63
The business of sustainability Yapı Merkezi İnşaat ve San. A.Ş. Hacı Reşit Paşa Sokak No: 4 Çamlıca 34676 İstanbul Turkey www.ym.com.tr Shirika la Reli la Tanzania(TRC) Sokoine Drive/Railway Street, P.O.Box 76959, Dar es Salaam Tanzania Mpango wa Ushiriki wa Wadau 04 Maandamano 2019 Namba ya Mradi.: 0453091

Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

  • Upload
    others

  • View
    14

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

The business of sustainability

Yapı Merkezi İnşaat ve San. A.Ş.

Hacı Reşit Paşa Sokak No: 4 Çamlıca

34676 İstanbul Turkey

www.ym.com.tr

Shirika la Reli la Tanzania(TRC)

Sokoine Drive/Railway Street,

P.O.Box 76959, Dar es Salaam

Tanzania

Mpango wa Ushiriki wa Wadau

04 Maandamano 2019

Namba ya Mradi.: 0453091

Page 2: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Toleo: 3.0 Namba ya Mradi.:0453091 Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019

Maelezo ya Nyaraka Maelezo yaliyowekwa hapa chini yameonyeshwa moja kwa moja katika ukurasa wa juu/wa kwanza

wa Nyaraka na katika sehemu ya chini ya kila ukurasa.

TAFADHALI KUMBUKA: Jedwali hili halipaswi kuondolewa katika Nyaraka hii.

Jina la Nyaraka Mpango wa Ushiriki wa Wadau

Jina dogo la Nyaraka

Namba ya Mradi. 0453091

Tarehe 04 Maandamano 2019

Toleo 3.0

Mwandishi Iulia Luta, Esmeralda Francisco

Mmiliki wa Nyaraka hii Shirika la Reli la Tanzania (TRC)

Page 3: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page i

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

YALIYOMO

YALIYOMO

1. UTANGULIZI ........................................................................................................................ 1-1

1.1 Usuli...................................................................................................................................... 1-1 1.2 Maelezo (Wasifu) ya Mradi..................................................................................................... 1-2

1.2.1 Maelezo ya Jumla.................................................................................................. 1-2 1.2.2 Eneo lenye Ushawishi ........................................................................................... 1-5 1.2.3 Ratiba ya Mradi ..................................................................................................... 1-5

1.3 Ushirikishaji wa Wadau .......................................................................................................... 1-5

1.3.1 Wigo wa Mpango huu wa Ushiriki wa Wadau.......................................................... 1-6 1.3.2 Kanuni za Ushirikishaji wa Wadau .......................................................................... 1-6 1.3.3 Malengo ................................................................................................................ 1-7

2. MATAKWA/MAHITAJI YA USHIRIKI WA WADAU .............................................................. 2-8

2.1 Matakwa/Mahitaji ya Tanzania ............................................................................................... 2-8

2.1.1 Matakwa/Mahitaji ya Tanzania ya ushiriki wa wadau katika miradi ........................... 2-8 2.1.2 Matakwa ya Tanzania ya ushiriki wa umma wakati wa utwaaji wa ardhi ................... 2-8

2.2 Matakwa/Mahitaji ya Kimataifa ............................................................................................... 2-9

2.2.1 Matakwa/Mahitaji ya Viwango vya IFC .................................................................. 2-9 2.2.2 Muongozowa Benki ya Ulaya Katika Masuala ya Ujenzi na Maendeleo (EBRD) katika

Usimamizi wa Malalamiko .................................................................................... 2-11

3. MUHTASARI WA USHIRIKI WA WADAU HAPO AWALI................................................... 3-13

3.1 Ushiriki wakati wa tathmini ya athari za mazingira na masuala ya kijamii (ESIA) .................... 3-13 Shughuli za kampeni ya ushirikishaji wadau za TRC .......................................................................... 3-13 3.2 Shughuli za Ushirikishaji wadau za YM................................................................................. 3-14

4. WADAU WA MRADI .......................................................................................................... 4-15

4.1 Kuwatambua Wadau ........................................................................................................... 4-15

5. MBINU ZA KUSHIRIKISHA NA MPANGO WA SHUGHULI ............................................... 5-20

5.1 Maelezo ya jumla................................................................................................................. 5-20 5.2 Shughuli zinazoendelea za ushirikishaji katika kipindi chote cha uendeshaji wa Mradi ........... 5-22

5.2.1 Uhusiano na Jamii ............................................................................................... 5-22 5.2.2 Usimamizi wa Malalamiko .................................................................................... 5-23 5.2.3 Kudumisha Mpango wa Ushiriki wa wadau ( SEP) ................................................ 5-23 5.2.4 Kuendelea kutoa taarifa kwa jamii ........................................................................ 5-23 5.2.5 Ushirikishaji wa mamlaka za Serikali na vyombo vya habari .................................. 5-24

5.3 5-24

5.3.1 Awamu ya Kupanga na Ujenzi ............................................................................. 5-24 5.3.2 Uendeshaji .......................................................................................................... 5-25 5.3.3 Kukamilika kwa shughuli za uendeshaji na Kuhitimishwa kwa shughuli za Mradi wa

SGR .................................................................................................................... 5-25

5.4 Mpango Mkakati wa Ushirikishaji .......................................................................................... 5-26 5.5 Nyenzo za Ushirikishaji ........................................................................................................ 5-26

6. MAJUKUMU NA NGUVU KAZI .......................................................................................... 6-28

6.1 Majukumu kwa ajili ya ushirikishaji wa wadau ....................................................................... 6-28 6.2 Rasilimali kwa ajili ya ushirikishaji wa wadau ........................................................................ 6-28

6.2.1 Rasilimali za TRC ............................................................................................... 6-28 6.2.2 Rasilimali za YM .................................................................................................. 6-29

7. UTARATIBU WA KUTOA NA KUPOKEA MALALAMIKO ................................................. 7-31

7.1 Ufafanuzi na Utendaji Mzuri ................................................................................................. 7-31 7.2 Kusudi ................................................................................................................................. 7-31

Page 4: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page ii

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

YALIYOMO

7.3 Wigo ................................................................................................................................... 7-31 7.4 Utaratibu wa Malalamiko ...................................................................................................... 7-31

7.4.1 Hatua 1: Upokeaji na usajili wa Malalamiko ................................................................. 7-32 7.4.2 Hatua ya 2: Kuchuja Malalamiko na Kutoa Kipaumbele .............................................. 7-33 7.4.3 Hatua 3: Uchunguzi/Upelelezi wa Malalamiko ............................................................ 7-33 7.4.4 : Ufumbuzi na Mrejesho kwa Mlalamikaji/Walalamikaji .................................................. 7-33 7.4.5 : Kufunga Malalamiko na kuboresha Hifadhi Data ........................................................ 7-34

8. UFUATILIAJI, UTHAMINISHAJI NA KURIPOTI ................................................................. 8-35

8.1 Maelezo ya Jumla ................................................................................................................ 8-35 8.2 Usimamizi waData ............................................................................................................... 8-35 8.3 Kutoa Taarifa kwa Wadau (Ripoti za Wadau) ........................................................................ 8-35

8.3.1 Taarifa/Ripoti za Ndani ........................................................................................ 8-35 8.3.2 Taarifa/Ripoti za Nnje .......................................................................................... 8-36

VIAMBATANISHO

KIAMBATANISHO A ORODHA YA WADAU

KIAMBATANISHO B FOMU YA MALALAMIKO YA MRADI

KIAMBATANISHO C MFANO WA FOMU YA KUORODHESHA MALALAMIKO

Orodha ya Majedwali

Jedwali1-1 Mikoa na Wilaya iliyopitiwa na Mradi wa SGR ........................................................... 1-2

Jedwali1-2 Maendeleo ya shughuli za Mradi mpaka mwishoni mwa mwezi Januari 2019(%) ...... 1-5

Jedwali1-3 Malengo ya Mpango wa Ushiriki wa Wadau .............................................................. 1-7

Jedwali 2-1 Viwango Vingine vya IFC Vinavyohusika ................................................................ 2-10

Jedwali4-1 Orodha ya Aina ya Wadau ...................................................................................... 4-16

Jedwali 5-1 Nyenzo za Kushirikisha Wadau .............................................................................. 5-26

Jedwali 6-1 Wajibu na Majukumu ya Kutekeleza Mpango wa Ushiriki wa Wadau ndani ya YM . 6-29

Orodha ya Ramani, Michoro na Vielelezo

Ramani1-1 Ramani ya Mikoa kuonyesha awamu za Mradi pendekezwa wa SGR, Awamu ya I na

Awamu ya II 1-4

Mchoro 5-1 Malengo ya Ushirikishaji wa Wadau na Shughuli kwa kila Awamu ya Mradi ............ 5-21

Kielelezo 7-1 Utaratibu wa Malalamiko katika Awamu ya Kabla ya Ujenzi na Katika Awamu ya

Ujenzi ........................................................................................................................................... 7-32

Page 5: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page iii

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

YALIYOMO

Vifupisho

Jina Maelezo

AIDS Acquired Immune Deficiency Syndrome (Ukosefu wa kinga mwilini)

EBRD European Bank for Reconstruction and Development (Benki ya Ulaya ya masuala

ya Ujenzi na Maendeleo)

EIA Environmental Impact Assessment (Tathmini ya Athari za Mazingira)

EIS Environmental Impact Statement (Ripoti ya Tathmini ya Athari za Mzingira)

EMA Environmental Management Act (Sheria ya Usimamizi wa Mazingira)

EPC Engineering, Procurement and Construction (Uhandisi, Manunuzi na Ujenzi)

ESIA Environmental and Social Impact Assessment (Tathmini ya Athari za Mazingira na

Masuala ya Kijamii)

ESMP Environmental and Social Management Plan (Mpango wa Usimamizi wa Mazingira

na Masuala ya Kijamii)

EU European Union (Umoja wa Ulaya)

GLAC Guide to Land Acquisition (Muongozo wa Utwaaji wa Ardhi)

GoT Government of Tanzania (Serikali ya Tanzania)

HIV Human Immunodeficiency Virus (Virusi vya UKIMWI)

IFC International Finance Corporation (Shirika la Fedha la Kimataifa)

IPs Indigenous Peoples (Watu wa Asili)

MGR Meter Gauge Railway (Reli isiyokuwa ya Umeme)

NEMC National Environmental Management Council (Baraza la Taifa la Usimamizi wa

Mazingira)

NTS Non-Technical Summary (Muhtasari Tendaji)

RCAP Resettlement and Compensation Action Plan (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa

Makazi na Ulipaji wa Fidia)

RoW Right of Way (Njia ya Reli)

SEP Stakeholder Engagement Plan (Mpango wa Ushiriki wa Wadau)

SGR Standard Gauge Railway (Reli ya Treni ya Umeme)

TRC Tanzania Railway Corporation (Shirika la Reli la Tanzania)

YM Yapi Merkezi

Page 6: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 1-1

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

YALIYOMO

1. UTANGULIZI

1.1 Usuli

Nyaraka hii ni Mpango wa Ushiriki wa Wadau (SEP) ulioandaliwa kwa ajili ya Mradi wa ujenzi wa reli

ya treni ya umeme ya Mwendokasi (SGR) kutoka kipande cha Dar es Salaam – Morogoro –

Makutopora (541 km), kutoka Dar es Salaam mpaka Mwanza kupitia Isaka (1,219 Km)

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (GoT) kupitia Shirika la Reli la Tanzania (TRC) inajenga Mradi wa reli ya treni ya umeme ya mwendokasi (SGR) kutoka Dar es Salaam hadi Mwanza kando ya njia ya reli ya kati iliyopo sasa ambayo siyo ya umeme wala ya treni ya mwendo kasi (MGR). Hii itaruhusu kuendelea kwa shughuli za reli ya kati iliyopo sasa wakati wa ujenzi wa SGR.

Ujenzi, usimamizi na uendeshaji wa Mradi wa SGR ni mojawapo ya vioaumbele vya juu vya nchi ya

Tanzania ili kufungua fursa za kijamii na kiuchumi sehemu ya bara ya Tanzania na kati ya nchi

wanachama wa Jumuia ya Africa Mashariki (EAC).

Kampuni ya kituruki ya Yapi Merkez (YM) ilipewa mkataba na serikali ya Tanzania na TRC kama

wamiliki – kutoa huduma za uhandisi, ununuzi na ujenzi wa Mradi. Ujenzi ukishakamilika, Mradi

utakabidhiwa kwa TRC ambao watakuwa na jukumu la kuusimamia na kuuendesha.

Ufadhili wa Mradi

Ili kufadhili Mradi, Wizara ya Fedha ya Tanzania itachukua mkopo kutoka taasisi za fedha za kimataifa

ambazo sera zao za ukopeshaji zinahitaji Mradi ukidhi matakwa yote ya kanuni na sheria za Tanzania

pamoja na miongozo na viwango vya kimataifa vya mazingira na masuala ya kijamii , kama vile

matakwa ya IFC. Viwango hivi vya kimataifa vinaelekeza kuandaliwa kwa tathmini ya kina ya Athari za

Mazingira na masuala ya Kijamii (ESIA) kwa ajili ya Mradi.

Tathmini ya awali ya athari za mazingira na masuala ya kijamii pamoja na Mfumo wa ushiriki wa wadau

kwa ajili ya Mradi ilifanyika mwezi Mei 2018 na Chuo kikuu cha Ardhi. Kwa sasa, ripoti hii ya tathmini

inapitiwa na baraza la Taifa la usimamizi wa mazingira (NEMC) kwa ajili ya kuidhinishwa. Idhini na cheti

cha mazingira kinatarajiwa kutolewa mwishoni mwa mwezi Februari 2019.

Ili kuisaidia serikali kukidhi matakwa ya kimataifa ya wafadhili, YM walitoa kazi kwa kampuni ya ERM

kupitia ripoti ya tathmini ya athari za mazingira na masuala ya kijamii (ESIA) pamoja na mfumo wa

ushiriki wa wadau (SEF) ili kubainisha mapungufu yaliyopo katika ripoti hizi. Mapitio ya ripoti hizi

yalibainisha kwamba kuna mambo mbalimbali bado yanahitaji kufanyika ili kuboresha ripoti hizi na

kuzifanya zikidhi matakwa ya kimataifa ya wakopeshaji ikiwa ni pamoja na kuandaa Nyaraka nyingine

za nyongeza ili kuondoa mapungufu yaliyobainishwa:

Kuboresha tathmini ya awali ya athari za mazingira na masuala ya kijamii (ESIA) ili ikidhi

matakwa ya wakopeshaji;

Mpango wa Ushiriki wa Wadau (Nyaraka hii hapa) ili kubainisha kwa ufasaha wadau wa Mradi na

mpango wa baadae wa kushirikisha wadau ambao umepangwa;

Muhtasari tendaji wa tathmini ya athari za mazingira na masuala ya kijamii (NTS)

Mpango wa usimamizi wa mazingira na masuala ya kijamii pamoja na mpango wa ufuatiliaji

(ESMMP)

Mpango wa Uhamishaji Makazi ya Watu na Ulipaji wa Fidia (ESMMP);

Muongozo wa Zoezi la Utwaaji wa Ardhi na Ulipaji wa Fidia (GLAC)

Page 7: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 1-2

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

YALIYOMO

Rasimu iliyoboreshwa ya tathmini ya athari za mazingira na masuala ya kijamii (ESIA), Muhtasari

tendaji (NTS), Mpango wa Ushiriki wa Wadau (SEP) na Mpango wa usimamizi wa mazingira na

masuala ya kijamii pamoja na mpango wa ufuatiliaji (ESMMP) zitawekwa wazi kwa umma kwa kipindi

cha muda wa siku 30. Maoni yatakayopokelewa katika kipindi hichi yatajumuishwa katika toleo la

mwisho la ripoti ya ESIA. Ripoti ya mwisho ya tathmini pamoja na ripoti nyingine za tathmini za ziada

zitaweka pia wazi kwa umma. Ripoti hizi zipo pia katika tovuti ya YM, chini ya sehemu mbili

zilizofafanuliwa kwa awamu za Mradi au Lots:

Sehemu iliyowekwa kwa ajili ya Lot 1:https://yapimerkezi.com.tr/En/Projects/Ongoing-

Projects/Dar-Es-Salaam-Morogoro-RAILWAY na

Sehemu iliyowekwa kwa ajili ya Lot 2:https://yapimerkezi.com.tr/En/Projects/Ongoing-

Projects/Morogoro-Makutupora-Railway.

Ripoti hizi zitakuwa pia katika tovuti ya TRC kama ilivyobainishwa hapa chini;

http://www.trc.co.tz/publications/10

Tovuti ya Swedish - Swedish Export Credit Agency (EKN) pia imetoa taarifa kuhusiana na Mradi

kupitia kiunganisho kifuatacho, https://www.ekn.se/en/what-we-do/sustainability/transactions-with-

environmental-and-social-impact-assessment/dar-es-salaam-to-dodoma-railway-tanzania/ na inatoa

kiunganisho cha kwenda kwenye ukurasa wa tovuti ya Yapi Merkezi ili kupata ripoti za ESIA.

Jukumu la mchakato wakuweka wazi kwa umma ripoti ya tathmini ya athari za mazingira na masuala

ya kijamii (ESIA) na shughuli stahiki za kushirikisha wadau ni la TRC. Hatahivyo, ingawa TRC watakuwa

wakiongoza mchakato huu, YP itasaidia shughuli stahiki zinazohitajika uli kuwathibitishia wakopeshaji

kwamba mchakato wa kuweka wazi ripoti ya ESIA umekidhi vigezo vya kimataifa.

1.2 Maelezo (Wasifu) ya Mradi

1.2.1 Maelezo ya Jumla

The proposed Dar es Salaam-Morogoro-Makutopora segment(refer to Ramani1-1) of the SGR will be

undertaken in the following two phases:

Kipande kilichopendekezwa cha Mradi wa SGR kutoka Dar es Salaam – Morogoro – Makutopora

(Rejea Ramani 1-1) ; ujenzi wake utafanyika kwa awamu mbili kama ifuatavyo:

Awamu ya kwanza au Lot 1 (Dar es Salaam mpaka Morogoro – 205 km), na

Awamu ya pili au Lot 2 (Morogoro mpaka Makutupora – 336 km).

Mradi utapita katika mikoa na wilaya kama zilivyowasilishwa katika Jedwali 1-1 hapa chini na utaenda

sambamba na reli ya kati iliyopo ambayo si ya umeme na treni ya mwendo kasi ambayo inaanzia Dar

es Salaam na kuishia mwanza kupitia isaka (1,231 km). Mradi utapita katika makao makuu ya mikoa

ya Dar es Salaam, Morogoro na Dodoma ambayo ndiyo itakuwa vituo vikubwa vya treni (Ramani 1.1).

Vituo vingine vidogo vya ziada pembezeno mwa njia ya Mradi ni pamoja na Dar es Salaam, Pugu,

Soga, Ruvu, Ngerengere, Morogoro,Mkata, Kilosa, Gulwe, Igunda, Dodoma, Bahi na Makutopora

(Ramani1-1).

SGR itaundwa kuwa na uwezo wa ekseli ya tani 35 na kasi ya kilomita 160 kwa lisaa (160km/h) kwa

treni ya abiria na kasi ya kilomita 120 kwa lisaa (120 km/h) kwa treni ya mizigo. Upana wa ndani wa reli

utakuwa milimita 1,435 (1,435mm ( 4ft 8⅟₂ ndani).

Jedwali1-1 Mikoa na Wilaya iliyopitiwa na Mradi wa SGR

Awamu za ujenzi wa SGR Mikoa Wilaya

Awamu ya I Dar es Salaam Ilala

Pwani Kisarawe

Page 8: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 1-3

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

YALIYOMO

Kibaha

Morogoro Morogoro Rural

Morogoro Urban

Awamu ya II Morogoro Morogoro Urban

Mvomero

Kilosa

Dodoma Mpwapwa

Dodoma Rural

Chamwino

Singida Manyoni

Chanzo: Yapi Merkezi, 2019

Page 9: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 1-4

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

YALIYOMO

Ramani1-1 Ramani ya Mikoa kuonyesha awamu za Mradi pendekezwa wa SGR, Awamu ya I na Awamu ya II

Page 10: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Toleo3.0 Namba ya Mradi.:0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 1-5

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

1.2.2 Eneo lenye Ushawishi

Eneo lenye ushawishi, kwa lengo la shughuli za ushirikishaji wadau linafafanuliwa kama eneo ndani ya

mita 500 membezoni mwa njia ya reli (mita 250 pembezoni mwa kila upande wa reli ya kati). Hizi mita

500 zinafafanuliwa kwa kuzingatia kwamba, athari nyingi, ikiwa ni pamoja na athari katika ardhi,

zitatokea ndani ya hizi mita 500 kwani makazi mengi yaliyofanyiwa uchunguzi yapo karibu na ardhi

wanayoyumia kwa kilimo. Katika baadhi ya maeneo makazi yanaweza yakawa mbali kabisa nnje ya

mita hizi 500 lakini bado wana mashamba ya kilimo ndani ya mita hizi 500. Kwasababu hiyo basi, eneo

lenye ushawishi kwa kawaida huongezwa ili kujumuisha jamii hizo zilizoathirika katika ushikishaji kama

wadau.

1.2.3 Ratiba ya Mradi

Shughuli za ujenzi waMradi wa SGR zitafanyika katika awamu mbili:

Awamu ya 1: “Kipande cha Dar es Salaam - Morogoro” (205 km); Ujenzi unatarajiwa kufanyika

kati ya kipindi cha kuanzia mwezi Februari 2017 mpaka mwezi Novemba 2019;

Awamu ya 2: “Kipande cha Morogoro - Makutupora ” (336 km) ; Ujenzi unatarajiwa kufanyika kati

ya kipindi cha kuanzia mwezi Machi 2018 mpaka Februari 2021.

Jedwali1-2hapa chini huonyesha maendeleo ya shughuli ya ujenzi mpaka mwishoni mwa mwezi

Januari 2019.

Jedwali1-2 Maendeleo ya shughuli za Mradi mpaka mwishoni mwa mwezi Januari 2019(%)

Shughuli/Kazi

Lot 1 (Dar es Salaam mpaka Morogoro –

205 km)

Lot 2 (Morogoro mpaka

Makutupora – 336 km)

Maendeleo

Halisi (%)

KM 0 - 20

Maendeleo

Halisi (%)

KM 20 - 80

Maendeleo

Halisi (%)

KM 80 - 202

Maendeleo

Halisi (%)

KM 202 -

350

Maendeleo

Halisi (%)

KM 350 -

535

Kabla ya Ujenzi

Maandalizi 96 100 100 51 10

Ujenzi wa kambi 96 100 100 54 12

Ujenzi

Usafishaji wa njia 10 96 57 47 22

Kazi za ardhini

(Shughuli za kukata

na kijaza)

8 71 35 24 1

Kazi za ufuatiliaji

/Track works

Not started 31 Not started Not started Not started

Shughuli za

usimikaji umeme

Not started 10 Not started Not started Not started

Ukabidhi Not started Not started Not started Not started Not started

Chanzo: ERM, Januari 2019, kutokana na taarifa kutoka YM

1.3 Ushirikishaji wa Wadau

TRC wana jukumu la kushirikisha wadau na kusimamia malalamiko kuhusiana na Mradi. Wakati wa

kipindi cha kabla ya ujenzi na wakati wa ujenzi , YP itawasaidia TRC katika mchakato wa kuwashirikisha

wadau kwa kina pamoja na mashauriano na wadau kwani suala hili ni la muhimu sana katika mafanikio

ya maendeleo ya Mradi. YM imejikita katika dhana ya uwazi, utoaji taarifa kabla na kuwashirikisha

wadau katika ushiriki wake wote ndani ya Mradi wa SGR. Baada ya kukamilika kwashughuli za ujenzi

Page 11: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Toleo3.0 Namba ya Mradi.:0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 1-6

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

KM 350 - 535

wa Mradi na msaada uliotolewa katika hii awamu, TRC wataendelea na huu mchakato wa ushirikishaji

wa wadau katika kipindi kilichobaki cha maisha ya Mradi.

1.3.1 Wigo wa Mpango huu wa Ushiriki wa Wadau

Mpango huu wa Ushiriki wa Wadau umejikita katika miongozo ya Kimataifa, kwa mfano, Kitabu cha

Shirika la Fedha la Kimataifa (IFC) cha muongozo wa kuwashirikasha wadau kwa kampuni zinazofanya

biashara katika masoko yanayokuwa, Muongozo wa Benki ya Ulaya kwa shuguli za ujenzi na

maendeleo (EBRD) wa kusimamia malalamiko. Kwa kuongezea, mpango huu wa ushiriki wa wadau

unajijenga katika Mpango wa Ushiriki wa Wadau na taratibu za kushughulikia Malalamiko zilizoandaliwa

na YM kwa ajili ya Mradi mwezi Mei 2018.

Mpango huu wa Ushiriki wa Wadau, una lengo la kujumuisha shughuli nyingi za kuwashirikisha wadau

zinazohitajika kwa ajili ya Mradi kwa Lot 1 na Lot 2, ikijumuisha:

Shuhuli za ushirikishaji katika awamu ya utwaaji wa ardhi (hasa kwa Lot 2);

Utoaji wa taarifa ya ripoti ya ESIA;

Ushirikishaji wakati wa ujenzi wa Mradi

Mpango huu wa Ushiriki wa wadau ni “Nyaraka inayoishi” ambayo inahitaji kuboreshwa kadri Mradi

unavyoendelea, kwa mfano;

Wadau wapya wa Mradi wanapobainishwa;

Maelezo zaidi yanapopatikana ya njia za ushirikishanaji wanazozikubali wadau;

rasilimali zaidi zinahitajika kwa ajili ya kutekeleza Mpango wa kushirikisha wadau (SEP)

mabadiliko ya majukumu ya utekelezaji au kukaimishwa

Mpango huu wa ushiriki wa wadau haujajumuisha ushirikishaji wakati wa awamu ya uendeshaji na

ukabidhi shaji. Mipango tofauti ya ushirikishaji itahitaji kuandaliwa na TRC kadri Mradi utakavyokuwa

unaendelea katika awamu hizi.

1.3.2 Kanuni za Ushirikishaji wa Wadau

TRC inaelewa kwamba ushirikishaji thabiti wa wadau na mashauriano na umma ni kitu cha muhimu

kwa mafanikio ya maendeleo ya Mradi na wanaamini katika dhana ya uwazi, utoaji taarifa kabla na

kuwashirikisha wadau katika kipindi chote cha mzunguko wa maisha ya Mradi.

Kanuni muhimu zinazowaongoza wamiliki waMradi katika kuwashirikisha wadau katika Mradi huu ni:

Kuwa wazi na bayana kwa wadau, kuwashirikisha katika njia ya uwazi na kutoa taarifa stahiki

kuhusiana na mambo mbalimbali;

kuwajibika na utayari wa kukubali majukumu kama raia mwadilifu na kuwajibika kwa athari

zitokanazo na shughuli za Mradi;

kuwa na mahusiano na wadau ambayo yamejikita katika uaminifu na kujitolea kufanya kazi kwa

pamoja na kwa uaminifu

Kuheshimu maslahi, maoni na matarajio ya wadau

Kufanya kazi kwa ushirikiano na kushirikiana na wadau kutafuta suluhisho linalofikia maslahi ya

pamoja;

Kuwa msikivu na kutoa mrejesho kwa wadau katika muda muafaka;

Kuwa mwajibikaji na utayari wa kutoa taarifa pale ambapo kuna uhitaji wa taarifa au mabo

masuala ya muhimu, kujaribu kudhibiti hatari kabla hazijatokea kwa kutoa fursa ya majadiliano;

Kushirikisha wadau kiasi kwamba wajihisi wametendewa haki na masuala yao yamezingatiwa

kwa usawa;

Page 12: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Toleo3.0 Namba ya Mradi.:0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 1-7

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

KM 350 - 535

kuwa jumuishi na uwezo wa kufikika na wadau, ikiwa ni pamoja na vikundi vya watu wachache

na wale waliopo katika mazingira hatarishi ili wajihisi wanaweza kushiriki, kupokea, na kuelewa

taarifa na pia kusikika.

1.3.3 Malengo

Malengo makuu ya kuandaa na kutekeleza Mpango wa Ushiriki wa wadau yameorodheshwa katika

Jedwali1-3 hapa chini

Jedwali1-3 Malengo ya Mpango wa Ushiriki wa Wadau

Malengo Dhana/Mantiki

Kutambua wadau husika

wa Mradina vitu

vihusianavyo na Mradi

Kuwatambua na kuwagawa katika makundi watu binafsi au taasisi ambazo

zinaweza kuathiriwa na Mradi na vitu vinavyohusiana na Mradi au kuwa na athari

kwa namna Mradi unavyotekelezwa, kwa kuzingatia kwamba hili ni zoezi endelevu

ambalo linaweza kubadilika katika kipindi chote cha maendeleo ya Mradi

Kusambaza taarifa

stahiki za Mradi katika

njia ya uwazi

Kuhakikisha kwamba wadau, hasa wale wanaoathiriwa moja kwa moja na Mradi

pendekezwa wana taarifa zote stahiki ambazo zipo kwa ajili yao ili kuwawezesha

kutoa maoni na kupanga kwa ajili ya baadae.Hii inasaidia kupunguza kiwango cha

kutokuwa na uhakika pamoja na wasiwasi. Taarifa zinapaswa kuwapa nafasi

waathiriwa kuelewa athari muhimu, hatari na faida na njia ambayo ni ya uwazi ni

muhimu katika kufikia lengo hili.

Kuunda ushirika ili

kukuza ushirikiano

muhimu kati ya pande

zote

Kuendeleza ushirikiano wa kuaminiana kati ya Mradi na wadau ili kukuza

mwingiliano mzuri na kuepuka pale inapowezekana , migogoro isiyo ya muhimu

inayotokana na tetesi au taarifa zisizo za ukweli. Kubainisha mifumo ya kiutawala

na michakato ya kushughulika na migogoro pamoja na malalamiko inawapa nafasi

waendelezaji wa Mradi pamoja na wakandarasi kuelewa vizuri mawazo na matarajio

ya wadau na hivyo basi kutoa fursa ya kuongeza thamani ya Mradi kwa wadau wa

ndani ya nchi.

Kurekodi na

kushughulikia maoni ,

mawazo na

mapendekezo ya umma

Kurekodi masuala ya wadau, mawazo na mapendekezo ili kutoa nafasi ya umuhimu

wa maamuzi kuhusiana na Mradi kuweza kufuatiliwa na kueleweka.Kumbukumbu

zilizorekodiwa, husaidia pia wakati wa kupitia upya na ukaguzi wa Mradi, katika

kubainisha mambo mbalimbali ya pamoja ambayo yanaweza kuhitaji

kushughulikiwa kwa pamoja na katika kufuatilia ushirikishaji wa watu walioathiriwa.

Kusimamia matarajio ya

Wadau.

Matarajio, hasi na chanya yanaweza yakawa hayaendani na uhalisia wa Mradi.

Kuhakikisha kwamba matarajio yanakuwa katika ngazi halisi; (Mfano katika

masuala ya ajira, utoaji wa miundombinu ya kijamii, maendeleo ja jamii, na

usumbufu) huzuia ukatishaji tama na kuwachanganya watu walioathiriwa moja kwa

moja na shughuli za Mradi katika hatua za baadae za uendelezaj wa Mradi na hivyo

basi kuzuia uwezekano wa kutokea kwa migogoro na wadau.

Kutimiza matakwa ya

nchi na ya kimataifa ya

ushirikishaji

Kuzingatia sheria na matakwa ya nchi na ya kimataifa kunaweza kuzuia ucheleweshaji

wa Mradina vile vile huchangia upatikanaji wa leseni ya kijamii/kukubalika na jamii kwa

Mradi na kujenga uaminifu thabiti katika ushirikiano na wadau.

Page 13: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Toleo3.0 Namba ya Mradi.:0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 2-8

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

KM 350 - 535

2. MATAKWA/MAHITAJI YA USHIRIKI WA WADAU

2.1 Matakwa/Mahitaji ya Tanzania

2.1.1 Matakwa/Mahitaji ya Tanzania ya ushiriki wa wadau katika miradi

Ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, matakwa ya mashauriano na wadau yanaongozwa na

sera pamoja na sheria za nchi .

Kulingana na Sheria ya Tanzania ya Usimamizi wa Mazingira (EMA, Namba 20 ya mwaka 2004) na

Sheria ya Tathmini ya Athari za Mazingira (EIA) na kanuni za Ukaguzi wa Mazingira (Namba 349 za

mwaka 2005), Mradi pendekezwa wa SGR unaangulia katika kundi “A” la Miradi ambayo inapaswa

kufanyiwa tathmini ya kina ya athari za mazingira. Kifungu cha kwanza cha Sheria ya Usimamizi wa

mazingira (EMA) kinaeleza kwamba miradi ya usafirishaji na miundombinu (9. Usafirishaji na

Miundombinu, (iii) Ujenzi wa reli mpya na upanuzi wa reli ziliyopo ) ni lazima kufanyiwa tathmini ya

athari za mazingira (EIA)

Kanuni za Tanzania za Tathmini ya Athari za Mazingira (EIA) na Ukaguzi wa Mazingira za mwaka

2005, ni sheria kuu ndani ya Tanzania zinazofafanua mchakato wa kushirikisha wadau wakati wa

utekelezaji wa Mradi. Sehemu 1 ya Kanuni, Kifungu cha 17 (Ushiriki waumma) inamhitaji mwendelezaji

waMradi kutafuta maoni ya mtu yeyote ambaye anaathiriwa au anaweza kuathiriwa na Mradi. Kifungu

hichi kinaeleza zaidi kwamba, katika kutafuta maoni ya umma, mambo yafuatayo yanapaswa kufanywa:

Kuutangaza Mradi pamoja na athari/hasara na faida zake kwa;

- Kuweka matangazo katika maeneo muhimu ya umma karibu na eneo la Mradi tarajiwa ili

kuwajulisha waathiriwa wa Mradi pamoja na jamii;

- Kutoa tangazo kuhusiana na Mradi pendekezwa kwa wiki mbili mfululizo katika gazeti ambalo

linapatikana karibu nchi nzima;

- Kutoa tangazo la taarifa ya Mradi kwa lugha ya Kiswahili na kingereza katika redio ambayo

inasikika karibu nchi nzima walau mara moja kwa wiki kwa kipindi cha wiki mbili;

Ikiwezekana, fanya mkutano wa hadhara na pande iliyoathiriwa na wanajamii kuelezea Mradi na

faida zake, na kupokea maoni yao watakayotoa kwa njia ya mdomoau maandishi;

Hakikisha kwamba taarifa stahiki zimetumwa walau wiki moja kabla ya mkutano na kwamba

ukumbi na muda wa mkutano unawafaa wanajamii waliosthiriwa pamoja na pande nyingine

zinazohusika; na

Hakikisha kwamba, mratibu mwenye sifa stahiki anateuliwa ili kupokea na kurekodi maoni yote

yanayotolewa kwa njia ya mdomo na maandishi na tafsiri yoyote ya maoni yote yanayotolewa

wakati wa mikutano.

Siku hizi, njia mpya na ya haraka ya mawasiliano hutumika (kwa mfano, simu za mkononi) kuujulisha

umma. Kwa ujumla, mikutano hupangwa kupitia uongozi wa kijiji isipokuwa kama Mradi unachukua

nchi nzima na mikutano ni katika ngazi ya kitaifa.

Kulingana na Sheria ya Usimamizi wa Mazingira (EMA, 2004), mchakato wa kuipitia ripoti ya tathmini

ya athari unapaswa pia kufanyika kwa kushirikisha umma. Katika mazingira haya basi, ripoti zote

zinazohusiana na Mradi, nyaraka na maandishi yaliyowasilishwa yanahitaji kuwekwa wazi wakati wa

kipindi cha mapitio mpaka kipindi hichi cha mjadala wa umma kitakapokamilishwa.

2.1.2 Matakwa ya Tanzania ya ushiriki wa umma wakati wa utwaaji wa ardhi

Sheria ya Utwaaji wa Ardhi ya mwaka 1967 ni sheria kuu inayosimamia utwaaji wa ardhi ndani ya

Tanzania. Sehemu ya 3 na 4 ya sheria inampa mamlaka Raisi kutwaa ardhi katika eneo lolote kwa

kuzingatia kwamba ardhi hiyo inahitajika kwa manufaa ya umma kama vile kwa matumizi ya ujumla ya

Page 14: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Toleo3.0 Namba ya Mradi.:0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 2-9

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

KM 350 - 535

serikali, matumizi ya ujumla ya umma, Mradi wowote wa serikali, kuendeleza huduma za kijamii au

maendeleo ya maendeleo ya kibiashara ya aina yeyote.

Sheria ya ardhi ya mwaka 1967 (Sehemu ya 5 mpaka 18) inatoa muongozowa kufwata pale ambapo

kuna ulazima wa kutwaa ardhi. Ukijumuisha, taarifa kutolewa kwa pande zote zenye maslahi au wote

wanaodai kuwa na maslahi katika ardhi hiyo (Sehemu 6); Uchunguzi wa ardhi ili kuthibitisha ubora wake

kwa lengo linalokusudiwa, taarifa kwa mmiliki/wamiliki wa ardhi kuwajulisha juu ya maamuzi ya kutwaa

ardhi yao; na malipo ya fidia kwa wale watakao kuwa wameathiriwa.

Kwa kuongezea, Sheria zinazoongoza utwaaji wa ardhi na ulipaji wa fidia kwa Tanzania ni:

Sheria ya ardhi ya mwaka 1999 – inatoa muongozo wa kisheria kwa aina mbili za ardhi ya

Tanzania: Ardhi ya jumla(General Land) na Ardhi iliyohifadhiwa (Reserved Land).

Sheria ya Ardhi ya Vijiji ya mwaka 1999 –inatoa maelezo juu ya usimamizi wa ardhi ya Vijiji.

Lengo la sheria hii ni kutambua na kulinda haki za kimila katika ardhi kwa jamii za vijijini.

Sheria ya Ardhi ya Vijiji ya mwaka 1999 na Sheria ya Ardhi ya mwaka 1999, zinafafanua namna ya

kusikiliza, kuishughulikia na kwenda mbele zaidi mogogoro kuhusiana na masuala ya ardhi. Kulingana

na matakwa ya sheria za Tanzania, wananchi lazima washiriki katika kufanya maamuzi juu ya mambo

yanayohusiana na umiliki wao wa ardhi. (Sera ya nchi ya Ardhi na Sheria ya Ardhi ya mwaka 1999).

Hata hivyo, viwango vya kimataifa (IFS Ps 5) zinahijaji mchakato wa kina zaidi wa ushirikishaji zaidi ya

uliobainishwa na sheria za ndani ya nnchi, sambamba na mwendelezo wa ushirikishaji katika zoezi

zima la uhamishaji wa makazi ya watu.

2.2 Matakwa/Mahitaji ya Kimataifa

2.2.1 Matakwa/Mahitaji ya Viwango vya IFC

Viwango vya Shirika la Fedha la Kimataifa (IFC PS) katika katika uendelezaji wa mazingira na jamii

vinazingatiwa kama msingi wa utendaji mzuri wa kusimamia mazingira na masuala ya kijamii kwa

maendeleo ya sekta binafsi. Viwango vya IFC vinamhitaji mwendelezaji waMradi kushirikisha jamii

iliyoathiriwa na shughuli za Mradi kwa kutoa taarifa, kufanya mashauriano na kuhakikisha wadau

wanashiriki katika namna ya kuzingatia hatari na athari za Mradi kwa jamii.

Viwango vya IFC hujumuisha miongozo maalumu katika kuwashirikisha wadau wakati wa awamu ya

maandalizi na wakati wote wa shughuli za Mradi.

Matakwa ya kushirikisha wadau yameorodheshwa katika Kiwango (PS 1): Tathmini na Usimamizi wa

hatari na athari za kimazingira na Kijamii. Matakwa muhimu ya mashauriano na utoaji wa taarifa kwa

kipindi chote cha maisha ya Mradi zimewekwa kwa muhtasari katika Sanduku 2-1.

Sanduku 2-1Muhtasari wa Kiwango Namba 1 cha IFC (IFC PS 1)

Uchambuzi wa Wadau na Mpango wa Kuwashirikisha

Ushirikishaji wa wadau ni mchakato endelevu ambao unaweza kujumuisha katika namna ya utofauti mambo yafuatayo: Uchambuzi wa wadau na uwekaji wa mipango, utoaji na usambazaji wa taarifa, mashauriano na ushiriki, mfumo wa kupokea na kutatua malalamiko na kuendelea kutoa taarifa kwa wadau walioathiriwa.

Utoaji wa Taarifa Sahihi za Mradi

Kuwapatia wadau walioathiriwa na shughuli za Mradi njia ya kupata taarifa stahiki (i) Lengo, aina na ukubwa wa Mradi, (ii) muda wa shughuli za Mradi zilizopendekezwa, (iv) mchakato unaokusudiwa wa kushirikisha wadau na (v) mfumo wa kupokea na kushughulikia malalamiko.

Mashauriano

Mashauriano yatafanyika kwa kuzingatia kiwango cha athari za Mradi na yanapaswa: (i) kuanza mapema na kuendelea katika kipindi cha Mradi (ii) yazingatie taarifa zilizotolewa awali za Mradi na taarifa za Mradi zinazoweza kupatikana kwa urahisi (iii) Zingatia ushirikishaji kwa wale ambao wameathiriwa moja kwa moja (iv)

Page 15: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Toleo3.0 Namba ya Mradi.:0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 2-10

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

KM 350 - 535

Kusiwe na muingiliano kutoka nnje na misukumo ya nnje (v) Wezesha ushiriki wenye maana (vi) Weka kumbukumbu ya mashauriano.

Mashauriano ya kuhabarisha na Ushiriki

Kwa miradi yenye uwezekano wa kuwa na athari kubwa kwa wadau, fanya mchakato wa mashauriano ya kuhabarisha na ushiriki wa wadau. Inapaswa kujumuisha, majadiliano ya kina kubadilishana mawazo na taarifa na mashauriano ambayo yamepangiliwa vizuri kuruhusu kila mdau ashiriki, itakayopelekea Mradi kujumuisha mawazo ya wadau katika mchakato wa kufanya maamuzi katika mambo ambayo yanawaathiri moja kwa moja, kama vile njia za kuzuia zilizopendekezwa, ushirikishaji wa faida na fursa, na mambo yanayotekelezwa. Mchakato unapaswa kurekodiwa hasa njia ambazo zimechukuliwa ili kuepuka au kupunguza hatari na athari kubwa kwa wadau.Wadau wanapaswa kuhabarishwa kuhusu namna ambavyo mawazo yao yamezingatiwa.

Mawasiliano ya Nnje

Implement and maintain a procedure for external communications that includes methods to (i) receive and register external communications from the public; (ii) screen and assess the issues raised and determine how to address them; (iii) provide, track, and document responses, if any; and (iv) adjust the management program, as appropriate. In addition, clients are encouraged to make publicly available periodic reports on their environmental and social sustainability.

Tekeleza na dumisha taratibu za mawasiliano ya nnje ambazo hujumuisha njia ya (i) Kupokea na kusajili mawasiliano ya nnje kutoka kwa umma, (ii) Chambua na fanya tathmini ya jambo hilo lililotolewa na fanya maamuzi ya namna ya kulishughulikia (iii)Toa, fuatilia na rekodi mrejesho, kama upa; na (iv) rekeisha mpango wa kusimamia kama inavyotakiwa. Kwa kuongezea; wamiliki wa Mradi wanahimizwa kuweka wazi kwa umma, ripoti za kila msimu za uendelevu wa mazingira na masuala ya kijamii.

Mfumo wa kupokea malalamiko kutoka kwa Wadau Walioathiriwa na Kuyashughulikia

Anzisha mfumo wa kupokea malalamiko na kuwezesha ufumbuzi wa maoni na malalamiko ya wadau walioathiriwa kuhusu utendaji wa wamiliki wa Mradi katika suala la mazingira na jamii.

Kuendelea kutoa Taarifa kwa Wadau Waliothiriwa

Toa ripoti za kila msimu kwa wadau walioathiriwa ambazo zinaelezea maendeleo na utekelezaji wa Mpango Mkakati wa Mradi juu ya masuala ambayo yanahusu hatari zinazoendelea au athari kwa wadau walioathiriwa na kwa mambo ambayo mchakato wa mashauriano au mfumo wa kupokea malalamiko umebainisha kama ni wasiwasi/wazo la hao wadau. Viwango vya utendaji vinaelekeza kwamba, baada ya kumalizika kwa mchakato wa tathmini ya athari za mazingira, mashauriano na utoaji wa taarifa lazima uendelee kwa kipindi chote cha mzunguko wa maisha ya Mradi (Awamu ya ujenzi na Uendeshaji)

Viwango vya utendaji vya IFC (IFC PSs) pia vina mahitaji ya ushiriki na mashauriano na wadau ili

kusimamia athari maalumu kama zinavyoelezewa katika Viwango vingine vya utendaji katikaJedwali

2-1; Mpango huu wa Ushiriki wa wadau (SEP) pia umezingatia mahitaji haya ya ziada:

Jedwali 2-1 Viwango Vingine vya IFC Vinavyohusika

Viwango Mambo muhimu yaliyomo

Kiwango cha utendaji namba

2 (PS2): Nguvu kazi na

Mazingira ya Kufanyia Kazi

Inatambua kuwa, shughuli za kukuza uchumi kupitia utengenezaji wa ajira na

uzalishaji wa kipato lazima ziwe na usawa kwa kulinda haki za msingi za

wafanyakazi.

Inatambua kuwa, usimamizi mzuri wa mahusiano ya wafanyakazi pamoja na

mazingira salama na ya afya ya ufanyaji kazi yanaweza kuongeza ufanisi na

uzalishaji.Kwa hiyo basi, inahitaji ushirikishanaji kati ya wamiliki wa Mradi na

wafanya kazi wao pamoja na mfumo wa kuwasilisha malalamiko.

Ingawa nguvu kazi (Wafanyakazi) wamebainishwa katika mpango huu wa

ushiriki wa wadau kama wadau muhimu wa Mradi, ishirikishaji na usimamizi

wa malalamiko yao upo nnje ya wigo wa mpango huu, upo mpango wa tofauti

wa kusimamia masuala yao

Kiwango cha utendaji namba

4 (PS 4): Afya ya Jamii,

Usalama na Ulinzi

Inatambua kwamba, shughuli za Mradi, vifaa na miundombinu huleta faida

kwa jamii ikijumuisha ajira, huduma na fursa za maendeleo ya uchumi.Hata

hivyo Mradi unaweza ukaongeza uwezekano wa jamii kuwa katika hali ya

hatari.

Page 16: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Toleo3.0 Namba ya Mradi.:0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 2-11

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

KM 350 - 535

Viwango Mambo muhimu yaliyomo

Pale ambapo shughuli za Mradi zinaleta hatari ya kuwa na athari kubwa katika

afya, usalama na ulinzi kwa jamii, wamiliki wa Mradi wanapaswa kuweka wazi

taarifa stahiki (ikijumuisha taarifa za Mpango Mkakati), katika namna iliyo

sahihi, kwa upande ulioathiriwa na mamlaka za serikali ili waweze kuelewa

aina na kiasi cha hatari hizo.

Kiwango cha utendaji namba

5 (PS 5): Utwaaji wa Ardhi na

Uhamishaji wa makazi ya

watu usioepukika.

Inatambua kwamba shughuli za utwaaji wa ardhi na kuzuia kutumia ardhi

kutokana na shughuli za Mradi inaweza ikawa na athari kubwa kwa jamii na

watu wanaotumia hiyo ardhi.

Pale ambapo Mradi utaathiri jamii ya eneo hilo, waendelezaji wa Mradi

watafanya mashauriano ya kuhabarisha na kushirikisha watu na jamii

iliyoathiriwa katika kufanya maamuzi yanayohusiana na uhamishaji

Kiwango cha utendaji namba

6 (PS 6): Uhifadhi wa Viumbe

hai na Usimamizi endelevu wa

Rasilimali

Inatambua kwamba kulinda na kuhifadhi viumbe hai ni muhimu katika

kuyafikia maendeleo endelevu.

Pale ambapo Mradi unaweza kuleta athari kwa maeneo yaliyohifadhiwa

kisheria au katika makazi maalumu ya viumbe hai, mashauriano na

mamlaka husika, wataalamu na jamii lazima yafanyike.1

Kiwango cha utendaji namba

7 (PS 7): watu wa Asili

Inatambuwa watu watu wa asili kama kundi la tofauti katika jamii, na mara

nyingi ni miongoni mwa makundi yaliyosahaulika na yaliyo katika mazingira

hatarishi. Mara nyingi, hali zao za kiuchumi, kijamii na kisheria zinazuia uwezo

wao wa kulinda haki zao, maslahi yao na matakwa yao katika ardhi, rasilimali

za asili na za utamaduni na inaweza kuwazuia uwezo wao wa kushiriki katika

maendeleo na kufaidika pia.

Pale ambapo Mradi una athari kwa watu wa asili, mwendelezaji wa mradi

ataanzisha na kuendeleza mahusiano endelevu yanayozingatia mashauriano

ya kuhabarisha na ushiriki wa watu wa asili kwa kipindi chote cha mzunguko

wa maisha ya Mradi. Zaidi ya hayo, mwendelezaji wa Mradi atahakikisha kuna

ushirikishaji huru, wa mapema na kupata ridhaa kutoka kwa jamii ya watu wa

asili walioathiriwa na shughuli za Mradi.

Kiwango cha utendaji namba

8 (PS 8): Urithi wa Utamaduni

Inatambua umuhimu wa urithi wa utamaduni kwa vizazi vya sasa na vya

baadae na ipo thabiti na makubaliano yahusuyo ulinzi wa urithi wa dunia wa

utamaduni na mali asili.

Pale ambapo urithi wa utamaduni unaweza athiriwa na shughuli za Mradi

(Kwa mfano, makaburi) , waendelezaji wa Mradi watafanya mashauriano na

jamii pamoja na mamlaka husika za nchi zenye majukumu ya kuhifadhi hayo

maeneo.

Chanzo: Imekusanywa na ERM, Januari 2019

2.2.2 Muongozowa Benki ya Ulaya Katika Masuala ya Ujenzi na Maendeleo (EBRD) katika Usimamizi wa Malalamiko

Muongozo wa Benki ya Ulaya Katika Masuala ya Ujenzi na Maendeleo (EBRD) katika Usimamizi wa

Malalamiko unachukuliwa kama msingi wa utendaji mzuri katika suala la kufafanua mfumo wa kupokea

na kushughulikia malalamiko . Maelezo ya muongozo huu, yanabainisha kwamba, kushughulikia

malalamiko, ni muhimu kwa mkakati wa ushirikiano wa wadau thabiti na, kwa uwazi, kwa mafanikio ya

utekelezaji wa mradi. Maelezo ya muongozo huu yanaelezea jinsi mchakato wa malalamiko unapaswa

kuanzishwa, kukiwa pia na nguvu kazi kwa ajili ya kushugulika na mfumo huu wa kupokea na

kushughulikia malalamiko pamoja na mipangilio iliyowekwa na mwendelezaji wa Mradi katika

kudumisha usiri na kuzingatia muda uliofafanuliwa kwa ajili ya kutatua malalamiko.

1Mradi hauathiri eneo lolote la hifadhi ya kisheria au makazi maalumu ya viumbe hai

Page 17: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Toleo3.0 Namba ya Mradi.:0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 2-12

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

KM 350 - 535

Muda uliobainishwa katika muongozo kama utendaji mzuri ni siku 7 za kukubali malalamiko na siku 30

za kuyatafutia ufumbuzi. Maelezo ya muongozo pia yanatoa njia nzuri ya kiolezo cha fomu ya

malalamiko na maktaba ya taarifa, orodhesha aina ya taarifa za kujaza katika zana hizi na jinsi

malalamiko yanavyoweza kusimamiwa kwa ujumla.

Page 18: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Toleo3.0 Namba ya Mradi.:0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 3-13

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

KM 350 - 535

3. MUHTASARI WA USHIRIKI WA WADAU HAPO AWALI

3.1 Ushiriki wakati wa tathmini ya athari za mazingira na masuala ya kijamii (ESIA)

Kama sehemu ya tathmini za athari za mazingira na masuala ya kijamii (ESIA), Mfumo wa Ushiriki wa

Wadau (SEF) ulijumuishwa kama Kiambatanisho E.

Maandalizi ya tathmini yalihusisha ushiriki wa jamii na wadau kupitia utoaji wa taarifa za Mradi na

mashauriano na wadau wa mikoa na wilaya na wanajamii katika vijiji na mitaa. (angalia Kipengele

1.6.2.2 cha ripoti ya ESIA). Zifuatazo ni shughuli kuu za mashauriano zilizofanyika kwa ajili ya tathmini

ya athari za mazingira na masuala ya kijamii:

Kubainisha wadau muhimu kama sehemu ya kuandaa Mfumo wa awali wa Kushirikisha Wadau

(Kiambatanisho E kwenye ripoti ya ESIA)

Mashauriano kwa lengo la kukusanya taarifa halisi za kiuchumi na kijamii na viongozi wa serikali

za mitaa ikijumuisha maafisa wa kata na vijiji kwa Lot 1 - Pugu, Soga, Ngerengere na Lot 2 -

Mkata, Gulwe, Bahi, Kintiku, Zuzu na Makutopora1;

Kufanya uchunguzi katika kaya kumi na tano katika kila makazi yaliyofanyiwa uchunguzi;

Kufanya majadiliano katika vikundi vya makundi ya aina tofauti katika jamii: viongozi wa kata,

vikundi vya kiuchumi, wazee wenye ushawishi, vikundi binafsi vya kusaidiana, viongozi wa

michezo, walimu, vikundi vya kujiingizia kipato, wafugaji, wakulima, wanawake, walemavu na

wafanyabiashara;

Mikutano ya hadhara ya mashauriano katika makazi 10 yaliyofanyiwa uchunguzi: Lot 1 -

Ngerengere, Soga na Pugu na Lot 2 - Makutupora, Kinkintu, Bahi, Zuzu, Ihumwa, Mkata,

Msamvu.Muhtasari wa masuala yaliyobainishwa wakati wa hii mikutano yamebainishwa katika

jedwali 5.2 Kipengele cha 5.2 cha ripoti ya ESIA. Mada zenye maslahi kwa jamii zilijumuisha:

- utwaaji wa ardhi na fidia;

- usalama wa umma;

- ajira;

- kuathirika na virusi vya UKIMWI na UKIMWI na magonjwa mengine yanayosambazwa kwa

njia ya ngono;

- Usimamizi wa taka ngumu na taka maji wakati wa ujenzi na uendeshaji;

- Mifereji, mafuriko na masimbi/matope ya mto;

- uondoaji wa miundombinu na mifumo ya huduma za kijamii ndani ya njia ya reli;

- kuongezeka kwa msongamano;

- utoaji wa huduma

Shughuli za kampeni ya ushirikishaji wadau za TRC

Kufuatia shughuli za ushirikishaji wadau zilizofanyika kwenye zoezi la tathmini ya athari za mazingira

na masuala ya kijamii (ESIA) , TRC na YM kwa pamoja walifanya kampeni ya kuwahabarisha wanajamii

kuhusu Mradi na mambo yanayohusiana na utekelezaji wake. Kampeni ilijumuisha mikutano kuanzia

Dar es Salaam mpaka Makutopora na zilimalizika mwezi mei 2018 na ilifuatiwa na mikutano ndani ya

mkoa wa Morogoro mwezi Agusti 2018.

1Kata nyingine na vijiji vimeathiriwa pia na Mradi; Lakini sampuli yake tu kama ilivyoorozeshwa hapo juu vilijumuishwa katika

wigo wa ushiriki wa wadau

Page 19: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Toleo3.0 Namba ya Mradi.:0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 3-14

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

KM 350 - 535

Mfano wa mikutano ya kampeni za kuongeza ufahamu kwa Lot 1 ilijumuisha kuongea na watu

wanaokadiriwa kuwa 940 kotoka vijiji vya Chibwe, Chimwaga na Igandu(kata yaIgandu), wafanyakazi

wa reli katika stesheni za Dodoma, Kintinku naMakutupora(wilaya ya Manyoni ) na Bahi .

Kwa kuongezea, TRC pia wanafanya mashauriano na jamii kama inavyotakiwa na sheria za Tanzania

katika mchakato wa kutwaa ardhi na kuondoa miundombinu mbalimbali ndani ya njia ya reli. Zaidi ya

mashauriano na jamii, TRC pia imekuwa ikishirikisha mamlaka mbalimbali na kufanya mashauriano ya

pamoja pale inapohitajika. Moja ya mfano wa mazingira hayo rejea mchakato wa uhamishaji wa

makaburi yaliyobainishwa kuwa ndani ya njia ya reli.

3.2 Shughuli za Ushirikishaji wadau za YM

YM imefanya shughuli mbalimbali za kushirikisha wadau pamoja na mashauriano ili kuongeza

ufahamu kuhusu Mradi na pia kutoa mafunzo ya usalama. Shughuli zifuatazo zilifanyika:

mikutano ya pamoja na TRC ili kuongeza ufahamu wa wanajamii kuhusu Mradi;

mafunzo ya usalama kwa jamii wakati wa ujenzi (mfano katika vijiji vya Kimamba, Mafuru,

Mkadage villages na Mkwatanindani ya Kilosa mjini);

ufahamu kuhusu Viruso vya UKIMWI na mafunzo ya uzazi wa mpango;

elimu ya mazingira;

shughuli za misaada ya kijamii kama sehemu ya uwajibikaji kwa jamii kwa jamii zilizoathiriiwa na

shughuli za Mradi;

mikutano ya kila mwezi na jamii ili kujadili malalamiko kuhusiana na Mradi na kuwapa mrejesho

juu ya maendeleo ya mradi na mchakato wa kushughulikia malalamiko.

Orodha ya shughuli za ushirikishaji wadau zilizofanywa na TRC imejumuishwa kama Kiambatanisho

A cha Mpango huu wa Ushiriki wa Wadau.

Page 20: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Toleo3.0 Namba ya Mradi.:0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 4-15

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

KM 350 - 535

4. WADAU WA MRADI

4.1 Kuwatambua Wadau

Wadau waliobainishwa na kutambuliwa mpaka sasa ni pamoja na taasisi na watu binafsi ambao

wanaweza kuathiriwa kwa namna moja au nyingine (athari hasi au chanya) na Mradi au wanaweza

kuwa na athari juu ya jinsi mradi unavyotekelezwa.

Wadau waliotambuliwa na kujumuishwa katika shughuli za ushirikishaji wanakidhi moja ya vigezo

vifuatavyo:

Wana maslahi na Mradi

Wanaweza wakaathirika na mradi au wana ushawishi katika Mradi (hasi au chanya); au

Wanaweza wakatoa maoni juu ya mambo na masuala yanayohusiana na Mradi.

Wadau wamewasilishwa katika Jedwali4-1 ikiwa ni pamoja na maelezo ya uhusiano wao na Mradi.

Taarifa hii imetolewa ili kuzingatia njia zinazofaa za kutoa habari na kushauriana na makundi

mbalimbali. Orodha ya wadau, ikiwa ni pamoja na maelezo ya mawasiliano, imejumuishwa katika

Kiambatanisho B cha Mpango huu wa Ushiriki wa Wada

Page 21: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 4-16

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

KM 350 - 535

Jedwali4-1 Orodha ya Aina ya Wadau

Ngazi Kundi la Wadau Uhusiano na Mradi Wadau

Taifa ■ Serikali ya Tanzania

■ Mamlaka za Taifa za Udhibiti

■ Wizara Muhimu

■ Mashirika na Taasisi za Serikali

Serikali ina jukumu la kuanzisha sera, kutoa vibali na idhini nyingine kwa

ajili ya Mradi, na kufuatilia na kuhakikisha Sheria za Tanzania

Zinazingatiwa katiika ngazi zote za mzunguko wa maisha ya Mradi

Mamlaka za Taifa za Udhibiti

■ Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira (NEMC)

■ Ofisi ya Makamu wa Raisi – Kitengo cha Mazingira

Wizara Muhimu na Idara za Wizara

■ Wizara ya Kazi, Usafirishaji na Mawasiliano

■ Wizara ya Nishati

■ Wizara ya Madini

■ Wizara ya Kilimo

■ Wizara ya Maliasili na Utalii

■ Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto

■ Wizara ya maji

■ Wizara ya Mifugo na Uvuvi

Shirika La Utekelezaji la Taifa

Shirika la Reli la Tanzania (TRC)

Mashirika, Mamlaka, Taasisi

na idara

Mashirika binafsi yaiyofadhiliwa na serikali kwa ajili ya

kusimamia shughuli maalumu.

Mashirika, Mamlaka, Taasisi na Idara zinaweza kuwa na ardhi au mali

nyingine yeyote ambayo inaweza kuathiriwa na Mradi.TANESCO ni

wamiliki wa njia ya kupitisha umeme na mtandao wa umeme ambao

Mradi utaunganishwa.

Maabara ya Mkemia wa Serkali (GCLA)

Shirika la Umeme la Tanzania (TANESCO)

Mamlaka ya Usalama na Afya Kazini (OSHA)

Shirika la Barabara la Tanzania (TANROADS)

Mamlaka ya Bonde la Mto Wami/Ruvu

Mamlaka ya Udhibiti wa Safari za Majini na Nnchi Kavu (SUMATRA)

Taasisi ya Uthibitishaji Mbegu ya Tanzania(TOSCI)

Shirika la Huduma za Misitu (TFS)

Taasisi ya Utafiti wa wanyama Pori ya Tanzania (TAWIRI)

Hifadhi za Taifa (TANAPA)

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA)

Shirika la Simu la Tanzania Tanzania (TTCL)

Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA)

Serikali za Mikoa na Serikali

za Mitaa

■ Mamlaka ya Serikali za Mikoa Secretarieti ya mkoa wana jukumu la kutekeleza sheria, na kuandaa

mipango na sera katika ngazi ya mkoa. Hii inajumuisha kutoa ruhusa

ya kutwaa ardhi na kuhamisha

Sekretarieti ya mkoa wa Dar es Salaam

Sekretarieti ya mkoa wa Pwani

Sekretarieti ya mkoa wa Morogoro

Sekretarieti ya mkoa wa Dodoma

Sekretarieti ya mkoa wa Singida

Page 22: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 4-17

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

KM 350 - 535

Ngazi Kundi la Wadau Uhusiano na Mradi Wadau

Engineers Registration Board (ERB)

Contractors Registration Board (CRB)

Wilaya na Manispaa ■ Mamlaka za serikali za Wilaya

■ Mamlaka za serikali za Mitaa

Uongozi wa wilaya/Manispaa pia wana mamlaka katika jukumu la

kuhamisha makazi ya watu

Kwa kuongezea, wilaya na manispaa pembezonii mwa reli ya SGR

zitaathirika na shughuli za Mradi na watahitaji kuhabarishwa kuhusu

maendeleo na mipango katika maeneo yao, kuzingatia shughuli za

mradi katika uandaaji wao wa sera, usimamizi pamoja na majukumu na

kazi nyingine

Manispaa ya Ilala

Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe

Halmashauri ya Wilaya ya kibaha

Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze

Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro Vijijini

Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro Mjini

Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero

Halmashauri ya Wilaya ya kilosa

Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa

Halmashauri ya Wilaya/Manispaa ya Dodoma

Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni

Mamlaka za Vijiji na Kata ■ Wawakilishi wa serikali za Vijiji na Kata

■ Kamati za mali asili za Vijiji

Viongozi wa kata na vijiji (Watendaji wa kata na vijiji) ni wawakilishi wa

wananchi katika ngazi ya vijijij na kata.Hawa ni viongozi muhimu katika

ngazi za chini. Mikutano katika ngazi hii itafuata miongozo ya kata na

vijiji na inapaswa kufanyika baada ya mawasiliano ya kutosha ndani ya

jamii ili kuheshimu mifumo ya kisiasa na kijamii

Uongozi katika ngazi ya kata na vijiji ambao ulijumuishwa katika eneo lenye ushawishi

(ndani ya mita 250) kutoka kwenye reli au wale wenye ardhi/misitu ndani ya eneo la mita

250 ni:

■ Watendaji wa kata (WEO)

■ Watendaji wa Vijiji (VEO)

■ Wazee wa vijiji na mabarasa ya watu wenye makazi yalioathirika

■ Kamati za mali asili za kijiji

Jamii au Makazi ■ Jamii zilizoathirika na Mradi ndani ya mita 250 katika kila pande kutoka katikati mwa reli

■ Wamiiki wa ardhu na watumiaji

■ Wanajamii wanaotumia njia za kupita ili kupata mali asili zilizopo karibu

■ Miundombinu ya kijamii/umma pamoja na huduma

Kaya na jamii ambazo zinaweza kuathirika moja kwa moja au kwa

namna ingine na shughuli za mradi pendekezwa. Hii inajumuisha watu

wanaoishi katika ardhi iliyoathiriwa na Mradi kupitia utwaaji wa ardhi au

kwa athari za kimazingira na kijamii, na watu wengine ambao

hutembelea au hutumia malighafi ambazo zinzweza kuwa zimeathiriwa

na shughuli za Mradi.

Wadau muhimu ni wamiliki wa ardhi na watumiaji wa ardhi.Jamii hizi

zinahitaji kushirikishwa kuhusu athari za Mradi katika awamu ya ujenzi

na uendeshaji.Kaya zinazomiliki ardhi watahitaji kufahamishwa kuhusu

mpango wa kuchukua ardhi na kipi cha kutokufanya katika ardhi,

kushiriki katika kukamilisha makubaliano kuhusu ulipaji fidia na

urudishaji upya wa shughuli za kujipatia riziki na kuwa na jukumu la

kumiliki matokeo ya utekelezaji wa hizi taratibu.

Mkoa wa Dar es Salaam:

Kata katika wilaya ya Temeke: Sandali, Changombe, Keko, Kurasini, Temeke

Katika katika wilaya Ilala: Ukonga, Kipawa, Gerezani, Gongolamboto, Kivukoni, Kiwalani,

Mchafukoge, Vingunguti

Kata katika wilaya Kinondoni: Kibamba

Mkoa wa Pwani:

Kata katika wilaya ya Kisarawe:Kisarawe, Kiluvya, Vihingo

Kata katika wilaya ya Kibaha:Soga, Janga, Ruvu,Kwala, Magindu

Mkoa wa Morogoro:

Kata katika wilaya ya Morogoro vijijini: Kidugalo, Ngerengere, Mikese, Mkambalani

Kata katika wilaya ya Morogoro mjini: Kingolwira, Bigwa, Kihonda, Msamvu, Lukobe

Kata katika wilaya ya Mvomero: Mzumbe and Melela

Page 23: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 4-18

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

KM 350 - 535

Ngazi Kundi la Wadau Uhusiano na Mradi Wadau

Kata katika wilaya ya Kilosa: Chanzuru, Mabwerebwere, Kimamba 'A', Mkwatani, Mbumi,

Kasiki, Magomeni, Masanze, Kidete

Mkoa wa Dodoma:

Kata katika wilaya ya Mpwapa:Gode, Kimagai, Ving'hawe, Mazae, Chunyu

Kata katika wilaya ya Dodoma vijijini:Gandu, Handali, Msamalo, Ibihwa, Kigwe, Chikola,

Mpamantwa, Bahi

Kata ndani ya Dodoma mjini:Kikombo, Mtumba, Dodoma Makulu, Tambukareli, Kilimani,

Kikuyu South, Mkonze, Zuzu,Ihumwa.

Mkoa wa Singida :

Kata katika wilaya ya Manyoni: Kintinku, Makanda, Maweni

Watu/makundi yaliyo hatarini Makundi yaliyo hatarini katika eneo la tathmini Makundi yaliyo hatarini yanaweza kuathiriwa na mradi kwa sababu ya

ulemavu wao, nafasi yao ya kijamii na kiuchumi, elimu ndogo, ukosefu

wa ajira au nafasi ya kuwa na ardhi.

Njia sahihi za ushirikishaji zitatumika ili kuhakikisha makundi haya

yanapata taarifa stahiki kuhusiana na mradi na wanashiriki kikamilifu.

Makundi yaliyo hatarini katika eneo la tathmini/Mradi yanajumuisha:

■ Makundi ya kikabila, Mfano Wamasai

■ Wazee (zaidi ya miaka 60)

■ Wanawake na wasichana

■ Vijana wanaume wasio na ajira/wanaume watu wazima

■ Yatima au kaya zinazosimamiwa na mayatima

■ Watoto

■ Watu wenye ulemavu

■ Watu wanaoishi na magonjwa ya muda mrefu, kwa mfano Virusi vya UKIMWI na UKIMWI

■ Vijana

Asasi za Kiraia ■ Mashirika ya kijamii (CBOs)

■ Jamii au ushirika mwingine

■ Taasisi za utafiti na elimu

Mashirika yenye maslahi ya moja kwa moja na Mradi na masuala yake

ya kimazingira na kijamii na ambayo yana uwezo wa kutoa ushawishi

katika mradi moja kwa moja au kupitia maoni ya umma.

Mashirika hayo yanaweza pia yakawa na taarifa muhimu na ufahamu

na yanaweza kuwa wabia katika Mradi katika maeneo yenye maslahi

ya pamoja kama vile utekelezaji wa uwekezaji katika jamii

■ Mashirika ya kijamii (CBO) katika kila wilaya

■ Jamii au Ushirika katika kata na vijiji

■ Taasisi ya Teknolojia ya Reli ya Tanzania (TIRTEC)

Mashirika Yasiyo ya Serikali

(NGOs)

■ Kimataifa

■ Kitaifa

■ Katika mitaa

Mashirika yasiyo ya serikalia (NGOs) yenye maslahi tofauti katika

mradi na masuala yake ya kimazingira na kijamii na yenye uwezo wa

kutoa ushawishi katika Mradi moja kwa moja au kupitia maoni ya

umma. Mashirika haya yanaweza pia yakawa na taarifa muhimu na

ufahamu juu ya mambo ya ndani na ya kimataifa yanayoibuliwa na

Mradi. Mashirika yasiyo ya kiserikali ya kimataifa yanajumuisha taasisi

zilizopo hapa Tanzania na zile ambazo zipo nnje ya Tanzania zenye

maslahi na Mradi. Zinajumuisha NGOs za kimataifa , mashirika ya

mataifa na mashirika ya kimataifa.

Mashirika yasiyo ya kiserikali ya ndani ya nnchi na ya kimataifa yanayopatikana katika eneo

la utafiti ni :

■ Mashirika yasiyo ya kiserikali ya kimataifa na makundi ya hatakati

■ Aga Khan Foundation (Tanzania)

■ IUCN

■ CARE

■ Tanzania Forest Conservation Group

■ WWF (Regional Ofisi ya kanda kwa Africa / WWF Tanzania)

■ Birdlife International (Tanzania)

■ African Wildlife Foundation (AWF)

Makundi mengine yenye

maslahi:

■ Vyombo vya habari

■ Wasimamizi wa sheria Vyombo vya habari katika ngazi ya manispaa na mitaa vitakuwa na

kiwango kikubwa cha ushawishi kuhusiana na Mradi na vinaweza

kushawishi mtazamo wa wadau kuhusiana na Mradi

Wabia muhimu wa

kibiashara

■ Wakandarasi

■ Wasambazaji na watoa huduma

■ Biashara nyingine zinazofanya kazi katika jamii

■ Benki za kitaifa na kimataifa

Taasisi, biashara na watu binafsi wenye maslahi ya moja kwa moja na

Mradi; Kwa mfano kuendesha biashara au kutoa huduma kwenye

Mradi

■ Wakandarasi: Yaate (Ulipuaaji), Nitro (usambazaji wa vilipuaji), Kama Steel, Guruka Kwala (Usafirishaji wa taka hatarishi), Mwanza Environmental Symphathisizers (chuma chakavu), Puma energy

■ Wabia: Mota Engil, KORAIL

Page 24: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 4-19

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

KM 350 - 535

Ngazi Kundi la Wadau Uhusiano na Mradi Wadau

■ Wengineo ■ Benki

■ Biashara katika eneo la utafiti/mradi

Wadau waliobainishwa hapo juu wamechambuliwa kulingana na ushawishi wao na uhusika wao katika Mrad

Page 25: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 5-20

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

KM 350 - 535

5. MBINU ZA KUSHIRIKISHA NA MPANGO WA SHUGHULI

5.1 Maelezo ya jumla

Mpango huu wa Ushiriki wa Wadau (SEP) umeundwa hasa kwa kwa ajili ya shughuli za awamu ya

kabla ya ujenzi na baada ya ujenzi. Kwa kipindi kirefu cha uendeshaji wa SGR (miaka 100) na uondoaji

hapo baadae, YM itaukabidhi Mradi kwa TRC, ambaye ni Mmiliki wa Mradi. Kabla ya kuanza kwa kila

awamu hizi, TRC wataboresha Mpango huu wa Ushiriki wa Wadau ili kuelezea shughuli zilizopangwa

za ushiriki. Mchoro 5.1 hapa chini unawasilisha malengo ya ujumla ya ushiriki wawadau katika maisha

yote ya Mradi.

Page 26: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 5-21

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

KM 350 - 535

Mchoro 5-1 Malengo ya Ushirikishaji wa Wadau na Shughuli kwa kila Awamu ya Mradi

Chanzo: ERM, 2019

Page 27: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 5-22

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

MBINU ZA KUSHIRIKISHA NA MPANGO WA SHUGHULI

Mipango maalumu na shughuli za ushirikishwaji zitakuwa za muhimu katika kila awamu ya Mradi

(Awamu ya maandalizi, ujenzi, uendeshaji na awamu ya ufungaji/ukabidhishaji). Hatahivyo, baadhi ya

shughuli zitakuwa endelevu kwa kipindi chote cha Mradi na hivyo kufanana katika awamu tofauti tofauti

za Mradi. Shughuli ambazo zitakuwa zinatekelezwa katika kipindi chote cha Mradi zimewasilishwa

katika sehemu 5.2 hapa chini. Sehemu 5.3 inawasilisha kazi maalumu za ushiriki wa wadau ambazo

zitakuwa zinafanyika katika kila awamu ya Mradi.

5.2 Shughuli zinazoendelea za ushirikishaji katika kipindi chote cha uendeshaji wa Mradi

5.2.1 Uhusiano na Jamii

Mahusiano na jamii zilizoathiriwa, kama ilivyowasilishwa katika sehemu 3.3, yataendelea kudumishwa

katika kipindi chote cha Mradi. Hii itawezesha timu ya Mradi kuanzisha mahusiano na wanajamii,

kuwahabarisha kuhusiana na maendeleo ya Mradi na athari zake, kuchukua mawazo yao na ushauri

wao na kufafanua njia stahiki za kuzuia na kupunguza athari. Maendeleo ya mahusiano na jamii,

itaruhusu kupata maoni ya jamii katika masuala mbalimbali kama vile Afya ya Jamii, Usalama na Ulinzi,

Utwaaji wa ardhi na uhamishaji wa makazi, masuala ya kiutamaduni na mengineyo. Makundi

mbalimbali ya kijamii yaliyotambuliwa pembezoni mwa Mradi watashirikishwa kwa kina kwa kuzingatia

viwango vya kimataifa. Mahusiano stahiki na jamii yatachangia kubainisha mapema na kusimamia

hatari zozote za Mradi pamoja na kupata leseni ya kijamii (Kukubalika kwa Mradi na Jamii)

TRC itahakikisha kuwa timu ya Maafisa uhusiano na Jamii inawashirikisha wanajamii katika mipango

na utekelezaji wa shughuli za uhamishaji wa makazi na uhuishaji wa shughuli za kujikimu za wanajamii.

YM itahakikisha inakuwa na timu ya Maafisa uhusiano na Jamii ili kusimamia shughuli za ushirikishaji

wa wanajamii na wadau isipokuwa kwa shughuli za ushirikishaji zinazohusiana na utwaaji wa ardhi na

ulipaji wa fidia. YM tayari wameshateua Maafisa jamii 8 ambao wapo chini ya uratibu wa Mratibu mmoja

wa masuala ya kijamii na wanachukua hatua ya kuteua maafisa wengine wawili wa jamii. Maafisa jamii

wana jukumu la kuunganisha Mradi na Wanajamii.

Maafisa uhusiano wa YM na Mratibu wa Jamii wataendelea na ushirikiano pamoja na kuwasaidia

wataalamu wa jamii wa TRC ili kuhakikisha kwamba ushiriki wa wadau unatekelezwa kwa ufanisi na

kwa matakwa ya kimataifa.

Maafisa jamii watapewa mafunzo ili kuwa na ufahamu na masuala ya wadau na matakwa ya kimataifa

ya ushirikishaji wa wadau, kama ilivyobainishwa katika Mpango wa ushiriki wa Wadau, kuwa na uelewa

na kuwahabarisha watu kuhusu Mradi, ratiba ya ujenzi, hatua za ushirikishaji na shughuli zingine za

Mradi. Kwa kuongezea, Maafisa jamii watapewa mafunzo ili kuisaidia TRC katika kusimamia

uthaminishaji wa ardhi na mchakato wa ulipaji wa fidia, ili kutoa msaada kwa timu ya TRC ya utwaaji

wa ardhi na ulipaji wa fidia pale itakapohitajika katika kuwashirikisha waathiriwa wa utwaaji wa ardhi

na kutoa taarifa za mchakato wa mbeleni.

Kwa maeneo yote ambapo mchakato wa utwaaji wa ardhi umeshafanyika, Maafisa jamii watatoa

msaada katika ushirikishaji unaohusiana na shughuli za uhuishaji wa shughuli za kujikimu za kijamii na

usimamizi wa malalamiko.

TRC watafanya shughuli za ushirikishaji wa wadau wakati wa awamu zote za Mradi kwa kuzingatia

masuala ya:

Utwaaji wa ardhi, uhamishaji wa makazi na uhuishaji wa shughuli za kujikimu za wanajamii

wakati wa awamu ya kupanga;

Athari zihusianazo na masuala ya ujenzi na hatua za usimamizi wakati wa ujenzi;

Kipindi cha mpito cha YM kuhusika na Mradi na kuanza kwa shughuli za uendeshaji;

Page 28: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 5-23

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

MBINU ZA KUSHIRIKISHA NA MPANGO WA SHUGHULI

Athari zinazohusiana na shughuli za uendeshaji na hatua za usimamizi wakati wa uendeshaji;

Athari za ufungaji wa Mradi ikijumuisha upunguzaji wa wafanyakazi na njia stahiki za kupunguza

athari wakati wa ufungaji wa mradi.

Mahusiano na jamii yatajengwa kupitia muendelezo wa vikao vya mara kwa mara kati ya jamii na TRC

na maafisa jamii wa YM. Mikutano hiyo kwa sasa imekuwa ikifanyika katika kila kipindi cha mwezi

mmoja na maafisa jamii wa YM – angalia Sehemu 3.3.

5.2.2 Usimamizi wa Malalamiko

Mfumo wa kupokea malalamiko utatekelezwa kwa ajili ya Mradi, kama ilivyoelezwa katika sehemu ya

7 ya Mpango huu wa Ushiriki wa Wadau. Zaidi, wakati wa upangaji na awamu ya ujenzi, mfumo wa

kupokea malalamiko utahitajika kusambazwa zaidi na kutangazwa kwa wanajamii ili kuhakikisha

kwamba watu wanafahamu namna ambayo wanaweza kuwasilisha mawazo yao na mambo

yanayojulikana kwa timu za Mradi. Hili litakuwa ni jukumu la maafisa jamii ambao TRC watawateua kwa

ajili ya Mradi, wakisaidiwa na maafisa jamii wa YM. Malalamiko kuhusiana na utwaaji wa ardhi na fidia

itakuwa ni wajibu wa TRC kuyasimamia. Wakati wa kabla ya ujenzi na wakati wa ujenzi, malalamiko

kuhusiana na shughuli za ujenzi yatasimamiwa na YM kupitia Mratibu wake wa masuala ya kijamii na

maafisa jamii waliowekwa katika kila eneo. Mratibu wa masuala ya kijamii wa YM atafanya kazi kwa

ukaribu na mtaalamu wa masuala ya kijamii wa TRC (Timu ya pamoja ya kufanya kazi – Angalia

sehemu 6.2.3) kupitia malalamiko na kuhakikisha yanaingizwa katika hifadhi data ya malalamiko na

kuyashughulikia kwa wakati.

Mfumo wa kupokea malalamiko utakuwa ukipitiwa mara kwa mara ili kuhakikisha kwamba unapokea

kwa usahihi na kuyashughulikia malalamiko ya wanajamii na unafaa kwa lengo lililokusudiwa. Pale

ambapo shughuli za ujenzi zitakuwa zimekamilika, YM itakabidhi majukumu ya kupokea na

kushughulikia malalamiko kwa TRC kwa awamu ya uendeshaji na uhitimishaji wa Mradi.

Mfumo wa kupokea malalamiko utaruhusu wanajamii na wadau wengine kushughulikia malalamiko

yahusianayo na mambo mbalimbali kama vile afya ya jamii, usalama na ulinzi, utwaaji wa ardhi na

uhamishaji wa makazi, masuala ya kitamaduni na mengineyo.

Malalamiko yanayohusiana na wafanyakazi na mazingira ya kufanyia kazi (Kama mahitaji ya IFC PS

2) hayajajumuishwa ndani ya Mpango huu wa Ushiriki wa wada (SEP). Hili litashughulikiwa chini ya

hatua maalumu za tofauti zitakazoandaliwa kwa ajili ya kushughulikia malalamiko ya wafanyakazi wa

Mradi.

5.2.3 Kudumisha Mpango wa Ushiriki wa wadau ( SEP)

Mpango wa Ushiriki wa Wadau ni “Nyaraka inayoishi” . Mpango huu utakuwa unaboreshwa mara kwa

mara kutokana na matokeo ya shughuli za ushiriki wa wadau zinazofanywa na timu ya Mradi (Orodha

kamili ya ushirikishaji wa zamani imehifadhiwa). Vivyo hivyo, kadri wadau wapya wanapobainishwa,

orodha ya wadau (Kiambatanisho A cha Mpango huu wa Ushiriki wa wadau) pia itaboreshwa na Timu

ya Pamoja ya Ufanyaji Kazi (Angalia Sehemu ya 6 ). Mpango wa shughuli za ushirikishaji utatumika

kwa maendeleo ya Mradi na utaonyesha mabadiliko yoyote ya muhimu katika muundo wa Mradi na

utekelezaji wake.

TRC wataboresha zaidi Mpango huu wa Ushirik wa Wadau, kabla ya kuanza kwa awamu za uendeshaji

na usitishaji wa Mradi. Katika mazingira haya, shughuli za ushirikishaji zitafafanuliwa kwa kuzingatia

njia za ushirikishaji wadau na matokeo ya ushirikishaji wa wadau katika kipindi kilichopita.

5.2.4 Kuendelea kutoa taarifa kwa jamii

Kutakuwa na muendelezo wa utoaji wa taarifa kwa jamii ili kuwahabarisha juu ya maendeleo ya Mradi

na mada husika zitakuwa kama vile:

malalamiko yaliyopokelewa na mchakato wa kuyasimamia;

Page 29: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 5-24

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

MBINU ZA KUSHIRIKISHA NA MPANGO WA SHUGHULI

Hatua za usimamizi zilizotekelezwa baada ya kupokea malalamiko au taarifa kupitia mashauriano

na jamii/mamlaka juu ya mada kama vila afya ya jamii, usalama na ulinzi, mambo ya utamaduni,

uhamishaji wa makazi na uhuishaji wa shughuli za jamii za kujikimu;

Mambo waliyojifunza kutokana na uzoefu uliopita ili kupunguza au kusimamia usumbufu/athari

kwa jamii;

Misaada ya kijamii iliyotolewa wakati wa kipindi cha utoaji wa taarifa.

Matakwa mengine ya ziada ya utoaji wa taarifa yamejumuishwa katika sehemu ya 8.

5.2.5 Ushirikishaji wa mamlaka za Serikali na vyombo vya habari

TRC wataendelea na shughuli za ushirikishaji zilizowasilishwa katika sehemu 3.2, ikijumuisha

ushirikishaji wa mamlaka mbalimbali kwa ajili ya utoaji wa vibali na uhamishaji wa vitu (Kama vile

makaburi na vitu vingine vya dini). Katika mazingira haya haya, TRC itaendelea kufuatilia taarifa

zinazotolewa na vyombo vya habari kuhusiana na Mradi na kuwashirikisha wadau hawa katika kutoa

taarifa za Mradi na kutoa taarifa za maendeleo ya Mradi kwa wadau wa nnje.

Sehemu zifuatazo zinaelezea kazi maalumu za ushirikishaji wa wadau katika awamu zifuatazo za

Mradi.

5.3

5.3.1 Awamu ya Kupanga na Ujenzi

Ushirikishaji kwa ajili ya kutoa taarifa ya ESIA

Shughuli za ujenzi kwa Miradi iliyo katika mpangilio wa mstari hazifanyiki kila mahali kwa wakati mmoja.

Miundombinu ya Miradi iliyo katika mpangilio wa mstari ikiwa ni pamoja na SGR inajengwa kwa awamu

katika maeneo tofauti ya mpangilio wake. Kwa sasa shughuli za ujenzi zinafanyika kwa sehemu zote

mbili za Lot 1 na Lot 2 na shughuli za ushirikishaji wa wadau zilizoorodheshwa katika sehemu hii

zitafanyika kwa sehemu zote mbili za mpangilio wa njia ya reli.

TRC itasaidiwa na YM kuunganisha timu ya kutoa taarifa ya ESIA na kuhakikisha kuwa taarifa ya ESIA

imetolewa kwa njia ambayo kiutamaduni na kitaalam inapokelewa na kila kundi la wadau. Taarifa hii

itawasilisha hasa shughuli za Mradi na athari zake kwa lugha isiyokuwa ya kitaalamu kwa jamii ili

kuhakikisha kuwa inaelewa kikamilifu. Maoni ya wadau yaliyokusanywa wakati wa kutoa taarifa ya ESIA

yataonekana katika Ripoti ya Mashauriano ambayo itakuwa sehemu ya ESIA ya mwisho. Zaidi ya hayo,

maoni yaliyopatikana yatazingatiwa katika ripoti ya mwisho ya ESIA.

Ushirikishaji maalumu utafanywa na YM ili kuwahabarisha wadau kuhusiana na tafiti za kijiolojia,

usafirishaji wa mataruma, na mahusiano na wasambazaji na wakandarasi katika maeneo ambayo

ujenzi umepangwa kuanza.

Wadau watahabarishwa juu ya aina ya kazi, idadi ya wafanyakazi katika eneo la ujenzi na muda wa

kazi pamoja na usumbufu utakaojitokeza katika barabara za wanajamii kutokana na shughuli za ujenzi,

usambazwaji wa huduma mara kwa mara na matumizi ya rasilimali yaliyopangwa katika eneo hilo.

Shughuli za ushirikishaji zitakuwa na lengo la kutambua maoni ya watu, kutambua hatari za mradi katika

hatua za awali kabisa na kubainisha njia za pamoja za kupunguza au kusimamia. Kwa kuongezea, YM

wataendeleza shughuli zilizowasilishwa katika sehemu 3.3, katika kutoa elimu ili kuongeza uelewa wa

jamii kuhusiana na hatari za kiusalama wakati wa ujenzi.

Page 30: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 5-25

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

MBINU ZA KUSHIRIKISHA NA MPANGO WA SHUGHULI

5.3.2 Uendeshaji

Baada ya kukamilika kwa shughuli za ujenzi, pale ambapo ukabidhishaji wa Mradi utakuwa

umekamilika, majukumu ya kuendesha na kudumisha mradi wa SGR yatahamishiwa TRC . Majukumu

ya kimkataba ya YM na Serikali ya Tanzania pamoja na TRC yanaishia na ukamilishaji wa ujenzi na

ukabidhishaji na YM hawatakuwa na jukumu lingine katika kipindi kirefu cha awamu ya uendeshaji .

(Reli imeundwa kuhudumu kwa kipindi kinachokadiriwa kuwa miaka 100). TRC watakuwa na jukumu

la kuandaa na kutekeleza mpango maalumu wa ushirikishaji wa wadau na mfumo wa utaratibu wa

kupokea malalamiko kwa ajili ya awamu ya uendeshaji. Hatahivyo, inatarajiwa kwamba kabla ya kipindi

cha mpito hakijaanza, YP watatoa mafunzo wa kuwajengea uwezo TRC. Sehemu hii ya chini

inawasilisha maelezo ya jumla ya shughuli za ushirikishaji zinazotarajiwa ambazo zitafanywa na TRC.

Ushirikishaji Unaohusiana na Shughuli za Mpito kwenda katika Uendeshaji

Wakati wa kipindi cha mpito kuelekea uendeshaji, YM watakabidhi majukumu ya shughuli zote za

ushirikishaji kwa TRC. Kabla ya kipindi cha mpito hakijamalizika, TRC na YM kwa pamoja watawapa

taarifa wadau wote juu ya mabadiliko ya majukumu wakati wa shughuli maamumu za ushirikishaji.

Taarifa watakazoshirikishwa wadau zitajumuisha, njia za kuwasiliana na TRC, ikijumuisha kutoa

malalamiko, na mchakato wa namna ambavyo TRC watakuwa wanashirikisha jamii pale ambapo

kutakuwa na ulazima wa kufanya matengenezo katika njia ya reli.

Ushirikishaji kwa ajili ya kuandaa Mpango wa usimamizi wa Uendeshaj

Kabla ya kuanza uendeshaji, TRC watafanya shughuli za ushirikishaji ili kuhabarisha juu ya maandalizi

ya Mpango wa Usimamizi wa Uendeshaji (Mfano, Mpango wa Afya ya jamii, Usalama na Ulinzi – IFC

PS 4). TRC watahakikisha kuwa maoni ya jamii yanajumuishwa ili kuweka mipango stahilki ya

usimamizi wa shughuli za uendeshaji na kupunguza athari.

5.3.3 Kukamilika kwa shughuli za uendeshaji na Kuhitimishwa kwa shughuli za Mradi wa SGR

Kukamilika na kufungwa kwa shughuli za Mradi unatazamiwa kutokea baada ya miaka 100 kutoka sasa

na hivyo kuhusisha kiwango kukubwa cha yasiyojulikana kuhusu mahitaji ya ushirikishaji ambao

utakuwa stahiki kwa kipindi hicho. Kabla ya kwenda kwenye awamu ya ufungaji, TRC wataandaa

Mpango Maalumu wa Ushiriki wa Wadau kwa kuzingatia sheria zitakazokuwepo kwa wakati huo.

Kwasasa inatarajiwa kwamba, taarifa chache zinazohitajika zitajumuisha:

Aina na ratiba ya kazi za ufungaji

Kuondoa na kupanga vifaa; na

Matumizi ya baadae yanayofaa ya vituo vya reli.

Page 31: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 5-26

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

MBINU ZA KUSHIRIKISHA NA MPANGO WA SHUGHULI

5.4 Mpango Mkakati wa Ushirikishaji

Programu ya shughuli za ushirikishaji itaandaliwa, ukijumuisha hatua za kusimamiwa na TRC, na

kusaidiwa na YM za kuwashirikisha wadau kabla ya shughuli za ujenzi na wakati wa ujenzi. Hatua hizi

zitakuwa zikitekelezwa ili kufikia malengo ya Mradi, kushughulikia mawazo na maoni yao, na vile vile

kutekeleza njia za kupunguza athari hasi na kuchochea faida katika mfumo wa usimamizi wa Mradi.

Kadri Mradi unavyoendelea kutoka katika awamu ya upangaji kwenda katika awamu ya ujenzi (Hasa

kwa lot 2), Mpango huu wa Ushiriki wa Wadau utahitajika kupitiwa katika kila kipindi na kuboreshwa

kwa kuzingatia mrejesho na mambo waliyojifunza kutokana na ushirikishaji uliopita. Hili litakuwa ni

jukumu la timu ya pamoja ya kufanya kazi. (angalia sehemu ya 6)

Shughuli zinazofuata za ushirikishaji wa wadau katika kipindi cha robo ya kwanza ya mwaka 2019

zitajumuisha utoaji wa taarifa ya ESIA, shughuli za ushirikishaji zinazoendelea kama ilivyobainishwa

katika sehemu 5.3

5.5 Nyenzo za Ushirikishaji

Ili kufanikisha utekelezaji wa mwendelezo fanisi wa ushirikishaji wa wadau, nyenzo zilizoorodheshwa

katika Jedwali 5-1 hapa chini zitakuwa za muhimu katika awamu zote za Mradi. Maudhui na ujumbe

vinapaswa kupitiwa upya na kuidhinishwa na timu ya Mradi kabla ya kuzisambaza kwa wadau.

Jedwali 5-1 Nyenzo za Kushirikisha Wadau

Nyenzo Maelezo

Vipeperushi vya Taarifa

ya Mradi Project (PIL)

Vipeperushi vya taarifa/maelezo ya Mradi vitaandaliwa katika lugha ya Kingereza

na Kiswahili na kusambazwa katika awamu ya kabla ya ujenzi wakati wa

ushirikishaji wa kutoa taarifa za ESIA. Vipeperushi vitatoa maelezo ya Mradi

uliopendekezwa, ratiba ya Mradi, programu za ushirikishanaji na ratiba, maelezo

ya mawasiliano ya maafisa uhusiano na taarifa juu ya mfumo wa kuwasilisha

malalamiko.

Kadri Mradi unavyoendelea, Nyaraka hii itakuwa ikipitiwa na kuboreshwa kadri

inavyolazimika ili kuhakikisha usahihi wa taarifa katika muda wowote.

Muongozo wa

Upatikanaji wa Ardhi na

Ulipaji wa Fidia

Muongozo wa upatikanaji wa ardhi na ulipaji wa fidia utaandaliwa kwa lugha ya

Kiswahili na Kingereza.Itakuwa ni vipeperushi vinachowasilisha hatua muhimu za

mchakato wa utwaaji wa ardhi na ulipaji wa fidia, ambavyo vitasambazwa wakati

wa shughuli za ushirikishaji wadau katika awamu ya kipindi cha kabla ya

ujenzi.Muongozo huu utaelezea hatua muhimu za mchakato (Kulingana na sheria

za nnchi lakini pia hatua za ziada kulingana na viwango vya kimataifa), ratiba,

maelezo ya mawasiliano ya timu ya utwaaji ardhi na ulipaji wa fidia na taarifa juu ya

mfumo wa kuwasilisha malalamiko.

Kadri mchakato unavyoendelea, vipeperushi tofauti vitaandaliwa kuboresha habari

kuhusiana na maendeleo ya utekelezaji wa mchakato wa utwaaji wa ardhi na ulipaji

wa fidia na uboreshaji wa shughuli za wanajamii za kijipatia riziki.

Ubao wa Matangazo Mbao za matangazo zitawekwa katika sehemu ya kuingilia katika eneo la kufanyia

kazi la mradi na katika meneo mengine yaliyokubaliwa katika kila eneo lenye makazi

ya watu, maeneo yanayoweza kufikiwa na wanajamii, na kuborshwa mara kwa

mara.

Mbao za matangazo zitasaidia kama nyenzo ya kusambaza taarifa.Kwa mfano,

zitabainisha maelezo ya mawasiliano ya Mradi, taarifa za maendeleo ya ujenzi,

taarifa za upitaji wa magari makubwa ya mashine, taarifa za ajira na vile vile majibu

ya maswali yanayoulizwa mara kwa mara.Taarifa za maradi zinapaswa kuwa kwa

lugha ya kingereza na Kiswahili.Pale inapowezekana, ramani au msaada wa

muonekano zitatumika kuboresha ufikiwaji wa taarifa.

Page 32: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 5-27

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

MBINU ZA KUSHIRIKISHA NA MPANGO WA SHUGHULI

Nyenzo Maelezo

Matangazi ya Redio Matumizi ya redio za ndani kwa ajili ya mawasiliano na wadau yanapaswa

kuvumbuliwa.Matangazo ya redio za ndani yanaweza kutumika kuhabarisha wadau

kuhusiana na Mradi na vile vile kutoa taarifa ya ratiba ya kutoa taarifa ya ESIA kwa

wanajamii.

Mrejesho kwa Wadau TRC na YM watatoa mrejesho wa Mradi kwa makundi mbalimbali ya wadau katika

muda muda uliokubalika.

Nyaraka ya Maswali na

Majibu

TRC na YM wataandaa nyaraka ya maswali na majibu kwa ajili ya matumizi ya

ndani ambazo zitasaidia kutoa majibu thabiti wakati wa ushirikishaji wa kawaida wa

jamii na mashauriano na wadau. Maswali na majibu ni nyenzo muhimu ya kusaidia

kudhibiti /kusimamia matarajio ya jamii (Mfano kama vile masuala ya ajira)

Orodha ya Ushiriki wa

Wadau

Timu ya pamoja ya kufanya kazi/maafisa uhusiano na jamii watadumisha orodha ya

ushiriki wa wadau ili kupanga na kufuatilia ushirikishaji unaohusiana na mipango

mbalimbali ya Mifumo ya usimamizi wa Mazingira na Masuala ya Kijamii (ESMS)

na shughuli za Mradi.

Hifadhi data ya Taarifa

ya Malalamiko ya Wadau

Timu ya pamoja ya kufanya kazi, itaratibu na kudumisha hifadhi ya malalamiko ya

wadau ili kurekodi na kufuatilia malalamiko na pia hali halisi ya utatuzi.Maafisa

uhusiano na jamii wataingiza malalamiko wanayopokea katika hafadhi data hii

ambapo TRC na YM wanaweza kuifungua na kusoma.

Ripoti za mara kwa mara zitakuwa zikitolewa katika hifadhi data hii na kuziwasilisha

kwa jamii kila mwezi kama sehemu ya jitihada zinazoendelea za kuwashirikisha

wadau taarifa mbalimbali wakati wa awamu ya kabla ya ujenzi na wakati wa ujenzi

na vile vile katika kuchochea uwazi.

Page 33: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 6-28

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

MAJUKUMU NA NGUVU KAZI

6. MAJUKUMU NA NGUVU KAZI

6.1 Majukumu kwa ajili ya ushirikishaji wa wadau

Kwa ujumla, TRC kama mmiliki wa Mradi watakuwa na jukumu la kuhakikisha ushiriki wa wadau na

usimamizi wa malalamiko wakati wa kipindi chote cha Mradi. Ili kutekeleza Mpango huu kwa ufanisi,

YM wataisaidia TRC kwa nguvu kazi na mipango mbalimbali ili kutekeleza matakwa ya kimataifa katika

ushirikishaji wa wadau. Kwa mazingira haya, ushirikishaji wa pamoja na timu ya pamoja ya kusimamia

malalamiko itaanzishwa na kujumuisha TRC na YM ili kupanga na kuratibu shughuli za ushirikishaji.

Timu hii ya kufanya kazi kwa pamoja itakuwa na majukumu yafuatayo:

daima kuratibu mambo yote kuhusiana na utekelezaji wa Mpango wa Ushiriki wa Wadau

kulingana na viwango vya kimataifa vya wakopeshaji;

kupitia rasilimali zilizopo, kutambua na kuwasilisha mahitaji ya rasilimali za ziada zilizotolewa kwa

ajili ya shughuli za ushirikishaji wa wadau;

kutoa mafunzo kwa wafanyakazi walioajiriwa kuhusiana na viwango vya kimataifa vya

ushirikishaji wadau na usimamizi wa malalamiko;

kupitia hifadhi data ya malalamiko na kujadili kuhusiana na mchakato wa kutatua malalamiko

yaliyopokelew;

kudumisha uhusiano wa mara kwa mara na wafanyakazi walioko katika maeneo ya kufanya kazi

ili kutambua uwezekano wa kuwapo kwa hatari za Mradi katika hatua ya mwanzo;

mara kwa mara boresha orodha ya zamani ya ushiriki wa wadau (Kiambatisho A cha Mpango

huu wa Ushiriki wa Wadau);

Mara kwa mara boresha orodha ya wadau (Kiambatanisho B cha Mpango huu wa Ushiriki wa

Wadau);

Kuthibitisha Mpango wa Kushirikisha, kufafanua hatua za kina za ushirikishaji katika Mpango wa

Mwisho wa Ushirikishaji (Kiambatanisho C cha Mpango huu wa Ushiriki wa Wadau);

Kurekebisha mara kwa mara Mpango wa Dharura (Kiambatanisho C cha Mpango huu wa

Ushiriki wa Wadau) kadri Mradi unavyoendelea;

Majadiliano kila baada ya kumalizika kwa shughuli ya kuwashirikisha wadau ili kukubaliana juu ya

kila hatua inayohitaji ufuatiliaji na uratibu na idara nyingine kwa ajili ya utekelezaji;

kuratibu na kukubaliana juu ya maudhui ya taarifa za kutoa kwa wadau wa Mradi.

Timu ya kufanya kazi kwa pamoja itaundwa kwa kutumia rasilimali zilizopo ndani ya TRC na YM

ambazo zimewasilishwa katika sehemu ifuatayo. Timu ya pamoja ya kufanya kazi itaundwa na

mtaalamu wa masuala ya kijamii wa TRC na Mratibu wa masuala ya kijamii wa YM. Rasilimali za

nyongeza zilizopo ndani ya TRC na YM zitasaidia pia timu hii ya ufanyaji kazi wa pamoja kadri

itakavyohitajika.

6.2 Rasilimali kwa ajili ya ushirikishaji wa wadau

6.2.1 Rasilimali za TRC

Kuna idara ya masuala ya kijamii ndani ya TRC. Idara hii itakuwa na wajibu wa kutekeleza mpango wa

ushiriki wa wadau na mfumo wa kupokea malalamiko. Chini ya idara ya jamii, Ms. Catherine Mroso,

[email protected], ambaye ni Mtaalamu wa masuala ya Kijami ameteuliwa na TRC kuwa na

jukumu la kushirikisha wadau katika masuala ya utwaaji wa ardhi na ulipaji wa fidia.

TRC itahakikisha uwepo wa wafanyakazi wa kutosha ili kufanya shughuli za ushirikishaji wadau na

kusimamia malalamiko, hasa katika masuala yanayohusiana na uhamishaji wa makazi na uhuishaji wa

shughuli za kujikimu za wanajamii kulingana na matakwa ya wakopeshaji.

Page 34: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 6-29

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

MAJUKUMU NA NGUVU KAZI

6.2.2 Rasilimali za YM

Sehemu hii ya Mpango wa Ushiriki wa Wadau (SEP) imeandaliwa juu ya utaratibu wa YM ambao tayari

upon a inalenga kutoa maelezo ya jumla ya wajibu na majukumu amabayo YM itatayarisha kwa ajili ya

ufanisi wa ushirikishaji wa wadau na ushughulikiaji wa malalamiko.

Katika kipindi cha kabla ya ujenzi na wakati wa ujenzi, Meneja wa YM katika kitengo cha Afya, Usalama

na Mazingira (HSE) atakuwa na wajibu na majukumu ya kusimamia na kutekeleza Mpango huu wa

Ushiriki wa Wadau. Meneja huyu atasaidiwa na Mratibu wa Masuala ya Kijamii na Timu ya Mahusiano

na Jamii (CLT) ambao watakuwa na wajibu na jukumu la kujenga na kudumisha mahusiano na wadau

kwa niaba ya YM.

Mratibu wa masuala ya Kijamii wa YM ni Ms. Evodia Mrengo [email protected]. Timu ya

mahusiano na jamii, chini ya Mratibu wa Masuala ya Kijamii wa YM kwa sasa inajumuisha wafanyakazi

8, wanaofahamika kama maafisa jamii, kama ifuatavyo:

Lot 1: Wanawake wawili na Mwanaume mmoja

Lot 2: Wanawake watatu na Wanaume wawili

Uthibitisho wa viongozi wa YM unasubiriwa kuhusu kuajiri maafisa uhusiano na jamii wengine wawili

kwa ajili ya Lot 2.

YM wamefafanua awamu zote mbili (Lot zote mbili) katika sehemu mbalimbali (Kwa kuzingatia

muunganiko) na kuhakikisha kuna afisa uhusiano katika kila sehemu kama inavyobainishwa hapa

chini:

Lot1:

- Sehemu ya İlala: Km 0-20;

- Sehemu ya Soga: Km 20-80;

- Sehemu ya Ngerengere : Km 80-200;

Lot 2:

- Sehemu ya Kilosa: Km 201-350;

- Sehemu ya Dodoma: Km 350-535.

Wajibu na Majukumu ambayo yatahitajika kwa ajili ya utekelezaji wa Mpango huu wa Ushiriki wa

Wadau yamewasilishwa katika Jedwali 6-1 hapa chini.

Jedwali 6-1 Wajibu na Majukumu ya Kutekeleza Mpango wa Ushiriki wa Wadau ndani ya YM

Majukumu Wajibu

Meneja wa Mradi – YM ■ Kuhakikisha maendeleo ya mawasiliano, uratibu na TRC na utekelezaji wa masharti waliyojiwekea kuhusiana na masuala ya ushirikishaji wa wadau na kushughulikia malalamiko.

■ Kupitia taratibu zilizopo za ushirikishaji wa wadau na mfumo wa uwasilishaji wa malalamiko na kuchochea mchakato wa kuboresha ili kuiunganisha na Mpango huu wa Ushiriki wa Wadau.

■ Kutoa nyongeza ya rasilimali watu na/au rasilimali za vifaa ili kuisaidia RTC katika kuhakikisha ufanisi wa utekelezaji wa ushirikishaji wa wadau na kushughulikia malalamiko.

■ Kufanya uratibu na Meneja wa YM wa kitengo cha Afya, Usalama na Mazingira katika mambo yanayohusiana na ushirikishaji wa wadau na kushughulikia malalamiko

■ Kufanya uratibu na Meneja wa YM wa kitengo cha Uhasibu na Uongozi wa TRC na kutoa mrejesho kwa wakopeshaji.

■ Kufanya uratibu na uongozi wa TRC kutokana na hatari zilizobainishwa kwa ajili ya Mradi kuhusiana na ushirikishaji wa wadau

Page 35: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 6-30

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

MAJUKUMU NA NGUVU KAZI

Meneja wa Afya,

Usalama na Mazingira

- YM

■ Kuhakikisha maendeleo ya mawasiliano na Meneja wa Mradi kuhusiana na utekelezaji wa Mpango huu wa Ushiriki wa Wadau

■ Kuhakikisha utekelezaji na ufuatiliaji wa Mpango huu wa Ushiriki wa Wadau na taratibu zilizopo za YM

■ Kujadiliana mara kwa mara na Mratibu wa Masuala ya Kijamii kuhusu malalamiko yaliyowasilishwa

■ Kuongoza mchakato wa kuyatatua malalamiko yaliyopokelewa kwa kubainisha idara zinazopaswa kuyashughulikia malalamiko hayo na kama msaada wa nyongeza unahitajika.

■ Kuhakikisha timu ya YM ya Afya, Usalama na Mazingira pamoja na Timu ya uratibu wa masuala ya kijamii wanawasilisha kwa muda stahiki mada zilizokubaliwa

■ Kuhakikisha uwepo wa rasilimali kwa ajili ya utekelezaji wa masharti waliyojiwekea ya ushirikishaji wadau na kushughulikia malalamiko.

Mratibu wa Jamii –YM ■ Kupanga shughuli za ushirikishaji wa jamii na kuhakikisha zinatekelezwa kwa ufanisi na maafisa uhusiano (Kwasasa wakijulikana kama maafisa jamii katika taratiby za YM zilizopo) waliowekwa katika maeneo mbalimbali ya Mradi.

■ Kusimamia mchakato wa mfumo wa kupokea na kutatua malalamiko

■ Kuwasilisha kwa Meneja wa Afya, Usalama na Mazingira pamoja na Meneja wa Mradi mchakato wa ushiriki wa wadau na mchakato wa ufumbuzi wa malalamiko

■ Kuhudhuria vikao vya pamoja na wawakilishi wa TRC katika jamii zilizoathiriwa na shughuli za Mradi

■ Kukusanya pamoja ripoti za shughuli za ushirikishaji wadau zilizofanyika ili kusaidia utoaji wa taarifa za mara kwa mara kwa wadau

Maafisa uhusiano na

Jamii - CLOs (Kwa

sasa wanajulikana

kama maafisa jamii

katika taratibu zilizopo

za YM)

■ Kuongoza shughuli za ushirikishaji wadau zinazohitajika kwa ajili ya utekelezaji wa Mpango wa Ushiriki wa Wadau katika maeneo yao ya kazi.

■ Kukusanya na kurekodi malalamiko na kuyawasilisha katika idara husika kwa ajili ya kupatiwa ufumbuzi

■ Kutafuta mrejesho kutoka kwa wadau kuhusiana na jinsi ambavyo malalamiko yalivyotatuliwa

■ Kurekodi shughuli za ushirikishaji wadau katika maeneo yao ya uwajibikaji

■ Kuandaa ripoti ya mambo hatarishi na kuziwasilisha kwa Mratibu wa Masuala ya Kijamii

■ Kukusanya na kurekodi malalamiko yanayahusiana na utwaaji wa ardhi na ulipaji wa fidia na kuyawasilisha TRC kwa ajili ya kupatiwa suluhisho

■ Kusimamia/Kufuatilia na kuratibu shughuli mbalimbali na wakandarasi ili kuhakikisha wanazingatia Mpango huu wa Ushiriki wa Wadau

Mameneja ma

Wahandisi katika

maeneo ya ujenzi -

YM

■ Kukusanya malalamiko, kuyarekodi na kuwasilisha kwa maafisa mahusiano kwa ajili ya kupatiwa ufumbuzi

Chanzo: ERM,kutokana na taarifa zilizotolewa na YM, 2019

Page 36: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 7-31

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

UTARATIBU WA KUTOA NA KUPOKEA MALALAMIKO

7. UTARATIBU WA KUTOA NA KUPOKEA MALALAMIKO

7.1 Ufafanuzi na Utendaji Mzuri

Muongozo wa IFC wa utendaji mzuri katika kushughulikia malalamiko kutoka kwa jamii iliyathiriwa na

shughuli za Mradi, unaelezea malalamiko kama: ( )

'... wasiwasi au malalamiko yaliyotolewa na mtu binafsi au kikundi ndani ya jamii zilizoathirika na

shughuli za kampuni. Masuala yote na malalamiko yanaweza kutokea kutokana na athari halisi au

inayojulikana kotokana na shughuli za kampuni, na zinaweza zikarekodiwa katika namna moja na

kushughulikiwa kwa utaratibu huo. '

Unaelezea mfumo wa uwasilishaji wa malalamiko katika nggazi ya Mradi kama:

‘…mchakato wa kupokea, kuthaminisha, na kushughulikia malalamiko yenye uhusiano na Mradi

kutoka katika jamii zilizoathiriwa katika ngazi ya kampuni au Mradi”

Utaratibu wa kupokea malalamiko ya jamii, unapaswa kusambazwa na kutangazwa kwa wadau, hasa

wakati wa awamu ya kabla ya ujenzi na wakati wa awamu ya ujenzi ili kuhakikisha kuwa maoni, maswali

na malalamiko yanapokelewa ipasavyo na kusajiliwa.

7.2 Kusudi

Utaratibu wa kupokea malalamiko ya jamii unamwezesha mdau yeyote kutoa malalamiko au

mapendekezo kuhusu namna ambavyo Mradi unatekelezwa. Malalamiko yanaweza kuwa kuwa

malalamiko maalumu kwa ajili ya uharibifu/hatari, wasiwasi juu ya shughuli za kila siku za Mradi, au

matukio au athari zinazoonekana.

Kusudi la mfumo wa utaratibu wa kupokea malalamiko ya jamii ni kutekeleza mchakato rasmi (wa

kutambua, kufuatilia, na kutatua) wa kusimamia malalamiko kotoka kwenye jamii na wadau wengine

wa ndani kwa utaratibu na njia ya uwazi ambayo yanaweza yakawa yanatokana na shughuli za Mradi.

7.3 Wigo

Taratibu za utoaji na upokeaji wa malalamiko zilizowasilishwa katika sehemu hii ya Mpango wa

Ushiriki wa Wadau, zinajijenga Taratibu za Ushiriki wa Wadau na Mfumo wa Upokeaji wa Malalamiko

ulioandaliwa na YM kwa ajili ya Mradi mwezi Mei 2018. Kulingana na taratibu zilizopo, wajibu wa

kusimamia malalamiko kwa kipindi cha kabla ya ujenzi na wakati wa ujenzi ni kama ifuatavyo:

Malalamiko yanayohusiana na Mradi kwa ujumla na masuala ya utwaaji wa ardhi pamoja na fidia

yapo chini ya TRC: Haya yataingizwa katika hifadhi data ya malalamiko na kufuatiliwa kwa ajili ya

ufumbuzi, kulingana na hatua zilizoorozeshwa katika Sehemu ya 7.4 na Timu ya Pamoja ya

Kufanya Kazi; na

Malalamiko yanayohusiana moja kwa mojana na shughuli za ujenzi (kama vile kelele, mitikisiko,

foleni, ulinzi, afya na usalama, ajira kwa wakazi, tabia za wakandarasi n.k) yapo chini ya wajibu

wa YM kuyasimamia ; malalamiko haya yataingizwa katika hifadhi data na kufuatiliwa kwa ajili ya

ufumbuzi, kulingana na hatua zilizoorozeshwa katika Sehemu 7.4 na Timu ya Pamoja ya Kufanya

Kazi.

7.4 Utaratibu wa Malalamiko

Utaratibu wa jumla wa malalamiko ya Mradi ambao utafuatwa wakati wa kipindi cha kabla ya ujenzi na wakati wa ujenzi ili kuzingatia viwango vya kimataifa, unaonyeshwa katika Kielelezo 7-1 hapo chini. Utaratibu huu unajijenga katika taratibu zilizopo ndani ya TRC na YM na kurasimisha baadhi ya hatua na muda uliopangwa. Kwa mfano, muda wakukirikupokelewa kwa malalamiko, kurasimisha mchakato wa kukubali suluhisho lililopendekezwa na kufuatilia usuluhishi kutoka nnje ikiwa mlalamikaji hajaridhika.

Page 37: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 7-32

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

UTARATIBU WA KUTOA NA KUPOKEA MALALAMIKO

Kielelezo 7-1 Utaratibu wa Malalamiko katika Awamu ya Kabla ya Ujenzi na Katika Awamu ya Ujenzi

7.4.1 Hatua 1: Upokeaji na usajili wa Malalamiko

Wadau watakuwa na njia mbalimbali za kuwasilisha malalamiko yao, kama vile:

Kupitia viongozi wa jamii, ambao watayawasilisha kwa Maafisa Uhusiano na jamii;

Kupitia simu za Maafisa Uhusiano au za Mratibu wa Shughuli za Kijamii wa YM;

Kupitia mtandao na tovuti ya Mradi, pale zitakapokuwa zimeanzishwa na TRC, kwa msaada wa

YM kama utahitajika;

Kwa mtu binafsi katika kambi za ujenzi, kwa Maafisa Mahusiano wa YM au TRC;

Fomu ya Mradi ya Malalamiko kwa lugha ya Kiswahili na Kingereza imejumuishwa kama Kiambatanisho

D cha Mpango huu wa Ushiriki wa wadau

Malalamiko haya yanaweza kuwa hayajulikani na yanaweza kuwa katikamfumo malalamiko ya

mdomo au ya maandishina yanapaswa yote kushughulikiwa kwa usawa. Ujazaji wa malalamiko

unapaswa kufanywa rahisi kwa wanajamii wenye viwango tofauti vya elimu na fomu zinapaswa

kupatikana kwa urahisi na ziwe sawa kiutamaduni.

Malalamiko yote yatakayokuwa yanapokelewa yatakuwa yanaelekezwa kwa timu ya Maafisa Uhusiano

na Jamii (CLOs) ambao watakuwa na jukumu la kuyajaza katika mfumo wa kuhifadhi malalamiko. Pale

ambapo Maafisa Uhusiano, wanaweza kutatua malalamiko hayo, watayatatua . Inakusudiwa kwamba,

malalamiko mengi, yataweza kutatuliwa kwa haraka kati ya Maafisa uhusiano, walalamikaji na timu ya

ujenzi.

Page 38: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 7-33

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

UTARATIBU WA KUTOA NA KUPOKEA MALALAMIKO

Malalamiko yote yanayopokelewa, hata yale yanayopatiwa ufumbuzi wa haraka, yanapaswa kuingizwa

katika mfumo rasmi wa kurekodi malalamiko ili yaweze kufikiwa na timu ya pamoja ya kufanya kazi siku

yaliyopokelewa. Kuingizwa kwake katika mfumo, kutajumuisha, maelezo ya mlalamikaji (isipokuwa tu

kama hayajulikani) na maelezo ya malalamiko. TRC/YM shall acknowledge receipt of the complaint

within a standardised time period (ideally at reception) or within 5 days and explain to the complainant

the process including timelines of the remaining steps in the procedure.

TRC/YM wanapaswa kukiri kupokea malalamiko ndani ya muda wa kiwango uliowekwa, wakati wa

kuyapokea au baada ya siku tano na kumweleza mlalamikaji kuhusu mchakato ikiwa ni pamoja na

ratiba ya muda uliobaki katika utaratibu wa kushughulikia.

7.4.2 Hatua ya 2: Kuchuja Malalamiko na Kutoa Kipaumbele

Malalamiko yote yanayopokelewa yanapaswa kuchujwa/chambuliwana kupewa vipaumbele. Maafisa

uhusiano wa jamii watakuwa na jukumu la kusimamia mchakato wa kutatua malalamiko. Maafisa jamii

wataratibu mchakato huu na Mratibu wa masuala ya Kijamii/Timu ya Pamoja ya Kufanya Kazi na

wataamua aina ya uchunguzi kwa kuzingatia aina ya malalamiko na hatari yake kwa jamii. Hii inaweza

ikahitaji kupitia rekodi za matukio sawa na hilo, ushahidi wowote uliopo, nyaraka zinazoweza kusaidia

au taarifa.

Katika hatua hii, Afisa jamii anapaswa kuonyesha aina ya malalamiko ili kuamua hatua zinazohitajika

ili kupitia na kuchunguza malalamiko ambayo hayajatatuliwa. Kulingana na hali ya Malalamiko, idara

mbalimbali za YM na / au TRC zinaweza kuhitajika kushiriki na kuwasilisha suluhisho lao

wanalopendekeza kwa ajili ya malalamiko.

7.4.3 Hatua 3: Uchunguzi/Upelelezi wa Malalamiko

Kama ilivyo muhimi, Maafisa Uhusiano na jamii watapanga kupiga simu au kuwa na mkutano wa ana

kwa ana ili kuchunguza ushahidi wa malalamiko, kuthibitisha uhalali na uzito wa malalamiko. Kama ni

muhimu, kama malalamiko yanahusiana na eneo fulani la ujenzi, Afisa mahusiano ataandaa ukagizi

wa eneo hilo.

Afisa uhusiano atafanya kazi pamoja na wahusika wengine wa timu ya Mradi kuchunguza malalamiko

na kubainisha njia za kurekebisha au njia za kuzuia ili kushughulikia vizuri malalamiko.

Utatuzi wa malalamiko unaweza ukahitaji taarifa za ziada ili kuelezea hali halisi na/au kuboresha

mawasiliano kati ya mlalamikaji na TRC au YM au kuanzisha njia za kupunguza ili kuzuia kutokea kwa

tatizo.

Kwa upande wa malalamiko yanayohusiana na utwaaji wa ardhi na fidia, haya yataingizwa katika

mfumo wa kuhifadhi malalamiko (Hifadhi data ya malalamiko) na kushughulikiwa na TRC. Timu ya

Pamoja ya Kufanya Kazi itakuwa na jukumu la kupitia kila baada ya muda Hifadhi Data ya Malalamiko

na mchakato wa kusimamia malalamiko yalioingizwa katika mfumo huo.

7.4.4 : Ufumbuzi na Mrejesho kwa Mlalamikaji/Walalamikaji

Pale ambapo uchunguzi (upelelezi) wa malalamiko utakapokuwa umekamilika na/au mrejesho stahiki

utakapokuwa umepokelewa kutoka idara husika, afisa jamii anapaswa kuandaa mawasiliano rasmi kwa

ajili ya mlalamikaji/walalamikaji yakionyesha matokeo ya suluhisho la malalamiko yao. Afisa jamii

atawasilisha mrejesho, atahimiza makubaliano ya pamoja na kumuomba mlalamikaji akubaliane nayo.

Kama mlalamikaji hajaridhishwa na utatuzi uliofanyika, au hatua zilizokubaliwa za kurekebisha makosa,

mrejesho unapaswa kupitiwa upya na kama inafaa mabadiliko yafanyike kwa kuzingatia majadiliano

yoyote au mazungumzo.

Wakati wa kuandaa mrejesho kwa mlalamikaji, Afisa mahusiano atafanya yafuatayo:

atapiga picha au kukusanya ushahidi wowote ili kutengeneza rekodi thabiti ya malalamiko na

namna ambavyo yalitatuliwa;

Page 39: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 7-34

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

UTARATIBU WA KUTOA NA KUPOKEA MALALAMIKO

atatengeneza rekodi ya masuluhisho, ikionyesha tarehe na muda uliotumika katika kutatua

malalamiko hayo na mfanyakazi anayehusika kuweka sahihi;

kufanya mkutano na mlalamikaji/walalamikaji ili kupata makubaliano ya pamoja ya kufunga

madai; na

kama jambo limetatuliwa kiasi cha mlalamikaji kuridhika, pata uthibitisho na uuhifadhi pamoja na

rekodi au nyaraka nyingine za kesi hiyo

Suluhisho la malalamiko linapaswa kutolewa kwa walalamikaji/mlalamikaji ndani ya mwezi mmoja

baada ya kupokea malalamiko.

Kama mlalamikaji hajaridhika na suluhisho lililotolewa, au matokeo ya hatua za kurekebisha

zilizokubaliwa, wanapaswa kuwa huru kupeleka malalamiko yao kwa kamati ya usuluhishi wa

malalamiko nnje ya mfumo wa kampuni wa kushughulikia malalamiko.

7.4.5 : Kufunga Malalamiko na kuboresha Hifadhi Data

Pale ambapo walalamikaji watakuwa wameridhika na mrejesho wa malalamiko yao, malalamiko hayo

maalumu yatahitimishwa na Afisa uhusiano wa jamii na hifadhi data itaboreshwa ipasavyo. Machapisho

yote ya malalamiko haya yatahifadhiwa na hatua za kurekebisha zitasasishwa/boreshwa dhidi ya

malalamiko

TRC na YM watahakikisha kwamba, malalamiko yote yaliyowasilishwa na wadau wa Mradi,

yanashughulikiwa bila upendeleo, kwa heshima na kwa siri. Kufanikisha hili, ikiwa ni muhimu, YM

itahakikisha uratibu stahiki na TRC.

Page 40: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 8-35

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

UFUATILIAJI, UTHAMINISHAJI NA KURIPOTI

8. UFUATILIAJI, UTHAMINISHAJI NA KURIPOTI

8.1 Maelezo ya Jumla

Ili kurekodi shughuli na kutathmini ufanisi wa Mpango wa Ushiriki wa Wadau na shughuli za majadiliano

za kijamii. TRC na YM wataendelea na utekelezaji wa mchakato wa usimamizi na ufuatiliaji wa taarifa

ambao umeanza kuanzishwa chini ya Utaratibu wa Ushirikiano wa Wadau na Utaratibu Uwasilishaji wa

Malalamiko. Mchakato wa kusimamia taarifa/datautaandaliwa kama ilivyoorodheshwa hapa chini:

Kwa kuongezea, sehemu hii inajumuisha utaratibu wa kuripoti kwa wadau wa nnje kama hatua muhimu

ya kujenga mahusiano na wadau na kuchochea maelewano kati ya TRC/YM na umma.

8.2 Usimamizi waData

Shughuli za majadiliano ya kijamii zitarekodiwa/andikwa na kuhifadhiwa ili kufuatilia na kurejea rekodi

pale inapohitajika na kuhakikisha utoaji wa ahadi zilizotolewa kwa jamii. Maandiko na rekodi zifuatazo

za majadiliano ya wadau katika jamii zitatumika na kudumishwa katika kipindi cha maisha ya Mradi:

Hifadhi Data ya Ushirikishaji wa Wadau uliofanyika Zamani: Iliyotumika kuhifadhi, kuchambua, na

kuripoti kuhusu shughuli za majadiliano ya wadau. Itajumuisha maelezo ya taarifa ziliyowasilishwa,

maswali ya hadhira, majibu na hatua mbalimbali, na matokeo ya uthaminishaji wa mikutano.

Uwezekano wa kubadilisha orodha ya mikutano kutoka katika mfumo wa logi na kuiweka katika

mfumo wa hifadhi data utazingatiwa kutegemeana na changamoto ya Mradi, kufuatilia mara kwa

mara mikutano kwa kipindi chote cha maisha ya Mradi.

Orodha ya ahadi: iliyotumika kurekodi ahadi zilizotolewa kwa wadau mbalimbali.

Template za mihutasari ya mikutano: zilizotumikakukusanya mihutasari ya mikutano na

kuhifadhiwa pamoja na hifadhi data za ushiriki wa wadau

Orodha ya Wadau: Maboresho yanayoendelea ya orodha ya wadau (Kiambatanisho A cha

Mpango huu wa Ushiriki wa Wadau), ikijumuisha mawasiliano ya muhimu (Namba za simu,

anuani ya barua pepe n.k) kadri wadau wengine wanavyobainishwa.

Hifadhi data ya Malalamiko: itarekodi malalamiko yote yanayopokelewa, hatua za usimamizi na

kama imehitimishwa kwa namna ya kuridhisha.

Ufuatiliaji wa vyombo vya habari: ufuatiliaji wa habari zamagazeti na redio zinazohusiana na

Mradi

Rekodi zitakuwa zinapitiwa na timu ya pamoja ya ufanyaji kazi kwa kipindi cha robo mwaka ili

kuhakikisha kwamba rekodi zinatumika na kudumishwa. Ahadi na hatua zilizorekodiwa wakati wa

shughuli za ushirikishaji wa wadau nazo zitakuwa zinapitiwa mara kwa mara ili kuhakikisha

zinatekelezwa.

8.3 Kutoa Taarifa kwa Wadau (Ripoti za Wadau)

8.3.1 Taarifa/Ripoti za Ndani

Ripoti /taarifa zifuatazo za ndani zitaandaliwa:

Ripoti za mambo hatarishi: Ripoti zawiki au kila siku kwa vitu vya haraka na muhimu (Kwa mfano,

wasiwasi, malalamiko) au matukio muhimu ya asili. Ripoti hizi za masuala hatarishi zitaandaliwa

na Mratibu wa Masuala ya Kijamii na kutumwa kwa meneja Afya, Usalama na Mazingira, ambaye

atachukua hatua na/au kuongezea kama kuna ulazima. Utaratibu wa kupokea malalamiko

utahitaji kufafanua kiwango cha tukio la kuwasilishwa katika ripoti za mambo hatarishi pamoja na

muda unaotakiwa wa kuripoti.

Page 41: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 8-36

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

UFUATILIAJI, UTHAMINISHAJI NA KURIPOTI

Ripoti za Maendeleo za kila Mwezi: Ripoti za ndani za kila mwezi za maendeleozitaandaliwa na

Timu ya Pamoja ya Kufanya Kazi kwa kushirikiana na Maafisa uhusiano na jamii. Ripoti hizi

zitaonyesha:

- Shughuli za majadiliano zilizofanyika: wadau waliokutana, mada muhimu zilizojadiliwa,

mawazo muhimu na matarajio, mambo yanayohitaji uangalizi wa haraka au mrejesho wa

haraka yaliyotolewa kuhusiana na shughuli za Mradi.

- Utaratibu wa kutoa malalamiko: ushiriki, malalamiko muhimu yaliyoripotiwa, muhtasari wa

maendeleo (hatua za kuchukua na kilichofanyika mpaka sasa);

- Mambo hatarishi kwa Mradi;

- Vikwazo (Mfano, rasilimali, mpangilio wa ndani)

- Vipaumbele vya mwezi unaofuata/robo

Ripoti hizi zitajadiliwa katika mikutano ya ndani ya mwezi ya idara ya Afya, Usalama na Mazingira kati

ya Mratibu waMasuala ya Kijamii, Meneja wa idara ya Afya, Usalama na Mazingira na Meneja Mradi

wa YP. Ripoti za maendeleo zitasambazwa kwa wadau wa ndani ya kampuni kama inavyopaswa.

8.3.2 Taarifa/Ripoti za Nnje

Mara baada ya kufanyika kwa mashauriano na wadau, kwa ujumla wadau wanataka kujua kipi kati ya

mapendekezo yao yamechukuliwa, ni njia zipi za kuzuia hatari au athari zitawekwa ili kushughulikia

maoni yao, na ni jinsi gani, kwa mfano athari za mradi zinafuatiliwa.

Ahadi zilizotolewa zitafuatiliwa, maendeleo yaliyofikiwa katika ahadi hizi yatakuwa yakiripotiwa katika

kila kipindi (Kwa mfano wakati wa mikutano ya kila mwezi na wawakilishi wa wananchi). Ripoti za nnje

itakuwa ni wajubu kwa wadau na zitakuwa ni majukumu ya Timu ya Pamoja ya Kufanya Kazi .

Page 42: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

KIAMBATANISHO A ORODHA YA WADAU

Page 43: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 1

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

Ngazi Kundi la Wadau Uhusiano na Mradi Wadau Mawasiliano

Kitaifa ■ Mamlaka za Udhibiti za Taifa

■ Wizara Muhimu

■ Mashirika ya Serikali na Taasisi

Serikali ina jukumu

la kuanzisha sera,

kutoa vibali na idhini

nyingine kwa ajili ya

Mradi, na kufuatilia

na kuhakikisha

Sheria za Tanzania

Zinazingatiwa katiika

ngazi zote za

mzunguko wa

maisha ya Mradi

Mamlaka za Udhibiti za

Taifa

■ Baraza la Usimamizi na Utunzaji wa Mazingira (NEMC)

■ Ofisi ya Makamu wa Raisi – Kitengo cha Mazingira

Baraza la Usimamizi na Utunzaji wa Mazingira,

Regent Estate Plot No. 29/30,

P.O. Box 63154 Dar es Salaam, Tanzania.

Simu: +255 22 2774852/4889; Mob. 0713608930

Email: [email protected]

Katibu Mkuu, Ofisi ya Makamu wa Raisi,

Mtaa wa Makole , Jengo la LAPF, 7th Floor

P. O. Box 2502,

40406 Dodoma, Tanzania.

Simu. No. : + (255) 026 2329006

Email: [email protected] / [email protected]

Wizara Muhimu na Idara

za Wizara

■ Wizara ya Kazi, Usafirishaji na Mawasiliano

SEKTA YA KAZI

Katibu Mkuu

Tanzania Building Agency (TBA) House, 1st Floor, Moshi Street, P. o

Box 2888, 40470 Dodoma, TANZANIA.

Simu: +255 26 2322251

Email: [email protected]

SEKTA YA USAFIRISHAJI

Katibu Mkuu,

Tanzania Building Agency (TBA) House, 5 th Floor, Moshi Street,

P. o Box 638, 40470 Dodoma, TANZANIA

Simu: +255 26 2322703, 2322702

Email: [email protected]

■ Wizara ya Nishati Katibu Mkuu, Wizara ya Nishati

Kikuyu Avenue,

P.O. Box 2494,

40474 Dodoma,

Page 44: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 2

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

Ngazi Kundi la Wadau Uhusiano na Mradi Wadau Mawasiliano

Simu: +255-26-2322018

Email: [email protected]

■ Wizara ya Madini Katibu Mkuu

Wizara ya Madini,

Kikuyu Avenue,

P.O Box 422,

40474 Dodoma,

Simu: +255 26230051, Fax: +255 26 2322282

Email: [email protected]

■ Wizara ya Kilimi Katibu Mkuu, Wizara ya Kilimo

Idara ya Utawala, Kilimo IV

P.O. Box 2182

Dodoma

Simu: +255 (026) 2321407/ 2320035

Email: [email protected]

■ Wizara ya Mali Asili na Utalii

Wizara ya Mali Asili na Utalii

Mtaa wa Kilimani ,

40472, Dodoma, Tanzania

Email: [email protected]

■ Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto

Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Block 11, P.O. Box 573, 40478 Dodoma, Tanzania.

Simu: +255 26 2963341/42/46

Email: [email protected]

■ Wizara ya Maji P.O. Box 456 Dodoma

Simu: 022 2450838/40-41/022 2450533

Email: [email protected]

Page 45: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 3

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

Ngazi Kundi la Wadau Uhusiano na Mradi Wadau Mawasiliano

■ Wizara ya Mifugo na Uvuvi

Sekta ya Uvuvu

Simu: +255 26 2322612

Fax: +255 (0)22 2861908

Email Address: [email protected]

Sekta ya Mifugo

Simu: +255 26 2322610

Fax: +255 2861908

Email Address: [email protected]

Shirika la utekelezaji la

Taifa

Shirika la Reli la

Tanzania (TRC)

Mtaa wa Reli/Sokoine Drive

P.O Box 76959,

Dar es Salaam, Tanzania

Simu: +255 (0) 22 2112695

Mashirika, Mamlaka,

Taasisi na idara

yaiyofadhiliwa na

serikali kwa ajili ya

kusimamia shughuli

maalumu.

Mashirika, Mamlaka,

Taasisi na Idara

zinaweza kuwa na

ardhi au mali

nyingine yeyote

ambayo inaweza

kuathiriwa na

Mradi.TANESCO ni

wamiliki wa njia ya

kupitisha umeme na

mtandao wa umeme

ambao Mradi

utaunganishwa.

Maabara ya Mkemia wa

Serkali (GCLA)

Ofisi Kuu, Mkemia Mkuu wa serikali

5 Barack Obama drive,

P.O. Box 164, Dar es Salaam. Tanzania.

Simu: +255 22 2113383/4;

Email: [email protected]

Meneja wa Maabara ya Kanda ya Kati ,

P.O. Box 2925,

Dodoma. Tanzania.

Simu: +255 (26) 2351535

Email: [email protected]

Shirika la Umeme la

Tanzania (TANESCO),

TANESCO Makao Makuu

Plot No. 114, Block G, Dar es Salaam Road,

P.O.BOX 453 Dodoma, Tanzania.

Simu: (+255) 21944000/ (+255) 768 985 100

Email: [email protected]

Mamlaka ya Usalama na

Afya kazini (OSHA)

Ofisi ya OSHA - Dar es Salaam,

P.O Box 519, Dar es Salaam.

Page 46: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 4

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

Ngazi Kundi la Wadau Uhusiano na Mradi Wadau Mawasiliano

Simu : +255-22-2760548/2760552

Ofisi ya OSHA Kanda ya Kati - Dodoma

Along Askari Road, P.O. BOX 1818, Dodoma

NAMBA YA KUPIGA BURE 0800110092

S : +2imu55 (0) 26 2320205

Wakala wa Barabara

Tanzania (TANROADS)

Jengo la Airtel, Floo ya 3, Makutano ya Barabara ya Ali Hassan

Mwinyi/Kawawa.

Simu: +255 22 2926001/6

Email: [email protected]

Ofisi za Bonde la Mto

Wami/Ruvu

PO Box 826, Morogoro

Simu +255 23 2614 748/3519

Email: [email protected]

Mamlaka ya udhibiti wa

usafiri wa Majini na Nchi

Kavu (SUMATRA)

Address : Mawasiliano House, Ali Hassan Mwinyi Road/Nkomo

Street

P.O Box 3093

Dar Es Salaam, Tanzania

Phone : 022- 2197500/022- 2197501

Fax : 022-2116697

Taasisi Rasmi ya

uthibitishaji Mbegu ya

Tanzania (TOSCI)

Taasisi Rasmi ya uthibitishaji Mbegu ya Tanzania (TOSCI)

Simu: +255 23 2600797

Email: [email protected]

Mji: Morogoro

Muwakilishi: T.Z. Maingu

Wakala wa Misitu wa

Tanzania (TFS)

Mpingo House, Ivory Room, Nyerere Rd, Dar Es Salaam, Tanzania

RE ROAD, DAR ES SALAAMP.O. BOX 40832, TANZANIA

Tel: +255 (0)22 2864249

Taasisi ya Utafiti wa

Wanyama Pori ya

Tanzania (TAWIRI)

Taasisi ya Utafiti wa Wanyama Pori ya Tanzania (TAWIRI)

Box 661, Arusha

Simu: +255 27 254 9571

Page 47: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 5

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

Ngazi Kundi la Wadau Uhusiano na Mradi Wadau Mawasiliano

Email: [email protected]

Hifadhi za

Taifa(TANAPA)

Mkurugenzi Mkuu

Hifadhi za Taifa za Tanzania

P.O Box 3134, Arusha, Tanzania

Simu: +255 (0) 272 970 404 or +255 (0) 272 970 405 or +255 (0)

272 970 406 or +255 (0) 272 970 407

Email: [email protected]

Mamlaka ya Hali ya

Hewa Tanzania (TMA)

Barabara ya Morogoro, Ubungo Plaza ,3rd Floor

P.O Box 3056, Dar es Salaam

Simu: +255 22 2460706-8,

Email : [email protected]

Shirika la Simu la

Tanzania (TTCL)

TTCL,

EXTELCOMS HOUSE, SAMORA AVENUE

P. O. Box 9070, Dar es Salaam.

Simu: +255 22 214 2000

E-mail: [email protected]

Mamlaka ya Bandari ya

Tanzania (TPA)

Mamlaka ya Bandari ya Tanzania (TPA)

P.O Box 9184 Dar es salaam

Phone: +255 211 7816

Email: [email protected]

Serikali za Mikoa na

Mitaa

■ Mamlaka za serikali ngazi ya Mikoa

Secretarieti ya mkoa

wana jukumu la

kutekeleza sheria,

na kuandaa mipango

na sera katika ngazi

ya mkoa.Hii

inajumuisha kutoa

ruhusa ya kutwaa

ardhi na kuhamisha

Sekretarieti ya mkoa wa

Dar es Salaam

Ofisi ya Mkuu wa Mkoa – Dar es Salaam,

PO Box 5429, Dar es Salaam, Tanzania.

Simu: +255 22 2203158/ +255 22 2203156

Email: [email protected]

Sekretarieti ya Mkoa wa

Pwani

Ofisi ya Mkuu wa Mkoa – Pwani,

PO Box 30080, Kibaha

Simu: 023 2402287/2402500

Simu: 023 2402287/2402500

Email: [email protected]/[email protected]

Page 48: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 6

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

Ngazi Kundi la Wadau Uhusiano na Mradi Wadau Mawasiliano

concession and

physical

resettlement.

Sekretarieti ya Mkoa wa

Morogoro

Sekretarieti ya Mkoa wa

Dodoma

Regional Commissioners Office – Dodoma

Nyerere Road

PO Box: 914 Dodoma

Tel: +255 26 232 4343

Email: [email protected]

Sekretarieti ya Mkoa wa

Singida

Regional Commissioners Office – Singida

P O BOX 5, SINGIDA

Tel: 2502170, 2502089

Email: [email protected] and [email protected]

Bodi ya Usajili wa

Wahandisi (ERB)

Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) Jengo la Tetex(Floo ya 2 and 4) P.O.Box 14942 Dar es Salaam - Tanzania. Simu: +255 22 2122836/+255 22 2129087 Email: [email protected]

Bodi ya Usajili wa

Wakandarasi(CRB)

Makao Mahuu ya Bodi ya Usajili wa Wakandarasi (CRB)

P.O Box 13374,

Pamba Road

Tetex House, 3rd Floor

Tel: +255-22-2131169/2137962-3

E-mail:[email protected]

Wilaya & Manispaa ■ Mamlaka za serikali za Wilaya

■ Mamlaka za serikali za Mitaa

Uongozi wa

wilaya/Manispaa pia

wana mamlaka

katika jukumu la

kuhamisha makazi

ya watu

Kwa kuongezea,

wilaya na manispaa

Halmashauri ya

manispaa ya Ilala

Halmashauri ya Manispaa ya Ilala

Po Box 20950 Dar es Salaam, Tanzania

Simu: 2128800

Simu: +255752687564 /

Email: [email protected]

Halmashauri ya wilaya ya

Kisarawe

Barabara ya Bomani, Kisarawe

Anuani ya Posta : Box 28001 Kisarawe

Simu: +255 23 2401045

Page 49: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 7

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

Ngazi Kundi la Wadau Uhusiano na Mradi Wadau Mawasiliano

pembezonii mwa reli

ya SGR zitaathirika

na shughuli za Mradi

na watahitaji

kuhabarishwa

kuhusu maendeleo

na mipango katika

maeneo yao,

kuzingatia shughuli

za mradi katika

uandaaji wao wa

sera, usimamizi

pamoja na

majukumu na kazi

nyingine

Email: [email protected],[email protected]

Halmashauri ya wilaya ya

Kibaha

HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBAHA

P.O BOX 30153

simu: +255 23240224

Simu: +255 0767520048

Email: [email protected]

Halmashauri ya wilaya ya

Chalinze

Halmashauri ya wilaya ya

Morogoro vijijini

Halmashauri ya wilaya ya

Morogoro Mjini

Halmashauri ya wilaya ya

Mvomero

Halmashauri ya wilaya ya

Kilosa

Halmashauri ya wilaya ya

Mpwapwa

P. O Box 12,

Simu: 255 26 2320122/2320

Simu: +255 784399016

Email: [email protected]

Halmashauri ya

wilaya/Manispaa ya

Dodoma

Mtaa wa CDA

PO Box 1249, DODOMA, TANZANIA

Simu: +255 26 232 4817

Email: [email protected]

Halmashauri ya wilaya ya

Chamwino

PO Box 1126, Chamwino, Dodoma

Simu: +255 26 296 1511

Email: [email protected]

Halmashauri ya wilaya ya

Manyoni

Po Box 60, Manyoni

Tel: +255 26 2540136

Page 50: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 8

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

Ngazi Kundi la Wadau Uhusiano na Mradi Wadau Mawasiliano

Mobile: +255 712 028027

Email: [email protected]@manyonidc.go.tz

Mamlaka za kata na

Vijiji

■ Wawakilishi wa serikali za Vijiji na Kata

■ Kamati za mali asili za Vijiji

Viongozi wa kata na

vijiji (Watendaji wa

kata na vijiji) ni

wawakilishi wa

wananchi katika

ngazi ya vijijij na

kata.Hawa ni

viongozi muhimu

katika ngazi za chini.

Mikutano katika

ngazi hii itafuata

miongozo ya kata na

vijiji na inapaswa

kufanyika baada ya

mawasiliano ya

kutosha ndani ya

jamii ili kuheshimu

mifumo ya kisiasa na

kijamii

Uongozi katika ngazi ya

kata na vijiji ambao

ulijumuishwa katika eneo

lenye ushawishi (ndani

ya mita 250) kutoka

kwenye reli au wale

wenye ardhi/misitu ndani

ya eneo la mita 250 ni:

■ Watendaji wa kata (WEO)

■ Watendaji wa Vijiji (VEO)

■ Wazee wa vijiji na mabaraza ya watu wenye makazi yalioathirika

■ Kamati za mali asili za kijiji

Jamii au Makazi ■ Jamii zilizoathirika na Mradi ndani ya mita 250 katika kila pande kutoka katikati mwa reli

■ Wamiiki wa ardhu na watumiaji

■ Wanajamii wanaotumia njia za kupita ili kupata mali asili zilizopo karibu

Kaya na jamii

ambazo zinaweza

kuathirika moja kwa

moja au kwa namna

ingine na shughuli za

mradi pendekezwa.

Hii inajumuisha watu

wanaoishi katika

ardhi iliyoathiriwa na

Mradi kupitia utwaaji

wa ardhi au kwa

Mkoa wa Dar es

Salaam:

Kata katika wilaya ya

Temeke: Sandali,

Changombe, Keko,

Kurasini, Temeke

Katika katika wilaya

Ilala: Ukonga, Kipawa,

Gerezani, Gongolamboto,

Page 51: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 9

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

Ngazi Kundi la Wadau Uhusiano na Mradi Wadau Mawasiliano

■ Miundombinu ya kijamii/umma pamoja na huduma

athari za kimazingira

na kijamii, na watu

wengine ambao

hutembelea au

hutumia malighafi

ambazo zinzweza

kuwa zimeathiriwa

na shughuli za

Mradi.

Wadau muhimu ni

wamiliki wa ardhi na

watumiaji wa

ardhi.Jamii hizi

zinahitaji

kushirikishwa

kuhusu athari za

Mradi katika awamu

ya ujenzi na

uendeshaji.Kaya

zinazomiliki ardhi

watahitaji

kufahamishwa

kuhusu mpango wa

kuchukua ardhi na

kipi cha kutokufanya

katika ardhi, kushiriki

katika kukamilisha

makubaliano kuhusu

ulipaji fidia na

urudishaji upya wa

shughuli za kujipatia

riziki na kuwa na

Kivukoni, Kiwalani,

Mchafukoge, Vingunguti

Kata katika wilaya

Kinondoni: Kibamba

Mkoa wa Pwani:

Kata katika wilaya ya

Kisarawe:Kisarawe,

Kiluvya, Vihingo

Kata katika wilaya ya

Kibaha:Soga, Janga,

Ruvu,Kwala, Magindu

Mkoa wa Morogoro:

Kata katika wilaya ya

Morogoro vijijini:

Kidugalo, Ngerengere,

Mikese, Mkambalani

Kata katika wilaya ya

Morogoro mjini:

Kingolwira, Bigwa,

Kihonda, Msamvu,

Lukobe

Kata katika wilaya ya

Mvomero: Mzumbe and

Melela

Page 52: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 10

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

Ngazi Kundi la Wadau Uhusiano na Mradi Wadau Mawasiliano

jukumu la kumiliki

matokeo ya

utekelezaji wa hizi

taratibu.

Kata katika wilaya ya

Kilosa: Chanzuru,

Mabwerebwere,

Kimamba 'A', Mkwatani,

Mbumi, Kasiki,

Magomeni, Masanze,

Kidete

Mkoa wa Dodoma:

Kata katika wilaya ya

Mpwapa:Gode, Kimagai,

Ving'hawe, Mazae,

Chunyu

Kata katika wilaya ya

Dodoma vijijini:Gandu,

Handali, Msamalo,

Ibihwa, Kigwe, Chikola,

Mpamantwa, Bahi

Kata ndani ya Dodoma

mjini: Kikombo, Mtumba,

Dodoma Makulu,

Tambukareli, Kilimani,

Kikuyu South, Mkonze,

Zuzu,Ihumwa.

Mkoa wa Singida :

Kata katika wilaya ya

Manyoni: Kintinku,

Makanda, Maweni

Page 53: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 11

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

Ngazi Kundi la Wadau Uhusiano na Mradi Wadau Mawasiliano

Makundi yaliyo

katika mazingira

hatarishi

Makundi hatarishi

katika eneo la tathmini:

Makundi yaliyo

hatarini yanaweza

kuathiriwa na mradi

kwa sababu ya

ulemavu wao, nafasi

yao ya kijamii na

kiuchumi, elimu

ndogo, ukosefu wa

ajira au nafasi ya

kuwa na ardhi.

Njia sahihi za

ushirikishaji

zitatumika ili

kuhakikisha makundi

haya yanapata

taarifa stahiki

kuhusiana na mradi

na wanashiriki

kikamilifu..

Makundi yaliyo hatarini katika eneo la tathmini/Mradi yanajumuisha:

■ Makundi ya kikabila, Mfano Wamasai

■ Wazee (zaidi ya miaka 60)

■ Wanawake na wasichana

■ Vijana wanaume wasio na ajira/wanaume watu wazima

■ Yatima au kaya zinazosimamiwa na mayatima

■ Watoto

■ Watu wenye ulemavu

■ Watu wanaoishi na magonjwa ya muda mrefu, kwa mfano Virusi vya UKIMWI na UKIMWI

■ Watu wenye ulemavu

■ Vijana

Asasi za Kiraia ■ Mashirika ya kijamii (CBOs)

■ Jamii au ushirika mwingine

Mashirika yenye

maslahi ya moja kwa

moja na Mradi na

masuala yake ya

■ Mashirika ya Kijamii katika kila wilaya

■ Jamii au Ushirika katika kata na vijiji

Page 54: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 12

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

Ngazi Kundi la Wadau Uhusiano na Mradi Wadau Mawasiliano

■ Taasisi za utafiti na elimu

kimazingira na

kijamii na ambayo

yana uwezo wa

kutoa ushawishi

katika mradi moja

kwa moja au kupitia

maoni ya umma.

Mashirika hayo

yanaweza pia

yakawa na taarifa

muhimu na ufahamu

na yanaweza kuwa

wabia katika Mradi

katika maeneo

yenye maslahi ya

pamoja kama vile

utekelezaji wa

uwekezaji katika

jamii

■ Taasisi ya Teknolojia ya Reli ya Tanzania(TIRTEC)

Taasisi ya Teknolojia ya Reli ya Tanzania P.O. Box 321,

Tabora, Tanzania.

Simu: +255(0)262605630

Email: [email protected]

Mashirika Yasiyo ya

Serikali (NGOs)

■ Kimataifa

■ Kitaifa

■ Katika mitaa

Mashirika yasiyo ya

serikalia (NGOs)

yenye maslahi

tofauti katika mradi

na masuala yake ya

kimazingira na

kijamii na yenye

uwezo wa kutoa

ushawishi katika

Mradi moja kwa

moja au kupitia

maoni ya umma.

Mashirika haya

Mashirika yasiyo ya

kiserikali ya ndani ya

nnchi na ya kimataifa

yanayopatikana katika

eneo la utafiti ni :

■ Mashirika yasiyo ya kiserikali ya kimataifa na makundi ya hatakati

■ Aga Khan Foundation (Tanzania)

PO Box 125

Plot 37, Bara bara ya Haile Selassie

Dar es Salaam, TANZANIA

Page 55: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 13

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

Ngazi Kundi la Wadau Uhusiano na Mradi Wadau Mawasiliano

yanaweza pia

yakawa na taarifa

muhimu na ufahamu

juu ya mambo ya

ndani na ya

kimataifa

yanayoibuliwa na

Mradi. Mashirika

yasiyo ya kiserikali

ya kimataifa

yanajumuisha taasisi

zilizopo hapa

Tanzania na zile

ambazo zipo nnje ya

Tanzania zenye

maslahi na Mradi.

Zinajumuisha NGOs

za kimataifa ,

mashirika ya mataifa

na mashirika ya

kimataifa.

Tel: (22) 2668651 / 2667923

E-mail: [email protected]

■ IUCN Floor 2 left wing, adjacent to French Embassy on Kilimani Street,

Kinondoni

P. O Box 13513,

Dar es Salaam, United Republic of Tanzania.

Tel: +255 22 2669084 -5

■ CARE CARE TANZANIA

P.O. Box 10242

Dar-es-Salaam

Tanzania

Simu: +255 22 2668 061

Email: [email protected]

■ Tanzania Forest Conservation Group

Plot 323, Msasani Village, Old Bagamoyo Road

PO Box 23410

Dar es Salaam, Tanzania

Tel / Fax: +255 22 2669007

[email protected]

■ WWF WWF Tanzania Country Office

Plot No. 350 Regent Estate Mikocheni, Dar es Salaam

Tanzania

Tel: +25522 270 0077/+255 22 277 5535

■ Birdlife International (Tanzania)

Contact: Emmanuel Mgimwa

Email: [email protected]

Simu: 0785402085

■ African Wildlife Foundation (AWF)

AWF Ifakara (Tanzania)

P.O. Box 277

Ifakara, Tanzania

Simu: +255 742 317 754

Email: [email protected]

Page 56: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 14

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

Ngazi Kundi la Wadau Uhusiano na Mradi Wadau Mawasiliano

Makundi mengine

yenye maslahi:

■ Vyombo vya habari

■ Wasimamizi wa sheria

Vyombo vya habari

katika ngazi ya

manispaa na mitaa

vitakuwa na kiwango

kikubwa cha

ushawishi kuhusiana

na Mradi na

vinaweza kushawishi

mtazamo wa wadau

kuhusiana na Mradi

Wabia muhimu wa

kibiashara

■ Wakandarasi

■ Wasambazaji na watoa huduma

■ Biashara nyingine zinazofanya kazi katika jamii

■ Benki za kitaifa na kimataifa

■ Wengineo

Taasisi, biashara na

watu binafsi wenye

maslahi ya moja kwa

moja na Mradi; Kwa

mfano kuendesha

biashara au kutoa

huduma kwenye

Mradi

■ Wakandarasi: Yaate (Ulipuaaji), Nitro (usambazaji wa vilipuaji), Kama Steel, Guruka Kwala (Usafirishaji wa taka hatarishi), Mwanza Environmental Symphathisizers (chuma chakavu), Puma energy

■ Wabia: Mota Engil, KORAIL

■ Benki

■ Biashara katika eneo la utafiti/mradi

Page 57: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

KIAMBATANISHO B: FOMU YA MALALAMIKO YA MRADI

Page 58: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 1

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

Page 59: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 2

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

Page 60: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 3

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

Page 61: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Client: Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

KIAMBATANISHO C: MFANO WA FOMU YA KUORODHESHA MALALAMIKO

Page 62: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

www.erm.com Version: 3.0 Project No.: 0453091 Shirika la Reli la Tanzania (TRC) 04 Maandamano 2019Page 1

MPANGO WA USHIRIKI WA WADAU

Acknowledgement

date

Rapid

Response by

Associated Dpt/

Contractor/Third Party

Complaint

Owner

Proposed Resolution/Feedback to

Complainant

Preliminary

Resolution

Date

Satisfied with

Process

(yes/no)?

If no, why

not?

Conclusive

Resolution

Date

Satisfied with

Outcome

(yes/no)?

If no, why not?Closure

Date

24-Jan-13 XXX Exploration XXXX Provide compensation to complainant

Page 63: Mpango wa Ushiriki wa Wadau - yapimerkezi.com.tr · Mpango wa Ushiriki wa Wadau Maandamano 2019 Mradi.: 0453091. ... (Mpango Mkakati wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia) RoW

The business of sustainability