97
SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA MAENDELEO 2020/21 KITABU CHA PILI TUME YA MIPANGO ZANZIBAR JUNI, 2020

MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

  • Upload
    others

  • View
    30

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

1Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR

MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA MAENDELEO 2020/21

KITABU CHA PILI

TUME YA MIPANGO ZANZIBARJUNI, 2020

Page 2: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo
Page 3: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

iMwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

YALIYOMO

YALIYOMO

Mada Ukurasa

YALIYOMO .....................................................................................................i

Orodha ya Viambatisho .....................................................................................iv

VIFUPISHO ......................................................................................................v

1.0 UTANGULIZI ............................................................................................1

2.0 MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI KWA MWAKA 2020 ..................3

2.1 Mwelekeo wa Uchumi wa Dunia ................................................................3

2.2 Mwelekeo wa Uchumi wa Afrika ..............................................................3

2.3 Mwelekeo wa Ukuaji wa Uchumi kwa nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara ................................................................................................................4

2.4Mwelekeo wa Uchumi wa Afrika ya Mashariki ..........................................4

2.5 Mwelekeo wa Mfumko wa Bei wa Dunia ................................................5

3.0 MWELEKEO WA UCHUMI WA ZANZIBAR 2020 ................................6

3.1. Uchumi wa Buluu ......................................................................................6

3.2.Sera ya Viwanda ya Zanzibar ......................................................................7

3.3Sekta ya Utalii ..............................................................................................8

3.4.Viwanda Vidogo Vidogo .............................................................................9

4.0 MATARAJIO YA UKUAJI WA UCHUMI .................................................9

5.0 MFUMKO WA BEI WA ZANZIBAR ........................................................10

6.0 SHABAHA NA MALENGO YA UCHUMI KWA 2020-2022. .................10

7.0 MWELEKEO WA BAJETI, 2020/21 .........................................................11

Page 4: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

iiMwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

7.1 Mwelekeo wa Mapato na Matumizi: ..........................................................11

7.1.1 Mapato ya Ndani ......................................................................................11

7.1.2 Mapato ya Nje ..........................................................................................12

7.2 Makadirio ya Matumizi kwa Mwaka 2020/21 ............................................12

8.0 MAPENDEKEZO YA HATUA ZA KUIMARISHA MAPATO .................12

9.0 MWELEKEO WA MPANGO WA MAENDELEO KWA MWAKA 2020/21 ..........................................................................................................................13

10.0 MAENEO YA VIPAUMBELE KWA MWAKA 2020/21 .........................13

11.0 RASILIMALI KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA MPANGO WA MAENDELEO KWA MWAKA 2020/21 .........................................................15

12.0 MWELEKEO WA PROGRAMU NA MIRADI YA MAENDELEO KWA MAENEO MAKUU YA MATOKEO ...............................................................18

13.0 MWELEKEO WA PROGRAMU/MIRADI YA MAENDELEO NA SHUGHULI ZILIZOPANGWA KUTEKELEZWA KWA MWAKA 2020/21 KIWIZARA .......................................................................................................21

13.1 Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi .............................21

13.2 Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais .............................................................22

13.2.1 Tume ya Kitaifa ya Kuratibu na Udhibiti wa Madawa ya Kulevya .......24

13.3 Wizara ya Fedha na Mipango ...................................................................25

13.3.1 Tume ya Mipango Zanzibar ...................................................................30

13.4 Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi ........................................34

13.5 Wizara ya Biashara na Viwanda ................................................................40

13.6 Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali ....................................................44

13.7 Wizara ya Afya ..........................................................................................46

13.8 Wizara ya Ardhi, Nyumba, Maji na Nishati ..............................................52

13.9 Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Usafirishaji ........................................55

Page 5: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

iiiMwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

13.10 Wizara ya Kazi, Uwezeshaji, Wazee, Wanawake na Watoto ..................58

13.11 Wizara ya Katiba na Sheria .....................................................................61

13.11.1 Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka ......................................................61

13.12 Ofisi ya Rais - Utumishi wa Umma na Utawala Bora ............................62

13.12.1 Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu wa Uchumi .......................62

13.13 Wizara ya Habari, Utalii na Mambo ya Kale ..........................................63

13.13.1 Kamisheni ya Utalii .............................................................................64

13.14 Wizara ya Vijana, Utamaduni, Sanaa na Michezo ..................................65

13.15 Ofisi ya Rais-Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ ..................................................................................................................66

13.15.1 Wakala wa Usajili wa Matukio ya Kijamii Zanzibar ...........................68

13.15.2 Kikosi Maalum cha Kuzuia Magendo (KMKM) .................................69

13.15.3 Kikosi cha Valantia ..............................................................................69

13.15.4 Chuo cha Mafunzo ...............................................................................70

13.15.5 Jeshi la Kujenga Uchumi .....................................................................71

13.15.6 Kikosi cha Zimamoto na Uokozi .........................................................72

14.0 PROGRAMU/MIRADI YA MAENDELEO CHINI YA MFUKO WA MIUNDOMBINU (INFRASTRUCTURE FUND) ..........................................72

15.0 UFUATILIAJI NA TATHMINI ................................................................74

16.0 WASHIRIKA WA MAENDELEO ............................................................74

17.0 HITIMISHO ..............................................................................................75

Page 6: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

ivMwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

Orodha ya Viambatisho

Kiambatisho 1: Mgao wa Fedha za Programu/Miradi ya Maendeleo 2020/21 Kiwizara.

Kiambatisho 2: Mgao wa Fedha za Programu/Miradi ya Maendeleo 2020/21 kwa Maeneo Makuu Matano ya Matokeo (KRAs).

Kiambatisho 3: Programu/Miradi ya Maendeleo Chini ya Mfuko wa Miundombinu (Infrastructure Fund)

Page 7: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

vMwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

VIFUPISHOBF Busket Funds (Mfuko wa Wafadhili)

BoT Bank of Tanzania (Benki Kuu ya Tanzania)

CCM Chama cha Mapinduzi

GBS General Budget Support (Msaada wa Kibajeti)

KRAs Key Result Areas (Maeneo Makuu ya Matokeo)

M&E Monitoring and Evaluation (Ufuatiliaji na Tathmini)

MKUZA III Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umasikini Zanzibar Awamu ya Tatu

SDGs Sustainable Development Goals (Malengo ya Maendeleo Endelevu)

SMIDA Small and Medium Industry Development Agency (Wakala wa Maendeleo ya Viwanda Vidogo Vidogo na vya Kati)

SMT Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

SMZ Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar

TRA Tanzania Revenue Authority (Mamlaka ya Mapato Tanzania)

TZS Tanzania Shilings (Shilingi ya Tanzania)

UKIMWI Upungufu wa Kinga Mwilini

UNDP United Nations Development Programme (Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa)

VAT Value Added Tax (Kodi ya Ongezeko la Thamani)

ZECO Zanzibar Electricity Corporation (Shirika la Umeme Zanzibar)

ZRB Zanzibar Revenue Board (Bodi ya Mapato Zanzibar)

ZURA Zanzibar Utilities Regulatory Authority (Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati)

Page 8: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo
Page 9: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

1Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

1.0 UTANGULIZI

Juhudi kubwa zinaendelea kuchukuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar pamoja na wananchi wake ili kukuza uchumi, kupunguza umasikini na kuleta maendeleo endelevu kwa wote. Katika kuendeleza juhudi hizo Serikali kupitia Mpango wa Maendeleo wa mwaka 2020/21itaendelea kutekeleza mikakati mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo ni Dira ya Maendeleo ya 2020, Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umasikini Zanzibar – Awamu ya Tatu (MKUZA III) na Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi ya mwaka 2015/20. Aidha, Mpango huu wa maendeleo utaendeleza utekelezaji wa Mipango na makubaliano ya Kimataifa iwemo utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo Endelevu.

Juhudi za Kukuza Uchumi jumuisho unaozingatia masikini zitaendelezwa kwa kasi ambapo kwa mwaka 2020 jambo kuu na la msingi litakuwa ni kuhuisha sekta za kiuchumi na kijamii ambazo zimeathiriwa na maradhi ya COVID 19, sambamba na kuendeleza hatua za kujenga uchumi imara na mpana zaidi (diversified). Aidha, huduma za msingi za jamii kama vile afya, elimu, nyumba na maji zitapewa kipaumbele.

Kutokana na athari za maradhi hayo, kasi ya ukuaji wa uchumi wa Zanzibar inatarajiwa kupungua na kufikia kati ya wastani wa asilimia 3 hadi 5. Hii ni kutokana na kushuka kwa kasi ya uwekezaji nchini, kupungua kwa shughuli za kibiashara kati ya Zanzibar na washirika wa kibiashara, kupungua kwa uagiziaji wa bidhaa na huduma na kusimama kwa biashara na huduma zinazoambatana na sekta ya utalii. Aidha, kupungua kwa ajira katika sekta binafsi na biashara za wajasiriamali wadogo wadogo navyo pia vinaonekana kuathiri ukuaji wa uchumi. Hata hivyo, Serikali inatarajia kuhuisha ukuaji wa uchumi na kuimarisha ustawi wa wananchi kwa kuendelea kuyafanyia kazi maeneo ambayo yatakuwa ni kichocheo cha ukuaji wa uchumi wa Zanzibar.

Page 10: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

2Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

Mwaka 2020/21 ni kipindi cha mwisho cha utekelezaji wa mipango na mikakati inayomalizika muda wake ambayo ni Dira ya mwaka 2020 na MKUZA Awamu ya Tatu unaoishia mwaka 2020/21. Kwa mnasaba huo vipaumbele vya Mpango wa Maendeleo vimejikita katika kutekeleza Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi ya mwaka 2015 – 2020 na Dira ya Maendeleo ya Zanzibar ya 2020. Sekta kuu za kukuza uchumi na kuimarisha ustawi wa wananchi zikiwemo kilimo, utalii, miundombinu, elimu na afya zitaendelea kupewa msukumo unaostahiki kupitia utekelezaji wa program na miradi mbali mbali ya maendeleo. Aidha, Serikali pia itazidi kuendeleza mageuzi ya kiuchumi na kijamii kwa kuimarisha uchumi endelevu, kujenga miundombinu imara, kukuza uzalishaji kwenye sekta ya kilimo, kuimarisha utalii na viwanda vidogo vidogo, kuimarisha rasilimali watu, kukuza ubora wa huduma za kijamii ikiwemo afya, elimu na kuimarisha mazingira endelevu na misingi ya utawala bora.

Kwa mwaka 2020/21 programu na miradi mikuu ya maendeleo itakayotekelezwa ni pamoja na Mpango wa Kuhuisha Uchumi (Economic Recovery Plan) ambao lengo kuu ni kuhuisha na kuziendeleza sekta za kiuchumi na kijamii baada ya mtikisiko wa uchumi kutokana na COVID-19; Ukamilishaji wa jengo la abiria la uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Zanzibar (Terminal III); Kuimarisha Uchumi Buluu; kuanza ujenzi wa hospitali mpya ya rufaa ya Binguni; ujenzi wa bandari ya Mpigaduri; ujenzi wa Mahkama Kuu Tunguu; ujenzi wa miundombinu ya umwagiliaji maji; ujenzi wa mji wa kisasa Kwahani; ujenzi wa barabara ya Chake Chake – Wete; ujenzi wa miundombinu na matangi ya kuhifadhia mafuta katika eneo la bandari ya Mangapwani sambamba na kuimarisha ulinzi na usalama nchini.

Kitabu hiki kinatoa Mwelekeo wa Hali ya Uchumi kwa mwaka 2020 na Mwelekeo wa Mpango wa Maendeleo kwa mwaka 2020/21.

Page 11: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

3Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

2.0 MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI KWA MWAKA 2020

2.1 Mwelekeo wa Uchumi wa Dunia

Mwelekeo wa Uchumi wa dunia kwa mujibu wa Mtazamo (World Economic Outlook), ukuaji wa uchumi wa Dunia unatarajiwa kupungua na kufikia asilimia -3.0 kwa mwaka 2020 kutoka ukuaji wa wastani wa asilimia 2.9 kwa mwaka 2019, kinyume na matarajio ya awali ya ukuaji wa wastani wa asilimia 3.5 mwaka 2020. Kasi ya ukuaji wa Uchumi wa nchi Zilizoendelea inatarajiwa kupungua na kufikia wastani wa asilimia -6.1 mwaka 2020 kutoka wastani wa asilimia 1.8 mwaka 2019, kinyume cha matarajio ya awali ya ukuaji wa asilimia 1.7 kwa mwaka 2020. Hali hii imetokana na janga la ugonjwa wa corona (COVID-19) ambalo limeenea duniani kote na kupelekea kusimama kwa shughuli nyingi za kiuchumi ikiwemo Utalii, Usafiri wa anga, usafirishaji na biashara, sekta za fedha na sekta nyengine za kijamii. Nchi zote duniani zimejikita kuwekeza na kusaidia mifumo ya kiafya ili kuokoa maisha ya watu.

Aidha, kasi ya ukuaji wa uchumi kwa nchi Zinazoendelea na Zinazoibukia kiuchumi inatarajiwa kupungua na kufikia wastani wa asilimia -1.0 mwaka 2020, ikilinganishwa na ukuaji wa wastani wa asilimia 4.5 kwa mwaka 2019, kinyume cha matarajio ya awali ya kasi ya ukuaji wa uchumi wa wastani wa asilimia 4.8. Athari za ugonjwa wa COVID-19 umesababisha khofu na mshtuko na kupeleke kusimama kwa shughuli za kiuchumi na kijamii kwa nchi hizi. Vile vile, kupelekea ugumu wa utafutaji wa mitaji na kufunga maswala ya dhamana katika masoko ya kimataifa ambayo huleta mtikisiko kwa dola ya Marekani.

2.2 Mwelekeo wa Uchumi wa Afrika

Katika Bara la Afrika kwa mujibu wa takwimu za mwaka 2020 zilizotolewa na Benki ya Dunia, kuna watu zaidi ya 640 milioni Afrika wanaishi bila ya umeme, 210 milioni kati ya hao wanaishi katika maeneo ya migogoro ya vita na zaidi ya watu 416 milioni wanaishi katika umasikini. Zaidi ya matatizo hayo yanayoikumba Bara la Afrika, kazi nyingi zinapotea, madeni kuongezeka, sambamba na kupungua uwezekano wa kulipa madeni hayo.

Page 12: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

4Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

Kasi ya ukuaji wa uchumi wa Bara la Afrika inatarajiwa kupungua na kufikia wastani wa asilimia -1.7 mwaka 2020 kutoka wastani wa asilimia 3.5 mwaka 2019, kinyume cha matarajio ya awali ya ukuaji wa uchumi wa asilimia 3.9. Hii ni kutokana na mategemeo ya kuzorota kwa uchumi kwa nchi zinazokuwa kwa kasi kubwa zaidi Bara la Afrika na Kanda ya Afrika Mashariki na Uchumi wa Kanda ya Jumuiya ya Afrika Magharibi na Muungano wa Kifedha wa kanda hiyo (West Afrika Economy na Monetary Union). Hali hiyo ni pamoja na athari za kushuka kwa zaidi ya asilimia 7 kwa uchumi wa nchi zinazosafirisha mafuta na kwa asilimia 8 ya uchumi wa nchi zinazosafirisha bidhaa za chuma (Metals). Muelekeo wa uchumi wa Afrika umeathiriwa zaidi na matokeo ya maradhi ya COVID-19 ambayo kwa kiasi kikubwa yameathiri uchumi wa dunia nzima kupitia kupungua kwa uzalishaji, shughuli za kitalii na mzunguko wa fedha.

2.3 Mwelekeo wa Ukuaji wa Uchumi kwa nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara

Mwelekeo wa hali ya uchumi wa nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara ambazo zinaunganisha zaidi ya watu 1.2 bilioni kibiashara na ndio kwa sasa ni sehemu kubwa inayo tekeleza biashara huria duniani unatarajiwa kupungua kwa kasi ya baina ya asilimia -2.5 na asilimia -5.1 kwa mwaka 2020 kutoka asilimia 4.3 ya mwaka 2019, kinyume cha matarajio ya awali ya ukuaji wa uchumi wa asilimia 3.5. Kushuka kwa kasi ya ukuaji wa uchumi kunatarajiwa kutokana na kupungua kwa uzalishaji wa bidhaa za kilimo, kupungua kwa mnyororo wa usambazaji, mivutano ya kibiashara pamoja na kuzorota kwa upatikanaji wa ajira na mategemeo ya kupungua kwa misaada ya kibajeti ambayo imesababishwa na kuwepo kwa janga la maradhi ya mripuko ya COVID-19 ambayo yameathiri kwa kiasi kikubwa uchumi wa Kanda ya Jangwa la Sahara kwa zaidi ya dola za kimarekani kati ya 37- 79 bilioni.

2.4 Mwelekeo wa Uchumi wa Afrika ya Mashariki

Kwa mwaka 2020 kasi ya ukuaji wa uchumi kwa nchi za Ukanda wa Afrika Mashariki inatarajiwa kupungua kutokana na matarajio ya kushuka kwa uchumi

Page 13: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

5Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

wa dunia na nchi za Afrika kutosababishwa na kusimama kwa shughuli na uzalishaji viwandani, kuzorota kwa sekta ya huduma kutokana na kupungua soko la utalii. Hali hii imetokana na ugonjwa wa COVID-19 uliopelekea kusimama kwa shughuli za kiuchumi ikiwemo kuyumba kwa sekta ya utalii kwa kusitishwa kwa safari za ndege na kufungwa kwa mipaka. Hata hivyo, sekta ya kilimo hususani katika nchi ya Tanzania inategemewa kupanda kutokana na juhudi za Serikali za kuhakikisha uwepo wa chakula cha kutosha pamoja na kupunguza utegemezi wa kuagiza bidhaa za chakula kutoka nje. Kasi ya ukuaji wa uchumi wa nchi za Afrika Mashariki inatarajiwa kufikia wastani wa asilimia 2.0 mwaka 2020 ikilinganishwa na wastani wa asilimia 6.2 ya mwaka 2019, kinyume cha matarajio ya awali ya ukuaji wa uchumi wa asilimia 6.9.

Uchumi wa nchi ya Uganda unatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 3.5 mwaka 2020 kutoka asilimia 6.3 mwaka 2019, Kenya uchumi wake unatarajiwa kukua kwa kasi ya asilimia 1.0 kwa mwaka 2020 kutoka asilimia 5.9 mwaka 2019. Tanzania asilimia 4.0 kwa mwaka 2020 kutoka asilimia 6.8 mwaka 2019. Rwanda uchumi wake unatarajiwa kukua hadi kufikia asilimia 3.5 kwa mwaka 2020 kutoka asilimia 8.7 mwaka 2019 na nchi ya Burundi uchumi unatarajiwa kushuka na kufikia asilimia -5.5 kwa mwaka 2020 kutoka asilimia 3.3 mwaka 2019. Kupungua kwa kasi ya ukuaji wa uchumi kwa nchi zote za Jumuia ya Afrika Mashariki kutokana na kusimama kwa shughuli za uchumi ikiwemo usafirishaji, uzalishaji viwandani na utalii

2.5 Mwelekeo wa Mfumko wa Bei wa Dunia

Kasi ya mfumko wa bei wa Dunia inatarajiwa kupanda hadi kufikia wastani wa asilimia 3.6 kwa mwaka 2020 ikilinganishwa na wastani wa asilimia 3.4 mwaka 2019. Matarajio ya kupanda kwa mfumko wa bei duniani yanachangiwa zaidi na kupanda kwa baadhi ya bidhaa kutokana na kupungua kwa uzalishaji wa bidhaa za kilimo na viwandani uliosababishwa na marufuku ya kutoka nje kutokana na mripuko wa maradhi ya COVID-19. Kwa nchi Zinazoendelea na Zinazoibukia kiuchumi mfumko wa bei unatarajiwa kufikia asilimia 4.8 kwa mwaka 2020

Page 14: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

6Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

kutoka wastani wa asilimia 4.7 mwaka 2019. Hata hivyo, kasi ya mfumko wa bei kwa nchi Zilizoendelea unatarajiwa kubaki wastani wa asilimia 1.7 kwa mwaka 2020 ikilinganishwa na asilimia 1.7 mwaka 2019. Hali ya mfumko wa bei inatarajiwa kuwa tulivu kutokana na hatua za benki zinazoendelea kuchukuliwa za kupunguza viwango vya riba, Serikali kusaidia sekta za uzalishaji pamoja na kushuka kwa bei za mafuta katika soko la dunia.

3.0 MWELEKEO WA UCHUMI WA ZANZIBAR 2020Mwelekeo wa uchumi kwa mwaka 2020 unategemea kwenda sambamba na utekelezaji wa Dira ya Maendeleo ya 2020, MKUZA III pamoja na Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi ya mwaka 2015 - 2020. Kwa mwaka 2020 jambo kuu na la msingi litakuwa ni kuhuisha sekta za kiuchumi na kijamii ambazo zimeathiriwa na COVID-19, sambamba na kuendeleza hatua za kujenga uchumi imara na mpana zaidi (diversified). Aidha, huduma za msingi za jamii kama vile afya na elimu zitapewa kipaumbele.

Kutokana na athari za maradhi hayo, kasi ya ukuaji wa uchumi wa Zanzibar ambayo awali ilitarajiwa kufikia kasi ya ukuaji wa asilimia 7-8 haitoweza kufikiwa. Kasi ya ukuaji wa uchumi inatarajiwa kupungua na kufikia kati ya wastani wa asilimia 3 hadi 5. Hii ni kutokana na kushuka kwa kasi ya uwekezaji nchini, kupungua kwa shughuli za kibiashara kati ya Zanzibar na washirika wa kibiashara, kupungua kwa uagiziaji wa bidhaa na huduma kutokana na kufungwa kwa viwanda vya uzalishaji duniani na kupunguza mnyororo wa usambazaji wa bidhaa (supply chain) na kusimama kwa biashara na huduma zinazoambatana na sekta ya utalii. Sababu nyengine ni kusimama kwa ajira katika sekta binafsi na biashara za wajasiriamali wadogo wadogo. Hata hivyo, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inatarajia kuongeza kasi ya ukuaji wa uchumi na kuimarisha ustawi wa wananchi kwa kuendelea kuyafanyia kazi maeneo yafuatayo ambayo yatakuwa ni kichocheo cha ukuaji wa uchumi wa Zanzibar:

3.1. Uchumi wa Buluu

Uchumi wa Buluu unajumuisha shughuli zote zinazoambatana na maeneo

Page 15: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

7Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

ya bahari na fukwe kama vile uvuvi, utalii, usafiri wa bahari, mafuta na gesi, ufugaji wa mazao ya bahari pamoja na shughuli za kijamii za baharini. Kuwepo kwa uchumi endelevu unaotokana na Uchumi wa Buluu tunatarajia kutekeleza mambo yafuatayo:

i. Kuwa na mpango mahsusi wa matumizi ya bahari na fukwe (Marine Spatial Planning);

ii. Kuanzishwa kwa Idara inayohusiana na masuala ya Uchumi Buluu;iii. Kuwekeza zaidi katika rasilimali watu ili kupata wataalamu wa

kutosha katika eneo hili;iv. Kufanya tathmini ya kuzitambua rasilimali zetu za bahari;v. Kuhakikisha kuwa shughuli za baharini zinajumuishwa katika Sera na

Sheria pamoja na miongozo katika kupunguza umasikini.

3.2. Sera ya Viwanda ya Zanzibar

Sera ya Viwanda Zanzibar imetoa muongozo katika kuwezesha wajasiriamali katika kujiongezea vipato vyao kupitia wawekezaji wa nje na ndani, kwa kutumia mchango wa Serikali na msaada kutoka kwa washirika wa maendeleo. Baadhi ya shabaha ambazo Serikali imejiwekea kwa kusaidia Maendeleo ya viwanda vya Zanzibar ni pamoja na:

i. Kutenga ardhi na kuendeleza miundombinu ya shughuli za viwanda katika maeneo tofauti ya Zanzibar katika kuvutia wawekezaji wa ndani na nje;

ii. Kuongeza mashirikiano baina ya Vyuo vya Ufundi vya Serikali na wadau wote katika shughuli za uzalishaji viwandani.

iii. Kuongeza usimamizi wa vyuo kwa ajili ya kutoa taaluma kwa wawekezaji wadogo wadogo na wa kati ili kuongeza vipato vya wajasiriamali;

iv. Kuongeza mashirikiano baina ya taasisi, idara ambazo zinazoshughulika na biashara katika kuzuia biashara haramu na ushindani usio sawa;

v. Kushajihisha matumizi ya rasilimali inayorejesheka.

Page 16: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

8Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

3.3 Sekta ya Utalii

Ni dhahiri kuwa Sera za Serikali zimelenga katika kuunganisha baina ya sekta ya utalii na sekta nyengine za uzalishaji ili utalii uweze kuwa na faida zaidi. Sekta ya utalii inatoa mchango mkubwa katika ukuaji wa Uchumi wa Zanzibar. Hii ni pamoja na kuunganisha sekta ya kilimo na utalii kwa kuanzisha ‘agri-tourism’. Mambo yafuatayo yataendelea kufanyiwa kazi:

i. Kushirikisha jamii katika maendeleo ya programu ya mahoteli.Wana vijiji wanaozunguka maeneo ya hoteli waweze kuuza

bidhaa za chakula na kazi za mkono;Kuwawezesha wajasiriamali ili baadhi ya bidhaa ziweze

kuzalishwa ndani. ii. Sekta mjumuisho ya program ya maendeleo ya utalii

Kuitangaza zaidi Zanzibar; Kuimarisha maeneo ya vivutio vya utalii vilivyopo kama

vile, shamba za viungo, urithi wa utamaduni wa mzanzibari na biashara;

Kukiwezesha Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kutoa wataalamu katika fani ya utalii;

Kuongeza uhusiano baina ya sekta ya utalii na sekta ya kilimo ikiwemo kupata bidhaa za chakula kutoka kwa wakulima wa ndani;

Kuhakikisha Zanzibar ni kituo cha utalii kinachozingatia kwa umakini zaidi afya ya wageni kutokana na mripuko wa maradhi ya COVID19.

iii. Kuwaunganisha wananchi na sekta ya utalii.Kuongeza usarifu wa bidhaa za chakula na kushajihisha

viwanda vya usambazaji wa vyakula kwa mahoteli na ndege za kimataifa;

Kuitumia Miongozo ya Tafsiri ya Biashara ya mwaka 2016 (Trade Transaction Regulations of 2016) ambayo inawataka wauzaji wa bidhaa na huduma kwa mkopo kuingia katika

Page 17: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

9Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

makubaliano baina ya pande mbili);Kuwashajihisha wananchi kununua bidhaa zilizozalishwa

ndani kwa kuwapa wazalishaji unafuu wa kodi.

3.4. Viwanda Vidogo Vidogo

Viwanda vidogo vidogo vinajumuisha takribani viwanda vya usarifu na uhifadhi wa bidhaa ya chakula na zisizo za chakula. Zanzibar inayo nafasi kubwa kuongeza uzalishaji na kuleta mafanikio zaidi katika kukuza uchumi, mambo yafuatayo yataendelea kufanyiwa kazi:-

i. Kuvutia wawekezaji binafsi katika sekta mbalimbali, zikiwemo sekta ya uvuvi wa bahari kuu, ufugaji wa samaki, kuongeza thamani zao la mwani na ushajihishaji wa kilimo cha asili;

ii. Kufanya tafiti katika maeneo ya kilimo, mifugo, uvuvi na afya na hatimae kufanyiwa kazi mapendekezo yatokanayo na tafiti hizo.

4.0 MATARAJIO YA UKUAJI WA UCHUMI

Matarajio ya ukuaji wa uchumi yatatokana na kuendelea kuyafanyia kazi maeneo manne yaliyotajwa hapo juu pamoja na:-

i. Kuhuisha sekta za kiuchumi na kijamii baada ya mtikisiko wa uchumi kutokana na COVID-19;

ii. Kuimarisha sekta ndogo ya usafirishaji. Serikali pamoja na wawekezaji binafsi wanatarajiwa kuongeza meli za mizigo pamoja na abiria;

iii. Kuendelea na juhudi za kuongeza uzalishaji wa vifaranga na ufugaji wa samaki;

iv. Kuendelea kwa uvuvi wa bahari kuu baada ya kupatikana boti mbili za uvuvi;

v. Kuimarisha vituo vya utafiti vilivyopo nchini (Vituo vya utafiti wa uvuvi, kilimo, mifugo na afya);

vi. Kuongezeka kwa usafirishaji wa zao la karafuu, mwani na kuongeza mnyororo wa thamani wa zao hilo;

Page 18: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

10Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

vii. Kuongezeka kwa uhamasishaji wa uwekezaji wa ndani na nje ya nchi kwa kutekelezwa miradi mipya;

viii. Kutumika ipasavyo kwa dhana ya Sekta Mjumuisho kwa sekta za uzalishaji (Twin Engine approach)

ix. Kupunguza vikwazo vya kufanya biashara Zanzibar.

5.0 MFUMKO WA BEI WA ZANZIBAR

Kasi ya mfumko wa bei kwa mwaka 2020 inatarajiwa kuendelea kubakia katika tarakimu moja kutokana na sababu zifuatazo: -

i) Kuongezeka kwa uzalishaji wa ndani na wa nchi jirani, yakiwemo mazao ya kilimo zikiwemo mboga mboga na uzalishaji viwandani;

ii) Kuimarika kwa sekta ya Uvuvi kwa kuanza kwa shughuli za uvuvi wa bahari kuu;

iii) Serikali kuendelea kutoa punguzo maalumu la ushuru kwa bidhaa muhimu za chakula;

iv) Kuendelea kufanya ufuatiliaji wa mwenendo wa bei za bidhaa ili kudhibiti upandaji wa bei usio wa lazima;

v) Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kuendelea kudhibiti kushuka kwa Shilingi ya Tanzania dhidi ya sarafu nyengine duniani;

vi) Kushajihisha na kuimarisha shughuli za uzalishaji viwandani;

6.0 SHABAHA NA MALENGO YA UCHUMI KWA 2020-2022.

Shabaha na malengo ya uchumi kwa kipindi cha miaka mitatu ni kama ifuatavyo:-

i. Kasi ya ukuaji wa Pato halisi la Taifa inategemewa kuwa baina ya asilimia 3 hadi 7;

ii. Kuendelea kudhibiti kasi ya mfumko wa bei kuwa wastani wa chini ya asilimia 5;

iii. Mapato ya ndani yanakadiriwa kufikia wastani wa asilimia 26.4 ya Pato la Taifa mwaka 2020/21 kutoka asilimia 24.2 kwa mwaka 2019/20;

iv. Matumizi ya Serikali yanakadiriwa kufikia wastani wa asilimia 39.4

Page 19: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

11Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

ya Pato la Taifa mwaka 2020/21 kutoka wastani wa asilimia 38 mwaka 2019/20;

v. Kwa kipindi cha miaka mitatu nakisi ya bajeti inakadiriwa kupungua kutoka wastani wa asilimia 3.9 mwaka 2019/20 na kufikia wastani wa asilimia 2.8 mwaka 2020/21 na;

vi. Kuendelea kuwepo kwa amani na utulivu.

7.0 MWELEKEO WA BAJETI, 2020/21

Serikali itaendelea na dhamira ya kujenga jamii iliyoelimika, yenye siha kwa kuwepo uhakika wa chakula, uwezo wa kiuchumi na inayothamini na kufuata misingi ya utawala bora. Bajeti ya mwaka 2020/2021 itaendelea kuimarisha na kuendeleza maeneo yaliyozingatiwa katika Bajeti iliyopita yakiwemo (i) Huduma za Elimu (ii) Huduma za Afya na Ustawi wa jamii (iii) Miundombinu ya msingi; na (iv) Utawala bora.

7.1 Mwelekeo wa Mapato na Matumizi:

Kwa mwaka wa fedha 2020/21, Serikali inatatarajia kukusanya jumla ya TZS 1,579.2 bilioni zikiwemo TZS 1,050.0 bilioni zitokanazo na vianzio vya ndani na TZS 412.7 bilioni kutoka kwa washirika wa maendeleo, TZS 45.0 bilioni ni mikopo ya ndani na TZS 61.0 billioni ni marejesho ya mkopo. Aidha, mwelekeo wa Serikali ni kukadiria kutumia jumla ya TZS 1,579.2 bilioni katika mwaka wa fedha 2020/21 bilioni ikiwemo matumizi ya Kazi za Kawaida ya TZS 969.2 bilioni na matumizi ya Kazi za Maendeleo ya TZS 609.9 bilioni.

7.1.1 Mapato ya Ndani

Jumla ya TZS 1,050.0 bilioni zinatarajiwa kukusanywa kwa mwaka 2020/21 kutoka katika vianzio vya ndani kwa mchanganuo ufuatao:

a) ZRB: inatarajiwa kukusanya TZS 516.7 bilioni b) TRA: inatarajiwa kukusanya TZS 383.5 bilioni c) Mapato ya mawizara: TZS 128.7 bilionid) Kodi ya Mapato kwa wafanyakazi wa SMT: TZS 21.0 bilioni

Page 20: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

12Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

7.1.2 Mapato ya Nje

Kwa mwaka wa fedha 2020/21, Serikali inatarajia kupokea jumla ya TZS 412.7 bilioni kutoka kwa washirika wa maendeleo; hii inajumuisha ruzuku ya TZS 72.2 bilioni na mikopo ya TZS 340.5 bilioni.

7.2 Makadirio ya Matumizi kwa Mwaka 2020/21

Kwa mwaka 2020/21 jumla ya TZS 1,579.2 bilioni zimekadiriwa kutumika kwa Kazi za Kawaida na Maendeleo sawa na ongezeko la asilimia 11.5 ya makadirio ya TZS 1,419.4 bilioni mwaka 2019/20. Kati ya fedha hizo Matumizi ya Kawaida ni TZS 969.2 bilioni na Matumizi ya Kazi za Maendeleo ni TZS 609.9 bilioni. Aidha, kwa mwaka wa fedha 2020/21 utegemezi wa Bajeti unatarajiwa kupungua kutoka asilimia 6.2 kwa mwaka 2019/20 hadi kufikia asilimia 4.6. Hali hii imechangiwa na kuimarika kwa mapato ya ndani na kupungua kwa misaada ya kibajeti (GBS).

8.0 MAPENDEKEZO YA HATUA ZA KUIMARISHA MAPATO

Kwa mwaka wa fedha 2020/21, Serikali inakusudia kurekebisha Sheria mbali mbali kwa lengo la kuongeza ufanisi na kuimarisha usimamizi na ukusanyaji wa mapato ya Serikali katika mwaka 2020/21 hatua zinazokusudiwa kuchukuliwa katika kuimarisha ukusanyaji wa mapato. Marekebisho haya yamezingatiwa kwa umakini sana bila kuleta athari katika biashara, uwekezaji na wananchi kwa ujumla. Serikali bado itaendelea na Sera ya kutopandisha viwango vya kodi katika vyanzo vya ndani ili kuhakikisha kuwa mfumo wa kodi unaendelea kuwa tulivu kwa lengo la kuvutia uwekezaji zaidi hapa nchini. Hatua zinazokusudiwa kuchukuliwa katika kuimarisha ukusanyaji wa Mapato ni pamoja na:

i. Kufanya Marekebisho katika Sheria za Kodi ili kuwawekea mazingira bora na kuwapunguzia gharama za uwajibikaji wafanyabiashara.

ii. Kufanya mapitio ya Ada na Tozo zinazosimamiwa na Serikali Kuu na Serikali za Mitaa kwa lengo la kuondosha mgongano wa kimajukumu

Page 21: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

13Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

na kupunguza utitiri wa utozaji wa tozo na ada katika Sekta za kiuchumi na kijamii.

iii. Kufatilia na kudhibiti utoaji wa misamaha ya kodi kwa lengo la kupunguza mianya ya upotevu wa mapato.

iv. Kutoa elimu zaidi kwa walipakodi na kuwajengea uwezo watendaji katika nyanja mbalimbali kwa lengo la kuongeza ufanisi katika usimamizi na ukusanyaji wa mapato.

9.0 MWELEKEO WA MPANGO WA MAENDELEO KWA MWAKA 2020/21

Mpango wa Maendeleo kwa kipindi cha mwaka 2020/21, utaendelea kuzingatia utekelezaji wa MKUZA III kupitia programu na miradi ya kimkakati (Flagship projects), Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya mwaka 2015-2020 na Hotuba ya Mheshimiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein aliyoitoa katika uzinduzi wa Baraza la Tisa la Baraza la Wawakilishi. Mpango huu ni wa awamu ya mwisho ya utekelezaji wa mikakati mikuu ya taifa ikiwemo Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya mwaka 2015-2020 na Dira ya Maendeleo ya Zanzibar ya 2020. Aidha, mwelekeo wa mwaka 2020/21 utazingatia shabaha na malengo ya Maendeleo Endelevu ya Dunia (SDGs) ili kuweza Kukuza Uchumi wa Zanzibar.

Mpango huu wa mwaka 2020/21, utaendelea kuendeleza mageuzi ya kiuchumi na kijamii kwa kuimarisha uchumi endelevu, kujenga miundombinu imara, kukuza uzalishaji kwenye sekta ya kilimo, kuimarisha utalii na viwanda vidogo vidogo, kuimarisha rasilimali watu, kukuza ubora wa huduma za kijamii ikiwemo afya, elimu na kuimarisha mazingira endelevu na misingi ya utawala bora.

10.0 MAENEO YA VIPAUMBELE KWA MWAKA 2020/21

Mwaka 2020/21 ni kipindi cha mwisho cha utekelezaji wa mipango na mikakati inayomalizika muda wake ambayo ni Dira ya mwaka 2020 na MKUZA Awamu

Page 22: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

14Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

ya Tatu unaoishia mwaka 2020/21. Kwa mnasaba huo vipaumbele vya Mpango wa Maendeleo vimejikita katika kutekeleza Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi ya mwaka 2015 – 2020 na Dira ya Maendeleo ya Zanzibar ya 2020. Sekta kuu za kukuza uchumi na kuimarisha ustawi wa wananchi zikiwemo kilimo, utalii, miundombinu, elimu na afya zitaendelea kupewa msukumo unaostahiki kupitia utekelezaji wa program na miradi mbali mbali ya maendeleo. Kwa kuzingatia umuhimu na faida zinazopatikana, vipaumbele vya mwaka 2020/21 vimepangwa katika maeneo mawili kama ifuatavyo:-

Vipaumbele vya Kwanzai. Kuhuisha uchumi baada ya athari ya maradhi ya Corona kwa kutekeleza

Mpango wa Kuhuisha Uchumi (Economic Recovery Plan – ERP)ii. Ukamilishaji wa jengo la abiria la uwanja wa ndege wa kimataifa wa

Zanzibar (Terminal III);iii. Kuimarisha uchumi buluu kwa kuandaa Mpango wa Matumizi ya Bahari

na maeneo yake (Marine Spatial Plan) na kuanza utekelezaji;iv. Ujenzi wa hospital mpya ya rufaa ya Binguni;v. Ujenzi wa hospital ya Wete kuwa ya Mkoa;

vi. Kukamilisha ujenzi wa Mahkama Kuu Tunguu;vii. Kuendelea na ujenzi wa miundombinu ya umwagiliaji maji katika

mabonde ya Chaani, Kinyasini na Kibokwa kwa Unguja na Makwararani na Mlemele kwa Pemba;

viii. Ujenzi wa Bandari ya Mpigaduri;ix. Kuendeleza ujenzi wa mji wa kisasa Kwahani;x. Kuimarisha sekta ya mafuta na gesi kwa kuendelea na ujenzi wa

miundombinu ya matangi ya kuhifadhia mafuta katika eneo la bandari ya Mangapwani;

xi. Kuimarisha ulinzi na usalama;xii. Ujenzi wa barabara ya Chake Chake – Wete; na xiii. Ujenzi wa kituo cha maonesho ya biashara na mikutano ya kimataifa

(Convention Centre) kwa mfumo wa mashirikiano ya sekta ya umma na sekta binafsi.

Page 23: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

15Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

Vipaumbele vya Pilii. Kuendelea na kuimarisha ajira kwa vijana;

ii. Kuimarisha utalii kwa kuendeleza maeneo ya kihistoria na utalii kwa wote;

iii. Kuendeleza maeneo ya uwekezaji (Industrial Park);iv. Ujenzi wa skuli ya sheria (Law school);v. Kuanza maandalizi ya ujenzi wa mji wa kisasa kwa Pemba;

vi. Kuanza ujenzi wa Ofisi ya Wizara ya Fedha na Mipango Unguja;vii. Kuendelea na shughuli za utafutaji na uchimbaji wa mafuta na gesi;viii. Kuimarisha elimu kwa ujenzi wa skuli tatu za ghorofa katika maeneo ya

Mfenesini na Gamba kwa Unguja na Kifundi kwa Pemba;ix. Ujenzi wa daraja la Uzi – Ng’ambwa;x. Ujenzi wa chelezo kwa matengenezo ya vyombo vya baharini; na

xi. Ujenzi wa barabara ya Kisauni – Fumba.

11.0 RASILIMALI KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA MPANGO WA MAENDELEO KWA MWAKA 2020/21

Mpango wa Maendeleo kwa mwaka 2020/21 unalenga kutekeleza jumla ya programu 24 (program tatu ni mpya), na miradi 53 (miradi saba ni mipya) ya maendeleo. Jumla ya TZS 609.99 bilioni zitatumika kwa ajili ya kugharamia utekelezaji wa programu na miradi ya maendeleo ikiwa ni ongezeko la TZS 32.97 bilioni sawa na asilimia 5.7 ikilinganishwa na Bajeti ya Maendeleo ya mwaka 2019/20 ya TZS 577.02 bilioni.

Serikali imepanga kutumia TZS 197.33 bilioni sawa na asilimia 32.35 ya Bajeti ya Maendeleo ikiwa ni ongezeko la TZS 14.93 bilioni sawa na asilimia 8.2 ya Bajeti ya Maendeleo ya mwaka 2019/20 ya TZS 182.4 bilioni. Kati ya fedha za Serikali (TZS 197.33 bilioni), TZS 110.76 bilioni ni kwa programu na miradi ya kimkakati, yenye mikataba au dhima ‘Commitment’ na TZS 86.57 bilioni kwa miradi mengine. Aidha, jumla ya TZS 412.66 bilioni sawa na asilimia 67.65 ya bajeti ya maendeleo zimepangwa kutoka kwa Washirika wa Maendeleo ikiwa

Page 24: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

16Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

TZS 72.16 bilioni ni ruzuku na TZS 340.50 bilioni ni mikopo. Fedha hizo ni ongezeko la TZS 18.06 bilioni sawa na asilimia 4.6 ikilinganishwa na fedha zilizotengwa kwa mwaka 2019/20 zenye jumla ya TZS 394.6 bilioni.

Mgawanyo wa fedha za bajeti kiwizara na kwa Maeneo Makuu Matano ya Matokeo (KRAs) kwa programu na miradi ya maendeleo unaonekana kwenye kiambatisho namba 1 na 2. Aidha, jadweli namba 1 hapo chini linaonesha muhtasari wa mgawanyo wa fedha kwa Maeneo Makuu Matano ya Matokeo (KRAs).

Page 25: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

17Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

16  

 Jadw

eli

nam

. 1:

Muh

tasa

ri w

a Fe

dha

Zili

zopa

ngw

a kw

a U

pand

e w

a Se

rika

li na

Was

hiri

ka w

a M

aend

eleo

kw

a

Prog

ram

u/M

irad

i ya

Mae

ndel

eo k

wa

Mae

neo

Mak

uu y

a M

atok

eo 2

020/

21.

EN

EO

MA

KIS

IO K

WA

MW

AK

A 2

020/

21 (T

ZS.

"00

0")

SMZ

%

R

UZ

UK

U

MK

OPO

JUM

LA

YA

FED

HA

ZA

WA

SHIR

IKA

WA

MA

EN

DE

LE

O

%

JUM

LA

YA

BA

JET

I %

KR

A A

: K

uwez

esha

Uku

aji

wa

Uch

umi

Jum

uish

i na

Ende

levu

85

,950

,000

25

29

,323

,400

22

2,37

6,10

4 25

1,69

9,50

4 75

33

7,64

9,50

4 55

KR

A B

: Kuk

uza

Uw

ezo

wa

Wat

u 3,

000,

000

82

650,

628

65

0,62

8 18

3,

650,

628

1.0

KR

A C

: Kut

oa H

udum

a B

ora

kwa

Wot

e 43

,362

,220

23

35

,068

,935

11

3,57

8,31

6 14

8,64

7,25

1 77

19

2,00

9,47

1 31

KR

A D

: K

uwep

o M

azin

gira

End

elev

u na

Uhi

mili

w

a M

abad

iliko

ya

Tabi

anch

i 30

0,00

0 24

96

5,71

2 0

965,

712

76

1,26

5,71

2 0.

1

KR

A

E:

Kus

hika

man

a na

M

isin

gi

ya

Uta

wal

a B

ora

64

,720

,000

86

6,

154,

702

4,54

1,00

0 10

,695

,702

14

75

,417

,702

12

JUM

LA

KU

U

197,

332,

220

32

72,1

63,3

78

340,

495,

420

412,

658,

798

68

609,

991,

018

100

Page 26: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

18Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

12.0 MWELEKEO WA PROGRAMU NA MIRADI YA MAENDELEO KWA MAENEO MAKUU YA MATOKEO

Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umasikini Zanzibar Awamu ya Tatu (MKUZA III) unatekelezwa kupitia maeneo makuu matano ya matokeo. Maeneo hayo yanatoa fursa kwa kila sekta kuweza kujua ni katika eneo lipi inaweza kujikita zaidi na kusaidia katika utekelezaji wa MKUZA III. Kwa kuzingatia hilo, mgawanyo wa programu na miradi ya maendeleo umejikita katika maeneo hayo kama ifuatavyo:

i. Kuwezesha Ukuaji wa Uchumi Jumuishi na Endelevu Hili ni eneo la kwanza katika MKUZA III ambalo linakusudia kuimarisha mazingira bora yatakayosaidia ukuaji wa uchumi endelevu ili kupambana na umasikini wa kipato. Matarajio ni kuwa na mazingira rafiki kwa ukuaji wa sekta binafsi na upatikanaji wa ajira, kuwa na uwekezaji wa umma unaotosheleza ili kusaidia miundombinu ikiwemo ya mawasiliano na vichocheo vyengine vya uchumi, kuwa na sekta yenye ushindani ya utalii yenye manufaa endelevu na jumuishi kwa wananchi, kuwepo na uzalishaji wa kisasa katika sekta za kilimo na viwanda kwa kuongeza thamani, kuwepo sekta binafsi iliyoshamiri na kuimarika kwa hifadhi ya jamii. Programu na miradi inayotekelezwa katika eneo hili ni yenye lengo la kuimarisha miundombinu ya usafirishaji ikiwemo barabara, viwanja vya ndege, bandari; kuimarisha miundombinu ya kilimo na uvuvi; kuweka mazingira bora ya biashara; na kuendeleza viwanda na utalii.

Jumla ya programu 11 (programu moja mpya) na miradi 16 (miradi mitatu mipya) ya maendeleo inatarajiwa kutekelezwa kupitia eneo hili kwa mwaka 2020/21, ambapo limetengewa TZS 337.6 bilioni sawa na asilimia 55.0 ya bajeti ya maendeleo. Serikali imetenga TZS 85.9 bilioni sawa na asilimia 25 ya bajeti ya eneo hili, Washirika wa Maendeleo wanatarajiwa kuchangia TZS 251.7 bilioni sawa na asilimia 75 ya bajeti ya eneo hili ambapo ruzuku ni TZS 29.3 bilioni na mkopo ni TZS 222.4 bilioni.

Page 27: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

19Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

ii. Kukuza Uwezo wa WatuEneo la pili linakusudia kuimarisha uwezo wa watu ili kuongeza kasi ya ukuaji wa uchumi na utoaji wa huduma bora kwa wananchi. Eneo lina matarajio ya kuongeza ajira kwa watu wote (vijana, wanawake, watu wenye ulemavu) mijini na vijijini kwa kuendeleza maarifa yao na kuongeza uwezo wa wajasiriamali ili kuimarisha fursa za kuweza kujiajiri. Eneo hili linajumuisha programu na miradi inayojikita na shughuli za kukuza ajira kwa vijana, kuimarisha jinsia na kuwaendeleza wajasiriamali nchini.

Kwa mwaka 2020/21, eneo hili linatarajiwa kutekeleza jumla ya programu mbili na mradi mmoja wa maendeleo ambapo limetengewa jumla ya TZS 3.6 bilioni sawa na asilimia 1.0 ya bajeti ya maendeleo. Serikali imetenga TZS 3.0 bilioni sawa na asilimia 82 ya bajeti ya eneo hili na Washirika wa Maendeleo wanatarajiwa kuchangia TZS 650 milioni sawa na asilimia 18 ya bajeti ya eneo hili ambayo ni ruzuku.

iii. Kutoa Huduma Bora kwa WoteEneo la tatu linakusudia kuimarisha upatikanaji wa huduma bora na za kisasa kwa jamii. Matarajio ni kuwa na huduma bora za afya na usafi wa mazingira, maji safi na salama, na kupambana na maradhi yenye kuambukiza na yasiyoambukiza; kuwa na elimu bora kwa wote na jinsia zote; kuwa na makaazi bora, matumizi bora ya ardhi na upatikanaji wa nishati; kuwa na udhibiti wa unyanyasaji wa watoto na wanawake; kuwa na uwezo na utayari wa kupambana na majanga/dharura za aina zote; na kuwa na usalama wa upatikanaji wa chakula kwa jamii yote. Program na miradi inayotekelezwa kupitia eneo hili ni ile yenye azma ya kuimarisha miundombinu ya afya, elimu, maji na nishati kwa mijini na vijijini sambamba na uhifadhi wa haki za wananchi wakiwemo wazee na watoto.

Kwa mwaka 2020/21, eneo hili linatarajiwa kutekeleza jumla ya programu saba na miradi 16 (mradi mmoja ni mpya) ambapo limetengewa jumla ya TZS 192.0 bilioni sawa na asilimia 31.0 ya bajeti ya maendeleo. Serikali imetenga TZS 43.4 bilioni sawa na asilimia 23 ya bajeti ya eneo hili na Washirika wa Maendeleo

Page 28: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

20Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

wanatarajiwa kuchangia TZS 148.6 bilioni sawa na asilimia 77 ya bajeti ya eneo hili ambapo ruzuku ni TZS 35.1 bilioni na mkopo ni TZS 113.5 bilioni.

iv. Kuwepo Mazingira Endelevu na Uhimili wa Mabadiliko ya TabianchiEneo la nne linakusudia kuimarisha uwezo wetu wa kukabiliana na mabadiliko ya mazingira na tabia nchi. Matarajio ya eneo hili ni kuwa na uwezo wa kutosha wa kupambana na athari za mabadiliko ya tabianchi; kuwa na uhifadhi wa viumbe vya baharini na nchi kavu na kupunguza upotevu wake; kuzuia uharibifu wa mazingira na kupunguza athari za kijamii zinazotokana na shughuli za kiuchumi. Miradi inayotekelezwa katika eneo hili inalenga kuimarisha masuala ya usimamizi wa mazingira, maliasili na kuongeza uhimili wa mabadiliko ya tabianchi.

Eneo hili linatarajiwa kutekeleza jumla ya miradi miwili ambapo limetengewa jumla ya TZS 1.3 bilioni sawa na asilimia 0.1 ya bajeti ya maendeleo. Serikali imetenga TZS 300 milioni sawa na asilimia 24 ya bajeti ya eneo hili na Washirika wa Maendeleo wanatarajiwa kuchangia TZS 965.7 milioni sawa na asilimia 76 ya bajeti ya eneo hili ambazo ni ruzuku.

v. Kushikamana na Misingi ya Utawala BoraEneo la tano la mkakati huu limejumuisha masuala yote ya kisheria na uongozi. Katika eneo hili inakusudiwa kuimarisha misingi ya utawala bora, haki na sheria katika ngazi zote. Matarajio ya eneo hili ni kuwa na mifumo ya kiutawala na kitaasisi yenye kuwajibika, ilio wazi na bila rushwa; kufikia usawa na uwiano wa kijinsia, jamii jumuishi, na uwezeshaji wa wanawake, watoto wa kike, vijana, walemavu, na watu walio katika mazingira hatarishi; kuwa na upatikanaji wa haki, kuheshimu utawala wa sheria, haki za msingi za binadamu na uimarishaji wa demokrasia; kuwa na uwajibikaji wa mashirika kwa jamii; na kuwa na mazingatio zaidi ya watu katika mipango. Program na miradi inayotekelezwa kupitia eneo hili ina lengo la uwekaji mazingira mazuri ya makaazi kwa wananchi na wafanyakazi, kuwepo na mageuzi ya kiutumishi, kuimarisha ulinzi na usalama nchini na kuimarisha rasilimali za ndani na usimamizi wa maliasili.

Page 29: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

21Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

Kwa mwaka 2020/21, eneo hili linatarajiwa kutekeleza jumla ya programu nne (programu moja ni mpya) na miradi 18 (miradi mitatu mipya) ambapo limetengewa jumla ya TZS 75.4 bilioni sawa na asilimia 13 ya bajeti ya maendeleo. Serikali imetenga TZS 64.7 bilioni sawa na asilimia 82 ya bajeti ya eneo hili na Washirika wa Maendeleo wanatarajiwa kuchangia TZS 10.7 bilioni sawa na asilimia 18 ya bajeti ya eneo hili ambapo ruzuku ni TZS 6.2 bilioni na mkopo ni TZS 4.5 bilioni.

13.0 MWELEKEO WA PROGRAMU/MIRADI YA MAENDELEO NA SHUGHULI ZILIZOPANGWA KUTEKELEZWA KWA MWAKA 2020/21 KIWIZARA

13.1 Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi

Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ni taasisi yenye dhamana ya kusimamia kazi za Baraza la Mapinduzi (Baraza la Mawaziri), Ofisi ya Rais Ikulu na shughuli za Ushirikiano wa Kimataifa na Wazanzibari waliopo nje ya nchi (Diaspora). Aidha, ofisi hii ni kiungo muhimu cha maendeleo ya nchi katika kusimamia utekelezaji wa kazi za Baraza la Mapinduzi na kamati zake, kuwahudumia wananchi kwa kutekeleza ahadi za Mheshimiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pamoja na kuwapatia taarifa za shughuli za Serikali na maendeleo. Kwa mwaka wa fedha 2020/21, Ofisi hii imepanga kutekeleza mradi mmoja wa maendeleo utakaogharimu jumla ya TZS 1.5 bilioni.

Mradi wa Uimarishaji wa Nyumba za Viongozi na Nyumba za SerikaliMradi umeanzishwa kwa lengo la kuimarisha makaazi ya viongozi wakuu wa nchi kwa kuweka mazingira na mandhari nzuri ya makaazi yao pamoja na kuimarisha usalama wa nyumba hizo. Mradi huu unatekelezwa kwa fedha za Serikali pekee na kwa mwaka 2020/21 umepangiwa kiasi cha TZS 1.5 bilioni kwa kutekeleza shughuli zifuatazo:-

Page 30: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

22Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

Shughuli Zilizopangwa kutekelezwai. Kufanya ukarabati katika Ikulu ya Mnazi Mmoja;

ii. Kuendelea na ujenzi wa nyumba za makaazi katika Ikulu ya Micheweni;iii. Kujenga nyumba za viongozi wastaafu, Dodoma; iv. Kujenga ukuta katika nyumba ya makaazi ya Mheshimiwa Rais katika

Ikulu ya Dodoma;v. Ujenzi wa nyumba za wafanyakazi na VIP katika Ikulu ya Dodoma;

vi. Kuzuia mmong’onyoko katika nyumba ya makaazi ya Mheshimiwa Rais katika Ikulu za Mkoani na Migombani.

13.2 Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais

Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais ina dhamira ya kuratibu na kusimamia utekelezaji wa shughuli za Serikali katika sekta zote za SMZ, mambo ya Muungano kwa kufuata misingi ya Katiba, Sheria, taratibu pamoja na kupata misingi ya haki za binaadamu na ushirikishwaji. Kwa mwaka wa fedha 2020/21, Ofisi imepanga kutekeleza programu moja na miradi miwili ya maendeleo itakayogharimu jumla ya TZS 23.05 bilioni (TZS 350.0 milioni kutolewa na Serikali na TZS 22.69 bilioni kutoka kwa Washirika wa Maendeleo).

Mpango wa Kunusuru Kaya Masikini Awamu ya Tatu (TASAF III) Kipindi cha Pili Mpango wa Kitaifa unaotekelezwa baina ya Tanzania Bara na Zanzibar kwa lengo la kuziwezesha kaya masikini sana kuongeza kipato, fursa na uwezo wa kugharamia mahitaji muhimu ya kibinadamu hasa chakula, afya na elimu pamoja na kuibua miradi ya kutoa ajira ili kuwawezesha kujikwamua na umasikini. Kwa mwaka 2020/21, programu hii awamu ya tatu katika kipindi cha pili imepangiwa jumla ya TZS 21.6 bilioni (TZS 50 milioni kutoka Serikalini na TZS 21.55 bilioni kutoka kwa Washirika wa Maendeleo) kwa kutekeleza shughuli zifuatazo:-

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa kwa Fedha za Serikalii. Kuratibu shughuli za TASAF III kati ya Zanzibar na Dar es Salaam,

ikiwemo ufuatiliaji na tathmini ya shughuli za mradi kwa Unguja na Pemba;

Page 31: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

23Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

ii. Kufanya vikao vinne vya Kamati ya Wataalamu na viwili vya Kamati ya Uongozi wa mradi.

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa kwa Fedha za Washirika wa Maendeleo i. Kufanya malipo kwa walengwa wa kaya masikini (Conditional Cash

Transfer (CCT)) kwa Shehia 388 za Unguja na Pemba;ii. Kuratibu na kuibua kaya mpya za walengwa wa Shehia za Unguja na

Pemba;iii. Kuwajengea uwezo wadau wa TASAF jinsi ya utekelezaji wa mpango

mpya; iv. Uibuaji na utekelezaji wa miradi ya ujenzi.

Mradi wa Kujenga Uwezo wa Kukabiliana na MaafaMradi huu unagharamiwa na Umoja wa Mataifa (UNDP) ukiwa na lengo la kujenga uwezo kwa jamii katika kukabiliana na maafa pamoja na kuratibu utekelezaji wa sera za kukabiliana na maafa Zanzibar. Kwa mwaka 2020/21, mradi huu umepangiwa jumla ya TZS 186.0 milioni kutoka kwa Washirika wa Maendeleo kwa kutekeleza shughuli zifuatazo:-

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa i. Kuandaa muongozo wa kusaidia kuratibu kituo cha huduma za

dharura;

ii. Kuanzisha mfumo shirikishi utakaosaidia kuhifadhi taarifa za majanga na maafa;

iii. Kufanya mapitio kwa Mpango wa Taifa wa Kukabiliana na Maafa;

iv. Kuratibu vikao vya Kamati Kiongozi na Kamati Tendaji juu ya Mpango wa Kutokomeza Kipindupindu Zanzibar.

Mradi wa Kuimarisha Usimamizi wa Mazingira, Maliasili na Mabadiliko ya Tabianchi - Zanzibar Mradi huu umeanza mwaka 2017, na una lengo la kuzifanyia kazi changamoto zilizojitokeza za mazingira na kuongeza uhimili wa mabadiliko ya tabianchi Zanzibar, ili kufikia maendeleo endelevu. Mradi unatekelezwa kwa mashirikiano

Page 32: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

24Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

baina ya Serikali na UNDP. Kwa mwaka 2020/21, mradi umepangiwa jumla ya TZS 589.8 milioni (TZS 300.0 milioni kutoka Serikalini na TZS 289.8 milioni kutoka kwa Washirika wa Maendeleo) kwa kutekeleza shughuli zifuatazo:-

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa kwa Fedha za Serikalii. Kuweka uzio wa mawe kwa ajili ya kulihami eneo lilioathirika na

mabadiliko ya tabianchi la Msuka Pemba;

ii. Ujenzi wa mtaro wa kupitishia maji ya mvua ili kuzuia mmong’onyoko wa fukwe ya Msuka.

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa kwa Fedha za Washirika wa Maendeleo i. Kufanya mkutano wa Kamati ya Wataalamu na Kamati ya Uongozi ya

mabadiliko ya tabianchi kwa ajili ya kutathmini utekelezaji wa shughuli za mradi;

ii. Kufanya ununuzi wa kifaa cha kusomea hali ya hewa;

iii. Kutayarisha mfumo wa usimamizi na uhamasishaji wa fedha za mabadiliko ya tabianchi;

iv. Kufanya ukarabati wa Ofisi ya Idara ya Mazingira na ununuzi wa samani.

13.2.1 Tume ya Kitaifa ya Kuratibu na Udhibiti wa Madawa ya KulevyaTume hii ina jukumu la kuratibu mapambano dhidi ya biashara, usafirishaji na matumizi ya dawa za kulevya, kutoa taaluma kwa jamii juu ya athari za dawa za kulevya, tiba pamoja na ushauri nasaha kwa waathirika wa dawa hizo. Kwa mwaka 2020/21, Tume imepanga kutekeleza mradi mmoja utakaogharimu jumla ya TZS 1.9 bilioni kutoka Serikalini.

Mradi wa Ujenzi wa Kituo cha Tiba na Marekebisho ya TabiaMradi umeanza mwaka 2018 kwa awamu ya pili (II) na una lengo la kuimarisha kituo cha matibabu na kurekebisha tabia kwa watumiaji wa dawa za kulevya. Mradi huu unatekelezwa na Serikali pekee na kwa mwaka 2020/21 umepangiwa kiasi cha TZS 1.9 bilioni kwa kutekeleza shughuli zifuatazo:-

Page 33: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

25Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa i. Kukamilisha ujenzi wa kituo cha Tiba na Marekebisho ya Tabia

-Kidimni.

13.3 Wizara ya Fedha na Mipango

Sekta ya Fedha na Mipango inajumuisha shughuli zote zinazohusiana na maendeleo ya kifedha, kiuchumi na mipango nchini ikiwemo usimamizi wa mapato na matumizi Serikalini, mwenendo na maendeleo ya mabenki na taasisi za fedha, usimamizi wa misaada, usimamizi wa mipango ya kitaifa na kimataifa, usimamizi wa uchumi mkuu pamoja na shughuli zote za taasisi nyengine zinazojihusisha na masuala ya fedha, mipango na uwekezaji nchini. Aidha, sekta hii inajukumu la kupanga na kusimamia mipango ya maendeleo ya nchi ya muda mfupi, wa kati na muda mrefu. Kwa mwaka 2020/21, Wizara hii imepanga kutekeleza programu nne na miradi minne ya maendeleo kwa gharama ya TZS 68.17 bilioni. Kati ya hizo Serikali imepanga kutoa TZS 41.92 bilioni na Washirika wa Maendeleo TZS 26.25 bilioni.

Programu ya Ujenzi wa Ofisi za Serikali ZanzibarProgramu hii ina lengo la kugharamia ujenzi wa Ofisi za Serikali katika maeneo ambayo yamependekezwa na Serikali. Aidha, program imekusudia kuweka mazingira bora ya kazi kwa wafanyakazi wa Serikali. Kwa mwaka 2020/21, programu hii imepangiwa kiasi cha TZS 19.5 bilioni kwa kutekeleza shughuli zifuatazo:-

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa i. Kukamilisha wa ujenzi wa jengo la Mahkama Kuu - Tunguu pamoja na

ununuzi wa samani;ii. Kuanza ujenzi wa jengo la Wizara ya Fedha na Mipango – Mazizini

Unguja; iii. Kuanza ujenzi wa Taasisi za Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali (G5)

- Mazizini; iv. Kuendelea na ujenzi wa Ofisi ya Wizara ya Habari, Utalii na Mambo ya

Page 34: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

26Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

Kale;v. Kuanza matayarisho ya ujenzi wa Ofisi za Serikali ya Mapinduzi ya

Zanzibar, Dodoma.

Programu ya Ujenzi wa Miji MipyaProgramu hii imeanzishwa kwa lengo la kuweka miji ya Zanzibar katika muonekano mzuri pamoja na kuwapatia wananchi makaazi bora na ya kisasa. Maeneo mbali mbali yamechaguliwa na Serikali ikiwemo Kwahani ili kuweza kuyafanya miji mipya na ya kisasa kwa kujenga majengo ya kisasa na yaliyobora zaidi. Kwa mwaka 2020/21, programu hii imepangiwa kiasi cha TZS 20.0 bilioni kwa kutekeleza shughuli zifuatazo:-

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa i. Kuendelea na ujenzi wa Mji Mpya wa nyumba za Kwahani;

ii. Kuanza matayarisho ya ujenzi wa mji mmoja Pemba.

Programu ya Ukuzaji Uchumi Jumuishi Zanzibar (BIG-Z)Programu ya Ukuzaji Uchumi Jumuishi Zanzibar ina lengo kuimarisha maeneo ya miji ya sasa na miji mengine inayoibukia ili kukabiliana na changamoto za tofauti za maendeleo na uhifadhi wa eneo la urithi wa Mji Mkongwe eneo ambalo ni kivutio kwa watalii na kulinda historia ya mji wa Zanzibar. Kwa mwaka 2020/21, programu hii itatekelezwa kwa fedha wa Washirika wa Maendeleo pekee ambapo jumla ya TZS 19.96 bilioni zimepangwa kutekeleza shughuli zifuatazo:-

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa i. Ujenzi wa miundombinu ya huduma za kijamii ikiwemo maji, barabara

na maegesho ya magari;ii. Kuendeleza maeneo muhimu ya urithi wa kihistoria ya Mji Mkongwe;

iii. Kuendeleza eneo la Michenzani kwa uwekaji wa miundombinu ya kisasa (Green Corridor);

iv. Kujengea uwezo taasisi za usimamizi wa miji, kuongeza ubunifu pamoja na ununuzi wa vifaa.

Page 35: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

27Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

Programu ya Mageuzi Katika Usimamizi wa Fedha (PFMRP)Programu hii ina lengo la kuhakikisha mapato na matumizi yanasimamiwa na kudhibitiwa kwa ufanisi mkubwa. Katika kufanikisha lengo hilo, Serikali kwa kushirikiana na Washirika wa Maendeleo inatekeleza programu hii katika taasisi za Serikali, Wizara na Serikali za mitaa na kuratibiwa katika Wizara ya Fedha na Mipango. Kwa mwaka 2020/21, programu hii itatekelezwa kwa fedha za Washirika wa Maendeleo pekee ambapo jumla ya TZS 1.6 bilioni zimepangwa kwa kutekeleza shughuli zifuatazo:-

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa i. Kuimarisha sera za kodi na zisizo za kodi katika kuongeza mapato ya

ndani; ii. Kuimarisha mfumo wa mipango na uandaaji bajeti;

iii. Kuimarisha mfumo wa kuripoti matumizi na utekelezaji wa bajeti; iv. Kuandaa mfumo bora wa ukaguzi na udhibiti wa hesabu pamoja na

kuunganisha mifumo ya fedha za umma; v. Kuandaa ripoti ya ukaguzi na ununuzi na kufanya mafunzo kwa vitengo

vya ununuzi vya Wizara zote;vi. Kutoa mafunzo ya ukaguzi kwa watendaji 30 wa Ofisi ya Mdhibiti na

Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kuhusu ukaguzi unaozingatia vihatarishi (Risk Based Audit).

Mradi wa Kujenga Uwezo Taasisi za SerikaliMradi huu una lengo la kusaidia uratibu wa ufuatiliaji na tathmini ya MKUZA III pamoja na Malengo ya Maendeleo Endelevu ya Dunia (SDG’s) na kutoa uelewa wa utekelezaji wa malengo yaliyopangwa ili kupata matokeo yake na kuhakikisha kwamba rasilimali zilizopo zinatumika kwa ufanisi unaohitajika kwa manufaa ya watu na taifa kiujumla. Mradi huu unatekelezwa kwa mashirikiano baina ya Serikali na Washirika wa Maendeleo (UNDP) ambapo kiasi cha TZS 126.8 milioni (TZS 20 milioni kutoka Serikalini na TZS 106.8 milioni kutoka kwa Washirika wa Maendeleo) zitatumika kutekeleza shughuli zifuatazo:

Page 36: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

28Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa kwa Fedha za Serikalii. Kuratibu vikao viwili vya Kamati Kiongozi na vikao vinne vya Kamati

ya Wataalamu;

ii. Kufanya ufuatiliaji wa shughuli za mradi.

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa kwa Fedha Kutoka kwa Washirika wa Maendeleo

i. Kutoa uelewa kwa Serikali za Mitaa, Taasisi za Elimu ya Juu na makundi ya wanawake na vijana kuhusiana na Dira ya Maendeleo ya Zanzibar 2050;

ii. Kushiriki katika mikutano ya mashirikiano ya nchi zinazoendelea (South South Cooperation) juu ya utekelezaji wa lengo la 1 na 17 la SDGs;

iii. Kuandaa warsha juu ya utayarishaji wa Mpango wa Maendeleo wa muda wa kati katika kutekeleza Dira ya 2050;

iv. Kuwasilisha maeneo ya vipaumbele vya Dira 2050 kwa Washirika wa Maendeleo.

Mradi wa Uimarishaji wa Rasilimali za Ndani na Usimamizi wa MaliasiliMradi wa Uimarishaji wa Rasilimali za Ndani na Usimamizi wa Maliasili ni mradi unaotekelezwa kwa mashirikiano baina ya Serikali na Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) kwa lengo la uimarishaji wa rasilimali za ndani na usimamizi wa maliasili. Taasisi zinazonufaika na mradi ni Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB), Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati Zanzibar (ZURA) na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) tawi la Zanzibar. Kwa mwaka 2020/21, mradi umepangiwa jumla ya TZS 4.6 bilioni ambapo Serikali itatoa TZS 100.0 milioni na Washirika wa Maendeleo TZS 4.5 bilioni kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli zifuatazo:-

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa kwa Fedha za Serikali i. Kuratibu vikao vya kamati;

ii. Kuandaa mikutano ya Washirika wa Maendeleo.

Page 37: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

29Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa kwa Fedha Kutoka kwa Washirika wa Maendeleo

i. Ununuzi wa vifaa vya Ofisi ya ZURA; ii. Kuandaa mifumo itakayoongeza uwezo wa ZRB kukusanya mapato

pamoja na ununuzi wa vifaa;iii. Kujenga uwezo kwa watendaji wa Mamlaka ya Ukusanyaji wa Mapato

Tanzania;iv. Kutoa mafunzo kwa wateja kuhusiana na ulipaji wa kodi.

Mradi wa Kuimarisha Maeneo Huru Mradi huu umeanza mwaka 2020, ukiwa na lengo la kuendeleza maeneo huru ya uchumi kwa kuweka miundombinu itakayovutia kwa lengo la kukuza uchumi wa viwanda nchini. Kwa mwaka 2020/21, mradi huu umepangiwa jumla ya TZS 1.8 bilioni ili kutekeleza shughuli zifuatazo:

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwai. Ujenzi wa barabara na uwekaji wa miundombinu ya maji na umeme

katika eneo la Micheweni-Pemba.

Mradi wa Mtandao wa Uingizaji wa Taarifa za BajetiMradi huu umeanza mwaka 2020 ukiwa na lengo la kuimarisha utayarishaji na usimamizi wa utekelezaji wa bajeti. Kwa mwaka 2020/21, mradi huu umepangiwa jumla ya TZS 500 milioni ili kutekeleza shughuli zifuatazo:

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa i. Kufanya ununuzi wa vifaa vya mtandao na kompyuta kwa Serikali za

Mitaa na Serikali Kuu;ii. Kutoa mafunzo ya “system” kwa Serikali za Mitaa na Serikali Kuu;

iii. Kufanya uhakiki wa taarifa za kibajeti.

Page 38: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

30Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

13.3.1 Tume ya Mipango Zanzibar

Tume ya Mipango ya Zanzibar ni chombo cha juu chenye dhamana ya kupanga, kuratibu na kusimamia mipango ya kiuchumi na kijamii. Aidha, chombo hiki kinashughulikia uratibu na upangaji wa vipaumbele vya Taifa, sambamba na kuelekeza, kutoa miongozo na kusimamia masuala ya kiuchumi na mipango ya maendeleo. Kwa mwaka 2020/21, Tume ya Mipango imepanga kutekeleza programu mbili na miradi mitano ya maendeleo itakayogharimu jumla ya TZS 12.8 bilioni. Kati ya fedha hizo, Serikali itatoa TZS 8.3 bilioni na Washirika wa Maendeleo TZS 4.5 bilioni.

Programu ya Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge Tanzania (MKURABITA)Programu hii imelenga kuwakwamua wananchi na umasikini kupitia urasimishaji wa biashara na ardhi ili ziweze kutumika katika juhudi za kujiletea maendeleo ya kiuchumi na kijamii. Kwa mwaka 2020/21, programu imepanga kutumia kiasi cha TZS 650 milioni (TZS 550.0 milioni kutoka Serikalini na TZS 100.0 milioni kutoka Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania) kwa kutekeleza shughuli zifuatazo:-

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa kwa Fedha za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar

i. Kutayarisha na kuchapisha hati za usajili kwa maeneo yaliyotambuliwa;ii. Ununuzi wa vifaa vya upimaji;

iii. Kutoa mafunzo na kuwahakiki wafanyabiashara wadogo wadogo wa Chake Chake;

iv. Urasimishaji wa ardhi maeneo ya Mbweni, Magomeni na Sogea.

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa kwa Fedha Kutoka Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

i. Kujenga uwezo kwa wafanyabiashara wadogo wadogo juu ya usimamizi na uendeshaji wa biashara Wilaya ya Kusini -Unguja;

ii. Kuratibu vikao viwili vya Kamati Kiongozi na vikao vinne vya Kamati ya Wataalamu;

Page 39: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

31Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

iii. Kufanya ufuatiliaji wa shughuli za mradi.

Mpango wa Kuhuisha Uchumi (ERP)Mpango wa Kufufua Uchumi ni mpango maalum ulioanzishwa na Serikali ili kuweza kuzihuisha sekta za kiuchumi na kijamii ambazo zitaathirika kutokana na maradhi ya Corona. Athari hizo zinatokana na kusitishwa kwa baadhi ya shughuli za kiuchumi kama vile uingiaji wa watalii ili kupunguza usambazaji wa ugonjwa wa Corona ambako kupelekea baadhi ya sekta hususan za kiuchumi kuathirika. Hivyo, Serikali kupitia Tume ya Mipango Zanzibar imepanga kuhuisha uchumi katika mwaka wa fedha wa 2020/21 kupitia mpango wake wenye lengo la kuhuisha uchumi. Mpango huu unatekelezwa kwa fedha za Serikali pekee na kwa mwaka 2020/21, umepangiwa jumla ya TZS 7.0 bilioni ili kutekeleza shughuli zifuatazo:

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa i. Kuzihuisha na kuziendeleza sekta zilizoathirika kutokana na janga la

maradhi ya Corona.

Mradi wa Kupunguza Umasikini na Ufuatiliaji wa Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs)Mradi umeanzishwa kwa lengo la kusaidia Serikali katika jitihada zake za kupambana na umasikini Zanzibar. Mradi umejikita katika kuandaa mikakati mbali mbali itakayosaidia nchi na wananchi wake katika kuibua na kutekeleza mipango na miradi mbali mbali itakayowawezesha kujikwamua na umasikini. Mradi huu unatekelezwa kwa fedha za Serikali pekee na kwa mwaka 2020/21, umepangiwa jumla ya TZS 150 milioni ili kutekeleza shughuli zifuatazo:

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa i. Utayarishaji wa Mkakati wa Maendeleo wa Zanzibar wa muda wa kati

2021 - 2025; ii. Kufanya utafiti wa shehia masikini zitakazotambuliwa katika ripoti ya

Utafiti wa Mapato na Matumizi ya Kaya (ZHBS) 2019/20;

Page 40: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

32Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

iii. Kufanya uchambuzi wa bajeti kwa programu na miradi ya maendeleo.

Mradi wa Uratibu na Usimamizi wa Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs) na MKUZA IIIMradi umeanzishwa kwa lengo la kujenga uwezo kwa taasisi za Serikali na zisizo za Kiserikali katika kusimamia utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo Endelevu, uratibu wa MKUZA III na namna ya kuandika na kutoa taarifa za programu na miradi ya maendeleo. Aidha, mradi huu umepanga kuimarisha mfumo wa takwimu Zanzibar kwa kuandaa mkakati, sera na kutoa mafunzo kwa wazalishaji na watumiaji wa takwimu. Kwa mwaka 2020/21, mradi huu umepangiwa jumla ya TZS 901.1 milioni (TZS 100.0 milioni kutoka Serikalini na TZS 801.1 milioni kutoka kwa Washirika wa Maendeleo) kwa kutekeleza shughuli zifuatazo:-

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa kwa Fedha za Serikalii. Kufanya tathmini ya Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza

Umasikini Zanzibar – Awamu ya Tatu (MKUZA III).

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa kwa Fedha Kutoka kwa Washirika wa Maendeleo

i. Kuandaa ripoti ya mwaka ya Utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs);

ii. Kuandaa Mpango wa Utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo Endelevu;iii. Kuimarisha mashirikiano ya kisekta na midahalo kuhusu Malengo ya

Maendeleo Endelevu kwa taasisi za Serikali, binafsi na Asasi za Kiraia;iv. Kuandaa semina elekezi kwa viongozi wa dini, Masheha na Radio Jamii

na Asasi zisizokuwa za Serikali juu ya Malengo ya Maendeleo Endelevu.

Mradi wa Kuimarisha Utafiti na UbunifuMradi wa Kuimarisha Utafiti na Ubunifu umeanzishwa kwa lengo la kukiimarisha kitengo cha utafiti katika Tume ya Mipango ili kuweza kusimamia tafiti mbali mbali za kiuchumi na kijamii hapa Zanzibar. Aidha, mradi huu una azma ya kushirikiana na taasisi mbali mbali katika kuibua na kusimamia tafiti kama

Page 41: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

33Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

zilivyoainishwa katika agenda ya Utafiti Zanzibar. Mradi huu unatekelezwa kwa fedha za Serikali pekee na kwa mwaka 2020/21, umepangiwa jumla ya TZS 500 milioni ili kutekeleza shughuli zifuatazo:

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa i. Kuratibu na kufanya tafiti kama zilivyoainishwa katika Agenda ya Utafiti

Zanzibar;ii. Kujenga uwezo kwa maafisa wa Serikali juu ya kuandika ripoti na kutumia

“software” za kompyuta kwa ajili ya kufanya uchambuzi wa taarifa za tafiti;

iii. Kufanya manunuzi ya vifaa vya ofisini;iv. Kuipitia na kubainisha maeneo mapya ya utafiti ambayo yatabainishwa

katika Agenda ya Utafiti Zanzibar.

Mradi wa Uzalishaji na Utumizi wa Taarifa za Idadi ya Watu

Lengo kuu la mradi huu ni kuona kwamba kuna takwimu sahihi na stahiki zilizochambuliwa katika makundi tofauti kutokana na vyanzo mbali mbali ikiwemo sensa, tafiti na kadhalika. Aidha, taasisi zote za Serikali, taasisi za elimu ya juu na vituo vya tafiti vinatumia vigezo vya masuala ya idadi ya watu wakati wa upangaji wa sera na mipango yao. Mradi huu unatekelezwa kwa mashirikiano baina ya Serikali na Washirika wa Maendeleo (UNFPA). Kwa mwaka 2020/21, mradi umepangiwa jumla ya TZS 286 milioni kutoka kwa Washirika wa Maendeleo kwa kutekeleza shughuli zifuatazo:-

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa i. Kuimarisha mfumo ya takwimu katika ngazi za chini za Serikali kupitia

daftari la shehia na kufanya ufuatiliaji;ii. Kuimarisha mfumo wa usajili wa vizazi na vifo katika ngazi za chini za

Serikali;iii. Kuimarisha mfumo wa takwimu za watu wenye ulemavu Zanzibar;iv. Kuandaa vikao vya kila robo mwaka vya masuala ya idadi ya watu;

Page 42: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

34Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

v. Kuimarisha mfumo wa takwimu wa taarifa za Malengo Endelevu ya Dunia kupitia muundo wa uwasilishaji na ufuatiliaji.

Mradi wa Uendelezaji Takwimu Zanzibar (ZSDP)Mradi huu umeanzishwa kwa lengo la kuimarisha uzalishaji na usimamiaji wa takwimu sahihi katika mfumo wa takwimu Zanzibar ambazo zitatumika kwa ajili ya kufuatilia na kutathmini mipango ya maendeleo ya kisekta, kitaifa, kikanda na kimataifa. Mradi huu unatekelezwa kwa mashirikiano baina ya Serikali na Washirika wa Maendeleo. Kwa mwaka 2020/21, mradi umepangiwa jumla ya TZS 3.3 bilioni kutoka kwa Washirika wa Maendeleo kwa kutekeleza shughuli zifuatazo:-

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwai. Utekelezaji wa Mkakati wa Maendeleo ya Takwimu Zanzibar;ii. Kuendelea na kazi za utafiti wa kufuatilia kaya;iii. Kufanya utafiti wa Hali ya Afya ya Mama na Mtoto;iv. Kujenga uelewa wa utekelezaji wa SDGs;v. Kuimarisha takwimu za jinsia;vi. Kuendelea na kazi za Sensa ya Kilimo na Mifugo;vii. Kuanza kazi za matayarisho ya Sensa ya Watu na Makaazi ya mwaka

2022;viii. Kufanya Utafiti wa Watu Wenye Uwezo wa Kufanya Kazi.

13.4 Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi

Sekta ya kilimo ni miongoni mwa mihimili mikuu ya uchumi wa Zanzibar ambayo inatoa mchango wa moja kwa moja katika kujikwamua na umasikini. Sekta hii ina jukumu kubwa la kuimarisha huduma za kilimo kwa upatikanaji wa mbegu, utoaji wa mafunzo kwa wakulima, wavuvi na wafugaji, uhifadhi wa mazao, samaki na mifugo pamoja na upatikanaji wa teknolojia za kisasa za kilimo, mifugo na uvuvi. Kwa mwaka 2020/21, Wizara hii imepanga kutekeleza programu tatu na miradi saba ya maendeleo kwa gharama ya TZS 106.54 bilioni. Kati ya fedha hizo, Serikali imepanga kutoa TZS 23.0 bilioni na Washirika wa

Page 43: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

35Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

Maendeleo wanatarajiwa kuchangia TZS 83.54 bilioni.

Programu ya Umwagiliaji Programu hii imekusudia kuendeleza miundombinu ya umwagiliaji maji kwa lengo la kuongeza uzalishaji wa zao la mpunga kwa wakulima sambamba na kuwajengea uwezo wa kitaalamu wakulima juu ya uzalishaji bora kwa kutumia pembejeo za kilimo. Kwa mwaka 2020/21, programu hii imepangiwa jumla ya TZS 67.09 bilioni (TZS 19.9 bilioni kutoka Serikalini na TZS 47.19 bilioni kutoka kwa Washirika wa Maendeleo) kwa kutekeleza shughuli zifuatazo:-

Shughuli zilizopangwa kutekelezwa kwa Fedha za Serikalii. Kuendelea na ulipaji wa fidia ya mazao kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu

ya umwagiliaji katika mabonde ya Chaani na Kinyasini kwa Unguja, Makwararani na Mlemele kwa Pemba;

ii. Kufanya malipo ya mchango wa Serikali wa asilimia 12.5 kwa mwaka wa pili kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya umwagiliaji.

Shughuli zilizopangwa kutekelezwa kwa fedha kutoka kwa Washirika wa Maendeleo

i. Kuendelea na ujenzi wa miundombinu ya umwagiliaji katika mabonde ya Chaani, Kilombero, Kibokwa na Kinyasini kwa Unguja na Mlemele na Makwararani kwa Pemba.

Programu ya Kusaidia Kilimo na Uhakika wa Chakula (ERPP)Program hii ina lengo la kuongeza mbegu bora za mpunga kwa utumiaji wa teknolojia ya uzalishaji wa zao la mpunga. Kwa mwaka 2020/21, programu imepangiwa jumla ya TZS 2.21 bilioni kutoka kwa Washirika wa Maendeleo kwa kutekeleza shughuli zifuatazo:-

Shughuli zilizopangwa kutekelezwa i. Kutoa mafunzo kwa wakulima wa uzalishaji wa mbegu za mpunga katika

bonde la Kibonde Mzungu (wakulima 76) na Ole (wakulima 24);ii. Kutoa mafunzo ya mbinu bora za uzalishaji wa mpunga kwa maafisa

Page 44: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

36Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

ugani Unguja na Pemba;iii. Kutoa mafunzo ya kilimo shadidi (SRI) kwa wakulima kupitia mashamba

40 ya mfano; iv. Kutoa mafunzo kwa wakulima juu ya mbinu mchanganyiko za kudhibiti

wadudu na maradhi ya mimea (IPM);v. Kufanya ziara ya kujifunza Tanzania Bara;

vi. Kununua mbegu za mpunga tani 12 kwa ajili ya mpango wa ruzuku kwa wakulima.

Programu ya Kuimarisha UvuviProgramu hii ina dhamira ya kuendeleza uvuvi na kuongeza uzalishaji wa samaki na mazao ya baharini pamoja na kusimamia na kuhifadhi rasilimali za baharini kwa matumizi endelevu. Programu hii ina miradi miwili ifuatayo: Uimarishaji Uvuvi wa Bahari KuuLengo la mradi huu ni kuendeleza shughuli za uvuvi kwa ujenzi wa miundombinu ya uvuvi na kuwawezesha wavuvi kufanya shughuli zao katika mazingira mazuri. Kwa mwaka 2020/21, mradi umepangiwa jumla ya TZS 14.15 bilioni (TZS 2.0 bilioni kutoka Serikalini na TZS 12.15 bilioni kutoka kwa Washirika wa Maendeleo) kwa kutekeleza shughuli zifuatazo:-

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa kwa Fedha za Serikalii. Mchango wa Serikali wa asilimia nane (8%) katika ujenzi wa jengo la

soko la Malindi.

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa kwa Fedha Kutoka kwa Washirika wa Maendeleo

i. Kukamilisha ujenzi wa jengo la soko la samaki Malindi.

Kuimarisha Ufugaji wa Mazao ya BahariniMradi huu una lengo la kushajihisha ufugaji wa mazao yatokanayo na bahari ikiwemo samaki, majongoo ya bahari na kaa kwa lengo la kupata tija kwa haraka.

Page 45: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

37Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

Kwa mwaka 2020/21, mradi umepangiwa jumla ya TZS 736.48 milioni kutoka kwa Washirika wa Maendeleo kwa kutekeleza shughuli zifuatazo:-

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa i. Ununuzi wa samaki wazazi kwa ajili ya upatikanaji wa vifaranga;

ii. Ununuzi wa vifaa kwa ajili ya utengenezaji wa chakula cha samaki;

iii. Kutoa mafunzo ya mbinu bora za ufugaji wa samaki, kaa na majongoo bahari kwa wafugaji wa mazao ya baharini;

iv. Kutoa mafunzo ya utengenezaji wa mashamba ya kufugia kaa, samaki na majongoo bahari kwa vikundi vya ufugaji wa mazao ya baharini.

Mradi wa Kuendeleza Utafiti wa MifugoLengo la mradi huu ni kuijengea uwezo Taasisi ya Utafiti wa Mifugo kuweza kufanya tafiti kwa ufanisi zaidi ili kuongeza uzalishaji bora wa mifugo na bidhaa zake. Mradi unakusudia kuimarisha miundombinu ya utafiti wa kilimo. Kwa mwaka 2020/21, mradi huu umepangiwa kiasi cha TZS 1.0 bilioni kutoka Serikalini kwa ajili ya kutekeleza shughuli zifuatazo:-

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa i. Ujenzi wa maabara tano za utafiti wa mifugo;

ii. Ujenzi wa kiwanda cha kati cha chakula cha mifugo; iii. Ujenzi wa ukuta katika Taasisi ya Utafiti wa Mifugo.

Mradi wa Usimamizi wa Shughuli za Uvuvi wa Kanda ya Kusini Mashariki mwa Bahari ya Hindi (SWIOFISH)Lengo la mradi huu ni kushajihisha jamii juu ya kuendeleza uvuvi maalum uliopewa kipaumbele kwa dhamira ya kuongeza kipato kwa jamii. Kwa mwaka 2020/21, mradi umepangiwa jumla ya TZS 8.65 bilioni kutoka kwa Washirika wa Maendeleo kwa kutekeleza shughuli zifuatazo:-

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa i. Kuendelea na ujenzi wa Ofisi ya Maabara ya Taasisi ya Uvuvi Maruhubi;

Page 46: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

38Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

ii. Kuendelea na ujenzi wa chelezo Malindi; iii. Kutoa mafunzo kwa wavuvi juu ya uvuvi wa kipaumbele Unguja na

Pemba;iv. Kutoa mafunzo kwa wafanyakazi 10 shahada ya uzamili (masters) na

watatu shahada ya uzamivu (PhD); v. Kuendelea kupitia Sheria ya Uvuvi;

vi. Kurekebisha mfumo wa takwimu za uvuvi.

Mradi wa Kudhibiti Sumu Kuvu Inayotokana na Ulaji wa Mahindi na NjuguLengo la mradi huu ni kupunguza athari zinazotokana na sumu kuvu kwenye mahindi na njugu kwa kuongeza taaluma na kuimarisha miundombinu na teknolojia kabla na baada ya mavuno. Kwa mwaka 2020/21, mradi huu umepangiwa kiasi cha TZS 931.7 milioni kutoka kwa Washirika wa Maendeleo kwa ajili ya kutekeleza shughuli zifuatazo:-

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa i. Kutoa mafunzo juu ya mbinu bora za kuzuia upotevu wa mazao kabla na

baada ya mavuno; ii. Kufanya tathmini ya athari ya sumukuvu Unguja na Pemba;

iii. Kutengeneza michoro (BoQ) kwa ujenzi wa ghala Unguja na Pemba;iv. Ujenzi wa ghala na ununuzi wa vifaa kwa ajili ya kuhifadhia mazao;v. Mafunzo kwa watendaji na wananchi juu ya kujikinga na kudhibiti athari

za sumukuvu; vi. Kujenga uwezo kwa wafanyakazi, wazalishaji wa mazao na wauzaji juu

ya kukinga na kudhibiti athari za sumukuvu; vii. Kufanya tathmini ya athari za kimazingira na kijamii juu ya uendelezaji

wa miundombinu ya mradi.

Mradi wa Uhifadhi wa Misitu kwa Faida za KiuchumiLengo la mradi huu ni kupunguza wimbi lisiloendelevu la bidhaa zinazotokana na misitu ili kuendeleza rasilimali za misitu. Kwa mwaka 2020/21, mradi huu umepangiwa kiasi cha TZS 3.80 bilioni kutoka kwa Washirika wa Maendeleo kwa ajili ya kutekeleza shughuli zifuatazo:-

Page 47: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

39Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwai. Kutoa mafunzo ya uhifadhi wa misitu kwa jumuiya za wakulima;

ii. Kufanya tafiti za kilimo;iii. Kufanya upembuzi wa awali wa mradi;iv. Ujenzi wa ofisi za misitu ya kihifadhi.

Mradi wa Kilimo cha Kushajihisha Ukulima wa Mboga na MatundaMradi huu una lengo la kusaidia mnyororo wa thamani wa mazao ya mboga mboga sambamba na upotevu wa mazao hayo baada ya mavuno. Kwa mwaka 2020/21, mradi huu umepangiwa kiasi cha TZS 5.60 bilioni kutoka kwa Washirika wa Maendeleo kwa ajili ya kutekeleza shughuli zifuatazo:-

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa i. Ununuzi wa vifaa vya kulimia kilimo cha mboga ikiwemo vifaa vya

kuhifadhia maji, mbegu na mipira ya umwagiliaji maji;ii. Kutoa mafunzo kwa wakulima wa mboga na maafisa ugani;

iii. Ununuzi wa vifaa vya kuhifadhia mazao;iv. Kuandaa Mpango Mkakati na Mpango wa Utekelezaji wa Mradi. v. Kufanya uzinduzi wa mradi;

vi. Kufanya tathmini ya awali ya mradi; vii. Kufanya mikutano na wadau juu ya ulimaji wa kilimo cha mboga.

Mradi wa Mandeleo ya Kilimo na UvuviMradi huu ni mradi unaotekelezwa kwa mashirikiano baina ya Tanzania Bara na Zanzibar. Kwa upande wa Zanzibar mradi huu umejikita zaidi katika kuimarisha shughuli za uvuvi kwa kuwawezesha wananchi kuweza kuvua katika kina kirefu cha maji. Kwa mwaka 2020/21, mradi huu umepangiwa kiasi cha TZS 2.14 bilioni kutoka kwa Washirika wa Maendeleo kwa ajili ya kutekeleza shughuli zifuatazo:-

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwai. Kufanya upembuzi wa awali wa mradi;

ii. Kuanza na taratibu za ununuzi wa boti nne za kuvulia;

Page 48: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

40Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

iii. Kujenga bwawa la kufugia samaki Pemba;iv. Kujenga bwawa la kupokelea vifaranga Pemba;v. Kutoa mafunzo kwa wafugaji wa mazao ya baharini ikiwemo kaa,

majongoo bahari na samaki.

Mradi wa Kudhibiti Nzi wa MatundaMradi huu una lengo la kupunguza upotevu wa matunda unaosababishwa na wadudu waharibifu. Kwa mwaka 2020/21, mradi umepangiwa jumla ya TZS 220.0 milioni (TZS 100.0 milioni kutoka Serikalini na TZS 120.0 milioni kutoka kwa Washirika wa Maendeleo) kwa kutekeleza shughuli zifuatazo:-

Shughuli zilizopangwa kutekelezwa kwa Fedha za Serikalii. Kutoa mafunzo kwa maafisa ugani;

ii. Kuratibu vikao vya kamati ya wataalamu.

Shughuli zilizopangwa kutekelezwa kwa Fedha kutoka kwa Washirika wa Maendeleo

i. Ununuzi wa vifaa vya kunasia nzi ikiwemo mitego na dawa za kunasia nzi;

ii. Kutoa mafunzo kwa maafisa wa kilimo jinsi ya kutambua aina ya wadudu;iii. Kutoa mafunzo juu ya uwekaji wa mitego ya kunasia nzi wa matunda.

13.5 Wizara ya Biashara na Viwanda

Malengo makuu ya Wizara ya Biashara na Viwanda ni kukuza biashara nchini na uchumi wa viwanda ili kuchochea mageuzi ya uchumi na kuleta maendeleo. Katika bajeti ya mwaka 2020/21, Wizara inaendelea kutekeleza shughuli za maendeleo kupitia programu na miradi ya maendeleo iliyojipangia ili kusaidia kupunguza uagiziaji wa bidhaa kutoka nje, kujenga mnyororo wa thamani, kuongeza ajira na kuongeza pato la taifa. Wizara hii imepanga kutekeleza programu mbili na miradi miwili ya maendeleo kwa gharama ya TZS 14.8 bilioni. Kati ya fedha hizo, Serikali imepanga kutoa TZS 10.2 bilioni na Washirika wa Maendeleo wanatarajiwa kuchangia TZS 4.6 bilioni.

Page 49: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

41Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

Programu ya Mazingira Bora ya BiasharaProgramu hii ina lengo la kutoa huduma za kuimarisha sekta ya biashara na kutoa msaada kwa wafanyabiashara wadogo na wakubwa nchini. Kwa mwaka 2020/21, programu hii inatarajia kutumia fedha za Serikali pekee na imepangiwa jumla ya TZS 300 milioni kwa kutekeleza shughuli zifuatazo:

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa i. Kufanya ununuzi wa magazebo;

ii. Kuendeleza Uwanja wa Maonesho wa Kimataifa wa Zanzibar (Nyamanzi);iii. Kuendeleza Mkakati wa “Branding” Awamu ya Pili (Branding Phase II);iv. Kufanya utafiti wa kuainisha bidhaa zinazotengenezwa Zanzibar (Made

in Zanzibar);v. Kujenga uwezo kwa Wajumbe wa Mabaraza ya Biashara ya Mikoa;

vi. Kuandaa ziara ya kimafunzo kwa Wajumbe wa Baraza la Taifa la Biashara /Mikoa;

vii. Kufanya ununuzi wa vifaa vya Ofisi kwa Mabaraza ya Mikoa.

Programu ya Kuendeleza ViwandaKatika kutekeleza programu ya viwanda, Wakala wa Kusimamia na Kuendeleza Viwanda Vidogo Vidogo na vya Kati (SMIDA) ina jukumu la kuwalea wazalishaji kwa kuwapatia mafunzo na ushauri wa kitaalamu katika bidhaa zao. Programu hii kwa mwaka 2020/21 imepangiwa TZS 11.1 bilioni (TZS 6.5 bilioni kutoka Serikalini na TZS 4.6 kutoka kwa Washirika wa Maendeleo) na itatekelezwa kupitia miradi mitatu kama ifuatavyo:

Mradi wa Kuimarisha Maeneo Tengefu ya Viwanda (Industrial Park)Mradi huu umeanzishwa mwaka 2020, ukiwa na lengo la kuanzisha maeneo tengefu ya viwanda ili kubadili muelekeo wa uchumi wa Zanzibar kwa kuhamasisha sekta ya kilimo ambayo ina mchango mkubwa wa kutoa malighafi kwa ajili ya kuendeleza viwanda vidogo na vya kati, sambamba na kupunguza umasikini na kutoa fursa mpya za ajira kwa vijana wa mijini na vijijini. Kwa

Page 50: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

42Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

mwaka 2020/21, mradi huu umepangiwa kiasi cha TZS 1.0 bilioni kutoka Serikalini kwa ajili ya kutekeleza shughuli zifuatazo:-

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa i. Kufanya kazi za kusafisha eneo na uwekaji wa uzio Dunga na Nungwi;

ii. Kufanya upembuzi yakinifu katika eneo la viwanda Dunga na Nungwi;iii. Kuimarisha miundombinu katika maeneo ya Dunga na Nungwi.

Mradi wa Kuimarisha Maendeleo ya Viwanda Vidogo Vidogo na vya Kati Mradi huu umeanzishwa kwa lengo la kuongeza thamani ya bidhaa na ubora wa vifungashio ili kuwawezesha wajasiriamali wadogo na wa kati kufanya shughuli zao kwa ufanisi. Kwa mwaka 2020/21, mradi huu umepangiwa kiasi cha TZS 1.0 bilioni kutoka Serikalini kwa ajili ya kutekeleza shughuli zifuatazo:-

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa i. Ujenzi wa Ofisi ya Makao Makuu ya Wakala wa Maendeleo ya Viwanda

Vidogo Vidogo na Vya Kati (SMIDA).

Mradi wa Kuwasaidia Wajasiriamali Wadogo Wadogo, Wakati na WakubwaMradi wa kuwasaidia wajasiriamali unakusudia kuwaunganisha pamoja na kuwapatia mafunzo ya vitendo wajasiriamali hao ili waweze kuendeleza biashara zao sambamba na kuwawezesha kwa kuwapatia mikopo. Mradi huu unatekelezwa kwa pamoja na Mfuko wa Maendeleo kutoka falme za Kiarabu katika kuwaendeleza wajasiriamali wadogo wadogo. Kwa mwaka 2020/21, mradi umepangiwa jumla ya TZS 9.1 bilioni (TZS 4.5 bilioni kutoka Serikalini na TZS 4.6 bilioni kutoka kwa Washirika wa Maendeleo) kwa kutekeleza shughuli zifuatazo:-

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa kwa Fedha za Serikalii. Kuwajengea uwezo wajasiriamali wadogo wadogo Unguja na Pemba

kwa kuwapatia elimu ya ujasiriamali;ii. Uratibu na usimamizi wa mradi;

iii. Kuimarisha miundombinu.

Page 51: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

43Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa kwa Fedha Kutoka kwa Washirika wa Maendeleo

i. Kuwajengea uwezo wajasiriamali wadogo wadogo Unguja na Pemba kwa kuwapatia elimu ya ujasiriamali;

ii. Kuwawezesha wajasiriamali kwa kuwapatia mikopo.

Mradi wa Kuimarisha Taasisi ya Viwango ZanzibarViwango ni jambo muhimu katika kuongeza ubora na ushindani wa bidhaa zinazozalishwa nchini, Taasisi ya Viwango Zanzibar (ZBS) inasimamia ubora wa viwango vya bidhaa zote zinazoingizwa nchini na zile zinazotengenezwa Zanzibar. Kwa mwaka 2020/21, mradi umepangiwa jumla ya TZS 3.0 bilioni kutoka Serikalini kwa kutekeleza shughuli zifuatazo:

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa i. Kuendelea na ujenzi wa ofisi na maabara ya Taasisi ya Viwango Zanzibar;ii. Ununuzi wa vifaa vya maabara.

Mradi wa Mfumo Mpya wa Utoaji Leseni kwa Maendeleo ya Sekta BinafsiMradi huu una lengo la kuweka taratibu na udhibiti wa utoaji leseni na kuimarisha usajili kwa njia ya kielektroniki ili kuwa na takwimu sahihi za wafanyabiashara waliosajiliwa. Kwa mwaka 2020/21, mradi umepangiwa jumla ya TZS 400 milioni kutoka Serikalini kwa kutekeleza shughuli zifuatazo:

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa i. Kusimamia utekelezaji wa mfumo mpya wa utoaji leseni kwa njia ya

kielektroniki;ii. Kuunganisha mfumo baina ya Baraza la Kusimamia Mfumo wa Utoaji

Leseni (BLRC) na Mamlaka zinazotoa leseni kwa upande wa Serikali Kuu;

iii. Kuunganisha mfumo baina ya BLRC na Mamlaka za Serikali za Mitaa;iv. Kufanya utafiti wa urahisi wa ufanyaji biashara kwa kutumia vigezo vya

benki ya dunia;

Page 52: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

44Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

v. Kufanya utafiti wa utaratibu wa utoaji leseni kwa kutumia tathmini ya usimamizi (Regulatory Impact Asessement).

13.6 Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali

Sekta ya Elimu ni moja ya kichocheo muhimu cha maendeleo ya kijamii na kiuchumi katika Taifa lolote hapa duniani ambapo rasilimali muhimu zinapoekezwa katika elimu, hupelekea kukuwa kwa ubora na uwezo wa watu katika taifa hilo. Kwa mnasaba huo, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imekuwa ikijitolea kuekeza katika sekta hii ili kuongeza ubora na usawa wa upatikanaji wa elimu bora, na kuhakikisha kuwa raia wote wana uwezo wa msingi wa kusoma, kuandika na kuhesabu. Kwa mwaka 2020/21, sekta ya elimu imepanga kutekeleza programu moja na miradi miwili ya maendeleo yenye jumla ya TZS 19.46 bilioni ambapo Serikali imepanga kutoa TZS 4.5 bilioni na Washirika wa Maendeleo TZS 14.96 bilioni.

Programu ya Miundombinu ya ElimuProgramu hii imeanzishwa kwa lengo la kuimarisha miundombinu ya sekta ya elimu kiujumla ili kuwawezesha wananchi kuweza kupata elimu bora na yenye kukidhi mahitaji yao. Programu inatekelezwa kwa kutumia fedha za Serikali ambapo jumla ya TZS 1.0 bilioni zimetengwa kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli zifuatazo:

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa i. Kukamilisha ujenzi wa madarasa 50 yaliyoanzishwa na wananchi Unguja

na Pemba na kujenga nyumba 10 za walimu;

ii. Kuendelea na ujenzi wa Ofisi ya Mkaguzi Mkuu Wilaya ya Kaskazini B na ununuzi wa vifaa vya kufanyia kazi;

iii. Kujenga ghala mbili Unguja na Pemba.

Mradi wa Uimarishaji wa Elimu ya MsingiLengo kuu la mradi wa uimarishaji elimu ya msingi ni kutoa elimu bora kwa watoto wote wa Zanzibar kwa ngazi ya msingi. Mradi huu unatekelezwa na

Page 53: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

45Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

Washirika wa Maendeleo ambapo jumla ya TZS 402.2 milioni zitatumika kwa utekelezaji wa shughuli za mwaka 2020/21 kama zifuatazo:

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa i. Kuendelea kuwapatia chakula wanafunzi katika skuli 27 za msingi;

ii. Kuimarisha elimu ya msingi katika lugha ya Kiingereza darasa la kwanza hadi la nne;

iii. Kuzipatia zawadi skuli 100 zinazofanya vizuri katika mitihani ya Taifa ya darasa la sita.

Mradi wa Uimarishaji wa Elimu ya LazimaLengo kuu la mradi wa uimarishaji elimu ya lazima ni kuhakikisha kwamba Wazanzibari wote wanapata haki yao ya kupatiwa elimu na kupunguza umasikini. Mradi unatekelezwa kwa mashirikiano baina ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Washirika wa Maendeleo ambapo jumla ya TZS 18.0 bilioni (TZS 3.5 bilioni za Serikali na TZS 11.3 bilioni za Washirika wa Maendeleo) zimepangwa kutumika kwa mwaka 2020/21 kwa ajili ya kutekeleza shughuli zifuatazo:

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa kwa Fedha za Serikalii. Kuanza ujenzi wa skuli tatu za ghorofa katika maeneo ya Mfenesini na

Gamba kwa Unguja na Kifundi kwa Pemba;

ii. Kuandaa Mtaala wa Elimu ya Maandalizi na Msingi;

iii. Kupitia na kuandaa vitabu pamoja na miongozo ya walimu kwa ajili ya Mitaala ya Maandalizi na Msingi;

iv. Ununuzi wa vitabu vya masomo ya Kemia, Fizikia, Baiolojia na Kiswahili kwa kidato cha kwanza, pili, tano na sita.

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa kwa Fedha Kutoka kwa Washirika wa Maendeleo

i. Kuanza ujenzi wa skuli tatu za ghorofa katika maeneo ya Mfenesini na Gamba kwa Unguja na Kifundi kwa Pemba;

Page 54: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

46Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

ii. Kujenga maabara katika skuli 15 za Unguja na Pemba;

iii. Kupitia na kuandaa vitabu pamoja na miongozo ya walimu kwa ajili ya Mitaala ya Maandalizi na Msingi;

iv. Kuandaa Mtaala wa Mafunzo ya walimu wa Maandalizi na Msingi;

v. Kuzipatia zawadi skuli 200 zinazofanya vizuri katika mitihani ya Taifa ya kidato cha pili (100) na kidato cha nne (100);

vi. Kuzisaidia skuli gharama za kujiendesha kufuatia kufutwa kwa michango ya wazee;

vii. Kuupitia na kuandaa mfumo wa mitihani;

viii. Kutoa mafunzo kwa walimu wa msingi darasa la tano, sita na sekondari ya kuwasaidia watoto wenye ufahamu mdogo;

ix. Kuimarisha science, technolojia, engineering and maths (STEM).

13.7 Wizara ya Afya

Sekta ya Afya ina jukumu la kuhakikisha kuwa Wazanzibari wote wanapata huduma bora za afya. Sekta hii inalenga kutekeleza lengo la MKUZA III la kuimarisha mifumo ya utoaji wa huduma za afya kwa kuzingatia makundi maalum ikiwa na shabaha ya kuimarisha uwezo wa sekta ya afya na taasisi zake juu ya upatikanaji wa huduma bora za afya. Kwa mwaka 2020/21, sekta ya afya imepanga kutekeleza programu nne za maendeleo zenye jumla ya TZS 42.65 bilioni ambapo Serikali imepanga kutoa TZS 21.00 bilioni na Washirika wa Maendeleo TZS 21.65 bilioni.

Programu ya Kumaliza Maradhi ya Malaria ZanzibarProgramu hii ina lengo la kutokomeza maradhi ya malaria kwa kuhakikisha kwamba maradhi haya yanamalizika kabisa katika visiwa vya Unguja na Pemba. Aidha, programu hii inatekelezwa kwa mashirikiano baina ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Washirika wa Maendeleo. Kwa mwaka 2020/21,

Page 55: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

47Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

programu imepangiwa jumla ya TZS 5.8 bilioni (TZS 248.0 milioni kutoka Serikalini na TZS 5.6 bilioni kutoka kwa Washirika wa Maendeleo) kwa kutekeleza shughuli zifuatazo:-

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa kwa Fedha za Serikalii. Ununuzi wa dawa za malaria (ASAQ dose 15,000 na Inj Antersunate

7,488);ii. Kufanya mafunzo na ugawaji wa dawa kwa maeneo yanayotoka wagonjwa

wa malaria na uchapishaji wa vitendea kazi;iii. Ununuzi wa vitendanishi na vifaa vya uchunguzi wa vimelea vya malaria

kwa njia ya darubini na vinasaba vya ugonjwa wa malaria; iv. Ununuzi wa ndege nyuki (drones) itakayosaidia utiaji dawa kwenye

madimbwi ambayo hayawezi kufikiwa; v. Uchukuaji wa hatua za haraka za udhibiti wa hali ya ugonjwa wa malaria

na miripuko itokanayo na mbu ikiwemo upigaji wa dawa na ununuzi wa vyandarua.

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa kwa Fedha Kutoka kwa Washirika wa Maendeleo

i. Kufanya uchunguzi na utibabu wa ugonjwa wa malaria;ii. Kuendelea na udhibiti wa mbu waenezao ugonjwa wa malaria;

iii. Kufanya ufuatialiaji wa mwenendo wa ugonjwa wa malaria.

Programu ya Kuimarisha Miundombinu ya AfyaProgramu hii ina lengo la kuimarisha huduma za afya zitolewazo nchini na inajumuisha miradi saba yenye gharama ya TZS 21.4 bilioni kama ifuatavyo:-

Mradi wa Kuipandisha Hadhi Hospitali ya Mnazi MmojaMradi huu umeanzishwa kwa lengo la kuipandisha hadhi hospitali ya Mnazi Mmoja ili ifikie ngazi ya kutoa huduma za rufaa kwa kuimarisha miundombinu ya utoaji wa huduma za afya zikiwemo huduma za afya ya mama na mtoto, huduma za matibabu ya ubongo na uti wa mgongo; na huduma za upasuaji wa

Page 56: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

48Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

maradhi mbali mbali. Mradi huu, unatekelezwa kwa kutumia fedha za Serikali ambapo kwa mwaka 2020/21, jumla ya TZS 1.5 bilioni zimetengwa kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli zifuatazo:

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa i. Kuendelea na ukarabati wa jengo la upasuaji katika hospital ya Mnazi

Mmoja;ii. Kufanya ununuzi wa vifaa mbali mbali vya utoaji wa huduma za afya

ikiwemo vifaa vya matibabu ya mifupa na macho.

Mradi wa Ujenzi wa Hospitali ya Rufaa Binguni (Awamu ya Kwanza)Mradi huu una lengo la kujenga hospitali ya kisasa ya rufaa na kufundishia kwa Zanzibar, ambayo inatarajiwa kufundisha fani za madaktari bingwa, wauguzi na madaktari wetu ambao watakuwa mafunzoni. Mradi huu unatekelezwa kwa kutumika fedha za Serikali ambapo kwa mwaka 2020/21, jumla ya TZS 6.0 bilioni zimetengwa kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli zifuatazo:

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa

i. Kuendelea na ujenzi wa hospitali ya kisasa ya rufaa na kufundishia ya Binguni.

Kuimarisha Taasisi ya Utafiti wa AfyaMradi wa kuimarisha utafiti wa afya umeanzishwa mwaka 2020 kwa lengo la kupata taarifa zitakazopelekea kufanya maamuzi sahihi juu ya magonjwa mbali mbali. Mradi huu unatekelezwa kwa kutumia fedha za Serikali ambapo kwa mwaka 2020/21, jumla ya TZS 2.0 bilioni zimetengwa kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli zifuatazo:

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa i. Ujenzi wa maabara ya Taasisi ya Tafiti za Afya (ZAHRI);

ii. Ununuzi wa vifaa vya maabara kwa Taasisi ya Tafiti za Afya.

Page 57: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

49Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

Mradi wa Ujenzi wa Hospitali ya Wagonjwa wa AkiliMradi huu umeanza mwaka 2017, ukiwa na lengo la kuimarisha huduma za afya ya akili nchini. Aidha, hospitali hii inatarajiwa kutumika katika kufundishia utoaji wa huduma za afya ya akili na kufanya tafiti za maradhi ya akili. Mradi huu unatekelezwa kwa mashirikiano baina ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Chuo Kikuu cha Houkland - Uholanzi (Houkland University), ambapo jumla ya TZS 2.8 bilioni (TZS 1.4 bilioni za Serikali na TZS 1.4 bilioni za Washirika wa Maendeleo) zimepangwa kutumika kwa mwaka 2020/21 kwa ajili ya kutekeleza shughuli zifuatazo:

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa kwa Fedha za Serikali na Washirika wa Maendeleo

i. Kukamilisha ujenzi wa Hospitali ya Wagonjwa wa Akili - Kidongo Chekundu.

Mradi wa Kuzipandisha Hadhi Hospitali za Wilaya na Hospitali za VijijiMradi huu umeanza mwaka 2011, ukiwa na lengo la kuzipandisha hadhi hospitali za Makunduchi, Kivunge na Wete kuwa za Mkoa na hospitali ya Micheweni kuwa ya Wilaya kwa ajili ya kuimarisha utoaji wa huduma za afya Unguja na Pemba. Kwa mwaka 2020/21, jumla ya TZS 5.0 bilioni kutoka Serikalini zimepangwa kutumika kwa ajili ya kutekeza shughuli zifuatazo:

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa i. Kufanya ununuzi wa vifaa tiba na samani kwa hospitali za Wilaya;

ii. Kuendelea na ujenzi wa jengo la huduma za mama na mtoto katika hospitali ya Chake Chake;

iii. Ujenzi wa nyumba za wafanyakazi katika hospitali ya Mkoa ya Abdalla Mzee na hospitali ya Wilaya ya Kivunge;

iv. Kuanza ujenzi wa hospitali ya Wilaya - Mbuzini;v. Ununuzi wa CT - scan kwa hospitali ya Abdalla Mzee;

vi. Ujenzi wa maabara katika hospitali ya Wilaya - Makunduchi.

Page 58: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

50Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

Mradi wa Ujenzi wa Bohari Kuu ya Dawa- PembaMradi huu umeanza mwaka 2018/19, ukiwa na lengo la kuondoa tatizo la uhaba wa dawa unaosababishwa na kuchelewa kupelekwa dawa na hali ya usafirishaji wa dawa Pemba. Mradi huu unatekelezwa kwa kutumia fedha za Serikali ambapo kwa mwaka 2020/21 jumla ya TZS 2.0 bilioni zimetengwa kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli zifuatazo:

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa i. Kukamilisha ujenzi wa bohari kuu ya dawa - Vitongoji;

ii. Kufanya ununuzi wa vifaa mbali mbali vya bohari kuu ya Vitongoji;iii. Kufanya utanuzi wa ghala ya kuhifadhia dawa na vifaa vya utibabu-

Maruhubi.

Mradi wa Ujenzi wa Maabara ya Kisasa ya Mamlaka ya Dawa na Vipodozi Zanzibar Mradi huu umeanzishwa ukiwa na lengo la kuimarisha uchunguzi, ubora na usalama wa bidhaa za dawa na vipodozi ili kuepuka kusambaa kwa dawa zisizo na ubora na bandia katika soko la Zanzibar. Mradi huu unatekelezwa kwa kutumia fedha za Serikali ambapo kwa mwaka 2020/21, jumla ya TZS 2.1 bilioni zimetengwa kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli zifuatazo:

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa i. Kukamilisha ujenzi wa maabara ya kisasa ya uchunguzi wa dawa, chakula

na vipodozi Mombasa.

Programu ya Kudhibiti Maradhi ya UKIMWI, Homa ya Ini, Kifua Kikuu na UkomaProgramu hii inajumuisha miradi ya kupambana na Ukimwi, kifua kikuu na ukoma. Lengo kuu ni kupunguza kasi ya maambukizi ya virusi vya UKIMWI, kupunguza vifo vinavyotokana na maradhi ya kifua kikuu na kupunguza maambukizi ya ukoma. Programu hii inatekelezwa kwa mashirikiano baina ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Washirika wa Maendeleo ambapo jumla ya TZS 5.3 bilioni (TZS 248.0 milioni za Serikali na TZS 5.09 bilioni za

Page 59: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

51Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

Washirika wa Maendeleo) zimepangwa kutumika kwa mwaka 2020/21 kwa ajili ya kutekeleza shughuli zifuatazo:

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa kwa Fedha za Serikalii. Kusimamia utoaji wa huduma bora za UKIMWI, Homa ya Ini, Kifua

Kikuu na Ukoma;ii. Kufanya ukaguzi wa vituo vinavyotoa huduma za UKIMWI;

iii. Kuimarisha huduma za uchunguzi na tiba za Homa ya Ini.

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa kwa Fedha Kutoka kwa Washirika wa Maendeleo

i. Kuimarisha huduma za tiba kwa waathirika wa dawa za kulevya (methadone);

ii. Kuimarisha utoaji wa huduma za maradhi ya Kifua Kikuu na Ukoma;iii. Kuimarisha huduma za UKIMWI kwa makundi maalum na makundi

hatarishi.

Programu Shirikishi ya Huduma za Afya ya Uzazi wa Mama na MtotoProgramu hii ina lengo la kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi pamoja na vifo vya watoto walio chini ya umri wa miaka mitano. Programu hii inatekelezwa kwa mashirikiano baina ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Washirika wa Maendeleo ambapo jumla ya TZS 10.07 bilioni (TZS 500.0 milioni za Serikali na TZS 9.57 bilioni za Washirika wa Maendeleo) zimepangwa kutumika kwa mwaka 2020/21 kwa ajili ya kutekeza shughuli zifuatazo:

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa kwa Fedha za Serikalii. Kuimarisha huduma za mama na watoto wachanga;

ii. Kuimarisha huduma za damu salama;iii. Kuimarisha huduma za chanjo.

Page 60: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

52Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa kwa Fedha za Washirika wa Maendeleoi. Kuimarisha mfumo wa taarifa za mama wajawazito, vijana na watoto;

ii. Kuimarisha huduma za chanjo kwa ununuzi wa chanjo pamoja na usambazaji;

iii. Kufanya ununuzi wa vifaa vya uchunguzi wa afya ya uzazi ikiwemo “mobile ultrasound”.

13.8 Wizara ya Ardhi, Nyumba, Maji na Nishati

Wizara hii inajumuisha sekta ya ardhi, nyumba, maji na nishati ambazo ni sekta muhimu kwa maendeleo ya kiuchumi na kijamii katika taifa lolote. Kwa mwaka wa fedha 2020/21, Wizara hii imepanga kutekeleza jumla ya miradi mitano ya maendeleo itakayogharimu kiasi cha TZS 93.44 bilioni. Kati ya fedha hizo, Serikali imepanga kutoa TZS 4.96 bilioni na Washirika wa Maendeleo TZS 88.48 bilioni. Shughuli za miradi hiyo ya maendeleo zitakazotekelezwa kwa fedha za Serikali na za Washirika wa Maendeleo ni kama ifuatavyo:

Mradi wa Kuendeleza Visima vya Ras el KhaimahMradi huu umegharamiwa kwa msaada kutoka Ras el Khaimah na mchango wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa lengo la kuimarisha upatikanaji wa maji safi na salama Zanzibar hususan kwa maeneo ya vijijini. Kupitia mradi huu jumla ya visima 150 vimechimbwa katika maeneo mbali mbali Unguja na Pemba katika awamu tatu tofauti. Kwa sasa mradi huu unatekelezwa na Serikali pekee ambapo kazi zinazoendelea ni uwekaji wa miundombinu ya maji ili kuhakikisha wananchi wa maeneo yaliyochimbwa visima hivo wanapata maji safi na salama. Mwaka 2020/21 ni mwaka wa ukamilishaji wa kazi hizo ambapo mradi utaendelea na shughuli za kukamilisha visima kumi na tatu (13) vilivyobakia vinavyotarajiwa kugharimu jumla ya TZS 4.0 bilioni katika utekelezaji wa shughuli mbali mbali zikiwemo:-

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa i. Kufanya kazi za uvutaji na uwekaji wa pampu, ununuzi vifaa na ulazaji

Page 61: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

53Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

wa mabomba kwa visima 13 vilivyochimbwa katika maeneo ya Muembe Mchomeke, Chuini, Kibonde Mzungu, Mzungu Punda, Selemu 1 na 2, Dimani, Bungi na Mbuzini kwa Unguja na Sharifu Ali 1 na 2 na Mahuduthi kwa Pemba

ii. Ujenzi wa vibanda vya kuendeshea pampu.

Mradi wa Uhuishaji na Uimarishaji wa Mfumo wa Usambazaji Maji Zanzibar (INDIA)Mradi wa Uhuishaji na Uimarishaji wa Mfumo wa Usambazaji Maji Zanzibar umeanzishwa kwa lengo la kuhakikisha kuwa tatizo la maji katika maeneo ya Mjini linaondoka kabisa na wananchi wanaweza kupata maji safi na salama muda wote. Mradi huu unatekelezwa kwa mashirikiano baina ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Serikali ya India ambapo jumla ya TZS 67.59 bilioni (TZS 466.2 milioni kutoka Serikalini na TZS 67.13 bilioni kutoka India). Shughuli zilizopangwa kutekelezwa kwa mwaka 2020/21 ni kama ifuatavyo:

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa kwa Fedha za Serikalii. Ulipaji wa fidia katika maeneo yatakayoathirika na mradi;

ii. Kuratibu vikao vya Kamati Kiongozi na Kamati ya Wataalamu.

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa kwa Fedha Kutoka kwa Washirika wa Maendeleo

i. Kuanza kazi za uchimbaji wa visima;ii. Kuanza kazi ya ujenzi wa matangi;

iii. Kuanza kazi ya ujenzi wa vibanda vya kuendeshea pampu;iv. Kuanza ujenzi wa Ofisi ya ZAWA – Madema;v. Malipo ya Mshauri Elekezi.

Mradi wa Kujenga Uwezo na Matengenezo ya Miundombinu ya Umeme ZanzibarMradi huu una lengo la kujenga uwezo katika masuala ya kiufundi na kufanya matengenezo katika miundombinu ya umeme ili kuhakikisha upatikanaji na

Page 62: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

54Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

usambazaji wa umeme endelevu. Mradi huu unatekelezwa kwa msaada wa Serikali ya Norway na kwa mwaka 2020/21 umepangiwa jumla ya TZS 3.5 bilioni kwa kutekeleza shughuli zifuatazo:

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa i. Upelekaji umeme katika kisiwa cha Kokota na Njau;

ii. Kuimarisha laini ya 11kv Unguja yenye kilomita 61;iii. Upelekaji wa umeme vijijini – Pemba.

Mradi wa Usambazaji Umeme VijijniMradi wa usambazaji umeme vijijini una lengo la kuvipatia huduma ya umeme vijiji mbalimbali vya Unguja na Pemba. Mradi huu unaendeleza juhudi za Serikali za kuvipatia huduma ya umeme vijiji na visiwa vidogo vidogo vyote viliopo Zanzibar. Kwa mwaka 2020/21, Serikali imepanga kutumia jumla ya TZS 500 milioni katika utekelezaji wa shughuli za mradi huu kama ifuatavyo:-

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa i. Kusambaza umeme kutoka line kubwa kwenda kwenye transfoma ili

kuweza kupeleka kwa wananchi; ii. Uwekaji wa trasfoma kwa ajili ya upelekaji umeme katika visiwa vya

Kokoto na Njau.

Mradi wa Kuifanyia Mabadiliko Sekta ya Nishati (ZEST)Mradi huu umeanzishwa kwa lengo la kuimarisha utekelezaji katika sekta ya nishati kwa kuzijengea uwezo taasisi zinazoshughulikia masuala ya nishati ikiwemo Shirika la Umeme Zanzibar (ZECO) na Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati (ZURA) ili kuweza kuendesha shughuli zake kwa ufanisi zaidi. Mradi unatekelezwa kwa mashirikiano baina ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Mshirika wa Maendeleo ambae ni Benki ya Dunia. Kwa mwaka 2020/21, mradi huu umepangiwa kiasi cha TZS 17.85 bilioni kutoka kwa Washirika wa Maendeleo kwa ajili ya kutekeleza shughuli zifuatazo:

Page 63: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

55Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwai. Kutafuta mshauri elekezi kwa ajili ya usimamizi wa mradi;

ii. Kutafuta mshauri elekezi kwa ajili ya kusaidia katika masuala ya kiufundi;

iii. Kusaidia utekelezaji wa shughuli za mradi;iv. Kufanya malipo ya fidia kwa maeneo yatakayo athirika na mradi.

13.9 Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Usafirishaji

Wizara hii ina jukumu la kusimamia sekta ya ujenzi, mawasiliano na usafirishaji. Sekta hizi ni miongoni mwa sekta muhimu zinazochochea maendeleo ya sekta nyengine na ukuaji wa uchumi wa taifa. Kwa mwaka 2020/21, Wizara imepanga kutumia jumla ya TZS 177.41 bilioni (TZS 35.5 bilioni kutoka Serikalini na TZS 141.91 bilioni kutoka kwa Washirika wa Maendeleo) kwa utekelezaji wa program mbili na miradi miwili ya maendeleo.

Programu ya Ujenzi wa BarabaraProgramu hii inahusisha ujenzi wa barabara mbalimbali Unguja na Pemba kwa kiwango cha lami. Programu hii inatekelezwa kwa pamoja baina ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Washirika wa Maendeleo. Jumla ya TZS 38.82 billioni (TZS 21.5 bilioni kutoka Serikalini na TZS 17.3 bilioni kutoka kwa Washirika wa Maendeleo) zimepangwa kutumika kwa mwaka wa fedha 2020/21 kwa ajili ya kutekeleza shughuli zifuatazo:-

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa kwa Fedha za Serikalii. Kufanya upimaji wa eneo na usafishaji kwa barabara ya Chake Chake –

Wete (km 21); ii. Kukamilisha ujenzi wa barabara ya Jozani-Charawe-Ukongoroni (km

23);

iii. Kuanza ujenzi wa daraja katika eneo la Unguja Ukuu-Uzi Ngambwa

iv. Kukamilisha ujenzi wa barabara ya Bububu-Mahonda Mkokotoni katika eneo la Kwanyanya hadi kufikia eneo la Bububu kituo cha Polisi;

Page 64: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

56Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

v. Kuendelea na ujenzi wa barabara ya Kizimbani - Kiboje (7.2 km);

vi. Kuanza shughuli za ulipaji wa fidia wa nyumba na vipando vitakavyoathirika kwa ujenzi wa barabara ya Fumba –Kisauni (km 12) na Chake Chake – Wete (km 21);

vii. Kufanya upembuzi yakinifu kwa barabara za Kitogani-Paje, Mahonda-Donge-Mkokotoni, Dunga-Chwaka-Kiwengwa, Kizimkazi-Makunduchi na Muyuni-Nungwi;

viii. Kendelea kufanya tathmini na ulipaji fidia kwa barabara za Kizimbani - Kiboje (km 7.2);

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa kwa Fedha Kutoka kwa Washirika wa Maendeleo

i. Kuanza shughuli za ujenzi wa makalvati, uwekaji kifusi, uwekaji wa lami pamoja na uwekaji wa alama za barabarani kwa barabara ya Chake Chake – Wete (km 21);

ii. Kukamilisha kazi za uwekaji wa kifusi tabaka la tatu, uwekaji wa lami, alama za barabarani pamoja na ujenzi wa kituo katika barabara ya Bububu- Mahonda - Mkokotoni.

Programu ya Kuimarisha Viwanja vya Ndege Program hii ina lengo la kuimarisha miundombinu ya usafirishaji wa abiria na mizigo pamoja na huduma zinazotolewa katika viwanja vya ndege Unguja na Pemba ambapo inatekelezwa kwa pamoja baina ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Washirika wa Maendeleo. Kwa mwaka 2020/21, jumla ya TZS 131.1 billioni (TZS 6.5 bilioni kutoka Serikalini na TZS 124.6 bilioni kutoka kwa Washirika wa Maendeleo) zimepangwa kutumika kwa ajili ya kutekeleza shughuli zifuatazo:

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa kwa Fedha za Serikalii. Kuendelea na malipo ya msimamizi wa ujenzi wa jengo jipya la abiria

Terminal III;ii. Ujenzi wa ukuta katika Terminal III;

Page 65: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

57Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

iii. Ulipaji wa fidia kwa maeneo yatakayoathirika na ujenzi wa uwanja wa ndege Pemba.

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa kwa Fedha Kutoka kwa Washirika wa Maendeleo

i. Kukamilisha ujenzi wa jengo jipya la abiria (Terminal III) kwa uwekaji wa miundombinu ya maji, umeme, vipozahewa, ngazi, lift, pamoja na uwekaji wa madaraja ya kupanda na kushukia ndege.

Mradi wa Ujenzi wa Bandari ya MpigaduriMradi huu una lengo la kujenga bandari kubwa kwa ajili ya kuhudumia meli kubwa za mizigo ili kupunguza msongamano uliopo katika bandari ya sasa inayotoa huduma kwa abiria pamoja na mizigo ambayo hupelekea usumbufu na uchelewaji wa huduma za upakiaji na upakuaji wa mizigo. Kwa mwaka 2020/21, mradi huu umepangiwa kiasi cha TZS 5.0 bilioni kutoka Serikalini kwa ajili ya kutekeleza shughuli zifuatazo:- Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa

i. Kukamilisha upembuzi yakinifu wa ujenzi wa bandari ya Mpigaduri;ii. Kpeleka miundombinu ya maji na umeme pamoja na kuanza kazi za

ujenzi wa bandari.

Mradi wa Ununuzi wa Boti (Land Craft)Mradi huu una lengo la kurahisisha usafiri wa abiria na mizigo katika visiwa vidogo vidogo vya maeneo mbalimbali ya Zanzibar. Lengo hili linakwenda sambamba na malengo ya Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umasikini Zanzibar awamu ya III (MKUZA III) ambayo yamedhamiria kuimarisha usafirishaji baina ya visiwa vidogo vidogo. Kwa mwaka 2020/21, mradi huu umepangiwa kiasi cha TSZ 2.5 bilioni, kutoka Serikalini kwa ajili ya kutekeleza shughuli zifuatazo:-

Page 66: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

58Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa i. Kukamilisha malipo ya ununuzi wa boti tano za kuvushia wananchi katika

visiwa vidogo vidogo Zanzibar (Fundo-Uvinje, Makoongwe, Kisiwa Panza, Kojani na Tumbatu).

13.10 Wizara ya Kazi, Uwezeshaji, Wazee, Wanawake na Watoto

Wizara hii imeundwa na Taasisi na Idara ambazo zinasaidia katika kutekeleza majukumu ya kuwawezesha wananchi kiuchumi kupitia Mfuko wa Uwezeshaji, kusimamia utekelezaji wa Sheria na Kanuni za Kazi pamoja na kusimamia haki za watoto, wazee na wanawake. Kwa mwaka 2020/21, jumla ya TZS 3.26 bilioni zimepangwa kutekeleza programu moja na miradi minne ya maendeleo. Kati ya fedha hizo, Serikali imepanga kutoa TZS 2.1 bilioni na TZS 1.16 bilioni kutoka kwa Washirika wa Maendeleo.

Programu ya Kuimarisha JinsiaProgramu hii imeanzishwa kwa lengo la kuimarisha usawa wa kijinsia na kuwawezesha wanawake wa Zanzibar kiuchumi. Programu hii inatekelezwa kupitia miradi miwili ifuatayo:-

Usawa wa Kijinsia na Kuwawezesha WanawakeMradi huu umeanzishwa kwa lengo la kukuza usawa wa kijinsia na kuwawezesha wanawake kiuchumi. Mradi unatekelezwa na Washirika wa Maendeleo (Shirika la Umoja wa Mataifa (UN-WOMEN)), ambapo kwa mwaka 2020/21 jumla ya TZS 180.0 milioni zimepangwa kutumika kwa ajili ya kutekeleza shughuli zifuatazo:- Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa i. Kufanya vikao vya kamati juu ya utekelezaji wa Mpango Kazi wa

Kupinga Vitendo vya Udhalilishaji;ii. Kuwajengea uwezo wanawake wanaojikita katika uzalishaji wa umeme

wa jua;iii. Kuandaa taarifa za utekelezaji wa mikataba ya kimataifa ya kupinga

vitendo vya udhalilishaji dhidi ya wanawake.

Page 67: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

59Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

Mradi wa JinsiaMradi wa Jinsia umeanzishwa kwa lengo la kuimarisha uwezo wa kitaifa katika kukuza uzingatiaji wa masuala ya kijinsia katika sera na mipango sambamba na kupambana na udhalilishaji wa kijinsia. Mradi unatekelezwa na Shirika la Kimataifa la Idadi ya Watu Duniani (UNFPA). Kwa mwaka 2020/21, mradi umepangiwa jumla ya TZS 470.6 milioni kutoka kwa Washirika wa Maendeleo kwa ajili ya kutekeleza shughuli zifuatazo:-

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa i. Kutoa misaada ya kijamii kwa wahanga wa matukio ya udhalilishaji;ii. Kutoa elimu kwa jamii katika kupinga ukatili na udhalilishaji;iii. Kufanya kampeni dhidi ya haki za wanawake na kupinga udhalilishaji.

Mradi wa Hifadhi ya WazeeMradi huu umeanzishwa kwa lengo la kuhakikisha hali za wazee wanaoishi katika makaazi ya wazee yaliopo Unguja na Pemba yanaimarika pamoja na kuwapatia huduma zao za msingi kikamilifu. Mradi huu unatekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na kwa mwaka 2020/21 umepangiwa jumla ya TZS 1.1 bilioni ili kutekeleza shughuli zifuatazo:-

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa

i. Ujenzi wa ukuta katika nyumba za wazee Welezo.

Mradi wa Uhifadhi wa Haki za WatotoMradi huu umeanzishwa kwa lengo la kuhakikisha katika ngazi ya kitaifa kunajengeka uwezo wa kutoa huduma za hifadhi ya mtoto kwa ufanisi mzuri sambamba na kuondoa masuala ya udhalilishaji wa watoto visiwani. Mradi unatekelezwa na Shirika la Kuhudumia Watoto Duniani (UNICEF), ambapo kwa mwaka 2020/21 umepangiwa jumla ya TZS 387.5 milioni kwa ajili ya kutekeleza shughuli zifuatazo:-

Page 68: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

60Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa i. Kufanya utafiti juu ya udhalilishaji wa watoto;ii. Kukamilisha muongozo juu ya mafunzo ya uhifadhi wa watoto;iii. Kuandaa muongozo juu ya familia bora na Taifa imara;iv. Kuimarisha mfumo wa hifadhi ya watoto;v. Kusaidia uendeshaji wa kituo cha kurekebisha watoto - Madema.

Mradi wa Hifadhi ya JamiiMradi wa Hifadhi ya Jamii umeanzishwa ukiwa na lengo la kuhakikisha utekelezaji wa Sera ya Hifadhi ya Jamii unafanikiwa ipasavyo. Mradi umeanzishwa mwaka 2014 ambapo ulikuwa unatekelezwa kwa fedha za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar. Aidha, kwa sasa mradi huu unadhaminiwa na Mshirika wa Maendeleo ambae ni Shirika la Kuwahudumia Watoto Duniani (UNICEF), na kwa mwaka 2020/21 umepangiwa jumla ya TZS 121.0 milioni kwa ajili ya kutekeleza shughuli zifuatazo:-

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa i. Kuimarisha kitengo cha hifadhi ya jamii kwa kuwajengea uwezo juu ya

uendeshaji, ufuatiliaji na usimamizi wa mfumo wa taarifa (database);ii. Kufanya ufuatiliaji na tathmini juu ya programu ya hifadhi ya jamii.

Mradi wa Ujenzi wa Kituo cha Kulea na Kutotolea Wajasiriamali (Incubator)Mradi huu umeanzishwa kwa lengo la kuwajengea uwezo wajasiriamali ili wanapomaliza mafunzo yao waweze kujiajiri wenyewe na kuweza kupunguza umasikini Zanzibar. Aidha, mradi huu unatekelezwa kwa kutumia fedha za Serikali, ambapo kwa mwaka 2020/21 jumla ya TZS 1.0 bilioni zimepangwa kutumika kwa shughuli zifuatazo:-

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa i. Ujenzi wa kituo cha kulea na kutotolea wajasiriamali Mbuzini, Pemba.

Page 69: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

61Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

13.11 Wizara ya Katiba na Sheria

Wizara hii ina jukumu la kuhakikisha jamii inapata huduma bora za kisheria zenye ufanisi kwa kuzingatia misingi ya katiba na sheria pamoja na haki za binadamu ili kuwa na mfumo madhubuti wa sheria nchini. Kwa mwaka wa fedha 2020/21, Wizara hii imepanga kutekeleza mradi mmoja wa maendeleo wenye jumla ya TZS 1.5 bilioni kutoka Serikalini.

Mradi wa Usimamizi wa Upatikanaji wa Haki Mradi huu una lengo la kuimarisha upatikanaji wa haki na kukuza uwezo wa sheria Zanzibar. Mradi utatekelezwa kwa fedha za Serikali, ambapo kwa mwaka wa fedha 2020/21 umepangiwa jumla ya TZS 1.5 bilioni kwa kutekeleza shughuli zifuatazo:-

Shughuli zilizopangwa kutekelezwa kwa fedha za Serikali i. Kuanza ujenzi wa skuli ya Sheria –Tunguu.

13.11.1 Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka

Ofisi hii ina jukumu la kusimamia na kuendesha kesi za jinai kwa Mahkama za Zanzibar ili kuhakikisha uwepo wa haki kwa wananchi. Kwa mwaka wa fedha 2020/21, Ofisi imepanga kutekeleza mradi mmoja utakaogharimu kiasi cha TZS 600.0 milioni.

Mradi wa Ujenzi wa Kituo cha Mafunzo ya Sheria na Utafiti

Mradi huu umeanzishwa mwaka 2020 ukiwa na lengo la kuelimisha jamii juu ya masuala ya sheria za jinai ili kuweza kuzifahamu, kuzitumia na kupunguza uhalifu nchini. Kwa mwaka 2020/21, mradi umepangiwa jumla ya TZS 600.0 kutoka Serikalini kwa kutekeleza shughuli zifuatazo:-

Shughuli zilizopangwa kutekelezwa i. Kuanza ujenzi wa kituo cha mafunzo ya sheria na utafiti - Tunguu.

Page 70: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

62Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

13.12 Ofisi ya Rais - Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Ofisi hii ina jukumu la kusimamia masuala yote yanayohusiana na utawala bora ikiwemo kuhakikisha kuwepo kwa uadilifu, uwazi pamoja na uwajibikaji katika utendaji wa shughuli za kiutumishi, pamoja na kuratibu na kuimarisha utendaji wa watumishi wa umma. Kwa mwaka wa fedha 2020/21, Ofisi imepanga kutekeleza programu moja ya maendeleo yenye jumla ya TZS 400.0 milioni.

Programu ya Mageuzi ya Utumishi wa Umma Zanzibar Awamu ya II (ZPSRP II)

Programu hii ina lengo la kuimarisha utendaji, uwajibikaji wa mtumishi wa umma ikiwemo miundo, mifumo na utoaji huduma bora kwa umma. Kwa mwaka wa fedha 2020/21, programu imepangiwa jumla ya TZS 400.0 milioni kutoka Serikalini kwa kutekeleza shughuli zifuatazo:-

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa i. Kumalizia uandaaji wa Sera ya Mafunzo kwa watumishi wa Umma; ii. Kuandaa Mpango wa Utekelezaji wa Sera ya Mafunzo kwa Watumishi

wa Umma; iii. Kuandaa Sera ya Usimamizi wa Mfumo wa Rasilimali Watu; iv. Kuandaa mpango wa watumishi na kuwapima uwezo wa mahitaji yao; v. Kufanya upembuzi yakinifu na tathmini ya usimamizi wa mifumo ya

pamoja Serikalini; vi. Kuimarisha Mfumo wa kielektroniki wa usajili wa Taarifa za Mali na

Madeni ya Viongozi wa Umma.

13.12.1 Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu wa Uchumi

Ofisi hii ina wajibu wa kupambana na kuzuia vitendo vyote vya rushwa na uhujumu uchumi, ili kupata mafanikio endelevu ya kiuchumi na kijamii Zanzibar. Kwa mwaka wa fedha 2020/21, Ofisi imepanga kutekeleza mradi mmoja wa maendeleo kwa gharama ya TZS 1.0 bilioni.

Page 71: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

63Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

Mradi wa Ujenzi wa Ofisi ya Mamlaka ya Kuzuia Rushwa Na Uhujumu Uchumi

Mradi huu una lengo la kuimarisha Ofisi za Serikali kuwa na majengo mazuri yenye mazingira bora kwa wafanyakazi. Kwa mwaka wa fedha 2020/21, mradi umepangiwa jumla ya TZS 1.0 bilioni kutoka Serikalini kwa kutekeleza shughuli zifuatazo-:

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa i. Kuanza ujenzi wa Ofisi ya Mamlaka ya kuzuia rushwa na uhujumu

Uchumi - Tunguu.

13.13 Wizara ya Habari, Utalii na Mambo ya Kale

Wizara ya Habari, Utalii na Mambo ya Kale ina jukumu la kusimamia mambo makuu matatu ambayo ni habari, utalii na mambo ya kale. Kwa mwaka 2020/21, Wizara inatarajia kutekeleza programu moja na mradi mmoja wa maendeleo itakayosaidia kutoa huduma bora katika sekta ya habari na kuongeza vivutio vya utalii katika sekta ya utalii na mambo ya kale. Wizara imepanga kutekeleza programu na mradi huo wa maendeleo kwa gharama ya TZS 4.1 bilioni kutoka Serikalini.

Programu Mjumuisho ya Kuendeleza UtaliiUtalii ni sekta muhimu ambayo inakua kwa kasi na kuweza kutoa fursa za ajira pamoja na kuongeza pato la taifa na kuitangaza nchi yetu katika mataifa tofauti nchi za nje. Kwa mwaka 2020/21, programu hii inatarajia kutumia kiasi cha TZS 2.7 bilioni kutoka Serikalini kwa ajili ya kutekeleza shughuli zifuatazo:-

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa i. Kuimarisha na kuendeleza maeneo ya kihistoria ikiwemo Amani,

Mnazimmoja, Mwinyi Mkuu, Fukuchani na Kwa Bikhole kwa Unguja na Chwaka-Tumbe, Mvuleni, Makangale na Mkamandume kwa Pemba;

ii. Kufanya ukarabati wa jengo la Beit al Ajab.

Page 72: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

64Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

Ujenzi wa Jengo la Ofisi na Studio za Redio Mkanjuni - PembaLengo la mradi huu ni kuimarisha upatikanaji na usambazaji wa habari kwa kufanya ujenzi na ukarabati wa miundombinu ya Ofisi na studio ya Mkanjuni Pemba ili kuimarisha mazingira ya kufanyia kazi. Kwa mwaka 2020/21, mradi huu umepangiwa kiasi cha TZS 1.4 bilioni kutoka Serikalini kwa kutekeleza shughuli zifuatazo:-

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa i. Kukamilisha ujenzi wa jengo la Ofisi na studio za redio Mkanjuni, Pemba;

ii. Ununuzi wa samani.

3.13.1 Kamisheni ya Utalii

Jukumu la msingi la Kamisheni ya Utalii ni kusimamia na kuratibu shughuli za utalii pamoja na kuwahamasisha wananchi juu ya dhana ya utalii kwa wote. Kwa mwaka 2020/21, Kamisheni ya Utalii inakusudia kutekeleza mradi wa kuimarisha utalii kwa wote utakaogharimu kiasi cha TZS 2.0 bilioni kutoka Serikalini.

Mradi wa Kuimarisha Utalii kwa WoteLengo la mradi huu ni kuhakikisha kila mwananchi ananufaika na matunda ya utalii na anashiriki katika kutunza na kuendeleza utalii huo sambamba na kuimarisha huduma na vivutio kwa watalii. Kwa mwaka 2020/21, mradi huu umepangiwa kiasi cha TZS 2.0 bilioni, kutoka Serikalini kwa kutekeleza shughuli zifuatazo:-

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa i. Kuendeleza miundombinu ya utoaji wa huduma ikiwemo barabara, maji

na umeme katika eneo la kwa Bikhole - Bungi;ii. Kujenga maegesho ya boti (marina) kwa Bikhole - Bungi.

Page 73: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

65Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

13.14 Wizara ya Vijana, Utamaduni, Sanaa na Michezo

Wizara ya Vijana, Utamaduni, Sanaa na Michezo ina jukumu la kuimarisha maendeleo ya vijana na ustawi wa jamii kwa kusimamia uendeshaji na uimarishaji wa sekta ya Utamaduni, Sanaa na Michezo ili kuendeleza na kuimarisha maisha ya vijana na jamii kwa kuzitumia sekta hizo kwa kujipatia ajira na kuweza kujikimu kimaisha. Kwa mwaka wa fedha 2020/21, Wizara hii inatarajia kutekeleza programu moja na mradi mmoja ambapo jumla ya TZS 4.5 bilioni zinatarajiwa kutumika kutoka Serikalini.

Programu ya Ajira kwa VijanaProgramu ya Ajira kwa Vijana imeaza mwaka 2018 kwa lengo la kuimarisha maisha ya vijana kwa kuwasaidia kuwa wabunifu na kuwawezesha kujiajiri ili waweze kujipatia kipato chenye tija kitakachowawezesha kujikimu na kuendesha maisha yao ya kila siku. Kwa mwaka wa fedha 2020/21, Programu ya ajira kwa vijana inatarajia kutumia jumla ya TZS 2.0 bilioni kutoka Serikalini kwa ajili ya kutekeleza shughuli zifuatazo:-

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa i. Kuviwezesha vikundi vya kilimo awamu ya pili kwa kuvipatia pembejeo za

kilimo, uwekaji wa mifumo ya maji, ujenzi wa “greenhouse”, kuimarisha maeneo yao ya ufugaji, ujenzi wa mabwawa ya kufugia samaki pamoja na kuwapatia vifaa na pembejeo za kilimo;

ii. Kuwapatia mafunzo kazi vijana na mabaraza ya vijana, wasanii katika fani za ushonaji, useremala, uwashi na uchomaji pamoja na kuwapatia vifaa (vitendea kazi) vikundi vya vijana vitakavyoundwa baada ya kumaliza masomo yao ya ufundi;

iii. Ujenzi wa nyumba ya sanaa Mwanakwerekwe;

iv. Kuendeleza Kituo cha Michezo (OTC) Dole kwa kuimarisha miundombinu ya barabara, ujenzi wa madarasa na vyoo;

v. Kusaidia wahitimu wa vyuo (graduate) katika kuwapatia mafunzo kazi na vitendea kazi.

Page 74: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

66Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

Mradi wa Uimarishaji wa Viwanja vya MichezoMradi wa Uimarishaji wa Viwanja vya Michezo umeanza mwaka 2017 kwa lengo la kuimarisha miundombinu ya michezo Zanzibar na kuifanya sekta ya michezo kuweza kuimarika na kutoa ajira kwa jamii. Kwa mwaka wa fedha 2020/21, mradi unatarajiwa kutumia jumla ya TZS 2.5 bilioni kutoka Serikalini kwa ajili ya kutekeleza shughuli zifuatazo:-

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa i. Kuimarisha kiwanja cha Gombani Pemba kwa kufanya matengenezo ya

mfumo wa taa na kuweka ubao wa matangazo (Scoreboard).

13.15 Ofisi ya Rais-Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ ina jukumu la kuratibu shughuli za mamlaka za Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa ikiwemo Ugatuzi, Idara Maalum za SMZ na Usajili wa Vitambulisho kwa kutoa huduma bora kwa jamii, kudumisha amani na usalama, kusimamia shughuli za maendeleo kwa maeneo yao kwa kuzingatia misingi ya utawala bora. Kwa mwaka wa fedha 2020/21, Wizara hii imepanga kutekeleza programu moja na miradi miwili ya maendeleo itakayogharimu jumla ya TZS 14.39 bilioni (TZS 11.5 bilioni kutoka Serikalini na TZS 2.89 bilioni kutoka kwa Washirika wa Maendeleo).

Programu ya Ugatuzi wa Masuala ya ElimuProgramu hii inatekeleza dhana ya ugatuzi katika masuala ya elimu ikiwa ni utekelezaji wa azma ya Serikali ya kupeleka madaraka katika Serikali za Mitaa pamoja na ukamilishaji wa ujenzi wa madarasa yaliyoanzishwa kwa nguvu za wananchi. Kwa mwaka 2020/21, programu hii imepangiwa kiasi cha TZS 3.89 bilioni (TZS 1.0 bilioni kutoka Serikalini na TZS 2.89 bilioni kutoka kwa Washirika wa Maendeleo) kwa ajili ya kutekeleza shughuli zifuatazo:-

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa kwa Fedha za Serikalii. Ujenzi wa skuli ya maandalizi ya Ng’ombeni Mkoani Pemba;

Page 75: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

67Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

ii. Ujenzi wa madarasa 44 yaliyoanzishwa kwa nguvu za wananchi ikiwemo skuli za Potoa, Kitope, Binguni, Welezo, Kombeni, Micheweni, Tumbe, Chanjaani, Uwandani, Chwaka, Ngwachani na Mtemani.

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa kwa Fedha za Washirika wa Maendeleoi. Kutoa ruzuku kwa skuli 825 za maandalizi (TuTu, Maandalizi na Jamii);

ii. Kuanzisha vituo 30 vya TUTU;

iii. Kujenga madarasa 10 mapya ya maandalizi kwa kutumia mafundi wadogo wadogo;

iv. Kufanya ukarabati katika skuli 5 na madarasa 170 ya maandalizi na ya vituo vya TuTu;

v. Kukamilisha madarasa 30 yaliyoanzishwa kwa nguvu za wananchi;vi. Kuwaajiri na kulipa mishahara/posho walimu 800 wa vituo vya TUTU;

vii. Uhamasishaji wa jamii katika maendeleo ya elimu;

viii. Kuendelea kuwapatia chakula wanafunzi katika skuli 27 za msingi.

Mradi wa Uwekaji wa Kamera na Vifaa vya UlinziMradi wa Uwekaji wa Kamera na Vifaa vya Ulinzi awamu ya pili una lengo la kuimarisha ulinzi kwa kufikia viwango vya kimataifa ili kuweka mazingira salama kwa wananchi na wageni wakiwemo watalii katika maeneo mbali mbali ya Zanzibar. Mradi huu unatekelezwa kwa fedha za Serikali na kwa mwaka 2020/21, umepangiwa kiasi cha TZS 8.0 bilioni kwa kutekeleza shughuli zifuatazo:-

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa i. Kuendelea na kazi za uwekaji wa vifaa vya ulinzi na usalama katika

maeneo mbali mbali ikiwemo miji ya Pemba.

Mradi wa Ujenzi wa Kiwanda cha Ushoni (ZQTL)Mradi huu umeanzishwa kwa lengo la kurahisisha upatikanaji wa mavazi ya

Page 76: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

68Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

askari kwa kushona sare za maaskari pamoja na nguo za kibiashara. Ili kuwa na ufanisi mzuri kiwanda kinahitaji kupatiwa vifaa bora ambavyo vitaendana na mfumo wa viwanda vya aina hii. Mradi unatekelezwa kwa kutumia fedha za Serikali na kwa mwaka 2020/21, umepangiwa jumla ya TZS 2.5 bilioni kwa ajili ya kutekeleza shughuli zifuatazo:-

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa i. Kukamilisha ujenzi wa kiwanda cha ushoni - Mtoni;

ii. Kufanya ziara ya kimafunzo juu ya uendelezaji na uendeshaji wa viwanda.

13.15.1 Wakala wa Usajili wa Matukio ya Kijamii Zanzibar

Ofisi ya Wakala wa Usajili wa Matukio ya Kijamii Zanzibar ina jukumu la kuimarisha mifumo ya usajili wa taarifa za vizazi, vifo, ndoa, talaka na vitambulisho hapa Zanzibar. Kwa mwaka 2020/21, Ofisi imepanga kutekeleza mradi mmoja wa maendeleo utakaogharimu kiasi cha TZS 1.0 bilioni zinazotarajiwa kutolewa na Serikali.

Mradi wa Kuimarisha Mfumo wa UsajiliMradi huu umeanzishwa kwa lengo la kuimarisha taarifa na usalama wa mfumo wa usajili wa taarifa za matukio ya kijamii. Mradi huu unatekelezwa kwa fedha za Serikali ambapo kwa mwaka 2020/21 umepangiwa kiasi cha TZS 1.0 bilioni kwa ajili ya kutekeleza shughuli zifuatazo:-

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa

i. Ujenzi wa vituo vya usajili vya Wilaya ya Chake Chake, Wete na Mkoani;ii. Ujenzi wa Ofisi Kuu Wete-Pemba;

iii. Ununuzi wa kamera;iv. Ujenzi wa uzio kwa vituo 11 vya usajili Unguja na Pemba.

Page 77: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

69Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

13.15.2 Kikosi Maalum cha Kuzuia Magendo (KMKM)

Kikosi hichi ni miongoni mwa Idara Maalum za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kinachoshughulikia masuala yote ya ulinzi wa baharini na nchi kavu ili kudhibiti biashara haramu za magendo kwa Zanzibar. Kwa mwaka 2020/21, Kikosi hiki kimepanga kutekeleza miradi miwili ya maendeleo itakayogharimu jumla ya TZS 5.5 bilioni kutoka Serikalini.

Mradi wa Kuimarisha Huduma za Uzamiaji na UokoziMradi huu umeanzishwa kwa lengo la kukabiliana na maafa ya baharini katika ukanda wa bahari ya hindi Unguja na Pemba yanayosababishwa na majanga ya kuzama kwa meli za abiria na mizigo na vyombo vyengine vya usafiri wa baharini. Mradi unatekelezwa kupitia fedha za Serikali pekee na kwa mwaka 2020/21, umepangiwa jumla ya TZS 4.8 bilioni kwa ajili ya kutekeleza shughuli zifuatazo:-

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa i. Kuanza ujenzi wa Chelezo cha kupandishia vyombo vya bahari kwa ajili

ya matengenezo.

Mradi wa Ujenzi na Ukarabati wa Kambi na Nyumba za KMKMMradi wa Ujenzi na Ukarabati wa Kambi na Nyumba za KMKM ulianzishwa kwa lengo la kutekeleza azma ya Serikali ya kuhakikisha watendaji wa Idara Maalum za SMZ wanafanya kazi zao katika mazingira mazuri. Mradi huu unatekelezwa kwa fedha za Serikali pekee na kwa mwaka 2020/21, mradi umetengewa kiasi cha TZS 700.0 milioni kwa kutekeleza shughuli zifuatazo:

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa i. Kukamilisha ujenzi wa mahanga Micheweni na Wete;

ii. Kufanya utafiti wa hali ya kimazingira pamoja na michoro kwa ajili ya ujenzi wa Chuo cha Uongozi -Kama.

13.15.3 Kikosi cha Valantia

Kikosi hichi ni miongoni mwa Idara Maalum za Serikali ya Mapinduzi ya

Page 78: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

70Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

Zanzibar kinachoshughulika kutoa huduma ya ulinzi na huduma nyenginezo wakati wa majanga. Kwa mwaka 2020/21, Kikosi kimepanga kutekeleza mradi mmoja wa maendeleo utakaogharimu jumla ya TZS 1.5 bilioni kutoka Serikalini.

Mradi wa Ujenzi wa Nyumba na Mahanga ya MaaskariMradi wa Ujenzi wa Nyumba na Mahanga ya Maaskari wa Kikosi cha Valantia, ulianzishwa kwa lengo la kutekeleza azma ya Serikali ya kuhakikisha kuwa Idara Maalum za SMZ zinapata majengo mazuri ili kuimarisha utendaji wa kazi kwa wafanyakazi wake. Mradi huu unatekelezwa kwa fedha za Serikali pekee. Kwa mwaka 2020/21, mradi umetengewa kiasi cha TZS 1.5 bilioni kwa kutekeleza shughuli zifuatazo:

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa i. Ujenzi wa mahanga, nyumba za maofisa katika kambi za Kikungwi kwa

Unguja, Pujini na Micheweni kwa Pemba.

13.15.4 Chuo cha Mafunzo

Chuo cha Mafunzo kimeanzishwa kwa lengo la kuwapokea, kuwahifadhi, kuwalinda na kuwarekebisha wananchi wanaofanya makosa mbali mbali na kupatiwa vifungo hapa Zanzibar. Kwa mwaka 2020/21, chuo kimepanga kutekeleza mradi mmoja wa maendeleo utakaogharimu jumla ya TZS 1.5 bilioni kutoka Serikalini.

Mradi wa Ujenzi wa Nyumba za Makaazi na MahangaMradi wa Ujenzi wa Nyumba za Makaazi na Mahanga kwa Chuo cha Mafunzo ulianzishwa kwa lengo la kutekeleza azma ya Serikali ya kuhakikisha watendaji wa Idara Maalum za SMZ wanafanya kazi zao katika mazingira mazuri. Mradi huu unatekelezwa kwa fedha za Serikali pekee, na umepanga kujenga majengo mapya na kukarabati majengo chakavu. Kwa mwaka 2020/21, mradi umetengewa kiasi cha TZS 1.5 bilioni kwa kutekeleza shughuli zifuatazo:

Page 79: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

71Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa i. Kukamilisha ujenzi wa kambi ya Kangagani - Pemba;

ii. Kuanza ujenzi wa mahanga katika kambi ya Wete;iii. Kufanya upembuzi yakinifu juu ya ujenzi wa gereza la kisasa- Hanyegwa

Mchana.

13.15.5 Jeshi la Kujenga Uchumi

Kikosi hichi ni miongoni mwa Idara Maalum za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kinachoshughulikia masuala ya ulinzi na ujenzi wa uchumi kwa Zanzibar. Kwa mwaka 2020/21, Kikosi hiki kimepanga kutekeleza miradi miwili ya maendeleo itakayogharimu jumla ya TZS 4.5 bilioni kutoka Serikalini.

Mradi wa Ujenzi wa Skuli ya Sekondari na Ufundi ya JKU – MtoniMradi wa Ujenzi wa Skuli ya Sekondari na Ufundi katika Kambi ya JKU Mtoni una lengo la kuwapatia vijana elimu katika fani mbali mbali. Mradi huu, unatekelezwa kwa fedha za Serikali pekee na kwa mwaka 2020/21, mradi umepangiwa jumla ya TZS 2.5 bilioni kwa kutekeleza shughuli zifuatazo:-

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa i. Kuendelea na ujenzi wa chuo cha ufundi JKU Mtoni.

Mradi wa Ujenzi wa Nyumba na Mahanga ya Kambi za JKU Mradi wa Ujenzi wa Majengo ya Kambi za JKU umeanzishwa kwa lengo la kutekeleza azma ya Serikali ya kuhakikisha watendaji wa Idara Maalum za SMZ wanafanya kazi zao katika mazingira mazuri. Mradi huu unatekelezwa kwa fedha za Serikali pekee na kwa kuanzia umepanga kutekeleza shughuli zake katika kambi za Pemba. Kwa mwaka 2020/21, mradi umetengewa kiasi cha TZS 2.0 bilioni kwa kutekeleza shughuli zifuatazo:

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa i. Kukamilisha ujenzi wa majengo matatu, mahanga mawili na bwalo katika

Page 80: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

72Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

kambi ya Msaani Pemba;ii. Kuanza ujenzi wa mahanga katika kambi za Pujini, Kwapweza na Wawi;

iii. Ujenzi wa Ofisi –Mtoni.

13.15.6 Kikosi cha Zimamoto na Uokozi

Kikosi cha Zimamoto na Uokozi ni miongoni mwa Idara maalum za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kinachoshughulikia shughuli zote za uzimaji moto na uokozi wa mali za raia. Kwa mwaka 2020/21, Kikosi hiki kimepanga kutekeleza mradi mmoja wa maendeleo utakaogharimu kiasi cha TZS 2.5 bilioni.

Mradi wa Ujenzi wa Mahanga na Nyumba za MaaskariMradi wa Ujenzi wa Mahanga na Nyumba za Maaskari katika Kikosi cha Zimamoto na Uokozi ulianzishwa kwa lengo la kutekeleza azma ya Serikali ya kuhakikisha watendaji wa Idara Maalum za SMZ wanafanya kazi zao katika mazingira mazuri. Mradi huu unatekelezwa kwa fedha za Serikali pekee na kwa mwaka 2020/21, umetengewa kiasi cha TZS 2.5 bilioni kwa kutekeleza shughuli zifuatazo:

Shughuli Zilizopangwa Kutekelezwa i. Kukamilisha ujenzi wa kituo cha Zimamoto Kijichame na kuanza ujenzi

wa kituo Wete;ii. Ununuzi wa magari mawili ya kuzimia moto;

iii. Kufanya upembuzi yakinifu juu ya uanzishwaji wa chuo cha mafunzo ya zimamoto.

14.0 PROGRAMU/MIRADI YA MAENDELEO CHINI YA MFUKO WA MIUNDOMBINU (INFRASTRUCTURE FUND)

Katika mwaka 2015, Serikali ilianzisha Mfuko wa Miundombinu ikiwa ni mfuko maalum chini ya kifungu nambari 11 cha Sheria ya Fedha za Umma ya mwaka 2005 kwa ajili ya kusaidia uimarishaji wa miundombinu. Mfuko wa

Page 81: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

73Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

miundombinu unalenga kukusanya rasimali kutoka katika kodi za miundombinu na katika vyanzo vyengine kwa lengo la kusaidia maendeleo ya Zanzibar. Aidha, rasilimali za mfuko huu zinatolewa kwa lengo kuu la kuwekeza katika miundombinu ya umma ili kusaidia kunyanyua uchumi na maendeleo ya jamii.

Mfuko huu ulianza kazi zake rasmi tarehe 1 Julai 2015, na tokea kuanzishwa kwake utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo unaendelea kupata fungu kutoka mfuko huo ambapo kwa mwaka 2020/21 jumla ya TZS 44.2 bilioni zimepangwa kutumika katika kugharamia utekelezaji wa programu na miradi ya maendeleo. Hii ni ongezeko la TZS 3.2 bilioni ukilinganisha na bajeti ya mwaka 2019/20 ambapo jumla ya TZS 41.0 bilioni zilitengwa kugharamia miradi 17 ya maendeleo.

Kwa mwaka 2020/21, jumla ya miradi 15 ya maendeleo, imepangwa kutekelezwa kupitia Mfuko wa Miundombinu. Miradi yenyewe ni:-

i) Uimarishaji Uvuvi wa Bahari Kuu; ii) Ujenzi wa hospital ya rufaa ya Binguni; iii) Ujenzi wa daraja la Uzi Ng’ambwa; iv) Kuimarisha Taasisi ya Viwango Zanzibar; v) Kuendeleza Visima vya Ras el Khaimah;vi) Usambazaji Umeme Vijijini; vii) Ununuzi wa “Land Crafts”; viii) Uwekaji wa Kamera na Vifaa vya Ulinzi; ix) Ujenzi wa Kiwanda cha Nguo (ZQTL) (Ununuzi wa vifaa na malighafi); x) Ujenzi wa Viwanja vya Michezo vya Wilaya; xi) Kuimarisha Huduma za Uzamiaji na Uokozi; xii) Ujenzi wa Skuli ya Ufundi - Mtonixiii) Kuimarisha Utalii kwa Wote; xiv) Ujenzi wa Mahanga na Nyumba za Maaskari (KZU) (Ununuzi wa Vifaa);

na xv) Ujenzi wa Ofisi za ZAECA.

Page 82: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

74Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

Mchanganuo wa mgawanyo wa fedha zilizopangwa kwa utekelezaji wa programu na miradi ya maendeleo inayopatiwa fedha kupitia Mfuko wa Miundombinu kiwizara unaonekana katika kiambatisho nambari 3.

15.0 UFUATILIAJI NA TATHMINI

Kwa mwaka 2020/21, Serikali kupitia Tume ya Mipango Zanzibar imepanga kusimamia masuala ya Ufuatiliaji na Tathmini ya Mpango wa Maendeleo kupitia maeneo yafuatayo:-

i. Kushirikiana na sekta katika kuandaa Mfumo wa Ufuatiliaji na Tathmini (M & E System) kwa miradi ya maendeleo ikiwemo kutayarisha mpango unaozingatia matokeo, unaohusisha kuwepo malengo makuu (goals), matokeo ya muda wa kati (outcome), na muda mfupi (output), shabaha (targets) na viashiria vitakavyotumika kupima matokeo hayo;

ii. Kufanya ufuatiliaji na tathmini kwa programu na miradi mbali mbali ya maendeleo;

iii. Kuendeleza kazi na utaratibu wa kupima matokeo juu ya utekelezaji wa shughuli za programu na miradi ya maendeleo.

16.0 WASHIRIKA WA MAENDELEO

Washirika watakaochangia bajeti ya maendeleo kwa mwaka 2020/21 ni pamoja na ACRA, AfDB, BADEA, BASKET FUND, CHINA, DFID, EDF, EU, EXIM BANK, FAO, GEF, GLOBAL FUND, GPE, Hopeland University, INDIA, IFAD, IITA, IMF, JAPAN, JICA, KHALIFA FUND, KOICA, KOREA, MILELE FOUNDATION, NORAD, NORWAY, OPEC, PCD, PMI, SAUDI FUND, SIDA, THPS, UK, UNDP, UNFPA, UNESCO, UNICEF, URT, USDA-USAID, UN-WOMEN, WHO na WORLD BANK.

Page 83: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

75Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

17.0 HITIMISHO

Kitabu hiki kinatoa mwelekeo wa Hali ya Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo kwa mwaka 2020/21 ambao utekelezaji wake utaziwezesha Taasisi na Idara za Serikali kufikia malengo ya mipango na mikakati ya kitaifa na kimataifa. Maeneo ya utekelezaji ya kufikia matokeo kwa kipindi hiki yameainishwa na inatarajiwa kuwa wakuu wa Wizara, Taasisi na Idara za Serikali watakitumia kitabu hiki kwa madhumuni ya kusimamia na kuratibu utekelezaji wa programu na miradi iliyoainishwa .

Ili kuweza kupima na kujua ufikiaji wa matokeo yaliyokusudiwa, Wizara, Idara na Taasisi za Serikali zinatakiwa kutoa taarifa za utekelezaji wa kazi zinazoainishwa katika kitabu hiki wiki ya pili ya kila robo mwaka (2020/21) na kuziwasilisha Tume ya Mipango bila ya kuchelewa. Aidha, taarifa za matumizi ya fedha ziwasilishwe kwa usahihi zikiwemo za Serikali na Washirika wa Maendeleo

Mashirikiano makubwa yanahitajika kwa Wizara na Taasisi za Serikali katika kufanikisha malengo yetu. Aidha sekta binafsi na asasi za kiraia zinahitaji kuwa na mikakati maalum ya kuungana na juhudi za Serikali kuweza kufikia malengo yaliyokusudiwa.

Kurasa zifuatazo zina viambatisho ambavyo vinaonesha mgawanyo wa fedha za Programu na Miradi ya Maendeleo kwa mwaka 2020/21. Mgawanyo wa fedha za SMZ na Washirika wa Maendeleo kwa Programu na Miradi ya Maendeleo Kiwizara unaonekana katika kiambatisho namba 1 na mgao wa fedha kwa Maeneo Makuu ya Matokeo unaonekana kwenye kiambatisho namba 2. Aidha, mgao wa fedha za SMZ kupitia Mfuko wa Miundombinu kwa miradi ya maendeleo iliyoteuliwa unaonekana katika kiambatisho namba 3.

Page 84: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

76Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

MA

KIS

IO Y

A

KA

WA

IDA

20

20/2

1

DH

IMA

20

20/2

1

JU

MLA

YA

M

AK

ISIO

YA

SM

Z 20

20/2

1 M

UH

ISA

NI

RU

ZUK

UM

IKO

PO

A01

Mira

dii)

Uim

aris

haji

Nyu

mba

za

Vio

ngoz

i na

Nyu

mba

za

Ser

ikal

i 2,

000,

000

1,50

0,00

01,

500,

000

1,50

0,00

0JU

MLA

YA

FU

NG

U2,

000,

000

1,50

0,00

00

1,50

0,00

0

0

01,

500,

000

C01

Mpa

ngo

wa

Kun

usur

u K

aya

Mas

ikin

i (TA

SAF

III)

40,0

00

50

,000

50,0

00

W

OR

LD

BA

NK

21,5

47,9

95

21

,597

,995

Mira

dii)

Kuj

enga

Uw

ezo

wa

Kuk

abilia

na n

a M

aafa

UN

DP

186,

000

18

6,00

0ii)

Uje

nzi w

a N

yum

ba y

a M

akam

u w

a P

ili w

a R

ais

350,

000

-

0iii)

Kui

mar

isha

Usi

mam

izi w

a M

azin

gira

, M

alia

sili

na

Mab

adilik

o ya

Tab

ianc

hi-Z

anzi

bar

300,

000

300,

000

300,

000

U

ND

P28

9,80

058

9,80

0iv

) Kuk

uza

Uw

ezo

wa

Kita

ifa w

a K

uhim

ili A

thar

i za

Mab

adilik

o ya

Tab

ianc

hi (A

DB

-AC

CF)

50,0

00-

AfD

B67

5,91

267

5,91

2JU

MLA

YA

FU

NG

U74

0,00

0

350,

000

-

350,

000

1,

151,

712

21,5

47,9

95

23

,049

,707

C04

iii) U

jenz

i wa

Kitu

o ch

a Ti

ba n

a M

arek

ebis

ho y

a Ta

bia

680,

000

1,

900,

000

1,90

0,00

0

1,

900,

000

JUM

LA Y

A F

UN

GU

680,

000

1,

900,

000

-

1,

900,

000

-

1,90

0,00

0

F01

Prog

ram

u ya

Uje

nzi w

a O

fisi z

a Se

rikal

i Za

nzib

ar10

,002

,300

19,5

00,0

0019

,500

,000

19,5

00,0

00Pr

ogra

mu

ya U

kuza

ji U

chum

i Jum

uish

i Zan

ziba

r (B

IG -

Z)W

B19

,964

,000

19,9

64,0

00Pr

ogra

mu

ya U

patik

anaj

i Ras

ilim

ali F

edha

300,

000

-

Pr

ogra

mu

ya U

jenz

i wa

Miji

Mip

ya20

,000

,000

20,0

00,0

00

20

,000

,000

Prog

ram

u ya

Mag

euzi

Kat

ika

Usi

mam

izi w

a Fe

dha

(PFM

RP)

-

N

OR

WA

Y1,

639,

026

1,63

9,02

6M

iradi

i) K

uim

aris

ha U

taw

ala

Bor

a A

wam

u ya

Tat

u10

0,00

0-

AfD

Bii)

Uim

aris

haji

wa

Ras

ilimal

i za

Nda

ni n

a U

sim

amiz

i wa

Mal

iasi

li50

,000

100,

000

100,

000

A

fDB

4,54

1,00

04,

641,

000

iii) M

radi

wa

Kuj

enga

Uw

ezo

Taas

isi z

a S

erik

ali

50,0

0020

,000

20,0

00

U

ND

P10

6,82

612

6,82

6iv

) Uim

aris

haji

wa

Mae

neo

Hur

u M

iche

wen

i Pem

ba1,

800,

000

1,80

0,00

0

1,

800,

000

v) M

tand

ao w

a U

ingi

zaji

wa

Taar

ifa z

a B

ajet

i50

0,00

050

0,00

0

500,

000

vi) M

radi

wa

Kue

ndel

eza

Ban

dari

ya M

anga

pwan

i4,

000,

000

-

0

JUM

LA Y

A F

UN

GU

14,5

02,3

002,

420,

000

39,5

00,0

0041

,920

,000

1,74

5,85

224

,505

,000

68,1

70,8

52F0

3TU

ME

YA

MIP

AN

GO

Kia

mba

tisho

nam

ba 1

: M

GA

O W

A F

EDH

A P

RO

GR

AM

U/M

IRA

DI K

IWIZ

AR

A 2

020/

21 T

ZS "

000"

KIF

UN

GU

JIN

A L

A P

RO

GR

AM

U/M

RA

DI

MA

KIS

IO

KW

A

MW

AK

A

2019

/202

0 SM

Z

MA

KIS

IO K

WA

MW

AK

A 2

020/

21 S

MZ

M

ICH

AN

GO

YA

WA

HIS

AN

I

JUM

LA Y

A

BA

JETI

OFI

SI Y

A R

AIS

NA

MW

ENY

EKIT

I WA

BA

RA

ZA L

A M

API

ND

UZI

OFI

SI Y

A M

AK

AM

O W

A P

ILI W

A R

AIS

TUM

E Y

A K

ITA

IFA

YA

KU

RA

TIB

U N

A U

DH

IBIT

I WA

DA

WA

ZA

KU

LEVY

A

WIZ

AR

A Y

A F

EDH

A N

A M

IPA

NG

O

Page

1 o

f 6

Page 85: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

77Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

MA

KIS

IO Y

A

KA

WA

IDA

20

20/2

1

DH

IMA

20

20/2

1

JU

MLA

YA

M

AK

ISIO

YA

SM

Z 20

20/2

1 M

UH

ISA

NI

RU

ZUK

UM

IKO

POK

IFU

NG

UJI

NA

LA

PR

OG

RA

MU

/MR

AD

I

MA

KIS

IO

KW

A

MW

AK

A

2019

/202

0 SM

Z

MA

KIS

IO K

WA

MW

AK

A 2

020/

21 S

MZ

M

ICH

AN

GO

YA

WA

HIS

AN

I

JUM

LA Y

A

BA

JETI

Prog

ram

u ya

Mpa

ngo

wa

Kur

asim

isha

Ras

ilim

ali

na B

iash

ara

za W

anyo

nge

Tanz

ania

(MK

UR

AB

ITA

)50

0,00

055

0,00

055

0,00

0

UR

T10

0,00

0

650,

000

Mpa

ngo

wa

Kuh

uish

a U

chum

i (ER

P)7,

000,

000

7,00

0,00

0

7,

000,

000

Mira

di0

i) K

upun

guza

Um

asik

ini n

a U

fuat

iliaji

wa

SD

Gs

230,

000

150,

000

150,

000

15

0,00

0ii)

Ura

tibu

na U

sim

amiz

i wa

Mal

engo

na

Mae

ndel

eo

End

elev

u (S

DG

s) n

a M

KU

ZA II

I20

,000

100,

000

100,

000

U

ND

P80

1,15

090

1,15

0iii)

Kuo

anis

ha M

asua

la y

a Id

adi y

a W

atu

katik

a A

fya

ya

Uza

zi, J

insi

a na

Kup

ungu

za U

mas

ikin

i-

UN

FPA

286,

000

286,

000

iv) U

ende

leza

ji w

a Ta

kwim

u Za

nzib

ar (Z

SD

P)

UN

- W

OM

EN

/ A

DB

/EU

/ U

NIC

EF/

U

NFP

A3,

321,

700

3,32

1,70

0iv

) Kue

ndel

eza

Tafit

i na

Ubu

nifu

500,

000

500,

000

50

0,00

0JU

MLA

YA

FU

NG

U75

0,00

01,

300,

000

7,00

0,00

08,

300,

000

4,50

8,85

00

12,8

08,8

50L0

1Pr

ogra

mu

ya U

mw

agili

aji

1,00

0,00

019

,900

,000

19,9

00,0

00

K

OR

EA

47,1

93,4

6467

,093

,464

Prog

ram

u ya

Kus

aidi

a K

ilim

o na

Uha

kika

wa

Cha

kula

(ER

PP)

80,0

00-

WB

2,21

0,52

22,

210,

522

Prog

ram

u ya

Kui

mar

isha

Uvu

vii)

Uim

aris

haji

Uvu

vi w

a B

ahar

i Kuu

1,40

0,00

02,

000,

000

2,00

0,00

0

JI

CA

12,1

51,9

0714

,151

,907

ii) K

uim

aris

ha U

fuga

ji w

a M

azao

ya

Bah

arin

i20

0,00

0-

FAO

/ K

OR

EA

736,

479

736,

479

Mira

di

i) M

radi

wa

Usi

mam

izi w

a S

hugh

uli z

a U

vuvi

wa

Kan

da

ya K

usin

i Mas

harik

i mw

a B

ahar

i ya

Hin

di (S

WIO

FIS

H)

50,0

00-

WO

RLD

B

AN

K8,

651,

376

8,65

1,37

6

ii) M

radi

wa

Mae

ndel

eo y

a K

ilimo

na U

vuvi

IFA

D2,

141,

198

2,14

1,19

8iii.

Kue

ndel

eza

miu

ndom

binu

ya

Mifu

go n

a W

afug

aji

Wad

ogo

Wad

ogo

1,00

0,00

0-

0iv

. Kue

ndel

eza

Uta

fiti w

a M

ifugo

1,20

0,00

01,

000,

000

1,00

0,00

0

1,

000,

000

v) M

radi

wa

Kud

hibi

ti N

zi w

a M

atun

da10

0,00

010

0,00

0

IITA

120,

000

220,

000

vi) K

udhi

biti

Sum

u K

uvu

inay

otok

ana

na U

laji

wa

Mah

indi

na

Nju

guA

fDB

931,

698

931,

698

vii)

Uhi

fadh

i wa

Mis

itu k

wa

Faid

a za

Kiu

chum

iU

ND

P3,

801,

497

3,80

1,49

7vi

ii) K

ilimo

cha

Kus

hajih

isha

Uku

lima

wa

Mbo

ga M

boga

na

Mat

unda

ED

F-E

U5,

602,

995

5,60

2,99

5

JUM

LA Y

A F

UN

GU

4,93

0,00

010

0,00

022

,900

,000

23,0

00,0

00

24

,623

,400

58,9

17,7

3610

6,54

1,13

6R

01Pr

ogra

mu

ya M

azin

gira

Bor

a ya

Bia

shar

a20

0,00

030

0,00

0

300

,000

30

0,00

0

WIZ

AR

A Y

A K

ILIM

O,

MA

LIA

SILI

, MIF

UG

O N

A U

VUVI

WIZ

AR

A Y

A B

IASH

AR

A N

A V

IWA

ND

A

Page

2 o

f 6

MA

KIS

IO Y

A

KA

WA

IDA

20

20/2

1

DH

IMA

20

20/2

1

JU

MLA

YA

M

AK

ISIO

YA

SM

Z 20

20/2

1 M

UH

ISA

NI

RU

ZUK

UM

IKO

POK

IFU

NG

UJI

NA

LA

PR

OG

RA

MU

/MR

AD

I

MA

KIS

IO

KW

A

MW

AK

A

2019

/202

0 SM

Z

MA

KIS

IO K

WA

MW

AK

A 2

020/

21 S

MZ

M

ICH

AN

GO

YA

WA

HIS

AN

I

JUM

LA Y

A

BA

JETI

Prog

ram

u ya

Mpa

ngo

wa

Kur

asim

isha

Ras

ilim

ali

na B

iash

ara

za W

anyo

nge

Tanz

ania

(MK

UR

AB

ITA

)50

0,00

055

0,00

055

0,00

0

UR

T10

0,00

0

650,

000

Mpa

ngo

wa

Kuh

uish

a U

chum

i (ER

P)7,

000,

000

7,00

0,00

0

7,

000,

000

Mira

di0

i) K

upun

guza

Um

asik

ini n

a U

fuat

iliaji

wa

SD

Gs

230,

000

150,

000

150,

000

15

0,00

0ii)

Ura

tibu

na U

sim

amiz

i wa

Mal

engo

na

Mae

ndel

eo

End

elev

u (S

DG

s) n

a M

KU

ZA II

I20

,000

100,

000

100,

000

U

ND

P80

1,15

090

1,15

0iii)

Kuo

anis

ha M

asua

la y

a Id

adi y

a W

atu

katik

a A

fya

ya

Uza

zi, J

insi

a na

Kup

ungu

za U

mas

ikin

i-

UN

FPA

286,

000

286,

000

iv) U

ende

leza

ji w

a Ta

kwim

u Za

nzib

ar (Z

SD

P)

UN

- W

OM

EN

/ A

DB

/EU

/ U

NIC

EF/

U

NFP

A3,

321,

700

3,32

1,70

0iv

) Kue

ndel

eza

Tafit

i na

Ubu

nifu

500,

000

500,

000

50

0,00

0JU

MLA

YA

FU

NG

U75

0,00

01,

300,

000

7,00

0,00

08,

300,

000

4,50

8,85

00

12,8

08,8

50L0

1Pr

ogra

mu

ya U

mw

agili

aji

1,00

0,00

019

,900

,000

19,9

00,0

00

K

OR

EA

47,1

93,4

6467

,093

,464

Prog

ram

u ya

Kus

aidi

a K

ilim

o na

Uha

kika

wa

Cha

kula

(ER

PP)

80,0

00-

WB

2,21

0,52

22,

210,

522

Prog

ram

u ya

Kui

mar

isha

Uvu

vii)

Uim

aris

haji

Uvu

vi w

a B

ahar

i Kuu

1,40

0,00

02,

000,

000

2,00

0,00

0

JI

CA

12,1

51,9

0714

,151

,907

ii) K

uim

aris

ha U

fuga

ji w

a M

azao

ya

Bah

arin

i20

0,00

0-

FAO

/ K

OR

EA

736,

479

736,

479

Mira

di

i) M

radi

wa

Usi

mam

izi w

a S

hugh

uli z

a U

vuvi

wa

Kan

da

ya K

usin

i Mas

harik

i mw

a B

ahar

i ya

Hin

di (S

WIO

FIS

H)

50,0

00-

WO

RLD

B

AN

K8,

651,

376

8,65

1,37

6

ii) M

radi

wa

Mae

ndel

eo y

a K

ilimo

na U

vuvi

IFA

D2,

141,

198

2,14

1,19

8iii.

Kue

ndel

eza

miu

ndom

binu

ya

Mifu

go n

a W

afug

aji

Wad

ogo

Wad

ogo

1,00

0,00

0-

0iv

. Kue

ndel

eza

Uta

fiti w

a M

ifugo

1,20

0,00

01,

000,

000

1,00

0,00

0

1,

000,

000

v) M

radi

wa

Kud

hibi

ti N

zi w

a M

atun

da10

0,00

010

0,00

0

IITA

120,

000

220,

000

vi) K

udhi

biti

Sum

u K

uvu

inay

otok

ana

na U

laji

wa

Mah

indi

na

Nju

guA

fDB

931,

698

931,

698

vii)

Uhi

fadh

i wa

Mis

itu k

wa

Faid

a za

Kiu

chum

iU

ND

P3,

801,

497

3,80

1,49

7vi

ii) K

ilimo

cha

Kus

hajih

isha

Uku

lima

wa

Mbo

ga M

boga

na

Mat

unda

ED

F-E

U5,

602,

995

5,60

2,99

5

JUM

LA Y

A F

UN

GU

4,93

0,00

010

0,00

022

,900

,000

23,0

00,0

00

24

,623

,400

58,9

17,7

3610

6,54

1,13

6R

01Pr

ogra

mu

ya M

azin

gira

Bor

a ya

Bia

shar

a20

0,00

030

0,00

0

300

,000

30

0,00

0

WIZ

AR

A Y

A K

ILIM

O,

MA

LIA

SILI

, MIF

UG

O N

A U

VUVI

WIZ

AR

A Y

A B

IASH

AR

A N

A V

IWA

ND

A

Page

2 o

f 6

MA

KIS

IO Y

A

KA

WA

IDA

20

20/2

1

DH

IMA

20

20/2

1

JU

MLA

YA

M

AK

ISIO

YA

SM

Z 20

20/2

1 M

UH

ISA

NI

RU

ZUK

UM

IKO

PO

A01

Mira

dii)

Uim

aris

haji

Nyu

mba

za

Vio

ngoz

i na

Nyu

mba

za

Ser

ikal

i 2,

000,

000

1,50

0,00

01,

500,

000

1,50

0,00

0JU

MLA

YA

FU

NG

U2,

000,

000

1,50

0,00

00

1,50

0,00

0

0

01,

500,

000

C01

Mpa

ngo

wa

Kun

usur

u K

aya

Mas

ikin

i (TA

SAF

III)

40,0

00

50

,000

50,0

00

W

OR

LD

BA

NK

21,5

47,9

95

21

,597

,995

Mira

dii)

Kuj

enga

Uw

ezo

wa

Kuk

abilia

na n

a M

aafa

UN

DP

186,

000

18

6,00

0ii)

Uje

nzi w

a N

yum

ba y

a M

akam

u w

a P

ili w

a R

ais

350,

000

-

0iii)

Kui

mar

isha

Usi

mam

izi w

a M

azin

gira

, M

alia

sili

na

Mab

adilik

o ya

Tab

ianc

hi-Z

anzi

bar

300,

000

300,

000

300,

000

U

ND

P28

9,80

058

9,80

0iv

) Kuk

uza

Uw

ezo

wa

Kita

ifa w

a K

uhim

ili A

thar

i za

Mab

adilik

o ya

Tab

ianc

hi (A

DB

-AC

CF)

50,0

00-

AfD

B67

5,91

267

5,91

2JU

MLA

YA

FU

NG

U74

0,00

0

350,

000

-

350,

000

1,

151,

712

21,5

47,9

95

23

,049

,707

C04

iii) U

jenz

i wa

Kitu

o ch

a Ti

ba n

a M

arek

ebis

ho y

a Ta

bia

680,

000

1,

900,

000

1,90

0,00

0

1,

900,

000

JUM

LA Y

A F

UN

GU

680,

000

1,

900,

000

-

1,

900,

000

-

1,90

0,00

0

F01

Prog

ram

u ya

Uje

nzi w

a O

fisi z

a Se

rikal

i Za

nzib

ar10

,002

,300

19,5

00,0

0019

,500

,000

19,5

00,0

00Pr

ogra

mu

ya U

kuza

ji U

chum

i Jum

uish

i Zan

ziba

r (B

IG -

Z)W

B19

,964

,000

19,9

64,0

00Pr

ogra

mu

ya U

patik

anaj

i Ras

ilim

ali F

edha

300,

000

-

Pr

ogra

mu

ya U

jenz

i wa

Miji

Mip

ya20

,000

,000

20,0

00,0

00

20

,000

,000

Prog

ram

u ya

Mag

euzi

Kat

ika

Usi

mam

izi w

a Fe

dha

(PFM

RP)

-

N

OR

WA

Y1,

639,

026

1,63

9,02

6M

iradi

i) K

uim

aris

ha U

taw

ala

Bor

a A

wam

u ya

Tat

u10

0,00

0-

AfD

Bii)

Uim

aris

haji

wa

Ras

ilimal

i za

Nda

ni n

a U

sim

amiz

i wa

Mal

iasi

li50

,000

100,

000

100,

000

A

fDB

4,54

1,00

04,

641,

000

iii) M

radi

wa

Kuj

enga

Uw

ezo

Taas

isi z

a S

erik

ali

50,0

0020

,000

20,0

00

U

ND

P10

6,82

612

6,82

6iv

) Uim

aris

haji

wa

Mae

neo

Hur

u M

iche

wen

i Pem

ba1,

800,

000

1,80

0,00

0

1,

800,

000

v) M

tand

ao w

a U

ingi

zaji

wa

Taar

ifa z

a B

ajet

i50

0,00

050

0,00

0

500,

000

vi) M

radi

wa

Kue

ndel

eza

Ban

dari

ya M

anga

pwan

i4,

000,

000

-

0

JUM

LA Y

A F

UN

GU

14,5

02,3

002,

420,

000

39,5

00,0

0041

,920

,000

1,74

5,85

224

,505

,000

68,1

70,8

52F0

3TU

ME

YA

MIP

AN

GO

Kia

mba

tisho

nam

ba 1

: M

GA

O W

A F

EDH

A P

RO

GR

AM

U/M

IRA

DI K

IWIZ

AR

A 2

020/

21 T

ZS "

000"

KIF

UN

GU

JIN

A L

A P

RO

GR

AM

U/M

RA

DI

MA

KIS

IO

KW

A

MW

AK

A

2019

/202

0 SM

Z

MA

KIS

IO K

WA

MW

AK

A 2

020/

21 S

MZ

M

ICH

AN

GO

YA

WA

HIS

AN

I

JUM

LA Y

A

BA

JETI

OFI

SI Y

A R

AIS

NA

MW

ENY

EKIT

I WA

BA

RA

ZA L

A M

API

ND

UZI

OFI

SI Y

A M

AK

AM

O W

A P

ILI W

A R

AIS

TUM

E Y

A K

ITA

IFA

YA

KU

RA

TIB

U N

A U

DH

IBIT

I WA

DA

WA

ZA

KU

LEVY

A

WIZ

AR

A Y

A F

EDH

A N

A M

IPA

NG

O

Page

1 o

f 6

Page 86: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

78Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

MA

KIS

IO Y

A

KA

WA

IDA

20

20/2

1

DH

IMA

20

20/2

1

JU

MLA

YA

M

AK

ISIO

YA

SM

Z 20

20/2

1 M

UH

ISA

NI

RU

ZUK

UM

IKO

POK

IFU

NG

UJI

NA

LA

PR

OG

RA

MU

/MR

AD

I

MA

KIS

IO

KW

A

MW

AK

A

2019

/202

0 SM

Z

MA

KIS

IO K

WA

MW

AK

A 2

020/

21 S

MZ

M

ICH

AN

GO

YA

WA

HIS

AN

I

JUM

LA Y

A

BA

JETI

Prog

ram

u ya

Kue

ndel

eza

Viw

anda

2,00

0,00

0

-

0

i) U

imar

isha

ji w

a M

aene

o ya

Viw

anda

(Ind

urst

rial P

ark)

1,00

0,00

0

1

,000

,000

1,

000,

000

ii) K

uim

aris

ha v

iwan

da v

idog

o vi

dogo

na

vya

kati

(SM

IDA

)1,

000,

000

1,0

00,0

00

1,00

0,00

0iii)

Mra

di w

a K

uwas

aidi

a W

ajas

iriam

ali W

adog

o W

adog

o,W

akat

i na

Wak

ubw

a4,

500,

000

4,5

00,0

00

KH

ALI

FA

FUN

D4,

600,

000

9,10

0,00

0M

iradi

i)Kui

mar

isha

Taa

sisi

ya

Viw

ango

Zan

ziba

r2,

000,

000

3,00

0,00

0

3

,000

,000

3,

000,

000

ii) M

fum

o m

pya

wa

Uto

aji L

esen

i kw

a M

aend

eleo

ya

Sek

ta B

inaf

si40

0,00

040

0,00

0

400

,000

40

0,00

0JU

MLA

YA

FU

NG

U4,

600,

000

7,20

0,00

03,

000,

000

10,2

00,0

004,

600,

000

014

,800

,000

K01

Prog

ram

u ya

Kui

mar

isha

Miu

ndom

bnu

ya E

limu

1,50

0,00

01,

000,

000

1,0

00,0

00

1,00

0,00

0M

iradi

i) U

imar

isha

ji w

a E

limu

ya M

aand

aliz

i

-

G

PE

/ M

ILE

LE3,

253,

333

3,25

3,33

3

ii) U

imar

isha

ji w

a E

limu

ya M

sing

i

-

PC

D/

UN

ICE

F/

MIL

ELE

/ WB

252,

230

150,

000

402,

230

iii) U

imar

isha

ji w

a E

limu

ya L

azim

a3,

300,

000

3,50

0,00

0

3

,500

,000

BA

DE

A/

OP

EC

/ K

OIC

A/W

B2,

821,

521

8,48

5,00

014

,806

,521

iv) U

imar

isha

ji w

a E

limu

Mba

dala

na

Am

ali -

Aw

amu

ya

Pili

1,00

0,00

0

-

A

fDB

0JU

MLA

YA

FU

NG

U5,

800,

000

1,00

0,00

03,

500,

000

4,50

0,00

06,

327,

084

8,63

5,00

019

,462

,084

H01

Prog

ram

u ya

Kum

aliz

a M

alar

ia Z

anzi

bar

248,

000

248,

000

248,

000

P

MI/G

F5,

586,

365

5,83

4,36

5Pr

ogra

mu

ya K

uim

aris

ha M

iund

ombi

nu y

a A

fya

i) K

uipa

ndis

ha h

adhi

Hos

pita

li ya

Mna

zi M

moj

a2,

650,

000

1,50

0,00

01,

500,

000

1,50

0,00

0ii)

Kuz

ipan

dish

a ha

dhi H

ospi

tali

za W

ilaya

na

hosp

itali

za V

ijiji

4,25

0,00

05,

000,

000

5,00

0,00

0

5,

000,

000

iii) A

wam

u ya

Kw

anza

ya

ujen

zi w

a H

ospi

tal y

a R

ufaa

B

ingu

ni6,

500,

000

6,00

0,00

06,

000,

000

6,00

0,00

0iv

) Uje

nzi w

a B

ohar

i Kuu

ya

Daw

a-P

emba

1,00

0,00

02,

000,

000

2,00

0,00

0

2,

000,

000

v) U

jenz

i wa

Maa

bara

ya

Mam

laka

ya

Daw

a na

Vip

odoz

i1,

000,

000

2,10

0,00

02,

100,

000

2,10

0,00

0

vi) U

jenz

i wa

Hos

pita

l ya

Wag

onjw

a w

a A

kili

1,30

0,00

01,

400,

000

1,40

0,00

0

H

opel

and

Uni

vers

ity1,

400,

000

2,80

0,00

0vi

i) K

uim

aris

ha T

aasi

si y

a U

tafit

i wa

Afy

a2,

000,

000

2,00

0,00

0

2,

000,

000

WIZ

AR

A Y

A E

LIM

U N

A M

AFU

NZO

YA

AM

ALI

WIZ

AR

A Y

A A

FYA

Page

3 o

f 6

MA

KIS

IO Y

A

KA

WA

IDA

20

20/2

1

DH

IMA

20

20/2

1

JU

MLA

YA

M

AK

ISIO

YA

SM

Z 20

20/2

1 M

UH

ISA

NI

RU

ZUK

UM

IKO

POK

IFU

NG

UJI

NA

LA

PR

OG

RA

MU

/MR

AD

I

MA

KIS

IO

KW

A

MW

AK

A

2019

/202

0 SM

Z

MA

KIS

IO K

WA

MW

AK

A 2

020/

21 S

MZ

M

ICH

AN

GO

YA

WA

HIS

AN

I

JUM

LA Y

A

BA

JETI

Prog

ram

u ya

Mpa

ngo

wa

Kur

asim

isha

Ras

ilim

ali

na B

iash

ara

za W

anyo

nge

Tanz

ania

(MK

UR

AB

ITA

)50

0,00

055

0,00

055

0,00

0

UR

T10

0,00

0

650,

000

Mpa

ngo

wa

Kuh

uish

a U

chum

i (ER

P)7,

000,

000

7,00

0,00

0

7,

000,

000

Mira

di0

i) K

upun

guza

Um

asik

ini n

a U

fuat

iliaji

wa

SD

Gs

230,

000

150,

000

150,

000

15

0,00

0ii)

Ura

tibu

na U

sim

amiz

i wa

Mal

engo

na

Mae

ndel

eo

End

elev

u (S

DG

s) n

a M

KU

ZA II

I20

,000

100,

000

100,

000

U

ND

P80

1,15

090

1,15

0iii)

Kuo

anis

ha M

asua

la y

a Id

adi y

a W

atu

katik

a A

fya

ya

Uza

zi, J

insi

a na

Kup

ungu

za U

mas

ikin

i-

UN

FPA

286,

000

286,

000

iv) U

ende

leza

ji w

a Ta

kwim

u Za

nzib

ar (Z

SD

P)

UN

- W

OM

EN

/ A

DB

/EU

/ U

NIC

EF/

U

NFP

A3,

321,

700

3,32

1,70

0iv

) Kue

ndel

eza

Tafit

i na

Ubu

nifu

500,

000

500,

000

50

0,00

0JU

MLA

YA

FU

NG

U75

0,00

01,

300,

000

7,00

0,00

08,

300,

000

4,50

8,85

00

12,8

08,8

50L0

1Pr

ogra

mu

ya U

mw

agili

aji

1,00

0,00

019

,900

,000

19,9

00,0

00

K

OR

EA

47,1

93,4

6467

,093

,464

Prog

ram

u ya

Kus

aidi

a K

ilim

o na

Uha

kika

wa

Cha

kula

(ER

PP)

80,0

00-

WB

2,21

0,52

22,

210,

522

Prog

ram

u ya

Kui

mar

isha

Uvu

vii)

Uim

aris

haji

Uvu

vi w

a B

ahar

i Kuu

1,40

0,00

02,

000,

000

2,00

0,00

0

JI

CA

12,1

51,9

0714

,151

,907

ii) K

uim

aris

ha U

fuga

ji w

a M

azao

ya

Bah

arin

i20

0,00

0-

FAO

/ K

OR

EA

736,

479

736,

479

Mira

di

i) M

radi

wa

Usi

mam

izi w

a S

hugh

uli z

a U

vuvi

wa

Kan

da

ya K

usin

i Mas

harik

i mw

a B

ahar

i ya

Hin

di (S

WIO

FIS

H)

50,0

00-

WO

RLD

B

AN

K8,

651,

376

8,65

1,37

6

ii) M

radi

wa

Mae

ndel

eo y

a K

ilimo

na U

vuvi

IFA

D2,

141,

198

2,14

1,19

8iii.

Kue

ndel

eza

miu

ndom

binu

ya

Mifu

go n

a W

afug

aji

Wad

ogo

Wad

ogo

1,00

0,00

0-

0iv

. Kue

ndel

eza

Uta

fiti w

a M

ifugo

1,20

0,00

01,

000,

000

1,00

0,00

0

1,

000,

000

v) M

radi

wa

Kud

hibi

ti N

zi w

a M

atun

da10

0,00

010

0,00

0

IITA

120,

000

220,

000

vi) K

udhi

biti

Sum

u K

uvu

inay

otok

ana

na U

laji

wa

Mah

indi

na

Nju

guA

fDB

931,

698

931,

698

vii)

Uhi

fadh

i wa

Mis

itu k

wa

Faid

a za

Kiu

chum

iU

ND

P3,

801,

497

3,80

1,49

7vi

ii) K

ilimo

cha

Kus

hajih

isha

Uku

lima

wa

Mbo

ga M

boga

na

Mat

unda

ED

F-E

U5,

602,

995

5,60

2,99

5

JUM

LA Y

A F

UN

GU

4,93

0,00

010

0,00

022

,900

,000

23,0

00,0

00

24

,623

,400

58,9

17,7

3610

6,54

1,13

6R

01Pr

ogra

mu

ya M

azin

gira

Bor

a ya

Bia

shar

a20

0,00

030

0,00

0

300

,000

30

0,00

0

WIZ

AR

A Y

A K

ILIM

O,

MA

LIA

SILI

, MIF

UG

O N

A U

VUVI

WIZ

AR

A Y

A B

IASH

AR

A N

A V

IWA

ND

A

Page

2 o

f 6

MA

KIS

IO Y

A

KA

WA

IDA

20

20/2

1

DH

IMA

20

20/2

1

JU

MLA

YA

M

AK

ISIO

YA

SM

Z 20

20/2

1 M

UH

ISA

NI

RU

ZUK

UM

IKO

POK

IFU

NG

UJI

NA

LA

PR

OG

RA

MU

/MR

AD

I

MA

KIS

IO

KW

A

MW

AK

A

2019

/202

0 SM

Z

MA

KIS

IO K

WA

MW

AK

A 2

020/

21 S

MZ

M

ICH

AN

GO

YA

WA

HIS

AN

I

JUM

LA Y

A

BA

JETI

Prog

ram

u ya

Kue

ndel

eza

Viw

anda

2,00

0,00

0

-

0

i) U

imar

isha

ji w

a M

aene

o ya

Viw

anda

(Ind

urst

rial P

ark)

1,00

0,00

0

1

,000

,000

1,

000,

000

ii) K

uim

aris

ha v

iwan

da v

idog

o vi

dogo

na

vya

kati

(SM

IDA

)1,

000,

000

1,0

00,0

00

1,00

0,00

0iii)

Mra

di w

a K

uwas

aidi

a W

ajas

iriam

ali W

adog

o W

adog

o,W

akat

i na

Wak

ubw

a4,

500,

000

4,5

00,0

00

KH

ALI

FA

FUN

D4,

600,

000

9,10

0,00

0M

iradi

i)Kui

mar

isha

Taa

sisi

ya

Viw

ango

Zan

ziba

r2,

000,

000

3,00

0,00

0

3

,000

,000

3,

000,

000

ii) M

fum

o m

pya

wa

Uto

aji L

esen

i kw

a M

aend

eleo

ya

Sek

ta B

inaf

si40

0,00

040

0,00

0

400

,000

40

0,00

0JU

MLA

YA

FU

NG

U4,

600,

000

7,20

0,00

03,

000,

000

10,2

00,0

004,

600,

000

014

,800

,000

K01

Prog

ram

u ya

Kui

mar

isha

Miu

ndom

bnu

ya E

limu

1,50

0,00

01,

000,

000

1,0

00,0

00

1,00

0,00

0M

iradi

i) U

imar

isha

ji w

a E

limu

ya M

aand

aliz

i

-

G

PE

/ M

ILE

LE3,

253,

333

3,25

3,33

3

ii) U

imar

isha

ji w

a E

limu

ya M

sing

i

-

PC

D/

UN

ICE

F/

MIL

ELE

/ WB

252,

230

150,

000

402,

230

iii) U

imar

isha

ji w

a E

limu

ya L

azim

a3,

300,

000

3,50

0,00

0

3

,500

,000

BA

DE

A/

OP

EC

/ K

OIC

A/W

B2,

821,

521

8,48

5,00

014

,806

,521

iv) U

imar

isha

ji w

a E

limu

Mba

dala

na

Am

ali -

Aw

amu

ya

Pili

1,00

0,00

0

-

A

fDB

0JU

MLA

YA

FU

NG

U5,

800,

000

1,00

0,00

03,

500,

000

4,50

0,00

06,

327,

084

8,63

5,00

019

,462

,084

H01

Prog

ram

u ya

Kum

aliz

a M

alar

ia Z

anzi

bar

248,

000

248,

000

248,

000

P

MI/G

F5,

586,

365

5,83

4,36

5Pr

ogra

mu

ya K

uim

aris

ha M

iund

ombi

nu y

a A

fya

i) K

uipa

ndis

ha h

adhi

Hos

pita

li ya

Mna

zi M

moj

a2,

650,

000

1,50

0,00

01,

500,

000

1,50

0,00

0ii)

Kuz

ipan

dish

a ha

dhi H

ospi

tali

za W

ilaya

na

hosp

itali

za V

ijiji

4,25

0,00

05,

000,

000

5,00

0,00

0

5,

000,

000

iii) A

wam

u ya

Kw

anza

ya

ujen

zi w

a H

ospi

tal y

a R

ufaa

B

ingu

ni6,

500,

000

6,00

0,00

06,

000,

000

6,00

0,00

0iv

) Uje

nzi w

a B

ohar

i Kuu

ya

Daw

a-P

emba

1,00

0,00

02,

000,

000

2,00

0,00

0

2,

000,

000

v) U

jenz

i wa

Maa

bara

ya

Mam

laka

ya

Daw

a na

Vip

odoz

i1,

000,

000

2,10

0,00

02,

100,

000

2,10

0,00

0

vi) U

jenz

i wa

Hos

pita

l ya

Wag

onjw

a w

a A

kili

1,30

0,00

01,

400,

000

1,40

0,00

0

H

opel

and

Uni

vers

ity1,

400,

000

2,80

0,00

0vi

i) K

uim

aris

ha T

aasi

si y

a U

tafit

i wa

Afy

a2,

000,

000

2,00

0,00

0

2,

000,

000

WIZ

AR

A Y

A E

LIM

U N

A M

AFU

NZO

YA

AM

ALI

WIZ

AR

A Y

A A

FYA

Page

3 o

f 6

Page 87: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

79Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

MA

KIS

IO Y

A

KA

WA

IDA

20

20/2

1

DH

IMA

20

20/2

1

JU

MLA

YA

M

AK

ISIO

YA

SM

Z 20

20/2

1 M

UH

ISA

NI

RU

ZUK

UM

IKO

POK

IFU

NG

UJI

NA

LA

PR

OG

RA

MU

/MR

AD

I

MA

KIS

IO

KW

A

MW

AK

A

2019

/202

0 SM

Z

MA

KIS

IO K

WA

MW

AK

A 2

020/

21 S

MZ

M

ICH

AN

GO

YA

WA

HIS

AN

I

JUM

LA Y

A

BA

JETI

Prog

ram

u Sh

iriki

shi y

a A

fya

ya U

zazi

wa

Mam

a na

M

toto

700,

000

500,

000

500,

000

UN

FPA

/ W

HO

/ U

NIC

EF

9,57

4,37

210

,074

,372

Prog

ram

u ya

Kud

hibi

ti M

arad

hi y

a U

kim

wi,

Hom

a ya

Ini,

Kifu

a K

ikuu

na

Uko

ma

248,

000

248,

000

248,

000

G

F/TH

PS

/ U

NIC

EF

5,09

0,36

25,

338,

362

JUM

LA Y

A F

UN

GU

17,8

96,0

0011

,100

,000

9,89

6,00

020

,996

,000

21,6

51,0

980

42,6

47,0

98N

01Pr

ogra

mu

ya K

uim

aris

ha M

iund

ombi

nu y

a M

aji

Miji

ni2,

948,

000

Prog

ram

u ya

Usa

mba

zaji

Maj

i Viji

jini

3,86

3,00

0M

iradi

i) M

radi

wa

Uhu

isha

ji na

Uim

aris

haji

wa

Mfu

mo

wa

Usa

mba

zaji

Maj

i Zan

ziba

r (IN

DIA

)46

6,22

046

6,22

0

IND

IA67

,129

,316

67,5

95,5

36ii)

Kue

ndel

eza

Vis

ima

vya

Ras

el K

haim

ah4,

000,

000

4,00

0,00

0

4,

000,

000

iii) U

sam

baza

ji U

mem

e V

ijijin

i 65

0,70

050

0,00

050

0,00

0

500,

000

iv) M

radi

wa

Kui

fany

ia M

abad

iliko

Sek

ta y

a N

isha

ti (Z

ES

T)-

WO

RLD

B

AN

K17

,850

,000

17,8

50,0

00v)

Kuj

enga

Uw

ezo

na M

aten

gene

zo y

a M

iund

ombi

nu y

a U

mem

e Za

nzib

arN

OR

AD

3,50

0,00

03,

500,

000

JUM

LA Y

A F

UN

GU

7,46

1,70

050

0,00

04,

466,

220

4,96

6,22

0

3,

500,

000

84,9

79,3

1693

,445

,536

P01

Prog

ram

u ya

uje

nzi w

a ba

raba

rai)

Uje

nzi w

a ba

raba

ra y

a Tu

nguu

-Mak

undu

chi (

30km

) na

Cha

ke C

hake

- M

koan

i (31

km)

2,80

0,00

0-

0ii)

Uje

nzi w

a B

arab

ara

Ole

-Ken

geja

9,00

0,00

0-

0iii)

Uje

nzi w

a ba

raba

ra z

a K

izim

bani

-Kib

oje

(km

7.2)

na

Ju

mbi

-Koa

ni (k

m 6

.3)

2,00

0,00

02,

000,

000

2,00

0,00

0

B

AD

EA

2,00

0,00

0iv

) Uje

nzi w

a ba

raba

ra y

a C

hake

-Wet

e1,

000,

000

8,00

0,00

08,

000,

000

BA

DE

A8,

990,

000

16,9

90,0

00

v) U

jenz

i wa

Bar

abar

a za

Bub

ubu-

Mah

onda

- M

koko

toni

(3

1 km

), M

kwaj

uni-K

ijini (

9.4

km),

Pal

e K

iong

ele

- M

kwaj

uni (

4.6

km),

Mat

emw

e - M

uyun

i (7.

6 km

), Fu

oni -

K

ombe

ni (k

m 8

.6) n

a B

ubub

u P

olis

i - C

huin

i (km

3)4,

000,

000

1,50

0,00

0

1,

500,

000

AfD

B8,

334,

300

9,83

4,30

0vi

) Uje

nzi w

a B

arab

ara

ya J

ozan

i-Cha

raw

e-U

kong

oron

i (k

m 2

3)3,

000,

000

2,00

0,00

0

2,

000,

000

2,00

0,00

0vi

i) U

jenz

i wa

Bar

abar

a ya

Kito

gani

- P

aje,

Mah

onda

- D

onge

- M

koko

toni

, Kin

yasi

ni -

Kiw

engw

a na

Dun

ga -

Chw

aka

400,

000

2,

000,

000

2,00

0,00

0

2,

000,

000

viii)

Uje

nzi w

a D

araj

a la

Uzi

- N

g'am

bwa

5,00

0,00

0

5,

000,

000

5,00

0,00

0ix

) Uje

nzi w

a B

arab

ara

ya F

umba

- K

isau

ni (1

2 km

)1,

000,

000

1,00

0,00

0

1,

000,

000

Prog

ram

u ya

Kui

mar

isha

Viw

anja

vya

Nde

gei)

Uje

nzi w

a Je

ngo

Jipy

a la

Abi

ria Z

anzi

bar

61,0

30,0

005,

500,

000

5,50

0,00

0

12

4,58

6,07

313

0,08

6,07

3

WIZ

AR

A Y

A A

RD

HI,

NY

UM

BA

, MA

JI N

A N

ISH

ATI

WIZ

AR

A Y

A U

JEN

ZI, M

AW

ASI

LIA

NO

NA

USA

FIR

ISH

AJI

Page

4 o

f 6

MA

KIS

IO Y

A

KA

WA

IDA

20

20/2

1

DH

IMA

20

20/2

1

JU

MLA

YA

M

AK

ISIO

YA

SM

Z 20

20/2

1 M

UH

ISA

NI

RU

ZUK

UM

IKO

POK

IFU

NG

UJI

NA

LA

PR

OG

RA

MU

/MR

AD

I

MA

KIS

IO

KW

A

MW

AK

A

2019

/202

0 SM

Z

MA

KIS

IO K

WA

MW

AK

A 2

020/

21 S

MZ

M

ICH

AN

GO

YA

WA

HIS

AN

I

JUM

LA Y

A

BA

JETI

Prog

ram

u ya

Kue

ndel

eza

Viw

anda

2,00

0,00

0

-

0

i) U

imar

isha

ji w

a M

aene

o ya

Viw

anda

(Ind

urst

rial P

ark)

1,00

0,00

0

1

,000

,000

1,

000,

000

ii) K

uim

aris

ha v

iwan

da v

idog

o vi

dogo

na

vya

kati

(SM

IDA

)1,

000,

000

1,0

00,0

00

1,00

0,00

0iii)

Mra

di w

a K

uwas

aidi

a W

ajas

iriam

ali W

adog

o W

adog

o,W

akat

i na

Wak

ubw

a4,

500,

000

4,5

00,0

00

KH

ALI

FA

FUN

D4,

600,

000

9,10

0,00

0M

iradi

i)Kui

mar

isha

Taa

sisi

ya

Viw

ango

Zan

ziba

r2,

000,

000

3,00

0,00

0

3

,000

,000

3,

000,

000

ii) M

fum

o m

pya

wa

Uto

aji L

esen

i kw

a M

aend

eleo

ya

Sek

ta B

inaf

si40

0,00

040

0,00

0

400

,000

40

0,00

0JU

MLA

YA

FU

NG

U4,

600,

000

7,20

0,00

03,

000,

000

10,2

00,0

004,

600,

000

014

,800

,000

K01

Prog

ram

u ya

Kui

mar

isha

Miu

ndom

bnu

ya E

limu

1,50

0,00

01,

000,

000

1,0

00,0

00

1,00

0,00

0M

iradi

i) U

imar

isha

ji w

a E

limu

ya M

aand

aliz

i

-

G

PE

/ M

ILE

LE3,

253,

333

3,25

3,33

3

ii) U

imar

isha

ji w

a E

limu

ya M

sing

i

-

PC

D/

UN

ICE

F/

MIL

ELE

/ WB

252,

230

150,

000

402,

230

iii) U

imar

isha

ji w

a E

limu

ya L

azim

a3,

300,

000

3,50

0,00

0

3

,500

,000

BA

DE

A/

OP

EC

/ K

OIC

A/W

B2,

821,

521

8,48

5,00

014

,806

,521

iv) U

imar

isha

ji w

a E

limu

Mba

dala

na

Am

ali -

Aw

amu

ya

Pili

1,00

0,00

0

-

A

fDB

0JU

MLA

YA

FU

NG

U5,

800,

000

1,00

0,00

03,

500,

000

4,50

0,00

06,

327,

084

8,63

5,00

019

,462

,084

H01

Prog

ram

u ya

Kum

aliz

a M

alar

ia Z

anzi

bar

248,

000

248,

000

248,

000

P

MI/G

F5,

586,

365

5,83

4,36

5Pr

ogra

mu

ya K

uim

aris

ha M

iund

ombi

nu y

a A

fya

i) K

uipa

ndis

ha h

adhi

Hos

pita

li ya

Mna

zi M

moj

a2,

650,

000

1,50

0,00

01,

500,

000

1,50

0,00

0ii)

Kuz

ipan

dish

a ha

dhi H

ospi

tali

za W

ilaya

na

hosp

itali

za V

ijiji

4,25

0,00

05,

000,

000

5,00

0,00

0

5,

000,

000

iii) A

wam

u ya

Kw

anza

ya

ujen

zi w

a H

ospi

tal y

a R

ufaa

B

ingu

ni6,

500,

000

6,00

0,00

06,

000,

000

6,00

0,00

0iv

) Uje

nzi w

a B

ohar

i Kuu

ya

Daw

a-P

emba

1,00

0,00

02,

000,

000

2,00

0,00

0

2,

000,

000

v) U

jenz

i wa

Maa

bara

ya

Mam

laka

ya

Daw

a na

Vip

odoz

i1,

000,

000

2,10

0,00

02,

100,

000

2,10

0,00

0

vi) U

jenz

i wa

Hos

pita

l ya

Wag

onjw

a w

a A

kili

1,30

0,00

01,

400,

000

1,40

0,00

0

H

opel

and

Uni

vers

ity1,

400,

000

2,80

0,00

0vi

i) K

uim

aris

ha T

aasi

si y

a U

tafit

i wa

Afy

a2,

000,

000

2,00

0,00

0

2,

000,

000

WIZ

AR

A Y

A E

LIM

U N

A M

AFU

NZO

YA

AM

ALI

WIZ

AR

A Y

A A

FYA

Page

3 o

f 6

MA

KIS

IO Y

A

KA

WA

IDA

20

20/2

1

DH

IMA

20

20/2

1

JU

MLA

YA

M

AK

ISIO

YA

SM

Z 20

20/2

1 M

UH

ISA

NI

RU

ZUK

UM

IKO

POK

IFU

NG

UJI

NA

LA

PR

OG

RA

MU

/MR

AD

I

MA

KIS

IO

KW

A

MW

AK

A

2019

/202

0 SM

Z

MA

KIS

IO K

WA

MW

AK

A 2

020/

21 S

MZ

M

ICH

AN

GO

YA

WA

HIS

AN

I

JUM

LA Y

A

BA

JETI

Prog

ram

u Sh

iriki

shi y

a A

fya

ya U

zazi

wa

Mam

a na

M

toto

700,

000

500,

000

500,

000

UN

FPA

/ W

HO

/ U

NIC

EF

9,57

4,37

210

,074

,372

Prog

ram

u ya

Kud

hibi

ti M

arad

hi y

a U

kim

wi,

Hom

a ya

Ini,

Kifu

a K

ikuu

na

Uko

ma

248,

000

248,

000

248,

000

G

F/TH

PS

/ U

NIC

EF

5,09

0,36

25,

338,

362

JUM

LA Y

A F

UN

GU

17,8

96,0

0011

,100

,000

9,89

6,00

020

,996

,000

21,6

51,0

980

42,6

47,0

98N

01Pr

ogra

mu

ya K

uim

aris

ha M

iund

ombi

nu y

a M

aji

Miji

ni2,

948,

000

Prog

ram

u ya

Usa

mba

zaji

Maj

i Viji

jini

3,86

3,00

0M

iradi

i) M

radi

wa

Uhu

isha

ji na

Uim

aris

haji

wa

Mfu

mo

wa

Usa

mba

zaji

Maj

i Zan

ziba

r (IN

DIA

)46

6,22

046

6,22

0

IND

IA67

,129

,316

67,5

95,5

36ii)

Kue

ndel

eza

Vis

ima

vya

Ras

el K

haim

ah4,

000,

000

4,00

0,00

0

4,

000,

000

iii) U

sam

baza

ji U

mem

e V

ijijin

i 65

0,70

050

0,00

050

0,00

0

500,

000

iv) M

radi

wa

Kui

fany

ia M

abad

iliko

Sek

ta y

a N

isha

ti (Z

ES

T)-

WO

RLD

B

AN

K17

,850

,000

17,8

50,0

00v)

Kuj

enga

Uw

ezo

na M

aten

gene

zo y

a M

iund

ombi

nu y

a U

mem

e Za

nzib

arN

OR

AD

3,50

0,00

03,

500,

000

JUM

LA Y

A F

UN

GU

7,46

1,70

050

0,00

04,

466,

220

4,96

6,22

0

3,

500,

000

84,9

79,3

1693

,445

,536

P01

Prog

ram

u ya

uje

nzi w

a ba

raba

rai)

Uje

nzi w

a ba

raba

ra y

a Tu

nguu

-Mak

undu

chi (

30km

) na

Cha

ke C

hake

- M

koan

i (31

km)

2,80

0,00

0-

0ii)

Uje

nzi w

a B

arab

ara

Ole

-Ken

geja

9,00

0,00

0-

0iii)

Uje

nzi w

a ba

raba

ra z

a K

izim

bani

-Kib

oje

(km

7.2)

na

Ju

mbi

-Koa

ni (k

m 6

.3)

2,00

0,00

02,

000,

000

2,00

0,00

0

B

AD

EA

2,00

0,00

0iv

) Uje

nzi w

a ba

raba

ra y

a C

hake

-Wet

e1,

000,

000

8,00

0,00

08,

000,

000

BA

DE

A8,

990,

000

16,9

90,0

00

v) U

jenz

i wa

Bar

abar

a za

Bub

ubu-

Mah

onda

- M

koko

toni

(3

1 km

), M

kwaj

uni-K

ijini (

9.4

km),

Pal

e K

iong

ele

- M

kwaj

uni (

4.6

km),

Mat

emw

e - M

uyun

i (7.

6 km

), Fu

oni -

K

ombe

ni (k

m 8

.6) n

a B

ubub

u P

olis

i - C

huin

i (km

3)4,

000,

000

1,50

0,00

0

1,

500,

000

AfD

B8,

334,

300

9,83

4,30

0vi

) Uje

nzi w

a B

arab

ara

ya J

ozan

i-Cha

raw

e-U

kong

oron

i (k

m 2

3)3,

000,

000

2,00

0,00

0

2,

000,

000

2,00

0,00

0vi

i) U

jenz

i wa

Bar

abar

a ya

Kito

gani

- P

aje,

Mah

onda

- D

onge

- M

koko

toni

, Kin

yasi

ni -

Kiw

engw

a na

Dun

ga -

Chw

aka

400,

000

2,

000,

000

2,00

0,00

0

2,

000,

000

viii)

Uje

nzi w

a D

araj

a la

Uzi

- N

g'am

bwa

5,00

0,00

0

5,

000,

000

5,00

0,00

0ix

) Uje

nzi w

a B

arab

ara

ya F

umba

- K

isau

ni (1

2 km

)1,

000,

000

1,00

0,00

0

1,

000,

000

Prog

ram

u ya

Kui

mar

isha

Viw

anja

vya

Nde

gei)

Uje

nzi w

a Je

ngo

Jipy

a la

Abi

ria Z

anzi

bar

61,0

30,0

005,

500,

000

5,50

0,00

0

12

4,58

6,07

313

0,08

6,07

3

WIZ

AR

A Y

A A

RD

HI,

NY

UM

BA

, MA

JI N

A N

ISH

ATI

WIZ

AR

A Y

A U

JEN

ZI, M

AW

ASI

LIA

NO

NA

USA

FIR

ISH

AJI

Page

4 o

f 6

Page 88: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

80Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

MA

KIS

IO Y

A

KA

WA

IDA

20

20/2

1

DH

IMA

20

20/2

1

JU

MLA

YA

M

AK

ISIO

YA

SM

Z 20

20/2

1 M

UH

ISA

NI

RU

ZUK

UM

IKO

POK

IFU

NG

UJI

NA

LA

PR

OG

RA

MU

/MR

AD

I

MA

KIS

IO

KW

A

MW

AK

A

2019

/202

0 SM

Z

MA

KIS

IO K

WA

MW

AK

A 2

020/

21 S

MZ

M

ICH

AN

GO

YA

WA

HIS

AN

I

JUM

LA Y

A

BA

JETI

ii) U

jenz

i wa

Uw

anja

wa

Nde

ge w

a P

emba

1,00

0,00

01,

000,

000

1,00

0,00

0M

iradi

i) U

jenz

i wa

Ban

dari

ya M

piga

duri

3,00

0,00

05,

000,

000

5,00

0,00

0

5,

000,

000

ii) U

nunu

zi w

a La

nd C

raft

1,90

0,00

02,

500,

000

2,50

0,00

0

2,

500,

000

JUM

LA Y

A F

UN

GU

88,1

30,0

0025

,000

,000

10,5

00,0

0035

,500

,000

014

1,91

0,37

317

7,41

0,37

3Q

01Pr

ogra

mu

ya K

uim

aris

ha J

insi

ai)

Usa

wa

wa

Kijin

sia

na K

uwaw

ezes

ha W

anaw

ake

UN

-Wom

en18

0,00

018

0,00

0ii)

Mra

di w

a Ji

nsia

UN

FPA

470,

628

470,

628

Mira

dii)

Mra

di w

a H

ifadh

i ya

waz

ee40

0,00

01,

100,

000

1,1

00,0

00

1,10

0,00

0ii)

Mra

di w

a U

jenz

i wa

Kitu

o ch

a K

ulea

na

Kut

otol

ea

Waj

asiri

amal

i (In

cuba

tor)

600,

000

1,00

0,00

0

1

,000

,000

1,

000,

000

iii) M

radi

wa

Hifa

dhi y

a Ja

mii

UN

ICE

F12

1,00

012

1,00

0iv

) Mra

di w

a H

ifadh

i ya

Wat

oto

UN

ICE

F38

7,52

338

7,52

3JU

MLA

YA

FU

NG

U1,

000,

000

2,10

0,00

00

2,10

0,00

01,

159,

151

03,

259,

151

G10

i) M

radi

wa

Usi

mam

izi w

a U

patik

anaj

i wa

Hak

i40

0,00

01,

500,

000

1,50

0,00

0

1,

500,

000

JUM

LA Y

A F

UN

GU

400,

000

1,50

0,00

00

1,50

0,00

0

0

01,

500,

000

i) U

jenz

i wa

Kitu

o ch

a M

afun

zo y

a S

heria

na

Uta

fiti

600,

000

600,

000

60

0,00

0JU

MLA

YA

FU

NG

U60

0,00

060

0,00

0

600,

000

E06

Prog

ram

u ya

Mag

euzi

ya

Utu

mis

hi w

a U

mm

a - I

I20

0,00

040

0,00

040

0,00

0

400,

000

Mra

dii)

Zanz

ibar

E-g

over

nmen

t Opt

ical

Tra

nsm

issi

on

Com

mun

icat

ion

Net

wor

k P

hase

II10

0,00

0-

0JU

MLA

YA

FU

NG

U30

0,00

040

0,00

00

400,

000

00

400,

000

E05

ii) U

jenz

i wa

Ofis

i ya

ZAE

CA

800,

000

1,00

0,00

01,

000,

000

1,00

0,00

0JU

MLA

YA

FU

NG

U80

0,00

01,

000,

000

01,

000,

000

00

1,00

0,00

0J0

1Pr

ogra

mu

Mju

mui

sho

ya K

uend

elez

a U

talii

2,40

0,00

0

2,

700,

000

2,70

0,00

0

2,

700,

000

M

iradi

i) U

jenz

i wa

Jeng

o la

Ofis

i na

Stu

dio

za R

edio

Mka

njun

i-P

emba

1,50

0,00

0

1,

400,

000

1,40

0,00

0

1,

400,

000

JU

MLA

YA

FU

NG

U3,

900,

000

4,10

0,00

0

-

4,10

0,00

0

-

-

4,10

0,00

0

J02

G04

MK

UR

UG

ENZI

WA

MA

SHTA

KA

KA

MIS

HEN

I YA

UTA

LII

WIZ

AR

A Y

A H

AB

AR

I, U

TALI

I NA

MA

MB

O Y

A K

ALE

WIZ

AR

A Y

A K

AZI

, UW

EZES

HA

JI,

WA

ZEE,

WA

NA

WA

KE

NA

WA

TOTO

OFI

SI Y

A R

AIS

- K

ATI

BA

NA

SH

ERIA

OFI

SI Y

A R

AIS

- U

TUM

ISH

I WA

UM

MA

NA

UTA

WA

LA B

OR

A

MA

MLA

KA

YA

KU

ZUIA

RU

SHW

A N

A U

HU

JUM

U W

A U

CH

UM

I

Page

5 o

f 6

MA

KIS

IO Y

A

KA

WA

IDA

20

20/2

1

DH

IMA

20

20/2

1

JU

MLA

YA

M

AK

ISIO

YA

SM

Z 20

20/2

1 M

UH

ISA

NI

RU

ZUK

UM

IKO

POK

IFU

NG

UJI

NA

LA

PR

OG

RA

MU

/MR

AD

I

MA

KIS

IO

KW

A

MW

AK

A

2019

/202

0 SM

Z

MA

KIS

IO K

WA

MW

AK

A 2

020/

21 S

MZ

M

ICH

AN

GO

YA

WA

HIS

AN

I

JUM

LA Y

A

BA

JETI

Prog

ram

u Sh

iriki

shi y

a A

fya

ya U

zazi

wa

Mam

a na

M

toto

700,

000

500,

000

500,

000

UN

FPA

/ W

HO

/ U

NIC

EF

9,57

4,37

210

,074

,372

Prog

ram

u ya

Kud

hibi

ti M

arad

hi y

a U

kim

wi,

Hom

a ya

Ini,

Kifu

a K

ikuu

na

Uko

ma

248,

000

248,

000

248,

000

G

F/TH

PS

/ U

NIC

EF

5,09

0,36

25,

338,

362

JUM

LA Y

A F

UN

GU

17,8

96,0

0011

,100

,000

9,89

6,00

020

,996

,000

21,6

51,0

980

42,6

47,0

98N

01Pr

ogra

mu

ya K

uim

aris

ha M

iund

ombi

nu y

a M

aji

Miji

ni2,

948,

000

Prog

ram

u ya

Usa

mba

zaji

Maj

i Viji

jini

3,86

3,00

0M

iradi

i) M

radi

wa

Uhu

isha

ji na

Uim

aris

haji

wa

Mfu

mo

wa

Usa

mba

zaji

Maj

i Zan

ziba

r (IN

DIA

)46

6,22

046

6,22

0

IND

IA67

,129

,316

67,5

95,5

36ii)

Kue

ndel

eza

Vis

ima

vya

Ras

el K

haim

ah4,

000,

000

4,00

0,00

0

4,

000,

000

iii) U

sam

baza

ji U

mem

e V

ijijin

i 65

0,70

050

0,00

050

0,00

0

500,

000

iv) M

radi

wa

Kui

fany

ia M

abad

iliko

Sek

ta y

a N

isha

ti (Z

ES

T)-

WO

RLD

B

AN

K17

,850

,000

17,8

50,0

00v)

Kuj

enga

Uw

ezo

na M

aten

gene

zo y

a M

iund

ombi

nu y

a U

mem

e Za

nzib

arN

OR

AD

3,50

0,00

03,

500,

000

JUM

LA Y

A F

UN

GU

7,46

1,70

050

0,00

04,

466,

220

4,96

6,22

0

3,

500,

000

84,9

79,3

1693

,445

,536

P01

Prog

ram

u ya

uje

nzi w

a ba

raba

rai)

Uje

nzi w

a ba

raba

ra y

a Tu

nguu

-Mak

undu

chi (

30km

) na

Cha

ke C

hake

- M

koan

i (31

km)

2,80

0,00

0-

0ii)

Uje

nzi w

a B

arab

ara

Ole

-Ken

geja

9,00

0,00

0-

0iii)

Uje

nzi w

a ba

raba

ra z

a K

izim

bani

-Kib

oje

(km

7.2)

na

Ju

mbi

-Koa

ni (k

m 6

.3)

2,00

0,00

02,

000,

000

2,00

0,00

0

B

AD

EA

2,00

0,00

0iv

) Uje

nzi w

a ba

raba

ra y

a C

hake

-Wet

e1,

000,

000

8,00

0,00

08,

000,

000

BA

DE

A8,

990,

000

16,9

90,0

00

v) U

jenz

i wa

Bar

abar

a za

Bub

ubu-

Mah

onda

- M

koko

toni

(3

1 km

), M

kwaj

uni-K

ijini (

9.4

km),

Pal

e K

iong

ele

- M

kwaj

uni (

4.6

km),

Mat

emw

e - M

uyun

i (7.

6 km

), Fu

oni -

K

ombe

ni (k

m 8

.6) n

a B

ubub

u P

olis

i - C

huin

i (km

3)4,

000,

000

1,50

0,00

0

1,

500,

000

AfD

B8,

334,

300

9,83

4,30

0vi

) Uje

nzi w

a B

arab

ara

ya J

ozan

i-Cha

raw

e-U

kong

oron

i (k

m 2

3)3,

000,

000

2,00

0,00

0

2,

000,

000

2,00

0,00

0vi

i) U

jenz

i wa

Bar

abar

a ya

Kito

gani

- P

aje,

Mah

onda

- D

onge

- M

koko

toni

, Kin

yasi

ni -

Kiw

engw

a na

Dun

ga -

Chw

aka

400,

000

2,

000,

000

2,00

0,00

0

2,

000,

000

viii)

Uje

nzi w

a D

araj

a la

Uzi

- N

g'am

bwa

5,00

0,00

0

5,

000,

000

5,00

0,00

0ix

) Uje

nzi w

a B

arab

ara

ya F

umba

- K

isau

ni (1

2 km

)1,

000,

000

1,00

0,00

0

1,

000,

000

Prog

ram

u ya

Kui

mar

isha

Viw

anja

vya

Nde

gei)

Uje

nzi w

a Je

ngo

Jipy

a la

Abi

ria Z

anzi

bar

61,0

30,0

005,

500,

000

5,50

0,00

0

12

4,58

6,07

313

0,08

6,07

3

WIZ

AR

A Y

A A

RD

HI,

NY

UM

BA

, MA

JI N

A N

ISH

ATI

WIZ

AR

A Y

A U

JEN

ZI, M

AW

ASI

LIA

NO

NA

USA

FIR

ISH

AJI

Page

4 o

f 6

MA

KIS

IO Y

A

KA

WA

IDA

20

20/2

1

DH

IMA

20

20/2

1

JU

MLA

YA

M

AK

ISIO

YA

SM

Z 20

20/2

1 M

UH

ISA

NI

RU

ZUK

UM

IKO

POK

IFU

NG

UJI

NA

LA

PR

OG

RA

MU

/MR

AD

I

MA

KIS

IO

KW

A

MW

AK

A

2019

/202

0 SM

Z

MA

KIS

IO K

WA

MW

AK

A 2

020/

21 S

MZ

M

ICH

AN

GO

YA

WA

HIS

AN

I

JUM

LA Y

A

BA

JETI

ii) U

jenz

i wa

Uw

anja

wa

Nde

ge w

a Pe

mba

1,00

0,00

01,

000,

000

1,00

0,00

0M

iradi

i) U

jenz

i wa

Band

ari y

a M

piga

duri

3,00

0,00

05,

000,

000

5,00

0,00

0

5,

000,

000

ii) U

nunu

zi w

a La

nd C

raft

1,90

0,00

02,

500,

000

2,50

0,00

0

2,

500,

000

JUM

LA Y

A F

UN

GU

88,1

30,0

0025

,000

,000

10,5

00,0

0035

,500

,000

014

1,91

0,37

317

7,41

0,37

3Q

01Pr

ogra

mu

ya K

uim

aris

ha J

insi

ai)

Usa

wa

wa

Kijin

sia

na K

uwaw

ezes

ha W

anaw

ake

UN

-Wom

en18

0,00

018

0,00

0ii)

Mra

di w

a Ji

nsia

UN

FPA

470,

628

470,

628

Mira

dii)

Mra

di w

a H

ifadh

i ya

waz

ee40

0,00

01,

100,

000

1,1

00,0

00

1,10

0,00

0ii)

Mra

di w

a U

jenz

i wa

Kitu

o ch

a Ku

lea

na K

utot

olea

W

ajas

iriam

ali (

Incu

bato

r)60

0,00

01,

000,

000

1,0

00,0

00

1,00

0,00

0iii)

Mra

di w

a H

ifadh

i ya

Jam

iiU

NIC

EF12

1,00

012

1,00

0iv

) Mra

di w

a H

ifadh

i ya

Wat

oto

UN

ICEF

387,

523

387,

523

JUM

LA Y

A F

UN

GU

1,00

0,00

02,

100,

000

02,

100,

000

1,15

9,15

10

3,25

9,15

1G

10i)

Mra

di w

a U

sim

amiz

i wa

Upa

tikan

aji w

a H

aki

400,

000

1,50

0,00

01,

500,

000

1,50

0,00

0JU

MLA

YA

FU

NG

U40

0,00

01,

500,

000

01,

500,

000

00

1,50

0,00

0

i) U

jenz

i wa

Kitu

o ch

a M

afun

zo y

a S

heria

na

Uta

fiti

600,

000

600,

000

60

0,00

0JU

MLA

YA

FU

NG

U60

0,00

060

0,00

0

600,

000

E06

Prog

ram

u ya

Mag

euzi

ya

Utu

mis

hi w

a U

mm

a - I

I20

0,00

040

0,00

040

0,00

0

400,

000

Mra

dii)

Zanz

ibar

E-g

over

nmen

t Opt

ical

Tra

nsm

issi

on

Com

mun

icat

ion

Net

wor

k Ph

ase

II10

0,00

0-

0JU

MLA

YA

FU

NG

U30

0,00

040

0,00

00

400,

000

00

400,

000

E05

ii) U

jenz

i wa

Ofis

i ya

ZAEC

A80

0,00

01,

000,

000

1,00

0,00

0

1,

000,

000

JUM

LA Y

A F

UN

GU

800,

000

1,00

0,00

00

1,00

0,00

00

01,

000,

000

J01

Prog

ram

u M

jum

uish

o ya

Kue

ndel

eza

Uta

lii2,

400,

000

2,70

0,00

0

2,

700,

000

2,70

0,00

0

Mira

dii)

Uje

nzi w

a Je

ngo

la O

fisi n

a St

udio

za

Red

io M

kanj

uni-

Pem

ba1,

500,

000

1,40

0,00

0

1,

400,

000

1,40

0,00

0

JUM

LA Y

A F

UN

GU

3,90

0,00

0

4,

100,

000

-

4,

100,

000

-

-

4,

100,

000

J0

2

G04

MK

UR

UG

ENZI

WA

MA

SHTA

KA

KA

MIS

HEN

I YA

UTA

LII

WIZ

AR

A Y

A H

AB

AR

I, U

TALI

I NA

MA

MB

O Y

A K

ALE

WIZ

AR

A Y

A K

AZI

, UW

EZES

HA

JI,

WA

ZEE,

WA

NA

WA

KE

NA W

ATO

TO

OFI

SI Y

A R

AIS

- K

ATI

BA

NA

SH

ERIA

OFI

SI Y

A R

AIS

- U

TUM

ISH

I WA

UM

MA

NA

UTA

WA

LA B

OR

A

MA

MLA

KA

YA

KU

ZUIA

RU

SHW

A N

A U

HU

JUM

U W

A U

CH

UM

I

Page

5 o

f 6

Page 89: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

81Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

MAK

ISIO

YA

KAW

AIDA

20

20/2

1

DHIM

A 20

20/2

1

JUM

LA Y

A M

AKIS

IO Y

A SM

Z 20

20/2

1 M

UHIS

ANI

RUZ

UKU

MIK

OPO

KIF

UNG

UJI

NA L

A PR

OG

RAM

U/M

RAD

I

MAK

ISIO

K

WA

MW

AKA

2019

/202

0 SM

Z

MAK

ISIO

KW

A M

WAK

A 20

20/2

1 SM

Z

MIC

HANG

O Y

A W

AHIS

ANI

JUM

LA Y

A BA

JETI

Kuim

aris

ha U

talii

kwa

Wot

e1,

500,

000

2,00

0,00

0

2,

000,

000

2,00

0,00

0

JUM

LA Y

A FU

NGU

1,50

0,00

0

2,

000,

000

-

2,

000,

000

-

-

2,

000,

000

S0

1Pr

ogra

mu

ya A

jira

kwa

Vija

na2,

000,

000

2,00

0,00

0

2,

000,

000

2,00

0,00

0

Mira

dii)

Uje

nzi w

a Vi

wan

ja v

ya M

iche

zo v

ya W

ilaya

2,00

0,00

0

2,

500,

000

2,50

0,00

0

2,

500,

000

JU

MLA

YA

FUNG

U4,

000,

000

2,50

0,00

0

2,

000,

000

4,50

0,00

0

-

-

4,50

0,00

0

D01

Prog

ram

u ya

Uga

tuzi

wa

Mas

uala

ya

Elim

u1,

110,

000

1,00

0,00

0

1

,000

,000

M

ILEL

E/

GPE

/ PC

D2,

896,

230

3,89

6,23

0M

IRAD

Ii)

Uw

ekaj

i wa

Kam

era

na V

ifaa

vya

Ulin

zi7,

000,

000

8,00

0,00

0

8

,000

,000

8,

000,

000

ii) U

jenz

i wa

Kiw

anda

cha

Ush

oni (

ZQTL

)4,

500,

000

2,50

0,00

0

2

,500

,000

2,

500,

000

JUM

LA Y

A FU

NGU

12,6

10,0

003,

500,

000

8,00

0,00

0

11,

500,

000

2,89

6,23

00

14,3

96,2

30D

12i)

Mra

di w

a Ku

imar

isha

Mfu

mo

wa

Usa

jili w

a Vi

zazi

na

Vifo

1,00

0,00

01,

000,

000

1,0

00,0

00

1,00

0,00

0JU

MLA

YA

FUNG

U1,

000,

000

1,00

0,00

0

-

1,00

0,00

0

-

-

1,00

0,00

0

D04

i) Ku

imar

isha

Hud

uma

za U

zam

iaji

na U

okoz

i

2,9

00,0

00

4,80

0,00

0

4

,800

,000

4

,800

,000

ii) U

jenz

i na

Uka

raba

ti w

a Ka

mbi

na

Nyu

mba

za

KMKM

1

,000

,000

700,

000

7

00,0

00

7

00,0

00

JUM

LA Y

A FU

NGU

3,90

0,00

05,

500,

000

0

5

,500

,000

0

05,

500,

000

D06

i) U

jenz

i wa

Nyu

mba

na

Mah

anga

ya

Maa

skar

i50

0,00

01,

500,

000

1,5

00,0

00

1,50

0,00

0JU

MLA

YA

FUNG

U50

0,00

01,

500,

000

0

1

,500

,000

-

-

1,50

0,00

0D

03i)

Uje

nzi w

a N

yum

ba z

a M

akaa

zi n

a M

ahan

ga1,

000,

000

1,50

0,00

01,

500,

000

1,50

0,00

0JU

MLA

YA

FUNG

U1,

000,

000

1,50

0,00

00

1,50

0,00

0

0

01,

500,

000

D02

i) U

jenz

i wa

Skul

i ya

Seko

ndar

i na

Ufu

ndi -

Mto

ni3,

000,

000

2,50

0,00

02,

500,

000

2,50

0,00

0ii)

Uje

nzi w

a M

ajen

go y

a Ka

mbi

za

JKU

50

0,00

02,

000,

000

2,00

0,00

0

2,

000,

000

JUM

LA Y

A FU

NGU

3,50

0,00

04,

500,

000

04,

500,

000

00

4,50

0,00

0D

05U

jenz

i wa

Mah

anga

na

Nyu

mba

za

Maa

skar

i50

0,00

02,

500,

000

2,50

0,00

0

2,

500,

000

JUM

LA Y

A FU

NGU

500,

000

2,50

0,00

00

2,50

0,00

0

2,

500,

000

JUM

LA K

UBW

A18

2,40

0,00

086

,570

,000

110,

762,

220

197,

332,

220

72,1

63,3

7834

0,49

5,42

060

9,99

1,01

8

JUM

LA Y

A FE

DHA

ZA W

AHIS

ANI

JESH

I LA

KUJ

ENG

A UC

HUM

I

KIK

OSI

CHA

ZIM

AMO

TO N

A UO

KO

ZI

412,

658,

798

WIZ

ARA

YA V

IJAN

A, U

TAM

ADUN

I, SA

NAA

NA M

ICHE

ZO

OFI

SI Y

A R

AIS

TAW

ALA

ZA M

IKO

A, S

ERIK

ALI Z

A M

ITAA

NA

IDAR

A M

AALU

M Z

A SM

Z

WAK

ALA

WA

USAJ

ILI W

A M

ATUK

IO Y

A K

IJAM

II ZA

NZIB

AR

KIK

OSI

MAA

LUM

CHA

KUZ

UIA

MAG

ENDO

(KM

KM

)

KIK

OSI

CHA

VAL

ANTI

A

CHU

O C

HA M

AFUN

ZO

Page

6 o

f 6

MA

KIS

IO Y

A

KA

WA

IDA

20

20/2

1

DH

IMA

20

20/2

1

JU

MLA

YA

M

AK

ISIO

YA

SM

Z 20

20/2

1 M

UH

ISA

NI

RU

ZUK

UM

IKO

POK

IFU

NG

UJI

NA

LA

PR

OG

RA

MU

/MR

AD

I

MA

KIS

IO

KW

A

MW

AK

A

2019

/202

0 SM

Z

MA

KIS

IO K

WA

MW

AK

A 2

020/

21 S

MZ

M

ICH

AN

GO

YA

WA

HIS

AN

I

JUM

LA Y

A

BA

JETI

ii) U

jenz

i wa

Uw

anja

wa

Nde

ge w

a Pe

mba

1,00

0,00

01,

000,

000

1,00

0,00

0M

iradi

i) U

jenz

i wa

Band

ari y

a M

piga

duri

3,00

0,00

05,

000,

000

5,00

0,00

0

5,

000,

000

ii) U

nunu

zi w

a La

nd C

raft

1,90

0,00

02,

500,

000

2,50

0,00

0

2,

500,

000

JUM

LA Y

A F

UN

GU

88,1

30,0

0025

,000

,000

10,5

00,0

0035

,500

,000

014

1,91

0,37

317

7,41

0,37

3Q

01Pr

ogra

mu

ya K

uim

aris

ha J

insi

ai)

Usa

wa

wa

Kijin

sia

na K

uwaw

ezes

ha W

anaw

ake

UN

-Wom

en18

0,00

018

0,00

0ii)

Mra

di w

a Ji

nsia

UN

FPA

470,

628

470,

628

Mira

dii)

Mra

di w

a H

ifadh

i ya

waz

ee40

0,00

01,

100,

000

1,1

00,0

00

1,10

0,00

0ii)

Mra

di w

a U

jenz

i wa

Kitu

o ch

a Ku

lea

na K

utot

olea

W

ajas

iriam

ali (

Incu

bato

r)60

0,00

01,

000,

000

1,0

00,0

00

1,00

0,00

0iii)

Mra

di w

a H

ifadh

i ya

Jam

iiU

NIC

EF12

1,00

012

1,00

0iv

) Mra

di w

a H

ifadh

i ya

Wat

oto

UN

ICEF

387,

523

387,

523

JUM

LA Y

A F

UN

GU

1,00

0,00

02,

100,

000

02,

100,

000

1,15

9,15

10

3,25

9,15

1G

10i)

Mra

di w

a U

sim

amiz

i wa

Upa

tikan

aji w

a H

aki

400,

000

1,50

0,00

01,

500,

000

1,50

0,00

0JU

MLA

YA

FU

NG

U40

0,00

01,

500,

000

01,

500,

000

00

1,50

0,00

0

i) U

jenz

i wa

Kitu

o ch

a M

afun

zo y

a S

heria

na

Uta

fiti

600,

000

600,

000

60

0,00

0JU

MLA

YA

FU

NG

U60

0,00

060

0,00

0

600,

000

E06

Prog

ram

u ya

Mag

euzi

ya

Utu

mis

hi w

a U

mm

a - I

I20

0,00

040

0,00

040

0,00

0

400,

000

Mra

dii)

Zanz

ibar

E-g

over

nmen

t Opt

ical

Tra

nsm

issi

on

Com

mun

icat

ion

Net

wor

k Ph

ase

II10

0,00

0-

0JU

MLA

YA

FU

NG

U30

0,00

040

0,00

00

400,

000

00

400,

000

E05

ii) U

jenz

i wa

Ofis

i ya

ZAEC

A80

0,00

01,

000,

000

1,00

0,00

0

1,

000,

000

JUM

LA Y

A F

UN

GU

800,

000

1,00

0,00

00

1,00

0,00

00

01,

000,

000

J01

Prog

ram

u M

jum

uish

o ya

Kue

ndel

eza

Uta

lii2,

400,

000

2,70

0,00

0

2,

700,

000

2,70

0,00

0

Mira

dii)

Uje

nzi w

a Je

ngo

la O

fisi n

a St

udio

za

Red

io M

kanj

uni-

Pem

ba1,

500,

000

1,40

0,00

0

1,

400,

000

1,40

0,00

0

JUM

LA Y

A F

UN

GU

3,90

0,00

0

4,

100,

000

-

4,

100,

000

-

-

4,

100,

000

J0

2

G04

MK

UR

UG

ENZI

WA

MA

SHTA

KA

KA

MIS

HEN

I YA

UTA

LII

WIZ

AR

A Y

A H

AB

AR

I, U

TALI

I NA

MA

MB

O Y

A K

ALE

WIZ

AR

A Y

A K

AZI

, UW

EZES

HA

JI,

WA

ZEE,

WA

NA

WA

KE

NA W

ATO

TO

OFI

SI Y

A R

AIS

- K

ATI

BA

NA

SH

ERIA

OFI

SI Y

A R

AIS

- U

TUM

ISH

I WA

UM

MA

NA

UTA

WA

LA B

OR

A

MA

MLA

KA

YA

KU

ZUIA

RU

SHW

A N

A U

HU

JUM

U W

A U

CH

UM

I

Page

5 o

f 6

MAK

ISIO

YA

KAW

AIDA

20

20/2

1

DHIM

A 20

20/2

1

JUM

LA Y

A M

AKIS

IO Y

A SM

Z 20

20/2

1 M

UHIS

ANI

RUZ

UKU

MIK

OPO

KIF

UNG

UJI

NA L

A PR

OG

RAM

U/M

RAD

I

MAK

ISIO

K

WA

MW

AKA

2019

/202

0 SM

Z

MAK

ISIO

KW

A M

WAK

A 20

20/2

1 SM

Z

MIC

HANG

O Y

A W

AHIS

ANI

JUM

LA Y

A BA

JETI

Kuim

aris

ha U

talii

kwa

Wot

e1,

500,

000

2,00

0,00

0

2,

000,

000

2,00

0,00

0

JUM

LA Y

A FU

NGU

1,50

0,00

0

2,

000,

000

-

2,

000,

000

-

-

2,

000,

000

S0

1Pr

ogra

mu

ya A

jira

kwa

Vija

na2,

000,

000

2,00

0,00

0

2,

000,

000

2,00

0,00

0

Mira

dii)

Uje

nzi w

a Vi

wan

ja v

ya M

iche

zo v

ya W

ilaya

2,00

0,00

0

2,

500,

000

2,50

0,00

0

2,

500,

000

JU

MLA

YA

FUNG

U4,

000,

000

2,50

0,00

0

2,

000,

000

4,50

0,00

0

-

-

4,50

0,00

0

D01

Prog

ram

u ya

Uga

tuzi

wa

Mas

uala

ya

Elim

u1,

110,

000

1,00

0,00

0

1

,000

,000

M

ILEL

E/

GPE

/ PC

D2,

896,

230

3,89

6,23

0M

IRAD

Ii)

Uw

ekaj

i wa

Kam

era

na V

ifaa

vya

Ulin

zi7,

000,

000

8,00

0,00

0

8

,000

,000

8,

000,

000

ii) U

jenz

i wa

Kiw

anda

cha

Ush

oni (

ZQTL

)4,

500,

000

2,50

0,00

0

2

,500

,000

2,

500,

000

JUM

LA Y

A FU

NGU

12,6

10,0

003,

500,

000

8,00

0,00

0

11,

500,

000

2,89

6,23

00

14,3

96,2

30D

12i)

Mra

di w

a Ku

imar

isha

Mfu

mo

wa

Usa

jili w

a Vi

zazi

na

Vifo

1,00

0,00

01,

000,

000

1,0

00,0

00

1,00

0,00

0JU

MLA

YA

FUNG

U1,

000,

000

1,00

0,00

0

-

1,00

0,00

0

-

-

1,00

0,00

0

D04

i) Ku

imar

isha

Hud

uma

za U

zam

iaji

na U

okoz

i

2,9

00,0

00

4,80

0,00

0

4

,800

,000

4

,800

,000

ii) U

jenz

i na

Uka

raba

ti w

a Ka

mbi

na

Nyu

mba

za

KMKM

1

,000

,000

700,

000

7

00,0

00

7

00,0

00

JUM

LA Y

A FU

NGU

3,90

0,00

05,

500,

000

0

5

,500

,000

0

05,

500,

000

D06

i) U

jenz

i wa

Nyu

mba

na

Mah

anga

ya

Maa

skar

i50

0,00

01,

500,

000

1,5

00,0

00

1,50

0,00

0JU

MLA

YA

FUNG

U50

0,00

01,

500,

000

0

1

,500

,000

-

-

1,50

0,00

0D

03i)

Uje

nzi w

a N

yum

ba z

a M

akaa

zi n

a M

ahan

ga1,

000,

000

1,50

0,00

01,

500,

000

1,50

0,00

0JU

MLA

YA

FUNG

U1,

000,

000

1,50

0,00

00

1,50

0,00

0

0

01,

500,

000

D02

i) U

jenz

i wa

Skul

i ya

Seko

ndar

i na

Ufu

ndi -

Mto

ni3,

000,

000

2,50

0,00

02,

500,

000

2,50

0,00

0ii)

Uje

nzi w

a M

ajen

go y

a Ka

mbi

za

JKU

50

0,00

02,

000,

000

2,00

0,00

0

2,

000,

000

JUM

LA Y

A FU

NGU

3,50

0,00

04,

500,

000

04,

500,

000

00

4,50

0,00

0D

05U

jenz

i wa

Mah

anga

na

Nyu

mba

za

Maa

skar

i50

0,00

02,

500,

000

2,50

0,00

0

2,

500,

000

JUM

LA Y

A FU

NGU

500,

000

2,50

0,00

00

2,50

0,00

0

2,

500,

000

JUM

LA K

UBW

A18

2,40

0,00

086

,570

,000

110,

762,

220

197,

332,

220

72,1

63,3

7834

0,49

5,42

060

9,99

1,01

8

JUM

LA Y

A FE

DHA

ZA W

AHIS

ANI

JESH

I LA

KUJ

ENG

A UC

HUM

I

KIK

OSI

CHA

ZIM

AMO

TO N

A UO

KO

ZI

412,

658,

798

WIZ

ARA

YA V

IJAN

A, U

TAM

ADUN

I, SA

NAA

NA M

ICHE

ZO

OFI

SI Y

A R

AIS

TAW

ALA

ZA M

IKO

A, S

ERIK

ALI Z

A M

ITAA

NA

IDAR

A M

AALU

M Z

A SM

Z

WAK

ALA

WA

USAJ

ILI W

A M

ATUK

IO Y

A K

IJAM

II ZA

NZIB

AR

KIK

OSI

MAA

LUM

CHA

KUZ

UIA

MAG

ENDO

(KM

KM

)

KIK

OSI

CHA

VAL

ANTI

A

CHU

O C

HA M

AFUN

ZO

Page

6 o

f 6

Page 90: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

82Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

MAK

ISIO

YA

KAW

AIDA

20

20/2

1

DHIM

A 20

20/2

1

JUM

LA Y

A M

AKIS

IO Y

A SM

Z 20

20/2

1 M

UHIS

ANI

RUZ

UKU

MIK

OPO

KIF

UNG

UJI

NA L

A PR

OG

RAM

U/M

RAD

I

MAK

ISIO

K

WA

MW

AKA

2019

/202

0 SM

Z

MAK

ISIO

KW

A M

WAK

A 20

20/2

1 SM

Z

MIC

HANG

O Y

A W

AHIS

ANI

JUM

LA Y

A BA

JETI

Kuim

aris

ha U

talii

kwa

Wot

e1,

500,

000

2,00

0,00

0

2,

000,

000

2,00

0,00

0

JUM

LA Y

A FU

NGU

1,50

0,00

0

2,

000,

000

-

2,

000,

000

-

-

2,

000,

000

S0

1Pr

ogra

mu

ya A

jira

kwa

Vija

na2,

000,

000

2,00

0,00

0

2,

000,

000

2,00

0,00

0

Mira

dii)

Uje

nzi w

a Vi

wan

ja v

ya M

iche

zo v

ya W

ilaya

2,00

0,00

0

2,

500,

000

2,50

0,00

0

2,

500,

000

JU

MLA

YA

FUNG

U4,

000,

000

2,50

0,00

0

2,

000,

000

4,50

0,00

0

-

-

4,50

0,00

0

D01

Prog

ram

u ya

Uga

tuzi

wa

Mas

uala

ya

Elim

u1,

110,

000

1,00

0,00

0

1

,000

,000

M

ILEL

E/

GPE

/ PC

D2,

896,

230

3,89

6,23

0M

IRAD

Ii)

Uw

ekaj

i wa

Kam

era

na V

ifaa

vya

Ulin

zi7,

000,

000

8,00

0,00

0

8

,000

,000

8,

000,

000

ii) U

jenz

i wa

Kiw

anda

cha

Ush

oni (

ZQTL

)4,

500,

000

2,50

0,00

0

2

,500

,000

2,

500,

000

JUM

LA Y

A FU

NGU

12,6

10,0

003,

500,

000

8,00

0,00

0

11,

500,

000

2,89

6,23

00

14,3

96,2

30D

12i)

Mra

di w

a Ku

imar

isha

Mfu

mo

wa

Usa

jili w

a Vi

zazi

na

Vifo

1,00

0,00

01,

000,

000

1,0

00,0

00

1,00

0,00

0JU

MLA

YA

FUNG

U1,

000,

000

1,00

0,00

0

-

1,00

0,00

0

-

-

1,00

0,00

0

D04

i) Ku

imar

isha

Hud

uma

za U

zam

iaji

na U

okoz

i

2,9

00,0

00

4,80

0,00

0

4

,800

,000

4

,800

,000

ii) U

jenz

i na

Uka

raba

ti w

a Ka

mbi

na

Nyu

mba

za

KMKM

1

,000

,000

700,

000

7

00,0

00

7

00,0

00

JUM

LA Y

A FU

NGU

3,90

0,00

05,

500,

000

0

5

,500

,000

0

05,

500,

000

D06

i) U

jenz

i wa

Nyu

mba

na

Mah

anga

ya

Maa

skar

i50

0,00

01,

500,

000

1,5

00,0

00

1,50

0,00

0JU

MLA

YA

FUNG

U50

0,00

01,

500,

000

0

1

,500

,000

-

-

1,50

0,00

0D

03i)

Uje

nzi w

a N

yum

ba z

a M

akaa

zi n

a M

ahan

ga1,

000,

000

1,50

0,00

01,

500,

000

1,50

0,00

0JU

MLA

YA

FUNG

U1,

000,

000

1,50

0,00

00

1,50

0,00

0

0

01,

500,

000

D02

i) U

jenz

i wa

Skul

i ya

Seko

ndar

i na

Ufu

ndi -

Mto

ni3,

000,

000

2,50

0,00

02,

500,

000

2,50

0,00

0ii)

Uje

nzi w

a M

ajen

go y

a Ka

mbi

za

JKU

50

0,00

02,

000,

000

2,00

0,00

0

2,

000,

000

JUM

LA Y

A FU

NGU

3,50

0,00

04,

500,

000

04,

500,

000

00

4,50

0,00

0D

05U

jenz

i wa

Mah

anga

na

Nyu

mba

za

Maa

skar

i50

0,00

02,

500,

000

2,50

0,00

0

2,

500,

000

JUM

LA Y

A FU

NGU

500,

000

2,50

0,00

00

2,50

0,00

0

2,

500,

000

JUM

LA K

UBW

A18

2,40

0,00

086

,570

,000

110,

762,

220

197,

332,

220

72,1

63,3

7834

0,49

5,42

060

9,99

1,01

8

JUM

LA Y

A FE

DHA

ZA W

AHIS

ANI

JESH

I LA

KUJ

ENG

A UC

HUM

I

KIK

OSI

CHA

ZIM

AMO

TO N

A UO

KO

ZI

412,

658,

798

WIZ

ARA

YA V

IJAN

A, U

TAM

ADUN

I, SA

NAA

NA M

ICHE

ZO

OFI

SI Y

A R

AIS

TAW

ALA

ZA M

IKO

A, S

ERIK

ALI Z

A M

ITAA

NA

IDAR

A M

AALU

M Z

A SM

Z

WAK

ALA

WA

USAJ

ILI W

A M

ATUK

IO Y

A K

IJAM

II ZA

NZIB

AR

KIK

OSI

MAA

LUM

CHA

KUZ

UIA

MAG

ENDO

(KM

KM

)

KIK

OSI

CHA

VAL

ANTI

A

CHU

O C

HA M

AFUN

ZO

Page

6 o

f 6

MAK

ISIO

YA

KAW

AIDA

20

20/2

1

DHIM

A 20

20/2

1

JUM

LA Y

A M

AKIS

IO Y

A SM

Z 20

20/2

1 M

UHIS

ANI

RUZ

UKU

MIK

OPO

KIF

UNG

UJI

NA L

A PR

OG

RAM

U/M

RAD

I

MAK

ISIO

K

WA

MW

AKA

2019

/202

0 SM

Z

MAK

ISIO

KW

A M

WAK

A 20

20/2

1 SM

Z

MIC

HANG

O Y

A W

AHIS

ANI

JUM

LA Y

A BA

JETI

Kuim

aris

ha U

talii

kwa

Wot

e1,

500,

000

2,00

0,00

0

2,

000,

000

2,00

0,00

0

JUM

LA Y

A FU

NGU

1,50

0,00

0

2,

000,

000

-

2,

000,

000

-

-

2,

000,

000

S0

1Pr

ogra

mu

ya A

jira

kwa

Vija

na2,

000,

000

2,00

0,00

0

2,

000,

000

2,00

0,00

0

Mira

dii)

Uje

nzi w

a Vi

wan

ja v

ya M

iche

zo v

ya W

ilaya

2,00

0,00

0

2,

500,

000

2,50

0,00

0

2,

500,

000

JU

MLA

YA

FUNG

U4,

000,

000

2,50

0,00

0

2,

000,

000

4,50

0,00

0

-

-

4,50

0,00

0

D01

Prog

ram

u ya

Uga

tuzi

wa

Mas

uala

ya

Elim

u1,

110,

000

1,00

0,00

0

1

,000

,000

M

ILEL

E/

GPE

/ PC

D2,

896,

230

3,89

6,23

0M

IRAD

Ii)

Uw

ekaj

i wa

Kam

era

na V

ifaa

vya

Ulin

zi7,

000,

000

8,00

0,00

0

8

,000

,000

8,

000,

000

ii) U

jenz

i wa

Kiw

anda

cha

Ush

oni (

ZQTL

)4,

500,

000

2,50

0,00

0

2

,500

,000

2,

500,

000

JUM

LA Y

A FU

NGU

12,6

10,0

003,

500,

000

8,00

0,00

0

11,

500,

000

2,89

6,23

00

14,3

96,2

30D

12i)

Mra

di w

a Ku

imar

isha

Mfu

mo

wa

Usa

jili w

a Vi

zazi

na

Vifo

1,00

0,00

01,

000,

000

1,0

00,0

00

1,00

0,00

0JU

MLA

YA

FUNG

U1,

000,

000

1,00

0,00

0

-

1,00

0,00

0

-

-

1,00

0,00

0

D04

i) Ku

imar

isha

Hud

uma

za U

zam

iaji

na U

okoz

i

2,9

00,0

00

4,80

0,00

0

4

,800

,000

4

,800

,000

ii) U

jenz

i na

Uka

raba

ti w

a Ka

mbi

na

Nyu

mba

za

KMKM

1

,000

,000

700,

000

7

00,0

00

7

00,0

00

JUM

LA Y

A FU

NGU

3,90

0,00

05,

500,

000

0

5

,500

,000

0

05,

500,

000

D06

i) U

jenz

i wa

Nyu

mba

na

Mah

anga

ya

Maa

skar

i50

0,00

01,

500,

000

1,5

00,0

00

1,50

0,00

0JU

MLA

YA

FUNG

U50

0,00

01,

500,

000

0

1

,500

,000

-

-

1,50

0,00

0D

03i)

Uje

nzi w

a N

yum

ba z

a M

akaa

zi n

a M

ahan

ga1,

000,

000

1,50

0,00

01,

500,

000

1,50

0,00

0JU

MLA

YA

FUNG

U1,

000,

000

1,50

0,00

00

1,50

0,00

0

0

01,

500,

000

D02

i) U

jenz

i wa

Skul

i ya

Seko

ndar

i na

Ufu

ndi -

Mto

ni3,

000,

000

2,50

0,00

02,

500,

000

2,50

0,00

0ii)

Uje

nzi w

a M

ajen

go y

a Ka

mbi

za

JKU

50

0,00

02,

000,

000

2,00

0,00

0

2,

000,

000

JUM

LA Y

A FU

NGU

3,50

0,00

04,

500,

000

04,

500,

000

00

4,50

0,00

0D

05U

jenz

i wa

Mah

anga

na

Nyu

mba

za

Maa

skar

i50

0,00

02,

500,

000

2,50

0,00

0

2,

500,

000

JUM

LA Y

A FU

NGU

500,

000

2,50

0,00

00

2,50

0,00

0

2,

500,

000

JUM

LA K

UBW

A18

2,40

0,00

086

,570

,000

110,

762,

220

197,

332,

220

72,1

63,3

7834

0,49

5,42

060

9,99

1,01

8

JUM

LA Y

A FE

DHA

ZA W

AHIS

ANI

JESH

I LA

KUJ

ENG

A UC

HUM

I

KIK

OSI

CHA

ZIM

AMO

TO N

A UO

KO

ZI

412,

658,

798

WIZ

ARA

YA V

IJAN

A, U

TAM

ADUN

I, SA

NAA

NA M

ICHE

ZO

OFI

SI Y

A R

AIS

TAW

ALA

ZA M

IKO

A, S

ERIK

ALI Z

A M

ITAA

NA

IDAR

A M

AALU

M Z

A SM

Z

WAK

ALA

WA

USAJ

ILI W

A M

ATUK

IO Y

A K

IJAM

II ZA

NZIB

AR

KIK

OSI

MAA

LUM

CHA

KUZ

UIA

MAG

ENDO

(KM

KM

)

KIK

OSI

CHA

VAL

ANTI

A

CHU

O C

HA M

AFUN

ZO

Page

6 o

f 6

Page 91: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

83Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

MU

HIS

ANI

RU

ZUK

U M

KO

PO

PRO

GR

AMU

Prog

ram

u ya

Um

wag

iliaj

i1,

000,

000

19,9

00,0

00KO

REA

47,1

93,4

64

67

,093

,464

Prog

ram

u ya

Kus

aidi

a K

ilim

o na

Uha

kika

wa

Cha

kula

(ER

PP)

80,0

00W

B2,

210,

522

2,21

0,52

2

Prog

ram

u ya

Kue

ndel

eza

Miu

ndom

binu

ya

Kili

mo

2,20

0,00

0-

Prog

ram

u ya

Kui

mar

isha

Uvu

vi-

i) U

imar

isha

ji uv

uvi w

a ba

hari

kuu

1,40

0,00

02,

000,

000

JIC

A12

,151

,907

14

,151

,907

ii) K

uim

aris

ha u

fuga

ji w

a m

azao

ya

baha

rini

200,

000

FAO

/ KO

REA

736,

479

73

6,47

9

Pr

ogra

mu

ya M

azin

gira

Bor

a ya

Bia

shar

a20

0,00

030

0,00

030

0,00

0

Pr

ogra

mu

ya K

uend

elez

a Vi

wan

da2,

000,

000

-

i)

Uim

aris

haji

wa

Mae

neo

ya V

iwan

da (I

ndur

stria

l Par

k)1,

000,

000

1,00

0,00

0

ii) K

uim

aris

ha v

iwan

da v

idog

o vi

dogo

na

vya

kati

(SM

IDA)

1,00

0,00

01,

000,

000

iii)

Kuw

asai

dia

Waj

asiri

amal

i Wad

ogo

Wad

ogo,

Wak

ati n

a W

akub

wa

4,50

0,00

0KH

ALIF

A FU

ND

4,60

0,00

0

9,

100,

000

Pr

ogra

mu

Mju

mui

shi y

a K

uend

elez

a U

talii

2,40

0,00

0

2,70

0,00

0

2,70

0,00

0

Prog

ram

u ya

Uje

nzi w

a Ba

raba

ra-

i) U

jenz

i wa

Bara

bara

ya

Tung

uu-M

akun

duch

i (30

km) n

a C

hake

chak

e - M

koan

i (31

km)

2,80

0,00

0

-

ii)

Uje

nzi w

a Ba

raba

ra O

le-K

enge

ja9,

000,

000

-

iii)

Uje

nzi w

a ba

raba

ra z

a Ki

zim

bani

-Kib

oje

na J

umbi

-Koa

ni2,

000,

000

2,00

0,00

0BA

DEA

2,00

0,00

0

iv) U

jenz

i wa

bara

bara

ya

Cha

ke-W

ete

1,00

0,00

08,

000,

000

BAD

EA8,

990,

000

16,9

90,0

00

v)

Uje

nzi w

a Ba

raba

ra z

a Bu

bubu

-Mah

onda

- M

koko

toni

(31

km),

Mkw

ajun

i-Kijin

i (9.

4 km

), Pa

le K

iong

ele

- Mkw

ajun

i (4.

6 km

), M

atem

we

- Muy

uni (

7.6

km),

Fuon

i - K

ombe

ni (k

m 8

.6) n

a Bu

bubu

Po

lisi -

Chu

ini (

km3)

4,00

0,00

0

1,50

0,00

0

AfD

B8,

334,

300

9,83

4,30

0

vi) U

jenz

i wa

Bara

bara

ya

Joza

ni-C

hara

we-

Uko

ngor

oni (

km 2

3)3,

000,

000

2,

000,

000

2,

000,

000

vi

i) U

jenz

i wa

Bara

bara

ya

Kito

gani

- Pa

je, M

ahon

da -

Don

ge -

Mko

koto

ni, K

inya

sini

- Ki

wen

gwa

na D

unga

- C

hwak

a40

0,00

0

2,

000,

000

2,

000,

000

vi

ii) U

jenz

i wa

Dar

aja

la U

zi -

Ng'

ambw

a5,

000,

000

5,

000,

000

ix)

Uje

nzi w

a Ba

raba

ra y

a Fu

mba

- Ki

saun

i (12

km)

1,00

0,00

0

1,00

0,00

0

Prog

ram

u ya

Kui

mar

isha

Viw

anja

vya

Nde

ge-

i) U

jenz

i wa

Jeng

o Ji

pya

la A

biria

Zan

ziba

r61

,030

,000

5,50

0,00

0EX

IM C

HIN

A12

4,58

6,07

3

130,

086,

073

ii) U

jenz

i wa

Uw

anja

wa

Nde

ge w

a Pe

mba

1,00

0,00

01,

000,

000

M

pang

o w

a K

unus

uru

Kay

a M

asik

ini (

TASA

F III

)40

,000

50

,000

WB

21,5

47,9

95

21

,597

,995

Kia

mba

tisho

nam

ba 2

:

MG

AO W

A FE

DH

A PR

OG

RAM

U M

IRAD

I 202

0/20

21 K

IMAE

NEO

MAK

UU

YA

MAT

OK

EO T

ZS ("

000"

)

JIN

A LA

PR

OG

RAM

U/M

RAD

I

MAK

ISIO

KW

A M

WAK

A 20

19/2

020

SMZ

MAK

ISIO

KW

A M

WAK

A 20

20/2

021

SMZ

MC

HAN

GO

WA

MU

HIS

ANI

JU

MLA

YA

BAJE

TI

KR

A A:

KU

WEZ

ESH

A U

KU

AJI W

A U

CH

UM

I JU

MU

ISH

I NA

END

ELEV

U K

WA

SEK

TA K

UBW

A ZO

TE

Page

1 o

f 5

Page 92: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

84Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

MU

HIS

ANI

RU

ZUK

U M

KO

PO

JIN

A LA

PR

OG

RAM

U/M

RAD

I

MAK

ISIO

KW

A M

WAK

A 20

19/2

020

SMZ

MAK

ISIO

KW

A M

WAK

A 20

20/2

021

SMZ

MC

HAN

GO

WA

MU

HIS

ANI

JU

MLA

YA

BAJE

TI

Prog

ram

u ya

Mpa

ngo

wa

Kur

asim

isha

Ras

ilim

ali n

a Bi

asha

ra

za W

anyo

nge

Tanz

ania

(MK

UR

ABIT

A)50

0,00

055

0,00

0U

RT

100,

000

65

0,00

0

M

pang

o w

a K

uhui

sha

Uch

umi (

ERP)

7,00

0,00

07,

000,

000

M

IRAD

I-

i) U

sim

amiz

i wa

Shug

huli

za U

vuvi

wa

Kand

a ya

Kus

ini M

asha

riki

mw

a Ba

hari

ya H

indi

(SW

IOFI

SH)

50,0

00W

OR

LD B

ANK

8,65

1,37

6

8,

651,

376

ii)

Kui

mar

isha

Taa

sisi

ya

Viw

ango

Zan

ziba

r2,

000,

000

3,00

0,00

03,

000,

000

iii)

Uje

nzi w

a Ba

ndar

i ya

Mpi

gadu

ri3,

000,

000

5,00

0,00

05,

000,

000

iv

) Kup

ungu

za U

mas

ikin

i na

Ufu

atilia

ji w

a SD

Gs

230,

000

150,

000

150,

000

v) U

jenz

i wa

Kiw

anda

cha

Ush

oni (

ZQTL

)4,

500,

000

2,50

0,00

02,

500,

000

vi

) Kue

ndel

eza

Tafit

i na

Ubu

nifu

500,

000

500,

000

vii)

Zanz

ibar

E-g

over

nmen

t Opt

ical

Tra

nsim

issi

on C

omm

unic

atio

n N

etw

ork

Phas

e II

100,

000

-

vi

ii) U

nunu

zi w

a La

nd C

raft

1,90

0,00

02,

500,

000

2,50

0,00

0

ix) M

fum

o M

pya

wa

Uto

aji L

esen

i kw

a M

aend

eleo

ya

Sekt

a Bi

nafs

i40

0,00

040

0,00

040

0,00

0

x)

Kue

ndel

eza

Uta

fiti w

a M

ifugo

1,00

0,00

01,

000,

000

xi)

Kud

hibi

ti Su

mu

Kuvu

inay

otok

ana

na U

laji

wa

Mah

indi

na

Nju

gu

(TAN

IPAC

)Af

DB

931,

698

93

1,69

8

xii

) Uhi

fadh

i wa

Mis

itu k

wa

Faid

a za

Kiu

chum

iU

ND

P3,

801,

497

3,80

1,49

7

xiii)

Kilim

o ch

a Ku

shaj

ihis

ha U

kulim

a w

a M

boga

Mbo

ga n

a M

atun

daED

F-EU

5,60

2,99

5

5,

602,

995

xiv

) Kui

mar

isha

Uta

lii kw

a W

ote

1,50

0,00

02,

000,

000

2,00

0,00

0

xv) K

uend

elez

a Ba

ndar

i ya

Man

gapw

ani

4,00

0,00

0-

xvi)

Uim

aris

haji

wa

Mae

neo

Hur

u M

iche

wen

i Pem

ba1,

800,

000

1,80

0,00

0

xvii)

Mae

ndel

eo y

a Ki

limo

na U

vuvi

IFAD

2,14

1,19

8

2,

141,

198

xv

iii) K

udhi

biti

Nzi

wa

Mat

unda

100,

000

IITA

120,

000

22

0,00

0

JU

MLA

YA

KR

A11

0,93

0,00

0

85

,950

,000

-

29,3

23,4

00

222,

376,

104

33

7,64

9,50

4

PRO

GR

AMU

Prog

ram

u ya

Ajir

a kw

a Vi

jana

2,00

0,00

02,

000,

000

2,00

0,00

0

Prog

ram

u ya

Kui

mar

isha

Jin

sia

-

i)

Usa

wa

wa

Kijin

sia

na K

uwaw

ezes

ha W

anaw

ake

UN

-Wom

en18

0,00

0

180,

000

ii) M

radi

wa

Kijin

sia

UN

FPA

470,

628

47

0,62

8

M

IRAD

Ii)

Uim

aris

haji

wa

Elim

u M

bada

la n

a Am

ali -

Aw

amu

ya P

ili1,

000,

000

-

ii) U

jenz

i wa

Kitu

o ch

a Ku

lea

na K

utot

olea

Waj

asiri

amal

i (In

cuba

tor)

600,

000

1,00

0,00

01,

000,

000

JU

MLA

YA

KR

A3,

600,

000

3,00

0,00

065

0,62

80

3,65

0,62

8

KR

A B:

KU

KU

ZA U

WEZ

O W

A W

ATU

Page

2 o

f 5

Page 93: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

85Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

MU

HIS

ANI

RU

ZUK

U M

KO

PO

JIN

A LA

PR

OG

RAM

U/M

RAD

I

MAK

ISIO

KW

A M

WAK

A 20

19/2

020

SMZ

MAK

ISIO

KW

A M

WAK

A 20

20/2

021

SMZ

MC

HAN

GO

WA

MU

HIS

ANI

JU

MLA

YA

BAJE

TI

PRO

GR

AMU

Prog

ram

u ya

Uku

zaji

Uch

umi J

umui

shi Z

anzi

bar (

BIG

- Z)

WB

19,9

64,0

00

19

,964

,000

Prog

ram

u ya

Kum

aliz

a M

alar

ia Z

anzi

bar

248,

000

248,

000

PM

I/GF

5,58

6,36

5

5,

834,

365

Pr

ogra

mu

ya K

uim

aris

ha M

uind

ombi

nu y

a Af

ya-

i) Ku

ipan

dish

a ha

dhi H

ospi

tali

ya M

nazi

Mm

oja

2,65

0,00

01,

500,

000

1,50

0,00

0

ii) K

uzip

andi

sha

Had

hi h

ospi

tali

za W

ilaya

na

Hos

pita

li za

Vijij

4,25

0,00

05,

000,

000

5,00

0,00

0

iii) A

wam

u ya

Kw

anza

ya

ujen

zi w

a H

ospi

tali

ya R

ufaa

Bin

guni

6,50

0,00

06,

000,

000

6,00

0,00

0

iv) U

jenz

i wa

Boha

ri Ku

u ya

Daw

a-Pe

mba

1,00

0,00

02,

000,

000

2,00

0,00

0

v) U

jenz

i wa

Maa

bara

ya

Mam

laka

ya

Daw

a na

Vip

odoz

i1,

000,

000

2,10

0,00

02,

100,

000

vi

) Uje

nzi w

a H

ospi

tal y

a W

agon

jwa

wa

Akili

1,30

0,00

01,

400,

000

Hop

elan

d U

n1,

400,

000

2,80

0,00

0

vii)

Kuim

aris

ha T

aasi

si y

a U

tafit

i wa

Afya

2,00

0,00

02,

000,

000

Prog

ram

u ya

Shi

rikis

hi y

a Af

ya y

a U

zazi

wa

Mam

a na

Mto

to70

0,00

050

0,00

0U

NFP

A/ W

HO

/G

F9,

574,

372

10,0

74,3

72

Pr

ogra

mu

ya K

udhi

biti

Mar

adhi

ya

UK

IMW

I, H

oma

ya In

i, K

ifua

Kik

uu n

a U

kom

a24

8,00

024

8,00

0G

F/TH

PS5,

090,

362

5,33

8,36

2

Prog

ram

u ya

Kui

mar

isha

Miu

ndom

binu

ya

Maj

i2,

948,

000

-

Pr

ogra

mu

ya U

sam

baza

ji M

aji V

ijijn

i3,

863,

000

-

Pr

ogra

mu

ya K

uim

aris

ha M

iund

ombi

nu y

a El

imu

1,50

0,00

01,

000,

000

1,00

0,00

0

Prog

ram

u ya

Uga

tuzi

wa

Mas

uala

ya

Elim

u1,

110,

000

1,00

0,00

0M

ILEL

E/ G

PE/

PCD

2,89

6,23

0

3,

896,

230

M

IRAD

I-

i) Ku

jeng

a U

wez

o w

a Ku

kabi

liana

na

Maa

faU

ND

P18

6,00

0

186,

000

ii) U

imar

isha

ji w

a El

imu

ya M

aand

aliz

iG

PE/ M

ILEL

E/

SID

A3,

253,

333

3,25

3,33

3

ii) U

imar

isha

ji w

a El

imu

ya M

sing

i

GPE

/SID

A/

UN

ICEF

/ U

SAID

/ PC

D/O

FID

/M

ZF/W

B25

2,23

015

0,00

040

2,23

0

iii) U

imar

isha

ji w

a El

imu

ya L

azim

a3,

300,

000

3,50

0,00

0

BAD

EA/ O

PEC

/ KO

REA

/WB/

M

ZF2,

821,

521

8,48

5,00

014

,806

,521

iv) K

uend

elez

a Vi

sim

a vy

a R

as e

l Kha

imah

4,00

0,00

04,

000,

000

v) U

huis

haji

na U

imar

isha

ji w

a M

fum

o w

a U

sam

baza

ji M

aji Z

anzi

bar

466,

220

IND

IA67

,129

,316

67,5

95,5

36

vi

) Usa

mba

zaji

Um

eme

Vijij

ini

650,

700

500,

000

500,

000

vii)

Zanz

ibar

Ene

rgy

Sect

or T

rans

form

atio

n Pr

ojec

t (ZE

ST)

WB

17,8

50,0

00

17

,850

,000

KR

A C

: KU

TOA

HU

DU

MA

BOR

A K

WA

WO

TE

Page

3 o

f 5

Page 94: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

86Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

MU

HIS

ANI

RU

ZUK

U M

KO

PO

JIN

A LA

PR

OG

RAM

U/M

RAD

I

MAK

ISIO

KW

A M

WAK

A 20

19/2

020

SMZ

MAK

ISIO

KW

A M

WAK

A 20

20/2

021

SMZ

MC

HAN

GO

WA

MU

HIS

ANI

JU

MLA

YA

BAJE

TI

viii)

Kuj

enga

Uw

ezo

na M

aten

gene

zo y

a M

iund

ombi

nu y

a U

mem

e Za

nzib

arN

OR

AD3,

500,

000

3,50

0,00

0

ix) U

hifa

dhi H

aki z

a W

atot

oU

NIC

EF38

7,52

3

387,

523

x) H

ifadh

i ya

Jam

iiU

NIC

EF12

1,00

0

121,

000

xi) K

uim

aris

ha H

udum

a za

Uza

mia

ji na

Uok

ozi

2,90

0,00

04,

800,

000

4,80

0,00

0

xii) U

jenz

i wa

Viw

anja

vya

Mic

hezo

vya

Wila

ya2,

000,

000

2,50

0,00

02,

500,

000

xii

i) U

jenz

i wa

Skul

i ya

Seko

ndar

i na

Ufu

ndi -

Mto

ni3,

000,

000

2,50

0,00

02,

500,

000

xiv

) Uim

aris

haji

wa

Taar

ifa n

a U

sala

ma

wa

Mfu

mo

wa

Usa

jili1,

000,

000

1,00

0,00

01,

000,

000

xv

) Hifa

dhi y

a W

azee

400,

000

1,10

0,00

01,

100,

000

JU

MLA

YA

KR

A40

,567

,700

43,3

62,2

20

35

,068

,935

11

3,57

8,31

6

192,

009,

471

MIR

ADI

i) Ku

imar

isha

Usi

mam

izi w

a M

azin

gira

, M

alia

sili

na M

abad

iliko

ya

Tabi

anch

i-Zan

ziba

r30

0,00

030

0,00

0U

ND

P28

9,80

0

589,

800

JUM

LA Y

A K

RA

350,

000

300,

000

965,

712

01,

265,

712

PRO

GR

AMU

Prog

ram

u ya

Uje

nzi w

a Af

isi z

a Se

rikal

i Za

nzib

ar10

,002

,300

19,5

00,0

0019

,500

,000

Prog

ram

u ya

Uje

nzi w

a M

iji M

ipya

20,0

00,0

0020

,000

,000

Prog

ram

u ya

Upa

tikan

aji R

asili

mal

i Fed

ha30

0,00

0-

Prog

ram

u ya

Mag

euzi

Kat

ika

Usi

mam

izi w

a Fe

dha

(PFM

RP)

NO

RW

AY1,

639,

026

1,63

9,02

6

Prog

ram

u ya

Mag

euzi

ya

Utu

mis

hi w

a U

mm

a - I

I20

0,00

040

0,00

0W

B40

0,00

0

M

IRAD

Ii)

Uim

aris

haji

Nyu

mba

za

Vion

gozi

na

Nyu

mba

za

Serik

ali

2,00

0,00

01,

500,

000

1,50

0,00

0

ii) U

wek

aji K

amer

a na

Vifa

a vy

a U

linzi

7,00

0,00

08,

000,

000

8,00

0,00

0

iii) K

uim

aris

ha U

taw

ala

Bora

Aw

amu

ya T

atu

100,

000

-

iv

) Kuo

anis

ha M

asua

la y

a Id

adi y

a W

atu

katik

a Af

ya y

a U

zazi

, Ji

nsia

na

Kupu

nguz

a U

mas

ikin

iU

NFP

A28

6,00

0

286,

000

v) U

imar

isha

ji w

a R

asilim

ali z

a N

dani

na

Usi

mam

izi w

a M

alia

sili

50,0

0010

0,00

0Af

DB

4,54

1,00

0

4,

641,

000

vi

) Uje

nzi w

a N

yum

ba y

a M

akam

u w

a Pi

li w

a R

ais

350,

000

-

vi

i) U

jenz

i na

Uka

raba

ti w

a Ka

mbi

na

Nyu

mba

za

KMKM

1,00

0,00

070

0,00

070

0,00

0

vi

ii) U

jenz

i wa

Nyu

mba

za

Mak

aazi

na

Mah

anga

za

Kiko

si c

ha

Maf

unzo

1,00

0,00

01,

500,

000

1,50

0,00

0

ix) M

radi

wa

Kuje

nga

Uw

ezo

Taas

isi z

a Se

rikal

i50

,000

20,0

00U

ND

P10

6,82

6

126,

826

x) U

ratib

u na

Usi

mam

izi w

a M

alen

go n

a M

aend

eleo

End

elev

u (S

DG

s) n

a M

KUZA

III

20,0

00

100,

000

UN

DP

801,

150

90

1,15

0

xi)

Uje

nzi w

a O

fisi y

a ZA

ECA

800,

000

1,00

0,00

01,

000,

000

KR

A D

: KU

WEP

O M

AZIN

GIR

A EN

DEL

EVU

NA

UH

IMIL

I WA

MAB

ADIL

IKO

YA

TABI

A N

CH

I

KR

A E:

KU

SHIK

AMAN

A N

A M

ISIN

GI Y

A U

TAW

ALA

BOR

A

Page

4 o

f 5

Page 95: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

87Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

MU

HIS

ANI

RU

ZUK

U M

KO

PO

JIN

A LA

PR

OG

RAM

U/M

RAD

I

MAK

ISIO

KW

A M

WAK

A 20

19/2

020

SMZ

MAK

ISIO

KW

A M

WAK

A 20

20/2

021

SMZ

MC

HAN

GO

WA

MU

HIS

ANI

JU

MLA

YA

BAJE

TI

xii) U

jenz

i wa

Nyu

mba

na

Mah

anga

ya

Kiko

si c

ha V

alan

tia50

0,00

01,

500,

000

1,50

0,00

0

xiii)

Uje

nzi w

a M

ajen

go y

a Ka

mbi

za

JKU

500,

000

2,00

0,00

02,

000,

000

xv

i) U

jenz

i wa

Mah

anga

na

Nyu

mba

za

Maa

skar

i wa

KZU

500,

000

2,50

0,00

02,

500,

000

xv

) Uje

nzi w

a Ki

tuo

cha

Tiba

na

Mar

ekeb

isho

ya

Tabi

a68

0,00

01,

900,

000

1,90

0,00

0

xvi)

Usi

mam

izi w

a U

patik

anaj

i wa

Hak

i40

0,00

01,

500,

000

1,50

0,00

0

xvii)

Uje

nzi w

a Je

ngo

la O

fisi n

a St

udio

za

Red

io M

kanj

uni -

Pem

ba1,

500,

000

1,40

0,00

01,

400,

000

xv

iii) U

jenz

i wa

Kitu

o ch

a M

afun

zo y

a Sh

eria

na

Uta

fiti

600,

000

600,

000

xix)

Uen

dele

zaji

wa

Takw

imu

Zanz

ibar

(ZSD

P)U

N- W

OM

EN/

ADB/

EU/

UN

ICEF

/ U

NFP

A3,

321,

700

3,32

1,70

0

xx) M

tand

ao w

a U

ingi

zaji

wa

Taar

ifa z

a Ba

jeti

500,

000

500,

000

JUM

LA Y

A K

RA

26,9

52,3

0064

,720

,000

6,15

4,70

24,

541,

000

75,4

15,7

02JU

MLA

KU

BWA

182,

400,

000

197,

332,

220

72,1

63,3

7834

0,49

5,42

060

9,99

1,01

8JU

MLA

YA

FED

HA

ZA W

AHIS

ANI

412,

658,

798

Page

5 o

f 5

Page 96: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

88Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

KIFUNGU JINA LA PROGRAMU/MRADI MAKISIO KWA

MWAKA 2019/20 SMZ

MAKISIO KWA MWAKA 2020/21

SMZ

i) Ujenzi wa Nyumba ya Makamu wa Pili wa Rais 350,000 JUMLA YA FUNGU 350,000 -

Programu ya Upatikanaji Rasilimali Fedha 300,000JUMLA YA FUNGU 300,000 0

Programu ya Kuimarisha Uvuvii) Uimarishaji Uvuvi wa Bahari Kuu 1,400,000 2,000,000

JUMLA YA FUNGU 1,400,000 2,000,000

i) Kuimarisha Taasisi ya Viwango Zanzibar 2,000,000 3,000,000JUMLA YA FUNGU 2,000,000 3,000,000

i) Uimarishaji wa Elimu Mbadala na Amali - Awamu ya Pili 1,000,000

JUMLA YA FUNGU 1,000,000 0

Programu ya Kuimarisha Miundombinu ya Afyai) Ujenzi wa Hospital ya Rufaa Binguni (Awamu ya Kwanza) 6,000,000 6,000,000

JUMLA YA FUNGU 6,000,000 6,000,000

i) Kuendeleza Visima vya Ras el Khaimah 3,000,000 2,000,000ii) Usambazaji Umeme Vijijini 650,000 500,000

JUMLA YA FUNGU 3,650,000 2,500,000

Programu ya Ujenzi wa Barabarai) Ujenzi wa Barabara ya Chake Chake-Wete 1,000,000ii) Ujenzi wa Barabara za Ole- Kengeja 5,600,000iii) Ujenzi wa Daraja la Uzi-Ng'ambwa 5,000,000Mradii) Ununuzi wa Land Craft 1,900,000 2,400,000

JUMLA YA FUNGU 8,500,000 7,400,000

Ujenzi wa Ofisi ya ZAECA 800,000 1,000,000JUMLA YA FUNGU 800,000 1,000,000

Kuimarisha Utalii kwa Wote 1,500,000 2,000,000JUMLA YA FUNGU 1,500,000 2,000,000

WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI

WIZARA YA AFYA

WIZARA YA ARDHI, NYUMBA, MAJI NA NISHATI

WIZARA YA UJENZI, MAWASILIANO NA USAFIRISHAJI

MAMLAKA YA KUZUIA RUSHWA NA UHUJUMU WA UCHUMI

KAMISHENI YA UTALII

WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA

Kiambatisho namba 3: PROGRAMU/MIRADI YA MAENDELEO CHINI YA MFUKO WA MIUNDOMBINU (INFRASTRUCTURE

FUND) TZS "000"

OFISI YA MAKAMO WA PILI WA RAIS

WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO

WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI

C01

F01

L01

R01

K01

H01

N01

P01

G07

J02

Page 1 of 2

Page 97: MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI 2020 NA MPANGO WA …planningznz.go.tz/doc/new/mwelekeo wa hali ya uchumi 2020-2021.pdf · mikuu ya Kitaifa inayomaliza muda wake wa utekelezaji 2020 ambayo

89Mwelekeo wa Uchumi 2020 na Mpango wa Maendeleo 2020/21

KIFUNGU JINA LA PROGRAMU/MRADI MAKISIO KWA

MWAKA 2019/20 SMZ

MAKISIO KWA MWAKA 2020/21

SMZ

Ujenzi wa Viwanja vya Michezo vya Wilaya 2,000,000 2,500,000JUMLA YA FUNGU 2,000,000 2,500,000

i) Uwekaji wa Kamera na Vifaa vya Ulinzi 7,000,000 8,000,000ii) Ujenzi wa Kiwanda cha Ushoni (ZQTL) 3,600,000 1,400,000

JUMLA YA FUNGU 10,600,000 9,400,000

i) Ujenzi wa Skuli ya Sekondari na Ufundi - Mtoni 2,000,000 JUMLA YA FUNGU 0 2,000,000

i) Kuimarisha Huduma za Uzamiaji na Uokozi 2,900,000 4,800,000 JUMLA YA FUNGU 2,900,000 4,800,000

i) Ununuzi wa Vifaa vya Zimamoto 1,600,000 JUMLA YA FUNGU 0 1,600,000

JUMLA KUBWA 41,000,000 44,200,000

WIZARA YA VIJANA, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO

OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA, SERIKALI ZA MITAA NA IDARA MAALUM ZA SMZ

KIKOSI CHA ZIMAMOTO NA UOKOZI

KIKOSI MAALUM CHA KUZUIA MAGENDO (KMKM)

JESHI LA KUJENGA UCHUMI

D05

S01

D01

D02

D04

Page 2 of 2