6
u ZID UZI wa

u ZID wa4. Kuanzisha utaratibu wa hifadhi na usimamizi ... Mkurano huo ulipitia waraka huo na kuehagua mfumo wa utekelezaji na ... pamoja na mambo ya kisayansi, sheria, uehurni, elimu

  • Upload
    others

  • View
    15

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

u •ZID

•U Z I wa

\!1Jill uill~ ~ill

--~------

WakunJgenzi wa sekm mbalimbali wakichambutl maswa!JJya [CM katika mojawapoya mikutano yamaaruktliziya Mkakati wa ICM

Maandalizi va MAJUKUMUMAKUU YA ICM

Mkakati wa Taifa wa Hifadhi na UsimamiziKamilifu wa Mazingira ya Pwani (ICM)umeundwa katika maumbile na mfumo

unaotoa fursa za utekelezaji wa vitendo halisiambavyo vinapimika. Hii ni kutokana na muundowa utekelezaji wa mkakati huo unaotoa fursakwa wadau wole kushiriki katika hatua zole zautekelezaji, kuanzia kubainisha masuala yakushughulikia, kuchagua na kupanga hatua zakuchukua, kutekeleza hatua hizo na kupimamafanikio katika kufanikisha malengo namajukumu makuu yafuatayo:1. Kusaidia upangaji wa kimazingira katika

shughuli za usimamizi kamilifu wa rasilimaliza pwani katika ngazi ya wilaya na kuwekawazi taratibu za kuwainisha maslahi ya taifana manufaa ya wananchi

2. Kuendeleza mbinu kamilifu na endelevuzinazofaa kimazingira za maendeleo yamatumizi makubwa ya kiuchumi ya rasilimaliza pwani ili kupata manutaa ya juu kabisa

3. Kuhifadhi na kurejesha hali ya asili yamazingira tekechu na maeneo yaliyo naukwasi mkubwa wa bioanuwai na wakatihuohuo kuhakikisha kuwa wakazi wa pwaniwanaendelea kunufaika na matumiziendelevu ya rasilimali

4. Kuanzisha utaratibu wa hifadhi na usimamizikamilifu wa maeneo ya pwani yaliyo namanufaa makubwa ya kiuchumi nalau yaliyona uwezekano mkubwa wa kupala majangaya asili

5. Kuandaa na kutumia utafiti wamifumoikolojia ya pwani, na mfumo walathmini na ufuatiliaji unaofaa kuwezeshataarifa iliyopo ya kisayansi na kiu undi

ika 'i maamuzl ya hifadhi nausimamizi kamilifu

6. Kutoa fursa zinazofaa za kuwahusishawadau katika mchakato wa maendeleo yapwani na utekelezaji wa sera za usimamiziwa maeneo ya pwani

7. Kujenga uwezo wa watu na taasisi IIIkuwezesha ushiriki wa taaluma na sektambalimbali katika usimamizi wa mazingirayapwani ~

Sera ya Taifu. ya Usimarnizi wa Maeneoya Pwani, utekelezaji wake, mifumo yautekelezaji na rniundo ya usimarnizi.Rasimu hiyo ilifanyiwa Uhakiki MweziSeptemba 1999 na vikundi vyawataalamu pamoja na wawakilishi waprogramu rano za hifadhi na usimarniziwa pwani, katika mkurano wa siku talli.

Waraka wa Mapendekezo yautekelezaji sera na mifuffio ya rniundo yausimarnizi uliwasilishwa kwa mkuranowa kitaifa uliowajumuisha wabunge,wakuu wa wilaya, makatibu tawala wamikoa, wkurugenzi wa halmahauri zawilaya, wakurugenzi na makamishenawa idara za seriKali na wakuu wa taasisiza serikali katika mkurano wa siku mbiliuliofanyika mwezi ovemba 1999.Mkurano huo ulipitia waraka huo nakuehagua mfumo wa utekelezaji nausimarnizi wa era ya rCM na kutoamaelekew muhirnu ya kuandaa rasimuya awali ya era.

Maelekezo na mapendekezo yamkutano huu yalifanyiwa kazi na rasimuya sera ya rCM kutayarishwa nakutawanywa kwa wadau ili kupatamaoni zaidi kabla ya rasimu hiyohaijawasili hwa erikal.1ni.

Serikali ilipitia kwa makini rasimuhiyo ya era, na baadaye kushauri rasimuhiyo ibadili hwe katika muundo namfwno wa mkakati unaolengautekelezaji wa era a . a yaUsimarnizi wa Mazingira. Wataalamuwaliyazingatia maeleKezo hayo, na\\'akaandaa rasimu ya Mkakati wa rCMamb<iYo uliwasili hwa erikalini nakuridhiwa. Katika mantiki yake Mkakatiwa rCM unaziungani ha sektambalimbali na kuweka ushirikianokarnilifu \V<l kutumia kusimarnia nakuendeleza mazingira ya pwani narasilimali zake kwa uenddevu. ~

kakati wa Taila wa ICMmasuala yanayohusiana na hiFadhi nausimamizi wa pwani ya Tanzania.Kikundi hiki kilianza kwa kukusanya,kuchambua na kusanisi raarifa iliyopo yandani na nje ya nehi. Baadaye, kikundikilitumia mlezi kadhaa kutembeleawilaya zote za pwani na kufanyamazungurnzo na watumishi wa sermpamoja na wananchi.

Masuala yaliyokusanywayaliwasilishwa kwenye rrikUtallO waWakurugenzi na Makamishena wa sektambalimbali mwezi Oktoba 1998,ambao uliridhia juhudi zilizokuwazinafanywa. Baada ya hapo, kikundikilirudi tena kwenye wilaya na vijijikwenda kuandaa dira, kanuni narnikakati ya kushughulilcia masualahayo. Mapendekezo ya kikundi chawataalamu yaliwasilishwa nakuthibitishwa kwenye rnkutano waWakurugenzi wa Mei, 1999.

Baada ya rnkUtallO huo kikundikilitayarisha rasimu ya mapendekew ya

MaandaliZi ya Mkakati waHifadhi na UsimamiziKamilifu wa Mazingira ya

Pwani (ICM), yalifanywa kwa utaratibuuliokuwa Wazl na wa ushirikishwajiulioehukua zaidi ya rniaka minne.Maandalizi yalizingatia maoni ya sektawte na wahusika wote katika shughuli zapwani na amabayo yalibainishaumuhirnu wa kuwa na uraratibu namipango bayana ya usimamizi wamazingua ya pwant. Pia Mkakati warCM umejengwa kwa rnisingi yakisayansi na tekDolojia. Zaidi ya nyarakathelathini za nyanja mbalimbali ikiwa nipamoja na mambo ya kisayansi, sheria,uehurni, elimu na nyinginezozimeandaliwa na wataalamu nakuturniwa kama vielelezo vya awalikatika maandalizi ya Mkakati wa rCM.

Kazi ya kuandaa mkakati huu ilianzamwaka 1998 kwa kuunda kikundi chawataalamu ehenye wajumbe ishirinikutoka sekta mbalimbali (ikiwa nipamoja na sekta binafsi), ili kubainisha

Uzoefu wa kimataifa katika utekelezaji wa IeMNa Lynne Zeitlin Hale

Toka enzi na enzi, watu waishio ufukonlmwa bahari na kutumia rasilimali za baharina pwani, wamekuwa na mfumo, aidhuruusiwe mzuri, wa kusimamia rasilimali zapwani. Mara nyingi wenyeji wa pwani,wamekuwa na taratibu zao zinazowasaidiakusimamia rasilimali hizo kwa manufaa yawatu kwa muda mrefu, ingawa mifumo hiyohaipangwi kwa malengo ya kuweka misingiya kiutwala.

Mabadiliko makubwa ya usimamizi warasilimali za pwani yalianza katika karne za19 na 20 kutokana na kuongezeka kwawatu na kuwepo mabadiliko makubwa yatekelenojia. Majukumu ya usimamiziyalichukuliwa zaidi na serikali na hivyokatika nchi nyingi, watu wakawa na uhuruwa kutumia bahari wapendavyo. Hali hiiilipelekea uvurugaji wa mazingira naupotevu wa rasilimali licha ya kusababishamigongano katika matumizi.

Hali hii ndiyo iliyopelekea kuanzishwakwa ICM ambayo sasa inatambuliwa naUmoja wa Mataifa kama chombo mahususiambacho kinalenga kuboresha maisha yawatu ambao wanategemea rasilimali zapwani, wakati huohuo wakijibidisha kulindana kuendeleza ikolojia ya pwani kwauzalishaji zaidi.

Kufuatana na na tafsiri ya ICM ya Umoja msaada endelevu kutoka kwa mashirikawa Mataifa, ICM ni utaratibu endelevu yasiyo ya kiserikali na taasisi za wafadhili.unaoiunganisha serikali na wananchi, Muhimu pia ni wadau kushiriki kikamilifusayansi na utawala, sekta na umma katika katika hatua zote za uanzishaji hadikuandaa na kupanga mipango kamilifu ya utekelezaji wa programu ya ICM. Hii huwapakulinda na kuendeleza mazingira ya pwani fursa wadau sauti na uwezo wa kufanyana rasilimali zake. maamuzi kulingana na tamaduni na mila zao.

Tofauti na mipango mingine ya usimamizi Nguzo nyingine ya mafanikio ya programuwa maeneo ya pwani, programu za ICM ya ICM ni kuwa na mikakati inayofanikishamara nyingi huzingatia eneo la pwani na kupata malengo yaliyokusudiwa. Hiiwatu wanaoishi katika r-'"T""'''-'''''--'''''''''___ inatokana na ukweli kwambaeneo hila ili kuwa na 'dira haiwezekani kuwa naya maisha bora', na kisha ~~I programu, hata kama nikuweka mikakati kamilifu vipi, ambayo inawezainayowahusisha wadau kuyakabili na kuyatatuawote ili kupata maisha masuala yote yanayohusika nabora. Katika kutekeleza usimamizi wa mazingira yaICM, shughuli za pwani. Hivyo, ili kuwa namaendeleo pwani mikakati ya utekelezaji yenyehusimamiwa kikamilifu ili '-------..........---....... malengo ni muhimu

Lynne Hale ambaye alitoa rnchangokupata manufaa zaidi na mkubwa katika rnaaruktliziya kuyapanga masuala kufuatanawakati huohuo juhudi Mkakati waICM na uzito wa matatizo yake. Hiizikifanywa kuepuka athari itatoa fursa ya kulikabili sualaza sekta moja kuielemea nyingine. baada jingine kwa mafanikio zaidi.

Misingi na nguzo muhimu za mafanikio ya Sambamba na hilo, programu ya ICMICM ni pamoja na kuwapa fursa wahusika husaidia kuweka utekelezaji ulio 'kamilifu',wote 'kumiliki' programu ya ICM. Hii ni ambao husaidia kuweka uwiano baina yapamoja na serikali kuitambua programu ya ngazi za juu za utawala na ngazi za chini zaICM na kushiriki kikamilifu katika wananchi. Hii hutoa fursa kwa vyombo vyautekelezaji wa majukumu mbalimbali; juu vya serikali kuwajibika kwa kutoaushiriki wa wadau wote; na upatikanaji wa miongozo na sera ambazo huwaongoza

wananchi katika kuleta mabadiliko.Pia utekelezaji kamilifu huusisha sekta

mbalimbali, utaratibu ambao husaidiakutatua masuala magumu ya sekta mojakuielemea sekta nyingine kutokan namatumizi ya rasilimali na mazingira.Utaratibu huu pia huzingatia matumizi yasayansi katika usimamizi, ili kuelewa vyanzovya matatizo katika ikolojia na kupataufumbuzi. Katika mantiki yake, ICM auhifadhi na usimamizi kamilifu ni utaratibuendelevu na siyo utaratibu wa kutatua tatizokwa njia za zima mote na kuacha.

Na kutokana na uzoefu katika nchi nyingi,hakuna 'fomula' au jawabu moja katikausimamizi wa mazingira ya pwani. Kila taifana kila eneo huwa na matatizo yake ambayohutatuliwa kwa utaratibu wake. Ni kutokanana kujifunza kwa kutenda kwambawasimamizi wa mazingira ya pwaniwataweza kubainisha njia zipi zitaleta auhazitaleta mafanikio katika nchi au eneo

Iinalokusudiwa....

TIMU YA UHARIRIGratian LuhikulaJoe NakajumoTuma AbdallahMuhingo RweyemamuPudenciana Temba

2

Mkakati wa ICM wa Taifa jumotono /6,2003

Kauli ya Waziri wa Nchi (Mazingira) Ofisi ya Makamu waRais, Mh. Arcado Ntagazwa (MB)

Tanzania imebahatika kuwa nabahari. Pwani yetu yenye mandhaliya kuvutia ni sehemu muhimu

sana ya mazingira yenye rasilimali nyingi.Pwani na bahari yake ina mifumo mingiya ikolojia-asili, yakiwemo matumbawe,fuko, milango ya mito, nyasi bahari namisitu ya miti ya mikoko. Vyote hivi niurithi mkubwa, ambao ni mhimili wamaisha ya watu.

Kutoka Tanga hadi Mtwara, pwaniyenye urefu wa zaidi ya kilomita 800 inaumuhimu wa pekee katika maendeleo yataifa na maisha ya wakazi wa pwani. Inafursa tele za kijamii na kiuchumi. Hizi nipamoja na uchukuzi na usafirishaji kwameli, uvuvi, utalii, biashara, kilimo, makaziya watu na viwanda, achia mbali ufugajiviumbe bahari na uchimbaji wa gesi ­nyanja za kiuchumi zinazoanza kushamiri.Fursa hizi za kiuchumi zina uwezo wakuchangia kwa kiwango kikubwa katikakuboresha maisha ya wakazi wa pwani naWatanzania kwa ujumla.

Pamoja na manufaa hayo muhimu,pwani ni mfumo wa kipekee ambamomambo kadhaa yanapaswa kuzingatiwakwa makini, yakiwemo yaleyanayohusiana na bionuai, uchumi, jamiina taasisi, ambayo ni lazima yaainishwekatika mfumo wa usimamizi ambaounaleta manufaa bila kuleta madharakatika mazingira nyeti ya pwani.

Hii ndio changamoto inayoikabiliTanzaniakuwa na utaratibu utakaotuongozavyema kusimamia na kutumia rasilimali zapwani kwa uendelevu. Tunahitaji chomboambacho kitatupa dira ya kufanikishakuendeleza rasilimali za pwani nabaharini ili tuweze kuainisha maendeleo

na hifadhi.Utaratibu na chombo ambacho

kitatuhakikishia mafanikio hayo niMkakati wa Taifa wa Hifadhi naUsimamizi Kamilifu wa Mazingira yaPwani (ICM), ambao tunauzindua.Mkakati huo utatuongoza kupatamaendeleo endelevu kutokana naushirikiano baina ya serikali nawananchi, sayansi, na sekta mbalimbalikatika ngazi ya taifa hadi vijijinitukizingatia misingi ya kuendeshamambo kisayansi.

Kwanini tumechagua ICM? Tanzania,kama zilivyofanya nchi nyingine nyingizenye pwani, imechagua ICM kwasababu nyingi nzuri. ICM ina sifa za

pekee. Licha ya kusaidia katika kupangavyema utekelezaji wa shughuli,hubainisha mapungufu katika kuyatatuamasuala magumu ambayo husababishamigongano ya usimamizi na matumizimiongoni mwa sekta mbalimbali. ICMhutumika kama 'msuluhishi' wa masualambalimbali na 'kiungo' wa wadau,wakiwemo wafanya maamuzi,watekelezaji na watumiaji.

Ni matumaini ya Serikali kwambaMkakati wa ICM ukitekelezwa vyema,Tanzania siyo tu itafanikiwa kuyakabilimasuala magumu ya usimamiziyanayosababisha matumlZIyasiyoendelevu, bali itaweza kusimamiarasilimali za pwani kwa uendelevu nakwa manufaa mazuri zaidi. Hii itasaidiawatu waliopo leo na wa vizazi vijavyokunufaika na rasilimali za pwani.

Mantiki ya Mkakati wa ICM nikwamba unatekeleza Sera ya Taifa yaMazingira ambayo inaunganisha sekta

zote katika ngazi ya wilaya na kuwekausimamizi wa pamoja katika kuletamaendeleo endelevu. Ingawa zipo seraza sekta mbalimbali za kuongozamatumizi na maendeleo ya rasilimali,wakazi wa pwani, hasa wale wa vijijiniwanaendelea kuwa masikini. Watu hawawanahitaji kuongozwa vyema ili wawezekujinasua katika janga la umasikini nawakati huohuo wao wenyewe wakiwamashahidi wa kujibidisha kuyahifadhimazingira kwa uzalishaji zaidi kwamanufaa yao.

Ni matarajio na kusudio la serikalikutumia kikamilifu nguzo za Mkakati waICM kuboresha jinsi ya kufikia mchakatona maamuzi yanayolenga maendeleoendelevu, kwa kutoa ufafanuzi namwongozo wa matumizi pamoja namgawanyo wa rasilimali katika ngazi yataifa hadi vijijini. Hii itafikiwa kupitiamuundo wa utekelezaji wa ICM ambaounaziunganisha sekta mbalimbali ilikuwepo maamuzi ya pamoja juu yausimamizi wa rasilimali unaozingatiahifadhi ya mazingira, msingi wa rasilimalizote-resource base. Kutokana nautekelezaji mzuri wa ICM, serikaliinaamini kwamba wananchi, hasawanaoishi pwani watapata fursa yakuboresha maisha yao.

Mkakati wa ICM pia utachangia katikajuhudi za kuhifadhi viumbe muhimu namazingira yake. Aidha, mkakati utasaidiakatika usimamizi wa maeneo yenyeumuhimu wa kiuchumi na maeneo yaliyokatika mazingira tekechu ambayo maranyingi hukumbwa na masahibuyanayosababishwa na matukio ya asili.Kulifanikisha hili, utafiti wa kisayansi,

Mh. Arcado Ntagazwa

ufuatiliaji na ukadiriaji wa mabadilikoutatumika kikamilifu ili kusaidia kufanyamaamuzi ya usimamizi.

Hivyo, maamuzi ya kuweka Mkakati waICM ni maamuzi ya busara. Ni matumainiya serikali kwamba Mkakati huuutatekelezwa kwa ufanisi ili uwe 'dira yamaisha bora' kwa wakazi wa pwani.Utakuwa mwenge wa kutuangazia katikamaisha ya mbele, ambamo rasilimali zapwani zitasimamiwa kikamilifu ili kupatamanufaa zaidi katika sekta mbalimbali nawakati huo huo tukiepuka athari sa sektamoja kuilemea nyingine.

Mkakati huu wa ICM ni njia muafakaitakayotufikisha kwenye maisha yamatumaini. Maisha yenye watu wenyeuhakika na hali ya maisha yao na wenyemakazi mazuri, ambao kwa pamojawanashirikiana kulinda na kuendelezamaeneo ya pwani na rasilimali zake kwamanufaa yao wenyewe na kwa manufaa yataifa letu kwa jumla...

Kouli yo Mkurugenzi Mkuu WO NEMC, Dk. Mognus Ngoile

Dk. Magnus Ngoile,

Mwanamazingira mmoja, HenryDavid Thoreau aliwahi kuulizaswali lenye busara: "Kuna busara

gani kuwa na nyumba nzuri ikiwa hunaardhi nzuri ya kuiweka?" a huenda nikwa busara kama hiyo, mwaka 2000 wawwa Rufiji walikataa mradi wa ufugajikamba, ambao ulinadiwa kaina~o?1bozi ~maisha ya wawwa Rufiji naVlZazl vyao Vl)avyo.

Watu hao wa Rufiji walijua faida namanufaa ya rnradi wa kamba. Lakiniwalihitaji wahahakikishiwe kwambarnradi huo usigeleta madhara katikamazingira ya bonde lao. Kwa bahatimbaya, mwekezaji hakuweza kutoa jibula kuridhisha. Na hivyo wakazi waRufiji wakaamua kutokuwa na'nyumba' kuliko kuwa na nyumbaisiyokuwa na msingi imara.

Msimamo huo wa waw wa Rufijiunastahili kupongezwa, kwani kuna waWwengi duniani ambao hawana uwezo nafursa ya kutetea haki zao. Hali hiihupe1ekea kufanyika kwa miradi ambayomatokeo yake ni kuchafua na kuharibumazingira na hatimae kuyavuruga kabisamaisha ya waw.

MEano rnzuri ni mradi wa bwawa laAkosombo nchini Ghana lililojengwakatika mto wa Volta kati ya mwaka 1950na 1960. Kikubwa kilichopatikanakutokana na mradi huo, ni waW zaidi ya100,000 wanaoishi kandokando ya mtokupara maradhi ya macho, na zaidi yawaw 70,000 miongoni mwao kupofukakabisa kutokan na virusi villvyotokana nabwawa hilo. Waw wengine 80,000wamepara vilema vya kudumu kutokanana maradhi yajulikanayo kamaschistosomiasis ambayo yalisababishwa naaina ya konokono ambao walianzakuzaliana kwa wingi katika bwawa hilo.

Maratizo ya mazingira ni agenda kuuya ulimwengu wa sasa. Tatizo la mazingiralinaenda sambamba na kuongezeka Kwawaw kwa kasi kubwa kunakoambatanana utand~wazi. Mas~ala. Ya.rul:yoamb~tanana maranzo ya mazmgrra ill pamo)a nauharibifu wa ardhi, uchafuzi wa hewa namaji na uharibifu wa maliasill. Kila ratizolinatishia uhai na maende1eo ya wawkiuchurni.

Mazingira yasiyorunzwa nakuhifadhlwa ni sawa na kutokuwepo.Na ndiyo maana napenda kutumiafursa hii kuishukuru na kuipongezaserikali kwa kuchukuwa harua zamakusudi za kuweka mikakati yakuyahifadhi na kuyalinda mazingira,

3

hasa mazingira ya pwani.Mkakati wa Taifa wa Usimarnizi

Kamilifu wa Mazingira ya Pwani utatoamchango mkubwa katika maende1eo yaTanzania. Utaiunganisha serikali nawananchi, sayansi na utawala, waw nasekra mbalimbali katika mpan~o wakulinda na kuende1eza mazinglra narasilimali za pwani. Mbali na kUyalindamazingira, rllkakati huu pia utalengakuboresha maisha ya waw.

Ni jambe lililo wazi kwamba mikoaillyopo pwani, Dar es Salaam, Tanga,Pwani, Lindi na Mtwara huchan~ia

rheluthi moja ya pato la taifa, lakiniwakazi wa mikoa hiyo ni masikini sana.Makadirio y~ sasa J:a wastani~ ~ap~t~wa wananchi wa mikoa ya pwaru ill chilliya shilingi 100,0001- kwa mwaka.

Lengo la Mkakati wa ICM ni kubadilihali ya shughuli za kiuchurni. ia nikuwawezesha waw kufanya shughuli zakiuchurni zaidi ya moja, ill shughUli mojaisipokwenda vyema, jamii au tamilia iwena njia nyingine ya mapato na chakula.

Jukumu la ICM ni kuweka uwiano illkuepuka madhara ya kiuchurni namazingira ambayo baadhi yakeyarnekWisha anza kuharibiwa kutokanana vitendo mbalimbali, vikiwemoukokotaji wa kamba, uchimbajimawmbawe kwa ajiri ya ujenzi, nauendeshaji wa viwanda usioende1evu.

Hakuna shaka kwamba viwanda huletamanufaa mengi yakiwemo ajira, maishamapya na uhusiano wa kimataifa. Lakiniinatubidi tuwe makini na teknolojiaambayo mara nyingi hutoka katika nchizilizoendelea.

Nchi hizo zilizoende1ea, kwa mfano

huwmia zaidi nishati na maliasill kulikonchi zinazoendelea. Matokeo yakematatizo ya mazingira katika nchizilizoende1ea husababishwa na viwanda,maturnizi makubwa ya maliasili namahitaji makubwa ya vifua na hudurna.

Kwa upande mwingine, matatiw yamazingira katika nchi zinazoendelea,husababishwa hasa na umasikini,ambapo kipaombele huwekwa katikakukimu maisha na si kuhifadhimazingira. Na hii ndiyo sababuinayopelekea wawekezaji wa nchizilizoendelea kupenda kuwekeza katikanchi zinazoendelea ambazo mazingirayake bado yamo katika hali nzuri.

Ndiyo maana nazipongeza juhudi zaserikali katika kuweka utaratibu waICM, ambao utarupa fursa nyingi zakuyatumia mazingira ya pwani kwauendelevu. ICM itatuongoza vyema,hasa wakati huu ambapo miradi yamaendeleo inaelekezwa katika maeneoya pwani. ICM itatupa fursa yakucnagua miradi, siyo kwa ukubwawake, bali kwa ubora wake.

Na ni kwa sababu hiyo mkakati waICM unathamini matumizi yaTarhmini ya Athari katika Mazingira,ambayo hapo awali ilikuwa haipewiumuhimu unaostahili. Chombo hikikikitumiwa vyema kitatusaidiakuboresha uteke1ezaji wa miradi bilakua~ri ustawi ubora wa mazingira yapwanl.

Kupitia Mkakati wa ICM tutaepukamakosa ambayo yana ~harama kubwakiuchurni na kimazinglra. a kupitiaICM tuna fursa nyingi za kuboreshamaisha ya wananchi. ~

Mkakati wa ICM wa Taifa Jumatano 16, 2003

Ufugaji viumbebahari unapunguza umasikini

Kilimo cha mwani sasa nishughuLiyafamilia nyingi katika maeneoya pwani

Pwani ya Tanzania ina utajiri mwingi wamaliasili. Lakini wakazj wake ambao illasilimia 25 ya idadi ya watu nchini, wengi

wao ill masikini. Ni masikini kwa sababumaisha yao ya kila siku yanategemea shughuli za.uvuvi mdogomdogo na kwa kiasi fulani kilimoduni cha kutumia jembe la mkono.

Wananchi hao huendesha shughuli za uvuvikwa ajili ya kupata chakula na kwa kiasi kidogokwa ajili ya kuuza ili kupata fedha kidogo kwa ajiliya kukidhi mahitaji yao muhimu kama kulipakaro za shule za watoto wao, kununua nguo nakujiparia matibabu.

Hali hii hailingani na uta'iri wa asili wa pwani.a wala halingani na ~ mbalimbali za

kiuchumi zilizopo katika maeneo ya pwani.Mojawapo wa fursa za kiuchumi ambayo inawezakwa kiasi kikubwa kuwanasua wakazi wa pwanikaOO janga la umasikini linalowakabili ni ufugajiviumbe bahari.

Kufuarana na watalamu wa mazingira naikolojia ya pwani na bahari ambao kwa zaidi yamiaka minne wamekuwa wakipembua masualayanayohusiana na ufugaji viumbe bahari chini yaTanzania Coastal Management Parmership, kunamaeneo mengi katika pwani ya Tanzania ambayoill mazuri kwa shughuli za ufugaji viumbe bahari.la muhimu ill kuhakikisha shughuli za ufugajiviumbe bahari zinafunywa kwa uangalifu na kwamipango madhubuti ili kuepuka athari zamazingira na za kiuchumi.

Watalamu hao ambao warneandaa nakuchapisha kitabu cha mwongozo wa ufugajiviurnbe bahari kwa ajiri ya wawekezaji,wanabainisha kwarnba kuna fursa kubwa kwaufugaji viumbe bahari kwa uenddevu nchiniTanzania. Kiwango cha ufugaji viumbe baharikinaweza kuwa katika miradi midogomidogo yangazi ya kifamilia au miradi mikubwa yamakampuni.

'Tanzania ina ikolojia nzuri ya pwani ambayomazingira yake bado hayajaharibiwa, na ambayoyanaweza kutumiwa kufmya miradi ya ufugajiviumbe bahari. Pamoja na ukweIi kwamba ufugaji

viumbe bahari unahitaji mipango madhubuti nauangalifu mkubwa ili kuepuka athari zamazingira, bado wananchi wa pwani wanawezakufmya miradi ya ufugaji viumbe bahari kwauenddevu na kuweza kupambana na umasikini,"anadeza Fatuma $obo kiongozi wa kikundi chawatalamu kilichoandaa mwongozo huo.

Mwongozo wa ufugaji viumbe bahari ambaoumeridhiwa na Idara ya Uvuvi kaOO Wrzara yaUtalii na Maliasili, ni mojawapo wa nyenzo zakusaidia katika utekdezaji wa Mkakati waTaifa waUsimamizi Kamilifu wa Mazingira ya Pwani.Mojawapo wa malengo ya mkakati huo illkuenddeza mbinu kamilifu na enddevu zinazofaa

kimazingira za maenddeo ya marumizi makubwaya kiuchumi ya tasilimali za pwani ili kupatamanufaa ya juu kabisa.

Ukibainisha changamoto katika miradi yaufugaji viumbe bahari, mwongozo unadezakwarnba ufugaji viumbe bahari unakabiliwa namatatizo mengi ambayo kama hayakuzingatiwana kupewa kipaombele katika utekelezaji,yanaweza kuleta amari nyingi za kimazingira nakiuchumi.

"Kuanzia ngazi ya kiutawala, ufugaji viumbebahari ni nyanja inayogusa sekra nyingi na hivyokuhitaji ushirikiano mkubwa wa ekta

mbalimbali. Kwa upande wa mazingira ufugajiviumbe bahari unakabiliwa na changamotongumu, kwani hufanyika kaOO maeneo arnbayohukutanisha bahari na nchi kavu, na pia hugusanyanja nyingine nyingi za kiuchumi," $oboanafafanua na kuongeza kwarnba mwongozo waufugaji viumbe bahari urasaidia kuyakabili masualayore ya msingi yanayozigusa sekra mbalimbali zakiuchumi, mazingira na maenddeo.

Mwogozo wa ufugaji viumbe bahari umekujawakati muafdka, wakati juhudi za watu wa nje nandani zinaelekezwa katika ufugaji viumbe bahari.Mbali na mtadi wa ufugaji kamba wilayani Rufijiulioshindwa kuanza kutokana na kutokidhi

marakwa ya mazingira, kuna miradi kadhaa yaufugaji wa kamba inayopangwa na wawekezaji.

Kilimo cha mm ndicho kinazidi kusharnirinchini. Kilimo hicho kinachofanywa na wananchiwa kawaida kimeongez.eka na kuna daIi1i kwarnbakitazidi kuongez.eka kadri muda unavyokwenda.Mv,..dka 1990 kulikmva na wakulima 2000 ambaowalizalisha rani 808 za m\vani kavu.l.akini mwaka1995 idadi ya wakulima iliongez.eka hadi zaidi20,000, ambao walizalisha rani 6,452.

" i marumaini yetu kwamba mw0I\,oozo waufugaji viumbe bahari utakmva wa manufaa iyotu kwa serikali na raasisi zake, bali pia kwa

makapuni ya wawekezaji na wakazi wa pwani kwaujumla. Kwani mwongozo huo ni chombo chakuhakikisha shughuli zote za ufugaji viumbebahari zinafunywa kwa uenddevu kwa manufaa yat:aifu na maenddeo ya wananchi. Hii ill licha yakutoa fursa ya kutathmini miradi ya ufugajiviumbe bahari kwa uwazi na ushirikishaji\vahusika wote," $obo anafafanua.

Kufuarana na 5000, uraratibu uliokuwaunatumika kutathmini na kuruhusu miradi yaufugaji viumbe bahari ulikuwa na mapungufUmengi ambayo yalitoa mwanya kwa uharibifu wamazingira, licha ya kuleta khero kwa wawekezaji."Mwongow huu ambao serikali imeuridhiaunatoa fursa ya kufmya tathmini kwa ufanisi nauwazi, na unalinda maslahi ya wakazi wa pwaniwakati huo huo ukihamasisha uwekezaji katikanyanja ya ufugaji viumbe bahari. ia ill kuwa namiradi inayozingatia usrawi wa mazingira wakatihuohuo ikiwanufaisha wananchi na t:aifu kwaujumla."

Baada ya kutoa mwongozo huo kuna daIi1injema kwamba shughuli za ufugaji viumbe bahariziraboreka na kuchangia maenddeo ya wananchina t:aifu kwa ujumla. Hii, kufuarana na $oboinatokana na taasisi mbalimbali ambazo ill wadauwakuu wa shughuli za ufugaji viumbe baharikuridhika na mwongozo huo. Taasisi hizo nipamoja na Idara ya Uvuvi, Baraza la Taifa laHifadhi na Usimamizi wa Mazingira, ldara yaWanyamapori, Kituo cha Uwekezaji (TIC), Idaraya Misitu, Mamlaka ya Bandari, Idara ya Maji nataasisi nyingine ambazo zimeeleza kuwamwongozo unakidhi mahitaji na maslahi yakitai&

Taasisi hizo ambazo zimekuwa zikikabi1iwa namatatizo mengi katika masuala ya ufugaji viumbebahari zimetoa wim kwa wawekezaji na mamlakambalimbali katika ngazi ya kitaifa na wilayakutumia mwongozo huo katika kuidhinisha nakuanzisha miradi ya ufugaji viumbe bahariambayo ina fursa nyingi za kukuza uchurnit:aifu na wananchi wa pwani.•

Umuhimu wa sayansi katika kulinda rasilimali za pwani

utafiti wa kisayansi ni muhimu katika usimamizi wa mazingiraya pwani. Wlnarayanri wakionekanakatika mijawapo wa shughuli za utafiti baharini.

Zuberi Ally ni mkazi wa Mrwara mjini.Maisha rake yote yanategemea uvuvi lcirikamwarnbao wa Bahari ya Hindi. Ana mke nawatoto wake warano pamoja na watoto watatuwa marehemu kaki rake aliyefariki miakamirano iliyopita.

Watoto Wake watatu pamoja na wawili wakaka yake bado wanasoma karika shule zamsingt na sekondari. lli awe:a. kumudu maishayake, analazimika kutumia ujuzi na ujanjaWake wote ili kupata fedha kwa ajili ya marunzoya familia~e ikiwa ni pamoja na gharama yakaro ya shUle ya watoto hao.

Kwa wakati fulani, analciri kwambaanalaz.imika kutumia njia haramu za uvuvikama vile kurumia baruti na nyavu za rundundo~ ili awe:a. kupata chochote. "Kurudinyuillbani mikono mitupu ni sawa na uhalifumwingine. Mtu mwenye familia hatakwepakutenda uovu huo," anaeleza.

Ally, ni mmoja kari ya maelfu ya wananchiwa Tanzania ambao wanaishi maeneo ya pwaniambao maisha yao yote hut~ea raslimalizipatikanazo pwani na ambao karika harakati zakutafuta maisha na maslahi huharibumazin~ rekechu ya pwani.

Ally, kama wakaZi w.e wa pwani analcirikwamba anatambua kWamba kuvua kwakurumia baruti au nyavu zenye marundumadogo ill kuvunja sheria Iicha ya kuchafuamazingira. Hata liivyo, anasema yuko tayarikuachana na uvuvi haribifu huo akipa~ njiambadala ya kupata kipato cha kuirunza familiayake.

Vitendo na mwenendo wa Allyvinadhihirisha wnuhimu wa Mkakati wa Taifuwa Hifadhi na Usimamizi Kamilifu waMazingira ya Pwani. Mkakati huo siyo tuutawaonp-oza wananchi karika usimarruzi nama~ sahi.hi ya rasilimali za pwani, baliurajenga mshikimano wa kusimamia nakuendeleza ikolojia muhimu ya pwani.

Ni kwa misingi hi)'o kwainba Mkakati warCM utatoa kipaombele kwa matumizi yasayansi kuyasimamia na kuyaendeleza maeneoyenye wnuhimu, wakati huo huo

ikihakikishwa wananchi wa pwaniwanaendelea kwa marumizi endelevu yarasilimali hizo.

"Katika pwani kuna maeneo yenyeumuhimu wa kipekee wa kiuchurni na waikolojia ambayo yanahihitaji mipangomaalwnu ya usimamizi ili kuepuka migonganokatika matumizi. Maeneo hayo ill pamoJa namaeneo yenye vitega uchurni namiundombinu muhimu - kama bandari naviwanda, maeneo chepechepe na maeneovenye miamba ya matwnbawe. Mip~gofnahita'ika kuwez.esha usimamizi kamilifu ilikuep~ migongano na uharibifu," anae1ezaDk. Gasper MaIiika, mratibu wa kikundi chawanasayansi chini ya Tanzania CoastalManagement Parmersfup (TCMP)

Akibainisha umuhirriu wa sayansi karikausimamizi wa rasilimali za pwani ambazohutegemewa karika uchurni wa taifa, Mahikaanasema katika hali ya sasa kunafanyikamakosa mengi karika hughuli za maenddeopwani kutokina na sababu kadhaa. AnazitajaSababu hizo miongoni mwa nyingine kuwa nikukosekana kwa raarifu za kisayansi karikakufanya maamuzi ya usimamizij kukosekana~ t.3arif:1 za kisayansi ~a uba~anaji ~rruongoill mwa WaslffiamLZI wa pwanljkukoSekana kwa uraratibu rnzuri wa kUratibujuhudi zinazofanywa katika kufuatila nakupima hali ya pwanij na kukosekana kwataaluma juu ya mwenendo wa pwani miongoillmwa warumi~i wa rasilimali za pwani.

"Usimam.izJ wa ikolojia ya bahari na pwani,amba)'o mara nying! hudemewa na sh~ulina mahitaji ya watu, hauwezi kupata mafallikioya _maana ikiwa sayansi haitai:umika karikakulanya maamuzi. Sayansi haina manufaa tukatib kudewa jinsi ikolojia inavyofanya kazi,na kuweza kutarnbua kiwango Cha madharayarokanayo na matumizi mabaya ya warn, balipia kutoa taarifa muhimu na kuongozauandaaji na utekdezaji wa sheria," anaeleza nakuo~

Akieleza zaidi, Dr. Mahika anasema kwambasayansi husaidia kupembua matarizo karika

4

ikolojia ili kuweka mikakari ya usimamizi.ayansi pia husaidia kubainisha chanzo cha

matarizo na madhara karika mazingira. Vlievilesayansi hutoa fursa ya kuielewa mifumoikolojiaili kuweza kuweka sera na rrllkakari yakuongoza maamuzi ya usimamizi. ]uu ya yotehalO sayansi, ni chombo kizoo cha kti.fu:i.tiliarruenendo ya ikolojia ili kurathmini mafanikioya sera karika ku.6.kia malengo rake.

"Manufaa na faida za kurumia sayansi karikausimamizi wa mazingira ya pwani ni kwambasayap.si huboresha usimamizi kutokana nauiafiti na matumizi ya nyenw za kisayansikama ukadiriaji wa madhara karikam~kutokana na shughuli za kiuchurni, ufuatiIiajiwa hali ~ ikolojia na nnyenw nyingine,"anasisitiza Dk. Mahika.

Anaongeza kwamba usimamizi wamazingira ya pwani ambao hauzingatii sayansi,mara nying! hupelekea kutokea madharamakubwa Karika mazingira na upotevu wamanufaa ya kiuchurni na kiikolojia ya rasilimaliza 'p'wani na bahari.

Hivyo ni kusudio la Mkakati wa ICMkurumia sayansi karika utekelezaji wa shug!1uliza maendeleo ili kuepuka kuathiri uzalishiJi waikolojia ya pwani," Dk. Mahika anfafanua nakuongeza;

Anaeleza njia za kuimarisha matumizi yasayansi karika kusimamia mazingira ya pwanikUwa ni kuboresha ushirikiano rruongoill mwawanasayansi, viongozi, warumiaji wa rasilimalina wananchi. Anazitaja njia nri?gine kuwa nikuwa na raratibu za kUunda na kUtekeleza serana mikakatij na kutenga maeneo ya utaficikarika maeneo ya p'wani.

i kutokana na haja hiyo kwamba Mkakatiwa ICM unadekeza kuundwa kwa kikundicha wanasayansi karika muundo wa utekelezajirCM. Kikundi hicho kitawaungatl;ishawanasayansi na wasimamizi na kitatoa fursakwa matumizi ya sayansi karika usimamizi wamaeneo ya pwaru.

"MajUkUmu makuu ya kikundi chawanasayansi ill pamoja na kukusanya nakusarnhaza raarua muliimu za kisayansi. Piakikundi hicho kitatoa ushauri wa kisayansiambao utasaidia kuboresha misingt yausimamizi," anafafanua Dk. Mahika.

Juu ya hayo kikundi cha wanasayansiambacho kita!2:nya ~hughuli zake. kwa ~busana na taaslSl n}'lllgtne za USlffiamJZl nautekelezaji, kitaelekeza ngt:vu me karikaukadiriaji, ufuatiliaji na urnnci ili kubainishahali haliSi na mahusiano baina ya matumizi yawatu na madhara yatokanayo. ~

Mkakati wa ICM wa Taifa jumatano /6, 2003

-Manufaa ya Mkakati wa ICM

Dk. Magnus Ngoile,

Tanzania imedhamiria kuyasimamia na kuyaendeleza mazingiratekechu ya pwani na rasilimali zake. Katika kufanikisha dhamirahiyo, serikali imeamua kuweka na kutekeleza kwa makini Mkakatiwa Taifa wa Hifadhi na Usimamizi Kamilifu wa Mazingira ya Pwanimaarufu kama ICM. Lengo kuu la Mkakati huo ni kuboreshamaisha ya wananchi, hasa wakazi wa pwani kutokana na matumizisahihi ya mazingira ya pwani na rasilimali zake. Katika mahojianomaalum na waandishi wa habari, Mkurugenzi Mkuu wa Baraza laTaifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), Ok. MagnusNgoile na Kiongozi wa Tanzania Coastal Management Partnership(TCMP), Jeremiah Oaffa, wanabainisha kwanini Tanzaniaimechagua na kuamua kutumia misingi ya ICM katika kusimamiana kuendeleza mazingira ya pwani na rasilimali zake. Bw. Jeremiah Daffa

Wattutlam wa usimamizi wa mllZingirayapwani wakiwa katika ziaraya tKhambuzi wa maswalambalimbali wakati wa maanddiziya Mkakati wa ICM

SwaIi: Tun~ua kwamha tumo katikauzindUZl wa Mkakati wa Taifa waIeM. Mnaweza kutue1eza kwakifu i ICM ni nini?

Jibu: r~M ni kifupisho cha maneno yaKiingereza; Integrated CoastalManagement ambayo rafsiri yake katikaKiswahili ni Usirnamizi Kamilifu waMazingira ya Pwani.

Usemi usirnamizi kamilifu unarokanana maadili ya usirnamizi huu ambaounazingatia ushirik.iShwaji wa wahusikaw?te katika kU'pang~. na kutekel~rrupango ya usunamlZl na ururruaJ1rasilimali na mazingira ya pwani kwauwiano na uendelevu.

Ni vizuri ieleweke kwamba jamii za asilizinazoishi pwani, tangu awali zilikuwa namiundo yake ya maisha iliyotilia maananiuturniaji bora wa rasilimali na mazingirayake. Miundo hiyo iliwezesha matumiziendelevu kwa kiasi fulani. Lakini teknolojiailivyozidi kukua kumekuwepo namabadiliko makubwa. Na kwa bahatimbaya, mabadiliko hayo, mengi yakeyam~wa ya kulera uharibifu zaidi katikamazmgua.

Hali hii ndiyo iliyopelekea kuanzishwakwa rCM ambayo sasa inarambuliwa naUmoja wa Maraifa karna chombo ambachokikitumiwa vizuri kinaweza kuboreshamazingira ya pwani wakati huohuo watuambao wanategemea rasilimali za pwani,wakipata fursa za kiuchumi na hivyokuboresha maisha.

Swali: Nani wamefadhili uandaaji waMkakati huu na utekelezaji wakeutafadhiliwa na nani?

Jibu: Uandaaji wa Mkakati wa rCMumewezeshwa kifedha na kitaalam naserikali ya Marekani kupiria USAID naChuo Kikuu cha kisiwa cha Rhode. Serikaliya Marekani itaendelea kuroa msaada katikahatua za awali za urekekelezaji Mkakati huo,kabla serikali hajachukuwa jukumu zirna lauwezeshaji.

Hara hivyo mashirika na taaslslnyingine za kirnataifa zirnekuwa zikisaidiakiraaluma na kifedha juhudi za rCMnchini. .Kwa mfano huko Tanga,runasaidiwa na IUCN kupitia serikali yaUholanzi. IUCN pia inarusaidia hukoRufiji katika Mradi wa Usirnamizi waMazingira Rufiji (MUMARU). Mikoa yaKusini yaani Mrwara na Lindi, runasaidiwana serikali ya Finland. Pia huko Mtwarakatika mradi wa Hifadhi ya Bahari yaMnazi Bay runasaidiwa na GEFIUNDP.Huko Mafia, Hifadhi ya Bahari Mafiatunasaidiwa na WWF na serikali zaUingereza na orway. Na huko Kilwa,runasaidiwa na mfuko wa Kimarekani waPew unaolenga kuanzisha hifadhi. Bilakusahau serikali za Japan na Ufaransa kwakushirikiana na UNESCO, ambazozinasaidia ukarabati wa majengo ya kale yaKilwa.

Azma ya mkakati huu, ill kuunganishanguvu na mipango mingine endelevu ilikuhakikisha runaendeleza na kuboreshamazingira ya pwani yeru kwa matumizi yabusara ya rasilimali ili kuongeza uzalishaji.Kwa mfano, kule Tanga kulikuwa na tatizola uvuvi haramu wa kutumia baruti. lli£ka

wakati Tanga walikuwa hawana kabisasamaki kurokana na uvuvi haramu. Baadayeikaanzishwa vita ya kupambana na wavuviharamu wa kuturnia baruti.

Vita hii iliendeshwa kwa ushirikianomkubwa na wananchi wenyewe nai1ikwenda sarnbamba na kuwapatiawananchi nyavu mbadala. Badala yakururnia nyavu zenye macho madogo,walipewa nyavu zenye macho makubwaambazo hazivui sarnaki wadogo.

Swali: le, Zanzibar iko chini yaMkakati hull?

Jibu: Zanzibar haimo kwenye mkakati huu. Nasababu kubwa za kutokuwamo kwake illmbili. Kwanza mamboyanayoshughulikiwa na rnkakari huu, siyomambo yanayoangukia katika masuala yamuungano.

Lakini sababu kubwa ya pili ill kwarnbaZanzibar wenzeru walitutangulia. Tayariwanao mkakati wao ulioanza maperna.

Swali: Mkakati huu unatekekezwakatika maeneo yapi?

Jibu: Mkakati huu unatekelezwa katika wilayawte za pwani kuanzia ya Tanga hadiMrwara. Tulichukua wilaya kwa sababukule kuna uongozi ulio karibu kabisa nawananchi na wala uongozi wake hauwezikubadilika badilika na zinaweza kuwa nautendaji bora.

Lakini pia mbali ya kushughulikiawilaya za mikoa ya pwani, bado runaaminikuwa shughuli za kijamii na kiuchurnizinazofanyika katika mikoa rningine,zinaweza kuwa na athari katika eneo lapwani. itaroa mfano, huko nyuma wakatiwatu wameanza kuturnia kwa ufanisi majiya Mro Ruaha katika bonde la Usangu,matumizi ya maji katika mto huo yalianzakulera maratizo katika bonde la Rubji.

Wakati maji yakiwa mengi, Rufijihumwaga maji yake kupitia mito(tributaries) tisa. Lakini wakati majiyakipungua, maji yanaingia kwa kupiriamiro saba. Kwa hiyo kama rnarumizi yaMw Ruaha yarakuwa mabaya, bila haka naeneo la pwani liraarhirika. Hivyo pamoja nakujishughulisha na mikoa ya pwani, machoyetu yanaangalia eneo pana kuliko hapa.

Swali: le, ni raslimali ..ganizinashughulikiwa chini ya mkakatihull?

Jibu: Kwa waru wengi unapozungumziaraslirnali za pwani, hudhani kwambaraslirnali hizo ill samaki tu. Lakini rasilimaliza pwani ill nyingi sana. Labda illanzie na ileambayo siyo wengi wanaiflkiria kuwaraslirnali, ambayo ill usa.firi wa meli navyombo vya baharini. Kwa sasa, watu wengiwa pwani wanaturnia usafiri wa majinikama usafiri wao mkubwa. Kwa hiyo melini mojawapo ya raslirnali muhirnu kwausafiri wa rnajini.

Raslirnali ya pili ill utalii. Wote runajuakuwa utalii wa pwani unaambatana namambo mengi. Unaambatana na ujenzi wahoteli kubwa za kitalii. Utalii wa pwaniunaambatana na uzarniaji baharini kwalengo la kuyaona marumbawe ambayo yanamandhari ya kipekee.

Raslirnali nyingine ni madini. Bila

5

shaka runajua kuhusu suala la gesi yaSongosongo. Habari runazopata ill kwambahadi ifikapo mwaka 2005, gesi yaSongosongo irakuwa tayari irnefika Dar esSalaam. Lakini pia kuna hazina nyingine yagesi ambayo iko Mnazi Bay. Gesi iliyokohapa ni nyingi kuliko ile ambayo ikoSongosongo.

Kwa bahati mbaya waru wa Msumbijihawana shida na umeme lakini wangekuwana tatizo la umeme, rungeweza kutengenezaumeme huko huko Mrwara na kuwauziawatu wa Msumbiji. Hizo ill baadhi ru yaraslirnali zilizoko pwani lakini kuna uvuvi,kuna miti ya mikoko na mambo mengine.

SwaIi: Mkakati huu umejiandaa vipikulinda mazingira ya pwaniambayo ni tekechu?

Jibu: ikweli kwambarnaeneo mengi ya pwaniill tekechu. amisingi ya kuunda Mkakatiwa rCM irnetokana na kurambua kwarnbapwani ill eneo la kipekee katika mazingiraya nchi na katika nyanja nzirna ya uchumina rnaendeleo. Na kutokana na hali hiyo,Mkakati huu umejianda vilivro kuyalindana kuyaendeleza mazingira ya pwani.

Katika utekelezaji wa Mkakatikutakuwepo na mipango na raratibumahususi za kusirnamia, kuhifadhi na hataikibidi kurejesha hali ya asili ya mazingiraambayo yanakabiliwa na athari mbalimbaliaidha za asili au zinazotokana na rnaturniziya waru. Kwa mazingira ambayo ill tekechuzaidi yatahifadhiwa na hara ikibidiuwekezaji katika maeneo hayo unawezakuzuiliwa ili kuepuka madhara makubwazaidi katika mazingira hayo.

Kwa mazingira mengine, kutakuwa nauraratibu wa wazi usio na kificho wakuwekeza na kusirnamia shughulimbalimbali. Wahusika wote wakiwemowananchi wa eneo husika watazijua taratibuhizo na kila mtu atakuwa hurn kuangaliakama rnaeneo hayo yanavurugwa au kunakukiuka masharti.

Lakini pia, tumeandaa taratibu zauwekezaji na hasa katika ufugajiviumbebahari na utalii wa pwani. Hapozamani kama runavyokumbuka, rulipatamatatizo ya uwekezaji katika mradi wakamba kule Rufiji.

Wakati mradi huo unaanzishwa,utaratibu huu ulikuwa haujaanza. asa kunautaratibu ambao umewekwa kwa ajili yakulinda nalau kuelekeza matumizi endelevuya maeneo tekechu. Tunararajia kupata

ushirikiano wa wawekezaji katika suala hiliili ruwe na miradi endelevu na yenye kuleramanufaa zaidi kiuchurni na kirnazingira.

Tunasema rurakuwa na kazi yakupunguza madhara katika mazingira yeru.Harusemi rutaondoa kabisa athari kwanihakuna mradi wowote unaoanzishwa hasakatika maeneo ya pwani ambao haunaathari kwa mazingira. Miradi yote ina atharikwa mazingira.

SwaIi: Kumekuwapo na utafiti mwingiunaofanywa kuhusu maeneo yapwani. Lakini kwa bahati mbayautafiti huu haujaratibiwa namatokeo yake ni kWamba baadhi yatafiti zinarudiwa. le, tatizo hilimmeliona? Na kama mmelionalinshughulikiwaje chini ya ICM?

Jibu: Tatizo hili ni kweli rumeliona. Na kwelizipo raasisi nyingi na kila raasisi ilikuwaikifanya uta.fiti wake. Lakini baada yakuanzishwa rCM, turakuwa na kirengo chawaraalam kirakachoshughulikia suala laurafiti. Tunarambua umuhirnu wa kutumiaraarifa za kisayansi katika shughuli yoyote yamaendeleo.

Kama mnavyofahamu, mwishoill mwamwaka juzi, Waziri ragazwa alizinduakirabu cha ripoti ya hali halisi ya pwani.Desemba mwaka huu, runatarajia kutoaripoti ya pili. Ripori hizi zinazotengenezwana warafiti wa hapa nchini zitarupa fursa yakufUatilia hali ya mazingira na kutupa upeowa kuchukuwa harua zinazosrahili.

SwaIi: Unaweza kutue1eza sura halisi yamkakati wenyewe?

Jibu: Katika kitabu cha mkakati runachozindualeo, kuna Utangu\izi: Sura hii ya utanguliziinazungurnzia umuhirnu wa pwani na kwanini pwani inapewa nafasi kubwa kamakichocheo cha maendeleo ya nchi yetu.

Lakini pia kuna masuala ya pwani.Ndani ya mkakati huu runaelezea hali yamazingira yeru. Tunaangalia uharibifu wamazingira. Kwa ujumla tunaangaliamaratizo valiyopo.

Mkakati huu unayo rnikakati minginendani yake na jinsi ya kukabili masualambalimbali. Kuna mikakati sabainayohusiana na uondoaji umaskini,

. matumizi ya sayansi, uwezeshaji nauhamasishaji wa wananchi katikama~i sahihi ya rasilimali na mazingirayapwanl. ~

Mkakati wa ICM wa Taifa Jumatano /6,2003

Ushirikishwaii wananchi katika ICM

Mafanikio ya usimamizi. wa mazingimya pwani mkoani Tanga yanatokana till ushirikishwaji wawanatuhi. Ktika picha hii wt1tlllnchi wa Kipumbwi wakipanga mipangoya utekeleztzji.

Ni jambo lisilo na shaka kwambaMkakari wa Taifa wa HifadhiKamilifu ya Mazingira ya

Pwani ni mkombozi wa wakazi wapwani ambao huregemea bahari narasilimali zake kwa chakula na maisha.Mkakari wa rCM unakusudiakuhifadhi na kulinda mazingira narasilimali za pwani kwa ajili yakuboresha maisha ya wakazi wa pwani.

Pia ni jambo lisilo na shaka kwambarCM inalenga kuendeleza fursa zakiuchumi ambazo zirachangiakikamilifu karika maendeleo ya raifa.Karika mararajio yake, Mkakari warCM unalenga kuwepo ushirikianokamilifu kari ya serikali na wadau worekarika jumuiya ya Waranzania,wakiwemo warumiaji rasilimali, sekrabinafsi, wanasayansi, rasisi za uraf!ri narasisi nyingine, zikifanya juhudi zakupara mafanikio.

Hivyo, harua ya erikali ya kuandaana kuweka Mkakaci wa rCM, ni haruaya busara. i urararibu mzuri chini yaSera ya Taifa ya Mazingira,unaoziunganisha sekra mbalimbali nakuweka mshikamano wa kuyarumiamazingira ya pwani kwa uendelevu.

Na kwa misingi hiyo Mkakari warCM unabainisha umuhimu wa pekeewa kusaidia juhudi za kupangaurekelezaji wa shughuli za pwani karikangazi ya wilaya na vijijini. Hii iyo ruinalenga kusaidia karika uendelevu wamazingira ya pwani, bali pia kuboreshamaisha ya waru ambao huregemearasilimali za pwani kwa kiparo nachakula.

Kwa kurumia Mkakari wa rCMwananchi kacika ngazi ya wilaya na vijijiwaraweza kurekeleza shughulimbalimbali za maendeleo na usimamiziwa mazingira. Hii ni pamoja na

kubainisha masuala, kubuni mikakaciya kuyashughulikia na kurekelezamikakari hiyo kwa lengo la kuparamaendeleo endelevu na usrawishajiendelevu wa vyanzo vya rasilimali.

Upangaji wa shughuli za rCM kacikangazi ya wilaya na vijiji, kufuarana naLewis zali ambaye ni mraribu wakikundi cha waraalamu waliorengenezaMkakari wa rCM, ni njia bora yakuweza kuyaranzua mararizo ya. . .USlmamlZl na ya mazmglrayanayobainishwa.

"Manufaa ya urararibu huu nikwamba masuala mbalimbali huwezakuraruliwa kwa ushrikishwaji wawadau wore ambao wanahusika karikakupanga na kurekeleza majukumumbalimbali", anaeleza zali.

Kufuarana na zali, urararibu huuhusaidia kugawana majukumu namamlaka karika usimamizi wa maliasiliza pwani. "Urararibu huu huwapa

mamlaka na sauri wananchi karikakubainisha fursa na mararizo, nahacimaye kupanga harua na mikakari yakurarua mararizo yanayojiwkeza kwakushirikiana na maaf! a wa halmashauriza wilaya. Hivyo, upangaji naurekelezaji shughuli za rCM wilayanina vijijini ni kipimo kizuri chamafanikio ya rCM".

Licha ya kuwa fursa na njia muafakaza kuziimarisha halmashauri za wilayaili ziwajibike kwa wananchi, upangajiwa shughuli za rCM pia huchangiakarika urekelezaji wa Programu yaUrekebishaji Serikali za Miraar ambayoinalenga kuzipa halamashauri za wilayamadaraka ya kusimamia shughuli zamaendeleo, ukiwemo usimamizi wamaliasili.

Akisisiriza kwamba mafanikio yaurekelezaji wa Mkakari wa rCMurawkana na upangaji mzuri washughuli za rCM karika ngazi ya wilaya

na VIJ1Jilll, zali anaraja manufaa yauraracibu huu kuwa ni pamoja na:- Kuwapa mamlaka na sauri wore

wanaohusika karika kupanga nakurekeleza mipango iliyokusudiwa

Urekelezaji wa harua zinazolengararizo lililochunguzwa nakuchambuliwa kwa makini

- Ufuariliaji wa mawkeo ya haruazilizochukuliwaUpimaji wa mara kwa maramaendeleo kuwkana na haruazilizochukuliwa - na kama kunaulazima kuweka programumaalumu ya urekelezaji naufuariliaji

Chombo kikuu cha kufanikishaupangaji wa shughuli za rCM nikikundi kinachoundwa na waraalamukuwka karika sekta mbalimbali naraasisi zikiwemo sekra ya binafsi,wananchi na mashirika yasiyo yaki erikali.

"Kikundi hiki hubeba jukumu lakupanga, kurekeleza na kufuariliashughuli kwa kuwahusisha kwa karibuwananchi karika eneo linalohusika.Kwa kufuara misingi ya rCM, kikundihubainisha na kuyapima masualayanayohiraji kushughulikiwa kabla yaharua kuchukuliwa," anafafanua zali.

Akijibu swali kuhusiana na ufanisi waupangaji kwa kurumia misingi ya rCM,

zali anaeleza kwamba wilaya zaPangani na Bagamoyo zinaanza kuparamarunda ya uraracibu huu. "Wilayazore mbili hivi sasa zinayararua masualakadhaa yanayohusiana na marumiziyasiyoendelevu ya rasilimali za pwani.rnararajiwa kwamba kadri wilaya hizozinavyoendelea kuyakabili ma ualambalimbali, rararibu zirafanywa kuwezakupara ufumbuzi wa mararizo navirendo visivyokuwa endelevu." ~

Utalii wa •pwanl muhimu kwa maendeleo

Boma la Mikintumi ambalo limekarabatiwa na kunakshiwa wa matumizi.ya hoteliya kitalii

Tanzania imebahatika kuwa na pwani nzuriinayovutia na ambayo ina fursa nyingi za utalii.Utalii wa pwani ukiendelezwa kikamilifu nichanzo kimojawapo cha kukuza uchumi wataifa.

Lakini pamoja na mandhali yake ya kuvutia,pwani ya Tanzania haijaendelezwa kiasi chakutosha na kuifanya iwe ni kuvutio kikuu chawatalii. Karibu pwani yote ya urefu wa kilomita800 kutoka Tanga hadi Mtwara, imejaa vivutiombalimbali ambavyo kama vingeendelezwavingekuwa ni chanzo kikubwa cha fedha zakigeni ambazo zingeingizwa na watalii.

Vivutio hivyo ni pamoja na fuko murua,magofu ya kale na majengo mengine yakihistoria, bila kusahau utamaduni wa wakaziwa pwani. Pia katika maeneo ya pwani kunamaeneo ya hifadhi ya wanyama pori, ambayoyana mvuto wa pekee kwa wageni.

Changamoto inayoikabili Tanzania nikuboresha sekta ya utalii wa pwani ambaoutaliletea faida taifa lakini ambao haunamadhara kwa mazingira na utamaduni wawakazi wa pwani. Changamoto nyingine nikuzingatia kwamba utalii hauziathiri sektanyingine.

"Nia ya serikali ni kuwa na utalii ulioendelevu katika hali zote. Kusudio siyo utaliiunaoleta mapato mengi tu, bali utalii usiodhuruustawi wa mazingira, usiokiuka maadili yatamaduni za wakazi wa pwani, na ambaohausababishi madhara au migongano katikashughuli za sekta nyingine", anaeleza IIdefonceMasekesa, mratibu wa kikundi cha wataalamuwa masuala ya utalii chini ya Tanzania CoastalManagement Partnership (TCMP)

Ukiwa miongoni mwa sekta muhimu zauchumi nchini, utalii huchangia asilimia 13%

6

(hasa kutokana na utalii katika mbuga zawanyama zilizopo kasikazini), katika pato lataifa, na hutoa ajira kwa zaidi ya watu 150,000.

Lakini kutokana na utajiri mkubwa waraslimali na maliasili nchini, utalii badohaujatumiwa vizuri ili uchangie zaidi pato lataifa. Na ni kwa kutambua hilo, kwamba serikaliinafanya juhudi kuimarisha utalii wa pwni iliulete manufaa bora zaidi kwa serikaJi nawananchi.

Hatua mbalimbali zimeanza kuchukuhwa.Mojawapo ni utayarishaji wa Mpango wa Taifawa Utalii, ambao unatoa mwongozo kwawawekezaji wa nje na ndani. Mpango huounabainisha maeneo yanayofaa kwa uwekezajikatika utalii wa pwani.

Utekelezaji wa mpango huo tayari umeanzakuzaa matunda. Hoteli za ufukoni zimeanzakukarabatiwa na maeneo ya ujenzi wa hotelimpya yamenza kugawiwa kwa wawekezaji. Haliinaanza kuleta matumaini hasa katika maeneoyenye mvuto wa pekee. Maeneo hayo nipamoja na wilaya ya Kilwa, Hifadhi ya Saadani,Pangani, Bagamoyo, Mtwara - ambakoimeanzishwa Hifadhi ya Bahari ya Mnazi Bay, naHifadhi ya Bahari ya Mafia.

Tayari wataalamu wa masuala ya utaliiwamefanya utafiti yakinifu, na kuchapishaMwongozo wa Kuendeleza Utalii wa Pwani.Utalii wa pwani ni mojawapo wa nyanjainayolengwa kuboreshwa katika utekelezaji waMkakati wa ICM.

"Ni matumaini ya serikali kwamba kupitiakanuni za ICM, Tanzania itaweza kuimarishashughuli za utalii. Mkakati huo wa ICMunaelekeza uendelezaji wa utalii wa pwaniunaozingatia ustawi wa mazingira, na unaotoakipaombele kwa maslahi ya wadau wote,"anafafanua Masekesa.

Katika utaratibu unaokusudiwa, kufuatana naMasekesa, uendelezaji wa utalii wa pwani

utaendana na juhudi za taifa za kukuza uchumizikiwemo Programu ya Kurekeb1sha Serikali zaMitaa, sheria mpya ya ardhi, Mpango wa Taifawa Utalii, sheria ya Hifadhi za Bahari, Mkakatiwa Kuodoa Umasikini na Mkakati wa Taifa waICM.

Hatua za kuimarisha na kuboresha utalii wapwani zimeanza kuchukuliwa. Hatua hizo nipatnoja na kuchambua na kuchapi.sha masualayanayohusiana na utalii endelevu wa pwani nakutoa mwongozo wa serikali katika uendeshajiutalii endelevu wa pwani. Mwongozo wa UtaliiEndelevu wa Pwani unalenga kuwasaidia nakuwaelekeza wawekezaji katika kufuata maadilina njia endelevu za kuendesha shughuli za utaliiwapwani.

Hata hivyo, bado kuna kazi kubwa, hasakatika kuboresha miundombinu iklwemo yamawasiliano na barabara, i1i kuufanya utalii wapwani ushamiri na kuleta manufaayanayostahili. Matumaini kidogo yaliyopo nihatua zinazochukuliwa sasa zikiwemo zaukarabati wa barabara ya Dar es Salaam ­Mingoyo, ukarabati wa magofu ya Kilwa naBagamoyo, na uanzishaji wa Hifadhi ya Taifa yaSaadani na Hifadhi ya Bahari ya Mnazi Bay.

Hatua zaidi zinatarajiwa kutokana nautekelezaji Mkakati wa ICM ambao katikautekelezaji wake mipango ya usimamizi wautalii katika maeneo muhimu itatayarishwa.Mpaka sasa umetayarishwa na kuchapishwaMwongozo wa Kuendeleza Utalii wa Pwaniambao umeridhiwa na Ofisi ya Makamu waRais naWizara ya Maliasili na Utalii. Madhumuniya mwongozo huo ni kuhakikisha kwambauendeshaji wa utalii wa pwani unazingatiauendelevu wa maeneo husika na watuwaliomo katika maeneo hayo. Hii ni kutokanana ukweli kwamba shughuli za utalii zinawezakuziathiri sekta nyingine na hata wenyeji wamaeneo husika. ..