye akiwamfano wa yule mtu aliyemuuaaGideoni kwa upanga, ambayealiuawa kulingana na sheria —

2 Sasa huyu Amlisi, kwa uja-nja wake, alikuwa amewavutiawatu wengi; wengi sana hatakwamba wakaanza kuwa we-nye nguvu; na wakaanza kuja-ribu kumfanya Amlisi awemfalme wa watu.

3 Sasa hii ilikuwa ni ya kuogo-fya kwa watu wa kanisa, na piakwa wote ambao hawakuwawamevutiwa na vishawishi vyaAmlisi; kwani walijua kwambakulingana na sheria yao vitukama hivi lazima vithibitishwekwa akura ya watu.

4 Kwa hivyo, kama ingeweze-kana kwamba Amlisi apatekura za watu, yeye akiwa mtumwovu, aangewanyang’anyahaki zao na heshima za kanisa;

30c Alma 16:14;M&M 1:35.

32a mwm Kuabudusanamu.

b mwm Mvivu, Uvivu.

c mwm Kusema uovu.d mwm Husuda.e Yak. (KM) 2:13;

Alma 31:25;Morm. 8:28.

mwm Kiburi.2 1a Alma 1:8.3a Mos. 29:25–27;

Alma 4:16.4a Alma 10:19; Hel. 5:2.

Page 273: KITABU CHA MORMONI

Alma 2:5–17 256

kwani ilikuwa nia yake kua-ngamiza kanisa la Mungu.5 Na ikawa kwamba watu

walikusanyika pamoja kotenchini, kila mtu kulingana namawazo yake, kama ilikuwawanamtaka au wanampingaAmlisi, katika vikundi tofauti,wakipingana sana na kuwa naamabishano ya kushangaza waokwa wao.6 Na hivyo walikusanyika

pamoja ili wapige kura kuhusujambo hilo; na wakasimamambele ya waamuzi.

7 Na ikawa kwamba kura zawatu zilikuwa kinyume chaAmlisi, kwamba hakufanywamfalme wa watu.

8 Sasa hii ilisababisha waleambao walimpinga wawe nashangwe tele mioyoni mwao;lakini Amlisi aliwachochea waleambao walimtaka wawakasiri-kie wale ambao walikuwawanampinga.

9 Na ikawa kwamba walijiku-sanya pamoja, na kumteuaAmlisi awe mfalme wao.

10 Sasa Amlisi alipofanywakuwa mfalme wao aliwaamurukwamba wachukue silaha dhidiya ndugu zao; na alifanya hiviili wawe chini yake.

11 Sasa watu wa Amlisi wali-julikana kwa jina la Amlisi,wakiitwa aWaamlisi; na walio-bakia waliitwa bWanefi, auwatu wa Mungu.

12 Kwa hivyo watu wa Wane-fi walitambua nia ya Waamlisi,na kwa hivyo walijitayarisha

kupambana nao; ndio, walijiamikwa mapanga, na kwa vitara,na kwa pinde na kwa mishale,na kwa mawe, na kwa kombeo,na kwa kila aina ya asilaha zavita, za kila namna.

13 Na hivyo ndivyo walivyoji-tayarisha kukabiliana na Waa-mlisi wakati watakapowasili.Na waliwachagua makapteni,na makapteni wa juu, na ma-kapteni wakuu, kulingana nawingi wao.

14 Na ikawa kwamba Amlisialiwaamu wanaume wake kwakila namna ya silaha za vita; napia akawachagua watawala naviongozi juu ya watu wake,kuwaongoza ili wapigane nandugu zao.

15 Na ikawa kwamba Waam-lisi waliwasili katika kilima chaAmnihu, ambacho kilikuwa ma-shariki mwa amto wa Sidoni,ambao ulipita kando ya bnchiya Zarahemla, na hapo wakaa-nza kushambuliana na Wanefi.

16 Sasa Alma, akiwa amwa-muzi mkuu na mtawala wawatu wa Nefi, kwa hivyo alie-nda juu na watu wake, ndio, namakapteni wake, na makapteniwakuu wake, ndio, mbele yamajeshi yake, kupigana dhidiya Waamlisi kwa vita.

17 Na walianza kuwaua Waa-mlisi katika kilima kilichoku-wa mashariki mwa Sidoni.Na Waamlisi walikabiliana naWanefi kwa uwezo mkuu, hatakwamba Wanefi wengi wakaa-nguka mbele ya Waamlisi.

5a 3 Ne. 11:29.11a Alma 3:4.

b Yak. (KM) 1:13–14;

Mos. 25:12;Alma 3:11.

12a Mos. 10:8; Hel. 1:14.

15a Alma 3:3.b Omni 1:13–15.

16a Mos. 29:42.

Page 274: KITABU CHA MORMONI

257 Alma 2:18–29

18 Walakini Bwana aliutia ngu-vu mkono wa Wanefi, kwambawakawaua Waamlisi kwa mau-aji mengi, hata kwamba waka-anza kutoroka kutoka kwao.

19 Na ikawa kwamba Wanefiwaliwafuata Waamlisi siku hiyoyote, na kuwauwa kwa mauajimakuu, hata kwamba Waamlisielfu kumi na wawili, mia tanothelathini na wawili awalikufa;na Wanefi elfu sita, mia tanositini na wawili walikufa.20 Na ikawa kwamba wakati

Alma hangewafuata Waamlisizaidi, alisababisha watu wakewapige hema zao katika abondela Gideoni; bonde hilo likiitwakwa jina la Gideoni ambaye ali-uawa kwa upanga kwa mkonowa bNehori; na Wanefi walipi-ga hema zao katika bonde hiliusiku ule.

21 Na Alma alituma wapelelezikufuata sazo la Waamlisi, iliajue mipango yao na mitegoyao, ili ajilinde kutokana nao,na ili awahifadhi watu wakewasiangamizwe.

22 Sasa wale ambao alikuwaamewatuma kwenda katikakambi ya Waamlisi waliitwaZeramu, na Amnori, na Manti,na Limheri; hawa ndio walio-kwenda na watu wao kupelele-za kambi ya Waamlisi.

23 Na ikawa kwamba keshoyake walirejea katika kambiya Wanefi kwa haraka kuu,wakiwa wameshangaa zaidi,na kujawa na woga mkuu,wakisema:

24 Tazama, tulifuata kambi yaaWaamlisi, na kwa mshangaowetu mkuu, katika nchi yaMinoni, ambayo iko juu yanchi ya Zarahemla, katika njiainayoelekea hadi nchi ya bNefi,tuliona mkusanyiko mkuu waWalamani; na tazama, Waamlisiwameungana nao;

25 Na wamewashambuliandugu zetu katika nchi ile; nawanatoroka kutoka mbele yaona mifugo yao, na wake zao,na watoto wao, na wanaelekeakatika mji wetu; na tusipohara-kisha watanyakua mji wetu, nababa zetu, na wake zetu, nawatoto wetu watauawa.

26 Na ikawa kwamba watuwa Nefi walichukua hema zao,na kuondoka katika bonde laGideoni na kuelekea katika mjiwao, ambao ulikuwa ni mji waaZarahemla.27 Na tazama, walipokuwa

wakivuka mto wa Sidoni ,Walamani na Waamlisi, wakiwaawengi, kama changarawe yabahari, waliwavamia ili wawa-angamize.

28 Walakini, Wanefi wakiwawameongezwa anguvu na mko-no wa Bwana, baada ya kumwo-mba sana kwamba awakomboekutoka mikononi mwa maaduizao, kwa hivyo Bwana alisikiavilio vyao, na akawapa nguvu,na Walamani na Waamlisi wa-kaanguka mbele yao.

29 Na ikawa kwamba Almaalipigana na Amlisi kwa upa-nga, ana kwa ana; na walipigana

19a Alma 3:1–2, 26; 4:2.20a Alma 6:7.

b Alma 1:7–15; 14:16.

24a Alma 3:4, 13–18.b 2 Ne. 5:8.

26a Omni 1:14, 18.

27a Yar. 1:6.28a Kum. 31:6.

Page 275: KITABU CHA MORMONI

Alma 2:30–3:1 258

kwa nguvu sana, mmoja kwammoja.30 Na ikawa kwamba Alma

akiwa mtu wa Mungu, aliyeku-wa na aimani kubwa, alipazasauti, na kusema: Ee Bwanaunirehemu na uokoe maishayangu, ili niwe chombo miko-noni mwako cha kuokoa nakuhifadhi watu hawa.

31 Sasa baada ya Alma kune-na maneno haya alipigana tenana Amlisi; na akapewa nguvu,hata kwamba akamuua Amlisikwa upanga.

32 Na pia alipigana na mfalmewa Walamani; lakini mfalmewa Walamani alitoroka kutokambele ya Alma na akatuma wa-linzi wake kupigana na Alma.

33 Lakini Alma, pamoja nawalinzi wake, alipigana na wali-nzi wa mfalme wa Walamanihadi akawaua na kuwasukumanyuma.

34 Na hivyo alifagia uwanja,kwa usahihi zaidi ufuo, ulioku-wa magharibi mwa mto waSidoni, na kutupa maiti za Wa-lamani waliokuwa wameuawakatika maji ya Sidoni, ili watuwake wapate nafasi ya kuvukana kupigana na Walamani naWaamlisi magharibi mwa mtowa Sidoni.

35 Na ikawa kwamba baadaya wao wote kuvuka mto waSidoni kwamba Walamani naWaamlisi walianza kutorokakutoka mbele yao, ingawawalikuwa wengi hata kwambahawangehesabika.

36 Na wakakimbia kutoka

mbele ya Wanefi na kuelekeanyika ambayo ilikuwa maghari-bi na kaskazini, mbali na mipa-ka ya nchi; na Wanefi waliwafu-ata kwa nguvu yao, na kuwaua.

37 Ndio, walikamatwa kwakila upande, na kuuawa na ku-kimbizwa, hadi wakatawanywamagharibi, na kaskazini, hadiwalipoifiki nyika, ambayo ilii-twa Hermantsi; na ilikuwa nisehemu ile ambayo ilikuwaimejaa wanyama wa mwituambao ni wakali.

38 Na ikawa kwamba wengiwao walikufa nyikani kutokanana majeraha yao, na wakaliwana wanyama hao na pia tai waangani; na mifupa yao imepati-kana, na imerundikwa ardhini.

MLANGO WA 3

Waamlisi walikuwa wamejiwekaalama kulingana na neno la una-bii — Walamani walikuwa wame-laaniwa kwa sababu ya kuasi kwao— Wanadamu hujiletea laana we-nyewe—Wanefi wanashinda kikosikingine cha Walamani. Kutoka ka-ribu mwaka wa 87 hadi 86 kablaya kuzaliwa kwa Kristo.

Na ikawa kwamba Wanefiambao hawakuwa awameuawakwa silaha za vita, baada yakuzika wale ambao walikuwawameuawa — sasa idadi yawale ambao walikuwa wame-kufa haingehesabika, kwa sa-babu nambari yao ilikuwa ku-bwa — baada ya kuzika watuwao wote walirejea katika

30a mwm Imani. 3 1a Alma 2:19; 4:2.

Page 276: KITABU CHA MORMONI

259 Alma 3:2–13

mashamba yao, na kwa nyumbazao, na wake zao, na watotowao.2 Sasa wanawake wengi na

watoto walikuwa wameuawakwa upanga, na pia mifugo yaona wanyama wao; na pia ma-shamba yao mengi ya nafakayaliangamizwa, kwani yalika-nyagwa na majeshi.

3 Na sasa Walamani wengi naWaamlisi waliuawa kando yamto wa Sidoni na kutupwa ka-tika amto wa Sidoni; na tazamamifupa yao iko katika kilindicha bbahari, na ni mingi.4 Na aWaamlisi walitambulika-

na kutoka kwa Wanefi, kwaniwalikuwa wamejiweka balamanyekundu katika vipaji vyaokwa kuiga Walamani; walakinihawakuwa wamenyoa vichwavyao kama Walamani.

5 Sasa vichwa vya Walamanivilikuwa vimenyolewa; na wali-kuwa auchi, ila tu ngozi ambayowalikuwa wamejifunga viunonimwao, na pia silaha zao, amba-zo walikuwa wamejizungushia,na pinde zao, na mishale yao,na mawe yao, na kombeo zao,na kadhalika.

6 Na ngozi ya Walamani iliku-wa nyeusi, kulingana na alamailiyowekwa juu ya babu zao,ambayo ilikuwa ni alaana juuyao kwa sababu ya makosa yaona maasi yao dhidi ya kakazao, ambao walikuwa ni Nefi,Yakobo, na Yusufu, na Samu,

ambao walikuwa ni watu waa-dilifu na watakatifu.

7 Na kaka zao walitazamiakuwaua, kwa hivyo walilaani-wa; na Bwana Mungu akawa-weka a alama, ndio, juu yaLamani na Lemueli, na piawana wa Ishmaeli, na wanawa-ke wa Kiishmaeli.

8 Na hii ilifanywa ili uzao waoutambulikane kutokana na uzaowa kaka zao, ili Bwana Munguangewahifadhi watu wake,kwamba awasichanganyike nakuamini bmila zisizokuwa halalina ambazo zingewaangamiza.

9 Na ikawa kwamba yeyotealiyechanganya uzao wake naWalamani aliuteremshia uzaowake laana ile.

10 Kwa hivyo, yeyote aliyeku-bali kupotoshwa na Walamanialijulikana kwa jina lile, naalama iliwekwa juu yake.

11 Na ikawa kwamba yeyoteambaye hakuamini amila zaWalamani, lakini aliamini ma-andishi yale ambayo yalitole-wa kutoka nchi ya Yerusalemu,na pia mila za babu zao, amba-zo zilikuwa halali, na ambaowaliziamini amri za Mungu nakuzitii, waliitwa Wanefi, auwatu wa Nefi, tangu siku ile nakuendelea mbele —

12 Na ni wao ambao wamehi-fadhi maandishi ya watu waoambayo ni ya akweli, na pia yawatu wa Walamani.

13 Sasa tutarudi tena kwa

3a Alma 2:15.b Alma 44:22.

4a Alma 2:11.b Alma 3:13–19.

5a Eno. 1:20; Mos. 10:8;Alma 42:18–21.

6a 2 Ne. 5:21; 26:33.mwm Laani, Laana.

7a 1 Ne. 12:23.8a mwm Ndoa, Oa,

Olewa—Ndoa yaimani mbili.

b Mos. 10:11–18;Alma 9:16.

11a Alma 17:9–11.12a Mos. 1:6;

Eth. 4:6–11.

Page 277: KITABU CHA MORMONI

Alma 3:14–26 260

Waamlisi, kwani nao pia wali-kuwa na alama juu yao; ndio,walijiweka aalama wao wenye-we, ndio, hata alama nyekundukatika vipaji vyao.14 Na hivyo neno la Mungu

limetimizwa, kwani haya ndiyomaneno ambayo alimwambiaNefi: Tazama, nimewalaaniWalamani, na nitawaweka ala-ma juu yao ili wao na uzao waowatengwe kutoka kwako nauzao wako, tangu sasa hadimilele, isipokuwa watubu uovuwao na awanirudie ili niware-hemu.

15 Na tena: Nitamweka alamayeyote atakayechanganya uzaowake na wa ndugu yako, ilinao pia walaaniwe.

16 Na tena: Nitaweka alamakwa yeyote atakayepigana nawewe na uzao wako.

17 Na tena, ninasema kwa-mba yeyote atakayekutorokahatakuwa tena uzao wako; nanitakubariki, pamoja na yeyoteatakayeitwa uzao wako, tangusasa hadi milele; na hizi ndizozilizokuwa ahadi za Bwanakwa Nefi na uzao wake.

18 Sasa Waamlisi hawakujuakwamba walikuwa wakitimizamaneno ya Mungu walipoanzakujiweka alama katika vipajivyao; hata hivyo walikuwaawamemwasi Mungu waziwazi;kwa hivyo ililazimika kwambalaana iwateremkie.19 Sasa ningetaka mjue kwa-

mba walijiletea alaana wao we-

nyewe; na hata hivyo kila mtuanayelaaniwa hujiletea lawama.

20 Na sasa ikawa kwambabaada ya siku chache tanguvita vilivyokuwa katika nchiya Zarahemla, na Walamani naWaamlisi, kwamba jeshi linginela Walamani liliwashambuliawatu wa Nefi, katika mahaliapale ambapo jeshi la kwanzalilikutana na Waamlisi.

21 Na ikawa kwamba kuliku-wa na jeshi ambalo lilitumwakuwakimbiza kutoka nchi yao.

22 Sasa Alma mwenyeweakiwa aamejeruhiwa hakuendawakati huu kupigana na Wala-mani;

23 Lakini alituma jeshi kubwadhidi yao; na walienda nakuwaua Walamani wengi, nakuwafukuza waliobaki kutokamipaka ya nchi yao.

24 Na kisha wakarudi tena nakuanza kuimarisha amani kati-ka nchi, bila kusumbuliwa tenakwa muda na maadui wao.

25 Sasa hivi vitu vyote vilifa-nywa, ndio, vita hivi vyote namabishano yalianza na kuko-ma katika mwaka wa tano wautawala wa waamuzi.

26 Na katika mwaka mmoja,kumi ya maelfu ya nafsi zilitu-mwa katika ulimwengu wamilele, kwamba wavune aza-wadi zao kulingana na kazizao, kama zilikuwa njema aukama zilikuwa mbaya, kuvunafuraha ya milele au huzuniya milele, kulingana na roho

13a Alma 3:4.14a 2 Ne. 30:4–6.18a 4 Ne. 1:38.

mwm Uasi.19a 2 Ne. 5:21–25;

Alma 17:15.

20a Alma 2:24.22a Alma 2:29–33.26a mwm Matendo.

Page 278: KITABU CHA MORMONI

261 Alma 3:27–4:6

ambayo walichagua kutii, kamani roho nzuri au mbaya.27 Kwani kila mtu hupokea

amshahara kutoka kwa yuleanayemchagua bkutii, na haya nikulingana na maneno ya rohoya unabii; kwa hivyo hebu naiwe kulingana na ukweli. Nahivyo ukaisha mwaka wa tanowa utawala wa waamuzi.

MLANGO WA 4

Alma anabatiza maelfu ya waumini— Uovu unaingia kanisani, namaendeleo ya Kanisa yanatatani-shwa—Nefiha anachaguliwa kuwamwamuzi mkuu—Alma, kama ku-hani mkuu, anajitolea kwa huduma.Kutoka karibu mwaka wa 86 hadi83 kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

Sasa ikawa kwamba katikamwaka wa sita wa utawala wawaamuzi juu ya watu wa Nefi,hakukuwa na mabishano walavita katika anchi ya Zarahemla;2 Lakini watu walisumbuliwa,

ndio, walisumbuliwa sana kwaakupoteza ndugu zao, na pia ha-sara ya mifugo yao na wanyamawao, na pia hasara ya masha-mba yao ya nafaka, ambayoilikanyagwa kwa miguu nakuangamizwa na Walamani.3 Na masumbuko yao yaliku-

wa makuu sana hata kwambakila nafsi ilisababishwa kuo-mboleza; na waliamini kwambailikuwa ni hukumu ya Mungu

juu yao kwa sababu ya uovuwao na machukizo yao; kwahivyo walikumbushwa jukumulao.

4 Na wakaanza kuimarishakanisa sana; ndio, na wengiawalibatizwa katika maji yaSidoni na wakaunganishwakwa kanisa la Mungu; ndio,walibatizwa kwa mkono waAlma, ambaye alikuwa amete-ngwa kuwa kuhani bmkuu juuya watu wa kanisa, kwa mkonowa baba yake Alma.

5 Na ikawa kwamba katikamwaka wa saba wa utawala wawaamuzi nafsi elfu tatu na miatano zilijiunga na akanisa laMungu na kubatizwa. Na hivyomwaka wa saba wa utawala wawaamuzi juu ya watu wa Nefiuliisha; na kulikuwa na amanidaima kwa wakati huo wote.

6 Na ikawa kwamba katikamwaka wa nane wa utawalawa waamuzi, kwamba watu wakanisa walianza kupata kiburi,kwa sababu ya autajiri wao wabkupita kiasi, na hariri zao zakuvutia, na vitani vyao vili-vyovutia, na kwa sababu yamifugo yao na wanyama waowengi, na dhahabu yao nafedha yao, na kila aina ya vituvya thamani, ambavyo waliku-wa wamepata kwa sababu yabidii yao; na katika vitu hivivyote walijivuna kwa machoyao, kwani walianza kuvaamavazi ya bei ghali.

27a Mos. 2:31–33;Alma 5:41–42.

b Rum. 6:16;Hel. 14:29–31.mwm Mtiifu, Tii, Utii.

4 1a Omni 1:12–19.2a Alma 2:19; 3:1–2, 26.4a Mos. 18:10–17.

b Mos. 29:42.5a Mos. 25:18–23;

3 Ne. 26:21.6a mwm Ukwasi.

b Alma 1:29.

Page 279: KITABU CHA MORMONI

Alma 4:7–14 262

7 Sasa hii ilimsumbua Almasana, ndio, na pia watu wengiambao Alma alikuwa aamewa-tenga wawe walimu, na maku-hani, na wazee wa kanisa;ndio, wengi wao walianza ku-huzunishwa na uovu ambaowaliona umeanza kuwa mio-ngoni mwa watu wao.8 Kwani waliona na wakahu-

zunika sana kwamba watu wakanisa walianza kujiinua kwaakiburi machoni mwao, na ku-weka mioyo yao katika utajirina vitu vya ulimwengu visi-vyofaidisha, kwamba walianzakufanyiana madharau, wao kwawao, na wakaanza kuwatesawale ambao bhawakuamini ku-lingana na nia yao na mapenziyao.9 Na hivyo, katika mwaka

huu wa nane wa utawala wawaamuzi, kulianza kuwa naamabishano mengi miongonimwa watu wa kanisa; ndio,kulikuwa na bwivu, na mzozo,na chuki, na mateso, na kiburi,hata kuzidi kiburi cha waleambao hawakuwa washiriki wakanisa la Mungu.10 Na hivyo mwaka wa nane

wa utawala wa waamuzi uli-kwisha; na uovu wa kanisa uli-kuwa ni kikwazo kikuu kwawale ambao hawakuwa washi-riki wa kanisa; na hivyo kanisalikaanza kukosa kuendelea.

11 Na ikawa kwamba katika

mwanzo wa mwaka wa tisa,Alma aliona uovu wa kanisa,na pia akaona kwamba amfanowa kanisa ulianza kuwaongozawale wasioamini kutoka uovummoja hadi mwingine, hivyokuwaletea watu maangamizo.

12 Ndio, aliona ukosefu wausawa miongoni mwa watu,wengine wakijiinua juu kwakiburi chao, wakidharau we-ngine, wakikataa kuwasaidiawale ambao walikuwa na ashidana walio uchi na wale ambaowalikuwa na bnjaa, na waleambao walikuwa na kiu, nawale ambao walikuwa wago-njwa na waliosumbuka.

13 Sasa hii ilikuwa ni sababukuu ya maombolezi miongonimwa watu, wakati wenginewalikuwa wanajinyenyekeza,wakiwasaidia wale ambaowalihitaji msaada, kama vileakupeana mali yao kwa waleambao walikuwa masikini nawenye shida, wakiwalisha we-nye njaa, na kuteseka kwa kilaaina ya bmasumbuko, kwa csa-babu ya Kristo, ambaye angeku-ja kulingana na roho ya unabii;

14 Wakitazamia mbele kwenyesiku ile, na hivyo awakidumi-sha msamaha wa dhambi zao;wakijazwa na bshangwe kuukwa sababu ya ufufuo wa wafu,kulingana na nia na uwezona ukombozi wa Yesu Kristokutoka kamba za kifo.

7a mwm Mamlaka.8a mwm Kiburi;

Majivuno, Siofaa.b Alma 1:21.

9a mwm Ushindani.b mwm Husuda.

11a 2 Sam. 12:14;

Alma 39:11.12a Isa. 3:14;

Yak. (KM) 2:17.b Mos. 4:26.

13a mwm Sadaka, Utoajisadaka.

b mwm Shida.

c 2 Kor. 12:10.14a Mos. 4:12;

Alma 5:26–35.mwm Hesabu kwahaki, Kuhesabiwahaki.

b mwm Shangwe.

Page 280: KITABU CHA MORMONI

263 Alma 4:15–20

15 Na sasa ikawa kwambaAlma, baada ya kuona masu-mbuko ya wafuasi wanyenye-kevu wa Mungu, na matesoambayo walibandikwa na watuwake waliobaki, na kuona uko-sefu wa ausawa wao wote, alia-nza kuhuzunika sana; walakiniRoho wa Bwana hakumwacha.16 Na akamchagua mtu mwe-

nye hekima miongoni mwawazee wa kanisa, na akampatianguvu kulingana na akura yawatu, kwamba apate uwezo wakuandika bsheria kulingana nasheria ambazo zilikuwa zimeto-lewa, na kuzitekeleza kulinganana uovu na uhalifu wa watu.

17 Sasa jina la mtu huyu lili-kuwa Nefiha, na alichaguliwakuwa mwamuzi amkuu; na ali-kaa katika kiti cha hukumu nakuwahukumu na kuwatawalawatu.

18 Sasa Alma hakumkabidhiofisi ya kuhani mkuu wa kani-sa, lakini alijihifadhia ofisi yakuhani mkuu; lakini akamka-bidhi Nefiha kiti cha hukumu.

19 Na hii alifanya ili yeyeamwenyewe aende miongonimwa watu wake, au watu waNefi, kwamba awahubirie bnenola Mungu, ckuwasisimua dwa-kumbuke wajibu wao, na kwa-mba ashushe chini, kwa nenola Mungu, kiburi chao chote naujanja na mabishano yaliyoku-wa miongoni mwa watu wake,kwani hakuona njia nyingine

ya kuwaokoa watu wake isi-pokuwa kwa kuwashawishieushuhuda halisi.20 Na hivyo katika mwanzo

wa mwaka wa tisa wa utawalawa waamuzi juu ya watu waNefi, Alma alimkabidhi aNefihakiti cha hukumu, na akajitoleamwenyewe kabisa kwa uleukuhani bmkuu ulio mpangomtakatifu wa Mungu, kwaushuhuda wa neno, kulinganana roho ya ufunuo na unabii.

Maneno ambayo Alma, KuhaniMkuu kulingana na mpangomtakatifu wa Mungu, aliwato-lea watu katika miji yao na vijijivyao kote katika nchi.

Yenye mlango wa 5.

MLANGO WA 5

Kupokea wokovu, lazima wanada-mu watubu na watii amri, wazali-we tena, waoshe mavazi yao kwadamu ya Kristo, wawe wanyeyeke-vu na wajivue kiburi na wivu, nawatende vitendo vya haki—Mchu-ngaji Mwema anawaita watu wake—Wale ambao wanafanya vitendoviovu ni watoto wa ibilisi — Almaanashuhudia kuhusu ukweli wamafundisho yake na kuwaamuruwatu kutubu — Majina ya walewenye haki yataandikwa katika ki-tabu cha uzima. Karibu mwaka wa83 kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

15a M&M 38:27; 49:20.16a Alma 2:3–7.

b Alma 1:1, 14, 18.17a Alma 50:37.19a Alma 7:1.

b Alma 31:5;M&M 11:21–22.

c Eno. 1:23.d Mos. 1:17;

Hel. 12:3.

e mwm Ushuhuda.20a Alma 8:12.

b Mos. 29:42;Alma 5:3, 44, 49.

Page 281: KITABU CHA MORMONI

Alma 5:1–10 264

Sasa ikawa kwamba Alma ali-anza akuwatolea watu neno labMungu, kuanzia katika nchiya Zarahemla, na kuenea kotekatika nchi.2 Na haya ndiyo maneno ali-

yowaelezea watu katika kanisalililokuwa limeanzishwa katikanchi ya Zarahemla, kulinganana maandishi yake mwenyewe,akisema:

3 Mimi, Alma, baada ya ku-wekwa awakfu na baba yangu,Alma, kuwa kuhani bmkuu wakanisa la Mungu, yeye akiwana uwezo na cmamlaka kutokakwa Mungu ya kutenda vituhivi, tazama, ninawaambia kwa-mba alianza kuimarisha kanisakatika dnchi ambayo ilikuwamipakani mwa Nefi; ndio, nchiambayo iliitwa nchi ya Mormo-ni; ndio, na alibatiza ndugu zakekatika maji ya Mormoni.

4 Na tazama, ninawaambia,awalikombolewa kutoka miko-no mwa mfalme Nuhu, kwarehema na uwezo wa Mungu.5 Na tazama, baadaye, waliti-

wa autumwani na mikono yaWalamani huko nyikani; ndio,ninawaambia, walikuwa katikautumwa, na tena Bwana bali-wakomboa kutoka utumwanikwa uwezo wa neno lake; natukaletwa katika nchi hii, nahapa tulianza kuimarisha kanisala Mungu kote katika nchihii pia.

6 Na sasa tazama, ninawaa-

mbia, ndugu zangu, nyinyiambao ni washiriki wa kanisahili, je, mngali mnakumbuka yakutosha utumwa wa babu zenu?Ndio, na bado mngali mnaku-mbuka ya kutosha rehemazake na uvumilivu wake kwao?Na zaidi, je, mngali mnaku-mbuka ya kutosha kwambaamezikomboa nafsi zao kutokajahanamu?

7 Tazama, alibadilisha mioyoyao; ndio, aliwaamsha kutokausingizi mzito, na wakaamkakatika Mungu. Tazama, waliku-wa katikati ya giza; walakini,nafsi zao ziliangazwa na nuruya neno lisilo na mwisho; ndio,walizingirwa na akamba zakifo; na bminyororo ya jahana-mu, na maangamizo yasiyo namwisho yaliwangojea.

8 Na sasa ninawauliza, nduguzangu, je, waliangamizwa? Ta-zama, ninawaambia, hapana,hawakuangamizwa.

9 Na tena ninauliza, kamba zakifo zilikatwa, na minyororo yajahanamu ambayo iliwazingira,je, ilifunguliwa? Ninawaambia,Ndio, ilifunguliwa, na nafsi zaozikapanuka, na wakaimba upe-ndo unaokomboa. Na ninawa-ambia kwamba wameokolewa.

10 Na sasa ninawauliza nikwa masharti gani awanayoo-kolewa? Ndio, ni masharti ganiwaliyokuwa nayo kutumainiwokovu? Ni sababu gani yawao kufanywa huru kutokana

5 1a Alma 4:19.b Alma 5:61.

3a mwm Kutawaza,Kutawazwa.

b Alma 4:4, 18, 20.c Mos. 18:13;

3 Ne. 11:25.d Mos. 18:4; 3 Ne. 5:12.

4a Mos. 23:1–3.5a Mos. 23:37–39;

24:8–15.b Mos. 24:17.

7a Mos. 15:8.b Alma 12:11;

M&M 138:23.10a mwm Wokovu;

Mpango waUkombozi.

Page 282: KITABU CHA MORMONI

265 Alma 5:11–20

na kamba za kifo, ndio, na piaminyororo ya jahanamu?11 Tazama, ninaweza kuwaa-

mbia — si baba yangu Almaaliamini maneno ambayo yali-zungumzwa kwa kinywa chaaAbinadi? Na si yeye alikuwanabii mtakatifu? Si yeye alizu-ngumza maneno ya Mungu, nababa yangu Alma kuyaamini?

12 Na kulingana na imaniyake abadiliko kuu likafanyikakatika moyo wake. Tazama ni-nawaambia kwamba haya yoteni ukweli.

13 Na tazama, aaliwahubiriababu zenu neno, na mabadilikomakuu yakafanyika katika mi-oyo yao, na wakajinyenyekezana kuweka btumaini lao katikaMungu wa kweli na canayeishi.Na tazama, walikuwa waami-nifu hadi dmwisho; kwa hivyowaliokolewa.

14 Na sasa tazama, ninawauli-za, ndugu zangu wa kanisa, je,ammezaliwa kiroho katika Mu-ngu? Mmepokea mfano wakekatika nyuso zenu? Mmeshu-hudia bmabadiliko haya makuukatika mioyo yenu?15 Mnaweka imani yenu ya

ukombozi kwa yule aaliyewau-mba? Mnatazamia mbele kwamacho ya imani na kuona mwilihuu wenye kufa ukifufuliwakatika kutokufa, na uharibifu

huu bukiinuliwa katika kuto-haribika, kusimama mbele yaMungu ckuhukumiwa kulinga-na na vitendo ambavyo vilite-ndwa katika miili inayokufa?

16 Ninawaambia, mnawezakuwaza kwamba mnasikia sautiya Bwana, siku ile, ikiwaambia:Njooni kwangu amliobarikiwa,kwani tazameni, kazi zenu zi-mekuwa kazi za haki usonimwa dunia?

17 Au mnawaza kwenu nyinyikwamba mtamdanganya Bwanakatika siku ile, na akusema —Bwana, kazi zetu zimekuwakazi za haki usoni mwa dunia—na kwamba atawaokoa?

18 Au kwa vingine, mnawezakuwaza nyinyi wenyewe kwa-mba mmeletwa mbele ya barazala hukumu ya Mungu na nafsizenu zimejaa hatia na majuto,amkikumbuka hatia zenu zote,ndio, ukumbuko ulio kamiliwa maovu yenu yote, ndio,ukumbuko kwamba mliziasiamri za Mungu?

19 Ninawaambia, mnawezakumtazama Mungu siku ilekwa moyo safi na mikono safi?Ninawaambia, mnaweza kuta-zama juu, mkiwa na amfanowa Mungu umechorwa katikanyuso zenu?

20 Ninawaambia, mnawezakutumaini wokovu baada ya

11a Mos. 17:1–4.12a mwm Mwongofu,

Uongofu.13a Mos. 18:7.

b mwm Tegemea.c Morm. 9:28;

M&M 20:19.d mwm Stahimili.

14a Mos. 27:24–27;

Alma 22:15.mwm Zaliwa naMungu, Zaliwa Tena.

b Rum. 8:11–17;Mos. 5:2; Musa 6:65.mwm Mwongofu,Uongofu.

15a mwm Umba,Uumbaji.

b mwm Ufufuko.c mwm Hukumu, ya

Mwisho.16a Mt. 25:31–46.17a 3 Ne. 14:21–23.18a Eze. 20:43;

2 Ne. 9:14; Mos. 3:25;Alma 11:43.

19a 1 Yoh. 3:1–3.

Page 283: KITABU CHA MORMONI

Alma 5:21–29 266

kujitolea kuwa awafuasi waibilisi?21 Ninawaambia, mtajua kati-

ka siku ile kwamba hamweziakuokolewa; kwani mwanada-mu yeyote hawezi kuokolewabila bmavazi yake kuoshwana kuwa meupe; ndio, lazimamavazi yake cyatakaswe hadiyaoshwe kutokana na mawaayote, kwa kupitia damu yayule ambaye alizungumziwa nababu zetu, ambaye atakuja ku-wakomboa watu wake kutokadhambi zao.

22 Na sasa ninawauliza, ndu-gu zangu, mtahisi vipi, kamamtasimama mbele ya kiti chahukumu cha Mungu, mavaziyenu yakiwa yamechafuliwa naadamu na kila aina ya buchafu?Tazama, vitu hivi vitashuhudianini dhidi yenu?

23 Tazama si ayatawashuhudiakwamba nyinyi ni wauaji, ndio,na pia kwamba nyinyi mna ha-tia kwa sababu ya uovu wa kilanamna?

24 Tazama, ndugu zangu,mnadhani kwamba kama huyoatapata nafasi ya kuketi chinikatika ufalme wa Mungu, pa-moja na aIbrahimu, na Isaka, naYakobo, na pia manabii wotewatakatifu, ambao mavazi yaoyameoshwa, na hayana doa,safi na meupe?

25 Ninawaambia, Hapana; isi-pokuwa mumfanye Muumbawetu mwongo tangu mwanzo,au mdhani kwamba yeye nimwongo tangu mwanzo, ha-mwezi kudhani kwamba kamahuyo anaweza kupata nafasikatika ufalme wa mbinguni;lakini watatupwa nje kwa sa-babu wao ni awatoto wa ufalmewa ibilisi.

26 Na sasa tazama, ninawa-mbia, ndugu zangu, ikiwammepata amabadiliko ya moyo,na ikiwa mmesikia kuimbabwimbo wa upendo wa uko-mbozi, ningeuliza, cmnawezakuhisi hivyo sasa?

27 Mmetembea, na mkijiwekabila alawama mbele ya Mungu?Mngesema, kama mngeitwa ku-fariki wakati huu, ndani yenu,kwamba mlikuwa bwanyenye-kevu wa kutosha? Kwambamavazi yenu yameoshwa nakufanywa meupe kwa damuya Kristo, ambaye atakuja cku-wakomboa watu wake kutokadhambi zao?

28 Tazama, mmevuliwa akibu-ri? Ninawaambia, kama bado,hamko tayari kukutana na Mu-ngu. Tazama lazima mjitayari-she haraka; kwani ufalme wambinguni u karibu, na kamahuyu hana uzima wa milele.

29 Tazama, nawaambia, kuna

20a Mos. 2:32.21a mwm Wokovu.

b 1 Ne. 12:10;Alma 13:11–13;3 Ne. 27:19–20.

c mwm Safi, Usafi.22a Isa. 59:3.

b mwm Chafu,Uchafu.

23a Isa. 59:12.24a Lk. 13:28.25a 2 Ne. 9:9.26a mwm Mwongofu,

Uongofu.b Alma 26:13.c Mos. 4:12;

M&M 20:31–34.27a mwm Hesabu kwa

haki, Kuhesabiwahaki.

b mwm Mnyenyekevu,Unyenyekevu.

c mwm Komboa,Kombolewa,Ukombozi.

28a mwm Kiburi.

Page 284: KITABU CHA MORMONI

267 Alma 5:30–39

yeyote miongoni mwenu amba-ye hajavuliwa awivu? Ninawa-ambia kwamba huyu hayukotayari; na ningetaka kwambaajitayarishe haraka, kwani wa-kati u karibu, na hajui ni wakatigani utakapofika; kwani kamahuyo hatakosa hatia.

30 Na tena ninawauliza, kunayeyote miongoni mwenu amba-ye humfanyia ndugu yakeamzaha, au yule ambaye ana-mbandika mateso?31 Ole kwa huyo, kwani hayu-

ko tayari, na wakati u karibuambao lazima atubu au hawezikuokolewa!

32 Ndio, hata ole nyinyi awa-tendaji wote wa uovu; tubuni,tubuni, kwani Bwana Munguameizungumza!

33 Tazama, yeye huwatumiawanadamu awote mwaliko,kwani bmikono ya huruma ime-nyoshwa kwao, na anasema:Tubuni, na nitawapokea.

34 Ndio, anasema: aNjoonikwangu na mtakula bmatundaya mti wa uzima; ndio, mtakulana kunywa cmkate na maji yauhai dbure;

35 Ndio, njooni kwangu namlete kazi za haki, na hamtaka-twa na kutupwa motoni —

36 Kwani tazama, wakati ukomkononi ambao yeyote amba-ye ahaleti matunda mema, auyeyote ambaye hatendi kazi zahaki, huyo ana sababu ya kuliana kuomboleza.

37 Ee nyinyi watendaji wauovu; nyinyi ambao mmejazwana vitu vya ulimwengu avisivyona maana, nyinyi ambao mna-kiri kwamba mnajua njia zahaki walakini bmmepotea, kamackondoo ambao hawana mchu-ngaji, ingawa mchungaji daliwa-ita na angali anawaita, lakiniehamtasikia sauti yake!38 Tazama, ninawaambia,

kwamba amchungaji mwemaanawaita, ndio, na kwa jina lakemwenyewe anawaita, ambalo nijina la Kristo; na kama bhamtasi-kia sauti ya mchungaji cmwema,kwa djina ambalo mnaitwa nalo,tazama, nyinyi sio kondoo wamchungaji mwema.

39 Na sasa kama nyinyi siokondoo wa mchungaji mwe-ma, nyinyi ni wa azizi gani?Tazama, nawaambia, kwambabibilisi ndiye mchungaji wenu,na nyinyi ni wa zizi lake; nasasa, nani ambaye anawezakukana haya? Tazama, nawaa-mbia, yeyote ambaye anakana

29a mwm Husuda.30a mwm Kusema uovu.32a Zab. 5:5.33a Alma 19:36;

3 Ne. 18:25.b Yak. (KM) 6:5;

3 Ne. 9:14.34a 2 Ne. 26:24–28;

3 Ne. 9:13–14.b 1 Ne. 8:11; 15:36.c mwm Mkate wa

Uzima.

d 2 Ne. 9:50–51;Alma 42:27.

36a Mt. 3:10; 7:15–20;3 Ne. 14:19;M&M 97:7.

37a mwm Majivuno,Siofaa.

b 2 Ne. 12:5; 28:14;Mos. 14:6.

c Mt. 9:36.d Mit. 1:24–27;

Isa. 65:12.

e Yer. 26:4–5;Alma 10:6.

38a mwm MchungajiMwema.

b Law. 26:14–20;M&M 101:7.

c 3 Ne. 15:24; 18:31.d Mos. 5:8;

Alma 34:38.39a Mt. 6:24; Lk. 16:13.

b Mos. 5:10.mwm Ibilisi.

Page 285: KITABU CHA MORMONI

Alma 5:40–48 268

haya ni cmwongo na ni dmtotowa ibilisi.40 Kwani ninawaambia kwa-

mba chochote ambacho niakizuri kinatoka kwa Mungu,na chochote ambacho ni kiovukinatoka kwa ibilisi.41 Kwa hivyo, kama mtu

anatenda kazi anjema yeyehusikiliza sauti ya mchungajimwema, na humfuata; lakiniyeyote ambaye anatenda kazimbovu, huyo huwa bmtoto waibilisi, kwani husikiliza sautiyake, na kumfuata.

42 Na yeyote ambaye anatendahaya lazima apokee amshaharawake kwake; kwa hivyo, kwabmshahara wake hupokea cma-uti, kulingana na vitu vya haki,kwani huwa amekufa kwa kazizote nzuri.

43 Na sasa, ndugu zangu,ningetaka kwamba mnisikize,kwani ninazungumza na nguvuza nafsi yangu; kwani tazama,nimewazungumzia waziwazi ilimsikosee, au nimenena kuli-ngana na amri za Mungu.

44 Kwani nimeitwa kunenajinsi hii, kulingana na autaratibumtakatifu wa Mungu, ambaoumo katika Kristo Yesu; ndio,nimeamriwa nisimame na ku-shuhudia kwa watu hawa vituambavyo vilisemwa na babuzetu kuhusu vitu vitakavyokuja.

45 Na hii sio yote. Hamfikiriikwamba mimi mwenyewe ana-

jua vitu hivi? Tazama, nawa-shuhudia kwamba mimi najuakuwa vitu hivi ambavyo nime-zungumza ni vya kweli. Namnadhaniaje kwamba ninajuaukweli wao?

46 Tazama, ninawaambia kwa-mba yamesababishwa akujulika-na kwangu na Roho Mtakatifuwa Mungu. Tazama, bnimefu-nga na kusal i s iku nyingiili nivijue vitu hivi mimi mwe-nyewe. Na sasa ninavi juamwenyewe kuwa ni vya kweli;kwani Bwana Mungu amevidhi-hirisha kwangu kwa Roho wakeMtakatifu; na hii ni roho ya cufu-nuo ambayo iko ndani yangu.

47 Na zaidi, ninawaambiakwamba imefunuliwa kwangu,kwamba maneno ambayo yali-zungumzwa na babu zetu ni yakweli, hata hivyo kulingana naroho ya unabii iliyo ndani ya-ngu, ambayo pia ni dhihirishola Roho wa Mungu.

48 Ninawaambia, kwambaninajua mwenyewe ya kuwalolote nitakalowaambia, kuhusuyale ambayo yatakayokuja, ni yakweli; na ninawaambia, kwa-mba ninajua kuwa Yesu Kristoatakuja, ndio, Mzaliwa Pekeewa Baba, amejaa neema, na re-hema, na ukweli. Na tazama, niyeye ambaye anakuja kuondoadhambi za ulimwengu, ndio,dhambi za kila mtu ambayedaima analiamini jina lake.

39c 1 Yoh. 2:22.d 2 Ne. 9:9.

40a Omni 1:25; Eth. 4:12;Moro. 7:12, 15–17.

41a 3 Ne. 14:16–20.mwm Matendo.

b Mos. 16:3–5;

Alma 11:23.42a Alma 3:26–27;

M&M 29:45.b Rum. 6:23.c Hel. 14:16–18.

mwm Mauti, yaKiroho.

44a Alma 13:6.45a mwm Ushuhuda.46a 1 Kor. 2:9–16.

b mwm Funga,Kufunga.

c mwm Ufunuo.

Page 286: KITABU CHA MORMONI

269 Alma 5:49–55

49 Na sasa ninawaambia kwa-mba huu ndio ampango ambaonimeitiwa, ndio, kuhubiriandugu zangu wapendwa, ndio,na kila mmoja ambaye anaishikatika nchi; ndio, kuwahubirikwa wote, wazee na vijana, wa-fungwa na walio huru; ndio,ninawaambia mliozeeka, na piawenye umri wa kiasi, na kizazikinachoinukia; ndio, kuwaa-mbia kwamba lazima watubuna bkuzaliwa tena.50 Ndio, hivi anasema Roho:

Tubuni, nyinyi kote ulimwe-nguni, kwani ufalme wa mbi-nguni umo mkononi; ndio,Mwana wa Mungu anakuja ka-tika autukufu wake mkuu, kwanguvu zake, fahari, uwezo, nautawala. Ndio, ndugu zanguwapendwa, ninawaambia, kwa-mba Roho anasema: Tazamautukufu wa bMfalme wa uli-mwengu wote; na pia Mfalmewa mbinguni hivi karibuniutametameta miongoni mwawanadamu.51 Na pia Roho inaniambia,

ndio, hulia kwangu na kwasauti kuu, ikisema: Nenda nauwaambie watu hawa — Tubu-ni, kwani msipotubu hamwezikurithi kwa vyovyote ufalmewa ambinguni.52 Na tena ninawaambia, Roho

inasema: Tazama, ashoka lime-wekwa kwenye mzizi wa mti;kwa hivyo kila mti ambao hau-zai matunda mema butakatwana kutupwa katika moto, ndio,moto ambao hauwezi kuisha,hata moto usiozimika. Tazama,na mkumbuke, Yule Mtakatifuameinena.

53 Na sasa ndugu zanguwapendwa, ninawaambia, mna-weza kuvumilia misemo hii;ndio, mnaweza kuweka vituhivi kando, na amkanyage YuleMtakatifu miguuni mwenu;ndio, mnaweza kujazwa nabkiburi cha mioyo yenu; ndio,mtaendelea kuvaa mavazi yacbei na kuiweka mioyo yenukatika vitu vya ulimwenguvisivyo na busara, na dutajiriwenu?

54 Ndio, mtaendelea kujidha-nia kwamba nyinyi ni bora zaidiya wengine; ndio, mtaendeleakuwatesa ndugu zenu, ambaoni wanyenyekevu na hufuatampango mtakatifu wa Mungu,ambao umewaleta katika kani-sa hili, awakishatakaswa naRoho Mtakatifu, na hutendakazi njema ya toba —

55 Ndio, na mtaendelea kuwa-geukia wale ambao ni amasikini,na wenye shida, na kuwakatazamsaada?

49a mwm Ita, Itwa naMungu, Wito;Ukuhani.

b mwm Zaliwa naMungu, Zaliwa Tena.

50a mwm Ujio wa Pili waYesu Kristo; Utukufu.

b Zab. 24; Mt. 2:2;Lk. 23:2; 2 Ne. 10:14;M&M 38:21–22;

128:22–23;Musa 7:53.mwm Ufalme waMungu au Ufalmewa Mbinguni;Yesu Kristo.

51a mwm Mbinguni.52a Lk. 3:9; M&M 97:7.

b Yak. (KM) 5:46; 6:7;3 Ne. 27:11–12.

53a 1 Ne. 19:7.b mwm Kiburi.c 2 Ne. 28:11–14;

Morm. 8:36–39.d Zab. 62:10;

M&M 56:16–18.54a mwm Utakaso.55a Zab. 109:15–16;

Yak. (KM) 2:17;Hel. 6:39–40.

Page 287: KITABU CHA MORMONI

Alma 5:56–6:1 270

56 Na mwishowe, nyote ambaomnaendelea katika uovu wenu,ninawaambia kwamba hawandio wale ambao watakatwana kutupwa motoni wasipotubukwa haraka.

57 Na sasa ninawaambia,nyote ambao mnatamani kufua-ta sauti ya mchungaji amwema,ondokeni kutoka kwa waovu,na bmjitenge, na msiguse vituvyao vichafu; na tazama, majinayao cyatafutwa, kwamba majinaya waovu hayatahesabiwamiongoni mwa majina ya walewenye haki, ili neno la Mungulitimizwe, ambalo linasema:Majina ya waovu hayatacha-nganywa na majina ya watuwangu;

58 Kwani majina ya wale we-nye haki yataandikwa katikaakitabu cha uzima, na kwao ni-tawapatia urithi katika mkonowangu wa kulia. Na sasa, ndu-gu zangu, nini mtakachosemakinyume cha hivi? Ninawaa-mbia, mkizungumza kinyumecha hivi, haijalishi, kwani lazi-ma neno la Mungu litimizwe.59 Kwani ni mchungaji gani

miongoni mwenu ambaye anakondoo wengi na hawachungi,i l i mbwa mwitu wasiingiena kuwararua mifugo yake?Na tazama, kama mbwa mwituanashambulia mifugo yakehamfukuzi nje? Ndio, na mwi-showe, akiweza, atamwanga-miza.

60 Na sasa ninawaambiakwamba mchungaji mwemaanawaita; na ikiwa mtaisikilizasauti yake atawaleta katika zizilake, na nyinyi ni kondoo wake;na anawaamuru kwamba msi-kubali mbwa mwitu aliye nanjaa aingie miongoni mwenu,ili msiangamizwe.

61 Na sasa mimi, Alma, nina-waamuru nyinyi kwa lughaya ayule ambaye ameniamuru,kwamba mtie bidii katika kutiimaneno ambayo nimewazu-ngumzia.

62 Nazungumza kwa njia yaamri kwenu ambao mnashirikikatika kanisa; na kwa walewasio washiriki wa kanisa na-wazungumzia kwa njia yakuwaalika, na kusema: Njoonina mpate kubatizwa ubatizowa toba, ili pia nanyi mshirikikatika kula tunda la amti wauzima.

MLANGO WA 6

Kanisa katika Zarahemla linata-kaswa na kupangwa — Alma ana-enda Gideoni ili ahubiri. Karibumwaka wa 83 kabla ya kuzaliwakwa Kristo.

Na sasa ikawa kwamba baadaya Alma kumaliza kuwazungu-mzia watu wa kanisa, ambalolilikuwa limeanzishwa katikamji wa Zarahemla, aaliwatawa-za makuhani na bwazee, kwa

57a mwm MchungajiMwema.

b Ezra 6:21; 9:1;Neh. 9:2; 2 The. 3:6;M&M 133:5, 14.

c Kum. 29:20;Moro. 6:7;M&M 20:8.

58a mwm Kitabu chaUzima.

61a Alma 5:44.62a 1 Ne. 8:10; 11:21–23.6 1a mwm Kutawaza,

Kutawazwa.b mwm Mzee.

Page 288: KITABU CHA MORMONI

271 Alma 6:2–8

kuwawekea cmikono kulinganana mpango wa Mungu, kusi-mamia na dkuchunga kanisa.2 Na ikawa kwamba yeyote

ambaye hakuwa mshiriki wakanisa ambaye alitubu dhambizake aalibatizwa ubatizo watoba, na akapokelewa katikakanisa.3 Na ikawa kwamba wale

ambao walikuwa washiriki wakanisa na ahawakutubu uovuwao na kunyenyekea mbele yaMungu — ninamaanisha waleambao walikuwa wamejiinuakwa bkiburi cha mioyo yao —wao walikataliwa, na majina yaockufutwa, kwamba majina yaoyasihesabiwe miongoni mwawale ambao ni wenye haki.4 Na hivyo walianza kuimari-

sha mpango wa kanisa katikamji wa Zarahemla.

5 Sasa ningetaka mfahamukwamba neno la Mungu liliku-wa huru kwa wote, na kwambahakuna yeyote aliyenyimwanafasi ya kukusanyika pamojaili kusikia neno la Mungu.

6 Walakini watoto wa Munguwaliamriwa kwamba wakusa-nyike pamoja muda kwa muda,na waungane katika akufungana sala kuu kwa niaba ya ustawiwa nafsi ambazo hazikumjuaMungu.

7 Na sasa ikawa kwambabaada ya Alma kutoa mashartihaya aliondoka kutoka kwao,ndio, kutoka kanisa ambalo

lilikuwa katika mji wa Zarahe-mla, na akaenda mashariki mwamto Sidoni, katika abonde laGideoni, palipojengwa mji,ambao uliitwa mji wa Gideoni,ambao ulikuwa katika bondelililoitwa Gideoni, kwani lilitu-ngwa yule mtu ambaye baliua-wa kwa mkono wa Nehori kwaupanga.

8 Na Alma alienda na kuanzakutangaza neno la Mungu kati-ka kanisa ambalo lil ikuwalimeanzishwa katika bonde laGideoni, kulingana na ufunuowa ukweli wa neno ambao uli-zungumzwa na babu zake, nakulingana na roho ya unabiiambayo ilikuwa ndani yake,kulingana na aushuhuda waYesu Kristo, Mwana wa Mungu,ambaye atakuja kuwakomboawatu wake kutoka dhambi zao,na ule mpango mtakatifu ambaoaliitiwa. Na hivyo imeandikwa.Amina.

Maneno ya Alma ambayo ali-wakabidhi watu wa Gideoni,kulingana na maandishi yakemwenyewe.

Yenye mlango wa 7.

MLANGO WA 7

Kristo atazaliwa na Mariamu —Atavunja kamba za kifo na kubebadhambi za watu wake — Wale

1c mwm Mikono,Kuweka juu ya.

d M&M 52:39.2a mwm Batiza, Ubatizo.3a Mos. 26:6.

b mwm Kiburi.c Kut. 32:33; Mos. 26:36;

Alma 1:24; 5:57–58.mwm Kutengwa naKanisa.

6a mwm Funga,Kufunga.

7a Alma 2:20.b Alma 1:9.

8a Ufu. 19:10.

Page 289: KITABU CHA MORMONI

Alma 7:1–8 272

ambao wanatubu, wanabatizwa, nakutii amri watapokea uzima wamilele — Uchafu hauwezi kurithiufalme wa Mungu — Unyenyeke-vu, imani, tumaini, na hisaniunahitajika. Karibu mwaka wa 83kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

Tazama ndugu zangu wape-ndwa, kwa kuwa nimeruhusiwakuja kwenu, kwa hivyo nitajari-bu akuwazungumzia kwa lughayangu; ndio, kwa kinywa cha-ngu mwenyewe, nikiona kwa-mba hi i ndio mara yanguya kwanza ya kuwazungumziakwa maneno ya kinywa changu,kwani nilikuwa nimefungiwakwa bkiti cha hukumu, nikiwana shughuli nyingi kwambasikuweza kuwatembelea.

2 Na hata singeweza kuja sasakwa wakati huu, ijapokuwakiti cha hukumu akimepewamwingine, atawale badala ya-ngu; na Bwana katika rehemanyingi amewezesha kwambaniwatembelee.

3 Na tazama, nimekuja kwamatumaini mengi kwamba ni-wapate kwamba mmejinyenye-keza mbele ya Mungu, nakwamba mlikuwa mnaendeleakuomba neema yake, na kwa-mba niwapate hamna lawamambele yake, na kwamba nisi-wapate mkiwa katika hali yakuhofisha kama ile nduguzetu waliyokuwa nayo hukoZarahemla.

4 Lakini jina la Mungu libari-kiwe, kwani amenijulisha nijue,ndio, amenipatia shangwe kuu

ya kujua kwamba wamejiima-risha tena katika haki yake.

5 Na ninatumai, kulingana naRoho wa Mungu aliye ndaniyangu, kwamba pia nitakuwana shangwe juu yenu; walakinisitamani kwamba shangwe ya-ngu kwenu nyinyi ije kwa ma-teso mengi na huzuni kama ileniliyokuwa nayo kwa nduguhuko Zarahemla, kwani tazama,shangwe yangu juu yao inakujabaada ya kupitia mateso mengina huzuni.

6 Lakini tazama, ninatumaikwamba hamko katika hali yakutoamini kama vile waliyoku-wa ndugu zenu; ninatumainikwamba hamjainuliwa kwakiburi cha mioyo yenu; ndio,ninatumaini kwamba hamja-weka mioyo yenu katika utajirina vitu vya ulimwengu visivyona busara; ndio, ninatumainikwamba hamwabudu asanamu,lakini mnamwabudu Munguwa kweli na banayeishi, nakwamba mnatazamia msama-ha wa dhambi zenu, kwa imaniisiyo na mwisho, inayokuja.

7 Kwani tazama, ninawaambiakuna vitu vingi vitakavyokuja;na tazama, kuna kitu kimojaambacho ni muhimu kulikovyote — kwani tazama, awakatihauko mbali ambao Mkomboziataishi miongoni mwa watuwake.

8 Tazama, sisemi kwambaatakuja kati yetu ule wakatiatakaokuwa akiishi katika he-kalu la udongo mwilini; kwanitazama, Roho hajaniambia

7 1a Alma 4:19.b Mos. 29:42.

2a Alma 4:16–18.6a 2 Ne. 9:37; Hel. 6:31.

b Dan. 6:26.7a Alma 9:26.

Page 290: KITABU CHA MORMONI

273 Alma 7:9–16

kwamba itakuwa hivyo. Sasakitu hiki sikijui; lakini ninajuahaya, kwamba Bwana Munguana uwezo wa kutenda vituvyote ambavyo vinalingana naneno lake.9 Lakini tazama, Roho ameni-

ambia haya, akisema: Wata-ngazie watu hawa, ukisema —aTubuni nyinyi, na mtayarishieBwana njia, na mfuate njiazake, ambazo ni nyoofu; kwanitazama, ufalme wa mbinguni ukaribu, na Mwana wa Mungubatakuja usoni mwa dunia.

10 Na tazama, aatazaliwa nabMariamu, huko Yerusalemuambayo ni cnchi ya babu zetu,yeye akiwa dbikira, chombo chathamani na kilichochaguliwa,ambaye atawezeshwa kwa uwe-zo wa Roho Mtakatifu kupataemimba, na kumzaa mwana,ndio, hata Mwana wa Mungu.11 Na atakwenda, na kuteseka

maumivu na amasumbuko namajaribio ya kila aina; na hiikwamba neno litimizwe ambalolinasema atabeba maumivu namagonjwa ya watu wake.12 Na atajichukulia akifo, ili

afungue kamba za kifo ambazozinafunga watu wake; na ataji-chukulia unyonge wao, ili moyowake ujae rehema, kulinganana mwili, ili ajue kulingana namwili jinsi ya bkuwasaidia watu

wake kulingana na unyongewao.

13 Sasa Roho aanajua vituvyote; walakini Mwana waMungu anateseka katika mwiliili bachukue dhambi za watuwake, kwamba aondoe uvunjajiwao wa sheria kulingana nanguvu za ukombozi wake; nasasa tazama, huu ndio ushuhu-da ulio ndani yangu.

14 Sasa nawaambia kwambalazima mtubu, na amzaliwetena; kwani Roho anasemakuwa msipozaliwa tena hamwe-zi kurithi ufalme wa mbinguni;kwa hivyo njooni mbatizweubatizo wa toba, ili msafishwekutoka kwa dhambi zenu, ilimuwe na imani katika Mwana-kondoo wa Mungu, anayeo-ndoa dhambi za ulimwengu,ambaye anaweza kuokoa na ku-osha kutokana na uovu wote.

15 Ndio, ninawaambia njoonina msiogope, na muweke kandokila dhambi, ambayo ainawasu-mbua, ambayo inawatia katikamaangamizo, ndio, njooni namsonge mbele na mmwonyesheMungu wenu kwamba mnata-mani kutubu dhambi zenu nakuingia kwenye agano nayekuweka amri zake, na kushu-hudia kwake siku hii kwa kui-ngia kwenye maji ya ubatizo.

16 Na yeyote atakayefanya

9a Mt. 3:2–4;Alma 9:25.

b Mos. 3:5; 7:27; 15:1–2.10a Isa. 7:14; Lk. 1:27.

b Mos. 3:8.mwm Maria, Mamawa Yesu.

c 1 Nya. 9:3;2 Nya. 15:9;

1 Ne. 1:4;3 Ne. 20:29.

d 1 Ne. 11:13–21.e Mt. 1:20; Mos. 15:3.

11a Isa. 53:3–5;Mos. 14:3–5.

12a 2 Ne. 2:8;Alma 12:24–25.mwm Kusulubiwa.

b Ebr. 2:18; 4:15;M&M 62:1.

13a mwm Mungu, Uungu.b Mos. 15:12.

mwm Lipia dhambi,Upatanisho.

14a mwm Zaliwa naMungu, Zaliwa Tena.

15a 2 Ne. 4:18.

Page 291: KITABU CHA MORMONI

Alma 7:17–25 274

hivi, na atii amri za Mungutangu leo, huyu atakumbukakwamba nilimwambia, ndio,atakumbuka kwamba nime-mwambia, atapokea uzima wamilele, kulingana na ushuhudawa Roho Mtakatifu, ambayeanashuhudia ndani yangu.17 Na sasa ndugu zangu wa-

pendwa, mnaamini vitu hivi?Tazama, ninawaambia, ndio,ninajua kwamba mnaviamini;na jinsi ile ninayojua kwambamnaviamini ni kwa dhihirishola Roho aliye ndani yangu. Nasasa kwa sababu imani yenuina nguvu kuhusu hayo, ndio,kuhusu vile vitu ambavyo ni-mezungumza, shangwe yanguni kuu.

18 Kwani kama vile nilivyose-ma kwenu hapo mwanzo, kwa-mba nilitamani msiwe katikahali ile ya dharura kama nduguzenu, hata hivyo nia yanguimependezwa.

19 Kwani ninahisi kwambamko katika njia za haki; ninahisikwamba mko katika njia ileinayoelekea katika ufalme waMungu; ndio, ninahisi kwambamnanyoosha anjia zake.

20 Ninahisi kwamba imefa-nywa kujulikana kwenu, kwaushuhuda wa neno lake, kwa-mba yeye hawezi akupita katikanjia kombo; wala habadilishiyale ambayo amesema; walahana kivuli cha kugeukia ku-shoto au kulia, au kutoka kwa

mema na kuingilia yale maovu;kwa hivyo, njia zake ni zamilele.

21 Na haishi katika hekaluzilizo achafu; wala uchafu auchochote ambacho kisicho safihakiwezi kupokewa katikaufalme wa Mungu; kwa hivyoninawaambia kwamba wakatiutafika, ndio, na itakuwa sikuya mwisho, kwamba yule aliyebmchafu atabaki katika uchafuwake.

22 Na sasa ndugu zanguwapendwa, nimewaambia vituhivi ili niwaamshe mjue wajibuwenu kwa Mungu, ili mtembeebila lawama mbele yake, ilimtembee kulingana na mpangomtakatifu wa Mungu, ambayokwayo mmepokelewa.

23 Na sasa ningetaka kwambamuwe awanyenyekevu, na mu-we wapole na waungwana;wepesi kusihiwa; wenye utelewa subira na uvumilivu; wenyekiasi katika vitu vyote, wenyebidii katika kutii amri za Munguwakati wote; mkiomba kwavyovyote mnavyohitaji, vyakiroho na vya kimwili; na kilawakati kumshukuru Mungukwa vyovyote mnavyopokea.

24 Na mhakikishe kwambamna aimani, tumaini, na hisani,na kisha mtadumu katika kazinzuri.

25 Na Bwana awabariki, naahifadhi mavazi yenu yasiwena doa, ili mwishowe mletwe

19a Mt. 3:3.20a 1 Ne. 10:19;

Alma 37:12;M&M 3:2.

21a 1 Kor. 3:16–17; 6:19;

Mos. 2:37;Alma 34:36.

b 1 Ne. 15:33–35;2 Ne. 9:16; Morm. 9:14;M&M 88:35.

23a mwm Mnyenyekevu,Unyenyekevu.

24a 1 Kor. 13:1–13;Eth. 12:30–35;Moro. 7:33–48.

Page 292: KITABU CHA MORMONI

275 Alma 7:26–8:7

mkae chini na Ibrahimu, Isaka,na Yakobo, na manabii wataka-tifu ambao wameishi tanguulimwengu uumbwe, mkiwana mavazi yenu yasiyo na adoakama vile mavazi yao hayanadoa, katika ufalme wa mbingunibila kutoka nje tena.

26 Na sasa ndugu zanguwapendwa, nimewazungumziamambo haya kulingana na Rohoanayeshuhudia ndani yangu; nanafsi yangu inafurahi sana, kwasababu ya bidii nyingi na utiifuambao mmelipatia neno langu.

27 Na sasa, aamani ya Munguiwe nanyi, na kwa nyumba zenuna mashamba yenu, na mifugoyenu na wanyama wenu, nayote ambayo mnamiliki, wakezenu na watoto wenu, kulinga-na na imani yenu na kazi njema,tangu sasa hadi milele. Na hivyonimesema. Amina.

MLANGO WA 8

Alma anahubiri na kubatiza katikaMeleki—Anakataliwa katika Amo-niha na kuondoka — Malaika ana-mwamuru arudi na kuhubiria watutoba — Anapokelewa na Amuleki,na wao wawili wanahubiri katikaAmoniha. Karibu mwaka wa 82kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

Na sasa ikawa kwamba Almaalirudi kutoka anchi ya Gideoni,baada ya kufunza watu waGideoni vitu vingi ambavyohaviwezi kuandikwa, baada yakuimarisha mpangilio wa ka-

nisa, kulingana na vile alivyo-kuwa amefanya katika nchi yaZarahemla, ndio, alirejea katikanyumba yake Zarahemla kuji-pumzisha kutokana na ile kazialiyokuwa ametenda.

2 Na hivyo mwaka wa tisa wautawala wa waamuzi juu yawatu wa Nefi ulikwisha.

3 Na ikawa kwamba katikamwanzo wa mwaka wa kumiwa utawala wa waamuzi juu yawatu wa Nefi, kwamba Almaaliondoka kutoka huko nakusafiri katika nchi ya Meleki,magharibi kando mwa amtoSidoni, magharibi kando mwamipaka ya nyika.

4 Na akaanza kuwafunza watukatika nchi ya Meleki kulinga-na na mpango amtakatifu waMungu, ambao alikuwa amei-twa kwake; na akaanza kufunzawatu kote katika nchi ya Meleki.

5 Na ikawa kwamba watuwalimjia kutoka mipaka yoteya nchi ambayo ilikuwa kandoya nyika. Na wakabatizwa kotekatika nchi;

6 Kwa hivyo baada ya kuka-milisha kazi yake katika Melekialiondoka huko, na akasafirimuda wa siku tatu kaskazinimwa nchi ya Meleki; na akafikakatika mji ulioitwa Amoniha.

7 Sasa ilikuwa ni desturi yawatu wa Nefi kutunga nchizao, na miji yao, na vijiji vyao,ndio, na hata vijiji vyao vyotevidogo, kwa jina la yule ambayealiimiliki kwanza; na ilikuwahivyo katika nchi ya Amoniha.

25a 2 Pet. 3:14.27a mwm Amani.8 1a Alma 2:20; 6:7.

3a Alma 16:6–7.4a M&M 107:2–4.

mwm Ukuhani wa

Melkizedeki.

Page 293: KITABU CHA MORMONI

Alma 8:8–18 276

8 Na ikawa kwamba baada yaAlma kuwasili katika mji waAmoniha alianza kuwahubirianeno la Mungu.

9 Sasa Shetani alikuwa aame-kamata mioyo ya watu wa mjiwa Amoniha; kwa hivyo hawa-kusikiliza maneno ya Alma.10 Walakini Alma alitia abidii

sana katika roho, bakipambanana Mungu katika sala ckuu, iliawateremshie watu waliokuwakatika mji Roho wake; kwambaakubali kwamba awabatizekatika toba.11 Walakini, walishupaza mi-

oyo yao, na kumwaambia:Tazama, tunajua kwamba weweni Alma; na tunajua kwambawewe ni kuhani mkuu wa ka-nisa ambalo wewe umeanzishakatika sehemu nyingi za nchi,kulingana na mila zako; na sisisio washirika wa kanisa lako,na hatuamini mila za kishenzikama hizo.

12 Na sasa tunajua kwambakwa sababu sisi sio washirikawa kanisa lako tunajua kwambahuna mamlaka juu yetu; na we-we umemkabidhi aNefiha kiticha hukumu; kwa hivyo wewesi mwamuzi mkuu juu yetu.13 Sasa baada ya watu kunena

haya, na kuyapinga manenoyake yote, na kumfanyia mzaha,na kumtemea mate, na kumsa-babisha kwamba atupwe nje yamji wao, aliondoka hapo naakafunga safari yake akielekeamji ambao uliitwa Haruni.

14 Na ikawa kwamba alipoku-wa akisafiri huko, na kuzidiwasana na huzuni, na kupambanana amateso mengi na kusono-neka sana katika nafsi, kwas a b a b u y a u o v u w a w a t uambao walikuwa katika mjiwa Amoniha, ikawa kwambawakati ambao Alma alikuwaamezidiwa na huzuni, tazamabmalaika wa Bwana alimtokea,na kusema:

15 Heri wewe, Alma; kwahivyo, inua kichwa chako naufurahi, kwani una sababukubwa ya kufurahi; kwaniumekuwa mwaminifu katikakutii amri za Mungu tangu ulewakati ambao ulipokea ujumbewako mara ya kwanza kutokakwake. Tazama, mimi ndiyeyule aaliyeikukabidhia.

16 Na tazama, nimetumwa ku-kuamuru kwamba urudi katikamji wa Amoniha, na uwahubirietena watu wa mji huo; ndio,uwahubirie. Ndio, uwaambie,wasipotubu Bwana Munguaatawaangamiza.17 Kwani tazama, wanapa-

nga kwa wakati huu jinsi yakuangamiza uhuru wa watuwako, (kwani Bwana anasemahiv i ) ambayo ni k inyumecha maagizo, na hukumu, naamri ambazo amewapatia watuwake.

18 Sasa ikawa kwamba baadaya Alma kupokea ujumbe wakekutoka kwa malaika wa Bwanaalirudi kwa haraka katika nchi

9a 2 Ne. 28:19–22;M&M 10:20.

10a Alma 17:5.b Eno. 1:1–12.

c 3 Ne. 27:1.mwm Sala.

12a Alma 4:20.14a mwm Shida.

b Alma 10:7–10, 20.mwm Malaika.

15a Mos. 27:11–16.16a Alma 9:12, 18, 24.

Page 294: KITABU CHA MORMONI

277 Alma 8:19–31

ya Amoniha. Na akaingia kati-ka mji kwa njia nyingine, ndio,kwa njia iliyo kusini mwa mjiwa Amoniha.19 Na alipoingia mjini alikuwa

na njaa, na akamwambia mtufulani: Waweza kumpatia mtu-mishi mnyenyekevu wa Mungukitu cha kula?

20 Na yule mtu akamwambia:Mimi ni Mnefi, na ninajua kwa-mba wewe ni nabii mtakatifuwa Mungu, kwani wewe ndiyeyule mtu ambaye amalaika alise-ma katika ono: Wewe utampo-kea. Kwa hivyo, njoo na mimikatika nyumba yangu na nita-kupatia chakula changu; naninajua kwamba wewe utaku-wa baraka kwangu mimi nanyumba yangu.21 Na ikawa kwamba yule mtu

alimkaribisha katika nyumbayake; na yule mtu al i i twaaAmuleki; na akaleta mkate nanyama na kumpakulia Alma.

22 Na ikawa kwamba Almaalikula mkate na kushiba; naaakambariki Amuleki na nyu-mba yake, na akamshukuruMungu.23 Na baada ya kula na kushi-

ba akamwambia Amuleki: Mimini Alma, na mimi ni kuhaniamkuu wa kanisa la Mungukote nchini.

24 Na tazama, nimeitwa kuhu-biri neno la Mungu miongonimwa watu hawa wote, kuli-ngana na roho ya ufunuo naunabii; na nilikuwa katika nchihii na hawakunipokea, lakini

awalinifukuza na karibu niiachenchi hii milele.

25 Lakini tazama, nimeamuri-wa kwamba nirudi tena naniwatolee watu hawa unabii,ndio, na kuwashuhudia dhidiya maovu yao.

26 Na sasa, Amuleki, kwasababu umenilisha na kunipo-kea, umebarikiwa; kwani niliku-wa mwenye njaa, kwa kufungasiku nyingi.

27 Na Alma akaishi s ikunyingi na Amuleki kabla yakuanza kuwahubiria watu.

28 Na ikawa kwamba watuwaliendelea kuwa wabaya zaidikatika uovu wao.

29 Na neno likamjia Alma,likisema: Nenda; na pia umwa-mbie mtumishi wangu Amule-ki, nenda mbele na uwatoleewatu hawa unabii, uwaambie—aTubuni, kwani Bwana anase-ma, msipotubu nitawatembeleawatu hawa kwa ghadhabuyangu; ndio, na sitabadilishaghadhabu yangu kali kutokakwao.

30 Na Alma akaenda, pamojana Amuleki, miongoni mwawatu, kuwatangazia neno laMungu; na walijazwa na RohoMtakatifu.

31 Na wakapewa uwezo, hataikawa kwamba haingewezeka-na wao kufungiwa katika jela;wala mtu yeyote kuweza ku-waua; walakini hawakutumiaauwezo wao hadi walipofungwakwa kamba na kuwekwa katikajela. Sasa, haya yalifanywa

20a Alma 10:7–9.21a mwm Amuleki.22a Alma 10:11.

23a Alma 5:3, 44, 49;13:1–20.

24a Alma 8:13.

29a Alma 9:12, 18.mwm Toba, Tubu.

31a 1 Ne. 1:20.

Page 295: KITABU CHA MORMONI

Alma 8:32–9:9 278

ili Bwana adhihirishe buwezowake ndani yao.

32 Na ikawa kwamba waliendana wakaanza kuhubiria watu nakuwatolea unabii, kulingana naroho na uwezo ambao Bwanaalikuwa amewapatia.

M a n e n o y a A l m a , n a p i amaneno ya Amuleki, ambayoyalitangaziwa watu waliokuwakatika nchi ya Amoniha. Napia wanatupwa katika jela, nakukombolewa kwa nguvu zamiujiza ya Mungu ambayo ili-kuwa ndani yao, kulingana namaandishi ya Alma.

Yenye milango ya 9hadi 14 yote pamoja.

MLANGO WA 9

Alma anawaamuru watu waAmoniha watubu—Bwana atawa-rehemu Walamani katika siku zamwisho — Wanefi wakiacha nuru,wataangamizwa na Walamani —Mwana wa Mungu atakuja hivi ka-ribuni—Atawakomboa wale ambaowatatubu, kubatizwa, na kuwa naimani katika jina lake. Karibumwaka wa 82 kabla ya kuzaliwakwa Kristo.

Na tena, mimi, Alma, baada yakuamriwa na Mungu kwambanimchukue Amuleki na kwendatena na kuhubiria watu hawa,au watu waliokuwa katika mjiwa Amoniha, ikawa kwamba

nilipoanza kuwahubiria, naowakaanza kubishana na mimi,wakisema:

2 Nani wewe? Unadhani kwa-mba tutaamini ushuhuda wamtu ammoja, hata ikiwa atatu-hubiria kuwa dunia itakwisha?

3 Sasa hawakufahamu yaleambayo walizungumza; kwanihawakujua kwamba dunia ita-kwisha.

4 Na wakasema pia: Hatutaa-mini maneno yako kama uta-toa unabii kwamba mji huumkuu utaangamizwa katikasiku amoja.

5 Sasa hawakujua kwambaMungu angeweza kufanya vite-ndo vya ajabu kama hivyo, kwa-ni walikuwa watu wenye mioyomigumu na shingo ngumu.

6 Na wakasema: Mungu nianani, ambaye bhatumi mamlakazaidi ya mtu mmoja miongonimwa watu hawa, kuwatangaziaukweli wa vitu vikuu na vyaajabu kama hivi?

7 Na wakasonga mbele iliwanikamate; lakini tazama,hawakuweza. Na nikasimamakwa ujasiri ili niwatangazie,ndio, niliwashuhudia kwa uja-siri, nikisema:

8 Tazameni, Ee nyinyi akizazikiovu na kibaya, ni vipi mme-sahau mila za babu zenu; ndio,vipi mara moja mmesahau amriza Mungu.

9 Hamkumbuki kwamba babayetu, Lehi, alitolewa Yerusale-mu kwa amkono wa Mungu?Hamkumbuki kwamba wote

31b Alma 14:17–29.9 2a Kum. 17:6.4a Alma 16:9–10.

6a Kut. 5:2;Mos. 11:27;Musa 5:16.

b Alma 10:12.8a Alma 10:17–25.9a 1 Ne. 2:1–7.

Page 296: KITABU CHA MORMONI

279 Alma 9:10–18

waliongozwa na yeye kupitianyikani?10 Na mmesahau haraka vipi

kwamba aliwakomboa babuzetu mara nyingi kutoka miko-noni mwa maadui wao, naakawahifadhi kutokana na ma-angamizo, hata kwa mikono yandugu zao wenyewe?

11 Ndio, na kama sio kwauwezo wake usio na kipimo, narehema yake, na subira yakekwetu sisi, tungekuwa tumete-ngwa kutoka usoni mwa duniakitambo sana kabla ya wakatihuu, na pengine tungekuwatumewekwa kwa hali ya taabuna hofu aisiyo na mwisho.12 Tazama, sasa nawaambia

kwamba anawaamuru mtubu;na msipotubu, hamwezi kuri-thi ufalme wa Mungu. Lakinitazama, haya sio yote — ame-waamuru kwamba mtubu, auaatawaangamiza kabisa kutokausoni mwa dunia; ndio; atawa-tembelea katika ghadhabu yake,na katika ghadhabu yake bkalihatawarehemu.

13 Tazama, hamkumbuki ma-neno ambayo alimzungumziaLehi, akisema kwamba: aKadirimtakavyoweka amri zangu,ndivyo mtakavyofanikiwa ka-tika nchi? Na tena imesemwakwamba: Kadiri vile msiposhikaamri zangu ndivyo mtakavyote-ngwa kutoka uwepo wa Bwana.

14 Sasa ningetaka kwambamkumbuke, kwamba jinsi Wa-

lamani wamekosa kushika amriza Mungu, awamekatwa kuto-kana na uwepo wa Bwana. Sasat u n a o n a k w a m b a n e n o l aBwana limethibitishwa katikakitu hiki, na Walamani wame-tengwa kutoka uwepo wake,tangu mwanzo wa uasi waokatika nchi hii.

15 Walakini nawaambia, kwa-mba itakuwa aafadhali kwaokatika siku ya hukumu kulikonyinyi, ikiwa mtabaki katikadhambi zenu, ndio, na hata yakuvumilika zaidi katika maishahaya, msipotubu.

16 Kwani kuna ahadi nyingiambazo Walamani awamenyo-oshewa; kwani ni kwa sababuya bmila za babu zao ambazoziliwasababisha kuishi katikahali yao ya ckutojua; kwa hivyoBwana atawahurumia na dazi-dishe maisha yao katika nchi.

17 Na wakati utafika ambaoawatawezeshwa kuamini nenolake, na kujua kasoro za milaza babu zao; na wengi waowataokolewa, kwani Bwana ata-warehemu wote ambao bwata-liita jina lake.

18 Lakini tazama, nawaambiakwamba mkiendelea katikauovu wenu siku zenu hazitazi-dishwa katika nchi, kwaniaWalamani watatumwa kuwa-shambulia; na msipotubu wa-takuja katika wakati ambaohamjui, na mtatembelewa namaangamizo bmakuu; na itaku-

11a Mos. 16:11.12a Alma 8:16;

10:19, 23, 27.b Alma 8:29.

13a 2 Ne. 1:20; Mos. 1:7;Alma 37:13.

14a 2 Ne. 5:20–24;Alma 38:1.

15a Mt. 11:22, 24.16a Alma 17:15.

b Mos. 18:11–17.c Mos. 3:11.

d Hel. 15:10–12.17a Eno. 1:13.

b Alma 38:5;M&M 3:8.

18a Alma 16:2–3.b Alma 16:9.

Page 297: KITABU CHA MORMONI

Alma 9:19–26 280

wa kulingana na cghadhabukali ya Bwana.19 Kwani hatakubali kwamba

muishi katika maovu yenu,kuangamiza watu wake. Nina-waambia, Hapana; atawaruhu-su Walamani awawaangamizewatu wake wote ambao wanai-twa watu wa Nefi, ikiwa inge-wezekana kwamba bwangea-nguka katika dhambi na maovu,baada ya kupokea nuru nyingina ufahamu mwingi kutokakwa Bwana Mungu wao;20 Ndio, baada ya kuwa watu

waliopendelewa sana na Bwa-na; ndio, baada ya kupendelewazaidi ya taifa, ukoo, lugha, auwatu wengine; baada ya akuju-lishwa vitu vyote kulingana nakutaka kwao, na imani yao, nasala, za yale ambayo yameku-wa, na ambayo yako, na ambayoyatakuja;

21 Baada ya kutembelewa naRoho wa Mungu; baada ya ku-zungumza na malaika, na baa-da ya kuzungumziwa na sautiya Bwana; na kuwa na roho yaunabii, na roho ya ufunuo, napia vipawa vingi, na kipawacha kunena kwa lugha, kipawacha kuhubiri, na kipawa chaRoho Mtakatifu, na kipawa chaautafsiri;22 Ndio, na baada ya akuko-

mbolewa na Mungu kutoka nchiya Yerusalemu, kwa mkono waBwana; baada ya kuokolewakutokana na njaa, na kutoka

ugonjwa, na kila aina ya mago-njwa ya aina yote; na baada yawao kupata nguvu katika vita,ili wasiangamizwe; baada yawao kutolewa kutoka butumwamara kwa mara, na baada yakuwekwa na kuhifadhiwa hadisasa; na wamefanikishwa hadiwakapata utajiri kwa aina yoteya vitu —

23 Na sasa tazama nawaambia,kwamba kama hawa watu,ambao wamepokea baraka nyi-ngi kutoka mkono wa Bwana,watakosea kulingana na nuruna ufahamu ambao wamepo-kea, ninawaambia kwambakama itakuwa hivyo, kwambaikiwa wataanguka kwenye ma-kosa, itakuwa ni aheri kwaWalamani kuliko wao.

24 Kwani tazama, aahadi zaBwana zimenyooshewa Wala-mani, lakini sio zenu mkivunjasheria; kwani si Bwana amea-hidi waziwazi na kutanganzakwa uthabiti, kwamba mkimu-asi mtaangamizwa kutoka usonimwa dunia?

25 Na sasa kwa sababu hii,kwamba msiangamizwe, Bwanaametuma malaika wake kuwa-tembelea wengi wa watu wake,akiwaambia kwamba lazimawaende na kuwatanganzia watuhawa, wakisema: aTubuni nyi-nyi, kwani ufalme wa mbinguniumo mkononi;

26 Na asio baada ya siku nyingikwamba Mwana wa Mungu

18c Alma 8:29.19a 1 Ne. 12:15, 19–20;

Alma 45:10–14.b Alma 24:30.

20a mwm Ufunuo.

21a Omni 1:20;Mos. 8:13–19;28:11–17.

22a 2 Ne. 1:4.b Mos. 27:16.

23a Mt. 11:22–24.24a 2 Ne. 30:4–6;

M&M 3:20.25a Alma 7:9; Hel. 5:32.26a Alma 7:7.

Page 298: KITABU CHA MORMONI

281 Alma 9:27–10:2

atakuja katika utukufu wake;na utukufu wake utakuwa utu-kufu wa yule bMzaliwa waBaba, aliyejaa cneema, haki, naukweli, mwenye subira, drehe-ma, na uvumilivu, mwepesiekusikia vilio vya watu wakena kujibu sala zao.27 Na tazama, anakuja akuko-

mboa wale ambao bwatabatizwaubatizo wa toba, kupitia imanikatika jina lake.28 Kwa hivyo, tayarisheni

nyinyi njia ya Bwana, kwaniwakati umo mkononi kwambawatu wote watavuna zawadiza akazi zao, kulingana na vilewalivyokuwa — kama wame-kuwa wenye haki bwatavunawokovu wa nafsi zao, kulinganana uwezo na ukombozi wa YesuKristo; na kama wamekuwawaovu watavuna cmauti yanafsi zao, kulingana na uwezona utumwa wa ibilisi.

29 Sasa tazama, hii ni sauti yamalaika, inayowatangazia watu.

30 Na sasa, ndugu zanguawapendwa, kwani nyinyi nindugu zangu, na inafaa muwewapendwa, na inafaa mtendevitendo vya toba, nikiona kwa-mba mioyo yenu imeshupazwakupita kiasi dhidi ya nenola Mungu, na nikiona kwambanyinyi ni watu ambao bwame-potea na kuanguka.31 Sasa ikawa kwamba wakati

mimi, Alma, nilipozungumzamaneno haya, tazama, watu

walinikasirikia kwa sababuniliwaambia kwamba wao wa-likuwa watu wenye mioyomigumu na ashingo ngumu.32 Na pia kwa sababu niliwa-

ambia kwamba walikuwa watuwaliopotea na walioanguka,walinikasirikia, na wakatafutajinsi ya kunikamata, ili wanitiekatika jela.

33 Lakini ikawa kwambaBwana hakuwaruhusu wani-chukue ule wakati na kunitupakatika jela.

34 Na ikawa kwamba Amulekialienda, na akaanza kuwahubi-ria pia. Na sasa amaneno yoteya Amuleki hayajaandikwa,walakini sehemu ya manenoyake yameandikwa katika kita-bu hiki.

MLANGO WA 10

Lehi ni wa uzao wa Manase —Amuleki anaelezea jinsi malaikaalivyomwamuru kwamba amhudu-mie Alma — Sala za watu wenyehaki zinawaokoa watu—Mawakilina Waamuzi wasio wenye hakiwanaanza kupanga maangamizoya watu. Karibu mwaka wa 82kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

Sasa haya ndiyo a manenoambayo bAmuleki aliwahubiriawatu ambao walikuwa katikanchi ya Amoniha, akisema:

2 Mimi ni Amuleki; mimi nimwana wa Gidona, ambaye

26b mwm Mwana Pekee.c mwm Neema.d mwm Rehema,

Rehema, enye.e Kum. 26:7.

27a mwm Komboa,

Kombolewa,Ukombozi.

b mwm Batiza, Ubatizo.28a M&M 1:10; 6:33.

b Zab. 7:16.c mwm Hukumu.

30a 1 Yoh. 4:11.b Alma 12:22.

31a 2 Ne. 25:28; Mos. 3:14.34a Alma 10.10 1a Alma 9:34.

b Alma 8:21–29.

Page 299: KITABU CHA MORMONI

Alma 10:3–10 282

alikuwa mwana wa Ishmaeli,a m b a y e a l i k u w a u z a o w aAminadi; na alikuwa ni huyoAminadi ambaye alitafsiri ma-andiko ambayo yalikuwa kwe-nye ukuta wa hekalu, ambayoyaliandikwa kwa kidole chaMungu.3 Na Aminadi alikuwa uzao

wa Nefi, ambaye alikuwa nimwana wa Lehi, ambaye alitokanchi ya Yerusalemu, ambayealikuwa uzao wa aManase,ambaye alikuwa mwana wabYusufu caliyeuzwa Misri kwamikono ya kaka zake.

4 Na tazama, mimi pia sio mtualiye na heshima ndogo mio-ngoni mwa wote ambao wana-nijua; ndio, na tazama, ninajamaa na amarafiki wengi, napia nimepokea utajiri mwingikutokana na bidii ya mikonoyangu.

5 Walakini, hata baada yahaya yote, sijaelewa sana kuhu-su njia za Bwana, na asiri zakena nguvu zake za ajabu. Nilise-ma kuwa sikuwahi kujua mengikuhusu vitu hivi; lakini tazama,nimekosea, kwani nimeona sirizake nyingi na nguvu zake zaajabu; ndio, hata katika kuhifa-dhiwa kwa maisha ya watuhawa.6 Walakini, nilishupaza moyo

wangu, kwani aniliitwa maranyingi lakini bsikusikia; kwahivyo nilijua kuhusu vitu hivi,lakini nisingeweza kuvifahamu;

kwa hivyo nikaendelea kumu-asi Mungu, katika uovu wamoyo wangu, hadi siku ya nneya mwezi huu wa saba, ambaouko katika mwaka wa kumi wautawala wa waamuzi.

7 Nilipokuwa nikisafiri ku-muona mmoja wa jamaa yanguwa karibu, tazama amalaika waBwana alinitokea na kunia-mbia: Amuleki, rudi nyumbanikwako, kwani utamlisha nabiiwa Bwana; ndio, mtu mtakati-fu, ambaye amechaguliwa naMungu; kwani bamefunga sikunyingi kwa sababu ya dhambiza watu hawa, na ana njaa, nacutamkaribisha katika nyumbayako na utamlisha, na atakuba-riki wewe na nyumba yako; nabaraka ya Bwana itakuwa juuyako na nyumba yako.

8 Na ikawa kwamba nilitiisauti ya malaika, na nikarudinyumbani kwangu. Na nilipo-kuwa nikienda hapo nilimpataamtu ambaye malaika alikuwaameniambia: Wewe utampokeakatika nyumba yako — na taza-ma ni huyu mtu ambaye ameku-wa akiwazungumzia kuhusuvitu vya Mungu.

9 Na malaika aliniambia kuwayeye ni mtu amtakatifu; kwahivyo najua kwamba yeye nimtu mtakatifu kwa sababu ili-semwa na malaika wa Mungu.

10 Na tena, najua kwamba vituambavyo ameshuhudia ni vyakweli; kwani tazama nawaa-

3a Mwa. 41:51;1 Nya. 9:3.

b mwm Yusufu,Mwana wa Yakobo.

c Mwa. 37:29–36.

4a Alma 15:16.5a mwm Siri za Mungu.6a Alma 5:37.

b M&M 39:9.7a Alma 8:20.

b Alma 5:46; 6:6.mwm Funga, Kufunga.

c Mdo. 10:30–35.8a Alma 8:19–21.9a mwm Mtakatifu.

Page 300: KITABU CHA MORMONI

283 Alma 10:11–19

mbia, jinsi vile Bwana anavyoi-shi, hata hivyo amemtumaamalaika wake kufanya vituhivi vidhihirishwe kwangu; naamefanya haya wakati huyuAlma balipoishi katika nyumbayangu.

11 Kwani tazama, ameibarikinyumba yangu, aamenibariki,na wanawake wangu, na wato-to wangu, na baba yangu najamaa yangu; ndio, ameibarikijamaa yangu yote, na barakaza Bwana zimekaa juu yetukulingana na maneno ambayoalizungumza.12 Na sasa, Amuleki alipoku-

wa amezungumza maneno hayawatu walianza kustaajabu,wakiona kwamba kulikuwa nashahidi azaidi ya mmoja amba-ye alishuhudia kuhusu vituambavyo walishutumiwa, napia kuhusu vitu ambavyo vita-kuja, kulingana na roho yaunabii iliyokuwa ndani yao.

13 Walakini, kulikuwa na we-ngine miongoni mwao ambaowalitaka kuwauliza maswali, iliwawanase katika maneno yaokwa amitego, ili wapate ushu-huda dhidi yao, ili wawapelekembele ya waamuzi wao iliwahukumiwe kulingana na she-ria, na ili wauawe au kutiwakatika jela, kulingana na mako-sa ambayo wangewasingiziaau kushuhudia kinyume chao.14 Sasa ilikuwa ni wale watu

ambao walijaribu kuwaangami-za, ambao walikuwa ni amawa-

kili, ambao waliajiriwa au ku-chaguliwa na watu kutekelezasheria wakati wao wa hukumu,au katika hukumu ya makosaya watu mbele ya waamuzi.

15 Sasa hawa mawakili wali-kuwa na elimu ya udanganyifuna ujanja wa watu; na hii nikuwawezesha wawe na ustadikatika kazi yao.

16 Na ikawa kwamba walianzakumuuliza Amuleki maswali, iliwamfanye achanganye manenoyake, au kukanusha manenoambayo angezungumza.

17 Sasa hawakujua kwambaAmuleki angeweza kujua mipa-ngo yao. Lakini ikawa kwambawalipoanza kumuuliza maswa-li, aalihisi mawazo yao, na aka-waambia: Ee nyinyi bkizazikiovu na kibaya, nyinyi mawa-kili na wanafiki, kwani mnaje-nga msingi wa ibilisi; kwanimnaweka cmitego ya kunasawalio watakatifu wa Mungu.

18 Mnapanga mipango yaakuchafua njia za watakatifu,na kuteremsha ghadhabu yaMungu juu ya vichwa vyenu,hata kwa maangamizo ya watuhawa.

19 Ndio, si ni Mosia, ambayea l i k u w a m f a l m e w e t u w amwisho, aliyesema alipokari-bia kutoa ufalme, na hakuwana yeyote angestahili kupewa,na akasababisha kwamba watuhawa watawaliwe kwa sauti yawatu — ndio, alisema kwambakama wakati utafika ambao

10a Alma 11:30–31.b Alma 8:27.

11a Alma 8:22.12a Alma 9:6.

13a Alma 11:21.14a Alma 10:24;

11:20–21; 14:18.17a Alma 12:3; 20:18, 32;

M&M 6:16.b Mt. 3:7; Alma 9:8.c M&M 10:21–27.

18a Mdo. 13:10.

Page 301: KITABU CHA MORMONI

Alma 10:20–28 284

sauti ya watu aitachagua uovu,yaani, wakati ukifika ambaowatu hawa wataanguka katikadhambi, watakuwa tayari kua-ngamizwa.

20 Na sasa ninawaambia kwa-mba Bwana anahukumu mao-vu yenu vyema; na anawaliliawatu hawa vyema, kwa sautiya amalaika wake: Tubuni nyi-nyi, tubuni, kwani ufalme wambinguni u karibu.

21 Ndio, kwa wema analia,kwa sauti ya malaika wakekwamba: aMimi nitashuka chinimiongoni mwa watu wangu,na usawa na haki mikononimwangu.22 Ndio, na ninawaambia

kwamba kama sio a sala zawenye haki, walio katika nchihii sasa, kwamba mngekuwammetembelewa kwa maanga-mizo kamili; lakini haingekuwakwa bmafuriko, kama watukatika siku za Nuhu, lakiniingekuwa kwa njaa, na kwatauni, na kwa upanga.

23 Lakini ni kwa asala za walewenye haki kwamba mmeachi-liwa; sasa kwa hivyo, kamamtawafukuza wale wenye hakikutoka miongoni mwenu basiBwana hatauzuia mkono wake;lakini katika ghadhabu yakeatawateremkia; kisha mtapigwakwa njaa, na kwa tauni, na kwaupanga; na bwakati u karibumsipotubu.24 Na sasa ikawa kwamba

watu walimkasirikia Amulekizaidi, na wakalia, na kusema:Huyu mtu anadharau sheriazetu ambazo ni za haki, namawakili wetu wenye busaraambao tumewachagua.

25 Lakini Amuleki aliwanyo-shea mkono wake, na kusemakwa nguvu: Ee nyinyi kizazikiovu, mbona Shetani ameingiakatika mioyo yenu jinsi hii?Kwa nini mnajitoa kwake nakumruhusu awe na uwezo juuyenu, akufunga macho yenu,kwamba hamfahamu manenoambayo yamezungumzwa, ku-lingana na ukweli wao?

26 Kwani tazama, nimezungu-mza kinyume cha sheria yenu?Nyinyi hamfahamu; mnasemakwamba nimezungumza ki-nyume cha sheria yenu; lakinisikufanya hivyo, lakini nimei-sifu sheria yenu, ambayo ina-wahukumu.

27 Na sasa tazama, nawaa-mbia , kwamba msingi wamaangamizo ya watu hawaumeanza kujengwa na amawa-kili wenu na waamuzi wenuambao hawana haki.

28 Na sasa ikawa kwamba ba-ada ya Amuleki kuzungumzamaneno haya watu walimpigiamakelele, na kusema: Sasa tu-najua kwamba huyu mtu nimtoto wa ibilisi, kwani aametu-danganya; kwani ameishutumusheria yetu. Na sasa anasemakwamba hajaishutumu.

19a Mos. 29:27;Alma 2:3–7; Hel. 5:2.

20a Alma 8:14–16; 13:22.21a Mos. 13:34.22a Yak. (Bib.) 5:16;

Mos. 27:14–16.b Mwa. 8:21;

3 Ne. 22:8–10.mwm Gharika katikaWakati wa Nuhu.

23a mwm Sala.b Alma 34:32–35.

25a 2 Kor. 4:4; Alma 14:6.27a Lk. 11:45–52.28a Alma 14:2.

Page 302: KITABU CHA MORMONI

285 Alma 10:29–11:6

29 Na tena, amewashutumumawakili wetu, na waamuziwetu.

30 Na ikawa kwamba mawa-kili waliweka vitu hivi katikamioyo yao ili wavikumbukedhidi yake.

31 Na kulikuwa na mmoja mi-ongoni mwao ambaye jina lakelilikuwa Zeezromu. Sasa yeyealikuwa wa mbele akumshtakiAmuleki na Alma, yeye akiwamwenye ujuzi mwingi mio-ngoni mwao, na alikuwa nashughuli nyingi miongoni mwawatu.32 Sasa lengo la mawakili

hawa lilikuwa ni kupata faida;na walipata faida kulingana nakazi yao.

MLANGO WA 11

Wanefi wanatekeleza utaratibu wafedha zao—Amuleki anabishana naZeezromu—Kristo hataokoa watukatika dhambi zao—Wale tu ambaowanarithi ufalme wa mbingunindio wanaookolewa — Wanadamuwote watafufuka katika miili isiyo-kufana mwisho — Hakuna kifo ba-ada ya Ufufuo. Karibu mwaka wa82 kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

Sasa ilikuwa kwenye sheria yaMosia kwamba kila mtu amba-ye alikuwa mwamuzi wa sheria,au wale waliochaguliwa kuwawaamuzi, wapokee mshaharakulingana na muda ule ambaowaliutumia katika kufanyauamuzi kwa wale walioletwambele yao kuhukumiwa.

2 Sasa kama mtu alidaiwa namwingine, na akakataa kulipadeni ambalo alidaiwa, alishita-kiwa kwa mwamuzi; na mwa-muzi alitekeleza uwezo wake,na akawatuma askari ili yulemtu aletwe mbele yake; na aka-mhukumu yule mtu kulinganana sheria na ushahidi uliotolewadhidi yake, na hivyo mtu huyoalilazimishwa kulipa deni lake,au avuliwe, au aondolewe mio-ngoni mwa watu kama mwizina mporaji.

3 Na mwamuzi alipokea kwamshahara wake kulingana nawakati aliotumia — senina yadhahabu kwa siku, au senumuya fedha, ambayo ni sawa nasenina ya dhahabu; na hii nikulingana na sheria ambayoilitolewa.

4 Sasa haya ndio majina yavipande vyao tofauti vya dha-habu, na fedha zao, kulinganana thamani yao. Na majinayalitungwa na Wanefi, kwanihawakufuata mpango wa Wa-yahudi ambao walikuwa Yeru-salemu; wala hawakupimakulingana na mpango wa Wa-yahudi; lakini walibadilishavipimo vyao na mpango wao,kulingana na mawazo na haliya watu, katika kila kizazi,hadi utawala wa waamuzi,ambao a wali imarishwa namfalme Mosia.

5 Sasa mpango huo ulikuwahuu—senina ya dhahabu, seoniya dhahabu, shumu ya dhaha-bu, na limnahi ya dhahabu.

6 Senumu ya fedha, amnori ya

31a Alma 11:20–36. 11 4a Mos. 29:40–44.

Page 303: KITABU CHA MORMONI

Alma 11:7–25 286

fedha, ezromu ya fedha, naonti ya fedha.7 Senumu ya fedha ilikuwa ni

sawa na senina ya dhahabu, nazote zilikuwa ni sawa na kipimokimoja cha shayiri, na pia kipi-mo cha kila aina ya nafaka.

8 Sasa kiasi cha seoni ya dha-habu kilikuwa na thamani marambili ya senina.

9 Na shumu ya dhahabu iliku-wa na thamani mara mbili yaseoni.

10 Na limnahi ya dhahabu ili-kuwa na thamani ya hizo zote.

11 Na amnori ya fedha ilikuwakuu kama senumu mbili.

12 Na ezromu ya fedha ilikuwakuu kama senumu nne.

13 Na onti ilikuwa kuu kamahizo zote.

14 Sasa hivi ndivyo vipimovya chini vya mpango wao —

15 Shibloni ni nusu ya senumu;kwa hivyo, shibloni moja kwanusu kipimo cha shayiri.

16 Na shiblumu ni nusu yashibloni.

17 Na lea ni nusu ya shiblumu.18 Sasa hii ndio idadi yao,

kulingana na mpango wao.19 Sasa antioni ya dhahabu ili-

kuwa ni sawa na shibloni tatu.20 Sasa, ilikuwa ni kwa lengo

la kufaidika, kwa sababu wali-pokea mshahara wao kulinganana kazi yao, kwa hivyo, waliwa-chochea watu kufanya ghasia,na kila aina ya fujo na uovu, iliwapate kazi nyingi, ili awapatepesa kulingana na kesi ambazozililetwa mbele yao; kwa hivyo

waliwachochea watu dhidi yaAlma na Amuleki.

21 Na huyu Zeezromu alianzakumhoji Amuleki, akisema: Je,utaweza kuni j ibu maswalimachache ambayo nitakuuliza?Sasa Zeezromu alikuwa ni mtualiyekuwa na ujuzi katika ami-pango ya ibilisi, ili aangamizeyale ambayo yalikuwa mema;kwa hivyo, akamwambia Amu-leki: Utajibu maswali ambayonitakuuliza?

22 Na Amuleki akamwaambia:Ndio, kama itakuwa kulinganana aRoho wa Bwana, aliye ndaniyangu; kwani sitasema chochoteambacho ni kinyume cha rohowa Bwana. Na Zeezromu aka-mwambia: Tazama, hapa kunaonti sita za fedha, na nitakupahizi zote ukikana uwepo waKiumbe Mkuu.

23 Sasa Amuleki alisema: Eweamtoto wa jahanamu, kwa ninibunanijaribu? Hujui kwambawale wenye haki hawakubalimajaribio kama haya?

24 Unaamini kwamba hakunaMungu? Nakuambia, La, weweunajua kwamba Mungu yupo,lakini unapenda apesa zaidiyake.

25 Na sasa wewe umenida-nganya mbele ya Mungu wangu.Unaniambia—Tazama hizi ontisita ambazo zina thamani kuu,nitakupatia — wakati ulikuwaumepanga moyoni mwakokuziweka kutoka kwangu; nailikuwa ni haja yako tu kwambamimi nimkane Mungu wa kweli

20a Alma 10:32.21a Alma 10:13.22a mwm Roho Mtakatifu.

23a Alma 5:41.b mwm Jaribu,

Majaribu.

24a 1 Tim. 6:10;Tit. 1:11.

Page 304: KITABU CHA MORMONI

287 Alma 11:26–41

na anayeishi, ili uwe na sababuya kuniangamiza. Na sasatazama, kwa sababu ya huuuovu mkuu utapokea upatani-sho wako.26 Na Zeezromu akamwambia:

Wewe unasema kwamba kunaMungu wa kweli na anaiyeshi?

27 Na Amuleki akasema:Ndio, kuna Mungu wa kwelina anayeishi.

28 Sasa Zeezromu akasema:Kuna zaidi ya Mungu mmoja?

29 Na akajibu, Hapana.30 Sasa Zeezromu akasema

kwake tena: Ni vipi unavyojuavitu hivi?

31 Na akasema: aMalaika ame-nijulisha.

32 Na Zeezromu akasema tena:Ni nani atakayekuja? Ni Mwanawa Mungu?

33 Na akamwambia, Ndio.34 Na Zeezromu akasema tena:

Ataokoa watu wake akatikadhambi zao? Na Amuleki aka-jibu na kumwambia: Nakwa-mbia kwamba hatafanya hivyo,kwani yeye hawezi kukananeno lake.35 Sasa Zeezromu akawaa-

mbia watu: Hakikisha kwambamnakumbuka hivi vitu; kwanialisema kwamba kuna Mungummoja pekee; na bado amesemakwamba Mwana wa Munguatakuja, lakini kwamba hatao-koa watu wake — kama aliye

na mamlaka ya kumwamuruMungu.

36 Sasa Amuleki akamwambiatena: Tazama umesema uwo-ngo, kwani umesema kwambanilizungumza kama yule aliyena mamlaka ya kumwamuruMungu kwa sababu nilisemakwamba hataokoa watu wakekatika dhambi zao.

37 Na ninakwambia tena kwa-mba yeye hawezi kuwaokoakatika adhambi zao; kwani si-wezi kukanusha neno lake, naamesema kwamba bhakuna kituchochote kichafu kitakachori-thi cufalme wa mbinguni; kwahivyo, vipi mtakavyookolewa,msiporithi ufalme wa mbingu-ni? Kwa hivyo, hamwezi kuo-kolewa katika dhambi zenu.

38 Sasa Zeezromu akamwa-mbia tena: Mwana wa Munguni yule Baba wa Milele?

39 Na Amuleki akamwambia:Ndio, yeye ndiye Baba waaMilele wa mbingu na dunia, navitu bvyote vilivyo ndani yao;yeye ndiye mwanzo na mwisho,wa kwanza na wa mwisho;

40 Na atakuja ndani ya auli-mwengu bkuwakomboa watuwake; na catajitwaa dhambi zawale wanaoamini katika jinalake; na hawa ndio watakaopo-kea uzima wa milele, na woko-vu hautamjia mwingine yeyote.

41 Kwa hivyo waovu wataishi

31a Alma 10:7–10.34a Hel. 5:10–11.37a 1 Kor. 6:9–10.

b 1 Ne. 15:33;Alma 40:26;3 Ne. 27:19.mwm Sio mcha

Mungu.c mwm Ufalme wa

Mungu au Ufalmewa Mbinguni.

39a Isa. 9:6.b Kol. 1:16;

Mos. 4:2.

40a mwm Ulimwengu.b Rum. 11:26–27.c Kut. 34:6–7;

Isa. 53:5;1 Yoh. 2:2;Mos. 14:5; 15:12;M&M 19:16–19.

Page 305: KITABU CHA MORMONI

Alma 11:42–46 288

kama kwamba ahakukuwekona ukombozi, ila tu kufanywahuru kutokana na kamba zakifo; kwani tazama, siku ina-kuja ambayo bwote watafufukakutoka kwa wafu na kusimamambele ya Mungu, na cwatahu-kumiwa kulingana na kazi zao.

42 Sasa, kuna kifo ambachokinaitwa kifo cha muda; na kifocha Kristo kitafungua akandaza kifo hiki cha muda, ili wotewafufuliwe kutoka kifo hikicha muda.

43 Roho na mwili avitaungwatena katika hali yake ya ukamili-fu; viungo vyote vitarudishwakatika sehemu zao kamili, kamavile tulivyo sasa; na tutaletwakusimama mbele ya Mungu,tukijua kama vile tujuavyo sasa,na bkukumbuka chatia zetu zote.44 Sasa, huu urejesho utaku-

wa kwa wote, wote wazee navijana, wote wafungwa na huru,waume na wake, wote waovuna wenye haki; na hakuna hataunywele wa vichwa vyao uta-kaopotea; lakini kila kitu akita-rejeshwa mahali pake kamili,kama vile ilivyo sasa, au katikamwili, na utaletwa na kusima-mishwa mbele ya kit i chahukumu cha Kristo Mwana, naMungu bBaba, na Roho Mtaka-tifu, ambao ni Mungu cmmojawa Milele, dkuhukumiwa kuli-

ngana na vitendo vyao, kamani vyema au ni viovu.

45 Sasa, tazama, nimekuzu-ngumzia kuhusu kifo cha mwi-li huu wa muda, na pia kuhusua ufufuo wa mwil i huu wamuda. Ninakwambia kwambamwili huu wa kufa butafufuliwana kwa mwili cusiokufa, yaanikutoka kifo, hata kufufuka kifocha kwanza hadi katika uhai,kwamba dwasife tena; roho zaozikiungana na miili yao, walahazitatenganishwa tena; hivyomtu wote utakuwa wa ekirohona asiyekufa, kwamba hataonauharibifu tena.

46 Sasa, Amuleki alipomalizakuzungumza maneno hayawatu walianza kustaajabia tena,na pia Zeezromu akaanza kute-temeka. Na hivyo maneno yaAmuleki yakamalizika, au hayandiyo yote ambayo nimeandika.

MLANGO WA 12

Alma abishana na Zeezromu —Siri za Mungu zinaweza kupewawale ambao ni waaminifu pekee —Wanadamu watahukumiwa kuli-ngana na mawazo yao, imani,maneno, na vitendo — Waovu wa-tapokea kifo cha kiroho — Maishahaya ya muda ni hali ya kujaribiwa— Mpango wa ukombozi huleta

41a Alma 12:18;M&M 88:33.

b Ufu. 20:12–13;Alma 42:23.

c mwm Hukumu, yaMwisho.

42a Alma 12:16.43a 2 Ne. 9:13;

Alma 40:23.

b 2 Ne. 9:14; Mos. 3:25;Alma 5:18.

c mwm Hatia.44a Alma 41:12–15.

b mwm Mungu,Uungu—MunguBaba.

c 3 Ne. 11:27, 36.mwm Mungu, Uungu.

d Ufu. 20:12–13.45a Alma 40:23;

M&M 88:16.b mwm Ufufuko.c mwm Isiyo kufa,

Maisha ya kutokufa.d Ufu. 21:4;

M&M 63:49; 88:116.e 1 Kor. 15:44.

Page 306: KITABU CHA MORMONI

289 Alma 12:1–8

Ufufuo na, kwa kupitia imani,ondoleo la dhambi — Wale wanao-tubu wana haki ya kupokea msa-maha kupitia Mwana wa Pekee.Karibu mwaka wa 82 kabla yakuzaliwa kwa Kristo.

Sasa Alma, alipoona kwambamaneno ya Amuleki yalim-nyamazisha Zeezromu, kwanialiona kwamba Amuleki alim-pata katika auwongo wake naujanja wake ili amwangamize,na alipoona kwamba alianzakutetemeka katika bdhamirayake ya hatia, alifungua kinywachake na akaanza kumzungu-mzia, na kuimarisha manenoya Amuleki, na kumwelezeamambo zaidi, au kuyafunguamaandiko zaidi ya vile Amulekialivyokuwa amefanya.

2 Sasa maneno ambayo Almaalimwelezea Zeezromu yalisiki-ka na watu waliokuwa karibu;kwani umati ulikuwa mkuu,na alisema hivi:

3 Sasa Zeezromu, nikiona kwa-mba wewe umeshikwa katikauwongo na ujanja wako, kwaniwewe hukudanganya watupekee lakini wewe umemda-nganya Mungu; kwani tazama,anajua amawazo yako yote, naunaona kwamba mawazo yakoyamefanywa kujulikana kwetuna Roho yake;

4 Na wewe unaona kwambatunajua kuwa mpango wakoulikuwa ni mpango wa hila,kama hila ya ibilisi, kwani uli-taka kudanganya na kulaghai

watu hawa ili uwafanye wawedhidi yetu, na watufanyie dha-rau na kututupa nje —

5 Sasa huu ulikuwa ni ampangowa adui wako, na ameitumianguvu yake ndani yako. Sasanataka ukumbuke kwamba yaleambayo ninakwambia pia na-waambia wote.

6 Na tazama nakwambia kwa-mba huu ulikuwa ni mtegowa adui, ambao ameutega iliawanase watu hawa, ili akutiekatika utumwa wake, ili akuzi-ngire na aminyororo yake, iliakufunge chini kwa maangami-zo yasiyo na mwisho, kulinganana nguvu za utumwa wake.

7 Sasa Alma alipokuwa ame-zungumza maneno haya, Zeez-romu alianza kutetemeka zaidi,kwani alisadikishwa zaidi ku-husu nguvu za Mungu; na piaalisadikishwa kwamba Almana Amuleki walimfahamu,kwani alisadikishwa kwambawali jua mawazo na nia zamoyo wake; kwani walipewauwezo kwamba wajue vitu hivikulingana na roho ya unabii.

8 Na Zeezromu akaanza ku-wauliza kwa bidii, ili awezekujua zaidi kuhusu ufalme waMungu. Na akamwambia Alma:Ni nini maana ya haya ambayoAmuleki amesema kuhusu ufu-fuo wa wafu, kwamba wotewatafufuka kutoka kwa wafu,wenye haki na wasio na haki,na kwamba watasimamishwambele ya Mungu ili wahukumi-we kulingana na vitendo vyao?

12 1a Alma 11:20–38.b mwm Dhamiri.

3a Yak. (KM) 2:5;

Alma 10:17;M&M 6:16.

5a mwm Ibilisi.

6a Alma 5:7–10.

Page 307: KITABU CHA MORMONI

Alma 12:9–16 290

9 Na sasa Alma akaanza ku-mwelezea vitu hivi, akisema:Imepewa kwa wengi kujua asiriza Mungu; walakini wamewe-kwa chini ya amri kali kwambahawatatoa zaidi ya yale manenoambayo amewapatia watoto wawatu, kulingana btu na utiifuna bidii ambayo wanampatia.

10 Na kwa hivyo, yule ambayeaatashupaza moyo wake, huyoatapokea sehemu bndogo yaneno; na yule ambaye chatashu-paza moyo wake, huyo danape-wa sehemu kubwa ya neno,hadi awezeshwe kufahamu siriza Mungu hadi azielewe kika-milifu.11 Na wale watakaoshupaza

mioyo yao, wao watapewaasehemu ndogo ya neno hadibwasijue lolote kuhusu siri zake;na kisha wanatekwa nyara naibilisi, na kuongozwa kwa pe-ndekezo lake katika maanga-mizo. Sasa hii ndio maana yacminyororo ya djahanamu.12 Na Amuleki amezungum-

za waziwazi kuhusu amauti, nakufufuliwa kutoka hali hii yamuda hadi katika hali ya mwiliusiokufa, na kusimamishwambele ya kiti cha hukumu chaMungu, btuhukumiwe kulinga-na na vitendo vyetu.

13 Kisha kama mioyo yetu

imeshupazwa, ndio, kama tu-meshupaza mioyo yetu dhidiya neno, kadiri kwamba halipondani yetu, hapo hali yetuitakuwa mbaya, kwani ndipotutahukumiwa.

14 Kwani amaneno yetu yata-tuhukumu, ndio, vitendo vyetuvyote vitatuhukumu; hatuta-kuwa bila waa; na pia mawazoyetu yatatuhukumu; na hatuta-weza kumwangalia Munguwetu katika hali hii mbaya;na tutakuwa na furaha kamatungeweza kuamuru miambana bmilima ituangukie ili citufi-che kutoka kwa uwepo wake.

15 Lakini hii haiwezekani;lazima tuje na kusimama mbeleyake katika utukufu wake, nakatika nguvu zake, na uwezowake, fahari, na mamlaka, nakukubali kwa aaibu yetu isiyona mwisho kwamba bhukumuzake zote ni za haki; kwambayeye ni wa haki katika kazi zakezote, na kwamba yeye huware-hemu watoto wa watu, nakwamba ana nguvu zote zakumwokoa kila mtu ambayeanaamini kwa jina lake na ku-zaa matunda ya toba.

16 Na sasa tazama, nawaambiandipo amauti yanakuja, hatamauti ya pili, ambayo ni mautiya kiroho; halafu itakuwa waka-

9a Alma 26:22.mwm Siri za Mungu.

b Yn. 16:12;Alma 29:8;3 Ne. 26:8–11;Eth. 4:7.

10a 2 Ne. 28:27; Eth. 4:8.b M&M 93:39.c mwm Mnyenyekevu,

Unyenyekevu.

d 2 Ne. 28:30;M&M 50:24.

11a Mt. 25:29.b mwm Ukengeufu.c Yn. 8:34; 2 Ne. 28:19.d Mit. 9:18; 2 Ne. 2:29.

mwm Jahanamu.12a Alma 11:41–45.

b mwm Hukumu, yaMwisho.

14a Mt. 12:36;Yak. (Bib.) 3:6;Mos. 4:29–30.

b Hos. 10:8; 2 Ne. 26:5.c Ayu. 34:22;

2 Ne. 12:10.15a Mos. 3:25.

b 2 Pet. 2:9.mwm Haki.

16a mwm Mauti, ya Kiroho.

Page 308: KITABU CHA MORMONI

291 Alma 12:17–24

ti kwamba yeyote atakayefa-riki katika dhambi zake, kamavile bmauti ya muda, catakufapia mauti ya kiroho; ndio,atafariki kulingana na vitu vyautakatifu.17 Kisha ndio wakati ambao

mateso yao yatakuwa kamaaziwa la moto liwakalo kwakibereti, ambalo ndimi zakehupaa juu milele na milele; nakisha utakuwa wakati ambaowatafungwa chini katika maa-ngamizo yasiyo na mwisho,kulingana na nguvu na utumwawa Shetani, yeye akiwa amewa-salimisha kulingana na nia yake.18 Kisha, nawaambia, wata-

kuwa ni kama ahapakuwa naukombozi uliofanywa; kwanihawawezi kukombolewa kuli-ngana na haki ya Mungu;na hawawezi bkufariki; kwanihakutakuwa na uharibifu;19 Sasa ikawa kwamba baada

ya Alma kumaliza kuzungumzamaneno haya, watu walianzakustaajabika zaidi;

20 Lakini kulikuwa na mmojaambaye aliitwa Antiona, amba-ye alikuwa ni mtawala mkuumiongoni mwao, alikuja mbelena kumwambia: Ni nini hiiambayo umesema, kwambamwanadamu atafufuliwa kuto-ka kwa wafu na kubadilishwakutoka hii hali ya muda hadi

katika hali ya mwili ausiokufa,kwamba nafsi haitakufa?

21 Maandiko yanamaanishanini, ambayo yanasema kwa-mba Mungu aliweka amakerubina upanga unaowaka motomashariki mwa bustani yabEdeni, isiwe wazazi wetu wakwanza waingie na kula tundala mti wa uzima, na kuishi mile-le? Na hivyo tunaona kwambahaikuwezekana kwamba wawena nafasi ya kuishi milele.

22 Sasa Alma akamwambia:Hiki ndicho kitu ambacho nili-karibia kuelezea. Sasa tunaonakuwa Adamu aalianguka kwakula btunda lililokatazwa, kuli-ngana na neno la Mungu; nahivyo tunaona, kwamba kwakuanguka kwake, wanadamuwote wakawa watu cwaliopoteana walioanguka.

23 Na sasa tazama, nakuambiakama ingewezekana Adamuakula tunda la mti wa uzimawakati ule, hakungekuwa namauti, na neno lingekuwa bure,na kumfanya Mungu mwongo,kwani alisema: bIwapo bilashaka utakufa.

24 Na tunaona kwamba mautiyanampata mwanadamu, ndio,amauti ambayo yamezungum-ziwa na Amuleki, ambayo nim a u t i y a m u d a ; w a l a k i n ibmwanadamu alipewa nafasi

16b Alma 11:40–45.c 1 Ne. 15:33;

Alma 40:26.17a Ufu. 19:20; 21:8;

Mos. 3:27.18a Alma 11:41.

b Ufu. 21:4;Alma 11:45;M&M 63:49.

20a mwm Isiyo kufa,Maisha ya kutokufa.

21a Mwa. 3:24; Alma 42:2;Musa 4:31.mwm Makerubi.

b mwm Edeni.22a mwm Anguko la

Adamu na Hawa.b Mwa. 3:6;

2 Ne. 2:15–19;Mos. 3:26.

c Mos. 16:4–5.23a Alma 42:2–9.

b Mwa. 2:17.24a mwm Mauti, ya

Kimwili.b 2 Ne. 2:21;

Musa 5:8–12.

Page 309: KITABU CHA MORMONI

Alma 12:25–32 292

ya kutubu; kwa hivyo maishahaya yakawa hali ya kujaribiwa;wakati wa ckujitayarisha kuku-tana na Mungu; wakati wakujitayarisha kwa ile hali isiyona mwisho ambayo imezungu-mziwa nasi, ambayo ni baadaya ufufuo wa wafu.

25 Sasa, kama hakungekuwana ampango wa ukombozi,ambao ulipangwa tangu msingiwa ulimwengu, hakungekuwana bufufuo wa wafu; lakinikulikuwa na mpango wa uko-m b o z i a m b a o u l i p a n g w a ,ambao utawezesha ufufuo wawafu, ambao tayari umezu-ngumziwa.

26 Na sasa tazama, kamaingewezekana kwamba wazaziwetu wa kwanza wale kutokakwa amti wa uzima wangekuwawenye taabu milele, bila kuwana hali ya matayarisho; na hivyobmpango wa ukombozi ungea-ngamizwa, na neno la Mungulingekuwa bure, bila matokeo.

27 Lakini tazama, haikuwahivyo; lakini ailipangiwa kwa-mba lazima wanadamu wafari-ki; na baada ya kifo, lazimabwahukumiwe, hata hukumuile ambayo tumeizungumzia,ambayo ni mwisho.28 Na baada ya Mungu kupa-

nga kwamba hivi vitu lazimavimpate mwanadamu, tazama,akaona kwamba ilikuwa inafaamwanadamu ajue kuhusu vilevitu ambavyo alikuwa amewa-pangia;

29 Kwa hivyo aliwatuma ama-laika wazungumze nao, ambaowalisababisha wanadamu kuo-na utukufu wake.

30 Na wakaanza tangu wakatiule kulilingana jina lake; kwahivyo Mungu aalizungumza nawanadamu, na akawafahamishabmpango wa ukombozi, ambaoulikuwa umetayarishwa tangucmsingi wa ulimwengu; na ali-wafahamisha haya kulinganana imani yao na toba na vite-ndo vyao vitakatifu.

31 Kwa hivyo, akawapa wa-nadamu aamri, baada ya waokuvunja amri za bkwanza zili-zokuwa za vitu vya muda, nakuwa kama miungu, cwakifa-hamu mema na maovu, na ku-jiweka katika hali ya dkutenda,au kuwekwa katika hali yakutenda kulingana na nia zaona furaha yao, kama kutendamaovu au kutenda mema —

32 Kwa hivyo Mungu aliwapaamri, baada ya akuwafahami-sha mpango wa ukombozi, iliwasitende maovu, adhabu yake

24c Alma 34:32–35.25a mwm Mpango wa

Ukombozi.b 2 Ne. 2:8;

Alma 7:12; 42:23.26a Mwa. 2:9;

1 Ne. 15:36;Alma 32:40.

b Alma 34:8–16;42:6–28;Musa 6:59–62.

27a Ayu. 7:1; Ebr. 9:27;M&M 42:48.

b mwm Hukumu, yaMwisho.

29a Moro. 7:25, 31;M&M 29:42.

30a Musa 5:4–5; 6:51.b mwm Mpango wa

Ukombozi.c Mos. 18:13;

Alma 13:3, 5, 7–8.

31a mwm Amri zaMungu.

b Mwa. 2:16–17;2 Ne. 2:18–19.

c Mwa. 3:22–23;Musa 4:11.

d 2 Ne. 2:16.mwm Haki yauamuzi.

32a Musa 5:4–9.

Page 310: KITABU CHA MORMONI

293 Alma 12:33–13:1

ikiwa ni bmauti ya pili, ambayoni mauti yasiyo na mwisho ku-lingana na vitu vya haki; kwanikama huo mpango wa ukombo-zi haungekuwa na nguvu, kwa-ni vitendo vya chaki havinge-weza kuangamizwa, kulinganana wema wa juu wa Mungu.

33 Lakini Mungu aliwaitawanadamu, kwa jina la Mwanawake, (huu ukiwa mpangowa ukombozi ambao ulikuwaumepangwa) akisema: Ikiwamtatubu na msishupaze mioyoyenu, ni tawarehemu, kwaMwana wangu wa Pekee;

34 Kwa hivyo, yeyote ataka-yetubu, na asishupaze moyowake, atakuwa na haki yakupokea arehema kwa Mwanawangu wa Pekee, kwa bondoleola dhambi zake; na hawa watai-ngia katika cpumziko langu.

35 Na yeyote atakayeshupazamoyo wake na kutenda maovu,tazama, naapa katika ghadhabuyangu kwamba hataingia katikapumziko langu.

36 Na sasa, ndugu zangu, ta-zameni, nawaambia, kwambaikiwa mtashupaza mioyo yenuhamtaingia katika pumziko laBwana; kwa hivyo dhambi zenuzinamchokoza na kumfanyaawateremshie ghadhabu yakekama vile alivyochokozwa maraya akwanza, ndio, kulinganana neno lake katika uchokoziwa mwisho na wa kwanza,kwa bmaangamizo yasiyo na

mwisho ya nafsi zenu; kwahivyo, kulingana na neno lake,hadi kifo cha mwisho, na piakile cha kwanza.

37 Na sasa, ndugu zangu,mkiona tunajua hivi vitu, nani vya kweli, hebu tutubu, natusishupaze mioyo yetu, kwa-mba atusimkasirishe BwanaMungu wetu akateremsha gha-dhabu yake juu yetu katika amrizake za pili ambazo ametupa-tia; lakini hebu tuingie katikabpumziko la Mungu, ambalolimetayarishwa kulingana naneno lake.

MLANGO WA 13

Wanadamu wanafanywa wawemakuhani wakuu kwa sababu yaimani yao kuu na vitendo vyema—Watafunza amri—Kupitia hakiwanatakaswa na kuingia katikapumziko la Bwana — Melkizedekialikuwa mmoja wa hawa—Malaikawanatangaza habari njema kotenchini—Watadhihirisha kuja kwakweli kwa Kristo. Karibu mwakawa 82 kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

Na tena, ndugu zangu, ninge-taka nikumbushe fikira zenukuhusu ule wakat i ambaoBwana Mungu aliwapatia wato-to wake amri hizi; na ningetakamkumbuke kwamba BwanaMungu aaliwatawaza maku-hani, kulingana na mpangowake mtakatifu, ambao ni ule

32b mwm Mauti, yaKiroho.

c Mos. 15:27;Alma 34:15–16; 42:15.

34a mwm Rehema,Rehema, enye.

b mwm Ondoleo laDhambi.

c mwm Pumziko.36a Yak. (KM) 1:7–8;

Alma 42:6, 9, 14.b mwm Hukumu.

37a 1 Ne. 17:30;Yak. (KM) 1:8;Hel. 7:18.

b Alma 13:6–9.13 1a Ibr. 2:9, 11.

Page 311: KITABU CHA MORMONI

Alma 13:2–9 294

mpango wa Mwana wake, ku-funza watu vitu hivi.2 Na makuhani hao walita-

wazwa kulingana na ampangowa Mwana wake, katika bhaliambayo watu wangejua ni vipiwatakavyomtumainia Mwanawake kwa ukombozi.

3 Na hivi ndivyo jinsi walivyo-tawazwa — awakiitwa na bku-tayarishwa tangu cmsingi waulimwengu kulingana na dufa-hamu wa mbeleni wa Mungu,kwa ajili ya imani yao kuu navitendo vyao vyema; mwanzoniwakiruhusiwa ekuchagua bainaya mema na maovu; kwa hi-vyo wao wakiwa wamechaguamema, na kufanya mazoezi yaimani fkuu, gwameitwa kwamwito mtakatifu, ndio, kwa ulemwito mtakatifu ambao ulita-yarishwa, na kulingana na, ma-tayarisho ya ukombozi wao.4 Na hivyo awameitwa kwa

mwito huu mtakatifu kwa ajiliya imani yao, wakati wenginewangemkataa Roho wa Mungukwa ajili ya ugumu wa mioyoyao na upofu wa fikira zao,wakati, kama isingekuwa kwasababu hii wangekuwa na bma-mlaka makuu kama ndugu zao.

5 Au kwa kifupi, hapo mwa-nzoni walikuwa katika haliasawa na ndugu zao; hivyomwito huu mtakatifu ukiwa

umetayarishwa tangu msingiwa ulimwengu kwa wale ambaohawangeshupaza mioyo yao,kupitia na katika upatanishowa Mwana wa Pekee, ambayealitayarishwa —

6 Na hivyo kuitwa na mwitohuu mtakatifu, na kutawazwaukuhani mkuu wa mpangomtakatifu wa Mungu, kufunzawatoto wa watu amri zake, ilinao pia waingie katika apumzi-ko lake —

7 Ukuhani huu mkuu ukiwakwa ule mpango wa Mwanawake, mpango ambao ulikuwatangu msingi wa ulimwengu;au kwa maneno mengine ,ahaukuwa na mwanzo wa sikuau mwisho wa miaka, ukiwaulitayarishwa tangu milele hadimilele, kulingana na ufahamubwake wa mbele wa vitu vyote —

8 Sasa awalitawazwa kwa njiahii — wakiwa wameitwa kwamwito mtakatifu, na kutawa-zwa kwa agizo takatifu, na ku-chukua ukuhani mkuu juu yaowa mpango mtakatifu, ambaoni mwito, na agizo, na ukuhanimkuu, usio na mwanzo aumwisho —

9 Hivyo wakawa makuhaniawakuu milele, kulingana nampango mtakatifu wa Mwanawa Pekee wa Baba, ambayehana mwanzo wa siku au mwi-

2a M&M 107:2–4.b Alma 13:16.

3a M&M 127:2.mwm Uteuzi;Uteuzi kabla.

b M&M 138:55–56.c Alma 12:25, 30.

mwm Maisha kablaya kuzaliwa.

d M&M 38:2.e mwm Haki ya

uamuzi.f mwm Imani.g mwm Ita, Itwa na

Mungu, Wito;Ukuhani.

4a Eth. 12:10.b 1 Ne. 17:32–35.

5a 2 Ne. 26:28.6a Alma 12:37; 16:17.

mwm Pumziko.7a Ebr. 7:3.

b mwm Mungu, Uungu.8a M&M 84:33–42.

mwm Ukuhani waMelkizedeki.

9a mwm Kuhani Mkuu.

Page 312: KITABU CHA MORMONI

295 Alma 13:10–18

sho wa miaka, ambaye amejaabneema, ukweli, na haki. Nahivyo ndivyo ilivyo. Amina.10 Sasa, kama vile nilivyosema

kuhusu mpango huu mtakatifu,au huu ukuhani amkuu, kuli-kuwa na wengi ambao walita-wazwa na kuwa makuhaniwakuu wa Mungu; na ilikuwakwa ajili ya imani yao kuu nabtoba, na haki yao mbele yaMungu, wao wakichagua kutu-bu na kutenda utakatifu badalaya kuangamia;

1 1 K w a h i v y o w a l i i t w akulingana na mpango huumtakatifu, na awakatakaswa, nabmavazi yao yakaoshwa nakuwa meupe kupitia damu yaMwanakondoo.12 Na wao, baada ya akutaka-

swa na Roho bMtakatifu, namavazi yao kufanywa meupe,yakiwa csafi na bila doa mbeleya Mungu, hawangetazamaddhambi bila ekukerwa; na ku-likuwa na wengi, wengi sana,ambao walifanywa safi na kui-ngia katika pumziko la BwanaMungu wao.

13 Na sasa, ndugu zangu, ni-ngetaka kwamba mjinyeyeke-ze mbele ya Mungu, na mzaeamatunda yanayostahili toba, ilinyinyi pia muingie katika hilopumziko.14 Ndio, jinyenyekeeni hata

kama wale watu waliokuwakatika siku za aMelkizedeki,ambaye pia alikuwa kuhanimkuu kulingana na ule mpa-ngo ambao nimeuzungumzia,ambaye pia aliuchukua ukuhanimkuu milele.

15 Na ilikuwa ni kwa huyuMelkizedeki ambaye aIbrahimualilipa bzaka; ndio, hata babayetu Ibrahimu alilipa zaka yafungu la kumi ya mali yotealiyokuwa nayo.

16 Sasa haya amaagizo yalito-lewa kwa namna hii, ili watuwamtazamie Mwana wa Mu-ngu, ambayo ikiwa ni bmfanowa mpango wake, au ukiwampango wake, na ili wamtaza-mie mbele kwake kwa ondoleola dhambi zao, ili waingie katikapumziko la Bwana.

17 Sasa huyu Melkizedekialikuwa mfalme katika nchi yaSalemu; na watu wake waliku-wa wametumbukia katika uovuna machukizo; ndio, wote wali-kuwa wamepotea njia; waliku-wa wamejaa kila aina ya uovu;

18 Lakini Melkizedeki akiwana imani kuu, na kuipokea ofisiya ukuhani mkuu kulingana nampango amtakatifu wa Mungu,aliwahubiria watu wake toba.Na tazama, walitubu; na Melki-zedeki aliimarisha amani nchi-ni katika siku zake; kwa hivyo

9b 2 Ne. 2:6.mwm Neema.

10a M&M 84:18–22.b mwm Toba, Tubu.

11a Musa 6:59–60.b 1 Ne. 12:10;

Alma 5:21–27;3 Ne. 27:19–20.

12a Rum. 8:1–9.

mwm Utakaso.b mwm Roho Mtakatifu.c mwm Safi, Usafi.d Mos. 5:2; Alma 19:33.e Mit. 8:13; Alma 37:29.

13a Lk. 3:8.14a M&M 84:14.

tjs, Mwa. 14:25–40.mwm Melkizedeki.

15a mwm Ibrahimu.b Mwa. 14:18–20;

Mal. 3:8–10.mwm Lipa zaka,Zaka.

16a mwm Ibada.b mwm Uashiriaji.

18a mwm Ukuhani waMelkizedeki.

Page 313: KITABU CHA MORMONI

Alma 13:19–28 296

aliitwa mwana mfalme waamani, kwani alikuwa mfalmewa Salemu; na alitawala chiniya baba yake.19 Sasa, kulikuwa na awengi

mbele yake, na pia kulikuwana wengi baadaye, lakini bha-pakuwa na yeyote aliyekuwamkuu zaidi; kwa hivyo, wame-mtaja yeye zaidi.

20 Sasa hakuna haja ya kuru-dia jambo hili; yale ambayonimesema yametosha. Tazama,amaandiko yako mbele yenu;bmkiyapinga itakuwa ni kwamaangamizo yenu.21 Na sasa ikawa kwamba

baada ya Alma kusema manenohaya kwao, alinyosha mkonowake kwao na kuongea kwasauti kuu, akisema: Sasa ndiowakati wa akutubu, kwani sikuya wokovu inakaribia;22 Ndio, na sauti ya Bwana,

kwa avinywa vya malaika, ina-tangazia mataifa yote; ndio,inaitangaza, kwamba wawe nahabari njema kuu ya shangwekuu; ndio, anaitangaza habarihii njema miongoni mwa watuwake wote, ndio, hata kwa waleambao wametawanyika koteusoni mwa dunia kwa hivyowametujia.

23 Na wametufahamisha kwamisemo iliyo awazi, ili tufaha-mu, ili tusikose; na hii ni kwasababu sisi ni bwazururaji ka-tika nchi ngeni; kwa hivyo,tumeheshimiwa zaidi, kwani

tumeelezewa habari hii njemakatika pande zote za shambaletu.

24 Kwani tazama, amalaika wa-nawatangazia wengi sasa katikanchi yetu; na hii ni kwa lengola kutayarisha mioyo ya watotowa watu ili wapokee neno lakeatakaporudi katika utukufuwake.

25 Na sasa tunasubiri tu kusi-kia habari njema tukihubiriwakwa vinywa vya malaika, ku-husa kuja kwake; kwani wakatiunakuja, na ahatujui ni lini. Na-mwomba Mungu kwamba iwekatika siku zangu; lakini ikiwasasa au baadaye, nitaifurahia.

26 Na itafahamishwa kwawatu wenye ahaki na watakati-fu, kwa vinywa vya malaika,wakati wa kuja kwake, kwambamaneno ya babu zetu yatimi-zwe, kulingana na yale amba-yo waliyozungumza kumhusu,ambayo yalikuwa ni kulinganana roho ya unabii iliyokuwandani yao.

27 Na sasa, ndugu zangu,anatamani kutoka sehemu zandani kabisa za moyo wangu,ndio, kwa wasiwasi mwingi nahata kwa uchungu, kwambamsikilize maneno yangu, namtupe dhambi zenu, na kwa-mba msiahirishe siku ya tobayenu;

28 Lakini kwamba mtajinye-nyekeza mbele ya Bwana, namliite jina lake takatifu, na

19a Hel. 8:18;M&M 84:6–16;107:40–55.

b M&M 107:1–4.20a mwm Maandiko.

b 2 Pet. 3:16; Alma 41:1.

21a mwm Toba, Tubu.22a Alma 10:20.23a 2 Ne. 25:7–8;

31:3; 32:7;Yak. (KM) 4:13;Eth. 12:39.

b Yak. (KM) 7:26.24a Alma 10:10; 39:19.25a 1 Ne. 10:4;

3 Ne. 1:13.26a Amo. 3:7; Lk. 2:8–11.27a Mos. 28:3.

Page 314: KITABU CHA MORMONI

297 Alma 13:29–14:5akukesha na kusali daima,kwamba bmsijaribiwe zaidi yayale ambayo mnaweza kuvu-milia, na hivyo mwongozwe naRoho Mtakatifu, katika kuwawanyenyekevu, cwapole, wati-ifu, wenye subira, wenye upe-ndo na wenye uvumilivu;

29 aMkimwamini Bwana; mki-tumaini kwamba mtapokeauzima wa milele; mkiwa nab upendo wa Mungu daimakatika mioyo yenu, kwambamuinuliwe katika siku ya mwi-sho na muingie katika cpum-ziko lake.30 Na ikiwezekana Bwana

awape toba, kwamba msijitere-mshie ghadhabu yake, kwambamsifungiwe na minyororo yaajahanamu, kwamba msipatebmauti ya pili.

31 Na Alma aliwazungumziawatu maneno mengi, ambayohayajaandikwa katika kitabuhiki.

MLANGO WA 14

Alma na Amuleki wanafungwa nakupigwa—Waumini na maandikoyao matakatifu wanachomwa kwamoto—Bwana anawapokea masha-hidi hawa kwa utukufu — Kuta zajela zinapasuka na kuanguka —Alma na Amuleki wanakombolewa,na wadhalimu wao kuuawa. Kutokakaribu mwaka wa 82 hadi 81 kablaya kuzaliwa kwa Kristo.

Na ikawa kwamba baada yakumaliza kuzungumzia watuwengi wao waliamini manenoyake, na wakaanza kutubu, nakupekua amaandiko.

2 Lakini sehemu yao kubwailitaka kuwaangamiza Alma naAmuleki; kwani walimkasirikiaAlma, kwa sababu ya vilealivyomzungumzia Zeezromumaneno awaziwazi; na pia wali-sema kwamba Amuleki alikuwabamewadanganya, na alikuwaamedharau sheria yao na piamawakili wao na waamuzi wao.

3 Na pia waliwakasirikia Almana Amuleki; na kwa sababuwaliwashuhudia uovu waowaziwazi, walitaka kuwaondoakwa siri.

4 Lakini ikawa kwamba ha-wakufanya hivyo; lakini wali-wachukua na kuwafunga kwakamba imara, na kuwapelekambele ya mwamuzi mkuu wanchi.

5 Na watu wakaenda na ku-shuhudia dhidi yao — waki-shuhudia kwamba walikuwawameidharau sheria, na ma-wakili wao na waamuzi wanchi, na pia watu wote ambaowalikuwa katika nchi; na piawakashuhudia kwamba kunaMungu mmoja pekee, na kwa-mba atamtuma Mwana wakemiongoni mwa watu, lakinikwamba hatawaokoa; na watuwaliwasingizia Alma na Amu-leki vitu vingi kama hivi. Sasa

28a mwm Kesha,Walinzi; Sala.

b 1 Kor. 10:13.c mwm Mpole, Upole;

Subira.29a Alma 7:24.

b M&M 20:31; 76:116.mwm Hisani.

c M&M 84:24.30a mwm Hukumu;

Jahanamu.b mwm Mauti, ya

Kiroho.14 1a 2 Fal. 22:8–13.

mwm Maandiko.2a Alma 12:3–7.

b Alma 10:27.

Page 315: KITABU CHA MORMONI

Alma 14:6–14 298

haya yalifanywa mbele ya mwa-muzi mkuu wa nchi.6 Na ikawa kwamba Zeezromu

alishangazwa na maneno amba-yo yalikuwa yamezungumzwa;na pia alijua kuhusu upofu wamawazo, ambao alikuwa ame-sababisha miongoni mwa watukwa maneno yake ya uwongo;na nafsi yake ikaanza akukerwana bdhamira yake kuhusu hatiazake; ndio, alianza kuzingirwana uchungu wa jahanamu.

7 Na ikawa kwamba alianzakuwalilia watu, akisema: Taza-meni, mimi nina ahatia, na watuhawa hawana lawama mbele yaMungu. Na akaanza kuwateteatangu ule wakati na kuendelea;lakini walimfanyia dharau,wakisema: Je, wewe nawe piaumepagawa na ibilisi? Na wa-kamtemea mate, na bkumtupanje kutoka miongoni mwao, napia wale wote ambao walikuwawameamini maneno ambayoyalikuwa yamezungumzwa naAlma na Amuleki; na wakawa-tupa nje, na kutuma watukuwapiga mawe.8 Na wakawaleta wake na

watoto wao pamoja, na yeyotealiyeamini au aliyekuwa ame-funzwa kuliamini neno laMungu walisababisha kwambaatupwe motoni; na pia waliletakumbukumbu zao zilizokuwana maandiko, na kuyatupamotoni pia, ili yachomwe nakuangamizwa kwa moto.

9 Na ikawa kwamba waliwa-chukua Alma na Amuleki, nakuwabeba na kuwapeleka ma-hali pa mateso, ili washuhudiewale ambao waliangamizwakwa kuchomwa kwa moto.

10 Na Amuleki alipoona wa-nawake na watoto wakiunguakwenye moto, na yeye piaalipatwa na maumivu; na aka-mwambia Alma: Kwa nini tuna-shuhudia mkasa huu mwovu?Kwa hivyo tunyooshe mikonoyetu, na tutumie anguvu zaMungu tulizo nazo, na tuwao-koe kutoka ndimi za moto.

11 Lakini Alma akamwambia:Roho inanizuia kwamba nisi-nyooshe mkono wangu; kwanitazama Bwana mwenyewe ana-wapokea, kwa autukufu; naanakubali wafanye kitu hiki,au kwamba watu wafanye kituhiki kwao, kulingana na ugumuwa mioyo yao, ili bhukumuambayo atawateremshia katikaghadhabu yake iwe ya haki; nacdamu ya wale ambao hawanadhatia itakuwa ushahidi dhidiyao, ndio, na italia sana dhidiyao katika siku ya mwisho.

12 Sasa Amuleki akamwambiaAlma: Tazama, pengine wata-tuchoma sisi pia.

13 Na Alma akasema: Hebuna iwe kulingana na nia yaBwana. Lakini, tazama, kaziyetu haijakwisha; kwa hivyohawawezi kutuchoma.

14 Sasa ikawa kwamba baada

6a Alma 15:5.b mwm Dhamiri.

7a Alma 11:21–37.b Alma 15:1.

10a Alma 8:30–31.

11a mwm Utukufu.b Zab. 37:8–13;

Alma 60:13;M&M 103:3.mwm Haki.

c mwm Kifo chakishahidi, Mfiadini.

d Mos. 17:10.

Page 316: KITABU CHA MORMONI

299 Alma 14:15–23

ya miili ya wale ambao waliku-wa wametupwa motoni kucho-meka, na pia yale maandishiambayo yalikuwa yametupwapamoja nao, mwamuzi mkuuwa nchi alikuja na kusimamambele ya Alma na Amuleki,wakiwa wamefungwa; na aka-wapiga makofi katika masha-vu yao, na kuwaambia: Baadaya yale ambayo mmeona, badomtahubiria watu hawa, kwa-mba watatupwa katika aziwala moto ambalo linawaka nakiberiti?15 Tazama, mnaona kwamba

hamkuwa na uwezo wa kuwao-koa wale ambao walikuwa wa-metupwa motoni; wala Munguhakuwaokoa kwa sababu wali-kuwa wa imani yenu. Na mwa-muzi akawapiga tena katikamashavu yao, na kuwauliza:Je, mna nini cha kujisemea?

16 Sasa huyu mwamuzi aliku-wa mfuasi wa dini na imaniya aNehori, ambaye alimuuaGideoni.17 Na ikawa kwamba Alma

na Amuleki hawakumjibu cho-chote; na akawapiga tena, naakawakabidhi kwa polisi iliwatupwe katika gereza.

18 Na walipokuwa wametu-pwa katika jela kwa siku tatu,kulitokea amawakili wengi, nawaamuzi, na makuhani, na wa-limu, ambao walikuwa wauminiwa Nehori; na walikuja katikagereza kuwaona, na kuwaulizamaswali kuhusu maneno mengi;lakini hawakuwajibu lolote.19 Na ikawa kwamba mwa-

muzi alisimama mbele yao,na kusema: Kwa nini hamjibumaneno ya watu hawa? Hamjuikwamba nina uwezo wa kuwa-tupa kwenye moto? Na akawa-amuru wazungumze; lakinihawakujibu lolote.

20 Na ikawa kwamba walio-ndoka na kwenda zao, lakiniwalirudi kesho yake; na yulemwamuzi pia akawapiga tenakatika mashavu yao. Na wengiwalikuja pia, na kuwapiga,wakisema: Je, mtasimama tenana kuhukumu watu hawa, nakushutumu sheria yetu? Kamamnao uwezo huu mkuu kwanini ahamjiokoi?

21 Na waliwaambia vitu vingikama hivi, wakiwasagia menoyao, na kuwatemea mate, nakusema: Tutakuwa vipi tukila-aniwa?

22 Na vitu vingi kama hivi,ndio, kila aina ya vitu hivi wa-liwaambia; na hivyo wakawa-fanyia mzaha kwa siku nyingi.Na waliwanyima chakula iliwapate njaa, na maji ili wapatekiu; na pia waliwavua nguozao ili wawe uchi; na hivyowalifungwa kwa kamba imara,na kuzuiliwa gerezani.

23 Na ikawa kwamba baadaya wao kuteseka siku nyingi,(na iliikuwa ni siku ya kumi nambili, mwezi wa kumi, katikamwaka wa kumi wa utawala wawaamuzi juu ya watu wa Nefi)kwamba mwamuzi mkuu kati-ka nchi ya Amoniha na wengiwa walimu wao na mawakiliwao walikwenda katika gereza

14a Alma 12:17.16a Alma 1:7–15.

18a Alma 10:14; 11:20.20a Mt. 27:39–43.

Page 317: KITABU CHA MORMONI

Alma 14:24–29 300

ambamo Alma na Amuleki wali-kuwa wamefungwa kwa kamba.24 Na mwamuzi mkuu akasi-

mama mbele yao, na kuwapigatena, na kuwaambia: Kamamnazo nguvu za Mungu jiko-mboeni kutoka kwa kamba hizi,na kisha tutaamini kwambaBwana atawaangamiza hawawatu kulingana na manenoyenu.

25 Na ikawa kwamba wotewalienda na kuwapiga, na ku-yarudia yale maneno, hata hadiyule wa mwisho; na wakatiyule wa mwisho aliwazungum-zia anguvu za Mungu zikawa-teremkia Alma na Amuleki, nawakainuka na kusimama kwamiguu yao.26 Na Alma akalia, na akise-

ma: Ni kwa muda gani ambaotutateseka kwa amasumbukohaya makuu, Ee Bwana? EeBwana, tupatie nguvu kulinga-na na imani yetu katika Kristo,ambayo itatukomboa. Na wa-kakata kamba ambazo walikuwawamefungwa nazo; na wakatiwatu walipoona haya, walianzakutoroka, kwani woga wa kua-gamizwa uliwajia.

27 Na ikawa kwamba wogawao ulikuwa mwingi hata kwa-mba wakainama kwenye ardhi,na hawakuufikia mlango wanje wa agereza; na ardhi ikate-temeka sana, na kuta za gerezazikabomolewa na kuwa sehe-mu mbili, na hivyo zikaangukakwenye ardhi; na yule mwa-muzi mkuu, na mawakili, na

makuhani, na walimu, waleambao walikuwa wamewapigaAlma na Amuleki, waliuawakatika ule mwanguko.

28 Na Alma na Amuleki waka-ondoka gerezani, na hawakuu-mizwa; kwani Bwana alikuwaamewapatia uwezo, kulinganana imani yao katika Kristo. Nawakatoka gerezani moja kwamoja; na awakafunguliwa ku-toka kamba zao; na gerezailikuwa imeanguka kwenyeardhi, na kila nafsi ambayo ili-kuwa ndani ya zile kuta, ila tuAlma na Amuleki, waliuawa;na wakaingia moja kwa mojakwenye mji.

29 Sasa baada ya watu kusikiakelele nyingi walikuja mbiokwa makundi ili wajue chanzochake; na walipoona Alma naAmuleki wakitoka nje ya gereza,na kwamba kuta zake zilikuwazimeanguka kwenye ardhi, wa-lipatwa na woga mwingi, nawakatoroka kutoka uwepo waAlma na Amuleki hata kamavile mbuzi na wana mbuzi wakehuwatoroka simba wawili; nahivyo wakatoroka kutoka uwe-po wa Alma na Amuleki.

MLANGO WA 15

Alma na Amuleki wanaenda Sido-mu na kuanzisha kanisa — Almaanamponya Zeezromu, ambayeanajiunga na Kanisa—Wengi wa-nabatizwa, na Kanisa linafanikiwa— Alma na Amuleki wanaenda

25a Alma 8:31.26a Yak. (Bib.) 5:10–11;

Mos. 17:10–20;

M&M 121:7–8.27a Mdo. 16:26;

Eth. 12:13.

28a Yak. (KM) 4:6;3 Ne. 28:19–22.

Page 318: KITABU CHA MORMONI

301 Alma 15:1–11

Zarahemla. Karibu mwaka wa 81kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

Na ikawa kwamba Alma naAmuleki waliamriwa waondokekutoka ule mji; na wakaondo-ka, na kufika hata katika nchiya Sidomu; na tazama, kulewaliwapata watu wote ambaowalikuwa wametoka nchi yaaAmoniha, na ambao walikuwabwametupwa nje na kupigwakwa mawe, kwa sababu wali-kuwa wameamini maneno yaAlma.

2 Na wakawaelezea yale yoteambayo yalikuwa yamefanyikakwa awake na watoto wao, napia kuwahusu wao wenyewe,na bnguvu za ukombozi.3 Na pia Zeezromu aliuguka

huko Sidomu, kwa homa kali,ambayo ilisababishwa na ma-sumbuko mengi akilini mwakekwa sababu ya auovu wake,kwani alidhani kwamba Almana Amuleki walikuwa hawakotena; na alidhani kwamba wali-kuwa wameuliwa kwa sababuya uovu wake. Na dhambi hiikubwa, na dhambi zake zingi-ne nyingi, zilimsumbua katikamawazo yake hadi zikawakama vidonda vikubwa, kwanihakuwa na ukombozi; kwahivyo aliaanza kuchomwa kwajoto kali.4 Sasa, aliposikia kwamba

Alma na Amuleki walikuwakatika nchi ya Sidomu, moyowake ulianza kupata ujasiri;

na akawatumia ujumbe maramoja, akihitaji wamtembelee.

5 Na ikawa kwamba walikwe-nda mara moja, kwani walitiiule ujumbe ambao alikuwaamewatumia; na wakaendandani ya nyumba ya Zeezro-mu; na wakampata kitandanimwake, akiwa mgonjwa, akiwamnyonge kwa homa kali; naalikuwa na maumivu mengikatika akili yake kwa sababuya maovu yake; na alipowaona,aliunyosha mkono wake, nakuwasihi kwamba wamponye.

6 Na ikawa kwamba Almaalimwambia, akimchukua kwamkono wake: Je, aunaziamininguvu za wokovu za Kristo?

7 Na akajibu kwa kusema:Ndio, ninaamini maneno yoteambayo mmefundisha.

8 Na Alma akasema: Kamaunaamini katika ukombozi waKristo wewe unaweza akupo-nywa.

9 Na akasema: Ndio, ninaami-ni kulingana na maneno yako.

10 Na ndipo Alma akamliliaBwana, na kusema: Ee BwanaMungu wetu, mrehemu mtuhuyu, na aumponye kulinganana imani yake ambayo ikokatika Kristo.

11 Na Alma aliposema manenohaya, Zeezromu aaliinuka kwamiguu yake, na kuanza kute-mbea; na hii ilifanywa kwamshangao wa watu wote; nakitendo hiki kilijulikana kotekatika nchi ya Sidomu.

15 1a Alma 16:2–3, 9, 11.b Alma 14:7.

2a Alma 14:8–14.b Alma 14:28.

3a Alma 14:6–7.6a Mk. 9:23.8a mwm Ponya,

Uponyaji.

10a Mk. 2:1–12.11a Mdo. 3:1–11.

Page 319: KITABU CHA MORMONI

Alma 15:12–16:1 302

12 Na Alma akambatiza Zeez-romu katika Bwana; na akaanzatangu ule wakati kuwahubiriawatu.

13 Na Alma alianzisha kanisakatika nchi ya Sidomu, na aka-waweka makuhani na walimuwakfu katika nchi, wabatizeyeyote aliyetaka kubatizwa ka-tika Bwana.

14 Na ikawa kwamba waliku-wa wengi; kwani walikusanyikakutoka sehemu zote za Sidomu,na wakabatizwa.

15 Lakini kwa watu waliokuwakatika nchi ya Amoniha, badowalibaki na mioyo migumu nashingo ngumu; na hawakutubudhambi zao, wakifikiria nguvuza Alma na Amuleki kuwa zaibilisi; kwani walikuwa wafua-si wa dini ya aNehori, na hawa-kuamini katika kutubu dhambizao.16 Na ikawa kwamba Alma

na Amuleki, Amuleki akiwaaameiacha dhahabu yake yote,na fedha, na vitu vyake vyathamani, vilivyokuwa katikanchi ya Amoniha, kwa neno laMungu, yeye bakikataliwa nawale ambao walikuwa marafikizake kitambo, na pia na babayake na jamaa yake;

17 Kwa hivyo, baada ya Almakuimarisha kanisa katika Sido-m u , n a k u o n a a z u i o k u u ,ndio, akiona kwamba watuwalizuiliwa kutokana na kiburikilichokuwa katika mioyo yao,na wakaanza bkunyenyekea

mbele ya Mungu, na wakaanzakujikusanya pamoja katikamakao yao matakatifu cku-mwabudu Mungu mbele yamadhabahu, wakiwa dwaanga-lifu na wakiomba daima, kwa-mba wakombolewe kutokanana Shetani, na kutoka ekifo, nakutoka maangamizo —

18 Sasa kama nilivyosema, ba-ada ya Alma kuona hivi vituvyote, kwa hivyo alimchukuaAmuleki na kuvuka katika nchiya Zarahemla, na akampelekakatika nyumba yake mwenye-we, na kumhudumia katikamateso yake, na kumtia nguvukatika Bwana.

19 Na hivyo mwaka wa kumiwa utawala wa waamuzi juu yawatu wa Nefi uliisha.

MLANGO WA 16

Walamani wanawaangamiza watuwa Amoniha — Zoramu anawao-ngoza Wanefi kuwashinda Walama-ni—Alma na Amuleki na wenginewengi wanahubiri neno — Wana-funza kwamba baada ya kufufukakwake Kristo atawatokea Wanefi.Kutoka karibu mwaka wa 81 hadi77 kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

Na ikawa kwamba kat ikamwaka wa kumi na moja wautawala wa waamuzi juu yawatu wa Nefi, katika siku yatano mwezi wa pili, baada yakuwepo na amani nyingi katikanchi ya Zarahemla, kukiwa

15a Alma 1:2–15.16a Lk. 14:33;

Alma 10:4.b mwm Mateso, Tesa.

17a Alma 16:21.b mwm Mnyenyekevu,

Unyenyekevu.c mwm Kuabudu.

d mwm Kesha,Walinzi; Sala.

e mwm Mauti, yaKiroho.

Page 320: KITABU CHA MORMONI

303 Alma 16:2–10

hakuna vita au mabishano kwamuda wa miaka kadhaa, hatahadi siku ya tano ya mweziwa pili katika mwaka wa kumina moja, mlio wa vita ulisikikakote katika nchi.2 Kwani tazama, majeshi ya

Walamani yalikuwa yameingiamipakani mwa nchi, kutokaupande wa nyika, hata katikamji wa aAmoniha, na wakaanzakuwaua watu na kuangamizaule mji.

3 Na sasa ikawa kwamba,kabla ya Wanefi kuunda jeshila kutosha kuwaondoa katikanchi, walikuwa awameangami-za watu ambao walikuwa katikamji wa Amoniha, na pia wengi-ne katika mipaka ya Nuhu, nakuwachukua wengine matekahuko nyikani.4 Sasa ikawa kwamba Wanefi

walitamani kuwakomboa waleambao walikuwa wamepelekwautumwani huko nyikani.

5 Kwa hivyo, yule ambayealikuwa amechaguliwa kaptenimkuu wa majeshi ya Wanefi,(na jina lake lilikuwa Zoramu,na alikuwa na wana wawili,Lehi na Aha) — sasa Zoramu nawana wake wawili, wakijuakwamba Alma alikuwa kuhanimkuu juu ya kanisa, na wakiwawamesikia kwamba alikuwana roho ya unabii, kwa hivyowalimwendea wakitaka kujuakama Bwana alitaka kwambawaende nyikani kutafuta nduguzao, ambao walikuwa wamefa-nywa watumwa na Walamani.

6 Na ikawa kwamba Almaaalimwuliza Bwana kuhusu ja-mbo hilo. Na Alma akarejea nakuwaambia: Tazama, Walama-ni watavuka mto Sidoni kusinimwa nyika, mbali na mipakaya nchi ya Manti. Na tazamamtakutana nao kule, masharikimwa mto Sidoni, na kule ndipoBwana atawakomboa nduguzenu waliofanywa watumwa naWalamani.

7 Na ikawa kwamba Zoramuna wana wake walivuka mtowa Sidoni, na majeshi yao,na wakasafiri mbali na mipakaya Manti kusini mwa nyika,ambayo ilikuwa upande wamashariki wa mto wa Sidoni.

8 Na wakayafikia majeshi yaWalamani, na Walamani walita-wanywa na kupelekwa nyika-ni; na wakachukua ndugu zaoambao walikuwa wamewekwautumwani na Walamani, nahakukuwa na hata nafsi mojailiyopotea miongoni mwa waleambao waliwekwa utumwani.Na wakaletwa na ndugu zaokumiliki nchi zao.

9 Na hivyo mwaka wa kumi namoja wa waamuzi ulikwisha,baada ya Walamani kuondole-wa nchini, na watu wa Amonihaawaliangamizwa; ndio, kilanafsi iliyo hai ya Waamonihabiliangamizwa, na pia mji waomkuu, ambao walisema Munguhangeweza kuuangamiza, kwasababu ya ukubwa wake.

10 Lakini tazama, katika sikuamoja ilifanywa kuwa ukiwa;

16 2a Alma 15:1, 15–16.3a Alma 9:18.6a Alma 43:23–24.

9a Alma 8:16; 9:18–24;Morm. 6:15–22.

b Alma 25:1–2.

10a Alma 9:4.

Page 321: KITABU CHA MORMONI

Alma 16:11–20 304

na mizoga ikaliwa na mbwa nawanyama wa mwitu wa nyika.11 Walakini, baada ya siku

nyingi maiti zao zilirundikwausoni mwa ardhi, na zikafuni-kwa kwa mchanga mdogo. Namnuko ulikuwa mwingi sanahata kwamba watu hawangei-ngia kumiliki nchi ya Amonihakwa miaka mingi. Na iliitwaUkiwa wa Wanehori; kwaniwalikuwa wafuasi wa aNehori,ambao waliuawa; na nchi zaozikabaki na ukiwa.

12 Na Walamani hawakujatena kupigana vita na Wanefihadi mwaka wa kumi na nnewa utawala wa waamuzi juu yawatu wa Nefi. Na hivyo kwamiaka mitatu watu wa Nefiwalikuwa na amani katika nchiyote.

13 Na Alma na Amuleki wa-kaenda na kuhubiri toba kwawatu katika amahekalu yao, namahali pao patakatifu, na piakatika bmasinagogi yao, ambayoyalikuwa yamejengwa kulinga-na na desturi za Wayahudi.

14 Na kadiri wengi waliosikili-za maneno yao, kwao walifunzaneno la Mungu, bila aubaguziwa watu, daima.15 Na hivyo Alma na Amuleki

waliendelea mbele, na pia we-ngi ambao walikuwa wamecha-guliwa kwa ile kazi, kuhubirineno kote nchini. Na uwekajiwa kanisa ukaenea kote nchini,

katika sehemu zote za nchi,miongoni mwa watu wote waWanefi.

16 Na ahakukuwa na ukosefuwa usawa miongoni mwao;Bwana aliteremsha Roho wakejuu ya uso wa nchi ili kutayari-sha mawazo ya watoto wawatu, au kutayarisha bmioyoyao kupokea neno ambalolingefunzwa miongoni mwaowakati wa kuja kwake —

17 Ili wasishupazwe dhidiya neno, ili wasikose kuamini,na kwenda katika maangamizo,lakini kwamba wapokee nenokwa shangwe, na kama atawiwaunganishwe na ule bmzabibuwa kweli, ili waweze kuingiakatika c pumziko la BwanaMungu wao.

18 Sasa wale amakuhani ambaowalienda miongoni mwa watuwalihubiri kinyume cha uwo-ngo wote, na budanganyifu, nacwivu, na vita, na dharau, namatusi, na wizi, unyang’anyi,uporaji, mauaji, uzinzi, na kilaaina ya matusi, wakisema kwa-mba hivi vitu havistahili kuwahivyo —

19 Na kuwaelezea vitu amba-vyo vitakuja; ndio, kuwaelezeakuhusu akuja kwa Mwana waMungu, mateso yake na kifochake, na pia ufufuo wa wafu.

20 Na watu wengi waliulizakuhusu mahali pale ambapoMwana wa Mungu atakuja; na

11a Alma 1:15; 24:28–30.13a 2 Ne. 5:16.

b Alma 21:4–6, 20.14a Alma 1:30.16a Mos. 18:19–29;

4 Ne. 1:3.b mwm Moyo

Uliovunjika.17a Yak. (KM) 5:24.

b mwm Shamba lamzabibu la Bwana.

c Alma 12:37; 13:10–13.18a Alma 15:13.

b mwm Danganya,

Kudanganya,Udanganyifu.

c mwm Husuda.19a mwm Yesu Kristo—

Unabii juu yakuzaliwa na kifo chaYesu Kristo.

Page 322: KITABU CHA MORMONI

305 Alma 16:21–17:4

walifunzwa kwamba aatawato-kea bbaada ya ufufuo wake; nawatu waliyapokea haya kwashangwe kuu na furaha.

21 Na sasa baada ya kanisakuanzishwa kote nchini — baa-da ya kupata aushindi juu yaibilisi, na neno la Mungu liki-hubiriwa katika usafi wakekote nchini, na Bwana akiwate-remshia watu baraka zake—nahivyo mwaka wa kumi na nnewa utawala wa waamuzi juu yawatu wa Nefi ulikwisha.

Historia ya wana wa Mosia,ambao walizikataa haki zao zakumiliki ufalme kwa ajili yaneno la Mungu, na wakaendampaka nchi ya Nefi kuwahubi-ria Walamani; mateso yao naukombozi wao — kulingana namaandishi ya Alma.

Yenye milango ya 17hadi 27 yote pamoja.

MLANGO WA 17

Wana wa Mosia wana roho yaunabii na ufunuo—Wanaenda njiazao mbalimbali na kuwahubiriaWalamani neno—Amoni anaendakatika nchi ya Ishmaeli na kuwamtumishi wa mfalme Lamoni —Amoni anaokoa mifugo ya mfalmena kuwauwa maadui wake katikamaji ya Sebo. Aya ya 1 hadi ya 3,karibu mwaka wa 77 kabla yakuzaliwa kwa Kristo; aya ya 4,

karibu mwaka wa 91 hadi 77 kablaya kuzaliwa kwa Kristo; na aya ya5 hadi 39, karibu mwaka wa 91kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

Na sasa ikawa kwamba wakatiAlma alipokuwa anasafiri ku-toka nchi ya Gideoni iliyo kusi-ni, mbali kwa nchi ya Manti,tazama, kwa mshangao wake,aalikutana na bwana wa Mosiawakielekea nchi ya Zarahemla.

2 Sasa hawa wana wa Mosiawalikuwa na Alma ule wakatiambao malaika alimtokea maraya akwanza; kwa hivyo Almaalijawa shangwe alipowaonandugu zake; na lile ambalo lilio-ngezea furaha yake, ni kwambawalikuwa bado ndugu zakekatika Bwana; ndio, na waliku-wa wameongezwa nguvu kwaufahamu wa ukweli; kwaniwalikuwa watu ambao wanaufahamu mwema na walikuwabwameyapekua maandiko kwabidii, ili wajue neno la Mungu.

3 Lakini haya sio yote; kwaniwalikuwa wamejitoa kwa sala,na akufunga; kwa hivyo wali-kuwa na roho ya unabii, na rohoya ufunuo, na bwalipofunza,walifunza kwa uwezo na mam-laka ya Mungu.

4 Na walikuwa wamefunzaneno la Mungu kwa muda wamiaka kumi na nne miongonimwa Walamani, wakiwa awa-mefanikiwa sana bkuwaletawengi katika ufahamu wa

20a 2 Ne. 26:9;3 Ne. 11:7–14.

b 1 Ne. 12:4–6.21a Alma 15:17.17 1a Alma 27:16.

b Mos. 27:34.

2a Mos. 27:11–17.b mwm Maandiko.

3a mwm Funga,Kufunga; Sala.

b mwm Fundisha,Muhlimu—

Kufundisha kwaRoho.

4a Alma 29:14.b mwm Kazi ya

kimisionari.

Page 323: KITABU CHA MORMONI

Alma 17:5–14 306

ukweli; ndio, kwa uwezo wamaneno yao wengi walisimamambele ya madhabahu ya Mu-ngu, ili wamlingane na ckutubudhambi zao mbele yake.

5 Sasa hii ndio hali ambayoiliwapata katika safari yao,kwani walipata masumbukomengi; waliteseka sana, katikamwili na mawazo, kama vilenjaa, kiu na uchovu, na piaakazi katika roho.6 Sasa hizi ndizo zilikuwa

safari zao: Baada ya akupataruhusa kwa baba yao, Mosia,katika mwaka wa kwanza wawaamuzi; baada ya bkukataaufalme ambao baba yao alita-mani kuwakabidhi, na pia hiindiyo ilikuwa katika mawazoya watu;7 Walakini waliondoka kutoka

nchi ya Zarahemla, na waka-chukua panga zao, na mikukiyao, na pinde zao, na mishaleyao, na kombeo zao; na walifa-nya haya ili wajitafutie chakulawakiwa huko nyikani.

8 Na hivyo wakaelekea nyikanipamoja na umati ambao waliku-wa wameuchagua, ili waendekatika nchi ya Nefi, kuwahubi-ria Walamani neno la Mungu.

9 Na ikawa kwamba walisafirikwa siku nyingi nyikani, nawakafunga sana na akuombasana kwamba Bwana angewa-patia sehemu ya roho yake iliiende pamoja nao, na kuishinao, ili wawe bchombo miko-

noni mwa Mungu kuwaletakama ingewezekana, nduguzao, Walamani, wawafahamishe,kuhusu ufahamu wa ukweli,na ufahamu wa uovu wa cmilaza babu zao, ambazo hazikuwaza haki.

10 Na ikawa kwamba Bwanaa aliwatembelea kwa b Rohowake, na kuwaambia: Patenicfaraja. Na wakafarijika.11 Na Bwana akawaambia

pia: Nendeni miongoni mwaWalamani, ndugu zenu, namuimarishe neno langu; wala-kini mtakuwa wenye asubirakwa uvumilivu na mateso, kwa-mba muwatolee mfano mwemandani yangu, na nitawafanyamuwe chombo katika mikonoyangu cha kuokoa nafsi nyingi.

12 Na ikawa kwamba mioyoya wana wa Mosia, na pia waleambao walikuwa nao, ilijipatiaujasiri wa kwenda kwa Wala-mani na kuwatangazia neno laMungu.

13 Na ikawa kwamba walipo-fika katika mipaka ya nchi yaWalamani, awalijigawanya nakuachana, wakimwamini Bwa-na kwamba watakutana tenabaada ya bmavuno yao; kwaniwalidhani kwamba walikuwana kazi kubwa sana.

14 Na kwa hakika ilikuwakubwa, kwani walikuwa wa-mechukua jukumu la kuhubirineno la Mungu kwa watu awa-kaidi na wagumu na wakali;

4c mwm Kiri, Kukiri.5a Alma 8:10.6a Mos. 28:1, 5–9.

b Mos. 29:3.9a Alma 25:17.

mwm Sala.

b Mos. 23:10;Alma 26:3.

c Alma 3:10–12.10a M&M 5:16.

b mwm Roho Mtakatifu.c Alma 26:27.

11a Alma 20:29.mwm Subira.

13a Alma 21:1.b Mt. 9:37.

14a Mos. 10:12.

Page 324: KITABU CHA MORMONI

307 Alma 17:15–25

watu ambao walifurahia kuwa-ua Wanefi, na kuwanyang’anyana kuwapora; na mioyo yao ili-kuwa katika utajiri, au katikadhahabu na fedha, na maweya thamani; lakini walitafutakupata hivi vitu kwa kuua naunyang’anyi, ili wasijichoshekupata kwa mikono yao.15 Na hivyo walikuwa watu

wavivu, wengi wao wakiabudusanamu, na alaana ya Munguiliwateremkia kwa sababu yabmila za babu zao; ingawa wa-likuwa wamenyooshewa ahadiza Bwana wakitubu.

16 Kwa hivyo, hili ndilo lili-kuwa alengo ambalo wana waMosia walikuwa wamejitakiakazi, ili pengine wawalete kwatoba; ili pengine waweze ku-wafahamisha kuhusu mpangowa ukombozi.

17 Kwa hivyo walijigawanyammoja kutoka kwa mwingine,na wakaenda miongoni mwao,kila mtu peke yake, kulinganana nguvu za Mungu ambazoalipewa.

18 Sasa Amoni akiwa kiongozimiongoni mwao, kwa usahihizaidi aliwahudumia, na akao-ndoka kutoka kwao, baada yaakuwabariki kulingana na vyeovyao tofauti, baada ya kuwa-zungumzia neno la Mungu, aukuwabariki kabla ya kuondokakwake; na hivyo wakaanzasafari zao kadha kote nchini.19 Na Amoni alikwenda katika

nchi ya Ishmaeli, kwani nchihiyo ilitungwa baada ya wana

wa aIshmaeli, ambao pia naowalibadilika na kuwa Walamani.

20 Na wakati Amoni alipoingiakatika nchi ya Ishmaeli, Wala-mani walimchukua na kumfu-nga, kama ilivyokuwa desturiyao ya kuwafunga Wanefi wotewalioangukia mikononi mwao,na kuwapeleka mbele ya mfal-me; na hivyo ilikuwa ni juuya mfalme kuwaua, au kuwa-fanya watumwa, au kuwatupagerezani, au kuwafukuza kuto-ka nchi yake, kulingana na niayake na matakwa yake.

21 Na hivyo Amoni alipelekwambele ya mfalme aliyekuwajuu ya nchi ya Ishmaeli; na jinalake lilikuwa Lamoni; na aliku-wa wa uzao wa Ishmaeli.

22 Na mfalme akamwulizaAmoni kama alitaka kuishikatika nchi miongoni mwaWalamani, au miongoni mwawatu wake.

23 Na Amoni akamwambia:Ndio, natamani kuishi miongo-ni mwa watu hawa kwa muda;ndio, na pengine hadi siku ilenitakapoaga dunia.

24 Na ikawa kwamba mfalmeLamoni alifurahishwa sana naAmoni, na akaamuru kwambakamba zake zifunguliwe; na aka-taka kwamba Amoni amchukuemmoja wa mabinti zake awemke wake.

25 Lakini Amoni akamwambia:La, lakini nitakuwa mtumishiwako. Kwa hivyo Amoni akawamtumishi wa mfalme Lamoni.Na ikawa kwamba alipewa

15a Alma 3:6–19;3 Ne. 2:15–16.

b Alma 9:16–24; 18:5.

16a Mos. 28:1–3.18a mwm Baraka, Bariki,

Barikiwa.

19a 1 Ne. 7:4–6.

Page 325: KITABU CHA MORMONI

Alma 17:26–35 308

kazi ya kuchunga mifugo yaLamoni pamoja na watumishiwengine, kulingana na desturiya Walamani.26 Na baada ya kuwa katika

utumishi wa mfalme kwa sikutatu, alipokuwa na watumishiwa Kilamani wakipeleka mifu-go yao mahali pa maji, ambapopaliitwa maji ya Sebo, na Wala-mani wote walikuwa wakiletamifugo yao hapa, ili inywemaji —

27 Kwa hivyo, wakati Amonina watumishi wa mfalme wali-pokuwa wakipeleka mifugo yaomahali hapo pa maji, tazama,kikundi fulani cha Walamani,ambacho kilikuwa kimeletamifugo yao kwa maji, kilisima-ma na kutawanya mifugo yaAmoni na watumishi wa mfal-me, na wakawatawanya hadiwakatorokea njia nyingi.

28 Sasa watumishi wa mfalmewakaanza kunung’unika, wa-kisema: Sasa mfalme atatuua,kama alivyowaua ndugu zetukwa sababu mifugo yao ilita-wanywa kwa uovu wa watuhawa. Na wakaanza kulia sana,wakisema: Tazama, mifugo yetutayari imetawanywa.

29 Sasa walilia kwa sababuwaliogopa kuuawa. Sasa Amonialipoona haya moyo wake uli-fura ndani yake kwa sababuya shangwe; kwani, alisema,nitawafunulia hawa watumishiwenzangu nguvu zangu, aunguvu iliyo ndani yangu, katikakumrejeshea mfalme mifugohii, ili niweze kupendeza mioyoya hawa watumishi wenzangu,

ili waweze kuamini manenoyangu.

30 Na sasa, haya ndiyo yaliku-wa mawazo ya Amoni, alipoonamateso ya wale ambao aliwaitandugu zake.

31 Na ikawa kwamba aliwafa-nyia utani kwa maneno yake, nakusema: Ndugu zangu, jitienimoyo na twende tukatafutemifugo, na tutaikusanya pa-moja na tuilete katika mahalipa maji; na hivyo tutaihifadhimifugo ya mfalme na hatatuua.

32 Na ikawa kwamba walie-nda kutafuta ile mifugo, na wa-kamfuata Amoni, na wakaendakwa kasi nyingi na kuikusanyamifugo ya mfalme, na kuirudi-sha tena mahali pa maji.

33 Na watu wale wakatakakuitawanya ile mifugo tena;lakini Amoni akawaambia ndu-gu zake: Izingireni mifugo iliisitawanyike; na nitakwenda nakukabiliana na hawa watuwanaotawanya mifugo yetu.

34 Kwa hivyo, wakafanya vileAmoni alivyowaamuru, na aka-enda na kukabiliana na waleambao walisimama karibu namaji ya Sebo; na idadi yaohaikuwa ndogo.

35 Kwa hivyo hawakumwo-gopa Amoni, kwani walidhanikwamba mmoja wa watu waoangemuua kulingana na furahayao, kwani hawakujua kwambaBwana alikuwa amemwahidiMosia kwamba aangewako-mboa wana wake kutoka miko-noni mwao; wala hawakujuachochote kumhusu Bwana; kwahivyo walifurahia maangamizo

35a Mos. 28:7; Alma 19:22–23.

Page 326: KITABU CHA MORMONI

309 Alma 17:36–18:3

ya ndugu zao; na kwa sababuhii walisimama kuitawanyamifugo ya mfalme.36 Lakini aAmoni akasimama

na akaanza kuwatupia mawekwa kombeo yake; ndio, alitu-pa mawe kwa nguvu nyingimiongoni mwao; na bakawauawengi wao hadi wakaanzakustaajabishwa na nguvu yake;walakini walikasirishwa kwasababu ya ndugu zao walioku-wa wameuawa, na walikatakauli kwamba lazima aanguke;kwa hivyo, wakiona kwambachawakuweza kumgonga kwamawe, walimjia kwa rungu zaoili wamuue.37 Lakini tazama, kila mtu

aliyeinua rungu lake kumgongaAmoni, alikata mikono yao kwaupanga wake; kwani alizuiamapigo yao kwa kukata mikonoyao kwa ncha ya upanga wake,hadi kwamba wakaanza kusta-ajabia, na wakaanza kumtoroka;ndio, na idadi yao haikuwa ndo-go; na akawasababisha watoro-ke kwa nguvu za mkono wake.

38 Sasa sita ya wao walia-ngushwa kwa kombeo, lakinihakuwaua wengine ijapokuwakiongozi wao kwa upangawake; na alikata mikono ya we-ngi walioinua mikono yao kum-piga; na hawakuwa wachache.

39 Na wakati alipokuwa ame-wakimbiza, al irudi na ku-nywesha mifugo yao maji nakuirudisha katika malisho yamfalme, na kumwendea mfal-m e , w a k i b e b a m i k o n o i l eambayo ilikuwa imekatwa kwa

upanga wa Amoni, ya waleambao walijaribu kumuua; naikapelekwa mbele ya mfalmekama ushahidi wa vitu amba-vyo walikuwa wamefanya.

MLANGO WA 18

Mfalme Lamoni anawaza kwambaAmoni alikuwa Roho Mkuu —Amoni anamfunza mfalme kuhusuUumbaji, matendo ya Mungu kwawanadamu, na kuhusu ukomboziunaokuja kwa Kristo — Lamonianaamini na kuanguka kwa ardhikama aliyekufa. Karibu mwaka wa90 kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

Na ikawa kwamba mfalmeLamoni alisababisha kwambawatumishi wake wasimame nawashuhudie kuhusu vitu vyotewalivyokuwa wameviona ku-husu jambo lile.

2 Na wote walipokuwa wa-meshuhudia vitu ambavyo wa-likuwa wameona, na alikuwaamejulishwa vile Amoni ali-vyokuwa mwaminifu katikakuhifadhi mifugo yake, na piakwa nguvu zake kuu za kuka-biliana na wale ambao walitakakumuua, alistaajabu sana, nakusema: Kwa kweli, huyu nizaidi ya mwanadamu. Tazama,si huyu ndiye Roho Mkuu ana-wateremshia watu hawa adha-bu kwa sababu ya mauaji yao?

3 Na wakamjibu mfalme, nakusema: Hatujui kama yeyendiye ile Roho Kuu, au mwa-nadamu; lakini tunajua haya,kwamba ahawezi kuuawa na

36a Eth. 12:15.b Alma 18:16.

c Alma 18:3.18 3a Alma 17:34–38.

Page 327: KITABU CHA MORMONI

Alma 18:4–12 310

maadui wa mfalme; wala ha-wawezi kutawanya mifugo yamfalme akiwa pamoja na sisi,kwa sababu ya uhodari wakena nguvu zake kuu; kwa hivyotunajua kwamba yeye ni rafikiwa mfalme. Na sasa, Ee mfalme,hatuamini kwamba mwanada-mu anazo nguvu kama hizo,kwani tunajua kwamba hawezikuuawa.4 Na sasa, mfalme aliposikia

maneno haya, aliwaambia: Sasaninajua kwamba ni Roho Mkuu;na ameshuka chini wakatihuu kuhifadhi maisha yenu, ilianisiwaue vile nilivyowafanyandugu zenu. Sasa huyu ndiyeRoho Mkuu ambaye babu zetuwalimzungumzia.5 Sasa hii ndiyo ilikuwa desturi

ya Lamoni, ambayo alikuwaamepokea kutoka kwa babayake, kwamba kulikuwa naRoho aMkuu. Ingawa waliaminikatika Roho Mkuu, bado wali-dhani kwamba yoyote ambayowalitenda yalikuwa ni sawa;walakini, Lamoni alianza kuo-gopa sana, na aliogopa kwambaalikuwa ametenda mabaya kwakuwaua watumishi wake;

6 Kwani alikuwa ameua wengiwao kwa sababu ndugu zaowalikuwa wametawanya mifu-go yao mahali pa maji; nahivyo, kwa sababu mifugo yaoilitawanywa waliuawa.

7 Sasa ilikuwa ni desturi yaWalamani hawa kusimama ka-ribu na maji ya Sebo kutawa-nya mifugo ya watu, wafukuzewale wengi ambao walikuwa

wametawanywa katika nchiyao, hii ikiwa ni desturi yao yakupora miongoni mwao.

8 Na ikawa kwamba mfalmeLamoni aliwauliza watumishiwake, akisema: Yuko wapi huyumtu aliye na uwezo huu mkuu?

9 Na wakamwambia: Tazama,analisha farasi wako. Sasamfalme alikuwa amewaamuruwatumishi wake, kabla yakupeleka mifugo kunywa maji,kwamba watayarishe farasiwake na magari yale yanayo-vutwa, na wamsindikize hadinchi ya Nefi; kwani kulikuwana sherehe kubwa iliyoandaliwakatika nchi ya Nefi, na babaya Lamoni, ambaye alikuwamfalme katika nchi yote.

10 Sasa wakati mfalme Lamo-ni aliposikia kwamba Amonialikuwa anatayarisha farasiwake na magari yake yanayo-vutwa alistaajabu zaidi, kwasababu ya uaminifu wa Amoni,akisema: Kwa hakika hakunamtumishi mwingine miongonimwa watumishi wangu amba-ye amekuwa mwaminifu kamamtu huyu; kwani hata anaku-mbuka kutii amri zangu zotena kuzitekeleza.

11 Sasa kwa hakika najua kwa-mba huyu ndiye Roho Mkuu, naninatamani kwamba aje ndanikwangu, lakini sithubutu.

12 Na ikawa kwamba wakatiAmoni alipomaliza kutayarishafarasi na magari ya mfalme nawatumishi wake, alimwendeamfalme, na akaona kwambauso wa mfalme ulikuwa ume-

4a Alma 17:28–31. 5a Alma 19:25–27. mwm Mungu, Uungu.

Page 328: KITABU CHA MORMONI

311 Alma 18:13–25

badilika; kwa hivyo alikaribiakuondoka katika uwepo wake.13 Na mtumishi mmoja wa

mfalme akamwambia, Rabana,ambayo, tafsiri yake, ni mwenyenguvu au mfalme mkuu, wakifi-kiria wafalme wao kuwa wenyenguvu; na hivyo akamwambia:Rabana, mfalme anataka ukae.

14 Kwa hivyo Amoni akamge-ukia mfalme, na kumwambia:Ni nini unachotaka nikufanyie,Ee mfalme? Na mfalme haku-mjibu kwa muda wa saa moja,kulingana na wakati wao, kwanihakujua la kumwambia.

15 Na ikawa kwamba Amonialimwambia tena: Nini unahi-taji kwangu? Lakini mfalmehakumjibu.

16 Na ikawa kwamba Amoni,akiwa amejawa na Roho waMungu, kwa hivyo alihisi ama-wazo ya mfalme. Na akamwa-mbia: Ni kwa sababu umesikiakwamba niliwakinga watumishiwako na mifugo yako, na kuwa-ua ndugu zao saba kwa kombeona upanga, na kukata mikonoya wengine, ili kulinda mifugoyako na watumishi wako; taza-ma, ni haya ndio yanayosaba-bisha kushangaa kwako?

17 Nakwambia, ni nini, amba-cho kimefanya mshangao wakouwe mkuu? Tazama, mimi nimwanadamu, na mimi ni mtu-mishi wako; kwa hivyo, cho-chote utakachotaka ambacho nichema, nitatenda.

18 Sasa wakati mfalme alipo-sikia maneno haya, alishangaatena, kwani aliona kwamba

Amoni angeweza akupambanuamawazo yake; lakini licha yahaya, mfalme Lamoni alifunguakinywa chake, na kumwambia:Wewe ni nani? Wewe ni yuleRoho Mkuu, banayejua vituvyote?

19 Amoni akamjibu na ku-mwambia: Mimi siye.

20 Na mfalme akasema: Vipiunavyojua mawazo ya moyowangu? Zungumza kwa ujasiri,na uniambie kuhusu vitu hivi;na pia uniambie ni kwa nguvugani ulizowaua na kukata mi-kono ya ndugu zangu waliota-wanya mifugo yangu —

21 Na sasa, kama utanielezeakuhusu vitu hivi, chochoteutakachoniuliza nitakupa; nakama itahitajika, nitakulindana majeshi yangu; lakini najuakwamba wewe una nguvukuliko hao wote; walakini,chochote utakachotaka kutokakwangu nitakupa.

22 Sasa Amoni akiwa mwenyehekima, lakini mpole, alimwa-mbia Lamoni: Utasikiliza mane-no yangu, nikikuelezea ni kwanguvu gani ninafanya vitu hivi?Na hiki ndicho kitu ambachoninataka kutoka kwako.

23 Na mfalme akamjibu, na ku-sema: Ndio, nitaamini manenoyako yote. Na hivyo akanaswakwa werevu.

24 Na Amoni akaanza kumzu-ngumzia kwa aujasiri, na aka-mwambia: Unaamini kwambaMungu yupo?

25 Na akamjibu, na kusema:Mimi sijui maana ya hayo.

16a Alma 12:3.18a mwm Utambuzi,

Kipawa cha.b mwm Mungu, Uungu.

24a Alma 38:12.

Page 329: KITABU CHA MORMONI

Alma 18:26–39 312

26 Na kisha Amoni akasema:Unaamini kwamba kuna RohoMkuu?

27 Na akasema, Ndio.28 Na Amoni akasema: Huyu

ndiye Mungu. Na Amoni aka-mwambia tena: Unaamini kwa-mba huyu Roho Mkuu, ambayeni Mungu, aliumba vitu vyotevilivyo mbinguni na duniani?

29 Na akasema: Ndio, naaminikwamba aliumba vitu vyotevilivyo ulimwenguni; lakinisijui mbinguni.

30 Na Amoni akamwambia:Mbinguni ni mahali ambapoMungu anaishi pamoja na ma-laika wake wote watakatifu.

31 Na mfalme Lamoni akase-ma: Iko juu ya ulimwengu?

32 Na Amoni akasema: Ndio,na anatazama chini kwa watotowa watu wote; na anafahamuamawazo yote na nia zote zamoyo; kwani tangu mwanzowote waliumbwa kwa mkonowake.33 Na mfalme Lamoni akase-

ma: Naamini vitu hivi vyoteambavyo umezungumza. Weweumetumwa kutoka kwa Mungu?

34 Amoni akamwambia: Mimini mwanadamu; na hapo mwa-nzo amwanadamu aliumbwakwa mfano wa Mungu, nanimeitwa na Roho Mtakatifuwake ili bniwafunze watu hawavitu hivi, ili waweze kujua yaleyaliyo ya haki na kweli;

35 Na sehemu ya aRoho huyo

anaishi ndani yangu, ambayehunipatia bufahamu, na piauwezo kulingana na imani ya-ngu na nia iliyo katika Mungu.

36 Sasa baada ya Amoni kuse-ma maneno haya, al ianziatangu kuumbwa kwa ulimwe-ngu, na pia kuumbwa kwaAdamu, na kumwambia vituvyote kuhusu kuanguka kwamwanadamu, na akumwelezeana kumfunulia maandishi nabmaandiko ya watu, ambayoyalikuwa yamezungumzwa nacmanabii, hata hadi ule wakatiambao baba yao, Lehi, alipotokaYerusalemu.

37 Na pia akawasimulia (kwa-ni ilikuwa kwa mfalme nawatumishi wake) safari zote zababu zao huko nyikani, na ma-teso yao yote ya njaa na kiu, namateso yao, na kadhalika.

38 Na pia akawasimulia kuhu-su maasi ya Lamani na Lemueli,na wana wa Ishmaeli, ndio,aliwaeleza kuhusu maasi yaoyote; na akawaelezea maandi-shi na maandiko yote tangu ulewakati ambao Lehi aliondokaYerusalemu hadi ule wakatiwa sasa.

39 Lakini haya sio yote; kwanialiwaelezea kuhusu ampangowa ukombozi, ambao ulitaya-rishwa tangu msingi wa uli-mwengu; na pia akawaelezeakuhusu kuja kwa Kristo, naaliwajulisha kuhusu matendoyote ya Bwana.

32a Amo. 4:13;3 Ne. 28:6;M&M 6:16.

34a Mos. 7:27;Eth. 3:13–16.

b mwm Fundisha,

Muhlimu—Kufundisha kwaRoho.

35a mwm Maongozi yaMungu, Shawishi.

b mwm Maarifa.

36a Mos. 1:4;Alma 22:12; 37:9.

b mwm Maandiko.c Mdo. 3:18–21.

39a mwm Mpango waUkombozi.

Page 330: KITABU CHA MORMONI

313 Alma 18:40–19:6

40 Na ikawa kwamba baadayake kusema vitu hivi vyote,na kumwelezea mfalme, kwa-mba mfalme aliamini manenoyake yote.

41 Na akaanza kumlilia Bwana,akisema: Ee Bwana, nihurumie;kulingana na arehema zako teleambazo umewaonyesha watuwa Nefi, nihurumie mimi, nawatu wangu.

42 Na sasa, baada ya kusemahaya, akainama kwenye ardhi,kama yule aliyefariki.

43 Na ikawa kwamba watu-mishi wake walimchukua nakumpeleka kwa mke wake, nawakamlaza kitandani; na aka-lala kama aliyekufa kwa mudawa siku mbili na kucha mbili;na mke wake, na wana wake,na mabinti zake walimwombo-leza, kama ilivyokuwa desturiya Walamani, wakiombolezasana kifo chake.

MLANGO WA 19

Lamoni anapokea nuru ya uzimausio na mwisho na kumwonaMkombozi — Nyumba yake yoteinaota ndoto, na wengi waonamalaika—Amoni anahifadhiwa ki-ajabu — Anabatiza wengi na kui-marisha kanisa miongoni mwao.Karibu mwaka wa 90 kabla yakuzaliwa kwa Kristo.

Na ikawa kwamba baada yasiku mbili na kucha mbili wali-karibia kuchukua mwili wakena kuuzika kaburini, ambalo

walikuwa wametayarisha kwakusudi la kuzika wafu wao.

2 Sasa malkia akiwa amesikiasifa za Amoni, kwa hivyo alitu-ma na akataka kwamba ajekwake.

3 Na ikawa kwamba Amonialifanya vile alivyoamriwa, naakamwendea malkia, na akahi-taji kujua yale aliyotaka atende.

4 Na akamwambia: Watumishiwa bwana wangu wamenijuli-sha kwamba wewe ni anabii waMungu mtakatifu, na kwambawewe una uwezo wa kutendavitendo vikuu katika jina lake;

5 Kwa hivyo, kama hivi ndi-vyo ilivyo, ningetaka uende naumwone bwana wangu, kwaniamelazwa kitandani mwakekwa muda wa siku mbili na ku-cha mbili; na wengine wanase-ma kwamba hajafariki, lakiniwengine wanasema kwambaamefariki na kwamba ananuka,na kwamba anastahili kuzikwakaburini; lakini kwangu mimi,hanuki.

6 Sasa, hili ndilo Amoni alilo-taka, kwani alijua kwambamfalme Lamoni alikuwa chiniya nguvu za Mungu; alijuakwamba a pazia la giza yakutoamini ilikuwa inaondolewamawazoni mwake, na bnuru ileambayo iliangaza mawazo yake,ambayo ilikuwa ni nuru yautukufu wa Mungu, ambayoilikuwa ni nuru ya ajabu yawema wake — ndio, nuru hiiilikuwa imejaza nafsi yake nashangwe, wingu la giza likiwa

41a mwm Rehema,Rehema, enye.

19 4a mwm Nabii.

6a 2 Kor. 4:3–4.mwm Pazia.

b mwm Nuru, Nuru

ya Kristo.

Page 331: KITABU CHA MORMONI

Alma 19:7–15 314

limeondolewa, na kwambanuru ya uzima usio na mwishoilikuwa imewashwa katika nafsiyake, ndio, ali jua kwambamwili wake ulikuwa umeleme-wa na haya, na alikuwa amebe-bwa na Mungu —7 Kwa hivyo, yale malkia

aliyohitaji yalikuwa ni mata-kwa yake. Kwa hivyo, akaendandani kumwona mfalme kamavile malkia alivyomhitajia; naalimwona mfalme, na alijuakwamba hajafariki.

8 Na akamwambia malkia:Yeye hajafariki, lakini amelalakatika Mungu, na kesho atafu-fuka tena; kwa hivyo usimzike.

9 Na Amoni akamwambia:Wewe unaamini haya? Na aka-mwambia: Sijapata ushahidimwingine ijapokuwa neno lako,na neno la watumishi wetu;walakini naamini kwamba ita-kuwa kulingana na yale ambayoumesema.

10 Na Amoni akamwambia:Wewe umebarikiwa kwa saba-bu ya imani yako nyingi; na-kwambia wewe, mwanamke,hakujawahi kuwa na aimanikuu kama hii miongoni mwaWanefi.

11 Na ikawa kwamba alilindakitanda cha bwana wake, tanguwakati ule hadi kesho yake ulewakati ambao Amoni alikuwaamepanga kwamba atainuka.

12 Na ikawa kwamba aliinu-ka, kulingana na maneno yaAmoni; na alipoinuka, alinyo-

sha mkono wake kwa mwana-mke wake, na kusema: Jina laMungu libarikiwe, na weweumebarikiwa.

13 Kwani kwa hakika kamavile unavyoishi, tazama, nime-mwona Mkombozi wangu; naatakuja, na aatazaliwa na bmwa-namke, na atakomboa wanada-mu wote ambao wanaamini jinalake. Sasa, aliposema manenohaya, moyo wake ulifura tenandani yake, na akazama tenakwa shangwe; na malkia piaakazama, akiwa amelemewana Roho.

14 Sasa Amoni akiona kwambaRoho wa Bwana aliteremshwakulingana na asala zake kwaWalamani, ndugu zake, ambaowalikuwa wamesababisha ma-ombolezo makuu miongonimwa Wanefi, au miongoni mwawatu wote wa Mungu kwasababu ya maovu yao na bmilazao, alipiga magoti, na akaanzakutoa nafsi yake kwa sala nakumshukuru Mungu kwa rohoyake yote kwa sababu ya yaleyote ambayo alikuwa amewa-tendea ndugu zake; na pia ali-lemewa na cshangwe; na hivyowote watatu walikuwa dwame-anguka ardhini.

15 Sasa, wakati watumishiwa mfalme walipoona kwambawalikuwa wameinama, nao piawalianza kumlil ia Mungu,kwani woga wa Bwana ulikuwaumewaingia nao pia, kwaniawao ndio walikuwa wamesi-

10a Lk. 7:9.mwm Imani.

13a mwm Yesu Kristo—Unabii juu ya

kuzaliwa na kifo chaYesu Kristo.

b 1 Ne. 11:13–21.14a M&M 42:14.

b Mos. 1:5.c mwm Shangwe.d Alma 27:17.

15a Alma 18:1–2.

Page 332: KITABU CHA MORMONI

315 Alma 19:16–23

mama mbele ya mfalme nakumshuhudia kuhusu nguvukuu za Amoni.16 Na ikawa kwamba walili-

ngana jina la Bwana, kwa uwe-zo wao wote, hadi wote wakai-nama kwenye ardhi, isipokuwatu mwanamke mmoja wa Kila-mani, ambaye jina lake lilikuwaAbishi, ambaye alikuwa amem-geukia Bwana kwa muda wamiaka mingi, iliyotokana na onola kushangaza la baba yake —

17 Hivyo, baada ya kumgeu-kia Bwana, na hakuwa amewahikumjulisha yeyote, kwa hivyo,alipoona kwamba watumishiwote wa Lamoni walikuwa wa-meinama kwenye ardhi, na piabibi yake, malkia, na mfalme,na Amoni kwamba walikuwawamelala katika ardhi kifudi-fudi, alijua kwamba ni uwezowa Mungu; na akidhani kwa-mba nafasi hii, kwa kufahami-sha watu kuhusu yale yaliyo-kuwa yametendeka miongonimwao, kwamba kwa kuona kisahiki aitawasababishia kuaminikwa nguvu za Mungu, kwa hi-vyo akakimbia kutoka nyumbakwa nyumba, akiwafahamishawatu.

18 Na wakaanza kukusanyikapamoja kat ika nyumba yamfalme. Na kikundi kikubwakikaja, na kwa mshangao waowakaona mfalme, na malkia,na watumishi wao wamelalachini ardhini, na wote walikuwawamelala pale kama waliofari-

ki, na pia wakamwona Amoni,na tazama, alikuwa Mnefi.

19 Na sasa watu wakaanzakunung’unika miongoni mwao;wengine wakisema kwamba nimkasa mwovu mkuu uliokuwaumewateremkia, au juu yamfalme na nyumba yake, kwasababu alikuwa ameruhusuMnefi akuishi katika nchi ile.

20 Lakini wengine waliwake-mea, wakisema: Mfalme ame-teremshia nyumba yake uovuhuu, kwa sababu al iwauawatumishi wake ambao mifugoyao ilitawanywa katika amajiya Sebo.

21 Na pia walikemewa nawale watu ambao walikuwawamesimama katika maji yaSebo na akutawanya mifugo yamfalme, kwani walimkasirikiaAmoni kwa sababu ya idadiambayo alikuwa ameua yandugu zao katika maji ya Sebo,alipokuwa akilinda mifugo yamfalme.

22 Sasa, mmoja wao, ambayekaka yake alikuwa aameuawakwa upanga wa Amoni, akiwaamemkasirikia Amoni sana,alitoa upanga wake ili amwa-ngushie Amoni, amuue; naalipoinua upanga wake ili am-kate, tazama, alianguka chinina kufariki.

23 Sasa tunaona kwamba Amo-ni hangeuawa, kwani aBwanaalikuwa amemwambia Mosia,baba yake: Nitamhifadhi, naitakuwa juu yake kulingana na

17a Mos. 27:14.19a Alma 17:22–23.20a Alma 17:26; 18:7.

21a Alma 17:27; 18:3.22a Alma 17:38.23a Mos. 28:7;

Alma 17:35.

Page 333: KITABU CHA MORMONI

Alma 19:24–33 316

imani yako—kwa hivyo, Mosiabalimtumainia Bwana.

24 Na ikawa kwamba uleumati ulipoona kwamba yulemtu alikuwa ameanguka nakufariki, aliyekuwa ameinuaupanga kumuua Amoni, wogauliwapata wote, na hawaku-thubutu kuweka mikono yaokwake au kwa wale ambao wa-likuwa wameanguka; na waka-anza tena kustaajabu miongonimwao ni nini kilichosababishanguvu hizi kuu, au maana yavitu hivi vyote.

25 Na ikawa kwamba kuliku-wa na wengi miongoni mwaowaliosema kwamba Amoni ali-kuwa ni yule Roho aMkuu, nawengine wakasema kwambaametumwa na Roho Mkuu;

26 Lakini wengine waliwake-mea wote, wakisema kwambaalikuwa ni jitu, ambalo liliku-wa l imetumwa na Wanef ikuwatesa.

27 Na kulikuwa na wenginea m b a o w a l i s e m a k w a m b aAmoni alikuwa ametumwa nayule Roho Mkuu kuwatesa kwasababu ya maovu yao; na kwa-mba il ikuwa ni yule RohoMkuu aliyekuwa anawasaidiaWanefi daima, ambaye aliku-wa amewakomboa kutoka mi-kononi mwao; na wakasemakwamba ni huyu Roho Mkuuambaye alikuwa amewaanga-miza ndugu zao wengi, Wala-mani.

28 Na hivyo ubishi ukazidikuwa mkali miongoni mwao.

Na walipokuwa wakibishana,yule mtumishi amwanamkeambaye alikuwa amesababishaumati ukusanyike pamoja alifi-ka, na alipoona ule ubishi ulio-kuwa miongoni mwa umatialihuzunika sana, hadi akaliamachozi.

29 Na ikawa kwamba aliendana kumchukua malkia kwamkono wake, ili pengine amui-nue kutoka ardhini; na alipou-gusa mkono wake aliinuka nakusimama kwa miguu yake, nakulia kwa sauti kubwa, akise-ma: Ee Yesu uliyebarikiwa,uliyeniokoa kutoka ajahanamu!Ee Mungu uliyebarikiwa, bwa-rehemu watu hawa!

30 Na aliposema haya, alipigi-sha mikono yake, akiwa ameja-zwa na shangwe, na kuzungu-mza maneno mengi ambayohayakufahamika; na alipofanyahaya, alimchukua mfalme, La-moni, kwa mkono, na tazamaaliinuka na kusimama kwamiguu yake.

31 Na yeye, papo hapo, akionaubishi uliokuwa miongoni mwawatu wake, alianza kuwake-mea, na kuwafunza amanenoaliyoyasikia kutoka kinywa chaAmoni; na wengi walisikiamaneno yake na kuyaamini, nawakamgeukia Bwana.

32 Lakini kulikuwa na wengimiongoni mwao ambao hawa-kutaka kuyasikia maneno yake;kwa hivyo walienda zao.

33 Na ikawa kwamba wakatiAmoni alipoinuka, na yeye

23b mwm Tegemea.25a Alma 18:2–5.28a Alma 19:16.

29a 1 Ne. 14:3.b mwm Rehema,

Rehema, enye.

31a Alma 18:36–39.

Page 334: KITABU CHA MORMONI

317 Alma 19:34–20:6

pia aliwahudumia, na pia wa-tumishi wote wa Lamoni; nawote waliwatangazia watu kitusawa — kwamba mioyo yao ili-kuwa aimebadilishwa; kwambahawakutamani tena kutendabmaovu.

34 Na tazama, wengi waliwa-tangazia watu kwamba wali-kuwa wameona amalaika nakuzungumza nao; na hivyowalikuwa wamewaambia vituvya Mungu, na haki yake.35 Na ikawa kwamba kuliku-

wa na wengi walioamini katikamaneno yao; na wengi walioa-mini awalibatizwa; na wakawawatu wenye haki, na wakaa-nzisha kanisa miongoni mwao.36 Na hivyo kazi ya Bwana

ikaanza miongoni mwa Wala-mani; hivyo Bwana alianzakuteremsha Roho wake juu yao;na tunaona kwamba mkonowake umenyooshwa kwa watuawote ambao watatubu na kua-mini katika jina lake.

MLANGO WA 20

Bwana anamtuma Amoni Midonikuwakomboa kaka zake waliofu-ngwa — Amoni na Lamoni wana-kutana na baba ya Lamoni, ambayeni mfalme katika nchi yote —Amoni anamshurutisha mfalmemzee awaachilie kaka zake. Karibumwaka wa 90 kabla ya kuzaliwakwa Kristo.

Na ikawa kwamba baada yawao kuanzisha kanisa katika

nchi hiyo, mfalme Lamoni ali-mtaka Amoni aende pamoja nayeye katika nchi ya Nefi, iliamwonyeshe kwa baba yake.

2 Na sauti ya Bwana ikamjiaAmoni, ikisema: Hutaenda kati-ka nchi ya Nefi, kwani tazama,mfalme atataka kukutoa uhaiwako; lakini utaenda katika nchiya Midoni; kwani tazama, kakayako Haruni, na pia Muloki naAma wako gerezani.

3 Sasa ikawa kwamba Amonialiposikia haya, alimwambiaLamoni: Tazama, kaka yanguna jamaa zangu wako gerezanihuko Midoni, na ninaenda iliniwakomboe.

4 Sasa Lamoni akamwambiaAmoni: Najua, kwamba kwaanguvu za Bwana wewe unawe-za kufanya vitu vyote. Lakinitazama, nitaenda na wewe ka-tika nchi ya Midoni; kwanimfalme wa nchi ya Midoni,ambaye jina lake ni Antiomno,ni rafiki yangu; kwa hivyo ni-taenda katika nchi ya Midoni,ili nimtanie mfalme wa nchi, naatawatoa ndugu zako kutokabgerezani. Sasa Lamoni aka-mwambia: Nani aliyekwambiakwamba ndugu zako wakogerezani?

5 Na Amoni akamwambia:Hakuna yeyote aliyeniambia,ijapokuwa Mungu; na alinia-mbia — Nenda ukawakomboendugu zako, kwani wako gere-zani katika nchi ya Midoni.

6 Sasa Lamoni aliposikia hayaaliamuru kwamba watumishi

33a mwm Zaliwa naMungu, Zaliwa Tena.

b Mos. 5:2; Alma 13:12.

34a mwm Malaika.35a mwm Batiza, Ubatizo.36a 2 Ne. 26:33;

Alma 5:33.20 4a Alma 26:12.

b Alma 20:28–30.

Page 335: KITABU CHA MORMONI

Alma 20:7–19 318

wake watayarishe afarasi wakena magari yake.7 Na akamwambia Amoni:

Njoo, nitaenda nawe katika nchiya Midoni, na huko nitamsihimfalme ili awatoe ndugu zakogerezani.

8 Na ikawa kwamba Amonina Lamoni walipokuwa waki-safiri huko, walikutana na babaya Lamoni, ambaye alikuwa nimfalme akatika nchi yote.

9 Na tazama, baba ya Lamoniakamwambia: Kwa nini hukujakwa asherehe siku ile kuu nili-yoandaa kwa wana wangu, nawatu wangu?

10 Na pia akasema: Unaendawapi na huyu Mnefi, ambaye nimmoja wa wana wa amwongo?11 Na ikawa kwamba Lamoni

akamwelezea kule alikokuwaakienda, kwani aliogopa kum-kasirisha.

12 Na pia akamwelezea sababuzake za kukawia katika ufalmewake, na kwa nini hakwendakwa sherehe ambayo baba yakealikuwa ameandaa.

13 Na sasa wakati Lamoni ali-pomwelezea vitu hivi vyote,tazama, kwa mshangao wake,baba yake alimkasirikia, na ku-sema: Lamoni, wewe unaendakuwakomboa hawa Wanefi,ambao ni wana wa mwongo.Tazama, aliwaibia babu zetu;na sasa watoto wake nao piawamekuja kati yetu, ili kwaujanja wao na uwongo wao,watudanganye, ili watuibiemali yetu tena.

14 Sasa baba ya Lamonialimwamuru kwamba amuueAmoni kwa upanga. Na piaakamwamuru kwamba asiendekatika nchi ya Midoni, lakinikwamba arudi na yeye katikanchi ya aIshmaeli.

15 Lakini Lamoni akamwa-mbia: Mimi sitamuua Amoni,wala sitarudi katika nchi yaIshmaeli, lakini nitaenda katikanchi ya Midoni ili niwakomboendugu za Amoni, kwani najuakwamba wao ni watu wenyehaki na manabii watakatifu waMungu wa kweli.

16 Sasa wakati baba yake ali-posikia maneno haya, alimka-sirikia, na akatoa upanga wakeili amwangushe chini.

17 Lakini Amoni akasongambele na kumwambia: Tazama,huwezi kumuua mwana wako;walakini, aheri yeye aangukechini badala yako, kwani taza-ma, bametubu dhambi zake;lakini wewe ukianguka wakatihuu, katika hasira yako, nafsiyako haiwezi kuokolewa.

18 Na tena, inafaa ujizuie;kwani aukimuua mwana wako,na yeye ni mtu ambaye hanahatia, damu yake itamliliaBwana Mungu wake kutokaardhini, kulipiza kisasi kwake;na pengine wewe utapotezabnafsi yako.

19 Sasa wakati Amoni alipo-mwambia maneno haya, alim-jibu, akisema: Najua kwambanikimuua mwana wangu, kwa-mba nitamwaga damu isiyo

6a Alma 18:9–10.8a Alma 22:1.9a Alma 18:9.

10a Mos. 10:12–17.14a Alma 17:19.17a Alma 48:23.

b Alma 19:12–13.18a mwm Mauaji.

b M&M 42:18.

Page 336: KITABU CHA MORMONI

319 Alma 20:20–30

na hatia; kwani wewe ndiyeumetaka kumwangamiza.20 Na akanyoosha mkono

wake ili amuue Amoni. LakiniAmoni alivumilia mapigo yake,na pia akaupiga mkono wakekwamba hakuweza kuutumiatena.

21 Sasa mfalme alipoona kwa-mba Amoni angemuua, alianzakumlilia Amoni kwamba aokoemaisha yake.

22 Lakini Amoni akainuaupanga wake, na kumwambia:Tazama, nitakuua usipokubalindugu zangu watolewe gere-zani.

23 Sasa mfalme, akiogopakwamba atapoteza uhai wake,alisema: Ukiniokoa nitakupachochote utakachoniuliza, hatakama ni nusu ya ufalme.

24 Sasa Amoni alipoona kwa-mba mfalme mzee amekubalimatakwa yake, alimwambia:Ukikubali kwamba ndugu za-ngu watolewe gerezani, na piakwamba Lamoni amiliki ufalmewake, na kwamba usimkasiri-kie, lakini kwamba umruhusuatende kulingana na nia yakekwa kitu achochote anachofiki-ria, ndipo nitakuokoa; la sivyonitakuangusha chini.

25 Sasa Amoni aliposemamaneno haya, mfalme akaanzakufurahi kwa sababu ya maishayake.

2 6 N a a l i p o o n a k w a m b aAmoni hakuwa na haja yakumwangamiza, na pia alipoo-na jinsi alivyompenda mwanawake Lamoni, alishangaa sana,

na kusema: Kwa sababu hayapekee ndiyo umetaka, kwambaniwaachilie ndugu zako, nakwamba nimruhusu mwanawangu Lamoni amiliki ufalmewake, tazama, nitamruhusumwana wangu amiliki ufalmewake kutoka sasa hadi milele;na sitamtawala tena —

27 Na pia nitakubali kwambandugu zako waondolewe gere-zani, na wewe na ndugu zakomnaweza kunijia, katika ufalmewangu; kwani nitatamani ku-kuona. Kwani mfalme alistaa-jabia sana kwa yale manenoaliyozungumza, na pia yalemaneno ambayo mwana wakeLamoni alikuwa amezungumza,kwa hivyo aalitaka kujifunza.

28 Na ikawa kwamba Amonina Lamoni waliendelea na safariyao ya kuelekea nchi ya Midoni.Na Lamoni alipata fadhila zamfalme wa nchi; kwa hivyondugu za Amoni waliondolewagerezani.

29 Na Amoni alipowaona ali-kuwa na huzuni sana, kwanitazama walikuwa uchi, nangozi zao zilikuwa zimenyaukasana kwa sababu ya kufungwakwa kamba nzito. Na pia wali-kuwa wamepatwa na njaa, kiu,na kila aina ya mateso; walakiniawalivumilia mateso yao yote.30 Na, kama vile ilivyote-

ndeka, ilikuwa ni mkosi waokuchukuliwa na mikono yawatu ambao walikuwa ni wa-gumu zaidi, na wenye shingongumu zaidi; kwa hivyo hawa-ngesikiliza maneno yao, na

24a Alma 21:21–22.27a mwm Mnyenyekevu,

Unyenyekevu.29a Alma 17:11.

Page 337: KITABU CHA MORMONI

Alma 21:1–6 320

waliwafukuza, na kuwapiga, nakuwakimbiza kutoka nyumbahadi nyumba, na kutoka mahalihadi mahali, hadi wakafikakatika nchi ya Midoni; na hapowalichukuliwa na kutupwagerezani, na kufungwa kwakamba anzito, na kuwekwagerezani kwa siku nyingi, nawakakombolewa na Lamoni naAmoni.

Maandishi ya mahubiri yaHaruni, na Muloki, na nduguzao, kwa Walamani.

Yenye milango ya 21na 26 yote pamoja.

MLANGO WA 21

Haruni anafunza Waamaleki kum-husu Kristo na upatanisho wake—Haruni na ndugu zake wanafungwaMidoni—Baada ya ukombozi wao,wanafunza katika masinagogi nakupata wafuasi wengi — Lamonianawapatia watu wa nchi yaIshmaeli uhuru wa kuabudu.Kutoka karibu mwaka wa 90 hadi77 kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

Sasa wakati Amoni na nduguzake awalijigawanya katikamipaka ya nchi ya Walamani,tazama Haruni alisafiri kuele-kea nchi iliyoitwa na Walamani,Yerusalemu, ambayo iliitwakulingana na nchi ya kuzaliwaya babu zao; na ilikuwa namipaka ya Mormoni.

2 Sasa Walamani na Waamale-ki na watu wa aAmuloni wali-

kuwa wamejenga mji mkubwa,ambao uliitwa Yerusalemu.

3 Sasa Walamani wenyewewalikuwa ni wagumu kabisa,lakini Waamaleki na Waamulo-ni walikuwa ni wagumu zaidi;kwa hivyo wakawasababishaWalamani washupaze mioyoyao, kwamba waendelee namaovu yao na machukizo yao.

4 Na ikawa kwamba Harunialifika katika mji wa Yerusale-mu, na kwanza akaanza kuwa-hubiria Waamaleki. Na akaanzakuwahubiria katika masinagogiyao, kwani walikuwa wameje-nga masinagogi akulingana nadesturi za Wanehori; kwaniwengi wa Waamaleki na Waa-muloni walikuwa wafuasi waWanehori.

5 Kwa hivyo, Haruni alipoi-ngia katika moja ya masinagogiyao ili awahubirie watu, naalipokuwa akiwazungumzia,tazama Mwamaleki mmoja ali-simama na akaanza kubishanana yeye, akisema: Ni nini amba-cho wewe umeshuhudia? Weweumeona amalaika? Kwa ninimalaika hawatutokei sisi? Ta-zama si watu hawa ni wemakama watu wako?

6 Wewe pia unasema, tusipo-tubu tutaangamia. Jinsi ganiwewe unajua mawazo na niaya mioyo yetu? Jinsi gani una-vyojua kwamba tunayo sababuya kutubu? Jinsi gani unavyojuakwamba sisi sio watu wenyehaki? Tazama, tumejenga ma-kao matakatifu, na sisi huwatunakusanyika pamoja kumwa-

30a Alma 26:29.21 1a Alma 17:13, 17.

2a Mos. 24:1;Alma 25:4–9.

4a Alma 1:2–15.5a Mos. 27:11–15.

Page 338: KITABU CHA MORMONI

321 Alma 21:7–19

budu Mungu. Tunaamini kwa-mba Mungu ataokoa wanada-mu wote.7 Sasa Haruni akamwambia:

Unaamini kwamba Mwana waMungu atakuja kuwakomboawanadamu kutoka dhambi zao?

8 Na yule mtu akamwambia:Hatuamini kwamba wewe una-jua kitu kama hicho. Hatuaminikatika desturi za kijinga kamahizi. Hatuamini kwamba weweunajua avitu vile vitakavyokuja,wala hatuamini kwamba babazako na pia kwamba baba zetuwalijua kuhusu vitu vile wali-vyozungumza, yaani vile vita-kavyokuja.

9 Sasa Haruni akaanza kuwa-fungulia maandiko kuhusu kujakwa Kristo, na pia kuhusuufufuo wa wafu, na kwambaahakutakuwa na ukombozi kwawanadamu ila tu kwa mauti namateso ya Kristo, na bupatani-sho wa damu yake.10 Na ikawa kwamba alipoa-

nza kuwafafanulia vitu hiviwalimkasirikia, na wakaanzakumfanyia mzaha; na hawaku-taka kusikia maneno aliyozu-ngumza.

11 Kwa hivyo, a l ipoonakwamba hawakutaka kusikiamaneno yake, aliondoka katikasinagogi yao, na akaenda katikakitongoji kilichoitwa Ani-Anti,na hapo akampata Muloki aki-wahubiria neno; na pia Ama nandugu zake. Na wakabishanana wengi kuhusu neno.

12 Na ikawa kwamba waliona

kuwa watu watashupaza mioyoyao, kwa hivyo wakaondokana kufika katika nchi ya Midoni.N a w a k a h u b i r i n e n o k w awengi, na wachache wakaaminimaneno ambayo walifundisha.

13 Walakini, Haruni na idadifulani ya ndugu zake walishi-kwa na kutupwa gerezani,na waliosalia wakatoroka nchiya Midoni na kuelekea katikasehemu zile zilizoizingira.

14 Na wale ambao walitupwagerezani awaliteseka kwa vituvingi, na walikombolewa kwamkono wa Lamoni na Amoni,na wakalishwa na kuvishwa.

15 Na wakaenda tena kutanga-nza neno, na hivyo walikombo-lewa mara ya kwanza kutokagerezani, na hivyo waliteseka.

16 Na walienda popote wali-poongozwa na aRoho wa Bwa-na, wakihubiri neno la Mungukatika kila sinagogi la Waama-leki, au katika kila kusanyikola Walamani lililowakaribisha.

17 Na ikawa kwamba Bwanaalianza kuwabariki, hata wa-kaweza kuleta wengi kwaufahamu wa ukweli; ndio, awa-liwasadikisha wengi kuhusudhambi zao, na desturi za babuzao, ambazo hazikuwa sawa.

18 Na ikawa kwamba Amonina Lamoni walirudi kutoka ka-tika nchi ya Midoni na kwendakatika nchi ya Ishmaeli, ambayoilikuwa ni nchi yao ya urithi.

19 Na mfalme Lamoni hange-kubali kwamba Amoni amtu-mikie, au awe mtumishi wake.

8a Yak. (KM) 7:1–8.9a Mos. 5:8;

Alma 38:9.

b mwm Lipia dhambi,Upatanisho.

14a Alma 20:29.

16a Alma 22:1.17a M&M 18:44.

Page 339: KITABU CHA MORMONI

Alma 21:20–22:4 322

20 Lakini alisababisha kwambamasinagogi yajengwe katikanchi ya Ishmaeli; na akasababi-sha kwamba watu wake, auwatu wale waliokuwa chini yautawala wake, wakusanyikepamoja.

21 Na alifurahi juu yao, naakawafunza vitu vingi. Na piaaliwatangazia kwamba wao niwatu waliokuwa chini ya uta-wala wake, na kwamba wali-kuwa watu huru, na kwambawalikuwa huru kutokana naudhalimu wa mfalme, babayake; kwani baba yake alikuwaamemruhusu atawale watuwaliokuwa katika nchi yaIshmaeli, na katika sehemuiliyowazingira.

22 Na pia akawaambia kwa-mba wangekuwa na auhuruwa kumwabudu Bwana Munguwao kulingana na mahitaji yao,katika mahali popote walipo,ikiwa ilikuwa katika nchi ileiliyokuwa chini ya utawala wamfalme Lamoni.

23 Na Amoni akawahubiriawatu wa mfalme Lamoni; naikawa kwamba aliwafunza vituvyote vilivyohusu vitu vya haki.Na akawaonya kila siku, kwabidii zote; na wakasikiza nenolake, na walikuwa na bidii yakushika amri za Mungu.

MLANGO WA 22

Haruni anamfundisha baba yaLamoni kuhusu Uumbaji waulimwengu na kuanguka kwa

Adamu, na mpango wa ukombozikupitia Kristo — Mfalme na jamaayake wanajiunga na kanisa —Ugawanyaji wa nchi kati ya Wanefina Walamani unaelezwa. Kutokakaribu mwaka wa 90 hadi 77 kablaya kuzaliwa kwa Kristo.

Sasa, vile Amoni alikuwa hivyoalikuwa anafundisha watu waLamoni bila kikomo, tutarudiahistoria ya Haruni na nduguzake; kwani baada ya kuondokakutoka kwenye nchi ya Midonia aliongozwa na Roho hadikwenye nchi ya Nefi, hata kwe-nye nyumba ya mfalme ambayealikuwa anasimamia nchi yotebisipokuwa nchi ya Ishmaeli;na alikuwa baba ya Lamoni.

2 Na ikawa kwamba al i-mwendea kwenye nyumba yamfalme, na ndugu zake, naakasujudu mbele ya mfalme,na kusema kwake: Tazama, Eemfalme, sisi ni ndugu za Amoni,ambaye aulimwachilia hurukutoka gerezani.

3 Na sasa, Ee mfalme, ikiwautasalimisha maisha yetu, tu-takuwa watumishi wako. Namfalme akawaambia: Amkeni,kwani nitamruhusu muishi,na sitakubali muwe watumishiwangu; lakini nitasisitiza kwa-mba mnitumikie, kwani ni-mesumbuliwa kidogo rohonimwangu kwa sababu ya ukari-mu mkuu wa maneno ya nduguyako Amoni; na ninatamanikujua sababu iliyomfanya asi-toke na nyinyi Midoni.

4 Na Haruni akamwambia

22a M&M 134:1–4;M ya I 1:11.

mwm Uhuru.22 1a Alma 21:16–17.

b Alma 21:21–22.2a Alma 20:26.

Page 340: KITABU CHA MORMONI

323 Alma 22:5–14

mfalme: Tazama, Roho wa Bwa-na amemtuma mahali pengine;ameenda kwenye nchi ya Ish-maeli, kuwafundisha watu waLamoni.5 Sasa mfalme akamwambia:

Ni nini mlimaanisha mliposemaRoho ya Bwana? Tazama, hikindicho kinanitaabisha mimi.

6 Na pia, ni nini hii ambayoAmoni alisema — aIkiwa mta-tubu mtasamehewa, na ikiwahamtatubu, mtatupiliwa mbalisiku ya mwisho?

7 Na Haruni akamjibu nakumwambia: Unaamini wewekwamba kuna Mungu? Namfalme akasema: Ninajua kwa-mba Waamaleki wanasemakwamba kuna Mungu, na nime-waruhusu kwamba wajengemakanisa, kwamba wangeku-sanyika pamoja kumwabudu.Na sasa ikiwa unasema kunaMungu, tazama, anitaamini.8 Na sasa Haruni aliposikia

hivi, moyo wake ulianza kufu-rahi, na akasema: Tazama,kwa hakika vile unavyoishi, Eemfalme, kuna Mungu.

9 Na mfalme akasema: Munguni yule Roho aMkuu aliyewale-ta babu zetu kutoka nchi yaYerusalemu?10 Na Haruni akamwambia:

Ndio, ni yule Roho Mkuu, naaaliumba vitu vyote mbingunina ardhini . Unaamini hiviwewe?

11 Na akasema: Ndio, ninaa-mini kuwa Roho Mkuu aliumbavitu vyote, na ninataka kwambauniambie kuhusu hivi vitu vyo-te, na anitaamini maneno yako.

12 Na ikawa kwamba wakatiHaruni alipoona kwamba Mfal-me angeamini maneno yake,alianzia tangu Adamu alivyou-mbwa, aakisoma maandiko kwamfalme — vile Mungu alivyo-muumba mwanadamu kwamfano wake mwenyewe, nakwamba Mungu alimpatia amri,na kwa sababu ya dhambi, bina-damu alikuwa ameanguka.

13 Na Haruni akamwelezeamaandiko kuanzia auumbaji waAdamu, akimwelezea binada-mu alivyoanguka, na hali yakimwili sasa na pia bmpangowa ukombozi, ambao ulitayari-shwa ctangu uumbaji wa uli-mwengu, kupitia kwa Kristo,kwa wote ambao wataaminikatika jina lake.

14 Na kwa sababu binadamualikuwa aameanguka hangewe-za bkustahili chochote mwe-nyewe; isipokuwa mateso nakifo cha Kristo chulipia dhambizao, katika imani na kutubu, navingine; na kwamba hukatakamba za kifo, kwamba dkaburihalitakuwa na ushindi, nakwamba uchungu wa kifo uta-shindwa katika matumaini yautukufu; na Haruni alielezahivi vitu vyote kwa mfalme.

6a Alma 20:17–18.7a M&M 46:13–14.9a Alma 18:18–28.

10a mwm Umba,Uumbaji.

11a mwm Amini, Imani.12a 1 Ne. 5:10–18;

Alma 37:9.13a Mwa. 1:26–28.

b mwm Mpango waUkombozi.

c 2 Ne. 9:18.14a mwm Anguko la

Adamu na Hawa.

b 2 Ne. 25:23;Alma 42:10–25.

c Alma 34:8–16.mwm Lipia dhambi,Upatanisho.

d Isa. 25:8;1 Kor. 15:55.

Page 341: KITABU CHA MORMONI

Alma 22:15–22 324

15 Na ikawa kwamba baadaya Haruni kumwelezea hivivitu, mfalme alisema: Nitafanyaanini ili nipate uzima wa mileleambao umeuzungumzia? Ndio,nitafanya nini ili bnizaliwe kwaMungu, ili hii roho mbovuing’olewe nje ya mwili wangu,na nipokee Roho yake, ili niwe-ze kujazwa na shangwe, ili ni-situpiliwe nje siku ya mwisho?Tazama, alisema, nitatoa umilikiwangu cwote, ndio, nitaachaufalme wangu, ili nipokee hiishangwe kuu.

16 Lakini Haruni alimwambia:Ikiwa aunatamani kitu hiki, iki-wa utamsujudia Mungu, ndio,ikiwa utatubu dhambi zakozote, na umsujudie Mungu, naumlingane kwa imani, ukiaminikwamba utapokea, ndipo uta-kapopokea bmatumaini ambayounatamani.

17 Na ikawa kwamba Haru-ni aliposema maneno haya,mfalme aalisujudu mbele yaBwana, kwa magoti yake; ndio,hata akajilaza kifudifudi ar-dhini, na bkulia kwa nguvu,akisema:

18 Ee Mungu, Haruni amenia-mbia kwamba kuna Mungu;na ikiwa kuna Mungu, na iki-wa wewe ni Mungu, unawezakujitambulisha kwangu, na ni-taacha dhambi zangu zote ilinikujue wewe, na kwamba nii-nuliwe kutoka kwa wafu, naniokolewe siku ya mwisho. Nasasa wakati mfalme alipokuwa

amesema maneno haya, alia-nguka akawa kama amekufa.

19 Na ikawa kwamba wafanyikazi wake walikimbia na ku-mwambia malkia yote ambayoyalikuwa yametendeka kwam f a l m e . N a a k a j a m a h a l iambapo mfalme alikuwa; naalipomwona amelala kama ali-yekufa, na pia Haruni na nduguzake wakisimama kama ndiowaliosababisha kuanguka kwa-ke, aliwakasirikia, na kuamurukwamba watumishi wake, auwatumishi wa mfalme, wawa-chukue na kuwaua.

20 Sasa watumishi walikuwawameona kilichosababisha mfal-me kuanguka, kwa hivyo ha-wakuthubutu kushika Harunina ndugu zake; na wakamsihimalkia wakisema: Kwa niniunatuamrisha tuue watu hawa,ikiwa tazama, mmoja wao yuamkuu kuliko sisi zote? Kwahivyo wanaweza kutuua.

21 Sasa wakati malkia alionawoga wa watumishi, yeye piaalianza kuogopa sana, kwambamaovu yasimjie. Na akawaamri-sha watumishi wake kwambawaende na kuita watu, ili wa-waue Haruni na ndugu zake.

22 Sasa Haruni alipoona ku-sudi la malkia, yeye, pia akijuaugumu wa mioyo ya watu, ali-ogopa kwamba umati utakusa-nyika pamoja, na kuwe naubishi mwingi na msukosukomiongoni mwao; kwa hivyoalinyosha mkono wake na

15a Mdo. 2:37.b Alma 5:14, 49.c Mt. 13:44–46;

19:16–22.

16a mwm Mwongofu,Uongofu.

b Eth. 12:4.17a M&M 5:24.

b mwm Sala.20a Alma 18:1–3.

Page 342: KITABU CHA MORMONI

325 Alma 22:23–30

kumuinua mfalme kutoka chini,na akamwambia: Simama. Naakasimama, miguu yake ikipatanguvu zake.23 Sasa hii ilifanyika machoni

mwa malkia na watumishiwengi. Na walipoiona walisha-ngaa sana, na kuanza kuogopa.Na mfalme alisimama mbele,na kuanza akuwahudumia. Naaliwahudumia, jinsi kwambajamii yake yote bilimgeukiaBwana.24 Sasa kulikuwa na umati

uliokusanyika kwa sababu yaamri ya malkia, na kukawa namanung’uniko mengi miongonimwao kwa sababu ya Harunina ndugu zake.

25 Lakini mfalme alisimamambele miongoni mwao nakuanza kuwahudumia. Na wa-litulizwa juu ya Haruni nawale ambao walikuwa na yeye.

26 Na ikawa kwamba wakatimfalme aliona kwamba watuwametulia, alisababisha kwa-mba Haruni na ndugu zakewasimame na kusogea katikatiya umati, na kwamba wawahu-birie neno.

27 Na ikawa kwamba mfalmealitoa atangazo nchini kote, mi-ongoni mwa watu wake woteambao walikuwa kwenye nchiyake yote, ambao walikuwandani ya mikoa yote iliyokari-biana, hata karibu na bahari,upande wa mashariki na upa-nde wa magharibi, na ambayoilitengwa kutoka nchi ya bZara-

hemla na kipande chembambacha nyika, ambayo ilinyookakutoka mashariki ya bahari hadimagharibi ya bahari, karibu namipaka ya pwani, na mipaka yanyika ambao ulikuwa kaskazinikaribu na nchi ya Zarahemla,kupitia mipaka ya Manti, kupi-tia kando ya mto wa Sidoni,kutoka mashariki hadi maghari-bi—na hivyo ndivyo Walamanina Wanefi walivyotenganishwa.

28 Sasa, sehemu kubwa yaWalamani ambao walikuwaawazembe waliishi nyikani, nakuishi kwenye hema; na wali-kuwa wametawanyika upandewa magharibi, katika nchi yaNefi; ndio, na pia kwenye ma-gharibi ya nchi ya Zarahemla,kwenye sehemu ya ukingo wabahari, na magharibi kwenyenchi ya Nefi, mahali ambapobabu zao walirithi mbeleni, nahivyo ikipakana na ukingo wabahari.

29 Na pia kulikuwa na Wala-mani wengi mashariki karibu naukingo wa bahari, ambapo Wa-nefi waliwasukuma. Na hivyoWanefi walizingirwa na Wala-mani; ingawaje Wanefi waliku-wa wamemiliki sehemu ya kas-kazini mwa nchi inayopakanana nyika, kwenye chimbuko yamto Sidoni, kutoka mashariki,hadi magharibi, ikizungukaupande wa nyika; upande wakaskazini, hata wakaja kwanchi ambayo waliita aNeema.30 Na ilikuwa imepakana na

23a mwm Fundisha,Mwalimu; Hubiri;Kuhudumu.

b mwm Mwongofu,Uongofu.

27a Alma 23:1–4.

b Omni 1:13–17.28a 2 Ne. 5:22–25.29a Alma 52:9; 63:5.

Page 343: KITABU CHA MORMONI

Alma 22:31–23:2 326

nchi waliyoiita aUkiwa, ikiwambali sana kaskazini kwambailiingia katika nchi iliyokaliwana watu na kuharibiwa, ambayobmifupa yake tumeizungumzia,ambayo iligunduliwa na watuwa Zarahemla, ikawa mahaliambapo walishukia ckwanza.31 Na walikuja kutokea kule

juu hadi kwenye nyika ya kusi-ni. Hivyo nchi ya kaskazini ilii-twa aUkiwa, na nchi ya kusiniiliitwa Neema, ikiwa nyikaambayo imejazwa na wanyamawa kila aina, ambao wenginewao walitoka katika nchi yakaskazini kwa ajili ya chakula.

32 Na sasa, ilikuwa tu amwe-ndo wa siku moja na nusu kwausafiri wa Mnefi, kwenye mpa-ka miongoni mwa Neema nanchi ya Ukiwa, kutoka masha-riki hadi kwenye bahari ya ma-gharibi; na hivyo nchi ya Nefina nchi ya Zarahemla zilikuwakaribu zimezingirwa na maji,kukiwa na bkijisehemu cha nchikatikati ya nchi iliyo kaskazinina nchi iliyo kusini.

33 Na ikawa kwamba Wanefiwalikuwa wameimiliki nchi yaNeema, hata kutokea masharikihadi kwenye bahari ya maghari-bi, na hivyo Wanefi kwa hekimayao, na walinzi wao na majeshiyao, walikuwa wamewafungiaWalamani upande wa kusini,kwa hivyo wasiwe tena naumiliki kaskazini, ili wasiwezekupita na kuleta vita kaskazini.

34 Kwa hivyo Walamani hawa-ngemiliki kitu kingine isipoku-

wa tu nchi ya Nefi, na nyikailiyokuwa karibu. Sasa hiiilikuwa hekima kwa Wanefi —kwani Walamani walikuwamaadui kwao, hawangekubalimateso yao yatokee kila upa-nde, na pia ili wapate nchiambayo wangekimbilia, kuli-ngana na mahitaji yao.

35 Na sasa mimi baada ya ku-sema haya, narudia tena historiaya Amoni na Haruni, Omnerina Himni, na ndugu zao.

MLANGO WA 23

Uhuru wa dini unatangazwa —Walamani kwenye nchi na mijisaba waokoka — Wanajiita wenye-we Waanti-Nefi-Lehi na wanakuwahuru kutokana na laana — Waa-maleki na Waamuloni wanakataaukweli. Kutoka karibu mwaka wa90 hadi 77 kabla ya kuzaliwa kwaKristo.

Tazama, sasa ikawa kwambamfalme wa Walamani alitumaatangazo miongoni mwa watuwake wote, kwamba wasimuu-mize Amoni, au Haruni, auOmneri, au Himni, wala mmojawao wa ndugu zao ambao atae-nda mbele na kuhubiri neno laMungu, mahali popote wataka-okuwa, kwenye sehemu yoyoteya nchi yao.

2 Ndio, alitoa amri miongonimwao, kwamba wasiwashikena kuwafunga mikono yao, aukuwatupa kwenye gereza; walawasiwatemee mate, wala ku-

30a Alma 50:34;Morm. 4:1–3.

b Mos. 8:7–12; 28:11–19.

c Hel. 6:10.31a Hel. 3:5–6.32a Hel. 4:7.

b Alma 50:34.23 1a Alma 22:27.

Page 344: KITABU CHA MORMONI

327 Alma 23:3–12

wapiga, wala kuwatupa nje yamasinagogi yao, wala kuwaa-dhibu; wala wasiwatupie mawe,lakini kwamba waruhusiwekwenye nyumba zao, na piakwenye mahekalu yao, namahali pao patakatifu.3 Na hivyo wangeweza kwe-

nda mbele, na kuhubiri nenokulingana na kutaka kwao,kwani mfalme alikuwa amem-geukia Bwana, na jamii yakeyote; kwa hivyo alitoa tangazolake nchini kote kwa watu,kuwa neno la Mungu lisizuili-we, lakini kwamba lingeendakote kwenye nchi yote, kwambawatu wake wangesadikishwakuhusu amila mbovu za babuzao, na kwamba wangesadiki-shwa kwamba wote walikuwandugu, na kwamba wanapaswawasiue, wala kunyang’anya,wala kuiba, wala wasitende uzi-nzi, wala kutenda aina yoyoteya maovu.4 Na sasa ikawa kwamba

mfalme alipotuma mbele hilitangazo, kwamba Haruni nandugu zake walienda kutokamji mmoja hadi mwingine, nakutoka kwenye nyumba mojaya ibada hadi nyingine, wakia-nzisha makanisa, na wakiwekawakfu makuhani na walimukote nchini miongoni mwaWalamani, kuhubiri na kufu-ndisha neno la Mungu miongo-ni mwao; na hivyo walianzakufanikiwa kwa wingi.

5 Na maelfu waliletwa kwenye

ufahamu wa Bwana, ndio, mael-fu waliletwa kuamini adesturiza Wanefi; na walifundishwabmaandiko na unabii ambaoulikuwa umetolewa tangu za-mani hadi wakati huu.

6 Na kwa kweli kama vileBwana anavyoishi, kwa hakikavile wengi walivyoamini, auvile wengi walielimishwa kwaukweli, kupitia kwa uhubiriwa Amoni na ndugu zake, kuli-ngana na roho ya ufunuo na yaunabii, na uwezo wa Munguukifanya miujiza ndani yao —ndio, nawaambia nyinyi, vileBwana anavyoishi, vile wengiwa Walamani walivyoaminikuhubiri kwao, na awakamge-ukia Bwana, bhawakuangukakamwe kutoka kanisa.

7 Kwani walipata kuwa watuwenye haki na wakaweka chinisilaha zao za uasi, kwambahawangeweza kupigana naMungu tena, wala dhidi yayeyote wa ndugu zao.

8 Sasa, hawa ndio awale wali-omgeukia Bwana:

9 Watu wa Walamani ambaowalikuwa kwenye nchi yaIshmaeli;

10 Na pia watu wa Walamaniambao walikuwa kwenye nchiya Midoni;

11 Na pia watu wa Walamaniambao walikuwa kwenye mjiwa Nefi;

12 Na pia watu wa Walamaniambao walikuwa kwenye nchiya aShilomu, na katika nchi

3a Alma 26:24.5a Alma 37:19.

b Alma 63:12.

mwm Maandiko.6a mwm Mwongofu,

Uongofu.

b Alma 27:27.8a Alma 26:3, 31.

12a Mos. 22:8, 11.

Page 345: KITABU CHA MORMONI

Alma 23:13–24:4 328

ya Shemloni, na katika mji waLemueli , na katika mji waShimnilomu.13 Na haya ndiyo majina ya

miji ya Walamani ambayo aili-mgeukia Bwana; na hii ndiyoiliweka chini silaha zao za uasi,ndio, silaha zao zote za vita; nawote walikuwa Walamani.

14 Na Waamaleki ahawakuge-uka, isipokuwa tu mmoja; walahakukuweko yeyote kwa bWa-amuloni; lakini walishupazamioyo yao, na pia mioyo yaWalamani kwenye hiyo sehemuya nchi popote walipoishi,ndio, na kwenye vijiji vyaovyote na miji yao yote.

15 Kwa hivyo, tumeitaja mijiyote ya Walamani ambamowalitubu na kupata ufahamuwa ukweli, na wakageuka.

16 Na sasa ikawa kwambamfalme na wote ambao walige-uka walitaka kwamba wawe najina, ambalo lingewatofautishana ndugu zao; kwa hivyo mfal-me akashauriana na Haruni nawengi wa makuhani, kuhusujina ambalo wangejiita, ili wa-weze kujitambulisha.

17 Na ikawa kwamba walijiitaaAnti-Nefi-Lehi; na waliitwakwa jina hili na hawakuitwatena Walamani.

18 Na walianza kuwa watuwenye kushika kazi sana; ndio,na wakawa marafiki wa Wanefi;kwa hivyo, wakaanza mawasili-ano nao, na alawama ya Munguhaikuwa kwao tena.

MLANGO WA 24

Walamani wanawashambulia watuwa Mungu — Waanti-Nefi-Lehiwanafurahi ndani ya Kristo nawanatembelewa na malaika —Wanaamua kuuawa kuliko kujiki-nga wenyewe — Walamani zaidiwaokolewa. Kutoka karibu mwakawa 90 hadi 77 kabla ya kuzaliwakwa Kristo.

Na ikawa kwamba Waamalekina Waamuloni na Walamaniambao walikuwa katika nchiya Amuloni, na pia kwenyenchi ya Helamu, na waliokuwakwenye nchi ya aYerusalemu,na kwa kifupi, kwenye nchiyote karibu, ambao hawakuwawamegeuka na hawakuwawamechukua jina la bAnti-Nefi-Lehi, walichochewa na Waa-maleki na Waamuloni kuwaka-sirikia ndugu zao.

2 Na chuki yao ilikuja kuwajeraha kubwa juu yao, hatakwa kiasi kwamba walianzakuasi juu ya mfalme wao, hataikawa hawataki awe mfalmewao; kwa hivyo, walichukuasilaha na kuwakabili watu waAnti-Nefi-Lehi.3 Sasa mfalme alimpa mwana

wake ufalme, na akamuita jinala Anti-Nefi-Lehi.

4 Na mfalme akafariki mwa-ka huo huo ambao Walamaniwalianza kufanya matayarishoya kukabiliana na watu waMungu.

13a Alma 53:10.14a Alma 24:29.

b Mos. 23:31–39.17a mwm Waanti-Nefi-

Lehi.18a 1 Ne. 2:23;

2 Ne. 30:5–6;3 Ne. 2:14–16.

24 1a Alma 21:1.b Alma 25:1, 13.

Page 346: KITABU CHA MORMONI

329 Alma 24:5–14

5 Sasa Amoni na ndugu zakena wote waliokuja na yeye wali-poona matayarisho ya Walama-ni kuwaangamiza ndugu zao,walienda mbele kwenye nchiya Midiani, na huko Amoni ali-kutana na ndugu zake wote; nakutokea hapo walienda kwanchi ya Ishmaeli ili wawe naabaraza na Lamoni na pia kakayake Anti-Nefi-Lehi, wajue chakufanya kujikinga kutokana naWalamani.6 Sasa hakukuwa hata mtu

mmoja miongoni mwa wotewaliokuwa wamemgeukia Bwa-na ambaye angechukua silahadhidi ya ndugu zao; hapana,hawangeweza kufanya mata-yarisho ya vita; ndio, hatamfalme wao aliwaamuru wasi-fanye hivyo.

7 Sasa haya ndiyo manenoambayo aliwaambia watu kuhu-su hili tatizo: NinamshukuruMungu wangu, wapendwawangu, kwamba Mungu wetumkuu kwa wema amewatumahawa ndugu zetu, Wanefi,kwetu kutuhubiria, na kutusa-dikisha sisi kwa adesturi zababu zetu waovu.8 Na tazama, ninamshukuru

Mungu wangu mkuu kwambaametushawishi na roho yake nakulainisha mioyo yetu, kwambatumeanza mawasiliano na hawandugu Wanefi.

9 Na tazama, pia ninamshu-kuru Mungu wangu, kwambakwa kuanzisha mawasilianotumesadikishwa adhambi zetu,

na mauaji mengi ambayo tu-metenda.

10 Na pia ninamshukuruMungu wangu, ndio, Munguwangu mkuu, kwamba ametu-jalia kwetu sisi kwamba tutubujuu ya vitu hivi, na pia kwambaaametusamehe sisi kwa hizodhambi zetu na mauaji mengiambayo tumetenda, na kututo-lea mbali bhatia kutoka kwenyemioyo yetu, kupitia kwa mate-ndo mema ya Mwana wake.

11 Na sasa tazama, nduguzangu, vile imekua yote amba-yo tungetenda (kwa vile sisitulikuwa wapotevu zaidi mio-ngoni mwa wanadamu wote)kutubu dhambi zetu na mauajimengi tuliyotenda, na kupataMungu akuziondoa kutoka mi-oyo yetu, kwani ni hii tu tunge-fanya kutubu ya kutosha mbeleya Mungu kwamba angeondo-lea mbali hatia yetu —

12 Sasa, ndugu zangu wape-ndwa sana, vile Mungu ametu-ondolea mbali hatia zetu, napanga zetu, zimekuwa safi, basitusichafue panga zetu tena nadamu ya ndugu zetu.

13 Tazama, ninawambia nyi-nyi, Hapana, acheni tuhifadhipanga zetu ili zisichafuliwe tenana damu ya ndugu zetu; kwanihuenda kama tunachafua pangazetu tena ahazitaoshwa tena nakuwa safi kupitia kwa damuya Mwana wa Mungu wetumkuu, ambayo itatiririka kwaupatanisho wa dhambi zetu.

14 Na Mungu mkuu amekuwa

5a Alma 27:4–13.7a Mos. 1:5.9a M&M 18:44.

10a Dan. 9:9.b mwm Hatia.

11a Isa. 53:4–6.

13a Ufu. 1:5.

Page 347: KITABU CHA MORMONI

Alma 24:15–21 330

na huruma kwetu, na kusabi-sha hivi vitu kujulikana kwetuili tusiangamie; ndio, na ame-sababisha hivi vitu kujulikanakwetu mbeleni, kwa sababuanapenda anafsi zetu vile ana-penda watoto wetu; kwa hivyo,kwa rehema yake hututembe-lea sisi kupitia malaika wake,ili bmpango wa wokovu usaba-bishwe kujulikana kwetu napia uzazi ujao.15 Ee, jinsi gani Mungu wetu

ana huruma! Na sasa tazameni,vile imekuwa kazi ngumu kutoadhambi kutoka kwetu, na pa-nga zetu zimefanywa safi, achatuzifiche mbali ili zibaki ziki-ng’ara, kama ushuhuda kwaMungu wetu katika siku yamwisho, ama katika siku amba-yo tutaletwa kusimama mbeleyake kuhukumiwa, kwambahatujazichafua panga zetu nadamu ya ndugu zetu tanguatoe neno lake kwetu na kwahivyo kutufanya sisi tuwe safi.

16 Na sasa, ndugu zangu, iki-wa ndugu zetu wanatutafutakutuangamiza, tazama, tutafi-cha panga zetu mbali, ndio,hata kuzizika udongoni, ilizihifadhiwe zikiwa safi, kamaushuhuda kwamba hatujazitu-mia, katika siku ya mwisho; naikiwa ndugu zetu watatuanga-miza, tazama, atutaenda kwaMungu wetu na tutaokolewa.

17 Na sasa ikawa kwambamfalme alipokuwa amemalizakuzungumza hii misemo, na

watu wote walikuwa wameku-sanyika pamoja, walichukuapanga zao, na silaha zote amba-zo zilitumiwa kwa kumwagadamu ya wanadamu, na awa-kazizika chini mchangani.

18 Na hii walifanya, ikiwakwa maoni yao ushuhuda kwaMungu, na pia kwa binadamu,kwamba ahawatatumia silahatena kumwaga damu ya bina-damu; na walifanya hii, ilikudhibitisha na bkuagana naMungu, kwamba badala yakumwaga damu ya ndugu zaocwangetoa maisha yao; na ba-dala ya kuchukua kutoka kwandugu wangepeana kwake nabadala ya kukaa bila kufanyakitu wangefanya kazi kwa bidiikwa mikono yao.

19 Na hivyo tunaona kwa-mba, wakati hawa Walamaniwalipoelekezwa kujua ukweli,walikuwa aimara, na wangeu-mia hata kwenye kifo kulikokutenda dhambi; na hivyo tu-naona kwamba walizika silahazao za amani, au walizika silahaza vita, kwa amani.

20 Na ikawa kwamba nduguzao, Walamani, walijiandaa kwavita, na wakaja kwenye nchi yaNefi kwa nia ya kumwangamizamfalme, na kumweka mwinginebadala yake, na pia kumwanga-miza watu wa Anti-Nefi-Lehiwasiwe nchini.

21 Sasa wakati walipoona kwa-mba wanakabiliwa waliondokana kukutana nao, na akujilaza

14a mwm Nafsi—Thamani ya nafsi.

b mwm Mpango waUkombozi.

16a Alma 40:11–15.17a Hel. 15:9.18a Alma 53:11.

b mwm Agano.

c mwm Dhabihu.19a mwm Imani.21a Alma 27:3.

Page 348: KITABU CHA MORMONI

331 Alma 24:22–30

mchangani mbele yao, na kua-nza kulilingana kwa jina laBwana; na hivyo walikuwa ka-tika hali ile wakati Walamaniwalipoanza kuwashambulia,na wakaanza kuwachinja kwaupanga.22 Na hivyo bila kuwa na

pingamizi, waliwachinja elfumoja na watano wao; na tunajuakwamba wamebarikiwa, kwaniwameenda kuishi na Munguwao.

23 Sasa wakati Walamaniwaliona kwamba ndugu zaohawakimbii kutoka kwa upa-nga, wala hawageuki upandewa kulia au kushoto, lakinikwamba wangelala chini naakuangamia, na kumsifu Munguhata wakifa kwa upanga —24 Sasa Walamani walipoona

hivi awaliacha kuwachinja; nakulikuwa wengi ambao mioyoyao ilikuwa bimevimba ndaniyao kwa ajili ya ndugu zaoambao waliangukiwa na upa-nga, hata wakatubu kwa vituambavyo walikuwa wamefanya.25 Na ikawa kwamba walitu-

pa silaha zao za vita chini, nahawangezichukua tena, kwaniwalikuwa na uchungu kwa ma-uaji ambayo walikuwa wame-fanya; na walilala chini kamandugu zao, wakitegemea huru-ma ya wale silaha zao zilizoku-wa zimeinuliwa kuwachinja.

26 Na ikawa kwamba watu

wa Mungu waliungwa siku ilena ibada kubwa kuliko ya waleambao walikuwa wameuawa;na wale ambao waliuawa wali-kuwa watu wenye haki, kwa hi-vyo hatuna sababu ya kuwa nashaka kwamba awaliokolewa.27 Na hakukuwa na mtu

mwovu aliyechinjwa miongonimwao; lakini kulikuwa na zaidiya elfu moja walioelimishwakwa ukweli; hivyo tunaonakwamba Bwana hutumia anjianyingi ili kuokoa watu wake.

28 Sasa idadi kubwa sana yawale Walamani ambao waliuandugu zao wengi walikuwaWaamaleki na Waamuloni, ida-di kubwa ambayo ilikuwa kuli-ngana na ashirika la bWanehori.29 Sasa, miongoni mwa wale

ambao walij iunga na watuwa Bwana, ahakukuwepo naWaamaleki au Waamuloni, auambao walikuwa na desturiya Nehori, lakini walikuwahasa watoto wa Lamani naLemueli.

30 Na hivyo tunaweza kuonawazi, kwamba baada ya watuakuelimishwa na Roho wa Mu-ngu, na wana bufahamu mkuuwa vitu ambavyo vinahusikanana haki, na tena cwaingie tenakwenye makosa na dhambi,wanakuwa wagumu zaidi, nahivyo hali yao huwa dmbayazaidi kama kwamba hawaku-jua vitu hivi.

23a Alma 26:32.24a Alma 25:1.

b mwm Huruma.26a Ufu. 14:13.27a Isa. 55:8–9;

Alma 37:6–7.

28a Alma 21:4.b Alma 1:15; 2:1, 20.

29a Alma 23:14.30a Mt. 12:45.

b Ebr. 10:26;Alma 47:36.

c 2 Ne. 31:14;Alma 9:19.mwm Ukengeufu.

d 2 Pet. 2:20–21.

Page 349: KITABU CHA MORMONI

Alma 25:1–10 332

MLANGO WA 25

Ujeuri wa Walamani unatambaa— Uzao wa makuhani wa Nuhuunaangamia vile nabii Abinadialipobashiri — Walamani wengiwanageuka na kuungana na watuwa Anti-Nefi-Lehi — Wanaaminikatika Kristo na kuhifadhi sheriaya Musa. Kutoka karibu mwakawa 90 hadi 77 kabla ya kuzaliwakwa Kristo.

Na tazama, sasa ikawa kwambawale Walamani walikuwa nahasira sana kwa sababu wali-kuwa wamewaua ndugu zao;kwa hivyo waliapa kulipizakisasi juu ya Wanefi; na hawa-kujaribu mara nyingine tenakuua watu wa aAnti-Nefi-Lehikwa wakati huo.2 Lakini walichukua majeshi

yao na wakaenda juu kwenyemipaka ya nchi ya Zarahemla,na kuwashambulia watu ambaowalikuwa kwenye nchi yaAmoniha na akuwaangamiza.

3 Na baada ya hayo, walikuwana vita vingi na Wanefi, ambakowalikimbizwa na kuuawa.

4 Na miongoni mwa Walamaniambao waliuawa karibu wotewalikuwa auzao wa Amuloni nandugu zake, ambao walikuwamakuhani wa Nuhu, na waliu-awa kwa mikono ya Wanefi;5 Na waliosalia, wakikimbilia

kwenye nyika ya mashariki, nawakijitwalia uwezo na mamlaka

juu ya Walamani, walisababishakwamba wengi wa Walamaniawaangamizwe kwa moto kwasababu ya imani yao —

6 Kwa sababu wengi awao,baada ya kuumia kwa hasaranyingi na mateso mengi, walia-nza kuvurugwa na kukumbukabmaneno ambayo Haruni nandugu zake waliwahubirianchini mwao; kwa hivyo, wali-anza kutoamini cdesturi za babuzao, na kuamini katika Bwana,na kwamba aliwapa Wanefiuwezo mwingi; na hivyo kuli-kuwa na wengi wao ambaowaligeuka nyikani.

7 Na ikawa kwamba walewatawala ambao walikuwa sazola watoto wa aAmuloni walisa-babisha kwamba bwauawe,ndio, wale wote ambao walia-mini katika vitu hivi.

8 Sasa haya mauaji yalisababi-sha kwamba wengi wa nduguzao wachochewe na kukasirika;na kukaanza kuwa na ubishinyikani; na Walamani wakaa-nza akufuata uzao wa Amulonina ndugu zake na kuanza ku-waua; na wakakimbilia upandewa mashariki ya nyika.

9 Na tazama wanatafutwa hadisiku hii na Walamani. Hivyomaneno ya Abinadi yalitimi-zwa, ambayo alisema kuhusuuzao wa makuhani ambaowalisababisha kwamba ateswena kifo kwa moto.

10 Kwa sababu aliwaambia:

25 1a mwm Waanti-Nefi-Lehi.

2a Alma 8:16; 16:9.4a Mos. 23:35.5a Mos. 17:15.

6a m.y. Walamani.b Alma 21:9.c Alma 26:24.

7a Alma 21:3;24:1, 28–30.

b mwm Kifo chakishahidi, Mfiadini.

8a Mos. 17:18.

Page 350: KITABU CHA MORMONI

333 Alma 25:11–17

Yale amtakayonifanyia yatakuwamfano wa vitu vitakavyokuja.

11 Na sasa Abinadi alikuwawa kwanza aliyeumia akifo kwamoto kwa sababu ya kuaminikwake katika Mungu; sasa hivindivyo alivyomaanisha, kwa-mba wengi wataumia kifo kwamoto, kulingana na vile alivyo-umia.12 Na akawaambia makuhani

wa Nuhu kwamba uzao waoutasababisha wengi wauawe,kwa njia sawa vile alivyokuwa,na kwamba watatawanyika njena kuuawa, hata vile kondoohuwa kama hawana mlinzihukimbizwa na kuuawa nawanyama wa mwitu; na sasatazama, haya maneno yalithi-bitishwa, kwani walikimbizwana Walamani, na waliwindwa,na kuuawa.

13 Na ikawa kwamba Wala-mani walipoona kwamba hawa-ngeweza kuwashinda Wanefiwalirudi tena kwenye nchi yao;na wengi wao walienda kuishikwenye nchi ya Ishmaeli nanchi ya Nefi, na wakaunganana watu wa Mungu, ambaowalikuwa watu wa aAnti-Nefi-Lehi.14 Na pia awalizika silaha zao

za vita, vile ndugu zao wali-vyofanya, na wakaanza kuwawatu wenye haki; na wakate-mbea kwa njia za Bwana, nakuchunguza na kuweka amrizake na sheria zake.

15 Ndio, na walihifadhi ashe-ria ya Musa; kwani ilikuwa yamanufaa kwamba wahifadhisheria ya Musa bado, kwaniyote ilikuwa haijatimizwa. La-kini ijapokuwa sheria ya Musa,walitazamia kuja kwa Kristo,wakifikiri kwamba sheria yaMusa ilikuwa bmfano wa kujakwake, na kuamini kwambalazima wahifadhi kutendamambo cmengine hadi wakatiambao atafichuliwa kwao.

16 Sasa hawakufikiria kwambaawokovu ulikuja kwa bsheriaya Musa; lakini sheria ya Musailitumika kwa kuweka nguvuimani yao kwa Kristo; na hivyowaliweka cmatumaini kupitiaimani, kwa wokovu wa milele,wakitegemea roho ya unabii,ambayo il izungumzia vituvinavyokuja.

17 Na sasa tazama, Amoni, naHaruni, na Omneri, na Himni,na ndugu zao walifurahi sana,kwa ushindi ambao waliupatamiongoni mwa Walamani, wa-kiona kwamba Bwana alikuwaamewakubalia kulingana naasala zao, na kwamba alikuwaamethibitisha neno lake kwaokwa jumla.

MLANGO WA 26

Amoni anashangilia katika Bwana— Waaminifu hupewa nguvu naBwana na kupewa ufahamu—Kwa

10a Mos. 13:10.11a Mos. 17:13.13a Alma 23:16–17.14a Alma 24:15; 26:32.15a Yak. (KM) 4:5;

Yar. 1:11.mwm Torati ya Musa.

b Mos. 3:14–15; 16:14.c Mos. 13:29–32.

16a Mos. 12:31–37;

13:27–33.b 2 Ne. 11:4.c 1 The. 5:8–9.

17a Alma 17:9.

Page 351: KITABU CHA MORMONI

Alma 26:1–10 334

imani binadamu wangewaleta watuwengi kutubu — Mungu anauwezo wote na anafahamu vituvyote. Kutoka karibu mwaka wa90 hadi 77 kabla ya kuzaliwa kwaKristo.

Na sasa, haya ndiyo manenoya Amoni kwa ndugu zake,ambayo yanasema hivi: Nduguzangu na jamaa zangu, tazamanawambia nyinyi, ni sababukiasi gani tunayo ya kutufanyatufurahi; kwani tungejuajewakati atulipoanza safari yetukutoka Zarahemla kwambaMungu angetubariki sisi hivikwa wingi?

2 Na sasa, nauliza, ni barakagani kubwa ambayo ametupatiasisi? Mnaweza kunena?

3 Tazama, ninajibu kwa niabayenu; kwani ndugu zetu, Wala-mani, walikuwa gizani, ndio,hata kwenye shimo la gizakubwa sana, lakini tazama, niawangapi miongoni mwao wa-meletwa kuona mwangaza waajabu wa Mungu! Na hii ndiyobaraka ambayo tumeteremshi-wa, kwamba tumetengenezwakuwa bvyombo mikononi mwaMungu kuimarisha kazi hiikubwa.4 Tazama, amaelfu miongoni

mwao wanafurahi, na kuletwakwenye zizi la Mungu.5 Tazama, ashamba lilikuwa

bivu, na heri nyinyi, kwani

mlisukuma bpepeto, na mkavunakwa nguvu, ndio, siku yotenzima mlifanya kazi; na tazamaidadi ya cmiganda yenu! Naitakusanywa kwenye maghala,ili isiharibiwe.

6 Ndio, haitaangushwa nadhoruba ya mvua siku ya mwi-sho; ndio, wala haitatawanyi-shwa na vimbunga; lakiniadhoruba itakapokuja itakusa-nywa pamoja, kwamba dhorubaisiweze kuipenya; ndio, walahaitasukumwa na upepo mkalipopote adui atakapotaka kui-peleka.

7 Lakini tazama, wamo miko-noni mwa Bwana wa amavuno,na ni wake; na batawainua kati-ka siku ya mwisho.

8 Libarikiwe jina la Munguwetu; acheni atuimbe kwa sifayake, ndio, wacha btulishukurujina lake takatifu, kwani yeyehufanya kazi ya haki milele.

9 Kwani kama hatungekujakutoka kwa nchi ya Zarahemla,hawa ndugu zetu wapendwa,ambao wametupenda sana,wangekuwa bado wanasumbu-liwa na achuki juu yetu, ndio,na wangekuwa pia wageni kwaMungu.

10 Na ikawa kwamba baadaya Amoni kusema maneno haya,ndugu yake Haruni alimkemea,akisema: Amoni, ninaogopakwamba shangwe yako imeku-sababisha kuelekea kujisifu.

26 1a Mos. 28:9;Alma 17:6–11.

3a Alma 23:8–13.b 2 Kor. 4:5; Mos. 23:10.

4a Alma 23:5.5a Yn. 4:35–37;

M&M 4:4.

b Yoe. 3:13.c M&M 33:7–11; 75:2, 5.

6a Hel. 5:12;3 Ne. 14:24–27.

7a mwm Mavuno.b Mos. 23:22;

Alma 36:28.

8a M&M 25:12.b mwm Shukrani,

Shukrani, enye, Toashukrani.

9a Mos. 28:1–2.

Page 352: KITABU CHA MORMONI

335 Alma 26:11–20

11 Lakini Amoni alimwambia:Mimi asijisifu kwa nguvu ya-ngu, wala kwa hekima yangu;lakini tazama, bshangwe yanguni tele, ndio, moyo wangu ume-jawa na shangwe, na nitafurahindani ya Mungu wangu.

12 Ndio, najua kwamba mimisi kitu; kulingana na nguvuzangu mimi ni mlegevu; kwahivyo sitaweza akujivuna mwe-nyewe, lakini nitajivuna katikaMungu wangu, kwani kwabnguvu zake naweza kufanyavitu vyote; ndio, tazama, miuji-za mingi mikuu tumetendakwenye nchi hii, ambayo kwayotutasifu jina lake milele.

13 Tazama, ni maelfu mangapiya ndugu zetu ambao amewaa-chilia kutoka kwa uchunguwa ajahanamu; na wamefanywabkuimba upendo ukomboao, nahaya kwa sababu ya uwezo waneno lake, ambao uko ndaniyetu, kwa hivyo, si tuna sababukuu ya kufurahi?

14 Ndio , tuna sababu yakumsifu milele, kwani yeye niMungu Aliye Juu Sana, na ame-wafungua ndugu zetu kutokakwa aminyororo ya jahanamu.15 Ndio, walizungukwa na

giza lisilo na mwisho na uhari-bifu; lakini tazama, amewaletakwenye amwangaza usio namwisho, ndio, kwenye wokovuusio na mwisho; na wamezu-

ngukwa na ukarimu usiolinga-nishwa wa mapenzi yake; ndio,na tumekuwa vyombo miko-noni mwake vya kufanya kazihii kuu na ya kushangaza.

16 Kwa hivyo, wacha atusifu,ndio, btutamsifu Bwana; ndio,tutafurahi, kwani shangwe yetuimejaa; ndio, tutamsifu Munguwetu milele. Tazama, ni nanianayeweza kufurahia sana kwaBwana? Ndio, ni nani anawezakuongea sana juu ya uwezowake mkuu, na churuma yake,na uvumilivu wake kwa wato-to wa watu? Tazama nasemakwenu, siwezi kusema sehemundogo ya yale ambayo ninahisi.

17 Ni nani ambaye angefikiriakwamba Mungu wetu angeku-wa na huruma nyingi hivyoili kutuokoa kutoka kwenyehali yetu chafu, ya kutisha, nayenye dhambi?

18 Tazama, tulienda mbele,kwa hasira na vitisho vingiakuangamiza kanisa lake.19 Ee basi, kwa nini hakutu-

weka sisi kwenye maangamizoya kutisha, ndio, kwa ninihakuachilia panga lake la hakikutuangukia, na kutulaani sisikwa kutukata tamaa milele?

20 Ee, roho yangu, kama ilivyo,iko karibu kukimbia kutokakwa wazo hilo. Tazama, haku-tumia haki yake kwetu, lakinikwa hekima yake kuu ametuleta

11a 2 Kor. 7:14.b M&M 18:14–16.

mwm Shangwe.12a Yer. 9:24;

Alma 29:9.b Zab. 18:32–40;

Flp. 4:13;

1 Ne. 17:3.13a mwm Jahanamu.

b Alma 5:26.14a Alma 12:11.15a mwm Nuru, Nuru

ya Kristo.16a Rum. 15:17;

1 Kor. 1:31.b 2 Kor. 10:15–18;

M&M 76:61.c Zab. 36:5–6.

18a Mos. 27:8–10.

Page 353: KITABU CHA MORMONI

Alma 26:21–29 336

sisi nje ya ashimo lile lisilo namwisho la kifo na taabu, hatakwenye wokovu wa roho zetu.

21 Na sasa tazama, ndugu za-ngu, ni mtu gani wa akawaidaambaye anajua vitu hivi? Na-waambia nyinyi, hakuna yeyoteambaye banaelewa hivi vitu,isipokuwa wenye kutubu.22 Ndio, yule ambaye aanatubu

na kutimiza bimani, na kutendakazi nzuri, na kuomba wakatiwote bila kikomo — kwa hawainakubaliwa kujua c siri zaMungu; ndio, kwa hawa ime-peanwa kwa kufumbua vituambavyo havijawahi kufumbu-liwa; ndio, na itakubaliwa kwahawa kuleta watu kutubu, hatavile imekubaliwa kwetu kuletahawa ndugu zetu kutubu.

23 Sasa mnakumbuka, nduguzangu, kwamba tuliwaambiandugu zetu kwenye nchi yaZarahemla, tunaenda kwenyenchi ya Nefi, tuhubirie nduguzetu, Walamani, na wakatu-cheka kwa madharau?

24 Kwani walituambia: Mna-fikiri kwamba mnaweza kuwa-fahahamisha Walamani ukweli?Mnafikiri mnaweza kuwasadi-kisha Walamani makosa yaadesturi za babu zao, wakiwawatu wenye bshingo ngumuvile walivyo; ambao mioyo yaohufurahia kwa umwagaji wadamu; ambao siku zao zimetu-mika kwa maovu mabaya sana;ambao njia zao zimekuwa njia

za mhalifu tangu mwanzo? Sasandugu zangu, mnakumbukakwamba hii ndiyo ilikuwalugha yao.

25 Na tena walisema: Achatuchukue silaha dhidi yao, ilituwaangamize na maovu yaokutoka nchini, kwa maana wa-naweza kutupita na kutuua.

26 Lakini tazama, ndugu zanguwapendwa, tulikuja nyikani siona nia ya kuwaangamiza nduguzetu, lakini nia ilikuwa labdatungeponya wachache wao.

27 Sasa wakati mioyo yetuilihuzunishwa, na tukawa kari-bu kurudi, tazama, Bwanaaalitufariji, na kusema: Nendenimiongoni mwa ndugu zenu,Walamani, na mvumilie bmate-so yenu kwa csubira, na nita-wapatia mafanikio.

28 Na sasa tazama, tumekuja,na tumekuwa miongoni mwao;na tumekuwa wavumilivu kwe-nye maumivu yetu, na tumevu-milia aina yote ya masumbuko;ndio, tumesafiri kutoka nyumbahadi nyingine, tukitegemeahuruma ya walimwengu — siohuruma ya walimwengu pekeelakini juu ya huruma za Mungu.

29 Na tumeingia kwenye nyu-mba zao na kuwafundisha, natumewafundisha kwenye njiaza miji yao; ndio, na tumewa-fundisha kwenye vilima vyao;na pia tumeingia kwenye heka-lu zao na masinagogi yao nakuwafundisha; na tumetupwa

20a 2 Ne. 1:13;Hel. 3:29–30.

21a mwm Mwanadamuwa Tabia ya Asili.

b 1 Kor. 2:9–16;Yak. (KM) 4:8.

22a Alma 36:4–5.mwm Toba, Tubu.

b mwm Imani.c mwm Siri za Mungu.

24a Mos. 10:11–17.b Mos. 13:29.

27a Alma 17:9–11.b Alma 20:29–30.

mwm Shida.c mwm Subira.

Page 354: KITABU CHA MORMONI

337 Alma 26:30–37

nje, na kufanyiwa mzaha, nakutemewa mate, na kupigwakwenye mashavu ya uso; natumepigwa na mawe, na ku-chukuliwa na kufungwa kwakamba za nguvu, na kutupwakwenye gereza; na kupitia kwanguvu na hekima wa Mungutumekombolewa tena.30 Na tulivumilia aina yote ya

mateso, na tulifanya haya yote,kwamba labda tungepata njiaya kuponya watu; na tulifikirikwamba ashangwe yetu ingejaaikiwa labda tungekuwa na njiaya kuwaokoa wengine.31 Sasa tazama, tungeweza

kuona mbele na kuona matundaya kazi zetu, na ni wachache?Ninawaambia: Hapana, ni awe-ngi; ndio, na tunaweza kushu-hudia uaminifu wao, kwasababu ya mapenzi yao juu yandugu zao na pia sisi.

32 Kwani tazama, awangejito-lea dhabihu maisha yao kulikokuwaua adui wao; na bwamezi-ka silaha zao za vita udongoni,kwa sababu ya mapenzi yaojuu ya ndugu zao.33 Na sasa tazama, nawaambia

nyinyi, kumewahi kuwa namapenzi makuu hivi nchinikote? Tazama, nawaambia, La,hakujakuwepo, hata miongonimwa Wanefi.

34 Kwani tazama, wangechu-kua silaha dhidi ya nduguzao; hawangevumilia wenyewewauawe. Lakini tazameni ni

wangapi baina ya hawa ambaowametoa maisha yao; na tuna-jua kwamba wameenda kwaMungu wao, kwa sababu yamapenzi yao na kwa sababu yachuki yao kwa dhambi.

35 Sasa si tunayo sababu yakufurahi? Ndio, nasema kwenu,hakujakuwa na watu ambaowalikuwa na sababu kubwahivyo ya kufurahi kama sisi,tangu mwanzo wa dunia; ndio,na shangwe yangu imenichukuambali, hata kwa majivuno kwaMungu wangu; kwani anaauwezo wote, hekima yote, naakili yote; banaelewa vitu vyote,na ni Kiumbe cha churuma,hata kwenye wokovu, kwa waleambao watatubu na kuaminikwa jina lake.

36 Sasa kama hii ni kujivuna,na hata iwe hivyo nitajivuna;kwani haya ni maisha yanguna mwangaza wangu, shangweyangu na wokovu wangu, naukombozi wangu kutoka kwataabu usio na mwisho. Ndio, li-barikiwe jina la Mungu wangu,ambaye amewajali watu hawa,ambao ni atawi la mti wa Israeli,na limepotea kutoka kwenyekiwiliwili chake kwenye nchingeni; ndio, ninasema, heri jinala Mungu wangu, ambayeamekuwa mwangalifu kwetu,bwatembezi kwenye nchi geni.

37 Sasa ndugu zangu, tunaonakwamba Mungu ni mwangalifukwa kila awatu, nchi yoyote

30a M&M 18:15–16.31a Alma 23:8–13.32a Alma 24:20–24.

b Alma 24:15.35a mwm Uwezo.

b M&M 88:41.c mwm Rehema,

Rehema, enye.36a Mwa. 49:22–26;

Yak. (KM) 2:25; 5:25.

b Yak. (KM) 7:26.37a Mdo. 10:34–35;

2 Ne. 26:33.

Page 355: KITABU CHA MORMONI

Alma 27:1–9 338

ambayo wangekuwa ndani;ndio, huhesabu watu wake, naana huruma za kutosha kwaulimwengu wote. Sasa hii ndiyoshangwe yangu, na shukraniyangu nyingi; ndio, na nitatoashukrani kwa Mungu wangumilele. Amina.

MLANGO WA 27

Bwana anamwamuru Amoni awa-ongoze watu wa Anti-Nefi-Lehikwenye usalama — Wakati anaku-tana na Alma, shangwe ya Amoniinapunguza nguvu zake—Wanefiwanagawia wa Anti-Nefi-Lehi nchiya Yershoni—Wanaitwa watu waAmoni. Kutoka karibu mwaka wa90 hadi 77 kabla ya kuzaliwa kwaKristo.

Sasa ikawa kwamba wakatiwale Walamani ambao waliku-wa wameanzisha vita na Wanefiwalipata, baada ya kujaribumara nyingi kuwaangamiza,kwamba ilikuwa ni bure kuta-zamia kuwaangamiza, waliru-di tena kwa nchi ya Nefi.

2 Na ikawa kwamba Waama-leki, kwa sababu ya hasara yao,walikasirika kupita kiasi. Nawalipoona kwamba hawange-lipiza kisasi kwa Wanefi, wali-anza kuwavuruga watu kuwana hasira dhidi ya andugu zao,watu wa bAnti-Nefi-Lehi; kwahivyo walianza tena kuwaa-ngamiza.3 Sasa hawa watu walikataa

atena kutwaa silaha zao, na

wakavumilia wenyewe wauawevile maadui wao walivyotaka.

4 Sasa Amoni na ndugu zakewalipoona hii kazi ya mauajibaina ya wale ambao waliwa-penda sana, na kati ya wale wa-liowapenda — kwani walikuwawanatendewa kama kwambani malaika waliotumwa kutokakwa Mungu kuwaokoa kutokakwa maangamizo yasiyo namwisho — kwa hivyo, Amonina ndugu zake walipoona kazihii kubwa ya mauaji, walivuru-gwa na huruma, na awaka-mwambia mfalme:

5 Acha tukusanye pamojahawa watu wa Bwana, na achasisi tuteremke kwenye nchi yaZarahemla mahali pa nduguzetu Wanefi, na tutoroke kuto-ka mikono ya maadui wetu, ilitusiuawe.

6 Lakini mfalme aliwambia:Tazama, Wanefi watatuangami-za, kwa sababu ya mauaji mengina dhambi ambazo tumetendadhidi yao.

7 Na Amoni akasema: Nitae-nda kuuliza kutoka kwa Bwana,na ikiwa atatuambia, nendenimahali ndugu zenu wapo, je,utaenda?

8 Na mfalme akamwambia:Ndio, ikiwa Bwana atatuambiatwende, tutaenda chini kwenyendugu zetu, na tutakuwa watu-mwa wao hadi tutakapowalipam a u a j i m e n g i n a d h a m b iambazo tumetenda dhidi yao.

9 Lakini Amoni aliwaambia:Ni kinyume cha sheria ya ndu-gu zetu, ambayo ilianzishwa

27 2a Alma 43:11.b Alma 25:1.

mwm Waanti-Nefi-Lehi.

3a Alma 24:21–26.4a Alma 24:5.

Page 356: KITABU CHA MORMONI

339 Alma 27:10–21

na baba yangu, kwamba kusiwena awatumwa baina yao; kwahivyo acha twende chini nakutegemea juu ya rehema yandugu zetu.

10 Lakini mfalme aliwambia:Mwulize Bwana, na ikiwa ata-tuambia twende, tutaenda; lasivyo tutaangamia hapa nchini.

11 Na ikawa kwamba Amoniakaenda na kumwuliza Bwana,na Bwana akamwambia:

12 Toa hawa watu kutoka nchihii, ili wasiangamie; kwaniShetani ameshikilia mioyo yaWaamaleki, ambao wanawavu-ruga Walamani kukasirika dhidiya ndugu zao kuwaua; kwahivyo nendeni nyinyi nje yanchi hii; na heri kwa watuhawa wa kizazi hiki, kwaninitawahifadhi.

13 Na sasa ikawa kwambaAmoni alienda na kumwambiamfalme maneno yote ambayoBwana alikuwa amemwambia.

14 Na wakakusanya pamojawatu wao wote, ndio, watuwote wa Bwana, na walikusa-nya mifugo yao yote na maku-ndi, na kutoka katika nchi, nakwenda kwenye nyika ambayoilitenganisha nchi ya Nefi ku-toka kwa nchi ya Zarahemla,na ilikuwa juu karibu na mpakawa nchi.

15 Na ikawa kwamba Amonialiwaambia: Tazama, mimi nandugu zangu tutaenda mbelekwenye nchi ya Zarahemla, namtabaki hapa mpaka tutakapo-rudi; na tutajaribu mioyo ya

ndugu zetu, kama watakubalimje kwa nchi yao.

16 Na ikawa kwamba wakatiAmoni alipokuwa anaendambele nchini, ndio yeye nandugu zake walikutana naAlma, juu amahali ambapo pa-likuwa pame zungumzwa; natazama, huu ulikuwa mkutanowa furaha.

17 Sasa ashangwe ya Amoniilikuwa nyingi sana hata ika-jaa; ndio, alimezwa kwenyeshangwe ya Mungu wake, hatabakapungukiwa na nguvu; naakainama ctena kwenye ardhi.

18 Sasa si hii ilikuwa shangwekuu? Tazama, hii ni shangweambayo hakuna yeyote aipata-ye isipokuwa tu yule ambayeametubu na anayetafuta fura-ha kwa unyenyekevu.

19 Sasa shangwe ya Almakukutana na ndugu zake kwakweli ilikuwa kubwa, na piashangwe ya Haruni, ya Omneri,na Himni; lakini tazama sha-ngwe yao haikuwa ya kushindanguvu zao.

20 Na sasa ikawa kwambaAlma aliwaongoza ndugu zakekurudi kwa nchi ya Zarahemla;hata kwenye nyumba yake.Na walienda na kumwambiamwamuzi amkuu vitu vyoteambavyo vilitendeka kwaokwenye nchi ya Nefi, miongonimwa ndugu zao, Walamani.

21 Na ikawa kwamba mwa-muzi mkuu alituma tangazonchini kote, akiuliza maoni yawatu kuhusu kukubaliwa kwa

9a Mos. 2:13;29:32, 38, 40.

16a Alma 17:1–4.

17a mwm Shangwe.b 1 Ne. 1:7.c Alma 19:14.

20a Alma 4:16–18.

Page 357: KITABU CHA MORMONI

Alma 27:22–30 340

ndugu zao, ambao walikuwawatu wa Anti-Nefi-Lehi.22 Na ikawa kwamba sauti ya

watu ilirudi, ikisema: Tazama,tutaitoa nchi ya Yershoni,ambayo iko mashariki kandoya bahari, ambayo inaunganana nchi ya Neema, ambayo ikokusini mwa nchi ya Neema; nahii nchi ya Yershoni ndiyo nchiambayo tutawapatia nduguzetu kwa urithi.

23 Na tazama, tutaweka maje-shi yetu katikati ya nchi yaYershoni na nchi ya Nefi, ilituwalinde ndugu zetu kwenyenchi ya Yershoni; na hivi tuna-fanya kwa ajili ya ndugu zetu,kwa sababu ya woga wao wakuchukua silaha dhidi ya nduguzao wakihofia kutenda dhambi;na huu woga wao mwingiuliwajia kwa kutubu sana, kwasababu ya mauaji yao mengi namaovu yao ya kutisha.

24 Na sasa tazama, hivi ndi-vyo tutawafanyia ndugu zetu,ili warithi nchi ya Yershoni;na tutawakinga kutoka kwamaadui wao na majeshi yetu,kwa masharti kwamba wata-toa sehemu ya mazao yaokutusaidia sisi ili tudumishemajeshi yetu.

25 Sasa, ikawa kwamba Amonialipokuwa amesikia hivi, alire-jea kwa watu wa Anti-Nefi-Lehi, na pia akiwa na Alma,kwenye nyika, ambapo wali-kuwa wamepiga hema zao, nakuwajulisha hivi vitu vyote.Na Alma pia aliwaambia juu

ya akuongoka kwake, na Amonina Haruni, na ndugu zake.

26 Na ikawa kwamba ilisaba-bisha shangwe nyingi miongo-ni mwao. Na wakaelekea chinikwenye nchi ya Yershoni, nakumiliki nchi ya Yershoni; nawakaitwa na Wanefi watu waAmoni; kwa hivyo walitambu-lika kwa hilo jina siku zote zabaadaye.

27 Na walikuwa miongonimwa watu wa Nefi, na piawakahesabiwa miongoni mwawatu ambao walikuwa kwenyekanisa la Mungu. Na pia wali-tambulika kwa juhudi yao kwaMungu, na pia kwa watu; kwaniwalikuwa wakamilifu na waakuaminiwa na wa kusimamawima kwa vitu vyote; na wali-kuwa bimara kwa imani yao yaKristo, hadi mwisho.

28 Na waliangalia kumwagadamu ya ndugu zao ni machu-kizo makuu; na hawangewezakushawishiwa kuchukua silahadhidi ya ndugu zao; na hawa-kuona kifo kwa woga wowote,kwa matumaini na maoni yaonikatika Kristo na ufufuo; kwahivyo, kifo kilimezwa kwao naushindi wa Kristo juu yake.

29 Kwa hivyo, wangevumiliaakifo kwa njia ya kukasirika nakuudhika ambayo ndugu zaowaliwapasha, mbele ya kuchu-kua panga au kitara kuwaua.

30 Na hivyo walikuwa watuwa juhudi na wapendwa, watuambao walipendwa sana naBwana.

25a Mos. 27:10–24.27a mwm Mwaminifu,

Uaminifu.b Alma 23:6.

29a Alma 24:20–23.

Page 358: KITABU CHA MORMONI

341 Alma 28:1–11

MLANGO WA 28

Walamani wanashindwa kwenyevita vya kutisha — Maelfu namaelfu wauawa — Waovu wana-hukumiwa wawe katika hali yamasumbuko ya milele; wenyewema wanapokea furaha isiyo namwisho. Kutoka karibu mwaka wa77 hadi 76 kabla ya kuzaliwa kwaKristo.

Na ikawa kwamba baada yawatu wa Amoni kuimarishwakwenye nchi ya Yershoni, nakanisa pia kuanzishwa kwenyenchi ya aYershoni, na majeshi yaWanefi kuwekwa kila mahalikwenye nchi ya Yershoni, ndio,kwenye mipaka yote kuzungu-ka nchi ya Zarahemla; tazamamajeshi ya Walamani yalikuwayamewaandama ndugu zaohadi kwenye nyika.

2 Na hivyo kulikuwa na vitavya kutisha; ndio, hata vita kamahivyo havikuwa vimeonekanakamwe miongoni mwa watuwote nchini kutoka Lehi alipoto-ka Yerusalemu; ndio, na maelfuna maelfu ya Walamani waliua-wa na kutawanywa kila mahali.

3 Ndio, na pia kulikuwa namauaji ya ajabu miongoni mwawatu wa Nefi; lakini, Walamaniawalifukuzwa na kutawanywa,na watu wa Nefi walirudi tenakwa nchi yao.4 Na sasa huu ulikuwa wakati

ambao kulikuwa na huzuni navilio vilivyosikika kote nchini,miongoni mwa watu wa Nefi—

5 Ndio, vilio vya wajane waki-omboleza mabwana zao, na piababa wakiomboleza wana wao;na binti kwa kaka, ndio, kakakwa baba; na hivyo vilio vyakuombeleza vilisikika miongo-ni mwao wote, wakiombolezajamaa zao ambao waliuawa.

6 Na sasa hii ilikuwa sikuya huzuni; ndio, wakati waunadhiri, na wakati wa akufu-nga na kusali.

7 Na hivyo mwaka wa kumi natano wa utawala wa waamuzijuu ya watu wa Nefi ukaisha;

8 Na hii ni historia ya Amonina ndugu zake, matembezi yaokwenye nchi ya Nefi, kuumiakwao nchini, masikitiko yao,na mateso yao, na shangwe yaoisiyo na akipimo, na makaribi-sho na ulinzi kutoka kwa nduguzao kwenye nchi ya Yershoni.Na sasa Bwana, Mkombozi wawatu wote, aibariki roho zaomilele.

9 Na hii ni historia ya vitana mabishano miongoni mwaWanefi, na pia vita baina yaWanefi na Walamani; na mwa-ka wa kumi na tano wa utawalawa waamuzi umeisha.

10 Na kutoka mwaka wakwanza mpaka wa kumi natano umeleta maangamizo yamaelfu ya maisha; ndio, umeletavitendo vibaya vya umwagajiwa damu.

11 Na miili ya wengi imelazwaardhini, wakati miili ya maelfuainaoza kwa chunguchungu juuya ardhi; ndio, na maelfu wengi

28 1a Alma 27:22; 30:1, 19.3a Alma 30:1.

6a Alma 30:2.8a Alma 27:16–19.

11a Alma 16:11.

Page 359: KITABU CHA MORMONI

Alma 28:12–29:5 342bwanaomboleza kwa kupotezajamii yao, kwa ajili wana sababuya kuogopa, kulingana na ahadiza Bwana, kwamba wanadhai-niwa masharti ya taabu yadaima.

12 Wakati maelfu wengi wawengine kwa kweli wanaombo-leza jamii yao, lakini wanafurahina kushangilia kwa matumaini,na hata wanajua, kulingana naa ahadi za Bwana, kwambawanainuliwa na kuishi kwamkono wa kulia wa Mungu,kwa hali ya furaha daima.13 Na hivyo tunaona vile

akutokuwa sawa kwingi kwawatu kwa sababu ya dhambina makosa, na nguvu za ibilisi,ambayo huja kwa bmipango yaudanganyifu ambayo amefikiriakutega mioyo ya watu.

14 Na hivyo tunaona mwitomkuu wa uangalifu kwa watukufanya kazi kwenye ashambala mizabibu la Bwana; na hivyotunaona sababu kuu ya huzuni,na pia ya kufurahi — huzunikwa sababu ya vifo na uharibifumiongoni mwa watu, na sha-ngwe kwa sababu ya bmwanga-za wa Kristo ambao ni uzima.

MLANGO WA 29

Alma anatamani kuhubiri toba najuhudi ya malaika—Bwana anatoawalimu kwa mataifa yote — Almaanafurahia kazi ya Bwana na kwa

kufaulu kwa Amoni na ndugu zake.Karibu mwaka wa 76 kabla yakuzaliwa kwa Kristo.

Ee vile natamani ningekuwamalaika, na ningekuwa na ma-tarajio ya moyo wangu, kwa-mba ningeenda mbele na ku-hutubia watu na parapanda yaMungu, na sauti ya kutingishaulimwengu, na kuhubiri tobakwa watu wote!

2 Ndio, ningemtangazia kilamtu, kwa sauti kama ya radi, nampango wa ukombozi, kwambawatubu na awaje kwa Munguwetu, kwamba kusije kukawahuzuni zaidi juu ya dunia.

3 Lakini tazama, mimi nimtu, na hukosa kwa matakwayangu; kwani ninahitaji nito-sheke na vitu ambavyo Bwanaamenipatia.

4 Sitakiwi kubadilisha katikatamaa yangu amri imara nahaki za Mungu, kwani najuakwamba hutoa kwa watu kuli-ngana na akutaka kwao, kamaitakuwa kwenye kifo ama kwe-nye uhai; ndio, ninajua kwambahugawanyia watu, ndio, hua-muru kwao sheria ambazohazibadiliki, kulingana na bku-taka kwao, ikiwa zitakuwa zawokovu au kwa uharibifu.

5 Ndio, na ninajua kwambauzuri na uovu ulidhihirishwamema na maovu yalidhihirishambele ya watu wote; yuleasiyejua mema na maovu hana

11b Alma 48:23;M&M 42:45–46.

12a Alma 11:41.13a 1 Ne. 17:35.

b 2 Ne. 9:28.

14a mwm Shamba lamzabibu la Bwana.

b mwm Nuru, Nuruya Kristo.

29 2a Omni 1:26;

3 Ne. 21:20.4a Zab. 37:4.

b mwm Haki yauamuzi.

Page 360: KITABU CHA MORMONI

343 Alma 29:6–16

lawama; lakini yule aajuayeuzuri na uovu, kwake itatolewakulingana na matakwa yake,kama anataka uzuri au uovu,uzima au kifo, shangwe aumajuto ya bmoyo.

6 Sasa, nikiona kwamba najuahivi vitu, kwa nini nitamanikuliko vile ninavyoeza kaziambayo nimeitiwa kufanya?

7 Kwa nini nitamani kwambaningekuwa malaika, ili niwa-zungumzie watu wote wa uli-mwengu?

8 Kwani tazama, Bwana hu-wakubali mataifa ayote, kila ta-ifa na blugha yake, kufundishaneno lake, ndio, kwa hekima,yote ambayo anaona csawawawe nayo; kwa hivyo tunaonakwamba Bwana hushauri kwahekima, kulingana na yaleambayo ni ya haki na kweli.

9 Najua ile ambayo Bwanaameniamuru mimi, na ninatu-kuza ndani yake. aSijitukuzimimi mwenyewe, lakini natu-kuza ile ambayo Bwana ameni-amuru; ndio, na hii ni furahayangu, kwamba labda niwe cho-mbo kwenye mikono ya Mungukuleta roho moja kwa toba; nahii ndiyo shangwe yangu.

10 Na tazama, ninapoona we-ngi wa ndugu zangu wametu-bu kweli, na kumkubali BwanaMungu wao, ndipo moyo wa-ngu hujaa na shangwe; ndiponinapokumbuka yale aambayoBwana amenifanyia mimi, ndio,

hata kwamba amesikia salayangu; ndio, ndipo ninapoku-mbuka mkono wake wa huru-ma ambao alinyosha kwangu.

11 Ndio, na pia nakumbukautumwa wa babu zangu; kwanikwa kwel i na jua kwambaaBwana aliwakomboa kutokakwenye utumwa, na kufuatanana hayo alianzisha kanisa lake;ndio, Bwana Mungu, Munguwa Ibrahimu, Mungu wa Isaka,na Mungu wa Yakobo, aliwao-koa kutoka kwenye utumwa.

12 Ndio, nimekumbuka kilasiku utumwa wa babu zangu; nakwamba yule Mungu ambayeaaliwakomboa kutoka kwa mi-kono ya Wamisri aliwakomboakutoka kwa utumwa.

13 Ndio, na yule yule Mungualianzisha kanisa lake miongo-ni mwao; ndio, na yule yuleMungu ameniita mimi kwamwito mtakatifu, kuhubiri nenokwa watu wake, na amenifani-kisha sana, matokeo ambayoashangwe yangu imejaa.14 Lakini mimi sijawi shangwe

tu kwa akufanikiwa kwangupekee, lakini shangwe yanguimejaa zaidi kwa sababu yakufanikiwa kwa ndugu zangu,ambao wamekuwa kwenye nchiya Nefi.

15 Tazama, wamefanya kazisana, na wameleta matundamengi; na zawadi yao itakuwakubwa aje!

16 Sasa, ninapofikiria mafani-

5a 2 Ne. 2:18, 26;Moro. 7:15–19.mwm Utambuzi,Kipawa cha.

b mwm Dhamiri.

8a 2 Ne. 29:12.b M&M 90:11.c Alma 12:9–11.

9a Alma 26:12.10a Mos. 27:11–31.

11a Mos. 24:16–21;Alma 5:3–5.

12a Kut. 14:30–31.13a M&M 18:14–16.14a Alma 17:1–4.

Page 361: KITABU CHA MORMONI

Alma 29:17–30:7 344

kio ya hawa ndugu zangu rohoyangu inabebwa, hata kamaimetenganishwa kutoka kwamwili, vile ilikuwa, kwani sha-ngwe yangu ni kubwa sana.17 Na sasa Mungu angewaku-

balia hawa, ndugu zangu,kwamba waketi kwenye ufalmewa Mungu; ndio, na pia waleambao ni matokeo ya kazi yaokwamba wasitoke nje tena, laki-ni kwamba wamtukuze milele.Na afadhali Mungu akubalikwamba itendeke kulingana namaneno yangu, hata vile nili-vyosema. Amina.

MLANGO WA 30

Korihori, mpinga Kristo, anamfa-nyia mzaha Kristo, Upatanisho,na roho ya unabii — Anafundishakwamba hakuna Mungu, hakunakuanguka kwa binadamu, hakunaadhabu kwa dhambi, na hakunaKristo — Alma anashuhudia kwa-mba Kristo atakuja na vitu vyotevinashuhudia kuwa kuna Mungu— Korihori anadai ishara na anaa-ngushwa na kusababishwa kuwabubu — Ibilisi alikuwa amemtokeaKorihori kama malaika na kum-funza cha kusema — Korihori ana-kanyagwa chini na kufa. Kutokakaribu mwaka wa 76 hadi 74 kablaya kuzaliwa kwa Kristo.

Tazama, sasa ikawa kwambabaada ya awatu wa Amonikuimarishwa kwenye nchi yaYershoni, ndio, na pia baada ya

Walamani bkukimbizwa kutokanchini, na wafu wao kuzikwana watu wa nchi hiyo —

2 Sasa wafu wao hawakuhesa-biwa kwa sababu ya wingi waidadi yao; hata wafu wa Wanefihawakuhesabiwa — lakini ika-wa baada ya kuzika wafu wao,na pia baada ya siku za kufu-nga, na kuomboleza, na sala,(na ulikuwa mwaka wa kumina sita wa utawala wa waamuzikwa watu wa Nefi) kulianzakuwa na mfululizo wa amanikote nchini.

3 Ndio, na watu walijitahidikuweka amri ya Bwana; nawalikuwa wakamilifu kwa ku-weka amasharti ya Mungu, ku-lingana sheria ya Musa; kwaniwalifunzwa bkutii sheria yaMusa hadi itakapotimizwa.

4 Kwa hivyo watu hawakuwana msukosuko wowote katikamwaka wa kumi na sita wautawala wa waamuzi juu yawatu wa Nefi.

5 Na ikawa kwamba katikamwaka wa kumi na saba wautawala wa waamuzi, kulikuwana mfululizo wa amani.

6 Lakini ikawa kwenye mwi-sho wa mwaka wa kumi nasaba, kulikuja mtu kwenyenchi ya Zarahemla, na alikuwaampinga Kristo, kwani alianzakuhubiria watu dhidi ya unabiiambao ulizungumzwa na ma-nabii, kuhusiana na kuja kwaKristo.

7 Sasa hakukuwa na sheria

30 1a Alma 27:25–26.mwm Waanti-Nefi-Lehi.

b Alma 28:1–3.3a mwm Torati ya

Musa.

b 2 Ne. 25:24–27;Alma 25:15.

6a mwm Mpinga Kristo.

Page 362: KITABU CHA MORMONI

345 Alma 30:8–18

yeyote dhidi ya aimani ya mtu;kwani ilikuwa kinyume kabisacha amri za Mungu kwambakuwe na sheria inayoleta watukutokuwa sawa.8 Kwa hivyo maandiko yana-

sema: aChagua wewe siku yaleo, yule ambaye utamtumikia.

9 Sasa kama mtu alitaka kum-tumikia Mungu, ilikuwa nihaki yake; kwa usahihi zaidikama aliamini katika Munguilikuwa ni haki yake kumtumi-kia; lakini kama hakuaminikwake hakukuwa na sheria yakumwadhibu.

10 Lakini kama aliua aliadhi-biwa kwa akifo; na kama aliporaaliadhibiwa pia; na kama aliibaaliadhibiwa pia; na kama alizinialiadhibiwa pia; ndio, kwa huuuovu wote waliadhibiwa.11 Kwani kulikuwa na sheria

kwamba watu walihukumiwakulingana na makosa yao.Walakini, hakukuwa na sheriadhidi ya imani ya mtu; kwahivyo, mtu aliadhibiwa tu kwamakosa ambayo alikuwa ame-fanya; kwa hivyo watu wotewalikuwa asawa.

12 Na huyu mpinga Kristo,ambaye jina lake lilikuwa Kori-hori, (na sheria haingemshika)alianza kuhubiria watu kwambahakutakuwa na Kristo. Na jinsihii alihubiri, akisema:

13 Ee nyinyi ambao mmefu-ngiwa chini ya upumbavuna tumaini la bure, kwa ninimnajiweka mzigo na vitu vya

upumbavu kama hivi? Kwanini mnamtafuta Kristo? Kwanihakuna yeyote ajuaye chochotekitakachokuja.

14 Tazama, hivi vitu ambavyomnaita unabii, ambavyo mna-sema vinatolewa na manabiiwatakatifu, tazama, ni mila zaupumbavu za baba zenu.

15 Mnajuaje ukweli wao?Tazama, hamwezi kujua vituambavyo ahamuoni; kwa hivyohamwezi kujua kwamba kuta-kuwa na Kristo.

16 Mnaona mbele na kusemakwamba mnaona msamaha wadhambi zenu. Lakini tazama,ni matokeo ya wenda wazimuwa akili; na hii michafuko yaakili yenu inawajia kwa sababuya desturi za babu zenu, amba-zo zinawaongoza mbali kwakuamini kwa vitu ambavyohavipo.

17 Na vitu vingi vya aina hiialiwazungumzia, akiwaambiakwamba hakutakuwa na upa-tanisho utakaofanywa kwadhambi za watu, lakini kilamtu hufaulu katika maisha hayakulingana na vile alijiendesha;kwa hivyo kila mtu alifanikiwakulingana na akili yake, nakila mtu alishinda kulinganana nguvu yake; na chochoteambacho mtu alifanya si kosa.

18 Na hivyo aliwahubiria, aki-potosha mbali mioyo ya wengi,na kuwafanya kubeba vichwavyao kwa uovu, ndio, akidanga-nya wanawake wengi, na pia

7a Alma 1:17.8a Yos. 24:15.

mwm Haki ya

uamuzi.10a mwm Adhabu Kuu.11a Mos. 29:32.

15a Eth. 12:5–6.

Page 363: KITABU CHA MORMONI

Alma 30:19–28 346

wanaume, kutenda ukahaba —akiwaambia kwamba mtu akifa,huo ndio mwisho wake.19 Sasa huyu mtu alienda

hadi kwenye nchi ya Yershonipia, kuhubiri vitu hivi miongo-n i m w a w a t u w a A m o n i ,ambao walikuwa awali watuwa Walamani.

20 Lakini tazama walikuwaw e r e v u k u l i k o w e n g i w aWanefi; kwani walimchukua,na kumfunga, na kumbeba nakumpeleka mbele ya Amoni,ambaye alikuwa kuhani mkuujuu ya watu hao.

21 Na ikawa kwamba alilazi-misha kwamba atolewe nje yanchi. Na akaenda kwenye nchiya Gideoni, na akaanza kuwa-hubiria pia; na pale hakufaulusana, kwani alichukuliwa nakufungwa na kupelekwa mbeleya kuhani mkuu, pia mwamuzimkuu juu ya nchi.

22 Na ikawa kwamba kuhanimkuu alimwambia: Kwa niniunazunguka ukiharibu njia zaBwana? Kwa nini unafundishahawa watu kwamba hakutaku-wa na Kristo, kukatisha furahayao? Kwa nini unazungumzaubaya dhidi ya unabii wote wamanabii watakatifu?

23 Sasa jina la kuhani mkuulilikuwa Gidona. Na Korihoriakamwambia: Kwa sababu si-fundishi desturi za upumbavuza babu zenu, na kwa sababusifundishi hawa kujizuia we-nyewe chini ya masharti nautaratibu ambao uliwekwa namakuhani wa zamani, kujitwalia

nguvu na uwezo kwao, kuwa-weka katika ujinga, kwambawasiweze kubeba vichwa vyao,lakini wawekwe chini kufuata-na na maneno yako.

24 Unasema kwamba hawawatu ni watu huru. Tazama,nasema wako kwenye utumwa.Unasema kwamba ule unabiiwa zamani ni wa kweli. Tazama,nasema kwamba hujui kwambani kweli.

25 Unasema kwamba watuhawa wana makosa na ni watuwalioanguka, kwa sababu yadhambi ya mzazi. Tazama, na-sema kwamba mtoto si mkosajikwa sababu ya wazazi wake.

26 Na unasema pia kwambaKristo atakuja. Lakini tazama,nasema kwamba hujui kwambakutakuwa na Kristo. Na unase-ma kwamba atauawa kwa saba-bu ya adhambi za ulimwengu—27 Na hivyo unawapoteza

hawa watu kufuata desturi zaupuuzi za babu zenu, na kuli-ngana na kutaka kwako; naunawaweka chini, hata vile wa-livyokuwa kwenye utumwa,kwamba ujishibishe na kazi yamikono yao, ili wasiangalie juuna ujasiri, na kwamba wasifu-rahie haki na mapendeleo yao.

28 Ndio, hawatumii ile amba-yo ni yao wasije wakachukizamakuhani wao, ambao wana-wataabisha kufuatana na kutakakwao, na wamewafanya kua-mini, kupitia desturi zao nandoto zao na upuzi wao namaono yao na siri za kujifanya,kwamba, ikiwa hawafanyi

26a Isa. 53:4–7.

Page 364: KITABU CHA MORMONI

347 Alma 30:29–40

kufuatana na maneno yao, wa-tachukiza kiumbe ambachohakijulikani, ambaye wanasemani Mungu — kiumbe ambachohakijaonekana au kujulikana,ambacho hakikuwepo walahakitakuwepo.29 Sasa kuhani mkuu na mwa-

muzi mkuu walipoona ugumuwa moyo wake, ndio, walipoo-na kwamba atatukana hataMungu, hawakumjibu lolotekwa maneno yake; lakini wa-kasababisha kwamba afungwe;na walimkabidhi katika mikonoya askari, na wakampeleka ka-tika nchi ya Zarahemla, kwa-mba angeletwa mbele ya Alma,na mwamuzi mkuu ambaye ali-kuwa mtawala juu ya nchi yote.

30 Na ikawa kwamba wakatialipopelekwa mbele ya Alma namwamuzi mkuu, aliendelea ku-sema kwa njia sawa vile alivyo-fanya kwenye nchi ya Gideoni;ndio, aliendelea akukufuru.

31 Na aliongea maneno kwasauti akubwa mbele ya Alma,na kuwatukana makuhani nawalimu, akiwashtaki kwa ku-wapoteza watu kwa kufuatadesturi za ujinga za babu zao,kwa nia ya kujishibisha kwakazi ya watu.

32 Sasa Alma alimwambia:Unajua kwamba hatujishibishisisi wenyewe kwa kazi ya watuhawa; kwani tazama nimefanyakazi hata kutokea mwanzo wautawala wa waamuzi mpakasasa, kwa mikono yangu kwakujitegemea, ingawa nilikuwana safari nyingi kuzunguka nchi

nikitangaza neno la Mungu kwawatu wangu.

33 Na ingawa nimefanya kazinyingi kanisani, sijapokea hatazaidi ya asenine moja kwa kaziyangu; wala hata mmoja wandugu zangu, isipokuwa wa-kati tulikuwa kwenye kiti chakutoa hukumu; na wakati huotumepokea tu kulingana nasheria kwa wakati wetu.

34 Na sasa, kama hatuwezikupokea chochote kwa kaziyetu kanisani, itatufaidi nini ku-fanya kazi kanisani isipokuwatu kutangaza ukweli, ili tuwezekushangilia kwa shangwe kwaaraha ya ndugu zetu?35 Basi kwa nini wewe una-

sema kwamba tunawahubiriahawa kupata faida, wakatiwewe, mwenyewe, unajua kwa-mba hatupati faida yoyote? Nasasa unaamini kwamba tunada-nganya hawa watu, ili tusaba-bishe shangwe ndani ya mioyoyao?

36 Na Korihori akamjibu,Ndio.

37 Na kisha Alma akasemakwake: Unaamini wewe kwa-mba kuna Mungu?

38 Na akajibu, La.39 Sasa Alma akasema kwake:

Utakataa kwamba kuna Mungu,na pia kumkana Kristo? Kwanitazama, nakwambia, najua kunaMungu, na pia kwamba Kristoatakuja.

40 Na sasa ni ushahidi ganiunao kwamba hakuna aMungu,au kwamba Kristo hatakuja?Nakwambia wewe kwamba

30a mwm Kufuru,Kukufuru.

31a Hel. 13:22.33a Alma 11:3.

34a mwm Shangwe.40a Zab. 14:1.

Page 365: KITABU CHA MORMONI

Alma 30:41–49 348

huna lolote, isipokuwa tu ma-neno yako.41 Lakini, tazama, nina vitu

vyote kama aushahidi kwambahivi vitu ni kweli; na wewepia una vitu vyote kama ushu-huda kwako kwamba ni vyakweli; na utakana hivi vitu?Unaamini kwamba hivi vitu nikweli?

42 Tazama, najua kwambaunaamini, lakini unaongozwana roho wa uwongo, na ume-weka mbali Roho ya Mungu iliisiwe na pahali ndani yako;lakini ibilisi ana uwezo juuyako, na anakubeba kila mahali,akifanya ujanja ili aangamizewatoto wa Mungu.

43 Na sasa Korihori alimwa-mbia Alma: Ikiwa utanionyeshaaishara, kwamba ningesadiki-shwa kuwa kuna Mungu, ndio,nionyeshe kwamba ana uwezo,na ndipo nitakubali ukweli wamaneno yako.44 Lakini Alma akamwambia:

Wewe umepata ishara za kuto-sha; utamjaribu Mungu wako?Unaweza kusema, Nionyesheishara, wakati una ushuhudawa hawa ndugu zako awote, napia manabii watakatifu? Maa-ndiko yamewekwa mbele yako,ndio, na vitu bvyote vinaonye-sha kwamba kuna Mungu;ndio, hata cdunia, na vitu vyotevilivyo juu yake, ndio, na dmwe-ndo wake, ndio, na pia esayarizote ambazo huenda kwa utara-

tibu wao zinashuhudia kwambakuna Muumba Mkuu.

45 Na bado unaenda ukizu-nguka, ukidanganya mioyo yawatu hawa, ukitoa ushuhudakwamba hakuna Mungu? Nabado utakana huu ushahidiwote? Na akasema: Ndio, nita-kana isipokuwa unionyesheishara.

46 Na ikawa kwamba Almaakamwambia: Tazama, nimesi-kitika kwa sababu ya ugumuwa moyo wako, ndio, kwambautazidi kushindana na rohoya ukweli, kwamba nafsi yakoiangamizwe.

47 Lakini tazama, ni aafadhaliroho yako ipotee kuliko kwa-mba uwe njia ya kuleta rohonyingi kwenye maangamizo,kwa udanganyifu wako namaneno yako ya kusifu; kwahivyo kama utakana tena, taza-ma Mungu atakupiga wewe,kwamba uwe bubu, kwambahutafungua kinywa chako maranyingine, kwamba hutawezakudanganya hawa watu maranyingine.

48 Sasa Korihori akamwambia:Sikatai kuweko kwa Mungu,lakini siamini kwamba kunaMungu; na ninasema pia, kwa-mba hujui kuwa kuna Mungu;na isipokuwa unionyeshe isha-ra, sitaamini.

49 Sasa Alma akamwambia:Hii nitakupatia kwa ishara,kwamba autapigwa na kuwa

41a mwm Shahidi,Ushahidi.

43a Yak. (KM) 7:13–21;M&M 46:8–9.mwm Ishara.

44a Mos. 13:33–34.b Zab. 19:1;

M&M 88:47.c Ayu. 12:7–10.d Hel. 12:11–15.

e Musa 6:63.47a 1 Ne. 4:13.49a 2 Nya. 13:20.

Page 366: KITABU CHA MORMONI

349 Alma 30:50–59

bubu, kufuatana na manenoyangu; na ninasema, kwambakwa jina la Mungu, utafanywabubu, kwamba hutatamka tena.50 Sasa wakati Alma alipoku-

wa amenena maneno haya,Korihori alipigwa na akawabubu, kwamba hangeweza ku-nena tena, kufuatana na manenoya Alma.

51 Na wakati mwamuzi mkuualipoona hivi, alinyosha mkonowake na kuandika kwa Koriho-ri, akisema: Umesadikishwakwa nguvu za Mungu? Kwakeambaye ulitaka Alma aonyesheishara? Ulitaka kwamba atesewengine, akionyesha ishara?Tazama amekuonyesha ishara;na sasa hutabishana zaidi?

52 Na Korihori alinyooshamkono wake na kuandika, aki-sema: Najua kwamba mimi nibubu, kuwa siwezi kuongea;na ninajua kwamba hakunakingine isipokuwa nguvu yaMungu pekee ndiyo iliyowezakuniletea mimi haya; ndio, nanilikuwa kila siku anajua kwa-mba kuna Mungu.53 Lakini tazama, ibilisi aame-

nidanganya; kwani balinitokeakwa mfano wa malaika, naakaniambia; Nenda na urudi-she hawa watu, kwani wotewamepotea wakifuata Munguasiyejulikana. Na akaniambia:cHakuna Mungu; ndio, na aka-nifundisha yale ambayo nina-hitaji kusema. Na nimefundishamaneno yake; na niliyafundishakwa sababu yalikuwa yanape-

ndeza kwa akili ya dkimwili;na niliyafundisha, hata ikawaninafaulu sana, hata kwambaniliamini kwamba yalikuwa yakweli; hata mpaka nimejileteahii laana kuu kwangu.

5 4 S a s a w a k a t i a l i k u w aamesema haya; alimsihi Almakwamba amuombee Mungu,kwamba laana itolewe kwake.

55 Lakini Alma alimwambia:Laana hii ikitolewa kwako uta-poteza mioyo ya watu tena;kwa hivyo, itakuwa nawe hatavile Bwana atakavyohitaji.

56 Na ikawa kwamba laana ha-ikutolewa kutoka kwa Korihori;lakini alitupwa nje, na akaendaakitembea kutoka nyumba hadinyingine akiomba chakula.

57 Sasa ufahamu wa yaliyo-mpata Korihori mara mojailitangazwa kote nchini; ndio,tangazo lilitolewa na mwamuzimkuu kwa watu wote nchini,ikitangaziwa wale ambao wali-kuwa wameamini maneno yaKorihori kwamba lazima watu-bu mara moja, isije hukumusawa ikaletwa kwao.

58 Na ikawa kwamba wotewalisadikishwa kwa uovu waKorihori; kwa hivyo wote wali-mgeukia tena Bwana; na hiiikaweka mwisho kwa uovu waaina ya Korihori. Na Korihorialienda kutoka moja nyumbahadi nyingine, akiomba chakulakwa kujiweka hai.

59 Na ikawa kwamba aliendamiongoni mwa watu, ndio, mi-ongoni mwa watu ambao wali-

52a Alma 30:42.53a Yak. (KM) 7:14.

b 2 Kor. 11:14;

2 Ne. 9:9.c Zab. 10:4.d mwm Tamaa za

kimwili.

Page 367: KITABU CHA MORMONI

Alma 30:60–31:5 350

kuwa wamejitenga kutoka kwaWanefi na kujiita Wazoramu,wakiongozwa na mtu ambayejina lake lilikuwa Zoramu — naalipoenda miongoni mwao, ta-zama, alishambuliwa na kuka-nyagwa chini, hadi akafa.60 Na hivyo tunaona mwisho

wa yule ambaye anapotoshanjia za Bwana; na hivyo tunao-na kwamba aibilisi bhatasaidiawatoto wake siku ya mwisho,lakini anawachukua kwa mbiohadi cjahanamu.

MLANGO WA 31

Alma anaongoza ujumbe kurudishaWazorami waliopotea — Wazora-mu wanamkana Kristo, wanaaminikwa wazo la uwongo la uchaguzi,na wanaabudu kwa sala zalizopa-ngwa — Wamisionari wanajazwana Roho Mtakatifu — Mateso yaoyanamezwa kwenye shangwe yaKristo. Karibu mwaka wa 74 kablaya kuzaliwa kwa Kristo.

Sasa ikawa kwamba baada yamwisho wa Korihori, Alma ba-ada ya kupata habari kwambaWazoramu wanapotosha nenola Bwana, na kwamba Zoramu,ambaye alikuwa kiongozi wao,alikuwa akiongoza mioyo yawatu akusujudu kwa bviumbevisivyosikia wala kusema, moyowake tena ulianza kuwa na

chuzuni kwa sababu ya ubayawa watu.

2 Kwani ilikuwa chanzo chaahuzuni kuu kwa Alma kujuakuhusu uovu miongoni mwawatu wake; kwa hivyo moyowake ulikuwa na huzuni sanakwa sababu ya kutenganishwakwa Wazoramu kutoka kwaWanefi.

3 Sasa Wazoramu walikuwawamejikusanya pamoja kwe-nye nchi iliyoitwa Antionumuambayo ilikuwa mashariki mwanchi ya Zarahemla, ambayo ili-pakana karibu na juu ya ukingowa bahari, ambayo ilikuwakusini mwa nchi ya Yershoni,ambayo pia ilipakana na nyikakusini, nyika ambayo ilikuwaimejaa Walamani.

4 Sasa Wanefi waliogopakwamba Wazoramu wangeanzamawasiliano na Walamani, nakwamba ingekuwa njia yahasara kubwa kwa upande waWanefi.

5 Na sasa, kwa vile akuhubirikwa bneno kulikuwa na maele-kezo makubwa ya ckuongozawatu kufanya yale ambayo nihaki — ndio, ilikuwa na mato-keo ya nguvu zaidi kwa akiliza watu kuliko upanga, aukitu chochote kingine, ambachokiliwahi kufanyika kwao—kwahivyo Alma alifikiri ilikuwabora kwamba wangejaribu ma-

60a mwm Ibilisi.b Alma 3:26–27;

5:41–42;M&M 29:45.

c mwm Jahanamu.31 1a Kut. 20:5;

Mos. 13:13.b 2 Ne. 9:37.

mwm Kuabudusanamu.

c Alma 35:15.2a Mos. 28:3;

3 Ne. 17:14;Musa 7:41.

5a Eno. 1:23;Alma 4:19.

mwm Hubiri.b Ebr. 4:12;

Yak. (KM) 2:8;Alma 36:26.

c Yar. 1:11–12;M&M 11:2.

Page 368: KITABU CHA MORMONI

351 Alma 31:6–17

tokeo ya uwezo wa neno laMungu.6 Kwa hivyo aliwachukua

Amoni, na Haruni, na Omneri;na Himni alimwacha kanisaniZarahemla; lakini wa kwanzawatatu walienda na yeye, na piaAmuleki na Zeezromu, ambaowalikuwa Meleki; na pia aliwa-chukua wawili wa wana wake.

7 Sasa mkubwa kwa wanawake hakuenda na yeye, na jinalake lilikuwa aHelamani; lakinimajina ya wale ambao aliendanao yalikuwa Shibloni na Kori-antoni; na haya ndiyo majinaya wale ambao walienda nayeye miongoni mwa bWazora-mu, kuwahubiria neno.8 Sasa Wazoramu walikuwa

awamekataa mafundisho yaWanefi; kwa hivyo walikuwawamepata neno la Mungu ku-hubiriwa kwao.9 Lakini walianza akufanya

makosa makubwa, kwani ha-wangeweza kuchunga amri zaMungu, na sheria zake, kuli-ngana na sheria ya Musa.

10 Wala hawangechungaheshima za kanisa, kuendeleakwa sala na maombi Mungukila siku, kwamba wasiingiekwenye majaribio.

11 Ndio, kwa ufupi, walihari-bu njia za Bwana kwa namnanyingi; kwa hivyo, kwa sababuhii, Alma na ndugu zake walio-ndoka kwenda nchini kuhubirineno kwao.

12 Sasa, walipowasili nchini,

tazama, kwa mshangao waowalipata kwamba Wazoramuwalikuwa wamejenga masina-gogi, na kwamba walikuwawakikusanyika pamoja sikumoja ndani ya wiki, siku amba-yo waliita siku ya Bwana; nawaliabudu kwa njia ambayoAlma na ndugu zake hawaja-wahi kuona;

13 Kwani walikuwa na mahalipalipojengwa katikati ya sina-gogi yao, mahali pa kusimama,ambapo palikuwa parefu kupitakichwa; na juu yake ingemtoshatu mtu mmoja.

14 Kwa hivyo, yeyote ambayealitaka akuabudu alilazimikakwenda na kusimama juu yake,na kunyosha mikono yake juukueleka mbinguni, na kupazasauti kuu, akisema:

15 Mtakatifu, mtakatifu Mu-ngu; tunaamini kwamba wewen i M u n g u , n a t u n a a m i n ikwamba wewe u mtakatifu, nakwamba ulikuwa roho, naungali roho, na utakuwa rohomilele.

16 Mungu Mtakatifu, tunaa-mini kwamba umetutenganishasisi kutoka kwa ndugu zetu; nahatuamini kwa desturi ya ndu-gu zetu, ambayo ilikabidhiwakwao kwenye njia ya utotowa babu zao; lakini tunaaminikwamba aumetuchagua sisikuwa watoto wako bwatakatifu;na pia umetudhihirishia kwa-mba hakutakuwa na Kristo.

17 Lakini wewe ni yule yule

7a mwm Helamani,Mwana wa Alma.

b Alma 30:59.

8a Alma 24:30.9a mwm Ukengeufu.

14a Mt. 6:1–7.

16a Alma 38:13–14.b Isa. 65:3, 5.

Page 369: KITABU CHA MORMONI

Alma 31:18–28 352

jana, na leo, na milele; na aume-tuchagua kwamba tuokolewe,wakati wote ambao wako kari-bu nasi wamechaguliwa naghadhabu kwenye jahanamu;kwa kutufanya watakatifu, EeMungu, tunakushukuru; na piatunakushukuru kwamba ume-tuchagua sisi, kwamba tusipo-tezwe na desturi za upumbavuza ndugu zetu, ambazo zina-wafungia chini kwa kuaminiKristo, ambayo inaongoza mi-oyo yao kutangatanga kutokakwako, Mungu wetu.

18 Na tena tunakushukuruwewe, Ee Mungu, kwamba sisini wateule na watu watakatifu.Amina.

19 Sasa ikawa kwamba Almana ndugu zake na wana wakewaliposikia hizi sala, walishtu-ka kupita kiasi.

20 Kwani tazama, kila mtualienda mbele na kutoa salazilizokuwa sawa.

21 Sasa mahali pale paliitwana hawa Rameumtomu, ambayoikifasiriwa, ni kituo kitakatifu.

22 Sasa, kutoka kwenye kituohiki, walitoa, kila mmoja, salasawa kwa Mungu, wakimshu-kuru Mungu wao kwambawalichaguliwa na yeye, na kwa-mba hakuwapotezea kwa des-turi ya ndugu zao, na kwambamioyo yao haikudanganywakuamini kwa vitu vinavyokuja,ambavyo hawakujua chochotekuvihusu.

23 Sasa, baada ya watu wote

kutoa shukrani kwa njia hii,walirejea kwao, abila kuzungu-mza maneno ya Mungu waotena hadi wakati wa kukusa-nyika tena kwenye kituo kita-katifu, kutoa shukrani kwa njiayao ya kawaida.

24 Sasa Alma alipoona hayamoyo wake aulihuzunika; kwa-ni aliona kwamba watu wali-kuwa watu waovu na wakaidi;ndio, aliona kwamba mioyoyao ilitamani dhahabu, nafedha, na vitu vyote vilivyote-ngenezwa vizuri.

25 Ndio, na aliona pia kwambamioyo yao ilikuwa aimeinuliwakwa kujisifu sana, kwa kiburichao.

26 Na al ipaza sauti yakekuelekea mbinguni, na akulia,akisema: Ee, kwa muda gani,Ee Bwana, utakubali kwambawatumishi wako waishi hapachini katika mwili, kuona uovumwingi miongoni mwa watotowa watu?

27 Tazama, Ee Mungu, awana-omba kwako, na bado mioyoyao imezidiwa na kiburi chao.Tazama, Ee Mungu, wanaombakwako na midomo yao, wakatibwanatamani, hivi vitu vinginevya ulimwengu, kuliko kitukingine.

28 Tazama, Ee Mungu wangu,mavazi yao ya bei ya juu, napete zao, na amikufu yao, namapambo yao ya dhahabu, navitu vyao vyote vya thamaniambavyo wamejipamba navyo;

17a mwm Majivuno,Siofaa.

23a Yak. (Bib.) 1:21–25.24a Mwa. 6:5–6.

25a Yak. (KM) 2:13;Alma 1:32.

26a Musa 7:41–58.27a Isa. 29:13.

b mwm Kiburi.28a Isa. 3:16–24.

Page 370: KITABU CHA MORMONI

353 Alma 31:29–38

na tazama, mioyo yao iko kwe-nye hivi vitu, lakini wanaombakwako wakisema — Tunaku-shukuru, Ee Mungu, kwani sisini watu wateule kwako, wakatiwengine wataangamia.29 Ndio, na wanasema kwa-

mba umewahakikishia kwambahakutakuwa na Kristo.

30 Ee Bwana Mungu, kwamuda gani utakubali kwambauovu wa aina hii na ukafiriuwe miongoni mwa watu? EeBwana, utanipatia nguvu, ilinivumilie na udhaifu wangu.Kwani mimi ni dhaifu, na uovuaina hii miongoni mwa watuunaumiza roho yangu.

31 Ee Bwana, moyo wangu unahuzuni nyingi sana, unawezakutuliza nafsi yangu andani yaKristo. Ee Bwana unaweza ku-nikubalia niwe na nguvu, kwa-mba niweze kuvumilia hayamateso ambayo yatanijia mimi,kwa sababu ya maovu ya watuhawa.

32 Ee Bwana, utafariji rohoyangu, na unipatie mafanikio,na pia wafanyikazi wenzanguambao wako na mimi — ndio,Amoni, na Haruni, na Omneri,na pia Amuleki na Zeezromu,na pia awana wangu wawili —ndio, hata hawa wote uwafariji,Ee Bwana. Ndio, ufariji rohozao katika Kristo.

33 Uwakubalie hawa kwambawawe na nguvu, kwambawaweze kuvumilia mateso yao

ambayo yatawajia kwa sababuya maovu ya watu hawa.

34 Ee Bwana, autukubalie sisikwamba tuwe na mafanikiokwa kuwaleta kwako tena kati-ka Kristo.

35 Tazama, Ee Bwana, arohozao ni za thamani, na wengiwao ni ndugu zetu; kwa hivyo,tupatie, Ee Bwana, uwezo nahekima kwamba tuwalete hawa,ndugu zetu, tena kwako.

36 Sasa ikawa kwamba Almaaliposema maneno haya, kwa-mba aalipiga bmikono yake kwahao wote ambao walikuwa nayeye. Na tazama, alipowekamikono yake juu yao, walija-zwa na Roho Mtakatifu.

37 Na baada ya hayo walita-wanyika wenyewe mmoja ku-toka kwa mwingine, bila akuji-fikiria wenyewe watakula nini,au kile watakachokunywa, aukile watakachovaa.

38 Na Bwana aliwaandaliakwamba wasiwe na njaa, walawasiwe na kiu; ndio, na piaakawapatia nguvu, kwambawasiteseke kwa namna yote yaamateso, isipokuwa imezwekwenye shangwe ya Kristo. Sasahii ilikuwa kulingana na salaya Alma; na hii ni kwa sababualiomba kwa bimani.

MLANGO WA 32

Alma anawafundisha walio masi -

31a Yn. 16:33.32a Alma 31:7.34a 2 Ne. 26:33.35a mwm Nafsi—

Thamani ya nafsi.

36a 3 Ne. 18:36–37.b mwm Mikono,

Kuweka juu ya.37a Mt. 6:25–34;

3 Ne. 13:25–34.

38a Mt. 5:10–12;Mos. 24:13–15;Alma 33:23.

b mwm Imani.

Page 371: KITABU CHA MORMONI

Alma 32:1–7 354

kini ambao mateso yao yamewa-nyenyekeza — Imani ni tumainikwa lile ambalo halionekani ambaloni kweli — Alma anatoa ushuhudakwamba malaika huwahudumiawanaume, wanawake, na watoto—Alma analinganisha neno nambegu — Lazima ipandwe na ku-lishwa— Ndipo inakua kuwa mtiambao kutoka kwake matunda yauzima wa milele huvunwa. Karibumwaka wa 74 kabla ya kuzaliwaKristo.

Na ikawa kwamba waliende-lea mbele, na kuanza kuhubirineno la Mungu kwa watu, wa-kiingia kwenye masinagogi yao,na kwenye nyumba zao; ndio,na hata walihubiri neno kwenyemitaa yao.2 Na ikawa kwamba baada

y a k a z i n y i n g i m i o n g o n imwao, wakaanza kuwa na ma-fanikio miongoni mwa watuwa vyeo vya achini; kwanitazama, walitupwa nje ya ma-sinagogi kwa sababu ya nguozao hafifu —3 Kwa hivyo hawakuruhusi-

wa kuingia katika masinagogiyao kumwabudu Mungu, wa-kichukuliwa kama uchafu; kwahivyo walikuwa masikini; ndio,walichukuliwa na ndugu zaokama takataka; kwa hivyowalikuwa amasikini kulinganana vitu vya ulimwengu; na piawalikuwa masikini katika mio-yo yao.

4 Sasa, Alma alipokuwa aki-

fundisha na kuwazungumziawatu kwenye mlima Onida,kulitokea kikundi kikubwakwake, cha wale ambao tuliku-wa tukizungumza juu yao,ambao walikuwa amasikinimoyoni, kwa sababu ya umasi-kini wao kulingana na vitu vyaulimwengu.

5 Na wakamjia Alma; na yuleambaye alikuwa anawaongozaakamwambia: Tazama, ni aninihawa ndugu zangu watafanya,kwani wanadharauliwa na watuwote kwa sababu ya umasikiniwao, ndio, hata nasa na maku-hani wetu; kwani bwametutu-pa nje ya masinagogi ambayotuliyafanyia kazi kwa wingikujenga kwa mikono yetu; nawametutupa nje kwa sababuya umasikini wetu mkuu; nahatuna mahali pa kumuabudiaMungu wetu; na tazama, tuta-fanya cnini?

6 Na sasa Alma aliposikiahaya, alipindua uso wake maramoja, na kumwangalia, kwashangwe kubwa; kwani alionakwamba amateso yao yalikuwayamewafanya kwa kweli kuwabwanyenyekevu, na kwambawalikuwa cwamejiandaa kusi-kiliza neno.

7 Kwa hivyo hakusema mengikwa huo umati mwingine; laki-ni alinyoosha mbele mkonowake, na kupaza sauti kwa waleambao aliwaona, ambao wali-kuwa kwa kweli wametubu, naakawaambia;

32 2a mwm Maskini.3a Alma 34:40.4a mwm Maskini—

Maskini katika roho.

5a Mit. 18:23.b Alma 33:10.c Mdo. 2:37–38.

6a mwm Shida.

b mwm Mnyenyekevu,Unyenyekevu.

c Alma 16:16–17;M&M 101:8.

Page 372: KITABU CHA MORMONI

355 Alma 32:8–20

8 Ninaona kwamba ammenye-nyekea moyoni; na ikiwa nihivyo, heri kwenu.9 Tazama ndugu yenu alisema,

Tutafanya nini? — kwani tume-tupwa nje ya masinagogi yetu,kwamba hatuwezi kumuabuduMungu wetu.

10 Tazama ninawaambia, mna-fikiri kwamba hamwezi akumu-abudu Mungu isipokuwa kwe-nye masinagogi yenu pekee?

11 Na zaidi ya hayo, ningewa-uliza, mnafikiri kwamba lazi-ma mmuabudu Mungu tu sikumoja kwenye juma?

12 Nawaambia, ni vyemakwamba mmetupwa nje yamasinagogi yenu, ili muwewanyenyekevu, na ili mjifunzeahekima; kwani ni lazima mji-funze hekima; kwani ni kwasababu mmetupwa nje, kwambammedharauliwa na ndugu zenukwa sababu ya bumasikini wenumkuu, kwamba mioyo yenuimenyenyekea; kwani mnye-nyekezwa kwa lazima.

13 Na sasa, kwa sababu mme-lazimishwa kunyenyekea herinyinyi ; kwani mtu wakatimwingine, akilazimishwa ku-nyenyekea, hutafuta toba; nasasa kwa kweli, yeyote anaye-tubu atapata huruma; na yuleambaye anapata huruma naakuvumilia hadi mwisho huyoataokolewa.14 Na sasa, vile nilivyowaa-

mbia nyinyi, kwamba kwasababu mlilazimishwa kunye-

nyekea mlibarikiwa, hamdhanikwamba wale ambao wanaji-nyenyekeza kwa ukweli we-nyewe kwa sababu ya nenowamebarikiwa zaidi?

15 Ndio, yule ambaye anajinye-nyekeza mwenyewe kwa ukwe-li, na kutubu dhambi zake, nakuvumilia hadi mwisho, huyoatabarikiwa—ndio, atabarikiwazaidi ya wale ambao hulazimi-shwa kunyenyekea kwa sababuya umasikini wao mwingi.

16 Kwa hivyo, her i waleambao ahunyenyekea wenyewebila kulazimishwa kunyenye-kea; kwa usahihi zaidi, heriyule ambaye anaamini katikaneno la Mungu, na anabatizwabila ukaidi wa moyo, ndio, bilakushurutishwa kujua neno, auhata kulazimishwa kujua, kablaya kuamini.

17 Ndio, kuna wengi ambaohusema: ikiwa utatuonyeshaaishara kutoka mbinguni, ndi-po tutajua kwa hakika; halafututaamini.

18 Sasa ninauliza; hii ni imani?Tazama, nawaambia, Hapana;kwani ikiwa mtu anajua kituhana sababu ya akuamini, kwanianakijua.

19 Na sasa, hulaaniwaje zaidiya yule ambaye aanajua mape-nzi ya Mungu na hayatimizi,kuliko yule ambaye huaminitu, au ana sababu ya kuamini,na kuanguka kwenye makosa?

20 Sasa, kwa kitu hiki lazimamhukumu. Tazama, nawaa-

8a Mt. 5:3–5.10a mwm Kuabudu.12a Mh. 4:13.

b Mit. 16:8.

13a Alma 38:2.16a mwm Mnyenyekevu,

Unyenyekevu.17a mwm Ishara.

18a Eth. 12:12, 18.19a Yn. 15:22–24.

Page 373: KITABU CHA MORMONI

Alma 32:21–28 356

mbia, kwamba ni sawa mkonommoja hata vile ilivyo kwamwingine; na itakuwa hivyokwa kila mtu kulingana navitendo vyake.21 Na sasa nilivyosema ku-

husu imani — aimani sio kuwana ufahamu kamili wa vitu;kwa hivyo mkiwa na imani,bmnatumainia vitu ambavyochavionekani, ambavyo ni vyakweli.22 Na sasa, tazama, ninawaa-

mbia, na ningetaka kwambamkumbuke, kwamba Munguni mwenye hekima kwa wotewanaoamini katika jina lake;kwa hivyo, anataka kwa maraya kwanza, kwamba mwamini,ndio, hata katika neno lake.

23 Na sasa, yeye huwatoleawanadamu neno lake kwamalaika, ndio, asio tu kwawanaume peke yao lakini piakwa wanawake. Sasa hii si yote;bwatoto wadogo huwa na mane-no wanayopewa mara nyingi,ambayo yanawafadhaisha we-revu na wasomi.

24 Na sasa, ndugu zangu wa-pendwa, kwa vile mnatamanikujua kutoka kwangu mtafanyanini kwa sababu mnasumbuli-wa na kutupwa nje—sasa sitakimfikirie kwamba ninamaanishakutoa hukumu kwenu isipoku-wa kulingana na yale ambayoni kweli —

25 Kwani simaanishi kwambanyinyi nyote mmelazimishwa

kujinyenyekeza; kwani ninaa-mini kwa ukweli kwamba kunawengine kati yenu ambao wa-ngenyenyekea wenyewe, hatawawe kwa hali gani.

26 Sasa, vile nilivyosema kuhu-su imani — kwamba haikuwaufahamu kamili—hata hivyo nikama maneno yangu. Hamwezikujua ukweli wao kwanza,kwa ukamilifu, vile imani siufahamu kamili.

27 Lakini tazama, ikiwa mtaa-mka na kuziwasha akili zenu,hata kwenye kujaribu juu yamaneno yangu na kutumiasehemu ya imani, ndio, hataikiwa hamwezi ila akutamanikuamini, acha hamu hii ifanyekazi ndani yenu, hata mpakamwamini kwa njia ambayomtatoa nafasi kwa sehemu yamaneno yangu.

28 Sasa, tutalinganisha nenokwa ambegu. Sasa ikiwa mta-toa nafasi, ili bmbegu ipandwendani ya cmoyo wako, tazama,ikiwa itakuwa mbegu ya kweli,au mbegu nzuri, ikiwa hamtai-tupa nje kwa dkutoamini kwe-nu, kwamba mtashindana naRoho ya Bwana, tazama, itaanzakuvimba ndani ya vifua vyenu;na wakati mtakaposikia huumwendo wa kuvimba, mtaanzakusema ndani yenu—inaweze-kana kwamba hii ni mbegunzuri, au kwamba neno ni nzuri,kwani linaanza kukua ndani yanafsi yangu; ndio, inaanza kua-

21a Yn. 20:29;Ebr. 11.

b mwm Tumaini.c Eth. 12:6.

23a Yoe. 2:28–29.

b Mt. 11:25;Lk. 10:21;3 Ne. 26:14–16;M&M 128:18.

27a Mk. 11:24.

28a Alma 33:1.b Lk. 8:11.c mwm Moyo.d Mt. 17:20.

Page 374: KITABU CHA MORMONI

357 Alma 32:29–39

ngaza ekuelewa kwangu, ndio,inaanza kunipendeza mimi.

29 Sasa tazama, si hii itaonge-za imani yenu? Ninawaambia,Ndio; walakini haijakua kwaufahamu kamili.

30 Lakini tazama, vile mbeguinavyovimba, na kumea, nakuanza kukua, ndipo mtasemakwamba mbegu ni nzuri; kwanitazama inavimba, na kumea, nakuanza kukua. Na sasa, tazama,si hii itaimarisha imani yenu?Ndio, itaimarishaa imani yenu:kwani mtasema tunajua kwa-mba hii ni mbegu nzuri; kwanitazama inachipuka na inaanzakukua.

31 Na sasa, tazama, mna haki-ka kwamba hii ni mbegu nzuri?Nawaambia, Ndio; kwani kilambegu huzaa amfano wake.

32 Kwa hivyo kama mbeguinakua ni nzuri, lakini kamahaikui, tazama si nzuri, kwahivyo hutupiliwa mbali.

33 Na sasa, tazama, kwa sa-babu mmejaribu utafiti, nakupanda mbegu, na inavimbana kumea, na kuanza kukua,lazima mjue kwamba mbegu ninzuri.

34 Na sasa, tazama, ufahamuwenu ni kamili? Ndio, aufaha-mu wenu ni kamili kwa kilekitu, na bimani yenu inalala; nahii kwa sababu mnajua, kwanimnajua kwamba neno limevi-mbisha nafsi zenu, na pia mna-jua kwamba limemea, kwambaufahamu wenu umeanza kueli-

mika, na cakili zenu zinaanzakupanuka.

35 Ee basi, si hii ni kweli?Nawaambia, Ndio, kwa sababuni anuru; na chochote ambachoni nuru, ni kizuri, kwa sababukinaonekana, kwa hivyo lazi-ma mjue kwamba ni nzuri;na sasa tazama, baada ya nyi-nyi kuonja nuru hii si ufahamuwenu ni kamili?

36 Tazama nawaambia, Hapa-na; wala msiweke kando imaniyenu, kwani mmejaribu tuimani yenu kupanda mbegukwamba mngejaribu utafiti ku-jua kama mbegu ilikuwa nzuri.

37 Na tazama, mti ukianzakukua, mtasema: Acha tuulishekwa uangalifu mkuu, kwambauweze kupata mizizi, kwambaupate kukua, na kututolea ma-tunda. Na sasa tazama, ikiwamtaulisha kwa uangalifu mwi-ngi mtapata mizizi, na kukua,na kuleta matunda.

38 Lakini amkiuachilia mti ule,na msifikirie kuulisha, tazamahautapata mzizi wowote; nawakati joto la jua linawadia nakuuchoma, kwa sababu haunamzizi hukaukia mbali, na mta-ukata na kuutupa nje.

39 Sasa, hii sio kwa sababumbegu haikuwa nzuri, wala siokwa sababu tunda lake hali-ngekuwa la kutamanika; lakinini kwa sababu amchanga wenuni kame, na hamwezi kuulishamti, kwa hivyo hamwezi kupatatunda juu yake.

28e mwm Ufahamu.31a Mwa. 1:11–12.34a mwm Maarifa.

b Eth. 3:19.

c mwm Nia.35a Yn. 3:18–21.

mwm Nuru, Nuruya Kristo.

38a mwm Ukengeufu.39a Mt. 13:5.

Page 375: KITABU CHA MORMONI

Alma 32:40–33:4 358

40 Na hivyo, ikiwa hamtalishaneno, mkingojea tu kwa imanikupata tunda juu yake, ha-mwezi mkachuna tunda la amtiwa maisha.

41 Lakini ikiwa mtalisha neno,ndio, l isha mti unapoanzakukua, kwa imani yenu kwabidii kuu, na auvumilivu, mki-tumainia kupata tunda kwake,utamea mizizi; na tazama uta-kuwa mti butakaokua na kuzaamatunda yasiyo na mwisho.

42 Na kwa sababu ya abidiiyenu na imani yenu na uvumi-livu wenu kwa neno kwa kuli-lisha, kwamba limee ndaniyenu, tazama, baadaye mtavunabmatunda kwake, ambayo ni yathamani sana, ambayo ni tamukupita kiasi; na ambayo nimeupe kupita kiasi, ndio, nasafi kupita kiasi; na mtakulahili tunda mpaka hata mshibe,kwamba hamtapata njaa, walakuona kiu.

43 Kisha, ndungu zangu, mta-vuna zawadi ya imani yenu,na bidii yenu, na subira, nauvumilivu, mkingojea mti ku-watolea matunda.

MLANGO WA 33

Zeno alifunza kwamba watu wao-mbe na kuabudu mahali popote, nakwamba hukumu zimeondolewakwa sababu ya Mwana — Zenokialifunza kwamba rehema inatolewa

kwa sababu ya Mwana — Musaaliinua nyikani mfano wa Mwanawa Mungu. Karibu mwaka wa 74kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

Sasa baada ya Alma kumalizakusema haya maneno, walim-tumia mnenaji wakitamani ku-jua kama wangeweza kumwa-mini katika Mungu ammoja, iliwaweze kupokea hilo tundaambalo alilizungumzia, au vilewangeweza kupanda ile bmbe-gu, au hilo neno ambalo alili-zungumzia, ambalo alisema la-zima lipandwe ndani ya mioyoyao; au jinsi gani wangeanzakutumia imani yao.

2 N a A l m a a k a w a a m b i a :Tazama, mmesema kwambaahamuwezi kumwabudu Mu-ngu wenu kwa sababu mmetu-pwa nje ya masinagogi yenu.Lakini tazama, ninawaambia,ikiwa mnadhani ati hamuwezikumwabudu Mungu, mnafa-nya kosa kubwa, na mnahitajibkupekua maandiko; ikiwamnadhania kwamba maandishiyamewafunza hii, nyinyi ha-muelewi maandishi.

3 Je, mnakumbuka mlisomayale ambayo aZeno, nabii wakale, aliyosema kuhusu sala aubibada?

4 Kwani alisema: Wewe unarehema, Ee Mungu, kwaniumesikia sala yangu, hata nili-pokuwa nyikani; ndio, uliku-wa mwenye rehema wakati

40a Mwa. 2:9; 1 Ne. 15:36.41a mwm Subira.

b Alma 33:23;M&M 63:23.

42a mwm Bidii.

b 1 Ne. 8:10–12.33 1a 2 Ne. 31:21;

Mos. 15:2–4.b Alma 32:28–43.

2a Alma 32:5.

b Alma 37:3–10.3a mwm Maandiko—

Maandikoyaliyopotea; Zeno.

b mwm Kuabudu.

Page 376: KITABU CHA MORMONI

359 Alma 33:5–19

niliposali kuhusu wale ambaowalikuwa amaadui wangu, naukawarudisha kwangu.

5 Ndio, Ee Mungu, na uliku-wa na rehema kwangu wakatinilipokulilia kwenye ashambalangu; wakati nilipokulilia kwasala yangu, na ulinisikiliza.6 Na tena, Ee Mungu, wakati

nilipoingia kwenye nyumba uli-nisikia mimi kwenye sala yangu.

7 Na wakati nilipoingia katikaakijumba changu, Ee Bwana, nakuomba kwako, na ulinisikia.8 Ndio, una huruma kwa

watoto wako, wakati wanakuli-lia wewe, ili wasikilizwe nawena sio watu, na utawasikiliza.

9 Ndio, Ee Mungu, umekuwana rehema kwangu, na kusikiavilio vyangu miongoni mwaumati wako.

10 Ndio, na pia umenisikia wa-kati animetupwa nje na kudha-rauliwa na maadui wangu; ndio,ulisikia vilio vyangu, na uliwa-kasirikia maadui wangu, naukawatembelea kwa ghadhabuyako na maangamizo ya haraka.

11 Na wewe ulinisikia kwasababu ya mateso yangu nauaminifu wangu; na ni kwa sa-babu ya Mwana wako kwambaumekuwa na rehema jinsi hivyokwangu, kwa hivyo nitakuliliawewe katika mateso yanguyote, kwani nina shangwe ndaniyako; kwani umeniondoleahukumu zako, kwa sababu yaMwana wako.

12 Na sasa Alma aliwaambia:Mnaamini hayo amaandikoambayo yaliandikwa na walewa kale?

13 Tazama ikiwa mnayaami-ni, lazima mwamini yaliyose-mwa na aZeno; kwani tazama,alisema: Umeondoa hukumuzako kwa sababu ya Mwanawako.

14 Sasa, tazama, ndugu zangu,ningeuliza kama mmesomamaandiko? Ikiwa mmeyasoma,jinsi gani mnaweza kutomwa-mini Mwana wa Mungu?

15 Kwani ahaikuandikwa kwa-mba Zeno pekee ndiye alisemavitu hivi, lakini bZenoki piaalizungumzia vitu hivi —

16 Kwani tazama, alisema:Umewakasirikia, Ee Bwana,watu hawa, kwa sababu hawa-taelewa rehema zako ambazoumewapatia kwa sababu yaMwana wako.

17 Na sasa, ndugu zangu,mnaona kwamba nabii wa piliwa kale ameshuhudia juu yaMwana wa Mungu, na kwasababu ya watu kutoelewamaneno yake awalimpiga namawe hadi akafa.

18 Lakini tazama, haya si yote;hawa sio pekee ambao wame-zungumza kuhusu Mwana waMungu.

19 Tazama, alizungumziwa naaMusa; ndio, na tazama bmfanoculiinuliwa nyikani, kwambayeyote atakayeuangalia aweze

4a Mt. 5:44.5a Alma 34:20–25.7a Mt. 6:5–6;

Alma 34:26.10a Alma 32:5.12a mwm Maandiko.

13a Alma 34:7.15a Yak. (KM) 4:4.

b 1 Ne. 19:10;Alma 34:7.

17a mwm Kifo chakishahidi, Mfiadini.

19a Kum. 18:15, 18;Alma 34:7.

b Hes. 21:9; 2 Ne. 25:20;Mos. 3:15.

c Yn. 3:14;Hel. 8:14–15.

Page 377: KITABU CHA MORMONI

Alma 33:20–34:2 360

kuishi. Na wengi waliangaliana wakaishi.20 Lakini wachache waliele-

wa maana ya vitu hivyo, na hiini kwa sababu ya ugumu wamioyo yao. Lakini kulikuwana wengi ambao walikuwa wa-mefanywa wagumu kwambahawangeangalia, kwa hivyowaliangamia. Sasa sababu yaoya kukataa kuangalia ni kwasababu hawakuamini kwambaaingewaponya.21 Ee ndugu zangu, ikiwa

mngeponywa tu kwa kutupamacho yenu kwamba mponywe,si mngeangalia upesi, au ni afa-dhali mshupaze mioyo yenukwa kutokuamini, na kuwawazembe, kwamba hamngetu-pa macho yenu ili mwangamie?

22 Ikiwa hivyo, taabu itawa-pata; lakini ikiwa si hivyo, basizungusha macho yako na uanzeakuamini katika Mwana waMungu, kwamba aje kuko-mboa watu wake, na kwambaatateseka na kufa ili balipe dha-mbi zao; na kwamba catafufukatena kutoka kwa wafu, na kuti-miza dufufuo, kwamba watuwote watasimama mbele yake,kuhukumiwa katika siku yamwisho, kulingana na emate-ndo yao.

23 Na sasa, ndugu zangu,natamani kwamba amtapandahili neno kwenye mioyo yenu,na itakavyoanza kumea ende-lea kuilisha na imani yenu. Natazama, itakuwa mti, bikimea

ndani yako kwa maisha yasiyona mwisho. Na kisha Munguakubali kwamba cmizigo yenuiwe miepesi, kupitia kwa sha-ngwe inayotokana na Mwanawake. Na hata haya yote mna-weza mkafanya mkipenda.Amina.

MLANGO WA 34

Amuleki anashuhudia kwambaneno liko ndani ya Kristo kwawokovu — Isipokuwa upatanishoufanywe, binadamu wote lazimawapotee — Sheria yote ya Musainaelekeza kwa dhabihu ya Mwanawa Mungu — Mpango wa milelewa ukombozi unatokana na imanina toba — Omba baraka kwa vituvya maisha ya kimwili na vya ki-roho — Haya maisha ni wakati wabinadamu kujitayarisha kukutanana Mungu — Tia bidii katikawokovu wenu kwa kumwogopaMungu. Karibu mwaka wa 74 kablaya kuzaliwa kwa Kristo.

Na sasa ikawa kwamba baadaya Alma kuwazungumzia ma-neno haya aliketi chini juu yaardhi, na aAmuleki aliamka nakuanza kuwafunza, akisema:

2 Ndugu zangu, ninadhanikwamba ni vigumu kwambamsijue vitu ambavyo vimezu-ngumziwa kuhusu kuja kwaKristo, ambaye tunafundishakwamba ni Mwana wa Mungu;ndio, ninajua kwamba ahivivitu vilifundishwa kwenu kwa

20a 1 Ne. 17:40–41.22a Alma 32:27–28.

b Alma 22:14; 34:8–9.c mwm Ufufuko.

d Alma 11:44.e mwm Matendo.

23a Alma 33:1; 34:4.b Alma 32:41;

M&M 63:23.c Alma 31:38.

34 1a Alma 8:21.2a Alma 16:13–21.

Page 378: KITABU CHA MORMONI

361 Alma 34:3–13

wingi kabla ya mfarakano wenukutoka miongoni mwetu.3 Na kwa vile mmetaka kwa-

mba ndugu yangu mpendwaawajulishe yale mnayostahilikufanya, kwa sababu ya mate-so yenu; na amewazungumziamachache ili kuzitayarisha akilizenu; ndio, na amewasihi muwena imani na uvumilivu —

4 Ndio, hata kwamba muwena imani nyingi hata ampandeneno ndani ya mioyo yenu, ilimjaribu kujua uzuri wake.5 Na tumeona kwamba swali

kubwa ambalo liko kwenyeakili zenu ni kama neno likokwa Mwana wa Mungu, aukama hakutakuweko na Kristo.

6 Na mliona kwamba nduguyangu amewathibitishia, kwamifano mingi, kwamba anenola wokovu liko katika Kristo.

7 Ndugu yangu ametumiamaneno ya Zeno, kwamba uko-mbozi huja kupitia Mwana waMungu, na pia alitumia manenoya Zenoki; na pia amekatarufani kwa Musa, kuthibitishakwamba hivi vitu ni vya kweli.

8 Na sasa, tazama, anitawa-shuhudia mimi mwenyewekwamba vitu hivi ni vya kweli.Tazama, nawaambia, kwambanajua kwamba Kristo atakujamiongoni mwa watoto wa watu,kujitwalia makosa ya watu,na kwamba batalipia dhambiza ulimwengu; kwani BwanaMungu amesema.

9 Kwani ni ya kufaa kwambaaupatanisho ufanywe, kwanikulingana na bmpango mkuuwa Mungu wa milele lazimaupatanisho ufanywe, la sivyowanadamu wote ni lazima bilakuepuka wapotee; ndio, wotewamekuwa wagumu; ndio,wote cwameanguka na wame-potea, na ni lazima wapotee isi-pokuwa wapitie kwa upatani-sho ambao ni lazima ufanywe.

10 Kwani ni ya kufaa kwambakuwe na adhabihu kuu na yamwisho; ndio, sio dhabihu yamtu, wala ya mnyama, wala yaaina yoyote ya ndege; kwanihaitakuwa dhabihu ya binada-mu; lakini lazima iwe bisiyo yamwisho na cdhabihu ya milele.

11 Sasa hakuna mtu yeyoteambaye anaweza kutoa dhabi-hu ya damu yake ambayo itali-pia dhambi ya mwingine. Sasa,kama mtu anaua, tazama, she-ria yetu, ambayo ni ya ahaki,itachukua maisha ya kaka yake?Nasema kwenu, Hapana.

12 Lakini sheria inahitaji mai-sha ya yule ambaye aameua;kwa hivyo hakuwezi kuwa nachochote ambacho kimepunguakuliko upatanisho usio namwisho ambao utatoshelezadhambi za ulimwengu.

13 Kwa hivyo, ni ya kufaakwamba kuwe na dhabihukubwa na ya mwisho, na ndipokutakuweko, au ni ya kufaakwamba kuweko akikomo kwa

4a Alma 33:23.6a Yn. 1:1, 14.8a mwm Shuhudia.

b mwm Lipia dhambi,Upatanisho.

9a Alma 33:22.

b Alma 12:22–33;Musa 6:62.

c mwm Anguko laAdamu na Hawa.

10a Musa 5:6–7.b 2 Ne. 9:7.

c mwm Dhabihu.11a Kum. 24:16;

Mos. 29:25.12a mwm Adhabu Kuu;

Mauaji.13a 3 Ne. 9:17, 19–20.

Page 379: KITABU CHA MORMONI

Alma 34:14–28 362

umwagaji wa damu; ndipobsheria ya Musa itapatwa kuti-mizwa; ndio, yote itatimizwa,kila tone na chembe, na haku-na yoyote ambayo itafutiliwambali.

1 4 N a t a z a m a , h i i n d i y oamaana kamili ya bsheria, kilachembe kikielekeza kwa ilecdhabihu kubwa na ya mwisho;na hivyo dhabihu kubwa na yamwisho itakuwa Mwana waMungu, ndio, isiyo ya mwishona milele.15 Na hivyo ataleta awokovu

kwa wote ambao wataaminikatika jina lake; hii ikiwa kusu-di la hii dhabihu ya mwisho,kufungua tumbo la rehema,ambayo hupindua haki, nakuwafungulia wanadamu njiaya kupata imani na toba.16 Na hivyo arehema inari-

dhisha mahitaji ya bhaki, nakuwazingira kwa mikono yausalama, wakati yule ambayehatumii imani kwa kutubuanajiweka wazi kwa sheriayote ya madai ya chaki; kwahivyo ni tu yule ambaye anaimani kwa toba atatimiziwadmpango mkuu wa ukombozi.17 Kwa hivyo Mungu awaja-

lie, ndugu zangu, kwambamwanze kutumia aimani yenukwa toba, kwamba mwanzebkulilingana jina lake takatifu,ili awe na rehema kwenu;

18 Ndio, mlilie kwa rehema;kwani ana uwezo wa kuokoa.

19 Ndio, mjinyenyekeze, nakuendelea kusali.

20 Mlilie mkiwa ndani yamashamba yenu, ndio, juu yamifugo yenu yote.

21 aMlilie ndani ya nyumbazenu, ndio, wote wa nyumbayako, asubuhi, mchana, na jioni.

22 Ndio, mlilie dhidi ya uwezowa maadui wenu.

23 Ndio, a mlil ie dhidi yabibilisi, ambaye ni adui wa yoteyaliyo chaki.24 Mlilie juu ya mimea yenu

ndani ya mashamba, kwambamuweze kufanikiwa.

25 Lieni juu ya kundi lamifugo katika mashamba yenu,kwamba iongezeke.

26 Lakini hii sio yote, lazimamfungue roho zenu ndani yaavijumba vyenu, na mahalipenu pa siri, na kwenye nyikazenu.

27 Ndio, na wakati hamumm-lilii Bwana, hebu amioyo yenubijae, mdumu katika sala kwakesiku zote kwa ustawi wenu, napia kwa ustawi wa wale ambaowako karibu nanyi.

28 Na sasa tazama, nduguzangu wapendwa, nawaambia,msidhani kwamba haya ni yote;kwani baada ya kufanya hivivitu vyote, ikiwa mtawafukuzaamasikini, na walio uchi, na

13b 3 Ne. 15:5.14a Alma 30:3.

b mwm Torati ya Musa.c M&M 138:35.

15a mwm Wokovu.16a mwm Rehema,

Rehema, enye.b mwm Haki.

c Alma 12:32.d mwm Mpango wa

Ukombozi.17a mwm Imani.

b mwm Sala.21a Zab. 5:1–3;

3 Ne. 18:21.23a 3 Ne. 18:15, 18.

b mwm Ibilisi.c mwm Haki, enye,

Uadilifu.26a Mt. 6:5–6.27a mwm Moyo.

b mwm Tafakari.28a mwm Maskini.

Page 380: KITABU CHA MORMONI

363 Alma 34:29–36

msiwatembelee wagonjwa nawalioteseka, na bkuwagawiamali yenu, ikiwa mnayo, waleambao wanahitaji — Ninawaa-mbia, ikiwa hamfanyi vituhivi, tazama, csala yenu ni yadbure, kwani hayatakupatiachochote, na wewe ni kama wa-nafiki ambao wanakana imani.

29 Kwa hivyo kama hamuwezikukumbuka kuwa awakarimu,ninyi ni kama takataka ambayowasafishaji hutupa nje, (ikiwahaina faida) na inakanyagwachini na miguu ya watu.

30 Na sasa, ndugu zangu,ningetaka kwamba baada yakupokea ushahidi mwingi hi-vyo, mkiona kwamba maandikomatakatifu yanashuhudia vituhivi, mje mbele na mwonyesheamatunda ya toba.31 Ndio, ningependa kwamba

mje mbele na msishupaze mio-yo yenu mara nyingine; kwanitazama, sasa ndio wakati naasiku ya wokovu wenu; nakwa hivyo ikiwa mtatubu, namsishupaze mioyo yenu, maramoja mpango mkuu wa uko-mbozi utatimizwa kwenu.

32 Kwani tazama, maishahaya ndiyo wakati wa watuakujitayarisha kukutana na Mu-ngu; ndio, tazama, wakati wamaisha haya ndiyo siku ya watukufanya kazi yao wanayohitaji.33 Na sasa, nilivyosema kwenu

mbeleni, kwa vile mna masha-

hidi wengi, kwa hivyo, nawao-mba amsiahirishe siku yenuya btoba hadi mwisho; kwanibaada ya siku hii ya maisha,ambayo tumepewa ya kujita-yarishia milele, tazama, kamahatuwezi kutenda mema wa-kati tuko kwa maisha haya,kutakuja cusiku wa dgiza amba-po hakutakuwa chochote kita-kachofanywa.

34 Huwezi kusema, wakatiutaletwa kwa ile ashida ya kuti-sha, kwamba nitatubu, kwambanitamrudia Mungu wangu.Hapana, hamuwezi kusemahivi; kwani ile roho ambayoinamiliki miili yenu mkitokakatika maisha haya, roho ile ileitakuwa na uwezo wa kushikamwili wako katika ule ulimwe-ngu wa milele.

35 Kwani tazama, ikiwa mme-ahirisha siku zenu za toba hadikifo, tazama, mmekuwa achiniya roho wa ibilisi, na amewatiab muhuri kuwa wake, kwahivyo, Roho ya Bwana imeando-ka kwenu, na hana mahalindani yenu, na ibilisi ana uwe-zo wote juu yenu; na hii ndiyohali ya mwisho wa waovu.

36 Na ninajua haya, kwasababu Bwana amesema haishikwenye mahekalu ayasiyo ma-takatifu, lakini yeye huishikwenye mioyo ya wale wenyebhaki; ndio, na pia amesemakwamba wenye haki watakaa

28b mwm Sadaka, Utoajisadaka.

c Mt. 15:7–8.d Moro. 7:6–8.

29a mwm Hisani.30a Mt. 3:8; Alma 13:13.31a Rum. 13:11–12.

32a 2 Ne. 2:21;Alma 12:24; 42:4–6.

33a Hel. 13:38; M&M 45:2.b mwm Toba, Tubu.c Yn. 9:4; M&M 45:17.d mwm Giza, Kiroho;

Mauti, ya Kiroho.

34a Alma 40:13–14.35a 2 Ne. 28:19–23.

b 2 Ne. 9:9.36a Mos. 2:37; Alma 7:21;

Hel. 4:24.b mwm Haki, enye,

Uadilifu.

Page 381: KITABU CHA MORMONI

Alma 34:37–35:4 364

chini katika ufalme wake, bilakwenda nje tena; lakini nguo zaosharti zifanywe nyeupe kupitiakwa damu ya mwanakondoo.37 Na sasa, ndugu zangu

wapendwa, natamani kwambamkumbuke vitu hivi, na kwa-mba amtumikie wokovu wenukwa woga mbele ya Mungu,na kwamba msikane tena kujakwa Kristo;38 Kwamba amsibishane tena

dhidi ya Roho Mtakatifu, lakinikwamba muipokee, na mjichu-kulie bjina la Kristo; kwambamjinyenyekeze sana hata kwe-nye mavumbi, na ckumwabuduMungu, mahali popote mtaka-pokuwa, ndani ya roho na ndaniya ukweli, na kwamba muishikatika dkushukuru kila siku,kwa rehema nyingi na barakaambazo anaweka kwenu.

39 Ndio, na pia nawasihi,ndugu zangu, kwamba muweawaangalifu ndani ya sala bilakikomo, ili msipotezwe nabmajaribio ya ibilisi, kwambaasiwashinde nyinyi, kwambamsije mkawa chini yake sikuya mwisho; kwani tazama, cha-kupatii zawadi ya kitu kizuri.

40 Na sasa ndugu zanguwapendwa, ningewasihi muwena auvumilivu, na kwambamvumilie aina yote ya mateso;kwamba bmsishutumu dhidiya wale waliowatupa nje kwasababu ya umasikini wenu

mkuu, msije kuwa wenye dha-mbi kama wao.

41 Lakini kwamba muwe nauvumilivu, na mvumilie yalemateso, na tumaini thabitikwamba siku moja mtapumzikakutoka kwa mateso yenu yote.

MLANGO WA 35

Kuhubiriwa kwa neno kunaanga-miza hila za Wazoramu — Wana-wafukuza waliobadilika, ambaobaadaye wanaungana na watu waAmoni katika Yershoni — Almaanahuzunika kwa sababu ya uovuwa watu. Karibu mwaka wa 74kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

Sasa ikawa kwamba Amulekialipomaliza kuzungumza ma-mbo hayo, waliondoka kutokalile kundi na wakaenda kwenyenchi ya Yershoni.

2 Ndio, na ndugu wengine,baada ya kuhubiri neno kwaWazoramu, pia walikuja kwe-nye nchi ya Yershoni.

3 Na ikawa kwamba baada yaWazoramu wengi waliokuwamashuhuri kushauriana pamo-ja kuhusu maneno ambayoyalikuwa yamehubiriwa kwao,walikasirika juu ya neno, kwanililiharibu ahila yao; kwa hivyohawangesikiliza maneno.

4 Na wakawatuma na waliwa-kusanya pamoja kote nchiniwatu wote, na kuwashauri

37a Flp. 2:12.38a mwm Ushindani.

b Mos. 5:8;Alma 5:38.

c mwm Kuabudu.d Zab. 69:30;

M&M 59:7.mwm Shukrani,Shukrani, enye,Toa shukrani.

39a mwm Kesha, Walinzi.b mwm Jaribu,

Majaribu.c Alma 30:60.

40a mwm Subira.b M&M 31:9.

35 3a mwm Ukuhaniwa uongo.

Page 382: KITABU CHA MORMONI

365 Alma 35:5–15

kuhusu maneno ambayo yali-kuwa yamesemwa.5 Sasa watawala wao na

makuhani wao na walimu waohawawafahamisha watu kuhu-su nia yao; kwa hivyo waligu-ndua kwa kisiri mawazo yawatu wote.

6 Na ikawa kwamba baadaya kupata mawazo ya watuwote, wale ambao waliungamkono yale maneno ambayoyalizungumzwa na Alma nandugu zake walitupwa nje yanchi; na walikuwa wengi; nawalikuja pia katika nchi yaYershoni.

7 Na ikawa kwamba Alma nandugu zake waliwahudumia.

8 Sasa watu wa Wazoramu wa-liwakasirikia watu wa Amoniambao walikuwa Yershoni, namtawala mkuu wa Wazoramu,akiwa mtu mwovu sana, alitu-ma mjumbe kwa watu waAmoni akiwataka wawatupenje ya nchi yao wale woteambao walitoka katika nchi yao.

9 Na alitoa vitisho vingi dhidiyao. Na sasa watu wa Amonihawakuogopa maneno yao; kwahivyo hawakuwatupa nje, laki-ni walipokea Wazoramu wotewaliokuwa masikini ambaowalikuja kwao; na awaliwali-sha, na wakawavisha, na wa-kawapatia ardhi kwa urithiwao; na wakawahudumia kuli-ngana na mahitaji yao.

10 Sasa hii iliwavuruga Wazo-ramu kuwakasirikia watu waAmoni, na wakaanza kucha-nganyika na Walamani na

wakawavuruga pia kukasirikadhidi yao.

11 Na hivyo Wazoramu naWalamani walianza kujiandaakwa vita dhidi ya watu waAmoni, na pia dhidi ya Wanefi.

12 Na hivyo ukaisha mwakawa kumi na saba wa utawala wawaamuzi juu ya watu wa Nefi.

13 Na watu wa Amoni walio-ndoka kutoka nchi ya Yershoni,na wakaingia katika nchi yaMeleki, na wakawapatia maje-shi ya Wanefi mahali katikanchi ya Yershoni, ili wakabilia-ne na majeshi ya Walamani namajeshi ya Wazoramu; na hivyovita vikaanza kati ya Walamanina Wanefi, katika mwaka wakumi na nane wa utawala wawaamuzi; na ahistoria itatolewakuhusu vita vyao baadaye.

14 Na Alma, na Amoni, nandugu zao, na pia wana wawiliwa Alma walirejea katika nchiya Zarahemla, baada ya kuwavyombo mikononi mwa Mungukuleta awengi wa Wazoramukutubu; na vile walipoletwakwa toba, walikimbizwa kutokakatika nchi yao; lakini wana ma-shamba kwa urithi wao katikanchi ya Yershoni, na wameta-yarisha silaha zao kwa kujiki-nga wenyewe, na wake zao, nawatoto, na mashamba yao.

15 Sasa Alma, akiwa amehu-zunishwa na uovu wa watuwake, ndio, kwa vita, na umwa-gaji wa damu, na mabishanoambayo yalikuwa miongonimwao; na akiwa ameenda ku-tangaza neno, au kwa maneno

9a Mos. 4:26.mwm Ustawi.

13a Alma 43:3.14a Alma 35:6.

Page 383: KITABU CHA MORMONI

Alma 35:16–36:5 366

mengine, kutangaza neno mio-ngoni mwa watu wote katikakila mji; na akiona kwambamioyo ya watu ilianza kuwamigumu, na kwamba walianzaakuudhika kwa sababu ya uha-lisi wa neno, moyo wake ulihu-zunika sana.16 Kwa hivyo, alisababisha

kwamba wana wake wakusa-nywe pamoja, ili atoe amaagizotofauti, kwa kila mmoja, kuhusuvitu vinavyohusiana na haki.Na tuna historia ya amri zake,ambazo aliwapatia kulinganana maandishi yake.

Amri za Alma kwa mwanawake Helamani.

Yenye milango ya 36 na 37.

MLANGO WA 36

Alma anashuhudia kwa Helamanikubadilika kwake baada ya kuonamalaika—Alivumilia maumivu yaroho iliyolaaniwa; akamwombaYesu, na ndipo akazaliwa katikaMungu — Shangwe tamu iliijazaroho yake — Aliona makundi yamalaika yakimsifu Mungu — We-ngi waliobadilika wameonja nakuona vile amevyonja na kuona.Karibu mwaka wa 74 kabla yakuzaliwa kwa Kristo.aMwana wangu, sikiliza mane-

no yangu; kwani naapa kwako,kwamba kadiri utakavyowekaamri za Mungu ndivyo utafa-nikiwa katika nchi.

2 Ningetaka kwamba ufanyevile nimevyofanya, kwa kuku-mbuka autumwa wa babu zetu;kwani walikuwa katika utu-mwa, na hapakuwa na yeyoteambaye angewaokoa isipokuwaawe bMungu wa Ibrahimu, naMungu wa Isaka, na Mungu waYakobo; na kwa kweli aliwa-komboa katika mateso yao.

3 Na sasa, Ee mwana wanguHelamani, tazama, wewe nikijana, na kwa hivyo, nakuombawewe kwamba usikilize mane-no yangu na ujifunze kutokakwangu; kwani najua kwambawote watakaoweka imani yaokatika Mungu watasaidiwa kwaamajaribio yao, na taabu zao,na mateso yao, na bwatainuliwajuu katika siku ya mwisho.

4 Na sitaki kwamba ufikirikwamba animejijulia — sio kwabkimwili lakini kwa kiroho, siokwa mawazo ya kimwili lakiniya Mungu.

5 Sasa, tazama, nakwambia,ikiwa anisingezaliwa kwa Mu-ngu bnisingekuwa nimejua vituhivi; lakini Mungu, kwa mdo-mo wa malaika wake mtakati-fu, amethibitisha hivi vitukwangu, sio kwa sababu yacwema wangu;

15a mwm Ukengeufu.16a mwm Msimamizi,

Usimamizi.36 1a Hel. 5:9–14.

2a Mos. 23:23; 24:17–21.b Kut. 3:6;

Alma 29:11.

3a Rum. 8:28.b Mos. 23:21–22.

4a 1 Kor. 2:11;Alma 5:45–46.mwm Maarifa.

b mwm Tamaa zakimwili.

5a mwm Zaliwa naMungu, ZaliwaTena.

b Alma 26:21–22.c mwm Kustahili,

enye, Ustahiliki.

Page 384: KITABU CHA MORMONI

367 Alma 36:6–18

6 Kwani nilienda na wanawa Mosia, nikinuia akuharibukanisa la Mungu; lakini tazama,Mungu alimtuma malaika wakemtakatifu kutuzuia tulipokuwanjiani.7 Na tazama, alituzungumzia,

kwa sauti kama ya radi, naardhi yote ailitetemeka chini yamiguu yetu; na sisi sote tuliina-ma kwenye ardhi, kwani bhofuya Bwana ilitujia.

8 Lakini tazama, sauti ilinia-mbia: Amka. Na niliamka nakusimama wima, na nikaonamalaika.

9 Na akaniambia: Ikiwa huta-ki kuangamizwa mwenyewe,usijaribu tena kuangamiza ka-nisa la Mungu.

10 Na ikawa kwamba niliina-ma kwenye ardhi; na ilikuwakwa muda wa siku atatu nausiku tatu kwamba nisingefu-ngua kinywa changu, walakutumia viungo vyangu.

11 Na malaika alinizungum-zia vitu vingi zaidi, ambavyovilisikika na ndugu zangu, laki-ni mimi sikuvisikia; kwani wa-kati niliposikia maneno—Ikiwahutaki kujiangamiza mwenye-we, usijaribu tena kuliangamizakanisa la Mungu — Nilipigwana woga mwingi sana na msha-ngao kwa hofu kwamba ninge-angamizwa, kwamba niliinamakwenye ardhi na sikusikia tena.

12 Lakini nilisumbuliwa naadhabu ya amilele, kwani roho

yangu iliteseka kwa kiasi kiku-bwa sana na kuadhibiwa kwadhambi zangu zote.

13 Ndio, nilikumbuka dhambizangu zote na uovu, kwa ajilihiyo aniliadhibiwa na uchunguwa jahanamu; ndio, nilionakwamba nimeasi dhidi yaMungu wangu, na kwambasikuwa nimetii amri zake.

14 Ndio, na nilikuwa nimeuawatoto wake wengi, au kwausahihi zaidi niliwaelekezakwenye maangamizo; ndio, nakwa ufupi uovu wangu ulikuwamwingi sana kwamba ile fikiraya kukaribia uwepo wa Munguwangu iliiadhibu nafsi yangukwa hofu kuu isiyoelezeka.

15 Ee, ni l i f ikir i kwamba,aningehaamishwa na kutoku-wepo kwa nafsi wala mwili,kwamba nisingeletwa kusima-ma kwenye uwepo wa Munguwangu, kuhukumiwa kwabvitendo vyangu.

16 Na sasa, kwa usiku tatu nakucha tatu niliteseka, hata nauchungu wa anafsi iliyolaaniwa.17 Na ikawa kwamba wakati

nilipoteseka na maumivu ma-baya, wakati anilihuzunishwana ufahamu wa dhambi zangunyingi, tazama, nilikumbukapia nikisikia baba yangu aki-toa unabii kwa watu kuhusukuja kwa mmoja aitwaye YesuKristo, Mwana wa Mungu, ku-lipia dhambi za ulimwengu.

18 Sasa, nilipofiikiria wazo

6a Mos. 27:10.7a Mos. 27:18.

b mwm Hofu—Hofujuu ya Mungu.

10a Mos. 27:19–23.

12a M&M 19:11–15.13a mwm Hatia.15a Ufu. 6:15–17;

Alma 12:14.b Alma 41:3;

M&M 1:9–10.16a mwm Hukumu.17a 2 Kor. 7:10.

Page 385: KITABU CHA MORMONI

Alma 36:19–28 368

hili , nililia ndani ya moyowangu: Ee Yesu, wewe Mwanawa Mungu, nihurumie, mimiambaye anina uchungu, nanimezungukwa na bminyororoya kifo kisicho na mwisho.19 Na sasa, tazama, nilipofiki-

ri hivi, sikukumbuka uchunguwangu tena; ndio, asikutesekana ufahamu wa dhambi zangutena.

20 Na Ee, ni ashangwe gani,na ni mwangaza gani wa ajabuniliouona; ndio, nafsi yanguilijazwa na shangwe ya ajabukama vile ulikuwa uchunguwangu!

21 Ndio, nakwambia, mwanawangu, kwamba hakungekuwana chochote kilichokuwa kikalivile na kichungu vile ulivyoku-wa uchungu wangu. Ndio, natena ninakwambia, mwana wa-ngu, kwamba upande mwingi-ne, hapawezi kuwa na kitukizuri hivyo na kitamu vileilivyokuwa shangwe yangu.

22 Ndio, nilidhani niliona;hata vi le babu yetu a Lehialivymwoona, Mungu akiketikwenye kiti chake cha enzi,akizungukwa na umati usiohe-sabika wa malaika, kwa hali yakuimbia na kumsifu Munguwao; ndio, na nafsi yangu ilita-mani kuwa hapo.23 Lakini tazama, viungo vya-

ngu vilipata anguvu tena, na ni-lisimama kwa miguu yangu, na

nikajidhihirisha kwa watu kwa-mba bnimezaliwa kwa Mungu.24 Ndio, na tangu wakati huo

hata hadi sasa, nimefanya kazibila kukoma, kwamba niletenafsi za watu kutubu; kwambaningewaleta wapate akuonjashangwe kuu ambayo niliiona;ili nao pia wazaliwe ndani yaMungu, na bwajazwe na RohoMtakatifu.

25 Ndio, na sasa tazama, Eemwana wangu, Bwana hunipashangwe kuu kwa matokeo yakazi yangu;

26 Kwani kwa sababu ya anenoambalo amenipatia, tazama, we-ngi wamezaliwa kwa Mungu,na wameonja vile nimevyonja,na wameona macho kwa ma-cho vile nimevyona; kwa hivyowanajua kuhusu vitu hiviambavyo nimezungumzia, vileninavyojua; na elimu ambayoninayo ni ya Mungu.

27 Na nimesaidiwa wakati wamajaribio na taabu za kila aina,ndio, na kwa kila aina ya mate-so; ndio, Mungu amenikomboakutoka jela, na kutoka kufu-ngwa, na kutoka kifo; ndio, naninaweka tumaini langu ndaniyake, na aatanikomboa.28 Na ninajua kwamba aataii-

nua katika siku ya mwisho, ku-ishi na yeye kwenye butukufu;ndio, na nitamsifu milele, kwanicamewaleta babu zetu nje yaMisri, na amewameza dWamisri

18a m.y. majuto makuu.b 2 Ne. 9:45; 28:22;

Alma 12:11;Musa 7:26.

19a mwm Hatia.20a mwm Shangwe.22a 1 Ne. 1:8.

23a Musa 1:10.b Alma 5:14.

mwm Zaliwa naMungu, Zaliwa Tena.

24a 1 Ne. 8:12;Mos. 4:11.

b 2 Ne. 32:5; 3 Ne. 9:20.

mwm Roho Mtakatifu.26a Alma 31:5.27a Zab. 34:17.28a 3 Ne. 15:1.

b mwm Utukufu.c Kut. 12:51.d Kut. 14:26–27.

Page 386: KITABU CHA MORMONI

369 Alma 36:29–37:6

ndani ya Bahari ya Shamu; naaliwaongoza na uwezo wakehadi kwenye nchi ya ahadi;ndio, na amewakomboa kutokakifungoni na utumwa mara kwamara.29 Ndio, na amewaleta babu

zetu kutoka nchi ya Yerusale-mu; na pia kwa uwezo wakeusio na mwisho, aamewako-mboa kutoka kifungoni nautumwa wao, mara kwa marahadi wakati huu; na daimanimehifadhi ukumbusho wautumwa wao; ndio, na nyinyipia inawapasa kuhifadhi uku-mbusho wa utumwa wao, kamavile nimevyofanya.

30 Lakini tazama, mwanawangu, hi i s i yote ; kwaniunapaswa kujua vile ninajuakwamba akadiri utakavyoshikaamri za Mungu utafanikiwanchini; na unapaswa kujua piakwamba, kadiri utakavyoachakutii amri za Mungu utatolewakwenye uwepo wake. Sasa hiini kulingana na neno lake.

MLANGO WA 37

Bamba za shaba na maandiko me-ngine yamehifadhiwa ili kuongozanafsi kwenye wokovu — Wayarediwaliangamizwa kwa sababu yauovu wao — Viapo vyao vya kisirina maagano lazima vihifadhiwembali kutoka kwa watu — Shauri-ana na Bwana kwa matendo yakoyote — Vile Liahona iliowangoza

Wanefi, kadhalika neno la Kristohuwaongoza watu kwenye uzimawa milele. Karibu mwaka wa 74kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

Na sasa, mwana wangu Hela-mani, ninakuamuru kwambauchukue amaandishi ambayobnilikabidhiwa;

2 Na pia ninakuamuru kwa-mba uandike maandishi yahawa watu, kulingana na vilenimefanya, kwenye bamba zaNefi, na uhifadhi vitu hivi vyotevitakatifu ambavyo nimehifa-dhi, hata vile nimevihifadhi;kwani ni kwa sababu ya abusarakwamba zimewekwa.

3 Na hizi abamba za shaba,ambazo zina michoro, ambazozina maandiko matakatifujuu yake, ambazo zina nasabaya babu zetu, hata kutokamwanzoni —

4 Tazama, unabii umetolewa nababu zetu, kwamba zihifadhiwena kutolewa kutoka kwa kizazikimoja hadi kingine, na ziwe-kwe na kulindwa na mkono waBwana mpaka ziwafikie kila ta-ifa, ukoo, lugha, na watu, kwa-mba wafahamu asiri zilizomo.5 Na sasa tazama, ik iwa

zitahifadhiwa lazima ziwekemng’aro wao; ndio, na zihifadhimng’aro wao; ndio, na piabamba zote ambazo zina maa-ndiko matakatifu.

6 Sasa labda unadhani kwambahuu ni aupuuzi ndani yangu;lakini tazama nakwambia,

29a Mos. 24:17; 27:16;Alma 5:5–6.

30a 2 Ne. 1:9–11;Alma 50:19–22.

37 1a Alma 45:2–8.

b Mos. 28:20.2a Eno. 1:13–18;

M ya Morm. 1:6–11;Alma 37:9–12.

3a 1 Ne. 5:10–19.

mwm Mabamba yaShaba Nyeupe.

4a mwm Siri za Mungu.6a 1 Kor. 2:14.

Page 387: KITABU CHA MORMONI

Alma 37:7–15 370

kwamba kupitia kwa vitu vili-vyo bvidogo na rahisi vituvikubwa hutendeka; na njiandogo mara nyingi hufadhai-sha wenye hekima.

7 Na Bwana Mungu hutumiaanjia zake ili kutimiza kusudilake kuu na la milele; na kwanjia bndogo sana Bwana hufa-wadhaisha wale werevu na ku-timiza wokovu wa roho nyingi.

8 Na sasa, mpaka sasa imeku-wa hekima ndani ya Mungukwamba vitu hivi vihifadhiwe;kwani tazama, avimeongezaufahamu wa watu hawa, ndio,na kuwasadikisha wengi ku-husu makosa ya njia zao, nakuwaleta kwenye ufahamu waMungu wao hadi kwa wokovuwa nafsi zao.9 Ndio, nakwambia wewe,

aisingekuwa vitu hivi ambavyomaandishi haya yanayo, amba-vyo viko kwenye bamba hizi,Amoni na ndugu zake bhawa-ngesadikisha maelfu wengihivyo wa Walamani kuhusudesturi zisizo sawa za babazao; ndio, haya mandishi nacmaneno yao yaliwaleta kwe-nye toba; yaani, yaliwaleta kwaufahamu wa Bwana Munguwao, na kufurahi katika YesuKristo Mkombozi wao.10 Na nani anajua lakini

kwamba watakuwa njia yakuwaleta maelfu wengi wao,ndio, na pia maelfu wengi wa

ndugu zetu wenye shingo ngu-mu, Wanefi, ambao sasa wana-shupaza mioyo yao kwenyedhambi na uovu, kwa ufahamuwa Mkombozi wao?

11 Sasa hizi siri hazijafahami-shwa kwangu kabisa; kwahivyo sitaongea tena.

12 Na ingetosha kwangu kuse-ma zimehifadhiwa kwa kusudila busara, kusudi ambalo lina-julikana na Mungu; kwani yeyeahushauri kwa hekima juu yakazi yake yote, na njia zake ninyoofu, na mwenendo wake niule busiobadilika.13 Ee kumbuka, kumbuka,

mwana wangu Helamani, vileamri za Mungu ni akali. Naalisema: bIkiwa utatii amri za-ngu cutafanikiwa nchini—laki-ni kama huwezi kutii amri zakeutatolewa kutoka uwepo wake.

14 Na sasa kumbuka, mwanawangu, kwamba Mungu aame-kukabidhii vitu hivi, ambavyoni btakatifu, ambavyo amezifa-nya zitakatifu, na pia ambavyoataweka na kuhifadhi kwa niaya cbusara ambayo anajua, iliaweze kuonyesha uwezo wakekwa vizazi vijavyo.

15 Na sasa tazama, nakwambiakwa roho ya unabii, kwambaikiwa utavunja amri za Mungu,tazama, vitu hivi ambavyo niwakfu vitatolewa kwako kwauwezo wa Mungu, na utatolewakwa Shetani, kwamba aweze

6b 1 Ne. 16:28–29;M&M 64:33;123:15–17.

7a Isa. 55:8–9.b 2 Fal. 5:1–14.

8a 2 Tim. 3:15–17;Mos. 1:3–5.

9a Mos. 1:5.b Alma 18:36; 22:12.c mwm Injili.

12a 2 Ne. 9:28;Yak. (KM) 4:10.

b 1 Ne. 10:19;Alma 7:20.

13a 2 Ne. 9:41.b Alma 9:13; 3 Ne. 5:22.c Mos. 1:7;

Alma 50:20.14a M&M 3:5.

b mwm Mtakatifu.c 1 Ne. 9:3–6.

Page 388: KITABU CHA MORMONI

371 Alma 37:16–25

kukuchunga kama kapi mbeleya upepo.16 Lakini kama utatii amri za

Mungu, na ufanye vitu hiviambavyo ni vitakatifu kulinga-na na yale ambayo Bwana ame-kuamuru ufanye, (kwani lazimauombe msaada wa Bwana kwavitu vyote ambavyo unatakakuvitumia) tazama, hakunanguvu za ardhini au jahanamu,zinazoweza akuvichukua kuto-ka kwako, kwani Mungu nimwenye uwezo kwa kutimizamaneno yake yote.

17 Kwani atatimza ahadi zakezote ambazo atakuahidi, kwaniametimiza ahadi zake ambazoamewaahidi babu zetu.

18 Kwani aliwaahidi kwambaaatahifadhi vitu hivi kwa kusudila busara kwake, kwambaangeweza kuonyesha nguvuyake kwa vizazi vijavyo.19 Na sasa tazama, kusudi

moja ametimiza, hata kwakurudisha maelfu awengi waWalamani kwa ufahamu waukweli; na ameonyesha tenauwezo wake kwao, na pia atao-nyesha uwezo wake tena ndaniyao kwa vizazi bvijavyo; kwahivyo vitahifadhiwa.

20 Kwa hivyo ninakuamuru,mwana wangu Helamani, kwa-mba uwe na bidii kwa kutimizamaneno yangu yote, na kwambauwe na bidii kwa kutii amri zaMungu kama zimeandikwa.

21 Na sasa, nitaongea na wewe

kuhusu zile bamba aishirinina nne, kwamba uzihifadhi, ilisiri na vitendo viovu, na kazizao za bsiri, au kazi za siri zawale watu ambao wemeanga-mizwa, zingeonyeshwa kwawatu hawa; ndio, mauaji yaoyote, na wizi, na utekaji nyarawao, na maovu na machukizoyao yote, yangejulikana kwahawa watu; ndio, na kwambauzihifadhi cvitafsiri hivi.

22 Kwani tazama, Bwana alio-na kwamba watu wake walia-nza kufanya kazi gizani, ndio,walifanya mauaji ya siri namachukizo; kwa hivyo Bwanaalisema, ikiwa hawangetubuwangeamizwa kutoka usonimwa dunia.

23 Na Bwana akasema: Nita-tamyarishia mtumishi wanguGazelemu, ajiwe, ambalo litamu-lika mwangaza gizani, kwambaniwafahamishe watu wanguambao wananihudumia, kwa-mba ningewafahamisha kaziza ndugu zao, ndio, kazi zao zasiri, kazi zao za gizani, na uovuwao na machukizo yao.

24 Na sasa mwana wangu, hivivitafsiri zilitayarishwa kwambaneno la Mungu lingetimizwa,ambalo alizungumza, akisema:

25 aNitatoa nje kutoka gizanihadi kwenye mwanga kazi zaoza siri na machukizo yao; nawasipotubu bnitawaangamizakutoka uso wa dunia; na nitaletakwa mwangaza siri zao zote na

16a JS—H 1:59.18a M&M 5:9.19a Alma 23:5.

b Eno. 1:13;Morm. 7:8–10.

21a Eth. 1:1–5.b mwm Makundi

maovu ya siri.c mwm Urimu na

Thumimu.

23a Mos. 8:13.25a M&M 88:108–110.

b Mos. 21:26.

Page 389: KITABU CHA MORMONI

Alma 37:26–35 372

machukizo yao, kwa kila taifaambalo kutoka sasa kuendelealitamiliki nchi.26 Na sasa, mwana wangu,

tunajua kwamba hawakutubu;kwa hivyo wameangamizwa,na hivyo neno la Mungu limeti-mizwa; ndio, siri zao za ma-chukizo zimetolewa gizani nakujulikana kwetu.

27 Na sasa, mwana wangu, ni-nakuamuru uweke viapo vyao,na maagano yao, na mapatanoyao ya siri zao za machukizo;ndio, na aishara zao zote namiujiza ya hila utaficha kutokakwa hawa watu, ili wasiyajue,isiwe ikawa waanguke gizanipia na waangamizwe.

28 Kwani tazama, kuna alaanajuu ya nchi hii yote, kwambamaangamizo yatafika juu yawale wote wanaofanya kazigizani, kulingana na uwezo waMungu, wakati watakuwa wa-meiva; kwa hivyo natamanikwamba hawa watu wasianga-mizwe.29 Kwa hivyo utaweka hii

mipango yao ya siri za aviapona maagano yao kutoka kwahawa watu, na tu maovu yao namauaji yao na machukizo yaoyatajulishwa kwao; na utawafu-ndisha bkuchukia maovu na ma-chukizo na mauaji kama hayo,na utawafundisha pia kwambahawa watu waliangamizwakwa sababu ya uovu wao namachukizo na mauaji yao.

30 Kwani tazama, waliwauamanabii wote wa Bwana ambaowalikuja miongoni mwao ku-tangaza kwao kuhusu uovu; nadamu ya wale ambao waliwauaililia kutoka ardhini kwa BwanaMungu wao kulipiza kisasikwa wale ambao waliwaua; nahivi hukumu ya Mungu iliwajiahawa wafanyikazi wa giza namakundi maovu ya siri.

31 Ndio, na nchi ilaaniwemilele na milele kwa walewafanyikazi wa gizani na ma-kundi ya siri, hata kwenye ma-angamizo, isipokuwa watubukabla ya kuwa waovu kabisa.

32 Na sasa, mwana wangu,kumbuka maneno ambayo ni-mekuzungumzia; usiamini ilemipango ya siri kwa watu hawa,lakini uwafundishe achuki isiyona mwisho dhidi ya dhambi nauovu.

33 aWahubirie toba, na ima-ni kwa Bwana Yesu Kristo;wafundishe kujinyenyekea nakuwa bwapole, na wanyenye-kevu moyoni; wafunze kushi-ndana na kila cjaribio la ibilisi,na imani yao kwa Bwana YesuKristo.

34 Wafunze wasichoke na kazinzuri daima, lakini kuwa wa-pole na wanyenyekevu moyoni;kwani kama hawa watapataamapumziko kwa nafsi zao.35 Ee, kumbuka, mwana wa-

ngu, na ujifunze ahekima kati-ka ujana wako; ndio, jifunze

27a Hel. 6:22.28a Alma 45:16;

Eth. 2:7–12.29a Hel. 6:25.

b Alma 13:12.

32a 2 Ne. 4:31.33a mwm Hubiri.

b mwm Mpole, Upole.c mwm Jaribu,

Majaribu.

34a Zab. 37:4–7;Mt. 11:28–30.

35a mwm Hekima.

Page 390: KITABU CHA MORMONI

373 Alma 37:36–45

katika ujana wako kutii amri zaMungu.36 Ndio, na amlilie Mungu

kwa usaidizi wako wote; ndio,acha vitendo vyako vyote viwekwa Bwana, na popote uendapoacha iwe kwa Bwana; ndio, achafikira zako zote zielekezwe kwaBwana; ndio, acha mapenzi yamoyo wako yaelekezwe kwaBwana milele.37 aShauriana na Bwana kwe-

nye matendo yako yote, naatakuongoza kwa yale mema;ndio, unapolala usiku lala ka-tika Bwana, ili akulinde usingi-zini mwako; na ukiamka asu-buhi hebu moyo wako ujazwena bshukrani kwa Mungu; naukifanya vitu hivi, utainuliwakatika siku ya mwisho.

38 Na sasa, mwana wangu,nina machache ya kuzungumzakuhusu kitu ambacho babu zetuwanaita mpira, au mwelekezi—au baba zetu waliita aLiahona,ambayo, inaamanisha dira; naBwana aliitayarisha.39 Na tazama, hakungekuwa

na mtu ambaye angetengenezakitu cha mtindo aina hii. Natazama, ilitayarishwa kuwao-nyesha babu zetu njia ambayowangesafiria katika nyika.

40 Na iliwatumikia kulinganana imani yao kwa Mungu;kwa hivyo, kama walikuwana aimani kuamini kwambaMungu angesababisha hivyovijiti vingeonyesha njia ambayowangefuata, tazama, ilifanyika;

kwa hivyo walikuwa na muuji-za huu, na pia miujiza minginemingi iliyofanyika kwa uwezowa Mungu, siku hadi siku.

41 Walakini, kwa sababu hiyomiujiza ilitendeka kupitia kwanjia arahisi iliwaonyesha kazi yakushangaza. Walikuwa wavivuna walisahau kutumia imaniyao na bidii na baadaye zile kaziza ajabu zilikoma, na hawaku-endelea kwenye safari yao;

42 Kwa hivyo, walikaa nyika-ni, au hawakusafiri kwa njianyoofu, na waliteswa na njaa nakiu, kwa sababu ya makosa yao.

43 Na sasa, mwana wangu,ningependa uelewe kwambavitu hivi haviko bila mfano wamaana; kwani vile babu zetuwalivyokuwa wavivu kufuatahii duara (sasa vitu hivi viliku-wa vya muda) hawakufanikiwa;hata hivyo ndivyo ilivyo navitu ambavyo ni vya kiroho.

44 Kwani tazama, ni rahisikama kutii aneno la Kristo,ambalo litakuonyesha njianyoofu kwa raha ya milele,kama vile ilivyokuwa kwababu zetu kutii hii dira, ambayoingewaonyesha njia nyoofukuelekea nchi ya ahadi.

45 Na sasa nasema, hakunamfano wa kitu hiki? Kwanikwa hakika vile mwongozo huuulivyowaleta babu zetu kwakufuata njia yake, kuelekeanchi ya ahadi, hivyo manenoya Kristo, ikiwa tutafuata mwe-lekeo wake, yatatuvukisha hili

36a mwm Sala.37a Yak. (KM) 4:10;

M&M 3:4.b M&M 46:32.

38a 1 Ne. 16:10; 18:12;M&M 17:1.

40a 1 Ne. 16:28.41a Alma 37:6–7.

44a Zab. 119:105;1 Ne. 11:25;Hel. 3:29–30.

Page 391: KITABU CHA MORMONI

Alma 37:46–38:6 374

bonde la huzuni hadi mbalikwenye nchi bora ya ahadi.46 Ee mwana wangu, usiache

tuwe awavivu kwa sababu yaurahisi wa bnjia; kwani hivyondivyo ilivyokuwa babu zetu;kwani hivyo ndivyo ilivyota-yarishwa kwao, kwamba ikiwawangeangalia kwake cwangei-shi; hata hivyo iko nasi. Njiaimetayarishwa, na ikiwa tutaa-ngalia tutaishi milele.47 Na sasa, mwana wangu,

uwe na hakika kwamba unali-nda vitu hivi vitakatifu, ndio,ona kwamba umeelekeza jichokwa Mungu na uishi. Waendeehawa watu na kutangaza neno,na uwe na busara. Mwanawangu, kwaheri.

Amri za Alma kwa mwanawake Shibloni.

Yenye mlango wa 38.

MLANGO WA 38

Shibloni aliteswa kwa ajili ya haki— Wokovu uko ndani ya Kristo,ambaye ni uzima na mwangazawa ulimwengu — Jifunze kuzuiatamaa zenu. Karibu mwaka wa 74kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

Mwana wangu, sikiliza mane-no yangu, kwani ninakwambia,vile nilimwambia Helamani,kwamba ikiwa utatii amri zaMungu utafanikiwa katika nchi;

na kadiri hutatii amri za Munguutaondolewa kwenye uwepowake.

2 Na sasa, mwana wangu,ninaamini kwamba nitakuwana shangwe kuu juu yako, kwasababu ya uthabiti wako naimani yako kwa Mungu; kwanikwa njia hiyo umeanza katikaujana wako kumtegemea BwanaMungu wako, hata hivyo nata-rajia kwamba autaendelea kutiiamri zake; kwani heri yulebatakayevumilia hadi mwisho.

3 Nakwambia wewe, mwanawangu, kwamba tayari nime-kuwa na shangwe kwako, kwasababu ya uaminifu wako nabidii yako na subira yako nauvumilivu wako miongoni mwawatu wa aWazoramu.4 Kwani ninajua kwamba uli-

kuwa umefungwa; ndio, na pianajua kwamba ulipigwa kwamawe kwa ajili ya kuhubirineno; na aulivumilia hivi vituvyote kwa sababu Bwana bali-kuwa nawe; na sasa unajuakwamba Bwana alikuokoa.

5 Na sasa mwana wangu,Shibloni, ningetaka wewe uku-mbuke, kwamba kadiri utaka-vyoweka aimani yako ndani yaMungu hata hivyo zaidi buta-kombolewa kutoka kwa maja-ribio yako, na ctaabu zako, namateso yako, na utainuliwa juusiku yako ya mwisho.

6 Sasa, mwana wangu singe-taka kwamba ufikirie kwamba

46a 1 Ne. 17:40–41.b Yn. 14:5–6;

2 Ne. 9:41; 31:17–21;M&M 132:22, 25.

c Yn. 11:25;Hel. 8:15;

3 Ne. 15:9.38 2a Alma 63:1–2.

b 2 Ne. 31:15–20;3 Ne. 15:9; 27:6, 16–17.

3a Alma 31:7.4a mwm Subira.

b Rum. 8:35–39.5a Alma 36:27.

mwm Tegemea.b Mt. 11:28–30.c M&M 3:8; 121:7–8.

Page 392: KITABU CHA MORMONI

375 Alma 38:7–15

ninajua vitu hivi kwa uwezowangu, lakini ni Roho ya Bwanailiyo ndani yangu ndiyo inayo-nijulisha vitu hivi; kwani kamaanisingezaliwa kwa Mungunisingejua vitu hivi.7 Lakini tazama, Bwana kwa

rehema yake kuu alimtumaamalaika wake kutangaza kwa-ngu kwamba nikome kazi yabkuangamiza miongoni mwawatu wake; ndio, na nime-mwona malaika uso kwa uso,na akazungumza na mimi, nasauti yake ilikuwa kama radi,na ikatetemesha ardhi yote.8 Na ikawa kwamba nilikuwa

kwa usiku tatu na kucha tatundani ya uchungu mkali namaumivu ya roho; na haikuwampaka nilipomlilia Bwana YesuKristo kwa huruma, ndiponikapata akusamehewa dhambizangu. Lakini tazama, nilimliliana nikapata amani ndani yaroho yangu.

9 Na sasa, mwana wangu,nimekwambia hii ili ujifunzehekima, kwamba ungejifunzakutoka kwangu kwamba aha-kuna njia nyingine au kwavyote ambayo binadamu ana-weza kuokolewa, ila tu kwa nakupitia kwa Kristo. Tazama,yeye ni uzima na bmwangazawa ulimwengu. Tazama, yeyeni neno la ukweli na haki.10 Na sasa, vile umeanza

kufundisha neno hata hivyoningetaka kwamba uendelee

kufundisha; na ningetaka kwa-mba uwe na bidii na kiasi kwavitu vyote.

11 Hakikisha kwamba hujii-nui kwa kiburi; ndio, angaliakwamba ahujisifu kwa hekimayako mwenyewe, wala kwanguvu yako nyingi.

12 Tumia ujasiri, lakini usiwemjeuri; na pia uone kwambaujifunze kuzuia tamaa zakozote, ili uweze kujazwa namapenzi; hakikisha kwambauepuke kutokana na uvivu —

13 Usiombe vile Wazoramuwanavyofanya, kwani umeonakwamba wanaomba kuonekanana watu, na kusifiwa kwa heki-ma yao.

14 Usiseme: Ee Mungu, nina-kushukuru kwamba tu awemakuliko ndugu zetu; lakini afa-dhali useme: Ee Bwana, unisa-mehe kwa bkutokuwa na hakikwangu, na ukumbuke nduguzangu kwa huruma—ndio, ku-bali kutokuwa na haki kwakombele ya Mungu wakati wote.

15 Na Bwana aibariki rohoyako, na akupokee katika sikuya mwisho ndani ya ufalmewake, kuketi chini kwa amani.Sasa nenda, mwana wangu, naufunze neno kwa hawa watu.Uwe na busara. Mwana wangu,kwaheri.

Amri za Alma kwa mwanawake Koriantoni.

6a Alma 36:26;M&M 5:16.mwm Zaliwa naMungu, Zaliwa Tena.

7a Mos. 27:11–17.

b Alma 26:17–18;36:6–11.

8a mwm Ondoleo laDhambi.

9a Hel. 5:9.

b Mos. 16:9.11a mwm Kiburi.14a Alma 31:16.

b Lk. 18:10–14.

Page 393: KITABU CHA MORMONI

Alma 39:1–9 376

Zenye milango ya 39hadi 42 yote pamoja.

MLANGO WA 39

Dhambi ya ngono ni machukizo —Dhambi za Koriantoni ziliwazuiaWazoramu kupokea neno — Uko-mbozi wa Kristo utaponya waumi-ni ambao waliutangulia. Karibumwaka wa 74 kabla ya kuzaliwakwa Kristo.

Na sasa, mwana wangu, ninavitu vingi zaidi kukuzungumziakuliko yale niliyomzungumziakaka yako; kwani tazama, hu-jachunguza unyofu wa kakayako, uaminifu wake, na bidiiyake kwa kutii amri za Mungu?Tazama, si yeye amekupatiamfano mzuri?

2 Kwani hukut i i manenoyangu vile kaka yako alivyofa-nya , miongoni mwa watuwa aWazoramu. Sasa hii ndiyoninayo dhidi yako; uliendeleakujivuna kwa sababu ya nguvuyako na hekima yako.

3 Na hii siyo yote, mwanawangu. Ulifanya yale ambayoyalikuwa ya kusikitisha kwa-ngu; kwani uliacha huduma,na ukaenda kwenye nchi yaSironi ndani ya mipaka na nchiya Walamani, kumtafuta aka-haba Isabeli.

4 Ndio , a al i iba mioyo yawengi; lakini hii sio kisingiziokwako, mwana wangu. Ungee-

ndelea kuhudumu pale ambapouliaminiwa.

5 Hujui, mwana wangu, kwa-mba vitu ahivi ni machukizomachoni mwa Bwana; ndio, nimachukizo kuliko dhambi zoteisipokuwa ile ya kumwagadamu ya wale wasio na hatiaau kumkana Roho Mtakatifu?

6 Kwani tazama, ikiwa autam-kana Roho Mtakatifu wakatiimekuwa ndani yako, na una-jua kwamba unaikana, tazama,hii ni dhambi ambayo bhaiwezikusamehewa; ndio, na yeyoteauaye dhidi ya mwangaza nataarifa ya Mungu, si rahisikwake kupata cmsamaha; ndio,nasema kwako, mwana wangu,kwamba si rahisi kwake kupatamsamaha.

7 Na sasa, mwana wangu,ningemsihi Mungu kwambahungekuwa na ahatia ya kosakubwa hivyo. Singetaka kue-ndelea kukuzungumzia makosayako, na kuumiza roho yako,kama haingekuwa kwa faidayako.

8 Lakini tazama, huwezi kufi-cha makosa yako kwa Mungu;na isipokuwa utubu zitakuwaushahidi dhidi yako katika sikuya mwisho.

9 Sasa mwana wangu, ninge-taka kwamba utubu na kusahaudhambi zako, na usiende tenakupendeza atamaa ya machoyako, lakini bujikataze mwe-nyewe kwa vitu hivi vyote;

39 2a Alma 38:3.3a mwm Kupenda anasa,

Matamanio ya anasa.4a Mit. 7:6–27.5a mwm Utovu wa

maadili ya

kujamiiana.6a M&M 76:35–36.

b mwm Dhambi isiyosameheka.

c M&M 64:10.mwm Samehe.

7a mwm Hatia.9a mwm Tamaa za

kimwili.b 3 Ne. 12:30.

Page 394: KITABU CHA MORMONI

377 Alma 39:10–19

kwani usipofanya hii huwezikwa vyovyote kurithi ufalmewa Mungu. Ee, kumbuka, naujichukulie juu yako, na uji-katishe mwenyewe katika vituhivi.10 Na nina kuamuru ujichu-

kulie kushauriana na kaka zakowakubwa katika shughuli zako;kwani tazama, wewe ungalindani ya ujana wako, na unahi-taji kulishwa na kaka zako. Nakusikiliza ushauri wao.

11 Usiamini kudanganywa nakitu kilicho bure na cha kipu-mbavu; usikubali ibilisi apotezemoyo wako kufuata hao maka-haba waovu. Tazama, Ee mwa-na wangu, ni jinsi gani uovumkuu uliwaletea aWazoramu;kwani wakati walipoona bmwe-nendo wako hawakuamini ma-neno yangu.12 Na sasa Roho wa Bwana

huniambia mimi: aAmuru wa-toto wako watende mema, lasivyo wataongoza mioyo yawengi kwenye maangamizo;kwa hivyo nakuamuru, wewemwana wangu, kwa heshimaya Mungu, kwamba ujiepushekutoka uovu wako;13 Kwamba umtazamie Bwana

na akili , nguvu, na uwezowako wote; kwamba usipotezemioyo ya watu mara nyinginekwa uovu; lakini urudi kwao,na akukiri makosa yako na uleubaya ambao umetenda.14 aUsitafute utajiri wala vitu

visivyo vya maana vya uli-

mwengu huu; kwani tazama,hutavibeba wakati wa kifo.

15 Na sasa, mwana wangu,ningesema machache kwakokuhusu kuja kwa Kristo. Taza-ma, nakwambia, kwamba niyeye kwa kweli atakayekuja ku-toa dhambi za ulimwengu; ndio,anakuja kutangaza habari njemaya wokovu kwa watu wake.

16 Na sasa, mwana wangu, hiindiyo huduma ambayo uliitiwa,kutangaza hizi habari njemakwa watu hawa, kutayarishaakili zao; kwa usahihi zaidiafadhali kwamba wokovu uwa-jie, kwamba watayarishe akiliza awatoto wao kusikiliza nenowakati wa kuja kwake.

17 Na sasa nitatuliza kidogoakili yako kwa hili jambo. Taza-ma, unashangaa kwa nini hivivitu vijulikane mbele. Tazama,nakwambia, si roho wakati huuina thamani kwa Mungu vileroho itakuwa wakati wa kujakwake?

18 Si ni lazima mpango waukombozi ufunuliwe watu hawana watoto wao pia?

19 Je, si ni rahisi wakati huu kwaBwana kutuma malaika wakekututangazia habari hii njemakama vile kwa watoto wetu, aukama vile baada ya kuja kwake?

MLANGO WA 40

Kristo anasababisha kuwepo ufufuowa binadamu wote — Wenye haki

11a Alma 35:2–14.b Rum. 2:21–23; 14:13;

Alma 4:11.12a mwm Amri za

Mungu; Fundisha,Mwalimu.

13a Mos. 27:34–35.14a Mt. 6:25–34;

Yak. (KM) 2:18–19;M&M 6:6–7; 68:31–32.

16a mwm Familia—Wajibu wa wazazi.

Page 395: KITABU CHA MORMONI

Alma 40:1–10 378

wakifa wataenda peponi na waovunje gizani kungojea wakati waufufuo wao — Vitu vyote vitaru-dishwa kwa umbo lao jema nakamilifu kwenye Ufufuo. Karibumwaka wa 74 kabla ya kuzaliwakwa Kristo.

Sasa mwana wangu, hapa ninamengine mengi ningependakukwambia; kwani nafikiriakwamba akili yako ina wasiwasikuhusu ufufuo wa wafu.2 Tazama, nakwambia, kwa-

mba hakuna ufufuo — au, ni-ngesema, kwa maneno menginekwamba mwili wenye kufa ha-ujiviki akutokufa, ya uharibifubhaijiviki kutoharibika — cmpa-ka baada ya kuja kwa Kristo.

3 Tazama, anawezesha aufu-fuo wa waliokufa kutendeka.Lakini tazama, mwana wangu,ufufuo haujatimizwa bado. Sasa,nafichua kwako siri; walaki-ni, kuna bsiri nyingi ambazoczimefichwa, ambazo hakunaazijuaye isipokuwa Mungumwenyewe. Lakini ninakuo-nyesha kitu kimoja ambachonimemwuliza Mungu kwa bi-dii ili nipate kujua — ambayoinahusu ufufuo.

4 Tazama, kuna wakati ambaoumewekwa kwamba wote awa-tatokea kutoka wafu. Sasa wa-kati huu utakapotimia hakunaajuaye; lakini Mungu anajuawakati ambao umewekwa.

5 Sasa, kama kutakuwa waka-

ti mmoja, au wakati wa apili, auwakati wa tatu, kwamba wafuwatafufuka kutoka kwa wafu,haijalishi; kwani Mungu banajuahivi vitu vyote; na ninatoshekakujua kwamba hii ndiyo hali —kwamba kuna wakati ambaoumechaguliwa kwamba wotewatafufuka kutoka kwa wafu.

6 Sasa lazima kuwe na nafasikati ya wakati wa kifo na wakatiwa kufufuka.

7 Na sasa nitakuuliza ni ninikitatokea kwa aroho za binada-mu kutoka wakati huu wa kifohadi wakati uliowekwa wakufufuka?

8 Sasa kama kutakuwa na zaidiya wakati moja ambao umewe-kwa kwa watu kuamka haijali-shi; kwani wote hawafi wakatimmoja, na hii haijalishi; wakatiwote ni kama siku moja kwakeMungu, na wakati hupimwa tuna watu.

9 Kwa hivyo, kuna wakatiambao umewekewa watu kwa-mba wataamka kutoka kwawafu; na kuna nafasi kati yawakati wa kifo na ufufuo. Nasasa, kuhusu nafasi hii yamuda, kitakachotokea kwa rohoza watu ni kitu ambacho nimeu-liza kwa bidii kwa Bwana nijue;ni hiki ndicho kitu ninachojua.

10 Na wakati majira yatapofikawakati wote wataamka, ndipowatakapojua kwamba Munguanajua wakati awote ambaoamewekewa mtu.

40 2a Mos. 16:10–13.mwm Isiyo kufa,Maisha ya kutokufa.

b 1 Kor. 15:53–54.c 1 Kor. 15:20.

3a mwm Ufufuko.

b mwm Siri za Mungu.c M&M 25:4; 124:41.

4a Yn. 5:28–29.5a Mos. 26:24–25;

M&M 43:18; 76:85.b mwm Mungu, Uungu.

7a Alma 40:21;M&M 138.mwm Nafsi.

10a Mdo. 17:26.

Page 396: KITABU CHA MORMONI

379 Alma 40:11–19

11 Sasa, kuhusu hali ya rohokati ya akifo na ufufuo — Taza-ma, nimejulishwa na malaika,kwamba roho za watu wote,mara zinapotoka kwa mwilihuu wa muda, ndio, roho zawatu wote, zikiwa njema auovu, zinachukuliwa bnyumbanikwa yule Mungu ambaye alizi-patia uhai.

12 Na ndipo itakuja kuwakwamba roho za wale waliohaki zinapokelewa kwa haliambayo ni ya afuraha, ambayoinaitwa bpeponi, hali ya ckupu-mzika, hali ya damani, ambapozitapumzikia kutoka kwa taabuzao zote na kutoka kwa masha-ka yote, na masikitiko.13 Na ndipo itakuwa kwamba,

zile roho za waovu, ndio, amba-zo ni ovu—kwani tazama, hazi-na kipande au sehemu ya Rohowa Bwana; kwani tazama, wali-chagua kazi mbovu badala yanzuri; kwa hivyo roho wa ibilisialiingia ndani yao, na akamilikinyumba yao—na hawa watatu-pwa nje agizani; kutakuwa nabkulia, na kuomboleza, na ku-saga meno, na hii ni kwa saba-bu ya uovu wao, wakiongozwakifungoni kwa nia ya ibilisi.

14 Sasa hii ni hali ya roho yaawaovu, ndio, kwenye giza, nakwa hali ya kutisha, na bkuogo-pesha wakitarajia hasira nauchungu wa ghadhabu yaMungu juu yao; hivyo wanabaki

kwenye chali hii, na vile vilewalio wenye haki huko peponi,hadi wakati wao wa ufufuko.

15 Sasa, kuna wachache ambaowanaelewa kwamba hii hali yafuraha na hii hali ya taabu yaroho, kabla ya ufufuo, ilikuwana ufufuo wa kwanza. Ndio,nakubali inaweza kuitwa ufu-fuo, kuamka kwa roho au nafsina upatanisho kwa furaha autaabu, kulingana na manenoyaliyozungumzwa.

16 Na tazama, imezungumzi-wa tena, kwamba kuna aufufuowa bkwanza, au ufufuo wa waleambao wamekwisha kuwepo,au ambao wako, au watakao-kuwa, hadi ufufuo wa Kristokutoka kwa wafu.

17 Sasa, hatuwezi kudhanikwamba huu ufufuo wa kwa-nza, ambao umezungumziwakwa njia hii, unaweza kuwaufufuo wa roho na aupatanishowao kwa furaha au taabu.Huwezi kudhani kwamba hiindiyo inamaanisha.

18 Tazama, nakwambia, Hapa-na; lakini inaamanisha kuunga-nisha roho na mwili, kwa walekutoka siku za Adamu hadikwa aufufuo wa Kristo.19 Sasa, kama roho na miili ya

wale ambao wamezungumziwaitaunganishwa yote mara moja,waovu sawa na wenye haki,sisemi; ni ya kutosha kwangukusema kwamba, wote watai-

11a Lk. 16:22–26;1 Pet. 3:18–19; 4:6;M&M 76:71–74; 138.

b Mh. 12:7; 2 Ne. 9:38.12a mwm Shangwe.

b mwm Peponi.c mwm Pumziko.

d M&M 45:46.mwm Amani.

13a mwm Jahanamu.b Mt. 8:12; Mos. 16:2.

14a M&M 138:20.b Yak. (KM) 6:13;

Musa 7:1.

c Alma 34:34.16a mwm Ufufuko.

b Yak. (KM) 4:11;Mos. 15:21–23.

17a M&M 76:17, 32, 50–51.18a Mt. 27:52–53.

Page 397: KITABU CHA MORMONI

Alma 40:20–41:1 380

nuka; au kwa njia nyingine,ufufuko wao utakuja kupitaakabla ya ufufuko wa waleambao hufa baada ya kufufukakwa Kristo.20 Sasa, mwana wangu, sisemi

kwamba ufufuko huja wakatiwa kufufuka kwa Kristo; lakinitazama, ninatoa kama maoniyangu, kwamba roho na miilizitaunganishwa, za wale wenyehaki, katika ufufuko wa Kristo,na akupaa kwake mbinguni.21 Lakini kama itakuwa wakati

wa ufufuko wake au ya baada-ye, sisemi; lakini hii yote nase-ma, kwamba kuna anafasi katiya kifo na ufufuko wa mwili, nahali ya roho ndani ya bfurahaau cshida mpaka wakati ambaoumechaguliwa na Mungu kwa-mba wafu wataamka, na kuu-nganishwa, vyote roho na mwi-li, na dkuletwa na kusimamambele ya Mungu, na kuhukumi-wa kulingana na vitendo vyao.

22 Ndio, hii italeta kurudishwakwa vitu ambavyo vimezungu-mziwa na midomo ya manabii.

23 aRoho bitarudishwa kwamwili, na cmwili kwa roho;ndio, na kila sehemu na kiungokitarudishwa kwa mwili wake;ndio, hata nywele ya kichwahaitapotea; lakini vitu vyotevitarudishwa kwa umbo laosahihi na kamilifu.

24 Na sasa, mwana wangu,huku ni kurudisha ambako

akumezungumzwa na midomoya manabii —

25 Na ndipo wale wenye hakiwataang’aa ndani ya ufalmewa Mungu.

26 Lakini tazama, akifo chakutisha kitawajia waovu; kwaniwanakufa kulingana na vituvilivyo vya haki; kwani hawa-ko safi, na hakuna kitu bkichafukitakachorithi ufalme wa Mu-ngu; lakini watatupwa nje,na kutolewa kupokea matundaya vitendo vyao au kazi zao,ambazo zimekuwa mbovu; nawanakunywa machicha ya ki-kombe kikali.

MLANGO WA 41

Kwa ufufuko wanadamu wataamkakwa hali ya furaha isiyo na mwishoau taabu isiyo na mwisho — Uovuhauwezi kuwa furaha — Watu wakimwili wako bila Mungu duniani— Kila mtu hupokea tena kwenyeUfufuko tabia na matokeo yaliyo-patikana wakati wa mauti. Karibumwaka wa 74 kabla ya kuzaliwakwa Kristo.

Na sasa, mwana wangu, ninamachache ya kusema kuhusuufufuko ambao umezungum-ziwa; kwani tazama, wengineawamegeuza maandiko, na bwa-mepotelea mbali kwa sababuya kitu hiki. Na ninaona kwa-mba akili yako imekuwa na

19a Mos. 15:26.20a mwm Kupaa.21a Lk. 23:39–43.

b mwm Peponi.c mwm Jahanamu.d Alma 42:23.

23a M&M 88:15–17.mwm Nafsi.

b 2 Ne. 9:12–13;Alma 11:40–45.

c mwm Mwili.24a Isa. 26:19.

26a 1 Ne. 15:33;Alma 12:16.

b Alma 11:37.41 1a 2 Pet. 1:20; 3:16;

Alma 13:20.b mwm Ukengeufu.

Page 398: KITABU CHA MORMONI

381 Alma 41:2–10

wasiwasi kuhusu kitu hiki. La-kini tazama, nitakuelezea.2 Ninakwambia, mwana wa-

ngu, kwamba mpango waufufuo ni wa lazima na haki yaMungu; kwani ni lazima kwa-mba vitu vyote virudishwe kwakanuni zao. Tazama, ni lazimana haki, kulingana na uwezo wakufufuka kwa Kristo, kwambaroho ya kila mtu irudishwe kwamwili wake, na kila asehemuya mwili sharti irudishwe vileilivyokuwa.3 Na ni lazima na ahaki

ya Mungu kwamba binadamubwahukumiwe kulingana nacvitendo vyao; na ikiwa vitendovyao vilikuwa vizuri kwenyemaisha haya, na nia za mioyoyao zilikuwa nzuri, ndipo piaitakuwa kwa siku ya mwisho,ditarudishwa kwa ile ambayoni nzuri.

4 Na ikiwa vitendo vyao niviovu awatarudishiwa uovu.Kwa hivyo, vitu vyote vitaru-dishwa kwa kanuni zao, kilakitu kwa asili ya umbo lake —bmwili wenye kufa utafufuliwakatika kutokufa, cvilivyoharibi-ka kwa visivyo haribika—vikii-nuliwa kwenye furaha disiyo namwisho kurithi ufalme wa Mu-ngu, au taabu isiyo ya mwishokurithi ufalme wa ibilisi, mojakwa upande mmoja, na mwingi-ne kwa upande mwingine —

5 Mmoja ameinuliwa kwenyefuraha kulingana na nia yakeya furaha, au uzuri kulinganana mahitaji yake ya uzuri; namwingine kwenye ubaya kuli-ngana na nia yake ya ubaya;kwani vile ametamani kutendamaovu siku yote hata hivyoatapata zawadi yake ya uovuwakati usiku utakapoingia.

6 Na hivyo iko kwenye upa-nde mwingine. Ikiwa ametubudhambi zake, na kuhitaji hakimpaka mwisho wa siku zake,hata hivyo atapata zawadi kwahaki.

7 aHawa ni watu ambao wa-mekombolewa na Bwana; ndio,hawa ndio wao ambao wameto-lewa nje, ambao wameokolewakutoka kwa ule usiku wa gizala milele; na hivyo wanasimamaau kuanguka; kwani tazama, wa-najihukumu bwenyewe, kamawatafanya mazuri au maovu.

8 Sasa, maagizo ya Munguahayabadiliki; kwa hivyo, njiaimeandaliwa kwamba yeyoteatakaye angetembea juu yakena kuokolewa.

9 Na sasa tazama, mwana wa-ngu, usijihatarishe na kosa lingi-ne amoja zaidi dhidi ya Mungujuu ya yale mambo ya mafundi-sho, ambayo wewe umejihatari-sha sasa kwa kutenda dhambi.

10 Usidhani, kwa sababu ime-zungumzwa kuhusu ufufuo,

2a Alma 40:23.3a mwm Haki.

b mwm Amua,Hukumu;Kuwajibika,Uwajibikaji, Wajibika.

c mwm Matendo.d Hel. 14:31.

4a Alma 42:28.b 2 Ne. 9:12–13;

M&M 138:17.mwm Ufufuko.

c 1 Kor. 15:51–55.d mwm Uzima wa

Milele.7a M&M 76:50–70.

b 2 Ne. 2:26;Alma 42:27;Hel. 14:30.mwm Haki yauamuzi.

8a M&M 1:38.9a M&M 42:23–28.

Page 399: KITABU CHA MORMONI

Alma 41:11–42:1 382

kwamba utarudishwa kutokakwenye dhambi hadi kwenyefuraha. Tazama, nakwambia,auovu haujapata kuwa furaha.11 Na sasa, mwana wangu,

watu wote ambao wako kwahali ya aasili, au ningesema,kwenye hali ya bkimwili, wakokwenye masumbuko ya uchu-ngu na kwenye kifungo chauovu; chawako na Mungu du-niani, na wameenda kinyumecha asili ya Mungu; kwa hivyo,wako kwa hali ya kinyume chafuraha.

12 Na sasa tazama, je, maanaya neno kurudisha ni kuchukuakitu cha hali ya asili na kukiwe-ka kwenye hali isiyo asili, aukukiweka katika hali kinyumecha asili yake?

13 Ee, mwana wangu, hili silojambo; lakini maana ya nenokurudisha ni kurejesha tenauovu kwa uovu, au mwili kwamwili, au uibilisi kwa uibilisi—uzuri kwa lile ambalo ni zuri;haki kwa kile ambacho ni haki;adilifu kwa kile ambacho niadilifu; rehema kwa lile ambalolina rehema.

14 Kwa hivyo, mwana wangu,ona kwamba unawarehemundugu zako; tenda yaliyo ama-zuri, toa bhukumu kwa haki, nacufanye mema kila mara; naikiwa utafanya vitu hivi vyotendipo utakapopokea zawadiyako; ndio, utapata drehemairudishwe kwako tena; utapata

haki kurudishwa kwako tena;utapata hukumu ya haki kuru-dishwa kwako tena; na utapatazawadi nzuri kutolewa kwakotena.

15 Kwani yale ambayo unape-yaleka nje yatarudi kwakotena, na kurudishwa kwenyeasili yake tena; kwa hivyo, nenokurudisha humhukumu mwe-nye dhambi, na haimthibitishihata kidogo.

MLANGO WA 42

Ubinadamu ni wakati wa majaribiokuwezesha watu kutubu na kuhu-dumia Mungu — Kuanguka kuli-leta kifo cha mwili na cha roho kwabinadamu wote — Ukombozi hujakupitia toba — Mungu mwenyewehulipia dhambi za ulimwengu —Rehema ni ya wale ambao wanatubu— Wengine wote wako chini yahaki ya Mungu — Rehema hujakwa sababu ya Upatanisho — Niwale tu pekee wanaotubu kwa kweliwanaokolewa. Karibu mwaka wa74 kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

Na sasa, mwana wangu, naonakuna kitu kidogo zaidi amba-cho kinakusumbua akili yako,ambacho huwezi kuelewa —ambacho kinahusu aunyoofu waMungu kwa kuadhibu wenyedhambi; kwani unajaribu ku-dhani kwamba si haki kwambawenye dhambi watupiliwe kwe-nye hali ya taabu.

10a Zab. 32:10;Isa. 57:20–21;Hel. 13:38.

11a Mos. 3:19.mwm Mwanadamuwa Tabia ya Asili.

b mwm Tamaa zakimwili.

c Efe. 2:12.14a mwm Mwaminifu,

Uaminifu.b Yn. 7:24; M&M 11:12.

c M&M 6:13; 58:27–28.d mwm Rehema,

Rehema, enye.42 1a 2 Ne. 26:7;

Mos. 15:26–27.mwm Haki.

Page 400: KITABU CHA MORMONI

383 Alma 42:2–10

2 Sasa tazama, mwana wangu,nitakuelezea hiki kitu. Kwanitazama, baada ya Bwana Mu-ngu akutuma wazazi wetu wakwanza kutoka kwenye bustaniya bEdeni, kulima ardhi, kuto-ka ambapo walipelekwa—ndio,alimfukuza huyo mtu, na aka-weka cmakerubi, upande wamashariki wa bustani ya Edeni,na upanga wa moto uliogeukahuku na huko, kulinda dmti wauzima —3 Sasa, tunaona kwamba yule

mtu alikuwa kama Mungu,akijua wema na uovu; na iliasinyooshe mkono wake mbele,na achukue pia kwa mti wauzima, na kula na kuishi milele,Bwana Mungu aliweka make-rubi na upanga wa moto, ili asiletunda —

4 Na hivyo tunaona, kwambakulikuwa na wakati ambao uli-wekewa mwanadamu kutubu,ndio, wakati wa amajaribio,wakati wa kutubu na kumtu-mikia Mungu.5 Kwani tazama, kama Adamu

angenyoosha mkono wake ha-raka, na kula kutoka kwa mtiwa uzima, angeishi milele,kulingana na neno la Mungu,kukiwa hakuna nafasi ya toba;ndio, na pia neno la Mungulingekuwa bure, na mpangomkuu wa wokovu ungezuiliwa.

6 Lakini tazama, ilipangiwamwanadamu akufa — kwa hi-vyo, vile walitolewa mbalikutoka kwa mti wa uzima wa-ngetolewa mbali kutoka usowa dunia — na mwanadamualipotea milele, ndio, binadamubwakaanguka.

7 Na sasa, kwa hii unaonakwamba wazazi wetu wa kwa-nza awalitolewa mbali yotekimwili na kiroho kutoka kwauwepo wa Bwana; na hivyo tu-naona wakawa raia wa kufuatabkusudi lao.

8 Sasa tazama, haikuwa yakufaa kwamba mwanadamuarudishwe kutoka kwa kifochake cha mwili, kwani hiyoingeangamiza ampango mkuuwa furaha.

9 Kwa hivyo, vile roho hainge-kufa, na amwanguko ulikuwaumeleta kwa wanadamu wotekifo cha roho na pia cha mwili,inaamanisha, walitolewa mbalina uwepo wa Bwana, ilikuwani lazima kwamba mwanadamuarudishwe kutoka kwenye kifocha roho.

10 Kwa hivyo, tangu walipo-kuwa wamekuwa na atamaaza kimwili, uasherati, na uibi-lisi, kwa basili, hii hali ya cma-jaribio ilikuwa hali ya waokujitayarisha; ikawa hali yamatayarisho.

2a Mwa. 3:23–24;Musa 4:28–31.

b mwm Edeni.c mwm Makerubi.d Mwa. 2:9.

4a Alma 34:32–33.6a mwm Mauti, ya

Kimwili.b Mos. 16:3–5.

mwm Anguko laAdamu na Hawa.

7a 2 Ne. 2:5; 9:6;Hel. 14:16.mwm Mauti, yaKiroho.

b mwm Haki yauamuzi.

8a Alma 34:9; Musa 6:62.

9a mwm Anguko laAdamu na Hawa.

10a mwm Tamaa zakimwili.

b mwm Mwanadamuwa Tabia ya Asili.

c mwm Hali ya kufa,Kufa, enye.

Page 401: KITABU CHA MORMONI

Alma 42:11–22 384

11 Na sasa kumbuka, mwanawangu, kama haungekuwampango wa ukombozi, (kuwe-kwa kando) upesi vile walikufaroho zao zilikuwa ataabuni,ikiwa imetolewa kutoka kwauwepo wa Bwana.

12 Na sasa, hapakuwa na njiaya kudai wanadamu kutoka halihii ya kuanguka, ambayo mwa-nadamu alijiletea kwa sababuya kutotii kwake;

13 Kwa hivyo, kulingana nahaki, ampango wa ukombozihaungeletwa, tu kwa tabia yabtoba ya wanadamu katika halihii ya majaribio, ndio, hali hiiya kujitayarisha; kwani isinge-kuwa masharti haya, rehemahaingefaa isipokuwa iangami-ze kazi ya haki. Sasa kazi yahaki haiengeangamizwa; ikiwahivyo, Mungu cangekoma kuwaMungu.14 Na hivyo tunaona kwamba

binadamu wote awalianguka, nawakawa wameshikwa na bhaki;ndio, haki ya Mungu ambayoamewatolea milele watolewekwenye uwepo wake.15 Na sasa, mpango wa rehe-

ma haungetimizwa isipokuwaupatanisho ufanywe; kwa hivyoMungu mwenyewe ahulipiadhambi za ulimwengu, kutimi-za mpango wa brehema, kuwe-zesha mahitaji ya chaki, kwambaMungu angekuwa dmkamilifu,

na Mungu mwenye haki, naMungu wa huruma pia.

16 Sasa, toba haingewajia watuisipokuwa kuwe na adhabu,ambayo pia ilikuwa ya amilelevile uhai wa roho ulivyo, ume-pandikishwa kinyume cha mpa-ngo wa furaha, ambao ulikuwamilele vile uhai wa roho ulivyo.

17 Sasa, mtu anaweza kutubunamna gani isipokuwa atendedhambi? Ni vipi angetendaadhambi ikiwa hakukuweko nabsheria? Kungekuwaje sheriakusipokuwa na adhabu?

18 Sasa, kulikuwa na adhabuiliyopandikwa, na sheria yahaki ikatolewa, ambayo ililetamajuto ya adhamiri kwa watu.

19 Sasa, kama sheria haingeto-lewa — ikiwa mtu aataua shartiauawe—je, angeogopa kwambaangekufa ikiwa angeua?

20 Na pia, kama hakungeku-wa sheria kutolewa dhidi yadhambi watu hawangeogopakutenda dhambi.

21 Na kama sheria ahaingeto-lewa, wakati watu wanatendadhambi, haki ingefanya nini aurehema, kwani hawangekuwana madai juu ya kiumbe?

22 Lakini sheria imetolewa,na adhabu kuwekwa, na atobakukubaliwa; toba ambayo, rehe-ma hudai; la sivyo, kazi ya hakiingedai kiumbe na kutimizasheria, na sheria kutoa adha-

11a 2 Ne. 9:7–9.13a mwm Mpango wa

Ukombozi.b mwm Toba, Tubu.c 2 Ne. 2:13–14.

14a Alma 22:13–14.b 2 Ne. 2:5.

15a 2 Ne. 9:7–10;

Mos. 16:7–8.mwm Lipia dhambi,Upatanisho.

b mwm Rehema,Rehema, enye.

c mwm Haki.d 3 Ne. 12:48.

16a M&M 19:10–12.

17a mwm Dhambi.b Rum. 4:15.

18a mwm Dhamiri.19a mwm Mauaji.21a 2 Ne. 9:25–26;

Mos. 3:11.22a mwm Toba, Tubu.

Page 402: KITABU CHA MORMONI

385 Alma 42:23–31

bu; kama sio hivyo matendoya haki yangeangamizwa, naMungu kukoma kuwa Mungu.23 Lakini Mungu hakomi

kuwa Mungu, na arehema hudaiwanaotubu, na rehema hujakwa sababu ya upatanisho; nabupatanisho huleta cufufuo wawafu; na ufufuo wa wafudhuwarudisha watu kwenyeuwepo wa Mungu; na hivyowanarudishwa kwenye uwepowake, ekuhukumiwa kulinganana matendo yao, kulingana nasheria na haki.

24 Kwani tazama, haki hute-keleza madai yake yote, na piahuruma hudai yote yaliyo yake;na hivyo, hakuna ila tu waliotu-bu kwa ukweli watakaokolewa.

25 Ni nini, unadhani kwambarehema inaweza kuibia ahaki?Ninakwambia, Hapana; hatachembe kimoja. Ikiwa hivyo,Mungu atakoma kuwa Mungu.26 Na hivyo Mungu hutimiza

akusudi lake kubwa na milele,ambalo lilitayarishwa bkutokeamsingi wa dunia. Na hivyohuja wokovu na ukombozi wabinadamu, na pia maangamizoyao na taabu.27 Kwa hivyo, Ee mwana wa-

ngu, ayeyote atakeyekuja ange-kuja na kunywa maji ya uzimabure; yeyote atakayekataa kujahivyo hatashurutishwa kuja;

lakini katika siku ya mwishobitarudishwa kwake kulinganana cvitendo vyake.28 Ikiwa anatamani kufanya

auovu, na hajatubu katika sikuzake, tazama, uovu utafanywakwake, kulingana na kurudi-shwa kwa Mungu.

29 Na sasa, mwana wangu, na-taka kwamba usiache vitu hivivikusumbue mara nyingine, nani dhambi zako tu zikusumbue,pamoja na taabu hiyo ambayoitakuleta wewe kwa toba.

30 Ee mwana wangu, natakakwamba usikane haki ya Mu-ngu mara nyingine. Usijaribukujisamehe mwenyewe hatakwa njia ndogo kwa sababu yadhambi zako, kwa kukataa hakiya Mungu; lakini uache hakiya Mungu, na rehema yake, nauvumilivu wake uvume ndaniya moyo wako; na acha ikuletechini kwenye mavumbi ndaniya aunyenyekevu.31 Na sasa, Ee mwana wangu,

umeitwa na Mungu kuhubirineno kwa hawa watu. Na sasa,mwana wangu, nenda njia zako,tangaza neno kwa ukweli nabusara, kwamba uzilete rohokwenye toba, kwamba mpangomkuu wa rehema ungekuwana madai juu yao. Na Munguakupatie hata kulingana namaneno yangu. Amina.

23a mwm Rehema,Rehema, enye.

b mwm Lipia dhambi,Upatanisho.

c 2 Ne. 2:8; 9:4;Alma 7:12; 11:41–45;12:24–25;Hel. 14:15–18;Morm. 9:13.

d Alma 40:21–24.e mwm Hukumu, ya

Mwisho.25a mwm Haki.26a 2 Ne. 2:14–30;

Musa 1:39.b Alma 13:3;

3 Ne. 1:14.27a Alma 5:34;

Hel. 14:30.mwm Haki yauamuzi.

b Alma 41:15.c Isa. 59:18;

Ufu. 20:12.28a Alma 41:2–5.30a mwm Mnyenyekevu,

Unyenyekevu.

Page 403: KITABU CHA MORMONI

Alma 43:1–10 386

MLANGO WA 43

Alma na wana wake wanahubirineno — Wazoramu na Wanefi we-ngine waasi wanakuwa Walamani— Walamani wanakabiliana naWanefi katika vita — Moroni ana-wapatia Wanefi silaha za kujikinga— Bwana anamwonyesha Almahila ya Walamani — Wanefi wa-nalinda miji yao, uhuru, jamaa,na dini — Majeshi ya Moroni naLehi yanawazingira Walamani.Karibu mwaka wa 74 kabla yakuzaliwa kwa Kristo.

Na sasa ikawa kwamba wanawa Alma walikwenda miongonimwa watu, kutangaza nenokwao. Na Alma, pia, mwenye-we, hangepumzika, na yeyepia alienda mbele.2 Sasa hatutazungumza mengi

kuhusu kuhubiri, kwao isipoku-wa kwamba walihubiri neno,na ukweli, kulingana na rohoya unabii na ufunuo; na wali-hubiri kulingana na mpangoamtakatifu wa Mungu ambaowaliitiwa.

3 Na sasa narudia historia yavita miongoni mwa Wanefi naWalamani, katika mwaka wakumi na nane wa utawala wawaamuzi.

4 Kwani tazama, ikawa kwa-mba aWazoramu waligeuka nakuwa Walamani; kwa hivyo,katika mwanzo wa mwaka wakumi na nane watu wa Wanefiwaliona kwamba Walamaniwalikuwa wanataka kuwasha-mbulia; kwa hivyo walijiandaa

kwa vita; ndio, walikusanyapamoja majeshi yao katika nchiya Yershoni.

5 Na ikawa kwamba Walamaniwalikuja kwa maelfu; na wakajakatika nchi ya Antionumu,ambayo ni nchi ya Wazoramu;ambamo mtu kwa jina la Zera-hemna alikuwa kiongozi.

6 Na sasa, kwa vile Waama-leki walikuwa watu waovuna wauaji kuliko Walamaniwalivyokuwa, kwao wenyewe,kwa hivyo, Zerahemna aliteuamakapteni wakuu juu ya Wala-mani, na wote walikuwa Waa-maleki na Wazoramu.

7 Sasa alifanya hivi ili kuhifa-dhi chuki yao kwa Wanefi, iliawamiliki na kutimiza kusudilake.

8 Kwani tazama, kusudi lakelilikuwa kuwavuruga Wala-mani wawe na hasira dhidi yaWanefi; alifanya hivi ili apateuwezo mwingi juu yao, na piakwamba ajipatie uwezo juu yaWanefi kwa kuwaweka katikautumwa.

9 Na sasa kusudi la Wanefililikuwa kulinda nchi yao, nanyumba zao, na awake zao, nawatoto wao, il i wawaokoekutoka kwa mikono ya maaduiwao; na pia kwamba wahifadhihaki zao na mapendeleo yao,ndio, na pia buhuru wao, kwa-mba wapate kumwabudu Mu-ngu kulingana na kutaka kwao.

10 Kwani walijua kwambaikiwa wangeshikwa mateka naWalamani, kwamba yeyoteaatakayemwabudu Mungu kwa

43 2a mwm Ukuhani waMelkizedeki.

4a Alma 35:2–14; 52:33.9a Alma 44:5; 46:12.

b mwm Uhuru.10a mwm Kuabudu.

Page 404: KITABU CHA MORMONI

387 Alma 43:11–21broho na kwa ukweli, Munguwa kweli na anayeishi Wala-mani wangemwangamiza.

11 Ndio, na walijua pia ilechuki mbaya iliyokuweko yaWalamani kwa andugu zao,ambao walikuwa watu waAnti-Nefi-Lehi, ambao waliitwawatu wa Amoni—na hawenge-chukua silaha, ndio, walikuwawamefanya agano ambalo ha-wangevunja—kwa hivyo, kamawangeanguka kwenye mikonoya Walamani wangeangamizwa.

12 Na Wanefi hawangekubalikwamba waangamizwe; kwahivyo waliwakabidhi nchi kwakumiliki.

13 Na watu wa Amoni walitoasehemu kubwa ya mali yao kwaWanefi kusaidia majeshi yao; nahivyo Wanefi walilazimishwa,kusimama, pekee yao, dhidiya Walamani, ambao walikuwam u u n g a n o w a L a m a n i n aLemueli, na wana wa Ishmaeli,na wale wote ambao hawaku-kubaliana na Wanefi, ambaowalikuwa ni Waamaleki naWazoramu, na auzao wa maku-hani wa Nuhu.

14 Sasa vile vizazi vilikuwavingi, karibu kama vile Wanefiwalivyokuwa; na hivyo Wanefiwalilazimishwa kupigana nandugu zao, hata kwa kumwagadamu.

15 Na ikawa wakati majeshi yaWalamani yalipokuwa yameji-kusanya pamoja katika nchi yaAntionumu, tazama, majeshi yaWanefi yalikuwa yamejiandaa

kukabiliana nao katika nchi yaYershoni.

16 Sasa, kiongozi wa Wanefi,au mtu ambaye alichaguliwakuwa kapteni mkuu juu yaWanefi — sasa kapteni mkuualichukua jukumu la kuamrishamajeshi yote ya Wanefi — najina lake lilikuwa Moroni;

17 Na Moroni alijitwalia amriyote, na utawala wa vita vyao.Na alikuwa na umri wa miakaishirini na tano tu alipochagu-liwa kuwa kapteni mkuu juuya majeshi ya Wanefi.

18 Na ikawa kwamba alikabi-liana na Walamani kwenyemipaka ya Yershoni, na watuwake walijihami na panga, navitara, na kila aina ya silahaza vita.

19 Na wakat i majeshi yaWalamani yalipoona kwambawatu wa Nefi, au kwambaMoroni, ameandaa watu wakekwa dirii na ngao za vita, ndio,n a p i a n g a o z a k u j i k i n g avichwa, na pia kuwa walikuwawamevaa mavazi mazito —

20 Sasa jeshi la Zerahemnahalikuwa limejitayarisha kwakitu cha aina hii; walikuwa tuna panga zao na vitara vyao,pinde zao na mishale yao, maweyao na kombeo zao; na waliku-wa uchi, isipokuwa tu ngoziiliyofunika viuno vyao; ndio,wote walikuwa auchi, isipoku-wa Wazoramu na Waamaleki;

21 Lakini hawakuwa wameji-hami dirii, wala ngao — kwahivyo, waliogopa sana majeshi

10b Yn. 4:23–24.11a Alma 24:1–3, 5, 20;

25:1, 13; 27:2, 21–26.13a Alma 25:4.

20a Eno. 1:20.

Page 405: KITABU CHA MORMONI

Alma 43:22–31 388

ya Wanefi kwa sababu ya silahazao, ingawaje idadi yao ilikuwakubwa mno kuliko ya Wanefi.2 2 T a z a m a , s a s a i k a w a

kwamba hawakuthubutu kuwa-shambulia Wanefi kwenye mi-paka ya Yershoni; kwa hivyowaliondoka nje ya nchi yaAntionumu hadi kwenye nyika,na kusafiri wakizingira nyika,mbali na chimbuko la mtoSidoni, ili waingie katika nchiya Manti na kuimiliki nchi;kwani hawakutarajia kwambamajeshi ya Moroni yangejuakule walikokwenda.

23 Lakini ikawa kuwa, wali-poondoka kuelekea nyikaniMoroni alituma wapelelezi nyi-kani kuchunguza kituo chao;na Moroni, pia, akiwa anaelewaunabii wa Alma, akatuma watukwake, akitamani kwambaamwulize Bwana awapi majeshiya Wanefi yangeenda kujikingadhidi ya Walamani.

24 Na ikawa kwamba nenola Bwana lilimjia Alma, naAlma akawajulisha wajumbe waMoroni, kwamba majeshi yaWalamani yalikuwa yameendataratibu yakizunguka nyikani,ili yaingie kwenye nchi yaManti, ili yaanzishe vita mahaliambapo watu walipungukiwana nguvu. Na wale wajumbewalienda na kufikisha ujumbekwa Moroni.

25 Sasa Moroni, akiacha sehe-mu ya jeshi lake katika nchi yaYershoni, isiwe kwa vyovyotekwamba sehemu ya Walamaniije katika nchi hiyo na kumiliki

mji, alichukua jeshi lililosalia naakaenda kwenye nchi ya Manti.

26 Na alisababisha kwambawatu wote katika sehemu hiyowajikusanye wenyewe pamojakukabiliana dhidi ya Walamani,akulinda ardhi yao na nchi yao,haki zao na uhuru wao; kwahivyo walijiandaa dhidi yaule wakati ambao Walamaniwangekuja.

27 Na ikawa kwamba Moronialisababisha kwamba jeshi lakelijifiche kwenye bonde ambalolilikuwa karibu na ufuko wamto Sidoni, ambao ulikuwamagharibi mwa mto Sidonikatika nyika.

28 Na Moroni aliweka wape-lelezi kila mahali, ili angejuawakati kituo cha Walamanikitakuja.

29 Na sasa, kwa vile Moronialijua nia ya Walamani, kwa-mba ilikuwa nia yao kuanga-miza ndugu zao, au kuwawekachini yao na kuwafanya watu-mwa ili waanzishe utawalawao nchini kote;

30 Na pia akijua kwamba ili-kuwa nia ya pekee ya Wanefikuhifadhi nchi yao, na auhuruwao, na kanisa lao, kwa hivyohakufikiri ni dhambi kuwalindakwa werevu; kwa hivyo, aligu-ndua kupitia kwa wapeleleziwake njia ambayo Walamaniwatafuata.

31 Kwa hivyo, aligawanyajeshi lake na kuleta sehemumoja kwenye bonde, na akawa-ficha mashariki, na kusini mwamlima Ripla;

23a Alma 48:16. 26a M&M 134:11. 30a Alma 46:12, 35.

Page 406: KITABU CHA MORMONI

389 Alma 43:32–44

32 Na waliosalia aliwafichakwenye bonde la magharibi,magharibi mwa mto Sidoni, nahivyo chini hadi kwenye mipa-ka ya nchi ya Manti.

33 Na hivyo akiwa amewekajeshi lake kulingana na mipa-ngo yake, alikuwa tayari kuka-biliana nao.

34 Na ikawa kwamba Wala-mani walikuja juu kaskazinimwa mlima, ambapo sehemuya jeshi la Moroni ilijificha.

35 Na vile Walamani waliku-wa wamepita mlima Ripla, nawakaja ndani ya bonde, nawakaanza kuvuka mto Sidoni,jeshi ambalo lilikuwa limefi-c h w a k u s i n i m w a m l i m a ,ambalo liliongozwa na mtuambaye jina lake lilikuwa aLehi,na akaongoza jeshi lake mbelena kuzingira Walamani masha-riki nyuma yao.36 Na ikawa kwamba Walama-

ni, wakati walipoona Wanefiwakiwajia kutoka nyuma yao,waligeuka na kuanza kukabili-ana na jeshi la Lehi.

37 Na kazi ya mauaji ilianzapande zote mbili, lakini ilikuwaya kutisha zaidi kwa upandewa Walamani, kwani auchi waoulijidhihirisha kwa mapigo ma-kubwa ya Wanefi kwa pangazao na vitara vyao, ambavyo vi-lileta vifo karibu kwa kila pigo.

38 Wakati kwa upande mwi-ngine, kulikuwa na mtu mmojahapa na pale akiuawa miongo-ni mwa Wanefi, kwa panga zaona kwa kupoteza damu, hawawakiwa wemejikinga sehemu

muhimu za mwili, au sehemumuhimu za mwili zikikingwakutoka na mapigo ya Walamani,kwa adirii zao, na ngao zao zamikono, na vyapeo vyao; nahivyo Wanefi waliendelea nakazi ya mauaji miongoni mwaWalamani.

39 Na ikawa kwamba Wala-mani waliogopa, kwa sababuya uharibifu mkuu miongonimwao, hata mpaka wakaanzakutoroka kuelekea mto Sidoni.

40 Na walifuatwa na Lehi nawatu wake; na walikimbizwana Lehi hadi kwenye maji yaSidoni, na wakavuka maji yaSidoni. Na Lehi aliweka majeshiyake kwenye ukingo wa mtoSidoni kwamba wasivuke.

41 Na ikawa kwamba Moronina jeshi lake walikabiliana naWalamani kwenye bonde, kwaupande mwingine wa mtoSidoni, na wakaanza kuwaa-ngukia na kuwauwa.

42 Na Walamani wakakimbiakutoka kwao, kuelekea nchi yaManti; na wakakutana tena namajeshi ya Moroni.

43 Sasa kwa hali hii Walamaniwalipigana sana; ndio, hakuja-kuwa na wakati Walamaniwamejulikana kwa kupiganakwa nguvu kama hii na ujasiri,la, sio hata kutoka mwanzoni.

44 Na walitiwa moyo na aWa-zoramu na Waamaleki, ambaowalikuwa makapteni wao wa-kuu na viongozi, na Zerahemna,ambaye alikuwa kapteni waomkuu, au kiongozi wao mkuuna amri jeshi; ndio, walipigana

35a Alma 49:16.37a Alma 3:5.

38a Alma 44:8–9.44a Alma 43:6.

Page 407: KITABU CHA MORMONI

Alma 43:45–54 390

kama majoka yenye, na wengiwa Wanefi waliuawa kwa mi-kono yao, ndio, kwani walipa-sua kwa vipande viwili vyapeovyao, na wakatoboa dirii zaonyingi, na wakakata mikonoyao; na hivyo Walamani wali-kata kwa hasira yao nyingi.45 Walakini, Wanefi waliongo-

zwa na sababu njema, kwanihawakuwa awanapigania uta-wala wala uwezo lakini walipi-gania maskani yao na buhuruwao, wake zao na watotowao, na vyote vyao, ndio, kwakanuni zao za kuabudu nakanisa lao.46 Na walifanya hayo ambayo

walifikiri ni ajukumu ambalowaliwiwa Mungu wao; kwaniBwana alikuwa amewaambia,na pia kwa babu zao, kwamba:bKwa kuwa hamna hatia kwakosa la ckwanza, wala la pili,hamtakubali wenyewe kuuawakwa mikono ya maadui wenu.

47 Na tena Bwana, amesemakwamba: aMtalinda jamaa zenuhata kwa umwagaji wa damu.Kwa hivyo kwa sababu hiiWanefi walikuwa wakipiganana Walamani, kujilinda wenye-we, na jamaa zao, na nchi yao,na haki zao, na dini yao.

48 Na ikawa kwamba watuwa Moroni walipoona ukali nahasira ya Walamani, walikuwakaribu kurudi nyuma na kuto-roka kutoka kwao. Na Moroniakiona kusudi lao, alituma uju-mbe mbele na akavuta mioyo

yao kwa mawazo haya — ndio,mawazo ya nchi yao, uhuruwao, ndio, uhuru wao kutokautumwani.

49 Na ikawa kwamba wali-washambulia Walamani, naawakapaza sauti pamoja kwaB w a n a M u n g u w a o , k w aungwana wao na uhuru waokutoka utumwani.

50 Na wakaanza kusimamadhidi ya Walamani kwa nguvu;na kwenye ile saa yenyewekwamba walimlilia Bwana kwauhuru wao, Walamani walianzakukimbia kutoka kwao; nawakakimbia hata kwenye majiya Sidoni.

51 Sasa Walamani walikuwawengi zaidi, ndio, zaidi yamara mbili kuliko idadi yaWanefi; walakini, walikimbizwasana kwamba wakajikusanyakwa kundi moja katika bonde,kando ya mto Sidoni.

52 Kwa hivyo majeshi ya Mo-roni yaliwazingira, ndio, hatapande zote mbili za mto, kwanitazama, kwa upande wa masha-riki kulikuwa na watu wa Lehi.

53 Kwa hivyo wakati Zerahe-mna alipoona watu wa Lehiupande wa mashariki wa mtoSidoni, na majeshi ya Moroniupande wa magharibi wa mtoSidoni, kwamba walikuwa wa-mezingirwa na Wanefi, wali-shikwa na woga.

54 Sasa Moroni, alipoona wogawao, aliamuru watu wake waa-che kumwaga damu yao.

45a Alma 44:5.b mwm Uhuru.

46a mwm Wajibu.b Alma 48:14;

M&M 98:33–36.c 3 Ne. 3:21;

M&M 98:23–24.47a M&M 134:11.

49a Kut. 2:23–25;Mos. 29:20.

Page 408: KITABU CHA MORMONI

391 Alma 44:1–8

MLANGO WA 44

Moroni anawaamuru Walamaniwafanye agano la amani au waa-ngamizwe — Zerahemna anakataatoleo, na vita vinaanza tena —Majeshi ya Moroni yanawashindaWalamani. Kutoka karibu mwakawa 74 hadi 73 kabla ya kuzaliwakwa Kristo.

Na ikawa kwamba waliacha nawakarudi nyuma hatua kutokakwao. Na Moroni akamwambiaZerahemna: Tazama, Zerahem-na, kwamba ahatutamani kuwawatu wa damu. Unajua kwa-mba mko mikononi mwetu, nabado hatutaki kuwaua.2 Tazama, hatukuja nje kupi-

gana dhidi yenu ili tumwagedamu yenu kwa nguvu; walahatutaki kumweka yeyotekwenye nira ya kifungo. Lakinihii ndiyo sababu ambayo ime-wasababisha nyinyi kutujia sisi;ndio, na mmekasirika nasi kwasababu ya dini yetu.

3 Lakini sasa, unaona kwambaBwana yuko pamoja nasi; naunaona kwamba amewakabi-dhi nyinyi mikononi mwetu.Na sasa nataka wewe ujuekwamba hii imefanywa kwetukwa sababu ya dini yetu naimani katika Kristo. Na sasamnaona kwamba hamwezi ku-iangamiza hii imani yetu.

4 Sasa unaona kwamba hiini imani ya kweli ya Mungu;ndio, unaona kwamba Munguatatusaidia, na kutuweka, nakutuhifadhi, kadiri tuwe waa-

minifu kwake, na kwa imaniyetu, na dini yetu; na kamweBwana hatakubali kwamba tu-angamizwe isipokuwa tuanzekufanya makosa na kukanaimani yetu.

5 Na sasa, Zerahemna, nakua-muru, kwa jina la Mungu aliyena uwezo wote, ambaye amei-marisha mikono yetu kwambatumepata uwezo juu yenu, ku-pitia imani yetu, kwa dini yetu,kwa akanuni zetu za kuabudu,na kwa kanisa letu, na kwa kaziyetu takatifu ya kusaidia wakezetu na watoto wetu, na kwaule buhuru ambao unatuunga-nisha sisi kwa ardhi zetu nanchi yetu; ndio, na pia kwakushikilia neno takatifu la Mu-ngu, ambalo kwake tunawiwafuraha yetu; na kwa yote yaliyomuhimu kwetu —

6 Ndio, na haya siyo yote;ninakuamuru kwa tamaa yoteambayo unayo kwa kuishi,kwamba utoe silaha zako zavita kwetu, na hatutataka ku-mwaga damu yenu, lakinitutaokoa maisha yenu, ikiwamtaenda zenu na msirudi tenakupigana dhidi yetu.

7 Na sasa, kama hamfanyihivi, tazama, mko mikononimwetu, na nitaamuru watuwangu wawaangukie, na kuwa-piga vidonda vya kifo miilinimwenu, kwamba mmalizike; nandipo tutaona ni nani atakuwana uwezo juu ya hawa watu;ndio, tutaona ni nani atakaye-wekwa utumwani.

8 Na sasa ikawa kwamba

44 1a Alma 43:45. 5a mwm Ibada. b mwm Uhuru.

Page 409: KITABU CHA MORMONI

Alma 44:9–16 392

wakati Zerahemna aliposikiamisemo hii alikuja mbele nakutoa upanga wake na kitarachake, na pinde yake mikononimwa Moroni, na akamwambia:Tazama, hapa kuna silaha zetuza vita; tutazikabidhi kwenu,lakini hatutakubali wenyewekuchukua akiapo kwako, amba-cho tunajua kwamba tutavunja,na watoto wetu pia; lakinichukueni silaha zetu za vita, nakubali kwamba tuondoke nakwenda nyikani; la sivyo tuta-baki na panga zetu, na tutaa-ngamia au kushinda.9 Tazama, sisi sio wa imani

yenu; hatuamini kwamba niMungu ambaye ametukabidhimikononi mwenu; lakini tuna-amini kwamba ni ujanja wenuambao umewahifadhi kutokakwa panga zetu. Tazama, niadirii zenu na ngao zenu amba-zo zimewahifadhi.10 Na sasa wakati Zerahemna

alipomaliza kuzungumza ma-neno haya, Moroni alirejeshaupanga na silaha za vita, amba-zo alikuwa amepokea, kwaZerahemna, akisema: Tazama,tutamaliza pambano.

11 Sasa siwezi kukumbukamaneno ambayo nimesema, kwahivyo vile Bwana anavyoishi,hamtaondoka isipokuwa mwo-ndoke na kiapo kwamba ham-tarudi tena kwetu kupigana.Sasa vile mko mikononi mwetututamwaga damu yenu mcha-ngani, au mkubaliane na ma-sharti ambayo nimetoa.

12 Na sasa wakati Moroni ali-

kuwa amesema maneno haya,Zerahemna aliweka upangawake, na akamkasirikia Moroni,na akatimka mbele ili amuueMoroni; lakini alipoinua upangawake, tazama, mmoja wa askariw a M o r o n i a l i u p i g a h a t akwenye ardhi, na ukavunjikakwenye kipini; na pia akampi-ga Zerahemna kwamba alitoangozi ya kichwa chake na ikaa-nguka ardhini. Na Zerahemnaalijiondoa kutoka kwao kupitiakatikati ya askari wake.

13 Na ikawa kwamba yule as-kari ambaye alikuwa amesima-ma karibu, yule ambaye alikatana kutoa ngozi ya kichwa chaZerahemna, alichukua ngoziya kichwa kutoka ardhini kwakushika nywele, na kuiwekeleakwenye ncha ya upanga wake,na akaunyoosha mbele yao, aki-sema kwao kwa sauti kubwa:

14 Hata vile ngozi hii imeangu-ka ardhini, ambayo ni ngoziya mkuu wenu, hivyo ndivyomtaanguka ardhini isipokuwamtoe silaha zenu za vita nakuondoka na agano la amani.

15 Sasa kulikuwa na wengi,wakati waliposikia haya mane-no na kuona ngozi ya kichwaambayo ilikuwa kwenye upa-nga, kwamba walishikwa nawoga; na wengi walisongambele na kutupa chini silahazao za vi ta miguuni mwaMoroni, na kufanya aagano laamani. Na vile wengi waliingiakwenye agano waliwakubaliawaelekee nyikani.

16 Sasa ikawa kwamba Ze-

8a mwm Kiapo.9a Alma 43:38.

15a 1 Ne. 4:37;Alma 50:36.

Page 410: KITABU CHA MORMONI

393 Alma 44:17–45:1

rahemna alighadhibika sana, naakawavuruga askari wake wa-liosalia kwa hasira, kukabilianana nguvu zaidi dhidi ya Wanefi.17 Na sasa Moroni alikasirika,

kwa sababu ya ukaidi wa Wa-lamani; kwa hivyo aliwaamuruwatu wake kwamba wawaa-ngukie na kuwaua. Na ikawakwamba walianza kuwaua;ndio, na Walamani walipiganana panga zao na uwezo wao.

18 Lakini tazama, ngozi zaozilizokuwa uchi na vichwavyao vilivyokuwa bure viliku-wa wazi kwa panga za Wanefi;ndio, tazama zilitobolewa nakukatwa, ndio, na waliangukaharaka sana mbele ya panga zaWanefi; na wakaanza kufagili-wa chini, hata vile askari waMoroni alivyokuwa amebashiri.

19 Sasa Zerahemna, alipoonakwamba walikuwa karibu kua-ngamizwa wote, alilia sanakwa Moroni, akiahidi kwambaataweka maagano na pia watuwake na wao, ikiwa wataponyamaisha ya waliosalia, kwambaahawatarudi tena kupiganadhidi yao.20 Na ikawa kwamba Moroni

alisababisha kwamba kazi yakifo isimamishwe tena miongo-ni mwa watu. Na akachukuasi laha za vita kutoka kwaWalamani; na baada ya kuingiakwenye aagano la amani nayeye, walikubaliwa kuondokakwenda kwenye nyika.

21 Sasa idadi ya wafu waohaikuhesabika kwa sababu yawingi wa idadi; ndio, idadi ya

wafu wao ilikuwa kubwa sana,kote kwa Wanefi na Walamani.

22 Na ikawa kwamba walitu-pa wafu wao ndani ya maji yaSidoni, na wameenda mbele nakuzikwa kwenye kilindi chabahari.

23 Na majeshi ya Wanefi, auya Moroni, yalirejea na kwendakwenye nyumba zao na nchizao.

24 Na hivyo ukaisha mwakawa kumi na nane wa utawalawa waamuzi juu ya watu waNefi. Na hivyo yakaisha maa-ndishi ya Alma, ambayo yalia-ndikwa kwenye bamba za Nefi.

Historia ya watu wa Nefi, navita vyao na mafarakano yao,katika siku za Helamani, kuli-ngana na maandishi ya Hela-mani, ambayo aliweka katikasiku zake.

Yenye milango ya 45hadi 62 yote pamoja.

MLANGO WA 45

Helamani anaamini maneno yaAlma — Alma anatabiri kuanga-mizwa kwa Wanefi—Anabariki nakulaani nchi — Inaonekana Almaalichukuliwa juu na Roho, kamavile Musa — Mfarakano unatokeakanisani. Karibu mwaka wa 73kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

Tazama, sasa ikawa kwambawatu wa Nefi walikuwa nafuraha sana, kwa sababu Bwanaalikuwa amewaokoa tena ku-

19a Alma 47:6. 20a Alma 62:16–17.

Page 411: KITABU CHA MORMONI

Alma 45:2–14 394

toka mikono ya maadui wao;kwa hivyo walitoa shukranikwa Bwana Mungu wao; ndio,na awalifunga sana, na kuombasana na wakamwabudu Mungukwa shangwe kuu.2 Na ikawa katika mwaka wa

kumi na tisa wa utawala wawaamuzi juu ya watu wa Nefi,kwamba Alma alimjia mwanawake Helamani na kumwa-mbia: Unaamini wewe manenoambayo nilikuzungumzia ku-husu yale amaandiko ambayoyamehifadhiwa?

3 Na Helamani akasema kwa-ke: Ndio, naamini.

4 Na Alma akasema tena:Unaamini katika Yesu Kristo,atakayekuja?

5 Na akasema: Ndio, ninaa-mini maneno yote ambayoumesema.

6 Na Alma akasema kwaketena: aUtaweka amri zangu?7 Na akasema: Ndio, nitatii

amri zako kwa moyo wanguwote.

8 Na Alma akamwambia:Umebarikiwa wewe; na Bwa-na aatakufanikisha katika nchihii.

9 Lakini tazama, nitakutoleaaunabii mdogo; lakini yaleambayo nitaagua kwako yasi-fanywe kujulikana; ndio, yalenitakayoagua kwako hayatafa-nywa kujulikana, hata mpakauaguzi utakavyotimizwa; kwa

hivyo andika maneno ambayonitasema.

10 Na haya ndiyo maneno:Tazama, ninaona kwamba watuhawa, Wanefi, kulingana naroho ya ufunuo ambayo ikondani yangu, katika miaka miaanne kutoka wakati ambao YesuKristo atajidhihirisha kwao,watafifia kwa bkutoamini.11 Ndio, na ndipo wataona vita

na maradhi ya kuambukiza,ndio, njaa na umwagaji wadamu, hata mpaka watu waNefi awatakapomalizika —

12 Ndio, na itafanyika kwa sa-babu watafifia katika kutoaminina kuangukia kazi za gizani, naauzinzi, na aina yote ya uovu;ndio, nakwambia, kwamba kwasababu watakosa dhidi ya mwa-ngaza ulio mkubwa na hekima,ndio, nakwambia, kwamba ku-tokea siku hiyo, hata kizazi channe hakitapita kabla ya huuuovu kutokea.

13 Na wakati ile siku kuuitakapowadia, tazama, wakatiunawadia mapema kwambawale ambao wako sasa, au uzaowa wale ambao wamehesabiwamiongoni mwa watu wa Nefi,ahawatahesabiwa tena miongo-ni mwa watu wa Nefi.

14 Lakini yeyote atakayebaki,na haangamizwi katika ile sikukuu na ya kuogopesha, aatahe-sabiwa miongoni mwa Walama-ni, na atakuwa kama wao, wote,

45 1a mwm Funga,Kufunga.

2a Alma 37:1–5; 50:38.6a mwm Amri za

Mungu;Mtiifu, Tii, Utii.

8a 1 Ne. 4:14;

Alma 48:15–16, 25.9a mwm Toa unabii,

Unabii.10a 1 Ne. 12:10–15;

Hel. 13:9;Morm. 8:6–7.

b mwm Kutoamini;

Ukengeufu.11a Yar. 1:10;

Morm. 8:2–3, 6–7.12a mwm Tamaa mbaya.13a Hel. 3:16.14a Moro. 9:24.

Page 412: KITABU CHA MORMONI

395 Alma 45:15–23

isipokuwa wachache ambao wa-taitwa wanafunzi wa Bwana; nahao Walamani watawawindampaka wakati bwatakapomali-zika. Na sasa, kwa sababu yauovu, huu unabii utatimizwa.15 Na sasa ikawa kwamba

baada ya Alma kusema vituhivi kwa Helamani, alimbariki,na pia wana wake wengine; napia akabariki ardhi kwa walewalio ahaki.

16 Na akasema: Bwana Munguanasema hivi — Nchi aitalaani-wa, ndio, nchi hii, kwa kila taifa,kabila, lugha, na watu, kwauangamizo, ambao wanafanyauovu, wakati watakapoiva kabi-sa kwa uovu; na vile nimesemandivyo itakavyokuwa; kwanihii ni laana na bbaraka ya Mu-ngu juu ya nchi, kwani Bwanahawezi kuangalia dhambi nakuivumilia hata ckidogo.

17 Na sasa, wakati Alma alipo-kuwa amesema maneno hayaalibariki akanisa, ndio, walewote ambao watasimama imarakatika imani kutokea wakatihuo na kuendelea.

18 Na wakati Alma alipofanyahaya aliondoka kutoka nchiya Zarahemla, kama anayeendakatika nchi ya Meleki. Na ikawakwamba hakusikika tena; ha-tujui kulingana kifo chake aukuzikwa kwake.

19 Tazama, haya tunajua,kwamba alikuwa mtu wenyehaki; na msemo ukaenea kani-

sani kwamba alichukuliwa naRoho, au akuzikwa kwa mkonowa Bwana, kama vile Musa.Lakini tazama, maandiko yana-sema kuwa Bwana alimchukuaMusa kumrudisha kwake mwe-nyewe; na tunadhani kwambapia amempokea Alma katikaroho, kwake mwenyewe; kwahivyo, kwa sababu hii hatujuichochote kuhusu kifo chakewala mazishi yake.

20 Na sasa ikawa kat ikamwanzo wa mwaka wa kumi natisa wa utawala wa waamuzijuu ya watu wa Nefi, kwambaHelamani alienda miongonimwa watu kuwatangazia neno.

21 Kwani tazama, kwa sababuya vita vyao na Walamani namafarakano mengi madogo navurugu ambazo zilikuwa mio-ngoni mwa watu, ilikuwa nilazima kwamba aneno la Mungulitangazwe kwao, ndio, na kwa-mba maagizo yafanywe kokotekanisani.

22 Kwa hivyo, Helamani nandugu zake walienda mbele nakuanzisha kanisa tena katikanchi, ndio, katika kila mji kotekatika nchi ambao ulikuwaumemilikiwa na watu wa Nefi.Na ikawa kwamba waliteuamakuhani na walimu kotenchini, juu ya makanisa yote.

23 Na sasa ikawa kwambabaada ya Helamani na nduguzake kuteua makuhani na wali-mu juu ya makanisa kwamba

14b Moro. 1:1–3.15a Alma 46:10; 62:40.16a 2 Ne. 1:7;

Alma 37:31;

Eth. 2:8–12.b M&M 130:21.c M&M 1:31.

17a mwm Kanisa la

Yesu Kristo.19a mwm Viumbe

waliobadilishwa.21a Alma 31:5.

Page 413: KITABU CHA MORMONI

Alma 45:24–46:10 396

kukatokea afarakano miongonimwao, na hawakusikiliza mane-no ya Helamani na ndugu zake;24 Bali walianza kuwa na

kiburi, wakijiinua kwa mioyoyao, kwa sababu ya autajiri waomwingi; kwa hivyo walikuwamatajiri kwenye fikira bzao, nahawakusikiliza maneno yao, ku-tembea wima mbele ya Mungu.

MLANGO WA 46

Amalikia anakula njama kuwamfalme—Moroni anainua benderaya uhuru — Anaunganisha watukulinda dini yao — Waumini wakweli wanaitwa Wakristo—Sazo laYusufu litahifadhiwa — Amalikiana wakaidi wanatorokea nchi yaNefi — Wale ambao hawataungakusudi la uhuru mkono wanauawa.Kutoka karibu mwaka wa 73 hadi72 kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

Na ikawa kwamba kadiri wengiambao hawangesikiza manenoya Helamani na ndugu zakewalikusanywa pamoja dhidiya ndugu zao.

2 Na sasa tazama, walikasirikasana, hata kwamba waliamuakuwaua.

3 Sasa kiongozi wa waleambao walikasirika dhidi yandugu zao alikuwa mtu mku-bwa na mwenye nguvu; na jinalake lilikuwa Amalikia.

4 Na Amalikia alitamani kuwamfalme; na wale watu walioka-sirika walitamani kwamba awemfalme wao; na walikuwa

wengi baina yao waamuzi wavyeo vya achini katika nchi, nawaliojitafutia ukubwa.

5 Na walikuwa wameongozwana udanganyifu wa Amalikia,kwamba ikiwa watamuungamkono na kumsimamisha kuwamfalme wao kwamba angewa-fanya kuwa watawala juu yawatu.

6 Hivyo waliongozwa naAmalikia kwa mafarakano, ija-pokuwa kuhubiri kwa Hela-mani na ndugu zake, ndio, ija-pokuwa utunzaji wao mkuujuu ya kanisa, kwani walikuwamakuhani wakuu juu ya kanisa.

7 Na kulikuwa na wengi kani-sani ambao waliamini manenoya udanganyifu ya Amalikia,kwa hivyo walikataa hata kani-sa; na hivyo ndivyo mambo yawatu wa Nefi yalikuwa yenyeshida nyingi na ya hatari, ija-pokuwa aushindi wao mkuuambao walipata juu ya Wala-mani, na furaha yao kubwaambayo walipata kwa sababuya wokovu wao kupitia mkonowa Bwana.

8 Hivyo atunaona vile watotowa watu humsahau BwanaMungu wao haraka, ndio, vilehutenda maovu haraka, nakupotoshwa na yule mwovu.

9 Ndio, na pia tunaona ulea uovu mwingi ambao mtummoja aliye mwovu anawezakusababisha kufanyika miongo-ni mwa watoto wa watu.

10 Ndio, tunaona kwambaAmalikia, kwa sababu alikuwa

23a 3 Ne. 11:28–29.24a mwm Ukwasi.

b mwm Kiburi.

46 4a Mos. 29:11, 28–29.7a Alma 44:19–20.8a Hel. 12:2, 4–5.

9a Mos. 29:17–18.

Page 414: KITABU CHA MORMONI

397 Alma 46:11–20

mtu mjanja na mtu wa manenomengi ya kurai, kwamba alio-ngoza mioyo ya watu wengi ku-fanya maovu; ndio, na kutafutakuangamiza kanisa la Mungu,na kuangamiza msingi wa auhu-ru ambao Mungu alikuwa ame-wakabidhi, au baraka ambayoMungu alituma katika ardhi kwaminajili ya wale walio bhaki.11 Na sasa ikawa kwamba

wakati Moroni, ambaye alikuwaamiri jeshi amkuu wa majeshi yaWanefi, aliposikia mafarakanohaya, alimkasirikia Amalikia.

12 Na ikawa kwamba alipasuakoti lake; na akachukua kipandekutoka kwalo, na kuandika juuyake — akwa ukumbuko waMungu wetu, dini yetu, nauhuru, na amani yetu, wakezetu, na watoto wetu — na aka-ifungia juu ya mwisho wa mti.13 Na akajifunga chapeo kwe-

nye kichwa chake, na dirii yake,na ngao yake, na kujifungiasilaha yake kiunoni mwake; naakaachukua ule mti, ambakomwisho wake kulikuwa kotilake lililoraruliwa, (na akaiitabendera ya uhuru) na akajiina-misha chini, na akaomba sanakwa Mungu kuwa baraka yauhuru iwe na ndugu zake, ka-diri kundi la Wakristo libakikumiliki nchi —

14 Kwani ndivyo waumini waKweli wa Kristo, waliokuwandani ya kanisa la Mungu,walivyoitwa na wale ambaohawakuwa wafuasi wa kanisa.

15 Na wale ambao walikuwawa kanisa walikuwa waaminifu;ndio, wale wote ambao walio-kuwa waumini wa kweli katikaKristo walijichukulia, kwa fura-ha, ajina la Kristo, au bWakristovile waliitwa, kwa sababu yaimani yao katika Kristo ambayeangekuja.

16 Na kwa hivyo, kwa wakatihuu, Moroni aliomba kwambania ya Wakristo, na uhuru wanchi ungependelewa.

17 Na ikawa kwamba alipo-kuwa ametoa roho yake yotekwa Mungu, aliita nchi yote ili-yo kusini mwa aUkiwa, ndio, nakwa ufupi, nchi yote, kaskazinina kusini — Nchi iliyochaguli-wa, na nchi ya uhuru.

18 Na akasema: Kwa kweliMungu hawezi kukubali kwa-mba sisi, ambao tumedharauli-wa kwa sababu tumejichukuliajina la Kristo, tutakanyagwachini na kuangamizwa, mpakatujiletee wenyewe maangamizikwa makosa.

19 Na Moroni aliposema hayamaneno, alienda mbele mio-ngoni mwa watu, akipepezaakipande cha vazi lake kilicho-raruka hewani, ili wote waonemaandishi ambayo aliandikakwenye sehemu iliyoraruka,na akipaza sauti, akisema:

20 Tazama, wowote watakao-hifadhi hii bendera katika nchi,hebu waje mbele kwa uwezowa Bwana, na kufanya aganokwamba watahifadhi haki yao,

10a 2 Ne. 1:7;Mos. 29:32.

b 2 Ne. 1:7.11a Alma 43:16–17.

12a Neh. 4:14;Alma 44:5.

15a Mos. 5:7–9.b Mdo. 11:26;

1 Pet. 4:16.17a Alma 22:30–31.19a mwm Bendera.

Page 415: KITABU CHA MORMONI

Alma 46:21–28 398

na dini yao, kwamba BwanaMungu angewabariki.21 Na ikawa kwamba wakati

Moroni alipokuwa ametanga-za haya maneno, tazama, watuwalikuja wakikimbia pamojana silaha zao zikiwa zimefu-ngwa viunoni mwao, wakiraruanguo zao kama ishara, au kamaagano, kwamba hawatamwachaBwana Mungu wao; au, kwamaneno mengine, ikiwa wataasiamri za Mungu, au kuingiakwenye makosa, na awapateaibu kujichukulia jina la Kristo,Bwana angewararua hata kamavile walivyorarua nguo zao.

22 Sasa hili ndilo agano ambalowalifanya, na walitupa nguozao miguuni mwa Moroni, wa-kisema: Tunaagana na Munguwetu, kwamba tutaangamizwa,hata kama vile ndugu zetu ka-tika nchi ya kaskazini, ikiwatutaingia kwenye makosa; ndio,atutupe miguuni mwa maaduizetu, hata vile tumetupa nguozetu miguuni mwako zikanya-gwe chini ya miguu, ikiwatutaingia kwenye makosa.

23 Moroni akawaambia: Taza-ma, sisi ni sazo la uzao waYakobo; ndio, ni sazo la auzaowa bYusufu, ambaye ckoti lakeliliraruliwa na kaka zake kwavipande vingi; na sasa tazama,hebu tukumbuke kutii amri zaMungu, au nguo zetu zitararu-liwa na ndugu zetu, na tutu-pwe gerezani, au tuuzwe, autuuawe.

24 Ndio, acha tuhifadhi uhuruwetu kama asazo la Yusufu;ndio, acha tukumbuke manenoya Yakobo, kabla ya kifo chake,kwani tazama, aliona kwambasehemu ya sazo la koti la Yusufuilihifadhiwa na haikuwa imeo-za. Na akasema—Hata vile sazola nguo ya mwana wangu lime-hifadhiwa hata hivyo bsazo lauzao wa mwana wangu uhifa-dhiwe kwa mkono wa Mungu,na lirudishwe kwake mwenye-we, wakati mabaki ya uzao waYusufu itaangamia, hata vilemabaki ya nguo yake ilikuwa.

25 Sasa tazama, hii inaipatianafsi yangu huzuni; walakini,nafsi yangu ina shangwe katikamwana wangu, kwa sababu yasehemu ya uzao wake ambayoitachukuliwa kwa Mungu.

26 Sasa tazama, hii ilikuwalugha ya Yakobo.

27 Na sasa ni nani anawezakujua kuwa sazo la uzao waYusufu, ambayo itaangamiakama nguo yake, ni wale ambaowametukataa sisi? Ndio, nahata itakuwa sisi ikiwa hatu-wezi kusimama imara katikaimani ya Kristo.

28 Na sasa ikawa kwambaMoroni alipokuwa amesemamaneno haya alienda mbele, napia akatuma kwenye sehemuzote za nchi ambako kulikuwana mafarakano, na akawakusa-nya watu wote ambao walikuwawanatamani kuhifadhi uhuruwao pamoja, kusimama dhidi

21a 1 Ne. 8:25–28;Morm. 8:38.

23a Mwa. 49:22–26;1 Ne. 5:14–15.

b mwm Yusufu,Mwana wa Yakobo.

c Mwa. 37:3, 31–36.24a Amo. 5:15;

3 Ne. 5:21–24; 10:17.b 2 Ne. 3:5–24;

Eth. 13:6–7.

Page 416: KITABU CHA MORMONI

399 Alma 46:29–38

ya Amalikia na wale waliokataa,ambao waliitwa Waamalikia.29 Na ikawa kwamba wakati

Amalikia alipoona kwambawatu wa Moroni walikuwawengi kuliko Waamalikia — naalipoona pia kwamba watuwake walikuwa na wasiwasikuhusu haki ya njia ambayowalikuwa wamechukua — kwahivyo, akiogopa kwamba hata-faulu katika mambo yake, ali-chukua wale wa watu wakeambao wangekubali na wakao-ndoka na kwenda kwenye nchiya Nefi.

30 Sasa Moroni alifikiri haiku-wa vyema kwamba Walamaniwapate nguvu nyingine; kwahivyo alifikiri kuwazuia watuwa Amalikia, au kuwachukuana kuwarudisha, na amuueAmalikia; ndio, kwani alijuakwamba angewavuruga Wala-mani kukasirika dhidi yao, nakuwasababisha kuja kwa vitadhidi yao; na hivi alijua kwa-mba Amalikia angefanya iliapate kufikia lengo zake.

31 Kwa hivyo Moroni alifikiriilikuwa ya lazima kwambaachukue majeshi yake, ambaowalikuwa wamejikusanya we-nyewe pamoja, na kujihamiwenyewe, na kuingia kwenyeagano kuweka amani — na ika-wa kwamba alichukua jeshi lakena kwenda taratibu na hemazake kwenye nyika, kuzuiamwendo wa Amalikia nyikani.

32 Na ikawa kwamba alifanyakulingana na tamaa yake, naakaenda taratibu hadi kwenye

nyika, na kuuzuia mwendo wamajeshi ya Amalikia.

33 Na ikawa kwamba Amali-kia alikimbia na idadi ndogoya watu wake, na waliosaliawaliwekwa kwenye mikono yaMoroni na wakarudishwa kati-ka nchi ya Zarahemla.

34 Sasa, Moroni akiwa ni mtuaaliyechaguliwa na waamuziwakuu na kwa kura ya watu,kwa hivyo alikuwa na uwezokulingana na hiari yake namajeshi ya Wanefi, kuanzishana kuwa na uwezo juu yao.

35 Na ikawa kwamba yeyotewa Waamalikia ambaye alikataakuingia katika agano kuungamkono njia ya uhuru, kwambawangehifadhi serikali huru, ali-sababisha auawe; na kulikuwatu wachache waliokataa aganola amani.

36 Na ikawa pia, kwambaalisababisha bendera ya uhuruipeperushwe kwenye ki lamnara ambao ulikuwa kotenchini, ambayo ilimilikiwa naWanefi; na hivyo Moroni alisi-mika bendera ya uhuru mio-ngoni mwa Wanefi.

37 Na wakaanza kuwa naamani tena nchini; na hivyowakadumisha amani nchinimpaka karibu mwisho wa mwa-ka wa kumi na tisa wa utawalawa waamuzi.

38 Na Helamani na makuhaniawakuu pia waliimarisha amrindani ya kanisa; ndio, hatakwa muda wa miaka minnewalikuwa na amani nyingi nafuraha ndani ya kanisa.

34a Alma 43:16. 38a Alma 46:6.

Page 417: KITABU CHA MORMONI

Alma 46:39–47:5 400

39 Na ikawa kwamba kuliku-wa na wengi waliokufa, wala-kini imara awakiamini kwambanafsi zao zimekombolewa naBwana Yesu Kristo; hivyo wali-toka duniani wakifurahi.40 Na kulikuwa na wengi

ambao walifariki kwa homa,ambayo kwa misimu fulanimwakani ilikuweko mara kwamara nchini — lakini sio kwawingi hivyo na homa, kwa saba-bu ya ubora wa amimea mingina mizizi ambayo Mungu aliku-wa ametayarisha kutoa mwanzowa maradhi, ambayo binadamuwalikuwa wakishikwa nayo kwaajili ya hali ya hewa ya nchi —41 Lakini kulikuwa na wengi

waliokufa wakiwa wamezeeka;na wale waliokufa ndani yaimani ya Kristo wanayo afurahandani yake, vile lazima tuwaze.

MLANGO WA 47

Amalikia anatumia udanganyifu,mauaji, na hila ili awe mfalme waWalamani — Wanefi walioasi wa-kawa waovu na wakatili kulikoWalamani. Karibu mwaka wa 72kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

Sasa tutarudia kwenye histo-ria yetu kwa Amalikia na waleambao awalitoroka na yeyekwenda nyikani; kwani, taza-ma, alikuwa amechukua waleambao walienda na yeye, naakaenda katika bnchi ya Nefimiongoni mwa Walamani, naakawachochea Walamani kuwa

na hasira dhidi ya watu wa Nefi,hata kuwa mfalme wa Walama-ni akatoa tangazo kote nchinimwake, miongoni mwa watuwake wote, kuwa wajikusanyepamoja tena waanze vita dhidiya Wanefi.

2 Na ikawa kwamba wakatitangazo lilipokuwa limetolewamiongoni mwao waliogopasana; ndio, waliogopa kumkasi-risha mfalme, na pia waliogopakwenda vitani dhidi ya Wanefiwasije wakapoteza maisha yao.Na ikawa kwamba hawangewe-za, au sehemu yao kubwa hai-ngeweza, kutii amri ya mfalme.

3 Na ikawa kwamba mfalmealikasirika kwa sababu ya maasiyao; kwa hivyo alimpa Amalikiaamri juu ya sehemu ya jeshi lakeambalo lilitii amri zake, naakamwamuru kwamba aendembele na kuwalazimisha ku-chukua silaha.

4 Sasa tazama, hii ndiyo iliku-wa nia ya Amalikia; kwani yeyealikuwa mtu mjanja kwa kufa-nya maovu kwa hivyo aliwekampango ndani ya moyo wakekumwondoa mfalme wa Wala-mani.

5 Na sasa alikuwa amepataamri kwa yale makundi yaWalamani ambao walikuwawanapendelea mfalme; na aka-tazamia kupendelewa na waleambao hawakuwa watiifu; kwahivyo alienda mbele katika ma-hali palipoitwa aOnida, kwanihapa Walamani wote walikuwawamekimbilia; kwani waligu-

39a Moro. 7:3, 41.40a M&M 89:10.41a Ufu. 14:13.

47 1a Alma 46:33.b 2 Ne. 5:5–8;

Omni 1:12–13.

5a Alma 32:4.

Page 418: KITABU CHA MORMONI

401 Alma 47:6–16

ndua jeshi likija, na wakidha-ni kwamba lilikuwa linakujakuwaangamiza, kwa hivyo wa-likimbilia Onida, mahali pasilaha.6 Na walikuwa wamemchagua

mtu kuwa mfalme na kiongozijuu yao, wakiwa wamekata ka-uli kuwa hawatakwenda dhidiya Wanefi.

7 Na ikawa kwamba waliku-wa wamejikusanya pamoja juuya kilele cha mlima ambaouliitwa Antipa, wakijiandaakupigana.

8 Sasa halikuwa kusudi laAmalikia kupigana nao kuli-ngana na amri ya mfalme; laki-ni tazama, lilikuwa kusudi lakekupata mapendeleo kutoka kwamajeshi ya Walamani, ili ajiwe-ke mwenyewe juu yao na ku-mwondoa mfalme na kumilikiufalme.

9 Na tazama, ikawa kwambaalisababisha jeshi lake kusima-misha hema zao kwenye bondeambalo lilikuwa karibu na mli-ma Antipa.

10 Na ikawa kwamba wakatiusiku ulipowadia alituma wa-jumbe wa siri kwenye mlimaAntipa, akitaka kwamba kio-ngozi wa wale ambao waliku-wa mlimani, ambaye jina lakelilikuwa Lehonti, kwamba ajechini ya mlima, kwani alitakakuongea na yeye.

11 Na ikawa kwamba wakatiLehonti alipopata ujumbe ha-kuthubutu kwenda chini yamlima. Na ikawa kwamba Ama-likia akatuma tena mara ya pili,akitaka yeye aje chini. Na ikawa

kwamba Lehonti hangeenda;na akatuma tena mara ya tatu.

12 Na ikawa kwamba wakatiAmalikia alipogundua kwambahangempata Lehonti aje chinikutoka mlimani, alipanda mli-ma, karibu na kituo cha Lehonti;na akatuma tena mara ya nneujumbe wake kwa Lehonti,akitaka kwamba aje chini, nakwamba angeleta walinzi wakepamoja na yeye.

13 Na ikawa kwamba wakatiLehonti alipokuja chini na wa-linzi kwa Amalikia, kwambaAmalikia alitaka yeye aje chinina jeshi lake wakati wa usiku,na azingire wale watu kwenyekituo chao ambao mfalmealimpatia kuongoza, na kwa-mba angewasalimisha mikononimwa Lehonti, ikiwa angemfa-nya (Amalikia) kiongozi wa pilijuu ya jeshi lote.

14 Na ikawa kwamba Lehontialiteremka chini na watu wakena kuwazingira watu wa Ama-likia, kwamba kabla ya haokuamka kukipambazuka wali-kuwa wamezingirwa na majeshiya Lehonti.

15 Na ikawa kwamba walipo-ona kwamba wamezungukwa,walimwomba Amalikia kwa-mba awakubalie wawe pamojana ndugu zao, ili wasiangami-zwe. Sasa hiki ndicho kituambacho Amalikia alitaka.

16 Na ikawa kwamba aliwasa-limisha watu wake, akinyumecha amri ya mfalme. Sasa hikindicho Amalikia alitaka, kwa-mba atimize mipango yake yakumwondoa mfalme.

16a Alma 47:3.

Page 419: KITABU CHA MORMONI

Alma 47:17–31 402

17 Sasa ilikuwa desturi mio-ngoni mwa Walamani, ikiwakiongozi wao mkuu aliuawa,kumchagua kiongozi wao wapili kuwa kiongozi mkuu.

18 Na ikawa kwamba Amalikiaalisababisha mmoja wa watumi-shi wake aweke sumu kidogokidogo kwa Lehonti, kwambaalikufa.

19 Sasa, Lehonti alipokufa,Walamani walimchagua Ama-likia kuwa kiongozi wao naamiri jeshi mkuu.

20 Na ikawa kwamba Amalikiaalitembea taratibu na majeshiyake (kwani alikuwa amefauluyale aliyoyataka) hadi kwenyenchi ya Nefi, kwenye mji waNefi, ambao ulikuwa mji mkuu.

21 Na mfalme akaja nje kuku-tana na yeye pamoja na walinziwake, kwani alidhani kwambaAmalikia ametimiza amri zake,na kwamba Amalikia alikuwaamekusanya pamoja jesh ikubwa hivyo kwenda dhidi yaWanefi vitani.

22 Lakini tazama, vile mfalmealipokuja nje kukutana na yeyeAmalikia alisababisha kwambawatumishi wake waende nakumpokea mfalme. Na wakae-nda na kujiinamisha mbele yamfalme, kama kumwonyeshaheshima kwa sababu ya ukuuwake.

23 Na ikawa kwamba mfalmealiinua mkono wake juu kuwa-simamisha, vile ilivyokuwa des-turi ya Walamani, kama isharaya amani, desturi ambayo wa-liiga kutoka kwa Wanefi.

24 Na ikawa kwamba wa-kati alipokuwa amemwinua wakwanza kutoka ardhini, tazamaalimdunga mfalme moyoni; naakaanguka ardhini.

25 Sasa watumishi wa mfalmewalitoroka, na watumishi waAmalikia wakapiga nduru, wa-kisema:

26 Tazama, watumishi wamfalme wamemdunga moyoni,na ameanguka na wametoroka;tazama, njoeni mwone.

27 Na ikawa kwamba Amalikiaaliamrisha majeshi yake yaendembele na kuona kile kilichote-ndeka kwa mfalme; na walipo-fika hapo mahali, na kumpatamfalme amelala katika damuyake, Amalikia alijifanya kuka-sirika, na kusema: Yeyote ali-yempenda mfalme ebu aendembele, na kuwafuata watumishiwa mfalme ili wauawe.

28 Na ikawa kwamba walewote waliompenda mfalme,waliposikia haya maneno, wa-likuja mbele na kuwafukuzawatumishi wa mfalme.

29 Sasa watumishi wa mfalmewalipoona jeshi likiwafukuza,waliogopa tena, na wakatorokeanyikani, na wakafikia nchi yaZarahemla na kuungana naawatu wa Amoni.30 Na jeshi ambalo lilikuwa

likiwafukuza lilirudi, wakiwawamewafukuza bila kufaulu;na hivyo Amalikia, kwa hilayake, alipata imani ya watu.

31 Na ikawa kesho yake akai-ngia kwenye mji wa Nefi namajeshi yake, na kumiliki mji.

29a Alma 43:11–12. mwm Waanti-Nefi-Lehi.

Page 420: KITABU CHA MORMONI

403 Alma 47:32–48:2

32 Na sasa ikawa kwamba mal-kia, aliposikia kwamba mfalmeameuawa—kwani Amalikia ali-kuwa ametuma ujumbe kwamalkia kumjulisha kwambamfalme ameuawa na watumishiwake, kwamba aliwafukuza najeshi lake, lakini haikuwezeka-na, na wakatoroka —

33 Kwa hivyo, wakati malkiaalipokuwa amepokea taarifahii alituma taarifa kwa Amali-kia, akimtaka kwamba aachiliewatu wa mji; na akataka aendekwake; na akahitaji kwambaaje na mashahidi kushuhudiakuhusu kifo cha mfalme.

34 Na ikawa kwamba Amali-kia alimchukua yule mtumishiambaye alimuua mfalme, nawote waliokuwa na yeye, nakumwendea malkia, mahaliambapo aliketi; na wote wali-shuhudia kwake kwamba mfal-me aliuawa na watumishi wakemwenyewe, na pia wakasema:Wametoroka; si hii inashuhudiadhidi yao? Na hivyo walimri-dhisha malkia kuhusu kifo chamfalme.

35 Na ikawa kwamba Amalikiaalihitaji mapendeleo ya malkia,na akamwoa kuwa mkewe; nahivyo kwa hila yake, na kwausaidizi wa watumishi wakewerevu, alipata ufalme; ndio,al i tambuliwa mfalme kotenchini, miongoni mwa watuwa Walamani, ambao walikuwaamkusanyiko wa Walamani naWalemueli na Waishmaeli, nawote waliokimbia kutoka kwa

Wanefi, tangu utawala wa Nefihadi wakati huu.

36 Sasa hawa awakimbiaji, wa-kiwa na mafundisho sawa naelimu sawa ya Wanefi, ndio, wa-kiwa wamefundishwa kwa beli-mu ya Bwana, walakini, ni vigu-mu kusimulia, sio wakati mrefubaada ya mafarakano yao wali-kuwa wagumu na cwasiotubu,na mazuzu, waovu na wakatilikuliko Walamani —wakikubalidesturi za Walamani; wakijii-ngiza kwenye uzembe, na kilaaina ya uzinifu; ndio, wakimsa-hau kabisa Bwana Mungu wao.

MLANGO WA 48

Amalikia anachochea Walamanidhidi ya Wanefi—Moroni anawa-tayarisha watu wake kulinda ima-ni ya Wakristo — Anafurahia uu-ngwana na uhuru na ni mtu mkuuwa Mungu. Karibu mwaka wa 72kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

Na sasa ikawa kwamba, Ama-likia alipopokea utawala alia-nza kuvuta mioyo ya Walamanidhidi ya watu wa Nefi; ndio,alichagua watu kuzungumziaWalamani kutoka kwa minarayao, dhidi ya Wanefi.

2 Na hivyo akavuta mioyo yaodhidi ya Wanefi, kwa wingikwamba katika mwisho wamwaka wa kumi na tisa wautawala wa waamuzi, akiwaametimiza mipango yake hivyo,ndio, akishafanywa mfalme juuya Walamani, alifikiria pia

35a Yak. (KM) 1:13–14.36a mwm Ukengeufu.

b Ebr. 10:26–27;Alma 24:30.

c Yer. 8:12.

Page 421: KITABU CHA MORMONI

Alma 48:3–14 404

kutawala nchi yote, ndio, nawatu wote waliokuwa nchini,Wanefi na pia Walamani.3 Kwa hivyo alikuwa ametimi-

za kusudi lake, kwani alikuwaameshupaza mioyo ya Wala-mani na akawapofusha akilini,na kuwachochea kuwa na hasi-ra, kwa wingi kwamba waendevitani dhidi ya Wanefi.

4 Kwani alikuwa ameamua,kwa sababu ya wingi wa watuwake, kuwashinda Wanefi nakuwaweka kifungoni.

5 Na hivyo aliweka makapteniawakuu wa Wazoramu, hawawakiwa wamezoea nguvu zaWanefi, na mahali pao pa ka-waida, na sehemu dhaifu zamiji yao; kwa hivyo aliwawekakuwa makapteni wakuu wamajeshi yake.6 Na ikawa kwamba walichu-

kua kituo chao, na kusongambele kuelekea nchi ya Zara-hemla katika nyika.

7 Sasa ikawa kwamba wakatiAmalikia alikuwa anapokeauwezo kwa hila na udanganyi-fu, Moroni, kwa upande mwi-ngine, alikuwa aanatayarishaakili za watu kwa uaminifukwa Bwana Mungu wao.8 Ndio, alikuwa akiimarisha

majeshi ya Wanefi, na kujengangome ndogo, au mahali pausalama; akitupa kuta za ardhikaribu kufunika majeshi yake,na pia kujenga kuta za mawekuwazunguka, kuzingira mijiyao na mipaka ya nchi yao;ndio, kila mahali nchini.

9 Na kwa udhaifu wao aliwekaidadi kubwa zaidi ya watu; nahivyo aliweka nguvu na kuima-risha nchi ambayo ilimilikiwana Wanefi.

10 Na hivyo alikuwa akijita-yarisha akulinda uhuru wao,nchi yao, wake zao, na watotowao, na amani yao, na kwambawangeishi kwa Bwana Munguwao, na kwamba wangeshikiliaile ambayo iliitwa na maaduiwao imani ya Wakristo.

11 Na Moroni alikuwa mtumwenye nguvu na uwezo; naalikuwa mtu wa akuelewa kika-milifu; ndio, mtu ambaye ha-kufurahia umwagaji wa damu;mtu ambaye nafsi yake ilijawashangwe kwa ajili ya uungwanana uhuru wa nchi yake, na wandugu zake kutoka kifungo nautumwa;

12 Ndio, mtu ambaye moyowake ulijaa shukrani kwa Mu-ngu wake, kwa mapendeleo nabaraka ambazo aliwapatia watuwake; mtu ambaye alifanya kazisana kwa austawi na usalamawa watu wake.

13 Ndio, na alikuwa mtuambaye alikuwa imara katikaimani ya Kristo, na aaliapa nakiapo kuwa atawalinda watuwake, haki zake, na nchi yake,na dini yake, hata kwenye ku-mwaga damu yake.

14 Sasa Wanefi walifundishwavile wanavyoweza kujilindawenyewe dhidi ya maadui zao,hata kwenye kumwaga damuikiwa ilihitajika; ndio, na wali-

48 5a Alma 43:6.7a Alma 49:8.

10a Alma 46:12–13.11a mwm Ufahamu.

12a mwm Ustawi.13a Alma 46:20–22.

Page 422: KITABU CHA MORMONI

405 Alma 48:15–24

fundishwa akutodhuru, ndio,na kutoinua upanga isipokuwadhidi ya adui, isipokuwa wawewanahifadhi maisha yao.

15 Na hii ilikuwa imani yao,kwamba kwa kufanya hivyoMungu angewafanikisha nchini,au kwa maneno mengine, wa-kiwa waaminifu kwa kutiiamri za Mungu kwamba ange-wafanikisha katika nchi; ndio,kuwaonya watoroke, au kuwa-andaa kwa vita, kulingana nahatari iliyopo;

16 Na pia, kwamba Munguangewawezesha kujua wange-enda wapi kujilinda dhidi yamaadui zao, na kwa kufanyahivyo, Bwana angewaokoa; nahii ilikuwa imani ya Moroni,na moyo wake ulifurahi ndaniyake; asio kwa kumwaga damulakini kwa kutenda mema, kwakuhifadhi watu wake, ndio,kwa kutii amri za Mungu, nakuzuia uovu.17 Ndio, kweli, kweli nina-

vyowaambia, ikiwa watu wotewalikuwa, na wako, na ikiwawatakuweko daima, kama Mo-roni, tazama, hizo nguvu zajahanamu zingetingizika milele;ndio, aibilisi hangekuwa nauwezo juu ya mioyo ya watotowa watu.

18 Tazama, alikuwa mtu kamaAmoni, mwana wa Mosia,ndio, na hata wana wenginewa Mosia, ndio, na pia Alma nawana wake, kwani walikuwawote watu wa Mungu.

19 Sasa tazama, Helamani nandugu zake hawakufanya kazindogo kwa watu kuliko Moroni;kwani walihubiri neno la Mu-ngu, na walibatiza ubatizo watoba watu wote ambao wange-sikiliza maneno yao.

20 Na hivyo wakaendelea nawatu awalijinyenyekeza kwasababu ya maneno yao, kwambabwalipendelewa sana na Bwana,na hivyo wakawa huru kutoka-na na vita na mabishano mio-ngoni mwao, ndio, hata kwamuda wa miaka minne.

21 Lakini, vile nimesema,kwenye mwisho wa mwaka wakumi na tisa, ndio, ijapokuwaamani yao miongoni mwao, wa-lilazimishwa bila kupenda kupi-gana na wenzao, Walamani.

22 Ndio, kwa kifupi, vita vyaohavikukoma kamwe kwa mudawa miaka mingi na Walamani,ijapokuwa kutopendelea kwao.

23 Sasa, awalihuzunika kuchu-kua silaha dhidi ya Walamani,kwa sababu hawakupendeleaumwagaji wa damu; ndio, na hiisio yote — walihuzunika kuwanjia ya kuondoa wengi wa ndu-gu zao nje ya ulimwengu huuhadi kwenye ulimwengu wamilele, kabla ya kujitayarishakukutana na Mungu wao.

24 Walakini, hawangekubalikuweka chini maisha yao, kwa-mba awake zao na watoto waowachinjwe ovyo kwa ukatili naujeuri wa wale ambao walikuwasiku moja ndugu zao, ndio, na

14a Alma 43:46–47;3 Ne. 3:20–21;Morm. 3:10–11;M&M 98:16.

16a Alma 55:19.17a 1 Ne. 22:26;

3 Ne. 6:15.20a mwm Mnyenyekevu,

Unyenyekevu.b 1 Ne. 17:35.

23a M&M 42:45.24a Alma 46:12.

Page 423: KITABU CHA MORMONI

Alma 48:25–49:8 406bwalioasi kutoka kanisa lao,na waliwaacha na kujaribu ku-waangamiza kwa kuungana naWalamani.25 Ndio, hawangevumilia kwa-

mba ndugu zao wafurahi juu yadamu ya Wanefi, mradi kuwena yeyote atakayetii amri zaMungu, kwani ahadi ya Bwanailikuwa, kama watatii amri zakewatafanikiwa nchini.

MLANGO WA 49

Walamani walioshambulia wana-shindwa kuchukua miji ya Amo-niha na Nuhu zilizoimarishwa —Amalikia anamlaani Mungu nakuapa kunywa damu ya Moroni— Helamani na ndugu zake wana-endelea kuweka Kanisa nguvu.Karibu mwaka wa 72 kabla yakuzaliwa kwa Kristo.

Na sasa ikawa katika mweziwa kumi na moja wa mwakawa kumi na tisa, siku ya kumiya mwezi, majeshi ya Walamaniyalionekana yakikaribia kuele-kea nchi ya Amoniha.

2 Na tazama, mji ulikuwaumejengwa upya, na Moronialikuwa ameweka jeshi karibuna mipaka ya mji, na walikuwawametupa udongo kuzungukakuwakinga kutokana na mi-shale na mawe ya Walamani;kwani tazama, walipigana kwamawe na mishale.

3 Tazama, nilisema kwambamji wa aAmoniha ulikuwaumejengwa upya. Nakwambia,ndio, ilikuwa sehemu moja ime-

jengwa upya; na kwa sababuWalamani walikuwa wameuha-ribu wakati mmoja kwa sababuya uovu wa watu, walidhanikwamba tena itakuwa rahisikwao.

4 Lakini tazama, vile kulikuwamaudhi kwao; kwani tazama,Wanefi walikuwa wamechimbatuta la ardhi kuwazunguka,ambalo li l ikuwa refu sanakwamba Walamani hawange-tupa mawe yao na mishale yaokwao kwamba ingefanya cho-chote, wala hawangewafikiaisipokuwa wapitie kwenye la-ngo lao la kupitia.

5 Sasa kwa wakati huu ma-kapteni wakuu wa Walamaniwalishtushwa sana, kwa sababuya hekima ya Wanefi kwa kuta-yarisha mahali pao pa ulinzi.

6 Sasa viongozi wa Walamaniwalikuwa wamedhani, kwasababu ya wingi wa idadi yao,ndio, walidhani kwamba wa-ngenufaika kuwashambuliavi le walikuwa wamefanyaawali; ndio, na walikuwa piawamejitayarisha kwa ngao, nadirii; na walikuwa pia wameji-tayarisha na nguo za ngozi,ndio, nguo nzito sana kwakufunika uchi wao.

7 Na wakiwa wamejitayari-sha hivyo walidhani kwambawangeshinda kwa urahisi nakuwaweka ndugu zao katikanira ya utumwa, au kuwakatana kuwachinja kulingana nafuraha yao.

8 Lakini tazama, kwa msha-ngao wao mkuu, walikuwa

24b mwm Ukengeufu. 49 3a Alma 16:2–3, 9, 11.

Page 424: KITABU CHA MORMONI

407 Alma 49:9–18awamejitayarisha kwa ajili yao,kwa njia ambayo haijajulikanamiongoni mwa watoto wa Lehi.Sasa walikuwa wamejiandaakwa ajili ya Walamani, kupiga-na wakifuata njia ya mafundi-sho ya Moroni.9 Na ikawa kwamba Walama-

ni, au Waamalikia, walistaajabusana katika namna yao ya ma-tayarisho ya vita.

10 Sasa, kama mfalme Amali-kia angekuja chini kutoka anchiya Nefi, mbele ya jeshi lake,labda angesababisha Walamanikuwashambulia Wanefi katikamji wa Amoniha; kwani tazama,hakujali damu ya watu wake.

11 Lakini tazama, Amalikiahakuja chini mwenyewe kupi-gana. Na tazama, makapteniwake wakuu hawakuwasha-mbulia Wanefi katika mji waAmoniha, kwani Moroni aliku-wa amebadilisha shughuli yausimamizi miongoni mwaWanefi, hata kuwa Walamanihawakupendezwa katika ma-hali pao pa kurudi nyuma nahawangewajia.

12 Kwa hivyo walirudi nyu-ma hadi kwenye nyika, nakuchukua kituo chao na waka-enda taratibu kuelekea nchi yaNuhu, wakidhani kuwa pale nipahali pazuri kwao kuja dhidiya Wanefi.

13 Kwani hawakujua kwambaMoroni alikuwa amezuia, aualikuwa amejenga angome zaulinzi, kwa kila mji chini kotekuzunguka; kwa hivyo, walite-mbea mbele taratibu hadi nchi

ya Nuhu kwa juhudi imara;ndio, makapteni wao wakuuwalikuja mbele na kula kiapokwamba wataangamiza watuwa mji huo.

14 Lakini tazama, kwa msha-ngao wao, mji wa Nuhu, ambaohapo awali ulikuwa dhaifu,ulikuwa sasa, kwa juhudi zaMoroni, kuwa wenye nguvu,ndio, hata kushinda nguvu yamji wa Amoniha.

15 Na sasa, tazama, hii ilikuwahekima ndani ya Moroni; kwanialidhani kwamba wangeogopakatika mji wa Amoniha; na vilemji wa Nuhu ulikuwa mpakasasa sehemu dhaifu katika nchi,kwa hivyo wangeenda hapokupigana; na hivyo ilikuwakulingana na tamaa zake.

16 Na tazama, Moroni alikuwaamemweka Lehi kuwa kaptenimkuu juu ya watu wa mji huo;na al ikuwa ni a huyo Lehiambaye alipigana na Walamanikwenye bonde la masharikimwa mto Sidoni.

17 Na sasa tazama ikawa kwa-mba wakati Walamani walipo-gundua kwamba Lehi alikuwaamiri jeshi wa mji, hawakupe-ndezwa kwani walimwogopaLehi sana; walakini makapteniwao wakuu walikuwa wamea-pa na kiapo kuushambulia mji;kwa hivyo, walileta majeshi yao.

18 Sasa tazama, Walamanihawangeingia katika ngome zaoza ulinzi kwa njia ingine yoyoteisipokuwa kwenye lango, kwasababu ya urefu wa ukingoambao ulikuwa umejengwa, na

8a Alma 48:7–10.10a 2 Ne. 5:8;

Omni 1:12;Alma 47:1.

13a Alma 48:8.16a Alma 43:35.

Page 425: KITABU CHA MORMONI

Alma 49:19–27 408

urefu wa kwenda chini wahandaki ambalo lilikuwa limeli-mbwa kuzunguka hapo, isipo-kuwa tu kupitia kwenye lango.19 Na hivyo Wanefi walijia-

ndaa kuangamiza jaribio kamahilo la kupanda juu na kuingiandani ya ngome kwa njia ingineyoyote, kwa kurusha mawe namishale kwao.

20 Hivyo walijiandaa, ndio,kundi la watu wao wenye ngu-vu, na panga zao na kombeozao, kuwauwa wote ambaowangejaribu kuja kwa pahalipao pa ulinzi kupitia mahali pamlango; na hivyo ndivyo wali-vyojiandaa kujilinda dhidi yaWalamani.

21 Na ikawa kwamba makap-teni wa Walamani waliletamajeshi yao mbele ya mahali pakuingilia, na wakaanza kusha-mbuliana na Wanefi, kuingiandani ya mahali pao pa ulinzi;lakini tazama, waliwafukuzakila wakati kwa wingi, kwambawalichinjwa kwa uchinjaji mkuu.

22 Sasa wakati walipogunduaya kwamba hawangepata uwe-z o j u u y a W a n e f i k u p i t i amlangoni, walianza kuchimbachini kingo zao ili wapate njiaya kufikia majeshi yao, kwambawapate nafasi sawa kupigana;lakini tazama, kwa haya maja-ribio walifagiliwa mbali kwamawe na mishale ambayo wa-litupiwa; na badala ya kujazamitaro yao kwa kubomoa kingoza mchanga, zilijazwa kwakiwango na wafu wao na miiliiliyojeruhiwa.

23 Hivyo Wanefi walikuwana uwezo wote juu ya maaduiwao; na hivyo Walamani wali-jaribu kuwaangamiza Wanefimpaka makapteni wao wakuuwote wakauawa; ndio, na zaidiya elfu moja ya Walamani wali-uawa; wakati, kwa upandemwingine, hakukuwa hata nanafsi moja ya Wanefi ambayoiliuawa.

24 Kulikuwa na karibu hamsi-ni ambao walijeruhiwa, ambaowalikuwa wazi kwa mishale yaWalamani kupitia mlangoni,lakini walijikinga na ngao zao,na dirii zao, na vyapeo vyao,hata kwamba vidonda vyaovilikuwa kwa miguu yao, vingiambavyo vilikuwa vibaya sana.

25 Na ikawa kwamba wakatiWalamani walipoona kwambamakapteni wao wakuu wotewameuawa walikimbilia nyika-ni. Na ikawa kwamba walirejeakwa nchi ya Nefi, kumjulishamfalme wao, Amalikia, ambayealikuwa Mnefi kwa kuzaliwa,kuhusu hasara yao kubwa.

26 Na ikawa kwamba alikasi-rika sana na watu wake, kwasababu hakuwa amepata mata-rajio yake juu ya Wanefi; haku-wa amewaweka kwa nira yautumwa.

27 Ndio, alikasirika sana, naaakamlaani Mungu, na pia Mo-roni, akiapa kwa bkiapo kuwaatakunywa damu yake; na hiini kwa sababu Moroni alikuwaametii amri za Mungu kwakutayarisha usalama wa watuwake.

27a mwm Kufuru, Kukufuru. b Mdo. 23:12.

Page 426: KITABU CHA MORMONI

409 Alma 49:28–50:7

28 Na ikawa kwamba kwaupande mwingine, watu waNefi awalimshukuru BwanaMungu, kwa sababu ya nguvuyake isiyo na kifani kwa kuwa-komboa kutoka mikono ya ma-adui zao.

29 Na hivyo ukaisha mwakawa kumi na tisa wa utawalawa waamuzi juu ya watu waNefi.

30 Ndio, na kulikuwa na amanimfululizo miongoni mwao, namafanikio makuu katika kanisakwa sababu ya kusikiliza kwaona bidii ambayo walitoa kwaneno la Mungu, ambalo lilita-ngazwa kwao na Helamani, naShibloni, na Koriantoni, naAmoni na ndugu zake, ndio, nawote ambao walikuwa wamei-twa kwa aamri takatifu ya Mu-ngu, wakibatizwa ubatizo watoba, na kutumwa mbele kuhu-biri miongoni mwa watu.

MLANGO WA 50

Moroni anaimarisha nchi za Wanefi— Wanajenga miji mingi mipya— Vita na maangamizo yaliwaa-ngukia Wanefi katika siku za uovuna machukizo — Moriantoni namakaidi wake wanashindwa naTeankumu — Nefiha anafariki, namwana wake Pahorani anakalia kiticha hukumu. Kutoka karibu mwakawa 72 hadi 67 kabla ya kuzaliwakwa Kristo.

Na sasa ikawa kwamba Moro-ni hakuacha kujitayarisha kwavita, au kulinda watu wake

dhidi ya Walamani; kwanialisababisha kwamba majeshiyake yaanze katika mwanzowa mwaka wa ishirini wa uta-wala wa waamuzi, kwambawaanze kulima vilima vyaudongo kuzunguka miji yote,kote katika nchi ambayo ilimi-likiwa na Wanefi.

2 Na juu ya haya magongoya ardhi alisababisha kwambakuwe na mbao, ndio, kazi zambao zijengwe kwa urefu wamtu, kuzunguka miji.

3 Na akasababisha kwambajuu ya kazi hizo za mbao kuwena ufito wa miiba ujengewekwenye mbao kuzunguka; nazilikuwa nzito na ndefu.

4 Na akasabisha minara kuje-ngwa ambayo iliangalia zilekuta za walinzi, na akasababi-sha mahali pa ulinzi kujengwakwenye hiyo minara, ili mawena mishale ya Walamani hai-ngewaumiza.

5 Na walikuwa wamejitayari-sha ili waweze kutupa mawekutoka juu, kulingana na niayao na nguvu yao, na kumuuayeyote ambaye angejaribu kujakaribu na kuta za mji.

6 Hivyo Moroni aliandaa ngo-me dhidi ya kuja kwa maaduiwao, kuzunguka kila mji nchini.

7 Na ikawa kwamba Moronialisababisha kwamba majeshiyake yaende mbele kwenyemashariki ya nyika; ndio, nawakaenda mbele na kuwaki-mbiza Walamani wote walioku-wa ndani ya nyika ya masharikihadi kwenye nchi zao, ambazo

28a mwm Shukrani,Shukrani, enye,

Toa shukrani.30a Alma 43:2.

Page 427: KITABU CHA MORMONI

Alma 50:8–19 410

zilikuwa kusini mwa nchi yaZarahemla.8 Na nchi ya Nefi ilienea kati-

ka mstari mnyoofu kutokeakwenye bahari ya masharikihadi magharibi.

9 Na ikawa kwamba Moronialipokuwa amewafukuza Wa-lamani wote nje ya nyika yamashariki, ambayo ilikuwa kas-kazini mwa nchi za umiliki wao,alisababisha kwamba wakaaziambao walikuwa kwenye nchiya Zarahemla na nchi iliyoizu-nguka lazima waende mbelekwenye nyika ya mashariki,hata kwenye mipaka kando yabahari, na kumiliki nchi.

10 Na pia akaweka majeshikusini, katika mipaka ya umilikiwao, na akawasababisha waje-nge angome kwamba wange-weka salama majeshi yao nawatu wao kutoka mikono yamaadui zao.

11 Na hivyo akaondoa ngomezote za Walamani kwenye ma-shariki ya nyika, ndio, na piakwenye magharibi, akiimarishampaka miongoni mwa Wanefina Walamani, kati ya nchi yaZarahemla na nchi ya Nefi,kutoka magharibi mwa bahari,kuenea kando ya mwanzo wamto Sidoni—Wanefi wakimilikinchi yote upande wa kaskazi-ni, ndio, hata nchi yote ambayoilikuwa upande wa kaskaziniya nchi ya Neema, kulinganana kupenda kwao.

12 Hivyo Moroni, na majeshiyake, ambayo yaliongezeka kilasiku kwa sababu ya kuhakiki-

shiwa na ulinzi ambao kaziyake iliwaletea, walitaka kutoanguvu na uwezo wa Walamanikutoka nchi zao za umiliki, iliwasiwe na uwezo juu ya nchizao za umiliki.

13 Na ikawa kwamba Wanefiwalianza msingi wa mji, nawakaita jina la mji Moroni; naulikuwa kando ya bahari yamashariki; na ulikuwa kusinikando ya mpaka wa umiliki waWalamani.

14 Na pia walianza msingi wamji kati ya mji wa Moroni na mjiwa Haruni, ukiungana na mipa-ka ya Haruni na Moroni; na wa-kaita jina la mji, au nchi, Nefiha.

15 Na pia wakaanza kujengakatika mwaka huo huo miji mi-ngi kaskazini, mmoja kwenyenjia fulani ambao waliuita Lehi,ambao ulikuwa kaskazini kandona mipaka ya ukingo wa bahari.

16 Na hivyo ukaisha mwakawa ishirini.

17 Na kwa hii hali ya kufani-kiwa waliishi watu wa Nefikatika mwanzo wa mwaka waishirini na moja wa utawala wawaamuzi juu ya watu wa Nefi.

18 Na walifanikiwa sana, nawakawa matajiri sana; ndio, nawakaongezeka na wakawa nanguvu nchini.

19 Na hivyo tunaona jinsi ganihekima na haki ni matendo yoteya Bwana, kwa kutimiza mane-no yake yote kwa watoto wawatu; ndio, tunaweza kuonakuwa maneno yake yanathibiti-shwa, hata wakati huu, ambayoalimzungumzia Lehi akisema:

50 10a Alma 49:18–22.

Page 428: KITABU CHA MORMONI

411 Alma 50:20–30

20 Umebarikiwa wewe nawatoto wako; na watabarikiwaikiwa watatii amri zangu wata-fanikiwa nchini. Lakini ku-mbuka, ikiwa hawatatii amrizangu awatatolewa mbali kuto-ka uwepo wa Bwana.

21 Na tunaona kwamba ahadihizi zimetimizwa kwa watu waNefi; kwani imekuwa ugomviwao na mateto yao, ndio, mau-aji yao, na uporaji wao, ukafiriwao, ukahaba wao, na unya-ng’anyi wao, na machukizo yao,ambayo yalikuwa miongonimwao, ambayo yalisababishavita vyao na maangamizo yao.

22 Na wale ambao walikuwawaaminifu kwa kutii amri zaBwana walikombolewa wakatiwote, wakati maelfu ya nduguzao waovu wameachwa kwe-nye kifungo, au kuangamiakwa upanga, au kufifia kwakutoamini, na kuingiliana naWalamani.

23 Lakini tazama hakujakuwawakati wa afuraha miongonimwa watu wa Nefi, tangu sikuza Nefi, kuliko siku za Moroni,ndio, hata wakati huu, katikamwaka wa ishirini na moja wautawala wa waamuzi.

24 Na ikawa kwamba mwakawa ishirini na mbili wa utawalawa waamuzi pia ukaisha kwaamani; ndio, na pia mwaka waishirini na tatu.

25 Na ikawa kwamba katikamwanzo wa mwaka wa ishirinina nne wa utawala wa waamu-zi, kungekuwa pia amani mio-ngoni mwa watu wa Nefi kama

hakungekuwa aubishi ambaoulikuweko miongoni mwaokuhusu nchi ya Lehi, na nchi yaMoriantoni, ambazo ziliunga-na katika mipaka ya Lehi; zotembili ambazo zilikuwa kwenyemipaka kando ya ukingo wabahari.

26 Kwani tazama, watu ambaowalimiliki nchi ya Moriantoniwalidai sehemu ya nchi ya Lehi;kwa hivyo kulianza kuwa naubishi mkali miongoni mwao,hata kwamba watu wa Moria-ntoni walichukua silaha dhidiya ndugu zao, na walikata kaulikuwauwa kwa upanga.

27 Lakini tazama, watu ambaowalimiliki nchi ya Lehi waliki-mbilia kituo cha Moroni, nakumuomba usaidizi; kwani ta-zama hawakuwa na makosa.

28 Na ikawa kwamba wakatiwatu wa Moriantoni, ambaowaliongozwa na mtu ambayejina lake lilikuwa Moriantoni,waligundua kwamba watu waLehi walikuwa wamekimbiliakituo cha Moroni, waliogopasana isiwe jeshi la Moroni linge-kuja kwao na kuwaangamiza.

29 Kwa hivyo, Moriantoni ali-sadikisha mioyo yao kwambawakimbilie nchi ambayo iliku-wa kaskazini, ambayo ilikuwaimefunikwa kwa miili miku-bwa ya maji, na kumiliki nchiambayo ilikuwa upande wakaskazini.

30 Na tazama, wangetekelezahuu mpango kwa vitendo,(ambao ungekuwa mwanzo wamasikitiko) lakini tazama, Mo-

20a M&M 1:14. 23a Mos. 2:41. 25a mwm Ushindani.

Page 429: KITABU CHA MORMONI

Alma 50:31–39 412

riantoni akiwa mtu wa juhudikuu ya roho, kwa hivyo alim-kasirikia mmoja wa wafanyakazi wake wa kike, na aka-mwangukia na kumpiga sana.31 Na ikawa kwamba alitoro-

ka, na akafikia kituo cha Moro-ni, na kumwambia Moroni vituvyote kuhusu mambo hayo, napia kuhusu mipango yao yakukimbilia nchi ya upande wakaskazini.

32 Sasa tazama, watu ambaowalikuwa katika nchi ya Nee-ma, kwa usahihi zaidi Moroni,waliogopa kwamba wangesikiana kufuata maneno ya Moria-ntoni na kuungana na watuwake, na hivyo angepata urithiw a h i z o s e h e m u z a n c h i ,ambao ungeweka msingi wamatokeo mabaya miongonimwa watu wa Nefi, ndio, ma-tokeo ambayo yangekuwa cha-nzo cha kuongoza upinduzi waauhuru wao.33 Kwa hivyo Moroni alituma

jeshi, na kituo chao, kuongozawatu wa Moriantoni, kuwazuiakukimbilia nchi ya upande wakaskazini.

34 Na ikawa kwamba hawa-kuwaongoza mpaka walipofi-kia mipaka ya nchi ya aUkiwa;na huko waliwaongoza, kwanjia ndogo ambayo ilielekeakando ya bahari hadi kwenyenchi upande wa kaskazini, ndio,kando ya bahari, kwenye ma-gharibi na kwenye mashariki.

35 Na ikawa kwamba jeshiambalo lilitumwa na Moroni,ambalo liliongozwa na mtu

ambaye jina lake lilikuwa Te-ankumu, lilikutana na watu waMoriantoni; na watu wa Moria-ntoni walikuwa wakaidi sana,(wakiwa wamevutiwa na uovuwake na maneno yake ya kuji-sifu) kwamba vita vilianza katiyao, ambamo Teankumu ali-muua Moriantoni na kushindajeshi lake, na kuwachukuawafungwa, na kurudi kwenyekituo cha Moroni. Na hivyoukaisha mwaka wa ishirini nanne wa utawala wa waamuzijuu ya watu wa Nefi.

36 Na hivyo watu wa Moria-ntoni walirudishwa. Na baadaya maagano ya kuweka amaniwalirudishwa kwenye nchiya Moriantoni, na muunganoukafanyika miongoni mwao nawatu wa Lehi; na wao pia wali-rudishwa katika nchi yao.

37 Na ikawa kwamba katikamwaka huo huo kwamba ima-ni iliimarishwa kwa watu waNefi, kwamba Nefiha, mwamu-zi mkuu wa pili, alifariki, akiwaamekalia kiti cha hukumu kwahaki kamili mbele ya Mungu.

38 Walakini alikuwa amem-kataza Alma kuchukua hayomaandishi na vile vitu amba-vyo viliheshimiwa na Alma nababa zake kuwa vitakatifu; kwahivyo Alma alikuwa amevipatiakwa mwana wake, Helamani.

39 Tazama, ikawa kwambamwana wa Nefiha aliwekwakwenye kiti cha hukumu, bada-la ya baba yake; ndio, alifanywakuwa mwamuzi mkuu na msi-mamizi juu ya watu, kwa kiapo

32a mwm Uhuru. 34a Alma 46:17.

Page 430: KITABU CHA MORMONI

413 Alma 50:40–51:7

na agizo takatifu kuhukumukwa haki, na kuweka amani nauhuru wa watu, na kuwapatiamapendeleo matakatifu ya ku-mwabudu Bwana Mungu wao,ndio, kusaidia na kudumishamatendo ya Mungu siku zakez o t e , n a k u w a l e t a w a o v ukwenye hukumu kulingana namakosa yao.40 Sasa tazama, jina lake lili-

kuwa Pahorani. Na Pahoranialijaza kiti cha baba yake, naakaanza utawala wake katikamwisho wa mwaka wa ishirinina nne, juu ya watu wa Nefi.

MLANGO WA 51

Watu wa mfalme wanatazamiakugeuza sheria na kumchaguamfalme — Pahorani na watu wauhuru wanaungwa mkono kwasauti ya watu—Moroni analazimi-sha watu wa mfalme kulinda nchiyao au wauawe — Amalikia naWalamani wanatega miji mingiiliyoimarishwa — Teankumu ana-rudisha nyuma mwingilio wa Wa-lamani na kumuua Amalikia katikahema lake. Kutoka karibu mwakawa 67 hadi 66 kabla ya kuzaliwakwa Kristo.

Na sasa ikawa katika mwanzowa mwaka wa ishirini na tanowa utawala wa waamuzi juuya watu wa Nefi, hao wakiwawameanzisha amani miongonimwa watu wa Lehi na watu waMoriantoni kuhusu nchi zao,na wakiwa wameanza mwakawa ishirini na tano kwa amani;

2 Walakini, hawakudumishaamani kwa muda mrefu nchini,

kwani kulianza kuwa na ubishimiongoni mwa watu kuhusumwamuzi mkuu Pahorani; kwa-ni tazama, kulikuwa na sehemuya watu ambao walitaka kwa-mba sehemu fulani za sheriaibadilishwe.

3 Lakini tazama, Pahoranihakubadilisha wala kukubalisheria ibadilishwe; kwa hivyo,hakuwasikiliza wale ambao wa-likuwa wamepeleka mashaurina maombi kuhusu kubadili-shwa kwa sheria.

4 Kwa hivyo, wale ambaowalitamani kwamba sheriaibadilishwe walimkasirikia, nawakataka kwamba asiwe tenamwamuzi mkuu katika nchi;kwa hivyo kulitokea ugomvimkali kuhusu jambo hili, lakinidamu haikumwagwa.

5 Na ikawa kwamba waleambao walitaka kwamba Paho-rani aondolewe kutoka kiti chahukumu walikuwa watu waufalme, kwani walihitaji kwa-mba sheria igeuzwe kwa njiaambayo ingeiondoa serikalihuru na kuweka mfalme katikanchi.

6 Na wale ambao walitakakwamba Pahorani abaki mwa-muzi mkuu juu ya nchi walijiitawatu huru; na hivyo ndivyoulikuwa mgawanyiko miongonimwao, kwani watu huru wali-kuwa wameapa au kutoa aganokulinda haki yao na heshimayao ya dini kwa serikali huru.

7 Na ikawa kwamba hili jambolao la ubishi lilitulizwa kwa sa-uti ya watu. Na ikawa kwambasauti ya watu ilipendelea watuhuru, na Pahorani akabaki

Page 431: KITABU CHA MORMONI

Alma 51:8–16 414

kwenye ki t i cha hukumu,ambayo ilisababisha furahanyingi miongoni mwa nduguza Pahorani na pia watu wengiwaliotaka uhuru, ambao piawaliwanyamazisha watu wamfalme, kwamba hawakupi-nga lakini walihitajika kulindamwendo wa uhuru.8 Sasa wale ambao walipe-

ndelea wafalme walikuwa waleambao ni wa cheo cha ajuu, nawalitaka kuwa wafalme; nawalisaidiwa na wale ambaowalitaka nguvu na uwezo juuya watu.

9 Lakini tazama, huu ulikuwawakati wa hatari wa mabishanokuwa miongoni mwa watu waNefi; kwani tazama, Amalikiaalikuwa amevuruga tena mioyoya watu wa Walamani dhidiya watu wa Wanefi, na aliku-wa akikusanya pamoja askarikutoka kila sehemu ya nchiyake, na kuwahami kwa silaha,na kuwatayarisha kwa vita kwabidii yake yote; kwani alikuwaa ameapa kunywa damu yaMoroni.10 Lakini tazama, tutaona

kwamba ahadi yake aliyofanyailikuwa ni ya upumbavu; wala-kini, alijitayarisha na majeshiyake kupigana dhidi ya Wanefi.

11 Sasa majeshi yake hayaku-wa mengi kama vile yalivyoku-wa hapo awali, kwa sababu yamaelfu wengi ambao waliuawakwa mikono ya Wanefi; lakiniijapokuwa kupotewa kwao kwi-ngi, Amalikia alikuwa amekusa-nya jeshi kubwa la ajabu, hivyo

kwamba hakuogopa kuja chinikwenye nchi ya Zarahemla.

12 Ndio, hata Amalikia alikujachini mwenyewe, mbele yaWalamani. Na ilikuwa katikamwaka wa ishirini na tanowa utawala wa waamuzi; nailikuwa wakati huo ambao wa-likuwa wameanza kutatua ma-mbo ya mabishano yao kuhusumwamuzi mkuu, Pahorani.

13 Na ikawa kwamba wakatiwatu ambao waliitwa watu wamfalme walipokuwa wamesikiakwamba Walamani wanakujakupigana dhidi yao, walifurahindani ya mioyo yao; na waka-kataa kuchukua silaha, kwaniwalimkasirikia sana mwamuzimkuu, na pia awatu wa uhuru,kwamba hawangechukua silahakulinda nchi yao.

14 Na ikawa kwamba Moronialipoona hivi, na pia kwambaWalamani walikuwa wanaka-ribia mipaka ya nchi, alikasiri-ka sana kwa sababu ya ukaidiwa watu wale ambao alikuwaamefanyia kazi kwa bidii nyi-ngi kuwalinda; ndio, alikasiri-ka sana; nafsi yake ilijaa hasiradhidi yao.

15 Na ikawa kwamba alitumaombi, na sauti ya watu, kwamsimamizi wa nchi, akitakakwamba alisome, na kumpatia(Moroni) uwezo kulazimishahao waasi kulinda nchi yao auwauawe.

16 Kwani lilikuwa jukumu lakela kwanza kumaliza mabishanokama haya na mafarakanomiongoni mwa watu; kwani

51 8a mwm Kiburi. 9a Alma 49:26–27. 13a Alma 46:10–16.

Page 432: KITABU CHA MORMONI

415 Alma 51:17–26

tazama, hii ilikuwa mpaka sasasababu ya maangamizo yao.Na ikawa kwamba lilikubaliwakulingana na sauti ya watu.17 Na ikawa kwamba Moroni

aliamuru kwamba majeshi yakeyaende dhidi ya watu waufalme, kuweka chini kiburichao na daraja zao kubwa nakuwalainisha na ardhi, au wa-chukue silaha na kusaidia njiaya uhuru.

18 Na ikawa kwamba majeshiyalienda mbele dhidi yao; nayaliweka chini kiburi chao nadaraja zao kubwa, hata kwambawakati walipoinua silaha zaoza vita kupigana dhidi ya watuwa Moroni waliangushwa chinina kulainishwa na ardhi.

19 Na ikawa kwamba kuliku-wa na elfu nne ya wale awaasiambao walitupwa chini kwaupanga; na wale baina ya vio-ngozi wao ambao hawakuuawavitani walichukuliwa na kutu-pwa gerezani, kwani hapaku-weko na wakati wa majaribioyao wakati huo.20 Na waasi waliosalia, badala

ya kukatwa chini kwa upanga,walijitolea kwa bendera yauhuru, na walilazimishwa kui-nua ajina la uhuru kwenye mi-nara yao, na katika miji yao, nakuchukua silaha kwa kulindanchi yao.

21 Na hivyo Moroni alikome-sha wale watu wa ufalme,kwamba hapakuwa na yeyotealiyejulikana kwa jina la watuwa ufalme; na hivyo akakome-sha ukaidi na kiburi cha wale

watu ambao walidai damu yawale walio bora; lakini walile-twa chini kujinyenyekea kamandugu zao, na kupigana kwaushujaa kwa uhuru wao kutokakifungoni.

22 Tazama, ikawa kwambawakati a Moroni alipokuwaakiondoa vita na mabishanomiongoni mwa watu wake, nakuwaweka kwa imani na uta-maduni, na kutengeneza sheriakwa kujiandaa kwa vita dhidiya Walamani, tazama, Walama-ni walikuwa wamekuja kwe-nye nchi ya Moroni, ambayoilikuwa mipakani mwa ukingowa bahari.

23 Na ikawa kwamba Wanefihawakuwa na nguvu ya kuto-sha katika mji wa Moroni; kwahivyo Amalikia aliwafukuza,akiua wengi. Na ikawa kwambaAmalikia alimiliki mji, ndio,alimiliki ngome zao zote.

24 Na wale ambao walikimbiakutoka mji wa Moroni wali-ngia kwenye mji wa Nefiha;na pia watu wa mji wa Lehiwalijikusanya pamoja, na wa-kafanya matayarisho na waka-wa tayari kuwapokea Walamanikwa vita.

25 Lakini ikawa kwambaAmalikia hakuwaruhusu Wa-lamani kwenda dhidi ya mjiwa Nefiha kupigana, lakiniakawaweka chini kando yaukingo wa bahari, akiwaachawatu katika kila mji kuushikana kuulinda.

26 Na hivyo aliendelea, akimi-liki miji mingi, mji wa Nefiha,

19a Alma 60:16.20a Alma 46:12–13.

22a mwm Moroni,Kapteni.

Page 433: KITABU CHA MORMONI

Alma 51:27–37 416

na mji wa Lehi, na mji wa Mori-antoni, na mji wa Omneri, namji wa Gidi, na mji wa Muleki,yote ambayo ilikuwa masharikimwa mipaka kando ya ukingowa bahari.27 Na hivyo Walamani wali-

kuwa wamepata, kwa ujanjawa Amalikia, miji mingi sana,na wenyeji wasiohesabika, yoteambayo ilikuwa imelindwa kwanguvu kwa njia ya aulinzi waMoroni; yote ambayo iliweze-sha ulinzi kwa Walamani.

28 Na ikawa kwamba waliendataratibu hadi kwenye mipakaya nchi ya Neema, wakiwafu-kuza Wanefi mbele yao na kuuawengi.

29 Lakini ikawa kwamba wali-kutana na Teankumu, ambayealikuwa aamemuua Moriantonina kuwaongoza watu wakekwa ukimbizi wake.

30 Na ikawa kwamba alimwo-ngoza Amalikia pia, wakatialipokuwa akienda taratibu najeshi lake la idadi kubwa kwa-mba angemiliki nchi ya Nee-ma, na pia nchi upande wakaskazini.

31 Lakini tazama alikabilianana uchungu kwa kurudishwanyuma na Teankumu na watuwake, kwani walikuwa ma-shujaa wakuu; kwani kila mtuwa Teankumu alikuwa anashi-nda Walamani kwa nguvu nakwa ustadi wao wa vita, hatakuwa walikuwa bora juu yaWalamani.

32 Na ikawa kwamba waliwa-angamiza kwa wingi, hata kwa-

mba waliwauwa hata mpakakukawa na giza. Na ikawakwamba Teankumu na watuwake walisimamisha hema zaokwenye mipaka ya nchi yaNeema; na Amalikia akasima-misha hema zake kwenye mi-paka kwenye pwani kando yaukingo wa bahari, na kwa njiahii walifukuzwa.

33 Na ikawa kwamba wakatiusiku ulipowadia, Teankumuna mtumishi wake waliendanje usiku kwa kujificha, nawakaenda kwenye kituo chaAmalikia; na tazama, usingiziulikuwa umewalemea kwa sa-babu ya uchovu wao mwingi,ambao ulisababishwa na kazina joto la mchana.

34 Na ikawa kwamba Teanku-mu al i ingia kwa sir i hadikwenye hema la mfalme, nakumchoma kwa sagai kwenyemoyo wake; na akasababishakifo cha mfalme mara mojakwamba hakuwaamusha wa-tumishi wake.

35 Na akarudi tena kwa sirihadi kwenye kituo chake, natazama watu wake walikuwawanalala, na akawaamsha nakuwaambia vitu vyote ambavyoalikuwa amefanya.

36 Na akasababisha kwambamajeshi yake yasimame tayari,isiwe Walamani wawe wamea-mka na kuwajia.

37 Na hivyo ukaisha mwakawa ishirini na tano wa utawalawa waamuzi juu ya watu waNefi; na hivyo zikaisha siku zaAmalikia.

27a Alma 48:8–9. 29a Alma 50:35.

Page 434: KITABU CHA MORMONI

417 Alma 52:1–9

MLANGO WA 52

Amoroni anaingia mahali pa Ama-likia kama mfalme wa Walamani— Moroni, Teankumu, na Lehiwanaongoza Wanefi katika vitavya kufaulu dhidi ya Walamani —Mji wa Muleki unachukuliwa, naYakobo Mzorami anauawa. Kutokakaribu mwaka wa 66 hadi 64 kablaya kuzaliwa kwa Kristo.

Na sasa, ikawa katika mwakawa ishirini na sita wa utawalawa waamuzi juu ya watu waNefi, tazama, wakati Walamaniwalipoamka asubuhi ya kwanzaya mwezi wa kwanza, tazama,walipata Amalikia amekufakatika hema lake mwenyewe;na wakaona pia kwamba Tean-kumu alikuwa tayari kupigananao siku hiyo.

2 Na sasa, wakati Walamaniwalipoona hivi waliogopa; nawakaacha kusudi lao la mate-mbezi yao ya taratibu ya kuele-kea nchi ya kaskazini, na waka-rudi nyuma na majeshi yaoyote katika mji wa Muleki, nawakatafuta ulinzi katika ngomezao.

3 Na ikawa kwamba kakaya Amalikia aliwekwa kuwamfalme juu ya watu; na jina lakelilikuwa Amoroni; kwa hivyomfalme Amoroni , kaka yamfalme Amalikia, aliwekwakutawala badala yake.

4 Na ikawa kwamba aliamurukwamba watu wake washikiliehiyo miji, ambayo waliichukuakwa kumwaga damu; kwani

walikuwa hawajachukua mijiyoyote isipokuwa walikuwawamepoteza damu nyingi.

5 Na sasa, Teankumu alionakwamba Walamani walikuwawamekata kauli kushikilia hiyomiji ambayo walikamata, nahizo sehemu za nchi ambazowalimiliki; na pia akiona uku-bwa wa idadi yao, Teankumualidhani haikuwa ya kufaakwamba ajaribu kuwashambu-lia kwenye ngome zao.

6 Lakini aliweka watu wakewakazingira, kama wanaojita-yarisha kwa vita; ndio, na kwelialikuwa akijitayarisha kujili-nda dhidi yao, kwa akujengakuta kuzunguka na kutayari-sha mahali pa kukimbilia.

7 Na ikawa kwamba aliende-lea hivyo kujitayarisha kwavita mpaka Moroni alipotumaidadi kubwa ya watu kuimari-sha jeshi lake.

8 Na Moroni pia al i tumamaagizo kwake kwamba awekewafungwa wote ambao aliwa-kamata; kuwa kama vile Wala-mani walikuwa wamekamatawafungwa wengi, kwambaaweke wafungwa wote wa Wa-lamani kama fidia kwa waleambao Walamani wamekamata.

9 Na pia alituma maagizokwake kwamba aweke ulinzikwa nchi ya Neema, na achungesehemu anyembamba ambayoilitangulia kuelekea katika nchiupande wa kaskazini, la sivyo,Walamani wangechukua mahalihapo na wawe na uwezo wa ku-wahangaisha kwa kila upande.

52 6a Alma 50:1–6; 53:3–5. 9a Alma 22:32; Morm. 2:29.

Page 435: KITABU CHA MORMONI

Alma 52:10–19 418

10 Na Moroni pia alitumakwake, akitaka kwamba awemwaminifu kwa kuweka hiyosehemu ya nchi, na kwambaatafute kila nafasi kupingaWalamani katika hiyo sehemu,vile ingewezekana kwa nguvuyake, kwamba labda angechu-kua tena kwa werevu au baadhiya njia zingine hiyo miji ambayoilikuwa imechukuliwa kutokakwa mikono yao; na kwambapia angeimarisha na kuwekanguvu miji iliyokuwa karibu,ambayo ilikuwa haijaangukakatika mikono ya Walamani.

11 Na pia akamwambia, ni-ngekuja kwako, lakini tazama,Walamani wako juu yetu kwe-nye mipaka ya nchi kando yamagharibi ya bahari; na tazama,ninaenda dhidi yao, kwa hivyosiwezi kuja kwako.

12 Sasa, mfalme (Amoroni)alikuwa ameondoka nje ya nchiya Zarahemla, na alikuwa ame-mjulisha malkia kuhusu kifocha kaka yake, na alikuwaamekusanya idadi kubwa yawatu, na alienda mbele kuwa-shambulia Wanefi kwenye mi-paka kando ya bahari ya ma-gharibi.

13 Na hivyo alikuwa anajari-bu kuwahangaisha Wanefi, nakuteka sehemu ya majeshiyao hadi sehemu ya ile nchi,wakati alikuwa ameamuru waleambao alikuwa amewaachakumiliki miji ambayo alikuwaameteka, kwamba wao pia wa-wahangaishe Wanefi, kwenyemipaka kando ya bahari yamashariki, na wamiliki nchiyao kwa wingi vile uwezo wao

ungewakubalia, kulingana nanguvu ya majeshi yao.

14 Na hivyo ndivyo walivyo-kuwa Wanefi katika hizo haliza hatari kwenye mwisho wamwaka wa ishirini na sita wautawala wa waamuzi juu yawatu wa Nefi.

15 Lakini tazama, ikawa kati-ka mwaka wa ishirini na sabawa utawala wa waamuzi, kwa-mba Teankumu, kutokana naamri ya Moroni — ambaye ali-kuwa ameweka majeshi kulindakusini na magharibi mwa mipa-ka ya nchi, na alikuwa ameanzamwendo wake kuelekea nchi yaNeema, ili amsaidie Teankumuna watu wake kuteka miji amba-yo walikuwa wameipoteza —

16 Na ikawa kwamba Teanku-mu alikuwa amepokea amrikushambulia mji wa Muleki,na kuuteka ikiwezekana.

17 Na ikawa kwamba Teanku-mu alifanya matayarisho ku-shambulia mji wa Muleki, nakwenda mbele na jeshi lakedhidi ya Walamani; lakini alio-na kwamba ilikuwa vigumukuwashinda kwa nguvu waka-ti walipokuwa kwa hali yakujikinga; kwa hivyo aliachiliamipango yake na akarudi tenakwenye mji wa Neema, kungojakurudi kwa Moroni, kwambaangepata nguvu kwa jeshi lake.

18 Na ikawa kwamba Moronialiwasili na jeshi lake katikanchi ya Neema, katika mwishowa mwaka wa ishirini na sabawa utawala wa waamuzi juu yawatu wa Nefi.

19 Na katika mwanzo wamwaka wa ishirini na nane,

Page 436: KITABU CHA MORMONI

419 Alma 52:20–28

Moroni na Teankumu na wengiwa makapteni wao wakuu wa-likuwa na baraza la vita —kutafakari ni nini wangefanyakusababisha Walamani kujadhidi yao kupigana; au kwambawawabembeleze kwa njia fula-ni watoke kwenye ngome zao,ili wapate kunufaika juu yao nakuteka tena mji wa Muleki.20 Na ikawa wakatuma waju-

mbe kwa jeshi la Walamani,ambalo lililinda mji wa Muleki,kwa kiongozi wao, ambaye jinalake lilikuwa Yakobo, wakim-hitaji yeye atoke nje na majeshiyake kukutana nao kwenyeuwanda kati ya hiyo miji miwili.Lakini tazama, Yakobo, ambayealikuwa Mzorami, hangekujana jeshi lake kuwakuta kwenyeuwanda.

21 Na ikawa kwamba Moroni,akiwa hana matumaini ya ku-kutana nao kwenye hali iliyosawa, kwa hivyo, alifikiriampango ambao ungewashawi-shi Walamani watoke nje yangome zao.

22 Kwa hivyo alisababishakwamba Teankumu achukueidadi ndogo ya watu waendechini karibu na ukingo wabahari; na Moroni na jeshi lake,usiku, walitembea katika nyika,magharibi mwa mji wa Muleki;na hivyo, kesho yake, wakatiwalinzi wa Walamani walipo-mgundua Teankumu, waliki-mbia na kumwambia Yakobo,kiongozi wao.

23 Na ikawa kwamba majeshiya Walamani yalienda mbeledhidi ya Teankumu, yakidha-ni kwa sababu ya idadi yao

yangemshinda Teankumu kwasababu ya uchache wa idadiyake. Na Teankumu alipoonamajeshi ya Walamani yakijadhidi yake alianza kurudi nyu-ma kando ya ukingo wa bahariupande wa kaskazini.

24 Na ikawa kwamba wakatiWalamani walipoona kwambaameanza kutoroka, walijipamoyo na kuwafuata kwa nguvu.Na wakati Teankumu alikuwaanawaongoza mbali Walamaniambao walikuwa wakiwafuku-za bila kufaulu, tazama, Moronialiamuru kwamba sehemu yajeshi lake ambao walikuwa nayeye waende kwa utaratibuhadi kwenye mji, na kuumiliki.

25 Na hivyo ndivyo walivyo-fanya, na wakawachinja walewote ambao waliachwa nyumakuulinda mji, ndio, wale woteambao hawakutaka kusalimishasilaha zao za vita.

26 Na hivyo Moroni alipatakuumiliki mji wa Muleki nasehemu ya jeshi lake, wakatialienda taratibu na waliosaliakukabiliana na Walamani wa-kiwa wamerudi kutoka kumfu-kuza Teankumu.

27 Na ikawa kwamba Wala-mani walimfukuza Teankumumpaka wakaja karibu na mjiwa Neema, na pale wakakutanana Lehi na jeshi dogo, ambalolilikuwa limeachwa kulindamji wa Neema.

28 Na sasa tazama, wakatimakapteni wakuu wa Wala-mani walipomwona Lehi najeshi lake wakija dhidi yao,walikimbia kwa kuchanganyi-kiwa kwingi, wakiogopa labda

Page 437: KITABU CHA MORMONI

Alma 52:29–40 420

hawataufikia mji wa Mulekikabla Lehi hajawapata; kwaniwal ichoka kwa sababu yamwendo wao, na watu wa Lehiwalikuwa na nguvu.29 Sasa Walamani hawakujua

kwamba Moroni alikuwa nyu-ma yao na jeshi lake; na walewaliogopa alikuwa Lehi nawatu wake.

30 Sasa Lehi hakuwa na tamaaya kuwapita mpaka wakutanena Moroni na jeshi lake.

31 Na ikawa kwamba kabla yaWalamani kurudi nyuma mbaliwalizungukwa na Wanefi, nawatu wa Moroni pande moja,na watu wa Lehi upande mwi-ngine, wote ambao walikuwana nguvu; lakini Walamani wa-likuwa wamechoka kwa saba-bu ya matembezi yao marefu.

32 Na Moroni akawaamuruwatu wake kwamba wawaa-ngukie mpaka watakapotoasilaha zao za vita.

33 Na ikawa kwamba Yakobo,akiwa kiongozi wao, pia akiwaaMzorami, na akiwa na rohoisiyoshindika, aliwatanguliaWalamani mbele kupigana kwaukatili mwingi dhidi ya Moroni.

34 Moroni akiwa kwa njiayao ya matembezi, kwa hivyoYakobo alikuwa ameamua ku-waua na kukatiza njia yake hadikatika mji wa Muleki. Lakinitazama, Moroni na watu wakewalikuwa na nguvu zaidi; kwahivyo hawakujilegeza mbeleya Walamani.

35 Na ikawa kwamba wali-pigana kwa pande zote mbili

na ghadhabu kali sana; nakulikuwa wengi waliouawapande zote mbili; ndio, naMoroni alijeruhiwa na Yakoboakauawa.

36 Na Lehi aliwashambuliakutoka nyuma yao kwa nguvusana na watu wake wenye ngu-vu, kwamba Walamani walio-kuwa nyuma walisalimishasilaha zao za vita; na waliosa-lia, walichanganyikiwa, na ha-wakujua mahali pa kwenda aukupiga.

37 Sasa Moroni a l ipoonakuchanganyikiwa kwao, ali-waambia: Ikiwa mtaleta mbelesilaha zenu za vita na kuzisali-misha, tazama, tutaacha ku-mwaga damu yenu.

38 Na ikawa kwamba wakatiWalamani waliposikia haya ma-neno, makapteni wao wakuu,wale wote ambao hawakuuawa,walikuja mbele na kutupa chinisilaha zao za vita miguuni mwaMoroni, na pia wakawaamuruwatu wao kwamba wafanyehivyo.

39 Lakini tazama, kulikuwana wengi ambao hawakufanyahivyo; na wale ambao hawaku-toa panga zao walichukuliwana kufungwa, na silaha zao zavita zilichukuliwa kutoka kwao,na walilazimishwa kutembeana ndugu zao hadi kwenyenchi ya Neema.

40 Na sasa idadi ya wafungwaambao walikamatwa ilizidi ida-di ya wale ambao waliuawa,ndio, zaidi ya wale ambao wali-uawa katika pande zote mbili.

33a Alma 31:12.

Page 438: KITABU CHA MORMONI

421 Alma 53:1–7

MLANGO WA 53

Wafungwa wa Walamani watu-miwa kuimarisha mji wa Neema— Mafarakano miongoni mwaWanefi yanasaidia kufaulu kwaWalamani—Helamani anaamrishawana elfu mbili wa watu wa Amoni.Kutoka karibu mwaka wa 64 hadi63 kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

Na ikawa kwamba waliwekawalinzi juu ya wafungwa waWalamani, na kuwalazimishakwenda kuzika wafu wao,ndio, na pia wafu wa Wanefiambao waliuawa; na Moronialiweka watu kuwachunga wa-kati walipokuwa wakifanyakazi zao.

2 Na Moroni akaenda kwenyemji wa Muleki na Lehi, na aka-chukua mji na kuukabidhi kwaLehi. Sasa tazama, huyu Lehialikuwa ni mtu ambaye alikuwapamoja na Moroni katika sehe-mu nyingi katika vita vyakevyote; na alikuwa na tabiaakama ya Moroni, na walifura-hia usalama wa kila mmojawao; ndio, walikuwa wanape-ndana, na pia kupendwa nawatu wote wa Nefi.3 Na ikawa kwamba baada

ya Walamani kumaliza kuzikawafu wao na pia wafu waWanefi, walitembezwa na ku-rudishwa kwenye nchi ya Nee-ma; na Teankumu, kwa amri yaMoroni, alisababisha kwambawaanze kufanya kazi ya kuchi-mba handaki kuzunguka ilenchi, au mji, wa Neema.

4 Na alisababisha kwambawajenge ukuta wa mbao ndaniya ukingo wa shimo; na waka-tupa uchafu wa shimo juu yaaukuta wa mbao; na hivyo wa-lisababisha Walamani kufanyakazi mpaka walipouzungukamji wa Neema kwa ukuta imarawa mbao na mchanga, kwakimo kirefu sana.

5 Na huu mji ukawa imarasana kuanzia pale kuendeleambele; na ndani ya mji huuwalilinda wafungwa wa Wala-mani; ndio, hata nyuma yaukuta ambao waliwasababishakujenga kwa mikono yao. SasaMoroni alilazimishwa kusaba-bisha Walamani kufanya kazi,kwa sababu ilikuwa rahisi ku-walinda wakiwa kazini mwao;na alihitaji majeshi yake yotewakati alipotaka kuwashambu-lia Walamani.

6 Na ikawa kwamba Moronialikuwa amepata ushindi kwamojawapo ya jeshi kubwa laWalamani, na alikuwa amemi-liki mji wa Muleki, ambaoulikuwa mojawapo ya ngomeimara za Walamani katika nchiya Nefi; na hivyo alikuwa ame-jenga ngome imara ya kuwekawafungwa wake.

7 Na ikawa kwamba hakujari-bu tena kupigana na Walamanikatika mwaka huo, lakini ali-weka watu wake kujitayarishakwa vita, ndio, na kwa kujengangome za kujikinga kutokanana Walamani, ndio, na kwapia kuwaokoa wake zao nawatoto wao kutokana na njaa

53 2a Alma 48:16–17. 4a Alma 50:2–3.

Page 439: KITABU CHA MORMONI

Alma 53:8–17 422

na mateso, na kutoa chakulakwa majeshi yao.8 Na sasa ikawa kwamba

majeshi ya Walamani, upandewa bahari ya magharibi, kusi-ni, wakati Moroni alipokuwahayuko kwa ajili ya hila fulanimiongoni mwa Wanefi, ambayoilisababisha mafarakano mio-ngoni mwao, yalikuwa yame-pata faida juu ya Wanefi, ndio,hata kwamba walikuwa wame-pata kumiliki kiasi cha miji yaokatika sehemu hio ya nchi.

9 Na hivyo kwa sababu yauovu miongoni mwao, ndio,kwa sababu ya mafarakano nahila miongoni mwao, walikuwawamewekwa kwenye hali mba-ya sana.

10 Na sasa tazama, ninamachache ya kusema kuhusuawatu wa Amoni, ambao, mwa-nzoni, walikuwa Walamani;lakini kwa sababu ya Amoni nandugu zake, kwa usahihi zaidikwa uwezo na neno la Mungu,walikuwa bwamemgeukia Bwa-na; na walikuwa wameletwachini katika nchi ya Zarahemla,na tangu hapo walikuwa wa-melindwa na Wanefi.11 Na kwa sababu ya kiapo

chao walikuwa wamekatazwakuchukua silaha dhidi ya nduguzao; kwani walikuwa wamekulakiapo kwamba akamwe hawa-tamwaga damu; na kulinganana kiapo chao wangekuwa wa-meangamia; ndio, wangekubaliwenyewe kuanguka mikononimwa ndugu zao, kama hainge-

kuwa huruma na mapenzimengi ambayo Amoni na nduguzake walikuwa nayo kwao.

12 Na kwa sababu hii waliletwachini katika nchi ya Zarahemla;na tangu hapo daima waliku-wa awamelindwa na Wanefi.13 Lakini ikawa kwamba

wakati walipoona hatari, namateso mengi na taabu ambazoWanefi walihimili kwao, wali-jazwa na huruma na awakatakakuchukua silaha kwa kulindanchi yao.

14 Lakini tazama, vile walipo-kuwa karibu kuchukua silahazao za vita, walisadikishwa nakushawishiwa na Helamani nandugu zake, kwani walikuwakaribu akuvunja bkiapo amba-cho walikuwa wamefanya.

15 Na Helamani aliogopa isijewapoteze nafsi zao; kwa hivyowale wote ambao waliingiakwenye agano hili walilazimi-shwa kutazama ndugu zaowakipitia kwenye mateso yao,kwenye hali yao ya hatariwakati huu.

16 Lakini tazama, ikawa kwa-mba walikuwa na wana wengi,ambao hawakuingia kwenyehilo agano kwamba hawata-chukua silaha za vita kujilindawenyewe dhidi ya maaduizao; kwa hivyo walijikusanyapamoja wakati huu, wengi vilewangeweza kuchukua silaha,na wakajiita Wanefi.

17 Na wakaingia katika aganokupigania uhuru wa Wanefi,ndio, kulinda nchi hata kwa

10a Alma 27:24–26.b Alma 23:8–13.

11a Alma 24:17–19.

12a Alma 27:23.13a Alma 56:7.14a Hes. 30:2.

b mwm Kiapo.

Page 440: KITABU CHA MORMONI

423 Alma 53:18–54:4

kutoa maisha yao; ndio, hatawaliapa kwamba hawataachiliakamwe auhuru wao, lakini wa-tapigana kwa njia zote kulindaWanefi na wenyewe kutokanana kifungo.

18 Sasa tazama, kulikuwaelfu mbili ya hao vijana, ambaowalifanya agano hili na waka-chukua silaha zao za vita kuli-nda nchi yao.

19 Na sasa tazama, kwa vilembeleni hawakuwa zuio kwaWanefi, walikuwa sasa katikawakati huu usaidizi mkuu;kwani walichukua silaha zaoza vita, na wakataka kwambaHelamani awe kiongozi wao.

20 Na wote walikuwa vijana,na walikuwa mashujaa kwaauhodari, na pia kwa nguvuna vitendo; lakini tazama, hiihaikuwa yote—walikuwa watuwa bukweli wakati wote kwakitu chochote ambacho walika-bidhiwa.

21 Ndio, walikuwa watu waukweli na wenye busara, kwa-ni walikuwa wamefundishwakutii amri za Mungu na akute-mbea wima mbele yake.22 Na sasa ikawa kwamba

Helamani alitembea mbele yaaskari wake vijana elfu ambili,kwa kusaidia watu walio kuwamipakani mwa nchi kusinikando ya bahari ya magharibi.23 Na hivyo ukaisha mwaka

wa ishirini na nane wa utawalawa waamuzi juu ya watu waNefi.

MLANGO WA 54

Amoroni na Moroni wanashauri-ana kwa kubadilisha wafungwa —Moroni anataka kwamba Walamaniwaondoke na waache mashambulioyao ya mauaji — Amoroni anatakakwamba Wanefi waweke chinisilaha zao na wawe chini ya Wala-mani. Karibu mwaka wa 63 kablaya kuzaliwa kwa Kristo.

Na sasa ikawa katika mwanzowa mwaka wa ishirini na tisawa waamuzi, kwamba aAmoro-ni alituma kwa Moroni akitakakwamba abadilishe wafungwa.

2 Na ikawa kwamba Moronialifurahi sana kwa ombi hili,kwani alitaka chakula ambachokilitolewa kwa kuwasaidia wa-fungwa Walamani kiwe kwakuwasaidia watu wake wenye-we; na pia aliwataka watu wakekwa kuimarisha jeshi lake.

3 Sasa Walamani walikuwawamechukua wanawake wengina watoto, na hapakuwa namwanamke wala mtoto mio-ngoni mwa wafungwa waMoroni, au wafungwa ambaoMoroni alikuwa amewakamata;kwa hivyo Moroni alikusudiakupata hila ya kupokea wafu-ngwa wengi wa Wanefi kutokakwa Walamani vile ingeweze-kana.

4 Kwa hivyo aliandika waraka,na ukapelekwa na mtumishi waAmoroni, yule yule aliyemle-tea Moroni waraka. Sasa haya

17a Alma 56:47.mwm Uhuru.

20a mwm Ushujaa,

Shujaa, enye.b mwm Uadilifu.

21a mwm Tembea,

Tembea na Mungu.22a Alma 56:3–5.54 1a Alma 52:3.

Page 441: KITABU CHA MORMONI

Alma 54:5–13 424

ndiyo maneno ambayo ali-mwandikia Amoroni, akisema:5 Tazama, Amoroni, nimeku-

andikia wewe maoni yangukuhusu hivi vita ambavyoumepigana dhidi ya watu wa-ngu, kwa usahihi zaidi ambavyoakaka yako amepigana dhidiyao, na ambavyo bado unatakakuendelea navyo baada ya kifochake.

6 Tazama, ningekwambia ki-dogo kuhusu ahaki ya Mungu,na upanga wa ghadhabu yakekubwa, ambayo inaning’iniajuu yako isipokuwa utubu nakuondoa majeshi yako nakuyapeleka kwa nchi zako, aunchi unayomiliki, ambayo ninchi ya Nefi.

7 Ndio, ningekwambia vituhivi ikiwa ungekuwa na uwezowa kuvitii; ndio, ningekwambiakuhusu ile ajahanamu ya kuti-sha ambayo inangojea kupokeabwauaji kama wewe na kakayako, msipotubu na kuondoakusudi lenu la mauaji, na mru-di na majeshi yenu kwenyenchi zenu.

8 Lakini vile wakati mmojaumekataa vitu hivi, na umepi-gana dhidi ya watu wa Bwana,hata hivyo natazamia utafanyahivyo tena.

9 Na sasa tazama, tuko tayarikukupokea; ndio, na isipokuwauondoe kusudi lako, tazama,utavuta chini ghadhabu yaMungu ambaye umemkataakwako, hata kwenye uangamizowako.

10 Lakini, vile Bwana anaishi,majeshi yetu yatawajia isipo-kuwa mwondoke, na hivi kari-buni mtatembelewa na kifo,kwani tutahifadhi miji yetu nanchi zetu; ndio, na tutahifadhidini yetu na njia ya Munguwetu.

11 Lakini tazama, mimi nadha-ni kwamba ninakuzungumziakuhusu hivi vitu bure; au na-dhani kwamba wewe ni amtotowa jahanamu; kwa hivyo nita-maliza barua yangu kwa ku-kwambia kwamba sitabadilishawafungwa, isipokuwa iwe kwa-mba utarudisha mwanaume namkewe na watoto wake, kwamfungwa mmoja; ikiwa hivindivyo itakuwa kwamba utai-fanya, nitakubali.

12 Na tazama ikiwa hutafanyahivi, nitakushambulia na maje-shi yangu; ndio, hata nitawa-hami wanawake wangu kwasilaha na watoto wangu, nanitakuja dhidi yako, na nitaku-fuata wewe hadi hata kwenyenchi yako, ambayo ilikuwa nchiya kwanza ya urithi awetu;ndio, na itakuwa damu kwadamu, ndio, uzima kwa uzima;na nitakupiganisha vita hatampaka wakati utaangamizwakutoka kwenye uso wa dunia.

13 Tazama, niko kwenye hasirayangu, na pia watu wangu;mmefikiri kutuua sisi, na sisi tu-mefikiri tu kujilinda wenyewe.Lakini tazama, kama mnafikirikutuangamiza sisi, tutatafutakuwaangamiza; ndio, na tuta-

5a Alma 48:1.6a mwm Haki.7a mwm Jahanamu.

b Alma 47:18, 22–24.mwm Mauaji.

11a Yn. 8:42–44.

12a 2 Ne. 5:5–8.

Page 442: KITABU CHA MORMONI

425 Alma 54:14–55:1

tafuta nchi yetu, nchi ya kwanzaya urithi wetu.14 Sasa nafunga barua yangu.

Mimi ni Moroni; mimi ni kio-ngozi wa watu wa Wanefi.

15 Sasa ikawa kwamba Amo-roni, alipopata barua hii, alika-sirika; na akaandika baruaingine kwa Moroni, na hayandiyo maneno ambayo aliandi-ka, akisema:

16 Mimi ni Amoroni, mfalmewa Walamani; mimi ni kaka yaAmalikia ambaye aulimwua.Tazama, nitalipiza damu yakekwako, ndio, na nitakuja kwakona majeshi yangu kwani siogopivitisho vyako.

17 Kwani tazama, babu zenuwaliwakosea kaka zao, hatakwamba wakawaibia ahaki yaokwa serikali wakati ilikuwani yao.

18 Na sasa tazama, ikiwamtaweka chini silaha zenu, namkubali wenyewe kutawaliwana wale ambao serikali ni yao,ndipo nitasababisha kwambawatu wangu waweke chini si-laha zao na hatutakuwa na vitatena.

19 Tazama, umetoa vitisho vi-ngi sana dhidi yangu na watuwangu; lakini tazama, hatuo-gopi vitisho vyako.

20 Walakini, nitakubali ku-badilisha wafungwa kulinganana ombi lako, kwa furaha,kwamba niweke chakula cha-ngu kwa watu wangu wa vita;na tutapigana vita ambavyovitakuwa vya milele, kuwawe-ka Wanefi chini ya utawala

wetu au kwa kuangamizwakwao kwa milele.

21 Na kuhusu yule Munguambaye unasema ati tumemka-taa, tazama, hatujui kiumbekama hicho; wala wewe; lakinikama kuna kiumbe kama hicho,hatujui lakini ametuumba sisina wewe pia.

22 Na ikiwa hivyo kwambakuna ibilisi na jahanamu, taza-ma si atakupeleka wewe hukoupate kuishi na kaka yanguambaye ulimuua, ambaye ulido-keza kwamba ameenda mahalikama hapo? Lakini vitu hivihavijalishi.

23 Mimi ni Amoroni, na kizazicha aZoramu, ambaye babuzako walimlemea na kumtoanje ya Yerusalemu.

24 Na tazama, mimi ni Mla-mani jasiri; tazama, hivi vitavimeanzishwa kulipiza mabayayao, na kuhifadhi na kuwekahaki zao kwa serikali; na ninafu-nga barua yangu kwa Moroni.

MLANGO WA 55

Moroni anakataa kubadilisha wa-fungwa — Walinzi wa Walamaniwanashawishiwa kulewa, naWanefi wafungwa wanakuwahuru — Mji wa Gidi unakamatwabila kumwaga damu. Kutoka kari-bu mwaka wa 63 hadi 62 kabla yakuzaliwa kwa Kristo.

Sasa ikawa kwamba Moronialipopokea hii barua alikasiri-ka zaidi, kwa sababu alijuakwamba Amoroni alikuwa na

16a Alma 51:34.17a 2 Ne. 5:1–4;

Mos. 10:12–17.23a 1 Ne. 4:31–35.

Page 443: KITABU CHA MORMONI

Alma 55:2–13 426

fahamu kamili ya ahila yake;ndio, alijua kwamba Amoronialijua kwamba haikuwa sababuya haki ambayo ilimsababishakuanzisha vita dhidi ya watuwa Nefi.

2 Na akasema: Tazama, sita-badilisha wafungwa na Amo-roni isipokuwa aondoe kusudilake, vile nimeeleza kwenyebarua yangu; kwani sitamku-balia kwamba awe na uwezokuliko ule anao.

3 Tazama, najua mahali amba-po Walamani wanasimamiawatu wangu ambao wamewa-chukua wafungwa; na kwa vileAmoroni hataki kukubalianana barua yangu, tazama, nita-mpatia kulingana na manenoyangu; ndio, nitatafuta kifomiongoni mwao mpaka wata-kapoomba amani.

4 Na sasa ikawa kwambawakati Moroni alikuwa amese-ma maneno haya, alisababishakwamba msako ufanywe mio-ngoni mwa watu wake, kwambalabda angepata mtu ambayealikuwa wa uzao wa Lamanimiongoni mwao.

5 Na ikawa kwamba walim-pata mmoja, ambaye jina lakelilikuwa Lamani; na alikuwaammojawapo wa watumishi wamfalme ambaye aliuawa naAmalikia.6 Sasa Moroni alisababisha

kwamba Lamani na idadi ndogoya watu wake waende mbelehadi kwenye walinzi ambaowalikuwa wanalinda Wanefi.

7 Sasa Wanefi walisimamiwa

kwenye mji wa Gidi; kwa hivyoMoroni alimchagua Lamani nakusababisha kwamba idadindogo ya watu iende na yeye.

8 Na kulipokuwa usiku Lama-ni aliwaendea walinzi walioku-wa juu ya Wanefi, na tazama,walimwona akija na wakamui-ta; lakini aliwaambia: Msiogope;tazama, mimi ni Mlamani. Ta-zama, tumetoroka kutoka kwaWanefi, na wanalala; na tazamatumechukua baadhi ya divaiyao na kuja nayo.

9 Sasa wakati Walamani wali-posikia haya maneno walim-pokea kwa shangwe; na waka-mwambia: Tupatie divai yako,ili tunywe; tuna furaha kwambaulichukua divai ukaja nayokwani sisi tumechoka.

10 Lakini Lamani aliwaambia:Acha sisi tuweke divai yetumpaka tutakapoenda dhidi yaWanefi kupigana. Lakini kuse-ma hivi kuliwafanya kuwa natamaa zaidi ya kutaka kunywadivai;

11 Kwani, walisema: Tume-choka, kwa hivyo acha tunywedivai, na baadaye tutapatadivai kwa posha yetu, ambayoitatuimarisha kwenda dhidi yaWanefi.

12 Na Lamani akawaambia:Mnaweza kufanya kulinganana vile mnavyotaka.

13 Na ikawa kwamba waliku-nywa divai bila kuzuiliwa; nailikuwa nzuri walipoionja, kwahivyo waliinywa kwa wingi;na ilikuwa kali, ikiwa imetaya-rishwa na nguvu yake.

55 1a Alma 47:12–35. 5a Alma 47:29.

Page 444: KITABU CHA MORMONI

427 Alma 55:14–25

14 Na ikawa walikunywa nawakafurahi, na baadaye wotewalilewa.

15 Na sasa Lamani na watuwake walipoona kwamba wotewamelewa, na wamelala sana,walimrudia Moroni na kumwe-lezea vitu vyote vilivyotendeka.

16 Na sasa hii ilikuwa kuli-ngana na mpango wa Moroni.Na Moroni alikuwa ametayari-sha watu wake na silaha za vita;na akaenda kwenye mji wa Gidi,wakati Walamani walipokuwakatika usingizi mkubwa nawamelewa, na akawatupia wa-fungwa silaha za vita, mpakawalikuwa wote wamejihamikwa silaha;

17 Ndio, hata kwa wanawakewao, na kwa wale watoto waowote, wote ambao wangewezakutumia silaha ya vita, wakatiMoroni alikuwa amewaami kwasilaha wale wafungwa wote; nahivyo vitu vyote vilifanyikakwenye unyamavu mkuu.

18 Lakini kama wangewaa-msha Walamani, tazama wali-kuwa wamelewa na Wanefiwangewachinja.

19 Lakini tazama, hii haikuwatamaa ya Moroni; hakufurahiamauaji au aumwagaji wa damu,lakini alifurahia kuokoa watuwake kutoka maangamizo; nakwa hii sababu hakutaka kuji-letea yasiyo ya haki, hakuwa-shambulia Walamani na kuwa-angamiza katika ulevi wao.

20 Lakini alikuwa amepatamahitaji yake; kwani alikuwaamewahami kwa silaha wafu-

ngwa wa Wanefi ambao wali-kuwa ndani ya ukuta wa mji,na alikuwa amewapatia uwezokupata umiliki wa zile sehemuambazo zilikuwa ndani ya kuta.

21 Na kisha akasababisha walewatu ambao walikuwa na yeyewarudi nyuma kiwango fulanikutoka kwao, na kuzungukamajeshi ya Walamani.

22 Sasa tazama hii ilifanyikawakati wa usiku, ili wakatiWalamani walipoamka asubuhiwaliona kwamba wamezungu-kwa na Wanefi nje ya ukuta, nakwamba wafungwa wao wali-kuwa wamejihami kwa silahandani.

23 Na hivyo waliona kwambaWanefi walikuwa na nguvu juuyao; na kwa hali hii walionakwamba haikuwa ya manufaakupigana na Wanef i ; kwahivyo makapteni wao wakuuwaliitisha silaha zao za vita, nawakazileta mbele na kuzitupamiguuni mwa Wanefi, wakio-mba kuonewa huruma.

24 Sasa tazama, hili lilikuwapendeleo la Moroni. Aliwachu-kua kuwa wafungwa wa vitana kuumiliki mji, na kusababi-sha kwamba wafungwa wotewaachiliwe, ambao walikuwaWanefi; na wakajiunga na jeshila Moroni, na waliongeza ngu-vu nyingi katika jeshi lake.

25 Na ikawa kwamba alisaba-bisha Walamani, ambao aliku-wa amechukua wafungwa,kwamba waanze akazi ya kui-marisha ulinzi kuzunguka mjiwa Gidi.

19a Alma 48:16. 25a Alma 53:3–5.

Page 445: KITABU CHA MORMONI

Alma 55:26–56:2 428

26 Na ikawa kwamba alipoi-marisha mji wa Gidi, kulinganana mahitaji yake, alisababishakwamba wafungwa wake wa-pelekwe kwenye mji wa Neema;na pia akalinda huo mji kwanguvu nyingi.

27 Na ikawa kwamba, licha yahila za Walamani, waliwawekana kuwalinda wafungwa woteambao walikuwa wamewachu-kua, na pia kudumisha ardhiyote na faida ambayo walikuwawamechukua tena.

28 Na ikawa kwamba Wanefiwalianza tena kuwa washindi,na kudai haki zao na mapende-leo yao.

29 Mara nyingi Walamaniwalijaribu kuwazunguka usiku,lakini kwa haya majaribio wa-lipoteza wafungwa wengi.

30 Na safari nyingi walijaribukutoa divai kwa Wanefi, ili wa-waangamize na sumu au ulevi.

31 Lakini tazama, Wanefihawakuwa wapole akumku-mbuka Bwana Mungu waokwa huu wakati wa mateso.Hawakuanguka katika mitegoyao; ndio, hawakunywa divaiyao, isipokuwa wawe wame-wapatia kwanza wafungwa waWalamani.32 Na wakawa hivyo waanga-

l i fu kwamba sumu yoyoteisikatolewe miongoni mwao;kwani divai ikimuua Mlamanikadhalika itamuua Mnefi; nahivyo ndivyo walijaribu pombeyao yote.

33 Na ikawa kwamba ilikuwaya maana kuwa Moroni afanye

mipango kushambulia mji waMoriantoni; kwani tazama,Walamani walikuwa, kwa kaziyao, wameimarisha mji wa Mo-riantoni mpaka ukawa wenyenguvu sana.

34 Na walikuwa kila wakatiwakileta askari wapya katikamji, na pia ruzuku mpya zavyakula.

35 Na hivyo ukaisha mwakawa ishirini na tisa wa utawalawa waamuzi juu ya watu waNefi.

MLANGO WA 56

Helamani anatuma barua kwaMoroni, akieleza yaliyotendekavitani na Walamani — Antipo naHelamani wanapata ushindi mkuujuu ya Walamani — Vijana askarielfu mbili wa Helamani wanapiga-na na nguvu ya miujiza, na hakunammoja anayeuawa. Aya ya 1, kari-bu mwaka wa 62 kabla ya kuzaliwakwa Kristo; aya ya 2 hadi 19, karibumwaka wa 66 kabla ya kuzaliwakwa Kristo; na aya ya 20 hadi 57,kutoka karibu mwaka wa 65 hadi64 kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

Na sasa ikawa katika mwanzowa mwaka wa thelathini wautawala wa waamuzi, katikasiku ya pili katika mwezi wakwanza, Moroni alipata baruakutoka kwa Helamani, akielezahali ya watu kwenye eneo hilola nchi.

2 Na haya ndiyo manenoambayo aliandika, akisema:Ndugu yangu mpendwa, Mo-

31a Alma 62:49–51.

Page 446: KITABU CHA MORMONI

429 Alma 56:3–14

roni, pamoja katika Bwana vileilivyo katika taabu ya vita vye-tu; tazama, ndugu yangu mpe-ndwa, nina kitu kukwambiakuhusu vita vyetu katika sehe-mu hii ya nchi.3 Tazama, elfu ambili ya wana

wa wale watu ambao Amonialileta kutoka nchi ya Nefi —sasa umejua kwamba hawa wa-likuwa zao la Lamani, ambayealikuwa kifungua mimba wababu yetu Lehi;

4 Sasa sihitaji kukariri kwakokuhusu desturi au kutoaminikwao, kwani unajua kuhusuvitu hivi vyote —

5 Kwa hivyo inanitoshelezakwamba nikuambie kuwa elfumbili ya hawa vijana wame-chukua silaha zao za vita, nawanataka kwamba niwe kio-ngozi wao; na tumekuja mbelekulinda nchi yetu.

6 Na sasa unajua pia kuhusuaagano ambalo baba zao wali-fanya, kwamba hawatachukuasilaha zao za vita dhidi ya ndu-gu zao kumwaga damu.7 Lakini katika mwaka wa

ishirini na sita, wakati walipo-ona mateso yetu na taabu zetukwao, walikuwa karibu akuvu-nja hilo agano ambalo walikuwawamefanya na wachukue silahazao za vita kwa ulinzi wetu.8 Lakini singewakubalia kwa-

mba wavunje hili agano ambalowalifanya, nikiamini kwambaMungu atatuweka nguvu, hivyokwamba tusiumie zaidi kwasababu ya kutimiza kiapo amba-cho walikuwa wamechukua.

9 Lakini tazama, hapa kunakitu kimoja ambacho kingetu-patia shangwe kuu. Kwanitazama, katika mwaka wa ishi-rini na sita, mimi, Helamani,nilitembea mbele nikiwaongozahawa vijana elfu mbili hadi mjiwa Yuda, kumsaidia Antipo,ambaye ulikuwa umemchaguakiongozi juu ya wale watu wasehemu ile ya nchi.

10 Na nili j iunga na wanawangu elfu mbili (kwani wa-nastahili kuitwa wana) kwajeshi la Antipo, ambamo kwanguvu hii Antipo alifurahi sana;kwani tazama, jeshi lake liliku-wa limepunguzwa na Walama-ni kwa sababu majeshi yaoyalikuwa yameua idadi kubwaya watu wetu, ambayo inatu-patia sababu ya kuomboleza.

11 Walakini, tunaweza kujitu-liza kwenye hili jambo, kwambawamefariki kwa sababu yanchi yao na Mungu wao, ndio,na wana afuraha.

12 Na Walamani walikuwa piawameweka wafungwa wengi,wote ambao walikuwa makap-teni wakuu, kwani hakuna ye-yote ambaye waliachwa mzima.Na tunadhani kwamba sasawakati huu wako kwenye nchiya Nefi; ni hivyo kama hawaja-uawa.

13 Na sasa hii ndiyo mijiambayo Walamani wamepatakumiliki kwa kumwaga damuya wengi wa mashujaa wa watuwetu:

14 Nchi ya Manti, au mji waManti, na mji wa Zeezromu, na

56 3a Alma 53:22.6a Alma 24:17–18.

7a Alma 53:13–15.11a Alma 28:12.

Page 447: KITABU CHA MORMONI

Alma 56:15–28 430

mji wa Kumeni, na mji waAntipara.15 Na hii ndiyo miji ambayo

walimiliki wakati nilipofika ka-tika mji wa Yuda; na nilimpataAntipo na watu wake wakifa-nya kazi kwa bidii kuimarishamji.

16 Ndio, na walikuwa wame-dhoofishwa kwa mwili na roho,kwani walipigana kwa ushujaamchana na kufanya kazi usikukuhifadhi miji yao; na hivyowalivumilia mateso makubwaya kila aina.

17 Na sasa walikuwa wame-kata kauli washinde mahalihapa au wafe; kwa hivyo una-weza kudhani kwamba hili jeshidogo ambalo nilileta, ndio, walewana wangu, waliwapatia ma-tumaini makubwa na shangwenyingi.

18 Na sasa ikawa kwambaWalamani walipoona kwambaAntipo amepata nguvu nyingizaidi kwa jeshi lake, walilazi-mishwa kwa amri za Amoronikutokuja dhidi ya mji wa Yuda,au dhidi yetu kupigana.

19 Na hivyo tulibarikiwa naBwana; kwani kama wangekujakatika wakati wa udhaifu wetulabda wangeangamiza hili jeshiletu dogo; lakini hivyo tulihifa-dhiwa.

20 Waliamrishwa na Amoronikulinda hiyo miji ambayo wali-kuwa wameikamata. Na hivyoukaisha mwaka wa ishirini nasita. Na kwenye mwanzo wamwaka wa ishirini na saba tuli-kuwa tumeandaa mji wetu nasisi wenyewe kwa ulinzi.

21 Sasa tulikuwa tunataka

kwamba Walamani watujiesisi; kwani hatukutaka kufanyamashambulizi juu yao kwenyengome zao.

22 Na ikawa kwamba tuliwekawapelelezi nje huku na huko,kuchunguza mwenendo waWalamani, kwamba wasitupitewakati wa usiku ama mchanakufanya mashambulizi juu yamiji yetu mingine ambayo ili-kuwa upande wa kaskazini.

23 Kwani tulijua katika hiyomiji hawakuwa na nguvu yakutosha kukutana nao; kwahivyo tulikuwa tunatamani,kama wangepita karibu nasi,tuwavamie kutoka nyuma nahivyo kuwazuia kutoka nyuma,kwa wakati sawa walipokabili-wa kutoka mbele. Tulidhanikwamba tungewashinda; lakinitazama, hatukufanikiwa katikahii tamaa yetu.

24 Hawakuthubutu kutupitana jeshi lao lote, wala sehemuyake, isiwe wasiwe na nguvuya kutosha na washindwe.

25 Wala hawakuthubutu kwe-nda chini dhidi ya mji wa Zara-hemla; wala kuvuka chimbukola Sidoni, hadi kwenye mji waNefiha.

26 Na hivyo, kwa majeshi yao,walikata kauli kulinda hiyomiji ambayo walikuwa wamei-kamata.

27 Na sasa ikawa katika mwe-zi wa pili wa mwaka huu, tuli-letewa vyakula vingi kutokakwa baba za wale vijana wa-ngu elfu mbili.

28 Na pia kulitumwa watu elfumbili kwetu kutoka Zarahemla.Na hivyo tulijitayarisha na

Page 448: KITABU CHA MORMONI

431 Alma 56:29–41

watu elfu kumi, na vyakulakwao, na pia kwa wake zao nawatoto wao.29 Na Walamani, hivyo waki-

ona majeshi yetu yakiongezekakila siku, na vyakula vikiletwakwa usaidizi wetu, walianzakuogopa, na wakaanza kutokakwa ghafula, kama ikiwezekanawatukatize ili tusipokee chakulana kuongezewa nguvu.

30 Sasa wakati tulipoona kwa-mba Walamani wanaanza kuwana wasiwasi kwa jinsi hii, tuli-taka kutumia hila juu yao; kwahivyo Antipo aliamuru kwambaniende mbele na wana wanguwachanga kwenye mji jirani,tukijifanya kama tunabeba vya-kula hadi kwenye mji jirani.

31 Na tulipaswa kusafiri kari-bu na mji wa Antipara, kamatulikuwa tunaenda upande wang’ambo ya pili, kwenye mipa-ka karibu na ukingo wa bahari.

32 Na ikawa kwamba tuliendambele, kama tuliokuwa na vya-kula vyetu, kwenda kwenyemji huo.

33 Na ikawa kwamba Antipoalienda mbele na sehemu yajeshi lake, akiacha waliosaliakulinda mji. Lakini hakuendambele mpaka nilipoenda mbelena jeshi langu dogo, na kujakaribu na mji wa Antipara.

34 Na sasa kwenye mji waAntipara kulikuwa kumewe-kwa jeshi la Walamani la nguvukuliko yote; ndio, lile kubwasana.

35 Na ikawa kwamba walipo-kuwa wamearifiwa na wapele-lezi wao, walikuja nje na jeshilao kutushambulia.

36 Na ikawa kwamba tulitoro-ka mbele yao, kuelekea kaskazi-ni. Na hivyo tukaongoza mbalijeshi lenye nguvu la Walamani;

37 Ndio, hata kwa mwendomrefu sana, mpaka kwambawalipoona jeshi la Antipo liki-wafuata kwa nguvu zao, hawa-kugeuka kulia wala kushoto,lakini waliendelea kutufuata,kwa mwendo mnyoofu; na, viletunadhani, lilikuwa kusudi laokutuua sisi kabla ya Antipokuwapita, na hivi kwamba wa-sizungukwe na watu wetu.

38 Na sasa Antipo, alipoonahatari yetu, aliongeza mwendowa jeshi lake. Lakini tazama,kulikuwa ni usiku, kwa hivyohawakutupata, wala Antipohakuwafikia; kwa hivyo tulipi-ga hema wakati wa usiku.

39 Na ikawa kwamba kabla yakupambazuka asubuhi, tazama,Walamani walikuwa wanatu-fuata. Sasa hatukuwa na nguvukadiri ya kutosha kupigananao; ndio, singekubali kwambavijana wangu wadogo waa-nguke mikononi mwao; kwahivyo tuliendelea na mwendowetu, na tukachukua mwendowetu hadi nyikani.

40 Sasa hawangethubutu ku-geuka kwa kulia wala kushotowakiogopa kuzungukwa; walasingegeuka kulia wala kushotowasije wakanipita, na hatunge-shindana nao, lakini tuuawe,na wangetoroka; na hivyo tu-kakimbia hio siku yote kwenyenyika, mpaka kulipokuwa nagiza.

41 Na ikawa kwamba tena,wakati mwangaza wa asubuhi

Page 449: KITABU CHA MORMONI

Alma 56:42–53 432

ulipotokea, tuliona Walamaniwalikuwa wametupata na tu-kawakimbia.42 Lakini ikawa kwamba ha-

wakutufuata mbali kabla yawao kusimama; na ilikuwa niasubuhi ya siku ya tatu yamwezi wa saba.

43 Na sasa, kama walipatwana Antipo hatukujua, lakininikawaambia watu wangu: Ta-zama, hatujui lakini wamesima-ma kwa kusudi kwamba turudidhidi yao, kwamba watushikekwenye mtego wao;

44 Kwa hivyo mnasema nini,nyinyi wana wangu, mtaendadhidi yao kupigana?

45 Na sasa nakwambia, nduguyangu mpendwa Moroni, kwa-mba kamwe sijaona aujasirimkubwa hivyo, hapana, siomiongoni mwa Wanefi wote.

46 Kwani vile niliwaita kilasiku wana wangu (kwani wotewalikuwa wachanga sana) hatahivyo waliniambia: Baba, taza-ma Mungu wetu yuko pamojanasi, na hatakubali kwambatuanguke; basi twende mbele;hatungeua ndugu zetu ikiwawangetuacha peke yetu; kwahivyo acha twende, wasije wa-kashinda jeshi la Antipo.

47 Sasa walikuwa hawajawahikupigana, na bado hawakuo-gopa kifo; na walifikiri zaidi juuya auhuru wa baba zao kulikomaisha yao wenyewe; ndio,walikuwa wamefundishwa nabmama zao, kwamba ikiwahawakuwa na shaka, Munguangewaokoa.

48 Na walirudia kwangu ma-neno ya mama zao, wakisema:Hatuna shaka kuwa mama zetuwalijua.

49 Na ikawa kwamba nilirudina elfu mbili wangu dhidi yaWalamani ambao walikuwawametufukuza. Na sasa tazama,jeshi la Antipo lilikuwa lime-wapata, na vita vikali vilikuwavimeanza.

50 Jeshi la Antipo wakiwawamechoka, kwa sababu yamatembezi yao marefu kwenyehuo muda mfupi hivyo, wali-kuwa karibu kuanguka kwamikono ya Walamani; na kamasingerudi na elfu mbili wanguwangepata madhumuni yao.

51 Kwani Antipo alikuwaameangushwa kwa upanga, nawengi wa viongozi wake, kwasababu ya uchovu wao, ambaoulisababishwa na mwendo waowa kasi — kwa hivyo watu waAntipo, wakiwa wamechanga-nyikiwa kwa sababu ya vifovya viongozi wao, walianzakuanguka mbele ya Walamani.

52 Na ikawa kwamba Walama-ni walipata ujasiri, na wakaanzakuwafukuza; na hivyo Wala-mani walikuwa wakiwafukuzakwa nguvu wakati Helamanialipowatokea kwa nyuma nawale elfu mbili wake, na akaa-nza kuwaua sana, hadi kwambajeshi lote la Walamani likasi-mama na kumgeukia Helamani.

53 Sasa wakati watu wa Antipowalipoona kwamba Walamaniwamegeuka, walikusanya pa-moja watu wao na wakaja

45a Alma 53:20–21.47a Alma 53:16–18.

b Alma 57:21.mwm Mama.

Page 450: KITABU CHA MORMONI

433 Alma 56:54–57:5

kutokea upande wa nyuma waWalamani.54 Na sasa ikawa kwamba sisi,

watu wa Nefi, watu wa Antipo,na mimi na elfu mbili wangu,tuliwazingira Walamani, nakuwaua; ndio, mpaka kwambawakalazimishwa kusalimishasilaha zao za vita na pia wenye-we kama wafungwa wa vita.

55 Na sasa ikawa kwambawakati walipokuwa wamejisa-lamisha kwetu, tazama, niliwa-hesabu wale vijana ambaowalipigana na mimi, nikiogopakwamba wengi wao walikuwawameuawa.

56 Lakini tazama, kwa sha-ngwe yangu kubwa, ahakukuwana hata mmoja ambaye alikuwaameinama kwenye ardhi; ndio,na walikuwa wamepigana kamawaliokuwa na nguvu ya Mungu;ndio, hakujatokea watu kujuli-kana kupigana na nguvu yamiujiza kama hii; na kwa uwezomkubwa sana waliwaangukiaWalamani, kwamba waliwao-gofya; na kwa sababu hii Wa-lamani walijisalimisha kamawafungwa wa vita.

57 Na kwa vile hatukuwa namahali kwa wafungwa wetu,kwamba tungewalinda kutokakwa majeshi ya Walamani,kwa hivyo tuliwatuma katikanchi ya Zarahemla, na sehemuy a w a l e w a t u w a A n t i p oambao hawakuuawa, nao; nawaliosalia niliwachukua nakuwaunganisha kwa vijanawangu aWaamoni, na tukarudihadi kwenye mji wa Yuda.

MLANGO WA 57

Helamani anasimulia kuchukuliwakwa Antipara na kujisalimishana baadaye ulinzi kwa Kumeni —Vijana wake wa Kiamoni wana-pigana kwa ushujaa; wote wa-najeruhiwa, lakini hakuna aliye-uawa— Gidi anasimulia kuuawana kutoroka kwa Walamani wa-fungwa. Karibu mwaka wa 63kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

Na sasa ikawa kwamba nilipo-kea barua kutoka kwa Amoroni,mfalme, ikieleza kwamba ikiwanitawaachilia wale wafungwawa vita ambao tuliwakamatakwamba angeuachilia mji waAntipara kwetu.

2 L a k i n i n i l i t u m a b a r u akwa mfalme, kwamba tuliku-wa na hakika majeshi yetuyalikuwa yanatosha kukamatamji wa Antipara na askariwetu; na kwa kukabidhi wafu-ngwa wetu kwa mji huo tunge-jidhania wenyewe kuwa bilahekima, na kwamba tungea-chilia tu wafungwa wetu kwakubadilishana.

3 Na Amoroni alikataa baruayangu, kwani hakutaka kuba-dilisha wafungwa; kwa hivyotulianza matayarisho kwendadhidi ya mji wa Antipara.

4 Lakini watu wa Antiparawaliacha mji, na wakakimbiliamiji yao mingine, ambayo wali-simamia, kuiimarisha; na hivyomji wa Antipara uliangukamikononi mwetu.

5 Na hivyo ukaisha mwaka

56a Alma 57:25; 58:39. 57a Alma 27:26; 53:10–11, 16.

Page 451: KITABU CHA MORMONI

Alma 57:6–16 434

wa ishirini na nane wa utawalawa waamuzi.6 Na ikawa kwamba mwanzo-

ni mwa mwaka wa ishirini natisa, tulipokea ruzuku ya vya-kula, na pia ongezeko kwa jeshiletu, kutoka kwa nchi ya Zara-hemla, na kutoka kwa nchi yakaribu, kwa idadi ya watu elfusita, kando na sitini ya awanawa Waamoni ambao walikujakujiunga na ndugu zao, kundilangu dogo la elfu mbili. Na sasatazama, tulikuwa na nguvu,ndio, na pia tulikuwa na vya-kula vingi vilivyoletwa kwetu.7 Na ikawa kwamba ilikuwa

kupenda kwetu kupigana vitana jeshi ambalo liliwekwa kuli-nda mji wa Kumeni.

8 Na sasa tazama, nitakuo-nyesha kwamba tulitekelezahaja yetu; ndio, na jeshi letu languvu, au na sehemu ya jeshiletu la nguvu, tulizunguka,usiku, mji wa Kumeni, mbelekidogo kabla ya hao kupokearuzuku ya vyakula.

9 Na ikawa kwamba tulipigahema karibu na mji kwa kuchanyingi; lakini tulilalia pangazetu, na kulinda kwamba Wa-lamani hawangetujia wakati wausiku na kutuua, ambayo wali-jaribu wakati mwingi; lakinivile walijaribu mara nyingidamu yao ilimwagika.

10 Mwishowe vyakula vyaoviliwasili, na walikuwa karibukuingia mjini usiku. Na sisi,badala ya kuwa Walamani, tuli-kuwa Wanefi; kwa hivyo, tuli-wachukua wao na vyakula vyao.

11 Na ingawa Walamani wa-kishazuiliwa kutoka kwa usai-dizi wao kwa njia hii, walikuwabado wamekata kauli kukaliamji huo; kwa hivyo ilikuwa nimuhimu kwamba tuchukue vilevyakula na kuvipeleka Yuda,na wafungwa wetu kwenyenchi ya Zarahemla.

12 Na ikawa kwamba sikunyingi zilikuwa hazijaisha kablaya Walamani kuanza kupotezamatumaini kwa usaidizi; kwahivyo walisalimisha mji miko-noni mwetu; na kwa hivyo tuli-kuwa tumemaliza kusudi letukwa kupata mji wa Kumeni.

13 Lakini ikawa kwamba wa-fungwa wetu walikuwa wengikwamba, ingawa jeshi letu lili-kuwa kubwa kwa idadi, tulila-zimishwa kutumia majeshi yetuyote kuwalinda, au kuwaua.

14 Kwani tazama, wangetoro-ka kwa idadi kubwa, na wa-ngepigana kwa mawe, na kwarungu, au chochote ambachowangekamata mikononi mwao,mpaka kwamba tuliua zaidi yaelfu mbili wao baada ya waokujitolea kama wafungwa wavita.

15 Kwa hivyo ilikuwa muhimukwetu, kwamba tumalize mai-sha yao, au tuwalinde, na pangamkononi, hadi tuwafikishe nchiya Zarahemla; na pia vyakulavyetu vilikuwa vya kutotoshatu kwa watu wetu, ijapokuwakwamba tulikuwa tumechukuakutoka kwa Walamani.

16 Na sasa, kwa hiyo hali ngu-mu, ilikuwa ni mambo mazito

57 6a Alma 53:16–18.

Page 452: KITABU CHA MORMONI

435 Alma 57:17–26

sana kuamua kuhusu hawawafungwa wa vita; walakini,tuliamua kuwapeleka chini kwanchi ya Zarahemla; kwa hivyotulichagua sehemu ya watuwetu, na tukawapa uwezo juuya wafungwa kuwapeleka chinikwenye nchi ya Zarahemla.17 Lakini ikawa kwamba kesho

yake walirudi. Na sasa tazama,hatukuwauliza kuhusu wafu-ngwa; kwani tazama, Walamaniwalikuwa juu yetu, na walirudikwa wakati ufaao kutuponyakutoanguka mikononi mwao.Kwani tazama, Amoroni aliku-wa ametuma kwa usaidizi waoruzuku mpya ya vyakula napia jeshi kubwa la watu.

18 Na ikawa kwamba walewatu ambao tuliwatuma nawafungwa waliwasili kwa wa-kati ufaao na kuwasimamisha,vile walivyokuwa wako karibukutushinda.

19 Lakini tazama, kundi langudogo la elfu mbili na sitiniwalipigana kwa ukali sana;ndio, walikuwa imara mbele yaWalamani, na walitoa kifo kwawote ambao waliwapinga.

20 Na vile wale waliosalia wajeshi letu walikuwa karibu ku-jisalimisha kwa Walamani, ta-zama, wale elfu mbili na sitiniwalikuwa imara na bila hofu.

21 Ndio, na walisikiliza nakuchunguza kufanya kila nenola amri kwa uhalisi; ndio, kuli-ngana na imani yao walifanyi-wa; na nilikumbuka manenoambayo waliniambia kwambaamama zao waliwafundisha.

22 Na sasa tazama, ni kwahawa wana wangu, na walewatu ambao walichaguliwa ku-peleka wafungwa, ndio tunawiahuu ushindi; kwani ilikuwahawa ndio waliowapiga Wala-mani; kwa hivyo walifukuzwana kurudi nyuma kwenye mjiwa Manti.

23 Na tukaweka mji wetu waKumeni, na sio wote walioa-ngamizwa kwa upanga; wala-kini, tulipata hasara kubwa.

24 Na ikawa kwamba baadaya Walamani kukimbia, nilipe-ana amri mara moja kwambawatu wangu ambao walikuwawamejeruhiwa watolewe mio-ngoni mwa wafu, na kusababi-sha majeraha yao yafungwedawa.

25 Na ikawa kwamba kuliku-wa na mia mbili, kutoka kwaelfu mbili na sitini wangu,ambao walikuwa walegevu kwasababu ya kupoteza damu;walakini, kulingana na wemawa Mungu, na kwa mshangaowetu, na pia shangwe ya jeshilote, ahakukuwa na nafsi mojamiongoni mwao ambaye alia-ngamia; ndio, na wala hakuku-wa na mmoja miongoni mwaoambaye hakupata majerahamengi.

26 Na sasa, ulinzi wao uliku-wa wa kushangaza kwa jeshiletu lote, ndio, kwamba walihi-fadhiwa wakati kulikuwa nae l fu moja wa ndugu zetuambao waliuawa. Na tuna ha-kika kwamba walikombolewakwa auwezo wa miujiza wa

21a Alma 56:47–48. 25a Alma 56:56. 26a mwm Uwezo.

Page 453: KITABU CHA MORMONI

Alma 57:27–36 436

Mungu, kwa sababu ya bimaniyao kubwa kwa yale ambayowalikuwa wamefundishwa ku-amini — kwamba kuna Mungumwenye haki, na yeyote asiye-mshuku, kwamba watahifadhi-wa na uwezo wake wa ajabu.27 Sasa hii ilikuwa imani ya

wale ambao nimezungumzia;ni wachanga, na akili zao niimara, na wanaweka matumainiyao kwa Mungu siku zote.

28 Na sasa ikawa kwambabaada ya kushugulikia watuwetu waliojeruhiwa, na kuwa-zika wafu wetu na wale waWalamani, ambao walikuwawengi, tazama, tulimwulizaGidi kile kilichotendeka kuhu-su wafungwa ambao walianzakwenda chini kwenye mji waZarahemla nao.

29 Sasa Gidi alikuwa kaptenimkuu juu ya kundi ambalo lili-chukuliwa kuwachunga hadikwenye ile nchi.

30 Na sasa, haya ndiyo mane-no ambayo Gidi aliniambia:Tazama, tulianza kuelekea chinikwenye nchi ya Zarahemla nawafungwa wetu. Na ikawakwamba tulikutana na wapele-lezi wa majeshi yetu, ambaowalikuwa wametumwa kuchu-ngulia kituo cha Walamani.

31 Na wakapaza sauti kwetu,wakisema — Tazama, majeshiya Walamani yanatembea tara-tibu kuelekea mji wa Kumeni;na tazama, watawashambulia,ndio, watawaangamiza watuwetu.

32 Na ikawa kwamba wafu-

ngwa wetu walisikia mlio wao,ambao uliwasababisha kuwa naujasiri; na wakaasi dhidi yetu.

33 Na ikawa kwa sababu yauasi wao tulisababisha kwambapanga zetu ziwaangukie. Naikawa kwamba kwa kikundi,walikimbilia panga zetu, amba-mo matokeo yake idadi yaokubwa iliuawa; na waliosaliawalipenya walinzi na kukimbiakutoka kwetu.

34 Na tazama, wakati walipo-kuwa wamekimbia na hatu-kuweza kuwapata, tulichukuamatembezi yetu kwa kasi kue-lekea mji wa Kumeni; na taza-ma, tuliwahi kufika kwambatuwasaidie ndugu zetu kwakuuhifadhi mji.

35 Na tazama, tumeokolewatena kutoka mikononi mwamaadui wetu. Na heri ni jina laMungu wetu; kwani tazama,yeye ndiye ametuokoa; ndio,amefanya hiki kitu kikubwakwa niaba yetu.

36 Sasa ikawa kwamba mimi,Helamani, niliposikia hayamaneno ya Gidi, nilijazwa nashangwe kuu kwa sababu yawema wa Mungu kutuhifadhisisi, kwamba tusiangamizwesote; ndio, na ninaamini kwa-mba nafsi za wale ambao wali-uawa azimeingia kwenye ma-pumziko ya Mungu wao.

MLANGO WA 58

Helamani, Gidi, na Teomneri wa-nachukua mji wa Manti kwa hila—

26b mwm Imani. 36a Alma 12:34.

Page 454: KITABU CHA MORMONI

437 Alma 58:1–10

Walamani wanajiondoa — Wanawa watu wa Amoni wanahifadhiwavile wanavyosimama imara kulindauhuru wao na imani. Kutoka kari-bu mwaka wa 63 hadi 62 kabla yakuzaliwa kwa Kristo.

Na tazama, sasa ikawa kwambalengo letu la pili lilikuwakushika mji wa Manti; lakinitazama, hakukuwa na njiaambayo tungewaongoza nje yamji na makundi yetu madogo.Kwani tazama, walikumbukayale ambayo tulikuwa tume-fanya hapo awali; kwa hivyohatungeweza akuwashawishikutoka kwenye ngome zao.2 Na walikuwa wengi sana

kuliko jeshi letu kwamba hatu-ngeenda mbele na kuwasha-mbulia ndani ya ngome zao.

3 Ndio, na ilihitajika kwambatutumie watu wetu kuhifadhihizo sehemu za nchi ambazotulikuwa tumezichukua tenakwa umiliki wetu; kwa hivyoikawa muhimu kwamba tungo-je, kwamba tupate kuongezewanguvu kutoka kwa nchi ya Za-rahemla na pia tupate ruzukumpya ya vyakula.

4 Na ikawa kwamba tulitumaujumbe kwa mtawala wa nchiyetu, kumweleza kuhusu ma-mbo ya watu wetu. Na ikawakwamba tulingoja kupokea vya-kula na nguvu kutoka nchi yaZarahemla.

5 Lakini tazama, hii ilitusaidiatu kidogo; kwani Walamani piawalikuwa pia wanapokea ngu-vu nyingi siku kwa siku, na pia

vyakula vingi; na hivyo ndivyoilikuwa hali yetu kwa wakatihuo.

6 Na Walamani walikuwawanatokea kwa nguvu dhidiyetu mara kwa mara, wakinuiakutuangamiza kwa hila; walaki-ni hatukuweza kupigana nao,kwa sababu ya kurudi kwaonyuma na ngome zao.

7 Na ikawa kwamba tulingojakatika hii hali ngumu kwamuda wa miezi mingi, hata kari-bu tulipokuwa karibu kuanga-mia kwa ukosefu wa chakula.

8 Lakini ikawa kwamba tuli-pokea chakula, ambacho kilili-ndwa kwetu na jeshi la watuelfu mbili ambalo lilikuja kutu-saidia; na huu ndiyo usaidiziwote ambao tulipata, kujilindawenyewe na nchi yetu kutoa-nguka mikononi mwa maaduiwetu; ndio, kupigana na aduiambaye hahesabiki.

9 Na sasa sababu ya hayamatatizo yetu, au kwa ninihawakutuletea nguvu zaidi,hatukujua; kwa hivyo tulihu-zunika na pia tulijawa na woga,isiwe kwa njia yoyote hukumuya Mungu ije kwa nchi yetu,kwa kutugeuza na kutuharibukabisa.

10 Kwa hivyo tuliweka rohozetu kwenye sala kwa Mungu,kwamba angetuimarisha na ku-tukomboa kutoka kwa mikonoya maadui wetu, ndio, na piakutupatia nguvu kwamba tu-ngeweka miji yetu, na nchi zetu,na umiliki wetu, kwa kuwasai-dia watu wetu.

58 1a Alma 52:21; 56:30.

Page 455: KITABU CHA MORMONI

Alma 58:11–20 438

11 Ndio, na ikawa kwambaBwana Mungu wetu alitubarikina hakikisho kwamba angetu-komboa; ndio, mpaka kwambaakazungumza amani kwa rohozetu, na kutupatia imani kubwa,na alitusababishia kwambatuwe na matumaini kwake kwaukombozi wetu.

12 Na tukapata ujasiri na jeshiletu dogo ambalo tulikuwatumepokea, na tulithibitishakusudi letu kushinda maaduizetu, na akuhifadhi nchi zetu,na umiliki wetu, na wake zetu,na watoto wetu, na asili yabuhuru wetu.

13 Na hivyo tulienda mbelekwa nguvu yetu yote dhidiya Walamani, ambao walikuwakwenye mji wa Manti; na tuka-piga hema zetu kando ya upa-nde wa nyika, ambao ulikuwakaribu na mji.

14 Na ikawa kwamba keshoyake, wakati Walamani wali-poona kwamba tulikuwa kwe-nye mipaka kando ya nyikaambayo ilikuwa karibu na mji,kwamba walituma wapeleleziwao karibu nasi kwamba wa-gundue idadi na nguvu yajeshi letu.

15 Na ikawa kwamba walipo-ona kwamba hatukuwa nanguvu, kulingana na idadi yetu,na wakiogopa kwamba tunge-wakatiza kutoka kwa tegemeolao isipokuwa waje nje na ku-pigana dhidi yetu na watuue,na pia wakidhani kwambawangetuangamiza kwa urahisina jeshi lao kubwa, kwa hivyo

walianza kujitayarisha kuja njedhidi yetu kupigana.

16 Na wakati tuliona kwambawalikuwa wanajitayarisha kujadhidi yetu, tazama, nilisababi-sha kwamba Gidi na idadi ndo-go ya watu, wajifiche nyikani,na pia kwamba Teomneri naidadi ndogo ya watu wajifichenyikani.

17 Sasa Gidi na watu wakewalikuwa kwa mkono wa kuliana wengine kwa kushoto; nawakati walipokuwa wamejifi-cha wenyewe, tazama, nilibaki,na jeshi langu lililosalia, ma-hali pale ambapo tulikuwawakati wa kwanza tumepigahema zetu tukijitayarisha wa-kati ule Walamani wangekujanje kupigana.

18 Na ikawa kwamba Wala-mani walikuja nje na jeshi laokubwa dhidi yetu. Na wakatiwalikuwa wamekuja na wakokaribu kutuangukia kwa upa-nga, nilisababisha kwambawatu wangu, wale ambao wali-kuwa na mimi, warudi nyumakwenye nyika.

19 Na ikawa kwamba Wala-mani walitufuata kwa mwendowa kasi, kwani walitaka sanakutupata ili watuue; kwa hivyowalitufuata hadi nyikani; natulipita katikati ya Gidi na Teo-mneri, hata kwamba hawaku-gunduliwa na Walamani.

20 Na ikawa kwamba Wala-mani walipopita, au wakatijeshi lilipokuwa limepita, Gidina Teomneri waliinuka kutokakwa maficho yao, na wakawa-

12a Alma 46:12–13; Morm. 2:23. b mwm Uhuru.

Page 456: KITABU CHA MORMONI

439 Alma 58:21–33

zuia wapelelezi wa Walamaniili wasirejee mjini.21 Na ikawa kwamba wakati

walipokuwa wamewazuia, wa-likimbia hadi kwenye mji nakushambulia walinzi ambaowaliachwa kulinda mji, mpakakwamba wakawaangamiza nawakamiliki mji.

22 Sasa hii ilifanyika kwasababu Walamani walikuwawameruhusu jeshi lao lote,kuongozwa nyikani, isipokuwawalinzi wachache pekee.

23 Na ikawa kwamba Gidi naTeomneri kwa njia hii walipataumiliki wa ngome zao. Naikawa kwamba tulichukua njiayetu, baada ya kusafiri sanakwenye nyika kuelekea nchi yaZarahemla.

24 Na wakati Walamani wali-ona kwamba walikuwa wana-tembea kuelekea nchi ya Zara-hemla, waliogopa sana, kusiwekuna mtego umewekwa kuwa-ongoza kwenye maangamizo;kwa hivyo walianza kurudinyuma hadi kwenye nyika tena,ndio, hata nyuma kutumia ilenjia ambayo walikuja nayo.

25 Na tazama, kulikuwa usikuna wakapiga hema zao, kwanimakapteni wakuu wa Walama-ni walidhani kwamba Wanefiwamechoka kwa sababu yamatembezi yao; na wakidhanikwamba walipeleka jeshi laolote kwa hivyo hawakufikirikuhusu mji wa Manti.

26 Sasa ikawa kwamba wakatiusiku ulipowadia, nilisababishakwamba watu wangu wasilale,

lakini kwamba watembee mbelekwa njia nyingine kuelekea mjiwa Manti.

27 Na kwa sababu ya hayamatembezi yetu ya usiku, taza-ma, kesho yake tulikuwa mbeleya Walamani, mpaka kwambatuliwasili kabla yao katika mjiwa Manti.

28 Na hivyo ikawa kwamba,kwa werevu huu tulimiliki mjiwa Manti bila kumwaga damu.

29 Na ikawa kwamba wakatimajeshi ya Walamani yalipo-wasili karibu na mji, na kuonakwamba tulikuwa tayari kupi-gana nao, walistaajabu sana nawakashikwa na woga mwingi,mpaka kwamba walikimbiliakwenye nyika.

30 Ndio, na ikawa kwambamajeshi ya Walamani yaliki-mbia nje kutoka sehemu hii yoteya nchi. Lakini tazama, wame-beba nao wanawake wengi nawatoto na wamewapeleka njeya nchi.

31 Na ahiyo miji ambayo ili-chukuliwa na Walamani, yotekwa wakati huu iko katikaumiliki wetu; na baba zetu nawanawake wetu na watoto wetuwanarejea nyumbani kwao,wote isipokuwa wale ambaowamechukuliwa wafungwa nakubebwa na Walamani.

32 Lakini tazama, majeshiyetu ni machache kulinda idadikubwa hiyo ya miji na umilikimwingi hivyo.

33 Lakini tazama, tunamwa-mini Mungu wetu ambayeametupatia ushindi juu ya hizo

31a Alma 56:14.

Page 457: KITABU CHA MORMONI

Alma 58:34–59:2 440

nchi, mpaka kwamba tumepatahiyo miji na hizo nchi, ambazozilikuwa zetu.34 Sasa hatujui kwa nini seri-

kali haitupatii nguvu zaidi;wala watu ambao wamekujakwetu hawajui kwa nini hatu-japokea nguvu nyingi zaidi.

35 Tazama, hatujui lakini kwa-mba hamjashinda, na mmehitajimajeshi katika sehemu ile yanchi; ikiwa hivyo, hatuwezikunung’unika.

36 Na ikiwa si hivyo, tazama,tunaogopa kwamba kuna augo-mvi katika serikali, kwambahawawezi kuleta watu wengizaidi kwa usaidizi wetu; kwanitunajua kwamba wako wengikuliko wale ambao wametuma.

37 Lakini, tazama, haitujali-shi — tunaamini Mungu aatatu-komboa, ijapokuwa majeshiyetu ni dhaifu, ndio, na kutu-komboa kutoka kwa mikono yamaadui zetu.38 Tazama, huu ni mwaka wa

ishirini na tisa, karibu mwishowake, na tumemiliki nchi zetu;na Walamani wamekimbia hadikwenye nchi ya Nefi.

39 Na wale wana wa watu waAmoni, ambao nimezungumziakwa uzuri, wako na mimi katikamji wa Manti; na Bwana ame-wasaidia, ndio, na kuwawekakutokana na kuuawa kwa upa-nga, kwa matokeo kwamba hatamtu ammoja hakuuawa.40 Lakini tazama, wamepata

majeraha mengi; lakini wanasi-mama imara kwa huo auhuruambamo kwake Mungu ame-

wafanya huru; na wako waa-ngalifu kumkumbuka BwanaMungu wao siku hadi siku;ndio, wanachunga kutii sheriazake, na hukumu zake, na amrizake siku zote; na imani yaoiko na nguvu katika unabiikuhusu yale ambayo yatakuja.

41 Na sasa, ndugu yangumpendwa, Moroni, naombaBwana Mungu wetu, ambayeametukomboa na kutufanyahuru, akulinde siku zote katikauwepo wake; ndio, na awabari-ki hawa watu, hata kwambaufaulu kwa kupata tena umilikiwa yale yote ambayo Walamaniwamechukua kutoka kwetu,ambayo yalikuwa kwa usaidiziwetu. Na sasa tazama, ninama-liza barua yangu. Mimi niHelamani, mwana wa Alma.

MLANGO WA 59

Moroni anamwuliza Pahoraniahifadhi majeshi ya Helamani —Walamani wanakamata mji waNefiha — Moroni anakasirikia se-rikali. Karibu mwaka wa 62 kablaya kuzaliwa kwa Kristo.

Sasa ikawa katika mwaka wathela thini wa utawala wawaamuzi juu ya watu wa Nefi,baada ya Moroni kupokea nakusoma abarua ya Helamani,alifurahi sana kwa sababuya ustawi, ndio, kufaulu kwi-ngi ambako Helamani alika-mata, nchi ambazo zilikuwazimepotea.

2 Ndio, na aliwajulisha watu

36a Alma 61:1–5.37a 2 Fal. 17:38–39.

39a Alma 56:56.40a mwm Uhuru.

59 1a Alma 56:1.

Page 458: KITABU CHA MORMONI

441 Alma 59:3–13

wake wote, katika nchi yotekaribu na ile sehemu ambayoalikuwa, kwamba wafurahi pia.3 Na ikawa kwamba mara

moja alituma abarua kwa bPa-horani, akitaka kwamba asaba-bishe watu wajikusanye pamojakumtia Helamani nguvu, aumajeshi ya Helamani, ili awezekulinda kwa urahisi sehemuhio ya nchi ambayo alikuwaameipata tena kwa miujiza.

4 Na ikawa wakati Moroni ali-kuwa ametuma hii barua kwanchi ya Zarahemla, alianza tenakufikiria kuweka mpango kwa-mba angeweza kupata tenamabaki ya umiliki na mij iambayo Walamani walikuwawamechukua kutoka kwao.

5 Na ikawa kwamba wakatiMoroni alikuwa anafanya mi-pango kwenda dhidi ya Wala-mani kupigana, tazama, watuwa Nefiha, ambao walikusa-nyika pamoja kutoka mji waMoroni na mji wa Lehi na mjiwa Moriantoni, walishambuli-wa na Walamani.

6 Ndio, hata wale ambao wali-kuwa wamelazimishwa kuki-mbia kutoka nchi ya Manti, nakutoka nchi karibu, walikuwawamekuja na kujiunga na Wala-mani katika sehemu hii ya nchi.

7 Na hivyo wakiwa wengisana, ndio, na wakipokea ngu-vu siku hadi siku, kwa amri yaAmoroni walikuja mbele dhidiya watu wa Nefiha, na wakaa-nza kuwaua kwa wingi.

8 Na majeshi yao yalikuwamengi sana kwamba watu wa

Nefiha waliosalia walilazimi-shwa kukimbia mbele yao;na wakaja hata wakaungana najeshi la Moroni.

9 Na sasa vile Moroni alidhanikwamba kuwe na watu watu-mwe kwenye mji wa Nefiha,kwa usaidizi wa wale watu ku-ulinda mji huo, na akijua kwa-mba ilikuwa ni rahisi kulindamji usianguke kwenye mikonoya Walamani kuliko kuutekakutoka kwao, alidhani kwa-mba wangelinda mji huo kwaurahisi.

10 Kwa hivyo aliweka majeshiyake yote kwa kuhifadhi zilesehemu ambazo alikuwa ame-teka tena.

11 Na sasa, Moroni alipoonakwamba mji wa Nefiha umechu-kuliwa tena alikuwa na huzuninyingi sana, na akaanza kuwana shaka, kwa sababu ya uovuwa watu, ikiwa hawataangukakatika mikono ya ndugu zao.

12 Sasa hii ndiyo ilikuwa fikiray a m a k a p t e n i w a k e w o t ewakuu. Walishuku na kustaa-jabu pia kwa sababu ya uovuwa watu, na hii ni kwa sababuya kufaulu kwa Walamani juuyao.

13 Na ikawa kwamba Moronialikasirishwa na serikali, kwasababu ya akutojali kwao ku-husu uhuru wa nchi yao.

MLANGO WA 60

Moroni anamlalamikia Pahoranikuhusu serikali kutojali majeshi—

3a Alma 60:1–3. b Alma 50:40. 13a Alma 58:34; 61:2–3.

Page 459: KITABU CHA MORMONI

Alma 60:1–9 442

Bwana anakubali wenye haki kuua-wa — Wanefi lazima watumienguvu zao na uwezo wao wote iliwajiokoe kutoka kwa maadui zao— Moroni anatishia kupigana naserikali yasipopelekewa msaadamajeshi yake. Karibu mwaka wa62 kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

Na ikawa kwamba alimwandi-kia tena mtawala wa nchi,ambaye alikuwa Pahorani, nahaya ndiyo maneno ambayoaliandika, akisema: Tazama,ninaelekeza barua yangu kwaPahorani, katika mji wa Zara-hemla, ambaye ni mwamuziamkuu na mtawala wa nchi, napia kwa wale wote ambaowamechaguliwa na hawa watukutawala na kuendesha shu-ghuli za vita hivi.2 Kwani tazama, nina kitu cha

kuwaambia kwa njia ya lawa-ma; kwani tazama, nyinyiwenyewe mnajua kwambammewekwa kukusanya watupamoja, na kuwahami kwa ma-panga, na vitara, na namnazote za silaha za vita za kilaaina, na kutuma na mbele dhidiya Walamani, kwenye hizosehemu ambazo wangeingiliakatika nchi yetu.

3 Na sasa tazama, nawaambianyinyi kwamba mimi, na piawatu wangu, na pia Helamanin a w a t u w a k e , t u m e u m i amaumivu makubwa sana; ndio,hata njaa, kiu, na uchovu, nanamna zote za mateso ya kilaaina.

4 Lakini tazama, ikiwa haya

ndiyo yote tuliyoumia hatunge-lalamika wala kunung’unika.

5 Lakini tazama, mauaji ya-mekuwa makubwa miongonimwa watu wetu; ndio, maelfuwameanguka kwa upanga, wa-kati ingekuwa vingine kamamngeyapa majeshi yetu nguvuza kutosha na usaidizi kwao.Ndio, kutojali kwenu kumeku-wa kwingi sana kwetu.

6 Na sasa tazama, tunatakakujua chanzo cha huku kutojalisana; ndio, tunataka kujua sa-babu ya hii hali ya kutofikirikwenu.

7 Mnaweza kufikiri kukaliaviti vyenu vya enzi kwa hali yakupotelewa na akili, wakatimaadui wenu wanatambazakazi ya vifo karibu nanyi?Ndio, wakati wanaua maelfuya ndugu zenu —

8 Ndio, hata wale ambaowamewategemea kwa ulinzi,ndio, wamewaweka kwa nafasikwamba mngewasaidia, ndio,mngetuma majeshi kwao, ilikuwapatia nguvu, na kuponyamaelfu yao kutokana na kua-nguka kwa upanga.

9 Lakini tazama, haya sioyote—mmezuia chakula kuwa-endea, mpaka kwamba wengiwamepigana na wametokwana damu na kufa kwa sababuya mahitaji makubwa ambayowalikuwa nayo kwa sababu yaustawi wa hawa watu; ndio, nahii wamefanya wakati waliku-wa karibu akuangamia kwanjaa, kwa sababu ya kutojalikwenu sana kuwahusu.

60 1a Alma 50:39–40. 9a Alma 58:7.

Page 460: KITABU CHA MORMONI

443 Alma 60:10–17

10 Na sasa, ndugu zangu wa-pendwa — kwani mnahitajikakuwa wapendwa; ndio, na mna-paswa kujivuruga wenyewekwa bidii kwa ustawi na uhuruwa hawa watu; lakini tazama,mmewadharau mpaka kwambadamu ya maelfu itakuwa juu yavichwa vyenu kwa kisasi; ndio,kwani Mungu anafahamu viliovyao vyote, na taabu zao —

11 Tazama, mnaweza kudhanikwamba mtaketi kwenye vitivyenu vya enzi, na kwa sababuya uzuri mwingi wa Munguhamngefanya chochote naatawakomboa? Tazama, kamammedhani hivi mmedhani bure.

12 aMnadhani kwamba, kwasababu ndugu zenu wengiwameuawa ni kwa sababu yauovu wao? Ninawaambia, ikiwammedhani hivyo mmedhanibure; kwani ninawaambia, kunawengi ambao wameuawa kwaupanga; na tazama ni kwalawama yenu;13 Kwani Bwana anakubali

wenye haki kuuawa ili ahakiyake na hukumu ij ie walewaovu; kwa hivyo hampaswikudhani kwamba wenye hakiwamepotea kwa sababu wame-uawa; lakini tazama, wanaingiakwa pumziko la Bwana Munguwao.

14 Na sasa tazama, nawaa-mbia, ninaogopa sana kwambahukumu za Mungu zitawajiawatu hawa, kwa sababu yauvivu wao mkuu, ndio, hatauvivu wa serikali yetu, na dha-rau zao kubwa kwa ndugu

zao, ndio, kuelekea wale ambaowameuawa.

15 Kwani kama haingekuwakwa auovu ambao ulianzia kwaserikali yetu, tungezuia maaduiwetu kwamba hawangekuwana uwezo juu yetu.

16 Ndio, kama haingekuwakwa ajili ya avita ambavyo vili-anza miongoni mwetu; ndio,kama haingekuwa kwa hawabwatu wa mfalme, ambao wali-sababisha damu nyingi kumwa-gika miongoni mwetu; ndio,wakati tulikuwa tunakabilianamiongoni mwetu, kama tunge-unganisha nguvu zetu vile tu-livyofanya awali; ndio, kamahaingekuwa tamaa ya uwezo namamlaka ambayo wale watuwa mfalme walikuwa nayo juuyetu; kama wangekuwa waa-minifu katika mwanzo wauhuru wetu, na kujiunga nasi,na kuenda mbele dhidi ya maa-dui wetu, badala ya kuchukuapanga zao dhidi yetu, ambayoilisababisha umwagaji wa damunyingi miongoni mwetu; ndio,kama tungekuwa tumeendadhid i yao kwa uwezo waBwana, tungekuwa tumewata-wanya maadui zetu, kwaniingefanyika, kulingana na ku-timiza neno lake.

17 Lakini tazama, sasa Wala-mani wanatushambulia, waki-miliki nchi zetu, na wanawauawatu wetu kwa upanga, ndio,wake zetu na watoto wetu, napia kuwachukua kama wafu-ngwa, wakisababisha kwambawaumie namna yote ya mateso,

12a Lk. 13:1–5.13a Alma 14:10–11;

M&M 42:46–47.15a Alma 51:9, 13.

16a Alma 51:16–19.b Alma 51:5, 8.

Page 461: KITABU CHA MORMONI

Alma 60:18–27 444

na hii ni kwa sababu ya uovumkuu wa wale ambao wanata-futa uwezo na mamlaka, ndio,hata wale watu wa mfalme.18 Lakini kwa nini niseme me-

ngi kuhusu hili jambo? Kwanihatujui lakini kuwa nyinyiwenyewe mnatafuta mamlaka.Hatujui lakini nyinyi pia niwasaliti kwa nchi yenu.

19 Au ni kwamba hamtujalikwa sababu mko katikati yanchi yetu na mmezungukwana usalama, kwamba hamsa-babishi vyakula viletwe kwetu,na pia watu kuimarisha maje-shi yetu?

20 Mmesahau amri za BwanaMungu wenu? Ndio, mmesahauutumwa wa babu zetu? Mme-sahau ni mara ngapi tumeko-mbolewa kutoka mikono yamaadui zetu?

21 Au mnadhani kwambaBwana atatukomboa, wakatitunakalia viti vyetu vya enzi nahatutumii njia ambazo Bwanaametutolea?

22 Ndio, je, mtaketi bila kufa-nya kitu wakati mnazingirwana maelfu ya wale, ndio, nakumi ya maelfu, ambao piahuketi kwenye uvivu, wakatikuna maelfu karibu katika mi-paka ambao wanaanguka kwaupanga, ndio, wamejeruhiwana kutokwa na damu?

23 Mnafikiri kwamba Mu-ngu atawaona kama wasio namakosa wakati mnakaa wimana kutazama vitu hivi? Tazamanawaambia, Hapana. Sasa na-t a k a k w a m b a m k u m b u k e

kwamba Mungu amesema kwa-mba chombo cha andani kitasa-fishwa kwanza, ili nje yakenayo ipate kuwa safi.

24 Na sasa, isipokuwa mtubukwa yale ambayo mmefanya,na kuanza kuamka na kufanya,na kutuma mbele vyakula nawatu kwetu, na pia kwa Hela-mani, ili alinde hizo sehemu zanchi yetu ambazo amekamatatena, na ili tujirudishie tenaumiliki wetu ambao umesaliakatika sehemu hizi, tazamaitakuwa ya kufaa kwambatusipigane tena na Walamanimpaka kwanza tuoshe ndani yachombo chetu, ndio, hata uo-ngozi mkuu wa serikali yetu.

25 Na isipokuwa mkubalibarua yangu, na mje nje kunio-nyesha mimi aroho ya kweli yauhuru, na mjaribu kuimarishana kuongeza nguvu ya majeshiyetu, na kuwapelekea chakulakwa usaidizi wao, tazama nita-acha sehemu ya wahuru wangukulinda sehemu hii ya nchi yetu,na nitaacha nguvu na barakaza Mungu juu yao, kwambanguvu nyingine isiweze kujadhidi yao —

26 Na hii ni kwa sababu yaimani yao kubwa, na uvumilivuwao katika taabu zao —

27 Na nitakuja kwenu, na iki-wa kutakuwa yeyote miongonimwenu ambaye ana mahitajiya uhuru, ndio, ikiwa kunawezakuwa na hata cheche ya uhuruambayo imebaki, tazama nita-vuruga uasi miongoni mwenu,hata mpaka wale ambao wa-

23a Mt. 23:25–26. 25a Alma 51:6; 61:15.

Page 462: KITABU CHA MORMONI

445 Alma 60:28–36

metaka kuchukua nguvu namamlaka watamalizika.28 Ndio, tazama siogopi nguvu

zenu wala mamlaka yenu, lakinini aMungu wangu ambaye ni-namwogopa; na ni kulinganana amri zake kwamba ninachu-kua upanga wangu kulindamwendo wa nchi yangu, nani kwa sababu ya uovu wenukwamba tumeumia kwa kupo-teza kwingi.

29 Tazama ni wakati, ndio, wa-kati sasa uko mkononi, kwambaisipokuwa mwanze kwendakatika ulinzi wa nchi yenu nawatoto wenu, aupanga wa hakiunaning’inia juu yenu; ndio, nautawaangukia na kuwaadhibuhata kwenye uangamizo wenu.30 Tazama, nangojea usaidizi

kutoka kwenu; na, msipohu-dumia mahitaji yetu, tazama,nakuja kwenu, hata kwa nchiya Zarahemla, na kuwakatakwa upanga, mpaka kwambahamtakuwa na uwezo mwingi-ne wa kuchelewesha maendeleoya watu hawa kwa kusudi lauhuru wetu.

31 Kwani tazama, Bwana hata-kubali kwamba muishi na mzidikuwa na nguvu kwa uovu wenukuwaangamiza watu hawa we-nye haki.

32 Tazama, mnaweza kudhanikwamba Bwana atawaachiliana atoe hukumu kwa Walamani,wakati ni desturi ya babu zaoambayo imesababisha chuki yao,ndio, na imeongezwa marambili na wale ambao wameasikutoka kwetu, wakati uovu

wenu ni kwa kusudi la mape-nzi yenu ya furaha na vitu vyabure vya dunia?

33 Mnajua kwamba mnakoseasheria za Mungu, na mnajuakwamba mnayakanyagia chiniya miguu yenu. Tazama, Bwanaananiambia: Ikiwa wale ambaowamepewa utawala hawatubudhambi zao na uovu, utaendana kupigana nao.

34 Na sasa tazama, mimi,Moroni, nimelazimishwa, kuli-ngana na agano ambalo nime-fanya kuweka amri za Mungu;kwa hivyo nataka kwamba mji-shikilie kwa neno la Mungu, namtume kwa haraka kwangukutoka kwenu vyakula na watu,na pia kwa Helamani.

35 Na tazama, kama hamtafa-nya hivi nitakuja kwenu haraka;kwani tazama, Mungu hawezikukubali kwamba tuangamiekwa njaa; kwa hivyo atatupatiasehemu ya chakula chenu, hatakama ni kwa upanga. Sasahakikisha kwamba mnatimizaneno la Mungu.

36 Tazama, mimi ni Moroni,kapteni wenu mkuu. aSihitajiukubwa, lakini kuuweka chini.Sitafuti heshima ya ulimwengu,lakini utukufu wa Munguwangu, na uhuru na ustawi wanchi yangu. Na hivyo ninama-liza barua yangu.

MLANGO WA 61

Pahorani anamwambia Moronikuhusu maasi na uhalifu dhidi ya

28a Mdo. 5:26–29. 29a Hel. 13:5; 3 Ne. 2:19. 36a M&M 121:39–42.

Page 463: KITABU CHA MORMONI

Alma 61:1–9 446

serikali — Watu wa mfalme wana-simamia Zarahemla na wanafanyamapatanano na Walamani—Paho-rani anauliza usaidizi wa kijeshidhidi ya waasi. Karibu mwakawa 62 kabla ya kuzaliwa kwaKristo.

Tazama, sasa ikawa kwambamara baada ya Moroni kutumabarua yake kwa mtawala mkuu,al ipata barua kutoka kwaaPahorani, mtawala mkuu. Nahaya ndiyo maneno ambayoalipokea:2 Mimi, Pahorani, ambaye ni

mtawala mkuu wa nchi hii, na-tuma maneno haya kwa Moro-ni, kapteni mkuu juu ya jeshi.Tazama, nakwambia, Moroni,kwamba sijawi shangwe naamateso yako makuu, ndio,inaisikitisha roho yangu.

3 Lakini tazama, kuna waleambao wanajawa shangwe kwamateso yako, ndio, mpakakwamba wameasi kwa uhalifudhidi yangu, na pia dhidi yawatu wangu ambao ni watuahuru, ndio, na wale ambaowameasi ni wengi sana.4 Na ni wale ambao wanataka

kuchukua kiti cha hukumukutoka kwangu ambao weme-sababisha huu uovu mkuu;kwani wametumia manenomakubwa ya udanganyifu, nawameongoza mbali mioyo yawatu wengi, ambayo itakuwasababu ya taabu ya kutishamiongoni mwetu; wamesima-misha vyakula vyetu, na wame-

watisha watu wetu wote hurukwamba hawajafika kwako.

5 Na tazama, wamenikimbizamimi mbele yao, na nimekimbi-lia nchi ya Gideoni, na watu we-ngi vile nilivyoweza kupata.

6 Na tazama, nimetuma tanga-zo kote katika sehemu hii yanchi; na tazama, wanajikusanyakwetu kila siku, na silaha zao,kwa kukinga nchi yao na auhu-ru wao, na kulipiza kisasi kwawale waliotukosea.

7 Na wamekuja kwetu, mpakakwamba wale ambao wameasikwa uhalifu dhidi yetu, ndio,wametudharau, ndio, mpakakwamba wanatuogopa na ha-wathubutu kuja kukabiliananasi kwa vita.

8 Wanasimamia nchi, au mji,wa Zarahemla; wamejiwekeamfalme, na amemwandikiamfalme wa Walamani, ambamokwake amekubali kuunda muu-ngano na yeye; kwa muunganoambamo amekubali kulinda mjiwa Zarahemla, ulinzi ambaoanadhani utawezesha Wala-mani kushinda nchi iliyosalia,na atawekwa mfalme juu yahawa watu wakati watashi-ndwa chini ya Walamani.

9 Na sasa, kwenye barua yako,umenilaumu, lakini hainijalishi;sijakasirika, lakini nina furahakwa ujasiri wa moyo wako.Mimi, Pahorani, sitafuti ukubwa,isipokuwa tu niweke kiti cha-ngu cha hukumu ili nihifadhihaki na uhuru wa watu wangu.Nafsi yangu inasimama imara

61 1a Alma 50:39–40.2a Alma 60:3–9.

3a Alma 51:6–7.6a mwm Huru, Uhuru.

Page 464: KITABU CHA MORMONI

447 Alma 61:10–21

kwa ule uhuru ambao kwakeMungu ametufanya ahuru.

10 Na sasa, tazama, tutashi-ndana na uovu hata kwenyeumwagaji wa damu. Hatunge-mwaga damu ya Walamani iki-wa wangekaa katika nchi yao.

11 Hatungemwaga damu yandugu zetu kama hawangeasikwa uhalifu na kuchukua upa-nga dhidi yetu.

12 Tungej i tolea wenyewekwenye nira ya utumwa kamaingekuwa kanuni ya Mungu,au kama angetuamuru kufanyahivyo.

13 Lakini tazama yeye hatua-muru kwamba tujitolee wenye-we kwa maadui wetu, lakinikwamba tuweke aimani yetukwake, na atatukomboa.

14 Kwa hivyo, ndugu yangumpendwa, Moroni, acha tupi-nge uovu, na uovu wowoteambao hatuwezi kupinga namaneno yetu, ndio, kama maasina mafarakano, acha atupingekwa panga zetu, ili tuwekeuhuru wetu, ili tufurahi kwe-nye ufanisi mkuu wa kanisaletu, na kwa njia ya Mkomboziwetu na Mungu wetu.

15 Kwa hivyo, kuja kwanguna wachache wa watu wako, nauwaache waliosalia waangalieLehi na Teankumu; wape uwe-zo kuendesha vita katika sehe-mu hiyo ya nchi, kulingana naaRoho ya Mungu, ambayo piani roho ya uhuru ambayo ikondani yao.16 Tazama nimetuma vyakula

vichache kwao, ili wasiangamiekabla hujakuja kwangu.

17 Kusanya pamoja jeshi loloteunaloweza wakati wa kujakwako hapa, na tutaenda hara-ka dhidi ya wale wasiokubali,katika nguvu za Mungu wetukulingana na imani ambayoiko ndani yetu.

18 Na tutautwaa mji wa Zara-hemla, ili tupate chakula zaidikutumia Lehi na Teankumu;ndio, tutaenda mbele dhidi yaokatika nguvu za Bwana, natutamaliza huu uovu mkuu.

19 Na sasa, Moroni, nina sha-ngwe kwa kupata barua yako,kwani nilikuwa na wasiwasikuhusu kile tutakacho fanya,ikiwa itakuwa haki kwetukwenda dhidi ya ndugu zetu.

20 Lakini umesema, isipokuwawatubu Bwana amekuamuruuwashambulie.

21 Hakikisha kwamba aumei-marisha Lehi na Teankumukatika Bwana; uwaambie wasi-ogope, kwani Mungu atawako-mboa, ndio, na pia wale wotewanaosimama imara kwa uleuhuru ambao kwao Munguamewafanya huru. Na sasa na-maliza barua yangu kwa nduguyangu mpendwa, Moroni.

MLANGO WA 62

Moroni anaenda kumsaidia Paho-rani katika nchi ya Gideoni—Watuwa mfalme ambao wanakataa kuli-nda nchi yao wanauawa — Paho -

9a Yn. 8:31–36;M&M 88:86.

13a mwm Imani;

Tegemea.14a Alma 43:47.15a 2 Kor. 3:17.

mwm Roho Mtakatifu.21a Zek. 10:12.

Page 465: KITABU CHA MORMONI

Alma 62:1–10 448

rani na Moroni wanatwaa tenamji wa Nefiha — Walamani wengiwanajiunga na watu wa Amoni —Teankumu anamuua Amoroni nakisha anauawa pia — Walamaniwanakimbizwa kutoka nchini, naamani inaanzishwa — Helamanianarudia ukasisi na kulijengaKanisa. Kutoka karibu mwaka wa62 hadi 57 kabla ya kuzaliwa kwaKristo.

Na sasa ikawa kwamba Moronialipopata barua hii moyo wakeulipata ujasiri, na ukajazwa nashangwe kuu kwa sababu yauaminifu wa Pahorani, kwambahakuwa pia amsaliti kwa uhuruna asili ya nchi yake.

2 Lakini pia alilia sana kwasababu ya uovu wa wale ambaowalimwondoa Pahorani kutokakwa kiti cha hukumu, ndio,kabisa kwa sababu ya waleambao waliasi dhidi ya nchiyao na pia Mungu wao.

3 Na ikawa kwamba Moronialichukua idadi ndogo ya watu,kulingana na kutaka kwa Pa-horani, na kuwapatia Lehi naTeankumu amri juu ya jeshilake lililosalia, na akaanzamwendo wake kuelekea nchiya Gideoni.

4 Na aliinua abendera ya buhu-ru mahali popote alipoingia, naakafaidika kwa kila jeshi alio-weza kwa matembezi yakeyote kuelekea nchi ya Gideoni.

5 Na ikawa kwamba maelfuwalifuata uongozi wake, nakuchukua panga zao kwa

kulinda uhuru wao, ili wasijeutumwani.

6 Na hivyo, Moroni alipoku-wa amekusanya pamoja watuwote vile alivyoweza wakatiwa mwendo wake, alifika nchiya Gideoni; na akiunganishamajeshi yake na yale ya Paho-rani wakawa na nguvu sana,hata na nguvu kuliko watu waPako, ambaye alikuwa amfal-me wa wale waasi ambao wali-kuwa wamewafukuza watubhuru nje ya nchi ya Zarahemlana walikuwa wamechukuaumiliki wa nchi.

7 Na ikawa kwamba Moronina Pahorani walienda chini namajeshi yao katika nchi yaZarahemla, na wakashambuliamji, na wakakutana na watu waPako, mpaka kwamba wakaa-nza vita.

8 Na tazama, Pako aliuawana watu wake wakachukuliwawafungwa, na Pahorani akaru-dishwa kwenye kiti chake chahukumu.

9 Na watu wa Pako walipatahukumu yao, kulingana na she-ria, na pia watu wa mfalmeambao walikuwa wamechuku-liwa na kutupwa gerezani; naawaliuawa kulingana na sheria;ndio, wale watu wa Pako nawale watu wa mfalme, yeyoteambaye hangechukua silahakulinda nchi yao, lakini apiganedhidi ya nchi, waliuawa.

10 Na hivyo ikawa ni lazimakwamba hii sheria izingatiwesana kwa usalama wa nchi yao;

62 1a Alma 60:18.4a Alma 46:12–13, 36.

mwm Bendera.

b mwm Uhuru.6a Alma 61:4–8.

b Alma 51:5–7.

9a mwm Adhabu Kuu.

Page 466: KITABU CHA MORMONI

449 Alma 62:11–21

ndio, na yeyote aliyepatikanaakikana uhuru wao aliuawakwa haraka kulingana na sheria.11 Na hivyo ukaisha mwaka

wa thelathini wa utawala wawaamuzi juu ya watu wa Nefi;Moroni na Pahorani wakiwawamerudisha amani katika nchiya Zarahemla, miongoni mwawatu wao, wakiwa wamesaba-bisha kuuawa kwa wale woteambao hawakuwa na imani kwachanzo cha uhuru.

12 Na ikawa katika mwanzowa mwaka wa thelathini namoja wa utawala wa waamuzijuu ya watu wa Nefi, Moronikwa haraka alisababisha kwa-mba vyakula vipelekwe, na piajeshi la watu elfu sita lipelekwekwa Helamani, kumsaidia ku-hifadhi ile sehemu ya nchi.

13 Na pia akasababisha kwa-mba jeshi la watu elfu sita, nachakula cha kutosha, wapele-kwe kwa majeshi ya Lehi naTeankumu. Na ikawa kwambahii ilifanyika kuimarisha nchidhidi ya Walamani.

14 Na ikawa kwamba Moronina Pahorani, baada ya kuachakundi kubwa la watu katikanchi ya Zarahemla, walishikamwendo wao na kundi kubwala watu na wakaelekea nchi yaNefiha, wakiwa wamekata kaulikuwashinda Walamani katikamji huo.

15 Na ikawa kwamba walipo-kuwa wakitembea kuelekea ilenchi, walichukua kundi kubwala watu wa Walamani, na waka-chinja wengi wao, na kuchukuavyakula vyao na silaha zao zavita.

16 Na ikawa baada ya kuwa-chukua, waliwasababisha kufa-nya agano nao kwamba kamwehawatachukua silaha za vitadhidi ya Wanefi.

17 Na wakati walikuwa wa-meingia kwenye agano hiliwaliwatuma kuishi na watu waAmoni, na walikuwa idadi yakaribu elfu nne ambao waliku-wa hawajauawa.

18 Na ikawa kwamba walipo-wakubalia waondoke waliende-lea na matembezi yao kuelekeanchi ya Nefiha. Na ikawa kwa-mba wakati walikuwa wamefi-kia mji wa Nefiha, walipigahema zao kwenye tambarareya Nefiha, ambayo iko karibuna mji wa Nefiha.

19 Sasa Moroni alitaka kwa-mba Walamani waje nje wapi-gane dhidi yao, kwenye tamba-rare; lakini Walamani, wakijuakuhusu ujasiri wao mkuu, nakuona ukubwa wa idadi yao,kwa hivyo hawakuthubutukuja nje dhidi yao; kwa hivyohawakuja kupigana siku hio.

20 Na wakati usiku ulipo-wadia, Moroni alienda mbelekatika giza ya usiku, na kupa-nda ukuta kupeleleza ni sehemugani ya mji Walamani waliwekakituo cha jeshi lao.

21 Na ikawa kwamba waliku-wa katika upande wa mashariki,kando ya lango; na wote wali-kuwa wamelala. Na sasa Moro-ni alirudi kwenye jeshi lake, nakuwaagiza kwamba wataya-rishe kwa haraka kamba nzitona ngazi, ziteremshwe kutokajuu ya ukuta hadi sehemu yandani ya ukuta.

Page 467: KITABU CHA MORMONI

Alma 62:22–33 450

22 Na ikawa kwamba Moronialisababisha kwamba watuwake watembee mbele na wajejuu ya ukuta, na wajiteremshendani ya sehemu ile ya ule mji,ndio, hata kwenye magharibi,ambapo Walamani hawakukaana majeshi yao.

23 Na ikawa kwamba wote wa-literemshwa kwenye mji wakatiwa usiku, kwa kutumia kambazao nzito na ngazi zao; hivyowakati kulipokucha wote wali-kuwa ndani ya kuta za mji.

24 Na sasa, Walamani wali-poamka na kuona kwambamajeshi ya Moroni yalikuwandani ya kuta, waliogopa kupi-ta kiasi, mpaka kwamba waka-kimbia kupitia kwenye langola mji.

25 Na wakati Moroni alipoonakwamba wanatoroka kutokakwake, agiza kwamba watuwake wawashambulie, na kuuawengi, na wakawazungukawengine wengi, na kuwachukuawafungwa; na waliosalia wali-kimbilia nchi ya Moroni, amba-yo ilikuwa kwenye mipakakando ya ukingo wa bahari.

26 Hivyo Moroni na Pahoraniwalikamata tena mji wa Nefihabila kupoteza nafsi moja; nakulikuwepo na Walamani we-ngi waliouawa.

27 Sasa ikawa kwamba wengiwa Walamani waliokuwa wa-fungwa walitaka kujiunga naawatu wa Amoni na kuwa watuhuru.28 Na ikawa kwamba kadiri

wengi waliotamani, kwao iliku-

baliwa kulingana na mapenziyao.

29 Kwa hivyo, wafungwawote wa Walamani walijiungana watu wa Amoni, na walianzakufanya kazi sana, kulimaardhi, kukuza kila namna yanafaka, na makundi na mifugoya kila aina; na hivyo Wanefiwaliondolewa mzigo mkubwa;ndio, mpaka kwamba walipu-mzishwa kutoka kwa wafu-ngwa wote wa Walamani.

30 Sasa ikawa kwamba, baadaya Moroni kukamata mji waNefiha, akiwa amechukua wa-fungwa wengi, ambao walipu-nguza majeshi ya Walamanisana, na akiwa ameokoa Wanefiambao walikuwa wamechuku-liwa wafungwa, ambao walii-marisha jeshi la Moroni sana;kwa hivyo Moroni alienda mbe-le kutoka kwa nchi ya Nefihahadi nchi ya Lehi.

31 Na ikawa kwamba wakatiWalamani walipoona kwambaMoroni alikuwa anakuja dhidiyao, waliogopa tena na kulito-roka jeshi la Moroni.

32 Na ikawa kwamba Moronina jeshi lake waliwafuata ku-toka mji hadi mji, mpaka wali-pokutana na Lehi na Teankumu;na Walamani wakakimbia ku-toka kwa Lehi na Teankumu,hata mpaka chini kwenyemipaka kando ya ukingo wabahari, mpaka walipofika nchiya Moroni.

33 Na majeshi ya Walamaniyalijikusanya pamoja, mpakayalikuwa kikundi kimoja katika

27a mwm Waanti-Nefi-Lehi.

Page 468: KITABU CHA MORMONI

451 Alma 62:34–41

nchi ya Moroni. Sasa Amoroni,mfalme wa Walamani, alikuwapia nao.34 Na ikawa kwamba Moroni

na Lehi na Teankumu walikaana majeshi yao karibu na mipa-ka ya nchi ya Moroni, mpakakwamba Walamani walizu-ngukwa karibu na mipaka ka-ndo ya nyika kwenye kusini,na mipaka kando ya nyikamashariki.

35 Na hivyo waliweka kituousiku. Kwani tazama, Wanefina Walamani walikuwa piawamechoka kwa sababu yamatembezi marefu; kwa hivyohawakukata kauli ya kutendahila yoyote wakati wa usiku,isipokuwa Teankumu; kwanialikuwa amemkasirikia Amo-roni sana, mpaka alifikiriakwamba Amoroni, na Amalikiakaka yake, walikuwa akiinicha vita hivi virefu kati yao naWalamani, ambavyo vilikuwamwanzo wa vi ta vingi naumwagaji wa damu, ndio, nanjaa nyingi.

36 Na ikawa kwamba Teanku-mu kwa hasira yake aliendakwenye kituo cha Walamani,na kujiteremsha chini kwenyeukuta wa mji. Na akaendambele na kamba, kutoka maha-li hadi pengine, mpaka alipom-pata mfalme; na akatupa asagaikwake, ambayo ilimchoma ka-ribu na moyo. Lakini tazama,mfalme aliamsha watumishiwake kabla ya kufa, mpakakwamba wakamfuata Teanku-mu, na kumuua.

37 Sasa ikawa kwamba wakatiLehi na Moroni walipojuakwamba Teankumu amekufawalihuzunika sana; kwani ta-zama, alikuwa mtu ambaye ali-pigana na ushujaa sana kwanchi yake, ndio, rafiki wa kweliwa uhuru; na aliumia matesomabaya mengi. Lakini tazama,alikuwa amekufa, na aliendanjia ya kawaida ya binadamu.

38 Sasa ikawa kwamba Moro-ni alienda mbele kesho yake,na kuwashambulia Walamani,mpaka kwamba waliwaua ma-uaji makuu; na waliwafukuzakutoka nchini; na walikimbia,hata kwamba hawakurudi wa-kati huo dhidi ya Wanefi.

39 Na hivyo ukaisha mwakawa thelathini na moja wa uta-wala wa waamuzi juu ya watuwa Nefi; na hivyo walikuwawamekuwa na vita, na umwa-gaji wa damu, na njaa, na mate-so, kwa muda wa miaka mingi.

40 Na kulikuwa na mauaji,na mabishano, na mafarakano,na kila namna yote ya uovumiongoni mwa watu wa Nefi;walakini kwa faida ya walewalio ahaki, ndio, kwa sababuya sala za walio haki, walia-chiliwa.

41 Lakini tazama, kwa sababuya muda mrefu wa vita miongo-ni mwa Wanefi na Walamaniwengi walikuwa wamefanywakuwa na roho ngumu, kwasababu ya vita virefu; na wengiwalilainishwa kwa sababu yaamateso yao, mpaka kwambawakajinyenyekeza mbele ya

35a Alma 48:1.36a Alma 51:33–34.

40a Alma 45:15–16.41a mwm Shida.

Page 469: KITABU CHA MORMONI

Alma 62:42–52 452

Mungu, hata unyenyekevu wandani.42 Na ikawa kwamba baada

ya Moroni kuimarisha hizo se-hemu za nchi ambazo zilikuwawazi zaidi kwa Walamani,mpaka walipopata nguvu yakutosha, alirudi mji wa Zara-hemla; na pia Helamani alirudimahali pake pa urithi; na kuka-wa tena amani miongoni mwawatu wa Nefi.

43 Na Moroni aliweka mamla-ka ya majeshi katika mikono yamwana wake, ambaye jina lakelilikuwa Moroniha; na akastaa-fu na kurudi nyumba ni kwakekwamba atumie siku zake zamwisho kwa amani.

44 Na Pahorani alirudia kitichake cha hukumu; na Helama-ni alichukua tena jukumu la ku-wahubiria watu neno la Mungu;kwani kwa sababu ya vita vingina mabishano ilikuwa imekuwamuhimu kwamba msimamouwekwe tena kanisani.

45 Kwa hivyo, Helamani nandugu zake walienda mbele,na kutangaza neno la Mungukwa uwezo mwingi kwa akusa-dikisha watu wengi juu ya uovuwao, ambayo iliwafanya waka-tubu dhambi zao na kubatizwakwa Bwana Mungu wao.46 Na ikawa kwamba walia-

nzisha tena kanisa la Mungu,kote nchini.

47 Ndio, na msimamo uli-wekwa kuhusu sheria . Naawaamuzi wao, na waamuziwao wakuu walichaguliwa.

48 Na watu wa Nefi walianza

akufanikiwa tena katika nchi,na wakaanza kuongezeka nakuwa na nguvu sana nchini.Na wakaanza kutajirika sana.

49 Lakini ijapokuwa utajiriwao, au nguvu yao, au mafani-kio yao, hawakujiinua kwakiburi machoni mwao; walahawakuwa wavivu wa kumku-mbuka Bwana Mungu wao;lakini walijinyenyekeza sanambele yake.

50 Ndio, walikumbuka vitugani vikubwa ambavyo Bwanaaliwafanyia, kwamba alikuwaamewakomboa kutoka kifo, nakutoka kifungoni, na kutokamagerezani, na kutoka kilaaina ya mateso, na alikuwaamewakomboa kutoka katikamikono ya maadui zao.

51 Na waliomba kwa BwanaMungu wao siku zote, mpakakwamba Bwana aliwabariki, ku-lingana na neno lake, kwambawalikuwa na nguvu na kufani-kiwa nchini.

52 Na ikawa kwamba vitu hivivyote vilifanyika. Na Helamaniakafariki, katika mwaka wa the-lathini na tano wa utawala wawaamuzi juu ya watu wa Nefi.

MLANGO WA 63

Shibloni na baadaye Helamaniwanachukua maandishi matakatifu—Wanefi wengi wanasafiri kuendakatika nchi ya kaskazini—Hagothianajenga merikebu, ambayo inae-nda kwa bahari ya magharibi —Moroniha anashinda Walamani

45a M&M 18:44. 47a Mos. 29:39. 48a Alma 50:20.

Page 470: KITABU CHA MORMONI

453 Alma 63:1–11

kwenye vita. Kutoka karibu mwakawa 56 hadi 52 kabla ya kuzaliwakwa Kristo.

Na ikawa katika mwanzo wamwaka wa thelathini na sita wautawala wa waamuzi juu yawatu wa Nefi, kwamba aShiblo-ni alijichukulia hivyo vitu vyotebvitakatifu ambavyo vilitolewakwa Helamani na Alma.

2 Na alikuwa mtu mwenyehaki, na alitembea wima mbeleya Mungu; na alitazamia kute-nda mema siku zote, kutii amriza Bwana Mungu wake; na piakaka yake alifanya hivyo.

3 Na ikawa kwamba Moronialifariki pia. Na hivyo ukaishamwaka wa thelathini na sitawa utawala wa waamuzi.

4 Na ikawa kwamba katikamwaka wa thelathini na sabawa utawala wa waamuzi, kuli-kuwa na kundi kubwa la watu,hata kwa idadi ya elfu tano namia nne ya watu, na wake zaona watoto wao, waliondoka njeya nchi ya Zarahemla hadikwenye nchi ambayo ilikuwaupande wa akaskazini.

5 Na ikawa kwamba Hagothi,yeye akiwa mtu mchunguzisana, kwa hivyo alienda mbelena akajenga merikebu kubwasana, kwenye mipaka ya nchiya Neema, kando ya nchi yaUkiwa, na akaishusha ndani yabahari ya magharibi, kando naamkondo wa nchi ambao ulie-lekea nchi iliyokuwa upandewa kaskazini.

6 Na tazama, walikuwepoWanefi wengi miongoni mwaoambao waliingia ndani na ku-safiri mbele na vyakula vingi,na pia wanawake wengi nawatoto; na walisafiri kuelekeakaskazini. Na hivyo ukaishamwaka wa thelathini na saba.

7 Na katika mwaka wa thela-thini na nane, huyu mtu alijengamerikebu zingine. Na merikebuya kwanza pia ilirejea, na watuwengi zaidi waliingia ndaniyake; na pia walichukua vya-kula vingi, na kuanza safari tenakuelekea nchi ya kaskazini.

8 Na ikawa kwamba hawa-kusikika tena. Na tunadhanikwamba walizama ndani yakina cha bahari. Na ikawa kwa-mba merikebu nyingine piailisafiri mbele; na mahali ilipo-enda hatujui.

9 Na ikawa kwamba katikamwaka huu kulikuwa na watuwengi walioenda katika nchiupande wa akaskazini. Na hivyoukaisha mwaka wa thelathinina nane.

10 Na ikawa katika mwaka wathelathini na tisa wa utawalawa waamuzi, Shibloni alikufapia, na Koriantoni alikuwa ame-enda kwenye nchi ya kaskazinindani ya merikebu, kupelekavyakula kwa watu ambaowalikuwa wameenda katikanchi ile.

11 Kwa hivyo ilikuwa muhi-mu kwa Shibloni kupeleka vituhivyo vitakatifu kabla ya kifochake, kumkabidhi mwana wa

63 1a Alma 38:1–2.b Alma 37:1–12.

mwm Mtakatifu.

4a Alma 22:31.5a Alma 22:32;

Eth. 10:20.

9a Hel. 3:11–12.

Page 471: KITABU CHA MORMONI

Alma 63:12–17 454aHelamani, ambaye alikuwaHelamani, akiitwa baada yajina la baba yake.12 Sasa tazama, ile amichoro

yote ambayo ilikuwa kwa ulinziwa Helamani iliandikwa nakupelekwa miongoni mwawatoto wa watu kote nchini,isipokuwa hizo sehemu ambazozilikuwa zimeamriwa na Almabzisidhihirishwe.

13 Walakini, hivi vitu vilitaki-wa kuwekwa wakfu, na akuto-lewa kutoka uzao mmoja hadimwingine; kwa hivyo, katikamwaka huu, vilikuwa vimeka-bidhiwa Helamani, kabla yakifo cha Shibloni.

14 Na ikawa pia katika mwakahuu kwamba kulikuwa na

waasi ambao walikuwa wame-waendea Walamani; na waka-vurugwa tena na kukasirikadhidi ya Wanefi.

15 Na pia katika mwaka huowalikuja na jeshi kubwa kupi-gana vita dhidi ya watu waaMoroniha, au dhidi ya jeshi laMoroniha, ambapo walipigwana kurudishwa nyuma tenakwa nchi zao, wakipoteza nakuumia sana.

16 Na hivyo ukaisha mwakawa thelathini na tisa wa utawalawa waamuzi juu ya watu waNefi.

17 Na hivyo ikaisha historiaya Alma, na Helamani mwanawake, na pia Shibloni, ambayealikuwa mwana wake.

Kitabu cha Helamani

Historia ya Wanefi. Vita vyao na mabishano, na mafarakanoyao. Na pia unabii wa manabii wengi watakatifu, kabla

ya kuja kwa Kristo, kulingana na maandishi ya Helamani,ambaye alikuwa mwana wa Helamani, na pia kulingana namaandishi ya wana wake, hata mpaka kuja kwa Kristo. Napia wengi wa Walamani wanageuka. Maelezo ya ugeuzi wao.Maelezo ya uhaki wa Walamani, na uovu na machukizo yaWanefi, kulingana na maandishi ya Helamani na wana wake, hatampaka kuja kwa Kristo, ambayo yanaitwa kitabu cha Helamani,na kadhalika.

MLANGO WA 1

Pahorani wa pili anakuwa mwa-muzi mkuu na anauawa na Kish-kumeni — Pakumeni anachukua

kiti cha hukumu — Koriantumurianaongoza majeshi ya Walamani,anateka Zarahemla, na anamuuaPakumeni — Moroniha anawashi-nda Walamani na kuteka Zarahe -

11a Tazama kichwa chakitabu cha Helamani.

12a Alma 18:36.b Alma 37:27–32.

13a Alma 37:4.15a Alma 62:43.

Page 472: KITABU CHA MORMONI

455 Helamani 1:1–12

mla, na Koriantumuri anauawa.Kutoka karibu mwaka wa 52 hadi50 kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

NA sasa tazama, ikawa kati-ka mwanzo wa mwaka wa

arubaini wa utawala wa waa-muzi juu ya watu wa Nefi, ku-lianza kuwa na taabu kubwamiongoni mwa watu wa Wanefi.2 Kwani tazama, aPahorani

alikuwa amefariki, na kwendanjia ya kawaida ya ulimwengu;kwa hivyo kulianza kuwana ubishi kuhusu ni nani ata-kayechukua kiti cha hukumumiongoni mwa kaka, ambaowalikuwa wana wa Pahorani.3 Sasa haya ndiyo majina ya

wale ambao walishindania kiticha hukumu, ambao pia wali-sababisha watu kugombana:Pahorani, Paanki, na Pakumeni.

4 Sasa hawa sio wana wote waPahorani (kwani alikuwa nawengi), lakini hawa ndio waleambao walishindania kiti chahukumu; kwa hivyo, walianzi-sha migawanyiko mitatu mio-ngoni mwa watu.

5 Walakini, ikawa kwambaPahorani alichaguliwa kwaasauti ya watu kuwa mwamuzimkuu na mtawala juu ya watuwa Nefi.6 Na ikawa kwamba wakati

Pakumeni alipoona kwambahangepata kiti cha hukumu,alikubaliana na sauti ya watu.

7 Lakini tazama, Paanki, nasehemu ya watu ambao walita-ka kwamba awe mtawala wao,walikasirika sana; kwa hivyo,

alikuwa karibu kuwachocheahao watu kuasi dhidi ya nduguzao.

8 Na ikawa kwamba vile alipo-kuwa karibu kufanya hivi, taza-ma, alikamatwa, na kujaribiwakulingana na sauti ya watu, nakuhukumiwa kifo; kwani ali-kuwa ameasi na alitaka kuanga-miza auhuru wa watu.9 Sasa wakat i wale watu

ambao walitaka kwamba awemtawala wao walipoona kwa-mba amehukumiwa kifo, kwahivyo walikasirika, na tazama,walimtuma mtu mmoja kwa jinala Kishkumeni, kwenda kwa kiticha hukumu cha Pahorani, nakumuua Pahorani wakati alipo-kuwa amekalia kiti cha hukumu.

10 Na akafukuzwa na watumi-shi wa Pahorani; lakini tazama,mwendo wa Kishkumeni uli-kuwa wa kasi sana kwamba mtuyeyote hangemshika.

11 Na akarudi kwa waleambao walimtuma, na wotewakaingia katika agano, ndio,wakiapa kwa Muumba waoasiye na mwisho, kwamba ha-watamwambia yeyote kwambaKishkumeni alikuwa amemuuaPahorani.

12 Kwa hivyo, Kishkumenihakujulikana miongoni mwawatu wa Nefi, kwani alikuwaamejigeuza wakati ambao ali-muua Pahorani. Na Kishkumenina kundi lake, ambao walikuwawamefanya agano naye, waliji-changanya miongoni mwawatu, kwa njia kwamba hawa-ngeweza kupatikana; lakini

[helamani]1 2a Alma 50:40.

5a Mos. 29:26–29.8a mwm Uhuru.

Page 473: KITABU CHA MORMONI

Helamani 1:13–22 456

wale waliopatikana walihuku-miwa akifo.

13 Na sasa tazama, Pakumenialichaguliwa, kulingana na sautiy a w a t u , k u w a m w a m u z imkuu na mtawala juu ya watu,kutawala mahali pa kaka yakePahorani; na ilikuwa kulinganana haki yake. Na hayo yoteyalifanyika katika mwaka waarubaini wa utawala wa waa-muzi; na yalikuwa na mwisho.

14 Na ikawa katika mwaka waarubaini na moja wa utawalawa waamuzi, kwamba Wala-mani walikuwa wamekusanyapamoja jeshi kubwa wasiohe-sabika la watu, na kuwahamikwa panga, na kwa vitara nakwa pinde, na kwa mishale, nakwa vyapeo, na kwa dirii, nakwa kila namna ya ngao ya kilaaina.

15 Na walikuja tena ili waa-nzishe vita dhidi ya Wanefi. Nawaliongozwa na mtu ambayejina lake lilikuwa Koriantumuri;na alikuwa wa uzao wa Zarahe-mla; na alikuwa mwasi kutokamiongoni mwa Wanefi; na ali-kuwa mtu mkubwa na mwenyenguvu.

16 Kwa hivyo, mfalme waWalamani, ambaye jina lakelilikuwa Tubalothi, ambayealikuwa mwana wa aAmoroni,alidhani kwamba Koriantumuri,akiwa na nguvu nyingi, ange-weza kusimama dhidi ya Wane-fi, na nguvu zake na pia hekimayake kuu, mpaka kwamba kwakumtuma yeye mbele angepatauwezo juu ya Wanefi —

17 Kwa hivyo aliwachocheakuwa na hasira, na akakusanyapamoja majeshi yake, na ku-mweka Koriantumuri kuwa ki-ongozi wao, na kuwasababishakwenda chini kwenye nchi yaZarahemla kupigana dhidi yaWanefi.

18 Na ikawa kwamba kwasababu ya ubishi mwingi na ta-abu nyingi serikalini, kwambahawakuwa wameweka walinziwa kutosha katika nchi yaZarahemla; kwani walikuwawamefikiri kwamba Walamanihawangekuja hadi katikati yanchi yao kushambulia huo mjimkubwa wa Zarahemla.

19 Lakini ikawa kwamba Ko-riantumuri alitembea mbele yajeshi lake kubwa, na kuwafikiawakazi wa mji, na mwendowao ulikuwa wa kasi sanakwamba hakukuweko na nafasiya Wanefi kukusanya majeshiyao pamoja.

20 Kwa hivyo Koriantumurialiua walinzi wa lango la mji,na akaenda mbele na jeshi lakelote hadi kwenye mji, na waka-muua yeyote aliyewapinga,mpaka kwamba wakamiliki mjiwote.

21 Na ikawa kwamba Pakume-ni, ambaye alikuwa mwamuzimkuu, alitoroka mbele ya Kori-antumuri, hata akafikia kutaza mji. Na ikawa kwamba Kori-antumuri alimpiga kwenyeukuta, mpaka akafa. Na hivyosiku za Pakumeni zikaisha.

22 Na sasa wakati Koriantumu-ri alipoona kwamba amemiliki

12a mwm Adhabu Kuu. 16a Alma 52:3.

Page 474: KITABU CHA MORMONI

457 Helamani 1:23–32

mji wa Zarahemla, na kuonakwamba Wanefi wamewatoro-ka, na wameuawa, na wameka-matwa, na wametupwa gereza-ni, na kwamba amepata uwezojuu ya mji wenye nguvu sanakatika nchi yote, moyo wakeulipata ujasiri mpaka kwambaalikuwa karibu kwenda dhidiya nchi yote.23 Na sasa hakukawia kwenye

nchi ya Zarahemla, lakinialienda na jeshi kubwa, hata nakuelekea kwenye mji wa Nee-ma; kwani nia yake ilikuwakwenda mbele na kupata njiayake kwa kutumia upanga, iliaweze kupata sehemu za kas-kazini ya nchi.

24 Na, akidhani kwamba ngu-vu zao kubwa zilikuwa katikatiya nchi, kwa hivyo aliendambele, bila kuwapatia nafasi yakujikusanya wenyewe pamojaisipokuwa tu kwa vikundividogo; na kwa njia hii wali-washukia na kuwatupa chiniardhini.

25 Lakini tazama, huu mwe-ndo wa Koriantumuri kupitiakatikati ya nchi ulimpatiaMoroniha faida kubwa juu yao,ingawa ni idadi kubwa yaWanefi waliouawa.

26 Kwani tazama, Moronihaalikuwa amedhani kwambaWalamani hawangethubutu kujakatikati ya nchi, lakini kwambawangeshambulia miji iliyo kari-bu na mipaka vile walivyokuwawamefanya hapo awali; kwahivyo Moroniha alikuwa ame-amuru kwamba majeshi yao ye-

nye nguvu yalinde sehemu hizokaribu na kando ya mipaka.

27 Lakini tazama, Walamanihawakuogopa kulingana na ku-sudi lake, lakini walikuwa wa-mekuja katikati ya nchi, nawalikuwa wamekamata mjimkuu ambao ulikuwa Zarahe-mla, na walikuwa wanapitiakatika sehemu nyingi kubwaza nchi, wakiwaua watu na ma-uaji makubwa, wote wanaume,wanawake, na watoto, wakimi-liki miji mingi na ngome nyingi.

28 Lakini Moroniha alipogu-ndua hii, mara moja alimtumaLehi na jeshi kuwazunguka nakuwazuia kabla ya kufika nchiya Neema.

29 Na hivyo ndivyo alivyofa-nya; na aliwazuia kabla ya haokufikia nchi ya Neema, na aka-kabiliana nao, mpaka kwambawakaanza kurudi nyuma kue-lekea nchi ya Zarahemla.

30 Na ikawa kwamba Moroni-ha aliwazuia kukimbia, na aka-kabiliana nao, mpaka kwambakukawa na vita vya kumwagadamu nyingi; ndio, wengi wali-uawa, na miongoni mwa idadiya waliouawa aKoriantumurialipatikana miongoni mwao.

31 Na sasa, tazama, Walamanihawakuweza kurudi nyumaupande wowote, upande wakaskazini, wala kusini, wala ma-shariki, wala magharibi, kwaniwalizungukwa kila upande naWanefi.

32 Na hivyo Koriantumurial ikuwa amewatumbukizaWalamani katikati ya Wanefi,

30a Hel. 1:15.

Page 475: KITABU CHA MORMONI

Helamani 1:33–2:7 458

mpaka kwamba walikuwa chi-ni ya uwezo wa Wanefi, nayeye mwenyewe akauawa, naWalamani wakajisalimishakwa Wanefi.33 Na ikawa kwamba Moroni-

ha alichukua tena mji wa Zara-hemla, na kuamuru kwambaWalamani ambao walikuwa wa-meshikwa mahabusu wakuba-liwe kutoka nchini kwa amani.

34 Na hivyo ukaisha mwakawa arubaini na moja wa utawalawa waamuzi.

MLANGO WA 2

Helamani, mwana wa Helamani,anakuwa mwamuzi mkuu — Ga-diantoni anaongoza kikundi chaKishkumeni — Mtumishi wa He-lamani anamuua Kishkumeni, nakundi la Gadiantoni linatorokeanyikani. Kutoka karibu mwaka wa50 hadi 49 kabla ya kuzaliwa kwaKristo.

Na ikawa katika mwaka waarubaini na mbili wa utawalawa waamuzi, baada ya Moroni-ha kuanzisha tena amani mio-ngoni mwa Wanefi na Walama-ni, tazama hakukuwa na yeyotewa kuchukua kiti cha hukumu;kwa hivyo kulianza kuwa naubishi tena miongoni mwa watukuhusu ni nani atakayechukuakiti cha hukumu.

2 Na ikawa kwamba Helamani,ambaye alikuwa mwana waHelamani, alichaguliwa kuchu-kua kiti cha hukumu, kwa sautiya watu.

3 Lakini tazama, aKishkumeni,ambaye alimuua Pahorani,alivizia kumwamgamiza Hela-mani pia; na alisaidiwa nakundi lake, ambao walikuwawameingia katika agano kwa-mba uovu wake usijulikanena yeyote.

4 Kwani kulikuwa na mtummoja aliyejul ikana kamaaGadiantoni, ambaye alikuwastadi sana kwa maneno mengi,na pia kwa hila yake, kutendakazi yake ya siri ya mauajina unyang’anyi; kwa hivyo,alikuwa kiongozi wa kundi laKishkumeni.

5 Kwa hivyo aliwadanganya,na pia Kishkumeni, kwambaikiwa watampatia kiti cha huku-mu angewakubalia wale ambaow a l i k u w a w a k u n d i l a k ekwamba wangewekwa kwenyeuwezo na mamlaka miongonimwa watu; kwa hivyo Kishku-meni alitafuta kumwangamizaHelamani.

6 Na ikawa kwamba aliposo-nga mbele kuelekea kwenye kiticha hukumu kumwangamizaHelamani, tazama mmoja wawatumishi wa Helamani, amba-ye alikuwa nje usiku, na akiwaamepata, taarifa ya mipangohiyo kwa njia ya kujibadilishaambayo ilikuwa imewekwana hili kundi kumwangamizaHelamani —

7 Na ikawa kwamba alikutanana Kishkumeni, na kumwonye-sha ishara; kwa hivyo Kishku-meni alitambua nia ya mahitajiyake, akitaka kwamba amsaidie

2 3a Hel. 1:9. 4a mwm Wanyang’anyi wa Gadiantoni.

Page 476: KITABU CHA MORMONI

459 Helamani 2:8–3:2

kufika kwenye kiti cha hukumuili amuue Helamani.8 Na wakati mtumishi wa

Helamani alipojua lengo lotela Kishkumeni, na vile kusudilake lilikuwa kuua, na pia kwa-mba kusudi la wote ambao wa-likuwa wa kundi lake lilikuwani kuua, na kunyan’ganya, nakupata mamlaka, (na huu uli-kuwa mpango wao wa asiri, nashirika lao) mtumishi wa Hela-mani akamwambia Kishkume-ni: Acha twende kwenye kiticha hukumu.9 Sasa hii ilimpendeza Kish-

kumeni sana, kwani alionakwamba atatimiza kusudi lake;lakini tazama, vile walipokuwawanaenda mbele kwenye kiticha hukumu, mtumishi waHelamani alimchoma kisu Ki-shkumeni, hata mpaka kwenyemoyo, kwamba alianguka nakufa bila kugumia. Na alikimbiana kumwambia Helamani vituvyote ambavyo alikuwa ameo-na, na kusikia, na kufanya.

10 Na ikawa kwamba Hela-mani alituma walinzi kushikahili kundi la wezi na wauaji wasiri, ili wauawe kulingana nasheria.

11 Lakini tazama, wakati Ga-diantoni alipogundua kwambaKishkumeni hakurejea aliogopakwamba asije akaangamizwa;kwa hivyo aliamuru kundi lakelimfuate. Na walikimbia kutokanchini, kwa njia ya siri, hadikwenye nyika; na hivyo wakatiHelamani alipotuma wachu-kuliwe hawakupatikana.

12 Na mengine ya huyu Gadia-ntoni yatazungumzwa baadaye.Na hivyo ukaisha mwaka waarubaini na mbili wa utawalawa waamuzi juu ya watu waNefi.

13 Na tazama, mwishoni mwakitabu hiki mtaona kwambaaGadiantoni alithibitisha upi-nduzi, ndio, karibu kuangami-zwa kwote kwa watu wa Nefi.

14 Tazama simaanishi mwishowa kitabu hiki cha Helamani,lakini mwisho wa kitabu chaNefi, ambamo nimepata historiayote ambayo nimeandika.

MLANGO WA 3

Wanefi wengi wanahamia kwanchi iliyo kaskazini — Wanajenganyumba za saruji na wanaandikakumbukumbu nyingi—Maelfu wa-nageuka na kubatizwa — Neno laMungu linawaongoza watu kwe-nye wokovu — Nefi mwana waHelamani anachukua kiti cha hu-kumu. Kutoka karibu mwaka wa49 hadi 39 kabla ya kuzaliwa kwaKristo.

Na sasa ikawa katika mwakawa arubaini na tatu wa utawalawa waamuzi, hakukuwa naubishi miongoni mwa watu waNefi isipokuwa kiburi kidogoambacho kilikuwa kanisani,ambacho kilianzisha mafara-kano madogo miongoni mwawatu, mambo ambayo yalireke-bishwa mwishoni mwa mwakawa arubaini na tatu.

2 Na hakukuweko na ubishi

8a 2 Ne. 10:15.mwm Makundi

maovu ya siri.13a Hel. 6:18; 4 Ne. 1:42.

Page 477: KITABU CHA MORMONI

Helamani 3:3–14 460

miongoni mwa watu katikamwaka wa arubaini na nne;wala hakukuweko ubishi mwi-ngi katika mwaka wa arubainina tano.3 Na ikawa katika mwaka wa

arubaini na sita, ndio, kuliku-wa na mafarakano mengi naugomvi mwingi; hata kwambakul ikuwa na wengi sanaambao waliondoka nchi yaZarahemla, na kwenda kwenyenchi ya upande wa akaskazinikurithi nchi.

4 Na walisafiri kwa mwendomrefu sana, mpaka kwambawakafika kwenye maziwa ama-kubwa na mito mingi.

5 Ndio, na hata walitawanyi-ka katika sehemu zote za nchi,katika sehemu zozote ambazohazikuwa zimefanywa kuwa naukiwa na bila miti, kwa sababuya wakazi wengi ambao waliku-wa wamerithi ile nchi mbeleni.

6 Na sasa hakukuwa na sehe-mu yeyote ya nchi ambayo ili-kuwa ya ukiwa, isipokuwapale pasipokuwa na miti; lakinikwa sababu ya akuangamizwawatu wengi walioishi nchinimbeleni iliitwa bukiwa.

7 Na kwa vile kulikuwa namiti michache tu nchini, hatahivyo watu walioenda hukowalipata kuwa na ujuzi mwingikwa kutumia saruji; kwa hivyowalijenga nyumba za saruji,ambamo waliishi.

8 Na ikawa kwamba walio-ngezeka na kutawanyika, nawakasonga mbele kutoka nchi

ya upande wa kusini hadi kwanchi ya upande wa kaskazini, nawakatawanyika mpaka kwa-mba wakaanza kuenea usonimwa ulimwengu wote, kutokabahari ya kusini hadi bahari yakaskazini, kutoka bahari yaamagharibi hadi bahari ya ma-shariki.

9 Na watu waliokuwa katikanchi ya upande wa kaskaziniwali ishi kwenye hema, nakwenye nyumba za saruji, nawaliachilia mti wa aina yoyoteuliomea juu ya ardhi ya nchikwamba ukue, ili kwa mudaujao wangepata miti ya kuje-ngea nyumba zao, ndio, mijiyao, na mahekalu yao, na masi-nagogi yao, na mahali paopatakatifu, na aina yote yamijengo yao.

10 Na ikawa kwa vile miti ili-kuwa michache katika nchi yaupande wa kaskazini, walisafiri-sha mingi kwa kutumia ameli.

11 Na hivyo waliwezesha watuwaliokuwa kwenye nchi ya upa-nde wa kaskazini kujenga mijimingi, yote ya miti na saruji.

12 Na ikawa kwamba kuliku-wa na watu wengi wa awatu waAmoni, ambao walikuwa Wa-lamani kwa kuzaliwa, ambaopia walienda kwenye nchi hii.

13 Na sasa kuna maandishi me-ngi juu yao ambayo yameandi-kwa ya historia ya watu hawaambazo ni halisi na kubwa.

14 Lakini tazama, sehemu mojaya mia ya historia ya watu ha-wa, ndio, historia ya Walamani

3 3a Alma 63:4.4a Mos. 8:8;

Morm. 6:4.

6a Mos. 21:25–27.b Alma 22:31.

8a Alma 22:27, 32.

10a Alma 63:5–8.12a Alma 27:21–26.

Page 478: KITABU CHA MORMONI

461 Helamani 3:15–24

na Wanefi, na vita vyao, namabishano, na mafarakano, namahubiri yao, na unabii wao,na meli zao na uundaji wa melizao, na ujenzi wao wa amahe-kalu, na ya masinagogi yao namahali pao patakatifu, na hakiyao, na uovu wao, na mauajiyao, na uporaji wao, na unya-ng’anyi wao, na aina yote yamachukizo na ukahaba, haiwezikuwekwa yote kwa maandishihaya.

15 Lakini tazama, kuna vitabuvingi na maandishi mengi yakila aina, na yameandikwazaidi na Wanefi.

16 Na akupeana kutoka kizazikimoja hadi kingine na Wanefi,hata mpaka wameanza kute-nda dhambi na wameuawa,kuporwa, na kuwindwa, nakufukuzwa, na kuuawa, nakutawanywa usoni mwa uli-mwengu, na kuchanganywa naWalamani mpaka bhawaitwitena Wanefi, wakiwa waovu,na washenzi, na wakatili, ndio,hata kuwa Walamani.17 Na sasa narudia tena histo-

ria yangu; kwa hivyo, yaleambavyo nimesema yalifanyikabaada ya kuweko mabishanomakuu, na misukosuko, na vita,na mafarakano, miongoni mwawatu wa Nefi.

18 Mwaka wa arubaini nasita wa utawala wa waamuziuliisha;

19 Na ikawa kwamba kuliku-wa bado na ubishi mkubwa

nchini, ndio, hata katika mwakawa arubaini na saba, na piamwaka wa arubaini na nane.

20 Walakini Helamani alichu-kua kiti cha hukumu kwa hakina uadilifu; ndio, alichunga nakutii sheria na uamuzi, na amriza Mungu; na alifanya kilekilichokuwa sawasawa machonimwa Mungu siku zote; naalikuwa na mwendo sawa nababa yake, mpaka kwambaalifanikiwa nchini.

21 Na ikawa kwamba alikuwana wana wawili. Alimwita yulemkubwa kwa jina la aNefi,na mdogo, kwa jina la bLehi.Na walianza kukua wakimtiiBwana.

22 Na ikawa kwamba vita namabishano yalianza kupungu-ka, kidogo, miongoni mwa watuwa Wanefi, katika mwisho wamwaka wa arubaini na nanewa utawala wa waamuzi juu yawatu wa Nefi.

23 Na ikawa katika mwaka waarubaini na tisa wa utawala wawaamuzi, kuliimarishwa amaniya kudumu katika nchi, yoteisipokuwa makundi maovu yasiri ambayo aGadiantoni mwizialikuwa ameanzisha katika se-hemu za nchi ambazo zilikuwazimekaliwa kwa wingi, ambazowakati huo hazikuwa zimejuli-kana kwa viongozi wa serikali;kwa hivyo hawakuangamizwakutoka nchini.

24 Na ikawa kwamba katikamwaka huo huo kulikuwa na

14a 2 Ne. 5:16;Yak. (KM) 1:17;3 Ne. 11:1.

16a 1 Ne. 5:16–19;

Alma 37:4.b Alma 45:12–14.

21a mwm Nefi, Mwanawa Helamani.

b mwm Lehi,Mmisionari waKinefi.

23a Hel. 2:4.

Page 479: KITABU CHA MORMONI

Helamani 3:25–35 462

mafanikio mengi sana katikakanisa, mpaka kwamba kuli-kuwa na maelfu waliojiunga nakanisa na walibatizwa ubatizowa toba.25 Na mafanikio ya kanisa

yalikuwa mengi sana, na barakanyingi zilipokelewa na watu,kwamba hata makuhani wakuuna walimu wenyewe walisha-ngaa kupita kiasi.

26 Na ikawa kwamba kazi yaBwana ilifanikiwa na watuwengi kubatizwa na kuungani-shwa kwa kanisa la Mungu,ndio, hata makumi ya maelfu.

27 Hivyo tunaweza kuonakwamba Bwana ana hurumakwa wote ambao, kwa uaminifuwa mioyo yao, wanaolinganakwa jina lake takatifu.

28 Ndio, hivyo tunaona kwa-mba amlango wa mbinguniumefunguliwa kwa bwote, hatakwa wale ambao wataaminikatika jina la Yesu Kristo,ambaye ni Mwana wa Mungu.29 Ndio, tunaona kwamba

yeyote atakaye angelishikiliaaneno la Mungu, ambalo nibjepesi na lenye nguvu, ambalolitaangamiza ujanja wote namitego na hila za ibilisi, na ku-mwongoza mfuasi wa Kristokatika njia iliyosonga na cnye-mbamba mpaka ng’ambo yadshimo la dhiki isiyo na mwishoambalo lilitayarishwa kumezawaovu —30 Na kuangusha roho zao,

ndio, roho zao zisizokufa, katikamkono wa akuume wa Mungukatika ufalme wa mbinguni,kuketi chini na Ibrahimu, naIsaka, na Yakobo, na babu zetuwote watakatifu, ambako ha-wataondoka tena milele.

31 Na katika mwaka huu kuli-kuwa na furaha ya kudumukatika nchi ya Zarahemla, nakatika nchi zote zilizokuwakaribu, hata kwenye nchi yoteambayo ilimilikiwa na Wanefi.

32 Na ikawa kwamba kuliku-wa na amani na shangwe ku-bwa katika mwisho wa mwakawa arubaini na tisa; ndio, napia kulikuwa na amani ya ku-dumu na shangwe nyingi katikamwaka wa hamsini wa utawalawa waamuzi.

33 Na katika mwaka wa ham-sini na moja wa utawala wawaamuzi kulikuwa na amanipia, isipokuwa tu kiburi amba-cho kilianza kuingia kanisani—sio katika kanisa la Mungu, la-kini katika mioyo ya watuambao walidai kuwa wa kanisala Mungu —

34 Na waliinuka kwa akiburi,hata kwenye kudhulumu ndu-gu zao wengi. Sasa huu ulikuwauovu mkubwa, ambao ulisaba-bisha sehemu kubwa ya waliowanyenyekevu kuumia udhali-mu mkuu, na kuvumilia matesomengi.

35 Walakini awalifunga nabkuomba kila wakati, na waka-

28a 2 Ne. 31:9, 17.b Mdo. 10:28;

Rum. 2:10–11.29a mwm Neno la

Mungu.

b Ebr. 4:12;M&M 11:2.

c 2 Ne. 9:41; 33:9.d 1 Ne. 15:28–30.

30a Mt. 25:33–34.

34a mwm Kiburi.35a mwm Funga,

Kufunga.b mwm Sala.

Page 480: KITABU CHA MORMONI

463 Helamani 3:36–4:7

pokea nguvu kwa nguvu katikacunyenyekevu wao, na wakawaimara zaidi na imara katikaimani ya Kristo, hadi nafsi zaojikajazwa na shangwe na faraja,ndio, hata kwenye dkusafishwana eutakaso wa mioyo yao,utakaso ambao huja kwa saba-bu ya wao fkumtolea Mungumioyo yao.

36 Na ikawa kwamba mwakawa hamsini na mbili uliisha kwaamani pia, isipokuwa kiburi ki-kubwa ambacho kilikuwa kime-ingia katika mioyo ya watu; nailikuwa kwa sababu ya autajiriwao mwingi na kufanikiwakwao nchini; na kiliendelea ku-kua kwao kutoka siku hadi siku.37 Na ikawa katika mwaka wa

hamsini na tatu wa utawala wawaamuzi, Helamani alifariki,na mwana wake wa kwanzaNefi akaanza kutawala badalayake. Na ikawa kwamba ali-chukua kiti cha hukumu kwahaki na uadilifu; ndio, alitiiamri za Mungu, na alitembeakwa njia za baba yake.

MLANGO WA 4

Wanefi walioasi na Walamani wa-naungana na kuteka nchi ya Zara-hemla — Kushindwa kwa Wanefikunatokea kwa sababu ya uovu wao—Kanisa linafifia, na watu wana-kuwa wadhaifu kama Walamani.Kutoka karibu mwaka wa 38 hadi30 kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

Na ikawa katika mwaka wa

hamsini na nne kulikuwa namafarakano mengi kanisani,na kulikuwa na aubishi pia mi-ongoni mwa watu, mpakakwamba kukawa na umwagajimwingi wa damu.

2 Na sehemu ile ya wahalifuwaliuawa na kufukuzwa kuto-ka nchini, na wakamwendeamfalme wa Walamani.

3 Na ikawa kwamba walijari-bu kuwavuruga Walamani ku-pigana dhidi ya Wanefi; lakinitazama, Walamani waliogopasana, mpaka kwamba hawaku-sikiliza maneno ya wale waasi.

4 Lakini ikawa katika mwakawa hamsini na sita wa utawalawa waamuzi, kulikuwa naawaasi ambao walienda kutokakwa Wanefi na kujiunga naWalamani; na walifaulu kwausaidizi wa wale wengine ku-wachochea kuwa na hasiradhidi ya Wanefi; na walijitaya-risha mwaka huo wote kwa vita.

5 Na katika mwaka wa hamsinina saba walikuja chini dhidi yaWanefi kupigana, na walianzakazi ya mauaji; ndio, mpakakwamba katika mwaka wahamsini na nane wa utawalawa waamuzi walifaulu kupataumiliki wa nchi ya Zarahemla;ndio, na pia nchi zote, hatampaka kwenye nchi iliyokuwakaribu na nchi ya Neema.

6 Na Wanefi na majeshi yaMoroniha walifukuzwa hatampaka kwa nchi ya Neema;

7 Na huko walijiimarisha dhidiya Walamani, kutoka bahari ya

35c mwm Mnyenyekevu,Unyenyekevu.

d mwm Safi, Usafi.

e mwm Utakaso.f 2 Nya. 30:8;

Mos. 3:19.

36a mwm Ukwasi.4 1a 3 Ne. 11:29.4a Hel. 5:17.

Page 481: KITABU CHA MORMONI

Helamani 4:8–16 464

magharibi, hata mpaka kwenyemashariki; ikiwa safari ya sikumoja kwa Mnefi, kwenye mstariambao walikuwa wameimari-sha na kuweka majeshi yaokulinda nchi yao ya kaskazini.8 Na hivyo wale waasi wa

Wanefi, kwa usaidizi wa jeshikubwa la Walamani, walipatanchi yote ya Wanefi ambayoilikuwa nchi ya upande wakusini. Na hayo yote yalifa-nywa katika miaka ya hamsinina nane hadi ya tisa ya utawalawa waamuzi.

9 Na ikawa katika mwaka wasitini wa utawala wa waamuzi,Moroniha alifaulu na majeshiyake kwa kukamata tena sehe-mu nyingi za nchi; ndio, wali-pata tena miji mingi ambayoilikuwa imeanguka mikononimwa Walamani.

10 Na ikawa katika mwaka wasitini na moja wa utawala wawaamuzi walifaulu kupata tenahata nusu ya umiliki wao wote.

11 Sasa hii hasara kubwa yaWanefi, na mauaji makubwaambayo yalifanyika miongonimwao, haingefanyika kamahaingekuwa uovu wao na ma-chukizo yao ambayo yalikuwamiongoni mwao; ndio, na ili-kuwa pia miongoni mwa waleambao walidai kuwa katikakanisa la Mungu.

12 Na ilikuwa kwa sababuya akiburi cha mioyo yao, kwasababu ya butajiri wao mwingi,ndio, ilikuwa kwa sababu yaudhalimu wao kwa cmaskini,

wakiwanyima chakula chaowale walio na njaa, wakiwa-nyima mavazi yao wale waliouchi, na wakiwapiga ndugu zaowanyenyekevu kwenye shavu,na wakifanyia mzaha yale yali-yo takatifu, wakikana roho yaunabii na ya ufunuo, wakiua,wakiteka nyara, wakidanganya,wakiiba, wakitenda zinaa, waki-inuka kwa mabishano makuu,na kukimbilia mbali hadi kwanchi ya Nefi, miongoni mwaWalamani —

13 Na kwa sababu ya uovuwao huu mkuu, na amajivunoyao kwa nguvu yao, waliachili-wa wategemee nguvu zao; kwahivyo hawakufanikiwa, lakiniwaliteswa na kuuawa, na kuki-mbizwa na Walamani, mpakawalipoteza karibu umiliki wanchi yao yote.

14 Lakini tazama, Moronihaalihubiri vitu vingi kwa watukwa sababu ya uovu wao, na piaaNefi na Lehi, ambao walikuwawana wa Helamani, walihubirivitu vingi kwa watu, ndio, nawalitoa unabii wa vitu vingikwao kuhusu ubaya wao, nakile ambacho kingefanyika kwaokama hawakutubu dhambi zao.

15 Na ikawa kwamba walitu-bu, na kadiri vile walipotubuwalianza kufanikiwa.

16 Kwani Moroniha alipoonakwamba wametubu alithubutukuwaongoza mbele kutokamahali pamoja hadi pengine,na kutoka mji mmoja hadimwingine, hata mpaka walipo-

12a Oba. 1:3–4;M&M 101:42.

b 1 Tim. 6:17;

2 Ne. 9:42.c M&M 42:30–31.

13a mwm Kiburi.

14a Hel. 3:21.

Page 482: KITABU CHA MORMONI

465 Helamani 4:17–26

pata tena nusu ya mali yao nanusu ya nchi yao yote.17 Na hivyo ukaisha mwaka

wa sitini na moja wa utawalawa waamuzi.

18 Na ikawa katika mwaka wasitini na mbili wa utawala wawaamuzi, kwamba Moronihahangeweza kupata tena umilikijuu ya Walamani.

19 Kwa hivyo waliacha kusudilao la kupata nchi yao iliyoba-kia, kwani Walamani walikuwawengi sana kwamba ilikuwavigumu kwa Wanefi kupatauwezo zaidi juu yao; kwa hivyoMoroniha alitumia majeshi yakeyote kwa kulinda hizo sehemuambazo alikuwa amekamata.

20 Na ikawa kwa sababu yaidadi kubwa ya WalamaniWanefi walikuwa na wogamwingi, wasije wakashindwa,na kukanyagwa chini, na kuua-wa, na kuangamizwa.

21 Ndio, walianza kukumbukaunabii wa Alma, na pia manenoya Mosia; na waliona kwambawalikuwa watu wenye shingongumu, na kwamba walifikiriamri za Mungu hazina maana;

22 Na kwamba walikuwa wa-megeuza na kuzikanyaga kwamiguu yao asheria za Mosia, aukile ambacho Bwana alimwa-muru awape watu; na walionakwamba sheria zao zilikuwazimeharibika, na kwamba wa-likuwa wamekuwa watu wao-vu, mpaka kwamba walikuwawaovu sawa na Walamani.

23 Na kwa sababu ya uovuwao kanisa lilikuwa limeanzaakufifia; na wakaanza kutoaminikatika roho ya unabii na katikaroho ya ufunuo; na hukumu zaMungu ziliwaangalia machoni.

24 Na waliona kwamba wali-kuwa wamekuwa awalegevu,kama ndugu zao, Walamani,na kwamba Roho ya Bwanahaikuwahifadhi; ndio, ilikuwaimejiondoa kutoka kwao kwasababu bRoho ya Bwana haishikwenye mahekalu cyasiyo ma-takatifu —

25 Kwa hivyo Bwana aliachakuwahifadhi na miujiza yake nauwezo wake usiolinganishwa,kwani walikuwa wameangukakwa hali ya akutoamini na uovuwa kutisha; na waliona kwambaWalamani walikuwa wengisana kuliko wao, na isipokuwabwajishikilie kwa Bwana Munguwao wataangamia bila kizuizi.

26 Kwani tazama, walionakwamba nguvu za Walamanizilikuwa nyingi kama zao, hatamtu kwa mtu. Na hivyo wali-kuwa wameanguka kwenyedhambi hii kuu; ndio, hivyowalikuwa wamekuwa wanyo-nge, kwa sababu ya makosayao, kwa muda ausio wa miakamingi.

MLANGO WA 5

Nefi na Lehi wanajitoa wenyewekuhubiri — Majina yao yanawa -

22a Alma 1:1.23a mwm Ukengeufu.24a Mos. 1:13.

b mwm Roho Mtakatifu.

c Mos. 2:37;Alma 7:21; 34:36.

25a mwm Kutoamini.b Yak. (KM) 6:5.

26a Alma 46:8;Hel. 12:3–4.

Page 483: KITABU CHA MORMONI

Helamani 5:1–9 466

kumbusha kuishi maisha mazurikama babu zao—Kristo anakomboawale ambao wanatubu — Nefi naLehi wanapata waongofu wengina wanafungwa gerezani, na motounawazingira — Wingu la giza li-nawafunika watu mia tatu—Ardhiinatetemeka, na sauti inawaamri-sha watu watubu — Nefi na Lehiwanaongea na malaika, na umatiunazingirwa na moto. Karibumwaka wa 30 kabla ya kuzaliwakwa Kristo.

Na ikawa kwamba katikamwaka huo huo, tazama, aNefialitoa kiti cha hukumu kwamtu ambaye jina lake lilikuwaSezoramu.

2 Kwani kwa vile sheria zaona serikali yao ilianzishwa kwaasauti ya watu, na bwaliocha-gua uovu walikuwa wengisana kuliko wale waliochaguamazuri, kwa hivyo walikuwawanajitayarisha kwa maanga-mizo, kwani sheria zilikuwazimechafuliwa.3 Ndio, na haya hayakuwa

yote; walikuwa watu wa shingongumu, mpaka kwamba hawa-ngetawaliwa na sheria walahaki, isipokuwa tu kwa uhari-bifu wao.

4 Na ikawa kwamba Nefi ali-kuwa amechoka kwa sababuya uovu wao; na aakaacha kiticha hukumu, na akajichaguamwenyewe kuhubiri neno laMungu siku zake zote zilizosa-lia, na kaka yake Lehi pia, sikuzake zote zilizosalia;

5 Kwani walikumbuka mane-no ambayo baba yao Helamanialiwazungumzia. Na haya ndi-yo maneno aliyosema:

6 Tazama, wana wangu, nina-taka kwamba mtii amri zaMungu; na ningetaka kwambamwatangazie watu haya ma-neno. Tazama, nimewapatiamajina ya awazazi wetu wakwanza ambao walitoka nchiya Yerusalemu; na nimefanyahivi ili mnapokumbuka majinayenu mtaweza kuwakumbuka;na mnapowakumbuka mnge-kumbuka kazi zao; na mkiku-mbuka kazi zao mngejua vileimesemwa, na pia kuandikwa,kwamba walikuwa bwazuri.7 Kwa hivyo, wana wangu,

ninataka kwamba mfanye yaleambayo ni mazuri, ili izungu-mzwe juu yenu, na pia iandi-kwe, hata vile ilivyozungum-zwa na kuandikwa juu yao.

8 Na sasa wana wangu, taza-ma nina kitu kingine ambachoningetamani mfanye, kutamaniambako ni, kwamba msifanyehivi vitu ili mjisifu, lakini kwa-mba mfanye hivi vitu kujiwekeawenyewe ahazina mbinguni,ndio, ambayo ni ya milele, naambayo haitafifia; ndio, ilimpate zawadi ya bthamani yauzima wa milele, ambayo tunasababu ya kudhani imepewakwa babu zetu.

9 Ee kumbukeni, kumbukeni,wana wangu, amaneno ambayomfalme Benyamini aliwazungu-mzia watu wake; ndio, kumbu-

5 1a Hel. 3:37.2a Mos. 29:25–27.

b Alma 10:19.

4a Alma 4:15–20.6a 1 Ne. 1:1, 5.

b 2 Ne. 33.

8a 3 Ne. 13:19–21.b M&M 14:7.

9a Mos. 2:9.

Page 484: KITABU CHA MORMONI

467 Helamani 5:10–17

keni kwamba hakuna nyinginenjia wala gharama ambayokwayo binadamu anaweza ku-okolewa, isipokuwa kupitiakwa bupatanisho wa damu yaYesu Kristo, ambaye atakuja;ndio, kumbuka kwamba ana-kuja ckuukomboa dulimwengu.

10 Na kumbuka pia amanenoambayo Amuleki alimzungu-mzia Zeezromu, katika mji waAmoniha; kwani alimwambiakwamba Bwana lazima atakujakuwakomboa watu wake, lakinikwamba hatakuja kuwakomboakatika dhambi zao, lakini ku-wakomboa kutoka kwa dhambizao.11 Na ana uwezo aliopewa

kutoka kwa Baba kuwakomboakutoka kwa dhambi zao kwasababu ya toba; kwa hivyoaametuma malaika wake kuta-ngaza habari njema ya hali yatoba, ambayo inaleta uwezo waMkombozi, kuwezesha wokovuwa roho zao.12 Na sasa, wana wangu, ku-

mbukeni, kumbukeni kwambani juu ya amwamba wa Mko-mbozi wetu, ambaye ni Kristo,Mwana wa Mungu, kwambalazima mjenge bmsingi wenu;kwamba ibilisi atakapotumambele pepo zake kali, ndio,mishale yake kimbungani, wa-kati mvua yake ya mawe nacdhoruba kali itapiga juu yenu,hautakuwa na uwezo juu yenu

kuwavuta chini kwenye shimola taabu na msiba usioisha, kwasababu ya mwamba ambakokwake mmejengwa, ambao nimsingi imara, msingi ambakowatu wote wakijenga hawataa-nguka.

13 Na ikawa kwamba hayandiyo maneno ambayo Helama-ni aaliwafundisha wana wake;ndio, aliwafundisha vitu vingiambavyo havijaandikwa, na piavitu vingi ambavyo vimeandi-kwa.

14 Na walikumbuka manenoyake; na kwa hivyo waliendambele, wakitii amri za Mungu,kufundisha neno la Mungumiongoni mwa watu wote waNefi, kuanzia mji wa Neema;

15 Na baada ya hapo walie-nda hadi mji wa Gidi; na kuto-ka kwa mji wa Gidi hadi mjiwa Muleki;

16 Na hata kutoka mji mmojahadi mwingine, mpaka wali-poenda mbele miongoni mwawatu wote wa Nefi ambao wa-likuwa katika nchi upande wakusini; na kutoka hapo hadikwenye nchi ya Zarahemla,miongoni mwa Walamani.

17 Na ikawa kwamba walihu-biri kwa uwezo mwingi, mpa-ka kwamba waliwafadhaishawengi wa wale awaasi ambaowalikuwa wameenda huko ku-toka kwa Wanefi, mpaka kwa-mba walikuja mbele na kukiri

9b Mos. 3:17–18.mwm Lipia dhambi,Upatanisho.

c mwm Komboa,Kombolewa,Ukombozi.

d mwm Walimisengu—

Watu wasiotii amri.10a Alma 11:34.11a Alma 13:24–25.12a Mt. 7:24–27;

M&M 6:34;Musa 7:53.mwm Jiwe la

pembeni; Mwamba.b Isa. 28:16;

Yak. (KM) 4:16.c 3 Ne. 14:25, 27.

13a Mos. 1:4.17a Hel. 4:4.

Page 485: KITABU CHA MORMONI

Helamani 5:18–28 468

dhambi zao na wakabatizwaubatizo wa toba, na mara mojawakarudia Wanefi na kujari-bu kurekebisha kwao mabayaambayo walikuwa wamefanya.18 Na ikawa kwamba Nefi na

Lehi waliwahubiria Walamanikwa uwezo mkubwa na mam-laka, kwani walikuwa na uwe-zo na mamlaka waliyopewakwamba waweze akusema, napia yale ambayo wangezungu-mza yalipewa kwao —

19 Kwa hivyo waliwazungum-zia Walamani kwa maajabu ma-kubwa akuwasadikisha, mpakakwamba kukawa na elfu naneya Walamani ambao walikuwakwenye nchi ya Zarahemla nakaribu na hapo ambao walibati-zwa ubatizo wa toba, na walisa-dikishwa kwa uovu wa desturiza babu zao.

20 Na ikawa kwamba Nefina Lehi walienda kutoka hapompaka kwenye nchi ya Nefi.

21 Na ikawa kwamba wali-kamatwa na jeshi la Walamanina kutupwa agerezani; ndio,hata kwenye hilo hilo gerezaambamo Amoni na ndugu zakewalitupwa na watumishi waLimhi.

22 Na baada ya kutupwa gere-zani kwa siku nyingi bi lachakula, tazama, walienda kwe-nye gereza ili wawakamate nakuwaua.

23 Na ikawa kwamba Nefi naLehi walizungukwa na kile

kilichoonekana kama amoto,mpaka kwamba hawangewezakuthubutu kuwagusa kwa mi-kono yao kwa kuogopa kwa-mba wangeungua. Walakini,Nefi na Lehi hawakuungua;na walionekana kama wanasi-mama katikati ya moto nahawaungui.

24 Na walipoona kwambawamezungukwa na anguzo zamoto, na kwamba hazikuwa-choma, mioyo yao ilipata ujasiri.

25 Kwani waliona kwambaWalamani hawakuthubutukuwagusa; wala hawangethu-butu kuwakaribia, lakini wa-l i s imama kama bubu kwamshangao.

26 Na ikawa kwamba Nefi naLehi walisimama mbele yao nakuanza kuwazungumzia, waki-sema: Msiogope, kwani tazama,ni Mungu ambaye amewaonye-sha hiki kitu cha ajabu, ambamokwayo imeonyeshwa kwenukwamba hamwezi kutuwekeamikono yenu kutuua.

27 Na tazama, wakati wanase-ma haya maneno, nchi ilitete-meka sana, na kuta za gerezazilitikisika kama vile zilikaribiakuanguka ardhini; lakini taza-ma, hazikuanguka. Na tazama,wale ambao walikuwa gerezaniwalikuwa Walamani na Wanefiambao walikuwa waasi.

28 Na ikawa kwamba walifu-nikwa na wingu la agiza, nawoga wa kutisha mno uliwajia.

18a M&M 100:5–8.mwm Toa unabii,Unabii.

19a mwm Kazi yakimisionari;

Mwongofu,Uongofu.

21a Mos. 7:6–7; 21:23.23a Kut. 3:2.24a Kut. 14:24;

1 Ne. 1:6;M&M 29:12;JS—H 1:16.

28a Kut. 14:20.

Page 486: KITABU CHA MORMONI

469 Helamani 5:29–41

29 Na ikawa kwamba kulisi-kika asauti kama ilitokea juuya wingu la giza, ikisema: Tu-buni nyinyi, tubuni nyinyi, namsijaribu tena kuwaangamizawatumishi wangu ambao ni-mewatuma kwenu kutangazahabari njema.

30 Na ikawa wakati waliposi-kia sauti hii, na kuona kwambahaikuwa sauti ya radi, walahaikuwa sauti kubwa ya ku-wachanganya, lakini tazama,ilikuwa sauti atulivu na kadiri,kama mnong’ono, na ilipenyahata kwenye roho —

31 Na ijapokuwa upole wasauti, tazama ardhi ilitetemekasana, na kuta za gereza zikati-ngishika tena, kama vile ziliku-wa ziko karibu kuanguka ar-dhini; na tazama wingu la giza,ambalo lilikuwa limewafunika,halikuondoka —

32 Na tazama sauti ilikujatena, ikisema: Tubuni nyinyi,tubuni nyinyi, kwani ufalmewa mbinguni uko karibu; namsijaribu tena kuwaangamizawatumishi wangu. Na ikawakwamba nchi ilitetemeka tena,na kuta zikatingisika.

33 Na pia tena safari ya tatusauti ilisikika, na kuzungumzakwao maneno ya ajabu ambayohayawezi kuzungumzwa nabinadamu; na kuta zikatingisi-ka tena, na nchi ikatetemekakama iko karibu kugawanyikakatikati.

34 Na ikawa kwamba Wala-mani hawangeweza kukimbiakwa sababu ya wingu la giza

ambalo liliwafunika; ndio, napia hawangetembea kwa saba-bu ya woga ambao uliwajia.

35 Sasa kulikuwa mmoja mio-ngoni mwao ambaye alikuwaMnefi kwa kuzaliwa, ambayewakati mmoja alikuwa mtu wakanisa la Mungu lakini akaasikutoka kwao.

36 Na ikawa kwamba aligeu-ka, na tazama, aliona kupitiakwenye wingu la giza na akao-na nyuso za Nefi na Lehi; natazama, aziling’ara sana, hatakama nyuso za malaika. Naakaona kwamba waliinua ma-cho yao kuelekea mbinguni; nawalikuwa kwa hali kama wali-kuwa wanaongea au kupazasauti kwa kiumbe ambachowalimwangalia.

37 Na ikawa kwamba huyumtu alipaza sauti kwa umati,kwamba wageuke na kuangalia.Na tazama, kulikuwa na uwezouliopewa kwao kwamba wali-geuka na kutazama; na wakao-na nyuso za Nefi na Lehi.

38 Na wakamwambia yulemtu: Tazama, hivi vitu vyotevinaamanisha nini, na ni naniambaye hawa watu wanaongeanaye?

39 Sasa jina la huyu mtu lili-kuwa Aminadabu. Na Amina-dabu aliwaambia: Wanaongeana malaika wa Mungu.

40 Na ikawa kwamba Wala-mani walimwambia: Tutafa-nya anini, ili hili wingu la gizaliweze kuondolewa kwambalisitufunike?

41 Na Aminadabu akawaa-

29a 3 Ne. 11:3–14.30a 1 Fal. 19:12;

M&M 85:6.36a Kut. 34:29–35;

Mdo. 6:15.40a Mdo. 2:37–39.

Page 487: KITABU CHA MORMONI

Helamani 5:42–52 470

mbia: Lazima amtubu, na mlilieile sauti, hata mpaka mtakapo-pata b imani kat ika Kristo,ambaye mlifundishwa kumhu-su na Alma, na Amuleki, naZeezromu; na wakati mtakapo-fanya hivi, wingu la giza litato-lewa kwa kutia kivuli kwenu.42 Na ikawa kwamba wote

walianza kulilia sauti ya yuleambaye alitetemesha nchi; ndio,walilia hata mpaka wingu lagiza lilipoondoka.

43 Na ikawa kwamba wakatiwalipotupa macho yao karibukuzunguka, na kuona kwambawingu la giza limetoweka kuto-kana na kuwafunika, tazama,waliona kwamba awamezingi-rwa, ndio, kila roho, na nguzoya moto.44 Na Nefi na Lehi walikuwa

katikati yao; ndio, walizingirwa;ndio, walionekana kama wakokatikati ya ndimi za moto, laki-ni hazikuwadhuru, wala hazi-kuchoma kuta za gereza; nawalijazwa na hiyo ashangweambayo haiwezi kuzungumzwana iliyojaa utukufu.

45 Na tazama, Roho aMtakati-fu wa Mungu alishuka chinikutoka mbinguni, na kuingiakwenye mioyo yao, na walija-zwa kama na moto, na bwalizu-ngumza maneno ya ajabu.46 Na ikawa kwamba kulisiki-

ka sauti kwao, ndio, sauti nzuri,kama mnong’ono, ikisema:

47 aAmani, amani iwe kwenu,kwa sababu ya imani yenu kwa

yule Mpendwa Sana wangu,ambaye alikuwepo tangu msi-ngi wa dunia.

48 Na sasa, wakati waliposi-kia hivi walitupa macho yao iliwaone kule ile sauti ilikotokea;na tazama, waliona ambinguzikifunguka; na malaika waka-ja chini kutoka mbinguni nakuwahudumia.

49 Na kulikuwa karibu watumia tatu ambao waliona na ku-sikia hivi vitu; na waliambiwawaende na wasistajaabu, walawasiwe na shaka.

50 Na ikawa kwamba waliendambele, na kuhudumia watu,wakitangaza kote nchini mahalihapo vitu vyote ambavyo wali-sikia na kuona, mpaka kwambasehemu kubwa ya Walamaniilisadikishwa juu yao, kwasababu ya ushahidi mwingiambao walikuwa wamepata.

51 Na vile wengi awalivyosa-dikishwa, waliweka chini silahazao za vita na pia chuki yao nadesturi za babu zao.

52 Na ikawa kwamba waliwa-patia Wanefi nchi ya umilikiwao.

MLANGO WA 6

Walamani walio wenye haki wana-wahubiria wale Wanefi waovu —Watu wote wanafanikiwa wakatiwa muda wa amani na wingi —Lusiferi, mwanzilishi wa dhambi,anavuruga mioyo ya waovu na

41a mwm Toba, Tubu.b mwm Imani.

43a 3 Ne. 17:24; 19:14.44a mwm Shangwe.

45a 3 Ne. 9:20;Eth. 12:14.

b mwm Vipawa vyaRoho.

47a mwm Amani.48a 1 Ne. 1:8.51a Alma 31:5.

Page 488: KITABU CHA MORMONI

471 Helamani 6:1–11

wezi wa Gadiantoni kwa mauaji nauovu—Wezi wanachukua serikaliya Wanefi. Kutoka karibu mwakawa 29 hadi 23 kabla ya kuzaliwakwa Kristo.

Na ikawa kwamba wakatimwaka wa sitini na mbili wautawala wa waamuzi ulipoisha,hivi vitu vyote vilikuwa vimefa-nyika na wengi wa Walamaniwalikuwa sehemu nyingi yao,watu wenye haki, mpaka kwa-mba auzuri wao ulizidi ule waWanefi, kwa sababu ya uthabitiwao na uadilifu wao kwa imani.

2 Kwani tazama, kulikuwa naWanefi wengi ambao walikuwaawagumu na wasio tubu na wa-ovu kupindukia, mpaka kwa-mba walikataa neno la Munguna mahubiri yote na unabiiambao ulikuja miongoni mwao.3 Walakini, watu wa kanisa

walikuwa na shangwe nyingikwa sababu ya ugeuzi waWalamani, ndio, kwa sababu yakanisa la Mungu, ambalo lili-kuwa limeanzishwa miongonimwao. Na awalishirikiana waokwa wao, na kufurahiana waokwa wao, na wakawa nashangwe kubwa.

4 Na ikawa kwamba wengiwa Walamani walikuja kwenyenchi ya Zarahemla, na walifu-ndisha Wanefi njia ya augeuziwao, na wakawasihi wawe naimani na kutubu.5 Ndio, na wengi walihubiri

kwa uwezo mwingi na mamla-ka, kwa kuwaleta chini wengi

wao kwenye kina cha unyenye-kevu, kuwa wafuasi wanye-nyekevu wa Mungu na Mwa-nakondoo.

6 Na ikawa kwamba wengiwa Walamani walienda kwenyenchi iliyokuwa upande wa kas-kazini; na pia Nefi na Lehiwalienda katika anchi iliyokuwaupande wa kaskazini, kuhubiriawatu. Na hivyo uliisha mwakawa sitini na tatu.

7 Na tazama, kulikuwa naamani kote nchini, mpaka kwa-mba Wanefi walienda popotenchini walipopenda, kama nimiongoni mwa Wanef i auWalamani.

8 Na ikawa kwamba Walamanipia walienda kokote walipope-nda, kama ilikuwa miongonimwa Walamani au miongonimwa Wanefi; na hivyo waliku-wa na ushirika huru miongonimwao, kununua na kuuza, nakupata faida, kulingana nakutaka kwao.

9 Na ikawa kwamba waliku-wa matajiri sana, wote Wala-mani na Wanefi; na walikuwana kiasi kikubwa cha dhahabu,na cha fedha, na kila namna yachuma ya thamani, kote nchinikusini na nchini kaskazini.

10 Sasa nchi ya kusini iliitwaLehi, na nchi ya kaskazini ilii-twa aMuleki, ambayo ilikuwainaitwa baada ya mwana waZedekia; kwani Bwana alimletaMuleki katika nchi ya kaskazini,na Lehi katika nchi ya kusini.

11 Na tazama, kulikuwa na

6 1a Hel. 13:1.2a Rum. 1:28–32.3a mwm Ushirika.

4a mwm Mwongofu,Uongofu.

6a Alma 63:4–9;

Hel. 3:11–12.10a Mos. 25:2–4;

Hel. 8:21.

Page 489: KITABU CHA MORMONI

Helamani 6:12–21 472

namna yote ya dhahabu katikahizi nchi zote, na fedha, navyuma vya thamani vya kilaa i n a ; na kul ikuwa pia namafundi wa ustadi, ambao wa-lifanya kazi na aina yote yachuma, na waliisafisha; hivyowakawa matajiri.12 Walikuza nafaka kwa wingi,

kote kaskazini na kusini; nawalifanikiwa sana, kote kaska-zini na kusini. Na waliongezekana kuwa na nguvu sana nchini.Na walikuza makundi mengi yawanyama, ndio, ndama wengi.

13 Tazama wanawake waowalifanya kazi kwa bidii nakushona, na walitengeneza ainazote za nguo, laini za kitani nanguo za kila aina, kufunikauchi wao. Na hivyo mwaka wasitini na nne uliisha kwa amani.

14 Na katika mwaka wa sitinina tano walikuwa pia na sha-ngwe na amani, ndio, kuhubirikwingi na unabii mwingi kuhu-su yale yatakayokuja mbeleni.Na hivyo ukaisha mwaka wasitini na tano.

15 Na ikawa kwamba katikamwaka wa sitini na sita wautawala wa waamuzi, tazama,aSezoramu aliuawa na mtu asi-yejulikana wakati alipokuwaamekalia kiti cha hukumu. Naikawa kwamba katika mwakahuo huo, mwana wake, amba-ye, alikuwa amechaguliwa nawatu badala yake, pia aliuawa.Na hivyo ukaisha mwaka wasitini na sita.16 Na katika mwanzo wa

mwaka wa sitini na saba watu

walianza kuwa waovu sanatena.

17 Kwani tazama, Bwanaalikuwa amewabariki sana nautajiri wa ulimwengu kwa-mba hawakuwa wamechoche-wa kuwa na hasira, kupigana,wala kumwaga damu; kwa hi-vyo walianza kuweka mioyoyao katika utajiri wao; ndio,walianza kutafuta kupata faidakwamba wangeinuliwa mmojajuu ya mwingine; kwa hivyowalianza kufanya mauaji yaasiri, na kunyang’anya na ku-pora, ili wapate faida.

18 Na sasa tazama, wale wauajina waporaji walikuwa katikakikundi ambacho kilianzishwana Kishkumeni na aGadiantoni.Na sasa ilikuwa kwamba kuli-kuwa na wengi sana, hatamiongoni mwa Wanefi, kutokakikundi cha Gadiantoni. Lakinitazama, walikuwa wengi zaidikatika ile sehemu ovu zaidi yaWalamani. Na waliitwa wapo-raji na wauaji wa Gadiantoni.

19 Na hao ndio wale ambaowalimuua mwamuzi mkuu Se-zoramu, na mwana wake, wa-kiwa kwenye kiti cha hukumu;na tazama, hawakupatikana.

20 Na sasa ikawa kwamba wa-kati Walamani walipogunduakwamba kulikuwa na wezimiongoni mwao walikuwa nahuzuni sana; na walitumiambinu zote kwa uwezo waokuwaangamiza kutoka kwa usowa dunia.

21 Lakini tazama, Shetanialivuruga mioyo ya sehemu

15a Hel. 5:1. 17a 3 Ne. 9:9. 18a Hel. 2:4, 12–13.

Page 490: KITABU CHA MORMONI

473 Helamani 6:22–30

kubwa ya Wanefi, mpaka kwa-mba wakaungana na yale ma-kundi ya wezi, na waliunganakwa kufanya maagano yao naviapo vyao, ili wangejilinda nakujihifadhi wenyewe kwa kilahali yote ngumu ambayo wa-ngekuwemo, kwamba wasia-dhibiwe kwa mauaji yao, nauporaji wao, na wizi wao.22 Na ikawa kwamba waliku-

wa na ishara zao, ndio, isharazao za asiri, na maneno yao yasiri; na hii ili wapambanuemshiriki wa kundi lao amba-ye alikuwa ameingia kwenyeagano, kwamba kwa kila uovuambao ndugu yake angefa-nya asiumizwe na ndugu yake,wala na wale ambao waliku-wa washiriki wa kundi lake,ambao walikuwa wamefanyahili agano.

23 Na hivi wangeua, na kutekanyara, na kuiba, na kufanyaukahaba na namna yote yauovu, dhidi ya sheria za nchiyao na pia sheria za Mungu.

24 Na yeyote ambaye alikuwamshiriki wa kundi lao akifi-chua kwa watu wengine auovuwao na machukizo yao, angeja-ribiwa, sio kulingana na sheriaza nchi yao, lakini kulinganana sheria za uovu wao, ambazoziliwekwa na Gadiantoni naKishkumeni.25 Sasa tazama, ni hivi aviapo

vya siri na maagano ambayoAlma alimwamuru mwanawake asifichue kwa ulimwengu,

isije zikawa njia ya kuleta watukwa maangamizo.

26 Sasa tazama, hivyo viapovya asiri na maagano havikum-fikia Gadiantoni kutoka kwamaandishi ambayo yalitolewakwa Helamani; lakini tazama,viliwekwa ndani ya moyo waGadiantoni na bkile kile kiumbeambacho kiliwashawishi wazaziwetu wa kwanza kula tundalililokatazwa —

27 Ndio, kile kile kiumbeambacho kilimshauri aKaini,kwamba kama atamuua kakayake Habili haitajulikana katikaulimwengu. Na alishauriana naKaini na wafuasi wake kutokeawakati ule na kuendelea.

28 Na pia ni kile kile kiumbeambacho kiliweka mahitaji kwamioyo ya watu akujenga mnarawa urefu wa kutosha ili wawezekufika mbinguni. Na kilikuwakile kile kiumbe ambacho kilio-ngoza wale watu waliotokakwenye mnara huo kuja katikanchi hii; ambao walisambazakazi ya giza na machukizo koteusoni mwa nchi, mpaka alipo-vuta watu chini kwenye maa-ngamizo bkamili, na kwenyejahanamu isiyo na mwisho.

29 Ndio, ni kile kile kiumbeambacho kiliweka katika moyowa aGadiantoni haja ya kuende-lea na kazi ya giza, na mauajiya siri; na ameidhihirisha kuto-ka mwanzo wa binadamu hadisasa.

30 Na tazama, ni yeye ambaye

22a mwm Makundimaovu ya siri.

24a mwm Ovu, Uovu.25a Alma 37:27–32.

26a Musa 5:29, 49–52.b 3 Ne. 6:28;

Musa 4:6–12.27a Musa 5:18–33.

28a Mwa. 11:1–4;Eth. 1:3.

b Eth. 8:9, 15–25.29a Hel. 2:4–13.

Page 491: KITABU CHA MORMONI

Helamani 6:31–41 474

ni amwanzilishi wa dhambizote. Na tazama, huendeshakazi zake za giza na mauaji yasiri, na hutoa hila zao na viapovyao, na maagano yao, na mipa-ngo ya uovu wa kutisha, kutokakizazi hadi kingine kulinganana vile anavyoweza kupata mi-oyo ya watoto wa watu.31 Na sasa tazama, alikuwa

ameshawishi mioyo ya Wanefi;ndio, mpaka kwamba walikuwawamekuwa waovu sana; ndio,wengi wao walikuwa wametokakwenye njia ya haki, akuzika-nyaga kwa miguu yao amri zaMungu, na wakageukia njia zaowenyewe, na wakajitengenezeasanamu za dhahabu na fedha.

32 Na ikawa kwamba hayamaovu yote yaliwajia kwamuda ausio wa miaka mingi,mpaka kwamba mengi ya hayayaliwajia katika mwaka wasitini na saba wa utawala wawaamuzi juu ya watu wa Nefi.

33 Na uovu wao uliongezekakatika mwaka wa sitini na nanepia, ambao ulileta huzuni kuu nakulia kwa wale walio wa haki.

34 Na hivyo tunaona kwambaWanefi walianza kufifia katikakutoamini, na kukua kwenyeuovu na machukizo, wakatiWalamani nao walianza kukuazaidi katika ujuzi wa Munguwao; ndio, walianza kutii sheriana amri zake, na kutembea ka-tika ukweli na haki mbele yake.

35 Na hivyo tunaona kwambaRoho ya Bwana ilianza akujio-

ndoa kutoka kwa Wanefi, kwasababu ya uovu wao na ugumuwa mioyo yao.

36 Na hivyo tunaona kwambaBwana alianza kuwamwagiaWalamani Roho yake, kwa saba-bu ya wema wao na hiari yaoya kuamini maneno yake.

37 Na ikawa kwamba Wala-mani walisaka lile kundi la wezila Gadiantoni; na walihubirineno la Mungu miongoni mwawengi wao waliokuwa waovu,mpaka kwamba wezi hao wali-angamizwa kabisa kutoka mio-ngoni mwa Walamani.

38 Na ikawa kwa upande mwi-ngine, kwamba Wanefi waliwa-jenga na kuwasaidia, kuanziasehemu kubwa ya waliokuwawaovu sana, mpaka walipoeneakote katika nchi ya Wanefi, nawalikuwa wameishawishi sehe-mu kubwa ya walio haki mpa-ka waliposhushwa na kuaminikatika kazi zao na kugawanavilivyoibiwa, na kuungana naokatika mauaji yao ya siri namakundi yao.

39 Na hivyo walipata uwezowa kuendesha serikali, mpakakwamba waliikanyagia chini yamiguu yao na kupiga na kuka-taa kusaidia amasikini na waliowatiifu, na wafuasi wanyenye-kevu wa Mungu.

40 Na hivyo tunaona kwambawalikuwa katika hali ya kuti-sha, na awakijitayarisha kwaangamizo lisilo na mwisho.

41 Na ikawa kwamba hivyo

30a Alma 5:39–42;Moro. 7:12, 17;Musa 4:4.

31a 1 Ne. 19:7.

32a Alma 46:8.35a Mos. 2:36;

M&M 121:37.39a Zab. 109:16;

Alma 5:54–56;M&M 56:16.

40a Hel. 5:2; 11:37;M&M 18:6.

Page 492: KITABU CHA MORMONI

475 Helamani 7:1–7

ukaisha mwaka wa sitini nanane wa utawala wa waamuzijuu ya watu wa Nefi.

Unabii wa Nefi, mwana waHelamani — Mungu anawati-sha watu wa Nefi kwambaatawaadhibu kwa hasira yake,kwa maangamizo yao isipoku-wa watubu kutokana na uovuwao. Mungu anawapiga watuwa Nefi kwa maradhi ya kua-mbukiza; wanatubu na kumru-dia. Samweli, Mlamani, anata-biria Wanefi.

Yenye milango ya 7hadi 16 yote pamoja.

MLANGO WA 7

Nefi anakataliwa kaskazini na ana-rudi Zarahemla—Anaomba juu yamnara ulio ndani ya bustani yakena anawaambia watu watubu auwaangamie. Kutoka karibu mwakawa 23 hadi 21 kabla ya kuzaliwakwa Kristo.

Tazama, sasa ikawa kwambakatika mwaka wa sitini na tisawa utawala wa waamuzi juu yawatu wa Wanefi, kwamba Nefi,mwana wa Helamani, aalirejeakatika nchi ya Zarahemla kuto-ka nchi ya kaskazini.2 Kwani alikuwa anatembea

miongoni mwa watu ambaowalikuwa katika nchi ya upa-nde wa kaskazini, na akahubirineno la Mungu kwao, na alita-biri vitu vingi sana kwao;

3 Na walikataa maneno yake

yote, mpaka kwamba hange-weza kuishi miongoni mwao,lakini alirejea tena kwenye nchiyake ya kuzaliwa.

4 Na alipoona watu wakiwakwa hali ya uovu wa kutisha,na wale wezi wa Gadiantoniwakichukua viti vya hukumu—wakiwa wamejitwalia uwezona mamlaka ya nchi; wakiwekaamri za Mungu kando, na bilakutenda hata haki ndogo mbeleyake; bila kufanya haki kwawatoto wa watu;

5 Kuhukumu wale wenye hakikwa sababu ya haki yao; kua-chilia walio na hatia na waovukuenda bila kuadhibiwa kwasababu ya pesa yao; na juu yahayo kupewa nafasi kubwakwenye ofisi za serikali, kuta-wala na kufanya kulingana nania zao, ili wapate faida na utu-kufu wa aulimwengu, na juuya hayo, kwamba wangefanyauzinifu kwa urahisi, na kuiba,na kuua, na kufanya kulinganana nia zao wenyewe —

6 Sasa huu ubaya uliwajiaWanefi, katika muda wa miakaisiyo mingi; na wakati Nefialipoona haya, moyo wake uli-fura kwa huzuni ndani ya kifuachake; na alipaza sauti kwamaumivu ya nafsi yake:

7 Ee, kwamba ningeishi katikasiku ambazo babu yangu Nefialipotoka mara ya kwanzakutoka Yerusalemu, kwambaningefurahi na yeye katika ilenchi ya ahadi; hapo watu wakewalikuwa rahisi kufundishwa,imara kutii amri za Mungu,

7 1a Hel. 6:6. 5a Mt. 13:22; 16:26.

Page 493: KITABU CHA MORMONI

Helamani 7:8–19 476

na sio rahisi kwa wao kuongo-zwa kufanya ubaya; na waliku-wa wepesi kusikiliza neno laBwana —8 Ndio, kama siku zangu

zingekuwa kwenye hizo siku,ndipo roho yangu ingejawashangwe wa kwa ajili ya hakiya ndugu zangu.

9 Lakini tazama, nimewekewakwamba hizi ndizo siku zangu,na kwamba roho yangu itaja-zwa na huzuni kwa sababu yahuu uovu wa ndugu zangu.

10 Na tazama, sasa ikawakwamba ilikuwa juu ya mnara,ambao ulikuwa katika bustaniya Nefi, ambayo ilikuwa kandoya barabara kuu ambayo iliele-kea soko kuu, ambalo ilikuwakatika mji wa Zarahemla; kwahivyo, Nefi alikuwa amejisuju-dia mwenyewe juu ya mnaraambao ulikuwa kwenye bustaniyake, mnara ambao pia ulikuwakaribu na mlango wa bustani,na kando yake kulikuwa nabarabara kuu.

11 Na ikawa kwamba kuliku-wa baadhi ya watu waliokuwawakipita kando na kumwonaNefi akimimina roho yake kwaMungu juu ya mnara; na wali-kimbia na kuwaambia watukile ambacho walikuwa wame-ona, na walikuja pamoja kwawingi ili wajue sababu ya mao-mbolezi makubwa kwa uovumiongoni mwa watu.

12 Na sasa, wakati Nefialipoinuka aliona umati wa

watu ambao walijikusanyapamoja.

13 Na ikawa kwamba alifu-ngua kinywa chake na kuwa-ambia: Tazama, kwa a ninimmejikusanya wenyewe pa-moja? Ili niwaambie kuhusuubaya wenu?

14 Ndio, kwa sababu nimekujajuu ya mnara wangu ili nimini-ne nafsi yangu kwa Mungu,kwa sababu ya huzuni nyingiya moyo wangu, ambayo nikwa sababu ya maovu yenu!

15 Na kwa sababu ya kuo-mboleza kwangu na kul iammejikusanya pamoja, na mna-shangaa; ndio, na mna uhitajimwingi wa kushangaa; ndio,mnapaswa kushangaa kwa sa-babu mmetolewa ili ibil isiameshikilia sana mioyo yenu.

16 Ndio, mngewezaje kujitoleakwa ushawishi wa yule ambayeanataka kutupa roho zenu chinikwenye taabu isiyo na mwishona msiba bila mwisho?

17 Ee tubuni nyinyi, tubuninyinyi! Kwa anini mnataka ku-fa? Geukeni nyinyi, MgeukieniBwana Mungu wenu. Kwa niniamewaacha nyinyi?

18 Ni kwa sababu mmeshupa-za mioyo yenu; ndio, hamtatiisauti ya mchungaji amwema;ndio, bmmemchokoza kukasi-rika dhidi yenu.

19 Na tazama, badala yaakuwakusanya, kama hamtatu-bu, tazama, atawatawanya kilamahali kwamba mtakuwa cha-

13a Mt. 3:5–8.17a Eze. 18:23, 31–32.18a Eze. 34:12;

Yn. 10:14–16;

Alma 5:38–41, 57–60.mwm MchungajiMwema.

b Yak. (KM) 1:8;

Alma 12:36–37.19a 3 Ne. 10:4–7.

Page 494: KITABU CHA MORMONI

477 Helamani 7:20–29

kula kwa mbwa na wanyamawa mwitu.20 Ee, jinsi gani mmemsahau

Mungu wenu katika ile sikuambayo amewaokoa?

21 Lakini tazama, ni kwasababu ya kupata faida, kusifi-wa na watu, ndio, na kwambamngepata dhahabu na fedha.Na mmeweka mioyo yenu juuya utajiri na vitu visivyo namaana vya aulimwengu huu,kwani kwa ajili yake mnaua, nakuteka nyara, na kuiba, na ku-toa ushahidi wa buwongo dhidiya majirani zenu, na kufanyaaina yote ya uovu.22 Na kwa sababu hii ubaya

utawapata isipokuwa mtubu.Kwani kama hamtatubu, taza-ma, huu mji mkuu, na piahiyo miji yote mikubwa amba-

yo iko karibu, ambayo ikokatika nchi ya umiliki wetu,itachukuliwa mbali kwambahamtakuwa na mahali penundani yao; kwani tazama, Bwanahatawapatia anguvu, vile alifa-nya hapo awali, kuwashindamaadui zenu.

23 Kwani tazama, hivi asemaBwana: Sitaonyesha nguvu za-ngu kwa wale waovu, walakwa mmoja zaidi ya mwingine,isipokuwa kwa wale wanaotu-bu dhambi zao, na kusikilizamaneno yangu. Sasa kwa hivyo,ningetaka kwamba muelewe,ndugu zangu, kwamba itakuwaabora kwa Walamani kulikonyinyi isipokuwa mtubu.

24 Kwani tazama, wao niwenye haki kuwazidi, kwanihawajatenda dhambi dhidi yaile elimu kubwa ambayo mme-pokea; kwa hivyo, Bwana ata-wahurumia; ndio, aataongezasiku zao na kuongeza uzaowao, hata baada yenu bkua-ngamizwa kabisa isipokuwamtubu.

25 Ndio, msiba uwe kwenukwa sababu ya yale machukizoambayo yamekuja miongonimwenu; na mmejiunga kwake,ndio, kwa lile kundi la asiriambalo lilianzishwa na Gadia-ntoni!

26 Ndio, amsiba utawajia kwasababu ya kile kiburi ambachommekubali kiingie kwenye mi-oyo yenu, ambacho kimewainuajuu kupita yale yaliyo memakwa sababu ya butajiri wenumwingi!

27 Ndio, taabu iwe kwenukwa sababu ya uovu wenu namachukizo!

28 Na msipotubu mtaanga-mia; ndio, hata nchi zenu zita-chukuliwa kutoka kwenu, namtaangamizwa kutoka uso wadunia.

29 Tazama sasa, mimi, binafsisisemi kwamba vitu hivi vita-kuwa, kwa sababu sio kwa ajiliyangu kwamba anajua vitu hivi;lakini tazama, najua kwambavitu hivi ni vya kweli kwa sa-babu Bwana Mungu amevidhi-hirisha kwangu, kwa hivyo na-dhibitisha kwamba vitakuwa.

21a mwm Malimwengu.b Kut. 20:16;

Mt. 15:19–20.22a Mos. 7:29.

23a Hel. 15:11–15.24a Alma 9:16;

M&M 5:33.b Alma 9:19.

25a Hel. 3:23.26a Isa. 5:8–25.

b Yak. (KM) 2:13.29a Alma 5:45–46.

Page 495: KITABU CHA MORMONI

Helamani 8:1–10 478

MLANGO WA 8

Waamuzi wabaya wanataka kucho-chea watu dhidi ya Nefi — Ibrahi-mu, Musa, Zeno, Zenoki, Ezia,Isaya, Yeremia, Lehi, na Nefi wotewalimshuhudia Kristo—Kwa mao-ngozi ya Mungu Nefi anatangazauuaji wa mwamuzi mkuu. Kutokakaribu mwaka wa 23 hadi 21 kablaya kuzaliwa kwa Kristo.

Na sasa ikawa kwamba wakatiNefi alipokuwa amesema hayamaneno, tazama, kulikuwa nawatu ambao walikuwa waa-muzi, ambao pia walikuwa wakundi la siri la Gadiantoni, nawalikasirika, na waliongea kwasauti dhidi yake, wakiwaambiawatu: Kwa nini hamwezi kum-kamata huyu mtu na kumletambele, ili ahukumiwe kulinga-na na kosa ambalo ametenda?

2 Kwa nini mnamwangaliamtu huyu, na kumsikiliza akitu-kana hawa watu na sheria zetu?

3 Kwani tazama, Nefi alikuwaamewazungumzia kuhusu she-ria yao chafu; ndio, Nefi alisemavitu vingi ambavyo haviwezikuandikwa; na hakusema kituchochote ambacho kilikuwa ki-nyume kwa amri za Mungu.

4 Na wale waamuzi walimka-sirikia kwa sababu aaliongeawazi kwao kuhusu kazi zao zasiri za giza; walakini, hawaku-thubutu kuweka mikono yaokwake, kwani waliogopa watuwasipaze sauti dhidi yao.5 Kwa hivyo, walilia kwa

watu, wakisema: Kwa nini nyi-

nyi mvumilie huyu mtu kutu-tukana? Kwani tazama anahu-kumu hawa watu wote, hatakwenye maangamizo; na piakwamba hii miji yetu mikubwaitachukuliwa kutoka kwetu,kwamba hatutakuwa na nafasindani yao.

6 Na sasa tunajua kwamba hiihaiwezekani, kwani tazama,tuna nguvu, na miji yetu ni mi-kubwa, kwa hivyo maadui zetuhawawezi kuwa na nguvu juuyetu.

7 Na ikawa kwamba waliwa-vuruga watu kumkasirikia Nefi,na wakaanzisha mabishanomiongoni mwao; kwani kuliku-wa na wengine waliopaza sauti:Acha huyu mtu pekee, kwanini mtu mzuri, na vitu vileambavyo amesema vitafanyikabila shaka isipokuwa tutubu;

8 Ndio, tazama, hukumu zotezitatujia ambazo ameshuhudiakwetu; kwani tunajua kwambaameshuhudia sawa kwetu ku-husu uovu wetu. Na tazamaziko nyingi, na pia aanajua vituvyote ambavyo vitafanyikakwetu vile anavyojua uovuwetu wote.

9 Ndio, na tazama, kamahangekuwa nabii hangewezakushuhudia kuhusu hivyo vitu.

10 Na ikawa kwamba watuambao walitaka kumwangami-za Nefi walilazimishwa kwasababu ya woga wao, kwambah a w a k u w e k a m i k o n o y a okwake; kwa hivyo alianza tenakuwazungumzia, akiona kwa-mba amepata mapendeleo

8 4a 1 Ne. 16:2–3. 8a Hel. 7:29.

Page 496: KITABU CHA MORMONI

479 Helamani 8:11–19

ndani ya fikira za wenginewao, mpaka kwamba waliosa-lia waliogopa.11 Kwa hivyo alilazimishwa

kuzungumza zaidi kwao akise-ma: Tazama, ndugu zangu,hamjasoma kwamba Mungual iupat ia uwezo kwa mtummoja, hata Musa, kupiga juuya maji ya Bahari ya aShamu,na yakagawanyika hapa napale, mpaka kwamba Waisraeli,ambao walikuwa babu zetu,walipita nchi kavu, na majiyakaja tena pamoja juu yamajeshi ya Wamisri na kuwa-zamisha?12 Na sasa tazama, ikiwa Mu-

ngu alimpa huyu mtu uwezokama huo, basi kwa nini nyinyimnashindana miongoni mwe-nu, na kusema kwamba hajani-patia mimi uwezo ambamokwake ningejua kuhusu huku-mu ambazo zitatolewa kwenuisipokuwa mtubu?

13 Lakini, tazama, hamkatai tumaneno yangu, lakini pia mna-kataa maneno yote ambayoyalizungumzwa na babu zetu,na pia maneno ambayo yame-zungumzwa na huyu mtu,Musa, ambaye alipewa nguvunyingi hivyo kwake, ndio,maneno ambayo alizungumzakuhusu kuja kwa Masiya.

14 Ndio, sio yeye aliyeshuhu-dia kwamba Mwana wa Mungu

atakuja? Na vile aaliinua nyokawa shaba nyikani, hata hivyoatainuliwa yule atakayekuja.

15 Na vile wengi wangemta-zama yule nyoka awangeishi,hata hivyo jinsi vile wengiwataangalia juu kwa Mwanawa Mungu na imani, wakiwana roho iliyovunjika, bwataishi,hata kwenye maisha ambayo niya milele.

16 Na sasa tazama, Musa ha-kushuhudia tu hivi vitu pekeyake, lakini pia manabii awotewatakatifu, tangu siku zakehata mpaka siku za Ibrahimu.

17 Ndio, na tazama, aIbrahimualiona kuja kwake, na akajazwana uchangamfu na alifurahi.

18 Ndio, na tazama nawaa-mbia, kwamba Ibrahimu haku-jua tu hivi vitu, lakini kulikuwana awengi kabla ya siku zaIbrahimu ambao waliitwa kwabamri ya Mungu; ndio, hatabaada ya amri ya Mwana wake;na hivi ili ionyeshwe kwa watu,miaka elfu nyingi kabla ya kujakwake, kwamba hata ukombo-zi utawajia.

19 Na sasa ningetaka kwambamjue, kwamba hata tangu sikuza Ibrahimu kumekuwa namanabii wengi ambao wame-shuhudia hivi vitu; ndio, taza-ma, nabii aZeno alishuhudiakwa ujasiri; na kwa kufanyahivyo aliuawa.

11a Kut. 14:16;1 Ne. 17:26;Mos. 7:19;M&M 8:2–3;Musa 1:25.

14a Hes. 21:6–9;2 Ne. 25:20;Alma 33:19–22.

mwm Yesu Kristo—Mifano au ishara zaKristo.

15a 1 Ne. 17:41;Alma 37:45–47;3 Ne. 15:9.

b Yn. 11:25.16a Yak. (KM) 4:4–5; 7:11.

17a Mwa. 22:8–14;Yn. 8:56.

18a Alma 13:19;M&M 84:6–16;136:37.

b mwm Ukuhani waMelkizedeki.

19a Alma 34:7.

Page 497: KITABU CHA MORMONI

Helamani 8:20–28 480

20 Na tazama, pia aZenoki,na pia Ezia, na pia bIsaya, nacYeremia, (Yeremia akiwa yuleyule nabii ambaye alishuhudiakuharibiwa kwa dYerusalemu)na sasa tunajua kwamba Yeru-salemu iliangamizwa kulinganana maneno ya Yeremia. Ee basikwa nini Mwana wa Munguasije, kulingana na unabii wake?21 Na sasa mtakataa kukubali

kwamba aYerusalemu iliharibi-wa? Mtasema kwamba bwanawa Zedekia hawakuuawa, woteisipokuwa tu cMuleki? Ndio,na hamwoni kwamba wana waZedekia wako pamoja nasi, nawalifukuzwa kutoka nchi yaYerusalemu? Lakini tazama,haya sio yote —22 Babu yetu Lehi alikimbizwa

kutoka Yerusalemu kwa sababualishuhudia hivi vitu. Nefi piaalishuhudia hivi vitu, na piakaribu babu zetu wote, hatakuja chini kwa wakati huu;ndio, wameshuhudia akuja kwaKristo, na wamengojea, na wa-mefurahia siku yake ambayoitakuja.

23 Na tazama, yeye ni Mungu,n a y u k o p a m o j a n a o , n aalijidhihirisha kwao, kwambawalikombolewa na yeye; nawakamtukuza, kwa sababu yayale ambayo yatakuja.

24 Na sasa, ni wazi kuwa

mnajua hivi vitu na hamwezikuvikana isipokuwa mdanga-nye, kwa hivyo katika hayammetenda dhambi, kwani mme-kataa hivi vitu vyote ingawammepata ushuhuda mwingi;ndio, hata mmepokea vitu avyo-te, vyote vitu vya mbinguni, navitu vyote vilivyo ardhini, kamaushahidi kwamba viko kweli.

25 Lakini tazama, mmekataaukweli, na ammeasi dhidi yaMungu wenu mtakatifu; nahata wakati huu, badala ya ku-jiwekea bhazina mbinguni, ma-hali ambapo hakuna chochotekitakachochafua, na ambapohakuna kile kitakachokujaambacho si safi, mnajirundikiaghadhabu dhidi ya siku yachukumu.26 Ndio, hata wakati huu

mnajiweka tayari, kwa sababuya mauaji yenu, na auasheratina uovu, kwenye uangamizousio na mwisho; ndio, na isipo-kuwa mtubu utawajia upesi.

27 Ndio, tazama uko sasa hatakwenye milango yenu; ndio,nendeni kwenye kiti cha huku-mu, na mpeleleze; na tazama,mwamuzi wenu ameuawa, naaanalalia damu yake; na ameu-awa bna kaka yake, ambayeanatazamia kiti cha hukumu.

28 Na tazama, wote ni washi-riki wa kundi lenu la siri ,

20a 1 Ne. 19:10;3 Ne. 10:15–16.mwm Maandiko—Maandikoyaliyopotea.

b Isa. 53.c 1 Ne. 5:13; 7:14.d Yer. 26:18; 1 Ne. 1:4.

21a 2 Ne. 6:8; Omni 1:15.

b 2 Fal. 25:7;Yer. 39:6; 52:10.

c Eze. 17:22–23;Hel. 6:10.

22a mwm Yesu Kristo—Unabii juu yakuzaliwa na kifo chaYesu Kristo.

24a Alma 30:44;

Musa 6:63.25a Mos. 2:36–38; 3:12.

b Hel. 5:8;3 Ne. 13:19–21.

c M&M 10:20–23;121:23–25.

26a mwm Uasherati.27a Hel. 9:3, 15.

b Hel. 9:6, 26–38.

Page 498: KITABU CHA MORMONI

481 Helamani 9:1–9

ambalo amwanzilishi wake niGadiantoni na mwovu ambayeanataka kuangamiza roho zawanadamu.

MLANGO WA 9

Wajumbe wanapata mwamuzimkuu amekufa kwenye kiti chahukumu — Wanawekwa gerezanina baadaye wanaachiliwa — Kwamaongozi ya Mungu, Nefi anam-tambua Seantumu kama muuaji—Nefi anakubaliwa na baadhi yaokama nabii. Kutoka karibu mwakawa 23 hadi 21 kabla ya kuzaliwakwa Kristo.

Tazama, sasa ikawa kwambawakati Nefi alipokuwa amezu-ngumza haya maneno, baadhiya watu ambao walikuwa mio-ngoni mwao walikimbilia kwe-nye kiti cha hukumu; ndio,hata kul ikuwa na watanoambao walienda, na wakasemabaina yao, wakienda:

2 Tazama, sasa tutajua kwakweli kama huyu mtu ni nabiina ameamriwa na Mungu ku-tabiri vitu vya maajabu kamahivi kwetu. Tazama, hatuaminikwamba amemwamuru; ndio,hatuamini kwamba yeye ninabii; lakini, ikiwa hiki kituambacho amesema kuhusumwamuzi mkuu kitakuwa chakweli, kwamba amekufa, ndipotutaamini kwamba yale manenomengine ambayo amesema niya kweli.

3 Na ikawa kwamba waliki-mbia kwa nguvu vile waweza-

vyo, na kufikia kiti cha hukumu;na tazama, mwamuzi mkuualikuwa ameanguka ardhini, naalikuwa aamelalia damu yake.4 Na sasa tazama, wakati wa-

lipoona hivi walishangaa sana,mpaka kwamba waliinamakwenye ardhi; kwani walikuwahawajaamini maneno ambayoNefi alisema kuhusu mwamuzimkuu.

5 Lakini sasa, wakati walipoo-na waliamini, na woga ukawa-jia isiwe hukumu zote ambazoNefi alizungumzia ziwajiewatu; kwa hivyo walitetemeka,na waliinama kwenye ardhi.

6 Sasa, mara mwamuzi ali-kuwa ameuawa — yeye akiwaamechomwa na kaka yake kwampango wa siri, na alitoroka,na watumishi walikimbia nakuwaambia watu, wakipasa ki-lio cha mauaji miongoni mwao;

7 Na tazama watu walijikusa-nya pamoja katika pahali pa kiticha hukumu — na tazama, kwakustaajabu kwao waliona walewatu watano ambao walikuwawameinama kwenye ardhi.

8 Na sasa tazama, watu hawa-kuwa wamejua kuhusu umatiambao ulijikusanya pamoja kwe-nye abustani ya Nefi; kwa hi-vyo walisema miongoni mwao:Hawa ndio watu ambao wame-muua mwamuzi, na Munguamewalaani kwamba hawange-weza kutoroka kutoka kwetu.

9 Na ikawa kwamba waliwa-shika kwa ghafla, na kuwafu-nga na kuwatupa gerezani. Namatangazo yakatumwa kote

28a Hel. 6:26–30. 9 3a Hel. 8:27. 8a Hel. 7:10.

Page 499: KITABU CHA MORMONI

Helamani 9:10–20 482

kwamba mwamuzi ameuawa,na kwamba wauaji wamekama-twa na wametupwa gerezani.10 Na ikawa kwamba kesho

yake watu walijikusanya pa-moja kuomboleza na akufunga,katika mazishi ya mwamuzimkuu ambaye aliuawa.

11 Na hivyo pia wale waamu-zi ambao walikuwa kwenyebustani ya Nefi, na walisikiamaneno yake, pia walikusanyi-ka pamoja kwenye mazishi.

12 Na ikawa kwamba walipele-leza miongoni mwa watu, waki-sema: Wako wapi wale watanoambao walitumwa kupelelezakuhusu mwamuzi mkuu kamaamekufa? Na walijibu wakise-ma: Kuhusu hawa watanoambao mnasema mliwatuma,hatujui; lakini kunao watanoambao ni wauaji, ambao tume-tupa gerezani.

13 Na ikawa kwamba waamuziwalitaka kwamba waletwe mbe-le yao; na waliletwa, na tazamawalikuwa wale watu watanoambao walitumwa; na tazamawaamuzi waliwahoji kujua ku-husu lile jambo, na waliwaa-mbia yote ambayo walifanya,wakisema:

14 Tulikimbia na kuja mahalipa kiti cha hukumu, na tulipoo-na vitu vyote vile Nefi alipo-shuhudia, tulishangaa mpakakwamba tuliinama kwenye ar-dhi; na wakati tulipopata nguvukutokana na mshangao wetu,tazama walitutupa gerezani.

15 Sasa, kuhusu mauaji yahuyu mtu, hatujui ni nani

aliyeifanya; na hivi tu ndivyotunajua, tulikimbia na kuja vilemlivyotaka, na tazama alikuwaamekufa, kulingana na manenoya Nefi.

16 Na sasa ikawa kwamba wa-amuzi walielezea watu mambohaya, na walizungumza kwasauti dhidi ya Nefi, wakisema:Tazama, tunajua kwamba huyuNefi lazima alikuwa amekubali-ana na mtu kumuua mwamuzi,na ili atutangazie, ili atubadili-she kwa imani yake, ili ajiwekekuwa mtu mkubwa, aliyecha-guliwa na Mungu, na pia nabii.

17 Na sasa tazama, tutamgu-ndua huyu mtu, na ataungamamakosa yake na kutuambiamuuaji wa kweli wa huyumwamuzi.

18 Na ikawa kwamba walewatano waliachiliwa kwenyesiku ya mazishi. Walakini, wali-wakemea waamuzi kwa sababuya maneno ambayo walisemadhidi ya Nefi, na wakapingananao mmoja mmoja, mpakakwamba wakawatunduwaza.

19 Walakini, walisababishakwamba Nefi achukuliwe nakufungwa na aletwe mbele yaumati, na wakaanza kumhojikwa njia mbali mbali ili wam-changanyishe, ili wamshtakikwa makosa ya kifo —

20 Wakimwambia: Wewe nimshiriki; ni nani huyu mtuambaye amefanya haya mauaji?Sasa tuambie, na ukubali mako-sa yako, ukisema: Tazama hapakuna pesa; na pia tutakuachiamaisha yako ikiwa utatuambia,

10a mwm Funga, Kufunga.

Page 500: KITABU CHA MORMONI

483 Helamani 9:21–37

na ukiri makubaliano ambayoulifanya na yeye.21 Lakini Nefi aliwaambia: Ee

nyinyi awajinga, nyinyi msio-tahiriwa moyoni, nyinyi vipofu,nyinyi watu wenye bshingongumu, mnajua ni muda ganiBwana Mungu atawakubaliakwamba mwendelee na hizinjia zenu za dhambi?22 Ee mnapaswa kuanza kulia

na akuomboleza, kwa sababu yamaangamizo makubwa amba-yo yanawangojea wakati huu,isipokuwa mtubu.

23 Tazama mnasema kwambanilikubaliana na mtu kumuuaSeezoramu, mwamuzi wetumkuu. Lakini tazama, ninawa-ambia, hii ni kwa sababu nime-shuhudia kwenu kwambamngejua kuhusu hiki kitu;ndio, hata kwa ushuhuda kwe-nu, kwamba nilijua uovu namachukizo ambayo yapo mio-ngoni mwenu.

24 Na kwa sababu nimefanyahivi, mnasema kwamba niliku-baliana na mtu kwamba afanyehiki kitu; ndio, kwa sababuniliwaonyesha ishara hii mna-nikasirikia, na mnataka kua-ngamiza maisha yangu.

25 Na sasa tazama, nitawao-nyesha ishara nyingine, na nio-ne ikiwa kwa hiki kitu mtatakakuniangamiza.

26 Tazama nawaambia: Nende-ni kwa nyumba ya Seantumu,ambaye ni akaka ya Seezoramu,na mmwambie —27 Nefi, ambaye ni nabii wa

kujifanya, ambaye anatoa una-

bii kuhusu uovu mwingi wahawa watu, alikubaliana nawe,ili umuue Seezoramu, ambayeni kaka yako?

28 Na tazama, atawaambia,Hapana.

29 Na mtasema kwake: Weweumemuua kaka yako?

30 Na atasimama na woga, nahatajua la kusema. Na tazama,atakana kwenu; na atajifanyakama amestaajabu; walakini,atawaelezea kwamba hanahatia.

31 Lakini tazama, mtamjaribu,na mtapata damu upande wachini wa kanzu yake.

32 Na wakati mtaona hivi,mtasema: Hii damu inatokawapi? Unafikiri hatujui kamahii ni damu ya kaka yako?

33 Na ndipo atatetemeka, nakunyauka, hata kama aliyekufa.

34 Na hapo mtasema: Kwasababu ya huu woga wako nahuu ugeukaji wa rangi yakoambao umekuja kwa uso wako,tazama, tunajua kwamba unahatia.

35 Na pale woga zaidi utamjia;na hapo atakiri kwenu, na ha-takana tena kwamba amefanyahaya mauaji.

36 Na hapo atawaambia, kwa-mba mimi, Nefi, sijui chochotekuhusu hili jambo isipokuwaiwe imetolewa kwangu nauwezo wa Mungu. Na ndipomtajua kwamba mimi ni mtumwaminifu, na kwamba nime-tumwa kwenu kutoka kwaMungu.

37 Na ikawa kwamba walienda

21a Mdo. 7:51.b mwm Uasi.

22a Mos. 7:24.26a Hel. 8:27.

Page 501: KITABU CHA MORMONI

Helamani 9:38–10:5 484

na kufanya, hata kulingana navile Nefi alivyokuwa amewaa-mbia. Na tazama, yale manenoambayo alikuwa amesema ya-likuwa kweli; kwani kulinganana maneno alikana; na pia kuli-ngana na maneno alikiri.38 Na alifanywa kukiri kwa-

mba yeye mwenyewe alikuwamuuaji, mpaka kwamba walewatano waliachiliwa huru, napia Nefi.

39 Na kulikuwa baadhi yaWanefi ambao waliamini ma-neno ya Nefi; na kulikuwa nabaadhi ya wengine, walioaminikwa sababu ya ushuhuda wawale watano, kwani walikuwawamegeuka walipokuwa gere-zani.

40 Na sasa kulikuwa na wengi-ne miongoni mwa watu, ambaowalisema kwamba Nefi alikuwanabii.

41 Na kulikuwa na wengineambao walisema: Tazama, yeyeni aina ya mungu, kwani kamahangekuwa mungu hangejuahivi vitu. Kwani tazama, ame-tuambia fikira za mioyo yetu,na pia ametuambia vitu; na hataameleta kwenye elimu yetumuuaji wa kweli wa mwamuziwetu mkuu.

MLANGO WA 10

Bwana anampatia Nefi, uwezowa kuidhinisha — Anawezeshwakufunga na kufungua duniani nambinguni—Anaamrisha watu wa-tubu au sivyo waangamie — Roho

inambeba kutoka umati hadi mwi-ngine. Kutoka karibu mwaka wa21 hadi 20 kabla ya kuzaliwakwa Kristo.

Na ikawa kwamba kulitokeamgawanyiko miongoni mwawatu, mpaka kwamba walijiga-wa hapa na pale na kuenda njiazao, wakimwacha Nefi pekeyake, mahali alipokuwa amesi-mama katikati yao.

2 Na ikawa kwamba Nefi aliji-endea njia yake kuelekea nyu-mba yake, aakitafakari juu yavitu ambavyo Bwana alikuwaamemfichulia.

3 Na ikawa vile alipokuwaakitafakari — akiwa amehuzu-nishwa kwa sababu ya uovuwa watu wa Wanefi, kazi zaoza siri na za giza, na mauajiyao, na utekaji nyara wao, naaina yote ya ubaya — na ikawavile alikuwa anatafakari kwe-nye moyo wake, tazama, sautiilikuja kwake ikisema:

4 Umebarikiwa ewe, Nefi, kwahivyo vitu ambavyo umefanya;kwani nimeona vile umetanga-za neno bila a kusita, nenoambalo nimekupatia, kwa hawawatu. Na hujawaogopa, na hu-jatazamia maisha byako, lakiniumetazamia ckusudi langu, nakutii amri zangu.

5 Na sasa, kwa sababu umefa-nya hivi bila kusita, tazama,nitakubariki milele; na nitaku-fanya mwenye nguvu kwa nenona vitendo, katika imani na vi-tendo; ndio, hata kwamba vituavyote vitafanyika kwako kuli-

10 2a mwm Tafakari.4a mwm Bidii.

b mwm Dhabihu.c 3 Ne. 11:11.

5a 3 Ne. 18:20;M&M 88:63–65.

Page 502: KITABU CHA MORMONI

485 Helamani 10:6–18

ngana na bneno lako, kwanichutauliza kile ambacho ni ki-nyume cha kusudi langu.6 Tazama, wewe ni Nefi, na

mimi ni Mungu. Tazama, nina-tangaza kwako katika uwepowa malaika wangu, kwambautakuwa na uwezo juu ya hawawatu, na utalaani ardhi naanjaa, na ugonjwa wa kuambu-kiza, na uangamizo, kulinganana uovu wa hawa watu.7 Tazama, ninakupatia uwezo,

kwamba lolote autakalofungaduniani litafungwa mbinguni;na lolote utakalofungua dunianilitafunguliwa mbinguni; na hi-vyo utakuwa na uwezo miongo-ni mwa watu hawa.8 Na hivyo, ikiwa utaliambia

hekalu hili ligawanyike marambili, itafanyika.

9 Na ikiwa utauambia huuamlima, Rudi chini na uwe laini,itafanyika.10 Na tazama, ikiwa utasema

kwamba Mungu atalaani hawawatu, itakuwa hivyo.

11 Na sasa, tazama, ninakua-muru, kwamba utaenda nakuwatangazia watu hawa, kwa-mba hivi asema Bwana Mungu,ambaye ni Mwenyezi: Msipo-tubu mtapigwa, hata mpakaamtakapoangamizwa.12 Na tazama, sasa ikawa

kwamba wakati Bwana alipo-kuwa amesema haya manenokwa Nefi, alisimama na hakue-nda kwa nyumba yake, lakinialirejea kwenye makundi amba-

yo yalikuwa yametawanyikanchini, na akaanza kuwatanga-zia neno la Bwana ambalo lilise-mwa kwake, kuhusu kuangami-zwa kwao kama hawakutubu.

13 Sasa tazama, ijapokuwa ulemuujiza mkuu ambao Nefi ali-kuwa amefanya kwa kuwaa-mbia kuhusu kifo cha mwamu-zi mkuu, walishupaza mioyoyao na hawakutii maneno yaBwana.

14 Kwa hivyo Nefi alitangazakwao neno la Bwana, akisema:Isipokuwa mtubu, hivi asemaBwana, mtapigwa hata mpakamtakapoangamizwa.

15 Na ikawa kwamba wakatiNefi alipowatangazia neno, ta-zama, bado walishupaza mioyoyao na hawakusikiliza manenoyake; kwa hivyo walitoa mashu-tumu dhidi yake, na walitakakujaribu kumshika ili wamtupegerezani.

16 Lakini tazama, nguvu zaMungu zilikuwa na yeye, nahawangemkamata na kumtupagerezani, kwani alichukuliwa naRoho kutoka miongoni mwaona kubebwa kutoka kwao.

17 Na ikawa kwamba hivyondivyo alienda katika Roho,kutoka kwa umati hadi mwingi-ne, akitangaza neno la Mungu,hata mpaka alipokuwa amewa-tangazia wote, au kutuma uju-mbe miongoni mwa watu wote.

18 Na ikawa kwamba hawa-kusikiliza maneno yake, nakukaanza kuwa na mabishano,

5b Eno. 1:12.c 2 Ne. 4:35;

M&M 46:30.6a Hel. 11:4–18.

7a Mt. 16:19.mwm Kufunga,Muhuri, Tia.

9a Mt. 17:20;

Yak. (KM) 4:6;Morm. 8:24;Eth. 12:30.

11a Hel. 5:2.

Page 503: KITABU CHA MORMONI

Helamani 10:19–11:9 486

mpaka kwamba waligawanyikadhidi yao wenyewe na wakaa-nza kuuana kwa upanga.19 Na hivyo ukaisha mwaka

wa sabini na moja wa utawalawa waamuzi juu ya watu waNefi.

MLANGO WA 11

Nefi anamshawishi Bwana kuru-disha njaa badala ya vita vyao —Watu wengi wanaangamia — Wa-natubu, na Nefi anaomba Bwanaalete mvua — Nefi na Lehi wana-pata ufunuo mwingi — Wezi waGadiantoni wanajiweka katika nchi.Kutoka karibu mwaka wa 20 hadi6 kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

Na ikawa katika mwaka wasabini na mbili wa utawala wawaamuzi kwamba mabishanoyaliongezeka, mpaka kwambakukawa na vita kote nchinimiongoni mwa watu wa Nefi.

2 Na lilikuwa hili kundi laasiri la wezi ambalo liliendeleana hii kazi ya uharibifu nauovu. Na hivi vita viliendeleahuo mwaka wote; na katikamwaka wa sabini na tatu piaviliendelea.3 Na ikawa kwamba katika

huu mwaka Nefi alimlilia Bwa-na, akisema:

4 Ee Bwana, usikubali kwambahawa watu waangamizwe kwaupanga; lakini Ee Bwana, afa-dhali kuwe na anjaa nchini,iwavuruge wakumbuke Bwa-na Mungu wao, na labda wata-tubu na kugeuka kwako.

5 Na hivyo ilifanyika, kuli-ngana na maneno ya Nefi. Nakulikuwa na njaa kubwa sanakatika nchi, miongoni mwawatu wote wa Nefi. Na hivyokatika mwaka wa sabini na nnenjaa iliendelea, na kazi ya kua-ngamiza kwa upanga ilikwishalakini ikawa nyingi kwa njaa.

6 Na hii kazi ya uangamizopia iliendelea katika mwakawa sabini na tano. Kwani nchiililaaniwa kwamba ilikauka, nahaikuzalisha nafaka wakati wanafaka; na nchi yote ililaaniwa,hata miongoni mwa Walamanina pia miongoni mwa Wanefi,hata kwamba walipigwa kwa-mba waliangamia kwa maelfukatika sehemu zilizokuwa mbo-vu zaidi ya nchi.

7 Na ikawa kwamba watuwaliona kwamba walikuwa ka-ribu kuangamia kwa sababuya njaa, na wakaanza akumku-mbuka Bwana Mungu wao; nawalianza kukumbuka manenoya Nefi.

8 Na watu walianza kupelekahoja kwa waamuzi wakuu naviongozi wao, ili waseme kwaNefi: Tazama, tunajua kwambawewe ni mtu wa Mungu, kwahivyo mlilie Bwana Munguwetu kwamba amalize hii njaa,isiwe amaneno yote ambayoumesema kuhusu uangamizowetu yaje yakafanyika.

9 Na ikawa kwamba waamuziwalimwambia Nefi, kulinganana maneno ambayo yalikuwayanatakwa. Na ikawa kwambawakati Nefi alipoona kwamba

11 2a Hel. 6:18–24;11:25–26.

4a 1 Fal. 17:1;Hel. 10:6.

7a Hel. 12:3.8a Hel. 10:11–14.

Page 504: KITABU CHA MORMONI

487 Helamani 11:10–21

watu wametubu na kujinyenye-keza ndani ya nguo za gunia,alimlilia tena Bwana, akisema:10 Ee Bwana, tazama hawa

watu wametubu; na wamefuti-lia mbali kundi la Gadiantonikutoka miongoni mwao mpakakwamba wamemalizika, nawameficha mipango yao ya siriardhini.

11 Sasa, Ee Bwana, kwa saba-bu ya huu unyenyekevu ambaowanao nakuomba uondoe hasi-ra yako, na uache hasira yakoitulizwe katika uangamizo wawale waovu ambao kitamboumeangamiza.

12 Ee Bwana, je, utabadilishahasira yako, ndio, hasira yakokali, na usababishe kwamba hiinjaa iishe katika nchi hii.

13 Ee Bwana, je, utanisikiliza,na kusababisha kwamba ifanyi-ke kulingana na maneno yangu,na utume amvua juu ya dunia,kwamba izalishe matunda yake,na nafaka yake katika wakatiwa nafaka.

14 Ee Bwana, ulisikiliza ma-neno ayangu, wakati nilisema,Acha kuwe na njaa, ili maradhiya upanga ipate kuisha; naninajua kwamba wewe; hatawakati huu, utasikiza manenoyangu, kwani ulisema kwamba:Ikiwa hawa watu watatubunitawasamehe.

15 Ndio, Ee Bwana, na umeo-na kwamba wametubu, kwasababu ya njaa na ugonjwa wakuambukiza na maangamizoambayo yamewajia.

16 Na sasa, Ee Bwana, utaacha

hasira yako, na uwajaribu tenakama watakutumikia? Na ikiwahivyo, Ee Bwana, unaweza ku-wabariki kulingana na manenoyako ambayo ulisema.

17 Na ikawa kwamba katikamwaka wa sabini na sita Bwanaaliondoa hasira yake kwa watu,na kusababisha amvua kunye-sha juu ya nchi, mpaka kwambaikazalisha matunda yake katikamajira ya matunda. Na ikawakwamba ardhi ilileta nafakakatika majira ya nafaka.

18 Na tazama, watu walifura-hi na kumtukuza Mungu, nanchi yote ilijaa na furaha; nahawakutaka tena kumwanga-miza Nefi, lakini walimheshi-mu kama nabii amkuu, na mtuwa Mungu, ambaye alikuwa nauwezo mwingi na mamlakaambayo ilitolewa kwake kutokakwa Mungu.

19 Na tazama, Lehi, kaka yake,hakuwa nyuma hata achembemoja kwa vitu vilivyohusikana haki.

20 Na hivyo ikawa kwambawatu wa Nefi walianza kufani-kiwa tena nchini, na wakaanzakujenga mahala pao palipo-kuwa ukiwa, na wakaanzakuongezeka na kutawanyika,hata kwamba wakawa kotenchini, kote kaskazini na kusi-ni, kutoka kwa bahari ya ma-gharibi hadi kwenye bahari yamashariki.

21 Na ikawa kwamba mwakawa sabini na sita uliisha kwaamani. Na mwaka wa sabini nasaba ukaanza kwa amani; na

13a 1 Fal. 18:1, 41–46.14a Hel. 11:4.

17a Kum. 11:13–17.18a Hel. 10:5–11.

19a Hel. 5:36–44.

Page 505: KITABU CHA MORMONI

Helamani 11:22–31 488akanisa lilienea kote nchini; nasehemu kubwa ya watu, woteWanefi na Walamani, walikuwandani ya kanisa, na walikuwana amani kubwa sana nchini;na hivyo mwaka wa sabini nasaba uliisha.22 Na pia walikuwa na amani

katika mwaka wa sabini nanane, isipokuwa tu mabishanomachache kuhusu mafundishoya dini ambayo yalikuwa ya-meandikwa chini na manabii.

23 Na katika mwaka wa sa-bini na tisa kulianza kuwana mzozo mkuu. Lakini ikawakwamba Nef i na Lehi , nawengi wa ndugu zao ambaowalijua kuhusu ukweli wamafundisho ya dini, wakiwana amafunuo mengi kila siku,kwa hivyo waliwahubiria watu,mpaka kwamba wakawekakikomo kwa mzozo wao katikamwaka huo huo.24 Na ikawa kwamba katika

mwaka wa themanini wa uta-wala wa waamuzi juu ya watuwa Nefi, kulikuwa na idadi fu-lani ya waasi kutoka kwa watuwa Nefi, ambao miaka kadhaailiyopita walikuwa wameendakuishi na Walamani, na kujiitawenyewe Walamani, na piaidadi fulani ambao walikuwakizazi halisi cha Walamani,ambao walivurugwa kukasirikana hawa, au na wale waasi,kwa hivyo walianza vita nandugu zao.

25 Na wakafanya mauaji, nauporaji; na kisha wangerudinyuma kwenye milima, na

kwenye nyika na mahali pa siri,wakijificha ili wasipatikane,wakipokea kila siku idadi yawaasi, waliojiunga nao.

26 Na hivyo baada ya muda,ndio, hata kwa muhula usio wamiaka mingi, walipata kuwakundi kubwa sana la wezi; nawaligundua mipango yote yasiri ya Gadiantoni; na hivyowakawa wezi wa Gadiantoni.

27 Sasa tazama, hawa weziwalifanya hasara kubwa sana,ndio, hata uharibifu mkuu mi-ongoni mwa watu wa Nefi, napia miongoni mwa watu waWalamani.

28 Na ikawa kwamba ilikuwani muhimu kwamba kuwekona kikomo cha kazi hii ya uha-ribifu; kwa hivyo walituma jeshila watu wenye nguvu katikanyika na juu ya milima kutafutahili kundi la wezi, na kuwaa-ngamiza.

29 Lakin i tazama, ikawakwamba katika mwaka huohuo walirudishwa nyuma hatampaka kwenye nchi zao. Nahivyo ukaisha mwaka wa the-manini wa utawala wa waamu-zi juu ya watu wa Nefi.

30 Na ikawa katika mwanzowa mwaka wa themanini namoja walipigana tena na kundihili la wezi, na kuangamizawengi; na wengi wao pia wali-angamizwa.

31 Na walilazimishwa tenakuondoka kwenye nyika nakuondoka kwenye milima hadikwenye nchi zao, kwa sababuya ukubwa wa idadi ya wale

21a mwm Kanisa laYesu Kristo.

23a Alma 26:22;M&M 107:19.

Page 506: KITABU CHA MORMONI

489 Helamani 11:32–12:2

wanyang’anyi ambao walitapa-kaa kwenye nyika na milimani.32 Na ikawa kwamba hivyo

ukaisha mwaka huu. Na weziwalizidi kuongezeka na kuwana nguvu, mpaka kwambawakadharau majeshi yote yaWanefi, na pia ya Walamani;na walisababisha woga mwingisana kwa watu nchini kote.

33 Ndio, kwani walishambuliasehemu nyingi za nchi, na ku-fanya uharibifu mwingi kwao;ndio, waliua wengi, na kuchu-kua wengine kama mateka hadikwenye nyika, ndio, na hasazaidi wanawake na watoto wao.

34 Sasa huu ubaya mkuu,ambao uliwajia watu kwa saba-bu ya uovu wao, uliwavurugatena kwa kumkumbuka BwanaMungu wao.

35 Na hivyo ukaisha mwakawa themanini na moja wa uta-wala wa waamuzi.

3 6 N a k a t i k a m w a k a w athemanini na mbili walianzaakumsahau tena Bwana Munguwao. Na katika mwaka wa the-manini na tatu walianza kuwana nguvu katika uovu. Na kati-ka mwaka wa themanini nanne hawakurekebisha njia zao.37 Na ikawa katika mwaka

wa themanini na tano walizidikuwa na nguvu katika kiburichao, na katika uovu wao; nahivyo walikuwa wanajitayari-sha tena kwa maangamizo.

38 Na hivyo ukaisha mwakawa themanini na tano.

MLANGO WA 12

Binadamu si waaminifu na ni wa-pumbavu na ni wepesi kutenda ma-ovu — Bwana anawataabidu watuwake — Ubure wa binadamu una-linganishwa na uwezo wa Mungu— Katika siku ya hukumu, watuwatapata maisha yasiyo na mwishoau laana isiyo na mwisho. Karibumwaka wa 6 kabla ya kuzaliwakwa Kristo.

Na hivyo tunaweza kuona vileuwongo, na pia kutoaminikakwa mioyo ya watoto wa bina-damu; ndio, tunaweza kuonakwamba Bwana katika uzuriwake usio na mwisho hubarikina akufanikisha wale ambaohuweka bimani yao kwake.

2 Ndio, na tunaweza kuonakwa ule wakati anaofanikishawatu wake, ndio, kwa kuongezamavuno yao, na wanyama waona mifugo yao, na kwa dhaha-bu, na kwa fedha, na katika kilaaina ya vitu vya thamani vyakila aina na umbo; kuachiliamaisha yao, na kuwaokoa ku-toka kwa mikono ya maaduiwao; kugusa mioyo ya maaduiwao ili wasitangaze vita dhidiyao; ndio, na kwa kifupi, akifa-nya vitu vyote kwa ustawi nafuraha ya watu wake; ndio, nahapo ni wakati ambao awana-shupaza mioyo yao, na humsa-hau Bwana Mungu wao, nabkumkanyaga chini ya miguuyao yule Mtakatifu — ndio, na

36a Alma 46:8.12 1a 2 Nya. 26:5;

Zab. 1:2–3.

b Zab. 36:7–8;2 Ne. 22:2; Mos. 4:6.mwm Tegemea.

2a mwm Ukengeufu.b Alma 5:53;

3 Ne. 28:35.

Page 507: KITABU CHA MORMONI

Helamani 12:3–16 490

wanafanya hivi kwa sababu yautulivu wao, na mafanikio yaomakubwa sana.3 Na hivyo tunaona kwamba

Bwana aasipowaadhibu watuwake kwa mateso mengi, ndio,isipokuwa awaadhibishe kwakifo na kwa vitisho, na kwanjaa na kwa namna yote yamagonjwa, bhawatamkumbuka.4 Ee jinsi gani wapumbavu, na

jinsi gani bure, na waovu, nawenye uibilisi, na jinsi ganihufanya mabaya kwa aurahisi,na jinsi gani watoto wa watu,hufanya mema polepole, ndio,huwa wepesi kuyasikia manenoya mwovu, na kuweka bmioyoyao kwenye vitu vilivyo burevya ulimwengu!5 Ndio, jinsi gani kwa haraka

wanainuliwa kwa akiburi; ndio,jinsi gani ni wepesi kwa kujisi-fu, na kufanya kila aina ya yaleambayo ni ya uovu; na jinsigani wana upole kumkumbukaBwana Mungu wao, na kusikizaamri zake, ndio, na jinsi gani niwapole bkutembea kwenye njiaza hekima!

6 Tazama, hawataki kwambaBwana Mungu wao, ambayeaamewaumba, aongoze na bku-tawala juu yao; ijapokuwa uzuriwake na rehema yake kuwaele-kea, wanachukua kama buremawaidha yake, na hawatakiawe kiongozi wao.

7 Ee ni kubwa jinsi gani haliya akutokuwa na kitu ya watotowa watu; ndio, hata wako hafifukuliko mavumbi ya dunia.

8 Kwani tazama, mavumbi yadunia huvuma hapa na pale, nahata kugawanyika mbali, wa-kati inavyoamrishwa kufanyahivyo na Mungu wetu mkuuna asiye na mwisho.

9 Ndio, tazama kwa sauti yakevilima na milima hutetemekana akutapatapa.10 Na kwa auwezo wa sauti

yake inavunjika, na kuwa laini,ndio, hata kama bonde.

11 Ndio, kwa uwezo wa sautiyake dunia ayote hutetemeka;

12 Ndio, kwa uwezo wa sautiyake, misingi ya miamba, huti-kisika hata mpaka katikati.

13 Ndio, na ikiwa ataambiadunia — Songa — itasonga.

14 Ndio, na ikiwa ataambiaadunia — bUtarudi nyuma, iliciongeze siku kwa masaa me-ngi — itafanyika;

15 Na hivyo, kulingana naneno lake dunia hurudi nyuma,na huonekana kwa binadamukwamba jua linasimama mahalipamoja; ndio, na tazama, hivyondivyo ilivyo; kwani kwa kwelini dunia ndiyo husogea na siojua.

16 Na tazama, pia, ikiwaataambia kilindi cha amaji yabahari — bKauka — inafanyika.

3a Mos. 23:21;M&M 98:21; 101:8.

b Amo. 4:6–11.4a Kut. 32:8.

b Mt. 15:19;Ebr. 3:12.

5a Mit. 29:23.mwm Kiburi.

b mwm Tembea,Tembea na Mungu.

6a Isa. 45:9;M&M 58:30;Musa 7:32–33.

b M&M 60:4.7a Isa. 40:15, 17;

Mos. 4:19; Musa 1:10.

9a 3 Ne. 22:10.10a 1 Ne. 17:46.11a Morm. 5:23; Eth. 4:9.14a Yos. 10:12–14.

b Isa. 38:7–8.c 2 Fal. 20:8–11.

16a Mt. 8:27.b Isa. 44:27; 51:10.

Page 508: KITABU CHA MORMONI

491 Helamani 12:17–13:1

17 Tazama, ikiwa atauambiahuu mlima — aInuka juu, nauangukie mji huo, ili uzikwe —tazama inafanyika.

18 Na tazama, ikiwa mtua anaficha hazina ndani yaardhi, na Bwana aseme — Ebubilaaniwe, kwa sababu ya uba-ya wa yule aliyeificha—tazama,italaaniwa.

19 Na ikiwa Bwana atasema—Wewe ulaaniwe, kwamba ha-kuna mtu yeyote atakayekupatasasa hadi milele — tazama, ha-kuna mtu atakayeipata kutokeahiyo siku hadi milele.

20 Na tazama, ikiwa Bwanaatamwambia mtu — Kwa saba-bu ya uovu wako, utalaaniwamilele — itafanyika.

21 Na ikiwa Bwana atasema—Kwa sababu ya uovu wako uta-tolewa kutoka kwenye uwepowangu—atasababisha kwambaitakuwa hivyo.

22 Na ole kwake yeye ambayeatamwambia hivi, kwani itaku-wa kwake ambaye atafanyamaovu, na hataweza kuokole-wa; kwa hivyo, kwa sababu hii,kwamba binadamu wangeoko-lewa, toba imetangazwa.

23 Kwa hivyo, her i waleambao watatubu na kusikizasauti ya Bwana Mungu wao;kwani hawa ndio wale ambaoawataokolewa.24 Na Mungu akubali, kwa

utimilifu wake mkuu, kwambawatu waonyeshe nia ya kutubuna kufanya matendo mazuri,kwamba wangerudishwa kwe-

nye aneema kwa neema, kuli-ngana na vitendo vyao.

25 Na ningetaka kwamba watuwote waokolewe. Lakini tuna-soma kwamba katika ile sikukuu ya mwisho kuna wengineambao watatupwa nje, ndio,ambao watatolewa kwenyeuwepo wa Bwana;

26 Ndio, ambao watawekwakwa hali yenye taabu isiyo namwisho, kwa kutimiza manenoambayo yanasema: Wale ambaowametenda mema watakuwana maisha yasiyo na amwisho;na wale ambao wametendamaovu watapata blaana isiyona mwisho. Na hivyo ndivyoilivyo. Amina.

Unabii wa Samweli, Mlamani,kwa Wanefi.

Wenye milango ya 13hadi 15 yote pamoja.

MLANGO WA 13

Samweli Mlamani anatabiri kua-ngamizwa kwa Wanefi isipokuwawatubu — Hao na utajiri waowanalaaniwa—Wanakataa na ku-wapiga manabii kwa mawe, wana-zingirwa na pepo mbaya, nawanatafuta furaha kwa kutendauovu. Karibu mwaka wa 6 kablaya kuzaliwa kwa Kristo.

Na ikawa katika mwaka wathemanini na sita, Wanefi wali-baki kwenye uovu, ndio, katikauovu mwingi, wakati aWala-

17a 3 Ne. 8:10.18a Morm. 1:18; Eth. 14:1.

b Hel. 13:17.

23a mwm Wokovu.24a mwm Neema.26a Mt. 25:46; Yn. 5:28–29;

Rum. 6:13.b mwm Hukumu.

13 1a Hel. 15:4–5.

Page 509: KITABU CHA MORMONI

Helamani 13:2–11 492

mani walitii amri za Mungu,kulingana na sheria ya Musa.2 Na ikawa kwamba katika

mwaka huu kulikuwa na mmo-ja aliyeitwa Samweli, Mlamaniambaye alikuja kwenye nchi yaZarahemla, na akaanza kuhu-wabiria watu. Na ikawa kwa-mba alihubiri, siku nyingi, tobakwa watu, na wakamtupa nje,na alikuwa karibu kurudi kwanchi yake.

3 Lakini tazama, sauti yaBwana ilimjia, kwamba arejeetena, na kuwatabiria hawa watuvitu vyote vitakavyomjia kwaamoyo wake.4 Na ikawa kwamba hawa-

ngemkubalia kwamba aingiekwenye mji; kwa hivyo aliendana kupanda juu ya ukuta wamji, na kunyosha mkono wakembele na kupaza sauti, na kuta-biria watu vitu vyote ambavyoBwana aliweka moyoni mwake.

5 Na akawaambia: Tazama,mimi, Samweli, Mlamani, nina-ongea maneno ya Bwana amba-yo ameweka kwenye moyowangu; na tazama ameiwekakwenye moyo wangu kuwaa-mbia hawa watu kwamba aupa-nga wa haki unaning’inia juu yahawa watu; na miaka mia nnehaitapita kabla ya upanga wahaki kuwaangukia hawa watu.

6 Ndio, auangamizo mzitounawangojea watu hawa, nakwa kweli utawajia watu hawa,na hakuna kitakachowaokoa

watu hawa isipokuwa toba naimani kwa Bwana Yesu Kristo,ambaye kwa kweli atakuja du-niani, na atavumilia vitu vingina atauawa kwa ajili ya watuwake.

7 Na tazama, amalaika waBwana amenitangazia, na aliletahabari bnjema kwa roho yangu.Na tazama, nilitumwa kwenuniwatangazie pia, ili mpatehabari njema; lakini tazamammekataa kunisikiliza.

8 Kwa hivyo, hivi asema Bwa-na: Kwa sababu ya ugumuwa mioyo ya watu hawa waWanefi, wasipotubu nitachukuaahadi yangu yote kutoka kwao,na anitaondoa Roho yangu ku-toka kwao, na sitawavumiliatena, na nitageuza mioyo yandugu zao dhidi yao.

9 Na miaka mia anne haitapitakabla ya mimi kusababishakwamba wauawe; ndio, nita-waadhibu kwa upanga na njaana maradhi ya kuambukiza.

10 Ndio, nitawatembelea kati-ka hasira yangu kali, na kuta-kuwa na wengine wa kizazicha anne ambao wataishi, bainaya maadui wenu, kuona kua-ngamizwa kwenu kabisa; na hiikwa kweli itakuja isipokuwamtubu, Bwana anasema; nawale wa kizazi cha nne watawa-tembelea kwa maaangamizo.

11 Lakini ikiwa mtatubu naakumrudia Bwana Mungu wenunitabadilisha hasira yangu,

3a M&M 100:5.5a Alma 60:29;

3 Ne. 2:19.6a Alma 45:10–14;

Hel. 15:17.

7a Alma 13:26.b Isa. 52:7.

8a Hel. 6:35.9a Alma 45:10–12.

10a 1 Ne. 12:12;

2 Ne. 26:9;3 Ne. 27:32.

11a 3 Ne. 10:5–7.

Page 510: KITABU CHA MORMONI

493 Helamani 13:12–21

asema Bwana; ndio, hivi asemaBwana, wale watakaotubu nakurudi kwangu watabarikiwa,lakini ole kwa yule ambayehatatubu.12 Ndio, aole kwa huu mji

mkuu wa Zarahemla; kwanitazama, ni kwa sababu ya walewenye haki kwamba umeoko-lewa; ndio, ole kwa mji huumkuu, kwani ninaona, asemaBwana, kwamba kuna wengi,ndio, hata sehemu kubwa yahuu mji mkuu ambao watashu-paza mioyo yao dhidi yangu,asema Bwana.

13 Lakini heri wale ambaowatatubu, kwani hao ndio nita-kaowasamehe. Lakini tazama,kama haingekuwa kwa walewenye haki ambao wako kwe-nye mji huu mkuu, tazama,ningesababisha kwamba amotouje chini kutoka mbinguni nakuuangamiza.14 Lakini tazama, ni kwa ajili

ya wale wenye haki kwambaumesamehewa. Lakini tazama,wakati unawadia, asema Bwa-na, kwamba wakati mtatupawalio wenye haki kutoka mio-ngoni mwenu, ndipo mtakapo-kuwa tayari kwa uangamizo;ndio, ole kwa huu mji mkuu,kwa sababu ya uovu na ma-chukizo ambayo yamo ndaniyake.

15 Ndio, na ole kwa mji waGideoni, kwa uovu na machu-kizo ambayo yamo ndani yake.

16 Ndio, na ole kwa miji yoteambayo iko katika nchi karibuna hapa, ambayo imemilikiwa

na Wanefi, kwa sababu ya uovuna machukizo ambayo yamondani yao.

17 Na tazama, alaana itakujianchi, asema Bwana wa Majeshi,kwa sababu ya watu ambaowako nchini, ndio, kwa sababuya uovu wao na machukizo yao.

18 Na itakuwa, asema Bwanawa Majeshi, ndio, ambaye niMungu wetu mkuu na wakweli, kwamba yeyote ambayeaataficha hazina ardhini hatai-pata tena, kwa sababu ya laanakuu ya nchi, isipokuwa awemtu mwenye haki na aifichekwenye Bwana.

19 Kwani ninawataka, asemaBwana, kwamba wafiche hazinazao kwangu; na laana iwe kwawale wasioficha hazina zaokwangu; kwani hakuna yeyoteambaye huficha hazina zakekwangu isipokuwa awe mwe-nye haki ; na yule ambayehafichi hazina zake kwangu,amelaaniwa, na pia ile hazina,na hakuna atakayeikomboa kwasababu ya laana ya nchi.

20 Na siku itawadia kwambawataficha hazina zao, kwasababu wameweka mioyo yaokwenye utajiri; na kwa sababuwameweka mioyo yao kwenyeutajiri wao, na wataficha hazinazao wakati watakimbia kutokakwa maadui wao; kwa sababuhawatazificha kwangu, walaa-niwe na pia hazina zao; nakatika siku hio ndipo wataka-pouawa, asema Bwana.

21 Tazama nyinyi, watu wahuu mji mkuu, na sikilizeni

12a 3 Ne. 8:8, 24; 9:3.13a Mwa. 19:24;

2 Fal. 1:9–16;3 Ne. 9:11.

17a Hel. 12:18.18a Morm. 1:18; Eth. 14:1.

Page 511: KITABU CHA MORMONI

Helamani 13:22–28 494

maneno yangu; ndio, asikilizenimaneno ambayo Bwana anase-ma; kwani tazama, anasemakwamba mmelaaniwa kwa sa-babu ya utajiri wenu, na piautajiri wenu umelaaniwa kwasababu mmeweka mioyo yenujuu yake, na hamjasikiliza ma-neno ya yule aliyewapatia huoutajiri.

22 Hammkumbuki BwanaMungu wenu kwa vitu amba-vyo amewabariki navyo, laki-n i k i la s iku mnakumbukaautajiri wenu, bila kumshukuruB w a n a M u n g u w e n u k w ahivyo vitu; ndio, mioyo yenuhaimkaribii Bwana, lakini ina-vimba kwa b kiburi kikuu,kwa kujisifu, na kwa uvimbemkuu, cmashindano, ukorofi,uovu, mateso, na mauaji, nakila aina ya uovu.

23 Kwa sababu hii BwanaMungu amesababisha kwambalaana ije kwa nchi, na pia kwautajiri wenu, na hii ni kwasababu ya maovu yenu.

24 Ndio, ole kwa watu hawa,kwa sababu ya huu muda ambaoumewadia, wakati amnatupa njemanabii, na kuwacheka, na ku-watupia mawe, na kuwaua, nakufanya kila aina ya uovukwao, hata vile walioishi za-mani walivyofanya.25 Na sasa mkizungumza,

mnanena: Ikiwa siku zetu zi-ngekuwa katika siku za ababuzetu wa zamani, hatungewaua

manabii; hatungewapiga kwamawe, na kuwatupa nje.

26 Tazama nyinyi ni wabayakuliko hao; kadiri Bwana ana-vyoishi, ikiwa anabii anawezakuja miongoni mwenu na ku-watangazia neno la Bwana,ambalo linashuhudia dhambizenu na uovu, bmnamkasirikia,na kumtupa nje na kutafutanjia za namna zote kumwanga-miza; ndio, mtasema kwamba nicnabii wa uwongo, na kwambani mwenye dhambi, na mwenyekutoka kwa ibilisi, kwa sababudanashuhudia kwamba vitendovyenu ni viovu.

27 Lakini tazama, ikiwa mtuatatokea miongoni mwenu nakusema: Fanya hivi, na hakuta-kuweko na ubaya; fanya vilena hamtaumia; ndio, atasema:Tembeeni katika kiburi chamioyo yenu yenyewe; ndio,tembeeni katika kiburi chamacho yenu, na fanya chochoteambacho moyo wako unape-nda — na ikiwa mtu atatokeamiongoni mwenu na kusemahivi, hapo mtamkubali, nakusema ni anabii.28 Ndio, mtamheshimu, na

mtampatia mali yenu; mtam-patia dhahabu yenu, na fedhayenu, na mtamvalisha mavaziya thamani; na kwa sababuanazungumza maneno ya auda-nganyifu kwenu, na anasemakwamba yote ni mema, kwahivyo hamtampata na makosa.

21a mwm Sikiliza.22a Lk. 12:34.

mwm Malimwengu;Ukwasi.

b mwm Kiburi.c mwm Husuda.

24a 2 Nya. 36:15–16;1 Ne. 1:20.

25a Mdo. 7:51.26a 2 Nya. 18:7;

Lk. 16:31.b Isa. 30:9–10.

c Mt. 13:57.d Gal. 4:16.

27a Mik. 2:11.mwm Ukuhani wauongo.

28a 2 Tim. 4:3–4.

Page 512: KITABU CHA MORMONI

495 Helamani 13:29–39

29 Ee nyinyi kizazi kilichopo-tea; nyinyi watu wagumu nawenye shingo ngumu, kwamuda gani mnadhani Bwanaatawavumilia? Ndio, kwa mudagani mtakubali kuongozwa naawapumbavu na bvipofu? Ndio,kwa muda gani cmtachagua gizajuu ya dmwangaza?

30 Ndio, tazama, ghadhabuya Bwana imewashwa dhidiyenu; tazama, amelaani nchikwa sababu ya uovu wenu.

31 Na tazama, wakati unawa-dia kwamba atalaani utajiriwenu, kwamba autateleza, kwa-mba hamtaweza kuushika; nakatika siku za umasikini wenuhamtazishika.

32 Na katika siku za umasiki-ni wenu mtamlilia Bwana;na mtalia bure, kwani ukiwawenu utakuwa umewajia ki-tambo, na uharibifu wenuumekamilishwa; na hapo mta-toa machozi na kulia wakatihuo, asema Bwana wa Majeshi.Na hapo mtaomboleza, nakusema:

33 Ee akwamba nilikuwa nime-tubu, na sikuwaua manabii,na bkuwapiga kwa mawe, nakuwatupa nje. Ndio, katikasiku hiyo mtasema: Ee kwa-mba tungemkumbuka BwanaMungu wetu wakati ambapoalitupatia utajiri wetu, na hapohaungeteleza, kwamba tuupo-teze; kwani tazama, utajiri wetuumetuwacha.34 Tazama, tunaweka hapa

chombo na kesho yake kimee-nda; na tazama, panga zetuzinachukuliwa kutoka kwetuwakati tunapozitafuta kwa vita.

35 Ndio, tumeficha hazina zetuna zimeponyokea mbali kutokakwetu, kwa sababu ya laana yanchi.

36 Ee kwamba tulitubu wakatiambao neno la Bwana lilitujia;kwani tazama nchi imelaaniwa,na vitu vyote vimekuwa vya ku-teleza, na hatuwezi kuvishika.

37 Tazama, tumezingirwa napepo mbaya, ndio, tumezu-ngukwa na malaika wa yuleambaye anataka kuangamizaroho zetu. Tazama, uovu wetuni mkuu. Ee Bwana, huwezikugeuza hasira yako kutokakwetu? Na hii itakuwa lughayenu wakati huo.

38 Lakini tazama, asiku zenu zamajaribio zimepita; bmmeche-lewesha siku yenu ya wokovumpaka imechelewa milele, namaangamizo yenu yamehaki-kishwa; ndio, kwani mmetafutasiku zote za maisha yenu yaleambayo hamwezi kupata; nammetafuta cfuraha kwa kufanyauovu, kitu ambacho ni kinyumecha asili ya haki ambayo hujakutoka kwa mkuu na Kiongoziwetu wa Milele.

39 Ee nyinyi watu wa nchi,ningetaka kwamba msikilizemaneno yangu! Na ninaombakwamba hasira ya Bwana itole-we kutoka kwenu, na kwambamtatubu na kukombolewa.

29a 2 Ne. 28:9.b Mt. 15:14.c Yn. 3:19.d Ayu. 24:13.

31a Morm. 1:17–18.33a Morm. 2:10–15.

b Mt. 23:37.38a Morm. 2:15.

b Alma 34:33–34.c Alma 41:10–11.

Page 513: KITABU CHA MORMONI

Helamani 14:1–11 496

MLANGO WA 14

Samweli anatabiri kwamba kuta-kuwa na mwangaza wakati wausiku na nyota mpya wakati Kristoatakapozaliwa—Kristo anakomboawatu kutoka kwa kifo cha mwili nacha roho — Ishara za kifo chakezitakuwa muda wa siku tatu zagiza, kuraruliwa kwa miamba, namapinduzi makubwa ya maumbile.Karibu mwaka wa 6 kabla ya kuza-liwa kwa Kristo.

Na sasa ikawa kwamba aSa-mweli, Mlamani, alitabiri vituvingi zaidi ambavyo haviwezikuandikwa.

2 Na tazama, aliwaambia:Tazama, ninawapatia ishara;kwani miaka mitano zaidi ina-kuja, na tazama, ndipo atakujaMwana wa Mungu kuwako-mboa wale wote ambao wataa-mini kwa jina lake.

3 Na tazama, hii nitawapatiakama aishara wakati wa kujakwake; kwani tazama, kutaku-wa na mwangaza mwingi mbi-nguni, mpaka kwamba usikukabla ya kuja kwake hakutaku-wa na giza, mpaka kwambaitaonekana kwa binadamu kamani mchana.

4 Kwa hivyo, kutakuwa nasiku moja na usiku mmoja nasiku, kama kwamba ni sikumoja bila usiku; na hii itakuwaishara kwenu kutazamia; kwanimtafahamu kutokea kwa jua napia kutua kwake; kwa hivyo

watajua kwa hakika kwambakutakuwa na siku mbili nausiku mmoja; walakini usikuhautakuwa na giza; na itakuwausiku kabla ayeye azaliwe.

5 Na tazama, anyota mpyaitatokea, aina moja ambayohamjawahi kuona kamwe; nahii pia itakuwa ishara kwenu.

6 Na tazama haya si yote,kutakuwa na ishara nyingi navituko mbinguni.

7 Na itakuwa kwamba nyinyinyote mtashangaa, na kustaaja-bu, mpaka kwamba amtainamakwenye ardhi.

8 Na itakuwa kwamba yeyoteaatakayeamini kwa Mwana waMungu, yeye atakuwa na mai-sha yasiyo na mwisho.

9 Na tazama, hivyo ndivyoBwana ameniamuru, kupitiakwa malaika wake, kwambanije na kusema hiki kitu kwe-nu; ndio, ameamuru kwambanitabiri hivi vitu kwenu; ndio,amesema kwangu: Paza sautikwa hawa watu, tubuni namtayarishe njia ya Bwana.

1 0 N a s a s a , k w a s a b a b umimi ni Mlamani, na nimewa-zungumzia maneno ambayoBwana ameniamuru, na kwasababu yalikuwa magumu dhi-di yenu, mmenikasirikia namnataka kuniangamiza, naammenitupa nje kutoka mio-ngoni mwenu.

11 Na mtasikia maneno yangu,kwani, ni kwa sababu ya hilikusudi nimepanda ukuta wa

14 1a Hel. 13:2.3a 3 Ne. 1:15.4a mwm Yesu Kristo—

Unabii juu ya

kuzaliwa na kifocha Yesu Kristo.

5a Mt. 2:1–2;3 Ne. 1:21.

7a 3 Ne. 1:16–17.8a Yn. 3:16.

10a Hel. 13:2.

Page 514: KITABU CHA MORMONI

497 Helamani 14:12–21

mji huu, ili muweze kusikia nakujua hukumu ya Mungu amba-yo inawangojea kwa sababu yauovu wenu, na pia kwambamngejua hali ya toba;12 Na pia kwamba mngejua

kuhusu kuja kwa Yesu Kristo,Mwana wa Mungu, aBaba wambingu na dunia, Muumba wavitu vyote tangu mwanzo; nakwamba mjue ishara za kujakwake, na tumaini kwambamngeamini katika jina lake.13 Na ikiwa amtaamini katika

jina lake mtatubu dhambi zenu,kwamba kwa kufanya hivyomngepata kusamehewa kupitiakwa buzuri wake.14 Na tazama, tena, ishara

nyingine ninawapatia, ndio,ishara ya kifo chake.

15 Kwani tazama, lazima kwakweli afe kwamba awokovuuje; ndio, inampasa yeye kwalazima kwamba afe, ili kutimi-za bufufuo wa wafu, kwambakwa hiyo sababu binadamuwaletwe kwenye uwepo waBwana.

16 Ndio, tazama, hiki kifohuleta kutimiza ufufuo, naahukomboa binadamu wotekutokana na kifo cha kwanza—hicho kifo cha roho; kwanibinadamu wote, kwa sababuya b kuanguka kwa Adamucwakitolewa kutoka uwepo waBwana, wanafikiriwa kama dwa-

liokufa, kwa vitu vya kimwilina vitu vya kiroho.

17 Lakini tazama, ufufuko waKristo aunakomboa binadamu,ndio, hata binadamu wote, nahuwarejesha kwenye uwepowa Bwana.

18 Ndio, na inasababisha kuti-miza hali ya toba, kwambayeyote anayetubu yeye hatatu-pwa chini na kuwekwa kwenyemoto; lakini yeyote ambayehatatubu atawekwa chini nakutupwa kwenye moto; nahapo kinawajia kifo cha roho,ndio, kifo cha pili, kwani wa-metolewa tena kwa vitu vina-vyohusika na haki.

19 Kwa hivyo tubuni nyinyi,tubuni nyinyi, isiwe kwambakwa kuvijua hivi vitu na kuto-vifanya mtalaaniwa, na mtale-twa chini kwenye kifo cha pili.

20 Lakini tazama, vile niliwa-ambia kuhusu aishara nyingine,ishara ya kifo chake, tazama,katika siku hiyo ambayo atapa-twa na kifo jua litawekwa bgizana kukataa kutoa mwangazawake kwenu; na pia mwezina nyota; na hakutakuwa namwangaza juu ya hii nchi, hatakutokea wakati atakapokufa,kwa muda wa siku ctatu, hadikwenye siku atakayofufukatena kutoka kwa wafu.

21 Ndio, wakati atakapokataroho kutakuwa na vishindo vya

12a Mos. 3:8; 3 Ne. 9:15;Eth. 4:7.mwm Yesu Kristo.

13a Mdo. 16:30–31.b M&M 19:16–20.

15a mwm Mwokozi.b Alma 42:23.

mwm Ufufuko.16a mwm Mpango wa

Ukombozi.b mwm Anguko la

Adamu na Hawa.c Alma 42:6–9.d mwm Mauti, ya

Kiroho.17a mwm Komboa,

Kombolewa,Ukombozi.

20a 3 Ne. 8:5–25.b Lk. 23:44.c Mos. 3:10.

Page 515: KITABU CHA MORMONI

Helamani 14:22–31 498angurumo na radi kwa mudawa masaa mengi, na ardhi itati-ngishika na kutetemeka; namiamba ambayo iko juu ya hiidunia, ambayo yote iko juu yadunia na chini, ambayo mnajuawakati huu kama ni nzima, ausehemu yake kwa jumla ninzima, bitavunjika;

22 Ndio, yatagawanyika marambili, na kutokea hapo itapati-kana kwenye apindo na kwenyenyufa, na kwa vipande vilivyo-vunjika juu ya dunia yote,ndio, juu ya nchi na chini yake.

23 Na tazama, kutakuwa nadhoruba kubwa, na kutakuwana milima mingi itakayolaini-shwa, kama bonde, na kutaku-wa na mahali pengi ambaposasa hivi panaitwa mabondeambayo itakuwa milima, amba-yo urefu wake ni mkubwa.

24 Na barabara nyingi zitaha-ribiwa, na amiji mingi itakuwajangwa.

25 Na amakaburi mengi yatafu-nguka, na yataachilia wengi wawafu wao; na watakatifu wengiwatajidhihirisha kwa wengi.26 Na tazama, hivyo ndivyo

amalaika ameniambia; kwanialiniambia kwamba kutakuwana vishindo vya ngurumo naradi kwa muda wa masaa mengi.

27 Na aliniambia kwambawakati vishindo vya ngurumona radi vitakuwa vikiendelea,na dhoruba, kwamba hivi vitu

vitafanyika, na kwamba agizalitafunika dunia yote kwa mudawa siku tatu.

28 Na malaika aliniambiakwamba wengi wataona vituvingi kuliko hivi, kwa kusudikwamba wapate kuamini ahiziishara na haya maajabu yapatekutimizwa juu ya nchi yote,kwa kusudi kwamba kusiwena sababu ya kutoamini mio-ngoni mwa watoto wa watu —

29 Na hili kwa kusudi kwa-mba yeyote atakayeamini atao-kolewa, na kwamba yeyoteambaye hataamini, ahukumuya haki ingewajia; na pia wa-kihukumiwa hapo watajileteawenyewe hukumu yao.

30 Na sasa kumbukeni, ku-mbukeni, ndugu zangu, kwa-mba yeyote anayeangamia,anaangamia kwa kupendakwake; na yeyote afanyayedhambi, anaifanya kwake mwe-nyewe; kwani tazama, mkoahuru; mmekubaliwa kujicha-gulia; kwani tazama, Munguamewapatia belimu na amewa-fanya huru.

31 Amewapatia nafasi kwa-mba amjue mema na maovu, naamewapatia kwamba bmcha-gue uzima au kifo; na mnawe-za kutenda mazuri na cmreje-shwe kwa yale yaliyo mema,au kupata yale yaliyo memakurudishwa kwenu; au mna-weza kutenda maovu, na mpate

21a 3 Ne. 8:6.b 3 Ne. 10:9.

22a 3 Ne. 8:18.24a 3 Ne. 9:3–12.25a Mt. 27:50–54;

3 Ne. 23:9–11.26a Alma 13:26.

27a 1 Ne. 19:10;3 Ne. 8:3.

28a 1 Ne. 12:4–5.29a mwm Hukumu, ya

Mwisho.30a 2 Ne. 2:26–29;

Musa 6:56.

mwm Haki yauamuzi.

b mwm Maarifa.31a Moro. 7:16.

b 2 Ne. 2:28–29;Alma 3:26–27.

c Alma 41:3–5.

Page 516: KITABU CHA MORMONI

499 Helamani 15:1–8

yale yaliyo maovu yarudishwekwenu.

MLANGO WA 15

Bwana alikemea Wanefi kwa sababualiwapenda — Walamani walioge-uka wako imara na thabiti katikaimani — Bwana atakuwa na huru-ma kwa Walamani katika sikuza baadaye. Karibu mwaka wa 6kabla ya kuzaliwa kwa Kristo.

Na sasa, ndugu zangu wape-ndwa, tazama, ninawatangaziakwamba msipotubu nyumbazenu zitaachwa ziwe na aukiwa.2 Ndio, msipotubu, wanawake

wenu watakuwa na sababu yakuomboleza wakati watakapo-kuwa wakinyonyesha; kwanimtajaribu kukimbia lakini ha-kutakuwa na mahali pa kimbi-lio; ndio, na ole kwa waleambao awana mimba, kwaniwatakuwa wazito na hawata-weza kukimbia; kwa hivyo,watakanyagwa chini na kua-chwa kuangamia.3 Ndio, ole kwa watu hawa

ambao wanaitwa watu wa Nefiisipokuwa watubu, wakatiwataona ishara hizi zote namaajabu ambayo yataonyeshwakwao; kwani tazama, wameku-wa watu waliochaguliwa naBwana; ndio, aliwapenda watuwa Nefi, na pia aamewakemea;ndio, katika siku zao za dha-mbi amewakemea kwa sababuanawapenda.

4 Lakini tazama ndugu zangu,amewachukia Walamani kwasababu vitendo vyao vimekuwaviovu wakati wote, na wanafa-nya hivyo kwa sababu ya uovuwa adesturi ya babu zao. Lakinitazama, wokovu umekuja kwaokupitia kwa mahubiri ya Wa-nefi; na kwa kusudi hili Bwanabamewaongezea siku zao.

5 Na ningetaka kwamba mwo-ne kwamba sehemu yao akubwawako kwenye kazi yao, na wa-natembea kwa uangalifu mbeleya Mungu, na wanatii amri zakena sheria zake na maamuzi yakekulingana na sheria ya Musa.

6 Ndio, ninawaambia, kwambasehemu yao kubwa wanafanyahivi, na wanajaribu kwa bidiibila kuchoka ili walete nduguzao waliosalia kwa elimu yaukweli; kwa hivyo, kuna wengiambao wanaongeza idadi yaokila siku.

7 Na tazama, mnajua wenye-we, kwani mmejionea, kwambavile wengi wao wanaletwakuelimishwa ukweli, na kujuauovu na desturi za machukizoza babu zao, na wameongozwakuamini maandiko matakatifu,ndio, utabiri wa manabii wata-katifu, ambao umeandikwa,ambao unawaongoza kuwa naimani kwa Bwana, na kwenyetoba, imani na toba ambavyohuwaletea mabadiliko katikaamioyo yao —8 Kwa hivyo, vi le wengi

wamekuja kwa ukweli huu,

15 1a Mt. 23:37–38.2a Mt. 24:19.3a Mit. 3:12;

Ebr. 12:5–11;

M&M 95:1.4a mwm Mapokeo.

b Alma 9:16.5a Hel. 13:1.

7a mwm Mwongofu,Uongofu.

Page 517: KITABU CHA MORMONI

Helamani 15:9–17 500

mnajua wenyewe kwambawako aimara na thabiti katikaimani, na pia kitu ambamokwayo wamefanywa huru.

9 Na mnajua pia kwambaawamezika silaha zao za vita,na wanaogopa kuzichukuawasije kwa njia yoyote wafa-nye dhambi; ndio, mnaonakwamba wanaogopa kutendadhambi —kwani tazama wana-kubali wenyewe kwamba wa-kanyagwe chini na kuuawa namaadui wao, na hawatainuapanga zao dhidi yao, na hivyokwa sababu ya imani yao kwaKristo.10 Na sasa, kwa sababu ya

uthabiti wao wakati wanaaminikwenye hicho kitu ambachowanaamini, kwani kwa sababuya uthabiti wao mara wakieli-mishwa, tazama, Bwana ata-wabariki na kuongeza sikuzao, ijapokuwa ubaya wao —

11 Ndio, hata kama wanafifiakwa kutoamini Bwana aatao-ngeza siku zao, mpaka wakatiutatimia ambao umezungum-zwa na babu zetu, na pia nabiibZeno, na manabii wengine we-ngi, kuhusu ckurudishwa kwandugu zetu, Walamani, tenakwa ufahamu wa ukweli —12 Ndio, nawaambia, kwamba

katika siku za baadaye aahadiza Bwana zimeelekezwa kwandugu zetu, Walamani; na ija-pokuwa mateso mengi ambayowatakuwa nayo, na ingawa

bwatafukuzwa huku na kuleduniani, na kuwindwa, nakushambuliwa na kutawanywaugenini, wakiwa hawana ma-hali pa kimbilio, Bwana cata-warehemu.

13 Na hii ni kulingana naunabii, kwamba awatarejeshwakwenye ufahamu wa ukweli,ambao ni ufahamu wa Mko-mbozi wao, na bmchungaji waomkuu na wa kweli, na kuhesa-biwa miongoni mwa kondoowake.

14 Kwa hivyo nawaambia,itakuwa abora kwao kulikokwenu isipokuwa mtubu.

15 Kwani tazama, kamakazi kuu azingeonyeshwa kwaoambazo zimeonyeshwa kwenu,ndio, kwao ambao wamefifiakwa kutoamini kwa sababu yadesturi za babu zao, mnawezakuona wenyewe kwamba ha-wangeweza tena kufifia kwakutoamini.

16 Kwa hivyo, Bwana asema:Sitawaangamiza kabisa, lakininitasababisha kwamba wakatinitaona ni hekima kwangu wa-tanirudia, asema Bwana.

17 Na sasa tazama, asema Bwa-na, kuhusu watu wa Wanefi:Kama hawatatubu, na kujaribukufanya yale ninayotaka, anita-waangamiza kabisa, asemaBwana, kwa sababu ya kutoami-ni kwao ijapokuwa kazi nyingikubwa ambayo nimefanya mi-ongoni mwao; na kwa ukweli

8a Alma 23:6; 27:27;3 Ne. 6:14.

9a Alma 24:17–19.11a Alma 9:16.

b Hel. 8:19.c 2 Ne. 30:5–8.

12a Eno. 1:12–13.b Morm. 5:15.c 1 Ne. 13:31;

2 Ne. 10:18–19;Yak. (KM) 3:5–6.

13a 3 Ne. 16:12.

b mwm MchungajiMwema.

14a Hel. 7:23.15a Mt. 11:20–23.17a Hel. 13:6–10.

Page 518: KITABU CHA MORMONI

501 Helamani 16:1–7

vile Bwana anavyoishi vitu hivivitafanyika, asema Bwana.

MLANGO WA 16

Wanefi ambao wanamwamini Sa-mweli wanabatizwa na Nefi — Sa-mweli hawezi kuuawa kwa mishalena mawe ya Wanefi ambao hawa-jatubu — Wengine wanashupazamioyo yao, na wengine wanaonamalaika — Wasiosadiki wanasemahakuna maana ya kuamini katikaKristo na kuja kwake katika Yeru-salemu. Kutoka karibu mwaka wa6 hadi 1 kabla ya kuzaliwa kwaKristo.

Na sasa, ikawa kwamba kuli-kuwa na wengi ambao walisikiamaneno ya Samweli, Mlamani,ambayo alizungumzia kwenyeukuta wa mji. Na kadiri wali-vyoamini neno alilosema wali-enda na kumtafuta Nefi; nawalipoenda na kumpata waliu-ngama dhambi zao kwake bilakuacha dhambi yoyote nyuma,wakitaka kwamba wangebati-zwa kwa Bwana.2 Lakini kadiri ambao hawaku-

yaamini maneno ya Samweliwalimkasirikia; na walimtupiamawe akiwa kwenye ukuta, nawengi pia walimpiga mishalewakati alipokuwa anasimamakwenye ukuta; lakini Roho waBwana alikuwa naye, mpakakwamba hawangeweza kumpi-ga na mawe yao wala mishaleyao.

3 Sasa wakati walipoona kwa-mba hawangeweza kumpiga,

kulikuwa na wengi zaidi ambaowaliamini maneno yake, mpa-ka kwamba walimwendea Nefikubatizwa.

4 Kwani tazama, Nefi alikuwaanabatiza, na kutabiri, na ku-hubiri, na kuwaambia kwambawatubu, akiwaonyesha isharana maajabu, akifanya amiujizamiongoni mwa watu, ili wajuekwamba Kristo atazaliwa hivibkaribuni —

5 Akiwaambia vitu ambavyolazima vifanyike, ili wajue nawakumbuke wakati wa kufa-nyika kwao kwamba imefanywakujulikana kwao mbeleni, kwa-mba wangeamini; kwa hivyojinsi vile wengi waliyaaminimaneno ya Samweli waliendambele kwake kubatizwa, kwaniwalikuja kutubu na kuungamadhambi zao.

6 Lakini sehemu kubwa yaohawakuyaamini maneno yaSamweli; kwa hivyo walipoonakwamba hawangeweza kum-piga kwa mawe yao na mishaleyao, walipigia makapteni waomakelele, wakisema: Chukuenihuyu mtu na mmfunge, kwanitazama ana ibilisi ; na kwasababu ya uwezo wa ibilisiambao uko ndani yake hatu-wezi kumpiga kwa mawe yetuna mishale yetu; kwa hivyomkamateni na mmfunge, nakumpeleka mbali.

7 Na walipoenda mbele kum-kamata, tazama, alijitupa kuto-ka kwenye ukuta, na kutorokakutoka nchi yao, ndio, hadikwenye nchi yake, na akaanza

16 4a mwm Muujiza. b Hel. 14:2.

Page 519: KITABU CHA MORMONI

Helamani 16:8–21 502

kuhubiri na kutoa unabii mio-ngoni mwa watu wake.8 Na tazama, hakusikika tena

miongoni mwa Wanefi; na hi-vyo ndivyo zilikuwa shughuliza watu.

9 Na hivyo ukaisha mwaka wathemanini na sita wa utawalawa waamuzi juu ya watu waNefi.

10 Na hivyo pia ukaisha mwa-ka wa themanini na saba wautawala wa waamuzi, sehemukubwa ya watu wakibaki katikakiburi chao na uovu, na sehemundogo ikitembea kwa uangalifumbele ya Mungu.

11 Na hii ilikuwa hali pia,katika mwaka wa themanini nanane wa utawala wa waamuzi.

12 Na kulikuwa tu na mabadi-liko machache katika shughuliza watu, isipokuwa watu wali-anza kujiimarisha katika uovu,na kufanya mengi ya yale yaliyokinyume cha amri za Mungu,katika mwaka wa themanini natisa wa utawala wa waamuzi.

13 Lakini ikawa katika mwa-ka wa tisini wa utawala wawaamuzi, kulikuwa na isharaakubwa zilizoonyeshwa kwawatu, na maajabu; na maneno yamanabii byalianza kutimizwa.14 Na amalaika walionekana

kwa watu, watu wenye hekima,na kuwatangazia habari njemaya shangwe kuu; hivyo katikamwaka huu maandiko yalia-nza kutimizwa.15 Walakini, watu walianza

kushupaza mioyo yao, wote isi-

pokuwa sehemu yao iliyoaminizaidi, wote Wanefi na Walama-ni, na wakaanza kutegemea ngu-vu zao wenyewe na katika heki-ma yao awenyewe, wakisema:16 Baadhi ya vitu walibahati-

sha vyema, miongoni mwavingi; lakini tazama, tunajuakwamba hizi kazi zote kubwana za ajabu haziwezi kutimi-zwa, ambazo zimezungumziwa.

17 Na walianza kubishana nakushindana miongoni mwao,wakisema:

18 Kwamba asio ya maanakwamba kiumbe kama Kristokitakuja; ikiwa hivyo, na aweMwana wa Mungu, Baba wambingu na dunia, vile ilizu-ngumziwa, kwa nini asijidhihi-rishe kwetu kama kwa walewalio Yerusalemu?

19 Ndio, kwa nini hatajidhihi-risha kwa nchi hii kama vilenchi ya Yerusalemu?

20 Lakini tazama, tunajuakwamba hii ni adesturi iliyombovu, ambayo imetolewachini kwetu na babu zetu, ku-tusababisha kwamba tuaminikwa kitu kikubwa na cha ajabuambacho kitakuja kutimizwa,lakini sio miongoni mwetu,lakini katika nchi iliyo mbali,nchi ambayo hatujui ; kwahivyo wanaweza kutuwekakwenye ujinga, kwani hatuwezibkushuhudia kwa macho yetukwamba ni ya kweli.

21 Na wataweza, kwa njia yawerevu na siri ya ustadi wamwovu, kufanya siri kubwa

13a 3 Ne. 1:4.b Hel. 14:3–7.

14a Alma 13:26.

15a Isa. 5:21.18a Alma 30:12–13.20a mwm Mapokeo.

b Eth. 12:5–6, 19.

Page 520: KITABU CHA MORMONI

503 Helamani 16:22–3 Nefi 1:1

ambayo hatuwezi kuielewa,ambayo itatuweka chini kuwawatumwa kwa maneno yao, napia watumishi kwao, kwanitunawategemea kutufundishaneno; na hivyo watatuwekakwenye ujinga ikiwa tutakubalikuongozwa na hao, siku zoteza maisha yetu.22 Na watu waliwaza mioyoni

mwao vitu vingi sana, ambavyovilikuwa vya upumbavu naabure; na walisumbuliwa sana,kwani Shetani aliwavuruga kwakutenda maovu siku zote;ndio, alizunguka akisambazauvumi na mabishano nchini, ili

ashupaze mioyo ya watu dhidiya vile vitu ambavyo vilikuwavizuri na dhidi ya vile amba-vyo vitakuja.

23 Na ijapokuwa ishara namaajabu ambayo yalifanyikamiongoni mwa watu wa Bwana,na miujiza mingi ambayo wali-fanya, Shetani alishikilia mioyoya watu nchini kote.

24 Na hivyo ukaisha mwakawa tisini wa utawala wa waa-muzi juu ya watu wa Nefi.

25 Na hivyo kikamalizika ki-tabu cha Helamani, kulinganana maandiko ya Helamani nawana wake.

Nefi wa TatuKitabu cha Nefi

MWANA WA NEFI AMBAYE ALIKUWA MWANA WA HELAMANI

Na Helamani alikuwa mwana wa Helamani, ambaye alikuwamwana wa Alma, ambaye alikuwa mwana wa Alma, ambaye

alikuwa wa uzao wa Nefi ambaye alikuwa mwana wa Lehi, ambayealitoka Yerusalemu katika mwaka wa kwanza wa utawala waZedekia, mfalme wa Yuda.

MLANGO WA 1

Nefi, mwana wa Helamani, anao-ndoka nje ya nchi, na mwana wakeNefi anaandika maandishi—Inga-wa ishara na maajabu ni mengi,walio waovu wanapanga kuwauawenye haki — Usiku wa kuzaliwakwa Kristo unafika — Ishara ina-tolewa, na nyota mpya inaonekana— Uwongo na udanganyifu unao-ngezeka, na wezi wa Gadiantoni

wanawaua wengi. Kutoka karibumwaka wa 1 hadi 4 baada ya kuza-liwa kwa Kristo.

SASA ikawa kwamba mwakawa tisini na moja ulikuwa

umepita na ilikuwa miaka miaasita tangu wakati ambao Lehialiondoka Yerusalemu; na iliku-wa katika mwaka ambao Lako-neyo alikuwa mwamuzi mkuuna msimamizi juu ya nchi.

22a mwm Majivuno,Siofaa.

[3 nefi]1 1a 2 Ne. 25:19.

Page 521: KITABU CHA MORMONI

3 Nefi 1:2–13 504

2 Na Nefi, mwana wa Hela-mani, alikuwa ameondoka ku-toka kwa nchi ya Zarahemla,na kutoa amri kwa mwanawake aNefi, ambaye alikuwamwana wake mkubwa, kuhusubbamba za shaba, na maandishiyote ambayo yalikuwa yamea-ndikwa, na hivyo vitu vyoteambavyo vilichukuliwa kamavitakatifu kuanzia kuondokakwa Lehi kutoka Yerusalemu.

3 Kisha al iondoka nje yanchi, na aalikoenda, hakuna mtuyeyote ajuaye; na mwana wakeNefi alihifadhi maandishi ba-dala yake, ndio, maandishi yahawa watu.

4 Na ikawa kwamba katikamwanzo wa mwaka wa tisinina mbili, tazama, utabiri wamanabii ulianza kutimizwa za-idi kabisa; kwani kulianza kuwana ishara kubwa na miujizamikubwa kutokea miongonimwa watu.

5 Lakini kulikuwa na wenginewalioanza kusema kwamba wa-kati umepita kwa yale manenokutimizwa, ambayo ayalizungu-mzwa na Samweli, Mlamani.

6 Na wal ianza kufurahiandugu zao, wakisema: Tazamawakati umepita, na maneno yaSamweli hayajatimizwa; kwahivyo, shangwe yenu na imaniyenu katika hiki kitu imekuwabure.

7 Na ikawa kwamba wali-fanya makelele mengi kotenchini; na watu walioamini

walianza kuwa na huzunisana, wakiogopa kwamba hivyovitu ambavyo vilizungumzwahavingetimizwa.

8 Lakini tazama, walichunguzawakati wote ule mchana na uleusiku na ule mchana siku ileambayo itakuwa ni kama sikumoja kama vile hakuna usiku,kwamba wangejua kuwa imaniyao haikuwa bure.

9 Sasa ikawa kwamba kuliku-wa na siku ambayo iliwekwakando na wasioamini, kwambawale wote ambao waliaminikwenye desturi hizo awangeu-awa isipokuwa ishara zipatekutimizwa, ambazo zilitolewana nabii Samweli.

10 Sasa ikawa kwamba wakatiNefi, mwana wa Nefi, alionahuu uovu wa watu hawa, moyowake ulikuwa na huzuni sana.

11 Na ikawa kwamba aliendanje na kujiinamisha ardhini, nakuomba kwa Mungu wakekwa niaba ya watu wake, ndio,wale ambao walikuwa karibukuangamizwa kwa sababu yaimani yao kwenye desturi zababu zao.

12 Na ikawa kwamba aliombakwa nguvu kwa Bwana ile sikuayote; na tazama, sauti ya Bwa-na ilikuja kwake, ikisema:

13 Inua kichwa chako na ucha-ngamke; kwani tazama, wakatiumefika, na kwa usiku wa leoishara itatolewa, na akesho ni-takuja ulimwenguni, kuonyeshadunia kwamba nitatimiza yote

2a mwm Nefi, Mwanawa Nefi, Mwanawa Helamani.

b Alma 37:3–5.

3a 3 Ne. 2:9.5a Hel. 14:2–4.9a mwm Kifo cha

kishahidi, Mfiadini.

12a Eno. 1:4;Alma 5:46.

13a Lk. 2:10–11.

Page 522: KITABU CHA MORMONI

505 3 Nefi 1:14–23

ambayo nimesababisha bkuzu-ngumzwa kwa midomo yamanabii wangu watakatifu.

14 Tazama, anaja kwa watuwangu, bkutimiza vitu vyoteambavyo nimefanya kujulika-na kwa watoto wa watu tangucmsingi wa dunia, na kufanyamapenzi, dyote ya Baba naMwana — ya Baba kwa sababuyangu, na ya Mwana kwa saba-bu ya mwili wangu. Na tazama,wakati umefika, na usiku huuishara itadhihirishwa.

15 Na ikawa kwamba manenoambayo yalimjia Nefi yalivyo-timizwa, kulingana na vile ya-lizungumzwa; kwani tazama,wakati jua lilipotua ahakukuwana giza; na watu walianza kus-taajabu kwa sababu hakukuwana giza wakati usiku ulipofika.

16 Na kulikuwa na wengi,ambao hawakuwa wameaminimaneno ya manabii, ambaoawalijilaza kwenye ardhi nawakawa kama waliokufa, kwaniwal i jua kwamba b mpangomkubwa wa uangamizo ambaowalikuwa wamewawekea waleambao waliamini maneno yamanabii umezuiliwa; kwaniishara ambayo ilitolewa ilikuwaipo.17 Na wakaanza kujua kwa-

mba Mwana wa Mungu lazimaaonekane karibuni; ndio, kwakifupi, watu wote usoni mwaulimwengu kutoka magharibihadi mashariki, kote katika nchi

ya kaskazini na katika nchiya kusini, walistaajabu sanakwamba walianguka ardhini.

18 Kwani walijua kwamba ma-nabii walikuwa wameshuhudiavitu hivi kwa miaka mingi, nakwamba ishara ambayo ilitole-wa ilikuwa ipo kitambo; na wa-lianza kuogopa kwa sababu yauovu wao na kutoamini kwao.

19 Na ikawa kwamba haku-kuweko na giza usiku ule wote,lakini kulikuwa na mwangazakama kwamba ilikuwa adhu-huri. Na ikawa kwamba jualilitokea asubuhi tena, kuli-ngana na utaratibu wake; nawalijua kwamba ilikuwa ni sikuambayo Bwana aangezaliwa,kwa sababu ya ishara ambayoilitolewa.

20 Na ikawa imekuwa, ndio,vitu vyote, kila chembe, kuli-ngana na maneno ya manabii.

21 Na ikawa pia kwambaanyota mpya ilitokea, kulinganana neno.

22 Na ikawa kwamba kutokawakati huu kuendelea kulianzakuwa na udanganyifu ulioletwana Shetani, miongoni mwawatu, kushupaza mioyo yao,kwa kusudi kwamba wasiaminikwenye hizo ishara na miujizaambayo walikuwa wameona;lakini ingawaje kulikuwa nahuu udanganyifu na uwongosehemu kubwa ya watu iliami-ni, na wakamgeukia Bwana.

23 Na ikawa kwamba Nefi

13b mwm Yesu Kristo—Unabii juu yakuzaliwa na kifo chaYesu Kristo.

14a Yn. 1:11.

b Mt. 5:17–18.c Alma 42:26.d M&M 93:3–4.

15a Hel. 14:3.16a Hel. 14:7.

b 3 Ne. 1:9.19a Lk. 2:1–7.21a Mt. 2:1–2;

Hel. 14:5.

Page 523: KITABU CHA MORMONI

3 Nefi 1:24–30 506

alienda mbele miongoni mwawatu, na pia wengine wengi,akiwabatiza ubatizo wa toba,ambamo kwake kulikuwa naakusamehewa kwingi kwa dha-mbi. Na hivyo watu wakaanzatena kuwa na amani nchini.24 Na hakukuweko na mabi-

shano, isipokuwa wachacheambao walianza kuhubiri, wa-kijaribu kuthibitisha kutumiamaandiko kwamba haikuwatena amuhimu kutii sheria yaMusa. Sasa kwa kitu hikiwalikosa, wakiwa hawajaelewamaandiko.25 Lakini ikawa kwamba ma-

ra moja waligeuka, na walisa-dikishwa kwa makosa ambayowalikuwa nayo, kwani walifa-hamishwa kwamba sheria ahai-jatimizwa, na kwamba lazimaitimizwe kwa kila chembe; ndio,neno lilikuja kwao kwambalazima itimizwe; ndio, kwambanukta moja wala chembe mojahaitapita mpaka yote yatimie;kwa hivyo kwenye huu mwakawalielemishwa kwa makosa yaona bwakaungama makosa yao.

26 Na hivyo mwaka wa tisinina mbili ulipita, ukileta habarinjema kwa watu kwa sababuya ishara ambazo zilitimizwa,kulingana na maneno ya uagu-zi wa manabii wote watakatifu.

27 Na ikawa kwamba mwakawa tisini na tatu pia ulipita ka-tika amani, isipokuwa wezi waaGadiantoni, ambao waliishi juuya milima, ambao waliingilianchi; kwani ngome zao zilikuwa

na nguvu sana na mahali paopa siri kwamba watu hawange-washinda; kwa hivyo walitendamauaji mengi sana, na kuuawengi miongoni mwa watu.

28 Na ikawa kwamba katikamwaka wa tisini na nne walia-nza kuongezeka kwa idadikubwa, kwa sababu kulikuwana wengi wasiokubaliana naWanefi ambao walikimbiliakwao, ambao walisababishahuzuni nyingi kwa Wanefiambao walibaki nchini.

29 Na pia kulikuwa na sababuya huzuni nyingi miongonimwa Walamani; kwani tazama,walikuwa na watoto wengiambao walikuwa na kuanzakuwa wazee katika miaka,kwamba walijitegemea wenye-we, na waliongozwa vibayana wengine ambao walikuwaaWazoramu, kwa udanganyifuwao na maneno yao ya kujisifu,kujiunga na wale wezi waGadiantoni.

30 Na hivyo Walamani wali-huzunishwa pia, na walianzakupungukiwa kwenye imanina haki yao, kwa sababu yauovu wa vijana wa kizazi hiki.

MLANGO WA 2

Uovu na machukizo yanaongezekamiongoni mwa watu — Wanefi naWalamani wanaungana kujilindadhidi ya wezi wa Gadiantoni —Walamani waliogeuka wanakuwaweupe na wanaitwa Wanefi. Ku -

23a mwm Ondoleo laDhambi.

24a Alma 34:13.

25a Mt. 5:17–18.b Mos. 26:29.

27a mwm Wanyang’anyi

wa Gadiantoni.29a Alma 30:59.

Page 524: KITABU CHA MORMONI

507 3 Nefi 2:1–11

toka karibu mwaka wa 5 hadi 16baada ya kuzaliwa kwa Kristo.

Na ikawa kwamba hivyo ulii-sha mwaka wa tisini na tanopia, na watu wakaanza kusahauhizo ishara na maajabu ambayowalikuwa wamesikia, na wa-kaanza kuendelea kupunguki-wa zaidi kwa mshangao katikaishara au maajabu kutoka mbi-nguni, mpaka kwamba walia-nza kugandamiza mioyo yao,na kuwa vipofu ndani ya akilizao, na walianza kutoamini yoteambayo walisikia na kuona —2 Wakikisia juu ya kitu cha

bure ndani ya mioyo yao, kwa-mba ililetwa na watu na nguvuza ibilisi, kupoteza na akuda-nganya mioyo ya watu; na hi-vyo Shetani alishawishi mioyoya watu tena, mpaka kwambaakafunika macho yao na kuwa-ongoza mbali kuamini kwambamafundisho ya Kristo yalikuwani upumbavu na kitu cha bure.

3 Na ikawa kwamba watu wa-lianza kukua ndani ya uovuna machukizo; na hawakuaminikwamba kutakuwa na isharazingine au maajabu ambayoyangetolewa; na Shetani aliku-wa aakizunguka, akiopotoshambali mioyo ya watu, akiwaja-ribu na kuwasababisha kufanyauovu mkuu ndani ya nchi.

4 Na hivyo ukaisha mwakawa tisini na sita; na pia mwakawa tisini na saba; na pia mwakawa tisini na nane; na pia mwakawa tisini na tisa;

5 Na pia miaka mia moja ili-

kuwa imepita tangu siku zaaMosia, ambaye alikuwa mfal-me juu ya watu wa Wanefi.

6 Na miaka mia sita na tisailikuwa imepita tangu Lehiaondoke Yerusalemu.

7 Na miaka tisa ilikuwa imepi-ta kutoka wakati ambao isharailitolewa, ambayo ilizungumzi-wa na manabii, kwamba Kristoatakuja katika ulimwengu.

8 Sasa Wanefi walianza kupi-ma wakati wao kutoka mudahuu wakati ishara ilitolewa, aukutoka kwa kuja kwa Kristo;kwa hivyo, miaka tisa ilikuwaimepita.

9 Na Nefi, ambaye alikuwababa ya Nefi, ambaye alikuwaameaminiwa maandiko, ahaku-rudi katika nchi ya Zarahemla,na hakuonekana katika nchiyote.

10 Na ikawa kwamba watubado walibaki kwenye uovu,ingawaje kulikuwa na kuhubirikwingi na uaguzi ambao ulipe-lekwa miongoni mwao; nahivyo mwaka wa kumi ulipitapia; na mwaka wa kumi namoja pia ulipita katika uovu.

11 Na ikawa katika mwaka wakumi na tatu kukaanza kuwa navita na mabishano kote nchini;kwani wezi wa Gadiantoniwalikuwa wengi sana, na wali-waua watu wengi, na kuharibumiji mingi, na walisambaza vifovingi na uchinjaji kote nchini,kwamba ilikuwa muhimu kwa-mba watu wote, Wanefi naWalamani, wachukue silahadhidi yao.

2 2a mwm Danganya,Kudanganya,

Udanganyifu.3a M&M 10:27.

5a Mos. 29:46–47.9a 3 Ne. 1:2–3.

Page 525: KITABU CHA MORMONI

3 Nefi 2:12–3:2 508

12 Kwa hivyo, Walamaniwote ambao walikuwa wame-mgeukia Bwana waliunganana ndugu zao, Wanefi, na wali-lazimishwa, kwa usalama wamaisha yao na wanawake waona watoto wao, kuchukua silahadhidi ya wezi wa Gadiantoni,ndio, na pia kulinda haki zao,na faida ya kanisa lao na kua-budu kwao, na kwa auhuruwao na buungwana wao.

13 Na ikawa kwamba kabla yamwaka wa kumi na tatu kupitaWanefi walitishwa na maanga-mizo makubwa kwa sababu yavita hivi, ambavyo vilikuwavikali sana.

14 Na ikawa kwamba waleWalamani ambao walijiunga naWanefi walihesabiwa miongonimwa Wanefi;

15 Na alaana yao ilitolewakwao, na ngozi yao ikawabnyeupe kama ya Wanefi;

16 Na vijana wao na mabintizao wakawa warembo sana; nawakahesabiwa miongoni mwaWanefi, na kuitwa Wanefi. Nahivyo ukaisha mwaka wa kumina tatu.

17 Na ikawa katika mwaka wakumi na nne, vita miongonimwa wezi na watu wa Nefiviliendelea na vikawa vikalisana; walakini, watu wa Nefiwalipata faida juu ya wezi,mpaka kwamba wakawarudi-sha nyuma kutoka nchi yaohadi kwenye milima na kwe-nye mahali pao pa siri.

18 Na hivyo ukaisha mwakawa kumi na nne. Na katika

mwaka wa kumi na tano weziwalikuja dhidi ya watu waNefi; na kwa sababu ya uovuwa watu wa Nefi, na mabishanoyao mengi na mafarakano yao,wezi wa Gadiantoni walipatafaida nyingi juu yao.

19 Na hivyo ukaisha mwakawa kumi na tano, na hivyo ndi-vyo watu walivyokuwa kwenyehal i ya mateso mengi ; naaupanga wa maangamizo ulini-ng’inia juu yao, mpaka kwambawalikuwa karibu kupigwa chininao, na hii ni kwa sababu yauovu wao.

MLANGO WA 3

Gidianhi, kiongozi wa Gadiantoni,anataka kwa nguvu kwamba Lako-neyo na Wanefi wajisalimishe nanchi yao — Lakoneyo anamteuaGidgidoni kama kapteni mkuu wamajeshi — Wanefi wanajikusanyakatika Zarahemla na Neema kuji-kinga. Kutoka karibu mwaka wa16 hadi 18 baada ya kuzaliwa kwaKristo.

Na sasa ikawa kwamba katikamwaka wa kumi na sita tangukuja kwa Kristo, Lakoneyo,msimamizi wa nchi, alipokeabarua kutoka kwa kiongozi namsimamizi wa hili kundi lawezi; na haya ndiyo yalikuwamaneno ambayo yaliandikwa,yakisema:

2 Lakoneyo, mkuu sana namsimamizi mkuu wa nchi, ta-zama, ninakuandikia hii barua,na ninakupatia sifa nyingi sana

12a mwm Huru, Uhuru.b mwm Uhuru.

15a Alma 17:15; 23:18.b 2 Ne. 5:21; 30:6;

Yak. (KM) 3:8.19a Alma 60:29.

Page 526: KITABU CHA MORMONI

509 3 Nefi 3:3–10

kwa sababu ya uthabiti wako,na pia uthabiti wa watu wako,katika kulinda kile ambachomnadhani kuwa ni haki yenuna uhuru wenu; ndio, mnasi-mama vizuri, kama mnaosaidi-wa na mungu, kwenye kulindauhuru wenu, na mali yenu, nanchi yenu, au kile mnachoitachenu.3 Na inaonekana kama jambo

la huruma kwangu, Lakoneyomwenye cheo kikubwa, kwa-mba ungekuwa mpumbavu nabure kudhani kwamba unawezakusimama dhidi ya watu walioshujaa ambao wako chini yaamri yangu, ambao wakati huuwako tayari na silaha zao, nawanangojea kwa hamu kuu wa-sikie neno — Nenda chini kwaWanefi na muwaangamize.

4 Na mimi, nikijua roho yaoya kutoshindwa, nimewajaribukwenye uwanja wa vita, nanikijua chuki yao isiyo na mwi-sho dhidi yenu kwa sababuya vitu vingi vibaya ambavyommewafanyia, kwa hivyo ikiwawatashuka dhidi yenu wata-waangamiza kabisa.

5 Kwa hivyo nimeandika hiibarua, nikiweka muhuri kwamkono wangu, nikifikiria usta-wi wenu, kwa sababu ya utha-biti wenu kwenye kile ambachomnaamini ni haki, na kwa sa-babu ya roho yenu kuu katikauwanja wa vita.

6 Kwa hivyo ninakuandikia,nikitaka kwamba usalimishekwa hawa watu wangu, miji

yenu, nchi zenu, na mali yenu,kuliko kwamba wawashambu-lie kwa upanga na kuwaanga-miza.

7 Au kwa maneno mengine,mjitolee wenyewe kwetu, namjiunge nasi na mzoeane nakazi zetu za asiri, na muwendugu zetu kwamba muwekama sisi—sio watumwa wetu,lakini ndugu zetu na washirikiwa mali yetu yote.

8 Na tazama, anaapa kwako,ikiwa mtafanya hivi, kwa kiapo,hamtaangamizwa; lakini kamahamtafanya hivi, ninaapa nakiapo, kwamba mwezi ujaonitaamuru kwamba majeshiyangu yatashuka dhidi yenu,na hawatajizuia na hawatawa-hurumia, lakini watawachinja,na kuachilia upanga uwaangu-kie hata mpaka mwangamie.

9 Na tazama, mimi ni Gidia-nhi; na mimi ni mtawala wahili shirika la asiri la Gadiantoni;shirika ambalo na kazi ambazonajua ni bnzuri; na ni za czama-ni na zimepitishwa kwetu.

10 Na ninaandika hii baruakwako wewe, Lakoneyo, naninatumaini kwamba mtasali-misha mashamba yenu na maliyenu, bila kumwaga damu,kwamba watu wangu hawawangepata tena haki zao naserikali yao, ambao wamewaasikwa sababu ya uovu wenu wakuwakataza wapokee haki zaserikali, na msipofanya hivi,nitalipiza mateso yao. Ni mimiGidianhi.

3 7a Hel. 6:22–26.8a Eth. 8:13–14.9a mwm Makundi

maovu ya siri.b Alma 30:53.c Hel. 6:26–30;

Musa 5:29, 49–52.

Page 527: KITABU CHA MORMONI

3 Nefi 3:11–21 510

11 Na sasa ikawa Lakoneyoalipopata hii barua alistaajabusana, kwa sababu ya ujasiri waGidianhi kudai umiliki wa nchiya Wanefi, na pia kwa sababuya kutisha watu na kulipizamabaya ya wale ambao hawa-kuwa wamefanyiwa makosa,isipokuwa awalijikosea wenye-we kwa kuasi hadi kwenyehawa wezi waovu na wakuchukiza.12 Sasa tazama, huyu Lakone-

yo, msimamizi, alikuwa mtuwenye haki, na hangeweza ku-tishwa na amwizi; kwa hivyohakutii barua ya Gidianhi, msi-mamizi wa wezi, lakini alisa-babisha kwamba watu wakewamwombe Bwana awapatienguvu dhidi ya wezi wakatiwangekuja chini dhidi yao.

13 Ndio, alipeleka tangazomiongoni mwa watu wote,kwamba wakusanye pamojawanawake wao, na watoto wao,wanyama wao, na mifugo yao,na mali yao yote, isipokuwanchi yao, mahali pamoja.

14 Na akasababisha kwambangome zijengwe kuwazunguka,na ziimarishwe ndani sana. Naakasababisha kwamba majeshi,yote ya Wanefi na ya Walamani,au ya hao wote waliohesabiwamiongoni mwa Wanefi, yawe-kwe kama walinzi hapo karibukuwalinda, na kuwalinda ku-tokana na waporaji usiku namchana.

15 Ndio, aliwaambia: KadiriBwana anavyoishi, msipotubu

maovu yenu yote, na kumwo-mba Bwana kwa ukweli, ham-takombolewa kwa njia yoyotekutoka mikono ya wale weziwa Gadiantoni.

16 Na maneno na unabii waLakoneyo ulikuwa mkubwa nawa ajabu kwamba yalisababi-sha woga kuwajia watu wote;na walijaribu kwa uwezo waowote kufanya kulingana namaneno ya Lakoneyo.

17 Na ikawa kwamba Lakone-yo aliwateua makaptani wakuuwa majeshi yote ya Wanefi,kuwaamuru wakati wezi wata-kapokuja chini kutoka nyikanidhidi yao.

18 Sasa aliyekuwa mkuu wawote miongoni mwa makapte-ni wote na amri jeshi mkuuwa majeshi yote ya Wanefi ali-teuliwa, na jina lake lilikuwaaGidgidoni.19 Sasa ilikuwa ni desturi

miongoni mwa Wanefi wotekuwateua kama makapteni wa-kuu, (isipokuwa wakati ambaowao walikuwa na uovu mwi-ngi), mtu ambaye alikuwa naroho ya ufunuo na pia ya auna-bii; kwa hivyo, huyu Gidgidonialikuwa nabii mkuu miongonimwao, kama vile pia alivyoku-wa mwamuzi mkuu.

20 Sasa watu walimwambiaGidgidoni: Omba kwa Bwana,na acha twende juu ya milimana kwenye nyika, ili tuwasha-mbulie wezi na tuwaangamizekwenye nchi zao.

21 Lakini Gidgidoni aliwaa-

11a Hel. 14:30.12a Alma 54:5–11;

3 Ne. 4:7–10.18a 3 Ne. 6:6.

19a mwm Toa unabii,Unabii.

Page 528: KITABU CHA MORMONI

511 3 Nefi 3:22–4:1

mbia: Bwana aanakataza; kwa-ni ikiwa tutaenda juu dhidi yaoBwana batatukabidhi mikononimwao; kwa hivyo tutajitayari-sha katikati ya nchi zetu, natutakusanya majeshi yetu yotepamoja, na hatutaenda dhidiyao, lakini tutangoja mpakawatakapokuja dhidi yetu; kwahivyo kadiri vile Bwana ana-vyoishi, ikiwa tutafanya hiviatawaweka mikononi mwetu.

22 Na ikawa katika mwaka wakumi na saba, kuelekea mwishowa mwaka, tangazo la Lakone-yo lilikuwa limeenezwa kotenchini, na walikuwa wame-chukua farasi wao, na magariyao, na ng’ombe wao, na wa-nyama wao wote, na mifugoyao, na nafaka yao, na mali yaoyote, na walisonga mbele wa-kiwa maelfu na maelfu, mpakawalipokuwa wameenda katikamahali ambapo palikuwa pa-mechaguliwa kwamba wajiku-sanye pamoja, kujilinda dhidiya maadui zao.

23 Na nchi ambayo ilichaguli-wa ilikuwa nchi ya Zarahemla,na nchi ambayo ilikuwa kati yanchi ya Zarahemla na nchi yaNeema, ndio, kwenye mpakaambao ulikuwa miongoni mwanchi ya Neema na nchi yaUkiwa.

24 Na kulikuwa na maelfu yawatu ambao waliitwa Wanefi,ambao walijikusanya pamojakatika nchi hii. Sasa Lakoneyoalisababisha kwamba wajiku-sanye pamoja katika nchi iliyoupande wa kusini, kwa sababu

ya laana kubwa ambayo iliku-wa katika anchi ya upande wakaskazini.

25 Na walijiimarisha dhidi yamaadui zao; na wakaishi kati-ka nchi moja, na kwenye kundimoja, na waliogopa manenoambayo yalizungumzwa naLakoneyo, mpaka kwamba wa-katubu dhambi zao zote; nawakatoa sala zao kwa BwanaMungu wao, kwamba aange-wakomboa wakati ambao maa-dui wao watakuja chini dhidiyao kupigana.

26 Na walikuwa na huzunisana kwa sababu ya maaduiwao. Na Gidgidoni alisababishakwamba watengeneze asilaha zavita za kila aina, na waimari-shwe na silaha, na ngao, navigao, kufuata maelezo ya na-mna yake.

MLANGO WA 4

Majeshi ya Wanefi yanawashindawezi wa Gadiantoni — Gidianhianauawa, na mrithi wake, Zemna-riha, ananyongwa — Wanefi wa-namsifu Bwana kwa ushindi wao.Kutoka karibu mwaka wa 19 hadi22 baada ya kuzaliwa kwa Kristo.

Na ikawa kwamba mwishonimwa mwaka wa kumi na naneyale majeshi ya wezi yalikuwayamejiandaa kwa vita, na wali-anza kuja chini na kushambu-lia kutokea kwenye vilima, nanje ya milima, na nyikani,na ngome zao, na pahali paopa siri, na wakaanza kumiliki

21a Alma 48:14.b 1 Sam. 14:12.

24a Alma 22:31.25a mwm Tegemea.

26a 2 Ne. 5:14.

Page 529: KITABU CHA MORMONI

3 Nefi 4:2–10 512

nchi, zote ambazo zilikuwa ka-tika nchi, iliyokuwa kusini naambazo zilikuwa katika nchiiliyokuwa kaskazini, na waka-anza kumiliki nchi zote zilizo-kuwa azimeachwa na Wanefi,na miji ambayo ilikuwa imea-chwa kwa hali ya ukiwa.

2 Lakini tazama, hakukuwekona wanyama wa mwitu walamawindo katika nchi hizoambazo ziliachwa na Wanefi,na hakukuwa na mawindo kwawezi isipokuwa kwenye nyika.

3 Na wezi waliweza tu kuishikwenye nyika, kwa uhitaji wachakula; kwani Wanefi waliachanchi zao zikiwa hazina kitu, nawalikusanya wanyama wao namifugo yao na mali yao yote,na walikuwa kwenye kikundikimoja.

4 Kwa hivyo, hakukuwa nanafasi ya wezi kupora na kupatachakula, isipokuwa wangekujakwa vita vya wazi kupiganadhidi ya Wanefi; na Wanefiwakiwa katika kikundi kimoja,na wakiwa na idadi kubwa, nawakiwa wamejiwekea akiba yavyakula, na farasi na ng’ombe,na wanyama wa kila aina, kwa-mba wangejilisha kwa mudawa miaka saba, wakati ambaowalitumainia kuangamiza wezikutoka nchini; na hivyo mwakawa kumi na nane ulipita.

5 Na ikawa kwamba katikamwaka wa kumi na tisa Gidia-nhi alipata kwamba ilikuwamuhimu kwake kwamba afanyevita dhidi ya Wanefi, kwanihakukuwa na njia ambayo

wangeishi isipokuwa kupora,kuiba, na kuua.

6 Na hawangethubutu kujita-panya usoni mwa nchi i l iwakuze nafaka, wasije Wanefiwakawaua; kwa hivyo Gidianhialitoa amri kwa majeshi yakekwamba, mwaka huu waendekupigana dhidi ya Wanefi.

7 Na ikawa kwamba walikujakupigana; na ilikuwa katikamwezi wa sita; na tazama, ilesiku ambayo walikuja kupiganailikuwa kubwa na ya kutisha;na walikuwa wamevaa kwanjia ya wezi; na walikuwa nangozi ya mwanakondoo viuno-ni mwao, na walijipaka rangi yadamu, na vichwa vyao vilinyo-lewa, na walikuwa na vyapeojuu yao; na majeshi ya Gidianhiyalionekana mengi na ya kuo-gofya, kwa sababu ya silahazao, na kwa sababu ya kujipakadamu.

8 Na ikawa kwamba majeshiya Wanefi, walipoona majeshiya Gidianhi yalivyoonekana,wote walijilaza kwenye ardhi,na kumwomba Bwana Munguwao, kwamba awahurumie nakuwakomboa kutoka mikonoya maadui wao.

9 Na ikawa kwamba majeshiya Gidianhi yalipoona hiviwalianza kupaza sauti, kwasababu ya shangwe yao, kwaniwalidhani kwamba Wanefi wa-lianguka kwa woga kwa sababuya kuonekana kwa vitisho vyamajeshi yao.

10 Lakini kwa hiki kitu walisi-kitika, kwani Wanefi hawaku-

4 1a 3 Ne. 3:13–14, 22.

Page 530: KITABU CHA MORMONI

513 3 Nefi 4:11–21

waogopa; lakini awalimwogopaMungu wao na walimwombaawalinde; kwa hivyo, wakatimajeshi ya Gidianhi yalipowa-vamia walikuwa tayari kukabi-liana nao; ndio, kwa nguvu zaBwana walikabiliana nao.

11 Na vita vilianza kwenyehuu mwezi wa sita; na vilikuwavikubwa na vya kutisha, ndio,uchinjaji ulikuwa mwingi nawa kutisha, mpaka kwambahakujakuweko uchinjaji mkuukama huo unaojulikana mio-ngoni mwa watu wa Lehi tanguaondoke Yerusalemu.

12 Na ingawa kulikuwa naavitisho na viapo ambavyoGidianhi alikuwa amefanya,tazama, Wanefi waliwashindampaka kwamba wakarudi nyu-ma kutoka kwao.

13 Na ikawa kwamba aGidgi-doni aliamuru kwamba majeshiyake yawafukuze hadi kwenyemipaka ya nyika, na kwambawasimhurumie yeyote ambayeataanguka mikononi mwaonjiani; na hivyo waliwafukuzana kuwaua, kwenye mipaka yanyika, hata mpaka walipotimizaamri ya Gidgidoni.

14 Na ikawa kwamba Gidia-nhi, ambaye alisimama na ku-pigana kwa ujasiri, alifukuzwawakati alipokuwa anakimbia;na akiwa amechoka kwa sababuya kupigana kwingi alipitwana kuuawa. Na hivyo maishaya Gidianhi mwizi yaliisha.

15 Na ikawa kwamba majeshiya Wanefi yalirejea tena mahalipao pa usalama. Na ikawa

kwamba mwaka wa kumi natisa ulipita, na wezi hawakujatena kupigana; wala hawakujatena katika mwaka wa ishirini.

16 Na katika mwaka wa ishiri-ni na moja hawakuja kupigana,lakini walikuja kutoka pandezote na kuwazunguka watu waNefi; kwani walidhani kwambawangewazuilia mbali watu waNefi kutoka katika nchi zao, nakuwafungia ndani kila upande,na ikiwa wangewazuilia kutoi-ngia kwa haki zao zote za nje,kwamba wangewasababishawajitolee wenyewe kulinganana matakwa yao.

17 Sasa walikuwa wamejiteuliakiongozi mwingine, ambayejina lake lilikuwa Zemnariha;kwa hivyo alikuwa Zemnarihandiye aliyeamuru kwamba ku-zingirwa kufanyike.

18 Lakini tazama, hii ilikuwafaida kwa Wanefi; kwani hai-ngewezekana kwa wezi kuwazi-ngira kwa muda wa kutosha ilikuwe na matokeo kwa Wanefi,kwa sababu ya vyakula vyaovingi, ambavyo walikuwa wa-meweka kwenye ghala.

19 Na kwa sababu ya ukosefuwa vyakula miongoni mwawezi; kwani tazama, hawakuwana chochote isipokuwa nyamakwa chakula chao, nyamaambayo walipata nyikani;

20 Na ikawa kwamba wanya-ma wa amwitu walikuwa wa-chache kwenye nyika mpakakwamba wezi walikuwa karibukuangamia kwa njaa.

21 Na Wanefi siku zote wali-

10a mwm Hofu.12a 3 Ne. 3:1–10.

13a 3 Ne. 3:18.20a 1 Ne. 18:25.

Page 531: KITABU CHA MORMONI

3 Nefi 4:22–33 514

kuwa wakitoka nje mchana nausiku, na kuwashambulia maa-dui wao, na kuwaangamizakwa maelfu na maelfu.22 Na hivyo ikawa kupenda

kwa watu wa Zemnariha kua-chilia kusudi lao, kwa sababuya uharibifu mkuu ambao uli-wajia usiku na mchana.

23 Na ikawa kwamba Zemna-riha aliwaamuru watu wakekwamba warudi nyuma we-nyewe kutoka kwa mazingira,na waende kwenye sehemuya mbali nchi ya upande wakaskazini.

24 Na sasa, Gidgidoni akijuakusudi lao, na akijua udhaifuwao kwa sababu ya ukosefuwa chakula, na mauaji mengiambayo yalifanywa miongonimwao, kwa hivyo alituma njemajeshi yake wakati wa usiku,na akazuia njia yao ya kurudinyuma, na akaweka majeshiyake kwenye njia yao ya kurudinyuma.

25 Na hii ilifanywa wakati wausiku, na walisonga na kupitambele ya wezi, kwamba keshoyake, wakati wezi walipoanzakusonga, walisimamishwa namajeshi ya Wanefi kote mbeleyao na nyuma yao.

26 Na wezi ambao walikuwakusini walizuiliwa pia kwenyesehemu zao ambazo wangefu-ata kwa kurudi nyuma. Na hivivitu vyote vilifanywa kwa amriya Gidgidoni.

27 Na kulikuwa na maelfuwengi ambao walijitoa kama

wafungwa kwa Wanefi, nawaliosalia waliuawa.

28 Na kiongozi wao, Zemnari-ha, alichukuliwa na kunyongwakwenye mti, ndio, hata juu yamti mpaka akafa. Na wakatiwalipomnyonga mpaka kufa,waliangusha mti ardhini, nawakapaza sauti, wakisema:

29 Bwana awahifadhi watuwake katika haki na utakatifuwa moyo, i l i wasababishekuangushwa chini wale woteambao watataka kuwaua kwakutumia nguvu na mashirikaya siri, kwa njia sawa kamavile huyu mtu alivyoangushwaardhini.

30 Na walifurahi na kupigamakelele tena kwa sauti moja,wakisema: aMungu wa Ibrahi-mu, na Mungu wa Isaka, naMungu wa Yakobo, awalindehawa watu kwa haki, kadirivile bwatakavyo lilingana jinala Mungu wao kwa kinga.

31 Na ikawa kwamba kwaghafla, wote pamoja waliimba,na akumsifu Mungu wao kwakitu kikubwa ambacho aliwa-fanyia, kwa kuwahifadhi kuto-ka kwa mikono ya maadui wao.

32 Ndio, walipiga kelele:aHosana kwa Mungu Aliye JuuSana. Na wakapiga kilele: Heriliwe jina la Bwana MungubMwenyezi, Mungu Aliye JuuSana.

33 Na mioyo yao ilifura kwashangwe, mpaka kwenye ku-toa machozi mengi, kwa saba-bu ya uzuri mwingi wa Mungu

30a Alma 29:11.b Eth. 4:15.

31a Alma 26:8.

mwm Shukrani,Shukrani, enye, Toashukrani.

32a mwm Hosana.b 1 Ne. 1:14.

mwm Mungu, Uungu.

Page 532: KITABU CHA MORMONI

515 3 Nefi 5:1–8

kuwakomboa kutoka mikonoya maadui wao; na walijua nikwa sababu ya kutubu kwaona unyenyekevu wao kwambawalikuwa wamekombolewa ku-toka kwa maangamizo yasiyona mwisho.

MLANGO WA 5

Wanefi wanatubu na kuachadhambi zao—Mormoni anaandikahistoria ya watu wake na kutangazaneno lisilo na mwisho kwao —Israeli itakusanywa kutoka kwenyetawanyiko lake. Kutoka karibumwaka wa 22 hadi 26 baada yakuzaliwa kwa Kristo.

Na sasa tazama, hakukuwahata nafsi moja miongoni mwawatu wote wa Wanefi ambayoilikuwa na shaka hata kidogokatika maneno ya manabiiwatakatifu ambao walizungu-mza; kwani walijua kwambai l i k u w a m u h i m u k w a m b ayatimizwe.2 Na walijua kwamba ni mu-

himu kwamba Kristo alikuwaamekuja, kwa sababu ya isharanyingi ambazo zilikuwa zime-tolewa, kulingana na manenoya manabii; na kwa sababu yavitu ambavyo vilikuwa vimeti-mizwa kitambo walijua kwa-mba ilikuwa muhimu kwambavitu vyote vitimizwe kulinga-na na yale ambayo yalikuwayamezungumzwa.

3 Kwa hivyo waliacha dhambizao zote, na machukizo yao, naukahaba wao, na walimtumikia

Mungu kwa bidii yote mchanana usiku.

4 Na sasa ikawa kwambawakati walikuwa wamechukuawezi wote kama wafungwa,mpaka kwamba hakuna aliye-toroka ambaye hakuuawa, wa-liwatupa wafungwa wao gere-zani, na wakasababisha nenola Mungu kuhubiriwa kwao;na kadiri wengi walipotubudhambi zao na kufanya aganokwamba hawataua tena walia-chiliwa ahuru.5 Lakini kadiri kulipokuwa

na wengi ambao hawakufanyaagano, na ambao waliendelea namauaji ya siri mioyoni mwao,ndio, vile wengi walipatikanawakitoa vitisho kwa ndugu zaowalihukumiwa na kuadhibiwakulingana na sheria.

6 Na hivyo walimaliza yalemaovu yote, na siri, na mashi-rika ya machukizo, ambamokwake kulikuwa na maovumengi sana, na kutendeka kwamauaji mengi.

7 Na hivyo mwaka wa ishirinina mbili ulikuwa umepita, namwaka wa aishirini na tatu pia,na wa ishirini na nne, na waishirini na tano; na hivyo miakaishirini na tano ilipita.

8 Na vitu vingi vilikuwa vime-tendeka ambavyo, kwa maoniya watu kadhaa, vi l ikuwavikubwa na vya kushangaza;walakini, vyote haviwezi kua-ndikwa kwenye kitabu hiki;ndio, kitabu hiki hakiwezikutosha hata sehemu moja yaamia ya yale yaliyofanyika mi-

5 4a mwm Uhuru. 7a 3 Ne. 2:8. 8a 3 Ne. 26:6–12.

Page 533: KITABU CHA MORMONI

3 Nefi 5:9–22 516

ongoni mwa watu wengi hivyokwa muda wa miaka ishirinina tano.9 Lakini tazama kuna amaandi-

shi ambayo yana mambo yoteya hawa watu; na taarifa fupizaidi na ya kweli ilitolewa naNefi.10 Kwa hivyo nimetengeneza

maandishi yangu ya vitu hivikulingana na kumbukumbu yaNefi, ambayo ilichorwa kwenyebamba ambazo ziliitwa bambaza Nefi.

11 Na tazama, ninatengene-za maandishi kwenye bambaambazo nimeunda kwa mikonoyangu mwenyewe.

12 Na tazama, ninai twaaMormoni, nikiitwa kufuatanana bnchi ya Mormoni, nchiambamo Alma alianzisha kanisamiongoni mwa watu, ndio, ka-nisa la kwanza ambalo lilianzi-shwa miongoni mwao baadaya uhalifu wao.

13 Tazama, mimi ni mwana-funzi wa Yesu Kristo, Mwanawa Mungu. Nimeitwa na yeyekutangaza neno lake miongonimwa watu wake, ili wawe namaisha yasiyo na mwisho.

14 Na imekuwa muhimu kwa-mba mimi, kwa kutii mapenziya Mungu, kwamba sala zawale ambao wameenda mbele,ambao walikuwa watakatifu,sharti itatimizwa kulingana naimani yao, niandike amaandi-shi ya vitu hivi ambavyo vime-fanywa —

15 Ndio, maandishi madogoya yale mambo ambayo yame-fanyika kutoka wakati ambaoLehi aliondoka Yerusalemu,hata chini mpaka wakati huu.

16 Kwa hivyo nitatengenezamaandishi yangu kutoka kwakumbukumbu ambazo zilitole-wa na wale ambao walikuwambele yangu, hadi mwanzo wamaisha yangu;

17 Na ndipo nafanya hayaamaandishi ya vitu ambavyonimeona kwa macho yangu.

18 Na ninajua maandishi nina-yoandika kuwa ya haki na yakweli; walakini kuna vitu vingiambavyo, kwa sababu ya lughayetu, hatuwezi akuviandika.19 Na sasa ninamaliza kuzu-

ngumza, juu yangu mwenyewe,na nitaendelea kutoa historiayangu ya vitu ambavyo vime-fanyika mbele yangu.

20 Mimi ni Mormoni, na ni wakizazi cha Lehi kamili. Ninayosababu ya kumsifu Mungu wa-ngu na Mwokozi wangu YesuKristo, kwamba aliwaleta babuzetu kutoka nchi ya Yerusalemu,(na ahakuna yeyote aliyeijua isi-pokuwa yeye tu na wale ambaoaliwaleta kutoka nchi hiyo) nakwamba amenipatia mimi nawatu wangu el imu nyingikatika wokovu wa nafsi zetu.

21 Kwa kweli ameibariki anyu-mba ya bYakobo, na amekuwana c huruma kwa uzao waYusufu.

22 Na aikiwa vile uzao wa

9a Hel. 3:13–15.12a Morm. 1:1–5.

b Mos. 18:4; Alma 5:3.14a Eno. 1:13–18;

M&M 3:19–20.17a Morm. 1:1.18a Eth. 12:25.20a 1 Ne. 4:36.

21a mwm Israeli.b Mwa. 32:28.c Kum. 33:13–17.

22a 2 Ne. 1:20.

Page 534: KITABU CHA MORMONI

517 3 Nefi 5:23–6:4

Lehi umetii amri zake amewa-bariki na kuwasaidia kufaniki-wa kulingana na neno lake.23 Ndio, na kwa kweli atale-

ta asazo la uzao wa Yusufubkuwaelemisha kuhusu BwanaMungu wao.

24 Na kwa kweli kadiri Bwanaanavyoishi, aatakusanya ndanikutoka katika pembe nne zadunia sazo lote la uzao waYakobo, ambao wametawanyi-ka ugenini kote usoni mwa nchi.

25 Na vile amefanya aganona nyumba yote ya Yakobo,hivyo hivyo agano ambaloamefanya na nyumba ya Yako-bo litatimizwa kwa wakati wakemwenyewe, kwa akurudishanyumba yote ya Yakobo kwe-nye ujuzi wa agano ambaloamefanya nao.26 Na hapo ndipo awatajua

Mkombozi wao, ambaye niYesu Kristo, Mwana wa Mungu;na ndipo watakusanywa kutokapembe nne za dunia hadi kwe-nye nchi zao, kutoka ambapowalitawanywa; ndio, kadiriBwana aishivyo ndivyo itaka-vyokuwa. Amina.

MLANGO WA 6

Wanefi wanafanikiwa — Kiburi,utajiri, na tofauti ya vyeo inatokea— Kanisa linavunjwa kwa mifara-kano — Shetani anaongoza watukwenye maasi yaliyo wazi — Ma -nabii wengi wanawaambia watu

watubu na wanauawa — Wauajiwao wanafanya hila kuchukuaserikali. Kutoka karibu mwaka wa26 hadi 30 baada ya kuzaliwakwa Kristo.

Na sasa ikawa kwamba watuwa Wanefi wote walirudi kwe-nye nchi zao katika mwaka waishirini na sita, kila mtu najamaa yake, wanyama wake,na mifugo yake, farasi wakena ngombe wake, na vitu vyotevilivyokuwa vyao.

2 Na ikawa kwamba waliku-wa hawajamaliza vyakula vyaovyote; kwa hivyo walichukuahivyo vyote ambavyo walikuwahawajala, nafaka yao yote yakila aina, na dhahabu yao, nafedha yao, na vitu vyao vyotevya thamani, na wakarudikwenye nchi zao na umilikiwao, kote kaskazini na kusini,kote katika nchi upande wakaskazini na nchi ya upandewa kusini.

3 Na waliwapatia ardhi walewezi ambao walishiriki ndaniya agano la kuweka amani yanchi, ambao walikuwa wame-pendelea kubaki Walamani,kulingana na wingi wao ili kwabidii yao wangeweza kujilisha;na hivyo wakaimarisha amanikote nchini.

4 Na walianza tena kufanikiwana kuwa wakubwa; na miakaya ishirini na sita na ya sabailipita, na kukawa na amrinchini; na wakawa wamete-

23a Alma 46:24.b 2 Ne. 3:12.

24a mwm Israeli—

Kukusanyika kwaIsraeli.

25a 3 Ne. 16:5.

26a 2 Ne. 30:5–8;3 Ne. 20:29–34.

Page 535: KITABU CHA MORMONI

3 Nefi 6:5–16 518

ngeneza sheria zao kulinganana usawa na haki.5 Na sasa hakukuwa na

kitu chochote kote nchini chakuwazui watu kufanikiwa sikuzote, isipokuwa kama wange-fanya kosa.

6 Na sasa ikawa ni Gidgidoni,na yule mwamuzi, Lakoneyo,na wale ambao walikuwa wa-meanzisha hii imani kuu katikanchi.

7 Na ikawa kwamba kulikuwana miji mingi iliyojengwa upya,na kulikuwa na miji mingi yakale iliyorekebishwa.

8 Na kulikuwa njia kuu nyingizilizojengwa, na barabara nyi-ngi zilizotengenezwa, ambazozil ielekea kutoka mji hadimwingine, na kutoka nchi hadinyingine, na kutoka mahalihadi pengine.

9 Na hivyo mwaka wa ishirinina nane ulipita, na watu wali-kuwa na amani siku zote.

10 Lakini ikawa katika mwa-ka wa ishirini na tisa, kukaanzakuwa na mabishano miongonimwa watu; na wengine walijii-nua kwa akiburi na majivunokwa sababu ya utajiri waomkuu, ndio, hata kwenye kute-sa wale ambao walikuwa masi-kini na wanyenyekevu.11 Kwani kulikuwa na wafa-

nyibiashara wengi katika nchi,na pia mawakili wengi, nawakuu wengi.

12 Na watu walianza kuta-mbuliwa kwa vyeo, kulinganana autajiri wao, na nafasi za ku-

soma; ndio, wengine walikuwahawajui kwa sababu ya umasi-kini wao, na wengine walipataelimu nyingi kwa sababu yautajiri wao.

13 Wengine walijiinua kwakiburi na wengine walikuwawanyenyekevu sana; na wengi-ne walimtukana yeyote aliyewa-tusi, wakati wengine wangepatamatusi na udhalimu na kila ainaya amateso, na bhawangegeukana kutoa matusi, lakini waliku-wa wanyenyekevu na wenyekutubu mbele ya Mungu.

14 Na hivyo kulikuwa nakutokuwa na usawa ndani yanchi yote, mpaka kwambakanisa lilianza kugawanywakwenye vikundi; ndio, mpakakwamba katika mwaka wa the-lathini, kanisa liligawanyikandani ya nchi yote isipokuwamiongoni mwa Walamaniwachache ambao waliogeukiaimani ya kweli; na hawangeia-cha, kwani walikuwa imara, nathabiti na wasiotingishika, nawanaotamani kwa abidii yotekutii amri za Bwana.

15 Sasa kiini cha huu uovu wawatu kilikuwa hiki — Shetanialikuwa na nguvu nyingi kwakuchochea watu kufanya ainayote ya uovu, na kujaza watuna kiburi, akiwashawishi kuta-futa uwezo na mamlaka, nautajiri, na vitu vilivyo bure vyaulimwengu.

16 Na kwa hivyo Shetani alii-potosha mbali mioyo ya watukufanya aina yote ya uovu;

6 10a mwm Kiburi.12a 1 Tim. 6:17–19;

Hel. 4:12.

13a mwm Mateso, Tesa.b Mt. 5:39;

4 Ne. 1:34;

M&M 98:23–25.14a mwm Bidii.

Page 536: KITABU CHA MORMONI

519 3 Nefi 6:17–26

kwa hivyo walifurahishwa naamani lakini kwa miaka micha-che tu.17 Na hivyo katika mwanzo wa

mwaka wa thelathini — watuwakiwa wameachiliwa kwamuda mrefu kuhangaishwa naamajaribio ya ibilisi mahalipote alipotaka kuwapeleka, nakufanya aina yote ya maovualiyotaka wafanye — na hivyomwanzoni mwa mwaka huu wathelathini, walikuwa kwenyehali ya uovu wa kuogopesha.18 Sasa hawakufanya dhambi

abila kujua, kwani walijua kileMungu alichotaka wafanye,kwani ilikuwa imefundishwakwao; kwa hivyo bwaliasi kwamakusudi dhidi ya Mungu.

19 Na sasa ilikuwa katika sikuza Lakoneyo, mwana wa Lako-neyo, kwani Lakoneyo alitwaakiti cha baba yake na akasima-mia watu mwaka huo.

20 Na kulianza kuwa na watuwaliotumwa mbele na akuongo-zwa kutoka mbinguni, ambaowalisimama miongoni mwawatu katika nchi yote, wakihu-biri na kushuhudia kwa ujasirikwa ajili ya dhambi na uovuwa watu, na kushuhudia kwaokuhusu ukombozi ambao Bwa-na angewafanyia watu wake, aukwa maneno mengine, ufufuowa Kristo; na walishuhudiakwa ujasiri bkifo chake na mau-mivu yake.21 Sasa kulikuwa na watu

wengi ambao walikasirika sana

kwa sababu ya wale ambao wa-lishuhudia vitu hivi; na waleambao walikasirika walikuwakwa wingi waamuzi wakuu nawale awaliokuwa makuhaniwakuu, na mawakili hapombeleni ; ndio, wale woteambao walikuwa mawakiliwaliwakasirikia wale ambaowalishuhudia vitu hivi.

22 Sasa hakukuwa na wakiliwala mwamuzi wala kuhanimkuu ambaye alikuwa na uwe-zo wa kuhukumu mtu yeyotekufa isipokuwa hukumu yaoiwekwe muhuri na mlinzi wanchi.

23 Sasa kulikuwa na wengiambao walishuhudia vitu hivikuhusu Kristo, ambao walishu-hudia kwa ujasiri, ambao wali-chukuliwa kisiri na kuuawa nawaamuzi, kwamba vifo vyaohavikujulikana na mtawala wanchi mpaka baada ya vifo vyao.

24 Sasa tazama, hii ilikuwakinyume cha sheria za nchi,kwamba mtu yeyote auawe isi-pokuwa wapate uwezo kutokakwa msimamizi wa nchi —

25 Kwa hivyo nung’unikolilitokea katika nchi ya Zara-hemla, kwa msimamizi wa nchi,dhidi ya hawa waamuzi ambaowalihukumu kufa kwa mana-bii wa Bwana, sio kulingana nasheria.

26 Sasa ikawa kwamba wali-chukuliwa na kuletwa mbele yamwamuzi, kuhukumiwa kwakosa ambalo walikuwa wamefa-

17a mwm Jaribu,Majaribu.

18a Mos. 3:11.b mwm Uasi.

20a mwm Maongozi yaMungu, Shawishi;Nabii.

b mwm Kusulubiwa;

Lipia dhambi,Upatanisho.

21a M&M 121:36–37.mwm Ukengeufu.

Page 537: KITABU CHA MORMONI

3 Nefi 6:27–7:6 520

nya, kulingana na asheria amba-yo ilikuwa imetolewa na watu.27 Na ikawa kwamba hawa

waamuzi walikuwa na marafikiwengi na jamaa; na waliosalia,ndio, hata karibu mawakili wotena makuhani wakuu, walijiku-sanya pamoja na kujiunga najamaa za waamuzi ambao wali-kuwa wajaribiwe kulingana nasheria.

28 Na walifanya agano kilammoja na mwingine, ndio, hatakwenye lile aagano ambalo lili-tolewa na wale wa kale, aganoambalo lilitolewa na kusimami-wa na bibilisi, kuungana dhidiya wote walio haki.

29 Kwa hivyo waliunganadhidi ya watu wa Bwana, nakufanya agano kuwaangamiza,na kuokoa wale ambao waliku-wa na hatia ya kuua kutokanana kufahamu haki, ambayo ili-kuwa karibu kutekelezwa kuli-ngana na sheria.

30 Na walidharau sheria nahaki za nchi yao; na wakafa-nya agano wao wenyewe kwawenyewe kumwangamiza msi-mamizi, na kumweka amfalmejuu ya nchi, ili nchi isiwe nauhuru lakini iwe chini yawafalme.

MLANGO WA 7

Mwamuzi mkuu anauawa, serikaliinavunjwa, na watu wanagawanyi-ka kwa makabila—Yakobo, mpingaKristo, anakuwa mfalme wa kundi

la siri — Nefi anahubiri toba naimani katika Kristo—Malaika wa-namhubiria kila siku, na anamfufuakaka yake kutoka kwa wafu —Wengi wanatubu na wanabatizwa.Kutoka karibu mwaka wa 30 hadi33 baada ya kuzaliwa kwa Kristo.

Sasa tazama nitawaonyeshanyinyi kwamba hawakumwekamfalme juu ya nchi, lakini kati-ka mwaka huu huu, ndio,mwaka wa thelathini, walimwa-ngamiza na kumuua mwamuzimkuu akiwa kwenye kiti chakecha hukumu.

2 Na watu waligawanyikammoja dhidi ya mwingine; nawalijitenga mmoja kutoka kwamwingine kwa makabila, kilamtu kulingana na jamaa yakena ukoo wake na marafiki; nahivyo wakaharibu serikali yanchi.

3 Na kila kabila lilichaguachifu au kiongozi juu yao; nahivyo wakapata kuwa makabilana viongozi wa makabila.

4 Sasa tazama, kila mtu mio-ngoni mwao alikuwa na wengikatika jamaa yake, na nduguwengi na marafiki; kwa hivyomakabila yao yalikuwa maku-bwa sana.

5 Sasa hii yote ilifanyika, nabado hakukuwa na vita miongo-ni mwao; na huu uovu woteulikuwa umewajia watu kwasababu awalijisalimisha kwanguvu ya Shetani.

6 Na sheria za serikali zilihari-biwa, kwa sababu ya shirika la

26a Mos. 29:25;Alma 1:14.

28a mwm Makundi

maovu ya siri.b Hel. 6:26–30.

30a 1 Sam. 8:5–7;

Alma 51:5.7 5a Rum. 6:13–16;

Alma 10:25.

Page 538: KITABU CHA MORMONI

521 3 Nefi 7:7–14asiri la marafiki na ukoo wawale ambao waliwaua manabii.7 Na walisababisha ubishi

mwingi nchini, mpaka kwambasehemu kubwa ya wenye hakiilikuwa karibu yote imekuwambaya; ndio, kulikuwa tu watuwachache wenye haki miongonimwao.

8 Na hivyo miaka sita ilikuwahaijapita tangu sehemu kubwaya watu igeuke kutoka kwahaki, kama mbwa akiyarudiaamatapiko yake mwenyewe aukama nguruwe aliyeoshwa aki-rudi kugaagaa matopeni.9 Sasa hili shirika ovu la siri

ambalo lilileta uovu mwingi juuya watu, walijikusanya pamoja,na wakamweka mtu waliye-mwita Yakobo kuwa kiongoziwao;

10 Na walimwita mfalme wao;kwa hivyo alipata kuwa mfalmewa hili kundi ovu; na alikuwammoja wa watu mashuhuri,ambaye alitoa sauti yake dhidiya manabii ambao walishuhu-dia kuhusu Yesu.

11 Na ikawa kwamba hawa-kuwa wengi kama makabilaya watu, ambao waliungana pa-moja isipokuwa viongozi waowaliweka sheria kila mmojakwa kabila lake; hata hivyowalikuwa maadui; ingawa ha-wakuwa watu wa haki, lakiniwaliunganishwa katika chukiya wale ambao walikuwa wa-mefanya agano kuangamizaserikali.

12 Kwa hivyo, Yakobo akionakwamba maadui wao walikuwa

wengi kuliko wao, kwa sababualikuwa mfalme wa lile kundi,kwa hivyo aliamuru watu wakekwamba wakimbilie upande wakaskazini kabisa ya nchi, nahuko waanzishe adola yao,mpaka waasi watakapojiunganao, (kwani aliwabembelezakwamba kutakuwa na waasiwengi) na mpaka wawe nanguvu ya kutosha kukabilianana makabila ya watu; na wali-fanya hivyo.

13 Na mwendo wao ulikuwawa kasi sana kwamba hawange-simamishwa mpaka walipoku-wa wameenda mbali kupitaambapo watu wangewafikia.Na hivyo ukaisha mwaka wathelathini; na hivyo ndivyoshughuli za watu wa Nefi zili-vyokuwa.

14 Na ikawa katika mwakawa thelathini na moja kwambawalijigawa katika makabila,kila mtu kulingana na jamaayake, ukoo na marafiki; lakiniwalikuwa wamefikia mkatabakwamba hawangeanza vitatena mmoja na mwingine; laki-ni hawakujiunga katika sheriazao, na kila kabila lilikuwa naaina yake ya serikali, kwanizil ianzishwa kufuatana nafikira za wale ambao walikuwawakuu wao. Lakini walianzishasheria kali sana kwamba kabilamoja lisichukize lingine, mpakakwamba kwa kiasi fulani wali-kuwa na amani nchini; lakini,mioyo yao iligeuka kutokakwa Bwana Mungu wao, na wa-kawapiga kwa mawe, manabii

6a 2 Ne. 9:9. 8a Mit. 26:11; 2 Pet. 2:22. 12a 3 Ne. 6:30.

Page 539: KITABU CHA MORMONI

3 Nefi 7:15–25 522

na kuwatupa nje kutoka mio-ngoni mwao.15 Na ikawa kwamba aNefi —

akishatembelewa na malaika,na pia sauti ya Bwana, kwahivyo akiwa ameona malaika,na akiwa shahidi aliyeona namacho, na akiwa amepewauwezo ili ajue kuhusu hudumaya Kristo, na pia akiwa shahidialiyeona na macho kurudikwao kwa haraka kutoka kwahaki hadi kwenye uovu waona machukizo;

16 Kwa hivyo, kwa sababu yakuhuzunishwa kwa sababu yaugumu wa mioyo yao na kuto-fahamu kwa akili zao — alie-ndelea miongoni mwao katikahuo huo mwaka na kuanza ku-shuhudia kwa ujasiri, toba namsamaha wa dhambi kupitiaimani katika Bwana Yesu Kristo.

17 Na aliwafundisha vitu vi-ngi; na vyote haviwezi kuandi-kwa, na sehemu yao haiwezikutosheleza, na kwa hivyo ha-vijaandikwa kwenye kitabuhiki. Na Nefi alifundisha kwaauwezo na mamlaka.18 Na ikawa kwamba walim-

kasirikia, hata kwa sababualikuwa na uwezo kuwaliko,kwani ahaikuwezekana kwambawashuku neno lake, kwani ima-ni yake kwa Bwana Yesu Kristoilikuwa kubwa kwamba malai-ka walimhudumia kila siku.19 Na katika jina la Yesu

alitupa nje mashetani na pepoambaya; na hata alimfufua kakayake kutoka kwa wafu, baada

ya watu kumpiga kwa mawena kumuua.

20 Na watu waliona, na ku-shuhudia kuwa ilitendeka, nawalimkasirikia kwa sababu yauwezo wake; na pia alifanyamiujiza amingi, machoni mwawatu, katika jina la Yesu.

21 Na ikawa kwamba mwakawa thelathini na moja uliisha, nakulikuwa tu wachache ambaowalimgeukia Bwana; lakini ka-diri wengi waliogeuka walio-nyesha watu kwamba walite-mbelewa na uwezo na Roho waMungu, ambaye alikuwa katikaYesu Kristo, ambamo kwakewaliamini.

22 Na jinsi kwa wengi mashe-tani yalikuwa yametupwa njeyao, na magonjwa yao kupo-nywa, na udhaifu wao, walishu-hudia kwa ukweli kwa watukwamba waliguswa na Rohoya Mungu, na walikuwa wa-meponywa; na waliendelea ku-onyesha ishara pia na kufanyamiujiza miongoni mwa watu.

23 Hivyo mwaka wa thelathinina mbili uliisha pia. Na Nefialiwazungumzia watu kwa sa-uti kubwa katika mwanzo wamwaka wa thelathini na tatu;na aliwahubiria toba na msa-maha wa dhambi.

24 Sasa nataka wewe ukumbu-ke pia, kwamba hakukuwa nammoja ambaye aliletwa kwenyetoba ambaye ahakubatizwa kwamaji.

25 Kwa hivyo walitawazwana Nefi, watu kwa huduma hii,

15a 3 Ne. 1:2.17a mwm Uwezo.18a 2 Ne. 33:1;

Alma 4:19.19a mwm Roho—

Pepo wachafu.

20a 3 Ne. 8:1.24a mwm Batiza, Ubatizo.

Page 540: KITABU CHA MORMONI

523 3 Nefi 7:26–8:11

kwamba yeyote atakayekujakwao wangembatiza kwa maji,na walifanya hii kama ushahidina ushuhuda mbele ya Mungu,na kwa watu, kwamba wametu-bu na akusamehewa dhambi zao.26 Na kulikuwa na wengi

katika mwanzo wa mwaka huuambao walibatizwa ubatizo watoba, na hivyo sehemu kubwaya mwaka ilipita.

MLANGO WA 8

Dhoruba, matetemeko, moto, vi-mbunga, na mchafuko wa ardhiulishuhudia kusulubiwa kwa Kristo— Watu wengi wanaangamizwa— Giza linafunika nchi kwa mudawa siku tatu — Wale wanaosaliawanahuzunika kwa sababu ya ma-jaliwa yao. Kutoka karibu mwakawa 33 hadi 34 baada ya kuzaliwakwa Kristo.

Na sasa ikawa kwamba kuli-ngana na maandishi yetu, natunajua maandishi yetu kuwaya kweli, kwani tazama, aliku-wa mtu wa haki ambaye alia-ndika haya maandishi — kwanikweli alifanya amiujiza mingikatika bjina la Yesu; na hakuku-weko na mtu yeyote ambayeangefanya miujiza katika jinala Yesu isipokuwa awe ameo-shwa kila chembe kutokana nauovu wake.

2 Na sasa ikawa, kama haku-

kuwa na kosa lililotendwa nahuyu mtu katika kuhesabu ma-jira yetu, mwaka wa athelathinina tatu ulikuwa umepita.

3 Na watu walianza kuangaliakwa bidii kwa ishara ambayoilitolewa na nabii Samweli, Mla-mani, ndio, kwa wakati ambaokungekuwa na agiza kwa mudawa siku tatu usoni mwa nchi.

4 Na kulianza kuwa na masha-ka makuu na ugomvi miongonimwa watu, ingawaje aisharanyingi zilikuwa zimetolewa.

5 Na ikawa katika mwaka wathelathini na nne, katika mweziwa kwanza siku ya nne ya mwe-zi, kulitokea dhoruba kubwa,ambayo haijawahi kujulikanakatika nchi yote.

6 Na kulikuwa pia tufani ku-bwa na ya kutisha; na kukawana aradi ya kutisha, mpakakwamba bilitingisha dunia yotekama karibu kupasuka mbali-mbali.

7 Na kulikuwa na umeme wanguvu sana, ambao haujajuli-kana katika nchi yote.

8 Na amji wa Zarahemla ulia-nza kuchomeka.

9 Na mji wa Moroni ulizamakwenye kilindi cha bahari, nawakazi wake walitota.

10 Na ardhi ilifunika mji waMoroniha, kwamba katika ma-hali pa mji kulitokea mlimamkubwa.

11 Na kulikuwa na uharibifu

25a M&M 20:37.mwm Ondoleo laDhambi.

8 1a 3 Ne. 7:19–20;Morm. 9:18–19.

b Mdo. 3:6;

Yak. (KM) 4:6.2a 3 Ne. 2:8.3a 1 Ne. 19:10;

Hel. 14:20, 27;3 Ne. 10:9.

4a mwm Kusulubiwa.

6a 1 Ne. 19:11;Hel. 14:21.

b Mt. 27:45, 50–51.8a 4 Ne. 1:7–8.

Page 541: KITABU CHA MORMONI

3 Nefi 8:12–23 524

mkuu na wa kutisha katikanchi ya upande wa kusini.12 Lakini tazama, kulikuwa

na uharibifu mkubwa zaidi nawa kutisha katika nchi ya upa-nde wa kaskazini; kwani taza-ma, sura ya nchi yote ilibadilika,kwa sababu ya tufani na ki-mbunga, na radi na umeme, natetemeko kubwa la nchi yote.

13 Na barabara akuu zilibo-moka, na barabara laini ziliha-ribika, na mahali pengi lainipalikwaruzwa.

14 Na miji mingi iliyojulikanaailizama, na mingi ikachomwa,na mingi ilitingishwa mpakamajengo yao yakaanguka ardhi-ni, na wakazi wa miji waliuawa,na mahali paliwachwa penyeukiwa.15 Na kulikuwa na miji amba-

yo ilibaki; lakini uharibifukwayo ulikuwa mkubwa sana,na kulikuwa na wengi ndani yamiji ambao waliuawa.

16 Na kulikuwa na wengineambao walichukuliwa na vi-mbunga; na mahali walipoendahakuna mtu anayejua, isipoku-wa wanajua kwamba walipele-kwa mbali.

17 Na hivyo uso wa ardhiyote uligeuzwa, kwa sababu yatufani, na radi, na umeme, nakutingishika kwa nchi.

18 Na tazama, amiamba ilipa-suka punde mbili; ilivunjikajuu ya uso wa ardhi yote, mpa-ka kwamba ilipatikana katikavipande, kwa nyufa na mianya,juu ya uso wa nchi yote.

19 Na ikawa kwamba wakatiradi, na umeme, na vimbunga,na tufani, na tetemeko la nchivilipokwisha — kwani tazama,ulidumu muda wa masaa ama-tatu; na watu wengine walise-ma kwamba muda ulikuwamrefu kuliko huo; walakinivitu hivi vyote vikubwa na vyakutisha vilifanyika katika mudawa masaa matatu — na kishatazama, kulikuwa na giza juuya nchi.

20 Na ikawa kwamba kuliku-wa na giza jeusi juu ya uso wanchi, mpaka kwamba wakaziwake ambao walikuwa hawaja-kufa waliweza akuhisi bukunguwa giza;

21 Na hakungekuwa na mwa-nga kwa sababu ya giza, walamshumaa, wala mienge; walahakungewashwa moto na mitiyao mizuri na iliyokauka sana,kwamba hakungekuwa mwa-nga wowote;

22 Na hakukuonekana mwa-nga wowote, wala moto, walamwanga kidogo, wala jua, walamwezi, wala nyota, kwani uku-ngu wa giza ulikuwa mwingisana ambao ulikuwa juu ya usowa nchi.

23 Na ikawa kwamba ulidumukwa muda wa siku atatu kwa-mba hakukuwa na mwangaambao ulionekana; na kulikuwana maombolezo makubwa nakulia kwa hasira na kilio mio-ngoni mwa watu wote bilakikomo; ndio, kulikuwa nakugumia kwingi kwa watu,

13a Hel. 14:24;3 Ne. 6:8.

14a 1 Ne. 12:4.

18a Hel. 14:21–22.19a Lk. 23:44.20a Kut. 10:21–22.

b 1 Ne. 12:5; 19:11.23a 1 Ne. 19:10.

Page 542: KITABU CHA MORMONI

525 3 Nefi 8:24–9:8

kwa sababu ya giza na uharibifumkubwa ambao uliwajia.24 Na mahali pamoja walisiki-

ka wakilia wakisema: Ee kwa-mba kama tulikuwa tumetubumbele ya siku hii kubwa yakutisha, na basi ndugu zetuwangehurumiwa, na hawange-chomwa katika ule mji mkuuwa aZarahemla.25 Na mahali pengine wali-

sikika wakilia wakisema: Eetunatamani kama tungekuwatumetubu mbele ya hii siku ku-bwa ya kutisha, na kuwa hatu-ngeua na kupiga manabii kwamawe, na kuwatupa nje; hapomama zetu na mabinti zetuwarembo, na watoto wetu wa-ngehurumiwa, na hawangezi-kwa katika mji wa Moroniha.Na hivyo vilio vya watu viliku-wa vikubwa na vya kuhofisha.

MLANGO WA 9

Katika giza, sauti ya Kristo inata-ngaza kuangamizwa kwa watuwengi na miji kwa sababu ya uovuwao — Anatangaza pia uunguwake, anatangaza kwamba sheriaya Musa imetimizwa, na anawaitawatu waje kwake na waokolewe.Karibu mwaka wa 34 baada yakuzaliwa kwa Kristo.

Na ikawa kwamba kulikuwa naasauti iliyosikika miongoni mwawakazi wa nchi, juu ya uso wanchi hii, wakisema kwa sauti:2 Ole, ole, ole kwa watu hawa;

aole kwa wakazi wa dunia nzima

isipokuwa watubu; kwani ibilisibhucheka, na malaika wake hu-furahi, kwa sababu ya mauajiya vijana wazuri na mabinti zawatu wangu; na imefanyikakwa sababu ya uovu wao namachukizo kwamba wamekufa.

3 Tazama, nimeuchoma mjimkuu wa Zarahemla na wakaziwake kwa moto.

4 Na tazama ule mji mkuuMoroni nimeuzamisha kwenyekilindi cha bahari, na wakaziwake wamekufa maji.

5 Na tazama huo mji mkuuMoroniha nimeufunika kwaudongo, pamoja na wakaziwake, kuficha uovu wao na ma-chukizo yao kutoka usoni mwa-ngu, kwamba damu ya manabiina watakatifu haitarudi maranyingine kwangu tena dhidi yao.

6 Na tazama, mji wa Gilgalinimeusababisha kuzama nawakazi wake kuzikwa kwenyekina cha ardhi.

7 Ndio, na mji wa Oniha nawakazi wake, na mji wa Moku-mu na wakazi wake, na mji waYerusalemu na wakazi wake;na nimesababisha amaji kujamahali ambapo walikuwa, ku-ficha uovu wao na machukizokutoka mbele ya uso wangu, ilidamu ya manabii na ya wata-katifu haitakuja mara nyinginekwangu dhidi yao.

8 Na tazama, mji wa Gadiandi,na mji wa Gadiomna, na mji waYakobo, na mji wa Gimgimno,nimesababisha hiyo yote kuza-mishwa, na kubunisha avilima

24a Hel. 13:12.9 1a 1 Ne. 19:11;

3 Ne. 11:10.

2a Mt. 11:20–21.b Musa 7:26.

7a Eze. 26:19.

8a 1 Ne. 19:11.

Page 543: KITABU CHA MORMONI

3 Nefi 9:9–17 526

na mabonde katika mahali pao;na wakazi wake nimewazikakwenye kina cha ardhi, ili kufi-cha uovu wao na machukizokutoka mbele ya uso wangu,kwamba damu ya manabii naya watakatifu isije mara nyi-ngine kwangu dhidi yao.9 Na tazama, ule mji mkuu

Yakobugathi, ambao ulikuwana watu wa Yakobo, nimesaba-bisha kuchomwa kwa motokwa sababu ya dhambi zao, nauovu wao, ambao ulikuwamwingi kuliko uovu wa dunianzima, kwa sababu ya wauajiwao wa asiri na mashirika;kwani ni hao ambao walihari-bu amani ya watu wangu naserikali ya nchi; kwa hivyo nili-sababisha wachomwe, bkuwaa-ngamiza kutoka uso wangu,kwamba damu ya manabii naya watakatifu isije kwangumara nyingine dhidi yao.10 Na tazama, mji wa Lamani,

na mji wa Yoshi, na mji waGadi, na mji wa Kishkumeni,nimesababisha kuchomwa kwamoto, na wakazi wake, kwasababu ya uovu wao kwa kuwa-tupa nje manabii, na kuwapigakwa mawe wale ambao niliwa-tuma kuwatangazia kuhusuuovu wao na machukizo yao.

11 Na kwa sababu waliwatupawote nje, kwamba hakukuwana yeyote aliyekuwa wa hakimiongoni mwao, nilituma chini

amoto na kuwaangamiza, kwa-mba uovu wao na machukizoyao yaweze kufichwa kutokambele ya uso wangu kwambadamu ya manabii na ya wataka-tifu ambao niliwatuma miongo-ni mwao isilie kwangu bkutokachini dhidi yao.

12 Na nimesababisha maanga-mizo amengi juu ya nchi hii, najuu ya hawa watu, kwa sababuya uovu wao na machukizo yao.

13 Ee nyinyi nyote ambaoammeachiliwa kwa sababu mli-kuwa wenye haki kuliko hao, jemtarudi kwangu sasa, na kutu-bu dhambi zenu, na kugeukaili bniwaponye?14 Ndio, kwa kweli nawaa-

mbia, ikiwa amtakuja kwangu,mtapata uzima wa bmilele. Ta-zama, cmkono wangu wa rehe-ma umenyoshwa kwenu, nayeyote atakayekuja, nitampo-kea; na heri ni wao ambao hujakwangu.

15 Tazama mimi ni Yesu KristoMwana wa Mungu. aNiliumbambingu na dunia, na vitu vyotevilivyomo. Nilikuwa na Babakutoka mwanzo. bNiko ndani yaBaba na Baba ndani yangu; nandani yangu Baba ametukuzajina lake.

16 Nilikuja kwangu na waliowangu ahawakunipokea. Namaandiko kuhusu kuja kwanguyametimizwa.

17 Na vile wengi ambao wa-

9a Hel. 6:17–18, 21.b Mos. 12:8.

11a 2 Fal. 1:9–16;Hel. 13:13.

b Mwa. 4:10.12a 3 Ne. 8:8–10, 14.13a 3 Ne. 10:12.

b Yer. 3:22;3 Ne. 18:32.

14a 2 Ne. 26:24–28;Alma 5:33–36.

b Yn. 3:16.c Alma 19:36.

15a Yn. 1:1–3; Kol. 1:16;

Hel. 14:12;Eth. 4:7;M&M 14:9.

b Yn. 17:20–22;3 Ne. 11:27; 19:23, 29.

16a Yn. 1:11;M&M 6:21.

Page 544: KITABU CHA MORMONI

527 3 Nefi 9:18–10:3

menipokea, kwao animewapa-tia kufanyika wana wa Mungu;na hata hivyo nitawafanyakuwa wengi vile vile wataaminikwa jina langu, kwani tazama,kupitia kwangu, bukombozihuja, na ndani yangu na kupitiakwangu csheria ya Musa imeti-mizwa.

18 Mimi ndimi anuru na uzimawa ulimwengu. Mimi ndimibAlfa na cOmega, mwanzo namwisho.

19 Na ahamtatoa kwangu tenakumwagwa kwa damu; ndio,dhabihu na sadaka zenu za ku-teketezwa zitakomeshwa, kwa-ni sitakubali dhabihu na sadakuzenu zozote za kuteketezwa.

20 Na mtatoa kwangu adhabi-hu ya moyo uliopondeka naroho iliyovunjika. Na yeyoteatakayekuja kwangu na moyouliopondeka na roho iliyovu-njika, na huyo bnitambatizakwa moto na Roho Mtakatifu,hata kwa njia sawa kama Wala-mani, kwa sababu ya imani yaokwangu wakati wa kuokokakwao, walibatizwa kwa moto naRoho Mtakatifu, na hawakujua.

21 Tazama, nimekuja dunianikuleta ukombozi ili kuokoadunia kutoka dhambini.

22 Kwa hivyo yeyote aanaye-tubu na kuja kwangu kamabmtoto mdogo yeye, nitampo-

kea, kwani hivyo ndivyo ulivyoufalme wa Mungu. Tazama,kwa ajili ya kama hawa, cnime-toa maisha yangu, na nimeya-chukua tena; kwa hivyo tubu,na mje kwangu nyinyi nyotemlio duniani na muokolewe.

MLANGO WA 10

Kuna unyamavu katika nchi kwamasaa mengi — Sauti ya Kristoinaahidi kukusanya watu wakekama vile kuku hukusanya vifara-nga wake—Sehemu kubwa ya walewalio haki imehifadhiwa. Kutokakaribu mwaka wa 34 hadi 35 baadaya kuzaliwa kwa Kristo.

Na sasa tazama, ikawa kwambawatu wote nchini walisikia semihizi, na walizishuhudia. Na ba-ada ya semi hizi, kulikuwa naunyamavu nchini kwa masaamengi;

2 Kwani mshangao wa watuulikuwa mkubwa sana kwambawakakoma kuomboleza na ku-lilia upotevu wa jamaa zaoambao walikuwa wameuawa;kwa hivyo kulikuwa na unya-mavu katika nchi yote kwamuda wa masaa mengi.

3 Na ikawa kwamba kulitokeasauti tena kwa watu, na watuwote waliisikia, na wakaishu-hudia ikisema:

17a Yn. 1:12.mwm Mwanadamu,Wanadamu—Mwanadamu,uwezekano wa kuwakama Baba waMbinguni; Wana naMabinti wa Mungu.

b mwm Komboa,

Kombolewa,Ukombozi.

c 3 Ne. 12:19, 46–47;15:2–9.

18a mwm Nuru, Nuruya Kristo.

b Ufu. 1:8.mwm Alfa na Omega.

c mwm Alfa na Omega.

19a Alma 34:13.20a 3 Ne. 12:19;

M&M 20:37.b 2 Ne. 31:13–14.

22a mwm Toba, Tubu.b Mk. 10:15;

Mos. 3:19;3 Ne. 11:37–38.

c Yn. 10:15–18.

Page 545: KITABU CHA MORMONI

3 Nefi 10:4–14 528

4 Ee nyinyi watu wa mijiamikubwa ambayo imeanguka,ambao ni vizazi vya Yakobo,ndio, ambao ni wa nyumba yaIsraeli, ni mara ngapi nimewa-kusanya kama vile kuku aviku-sanyavyo vifaranga vyake chiniya mbawa, na bnimewalisha.

5 Na tena, amara ngapi ninge-mkusanya kama vile kuku hu-kusanya vifaranga wake chiniya mabawa yake, ndio, Ee nyi-nyi watu wa nyumba ya Israeli,ambao mmeanguka; ndio, Eenyinyi watu wa nyumba yaIsraeli, nyinyi mnaoishi Yeru-salemu, kama vile wale ambaowameangamizwa; mara ngapiningekuwa nimewakusanyakama vile kuku avikusanyavyovifaranga vyake chini ya maba-wa na hamnikubalii.6 Ee nyinyi nyumba ya Israeli

ambao animewahurumia, nimara ngapi nitawakusanyakama vile kuku hukusanya vi-faranga wake chini ya mabawayake, ikiwa mtatubu na bkuni-rudia kwa lengo moja la cmoyo.7 Lakini kama sivyo, Ee nyu-

mba ya Israeli, mahali penu pamakao patakuwa tupu mpakawakati wa kutimiza aaganonililofanya na babu zenu.

8 Na sasa ikawa kwambabaada ya watu kusikia hayamaneno, tazama walianza kuliana kuzomea tena kwa sababuya vifo vya jamaa zao.

9 Na ikawa kwamba hivyo

siku tatu zilipita. Na ilikuwaasubuhi, na agiza likatowekakutoka uso wa nchi, na ardhiikakoma kutetemeka, na mia-mba ikakoma kupasuka, nakuzomea kwa kutisha kuliko-ma, na makelele yote ya ghasiayalikoma.

10 Na nchi ilishikamana tenapamoja kwamba ikaimarika; nakuomboleza, na kulia, na kuliakwa huzuni kwa watu walioa-chwa wazima kulikoma; na ma-ombolezi yao yaligeuka kuwashangwe, na kulia kwao kwahasira kwa kusifu na kumshu-kuru Bwana Yesu Kristo Mko-mbozi wao.

11 Na hivyo kwa kiwangomaandiko ayalitimia ambayoyalizungumzwa na manabii.

12 Na ikawa sehemu ya waliohaki azaidi ambao waliokolewa,na walikuwa hao ambao walipo-kea manabii na hawakuwapigakwa mawe; na walikuwa haoambao hawakumwaga damu yawatakatifu, ambao waliachwa—

13 Na walihurumiwa na ha-wakuzamishwa na kuzikwaardhini; na hawakuzamishwakwenye kina cha bahari; na ha-wakuchomwa kwa moto, walahawakuangukiwa na kuvunjwavipande hadi kufa; na hawaku-bebwa na tufani; wala hawaku-nyongwa na mvuke wa moshina giza.

14 Na sasa yeyote asomaye,acha aelewe; yule ambaye ana

10 4a 3 Ne. 8:14.b 1 Ne. 17:3.

5a Mt. 23:37;M&M 43:24–25.

6a 3 Ne. 9:13.

b 1 Sam. 7:3;Hel. 13:11;3 Ne. 24:7.

c Eze. 36:26.7a mwm Agano.

9a 3 Ne. 8:19.11a Mdo. 3:18–20.12a 2 Ne. 26:8;

3 Ne. 9:13.

Page 546: KITABU CHA MORMONI

529 3 Nefi 10:15–11:1

maandiko, acha aayapekue, naaone na kutazama ikiwa hivivifo na maangamizo kwa moto,na kwa moshi na kwa dhoruba,na kwa tufani na kwa bkufu-nguliwa kwa ardhi kuwameza,na hivi vitu vyote havitimiziunabii wa manabii wengi wa-takatifu.

15 Tazama, ninawaambia, Ndio,wengi wameshuhudia vitu hiviwakati wa kuja kwa Kristo, naawaliuawa kwa sababu wali-shuhudia vitu hivi.

16 Ndio, nabi i a Zeno piaalishuhudia vitu hivi, na piaZenoki alizungumza kuhusuvitu hivi, kwa sababu vilishu-hudia zaidi kutuhusu, ambaoni sazo la uzao wao.

17 Tazama, baba yetu Yakobopia alishuhudia kuhusu asazo lauzao wa Yusufu. Na tazama, sisisio sazo la uzao wa Yusufu? Nahivi vitu ambavyo vinashuhu-dia juu yao vimeandikwa kwe-nye bamba za shaba ambazobabu yetu Lehi alileta kutokaYerusalemu?

18 Na ikawa kwamba mwisho-ni mwa mwaka wa thelathinina nne, tazama, nitawawonye-sha kwamba watu wa Nefiambao walihurumiwa, na piawale ambao waliitwa Wala-mani, ambao walihurumiwa,upendeleo mwingi ulionye-shwa kwao, na baraka nyingizilimwagwa vichwani mwao,mpaka kwamba mara baadaya akupanda kwa Kristo mbi-

nguni kwa kweli alijidhihiri-sha kwao —

19 aAkiwaonyesha mwili wake,na kuwahudumia; na historiaya huduma yake itatolewa baa-daye. Kwa hivyo kwa wakatihuu ninaweka kikomo kwamaneno yangu.

Yesu Kristo alijidhihirisha kwawatu wa Nefi, wakati umatiulipokuwa umejikusanya pa-moja katika nchi ya Neema, naakawahubiria; na hivi ndivyoalivyojidhihirisha kwao.

Yenye milango ya 11hadi 26 yote pamoja.

MLANGO WA 11

Baba anashuhudia kuhusu Mwanawake Mpendwa — Kristo anatokeana kutangaza upatanisho wake —Watu wanapapasa alama za vido-nda katika mikono yake na miguuyake na ubavu — Wanapiga yoweHosana — Anaanzisha utaratibuna aina ya ubatizo — Roho yaubishi ni ya ibilisi — Mafundishoya Kristo ni kwamba watu waa-mini na wabatizwe na wapokeeRoho Mtakatifu. Karibu mwakawa 34 baada ya kuzaliwa kwaKristo.

Na sasa ikawa kwamba kuli-kuwa na umati mkubwa ulio-kusanyika pamoja, wa watuwa Nefi, karibu na hekaluambalo lilikuwa katika nchi ya

14a mwm Maandiko—Thamani ya maandiko.

b 1 Ne. 19:11;2 Ne. 26:5.

15a mwm Kifo chakishahidi, Mfiadini.

16a Hel. 8:19–20.17a 2 Ne. 3:4–5;

Alma 46:24;3 Ne. 5:23–24.

18a Mdo. 1:9–11.19a 3 Ne. 11:12–15.

Page 547: KITABU CHA MORMONI

3 Nefi 11:2–12 530

Neema; na walistaajabu na ku-shangaa mmoja na mwingine,na walionyeshana mabadilikoamakubwa na ya ajabu ambayoyalikuwa yamefanyika.2 Na walikuwa wanamzungu-

mzia huyu Yesu Kristo, ambayeaishara zilikuwa zimetolewakuhusu kifo chake.

3 Na ikawa kwamba wakatiwalipokuwa huko wakizungu-mza mmoja na mwingine, wa-lisikia asauti kama iliyotokeambinguni; na wakaelekeza ma-cho yao kila upande, kwanihawakutambua hiyo saut iambayo walisikia; na haikuwasauti kali, wala ya makelele;walakini, na ingawa ilikuwasauti bndogo tulivu, iliwapenyawale walioisikia hadi moyoni,mpaka kwamba hakukuwekona sehemu ya miili yao ambayohaikutetemeka; ndio, iliwatoboampaka kwenye roho yenyewe,na ikasababisha mioyo yaokuchomeka.

4 Na ikawa tena kwambawalisikia ile sauti, na hawakui-tambua.

5 Na tena mara ya tatu waka-sikia hiyo sauti, na wakafunguamasikio yao kuisikiliza; na ma-cho yao yakaelekea kule kuli-kotokea sauti; na walitazamakwa uthabiti kuelekea mbingu-ni, kule ambako sauti ilitokea.

6 Na tazama, mara ya tatuwalielewa ile sauti ambayowalisikia; na ikawaambia:

7 Tazama Mwana wanguaMpendwa ninayependezwabna yeye, ambaye ndani yakenimetukuza jina langu — msi-kilizeni yeye.

8 Na ikawa walipofahamu,walielekeza macho yao tenambinguni; na tazama, awali-mwona mtu akiteremka kutokambinguni, na alikuwa amevaajoho refu leupe; na akaja chinina kusimama katikati yao; namacho ya umati wote yaligeukakumwangalia, na hawakufu-ngua vinywa vyao, hata mmojakwa mwingine, na hawakujuakilichomaanishwa, kwani wa-lidhani ni malaika ambayealionekana kwao.

9 Na ikawa kwamba alinyoshamkono wake mbele na kuzu-ngumza kwa watu akisema:

10 Tazama, Mimi ni YesuKristo ambaye manabii walishu-hudia atakuja ndani ya uli-mwengu.

11 Na tazama mimi ni anuruna uzima wa ulimwengu; nan i m e k u n y w a k u t o k a k w abkikombe kichungu ambachoBaba amenipatia, na nimemtu-kuza Bwana kwa ckujivika dha-mbi za ulimwengu ambamondani yake nimevumilia dma-penzi ya Baba katika vitu vyotekutoka mwanzo.

12 Na ikawa kwamba wakatiYesu alipokuwa amesema hayamaneno, umati wote uliinamakwenye ardhi; kwani wali-

11 1a 3 Ne. 8:11–14.2a Hel. 14:20–27.3a Kum. 4:33–36;

Hel. 5:29–33.b 1 Fal. 19:11–13;

M&M 85:6.

7a Mt. 3:17; 17:5;JS—H 1:17.

b 3 Ne. 9:15.8a 1 Ne. 12:6; 2 Ne. 26:1.

11a mwm Nuru, Nuruya Kristo.

b Mt. 26:39, 42.c Yn. 1:29;

M&M 19:18–19.d Mk. 14:36;

Yn. 6:38;M&M 19:2.

Page 548: KITABU CHA MORMONI

531 3 Nefi 11:13–25

kumbuka kwamba ilikuwaaimetabiriwa miongoni mwaokwamba Kristo atajidhihirishakwao baada ya kupaa kwakembinguni.13 Na ikawa kwamba Bwana

aliwazungumzia akisema:14 Inukeni na mje kwangu, ili

msukume mikono yenu naamuitie kwenye ubavu wangu,na pia kwamba mguse balamaza misumari katika mikono ya-ngu na katika miguu yangu, ilimjue mimi ni Mungu wa Israeli,na cMungu wa dulimwenguwote, na nimeuawa kwa ajili yadhambi za ulimwengu.

15 Na ikawa kwamba umatiulienda mbele, na kusukumamikono yao ubavuni mwake,na wakaona alama za misumarikatika mikono yake na katikamiguu yake; na hivi walifanyawakienda mbele mmoja mmo-ja, mpaka walipoenda wote,na waliona na macho yao nakupapasa kwa mikono yao, nawalijua ukweli na walishuhu-dia wenyewe kwamba ani yeye,ambaye manabii waliandikakwamba atakuja.

16 Na wakati walipokuwa wa-meenda wote na kujishuhudiawenyewe, walipaza sauti kwatoleo moja wakisema:

17 Hosana! Heri liwe jina laMungu Aliye Juu Sana! Na

waliinama chini miguuni mwaYesu na akumwabudu.18 Na ikawa kwamba alimzu-

ngumzia aNefi (kwani Nefialikuwa miongoni mwa umati)na kumwamuru kwamba ajembele.

19 Na Nefi akainuka na kwe-nda mbele na kusujudu mbeleya Bwana na kubusu miguuyake.

20 Na Bwana alimwamrishakwamba ainuke. Na aliinukana kusimama mbele yake.

21 Na Bwana akamwambia:Ninakupatia auwezo kwambabutabatiza hawa watu nikiwanimeenda tena mbinguni.

2 2 N a t e n a B w a n a a l i i t aawengine, na akawaambia vilevile; na akawapatia uwezo wakubatiza. Na akawaambia: Kwanjia hii mtabatiza; na bhakuta-kuwa na ugomvi miongonimwenu.

23 Kweli nawaambia, kwambayeyote atakayetubu dhambizake kupitia amaneno yenu, nabkutaka kubatizwa katika jinalangu, kwa njia hii mtawabati-za — Tazama, mtaenda chini nackusimama majini, na katikajina langu mtawabatiza.

24 Na sasa tazama, haya ndi-yo maneno ambayo mtasema,mkiwaita kwa jina, mkisema:

25 Nikiwa nimepewa amamlaka

12a Alma 16:20.14a Yn. 20:27.

b Lk. 24:36–39;M&M 129:2.

c Isa. 45:3; 3 Ne. 15:5.d 1 Ne. 11:6.

15a mwm Yesu Kristo—Kuonekana kwaKristo baada ya kifo.

17a mwm Kuabudu.18a 3 Ne. 1:2, 10.21a mwm Uwezo.

b mwm Batiza, Ubatizo.22a 1 Ne. 12:7;

3 Ne. 12:1.b 3 Ne. 18:34.

23a 3 Ne. 12:2.b mwm Batiza,

Ubatizo—Sifazinazotakiwa kwaajili ya ubatizo.

c 3 Ne. 19:10–13.25a Mos. 18:13;

M&M 20:73.mwm Batiza,Ubatizo—Mamlaka sahihi.

Page 549: KITABU CHA MORMONI

3 Nefi 11:26–36 532

na Yesu Kristo, ninakubatizawewe katika jina la bBaba, na laMwana, na la Roho Mtakatifu.Amina.26 Na hapo amtawatumbukiza

katika maji, na kutoka tena njeya maji.27 Na kwa kufuata njia hii,

mtabatiza katika jina langu;kwani tazama, kweli nawaa-mbia kwamba, Baba, na Mwanawake, na Roho Mtakatifu wanaaumoja; na niko ndani ya Baba,na Baba ndani yangu, na Babana mimi tuna umoja.28 Na kulingana na vile nime-

mwamuru hivyo ndivyo mtaba-tiza. Na hakutakuwa na augomvimiongoni mwenu, kama vile ili-vyo hapa sasa; wala hakutakuwana ugomvi miongoni mwenukuhusu nukta za mafundishoyangu, kama vile ilivyokuwa.29 Kwani amin, amin, nawaa-

mbia, yule ambaye ana rohoya aubishi siye wangu, lakinini wa bibilisi, ambaye ni babawa ubishi, na huchochea mioyoya watu kubishana na hasirammoja kwa mwingine.

30 Tazama, hili sio fundisholangu, kuchochea mioyo yawanadamu kwa hasira, mojadhidi ya mwingine; lakini hilindilo fundisho langu, kwamba

vitu kama hivi viondolewembali.

31 Tazama, amin, amin, nina-waambia, nitatangaza kwenuamafundisho yangu.32 Na haya ni amafundisho ya-

ngu, na ni mafundisho ambayoBaba amenipatia; na bninashu-hudia mwenyewe kwa Baba,na Baba anashuhudia mwenye-we kwangu, na Roho cMtakati-fu anashuhudia kwa Baba nakwa Mimi, na ninashuhudiakwamba Baba huamuru watuwote, kila mahali, kutubu nakuniamini.

33 Na yeyote aaminiye ndaniyangu na akubatizwa, bataoko-lewa; na hawa ndio cwatakaori-thi ufalme wa Mungu.

34 Na yeyote as iyeaminindani yangu na hajabatizwa,atahukumiwa.

35 Amin, amin, nawaambia,kwamba, hili ni fundisho langu,na ninashuhudia kutoka kwaBaba; na yeyote aanayeaminindani yangu anaamini kwaBaba pia, na kwake Baba atani-shuhudia, kwani atamtembeleabna moto na Roho cMtakatifu.36 Na hivyo ndivyo Baba

atakavyoshuhudia kunihusu, naRoho Mtakatifu atashuhudiakwake Baba na Mimi, kwani

25b mwm Mungu, Uungu.26a mwm Batiza,

Ubatizo—Ubatizokwa kuzamishwa.

27a Yn. 17:20–22;3 Ne. 28:10;Morm. 7:7;M&M 20:28.

28a 1 Kor. 1:10;Efe. 4:11–14;M&M 38:27.

29a 2 Tim. 2:23–24;Mos. 23:15.mwm Ushindani.

b tjs, Efe. 4:26;Mos. 2:32–33.

31a 2 Ne. 31:2–21.32a mwm Mafundisho

ya Kristo.b 1 Yoh. 5:7.c 3 Ne. 28:11;

Eth. 5:4.

33a Mk. 16:16.mwm Batiza,Ubatizo—Muhimu.

b mwm Wokovu.c mwm Utukufu wa

Selestia.35a Eth. 4:12.

b 3 Ne. 9:20; 12:2.c mwm Roho

Mtakatifu.

Page 550: KITABU CHA MORMONI

533 3 Nefi 11:37–12:2

Baba na Mimi na Roho Mtaka-tifu tu wamoja.37 Na tena nawaambia, lazima

mtubu na amuwe kama mtotomchanga, na mbatizwe katikajina langu, au hamtapokea vituhivi kwa njia yoyote.

38 Na tena nawaambia, lazi-ma mtubu na mbatizwe katikajina langu na muwe kama mtotomchanga au hamtarithi ufalmewa Mungu kwa vyovyote.

39 Amin, amin, nawaambia,kwamba haya ni mafundishoyangu, na yeyote aatakayejengajuu ya mwamba wangu, nabmilango ya jahanamu haitam-shinda.

40 Na yeyote atakayetangazamengi au madogo kuliko haya,na kuyaimarisha kuwa mafu-ndisho yangu, yeye anatokanana uovu, na hajajenga kwenyemwamba wangu; lakini hujengakwenye msingi wa amchanga,na milango ya jahanamu husi-mama kupokea mtu kama huyuwakati mafuriko yakija naupepo hujipigisha juu yake.

41 Kwa hivyo muwaendeewatu hawa, na mtangaze yalemaneno ambayo nimezungu-mza, hadi mwisho wa dunia.

MLANGO WA 12

Yesu anaita na kuwapa mamlakawale kumi na wawili — Anatoamazungumzo kwa Wanefi sawana Mahubiri ya Mlimani — Ana -

zungumzia sifa za Heri — Mazu-ngumzo yake yanashinda sheriaza Musa — Watu wanaamriwakuwa wakamilifu hata kama vileyeye na Baba yake walivyo waka-milifu — Linganisha na Mathayo5. Karibu mwaka wa 34 baada yakuzaliwa kwa Kristo.

Na ikawa kwamba wakati Yesualikuwa amesema haya manenokwa Nefi, na kwa wale ambaowalipokuwa wameitwa, (sasaidadi ya wale ambao walikuwawameitwa na kupokea uwezona mamlaka ya kubatiza, iliku-wa akumi na wawili) na tazama,alinyoosha mkono wake mbelekwa umati, na kuwaambia kwasauti kubwa akisema: bHerinyinyi ikiwa mtasikiliza mane-no ya hawa kumi na wawiliambao cnimewachagua kutokamiongoni mwenu kuwahudu-mia, na kuwa watumishi wenu;na kwao nimewatolea uwezokwamba wangewabatiza namaji; na baada ya hayo kwambammebatizwa na maji, tazamanitawabatiza kwa moto na RohoMtakatifu; kwa hivyo heri nyi-nyi ikiwa mtaamini katika mimina mbatizwe, baada ya kunionana kujua kwamba ni mimi.

2 Na tena wana heri nyingiwale ambao awataamini kwahaya maneno yenu kwa sababumtashuhudia kwamba mmeni-ona, na kwamba mnajua kwa-mba ni mimi. Ndio, heri kwawale ambao wataamini katika

37a Mk. 10:15; Lk. 18:17;Mos. 3:19;3 Ne. 9:22.

39a Mt. 7:24–29;Hel. 5:12.

mwm Mwamba.b 3 Ne. 18:12–13.

40a 3 Ne. 14:24–27.12 1a 3 Ne. 13:25.

b mwm Baraka, Bariki,

Barikiwa.c mwm Ita, Itwa na

Mungu, Wito.2a M&M 46:13–14.

mwm Amini, Imani.

Page 551: KITABU CHA MORMONI

3 Nefi 12:3–18 534

maneno yenu, na kujileta bchinikwenye unyenyekevu na kuba-tizwa, kwani watatembelewacna moto na Roho Mtakatifu nawatasamehewa dhambi zao.3 Ndio, heri wale walio amas-

kini rohoni, ambao bwanakujakwangu, kwani ufalme wambinguni ni wao.

4 Na tena heri wote walio nahuzuni kwani watafarijika.

5 Na heri walio awapole kwaniwatarithi bdunia.

6 Na heri wale wote walio naanjaa na kuwa na bkiu kwa ajiliya chaki, kwani watashibishwana Roho Mtakatifu.

7 Na heri walio na arehemakwani watapata rehema.

8 Na heri wote walio na moyoamweupe, kwani bwatamwonaMungu.9 Na heri wote walio awapata-

nishi, kwani wataitwa bwatotowa Mungu.10 Na heri wale wote awanao-

dhulumiwa kwa ajili ya jina la-ngu kwani ufalme wa mbingu-ni ni wao.11 Na heri nyinyi, wakati

watu watawatukana na kuwa-dhulumu, na watasema ainayoyote ya uovu dhidi yenu bilaukweli kwa ajili yangu;

12 Kwani mtakuwa na sha-ngwe kubwa na mtakuwa wa-changamfu kupita kiasi, kwani

athawabu yenu itakuwa kubwambinguni; kwani hivyo ndivyowalidhulumu hao manabiiambao walikuweko mbele yenu.

13 Amin, amin, nawaambia,ninawapatia muwe achumvi yadunia; lakini ikiwa chumvi ita-poteza ladha yake, dunia itati-wa chumvi na nini? Chumvikutokea hapo haitakuwa nauzuri wowote lakini itatupwana kukanyagwa na miguu yawatu.

14 Amin, amin, ninawaambia,ninawapatia muwe nuru yawatu hawa. Mji uliojengwakwenye kilima hauwezi kufi-chwa.

15 Tazama, je, watu huwashaamshumaa na kuuweka chini yapishi? La, lakini kwenye kinaracha mshumaa na humulikamwanga kwa wote walio ndaniya nyumba;

16 Kwa hivyo acha anuru yenuiangae mbele ya hawa watu, iliwapate kuyaona matendo yenu,na kumtukuza Baba yenu aliyembinguni.

17 Msifikirie kwamba nimeku-ja kuharibu sheria au manabii.Sikuja kuharibu bali kutimiza;

18 Kwani amin ninawaambia,nukta moja wala chembe mojahaijaondoka kutoka kwa ashe-ria, lakini ndani yangu yoteimetimizwa.

2b Eth. 4:13–15.c 3 Ne. 11:35; 19:13.

3a M&M 56:17–18.mwm Mnyenyekevu,Unyenyekevu.

b Mt. 11:28–30.5a Rum. 12:16; Mos. 3:19.

mwm Mpole, Upole.b mwm Dunia.

6a 2 Ne. 9:51; Eno. 1:4.b Yer. 29:13.c Mit. 21:21.

7a mwm Rehema,Rehema, enye.

8a mwm Safi, Usafi.b M&M 93:1.

9a mwm Msuluhishi.b mwm Wana na

Mabinti wa Mungu.10a M&M 122:5–9.

mwm Mateso, Tesa.12a Eth. 12:4.13a M&M 101:39–40.

mwm Chumvi.15a Lk. 8:16.16a 3 Ne. 18:24.18a mwm Torati ya Musa.

Page 552: KITABU CHA MORMONI

535 3 Nefi 12:19–32

19 Na tazama, nimewapatiasheria na amri za Baba yangu,kwamba mtaamini ndani yangu,na kwamba mtatubu dhambizenu, na mje kwangu na moyoauliopondeka na roho iliyovu-njika. Tazama, mnazo amrimbele yenu, na bsheria imeti-mizwa.

20 Kwa hivyo njooni kwanguna mwokolewe; kwani aminnawaambia kwamba isipoku-wa mtii amri zangu ambazo ni-mewaamuru wakati huu, kwanjia yoyote hamtaingia katikaufalme wa mbinguni.

21 Mmesikia kwamba iliseme-kana na wale wa wakati wakale, na pia imeandikwa mbeleyenu, kwamba ausiue, na yeyo-te atakayeua atakuwa hatarinimwa hukumu ya Mungu;

22 Lakini ninawaambia kwa-mba, yeyote aliye na hasira nandugu yake atakuwa hatariniya hukumu yake. Na yeyoteatakayesema kwa ndugu yake,Raka, atakuwa hatarini na ba-raza; na yeyote atakayesema,Wewe mjinga, atakuwa hatari-ni na moto wa jahanamu.

23 Kwa hivyo ikiwa utakujakwangu, au utatamani kujakwangu, na ukumbuke kwambandugu yako anacho kitu dhidiyako —

24 Nenda njia yako kwa nduguyako, na kwanza aondoa tofautina ndugu yako, na hapo uje

kwangu, na moyo wa lengomoja na nitakupokea.

25 Kubaliana na adui yako hara-ka, wakati uko katika njia mojana yeye, asije akupate wakatiwowote na kukutupa gerezani.

26 Amin, amin, nakwambiahutatoka humo kamwe mpakautakapolipa senti ya mwisho. Nawakati ungali upo gerezani una-weza kulipa hata asenti moja?Amin, amin, nakwambia, La.

27 Tazama, imeandikwa nawale wa kale, kwamba usifanyeauzinzi.28 Lakini ninawaambia kwa-

mba, yeyote ambaye anamchu-ngulia mwanamke akumtamani,huwa tayari amezini moyonimwake.

29 Tazama, ninakupatia amriili usikubali vitu hivi kuingiaamoyoni mwako.30 Kwani inawafaa kwamba

mjizuie wenyewe hivi vitu,ambapo mtajitwika amsalabawenu, kuliko kwamba mtupwejahanamu.

31 Imeandikwa kwamba ye-yote atakayempatia mke waketalaka, ampe cheti cha atalaka.32 Amin, amin, nawaambia,

kwamba yeyote atakayempatiamke wake atalaka, isipokuwakwa sababu ya buasherati, hu-msababisha kutenda cuasherati;na yeyote atakayemwoa yuleambaye amepewa talaka anate-nda usherati.

19a 3 Ne. 9:20.mwm MoyoUliovunjika.

b 3 Ne. 9:17.21a Kut. 20:13; Mos. 13:21;

M&M 42:18.

24a mwm Samehe.26a Alma 11:3.27a 2 Ne. 9:36; M&M 59:6.28a M&M 42:23.

mwm Tamaa mbaya.29a Mdo. 8:22.

30a Mt. 10:38; 16:24;Lk. 9:23.

31a mwm Talaka.32a Mk. 10:11–12.

b mwm Uasherati.c mwm Uzinzi.

Page 553: KITABU CHA MORMONI

3 Nefi 12:33–13:1 536

33 Na tena imeandikwa, nawale wa kale kwamba hutaapauwongo mwenyewe, lakini uta-dhihirisha kwa Bwana aviapovyako;34 Lakini amin, amin ninawa-

ambia, ausiape kabisa; walakwa mbingu, kwani ni kiti chaenzi cha Mungu;

35 Wala kwa dunia, kwanindipo mahali pa kuweka miguuyake;

36 Wala hutaapa kwa kichwachako, kwani huwezi kutenge-neza unywele wako mmojakuwa mweusi au mweupe;

37 Lakini acha maongezi yenuyawe Ndio, ndio; La, la; kwanichochote kilicho zaidi ya hayani ovu.

38 Na tazama, imeandikwa, ji-cho kwa ajicho, na jino kwa jino;

39 Lakini ninawaambia kwa-mba ahamtashindana na uovu,lakini yeyote atakayekupigakatika shavu la kulia, bmgeuzieupande mwingine pia;4 0 N a i k i w a m t u y e y o t e

atakushtaki mahakamani naachukue koti lako, mwachieachukue joho lako pia;

41 Na yeyote atakayekulazi-misha kwenda maili moja,nenda na yeye mbili.

42 aMpatie akuombaye, naatakayekukopa kwako usimfu-kuze.

43 Na tazama, imeandikwapia na wale wa kale kwamba,

utampenda jirani yako na um-chukie adui wako;

44 Lakini tazama ninawaa-mbia, wapendeni amaadui zenu,wabariki wanao walaani, wafa-nyie mazuri wale ambao wana-wachukia, na bmuwaombeewale ambao wanawatumia kwamadharau na kuwadhulumu;

45 Ili muwe watoto wa Babayenu aliye mbinguni; kwaniyeye husababisha jua kung’aakwa waovu na kwa wenye haki.

46 Kwa hivyo vitu ambavyovilikuwa vya kale, ambavyovilikuwa chini ya sheria, vyotevimetimia.

47 Vitu vya akale vimeachwana vitu vyote vimekuwa vipya.

48 Kwa hivyo ningependakwamba mngekuwa awakami-lifu hata vile nilivyo, au Babayenu ambaye yuko mbingunini mkamilifu.

MLANGO WA 13

Yesu anawafundisha Wanefi Salaya Bwana—Wanahitajiwa kuwekahazina zao mbinguni—Wale kumina wawili kwa huduma yao wanaa-mriwa kutofikiria vitu vya dunia— Linganisha Mathayo 6. Karibumwaka wa 34 baada ya kuzaliwakwa Kristo.

Amin, amin, nawaambia kwa-mba toeni asadaka zenu kwamasikini; lakini chungeni kwa-

33a mwm Kiapo.34a mwm Lugha chafu.38a Law. 24:20.39a 3 Ne. 6:13; 4 Ne. 1:34;

M&M 98:23–32.b mwm Subira.

42a Yak. (KM) 2:17–19;Mos. 4:22–26.

44a Mit. 24:17;Alma 48:23.

b Mdo. 7:59–60.47a 3 Ne. 15:2, 7;

M&M 22:1.48a Mt. 5:48;

3 Ne. 27:27.mwm Kamilifu.

13 1a mwm Sadaka,Utoaji sadaka.

Page 554: KITABU CHA MORMONI

537 3 Nefi 13:2–19

mba msitoe sadaka zenu mbeleya watu kwa kuonekana nao; lasivyo hamna thawabu ya Babayenu ambaye yuko mbinguni.2 Kwa hivyo, wakati mtaka-

potoa sadaka zenu msivumi-she tarumbeta mbele yenu, vilewanafiki hufanya kwenye ma-sinagogi na katika barabara, iliwapate akutukuzwa na watu.Amin nawaambia, wana tha-wabu yao.

3 Lakini unapotoa sadaka achamkono wako wa kushoto usijuevile mkono wa kulia unafanya;

4 Ili sadaka zenu ziwe katikasiri; na Baba yenu ambayehuona kwa siri, mwenyeweatawalipa wazi.

5 Na wakati amnaomba ham-tafanya kama wanafiki wana-vyofanya, kwani wanapendakuomba, wakisimama ndani yamasinagogi na kwenye pembeza barabara, ili waonekane nawatu. Amin ninawaambia, wa-nayo thawabu yao.

6 Lakini wewe, unaposali,ingia kwenye chumba chakokidogo, na wakati umefungamlango wako, sali kwa Babayako ambaye yuko mafichoni;na Baba yako, ambaye huonakisiri, atakulipa wazi.

7 Lakini wakati unasali, usitu-mie marudio ya bure, kamawalimwengu, kwani wanadhanikwamba watasikika kwa kutu-mia maneno mengi.

8 Kwa hivyo usiwe kama hao,

kwani Baba yako aanajua nivitu gani unavyohitaji kabla yawewe kumwuliza.

9 Kwa hivyo amsali kwa bnjiahii: cBaba yetu uliye mbinguni,jina lako litukuzwe.

10 Mapenzi yako yatimizweduniani vile yalivyo mbinguni.

11 Na utusamehe deni zetu,kama tunavyowasamehe wade-ni wetu.

12 Na ausituongoze kwenyemajaribu, lakini utuokoe kutokakwa maovu.

13 Kwani ufalme ni wako,na uwezo, na utukufu, milele.Amina.

14 Kwani, ikiwa amtasamehewatu makosa yao Baba yenuwa mbinguni atawasamehe pia.

15 Lakini kama hamtawasa-mehe watu makosa yao Babayenu hatawasamehe makosayenu.

16 Tena amnapofunga msiwekama wanafiki, wenye nyusoza kuhuzunika, kwani hukunjanyuso zao ili waonekane wana-funga. Amin ninawaambia,wanayo thawabu yao.

17 Lakini wewe, unapofunga,paka mafuta kwa kichwa chako,na unawe uso wako;

18 Ili usionekane na watukama unafunga, lakini kwaBaba yako, aliye sirini; na Babayako, ambaye huona asirini,atakupatia zawadi wazi.

19 Msijiwekee hazina dunia-ni, ambapo nondo na kutu

2a M&M 121:34–35.5a mwm Sala.8a M&M 84:83.9a mwm Sala.

b Mt. 6:9–13.

c mwm Mungu,Uungu—MunguBaba.

12a tjs, Mt. 6:14.14a Mos. 26:30–31;

M&M 64:9.mwm Samehe.

16a Isa. 58:5–7.mwm Funga, Kufunga.

18a M&M 38:7.

Page 555: KITABU CHA MORMONI

3 Nefi 13:20–34 538

huozesha, na wezi wanavunjana kuiba;20 Lakini mjiwekee ahazina

zenu mbinguni, ambapo nondowala kutu haziozeshi, na amba-po wezi hawawezi kuvunja nakuingia wala kuiba.21 Kwani mahali ambapo ha-

zina yako ipo, pale pia moyowako utakuwa.

22 aNuru ya mwili ni jicho;kwa hivyo, ikiwa jicho lakoliko moja, mwili wako woteutajaa nuru.

23 Lakini kama jicho lako niovu, mwili wako wote utajaagiza. Kwa hivyo, ikiwa nuruiliyopo ndani yako itakuwagiza, sio hio ni giza kuu!

2 4 H a k u n a m t u a m b a y eanaweza akutumikia mabwanawawili; kwani labda atamchu-kia mmoja na kumpenda mwi-ngine, au kama sivyo atampe-nda mmoja na kumdhulumumwingine. Huwezi kumtumikiaMungu na Mali.

25 Na sasa ikawa kwambawakati Yesu alipokuwa ame-zungumza haya maneno aliele-keza macho juu ya wale kumina wawil i ambao al ikuwaamewachagua, na akawaambia:Kumbukeni maneno ambayonimezungumza. Kwani tazama,ni nyinyi ambao nimechaguaakuwahudumia hawa watu.Kwa hivyo ninawaambia, bmsi-sumbukie maisha yenu, ni ninimtakula, au ni nini mtakunywa;wala mtavaa nini, kwenye miiliyenu. Je, si maisha yako zaidi

ya chakula, na mwili zaidi yamavazi?

26 Tazama ndege wa angani,kwani hawapandi, wala ha-wavuni, wala hawakusanyikwenye maghala; lakini Babayenu wa mbinguni huwalisha.Je, si nyinyi ni bora kulikowewe?

27 Ni nani kati yenu kwa kufi-kiria anaweza kuongeza mko-no mmoja kwa urefu wake?

28 Na kwa nini msumbukekwa vazi? Fikiria maua yamwituni vile yanakua; hayata-abiki, wala hayasokoti;

29 Na bado ninawaambia,kwamba hata Sulemani, kwaenzi yake yote, hakupambwakama moja ya hawa.

30 Kwa hivyo, ikiwa Munguanavika nyasi ya shambani,ambayo ipo leo, na kesho itatu-pwa kwenye jiko, hata hivyoatakuvisha, ikiwa huna imanindogo.

31 Kwa hivyo msisumbuke,mkisema, Tutakula nini? au,Tutakunywa nini? au, Tutavaanini?

3 2 K w a n i B a b a y e n u w ambinguni anajua kwamba mnamahitaji ya hivi vitu vyote.

33 Lakini tafuteni kwanzaaufalme wa Mungu na hakiyake, na hivi vitu vyote vitao-ngezwa kwenu.

34 Kwa hivyo msisumbukekwa kesho, kwani kesho itaji-shugulisha na vitu vyake ye-nyewe. Kila siku ina maovuyake ya kutoshana nayo.

20a Hel. 5:8; 8:25.22a M&M 88:67.24a 1 Sam. 7:3.

25a mwm Kuhudumu.b Alma 31:37–38;

M&M 84:79–85.

33a Lk. 12:31.

Page 556: KITABU CHA MORMONI

539 3 Nefi 14:1–15

MLANGO WA 14

Yesu anaamuru: Msihukumu;ombeni Mungu; jihadhari namanabii wa uwongo — Anaahidiwokovu kwa wale wanaotenda niaya Baba — Linganisha Mathayo 7.Karibu mwaka wa 34 baada yakuzaliwa kwa Kristo.

Na sasa ikawa kwamba wakatiYesu alipokuwa amezungumzahaya maneno aligeuka tenaakaelekea umati, na kufunguakinywa chake kwao, na kuse-ma: Kweli, kweli, ninawaambia,aMsihukumu, kwamba msijemkahukumiwa.

2 aKwani kwa hukumu mnayohukumia, mtahukumiwa nayo;na kipimo kile mpimiacho,ndicho mtakapopimiwa tena.

3 Na mbona wakitazama kiba-nzi ambacho kiko ndani ya jichola ndugu yako, lakini hufikiriikiboriti ambacho kiko kwenyejicho lako?

4 Au utasemaje kwa nduguyako: Acha nitoe kibanzi ndaniya jicho lako — na tazama, ki-boriti kiko ndani ya jicho lako?

5 Wewe mnafiki , kwanzaondoa akiboriti kutoka kwenyejicho lako; na ndipo utaonavema kukitoa kibanzi kutokandani ya jicho la ndugu yako.

6 Msitoe kile kilicho akitakatifukwa mbwa, wala msitupe lulumbele ya nguruwe, wasi je

wakazikanyaga chini ya miguuyao, na kugeuka tena na kuwa-rarua.

7 aOmbeni, na mtapewa; tafu-teni na mtapata, bisheni, namtafunguliwa.

8 Kwani kila mmoja ambayehuuliza, hupata; na yule ana-yetafuta, huvumbua; na yuleambaye hubisha, hufunguliwa.

9 Au kuna mtu gani kwenu,ambaye, ikiwa mwana wakeanamwomba mkate, atampatiajiwe?

10 Au kama anamwomba sa-maki, atampatia nyoka?

11 Ikiwa nyinyi, mkiwa wao-vu, mnajua kuwapatia watotowenu zawadi nzuri, je, ni vipiBaba yenu aliye mbinguni ata-wapa vitu vizuri wale ambaohumwomba?

12 Kwa hivyo, vitu vyoteambavyo mngetaka kwambawatu wawafanyie, awafanyiepia wengine, kwani hii ni sheriana manabii.

13 Ingieni kwa kupitia mlangoamwembamba; kwani mlangoni wazi, na bpana ndiyo njiaiongozayo kwenye uharibifu,na waiendayo ni wengi;

14 Kwa sababu amlango ume-songa, na njia ni bnyembamba,iendayo uzimani, nao waipataoni cwachache.15 Jihadharini na manabii

wa auwongo, ambao huwajiawakiwa wamevaa mavazi ya

14 1a tjs, Mt. 7:1–2;Yn. 7:24.

2a Morm. 8:19.5a Yn. 8:3–11.6a mwm Mtakatifu.7a 3 Ne. 27:29.

mwm Sala.12a mwm Huruma.13a Lk. 13:24;

3 Ne. 27:33.b M&M 132:25.

14a 2 Ne. 9:41;

31:9, 17–18;M&M 22:1–4.

b 1 Ne. 8:20.c 1 Ne. 14:12.

15a Yer. 23:21–32;2 Ne. 28:9, 12, 15.

Page 557: KITABU CHA MORMONI

3 Nefi 14:16–15:1 540

kondoo, lakini kwa ndani nimbwa mwitu wakali.16 Mtawatambua kwa matu-

nda yao. Je, watu huchumazabibu katika miiba, au tinikatika mibaruti?

17 Hata hivyo kila mti mwemahuzaa matunda mazuri; lakinimti mwovu huzaa matundamabaya.

18 Mti mwema hauwezi kuzaamatunda mabaya wala mtimbaya kuzaa matunda mema.

19 Kila mti ambao ahauzaimatunda mazuri hukatwa, nakutupwa motoni.

20 Kwa hivyo, kwa amatundayao mtawajua.21 Sio kila anayesema kwangu,

Bwana, Bwana, atakayeingiakatika ufalme wa mbinguni;lakini yule anayefanya mapenziya Baba yangu aliye mbinguni.

22 Wengi awatasema kwangusiku ile: Bwana, Bwana, si tuli-fanya unabii kwa jina lako, nakwa jina lako si tumetoa pepochafu, na katika jina lako kufa-nya miujiza mingi?23 Na ndipo nitawaambia dha-

hiri: aSikuwajua nyinyi kamwe;b ondokeni kwangu, nyinyimtendao maovu.24 Kwa hivyo, yeyote asikia-

ye haya maneno yangu nakuyafanya, nitamfananisha namtu mwenye hekima, ambayealijenga nyumba yake juu yaamwamba —25 Na amvua ilinyesha, na

mafuriko yakaja, na pepo zika-vuma, na zikapiga ile nyumba;na bhaikuanguka, kwani iliwe-kwa kwenye mwamba.

26 Na yeyote asikiaye hayamaneno yangu na hayafanyiatalinganishwa na mtu mpu-mbavu aliyejenga nyumba yakejuu ya amchanga —

27 Na mvua ilinyesha, namafuriko yakaja, na pepo zika-vuma, na zikaipiga ile nyumba;na ilianguka, na mwangukowake ulikuwa mkubwa.

MLANGO WA 15

Yesu anatangaza kwamba sheriaya Musa imetimizwa kwa sababuyake — Wanefi ndio kondoo we-ngine ambao alizungumzia katikaYerusalemu — Kwa sababu yauovu, watu wa Bwana katikaYerusalemu hawajui kuhusu ko-ndoo waliotawanywa wa Israeli.Karibu mwaka wa 34 baada yakuzaliwa kwa Kristo.

Na sasa ikawa kwamba wakatiYesu alipokuwa amemalizahaya maneno alizungusha ma-cho yake karibu hapo kwaumati, na akawaambia: Taza-meni, mmesikia vitu ambavyonilifundisha kabla ya kupaa juukwa Baba yangu; kwa hivyo,yeyote akumbukaye haya ma-neno yangu na akuyafanya, yeyebnitamwinua juu katika siku yamwisho.

19a Mt. 3:10;Alma 5:36–41;M&M 97:7.

20a Lk. 6:43–45;Moro. 7:5.

22a Alma 5:17.23a Mos. 5:13; 26:24–27.

b Lk. 13:27.24a mwm Mwamba.25a Alma 26:6; Hel. 5:12.

b Mit. 12:7.26a 3 Ne. 11:40.15 1a Yak. (Bib.) 1:22.

b 1 Ne. 13:37;M&M 5:35.

Page 558: KITABU CHA MORMONI

541 3 Nefi 15:2–15

2 Na ikawa kwamba wakatiYesu alipokuwa amesema hayamaneno aliona kwamba kuli-kuwa na wengine miongonimwao ambao walistaajabu, nakushangaa kile alichotaka kufa-nya na asheria ya Musa; kwanihawakuelewa msemo uliosemakwamba vitu vya kale vilikuwavimepita, na kwamba vitu vyotevilikuwa vimekuwa vipya.

3 Na akawaambia: Msistaaja-bu kwamba nilisema vitu vyakale vilikuwa vimepita, nakwamba vyote vilikuwa vime-kuwa vipya.

4 Tazama, ninawaambia kwa-mba asheria imetimizwa amba-yo alipewa Musa.

5 Tazama, ni amimi niliyempaile sheria, na ni mimi niliyeaga-na na watu wangu Israeli; kwahivyo, sheria imetimizwa ndaniyangu, kwani nimekuja bkuti-miza sheria; kwa hivyo imefikamwisho.

6 Tazama, asiharibu maandi-shi ya manabii, kwani kadirimengi ambayo hayajatimizwandani yangu, kweli nawaambia,yote yatatimizwa.

7 Na kwa sababu niliwaambiakwamba vitu vya kale vimepita,siharibu ile ambayo imezungu-mzwa kuhusu vitu ambavyovinakuja.

8 Kwani tazama, aagano amba-

lo nimefanya na watu wangulote halijatimizwa; lakini sheriaambayo ilipewa Musa imema-lizika kwa sababu yangu.

9 Tazama, mimi ndiye asheria,na bnuru. Nitazameni mimi,na mvumilie hadi mwisho, nacmtaishi; kwani kwa yule amba-ye dhuvumilia hadi mwishonitampatia uzima wa milele.

10 Tazama, nimewapatia amri;kwa hivyo tiini aamri zangu.Na hii ni sheria na maandishiya manabii, kwani bwalinishu-hudia kwa ukweli.

11 Na sasa ikawa kwambawakati Yesu alipokuwa ame-zungumza haya maneno, ali-waambia wale kumi na wawiliambao alikuwa amewachagua:

12 Nyinyi ni wanafunzi wangu;na nyinyi ni nuru kwa hawawatu, ambao ni sazo la nyumbaya aYusufu.13 Na tazama, hii ni anchi ya

urithi wenu; na Baba amewa-patia.

14 Na kamwe hakuna wakatiwowote ambao Baba amenipa-tia amri kwamba aniwaambiendugu zenu katika Yerusalemu.

15 Wala katika muda wowoteBaba hajanipa amri kwambaniwaambie kuhusu makabilaamengine ya nyumba ya Israeli,ambao Baba amewaongozambali kutoka nje ya nchi.

2a mwm Torati yaMusa.

4a Mos. 13:27–31;3 Ne. 9:17–20.

5a 1 Kor. 10:1–4;3 Ne. 11:14.mwm Yehova.

b Alma 34:13.6a 3 Ne. 23:1–5.

8a 3 Ne. 5:24–26.9a 2 Ne. 26:1.

b mwm Nuru, Nuruya Kristo.

c Yn. 11:25;M&M 84:44.

d mwm Stahimili.10a 3 Ne. 12:20.

b Mos. 13:33.

12a mwm Yusufu,Mwana wa Yakobo.

13a 1 Ne. 18:22–23.14a 3 Ne. 5:20.15a 3 Ne. 16:1–4.

mwm Israeli—Makabila kumi yaIsraeli yaliyopotea.

Page 559: KITABU CHA MORMONI

3 Nefi 15:16–16:3 542

16 Hiki kiasi Baba aliniamuru,kwamba ningewaambia:

17 Kwamba kondoo wengineninao ambao si wa zizi hili; nahao nao imenipasa kuwaleta,na watasikia sauti yangu; nakutakuwa na kundi moja, naamchungaji mmoja.18 Na sasa, kwa sababu ya

shingo ngumu na kutoamini,ahawakuelewa maneno yangu;kwa hivyo, niliamrishwa naBaba nisiwaambie zaidi kuhu-su kitu hiki.19 Lakini kweli, nawaambia

kwamba Baba ameniamuru, nanawaambia kwamba mlitenga-nishwa kutoka miongoni mwaokwa sababu ya uovu wao;kwa hivyo ni sababu ya uovuwao kwamba hawajui chochotekuwahusu.

20 Na kweli, nawaambia tenakwamba makabila mengineyametengwa na Baba kutokakwao; na ni kwa sababu yauovu wao kwamba hawajuichochote kuwahusu.

21 Na kwel i nawaambia ,kwamba ni nyinyi ambao nili-sema: Kondoo awengine ninaoambao sio wa zizi hili; hao naoninapaswa kuwaleta, na wata-sikia sauti yangu; na kutakuwana kundi moja, na mchungajimmoja.22 Na hawakunielewa, kwani

walidhani kwamba nil izu-ngumza kuhusu Wayunani;kwani hawakuelewa kwamba

aWayunani bwatageuka kupitiamahubiri yao.

23 Na hawakunielewa kwa-mba nilisema wataelewa sautiyangu; na hawakunielewa kwa-mba aWayunani hawataisikiasauti yangu wakati wowote —kwamba sitajidhihirisha kwaoisipokuwa kupitia kwa RohobMtakatifu.

24 Lakini tazama, nyote mme-sikia sauti ayangu, na kuniona;na nyinyi ni kondoo wangu, nammehesabiwa miongoni mwawale ambao Baba bamenipatia.

MLANGO WA 16

Yesu atawatembelea kondoo wengi-ne wa Israeli waliopotea — Katikasiku za baadaye injili itawaendeaWayunani na baadaye kwa nyumbaya Israeli — Watu wa Bwana wa-taona ana kwa ana wakati ataletatena Sayuni. Karibu mwaka wa 34baada ya kuzaliwa kwa Kristo.

Na kweli, kweli, nawaambiakwamba ninao kondoo awengi-ne, ambao si wa nchi hii, walaya Yerusalemu, wala mahalipopote katika nchi ya karibuniliyotoa huduma.

2 Kwani wale ambao ninawa-zungumzia ni wale ambaobado hawajasikia sauti yangu;wala sijajidhihirisha kwao.

3 Lakini nimepokea amri ku-toka kwa Baba kwamba aniwa-endee, na kwamba watasikia

17a mwm MchungajiMwema.

18a M&M 10:59.21a Yn. 10:14–16.22a mwm Wayunani.

b Mdo. 10:34–48.

23a Mt. 15:24.b 1 Ne. 10:11.

mwm Roho Mtakatifu.24a Alma 5:38;

3 Ne. 16:1–5.b Yn. 6:37; M&M 27:14.

16 1a 3 Ne. 15:15.mwm Israeli—Makabila kumi yaIsraeli yaliyopotea.

3a 3 Ne. 17:4.

Page 560: KITABU CHA MORMONI

543 3 Nefi 16:4–10

sauti yangu, na watahesabiwamiongoni mwa kondoo wa-ngu, ili kuwe na kundi mojana mchungaji mmoja; kwahivyo nitaenda kujidhihirishakwao.4 Na ninawaamuru kwamba

mtaandika amaneno haya baadaya mimi kuondoka, ili ikiwawatu wangu katika Yerusalemu,hao ambao wameniona na kuwana mimi katika huduma yangu,hawamwulizi Baba katika jinalangu, kwamba wangeelemi-shwa kuwahusu kupitia RohoMtakatifu, na pia kuhusu maka-bila mengine ambayo hawajui,kwamba haya maneno ambayomtaandika yatahifadhiwa nayatadhihirishwa kwa bWayu-nani, ili kupitia utimilifu waWayunani, sazo la uzao wao,ambao utatawanyishwa kilamahali kwa uso wa dunia kwasababu ya kutoamini kwao,wangeletwa ndani, au wange-letwa ckujua kunihusu mimi,Mkombozi wao.

5 Na ndipo anitawakusanyakutoka sehemu nne za ulimwe-ngu; na ndipo nitatimiza baganoambalo Baba amefanya kwawatu wote wa cnyumba yaIsraeli.

6 Na heri aWayunani, kwasababu ya imani yao kwangu,imani ambayo inatokana naRoho bMtakatifu, ambaye ana-

shuhudia kwao juu yangu najuu ya Baba.

7 Tazama, kwa sababu ya ima-ni yao kwangu, Baba asema, nakwa sababu ya kutoamini kwe-nu, Ee nyumba ya Israeli, katikasiku ya amwisho, ukweli utawa-jia Wayunani, kwamba utimilifuwa hivi vitu utajulikana kwao.

8 Lakini ole, asema Baba, kwawale Wayunani wasioamini —kwani hata ingawa wamefikajuu ya nchi hii, na awamewata-wanya watu wangu ambao niwa nyumba ya Israeli; na watuwangu ambao ni wa nyumbaya Israeli bwametupwa njekutoka miongoni mwao, na wa-mekanyangwa chini ya miguuna hao;

9 Na kwa sababu ya rehemaza Baba kwa Wayunani, na piahukumu za Baba juu ya watuwangu ambao ni wa nyumbaya Israeli, kweli, kweli, nawaa-mbia, kwamba baada ya hayayote, na nimesababisha watuwangu ambao ni wa nyumba yaIsraeli akuuawa, na kuteswa, nakuchinjwa, na kutupwa nje ku-toka miongoni mwao, na kuchu-kiwa nao, na kuwa wa kufyonyana mithali miongoni mwao —

10 Na hivyo Baba anaamurukwamba inanibidi niseme kwe-nu: Katika siku ile wakatiWayunani watafanya dhambidhidi ya injili yangu, na wata-

4a mwm Maandiko.b 1 Ne. 10:14; 3 Ne. 21:6.c Eze. 20:42–44;

3 Ne. 20:13.5a mwm Israeli—

Kukusanyika kwaIsraeli.

b 3 Ne. 5:24–26.c 1 Ne. 22:9;

3 Ne. 21:26–29.6a 1 Ne. 13:30–42;

2 Ne. 30:3.b 2 Ne. 32:5;

3 Ne. 11:32, 35–36.

mwm Roho Mtakatifu.7a mwm Urejesho wa

Injili.8a 1 Ne. 13:14;

Morm. 5:9, 15.b 3 Ne. 20:27–29.

9a Amo. 9:1–4.

Page 561: KITABU CHA MORMONI

3 Nefi 16:11–20 544

kataa utimilifu wa injili yangu,na awatainuliwa juu katikakiburi cha mioyo yao juu yamataifa yote, na juu ya watuwote wa dunia, na wajazwe nakila aina ya udanganyifu, nauwongo, na madhara, na ainayote ya unafiki, na mauaji, nabukuhani wa uongo, na ukaha-ba, na machukizo ya siri; naikiwa watafanya vitu vile vyote,na wakatae utimilifu wa injiliyangu, tazama, Baba anasema,nitachukua utimilifu wa injiliyangu kutoka miongoni mwao.

11 Na ndipo anitakumbukaagano ambalo nimefanya kwawatu wangu, Ee nyumba yaIsraeli, na nitaleta injili yangukwao.12 Na nitawaonyesha, Ee nyu-

mba ya Israeli, kwamba Wayu-nani hawatakuwa na uwezojuu yenu; lakini nitakumbukaagano langu na nyinyi, Eenyumba ya Israeli, na mtakujakuwa na aufahamu wa utimilifuwa injili yangu.

13 Lakini ikiwa Wayunaniwatatubu, na kunirudia, asemaBaba, tazama awatahesabikamiongoni mwa watu wangu,Ee nyumba ya Israeli.

14 Na sitakubali watu wangu,ambao ni wa nyumba ya Israeli,kupitia miongoni mwao, nakuwakanyaga chini, anasemaBaba.

15 Lakini kama hawatageu kakwangu, na kusikiliza sauti ya-

ngu, nitawakubalia, ndio, nita-kubali watu wangu, Ee nyumbaya Israeli, kwamba watapita mi-ongoni mwao, na awatawaka-nyaga chini, na watakuwa kamachumvi ambayo imepoteza la-dha yake, ambayo kutoka hapohaiwi nzuri kwa chochote lakinini ya kutupwa nje, na kukanya-gwa na miguu ya watu wangu,Ee nyumba ya Israeli.

16 Kweli, kweli, ninawaambia,hivi ndivyo Baba ameniamu-ru — kwamba niwape hawawatu hii nchi kwa urithi wao.

17 Na ndipo amaneno ya nabiiIsaya yatatimizwa, ambayoyanasema:

18 aWalinzi bwenu watapazasauti; na pamoja na sauti wata-imba, kwani wataonana machokwa macho wakati Bwana ata-kaporejesha tena Sayuni.

19 Pigeni kelele za shangwe,imbeni pamoja, enyi mahali paYerusalemu palipokuwa uki-wa; kwani Bwana amewafarijiwatu wake, ameikomboa Yeru-salemu.

20 Bwana ameweka wazimkono wake mtakatifu machonimwa mataifa yote; na nchi zoteza dunia zitaona wokovu waMungu.

MLANGO WA 17

Yesu anawaongoza watu kufikiriamaneno yake na kuombea ufahamu

10a Morm. 8:35–41.b 2 Ne. 26:29.

11a 3 Ne. 21:1–11;Morm. 5:20.

12a Hel. 15:12–13.13a Gal. 3:7, 29;

1 Ne. 15:13–17;2 Ne. 10:18;3 Ne. 30:2; Ibr. 2:9–11.

15a Mik. 5:8–15;3 Ne. 20:16–19;21:12–21;

M&M 87:5.17a 3 Ne. 20:11–12.18a Eze. 33:1–7.

mwm Kesha, Walinzi.b Isa. 52:8–10.

Page 562: KITABU CHA MORMONI

545 3 Nefi 17:1–10

— Anaponya wagonjwa wao —Anawaombea watu, akitumia lughaambayo haiwezi kuandikwa —Malaika wanawahudumia na motounawazingira watoto wao wadogo.Karibu mwaka wa 34 baada yakuzaliwa kwa Kristo.

Tazama, sasa ikawa kwambabaada ya Yesu kuzungumzahaya maneno alitazama tena kwaumati, na akasema kwao: Taza-ma, amuda wangu umewadia.2 Ninahisi kwamba nyinyi ni

wadhaifu, kwamba hamweziakufahamu maneno yangu yoteambayo nimeamrishwa na Babakuwazungumzia wakati huu.3 Kwa hivyo, nendeni nyu-

mbani kwenu, na amfikirie vituambavyo nimesema, na mwuli-ze kutoka kwa Baba, katika jinalangu, ili muweze kufahamu, nabkutayarisha akili zenu kwackesho, na nitakuja kwenu tena.4 Lakini sasa aninaenda kwa

Baba, na pia bkujidhihirishakwa makabila cyaliyopotea yaIsraeli, kwani hawajapotea kwaBaba, kwani anajua mahaliambapo aliwapeleka.5 Na ikawa kwamba baada ya

Yesu kusema hivyo, alielekezamacho yake tena kwa umati,na akaona kuwa wanalia, nawalikuwa wanamwangalia kwauthabiti kama wanaotaka ku-mwomba akae nao kwa mudamrefu zaidi.

6 Na akawaambia: Tazama,matumbo yangu yamejawa naahuruma juu yenu.7 Mnao wowote ambao ni

wagonjwa miongoni mwenu?Waleteni hapa. Mnao wowoteambao ni viwete, au vipofu, auwa kupooza, au vilema, auukoma, au walionyauka au niviziwi, au ambao wanatesekakwa njia yoyote? Waleteni hapana nitawaponya, kwani ninayohuruma juu yenu; matumboyangu yamejaa na huruma.

8 Kwani ninaona kwambamnataka kwamba niwaonyeshekile ambacho nilifanya kwandugu zenu wa Yerusalemu,kwani naona kwamba aimaniyenu ni ya bkutosha kwambaningewaponya.

9 Na ikawa kwamba wakatialipokuwa amesema hivyo,umati wote, kwa lengo moja,ulisonga mbele na wagonjwawao na wote wao waliosumbu-ka, na vilema wao, na vipofuwao, na bubu wao, na wote wa-liosumbuka kwa jinsi yoyote;na aakawaponya kila mmojavile waliletwa kwake.

10 Na wote, wote ambao wali-kuwa wameponywa, na waleambao walikuwa wazima, wa-liinama chini miguuni mwake,na kumwabudu; na kadiriwengi walivyoweza walikujakutoka miongoni mwa umatiawalibusu miguu yake, mpaka

17 1a m.y. kumrudiaBaba.Tazama ayaya 4.

2a Yn. 16:12;M&M 78:17–18.

3a mwm Tafakari.b M&M 132:3.

c 3 Ne. 19:2.4a 3 Ne. 18:39.

b 3 Ne. 16:1–3.c mwm Israeli—

Makabila kumi yaIsraeli yaliyopotea.

6a mwm Huruma.

8a Lk. 18:42.b 2 Ne. 27:23;

Eth. 12:12.9a Mos. 3:5;

3 Ne. 26:15.10a Lk. 7:38.

Page 563: KITABU CHA MORMONI

3 Nefi 17:11–24 546

kwamba waliosha miguu yakena machozi yao.11 Na ikawa kwamba aliamuru

kwamba watoto wao awachangawaletwe.12 Kwa hivyo walileta watoto

wao wachanga na kuwapangachini juu ya ardhi kumzunguka,na Yesu alisimama katikati; naumati ulitoa nafasi mpaka wotewalipoletwa kwake.

13 Na ikawa kwamba baadaya wote kuletwa, na Yesu kusi-mama katikati, aliamuru umatikwamba wapige amagoti chini.

14 Na ikawa kwamba baadaya hao kupiga magoti chini,Yesu alisononeka moyoni mwa-ke, na kusema: Baba, aninasu-mbuliwa kwa sababu ya uovuwa nyumba ya Israeli.

15 Na baada ya kusema hayamaneno, yeye mwenyewe piaalipiga magoti ardhini; na taza-ma aliomba kwa Baba, na vituambavyo aliomba haviwezikuandikwa, na umati uliomsi-kiliza ulishuhudia.

16 Na kwa maneno haya wali-shuhudia: aJicho halijaona, walasikio kusikia, hapo mbeleni, vituvikubwa na vya ajabu vile tuli-ona na kusikia Yesu akisemakwa Baba;17 Na hakuna aulimi unaoweza

kusema, wala haiwezi kuandi-kwa na mtu yeyote, wala mioyoya watu haiwezi kufikiria vituvikubwa na vya ajabu kamatulivyoona na kusikia Yesu

akisema; na hakuna yeyoteambaye anaweza kuona sha-ngwe iliyojaza nafsi zetu wakatitulipomsikia akituombea kwaBaba.

18 Na ikawa kwamba baadaya Yesu kumaliza kuomba kwaBaba, aliinuka; lakini umatiulikuwa na ashangwe iliyokuwakubwa sana kwamba walishi-ndwa.

19 Na ikawa kwamba Yesu ali-wazungumzia, na kuwaambiawasimame.

20 Na waliinuka kutoka ardhi-ni, na akawaambia: Heri kwenukwa sababu ya imani yenu. Nasasa tazama, shangwe yanguimetimia.

21 Na baada ya kusema hayamaneno, aalilia, na umati uli-shuhudia hii, na akachukuawatoto wao wachanga, mmojammoja, na bkuwabariki, na ku-omba kwa Baba juu yao.

22 Na baada ya kufanya hivialilia tena;

2 3 N a a l i z u n g u m z a k w aumati, na kuwaambia: Tazamawachanga wenu.

24 Na walipotazama kuonawalielekeza macho yao mbi-nguni, na wakaona mbingu zi-kifunguka, na wakaona malaikawakiteremka kutoka mbingunikama wakiwa katikati ya moto;na walikuja chini na akuzungu-ka wale wachanga, na walizu-ngukwa na moto; na malaikawaliwahudumia.

11a Mt. 19:13–14;3 Ne. 26:14, 16.

13a Lk. 22:41;Mdo. 20:36.

14a Musa 7:41.

16a Isa. 64:4;1 Kor. 2:9;M&M 76:10, 114–119.

17a 2 Kor. 12:4.18a mwm Shangwe.

21a Yn. 11:35.b Mk. 10:14–16.

24a Hel. 5:23–24, 43–45.

Page 564: KITABU CHA MORMONI

547 3 Nefi 17:25–18:11

25 Na umati uliona na kusikiana wanashuhudia; na wanajuakwamba maandishi yao ni yakweli kwani wote waliona nakusikia, kila mtu binafsi; naidadi yao ilikuwa karibu watuelfu mbili na mia tano; na wali-kuwa wanaume, wanawake,na watoto.

MLANGO WA 18

Yesu anaanzisha sakaramenti mi-ongoni mwa Wanefi — Wanaam-riwa kuomba wakati wote katikajina lake — Wale wanaokula mwiliwake na kunywa damu yake bilakustahili wanalaaniwa — Wana-funzi wanapewa uwezo wa kupa-sisha Roho Mtakatifu. Karibumwaka wa 34 baada ya kuzaliwakwa Kristo.

Na ikawa kwamba Yesu alia-muru wanafunzi kwamba wa-lete amkate na divai kwake.

2 Na walipokuwa wameendakuleta mkate na divai, aliamuruumati kwamba ukae ardhini.

3 Na baada ya wanafunzikurejea na amkate na divai,alichukua mkate na kuumegakwa vipande na kuutakasa; naakawapatia wanafunzi na ku-waamuru kwamba wale.4 Na baada ya kula na kushi-

ba, aliwaamuru kwamba watoekwa umati.

5 Na baada ya umati kulana kushiba, aliwaambia wanafu-nzi: Tazama kutakuwa na mmo-ja atakayetawazwa miongonimwenu, na kwake nitatolea

uwezo kwamba aatamega mkatena kuubariki na kuwapatiawatu wa kanisa langu, kwawote ambao wataamini na ku-batizwa katika jina langu.

6 Na hii mtakumbuka kufanyadaima, hata vile nimefanya,hata vile nimemega mkate nakuubariki na kuwapatia.

7 N a h i i m t a f a n y a k w aaukumbusho wa mwili wangu,ambao nimewaonyesha. Naitakuwa ushuhuda kwa Babakwamba daima mnanikumbu-ka. Na ikiwa mtanikumbukadaima Roho yangu itakuwa nanyinyi.

8 Na ikawa kwamba baada yakusema haya maneno, aliwaa-muru wanafunzi wake kwambawachukue divai ndani ya kiko-mbe na wainywe, na kwambawawapatie umati ili wanywe.

9 Na ikawa kwamba walifa-nya hivyo, na wakainywa nakushiba; na kuupatia umati, nawakanywa, na wakashiba.

10 Na baada ya wanafunzi ku-fanya hivyo, Yesu aliwaambia:Mna heri kwa hiki kitu amba-cho mmefanya, kwani hii nikutimiza amri zangu, na hiiinashuhudia kwa Baba kwambamko tayari kufanya yale amba-yo nimewaamuru.

11 Na daima mtafanya hivikwa wale wanaotubu na kuba-tizwa katika jina langu; na mta-fanya hivi kwa ukumbushowa damu yangu, ambayo nili-mwaga kwa ajili yenu, ili mshu-hudie kwa Baba kwamba daimamnanikumbuka. Na ikiwa

18 1a Mt. 26:26–28.3a mwm Sakramenti.

5a Moro. 4.7a Moro. 4:3.

Page 565: KITABU CHA MORMONI

3 Nefi 18:12–25 548

mnanikumbuka daima Rohoyangu itukuwa na nyinyi.12 Na ninawapatia amri kwa-

mba mtafanya hivi vitu. Naikiwa mtafanya hivi vitu daimamna baraka, kwani mmejengwajuu ya amwamba wangu.

13 Lakini yeyote miongonimwenu ambaye atafanya zaidiau ndogo kuliko haya hajaje-ngwa juu ya mwamba wangu,lakini wamejengwa kwenyemsingi wa mchanga; na wakatimvua inateremka, na mafurikokuja, na pepo kuvuma, na kuji-pigisha juu yao, awataanguka,na bmilango ya jahanamu ikotayari kuwapokea.

14 Kwa hivyo mnabarakanyinyi kama mtatii amri zangu,ambazo Baba ameniamurukwamba nitoe kwenu.

15 Kweli, kweli, ninawaambia,lazima mjihadhari na akuombasiku zote, msije mkajaribiwa naibilisi, na mwongozwe mbalikama mateka wake.16 Na kama vile nimeomba

miongoni mwenu, basi nanyimuombe hivyo katika kanisalangu, miongoni mwa watuwangu wanaotubu na kubati-zwa katika jina langu. Tazama,mimi ndimi anuru; nimewapatiabmfano.

17 Na ikawa kwamba baada yaYesu kuzungumza haya mane-no kwa wanafunzi wake, aliuge-ukia tena umati na kuwaambia:

18 Tazama, kweli, kweli, na-waambia: lazima mjihadharina kusali siku zote, msije mkai-ngia majaribuni; kwani aSheta-ni amewataka nyinyi, ili apatekuwapepeta kama vile ngano.

19 Kwa hivyo lazima msalisiku zote kwa Baba katika jinalangu;

20 Na achochote mtakacho-mwomba Baba katika jina la-ngu, ambacho ni haki, mkiaminikwamba mtapata, tazama, ki-tapewa kwenu.

21 aOmbeni katika ukoo wenukwa Baba, daima katika jinalangu, kwamba wake zenu nawatoto wenu wabarikiwe.

22 Na tazama mtakutanapamoja mara kwa mara; nahamtamzuia mtu yeyote kujakwenu wakati mnakutana pa-moja, lakini wakubalie kwambawaje kwenu na msiwazuie;

23 Lakini amtawaombea, nahamtawatupa nje; na ikiwakwamba watakuja kwenu marakwa mara, mtawaombea kwaBaba, katika jina langu.

24 Kwa hivyo, inueni juuanuru yenu kwamba iangae juuya dunia. Tazama mimi nibmwangaza ambao mtainua —kwamba mfanye yale ambayommeniona nikifanya. Tazamamnaona kwamba nimeombakwa Baba, na nyote mmeshu-hudia.

25 Na mnaona kwamba nimea-

12a mwm Mwamba.13a mwm Ukengeufu.

b 3 Ne. 11:39.15a Alma 34:17–27.

mwm Sala.16a mwm Nuru, Nuru

ya Kristo.

b mwm Yesu Kristo—Mfano wa YesuKristo.

18a Lk. 22:31;2 Ne. 2:17–18;M&M 10:22–27.

20a Mt. 21:22;

Hel. 10:5;Moro. 7:26;M&M 88:63–65.

21a Alma 34:21.23a 3 Ne. 18:30.24a Mt. 5:16.

b Mos. 16:9.

Page 566: KITABU CHA MORMONI

549 3 Nefi 18:26–36

muru kwamba yeyote miongonimwenu aasiende, lakini nimea-muru kwamba mje kwangu,kwamba bmngenipapasa nakuniona; hata hivyo mtafanyakwa ulimwengu; na yeyoteanayeasi hii amri anakubalimwenyewe kuongozwa maja-ribuni.26 Na sasa ikawa kwamba

baada ya Yesu kusema hayamaneno, aligeuza macho yaketena kuwaelekea wanafunziambao alikuwa amewachagua,na kuwaambia:

27 Tazameni kweli, kweli,ninawaambia, ninawapa amriingine, na ndipo niteanda kwaaBaba yangu ili nitimize amribzingine ambazo amenipatia.

28 Na sasa tazama, hii ndiyoamri ninayowapatia, kwambamsikubali yeyote akuonja mwiliwangu na damu bbila kustahili,wakati mtahudumu;29 Kwani yeyote alaye na

anywaye mwil i wangu naadamu basipostahili hula nakunywa lawama kwa nafsiyake; kwa hivyo kama mnajuakwamba mtu hastahili kula nakunywa mwili wangu na damu,mtamzuia.

30 Walakini, ahamtamtupa njekutoka miongoni mwenu, lakinimtamhudumia na mtamwo-mbea kwa Baba, katika jina la-

ngu; na ikiwa kwamba atatubuna kubatizwa katika jina langu,ndipo mtampokea, na mtam-hudumia mwili wangu na damuyangu.

31 Lakini asipotubu hatahesa-biwa miongoni mwa watu awa-ngu, ili asiharibu watu wangu,kwani tazama najua kondoowangu, na wamehesabiwa.

32 Walakini, hamtamtupa njeya masinagogi yenu, au mahalipenu pa kuabudu, kwani kwahawa mtaendelea kuwahudu-mia; kwani hamjui lakini wata-rudi na kutubu, na kuja kwangukwa moyo wa lengo moja, naanitawaponya; na ndipo mtaku-wa njia ya kuwaletea wokovu.

33 Kwa hivyo, tii haya ma-neno ambayo nimewaamurukwamba msije mkawa chini yaahukumu; kwani ole kwa yuleambaye Baba anamhukumu.

34 Na ninawapatia hizi amrikwa sababu ya ugomvi ambaoumekuwa miongoni mwenu.Na heri nyinyi kama ahamnaugomvi miongoni mwenu.

35 Na sasa nitaenda kwaBaba, kwa sababu ni muhimukwamba niende kwa Baba akwaajili yenu.

36 Na ikawa kwamba baadaya Yesu kumaliza manenohaya, aaliwagusa bwanafunziambao alikuwa amewachagua

25a Alma 5:33.b 3 Ne. 11:14–17.

27a mwm Mungu,Uungu—MunguBaba.

b 3 Ne. 16:1–3.28a 1 Kor. 11:27–30.

b Morm. 9:29.29a mwm Damu;

Sakramenti.b M&M 46:4.

30a M&M 46:3.31a Yn. 10:14; Alma 5:38;

3 Ne. 15:24.32a 3 Ne. 9:13–14;

M&M 112:13.33a mwm Shutuma,

Shutumu.

34a 3 Ne. 11:28–30.35a 1 Yoh. 2:1;

2 Ne. 2:9;Moro. 7:27–28;M&M 29:5.

36a mwm Mikono,Kuweka juu ya.

b 1 Ne. 12:7;3 Ne. 19:4.

Page 567: KITABU CHA MORMONI

3 Nefi 18:37–19:6 550

kwa mkono wake mmoja mmo-ja mpaka alipowagusa wote, naaliwazungumzia akiwagusa.37 Na umati haukusikia ma-

neno ambayo alisema, kwahivyo hawakushuhudia; lakiniwanafunzi wanashuhudia kwa-mba aliwapatia auwezo kutoaRoho bMtakatifu. Na nitawao-nyesha baadaye kwamba huuushahidi ni wa kweli.

38 Na ikawa kwamba baadaya Yesu kuwagusa wote, kuli-tokea awingu na likafunikaumati kwamba haungemwonaYesu.

39 Na wakati walipokuwawamefunikwa aliondoka kuto-ka kwao, na kupaa mbinguni.Na wanafunzi waliona na wa-nashudia kwamba alipaa tenambinguni.

MLANGO WA 19

Wale wanafunzi kumi na wawiliwanawahudumia watu na wanao-mba wapokee Roho Mtakalifu —Wanafunzi wanabatizwa na kupo-kea Roho Mtakatifu na kuhudumukama malaika — Yesu anaombaakitumia maneno ambayo hayawezikuandikwa — Anashuhudia imanikuu ya hawa Wanefi. Karibumwaka wa 34 baada ya kuzaliwakwa Kristo.

Na sasa ikawa kwamba baadaya Yesu kupaa mbinguni, umatiulitawanyika, na kila mtu alim-chukua mke wake na watotowake na kurejea kwa nyumbayake.

2 Na uvumi ulienda nje mio-ngoni mwa watu mara moja,kabla ya giza kushika, kwambaule umati ulikuwa umemwonaYesu, na kwamba alikuwaamewahudumia, na kwambapia atajidhihirisha kwao kesho.

3 Ndio, na hata usiku kuchaukavumishwa kuhusu Yesu;na kwa ukamilifu mwingi wa-lisambaza kwa watu kwambakulikuwa na wengi, ndio, idadikubwa sana ilitembea sanausiku, ili wawe mahali ambapoYesu atajionyesha mwenyewekwa umati.

4 Na ikawa kwamba keshoyake baada ya umati kukusa-nyika pamoja, tazama Nefi nakaka yake ambaye alikuwaamefufuliwa kutoka kwa wafu,ambaye jina lilikuwa Timotheo,na pia mwana wake ambaye jinalake lilikuwa Yona, na piaMathoni, na Mathoniha, kakayake, na Kumeni, na Kumeno-nhi, na Yeremia, na Shemnoni,na Yona, na Zedekia, na Isaya—Sasa haya yalikuwa majina yawanafunzi ambao Yesu alikuwaamewachagua—na ikawa kwa-mba walienda mbele na kusi-mama katikati ya umati.

5 Na tazama, umati ulikuwamkubwa sana kwamba walisa-babisha kwamba wagawanywekwenye vikundi kumi na viwili.

6 Na wale kumi na wawili wa-lifundisha umati; na tazama,walisababisha kwamba umatiupige magoti chini juu ya ardhi,na waombe kwa Baba katikajina la Yesu.

37a mwm Uwezo.b mwm Kipawa cha

Roho Mtakatifu.38a Kut. 19:9, 16.

Page 568: KITABU CHA MORMONI

551 3 Nefi 19:7–23

7 Na wanafunzi pia walio-mba kwa Baba pia katika jinala Yesu. Na ikawa kwambawaliinuka na kuwahudumiawatu.

8 Na baada ya kufundishamaneno yale yale ambayo Yesualizungumza — bila tofauti yo-yote na yale Yesu aliyazungu-mza — tazama, walipiga mago-ti tena na kuomba kwa Babakatika jina la Yesu.

9 Na waliomba wapate kileambacho walitaka zaidi; nawalitaka kwamba Roho aMta-katifu apewe kwao.

10 Na baada ya kuomba hi-vyo, walienda chini kwenyeukingo wa maji, na umati uka-wafuata.

11 Na ikawa kwamba Nefialienda chini andani ya maji naakabatizwa.

12 Na alitoka nje kutoka ndaniya maji na kuanza kubatiza. Naalibatiza wale wote ambaoYesu aliwachagua.

13 Na ikawa baada ya woteakubatizwa na kutoka nje yamaji, Roho bMtakatifu alitere-mka kwao, na walijazwa naRoho Mtakatifu na moto.

14 Na tazama, walionekanakama awaliozingirwa na moto;na ulikuja chini kutoka mbi-nguni, na umati ulishuhudia,na kutoa ushahidi; na malaikawalikuja chini kutoka mbingu-ni na kuwahudumia.15 Na ikawa kwamba malaika

walipokuwa wanawahudumiawanafunzi, tazama, Yesu alikuja

na kusimama miongoni mwaona kuwahudumia.

16 Na ikawa kwamba alizu-ngumza kwa umati, na kuwaa-muru kwamba wapige magotichini ardhini tena, na pia kwa-mba wanafunzi wake wapigemagoti chini ardhini.

17 Na ikawa kwamba walipo-piga magoti chini, aliwaamuruwafuasi wake waombe.

18 Na tazama, walianza kuo-mba; na waliomba kwa Yesu,wakimwita Bwana wao naMungu wao.

19 Na ikawa kwamba Yesualitembea kutoka miongonimwao, na kuenda pembeni ki-dogo kutoka kwao na kujiina-misha mwenyewe na kusema:

20 Baba, ninakushukuru kwa-mba umewapatia hawa watuambao nimewachagua RohoMtakatifu; na ni kwa sababu yaimani yao kwangu, kwambanimewachagua kutoka miongo-ni mwa watu wa dunia.

21 Baba, nakuomba kwambautawapatia Roho Mtakatifuwote ambao wataamini kwamaneno yao.

22 Baba, umewapatia RohoMtakatifu kwa sababu wanaa-mini ndani yangu; na unaonakwamba wanaamini kwangukwa sababu unawasikia, na wa-naomba kwangu; na wanaombakwangu kwa sababu niko nao.

23 Na sasa Baba, ninaombakwako kwa ajili yao, na pia walewote ambao wataamini manenoyao, kwamba wangeamini nda-

19 9a 3 Ne. 9:20.11a 3 Ne. 11:23.13a mwm Batiza, Ubatizo.

b 3 Ne. 12:2;Morm. 7:10.mwm Kipawa cha

Roho Mtakatifu.14a Hel. 5:23–24, 43–45;

3 Ne. 17:24.

Page 569: KITABU CHA MORMONI

3 Nefi 19:24–35 552

ni yangu, kwamba niwe ndaniyao avile uko, Baba, ndaniyangu, ili tuwe kitu bkimoja.

24 Na ikawa kwamba baadaya Yesu kuomba hivyo kwaBaba, aliwajia wanafunzi wake,na tazama, walikuwa bado wa-naendelea, bila kukoma, kuo-mba kwake; na ahawakuzidishamaneno, kwani walipewa yaleambayo bwangeomba, na utashiuliwajaa.

25 Na ikawa kwamba Yesualiwabariki wakati walipokuwawanaomba kwake; alikunjuauso kwao, na nuru ya auso wakeiling’aa kwao, na tazama, wali-kuwa bweupe kama uso na pianguo ya Yesu; na tazama, weu-pe wake ulizidi weupe wote,ndio, hata hakungekuwa nakitu duniani cheupe kamaweupe wake.

26 Na Yesu akasema kwao:Endeleeni kuomba; walakini,hawakukoma kuomba.

27 Na akageuka kutoka kwaotena, na akaenda kando kidogona akainama mwenyewe ar-dhini; na akaomba tena kwaBaba, akisema:

28 Baba, ninakushukuru kwa-mba aumewatakasa wale ambaonimewachagua, kwa sababuya imani yao, na ninawao-mbea, na pia wale ambao wata-amini kwa yale wanayosema,ili watakaswe kupitia kwangu,kwa imani katika maneno yao,

kama vile wanatakaswa ndaniyangu.

29 Baba siombei dunia, lakiniwale ambao umenipatia akutokadunia, kwa sababu ya imaniyao, kwamba wangetakaswakupitia kwangu, kwamba niwendani yao vile wewe, Baba, uli-vyo ndani yangu, ili tuwe kitukimoja, kwamba nipate kutu-kuzwa ndani yao.

30 Na baada ya Yesu kusemahaya maneno, alirudi tena kwawanafunzi wake; na tazamawaliomba kwa uthabiti, bilakukoma, kwake; na akakunjuauso kwao tena; na tazama, wali-kuwa aweupe, hata kama Yesu.

31 Na ikawa kwamba aliendatena kando kidogo na kuombakwa Baba;

32 Na ulimi hauwezi kusemayale maneno ambayo aliombawala hayawezi akuandikwa namwanadamu maneno ambayoaliomba.

33 Na umati ulisikia na wali-toa ushuhuda; na mioyo yaoilifunguka na walisikia katikamioyo yao, maneno ambayoaliomba.

34 Walakini, maneno aliyoya-tumia kwa kuomba yalikuwamakubwa sana na ya ajabu,kwamba hayawezi kuandikwa,wala akuongelewa na mtu.35 Na ikawa kwamba baada

ya Yesu kumaliza kuomba ali-rudi tena kwa wanafunzi, na

23a 3 Ne. 9:15.b Yn. 17:21–23.

mwm Umoja.24a Mt. 6:7.

b M&M 46:30.25a Hes. 6:23–27.

b mwm Kugeukasura—ViumbeWaliogeuka Sura.

28a Moro. 7:48;M&M 50:28–29;88:74–75.

mwm Safi, Usafi.29a Yn. 17:6.30a Mt. 17:2.32a M&M 76:116.34a 2 Kor. 12:4;

3 Ne. 17:17.

Page 570: KITABU CHA MORMONI

553 3 Nefi 19:36–20:12

kuwaambia: Sijaona aimani ku-bwa kama hii miongoni mwaWayahudi; kwa hivyo, sikuo-nyesha miujiza mikubwa kwasababu ya bkutoamini kwao.36 Kweli, ninawaambia, haku-

na mmoja wao ambaye ameonavitu vikubwa sana kama vilenyinyi wala hawajasikia vituvikubwa kama vile mmesikia.

MLANGO WA 20

Yesu anatoa mkate na divai kwamiujiza na tena anatoa sakarame-nti kwa watu — Sazo la Yakobowatakuja kujua Bwana Mungu waona kurithi bara za Amerika—Yesuni yule nabii kama Musa, na Wane-fi ni watoto wa manabii — Watuwengine wa Bwana watakusanywaYerusalemu. Karibu mwaka wa 34baada ya kuzaliwa kwa Kristo.

Na ikawa kwamba aliamuruumati kwamba wakome kusalina pia wanafunzi wake. Naakawaamuru kwamba wasiko-me akusali kwenye mioyo yao.

2 Na akawaamuru kwambawainuke na wasimame kwamiguu yao. Na waliinuka nakusimama kwa miguu yao.

3 Na ikawa kwamba alimegamkate tena na kuubariki, nakuwapa wanafunzi waule.

4 Na baada ya wao kula, ali-waamuru wamege mkate nakuwapatia umati.

5 Na baada ya wao kuwapatia

umati, aliwapa divai pia ku-nywa na kuwaamuru kuwapa-tia umati.

6 Sasa hakukuweko na amkatewala divai iliyoletwa na wana-funzi, wala na umati.

7 Lakini kwa kweli aaliwapa-tia mkate wale, na pia divaiwanywe.

8 Na akawaambia: Yule amba-ye aanaula huu mkate anakulamwili wangu kwa nafsi yake; nayule ainywaye hii divai, anaku-nywa damu yangu kwa nafsiyake; na nafsi yake haitaonanjaa wala kiu, lakini itajazwa.

9 Sasa baada ya umati kunywana kula, tazama, walijazwa naRoho; na walipiga yowe kwasauti moja, na kumtukuza Yesu,ambaye walimwona na kumsi-kiza.

10 Na ikawa kwamba wakatiwote walikuwa wamemtukuzaYesu, aliwaambia: Tazama sasaninamaliza amri ambayo Babaaliniamuru kuhusu watu hawa,ambao ni sazo la nyumba yaIsraeli.

11 Mnakumbuka kwamba ni-liwazungumzia, na kusemakwamba wakati amaneno yabIsaya yangetimizwa — taza-ma, yameandikwa, mnayombele yenu, kwa hivyo mya-chunguze —

12 Na kweli, kweli, ninasemakwenu; kwamba wakati yata-kavyotimizwa ndipo kutatimi-zwa aagano ambalo Baba alifa-

35a mwm Imani.b Mt. 13:58.

mwm Kutoamini.20 1a 2 Ne. 32:9;

Mos. 24:12.

6a Mt. 14:19–21.7a Yn. 6:9–14.8a Yn. 6:50–58;

3 Ne. 18:7.mwm Sakramenti.

11a 3 Ne. 16:17–20;23:1–3.

b 2 Ne. 25:1–5;Morm. 8:23.

12a 3 Ne. 15:7–8.

Page 571: KITABU CHA MORMONI

3 Nefi 20:13–23 554

nya na watu wake Ee nyumbaya Israeli.13 Na ndipo amasazo ambayo

byatatawanywa juu ya dunia,cyatakusanywa ndani kutokamashariki na kutoka maghari-bi, na kutoka kusini na kutokakaskazini; na wataletwa kwadufahamu wa Bwana Munguwao, ambaye amewakomboa.

14 Na Baba ameniamuru kwa-mba niwapatie hii anchi kwaurithi wenu.

15 Na ninawaambia kwambakama Wayunani ahawatatububaada ya baraka ambazo wata-pata, baada ya wao kutawanyawatu wangu —

16 Ndipo nyinyi ambao ni sazola nyumba ya Yakobo, mtaendamiongoni mwao; na mtakuwamiongoni mwao ambao niwengi; na mtakuwa miongonimwao kama simba miongonimwa wanyama wa msitu, nakama mwana asimba miongonimwa makundi ya kondoo,ambaye, ikiwa atapitia mio-ngoni mwao batawakanyagiachini na kuwararua katikavipande vipande na hakunaatakayewaokoa.17 Mikono yenu itainuliwa

dhidi ya maadui wenu, na maa-dui wenu wote watakatiliwambali.

18 Na anitakusanya watu wa-ngu vile mtu hukusanya miga-nda sakafuni.

19 Kwani nitachagua watuwangu ambao Baba amefanyaagano nao, ndio, nifanye pembeyako kuwa chuma, na akwatozako kuwa shaba. Na utapondakwenye vipande vipande watuwengi; na nitaweka wakfufaida yako kwa Bwana, na malizao kwa Bwana wa duniayote. Na tazama mimi ndimi,nitaifanya.

20 Na itakuwa, asema Baba,kwamba aupanga wa haki ya-ngu utaning’inia juu yao sikuile; na wasipotubu, itawaangu-kia, anasema Baba, ndio, hatakwa mataifa yote ya Wayunani.

21 Na itakuwa kwamba ni-taimarisha awatu wangu, Eenyumba ya Israeli.

22 Na tazama, hawa watunitawaimarisha katika nchi hii,kwa kutimiza aagano ambalonilifanya na babu yenu Yakobo;na itakuwa Yerusalemu bmpya.Na uwezo wa mbinguni utaku-wa katikati ya hawa watu;ndio, hata cmimi nitakuwa ka-tikati yenu.

23 Tazama, ni mimi ambayeMusa alimzungumzia akisema:Bwana Mungu wenu atainuaanabii huyo kutoka miongoni

13a 3 Ne. 16:11–12; 21:2–7.b mwm Israeli—

Kutawanyika kwaIsraeli.

c mwm Israeli—Kukusanyika kwaIsraeli.

d 3 Ne. 16:4–5.14a mwm Nchi ya Ahadi.15a 3 Ne. 16:10–14.16a Morm. 5:24;

M&M 19:27.b Mik. 5:8–9;

3 Ne. 16:14–15; 21:12.18a Mik. 4:12.19a Mik. 4:13.20a 3 Ne. 29:4.21a 3 Ne. 16:8–15.22a Mwa. 49:22–26;

M&M 57:2–3.b Isa. 2:2–5;

3 Ne. 21:23–24;

Eth. 13:1–12;M&M 84:2–4.mwm YerusalemuMpya.

c Isa. 59:20–21;Mal. 3:1;3 Ne. 24:1.

23a Kum. 18:15–19;Mdo. 3:22–23;1 Ne. 22:20–21.

Page 572: KITABU CHA MORMONI

555 3 Nefi 20:24–34

mwa ndugu zenu kama mimi;yeye ndiye mtamsikiliza kwavitu vyote atakavyowaambia.Na itakuwa kwamba kila nafsiambayo haitamsikiliza nabii ita-katiwa mbali kutoka miongonimwa watu.24 Kweli, nawaambia, ndio,

na manabii a wote kutokeaSamweli na wale ambao wana-fuata baadaye, kadir i vi lewengi wamezungumza, wame-nishuhudia.25 Na tazama, nyinyi ni wato-

to wa manabii; na nyinyi ni wanyumba ya Israeli; na ni waaagano ambalo Baba alifanyana babu zenu akisema kwaIbrahimu: Na bkupitia uzaowako, makabila yote ya duniayatabarikiwa.26 Baba alinitayarisha mimi

kwanza, na kunituma niwaba-riki nyinyi kwa akugeuza kilammoja wenu kutoka kwa uovuwake; na hivyo ni kwa sababunyinyi ni watoto wa agano —

27 Na baada ya hivyo mlibari-kiwa ndipo kutimiza aganoambalo Baba alifanya na Ibra-himu, akisema: aKatika uzaowako, jamaa yote ya dunia ita-barikiwa—kwa njia ya kumwa-ga nje Roho Mtakatifu kupitiakwangu juu ya bWayunani,baraka ambazo kwa Wayunani,zitawafanya kuwa na nguvukuliko wote, kwa kutawanya

watu wangu, Ee nyumba yaIsraeli.

28 Na watakuwa amjeledi kwawatu wa nchi hii. Walakini,baada ya hao kupata utimilifuwa injili yangu, hapo ikiwawatashupaza mioyo yao dhidiyangu, nitarudishia uovu waojuu ya vichwa vyao, anasemaBaba.

29 Na anitakumbuka aganoambalo nimefanya na watuwangu; na nimeagana nao kwa-mba bnitawakusanya pamoja,katika wakati wangu mwenye-we, kwamba ningewapa tenacnchi ya babu zao kwa urithi,ambayo ni nchi ya dYerusale-mu, ambayo ni nchi ya ahadikwao milele, anasema Baba.

30 Na itakuwa kwamba waka-ti utakuja ambapo utimilifu wainjili yangu utahubiriwa kwao;

31 Na awataamini ndani yangu,kwamba mimi ni Yesu Kristo,Mwana wa Mungu, na kuombakwa Baba katika jina langu.

32 Ndipo awalinzi wao wata-paza sauti zao, na kwa sauti,pamoja wataimba; kwani wata-onana jicho kwa jicho.

33 Ndipo Baba atawakusanyapamoja tena na kuwapatiaYerusalemu kuwa nchi ya urithiwao.

34 Ndipo watapiga kelele zashangwe— aImbeni pamoja enyimahali pa Yerusalemu palipo

24a Mdo. 3:24–26;1 Ne. 10:5;Yak. (KM) 7:11.

25a mwm Agano laIbrahimu.

b Mwa. 12:1–3; 22:18.26a Mit. 16:6.27a Gal. 3:8; 2 Ne. 29:14;

Ibr. 2:9.b 3 Ne. 16:6–7.

28a 3 Ne. 16:8–9.29a Isa. 44:21;

3 Ne. 16:11–12.b mwm Israeli—

Kukusanyika kwaIsraeli.

c Amo. 9:14–15.d mwm Yerusalemu.

31a 3 Ne. 5:21–26;21:26–29.

32a Isa. 52:8;3 Ne. 16:18–20.mwm Kesha, Walinzi.

34a Isa. 52:9.

Page 573: KITABU CHA MORMONI

3 Nefi 20:35–46 556

na ukiwa; kwani Baba amefarijiwatu wake, na ameikomboaYerusalemu.35 Baba amefanya mkono wake

mtakatifu wazi katika macho yamataifa yote; na nchi zote za du-nia zitauona wokovu wa Baba;na Baba na Mimi tu wamoja.

36 Na ndipo itakuja kutimiaile ambayo iliandikwa: aAmka,amka tena, na jivike nguvuyako, Ee Sayuni; jivike mavaziyako mazuri, Ee Yerusalemu,mji mtakatifu, kwani kutokeasasa hawataingia ndani yako,wasiotahiriwa na wasio safi.37 Jikung’ute mavumbi; inu-

ka uketi chini, Ee Yerusalemu,jifungulie kandaza za shingo,Ee binti mfungwa wa Sayuni.

38 Kwani Bwana anasemahivi; Mmejiuza bure, na mtako-mbolewa bila fedha.

39 Kweli, kweli, nawaambia,kwamba watu wangu watajuajina langu; ndio, katika sikuhiyo watajua kwamba ni mimindiye husema.

40 Na hapo watasema: aJinsiilivyo mizuri juu ya milima,miguu yake, aletaye habarinjema kwao, yeye batangazayeamani; aletaye habari njema yamambo mema kwao, yeye ata-ngazaye wokovu, aiambiaye Sa-yuni: Mungu wako anatawala!

41 Na hapo mlio utatokea:aNendeni nyinyi, nendeni nyi-nyi, tokeni hapo, msiguse kileambacho ni bkichafu; tokeni kati

yake, muwe csafi nyinyi mnao-chukua vyombo vya Bwana.

42 Kwani ahamtatoka kwaharaka wala hamtakwenda kwakukimbia; kwa sababu Bwanaatawatangulia, na Mungu waIsraeli atakuwa nyuma yenukuwalinda.

43 Tazama mtumishi wanguatatenda kwa busara; atatuku-zwa na kuinuliwa juu, na kuwajuu sana.

44 Na vile wengi walikus-taajabia — uso wake ulikuwauliharibiwa sana zaidi ya mtuyeyote, na umbo lake zaidi yawana wa watu —

45 Ndivyo aatakavyowanyu-nyizia mataifa mengi; wafalmewatamfungia vinywa vyao,kwani maneno ambayo hawa-kuambiwa watayaona; na yaleambayo hawakusikia wataya-fahamu.

46 Kweli, kweli, ninawaambia,hivi vitu vyote vitafanyika, hatavile Baba ameniamrisha. Ndipohili agano ambalo Baba amea-gana na watu wake litatimizwa;na hapo aYerusalemu itakaliwatena na watu wangu, na itaku-wa nchi yao ya urithi.

MLANGO WA 21

Israeli itakusanywa wakati kita-bu cha Mormoni kinabainishwa —Wayunani wataimarishwa kamawatu huru katika Amerika — Wa -

36a Isa. 52:1–3;M&M 113:7–10.mwm Sayuni.

40a Isa. 52:7;Nah. 1:15;

Mos. 15:13–18;M&M 128:19.

b Mk. 13:10;1 Ne. 13:37.

41a Isa. 52:11–15.

b mwm Safi na Isiyo safi.c M&M 133:5.

42a 3 Ne. 21:29.45a Isa. 52:15.46a Eth. 13:5, 11.

Page 574: KITABU CHA MORMONI

557 3 Nefi 21:1–8

takombolewa ikiwa wataamini nakutii; la sivyo, watakataliwa mbalina kuangamizwa—Israeli itajengaYerusalemu mpya, na makabilayaliyopotea yatarejea. Karibumwaka wa 34 baada ya kuzaliwakwa Kristo.

Na kweli, ninawaambia, nina-wapatia ishara ili mjue amudaambao vitu hivi vitakuwa kari-bu kufanyika — kwamba nita-wakusanya ndani, baada yakutawanyika kwa muda mre-fu, watu wangu, Ee nyumba yaIsraeli, na nitaanzisha tena mi-ongoni mwao Sayuni yangu.

2 Na tazama, hiki ndichokitu ambacho nitawapatia kwaishara — kwa kweli, ninawaa-mbia kwamba wakati hivi vituambavyo nimetangaza kwenu,na ambavyo nitawatangaziabaadaye mwenyewe, na kwauwezo wa Roho Mtakatifuambaye atatolewa kwenu naBaba, vitafanywa kujulikanakwa Wayunani ili wajue kuhusuhawa watu ambao ni sazo lanyumba ya Yakobo, na kuhusuhawa watu wangu ambaowatatenganishwa na hao;

3 Kweli, kweli, ninawaambia,baada ya ahivi vitu kujulikanakwao, kutoka kwa Baba, na vi-tatokea kutoka kwa Baba kupi-tia kwao hadi kwenu.

4 Kwani ni hekima katikaBaba kwamba waimarishwe

katika nchi hii, na wapangwekama watu ahuru kwa uwezowa Baba, kwamba hivi vituvingekuja mbele kutoka kwaohadi kwa sazo la uzao wenu,kwamba bagano la Baba lingeti-mizwa ambalo ameagana nawatu wake, Ee nyumba yaIsraeli.

5 Kwa hivyo, baada ya vituhivi na vitu ambavyo vitafa-nywa miongoni mwenu baadaya muda huu vitakuja akutokakwa Wayunani, hadi kwa buzaowenu ambao utafifia katika ku-toamini kwa sababu ya uovu;

6 Kwa hivyo ndivyo Babaamepanga kwamba ije kutokeakwa aWayunani, kwamba ange-onyesha mbele uwezo wakekwa Wayunani, kwa sababu hiikwamba Wayunani kama hawa-tashupaza mioyo yao, kwambawatubu na waje kwangu nawabatizwe katika jina langu nawajue habari kamili ya mafu-ndisho yangu, ili bwahesabiwemiongoni mwa watu wangu,Ee nyumba ya Israeli.

7 Na wakati vitu hivi vitaka-pokuja kutimizwa, kwambaauzao wenu utaanza kujua vituhivi — itakuwa ishara kwao, iliwajue kwamba kazi ya Babaimeanza kitambo kwa kutimi-zwa kwa agano ambalo amefa-nya kwa watu ambao ni wanyumba ya Israeli.

8 Na wakati hiyo siku itakapo-

21 1a mwm Siku zaMwisho.

3a Eth. 4:17;JS—H 1:34–36.

4a 1 Ne. 13:17–19;M&M 101:77–80.

b Morm. 5:20.

mwm Agano laIbrahimu.

5a 3 Ne. 26:8.b 2 Ne. 30:4–5;

Morm. 5:15;M&M 3:18–19.

6a 1 Ne. 10:14;

Yak. (KM) 5:54;3 Ne. 16:4–7.

b Gal. 3:7, 29;3 Ne. 16:13;Ibr. 2:9–11.

7a 3 Ne. 5:21–26.

Page 575: KITABU CHA MORMONI

3 Nefi 21:9–20 558

fika, itakuwa kwamba wafalmewatafunga vinywa vyao; kwa-ni yale ambayo hawajaambiwawatayaona; na yale ambayohawajasikia watayafikiria.9 Kwani katika siku hiyo, kwa

ajili yangu, Baba atafanya kaziambayo itakuwa kubwa nakazi ya aajabu miongoni mwao;na kutakuwa miongoni mwaowale ambao hawataiamini inga-wa mtu atawatangazia.

10 Lakini tazama maisha yamtumishi wangu yatakuwamkononi mwangu; kwa hivyo,hawatamdhuru, ingawa aatau-mizwa kwa sababu yao. Badonitamponya, kwani nitawao-nyesha kwamba hekima byanguinazidi werevu wa ibilisi.11 Kwa hivyo itakuwa kwa-

mba yeyote ambaye hataaminikatika maneno yangu, mimiambaye ni Yesu Kristo, ambayeBaba atamsababisha ayeye ku-leta mbele kwa Wayunani, naatampatia uwezo kwamba ata-yaleta mbele kwa Wayunani,(itafanyika hata kama Musaalivyosema) bwatatolewa kuto-ka kwa watu wangu ambao niwa agano.12 Na watu wangu ambao ni

sazo la Yakobo watakuwa mio-ngoni mwa Wayunani, ndio,miongoni mwao kama asimbamiongoni mwa wanyama wamsituni, kama mwana simbamiongoni mwa makundi ya

kondoo, ambaye akiwa anapitakatikati, bhukanyagakanyaga nakuraruararua, kwa vipande vi-pande, na hakuna wa kuokoa.

13 Mkono wao utainuliwa juuya maadui zao, na maadui waowote watakatiliwa mbali.

14 Ndio, ole kwa Wayunaniisipokuwa awatubu; kwani ita-kuwa kwamba katika siku hiyo,asema Baba, kwamba nitatiliambali farasi wenu, kutoka katiyenu, na nitaharibu magariyenu ya vita;

15 Na nitakatilia mbali mijiya nchi yenu, na nitaangushangome zenu zote;

16 Na nitakatilia mbali uchawinje ya nchi yenu, na hamtakuwatena na wapiga ramli;

17 Nitaziharibu asanamu zenu,na nguzo zenu za ibada, na ha-mtaabudu tena kazi ya mikonoyenu;

18 Na nitaving’oa vijisitu vye-nu visiwe kati yenu; hivyonitaangamiza miji yenu.

19 Na itakuwa kwamba auwo-ngo wote na udanganyifu, nawivu, na mashindano, na uku-hani wa uongo, na ukahabautaondelewa.

20 Kwani itakuwa, anasemaBaba, kwamba katika siku ile,wote ambao hawatatubu nakuja kwa Mwana wangu Mpe-ndwa, hao nitawakatilia mbalikutoka miongoni mwa watuwangu, Ee nyumba ya Israeli.

9a Isa. 29:13;Mdo. 13:41;1 Ne. 22:8.mwm Urejesho waInjili.

10a M&M 135:1–3.b M&M 10:43.

11a 2 Ne. 3:6–15;Morm. 8:16, 25.

b M&M 1:14.12a Mik. 5:8–15;

3 Ne. 20:16.b 3 Ne. 16:13–15.

14a 2 Ne. 10:18; 33:9.

17a Kut. 20:3–4;Mos. 13:12–13;M&M 1:16.mwm Kuabudusanamu.

19a 3 Ne. 30:2.

Page 576: KITABU CHA MORMONI

559 3 Nefi 21:21–22:2

21 Na nitamaliza ghadhabuyangu kali na kisasi juu yao,hata kama kwa wale wasio nadini, ile mbaya ambayo hawa-jasikia.

22 Lakini ikiwa watatubu nakutii maneno yangu, na wasi-shupaze mioyo yao, anitaimari-sha kanisa langu miongonimwao, na wataingia kwenyeagano na bkuhesabiwa miongo-ni mwa hili sazo la Yakobo,kwa hao ambao nimepeananchi hii kwa urithi wao.

23 Na watawasaidia watuwangu, lile sazo la Yakobo, napia wengi wa nyumba ya Israelikama watakuja ili wawezekujenga mji, ambao utaitwaYerusalemu aMpya.

24 Na ndipo watasaidia watuwangu ili wakusanywe ndani,ambao wametawanyika kotejuu ya nchi, ndani ya Yerusale-mu Mpya.

2 5 N a n d i p o a u w e z o w ambinguni utakuja chini mio-ngoni mwao; na pia bnitakuwakatikati.26 Na ndipo kazi ya Baba

aitaanza katika siku ile, hatawakati ambapo injili itahubiri-wa miongoni mwa sazo la watuhawa. Kweli, nawaambia, katikasiku ile, ndipo kazi ya Babaitaanza miongoni mwa watuwangu waliotawanywa, ndio,hata makabila ambayo byame-potea, ambayo Baba ameyao-

ngozea mbali kutoka nje yaYerusalemu.

27 Ndio, kazi itaanza miongo-ni mwa wale wote wa watuwangu awaliotawanywa, Babaakiwapo kutayarisha njia amba-yo kwayo wangekuja kwangu,ili wamuite katika jina langu.

28 Ndio, ndipo kazi itakapoa-nza, na Baba miongoni mwamataifa yote katika kutayarishanjia ambayo kwayo watu wakeawangekusanywa nyumbani ka-tika nchi yao ya urithi.

29 Na wataenda nje kutokakwa mataifa yote; na hawatae-nda nje kwa aharaka, walakwenda kwa woga, kwani nita-enda mbele yao, asema Baba,na nitakuwa wao wa nyuma.

MLANGO WA 22

Katika siku za mwisho, Sayuni navigingi vyake vitaimarishwa, naIsraeli itakusanywa kwa hurumana wororo — Watafaulu — Linga-nisha Isaya 54. Karibu mwaka wa34 baada ya kuzaliwa kwa Kristo.

Na ndipo ile ambayo imeandi-kwa itatimizwa: Imba, ewe tasa;wewe usiyepata kujifunguamtoto; anza akuimba na ulie kwasauti, wewe ambaye hukujifu-ngua mtoto; kwani wengi ni wa-toto wa tasa, kuliko watoto wamke aliyeolewa, asema Bwana.

2 Panua mahali pa hema lako,

22a mwm Kipindi .b 2 Ne. 10:18–19;

3 Ne. 16:13.23a 3 Ne. 20:22;

Eth. 13:1–12.mwm YerusalemuMpya.

25a 1 Ne. 13:37.b Isa. 2:2–4; 3 Ne. 24:1.

26a 1 Ne. 14:17;3 Ne. 21:6–7.

b mwm Israeli—Makabila kumi yaIsraeli yaliyopotea.

27a 3 Ne. 16:4–5.28a mwm Israeli—

Kukusanyika kwaIsraeli.

29a Isa. 52:12;3 Ne. 20:42.

22 1a mwm Imba.

Page 577: KITABU CHA MORMONI

3 Nefi 22:3–17 560

na acha watandaze mapazia yamaskani yako; tumia nafasi yote,ongeza urefu wa kamba zako,na vikaze avigingi vyako;

3 Kwani utaenea kwenye upa-nde wa kulia na kwenye upandewa kushoto na uzao wako uta-wamiliki aWayunani na kufanyamiji ya ukiwa kumilikiwa.4 Usiogope, kwani hutaaibi-

ka; wala kuteketezwa, kwanihutawekwa aaibu; kwani uta-sahau aibu ya ujana wako, nahutakumbuka aibu ya ujanawako, na hutaweza kukumbukamashtumu ya ujane wako tena.5 K w a n i m u u m b a w a k o ,

mume wako, Bwana wa Majeshindilo jina lake; na Mkomboziwako, Mtakatifu wa Israeli —ataitwa Mungu wa dunia yote.

6 Kwani Bwana amekuitakama mke aliyeachwa na ku-huzunishwa rohoni, na mkewa ujana, wakati ulikataliwa,asema Mungu wako.

7 Kwa muda midogo nimeku-acha, lakini kwa rehema nyinginitakurejesha.

8 Kwa ghadhabu ndogo, nili-ficha uso wangu kutoka kwakokwa muda mfupi, lakini kwawema usio na mwisho nitaku-wa na ahuruma kwako, asemaBwana Mkombozi wako.

9 Kwani jambo ahili limekuwakama bmaji ya Nuhu kwangu,kwani vile nilivyoapa kwambamaji ya Nuhu hayatafunikadunia tena, kadhalika nimeapa

kwamba sitakuwa na hasiranawe.

10 Kwani amilima itaondoka,na vilima vitaondelewa, lakiniwema wangu bhautaondokakutoka kwako, wala agano la-ngu la amani liondolewe, ase-ma Bwana ambaye ana rehemanawe.

11 Ee uliyeteseka, uliyeru-shwa na tufani, bila kutulizwa!Tazama, nitaweka amawe yakona rangi nzuri, na kuweka msi-ngi wako na johari ya thamani.

12 Na nitafanya madirisha yakoya akiki, na milango yako yakito nyekundu, na mipaka yakoyote ya mawe yapendezayo.

13 Na watoto wako awotewatafundishwa na Bwana; naamani ya watoto wako itakuwakubwa.

14 Utathibitika katika ahaki;utakuwa mbali na kuonewa,kwani hutaogopa, na mbali nahofu, kwani haitakuja karibunawe.

15 Tazama, yamkini wataku-sanyika pamoja dhidi yako, siokwa shauri langu; wote wataka-okusanyika pamoja dhidi yakowataanguka kwa ajili yako.

16 Tazama, nimemuumbamhunzi afukutaye moto wa ma-kaa, na ambaye huleta chombokwa kazi yake; na nimemuumbamharibifu kuangamiza.

17 Hakuna silaha yoyote ita-kayotengenezwa dhidi yakoambayo itafaulu; na kila ulimi

2a mwm Kigingi.3a mwm Wayunani.4a 2 Ne. 6:7, 13.8a mwm Rehema,

Rehema, enye.

9a Isa. 54:9.b mwm Gharika katika

Wakati wa Nuhu.10a Isa. 40:4.

b Zab. 94:14;

M&M 35:25.11a Ufu. 21:18–21.13a Yer. 31:33–34.14a mwm Haki, enye,

Uadilifu.

Page 578: KITABU CHA MORMONI

561 3 Nefi 23:1–13

ambao utatukana dhidi yako,utahukumu. Huu ndio urithi wawatumishi wa Bwana, na hakiyao inatoka kwangu, asemaBwana.

MLANGO WA 23

Yesu anasifu maneno ya Isaya —Anaamuru watu wapekue manabii— Maneno ya Samweli Mlamanikuhusu Kufufuka yanaongezwa kwamaandishi yao. Karibu mwaka wa34 baada ya kuzaliwa kwa Kristo.

Na sasa, tazama, nawaambiakwamba mnapaswa kupekuavitu hivi. Ndio, ninawapatiaamri kwamba ampekue hivivitu kwa bidii; kwani manenoya bIsaya ni makuu.

2 Kwani alizungumza akitajavitu vyote kuhusu watu wanguambao ni wa nyumba ya Israeli;kwa hivyo ni muhimu kwakekwamba lazima awazungum-zie Wayunani pia.

3 Na vitu vyote ambavyoalizungumza vimekuwa na avi-takuwa, hata kulingana namaneno ambayo alisema.

4 Kwa hivyo sikilizeni manenoyangu; andikeni vitu ambavyoniliwaambia; na kulingana namuda na mapenzi ya Baba,vitawaendea Wayunani.

5 Na yeyote atakayetii manenoyangu na kutubu na kubatizwa,yule atakombolewa. Pekua ama-nabii, kwani wengi wameshu-hudia hivi vitu.

6 Na sasa ikawa kwamba baa-da ya Yesu kusema haya mane-no, aliwaambia tena, baadaya kuwaelezea maandiko amba-yo walikuwa wamepokea, ali-waambia: Tazama, maandikomengine ningetaka muandikeambayo hamjaandika.

7 Na ikawa kwamba alimwa-mbia Nefi: Leta hapa maandishiambayo umeweka.

8 Na baada ya Nefi kumleteahayo maandishi, na kuyawekambele yake, alielekeza machoyake kwayo na kusema:

9 Kweli, nawaambia, nilimwa-muru mtumishi wangu aSa-mweli, yule Mlamani, kwambaashuhudie hawa watu, kwambakatika siku ambayo Baba atatu-kuza jina lake ndani yangukwamba kulikuwa bwatakatifucwengi ambao dwangeinuka ku-toka kwa wafu, na kuonekanana wengi, na kuwahudumia. Naakawaambia: Si ilikuwa hivyo?

10 Na wanafunzi wake walim-jibu na kusema: Ndio, Bwana,Samweli alitabiri kulingana namaneno yako, na yote yalitimi-zwa.

11 Na Yesu akawaambia: Ime-kuwaje kwamba hamjaandikakitu hiki, kwamba watakatifuwengi walifufuka na kuonekanana wengi na kuwahudumia?

12 Na ikawa kwamba Nefialikumbuka kwamba hiki kituhakikuwa kimeandikwa.

13 Na ikawa kwamba Yesualiamuru kwamba iandikwe;

23 1a mwm Maandiko.b 2 Ne. 25:1–5;

Morm. 8:23.mwm Isaya.

3a 3 Ne. 20:11–12.5a Lk. 24:25–27.9a Hel. 13:2.

b mwm Mtakatifu.

c Hel. 14:25.d Mt. 27:52–53.

mwm Ufufuko.

Page 579: KITABU CHA MORMONI

3 Nefi 23:14–24:8 562

kwa hivyo iliandikwa vile ali-vyoamuru.14 Na sasa ikawa kwamba

baada ya Yesu akueleza maa-ndiko yote pamoja, ambayowaliandika, aliwaamuru kwa-mba wafundishe vitu ambavyoalikuwa amewaeleza.

MLANGO WA 24

Mjumbe wa Bwana atatayarishanjia kwa Ujio wa Pili — Kristoataketi kwenye hukumu — Israeliinaamrishwa kulipa zaka na mato-leo — Kitabu cha ukumbusho ki-nahifadhiwa — Linganisha Malaki3. Karibu mwaka wa 34 baada yakuzaliwa kwa Kristo.

Na ikawa kwamba aliwaamu-ru kwamba waandike manenoambayo Baba alimkabidhi Ma-laki, ambayo angewaambia.Na ikawa kwamba baada yakuandikwa, aliyaeleza. Nahaya ndiyo maneno aliyowaa-mbia akisema: Baba alimwa-mbia Malaki hivi — Tazama,nitamtuma amjumbe wangu,na atatayarisha njia kabla ya-ngu, na Bwana mnayemgojeaatakuja kwa ghafla kwenyehekalu lake, hata yule mjumbewa agano ambaye mnafurahiandani; tazama atakuja, asemaBwana wa Majeshi.

2 Lakini ni nani aatakayestahilisiku ya kuja kwake, na ni nani

atakayesimama atakapotokea?Kwani yeye yuko kama motob usafishao fedha, na kamasabuni ya dobi.

3 Na ataketi kama asafishayefedha na kuitakasa, na atawata-kasa awana wa Lawi, atawasa-fisha kama dhahabu na fedha,ili dhabihu kwa Bwana liwebtoleo kwa haki.

4 Ndipo dhabihu ya Yuda naYerusalemu zitapendeza mbeleya Bwana, kama katika siku zakale, na kama katika miaka yazamani.

5 Na nitawakaribia kwa hu-kumu; na nitakuwa shahidimwepesi dhidi ya wachawi, nadhidi ya wazinzi, na dhidi yawaapao uwongo, na dhidi yawale wamwoneao mwenye ku-ajiriwa kwa ajili ya mshaharawake, mjane na ayatima, nawale wanaompoteza mgeni, nahawaniogopi, asema Bwana waMajeshi.

6 Kwa kuwa mimi ni Bwana,sibadiliki; kwa hivyo enyi wanawa Yakobo hamwangamizwi.

7 Hata kutoka siku za babuzenu, ammegeuka upande ku-toka kwa maagizo yangu, nahamjayashika. bNirudieni na ni-tarudi kwenu, asema Bwana waMajeshi. Lakini nyinyi mwase-ma: Tutarudi kwa namna gani?

8 Je, mwanadamu atamwibiaMungu? Lakini mmeniibia. La-kini mnasema: Tumekuibia kwa

14a Lk. 24:44–46.24 1a M&M 45:9.

2a 3 Ne. 25:1.b Zek. 13:9;

M&M 128:24.mwm Dunia—

Kutakaswa kwadunia; Ujio wa Piliwa Yesu Kristo.

3a Kum. 10:8;M&M 84:31–34.

b M&M 13:1.

5a Yak. (Bib.) 1:27.7a mwm Ukengeufu.

b Hel. 13:11;3 Ne. 10:6;Moro. 9:22.

Page 580: KITABU CHA MORMONI

563 3 Nefi 24:9–25:2

namna gani? Katika azaka nabmadhabihu.

9 Mmelaaniwa na laana, kwanimmeniibia, hata hili taifa lote.

10 Leteni azaka kamili ghalani,ili kuweko chakula katika nyu-mba yangu; na mnijaribu sasahivi, asema Bwana wa Majeshi,kama sitawafungulia madirishaya mbinguni, na kuwamwagiabbaraka, kwamba kusiwe nanafasi ya kutosha ya kuipokea.

11 Na nitamkemea mlaji kwaajili yenu, na hataharibu matu-nda ya ardhi yenu; wala mzabi-bu wenu hautapukutisha ma-tunda yake katika ardhi kablaya wakati wake huko shamba-ni, asema Bwana wa Majeshi.

12 Na mataifa yote yatawaitaheri, kwani mtakuwa nchi yakupendeza, asema Bwana waMajeshi.

13 Maneno yenu yamekuwamagumu juu yangu, asemaBwana. Lakini mnasema: Tu-mesema nini dhidi yako?

14 Mmesema ni bure kumtu-mikia Mungu, na tumepatafaida gani kwa kuzishika ibadazake, na kwamba tumetembeakwa huzuni mbele ya Bwanawa Majeshi.

15 Na sasa tunawaita wenyekiburi ndiyo walio heri; ndio,wale wanaotenda maovu nakunufaika; ndio, wanaomjaribuMungu ndio wanaookolewa.

16 Ndipo wale wanaomchaBwana, awalisemezana wao kwawao, na Bwana akasikiliza nakusikia; na bkitabu cha uku-mbusho kikaandikwa mbeleyake kwa wao wanaomchaBwana, na kulitafakari jina lake.

17 Na watakuwa wangu, ase-ma Bwana wa Majeshi, katikasiku ile anitakapofanya vitovyangu; na nitawaachilia vilemtu huachilia mwana wakeamtumikiaye.

18 Ndipo mtakaporudi, naakupambanua miongoni mwawenye haki na waovu, na mio-ngoni mwa yule amtumikiayeMungu na yule asiyemtumikia.

MLANGO WA 25

Katika Ujio wa Pili, wenye kiburina waovu watateketezwa kamamakapi — Eliya atarejea kabla yaile siku kubwa na ya kutisha — Li-nganisha Malaki 4. Karibu mwakawa 34 baada ya kuzaliwa kwaKristo.

Kwani tazama, ile siku inakujaambayo aitawaka kama tanuu;na wote wenye bkiburi, ndio,na wote wanaotenda maovu,watakuwa makapi; na ile sikuinayokuja itawateketeza, asemaBwana wa Majeshi, kwambahaitawaachia shina wala tawi.

2 Lakini kwenu mnaolicha jina

8a mwm Lipa zaka,Zaka.

b mwm Sadaka.10a M&M 64:23; 119:1–7.

b mwm Baraka, Bariki,Barikiwa.

16a Moro. 6:5.b M&M 85:9; Musa 6:5.

mwm Kitabu chaUkumbusho.

17a M&M 101:3.18a mwm Utambuzi,

Kipawa cha.25 1a Isa. 24:6;

1 Ne. 22:15;3 Ne. 24:2;

M&M 29:9; 64:23–24;133:64;JS—H 1:37.mwm Dunia—Kutakaswa kwadunia.

b 2 Ne. 20:33.mwm Kiburi.

Page 581: KITABU CHA MORMONI

3 Nefi 25:3–26:5 564

langu, yule aMwana wa Hakiatawashukia na uponyaji katikamabawa yake; na nyinyi mtae-nda mbele na bkukua kamacndama zizini.3 Na amtakanyaga waovu;

kwani watakuwa majivu chiniya nyayo za miguu yenu katikasiku nitakayofanya hivi, asemaBwana wa Majeshi.

4 Kumbukeni nyinyi sheria yaMusa, mtumishi wangu, niliye-mwamuru huko aHorebu kwaajili ya Waisraeli wote, na amriza hukumu.5 Tazama, nitawatumia aEliya

nabii kabla ya kuja kwa ile bsikukubwa na ya kutisha ya Bwana.

6 Na aatageuza mioyo ya babaiwaelekee watoto, na mioyo yawatoto iwaelekee baba zao, ni-sije na kupiga dunia na laana.

MLANGO WA 26

Yesu anaeleza vitu vyote kutokamwanzo hadi mwisho — Watotowachanga na vijana wanaongeavitu vya ajabu ambavyo haviwezikuandikwa — Wale walio katikaKanisa la Kristo wana vitu vyotevya hali sawa miongoni mwao.Karibu mwaka wa 34 baada ya ku-zaliwa kwa Kristo.

Na sasa ikawa kwamba baadaya Yesu kuwaambia hivi vitu,na alivieleza kwa umati; naalieleza vitu vyote kwao, vyotevikuu na vidogo.

2 Na alisema: aHaya maandikoambayo hamkuwa nayo, Babaaliamuru kwamba niwapatie;kwani ilikuwa hekima kwakekwamba yatolewe kwa vizazivijavyo.

3 Na alieleza vitu vyote, hatakutoka mwanzo mpaka wakatiambao angekuja katika autuku-fu wake—ndio, hata vitu vyoteambavyo vingekuja juu ya usowa dunia, hata mpaka bvituvya asili vitakapoyeyuka kwajoto lenye nguvu sana, na duniacitakunjamana pamoja kamakaratasi, na mbingu na duniavitakwisha;

4 Na hata kwenye ile sikuakuu, wakati watu wote, namakabila yote, na mataifa yote,na ndimi bwatasimama mbeleya Mungu, kuhukumiwa kwavitendo vyao, kama ni vizuriau ni viovu —

5 Ikiwa ni vizuri, kwa aufufuowa uzima usio na mwisho; navikiwa viovu, kwa ufufuko walaana; vikiwa sambamba, mojakwa mkono mmoja na ingine

2a Eth. 9:22.b M&M 45:58.c Amo. 6:4;

1 Ne. 22:24.3a 3 Ne. 21:12.4a Kut. 3:1–6.5a 2 Fal. 2:1–2;

M&M 2:1; 110:13–16;128:17–18.mwm Eliya;Kufunga, Muhuri,Tia; Wokovu kwaajili ya Wafu.

b mwm Ujio wa Piliwa Yesu Kristo.

6a M&M 2:2.26 2a m.y. Malaki mlango

wa 3 and 4,imenukuliwa katika3 Ne. mlango wa 24na 25.

3a mwm Yesu Kristo—Utukufu wa YesuKristo.

b Amo. 9:13;2 Pet. 3:10, 12;

Morm. 9:2.mwm Dunia—Kutakaswa kwadunia; Ulimwengu—Mwisho waulimwengu.

c Morm. 5:23.4a Hel. 12:25;

3 Ne. 28:31.b Mos. 16:10–11.

mwm Hukumu, yaMwisho.

5a Dan. 12:2; Yn. 5:29.

Page 582: KITABU CHA MORMONI

565 3 Nefi 26:6–15

kwa mkono mwingine, kuli-ngana na hekima, na bhaki, nautukufu ulio ndani ya Kristo,ambaye alikuweko ckabla yaulimwengu kuanza.6 Na sasa hakuwezi kuandi-

kwa kwenye kitabu hiki hatasehemu moja kwa amia ya vituambavyo Yesu aliwafundishawatu kwa ukweli;

7 Lakini tazama, abamba zaNefi zinayo sehemu kubwa yavitu ambavyo aliwafundishawatu.8 Na hivi vitu nimeandika,

ambavyo ni sehemu ndogo yavitu ambavyo aliwafundishawatu; na nimeviandika kwakusudi kwamba vingeletwatena kwa watu hawa, akutokakwa Wayunani, kulingana namaneno ambayo Yesu ameo-ngea.9 Na wakati watakapokuwa

wamepokea hii, ambayo nimuhimu kwamba wapate kwa-nza, kujaribu imani yao, naikiwa itakuwa hivyo kwambawataamini vitu hivi, ndipo vituavikubwa zaidi vitadhihirishwakwao.10 Na ikiwa itakuwa hivyo

kwamba hawataamini vituhivi, ndipo vile vikubwa zaidiavitazuiliwa kwao kusababishalawama kwao.11 Tazama, nilikuwa karibu

kuyaandika, yote ambayo yali-kuwa yamechorwa kwenye

bamba za Nefi, lakini Bwanaakakataza akisema: aNitajaribuimani ya watu wangu.

12 Kwa hivyo mimi, Mormoni,naandika vitu ambavyo nimea-mriwa na Bwana. Na sasa mimi,Mormoni, nafikia mwisho wakusema kwangu, na ninaende-lea kuandika vitu ambavyonimeamriwa.

13 Kwa hivyo, ningetaka kwa-mba muelewe kwamba Bwanakweli aliwafundisha watu, kwamuda wa siku tatu; na baada yahapo aalijidhihirisha kwao marakwa mara, na balimega mkatemara kwa mara na kuubarikina kuwapatia.

14 Na ikawa kwamba aliwa-fundisha na kuwahudumiaawatoto wa umati ambao ume-zungumziwa, na aliwapatiabuwezo wa kuongea, na wali-wazungumzia baba zao vituvikubwa na vya ajabu, hatavikubwa kuliko alivyokuwaamewatambulia watu; na alifu-ngua ndimi zao kwamba wa-ngezungumza.

15 Na ikawa kwamba baadaya kupaa mbinguni — baada yamara ya pili kwamba alijidhi-hirisha mwenyewe kwao, naalikuwa ameenda kwa Baba,baada ya akuponya wagonjwawao wote, na vipofu wao, nakufungua masikio ya viziwi,na baada ya kufanya aina yoteya kuponya miongoni mwao,

5b mwm Haki.c Eth. 3:14.

mwm Yesu Kristo—Kuwepo kwa Kristokabla ya kuzaliwaduniani.

6a Yn. 21:25; 3 Ne. 5:8.

7a mwm Mabamba.8a 3 Ne. 21:5–6.9a Eth. 4:4–10.

10a Alma 12:9–11.11a Eth. 12:6.13a Yn. 21:14.

b 3 Ne. 20:3–9.

mwm Sakramenti.14a 3 Ne. 17:11–12.

b Alma 32:23;3 Ne. 26:16.

15a 3 Ne. 17:9.mwm Muujiza;Ponya, Uponyaji.

Page 583: KITABU CHA MORMONI

3 Nefi 26:16–27:4 566

na kufufua mtu kutoka kwawafu, na alikuwa ameonyeshauwezo wake kwao, na alikuwaamepaa juu kwa Baba —16 Tazama, ikawa kesho yake

kwamba umati ulikusanyikapamoja, na waliona na kusikiaawatoto hawa; ndio, hata watotowachanga walifungua vinywavyao, na kuongea vitu vya kus-taajabisha; na vitu ambavyowaliongea vilikatazwa kwambakusiwe na mtu yeyote wa kuvi-andika.17 Na ikawa kwamba awana-

funzi ambao Yesu alikuwaamewachagua walianza kuto-kea wakati huo bkubatiza nakufundisha wengi jinsi wali-vyokuja kwao; na vile wengiwalibatizwa katika jina la Yesu,walijazwa na Roho Mtakatifu.18 Na wengi wao waliona na

kusikia vitu visivyosemekanaambavyo ahavikubaliwi kua-ndikwa.

19 Na walifundishanana kuhu-dumiana; na walikuwa na vituavyote bsawasawa miongonimwao, kila mtu akifanya hakimmoja kwa mwingine.

20 Na ikawa kwamba walifa-nya vitu vyote hata kama vileYesu alivyowaamuru.

21 Na wale ambao walibati-zwa katika jina la Yesu waliitwaakanisa la Kristo.

MLANGO WA 27

Yesu anawaamuru kuita Kanisakwa jina lake — Ujumbe wake nadhabihu yake ya upatanisho ni se-hemu ya injili yake — Watu wana-amrishwa kutubu na kubatizwa iliwaweze kutakaswa na Roho Mta-katifu—Inawapasa wawe hata vileYesu alivyo. Kutoka karibu mwakawa 34 hadi 35 baada ya kuzaliwakwa Kristo.

Na ikawa kwamba vile wana-funzi wa Yesu walipokuwawakisafiri na kuhubiri vituambavyo walikuwa wamesikiana kuona, na walikuwa waki-batiza katika jina la Yesu, ikawakwamba wanafunzi walijiku-sanya pamoja na akushirikianakwa sala kuu na bkufunga.

2 Na Yesu tena aalijidhihirishakwao, kwani walikuwa wanao-mba kwa Baba katika jina lake;na Yesu alikuja na kusimamamiongoni mwao, na kuwaa-mbia: Ni kitu gani mnachohitajikwamba niwapatie?

3 Na wakamwambia: Bwanatunataka kwamba utuambiejina ambalo tutaita hili kanisa;kwani kuna ugomvi miongonimwa watu kuhusu hili jambo.

4 Na Bwana akawaambia:Amin, amin, nawaambia, kwanini watu wananung’unika na

16a Mt. 11:25.17a 3 Ne. 19:4–13.

b 4 Ne. 1:1.18a 3 Ne. 26:11.19a 4 Ne. 1:3.

b mwm Sheria yaKuweka wakfu,

Weka wakfu.21a Mos. 18:17.

mwm Kanisa laYesu Kristo.

27 1a M&M 29:6.b Alma 6:6.

mwm Funga,

Kufunga.2a 3 Ne. 26:13.

mwm Yesu Kristo—Kuonekana kwaKristo baada ya kifo.

Page 584: KITABU CHA MORMONI

567 3 Nefi 27:5–14

kubishana kwa sababu ya kituhiki?5 Je, hawajasoma maandiko,

ambayo yanasema, lazima mji-vike juu yenu ajina la Kristo,ambalo ni jina langu? Kwani,kwa jina hili ndilo mtaitwa nalokatika siku ya mwisho;

6 Na yeyote atakayechukuajina langu na akuvumilia hadimwisho, huyo huyo ndiye ata-kayeokolewa katika siku yamwisho.

7 Kwa hivyo chochote mtaka-chofanya, mfanye katika jinalangu; kwa hivyo mtaliita kani-sa katika jina langu; na mtali-ngana Baba katika jina langu iliaweze kubariki kanisa kwa ajiliyangu.

8 Na linawezaje kuwa akanisablangu isipokuwa liitwe kwajina langu? Kwani kanisa likii-twa kwa jina la Musa, hapolitakuwa kanisa la Musa; aulikiitwa kwa jina la mtu, basilitakuwa kanisa la yule mtu;lakini likiitwa katika jina la-ngu, hapo basi litakuwa kanisalangu, ikiwa kwamba wataje-ngwa juu ya injili yangu.9 Kweli, nawaambia kwamba

mmejengwa juu ya injili yangu;kwa hivyo mtaita vitu vyovyotemtakavyoita katika jina langu;kwa hivyo ikiwa mnalinganakwa Baba, kwa kanisa, ikiwakatika jina langu, Baba atawa-sikia.

10 Na ikiwa itakuwa hivyokwamba kanisa limejengwa juuya injili yangu hapo Baba atafi-chua kazi yake ndani yake.

11 Lakini ikiwa haitajengwajuu ya injili yangu, na imeje-ngwa kwa vitendo vya watu,au juu ya vitendo vya ibilisi,amin, nawaambia wana sha-ngwe katika vitendo vyao kwamuda, na karibuni mwishounakuja, na awataangushwachini na kutupwa kwenye moto,kutoka mahali ambapo hakunakurudi nyuma.

12 Kwani vitendo vyao ahu-wafuata, kwani ni kwa sababuya vitendo vyao kwamba wa-naangushwa chini; kwa hivyokumbuka vitu ambavyo nime-waambia.

13 Tazama, nimewapatia ainji-li yangu, na hii ndiyo injiliambayo nimewapatia — kwa-mba nilikuja kwenye ulimwe-ngu kufanya bmapenzi ya Baba,kwa sababu alinituma.

14 Na Baba yangu alinitumaili nipate akuinuliwa juu kwe-nye msalaba; na baada ya kui-nuliwa juu kwenye msalaba,kwamba bningeleta watu wotekwangu, kwamba kama nili-vyoinuliwa juu na watu, hatahivyo watu wainuliwe juu naBaba, kusimama mbele yangu,na ckuhukumiwa kwa vitendovyao, ikiwa vitakuwa vizuri auikiwa vitakuwa viovu.

5a mwm Yesu Kristo—KujichukuliaJina la YesuKristo juu yetu.

6a 3 Ne. 15:9.8a M&M 115:4.

b mwm Yesu Kristo—

Kichwa cha Kanisa.11a Alma 5:52.12a Ufu. 14:13;

M&M 59:2.13a M&M 76:40–42.

mwm Injili.b Yn. 6:38–39.

14a 1 Ne. 11:32–33;Musa 7:55.

b Yn. 6:44;2 Ne. 9:5;M&M 27:18.

c mwm Yesu Kristo—Mwamuzi.

Page 585: KITABU CHA MORMONI

3 Nefi 27:15–26 568

15 Na kwa sababu hii animei-nuliwa juu; kwa hivyo, kuli-ngana na uwezo wa Baba, nita-waleta watu wote kwangu, iliwapate kuhukumiwa kulinganana vitendo vyao.

16 Na itakuwa kwamba yeyo-te aatakayetubu na bkubatizwakatika jina langu atajazwa; naikiwa catavumilia hadi mwisho,tazama, yeye hatahukumiwakuwa na hatia mbele ya Babayangu kwenye ile siku wakatinitakaposimama kuhukumuulimwengu.17 Na yule ambaye hatavumi-

lia hadi mwisho, mtu huyohuyo ndiye ataangushwa chinina kutupwa kwenye moto, ma-hali ambapo hawawezi kurudinyuma, kwa sababu ya ahakiya Baba.

18 Na hili ndilo neno ambaloamewapatia watoto wa watu.Na kwa sababu hii yeye hutimi-za maneno ambayo ameyatoa,na hasemi uwongo bali hutimi-za maneno yake yote.

19 Na ahakuna kitu kichafukinachoweza kuingia kwenyeufalme wake; kwa hivyo haku-na chochote ambacho huingiakwenye bpumziko lake isipo-kuwa wale ambao cwameoshanguo zao ndani ya damu yangukwa sababu ya imani yao, nakutubu kwa dhambi zao zote,na uaminifu wao hadi mwisho.

20 Sasa hii ndiyo amri: aTubu-ni nyinyi nyote katika sehemuzote za dunia, na mje kwanguna bmbatizwe katika jina langukwamba muweze ckutakaswakwa kupokea Roho Mtakatifu,ili msimame mbele yangu dbilamawaa katika siku ya mwisho.

21 Kweli, kweli, nawaambia,hii ni injili yangu; na mnajuavitu ambavyo mnahitajika ku-fanya katika Kanisa langu;kwani vitendo ambavyo mme-niona nikifanya, hivyo piamtafanya; kwani yale ambayommeniona nikifanya hata hivyonyinyi mtafanya;

22 Kwa hivyo mkifanya hivivitu heri kwenu, kwani mtai-nuliwa juu katika ile siku yamwisho.

23 Andikeni vitu ambavyommeona na kusikia, isipokuwavile ambavyo avimekatazwa.24 Andikeni vitendo vya hawa

watu, ambavyo vitakuwa, hatakama vilivyoandikwa, ya yaleambayo yamekuwepo.

25 Kwani tazama, kutoka kwe-nye vitabu ambavyo vimeandi-kwa, na ambavyo vitaandikwa,hawa watu awatahukumiwa,kwani kutoka kwa hivyo vitabubvitendo vyao vitajulikana kwawanadamu.

26 Na tazama, vitu vyoteavimeandikwa na Baba; kwahivyo kutoka kwenye hivyo

15a mwm Lipia dhambi,Upatanisho.

16a mwm Toba, Tubu.b mwm Batiza, Ubatizo.c 1 Ne. 13:37.

mwm Stahimili.17a mwm Haki.19a Alma 11:37.

b M&M 84:24.mwm Pumziko.

c Ufu. 1:5; 7:14;Alma 5:21, 27; 13:11–13.

20a Eth. 4:18.b mwm Batiza,

Ubatizo—Muhimu.c mwm Utakaso.

d M&M 4:2.23a 3 Ne. 26:16.25a 2 Ne. 33:10–15;

M ya Morm. 1:11.b 1 Ne. 15:32–33.

26a 3 Ne. 24:16.mwm Kitabu chaUzima.

Page 586: KITABU CHA MORMONI

569 3 Nefi 27:27–33

vitabu ambavyo vitaandikwa,dunia itahukumiwa.27 Na mjue kwamba anyinyi

mtakuwa waamuzi wa watuhawa, kulingana na hukumuambayo nitawapatia ambayoitakuwa haki. Kwa hivyo mna-paswa kuwa watu wa bainagani? Amin, nawaambia, hatacvile nilivyo.28 Na sasa anaenda kwa Baba.

Na amin, nawaambia, vitu vyo-vyote mtakavyomuuliza Babakatika jina langu, vitatolewakwenu.

29 Kwa hivyo, aombeni namtapokea; bisheni na mtafu-nguliwa; kwani yule ambayehuuliza hupokea; na kwa yuleambaye hubisha, itafunguliwa.

30 Na sasa tazama, shangweyangu ni kubwa, hata kwenyeutimilifu, kwa sababu yenu, napia kwa sababu ya kizazi hiki;ndio, na hata Baba hufurahi, napia malaika watakatifu, kwasababu yenu na hiki kizazi;kwani ahakuna mmoja waoaliyepotea.

31 Tazama, ningetaka kwambamuelewe; kwani ninaamanishahao ambao asasa ni wazima wabhiki kizazi; na hakuna hataambaye amepotea; na kwa sa-babu yao, nina utimilifu wacshangwe.32 Lakini tazama, inanihuzu-

nisha kwa sababu ya kizazi chaanne kutoka kwa hiki kizazi,

kwani wameongozwa mbalikama mateka na yeye, hatakama vile mwana wa upotevu;kwani wataniuza kwa fedha,na dhahabu, na kwa hiyoambayo bnondo huharibu naambayo wezi huvunja na kui-ngia na kuiba. Na katika ilesiku, nitawaadhibu, hata kati-ka kugeuza vitendo vyao juuya vichwa vyao.

33 Na ikawa kwamba wakatiYesu alipokuwa amemalizahaya maneno, aliwaambia wa-nafunzi wake: Ingieni ndaninyinyi kupitia mlango aulioso-nga; kwani mlango umesongana njia ni nyembamba, ambayoinaenda kwa maisha, na kunawachache ambao huipata; lakinimpana ni mlango, na pana ninjia iendayo kwenye kifo, nakuna wengi ambao huisafiria,mpaka usiku unakuja ambapohakuna mtu atakayeweza ku-fanya kazi.

MLANGO WA 28

Tisa wa wale kumi na wawili wa-natamani na wanaahidiwa urithikatika ufalme wa Kristo baadaya kufa kwao — Wanefi Watatuwanatamani na wanapewa uwezojuu ya kifo ili wabaki duniani hadiwakati Yesu atakaporudi tena —Wanabadilishwa na kuona vituambavyo si halali kusema, na sasa

27a 1 Ne. 12:9–10;Morm. 3:19.

b mwm Yesu Kristo—Mfano wa YesuKristo.

c Mt. 5:48;3 Ne. 12:48.

28a Yn. 20:17.29a Mt. 7:7;

3 Ne. 14:7.30a Yn. 17:12.31a 3 Ne. 9:11–13; 10:12.

b 3 Ne. 28:23.c mwm Shangwe.

32a 2 Ne. 26:9–10;Alma 45:10, 12.

b Mt. 6:19–21;3 Ne. 13:19–21.

33a Mt. 7:13–14;3 Ne. 14:13–14;M&M 22:1–4.

Page 587: KITABU CHA MORMONI

3 Nefi 28:1–10 570

wanafundisha miongoni mwa watu.Kutoka karibu mwaka wa 34 hadi35 baada ya kuzaliwa kwa Kristo.

Na ikawa kwamba Yesu alipo-kuwa amesema haya maneno,aliwazungumzia wanafunziwake mmoja mmoja, akiwaa-mbia: Ni kitu gani ambachomnahitaji kutoka kwangu baadaya mimi kwenda kwa Baba?2 Na wote walisema, isipoku-

wa watatu, wakisema: Tunatakakwamba baada ya kuishi umriwa binadamu, kwamba hudu-ma yetu ambayo umetuitia,iishe, kwamba tuje kwako ha-raka kwenye ufalme wako.

3 Na akawaambia: Heri kwe-nu kwa sababu mnataka kituhiki kutoka kwangu; kwa hi-vyo baada ya kuhitimu miakasabini na miwili, mtakuja kwa-ngu katika ufalme wangu; namimi mtapata amapumziko.4 Na baada ya kuwazungum-

zia, alijigeuza kuelekea walewatatu, na kuwaambia: Ni kitugani ambacho mnataka niwafa-nyie, wakati nitakapokwendakwa Baba?

5 Na walihuzunika mioyonimwao, kwani hawakuthubutukuzungumza na yeye kituambacho walitaka.

6 Na akawaambia: Tazama,anajua mawazo yenu, na mme-taka kitu ambacho bYohana,

mpendwa wangu, ambaye ali-kuwa na mimi katika hudumayangu kabla ya mimi kuinuli-wa juu na Wayahudi, alichota-ka kwangu.

7 Kwa hivyo heri zaidi kwenukwani akamwe hamtaonja bkifo;lakini mtaishi kuona vitendovyote vya Baba kwa watoto wawatu, hata mpaka vitu vyotevitatimizwa kulingana na ma-penzi ya Baba, wakati nitaka-pokuja kwa utukufu wangu nacuwezo wa mbinguni.8 Na hamtaumia uchungu wa

kifo; lakini nitakapokuja katikautukufu wangu mtabadilishwakwa nukta moja kutoka hali yaakufa hadi kwa hali ya bkutoku-fa; na ndipo mtabarikiwa katikaufalme wa Baba yangu.

9 Na tena, hamtapata maumi-vu wakati mtakapoishi kimwili;wala huzuni isipokuwa kwadhambi za ulimwengu; na hayayote nitafanya kwa sababu yakitu ambacho mmetaka kuto-ka kwangu, kwani mmetakakwamba amlete roho za watukwangu, wakati dunia itakapo-simama.

10 Na kwa sababu hii mtapataautimilifu wa shangwe; na mta-keti chini katika ufalme waBaba yangu; ndio, shangweyenu itajaa, hata vile Baba ame-nipatia utimilifu wa shangwe;na mtakuwa hata kama nilivyo,

28 3a mwm Pumziko.6a Amo. 4:13;

Alma 18:32.b Yn. 21:21–23;

M&M 7:1–4.7a 4 Ne. 1:14;

Morm. 8:10–11;

Eth. 12:17.b mwm Viumbe

waliobadilishwa.c 3 Ne. 20:22.

8a 3 Ne. 28:36–40.mwm Hali ya kufa,Kufa, enye.

b mwm Isiyo kufa,Maisha ya kutokufa.

9a Flp. 1:23–24;M&M 7:5–6.

10a M&M 84:36–38.

Page 588: KITABU CHA MORMONI

571 3 Nefi 28:11–23

nami niko hata vile Baba alivyo,na Baba nami tuko bmmoja.11 Na Roho aMtakatifu hushu-

hudia mambo ya Baba na Mimi;na Baba huwapa watoto wawatu Roho Mtakatifu kwasababu yangu.12 Na ikawa kwamba baada

ya Yesu kuzungumza haya ma-neno, alimgusa kila mmojawao kwa kidole chake isipo-kuwa wale watatu ambao wali-kuwa wa kukawia, na hapoakaondoka.

13 Na tazama, mbingu zili-funguka, na awalichukuliwajuu katika mbingu, na walio-na na kusikiliza vitu visivyosi-kika.14 Na awalikatazwa kwamba

wasiongee; wala hawakupewauwezo kwamba waongee juuya vitu ambavyo waliona nakusikia;

15 Na kama walikuwa katikamiili au walikuwa nje ya miili,hawakuja; kwani ilionekanakwao kama akugeuka sura,kwamba waligeuzwa kutokakwa huu mwili wa nyama hadikwenye kutokufa, kwambawangeweza kuona vitu vyaMungu.

16 Lakini ikawa kwambawalihubiri tena juu ya dunia;lakini hawakuhubiri juu ya vituambavyo walisikia na kuonakwa sababu ya amri ambayowalipewa mbinguni.

17 Na sasa, kama walikuwa

mwili wenye kufa au wa kuto-kufa kutoka siku ya kugeukakwao sura, sijui;

18 Lakini hiki kiasi najua,kulingana na maandishi amba-yo yametolewa—walienda kotejuu ya ulimwengu, na kuhubirikwa watu wote, wakileta kwe-nye kanisa jinsi vile wengiwalivyoamini katika mahubiriyao; wakiwabatiza, na vilewengi walibatizwa, walipokeaRoho Mtakatifu.

19 Na walitupwa kwenyegereza na wale ambao hawaku-wa wa kanisa. Na amagerezahayangewashikilia, kwani ya-lipasuka katikati.

20 Na walitupwa chini ndaniya ardhi; lakini walipiga ardhikwa neno la Mungu, mpakakwamba kwa auwezo wakewalikombolewa kutoka kina chaardhi; na kwa hivyo hawange-chimba mashimo ya kutoshaya kuwazuia.

21 Na mara tatu walitupwakwenye atanuu na hawakupatamajeraha.

22 Na mara mbili walitupwakwenye atundu la wanyama wamwitu; na tazama, walichezana hao wanyama kama mtotona mwanakondoo, na hawaku-jeruhiwa.

23 Na ikawa kwamba waliendahivyo miongoni mwa watu wotewa Nefi, na walihubiri ainjili yaKristo kwa watu wote usonimwa nchi; na waliomgeukia

10b Yn. 17:20–23.11a 2 Ne. 31:17–21;

3 Ne. 11:32.13a 2 Kor. 12:2–4.14a M&M 76:114–116.

15a Musa 1:11.mwm Kugeuka sura.

19a Mdo. 16:26;Alma 14:26–28.

20a Morm. 8:24.

21a Dan. 3:22–27;4 Ne. 1:32.

22a Dan. 6:16–23;4 Ne. 1:33.

23a mwm Injili.

Page 589: KITABU CHA MORMONI

3 Nefi 28:24–36 572

Bwana, na waliunganishwa kwakanisa la Kristo, na hivyo ndi-vyo watu wa kizazi bhichowalivyobarikiwa, kulingana naneno la Yesu.24 Na sasa mimi Mormoni,

namaliza kuzungumza kuhusuvitu hivi kwa muda.

25 Tazama, nilikuwa karibukuandika amajina ya wale ambaohawatakufa, lakini Bwana ali-nikataza; kwa hivyo siyaandiki,kwani yamefichwa kutoka kwaulimwengu.

26 Lakini tazama, nimewaonana wamenihubiria.

27 Na tazama, watakuwa mio-ngoni mwa Wayunani, na Wa-yunani hawatawafahamu.

28 Watakuwa pia miongonimwa Wayahudi na Wayahudihawatawafahamu.

29 Na itakuwa, wakati Bwanaatakapoona ni vizuri kwa heki-ma yake, kwamba watahubirikwa makabila yote ya Israeliayaliyotawanywa, na kwa ma-taifa yote, makabila, ndimi nawatu, na kuokoa nafsi nyingimiongoni mwao kwa Yesu, ilimatakwa yao yatimizwe, napia kwa sababu ya uwezo waMungu wa kusadikisha ambaoumo ndani yao.30 Na wao ni kama amalaika

wa Mungu, na ikiwa wataombakwa Baba katika jina la Yesu,wanaweza kujidhihirisha kwamtu yeyote ambaye wanaonani vyema.

31 Kwa hivyo vitendo vikubwana vya ajabu vitafanywa nao,kabla ya siku akubwa inayokujawakati watu wote lazima kwakweli wasimame mbele ya kiticha hukumu cha Kristo.

32 Ndio, hata miongoni mwaWayunani kutafanyika kaziakubwa na ya ajabu na wao,kabla ya ile siku ya hukumu.

33 Na kama mngekuwa namaandiko yote ambayo yanatoahistoria ya kazi zote za ajabu zaKristo, mngejua, kulingana namaneno ya Kristo, kwamba hivivitu lazima vije kwa kweli.

34 Na ole kwake ambaye aha-tasikia maneno ya Yesu, na piakwa bwao ambao amechaguana kutuma miongoni mwao;kwani yeyote ambaye hatapo-kea haya maneno ya Yesu namaneno ya wale ambao ame-watuma, hatampokea; na kwahivyo hatawapokea katika ilesiku ya mwisho;

35 Na ingelikuwa afadhalikwao kama hawangezaliwa.Kwani mnadhani kwamba mna-weza kukwepa haki ya Mungualiyekosewa, ambaye aameka-nyagwa chini ya miguu yawatu, ili wokovu ungekuja?

36 Na sasa tazama, vile nilise-ma kuhusu wale ambao Bwanaamewachagua, ndio, hata walewatatu waliochukuliwa juu ka-tika mbingu, kwamba sikujuakama waligeuzwa kutoka mwiliwa kufa hadi mwili usiokufa —

23b 3 Ne. 27:30–31.25a 3 Ne. 19:4.29a mwm Israeli—

Kutawanyika kwaIsraeli; Israeli—

Makabila kumi yaIsraeli yaliyopotea.

30a mwm Malaika.31a Hel. 12:25;

3 Ne. 26:4–5.

32a 2 Ne. 25:17.34a Eth. 4:8–12.

b mwm Nabii.35a Hel. 12:2.

Page 590: KITABU CHA MORMONI

573 3 Nefi 28:37–29:4

37 Lakini tazama, tangu nia-ndike, nimemwuliza, Bwana, naameifanya kujulikana kwangukwamba lazima mabadilikoyaletwe kwenye miili yao, ausivyo, inahitajika kwamba lazi-ma wapate kufa;

38 Kwa hivyo, ili wasipatekufa, kulikuwa na amabadilikoyaliyofanywa kwenye miili yao,ili wasiumie na uchungu walahuzuni isipokuwa kwa ajili yadhambi za ulimwengu.

39 Sasa hili badiliko halikuwasawa na lile ambalo litatendekakatika ile siku ya mwisho; lakinikulikuwa na badiliko lililofa-nywa kwao, mpaka kwambaShetani hangekuwa na uwezojuu yao, kwamba ahangewaja-ribu; na bwalitakaswa kimwili,kwamba walikuwa cwatakatifu,na kwamba nguvu za duniahazingewashika.

40 Na wangekaa kwa hali hiimpaka siku ya hukumu yaKristo; na katika ile siku wa-ngepokea mabadiliko makubwakuliko mbeleni na kupokewakatika ufalme wa Baba kutotokatena, lakini kuishi na Mungumilele mbinguni.

MLANGO WA 29

Kubainishwa kwa kitabu cha Mor-moni ni ishara kwamba Bwanaameanza kukusanya Israeli nakutimiza maagano yake — Waleambao wanakana mafunuo yake

ya siku za baadaye na zawadi wa-talaaniwa. Kutoka karibu mwakawa 34 hadi 35 baada ya kuzaliwakwa Kristo.

Na sasa tazama, nawaambiakwamba wakati Bwana ataka-poona sawa katika hekimayake, kwamba haya manenoayatawajia Wayunani kulinganana neno lake, ndipo mtajuakwamba bagano ambalo Babaamefanya na watoto wa Israeli,kuhusu kurudi kwao kwenyenchi zao za urithi, kitamboimeanza kutimizwa.

2 Na mtajua kwamba manenoya Bwana, ambayo yamezungu-mzwa na manabii watakatifu,yote yatatimizwa; na hamtahi-tajika kusema kwamba Bwanaaanachelewesha kuja kwakekwa watoto wa Israeli.

3 Na hamtakikani kuwazakatika mioyo yenu kwambamaneno ambayo yamezungu-mzwa ni ya bure, kwani tazama,Bwana atakumbuka agano lakeambalo amefanya kwa watuwake wa nyumba ya Israeli.

4 Na wakati mtakapoona hayamaneno yakitokea miongonimwenu, hamtahitaji tena ku-dharau mwenendo wa Bwana,kwani aupanga wake wa bhakiuko ndani ya mkono wake wakulia; na tazama, katika sikuile, ikiwa mtakataa kwa ma-dharau, vitendo vyake, ndipoatasababisha kwamba harakamtapitwa.

38a mwm Viumbewaliobadilishwa.

39a mwm Jaribu,Majaribu.

b mwm Utakaso.c mwm Utakatifu.

29 1a 2 Ne. 30:3–8.b Morm. 5:14, 20.

2a Lk. 12:45–48.4a 3 Ne. 20:20.

b mwm Haki.

Page 591: KITABU CHA MORMONI

3 Nefi 29:5–30:2 574

5 aOle kwake ambaye bhuka-taa vitendo vya Bwana; ndio,ole kwake ambaye catakataaKristo na matendo yake!

6 Ndio, aole kwa yule ambayeatakataa mafunuo ya Bwana, naambaye atasema kuwa Bwanahafanyi kazi tena kwa kufunuaau unabii, au kwa bkarama, aukwa lugha au kwa kuponya, aukwa uwezo wa Roho Mtakatifu!7 Ndio, na ole kwa yule ataka-

yesema katika ile siku, kupataafaida, kwamba bhakuwezi ku-fanyika miujiza na Yesu Kristo;kwani yule atakayefanya hiviatakuwa cmwana wa upotevu,ambaye kwake hakukuwa nahuruma kulingana na neno laKristo!

8 Ndio, na hamhitaji tenaakufyonya, wala bkudharau,wala kuchezea cWayahudi, walasazo lolote la nyumba ya Israeli;kwani tazama, Bwana huku-mbuka agano lake kwao, naatawafanyia kulingana na yaleambayo ameapa.9 Kwa hivyo hampaswi kudha-

ni kwamba mnaweza kugeuzamkono wa kulia wa Bwana hadikushoto, ili asifanye hukumuyake kwa kutimiza lile aganoambalo amefanya kwa nyumbaya Israeli.

MLANGO WA 30

Wayunani wa siku za mwishowanaamriwa watubu, wamkubaliKristo, na wahesabiwe na nyumbaya Israeli. Kutoka karibu mwakawa 34 hadi 35 baada ya kuzaliwakwa Kristo.

Sikizeni, Ee nyinyi Wayunani,na msikie maneno ya YesuKristo, Mwana wa Mungu ana-yeishi, ambaye aameniamurukwamba nisizungumze kuwa-husu kwani tazama, ameniamu-ru kwamba niandike nikisema:

2 Geukeni nyinyi aWayunaniwote, kutoka kwa njia zenu zauovu; na bmtubu kutoka mate-ndo yenu maovu, kutoka kwauwongo wenu na udanganyifu,na ukahaba wenu, na makundiyenu ya machukizo na ya siri,na sanamu zenu, na mauajiyenu, na ukuhani wa uongo, nawivu wenu, na mashindanoyenu ya machukizo ya siri, nakutokana kwa uovu wenu namaovu, na mje kwangu, nampate kubatizwa kwa jinalangu, ili mpate kusamehewadhambi zenu, na mjazwe naRoho Mtakatifu, ili cmhesabiwena watu wangu ambao ni wanyumba ya Israeli.

5a 2 Ne. 28:15–16.b Morm. 8:17;

Eth. 4:8–10.c Mt. 10:32–33.

6a Morm. 9:7–11, 15.b mwm Vipawa vya

Roho.7a mwm Ukuhani wa

uongo.b 2 Ne. 28:4–6;

Morm. 9:15–26.c mwm Wana wa

Upotevu.8a 1 Ne. 19:14.

b 2 Ne. 29:4–5.c mwm Wayahudi.

30 1a 3 Ne. 5:12–13.2a mwm Wayunani.

b mwm Toba, Tubu.c Gal. 3:27–29;

2 Ne. 10:18–19;3 Ne. 16:10–13;21:22–25;Ibr. 2:10.

Page 592: KITABU CHA MORMONI

Nefi wa NneKitabu cha Nefi

AMBAYE NI MWANA WA NEFI—MMOJAWAPO WA WAFUASI WA YESU KRISTO

Historia ya watu wa Nefi, kulingana na maandishi yake.

Wanefi na Walamani wote wanao-ngoka kwa Bwana — Vitu vyaovyote vinatumiwa kwa usawa,wanafanya miujiza, na wanafani-kiwa nchini—Baada ya miaka miambili, migawanyiko, uovu, maka-nisa ya uwongo, na udhalimuunatokea — Baada ya miaka miatatu, wote Wanefi na Walamaniwanakuwa waovu—Amaroni ana-ficha maandishi matakatifu. Kutokakaribu mwaka wa 35 hadi 321 baa-da ya kuzaliwa kwa Kristo.

NA ikawa kwamba mwakawa thelathini na nne ulipita,

na pia mwaka wa thelathini natano, na tazama wafuasi waYesu walikuwa wameanzishakanisa la Kristo katika eneolote karibu. Na kadiri wengiwalivyokuja kwao, na kutubudhambi zao kwa ukweli, wali-batizwa kwa jina la Yesu; napia walipokea Roho Mtakatifu.2 Na ikawa katika mwaka wa

thelathini na sita, watu wotewalimgeukia Bwana, nchinikote, wote Wanefi na Walamani,na hakukuweko na mabishanona ugomvi miongoni mwao, nakila mtu alimtendea mwinginehaki.

3 Na vitu vyao avyote vilitu-

miwa kwa usawa miongonimwao; kwa hivyo hakukuwa natajiri na masikini, wafungwa nawalio huru, lakini wote walifa-nywa huru, na washiriki wakarama ya mbinguni.

4 Na ikawa kwamba mwakawa thelathini na saba ulipitapia, na bado kukaendelea kuwana amani katika nchi.

5 Na kulikuwa na kazi kubwana ya ajabu iliyofanywa na wa-fuasi wa Yesu, mpaka kwambaawaliponya wagonjwa, na ku-fufua wafu, na kusababishavilema kutembea, na vipofukupokea uwezo wa kuona, naviziwi kusikia; na walifanyakila aina ya bmiujiza miongonimwa watoto wa watu; na ha-wakufanyia kwa njia inginemiujiza isipokuwa katika jinala Yesu.

6 Na hivyo ndivyo mwaka wathelathini na nane ulivyopita,na pia wa thelathini na tisa, nawa arubaini na moja, na waarubaini na mbili, ndio, hatamiaka arubaini na tisa ilipita,na pia wa hamsini na moja, nawa hamsini na mbili; ndio,na hata miaka hamsini na tisailipita.

7 Na Bwana aliwafanikisha

[4 nefi]1 3a Mdo. 4:32;

3 Ne. 26:19.mwm Sheria ya

Kuweka wakfu,Weka wakfu.

5a mwm Ponya,Uponyaji.

b Yn. 14:12.mwm Muujiza.

Page 593: KITABU CHA MORMONI

4 Nefi 1:8–18 576

sana katika nchi; ndio, mpakakwamba walijenga miji tenaambako miji ilichomwa.8 Ndio, hata huo amji mkubwa

Zarahemla, walisababisha ku-jengwa tena.9 Lakini kulikuwa na miji mi-

ngi ambayo ilikuwa aimezama,na maji kuja mahali pao; kwahivyo, hii miji haingefanywaupya.10 Na sasa, tazama, ikawa

kwamba watu wa Nefi walipatanguvu, na wakaongezeka kwaharaka sana, na wakawa aweupesana na watu wa kupendeza.11 Na walioa, na kuolewa,

na walibarikiwa kulingana nawingi wa ahadi ambazo Bwanaalikuwa amefanya kwao.

12 Na hawakutembea tena ku-lingana na avitendo na bsheriaya Musa; lakini walitembeakulingana na amri ambazowalipokea kutoka kwa Bwanawao na Mungu wao, wakie-ndelea katika ckufunga na sala,na kwa kukutana pamoja sikuzote kuomba na kusikia neno laBwana.

13 Na ikawa kwamba haku-kuwepo na ubishi miongonimwa watu wote, katika ile nchiyote; lakini kulikuwa na miujizamikuu iliyofanywa na wafuasiwa Yesu.

14 Na ikawa kwamba mwakawa sabini na moja ulipita, na

pia mwaka wa sabini na mbili,ndio, na kwa kifupi, mpakamwaka wa sabini na tisa ulipo-pita; ndio, hata miaka mia mojailikuwa imepita, na wafuasiwa Yesu ambao alichagua, wotewalikuwa wameenda apeponikwa Mungu, isipokuwa walebwatatu ambao ni wa kungoja;na kulikuwa na cwafuasi we-ngine ambao dwalisimikwamahali pao; na pia wengi wakizazi hicho walikuwa wame-kufa.

15 Na ikawa kwamba ahaku-kuwa na ubishi katika nchi,kwa sababu ya mapenzi yaMungu ambayo yaliishi katikamioyo ya watu.

16 Na ahakukuwa na wivu,wala ubishi, wala misukosuko,wala ukahaba, wala uwongo,wala mauaji, wala buzinifu waaina yoyote; na kwa kweli haku-jakuwa na watu ambao wange-kuwa na cfuraha zaidi miongonimwa watu wote ambao waliu-mbwa na mkono wa Mungu.

17 Hakukuwa na wanyang’a-nyi, wala wauaji, wala hakuku-wa na Walamani, wala ainayoyote ya vikundi; lakini wali-kuwa kitu akimoja, watoto waKristo, na warithi wa ufalmewa Mungu.

18 Na jinsi gani walibarikiwa!Kwani Bwana aliwabariki kwamatendo yao yote; ndio, hata

8a 3 Ne. 8:8.9a 3 Ne. 9:4, 7.

10a Morm. 9:6.12a 2 Ne. 25:30;

3 Ne. 15:2–8.b mwm Torati ya Musa.c Moro. 6:5;

M&M 88:76–77.

14a mwm Peponi.b 3 Ne. 28:3–9.

mwm Viumbewaliobadilishwa.

c mwm Mwanafunzi.d mwm Kutawaza,

Kutawazwa.15a mwm Amani.

16a mwm Umoja.b mwm Tamaa mbaya.c Mos. 2:41;

Alma 50:23.mwm Shangwe.

17a Yn. 17:21.mwm Sayuni.

Page 594: KITABU CHA MORMONI

577 4 Nefi 1:19–29

walibarikiwa na kufanikiwampaka miaka mia moja nakumi ikapita; na kizazi chakwanza kutoka Kristo kiliku-wa kimepita, na hakukuwa naubishi katika nchi yote.19 Na ikawa kwamba Nefi,

yule ambaye aliandika hayamaandishi ya mwisho, (na ali-yaandika kwenye abamba zaNefi) alikufa, na mwana wakeAmosi aliandika badala yake;na aliyaandika kwenye bambaza Nefi pia.20 Na aliandika kwa miaka

themanini na minne, na kuli-kuwa bado na amani nchini,isipokuwa sehemu ndogo yawatu ambao walikuwa wamea-si kutoka kanisa na kujiitaWalamani; kwa hivyo kulianzakuwa tena na Walamani katikanchi.

21 Na ikawa kwamba Amosialifariki pia, (na ilikuwa miakamia moja tisini nne kutoka kujakwa Kristo) na mwana wakeAmosi aliandika maandishi ba-dala yake; na yeye pia aliandikakwenye bamba za Nefi; na ikaa-ndikwa pia kwenye kitabu chaNefi, ambacho ni kitabu hiki.

22 Na ikawa kwamba miakamia mbili ilikwa imepita; nakizazi cha pili chote kilikuwakimepita isipokuwa wachache.

23 Na sasa mimi, Mormoni, ni-ngetaka kwamba mjue kwambawatu walikuwa wameongezeka,mpaka kwamba walitapakaa

kote usoni mwa nchi, na kwa-mba walikuwa wametajirikasana, kwa sababu ya kufaniki-wa kwao katika Kristo.

24 Na sasa, katika mwaka huuwa mia mbili na moja kulianzakuwa miongoni mwao waleambao wali inul iwa kat ikaakiburi, kwa kuvaa nguo zathamani, na kila aina ya lulunzuri, na vitu vizuri vya dunia.

25 Na kutokea wakati huo nakuendelea, walikuwa na maliyao na utajiri wao, na vitu vyaohavikuwa a sawa miongonimwao.

26 Na walianza kujigawanyakwenye vyeo; na wakaanza ku-jenga amakanisa yao kwa kuji-patia bfaida, na wakaanza ku-kataa kanisa la kweli la Kristo.

27 Na ikawa kwamba wakatimiaka mia mbili na kumi ilipo-kuwa imepita kulikuwa na ma-kanisa mengi katika nchi; ndio,kulikuwa na makanisa mengiambayo yalidai kumjua Kristo,na bado ayalikataa sehemukubwa ya injili yake, mpakakwamba yalikubali aina yoteya uovu, na yalitoa kila kilichokitakatifu kwa yule ambayealikuwa bamekataliwa kwa sa-babu ya kutostahili.

28 Na hili akanisa liliongezekasana kwa sababu ya uovu, nakwa sababu ya nguvu ya Sheta-ni ambaye alishikilia mioyo yao.

29 Na tena, kulikuwa na kani-sa lingine ambalo lilimkana

19a mwm Mabamba.24a mwm Kiburi.25a 4 Ne. 1:3.26a 1 Ne. 22:23;

2 Ne. 28:3;

Morm. 8:32–38.b M&M 10:56.

mwm Ukuhani wauongo.

27a mwm Ukengeufu.

b 3 Ne. 18:28–29.28a mwm Ibilisi—

Kanisa la ibilisi.

Page 595: KITABU CHA MORMONI

4 Nefi 1:30–39 578

Kristo; na awalidhulumu kanisala kweli la Kristo, kwa sababuya uvumilivu wao na kuaminikwao katika Kristo; na waliwa-dharau kwa sababu ya miujizamingi ambayo walifanya mio-ngoni mwao.

30 Kwa hivyo walionyeshauwezo na mamlaka juu yawafuasi wa Yesu ambao waliba-ki nao, na waliwatupa kwenyeagereza; lakini kwa uwezo waneno la Mungu, ambao ulikuwandani yao, magereza yalipasukakatikati, na wakaenda mbelewakifanya miujiza mikuu mio-ngoni mwao.31 Walakini, na ijapokuwa hii

miujiza yote, watu walishupazamioyo yao, na walitaka kuwaua,hata kama vile Wayahudi waYerusalemu walitafuta kumuuaYesu, kulingana na neno lake.

32 Na waliwatupa kwenyeamajiko ya bmoto, na wakatokanje bila majeraha.

33 Na waliwatupa pia kwenyeapango za wanyama wa mwitu,na walicheza na wale wanyamawa mwitu hata vile mtoto namwanakondoo; na walitoka nakuja mbele kutoka miongonimwao, bila kupata majeraha.34 Walakini, watu walishupaza

mioyo yao, kwani waliongozwana makuhani wengi na manabiiwa uwongo kuanzisha makani-sa mengi, na kufanya aina yoteya uovu. Na awaliwapiga watuwa Yesu; lakini watu wa Yesuhawakulipiza kisasi. Na hivyo

walififia katika kutoamini nauovu, kutoka mwaka mmojahadi mwingine, hata hadi miakamia mbili na thelathini ikapita.

35 Na sasa ikawa katika mwa-ka huu, ndio, katika mwaka wamia mbili na thelathini na moja,kulikuwa na mgawanyiko mku-bwa miongoni mwa watu.

36 Na ikawa kwamba katikamwaka huu kulitokea watuambao waliitwa Wanefi, nawalikuwa waumini wa kweliwa Kristo; na miongoni mwaokulikuwa na wale ambao walii-twa na Walamani—Wayakobo,na Wayusufu, na Wazoramu;

37 Kwa hivyo waumini wakweli katika Kristo, na waabuduwa kweli wa Kristo, (miongonimwao ambao walikuwa walewafuasi awatatu wa Yesu ambaowatakaa) waliitwa Wanefi, naWayakobo, na Wayusufu, naWazoramu.

38 Na ikawa kwamba waleambao walikataa injili waliitwaWalamani, na Walemueli, naWaishmaeli; na hawakufifiakwa kutoamini, lakini awaliasimakusudi dhidi ya injili yaKristo; na waliwafundisha wa-toto wao kwamba wasiamini,hata vile babu zao, kutokamwanzoni, walivyofifia.

39 Na ilikuwa kwa sababu yauovu na machukizo ya babuzao, hata kama vile ilivyokuwamwanzoni. Na awalifundishwakuchukia watoto wa Mungu,hata vile Walamani walifundi-

29a mwm Mateso, Tesa.30a 3 Ne. 28:19–20.32a 3 Ne. 28:21.

b Dan. 3:26–27.

33a 3 Ne. 28:22.34a 3 Ne. 12:39;

M&M 98:23–27.37a 3 Ne. 28:6–7;

Morm. 8:10–11.38a mwm Uasi.39a Mos. 10:17.

Page 596: KITABU CHA MORMONI

579 4 Nefi 1:40–49

shwa kuwachukia watoto waNefi kutoka mwanzo.40 Na ikawa kwamba miaka

mia mbili na arubaini na nneilikuwa imekwisha, na hivyondivyo yalikuwa mambo yawatu. Na sehemu kubwa yawatu waovu ilipata nguvu, nawalikuwa wengi sana kulikowatu wa Mungu.

41 Na bado waliendelea nakujenga makanisa yao, na ku-yapamba na aina yote ya vituvya thamani. Na hivyo miakamia mbili na hamsini ilikwisha,na pia miaka mia mbili na sitini.

42 Na ikawa kwamba sehemuya watu waovu walianza tenakuanzisha viapo vya siri naamakundi maovu ya siri yaGadiantoni.43 Na pia watu ambao walii-

twa watu wa Nefi walianzakujisifu katika mioyo yao, kwasababu ya utajiri wao mwingi,na kuwa bure kama ndugu zao,Walamani.

44 Na kutoka wakati huu wa-nafunzi walianza kuhuzunikakwa ajili ya adhambi za dunia.45 Na ikawa kwamba wakati

miaka mia tatu ilipokwisha,watu wote wa Nefi na Walama-ni walikuwa wamepata kuwa

waovu sana mmoja akiwa kamamwingine.

46 Na ikawa kwamba wanya-ng’anyi wa Gadiantoni walita-wanyika kote usoni mwa nchi;na hakukuwa wowote walio-kuwa wa haki isipokuwa wa-nafunzi wa Yesu. Na waliwekadhahabu na fedha kwa wingi,na walifanya biashara na ainayote ya bidhaa.

47 Na ikawa kwamba baadaya miaka mia tatu na tano ku-pita, (na watu walibaki badokwenye uovu) Amosi alifariki;na kaka yake, Amaroni, alia-ndika maandishi badala yake.

48 Na ikawa kwamba baadaya miaka mia tatu na ishirinikupita, Amaroni, akilazimishwana Roho Mtakatifu, alifichaamaandishi yote matakatifu —ndio, hata maandishi yote ma-takatifu yaliyotolewa kutokakizazi hadi kizazi, ambayo yali-kuwa matakatifu—hata mpakamwaka wa mia tatu na ishirinitangu kuja kwa Kristo.

49 Na aliyaficha kwa Bwana,kwamba ayangekuja tena kwasazo la nyumba ya Yakobo, ku-lingana na unabii na ahadi zaBwana. Na huo ndio mwishowa maandishi ya Amaroni.

Kitabu cha Mormoni

MLANGO WA 1

Amaroni anamuelemisha Mormoni

kuhusu maandishi matakatifu —Vita vinaanza miongoni mwa Wa-nefi na Walamani — Wale Wanefi

42a mwm Makundimaovu ya siri.

44a 3 Ne. 28:9.48a Hel. 3:13, 15–16.

49a Eno. 1:13.

Page 597: KITABU CHA MORMONI

Mormoni 1:1–12 580

watatu wanaondelewa — Uovu,kutoamini, uchawi, na ulozi unae-nea. Kutoka karibu mwaka wa 321hadi 326 baada ya kuzaliwa kwaKristo.

NA sasa mimi, aMormoni,ninaandika bmaandishi ya

vitu ambavyo nimeona nakusikia, na kuyaita Kitabu chaMormoni.2 Na karibu wakati ambao

aAmaroni alipoficha maandishikwa Bwana, alikuja kwangu,(mimi nikiwa na umri wa kari-bu miaka kumi, na nilianzabkujifunza kidogo kulingana nanamna ya kujifunza kwa watuwangu) na Amaroni akania-mbia: Ninaona kwamba weweni mtoto mwenye heshima, nani mwepesi kwa kusoma;

3 Kwa hivyo, wakati utakuwakaribu na umri wa miaka ishi-rini na nne ninataka kwambaukumbuke vitu ambavyo ume-vichunguza kuhusu hawa watu;na wakati utakuwa na huo umriuende kwa nchi ya Antumu,kwenye kilima ambacho kitai-twa aShimu; na hapo nimewe-ka kwa ulinzi wa Bwana maa-ndishi yote matakatifu kuhusuhawa watu.4 Na tazama, utajichukulia

abamba za Nefi, na zitakazosaliautaacha mahali hapo; na utaa-ndika kwenye bamba za Nefivitu vyote ambavyo utakuwaumeviona kuhusu hawa watu.5 Na mimi, Mormoni, nikiwa

wa kizazi cha aNefi, (na jina la

baba yangu lilikuwa Mormoni)nilikumbuka vitu ambavyoAmaroni aliniamuru nifanye.

6 Na ikawa kwamba mimi, ni-kiwa na miaka kumi na moja,nilibebwa na baba yangu hadikwenye nchi iliyokuwa kusini,hata kwenye nchi ya Zarahemla.

7 Uso wa nchi yote ulikuwaumefunikwa na majengo, nawatu walikuwa wengi, hatakama mchanga wa bahari.

8 Na ikawa katika mwaka huukukaanza kuwa na vita mio-ngoni mwa Wanefi, ambao wa-likuwa mkusanyiko wa Wanefina Wayakobo na Wayusufu naWazoramu; na hivi vita viliku-wa miongoni mwa Wanefi, naWalamani na Walemueli naWaishmaeli.

9 Sasa Walamani na Walemuelina Waishmaeli waliitwa Wala-mani, na yale makundi mawiliyalikuwa Wanefi na Walamani.

10 Na ikawa kwamba vita vili-anza kuwa miongoni mwaokwenye mipaka ya Zarahemla,kando ya maji ya Sidoni.

11 Na ikawa kwamba Wanefiwalikuwa wamekusanya pamo-ja idadi kubwa ya watu, hatakupita idadi ya elfu thelathini.na ikawa kwamba kwenye huumwaka walikuwa na vita ka-dhaa, ambamo Wanefi walishi-nda Walamani na kuchinjawengi wao.

12 Na ikawa kwamba Wala-mani waliondoa kusudi lao, namasikilizano ya amani yakai-marishwa nchini; na amani ika-

[mormoni]1 1a mwm Mormoni,

Nabii Mnefi.b 3 Ne. 5:11–18.

2a 4 Ne. 1:47–49.b Mos. 1:3–5.

3a Eth. 9:3.4a M ya Morm. 1:1, 11.

mwm Mabamba.5a 3 Ne. 5:12, 20.

Page 598: KITABU CHA MORMONI

581 Mormoni 1:13–2:2

dumu kwa muda wa karibumiaka minne, kwamba hakuku-wepo na umwagaji wa damu.13 Lakini uovu ulienea juu ya

uso wa nchi yote, mpaka kwa-mba Bwana akaondoa wanafu-nzi wake awapendwa, na kaziya miujiza na ya uponyaji iliishakwa sababu ya uovu wa watu.

14 Na hakukuwa na avipawakutoka kwa Bwana, na RohobMtakatifu hakumjia yeyote,kwa sababu ya uovu wao nackutoamini kwao.15 Na mimi, nikiwa na umri

wa miaka kumi na mitano nanikiwa kidogo na akili timamu,kwa hivyo nilitembelewa naBwana, na kuonja na kujuauzuri wa Yesu.

16 Na nilijaribu kuwahubiriawatu hawa, lakini mdomowangu ulifungwa, na nikakata-zwa kwamba nisihubiri kwao;kwani tazama walikuwa awa-meas i makusudi dhid i yaMungu wao; na wale wanafunziwapendwa bwaliondolewa njeya nchi, kwa sababu ya uovuwao.17 Lakini nilibaki miongoni

mwao, lakini nilikatazwa kuhu-biri kwao, kwa sababu ya ugu-mu wa mioyo; na kwa sababuya ugumu wa mioyo yao nchiaililaaniwa kwa sababu yao.18 Na hawa wanyang’anyi wa

Gadiantoni, ambao walikuwamiongoni mwa Walamani, wa-liingilia nchi, mpaka kwambawakazi wa pale walianza kufi-

cha ahazina zao udongoni; nazikawa zenye kuteleza, kwasababu Bwana alikuwa amela-ani nchi, kwamba hawangewe-za kuzishikilia, wala kuziwekatena.

19 Na ikawa kwamba kuliku-wa na uchawi, na ulozi, na uga-nga; na nguvu za yule mwovuzilitumiwa kote usoni mwanchi, hata kwa kutimiza mane-no yote ya Abinadi, na piaSamweli yule Mlamani.

MLANGO WA 2

Mormoni anaongoza majeshi yaWanefi—Damu na mauaji yanajaakatika nchi — Wanefi wanalia nakuomboleza kwa huzuni ya walio-laaniwa — Siku yao ya neema ime-isha — Mormoni anapata bambaza Nefi—Vita vinaendelea. Kutokakaribu mwaka wa 327 hadi 350baada ya kuzaliwa kwa Kristo.

Na ikawa kwamba kat ikamwaka huo huo kulianza kuwana vita tena miongoni mwaWanefi na Walamani. Na inga-waje mimi nikiwa kijana mdo-go, nilikuwa mkubwa kwakimo; kwa hivyo watu wa Nefiwalinichagua kwamba niwekiongozi wao, au kingozi wamajeshi yao.

2 Kwa hivyo ikawa kwambakatika mwaka wangu wa kumina sita nilienda mbele kulio-ngoza jeshi la Wanefi, dhidi yaWalamani; kwa hivyo miaka

13a 3 Ne. 28:2, 12.14a Moro. 10:8–18, 24.

b mwm Roho Mtakatifu.c mwm Kutoamini.

16a mwm Uasi.b Morm. 8:10.

17a 2 Ne. 1:7;Alma 45:10–14, 16.

18a Hel. 13:18–20;Eth. 14:1–2.

Page 599: KITABU CHA MORMONI

Mormoni 2:3–13 582

mia tatu na ishirini na sitailikuwa imepita.3 Na ikawa kwamba katika

mwaka wa mia tatu na ishirinina saba Walamani walitusha-mbulia kwa nguvu nyingi sana,mpaka kwamba wakayatishamajeshi yangu; kwa hivyohawangepigana, na walianzakurudi nyuma kuelekea nchiza kaskazini.

4 Na ikawa kwamba tulifikiamji wa Angola, na tukaumilikimji huo, na kufanya matayari-sho kujilinda dhidi ya Wala-mani. Na ikawa kwamba tulii-marisha mji kwa nguvu zetu;lakini injapokuwa kuimarikakwetu Walamani walitusha-mbulia na wakatufukuza hadinje ya nchi.

5 Na walitukimbiza pia kuto-ka nchi ya Daudi.

6 Na tulienda mbele na tukafi-kia nchi ya Yoshua, ambayoilikuwa kwenye mipaka yamagharibi kando ya bahari.

7 Na ikawa kwamba tulikusa-nya watu wetu kwa haraka iwe-zekanavyo, ili tungewakusanyapamoja katika kundi moja.

8 Lakini tazama, nchi ilikuwaimejaa wanyang’anyi na Wala-mani; na ingawaje kulikuwa nauharibifu mwingi ambao ulini-ng’inia juu ya watu wangu, ha-wakutubu vitendo vyao viovu;kwa hivyo kulikuwa na usa-mbazaji wa mauaji na maanga-mizo kote usoni mwa nchi, kotekwenye sehemu ya Wanefi napia kwenye sehemu ya Walama-ni; na ulikuwa upinduzi mmojamkuu kote usoni mwa nchi.

9 Na sasa, Walamani walikuwana mfalme, na jina lake lilikuwaHaruni; na alitushambulia najeshi la elfu arubaini na nne. Natazama, nilimzuia na watu elfuarubaini na mbili. Na ikawakwamba nilimpiga na jeshilangu kwamba alitoroka mbeleyangu. Na tazama, haya yoteyalifanyika, na miaka mia tatuna thelathini ikawa imekwisha.

10 Na ikawa kwamba Wanefiwalianza kutubu dhambi zao,na wakaanza kulalamika hatakama ilivyotabiriwa na nabiiSamweli; kwani tazama hakunamtu ambaye aliweza kuwekaile ambayo ilikuwa yake, kwasababu ya wezi, na wanyang’a-nyi, na wauaji, na ustadi wauganga, na uchawi ambao uli-kuwa katika nchi.

11 Hivyo kulianza kuwa namaombolezi na kulia katikanchi kwa sababu ya vitu hivi,na hasa zaidi miongoni mwawatu wa Nefi.

12 Na ikawa kwamba baadaya mimi, Mormoni, kuona kiliochao na maombolezi yao nahuzuni yao mbele ya Bwana,moyo wangu ulianza kufurahindani yangu, kwa sababu nili-jua huruma na uvumilivu waBwana, kwa hivyo nikidhanikwamba atakuwa na hurumakwao kwamba wangekuwawatu wa haki tena.

13 Lakini tazama hii shangweyangu ilikuwa bure, kwani hiiahuzuni yao haikuwa ya toba,k w a s a b a b u y a u z u r i w aMungu; lakini ilikuwa sanahuzuni ya bwaliolaaniwa, kwa

2 13a 2 Kor. 7:10; Alma 42:29. b mwm Hukumu.

Page 600: KITABU CHA MORMONI

583 Mormoni 2:14–24

sababu Bwana hakuwaruhusuckufurahi katika dhambi.14 Na hawakuja kwa Yesu na

amioyo iliyovunjika na rohozilizopondeka, lakini bwalim-laani Mungu, na wakataka kufa.Hata hivyo wangepigana waki-tumia upanga kwa maisha yao.15 Na ikawa kwamba huzuni

yangu ilinirudia tena, na nilionakwamba asiku ya bneema ciliku-wa imepita na wao, kimwili pa-moja na kiroho; kwani nilionamaelfu wakiangushwa chinikwenye uasi wa wazi dhidi yaMungu wao, na kurundikwakama fungu la mbolea juu yauso wa nchi. Na hivyo miakamia tatu na arobaini na minneilikuwa imepita.

16 Na ikawa kwamba katikamwaka wa mia tatu na hamsinina tano Wanefi walianza kuto-roka mbele ya Walamani; nawalifuatwa mpaka walipofikahata kwenye nchi ya Yashoni,kabla ya kuwezekana kuwazuiakatika kukimbia kwao.

17 Na sasa, mji wa Yashoniulikuwa karibu na anchi amba-yo Amaroni alikuwa amefichamaandishi kwa Bwana, ili yasi-haribiwe. Na tazama nilikuwanimeenda kulingana na neno laAmaroni, na kuchukua bambaza Nefi, na niliandika kulinganana maneno ya Amaroni.18 Na niliandika juu ya bamba

za Nefi nakili kamili ya uovu namachukizo yote; lakini kwenye

hizi abamba nilijizuia kuwekanakili kamili ya uovu waona machukizo, kwani tazama,mfululizo wa kuonekana kwauovu na machukizo umekuwambele ya macho yangu tangunitoshee kuona mwenendo wabinadamu.

19 Na ole kwangu kwa sababuya uovu wao; kwani moyo wa-ngu umejawa na huzuni kwasababu ya uovu wao, maishayangu yote; walakini, ninajuakwamba anitainuliwa juu katikasiku ya mwisho.

20 Na ikawa kwamba katikamwaka huu watu wa Nefi wa-liwindwa na kukimbizwa. Naikawa kwamba tulikimbizwambele mpaka tulipofikia kas-kazini kwa nchi ambayo iliitwaShemu.

21 Na ikawa kwamba tuliima-risha mji wa Shemu, na tuliwa-kusanya humo watu wetu vileilivyowezekana, kwamba lab-da tungewaokoa kutoka kwamaangamizo.

22 Na ikawa katika mwaka wamia tatu na arubaini na sitawalianza kutushambulia tena.

23 Na ikawa kwamba niliwa-zungumzia watu wangu, niki-wasihi kwa juhudi kuu, kwa-mba wasimame kwa ujasirimbele ya Walamani na akupi-gana kwa ajili ya wake zao, nawatoto wao, na nyumba zao,na miji yao.

24 Na maneno yangu yaliwaa-

13c Alma 41:10.14a mwm Moyo

Uliovunjika.b mwm Kufuru,

Kukufuru.

15a Hel. 13:38.b mwm Neema.c Yer. 8:20;

M&M 56:16.17a Morm. 1:1–4.

18a mwm Mabamba.19a Mos. 23:22;

Eth. 4:19.23a Mos. 20:11;

Alma 43:45.

Page 601: KITABU CHA MORMONI

Mormoni 2:25–3:4 584

msha kidogo kuwa na nguvu,mpaka kwamba hawakukimbiakutoka mbele ya Walamani,lakini walisimama kwa usajiridhidi yao.25 Na ikawa kwamba tulika-

biliana na jeshi la elfu thelathinidhidi ya jeshi la elfu hamsini.Na ikawa kwamba tuliwazuiana uthabiti hivyo kwamba wa-likimbia kutoka mbele yetu.

26 Na ikawa kwamba baadaya kukimbia tuliwafuata namajeshi yetu, na tulipigana nawao tena, na tukawashinda;walakini nguvu za Bwana ha-zikuwa nasi; ndio, tuliachwapeke yetu, kwamba Roho yaBwana haikuwa nasi; kwa hivyotulikuwa tumekuwa wanyongekama ndugu zetu.

27 Na moyo wangu ulihuzu-nika kwa sababu ya huu msibamkubwa wa watu wangu, kwasababu ya uovu wao na machu-kizo yao. Lakini tazama, tulie-nda mbele dhidi ya Walamanina wale wanyang’anyi waGadiantoni, mpaka, tulipokuwatena tumeimiliki nchi ya urithiwetu.

28 Na mwaka wa mia tatu naarubaini na tisa ukawa umepita.Na katika mwaka wa mia tatuna hamsini tuliweka mkatabana Walamani na wanyang’anyiwa Gadiantoni, ambamo tuli-pata nchi zetu za urithi kuga-wanywa.

29 Na Walamani walitupatianchi ya upande wa kaskazini,ndio, hata njia anyembambailiyoelekea nchi ya kusini. Na

tukawapatia Walamani nchiyote ya kusini.

MLANGO WA 3

Mormoni anawasihi Wanefi wa-tubu—Wanapata ushindi mkuu nakujisifu kwa nguvu zao — Mor-moni anakataa kuwaongoza, nasala zake kwa niaba yao hazinaimani — Kitabu cha Mormoni ki-nawakaribisha makabila kumi namawili ya Israeli kuamini injili.Kutoka karibu mwaka wa 360 hadi362 baada ya kuzaliwa kwa Kristo.

Na ikawa kwamba Walamanihawakutushambulia tena hadimiaka kumi ilipopita. Na taza-ma, nilikuwa nimeweka watuwangu, Wanefi, kwenye kazi,katika kutayarisha nchi yao nasilaha zao dhidi ya wakati wavita.

2 Na ikawa kwamba Bwanaalisema kwangu: Walilie watuhawa — Tubuni ninyi, na mjekwangu, na mbatizwe, na mje-nge tena kanisa langu, na mta-samehewa.

3 Na niliwahubiria hawa watu,lakini ilikuwa bure; na hawaku-fahamu kwamba Bwana ndiyealiyewarehemu, na kuwapatianafasi ya kutubu. Na tazamawalishupaza mioyo yao dhidiya Bwana Mungu wao.

4 Na ikawa kwamba baada yahuu mwaka wa kumi kuisha,ikiwa, jumla ya miaka yote pa-moja, mia tatu na sitini kutokakuja kwa Kristo, mfalme waWalamani alinitumia barua,

29a Alma 22:32.

Page 602: KITABU CHA MORMONI

585 Mormoni 3:5–16

ambayo ilinieleza kwamba wa-likuwa wanajitayarisha kujakupigana dhidi yetu tena.5 Na ikawa kwamba nilisaba-

bisha kwamba watu wangu wa-jikusanye pamoja katika nchi yaUkiwa, kwa mji uliokuwa mipa-kani, kando ya njia nyembambaambayo ilielekea katika nchiiliyokuwa upande wa kusini.

6 Na hapo tuliweka majeshiyetu, ili tuyazuie majeshi yaWalamani, kwamba wasimilikiyoyote ya nchi zetu; kwa hivyotulijiimarisha dhidi yao na ma-jeshi yetu yote.

7 Na ikawa kwamba katikamwaka wa mia tatu na sitini namoja Walamani walikuja chinikwenye mji wa Ukiwa kupigananasi; na ikawa kwamba katikamwaka huo tuliwashinda, mpa-ka kwamba walirejea kwenyenchi zao tena.

8 Na katika mwaka wa miatatu na sitini na mbili walikujachini tena kupigana. Na tuli-washinda tena, na kuchinjaidadi yao kubwa, na wafu waowalitupwa baharini.

9 Na sasa, kwa sababu ya kituhiki kikubwa ambacho watuwangu, Wanefi, walikuwa wa-mefanya, walianza akujisifu kwanguvu zao, na walianza kuapakwa mbingu kwamba watajili-pizia kisasi kwa damu ya nduguzao ambao walikuwa wameua-wa na maadui zao.10 Na waliapa kwa mbingu,

na pia kwa kiti cha enzi chaMungu, kwamba awataenda juu

kupigana dhidi ya maadui zao,na kuwaangamiza kabisa kuto-ka uso wa nchi.

11 Na ikawa kwamba mimi,Mormoni, nilikataa kabisa ku-tokea wakati huu kwenda mbelekuwa amiri jeshi na kiongoziwa hawa watu, kwa sababu yauovu wao na machukizo yao.

12 Tazama, nilikuwa nimewa-ongoza, ijapokuwa uovu wao,nilikuwa nimewaongoza maranyingi vitani, na niliwapenda,kulingana na aupendo wa Mu-ngu ambao ulikuwa ndani ya-ngu, na moyo wangu wote; nanafsi yangu ilikuwa imewekwakwa sala kwa Mungu wangusiku yote nzima kwa ajili yao;walakini, ilikuwa bbila imani,kwa sababu ya kushupaza mi-oyo yao.

13 Na mara tatu nimewaokoakutoka mikononi mwa maaduizao, na hawajatubu dhambi zao.

14 Na baada ya kuapa na yoteambayo awalikatazwa na Bwanawetu na Mwokozi Yesu Kristo,kwamba wangeenda kwenyemaadui wao ili wapigane, nakujilipizia kisasi kwa damu yandugu zao, tazama sauti yaBwana ilinijia, ikisema:

15 Kulipiza akisasi ni kwangu,na bnitalipa; na kwa sababuhawa watu hawakutubu baadaya mimi kuwakomboa, tazama,wataangamizwa kutoka kwauso wa dunia.

16 Na ikawa kwamba nilika-taa kabisa kwenda juu dhidi yamaadui zangu; na nilifanya

3 9a 2 Ne. 4:34.10a 3 Ne. 3:20–21;

Morm. 4:4.

12a mwm Upendo.b Morm. 5:2.

14a 3 Ne. 12:34–37.

15a mwm Kisasi.b M&M 82:23.

Page 603: KITABU CHA MORMONI

Mormoni 3:17–4:2 586

hata vile Bwana alivyoniamuru;na nilisimama kama shahidimzembe kushuhudia kwa uli-mwengu vitu ambavyo nilionana kusikia, kulingana na ushu-huda wa Roho ambayo ilikuwaimeshuhudia kwa vitu vijavyo.17 Kwa hivyo naandika kwe-

nu, Wayunani, na pia akwenu,nyumba ya Israeli, wakati kaziitakapoanza, kwamba mtaku-wa karibu kujitayarisha kurudikwenye nchi ya urithi wenu;

18 Ndio, tazama, nawaandikiawote wanaoishi ulimwenguni;ndio, kwenu, makabila kumina mawili ya Israeli, ambaoamtahukumiwa kwa vitendovyenu na wale kumi na wawiliambao Yesu aliwachagua kuwawanafunzi wake katika nchi yaYerusalemu.19 Na pia nawaandikia sazo la

watu hawa, ambao pia watahu-kumiwa na wale akumi na wa-wili ambao Yesu aliwachaguakatika nchi hii; na watahuku-miwa na wale kumi na wawiliambao Yesu aliwachagua katikanchi ya Yerusalemu.20 Na vitu hivi Roho inani-

fichulia; kwa hivyo ninawaa-ndikia nyinyi nyote. Na kwasababu hii ninaandika kwenu,ili mjue kwamba lazima nyotemsimame mbele ya kiti chaahukumu cha Kristo, ndio, kilanafsi ambayo ni ya bukoo wamwanadamu ya Adamu; nalazima msimame kuhukumiwa

kwa yale mmetenda, ikiwa ya-takuwa mazuri au maovu;

21 Na pia kwamba amngeami-ni injili ya Yesu Kristo, ambayomtapata miongoni mwenu; napia kwamba bWayahudi, watuwa agano la Bwana, watakuwana cushahidi mwingine juu yayule ambaye wamemwona nakumsikiliza, kwamba Yesu,ambaye walimuua, alikuwa niKristo yule dyule na Mungu yuleyule.

22 Na ningetaka kwamba ni-ngeshawishi akila mtu aishiyeduniani atubu na ajitayarishekusimama mbele ya kiti chahukumu cha Kristo.

MLANGO WA 4

Vita na mauaji vinaendelea —Wale waovu wanawaadhibu walewalio waovu — Uovu mkuu unae-nea kuliko mbeleni katika Israeliyote — Wanawake na watoto wa-natolewa kafara kwa sanamu —Walamani wanaanza kuwaangami-za Wanefi walio mbele yao. Kutokakaribu mwaka wa 363 hadi 375baada ya kuzaliwa kwa Kristo.

Na sasa ikawa kwamba katikamwaka wa mia tatu na sitini natatu Wanefi walienda na maje-shi yao kupigana dhidi ya Wa-lamani, kutoka nchi ya Ukiwa.

2 Na ikawa kwamba majeshiya Wanefi yalilazimishwa ku-rudi nyuma hadi kwenye nchi

17a 2 Ne. 30:3–8;3 Ne. 29:1.

18a Mt. 19:28;Lk. 22:29–30;M&M 29:12.

19a 1 Ne. 12:9–10.20a mwm Hukumu, ya

Mwisho.b M&M 27:11.

21a M&M 3:20.

b mwm Wayahudi.c 2 Ne. 25:18.d 2 Ne. 26:12;

Mos. 7:27.22a Alma 29:1.

Page 604: KITABU CHA MORMONI

587 Mormoni 4:3–14

ya Ukiwa. Na wakati walikuwabado wamechoka, jeshi lenyenguvu la Walamani liliwasha-mbulia; na walikuwa na vitavibaya, mpaka kwamba Wala-mani walimiliki mji wa Ukiwa,na waliwachinja Wanefi wengi,na walichukua wengi wao kuwawafungwa.3 Na waliosalia walikimbia na

kujiunga na wakazi wa mji waTeankumu. Sasa mji wa Tean-kumu ulikuwa kwenye mipakaya ukingo wa bahari; na uliku-wa pia karibu na mji wa Ukiwa.

4 Na ilikuwa kwa asababujeshi la Wanefi lilishambuliaWalamani kwamba walianzakuuawa; kwani kama hawa-ngefanya hivyo, Walamani ha-wangekuwa na uwezo juu yao.

5 Lakini, tazama, hukumu zaMungu zitashinda uovu; nani kwa kupitia kwa waovukwamba waovu ahuadhibiwa;kwani ni waovu ambao hu-chochea mioyo ya watoto wawatu hadi kwenye umwagajiwa damu.6 Na ikawa kwamba Walamani

walifanya mipango ya kusha-mbulia mji wa Teankumu.

7 Na ikawa katika mwaka wamia tatu na sitini na nne Wala-mani walishambulia mji waTeankumu, ili wamiliki mji waTeankumu pia.

8 Na ikawa kwamba walisu-kumwa na kurudishwa nyumana Wanefi. Na baada ya Wanefikuona kwamba wamewakimbi-za Walamani walijisifu tena kwanguvu zao; na wakaenda mbele

na uwezo wao wenyewe, nakukamata tena mji wa Ukiwa.

9 Na sasa vitu hivi vyote vili-kuwa vimefanyika, na kuliku-wa na maelfu waliouawa kwapande zote mbili, miongonimwa Wanefi na miongoni mwaWalamani.

10 Na ikawa kwamba mwakawa mia tatu na ishirini na sitaukawa umepita, na Walamaniwalikuja tena kwa Wanefi iliwapigane; na bado Wanefihawakutubu kwa maovu wali-yotenda, lakini waliendelea namaovu yao siku zote.

11 Na ni vigumu kwa ulimikueleza, au kwa mtu kuandikamaelezo kamili ya hofu iliyoo-nekana ya damu na mauajiambayo yalikuwa miongonimwa watu, upande wa Wanefina upande wa Walamani, nakila moyo ulishupazwa, kwa-mba walifurahia umwagaji wadamu siku zote.

12 Na kulikuwa hakujakuwana auovu mkuu kama huu mio-ngoni mwa kizazi cha Lehi,wala hata miongoni mwa nyu-mba ya Israeli, kulingana namaneno ya Bwana, vile ilipoku-wa miongoni mwa watu hawa.

13 Na ikawa kwamba Wala-mani walimiliki mji wa Ukiwa,na hii ni kwa sababu aidadi yaoilizidi ya Wanefi.

14 Na walisonga mbele piadhidi ya mji wa Teankumu,na kulazimisha wakazi wakekuondoka nje, na wakachukuawafungwa wengi wanawakepamoja na watoto, na kuwaua

4 4a Morm. 3:10.5a M&M 63:33.

12a Mwa. 6:5;3 Ne. 9:9.

13a Morm. 5:6.

Page 605: KITABU CHA MORMONI

Mormoni 4:15–5:2 588

kama kafara kwa asanamu zaoza kuabudu.15 Na ikawa kwamba katika

mwaka wa mia tatu na sitini nasaba, Wanefi wakiwa wameka-sirika kwa sababu ya Walamanikutoa kafara wake zao na wato-to wao, kwamba walienda dhidiya Walamani kwa hasira kubwasana, hadi kwamba waliwapigaWalamani tena, na kuwafukuzakutoka nchi zao.

16 Na Walamani hawakuwa-shambulia Wanefi mpaka mwa-ka wa mia tatu na sabini natano.

17 Na katika mwaka huuwalikuja chini dhidi ya Wanefikwa uwezo wao wote; na ha-wangehesabika kwa sababu yaukubwa wa idadi yao.

18 Na akutokea wakati huukwenda mbele Wanefi hawa-kuwa na uwezo wowote juuya Walamani, lakini walianzakuangamizwa na hao vile uma-nde huwa mbele ya jua.19 Na ikawa kwamba Wala-

mani walishambulia mji waUkiwa; na kukawa na vita vikalisana vilivyopiganwa katika nchiya Ukiwa, ambamo walishindaWanefi.

20 Na walitoroka tena kutokakwao, na kufikia mji wa Boazi;na hapo walizuia Walamanikwa ujasiri mkubwa, mpakakwamba Walamani hawaku-shinda mpaka waliporudi tenamara ya pili.

21 Na baada ya kurudi maraya pili, Wanefi walikimbizwana kuchinjwa na mauaji ma-

kuu; wanawake wao na watotowao walitolewa kafara tenakwa sanamu.

22 Na ikawa kwamba Wanefiwalikimbia tena kutoka kwao,na wakasababisha wakazi wotekuandamana nao kote, mijinina vijijini.

23 Na sasa mimi, Mormoni,nilipoona kwamba Walamaniwako karibu kuchukua nchi,kwa hivyo nilienda kwenyekilima cha aShimu, na kuyachu-kua maandishi yote ambayoAmaroni alikuwa ameyafichakwa Bwana.

MLANGO WA 5

Mormoni tena anayaongoza maje-shi ya Wanefi katika vita vya damuna mauaji — Kitabu cha Mormonikitakuja mbele kusadikisha Israeliyote kwamba Yesu ni Kristo —Kwa sababu ya kutoamini kwao,Walamani watatawanyika, na Rohoitaacha kukaa nao — Watapokeainjili kutoka kwa Wayunani katikasiku za baadaye. Kutoka karibumwaka wa 375 hadi 384 baada yakuzaliwa kwa Kristo.

Na ikawa kwamba niliendambele miongoni mwa Wanefi,na kugeuza kile akiapo ambachonilikuwa nimefanya kwambasitawasaidia; na wakanifanyaamiri jeshi tena wa majeshiyao, kwani walinitazamia kamaningewakomboa kutoka kwamateso yao.

2 Lakini tazama, asikuwa natumaini, kwani nilijua hukumu

14a mwm Kuabudusanamu.

18a Morm. 3:3.23a Morm. 1:3.

5 1a Morm. 3:11.2a Morm. 3:12.

Page 606: KITABU CHA MORMONI

589 Mormoni 5:3–11

ya Bwana ambayo ingewajia;kwani hawakutubu uovu wao,lakini walipigania maisha yaobila kumlingana yule ambayekiliwaumba.3 Na ikawa kwamba Walama-

ni walitushambulia vile tuli-vyokuwa tumekimbilia mji waYordani; lakini tazama, walifu-kuzwa na kurudishwa nyumakwamba hawakukamata ulemji wakati huo.

4 Na ikawa kwamba walitu-shambulia tena, na tulihifadhimji. Na kulikuwa na miji mi-ngine pia ambayo ilihifadhiwana Wanefi, ambayo ngome zaoziliwazuilia mbali kwambahawangeingia nchi ambayo ili-kuwa mbele yetu, ili wawaa-ngamize wakazi wa nchi yetu.

5 Lakini ikawa kwamba nchiyoyote ambayo tulipitia kari-bu, ambayo wakazi hawakuwawamejiunga nasi, waliangami-zwa na Walamani, na miji yao,na vijiji vyao, na miji yao mikuuilichomwa kwa moto; na hivyomiaka mia tatu na sabini na tisailipita mbali.

6 Na ikawa kwamba katikamwaka wa mia tatu na thema-nini Walamani walikuja tenadhidi yetu ili kupigana, na tuli-wazuia kwa ujasiri; lakini yoteilikuwa bure, kwani idadi yaoilikuwa kubwa sana kwambawaliwakanyaga watu wa Wane-fi chini ya miguu yao.

7 Na ikawa kwamba tulikimbiatena, na wale ambao ukimbiziwao ulikuwa wa upesi kulikoWalamani waliokoka, na wale

ambao ukimbizi wao hauku-shinda Walamani walikatiwachini na kuangamizwa.

8 Na sasa tazama, mimi ,Mormoni, sitaki kuharibu rohoza watu kwa kuwaelezea ma-mbo ya kutisha ya damu namauaji kama ilivyoonekanamachoni mwangu; lakini mimi,nikijua kwamba vitu hivi lazimavidhihirishwe kujulikana, nakwamba vitu vyote ambavyovimefichwa lazima avifichuliwewazi —

9 Na pia kwamba ufahamuwa vitu hivi lazima aujie sazo lawatu hawa, na pia kwa Wayu-nani, ambao Bwana amesemabwatawatawanya hawa watu, nawatu hawa wahesabiwe kamabure miongoni mwao—kwa hi-vyo naandika ufupisho cmdogo,bila ya kuthubutu kutoa historiaya vitu ambavyo nimeona, kwasababu ya amri ambayo nime-pokea, na pia kwamba msiwena huzuni nyingi sana kwa sa-babu ya uovu wa watu hawa.

10 Na sasa tazama, haya nina-izungumzia uzao wao, na piakwa Wayunani ambao wataku-wa na utunzaji kwa nyumbaya Israeli, ambao wanafahamuna kujua ni wapi baraka zaohutoka.

11 Kwani ninajua kwambahao watahuzunika kwa msibawa nyumba ya Israeli; ndio,watahuzunika kwa uharibifuwa hawa watu; watahuzunikakwamba watu hawa walikuwahawajatubu ili wangekumbati-wa katika mikono ya Yesu.

8a Lk. 12:2–3;2 Ne. 27:11; M&M 1:3.

9a 4 Ne. 1:49.b 3 Ne. 16:8.

c Morm. 1:1.

Page 607: KITABU CHA MORMONI

Mormoni 5:12–20 590

12 Sasa vitu ahivi vimeandiki-wa bsazo la nyumba ya Yakobo;na vimeandikwa kwa njia hii,kwa sababu inafichuliwa kutokakwa Mungu kwamba hawatajuakupitia kwa maovu; na sharticzifichwe kwa Bwana ili zijembele katika muda wao.13 Na hii ni amri ambayo ni-

mepokea; na tazama, vitakujambele kulingana na amri yaBwana, wakati ataona inafaa,katika hekima yake.

14 Na tazama, vitaenda kwawale aWayahudi wasioamini;na kwa kusudi hili wataenda —ili bwashawishwe kwamba Yesundiye Kristo, Mwana wa Mu-ngu aishiye; kwamba Babaangetimiza, kupitia kwa Mpe-ndwa wake, mpango wakemkuu na wa milele, kwa kuwa-rudisha Wayahudi, au nyumbayote ya Israeli, kwa nchi yao yaurithi, ambayo Bwana Munguwao amewapatia, kwa kutimizacagano lake;15 Na pia kwamba uzao wa

watu ahawa ungeamini kabisainjili yake, ambayo bitaendambele yao kutoka kwa Wayuna-ni; kwani hawa watu cwatata-wanywa, na dwatakuwa weusi,wachafu, na watu wa kuchuki-za, nje ya mipaka ya maelezoambayo yamewahi kuwekomiongoni mwetu, ndio, hata ile

ambayo imekuweko miongonimwa Walamani, na hii ni kwasababu ya kutoamini kwao naibada ya sanamu.

16 Kwani tazama, Roho yaBwana imekoma akuwasaidiababu zao; na wako bila Kristona Mungu katika ulimwengu;na wanapeperushwa kamabvumbi litimuliwalo mbele yakibunga.

17 Walikuwa wakati mmojawatu wa kupendeza, na waliku-wa na Kristo kama amchungajiwao; ndio, walikuwa wanao-ngozwa hata na Mungu Baba.

18 Lakini sasa, tazama, awana-ongozwa na Shetani, hata vilevumbi litimuliwalo mbele ya ki-mbunga, au vile jahazi linavyo-rushwarushwa juu ya mawimbi,bila tanga wala nanga, au bilakitu chochote cha kuiendesha;na vile ilivyo, ndivyo walivyo.

19 Na tazama Bwana amewa-wekea baraka, ambazo wange-pokea katika nchi, kwa aWayu-nani ndio watakaoimiliki nchi.

20 Lakini tazama, itakuwakwamba watakimbizwa nakutawanywa na Wayunani; nabaada ya kukimbizwa na kuta-wanywa na Wayunani, tazama,ndipo Bwana aatakumbukabagano ambalo alifanya kwaIbrahimu na kwenye nyumbayote ya Israeli.

12a Eno. 1:16;Hel. 15:11–13.mwm Kitabu chaMormoni.

b M&M 3:16–20.c Morm. 8:4, 13–14;

Moro. 10:1–2.14a 2 Ne. 29:13; 30:7–8.

mwm Wayahudi.

b 2 Ne. 25:16–17.c 3 Ne. 29:1–3.

15a 3 Ne. 21:3–7, 24–26.b 1 Ne. 13:20–29, 38;

Morm. 7:8–9.c 1 Ne. 10:12–14;

3 Ne. 16:8.d 2 Ne. 26:33.

16a Mwa. 6:3; Eth. 2:15.

b Zab. 1:4.17a mwm Mchungaji

Mwema.18a 2 Ne. 28:21.19a 3 Ne. 20:27–28.20a 3 Ne. 16:8–12.

b mwm Agano laIbrahimu.

Page 608: KITABU CHA MORMONI

591 Mormoni 5:21–6:6

21 Na pia Bwana atakumbukaasala za wenye haki, ambazozimetolewa kwake kwa minajiliyao.22 Na ikiwa hivyo, Ee nyinyi

Wayunani, mtawezaje kusima-ma mbele ya uwezo wa Mungu,isipokuwa mtubu na kugeukakutoka njia zenu mbovu?

23 Je, hamjui kwamba mko mi-kononi mwa Mungu? Je, hamjuikwamba anao uwezo wote, nakwa aamri yake kuu dunia bita-kunjwa pamoja kama karatasi?

24 Kwa hivyo, tubuni nyinyi,na mjinyenyekeze mbele yake,isije, atakuja nje katika hakidhidi yenu — isije sazo la uzaowa Yakobo itaenda mbele mio-ngoni mwenu kama asimba, nakuwararua vipande vipande,na hakuna atakayewaokoa.

MLANGO WA 6

Wanefi wanajikusanya kwenyenchi ya Kumora kwa vita vyamwisho — Mormoni anaficha ma-andishi matakatifu katika kilimacha Kumora — Walamani wana-shinda, na taifa la Wanefi linaa-ngamizwa — Mamia ya maelfuwanachinjwa kwa upanga. Kutokakaribu mwaka wa 385 baada yakuzaliwa kwa Kristo.

Na sasa ninamaliza maandishiyangu kuhusu akuangamizwakwa watu wangu, Wanefi. Naikawa kwamba tulienda kutokambele ya Walamani.

2 Na mimi, Mormoni, nilia-ndika barua kwa mfalme waWalamani, na kumwuliza kwa-mba angetukubalia kwambatukusanye watu wetu pamojakwenye anchi ya Kumora, ka-ndo na kilima kilichoitwa Ku-mora, na hapo tungepigana nao.

3 Na ikawa kwamba mfalmewa Walamani alinikubalia kituambacho nilitaka.

4 Na ikawa kwamba tuliendambele hadi kwenye nchi yaKumora, na tukapiga hema zetukuzunguka karibu na kilimaKumora; na ilikuwa katika nchiya maji mengi, mito, na visima;na hapa tulikuwa na tumaini lakufaidika juu ya Walamani.

5 Na baada ya miaka mia tatuna themanini na nne kupita,tulikuwa tumekusanya watuwote waliosalia kwenye nchiya Kumora.

6 Na ikawa kwamba baada yakuwakusanya watu wetu wotepamoja katika nchi ya Kumora,tazama mimi, Mormoni, nilia-nza kuzeeka; na nikijua kwa-mba ni juhudi ya mwisho yawatu wangu, na nikiwa nimea-mriwa na Bwana kwamba nisi-yaache maandishi ambayo ya-metolewa kutoka zamani nababu zetu, ambayo ni mataka-tifu, kuchukuliwa na Walamani,(kwani Walamani wangeyaha-ribu) kwa hivyo nilitengenezahaya amaandishi kutoka kwe-nye bamba za Nefi, na bnikaya-ficha katika kilima cha Kumora

21a Eno. 1:12–18;Morm. 9:36–37.

23a Hel. 12:8–17.b 3 Ne. 26:3.

24a Mik. 5:8;3 Ne. 20:15–16.

6 1a 1 Ne. 12:19; Yar. 1:10;Alma 45:9–14;

Hel. 13:5–11.2a Eth. 9:3.6a mwm Mabamba.

b Eth. 15:11.

Page 609: KITABU CHA MORMONI

Mormoni 6:7–16 592

maandishi yote ambayo yali-kuwa yamekabidhiwa kwanguna mkono wa Bwana, isipoku-wa chizi bamba chache amba-zo nilimpatia mwana wangudMoroni.7 Na ikawa kwamba watu

wangu, na wake zao na watotowao, sasa waliona amajeshi yaWalamani yakisonga kuwaele-kea; na kwa ule woga wa kuti-sha wa kifo ambao unajaa vifuavya waovu wote, walingojawashambuliwe.

8 Na ikawa kwamba walikujakupigana dhidi yetu, na kilanafsi ilijawa na hofu kwa sababuya wingi wa idadi yao.

9 Na ikawa kwamba walisha-mbulia watu wangu kwa panga,na kwa pinde, na kwa mshale,na kwa shoka, na kwa kila ainaya silaha za vita.

10 Na ikawa kwamba watuwangu waliangushwa chini,ndio, hata elfu wangu kumiambao walikuwa na mimi, nanilijeruhiwa nikaanguka kati-kati; na walipita kando yangukwamba hawakumaliza mai-sha yangu.

11 Na baada ya kupita na kua-ngusha chini watu wanguawote isipokuwa sisi ishirini nawanne, (miongoni ambamokulikuwa na mwana wanguMoroni) na sisi tukiwa tume-nusurika kifo cha watu wetu,tulitazamia kesho yake baadaya Walamani kurudi kwenyevituo vyao, kutoka juu ya kili-ma Kumora, wale watu wanguelfu kumi ambao waliangu-

shwa chini, wakiwa wameo-ngozwa mbele na mimi.

12 Na pia tuliona wale elfukumi ambao waliongozwa namwana wangu Moroni.

13 Na tazama, elfu kumi waGidgidona walikuwa wamea-nguka, na yeye pia akiwa kati-kati.

14 Na Lama alikuwa amea-nguka na wale wake elfu kumi;na Gilgali alikuwa ameangukana wale wake elfu kumi; naLimha alikuwa ameanguka nawale wake elfu kumi; na Yeneu-mu alikuwa ameanguka na walewake elfu kumi; na Kumeniha,na Moroniha, na Antionumu, naShiblomu, na Shemu, na Yoshi,walikuwa wameanguka kilammoja na wale wao elfu kumi.

15 Na ikawa kwamba kuliku-wa na kumi zaidi walioangukakwa upanga, kila mmoja naelfu kumi wao; ndio, hata watuwangu awote, isipokuwa waleishirini na wanne waliokuwana mimi, na pia wachache wali-otorokea nchi za kusini, na wa-chache ambao walikimbia hadikwa Walamani, walikuwa wa-meanguka; na miili yao, namifupa, na damu vilitapakaajuu ya uso wa nchi, wakiwawameachwa na wale ambaowaliwachinja kuozea juu yaudongo, na kugeuka mavumbina kurudi kwenye udongo wa-likotoka.

16 Na nafsi yangu ilipasukakwa uchungu, kwa sababuya mauaji ya watu wangu, nanililia:

6c M ya Morm. 1:2.d Morm. 8:1.

7a 1 Ne. 12:15.11a 1 Ne. 12:19–20;

Hel. 15:17.15a Alma 9:24.

Page 610: KITABU CHA MORMONI

593 Mormoni 6:17–7:5

17 Ee nyinyi wenye umbonzuri, ilikuwaje mkatoka kwe-nye njia ya Bwana! Ee nyinyiwenye umbo nzuri, ilikuwajemkamkataa Yesu, ambaye ali-wangojea na mikono wazikuwapokea!

18 Tazama, kama hamngefa-nya hivi, hamngekufa. Lakinitazama, mmekufa, na ninao-mboleza kupotea kwenu.

19 Ee nyinyi wana wa umbonzuri, nyinyi baba na mama,nyinyi mabwana na wake, nyi-nyi walio wazuri, vipi kwambammekufa!

20 Lakini tazama, mmetoko-mea, na huzuni yangu haiwezikuwarejesha.

21 Na wakati unakuja upesikwamba miili yenu yenye kufaitajivika kutokufa, na miili hiiambayo sasa inaoza kimwililazima upesi itakuwa aisiyooza;na hapo lazima mtasimamambele ya kiti cha hukumu chaKristo, kuhukumiwa kulinganana vitendo vyenu; na ikiwakwamba nyinyi ni wenye haki,hasi mmebarikiwa na babuzenu ambao wamekufa mbeleyenu.22 Ee ingekuwa kwamba mli-

tubu kabla ya hili angamizokuja kwenu. Lakini tazama,mmekufa, na Baba, ndio, Babawa Milele wa mbinguni, ana-jua hali zenu; na anawafanyiakulingana na ahaki na brehemayake.

MLANGO WA 7

Mormoni anawakaribisha Walama-ni wa siku za mwisho kuamini kati-ka Kristo, wakubali injili yake, nawaokolewe—Wote wanaoamini ka-tika Biblia pia wataamini Kitabucha Mormoni. Karibu mwaka wa385 baada ya kuzaliwa kwa Kristo.

Na sasa, tazama, nataka kuzu-ngumza machache kwa asazo lawatu hawa ambao wameachili-wa, ikiwa Mungu atawapatiamaneno yangu, ili wajue kuhu-su vitu vya baba zao; ndio, nina-wazungumzia, nyinyi sazo lanyumba ya Israeli; na haya ndi-yo maneno ambayo ninasema:

2 Nataka mjue kwamba nyinyini wa anyumba ya Israeli.

3 Nataka mjue kwamba lazimamtubu, au hamtaokolewa.

4 Nataka mjue kwamba lazimamuweke chini silaha za vita, namsifurahie tena katika umwa-gaji wa damu, na msizichukuetena, isipokuwa kama Munguatawaamuru.

5 Nataka mjue kwamba lazimaamuelimike kuhusu babu zenu,na mtubu dhambi zenu zote namaovu, na bkuamini katika YesuKristo, kwamba yeye ni Mwanawa Mungu, na kwamba aliuawana Wayahudi, na kwa uwezo waBaba amefufuka tena, kwa kufa-nya hivyo amepata cushindi juuya mauti; na pia kupitia kwakeuchungu wa kifo umetolewa.

21a 1 Kor. 15:53–54.22a mwm Haki.

b mwm Rehema,Rehema, enye.

7 1a Hel. 15:11–13.2a Alma 10:3.5a 2 Ne. 3:12.

b mwm Amini, Imani.

c Isa. 25:8;Mos. 16:7–8.

Page 611: KITABU CHA MORMONI

Mormoni 7:6–8:2 594

6 Na anatimiza aufufuo wawafu, ambako binadamu lazimaatainuliwa kusimama mbele yabkiti cha hukumu.

7 Na ameleta kutimizwa auko-mbozi wa ulimwengu, ambakoyule ambaye atapatikana bilabmakosa mbele yake katika sikuya hukumu atakubaliwa ckuishikwenye uwepo wa Mungu ka-tika ufalme wake, kuimba sifazisizo na mwisho na jamii yadwaimbaji wa juu, kwa Baba,na kwa Mwana, na kwa RohoMtakatifu, ambao ni Munguemmoja, katika hali ya ffurahaambayo haina mwisho.8 Kwa hivyo tubuni, na mbati-

zwe katika jina la Yesu, namkubali ainjili ya Kristo, amba-yo itawekwa mbele yenu, sio tukwa maandishi haya lakini piakwa bmaandishi ambayo yata-wajia Wayunani ckutoka kwaWayahudi, maandishi ambayoyatatoka kwa Wayunani dhadikwenu.

9 Kwani tazama, ahaya yame-andikwa kwa kusudi kwambabmngeamini hayo; na mkiyaa-mini hayo mtaamini haya pia;na ikiwa mtaamini haya mta-jua kuhusu babu zenu, na piakazi za ajabu ambazo zimesa-babishwa na uwezo wa Mungumiongoni mwao.

10 Na mtajua pia kwamba

nyinyi ni sazo la uzao wa Yako-bo; kwa hivyo mmehesabiwamiongoni mwa watu wa aganola kwanza; na ikiwa itakuwahivyo kwamba mtaamini katikaKristo, na mnabatizwa, kwanzakwa maji, halafu kwa motona Roho Mtakatifu, mkifuataamfano wa Mwokozi wetu,kulingana na alivyotuamuru,itakuwa vema nanyi katika ilesiku ya hukumu. Amina.

MLANGO WA 8

Walamani wanawawinda na ku-waangamiza Wanefi — Kitabu chaMormoni kitajitokeza kwa uwezowa Mungu — Shida zinatamkwajuu ya wale ambao wanatoa njeghadhabu na mzozo dhidi ya kaziya Bwana — Maandishi ya Wanefiyatatokea mbele katika siku yauovu, uharibifu, na ukengeufu.Kutoka karibu mwaka wa 400 hadi421 baada ya kuzaliwa kwa Kristo.

Tazama mimi, aMoroni, nina-maliza bmaandishi ya babayangu, Mormoni. Tazama, ninavitu vichache tu vya kuandika,vitu ambavyo nimeamriwa nababa yangu.

2 Na sasa ikawa kwambabaada ya vita akubwa na vyakutisha katika Kumora, tazama,Wanefi ambao walitorokea ka-

6a mwm Ufufuko.b mwm Hukumu, ya

Mwisho; YesuKristo—Mwamuzi.

7a mwm Komboa,Kombolewa,Ukombozi.

b mwm Hesabu kwahaki, Kuhesabiwahaki.

c 1 Ne. 10:21;M&M 76:62;Musa 6:57.

d Mos. 2:28.e M&M 20:28.

mwm Mungu, Uungu.f mwm Shangwe.

8a mwm Injili.b mwm Biblia.c 2 Ne. 29:4–13.

d 1 Ne. 13:38.9a mwm Kitabu cha

Mormoni.b 1 Ne. 13:38–41.

10a 2 Ne. 31:5–9.8 1a mwm Moroni,

Mwana wa Mormoni.b mwm Mabamba.

2a Morm. 6:2–15.

Page 612: KITABU CHA MORMONI

595 Mormoni 8:3–14

tika nchi ya kusini waliwindwana bWalamani, mpaka wotewalipoangamizwa.

3 Na baba yangu pia aliuawana hao, na ni mimi tu nimebakiapeke yangu kuandika kisa chakuhuzunisha cha kuangamizwakwa watu wangu. Lakini taza-ma, wameenda, na ninatimizaamri ya baba yangu. Na ikiwawataniua, sijui.4 Kwa hivyo nitaandika na

kuficha maandiko katika ardhi;na haijalishi popote nitakapoe-nda.

5 Tazama, baba yangu alibuniahaya maandishi, na ameandikakusudi la kufanya hivyo. Na ta-zama, ningeyaandika pia ikiwaningekuwa na nafasi kwenyebbamba, lakini sina; na maweya madini sina hata moja, kwaniniko peke yangu. Baba yanguameuawa vitani, na ukoo wa-ngu wote, na sina marafiki walapopote pa kwenda; na kwamuda gani Bwana atanikubaliakwamba niishi sijui.

6 Tazama, miaka amia nneimepita tangu kuja kwa Bwanana Mwokozi wetu.7 Na tazama, Walamani wame-

wawinda watu wangu, Wanefi,kutoka mji hadi mji na kutokamahali hadi pengine, mpakakwamba hawako tena ; naamwanguko wao umekuwamkubwa; ndio, mkubwa na wakustaajabisha ni kuangamizwakwa watu wangu, Wanefi.

8 Na tazama, ni mkono waBwana ambao umeifanya. Natazama pia, Walamani wakoavitani wenyewe kwa wenyewe;na uso wote wa nchi hii daimani mviringo wa mauaji naumwagaji wa damu; na hakunayeyote ajuaye mwisho wa vita.

9 Na sasa tazama, sisemi me-ngi kuhusu hao, kwani hakunayeyote isipokuwa Walamani naawanyang’anyi ambao wakokote usoni mwa nchi.

10 Na hakuna yeyote anayem-jua Mungu wa kweli isipokuwaawanafunzi wa Yesu, ambaowalibaki katika nchi mpakauovu wa watu ul ipokuwamwingi sana kwamba Bwanahakukubalia bwabaki na watu;na ikiwa wako juu ya uso wadunia hakuna mtu ajuaye.

11 Lakini tazama, ababa yanguna mimi tumewaona, na wa-metuhubiria.

12 Na yeyote atakayepokeahaya maandiko, na akose kuya-laumu kwa sababu ya makosayaliyomo, basi huyo huyo atajuavitu avikubwa kuliko hivi. Taza-ma, mimi ni Moroni; na kamaingewezekana, ningefanya vituvyote kujulikana kwenu.

13 Tazama, namaliza kuongeakuhusu watu hawa. Mimi nimwana wa Mormoni, na babayangu alikuwa auzao wa Nefi.14 Na mimi ni yule aanayefi-

cha haya maandishi kwa uli-nzi wa Bwana; bamba zilizoko

2b M&M 3:18.3a Moro. 9:22.5a Morm. 2:17–18.

b Morm. 6:6.6a Alma 45:10.7a 1 Ne. 12:2–3.

8a 1 Ne. 12:20–23.9a Morm. 2:8.

10a 3 Ne. 28:7;Eth. 12:17.mwm WanafunziWatatu wa Kinefi.

b Morm. 1:16.11a 3 Ne. 28:24–26.12a 3 Ne. 26:6–11.13a 3 Ne. 5:20.14a Moro. 10:1–2.

Page 613: KITABU CHA MORMONI

Mormoni 8:15–24 596

hazina thamani, kwa sababu yaamri ya Bwana. Kwani alisemahakuna atakayeyapokea bkwafaida; lakini maandiko yaliyokoni ya thamani kubwa; na yeyo-te atakayeyadhihirisha, yeyeBwana atambariki.

15 Kwani hakuna aliye nauwezo wa kuyadhihirisha isipo-kuwa akabidhiwe na Mungu;kwani Mungu hupendelea kwa-mba itafanyika ajicho likiwakwa utukufu wake, au kwa us-tawi wa wale wa kale na watuwa agano la Bwana waliotawa-nywa.

16 Na atabarikiwa ayule amba-ye atadhihirisha kitu hiki; kwanibkitaletwa kutoka gizani hadikwenye mwangaza, kulinganana neno la Mungu; ndio, kitale-twa kutoka udongoni, na kitatoanuru kutoka gizani, na ije kwaufahamu wa watu; na itafanyikakwa uwezo wa Mungu.

17 Na ikiwa kutakuwa namakosa, yatakuwa ni amakosaya binadamu. Lakini tazama,hatujui kosa lolote; walakiniMungu anajua vitu vyote; kwahivyo, yeyote ambaye banalau-mu, acha ajihadhari asije aka-wa kwenye hatari ya moto wajahanamu.

18 Na yule anayesema: Nio-nyeshe, au utauawa — achaajihadhari asije akaamrisha ileambayo imekatazwa na Bwana.

19 Kwani tazama, yule anaye-

toa ahukumu kwa haraka ata-hukumiwa kwa haraka tena;kwani kulingana na vitendovyake, mshahara wake utakuwahivyo; kwa hivyo yule ambayehuua atauawa tena, na Bwana.

20 Tazama maandiko husemanini — mtu hataua, wala hata-hukumu; kwani hukumu niyangu, asema Bwana, na kisasini changu pia, na nitalipiza.

21 Na yule atakayetoa njeghadhabu na ugomvi dhidi yakazi ya Bwana, na dhidi ya watuwa agano wa Bwana ambao niwa nyumba ya Israeli, ambayeatasema: Tutaangamiza kazi yaBwana, na Bwana hatakumbukaagano lake ambalo amefanyakwa nyumba ya Israeli — yuleyule yuko hatarini kukatiwachini na kutupwa motoni;

22 Kwani akusudi la milele laBwana litaendelea, mpaka ahadizake zote zitakapotimizwa.

23 Pekua unabii wa aIsaya.Tazama, siwezi kuyaandika.Ndio, tazama ninawaambia,k w a m b a w a l e w a t a k a t i f uambao wameenda kabla yangu,ambao walimiliki hii nchi, bwa-talia, ndio, hata kutoka kwenyemavumbi watamlilia Bwana;na vile Bwana anavyoishi ata-kumbuka agano ambalo ame-fanya nao.

24 Na hujua asala zao, kwa-mba zilikuwa kwa niaba yandugu zao. Na hujua imani

14b JS—H 1:46.15a M&M 4:5.16a 2 Ne. 3:6–7, 11, 13–14.

b Isa. 29:18; 2 Ne. 27:29.17a Morm. 9:31, 33;

Eth. 12:23–28.

b 3 Ne. 29:5;Eth. 4:8.

19a tjs, Mt. 7:1–2;3 Ne. 14:1–2;Moro. 7:14.

22a M&M 3:3.

23a 3 Ne. 20:11; 23:1.b Isa. 29:4;

2 Ne. 3:19–20; 26:16.24a Eno. 1:12–18;

Morm. 9:36;M&M 10:46.

Page 614: KITABU CHA MORMONI

597 Mormoni 8:25–33

yao, kwani katika jina lake wa-ngeondoa bmilima, na katikajina lake wangesababisha ardhikutetemeka; na kwa uwezo waneno lake walisababisha cma-gereza kuanguka ardhini; ndio,hata kalibu ya moto mkali hai-ngewaumiza, wala wanyamawa mwitu, wala nyoka wasumu, kwa sababu ya uwezowa neno lake.

25 Na tazama, asala zao piazilikuwa kwa niaba ya yuleambaye Bwana atakubalia ku-leta vitu hivi mbele.26 Na hakuna yeyote aliye na

sababu ya kusema havitakuja,kwani kwa kweli vitakuja,kwani Bwana ameinena; kwanivitatoka akutoka kwa ardhi,kwa uwezo wa Bwana, na ha-kuna atakayeizuia; na itakujakatika ile siku wakati itaseme-kana kwamba bmiujiza imeo-ndolewa; na itatendeka hatakama vile mmoja anayezungu-mza ckutoka kwa wafu.27 Na itakuja katika siku ile

ambayo adamu ya watakatifuitakapolia kwa Bwana, kwasababu ya makundi maovu yabsiri na kazi za gizani.

28 Ndio, itakuja katika sikuwakati uwezo wa Mungu uta-kataliwa, na amakanisa yataku-wa yamechafuliwa na kujiinuakwa kiburi cha mioyo yao;

ndio, hata katika siku ambayoviongozi wa makanisa na wali-mu watajiinua kwa kiburi chamioyo yao, hata kuwaoneawivu wale ambao wako kwamakanisa yao.

29 Ndio, itakuja katika ile sikuwakati akutasikika moto, natufani, na bmivuke ya moshikatika nchi za kigeni;

30 Na pia kutasikika mamboya avita, uvumi wa vita na mi-tetemeko mahali mbali mbali.

31 Ndio, itakuja katika ile sikuwakati kutakuweko uchafumwingi juu ya uso wa dunia;kutakuwa na mauaji, na unya-ng’anyi, na udanganyifu, naulaghai, na ukahaba, na kilaaina ya machukizo; wakati ku-takuwa na wengi ambao wata-sema, Fanya hivi, au fanye vile,na ahaijalishi, kwani Bwanabataokoa hawa katika siku yamwisho. Lakini ole kwa hao,kwani wako kwenye cnyongoya uchungu na katika kifungocha uovu.

32 Ndio, itakuja wakati kuta-kuwa na makanisa yatakayoje-ngwa ambayo yatasema: Kujakwangu, na kwa pesa yakoutasamehewa dhambi zako.

33 Ee nyinyi walio waovuna wapotevu na watu wenyeshingo ngumu, kwa nini mme-jijengea makanisa kwa kupata

24b Yak. (KM) 4:6;Hel. 10:9.

c Alma 14:27–29.25a Morm. 5:21.26a Isa. 29:4; 2 Ne. 33:13.

b Morm. 9:15–26;Moro. 7:27–29, 33–37.

c 2 Ne. 26:15–16;Morm. 9:30;

Moro. 10:27.27a Eth. 8:22–24;

M&M 87:6–7.b mwm Makundi

maovu ya siri.28a 2 Tim. 3:1–7;

1 Ne. 14:9–10;2 Ne. 28:3–32;M&M 33:4.

29a Yoe. 2:28–32;2 Ne. 27:2–3.

b 1 Ne. 19:11;M&M 45:39–42.

30a Mt. 24:6;1 Ne. 14:15–17.

31a 2 Ne. 28:21–22.b 2 Ne. 28:8.c Alma 41:11.

Page 615: KITABU CHA MORMONI

Mormoni 8:34–41 598afaida? Kwa nini bmmegeuzaneno takatifu la Mungu, kwa-mba kwa kufanya hivyo mjile-tee clawama kwenye nafsi zenu?Tazama, tegemeeni unabii waMungu; kwani tazameni, wa-kati unawadia katika siku hiyowakati vitu hivi vyote lazimavitimizwe.34 Tazama, Bwana amenio-

nyesha vitu vikubwa na vyaajabu kuhusu ile ambayo lazimaitokee hivi karibuni, katika sikuile ambayo vitu hivi vitatokeambele miongoni mwenu.

35 Tazama, ninawazungum-zia kama vile mko hapa, lakinihamko. Lakini tazama, YesuKristo amenionyesha nyinyikwangu, na ninajua yale mna-yofanya.

36 Na ninajua kwamba amnai-shi kwa kiburi cha mioyo yenu;na hakuna mmoja isipokuwawachache ambao bhawajiinuikatika kiburi cha mioyo yao,kwa kuvaa nguo nzuri csana,kusababisha wivu, na ugomvi,na mabishano, na dhuluma, naaina yote ya maovu; na maka-nisa yenu, ndio, hata kila moja,yamechafuliwa kwa sababu yakiburi cha mioyo yenu.

37 Kwani tazama, mnapendaapesa, na vitu vyenu, na mava-zi yenu mazuri, na kupambwakwa makanisa yenu, kulikomnavyowapenda maskini, nawanaohitaji msaada, wagonjwana wanaoteseka.

38 Ee nyinyi wachafu, nyinyiwanafiki, nyinyi walimu, ambaomnajiuza kwa kile ambachokitaoza, kwa nini mmechafuakanisa takakatifu la Mungu?Kwa nini amnaaibika kujivikajina la Kristo? Kwa nini hamfi-kirii kwamba kubwa zaidi nithamani ya furaha ya milele isi-yo na kikomo kuliko ile btaabuambayo haiishi kamwe — kwasababu ya csifa ya ulimwengu?

39 Kwa nini mnajipamba navitu visivyo na uhai, na badomnawaachilia wenye njaa, nawanaohitaji, na walio uchi, nawagonjwa na wanaoteseka ku-pita kando yenu, na mnajifa-nya hamuwaoni?

40 Ndio, kwa nini mnaanzishamakundi mabaya ya asiri kwakupata faida, na kusababishawajane kuomboleza mbele yaBwana, na pia mayatima kuo-mbeleza mbele ya Bwana, napia damu ya babu zao na bwanazao kulia kwa Bwana kutokachini, kwa kisasi juu ya vichwavyenu?

41 Tazama, upanga wa kisasiunaning’inia juu yenu; na waka-ti unatimia mapema kwambaatalipiza akisasi cha damu yawale watakatifu juu yenu, kwa-ni hatavumilia kulia kwao tena.

MLANGO WA 9

Moroni anawahimiza wale ambao

33a mwm Ukuhani wauongo.

b 1 Ne. 13:26–29.c mwm Hukumu.

36a mwm Tembea,Tembea na Mungu.

b Yak. (KM) 2:13.c Alma 5:53.

37a 2 Ne. 28:9–16.38a Rum. 1:16;

2 Tim. 1:8;1 Ne. 8:25–28;

Alma 46:21.b Mos. 3:25.c 1 Ne. 13:9.

40a mwm Makundimaovu ya siri.

41a 1 Ne. 22:14.

Page 616: KITABU CHA MORMONI

599 Mormoni 9:1–8

hawaamini katika Kristo watubu— Anamtangaza Mungu wa miu-jiza, ambaye hutoa unabii naanayetoa vipawa na ishara juu yawaumini — Miujiza hukoma kwasababu ya kutoamini — Ishara hu-tolewa kwa wale ambao huamini— Watu wanashauriwa kuwa nabusara na kutii amri. Kutoka karibumwaka wa 401 hadi 421 baada yakuzaliwa kwa Kristo.

Na sasa, ninazungumza piakuhusu wale ambao hawaaminikatika Kristo.

2 Tazama, mtaamini katika sikuya hukumu yenu—tazama, wa-kati Bwana atakapokuja, ndio,hata ile siku akuu wakati bduniaitakunjwa pamoja kama kara-tasi, na vitu vya asili cvitaye-yuka kwa joto kubwa, ndio,katika siku ile kuu wakati mta-letwa kusimama mbele yaMwanakondoo wa Mungu —ndipo mtasema kwamba haku-na Mungu?

3 Ndipo mtaendelea kumkanaKristo, au mnaweza kumtaza-ma Mwanakondoo wa Mungu?Mnadhani kwamba mtaishi nayeye chini ya ufahamu wamakosa yenu? Mnadhani yakwamba mngekuwa na furahakuishi na kile Kiumbe kitakati-fu, wakati nafsi zenu zina msu-kosuko na ufahamu wa makosa

kwamba daima mmetusi sheriazake?

4 Tazama, ninawaambia kwa-mba mtakuwa na taabu sanakuishi na Mungu aliye mtakati-fu na wa haki, chini ya ufahamuwa uchafu wenu mbele yake,kuliko kuishi na nafsi azilizola-aniwa katika bjahanamu.

5 Kwani tazama, wakati mta-letwa kuona auchi wenu mbeleya Mungu, na pia utukufu waMungu, na utakatifu wa YesuKristo, itawasha ulimi wa motousiozimika juu yenu.

6 Ee basi nyinyi amsioamini,bmgeukieni Bwana; lieni kwaBaba kwa nguvu katika jinala Yesu, kwamba pengine mpa-tikane bila waa, csafi, warembo,na weupe, mkiwa mmeoshwana damu ya dMwanakondoo,kat ika i le s iku kuu na yamwisho.

7 Na tena ninawazungumzianyinyi ambao ahukataa unabiiwa Mungu, na kusema kwambahaifanyiki tena, kwamba haku-na ufunuo, wala unabii, walavipawa, wala uponyaji, walakuzungumza kwenye lugha zakigeni, na bkutafsiri lugha;8 Tazama nawaambia, yule

anayekana vitu hivi hajui ainjiliya Kristo; ndio, hajasoma maa-ndiko; na ikiwa ameyasoma,bhayaelewi.

9 2a Mal. 4:5;3 Ne. 28:31.

b Morm. 5:23;M&M 63:20–21.mwm Ulimwengu—Mwisho waulimwengu.

c Amo. 9:13;

3 Ne. 26:3.4a mwm Hukumu.

b mwm Jahanamu.5a 2 Ne. 9:14.6a mwm Kutoamini.

b Eze. 18:23, 32;M&M 98:47.

c mwm Safi, Usafi.

d mwm Mwanakondoowa Mungu.

7a 3 Ne. 29:6–7.b 1 Kor. 12:7–10;

M ya I 1:7.8a mwm Injili.

b Mt. 22:29.

Page 617: KITABU CHA MORMONI

Mormoni 9:9–17 600

9 Kwani si tunasoma kwambaMungu ni ayule yule jana, naleo, na hata milele, na kwakehakuna kubadilika wala kivulicha kugeukageuka?10 Na sasa, kama mmejiwa-

zia, mungu anayebadilika, naambaye ana kivuli cha kugeu-kageuka, aidha mmejidhaniamungu ambaye si Mungu wamiujiza.

11 Lakini tazama, nitawaele-zea Mungu wa miujiza, hataMungu wa Ibrahimu, na Munguwa Isaka, na Mungu wa Yakobo;na yule yule aMungu aliyeu-mba mbingu na dunia, na vituvyote vilivyomo.

12 Tazama, alimuumba Ada-mu, na kupitia kwa aAdamukukatokea bmwanguko wa bi-nadamu. Na kwa sababu yamwanguko wa binadamu YesuKristo alikuja, ambaye ni Babana Mwana; na kwa sababuya Yesu Kristo cukombozi wabinadamu ulitokea.

13 Na kwa sababu ya ukombo-zi wa binadamu, ambao ulifikakupitia kwa Yesu Kristo, wana-rudishwa kwenye uwepo waBwana; ndio, hii ndiyo njiaambayo kwake watu wote wa-nakombolewa, kwa sababukifo cha Kristo husababisha ku-timizwa kwa aufufuko, ambaohusababisha kutimizwa kwa

ukombozi kutoka kwa busingi-zi wa milele, usingizi ambamowatu wote wataamshwa kwauwezo wa Mungu wakati taru-mbeta itakapolia; na watatokanje, wote wadogo na wakubwa,na wote watasimama mbele yahukumu yake, wakikombolewana kufunguliwa kutoka kwenyeckamba hii ya kifo cha milele,kifo ambacho ni kifo cha mwili.

14 Na ndipo kutatukia ahuku-mu ya Yule Mtakatifu juu yao;na ndipo kutatokea wakatiambao yule ambaye ni mchafubataendelea kuwa mchafu; nayule ambaye ni mwenye hakiataendelea kuwa mwenye haki;yule ambaye ana furaha atae-ndelea kuwa na furaha; na yuleasiye na furaha ataendeleakuwa bila furaha.

15 Na sasa, Ee nyinyi nyoteambao mmejiwazia munguambaye ahawezi kufanya miu-jiza, ningewauliza, je, vitu hivivyote ambavyo nimezungum-zia, vimefanyika? Je, mwishoumefika? Tazama nawaambia,Hapana; na Mungu hajakomakuwa Mungu wa miujiza.

16 Tazama, si vitu ambavyoMungu amefanya ni vya ajabumachoni mwetu? Ndio, nani nani anayeweza kufahamuakazi za ajabu za Mungu?17 Ni nani atasema kwamba

9a Ebr. 13:8;1 Ne. 10:18–19;Alma 7:20;Moro. 8:18;M&M 20:12.

11a Mwa. 1:1; Mos. 4:2;M&M 76:20–24.mwm Yesu Kristo.

12a Mos. 3:26.

b mwm Anguko laAdamu na Hawa.

c mwm Komboa,Kombolewa,Ukombozi.

13a Hel. 14:15–18.b M&M 43:18.c M&M 138:16.

14a mwm Hukumu, ya

Mwisho.b Alma 7:21;

M&M 88:35.15a Moro. 7:35–37;

M&M 35:8.mwm Muujiza.

16a Zab. 40:5;M&M 76:114;Musa 1:3–5.

Page 618: KITABU CHA MORMONI

601 Mormoni 9:18–27

haikuwa miujiza ambayo kwaaneno lake mbingu na duniavipo; na kwa uwezo wa nenolake mtu baliumbwa kutokakwa cmavumbi ya dunia; nakwa uwezo wa neno lake miu-jiza imefanyika?18 Na ni nani atasema kwa-

mba Yesu Kristo hakufanyaamiujiza mingi mikubwa? Nakulikuwa na miujiza mingi mi-kubwa iliyofanywa na mitume.19 Na ikiwa amiujiza ilifanyika

wakati huo, kwa nini Munguamekoma kuwa Mungu wamiujiza na bado awe kiumbekisichobadilika? Na tazama,nawaambia habadiliki; ikiwahivyo angekoma kuwa Mungu;na hakomi kuwa Mungu, na niMungu wa miujiza.20 Na sababu ambayo inamfa-

nya kukoma kufanya amiujizamiongoni mwa watoto wa watuni kwa sababu kwamba wamefi-fia katika kutoamini, na kutokakwa njia ya kweli, na hawamjuiMungu ambaye wanapaswabkumwamini.

21 Tazama, ninawaambia kwa-mba yeyote aaminiye katikaKristo bila tashwishi, achochoteatakachomwomba Baba katikajina la Kristo kitatolewa kwake;na hii ahadi iko kwa wote, hatampaka mwisho wa dunia.22 Kwani tazama, hivi anase-

ma Yesu Kristo, Mwana wa

Mungu, kwa wanafunzi wakeambao watakawia, ndio, na piakwa wanafunzi wake wote,kundi lilipokuwa likisikiliza:aNendeni nyinyi katika ulimwe-ngu wote, na mhubiri injili kwakila mtu;

23 Na yule anayeamini nakubatizwa ataokolewa, lakiniyule ambaye haamini aatalaa-niwa;

24 Na hizi aishara zitafuatananao ambao huamini — katikajina langu watawatupa nje bma-shetani; watazungumza kwalugha ngeni; watainua nyoka;na ikiwa watakunywa kitucha kuhatarisha hakitawadhu-ru; wataweka cmikono yao kwawagonjwa na watapona;

25 Na yeyote atakayeaminikatika jina langu, bila kuwa nashaka, kwake anitamhakikishiamaneno yangu yote, hata kwasehemu zote za dunia.

26 Na sasa, tazama, ni nanianaweza kuzuia kazi ya Bwana?Ni anani anayeweza kukanamisemo yake? Ni nani atakaye-simama dhidi ya uwezo usio nakipimo wa Bwana? Ni nani ata-chukia kazi za Bwana? Ni naniatachukia watoto wa Kristo?Tazama, nyote ambao bmna-chukia kazi za Bwana, kwanimtatangatanga na kuangamia.

27 Ee basi msidharau, na msi-shangae, lakini sikilizeni mane-

17a Yak. (KM) 4:9.b mwm Umba,

Uumbaji.c Mwa. 2:7; Mos. 2:25.

18a Yn. 6:14.19a M&M 63:7–10.20a Amu. 6:11–13;

Eth. 12:12–18;

Moro. 7:35–37.b mwm Tegemea.

21a Mt. 21:22; 3 Ne. 18:20.22a Mk. 16:15–16.

mwm Kazi yakimisionari.

23a mwm Hukumu.24a Mk. 16:17–18.

mwm Ishara.b Mdo. 16:16–18.c mwm Huduma kwa

Wagonjwa.25a mwm Ufunuo;

Ushuhuda.26a 3 Ne. 29:4–7.

b Mit. 13:13.

Page 619: KITABU CHA MORMONI

Mormoni 9:28–36 602

no ya Bwana, na mmwuombeBaba katika jina la Yesu kwavitu vyote mtakavyohitaji .Msiwe na shaka, lakini muwemkiamini, na muanze kamawakati wa kale, na amje kwaBwana na bmioyo yenu yote,na cmtimize wokovu wenu we-nyewe kwa kuogopa na kutete-meka mbele yake.

28 Muwe na ahekima katikasiku zenu za majaribio; jiondo-eni kutoka kwenye uchafu;msiulize, ili mle kwa btamaayenu, lakini ulizeni kwa uthabitiusiotingishika, kwamba msile-gee kwa majaribu yoyote, lakinikwamba mheshimu Mungu wakweli na caishiye.

29 Oneni kwamba hambatizwiabila kustahili; oneni kwambamsile sakaramenti ya Kristobbila kustahili; lakini mhakiki-she kwamba mnafanya vituvyote katika custahilifu, namvifanye katika jina la YesuKristo, Mwana wa Mungu ai-shiye; na mkifanya hivi, namvumilie hadi mwisho, ham-tatupwa nje kamwe.

30 Tazama, ninawazungumziakama aninayezungumza kutokakwa wafu; kwani najua kwambamtapokea maneno yangu.

31 Msinilaani kwa sababu yaaupungufu wangu, wala babayangu, kwa sababu ya upu-

ngufu wake, wala wale ambaowameandika mbele yake; wala-kini mshukuruni Mungu kwasababu amewaonyesha upu-ngufu wetu, ili mjifunze kuwana hekima zaidi yetu.

32 Na sasa, tazama, tumeandi-ka haya maandiko kulinganana kujua kwetu, katika herufiambazo zinaitwa miongonimwetu Kimisri akilichogeuzwa,ambacho kilitolewa na kugeu-zwa nasi, kulingana na njiayetu ya kuongea.

33 Na ikiwa bamba zetu zinge-kuwa kubwa za kutosha tunge-andika katika Kihebrania, lakiniKihebrania kimegeuzwa nasipia; na ikiwa tungeandika kati-ka Kihebrania; tazama, ham-ngekuwa na upungufu katikamaandishi yetu.

34 Lakini Bwana anajua vituambavyo tumeandika, na piakwamba watu wengine hawa-jui lugha yetu; na kwa sababuhakuna watu wengine wajuaolugha yetu, kwa ajili hii ameta-yarisha anjia ya kutafsiri.35 Na vitu hivi vimeandikwa

ili tuwe huru kutoka kwa juku-mu la dhambi zilizofanywa nandugu zetu, ambao wamefifiakwa akutoamini.

36 Na tazama, vitu hivi amba-vyo atumetaka kuhusu nduguzetu, ndio, hata kurudishwa

27a Moro. 10:30–32.b Yos. 22:5;

M&M 64:22, 34.mwm Moyo.

c Flp. 2:12.28a Yak. (KM) 6:12.

b mwm Tamaa mbaya.c Alma 5:13.

29a mwm Batiza,

Ubatizo—Sifazinazotakiwa kwaajili ya ubatizo.

b 1 Kor. 11:27–30;3 Ne. 18:28–32.

c mwm Kustahili,enye, Ustahiliki.

30a Morm. 8:26;Moro. 10:27.

31a Morm. 8:17;Eth. 12:22–28, 35.

32a 1 Ne. 1:2; Mos. 1:4.34a Mos. 8:13–18;

Eth. 3:23, 28;M&M 17:1.

35a 2 Ne. 26:15.36a Morm. 8:24–26;

M&M 10:46–49.

Page 620: KITABU CHA MORMONI

603 Mormoni 9:37–Etheri 1:6

kwao kwa ufahamu wa Kristo,vipo kulingana na sala za wata-katifu ambao waliishi katikanchi.37 Na ninaomba Bwana Yesu

Kristo awakubalie kwambasala zao zijibiwe kulingana na

imani yao; na namwombaMungu Baba akumbuke lile aga-no ambalo amefanya na nyu-mba ya Israeli; na ninaombaawabariki milele, kupitia kwaimani kwa jina la Yesu Kristo.Amina.

Kitabu cha Etheri

Maandishi ya Wayaredi, ambayo yalichukuliwa kutoka kwenye bambaishirini na nne zilizopatwa na watu wa Limhi katika siku za

mfalme Mosia.

MLANGO WA 1

Moroni anafupisha maandishi yaEtheri — Nasaba ya Etheri inato-lewa — Lugha ya Wayaredi haiku-changanywa katika Mnara waBabeli — Bwana anaahidi kuwao-ngoza kwenye nchi iliyochaguliwana awafanye taifa kubwa.

NA sasa mimi, aMoroni, na-endelea kutoa historia ya

wakazi wa zamani ambaowaliangamizwa na bmkono waBwana juu ya uso wa nchi hiiya kaskazini.2 Na ninachukua historia ya-

ngu kutoka kwenye zile bambaaishirini na nne ambazo zilipa-twa na watu wa Limhi, ambayoinaitwa Kitabu cha Etheri.3 Na kwa vile ninadhani

kwamba sehemu ya kwanza yamaandishi haya, ambayo ina-

zungumza kuhusu uumbaji wadunia, na pia wa Adamu, nahistoria kutoka wakati ule hatakwenye amnara mkubwa, navitu vyovyote vilivyojulikanamiongoni mwa watoto wa watuhadi wakati huo, iko miongonimwa Wayahudi —

4 Kwa hivyo siandiki vituhivyo ambavyo vilijulikanakutokea siku za aAdamu mpa-ka wakati huo; lakini vinawezakujulikana kwenye bamba; nayeyote atakayevipata, huyohuyo atakuwa na uwezo kwa-mba apate historia kamilifu.

5 Lakini tazama, sitatoa histo-ria kamilifu, lakini nitatoa tusehemu ya historia, kutokeawakati wa mnara mpaka wakatiwalipoangamizwa.

6 Na kwa njia hii ninatoa his-toria. Yule ambaye aliandika ni

[etheri]1 1a mwm Moroni,

Mwana wa Mormoni.b Morm. 5:23;

M&M 87:6–7.

2a Alma 37:21;Eth. 15:33.

3a Omni 1:22;Mos. 28:17;Hel. 6:28.

4a m.y. inajumuishakipindi sawa nacha Mwanzo,mlango wa 1–10.

Page 621: KITABU CHA MORMONI

Etheri 1:7–37 604aEtheri, na alikuwa mzao waKoriantori.

7 Koriantori alikuwa mwanawa Moroni.

8 Na Moroni alikuwa mwanawa Ethemu.

9 Na Ethemu alikuwa mwanawa Aha.

10 Na Aha alikuwa mwanawa Sethi.

11 Na Sethi alikuwa mwanawa Shibloni.

12 Na Shibloni alikuwa mwanawa Komu.

13 Na Komu alikuwa mwanawa Koriantumu.

14 Na Koriantumu alikuwamwana wa Amnigada.

15 Na Amnigada alikuwamwana wa Haruni.

16 Na Haruni alikuwa mzaowa Hethi, ambaye alikuwamwana wa Hearthomu.

17 Na Hearthomu alikuwamwana wa Libu.

18 Na Libu alikuwa mwanawa Kishi.

19 Na Kishi alikuwa mwanawa Koromu.

20 Na Koromu alikuwa mwanawa Lawi.

21 Na Lawi alikuwa mwanaKimu.

22 Na Kimu alikuwa mwanawa Moriantoni.

23 Na Moriantoni alikuwamzao wa Riplakishi.

24 Na Riplakishi alikuwamwana wa Shezi.

25 Na Shezi alikuwa mwanawa Hethi.

26 Na Hethi alikuwa mwanawa Komu.

27 Na Komu alikuwa mwanawa Koriantumu.

28 Na Koriantumu alikuwamwana wa Emeri.

29 Na Emeri alikuwa mwanawa Omeri.

30 Na Omeri alikuwa mwanawa Shule.

31 Na Shule alikuwa mwanawa Kibu.

32 Na Kibu alikuwa mwanawa Oriha, ambaye alikuwamwana wa Yaredi;

33 aYaredi ambaye alitoka nakaka yake na jamaa zao, nawengine na jamaa zao, kutokakwa mnara mkubwa, wakatiBwana balipochanganya lughaza watu, na kuapa katika gha-dhabu yake kwamba atawata-wanya juu ya cuso wa dunia; nakulingana na neno la Bwanawatu walitawanywa.

34 Na akaka ya Yaredi akiwamkubwa na mwenye nguvu,na mtu aliyependelewa sana naBwana, Yaredi, kaka yake, ali-mwambia; msihi Bwana, kwa-mba asituchanganyie lugha ilitusielewane maneno yetu.

35 Na ikawa kwamba kaka yaYaredi aliomba kwa Bwana,na Bwana alimhurumia Yaredi;kwa hivyo hakuchanganyalugha ya Yaredi, na Yaredi nakaka yake hawakuchafuliwa.

36 Halafu Yaredi akamwambiakaka yake: Omba tena kwaBwana, na iwe kwamba asiwena hasira kwa wale ambao nimarafiki zetu, ili asichafuelugha yao.

37 Na ikawa kwamba kaka ya

6a Eth. 12:2; 15:34.33a mwm Yaredi.

b Mwa. 11:6–9.c Mos. 28:17.

34a mwm Yaredi,Kaka wa.

Page 622: KITABU CHA MORMONI

605 Etheri 1:38–2:2

Yaredi alimwomba Bwana, naBwana akawa na huruma kwamarafiki zao na jamaa zao pia,kwamba hawakuchafuliwa.38 Na ikawa kwamba Yaredi

alimzungumzia kaka yake tena,akisema: Nenda na ukamwulizeBwana kama atatufukuza ku-toka nchini, na ikiwa atatufu-kuza kutoka nchini, mwulizekule ambako tutaenda. Na labdaBwana atatuchukua kwenyenchi ambayo ni nchi ailiyocha-guliwa kuliko zote dunianikote? Na ikiwa itakuwa hivyo,acha tuwe waaminifu kwaBwana, ili tuweze kuipokeakwa urithi wetu.

39 Na ikawa kwamba kakaya Yaredi alimwomba Bwanakulingana na yale ambayo yali-zungumzwa na mdomo waYaredi.

40 Na ikawa kwamba Bwanaalimsikiliza kaka ya Yaredi, naakawa na huruma juu yake, nakusema kwake:

41 Nenda na ukakusanyepamoja wanyama wako, wotewa kiume na wa kike wa kilan a m n a ; n a p i a m b e g u y audongoni ya kila namna; naa jamaa yako; na pia Yaredikaka yako na jamaa yake; napia marafiki zako na jamaazao, na bmarafiki za Yaredi najamaa zao.

42 Na baada ya kufanya hiviautawaongoza chini hadi kwe-nye bonde ambalo liko upandewa kaskazini. Na huko nitaku-kuta, na bnitakuongoza kwenye

nchi ambayo ni cbora kulikonchi zote duniani.

43 Na huko nitawabariki nauzao wenu, na nitauinua uzaowako kwa yangu, na uzao wakaka yako, na wale ambaowataenda nawe, taifa kubwa.Na hakutakuwa taifa kubwakuliko taifa ambalo nitakalolipauzao wako, juu ya uso wadunia yote. Na hii nitakufanyiakwa sababu ya muda huu mrefuambao umeomba kwangu.

MLANGO WA 2

Wayaredi wanajiandaa kwa safarikuelekea nchi ya ahadi — Ni nchiiliyochaguliwa ambamo kwakewatu lazima wamtumikie Kristoau waangamizwe — Bwana anam-zungumzia kaka ya Yaredi kwamasaa matatu — Wayaredi wana-jenga mashua — Bwana anamwu-liza kaka ya Yaredi atoe shauri jinsimashua zitakavyopata mwangaza.

Na ikawa kwamba Yaredi nakaka yake, na jamaa zao, na piamarafiki za Yaredi na kaka yakena jamaa zao, walienda chinikwenye bonde ambalo lilikuwaupande wa kaskazini, (na jinala lile bonde lilikuwa aNimro-di, ikiwa liliitwa baada ya yulemwindaji mashuhuri) na wa-nyama wao ambao walikuwawamewakusanya pamoja, wa ki-ume na wa kike, wa kila namna.

2 Na waliweka mitego na ku-shika ndege wa hewani; na piawalitayarisha chombo, ambamo

38a mwm Nchi ya Ahadi.41a Eth. 6:20.

b Eth. 6:16.

42a 1 Ne. 2:1–2;Ibr. 2:3.

b M&M 84:88.

c 1 Ne. 13:30.2 1a Mwa. 10:8.

Page 623: KITABU CHA MORMONI

Etheri 2:3–12 606

ndani yake wangebebea samakiwa majini.3 Na pia walijibebea desereti,

ambayo, kwa tafsiri, ni nyukiwa asali; na hivyo walibebavikundi vya nyuki, na kila ainaya kile kilichokuwako juu yauso wa nchi, mbegu za kila aina.

4 Na ikawa kwamba baada yahao kuja chini kwenye bonde laNimrodi Bwana alikuja chinina kuongea na kaka ya Yaredi;na alikuwa kwenye awingu, nakaka ya Yaredi hakumwona.5 Na ikawa kwamba Bwana

aliwaamuru waende mbele nyi-kani, ndio, katika ile sehemuambako mtu hajawai kuwa. Naikawa kwamba Bwana aliwao-ngoza, na alizungumza naoakiwa katika awingu, na aka-waonyesha njia ya kusafiri.

6 Na ikawa kwamba walisafirinyikani, na walijenga mashua,ambamo walivuka maji mengi,wakiongozwa wakati wote namkono wa Bwana.

7 Na Bwana hangekubali kwa-mba wasimame mbele ya baharinyikani, lakini alitaka kwambawaje mbele hata mpaka kwenyeanchi ya ahadi, ambayo ilikuwanzuri kuliko nchi zingine zote,ambayo Bwana Mungu alikuwaamehifadhi kwa watu wenyehaki.8 Na alikuwa ameapa kwenye

ghadhabu yake kwa kaka yaYaredi, kwamba yeyote ataka-yemiliki nchi hii ya ahadi, ku-

tokea wakati huo na kuendeleamilele, lazima aamtumikie, yuleMungu wa kweli na wa pekee,au bwaangamizwe utimilifu waghadhabu ya Mungu ukiwajia.

9 Na sasa, tunaweza kuonaamri za Mungu kuhusu nchihii, kwamba ni nchi ya ahadi;na taifa lolote litakaloimilikilitamtumikia Mungu, au wata-angamizwa wakati utimilifuwa ghadhabu yake, utakuja juuyao. Na utimilifu wa ghadhabuyake huja juu yao baada yawao kuwa waovu sana.

10 Kwani tazama, hii ni nchiambayo ni nzuri kuliko nchizingine zote; kwa hivyo yuleatakayeimiliki atamtumikia Mu-ngu au ataangamizwa; kwanini amri isiyo na mwisho ya Mu-ngu. Na haitakuwako mpakaautimilifu wa uovu miongonimwa watu wa nchi hii, ndipobwataangamizwa.

11 Na hii itakuja kwenu, Eenyinyi aWayunani, ili mjue amriza Mungu — kwamba mpatekutubu, na msiendelee mpakautimilifu wa uovu wenu utaka-vyotimia, kwamba msilete uti-milifu wa ghadhabu ya Mungujuu yenu kama wakazi wa nchihii walivyofanya.

12 Tazama, hii ni nchi nzuri,na taifa lolote litakaloimiliki li-takuwa ahuru kutoka utumwa,na kutoka kifungo, na kutokakwa mataifa mengine yote chiniya mbingu, ikiwa bwatamtumi-

4a Hes. 11:25;M&M 34:7–9;JS—H 1:68.

5a Kut. 13:21–22.7a 1 Ne. 4:14.

mwm Nchi ya Ahadi.8a Eth. 13:2.

b Yar. 1:3, 10;Alma 37:28;Eth. 9:20.

10a 2 Ne. 28:16.b 1 Ne. 17:37–38.

11a 2 Ne. 28:32.12a mwm Uhuru.

b Isa. 60:12.

Page 624: KITABU CHA MORMONI

607 Etheri 2:13–19

kia Mungu wa pekee katikanchi, ambaye ni Yesu Kristo,ambaye amedhihirishwa na vituambavyo tumeviandika.13 Na sasa ninaendelea na ma-

andishi yangu; kwani tazama,ikawa kwamba Bwana alimletaYaredi na ndugu zake mbelehata kwenye hiyo bahari kubwaambayo inagawanya nchi. Nawalipokaribia bahari walipigahema zao; na waliita mahalapale Moriankumeri; na walii-shi kwenye hema, na wakaishikatika hema kwenye ukingowa bahari kwa muda wa miakaminne.

14 Na ikawa katika mwishowa miaka minne kwambaBwana alikuja tena kwa kakaya Yaredi, na akasimama katikawingu na kuongea na yeye. Nakwa muda wa masaa matatu,Bwana aliongea na kaka yaYaredi, na akumkemea kwasababu hakukumbuka bkulili-ngana jina la Bwana.15 Na kaka ya Yaredi alitubu

uovu aliofanya, na akalilinganajina la Bwana kwa niaba yandugu zake aliokuwa nao. NaBwana akamwambia: Nitaku-samehe na ndugu zako kutokakwa dhambi zao; lakini hutafa-nya dhambi mara nyingine,kwani utakumbuka kwambaaRoho yangu bhaitajishughuli-sha na mwanadamu kila mara;kwa hivyo, kama utafanyadhambi mpaka ufike mwisho,utakatiliwa mbali kutoka kwe-nye uwepo wa Bwana. Na hizi

ndizo fikira zangu juu ya nchiambayo nitakupatia kwa urithi;kwani itakuwa nchi cnzurikuliko nchi zote.

16 Na Bwana alisema: Nendaufanye kazi na ujenge, aina yamashua ambayo mmejenga hadisasa. Na ikawa kwamba kakaya Yaredi alienda kazini, na piandugu zake, na kujenga mashuakama aina ambayo walikuwawamejenga, kulingana na ama-fundisho ya Bwana. Na yaliku-wa madogo, na yalikuwa me-pesi juu ya maji, hata kamawepesi wa ndege arukaye juuya maji.

17 Na yalijengwa kwa ainamoja kwamba yalikuwa ayame-kazwa sana, kwamba yange-shikilia maji kama vile sahaniinavyofanya; na chini yake ili-kuwa ya kukazwa sana kamasahani; na pande zilikuwa zime-kazwa kama sahani; na nchazilichungoka; na juu yake ili-kuwa imekazwa kama sahani;na urefu wake ulikuwa urefuwa mti; na mlango wake, baadaya kufungwa, ulikazika kamasahani.

18 Na ikawa kwamba kaka yaYaredi aliomba kwa Bwana,akisema: Ee Bwana, nimefanyakazi ambayo uliniamuru, nanimetengeneza mashua kamavile ulivyoniongoza.

19 Na tazama, Ee Bwana, nda-ni zao hamna mwangaza; tutai-elekeza wapi? Na pia tutaanga-mia, kwani ndani yao hatuwezikupumua, isipokuwa tu hewa

14a mwm Kurudi,Kurudiwa.

b mwm Sala.

15a Eth. 15:19.b Mwa. 6:3; 2 Ne. 26:11;

Morm. 5:16.

c Eth. 9:20.16a 1 Ne. 17:50–51.17a Eth. 6:7.

Page 625: KITABU CHA MORMONI

Etheri 2:20–3:2 608

iliyomo ndani yao; kwa hivyotutaangamia.20 Na Bwana akamwambia

kaka ya Yaredi: Tazama, utato-boa tundu upande wa juu, napia upande wa chini; na wakatimtakapokosa hewa mtafunguatundu na mpokee hewa. Na iki-wa itakuwa kwamba maji yata-ingia ndani kwenu, tazama,mtafunga tundu, ili msife katikamafuriko.

21 Na ikawa kwamba kaka yaYaredi alifanya vile, kulinganana Bwana alivyomwamuru.

22 Na akaomba tena kwaBwana akisema: Ee Bwana,tazama nimefanya hata vileulivyoniamuru; na nimetayari-sha vyombo kwa watu wangu,na tazama hakuna mwangazandani yao. Tazama, Ee Bwana,utakubali tuvuke haya majimengi kwenye giza?

23 Na Bwana akamwambiakaka ya Yaredi: Ungetaka nifa-nye nini ili muwe na mwangazakwenye mashua yenu? Kwanitazama, hamwezi kuwa namadirisha, kwani yatavunjwavipande vipande; wala hamwe-zi kubeba moto, kwani hamtae-nda kwa mwanga wa moto.

24 Kwani tazama, mtakuwakama nyangumi katikati yabahari; kwani milima ya mawi-mbi yatawaangukia. Hata hivyo,nitawarudisha juu tena kutokakwenye kilindi cha bahari;kwani apepo hutoka katikamdomo wangu, na pia bmvua namafuriko hutolewa na mimi.

25 Na tazama, ninawatayari-

sha dhidi ya vitu hivi; kwanihamwezi kuvuka hiki kilindikikubwa isipokuwa niwataya-rishe dhidi ya mawimbi yabahari, na pepo ambazo zime-vuma, na mafuriko ambayoyatakuja. Kwa hivyo unatakanikutayarishie nini ili muwe namwangaza ndani ya kilindi chabahari?

MLANGO WA 3

Kaka ya Yaredi anaona kidolecha Bwana anapogusa mawe kumina sita — Kristo anadhihirishamwili wake wa kiroho kwa kaka yaYaredi — Wale ambao wana elimukamili hawawezi kuwekwa nyumaya pazia—Mafafanuzi yanatolewakufanya maandishi ya Kiyaredikujulikana.

Na ikawa kwamba kaka yaYaredi, (sasa idadi ya mashuaambazo zilikuwa zimetayari-shwa zilikuwa nane) aliendambele kwenye mlima, ambaowaliuita mlima Shelemu, kwasababu ya urefu wake mwingi,na akachonga mawe madogokumi na sita kutoka kwenyemwamba; na yalikuwa meupena safi, hata kama kioo kilichowazi; na aliyabeba katika mi-kono yake hadi juu ya kilelecha mlima, na akaomba tenakwa Bwana, akisema:

2 Ee Bwana, umesema kwambalazima tuzungukwe na mafuri-ko. Sasa tazama, Ee Bwana, nausiwe na hasira na mtumishiwako kwa sababu ya udhaifu

24a Eth. 6:5. b Zab. 148:8.

Page 626: KITABU CHA MORMONI

609 Etheri 3:3–12

wake mbele yako; kwani tuna-jua kwamba wewe ni mtakatifuna unaishi mbinguni, na sisihatufai mbele yako; kwa sababuya amwanguko bmaumbile yetuyamekuwa maovu siku zote;walakini, Ee Bwana, umetupa-tia amri kwamba tukulingane,kwamba kutoka kwako tunge-pokea mahitaji yetu.3 Tazama, Ee Bwana, umetua-

dhibu kwa sababu ya uovuwetu, na umetusukuma mbele,na katika hii miaka mingi tume-kuwa katika nyika; walakini,umekuwa mwenye ahurumakwetu. Ee Bwana, nitazame nahuruma, na ugeuze hasira yakokutoka kwa watu hawa, nausikubali kwamba wavuke hiibahari katika giza; lakini tazamavitu hivi ambavyo nimechongakutoka katika mwamba.

4 Na nina jua , Ee Bwana,kwamba una auwezo wote, naunaweza kufanya chochote upe-ndacho kwa faida ya binadamu;kwa hivyo gusa haya mawe, EeBwana, na kidole chako, nauyatayarishe kwamba yaangazekwenye giza; na yatang’aakwetu ndani ya mashua ambayotumetayarisha, ili tuweze kuwana mwangaza tutakapovukabahari.

5 Tazama, Ee Bwana, unawezakufanya hivi. Tunajua kwambaunaweza kuonyesha mbeleuwezo wako mkuu, ambaoaunaonekana mdogo katika ma-cho ya watu.

6 Na ikawa kwamba baadaya kaka ya Yaredi kusema ma-neno haya, tazama, aBwana ali-nyoosha mbele mkono wake nak u g u s a y a l e m a w e m o j amoja kwa kidole chake. Nabpazia lilitolewa machoni mwakaka ya Yaredi, na akaona ki-dole cha Bwana; na kilikuwakama kidole cha mtu, sawakama mwili na damu; na kakaya Yaredi alianguka chini mbe-le ya Bwana, kwani alikumbwana woga.

7 Na Bwana aliona kwambakaka ya Yaredi alikuwa amea-nguka chini; na Bwana akase-ma kwake: Amka, kwa niniumeanguka?

8 Na akamwambia Bwana:Niliona kidole cha Bwana, nanikaogopa asije akanipiga; kwa-ni sikujua kama Bwana anaomwili na damu.

9 Na Bwana akamwambia:Kwa sababu ya imani yakoumeona kwamba nitachukuajuu yangu amwili na damu; nahakujakuwa na mtu aliyekujakwangu mbeleni na imani ku-bwa vile umefanya; kwani kamahungekuwa hivyo hungeonakidole changu. Je, uliona zaidiya hii?

10 Na akajibu: Hapana; Bwana,jidhihirishe kwangu.

11 Na Bwana akamwambia:utaamini maneno ambayo nita-sema?

12 Na akajibu: Ndio, Bwana,najua kwamba wewe husema

3 2a mwm Anguko laAdamu na Hawa.

b Mos. 3:19.3a Eth. 1:34–43.

4a mwm Uwezo.5a Isa. 55:8–9;

1 Ne. 16:29.6a mwm Yesu Kristo.

b Eth. 12:19, 21.9a mwm Hali ya kufa,

Kufa, enye; Nyama;Yesu Kristo.

Page 627: KITABU CHA MORMONI

Etheri 3:13–21 610

ukweli, kwani wewe u Munguwa ukweli, na ahuwezi kuda-nganya.13 Na baada ya kusema haya

maneno, tazama, Bwana aaliji-onyesha kwake, na kusema:Kwa bsababu unajua vitu hiviumekombolewa kutoka kwe-nye mwanguko; kwa hivyoumerudishwa kwenye uwepowangu; kwa hivyo cninajionye-sha kwako.

14 Tazama, ni mimi yule ali-yetayarishwa kutoka mwanzowa dunia akuokoa watu wa-ngu. Tazama, mimi ni YesuKristo. Mimi ni bBaba na Mwa-na. Ndani yangu binadamuwote watapata cmaisha, nakwamba milele, hata wale wa-takaoamini kwa jina langu; nawatakuwa dwana wangu namabinti zangu.

15 Na kamwe sijajionyeshakwa binadamu ambaye nilimu-umba, kwani binadamu ahajaa-mini kwangu vile umefanya.Je, unaona kwamba uliumbwakwa bmfano wangu? Ndio, hatawatu wote waliumbwa katikamwanzo kwa jinsi ya kamamaumbile yangu.

16 Tazama, huu mwili, ambaounauona sasa, ni mwili waaroho yangu; na nimemuumbamtu jinsi ya mwili wangu waroho; na hata ninavyoonekanakwako kuwa katika roho ndivyo

nitakavyoonekana kwa watuwangu katika mwili.

17 Na sasa, kwa vile mimi,Moroni, nilisema siwezi kua-ndika historia kamili ya vituhivi ambavyo vimeandikwa,kwa hivyo, ninatosheka kusemakwamba Yesu alijionyesha kwamtu huyu katika roho, hata jinsiaalivyojionyesha kwa Wanefi.18 Na alimhudumia kama ali-

vyowahudumia Wanefi; na ali-fanya haya yote, ili huyu mtuajue kwamba alikuwa Mungu,kwa sababu ya matendo mengimakubwa ambayo Bwana ali-kuwa amemwonyesha.

19 Na kwa sababu ya ufahamuwa huyu mtu hangeweza kuzui-wa kuona ndani ya apazia; naaliona kidole cha Yesu, amba-cho, baada ya kukiona, aliangu-ka kwa woga; kwani alijua kwa-mba kilikuwa kidole cha Bwana;na hakuwa na imani tena, kwanialijua, bila tashwishi.

20 Kwa hivyo, akiwa na hiielimu kamilifu ya Mungu,ahangeweza kuwekwa kwenyepazia; kwa hivyo alimwonaYesu; na akamhudumia.

21 Na ikawa kwamba Bwanaalimwambia kaka ya Yaredi:Tazama, hutaruhusu lolote lavitu hivi ambavyo umeonana kusikia kufunuliwa kwaulimwengu, mpaka awakatiutakapotimia nitakapolitukuza

12a Ebr. 6:18.13a M&M 67:10–11.

b Eno. 1:6–8.c mwm Yesu Kristo—

Kuwepo kwa Kristokabla ya kuzaliwaduniani.

14a mwm Komboa,

Kombolewa,Ukombozi;Mkombozi.

b Mos. 15:1–4.c Mos. 16:9.d mwm Wana na

Mabinti wa Mungu.15a mwm Amini, Imani.

b Mwa. 1:26–27;Mos. 7:27;M&M 20:17–18.

16a mwm Roho.17a 3 Ne. 11:8–10.19a mwm Pazia.20a Eth. 12:19–21.21a Eth. 4:1.

Page 628: KITABU CHA MORMONI

611 Etheri 3:22–4:3

jina langu katika mwili; kwahivyo, utaweka vitu hivi amba-vyo umeviona na kus ik iakwako, na usimwonyeshe mtuyeyote.22 Na tazama, utakapokuja

kwangu, utaviandika na kufu-nga, ili mtu yeyote asiwezekuvitafsiri; kwani utaviandikakwa lugha ambayo haiwezikusomeka.

23 Na tazama, haya mawe ama-wili nitakukabidhi, nawe uta-yafunga pia pamoja na vituutakavyoandika.

24 Kwani tazama, lugha amba-yo utaandika nimeichanganya;kwa hivyo nitasababisha kwawakati wangu unaonifaa kwa-mba haya mawe yatakuzamacho ni pa binadamu vituhivi ambavyo utaandika.

25 Na baada ya Bwana kusemahaya maneno, alimwonyeshakaka ya Yaredi wakazi awotewa dunia ambao walikuwepo,na pia wote watakaokuwepo; nahakuwaficha kutoka kwenyeuwezo wake wa kuona, hatahadi kwenye mwisho wa dunia.

26 Kwani alikuwa amemwa-mbia mbeleni, aikiwa batamwa-mini kwamba angemwonyeshavitu cvyote — kwamba atao-nyeshwa; kwa hivyo Bwanahakuweza kumzuia lolote,kwani alijua kwamba Bwanaangemwonyesha vitu vyote.27 Na Bwana akamwambia:

Andika vitu hivi na uvitie amu-huri; na nitavidhihirisha kwa

watoto wa watu katika mudawangu unaonifaa.

28 Na ikawa kwamba Bwanaalimwamuru kwamba kuyafu-ngia yale amawe mawili ambayoalikuwa amepokea, na asiyao-nyeshe kwa yeyote, mpakaBwana atakapoyadhihirishakwa watoto wa watu.

MLANGO WA 4

Moroni anaamrishwa kuyafungiamaandishi ya kaka ya Yaredi —Hayatafunuliwa mpaka watu wotewatakapokuwa na imani kama yakaka ya Yaredi — Kristo anaamri-sha watu wote waamini manenoyake, na yale ya wanafunzi wake— Watu wanaamrishwa watubu,waamini injili, na waokolewe.

Na Bwana alimwamuru kakaya Yaredi aende chini kutokamlimani kutoka kwenye uwepowa Bwana, na aaviandike vitualivyokuwa ameviona; na vili-katazwa kuonekana na watotowa watu bmpaka atakapoinuli-wa juu ya msalaba; na kwasababu hii mfalme Mosia ali-vificha, kwamba visijulikaneduniani mpaka Kristo atakapo-jidhihirisha kwa watu wake.

2 Na baada ya Kristo kujidhi-hirisha kwa ukweli kwa watuwake aliamrisha kwamba viju-likane.

3 Na sasa, baada ya hayo,wote wamefifia katika kutoami-ni; na hakuna yeyote isipokuwa

23a mwm Urimu naThumimu.

25a Musa 1:8.26a Eth. 3:11–13.

b mwm Amini, Imani.c Eth. 4:4.

27a 2 Ne. 27:6–8.28a M&M 17:1.

4 1a Eth. 12:24.mwm Maandiko.

b Eth. 3:21.

Page 629: KITABU CHA MORMONI

Etheri 4:4–12 612

Walamani, na wamekataa injiliya Kristo; kwa hivyo nimeam-riwa kwamba anivifiche tenaardhini.

4 Tazama, nimeandika juu yabamba hizi vitu vivyo hivyoambavyo kaka ya Yaredi alivi-ona; na hakujakuwa vitu viku-bwa vilivyoonyeshwa kulikohivyo ambavyo vilionyeshwakwa kaka ya Yaredi.

5 Kwa hivyo Bwana amenia-muru niviandike; na nimevia-ndika. Na aliniamuru kwambaanivifunge; na pia ameniamurukwamba nifungie btafsiri yake;kwa hivyo nimeifungia tafsiri,kulingana na amri ya Bwana.6 Kwani Bwana aliniambia:

Havitawaendea Wayunani mpa-ka siku watakapotubu uovuwao, na kuwa safi mbele yaBwana.

7 Na katika siku hiyo wataka-pofanya imani kwangu, asemaBwana, hata kama kaka yaYaredi alivyofanya, kwambaawatakaswe kupitia kwangu,ndipo nitawaonyesha vituambavyo kaka ya Yaredi alivi-ona, hata kwa kuwakunjuliaufunuo wangu wote, anasemaYesu Kristo, Mwana wa Mungu,bBaba wa mbingu na wa dunia,na vitu vyote vilivyomo.

8 Na yule ambaye aatapinganana neno la Bwana, acha alaani-we; na yule ambaye batakana

vitu hivi, acha alaaniwe; kwanikwao, csitaonyesha vitu viku-bwa zaidi, anasema Yesu Kristo;kwani ni mimi ninayezungumza.

9 Na kwa amri yangu mbinguhufunguliwa na akufungwa; nakwa neno langu bdunia itatete-meka; na kwa amri yanguwakazi wake watakufa, kamawaliochomwa na moto.

10 Na yule ambaye haaminimaneno yangu, haamini wana-funzi wangu; na ikiwa hivyokwamba sisemi, hukumu wewe;kwani utajua kwamba ni mimininayezungumza, katika sikuya amwisho.11 Lakini yule aaaminiye ma-

neno haya ambayo nimesema,yeye nitamtembelea na ufunuowa Roho yangu, na atajua nakushuhudia. Kwani kwa saba-bu ya Roho yangu batafahamukwamba vitu hivi ni vya ckweli;kwani huwashawishi watukutenda mema.

12 Na kitu chochote ambachohushawishi watu kutenda memani changu; kwani amema haya-toki kwa yeyote isipokuwakwangu. Mimi ni yule yuleambaye huongoza watu kwawema wote; yule ambaye bha-taamini maneno yangu hatani-amini — kwamba ni mimi; nayule ambaye hataniamini hata-mwamini Baba ambaye alinitu-ma. Kwani tazama, mimi ni

3a Morm. 8:14.5a Eth. 5:1.

b M&M 17:1;JS—H 1:52.mwm Urimu naThumimu.

7a mwm Utakaso.b Mos. 3:8.

8a 3 Ne. 29:5–6;Morm. 8:17.

b 2 Ne. 27:14; 28:29–30.c Alma 12:10–11;

3 Ne. 26:9–10.9a 1 Fal. 8:35; M&M 77:8.

b Hel. 12:8–18;Morm. 5:23.

10a 2 Ne. 33:10–15.11a M&M 5:16.

b mwm Ushuhuda.c Eth. 5:3–4;

Moro. 10:4–5.12a Alma 5:40;

Moro. 7:16–17.b 3 Ne. 28:34.

Page 630: KITABU CHA MORMONI

613 Etheri 4:13–5:1

Baba, mimi ni cmwangaza, nadmaisha, na ukweli wa dunia.13 aNjooni kwangu, Ee nyinyi

Wayunani, na nitawaonyeshavitu vikuu zaidi, ufahamuambao umefichwa kwa sababuya kutoamini.14 Njooni kwangu, Ee nyinyi

nyumba ya Israeli, na itafa-nywa akujulikana kwenu jinsiBaba alivyoweka vitu kwenu,kutokea msingi wa dunia; nahaijawafikia, kwa sababu yakutoamini.

15 Tazama, wakati mtakapo-pasua lile pazia la kutoaminiambalo linawasababisha kubakikatika hali yenu ya kutisha yauovu, na ugumu wa moyo, naupofu wa akili, ndipo vituvikubwa na vya kustaajabishaambavyo avilifichwa kutokeamwanzo wa dunia kutokakwenu — ndio, wakati mtaka-pomlingana Baba katika jinalangu, na moyo uliopondekana roho iliyovunjika, ndipomtajua kwamba Baba ameku-mbuka agano ambalo alifanyana babu zenu, Ee nyumba yaIsraeli.

16 Na ndipo aufunuo wanguambao nimesababisha kuandi-kwa na mtumishi wangu Yoha-na utakunjuliwa machoni mwawatu wote. Kumbuka, wakatimtakapoona vitu hivi, mtajuakwamba wakati uko karibu

kwamba vitafanywa kuwa wazikabisa.

17 Kwa hivyo, amtakapopokeahaya maandishi mjue kwambakazi ya Baba imeanza juu yauso wa nchi.

18 Kwa hivyo, atubuni enyimiisho ya dunia, na mje kwa-ngu, na mwamini katika injiliyangu, na bmbatizwe katikajina langu; kwani yule ambayeanaamini na kubatizwa atako-mbolewa; lakini yule ambayehaamini atalaaniwa; na cisharazitaonyeshwa kwa wale ambaowanaamini katika jina langu.

19 Na ana baraka yule ataka-yepatikana akiwa amwaminifukwa jina langu katika sikuya mwisho, kwani atainuliwakuishi katika ufalme uliotayari-shwa bkutokea mwanzo wa du-nia. Na tazama ni mimi ambayenimezungumza. Amina.

MLANGO WA 5

Mashahidi watatu na kazi yenyewewatasimama kama ushuhuda waukweli wa Kitabu cha Mormoni.

Na sasa mimi, Moroni, nimea-ndika maneno ambayo niliamri-wa, kulingana na uwezo wanguwa kukumbuka; na nimekwa-mbia vitu ambavyo animeifu-ngia; kwa hivyo usiviguse iliuvitafsiri; kwani kitu kile kime-

12c mwm Nuru, Nuruya Kristo.

d Yn. 8:12; Alma 38:9.13a 3 Ne. 12:2–3.14a M&M 121:26–29.15a 2 Ne. 27:10.16a Ufu. 1:1;

1 Ne. 14:18–27.

17a 3 Ne. 21:1–9, 28.18a 3 Ne. 27:20;

Moro. 7:34.b Yn. 3:3–5.

mwm Batiza,Ubatizo—Muhimu.

c mwm Vipawa vyaRoho.

19a Mos. 2:41;M&M 6:13.mwm Yesu Kristo—Kujichukulia Jina laYesu Kristo juu yetu.

b 2 Ne. 9:18.5 1a 2 Ne. 27:7–8, 21;

Eth. 4:4–7.

Page 631: KITABU CHA MORMONI

Etheri 5:2–6:5 614

katazwa kwako, isipokuwa ba-adaye itakuwa hekima kwaMungu.2 Na tazama, ungekubaliwa

kwamba ungeonyesha bambakwa awale ambao watasaidiakwa kuileta mbele hii kazi;

3 Na kwa awatatu zitaonye-shwa kwa uwezo wa Mungu;kwa hivyo bwatajua kwa haki-ka kwamba vitu hivi ni vyackweli.4 Na kwa vinywa vya amasha-

hidi watatu vitu hivi vitadhihiri-shwa; na ushuhuda wa watatu,na kazi hii, ambamo kwake ku-taonyeshwa uwezo wa Munguna pia neno lake, ambalo Baba,na Mwana, na Roho Mtakatifuwanashuhudia — na haya yoteyatasimama kama ushuhudadhidi ya dunia katika siku yamwisho.

5 Na ikiwa itakuwa kwambawatatubu na akurudi kwa Babakatika jina la Yesu, watapokele-wa kwenye ufalme wa Mungu.6 Na sasa, ikiwa sina mamlaka

kwa vitu hivi, hukumuni nyi-nyi; kwani mtajua kwamba ni-nayo mamlaka mtakaponiona,na tutasimama mbele ya Mungukatika siku ya mwisho. Amina.

MLANGO WA 6

Mashua ya Kiyaredi inaendeshwakwa upepo hadi kwenye nchi yaahadi — Watu wanamsifu Bwana

kwa uzuri wake—Oriha anateuli -wa mfalme juu yao — Yaredi nakaka yake wanafariki.

Na sasa mimi, Moroni, ninae-ndelea kutoa maandishi yaYaredi na kaka yake.

2 Kwani ikawa baada ya Bwa-na kutayarisha amawe ambayokaka ya Yaredi alikuwa amebe-ba juu ya mlima, kaka ya Yaredialishuka chini kutoka kwenyemlima, na kuweka mawe katikamashua ambayo ilitayarishwa,moja kwa kila mashua; na taza-ma, yalitoa mwangaza ndaniya mashua.

3 Na hivyo Bwana alisababi-sha mawe kutoa nuru gizani,kutoa mwangaza kwa wanau-me, wanawake, na watoto, iliwasivuke maji mengi gizani.

4 Na ikawa kwamba baada yakutayarisha namna yote yavyakula, kwamba wangeishikwenye maji, na pia vyakulakwa wanyama wao na mifugoyao, na kila mnyama au ndegewaliokuwa wamewabeba — naikawa kwamba baada ya kufa-nya vitu hivi vyote walijipakiakwenye vyombo au mashua,na kuanza mwendo kuelekeabaharini, wakimtegemea BwanaMungu wao awalinde.

5 Na ikawa kwamba BwanaMungu alisababisha kwambakuweko na upepo amkali uta-kaovuma juu ya maji kuelekeaile nchi ya ahadi; na hivyo

2a 2 Ne. 27:12–14;M&M 5:9–15.

3a 2 Ne. 11:3; 27:12.b M&M 5:25.c Eth. 4:11.

4a Tazama M & M

sehemu ya 17 kichwana aya ya 1 & 3;tazama pia Ushuhudawa MashahidiWatatu katikakurasa za utangulizi

za Kitabu chaMormoni.

5a Morm. 9:27;Moro. 10:30–32.

6 2a Eth. 3:3–6.5a Eth. 2:24–25.

Page 632: KITABU CHA MORMONI

615 Etheri 6:6–19

walitupwa juu ya mawimbi yabahari mbele ya upepo.6 Na ikawa kwamba mara

nyingi walizikwa kwenye kili-ndi cha bahari, kwa sababuya milima ya mawimbi amba-yo iliwaangukia, na pia tufanikubwa za kuogofya ambazozilisababishwa na ukali waupepo.

7 Na ikawa kwamba walipo-zikwa katika kilindi hakukuwana maji ambayo yangewaumiza,jinsi mashua yao ilivyokuwaaimekazwa kama bakuli, na piailikazwa kama bsafina ya Nuhu;kwa hivyo wakati walizingirwana maji mengi walimwombaBwana, na aliwaleta tena njejuu ya maji.8 Na ikawa kwamba upepo

haukukoma kamwe kuvumakuelekea ile nchi ya ahadiwakati walikuwa juu ya maji;na hivyo walipelekwa mbele yaupepo.

9 Na awaliimba nyimbo zasifa kwa Bwana; ndio, kaka yaYaredi aliimba sifa kwa Bwana,na balimshukuru na kumsifuBwana siku yote nzima; nausiku ulipofika, hawakukomakumsifu Bwana.

10 Na hivyo walisukumwambele; na hakuna mnyamamkubwa wa baharini ambayeangewavunja, wala nyangumiambaye angewaharibu; na wa-likuwa na mwangaza daima,hata wakiwa chini ya maji aujuu ya maji.

11 Na hivyo ndivyo walivyo-pelekwa mbele, kwa siku miatatu arubaini na nne juu ya maji.

12 Na walitua kwenye ukingowa nchi ya ahadi. Na baadaya kuweka miguu yao juu yaukingo wa nchi ya ahadi wali-sujudu chini juu ya nchi, nawakajinyenyekeza mbele yaBwana, na machozi ya shangweyakatiririka mbele ya Bwana,kwa sababu ya wingi wa wororowa rehema yake juu yao.

13 Na ikawa kwamba waliendajuu ya uso wa nchi, na wakaa-nza kulima ardhi.

14 Na Yaredi alikuwa na wanawanne; na waliitwa Yakomu, naGilga, na Maha, na Oriha.

15 Na kaka ya Yaredi pia alizaawana na mabinti.

16 Na amarafiki za Yaredi nakaka yake walikuwa idadi yakaribu watu ishirini na wawili;na pia walizaa wana na mabintikabla ya kuja kwenye nchiya ahadi; na kwa sababu hiyowalianza kuwa wengi.

17 Na walifundishwa akujinye-nyekea mbele ya Bwana; na piabwalifundishwa kutoka juu.

18 Na ikawa kwamba walia-nza kuenea juu ya nchi, na kuo-ngezeka na kulima ardhi; nawalikuwa na nguvu katikanchi.

19 Na kaka ya Yaredi alianzakuzeeka, na akaona kwambakaribu ataenda chini kwenyekaburi; kwa hivyo alisemakwa Yaredi: Acheni tukusanye

7a Eth. 2:17.b Mwa. 6:14;

Musa 7:43.9a mwm Imba.

b 1 Nya. 16:7–9;Alma 37:37;M&M 46:32.

16a Eth. 1:41.

17a mwm Tembea,Tembea na Mungu.

b mwm Ufunuo.

Page 633: KITABU CHA MORMONI

Etheri 6:20–7:3 616

pamoja watu wetu ili tuwezekuwahesabu; ili tuwaulize nikitu gani watakachohitaji kuto-ka kwetu kabla hatujaendakwenye makaburi yetu.20 Na kwa hivyo watu wali-

kusanywa pamoja. Sasa idadiya wana na mabinti wa kaka yaYaredi walikuwa watu ishirinina wawili; na idadi ya wana namabinti wa Yaredi walikuwakumi na wawili, yeye akiwa nawana wanne.

21 Na ikawa kwamba walihe-sabu watu wao; na baada yakuwahesabu, waliwauliza vituambavyo wangependa wafa-nyiwe kabla ya kwenda kwaokwenye makaburi yao.

22 Na ikawa kwamba watuwalitaka waweke awakfu mmojawa wana wao kuwa mfalmejuu yao.

23 Na sasa tazama, hii ilikuwangumu kwao. Na kaka ya Yare-di akasema kwao: Kwa kwelikitu hiki akitawaongoza kwe-nye utumwa.

24 Lakini Yaredi alisema kwakaka yake: Wakubalie kwambawawe na mfalme. Na kwa hivyoakawaambia: Chagueni kutokamiongoni mwa wana wetumfalme, yeyote mtakayemtaka.

25 Na ikawa kwamba walim-chagua hata mwana wa kwa-nza wa kaka ya Yaredi; najina lake lilikuwa Pagagi. Naikawa kwamba alikataa nahakutaka kuwa mfalme wao.Na watu walitaka kwambababa yake amlazimishe, lakinibaba yake hakumlazimisha; naakawaamuru kwamba wasim-

lazimishe mtu yeyote kuwamfalme wao.26 Na ikawa kwamba waliwa-

chagua kaka wote wa Pagagi,na hawakukubali.

27 Na ikawa kwamba hatawana wa Yaredi, nao wote wa-likataa isipokuwa tu mmoja; naOriha alitawaza kuwa mfalmejuu ya watu.

28 Na alianza kutawala, nawatu walianza kufanikiwa; nawakawa matajiri sana.

29 Na ikawa kwamba Yaredialifariki, na kaka yake pia.

30 Na ikawa kwamba Orihaalijinyenyekea mbele ya Bwa-na, na alikumbuka vitu ganivikubwa Bwana alikuwa ame-mfanyia baba yake, na piaaliwafunza watu wake vitu ganivikubwa Bwana alikuwa ame-wafanyia babu zao.

MLANGO WA 7

Oriha anatawala kwa haki—Katikahali ya mapinduzi na mzozo, falmeza upinzani za Shule na Kohorizinaanzishwa — Manabii wanala-umu uovu na kuabudu kwa sana-mu kwa watu, ambao baadayewanatubu.

Na ikawa kwamba Oriha alitoahukumu kwenye nchi kwa hakisiku zake zote, ambaye sikuzake zilikuwa nyingi sana.

2 Na alizaa wana na mabinti;ndio, alizaa thelathini na mmo-ja, miongoni mwao walikuwawana ishirini na watatu.

3 Na ikawa kwamba pia alim-zaa Kibu katika umri wake wa

22a mwm Paka mafuta. 23a 1 Sam. 8:10–18; Mos. 29:16–23.

Page 634: KITABU CHA MORMONI

617 Etheri 7:4–17

uzee. Na ikawa kwamba Kibualitawala badala yake; na Kibuakamzaa Korihori.4 Na wakati Korihori alipoku-

wa na miaka thelathini na mi-wili aliasi dhidi ya baba yake,na akaenda kuishi katika nchiya Nehori; na alizaa wana namabinti, na wakawa warembosana; kwa hivyo Korihori ali-wavutia wengi kumfuata.

5 Na baada ya kukusanya pa-moja jeshi alikuja kwenye nchiya Moroni ambapo mfalme ali-ishi, na kumchukua mateka,ambako kulileta kutimia amse-mo wa kaka ya Yaredi kwambawatawekwa kwenye utumwa.

6 Sasa nchi ya Moroni, ambakomfalme aliishi, ilikuwa karibuna nchi inayoitwa Ukiwa naWanefi.

7 Na ikawa kwamba Kibu alii-shi utumwani, na watu wakechini ya Korihori mwana wake,mpaka alipokuwa mzee sana;walakini Kibu alimzaa Shulekatika umri wake wa uzee, wa-kati alipokuwa bado utumwani.

8 Na ikawa kwamba Shulealimkasirikia kaka yake; naShule akaongezeka nguvu, naakawa mwenye nguvu kuli-ngana na nguvu ya mwanau-me; na pia alikuwa mkuu kwakuhukumu.

9 Kwa hivyo, alienda kwenyekilima cha Efraimu, na akaye-yusha chuma kutoka kwa kilekilima, na kutengeneza mapa-nga kutoka kwa chuma chapua kwa wale ambao alikuwaamekuja nao; na baada ya

kuwahami kwa panga alirejeakwenye mji wa Nehori, na ku-pigana vita na kaka yake Kori-hori, kwa njia ambayo alijipatiaufalme na kuurudisha kwa babayake Kibu.

10 Na sasa kwa sababu ya kituambacho Shule alifanya, babayake alimpa ufalme; kwa hivyoalianza kutawala badala ya babayake.

11 Na ikawa kwamba alitoahukumu kwa haki; na alisa-mbaza ufalme wake juu ya nchiyote, kwani watu walikuwawameongezeka sana.

12 Na ikawa kwamba Shule piaalizaa wana na mabinti wengi.

13 Na Korihori alitubu kutokakwa maovu mengi ambayo ali-kuwa ameyafanya; kwa hivyoShule alimpatia uwezo katikaufalme wake.

14 Na ikawa kwamba Korihorialikuwa na wana wengi na ma-binti wengi. Na miongoni mwawana wa Korihori kulikuwa nammoja ambaye jina lake liliku-wa Nuhu.

15 Na ikawa kwamba Nuhualiasi dhidi ya Shule, mfalme,na pia baba yake Korihori, nakumvuta kaka yake Kohori ku-mfuata, na pia ndugu zake wotena wengi wa watu wengine.

16 Na alifanya vita na Shule,mfalme, ambamo kwake alipatanchi ya urithi wa kwanza; naakawa mfalme juu ya sehemuhiyo ya nchi.

17 Na ikawa kwamba alifanyavita tena na Shule, mfalme; naakamshika Shule, mfalme, na

7 5a Eth. 6:23.

Page 635: KITABU CHA MORMONI

Etheri 7:18–27 618

kumchukua mbali hadi Moronikama mateka.

18 Na ikawa wakati alipoku-wa karibu kumuua, wana waShule walienda polepole hadikwenye nyumba ya Nuhu usikuna kumuua, na wal ivunjamlango wa gereza na kumtoanje baba yao, na kumwekakwenye kiti cha enzi cha ufal-me wake.19 Kwa hivyo, mwana wa

Nuhu aliimarisha ufalme wakebadala yake; walakini hawaku-pata uwezo tena juu ya Shule,mfalme, na watu waliokuwachini ya utawala wa Shule,mfalme, walifanikiwa sana nawalikuwa na nguvu.

20 Na nchi iligawanywa; nakukawa na falme mbili, falmeya Shule, na falme ya Kohori,mwana wa Nuhu.

21 Na Kohori, mwana waNuhu, alisababisha kwambawatu wake wapigane na Shule,ambapo Shule aliwashinda nakumuua Kohori.

22 Na sasa Kohori alikuwana mwana aliyeitwa Nimrodi;na Nimrodi alisalimisha ufal-me wa Kohori kwa Shule, naalipata fadhila za Shule; kwahivyo Shule alimpatia mape-ndeleo mengi, na alifanya cho-chote kulingana na kutakakwake katika ufalme wa Shule.

23 Na pia katika utawala waShule kulikuwa na manabiimiongoni mwa watu, ambaowalitumwa kutoka kwa Bwana,wakitabiri kwamba uovu nakuabudu asanamu kwa watukulikuwa kumeleta laana juu

ya nchi, na wangeangamizwakama hawangetubu.

24 Na ikawa kwamba watuwalitoa matusi dhidi ya mana-bii, na kuwafanyia mzaha. Naikawa kwamba mfalme Shulealiwaadhibu wale wote walio-toa matusi dhidi ya manabii.

25 Na aliweka sheria kote nchi-ni, ambayo iliwapatia manabiiuwezo kwamba wangeenda po-pote walipotaka; na katika njiahii watu waliletwa kwenye toba.

26 Na kwa sababu watu wali-tubu kutoka kwa uovu wao nakuabudu sanamu kwao Bwanaaliwasamehe, na wakaanza ku-fanikiwa tena nchini. Na ikawakwamba Shule alizaa wana namabinti katika umri wake wauzee.

27 Na hapakuwepo na vitatena katika siku za Shule; na ali-kumbuka vitu vikubwa amba-vyo Bwana alikuwa amewafa-nyia babu zake katika kuwaletaakuvuka kilindi kikubwa hadikwenye nchi ya ahadi; kwahivyo alitoa hukumu katikahaki siku zake zote.

MLANGO WA 8

Kuna mzozo na ubishi kuhusuufalme—Akishi anaunda kundi lasiri kwa kiapo ambalo wanachamawao walipanga kumuua mfalme—Makundi ya siri ni ya ibilisi na ya-nasababisha uharibifu wa mataifa— Wayunani wa siku hizi wanao-nywa dhidi ya kundi ovu la siriambalo litataka kugeuza uhuruwa ardhi, mataifa, na nchi zote.

23a mwm Kuabudu sanamu. 27a Eth. 6:4, 12.

Page 636: KITABU CHA MORMONI

619 Etheri 8:1–12

Na ikawa kwamba alimzaaOmeri, na Omeri alitawala ba-dala yake. Na Omeri akamzaaYaredi; na Yaredi akazaa wanana mabinti.

2 Na Yaredi aliasi dhidi yababa yake, na akaenda kuishikatika nchi ya Hethi. Na ikawakwamba aliwadanganya watuwengi, kwa sababu ya ujanjawa maneno yake, mpaka alipo-pata nusu ya ule ufalme.

3 Na baada ya kupata nusu yaufalme alifanya vita na babayake, na akamweka baba yakekwenye utumwa, na akamfanyakutumika katika utumwa;

4 Na sasa, katika siku za uta-wala wa Omeri alikuwa katikautumwa nusu ya maisha yake.Na ikawa kwamba alizaa wanana mabinti, miongoni mwaoambamo walikuwa Esromu naKoriantumuri;

5 Na walikasirika sana kwasababu ya vitendo vya Yaredikaka yao, mpaka kwamba wa-liunda jeshi na kufanya vitana Yaredi. Na ikawa kwambawalifanya vita na yeye wakatiwa usiku.

6 Na ikawa kwamba baada yakuua jeshi la Yaredi walikuwakaribu kumuua yeye pia; naaliwasihi kwamba wasimuue,na angetoa ufalme kwa babayake. Na ikawa kwamba wali-mwachia maisha yake.

7 Na sasa Yaredi alihuzunikasana kwa sababu ya kupotezautawala, kwani alikuwa ame-weka moyo wake kwa ufalmena utukufu wa ulimwengu.

8 Sasa binti wa Yaredi akiwamrembo sana, na akiona huzuniwa baba yake, alifikiria kutafutampango ambamo kwake ange-rudisha utawala kwa baba yake.

9 Sasa binti wa Yaredi alikuwamrembo sana. Na ikawa kwa-mba aliongea na baba yake, nakusema kwake: Kwa nini babayangu una huzuni sana? Huja-soma maandishi ambayo babuzetu walileta kutoka ng’amboya kilindi kikubwa? Tazama,hakuna historia kuhusu walewa kale, kwamba wao kwamipango yao ya asiri walipatafalme na utukufu mkuu?

10 Na sasa, kwa hivyo, achababa yangu amtumainie Akishi,mwana wa Kimnori; na tazama,mimi ni mrembo, na anitachezambele yake, na nitampendeza,kwamba atatamani kwambaniwe mke wake; kwa hivyo iki-wa atataka kwamba umpatiemimi kama mke wake, ndipoutasema: Nitakupatia tu ikiwautaniletea kichwa cha babayangu, mfalme.

11 Na sasa Omeri alikuwarafiki ya Akishi; kwa hivyo,wakati Yaredi alipokuwa ame-mtumainia Akishi, binti waYaredi alicheza mbele yakekwamba akampendeza, mpakakwamba alimtaka awe mkewake. Na ikawa kwamba alise-ma kwa Yaredi: Nipatie mimiawe mke wangu.

12 Na Yaredi akamwambia:Nitamkabidhi kwako, ikiwautaniletea kichwa cha baba ya-ngu, mfalme.

8 9a 3 Ne. 6:28;Hel. 6:26–30;

Musa 5:51–52.10a Mk. 6:22–28.

Page 637: KITABU CHA MORMONI

Etheri 8:13–23 620

13 Na ikawa kwamba Akishialikusanya kwenye nyumba yaYaredi jamaa zake wote, nakuwaambia: Mtaapa kwangukwamba mtakuwa waaminifukwangu kwa kitu ambacho ni-tataka kutoka kwenu?

14 Na ikawa kwamba woteawaliapa kwake, katika yuleMungu wa mbinguni, na pia nambingu, pia na dunia , navichwa vyao, kwamba yeyoteatakayetofautiana na usaidiziambao Akishi alitaka atapote-za kichwa chake; na yeyoteatakayetoa wazi kitu chochoteambacho Akishi amewafaha-misha, huyo huyo atapotezamaisha yake.15 Na ikawa kwamba hivyo

ndivyo walikubaliana na Akishi.Na Akishi alitoa akiapo kwaoambacho kilitolewa na wale wakale ambao pia walitaka uwezo,ambao ulitolewa hata kutokakwa bKaini, ambaye alikuwamuuaji kutoka mwanzo.

16 Na yalihifadhiwa kwa uwe-zo wa ibilisi kutoa hivi viapokwa watu, kuwaweka gizani,kuwasaidia wale wanaotafutanguvu kupata uwezo, na kuua,na kupora, na kudanganya, nakutenda aina yote ya maovu naukahaba.

17 Na alikuwa binti wa Yaredialiyemwekea moyo wa kutafutahivi vitu vya zamani; na Yarediakaiweka kwenye moyo waAkishi; kwa hivyo, Akishi aliwa-ambia jamaa zake na marafiki

akiwapotosha mbali na ahadizisizo za haki kufanya kituchochote alichotaka.

18 Na ikawa kwamba waliu-nda akundi ovu la siri, hatakama vile watu wa zamaniwalivyofanya; kundi ambalolilikuwa la kuchukiza sana naovu kushinda yote, katika fikiraza Mungu;

19 Kwani Bwana hafanyi kazikatika makundi maovu ya siri,w a l a h a t a k i k w a m b a m t uamwage damu, lakini katikavitu vyote amevikataza tangumwanzo wa binadamu.

20 Na sasa mimi, Moroni,s iandiki a ina ya viapo namakundi, kwani imefanywakujulikana kwangu kwambaviko miongoni mwa watuwote, na viko miongoni mwaWalamani.

21 Na vimesababisha akua-ngamizwa kwa watu hawaambao ninawazungumzia sasa,na pia kuangamia kwa watuwa Nefi.

22 Na taifa lolote litakalokubalimakundi maovu ya siri kamahaya, kupata uwezo na utajiri,hadi kuenea juu ya taifa, taza-ma, wataangamizwa; kwaniBwana hatakubali kwambaadamu ya watakatifu wake,ambayo itamwagwa na hao,ilie siku zote kutoka mchanganikwa kulipiza bkisasi juu yao nabado halipizi kisasi.

23 Kwa hivyo, Ee nyinyi Wa-yunani, ni hekima kwa Mungu

14a mwm Kufuru,Kukufuru.

15a mwm Kiapo.b Mwa. 4:7–8;

Musa 5:28–30.18a mwm Makundi

maovu ya siri.21a Hel. 6:28.

22a Morm. 8:27, 40–41.b mwm Kisasi.

Page 638: KITABU CHA MORMONI

621 Etheri 8:24–9:3

kwamba vitu hivi vionyeshwekwenu, kwamba kwa sababuhiyo mngetubu kutoka kwadhambi zenu, na msikubalikwamba haya makundi maovuya siri yawe juu yenu, ambayoyamejengwa kupata auwezo nautajiri — na kazi, ndio, hatakazi ya uharibifu, ije kwenu,ndio, hata upanga wa haki waMungu wa milele utawaangu-kia, kwa upinduaji wenu nauharibifu ikiwa mtakubali vituhivi kuweko.

24 Kwa hivyo, Bwana anawa-amrisha, wakati mtakapoonavitu hivi vikija miongoni mwe-nu kwamba mtaamka kwa ufa-hamu wa hali yenu ya kutisha,kwa sababu ya kundi hili lasiri ambalo litakuwa miongonimwenu; au ole kwake, kwa sa-babu ya damu ya wale ambaowameuawa; kwani hulia kutokamavumbini kwa kisasi juu yake,na pia juu ya walioliunda.

25 Kwani inakuwa kwambayeyote anayeijenga hutaka ku-angusha a uhuru wa ardhi,mataifa na nchi zote; na huletakutimizwa uangamizo wa watuwote, kwani inaanzishwa naibilisi , ambaye ni baba wauwongo wote; hata yule yulemdanganyifu baliyedanganyawazazi wetu wa kwanza, ndio,hata ndiye yule yule mdanga-nyifu ambaye alisababisha bi-nadamu kutenda mauaji tangumwanzo; ambaye ameshupazamioyo ya watu kwamba wame-

waua manabii, na kuwapigakwa mawe, na kuwatupa njetangu mwanzo.

26 Kwa hivyo, mimi, Moroni,nimeamriwa kuandika vitu hiviili uovu ungeondolewa mbali,na ili wakati ungekuja ambapoShetani ahawezi kuwa na uwe-zo kwa mioyo ya watoto wawatu, lakini kwamba bwange-shawishiwa kutenda mema sikuzote, kwamba wangekuja kwe-nye chemichemi ya ukweliwote na kuokolewa.

MLANGO WA 9

Utawala unaendelea mbele kutokakwa mmoja hadi kwa mwinginekufuatana na ukoo, hila, na mauaji— Emeri alimuona Mwana waHaki — Manabii wengi wanahu-biri toba—Njaa na nyoka wa sumuwanaua watu.

Na sasa mimi, Moroni, naende-lea na maandishi yangu. Kwahivyo, tazama, ikawa kwambakwa sababu ya makundi mao-vu ya asiri ya Akishi na marafi-ki zake, tazama, walipinduautawala wa Omeri.

2 Walakini, Bwana alikuwa nahuruma kwa Omeri, na piakwa wana wake na mabintizake ambao hawakutaka kua-ngamizwa kwake.

3 Na Bwana alimwonya Omerikwenye ndoto kwamba aondo-ke nje ya nchi; kwa hivyo Omerialiondoka nje ya nchi na jamaa

23a 1 Ne. 22:22–23;Musa 6:15.

25a mwm Huru, Uhuru.b Mwa. 3:1–13;

2 Ne. 9:9; Mos. 16:3;Musa 4:5–19.

26a 1 Ne. 22:26.b 2 Ne. 33:4;

Moro. 7:12–17.9 1a Eth. 8:13–17.

Page 639: KITABU CHA MORMONI

Etheri 9:4–15 622

zake, na kusafiri siku nyingi,na akaja juu na kupita kandoya kilima cha aShimu, na akajajuu kando ya mahali bambapoWanefi waliangamizwa, na ku-toka hapo akaenda upandewa mashariki, na akaja mahalipalipoitwa Ablomu, kando yaukingo wa bahari, na hapo aka-piga hema lake, na pia wanawake na mabinti zake, na jamaayake yote, isipokuwa Yaredi najamaa zake.

4 Na ikawa kwamba Yaredialitawazwa kuwa mfalme juuya watu, na wale walio waovu;na akampatia Akishi binti wakekuwa mke wake.

5 Na ikawa kwamba Akishialitaka kutoa maisha ya babaya mke wake; na akauliza usai-dizi kutoka kwa wale ambaoalikuwa amewaapisha kwa ki-apo cha watu wa kale, na wali-kata kichwa cha baba ya mkewake, wakati alipokuwa akika-lia kiti cha enzi, akikutana nawatu wake.

6 Kwani uenezaji wa hikichama kiovu na cha siri ulikuwamkuu kwamba kilikuwa kime-badilisha mioyo ya watu wote;kwa hivyo Yaredi aliuawa aki-wa juu ya kiti chake cha enzi, naAkishi akatawala badala yake.

7 Na ikawa kwamba Akishialianza kuwa na wivu kwamwana wake, kwa hivyo alim-funga gerezani, na kumpatiachakula kidogo au bila mpakaaliposhindwa na kufariki.

8 Na sasa kaka ya yule aliyeu-mia hadi kifo, (jina lake lilikuwa

Nimra) alikasirika na baba yakekwa sababu ya yale ambayobaba yake alimfanyia kaka yake.

9 Na ikawa kwamba Nimraalikusanya idadi ndogo ya watu,na wakatoroka kutoka nchini,na wakaja kuishi na Omeri.

10 Na ikawa kwamba Akishializaa wana wengine, na wali-pendelewa na watu, ingawajewalikuwa wameapa kwakekufanya aina yote ya uovukulingana na yale aliyokuwaanataka.

11 Sasa watu wa Akishi wali-taka utajiri, hata vile Akishialivyotaka uwezo; kwa hivyo,wana wa Akishi waliwapatiapesa, kwa njia ambayo ilisha-wishi sehemu kubwa ya watukuwafuata.

12 Na kulianza kuwa na vitabaina ya watoto wa Akishi naAkishi, ambavyo vilidumu kwamuda wa miaka mingi, ndio,hadi kwenye maangamizo yawatu karibu wote wa ufalme,ndio, hata wote isipokuwa watuthelathini, na wale waliotorokana nyumba ya Omeri.

13 Kwa hivyo, Omeri alirudi-shwa tena kwenye nchi ya urithiwake.

14 Na ikawa kwamba Omerialianza kuzeeka; walakini, ka-t i k a u m r i w a k e w a u z e ealimzaa Emeri; na alimtawazaEmeri kuwa mfalme kutawalabadala yake.

15 Na baada ya kumtawazaEmeri kuwa mfalme alionaamani nchini kwa muda wamiaka miwili, na akafariki, aki-

3a Morm. 1:3; 4:23. b Morm. 6:1–15.

Page 640: KITABU CHA MORMONI

623 Etheri 9:16–26

wa ameona siku nyingi, ambazozilikuwa na huzuni mwingi. Naikawa kwamba Emeri alitawalamahala pake, na akachukuanafasi ya baba yake.16 Na Bwana akaanza tena

kutoa laana kutoka kwa nchi,na nyumba ya Emeri ilifanikiwasana wakati wa utawala waEmeri; na kwa muda wa miakasitini na mbili walikuwa nanguvu sana, hadi wakawamatajiri kupita kiasi —

17 Wakiwa na kila aina yamatunda, na nafaka, na hariri,na kitani nzuri, na dhahabu, nafedha, na vitu vya thamani;

18 Na pia kila aina ya mifugo,ya ng’ombe wa kiume, na ng’o-mbe wa kike, na kondoo, nanguruwe, na mbuzi, na pia ainanyingi za wanyama ambao wa-likuwa wa kufaa kwa chakulacha binadamu.

19 Na pia walikuwa na afarasi,na punda, na kulikuwa na ndo-vu na kurelomu na kumomu;wote ambao walikuwa wa kufaakwa binadamu, na zaidi ndovuna kurelomu na kumomu.20 Na hivyo Bwana alitoa ba-

raka zake kwa nchi hii, ambayoilikuwa anzuri kuliko nchi zote;na aliamuru kwamba yeyoteatakayeimiliki ile nchi aimilikikwa kusudi la Bwana , aubwangeangamia baada ya kuwawaovu wa kutosha; kwani juuya watu kama hawa, asemaBwana: Nitatoa utimilifu waghadhabu yangu.

21 Na Emeri alitoa uamuziwake kwa haki siku zake zote,

na alizaa wana na mabintiwengi; na alimzaa Koriantumu,na akamtawaza Koriantumukutawala badala yake.

22 Na baada ya kumtawazaKoriantumu kutawala badalayake aliishi miaka minne, naaliona amani katika nchi; ndio,na hata alimwona aMwana waUkweli, na alifurahi na kusifukatika maisha yake; na alikufakatika hali ya amani.

23 Na ikawa kwamba Koria-ntumu aliishi kama baba yake,na alijenga miji mingi mikubwa,na alitoa kile ambacho kilikuwakizuri kwa watu wake katikasiku zake zote. Na ikawa kwa-mba hakupata watoto hadiakawa mzee kabisa.

24 Na ikawa kwamba mkewake alifariki akiwa na miakamia moja na miwili. Na ikawakwamba Koriantumu, katikamiaka yake ya uzee, al ioamwanamwali, na akazaa wanana mabinti; kwa hivyo aliishimpaka alipokuwa na miakamia moja na arubaini na miwili.

25 Na ikawa kwamba alimzaaKomu, na Komu akatawalabadala yake; na alitawala kwamiaka arubaini na tisa, na aka-mzaa Hethi; na pia alizaa wanana mabinti wengine.

26 Na watu walikuwa wamee-nea tena juu ya uso wa nchi, nakukaanza tena kuwa na uovumkuu sana juu ya uso wa nchi,na Hethi alianza kujiingizakwenye mipango ya siri tena yazamani, kumwangamiza babayake.

19a 1 Ne. 18:25.20a Eth. 2:15.

b Eth. 2:8–11.22a 3 Ne. 25:2.

Page 641: KITABU CHA MORMONI

Etheri 9:27–10:2 624

27 Na ikawa kwamba alimwo-ndoa baba yake, kwani alimchi-nja kwa upanga wake mwenye-we; na akatawala badala yake.

28 Na kukatokea manabiinchini tena, wakihubiri tobakwao — kwamba watayarishenjia ya Bwana au kungetokealaana juu ya uso wa nchi; ndio,hata kungekuwa na njaa kuu,ambamo kwake wangeangami-zwa kama hawakutubu.

29 Lakini watu hawakuaminimaneno ya manabii, lakini wa-liwatupa nje; na wengine waowaliwatupa kwenye mashimona kuwaacha waangamie. Naikawa kwamba walifanya vituhivi vyote kufuatana na amriya mfalme, Hethi.

30 Na ikawa kwamba kulia-nza kuwa na upungufu mkuujuu ya nchi, na wakazi wakaa-nza kuangamizwa kwa harakasana kwa sababu ya upungufuhuo, kwani haikuwepo namvua juu ya uso wa ardhi.

31 Na kukatokea nyoka wasumu pia juu ya uso wa nchi,na waliwauma watu wengi.Na ikawa kwamba mifugo yaoilikimbilia mbele ya nyokawenye sumu, kuelekea nchiiliyokuwa upande wa kusini,ambayo i l i i twa na WanefiaZarahemla.32 Na ikawa kwamba kuliku-

wa na wengi wao waliokufanjiani; walakini, kulikuwa nabaadhi yao waliotorokea kwe-nye nchi ya kusini.

33 Na ikawa kwamba Bwanaalisababisha anyoka wasiwafu-

ate tena, lakini wafunge njia iliwatu wasiweze kupita, kwambayeyote atakayejaribu kupitaangeuawa na nyoka wa sumu.

34 Na ikawa kwamba watuwalifuata njia ya mifugo, nawalikula mizoga ya wale wali-okufa njiani, mpaka walipokulawote. Sasa wakati watu wali-poona kwamba lazima wafewalianza akutubu uovu wao nakumwomba Bwana.

35 Na ikawa kwamba baadaya akujinyenyekeza ya kutoshambele ya Bwana alileta mvuajuu ya uso wa ardhi; na watuwakaanza kufanikiwa tena, nakukaanza kuwa na matundakatika upande wa nchi zakaskazini, na katika nchi zotezilizokuwa karibu. Na Bwanaalionyesha uwezo wake kwaokatika kuwaokoa kutoka kwe-nye njaa.

MLANGO WA 10

Mfalme mmoja anamfuata mwi-ngine — Wafalme wengine ni we-nye haki; wengine ni waovu —Wakati haki inaenea, watu hubari-kiwa na kufanikishwa na Bwana.

Na ikawa kwamba Shezi, amba-ye alikuwa ukoo wa Hethi —kwani Hethi aliangamia kwanjaa, na jamaa yake yote isipo-kuwa Shezi — kwa hivyo Shezialianza tena kuwaleta walewatu ambao walikuwa wame-gawanyika pamoja.

2 Na ikawa kwamba Shezi ali-kumbuka kuangamizwa kwa

31a Omni 1:13.33a Hes. 21:6–9.

34a Alma 34:34;M&M 101:8.

35a M&M 5:24.

Page 642: KITABU CHA MORMONI

625 Etheri 10:3–12

babu zake, na akaweka utawalawa haki; kwani alikumbuka kileBwana alichofanya kuwaletaYaredi na kaka yake akuwavu-sha kilindi; na alitembea katikanjia za Bwana; na alizaa wanana mabinti.

3 Na mwana wake mkubwa,ambaye jina lake lilikuwa Shezi,aliasi dhidi yake; hata hivyo,Shezi aliuawa na mwizi, kwasababu ya utajiri wake mwingi,ambao ulileta tena amani kwababa yake.

4 Na ikawa kwamba baba yakealijenga miji mingi juu ya usowa nchi, na watu walianza tenakuenea kwenye uso wa nchi.Na Shezi aliishi na kuwa naumri mkubwa sana; na alimzaaRiplakishi. Na alikufa, na Ri-plakishi alitawala badala yake.

5 Na ikawa kwamba Riplakishihakufanya yale yaliyo memamachoni mwa Bwana, kwanialikuwa na wake wengi na wa-nawake wengi wa akinyumba,na aliwawekea watu mizigomizito ambayo ilikuwa migumukuhimili; ndio, aliwatoza kodikubwa; na kwa ile kodi alijenganyumba nyingi kubwa.

6 Na alijitengenezea enzi ma-ridadi sana; na alijenga mage-reza mengi, na yeyote ambayealikataa kulipa ushuru alitiwagerezani; na yeyote ambaye ha-kuweza kulipa ushuru alitiwagerezani; na alisababisha kwa-mba wafanye kazi siku zotekwa mategemeo yao; na yeyotealiyekataa kufanya kazi alisa-babisha auawe.

7 Kwa hivyo alipata kazi yakenzuri, ndio, hata dhahabu yakelaini alisababisha kusafishwagerezani; na kila aina ya kazialisababisha kutengenezwa ka-tika gereza.Na ikawa kwambaaliwatesa watu kwa ukahabawake na machukizo yake.

8 Na baada ya kutawala kwamuda wa miaka arubaini namiwili watu waliasi dhidi yake;na kulianza kuwa na vita tenanchini, mpaka kwamba Ripla-kishi aliuawa, na ukoo wakeulifukuzwa kutoka nchini.

9 Na ikawa baada ya mudawa miaka mingi, Moriantoni,(ambaye alikuwa wa ukoo waRiplakishi) alikusanya pamojajeshi la wasiofukuzwa, na aka-enda mbele na kupigana nawatu; na akapata uwezo juu yamiji mingi; na vita vilikuwavikali sana, na vilikuwako kwamuda wa miaka mingi; na aka-chukua nchi yote, na akajiwekamfalme wa nchi yote.

10 Na baada ya kujiweka kuwamfalme alirahisisha mizigo yawatu, ambako alipata mapende-leo ya watu, na walimtawazakuwa mfalme wao.

11 Na aliwafanyia watu haki,lakini sio kwake mwenyewekwa sababu ya ukahaba wakemwingi; kwa hivyo alikatwakutoka kwenye uwepo waBwana.

12 Na ikawa kwamba Moria-ntoni alijenga miji mingi, nawatu walitajirika sana chini yautawala wake, katika majengo,na katika dhahabu na fedha, na

10 2a Eth. 6:1–12. 5a Yak. (KM) 3:5; Mos. 11:2.

Page 643: KITABU CHA MORMONI

Etheri 10:13–24 626

katika kukuza nafaka, na katikamifugo, na wanyama, na vitukama hivyo vilivyorudishwakwao.13 Na Moriantoni aliishi akawa

na umri mkubwa sana, na ndipoakamzaa Kimu; na Kimu akata-wala badala ya baba yake; naalitawala kwa miaka minane,na baba yake akafariki. Na ika-wa kwamba Kimu hakutawalakwa haki, kwa hivyo hakupe-ndelewa na Bwana.

14 Na kaka yake aliasi dhidiyake, ambako alimweka kifu-ngoni; na alibaki kifungoni sikuzake zote; na alizaa wana namabinti katika utumwa, nakatika umri wake wa uzeealimzaa Lawi; na akafa.

15 Na ikawa kwamba Lawialitumika kwenye utumwa ba-ada ya kifo cha baba yake, kwamuda wa miaka arubaini namiwili. Na alifanya vita dhidiya mfalme wa nchi, ambayokwayo alishinda na kujipatiautawala.

16 Na baada ya kujipatia uta-wala alifanya yale yaliyokuwasawa kwa maoni ya Bwana; nawatu walifanikiwa katika nchi;na aliishi kwa umri mzuri wauzee, na alizaa wana na mabi-nti; na pia alimzaa Koromu,ambaye alimtawaza mfalmebadala yake.

17 Na ikawa kwamba Koromualifanya yale yaliyokuwa memakwa maoni ya Bwana siku zakezote; na alizaa wana na mabintiwengi; na baada ya kuishi sikunyingi alifariki, kama vile kila

kitu ambacho huwa duniani,na Kishi alitawala badala yake.

18 Na ikawa kwamba Kishialikufa pia, na Libu alitawalabadala yake.

19 Na ikawa kwamba Libupia alifanya yale yaliyokuwamema katika macho ya Bwana.Na katika siku za Libu nyokawenye asumu waliangamizwa.Kwa hivyo walienda katikanchi iliyokuwa upande wakusini, kuwinda chakula kwawatu wa nchi, kwani nchi ilifu-nikwa na wanyama wa misitu.Na Libu pia alikuwa mwindajimkuu.

20 Na walijenga mji mkubwakando ya shingo nyembambaya nchi, kando ambapo baharihutenga nchi.

21 Na walihifadhi nchi upandewa kusini kwa jangwa, kupatamawindo. Na uso wote wa nchiupande wa kaskazini ulifuni-kwa na wakazi.

22 Na walikuwa wenye bidiisana, na walinunua na kuuzia-na biashara wao kwa wao, iliwapate faida.

23 Na walifanya kazi katikakila aina ya madini, na walite-ngeneza dhahabu, na fedha, naachuma, na shaba, na kila ainaya madini; na waliichimba kuto-ka udongoni; kwa hivyo, wali-tupa rundo kubwa za mchangaili wapate madini, ya dhahabu,na ya fedha, na ya chuma, na yashaba nyekundu. Na walifanyakazi yote iliyo laini.

24 Na walikuwa na hariri, navitani vilivyoshonwa vizuri; na

19a Eth. 9:31. 23a 2 Ne. 5:15.

Page 644: KITABU CHA MORMONI

627 Etheri 10:25–11:2

walishona aina yote ya nguo, iliwajivike kutokana na uchi wao.25 Na walitengeneza kila aina

ya vyombo kulimia mashamba,pia vya kulimia na kupanda,kuvuna na kupalilia, na piakupura.

26 Na walitengeneza kila ainaya vyombo ambavyo wanyamawao walifanyia kazi.

27 Na walitengeneza kila ainaya silaha za vita. Na walifanyaaina yote ya ufundi wa hali yajuu.

28 Na hakungekuwa na watuwaliobarikiwa kuliko hao, nakufanikishwa zaidi kwa mkonowa Bwana. Na walikuwa katikanchi iliyokuwa nzuri kulikonchi zote, kwani Bwana alikuwaameizungumza.

29 Na ikawa kwamba Libualiishi miaka mingi, na alizaawana na mabinti; na pia alimzaaHearthomu.

30 Na ikawa kwamba Hear-thomu alitawala badala ya babayake. Na baada ya Hearthomukutawala kwa miaka ishirinina minne, tazama, ufalme uli-tolewa kutoka kwake. Na alitu-mikia miaka mingi kwenyeutumwa, ndio, hata siku zakezote zilizosalia.

31 Na alimzaa Hethi, na Hethialiishi kwenye utumwa maishayake yote. Na Hethi alimzaaHaruni, na Haruni aliishi utu-mwani maisha yake yote; naalimzaa Amnigada, na Amniga-da pia aliishi kwenye utumwasiku zake zote; na alimzaaKoriantumu, na Koriantumu

aliishi kwenye utumwa sikuzake zote; na alimzaa Komu.

32 Na ikawa kwamba Komualivuta nusu ya ule utawalakumfuata. Na alitawala juu yanusu ya ufalme kwa miaka aru-baini na miwili; na akapiganana mfalme, Amgidi, na walipi-gana kwa muda wa miakamingi, wakati ambao Komualimshinda Amgidi, na akawana uwezo juu ya utawala ulio-salia.

33 Na katika siku za Komu,kulianza kuwa na wanyang’a-nyi katika nchi; na walianzakutumia mipango ya zamani,na kupeana aviapo kwa njia yawale wa kale, na kutaka tenakuharibu ufalme.

34 Sasa Komu alipigana sanadhidi yao; walakini, hakuwa-shinda.

MLANGO WA 11

Vita, mafarakano, na uovu unata-wala maisha ya Wayaredi—Mana-bii watabiri kuangamizwa kabisakwa Wayaredi wasipotubu—Watuwanakataa maneno ya manabii.

Na kulitokea pia katika siku zaKomu manabii wengi, na wali-toa unabii wa uharibifu wa walewatu wakuu isipokuwa watu-bu, na kumgeukia Bwana, nakuacha mauaji yao na uovu.

2 Na ikawa kwamba manabiiwalikataliwa na watu, na wali-mkimbilia Komu kwa ulinzi,kwani watu walitaka kuwaa-ngamiza.

33a mwm Kiapo; Makundi maovu ya siri.

Page 645: KITABU CHA MORMONI

Etheri 11:3–15 628

3 Na walitoa unabii wa vituvingi kwa Komu; na alibarikiwakwa siku zake zote zilizosalia.

4 Na aliishi kwa umri mzuriwa uzee, na alimzaa Shiblomu;na Shiblomu akatawala badalayake. Na kaka ya Shiblomualiasi dhidi yake, na kukaanzakuwa na vita vikubwa katikanchi yote.

5 Na ikawa kwamba kaka yaShiblomu alisababisha kwambamanabii wote waliotoa unabiiwa uharibifu wa watu wauawe;

6 Na kulikuwa na msiba mku-bwa katika nchi yote, kwani wa-likuwa wameshuhudia kwambalaana kubwa ingekuja kwenyenchi, na pia juu ya watu, nakwamba kungekuwa na uhari-bifu mkuu miongoni mwao,mkubwa kuliko yote iliyowahikuwa usoni mwa dunia, na mi-fupa yao ingekuwa kama ama-fungu ya mchanga usoni mwanchi isipokuwa watubu uovuwao.

7 Na hawakusikiliza sauti yaBwana, kwa sababu ya makundiyao maovu; kwa hivyo, kulianzakuwa na vita na mabishanokatika nchi yote, na pia njaanyingi na maradhi ya kuambu-kiza, mpaka kwamba kukawana uharibifu mkuu, ambao ha-ujawahi kujulikana usoni mwadunia; na haya yote yalikuja ku-timia katika siku za Shiblomu.

8 Na watu walianza kutubukutoka kwa uovu wao; na kadiriwalivyofanya hivyo, Bwanaalikuwa na ahuruma kwao.

9 Na ikawa kwamba Shiblomu

aliuawa, na Sethi akaletwa kwe-nye utumwa, na aliishi kwenyeutumwa siku zake zote.

10 Na ikawa kwamba Aha,mwana wake, alichukua ufalme;na akawatawala watu siku zakezote. Na alifanya aina yote yauovu katika siku zake, ambamokwake alisababisha umwagajiwa damu nyingi; na siku zakezilikuwa chache.

11 Na Ethemu, akiwa wa ukoowa Aha, alichukua ufalme; napia alifanya yale yaliyokuwamaovu katika siku zake.

12 Na ikawa kwamba katikasiku za Ethemu kulitokea ma-nabii wengi, na wakatoa unabiitena kwa watu; ndio, walitabirikwamba Bwana angewaharibukabisa kutoka kwa uso wadunia isipokuwa watubu uovuwao.

13 Na ikawa kwamba watuwalishupaza mioyo yao, naahawangesikiliza maneno yao;na manabii waliomboleza nakujitoa miongoni mwa watu.

14 Na ikawa kwamba Ethemualitoa hukumu katika uovu sikuzake zote; na alimzaa Moroni.Na ikawa kwamba Moroni ali-tawala badala yake; na Moronialifanya yale ambayo yalikuwamaovu mbele ya Bwana.

15 Na ikawa kwamba kulito-kea auasi miongoni mwa watu,kwa sababu ya lile kundi ovu lasiri ambalo lilianzishwa kupatauwezo na faida; na kulitokeamtu mkubwa wa uovu mio-ngoni mwao, na akapigana naMoroni, ambamo kwake alipi-

11 6a Omni 1:22;Eth. 14:21.

8a mwm Rehema,Rehema, enye.

13a Mos. 16:2.15a mwm Uasi.

Page 646: KITABU CHA MORMONI

629 Etheri 11:16–12:4

ndua nusu ya ufalme; na aka-shika nusu ya ule ufalme kwamiaka mingi.16 Na ikawa kwamba Moroni

alimpindua, na kupata ufalmetena.

17 Na ikawa kwamba kulito-kea mtu mwingine mwenyenguvu; na alikuwa uzao wakaka ya Yaredi.

18 Na ikawa kwamba alimwo-ndoa Moroni na kuchukuaufalme; kwa hivyo, Moroni ali-ishi katika utumwa siku zakezote zilizosalia; na alimzaaKoriantori.

19 Na ikawa kwamba Koria-ntori aliishi katika utumwasiku zake zote.

20 Na katika siku za Koriantorikulitokea manabii wengi, nawakaagua vitu vikubwa na vyaajabu, na kuhubiri toba kwawatu, na isipokuwa watubuBwana Mungu angetoa ahuku-mu dhidi yao hadi watakapo-haribiwa kabisa.

21 Na kwamba Bwana Munguangewatuma au kuwaleta mbelewatu awengine kumiliki nchi,kwa uwezo wake, kwa njia sawaambayo aliwaleta babu zao.

22 Na walikataa maneno yoteya manabii, kwa sababu yakundi lao la siri na machukizoyao maovu.

23 Na ikawa kwamba Kori-antori alimzaa aEtheri, na aka-fariki, akiwa ameishi katikautumwa siku zake zote.

MLANGO WA 12

Nabii Etheri anawasihi watuwaamini katika Mungu — Moronianasimulia maajabu na miujizainayofanywa kwa imani — Imaniilimwezesha kaka ya Yaredi ku-mwona Kristo — Bwana huwapawatu udhaifu ili wawe wanyenye-kevu — Kaka ya Yaredi aliusogezamlima Zerini kwa imani — Imani,tumaini, na hisani ni muhimu kwawokovu—Moroni alimwona Yesuuso kwa uso.

Na ikawa kwamba siku zaEtheri zilikuwa katika siku zautawala wa Koriantumuri; naaKoriantumuri alikuwa mfalmewa nchi yote.

2 Na aEtheri alikuwa nabii waBwana; kwa hivyo Etheri aliji-tokeza katika siku za Koriantu-muri, na akaanza kuagua kwawatu, kwani hangeweza bku-zuiliwa kwa sababu ya Roho yaBwana ambayo ilikuwa ndaniyake.

3 Kwani aalihubiri kutokaasubuhi, hata mpaka kwendachini kwa jua, akihimiza watukuamini katika Mungu kwenyetoba wasije bwakaharibiwa, naakiwaambia kwamba kwa cima-ni vitu vyote hutimizwa —

4 Kwa hivyo, yeyote aaminiyekatika Mungu angeweza kwahakika akutumaini ulimwengubora, ndio, hata mahali katikamkono wa kulia wa Mungu,

20a mwm Amua,Hukumu.

21a Eth. 13:20–21.23a Eth. 1:6; 15:33–34.12 1a Eth. 13:13–31.

2a mwm Eth.b Yer. 20:9;

Eno. 1:26;Alma 43:1.

3a M&M 112:5.

b Eth. 11:12, 20–22.c mwm Imani.

4a mwm Tumaini.

Page 647: KITABU CHA MORMONI

Etheri 12:5–16 630

tumaini ambalo huja kutokanana imani, hutengeneza bnangakwa roho za watu, ambayoingewafanya kuwa imara nathabiti, wakizidi sana kutendakazi cnjema, wakiongozwa dku-mtukuza Mungu.

5 Na ikawa kwamba Etherialiagua vitu vikubwa vya ajabukwa watu, ambavyo hawakua-mini, kwa sababu hawakuviona.

6 Na sasa, mimi, Moroni, nita-zungumza machache kuhusuvitu hivi; ninataka kuonyeshaulimwengu kwamba aimani nivitu ambavyo bvinatumainiwana chavionekani; kwa hivyo,msishindane kwa sababu ha-mwoni, kwani hamtapata usha-hidi wowote mpaka baada yadmajaribu ya imani yenu.7 Kwani ilikuwa kwa imani

kwamba Kristo alijionyesha kwababu zetu, baada ya kuamkakutoka kwa wafu; na hakujio-nyesha kwao mpaka walipoku-wa na imani ndani yake; kwahivyo, lazima iwe kwambawengine walikuwa na imanindani yake, kwani hakujionye-sha kwa ulimwengu.

8 Lakini kwa sababu ya imaniya watu amejionyesha kwawatu wa ulimwengu, na ku-litukuza jina la Baba, na alita-yarisha njia ambayo kwakewengine wangeshiriki kwa

mwito wa zawadi ya mbinguni,kwamba wangetumainia vituhivyo ambavyo hawajaviona.

9 Kwa hivyo, mnaweza kuwapia na tumaini, na muwe washi-riki wa zawadi, ikiwa mtakuwatu na imani.

10 Tazama ilikuwa kwa imanikwamba wale wa kale awalii-twa kama washiriki wa agizotakatifu la Mungu.

11 Kwa hivyo, kwa imani,sheria ya Musa ilitolewa. Lakinikatika kipawa cha Mwana wakeMungu ametayarisha njia aborazaidi; na ni kwa imani kwambaimetimizwa.

12 Kwani kama hakuna aimanimiongoni mwa watoto wawatu, Mungu hawezi kufanyabmiujiza miongoni mwao; kwahivyo, hakujionyesha mpakabaada ya imani yao.

13 Tazama, ilikuwa imani yaAlma na Amuleki ambayo ilisa-babisha agereza kuanguka chini.14 Tazama, ilikuwa imani ya

Nefi na Lehi ambayo ililetaamabadiliko juu ya Walamani,kwamba walibatizwa kwa motona kwa Roho bMtakatifu.

15 Tazama, ilikuwa imani yaaAmoni na ndugu zake ambayobilileta muujiza mkuu miongonimwa Walamani.

16 Ndio, na hata wote walio-fanya amiujiza waliifanya kwa

4b Ebr. 6:19.c 1 Kor. 15:58.d 3 Ne. 12:16.

6a Ebr. 11:1.b Rum. 8:24–25.c Alma 32:21.d 3 Ne. 26:11;

M&M 105:19; 121:7–8.10a Alma 13:3–4.

mwm Ita, Itwa naMungu, Wito.

11a 1 Kor. 12:31.12a 2 Ne. 27:23;

Mos. 8:18;Moro. 7:37;M&M 35:8–11.

b Mt. 13:58;Morm. 9:20.

13a Alma 14:26–29.14a Hel. 5:50–52.

b Hel. 5:45; 3 Ne. 9:20.15a Alma 17:29–39.

b m.y. sawa nainavyoelezwa katikaAlma, mlango wa17 hadi 26.

16a mwm Muujiza.

Page 648: KITABU CHA MORMONI

631 Etheri 12:17–25

sababu ya bimani, hata walewalioishi kabla ya Kristo na piawale waliokuwako baadaye.17 Na ilikuwa kwa imani kwa-

mba wale wanafunzi watatuwalipata ahadi kwamba ahawa-ngeona kifo; na hawakupokeaahadi hiyo mpaka baada yawao kuwa na imani.

18 Na wala kwa muda wowotehakujawa na yeyote ambayeamefanya miujiza mpaka awena imani; kwa hivyo waliaminikwanza katika Mwana waMungu.

19 Na kulikuwa na wengiambao imani yao ilikuwa nanguvu sana, hata akabla yaKristo kuja, ambao hawange-weza kuwekwa nyuma ya bpa-zia, lakini kwa ukweli walionakwa macho yao vitu ambavyowalikuwa wameona kwa jichola imani, na walifurahi.

20 Na tazama, tumeona kati-ka maandishi haya kwambammoja wa hao alikuwa kaka yaYaredi; kwani imani yake ili-k u w a k u b w a s a n a k a t i k aMungu, kwamba Mungu ali-poweka akidole chake mbelehakuweza kukificha kutokakwa uwezo wa kuona wa kakaya Yaredi, kwa sababu ya nenolake ambalo alikuwa amemzu-ngumzia, neno ambalo alikuwaamepokea kwa imani.

21 Na baada ya kaka ya Yaredikuona kidole cha Bwana, kwasababu ya aahadi ambayo kaka

ya Yaredi alikuwa amepatakwa imani, Bwana hangewezakumzuia kuona chochote; kwahivyo alimwonyesha vitu vyote,kwani hangeweza tena kuwe-kwa nje ya bpazia.22 Na ni kwa imani kwamba

babu zangu wamepata aahadikwamba vitu hivi vitakuja kwandugu zao kupitia kwa Wayu-nani; kwa hivyo Bwana ameni-amuru, ndio, hata Yesu Kristo.

23 Na nikasema kwake: Bwa-na, Wayunani watachekeleavitu hivi, kwa sababu ya aunyo-nge wetu katika maandishi;kwani Bwana umetufanya bwa-kubwa katika neno kwa imani,lakini hujatufanya wakubwakwenye maandishi; kwani ume-fanya watu hawa wote kwambawanaweza kusema sana, kwasababu ya Roho Mtakatifuambaye umewapatia.

24 Na umetufanya kwambatuweze kuandika tu machache,kwa sababu ya mikono yetukutokuwa miepesi. Tazama,hujatufanya mabingwa kwaauandishi kama kaka ya Yaredi,kwani ulimfanya ili vitu amba-vyo aliandika viwe vikubwahata vile wewe ulivyo, kwakushinda mtu kuvisoma.

25 Umefanya pia manenoyetu yawe yenye nguvu na ma-kubwa, hata kwamba hatuwezikuyaandika; kwa hivyo, tuna-poandika tunaona udhaifuwetu, na kuanguka kwa sababu

16b Ebr. 11:7–40.17a 3 Ne. 28:7;

Morm. 8:10–12.19a 2 Ne. 11:1–4;

Yak. (KM) 4:4–5;Yar. 1:11;

Alma 25:15–16.b Eth. 3:6.

mwm Pazia.20a Eth. 3:4.21a Eth. 3:25–26.

b Eth. 3:20;

M&M 67:10–13.22a Eno. 1:13.23a Morm. 8:17; 9:33.

b 2 Ne. 33:1.24a mwm Lugha.

Page 649: KITABU CHA MORMONI

Etheri 12:26–35 632

ya upangaji wa maneno yetu;na ninaogopa Wayunani wasijeawakacheka maneno yetu.26 Na nilipokuwa nimesema

hivi, Bwana alinizungumzia,akisema: Wajinga ahucheka,lakini wataomboleza; na uzuriwangu unatosha kwa waliowanyenyekevu, kwamba hawa-tafaidika kwa udhaifu wenu;

27 Na ikiwa watu watakujakwangu nitawaonyesha audha-ifu wao. bNinawapatia watuudhaifu ili katika udhaifu waowawe wanyenyekevu; na cnee-ma yangu inatosha watu woteambao dhujinyenyekeza mbeleyangu; kwani wakijinyenyekezambele yangu, na kuwa na imanindani yangu, ndipo nitafanyavitu edhaifu kuwa vya nguvukwao.28 Tazama, nitawaonyesha

Wayunani udhaifu wao, nanitawaonyesha kwamba aimani,tumaini na hisani huwaletakwangu — chimbuko la hakiyote.29 Na mimi, Moroni, baada ya

kusikia maneno haya, nilifariji-ka, na kusema: Ee Bwana, hakiyako itafanyika, kwani najuakwamba unafanya miujiza kwawatoto wa watu kufuatana naimani yao;

30 Kwani kaka ya Yaredialisema kwa mlima Zerini,a Nenda — na ulisonga. Na

ikiwa hangekuwa na imani hau-ngesonga; kwa hivyo unafanyamiujiza baada ya watu kuwana imani.

31 Kwa njia hii ulijionyeshakwa wanafunzi wako; kwanibaada ya wao kuwa na aimani,na kuzungumza katika jina la-ko, ulijidhihirisha kwao kwauwezo mkuu.

32 Na ninakumbuka kwambaumesema kwamba umetayari-sha anyumba kwa watu, ndio,hata miongoni mwa nyumbaza Baba yako, ambamo kwakebinadamu angekuwa na btuma-ini kamili; kwa hivyo lazimabinadamu atumaini, au hata-pokea urithi mahali ambapoumetayarisha.

33 Na tena, ninakumbuka kwa-mba umesema kwamba auna-wapenda watu wote duniani,hata kwenye kuweka maishayako chini kwa ajili ya wali-mwengu, ili ungeyachukua tenakutayarisha mahali kwa watotowa watu.

34 Na sasa najua kwamba huuaupendo ambao umekuwa naokwa watoto wa watu ni hisani;kwa hivyo, isipokuwa watuwawe na hisani hawawezikurithi pale mahali ambapoumetayarisha nyumbani kwaBaba yako.

35 Kwa hivyo, ninajua kwakitu hiki ambacho umesema,

25a 1 Kor. 2:14.26a Gal. 6:7.27a Yak. (KM) 4:7.

b Kut. 4:11; 1 Kor. 1:27.c mwm Neema.d Lk. 18:10–14;

M&M 1:28.mwm Mnyenyekevu,

Unyenyekevu.e Lk. 9:46–48;

2 Kor. 12:9.28a 1 Kor. 13:1–13;

Moro. 7:39–47.30a Mt. 17:20;

Yak. (KM) 4:6;Hel. 10:6, 9.

mwm Uwezo.31a mwm Imani.32a Yn. 14:2; Eno. 1:27;

M&M 72:4; 98:18.b mwm Tumaini.

33a Yn. 3:16–17.34a Moro. 7:47.

mwm Hisani; Upendo.

Page 650: KITABU CHA MORMONI

633 Etheri 12:36–13:2

kwamba ikiwa Wayunani ha-wana hisani, kwa sababu yaunyonge wetu, kwamba utawa-hukumu, na kuchukua kutokakwao atalanta zao, ndio, hataile ambayo wamepokea, nauwapatie wale ambao wataku-wa na nyingi zaidi.

36 Na ikawa kwamba niliombakwa Bwana kwamba awapeweaneema Wayunani, ili wapatekuwa na hisani.

37 Na ikawa kwamba Bwanaakasema nami: Kama hawanahisani haikuhusu wewe, ume-kuwa mwaminifu; kwa hivyo,nguo zako zitafanywa asafi. Nakwa sababu umeuona budhaifuwako utafanywa kuwa mwenyenguvu, hata kwa kukaa mahaliambapo nimepatayarisha katikanyumba ya Baba yangu.38 Na sasa mimi, Moroni,

ninaaga kwa Wayunani, ndio,n a p i a k w a n d u g u z a n g uambao ninawapenda, mpakatutakapokutana mbele ya akiticha hukumu cha Kristo, ambapowatu wote watajua kwambabmavazi yangu hayajawekwamawaa na damu yenu.39 Na ndipo mtakapojua

kwamba animemwona Yesu,na kwamba amenizungumziabuso kwa uso, na kwamba ali-niambia katika unyenyekevuulio wazi, hata vile mtu humwa-mbia mwenzake kwa lughayangu, kuhusu vitu hivi;

40 Na ni vichache tu ambavyonimeandika, kwa sababu yaudhaifu wangu kwa kuandika.

41 Na sasa, nimekupendekezaakumtafuta huyu Yesu ambayemanabii na mitume wameandi-ka kumhusu, kwamba neemaya Mungu Baba, na pia BwanaYesu Kristo, na Roho Mtakatifu,ambaye banashuhudia kwao,iwe na kuishi ndani yenu milele.Amina.

MLANGO WA 13

Etheri anazungumzia YerusalemuMpya kujengwa katika Amerikana kizazi cha Yusufu — Anatoaunabii, anatupwa nje, anaandikahistoria ya Kiyaredi, na anatabirikuharibiwa kwa Wayaredi — Vitavinaendelea kote nchini.

Na sasa mimi, Moroni, nae-ndelea kumaliza maandishi ya-ngu kuhusu uharibifu wa watuambao nimekuwa nikiandikajuu yao.

2 Kwani tazama, walikataamaneno yote ya Etheri; kwanialiwaambia kwa kweli vituvyote, kutokea mwanzoni mwabinadamu; na kwamba wakatimaji yalipokuwa ayamepunguakutoka juu ya uso wa nchi iliku-wa nchi iliyochaguliwa kulikozingine zote, nchi iliyochaguli-wa na Bwana; kwa hivyo Bwa-na alitaka kwamba watu wote

35a Mt. 25:14–30.mwm Karama;Talanta.

36a mwm Neema.37a M&M 38:42;

88:74–75; 135:4–5.

b Eth. 12:27.38a mwm Yesu Kristo—

Mwamuzi.b Yak. (KM) 1:19.

39a mwm Yesu Kristo—Kuonekana kwa

Kristo baada ya kifo.b Mwa. 32:30;

Kut. 33:11.41a M&M 88:63; 101:38.

b 3 Ne. 11:32.13 2a Mwa. 7:11–24; 8:3.

Page 651: KITABU CHA MORMONI

Etheri 13:3–11 634bwangemtumikia, wale ambaowanaishi juu yake;

3 Na kwamba ilikuwa mahalipa Yerusalemu aMpya, ambayobingekuja chini kutoka mbi-nguni, na utakatifu wa wakfuwa Bwana.4 Tazama, Etheri aliona siku

za Kristo, na alizungumza ku-husu Yerusalemu aMpya juu yanchi hii.

5 Na alizungumza pia kuhusunyumba ya Israeli, na aYerusale-mu ambako bLehi angetokea —baada ya kuharibiwa kwakeitajengwa tena, mji cmtakatifuwa Bwana; kwa hivyo, hainge-kuwa Yerusalemu mpya kwaniilikuwa wakati wa kale; lakiniingejengwa tena, na uwe mjimtakatifu wa Bwana; na inge-jengwa kwa ajili ya nyumba yaIsraeli —6 Na kwamba Yerusalemu

a Mpya inge jengwa juu yanchi hii, kwa ajili ya sazo la uzaowa bYusufu, kwa vitu ambavyokumekuwa na cmfano.

7 Kwani vile Yusufu alimletababa yake chini katika nchi yaaMisri, hata hivyo alikufa huko;kwa hivyo, Bwana alileta sazo lauzao wa Yusufu kutoka nchi yaYerusalemu, kwamba angeku-wa na huruma kwa uzao wa

Yusufu kwamba bwasiangamie,hata vile alikuwa na huruma kwababa ya Yusufu ili asiangamie.

8 Kwa hivyo, sazo la nyumbaya Yusufu litajengwa juu yaanchi hii; na itakuwa nchi yaurithi wao; na watajenga mjimtakatifu kwa Bwana, kamaYerusalemu ya kale; na bhawa-tachanganywa tena, mpakamwisho utakapofika wakatidunia itakapoisha.

9 Na kutakuwa na mbinguampya na dunia mpya; na zita-kuwa kama za kale ijapokuwaya kale imepita mbali, na vituvyote vimekuwa vipya.

10 Na ndipo kutatokea Yeru-salemu Mpya; na heri wanaoishindani yake, kwani ni hao ambaomavazi yao ni asafi kupitia kwadamu ya Mwanakondoo; na nihao hao ambao wamehesabiwamiongoni mwa sazo la uzao waYusufu, ambao walikuwa wanyumba ya Israeli.

11 Na hapo pia kutatokeaYerusalemu ya kale; na wakaziwake, wamebarikiwa, kwaniwameoshwa kwenye damu yaMwanakondoo; ni hawa ambaowalitawanywa na akukusanywakutoka pande nne za dunia, nakutoka katika nchi za bkaskazi-ni, na ni washiriki wa lile agano

2b Eth. 2:8.3a 3 Ne. 20:22; 21:23–24.

mwm YerusalemuMpya.

b Ufu. 3:12; 21:2.4a mwm Sayuni.5a mwm Yerusalemu.

b 1 Ne. 1:18–20.c Ufu. 21:10;

3 Ne. 20:29–36.6a M&M 42:9; 45:66–67;

84:2–5;M ya I 1:10.

b mwm Yusufu,Mwana wa Yakobo.

c Alma 46:24.mwm Uashiriaji.

7a Mwa. 46:2–7; 47:6.b 2 Ne. 3:5.

8a mwm Nchi yaAhadi.

b Moro. 10:31.

9a 2 Pet. 3:10–13;Ufu. 21:1;3 Ne. 26:3;M&M 101:23–25.

10a Ufu. 7:14;1 Ne. 12:10–11;Alma 5:27.

11a mwm Israeli—Kukusanyika kwaIsraeli.

b M&M 133:26–35.

Page 652: KITABU CHA MORMONI

635 Etheri 13:12–22

ambalo Mungu alifanya na babayao, cIbrahimu.

12 Na wakati vitu hivi vitaka-pokuja, huletwa kutimizwaandiko ambalo linasema, wakowale walio wa akwanza, wata-kaokuwa wa mwisho; na wakowale waliokuwa wa mwisho,ambao watakuwa wa kwanza.

13 Na nilikuwa karibu kua-ndika zaidi, lakini nimekata-zwa; lakini kuu na wa ajabuulikuwa unabii wa Etheri; laki-ni walimdhania kuwa bure, nawakamtupa nje; na alijifichakwenye pango la mwambawakati wa mchana, na wakatiwa usiku alienda akiangaliavitu ambavyo vitawajia watu.

14 Na vile alivyoishi kwenyepango la mwamba aliandikahaya maandishi yaliyosalia, aki-tazama uharibifu ambao uli-wajia watu, wakati wa usiku.

15 Na ikawa kwamba katikamwaka huo huo ambamo alitu-pwa nje kutoka miongoni mwawatu vita vikubwa vilianzamiongoni mwa watu, kwanikulikuwa na wengi walioasi,ambao walikuwa watu wenyenguvu, na walitafuta kumwa-ngamiza Koriantumuri kwamipango yao ya siri na maovu,ambayo yamezungumziwa.

16 Na sasa Koriantumuri,akiwa amesoma, mwenyewe,katika ustadi wote wa vita naujanja wote wa ulimwengu,kwa hivyo alifanya vita na walewaliotaka kumwangamiza.

17 Lakini hakutubu, wala wanawake wenye sura nzuri namabinti zake; wala wana namabinti za Kohori waliokuwana sura nzuri; wala wana namabinti za Korihori ambao wa-likuwa na sura nzuri; na kwakifupi, hakukuwa na wana namabinti waliokuwa na sura nzu-ri juu ya uso wa dunia nzimaambao walitubu dhambi zao.

18 Kwa hivyo, ikawa kwambakat ika mwaka wa kwanzaambamo Etheri aliishi kwenyepango la mwamba, kulikuwana watu wengi waliouawa kwaupanga wa wale wa kundi ovula asiri, likipigana dhidi ya Kori-antumuri ili wangepata ufalme.

19 Na ikawa kwamba wana waKoriantumuri walipigana sanana walitokwa na damu sana.

20 Na katika mwaka wa pilineno la Bwana lilimjia Etheri,kwamba aende na amtabirieaKoriantumuri kwamba, ikiwaangetubu, na nyumba yakeyote, Bwana angempatia ufalmewake na kuwaachilia watu —

21 La sivyo wangeangami-zwa, na nyumba yake yoteisipokuwa yeye. Na angeishitu kushuhudia utimizaji waunabii ambao umezungumziwakuhusu watu awengine kupo-kea nchi kwa urithi wao; naKoriantumuri angezikwa nahao; na kila mtu angeangami-zwa isipokuwa bKoriantumuri.22 Na ikawa kwamba Koria-

ntumuri hakutubu, wala nyu-

11c mwm Agano laIbrahimu.

12a Mk. 10:31;1 Ne. 13:42;

Yak. (KM) 5:63;M&M 90:9.

18a Eth. 8:9–26.20a Eth. 12:1–2.

21a Omni 1:19–21;Eth. 11:21.

b Eth. 15:29–32.

Page 653: KITABU CHA MORMONI

Etheri 13:23–14:3 636

mba yake, wala watu; na vitahavikuisha; na walitaka ku-muua Etheri, lakini alitorokakutoka kwao na kujificha tenakwenye pango la ule mwamba.23 Na ikawa kwamba kulito-

kea mtu ambaye aliitwa Sharedi,na alifanya vita na Koriantu-muri; na alimshinda, mpakakwamba katika mwaka wa tatualimweka kwenye utumwa.

24 Na wana wa Koriantumuri,katika mwaka wa nne, walim-shinda Sharedi, na kumrudishababa yao kwenye ufalme.

25 Sasa kulianza kuwa na vitajuu ya uso wa nchi yote, kilamtu na kundi lake akipiganiakile alichotaka.

26 Na kulikuwa na wanya-ng’anyi, na kwa kifupi, kilaaina ya uovu juu ya uso wanchi yote.

27 Na ikawa kwamba Koria-ntumuri alimkasirikia sana Sha-redi, na akamwendea na jeshilake kupigana; na walikutanakwa hasira kubwa, na waliku-tania kwenye bonde la Gilgali;na vita vikawa vikali sana.

28 Na ikawa kwamba Sharedialipigana dhidi yake kwa mudawa siku tatu. Na ikawa kwambaKoriantumuri alimshinda, nakumfukuza mpaka alipofikiamahali tambarare pa Heshloni.

29 Na ikawa kwamba Sharedialimfanyia vita tena juu ya ta-mbarare; na tazama, alimshindaKoriantumuri, na kumrudishanyuma tena hadi kwenye bondela Gilgali.

30 Na Koriantumuri alifanya

vita na Sharedi tena kwenye bo-nde la Gilgali, ambamo kwakealimshinda Sharedi na kumuua.

31 Na Sharedi al imjeruhiKoriantumuri katika paja lake,kwamba hangepigana tena kwamuda wa miaka miwili, wakatiambamo watu wote juu ya usowa nchi walikuwa wanamwagadamu, na hakukuwa na yeyoteambaye angewazuia.

MLANGO WA 14

Ubaya wa watu unaleta laana juuya nchi—Koriantumuri anajihusi-sha kwa vita dhidi ya Gileadi, ha-lafu Libu, na kisha Shizi — Damuna mauaji yanafunika nchi.

Na sasa kulianza kuwa naalaana kuu juu ya nchi yotekwa sababu ya uovu wa watu,ambamo kwake, ikiwa mtuangeweka chombo chake auupanga wake juu ya rafu yake,au mahali ambapo angeiweka,tazama, kufikia kesho yake,hangeipata, kubwa hivyo ili-kuwa laana juu ya nchi.

2 Kwa hivyo kila mtu alishiki-lia kile kilichokuwa chake, kwamikono yake, na hangeombawala kuazima; na kila mtu ali-weka kipini cha upanga wakekwenye mkono wa kulia, katikakulinda mali yake na maishayake, na ya mabibi zake nawatoto wake.

3 Na sasa, baada ya muda wamiaka miwili, na baada ya kifocha Sharedi, tazama, kulitokeakaka ya Sharedi na akafanya

14 1a Hel. 12:18; 13:17–23; Morm. 1:17–18; 2:10–14.

Page 654: KITABU CHA MORMONI

637 Etheri 14:4–18

vita na Koriantumuri, ambamoKoriantumuri alimshinda nakumfukuza hadi kwenye jangwala Akishi.4 Na ikawa kwamba kaka ya

Sharedi alifanya vita dhidi yakekatika jangwa la Akishi; na vitavilikuwa vikubwa sana, namaelfu wengi walianguka kwaupanga.

5 Na ikawa kwamba Koria-ntumuri alizingira jangwa; nakaka ya Sharedi alitoka nje yajangwa wakati wa usiku, nakuua sehemu ya jeshi la Koria-ntumuri, wakati walipokuwawamelewa.

6 Na akaja mbele hadi kwenyenchi ya Moroni, na kujiwekakwenye kiti cha enzi cha Koria-ntumuri.

7 Na ikawa kwamba Koriantu-muri aliishi na jeshi lake katikajangwa kwa muda wa miakamiwili, wakati ambapo alipatanguvu nyingi kwa jeshi lake.

8 Sasa kaka ya Sharedi, ambayejina lake lilikuwa Gileadi, piaalipata nguvu nyingi kwa jeshilake, kwa sababu ya vikundivyake vya siri.

9 Na ikawa kwamba kuhanimkuu wake alimuua wakatialipokuwa amekalia kiti chakecha enzi.

10 Na ikawa kwamba mmojawa wale wa kundi ovu la sirialimuua katika njia ya siri, naakajipatia ufalme; na jina lakelilikuwa Libu; na Libu alikuwamtu mnene, kuliko mtu yeyotemiongoni mwa watu wote.

11 Na ikawa kwamba katikamwaka wa kwanza wa Libu,Koriantumuri alikuja kwenye

nchi ya Moroni, na kufanyavita na Libu.

12 Na ikawa kwamba alipiganana Libu, ambamo kwake Libualimpiga mkono wake kwambaalimjeruhi; walakini, jeshi laKoriantumuri lilimshambuliaLibu, kwamba alikimbia hadikwenye mipaka juu ya ukingowa bahari.

13 Na ikawa kwamba Koria-ntumuri alimfuata; na Libuakafanya vita na yeye juu yaukingo wa bahari.

14 Na ikawa kwamba Libu ali-shinda jeshi la Koriantumuri,kwamba walikimbia tena hadikwenye nyika ya Akishi.

15 Na ikawa kwamba Libualimfuata mpaka akafikia nchiwazi ya Agoshi. Na Koriantu-muri alikuwa amechukua watuwote na yeye wakati alikimbiambele ya Libu katika ile sehemuya nchi ambapo alikimbilia.

16 Na baada ya kuja kwenyetambarare za Agoshi alifanyavita na Libu, na kumpiga mpakaakafa; walakini, kaka ya Libualimshambulia Koriantumuribadala yake, na vita vikawa vi-kali sana, ambapo Koriantumurialikimbia mbele ya jeshi lakaka ya Libu.

17 Sasa jina la kaka ya Libulilikuwa Shizi. Na ikawa kwa-mba Shizi alimfukuza Koria-ntumuri, na kuangamiza mijimingi, na aliua wote wanawa-ke na watoto, na alichomamiji hiyo.

18 Na kukaenea woga juu yaShizi katika nchi nzima; ndio,mlio ulienda kote nchini — Ninani anaweza kushindana na

Page 655: KITABU CHA MORMONI

Etheri 14:19–30 638

jeshi la Shizi? Tazama, husafishadunia mbele yake!19 Na ikawa kwamba watu

walianza kujikusanya pamojakwa majeshi, kote kwenye usowa nchi.

20 Na waligawanyika; na sehe-mu yao moja ilikimbilia jeshi laShizi, na sehemu nyingine ika-kimbilia jeshi la Koriantumuri.

21 Na vita vilikuwa vikubwana vya kudumu, na kuonekanakwa damu kuliendelea kwamuda mrefu na mauaji, kwa-mba uso wa nchi ulifunikwa naamiili ya waliokufa.22 Na vita vilikuwa vya upesi

sana na haraka kwamba haku-kuwa na aliyebaki kuzika wali-okufa, lakini walienda mbelekutoka kwa umwagaji wa damuhadi kwa umwagaji wa damumwingine, wakiacha miili yawote wanaume, wanawake, nawatoto imetawanywa juu yauso wa nchi, kuwa mawindoya aminyoo ya mwili.23 Na uvundo kutoka hapo

ulienea juu ya uso wa nchi, hatajuu ya uso wote wa nchi; kwahivyo watu walisumbuliwamchana na usiku, kwa sababuya uvundo wa wafu.

24 Walakini, Shizi hakuachakumkimbiza Koriantumuri;kwani alikuwa ameapa kujili-piza kisasi juu ya Koriantumurikwa damu ya kaka yake, amba-ye alikuwa amemuua, na nenola Bwana ambalo lilimjia Etherikwamba Koriantumuri hange-uawa kwa upanga.

25 Na hivyo tunaona kwamba

Bwana aliwatembelea katikautimilifu wa ghadhabu yake, nauovu wao na machukizo yaoyalitayarisha njia kwa maanga-mizo yao yasiyo na mwisho.

26 Na ikawa kwamba Shizialimfuata Koriantumuri kwaupande wa mashariki, mpakakufika kwenye mipaka kandoya ukingo wa bahari, na kulealifanya vita na Shizi kwa mudawa siku tatu.

27 Na uharibifu ulikuwa wakutisha sana miongoni mwamajeshi ya Shizi kwamba watuwalianza kuogopa, na kuanzakukimbia mbele ya majeshi yaKoriantumuri; na walikimbiahadi kwa nchi ya Korihori, nakuangamiza wakazi mbele yao,wale wote ambao hawakujiunganao.

28 Na walipiga hema zaokatika bonde la Korihori; naKoriantumuri akapiga hemazake katika bonde la Shuri. Sasabonde la Shuri lilikuwa karibuna kilima Komnori; kwa hivyo,Koriantumuri alikusanya ma-j e s h i y a k e j u u y a k i l i m aKomnori, na akapiga tarumbetakuelekea kwa majeshi ya Shizikuwakaribisha kupigana.

29 Na ikawa kwamba walikujambele, lakini walikimbizwatena; na wakaja tena safari yapili, na wakakimbizwa tena sa-fari ya pili. Na ikawa kwambawalikuja tena safari ya tatu, navita vikawa vikali sana.

30 Na ikawa kwamba Shizialimpiga Koriantumuri kwambaalimpatia majeraha mengi ya

21a Eth. 11:6. 22a Isa. 14:9–11.

Page 656: KITABU CHA MORMONI

639 Etheri 14:31–15:10

vidonda vikubwa; na Koria-ntumuri, kwa sababu ya kupo-teza damu yake, alizirai, naalibebwa na kupelekwa mbalikama aliyekufa.31 Sasa mauaji ya wanaume,

wanawake na watoto pandezote mbili yalikuwa makubwasana kwamba Shizi aliamuruwatu wake wasiyafuatilie maje-shi ya Koriantumuri; kwa hivyo,walirudi kwenye kituo chao.

MLANGO WA 15

Mamilioni ya Wayaredi wanauawakatika vita — Shizi na Koriantu-muri wanawakusanya watu wotekwenye vita vya kufa — Roho yaBwana inakoma kushughulika nao— Taifa la Wayaredi linaangami-zwa kabisa — Koriantumuri pekeeanabaki.

Na ikawa baada ya Koriantu-muri kupona kutokana na ma-jeraha yake, alianza kukumbukaamaneno ambayo Etheri aliku-wa amemzungumzia.2 Aliona kwamba walikuwa

wameuawa kwa upanga kita-mbo karibu milioni mbili yawatu wake, na alianza kuhuzu-nika moyoni mwake; ndio, wa-likuwa wameuawa milion mbi-li ya watu wakuu, na pia wakezao na watoto wao.

3 Alianza kutubu kwa uovuambao al ikuwa amefanya;alianza kukumbuka manenoambayo yalizungumzwa kwamidomo ya manabii wote, naaliona kwamba yametimizwa

hadi sasa, kila chembe; na nafsiyake iliomboleza na kukataakutulizwa.

4 Na ikawa kwamba aliandikabarua kwa Shizi, akimwulizaawasamehe watu, na angeachaufalme kwa ajili ya maisha yawatu.

5 Na ikawa kwamba baada yaShizi kupokea barua yake alia-ndika barua kwa Koriantumuri,kwamba kama angejisalamisha,ili amuue kwa upanga wakemwenyewe, kwamba angea-chilia maisha ya watu.

6 Na ikawa kwamba watu ha-wakutubu kutoka kwa maovuyao; na watu wa Koriantumuriwalichochewa kuwa na hasiradhidi ya watu wa Shizi; nawatu wa Shizi walichochewakuwa na hasira dhidi ya watuwa Koriantumuri; kwa hivyo,watu wa Shizi walifanya vitana watu wa Koriantumuri.

7 Na wakati Koriantumurialipoona kwamba alikuwa ka-ribu kushindwa alikimbia tenambele ya watu wa Shizi.

8 Na ikawa kwamba alifikiamaji ya Ripliankumu, ambayo,kwa tafsiri, ni kubwa, au kushi-nda yote; kwa hivyo, walipofi-kia haya maji walipiga hemazao; na Shizi pia akapiga hemazake karibu na wao; na kwahivyo kesho yake walipigana.

9 Na ikawa kwamba walipi-gana vita vikali sana, ambamokwake Koriantumuri alijeruhi-wa tena, na akazirai kwa kupo-teza damu.

10 Na ikawa kwamba majeshi

15 1a Eth. 13:20–21.

Page 657: KITABU CHA MORMONI

Etheri 15:11–19 640

ya Koriantumuri yalizidi ku-shambulia majeshi ya Shizikwamba waliwashinda, kwa-mba waliwasababisha kukimbiakutoka mbele yao; na waliki-mbilia upande wa kusini, nakupiga hema zao mahali pali-poitwa Ogathi.11 Na ikawa kwamba jeshi la

Koriantumuri lilipiga hemazao kando ya kilima Rama; nakilikuwa kile kile kilima amba-po baba yangu Mormoni aalifi-cha maandishi kwa ulinzi waBwana, ambayo yalikuwa ma-takatifu.12 Na ikawa kwamba waliwa-

kusanya watu wote pamoja juuya uso wa nchi, wale ambaowalikuwa hawajauawa, isipo-kuwa Etheri.

13 Na ikawa kwamba Etherialiona matendo yote ya watu;na aliona kwamba watu ambaowalikuwa wafuasi wa Koria-ntumuri walikusanywa pamojakuwa jeshi la Koriantumuri; nawatu waliokuwa wafuasi waShizi walikusanyika pamojakwenye jeshi la Shizi.

14 Basi, walikusanya watupamoja kwa muda wa miakaminne, kwamba wangepatawale wote ambao walikuwa juuya uso wa nchi, na ili wapatenguvu yote ambayo iliwezekanakupata.

15 Na ikawa kwamba baadaya wote kukusanyika pamoja,kila mtu kwenye jeshi ambaloalitaka, na wake zao na watotowao — wote wanaume, wana-wake na watoto wakijihami na

silaha za vita, wakiwa na ngao,na adirii, na vyapeo, na wakiwawamevalia kwa njia ya vita —walisonga mbele mmoja dhidiya mwingine kupigana; nawalipigana ile siku yote, na ha-kuna aliyeshinda.

16 Na ikawa kwamba wakatiilipokuwa usiku walikuwa wa-mechoka, na wakarudi kwenyevituo vyao; na baada ya kurudikwenye vituo vyao walianzakulia na kuomboleza kwa sa-babu ya watu wao ambao wali-kuwa wameuawa; na vilio vyaovilikuwa vikuu sana, pamoja namaombolezo yao na makelele,kwamba vilipenya anga kwawingi.

17 Na ikawa kwamba keshoyake walienda tena kupigana,na siku hiyo ilikuwa kubwa naya kutisha; walakini, hawaku-shinda, na wakati usiku ulipo-wadia tena walipenya anga navilio vyao, na kulia kwao, namaombolezo yao, kwa vifo vyawatu wao.

18 Na ikawa kwamba Koria-ntumuri aliandika tena baruakwa Shizi, akitaka kwamba asijetena kwa vita, lakini akubaliufalme, na kuhurumia maishaya watu.

19 Lakini tazama, Roho yaBwana ilikuwa imekoma ku-waongoza, na aShetani alikuwana uwezo kamili juu ya mioyoya watu; kwani walikuwa wa-mejisalimisha kwa ugumu wamioyo yao, na upofu wa akilizao kwamba waharibiwe; kwahivyo walienda tena vitani.

11a Morm. 6:6. 15a Mos. 8:7–10. 19a mwm Ibilisi.

Page 658: KITABU CHA MORMONI

641 Etheri 15:20–34

20 Na ikawa kwamba walipi-gana ile siku yote, na usiku uli-powadia walilalia panga zao.

21 Na kesho yake walipiganampaka hata usiku ukafika.

22 Na usiku ulipofika awali-kuwa na hasira, kama vilemtu aleweshwavyo na divai; nawalilalia tena panga zao.

23 Na kesho yake walipiganatena; na usiku ulipofika wotewalikuwa wameuawa isipoku-wa watu wa Koriantumurihamsini na wawili, na watu waShizi sitini na tisa.

24 Na ikawa kwamba walila-lia panga zao usiku huo, nakesho yake wakapigana tena,na walipigana kwa nguvu yaoyote kwa panga na ngao zao,siku hio yote.

25 Na wakati usiku ulipofikakulikuwa na watu wa Shizi the-lathini na wawili, na watu waKoriantumuri ishirini na saba.

26 Na ikawa kwamba walikulana kulala, na kujitayarishia kifokesho yake. Na walikuwa wane-ne na wenye nguvu wakilinga-nishwa na watu wa kawaida.

27 Na ikawa kwamba walipi-gana kwa muda wa masaamatatu, na walizirai kwa kupo-teza damu.

28 Na ikawa kwamba baada yawatu wa Koriantumuri kupatanguvu ya kutosha tena kwa-mba wangeweza kutembea,walikuwa karibu kukimbia kwamaisha yao; lakini tazama, Shizialiamka, na pia watu wake, naakaapa kwa ghadhabu yake

kwamba angemuua Koriantu-muri au sivyo angeuawa kwaupanga.

29 Kwa hivyo, aliwafuata, nakesho yake akawapata; nawakapigana tena kwa upanga.Na ikawa kwamba awote wali-pokuwa wamekufa, isipokuwaKoriantumuri na Shizi, tazamaShizi alikuwa amezirai kwakupoteza damu.

30 Na ikawa kwamba wakatiKoriantumuri alikuwa amelaliaupanga wake, ili apumzike ki-dogo, alikata kichwa cha Shizi.

31 Na ikawa kwamba baadaya kukata kichwa cha Shizi,kwamba Shizi alijiinua kwamikono yake na kisha akaa-nguka; na baada ya kujitahidikuvuta pumzi, akafa.

32 Na ikawa kwamba aKoria-ntumuri alianguka ardhini, nakuwa kama hana uhai.

33 Na Bwana akamzungumziaEtheri, na kumwambia: Nendambele. Na akaenda mbele, naaliona kwamba maneno yaBwana yalikuwa yote yametimi-zwa; na akamaliza amaandishiyake; (na ile sehemu moja kwamia sijaandika) na akayafichakwa njia ambayo watu waLimhi waliyapata.

34 Sasa maneno ya mwishoambayo yameandikwa na aEthe-ri ni haya: Kama Bwana anatakakunichukua nikiwa hai, aukama nitavumilia mapenzi yaBwana kimwili, haijalishi, ikiwanitaokolewa katika ufalme waMungu. Amina.

22a Moro. 9:23.29a Eth. 13:20–21.32a Omni 1:20–22.

33a Mos. 8:9;Alma 37:21–31;Eth. 1:1–5.

34a Eth. 12:2.

Page 659: KITABU CHA MORMONI

Kitabu cha Moroni

MLANGO WA 1

Moroni anaandika kwa manufaaya Walamani — Wanefi ambaohawatamkana Kristo wanauawa.Kutoka karibu mwaka wa 401hadi 421 baada ya kuzaliwa kwaKristo.

SASA mimi, aMoroni, baadaya kumaliza kufupisha histo-

ria ya watu wa Yaredi, sikudha-nia kama ningeandika zaidi,lakini bado sijakufa; na sitakikujionyesha kwa Walamani wa-sije wakaniangamiza.2 Kwani tazama, avita vyao ni

vikali sana miongoni mwaowenyewe; na kwa sababu yachuki yao bwanaua kila Mnefiambaye hatamkana Kristo.3 Na mimi, Moroni, asitamkana

Kristo; kwa hivyo, ninaranda-randa popote niwezapo kwausalama wa maisha yangu.4 Kwa hivyo, ninaandika vitu

vingine vichache, kinyume chakile nilichotarajia; kwani nili-dhani kuwa sitaandika zaidiya hayo; lakini ninaandika vituvichache zaidi, kwamba vinge-kuwa vya manufaa kwa nduguzangu, Walamani, katika sikuzijazo, kulingana na mapenziya Bwana.

MLANGO WA 2

Yesu aliwapa wale wanafunzi kumina wawili Wanefi uwezo wa kutoakipawa cha Roho Mtakatifu. Kutokakaribu mwaka wa 401 hadi 421baada ya kuzaliwa kwa Kristo.

Maneno ya Kristo, aliyowa-zungumzia awanafunzi wake,kumi na wawili ambao alikuwaamewateua, wakati alipowawe-ka mikono yake juu yao —

2 Na aliwaita kwa majina, aki-sema: Mtalingana Baba katikajina langu, katika sala ya nguvu;na baada ya kufanya hivi mta-kuwa na auwezo kwamba kwayule ambaye mtamwekea bmi-kono yenu, cmtampatia RohoMtakatifu; na katika jina langumtatoa, kwani hivyo ndivyomitume wangu hufanya.

3 Sasa Kristo alisema manenohaya kwao wakati wa kwanzawa kuonekana kwake; na uma-ti haukusikia, lakini wanafunziwalisikia; na kwa wengi ambaoawaliwawekea mikono yao,Roho Mtakatifu aliwashukia.

MLANGO WA 3

Wazee wanawatawaza makuhani nawalimu kwa kuwawekea mikono.

[moroni]1 1a mwm Moroni,

Mwana wa Mormoni.2a 1 Ne. 12:20–23.

b Alma 45:14.

3a Mt. 10:32–33;3 Ne. 29:5.

2 1a 3 Ne. 13:25.2a mwm Uwezo.

b mwm Mikono,

Kuweka juu ya.c 3 Ne. 18:37.

3a Mdo. 19:6.

Page 660: KITABU CHA MORMONI

643 Moroni 3:1–5:2

Kutoka karibu mwaka wa 401 hadi421 baada ya kuzaliwa kwa Kristo.

Njia ambayo wanafunzi, ambaowaliitwa awazee wa kanisa,bwaliwatawaza makuhani nawalimu —2 Baada ya wao kuomba kwa

Baba katika jina la Kristo, wali-wawekea mikono, na kusema:

3 Katika jina la Yesu Kristoninakutawaza uwe kuhani(au kama atakuwa mwalimu,ninakutawaza uwe mwalimu)kuhubiri toba na amsamaha wadhambi kupitia kwa Yesu Kris-to, kwa kuvumilia kwa imanikwa jina lake hadi mwisho.Amina.

4 Na katika njia hii awaliwata-waza makuhani na walimu,kulingana na bkarama na witowa Mungu kwa watu; na wali-watawaza kwa cuwezo wa RohoMtakatifu, ambaye alikuwandani yao.

MLANGO WA 4

Namna wazee na makuhani wana-vyohudumia sakramenti ya mkateinaelezwa. Kutoka karibu mwakawa 401 hadi 421 baada ya kuzaliwakwa Kristo.aNjia ya bwazee wao na maku-hani wakibariki mwili na damuya Kristo kwa washiriki; na

cwaliubariki kulingana na amriza Kristo; kwa hivyo tunajuanjia ni ya kweli; na mzee aukuhani aliibariki —

2 Na walipiga magoti chini nawashiriki, na kuomba kwa Babakatika jina la Kristo, wakisema:

3 Ee Mungu, Baba wa Milele,tunakuomba katika jina laMwanao, Yesu Kristo, ubarikina utakase amkate huu kwaroho za wale wote watakaoula,ili waweze kuula kwa buku-mbusho wa mwili wa Mwanao,na wakushuhudie, Ee Mungu,Baba wa Milele, kwamba wakoradhi kujichukulia juu yao cjinala Mwanao, na daima kumku-mbuka, na kushika amri zakeambazo amewapa, ili daimadRoho wake apate kuwa pamojanao. Amina.

MLANGO WA 5

Njia ya kutoa divai ya sakramentiinaelezwa. Kutoka karibu mwakawa 401 hadi 421 baada ya kuzaliwakwa Kristo.aNjia ya kubariki divai — Ta-zama, walichukua kikombe, nakusema:

2 Ee Mungu, Baba wa Milele,tunakuomba katika jina laMwanao, Yesu Kristo, ubarikina utakase adivai hii kwa rohoza wale wote watakaoinywa, ili

3 1a Alma 6:1.mwm Mzee.

b mwm Kutawaza,Kutawazwa.

3a mwm Ondoleo laDhambi.

4a M&M 18:32; 20:60.b mwm Karama.

c 1 Ne. 13:37; Moro. 6:9.4 1a 3 Ne. 18:1–7.

b mwm Mzee.c M&M 20:76–77.

3a mwm Sakramenti.b Lk. 22:19;

1 Kor. 11:23–24;3 Ne. 18:7.

c mwm Yesu Kristo—Kujichukulia Jina laYesu Kristo juu yetu.

d mwm Roho Mtakatifu.5 1a 3 Ne. 18:8–11;

M&M 20:78–79.2a M&M 27:2–4.

mwm Sakramenti.

Page 661: KITABU CHA MORMONI

Moroni 6:1–7 644

waweze kufanya kwa buku-mbusho wa damu ya Mwanao,ambayo ilimwagwa kwa ajiliyao; kwamba washuhudiekwako, Ee Mungu, Baba waMilele, kwamba wamkumbuke,i l i Roho wake apate kuwapamoja nao. Amina.

MLANGO WA 6

Watu waliotubu wanabatizwa nakushirikishwa—Washiriki wa Ka-nisa wanaotubu wanasamehewa— Mikutano inaendeshwa kwauwezo wa Roho Mtakatifu. Kutokakaribu mwaka wa 401 hadi 421baada ya kuzaliwa kwa Kristo.

Na sasa ninazungumza kuhusuaubatizo. Tazama, wazee, ma-kuhani, na walimu walibatizwa;na hawangebatizwa kama ha-wangezaa matunda byapasayotoba.

2 Wala hawakumpokea yeyotekwenye ubatizo kama hange-kuja na moyo auliopondeka naroho iliyovunjika, na kushuhu-dia kwa kanisa kwamba wame-tubu kwa kweli kutoka kwenyedhambi zao.

3 Na hakuna waliopokewakwenye batizo isipokuwa awa-jivike juu yao jina la Kristo na

kukata kauli kumtumikia hadimwisho.

4 Na baada ya hao kupokewakwenye ubatizo, na kupokele-wa na akusafishwa kwa uwezowa Roho Mtakatifu, walihesa-biwa miongoni mwa watu wakanisa la Kristo; na bmajina yaoyalichukuliwa ili wakumbukwena kulishwa na neno nzuri laMungu, kuwaweka kwa njianzuri, kuwaweka cwaangalifusiku zote kwenye sala, dwakite-gemea tu katika nguvu ya wo-kovu wa Kristo, ambaye aliku-wa emwanzilishi na mtimizajiwa imani yao.

5 Na washiriki wa akanisawalikutana pamoja bmara kwamara, ckufunga na kuomba, nakuzungumza mmoja na mwi-ngine kuhusu ustawi wa nafsizao.

6 Na walikutana pamoja marakwa mara kushiriki kwa mkatena divai, katika kumkumbukaBwana Yesu.

7 Na walikuwa waangalifukwamba akusiwe na uovu mio-ngoni mwao; na yeyote aliye-patikana akitenda uovu, namashahidi bwatatu wa kanisawaliwahukumu mbele ya cwa-zee, na kama hawakutubu, nadhawakukiri, majina yao eyalito-

2b Lk. 22:19–20;1 Kor. 11:25.

6 1a mwm Batiza, Ubatizo.b mwm Kustahili,

enye, Ustahiliki.2a mwm Moyo

Uliovunjika.3a mwm Yesu Kristo—

Kujichukulia Jina laYesu Kristo juu yetu.

4a mwm Safi, Usafi.b M&M 20:82.

c Alma 34:39;3 Ne. 18:15–18.

d 2 Ne. 31:19;M&M 3:20.

e Ebr. 12:2.5a mwm Kanisa la

Yesu Kristo.b 3 Ne. 18:22;

4 Ne. 1:12;M&M 88:76.

c mwm Funga,Kufunga.

7a M&M 20:54.b M&M 42:80–81.

mwm Shahidi,Ushahidi.

c Alma 6:1.mwm Mzee.

d mwm Kiri, Kukiri.e Kut. 32:33;

M&M 20:83.mwm Kutengwa naKanisa.

Page 662: KITABU CHA MORMONI

645 Moroni 6:8–7:8

lewa nje, na hawakuhesabiwamiongoni mwa watu wa Kristo.8 Lakini amara walipotubu na

kuuliza msamaha, na kusudihalisi, bwalisamehewa.

9 Na mikutano yao ailiende-shwa na kanisa kulingana nanjia ambayo Roho aliwaongoza,na kwa uwezo wa Roho bMta-katifu; kwani vile uwezo waRoho Mtakatifu ulivyowaongo-za kuhubiri, au kuhimiza, aukuomba, hata hivyo ndivyoilivyofanywa.

MLANGO WA 7

Karibisho linapewa kuingia kwe-nye makao ya Bwana — Ombenina nia ya kweli — Roho wa Kristohuwezesha watu kujua mema namaovu — Shetani anawashawishiwatu wamkane Kristo na wafanyeuovu — Manabii wanadhihirishakuja kwa Kristo — Kwa imani,miujiza hufanyika na malaikawanahudumu—Watu wanapaswakutumaini uzima wa milele na ku-ambatana kwenye hisani. Kutokakaribu mwaka wa 401 hadi 421baada ya kuzaliwa kwa Kristo.

Na sasa mimi, Moroni, naandi-ka machache ya maneno yababa yangu Mormoni, ambayoalisema kuhusu aimani, tumai-ni, na hisani; kwani hii ndiyonjia aliyozungumza kwa watu,wakati alipowafundisha katikasinagogi ambayo walikuwa

wamejenga kama mahali pakuabudu.

2 Na sasa mimi, Mormoni,nazumgumza kwenu nduguzangu wapendwa; na ni kwaneema ya Mungu Baba, naBwana wetu Yesu Kristo, namapenzi yake matakatifu, kwasababu ya karama yake akuniita,kwamba nimekubaliwa kuzu-ngumza kwenu wakati huu.

3 Kwa hivyo, ningewazungu-mzia wale ambao ni wa kanisa,ambao ni wafuasi wa imani yaKristo, ambao wamepata tu-maini la kutosha ambalo kwalomnaweza kuingia kwenye ama-kao ya Bwana, kutoka wakatihuu kwenda mbele mpakamtakapopumzika na yeye mbi-nguni.

4 Na sasa ndugu zangu, nahu-kumu vitu hivi kwenu kwasababu ya amatembezi yenumatulivu na watoto wa watu.

5 Kwani nakumbuka neno laMungu ambalo linasema kwamatunda yao amtawatambua;kwani kama matunda yao nimema, basi ni wema pia.

6 Kwani tazama, Munguamesema mtu akiwa amwovuhawezi kufanya yale ambayo nimema; kwani ikiwa atatoa ka-rama, au bkuomba kwa Mungu,isipokuwa aifanye kwa kusudijema haimfaidii chochote.

7 Kwani tazama, haihesabiwikwake kwa haki.

8 Kwani tazama, ikiwa mtu

8a Mos. 26:30–31.b mwm Samehe.

9a M&M 20:45; 46:2.b mwm Roho Mtakatifu.

7 1a 1 Kor. 13:1–13;Eth. 12:3–22, 27–37;

Moro. 8:14; 10:20–23.2a mwm Ita, Itwa na

Mungu, Wito.3a mwm Pumziko.4a 1 Yoh. 2:6;

M&M 19:23.

5a 3 Ne. 14:15–20.6a Mt. 7:15–18.

b Alma 34:28.mwm Sala.

Page 663: KITABU CHA MORMONI

Moroni 7:9–17 646amwovu anatoa zawadi, huifa-nya bbila kupenda; kwa hivyoinahesabiwa kwake sawa kamaangeiweka ile zawadi; kwa hi-vyo anadhaniwa mwovu mbeleya Mungu.9 Na kadhalika husahesibiwa

pia uovu kwa mtu, ikiwa atao-mba bila nia akamili ya moyo;ndio, na haimfaidii chochote,kwani Mungu hampokei yeyotewa aina hii.

10 Kwa hivyo, mtu akiwamwovu hawezi kufanya kileambacho ni chema; wala hawe-zi kutoa karama nzuri.

11 Kwani tazama, achimbukochungu haliwezi kutoa majimazuri; wala chimbuko zurihaliwezi kutoa maji chungu;kwa hivyo, mtu akiwa mtumi-shi wa ibilisi hawezi akamfuataKristo; na akiwa banamfuataKristo hapo hawezi akawamtumishi wa ibilisi.12 Kwa hivyo, vitu vyote

vilivyo avizuri vinatoka kwaMungu; na kile kilicho bkiovuhutoka kwa ibilisi; kwani ibilisini adui wa Mungu, na hupiganadhidi yake siku zote, na huka-ribisha na hushawishi kufanyacdhambi, na kufanya kile kili-cho kiovu siku zote.13 Lakini tazama, kile kilicho

cha Mungu hukaribisha na hu-shawishi kufanya mema siku

zote; kwa hivyo, kila kitu kina-chokaribisha na akushawishikufanya mema, na kumpendaMungu, na kumtumikia, bkina-ongozwa na Mungu.

14 Kwa hivyo, muwe waanga-lifu, ndugu zangu wapendwa,kwamba msione kile ambachoni akiovu kuwa cha Mungu, aukile ambacho ni kizuri na chaMungu kuwa cha ibilisi.

15 Kwani tazama, nduguzangu, mmepewa uhuru aku-hukumu, kwamba mjue memana maovu; na njia ya kuhukumuni wazi, kwamba mjue na ufa-hamu kamili, kama mwangazawa mchana kutoka kwa giza lausiku.

16 Kwani tazama, aRoho yaKristo imetolewa kwa kila mtu,ili bajue mema na maovu; kwahivyo, ninawaonyesha njia yakuhukumu; kwani kila kitu ki-nachokaribisha kufanya mema,na kushawishi kuamini katikaKristo, kinasababishwa na uwe-zo na thawabu ya Kristo; kwahivyo mngejua na ufahamukamili kwamba ni cha Mungu.

17 Lakini kitu chochote amba-cho hushawishi watu kufanyaamaovu, na kutoamini katikaKristo, na kumkana, na kutom-tumikia Mungu, hapo mtajuana ufahamu kamili kwamba nicha ibilisi; kwani kwa njia

8a Mit. 15:8.b M&M 64:34.

9a Yak. (Bib.) 1:6–7; 5:16;Moro. 10:4.

11a Yak. (Bib.) 3:11–12.b Mt. 6:24;

2 Ne. 31:10–13;M&M 56:2.

12a Yak. (Bib.) 1:17;

1 Yoh. 4:1–2;Eth. 4:12.

b Alma 5:39–42.c Hel. 6:30.

mwm Dhambi.13a 2 Ne. 33:4; Eth. 8:26.

b mwm Maongozi yaMungu, Shawishi.

14a Isa. 5:20; 2 Ne. 15:20.

15a mwm Utambuzi,Kipawa cha.

16a mwm Dhamiri; Nuru,Nuru ya Kristo.

b Mwa. 3:5;2 Ne. 2:5, 18, 26;Mos. 16:3; Alma 29:5;Hel. 14:31.

17a mwm Dhambi.

Page 664: KITABU CHA MORMONI

647 Moroni 7:18–27

hii ndiyo ibilisi hufanya kazi,kwani hamshawishi mtu yeyotekufanya mema, la, sio mmoja;wala malaika wake; wala waleambao hujiweka chini yake.18 Na sasa, ndugu zangu,

nikiona kwamba mnajua anuruambayo kwake mnaweza ku-hukumu, nuru ambayo ni nuruya Kristo, mhakikishe kwa-mba hamhukumu kwa makosa;kwani bhukumu ile mnayohu-kumu nayo ndiyo mtakayohu-kumiwa.19 Kwa hivyo, ninawasihi nyi-

nyi, ndugu, kwamba mtafutekwa bidii katika anuru ya Kristokwamba mngejua mema namaovu; na ikiwa utashikilia kilakitu kizuri, na usilaumu, hapoutakuwa bila shaka bmtoto waKristo.

20 Na sasa, ndugu zangu, ina-wezekanaje kwamba mshikiliekila kitu kizuri?

21 Na sasa naja kwa ile imani,ambayo nilisema nitaizungu-mzia; na nitawaambia njiaambayo kwake mnaweza ku-shikilia kwa kila kitu kizuri.

22 Kwani tazama, Munguaakijua vitu vyote, akiwa ame-kuwepo kutoka milele hadi mi-lele, tazama, alimtuma bmalai-ka kuhudumu kwa watoto wawatu, kuwajulisha kuhusu kujakwa Kristo; na katika Kristokutatokea kila kitu kizuri.

23 Na Mungu pia aliwata-

ngazia manabii, kwa mdomowake mwenyewe, kwambaKristo sharti aje.

24 Na tazama, kulikuwa nanjia tofauti ambamo kwakealijulisha vitu kwa watoto wawatu, ambavyo vilikuwa vye-ma; na vitu vyote ambavyo nivyema hutoka kwa Kristo; lasivyo watu wangebaki kwenyehali ya akuanguka, na hakunakitu chochote kizuri ambachokingewajia.

25 Na kwa hivyo, kwa hudumaya amalaika, na kwa kila nenolitokalo katika kinywa chaMungu, watu walianza kutendaimani katika Kristo; na hivyokwa imani, walishikilia kila kitukizuri; na hivi ndivyo ilivyoku-wa mpaka kuja kwa Kristo.

26 Na baada ya yeye kuja watupia waliokolewa kwa imanikatika jina lake; na kwa kupitiakwa imani, wakawa wana waMungu. Na kwa kweli kadiriKristo aishivyo alisema hayamaneno kwa babu zetu, akise-ma: Kitu achochote mtakacho-mwuliza Baba katika jina langu,ambacho ni kizuri, kwa imanimkiamini kwamba mtapata,tazama, mtakipokea.

27 Kwa hivyo, ndugu zanguwapendwa, je, amiujiza imeko-ma kwa sababu Kristo amepa-nda mbinguni, na ameketimkono wa kulia wa Mungu,bkudai kutoka kwa Baba haki

18a Mos. 16:9;M&M 50:24; 88:7–13.mwm Nuru, Nuruya Kristo.

b tjs, Mt. 7:1–2;Lk. 6:37;Yn. 7:24.

19a M&M 84:45–46.b Mos. 15:10–12; 27:25.

mwm Wana naMabinti wa Mungu.

22a mwm Mungu, Uungu.b Musa 5:58.

mwm Malaika.

24a 2 Ne. 2:5.25a Alma 12:28–30.26a 3 Ne. 18:20.

mwm Sala.27a mwm Muujiza.

b Isa. 53:12;Mos. 14:12.

Page 665: KITABU CHA MORMONI

Moroni 7:28–37 648

zake za huruma ambazo anazojuu ya watoto wa watu?28 Kwani amejibu mwisho wa

sheria, na hudai wale woteambao wana imani ndani yake;na wale ambao wana imanindani yake awatajishikilia kwakila kitu kizuri; kwa hivyo bhu-zungumza akipendelea watotowa watu; na huishi mbingunimilele.

29 Na kwa sababu amefanyahivi, ndugu zangu wapendwa,je, miujiza imekoma? Tazamaninawaambia, La; wala malai-ka hawajakoma kuwahudumiawatoto wa watu.

30 Kwani tazama, wako chiniyake, kuhudumu kulingana naneno la amri yake, wakijidhihi-risha kwa wale walio na imaniya nguvu na akili imara katikakila kitu cha uchamungu.

31 Na kazi ya huduma yao nikuita watu kwa toba, na kuti-miza na kufanya kazi ya aganola Baba, ambalo amefanya kwawatoto wa watu, kutayarishanjia miongoni mwa watoto wawatu, kwa kutangaza neno laKristo kwa vyombo viteule vyaBwana, kwamba wangekuwana ushahidi kumhusu.

32 Na kwa kufanya hivyo,Bwana Mungu hutayarisha njiakwamba watu wengine wange-kuwa na aimani katika Kristo,kwamba Roho Mtakatifu ange-kuwa na mahali katika mioyoyao, kulingana na uwezo alio

nao; na kwa njia hii ndiyo Babahutimiza, maagano ambayoamefanya kwa watoto wa watu.

33 Na Kristo amesema: aIkiwamtakuwa na imani ndani yangumtakuwa na uwezo wa kufa-nya kitu chochote ambacho nicha bkufaa kwangu.

34 Na amesema: aTubuni enyimiisho ya dunia, na mje kwa-ngu, na mbatizwe katika jinalangu, na muwe na imani ndaniyangu, ili muokolewe.

35 Na sasa, ndugu zanguwapendwa, ikiwa hivi ndivyoitakuwa kwamba vitu hivi nikweli ambavyo nimewazungu-mzia, na Mungu atawaonyesha,kwa auwezo na fahari kuu kati-ka bsiku ya mwisho, kwambani kweli, na ikiwa ni kweli, je,wakati wa miujiza umekoma?

36 Au malaika wamekoma ku-onekana kwa watoto wa watu?Au aamesimamisha uwezo waRoho Mtakatifu kutoka kwao?Au atasimamisha, kadiri mudautakapokuwepo au dunia ita-kapokuwepo, au kutakuwa namtu mmoja juu ya uso wakekuokolewa?

37 Tazama ninawaambia, La;kwani ni kwa imani kwambaamiujiza hufanyika; na ni kwaimani kwamba malaika huone-kana na kuhudumia watu; kwahivyo, kama vitu hivi vimeko-ma msiba uwe kwa watoto wawatu, kwani ni kwa sababu yabkutoamini, na yote ni bure.

28a Rum. 12:9;M&M 98:11.

b 1 Yoh. 2:1; 2 Ne. 2:9.mwm Mwombezi.

32a mwm Imani.

33a Mt. 17:20.b M&M 88:64–65.

34a 3 Ne. 27:20; Eth. 4:18.35a 2 Ne. 33:11.

b M&M 35:8.

36a Moro. 10:4–5, 7, 19.37a Mt. 13:58;

Morm. 9:20;Eth. 12:12–18.

b Moro. 10:19–24.

Page 666: KITABU CHA MORMONI

649 Moroni 7:38–47

38 Kwani hakuna atakayeoko-ka, kulingana na maneno yaKristo, isipokuwa awe na imanikatika jina lake; kwani, ikiwahivi vitu vimekoma, basi imaniimekoma pia; na kutisha ni haliya mtu, kwani ni kama hakuja-kuwepo na ukombozi uliofa-nywa.

39 Lakini tazama, nduguzangu wapendwa, ninawezakuona vitu vyema zaidi kwenu,kwani ninaona kwamba mnaimani katika Kristo kwa saba-bu ya uvumilivu wenu; kwanikama hamna imani ndani yakeahamfai kuhesabiwa miongonimwa watu wa kanisa lake.40 Na tena, ndugu zangu

wapendwa, ninataka kuwazu-ngumzia kuhusu atumaini. Ina-wezekanaje kwamba mtafikiaimani, isipokuwa muwe natumaini?41 Na ni kitu gani amtakacho-

tumainia? Tazama nawaambiakwamba mtakuwa na btumainikupitia upatanisho wa Kristona uwezo wa kufufuka kwake,kuinuliwa kwa cmaisha ya mi-lele, na hii kwa sababu ya imaniyenu kwake kulingana na ileahadi.

42 Kwa hivyo, ikiwa mtu anaaimani blazima ahitaji kuwa natumaini; kwani bila imani haku-wezi kuwepo na tumaini lolote.

43 Na tena, tazama ninawaa-mbia kwamba hawezi kuwa naimani na tumaini, isipokuwaawe amnyenyekevu, na mpolekatika moyo.

44 Ikiwa hivyo, aimani natumaini lake ni bure, kwanihakuna yeyote anayekubaliwambele ya Mungu, isipokuwayule aliye myenyekevu na mpo-le katika moyo; na mtu akiwamyenyekevu na mpole katikamoyo, na bkukiri kwa uwezo waRoho Mtakatifu kwamba Yesuni Kristo, lazima awe na ahisani;kwani kama hana hisani yeyesi kitu; kwa hivyo lazima awena hisani.

45 Na ahisani huvumilia, na nikarimu, na haina bwivu, na hai-jivuni, haitafuti mambo yake,haifutuki kwa upesi, haifikiriimabaya, na haifurahii uovulakini hufurahi katika ukweli,huvumilia vitu vyote, huaminivitu vyote, hutumaini vituvyote, hustahamili vitu vyote.

46 Kwa hivyo, ndugu zanguwapendwa, kama hamna hisa-ni, nyinyi si kitu, kwani hisanihaikosi kufaulu kamwe. Kwahivyo, ambatana na hisani,ambayo ni kubwa kuliko yote,kwani vitu vyote lazima vishi-ndwe —

47 Lakini ahisani ni bupendomsafi wa Kristo, na inavumilia

39a mwm Kustahili,enye, Ustahiliki.

40a Eth. 12:4.mwm Tumaini.

41a M&M 138:14.b Tit. 1:2;

Yak. (KM) 4:4;Alma 25:16;Moro. 9:25.

c mwm Uzima waMilele.

42a mwm Imani.b Moro. 10:20.

43a mwm Mpole, Upole.44a Alma 7:24;

Eth. 12:28–34.b Lk. 12:8–9.

mwm Kiri, Kukiri;

Ushuhuda.45a 1 Kor. 13:1–13.

b mwm Husuda.47a 2 Ne. 26:30.

mwm Hisani.b Yos. 22:5.

mwm Upendo.

Page 667: KITABU CHA MORMONI

Moroni 7:48–8:8 650

milele; na yeyote atakayepati-kana nayo katika siku ya mwi-sho, itakuwa vyema kwake.48 Kwa hivyo, ndugu zangu

wapendwa, aombeni kwa Babakwa nguvu zote za moyo,kwamba mjazwe na upendohuu, ambao ametoa kwa woteambao ni bwafuasi wa kweli waMwana wake, Yesu Kristo; ilimuwe wana wa Mungu; kwa-mba wakati atakapoonekanactutakuwa kama yeye, kwanitutamwona vile alivyo; ili tuwena tumaini hili; ili dtutakaswehata vile alivyo mtakatifu.Amina.

MLANGO WA 8

Ubatizo wa watoto wachangani uovu wa machukizo — Watotowachanga wameokolewa na Kristokwa sababu ya Upatanisho — Ima-ni, toba, unyenyekevu na upole wamoyo, kupokea Roho Mtakatifu,na kuvumilia hadi mwisho yanae-lekeza kwa wokovu. Kutoka karibumwaka wa 401 hadi 421 baada yakuzaliwa kwa Kristo.

Barua ya ababa yangu Mor-moni, iliyoandikwa kwangu,Moroni; na iliandikwa kwangumara baada nilipoitwa kwahuduma. Na kwa njia hii alini-andikia, akisema:2 Mwana wangu mpendwa,

Moroni, ninafurahi sana kwa-mba Bwana wako Yesu Kristo

amekuwa mwangalifu kwako,na amekuita kwa huduma yake,na kwa kazi yake takatifu.

3 Ninakukumbuka wewe kilasiku katika sala zangu, siku zotenikisali kwa Mungu Baba katikajina la Mtoto wake Mtakatifu,Yesu, kwamba yeye, kupitiakwa auzuri wake na bwema usiona mwisho, atakulinda kupitiauvumilivu wa imani kwa jinalake milele.

4 Na sasa, mwana wangu,ninakuzungumzia kuhusu lileambalo linanisikitisha sana;kwani ninasikitishwa kwambaaugomvi unaweza kutokea mi-ongoni mwenu.

5 Kwani, ikiwa nimejulishwaukweli, kumekuwa na ugomvimiongoni mwenu kuhusu ubati-zo wa watoto wenu wachanga.

6 Na sasa, mwana wangu, ni-nataka ufanye kazi kwa bidii,ili hili kosa kubwa litolewemiongoni mwenu; kwani, kwakusudi hili nimeandika hiibarua.

7 Kwani mara moja nilipojuavitu hivi kuwahusu nilimwuli-za Bwana kuhusu hili jambo.Na aneno la Bwana lilinijiakwa uwezo wa Roho Mtakatifu,likisema:

8 Sikiliza maneno ya Kristo,Mkombozi wako, Bwana wakona Mungu wako. Tazama, nili-kuja duniani sio kuwaita waliowa haki bali wenye dhambikwenye toba; wenye aafya ha-

48a mwm Sala.b mwm Mtiifu, Tii, Utii;

Yesu Kristo—Mfano wa YesuKristo.

c 1 Yoh. 3:1–3;

3 Ne. 27:27.d 3 Ne. 19:28–29.

mwm Safi, Usafi.8 1a M ya Morm. 1:1.3a Mos. 4:11.

b mwm Neema.

4a 3 Ne. 11:22, 28; 18:34.7a mwm Neno la

Mungu.8a Mk. 2:17.

Page 668: KITABU CHA MORMONI

651 Moroni 8:9–17

wahitaji tabibu, bali wale waliowagonjwa; kwa hivyo, bwatotowachanga ni cwazima, kwanihawana uwezo wa kutendaddhambi; kwa hivyo laana yaeAdamu imetolewa kwao ndaniyangu, kwamba haina uwezojuu yao; na sheria ya fkutahiri-wa imeisha kwa ajili yangu.9 Na katika njia hii Roho

Mtakatifu alidhihirisha neno laMungu kwangu; kwa hivyo,mwana wangu mpendwa, nina-jua kwamba ni mzaha wa una-dhiri mbele ya Mungu, kwambambatize watoto wachanga.

10 Tazama ninakwambia kwa-mba kitu hiki utafundisha —toba na ubatizo kwa waleambao awanawajibika wenyeuwezo wa kutenda dhambi;ndio, fundisha wazazi kwambalazima watubu na wabatizwe,na wajinyenyeze kama bwatotowao wachanga.11 Na awatoto wao wachanga

hawahitaji toba yoyote, walaubatizo. Tazama, ubatizo upokatika toba ili kutimiza amrikwa bmsamaha wa dhambi.12 Lakini awatoto wachanga

ni wazima katika Kristo, hatakutokea mwanzo wa dunia; iki-wa si hivyo, Mungu ni Munguwa upendeleo, na pia Munguwa kugeuka, na mwenye bku-

pendelea watu; kwani ni watotowangapi wachanga wamekufabila kubatizwa!

13 Kwa hivyo, ikiwa watotowachanga hawangeweza kuo-kolewa bila ubatizo, hao lazimawameenda kwenye jahanamuya milele.

14 Tazama ninawaambia,yule ambaye anadhani kwambawatoto wachanga wanahitajiubatizo yuko kwenye nyongochungu na katika kifungo chauovu; kwani hana aimani, walatumaini, wala hisani; kwa hivyo,ikiwa atakufa kama bado anafi-kiria hivyo, ataenda jahanamu.

15 Kwani kutisha ni uovu ku-dhani kwamba Mungu huokoamtoto mmoja kwa sababu yaubatizo, na mwingine lazimaaangamie kwa sababu hakuba-tizwa.

16 Laana iwe kwa wale ambaowataharibu njia za Bwana kwautaratibu huu, kwani wataa-ngamia wasipotubu. Tazama,naongea kwa ujasiri, nikiwa naauwezo kutoka kwa Mungu; nasiogopi kile watu wanachowezakufanya; kwani bupendo uliokamili chutupa nje hofu.17 Na nimejaa na ahisani,

ambayo ni upendo usio namwisho; kwa hivyo, watotowote ni kama mimi; kwa hivyo,

8b Mk. 10:13–16.c Mos. 3:16;

M&M 74:7.d mwm Dhambi.e 2 Ne. 2:25–27.

mwm Anguko laAdamu na Hawa.

f Mwa. 17:10–11.mwm Tohara.

10a mwm Kuwajibika,Uwajibikaji, Wajibika.

b mwm Mnyenyekevu,Unyenyekevu;Mtoto, Watoto.

11a mwm Batiza,Ubatizo—Sifazinazotakiwa kwaajili ya ubatizo;Mtoto, Watoto.

b mwm Ondoleo laDhambi.

12a M&M 29:46–47; 93:38.

b Efe. 6:9;2 Ne. 26:33;M&M 38:16.

14a 1 Kor. 13:1–13;Eth. 12:6;Moro. 7:25–28;10:20–23.

16a mwm Mamlaka.b mwm Upendo.c 1 Yoh. 4:18.

17a mwm Hisani.

Page 669: KITABU CHA MORMONI

Moroni 8:18–26 652

ninapenda bwatoto wachangana upendo ulio kamili; na wotewako sawa na washiriki wawokovu.

18 Kwani najua kwamba Mu-ngu si Mungu wa kupendelea,wala kiumbe akinachobadilika;lakini habadiliki kutoka milelehadi milele byote.

19 a Watoto wachanga ha-wawezi kutubu; kwa hivyo, niuovu wa kutisha kukana rehe-ma safi ya Mungu kwao, kwaniwote ni wazima ndani yakekwa sababu ya brehema yake.

20 Na yule anayesema kwa-mba watoto wachanga wanahi-taji ubatizo anakana hurumaza Kristo, na huweka bureaupatanisho wake na nguvu yaukombozi wake.21 Ole kwa hawa, kwani wako

katika hatari ya kifo, ajahanamu,na maumivu ya bmilele. Nina-zungumza kwa ujasiri; Munguameniamrisha. Yasikilize nauyafuate, au yatatumiwa kwa-ko kwa kiti cha chukumu chaKristo.22 Kwani tazama kwamba

watoto wote wachanga ni awa-zima katika Kristo; na pia walewote ambao hawana bsheria.

Kwani nguvu ya cukombozihuja kwa wote ambao hawanasheria; kwa hivyo, yule ambayehahukumiwi, au yule ambayehayuko chini ya hukumu yoyo-te, hawezi kutubu; na kwa haoubatizo hauleti chochote —

23 Lakini ni mzaha mbeleya Mungu, kukana huruma zaKristo, na nguvu za Roho Mta-katifu wake, na kuweka tumainikatika kazi azisizo na uhai.

24 Tazama, mwana wangu,kitu hiki kisifanyike; kwaniatoba ni kwa wale ambao wakochini ya hukumu na chini yalaana ya sheria iliyovunjwa.

25 Na matokeo ya kwanza yaatoba ni bubatizo; na ubatizohuja na imani kwa kutimizaamri; na kule kutimiza amri hu-leta ckusamehewa kwa dhambi;26 Na kusamehewa kwa dha-

mbi huleta aunyenyekevu, naupole wa moyo; na kwa sababuya unyeyekevu na upole wamoyo huja Roho bMtakatifu,cMfariji ambaye hujaza dtumai-ni na upendo kamili, eupendoambao huvumilia kwa fsala yagbidii, mpaka mwisho utaka-pokuja, wakati hwatakatifu wotewatakapoishi na Mungu.

17b Mos. 3:16–19.18a Alma 7:20; Morm. 9:9.

mwm Mungu, Uungu.b Moro. 7:22.

19a Lk. 18:15–17.b mwm Rehema,

Rehema, enye.20a mwm Lipia dhambi,

Upatanisho; Mpangowa Ukombozi.

21a mwm Jahanamu.b Yak. (KM) 6:10;

Mos. 28:3;M&M 19:10–12.

c mwm Yesu Kristo—Mwamuzi.

22a mwm Wokovu—Wokovu wa watoto.

b Mdo. 17:30;M&M 76:71–72.

c mwm Komboa,Kombolewa,Ukombozi.

23a M&M 22:2.24a mwm Toba, Tubu.25a mwm Batiza,

Ubatizo—Sifazinazotakiwa kwa

ajili ya ubatizo.b Musa 6:58–60.c M&M 76:52.

mwm Ondoleo laDhambi.

26a mwm Mpole, Upole.b mwm Roho Mtakatifu.c mwm Mfariji.d mwm Tumaini.e 1 Pet. 1:22;

1 Ne. 11:22–25.f mwm Bidii.g mwm Sala.h mwm Mtakatifu.

Page 670: KITABU CHA MORMONI

653 Moroni 8:27–9:6

27 Tazama, mwana wangu,nitakuandikia tena ikiwa sitae-nda nje tena mapema dhidi yaWalamani. Tazama, akiburi chataifa hili, au watu wa Wanefi,kimeleta uangamizo wao isipo-kuwa watubu.28 Waombee, mwana wangu,

kwamba toba ije kwao. Lakinitazama, ninaogopa isiwe Rohoamekoma akujitahidi nao; nakatika sehemu hii ya nchi wa-nataka kuweka chini nguvu zotena mamlaka ambayo inatokakwa Mungu; na bwanamkanaRoho Mtakatifu.29 Na baada ya kukataa elimu

kubwa hivyo, mwana wangu,lazima waangamie karibuni,kwa kutimiza unabii ambaoulizungumzwa na manabii, napia maneno ya Mwokozi wetumwenyewe.

30 Kwaheri, mwana wangu,mpaka nitakapokuandikia, aunitakapokutana nawe tena.Amina.

Barua ya pili ya Mormoni kwamwana wake Moroni.

Yenye mlango wa 9.

MLANGO WA 9

Wote Wanefi na Walamani wanatabia mbaya na wamedhoofika —Wanatesana na kuuana — Mor-moni anaomba kwamba neema nauzuri uwe kwa Moroni milele.

Kutoka karibu mwaka wa 401 hadi421 baada ya kuzaliwa kwa Kristo.

Mwana wangu mpendwa,ninakuandikia tena ili ujuekwamba bado ni mzima; lakinininaandika kidogo kwa yaleambayo ni mazito.

2 Kwani tazama, nimekuwana vita vikali na Walamani,ambavyo hatukushinda; naArkeanto ameuawa kwa upa-nga, na pia Luramu na Emroni;ndio, na tumepoteza idadi ku-bwa ya watu wetu wazuri.

3 Na sasa tazama, mwana wa-ngu, ninaogopa kwamba Wala-mani watawaangamiza hawawatu; kwani hawatubu, naShetani anawachochea siku zotekukasirikiana wao kwa wao.

4 Tazama, ninajaribu kuwafu-ndisha siku zote; na ninapose-ma neno la Mungu kwa aukaliwanatetemeka na kukasirikadhidi yangu; na nisipotumiaukali wanashupaza mioyo yaodhidi yake; kwa hivyo, ninao-gopa isiwe Roho wa Bwanaamekoma bkujitahidi nao.

5 Kwani wamekuwa na hasirasana kwamba inaonekana kwa-ngu kwamba hawaogopi kifo;na wamepoteza mapenzi yao,mmoja kwa mwingine; na wanaakiu cha damu na kulipiza kisasisiku zote.

6 Na sasa, mwana wangumpendwa, hata kwa ugumuwao, acha tuwafundishe kwaabidii; kwani tukikoma kufanya

27a M&M 38:39.mwm Kiburi.

28a Morm. 5:16.b Alma 39:6.

mwm Dhambi isiyosameheka.

9 4a 2 Ne. 1:26–27;M&M 121:41–43.

b M&M 1:33.5a Morm. 4:11–12.6a mwm Bidii.

Page 671: KITABU CHA MORMONI

Moroni 9:7–18 654bkazi, tungewekwa kwenye laa-na; kwani tuna kazi ya kufanyakama tungali kwenye hekaluhili la udongo, kwamba tuwezekumshinda adui wa haki yote,na kupumzisha nafsi zetu katikaufalme wa Mungu.

7 Na sasa naandika kidogokuhusu mateso ya hawa watu.Kwani kulingana na elimuambayo nimepokea kutoka kwaAmoroni, tazama, Walamaniwanao wafungwa wengi sana,ambao walikamatwa kutokakwa mnara wa Sheriza; na kuli-kuwa na wanaume, wanawake,na watoto.

8 Na waume na baba za walewanawake na watoto ambaowamewaua; na wanawalishawanawake nyama za waumezao, na watoto nyama za babazao; na hakuna maji, isipokuwamachache tu, wanayowapatia.

9 Na ijapokuwa haya machu-kizo makubwa ya Walamani,hayawezi kuzidi yale ya watuwetu walio Moriantumu. Kwanitazama, wengi wa mabinti zaWalamani wamechukuliwa wa-fungwa na hao; na baada yakuwanyang’anya kile ambachokilikuwa cha thamani sanakuliko vitu vyote, ambacho niausafi wa kimwili na bwema —10 Na baada ya hao kufanya

kitu hiki, waliwauwa kwa njiaya kikatili sana, wakitesa miiliyao hata hadi kifo; na baada yakufanya haya, wanakula miiliyao kama wanyama wa mwitu,kwa sababu ya ugumu wa

mioyo yao; na wanaifanya ka-ma ishara ya ushujaa.

11 Ee mwana wangu mpe-ndwa, inawezekanaje watukama hawa, ambao hawanaustaarabu —

12 (Na miaka michache tuimepita, tangu wawe wastaa-rabu na watu wazuri)

13 Lakini Ee mwana wangu,inawezekanaje watu kamahawa, ambao hupendezwa sanana machukizo mengi —

14 Tunawezaje kutumainikwamba Mungu aatajizuia ku-toa hukumu yake dhidi yetu?

15 Tazama, moyo wangu una-lia: Ole kwa watu hawa. Njoonje na uwahukumu, Ee Mungu,na ufiche dhambi zao, na uovu,na machukizo kutoka mbele yauso wako!

16 Na tena, mwana wangu,kuna awajane wengi na mabintizao ambao wamebaki katikaSheriza; na sehemu ile ya vya-kula ambayo Walamani hawa-kubeba, tazama, jeshi la Zenefilimebeba, na limewaacha kuzu-nguka kote ambapo wangepatachakula; na wanawake wengiwazee wanazirai na kufia njiani.

17 Na jeshi ambalo liko namimi ni dhaifu; na majeshi yaWalamani yako katikati yaSheriza na mimi; na kwa vilewengi walikimbilia jeshi laaHaruni wamekuwa madhabu-ha kwa ukorofi wao wa kutisha.

1 8 E e u p o t o v u w a w a t uwangu! Hawana msimamo nahawana huruma. Tazama, mimi

6b Yak. (KM) 1:19;Eno. 1:20.mwm Wajibu.

9a mwm Usafi waKimwili.

b mwm Wema.

14a Alma 10:23.16a mwm Mjane.17a Morm. 2:9.

Page 672: KITABU CHA MORMONI

655 Moroni 9:19–26

ni mtu tu, na ninazo nguvu tuza mtu, na siwezi tena kulazi-misha amri zangu.19 Na wamejiimarisha kwa

upotovu wao; na ni wakorofisawasawa, bila kuachilia yeyote,si wazee wala vijana; na wana-furahia kila kitu isipokuwa kileambacho ni kizuri; na kuumiakwa wanawake wetu na watotowetu juu ya uso wote wa nchihii kunazidi kila kitu; ndio,ulimi hauwezi kusema, walahaiwezekani kuandikwa.

20 Na sasa, mwana wangu, si-taendelea kueleza hii tamashaya kuogofya. Tazama, unajuauovu wa hawa watu; unajuakwamba hawana msimamo, nawamekufa ganzi, na uovu waoaunazidi ule wa Walamani.21 Tazama, mwana wangu,

siwezi kuwapendekeza kwaMungu asije akaniua.

22 Lakini tazama, mwanawangu, ninakupendekeza kwaMungu, na ninaamini katikaKristo kwamba utaokolewa; naninamwomba Mungu kwambaaatakuhurumia maisha yako,kushuhudia kurudi kwa watuwake kwake, au uharibifu waohalisi; kwani najua kwambalazima waangamie isipokuwabwatubu na wamrudie.

23 Na ikiwa wataangamiaitakuwa kama ilivyotendekakwa Wayaredi, kwa sababu yaukaidi wa mioyo yao, awakita-zamia kuua na kulipiza bkisasi.

24 Na ikiwa kwamba wataa-ngamia, tunajua kwamba wengiwa ndugu zetu awametorokana kujiunga na Walamani, nawengi zaidi pia watatorokeakwao; kwa hivyo, uandike vituvidogo zaidi, ikiwa utaachwana nife bila kukuona; lakinininaamini kwamba nitakuonahivi karibuni; kwani ninayomaandishi matakatifu ambayobnitakupatia.

25 Mwana wangu, uwe mwa-minifu katika Kristo; na vituambavyo nimeandika visikusi-kitishe, na kukuwekea mzigowa kukuua; lakini Kristo akui-nue juu, na akuumia kwake nakifo chake, na kudhihirisha kwamwili wake kwa babu zetu, narehema yake na uvumilivu, namatumaini ya utukufu wake nauzima wa bmilele, yawe katikacakili yako milele.26 Na ninaomba neema ya

Mungu Baba, ambaye kiti chakecha enzi kiko juu mbinguni, naB w a n a w e t u Y e s u K r i s t o ,ambaye huketi kwenye mkonowake wa akulia wa uwezo wake,mpaka vitu vyote vitakapoku-wa chini yake, iwe, na kiishinawe milele. Amina.

MLANGO WA 10

Ushuhuda wa Kitabu cha Mormonihuja kwa uwezo wa Roho Mtakatifu— Karama za Roho hutolewa kwa

20a Hel. 6:34–35.22a Morm. 8:3.

b Mal. 3:7;Hel. 13:11;3 Ne. 10:6; 24:7.

23a Morm. 4:11–12.

b Eth. 15:15–31.24a Alma 45:14.

b Morm. 6:6.25a mwm Lipia dhambi,

Upatanisho.b mwm Uzima wa Milele.

c mwm Nia.26a Lk. 22:69;

Mdo. 7:55–56;Mos. 5:9;Alma 28:12.

Page 673: KITABU CHA MORMONI

Moroni 10:1–9 656

waumini — Karama za Roho kilamara huambatana na imani —Maneno ya Moroni yanazungum -zwa kutoka mavumbini — Njoonikwa Kristo, mkamilishwe ndaniyake, na mtakase nafsi zenu. Karibumwaka wa 421 baada ya kuzaliwakwa Kristo.

Sasa mimi, Moroni, naandikamachache ambayo naona ni yakufaa; na ninaandika kwa ndu-gu zangu, aWalamani; na ninge-penda kwamba wajue kwambazaidi ya miaka mia nne na ishi-rini imepita tangu ishara ilipo-tolewa ya kuja kwa Kristo.

2 Na ninaweka amuhuri hayamaandishi, baada ya kuzungu-mza maneno machache kwanjia ya ushauri kwenu.

3 Tazama, ningewashauri kwa-mba mtakaposoma vitu hivi,ikiwa itakuwa hekima katikaMungu kwamba myasome,kwamba mngekumbuka jinsivile Bwana amekuwa na huru-ma kwa watoto wa watu, kuto-kea kuumbwa kwa Adamu hadichini mpaka wakati ambapomtapokea vitu hivi, na akuita-fakari katika bmioyo yenu.

4 Na mtakapopokea vitu hivi,ningewashauri kwamba amnge-mwuliza Mungu, Baba wa Mile-le, katika jina la Kristo, ikiwa

vitu hivi bsi vya kweli; na ikiwamtauliza na moyo wa ckweli,na kusudi dhalisi, mkiwa naeimani katika Kristo, fatawao-nyesha gukweli wake kwenu,kwa uwezo wa Roho Mtakatifu.

5 Na kwa uwezo wa RohoMtakatifu amtajua bukweli wavitu vyote.

6 Na kitu chochote kilichokizuri ni haki na kweli; kwahivyo, hakuna chochote amba-cho ni kizuri ambacho humkanaKristo, lakini hukubali kwambayuko.

7 Na mngejua kwamba yuko,kwa uwezo wa Roho Mtakatifu;kwa hivyo ningewashaurikwamba msikatae uwezo waMungu; kwani hufanya kazikwa uwezo, a kulingana naimani ya binadamu, sawa leona kesho, na milele.

8 Na tena, ninawashauri, ndu-gu zangu, kwamba msikataeakarama za Mungu, kwani ninyingi; na zinatoka kwa yuleyule Mungu. Na kuna njiabtofauti ambazo hizi karamahutolewa; lakini ni yule yuleMungu azitendaye kazi zotekatika wote; na hupewa kwaufunuo wa Roho wa Mungukwa watu, kuwafaidi.

9 Kwani tazama, akwa mmo-ja inatolewa kwa Roho wa

10 1a M&M 10:48.2a Morm. 8:4, 13–14.

mwm Maandiko—Maandikoyaliyotolewa unabiikwamba yatakuja.

3a Kum. 11:18–19.mwm Tafakari.

b Kum. 6:6–7.4a mwm Sala.

b 1 Ne. 13:39; 14:30;

Mos. 1:6;Eth. 4:10–11; 5:3.

c mwm Mwaminifu,Uaminifu.

d Yak. (Bib.) 1:5–7;Moro. 7:9.

e mwm Imani.f mwm Ufunuo.g mwm Ukweli.

5a M&M 35:19.mwm Ushuhuda;

Utambuzi, Kipawacha.

b Yn. 8:32.7a 1 Ne. 10:17–19.8a mwm Vipawa vya

Roho.b M&M 46:15.

9a 1 Kor. 12:8–11;M&M 46:8–29.

Page 674: KITABU CHA MORMONI

657 Moroni 10:10–25

Mungu, kwamba bafundisheneno la hekima;10 Na kwa mwingine, kwamba

afundishe neno la elimu naRoho yule yule;

11 Na kwa mwingine, aimanikubwa sana; na kwa mwingine,karama za bkuponya na Rohoyule yule;

12 Na tena, kwa mwingine,kwamba aweze kufanya amiu-jiza mikuu;

13 Na tena, kwa mwingine,kwamba aweze kutoa unabiikuhusu vitu vyote;

14 Na tena, kwa mwingine;kuona kwa malaika na kutumi-kia roho;

15 Na tena, kwa mwingine,lugha za aina zote;

16 Na tena, kwa mwingine,kutafsiri kwa lugha na andimiza aina tofauti.17 Na hizi karama zote huja

kwa Roho ya Kristo; na hujakwa kila mtu moja kwa moja,kulingana na vile anavyotaka.

18 Na ningewashauri nyinyi,ndugu zangu wapendwa, kwa-mba mkumbuke kwamba akilakarama nzuri hutoka kwaKristo.

19 Na ningewashauri nyinyi,ndugu zangu wapendwa, kwa-mba mkumbuke kwamba yeyendiye ayule yule jana, leo, namilele, na kwamba karama hizizote ambazo nimezungumzia,ambazo ni za kiroho, hazita-

tolewa mbali, kadiri duniaitakavyokuwepo, kulingana tuna bkutoamini kwa watoto wawatu.

20 Kwa hivyo, lazima kuwe naaimani; na ikiwa kutakuwa naimani lazima kuwe pia na tuma-ini; na ikiwa kutakuwa na tuma-ini lazima kuwe na pia hisani.

21 Na msipokuwa na ahisanihamwezi kwa vyovyote kuoko-lewa katika ufalme wa Mungu;wala hamwezi kuokolewa kati-ka ufalme wa Mungu kamahamna imani; wala hamweziikiwa hamna tumaini.

22 Na kama hamna tumainilazima iwe ni kwa kukatatamaa; na kukata tamaa hujakwa sababu ya uovu.

23 Na Kristo kwa kweli alise-ma kwa babu zetu: aMkiwa naimani mnaweza kufanya vituvyote ambavyo vinatakikanakwangu.

24 Na sasa ninazungumziawatu wote waliomo duniani —kwamba ikiwa siku itakujakwamba uwezo na karama zaMungu zitaondolewa kutokamiongoni mwenu, itakuwa nikwa asababu ya bkutoamini.

25 Na ole kwa watoto wawatu ikiwa itakuwa hivyo;kwani hakutakuwa ayeyoteambaye hufanya mema mio-ngoni mwenu, la hata mmoja.Kwani ikiwa kuna mmoja mio-ngoni mwenu ambaye hufanya

9b M&M 88:77–79, 118.11a mwm Imani.

b mwm Ponya,Uponyaji.

12a mwm Muujiza.16a mwm Ndimi, Kipawa

cha.

18a Yak. (Bib.) 1:17.19a Ebr. 13:8.

b Moro. 7:37.20a Eth. 12:3–37.21a 1 Kor. 13:1–13;

Moro. 7:1, 42–48.mwm Hisani.

23a Moro. 7:33.24a Moro. 7:37.

b mwm Kutoamini.25a tjs, Zab. 14:1–7;

Rum. 3:10–12.

Page 675: KITABU CHA MORMONI

Moroni 10:26–34 658

mema, atafanya kwa uwezo nakarama za Mungu.26 Na ole kwa hao ambao wa-

tatoa vitu hivi na kufa, kwaniawanakufa katika bdhambi zao,na hawawezi kuokolewa katikaufalme wa Mungu; na ninaizu-ngumzia kulingana na manenoya Kristo; na sidanganyi.

27 Na ninawashauri mku-mbuke vitu hivi; kwani wakatiunafika haraka kwamba mtajuakwamba sidanganyi, kwanimtaniona katika kiti cha huku-mu cha Mungu; na BwanaMungu atasema kwenu: Je, simimi nilitangaza amaneno ya-ngu kwenu, ambayo yaliandi-kwa na mtu huyu, kama mmojabanayelia kutoka kwa wafu,ndio, hata kama mmoja asema-ye kutoka cmavumbini?

28 Ninatangaza vitu hivi kwakutimiza unabii. Na tazama,yatatoka nje ya mdomo waMungu asiye na mwisho; naneno lake alitaenda mbele ku-toka kwa kizazi hadi kingine.

29 Na Mungu atawaonyesha,kwamba yale ambayo nimea-ndika ni ya kweli.

30 Na tena ninawashaurikwamba amngekuja kwa Kristo,na kushikilia juu ya kila karamanzuri, na bmsiguse ile karamambovu, wala kitu kichafu.

31 Na aamka, na kutoka kwe-nye mavumbi, Ee Yerusalemu;ndio, na ujivike mavazi ya ku-rembesha, Ee binti wa bSayuni;na cimarisha dvigingi vyako naongeza mipaka yako milele,kwamba ehutachanganywa tena,kwamba agano la Baba wa mi-lele ambalo amefanya kwako,Ee nyumba ya Israeli, liweze-kane kutimizwa.

32 Ndio, amje kwa Kristo nabmkamilishwe ndani yake, namjinyime ubaya wote; na ikiwamtajinyima ubaya wote, nackumpenda Mungu na mioyoyenu, akili na nguvu zenu zote,basi neema yake inawatosha,kwamba kwa neema yakemngekamilishwa katika Kristo;na ikiwa kwa dneema ya Mungumnakamilika katika Kristo, ha-mwezi kwa njia yoyote kukanauwezo wa Mungu.

33 Na tena, ikiwa nyinyi kwaneema ya Mungu ni kamilikatika Kristo, na hamkani uwe-zo wake, ndipo ammetakaswakatika Kristo kwa neema yaMungu, kupitia kwa bupatani-sho wa Kristo, ambayo ni aganola Baba kwa ckusamehewa kwadhambi zenu, kwamba muwedwatakatifu, bila waa.34 Na sasa ninasema kwenu

nyote, kwa herini. Hivi karibuni

26a Eze. 18:26–27;1 Ne. 15:32–33;Mos. 15:26.

b Yn. 8:21.27a 2 Ne. 33:10–11.

b 2 Ne. 3:19–20;27:13; 33:13;Morm. 9:30.

c Isa. 29:4.28a 2 Ne. 29:2.30a 1 Ne. 6:4;

Morm. 9:27;Eth. 5:5.

b Alma 5:57.31a Isa. 52:1–2.

b mwm Sayuni.c Isa. 54:2.d mwm Kigingi.e Eth. 13:8.

32a Mt. 11:28; 2 Ne. 26:33;Yak. (KM) 1:7;Omni 1:26.

b Mt. 5:48;3 Ne. 12:48.mwm Kamilifu.

c M&M 4:2; 59:5–6.d 2 Ne. 25:23.

33a mwm Utakaso.b mwm Lipia dhambi,

Upatanisho.c mwm Ondoleo la

Dhambi.d mwm Utakatifu.

Page 676: KITABU CHA MORMONI

659 Moroni 10:34

nitaenda akupumzika katikabpepoy ya Mungu, mpaka crohoyangu na mwili dvitakapounga-nishwa tena, na niinuliwe juukwa ushindi kupitia eangani,

kukutana na nyinyi mbele yakiti cha enzi cha fkupendezacha yule gYehova mkuu, hMwa-muzi wa Milele wa wanaoishina waliokufa. Amina.

34a mwm Pumziko.b mwm Peponi.c mwm Roho.

d mwm Ufufuko.e 1 The. 4:17.f Yak. (KM) 6:13.

g mwm Yehova.h mwm Yesu Kristo—

Mwamuzi.

MWISHO