69
Makanisa Ya Kikristo Ya Mungu [288] Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus na Malachy (Toleo La 5.0 20000108-20050501-20080313-20130214-20130316) Nostradamus amefanya kazi ya kuzipitia na kuzitathmini nabii za kustusha ambazo zimeishatimilika na kuwa za kweli. Pia ameziandika zile ambazo zimekuwa hazieleweki vema na ambazo zilikuwazinatumika kimakosa. Leo letu hapa ni kuzipitia kiutathmini nap engine hata kuzielezea nabii bili alizozifanya na ambazo zina maana za kidini na moja kati ya zile zilizotimilika na nyingine moja ambayo inakaribia kutimia na kudhihirika wazi katika siku za hivi karibuni. Malacgy alikuwa ni Askofu Mkuu wa Kikatoliki aliyeishi kwenye karne ya ishirini na aliandika orodha ya ajabu na matendo ya kila Papa tangu mwanzo hadi mwisho. tutayaelezea yote mawili hapa. Kwa mujibu wa Malachy amebakia Papa mmoja tu kuondoka. Christian Churches of God PO Box 369, WODEN ACT 2606, AUSTRALIA Anuani ya Barua Pepe au Email: [email protected] (Hati Miliki © 2000, 2005, 2008, 2013 Wade Cox) (Tr. 2013) Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la

Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus …kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p288.doc · Web viewPia watendaji wa mambo ya uharibu mimba walimuona kuwa ni kitisho cha

  • Upload
    others

  • View
    6

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus …kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p288.doc · Web viewPia watendaji wa mambo ya uharibu mimba walimuona kuwa ni kitisho cha

Makanisa Ya Kikristo Ya Mungu[288]

Papa wa Mwisho:Alivyoelezewa na Nostradamus

na Malachy(Toleo La 5.0 20000108-20050501-20080313-20130214-20130316)

Nostradamus amefanya kazi ya kuzipitia na kuzitathmini nabii za kustusha ambazo zimeishatimilika na kuwa za kweli. Pia ameziandika zile ambazo zimekuwa hazieleweki vema na ambazo zilikuwazinatumika kimakosa. Leo letu hapa ni kuzipitia kiutathmini nap engine hata kuzielezea nabii bili alizozifanya na ambazo zina maana za kidini na moja kati ya zile zilizotimilika na nyingine moja ambayo inakaribia kutimia na kudhihirika wazi katika siku za hivi karibuni. Malacgy alikuwa ni Askofu Mkuu wa Kikatoliki aliyeishi kwenye karne ya ishirini na aliandika orodha ya ajabu na matendo ya kila Papa tangu mwanzo hadi mwisho. tutayaelezea yote mawili hapa. Kwa mujibu wa Malachy amebakia Papa mmoja tu kuondoka.

Christian Churches of GodPO Box 369, WODEN ACT 2606, AUSTRALIA

Anuani ya Barua Pepe au Email: [email protected]

(Hati Miliki © 2000, 2005, 2008, 2013 Wade Cox)

(Tr. 2013)

Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia. Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.

Masomo haya pia yanapatikana Ulimwenguni kote katika tovuti yetu ya:http://www.logon.org na http://www.ccg.org

Page 2: Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus …kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p288.doc · Web viewPia watendaji wa mambo ya uharibu mimba walimuona kuwa ni kitisho cha

Page 2 Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus na Malachy

Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus na Malachy

Page 3: Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus …kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p288.doc · Web viewPia watendaji wa mambo ya uharibu mimba walimuona kuwa ni kitisho cha

Nostradamus au Michel de Nostredame alikuwa ni mjaribishaji wa madawa huko Provencale, Ufaransa. Kazi zake za uandishi zilichapishwa huko Lyons mwaka 1555, ikiwa ni kipindi cha ‘karne kadhaa’ au kundi la wafuasi wake wapatao mia moja. Wafuasi wake walishutumiwa na kuonekana kama ni watu wasiofaa na walafi waliotokana na hisia kali zenye kudanganya na za kimapepo. Vyovyote vile tutakavyoweza kulichukulia hili, kulikuwa na maelezo rahisi na yenye mashiko kwao na kwa kupitia tathmini yenye ufunuo wa kweli, ambao uliweza kueleweka tu baada ya kutokea kwa tukio. Nia ya kuandika jarida hili ni kuyaangalia kiuchunguzi mambo haya na kuyaelezea yale ambayo tunayadhania wanamaanisha. Moja wapo ni kuchunguza na kupata utabiti wa kweli kuhusu mauaji ya Papa. Linguine ni kuangalia uwezekano chanzo cha kile kinachojulikana au kuelezewa kwa kiasi fulani mwishoni mwa zama ya uthibiti na kipindi cha kudumu kwa hapa Duniani, kama tunavyojua.

Ingawa inaweza kuonekana kwamba ni moja au mbili tu ya tabiri za Nostradamus zilitimilika, bali tunapaswa kujua kwamba bado tupo kwenye udhibiti wa ukweli wa jambo hili. Na tena ni kwamba, ingawa mapepo wanahusika na utendaji wa jambo hili na linaweza kuwa chini ya uwezo wao, sisi hatuwezi kabisa kukabiliwa na ukweli kwamba kama isingekuwa ni Mungu aliyetulinda na kutuongoza hivi, basi mapepo au na baadhi ya mawakala wenye uwezo wa kutenda kiasi hiki nje ya unabii wa Kibiblia wangeweza kufanya kazi hii ya kubashiri matukio.

Jambo linguine miongoni mwa mambo yaliyofanyika ili kulifanikisha hili ni ule ujanja wa kuwafanya watafsiri hawahawa rafikizake kutoka lugha ya Kifaransa cha zama za Kati. Tutaanza kutoka tukio la kifo cha Papa Pius XI.

Nostradamus aliandika idadi ya kazi zinazowahusu kuzifanya hawa mapapa. Kulikuweko pia na idadi ya kazi zilizoandikwa za Manazi kwa jina lake na marafiki zake hawajawa wasaidizi ndio walizichapisha wakati wa kipindi cha Vita Kuu ya II ya Dunia.

Mmoja wa mapapa ambaye alionekana kama anafaa sana ni huyu Pius XI.Kwenye C.5:Swali la.92 aliandika yafuatayo:

Après le Siège tenu dix et sept ans,Cinq changeront en tel révolu terme:Puis sera l’un esleu de même tempsQui des Romains ne sera trop conforme.

Tunayaona maandiko haya yakitafsiriwa na De Fontbrune kwamba:Baada ya kipindi cha Upapa cha miaka kumi na saba, miaka yake mitano itashuhudia mabadiliko yatakayofikisha ukomo wa mageuzi. Kisha katika kipindi hichohicho atachaguliwa mmoja atakayekuwa na haiba sawa na Wartmi.Maneno haya yanaonyesha mlolongo wa dalili ya kile kilichotaka kutokea huko Roma kwa kipindi hiki. Nia ya kufanyika mageuzi imekandamizwa na kukosa nafasi hadi leo, lakini ukweli ni kwamba hili ndilo linalotokea sasa. Pia, Papa wa tano miongoni mwa Mapapa wao alipaswa awe ni mzaliwa wan chi nyingine, lakini anayeonekana kuwa kama Mrumi zaidi kuliko ilivyokuwa inaonekana kupendeza au kutarajiwa kiutendaji wake.

Kipindi cha kwanza ambacho Kiti hiki (yaani cha upapa) kilikuwa kinakaliwa kwa miaka kumi na saba kilikuwa na huyu Pius XI (1857-1939) ambaye kwa kweli alikuwa ni mzee. Alichaguliwa kuwa Papa tarehe 6 Februari 1922 na alifariki tarehe 10 Februari 1939 baada ya kukikakia kiti hiki kwa kipindi cha miaka 17 na siku nne (sawa na alivyoandika De Fontbrune, kwenye kitabu chake cha Nostradamus 1: Countdown to Apocalypse, Pan Books 1983, ukurasa wa 212).

Alirithiwa na Eugenio Pacelli, Mrumi aliyetokea kwenye familia ya watu mashuhuri na wa tabaka la juu ambaye alichukua jina lake kuwa ni Pius XII. Alikaa madarakani kwa miaka kumi na tisa na alifariki tarehe 9 Oktoba 1958.

Mnamo mwaka 1956 kazi yake ilichapishwa huko Fresno, California, iliyoandikwa na Mkatoliki aliyeitwa Edward Connor [kitabu kilichoitwa Unabii wa Leo (Prophecy for Today, Academic Library Guild, 1956)]. Ilikuwa ni mlolongo wa majadiliano na mahojiano juu ya kazi au nafasi ya unabii katika hili Kanisa Katoliki la Roma kukijumuishwa na mahojiano ya kazi nyingine

Page 4: Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus …kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p288.doc · Web viewPia watendaji wa mambo ya uharibu mimba walimuona kuwa ni kitisho cha

Page 4 Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus na Malachy

fulani za Nostradamus na pia kwa zile za manabii wa Kikatoliki katika zama zake zote, jinsi wanavyoamini na kufundisha kuhusu nyakati za mwisho. Watu makini na weledi walizikubalia sana nabii za Malachy O’Morgair, Askofu Mkuu wa Armagh Ireland (aliyefariki mwaka 1148), na kuziona kwamba zilikuwa zinakaribia kutimilika. Katika safari yake aliyomtembelea Papa Innocent II huko Roma mwaka 1139, aliruzukiwa uwezo wa kuona maono ya Mapapa wote watakaofuatia siku za mbele yake (kinaeleza kitabu hichohicho ukurasa wa 15). Ukiyaweka pamoja maono haya ya Nostradamus na mengine, utagundua kuwa unabii unasema kwamba kutakuja tokea matatizo makubwa sana kwenye Kanisa. Nostradamus aliondolewa na wao kwa kile kinachoeleza kwamba baadhi ya nabii zake zinzonekana kuutabiri kuanguka kwa Kanisa la [Roma] (soma kitabu hikihiki, ukurasa wa 10). Waliufasiri unabii wa Nostradamus kwa maneno yafuatayo,

Baada ya kiti kukaliwa kwa kipindi cha miaka kumi na saba, watano watabadili kwa kipindi hichohicho cha urefu wa utawala wao (kimeandika kitabu).

Hawakuyanukuu maandishi yake yote kama tunavyoona hapo juu. Sehemu ya kwanza ya uandishi wake waliutafsiri kwa maana ya hata kwamba wale watano watabadili kwa kipindi cha miaka mitano—jambo ambalo halikutokea hivyo kipindi hiki ambacho chote Pius XII alikuwa bado yuko madarakani—au, hata ule uwezekano mwingine wenye maana kwamba watano hawa watabadilika kwa kipindi cha miaka kumi na saba, tarakimu ya miaka ya kudumu kwa kipindi chake cha upapa kwa wakati huo. Tafsiri hii wakaibadilisha tena na kutoipenda na walikuwa wamebakiwa na miezi mchache ya kuondoka na Pius XII hakuonyesha dalili yoyote ya kufa na alikuwa bado ananguvu na afya njema. Na kwa kipindi kile hata kwma wangekitawanya kitabu lingekuwa ni jambo la kupoteza muda tu kwa vyovyote vile. Ni kwanini walijisikia vibaya kumpuuzia huyu Nostradamus? Jibu lake lilikuwa ni kwamba, yeye pamoja na Malachy pia, walionyesha ukomo wa Kanisa Katoliki la Roma—na kwamba halitachukua muda mrefu. Pia, kwenye unabii huu, Nostradamus inawezekana kabisa kwamba alitabiri kuanguka kwa haraka kwa mapapa kutakakotokea kipindi hiki cha mwisho, na sio

jambo lingaliloweza kutoke kwenye kipindi hiki cha miaka 17. Tatizo lililoko ni idadi ndogo ya mapapa waliobakia kuwa madarakani kabla ya kurudi kwa Masihi. Tutalielezea jambo hili baadae.

Kitu walichoshindwa kukijua ni kwamba Nostradamus alikuwa na uwezo wa kimiujiza wa kuona mbali wa kuweza kuweka mambo upya kwa hawa wenzake, kwa kuwa walikuwa wameyageuza matukio fulani ya muhimu sana. Tatizo liko kwenye fasiri ya Kifaransa. Neno ans lililopo kwenye auandishi huu lilikuwa na maana ya miaka. Kwenye jambo hili wameliandika kwa mwonekano wa uwingi na kutafsiriwa maana yake kuwa ni kama miaka mitano ya idadi ya mapapa, au miaka kumi na saba ya idadi hiyohiyo ya miaka ya kipindi cha kutawala kulikoelezewa.

Ni kwa nini basi haya yote yawe ni ya muhimu? Jibu lilikuwa ni kwamba NDIYO! Ilikuwa ni muhimu sana. Kama tujuavyo ni kwamba John XXIII ndiye aliyemrithi Pius XII kuwa Papa baada ya kifo chake mwaka 1958. John alifariki tarehe 3 Juni 1963 na mahala pake pakachukuliwa na Paul VI.

Utawala wa Mapapa WatanoUtawala huu wa kwanza ulidumu kwa kipindi cha miaka kumi na saba na Pius XI, ni kama utawala wa Pius XII, ulivyotabiriwa pia na Nostradamus lakini ulipuuziwa. Kwenye karne hiyohiyo, kipindi cha watawala thelathini na sita mapema yake kwenye kitabu chake Sura ya 5, Swali la 56 aliandika hivi:

Par le décès du très vieillard pontife,Sera esleu Romain do bon aage:Qu’il sera dict que le Siège debiffeEt long tiendra et de picuant ouvrage.

De Fontbrune anatafsiri maandishi haya kuwa yanamanisha hivi:

Baada ya Papa huyu mzee sana kufariki, atachaguliwa papa mwingine wa zama ya kati. Atalaumiwa kwa kuuletea madhara wadhifa au mamlaka yake ya Upapa au mahali pa Takatifu pa Imani yao na atatawala kwa kipindi kirefu sana, huku akifanya kazi zenye utata na mikanganyiko.

Pacelli alikuwa na umri wa miaka sitini na sita wakati alipochaguliwa mwaka 1939 na alidumu madarakani kwa kipindi kirefu kuliko cha Pius XI, na kwa kweli kilikuwa ni kipindi kirefu sana. Alikuwa ni mtata sana pia. Tangu

Page 5: Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus …kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p288.doc · Web viewPia watendaji wa mambo ya uharibu mimba walimuona kuwa ni kitisho cha

Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus na Malachy Page 5

mwaka wa 1923, baada ya kukoma kwa madaraka ya Pius XI mwaka 1922, makanisa yalianzisha mawazo hayahaya mapya huko Ujerumani kama vile kuwaua wanaotaabika kwa ugonjwa. Hitler kwa wazi kabisa kwamba 1939 ulikuwa unafaa. Makanisa ya Kilutheri na Roman Katoli yalikuwa hayakubaliani na dhana ya Demokrasia. Yaliuuona kuwa mtindo wa kuunganisha kanisa la serikali kama ni mfumo utakaokandamiza mifumo na dini zao. Kwa hiyo waliulazimisha mfumo wa Kinazi kuwa ni njia yao ya kuendeleza kwa usalama ajenda hii ya kuunganisha kanisa na serikali. Na tangu mwaka wa 1932, mambo muhimu kwenye makanisa ya Roamn Katoliki na Lutheran yalienda pamoja mkono kwa mkono pamoja na Manazi katika kuanzisha na kuziendeleza kambi hizi za mateso na wakaanza kuwaangamiza wote waliokuwa sio waamini Utatu na hususan wanaozishika Sabato, wakiwemo Wayahudi, kazi waliyoianzia kuifanya huko Ulaya. Kanisa la Lutheran likachukua umiliki wa kambi ya mateso iliyokuwa karibu na Hamburg, mapema ya mwaka 1933.

Wakatoliki wa Ulaya wakiwa chini ya Pius XII, walisaidia uanzishwaji wa kile ambacho hivi karibuni kilithibitishwa kuwa kulikuwa na zaidi ya kambi 10,000, na inaonekana sasa kwamba idadi ya kambi hizi za mateso na mauaji ni 15,000 au zaidi. Walijaribu kwa makusudi kabisa na kwa weledi wa hali ya juu sana kuikomesha kabisa na kuwaua watunza—Sabbato wote au wale wote ambao hawakuwa wafuasi wa Kanisa la Roma na wasio Walutheran, ambao walikuwa Wasomaji na vile vikundi vinavyoiamini tu Biblia peke yake toka huko Ulaya. Wayahudi walikuwa ni sehemu tu ya waliouawa kwenye mauaji haya mabaya nay a hatari yanayojulikana kama Holocaust, na kwa kweli inaonekana sasa kwamba idadi yao haikufikia hata nusu ya watu wote waliouawa na hawa Manazi huko Ulaya. Hitler hakuwa peke yake kwenye unyana huu ulifmywa miaka hii ya 1930 huko Ujerumani. Bali yeye alikuwa ni zao tu lililotokana na matendo halisia yaliyokuweko zama hizo na kwa kweli alifanya chini ya utekelezaji wa Walutheran. Kwa msaada wa Vatican chini ya Pius XII mwishoni mwa vita hivi, mamlaka hii ya kipapa iliwasaidia mahalifu wa waliofanya mauaji makubwa wa

Kinazi kushinda mashtaka yao na kutumia umashuhuri wao kwa kuwapeleka au kuwapenyeza waende huko Amerika ya Kusini na Australia. Na ndiyo hawa hawa waliokuwa wanatumika huko Australia kufanya kazi na majukumu ya ulinzi. Katika kutumia dhana fikirika ya namna hii, huenda ndiko kulipelekea kuwaharibu wakazi asilia wa Australia. Wakati wa Vita ya II ya Dunia, Kanisa Katoliki la Roma chini ya Pius XII lilisaidia na kurekebisha, au kuziondoa, hali ya kuwa na kikomo wa idadi kubwa ya sheria zilizokuwa zinzwahusu wakazi asilia, wengi wao wakiwa ni wale waliofanya maovu makubwa machoni pao wakiwatendea hayo Wayahudi au Wakristo Wasabato (Wanaoamini kuwa Mungu ni Mmoja), au wale ambao hawako kwenye imani ai dini zinazoamini sawa na imani ya Kikatoliki. Nostradamus mwenyewe alikuwa ni mtu kutoka kwenye nasaba ya Kiyahudi. Ukweli huu una maana yake fulani kama tutakavyojionea huko mbele.

Hata hivyo, marafiki zetu wa California wakiwa chini ya Connor iliwea vigumu sana kuandika shutuma za papa anayeishi hapa duniani kwa kumuona na kumuuliza maswali yanayohusu utendaji wa kazi na mikakati yake, je, wangefanya hivyo? Wote walikuwa kwenye maumivu wakishindwa kuficha tangu ulimwengu zama wa juhudi za Malachy kuyataja majina ya papa huyu maarufu kama Malaika Mchungaji mwenye mkatale wa chuma. Hakuna papa mwingine yeyote au mtu binafsi aliyemfuatia aliyewahi kuikomesha ibaya ile madhabahuni, kwa kupingwa na watu wake mwenyewe, na aliyewatendea ukatili Washika Sabato wa Kiyahudi na Wakristo katika kipindi chote cha kihistoria cha kuwepo kwa taifa la Wayahudi na kuanza kwa dini ya Kikristo. Jambo hili lote litaelezewa kwa kina kwenye jarida linalofuatia kuandikwa la Mauaji ya Kikatili ya Holocaust: Mhuri wa Nne wa Mateso (soma pia kwenye wavuti ya http://www.ccg.org/_domain/holocaustrevealed.org/

Matokeo mabaya ya kupatilizwa yatokanayo na makosa yalipaswa kuishia kwenye kiasi kidogo sana, kwa makosa yaliyofanyika kwa kushindwa kuzuia mauaji, kama tutakavyijionea hapo baadae. Mwishoni wakati

Page 6: Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus …kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p288.doc · Web viewPia watendaji wa mambo ya uharibu mimba walimuona kuwa ni kitisho cha

Page 6 Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus na Malachy

ukweli uliwa unatolewa kwenye hatima yake, na wanahistoria waongo kwnye vyo vikuu vya Ulaya wakikubaliana na ukweli, ndipo Kanisa Katoliki la Roma litajionekana kile kilichomo na litasimama ili lilaumiwe machoni pa walimwengu wote. Hili ni jambo lenye kuchanganya kwa harakati kwa Macuria wa Kirumi waliohudumu chini ya Pius XII, na kwa zama zote mbili za kabla na baada ya kuchaguliwa kwake.

John XXIII alimrithi kiti chake mnamo tarehe 28 Octoba 1958 ambaye alidumu kwenye kiti hiki hadi tarehe 3 Juni 1963. Kwa kweli alikuwa ni John XXIV lakini Yule aliyekuweko kabla yake yaani John XXIII (1410-1415) (Baldassare Cossa: d. 1419) alikuwa karibu tu aitwe Stag wa Siren na Malachy, alikuwa ni muovu sana akifanya uzinifu na watawa zaidi ya 200. Pia alikuwa ni mfiraji. Watawa walibughudhiwa sana na papa huyu, ingawaje alikuwanao wengi sana kama alivyoweza, na igawa mapapa wengi walijaribu kutaka kujiita jina la John. Aliitwa pia kuwa ni Machungaji na Nahodha. Katika kipindi cha John XXIII mageuzi mengine yalifanyika kwenye kanisa chini ya mtaguso wa II wa Vatican II. Lengo la kuu la kanisa hapa lilikuwa ni kuwezesha uwekezaji wa shule mpya ya mawazo na mitazamo na misimamo elekevu iendelezwa.

Tangu wakati huu kanisa lilijaribu kurudi nyuma na kutafakari nafasi yake na mafundisho yake, nah ii ilikuwa ni kuja kwenye mahala pa kuwa ni kichwa na sio kwa kipindi kirefu kilichopita, kama tunavyojionea. Mchakato huu hatimaye ulisababisha tuhuma mbaya za masuala ya kifedha, mauaji na mageuzi makuu katika Vatican.

Giovanni Battista Montini, au Paul VI, alikuwa ni papa wa tatu, na ilipofikia mwaka 1978 alirithiwa na Albino Luciani, au John Paul I. Mtu huyu alikuwa ni papa wa nne kiunabii. Mapapa hawa watano ni kama wafuatavyo: Pius XII, John XXIII, Paul VI, John Paul I na John Paul II, waliokaa madarakani kwa kipindi cha miaka cha tangia 1939 hadi 1978.

Matazamo wa Wakatoliki kuhusu unabii

Kazi ya uandishi ya Connor iliyochapishwa mwaka wa 1956 chini ya idhini ya kuchapisha kitabu ya A.J. Willinger, Askofu wa Kanisa Katoliki la Roma wa Monterey-Fresno, inaonyesha fafanuzi zinazovutia kuhu mapapa hawa watano walio kwenye unabii.

Kulikuwa na tafsiri moja tu nyingine ambayo haikufanyiwa utafiti kwenye kazi hii ya Wafransiskani (Franciscans) na hii ilikuwa ndiyo iliyotakiwa sana kueleweka na kujulikana kama watano hawa watabadilishwa katika idadi hiyohiyo ya miaka. Pius XI alifariki mwaka 1939 na hii inamaanisha kwa tafsiri hii kwamba watano hawa walipaswa kubadilika mnamo mwaka 1978.

Huenda ni kwa sababu hii tumeipata ikiwa imerekodiwa na wengi wa waliokuwa kwenye utawala au madarakani kwamba John-Paul I baada ya kutoka moshi mweupe wa kuthibitisha kuchaguliwa kwake aliyasema maneno haya: Mungu na awasamehe ninyi nyote kwa yale mliyonitendea (au kwa jinsi mlivyonifanyia ubaya).

Je, ni kwanini alishangaza kupigiwa mbiu ya kuwa papa? Jibu lilikuwa ni kwamba yeye alikuwa ameujua unabii huu kuli mwingine yeyote miongoni mwao.

Malachy alimpa jina Papa huyu kwa kumuita De Midietate Lunae au Kutoka kwenye nusu ya mwezi mwandamo. Wakatoliki walikuwa wanatarajia kwamba papa huyu angeweza kuwavuta Waislamu nah ii ndiyo maana ya nusu ya mwezi mwandamo. Kwa maneno mengine ni kwamba alikuwa ni mwezi mpevu wa Waislamu. Connor anauliza:“Je, uongofu wa wafuasi walio kwenye umma wa Mahommedi-ambao alama yao no mwezi mwandamo mpevu – utafanyika kwenye kipindi cha utawala wake?” (ukurasa wa 16).

Ukweli ni jambo geni zaidi kuliko utata. Katika kipindi cha mwezi mmoja tu baada ya kuchaguliwa kwake, John Paul I alikufa katika mazingira yaliyotatanisha na kuacha maswali mengi sana huko Vatican. Alidumu madarakani kwa kipindi cha mwezi mmoja tu na akakatiliwa mbali kwenye zama kati ya mwanzo wa kufikiwa mageuzi makubwa sana kuwahi kutokea ambayo Vatican haijawahi

Page 7: Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus …kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p288.doc · Web viewPia watendaji wa mambo ya uharibu mimba walimuona kuwa ni kitisho cha

Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus na Malachy Page 7

kuyaona. Alikuwa anakwenda kuiokoa kwa kuitumia yenyewe na kujaribu kuirejesha tena imani ambayo Yesu Kristo aliwaletea wanadamu. Anadhaniwa kuwa alikuwa anakwenda kuiimarisha kwenye midani ya kiuchumi wa kidunia na kuirejesha kwenye hali yake ya kipindi cha kale kilichokuwa kabla ya kuharibiwa katika zama za mfalme Constantine, kwa kulifanya liwe na nguvu na kuliwezesha kuwa ni dini yenye nguzu zaidi ulimwenguni kupitia Azimio la Kuvumiliana Mkataba wa Kuvumiliana wa Milan la mwaka 314. Mtazamo mwingine zaidi na wa hivi karibuni ni kwamba alikuwa na mpango wa kuisafisha Vatican dhidi ya wa Masons kwenye Curia na kwinginekokote katika makanisa haya.

Lakini kabla hajafanya hivyo alikufa katika mazingira ya kutatanisha. Watu waliokuwa ndani ya Vatican waliojua kilichotokea waliliita tendo hili kuwa ni mauaji ya kinyama. Mwanahabari wa mambo ya udadisi aitwaye David Yallop, aliombwa na vyanzo vya habari vya Vatican kulifanyia utafiti jambo hili na aandike kitabu kuelezea jinsi papa huyu alivyouawa. Yallop alifanya hivyo kwenye sehemu moja ya jarida lisomwalo na wengi lenye habari za utafiti liitwalo Kwa Jina la Mwenyezi Mungu. Anatoa shutuma zake kwa wazi kabisa kwa wahusika wa mambo yahsuyo Mamlaka ya Baraza la Kanisa maarufu kama Curial kuwa walihusika na mauaji ya huyu John-Paul I na kuwataka baadhi yao wajiuzulu na waondoke Vatican. Hii haikufanyika. Kwa bahati nzuri kitabu hiki cha Yallop bado kinapatikana na kilichapishwa tena mwaka 2007 na maelezo mengine ya nyongeza.

Kazi nyingine yenye kuvutia ni kitabu kinachoitwa “Papa wa Hitler” cha John Cornwell (1999) ambacho mwandishi anayaelezea matendo ya Papa Pius XII kipindi cha zama za Manazi. Maelekezo zaidi ya jinsi ya kukinunua kitabu hiki na matoleo yake yanavyoendelea kutolewa, yanapatikana kwenye wavuti ya: http://www.tenc.net/vatican/hitlers.htm

Alipokuwa anasoma Maelezo yaliyo kwenye Ukurasa wa Juu wa Kichwa cha maneno ya jarida hili la ‘Papa wa Hitler’: “Hivi karibuni kabisa, Cornwell aligundua kwamba alikuwa

amekosea kwa kuona akiyaelezea au kuyataja maigizo maovu ya Pius alipokuwa anaandika jarida hili la Papa wa Hitler, na akasema kwamba anaona sasa kuwa “haiwezekani kuhukumu” nia iliyokuweko moyoni mwa papa kipindi kile cha vita. Papa wa Hitler kinabakia kuwa ni kitabu chenye mambo yenye kutatanisha sana kwenye jamii ya Wakatoliki na ambacho kimewafanya kuvutiwa maandishi wengi kuandika kuandika vitabu vingine vingi vyenye kichwa cha somo hilohilo. Waweza kukiona kwenye wavuti hii. http://en.wikipedia.org/wiki/Hitler's_Pope

Kwa kawaida papa huashiria majukumu anayokusudia kuyapa kipaumbele atakapochukua mamlaka yake ya upapa kwa ashirio linaloendana na jina atakalolichagua aitwe. Na ndiyo maana, kwa ajili hiyo mfuasi wake aliyechukua kiti chake, Karol Jozef Wojtyla, alichagua jina hilohilo la John Paul II, na ndiye mtu aliyetegewa kuendeleza kazi ya mageuzi aliyoiacha mtangulizi wake Papa John Paul I na ni kazi iliyokuwa imekwishaanzishwa na mtangulizi wao John XXIII na Mtaguso wa II wa Vatican. Hakuna kingalichoweza kuwa mbali na ukweli.

Malachy na orodha ya Mapapa Malachy anatoa pia ashirio linaloashiria ukweli kuhusu majina waliyopewa mapapa hawa. Ni kwa kipindi cha karne nyingi ameita majina yao kwa ishara ya vitu kama vile makoti ya mikononi waliyonayo, au yale ya familia zao, au alama nyingine zenye maashirio yanayoonekana kwa uficho. Unabii wake na uliosahihi uliendelea tangu muongo wa mwisho wa karne ya kumi na mbili na umeendelea hivyo hadi kwenye karne ya ishirini wakati walipochukua hatua ya mabadiliko kuwa na utaratibu wa kuita majina, na ambayo ndiyo yanayoashiria kazi na majukumu watakayoyafanya na kuyatimiliza kikamilifu kwenye kazi zao za upapa. Majina haya yote yameorodheshwa kwa pamoja na upande mwingine ukiwa umeandikwa sheria na kanuni za mapapa ambayo ili kujionea zaidi imeandikwa kwenye jarida la nyongeza la Annex A.

Majina ya mapapa aliyoyaandika Malachy yalionekana kuwa ni kama sahihi zaidi na mwenzake Connor kwenye kazi yake

Page 8: Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus …kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p288.doc · Web viewPia watendaji wa mambo ya uharibu mimba walimuona kuwa ni kitisho cha

Page 8 Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus na Malachy

yanakubali uthibitisho huu. Connor anauondoa unabii wa Nostradamus ndani yake akisema kwamba iwapo kama watano wamebadilika na miaka kumi na saba walikuwepo, kwa hiyo zama hii ilikuwa inafikia kwenye kiwango chake cha kuhitimika na mapapa hawa walikuwa kwenye kipindi kifupi sana na inakuwa ni orodha isiyowezekana kwa kweli. Jambo muhimu zaidi ni kwamba ingeashiria kwamba maangamizo makubwa yangesababishwa na mabadiliko haya katika kipindi kile kifupi cha wakati wa mpito. Kwa vyovyote vile, Connor na wanazuoni wa kikatoliki walishindwa kabisa kushughulikia kikamilifu na vifungu vya Maandiko Matakatifu, na yao wenyewe na nabii zao kwa ajili hii.

Baada ya kifo cha John Paul I aliyeitwa na kujulikana kama Nusu ya Mwezi Mwandamo, tunajionea kuibuka kwa John Paul II aliyeitwa na kujulikana kama De Labore Solis au Kutoka kwenye Kazi ya Jua. Connor anaichukulia hii ni kuwa (Mkakati wa kuwaongoa wapagani) baada ya jina hili na anaendelea kwenda kwenye ile iliyojulikana kama De Gloria Olivae- Kutoka kwenye Utukufu wa Mzabibu kwa kinachodhaniwa au kuaminika kinamaanisha kuwa (Ni Wongofu wa Wayahudi?).

Kwenye maneno haya tunaona kuwa kuna maana kubwa sana. Mwezi unaliwakilisha Kanisa katika hali yake ya kwanza alisia, na pia kalenda ya Kanisa ilikuwa ni ya kutegemea mwandamo wa mwezi na mtuamo wa jua, iliyotokana na mwonekano au mwandamo wa mwezi kwa Sabato zake za kila mwaka, Miandamo ya Mwezi, na Sikukuu zilizoamriwa na Mungu. Majira na kalenda hii ilibadilishwa na dini ya Warumi na kuiweka ile inayotokana na matuo ya jua peke yake, ambayo ilitokana na dini potovu za kale za waabudu jua zilizokuwa zinatafuta na kulenga kuiharibu imani ya kweli iliyokuwa inaaminika na Kanisa la kwanza. Waliingiza inani hii kwenye Kanisa na kuzibadilisha siku iliyowekwa na kuamriwa kufanya ibada na kuiweka kwa kuienzi siku ya Jumapili na hatimaye wakalipeleka Kanisa kwenye upagani wa dini zilizokuwa zinamuabudu mungu-jua au sikukuu za dini hizi potofu za Easter ya mungu Baal-Istar na ya Krismas, ambayo ni sikukuu

ya dies natalis Solis Invicti: yaani ni sherehe ya siku ya kuzaliwa kwa mungu Jua Aliyekuwa haonekani kwa kitambo fulani (soma jarida la Chanzo cha Krismas na Easter (Na. 235) [The Origins of Christmas and Easter (No. 235)].

Hapa kwenye mapapa hawa watatu wa mwisho, tungejionea jaribio la kurudisha saa iliyomegwa kwenye nusu mruko na pengo lake likizibwa na mwakilishi wa dini yenye nguvu kamili yenye imani ya kuabudu jua. Mtu angemthibitisha kuwa ametokea kwenye nchi ya pande za mashariki ya wakazi wenye juhudi sana katika kufanya kazi. Makisio ya Connor hayakutafutwa sana, kama walivyojionea hilo. Kwenye macho ya Wakatoliki wa Roma, wanaamini wao kuwa ndiyo Kanisa la kweli, licha ya ukweli kwamba hanisa hili haliyashikilii mafundisho ya lile Kanisa ambalo lilianzishwa na Kristo na Mitume wake. Wanaamini kuwa wao wana haki ya kukomesha kwa mabavu upinzani uliokinyume na wao, na kufanya haki wanayoweza kuifanya pale wanapoweza kufanya hivyo. Wakati wanaposhindwa kufanya hivyo, wanageukia kwenye matendo ya kuwaletea madhara watu kwa njia za kijasusi, kula njama na kuwadhuru watu mmoja mmoja wanaopingana na wao. Vita hivi vimekuwa vikiendelea kwa nguvu moja pasipo kukoma tangu mwaka wa 590 na hata kabla yake na imekuwa ikiendelea tangu mwaka 1850 hadi kwenye karne ya ishirini, na haitakoma hadi pale Kanisa hili litakapoharibiwa kama ilivyotabiriwa, na vuguvugu la mambo yanayoanza kuchipukia leo ulimwenguni.

Papa huyu kwa saea amefariki na kuna mapapa wengine wawili tu waliobakia kwa mujibu wa orodha ya Malachy. Papa aliyeko leo, Benedict XVI, kama kuonavyo anaitwa jina lake linguine kuwa Kutoka kwenye utukufu wa Mzabibu.

Ni kama alivyotabiri Mkatoliki mwingine wa Roma aliyeitwa John Bosco katika utabiri alioufanya katikati ya miaka ya 1800, kuwa alichaguliwa kwa haraka sana baada tu ya kifo cha mtangulizi wake yaani, Papa John Paul II. Kama utabiri huu wa Bosco ukichukuliwa kwa makini, basi kitendo chake cha kuwataja watu wawili ambao ni nguzo mbili na maana ya mmoja wa wanawali Mabikira vitakuwa na

Page 9: Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus …kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p288.doc · Web viewPia watendaji wa mambo ya uharibu mimba walimuona kuwa ni kitisho cha

Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus na Malachy Page 9

uhusiano wa kina na wakimashiko zaidi kimahusiano na dini ya waabudu mashetani ya Freemasons, iwapo kama tutahusisha na watu hawa na hawa kina Boaz na Jachin wa Hekalu la Mfalme Sulemani na inaonekana kuhusianishwa na kazi za hawa Freemasons. Kitendo cha uchapishaji wa meli ya taifa kwenye hizi nguzo kama alivyotabiri Bosco kwa maelezo ni jambo la muhimu sana kwa kweli.

Ndoto yenye maswali iliandikwa tarehe 30 Mei 1862 [kutoka kwenye Ndoto Arobaini za Mt John Bosco (from the Forty Dreams of St. John Bosco)].

"Ghafula, Papa alianguka vibaya na kupata jeraha. Kwa haraka sana, wale walio pamoja naye wakamkimbilia kumsaidia na wakamwinua juu. Kwa mara ya pili Papa anapigwa, na anaanguka tena na kufa, kelele za ushindi na furaha zinasikika kutoka kwa maadui, zikitokea kwenye meli ambamo mizaha isiyoelezeka ilisikika na kuweka mvumo.Lakini ni kwa ugumu sana, baada ya Papa huyu kufa kuweko mwingine wa kuchukua kiti chake. Marubani wakakutana pamoja, wakamchagua Papa mwingine kwa haraka sana punde tu baada ya kuenea habari za kifo cha Papa, kukafuatiwa na mchato wa haraka wa kumchagua mrithi wake. Maadui wakaanza kupoteza ujasiri" "Ndipo Papa mpya, akawatia maadui zake wot echini yake na kuvishinda kila vipingamizi, na akaiongoza ile meli vizuri hadi kwenye zile nguzo mbili na ikaja kutua nanga na kupumzika katikati yake, anafanya hivyo kwa haraka kwa mnyororo mwepesi unaoning’inia kutoka kwenye mhimili wa meli hadi kwenye nanga ya mlingoti nguzo ambako anasimama Nahodha; na kwa mnyororo mwingine mwepesi unaoning’inia kutoka kwenye kitako, anaufunga kwa mwelekeo kinyume wa mwishoni hadi kwenye ile nanga nyingine inayoning’inia kutoka kwenye nguzo ambayo anasimama huyu Manamwali Bikira Asiye na Doa. 

Maoni na mtazamo: Ili kuufanya unabii huu umhusu Benedict XVI, ni lazima unabii huu ukubali kuwa John Paul II ndiye aliyepata jeraha kubwa na hatimaye akafa kwa Maradhi ya Kutetemeka na Kukakamaa maarufu kama Parkinson’s Disease nk., jambo ambalo ndivyo ilivyotokea kabisa bila kukosea. Inasemekana kuwa Malachy alisema kwamba kutakuwepo papa mwingine baada ya huyu anayeitwa De Gloria Olivae. Papa huyo ataitwa Petro wa Roma, na. Malachy anasema kwa uhakika sana kwamba baada ya tukio hili ndipo Hakimu Hatari atawahukumu watu.

Huu ndiyo mwisho wa unabii huu.

Kwa hiyo, Benedict XVI, ambbaye jina lake la siri ni Kutoka kwenye Utuku wa Mzabibu, atafuatiwa na huyu Petro wa Roma, na baada ya hapo, Wakatoliki wanaamini kuwa ndipo huyu “hakimu hatari” atawahukumu watu. Wanausahau ufunuo wa Biblia unaoelezea kuwepo kipindi cha utawala wa millennia wa Masihi atakaotawala kutoka Yerusalemu kama ulivyoandikwa kwenye Ufunuo 20:1-10, ambao lazima utimilike wote kabla ya kipindi hiki cha Kiti Kikubwa Cheupe cha Hukumu kilichoandikwa kwenye Ufunuo sura ya 20:11-15.

Ufunuo 20:1-10 Kisha nikaona malaika akishuka kutoka mbinguni, mwenye ufunguo wa kuzimu, na mnyororo mkubwa mkononi mwake. 2 Akamshika yule joka, yule nyoka wa zamani, ambaye ni Ibilisi na Shetani, akamfunga miaka elfu; 3 akamtupa katika kuzimu, akamfunga, akatia muhuri juu yake, asipate kuwadanganya mataifa tena, hata ile miaka elfu itimie; na baada ya hayo yapasa afunguliwe muda mchache. 4 kisha nikaona viti vya enzi, wakaketi juu yake, nao wakapewa hukumu; nami nikaona roho zao waliokatwa vichwa kwa ajili ya ushuhuda wa Yesu, na kwa ajili ya neno la Mungu, na hao wasiomsujudia yule mnyama, wala sanamu yake, wala hawakuipokea ile chapa katika vipaji vya nyuso zao, wala katika mikono yao; nao wakawa hai, wakatawala pamoja na Kristo miaka elfu. 5 Hao wafu waliosalia hawakuwa hai, hata itimie ile miaka elfu. 6 Huo ndio ufufuo wa kwanza. Heri, na mtakatifu, ni yeye aliye na sehemu katika ufufuo wa kwanza; juu ya hao mauti ya pili haina nguvu; bali watakuwa makuhani wa Mungu na wa Kristo, nao watatawala pamoja naye hiyo miaka elfu. 7 Na hiyo miaka elfu itakapokwisha, Shetani atafunguliwa, atoke kifungoni mwake; 8 naye atatoka kuwadanganya mataifa walio katika pembe nne za nchi, Gogu na Magogu, kuwakusanya kwa vita, ambao hesabu yao ni kama mchanga wa bahari. 9 Wakapanda juu ya upana wa nchi, wakaizingira kambi ya watakatifu, na mji huo uliopendwa. Moto ukashuka kutoka mbinguni, ukawala. 10 Na yule Ibilisi, mwenye kuwadanganya, akatupwa katika ziwa la moto na kiberiti, alimo yule mnyama na yule nabii wa uongo. Nao watateswa mchana na usiku hata milele na milele.

Sababu inayowafanya wasikitilie maanani Kitabu hiki ni kwamba kinaonyesha wazi kwamba utawala wa Kristo haujaanza bado na kwamba Kanisa la Roma haliwezi kufanya majukumu yake kama mwakilishi wa Kristo kwa mtindo walionao wa kujifanya kuwa ni mungu wa dunia hii (2Wakorintho 4:4). Kitabu cha Ufunuo kinatuonyesha kwamba ibilisi hajafungwa bado, na pia kwamba utawala na

Page 10: Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus …kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p288.doc · Web viewPia watendaji wa mambo ya uharibu mimba walimuona kuwa ni kitisho cha

Page 10 Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus na Malachymamlaka ya dunia hii yatakuwa na makao yake makuu huko Yerusalemu na sio Roma.

Kanisa la Roma linakiita kitabu cha Ufunuo kuwa ni cha Kutabiri Maafa tu yaani The Apocalypse kwa lengo la kuuficha ukweli kwamba ni cha Ufunuo wa Mungu kwa Yesu Kristo na ambacho kinaufunua ukweli Kristo siyo mtu mwenye uwezo wa kujua kila jambo. Kitabu hiki chau ufunuo kinauelekezea mji wa Roma kama ni mji wenye vilima saba na ambao unaelezewa au kumaanishwa kuwa ni Babeli kwenye maandiko.

Utata uliokuwepo kuhusu ni nani huyu anayetajwa kuwa ni Utukufu wa Mzabibu na atakuwa nani umekwisha ufumbuliwa tayari. Lakini hata hivyo, hisia bado zinaendelea pasi kukoma. Watu wanajiuliza kwamba je, anaweza kuwa ni Martini kama watu wengi wanavyodhania, au anaweza kuwa ni Mjesuit? Je, inawezekana kuwa Opus Dei waliruhusu jambo hili pamoja na vita vilivyoko hivi sasa inayoendelea kati yao na hawa Wajesuit? Je Opus Dei ina idadi yake kwenye tarakimu hii isiyo ya kawaida ya 88,000. Je, atakuwa ni Spaniard ambao wao walimtaka, au ni mtu atakayetokana na himaya zao, au ni kutoka kwenye jumuia zao za urafiki wa kiutawala za Amerika? Au je, atakuwa ni mgombea mwenye kupenda kujichanganya? Au je, anaweza hata kuwa ni Myahudi? Inawezekana kabisa akawa ni Myahudi. Kulikuwa na mgombea mmoja, alifanya juhudi kubwa sana akitumia uwezo wake wote kujaribu kuunganisha dini zote pamoja kabla ya kipindi cha kuja kwake Masihi. Baada ya kufanya hivyo wangesema “Tumewaongoa Wayahudi”, au siyo? Kaldinari na Askofu Mkuu wa Paris alikuwa ni mathirika wa mauaji ya kikatili ya Holocaust aliyechukuliwa na kulelewa na Kanisa Katoliki la Roma. Hivi sasa yeye ni marehemu hatahivyo, muungano ule ulikuwepo baada ya kulazimishwa kwingi kwa michanganyo. Hili litatokea leo kama tunavyojionea sasa, na kama tutakavyojionea.

Nostradamus ana unabii wake kwenye kitabu chake hiki (C.5:Swali la 49; Lorie, ukurasa wa 152) majarida haya yanahusiana na uwezekano huu.

Nul del’EspangneMais de l’antique France

Ne sera lu pour laTremblante nacelle,A l’ennemi sera faite fiance,Qui dans son regne fera peste cruelle.

Tafsiri yake ni hii:Sio kutoka Hispaniabali ni kutoka katika Ufaransa ya Kalendiko atakakochaguliwa akitokea kwenye merikebu itetemekayo,atawaahidi maadui, na ambaye katika utawala wake utasababisha maafa na tauni kubwa..

Kwa hiyo tunajionea hapa kwamba yeye atakayechaguliwa ni kwa ajili ya merikebu itetemekayo. Mstari huu wa andiko unahusisha pia na afya mbaya na ugonjwa wa John Paul II na hali halisi ya Kanisa Katoliki. Ameonekana pia akiweka ahadi kwa maadui. Yuda wangeweza kuonekana pia kwenye jambo hili. Hata hivyo, kuna shinikizo zaidi lililo nyuma ya jambo hili ambao maadui na wenye tabia ya ugeugeu au wanafiki wanajaribiwa. Hii ndiyo sababu Kaldinari wa Wakatoliki wa Australia aitwaye Pell alisema kwamba tungeshangazwa sisi sote na yale ambayo papa huyu angaliyoyafanya.

Tungekuwa sote kuwa ni khemarim, yaani tungevikwa kanzu nyeusi za dini ya mungu jua, Baali kama tungeingia kwenye mtego huu wa kuunganishwa pamoja ili kupingana na ujio wa huyu Mpingakristo wa nabii hizi za Kikatoliki? Jambo hili limeelezewa kwa kina kwenye jarida la Ujumbe wa Ufunuo 14 (Na. 270) [The Messages of Revelation 14 (No. 270)]. Vuguvugu la imani na dini hii ya uwongo lazima litatokea huko Roma, na litajikusanya pamoja na kwenda Yerusalemu sambamba na dini ya Biblia. Inaonekana kwamba Wayahudi watakuwa na mtu watakayemfikiria kugombea katika mchakato huu. Kwa namna yoyote ile hivi ndivyo itakavyokuwa.

Chini ya Charlemagne, Mfalme wa Ufaransa, Ufaransa ya kale ndiyo iliyosababisha kuwepo kwa mataifa ya Ujerumani, Muungano wa iliyokuwa Dola Takatifu ya Kirumi huko Ulaya. Dola ya Charlemagne haikuwa tu ni mujngano unaozungumza lugha ya Kifaransa tu, bali ilijumuisha ndani yake makabila ya Kijerumani na pia Wadane wa pande za kusini. Kwa sasa hii ni Ulaya.

Page 11: Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus …kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p288.doc · Web viewPia watendaji wa mambo ya uharibu mimba walimuona kuwa ni kitisho cha

Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus na Malachy Page 11

Kwa hiyo, ulimwengu wa wanaoongea Kihispaniola walimtaka papa Mhispania au awe anayeongea Kihispaniola na wangepunguza uzito wa idadi, lakini hawakupunguza chochote. Mzungu ambaye lakini sio Mhispania au hata sio Mtaliano ndiye alichaguliwa ili aweze kuiunganisha Ulaya dhidi ya mikakati ya kuendeleza Uprotestanti na jamii nyingine zinazoendesha mavuguvugu yao kwa siri. Na hili ndilo linaloendelea na kushika kasi leo kwa namna fulani na kwa mbinu chafu na kwa hila.. Kaldinari Joseph Ratzinger kwa miongo kadhaa amekuwa akifanya kazi ya kuweka muungano wa kimafundisho kwenye kanisa akitumia wadhiwa wake wa kuwa ni mkuu wa Kutaniko Takatifu la Mafundisho ya Imani. Kile alichokuwa anataka kukifanya amekwisha kukifanya tayari kwa kuweka msingi wa mafundisho. Baraza la kusimamia ushamirifu wa mafundisho limekwishaanzishwa tayari, na wote hawa wawili, yaani yeye na mwenzake John Paul II wameweka msingi kazi mnamo mwaka 1993. Mwandishi wa Kikatoliki na aliyekuwa ni muumini aitwaye Morris West, alishagawahi kusema hili katika kipindi cha kuishi kwake akikosoa kile kilichokuwa amekiweka au kukifanya.

Wanaiona agenda ya muunganiko kutokea kabla ya Siku za Mwisho. Hata hivyo agenda yao hii inaponekana kwa wazi sana kuwa iko kinyume na biblia .

Nabii za Wakatoliki zimemtaja Mpingakristo atakayekuja kwa karne kadhaa. Zimeandikwa kwa namna isiyoeleweka vizuri na kwa kweli ni mchanganyiko wa nabii, zenye idadi kadhaa ya matukio ya kinabii yanayokwenda kutimilika hivi karibuni. Biblia inaelezea idadi ya vitu vinavyokwenda kutokea katika kipindi cha kabla ya kurudi kwa Masihi. Mojawapo ni kurejeshwa kwa Injili yenye uzima na kuhubiriwa kwake kwa mataifa yote pamoja na maonyo ya Siku za Mwishozo (kama inavyosema Yeremia 4:15 na jarida la Maonyo ya Siku za Mwisho (Na. 44) [The Warning of the Last Days (No. 44)]. Sauti ya Siku za Mwiho, onyo la kurudi kwa Masihi, vitafanywa katika Dani na Efraimu linaloonekana kuwa ni kabila jipya katika

Yusufu linaloonekana kwenye Ufunuo 7. Baada ya kipindi kile tutajionea Mashahidi Wawili na mateso ya mwisho na vita kadhaa mahali mahali (sawa na linavyosema jarida la Mashahidi (Na. 135) [Thee Witnesses (No. 135)].

Nabii za Wakatoliki zinamuelezea Mpingakristo wa Dani aliyeuawa na ujio wa Enoko na Eliya. Tunawatarajia kuwepo kwa Mashahidi walioandikwa kwenye maandiko ya Biblia na kuwa huenda watakuwa ni Enoko na Eliya, kwa kuwa walikuwa ndiyo peke yao walio “twaliwa” na Mungu kwa sababu ambayo haijaelezwa bado.

Kwenye kitabu cha Nostradamus, Sura ya 1:Swali la 96, panaelezea juu ya nabii mpinga ibada za sanamu, atakayeinuka atakayetumia lugha fasaha katika kuwaelekeza watu, ambaye atainuka katika Siku za Mwisho.

Celuy qu’aura la charge de destruire,Temple et sects changes par fantasie,Plus aux rochers qu’auxVivans vienra nuyre,Par langue ornee d’oreilles ressaisies.

Tafsiri yake ni:Yeye ambaye atakuwa na jukumu la kuyavunja mahekalu na madhehebu ya dini zote zilizogeukia katika kuandama vinyago, watakuja kuharibu miamba mingi kuliko kwa kupitia uweza wa lugha masikio yataendelea kujazwa.

Hili ni jambo lililowazi kabisa kwamba mchakato wa uelimishaji upya mkubwa kwa wanadamu utafanyika katika Siku za Mwisho wenye lengo la kukomesha ibada potofu za sanamu na vinyago zilizoshamirishwa na dini zililopo Ulimwenguni. Ndiposa, Nostradamus anapoona kuinuliwa kwa mtu atakayekomesha ibada hizi katika Siku za Misho ili atimilize ule mkakati-kazi iliyowezeshwa kwa matumizi ya ile lugha fasaha na yenye kueleweka. Huu ni ukumbusho wa Ogmius, aliyeyafunga masikio ya wasikilizaji wake lugha ya ulaghai na udanganyifu. Jina fumbo alilolitumia Nostradamus kumuelezea Ogmius lilikuwa ni Logmion.

Jina la Papa wa MwishoNi jina gani basi atakalopewa au kuitwa papa huyu wa mwisho? Kama tutaegemea kwenye maono ya mapapa na kuweka mwongozo wetu unaotuashiria, basi tungelichukulia jambo hili

Page 12: Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus …kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p288.doc · Web viewPia watendaji wa mambo ya uharibu mimba walimuona kuwa ni kitisho cha

Page 12 Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus na Malachykwa mara nyingine moja zaidi kikamilifu sana. Papa huyu angepaswa kwanza awekwe kwenye mafundisho ya mapapa ya uwezo wa kutokosea wala kutenda dhambi, ingawaje hapa alikuwa hasemei juu ya ex cathedra. Kipindi cha kusikilizwa na wasikilizaji wake kwenye Ukurasa wa jumla wa Wafaransa mwaka 1909, Pius X (1835-1914) alipagawa na kuanguka na shingo yake ikazama kwenye kifua chake, na baada ya dakika fulani kupita alirudiwa na fahamu zake tena na kuyafungua macho yake huku akitazama kwa mshangao na hofu kubwa ilionekana usoni mwake. Inasemekana kuwa alianza kulia na kuyatamka maneno haya

Kile nikichokiona ni hatari sana… Je, hiki kinaweza kuwa ni mimi mwenyewe? Au kitakuwa ni kwa mrithi wangu? Kitu chenyewe ni kwamba Papa ataondoka hapa Roma, na anapokimbia akitoka hapa Vatican atakuwa anatembea juu ya miili ya watu waliokufa ya mapadre wake. Tafadhali musimwambie mtu yeyote habari hii katika kipindi chote cha uhai wangu [sawa na alivyandika Stephen Skinner, kwenye kitabu chake cha Nabii za Milenia (Millennium Prophecies, Carlton, ukurasa wa 75)].

Ni dhahiri kabisa kwamba Roma – na hasa ofisi ya papa – ndiyo imeonekana kama adui mlengwa kwenye shambulio hili la Roma. Je, ni tukio gani linalotokea hivi sasa ambalo linalipa haki au kusababisha matukio haya? Jibu ni ujio wa vita hivi karibuni ya Waislamu na ndipo majukumu ya kazi za papa yatakuwa ndiyo kisababishi cha vita ile.

Unabii huu wa kukimbia kwa papa kusingeweza kwendana na huyu mwenye jina la siri la Utukufu wa Mzabibu, ambaye ni Benedict XVI na wala hata yule Pius, bali utafanya kazi kwa mtu atakayeitwa kwa jina la Peter wa Roma? Je, atachukua jina la Pius XIII au atarejesha kwake ikiwa ni matokeo ya matendo haya? Iwapo kama ni marejesho ya jina hili kwa njia ya matendo ni mjadala basi angeweza kuwa miongoni mwao mmoja wapo. Kitu kimoja tunachoweza kuwa na uhakika nacho ni kwamba mji utaangamizwa na watakimbia kutoka Roma. Kuda idadi kadhaa ya matukio mengine hata hivyo, ambayo yanapaswa kutokea kipindi nabii wa uwongo atakapoanza kazi zake huko Yerusalemu.

Utukufu wa Mzaituni

Papa anayejulikana na unabii kuwa ni Utukufu wa Mzaituni alichukua jina lake la kazi kuwa ni Benedict XVI. Kaldinari Joseph Ratzinger alikuwa ni Kaldinari wa Kibavariani wa Kanisa Katoliki la Roma aliyetumika kama Kichwa cha Mkutano Mtakatifu kwa mujibu wa Mafundisho yao ya Imani. Mwanzoni iliitwa Ofisi Takatifu, haikuwa na linguine lolote bali ni hilo, na iliitwa baadae na wasomi maarufu kama kina Profesa Roth, kuwa ni Ofisi Najisi kwa ajili ya tuhuma mbaya zinazofanywa na Baraza la kulinda mafundisho ya kidini kwa miaka mingi. Kwa kuonyesha kile walichokifanya, soma jarida la Kazi ya Amri ya Nne ya Mungu Kwenye Historia ya Makanisa ya Mungu Yanayozitunza—Sabato (Na. 170) [Role of the Fourth Commandment in the Historical Sabbath-keeping Churches of God (No. 170)].

Kaldinari Joseph Ratzinger alijulikana kwa msimamo wake mkali katika kuamua kwake mambo hasa yale yanayoonekana kuhusika na utawala nay a kile kinachoitwa kuwa ni maamuzi na hukumu za Kanisa Katoliki la Roma. Watetezi wake wamesema kwamba kwa kweli hayupo hivyo kabisa. Alichaguliwa akiwa na umri wa miaka 78 na kuwa ni Papa mzee kuliko wote kuchaguliwa kwa kipindi chote cha miaka 275 tangu alipochaguliwa Clement XII mwaka 1730. Ni kwa nini walimchagua mtu mzee namna hii na inamaana gani kwa waio Wakatoliki wa Roma?

Ulikuwa ni mkutano mfupi sana na maamuzi yalifanyika mapema sana. Uchaguzi huu wa haraka uliwahi kutaniriwa kutokea na mmoja wa manabii wa Kikatoliki John Bosco kwenye karne ya kumi na tisa, kama tunavyoona kwenye nukuu zilizoko hapo juu. Ni jambo lililodhahiri sana kwamba idadi yao ilikuwepo hapo na maamuzi yaliashiria mlingano wa kura wa kura Makaldinari waliopiga kura na hukuwa muda mrefu sana wa kuwachosha wajumbe wa mkutano ule hadi wapitishe utaratibu wa kumchagua kwa kumpitisha mshindi atakayeshindwa kwa idadi ndogo ya kura. Basi iwapo kama alama hii ya nguzo mbili inayotajwa na Bosco ni alama yao hawa Freemasons, basi huenda inaweza kuashiria kwamba ilikuwa ni hatua kubwa na muhimu kwenye agenda. Kwa kweli ni ashirio la kwamba kipindi cha Shetani kumkabidhi

Page 13: Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus …kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p288.doc · Web viewPia watendaji wa mambo ya uharibu mimba walimuona kuwa ni kitisho cha

Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus na Malachy Page 13

mamlaka kwa Mnyama hakiko mbali sana ambayo ni kipindi zama cha mwisho cha zama za utawala wa kidunia.

Inasemekana kwamba alichaguliwa kama papa wa “mpito” ambaye angetimiliza kazi zilizoachwa hazijakamilishwa na mtangulizi wake John Paul aliyekaa madarakani kwa kipindi cha robo karne, na ikaonekana kuwa haiwezekani kuwe na papa mwingine madarakani kwa kipindi kirefu. Ni hakika kwamba John-Paul II aliwaandaa Makaldinari wahakikishe wanamuunga mkono kuchukua jukumu la agenda zake Benedict XVI mwenyewe alisema kuwa kipindi chake cha upapa kingekuwa kifupi sana. Ila mengi yangeweza kutokea kwa kipindi hicho kifupi.

Kipindi cha kuanza kazi cha Benedict XVI, theluthi mbili ya waumini walio kwenye ulimwengu wa dini ya Roman Katholiki walikuwa wanaishi pandc za Kusini mwa Ukanda wa Dunia (Southern Hemisphere}. Afrika ilikuwa ndiyo eneo lenye nguvu na kuongezeka sana na Amerika ya Kusini na ndiyo maeneo yenye wafuasi wengi wa dini hii ya Kikatoliki, na pia yenye kiwango kikubwa cha misuguano na migogoro. Maeneo haya yalkiwa yanataabika na yalikuwa yanahitaji kuwa na mtu wao kwenye kiti hiki cha upapa.Lakini idadi ya waumini haina maana kuwa inaweza kuweka uzani wa idadi ya Makaldinari wanaopiga kura. Ulaya ilikuwa iko kwenye maumivu pia. Upagani unazidi kushamiri. Amerika ya Kaskazini nayo inaiona dini ya Kikatoliki ikisuasua katika kuongezeka kwake. Hali za utajiri uliopindukia na kukosa imani na kuvunjika moyo vinawafanya watu wajaribu kujiunga na dini nyingine kama vile upagani na Ubudha wakijaribu hivyo ili wakithi haja zao za kiroho. Hali yao ya kuvunjika moyo inatokana na kutotatuliwa kwa matatizo yao ya kifikra na mengine yanayotokana na masumbuko ya kijamii.

Wakati Kaldinari George Pell wa Australia alipowahutubia Wakatoliki wa Australia aliwema kwamba Papa Mpya alikuwa ni “mmoja wetu”. Alikuwa “Mzungu.” Pell aliyasema haya kana kwamba Australia ilikuwa kwa namna fulani imeunganishwa kama ni sehemu ya Ulaya na kana kwamba haipo kwenye ukanda wa mbali wa Kusini

Mashariki mwa Asia na ni miongoni mwa nchi za Ukanda wa kusini wenye Wakatoliki wengi. Maana ya kusema kwake hivyo ilikuwa ni kwamba wagombea wote walikuwa ni watu wanaopendezwa au wakereketwa wa itikadi ya Kijesuits na Opus Dei na matendo yote yangalitoweza kukomesha migawanyiko yaa machoni mwa wale wanaowaona kuwa ni mwiba mkali katika kuwepo kwao na maslahi au ubora wa watu wa Ulaya au Wazungu.

Kaldinari Pell alikitaja kipindi ambacho kitakuwa cha mabadiliko yenye maana yatakayosimamiwa na Papa mya. Ili kufanya hivyo ilikuwa ni lazima kuwepo na mabadiliko kwenye agenda anayoikusudia kuwa nayo na mbinu zake za kuiwakilisha. Makaldinari walikuwa wanadhaniwa kwamba walikuwa wanawatafuta waungaji mkono wao na walikuwa wanataka kuyaleta mabadiliko kwenye makanisa ya Kiprotestanti chini ya mfumo wa kanisa Katoliki la Roma.

Joseph Ratzinger alisema kwamba alikuwa anataka kujulikana kama mtu wa amani kwenye kipindi chake chote cha mamlaka ya kipapa. Lakini atawezaje kuyaondoa na kuyaweka kando katika historia ya kujulikana kwake? Angewezaje kubadilisha kwa kuwakamata Waprotestanti na kuufanikisha ukengeufu wa dini kengeufu ya Kiutatu?

Alizaliwa mwaka 1927, alilelewa kwenye itikadi ya Kinazi ya Ujerumani. Anaaminika kuwa aliacha kazi ya jeshi mwishoni mwa zama ya vita, lakini tulimtegemea kwamba katika uzee wake kuwa angerejea kwenye hali yake aliyokuwanayo kwenye ujana wake.

Alijulikana kuwa ni mtu asiyependezwa kabisa na mchanganyo waa kimila na wa kimapokeo. Anadaiwa kuwa alilichukulia jambo hili sawa na kitendo cha “kuokimbia ama kuachana kwa mambo yao” kwa jamii ya Wazungu au watu wa Ulaya. Anasemekana kuwa alipinmga kujiunga kwa Uturuki kwenye Jumuia ya Kiuchumi ya Nchi za Ulaya. Pia anajulikana kuwa ni mpinga Uislamu mzuri.

Kuchaguliwa kwake kulionekana pia kwamba kungekuwa ni pigo kubwa kwa mashoga na wafiraji au wapenda matendo ya “Ushoga na Wasagaji”. Pia watendaji wa mambo ya

Page 14: Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus …kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p288.doc · Web viewPia watendaji wa mambo ya uharibu mimba walimuona kuwa ni kitisho cha

Page 14 Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus na Malachyuharibu mimba walimuona kuwa ni kitisho cha biashara zao. Kwa ufupi tu ni kwamba aliahidi kuwa angekuwa ni Papa wa kukumbukwa kama papa mfarakanishaji au aliyeligawanya kuliko wote katika karne yake. Lakini, Malachi alimuita yeye kuwa ni Utukufu wa Mzabibu, ambao ni ishara ya amani … au sivyo?

Ingawa Utaratibu au amri ya watawa wa Kibenedictine inatokana na Mt. Benedict aliyeishi katika karne ya sita, jina jingine la wafuasi wa Mt. Benedict ni Olivetans yaani Wana wa Mzaituni. Wana amri ndogo inayofuatia sheria ya Benedict Tolomei wa Siena aliyeiweka sheria au amri huko Accona kusini mwa Siena, Italy mwaka 1313. Wengine walijiunga na wanaume watatu asilia na mnamo mwaka 1324 John XXII alikubaliana na uanzishaji wa sheria hizi. Miti wa mizaituni ilihusishwa hapo. Kulikuwa na sungura weupe ambao huenda walikuwa wanaashiria ukweli huo. Hawa Wabenedictine walikuwa pia wahusika kwenye baraza la kulinda mafundisho ya kanisa hili huko siku za mwanzoni. Walijihusisha na kutumika vyema sana kwenye kazi hii baada ya Agizo la kuanzishwa kwa Dominika na kuifanya kuwa ni siku ya kuabudu. Kanisa la Mungu lilipita kwenye mateso makubwa kwa yote mawili, na pia na Wafransiskani katika siku zilizofuatia. Jina hili la Utukufu wa Mzaituni na kuchaguliwa kwa Benedict vinaweza kuwa ni ukumbusho wa siku hizi za mwanzoni na tendo chafu la mwenendo wa Amri au agizo hili.

Umberto Ecco alielezea mgongano kwenye teolojia na akadhania kuwa ni jambo lenye kuvutia sana kwenye kazi yake ya uandishi wa kitabu kiitwacho Jina la Rose. Pale mijadala inayohusu Wafransiskani na Wabenedictine waliweka mijadala yenye swali lisemalo “Je, Kristo aliwahi kucheka?” wabenedictine walijibu wakasema, “Hakuna mahala palipoandikwa kuwa aliwahi kucheka, ila William akasema kwamba hii haimaanishi kuwa hakuwahi kucheka.” Kwa mbadilishano huu tunajionea maswali yenye kukinzana yalihohifadhiwa kwenye historia dhidi ya mchakato wa kifikra unaofanya mpito wa maagizo mapya ya mfumo wa dini ya Kikatiliki. Wabenedictine walileta mtinzo wa kizamani wa kukabiliana dhidi ya mawazo ya kizazi kipya. Na hivi ndivyo ilivyo kwenye

mawazo ya Wabenedictine wa Ujerumani walivyomuona Kardinali Ratzinger akikomesha mbinu za imani ya Zen Budha kwa Mbenedictine mdhibiti itikati hii ya Zen, Padre Willigis Jäger, mwenye umri wa miaka 76, ambaye pia anajuliakana kwa jina lake la ki-Zen la Ko-un Roshi. Maamuzi yalifanywa kwa wazi mnamo tarehe 5 Februari 2005 kwenye diocese ya Würzburg, ambako ndiko uliko mji wa Jäger wa Münsterschwarzach Abbey. Padre Nokter Wolf, mkuu wa idara ya kiaskofu inayosimamia amri na sheria za watawa wa Kibenedictine alisema kwamba maamuzi haya yalitoka kwa Kaldinari Ratzinger.

Jäger alilaumiwa kwa kutotilia maanani uwekezaji kwenye mawazo ya Wakristo juu ya Mungu waona kuwa yeye anafanya kazi zake kama mwanadamu na kiutendaji ni mlinzi wa kiroho, na kwa kuyumbisha uzoefu kwa kisirisiri kuhusu ukweli wa kimafundisho. Jäger ni mtu anayejulikana vizuri kwenye ulimwengu wa wanaoongea lugha ya Kijerumani kama mwalimu wa mafundisho ya kiroho. Mnamo mwaka 1972, alikutana na mdhibiti wa imani ya Zen wa Kijapani aitwaye Yamada Roshi aliyetoka kwenye Shule ya Sanbo Kyodan. Mwaka 1975, aliondoka na kwenda Kamakura huko Japani na akaishi huko kwa muda wa miaka sita akijifunza imani ya Zen. Akagundua kuwa Zen ni mbinu za kiroho iliyochukuliwa kutoka kwenye mapokeo ya dini ya Budha. Mwaka 1981, Jäger alitumwa kidini na Kanisa Katoliki la Roma awafundishe wanafunzi hii Zen. Matokeo yake ni kwamba haikukubalika na Idara ya kutetea mafundisho ya kidini na yakagawanya mtaratibu wa maombi kwa wale walioathirika kutokana na kutolewa kwa Amri hii.

Ripoti ya hivi karibuni imeambatana na ujumbe kwamba Padre Josef Imbach, 56, amechaguliwa kwenye mwaka wa “mfano au wakurudisha nuru”, ashughulikie usimamishaji. Ingawa msemaji wa Wafranskani hakufafanua lengo la kufanya hivyo, Imbach aliliweka wazi kwamba Kaldinari Ratzinger alikuwa anafuatilia uchunguzi wa kitabu hiki cha miujiza cha mwaka 1995.

Page 15: Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus …kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p288.doc · Web viewPia watendaji wa mambo ya uharibu mimba walimuona kuwa ni kitisho cha

Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus na Malachy Page 15

Imbach alisema kipindi kile kwamba alikuwa anashutumiwa kwa kosa la kutoamini uungu wa Yesu, kwa kutakaa mafundisho yanayoaminisha watu mamlaka ya kuhumu ya kanisa, kwa kuielezea Injili kuwa ni kama maandiko ya kifundisho badala ya kuiona kama mafundisho yanayoaminika ya kihistoria, na zisizo na miujiza ndani yake. Alikataa kuamini hivyo na kukataa kuwa na msimamo huo.

Kwa hiyo kuna wimbi katika Ujerumani na Ulaya la kile kinachoonekana na kuelezewa kama sio-mtazamo wa Kikristo. Lakini ukweli ni kwamba Kanisa liko kwenye himaya mpotovu. Imani ya kipagani na Imani ya Watafakari (Transcendental Meditation) wanazidi kuenea kwa nguvu na kasi Ulaya na hatimaye duniani kote.

Kuna idadi kubwa pia kwenye Kanisa hili Katoliki ya Roma wanaoamini kuwa John Paul II alikuwa ni mpinga-papa. Wanamwita ka jina la siri la seder vacantist, ambapo maana yake ni kwamba kiti cha Askofu wa Roma kilikuwa tupu kwa ajili ya mafundisho mapotofu aliyoaachilia yaingie kanisani kwao.

Ingeweza kusemwa kwamba kiutendaji, sisi pia ni seder vacantists. Nafasi ya Kanisa la Mungu ilikuwa ni kwamba kumuona Askofu wa Roma aliwa hayupo mnamo mwaka 154-192 BK kwa kuchaguliwa kwa Anicetus katika muonekano wa Roma na kuingizwa kwa mafundisho potofu yaliyopelekea kuingizwa kwa sikukuu ya kipagani ya Easter na mwendelezo wa mafundisho ya uwongo na mapotofu na mafarako ya kidini yasiyokwisha yaliyolazimishwa na Askofu Victorinus (Victor) mwaka 192 BK. Hii ilisababisha wafarakane na Roma (soma jarida la Migongano ya Mwanzoni (Na. 277) [The Quartodeciman Disputes (No. 277)].

Kuchaguliwa kwa Joseph Ratzinger kulikuwa ni hatua moja ya kuelekea kumhakikishia mlinzi wa zamani kuwa mambo hayakuwa yanabadilika kwa vyovyote vile. Ilisemekana kuwa lengo lilikuwa ni kulipata kanisa dogo lakini lisilo na mawaa ambalo halingekuwa chini ya mashirika yenye kuamini na kufundisha mafundisho haya ya uwongo. Je, matokeo yake yangekuwa nini? Uwezekano wa

wachache hawa wangekuwa ni kutoka kwenye vuguvugu hizi za Waprotestanti walio kwenye vuguvugu za mchanganyiko wa kiimani. Hivi ndivyo tunavyoshawishika kuamini kuwa ndivyo ingetotokea.

Moja ya mambo yaliyokomesha na dini zenye kudumu kwenye utafiti—na hasa ikakomeshwa na John-Paul II na mfuasi wake Ratzinger – ilikuwa ni msisitizo wa muujiza waliouita kuwa ni wa vijana watatu wa Fatima.

Muujiza huu wa vijana watatu wa Fatima sasa umeshika kasi kuaminiwa na unajulikana ulimwenguni kote na unachukuliwa kuwa kwenye namna mbili, na kikubwa kilichokuwa kinaondolewa mawazoni mwa mikakati na azimio la tatu ilikuwa ni kwamba papa angeuawa na askari, ambao wangetoka miongoni mwa mapadre wake mwenyewe. Unabii huu unafanyika utafiti kwa kina zaidi.

Hiii pia inatualia maono aliyoonyeshwa Pius X pale aliposema kwamba papa atakayeitwa kwa jina lake ataondolewa kutoka Roma akipita juu ya maiti za mapadre wake. Maono ya tatu ya Fatima yanachukuliwa kuwa yalitimiliza wakati John-Paul II alipopigwa risasi, lakini hii haiwezekani na inachukuliwa kuwa ni jambo lisilowezekana. Ni kwa dhahiri kabisa, maono ya Pius yanasema na kuonyesha kwamba atakuwa ni papa wajina wake na kwa hiyo Benedict XVI hawezi kutimiliza maono haya. Hata hivyo, mkakati wa kuanzisha vita dhidi ya Uislamu sio tu kuwa ni agenda inayowezekana ambayo ndiyo itakayosababisha sababu ya hatima ya kuangamia kwa kiti hiki cha kanisa la Roma, bali pia itapelekea kuondolewa na kukomeshwa kabisa kwa dini nii ya Wakatoliki ya Kiroma na mifumo yake yote kutoka kule na hata ulimwenguni kote kwa ujumla.

Kile kinachoonekana kuwa ni tukio kubwa ni kwamba katika kipindi kile kifupi kilicho mbele yetu tutajionea mkingamo wa makususi kati ya Ukristo na Uislamu, na mapigano ya Vita Kuu ya II ya Dunia ambayo kwayo itafikiliza maangamizo makubwa ya Roma na mwisho au kikomo cha mamlaka ya kipapa.

Ili kulifanya kanisa lifikie kwenye utakatifu wake mambo yote yaliyoingizwa ya kipagani

Page 16: Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus …kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p288.doc · Web viewPia watendaji wa mambo ya uharibu mimba walimuona kuwa ni kitisho cha

Page 16 Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus na Malachykwa karne nyingi lazima yaondolewe. Na ili kuzoa watu na kuwa na idadi kubwa ya waumini kanisani, mamlaka ya kipapa katika Roma yalikahabisha na kunajisi kila kitu tangu kwenye zama ya karne ya pili na kuendelea.

Tunatakiwa kuiangalia historia ya askofu wa kwanza wa Roma. Wao wanamuita sasa kuwa ni Papa Linus, lakini hawakuwa na mapapa siku hizo. Baba yake Caratacus (Jina la Kilatini linalomaanisha Caradog) alichukuliwa hadi Roma na kushikiliwa mateka huko kwenye “Nyumba ya Waingereza”. Akiwa mfalme wa Cantii tangu mwaka 40 BK na wa huko Catuvellauni na Silures tangu mwaka 43-51 BK, aliyaongoza majeshi ya Kiingereza dhidi ya Warumi ikiongozwa na Claudius. Alipigwa na kushindwa huko Kent kwenye Mapigano vya Medway na akakimbilia upande wa magharibi katika nchi ya Dobunni iliyo huko Gloucestershire, ila alisukumiwa mbali tena upande wa magharibi na wapiganaji wa Kirumi. Alipata msaada na majeshi ya Silures na Ordovices upande wa Kusini na Katikati ya Wales, na tangu mwaka 47 na kuendelea walishinda kwenye vita ya ardhini dhidi ya Warumi. Hatimaye alipigwa na kushindwa vita huko Severn kwenye Vilima vya Cambrian upande wa Kaskazini ya Wales akiongoza jeshi la askari 15,000 Waingereza dhidi ya Warumi. Kaka yake na watoto wake walichukuliwa mateka hadi Roma. Alitoroka na kwenda kwenye nchi ya Brigantes akitarajia kukusanya wanajeshi zaidi, lakini alisalitiwa na Malkia Cartimandua ambaye alikuwa ameshaifanya mipango ya kumsaliti na Warumi na akamtoa kwao. Kwa hiyo yeye pamoja na familia yake walipelekwa kifungoni Roma wakiwa wamefungwa minyororo. Kwa kuwa alikuwa ni mtu mwenye nguvu na umaarufu sana na kujulikana sana, Claudius alimuona. Claudius akamnusuru mke wake na kumuachia baada ya kulia kwa sauti na maneno yenye kuleta huruma ambayo yalimtia huruma sana Claudius. Familia ikaishi kwa raha na amani huko Rumi na alikufa yapata kama mwaka 54 BK. Familia ilibakia huko Roma, ikiishi kwa raha mustarehe, na huenda hatimaye baadhi yao walirejea Uingereza huenda mnamo mwaka 60 BK (soma jarida la Mwanzo wa Kanisa la Kikristo Huko Uingereza (Na. 266) [The Origin of the Christian Church in Britain (No. 266)].

Familia hii ikawa ni washirika wa Kanisa la Roma. Walijulikana na walimjua Paulo kwa kina sana. Linus hatimaye akawa askofu wa Roma baada ya kifo cha Paulo. Ndugu yake Cylin alikuwa na binti ambaye aliolewa na mtoto wa binamu yake, mjukuu wa kaka wa Caradog Arviragus. Mtu huyu alikuwa ni Coel I mtoto wa Marius. Ilikuwa ni nasaba hii ndiyo ilirudi Uingereza na kwa kweli walikuja na Imani ya kweli. Walikuwa ni Wasabato na waliamini na kuiishia Imani kama hii hii tunayoiamini na kuiishia sisi leo. Linus alikuwa ni Msabato na aliziadhimisha sikukuu zote tangu Pasaka na Sikukuu nyingine zote zilizoamriwa na alishika na kuitii sheria ya vyakula sawa tu na tunavyofanya sisi leo. Walikuwa ni wa-Unitaria wanaoamini kuwa Kristo alikuwa ni Malaika Mkuu aliyempa Musa Torati pale Sinai na kwamba ndiye alikuwa ni elohim wa Israeli aliyetajwa kwenye Zaburi 45:6-7 na Waebrania 1:8-9. Mafundisho haya bado yanapatikana hadi hivi leo kwenye maandiko ya Justin Martyr, aliyemfuatia Linus kipindi cha takriban karne moja baadae huko Roma.

Ilikuwa ni kioja chenye kusikitisha sana kwa Kanisa la Mungu walipomuona papa akijaribu kulirudisha kwenye mfumo wa kipagani ambao haukuwahi kuwa ni sehemu ya imani ya Kikristo, juhudi iliyofanywa na makuhani wa Kirumi wakitumia maguvu ya kimamlaka na ushawishi. Matokeo ya mwisho ya mafundisho yao haya mapotofu yatakuja kufikia kilele cha kuchanua kwake kwenye kipindi kifupi cha utawala wa Benedict XVI. Mwisho wake watachukuliwa na kupelekwa mbali ili kutayarisha njia ya merejesho ya Imani ya kweli ambayo watakatifu wamepewa mara moja tu. Ni pale tu ikiwa Roma itarejea na kuishika imani ya Linus na familia yake ndipo watarejea kwenye Ukristo.

Benedict XVI alikuwa anaonekana kuwa anahusika na miimamo mkali kama tunavyoiona hapa, lakini bado alikuwa anakuwa anayaunga mkono mafundisho ambayo yangemfanya aonekane kuwa ni mtu anayesthili kutengwa kwenye ushirika wa Kanisa la kwanza na kuonekana kuwa yeye ni mwabudu sanamu na Mgnostiki. Alimtaja Irenaeus, askofu wa Lyon aliyeishi mwishoni

Page 17: Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus …kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p288.doc · Web viewPia watendaji wa mambo ya uharibu mimba walimuona kuwa ni kitisho cha

Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus na Malachy Page 17

mwa karne ya pili kwenye ukiri wake, lakini huku akiyaamini machachew sana katika yale alioyokuwa anayaamini Irenaeus.

Mgawanyiko kwenye Kanisa Katoliki la Roma ni mkubwa sana. Matatizo yaliyoko kwenye makanisa ya Anglican, Lutheran na Orthodox pia ni makubwa sana na ni tete. Ratzinger hakuwa akizisaidia imani hizi wala hakujisikia kuguswa chochote moyoni mwake kwa ujumla wake. Baada ya kuchaguliwa kwake inategemewa kwamba arudishe kiwango hiki. Wingi huu wa ndoa utakuwa ni fursa moja kuhimu machoni pa maadui.

Sehemu kubwa ya maelezo yenye kushawishi ya Waroma nay a muhimu kwenye imani yao yanaonekana kuwa na nguvu na kupelekwa kwenye mazungumzo yao na Waprotestanti kwa lengo la kuwadanganya na kuwanasa warudi kwenye kanisa hili Katoliki la Roma. Makanisa hayo yapo kwenye mchakato wa kuparaganyika. Kanisa Katoliki la Roma linajaribu kujifanya kama liko kinyume na matendo ya kishoga ya ufiraji wakati kwamba wao wameruhusiwa kwa kweli kutanya marendo haya kwa kiwango chochote wanachoweza.

Uchunguzi wa lugha ya Kiingereza unaonyesha kwamba zaidi ya theluthi moja yao wanajitangaza kwa wazi kuwa ni mashoga au wafiraji wakati ambapo wanakatazwa na vatcan. Hali ya upendeleo inafanya iwe ni vigumu kwa wanaofanya kwa bahati mbaya au wasio na mazoea hayo.

Ukweli ni kwamba matatizo haya yanaonekana kuwa ni yenye kufurahisha tu hapa mwanzoni katika kudhibiti na nguvu. Malachi Martin aliuawa kabla hajaandika kitabu chake cha mwisho, ambacho kingweza kuyaweka wazi haya. Hata hivyo, yeye bada anaendelea kuandika na anaonekana kuwa anaonyosha kwamba Shetani alikwisha tawazwa na kuwekwa kwenye kiti cha ufalme huko Vatican akiwa kama mungu na viongozi wenye dhamana wa Curial ya dini.

Hatahivyo, muda unazidi kwenda kwa kasi. Manabii wao wenyewe wanasema kwamba wana papa mmoja tu aliyebakia ili kutimilika kwa haya yote. Papa huyu atakuwa na kipindi

kifupi cha kutawala kwa maneno yake mwenyewe. Huenda hata hivyo kitakuwa ni kipindi kirefu sama kwa wengine. Hata hivyo, kutakuwa na utisho mkuu kwenye uwepo au kudumu kwa imani hii ya Kanisa Katoliki. Kipindi kimoja cha utawala kitakuwa kifupi na kipindi cha pili chake kitafupishwa na kukatizwa. Ndipo kwa maneno yao wenyewe, Roma itaangamizwa na “hakimu hatari” atawahukumu watu.

Mwanamke Kahaba wa kwenye Ufunuo Kwenye kitabu cha Ufunuo kuna Kahaba Mkuu, anayezini na wafalme wa Dunia na amelewa kwa damu ya watakatifu. Anaketi juu ya mataifa mengi na watu na lugha nyingi. Mwanamke anaashiria au ni ishara ya kanisa na kuna kanisa moja tu hapa duniani linaloendana na maelezo haya.

Ufunuo 17:1-18 Akaja mmoja wa wale malaika saba, wenye vile vitasa saba, akanena nami, akisema, Njoo huku, nitakuonyesha hukumu ya yule kahaba mkuu aketiye juu ya maji mengi; 2 ambaye wafalme wa nchi wamezini naye, nao wakaao katika nchi wamelevywa kwa mvinyo ya uasherati wake. 3 Akanichukua katika Roho hata jangwani, nikaona mwanamke, ameketi juu ya mnyama mwekundu sana, mwenye kujaa majina ya makufuru, mwenye vichwa saba na pembe kumi. 4 Na mwanamke yule alikuwa amevikwa nguo ya rangi ya zambarau, na nyekundu, amepambwa kwa dhahabu, na kito cha thamani, na lulu, naye alikuwa na kikombe cha dhahabu mkononi mwake, kilichojawa na machukizo, na machafu ya uasherati wake. 5 Na katika kipaji cha uso wake alikuwa na jina limeandikwa, la siri, BABELI MKUU, MAMA WA MAKAHABA NA MACHUKIZO YA NCHI. 6 Nikamwona yule mwanamke amelewa kwa damu ya watakatifu, na kwa damu ya mashahidi wa Yesu. Nami nilipomwona nikastaajabu ajabu kuu. 7 Na yule malaika akaniambia, Kwani kustaajabu? Nitakuambia siri ya mwanamke huyu, na ya mnyama huyu amchukuaye, mwenye vile vichwa saba na zile pembe kumi. 8 Yule mnyama uliyemwona alikuwako, naye hayuko, naye yu tayari kupanda kutoka kuzimu na kwenda kwenye uharibifu. Na hao wakaao juu ya nchi, wasioandikwa majina yao katika kitabu cha uzima tangu kuwekwa misingi ya ulimwengu, watastaajabu wamwonapo yule mnyama, ya kwamba alikuwako, naye hayuko, naye atakuwako. 9 Hapo ndipo penye akili zenye hekima. Vile vichwa saba ni milima saba anayokalia mwanamke huyo. 10 Navyo ni wafalme saba. Watano wamekwisha kuanguka, na mmoja yupo, na mwingine hajaja bado. Naye atakapokuja imempasa kukaa muda mchache. 11 Na yule mnyama aliyekuwako naye hayuko, yeye ndiye wa nane, naye ni mmoja wa wale saba, naye aenenda kwenye uharibifu. 12 Na zile pembe kumi ulizoziona ni

Page 18: Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus …kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p288.doc · Web viewPia watendaji wa mambo ya uharibu mimba walimuona kuwa ni kitisho cha

Page 18 Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus na Malachy

wafalme kumi, ambao hawajapokea ufalme bado, lakini wapokea mamlaka kama wafalme muda wa saa moja pamoja na yule mnyama. 13 Hawa wana shauri moja, nao wampa yule mnyama nguvu zao na mamlaka yao. 14 Hawa watafanya vita na Mwana-Kondoo, na Mwana Kondoo atawashinda, kwa maana Yeye ni Bwana wa Mabwana, na Mfalme wa Wafalme, na hao walio pamoja naye ndio walioitwa, na wateule, na waaminifu. 15 Kisha akaniambia, Yale maji uliyoyaona, hapo aketipo yule kahaba, ni jamaa na makutano na mataifa na lugha. 16 Na zile pembe kumi ulizoziona, na huyo mnyama, hao watamchukia yule kahaba, nao watamfanya kuwa mkiwa na uchi, watamla nyama yake, watamteketeza kabisa kwa moto. 17 Maana Mungu ametia mioyoni mwao kufanya shauri lake, na kufanya shauri moja, na kumpa yule mnyama ufalme wao hata maneno ya Mungu yatimizwe. 18 Na yule mwanamke uliyemwona, ni mji ule mkubwa, wenye ufalme juu ya wafalme wa nchi.

Kuna mji mmoja tu na kanisa ambalo lina utawala na mamlaka juu ya wafalme wa Dunia. Ni sawa na kwamba hakuna kanisa linguine au watu waliowahi kuwaua mamilioni ya Wakristo wanaoiamini Biblia. Kumbuka, kitabu hiki cha Ufunuo kinaiita dini hii ya uwongo kuwa ni mama wa makahaba. Hii inamaana kwamba ni lazima kuna mlolongo wa mabinti wanaoamini mafundisho hayahaya ambao wanafanya uzinifu pia na wafalme wa dunia. Kanisa la Lutheran limetokea kwenye imani hii hii na linazidi kurudi nyuma kwa kuyafuata mafundisho haya haya na linakwenda kuanguka hivi karibuni. Kanisa hili pia limesaidia mkakati huu wa kuwatesa na kuwakomesha watakatifu kwa kipindi kirefu sana. Wakati wa harakati za Manazi, mapema ya miaka ya 1933, kanisa hili lilichukua Amerika na Afrika ya Kusini na kuendesha kambi za mateso. Moja ya aina ya makundi ya walioteswa na Manazi kwenye kambi hizi lilikuwa ni la wale waliowaita Bibelforscher au Watafiti wa Biblia. Yeyote aliyejulikana kuwa sio mwamini wa itikadi kali ya Utatu ya Kikatoliki au asiye mfuasi wa Kilutheri waliteswa vikali na kuuawa. Walihusika pia kusaidia ukomeshaji kwa kuwaua kundi muhimu na jema la wanazuoni wasomi wa Biblia na kukomesha mikakati ya usomaji wa maandiko huko Ulaya katika karne ya ishirini, lakini kile kisichoweza kueleweka ni kwamba wamekuwa wakiyafanya mambo yanayoendana sambamba na Wakatoliki tangu kipindi walipoanzisha Matengenezo. Historia ya mateso ya Makanisa yanayozishika Sabato

inaonekana kutoka kwenye mahojiano kwenye kazi iliyofanywa na R. Samuel Kohn, kitabu chake cha Wasabato wa Transylvania [(The Sabbatarians in Transylvania) (kimetafsiriwa na T. McElwain na B. Rook, CCG Publishing, 1998; pia angalia Machapisho ya W. Cox).

Pembe kumi zinazotajwa hapa ni zilezile zilizoandikwa kwenye kitabu cha nabii Danieli sura ya 2. Mwonekano wa kimataifa yalianzishwa na na Kahaba huyu wa kidini na ambao unajulikana kama Dola Takatifu ya Kirumi (590-1850), utamgeukia mwanamke huyu Kahaba pamoja na mabinti zake makahaba na utaangamiza katika Siku za Mwisho. Mungu anamchukia mwanamke huyu Kahaba na amemuweka mwenye mioyo ya umoja wa mataifa kumi watakaomgeuka na kumwangamiza huku Kahaba. Mungu ameupa huyu Kahaba ili wampe falme zao kwenye umoja huu na kwa Mnyama hadi pale maneno ya Mungu yatakapotimilika. Mwanamke huyu ni shirika lililounda na kuanzisha kanisa, na ambalo pia linatawala juu ya milima saba ya Roma.

Umoja huu wa Mnyama utafanya vita na Kristo na wale aliowaita na aliowachagua na wateule na waaminifu wake (Ufunuo 20:14). Hawa ni wale wateule wanaozishika Amri za Mungu na Ushuhuda wa Kristo wake. Joka atawakasirikia, pamoja ya yle mwanamke au kanisa walilokuwemo, na atajaribu kuwaangamiza kwa kipindi chote cha kuwepo kwao (Ufunuo 12:17; 14:12).

Unabii huu wa viongozi wao wenyewe umetolewa kwao na wakapewa, ili kwamba waweze kumjua na kumcha Mungu. Katika kipindi cha mwisho, mfumo wa kidini waliojaribu kuufanya utadumu madarakani kwa kipindi cha saa moja tu na Mnyama ili waweze kutimiliza mapenzi ya Mungu na unabii ulioandikwa kwenye Maandiko Matakatifu, kwa kuwa maandiko hayawezi kutanguka (Yohana 10:34-35).

Kwa hiyo haishangazi kuona kwamba Pius X (aliyepewa jina la siri la Moto Uwakao na Malachy) (1903-1914) alikuwa maono pale alipoona faida ya jina lake akitoka kutoka Vatican na Roma alitembea juu ya miili au maiti za makuhani wake. Na yule aliyerithi kiti

Page 19: Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus …kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p288.doc · Web viewPia watendaji wa mambo ya uharibu mimba walimuona kuwa ni kitisho cha

Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus na Malachy Page 19

chake Malachy alimuita jina la siri kuwa Religio Depopulata, ambalo maana yake ni Dini Iliyoangamia (au iliyopungua waumini). Benedict XV alitawala tangia mwaka 1914-1922. Hii ilikuwa na maana zaidi kwayo kuliko kuwa ni papa tu aliyekuwa kwenye kiti hiki wakati wa Vita Kuu ya I.Tangu kipindi hiki mauaji dhidi ya Wasabato na vikundi vingine vya kidini huko Armenia yalianza na takriban watu milioni moja wa Kiarmenia waliuawa kwenye mauaji ya pamoja ya kupigwa risasi. Na mrithi wa kiti chake ndiye aliyewaangamiza na kuwafutilia mbali Wabektashi huko Uturuki, pamoja na Wasabato wengine takriban ya milioni moja hadi mbili, miongoni mwa watu milioni tano ya Wabektashi wa huko, ambao walipotea na kutojulikana walipo tangu mwaka 1927 na kuendelea.

Kwenye miaka ya 1990 maangamizo yaliofanywa kimpangilio na kwa makusudi kwa Waserbia yalipangwa na kuratibiwa kabla na Waislamu wakalazimishwa kuwa kwenye migogoro isiyokoma.

Kwenye kipindi kijacho cha miaka ya 2027 maamia kwa mamilioni ya watu watalazimika kuingia kwenye vita na mapiigano yasiyo na umuhimu na milki za matafa zitapotea kutokana na shuruti za kisiasa zitakazoundwa na mfumo huu.

Wakati historia kamili inapokuwa inaelezewa—wakati kihoro kikuu kuhusu ni kitu gani hasa watu hawa wanachoambiwa—ndipo Mnyama atawapiga mawe wote wakiwa mitaani. Ukuu ni wake Mwenyezi Mungu anayewahukumu hawa kwa kumtumia huyu Mnyama katika Siku za Mwisho ili apeleke mapenzi yake kwenye mahala pake.

Katika Siku za Mwisho kipindi cha kabla ya kuja kwa Masihi, Mashahidi Wawili watasimama na kutoa ushuhuda mjini Yerusalemu na watavaa nguo za magunia (Ufunuo 11:3-13). Tukio hili litatokea baada ya tukio linguine lililoandikwa kwenye Ufunuo 11:1-2. Matukio haya yameelezewa kwa kina kwenye jarida la Upimaji wa Hekalu (Na. 137) [Measuring the Temple (No. 137)]. Mashahidi hawa watapewa uweza au ngvu za nabii Eliya. Mungu anasema kwamba atampeleka nabii

Eliya kabla yaijaja siku iliyokuu na ya kuogofya ya Bwana naye ataigeuza mioyo ya wababa kwa watoto na miyo ya watoto kwa baba zao asije Mungu akaiharibu Dunia kwa laana (Malaki 4:5-6). Watarejesha upya mambo yote. Mambo ambayo hatimaye watayarejesha ni Umuhimu wa kuzishika Sheria au Torati ya Mungu. Mkazo huu ulivurugwa na Shetani kupitia dini zake hadi kupelekea kuwa Baraka na Laana zilizoandikwa kwenye Torati zisitimilike kimatendo (sawa na tulivyoelezea kwenye jarida la Baraka na Laana (Na. 75) [The Blessings and the Curses (No. 75)]. Kwa sasa inatenda kazi katika mazingira ya haki na dhuluma.

Wakati Utawala huu unaofuata Sheria au Torati utakaporudishwa, hakutakuweko na mvua tena kwa wenye haki na waovu pia. Chini ya manabii hawa wawili, mungu wa dunia hii atachochea makoo ya watu wanaowatafuta kuwaua, lakini hawataweza kuwaua hadi zitimie siku 1260 za kutoa kwao unabii na zitimilike. Kisha manabii hawa watauawa na miili yao itaachwa imelala mitaani kwa kipindi cha siku tatu na nusu na baada ya hapo watafufuka na kupaa juu wakiwa kwenye umati wa watu ukiwatazama. Tangu kipindi hiki na kuendelea, Masihi ataanza mchakato wake wa kushughulika na mambo ya kwenye sayari hii na ataweka makao yake makuu mjini Yerusalemu.

Hakuna miongoni mwa manabii hawa anayeweza kuelezewa au kukubalika na waamini Utatu, kama inavyoiumiza dhana na imani yake kuu ya kanisa hili lenye nguvu sana siku hizi na kuendelea na kipindi itakapokuwa kwenye mamlaka ya dunia hii itakapokuw chini ya mamlaka ya Yesu Kristo. Pia Biblia inaonyesha kwamba sababu itakayopelekea mbingu zifungwe ni kwa ajili ya kulazimisha matumizi ya Kalenda ya Mungu. Na iwapo kama kuna mahali ambapo hawataziadhimisha Sikukuu za Mungu, Mwandamo wa Mwezi na Sabato zilizoagizwa kwenye Biblia, basi mvua haitanyesha kwao kwa wakati na majira muafaka na tauni ya Misri itatumwa kwao na kuyatesa mataifa ya dunia (sawa na lilivyofafanua.jarida la Kalenda ya Mungu (Na. 156) [Dod’s Calendar (No. 156)].

Page 20: Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus …kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p288.doc · Web viewPia watendaji wa mambo ya uharibu mimba walimuona kuwa ni kitisho cha

Page 20 Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus na MalachyMwisho wa Unabii wa Kanisa Katoliki la RomaManabii wa Kanisa Katoliki la Roma pamoja na Nostradamus wametoa mlolongo wa nabii ambazo tunaweza kuzihitimisha kama ifuatavyo:

Kuna mlolongo wa mapapa katika Siku za Mwisho ambao wamehusika na mageuzi ambayo yameishia kwa papa ambaye sio Mrumi, bali ni mtu anayefanana na wao mno. Papa huyu anaitwa jina lake la siri kuwa Kutoka kwenye kazi ya jua. Hii inaonyesha kuashiria kutimilika kwa kazi za dini na mfumo wa waabudu Jua.

Papa aliyekufa, yaani John Paul II alikuwa ni Nguzo iliyowekwa kwa ajili ya uanzishwaji na ushamirishaji wa ibada za mungu-Mke alijulikanaye kama Mama wa dini hii kwa kutumia kivuli cha Maria. Mama wa Kristo jina lake allitwa Mariamu na sio Maria, bali waanzilishi wa ibada hizi wanadai kuwa hili ndilo lilikuwa jina la mama wa Masihi na ametukuzwa na kuwekwa kwenye daraja la juu kiasi cha hata kuwa ni mshiriki wan ne katika mpangilio wa kile wanachokiita wao ni nafsi za Uungu (sawa na tulivyoandikwa kwenye jarida la Bikira Mariamu na Familia ya Yesu Kristo (Na. 232) [The Virgin Mariam and the Family of Jesus Christ (No. 232)]. Huyu kweli ni kazi ya jua. Dini potofu za waabudu jua ilikuwa ni dini rasmi katika kumuabudu Baal-Istar kwa heshima ya Istar akiwqa kama Venus chini ya imani ya kiutatu. Huyu Istar ndye Ostar au Easter, mungu mke aliyekuwa akiabudiwa na wapagani wa Ulaya. Katika kipindi chetu hiki, Malkia wa Mbingu anaonekana kukumbukwa na kutukuzwa tena na imani ya Kibabeloni ya Assyro-Babylonian ya waabudu jua wanaoonekana kuifufua na kuirudisha tena. Haya yote yanafanywa haya yote yanafanyika ili kuwaondoa wanadamu kutoka kwenye Sheria au Torati ya Muwa wao Wapekee na wa Kweli. Kazi yake kubwa ya jua ambalo ndilo jina la cheo aliloitwa na Malachy huenda anasisitiza, ni kutolewa na kushamirishwa kwa mafunuo ya dini ya kuabudu jua ya Mungu-Mke wanayemuita Mama wa Fatima. Kaka moja wapo ya

nyaraka zake (?) anapoamrisha kutolewa kwa kifungu cha tatu cha maono ya Fatima, ambayo tutaielezea kwa wakati wake.

Kuna mapapa wawili waliokwisha ondoka au kupita. Mmoja anatawala sasa ambaye ni huyu, Kutoka kwenye Utukufu wa mzeituni, Benedict XVI na mwingine ni Petro Mrumi, anayeaminika kuwa ni papa wa mwisho.

Pius X alisema kuwa mmoja wa mapapa hawa ataondoka kutoka Roma akipita juu ya miili ya maiti za makuhani wake, na kwamba atakuwa na jina la kicheo la ‘Pius’.

Hakuna kipindi cha millennia kwenye imani ya Kanisa Katoliki la Roma, na wanapuuza maandiko kadhaa ya Biblia yanayoelezea jambo hili. Kwa hiyo awamu inayofuatia kwa wao ni kwenda moja kwa moja kwenye zama ya hukumu, ambayo Biblia inaiweka mwishoni mwa kipindi cha utawala wa millennia utakao kuwa na makao yake huko Yerusalemu.

Maandiko yanayohusu Mpingakristo yataelezewa kwa wakati wake.

Vipindi zamaMapapa walioishi kipindi kirefu sana hawakutawala kwa kipindi cha zaidi ya miaka 23 au na miaka kadhaa kidogo. Pius VII (Barnaba Chiaramonte aliyeitwa na Malachy kuwa ni Tai wa Upapa) alitawala tangu tarehe 14 Machi 1800 – 20 Julai 1823. Leo XIII alitawala tangu tarehe 20 Februari 1878 - 20 Julai 1903. Mapapa wengine wawili wa karne hii walitawala kwa vipindi vya miaka 17 na 19 kwa umahiri, na John Paul II alitawala kwa miaka 26. Ukiweza wastani wao ni mdogo sana. Papa mmoja ataondoka akipita juu ya miili ya makuhani wake waliokufa, kwa mujibu wa maono aliyoonyeshwa Pius X. Hatahivyo, maono ya Fatima yanaongeza umuhimu wa unabii huu pamoja na kifo cha papa na makuhani wake watakaouawa na askari zao walinzi.

Maandiko Matakatifu na Kalenda ya Mungu vinaashiria harakati kubwa kufanyika katika

Page 21: Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus …kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p288.doc · Web viewPia watendaji wa mambo ya uharibu mimba walimuona kuwa ni kitisho cha

Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus na Malachy Page 21

kipindi hiki. Mojawapo ni kuondolewa madarakani kwa yule Mwanamke Kahaba na nguvu za Mnyama tukio litakalotokea kwenye kipindi cha kabla ya kurudi kwa Masihi, kama tunavyoona ilivyoandikwa kwenye kitabu cha ufunuo hapo juu. Kwa hiyo kitendo hiki cha kupinduliwa kwa dini hii ya uwongo kutafanyika mapema kabla ya kipindi cha kuja kwake Masihi.

Danieli anasema pia kwamba Vita ya Mfalme wa Kaskazini na wa Kusini vitatokea katika Siku za Mwisho vitakavyosababishwa na kukaliwa kwa mji wa Yerusalemu na mfalme wa Kaskazini, na jambo hili linapiga hodi kutokea na linaelekea pande za kaskazini na mashariki itawaua na kuwaletea madhara watu wengi (Dan. 11:41-44). Hii ni vita dhidi ya Wasteppes wa Kirusi na mfalme huyu wa kaskazini atashinda, lakini hatimaye atafikia mwishoni na hakuna atakayemsaidia.

Kwa hiyo tungweza kumdhania Karol Jozef Wojtyla, John Paul II. Alianza kazi yake ya upapa tarehe 16 Octoba 1978. Alitawala kwa miaka 26. Mwishoni mwa mwaka 2001 alifikia kipindi sawa na alichotawala Pius VII. Alianza kutanmgazwa utata wa afya yake na kulazwa kwa ajili ya matibabu na kutangazwa kuwa ataishi kwa matumaini akitegemea madawa mwaka 2001, na kusudi lake lilithibitisha nia yake hiyo, lakini alitawala hadi kufa kwake baada ya sikukuu yao ya Easter ya mwaka 2005. Benedict XVI ni papa mzee kuwahi kuchaguliwa tangu kipindi cha miaka 275, tangu Clement XII mwaka 1730. Utawala wa Benedict XVI hautadumu kipindi kirefu. Utawala mwingine uliofanana na ule wa John Paul II ulikuwa ni wa Leo XIII aliyetajwa hapo juu. Petro Mrumi alitarajiwa angekuwa ofisini tangu mapema iwezekanavyo ya mwaka 2012 na akichelewa sana kwenye mwaka 2025. Uwezekano unabakia kwamba jina la huyu Petro Mrumi ni la ulaghai lenye nia ya kuwadanganya watu kwamba yule Petro Myahudi alikuwa ndiye papa wa kwanza na kwamba yeye ndiye alieanzisha cheo hiki cha upapa. Hii haitakuwa na maana nyingine zaidi ya ile ya kufikia kikomo na kuanguka kwa mapigo kwa kiti hiki cha upapa. Tukio hili litaendana na kuondolewa kwa ukuhani na kurudi kwenye kanisa la kale kwa kuwa hivi ndivyo kwa kweli inavyosema Biblia kuwa

itatokea. Kwa kweli, tunaweza kumchukulia Benedict XVI kama papa wa mwisho kwa mtazamo unaofahamika leo. Askofu wa kwanza anayejulikana kuwa alikuwa wa Roma baada ya Mtume Paulo alikuwa Linus Mwingereza. Alikuwa ni mwana wa Caratacus au Caradog, aliyefungwa na kusamehewa na Claudius huko Roma, kama tulivyoona hapo juu. Dini hii ya Kanisa la kwanza itakuwa ndiyo ambayo kwayo imani yote itarejeshwa upya katika Siku za Mwisho wakati wa kuja kwake Masihi. [Kumbuka kuwa kwa mujibu wa Hyppolytus, askofu wa kwanza wa Roma alikuwa Linus, na sio Petro (imeandikwa kwenye Kitabu cha Hippolytus, Kitabu cha XLIV; KUHUSU Mitume Thenashara, Mahali ambapo kila Mmoja WAO Alihubiri. Na Mahali Ambapo Kila Mmoja wao Alifikia Tamati Yake au Kifo chake). Na hii ndiyo sababu iliyopelekea wao wamwite ni mpinga-upapa. Iraeneus pia alieleza kwa wazi sana kwamba Linus alikuwa ni askofu wa kwanza wa Roma (imeandikwa kwenye kitabu cha Iraeneus, Kupingana na Mafundisho ya Uwongo Toleo la I, Kitabu cha III, Sura ya III, Kifungu cha3) ANF, Toleo la 1, ukurasa 416) = (Against Heresies, Volume I, Book III, Chapter III, Para 3) (ANF, Vol. 1, p. 416)]

Papa wa mwisho pamoja na mfumo wake wote wataondolewa kutoka kwenye kiti chake sawasawa na unabii ulivyosema kwenye Biblia. Na hatimaye, makuhani wake au huenda hata wale mtangulizi wake, watauawa na maiti zao kuzagaa mitaani. Kutokana na unabii wao wenyewe, tunapata haki ya kutarajia kuona mwisho wa kile tunachokijua leo kama Kanisa Katoliki la Roma tukio litakalotokea wakati wowote tangu mwaka 2012 na 2025 au mbele kidogo, au hata kipindi cha kabla ya hapo, Mungu atawatumia watimilize mpango wake kabla ya kuangamia kwao.

Kwahiyo tunakaribia kuyashuhudia mabadiliko makubwa hapa duniani na kuanza kwa mfumo utakaoitawala hii dunia katika kipindi kijacho cha zaidi ya miaka 25. Hili ni tukioja kwa mujibu wa maandiko na unabii wa Biblias.

Kipindi cha matendo ya Mungu kinajulikana kwa mujibu wa Kalenda yake, na kwa mujibu wa mfumo na kwenye unabii. Kristo alisema

Page 22: Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus …kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p288.doc · Web viewPia watendaji wa mambo ya uharibu mimba walimuona kuwa ni kitisho cha

Page 22 Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus na Malachykwamba watu wanataka kuona ishara, lakini hakuna ishara iliyotolewa kwenye huduma yake zaidi ya ile ya Ishara ya Yona (tumeandika kwenye jarida la Ishara ya Yona na Historia ya Ujenzi-Mpya wa Hekalu (Na. 13) [The Sign of Jonah and the History of the Reconstruction of the Temple (No. 13)].

Mpangilio wa miaka ya Biblia inatuama kwenye maadhisho ya Yubile. Yubile moja ni sawa na kipindi cha miaka hamsini. Yubile arobaini ni jumla ya miaka elfu mbili kamili. Tarakimu hii ya arobaini inamaana sana kwenye unabii wa Biblia na pia hata kwenye huduma ya Masihi.

Hizi Yubile zinaangukia kwenye miaka ya 27 na 77 kwa kulinganisha na mfumo wa karne za kidunia (soma majarida ya Usomaji wa Torati Ulivyofanywa na Ezra na Nehemia (Na. 250) na Maana ya Mwaka 2000 (Na. 286) [Reading the Law with Ezra and Nehemiah (No. 250) and Significance of the Year 2000 (No. 286)]. Yubile inayofuatia mbele yetu itakuwa mwaka 2027 tangu siku ya Upatanisho hadi siku nyingine ya Upatanisho ambayo itafuatana Mwaka wa Sabato na wa Yubile. Mwaka 2028 utakuwa ni mwanzo wa Yubile ya Arobaini na moja tangu kuzaliwa na huduma ya Masihi na itakuwa ni Yubile ya Hamsini au pia huitwa kuwa ni Yubile ya Yubile zote tangu kipindi cha marejesho mapya ya Torati na matengenezo ya Hekalu yaliyofanywa na Ezra na Nehemia. Hii ina maana yake kuu sana.

Jambo la moja la kweli na la muhimu sana ni kwamba hii Ishara ya Yona ni idadi ya mambo yaliyo ndani yake. Iliendelea kwa misingi ya miaka na siku na hatimaye kwa Yubile na kwa msingi wa siku na miaka katika Siku za Mwisho.

Mji wa Ninawi ulipewa siku arobaini utubu baada ya siku moja ya kuingia kwa nabii na siku mbili za mahubiri ya Yona, baada ya yeye mwenyewe kuwa kwenye tumbo la Nyangumi kwa muda wa siku tatu usiku na mchana. Watu wa Ninawi walitubu.

Yuda walipewa sehemu ya mahubiri ya mwaka ya Yohana Mbatizaji na halafu miaka mingine miwili ya mahubiri ya Masihi na miaka mingine arobaini ya toba. Ila hawakutubu.

Masihi alisulibiwa siku ya 14 ya mwezi wa Abibu wa mwaka 30 BK. Kisha Yuda wakapewa kipindi kingine cha hadi mwaka 70 BK ili watubu. Walimuua Yakobo, ndugu wa Kristo mwaka 63 Bk na kulianza juma la mwisho la miaka la majuma sabini ya miaka aliyo kwenye Danieli 9:25-26. Siku ya 1 ya mwezi wa Abibu au wa 1 Nisan ya mwaka 70 BK Yerusalemu ulizingirwa na majeshi ya Warumi wakiongozwa na Tito na, Siku ya Upatanisho ya mwaka huo huo wa 70 BK, Yerusalemu na Hekalu lake vilihusuriwa na Hekalu kubomolewa na kila kitu kikaangushwa chini. Mnamo siku ya 1 Abibu mwaka 71 BK, Hekalu la Leontopolis huko Misri lilifungwa pia na Vespasian na Yuda wakachukuliwa na kupelekwa utumwani na wakawa huko kwa kipindi cha Yubile arobaini, hadi kipindi cha mwisho na wongofu wao utakaofanyika kabla ya Kurudi kwa Masihi na mwanzo wa utawala wa millennia wa Masihi.

Kwa hiyo,ndipo Kanisa likaenda jangwani au nyikani kwa kipindi cha Yubile moja kwa mlinganisho wa mwaka wa miaka waliyokaa Israeli jangwani walipokuwa wanatoka utumwani Misri. Mataifa nao pia walipewa kipindi cha Yubile 40 ili watubu lakini hawakutubu. Kipindi hiki cha Yubile arobaini kinaishia mwaka 2027 na ulimwengu huu utakuwa kwenye toba kwa lazima. Kuanzishwa kwa matumizi ya miongozo ya Torati kwenye jamii zetu kutakuwa ndio jambo litakalolazimisha kurejeshwa kwa amani duniani. Imani zilizokuwa zinaaminiwa na kufundishwa kwenye dini za uwongo hapa duniani na mifumo yake yote zitakomeshwa na kuangamia kanisa na majeshi ya ulimwengu pia yataangamizwa. Tariba ya mambo haya imeelezewa kwa kina kwenye jarida la Muhtasari wa Ratiba ya Kila Zama (Na. 272) [Outline Timetable of the Age (No. 272)].

Masihi atakifupisha kipindi hiki, vinginevyo kusingekuwa na mtu hata mmoja angaliyeweza kuokoka (Mathayo 24:20; Marko 13:22).

Mathayo 24:15-28 inasema: Basi hapo mtakapoliona chukizo la uharibifu, lile lililonenwa na nabii Danieli, limesimama katika patakatifu (asomaye na afahamu), 16 ndipo walio katika Uyahudi na wakimbilie milimani; 17 naye aliye juu ya dari asishuke kuvichukua vitu vilivyomo nyumbani mwake; 18 wala aliye shambani asirudi nyuma kuichukua nguo yake.19 Ole wao wenye

Page 23: Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus …kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p288.doc · Web viewPia watendaji wa mambo ya uharibu mimba walimuona kuwa ni kitisho cha

Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus na Malachy Page 23

mimba na wanyonyeshao siku hizo! 20 Ombeni, ili kukimbia kwenu kusiwe wakati wa baridi, wala siku ya sabato. 21 Kwa kuwa wakati huo kutakuwapo dhiki kubwa, ambayo haijatokea namna yake tangu mwanzo wa ulimwengu hata sasa, wala haitakuwapo kamwe. 22 Na kama siku hizo zisingalifupizwa, asingeokoka mtu ye yote; lakini kwa ajili ya wateule zitafupizwa siku hizo. 23 Wakati huo mtu akiwaambia, Tazama, Kristo yupo hapa, au yuko kule msisadiki. 24 Kwa maana watatokea makristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, kama yamkini, hata walio wateule. 25 Tazama, nimekwisha kuwaonya mbele. 26 Basi wakiwaambia, Yuko jangwani, msitoke; yumo nyumbani, msisadiki. 27 Kwa maana kama vile umeme utokavyo mashariki ukaonekana hata magharibi, hivyo ndivyo kutakavyokuwa kuja kwake Mwana wa Adamu. 28 Kwa kuwa po pote ulipo mzoga, ndipo watakapokusanyika tai.

Kurudi kwake mapema kungeonekana kuwa ni kwa angalau kipindi cha miaka saba kabla ya Yubile ya mwaka 2027. Hii ni kwa mujibu wa nabii mbalimbali za Biblia kama zilivyoelezewa kwenye jarida la Kuanguka kwa Yeriko (Na. 142) [The Fall of Jericho (No. 142)].

Uthibitisho wa Nostradamus kuhusu matukio ya vipindi ya BibliaJe, kuna ushahidi wowote kutoka kwa Nostradamus ambao unaonyesha kuwa alikuwa anatumia nyakati zilizotajwa kwenye Biblia na kufanya kazi zake kwa mujibu wa hizi Yubile? Jibu ni Ndiyo, kuna ushahidi mwingi na inaonekana kuwa alikuwa anafanya kazi zake akitumia tarehe za mwaka 2020 kwa kipindi cha amani ya dunia tunayoitarajia kutokana na kunyenyekeshwa kwa mataifa yote ya dunia.

Kwenye kitabu chake kuna mahali pajulikanapo kama Century 10, Quatrain 89, sehemu ambayo imeandikwa na kuwekwa kati ya mambo kadhaa aliyobashiri kuhusu kutokea kwa matukio makubwa, tunaona kipindi cha uhaba wa bidhaa ama chakula utakadumu kwa kipindi cha takriban miaka saba na ndicho kipindi cha hii Yubile ya Yubilc zote. Anasema:

De brique en marbre seront les murs reduicts,Sept et Cinquante années pacificque,Joye aux humains, renoüé l’aquaduict,Santé, grands fruits, joye et temps mellifique.

David Ovason anatambua upole adimu ulioelezewa kwenye kifungu hiki na

anakichukulia kuwa kama kifungu kinachoelezea utaalamu wa mambo ya anga kwa umahiri. Inapaswa ikumbukwe kwamba katika kipindi hiki watu walio kwenye taaluma ya mambo ya anga na nyota walikuwa hawajatenganishwa na hii ilikuwa ndiyo njia pekee iliyobalika kutumika kuelezea kipindi kwa matukio yaliyochukua kipindi kirefu sana. Ovason mara moja anachambua kumbukumbu yoyote iliyoandikwa hadi mwaka 1945 iliyo na msingi wake kwenye matukio matukio ya mara kwa mara na ndipo anapo kitafsiri kipengele hiki kama ifuatavyo:

Mwendo utapunguzwa kutoka kwenye matofali hadi kwenye malumalu,Miaka saba na hamsini ya amani kuu,Furaha kwa wanadamu, waliorejeshewa hali zao, Kitakuwa ni kipindi cha afya nyema, matunda makuu, furaha na nyakati tamu.(D. Ovason, kitabu chake cha Gombo la Nostradamus (The Nostradamus Code), Arrow Books 1997,ukurasa 443.)

Miaka hii saba na hamsini ya amani ni ya Yubile pamoja na miaka saba. Kwa hiyo ingeweza kupunguzwa, na kupewa na kulazimu nabii nyingine zifanyike na nabii za Kikatoliki zenyewe zilizobashriwa huko nyuma zijumuishwe, ili zionyeshe miaka saba inayotangulia kwenye yubile hii ya mwaka 2027 na miaka hamsini iliyotajwa ya Yubile ya Yubile zote ya mwaka 2028-2077. Ovason anamnukuu Rodney Colin akijaribu kuondoa mzunguko wa miaka kumi na mitano kwenye vita anaposema kwamba: ‘Kwa kweli, vita ni endelevu, na kikomo (kilichopimwa) kinaonekana kuwa ni cha kuwakilisha tu kiwango cha juu cha hali tete’ (kitabu hichohicho, ukurasa wa 444).

Ili kuuelewa unabii huu wa amani wa Nostradamus pasipo ushahidi wa ndani, Ovason anaamini kuwa tunalazimika pia kusoma vifungu vilivyo kwenye C.9:Q. 83. Kisha yeye anaacha kuelezea trigoni za Anga zaidi kuliko kureudi kwenye Kalenda ya Biblia. Kisha anaweka maandiko pamoja na uhusiano wa kimaandiko na Jupiter aa Saturn, ambayo ni mwaka 2020, jambo linalolifanya andiko lililoko kwenye mstari wa tatu usemao renoüé l’aquduict uhusiane na kipindi cha giza cha tarehe 21 Desemba 2020, kitakachotokea katika nyuzi ya kwanza ya Aquarius (dakika 00.29). Analifafanua neno hili la kurejeshwa

Page 24: Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus …kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p288.doc · Web viewPia watendaji wa mambo ya uharibu mimba walimuona kuwa ni kitisho cha

Page 24 Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus na Malachyupya kwa mifereji kuwa ni kama kurejezwa upwa kwa Aquarius baada ya kutokuwepo kwa karne kadhaa. Hali hii ya kipindi cha giza haijawahi kutokea kwa kipindi cha zaidi ya miaka zaidi ya 800. Mistsri miwili ya misho kwa hakika ilinasomwa kikamilifu kama:

Furaha kwa wanadamu, kurejeshwa kwa mifereji,Afya, mavuno makuu, furaha na kipindi kitamu.

Hii inawakilisha furaha kwa wanadamu ambayo hatunaitarajia kutokea kama mapumziko baada ya kipindi kigumu kupita cha Vita Kuu ya Tatu ya Dunia na marejesho mapya ya Masihi. Miaka saba ya mwisho vita nay a marejesho mapya ya Masihi vitakuwa vimefikia mwisho katika kipindi hichohicho kama tunavyoona kwenye maandiko mengine. Hali ya afya tele inaelezwa kwenye maandiko ya Ezekiel 47:6-12.

Ezekieli 47:6-12 inasema: Akaniambia, Mwanadamu, je! Umeona haya? Kisha akanichukua akanirudisha mpaka ukingo wa mto. 7 Basi nikiisha kurudi, tazama, kando ya ukingo wa mto ilikuwapo miti mingi sana, upande huu na upande huu. 8 Ndipo akaniambia, Maji haya yanatoka kwenda pande za nchi ya mashariki, nayo yanashuka mpaka Araba, na kuingia katika bahari maji yatokezwayo yataingia baharini ,na maji yake yataponyeka. 9 Tena itakuwa, kila kiumbe hai kisongamanacho, kila mahali itakapofika mito hiyo, kitaishi; kutakuwapo wingi mkubwa wa samaki, kwa sababu maji haya yamefika huko maana maji yale yataponyeka, na kila kitu kitaishi po pote utakapofikilia mto huo. 10 Tena itakuwa, wavuvi watasimama karibu nao; toka Engedi mpaka En-eglaimu, patakuwa ni mahali pa kutandazia nyavu; samaki wao watakuwa namna zao mbalimbali, kama samaki wa bahari kubwa, wengi sana. 11 Bali mahali penye matope, na maziwa yake, hayataponywa; yataachwa yawe ya chumvi. 12 Na karibu na mto, juu ya ukingo wake, upande huu na upande huu, utamea kila mti wa chakula, ambao majani yake hayatanyauka, wala matunda yake hayatatindika kamwe; utatoa matunda mapya kila mwezi, kwa sababu maji yake yanatoka mahali patakatifu; na matunda yake yatakuwa ni chakula; na majani yake yatakuwa ni dawa.

Maji haya yanayotiririka ni maji ya yenye uwezo wa kuponya ambayo nayatokea Hekaluni kuelekea baharini na Araba na yanaziponya bahari na maji. Miti inayomea kando ya maji haya ni ya kuwaponya mataifa. Kwa hiyo tusiamini wala kutegemea baadhi ya mafundisho ya teolojia ya Aquarian kwenye maandiko haya bali zaidi sana tunategemea yale yaliyoandikwa kwenye Biblia au mtazamo

wake halisia, ambayo yanaweza kujulikana kwa namna yoyote itakayoonekana hapa, kwa miaka 800 iliyotajwa kwenye mwaka uleule. Wazo la kufanywa upya ni la Kifaransa ambalo maana yake ni Kurudi tena. Huu ni urejesho mkuu na unawezaonekana tu kwenye kipindi cha marejesho cha Masihi cha urejesho wa matumizi ya Torati au Sheria za Mungu na nguvu za Mungu kama tulivyojionea ilivyokuwa kwenye Bustani ya Edeni.

Kwa namna nyingine, maandiko mengine yaliyo kwenye Quatrain (C.X:Q.72) yanasema kwamba alipewa alama za kuanza kipindi cha maswali. Lakini imekosewa sana katika tafsiri yake na waliohusika kuitafsiri ikasema hivi.

L’an mil neuf cens nonante neuf sept moisDu ciel viendra un grand Roy d’effrayeurResusciter le grand Roy d’Angoulmois.Avant apres Mars regner par bon heur.

Kifungu hiki kimerudiwa kufasiriwa na Ovason hivi:

Mwaka wa elfu moja na mia tisa na tisini na tisa na miezi saba.Kutoka mawinguni atakuja Mfalme mkuu wa mwaliko. Naye atamfufua Mfalme mkuu wa Angoulmois.Kabla ya baada ya utawala wa Mars kwa bahati njema.

Maandiko haya yametafsiriwa kwa mujibu wa kalenda ya kidunia kuwa ni mwezi Julai, 1999. Hatahivyo, kama tulivyojionea inawezekana kabisa ikawa kwamba tunaitarajia Kalenda takatifu kwenye kifungu hiki. Mwezi wa Saba unazijumuisha Sikukuu za Baragumu, Siku ya Upatanisho, na Sikukuu ya Vibanda.

Maana yake ni kwamba tangu mwaka wa 21 wa Yubile ya Arobaini (yaani mwaka 1998) kwene mwaka wa Sabato, ndipo Torati iliposomwa sawasawa na Maagizo ya Mungu mwenyewe. Tangia kipindi hiki ndipo Torati ilianza kuhubiriwa kwa mataifa yote katika kuwandaa Mashahidi na marejesho ya utawala wenye kuzingatia amri za Torati hapa duniani na Mungu.

Ndipi maonyo ya Yeremia 4:15 yanachukuliwa na Kanisa la Mungu katika kuandaa ujio wa Masihi. Jambo hili litafanyika kwa kutumia mitandao ya mawasiliano ya kisasa kwa kutumia satellite na Interneti, ambazo ndizo ziyakazolibeba wazo la kupiga mbiu ya

Page 25: Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus …kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p288.doc · Web viewPia watendaji wa mambo ya uharibu mimba walimuona kuwa ni kitisho cha

Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus na Malachy Page 25

baragumu kwa ajili yake yeye ajaye mawinguni.

Hii itamfufua na kumpa uhai tena Yule mfalme mkuu wa Angoulmois. Mfalme wa Angoulmois alikuwa ndiye Masihi ambaye ni kichwa cha Kanisa la kweli, ambalo katika kipindi kile cha Nostradamus lilikuwa likiteseka kiasi cha kuwa karibu ya kukoma kabisa na hatimaye ilipelekea kitendi cha kuhama kwa Huguenots na kujinga na Waprotestanti waamini Utatu na kuzagaa kwao huko Amerika ya Kusini na kwingineko kote kwenye nchi za Jumuia ya Madola. Hatahivyo, katika siku za Nostradamus walikuwa ni waamini Mungu Mmoja au Waunitaria watunza Sabato wa imani ya wa Waldensian, waliokuwa wanateswa na wapigania dini au wakrusedi wa Albigensian. Walikuwa wanalindwa na Counts wa Toulouse na pia Francis I anayeonekana kwenye maandiko mengine ya Nostradamus.

Tafsiri ya kwamba huyu Angoulmois ni Mfalme wa Mongols kama anavyosema Ovason (ukurasa 461) ni jambo lisilo na maana kabisa. Ovason naligawanya neno hili kwa vipande vitatu: ANG-OUL-MOIS.ANG ni neno la siri lenye maana ya Ange, neno la Kifaransa linalomaanisha Malaika.OUL inadhaniwa kuwa ni kijina kinachogawanya neno kwa mfumo wenye maana sana.Ol ni jina la mmojawapo wa malaika mkuu wa Zodiac anayekutikana kwenye maandishi na kalenda ya watu wa zama ya kati, na kwa Nostradamus alimhusisha na Verchiel kwenye scala ya kichawi ya Agrippas iliyosomwa kila mahali ijulikanayo kama De Occulta Philosophia (Ovason, kurasa za 461-464).MOIS ni neno la kifaransa lenye maana ya mwezi mmoja.

Kwa hiyo tunatafuta wazo la namna ya kuipata kalenda, kwa namna zote mbili, yaani ya kipagani na ya Kibiblia kwenye maandishi haya. Kalenda ya Gregorian haaikutokana na matumizi makubwa ya Wafaransa hadi kufikia mwaka 1582, kipindi cha baada ya maandiko haya na maandiko ya Nostradamus. Watawala wa miezi na miezi yenyewe ilionekana kama walijumlishwa.

Mfalme wa mwezi wa kibiblia wa Saba ni Masihi anayekuja na mlio wa Parapanda. Huyu ndiye Malaika wa Shauri Kuu aliyenenwa kwenye Isaya 9:6 kwenye nakala ya Septuagint (LXX), aliyetajwa kuwa ni Yesu Kristo na Kanisa la kwanza la kabla ya Matengenezo.

Mwezi wa Saba wa Kalenda ya Jua unatawaliwa na Leo ambaye analiwakilisha jua. Sol ni kiini cha Ol na Oel ni kifupisho cha Leo (kama anavyosema Ovason, op.cit., kurasa za 462-463). Malaika Mkuu anayewakilisha alama hii kwenye teolojia ya mwanzo alikuwa ni Mikaeli. Malaika Mkuu Mikaeli (Yuda 9) ni mfalme mkuu aliyetajwa kama ni mlinzi wa Israeli (Dan. 10:13, 21) na ndiye anayelilinda Kanisa na ni mkuu wa Malaika wa Mbinguni (Dan. 12:1; Ufunuo 12:7), na ni Malaika wa Agano la Kale. Kwahiyo, Mikaeli alitajwa kama ni Yesu Kristo na wa Waldensian wa zama ya kabla ya Matengenezo au imani yaw a Albigensian na hatimaye kwenye Makanisa ya Mungu. Kwa hiyo, tunashughulika na harakati na matendo ya Yesu Kristo hapa na kwa kupitia kwa watumishi wake ambao ni wateule wake Kanisani. Haijalishi ni kwa namna gani andiko hili lilitafsiriwa kwa mtazamo wa kalenda ya kipagani ya jua au ni kwa mfumo wa kalenda ya kibiblia ya mwezi na jua.

Kama kipindi hiki sasa kinavyipita, tunaweza kujionea kile kinachokusudiwa na kuona kile kinachomaanishwa na maandiko haya. Mnamo mwaka 1998 Kanisa la Mungu lilifanya marejesho mapya na kuisoma Torati ya Mungu kama ilivyoagizwa kwa mara ya kwanza tangu kipindi cha Waldensian cha kabla ya Matengenezo, na huenda ni kwa mara ya kwanza baada ya kipindi cha zaidi ya miaka elfu moja na mia sita tangia ilipokomeshwa na Desposyni. Kanisa Katoliki la Roma liliweka mkakati na kukusudia kabisa kuiangamiza na kuikomesha kabisa familia ya Yesu Kristo kwenye himaya yao yote au Dola yote katika karne ya nne na ya mkakati ulioazimiwa kwenye Mtaguso wa Roma wa mwaka 318 (imeandikwa kwa kina kwenye jarida la Bikira Mariamu na Familia ya Yesu Kristo (Na. 232) [The Virgin Mariam and the Family of Jesus Christ (No. 232)].

Mwaka 1999 Torati na maonyo vilitafsiriwa na kuwekwa kwenye mtandao wa Interneti kwa

Page 26: Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus …kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p288.doc · Web viewPia watendaji wa mambo ya uharibu mimba walimuona kuwa ni kitisho cha

Page 26 Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus na Malachylugha mbalimbali tangu mwezi wa Saba na kuendelea.

Sasa mataifa yatakuwa yanapimwa na kushughulikiwa chini ya mfumo huu wa zama na matukio ulioelezewa hapa na kwenye kazi ya uandishi iliyoko kwenye jarida la Ufafanuzi wa Ratiba ya Zama Mbalimbali (Na. 272( [Outline Timetable of the Age (No. 272)].

Mstari wa mwisho unaotaja neno Kabla na baada ya utawala wa Mars kwa bahati njema (au kama wengine wanavyoitafsiri kuwa ni kwa furaha sana), ina kusudia kumaanisha ukweli kwamba ni kwa neema ya Mungu tu kwamba mapepo wanaruhusiwa kuendelea kutawala. Vita vya mwisho vitaruhusiwa kwa uweza au nguvu za Mungu katika kipindi ambacho amempa kutawala Shetani. Vita hivi ni kwa ajili ya kupingana na Torati Torati ya Mungu. Ni kwa kipindi kifupi tu kijacho Masihi atakuja ili kuvikomesha vita hivi.

Hadi kufikia muda huo kutakuwa na migongano ya muda mrefu sana, ambayo yataanza hivi karibuni. Nostradamus anajaribu kutaja migogoro hii na anasema kwamba yatachukua kipindi cha miaka ishirini na saba.

Chefs d’Aries, Jupiter and Saturne,Dieu éternel quelles mutations,Puis par long siècle son maling temps retourneGaule et Italie, quelles émotions.

Hii inaweza kuonekana vizuri sana kama:Machifu wa Aries, Jupiter na Saturn,Mungu wa Milele ndiye anabadilisha, Baada ya karne ndefu, vipindi vya uovu vitarejea,Kutakuwa na mateso katika mataifa ya Ufaransa na Italia (C.1:Q.51).

Hii ilikuwa inaitaja karne ndefu ya ishirini, siku ndefu kwa kanuni za wa-Gregorian, lakini imefanywa kwa vita vita isiyokoma na kisha inapoisha zama za uraia au kawaida zitarejea. Mungu wa Milele atawezesha kuwepo mabadiliko haya, kwa maneno mengine ni kwamba tunashughulikia unabii wa vita vinavyokuja mwishoni na kuharibiwa kwa taratibu za ulimwengu huu uliopo sasa. Karne hii iliisha na nyingine mpya ilianza tangu tarehe 1 Januari 2001 kwa mtazamo wa kalenda ya jua na taratibu zake (soma jarida la Maana ya Mwaka 2000 (Na. 286) [Significance of the Year 2000 (No. 286)].

Unabii kuhusu nyakati mbaya za taabu katika Ufaransa na Italia.

Kipindi itakachochukua vita vya mwisho vya Mpingakristo vinaonekana vitadumu katika vipindi vya tangu mwishoni mwa karne ishirini haki kufikia Yubile. Nostradamus anaeleza mtazamo wake kwenye C.8:Q.77.

L’antichrist trois bien tost annichilezVingt et sept ans sang durera sa guerre:Les heretiques morts, captifs exilez,Sang corps humain eau rougie greler terre.

De Fontbrune alitafsiri maneno haya kama ifuatavyo:

Mpingakristo atayapiga na kuyaangamiza hivi karibuni mataifa matatu. Vita atakayoianzisha itaendelea hadi kufikia miaka ishirini na saba ndipo itakoma. Wapinzani wake watauawa na wengine kufungwa magerezani katika nchi za uhamisho. Damu itiririkayo kutoka kwenye miili yao itachafua maji kwa wekundu, na nchi itatibuliwa kwa majipu (mizinga na milipuko ya mabomu).

Tafsiri za De Fontbrune ni hizo tu na hazishughuliki na maandiko haya kwa uaminifu sana kwa namna fulani. Kwenye maandiko haya, maneno yasemayo Wazushi yanamaanisha kuwa ni wapingaji. Kwakweli, sisi tunashughulika na vita ya kidini. Vita hivi vinachukuliwa na wafasiri kuwa inaendelea tangu kipindi cha miaka ishirini na saba ya kwanza ya karene ya kwanza hadi mwaka 2027. Vita hivi vya kidini kwa sasa inaendelea. Mpingakristo alipaswa awe kwenye madaraka sasa.

Kuna makosa ya dhahiri kwenye tafsiri yanayosababisha ionekane kuwa vita hii itaendelea kwa kipindi cha miaka 27, na kuufanya mwanzo wa amani uanzie kwenye mwaka 2020. Hii inapaswa kujibiwa, na ni kama tukivyojua kwamba kuiteka na kuitiisha Kanaani hakukufanyika kwa mara moja. Kristo alijitokeza kama Kamanda wa Jeshi la Bwana kwa Yoshua na Yeriko ukaanguka katika siku saba, labi kuitiisha yote kulichukua muda na mchakato. Na ndivyo itakavyokuwa kwenye kipindi hiki cha miaka saba ya mwisho ya Yubille na katika kipindi hiki kutakuwa na mchakato wa amani itakayokuja hatua kwa hatua.

Hii ilikuwa imalizike kwa mwaka wa mwisho wa mzunguko wa mwisho katika mwaka 2025

Page 27: Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus …kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p288.doc · Web viewPia watendaji wa mambo ya uharibu mimba walimuona kuwa ni kitisho cha

Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus na Malachy Page 27

kwa agizo la mavuno makuu ya Sabato na Yubile yatakayokuwa katika miaka ya 2026 na 2027.

Milenia ya NostradamusTunaona kwamba habari hii inatokana na unabii mwingine wa kwake, ambao umetafsiriwa tena na Lorie (ukurasa 99).

Baada ya hapo Mpingakristo atakuwa ni mfalme wa ndani tena, kwa kipindi cha mwisho. Falme zote za Kikristo zitatetemeka hata kwa wale wasio wema, kwa kipindi kilicho wazi cha miaka 25. Vita na mapigano vitakuwa na machukizo na kuhuzunisha sana na miji mikubwa na midogo ngome na ikulu nyingine nyingi zitateketezwa kwa moto, kufanywa maganjo, na kuangamizwa na kutaonekana malundo makubwa ya mwagiko wa damu, na kutakuwa na ukiukaji au uasi mkubwa wa heshima ya ndoa ambao utasendana na ubakwaji wa wanawake na wajane, na matendo ya unyonyaji wa damu za watoto na kuwatupa na kuwavunjia kwenye kuta za mijini. Kwa kumaanisha kuwa Shetani ni Mfalme Muovu, kwa hiyo maovu mengi sana yatafanyika kiasi cha kuufanya ulimwengu wote utajikuta ukiwa na utupu. Kabla ya kutokea matukio haya kuna ndege wengi watakaolia warukapo angani: Leo, leo, na wakati mwingine baadae watakoma na kutoweka. Baada ya kuwa matukio haya yatavumiliwa kwa kipindi kirefu, kutakuwa na kitu kitakachokuwa sawa tu na kurejea kwa utawala wa Saturn, na zama muhimu. Kwa kusikiliza ama kuyajali mateso ya watu, ndipo Mungu muumbaji ataamuru kwamba Shetani atupwe kule. Ndipo amani ya dunia yote itafuatia kati ya Mungu na mwanadamu, na Shetani atabaki kuwa amefungwa kwa kipindi kipatacho miaka elfu moja, na hatimaye atafunguliwa tena.

Hii inatokana moja kwa moja na yaliyoandikwa kwenye Ufunuo 20:1-10 kama inavyoonekana hapo juu.

Mauaji makubwa yanayotajwa hapo juu yamekwishafanywa na waamini Utatu wenyewe. Machafuko yanaendelea sasa. Afrika inashuhudia matendo ya kinyama yakifanyika kila siku, na hata sasa inajionea mshnikizo wa matendo ya ulaji nyama za watu na mauaji ya wanawake na watoto.

Nostradamus anaonyesha kwamba maangamizi na msiba mkubwa wa Dunia kutaonekana kuhusika kwa washika dini kwenye mchakato huu. Dunia itaangamizwa hatua kwa hatua na kuendelea hadi kizazi cha miaka arobaini, na kisha kutatokea mafuriko ambayo yataijenga upya. Anautumia mmea wa airisi kama kielelezo cha mchakato huo akisema.

Mars nous menace par sa force bellique, Septante fois fera le sang épandre:Auge et ruine de ‘Ecclésiastique et plus ceux quiDeux rien voudront entendre. Faux à létangJoint vers le Sagittaire en son haut AUGE deL’exaltation, peste, famine, mort de main militaire:Le siécle approche de rénevation.Par quarante ans l’Iris n’apparaitre,Par quarante ans tous les jours sera vu:La terre aride en siccité croåtra,Et grands déluge quand sera apercu.

Tafsiri yake ni:Mars imetutisha kwa nguvu zake za kupenda vita, amesababisha mwagiko wa damu mara sabini: anguko na angamiza viongozi wa dini na zaidi sana ni wale ambao hawataopenda kuelewa chochote kutoka kwao. Mundu iliungana kumponda kichwa Sagittarius ili kupunguza urefu wa wazao wake, tsuni, njaa, mauti kwa mkno wa kijeshi: karne inajongea kwenye kuondolewa kwake. Kwa kipindi cha miaka arobaini mmea wa airisi hautaonekana, kwa miaka 40 utaonekana kila siku: dunia kame itaendelea kuwa kame zaidi na mafuriko makubwa yatakapotokea (P. Lorie, ibid.,ukurasa 94).

Kutakuwa na vita na Mabadiliko ya Tabianchi. Maonyo ya kabla ya kutokea hayo (soma jarida la Mabadiliko ya Tabisnchi na Unabii wa Biblia (Na. 218) [Global Warming and Bible Prophecy (No. 218)] inaonekana kama maafa ya kiikolojia yanayofuatia kwenye Milenia na kisha inarejeshwa upya kwenye miaka fulani ya kipindi cha Milenia na kizazi cha maangamizo makubwa au mafuriko yasiyorejesheka. Hii limeelezewa pia kwa sehemu kwenye maono ya nabii Ezekieli kama ilivyonukuliwa hapo juu. Miaka arobaini inahusiana na kipindi kilichotolewa cha toba ya mataifa cha kuanzia maiaka ya 1987 hadi 2027 (kama ilivyoandikwa kwenye jarida la Kupimwa kwa Hekalu (Na. 137) [Measuring the Temple (No. 137)].

Kipindi cha mwisho kitahusika na manabii na Mashahidi na majeshi ya Israeli katika mchakato wa mwisho wa kuanzishwa kwa Utawala wa Mungu utakaokuwa chini ya Masihi. Mchakato wote utahusika na kazi zake Mpingakristo na vita vya mwisho.

Mwisho wa imani ya Utatu au Utrinitari huko UlayaImani ya Utrinitaria au Utatu pamoja na matumizi ya alama ya msalaba vitaondolewa vyote huko Ulaya kipindi hiki. Kifungu cha pili cha Quatrain (C.6:Q.80) kinaonyesha

Page 28: Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus …kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p288.doc · Web viewPia watendaji wa mambo ya uharibu mimba walimuona kuwa ni kitisho cha

Page 28 Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus na Malachyuvamizi wa ghafla au shambulio la Waislamu kutoka Afrika na inaonekana sana kuwa watatokea kwenye nchi ya Kiislamu ya Morocco na ndipo imani hii ya Utatu itaangamizwa na kukoma kabisa.

De Fez le regne parviendra à ceux d’Europe,Feu leur cité, et lame tranchera:Le grand d’Asie terre et mer à grand troupe,Que bleux, pers, criox à mort déchassera.

Kutokeas kwa uislamu huu kwa uvamizi ni dhahiri kuwa kutadhoofisha maana au umuhimu wa imani hii ya Utatu, na baadhi ya waandishi (aliwemo Peter Lorie) wanaamini jambo hili kuwa litatokea kipindi cha kuangamizwa na kukomeshwa kwa Kanisa Katoliki la Roma. Inapaswa pia ikumbukwe hapa kwamba majeshi ya Kusini yatamsukuma na kumuondoa mfalme wa Kaskazini. Mwishoni, baada ya kipindi hiki cha uangamivu mkubwa wa Ulaya kama tunavyoambiwa kutoka kwenye maandiko ya Biblia kwamba mfumo huu wa Wafalme wa Kaskazini wa Ulaya wataishambulia Mashariki ya Kati mapema kabla ya vita vya Baragumu ya Tano na ya Sita, ambayo itawaua zaidi ya wanadamu theluthi moja (kama ilivyoelezewa kwenye majarida ya Muhuri wa Saba (Na,140) Baragumu Saba (Na. 141) na [The Seven Seals (No. 140) and The Seven Trumpets (No. 141)].

Ujerumani inaaminika kwenye mchakato huu kuwa itagawanyika kwenye dini nyingi za kipagani kwenye anguko lake la mwisho hadi pale itakaporudi hatimaye na kulipa zaka ya kweli.

En Germaine naitront diverses sectes,S’approchant forte de l’heureux paganisme,Le coeur captif et petites receptes,Feront retour a payer le vrai dime (C.3 :76).

Tafsiri yake ni kama ifuatavyo:Katika nchi ya Ujerumani kutazaliwa bini mbalimbali kadhaa, zinazokaribia kuwa za upagani wenye nguvu na hadi kuwa ni zenye furaha, zitakazoteka mioyo na kukubaliwa kwa undani, na hatimaye mateka hawa watarejea kugeukia kutoa zaka ya kweli.(kama alivyoandika P. Lorie, Nostradamus kitabu cha:The Millennium and Beyond…(Milenia na mbele yake...), Bloomsbury, 1993,ukurasa 146).

Inawezakuwa kwamba kuondolewa kwa kiti au wadhifa wa upapa huko Roma na papa huyo kupita juu ya maiti za makuhani kutafuatia na kuangamizwa kwake kwa shambulio la

Wafaransa na Wataliano kutakakotokana na wimbi hili kutoka Afrika Kaskazini. Kwa hakika, Biblia inasema kwamba Mfalme wa Kusini atamsukumilia mbali Mfalme wa Kasakazini na tunafundishwa kutarajia maangamivu ya mji uliyo kwenye milima saba ambao jina lake la risi unaitwa Bahel ya Siri ya Siku za Mwisho.

Dini ya kaskazini inaweza kutarajiwa kuwepo tena kutoka Roma hadi Yerusalemu kwenye kipindi fulani cha mchakato huu. Kwa hiyo tunajionea kiongozi wa dini hii anaketi kwenye Hekalu la Mungu akijifanya yeye mwenyewe kuwa ni Mungu. Mpanuko huu wa mchakato, uliotajwa kwenye karne ya mwisho huko Roma, mwishoni utaangamizwa wakati nabii wa uwongo atakapouawa wakati wa Kurudi kwake Masihi.

Dini ya Ujerumani itakubalika katika kurekebisha mafundisho ya Biblia na mwishowe watarejea kwenye Torati au Sheria za Mungu na watalipa zaka ya kweli. Kwa sasa wana mfumo wauongo wa kidini wa kulifanya kanisa kuwa ni la kidola yao.

Kurudi kwa MasihiWatu hawatakuwa na mashaka katika kurudi au kuja kwa Masihi. Zaidi sana ni kwamba atatanguliwa na kutokea kwa mlolongo wa matukio. La kwanza ni maonyo ya Siku za Mwisho na maneno yaliyowazi ya unabii ili kuwafanya watu walio kwenye siku za mwisho waelewe. Mungu hafanyi jambo lolote isipokuwa kwanza atawaonya watu wake kwa kupitia watumishi wake manabiiJambo la pili ni kipindi cha Mashahidi wawili watakaonena kwa mamlaka kuu na uweza kutoka Yerusalemu na wanauwezo wa kufunga mbingu na kuuleta moto chini kutoka Mbinguni wakati huu wa kipindi chao hiki cha huduma. Watakuwa wnapingwa na nabii wa uwongo, na watauawa na kuachwa mitaani kwa siku tatu na nusu. Kisha ndipo Masihi atakuja. Atamuua nabii wa uwongo wakati atakapokuja na kuiondoa dini yote ya uwongo kutoka Yerusalemu na mafundisho yake yote ya uwongo na kuitakasa kikamilifu hii dunia.

Tangu kipindi hiki mataifa wote watajinyenyekesha na kukubali maongozi ya

Page 29: Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus …kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p288.doc · Web viewPia watendaji wa mambo ya uharibu mimba walimuona kuwa ni kitisho cha

Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus na Malachy Page 29

Torati na Sheria za Mungu kwa kipindi cha miaka elfu moja, na hatiamye kwenye Ufufuo wa Pili. Ndipo sayari yetu hii itaongozwa kwa maongozi ya Torati ambayo Kristo alimpa nabii Musa kwenye Mlima wa Sinai, akiwa ni muombezi wetu kwa Mungu Mmoja Wapekee na wa Kweli. Tangu kipindi hiki mapepo wote watakuwa wamefungwa kuzimuni au shimo lisilo na mwisho wa kina chake wakirubiri kuhukumiwa mwishoni mwa kipindi hiki cha millennia. Siku hizi waalimu hawa wa dini hizi za uwongo wanasema kwamba Mpingakristo ataweka sheria za Torati ya Musa huko Yerusalemu. Na hiki ndiche hakika Biblia inachosema kuwa Masihi atafanya. Tutafafanua kwa kina mambo haya kwenye jarida letu linalohusu Mpingakristo (soma jarida la 2012 na Mpingakristo (Na. 299D) na Mpingakristo Kwenye Teolojia ya Kanisa la Kwanza na Siku za Mwisho (Na. 299F) [2012 and the Antichrist (No. 299D) and Antichrist in Early Church Theology and the Last Days (No. 299F)].

Kile tunachoweza kuwa na uhakika nacho kwa kipindi kile ni kwamba imani yote ya Utatu katia Ulaya itakomeshwa. Makasisi wao wote waliobonea kwa hila na uwongo kwenye dini zao watakuwa ama wamekwisha kufa au watajinyenyekesha kwenye ukweli na kutubu, na imani nyinyine zozote zitakuwa hazipo tena. Hii itakuwa pia imeandikwakenye lile jarida la Ishara ya Yona na Yubile yz mwaka 2027.

Kizazi hiki kibaya na cha zinaa kinataka Ishara, lakini hawatapewa iwayoyote zaidi ya ile ya Ishara ya Yona. Itakuwa ni mbaya sana zaidi ya ilivyokuwa miji ya Sodoma na Gomora katika Siku za Mwisho. Hawatatubu, na idadi maelfu ya mamilioni ya watu watakuwa pasipo sababu, kwa sababu tu ya dini potofu na kazi za mapepo ambayo hayaitii Torati ya Mungu Aliye Hai na utaratibu wa Kalenda yake.

Tokeni kati yake msishiriki hukumu yake

Addendum:Wengi wetu tunajua kwamba Papa Benedict XVI ametangaza siku ya Jumatatu ambayo ni siku ya pili ya mwezi wa Adari ya mwaka mtakatifu ambao ni sawa na 2012/13 kuwa anakwenda kustaafu kazi yake mnamo tarehe

28 Februari au 19 Adari, baada ya sikukuu ya Purimu, kwa uthuru alioutoa wa sababu ya umri wake kuwa mkubwa sana ambao kwamba hawezi kuyafanya majukumu yake kama inavyotakiwa hususan mkakati wake wa kuibadili dunia kwa haraka. Atakuwa ni papa wa kwanza kufanya hivyo baada ya kipindi cha miaka 719 yaani kustaafu na kuachia kiti chake kwa hiyari yake bila kushurutishwa. Akiwa na umri wa miaka 85 amesema atajiuzulu Februari 28 baada ya kuwa madarakani kwa kipindi cha miaka minane tu, akiwa ni miongoni mwa mapapa waliokaa madarakani kwa kipindi kifupi sana katika historia ya kipindi cha siku zetu hizi akiwa ni kiongozi wa Wakatoliki milioni 1.1 ulimwenguni kote. Siku aliyotangaza jambo hili ilipelekea watu wengi sana kutembelea wavuti yetu CCG wakitaka kusoma jarida linaloelezea mambo haya. Mafundisho na majarida haya yamekuwepo kwenye wavuti yetu kwa miaka mingi sana, nasi tulitegemea kwamba mwaka huu ungekuwa ni wa kwanza katika vita vya mwisho na wa matatizo makubwa ya kiuchumi ya siku za mwisho.

Papa huhu anayefuatia kwa mujibu wa Malachy akofu mkuu wa Armagh Ireland anapaswa kuwa niPetro Mrumi. Huyu ni papa wa mwisho aliyetabiriwa. Idadi kamili ya mapapa hawa na maana ya makoti yao ya mikono au viganja ya majina ya unabii wao vimeandikwa na kufafanuliwa kwenye Sehemu Iliyoongezwa ya Nyongeza A katika jarida hili hapo chini. Kwa hiyo Kristo atakapokuja na Kanisa Katoliki la Roma litaingia hukumuni na litafikia kikomo chake. Pius X alitabiri kwamba papa huyu atachukua jina la Pius na ambaye atakuwa ni Pius XIII. Alitabiriwa kuwa ataondoka Roma alipita juu ya mizoga ya makasisi wake. Huu unaonekana sasa kuwa ni unabii wa uwongo kusipokuwa na mabadiliko yasiyoonekana. Huyu papa anayejiuzulu alichukua jina la Benedict XVI na Malachy alimuita kuwa ni "kutoka kwenye Utukufu wa Mzeituni." Mzeituni ni alama nembo ya Benedict nay a Wabenedictine. Kwa hiyo tulitarajia kwamba angelichukua jina lile.

Petrus Romanus au Petro Mrumi atatangulia kipindi cha dhiki kuu na matatizo makubwa na migogoro kanisani. Kiti chake kijulikanacho kama Curial See kitaondolewa kutoka Roma

Page 30: Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus …kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p288.doc · Web viewPia watendaji wa mambo ya uharibu mimba walimuona kuwa ni kitisho cha

Page 30 Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus na Malachyha kuhamishiwa Yerusalemu kwenye utawala wake ambao huenda ukawa kwenye kabla ya mwaka 2019. Kitahamishwa pamoja na kituo cha uongozi wa shirka la NATO na huyu ndiye Mpingakristo atakayetawala kwa kipindi cha miezi 42 akitokea Yerusalemu.

Sio jambo la nasibu tu kutokea kwamba Benedict amejiuzulu kwenye mwezi wa mwisho wa mwaka mtakatifu unaoangukia katikati ya mwaka 2012/13. Ilikuwa ni muhimu kwamba matayarisho ya mwisho ya siku za mwisho ya Kanisa Katoliki la Roma yafanywe kwa usimamizi wa papa huyu wa mwisho ambaye atakabiliana na dhiki kuu na ni jambo ambalo Benedict alishindwa kabisa kukabiliana nalo kulingana na hali yake ya kiumri na kiafya. Iliarifiwa kuwa kulisemwa tangu mwanzo na Mjesuit Rene Thiebaut takriban mwaka 1950 kuwa itakapofika mwaka 2012, ambao ulikuwa ni mwaka mtakatifu.

Maelezo ya kina kuhusu maandalio na migogoro ya Siku za Mwisho na hasa yanayohusu kipindi cha miaka ya 2012 na 2013 yameandikwa na kuelezwa vizuri kwenye jarida la Mwaka 2012 na Mpingakristo (Na. 299D) [2012 and the Antichrist (No. 299D)]. Mfumo wa imani ya Kishetani unajiandaa kulazimisha kile kinachojulikana kama Amri Mpya ya Maisha Ulimwenguni, maarufu kama The New World Order (NWO) hapa duniani. Mchakato huu ulipangwa uwe umekamilika tangia majira ya jua kuwa kusini mwa Ikweta maarufu kama solistaisi cha tarehe 21 Decemba 2012. Mwaka 2013 ulikuwa uwe mwaka ambao kwao maandalizi muhimu ya mgogoro wa mwisho yalipaswa kukamilika. Mpingakristo alipaswa aanze mchakato wake wa kuweka shinikizo la mwisho la kutangazwa kwa Amri Mpya ya maisha Ulimwenguni yaani NWO na papa wa mwisho alipaswa kuingia madarakani ili atangulie kwenye maangamizo ya mwisho ya Dini hii potofu na ya Siri Inayoabudu Jua. Mambo hayo yameandikwa kwa kina kwenye majarida ya Vita Kuu ya III ya Dunia Sehemu ya 1: Dola ya Mnyama (Na. 299A na Vita Kuu ya II ya Dunia Sehemeu ya II: Mwanamke Hakaba na Mnyama (Na. 299B) [World War III Part I: The Empire of the Beast (No. 299A) and WWIII Part II: The Whore and the Beast (No. 299B)].

Alama ya mwisho ya kidini ya kilimwengu ambayo ni Ukristo bandia au wa uwongo ni mtu anayetajwa kwenye kitabu cha Ufunuo kama Nabii wa Uwongo. Kwa hiyo itafuatia na kile kinachojulikana kama kiongozi wa mwisho wa utendaji kazi wa dini hii kubwa anayetajwa kuwa ni Nabii wa Uwongo na ambaye ni lazima atakuwa ni kiongozi wa mwisho wa Kanisa Katoliki la Roma ambaye atauawa na Kristo atakapokuja pamoja na kiongozi wa utawala wa Mnyama ambaye anajulikana kama ni Mpingakristo kwenye kitabu cha Ufunuo. Unabii wa Malachy unasema kwamba baada ya Petro Mrumi ndipo “Hakimu mkali atawahukumu watu.” Huyu Hakimu Mkali kwa kweli ni Kristo na maandiko ya Ufunuo yanasema kwamba atarudi na kuuangamiza mfumo wote wa dini ya Kibabelonia ambao ni Dini ya Uwongo nay a Siri ya waabudu Jua iliyotajwa kama Babeli ya Siri ambayo ni mama wa makahaba wanaofanya ukahaba na wafalme wa dunia. Kama kawaida, uitishaji wa mkutano wa Makaldinari kunafanya uwepo wa mawazo dhana ya kumfikiria wa kumchagua na kiasi kingi cha fedha kinawekwa kwenye maandalizi ambayo ni dalili njema ya kuwezesha kuwafikiria na kuwaweka mawazoni idadi kubwa ya wajumbe na watu wengine.Tuliamini vile alivyotabiri Malachy ni kwamba mtu atakayechaguliwa atachagua jina la Petro Mrumi au wa Roma. Hata hivyo, hatakuwa askofu wa Roma kama ilivyo masharti na kazi za kiti hiki pale anapochaguliwa. Kuna idadi kubwa ya watu walioitwa “wapenda upapa” au wanaoonekana kufaa miongoni mwa waliogombea cheo hiki cha upapa. Miongoni mwa hao wote waliotajwa ni mmoja tu ambaye kwa kweli alikuweko huko Roma alikuwa ni Kardinali Peter Turkson ambaye ni mwangalizi wa maaskofu wote wa Afrika na alikuwa ni Mghana. Kulikuwa na makaldinari 18 kutoka Afrika wenye sifa za kupiga kura au kuchaguliwa. Turkson alionekana kuwa ni kaldinari mwenye mvuto na wengi lakini alijionyesha kujipendekeza mwenyewe kuwa ni mgombea jambo ambalo lilikuwa ni makosa makubwa. Mwingine aliyeonyesha kuwavutia wengi alikuwa ni Kaldinari Francis Arinze. Yeye ni Kaldinari wa Velletri-Segni, dayosisi iliyokaribu na Roma na kufanya mahusiano ya

Page 31: Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus …kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p288.doc · Web viewPia watendaji wa mambo ya uharibu mimba walimuona kuwa ni kitisho cha

Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus na Malachy Page 31

haraka baada tu ya kuichukua kutoka kwa Benedict XVI. Yeye ni Mnigeria. Kaldinari aliyependwa na kuwavutia Wataliano wengi alikuwa ni Kaldinari wa Milan, Askofu mkuu Angelo Scola. Mwingine ni mtu anayetoka kwenye ulimwengu unaozungumza Kifaransa Marc Ouellet wa Canada ambaye alipendwa na kudhaniwa atashinda na wa Irish. Yeye ni mwana teolojia na kiongozi maaskofu wote wa Kikatoliki ulimwenguni. Wagombea wengine walikuwa ni kutoka Sao Paulo huko Brazil na kutoka Ufilipino na kutoka nchi nyingine nyingi zinazoonekana hazielekei miongoni mwa waandishi wa vitabu.

Mchakato wa kumchagua papa una hatari zake na hautabiriki. Wamwisho kujiuzulu na kuachia kiti hiki kwa hiyari yake mwenyewe alikuwa ni Celestine V mwaka 1294. Alikuwa ni mtawa aliyeishi maisha ya upweke na alijisikia vibaya kwa hali hii na akajiuzulu na hasa kwa kushinikizo. Mara nyingi mkaldinari wamekuwa wakioneana husuda sana kiasi cha kupanga njama za kumfanya papa aliyeko awe na kipindi kifupi tu cha utawala wake kama walivyofanya kwa Kaldinari Ratzinger ambaye alikuwa ni papa mzee sana alipochaguliwa na kuitwa Benedict XVI. Wameenda nje na kuwachagua watawa na makasisi. Baadhi yao hawakuwa watu mashuhuri na wasiofaa au walioiuza au kuiacha ofisi na kwenda kuoa na walipokataliwa waliingia kwenye cheo hiki cha upapa kwa kutumia nguvu kama alivyofanya wajina wake Benedict. Kiti hiki kimekuwa kikilaumiwa kwa tuhuma na mikakati ya makusudi ya kuivuruga na kuiharibu imani ya Kikristo.

Watumiaji wa mitandao walikuwa wanabashiri kuwa papa kutoka Afrika kuwa ndiye anayependwa zaidi jambo ambalo halijawahi kutokea. Robo ya makaldinari wanaopiga kura ni Wataliano. Papa mwingine aliyekuwa sio Mtaliano kabla ya John Paul II alikuwa ni Adrian VI aliyefariki mwaka 1523.

Tatizo linalolikumba Kanisa Katoliki la Roma na mabinti zake waprotestant waliojitenga kutoka kwenye kanisa hili ni kwamba kanisa katika Ulaya lipo kwenye hali ya kutoaminika. Wakati kwamba makanisa katia Afrika na Amerika ya Kusini yako kwenye hali nzuri na kuendelea vizurii, hali ya kanisa huko Ulaya

liko kwenye machafuko na mvurugano na linahitaji kujengwa. Kwa hiyo kuna msukosuko mkubwa unaohitaji kumpata mtu atakayeweza kuliunganisha na kulipa nguvu kanisa la Ulaya. Na hii ndiyo sababu iliyopelekea kuchaguliwa kwa John Paul II na Benedict XVI. Lakini matokeo ya jitihada hii yote yamekuwa ni kinyume chake. John Paul II alilifanya kanisa liharibike zaidi kama anavyosema Malachi Martin kwenye kitabu chake kiitwacho Nyumba Iliyopeperushwa kwa Upepo (Windswept House). Kwenye kitabu chake hiki anaelezea kwamba mnamo mwaka 1963 katika Kipindi Muafaka chini ya Paul VI Malaika Lusiferi au Shetani alisimikwa kwenye kiti cha enzi cha Vatican akiwa kama ni mungu wa dunia hii na wa kanisa. Hii imeelezwa kwenye jarida la Mwaka 2012 na Mpingakristo (Na. 299D) [2012 and the Antichrist (No. 299D)] hapo juu. Kuchaguliwa kwa Kaldinari wa Kiargentina mwenye asili ya Italia huenda ikawa ni mbinu ya kuafikiana na mwelekeo huo.

Katika Siku za Mwisho Dola ya Mnyama itapewa uweza au nguvu na Shetani na itamgeukia mwanamke huyu kahaba wa Kibabeloni na kumuangamiza. Jambo hili linatokea leo kama tunavyoona. Dunia inaligeuka na kulichukia Kanisa hili Katoliki la Roma kwa ajili ya tuhuma zake zilizozagaa kwa kiasi kikubwa za ngono na hali hii itaendelea. Na zaidi sana ni kwamba kuendelea kwa dini ya Kiislamu na hasa hawa wa Imani Kali kutaendelea kuendeleza na kuenea katika Vita hivi vya Mwisho. Roma itakuwa ni walengwa na makasisi wake watashambuliwa kwenye kipindi kijacho cha pili hadi kipindi cha kurudi kwake Masihi na kupitia kwenye vitasa vya ghadhabu ya Mungu hadi itakapoangamia. Hii imeeleewa kwa kina kwenye jarida la Vita vya Siku za Mwisho na Vitasa vya Ghadhabu ya Mungu (Na. 141B) [The Wars of the Last Days and the Vials of the Wrath of God (No. 141B)].

Iwapo kama Malachy yuko sahihi basi huyu anaweza kuwa ni Papa wa Mwisho. Kama hayuko sahihi na kama kuna mwingine basi sisi hatujui ni vema tukangoja kuona atakuwa ni nani, pamoja na hali isiyo ya kawaida ya kushindwa kutimia kwa unabii wa Pius X

Page 32: Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus …kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p288.doc · Web viewPia watendaji wa mambo ya uharibu mimba walimuona kuwa ni kitisho cha

Page 32 Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus na Malachyunaomhusu Pius XIII. Kwa vyovyote vile, Malachy amekuwa sahihi kwa kila papa na amewajua kutokana na makoti yao yenye alama za mikono au nyumba kwenye mfuatano wa mwisho na kwa majina yao ya siri ya kazi waliyoyachagua na vipindi vya kutawala kwao. Tatizo linguine ni kwamba matukio ya Siku za Mwisho kwa mujibu wa unabii wa Biblia yanaonyesha kuna kipindi kifupi sana cha kudumu kwa papa mwingine. Yubile ya 120 itakayoangukia mwaka 2027 na ndiyo itakayokamilisha kipindi cha miaka 6000 ya utawala wa Shetani hapa duniani na Masihi atapaswa kuwa hapa kipindi kabla ya kukamilika kwa matukio haya; na unabii hauruhusu wala kuashiria kwamba Dini ya kuliabudu Jua itaendelea hata baada ya kurudi kwa Masihi hapa duniani. Kwa hiyo tunatarajia kipindi cha takriban miaka 14 cha kuendelea kuwepo kwa mfumo huu wa dini hii ya kiulimwengu inayoendeleza harakati zake za Siri za Ibada za Jua kuendelea. Kipindi hasa cha kuendelea kwake ni miaka saba.

John Paul II na Benedict XVI walijaribu kuzinganisha dini za dunia ili zifanye kwa hali ya mtangamano na wao lakini hawaja fanikiwa na vita inayoendelea na Waislamu itapelekea kuangamizwa kabisa kwa mfumo huu wa kidini. Kuendelea kwake hadi kufika Roma kutashuudia makasisi walioko Vatican wakiwa wamekufa na papa na wasaididizi wake wataondoka huko wakipita juu ya miili ya makasisi wake waliokufa, nah ii ni kwa muhibu wa nabii zao wenyewe. Malachy anasema kwamba atawaongoza katika kipindi cha machafuko makubwa yasiyothibitika. Nabii Danieli anasema kwamba mji ulio kwenye milima saba utaangamizwa na mwisho wake utakuwa na mafuriko makubwa.

Utawala huu wa papa umejaribu kumtawala Mnyama mwenye Pembe Kumi, ambaye ndiye Mnyama wa Siku za Mwisho ambaye ana Vidole Kumi vilivyochanganyika kwa chuma na udongo ambao ndiyo mwisho wa ile Sanamu ya Babeloni ya Danieli 2. Hatahivyo, utawala huu wa papa unakiri kuwa Kristo ambaye ndiye lile jiwe lililotokana sio kwa kutengenezwa na mikono ya mwanadamu atakuja na kumpiga huyu Mnyama kwenye miguu yake na kumwangamiza.

Kwa hiyo tunatarajia kumuona huyu kiongozi wa kidini wa mwisho, Francis I, akijaribu kufanya kazi yake na viongozi wakuu wa siasa na maongozi ya dunia aliwa kama ni mkuu wa mifumo ya fedha na ya kijeshi, lakini atashindwa na huyu Mnyama atamgeuka na kumwangamiza yeye pamoja na dini yake na viongozi wake wote watauawa na Kristo atakapokuja.

Kuna mgogoro mkubwa sana wa kiuchumi unaotengenezwa na wanamkakati wa Amri Moja ya maisha Ulimwenguni (NWO) sasa ambao unakwenda sambamba na mkakati wa kubadilisha mifumo ya uongozi, uongozi wa kipapa kwa kile kinachojulikana kama See ulikuwa wazi tangia tarehe 28 Februari. Kwenye kipindi cha kati ya kujiuzulu na kuchaguliwa kwa papa mpya, Kanisa Katoliki lilikuwa linatawaliwa na Waziri wa mambo ya Nje au Katibu Mkuu aitwaye Tarcisio Bertone. Benedict XVI alijiuzulu akiwa huko Castel Gandolfo na akaenda kwenye nyumba ya kitawa aliyoandaliwa huko Vatican.

Baraza la makaldinari lililofungiwa milango liliketi kwenye kikao chao kwenye Kanisa Dogo la Sistine tangia mwaka Mpya ambao ilikuwa sawa na tarehe i2 Machi na uamuzi wake ulitangazwa sana kwa mwonekano wa moshi mweusi au mweupe ulioashiria kama mgombeaji amechaguliwa au la. Kisha papa mpya alitangazwa kwa milio ya kushangiliwa ya "Habemus Papam" na akajitokeza tarehe 13 Machi 2013 mbele ya umati mkubwa ya waumini na watu wengine muhimu kwenye Viwanja vya Kanisa la Mt Petro. Uamuzi wa kuitisha baraza la makaldinari kufanya uchaguzi kwa kweli ulikuwa ni kinyume na kanuni za sheria na ulipelekea uchaguzi ule kuwa haukufuata kanuni zao kwa mujibu wa maelekezo ya kisheria yaliyoingizwa kwenye kanuni za hivi karibuni zinazotaka mkutano huu uitishwe katika kipindi cha kati ya siku kumi na tano hadi ishirini na hiki kiliitishwa siku kumi na mbili tu baada ya kiti hiki kuachwa wazi. Hii inatimiliza unabii mwingine wa Francis Assisi kama tutakavyokwenda kuona.

Ilitakiwa kwamba Papa mpya achaguliwe kabla ya Jumapili ya Easter ya kidini ya mungu Jua ya tarehe 31 Machi ambayo kwa mwaka

Page 33: Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus …kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p288.doc · Web viewPia watendaji wa mambo ya uharibu mimba walimuona kuwa ni kitisho cha

Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus na Malachy Page 33

huu ilikuwa ni siku ya Mganda wa kutikiswa ya Kalenda ya Hekalu wakati wa Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu. Hii haikutokea. Pia kuna sababu muhimu kuwa mwaka 2013 ni moja wapo ya miaka michache sana ambayo Wayahudi wanaoamini kalenda ya Hillel wanalazimika kuzishika Sikukuu zao na siku zote takatifu zilizoamriwa katika siku sahihi sawa na zinavyoazimishwa kwa mujibu wa Kalenda ya Hekaluni. Na hivi ndivyo ilivyo pia kwa hata kwa machipukizi yaliyotokana na imani ya kanisa la kale la WCG miongoni mwa Makanisa ya Mungu kwa kweli wamelazimika pia kuifuata kalenda ya kweli.

Nostradamus alikuwa na haya ya kusema kwa kipindi hiki:

Par Mars contraire sera la Monarchie,Du grand pescheur en trouble ruyneux:Ieune noir rouge prendra la hierarchie,Les proditeurs iront iour bruyneux.  C6Q25

Katika kipindi cha vita cha Mars [kipindi cha vita] utakuwa mtawaAu mvuvi mkuu [papa] kwenye maangamizi yenye taabu kubwaKijana wa rangi nyekundu yenye weusi [Kaldinari kijana mweusi] atachukua kiti uongoziWanyang’anyi watajaribu kufanya katika siku mbaya. (Nostradamus 625)

Kwa Kifaransa cha zama za kati inaweza kumaanisha pia ifuatavyo:

Katika kipindi cha Mars [mapema mwezi Machi au kwa migogoro] Mkuu wa dini atakuwa amepinduliwa,  Kwa mtenda dhambi mkuu [sawa na mvuvi] kwenye dhiki kuu,Kijana mweusi mwekundu atachukua kiti cha uongozi wa kanisa,Wanyang’anyi watajaribu kufanya hivyo siku ya manyunyu.

Neno la Kifaransa proditeurs kwa sasa linaitwa wasaliti lakini linaweza kuwa lilitumika kutokana na Kilatini kuelezea waharibifu au wanyang’anyi. Matumizi ya neno pescheur lenye maana ya mdhambi na linamtaja kama mvuvi ni la utani kwenye maneno na linamaana ya dhambi za kanisa ambazo hazijawahi kukoma kamwe. Hii inaweza kuwa inamtaja pia Mtu wa Kuasi wa ukengeufu mkuu aliyeandikwa kwenye Ufunuo. Neno kijana linaweza kuwa na ukweli kwamba papa mpya anaweza kupewa kwa haraka Ukaldinari.

Migogoro iliyotajwa kwenye kifungu hiki cha

uandishi inawezekana kuwa inaweza kumaanisha kazi zilizoko Roma kwenyewe zilizolazimisha kujiuzulu kwa Benedict XVI. Migogoro hii ilikuwa inaongozwa na Makaldinari Bertone, Sodano na Bagnasco. Migogoro hii itaendelea hadi kwenye mkutano wa makaldinari. Uamuzi wa kukomesha migogoro hii ilikuwa ni kutafuta uwezekano myingine nje ya Baraza Kuu la Curia na kulinda mamlaka yake. Papa mpya anatakiwa kusafisha kwa kina sana na kuwaondoa makaldinari hawa kutoka kwenye Baraza la Curia lenyewe. Migogoro inayoendelea ni ya uhakika.

Kwa hiyo kiti hiki cha upapa kinachukuliwa kwenye wakati mgumu na kaldinari kijana mweusi au askofu mkuu anaonyesha mwisho wa cheo hiki cha upapa kwa wakati wa maangamizo. Je, ni kwa namna gani kiti hiki cha upapa kimetimilika? Kanisa la Roma lipo kwenye matatizo makubwa sana kwa ajili ya tuhuma nyingi na mbaya zinazolikumba sasa na hakuna dalili ya kuwa zitaisha. Uwezekano uliopo ni kwamba vita iliyo kwenye baraza lao ka uongozi ambayo inazidi kuenea, utaendelea kuanzia mwezi Machi ya mwaka huu na mgogoro utatokea bado baada ya kumchagua huyu “Petro Mrumi.”

Wanyang’anyi wanafanya kazi siku ya manyunyu ni sahihi kama ilivyokuwa inanyesha mvua na kuacha siku ile na kungeweza kuwa na mpango wa kulikomesha Baraza la Uongozi la makao makuu uliokuwa unatafutwa.

Kuna watu wengi ya wagombea waliokuwa wanafaa kuwa Petro Mrumi. Kaldinari aliyekuwa anasimamia mchakato ule alikuwa ni Kaldinari Tarcisio Pietro Evasio Bertone, ambaye ni Kaldinari na waziri wa mambo ya nje, ambaye amezaliwa Romano, Italia. Jina lake linaonekana kushabihiana na jina Petro Mrumi. Alichukua nafasi ya upapa tangu yarehe 28 Februari hadi ulipofanyika uchaguzi. Kwa hiyo kwa kutilia maanani unabii huu utatimilika mapema kabla ya kuitishwa kwa kikao cha uchaguzi.

Laldinari Peter Turkson wa Ghana kwa sasa

Page 34: Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus …kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p288.doc · Web viewPia watendaji wa mambo ya uharibu mimba walimuona kuwa ni kitisho cha

Page 34 Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus na Malachyndiye rais wa Baraza la Kipapa la Haki na Amani huko Roma. Pia yeye ndiye mkuu wa maaskofu wa Afrika.

Tangua mwezi Machi na kuendelea matatizo makubwa ya kiuchumi yatatokea yakilenga kuupa mwanza mchakato wa kuanzishwa kwa Tangazo la Mfumo Mmoja wa Maisha Duniani yaani NWO na kuanzisha mfumo wa kiuchumi wa Mnyama. Kama ilivyokuwa mara tu baada ya Msukosuko wa Kiuchumi Ulimwenguni (GFC) mwaka 2008 mfumo uliokuwa unaitwa kama Baltic Dry Index (BDI) ulianguka. Mfumo huu (BDI) ni kipimo kikubwa cha biashara ya dunia. Mwaka huu wa 2013 pia utakuwa ni mwanzo wa anguko na ionekana kwamba biashara ya dunia ilikuwa inaendelea bado. Kwa hiyo, mgogoro mkubwa zaidi ulipaswa uwe kuanzia mwezi Aprili. Vita ya kisarafu vinaendelea michakato inazidi kushika kasi ili kuhakikisha upatikanaji wa maslahi ya kibiashara kwa kupunguza thamani ya sarafu. Sarafu zilizochini thamani yake zitapata taabu sana na itapelekea kusimamishwa kwa biashara ya watu wake.

Vita ya kiniashara itafuatia kwa kadri itakavyoanza kukua kwa ustawi wa ujumla wa kibiashara hivi karibuni baada ya hilo.

[Kumbuka pia machapisho muhimu kuhusu kazi na matendo ya Benedict XVI na mtikisiko wa migogoro kwenye kanisa na sababu zinazodhaniwa kuwa nyuma ya maamuzi ya kiutawala yapo kwenye wavuti kwa kichwa cha:Papa Benedict alivyotafuta kinga na ulinzi kutoka kwa Rais wa Italia Giorgio Napolitano tarehe 23 Februari [Pope Benedict to seek immunity and protection from Italian President Giorgio Napolitano on February 23 ]

Katika juma la kwanza la mwaka wa 36 wa Yubile ya 120, tulijionea kukua kwa baraza hili la wapiga kura. Mwaka huu ni mwaka wa kwanza katika mzunguko mpya na ambao ni mzunguko wa sita wa kipindi cha Yubile. Yubile hii ya kipindi miaka 50 inahitimisha miaka 6000 tangu kufungwa kwa bustani ya Edeni na kulaaniwa kwa ardhi chini ya utawala wa Shetani. Kwenye mzunguko huu tunatarajia kuona Shetani akifungwa kuzimuni kwa kipindi cha miaka 1000 hadi mwisho wa

kipindi cha utawala wa millennia wa Kristo ndipo atafunguliwa tena ili audanganye ulimwengu kwa mara ya mwisho na kupanga vita ya mwisho kama ilivyoelezwa Ufunuo sura ya 20. Sisi tulio viungo katika mwili wa Kristo tunapaswa kujiandaa ili tuwe Mahahidi na ujio wa Masihi ulio wakati wowote kwenye kipindi hiki cha mzunguko huu na hasa kwenye ule wa (soma jarida la Ujio wa Masihi Sehemu ya 1: Na. 210A) [Advent of Messiah Part I: (No. 210A)].

Katika Mwaka huu Mpya makasisi waliovalia kanzu nyekundu wa imani ya Utatu walikutana kumchagua kiongozi wao mpya. Sio jambo lililotokea kwa bahati mbaya kwa wao kukutanika Siku hii ya Mwaka Mpya, ya Mwandamo wa Mwezi wa Mwezi Mwandamo wa Kwanza wa Abibu, ili kufanya maamuzi haya. Huhu anaweza kuwa ni wa mwisho kwenye dini hii ya Mwanamke Kahaba na utaangamizwa wote na Kristo atakapokuja. Ni jambo la kupendeza na linaloshangaza sana kuona kwamba vipindi nyakati vya unabii wa Bblia vinaendana kwa ukaribu sana na vipindi nyakati vya unabii vya unabii unaomhusu huyu Mwanamke Kahaba sambamba ba vipindi vya mapapa na matendo au kazi zao katika kuuletea madhara mfumo wa dini hii ya mungu wa Utatu unabii huu wa waamini Utatu na utambulisho wake vileelezewa kwenye jarida hili. Hii itakomesha utawala wa Mwanamke Kahaba katika mfuatano huu wa matukio ya Mnyama.

Inaonekana kwamba kwa kweli Nostradamus anawezakuwa aligongomelea papa huyu vizuri sana kama tunavyoona kwenye maandiko yake hapo juu (C6Q25).

Papa mpya aliyechaguliwa jina lake la asili ni Argentine Kardinali Jorge Mario Bergoglio. Yeye ni Mjesuit. Akiwa na umri wa miaka 76 anaweza kuchukuliwa kuwa ni kijana lakini hii ilikuwa ni mara yake ya pili kugombea na alishindwa na Benedict XVI yapata miaka saba iliyopita na angeweza kuelezewa hivyo kwanza wakati alipokabiliana na uchaguzi na hasa wakati alipopandishwa daraja na kuwa kardinali mwaka 2001. Kwa kweli hata huyu anaweza kuelezewa kuwa ni mweusi na mweupe. Wajesuit mara nyingi wanaitwa wavaa “kanzu nyeusi” na Kiondozi Mkuu wa

Page 35: Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus …kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p288.doc · Web viewPia watendaji wa mambo ya uharibu mimba walimuona kuwa ni kitisho cha

Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus na Malachy Page 35

Wajesuit mara nyingi huitwa “papa mweusi.” Yeye anasifa zote sasa na vyombo vya habari vya Ulaya vinaendelea kumwandika kwenye kurasa za habari muhimu za makala zao. Yeye ni Mjesuita wa kwanza kuwahi kuchaguliwa kuwa papa. Alikuwa kiongozi wa Wajesuit huko Amerika Kusini na sasa yeye ni papa. Ni Mtaliano kwa kuzaliwa na wazazi wake walihamia. Argentina kutoka Italia. Anaweza kuwa ni mtu mwenye damu na nasaba ya Kirumi. Amechukua jina lake kuwa ni Francis I baada ya Francis wa Assisi (na Francis Xavier, mwanzilishi wa shirika hili la Wajesuit, jambo ambalo linawezekana kabisa kuwa ana maana na shabaha mchanganyiko). Ni mtu siyependelea mabadiliko na anapinga sana ndoa za jinsia moja na ushoga, utoaji mimba na matumizi ya kondomu na ni mtu anayesaidia kwenye masuala ya haki ya kiraia au ya kijamii.

Kardinali Bergoglio (huyu.) amechukua jina la Mtakatifu Francis wa Assisi, kwa Kitaliano anaitwa San Francesco d’Assisi, alipobatizwa Giovanni, aliitwa jina lake kuwa ni Francesco, jina lake kamili ni Francesco di Pietro di Bernardone (alizaliwa mwaka 1181/82, Assisi, mjane wa Spoleto [Kitaliano]—alifariki Octoba 3, 1226, Assisi; alitangazwa mtakatifu Julai 16, 1228; siku ya kumbukumbu yake ni kila Octoba 4), mwanzilishi wa shirika la Franciscan ni amri ya Friars Minor (Ordo Fratrum Minorum), Amri ya wanawake wa Mt. Clare (Waclara Masikini), na mlezi au msimamizi wa Agizo la Tatu. Alipojiita jina la kikazi la Francis alilichua pia jina la pili la “Petro Mrumi.” Francis ametabiriwa upapa wake itaishia kweny Dhiki Kuu asingeweza kuchaguliwa kwa kujibu wa kanuni ama utaratibu nah ii inathibitishwa kuwa ni sahihi kwa vile walivyoitisha kikao cha uchaguzi kinyume na utaratibu hapo Machi 12 na 13 ili kuitumia tarakimu 13 kama ni mhuri wa huduma ya mtu huyu. Bullinger ana kumbukumbu ya maana ya tarakimu au nambari 13 kwenye Biblia na ni alama ya Shetani na uasi (ameandika kwenye maandishi ya zaiada ya Biblia ya Companion, yaani Bible notes and Appendices).

Ana matatizo makubwa sana kukabiliana nayo yakiwa ni kazi yake kubwa kufanya kwenye Baraza lake la makao makuu la Curia

lilivyoamua kushughulika na tuhuma za ngono na baraza hili la Curia linasemekana limetenga kiasi cha takriban $US26 milioni kwa mafleti 20 kwenye vyumba vya majengo ambazo pia ni nyumba kubwa kupita zote za kuishi mashoga katika nchi ya Italia. Kiwewe cha kanisa kitazidi kupanda juu sasa kwa kuwa Shetani ampa nguvu na mamlaka yake yote kwa Mnyama ambaye anachukia mambo ya kanisa hili na sasa anaanza mchakato wa kulikomesha kwa kupeleka mambo taratibu nah atua kwa hatua. Mfumo wa baraza la kidini la makao makuu na Wataliano wanaochukua 25% ya kura zote walisemekana kuwa walimsaidia mgombea huyu kutoka Amerika ya Kusini kama wapigakura wangekubali kuwaunga mkono achaguliwe na ungekuwa ni mpango ungesawazishwa na siku ya mvua ya Machi 13, 2013, na kukamilisha lile jina la “waporaji.” Upigaji kura ulifanyika tarehe 13 ya Mwezi wa Tatu wa Kalenda ya kipagani katika mwaka 2013 wa tarehe yao na Papa alijitokeza saa mbili na dakika kimi na tatu Jioni, (kwa Kiingereza huandikwa 8:13 PM) ambayo ni saa tatu na dakika kumi na tatu (kwa Kiingereza 3:13) kwa majira ya Kusini mwa Marekani. Jambo hili halina maana yoyote na ni la kipuuzi tu. Kwenye Kalenda ya Mungu ilikuwa ni siku ya 3 ya mwezi wa Kwanza na jopo hili la wapiga kura waliketi kuanzia Siku ya Mwaka Mpya.

Vifungu vingine vya Nostradamus soma kwenye:Ubeti au Quatrain II.41

"Nyota kubwa kwa siku saba itachumaKwa mwonekano wa kiunchi kabisa kama majua mawili vilionekanaMbwa mkubwa alibweka usiku kuchaWakati Papa mkuu atakapobadili makazi yake."

Mwezi Novemba 2013 kimondo cha pili cha mwaka kiiitwacho Comet Ison C2012 S1 kinakaribia kufika na inasemekana kuwa kitatoa mwanga mkali sana kama ule unaotoka mwezini, kama kitavumilia misukosuko ya jua. Kitaonekana kwa macho yetu mapema ya mwezi Octoba na kitapita karibu na jua ifikapo Novemba na kuonekana saa za mchana. Inaweza kuwa ni kimondo hiki au pengine kitakuwepo kingine ambacho hakijajulikana kitatokea. Mwaka 2014 kimondo kingine kijulikanacho Comet Siding Spring C2013A1, kimegunduliwa huko Australia na Robert

Page 36: Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus …kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p288.doc · Web viewPia watendaji wa mambo ya uharibu mimba walimuona kuwa ni kitisho cha

Page 36 Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus na MalachyMcNaught alipokuwa kwenye shughuli zake za kutazama mambo ya anga kwenye kituo cha Siding Spring NSW, ambacho kinadhaniwa huenda kinaweza kugongana na sayari ya Mars ifikapn Octoba 19, 2014 na kwa kuwa kina ukubwa wa kilometa 3-5 kinaweza kwenda mrama na huenda kinaweza kusababisha tukio kama lile lililosababisha kuangamia hadi kutokomea kwa wanyama wakubwa wa zama za kale maarufu kama dinosaurs.

Ubeti ufuatao unaweza pia kumaanisha baadae su unaweza usiwe na maana yoyote kwa mchakato huu: Ubeti/Quatrain VI.6:

Hii itaonekana kutoka KaskaziniSio mbali kutoka mstari Saratani, nyota iliyobebwa:Susa, Siena, Boeotia, Eretria,Mkuu wa Roma atakufa, usiku wake.

kile kilicho hakika ni kwamba mzunguko huu unaofuatia utakuwa na madanganyo mengi na mageuzi makubwa kuliko wakati wowote wa historia ya mwanadamu hadi sasa. Masihi atakuja kuanzisha utawala wa millennia katika Yubile ya mwaka 2027. Tuombe kuwa sote tuhesabiwe kuwa wenye haki na kustahili kuwepo kwenye kipindi hiki pamoja nay eye.

Page 37: Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus …kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p288.doc · Web viewPia watendaji wa mambo ya uharibu mimba walimuona kuwa ni kitisho cha

Maelezo ya Nyongeza A ORODHA YA MAPAPA NA WAPINGA UPAPAImechukuliwa kutoka kitabu cha Saints and Sinners: A History of the Popes, (Watakatifu na Watenda dhambi: Historia ya Mapapa), Eamon Duffy, Yale University Press in association with S4C., 1997.(Majina ya Mt. Malachy yamechukuliwa kutoka kwenye Nyongeza/Appendix A ya Prophecy for Today, (Unabii kwa ajili ya Leo), Edward Connor, Academy Library Guild, Fresno, California, 1956.)Nyongeza au Appendix A. Mpangilio wa Orodha ya Mapapa na Wapinga UpapaTarehe kwa siku 15 za kwanza ziko wastani, na kwa siku nyingine 5 za kwanza (ukimwondoa Clement) haipo kimpangilio.Pale Papa alichukua jina jipya kwenye uhaguzi, na jina lake la ubatizo limewekwa kwenye mabano.Asterisk anawataja Wapinga Upapa.

POPE BAPTISMAL NAME MALACHY’S NAME DATE OF OFFICE1. St Linus2. St Anacletus3. St Clement c.964. St Evaristus5. St Alexander I6. St Sixtus I c.116-c.1257. St Telesophorus c.125-c.1368. St Hyginus c.138-c.1429. St Pius I c.142-c.15510. St Anicetus c.155-c.16611. St Soter c.166-c.17412. St Eleutherius c.175-c.18913. St Victor c.189-c.19914. St Zephyrinus c.199-c.21715. St Callistus c.217-c.222* St Hippolytus 217-c.23516. St Urban I c.222-c.23017. St Pontian 21 July 230 – 28 Sept.23018. St Anterus 21 Nov.235 – 3 Jan.23619. St Fabian 10 Jan.236 – 20 Jan. 25020. St Cornelius Mar.251 – June 253* Novatian Mar.251 – 25821. St Lucius I 25 June 253 – 2 Mar.25422. St Stephen 12 May 254 – 2 Aug.25723. St Sixtus II Aug.257 – 6 Aug.25824. St Dionysius 22 July 260 – 26 Dec. 268

Page 38: Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus …kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p288.doc · Web viewPia watendaji wa mambo ya uharibu mimba walimuona kuwa ni kitisho cha

POPE BAPTISMAL NAME MALACHY’S NAME DATE OF OFFICE25. St Felix I 3 Jan.269 – 30 Dec.27426. St Eutychian 4 Jan.275 – 7 Dec.28327. St Gaius (Caius) 17 Dec.283 – 22 Apr.29628. St Marcellinus 30 Jun.29?:died 25 Oct.30429. St Marcellus c.308-30930. St Eusebius 18 Apr.-21 Oct. 31031. St Miltiades (Melchiades) 2 July 311 – 10 Jan.31432. St Sylvester I 31 Jan. 314 – 31 Dec.33533. St Mark 18 Jan. – 7 Oct.33634. St Julius I 6 Feb. 337 – 12 Apr. 35235. Liberius 17 May 352 – 24 Sept.366* St Felix II 355 – 36536. St Damasus I 1 Oct.366 – 11 Dec. 384* Ursinu 366 – 7: died 38537. St Siricius 17(?) Dec.384 – 26 Nov. 39938. St Anastasius I 27 Nov.339 – 19 Dec.40139. St Innocent I 21 Dec.401 – 12 Mar.41740. St Zosimus 18 Mar.417 – 26 Dec. 418* Eulalius 418: died 42341. St Boniface 28 Dec.418 – 4 Sept.42242. St Celestine I 10 Sept.422 – 27 July 43243. St Sixtus III (Xystus) 31 July 432 – 19 Aug. 44044. St Leo I (the Great) 29 Sept.440 – 10 Nov.46145. St Hilarus (Hilary) 19 Nov.461 - 29 Feb.46846. St Simplicius 3 Mar.468 – 10 Mar.48347. St Felix III (II) 13 Mar.483 – 1 Mar.49248. St Gelasius I 1 Mar.492 – 21 Nov.49649. Anastasius II 24 Nov 496 – 19 Nov.49850. St Symmachus 22 Nov.498 – 19 July 514* Laurence 498-499, 501-506: died 50851. St Hormisdas 20 July 514 – 6 Aug.52352. St John I 13 Aug.523 – 18 May 52653. St Felix IV (III) 12 July 526 –22 Sept.530* Dioscorus 53054. Boniface II 22 Sept.530 – 17 Oct.53255. John II (Mercury) 2 Jan.533 – 8 May 53556. St Agapitus I 13 May 535 – 22 Apr.53657. St Silverius 8 June 536 – 11 Nov. 537:

deposed. Died 2 Dec.53758. Vigilius 29 Mar.537 – 7 June 55559. Pelagius I 16 Apr 556 – 3 Mar. 56160. John III 17 July 561 – 13 July 574

Page 39: Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus …kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p288.doc · Web viewPia watendaji wa mambo ya uharibu mimba walimuona kuwa ni kitisho cha

POPE BAPTISMAL NAME MALACHY’S NAME DATE OF OFFICE61. Benedict I 2 June 575 – 30 July 57962. Pelagius II 26 Nov.579 – 7 Feb.59063. St Gregory I (the Great) 3 Sept.590 – 12 Mar.60464. St Sabinian 13 Sept.604 – 22 Feb.60665. Boniface III 19 Feb.- 12 Nov.60766. St Boniface IV 15 Sept.608 – 8 May 61567. St Deusdedit (Adeodatus) 19 Oct.615 – 8 Nov.61868. Boniface V 23 Dec.619 – 25 Oct.62569. Honorius I 27 Oct.625 – 12 Oct.63870. Severinus 28 May 640 – 2 Aug.64071. John IV 24 Dec.640 – 12 Oct.64272. Theodore I 24 Nov.642 – 14 May 64973. St Martin I 5 July 649 – 17 June 653:

deposed, died 16 Sept.65574. St Eugenius I 10 Aug.654 – 2 June 65775. St Vitalian 30 July 657 – 27 Jan.67276. Adeodatus II 11 Apr.672 – 17 June 67677. Donus 2 Nov.676 – 11 Apr.67878. St Agatho 27 June 678 – 10 Jan.68179. St Leo II 17 Aug.682 – 3 July 68380. St Benedict II 26 June 684 – 8 May 68581. John V 23 July 685 – 2 Aug.68682. Conon 21 Oct.686 – 21 Sept.687* Theodore 687* Paschal 687: died 69283. St Sergius I 15 Dec.687 – 9 Sept.70184. John VI 30 Oct 701 – 11 Jan.70585. John VII 1 Mar.705 – 18 Oct.70786. Sisinnius 15 Jan. – 8 Feb.70887. Constantine I 25 Mar.708 – 9 Apr.71588. St Gregory II 19 May 715 – 11 Feb.73189. St Gregory III 18 Mar.731 – 28 Nov.74190. St Zacharias 3 Dec.741 – 15 Mar.75291. Stephen II (III) 26 Mar.752 – 26 Apr.757In March 752 an elderly presbyter, Stephen was elected pope, but died before he was ordained bishop. His successor, confusingly, was also called Stephen. Under modern canon law, however, a man is pope from the moment of election. Some modern Roman Catholic lists therefore count the first of these two Stephens as Pope Stephen II, with a consequent disturbance of the numbering of all subsequent Stephens. He is omitted from our list, but the variant numberings are noted.92. St Paul I 29 May 757 – 28 June 767* Constantine 767 – 768* Philip 76893. Stephen III (IV) 7 Aug.768 – 24 Jan.77294. Hadrian I 1 Feb.772 – 25 Dec.795

Page 40: Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus …kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p288.doc · Web viewPia watendaji wa mambo ya uharibu mimba walimuona kuwa ni kitisho cha

POPE BAPTISMAL NAME MALACHY’S NAME DATE OF OFFICE95. St Leo III 27 Dec.795 – 12 June 81696. Stephen IV (V) 22 June 816 – 24 Jan. 81797. St Paschal I 24 Jan.817 – 11 Feb.82498. Eugenius II 5/6 June 824 – 27 Aug. 82799. Valentine Aug. – Sept.827100. Gregory IV end of 827 – 25 Jan.844* John 844101. Sergius II Jan.844 – 27 Jan.847102. St Leo IV 10 Apr. 847 – 17 July 855103. Benedict III 29 Sept.855 – 17 Apr.858* Anastasius Bibliotecharius 855104 St Nicholas I (the Great) 24 Apr.858 – 13 Nov. 867105. Hadrian II 14 Dec.867 – Dec.872106. John VIII 14 Dec. 872 – 16 Dec. 882107. Marinus I (Martin II) 16 Dec.882 – 15 May 884108. St Hadrian III 17 May 884 – Sept. 885109. Stephen V (VI) Sept.885 – 14 Sept.891110. Formosus 6 Oct.891 – 4 Apr.896111. Boniface VI Apr. 896112. Stephen VI (VII) May 896 – Aug.897113. Romanus Aug. – Nov.897114. Theodore II Nov/Dec. 897115. John IX Jan.898 – Jan.900116. Benedict IV May/June 900 – July/Aug.903 117. Leo V July/Aug.-Sept.903

murdered 904* Christopher 903 –904118. Sergius III 29 Jan.904 – 14 Apr.911119. Anastasius III Apr./June 911 – July/Aug.913120. Lando Aug.913 – Mar.914121. John X Mar./Apr.914 – May 928:

deposed, murdered 929.122. Leo VI May – Dec. 928123. Stephen VII (VIII) Dec.928 – Feb.931124. John XI Feb./Mar.931 – Dec./Jan.935/6125. Leo VII 3(?)Jan.936 –13 July 939126. Stephen VIII (IX) 14 July 939 – Oct.942127. Marinus II (Martin III) 30(?) Oct.942 – May 946128. Agapitus II 10 May 946 – Dec 955129. John XII 16 Dec.955 – 14 May 964130. Leo VIII 4 Dec.963 – 1 Mar.965Because John XII was deposed by the Emperor Otto I, the validity of Leo VIII’s election has been contested, and he is included as an antipope in many lists. The

Page 41: Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus …kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p288.doc · Web viewPia watendaji wa mambo ya uharibu mimba walimuona kuwa ni kitisho cha

POPE BAPTISMAL NAME MALACHY’S NAME DATE OF OFFICERoman Catholic Church’s official list of popes, as printed in the Annuario Pontifico, recognises him as a true pope.131. Benedict V 22May – 23 June 964:

deposed, died 966.132. John XIII 1 Oct.965 – Sept.972133. Benedict VI 19 Jan.973 – July 974

Boniface VII June-July 974Aug.984-20 July 985

134. Benedict VII Oct.974 – 10 July 983135. John XIV (Peter Canepanova) Dec.983 – Aug.984136. John XV (John Crescentius) Aug.985 –Mar. 996137. Gregory V (Bruno of Carinthia) 3 May 996 – 18 Feb.999

John XVI Feb.997 – May 998: died 1001138. Sylvester II (Gerbert of Aurillac) 2 Apr.999 – 12 May 1003139. John XVII (John Sicco) 16 May – 6 Nov.1003140. John XVIII (John Fasanus) 25 Dec.1003 – June/July 1009141. Sergius IV (Pietro Buccaporca: “Pig’s snout”) 31 July 1009 – 12 May 1012* Gregory VI May – Dec. 1012142. Benedict VIII (Theophylact II of Tusculum) 17 May 1012 – 9 Apr.1024143. John XIX (Romanus of Tusculum) 19 Apr.1024 – 20 Oct.1032144. Benedict IX (Theophylact III of Tusculum) 21 Oct.1032 – Sept.1044

10 Mar.- 1 May 10458 Nov.1047 – 16 July 1048: deposed, died 19055/6

145. Sylvester III (John Crescentius) 20 Jan.- 10 Mar.1045: deposed. died 1063.

146. Gregory VI (John Gratian) 1 May 1045 – 20 Dec. 1046: deposed, died 1047.

147. Clement II (Suidger of Bamberg) 24 Dec.1046 – 9 Oct. 1047148. Damasus II (Poppo of Brixen) 17 July – 9 Aug. 1048149. St Leo IX (Bruno of Egisheim) 12 Feb.1049 – 19 Apr. 1054150. Victor II (Gebhard of Dollnstein-Hirschberg) 13 Apr.1055 – 28 July 1057151. Stephen IX (X) (Frederick of Lorraine) 2 Aug.1057 – 29 Mar.1058* Benedict X (John Mincius) 1058-59: died 1074152. Nicholas II (Gérard of Lorraine) 6 Dec.1058 – July 1061153. Alexander II (Anselm of Baggio) 30 Sept.1061 – 21 Apr.1073* Honorius (II) (Peter Cadalas) 1061-64: died 1072154. St Gregory VII (Hildebrand) 22 Apr.1073 - 25 May 1085* Clement III (Guilbert of Parma) 1080, 1084-1100155. Bl.Victor III (Desiderius of Monte Cassino) 24 May 1086 – 16 Sept.1087156. Bl.Urban II (Odo of Largery) 12 Mar.1088 – 29 July 1099157. Paschal II (Rainerius of Bieda) 13 Aug.1099 – 21 Jan.1118* Theoderic Sept. 1100 – Jan 1101: died 1102

Page 42: Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus …kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p288.doc · Web viewPia watendaji wa mambo ya uharibu mimba walimuona kuwa ni kitisho cha

POPE BAPTISMAL NAME MALACHY’S NAME DATE OF OFFICE* Albert 1101/2* Sylvester IV (Maginulf) 1105/11158. Gelasius II (John of Gaeta) 24 Jan.1118- 29 Jan.1119* Gregory (VIIII) (Maurice Burdanus -‘the donkey’) 1118-21: died c 1140159. Callistus II (Guido of Burgundy) 2 Feb.1119 – 14 Dec.1124160. Honorus II (Lambert Scannabecci) 21 Dec.1124 – 13 Feb.1130* Celestine II (Teobaldo) 1124: died 1126161. Innocent II (Gregorio Papareschi) 14 Feb.1130-24 Sept.1143* Anacletus II (Pietro Pierleoni) 1130-38* Victor IV (Gregorio Conti) 1138162. Celestine II (Guido di Castello) From a Castle on the Tiber 26 Sept.1143 – Mar.1144163. Lucius II (Gherardo Caccianemici) The Enemy Routed 12 Mar.1144 – 15 Feb.1145164. Bl.Eugenius III (Berbardo Pignatelli) Of the Highest Mountain 15 Feb.1145 – 8 July 1153165. Anastasius IV (Conrad of Rome) The Suburban Abbot 8 July 1153 – 3 Dec.1154166. Hadrian IV (Nicholas Breakspear) From the White Country 4 Dec.1154 – 1 Sept.1159167. Alexander III (Orlando Bandinelli) From the Watchful Goose 7 Sept. 1159 – 20 Aug.1181* Victor IV (Ottaviano of Monticelli) Out of the Loathsome Prison 1159 – 64* Paschal III (Guido of Crema) Road on the Further Side of the Tiber 1164 – 68* Callistus III (Giovanno of Struma) From the Hungary of Tusculum 1168 – 78* Innocent III (Lando o Sezze) 1179 – 80168. Lucius III (Ubaldo Allucingoli) Light in the Gate 1 Sept.1181 – 25 Nov.1185169. Urban III (Uberto Crivelli) The Sow in the Sieve 25 Nov.1185 – 20 Oct.1187170. Gregory VIII (Alberto di Morra) Sword of Lawrence 21 Oct. – 17 Dec.1187171. Clement III (Paulo Scolari) He Will Come Out of the School 19 Dc.1187 – Mar.1191172. Celestine III (Giacinto Boboni) From the Animal Country 30 Mar.1191- 8 Jan.1198173. Innocent III (Lothar of Segni) A Signed Count 8 Jan.1198 – 16 July 1216174. Honorius III (Cencio Savelli) A Canon from the Side 18 July 1216 – 18 Mar.1227175. Gregory IX (Ugolino dei Conti di Segni) The Bird of Ostia 19 Mar.1227 – 22 Aug.1241176. Celestine IV (Goffredo da Castiglione) The Sabine Lion 25 Oct. – 10 Nov. 1241177. Innocent IV (Sinibaldo Fieschi) Count Lawrence 25 June 1243 – 7 Dec.1254178. Alexander IV (Rainaldo dei Conti di Segni) Sign of Ostia 12 Dec.1254 – 25 May 1261179. Urban IV (Jacques Pantaléon) Jerusalem of Champagne 29 Aug.1261 – 2 Oct.1264180. Clement IV (Guy Foulques) The Crushed Dragon 5 Feb.1265 – 29 Nov. 1268181. Bl.Gregory X (Tedaldo Visconti) The Snake-man 1 Sept.1271 – 10 Jan.1276182. Bl.Innocent V (Pierre of Tarantaise) The French Preacher 21 Jan.- 22 June 1276183. Hadrian (Ottobono Fieschi) The Good Count 11 July – 18 Aug.1276184. John XXI (Pedro Juliano, ‘Peter of Spain’) The Tusculan Fisherman 8 Sept. 1276 – 20 May 1277Because of a mistake in the medieval numbering, no pope has ever borne the title John XX.185. Nicholas III (Giovanni Gaetano Orsini) A Well-formed Rose 25 Nov.1277 – 22 Aug.1280186. Martin IV (Simon de Brie (or Brion) From the Treasury of Martin with the

Lilies22 Feb.1281 – 28 Mar.1285

187. Honorius IV (Giacomo Savelli) Of the Leonine Rose 2 Apr.1285 – 3 Apr.1287

Page 43: Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus …kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p288.doc · Web viewPia watendaji wa mambo ya uharibu mimba walimuona kuwa ni kitisho cha

POPE BAPTISMAL NAME MALACHY’S NAME DATE OF OFFICE188. Nicholas IV (Girolamo Masci) A Woodpecker Amidst the Food 22 Feb.1288 – 4 Apr.1292189. St Celestine V (Pietro del Morrone) Elevated from the Hermitage 5 July – 13 Dec.1294: resigned, died

1296.190. Boniface VIII (Benedetto Caetani) From the Benediction of the Waves 24 Dec.1294 – 11 Oct.1303191. Bl.Benedict XI (Niccolo(2) Boccasino) A Preacher of Patera 22 Oct.1303 – 7 July 1304192. Clement V (Bertrand de Got) Of the Aquitanian Fesses 5 June 1305 – 20 Apr. 1314193. John XXII (Jacques Duèse) Of the Bony Shoemaker 7 Aug.1316 – 4 Dec.1334* Nicholas (V) (Pietro Rainalducci) The Schismatic Crow 1328-30194. Benedict XII (Jacques Fournier) The Cold Abbot 20 Dec.1334 - 25 Apr.1342195. Clement VI (Pierre Roger) Of the Rose of Arras 7 May 1342 – 6 Dec.1352196. Innocent VI (Etienne Aubert) From the Mountain of Pammachius 18 Dec.1352 – 12 Sept.1362197. Bl.Urban V (Guillaume de Grimoard) The French Viscount 28 Sept.1362 – 19 Dec.1370198. Gregory XI (Pierre Roger) A New Man from a Strong Virgin 30 Dec.1370 – 27 Mar.1378199. Urban VI (Bartolommeo Prignano) Out of the Teeming Hell 8 Apr.1378 – 15 Oct.1389* Clement VII (Robert of Geneva) Of the Apostolic Cross 1378 – 94200. Boniface IX (Pietro Tomacelli) The Mixed Cubes 2 Nov.1389 – 1 Oct.1404* Benedict XIII (Pedro de Luna) Moon of Cosmedin (1394-1424) 28 Sept.1394 – 26 July 1417: died 1423.201. Innocent VII (Cosimo Gentile dei Migliorati) Of the Better Star 17 Oct.1404 – 6 Nov.1406202. Gregory XII (Angelo Correr) Sailor of the Black Bridge 30 Nov.1406 – 4 June 1415: abdicated at

Council of Constance, died 18 Sept. 1417.* Alexander V (Pietro Philargi) Scourge of the Sun 1409 – 10* John XXIII (Baldassare Cossa) Stag of the Siren 1410-15: died 1419203. Martin V (Odo Colonna) Pillar of the Golden Awning 11 Nov.1417 – 20 Feb.1431* Clement VIII (Gil Sanchez Munoz) 1423-29: died 1446.* Benedict (XIV) (Bernard Garier) 1425 - ?204. Eugenius IV (Gabriele Condulmaro) The Celestial She-Wolf 3 Mar.1431 – 23 Feb.1447* Felix V (Amadeus of Savoy) A Lover of the Cross 1439-49: died 1451205. Nicholas V (Tommaso Parentucelli) Of the Humble Moon 6 Mar.1447 – 24 Mar.1455206. Callistus III (Alfonso Borgia) The Browsing Bull 8 Apr.1455 – 6 Aug.1458207. Pius II (Aeneas Silvio Piccolomini) Of the Goat and the Inn 19 Aug.1458 – 15 Aug.1464208. Paul II (Pietro Barbo) Of a Stag and a Lion 30 Aug.1464 – 26 July 1471209. Sixtus IV (Franscesco della Rovere) Franciscan Fisherman 9 Aug.1471 – 12 Aug.1484210. Innocent VIII (Giovanni Battista Cibo) Precursor of Sicily 29 Aug.1484 – 25 July 1492211. Alexander VI (Roderigo de Borgia) An Alban Ox in the Port 11 Aug. 1492 – 18 Aug.1503212. Pius III (Francesco Todeschini) Of a Little Man 22 Sept.- 18 Oct.1503213. Julius II (Giuliano della Rovere) The Fruit of Juniper Will Avail 1 Nov.1503 – 21 Feb.1513214. Leo X (Giovanni de’Medici) Of the Gridiron of Politian 11 Mar.1513 – 1 Dec.1521215. Hadrian VI (Adrian Dedel) The Lion of Florentius 9 Jan.1522 – 12 Sept.1523216. Clement VII (Giudo de’Medici) The Flower of the Pill for the Sick 18 Nov.1523 – 25 Sept.1534217. Paul III (Alessandro Farnese) The Hyacinth of the Physician 13 Oct.1534 – 10 Nov.1549218. Julius III (Giovanni del Monte) Of the Mountain Crown 8 Feb.1550 – 23 Mar.1555219. Marcellus II (Marcello Cervini) The Weak Grain 9 Apr.- 1 May 1555

Page 44: Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus …kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p288.doc · Web viewPia watendaji wa mambo ya uharibu mimba walimuona kuwa ni kitisho cha

POPE BAPTISMAL NAME MALACHY’S NAME DATE OF OFFICE220. Paul IV (Giovanni Pietro Caraffa) Of the Faith of Peter 23 May 1555 – 18 Aug.1559221. Pius IV (Giovanni Angelo Medici) The Medicine of Aesculapius 25 Dec.1559 – 9 Dec.1565222. St. Pius V (Michele Ghislieri) The Angel of the Wood 8 Jan. 1566 – 1 May 1572223. Gregory XIII (Ugo Buoncompagni) A Half-body of the Balls 14 May 1572 – 10 Apr.1585224. Sixtus V (Felice Peretti) The Axis in the Midst of the Sign 24 Apr.1585 – 27 Aug.1590225. Urban VII (Giambattista Castagna) Of the Heavenly Dew 15-27 Sept.1590226. Gregory XIV (Nicolo(2) Sfondrati) From the Old City 5 Dec.1590 – 16 Oct.1591227. Innocent IX (Giovanni Antonio Fachinetti) A Pius City in War 29 Oct. – 30 Dec. 1591228. Clement VIII (Ippolito Aldobrandini) Cross of Romulus 30 Jan.1592 – 5 Mar.1605229. Leo XI (Alessandro de’Medici) Man of the Waves 1-27 Apr.1605230. Paul V (Camillo Borghese) A Perverse Race 16 May 1605 – 28 Jan.1621231. Gregory XV (Alessandro Ludovisi) In the Tribulation of Peace 9 Feb.1621 – 8 July 1623232. Urban VIII (Maffeo Barberini) The Lily and the Rose 6 Aug.1623 – 29 July 1644233. Innocent X (Giambattista Pamfili) The Joy of the Cross 15 Sept.1644 – 1 Jan.1655234. Alexander VII (Fabio Chigi) The Guardian of the Mountains 7 Apr.1655 – 22 May 1667235. Clement IX (Giulio Rospigliosi) The Star of the Swans 20 June 1667 – 9 Dec.1669236. Clement X (Emilio Altieri) Of the Great River 29 Apr. 1670 – 22 July 1676237. Bl.Innocent XI (Benedetto Odescalchi) The Insatiable Beast 21 Sept.1676 – 11 Aug.1689238. Alexander VIII (Pietro Ottoboni) Glorious Penance 6 Oct.1689 – 1 Feb.1691239. Innocent XII (Antonio Pignatelli) Portcullis in the Gate 12 July 1691 – 27 Sept.1700240. Clement XI (Gianfrancesco Albani) The Encircling Flowers 23 Nov.1700 – 19 Mar.1721241. Innocent XIII (Michelangelo de’Conti) Of the Good Religious Order 8 May.1721 – 7 Mar.1724242. Benedict XIII (Pietro Francesco Orsini-Gravina) A Soldier at War 27 May 1724 – 21 Feb.1730243. Clement XII (Lorenzo Corsini) The Lofty Column 12 July 1730 – 8 Feb.1740244. Benedict XIV (Prospero Lorenzo Lambertini) A Rural Animal 17 Aug.1740 – 3 May 1758245. Clement XIII (Carlo della Torre Rezzonico) The Rose of Umbria 6 July 1758 – 2 Feb.1769246. Clement XIV (Lorenzo Ganganelli) The Nimble Bear 19 May 1769 – 22 Sept.1774247. Pius VI (Giovanni Angelo Braschi) The Apostolic Wanderer 15 Feb.1775 – 29 Aug1799248. Pius VII (Barnaba Chiaramonte) The Rapacious Eagle 14 Mar.1800 – 20 July 1823249. Leo XII (Annibale della Genga) The Dog and the Serpent 28 Sept.1823 – 10 Feb.1829250. Pius VIII (Francesca Saverio Castiglione) A Religious Man 31 Mar.1829 – 30 Nov.1830251. Gregory XVI (Bartolommeo Cappellari) From Balnea in Etruria 2 Feb.1831 – 1 June 1846252. Pius IX (Giovanni Maria Mastai-Ferretti) Cross from a Cross 16 June 1846 – 7 Feb.1878253. Leo XIII (Gioacchino Vincenzo Pecci) Light in the Heavens 20 Feb.1878 – 20 July 1903254. Pius X (Giuseppe Melchior Sarto) Burning Fire 4 Aug.1903 – 20 Aug.1914255. Benedict XV (Giacomo della Chiesa) Religion Devastated 3 Sept.1914 – 22 Jan.1922256. Pius XI (Achille Ratti) Intrepid Faith 6 Feb.1922 – 10 Feb.1939257. Pius XII (Eugenio Pacelli) The Angelic Shepherd 2 Mar.1939 – 9 Oct.1958258. John XXIII (Angelo Giuseppe Roncalli) The Shepherd and the Sailor 28 Oct.1958 – 3 June 1963259. Paul VI (Giovanni Battista Montini) Flower of Flowers 21 June 1963 – 6 Aug.1978260. John Paul I (Albino Luciani) From the Half of the Moon 26 Aug. – 28 Sept.1978261. John Paul II (Karol Jozef Wojtyla) From the Labor of the Sun 16 Oct.1978 - 2 April 2005

Page 45: Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus …kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p288.doc · Web viewPia watendaji wa mambo ya uharibu mimba walimuona kuwa ni kitisho cha

POPE BAPTISMAL NAME MALACHY’S NAME DATE OF OFFICE262. Benedict XVI (Joseph Ratzinger) From the Glory of the Olive 19 April 2005 – 28 Feb. 2013263. Francis I (Jorge Mario Bergoglio) Peter the Roman? 13 March 2013 -

Majina ya Malachy yamechukuliwa kutoka kwenye Kijedwali cha Nyongeza A: Unabii kamili wa Mt. Malachy. [The Complete Prophesy of St. Malachy]Unahitimisha kifungu cha Kijedwali Nyongeza A:Kwenye mateso ya mwisho ya Kanisa Takatifu la Roma atatawala Petro Mrumi atakayelilisha kundi lake katikati ya mateso mengi, baada ya ule mji wa milima saba utakapoangamizwa na hakimu mkali atakapowahukumu watu.