41
Kuanza Makanisa Sasa

Kuanza Makanisa Sasa - cvi2.orgcvi2.org/paul-timothy/docs/start_churches_now_kiswahili_kenya_a4... · Kanuni/ #3 – Hifadhi Ki-biblia..... Kanuni #4 - Iweke rahisi ... Watu kutoka

Embed Size (px)

Citation preview

Kuanza Makanisa Sasa

Kuanza makanisa sasa!

Waandishi: Galen Currah and John Patrick O’Connor

Kutoka kwa vifaa vya Galen Currah, mwandishi wa www.startachurchnow.com

na Patrick O’Connor, Waandishi wa Reproducible Pastoral Training

William Carey Library, 2006

Kitabu hiki kinaweza kutolewa na kupeanwa bure. Please note source, if utilized.

Copyright © 2011 Galen Currah and John Patrick O’Connor

To download Start Churches Now English = http://paul-timothy.net/docs/start_churches_now_5x8_1-nov-2011.pdf Spanish = http://paul-timothy.net/docs/inicie_iglesia_ya_1-nov-2011_es.pdf Nepali = http://paul-timothy.net/docs/start_churches_now_5x8_1-nov-2011_nepali.pdf Khmer = (Still being placed to cyberspace / in process) Kiswahili = www.scm-action.org Kwacha = Thai = French =

Ingawa kitabu hiki kinalenga baraka na faida za makanisa madogo ya

nyumba kwa nyumba, tunamsifu Bwana kwa yale makanisa makubwa yanayo

simama imara, nuru ya muda mrefu kwa injili katika jamii ulimwenguni kote.

Bado, kwa kila kanisa kubwa linalo mwogopa Mungu, ulimwengu wetu pia

usio na tumaini unahitaji mamia ya makanisa madogo madogo.

Kanuni

Kanuni #1- Fikiri kwa udogo ...............................................................

Kanuni/ #2 - Hudumu kwa Haraka .....................................................

Kanuni/ #3 – Hifadhi Ki-biblia.............................................................

Kanuni #4 - Iweke rahisi .....................................................................

Kanuni #5 – Linda Maelekezo-utii ......................................................

Kanuni #6 – Fundisha Viongozi ..........................................................

Kanuni #7 – Tarajia uzalishaji ............................................................

Kanuni #8 - Chunga vizuizi .................................................................

Kanuni #9 – Kumbuka lengo lako .......................................................

Kanuni #10 – Tumia “Menyu” (Orodha ya vyakula) Unaposhauri

“Menyu” ya Mafundisho ya Mazoezi ya kupanda kanisa..................

Maandiko ya Biblia 31 ya kuanza makanisa mapya ...........................

Miisho Orodha ya Agano Jipya .......................................................................

Amri za “Mmoja kwa Mwingine” .......................................................

Makanisa ya “Kisungura”na ...............................................................

Makanisa ya “Kindovu” ......................................................................

Vodokezi vya kushiriki mamlaka yako na

Wanafunzi wako Kweli .......................................................................

Matumizi ............................................................................................

Kumbuka ............................................................................................

Vidokezi vya kuchunga Mbwa Mwitu!..........................................

Yesu ni mtawala na Bwana .................................................................

Sio wewe ............................................................................................

Orodha ya kukagua silaha ya rohoni ..................................................

Katazo za Mazoeo ya Ubwana ............................................................

Itikio za Mazoeo ya Ubwana ..............................................................

Mifano Minne ya kupanda kanisa ......................................................

Urahisi katika Ibaada ..........................................................................

Vidokezo vya kushauri viongozi wapya ..............................................

Vidokezo vya kufanya Wanafunzi .......................................................

Vidokezo vya Maonyesho ...................................................................

Vidokezo vya kuteua sehemu .............................................................

Wasaidizi wa kupanda Kanisa ............................................................

Vidokezi vya Waratibu wa mahali ......................................................

Kuhusu Mwandishi .............................................................................

Kanuni #1- Fikiri Kwa udogo

Kanisa Ndogo la Nyumbani lawezakuboresha.....

Kunufaisha mmoja kwa mwingine kutokana na karama zao kwa

kufanya kila muumini kuhudumia wengine. Karama zingine husaidia

mmoja kwa mwingine kunena maneno ya kutia moyo kutoka kwa roho wa Mungu;

zingine huwasaidia kuhudumiana kwa uzoefu.

Tafuta upendo usio na sharti katika undani wa jamii kwa kuhudumu, kufundisha,

kusaidia, kushauri, kutiana moyo

Badilisha tabia na kuumba tumaini ndani yenu kwa kusaidiana kwa kutubu mnapo

kosa,kusamehe mnapo kosewa, kuombeana na kufundishana kutokana na Agano

Jipya. Tayarisha “orodha ya vyema” ya vitu hivi kwa kundi lako.

Dai mamlaka juu ya giza na majaribu kwa kuomba kwa Mungu katika jina la Yesu

na wote kupinga uwongo na majaribu ya Shetani

Fanya ahadi za Mungu kuwa kweli kwa kukubaliana mmoja kwa mwingine mnapo

omba kwa Mungu katika imani. Kuomba sirini katika makanisa makubwa, wengine

hujisikia, hawana nguvu sawa sawa za undani

Ng'ota katika Nguvu zisizo za kawaida kwa kutii amri za Yesu katika njia ile

ambayo wafuasi wa kwanza walifanya. Fanya mazoezi hivyo katika maisha ya

wengine.

Dumisha desturi ya utambuzi wako na dhamani unapo hudumia Yesu pamoja.

Jifiche kutoka kwa siasa za uadui na mamlaka ya dini kwa kukaa wachache,

mkitumia mbinu ya umbo-la-chini, kubadilisha maeneo mara kwa mara na kukaa

katika utamaduni wa kundi sikilizaji.

Pata ujuzi wa kweli wa uwepo wa Yesu kupitia maombi yanayojibiwa, meza ya

Bwana, ushuhuda, dhambi zilizosamehewa, kujazwa Roho Mtakatifu.

Kanisa ndogo la nyumbani laweza kuzuia ….

Ibaada ya kanisa isiyohusishwa na mtu maalum. Tunapokusanyika katika makanisa

madogo, tunaweza kuona na kusema na mmoja kwa mwingine, kufanya kila mmoja

kukaribishwa na kuonyesha wema.

Ubaguzi wa dini. Watu kutoka kabila lolote na misingi ya dini wanaweza kuabudu Yesu

katika makanisa mapya madogo. Marafiki zako, jamii na majirani wanaweza kuja bila

uwoga.

Kutazama na kusikiliza bila kuonyesha hisia. Kila mmoja anaweza kushiriki kivitendo

katika kanisa ndogo, wakitaka.

Mahubiri yasiofaa. Viongozi wa makanisa madogo ni marafiki wetu. Tunaweza

kusemezana wazi kwa jambo lolote tunalopata kuwa la msaada na la kupendeza. Pia,

swala la utambuzi wa wageni wa muda, iwapo viongozi wanatoka ng'ambo na uwezekano

wa vikwazo vya tamaduni za mazoezi ya ibaada.

Majengo ya Gharama, vifaa na wafanyikazi. Makanisa madogo mapya hayagharimu pesa

zozote, hivyo tunaweza kutumia fedha zetu kuwasaidia maskini na wenye hitaji.

Ugomvi wa elimu ya kiteolojia. Katika makanisa madogo, tunajifunza mafundisho ya Yesu

na kufuata Agano Jipya bila mabishano juu ya maswala mengi madogo, yasiyo na

umuhimu. Makanisa madogo huweka lengo juu ya ufahamu kwanza kwa Yesu kama Bwana,

na mkazo mdogo juu ya ugomvi wa elimu ya teolojia.

Hali ya kuonekana isiyohitajika katika nyakati za mateso. Yesu alisema kuwa

inakulazimu kukimbia mateso, iwapo unaweza. Epuka shughuli za nje zenye kelele, na

ondoa matangazo na ishara za umma.

Fananisha mawazo ya juu kwa maandiko: Je! Niya kiBiblia na yanayoweza kuigwa?

_____________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________ Ni Jinsi gani Kiongozi wa kundi ndogo anaweza kuyatumia? Lini, Wapi, Na nani? _____________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________

Unawezaje kufundisha wengine kutumia hii?

_____________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________

Kwa ufupi, andika katika maneno yako mwenyewe yaliomo, matumizi na husisho la mwongozo uliopo hapo juu. _____________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________ _____________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________ _____________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________

Kanuni #2 – Hudumu kwa upesi Kwanini ni muhimu kwako kuanza kanisa mpya la Nyumbani?

Makanisa ya kimapokeo hugharimu zaidi sana kuanza na kutunza. Mahali maelfu

yanageuka katika imani kwa Yesu, mamia ya makanisa mapya lazima yaanzwe,

sasa. Waumini wengi hawawezi kumudu makanisa makubwa, ila afadhali kutumia

pesa zao kuwasaidia maskini na wahitaji.

Dini na filosofia za uwongo zinaenea kwa kasi, na hakuna makanisa ya kutosha.

Kazi yetu sio kutawala jamii wala kuwa dini tawala, bali kulowesha jamii kwa imani

na upendo. Kwa kufanya hivyo, ni lazima tuendelee kuanzisha makanisa madogo

mapya.

Waumini wengi wanaacha makanisa makubwa na wanahitaji kuwa kwa kanisa.

Viongozi wengi wamakanisa wanaojulikana sana wamepoteza imani yao au kukiuka

sheria za Mungu.Wengine hawawezi kufanya makanisa yao yakupendeza au ya

msaada kwa wengine. Lazima tuzoeze waumini kuwa makanisa madogo madogo

yanayowasaidia kutii amri ya Yesu kwa upendo.

Wasioamini hawatumaini makanisa makubwa, lakini wengi watakuja kwa zile ndogo.

Katika nchi nyingi waandishi wa habari, wana sanaa na viongozi wa dini za uwongo

wamekashifu makanisa kiasi kwamba inatulazimu kupeana makanisa mengi mapya

ambayo katika hayo watu wanaweza kujifunza ukweli kuhusu Yesu.

Makanisa yaliyopo hayawezi kujishughulisha na waumini wengi wapya. Makanisa

makubwa hayana viti vya kutosha, madarasa ya kutosha wala waalimu wa

kuwasaidia waumini wengi wapya. Ni bora kunaza makanisa mengi madogo

madogo na waumini wapya.

Serikali nyingi hutafuta kukandamiza makanisa yanayoonekana wazi wazi. Nchi

ambazo zinatambua dini kirasmi au siasa za kihimla huzuia makanisa makubwa

kukua. Kwa hivyo waumini lazima waanze makanisa mengi madogo madogo

yatakayo baki kutoonekana na kwenda wakati inalazimu.

Viongozi wapya wanohitajika hutokea kwa haraka katika makanisa mapya madogo.

Makanisa makubwa na shule za Biblia haziwezi kufundisha wafanyikazi wapya

wakutosha. Katika kinyume chake, makanisa mapya madogo husaidiawatu wengi

wa kawaida kuwa viongozi wa makanisa wa kufaa wanaoweza kusaidia kuwafunza

viongozi wapya wengine, baadaye.

Wafuasi wa Yesu walio ndani ya dini zingine wanahitaji makanisa yao mapya. Leo,

maelfu wengi wa waisilamu, wahindu, wa budha na wa imani kuwa vitu vyote vina

roho wanafanyika wafuasi wa Yesu bila kuacha jamii zao za dini. Hawa wanaweza

kuanzisha makanisa madogo mapya.

Makanisa madogo mapya huleta waumini wengi kwa Yesu kuliko makanisa

makubwa.Makanisa madogo yanweza kuongezeka maradufu katika kipimo, na

yanaweza kuzaana kila mwaka. Wasioamini wanao tembelea makanisa madogo

mara kwa mara huchagua kuwa waumini.

Mara nyingi Makanisa madogo yanafurahisha, na kufanya wanafunzi kwa

haraka.Kushirikiana na wengine ana kwa ana inafurahisha sana kwa wote wanao

shiriki. Makanisa madogo husaidia washiriki wao wote kumpenda Yesu na kutii

amri zake kwa njia za utendaji.

Wakati serikali inafanya makanisa kuwa shirika zisizo halali, mtajua jinsi ya

kuendelea kisiri. Mahali ambapo serikali na dini zinatesa wafuasi wa Yesu, waumini

lazima waanze makanisa mengi madogo madogo na kuyasongeza kwingine mara

kwa mara.

Kanuni #3- Ilinde Kibiblia Ni nini inahitajika kuanza kanisa la Nyumba?

Usajili au ushirika na serikali. Serikali zingine zinataka vyama vyote kusajiliwa. Iwapo serikali yako itakukataza au kuku chelewesha usajili, au kama itawatesa, basi msijisajili.

Mchungaji aliyewekwa wakfu au kuidhinishwa. Makanisa mapya yanahitaji kiongozi mmoja au wawili wakujitolea lakini sio Mchungaji. Kiongozi anayempenda Mungu, Biblia na wengine atapeana uongozi wote ambao kanisa lako linahitaji.

Kanisa au ukumbi wa wa mikutano. Ni wazo la kwaida kuanza kanisa mpya katika nyumba ya mmojawapo wa washikiri, au mahali pengine popote ambapo washiriki wanajisikia faraja na salama.

Idhinisho kutoka kwa kanisa la kwanza. Ingawa ushauri ni kupata baraka kutoka kwa kanisa la nyumbani, hakuna ruhusa inahitajika mbali na ile Yesu alisema, “Enendeni.” Bwana asifiwe, iwapo unapata baraka na idhinisho kutoka kwa kanisa lako. Endelea kukaa na kanisa hilo.

Fedha na makadirio. Makanisa mapya hayagharimu kitu wala kuhitaji pesa. Washiriki wanaweza na wakati mwingine kutoa pesa au vitu vingine kusaidia maskini au kusaidia mradi uliokubalika.

Washiriki wenye karama wanaoweza kuwasaidia wengine. Unahitaji washiriki wenye karama. Kila

Waumini wapya, waliobatizwa. Yesu aliagiza wafuasi wake kubatiza wote watakao tubu. Wote unaobatiza hufanyika washiriki wa kanisa lako siku hiyo hiyo, au utawasaidia kuwa kanisa kanisa ndogo mpya.

Meza ya Bwana. Kanisa lako mpya lazima lisherekee meza ya Bwana kila mara, kuruhusu waumini kushiriki pamoja na Mungu. Hakuna sifa kamili zinahitajika kwa wale wanahudumu meza ya Bwana. Ushirika una nguvu, lakini sio mazingaombwe.

Mikutano ya hadhara au Ibaada. Inafurahisha sana na salama kukutana kila mara kama waumini na marafiki katika idadi ndogo. Anza mkutano mipya kama inavyo hitajika. Kati ya watatu na Ishirini na tatu ni kiwango kizuri cha kanisa.

Waimbaji wenye ustadi. Ni vyema kuabudu katika njia ambayo kila mmoja atashiriki na kuiga, kutumia umbo la utamaduni wa mahali

Ujumbe Mrefu, kama njia msingi wa kufundisha. Yesu na Mitume wake walituachia mfano mzuri wa kufuata. Muda mwingi walifanya majadiliano, kusimulia hadidhi na kutaja Biblia zao.

Waliobadili dini kutoka dini zingine. Ni halisi kamili kwa wale walio katika dini zingine kuweka imani yao katika Yesu na kuanza makanisa yao. Imani katika Yesu sio dini mpya; ni njia mpya ya maisha.

Wafuasi wa Yesu. Yesu aliamuru wafuasi wake kuwasaidia wengine pia kunfuata. Wao hufanya hivyo kwa kueneza habari njema kuhusu Yesu, kubatiza wale wanao tubu, na kuwafundisha kutii amri zake zote.

Kumbuka, wakati makanisa makubwa yanakutana na hitaji la uhai

katika miji mikubwa, yakipeana umbo la wakati ule ule na

mashindano mbali mbali ya huduma, hizi zinahitaji usajili wa

Serikali, majengo, makadirio ya pesa na wafanyikazi. Mahali

ambapo idadi ya watu inabaki isiojua habari njema, hitaji ni kwa

“makanisa ya kisungura” madogo yanayozalisha kwa haraka

yanayoweza kuzuia uzito wa kinaganaga wa shirika. Makanisa

makubwa yanaweza kupanda makanisa madogo mengi ambayo

wasiookoka wanaweza kukutana na Bwana na kuumbwa haraka katika kuwa

wanafunzi wapendwa, watiifu wakifikia matakwa ya kiBibilia tu.

Kanunin #4 - Iweke kuwa rahisi Je! Tutaanzaje kanisa ndogo mpya?

1. Omba kila mara kwa Yesu, naye atakuongoza kwa hatua zote. Yesus

Aliahidi kuwa atalijenga “Kanisa” lake na alituma Roho wake Mtakatifu kwa

makanisa yake kuyasaidia kukua.

2. Uliza mwanzilishi aliye na ujuzi zaidi kukufundisha. Kuna wengi kama wewe

walio na ujuzi mwingi, na ambao wangependa kukupa mashauri na

mawaidha.

3. Alika marafiki wachache, jamaa na majirani waje pamoja kujifunza kuhusu

Yesu. Makanisa mengi mapya madogo madogo huanza na watu wanaojuana

na kuaminiana. Unweza kuanza na wachache kama wawili au watatu.

4. Pitia upya maisha na mafundisho ya Yesu pamoja. Haswa msaidie kila mmoja

kujifunza Habari Njema ya asili ambayo Yesu na Mitume wake walifundisha

popote walienda. Ni hadidhi ya maisha, miujiza, mauti, ufufuo, kuonekana,

amri na ahadi zake.

5. Msaidie yeyote kutubu kutoka kwa maovu na kumtumaini Yesu

kwa msamaha na uzima wa milele. Muda tu watu binafsi

wanakuwa waumini wapya, wasaidie kushiriki habari njema na

jamii zao. Wabatize na jamii zao mara tu wanapotaka.

6. Kubaliana masaa na mahali pa kukutana katika makundi madogo (Makanisa

madogo madogo). Makanisa mapya madogo madogo yanaweza kukutana

mahali popote, kwa siku yeyote, na wakati wowote unaofaa kwa washika

ingawa isio ya kufaa kwako .

7. Jifunze na kutumia amri za Yesu. Bwana alipeana zaidi ya amri mia moja.

Zifuatazo ni zile kuu ambazo waumini wa kale walizifanyia mazoezi.

Mheshimu Mungu pamoja (“Umpende Bwana Mungu wako

kwa moyo wako wote”).

Onyesheni upendo mmoja kwa mwingine, kwa majirani,

kwa maskini na kwa maadui.

Mbatize yeyote atakaye tubu na kumfuata Yesu.

Kila mara Mega mkate pamoja, yaani, sherekea ushirika au

meza ya Bwana.

Toa kwa ukarimu kuwasaidia maskini na wale wafanyao kazi ya Yesu

kwa bidii.

Ombeni pamoja kila mara mkitumia jina la Yesu kwa mahitaji aina

mbali.

Wahudumie wengine kwa ujuzi na uwezo ambao wewe na washiriki

wengine walionazo.

Kanunin #5 - Ilinde Maelezo ya Utii Je! Waashiriki wa kanisa mpya ndogo hufanya nini kwa

mikutano yao?

Kuabudu Mungu na kumheshimu Yesu Kristo pamoja. Karibu

kila aina ya shughuli yaweza kuwa ya Ibaada. Waumini wengi

hupenda kuimba kwa Bwana, kuambina jinsi Yesu alivyo wasaidia

hivi karibuni, kuiga hadidhi za Biblia, au kucheza kwa furaha. Fanya tu kile kile

mapokeo yenu yanaruhusu.

Soma kutoka kwa Biblia takatifu. Soma sehemu za Biblia na kuongoza kila mmoja

katika majadiliano juu ya kifungu, haswa kutoka kwa Injili za Agano Jipya. Acha

watoto na watu wazima waige hadidhi za Biblia. Amua pamoja jinsi washiriki wa

kanisa watatii kifungu, pamoja.

Kuomba kwa kutumia Jina la Yesu. Omba Mungu kusaidia kwa kila hitaji la

Mshiriki. Muombe Mungu kusaidia na wengine, pia. Mumshukuru kwa njia

anazowasiadia hao. Nendeni kuombea wagonjwa wapate nafuu, kwa waliosetwa

kuwekwa huru, kwa wenye mahitaji wapate mahitaji yao kutoka kwa Mungu, kwa

jamii zaidi kuwa wafuasi wa Yesu.

Sherekea Meza ya Bwana. Mega na kula mkate pamoja kukumbuka mwili wa Yesu

uliosulubiwa, na kunywa kitu cha kukumbuka damu ya Yesu

inayosafisha dhambi. Fanya hivi kila mara na muache kila mtu

awe na wakati wa uzoefu wa ushirika na Yesu.

Gawanyana mmoja kwa mwingine. Muache kila mmoja

kukutana na mahitaji ya wengine. Acha kila mtu azungumze

kuhusu Mungu na Yesu. Waache wahudumiane kwa njia ya kimazoezi. Waache

watoe pesa kutimiza mahitaji ya maskini.

Tuma wafanyi kazi nje. Teua na kutuma wale wanotaka kwenda kusaidia wengine

kujifunza kuhusu Yesu. Waidhinishe kuanza makanisa mapya madogo na kufanya

na wengine shughuli hizi hizi. Sikiliza ripoti zao wanaporudi. Waache wao

kufundisha wengine kufanya kazi ya aina hiyo.

Omba Mungu msaada usio wa kawaida. Omba Mungu kuheshimu Yesu kwa

kuwasaidia wengine katika njia zile ambazo ni Mungu tu anaweza kufanya. Muache

aponye wagonjwa na kukomboa waliokandamizwa. Muache apeane kwa wengine

zaidi ya yale ambayo nyinyi wenyewe mwaweza kufanya.

Kanuni #6 – Fundisha Viongozi

Jinsi ya kuinua viongozi kwa makanisa mapya ya

nyumbani?

Tambua Wachungaji

Kanisa lako linapoanza kukutana, chunguza washiriki wanaowasaidia wengine

kushiriki kivitendo. Kama wana hiari ya kuwa viongozi, basi andaa kuwafundisha

kati kati ya mikutano, na uwasaidie kupanga jinsi ya kuongoza mikutano yao ijayo.

Wachungaji kondoo wa kushauri. Wakati wowote mtu anaweza kukusanya wengine pamoja kujifunza juu

ya Yesu, andaa kufundisha huyo kiongozi. Waite viongozi au wachungaji

kondoo; usiwaite Wachungaji au wazee.

Wasikilize wachungaji kondoo

Wakati wowote unakutana na viongozi wapya, sikiliza kwa makini

kilka mmojja anapotoa ripoti ya yale makanisa yao madogo

yamekuwa yakifanya, wanachohitaji na fursa zao. Yesu alifanya hay, Mariko 6:30f.

Wafundishe wachungaji kondoo jinsi ya kufanya mipango

Saidia kila kiongozi kutoka katika Agano Jipya jinsi ya kupanga, jinsi ya kuongoza

makanisa yao, na jinsi ya kuwaleta wengine kujifunza juu ya Yesu.

Omba na wachungaji kondoo

I Omba Mungu kwa niaba ya viongozi washiriki wa

kanisa, ili Mungu awabadilishe wawe kama Yesu, Mungu

awavute watu wengi kuwa wafuasi wa Yesu, na kwamba

atawainua viongozi wapya wengi.

Kuidhinisha wachungaji kondoo.

Idhinisha viongozi wapya kuwafundisha viongozi wapya kwa makanisa mapya madogo,

kama mitume walivyofanya katika Agano Jipya. 2 Tim. 2:1-2

Wataje wachungaji kondoo kama wazee au wachungaji kondoo

katika mafundisho.

Viongozi wanapofikia matarajio ya Agano Jipya, wataje kama wazee au

wachungaji. Fanya hivyo katika mkusanyo wa kanisa kwa kuwawekea

mikono.

Waelemishe Wazee

Peana washa ya mafundisho mara kwa mara kwa viongozi na wazee,

kuwa wa kupatikana kuwashauri wakati wowote wanauliza msaada

Kanuni #7 – Tarajia uzalishaji

Ni jinsi gani Kanisa lako linaweza kukua na kukua, halafu likazalisha? Endelea kutii amri za Yesu. Mungu kwa kawaida huwaleta waumini wapya

katika makanisa yanayotii Yesu Masihi wake. Wanafunzi ni wale hupenda

kutii amri za Yesu. Ona Mathayo 28:18-20; Mdo. 2:37-47.

Hakikisha kwamba washiriki wote wa kanisa wanashiriki kwa uhuru. Mahali

ambapo waumini wote wanazungumza mmoja kwa mwingine kuhusu Yesu,

wasioamini wanaotembelea kanisa wataridhishwa wenyewe kuwa ni wenye

dhambi. Ona 1 Kor. 14:3, 24-26.

Kuwa na waumini katika kila kanisa ndogo wanaoomba, na kuinua viongozi

wapya katika makanisa mapya.. Wafundishe kuwa ni kawaida kwa kila kanisa

lililo hai kuzalisha.

Waache washiriki wawaalike marafiki na jamaa zao kutembelea kanisa lao ndogo, wakijisikia

kuridhika kufanya hivyo. Iwapo washiriki wenyeji wa kanisa ndogo watakuwa wengi sana basi

waache wengine wao waanze kanisa lingine ndogo pamoja na wale wangetaka kufanya hivyo

Simulia asili ya habari njema kila mara na alika watu kutubu na kumtumaini Yesu. Ni kwa

kusikia habari njema watu huja mara kwa mara kutubu na kuamini. Ona Luka 24:45-49 na

Warum. 10:14-15.

Ombeni pamoja kila mara kwa ajili ya wengine kuifikia imani katika Yesu. Inavyowezekana,

waumini wawili au watatu watembee pamoja katika mji wenu, waombe kimya kwa Mungu

kuonyesha wema wake kwa wasioamini. Wawe tayari kueneza habari njema kwa yeyote

anayewauliza.

Wape wengine zamu ya kuongoza mikutano ya kanisa. Omba na kumuuliza Mungu kuwafanya

wengine kuwa viongozi wazuri. Wanapojisikia kuwa tayari, waache waanzishe makanisa mapya

na waumini wowote wanaotaka kwenda nao.

Anza makanisa mapya madogo katika nyumba za watafutaji na waumini wapya. Wasaidie

wenyeji kuchukua uwongozi na kufundisha habari za Yesu kwa jamaa zao na marafiki.

Wafundishe katika mahali pa kujifichia na uwaachie kuwaleta marafiki na jamii zao.

Wafundishe washiriki wote jinsi ya kuanzisha kanisa. Washiriki wa kanisa wanapoondoka

kwenda kazini, shuleni au kwa ndoa, inawabidi wajue jinsi ya kuanza kanisa mpya ndogo. Ahidi

kuwashauri, iwapo unaweza.

Weka minyororo ya viongozi wanaofundisha viongozi wapya. Hauwezi kuanza makanisa

mapya madogo kwa haraka usipofundisha viongozi. Washauri viongozi wachache na kuwapa

mamlaka kila mmoja wao kuwashauri wengine wachache. Achilia minyororo hii kukua kwa

kuanza makanisa mapya madogo.

Yasaidie makanisa ya kawaida kufanya washiriki wao kuwa makanisa madogo.

Makanisa mengine makubwa hutaka kuwa na makanisa madogo madogo, na

viongozi wao wanaweza kukuuliza kuwasaidia kujifunza jinsi ya kufanya.

Kuwa na karakana ya mafunzo kwa watendakazi wanotaka kuanza

makanisa. Waachilie wao waumbe makanisa madogo ya muda kati yao, ili waende nje na

kufanya hivyo na watu wengine pia.

Kanuni #8 Chunga Vikwazo

Ni hatari gani zinangoja makanisa ya nyumbani? Viongozi wengine kutoka kwa makanisa makubwa wanaweza kukudharau na

kanisa lako ndogo. Wakikuuliza, waambie ni kwanini unaanza makanisa

madogo na jinsi makanisa yako yanajaribu kutii amri ya Yesu. Makanisa mapya

madogo mengine hayawezi kudumu kwa zaidi ya miezi michache. Washirki

wengine watataka kwenda kwa makanisa makubwa; wengine wataondoka

kuanza makanisa zaidi madogo. Waachilie wafanye hivyo.

Makanisa madogo hayawezi kusaidia Kiongozi kifedha, hivyo basi Kiongozi

lazima afanye kazi ya ziada kupata pesa.

Mtu Mwingine anaweza kujaribu kuchukua utawala wa kanisa ndogo. “Mbwa Mwitu” ni wale ambao

hawaanzi makanisa mapya, ilhali wanataka wengine kuwafuata. Inakubidi uwaambie Mbwa mwitu

kuacha kuingilia kanisa lako ndogo mpya. Jitoe kuwafundisha, kama wanataka kwenda kuanza

makanisa yao madogo.

Mwingine anaweza kujaribu kufundisha kanisa ndogo mawazo yasiyo ya kweli au

yaliyochanganyikiwa. Kwa hivyo, saidia makanisa mapya kufanya Agano Jipya kuwa kipimo chao cha

pekee, na kuwasaidia washiriki kupima kila wazo kwa kujifunza Agano Jipya linasemaje. Yesu

aliwaambia wanafunzi wake “kukaa katika neno lake.”

Mtu Mwingine anaweza kutaka kuwa Mwalimu wa pekee katika kanisa. Kuanzia mwanzo, ruhusu

kila mmoja kuzungumza mmoja kwa mwingine. Hiyvo, fundisha wengine kutambua “karama za

rohoni” za wengine. Washiriki wa kanisa hawatakiwi kuwa wasikilizaji baridi tu.

Mamlaka ya Serikali yaweza kujaribu kusimamisha kanisa lako, na wanaweza kuwakamata. Katika

maeneo ya uhasama, wale wanaoanza makaniisa inawabidi kuvunja sheria ili kumtii Bwana Yesu

wao. Hata hivyo, kumtii Yesu ni muhimu zaidi kuliko usalama. Kamwe, usivunje sheria ila tu kwa

utiifu wako kwa Yesu unapotakikana kufanya hivyo.

insi ya kuitikia kwa Jamii inayopinga wafuasi wa Yesu?

Kaa katika utamaduni wako. Vaa mavazi ya kawaida ya utamaduni wako, kuwa na jina lako

mwenyewe, kula chakula ambacho kinadhibitishwa na jamii yako, tumia salamu za jamii yako,na

heshimu sherehe, saumu na sikukuu za jamii yako.

Abudu kwa njia isiyo ya kukwaza. Tumia aina mbali mbali za sura ya dini ya jamii yako kama

uwezavyo kwa dhamiri safi. Epuka sura nyingi za kigeni za ibaada. Yesu anakubali aina nyingi za

ibaada zinazo mheshimu.

Katika Makanisa mapya madogo, punguza shughuli kubwa za ibaada kwa wale wanafundishwa

katika Agano Jipya. Hiyo inajumulisha kujifunza mafundisho ya Yesu, kuomba katika jina lake,

“kuumega mkate” na kugawana mmoja kwa mwingine. Ona Mdo. 2:42.

Tafuta Agano Jipya kupata majibu kwa maswali na mahitaji ya jamii yako, na dhibitisha dhamani ya

utamaduni wowote wenu ambao Yesu anaweza kukubaliana nao.

Endelea kuomba kwamba maelfu na mamillioni katika jamii yako watakuja kumfuata Yesu, ingawa

wengi wao watakaa katika dini za wazazi wao kwa muda.

Epuka kuwa na wageni wa nje wengi kuhudhuria matukio ya ibaada yenu. Kwa kawaida, wageni

wasifundishe katika makanisa yenu mapya. Kama wageni wa mbali wanakushauri na viongozi

wengine, basi wafanye hivyo faraghani.

Kataa Msaada wa Pesa. Waumini wengine matajiri na baadhi ya wageni wa nje wanaweza kutaka

kukupa pesa na misaada ya vifaa. Kama unaweza kujisaidia, basi kataa msaada wao.

Teua tuu viongozi wenye heshima wa waeneo. Ni vyema kwamba wageni wa nje na watu wa nje

wasiongoze makanisa mapya madogo. Ingawaje watu wa nje wanaweza kuwa washauri na waalimu

wazuri, inawapasa wenyeji kuongoza makanisa mapya.

Tafuta wa kiroho, wa kina kwa bidii. Juu ya yote, julikana kwa uweza wako kupitia maombi, uwazi

wako, tabia yako ya adili, na kwa uwezo wako kumheshimu Mungu katika mazungumzo yako ya

kila siku.

Wawezeshe waumini wenyeji wako walio na tabia njema na wako walio na hiari ya kuanza makanisa

mapya madogo. Wafundishe, ukitumaini Roho mtakatifu kuwakirimu na kuwaongoza.

Linda makanisa yako kwa siri kwa muda mrefu iwezekanavyo. Mwache Yesu pekee achague wakati

anaotaka yeyote wenu kukamatwa au kuteseka kwa ajili yake.

Endelea kuanzisha makanisa mapya madogo na kuhamia mahali pa kukutania mara kwa mara kama

inavyohitajika. Wakati mamlaka ya uhasama yanakandamiza makanisa mengine madogo, mengine

yanaweza kuendelea kuabudu.

Ni maeneo gani unajiweka hatarini?

___________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________ _____________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________ _____________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________ _____________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________ _____________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________

Kanuni #9 – Kumbuka lengo lako

Je! Ni ipi Asili ya habari Njema ya Yesu na Mitume wake?

“Injili” au Habari Njema kuhusu Yesu ni hadidhi, usimulizi wa kweli, ukweli wa histioria. Njia ya

kufaa kuwasaidia wengine kuwa wafuasi wa Yesu inabaki katika hatua tatu zifuatazo:

(a) Simulia hadidhi hii katika maneno, nyimbo, mashairi, sanaa au drama.

(b) Eleza ahadi za Yesu kwa urahisi

(c) Alika watu kutii amri za Yesu.

Asili ya hadidhi ya Habari Njema inafupishwa katika maandiko ya Agano Jipya hivi:

Luka 24:44-49

Mdo 2:22-40 Mdo 3:13-26

Mdo 5:29-32

Mdo 10:34-48

Mdo 13:23-41

Mdo 17:1-4

Mdo 17:22-31

1 Wakorintho 15:1-8

2 Wakorintho 5:21

Kazi yako ni kusimulia hadidhi kupitia vifaa vya habari vinavyo kubalika kiutamaduni, ukitilia mkazo

mambo yale yanayo leta maana kwa wenyeji. Mambo makuu yanayo vuka maandiko yote ya Agano

Jipya yanayohusu habari Njema yanabaki kuwa maisha ya Yesu, Mauti yake na Kufufuka kwake.

Unaweza kuweka pamoja mojawapo ya kila kitu kinachofuata maandiko yaliyotajwa hapo juu:

Manabii wa kale walitabiri anaye kuja, ambaye Wayahudi walimuita Masihi

Mungu alimpa Yesu uweza kufanya miujiza, kuweka watu huru kutoka kwa nguvu za

shetani, kuonyesha kuwa yeye ni Masihi.

Viongozi wa Dini wenye wivu na mamlaka ya Siasa walimuadhibu Yesu kwa kifo wakimpigilia

misumari kwa msalaba wa mti.

Siku ya tatu baadaye, Yesu alifufuka kwa mwili na akatoka kaburini.

Yesu akawatokea mashahidi waliomuona, kudhibitisha kuwa ni yeye, akiwaamuru

kueneza Habari hii Njema kila mahali.

Yesu aliahidi kuwasamehe wote watakaotubu, na kuwa weka huru kutoka kwa uwovu

wowote.

Wote wamtumainio na kumtii Yesu watapokea msamaha wa Mungu. Roho Mtakatifu, na

uzima wa milele. Yesu alipaa Mbiguni ambako anatawala kama Bwana juu ya Mbingu na Dunia.

Yesu aliamuru wafuasi wake kubatiza waumiini wapya na kuwafundisha kutii amri zake.

Yesu atarudi tena duniani, kufufua wafu na kutawala kama Mfalme juu Ulimwengu

Milele.

Mara tu mtu anapotubu kutoka kwa njia zake za kale na kuweka imani yake au tumaini lake katika

Yesu, na kuwafanyia vile vile Yesu na Mitume walifanya:

Kudhibitisha toba yao kwa kuwabatiza, kama Yesu alivyoagiza (Mathayo 28:18-20)

Kuwaongeza kwa kanisa ndogo mpya, kama Mitume walivyofanya. (Matendo 2:40-42)

Wakati Jamii au marafiki wanakuwa wafuasi wa Yesu pamoja, ni bora kufanya umbo la kanisa mpya

ndogo mara moja, na kuwafanya wao kualika wengine kujifunza juu ya Yesu.

Kanuni #10 –

KamaTumia “Menyu” unaposhauri

Ni upi mfano wa menyu ya maandiko?

Muda wowote mnakutana watendakazi kuwafundisha, chagua menyu ya

utendaji ya andiko linalofikia hitaji la sasa katika kanisa mpya (Kwa mfano, watume

watenda kazi nje). Wakati mnakutana na wanafunzi, pitia upya na kutumia moja ya

maandiko na kuwa na hakika yakufanya mipango ya kutekeleza andiko hilo katika

kanisa mpya. Weka alama, “Tick” au weka mviringo kwa nambari, baada ya

kumaliza (Kwa mfano, #9 mviringo utakuwa ...#.

Menyu ya mafundisho ya mazoezi ya upandaji Makanisa.

1. Fundisha na kutuma watenda kazi -- Matthew 10:1-10.

2. Ingieni kwa nyumba zenye amani -- Matthew 10:11-15.

3. Jichunge na mamlaka ya uadui -- Matthew 10:16-20.

4. Tumia Mamlaka ya Utauwa -- Matthew 18:18-22.

5. Mpende Mungu na Wengine -- Matthew 22:34-40.

6. Fundisha waumini kumtii Yesu -- Matthew 28:16-20.

7. Fundisha watenda kazi wa kujitolea -- Mark 6:7-12, 30.

8. Fundisha utaratibu wa Yesu -- Luke 9:1-6.

9. Tafuta watu wa kuitikia -- Luke 10:1-7.

10. Onya miji isiyo na imani -- Luke 10:8-11.

11. Fundisha watenda kazi wengi zaidi wazalishao -- Luke 10:17-20.

12. Vuna mavuno -- John 4:34-38.

13. Mpendane ninyi kwa ninyi -- John 15:9-17.

14. Pokea Roho Mtakatifu -- John 20:19-22.

15. Fuata mikakati za Yesu -- Acts 1:7-11.

16. Eneza Habari Njema – Acts 2:22-24.

17. Wabatize wale wanaotubu -- Acts 2:38-41.

18. Fundisha waumini kuabudu -- Acts 2:42-47.

19. Mtii Mungu badala ya watu -- Acts 5:27-32.

20. Kuingia kwa nyumba za wengine -- Acts 10:24-29.

21. Nenda kwa wale Mungu amewandaa -- Acts 10:30-33.

22. Waambie wengine juu ya Uweza wa Yesu -- Acts 10:34-38.

23. Tangaza Mauti na Kufufuka kwa Yesu -- Acts 10:39-43.

24. Wabatize waumini wapya -- Acts 10:44-48.

25. Teua wazee katika makundi mapya -- Acts 14:21-23.

26. Waongoze watu kuamini na kutii -- Romans 1:2-7.

27. Mega Mkate pamoja -- 1 Corinthians 10:15-17; 11:23-26.

28. Waache viongozi wanafunzi kufundisha wengine -- 2 Timothy 2:1-10.

29. Wawezeshe waratibu kuteua wazee -- Titus 1:5-9.

30. Fundisha wachungaji kondoo kutumika kwa unyenyekevu -- 1 Peter 5:1-6.

31. Andaa waumini kuteseka -- 1 Peter 5:7-11.

Tumia hii kama “Orodha ya Tick”

ya menyu pamoja na wakufunzi

wako

Miisho (Appendices)

Orodha ya Agano Jipya ya kuchunguza

Amri za “Mmoja kwa Mwingine” Kuhudumiana

Kufundisha na kuhimizana: Wakol. 3:16.

Kufundishana: Warumi 14:14.

Kuhimizana Moyo: Waeb. 3:13.

Kutendeana mema 1 Wathes. 5:15.

Kushughulikiana 1 Wakorin.12:25.

Kuchukuliana mizigo Wagal. 6:1.

Kusema ukweli, kama washiriki wa moja kwa mwingine: Waef. 4:25.

Kuhudumiana kwa karama yeyote ambayo kila mmoja amepokea: 1 Petr 4:10.

Kuyatoa maisha kwa ajili ya wenzetu: 1 Yoh. 3:16.

Kutia moyo Ushirika mwema

Kuwa na ushirika wa moja kwa mwingine: 1 Yoh. 1:7.

Kupendana: Yoh. 13:34-35; 5:12, 17; Warum. 12:10; 1 Wathes. 4:9; 1 Yoh. 3:11,

14, 23; 4:7, 11, 12; 2 Yoh. 1:5.

Kupendana ili kutimiza sheria: Warum. 13:8.

Kukua katika upendo moja kwa mwingine: 2 Wathes. 1:3.

Kukaa katika upendo moja kwa mwingine: 1 Wathes. 3:12.

Kuwa wafadhili, wenye kuchukuliana, na kusameheana: Waefe. 3:13; 4:32;

Wakol. 3:13.

Kuwa na upendo usio na unafiki kutoka moyoni moja kwa mwingine: 1 Petr.

1:22.

Kushikilia Upendo daima moja kwa mwingine: 1 Petr. 4:8.

Kujenga Umoja wa kiroho

Kuonyesha Heshima moja kwa mwingine: Warum. 12:10.

Kukubaliana moja kwa mwingine: 2 Wakor. 13:11.

House churches

become strong

through relational

expressions of love.

Kuishi katika umoja: Warum. 12:16 (ona Warum. 15:5).

Kutawadha miguu moja kwa mmoja: Yoh. 13:14.

Kusalimiana moja kwa mwingine kwa busu takatifu (kwa tamaduni zingine

inaudhi): Warum. 16:16; 1 Wakor. 16:20; 2 Wakor. 13:12; 1 Petr. 5:14.

Kukuwa wenye amani moja kwa mwingine: Mark 9:50.

Kutokosoana moja kwa mwingine: Warum. 14:13.

Kutosemeane mabaya moja kwa mwingine: Yak. 4:11.

Kutonung'unikiana moja kwa mwingine: Yak. 5:9.

Kuchukuliana (kuvumiliana) moja kwa mwingine: Waefe. 4:2.

Kunyenyekeana moja kwa mwingine: Waefe. 5:21.

Kwa Upendo, kukuwa watumwa moja kwa mwingine: Wagal. 5:13.

Kukuwa na umoja, huruma, na kupendana moja kwa mwingine: 1 Petr 1:22.

Kujivika unyenyekevu katika kazi zenu na wengine: 1 Petr 5:5.

Kuujenga Mwili

Kutiana moyo na kujengana moja kwa mwingine: 1 Wathes. 4:18 na5:1, 11.

Kuchocheana upendano moja kwa mwingine na matendo mema. Waebr. 10:24.

Mkutane pamoja, kutiana moyo moja kwa mwingine Waebr. 10:25.

Kufurahi pamoja: 1 Wakor. 12:26.

Kuja pamoja, mwingine na wimbo, somo, ufunuo, ndimi au ufasiri:

1 Wakor.14:26.

Kukaribishana moja kwa mwingine: Warum. 15:7.

Kuwa wakarimu moja kwa mwingine: 1 Petr 4:9.

Kuungama dhambi zetu moja kwa mwingine na kuombeana Yak. 5:16.

Kuteseka pamoja: 1 Wakor. 12:26.

Kufanya kazi pamoja: 1 Wakor. 3:9; 2 Wakor. 6:1.

“Makanisa ya ki-sungura na ya ki-ndovu” Mambo…

Kipimo kidogo cha Makundi huwaruhusu wengi hushiriki. Katika jamii nyingi watu huja kwa Yesu kwa urahisi sana katika makundi madogo.

Mamlaka yaliyo na uadui kwa wakristo huonea makanisa yanayo kutakana nje ambayo “hayajasajiliwa”

Ni rahisi kuifikia jamii yote kwa kukutana nyumbani mwao

Watoto wanaweza kuchukua sehemu zaidi ya utendaji katika ibaada na hivyo kujua kuwa wao ni sehemu muhimu ya mwili wa Kanisa.

Pesa ambazo hazitumiki kwa mijengo zinaweza kutumika kutuma wapandaji makanisa kuzalisha mikutano.

Makanisa madogo huzalisha kwa urahisi kwa sababu hawajakua taasisi; hawaja kuwa na vifaa vya gharama na tamaduni ambazo ni ngumu kupitiliza kwa makanisa yao madogo.

Mikutano ya “Ki-sungura” huzalisha zaidi sana kwa haraka. Waumini katika mikutano midogo ya kadiri huleta watu wengi mara nyingi kwa Kristo kuliko hesabu iyo hiyo ya waumini wa makanisa ya “Ki-ndovu.”

NDOVU

SUNGURA

Hukomaa katika miaka 18 Mtoto mmoja kwa kila kutungwa mimba Yenye uwezo wa kuzaa mara nne kwa mwaka. Muda wa ujauzito ni miezi 22

Jamii yaweza kukua kutoka 2 hadi 3 katika miaka 3

Hukomaa katika miezi minne Kwa kadiri ya watoto 7 Yenye uwezo wa kuzaa karibu kila mara Muda wa ujauzito ni mwezi mmoja.

Jamii yaweza kuzalisha hadi millioni 476 katika miaka mitatu.

Matumizi Usigawanye kikundi kirahisi katika vipande viwili. Fundisha viongozi wapya wakati kikundi kingali kidogo. Kinapokua, pata mmoja au wawili wa hawa viongozi wapya kuanza makundi mapya, wakiwachukua wengi wa hao ambao wanataka kwenda nao.

Kumbuka

Kanisa linaweza kuwa la ki-sungura na la Ki-ndovu ikiwa litaachilia makundi ya chembe hai kuzidisha na kuwa vikanisa vidogo ndani ya lile kubwa.

Kanisa – kwa kiwango chochote - “halipandwi” hadi lifanye huduma ambazo Mungu anataka za kanisa. Kiongozi wa Kanisa la ki-sungura ni mwalimu wa kweli iwapo tu yeye anawasaidia wengine kufanya huduma. Kufundisha tu sio kuongoza.

Vidokezi vya kuchunga … Mbwa Mwitu!

Paulo alionya kuwa mbwa mwitu watatokea ndani na nje (Matendo

20:28-31).

Mbwa mwitu kutoka ndani ni yule muumini aliye potoka

Mbwa mwitu kutoka nje ni wasioamini wanaofundisha imani isiyo

sahihi.

Kabiliana na mbwa mwitu kwa haraka na kwa udhabiti.

Jinsi ya kutambua “Mbwa Mwitu” ….

o Meno makali. Yeye huonekana wa

kupendwa na rafiki sana, mwanzoni.

o Masikio yaliyoinuka juu. Yeye ni msikilizaji bora. Haswa

yeye husikiliza ukosoaji wa viongozi wa kundi walio wa maana.

o Makucha laini. Hunyemelea kwa ustadi kwa dirisha

badala ya mlango,yaani, bila kualikwa na kiongozi halisi.

o Mdomo Mkubwa. Atakuja kwako na tabasamu ya mwanga

wa ghafla iliyopakwa rangi.

o Macho yakubadilika badilika. Yeye hufanya urafiki na

wanakondoo wadhaifu na kondoo zisizo hudumiwa.

o kudondoka Mate.Njaa isiyotosheka, yeyé husongea wakati

anakosa wanakondoo wa kumaliza.

o

Yesu ndiye anayetawala na Bwana, wala sio wewe.

I PETRO 5: 1-3 Nawasihi wazee walio kwenu, mimi niliye mzee, mwenzi wao,na

shahidi wa mateso ya Kristo, na mshirika wa utukufu utakaofunuliwa baadaye;lichungeni kundi la Mungu lililo kwenu, na kulisimamia,si kwa kulazimishwa, bali kwa hiari kama Mungu

atakavyo;si kwa kutaka fedha ya aibu, bali kwa moyo.Wala si kama wajifanyao mabwana juu ya mitaa yao,bali kwa kujifanya

vielelezo kwa lile kundi.

Vidokezi vya kugawanya mamlaka yako na wanafunzi

wako. …. Watie moyo waumini wapya kukaribisha kwa muda mikutano ya vikundi.

Ruhusu waumini wapya kushiriki tangu mwanzo.

Watie Moyo waumini wapya kuimarisha huduma mpya kulingana na mahitaji ya eneo.

Rahusu makosa

Elekeza mafundisho yote kuelekea Yesu kama Bwana.

Shikilia watenda kazi wapya kwa tumaini la kuwa wazee.

Omba neema ya kufanya kazi ya huduma kwa muda, ukiwapa watu wengine.

Ifanye yote kwa kujitolea na sio ya kisheria

Orodha ya kuchunguza silaha za Kiroho Fanyiza kundi lako silaha zote za Mungu kila nukta. Kama Petro anavyosema, “Mioyoni mwenu

mtenge Kristo kama Bwana” ( 1 Pet. 3:15)

Kuvaa Kweli kama mshipi. Yesu ni njia yetu, kweli yetu na Uzima wetu (Yohana 14:16) Kukuwa na “vazi lisilopenyeza risasi” ni dirii ya haki. Yesu ndiye dirii yetu ya haki: “Na Kristo akiwa ndani yenu, mwili wenu umekufa kwa sababu ya dhambi; bali roho yenu I hai, kwa sababu ya haki.” (Warum. 8:10) Kuvaa viatu vyetu vya amani vya kutupeleka popote, vikibeba Injili ya amani kwa wengine. Yesu mwenyewe ni “amani yetu.” (Waefe. 2:14) Kushikilia ngao ya imani ambayo inakinga mishale ya moto ya shetani. “Mimi ni ngao yako, na dhawabu yako kubwa sana.” (Mwa. 15:1) Kulinda vichwa vyetu na chapeo ya wokovu inayotulinda hadi milele. Yesu ni wokovu wetu: “Naye, kwa sababu hii, anaweza kuwaokoa kabisa wao wamjiao Mungu kwa yeye; maana yu hai sikuzote ili awaombee.” Kutahabibu upanga wa roho, amabo ni neno la Mungu Kudumisha mawasiliano ya daima na mkuu wetu wa Jeshi, kuomba tukiwa macho na kuombea. Mwimbaji wa zaburi anatamka kwa mshangao “Badala ya upendo wangu wao hunishitaki, ijapokuwa naliwaombea.”(Zab. 109:4).

Pingamizi kutoka kwa bwana mapokeo 1. “Lazima tuache makutano kukomaa na yenye nguvu kabla ya kuanza nyingine mpya.”

2. “Mikutano mipya lazima ikubaliane na dhehebu letu la pekee na sheria. Amasivyo mambo hayataenda vyema – utawala wangu.”

3. “Makundi mapya lazima yawe na jengo la ibaada, watoa zaka waliokomaa na ibaada nzuri.”

4. “Ni viongozi wa kanisa walioelemishwa vyema wanaweza kuongoza sakramenti. Amasivyo mabatizo hazitakuwa halali na meza ya Bwana itafanywa kwa njia isiyostahili.”

5. “Ni muhimu kwamba mabo yote yafanywe kwa “Heshima na katika utaratibu.” Ama sivyo watu ambao hawajafundishwa watasababisha shida...”

6. “Viongozi wote wa mikutano lazima kufikia sifa za juu zilizowekwa na Afisi kuu ya dhehebu.” Hii inataka tu waliowekwa wakfu, viongozi wa mishahara.”

7. “Washiriki wote lazima wakutane kusikiliza ujumbe kamili kwa wahubiri waliofuzu.”

8. “Lazima tuimarishe shule za Biblia na washa ambapo waalimu bora wanaweza kufundisha viongozi wa siku zijazo kwa mpango.”

9. “kila mkutano mpya lazima udhibitishwe sawa sawa na makao makuu ya dhehebu na kushika mwongozo wake – mwongozo wangu.”

Itiko za bwana mapokeo 1. “Vijana huzalisha shauku. Makanisa mapya huzalisha makanisa mengi mapya.”(Epaphras)

2. “Makundi ya ujana lazima yabaki huru kutii Kristo kwanza na baadaye wachungaji.”(Christ and Jews).

3. “Makundi ya ujana lazima yabaki huru kuingia nyumbani mwa wanaotafuta kuokoka. Makanisa yanaweza kuzuia kuwafikia wasioamini wapya.”(Peter & Cornelius)

4. “Makanisa ya kale yaliwabatiza waumini wapya bila kuchelewa.”

5. “Ndiyo, Mungu ni Mungu wa utaratibu, lakini pia uhuru wa hiari kuongozwa na roho. ( 1 Kor. 14:24-26). “Ni kwa uhuru kwamba Kristo alituweka huru.”

6. “Sifa za Kibiblia – Ndiyo! Sifa za kibinadamu kama za upili.” (Timothy)

7. “Hubiri – Ndiyo. Lakini lenga kuwa watendaji wa neno.” (Timotheo)

8. “Kukua haraka kwa kanisa kwa uchahe wa kanuni. Makundi ya ujana lazima yabaki huru kwa mafundisho ya uchungaji kwa kuitikia mahitaji ya haraka ya makanisa mapya na viongozi.” (Tito)

9. “Kudhibitishwa – ndiyo, lakini sio kutawaliwa sana katika mambo madogo madogo, kama vile kusimamiwa kudogo sana.” (Tito)

Mifano nne ya kupanda kanisa.

1.Mfano wa Antiokia

Ushirika wa kutuma unaotuma kikundi kidogo kwa viwanja vya mbali (Matendo 13-14). Kikundi hiki cha kusafiri kilitoka jimbo moja hadi lingine, likianza makundi ya kwanza machache katika kila jimbo.

Walikaa katika jimbo kwa muda mrefu wa kutosha kuimarisha viongozi, au walirudi huko kwa muda mfupi kufanya hivyo. Kikundi hakikukaa kuongoza mkutano. Bali, walienda kwa maeneo mengine yaliyopuuzwa au kurudi kwa kanisa lililo watuma.

2. Mfano wa Joppa

Kanisa la Nyumbani lilituma wasaidizi pamoja na Petro kwa safari fupi fupi kuanzisha kanisa la karibu.

3. Mfano wa Biashara

Akila na Priska walitumia biashara ndogo kuanzisha makanisa katika maeneo yaliyopuuzwa. Na Paulo alifanya hema kujihimili mwenywe. Andiko ladhihirisha kuwa walifanya haya katika Rumi, Korintho na Efeso. Waliacha makanisa yao ya asili kabisa, wakienda kutoka mji hadi mji, wakikusanya makundi ya nyumba kwa nyumba.

4. Mfano wa miji ya Magharibi. Kundi kubwa la wastani huondoka kabisa kutoka kwa kanisa la nyumbani kuanzisha kanisa ndogo la karibu, katika tamaduni zao hizi hizo, kawaida na viongozi wenye ujuzi wa juu, wenye mishahara. Mkutano wenye hesabu kubwa ya washiriki wanaweza kutuma kikundi kikubwa cha kutosha kumuajiri mchungaji kuanzia mwanzo, kuhifadhi mtindo wa ibaada kama ile ya kanisa la nyumbani.

Urahisi katika Ibaada

“Viongozi wa ibaada wasio na busara huenda kwa maringo kama tausi dume, wakichanganya ibaada na

uigizaji na burudani! Waabudu wa kweli huingia katika uwepo wa Mtakatifu mkuu.”

Ibaada inahusisha kupanga vyema mapema.

Ibaada inahusisha kufundisha vyema: 1) utendaji kazi &2) kwa msingi wa uchaguzi wa wazo la menyu.

Viongozi wa ibaada wenye busara hawajaribu kuburudisha wasikilizaji.

Kwa makanisa madogo ya nyumbani, weka mpaka wenye msimamo wa wakati wa kuanza na kumalizia. Hii inafidia kwa hali isiyo ya kawaida ya manyumba za kibinafsi.

Orodha ya kuchunguza ya vitu vya lazima/muhimu vya

ibaada

Sifa ambazo zingeimbwa, somwa, sifia, semwa, za kujianzia, chezwa, dhihirishwa njia mbali mbali kwa hali ya mwili, n.k.

Maombi ambayo yangedhihirishwa kwa umbo mbali mbali ya nje. Kuhubiriwa kwa Biblia, kusomwa, kujadiliwa, kuigiza, n.k.

Kutoa pesa, wakati, chakula, n.k.

Ungamo la dhambi na hakikisho la msamaha

Meza ya Bwana.

Kupenda ushirika kati ya waumini.

Vidokezi vya kushauri viongozi wapya. Fundisha viongozi wapya “kisiri.” kama alivyofanya Akila na Priska na

Apollo (Matendo 18:24-28)

“Kama mbio ya kupokezana, wapatie wengine kifimbo cha Umitume cha mamlaka, ujumbe na waajibu, kama Paulo alivyofanya. Shikilia nuru ya kifimbo. Fanya kazi ya Bwana rahisi kwa kuchukua na kupeana kwa wengine. Onyesha wanafunzi wako jinsi ya kuwa “watendaji wa neno, sio wasikilizaji tu.”

Usilenge mwanafunzi pekee, bali pia lenga kondoo anayewachunga

Kuwa mfano- ili wanafunzi waweze kukuiga. Tadhmini mafundisho kwa matokeo yanayoonekana kwa maisha ya

wanafunzi.

Makosa ya kawaida o Kukosa kupeana kifimbo haraka iwezekanavyo, kutawala sana na kwa muda mrefu.

o Kutumia vyombo vya gharama au vya staarabu.

o Kuwa mkarimu sana kwa pesa za kutoka nje ambazo waumini wanategemea kushindwa kumtegemea Mungu.

o Kutumia mtindo wa mafundisho na ibaada inayohitaji elimu ambayo viongozi wa taifa wamekosa.

Vidokezi vya kufanya wanafunzi

Kweli au uwongo

Fanya wanafunzi, kuwafundisha tu kila kitu cha mafundisho ya dini kuhusu kila jambo hai la kiteolojia. Kweli? ( ) Au Uwongo? ( )

Yesu alisema kufanya wanafunzi kwa kuwafundisha kumtii yeye juu ya vyote. Kweli? ( ) Au uwongo? ( )

Ambacho sio kufanya wanafunzi... Kufanya sio tu mmoja kwa mmoja. Ingawa kufanya hivyo haikataliwi, fanya kama Yesu alivyofanya kwa kawaida kufanya kazi na wanafunzi kumi na wawili, wakati mwingine watatu na mmoja kwa mara chache.

Kufanya wanafunzi sio tu kuwasaidia waumini wapya katika maisha yao ya kiroho wala kufundisha mafudisho ya kidini ya Biblia. Yesu na Mitume wake walifanya wanafunzi kuwa viongozi wa nguvu pia na watafutaji, waumini wapya, na watakatifu wakukua, kwa kuwafundisha na kwa kuunda maisha ya Ufalme na ujuzi.

Kufanyika wanafunzi ni... Kufanya Wanafunzi wa Agano Jipya lazima kudhibitisha uhusiano wa juu.

Kufanya wanafunzi wa Agano Jipya huleta utiifu kwa Bwana kabla ya vyote.

Vidokezi vya Kazi ya kuigiza

Shikilia kazi ya kuigiza kwa muhtasari na fupi na inayolenga. Tenda tu kwa pointi za hadidhi ya Biblia; usiongeze vitu eti unaigiza.

Usikariri mistari, isipokuwa mawazo au pointi kuu tu.

Usiache kazi ya kuigiza kuvurutwa sana.

Hakikisha kuwa kila mwanafunzi ana nafasi ya kutosha kushiriki katika njia fulani za kuiga na kazi ya kucheza.

Fanya hiyo kila mara – tunajifunza kwa kusikia, kuona, kutenda na kutumia.

Fanya kuwasilisha kuwa rahisi. (hakuna kutegemewa)

Yeyote anaweza kushiriki – watoto, watu wazima, n.k.

Kuwa na burudani! Washiriki watakumbuka kile wanona na ya uzoefu, zaidi kuliko yale wanasikia tu kutoka kwa jukwa.

Vidokezi vya hadidhi na Vichekesho

Simulia hadidhi ambazo zinazofaa kwa wote Onyesha kihistoria na kibiblia hadidhi kwa kusoma, kukariri, kuimba kuigiza na kazi ya michezo. Kumbuka kuwa watu hukumbuka hadidhi kwa muda mrefu. Kazi ya michezo haiingi tu katika kumbu kumbu za ubongo, lakini pia mahali ubongo unahifadhi sura na sauti. Tumia umbo za sanaa, alama, drama na mitindo ya muziki. Fundisha wanafunzi wapandaji wapya kuweka aina mbali mbali iliyo sawa, kwa usahihi kuliko ukumbi wa mafundisho, ambao unaweza kuchosha. Fundisha wengine sio kupitia kwa maelezo bali katika maonyesho.

Mifano ya hadidhi za Biblia kwa vichekesho: Gharika (Mwa. 6-9) Waisraeli waaminifu waliwaua wale walio kataa kubadili msimamo wao katika sanamu. (Kut. 32) Mashindano kati ya Eliya na manabii wa Baali kwa mlima kameli (1 Wafal. 18)

Bwana aliwaadhibu wale walioabudu ndama ya dhahabu (Kut. 32-33) Mapigo kumi katika Misri na kugawanyika kwa bahari ya shamu ili watu wake wavuke. (Kut. 1-15) Adamu na Hawa katika Edeni (Mwa. 3) au Kaini na Abeli (Mwa. 4). Pasaka ya Mwana kondoo katika kutoka (Kut. 11-13). Mtakatifu kuwachoma Nadabu na Abihu walipoingia kwa uwepo wake bila damu (Walawi 10) Dhabihu ya Yesu juu ya Mslaba (Mat. 26-27)

Alidai kuwa mwana wa Mungu na baadaye akafufuliwa na yule wa milele kutoka kwa mauti (Mariko 14-16) Baba anamtambua Yesu kama mwana wake wakati wa ubatizo (Mat.3)

Kuteseka wakati wa majaribu na kusulubishwa ( Mark 15; Luka 22-24; Yohana 18-20). Yohana Mbatizaji anatangaza msamaha kwa wale wameungama dhambi zao (Mat. 3). Yesu alisamehe watu wabaya sana lakini akawaonya Mafarisayo waliotumaini matendo yao mema kwamba hawajaingia katika ufalme wa Mbinguni (Mat. 9 na 21: 28-45) Yesu amsamehe aliyepooza ambaye hakuwa amefanya chochote kwa uwezo wake kuja kwa Yesu (Mar. 2) Paulo aliahidi wokovu kwa jamii yote ya mlinzi wa gereza aliyeamini, kabla hata hawajasikia Injili (Matendo 16:31). Malaika walitangaza kuzaliwa kwa Yesu kwa wachungaji (Luka 2)

Vidokezo vya kuteua wasaidizi wa Jimbo wa upandaji kanisa

Swali: “Tito alikuwa na kazi gani kama msaidizi? Alisimamiaje makanisa machanga yaliyohitaji msaada?”

JAWABU: Paulo alimfundisha Tito kuweka utaratibu kwa yale yaliobaki kufaywa, na kuteua wazee katika kila mji.

VIDOKEZO VYA UTENDAJI

Ilimbidi Tito awafundishe hawa wazee wachungaji kondoo; waraka unaosalia ulimpa mwongozo wa jinsi ya kufanya. Ilimlazimu Tito kugundua huduma zipi zilikosekana katika makanisa, ili azishughulikie. Kutambua kilichosalia katika makanisa inataka usikilizaji kutoka kwa viongozi wao wanaofundishwa, wanavyo ripoti makanisa yao hufanya nini na yale wasiofanya. Inasaidia kujua orodha ya huduma zinazotakikana na Agano Jipya, wakati mwingine anashauri viongozi wapya, na kuwasaidia kuchagua kinachohitajika sana kwa haraka. Kumbuka kwamba kazi za msaidizi wa jimbo ni: Kuwa na karakana au msururu wa mikutano kuwa na mafundisho ya uchungaji katika maeneo yaliyopuuziwa. Tafuta na kufundisha wakufunzi wengi kati ya viongozi, Mfano wa ujuzi unaohitajika kushauri viongozi wengine.

Peana vifaa vinavyo elekea kushauri viongozi wapya (Kwa kiwango chao), na kwamba ulenge kuzidisha makanisa. Fanya makanisa kuzidishwa, kwa kuwasaidia wanofundishwa kushauri viongozi wapya. Weka rekodi ya ni nani anayemshauri nani, wapi, na kwa matokeo gani. Kwa ramani kubwa ya Jimbo na majina ya washauri waliotumwa juu yake yaweza kuwa ya msaada sana. Kusanya habari ya watu waliopuuziwa, wa nafasi za mafundisho, na wa mikutano mipya. Tumia habari nzuri ku 1) Omba 2) panga na 3) kutarifu makanisa ili waweze kuomba, pia. Panua kazi kwa watu wale wamepuuziwa na majimbo, kuruhusu watenda kazi pamoja kusaidia kupanga mikutano ya kuwafikia. Panga tena mtandao wa mafundisho (na/au minyororo ya uhusiano) ushauri unapokoma kwa sababu yeyote. Ongeza wasaidizi zaidi ..

Wenye shauku na uwezo wa kufanya mafundisho ya uchungaji na washauri. Kutohusika sana katika huduma zingine, ambazo zaweza kukufuruga Uwezekano wa kushikilia kuifanya kwa miaka mingi (sio cheo cha kuchaguliwa kwa muda)

Pia: 1) Epuka kuvunjika kwa mawasiliano

2) Epuka kutokuwa na shabaha

3) Epuka kuchelewa isiohitajika

4) Epuka sharia nyingi ndogo ndogo zisizo la lazima.

Vidokezi vya wasaidizi wa Jimbo Chunguza ni makundi hani ya watu na ni wapi wamepuuziwa katika jimbo, na kufanya mipango ya wanafunzi kuingia maeneo hayo.

Washauri viongozi wa kanisa mpya.

Wasaidie wengine kuwatambua pia na kuwashauri wanafunzi wapya.

Fundisha wengine pia kuwa wasaidizi kiasi kwamba wanfanya kama walivyoonyeshwa.

Inua huduma zote za Agano Jipya katika makanisa mapya.

Peana vifaa vya mafundisho

Andaa washa, lakini usizitegemee

Tadhmini matokeo ya uwazi.

Muhtasari za kuongezea ___________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________

Kuhusu Mwandishi

O’Connor na Currah katika Rahim Yar Khan, Pakistan

Galen Currah, aliyefanya startachurchnow.com amehudumu kama mkurufunzi na mshauri na watenda kazi katika nchi kadhaa. Yeye ni ndiye chanzo cha kweli cha kujifunza juu ya utendaji CPMs kadhaa. Ingawa alistaafu, Galen anaendelea kusafiri na kufundisha ulimwenguni, na umbali wake ni barua pepe kutoka kwa uwekezaji wa dhamani wa watenda kazi wa CPM wanaotilia maanani amri ya Kristo ya kwenda na kufanya wanafunzi. Kuwasiliana na Galen: [email protected] Patrick O’Connor, D.Miss., na mke wake Debbie walianzisha mwondoko mpya wa kusisimua wa makanisa ya mashambani, Hondua mashariki, walipohudumu kutoka 1993 hadi 2009. Wakiwa wamekulia Bihar, India, Patrick sasa amerudi “Asia na zaidi” katika shirika la Action International. Anafundisha wengine katika nchi zaidi ya 20. Ingawa kituo chake ni karibu Seattle, Patrick na Mkewe Debbie husafiri na kufundisha sana. Kuwasiliana na Patrick, mwandikie kwa: [email protected]

Udhibitisho “Chochote kinachotoka nje ya uzizi wa Galen Currah na Patrick O’Connor lazima ni kile kinachohitajika. Kuanza kanisa sasa ni kitu ambacho kila mpanda kanisa anahitaji kuwa nacho mkononi kama kitabu cha jawabu kwa FAQs wote ambacho yeyote angeuliza au kufikiria. Ninahakika kuwa hii itaenda sambamba katika CPMs kote ulimwenguni.” Victor Choudhrie, MD, Mwandishi wa "Kanisa katika nyumba yako", India. “Hii imekusudiwa kuchochea mapinduzi ya Falme inayofunuliwa katika siku zetu: Kugundua tena uzalishaji wa Agano Jipya “uliobadilisha ulimwengu juu chini.” Robby Butler, The Mission Network, USA. “Kuanza makanisa sasa inapeana ushauri wa uzoefu kwa wapandaji makanisa ambao hawavutiwi na makanisa makubwa, mifumo mikubwa. Miaka mingi ya hekima imejawa na misemo wazi, na vifaa vya msaada vinapeanwa kwa njia za kupanga upandaji kanisa na kufundisha. Ninakipendekeza kitabu hiki!” Robert Rasmussen, Mkurugenzi wa, U.S.A. Ministries of One Challenge International. “Hiki ni cha ajabu. Cha uzoefu.” Chet Burns, Church Planting Catalyst, Malawi, Africa “Kama ningekisoma miaka 50 iliyopita, ningeliepuka tani ya makosa.!” George K. Patterson, Mwandishi wa “Train & Multiply. “Kitabu hiki ni dhahabu ya kiroho. Ujumbe wake uko katika mstari wa mageuzo ya kanisa ya siku kuu ya leo kurudia kitabu cha Matendo kuwa Mung analeta ulimwenguni kote. Kitabu hiki kina misingi ya Biblia, rahisi kusoma, Uzoefu mkubwa, chenye hisia za utamaduni, na mikakati ya kulenga mavuno. Hiki ni chombo kikuu cha kukusaidia kuanza kizazi kipya cha kuzalisha makanisa ya nyumbani haijalishi unaishi wapi.” Dr. Rad Zdero, Mwandishi wa “The Global House Church Movement and Letters to the House Church Movement.” “Usiwalete watu kanisani – leta kanisa kwa watu! Kanisa nitapofanyika la uhai kama donge chahu litajitengeneza lenyewe kwa donge lote. Mruhusu Patrick na Galen wakufundishe jinsi ya kuchukuwa hatua ya uzoefu kuona kuwa infanyika katika eneo lako!” Wolfgang Simson, Germany. Mwanzilishi wa Nyumba “That Change the World” and “The Starfish Manifesto. “Kikundi chetu katika Mongolia kilitumia kanuni za Biblia kirahisi zilizowekwa katika urahisi na umbo la nguvu katika kitabu unachokishikilia. Tulimuona Mungu akitembea katika Nguvu na mwanzo wa mwondoko wa uzalishaji wa makanisa na kazi za Mongolia zinaendelea leo, karibu miaka ishirini baadaye.kazi ya Mungu inayofanywa kwa njia ya Mungu haitapungua matokeo ya Mungu.” Brian Hogan, Mwalimu wa upandaji kanisa na mwandishi wa "There's a Sheep in my Bathtub: Birth of a Mongolian Church Planting Movement “Anza makanisa sasa! Ni chombo rahisi, kinachofaa na cha uzoefu sana kwa uzalishaji wa kanisa.” Xi Tey”, NE India “Wachungaji wahitaji ulimwenguni kote wanataka uzoefu, msaada wa kiBiblia katika kupanda makanisa. Hiki ndicho kitabu kwa utukufu wa Mungu.” Doug Nichols, Mwanzilishi wa, Action International

“Nilijipata mwenyewe nikisema “Ndiyo!” kutoka kwa ukurasa hadi ukurasa nilipokisoma.” Felicity Dale. Mwandishi wa, An Army of Ordinary People; Mwandishi mwenza, The Rabbit and the Elephant!