72
JAMHURI YA MUUNGANO WATANZANIA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII Mwongozo wa Kisera wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na Ukatili wa Kijinsia Juni 2013

WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na

  • Upload
    others

  • View
    5

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII

Mwongozo wa Kisera wa Sekta ya

Afya wa Kuzuia na Kupambana

na Ukatili wa Kijinsia

Juni 2013

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII

Mwongozo wa Kisera wa Sekta ya

Afya wa Kuzuia na Kupambana

na Ukatili wa Kijinsia

Juni 2013

ii

YALIYOMO

Dibaji iv

Sehemu Ya Tano Muundo Wa Utendaji Katika Kuzuia Na

Kiambatisho Viashirio Vya Uwaki Kwa

Shukurani vi

Vifupisho vii

Orodha Ya Maneno Muhimu Na Dhana viii

Sehemu Ya Kwanza Utangulizi 1

Sehemu Ya Pili Uchambuzi Wa Uwaki Tanzania 4

Sehemu Ya Tatu Umuhimu Na Malengo 23

Sehemu Ya Nne Maelekezo Ya Kisera 25

Kupambana Na Uwaki37

Sehemu Ya Sita Ufuatiliaji Tathmini Na Utafi ti 45

Sekta Ya Afya 47

iii

DIBAJI

Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa Kijinsia (UWAKI) ambalo kwa ujumla halikuwa likizingatiwa kwa ukaribu Hivi karibuni Utafiti wa Afya na Idadi ya Watu Tanzania (2010) umeonyesha viwango vya juu vya ukatili wa kijinsia ambavyo havikubaliki Ukatili wa kijinsia ni ukiukwaji mkubwa wa Haki za Msingi za Binadamu na una madhara ya muda mrefu ya kimwili kiakili na kisaikolojia kwa watu waliopatwa na UWAKI familia na jamii Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii (WAUJ) imeandaa Mwongozo wa Kisera kuhusu UWAKI ili kuelekeza utayarishaji wa Mwongozo wa Kuzuia na Kutoa Huduma kwa watu waliopatwa na UWAKI Wizara itafanya kazi na wadau wengine kwa kutoa huduma kwa watu waliopatwa na UWAKI katika ngazi zote za utoaji huduma

Uandaaji wa Mwongozo wa Kisera kuhusu UWAKI umezingatia Sera ya Afya na nyaraka mbalimbali za sekta ya Afya zikijumuisha Mpango Mkakati wa Sekta ya Afya III (2009-2015) Mpango wa Maendeleo wa Afya ya Msingi (MMAM 2007-2017) Mpango Mkakati wa Watumishi wa Sekta ya Afya (2008shy2013) Mkakati wa Taifa wa Kuongeza Kasi ya Kupunguza Vifo Vinavyotokana na Matatizo ya Uzazi Watoto Wachanga na Watoto wa umri chini ya miaka mitano kama ldquoMpango Mmojardquo (2008-2015) Programu ya Uzazi wa Mpango Iliyokasimiwa (2010 - 2015) na Mpango wa Taifa wa Huduma kwa Yatima na Watoto Wanaoishi katika Mazingira Hatarishi (NCPA 2011-2016)

Utekelezaji wa kazi zinazohusiana na UWAKI hapa nchini na utoaji wa huduma kwa watu waliopatwa na UWAKI katika vituo vya huduma za afya na ustawi wa jamii hauridhishi Pamoja na jitihada za Serikali za kupambana na UWAKI uhaba wa rasilimali na sababu nyingine ikiwamo ukosefu wa mwongozo wa kisera umechangia kukosekana kwa huduma bora kwa watu waliopatwa na UWAKI Uzuiaji na utoaji wa huduma bora kwa watu waliopatwa na UWAKI hauhusishi Sekta ya Afya na Ustawi wa Jamii pekee bali sekta nyingine zikijumuisha zile zinazotoa huduma za kisaikolojia usalama wa raia na msaada wa kisheria Hali hii inahitaji uratibu na ushirikiano wa karibu baina ya wadau mbalimbali katika kubuni kupanga na kutekeleza mwongozo wa kisera kuhusu UWAKI

iv

Mwongozo huu unaainisha majukumu ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii na wadau wake katika kupanga na kutekeleza uzuiaji na utoaji wa huduma kwa watu waliopatwa na UWAKI katika ngazi zote Uzuiaji wa UWAKI na utoaji wa huduma kwa watu waliopatwa na UWAKI utatekelezwa kwa kufuata mfumo wa utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii nchini Utoaji wa huduma kwa watu waliopatwa na UWAKI kwenye kila kituo cha huduma za afya utazingatia misingi ya kuheshimu haki za binadamu kujali na maadili ya kitaaluma Ni matumaini yangu ya dhati kuwa Maofisa Mipango Kamati za Afya na watoa huduma wote wa Sekta ya Afya watatumia Mwongozo huu wa Kisera katika kupanga na kutekeleza uzuiaji wa UWAKI na utoaji wa huduma bora za afya kwa watu waliopatwa na UWAKI na hatimaye kutokomeza UWAKI nchini Tanzania

Dkt Donan W Mmbando Kaimu Mganga Mkuu wa Serikali

v

SHUKURANI

Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii (WAUJ) inatambua mchango wa Kikosi Kazi cha Wataalamu chini ya uongozi wa Mkurugenzi Msaidizi wa Huduma za Afya ya Uzazi na Mtoto

Pia Wizara inayashukuru Mashirika mbalimbali na watu binafsi waliochangia katika kutayarisha na kukamilisha Mwongozo huu wa Kisera

Tunashukuru na kutambua mchango wa Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani (USAID) Tanzania na Mpango wa Dharura wa Rais wa Marekani wa kupunguza UKIMWI (PEPFAR) kwa kutoa msaada wa kiutaalamu na kifedha katika kuendeleza Sera ya Afya na kutekelezwa na ldquoFutures Group Internationalrdquo Aidha Wizara inashukuru Mpango wa Pamoja wa Umoja wa Mataifa kwa ufadhili wa utaalamu na fedha

Tunapenda pia kuwatambua wataalamu walioshiriki katika kuandaa na Mwongozo huu wa Kisera

Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Kinga

kukamilisha

Dkt Peter Mmbuji

vi

VIFUPISHO

BAW Bodi ya Afya ya Wilaya BHA Bodi ya Huduma za Afya MKUKUTA Mpango wa Kukuza Uchumi na Kupunguza

Umaskini Tanzania MMAM Mpango wa Maendeleo wa Afya ya Msingi MHW Mamlaka ya Halmashauri ya Wilaya NCPA Mpango Kazi wa Taifa wa Kuhudumia Watoto Yatima

na Wanaoishi katika Mazingira Hatarishi PEPFAR Mpango wa Dharura wa Rais wa Marekani wa

kupunguza UKIMWI SADC Ushirikiano wa Maendeleo wa Nchi za Kusini mwa

Afrika UWAKI Ukatili wa Kijinsia UKIMWI Upungufu wa Kinga Mwilini USAID Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani VVU Virusi Vya UKIMWI WAUJ Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii WHO Shirika la Afya Duniani

vii

ORODHA YA MANENO MUHIMU NA DHANA

Kwa madhumuni ya Mwongozo huu maneno muhimu na dhana yatakuwa na maana ifuatayo

Ukatili Matumizi ya nguvu yanayompa mtu fursa ya kumtumia au kumkandamiza mtu mwingine ikiwa ni pamoja na na kumsababishia woga au hofu madhara ya kimwili kifikra na kisaikolojia Ukatili unaweza kujitokeza kwa kumdhuru mtu kimwili au kumtishia kwa kutumia silaha au kumnyima mtu uhuru wa kufanya uamuzi na kumlazimisha kutenda kinyume na utashi wake

Kijana balehe Kipindi cha mpito cha ukuaji kutoka utoto kuelekea utu uzima Kipindi hiki ni muda ambapo mhusika sio mtoto wala mtu mzima kibiolojia wala hajakomaa kihisia Wakati huu kuna mabadiliko makubwa ya kimwili yanayohusiana na mwanzo wa kubalehe pamoja na kukua kisaikolojia Kijana balehe hujumuisha wanafunzi wengi walio kwenye shule za msingi na baadaye kukamilika wakiwa shule za sekondari

Mtoto Kwa mujibu wa katiba ya Tanzania na sheria ya mtoto mtoto ni mtu yeyote aliye chini ya umri wa miaka 18

Unyanyasaji wa mtoto Unyanyasaji wa mtoto ni dhana ambayo inahusisha maneno au vitendo vilivyokusudia kusababisha utokeaji wa madhara au vitisho kwa watoto Kuna aina tatu za ukatili kwa watoto kimwili kingono na kisaikolojia

Unyanyasaji wa mtoto kingono Ushirikishwaji wa mtoto katika vitendo vinavyohusu ngono Unyanyasaji wa watoto kingono unatokea kati ya mtoto na mtu mzima au mtoto na mtoto mwingine ambaye wamezidiana kiumri na kupevuka na anaaminika ana madaraka na wajibu juu ya mtu aliyepatwa na UWAKI kwa lengo la mnyanyasaji kujiridhisha haja zake binafsi

Unyanyasaji wa watoto kingono ni pamoja na kushawishi au kumlazimisha mtoto kushiriki katika vitendo vyovyote vya ngono utumiaji wa watoto kufanya ukahaba au matumizi ya watoto katika kupiga picha za ngono na kutumia vifaa vinavyohusika na ngonoUnyanyasaji wa mtoto ni dhana

viii

ambayo inahusisha maneno au vitendo vilivyokusudia kusababisha utokeaji wa madhara au vitisho kwa mtoto

Kulazimisha Kutishia au kutumia nguvu ikiwa ni pamoja na kutumia vitisho kauli mbaya ulaghai udanganyifu mila potofu au nguvu ya kipato bila ridhaa yake

Huduma kwa waathirika wa UWAKI Ni huduma jumuishi zinazotolewa kwa waathirika zikijumuisha Kuchukua historia ya mtu aliyepatwa na UWAKI upimaji wa kina kuchukua vipimo vya ushahidi wa kimahakama kwa mujibu wa sheria unasihi kupata matibabu ya awali kupata msaada wa kisheria na kisaikolojia na pale inapobidi kupewa ulinzi

Ridhaa Kufanya uamuzi wenye uelewa uhuru na hiari kuhusu jambo lolote Hakuna ridhaa ikiwa makubaliano yamepatikana kwa njia ya vitisho nguvu au aina zozote za kulazimishwa utekaji nyara udanganyifu ulaghai na upotoshaji

Ukatili ndani ya familia Ni vitendo vya unyanyasaji wanavyofanyiana watu walio katika uhusiano wa karibu kama vile ndoa uchumba familia au watu wanaoishi pamoja kama mke na mume bila ndoa rasmi

Kuna aina mbalimbali za ukatili wa kifamilia zikiwa ni pamoja na ukatili wa kimwili (kumpiga kumwuma kumsukuma kumzuia kumtupia vitu) au kumtishia Aina nyingine ya ukatili wa kifamilia ni ukatili wa kisaikolojia (kumfanyia vitisho kuvizia kumpuuzia) na ukatili wa kiuchumi Madhara yanayotokana na ukatili wa kifamilia ni pamoja na matumizi makubwa ya pombe utegemezi wa dawa za kulevya na magonjwa ya akili

Kituo cha Hifadhi ya muda Mahali pa kupata taarifa usalama huduma ya kwanza rufaa na mahitaji mengine muhimu na ya haraka kwa waliopatwa na UWAKI ambao wanahitaji mahali salama penye usiri kwa kipindi fulani

Kituo maalumu cha malezi Mahali rasmi panapotambulika kisheria kama makao ya watoto au shule za maadilisho Mahali pa kulelea watoto

ix

wanaoishi katika mazingira hatarishi kama vile kituo cha kulelea watoto kinachomilikiwa na watu binafsi taasisi za dini au serikali

Mlezi maalumu Mtu mzima mwenye akili timamu maadili mazuri na anayeaminika katika jamii ana uwezo wa kumlea mtoto ambaye siyo ndugu yake au wa nasaba yake ambaye amethibitishwa na ustawi wa jamii kuweza kumpa matunzo

Kulazimisha kurithi Mjane Ni mila ambapo mjane anashurutishwa bila ridha yake kuwa mke au mume wa ndugu wa marehemu Inawezekana kuwa katika aina au mtindo tofauti kulingana na tamaduni

Ukahaba wa Kulazimishwa Ni kitendo cha ulaghai kinachofanywa na watu kwa makundi hatarishi kama wanawake au wasichana kwa kuwaahidi kuwapatia vitu msaada au ajira halali na badala yake kuwatumikisha katika biashara ya ngono

Jinsia Ni uhusiano uliojengeka katika jamii Watu huzaliwa wakiwa na maumbile ya kike na kiume kisha hujifunza kazi au shughuli za kike na kiume kwenye jamii na hatimaye husababisha watu kujipangia majukumu kutokana na jinsia

Ukatili wa Kijinsia (UWAKI) Ni kitendo chochote cha kikatili anachofanyiwa mtu yeyote awe mwanamke mwanamume au mtoto chenye lengo la kumwumiza kimwili au kiutu kutokana na jinsia yake Ukatili wa kijinsia unajumuisha ukatili wa kingono kisaikolojia mila hatarishi na unyanyasaji wa kiuchumi na kijamii

Kupambana na Ukatili wa Kijinsia Kunajumuisha mambo yafuatayo Kutoa huduma kuandaa mipango mkakati kwa kuwashirikisha wadau mbalimbali

Mila na desturi hatarishi

bull Ukeketaji Ni kitendo cha kikatili anachofanyiwa mtoto wa kike msichana au mwanamke kwa kukata kabisa au kuondoa sehemu ya via vya nje vya uzazi kwa sababu zisizo za kitabibu

x

bull Ndoa katika umri mdogo Ni ndoa zinazojitokeza zaidi kwa wasichana ambazo zinahusishwa na madhara kwa mama na mtoto kama vile matatizo wakati wa kujifungua ulemavu na vifo vya mama na mtoto

bull Ndoa ya kulazimishwa Ni ndoa zinazofanyika bila ridhaa ya mwanamume au mwanamke Iwapo mmoja kati yao hatakubaliana ndoa hizo zinaweza kusababisha madhara ya unyanyasaji na ukatili

bull Utakaso wa mjane Ni desturi ambapo mjane hulazimishwa au hulazimika kufanya ngono na ndugu wengine au mtu aliyeteuliwa kwa kazi hiyo katika jamii Hii hufanyika kabla mjane huyo hajaolewa au kuoa tena

Haki za binadamu Ni stahili za msingi ambazo kila binadamu anapaswa kuzipata ili kumwezesha kuishi kujiendeleza kushiriki na kupata ulinzi wa jamii bila kujali utaifa jinsia asili ya utaifa au nasaba au kabila rangi dini lugha au kwa hali nyingine yoyote

Matukio ya ukatili Ni kitendo au mfululizo wa vitendo vya ukatili vinavyofanywa na mtu au kikundi cha watu dhidi ya mtu au kundi la watu kwa makusudi ya kuharibu kuleta hofu au kutishia amani kwa maslahi binafsi Vitendo hivyo vya kikatili vinaweza kufanyika nyumbani kwenye hadhara na mahali popote katika nyakati tofauti

Ukatili kati ya wenzi Ukatili unaohusisha wenzi wenye uhusiano wa ndani kama vile mtu na mke marafiki wapenzi wanafamilia au watu wanaoishi pamoja kama mke na mume bila ndoa rasmi Ukatili kati ya wenzi ni wa aina nyingi ikiwa ni pamoja na ukatili wa kimwili (kupigwa kuuma kumsukuma kumzuia kumtupia vitu) au kumtishia Aina nyingine ya ukatili wa wenzi ni ukatili wa kingono kisaikolojia (kumfanyia vitisho kuvizia kumpuuza) na ukatili wa kiuchumi (kunyimwa haki ya kufanya kazi kunyangrsquoanywa kipato kurithi mali nk)

Mhalifu Ni mtu kundi la watu au taasisi linalofanya moja kwa moja au kupitia wengine uhalifu au vitendo vya kikatili dhidi ya mtu au kundi la

xi

watuWahalifu wanakuwa katika hali ya kuwa au kuhisi kuwa na nguvu kufanya uamuzi naau mamlaka ya kuwadhibiti waliopatwa na UWAKI

Ukatili wa kimwili Ni kitendo cha kumdhalilisha mtu kwa kumpiga kumvua nguo kumwuma kumchoma kumsababishia ulemavu au kumwua kwa kutumia au kutotumia silaha

Nguvu Katika muktadha wa UWAKI madaraka yanahusiana na uwezo wa kuchagua Mamlaka makubwa yanaendana na uwezo mkubwa wa kufanya uamuzi Kwa upande mwingine mamlaka madogo yanaendana na uwezo dhaifu wa kufanya uamuzi na kwa hivyo kuongeza uwezekano wa kunyanyaswa UWAKI unahusisha matumizi mabaya ya madaraka ambapo mtu mmoja anajisikia kuwa ana mamlaka zaidi juu ya mwenzake na kutumia fursa hiyo kumnyanyasa

Kwa mfano kutumia shinikizo la aina yoyote ili kumfanya mtu mwenye uwezo mdogo kufanya naye ngono kwa madhumuni ya kumpatia faida au ahadi zozote ni kutumia vibaya madaraka Wanaume wana nafasi za madaraka kuliko wanawake na mara nyingi wanamiliki fedha mali na huduma Wanaume wana maumbile makubwa zaidi ya wanawake wana nguvu zaidi wanatumia silaha zaidi na wanadhibiti mawasiliano na usalama Madaraka yanategemea umri na mara nyingi watoto na wazee wana madaraka madogo zaidi Waume au marafiki wa kiume wana umri mkubwa zaidi kuliko wake zao au marafiki wa kike

Ubakaji Ni kitendo cha mtu kumwingilia mtu kimwili mtu mwingine kwa nguvu bila ridhaa yake au kitendo cha kumwingilia mtu mwenye umri chini ya miaka 18

Ulazimishaji ngono ndani ya ndoa Ni kitendo cha ngono kati ya wanandoa kinachofanywa na mwanandoa mmoja bila ridhaa au dhamira ya mwenzake akitumia nguvu vitisho kuogopesha hofu au wakati mwenza hawezi kutoa ridhaa

Vitendo hivyo vya ngono vinajumuisha kujamiiana ngono ya mdomo au kinyume na maumbile kulazimishwa kufanya ngono na mtu mwingine na vitendo vingine vya ngono ambavyo vinachukuliwa na mlazimishaji kama ukandamizaji udhalilishaji na vya kuumiza

xii

Nyumba salama Mahali pa hifadhi ya muda kwa watu waliopatwa na UWAKI mashahidi au watu wengine wanaoonekana kuwa hatarini Pia ni mahali ambapo jamii familia mtu mzima anayeaminika au taasisi ya hisani wanatoa kimbilio la usalama kwa watu waliopatwa na UWAKI

Ukatili wa Kingono Ni kitendo au jaribio lolote la unyanyasaji wa kingono linalosababisha au linaloweza kusababisha madhara ya kimwili kisaikolojia au kihisia

Ngono za Kulazimishwa Ni kitendo cha kumshurutisha au kujaribu kumshurutisha mtu mwingine kwa njia ya ukatili vitisho maneno makali udanganyifu kumpa matarajio ya kiuchumi ili ajihusishe na vitendo vya ngono bila ridhaa yake Ni pamoja na vitendo mbalimbali kama ubakaji na maeneo mapana zaidi kama wanawake kulazimishwa kuolewa na kutoa huduma ya ngono kwa wanaume ambao sio chaguo lao

Ukandamizaji wa Kingono Ni kumtumia mtu watu au jamii inayoishi kwenye mazingira magumu kwa madhumuni ya kuihusisha katika vitendo vya kujamiiana au vinavyohusiana na kujamiiana ili mhalifu afaidike kiuchumi au kijamii

Bughudha ya Kingono Ni matendo yanayohusiana na hisia za kujamiiana ambayo yanakera na kuudhi watu ndani ya jamii na mazingira ya kazi hayakubaliki yanasumbua yanarudiwa mara kwa mara na bila ridhaa kwa mfano matusi kukonyeza mavazi duni yenye kuonyesha maungo kupapasa picha za ngono na kuingilia faragha za mwili wa mtu

Ukatili wa Kingono Nikitendo au jaribio lolote la unyanyasaji wa kingono linalosababisha au linaloweza kusababisha madhara ya kimwili kisaikolojia au kihisia

Ukatili wa Kiuchumi na Kijamii Ni vitendo vya kumnyima mtu fursa ya kupata mahitaji ya msingi na ya kujiendeleza kama kumnyima elimu kazi kumiliki mali huduma za afya na vitendo vingine vinavyosababisha msongo wa mawazo

xiii

Ukatili Matumizi ya nguvu yanayompa mtu fursa ya kumtumia au kumkandamiza mtu mwingine ikiwa ni pamoja na kumsababishia woga au hofu madhara ya kimwili kifikra na kisaikolojia Ukatili unaweza kujitokeza kwa kumdhuru mtu kimwili au kumtishia kwa kutumia silaha au kumnyima mtu uhuru wa kufanya uamuzi na kumlazimisha kutenda kinyume na utashi wake

Ukatili Dhidi ya Wanawake Ni kitendo au vitendo vya unyanyasaji vyenye kulenga jinsia ya kike na vyenye kusababisha au kuleta madhara ya kimwili kingono kihisia kisaikolojia kiuchumi na kijamii Kitendo au vitendo hivi hujumuisha kutumia nguvu na vitisho vya kumnyima mwanamke haki na uhuru

xiv

SEHEMU YA KWANZA

UTANGULIZI

11 Hali ya Ukatili wa Kijinsia Duniani

Ukatili Wa Kijinsia (UWAKI) unatokana na kuwepo kwa tofauti kati ya wanaume na wanawake na hivyo kuhatarisha afya utu usalama na uhuru wa wahusika waliofanyiwa vitendo vya kikatili

UWAKI unajumuisha vitendo vingi vya ukiukwaji wa haki za binadamu kama vile unyanyasaji wa watoto kingono ubakaji unyanyasaji katika familia shambulio la aibu na udhalilishaji Vitendo vingine vya UWAKI ni usafirishaji haramu wa wanawake na wasichana na madhara mengine yatokanayo na mila na desturi hatarishi

Matukio ya ukatili wa kijinsia yanaacha athari kubwa za kisaikolojia na za kiafya kwa watu waliopatwa na ukatili ikiwa ni pamoja na kuathiri afya ya uzazi na mara nyingine kusababisha vifo

UWAKI haujatambuliwa kama ukiukwaji wa haki za binadamu katika sehemu nyingi duniani Tatizo hili hupunguza uwezo wa wanawake wanaume na watoto katika kufurahia uhuru na haki za msingi za kibinadamu Hata hivyo licha ya kuwepo kwa UWAKI katika nchi nyingi tatizo hili halijapewa kipaumbele UWAKI unaelezwa kuwa ldquoNi kitendo kiovu na cha aibu kubwa cha ukiukwaji wa haki za binadamurdquo Hali hii humfanya mwanamke kuwa tegemezi kijamii kiuchumi na kisheria na hupunguza uwezo wake katika kupata msaada mara anapofanyiwa ukatili

Utafiti uliofanywa na Shirika la Afya Duniani (WHO) kuhusu afya ya wanawake na ukatili wa kifamilia katika nchi 10 umeonyesha kuwa kati ya wanawake waliowahi kuwa na wenzi asilimia 13-61 walifanyiwa ukatili wa kimwili na wenzi wao asilimia 6-59 walifanyiwa ukatili wa kingono na asilimia 15-71 walifanyiwa vitendo vya ukatili wa kingono pamoja na kimwili Pia wanawake wengi vijijini walikiri kuwa walifanyiwa tendo la ngono kwa mara ya kwanza bila ridhaa yao na takwimu zinaonyesha matukio hayo katika baadhi ya nchi kama ifuatavyo Peru (24)

1

Tanzania (17) Bangladesh (30) na Ethiopia (17) Ukatili wa kimwili kwa wanawake wajawazito uliripotiwa kuwa ni asilimia 4-12

Wanawake na wasichana wanakabiliwa na aina nyingine ya ziada ya unyanyasaji Usafirishaji haramu wa wanawake na wasichana kwa ajili ya kazi na ngono za kulazimishwa ni biashara iliyoshamiri na mara nyingi waathirika ni wale wanaokabiliwa na hali ngumu ya maisha Ndoa za kulazimishwa na za utotoni ni ukiukwaji wa haki za binadamu kwa wanawake na wasichana lakini zinaendelea kushamiri kwenye nchi nyingi za Bara la Asia Mashariki ya Kati na Nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara Utafiti wa Shirika la Afya Duniani (2010) unaonyesha kuwa duniani kote mwanamke mmoja kati ya wanawake watano na mwanamume mmoja kati ya wanaume 10 wanaripotiwa kuathirika na unyanyasaji wa kingono wakati wa utoto

12 Hali ya UWAKI Kanda ya Afrika

Kuna uhaba wa taarifa takwimu na utafiti kuhusu UWAKI kwenye ukanda wa Afrika Mashariki Nchini Kenya kulikuwa hakuna takwimu zenye kuhusiana na ukatili wa kijinsia hadi utafiti wa hali ya jamii na afya ulipofanyika mwaka 2003 Utafiti huu ulionyesha kwamba asilimia 29 ya wanawake waliripotiwa kuathiriwa na ukatili wa kingono kwenye kipindi cha mwaka mmoja uliopita na wengi wa waathirika walikuwa wanawake wa umri wa miaka 20-29 Utafiti uliofanywa na Ushirika wa Wanasheria Wanawake nchini Kenya ulionyesha kwamba ukatili wa kijinsia katika familia unakabili asilimia 51 ya wanawake waliohudhuria kliniki nne za wajawazito kwenye jiji la Nairobi na waliripoti kuwa wamekuwa waathirika wa ukatili wakati fulani katika maisha yao kati yao asilimia 65 walifanyiwa ukatili na waume zao na asilimia 22 walifanyiwa ukatili na wanaume wasiowafahamu

Utafiti kuhusu UWAKI uliofanywa baada ya uchaguzi wa 2007 nchini Kenya ulilenga makazi duni ya Kibera jijini Nairobi yenye wakazi wapatao milioni moja Utafiti huu ulionyesha kuwa umri wa waathirika waliobakwa ulikuwa kati ya miaka 25-68 na wengi wao walikuwa wenye umri wa miaka ya 30 UWAKI uliwaathiri wanawake wa umri wa miaka yote Utafiti huu ulibaini kwamba baadhi ya waathirika waliambukizwa virusi vya UKIMWI

2

Mwaka 2007 Umoja wa Mataifa ulikadiria kuwa kiwango cha ubakaji wa wanawake katika eneo la Kivu kaskazini ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ulikuwa ni wanawake 350 kwa mwezi Mwaka 2008 shirika linalotetea haki za binadamu duniani (Amnesty International) liliripoti kuwa wanawake 40 hubakwa kila siku katika eneo hilo hilo

3

SEHEMU YA PILI

UCHAMBUZI WA UWAKI TANZANIA

21 Ukubwa wa tatizo la UWAKI Tanzania

Utafiti uliofanywa na Shirika la Afya Duniani (WHO)1 kuhusu afya ya wanawake na ukatili majumbani kwenye nchi 10 umebaini kuwa ukatili dhidi ya wanawake upo sehemu nyingi ikiwemoTanzania Utafi ti huo ulihusisha wanawake 1820 Dar es Salaam na wanawake 1450 Mbeya waliowahi kuwa na wenzi Matokeo yalionyesha kwamba asilimia 41 ya waliohojiwa katika jiji la Dar es Salaam na asilimia 55 ya waliohojiwa katika jiji la Mbeya waliathirika na aina mbalimbali za UWAKI Taarifa ilionyesha kuwa asilimia 15 hadi 71 ya wanawake walioathirika na ukatili wa kimwili au wa kingono ulifanywa na waume au wenzi wao Utafi ti huo pia ulionyesha kwamba asilimia 15 ya wanawake walifanya kitendo cha ngono kwa mara ya kwanza kwa kulazimishwa Aidha asilimia 4 hadi 12 ya wanawake waliripotiwa kunyanyaswa kimwili wakati wa ujauzito

Kufuatana na uchunguzi wa kitaifa nchini Tanzania kiwango cha ukatili majumbani kati ya wanawake wenye umri wa miaka 15- 49 ni asilimia 45 ikijumuisha ukatili wa kimwili (25) kingono (7) na (14) kwa aina zote mbili Unyanyasaji wa kimwili kwa wanawake wajawazito ulikuwa asilimia tisa (9) Kiwango cha wanawake waliokabiliwa na matukio ya kushurutishwa na wenzi wao kilikuwa asilimia sitini (60) Kiwango cha matukio ya ukatili wa kimwili kinatofautiana sana kati ya mkoa na mkoa ambapo kiwango cha juu sana kipo kwenye mkoa wa Dodoma (71) na cha chini kabisa kwenye mkoa wa Tanga (16) Ukatili wa kingono ni wa kiwango cha juu sana kwenye mkoa wa Rukwa (32) na chini kabisa kwenye mkoa wa Shinyanga (5) Kiwango cha wanawake waliowahi kuwa kwenye ndoa ambao wameathirika na ukatili wa kingono kutoka kwa mume au mwenzi wa sasa ni 48 mume wa zamani (21) rafiki wa kiume wa sasazamani (7) Kwa upande wa wanawake ambao hawajaolewa 27 ya ukatili ulifanywa na marafi ki wa kiume wa sasa au wa zamani

1 World Health Organization (WHO)

4

Uchunguzi wa WHO uliotajwa hapo juu umeonyesha usafi rishaji wa wanawake na wasichana kwa ajili ya kazi na ngono za kulazimishwa ni biashara iliyoshamiri na mara nyingi waathirika ni wale wanaokabiliwa na hali ngumu ya maisha Ndoa za kulazimishwa na za utotoni kama zilivyo kwenye jamii nyingi ni ukiukwaji wa haki za binadamu kwa wanawake na wasichana kwa sababu hawana fursa ya kutoa ridhaa Zaidi ya 60 ya waathirika wa UWAKI nchini Tanzania hawachukui hatua yoyote ya kutoa taarifa ya ukatili kwa mamlaka rasmi au vyombo vya kutekeleza sheria Upo uwezekano mkubwa wa maambukizo ya VVU kutokana na UWAKI Vijana wa kike wa Kitanzania wenye umri wa miaka 18-29 ambao wamekuwa wakinyanyaswa na wenzi wao wana uwezekano wa mara 10 zaidi kupata maambukizo ya VVU kuliko wanawake ambao hawajanyanyaswa

Utafiti uliofanyika Dar es Salaam mwaka 2000 ulibaini kuwa zaidi ya 90 ya waathirika wa ubakaji wanawafahamu wahalifu wao Katika utafiti mwingine uliofanyika Dar es Salaam asilimia ishirini na tano (25) ya wanawake waliohojiwa walikiri kwamba ldquoUkatili ni tatizo kubwa kwenye maishardquo Nchini Tanzania ubakaji ndani ya ndoa hautambuliwi kama kosa la jinai isipokuwa kama wenza wametengana

Vitendo vya UWAKI nchini Tanzania kwa ujumla vinalenga zaidi wanawake na wasichana kutokana na desturi na mazoea ya jamii ambazo zinawabagua na kuwapunguzia uwezo wa kufurahia haki zao za kibinadamu Ingawa mashambulizi ya ngono yanawalenga zaidi wanawake na wasichana hata hivyo wanaume na wavulana vilevile wanalengwa katika unyanyasaji wa kingono kubughudhiwa na kushambuliwa

Ukatili kama ulivyofafanuliwa unadhihirisha tofauti ya madaraka kati ya mwathirika na mhalifu wa ukatili wa kingono ambapo mhalifu mara nyingi ana umbo kubwa umri mkubwa utajiri au ni mmojawapo kwenye kundi la watu wenye mamlaka au anatumia silaha Nchini Tanzania asilimia 134 ya vijana wameathiriwa na mashambulio ya kingono ya namna moja ama nyingine Kwa ujumla kutokana na sababu mbalimbali nchini Tanzania kuna uhaba wa taarifa za UWAKI pia taarifa zilizopo siyo kamilifu

5

Uzoefu unaonyesha kuwa bila kujali hali ya afya ya kimwili ya mwathirika UWAKI humwacha mwathirika na majeraha ya muda mrefu na kupunguza uwezo wa mwathirika kushirikiana na jamii na familia Athari zaidi hujitokeza kwa mwathirika kama vile aibu unyanyapaa msongo wa mawazo na mfadhaiko Tatizo hili kwa waathirika linachochewa na ldquoUtamaduni wa ukimyardquo miongoni mwa familia na jamii inayowazunguka UWAKI una athari ya moja kwa moja na matokeo hasi kwa afya na ustawi wa kiuchumi na kijamii kwa familia hasa kwa wanawake na watoto

22 Unyanyasaji wa Mtoto na Kijana

Utafiti wa kitaifa nchini Tanzania kuhusu Ukatili Dhidi ya Watoto ni wa kwanza na wa aina yake katika Bara la Afrika Matokeo ya utafi ti yameonyesha kwamba mara nyingi watoto wanakabiliwa na unyanyasaji na matukio mengi na ya namna mbalimbali yanayojumuisha ukatili wa kimwili kingono na kisaikolojia Utafiti ulibaini kuwa watoto wengi wako kwenye hatari kubwa ya kunyanyaswa kwenye mazingira ya nyumbani na shuleni Haya ni maeneo mawili ambayo watoto wengi wa Kitanzania hutumia muda wao mwingi wakati wanakua na kuelekea kwenye ujana Robo tatu ya watoto wanapofikia umri wa miaka 18 huwa wameathirika na ukatili wa kimwili kwa namna moja ama nyingine kutokana na ukatili wa ndugu mwalimu au kiongozi Kutokana na utafiti takribani 30 ya wanawake wenye umri kati ya umri wa miaka 13-24 na 14 ya wanaume wenye umri kati ya miaka 13-24 nchini Tanzania waliripotiwa kuathirika na ukatili wa kingono angalau mara moja kabla ya kufikisha umri wa miaka 18

Nchini Tanzania ukeketaji hufanyika mapema utotoni Karibu mwanamke mmoja kati ya wanawake watatu waliokeketwa (32) walikeketwa kabla ya kufikisha umri wa mwaka mmoja na 27 walikeketwa wakiwa na umri wa miaka 13 au zaidi Hata hivyo ukeketaji kwa wasichana hufanyika katika umri mdogo sehemu ya wanawake waliokeketwa wakiwa na umri wa miaka 5 iliongezeka kutoka 34 hadi 39 kwa mujibu wa Utafiti wa Afya ya Jamii [UAJ] 2004-05 na UAJ 2010 Kulingana na utafiti huu 5 ya wasichana wa miaka 13shy17 waliripotiwa kuwa wamekeketwa na 10 ya wasichana wa umri wa miaka 18-24 waliripotiwa kukeketwa Kwa mujibu wa sheria kukeketa ni

6

kosa linalostahili adhabu Kuna uwezekano kwamba wale waliokeketwa huwa wanasita kutoa taarifa na ndiyo sababu ya taarifa kuwa chache

23 Mazingira ya Sera ya UWAKI

Serikali ya Tanzania imeonyesha nia yake ya kushughulikia masuala ya UWAKI kwa kuridhia mikataba kadhaa ya kimataifa yenye kuhusiana na UWAKI na jinsia Mkataba wa Kutokomeza Aina Zote za Ubaguzi Dhidi ya Wanawake (1985) ambao umekuwa chombo katika kupambana na matukio ya ubaguzi ikiwa ni pamoja na ukatili Jukwaa la Beijing (1995)2 na Malengo ya Maendeleo ya Milenia (2000)3 Tanzania pia imeridhia hati ya Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu kuhusu haki za wanawake na hati ya Ushirikiano wa Maendeleo wa Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC)4

Vipaumbele vya maendeleo ya Tanzania vinaainishwa katika Dira ya Taifa 2025 na katika Mpango wa Kuondoa Umaskini na Kukuza Uchumi (MKUKUTA) MKUKUTA II (2011-25) unashughulikia UKIMWI na jinsia kama masuala mtambuka na ni mkakati wa kwanza wa kitaifa unaotambua UWAKI kama suala la kisera kwa watu wote Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto ndiyo yenye jukumu la kuratibu shughuli zote zinazohusiana na jinsia

Wizara hiyo imetayarisha Sera ya Maendeleo ya Jinsia (2000) kwa ajili ya kushughulikia upungufu na kukosekana kwa usawa kati ya wanaume na wanawake Pia Wizara imetayarisha Mkakati wa Kitaifa wa Jinsia na Maendeleo (2002) unaotoa dira na kuwezesha usawa wa kijinsia nchini Pamoja na Mpango wa Taifa wa Vitendo vya Kukinga na Kutokomeza Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto (2001-2015) kwa ajili ya kuongeza juhudi za Serikali za kisheria kwa kupambana na UWAKI na kuhakikisha lsquousawarsquo na lsquohakirsquo kati ya wanawake na wanaume nchini Tanzania Sera ya Taifa ya Afya ina mfumo wa utoaji wa huduma za afya kwa watu wote wanaohitaji ikiwa ni pamoja na waathirika wa UWAKI

2 Beijing Platform for Action - (BPA 1995) 3 Millennium Development Goals - (MDG 2000) 4 Southern African Development Cooperation - (SADC)

7

24 Haki za Binadamu Sheria na Mazingira ya Udhibiti

Tanzania imeridhia Sheria ya Haki za Binadamu na masharti ya vyombo kadhaa vya kimataifa na kikanda ambavyo vinakataza ubaguzi kwa misingi ya jinsia na hivyo kuhitaji serikali ihakikishe kwamba wanawake hawabaguliwi Vyombo hivi ni Mkataba wa Kimataifa wa Kuzuia aina zote za Ukatili na Unyanyasaji wa Kijinsia 1979 pamoja na Mkataba wa Kimataifa wa Haki za Kiraia na Kisiasa (1966)5 Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu (1981) na Hati ya Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu Kuhusu Haki za Wanawake Afrika (2000)

Tanzania imetunga sheria inayosimamia kukinga na kupambana na UWAKI Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (1977) iko wazi kwa kukataza ubaguzi na kwa misingi hiyo inatoa haki ya usawa [Ibara ya 12-24] Sheria ya Mtoto (2009) inawezesha jitihada za kupunguza ukatili dhidi ya watoto Sheria Maalumu ya Makosa ya Kujamiiana (1998)6

ilitungwa kwa lengo la kulinda heshima ya mwanamke na kuweka vikwazo kwa UWAKI kwa kutoa adhabu kali kwa makosa ya kingono Sheria hii inajumuisha ukatili wa kingono ubakaji biashara haramu ya usafirishaji watu bughudha za kingono na kukataza ukeketaji chini ya kifungu cha lsquoUkatili kwa watotorsquo

Hii ilikuwa mara ya kwanza kwa Tanzania kutunga sheria ya kukataza vitendo vilivyotajwa hapo juu na hatima ya sheria hii imewekwa chini ya sheria za adhabu kifungu cha 16

Sheria ya Adhabu (marekebisho ya 2002) inawekea vikwazo vitendo vya UWAKI mathalan vitisho Sehemu ya 89B 89A kutoroka watoto Sehemu ya 166 kutelekeza watoto Sehemu ya 167 kuua bila kukusudia Sehemu ya 195 mauaji Sehemu ya 196 mashambulizi Sehemu ya 240shy243 kutorosha Sehemu ya 246 utekaji nyara Sehemu ya 244 kazi za kulazimishwa Sehemu ya 256 wizi utokanao na mwenzi Sehemu ya 264 tishio la uchomaji Sehemu ya 332 uchomaji Sehemu ya 319-322 kuficha nyaraka Sehemu ya 276-278 Sheria ya Biashara ya Binadamu Na 6 ya mwaka 2008 inakataza biashara ya binadamu kwa sababu yoyote

5 International Covenant on Civil and Political Rights - (ICCPR 1966) 6 The Sexual Offences Special Provisions Act 1998 (SOSPA)

8

Sheria ya Kuzuia VVU UKIMWI Na 28 ya mwaka 2008 inakataza unyanyapaa na inafanya uambukizaji wa VVU kwa makusudi kuwa kosa la jinai

Pamoja na kuwepo vyombo vya kimataifa kikanda kitaifa na vya sheria za kuhakikisha haki kwa wanawake tatizo la UWAKI limetapakaa nchini Tanzania lakini linaripotiwa kwa nadra UWAKI unaathiri zaidi wanawake na wasichana kuliko wanaume na wavulana Haya ni matokeo ya uhusiano usio sawa kati ya wanaume na wanawake katika jamii ambayo yanajidhihirisha katika maeneo kadhaa ikiwa ni pamoja na maeneo ya kiuchumi kijamii kisiasa na kisheria

Mara nyingi UWAKI unapunguza uwezo wa wanawake na wasichana wa kufurahia haki za kimsingi za binadamu na uhuru kama ilivyoainishwa kwenye Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Utambuzi wa wahalifu wa UWAKI nchini Tanzania ni nadra kulinganisha na idadi ya mashambulizi Ni muhimu kushughulikia mahitaji ya kisheria ya waathirika wote wa UWAKI wanawake wasichana wanaume wavulana na watoto

25 Miundombinu ya utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii

Mfumo wa utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii upo katika ngazi ya kitaifa mikoajiji na wilaya manispaa Mfumo huu unawezesha utoaji wa huduma za kuboresha afya kuzuia magonjwa tiba utengemao na ustawi wa jamii kwa kupitia vituo vya kutolea huduma za afya vinavyojumuisha zahanati vituo vya afya na hospitali

Kuna mfumo wa rufaa kitaifa wa njia mbili kupeleka na kurejesha mgonjwa ambao unaanzia kwenye jamii na kwenda kwenye zahanati ambazo zipo 4679 vituo vya afya (481) hospitali za wilaya (95) hospitali za mikoa (19) na hospitali za rufaa za taifa (8) Kuna vituo vya kutolea huduma za afya 5718 nchini Tanzania vikijumuisha zahanati (86) vituo vya afya (10) na hospitali (4) vikiwa chini ya umiliki wa serikali (69) mashirika ya kidini (14) mashirika ya umma ( 3) na mashirika binafsi (14)

9

Mpango wa Maendeleo wa Afya ya Msingi [(MMAM) 2007-2017 pamoja na malengo mengine unakusudia kuhakikisha kuwa kuna kituo kimoja cha afya kwa kila kata katika kata 2555 zilizopo na zahanati moja kwa kila kijiji katika vijiji 10342 Jumla ya vituo vya afya ya msingi 8107 hospitali za wilaya 62 na taasisi 128 za mafunzo zitaanzishwa ifikapo mwaka 2012

Mahitaji ya watoa huduma za afya ni 82377 na waliopata mafunzo ni 29063 (35) ikiwa ni upungufu wa 65 ya mahitaji Mahitaji ya watoa huduma wa ustawi wa jamii ni 3892 Kuna wafanyakazi 210 wa ustawi wa jamii ikiwa ni upungufu wa 95 ya mahitaji na uhaba mkubwa katika ngazi za wilaya (93) kata (100) na vituo vya watu wenye ulemavu na taasisi nyingine (85) (WAUJ 2006)

Kuna uhaba wa wafanyakazi wa afya wenye ujuzi kwenye ngazi za zahanati (69) vituo vya afya (59) na hospitali za rufaa (48-67) Kwa ujumla kuna uhaba wa wafanyakazi wa ustawi wa jamii wenye ujuzi kwa kiwango cha 95 katika ngazi zote kanda (21) wilaya (93) kata (100) na vituo vya walemavu (95) Kama ujenzi wa vituo hautaendana na upatikanaji wa watoa huduma utekelezaji wa MMAM utakuwa na upungufu mkubwa

Kwa kawaida kuna hospitali ya wilaya au teule kwa kila Mamlaka ya Halmashauri ya Wilaya (MHW) Kuna MHW 133 ambazo zina majukumu na wajibu wa kutoa huduma za afya kwenye maeneo yao Kila MHW ina Bodi ya Afya ya Wilaya (BAW) ambayo inajumuisha madiwani waliochaguliwa na kusimamia mipango na utekelezaji wa huduma za afya kwenye wilaya

Mipango na usimamizi wa huduma za afya katika halmashauri inaongozwa na Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri ambayo kiongozi wake ni Mganga Mkuu wa Wilaya na ni Katibu wa BAW Kuna bodi ya hospitali ya wilaya teule Bodi ya Huduma ya Afya (BHA) ya kituo cha afya inayowakilisha wakazi wa kata na bodi ya zahanati inayowakilisha wakazi wa kijiji bodi zote zikiwa na uwakilishi sawa wa kijinsia

Makadirio ya matumizi ya afya kwa mtu mmoja kwa mwaka 201011 ilikuwa ni dola za kimarekani 1575 ambapo WHO imependekeza

10

kiwango cha dola 3400 za Kimarekani Matumizi ya afya ni asilimia 14 ya Bajeti ya Taifa kwa mwaka ambacho ni chini ya kiwango cha asilimia 15 kilichopendekezwa na Tamko la Abuja

Mfumo wa utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii upo katika ngazi zifuatazo

[a] Ngazi ya Kitaifa WAUJ ina jukumu la kutayarisha sera za afya na miongozo inayohusiana na huduma za afya kuweka viwango kuhakiki ubora kufuatilia na kutathmini pamoja na kusimamia utoaji wa huduma za afya zenye kujumuisha kuboresha afya kinga tiba utengemao na ustawi wa jamii Hospitali za rufaa zina asilimiai 52 tu ya wafanyakazi wenye ujuzi

[b] Ngazi ya MkoaJiji Timu ya Uendeshaji ya Afya ya Mkoa ina jukumu la kuongoza na kuendeleza utekelezaji wa mpango mkakati wa afya kwenye mkoa pamoja na ushauri wa kitaalamu kwa Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri kwenye maeneo yafuatayo (1) Utekelezaji wa sera miongozo na viwango vya utoaji wa huduma za afya kwa usahihi na kwa muda uliopangwa ukihusisha watoa huduma wote wa umma binafsi kwenye MHW (2) kupanga kwa ufanisi kutekeleza kufuatilia na kutathmini mipango ya afya ya kina katika halmashauri Kamati ya utawala ya hospitali ya mkoa ina jukumu la kupanga na kusimamia hospitali ya mkoa ambayo ni ngazi ya pili ya rufaa Kuna hospitali 19 za mikoa ambazo zina 34 tu ya wataalamu wa afya

[c] Mamlaka ya Halmashauri ya WilayaManispaa Huduma za afya katika ngazi hii zinasimamiwa na Halmashauri ya Wilaya kupitia BAW chombo kilichoundwa (2001) chini ya Sheria namba 7 ya mwaka 1982 kifungu cha 86A BAW inawajibika kwa utoaji wa huduma za kina kwenye wilaya Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri inatoa ushauri wa kiutaalam kwa utekelezaji wa uamuzi wa BAW

[d] Ngazi ya Wilaya Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri huandaa na kutekeleza mpango wa kina wa afya wa halmashauri pamoja na kufuatilia na

11

kutathmini huduma za afya kwenye hospitali vituo vya afya zahanati na jamii ikiwa ni pamoja na kufanya utafiti Kamati ya Utawala ya Hospitali inasimamia mipango na huduma kwenye hospitali ya wilaya ambayo ni ngazi ya kwanza ya rufaa Kuna hospitali 95 za wilaya zikiwa ni pamoja na hospitali teule ambazo zina asilimia 33 tu ya wataalamu wa afya

[e] Ngazi ya Kata Kamati ya Afya ya Kata inasimamia upangaji ubunifu na uratibu wa mipango ya afya ya jamii husimamia na huhamasisha upatikanaji wa rasilimali pamoja na ukusanyaji na matumizi ya Mfuko wa Afya wa Jamii Vituo vya afya vina jukumu la kutoa huduma za kina za afya na ustawi wa jamii kwenye kata Kamati ya Kituo cha Afya inasimamia utoaji wa huduma za afya na kuhamasisha ukusanyaji wa rasilimali zinazohitajika Timu ya Kituo cha Afya ina wajibu wa kusimamia shughuli za kila siku kwenye kituo cha afya Timu inapanga na kusimamia juhudi za afya ya jamii katika eneo lake chini ya Mpango wa Maendeleo ya Kata Kuna jumla ya kata 2555 nchini ambapo kata 481 sawa na 19 zina vituo vya afya ambavyo vina 41 tu ya wataalamu wa afya

[f ] Ngazi ya Kijiji Kamati ya Zahanati inahakikisha kwamba idadi ya watu katika eneo lake wanapata huduma sahihi za afya na nafuu pamoja na kusimamia uhamasishaji wa rasilimali kwa ajili ya utekelezaji wa mpango wa zahanati Timu ya Usimamizi wa Zahanati inapanga na kusimamia juhudi za afya ya jamii kwenye maeneo chini ya Mpango wa Maendeleo ya Kata Kuna jumla ya vijiji 10342 ambapo 4679 vina zahanati sawa na 45 ambazo ni aslimia 31 tu ya zahanati zina wataalamu wa afya wanaotosheleza Kamati ya Huduma za Jamii kwenye kijiji ina wajibu wa kuhamasisha na kushirikisha jamii ili wajihusishe kuboresha na kulinda afya

[g] Ngazi ya Kaya Kuna kaya takriban milioni 7 nchini Tanzania na wastani wa watu 47 kwa kila kaya (ambapo 70 ya kaya zote zinaongozwa na wanaume na 30 zinaongozwa na wanawake) Sera ya Afya ya Taifa inatamka kwamba ni wajibu wa kila raia kuendeleza na kulinda afya yake pamoja na ya familia yake Pamoja na haya kila raia ana jukumu la kujiepusha na tabia hatarishi kwa afya yake pamoja na ya mwenzie na kuchangia rasilimali kwa ajili ya afya yake na uendelezaji wa vituo vya kutolea huduma za afya

12

26 Kukinga na Kupambana na UWAKI

Serikali ya Tanzania na washirika wake wa karibu wametekeleza mambo mbalimbali yanayohusiana na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Wizara ambazo zinahusika kwa ukaribu kwenye utekelezaji wa mipango ya kukinga na kupambana na UWAKI ni pamoja na Wizara ya Maendeleo y a Jamii Jinsia na Watoto Wizara ya Sheria na Katiba Wizara ya Mambo ya Ndani na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Kuna ushirikiano kati ya wizara idara mashirika asasi za kiraia na wadau wa maendeleo Katika ngazi ya kitaifa serikali inatekeleza Mkakati wa Maendeleo ya Jinsia (2005) na kukuza usawa wa jinsia na haki kwa wanawake Utekelezaji wa Sheria Maalumu ya Makosa ya Kujamiana (1998) ambayo sasa ni Kanuni ya Adhabu Sura ya 16 Toleo la Marekebisho 2002 Pia serikali inatekeleza Mpango wa Taifa wa Vitendo wa Kuzuia na Kutokomeza Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto (2001-2015) ambao una lengo la kutokomeza ubaguzi na unyonyaji wa kisheria kijamii kiuchumi kiutamaduni na kisiasa Zaidi ya yote Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (1977) inatamka kuheshimu misingi ya usawa na haki kwa kila mtu

Kwa kushirikiana na wadau wengine serikali inawezesha uanzishwaji wa kitengo cha jinsia kwenye idara za wizara mbalimbali (mfano idara ya polisi chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi) Mashirika ya Jamii hutoa utetezi msaada wa kisheria huduma za afya na kuendesha kampeni na mashirika mengine yamechukua hatua za kutoa hifadhi kwa waathirika wa UWAKI na Vituo vya Kuhifadhi Waathirika Kuna sera za kitaifa sheria mikakati na mipango ya kazi kwa ajili ya kushughulikia usawa wa kijinsia Vilevile serikali kwa kushirikiana na asasi za kiraia imejenga mazingira mazuri ya kuwezesha waathirika kupata huduma kama vile msaada wa kisheria Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii (WAUJ) imekuwa ikitoa huduma kwa waathirika wa UWAKI licha ya kutokuwepo kwa mwongozo wa sera kwa ajili ya wahudumu wa vituo vya kutolea afya

27 Changamoto katika Kuzuia na Kupambana na UWAKI

Muundo wa sheria sera na juhudi za kukuza haki za binadamu zinakabiliwa na changamoto mbalimbali zinazofisha jitihada za kuzuia kupambana

13

na kuepusha athari za UWAKI nchini Tanzania Changamoto hizo ni pamoja na upungufu wa fedha upungufu wa kisheria na sera zilizopo uratibu duni kati ya wadau na kukosekana kwa mfumo wa rufaa kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI Hali kadhalika uelewa na taarifa juu ya ukubwa wa tatizo la UWAKI ni duni kwa hivyo WAUJ imebuni na kutayarisha mwongozo maalumu wa sera na huduma dhidi ya UWAKI ili kukabili changamoto hizo

[a] Sera za Taifa Serikali ya Tanzania inajitahidi kujenga mazingira mazuri ya kuzuia na kupambana na UWAKI Ingawa Sera ya Afya ina lengo la kutoa huduma za afya za kutosha kwa kila Mtanzania ipo haja ya kuwa na miongozo na mikakati inayofafanua masuala ya UWAKI kwa ukamilifu Ukosefu wa miongozo na sera ya usimamizi dhidi ya UWAKI ni kikwazo kikubwa kwa juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kutibu na kuhudumia waliopatwa na UWAKI Sekta ya afya itatumia mwongozo wa sera hii ili kuboresha huduma ya kupambana na UWAKI kwa kushirikisha na kuwahusisha wadau wote

[b] Sheria zaTaifa Pamoja na kuwepo sheria nyingi zilizopitishwa kwa ajili ya kulinda haki za wanawake na watoto bado zipo changamoto nyingi Kwa mfano kuna baadhi ya sheria zenye utata baadhi zinapingana na hivyo kupunguza uwezo wa kupambana na UWAKI Pamoja na hayo Sheria ya Ndoa kama ilivyofanyiwa marekebisho 2002 haiainishi hatua za kuchukuliwa dhidi ya ukatili wa kifamilia Sheria hii ni kama inahalalisha ubakaji kwa kuruhusu binti kuolewa chini ya umri wa miaka 18 Sheria ya Makosa ya Kujamiiana na Vipengele Maalumu (1998) haitambui ubakaji ndani ya ndoa ingawa inatambua ubakaji ikiwa mume na mke wametengana Mbali na upungufu huo sheria ya makosa ya kujamiiana kwa upande wa kuthibitisha ushahidi wa kuingiliwa kimwili ni mgumu Sheria ya Mila (Tangazo la Serikali Na4361963) ambayo inatumiwa na Watanzania wote wazawa inatokana na mila na desturi za makabila mbalimbali ya Tanzania sheria hii ya Mila ni ya kibaguzi na huleta changamoto kwa wanawake na watoto ambao wamezaliwa nje ya ndoa hususan katika urithi wa mali Kwa mfano ugawanaji wa mali ya marehemu upo katika makundi matatu (1) Mtoto wa kwanza wa kiume (2) Watoto wengine wa kiume waliobaki na (3) Watoto wa kike bila kujali umri

14

na hali katika familia Watoto wa kike wa marehemu hurithi fungu dogo na hunyimwa haki ya kumiliki ardhi Kwa mujibu wa sheria hii mjane hana haki ya kurithi mali yoyote kutoka kwa marehemu mume wake isipokuwa huchukuliwa kuwa atatunzwa na watoto wake Mjane ambaye hajabahatika kuzaa hupata asilimia 20 ya asilimia 50 ya mali za marehemu mume wake Mbali na urithi sheria hii kwa upande wa talaka ikiwa mke alilipiwa mahari wakati ndoa inapovunjwa na mahakama mume ana haki ya kudai kurudishiwa mahari

Sheria zenye kupunguza makali ya UWAKI zimeweka kanuni za kuwezesha wadau katika sekta mbalimbali kuandaa sera na miongozo ya kuzuia na kupambana na UWAKI Wahusika muhimu katika sekta mbalimbali wanapaswa kupitia sheria zinazotoa mwanya wa mwendelezo wa UWAKI na kupendekeza marekebisho au utungwaji wa sheria nyingine zitakazopunguza na kumaliza vitendo vya UWAKI Hata hivyo kuna umuhimu wa kuwepo kwa wajibu na majukumu ya sekta mbalimbali katika kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kupambana dhidi ya unyanyasaji na ukatili kwa watoto Kwa kutambua na kuimarisha wajibu huo katika kila sekta itasaidia uzingatiaji wa sera na kuimarisha ari ya utendaji katika sekta zifuatazo

bull Ustawi wa Jamii Kujenga mfumo wa kufanya tathmini ya vihatarishi katika kupima mfumo wa rufaa unaohusisha sekta na huduma mbalimbali kuweza kuamua na kuchukua hatua za haraka na za muda mrefu katika kupambana na kutoa mahitaji ya haraka na ya muda mrefu kwa ajili ya ulinzi wa watoto na waathirika wengine

bull Elimu Kujumuisha elimu dhidi ya ukatili wa kijinsia katika mitaala ya elimu ikiwa ni pamoja na kuandaa mazingira salama shuleni na kuingiza katika programu za elimu zinazoelezea juu ya masuala ya kujifahamu kimwili (kibiolojia) afya ya uzazi na maendeleo yaa jamii Kuhakikisha kwamba sekta mbalimbali za rufaa na mifumo inayotoa ulinzi wa mtoto vinahusishwa katika elimu hiyo

bull Polisi na sheria Kuimarisha na kupanua ulinzi sahihi wa kisheria kwa ajili ya watoto na kuchukua hatua za kisheria kwa watuhumiwa wa uhalifu kuendeleza juhudi za kuimarisha dawati la jinsia na watoto katika idara ya Polisi nchini Kuendelea kuelimisha polisi na watumishi wengine

15

wa usalama wa raia kuhusu ukatili dhidi ya watoto na kuwa na utaratibu wa uchunguzi wa pamoja na idara ya ustawi wa jamii afya mamlaka na vitengo vingine vinavyohusika na ulinzi na usalama wa mtoto

bull Afya Kufanya kazi katika muundo wa pamoja na wadau wengine kwa kufuata miongozo iliyopo kwa ajili ya kuzuia kutibu kuhudumia na kufuatilia matukio ya ukatili dhidi ya watoto Kuimarisha mifumo iliyo wazi yenye kuunganisha huduma rafi ki kwa watoto na vijana dhidi ya UWAKI

[c] Polisi na Mahakama Mabadiliko katika idara ya polisi hasa katika uanzishwaji wa polisi jamii na dawati la jinsia na watoto yanaonyesha maendeleo katika kushughulikia UWAKI Hata hivyo waathirika wa UWAKI wanakabiliwa na ugumu wa kufika katika vituo vya polisi na mfumo wa utoaji haki Kwa mfano zipo kesi zilizotupiliwa mbali na Mahakama kwa kukosa ushahidi muhimu kutoka upande wa mashtaka Matokeo yake ni kwamba waathirika wanakosa motisha ya kutoa taarifa ya matukio ya UWAKI na hivyo hushindwa kufikisha malalamiko katika vyombo vya utoaji haki

Upungufu wa mafunzo kwa polisi na watoa huduma za kisheria juu ya namna ya kuzitumia sheria zilizopo dhidi ya UWAKI kumesababisha kesi mahakamani kushindwa Mfano Fomu ya Polisi namba 3 (PF3) inatoa taarifa juu ya tukio la shambulio na haitoi maelezo juu ya tukio hilo kama limetokana na UWAKI Ingawa zipo sheria zinazopinga UWAKI sheria hizo hazifahamiki hivyo hazitumiki kikamilifu Pamoja na hayo sheria za kimila na imani za kidini zinazuia waathirika kutoa taarifa za matukio ya UWAKI

Sheria ya Makosa ya Kujamiiana na Vipengele Maalumu (1998) inatoa adhabu kali kwa makosa ya kujamiiana Mara nyingi watuhumiwa hawafikishwi mahakamani kwa kuhofia kudhurika kwa familia zao kwa upande wa kukosa kipato kutoka kwa mtuhumiwa (kwani adhabu za makosa hayo huwa ni kifungo cha muda mrefu) Kwa sababu hizo utoaji wa taarifa kutoka kwa waathirika na familia zao ikiwa ni pamoja na matumizi ya sheria na uendeshaji wa mashtaka umeendelea kuwa changamoto pamoja na kuwepo kwa Sheria ya Makosa ya Kujamiiana inayotoa ulinzi dhidi ya UWAKI

16

bull

bull

bull

bull

bull

[d] Mila na Desturi Katika ngazi ya jamii na mtu binafsi zipo sababu mbalimbali zinazochangia kwa kiwango kikubwa matukio ya UWAKI Utafiti uliofanywa na mtaalamu wa Shirika la Afya Duniani (WHO)7 unaainisha vipengele hatarishi vifuatavyo juu ya mila na desturi

Kanuni za kimila katika uhusiano wa kijinsia humpa mwanamume madaraka na haki zaidi Baadhi ya mila na desturi huhimiza uvumilivu juu ya vitendo vya UWAKI na kuwazuia waathirika kutoa taarifa na kupata msaada Uwezeshaji wa mwanamke katika kupambana na mfumodume hujenga hisia kwa mwanamume kuwa anapoteza mamlaka yake na hivyo huwaudhi baadhi ya wanaume na kuendelea kufanya ukatili kwa lengo la kuwadhibiti wanawake Matumizi ya baadhi ya sheria za kimila hayawasaidii waathirika kupata haki Hofu ya kulipiza kisasi unyanyapaa ubaguzi na kukosekana kwa huduma huwazuia waathirika kutoa taarifa na kupata msaada

[e] Madaraka na Mamlaka Madaraka na mamlaka ni muhimu katika kuzuia na kupambana na UWAKI Wakati mwingine watu wenye madaraka na mamlaka hufumbia macho matukio ya UWAKI Kwa mfano upo ushahidi wa kutosha kuwa kuna matumizi mabaya ya madaraka na mamlaka shuleni na maeneo ya kazi

[f ] Kuhusisha Jamii Jamii ndiyo ngazi ya awali kujua tukio la UWAKI na kutoa msaada wa usalama na ulinzi kwa mwathirika Utafiti wa Shirika la Afya Duniani katika nchi mbalimbali ulionyesha kwamba asilimia 37 ya waathirika walipata msaada kutoka kwa jamii Kutokana na kiwango cha unyanyapaa ubaguzi na kutengwa kijamii viongozi katika ngazi ya jamii waliohamasishwa juu ya UWAKI waliweza kukabili mazingira haya ya kiuhasama Jamii inaweza kumsaidia mwathirika kwa kujenga mazingira mazuri (kwa mfano kituo cha hifadhi salama) Jamii inahusishwa katika

7 Krug Etienne et al 2002 World Report on Violence and Health Geneva WHO Available at httpwwwwhointviolence_injury_preventionviolenceworld_report

17

bull

bull

bull

bull

kuwahamasisha waathirika kuwapa ulinzi mahitaji ya msingi msaada wa kisaikolojia na kuwapa rufaa kwa watoa huduma wengine Vilevile jamii inahusishwa katika kuzuia UWAKI kupunguza unyanyapaa na kuwapa unasihi waathirika pamoja na kuhamasisha viongozi wa kijamii na wanajamii kwa ujumla

Uhamasishaji huu ni muhimu kwa sababu jamii ni daraja kati ya mwathirika na huduma za afya na ustawi wa jamii

Jamii inapaswa kushirikishwa katika hatua za mwanzo na zinazofuata katika kuzuia UWAKI Katika hatua za mwanzo jamii inapaswa kujitahidi kuondoa tabia za kuvumilia matukio ya UWAKI na hivyo kupunguza matukio hayo Katika hatua zinazofuata jamii itatambua na kulinda wale walio katika hatari zaidi ya UWAKI kama watoto na wanawake Jamii pia inapaswa kutambua vikwazo vya utoaji huduma katika idara ya afya polisi na mfumo wa utoaji haki na kuisaidia jamii kuondokana na vikwazo vya upatikanaji wa huduma

Ni muhimu kuishirikisha jamii katika jitihada za utekelezaji wa kuzuia UWAKI na kupambana nao ikiwamo usimamizi wa matibabu ya waathirika Jamii ina uwezo mkubwa wa kuhamasisha waathirika kutafuta huduma za afya na huduma nyingine zinazohusiana na UWAKI kwa mfano huduma za polisi usaidizi wa kisheria na hifadhi salama Pia jamii ina wajibu wa kuwaunganisha waathirika na jamii zao

Hata hivyo zipo changamoto katika kuihusisha jamii kama vile

Upungufu katika kuwahusisha wanaume na wavulana katika kushughulikia UWAKI Wanajamii wamekuwa wakiwanyanyapaa badala ya kuwasaidia waathirika na wakati mwingine wameshiriki katika UWAKI Baadhi ya viongozi wa kijamii na kidini hawana utayari wa kuhamasisha kuzuia na kupambana na UWAKI Jamii zina kiwango kikubwa cha kunyamazia matendo ya UWAKI na kuzuia sheria kuchukua mkondo wake

18

[g] Hali ya kiuchumi na kijamii Kushughulikia UWAKI pekee kama changamoto inayohusu huduma za tiba ni kutibu dalili badala ya chanzo Ni muhimu kushughulikia vyanzo vya UWAKI kama umaskini miongoni mwa wanawake ambao huwafanya kuwa wategemezi

Serikali imetayarisha MKUKUTA II wenye kuainisha njia za kuendeleza na kulinda haki za binadamu kwa watu wote hasa kwa wanawake na wanaume maskini watoto watu wanaoishi katika hali hatarishi na makundi maalumu (angalia MKUKUTA II-kundi la III lengo la 3) na kuongeza uzalishaji na fursa za ajira zenye kuheshimika hasa kwa wanawake na vijana (angalia MKUKUTA II kundi la I lengo la 3) Changamoto iliyopo ni ukosefu wa kuweka vipaumbele katika utekelezaji wa ahadi hizi kwa wanawake na vijana kwa kuelekeza rasilimali za kutosha na kutekeleza mikakati katika kuleta mabadiliko ya hali ya kijamii na kiuchumi kwa wanawake na vijana hivyo kupunguza hali hatarishi ya UWAKI

28 Upungufu katika kupambana na UWAKI

Sekta ya afya imeandaa mwongozo wa kutoa huduma kwa waathirika wa UWAKI Hata hivyo ili kutoa huduma bora na za kirafi ki kwa waathirika sekta zinazohusika hazina budi kushughulikia upungufu ulioainishwa kama ifuatavyo

[a] Huduma za afya

Ukosefu wa mwongozo wa utoaji wa huduma kwa waathirika wa UWAKI Hakuna mwongozo wa utoaji wa huduma za kupambana na UWAKI kwa watoa huduma wa ngazi zote kuanzia nyumbani kwenye jamii zahanati vituo vya afya hospitali polisi mahakama na wadau mbalimbali Upungufu huu unakwamisha upatikanaji na utoaji wa huduma bora za kukinga na kupambana na UWAKI

Upungufu wa fedha Bajeti ya Serikali kuu na serikali za mitaa haikidhi mahitaji

19

Upungufu wa wataalamu wenye ujuzi wa kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Watoa huduma kwenye vituo vya kutolea huduma za afya na jamii hawana maarifa na ujuzi unaotakiwa kushughulikia mahitaji ya waathirika wa UWAKI wa marika yote

Kutojumuishwa kwa huduma za waathirika wa UWAKI na huduma nyingine Huduma za waathirika wa UWAKI hazikujumuishwa na huduma nyingine za afya na ustawi wa jamii kama vile afya ya uzazi upimaji wa VVU UKIMWI uzazi wa mpango na unasihi

Mfumo duni wa rufaa kwa waliopatwa na UWAKI Ingawa mfumo wa rufaa wa huduma za afya umeimarika kwa huduma nyingine lakini hakuna mfumo sahihi wa rufaa kwa waliopatwa na UWAKI Watoa huduma za afya hawana taarifa sahihi za waliopatwa na UWAKI kuhusu utaratibu wa kupeleka na kupokea wagonjwa kwenye vituo vyao na kwenda kwenye vituo vingine au huduma za mfumo wa jamii polisi kisheria na kadhalika Katika mazingira haya mahitaji ya rufaa kwa waliopatwa na UWAKI hayakidhiwi Waliopatwa na UWAKI hawana taarifa ambazo zitawasaidia kupata huduma na hivyo hushindwa kufanya uamuzi sahihi au kutafuta huduma na matibabu zaidi

Upungufu wa taarifa na takwimu Nchini Tanzania matukio yanayohusu UWAKI hayatolewi taarifa ipasavyo kutokana na sababu nyingi zikiwemo waathirika kusita kutoa ripoti ya matukio kutokana na unyanyapaa na ubaguzi hofu ya kutengwa na jamii aibu na miiko inayohusishwa na UWAKI Matokeo yake ni ukosefu wa taarifa zenye uhakika ambazo zinaweza kutumika kuandaa mpango kwa misingi ya utafi ti utaratibu wa utoaji huduma maendeleo ya kisera na utetezi ufuatiliaji na tathmini na uamuzi wa kiutawala

[b] Huduma za Ustawi wa Jamii Utoaji wa huduma za ustawi wa jamii unakabiliwa na ushirikiano mdogo kati ya watendaji wa sekta mbalimbali wa huduma za afya katika halmashauri Kuna upungufu wa watoa huduma za ustawi wa jamii katika ngazi mbalimbali Hali hii inaathiri wigo wa huduma ya msaada wa kisaikolojia unasihi marekebisho ya tabia na utengamao

20

bull

bull

bull

bull

bull

Kikwazo kingine ni watoa huduma za ustawi wa jamii na wadau wa afya kukosa stadi maalumu za kutosha kuhusu kuzuia na kupambana na UWAKI

Wajibu wa watoa huduma za ustawi wa jamii ni muhimu kwa sababu wanafanya kazi katika ngazi ya jamii ambapo matukio mengi ya UWAKI hutokea Wana majukumu makubwa kama watu wa mstari wa mbele kwenye kuzuia na kupambana na UWAKI Uhusiano kati ya jamii na utoaji wa huduma ndio kipimo cha kiwango cha waathirika wa UWAKI kupata huduma za matibabu na kurejea kwenye jamii ili kuendelea kuishi maisha yenye faraja

[c] Huduma za Jamii Baadhi ya upungufu wa uhusiano kati ya jamii na vituo vya kutoa huduma za afya ni pamoja na

Uelewa duni kuhusu masuala ya UWAKI na uwezeshaji wa jamii katika kuzuia na kupambana na UWAKI Uelewa duni wa mahali pa kupata huduma kwa waliopatwa na UWAKI Upungufu wa huduma za kijamii kwa waathirika ikiwa ni pamoja na mifumo ya kijamii ya kutoa ulinzi na usalama (kwa mfano vituo vya hifadhi ya muda) na huduma za rufaa za kiafya polisi na msaada wa kisheria

[d] Huduma za Msaada wa Kisheria (Polisi na Mahakama) Kuna vikwazo vingi katika kupata msaada wa kisheria ambavyo ni pamoja na

Upungufu wa kupata huduma za polisi na msaada wa kisheria kwa waathirika wa UWAKI

bull Kutokuwepo kwa sheria mahususi dhidi ya UWAKI bull yasiyotosheleza UWAKI kwa vyombo Mafunzo kuhusu

vinavyosimamia sheria bull Kuna sheria zinazokinzana na hivyo kutoa mwanya wa tatizo la

UWAKI kuongezeka Upungufu wa watumishi na fedha kwa ajili ya huduma za polisi na msaada wa kisheria

21

bull

bull

Uhaba wa vituo vya msaada wa kisheria Vituo vingi vinavyotoa msaada wa kisheria kwa sasa vinahudumiwa na asasi zisizo za kiserikali zina bajeti ndogo na zipo zaidi mijini

[e] Huduma ya Elimu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imeingiza UWAKI katika mtaala wa mafunzo ya walimu shule za msingi na sekondari Hata hivyo kuna changamoto nyingi katika kuhusisha shule ili kuzuia na kupambana na UWAKI

bull Walimu hawajapata mafunzo ya kutosha kuhusu UWAKI Uhaba wa maeneo salama na programu za shuleni zinazowapa watoto uwezo wa kuzuia na kupambana na UWAKI na ukatili dhidi ya watoto

bull mfumo unaohusuUhusiano duni kati ya mfumo wa elimu na ulinzi na usalama wa mtoto

22

SEHEMU YA TATU

UMUHIMU NA MALENGO 31 Umuhimu

Utafiti uliofanyika nchini Tanzania umeonyesha viwango vya juu vya UWAKI ambavyo ni kati ya asilimia 30 hadi 50 Viwango hivi havikubaliki na vinasababisha madhara ya kimwili kingono kisaikolojia kwa makundi ya umri wowote hasa watoto na wanawake Matokeo ya UWAKI yanaweza kusababisha vifo kutokana na kujiua maambukizo ya virusi vya UKIMWI au magonjwa na vifo vya wanawake vinavyotokana na uzazi Matokeo mengine ingawa hayasababishi vifo yana madhara ya kimwili kingono na kisaikolojia kwa muda mfupi au mrefu Madhara ya UWAKI ni zaidi ya matokeo ya kiafya na majeraha ambayo ni vigumu kupona UWAKI unakiuka haki za binadamu za waathirika na husababisha matokeo hasi katika amani umoja na kipato cha familia ambayo kwa ujumla huleta madhara kwa maendeleo ya kijamii na kiuchumi

Ingawa Serikali ya Tanzania na asasi za kiraia zimefanya jitihada kubwa za kuzuia na kupambana na UWAKI bado tatizo hili ni changamoto kubwa WAUJ itashughulikia changamoto hizi kwa kushirikiana na wadau wengine hali inayohitaji ushirikiano wa karibu ili kushinda vikwazo vilivyopo ambavyo ni pamoja na upungufu wa fedha na watumishi udhaifu kwenye mfumo wa rufaa na mfumo wa kuunganisha huduma za UWAKI katika huduma zilizopo Changamoto nyingine ni uhaba wa utetezi na takwimu kwa ajili ya uandaaji wa mipango yenye misingi ya utafiti kufanya uamuzi ufuatiliaji na tathmini Hata hivyo serikali imeweka misingi imara kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kama inavyodhihirishwa kwa kuwepo kwa sera mikakati na mipango kazi ya kusaidia masuala ya kijinsia na kupunguza UWAKI

Kutokana na ukubwa wa tatizo hili madhara yake na changamoto zinazohusiana na UWAKI WAUJ imetayarisha Mwongozo huu wa kisera chini ya Sera ya Afya ili kuimarisha juhudi za kupambana na UWAKI na kuhakikisha utoaji wa huduma za kina na zenye ubora katika ngazi zote Mwongozo huu wa kisera utatoa mwelekeo kwa vituo vya huduma za afya kwa ngazi zote kuhusu wajibu na majukumu yao katika utoaji

23

wa huduma za UWAKI Pamoja na haya Mwongozo huu utawezesha utayarishaji wa mwongozo wa matibabu kwa waathirika wa UWAKI Kutokana na uzito wa tatizo hili la UWAKI utayarishaji wa Mwongozo huu ulihusisha na kushirikisha kwa kina wadau mbalimbali ndani na nje ya WAUJ

32 Lengo Kuu

Lengo kuu la Mwongozo huu wa kisera ni kuimarisha uwezo wa WAUJ kuelekeza sekta ya afya na ustawi wa jamii na kujenga uhusiano imara na jamii na wadau mbalimbali katika kuzuia na kupambana na UWAKI

33 Malengo Mahasusi

Mwongozo huu utawezesha yafuatayo

[i] Kuweka mfumo wa kuelekeza utayarishaji wa mwongozo wa matibabu na taratibu za kutoa huduma kwa waathirika wa UWAKI

[ii] Kuelekeza WAUJ namna ya uratibu bora wa utekelezaji wa juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kuelekeza namna ya kuweka mifumo thabiti ya ufuatiliaji tathmini na uwekaji wa kumbukumbu za afua za UWAKI chini ya WAUJ

[iv] Kuelekeza ushirikiano kati ya Wizara jamii na wadau kutoka sekta mbalimbali katika utoaji wa huduma za UWAKI

24

bull

SEHEMU YA NNE

MAELEKEZO YA KISERA

Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii watafanya kazi pamoja na wale wa sekta nyingine hasa kwenye ngazi ya jamii katika kuimarisha ushirikiano na mitandao mingine katika jamii ili kuwasaidia waliopatwa na UWAKI kwa karibu na kuwashirikisha katika kuboresha afya zao na kuzuia UWAKI

WAUJ kwa kushirikiana na wadau wengine imetayarisha Mwongozo huu wa kisera wa UWAKI ili kutoa taarifa malengo na maelekezo kuhusu jitihada za kuzuia kuepusha na kushughulikia madhara ya UWAKI katika sekta ya afya Wadau muhimu ni pamoja na viongozi wa jamii polisi na mahakama Yeyote kati ya wadau hawa anaweza kuwa ni kimbilio la kwanza kwa wahanga wa UWAKI Wote wana wajibu wa kutoa huduma kwa haraka na kwa ufanisi

41 Huduma kwa Waliopatwa na UWAKI

Watoa huduma za afya wanatakiwa kuwahudumia waliopatwa na UWAKI kwa kujali na kuzingatia maadili ya taaluma zao Wajibu huu ni pamoja na kuhakikisha usalama hali ya usiri heshima utu na kutoa huduma bila ubaguzi Aidha kabla ya kutoa huduma inatakiwa kupata ridhaa ya muhusika au mlezi wa mtoto mwenye umri chini ya miaka 18

Kwa kulenga na kuzingatia mahitaji ya watu waliofanyiwa UWAKI watoa huduma za afya kwenye ngazi zote watazingatia na kuongozwa na kanuni zifuatazo

[a] Haki za Binadamu Maadili na Kujali

bull zilenge kurejesha au Usalama Hatua zote zinazochukuliwa kudumisha usalama wao Hali ya Usiri Siri zao pamoja na familia zao zinatakiwa kutunzwa wakati wote Hii ina maana kwamba mtoa huduma ya afya anaweza kutoa taarifa muhimu kwa mtoa huduma mwingine pale ambapo muhusika ameridhia tu

25

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

Heshima na utu Watoa huduma wanatakiwa kuwasikiliza kwa makini maoni mawazo na fikira zao na kuwahudumia kwa heshima Bila ubaguzi Waliopatwa na UWAKI wote ni sawa na wanatakiwa kuhudumiwa kulingana na mahitaji yao pia kupewa nafasi sawa katika kupata huduma Ridhaa arifu Ridhaa ya aliyefanyiwa UWAKI itahitajika kwenye taratibu za utoaji huduma maalumu kama (1) Uchunguzi na tiba (2) Uchunguzi tiba pamoja na ushahidi wa kitaaluma (3) Uchunguzi tiba ushahidi wa kitaaluma pamoja na uchunguzi wa polisi na kisheria

Kanuni zinazohusu watoto bull Kuzingatia na kusimamia mahitaji halisi ya mtoto wakati wote bull Kumpa mtoto faraja bull Kumshirikisha mtoto katika kufanya uamuzi bull Kumshughulikia kila mtoto kwa haki na usawa

Kumsaidia na kumlea mtoto ili akue katika hali ya ujasiri na kujiamini

[b] Haki za Aliyepatwa na UWAKI Watoa huduma wote wanatakiwa kuwa na mtazamo unaozingatia mahitaji ya mtu aliyepatwa na UWAKI na kuheshimu haki zake ambazo ni

bull Kuhudumiwa kwa heshima bila unyanyapaa ubaguzi na kutokuwa na mtazamo wa kumlaumu Kupewa taarifa sahihi na zinazoeleweka ili aweze kutoa ridhaa na siyo kumwambia cha kufanya hali inayoweza kumfanya ajisikie mnyonge

bull Kupewa faragha na hali ya usiri na siyo kumteta au kumwaibisha Kulindwa dhidi ya ubaguzi wa aina yoyote au upendeleo wenye misingi ya kijinsia au sababu nyingine Kupewa nafasi ya kuchagua kuhudumiwa na mtoa huduma mwanamume au mwanamke

bull Kupewa nafasi ya kusindikizwa na ndugu au mlezi wake

26

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

[c] Wajibu wa Mtoa Huduma Mtoa huduma anatarajiwa kuzingatia yafuatayo anapomhudumia mtu aliyepatwa na UWAKI

Kujiweka katika nafasi ya mtu aliyepatwa na UWAKI na kuguswa kuwa mtunza siri kuonyesha upendo na kujali anapomuhudumia Kumpatia taarifa sahihi na kuhakikisha kuwa ridhaa arifu inatolewa kwa huduma inayohitajika Kuzingatia masilahi ya muhusika na kuheshimu matakwa yake wakati wote

bull na kuzuia madhara mengineKuhakikisha ulinzi na usalama wake Kuhifadhi kumbukumbu zake mahali pa usalama na kutunza siri wakati wote

bull huduma kadiriKumpatia rufaa kwenda kwenye ngazi za juu za inavyohitajika kulingana na kiwango cha madhara ya kimwili kihisia na kisaikolojia Aidha inatakiwa kumpatia unasihi kabla ya kumpa rufaa

Kuhusu Watoto bull Kuhakikisha kuwa mzazi au mlezi yupo wakati wote pia

kuhakikisha kwamba mzazi au mlezi siyo tishio kwa mtoto Wakati wote mwandae mtoto kuelewa kinachotarajiwa kutendeka na kuhakikisha anaelewa kitakachotokea Kwa watoto wenye umri chini ya miaka 18 ridhaa ya maandishi inahitajika kutoka kwa mzazi au mlezi

Vigezo vya kupata mchango wa mawazo kutoka kwa Watoto Watoto wa umri wa miaka 16 na zaidi kwa ujumla wana uwezo wa kutosha kufanya uamuzi

bull kuwaWatoto wa umri wa miaka 14 hadi 16 wanatarajiwa wamekomaa vya kutosha kutoa mchango au mawazo yao Watoto wa umri wa miaka 9 hadi 14 wana welewa wa kushiriki kufanya uamuzi lakini ukomavu wa kila mtoto unatakiwa kupimwa kipekee Watoto wa umri chini ya miaka 9 wana haki ya kutoa maoni arifu na kusikilizwa Wanaweza kushiriki katika mchakato wa kufanya uamuzi kwa kiwango fulani lakini hadhari inahitajika ili kuwaepusha na mzigo wa kuwa waamuzi

27

bull lazimaKimsingi inapendekezwa kwamba maoni ya kila mtoto yazingatiwe kulingana na umri wake kiwango cha ukomavu utamaduni mila na hali ya mazingira

[d] Wajibu wa WAUJ katika Ngazi ya Taifa WAUJ inatayarisha sera miongozo na kanuni inadhibiti ubora inafuatilia na kutathmini utekelezaji Vilevile inahakikisha kuna watumishi na fedha za kutosha kwa mipango ya afya pamoja na kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote WAUJ itaendeleza ushirikiano na wadau mbalimbali kitaifa na kimataifa Wizara itafanya yafuatayo katika kuzuia na kupambana na UWAKI

[i] Kuandaa miongozo ya matibabu yenye ubora kwa ajili ya watoto vijana na watu wazima waliopatwa na UWAKI

[ii] Kutafuta na kutenga fedha kwa ajili ya afua za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kuandaa miongozo ya mafunzo yanayohusiana na juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kutoa mafunzo kwa watoa huduma za afya na ustawi wa jamii kuhusu kuzuia na kupambana na UWAKI kwa watoto vijana na watu wazima

[v] Kutoa huduma mseto na rufaa kwa kutumia mfumo uliopo wa utoaji huduma za afya na ustawi wa jamii

[vi] Kuunganisha takwimu zinazohusu UWAKI kwenye Mfumo wa Takwimu na Ufuatiliaji wa Huduma za Afya (MTUHA)

[vii] Kuendeleza utaratibu wa kupeana taarifa na takwimu zinazohusu UWAKI pamoja na kushirikiana na wadau wake wakuu

[viii] Kufanya usimamizi shirikishi ili kuhakikisha kuwa kanuni za haki za binadamu maadili na kujali zinazingatiwa

[e] Wajibu wa Vituo vya Huduma za Afya Vituo vya kutoa huduma za afya vinajumuisha zahanati vituo vya afya na hospitali zinazomilikiwa na sekta ya umma na binafsi Vituo vyote vya kutoa huduma katika ngazi zote vina Kamati ya Uongozi ya Kituo na Timu ya Usimamizi

28

Vituo vya huduma za afya vitafanya yafuatayo [i] Kuhakikisha kwamba Timu za Usimamizi wa Huduma za Afya

zinatenga fedha za kutekeleza mikakati na mipango kazi ya mwaka ili kuviwezesha vituo kutoa huduma bora kwa waliopatwa na UWAKI

[ii] Kuunganisha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI na zile zilizopo kwenye vituo vya huduma za afya na kuhakikisha mpangilio mzuri wa rufaa za ndani na nje ya kituo zinakidhi mahitaji ya watoto vijana na watu wazima kwa usawa na haki

[iii] Kuhakikisha watoa huduma ya afya na ustawi wa jamii wanapatiwa mafunzo ya kutoa huduma toshelezi kwa watoto vijana na watu wazima waliopatwa na UWAKI

[iv] Kuanzisha utaratibu bora wa kukusanya takwimu na taarifa kuhusu huduma kwa waliopatwa na UWAKI na kutunza kumbukumbu kwa usahihi na kutoa taarifa kwa ajili ya matumizi ya kituo na wadau

[v] Kufanya kazi kwa ushirikiano wa karibu na kamati ya afya ya kituo polisi mahakama na taasisi za elimu ili kukuza ushirikiano kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye jamii

[f ] Wajibu wa Watoa Huduma za Afya Watoa huduma za afya ni pamoja na watunza kumbukumbu za afya tabibu (tabibu msaidizi ofisa tabibu madaktari wasaidizi madaktari na madaktari bingwa) wauguzi wakunga maofisa wauguzi wasaidizi maofisa wauuguzi) wafanyakazi wa maabara wafamasia na maofi sa ustawi wa jamii Watoa huduma hawa wanatakiwa kuzingatia yafuatayo

[i] Kuelewa kikamilifu na kuzingatia kanuni za miongozo ya haki za binadamu maadili ya taaluma na kuonyesha upendo na kujali wakati wa kumhudumia aliyepatwa na UWAKI

[ii] Kuhakikisha upatikanaji wa mahitaji muhimu na utoaji wa huduma toshelezi na zenye ubora kwa waliopatwa na UWAKI katika kituo cha kutoa huduma za afya na kwenye jamii

[iii] Kuwatambua waliopatwa na UWAKI kati ya wagonjwa wa nje katika kituo na kuhakikisha wanapata matibabu na rufaa kwa haraka

29

[iv] Kuhakikisha utoaji wa huduma toshelezi kwa waliopatwa na UWAKI (watu wazima vijana na watoto) Huduma hizi ni pamoja na huduma ya matibabu kutunza ushahidi unasihi na rufaa ndani ya mfumo wa afya na pia rufaa kwenda kwenye sekta nyingine

[v] Kuhakikisha vielelezo vya upelelezi vinakusanywa na kuhifadhiwa ipasavyo ili kutunza ushahidi

[vi] Kuchukua takwimu na taarifa kamili kuhusu aliyepatwa na UWAKI na kuhakikisha zimehifadhiwa kwa siri na usalama

[vii] Kujenga ushirikiano na jamii pamoja na wadau wengine

42 Wajibu wa Jamii

Wadau muhimu katika jamii ni Kamati ya Huduma za Jamii Kamati ya Ulinzi na Usalama Kamati ya Zahanati Mashirika ya Dini Kamati ya Kijiji ya Afya wahudumu wa afya katika jamii wakunga wa tiba asili waganga wa tiba asili na mbadala viongozi wa jamii vikundi vya wanawake na wakuu wa kaya

Jamii itafanya yafuatayo kwa waliopatwa na UWAKI [i] Kupanga na kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya kuzuia

na kutoa huduma bora kulingana na mpango wa mwaka wa zahanati

[ii] Kuhakikisha upatikanaji wa huduma toshelezi pamoja na usalama wao kupatiwa mahitaji ya msingi msaada wa kisaikolojia kupewa rufaa kwenda polisi vyombo vya sheria na watoa huduma wengine Vilevile wanajamii wana wajibu wa kutoa ushahidi mahakamani na kuwasaidia wahusika kuunganishwa na familia zao na jamii

[iii] Kuhakikisha kuwepo kwa vituo vya hifadhi ya muda vya kutosha kwenye jamii

[iv] Kujenga welewa na kuiwezesha jamii kuzuia na kupambana na UWAKI kwa kutetea misingi ya haki za binadamu usawa wa kijinsia haki za vijana na watoto na kutovumilia UWAKI

43 Msaada wa Kisheria kwa waliopatwa na UWAKI Watoa huduma wa afya na ustawi wa jamii baada ya kupata ridhaa kutoka kwa muhusika watampa rufaa ya kwenda sekta nyingine muhimu na kwa wadau mbalimbali kama vile polisi vituo vya msaada wa kisheria kwa ajili ya kupata huduma maalum Watoa huduma wanawajibika

30

kutoa taarifa za kutosha kuhusu masharti ya kisheria ya kutoa taarifa ya matukio ya UWAKI na kwa wakati unaofaa

Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wanawajibika kutoa ushauri kwa waliopatwa na UWAKI (watoto vijana na watu wazima) kuhusu taratibu za mahakama msaada wa ulinzi msaada wa kisheria na taratibu za polisi kama ifuatavyo

[a] Ushahidi wa Kimahakama Huduma kwa muhusika zitalenga mahitaji yake kuheshimu haki yake ya hali ya usiri kupewa taarifa za kutosha zenye kueleweka na sahihi hivyo kuhakikisha anatoa ridhaa arifu kwa hatua na zitakazofuata

[i] WAUJ itahakikisha kupatikana na kuzingatiwa kwa viwango vilivyowekwa kwa ngazi zote katika kuchukua historia kamili ya muhusika kupima na kufanya uchunguzi kuchukua vielelezo vya ushahidi kujaza fomu zinazokubalika kisheria kwa kuweka kumbukumbu ambazo ni halali kama ushahidi mahakamani

[ii] Timu ya Afya ya Usimamizi ya Kituo cha Huduma za Afya baada ya kupata ridhaa ya aliyepatwa na UWAKI itapanga kutenga na kutoa rasilimali za kutosha kuhakikisha nyaraka sahihi zimetayarishwa na kuhifadhiwa na vielelezo vya ushahidi wa mahakama vimepelekwa kwenda maabara ya serikali na kufuatilia majibu

[iii] Watoa huduma wa ngazi zote watahakikisha ukusanyaji sahihi wa vielelezo vya ushahidi na kujaza fomu zinazohusika pamoja na kujaza kwa ukamilifu Fomu ya Polisi Namba Tatu (PF3) na kuthibitisha kwamba muhusika ana taarifa na anaelewa utaratibu

[b] Ulinzi na Msaada kwa Waliopatwa na UWAKI Waliopatwa na UWAKI wana haki ya kulindwa dhidi ya mtuhumiwa pamoja na kupewa mahitaji ya msingi (kwa mfano chakula nguo usafi ri nk) kupewa huduma za polisi (mfano kusindikizwa ulinzi) na kupewa msaada wa kisheria

[i] WAUJ itahakikisha kwamba vituo vya huduma za afya na ustawi wa jamii na watoa huduma wa ngazi zote wana taarifa sahihi kuhusu haki za ulinzi na msaada kwa waliopatwa na UWAKI

31

[ii] Timu za Afya za Usimamizi wa vituo vya huduma za afya katika ngazi zote zitapanga kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya ulinzi na msaada kwa waliopatwa na UWAKI Kama Muhusika ni mtoto atasindikizwa na ofi sa ustawi wa jamii pamoja na mzazi au mlezi ikiwa mzazi au mlezi huyo hahusiki na uhalifu

[iii] Watoa huduma wa afya watatoa taarifa kwa muhusika au mzazi mlezi (kama muhusika ni mtoto chini ya miaka 18) kuhusu msaada atakaopata kwenye kituo cha huduma za afya polisi na msaada wa kisheria juu ya haki na ulinzi kwa mujibu wa sheria za Tanzania

[c] Wajibu wa Watoa Huduma za Afya na Ustawi wa Jamii katika Taratibu za Kimahakama

Watoa huduma za afya kwenye ngazi zote wanatakiwa kuhakikisha kwamba waliopatwa na UWAKI wakiwemo watu wazima vijana na watoto pamoja na walezi wao wana taarifa muhimu zinazohusu masuala ya kisheria ambayo yako nje ya huduma za tiba

[i] WAUJ itahakikisha kwamba vituo vya huduma za afya na watoa huduma wanapata ujuzi na wanajua wajibu wao kuhusu namna ya kutoa ushahidi mahakamani ili kuwasaidia wahusika

[ii] Timu za Usimamizi za vituo vya huduma za afya kwenye ngazi zote zitahakikisha kwamba watoa huduma wanaotambulika kisheria na wana welewa sahihi wa uandaaji wa nyaraka muhimu taratibu za kesi mahakamani na viwango vya ushahidi

[iii] Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii kwenye ngazi zote watahakikisha kwamba muhusika anapata taarifa za kutosha kuhusu ratiba na taratibu za upelelezi na umuhimu wa hatua za kisheria

44 Huduma ya Unasihi Kisaikolojia na Kijamii kwa Waliopatwa na UWAKI

Watu waliopatwa na janga la UWAKI watapewa msaada wa unasihi kisaikolojia na kijamii kwa upendo na kujali kuanzia wakati wa tukio hadi watakapojumuika tena kwenye familia na jamii Katika ngazi ya jamii msaada huo utatolewa na Maofisa wa Ustawi wa Jamii Maofi sa hawa watatoa msaada wa kisaikolojia na unasihi wakishirikiana na

32

wadau wengine waliopata mafunzo kutoka asasi za kiraia asasi za kidini na wahudumu wa afya katika jamii

[i] WAUJ itahakikisha utoaji wa msaada wa unasihi kisaikolojia na kijamii kwenye ngazi zote pamoja na kuhakikisha kuwepo kwa ulinzi na usalama (kwa mfano kituo cha hifadhi ya muda)

[ii] Timu za Usimamizi wa Huduma za Afya kwenye ngazi zote zitapanga na kutenga rasiilimali za kutosha pamoja na watoa huduma kwa ajili ya kutoa msaada wa kisaikolojia na kijamii rufaa na kujenga ushirikiano na wadau wengine ili kuwaunganisha wahusika kwenye familia na jamii

[iii] Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii watahakikisha kwamba wanatoa unasihi wa kutosha pamoja na kutoa huduma rafi ki kwa watoto kutoa rufaa za kwenda na kurudi kwenye huduma za tiba vituo vya hifadhi ya muda na kuwezesha kuwaunganisha kwenye familia na jamii

45 Mfumo wa Usimamizi Uratibu na Ushirikiano Utoaji wa huduma bora kwa waliopatwa na UWAKI unahitaji usimamizi na uratibu wa mara kwa mara kwa watoa huduma za afya wa kada mbalimbali katika ngazi zote Vilevile kuratibu shughuli na kutoa rufaa kwenye vituo vya ngazi ya taifa mikoa halmashauri na jamii Pia kunahitajika utaratibu wa kujenga ushirikiano kati ya sekta ya afya na wadau wa sekta nyingine

[a] Usimamizi wa Huduma za Kuzuia na Kupambana na UWAKI [i] Usimamizi wa huduma utakuwa ni sehemu ya mikakati na

mipango ya mwaka kwa vituo vya huduma za afya kwenye ngazi zote

[ii] Wasimamizi katika ngazi zote watafanya usimamizi shirikishi ili kuhakikisha utoaji wa huduma bora

[b] Uratibu wa Huduma za Kuzuia na Kupambana na UWAKI [i] Wasimamizi wa huduma za afya kwenye ngazi zote watabaini na

kuratibu afua na shughuli zinazotakiwa kutekelezwa na wadau mbalimbali kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI

33

[ii] Wasimamizi wa huduma za afya katika ngazi zote watahakikisha kuwa wanapanga utekelezaji wa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[c] Taratibu za Ushirikiano katika Kutoa Huduma za UWAKI Taratibu za ushirikiano zitahusisha ngazi mbalimbali za utoaji wa huduma za afya kulingana na hadhi ya kituo ikihusisha kada mbalimbali za afya katika serikali na sekta binafsi

[i] Wasimamizi wa huduma za afya watabaini na kuanzisha ushirikiano kwa ajili ya kutoa huduma bora na toshelezi kwa waliofanyiwa UWAKI

[ii] Wasimamizi wa huduma za afya watapanga na kutenga rasiilimali za kutosha kwa ajili ya kuendeleza ushirikiano na wadau muhimu pamoja na kujenga mfumo imara wa rufaa wa kupeleka na kuwarejesha wahusika

[iii] WAUJ itatayarisha na kusambaza orodha ya vituo vya rufaa kufuatana na aina ya huduma maalumu zinazotolewa

46 Utetezi na Mawasiliano ya Kubadili Tabia

Utetezi na mawasiliano ya kubadili tabia utakuwa ni sehemu ya mipango na mikakati ya kila mwaka katika ngazi zote Ngazi zote zitahamasisha kutenga na kutoa rasilimali za kutosha kwa ajili ya kutekeleza mipango na mikakati ya kila mwaka Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii watatambua na kuwezesha juhudi za jamii za kuhakikisha ushirikishwaji na kuhamasisha jamii kutumia rasilimali zao ili kupambana na UWAKI Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii wanatakiwa kupanga na kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya elimu ya afya kwa lengo la mawasiliano ya kubadili tabia

[a] Utetezi wa Kuzuia na kupambana na UWAKI kwa kushirikiana na wadau

Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii na kamati zinazohusika katika ngazi zote za WAUJ watafanya yafuatayo

[i] Kupanga mikakati ya kuongeza welewa na upeo kuhusu vyanzo vya UWAKI kubaini namna ya kuzuia na kubuni njia za kupambana na UWAKI

34

[ii] Kutetea na kuhamasisha uchangiaji zaidi wa raslimali kutenga kasma kwenye bajeti katika Mfumo wa Matumizi ya Muda wa Kati na katika Mpango Kabambe wa Afya wa Halmashauri kwa ajili ya kinga na huduma za kupambana na UWAKI

[iii] Kutetea utekelezaji wa sera na sheria zenye kuunga mkono juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kuhusisha vyombo vya habari katika kutekeleza shughuli za utetezi na ushawishi

[b] Ushirikiano wa wadau kwenye mawasiliano ya kubadili tabia dhidi ya UWAKI

Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii na kamati zao kwenye ngazi zote watafanya yafuatayo

[i] Kutambua mahitaji na kupanga mawasiliano ya kubadili tabia kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kwa ufanisi

[ii] Kuhusisha vyombo vya habari katika kupanga kutekeleza na kufuatilia shughuli za mawasiliano ya kubadili tabia

47 Ufuatiliaji na Tathmini ya Huduma za Kuzuia na Kupambana na UWAKI

Ufuatiliaji na tathmini ya huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI ni muhimu katika kupima ubora wa matokeo ya huduma zinazohusiana na UWAKI Ufuatiliaji na tathmini unahitaji kuchagua vigezo vya kupima maendeleo ya huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kukusanya takwimu kuchambua kutafsiri kutayarisha na kuwasilisha ripoti kwa wadau muhimu Ufuatiliaji na Tathmini unasaidia kutambua maeneo yanayohitaji kufanyiwa utafi ti

[i] Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii katika ngazi zote watatumia vigezo vilivyokubalika kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Takwimu za UWAKI zitaoanishwa na kuunganishwa kwenye MTUHA

[iii] Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii kwenye ngazi zote watahakikisha wanakusanya taarifa na takwimu zinazohusiana na UWAKI kwa kutumia fomu maalumu kwa ajili ya kufuatilia na

35

kutathimini usimamizi na kuwasilisha ripoti za utekelezaji kwa wadau kufuatana na utaratibu maalumu wa kushirikiana katika kutoa taarifa

[iv] Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii katika ngazi zote watafanya utafiti ili kuboresha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

36

SEHEMU YA TANO

MUUNDO WA UTENDAJI KATIKA KUZUIA NA KUPAMBANA NA UWAKI

Wajibu wa WAUJ ni kuandaa kusimamia na kuratibu utekelezaji wa Mwongozo huu wa sera pamoja na sheria kanuni na viwango vya huduma dhidi ya UWAKI katika ngazi zote nchini Mfumo wa utendaji kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI unahusisha ngazi tatu taifa mkoa na halmashauri

51 Ngazi ya Taifa

Katika ngazi ya Taifa Mganga Mkuu wa Serikali ndiye mwenye wajibu wa uongozi wa kitaaluma kwenye utekelezaji wa mipango ya kuzuia na kupambana na UWAKI Ofisi ya Mganga Mkuu ina idara nne ambazo ni Idara ya Kinga Idara ya Tiba Idara ya Mafunzo na Idara ya Ubora na viwango vya Huduma Huduma za Ustawi wa Jamii zipo chini ya Kamishna wa Ustawi wa Jamii

Kitengo cha Afya ya Uzazi na Mtoto ambacho kinasimamiwa na Idara ya Kinga ndicho kinachosimamia utekelezaji wa Mwongozo wa sera ya UWAKI Majukumu ya ofisi ya Mganga Mkuu wa Serikali Idara ya Kinga na Sehemu ya Afya ya Uzazi na Mtoto ni kama ifuatavyo

[a] Ofisi ya Mganga Mkuu wa Serikali Ofi si ya Mganga Mkuu wa Serikali inaratibu inasimamia na kuimarisha huduma za uboreshaji wa Afya Kinga Ubora na viwango vya huduma Tiba ya magonjwa na Utengamao Aidha ofisi inasimamia mafunzo upatikanaji wa wataalamu wa afya katika sekta ya Afya na Ustawi wa Jamii

Ofisi ya Mganga Mkuu wa Serikali kwa kushirikiana na Mabaraza na Vyama vya Kitaaluma vilivyo chini ya sekta ya Afya na Ustawi wa Jamii inasimamia maadili ya wataalamu wa afya kwa kupitia Mabaraza yao ya Kitaaluma

37

bull

bull

[I] Idara ya Kinga Idara hii inasimamia sehemu tano Afya ya Uzazi na Mtoto Epidemiolojia na Udhibiti wa Magonjwa Afya na Usafi wa Mazingira Elimu ya Afya na Lishe Kuna programu na miradi mbalimbali chini ya idara baadhi yake zinahusiana kwa ukaribu na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Programu hizi ni pamoja na Mpango wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI Programu ya Kuzuia Maambukizo ya VVU Kutoka kwa Mama Kwenda kwa Mtoto Programu ya Huduma ya Afya Kwenye Jamii Programuya Afya Shuleni Program ya Uzazi Salama Programu ya Afya ya Mtoto Programu ya Afya ya Uzazi kwa Vijana na Programu ya Uzazi wa Mpango

Idara itafanya yafuatayo Kuhakikisha afua za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa kwenye programu na miradi ya idara na sehemu Kuhakikisha kwamba afua za kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na utetezi na mawasiliano ya kubadili tabia zinajumuishwa kwenye miongozo ya elimu ya afya na ustawi wa jamii

Sehemu ya Huduma za Afya ya Uzazi na Mtoto Sehemu ya Huduma ya Afya ya Uzazi na Mtoto ndiyo inayohusika katika kuzuia na kupambana na UWAKI na majukumu yake ni

[i] Kuandaa mwongozo wa huduma za kina kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kutayarisha mitaala ya mafunzo kwa ajili ya wasimamizi na watoa huduma wa ngazi zote

[ii] Kuratibu kufuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI katika ngazi zote

[iii] Kuwasiliana na wizara nyingine na mashirika ya kitaifa na kimataifa yenye kuhusiana na mipango ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kuangalia upya orodha ya vifaa muhimu kwa utoaji wa huduma bora kwa wahanga wa UWAKI kwa ngazi zote za utoaji huduma

[v] Kuongoza kikundi kazi cha wanataaluma cha taifa pamoja na vikundikazi tanzu vya wanataaluma vinavyosaidia mtazamo mpana wa sekta ya afya na nguvu kazi za kusimamia utekelezaji wa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

38

[II] Idara ya Tiba Idara hii inasimamia huduma za Hospitali za Taifa Mikoa Wilaya Vituo vya Afya na Zahanati za umma na binafsi Uchunguzi Kinywa na Meno Magonjwa Yasiyo ya Kuambukiza na Tiba Asili Idara hii inafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha kwamba vituo vya kutoa huduma za afya katika ngazi zote vinatenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya huduma bora za matibabu kwa wahanga wa UWAKI pamoja na msaada wa kisaikolojia kijamii na rufaa

[ii] Kuhakikisha kwamba vituo vya kutoa huduma za afya kwenye ngazi zote vinapewa vifaa muhimu na vya kutosha kwa ajili ya uchunguzi wa afya vipimo vya maabara kubaini ugonjwa ushahidi wa kimahakama matibabu kutunza kumbukumbu kutoa taarifa na rufaa

[iii] Kuhakikisha kuwa watoa huduma za afya wanazingatia viwango vya kitaalamu na maadili na kuonyesha upendo na kuwajali wahanga wa UWAKI

[III] Idara ya Ubora wa huduma Idara hii ina sehemu tano ikijumuisha huduma za Uuguzi Dharura na Maafa Ukaguzi Dawa na Utafiti na Uhusiano wa Kimataifa Idara hii inafanya yafuatayo

[i] Inasimamia huduma za dawa vifaa tiba na vitendanishi [ii] Inasimamia huduma za Uuguzi na Ukunga [iii] Inasimamia na kufanya ukaguzi wa ubora wa huduma za afya

nchini ili kuziboresha [iv] Inasimamia kazi za utafiti na uhusiano wa kimataifa katika sekta ya

afya na ustawi wa jamii na [v] Inaandaa miongozo kanuni na taratibu zinazohusu huduma za

dharura

[IV] Idara ya Mafunzo Idara ya Mafunzo inasimamia Mipango ya Mafunzo ya Watumishi Mafunzo Endelevu kwa Watumishi Mafunzo kwa Wauguzi na Sayansi Shirikishi za Afya

39

Idara itafanya yafuatayo [i] Kutambua mahitaji ya kitaifa ya mafunzo ya afya na mafunzo ya

kuendeleza taaluma ya watumishi wanaohusika na kutoa huduma kwa waliopatwa na UWAKI

[ii] Kutayarisha mpango wa mafunzo ya muda mfupi na mrefu kwa ajili ya watumishi mbalimbali kwenye ngazi zote zinazotoa huduma kwa waliopatwa na UWAKI

[b] Idara ya Ustawi wa Jamii Idara ya Ustawi wa Jamii imegawanyika katika sehemu tano Huduma kwa Familia na Ustawi wa Mtoto katika malezi makuzi na maendeleo ya awali Huduma za marekebisho ya tabia na haki za mtoto kisheria Huduma kwa wazee na watu wenye ulemavu Mafunzo kwa watumishi na Kitengo cha takwimu Idara itafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha idara inatoa huduma rafiki na bora za ustawi wa jamii kwa wahanga wa UWAKI kwenye vituo vyote vya kutoa huduma za afya na ustawi wa jamii na kuvisimamia

[ii] Kuhakikisha idara inatoa mafunzo kwa watoa huduma wote [iii] Kushauri katika kurekebisha au kufutwa kwa sheria zisizosaidia

utoaji wa huduma bora za ustawi wa jamii na kushawishi kutunga sheria mpya

[c] Idara ya Sera na Mipango Idara hii inasimamia sehemu za Bajeti Sera Mipango Taarifa za Afya na Ufuatiliaji na Tathmini Idara itafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa kwenye mipango na bajeti ya Serikali

[ii] Kuhakikisha kuwa viashirio vya huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI vinaingizwa kwenye MTUHA

[d] Ushirikiano na wadau muhimu katika ldquoKutokomeza UWAKIrdquo

[i] WAUJ kupitia Sehemu ya Afya ya Uzazi na Mtoto kwa kushirikiana na wadau wengine watatetea ulinzi wa haki za waliopatwa na UWAKI na kutokomezwa kwa ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake watoto vijana na wanaume

40

[ii] WAUJ kwa kushirikiana na wadau wengine itaandaa mikakati ya kuhakikisha kwamba aina zote za ubaguzi unyonyaji ukandamizaji na unyanyasaji dhidi ya wanawake watoto vijana na wanaume zinatokomezwa

[iii] WAUJ kwa kushirikiana na wadau wengine watapitia sheria sera na kanuni ambazo zinakinzana na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Watatetea haki za jinsia na afya ya uzazi ikiwa ni pamoja na ulinzi wa mama na watoto dhidi ya UWAKI ukatili wa kifamilia na ukatili dhidi ya watoto na kutetea masuala haya yaingizwe kwenye Katiba ya Tanzania

52 Ngazi ya Mkoa

Utekelezaji wa mapambano dhidi ya UWAKI kwenye mikoa utasimamiwa na Timu ya Usimamizi wa Huduma za Afya Mkoa chini ya Katibu Tawala wa Mkoa na Timu ya Usimamizi ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa chini ya Bodi ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa na watafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa kwenye mpango mkakati wa miaka mitano wa mkoa na hospitali na mpango kazi wa kila mwaka

[ii] Kuhakikisha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa na kuendeshwa pamoja na huduma zilizopo kuwe na watoa huduma wa kutosha pamoja na mafunzo kwa wasimamizi na watoa huduma kwenye ngazi ya mkoa

[iii] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya kufuatilia kufanya tathmini usimamizi na kutoa ripoti za utendaji wa juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya mkoa

[iv] Kutoa msaada wa kitaalamu kwa Halmashauri na Timu za Afya za Halmashauri katika kupanga na kutekeleza huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[v] Kuhakikisha bajeti ya kutosha inatengwa kwenye mpango kabambe wa halmashauri wa afya kwa ajili ya kuiwezesha jamii kuzuia na kupambana na UWAKI

[vi] Kufanya utafiti ili kukuza uelewa kuhusu huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

41

53 Halmashauri za Jiji Manispaa na Wilaya

Bodi ya Huduma za Afya ya Halmashauri ni chombo cha halmashauri ya jiji manispaa na wilaya chenye jukumu la kutoa huduma bora za afya ustawi wa jamii pamoja na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI katika maeneo yao Mipango ya utekelezaji wa huduma za afya kwenye jiji manispaa na wilaya unasimamiwa na Timu ya Usimamizi wa Afya ya Halmashauri Hospitali ya kwanza ya rufaa katika Halmashauri ni Hospitali ya Wilaya au Hospitali Teule ya wilaya

Hospitali Teule ya Wilaya huendeshwa na Timu ya Usimamizi ya Hospitali na husimamiwa na Bodi ya Hospitali Vituo vya kutoa huduma za afya vina kamati za afya na huendeshwa na kamati za usimamizi wa kituo

(a) Ngazi ya Halmashauri Timu ya Halmashauri ya Usimamizi wa Afya itafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha kwamba mipango ya kila mwaka inatengewa fedha za kutosha kwa utekelezaji wa huduma bora za kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaunganishwa na huduma zilizopo kwenye ngazi zote

[iii] Kuhakikisha kwamba kunakuwa na watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wa kutosha na kuendelea kutoa mafunzo kwa watoa huduma wa kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kutetea kuhamasisha na kutenga fedha za kutosha kwa ajili ya kuiwezesha jamii kushiriki kwenye programu ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[v] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya ufuatiliaji tathmini usimamizi shirikishi na kuandaa taarifa za utekelezaji wa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[b] Ngazi ya Kata Kamati ya Afya ya Kata Kamati ya Afya ya Kituo cha Afya na Timu ya Usimamizi wa Kituo cha Afya zitasimamia utoaji wa huduma bora za afya katika kata pamoja na vijiji

42

Kamati na timu zitafanya yafuatayo [i] Kuhakikisha kwamba kila mwaka wanapanga na kutenga rasilimali

za kutosha kwa utekelezaji wa huduma kwa waliopatwa na UWAKI na afua za kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinajumuishwa na huduma zilizopo kwenye kituo cha afya na zahanati

[iii] Kuhakikisha kwamba kuna watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wa kutosha na kuendelea kutoa mafunzo kwa watoa huduma wanaohusika na kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye vituo vya afya na zahanati

[iv] Kutetea kuhamasisha na kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya kuiwezesha jamii kushiriki kwenye kuzuia na kupambana na UWAKI katika Mpango wa Afya wa Kata

[v] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya kufanya ufuatiliaji tathmini na kuandaa taarifa za utekelezaji wa kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kuziwasilisha kwa matumizi katika ngazi zote

[c] Ngazi ya Kijiji Kamati ya Zahanati na Timu ya Usimamizi wa Zahanati zina wajibu wa kutoa huduma za afya kwa wakazi wa eneo la kijiji au vijiji vyao

Kamati na timu zitafanya yafuatayo [i] Kuhakikisha kwamba kila mwaka wanapanga na kutenga raslimali

za kutosha kwa utekelezaji wa huduma kwa waliopatwa na UWAKI na afua za kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinajumuishwa na huduma zilizopo kwenye zahanati

[iii] Kuhakikisha kwamba kuna watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wa kutosha na kuendelea kutoa mafunzo kwa watoa huduma wanaohusika na kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye zahanati

[iv] Kutetea kuhamasisha na kutenga raslimali za kutosha kwa ajili ya kuiwezesha jamii kushiriki kwenye kuzuia na kupambana na UWAKI katika Mpango wa Afya wa Kijiji

43

[v] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya kufanya ufuatiliaji tathmini na kuandaa taarifa za utekelezaji wa kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kuziwasilisha kwa matumizi katika ngazi ya Kata na Wilaya

(d) Ngazi ya Kaya Kila mtu kwenye kaya atahusika katika kuzuia na kupambana na UWAKI na kutoa taarifa ya matukio ya UWAKI kwa mamlaka zinazohusika Pia kila mtu awajibike kwenye kubadili mtazamo na kuepuka mazoea na tabia zinazopelekea UWAKI

44

SEHEMU YA SITA

UFUATILIAJI TATHMINI NA UTAFITI

Ufuatiliaji na tathmini ya afua za kuzuia na kupambana na UWAKI utatekelezwa kwenye ngazi ya taifa mkoa halmashauri na vituo vya huduma za afya Viashirio ambavyo vimependekezwa kwenye ngazi hizi vimeonyeshwa kwenye Kiambatisho

61 Ngazi ya Taifa

Sehemu ya Afya ya Uzazi na Mtoto itaratibu itafuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote nchini

Sehemu hii itafanya yafuatayo [i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu zinazohusu

afua za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka Timu ya Usimamizi wa Afya ya Mkoa na kuzitumia katika kupanga na kuboresha mipango ya kuzuia na kupambana na UWAKI kwa kushirikiana na wadau

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma wa kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti [iv] Kuweka tathmini na ufuatiliaji wa huduma za kuzuia na kupambana

na UWAKI kwenye orodhahakiki ya usimamizi ya WAUJ

62 Ngazi ya Mkoa

Timu ya Usimamizi wa Afya ya Mkoa itakuwa na jukumu la kuratibu kufuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote za mkoa na itafanya yafuatayo

[i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu kuhusu afua za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka hospitali ya rufaa ya mkoa na Timu za Usimamizi wa Afya za Halmashauri kwa ajili ya matumizi yao na kuwasilisha ngazi ya Taifa

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma katika kuzuia na kupambana na UWAKI

45

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti

63 Ngazi ya Wilaya

Timu ya Usimamizi wa Afya ya Halmashauri itakuwa na jukumu la kuratibu kufuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote za wilaya na itafanya yafuatayo

[i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu kuhusu afua za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka hospitali ya wilaya na vituo vya kutolea huduma za afya na Timu za Usimamizi wa Afya za Halmashauri kwa ajili ya matumizi yao na kuwasilisha ngazi ya mkoa

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma katika kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti

64 Ngazi ya Kituo cha kutolea huduma

Timu ya Usimamizi wa Kituo cha Kutolea Huduma za Afya itaratibu itafuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye kituo na kufanya yafuatayo

[i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu kuhusu jitihada za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka kwenye zahanati na jamii na kuwasilisha wilayaniHalmashauri

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma katika kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti

46

KIAMBATISHO

VIASHIRIO VYA MPANGO WA KUZUIA NA KUPAMBANA NA UWAKI KATIKA SEKTA YA AFYA

[a] Ngazi ya Taifa

[i] Idadi ya watu waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya mikoa kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kimkoa

[iii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI kimkoa

[iv] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye uthibitisho kuwa vinatumia Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupamba na UWAKI kimkoa

[v] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye vifaa muhimu kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kimkoa

[b] Ngazi Ya Mkoa

[i] Idadi ya watu waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya wilayahalmashauri kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

[iii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

[iv] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye ushahidi wa kuandikwa na kutumia Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

[v] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye vifaa muhimu kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

47

[c] Ngazi ya Wilaya

[i] Idadi ya watu waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya vituo vya kutolea huduma kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwa vituo vya kutolea huduma

[iii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI

[iv] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye ushahidi wa kuandikwa na kutumia Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI

[v] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye vifaa muhimu kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[d] Ngazi ya Kituo

[i] Idadi ya wahusika waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye kituo cha huduma za afya kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Idadi ya watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Idadi ya watoa huduma walioelekezwa kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI

48

49

50

51

bullbullbull bullbull bullbullbull

~USAID ~f~ ~ KLITOKA KWA WKTJ Delivering as One WAIIAAEKANI

HEALTH POLICY middotmiddotmiddotoINITIATIVE

ltlt ASCII85EncodePages false AllowTransparency false AutoPositionEPSFiles true AutoRotatePages None Binding Left CalGrayProfile (Dot Gain 20) CalRGBProfile (sRGB IEC61966-21) CalCMYKProfile (US Web Coated 050SWOP051 v2) sRGBProfile (sRGB IEC61966-21) CannotEmbedFontPolicy Error CompatibilityLevel 14 CompressObjects Tags CompressPages true ConvertImagesToIndexed true PassThroughJPEGImages true CreateJobTicket false DefaultRenderingIntent Default DetectBlends true DetectCurves 00000 ColorConversionStrategy CMYK DoThumbnails false EmbedAllFonts true EmbedOpenType false ParseICCProfilesInComments true EmbedJobOptions true DSCReportingLevel 0 EmitDSCWarnings false EndPage -1 ImageMemory 1048576 LockDistillerParams false MaxSubsetPct 100 Optimize true OPM 1 ParseDSCComments true ParseDSCCommentsForDocInfo true PreserveCopyPage true PreserveDICMYKValues true PreserveEPSInfo true PreserveFlatness true PreserveHalftoneInfo false PreserveOPIComments true PreserveOverprintSettings true StartPage 1 SubsetFonts true TransferFunctionInfo Apply UCRandBGInfo Preserve UsePrologue false ColorSettingsFile () AlwaysEmbed [ true ] NeverEmbed [ true ] AntiAliasColorImages false CropColorImages true ColorImageMinResolution 300 ColorImageMinResolutionPolicy OK DownsampleColorImages true ColorImageDownsampleType Bicubic ColorImageResolution 300 ColorImageDepth -1 ColorImageMinDownsampleDepth 1 ColorImageDownsampleThreshold 150000 EncodeColorImages true ColorImageFilter DCTEncode AutoFilterColorImages true ColorImageAutoFilterStrategy JPEG ColorACSImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt ColorImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt JPEG2000ColorACSImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt JPEG2000ColorImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt AntiAliasGrayImages false CropGrayImages true GrayImageMinResolution 300 GrayImageMinResolutionPolicy OK DownsampleGrayImages true GrayImageDownsampleType Bicubic GrayImageResolution 300 GrayImageDepth -1 GrayImageMinDownsampleDepth 2 GrayImageDownsampleThreshold 150000 EncodeGrayImages true GrayImageFilter DCTEncode AutoFilterGrayImages true GrayImageAutoFilterStrategy JPEG GrayACSImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt GrayImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt JPEG2000GrayACSImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt JPEG2000GrayImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt AntiAliasMonoImages false CropMonoImages true MonoImageMinResolution 1200 MonoImageMinResolutionPolicy OK DownsampleMonoImages true MonoImageDownsampleType Bicubic MonoImageResolution 1200 MonoImageDepth -1 MonoImageDownsampleThreshold 150000 EncodeMonoImages true MonoImageFilter CCITTFaxEncode MonoImageDict ltlt K -1 gtgt AllowPSXObjects false CheckCompliance [ None ] PDFX1aCheck false PDFX3Check false PDFXCompliantPDFOnly false PDFXNoTrimBoxError true PDFXTrimBoxToMediaBoxOffset [ 000000 000000 000000 000000 ] PDFXSetBleedBoxToMediaBox true PDFXBleedBoxToTrimBoxOffset [ 000000 000000 000000 000000 ] PDFXOutputIntentProfile () PDFXOutputConditionIdentifier () PDFXOutputCondition () PDFXRegistryName () PDFXTrapped False CreateJDFFile false Description ltlt ARA ltFEFF06270633062A062E062F0645002006470630064700200627064406250639062F0627062F0627062A002006440625064606340627062100200648062B062706260642002000410064006F00620065002000500044004600200645062A064806270641064206290020064406440637062806270639062900200641064A00200627064406450637062706280639002006300627062A0020062F0631062C0627062A002006270644062C0648062F0629002006270644063906270644064A0629061B0020064A06450643064600200641062A062D00200648062B0627062606420020005000440046002006270644064506460634062306290020062806270633062A062E062F062706450020004100630072006F0062006100740020064800410064006F006200650020005200650061006400650072002006250635062F0627063100200035002E0030002006480627064406250635062F062706310627062A0020062706440623062D062F062B002E0635062F0627063100200035002E0030002006480627064406250635062F062706310627062A0020062706440623062D062F062B002Egt BGR ltFEFF04180437043f043e043b043704320430043904420435002004420435043704380020043d0430044104420440043e0439043a0438002c00200437043000200434043000200441044a0437043404300432043004420435002000410064006f00620065002000500044004600200434043e043a0443043c0435043d04420438002c0020043c0430043a04410438043c0430043b043d043e0020043f044004380433043e04340435043d04380020043704300020043204380441043e043a043e043a0430044704350441044204320435043d0020043f04350447043004420020043704300020043f044004350434043f0435044704300442043d04300020043f043e04340433043e0442043e0432043a0430002e002000200421044a04370434043004340435043d043804420435002000500044004600200434043e043a0443043c0435043d044204380020043c043e0433043004420020043404300020044104350020043e0442043204300440044f0442002004410020004100630072006f00620061007400200438002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020043800200441043b0435043404320430044904380020043204350440044104380438002egt CHS ltFEFF4f7f75288fd94e9b8bbe5b9a521b5efa7684002000410064006f006200650020005000440046002065876863900275284e8e9ad88d2891cf76845370524d53705237300260a853ef4ee54f7f75280020004100630072006f0062006100740020548c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000204ee553ca66f49ad87248672c676562535f00521b5efa768400200050004400460020658768633002gt CHT ltFEFF4f7f752890194e9b8a2d7f6e5efa7acb7684002000410064006f006200650020005000440046002065874ef69069752865bc9ad854c18cea76845370524d5370523786557406300260a853ef4ee54f7f75280020004100630072006f0062006100740020548c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000204ee553ca66f49ad87248672c4f86958b555f5df25efa7acb76840020005000440046002065874ef63002gt CZE ltFEFF005400610074006f0020006e006100730074006100760065006e00ed00200070006f0075017e0069006a007400650020006b0020007600790074007600e101590065006e00ed00200064006f006b0075006d0065006e0074016f002000410064006f006200650020005000440046002c0020006b00740065007200e90020007300650020006e0065006a006c00e90070006500200068006f006400ed002000700072006f0020006b00760061006c00690074006e00ed0020007400690073006b00200061002000700072006500700072006500730073002e002000200056007900740076006f01590065006e00e900200064006f006b0075006d0065006e007400790020005000440046002000620075006400650020006d006f017e006e00e90020006f007400650076015900ed007400200076002000700072006f006700720061006d0065006300680020004100630072006f00620061007400200061002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000610020006e006f0076011b006a016100ed00630068002egt DAN ltFEFF004200720075006700200069006e0064007300740069006c006c0069006e006700650072006e0065002000740069006c0020006100740020006f007000720065007400740065002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e007400650072002c0020006400650072002000620065006400730074002000650067006e006500720020007300690067002000740069006c002000700072006500700072006500730073002d007500640073006b007200690076006e0069006e00670020006100660020006800f8006a0020006b00760061006c0069007400650074002e0020004400650020006f007000720065007400740065006400650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e0074006500720020006b0061006e002000e50062006e00650073002000690020004100630072006f00620061007400200065006c006c006500720020004100630072006f006200610074002000520065006100640065007200200035002e00300020006f00670020006e0079006500720065002egt DEU ltFEFF00560065007200770065006e00640065006e0020005300690065002000640069006500730065002000450069006e007300740065006c006c0075006e00670065006e0020007a0075006d002000450072007300740065006c006c0065006e00200076006f006e002000410064006f006200650020005000440046002d0044006f006b0075006d0065006e00740065006e002c00200076006f006e002000640065006e0065006e002000530069006500200068006f006300680077006500720074006900670065002000500072006500700072006500730073002d0044007200750063006b0065002000650072007a0065007500670065006e0020006d00f60063006800740065006e002e002000450072007300740065006c006c007400650020005000440046002d0044006f006b0075006d0065006e007400650020006b00f6006e006e0065006e0020006d006900740020004100630072006f00620061007400200075006e0064002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020006f0064006500720020006800f600680065007200200067006500f600660066006e00650074002000770065007200640065006e002egt ESP ltFEFF005500740069006c0069006300650020006500730074006100200063006f006e0066006900670075007200610063006900f3006e0020007000610072006100200063007200650061007200200064006f00630075006d0065006e0074006f00730020005000440046002000640065002000410064006f0062006500200061006400650063007500610064006f00730020007000610072006100200069006d0070007200650073006900f3006e0020007000720065002d0065006400690074006f007200690061006c00200064006500200061006c00740061002000630061006c0069006400610064002e002000530065002000700075006500640065006e00200061006200720069007200200064006f00630075006d0065006e0074006f00730020005000440046002000630072006500610064006f007300200063006f006e0020004100630072006f006200610074002c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200079002000760065007200730069006f006e0065007300200070006f00730074006500720069006f007200650073002egt ETI ltFEFF004b00610073007500740061006700650020006e0065006900640020007300e4007400740065006900640020006b00760061006c006900740065006500740073006500200074007200fc006b006900650065006c007300650020007000720069006e00740069006d0069007300650020006a0061006f006b007300200073006f00620069006c0069006b0065002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740069006400650020006c006f006f006d006900730065006b0073002e00200020004c006f006f0064007500640020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740065002000730061006100740065002000610076006100640061002000700072006f006700720061006d006d006900640065006700610020004100630072006f0062006100740020006e0069006e0067002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020006a00610020007500750065006d006100740065002000760065007200730069006f006f006e00690064006500670061002e000d000agt FRA ltFEFF005500740069006c006900730065007a00200063006500730020006f007000740069006f006e00730020006100660069006e00200064006500200063007200e900650072002000640065007300200064006f00630075006d0065006e00740073002000410064006f00620065002000500044004600200070006f0075007200200075006e00650020007100750061006c0069007400e90020006400270069006d007000720065007300730069006f006e00200070007200e9007000720065007300730065002e0020004c0065007300200064006f00630075006d0065006e00740073002000500044004600200063007200e900e90073002000700065007500760065006e0074002000ea0074007200650020006f007500760065007200740073002000640061006e00730020004100630072006f006200610074002c002000610069006e00730069002000710075002700410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000650074002000760065007200730069006f006e007300200075006c007400e90072006900650075007200650073002egt GRE ltFEFF03a703c103b703c303b903bc03bf03c003bf03b903ae03c303c403b5002003b103c503c403ad03c2002003c403b903c2002003c103c503b803bc03af03c303b503b903c2002003b303b903b1002003bd03b1002003b403b703bc03b903bf03c503c103b303ae03c303b503c403b5002003ad03b303b303c103b103c603b1002000410064006f006200650020005000440046002003c003bf03c5002003b503af03bd03b103b9002003ba03b103c42019002003b503be03bf03c703ae03bd002003ba03b103c403ac03bb03bb03b703bb03b1002003b303b903b1002003c003c103bf002d03b503ba03c403c503c003c903c403b903ba03ad03c2002003b503c103b303b103c303af03b503c2002003c503c803b703bb03ae03c2002003c003bf03b903cc03c403b703c403b103c2002e0020002003a403b10020005000440046002003ad03b303b303c103b103c603b1002003c003bf03c5002003ad03c703b503c403b5002003b403b703bc03b903bf03c503c103b303ae03c303b503b9002003bc03c003bf03c103bf03cd03bd002003bd03b1002003b103bd03bf03b903c703c403bf03cd03bd002003bc03b5002003c403bf0020004100630072006f006200610074002c002003c403bf002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002003ba03b103b9002003bc03b503c403b103b303b503bd03ad03c303c403b503c103b503c2002003b503ba03b403cc03c303b503b903c2002egt HEB ltFEFF05D405E905EA05DE05E905D5002005D105D405D205D305E805D505EA002005D005DC05D4002005DB05D305D9002005DC05D905E605D505E8002005DE05E105DE05DB05D9002000410064006F006200650020005000440046002005D405DE05D505EA05D005DE05D905DD002005DC05D405D305E405E105EA002005E705D305DD002D05D305E405D505E1002005D005D905DB05D505EA05D905EA002E002005DE05E105DE05DB05D90020005000440046002005E905E005D505E605E805D5002005E005D905EA05E005D905DD002005DC05E405EA05D905D705D4002005D105D005DE05E605E205D505EA0020004100630072006F006200610074002005D5002D00410064006F00620065002000520065006100640065007200200035002E0030002005D505D205E805E105D005D505EA002005DE05EA05E705D305DE05D505EA002005D905D505EA05E8002E05D005DE05D905DD002005DC002D005000440046002F0058002D0033002C002005E205D905D905E005D5002005D105DE05D305E805D905DA002005DC05DE05E905EA05DE05E9002005E905DC0020004100630072006F006200610074002E002005DE05E105DE05DB05D90020005000440046002005E905E005D505E605E805D5002005E005D905EA05E005D905DD002005DC05E405EA05D905D705D4002005D105D005DE05E605E205D505EA0020004100630072006F006200610074002005D5002D00410064006F00620065002000520065006100640065007200200035002E0030002005D505D205E805E105D005D505EA002005DE05EA05E705D305DE05D505EA002005D905D505EA05E8002Egt HRV (Za stvaranje Adobe PDF dokumenata najpogodnijih za visokokvalitetni ispis prije tiskanja koristite ove postavke Stvoreni PDF dokumenti mogu se otvoriti Acrobat i Adobe Reader 50 i kasnijim verzijama) HUN ltFEFF004b0069007600e1006c00f30020006d0069006e0151007300e9006701710020006e0079006f006d00640061006900200065006c0151006b00e90073007a00ed007401510020006e0079006f006d00740061007400e100730068006f007a0020006c006500670069006e006b00e1006200620020006d0065006700660065006c0065006c0151002000410064006f00620065002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e00740075006d006f006b0061007400200065007a0065006b006b0065006c0020006100200062006500e1006c006c00ed007400e10073006f006b006b0061006c0020006b00e90073007a00ed0074006800650074002e0020002000410020006c00e90074007200650068006f007a006f00740074002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e00740075006d006f006b00200061007a0020004100630072006f006200610074002000e9007300200061007a002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002c0020007600610067007900200061007a002000610074007400f3006c0020006b00e9007301510062006200690020007600650072007a006900f3006b006b0061006c0020006e00790069007400680061007400f3006b0020006d00650067002egt ITA ltFEFF005500740069006c0069007a007a006100720065002000710075006500730074006500200069006d0070006f007300740061007a0069006f006e00690020007000650072002000630072006500610072006500200064006f00630075006d0065006e00740069002000410064006f00620065002000500044004600200070006900f900200061006400610074007400690020006100200075006e00610020007000720065007300740061006d0070006100200064006900200061006c007400610020007100750061006c0069007400e0002e0020004900200064006f00630075006d0065006e007400690020005000440046002000630072006500610074006900200070006f00730073006f006e006f0020006500730073006500720065002000610070006500720074006900200063006f006e0020004100630072006f00620061007400200065002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200065002000760065007200730069006f006e006900200073007500630063006500730073006900760065002egt JPN ltFEFF9ad854c18cea306a30d730ea30d730ec30b951fa529b7528002000410064006f0062006500200050004400460020658766f8306e4f5c6210306b4f7f75283057307e305930023053306e8a2d5b9a30674f5c62103055308c305f0020005000440046002030d530a130a430eb306f3001004100630072006f0062006100740020304a30883073002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000204ee5964d3067958b304f30533068304c3067304d307e305930023053306e8a2d5b9a306b306f30d530a930f330c8306e57cb30818fbc307f304c5fc59808306730593002gt KOR ltFEFFc7740020c124c815c7440020c0acc6a9d558c5ec0020ace0d488c9c80020c2dcd5d80020c778c1c4c5d00020ac00c7a50020c801d569d55c002000410064006f0062006500200050004400460020bb38c11cb97c0020c791c131d569b2c8b2e4002e0020c774b807ac8c0020c791c131b41c00200050004400460020bb38c11cb2940020004100630072006f0062006100740020bc0f002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020c774c0c1c5d0c11c0020c5f40020c2180020c788c2b5b2c8b2e4002egt LTH ltFEFF004e006100750064006f006b0069007400650020016100690075006f007300200070006100720061006d006500740072007500730020006e006f0072011700640061006d00690020006b0075007200740069002000410064006f00620065002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400750073002c0020006b00750072006900650020006c0061006200690061007500730069006100690020007000720069007400610069006b007900740069002000610075006b01610074006f00730020006b006f006b007900620117007300200070006100720065006e006700740069006e00690061006d00200073007000610075007300640069006e0069006d00750069002e0020002000530075006b0075007200740069002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400610069002000670061006c006900200062016b007400690020006100740069006400610072006f006d00690020004100630072006f006200610074002000690072002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000610072002000760117006c00650073006e0117006d00690073002000760065007200730069006a006f006d00690073002egt LVI ltFEFF0049007a006d0061006e0074006f006a00690065007400200161006f00730020006900650073007400610074012b006a0075006d00750073002c0020006c0061006900200076006500690064006f00740075002000410064006f00620065002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400750073002c0020006b006100730020006900720020012b00700061016100690020007000690065006d01130072006f00740069002000610075006700730074006100730020006b00760061006c0069007401010074006500730020007000690072006d007300690065007300700069006501610061006e006100730020006400720075006b00610069002e00200049007a0076006500690064006f006a006900650074002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400750073002c0020006b006f002000760061007200200061007400760113007200740020006100720020004100630072006f00620061007400200075006e002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002c0020006b0101002000610072012b00200074006f0020006a00610075006e0101006b0101006d002000760065007200730069006a0101006d002egt NLD (Gebruik deze instellingen om Adobe PDF-documenten te maken die zijn geoptimaliseerd voor prepress-afdrukken van hoge kwaliteit De gemaakte PDF-documenten kunnen worden geopend met Acrobat en Adobe Reader 50 en hoger) NOR ltFEFF004200720075006b00200064006900730073006500200069006e006e007300740069006c006c0069006e00670065006e0065002000740069006c002000e50020006f0070007000720065007400740065002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740065007200200073006f006d00200065007200200062006500730074002000650067006e0065007400200066006f00720020006600f80072007400720079006b006b0073007500740073006b00720069006600740020006100760020006800f800790020006b00760061006c0069007400650074002e0020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740065006e00650020006b0061006e002000e50070006e00650073002000690020004100630072006f00620061007400200065006c006c00650072002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200065006c006c00650072002000730065006e006500720065002egt POL ltFEFF0055007300740061007700690065006e0069006100200064006f002000740077006f0072007a0065006e0069006100200064006f006b0075006d0065006e007400f300770020005000440046002000700072007a0065007a006e00610063007a006f006e00790063006800200064006f002000770079006400720075006b00f30077002000770020007700790073006f006b00690065006a0020006a0061006b006f015b00630069002e002000200044006f006b0075006d0065006e0074007900200050004400460020006d006f017c006e00610020006f007400770069006500720061010700200077002000700072006f006700720061006d006900650020004100630072006f00620061007400200069002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000690020006e006f00770073007a0079006d002egt PTB ltFEFF005500740069006c0069007a006500200065007300730061007300200063006f006e00660069006700750072006100e700f50065007300200064006500200066006f0072006d00610020006100200063007200690061007200200064006f00630075006d0065006e0074006f0073002000410064006f0062006500200050004400460020006d00610069007300200061006400650071007500610064006f00730020007000610072006100200070007200e9002d0069006d0070007200650073007300f50065007300200064006500200061006c007400610020007100750061006c00690064006100640065002e0020004f007300200064006f00630075006d0065006e0074006f00730020005000440046002000630072006900610064006f007300200070006f00640065006d0020007300650072002000610062006500720074006f007300200063006f006d0020006f0020004100630072006f006200610074002000650020006f002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000650020007600650072007300f50065007300200070006f00730074006500720069006f007200650073002egt RUM ltFEFF005500740069006c0069007a00610163006900200061006300650073007400650020007300650074010300720069002000700065006e007400720075002000610020006300720065006100200064006f00630075006d0065006e00740065002000410064006f006200650020005000440046002000610064006500630076006100740065002000700065006e0074007200750020007400690070010300720069007200650061002000700072006500700072006500730073002000640065002000630061006c006900740061007400650020007300750070006500720069006f006100720103002e002000200044006f00630075006d0065006e00740065006c00650020005000440046002000630072006500610074006500200070006f00740020006600690020006400650073006300680069007300650020006300750020004100630072006f006200610074002c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020015f00690020007600650072007300690075006e0069006c006500200075006c0074006500720069006f006100720065002egt RUS ltFEFF04180441043f043e043b044c04370443043904420435002004340430043d043d044b04350020043d0430044104420440043e0439043a043800200434043b044f00200441043e043704340430043d0438044f00200434043e043a0443043c0435043d0442043e0432002000410064006f006200650020005000440046002c0020043c0430043a04410438043c0430043b044c043d043e0020043f043e04340445043e0434044f04490438044500200434043b044f00200432044b0441043e043a043e043a0430044704350441044204320435043d043d043e0433043e00200434043e043f0435044704300442043d043e0433043e00200432044b0432043e04340430002e002000200421043e043704340430043d043d044b04350020005000440046002d0434043e043a0443043c0435043d0442044b0020043c043e0436043d043e0020043e0442043a0440044b043204300442044c002004410020043f043e043c043e0449044c044e0020004100630072006f00620061007400200438002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020043800200431043e043b043504350020043f043e04370434043d043804450020043204350440044104380439002egt SKY ltFEFF0054006900650074006f0020006e006100730074006100760065006e0069006100200070006f0075017e0069007400650020006e00610020007600790074007600e100720061006e0069006500200064006f006b0075006d0065006e0074006f0076002000410064006f006200650020005000440046002c0020006b0074006f007200e90020007300610020006e0061006a006c0065007001610069006500200068006f0064006900610020006e00610020006b00760061006c00690074006e00fa00200074006c0061010d00200061002000700072006500700072006500730073002e00200056007900740076006f00720065006e00e900200064006f006b0075006d0065006e007400790020005000440046002000620075006400650020006d006f017e006e00e90020006f00740076006f00720069016500200076002000700072006f006700720061006d006f006300680020004100630072006f00620061007400200061002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000610020006e006f0076016100ed00630068002egt SLV ltFEFF005400650020006e006100730074006100760069007400760065002000750070006f0072006100620069007400650020007a00610020007500730074007600610072006a0061006e006a006500200064006f006b0075006d0065006e0074006f0076002000410064006f006200650020005000440046002c0020006b006900200073006f0020006e0061006a007000720069006d00650072006e0065006a016100690020007a00610020006b0061006b006f0076006f00730074006e006f0020007400690073006b0061006e006a00650020007300200070007200690070007200610076006f0020006e00610020007400690073006b002e00200020005500730074007600610072006a0065006e006500200064006f006b0075006d0065006e0074006500200050004400460020006a00650020006d006f0067006f010d00650020006f0064007000720065007400690020007a0020004100630072006f00620061007400200069006e002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200069006e0020006e006f00760065006a01610069006d002egt SUO ltFEFF004b00e40079007400e40020006e00e40069007400e4002000610073006500740075006b007300690061002c0020006b0075006e0020006c0075006f00740020006c00e400680069006e006e00e4002000760061006100740069007600610061006e0020007000610069006e006100740075006b00730065006e002000760061006c006d0069007300740065006c00750074007900f6006800f6006e00200073006f00700069007600690061002000410064006f0062006500200050004400460020002d0064006f006b0075006d0065006e007400740065006a0061002e0020004c0075006f0064007500740020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740069007400200076006f0069006400610061006e0020006100760061007400610020004100630072006f0062006100740069006c006c00610020006a0061002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030003a006c006c00610020006a006100200075007500640065006d006d0069006c006c0061002egt SVE ltFEFF0041006e007600e4006e00640020006400650020006800e4007200200069006e0073007400e4006c006c006e0069006e006700610072006e00610020006f006d002000640075002000760069006c006c00200073006b006100700061002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e007400200073006f006d002000e400720020006c00e4006d0070006c0069006700610020006600f60072002000700072006500700072006500730073002d007500740073006b00720069006600740020006d006500640020006800f600670020006b00760061006c0069007400650074002e002000200053006b006100700061006400650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740020006b0061006e002000f600700070006e00610073002000690020004100630072006f0062006100740020006f00630068002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020006f00630068002000730065006e006100720065002egt TUR ltFEFF005900fc006b00730065006b0020006b0061006c006900740065006c0069002000f6006e002000790061007a006401310072006d00610020006200610073006b013100730131006e006100200065006e0020006900790069002000750079006100620069006c006500630065006b002000410064006f006200650020005000440046002000620065006c00670065006c0065007200690020006f006c0075015f007400750072006d0061006b0020006900e70069006e00200062007500200061007900610072006c0061007201310020006b0075006c006c0061006e0131006e002e00200020004f006c0075015f0074007500720075006c0061006e0020005000440046002000620065006c00670065006c0065007200690020004100630072006f006200610074002000760065002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200076006500200073006f006e0072006100730131006e00640061006b00690020007300fc007200fc006d006c00650072006c00650020006100e70131006c006100620069006c00690072002egt UKR ltFEFF04120438043a043e0440043804410442043e043204430439044204350020044604560020043f043004400430043c043504420440043800200434043b044f0020044104420432043e04400435043d043d044f00200434043e043a0443043c0435043d044204560432002000410064006f006200650020005000440046002c0020044f043a04560020043d04300439043a04400430044904350020043f045604340445043e0434044f0442044c00200434043b044f0020043204380441043e043a043e044f043a04560441043d043e0433043e0020043f0435044004350434043404400443043a043e0432043e0433043e0020043404400443043a0443002e00200020042104420432043e04400435043d045600200434043e043a0443043c0435043d0442043800200050004400460020043c043e0436043d04300020043204560434043a0440043804420438002004430020004100630072006f006200610074002004420430002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002004300431043e0020043f04560437043d04560448043e04570020043204350440044104560457002egt ENU (Use these settings to create Adobe PDF documents best suited for high-quality prepress printing Created PDF documents can be opened with Acrobat and Adobe Reader 50 and later) gtgt Namespace [ (Adobe) (Common) (10) ] OtherNamespaces [ ltlt AsReaderSpreads false CropImagesToFrames true ErrorControl WarnAndContinue FlattenerIgnoreSpreadOverrides false IncludeGuidesGrids false IncludeNonPrinting false IncludeSlug false Namespace [ (Adobe) (InDesign) (40) ] OmitPlacedBitmaps false OmitPlacedEPS false OmitPlacedPDF false SimulateOverprint Legacy gtgt ltlt AddBleedMarks false AddColorBars false AddCropMarks false AddPageInfo false AddRegMarks false ConvertColors ConvertToCMYK DestinationProfileName () DestinationProfileSelector DocumentCMYK Downsample16BitImages true FlattenerPreset ltlt PresetSelector MediumResolution gtgt FormElements false GenerateStructure false IncludeBookmarks false IncludeHyperlinks false IncludeInteractive false IncludeLayers false IncludeProfiles false MultimediaHandling UseObjectSettings Namespace [ (Adobe) (CreativeSuite) (20) ] PDFXOutputIntentProfileSelector DocumentCMYK PreserveEditing true UntaggedCMYKHandling LeaveUntagged UntaggedRGBHandling UseDocumentProfile UseDocumentBleed false gtgt ]gtgt setdistillerparamsltlt HWResolution [2400 2400] PageSize [612000 792000]gtgt setpagedevice

  1. 1 World Health Organization WHO
  2. 2 Beijing Platform for Action BPA 1995
  3. 5 International Covenant on Civil and Political Rights ICCPR 1966
  4. 7 Krug Etienne et al 2002 World Report on Violence and Health Geneva WHO
Page 2: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII

Mwongozo wa Kisera wa Sekta ya

Afya wa Kuzuia na Kupambana

na Ukatili wa Kijinsia

Juni 2013

ii

YALIYOMO

Dibaji iv

Sehemu Ya Tano Muundo Wa Utendaji Katika Kuzuia Na

Kiambatisho Viashirio Vya Uwaki Kwa

Shukurani vi

Vifupisho vii

Orodha Ya Maneno Muhimu Na Dhana viii

Sehemu Ya Kwanza Utangulizi 1

Sehemu Ya Pili Uchambuzi Wa Uwaki Tanzania 4

Sehemu Ya Tatu Umuhimu Na Malengo 23

Sehemu Ya Nne Maelekezo Ya Kisera 25

Kupambana Na Uwaki37

Sehemu Ya Sita Ufuatiliaji Tathmini Na Utafi ti 45

Sekta Ya Afya 47

iii

DIBAJI

Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa Kijinsia (UWAKI) ambalo kwa ujumla halikuwa likizingatiwa kwa ukaribu Hivi karibuni Utafiti wa Afya na Idadi ya Watu Tanzania (2010) umeonyesha viwango vya juu vya ukatili wa kijinsia ambavyo havikubaliki Ukatili wa kijinsia ni ukiukwaji mkubwa wa Haki za Msingi za Binadamu na una madhara ya muda mrefu ya kimwili kiakili na kisaikolojia kwa watu waliopatwa na UWAKI familia na jamii Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii (WAUJ) imeandaa Mwongozo wa Kisera kuhusu UWAKI ili kuelekeza utayarishaji wa Mwongozo wa Kuzuia na Kutoa Huduma kwa watu waliopatwa na UWAKI Wizara itafanya kazi na wadau wengine kwa kutoa huduma kwa watu waliopatwa na UWAKI katika ngazi zote za utoaji huduma

Uandaaji wa Mwongozo wa Kisera kuhusu UWAKI umezingatia Sera ya Afya na nyaraka mbalimbali za sekta ya Afya zikijumuisha Mpango Mkakati wa Sekta ya Afya III (2009-2015) Mpango wa Maendeleo wa Afya ya Msingi (MMAM 2007-2017) Mpango Mkakati wa Watumishi wa Sekta ya Afya (2008shy2013) Mkakati wa Taifa wa Kuongeza Kasi ya Kupunguza Vifo Vinavyotokana na Matatizo ya Uzazi Watoto Wachanga na Watoto wa umri chini ya miaka mitano kama ldquoMpango Mmojardquo (2008-2015) Programu ya Uzazi wa Mpango Iliyokasimiwa (2010 - 2015) na Mpango wa Taifa wa Huduma kwa Yatima na Watoto Wanaoishi katika Mazingira Hatarishi (NCPA 2011-2016)

Utekelezaji wa kazi zinazohusiana na UWAKI hapa nchini na utoaji wa huduma kwa watu waliopatwa na UWAKI katika vituo vya huduma za afya na ustawi wa jamii hauridhishi Pamoja na jitihada za Serikali za kupambana na UWAKI uhaba wa rasilimali na sababu nyingine ikiwamo ukosefu wa mwongozo wa kisera umechangia kukosekana kwa huduma bora kwa watu waliopatwa na UWAKI Uzuiaji na utoaji wa huduma bora kwa watu waliopatwa na UWAKI hauhusishi Sekta ya Afya na Ustawi wa Jamii pekee bali sekta nyingine zikijumuisha zile zinazotoa huduma za kisaikolojia usalama wa raia na msaada wa kisheria Hali hii inahitaji uratibu na ushirikiano wa karibu baina ya wadau mbalimbali katika kubuni kupanga na kutekeleza mwongozo wa kisera kuhusu UWAKI

iv

Mwongozo huu unaainisha majukumu ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii na wadau wake katika kupanga na kutekeleza uzuiaji na utoaji wa huduma kwa watu waliopatwa na UWAKI katika ngazi zote Uzuiaji wa UWAKI na utoaji wa huduma kwa watu waliopatwa na UWAKI utatekelezwa kwa kufuata mfumo wa utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii nchini Utoaji wa huduma kwa watu waliopatwa na UWAKI kwenye kila kituo cha huduma za afya utazingatia misingi ya kuheshimu haki za binadamu kujali na maadili ya kitaaluma Ni matumaini yangu ya dhati kuwa Maofisa Mipango Kamati za Afya na watoa huduma wote wa Sekta ya Afya watatumia Mwongozo huu wa Kisera katika kupanga na kutekeleza uzuiaji wa UWAKI na utoaji wa huduma bora za afya kwa watu waliopatwa na UWAKI na hatimaye kutokomeza UWAKI nchini Tanzania

Dkt Donan W Mmbando Kaimu Mganga Mkuu wa Serikali

v

SHUKURANI

Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii (WAUJ) inatambua mchango wa Kikosi Kazi cha Wataalamu chini ya uongozi wa Mkurugenzi Msaidizi wa Huduma za Afya ya Uzazi na Mtoto

Pia Wizara inayashukuru Mashirika mbalimbali na watu binafsi waliochangia katika kutayarisha na kukamilisha Mwongozo huu wa Kisera

Tunashukuru na kutambua mchango wa Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani (USAID) Tanzania na Mpango wa Dharura wa Rais wa Marekani wa kupunguza UKIMWI (PEPFAR) kwa kutoa msaada wa kiutaalamu na kifedha katika kuendeleza Sera ya Afya na kutekelezwa na ldquoFutures Group Internationalrdquo Aidha Wizara inashukuru Mpango wa Pamoja wa Umoja wa Mataifa kwa ufadhili wa utaalamu na fedha

Tunapenda pia kuwatambua wataalamu walioshiriki katika kuandaa na Mwongozo huu wa Kisera

Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Kinga

kukamilisha

Dkt Peter Mmbuji

vi

VIFUPISHO

BAW Bodi ya Afya ya Wilaya BHA Bodi ya Huduma za Afya MKUKUTA Mpango wa Kukuza Uchumi na Kupunguza

Umaskini Tanzania MMAM Mpango wa Maendeleo wa Afya ya Msingi MHW Mamlaka ya Halmashauri ya Wilaya NCPA Mpango Kazi wa Taifa wa Kuhudumia Watoto Yatima

na Wanaoishi katika Mazingira Hatarishi PEPFAR Mpango wa Dharura wa Rais wa Marekani wa

kupunguza UKIMWI SADC Ushirikiano wa Maendeleo wa Nchi za Kusini mwa

Afrika UWAKI Ukatili wa Kijinsia UKIMWI Upungufu wa Kinga Mwilini USAID Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani VVU Virusi Vya UKIMWI WAUJ Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii WHO Shirika la Afya Duniani

vii

ORODHA YA MANENO MUHIMU NA DHANA

Kwa madhumuni ya Mwongozo huu maneno muhimu na dhana yatakuwa na maana ifuatayo

Ukatili Matumizi ya nguvu yanayompa mtu fursa ya kumtumia au kumkandamiza mtu mwingine ikiwa ni pamoja na na kumsababishia woga au hofu madhara ya kimwili kifikra na kisaikolojia Ukatili unaweza kujitokeza kwa kumdhuru mtu kimwili au kumtishia kwa kutumia silaha au kumnyima mtu uhuru wa kufanya uamuzi na kumlazimisha kutenda kinyume na utashi wake

Kijana balehe Kipindi cha mpito cha ukuaji kutoka utoto kuelekea utu uzima Kipindi hiki ni muda ambapo mhusika sio mtoto wala mtu mzima kibiolojia wala hajakomaa kihisia Wakati huu kuna mabadiliko makubwa ya kimwili yanayohusiana na mwanzo wa kubalehe pamoja na kukua kisaikolojia Kijana balehe hujumuisha wanafunzi wengi walio kwenye shule za msingi na baadaye kukamilika wakiwa shule za sekondari

Mtoto Kwa mujibu wa katiba ya Tanzania na sheria ya mtoto mtoto ni mtu yeyote aliye chini ya umri wa miaka 18

Unyanyasaji wa mtoto Unyanyasaji wa mtoto ni dhana ambayo inahusisha maneno au vitendo vilivyokusudia kusababisha utokeaji wa madhara au vitisho kwa watoto Kuna aina tatu za ukatili kwa watoto kimwili kingono na kisaikolojia

Unyanyasaji wa mtoto kingono Ushirikishwaji wa mtoto katika vitendo vinavyohusu ngono Unyanyasaji wa watoto kingono unatokea kati ya mtoto na mtu mzima au mtoto na mtoto mwingine ambaye wamezidiana kiumri na kupevuka na anaaminika ana madaraka na wajibu juu ya mtu aliyepatwa na UWAKI kwa lengo la mnyanyasaji kujiridhisha haja zake binafsi

Unyanyasaji wa watoto kingono ni pamoja na kushawishi au kumlazimisha mtoto kushiriki katika vitendo vyovyote vya ngono utumiaji wa watoto kufanya ukahaba au matumizi ya watoto katika kupiga picha za ngono na kutumia vifaa vinavyohusika na ngonoUnyanyasaji wa mtoto ni dhana

viii

ambayo inahusisha maneno au vitendo vilivyokusudia kusababisha utokeaji wa madhara au vitisho kwa mtoto

Kulazimisha Kutishia au kutumia nguvu ikiwa ni pamoja na kutumia vitisho kauli mbaya ulaghai udanganyifu mila potofu au nguvu ya kipato bila ridhaa yake

Huduma kwa waathirika wa UWAKI Ni huduma jumuishi zinazotolewa kwa waathirika zikijumuisha Kuchukua historia ya mtu aliyepatwa na UWAKI upimaji wa kina kuchukua vipimo vya ushahidi wa kimahakama kwa mujibu wa sheria unasihi kupata matibabu ya awali kupata msaada wa kisheria na kisaikolojia na pale inapobidi kupewa ulinzi

Ridhaa Kufanya uamuzi wenye uelewa uhuru na hiari kuhusu jambo lolote Hakuna ridhaa ikiwa makubaliano yamepatikana kwa njia ya vitisho nguvu au aina zozote za kulazimishwa utekaji nyara udanganyifu ulaghai na upotoshaji

Ukatili ndani ya familia Ni vitendo vya unyanyasaji wanavyofanyiana watu walio katika uhusiano wa karibu kama vile ndoa uchumba familia au watu wanaoishi pamoja kama mke na mume bila ndoa rasmi

Kuna aina mbalimbali za ukatili wa kifamilia zikiwa ni pamoja na ukatili wa kimwili (kumpiga kumwuma kumsukuma kumzuia kumtupia vitu) au kumtishia Aina nyingine ya ukatili wa kifamilia ni ukatili wa kisaikolojia (kumfanyia vitisho kuvizia kumpuuzia) na ukatili wa kiuchumi Madhara yanayotokana na ukatili wa kifamilia ni pamoja na matumizi makubwa ya pombe utegemezi wa dawa za kulevya na magonjwa ya akili

Kituo cha Hifadhi ya muda Mahali pa kupata taarifa usalama huduma ya kwanza rufaa na mahitaji mengine muhimu na ya haraka kwa waliopatwa na UWAKI ambao wanahitaji mahali salama penye usiri kwa kipindi fulani

Kituo maalumu cha malezi Mahali rasmi panapotambulika kisheria kama makao ya watoto au shule za maadilisho Mahali pa kulelea watoto

ix

wanaoishi katika mazingira hatarishi kama vile kituo cha kulelea watoto kinachomilikiwa na watu binafsi taasisi za dini au serikali

Mlezi maalumu Mtu mzima mwenye akili timamu maadili mazuri na anayeaminika katika jamii ana uwezo wa kumlea mtoto ambaye siyo ndugu yake au wa nasaba yake ambaye amethibitishwa na ustawi wa jamii kuweza kumpa matunzo

Kulazimisha kurithi Mjane Ni mila ambapo mjane anashurutishwa bila ridha yake kuwa mke au mume wa ndugu wa marehemu Inawezekana kuwa katika aina au mtindo tofauti kulingana na tamaduni

Ukahaba wa Kulazimishwa Ni kitendo cha ulaghai kinachofanywa na watu kwa makundi hatarishi kama wanawake au wasichana kwa kuwaahidi kuwapatia vitu msaada au ajira halali na badala yake kuwatumikisha katika biashara ya ngono

Jinsia Ni uhusiano uliojengeka katika jamii Watu huzaliwa wakiwa na maumbile ya kike na kiume kisha hujifunza kazi au shughuli za kike na kiume kwenye jamii na hatimaye husababisha watu kujipangia majukumu kutokana na jinsia

Ukatili wa Kijinsia (UWAKI) Ni kitendo chochote cha kikatili anachofanyiwa mtu yeyote awe mwanamke mwanamume au mtoto chenye lengo la kumwumiza kimwili au kiutu kutokana na jinsia yake Ukatili wa kijinsia unajumuisha ukatili wa kingono kisaikolojia mila hatarishi na unyanyasaji wa kiuchumi na kijamii

Kupambana na Ukatili wa Kijinsia Kunajumuisha mambo yafuatayo Kutoa huduma kuandaa mipango mkakati kwa kuwashirikisha wadau mbalimbali

Mila na desturi hatarishi

bull Ukeketaji Ni kitendo cha kikatili anachofanyiwa mtoto wa kike msichana au mwanamke kwa kukata kabisa au kuondoa sehemu ya via vya nje vya uzazi kwa sababu zisizo za kitabibu

x

bull Ndoa katika umri mdogo Ni ndoa zinazojitokeza zaidi kwa wasichana ambazo zinahusishwa na madhara kwa mama na mtoto kama vile matatizo wakati wa kujifungua ulemavu na vifo vya mama na mtoto

bull Ndoa ya kulazimishwa Ni ndoa zinazofanyika bila ridhaa ya mwanamume au mwanamke Iwapo mmoja kati yao hatakubaliana ndoa hizo zinaweza kusababisha madhara ya unyanyasaji na ukatili

bull Utakaso wa mjane Ni desturi ambapo mjane hulazimishwa au hulazimika kufanya ngono na ndugu wengine au mtu aliyeteuliwa kwa kazi hiyo katika jamii Hii hufanyika kabla mjane huyo hajaolewa au kuoa tena

Haki za binadamu Ni stahili za msingi ambazo kila binadamu anapaswa kuzipata ili kumwezesha kuishi kujiendeleza kushiriki na kupata ulinzi wa jamii bila kujali utaifa jinsia asili ya utaifa au nasaba au kabila rangi dini lugha au kwa hali nyingine yoyote

Matukio ya ukatili Ni kitendo au mfululizo wa vitendo vya ukatili vinavyofanywa na mtu au kikundi cha watu dhidi ya mtu au kundi la watu kwa makusudi ya kuharibu kuleta hofu au kutishia amani kwa maslahi binafsi Vitendo hivyo vya kikatili vinaweza kufanyika nyumbani kwenye hadhara na mahali popote katika nyakati tofauti

Ukatili kati ya wenzi Ukatili unaohusisha wenzi wenye uhusiano wa ndani kama vile mtu na mke marafiki wapenzi wanafamilia au watu wanaoishi pamoja kama mke na mume bila ndoa rasmi Ukatili kati ya wenzi ni wa aina nyingi ikiwa ni pamoja na ukatili wa kimwili (kupigwa kuuma kumsukuma kumzuia kumtupia vitu) au kumtishia Aina nyingine ya ukatili wa wenzi ni ukatili wa kingono kisaikolojia (kumfanyia vitisho kuvizia kumpuuza) na ukatili wa kiuchumi (kunyimwa haki ya kufanya kazi kunyangrsquoanywa kipato kurithi mali nk)

Mhalifu Ni mtu kundi la watu au taasisi linalofanya moja kwa moja au kupitia wengine uhalifu au vitendo vya kikatili dhidi ya mtu au kundi la

xi

watuWahalifu wanakuwa katika hali ya kuwa au kuhisi kuwa na nguvu kufanya uamuzi naau mamlaka ya kuwadhibiti waliopatwa na UWAKI

Ukatili wa kimwili Ni kitendo cha kumdhalilisha mtu kwa kumpiga kumvua nguo kumwuma kumchoma kumsababishia ulemavu au kumwua kwa kutumia au kutotumia silaha

Nguvu Katika muktadha wa UWAKI madaraka yanahusiana na uwezo wa kuchagua Mamlaka makubwa yanaendana na uwezo mkubwa wa kufanya uamuzi Kwa upande mwingine mamlaka madogo yanaendana na uwezo dhaifu wa kufanya uamuzi na kwa hivyo kuongeza uwezekano wa kunyanyaswa UWAKI unahusisha matumizi mabaya ya madaraka ambapo mtu mmoja anajisikia kuwa ana mamlaka zaidi juu ya mwenzake na kutumia fursa hiyo kumnyanyasa

Kwa mfano kutumia shinikizo la aina yoyote ili kumfanya mtu mwenye uwezo mdogo kufanya naye ngono kwa madhumuni ya kumpatia faida au ahadi zozote ni kutumia vibaya madaraka Wanaume wana nafasi za madaraka kuliko wanawake na mara nyingi wanamiliki fedha mali na huduma Wanaume wana maumbile makubwa zaidi ya wanawake wana nguvu zaidi wanatumia silaha zaidi na wanadhibiti mawasiliano na usalama Madaraka yanategemea umri na mara nyingi watoto na wazee wana madaraka madogo zaidi Waume au marafiki wa kiume wana umri mkubwa zaidi kuliko wake zao au marafiki wa kike

Ubakaji Ni kitendo cha mtu kumwingilia mtu kimwili mtu mwingine kwa nguvu bila ridhaa yake au kitendo cha kumwingilia mtu mwenye umri chini ya miaka 18

Ulazimishaji ngono ndani ya ndoa Ni kitendo cha ngono kati ya wanandoa kinachofanywa na mwanandoa mmoja bila ridhaa au dhamira ya mwenzake akitumia nguvu vitisho kuogopesha hofu au wakati mwenza hawezi kutoa ridhaa

Vitendo hivyo vya ngono vinajumuisha kujamiiana ngono ya mdomo au kinyume na maumbile kulazimishwa kufanya ngono na mtu mwingine na vitendo vingine vya ngono ambavyo vinachukuliwa na mlazimishaji kama ukandamizaji udhalilishaji na vya kuumiza

xii

Nyumba salama Mahali pa hifadhi ya muda kwa watu waliopatwa na UWAKI mashahidi au watu wengine wanaoonekana kuwa hatarini Pia ni mahali ambapo jamii familia mtu mzima anayeaminika au taasisi ya hisani wanatoa kimbilio la usalama kwa watu waliopatwa na UWAKI

Ukatili wa Kingono Ni kitendo au jaribio lolote la unyanyasaji wa kingono linalosababisha au linaloweza kusababisha madhara ya kimwili kisaikolojia au kihisia

Ngono za Kulazimishwa Ni kitendo cha kumshurutisha au kujaribu kumshurutisha mtu mwingine kwa njia ya ukatili vitisho maneno makali udanganyifu kumpa matarajio ya kiuchumi ili ajihusishe na vitendo vya ngono bila ridhaa yake Ni pamoja na vitendo mbalimbali kama ubakaji na maeneo mapana zaidi kama wanawake kulazimishwa kuolewa na kutoa huduma ya ngono kwa wanaume ambao sio chaguo lao

Ukandamizaji wa Kingono Ni kumtumia mtu watu au jamii inayoishi kwenye mazingira magumu kwa madhumuni ya kuihusisha katika vitendo vya kujamiiana au vinavyohusiana na kujamiiana ili mhalifu afaidike kiuchumi au kijamii

Bughudha ya Kingono Ni matendo yanayohusiana na hisia za kujamiiana ambayo yanakera na kuudhi watu ndani ya jamii na mazingira ya kazi hayakubaliki yanasumbua yanarudiwa mara kwa mara na bila ridhaa kwa mfano matusi kukonyeza mavazi duni yenye kuonyesha maungo kupapasa picha za ngono na kuingilia faragha za mwili wa mtu

Ukatili wa Kingono Nikitendo au jaribio lolote la unyanyasaji wa kingono linalosababisha au linaloweza kusababisha madhara ya kimwili kisaikolojia au kihisia

Ukatili wa Kiuchumi na Kijamii Ni vitendo vya kumnyima mtu fursa ya kupata mahitaji ya msingi na ya kujiendeleza kama kumnyima elimu kazi kumiliki mali huduma za afya na vitendo vingine vinavyosababisha msongo wa mawazo

xiii

Ukatili Matumizi ya nguvu yanayompa mtu fursa ya kumtumia au kumkandamiza mtu mwingine ikiwa ni pamoja na kumsababishia woga au hofu madhara ya kimwili kifikra na kisaikolojia Ukatili unaweza kujitokeza kwa kumdhuru mtu kimwili au kumtishia kwa kutumia silaha au kumnyima mtu uhuru wa kufanya uamuzi na kumlazimisha kutenda kinyume na utashi wake

Ukatili Dhidi ya Wanawake Ni kitendo au vitendo vya unyanyasaji vyenye kulenga jinsia ya kike na vyenye kusababisha au kuleta madhara ya kimwili kingono kihisia kisaikolojia kiuchumi na kijamii Kitendo au vitendo hivi hujumuisha kutumia nguvu na vitisho vya kumnyima mwanamke haki na uhuru

xiv

SEHEMU YA KWANZA

UTANGULIZI

11 Hali ya Ukatili wa Kijinsia Duniani

Ukatili Wa Kijinsia (UWAKI) unatokana na kuwepo kwa tofauti kati ya wanaume na wanawake na hivyo kuhatarisha afya utu usalama na uhuru wa wahusika waliofanyiwa vitendo vya kikatili

UWAKI unajumuisha vitendo vingi vya ukiukwaji wa haki za binadamu kama vile unyanyasaji wa watoto kingono ubakaji unyanyasaji katika familia shambulio la aibu na udhalilishaji Vitendo vingine vya UWAKI ni usafirishaji haramu wa wanawake na wasichana na madhara mengine yatokanayo na mila na desturi hatarishi

Matukio ya ukatili wa kijinsia yanaacha athari kubwa za kisaikolojia na za kiafya kwa watu waliopatwa na ukatili ikiwa ni pamoja na kuathiri afya ya uzazi na mara nyingine kusababisha vifo

UWAKI haujatambuliwa kama ukiukwaji wa haki za binadamu katika sehemu nyingi duniani Tatizo hili hupunguza uwezo wa wanawake wanaume na watoto katika kufurahia uhuru na haki za msingi za kibinadamu Hata hivyo licha ya kuwepo kwa UWAKI katika nchi nyingi tatizo hili halijapewa kipaumbele UWAKI unaelezwa kuwa ldquoNi kitendo kiovu na cha aibu kubwa cha ukiukwaji wa haki za binadamurdquo Hali hii humfanya mwanamke kuwa tegemezi kijamii kiuchumi na kisheria na hupunguza uwezo wake katika kupata msaada mara anapofanyiwa ukatili

Utafiti uliofanywa na Shirika la Afya Duniani (WHO) kuhusu afya ya wanawake na ukatili wa kifamilia katika nchi 10 umeonyesha kuwa kati ya wanawake waliowahi kuwa na wenzi asilimia 13-61 walifanyiwa ukatili wa kimwili na wenzi wao asilimia 6-59 walifanyiwa ukatili wa kingono na asilimia 15-71 walifanyiwa vitendo vya ukatili wa kingono pamoja na kimwili Pia wanawake wengi vijijini walikiri kuwa walifanyiwa tendo la ngono kwa mara ya kwanza bila ridhaa yao na takwimu zinaonyesha matukio hayo katika baadhi ya nchi kama ifuatavyo Peru (24)

1

Tanzania (17) Bangladesh (30) na Ethiopia (17) Ukatili wa kimwili kwa wanawake wajawazito uliripotiwa kuwa ni asilimia 4-12

Wanawake na wasichana wanakabiliwa na aina nyingine ya ziada ya unyanyasaji Usafirishaji haramu wa wanawake na wasichana kwa ajili ya kazi na ngono za kulazimishwa ni biashara iliyoshamiri na mara nyingi waathirika ni wale wanaokabiliwa na hali ngumu ya maisha Ndoa za kulazimishwa na za utotoni ni ukiukwaji wa haki za binadamu kwa wanawake na wasichana lakini zinaendelea kushamiri kwenye nchi nyingi za Bara la Asia Mashariki ya Kati na Nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara Utafiti wa Shirika la Afya Duniani (2010) unaonyesha kuwa duniani kote mwanamke mmoja kati ya wanawake watano na mwanamume mmoja kati ya wanaume 10 wanaripotiwa kuathirika na unyanyasaji wa kingono wakati wa utoto

12 Hali ya UWAKI Kanda ya Afrika

Kuna uhaba wa taarifa takwimu na utafiti kuhusu UWAKI kwenye ukanda wa Afrika Mashariki Nchini Kenya kulikuwa hakuna takwimu zenye kuhusiana na ukatili wa kijinsia hadi utafiti wa hali ya jamii na afya ulipofanyika mwaka 2003 Utafiti huu ulionyesha kwamba asilimia 29 ya wanawake waliripotiwa kuathiriwa na ukatili wa kingono kwenye kipindi cha mwaka mmoja uliopita na wengi wa waathirika walikuwa wanawake wa umri wa miaka 20-29 Utafiti uliofanywa na Ushirika wa Wanasheria Wanawake nchini Kenya ulionyesha kwamba ukatili wa kijinsia katika familia unakabili asilimia 51 ya wanawake waliohudhuria kliniki nne za wajawazito kwenye jiji la Nairobi na waliripoti kuwa wamekuwa waathirika wa ukatili wakati fulani katika maisha yao kati yao asilimia 65 walifanyiwa ukatili na waume zao na asilimia 22 walifanyiwa ukatili na wanaume wasiowafahamu

Utafiti kuhusu UWAKI uliofanywa baada ya uchaguzi wa 2007 nchini Kenya ulilenga makazi duni ya Kibera jijini Nairobi yenye wakazi wapatao milioni moja Utafiti huu ulionyesha kuwa umri wa waathirika waliobakwa ulikuwa kati ya miaka 25-68 na wengi wao walikuwa wenye umri wa miaka ya 30 UWAKI uliwaathiri wanawake wa umri wa miaka yote Utafiti huu ulibaini kwamba baadhi ya waathirika waliambukizwa virusi vya UKIMWI

2

Mwaka 2007 Umoja wa Mataifa ulikadiria kuwa kiwango cha ubakaji wa wanawake katika eneo la Kivu kaskazini ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ulikuwa ni wanawake 350 kwa mwezi Mwaka 2008 shirika linalotetea haki za binadamu duniani (Amnesty International) liliripoti kuwa wanawake 40 hubakwa kila siku katika eneo hilo hilo

3

SEHEMU YA PILI

UCHAMBUZI WA UWAKI TANZANIA

21 Ukubwa wa tatizo la UWAKI Tanzania

Utafiti uliofanywa na Shirika la Afya Duniani (WHO)1 kuhusu afya ya wanawake na ukatili majumbani kwenye nchi 10 umebaini kuwa ukatili dhidi ya wanawake upo sehemu nyingi ikiwemoTanzania Utafi ti huo ulihusisha wanawake 1820 Dar es Salaam na wanawake 1450 Mbeya waliowahi kuwa na wenzi Matokeo yalionyesha kwamba asilimia 41 ya waliohojiwa katika jiji la Dar es Salaam na asilimia 55 ya waliohojiwa katika jiji la Mbeya waliathirika na aina mbalimbali za UWAKI Taarifa ilionyesha kuwa asilimia 15 hadi 71 ya wanawake walioathirika na ukatili wa kimwili au wa kingono ulifanywa na waume au wenzi wao Utafi ti huo pia ulionyesha kwamba asilimia 15 ya wanawake walifanya kitendo cha ngono kwa mara ya kwanza kwa kulazimishwa Aidha asilimia 4 hadi 12 ya wanawake waliripotiwa kunyanyaswa kimwili wakati wa ujauzito

Kufuatana na uchunguzi wa kitaifa nchini Tanzania kiwango cha ukatili majumbani kati ya wanawake wenye umri wa miaka 15- 49 ni asilimia 45 ikijumuisha ukatili wa kimwili (25) kingono (7) na (14) kwa aina zote mbili Unyanyasaji wa kimwili kwa wanawake wajawazito ulikuwa asilimia tisa (9) Kiwango cha wanawake waliokabiliwa na matukio ya kushurutishwa na wenzi wao kilikuwa asilimia sitini (60) Kiwango cha matukio ya ukatili wa kimwili kinatofautiana sana kati ya mkoa na mkoa ambapo kiwango cha juu sana kipo kwenye mkoa wa Dodoma (71) na cha chini kabisa kwenye mkoa wa Tanga (16) Ukatili wa kingono ni wa kiwango cha juu sana kwenye mkoa wa Rukwa (32) na chini kabisa kwenye mkoa wa Shinyanga (5) Kiwango cha wanawake waliowahi kuwa kwenye ndoa ambao wameathirika na ukatili wa kingono kutoka kwa mume au mwenzi wa sasa ni 48 mume wa zamani (21) rafiki wa kiume wa sasazamani (7) Kwa upande wa wanawake ambao hawajaolewa 27 ya ukatili ulifanywa na marafi ki wa kiume wa sasa au wa zamani

1 World Health Organization (WHO)

4

Uchunguzi wa WHO uliotajwa hapo juu umeonyesha usafi rishaji wa wanawake na wasichana kwa ajili ya kazi na ngono za kulazimishwa ni biashara iliyoshamiri na mara nyingi waathirika ni wale wanaokabiliwa na hali ngumu ya maisha Ndoa za kulazimishwa na za utotoni kama zilivyo kwenye jamii nyingi ni ukiukwaji wa haki za binadamu kwa wanawake na wasichana kwa sababu hawana fursa ya kutoa ridhaa Zaidi ya 60 ya waathirika wa UWAKI nchini Tanzania hawachukui hatua yoyote ya kutoa taarifa ya ukatili kwa mamlaka rasmi au vyombo vya kutekeleza sheria Upo uwezekano mkubwa wa maambukizo ya VVU kutokana na UWAKI Vijana wa kike wa Kitanzania wenye umri wa miaka 18-29 ambao wamekuwa wakinyanyaswa na wenzi wao wana uwezekano wa mara 10 zaidi kupata maambukizo ya VVU kuliko wanawake ambao hawajanyanyaswa

Utafiti uliofanyika Dar es Salaam mwaka 2000 ulibaini kuwa zaidi ya 90 ya waathirika wa ubakaji wanawafahamu wahalifu wao Katika utafiti mwingine uliofanyika Dar es Salaam asilimia ishirini na tano (25) ya wanawake waliohojiwa walikiri kwamba ldquoUkatili ni tatizo kubwa kwenye maishardquo Nchini Tanzania ubakaji ndani ya ndoa hautambuliwi kama kosa la jinai isipokuwa kama wenza wametengana

Vitendo vya UWAKI nchini Tanzania kwa ujumla vinalenga zaidi wanawake na wasichana kutokana na desturi na mazoea ya jamii ambazo zinawabagua na kuwapunguzia uwezo wa kufurahia haki zao za kibinadamu Ingawa mashambulizi ya ngono yanawalenga zaidi wanawake na wasichana hata hivyo wanaume na wavulana vilevile wanalengwa katika unyanyasaji wa kingono kubughudhiwa na kushambuliwa

Ukatili kama ulivyofafanuliwa unadhihirisha tofauti ya madaraka kati ya mwathirika na mhalifu wa ukatili wa kingono ambapo mhalifu mara nyingi ana umbo kubwa umri mkubwa utajiri au ni mmojawapo kwenye kundi la watu wenye mamlaka au anatumia silaha Nchini Tanzania asilimia 134 ya vijana wameathiriwa na mashambulio ya kingono ya namna moja ama nyingine Kwa ujumla kutokana na sababu mbalimbali nchini Tanzania kuna uhaba wa taarifa za UWAKI pia taarifa zilizopo siyo kamilifu

5

Uzoefu unaonyesha kuwa bila kujali hali ya afya ya kimwili ya mwathirika UWAKI humwacha mwathirika na majeraha ya muda mrefu na kupunguza uwezo wa mwathirika kushirikiana na jamii na familia Athari zaidi hujitokeza kwa mwathirika kama vile aibu unyanyapaa msongo wa mawazo na mfadhaiko Tatizo hili kwa waathirika linachochewa na ldquoUtamaduni wa ukimyardquo miongoni mwa familia na jamii inayowazunguka UWAKI una athari ya moja kwa moja na matokeo hasi kwa afya na ustawi wa kiuchumi na kijamii kwa familia hasa kwa wanawake na watoto

22 Unyanyasaji wa Mtoto na Kijana

Utafiti wa kitaifa nchini Tanzania kuhusu Ukatili Dhidi ya Watoto ni wa kwanza na wa aina yake katika Bara la Afrika Matokeo ya utafi ti yameonyesha kwamba mara nyingi watoto wanakabiliwa na unyanyasaji na matukio mengi na ya namna mbalimbali yanayojumuisha ukatili wa kimwili kingono na kisaikolojia Utafiti ulibaini kuwa watoto wengi wako kwenye hatari kubwa ya kunyanyaswa kwenye mazingira ya nyumbani na shuleni Haya ni maeneo mawili ambayo watoto wengi wa Kitanzania hutumia muda wao mwingi wakati wanakua na kuelekea kwenye ujana Robo tatu ya watoto wanapofikia umri wa miaka 18 huwa wameathirika na ukatili wa kimwili kwa namna moja ama nyingine kutokana na ukatili wa ndugu mwalimu au kiongozi Kutokana na utafiti takribani 30 ya wanawake wenye umri kati ya umri wa miaka 13-24 na 14 ya wanaume wenye umri kati ya miaka 13-24 nchini Tanzania waliripotiwa kuathirika na ukatili wa kingono angalau mara moja kabla ya kufikisha umri wa miaka 18

Nchini Tanzania ukeketaji hufanyika mapema utotoni Karibu mwanamke mmoja kati ya wanawake watatu waliokeketwa (32) walikeketwa kabla ya kufikisha umri wa mwaka mmoja na 27 walikeketwa wakiwa na umri wa miaka 13 au zaidi Hata hivyo ukeketaji kwa wasichana hufanyika katika umri mdogo sehemu ya wanawake waliokeketwa wakiwa na umri wa miaka 5 iliongezeka kutoka 34 hadi 39 kwa mujibu wa Utafiti wa Afya ya Jamii [UAJ] 2004-05 na UAJ 2010 Kulingana na utafiti huu 5 ya wasichana wa miaka 13shy17 waliripotiwa kuwa wamekeketwa na 10 ya wasichana wa umri wa miaka 18-24 waliripotiwa kukeketwa Kwa mujibu wa sheria kukeketa ni

6

kosa linalostahili adhabu Kuna uwezekano kwamba wale waliokeketwa huwa wanasita kutoa taarifa na ndiyo sababu ya taarifa kuwa chache

23 Mazingira ya Sera ya UWAKI

Serikali ya Tanzania imeonyesha nia yake ya kushughulikia masuala ya UWAKI kwa kuridhia mikataba kadhaa ya kimataifa yenye kuhusiana na UWAKI na jinsia Mkataba wa Kutokomeza Aina Zote za Ubaguzi Dhidi ya Wanawake (1985) ambao umekuwa chombo katika kupambana na matukio ya ubaguzi ikiwa ni pamoja na ukatili Jukwaa la Beijing (1995)2 na Malengo ya Maendeleo ya Milenia (2000)3 Tanzania pia imeridhia hati ya Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu kuhusu haki za wanawake na hati ya Ushirikiano wa Maendeleo wa Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC)4

Vipaumbele vya maendeleo ya Tanzania vinaainishwa katika Dira ya Taifa 2025 na katika Mpango wa Kuondoa Umaskini na Kukuza Uchumi (MKUKUTA) MKUKUTA II (2011-25) unashughulikia UKIMWI na jinsia kama masuala mtambuka na ni mkakati wa kwanza wa kitaifa unaotambua UWAKI kama suala la kisera kwa watu wote Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto ndiyo yenye jukumu la kuratibu shughuli zote zinazohusiana na jinsia

Wizara hiyo imetayarisha Sera ya Maendeleo ya Jinsia (2000) kwa ajili ya kushughulikia upungufu na kukosekana kwa usawa kati ya wanaume na wanawake Pia Wizara imetayarisha Mkakati wa Kitaifa wa Jinsia na Maendeleo (2002) unaotoa dira na kuwezesha usawa wa kijinsia nchini Pamoja na Mpango wa Taifa wa Vitendo vya Kukinga na Kutokomeza Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto (2001-2015) kwa ajili ya kuongeza juhudi za Serikali za kisheria kwa kupambana na UWAKI na kuhakikisha lsquousawarsquo na lsquohakirsquo kati ya wanawake na wanaume nchini Tanzania Sera ya Taifa ya Afya ina mfumo wa utoaji wa huduma za afya kwa watu wote wanaohitaji ikiwa ni pamoja na waathirika wa UWAKI

2 Beijing Platform for Action - (BPA 1995) 3 Millennium Development Goals - (MDG 2000) 4 Southern African Development Cooperation - (SADC)

7

24 Haki za Binadamu Sheria na Mazingira ya Udhibiti

Tanzania imeridhia Sheria ya Haki za Binadamu na masharti ya vyombo kadhaa vya kimataifa na kikanda ambavyo vinakataza ubaguzi kwa misingi ya jinsia na hivyo kuhitaji serikali ihakikishe kwamba wanawake hawabaguliwi Vyombo hivi ni Mkataba wa Kimataifa wa Kuzuia aina zote za Ukatili na Unyanyasaji wa Kijinsia 1979 pamoja na Mkataba wa Kimataifa wa Haki za Kiraia na Kisiasa (1966)5 Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu (1981) na Hati ya Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu Kuhusu Haki za Wanawake Afrika (2000)

Tanzania imetunga sheria inayosimamia kukinga na kupambana na UWAKI Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (1977) iko wazi kwa kukataza ubaguzi na kwa misingi hiyo inatoa haki ya usawa [Ibara ya 12-24] Sheria ya Mtoto (2009) inawezesha jitihada za kupunguza ukatili dhidi ya watoto Sheria Maalumu ya Makosa ya Kujamiiana (1998)6

ilitungwa kwa lengo la kulinda heshima ya mwanamke na kuweka vikwazo kwa UWAKI kwa kutoa adhabu kali kwa makosa ya kingono Sheria hii inajumuisha ukatili wa kingono ubakaji biashara haramu ya usafirishaji watu bughudha za kingono na kukataza ukeketaji chini ya kifungu cha lsquoUkatili kwa watotorsquo

Hii ilikuwa mara ya kwanza kwa Tanzania kutunga sheria ya kukataza vitendo vilivyotajwa hapo juu na hatima ya sheria hii imewekwa chini ya sheria za adhabu kifungu cha 16

Sheria ya Adhabu (marekebisho ya 2002) inawekea vikwazo vitendo vya UWAKI mathalan vitisho Sehemu ya 89B 89A kutoroka watoto Sehemu ya 166 kutelekeza watoto Sehemu ya 167 kuua bila kukusudia Sehemu ya 195 mauaji Sehemu ya 196 mashambulizi Sehemu ya 240shy243 kutorosha Sehemu ya 246 utekaji nyara Sehemu ya 244 kazi za kulazimishwa Sehemu ya 256 wizi utokanao na mwenzi Sehemu ya 264 tishio la uchomaji Sehemu ya 332 uchomaji Sehemu ya 319-322 kuficha nyaraka Sehemu ya 276-278 Sheria ya Biashara ya Binadamu Na 6 ya mwaka 2008 inakataza biashara ya binadamu kwa sababu yoyote

5 International Covenant on Civil and Political Rights - (ICCPR 1966) 6 The Sexual Offences Special Provisions Act 1998 (SOSPA)

8

Sheria ya Kuzuia VVU UKIMWI Na 28 ya mwaka 2008 inakataza unyanyapaa na inafanya uambukizaji wa VVU kwa makusudi kuwa kosa la jinai

Pamoja na kuwepo vyombo vya kimataifa kikanda kitaifa na vya sheria za kuhakikisha haki kwa wanawake tatizo la UWAKI limetapakaa nchini Tanzania lakini linaripotiwa kwa nadra UWAKI unaathiri zaidi wanawake na wasichana kuliko wanaume na wavulana Haya ni matokeo ya uhusiano usio sawa kati ya wanaume na wanawake katika jamii ambayo yanajidhihirisha katika maeneo kadhaa ikiwa ni pamoja na maeneo ya kiuchumi kijamii kisiasa na kisheria

Mara nyingi UWAKI unapunguza uwezo wa wanawake na wasichana wa kufurahia haki za kimsingi za binadamu na uhuru kama ilivyoainishwa kwenye Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Utambuzi wa wahalifu wa UWAKI nchini Tanzania ni nadra kulinganisha na idadi ya mashambulizi Ni muhimu kushughulikia mahitaji ya kisheria ya waathirika wote wa UWAKI wanawake wasichana wanaume wavulana na watoto

25 Miundombinu ya utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii

Mfumo wa utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii upo katika ngazi ya kitaifa mikoajiji na wilaya manispaa Mfumo huu unawezesha utoaji wa huduma za kuboresha afya kuzuia magonjwa tiba utengemao na ustawi wa jamii kwa kupitia vituo vya kutolea huduma za afya vinavyojumuisha zahanati vituo vya afya na hospitali

Kuna mfumo wa rufaa kitaifa wa njia mbili kupeleka na kurejesha mgonjwa ambao unaanzia kwenye jamii na kwenda kwenye zahanati ambazo zipo 4679 vituo vya afya (481) hospitali za wilaya (95) hospitali za mikoa (19) na hospitali za rufaa za taifa (8) Kuna vituo vya kutolea huduma za afya 5718 nchini Tanzania vikijumuisha zahanati (86) vituo vya afya (10) na hospitali (4) vikiwa chini ya umiliki wa serikali (69) mashirika ya kidini (14) mashirika ya umma ( 3) na mashirika binafsi (14)

9

Mpango wa Maendeleo wa Afya ya Msingi [(MMAM) 2007-2017 pamoja na malengo mengine unakusudia kuhakikisha kuwa kuna kituo kimoja cha afya kwa kila kata katika kata 2555 zilizopo na zahanati moja kwa kila kijiji katika vijiji 10342 Jumla ya vituo vya afya ya msingi 8107 hospitali za wilaya 62 na taasisi 128 za mafunzo zitaanzishwa ifikapo mwaka 2012

Mahitaji ya watoa huduma za afya ni 82377 na waliopata mafunzo ni 29063 (35) ikiwa ni upungufu wa 65 ya mahitaji Mahitaji ya watoa huduma wa ustawi wa jamii ni 3892 Kuna wafanyakazi 210 wa ustawi wa jamii ikiwa ni upungufu wa 95 ya mahitaji na uhaba mkubwa katika ngazi za wilaya (93) kata (100) na vituo vya watu wenye ulemavu na taasisi nyingine (85) (WAUJ 2006)

Kuna uhaba wa wafanyakazi wa afya wenye ujuzi kwenye ngazi za zahanati (69) vituo vya afya (59) na hospitali za rufaa (48-67) Kwa ujumla kuna uhaba wa wafanyakazi wa ustawi wa jamii wenye ujuzi kwa kiwango cha 95 katika ngazi zote kanda (21) wilaya (93) kata (100) na vituo vya walemavu (95) Kama ujenzi wa vituo hautaendana na upatikanaji wa watoa huduma utekelezaji wa MMAM utakuwa na upungufu mkubwa

Kwa kawaida kuna hospitali ya wilaya au teule kwa kila Mamlaka ya Halmashauri ya Wilaya (MHW) Kuna MHW 133 ambazo zina majukumu na wajibu wa kutoa huduma za afya kwenye maeneo yao Kila MHW ina Bodi ya Afya ya Wilaya (BAW) ambayo inajumuisha madiwani waliochaguliwa na kusimamia mipango na utekelezaji wa huduma za afya kwenye wilaya

Mipango na usimamizi wa huduma za afya katika halmashauri inaongozwa na Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri ambayo kiongozi wake ni Mganga Mkuu wa Wilaya na ni Katibu wa BAW Kuna bodi ya hospitali ya wilaya teule Bodi ya Huduma ya Afya (BHA) ya kituo cha afya inayowakilisha wakazi wa kata na bodi ya zahanati inayowakilisha wakazi wa kijiji bodi zote zikiwa na uwakilishi sawa wa kijinsia

Makadirio ya matumizi ya afya kwa mtu mmoja kwa mwaka 201011 ilikuwa ni dola za kimarekani 1575 ambapo WHO imependekeza

10

kiwango cha dola 3400 za Kimarekani Matumizi ya afya ni asilimia 14 ya Bajeti ya Taifa kwa mwaka ambacho ni chini ya kiwango cha asilimia 15 kilichopendekezwa na Tamko la Abuja

Mfumo wa utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii upo katika ngazi zifuatazo

[a] Ngazi ya Kitaifa WAUJ ina jukumu la kutayarisha sera za afya na miongozo inayohusiana na huduma za afya kuweka viwango kuhakiki ubora kufuatilia na kutathmini pamoja na kusimamia utoaji wa huduma za afya zenye kujumuisha kuboresha afya kinga tiba utengemao na ustawi wa jamii Hospitali za rufaa zina asilimiai 52 tu ya wafanyakazi wenye ujuzi

[b] Ngazi ya MkoaJiji Timu ya Uendeshaji ya Afya ya Mkoa ina jukumu la kuongoza na kuendeleza utekelezaji wa mpango mkakati wa afya kwenye mkoa pamoja na ushauri wa kitaalamu kwa Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri kwenye maeneo yafuatayo (1) Utekelezaji wa sera miongozo na viwango vya utoaji wa huduma za afya kwa usahihi na kwa muda uliopangwa ukihusisha watoa huduma wote wa umma binafsi kwenye MHW (2) kupanga kwa ufanisi kutekeleza kufuatilia na kutathmini mipango ya afya ya kina katika halmashauri Kamati ya utawala ya hospitali ya mkoa ina jukumu la kupanga na kusimamia hospitali ya mkoa ambayo ni ngazi ya pili ya rufaa Kuna hospitali 19 za mikoa ambazo zina 34 tu ya wataalamu wa afya

[c] Mamlaka ya Halmashauri ya WilayaManispaa Huduma za afya katika ngazi hii zinasimamiwa na Halmashauri ya Wilaya kupitia BAW chombo kilichoundwa (2001) chini ya Sheria namba 7 ya mwaka 1982 kifungu cha 86A BAW inawajibika kwa utoaji wa huduma za kina kwenye wilaya Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri inatoa ushauri wa kiutaalam kwa utekelezaji wa uamuzi wa BAW

[d] Ngazi ya Wilaya Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri huandaa na kutekeleza mpango wa kina wa afya wa halmashauri pamoja na kufuatilia na

11

kutathmini huduma za afya kwenye hospitali vituo vya afya zahanati na jamii ikiwa ni pamoja na kufanya utafiti Kamati ya Utawala ya Hospitali inasimamia mipango na huduma kwenye hospitali ya wilaya ambayo ni ngazi ya kwanza ya rufaa Kuna hospitali 95 za wilaya zikiwa ni pamoja na hospitali teule ambazo zina asilimia 33 tu ya wataalamu wa afya

[e] Ngazi ya Kata Kamati ya Afya ya Kata inasimamia upangaji ubunifu na uratibu wa mipango ya afya ya jamii husimamia na huhamasisha upatikanaji wa rasilimali pamoja na ukusanyaji na matumizi ya Mfuko wa Afya wa Jamii Vituo vya afya vina jukumu la kutoa huduma za kina za afya na ustawi wa jamii kwenye kata Kamati ya Kituo cha Afya inasimamia utoaji wa huduma za afya na kuhamasisha ukusanyaji wa rasilimali zinazohitajika Timu ya Kituo cha Afya ina wajibu wa kusimamia shughuli za kila siku kwenye kituo cha afya Timu inapanga na kusimamia juhudi za afya ya jamii katika eneo lake chini ya Mpango wa Maendeleo ya Kata Kuna jumla ya kata 2555 nchini ambapo kata 481 sawa na 19 zina vituo vya afya ambavyo vina 41 tu ya wataalamu wa afya

[f ] Ngazi ya Kijiji Kamati ya Zahanati inahakikisha kwamba idadi ya watu katika eneo lake wanapata huduma sahihi za afya na nafuu pamoja na kusimamia uhamasishaji wa rasilimali kwa ajili ya utekelezaji wa mpango wa zahanati Timu ya Usimamizi wa Zahanati inapanga na kusimamia juhudi za afya ya jamii kwenye maeneo chini ya Mpango wa Maendeleo ya Kata Kuna jumla ya vijiji 10342 ambapo 4679 vina zahanati sawa na 45 ambazo ni aslimia 31 tu ya zahanati zina wataalamu wa afya wanaotosheleza Kamati ya Huduma za Jamii kwenye kijiji ina wajibu wa kuhamasisha na kushirikisha jamii ili wajihusishe kuboresha na kulinda afya

[g] Ngazi ya Kaya Kuna kaya takriban milioni 7 nchini Tanzania na wastani wa watu 47 kwa kila kaya (ambapo 70 ya kaya zote zinaongozwa na wanaume na 30 zinaongozwa na wanawake) Sera ya Afya ya Taifa inatamka kwamba ni wajibu wa kila raia kuendeleza na kulinda afya yake pamoja na ya familia yake Pamoja na haya kila raia ana jukumu la kujiepusha na tabia hatarishi kwa afya yake pamoja na ya mwenzie na kuchangia rasilimali kwa ajili ya afya yake na uendelezaji wa vituo vya kutolea huduma za afya

12

26 Kukinga na Kupambana na UWAKI

Serikali ya Tanzania na washirika wake wa karibu wametekeleza mambo mbalimbali yanayohusiana na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Wizara ambazo zinahusika kwa ukaribu kwenye utekelezaji wa mipango ya kukinga na kupambana na UWAKI ni pamoja na Wizara ya Maendeleo y a Jamii Jinsia na Watoto Wizara ya Sheria na Katiba Wizara ya Mambo ya Ndani na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Kuna ushirikiano kati ya wizara idara mashirika asasi za kiraia na wadau wa maendeleo Katika ngazi ya kitaifa serikali inatekeleza Mkakati wa Maendeleo ya Jinsia (2005) na kukuza usawa wa jinsia na haki kwa wanawake Utekelezaji wa Sheria Maalumu ya Makosa ya Kujamiana (1998) ambayo sasa ni Kanuni ya Adhabu Sura ya 16 Toleo la Marekebisho 2002 Pia serikali inatekeleza Mpango wa Taifa wa Vitendo wa Kuzuia na Kutokomeza Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto (2001-2015) ambao una lengo la kutokomeza ubaguzi na unyonyaji wa kisheria kijamii kiuchumi kiutamaduni na kisiasa Zaidi ya yote Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (1977) inatamka kuheshimu misingi ya usawa na haki kwa kila mtu

Kwa kushirikiana na wadau wengine serikali inawezesha uanzishwaji wa kitengo cha jinsia kwenye idara za wizara mbalimbali (mfano idara ya polisi chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi) Mashirika ya Jamii hutoa utetezi msaada wa kisheria huduma za afya na kuendesha kampeni na mashirika mengine yamechukua hatua za kutoa hifadhi kwa waathirika wa UWAKI na Vituo vya Kuhifadhi Waathirika Kuna sera za kitaifa sheria mikakati na mipango ya kazi kwa ajili ya kushughulikia usawa wa kijinsia Vilevile serikali kwa kushirikiana na asasi za kiraia imejenga mazingira mazuri ya kuwezesha waathirika kupata huduma kama vile msaada wa kisheria Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii (WAUJ) imekuwa ikitoa huduma kwa waathirika wa UWAKI licha ya kutokuwepo kwa mwongozo wa sera kwa ajili ya wahudumu wa vituo vya kutolea afya

27 Changamoto katika Kuzuia na Kupambana na UWAKI

Muundo wa sheria sera na juhudi za kukuza haki za binadamu zinakabiliwa na changamoto mbalimbali zinazofisha jitihada za kuzuia kupambana

13

na kuepusha athari za UWAKI nchini Tanzania Changamoto hizo ni pamoja na upungufu wa fedha upungufu wa kisheria na sera zilizopo uratibu duni kati ya wadau na kukosekana kwa mfumo wa rufaa kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI Hali kadhalika uelewa na taarifa juu ya ukubwa wa tatizo la UWAKI ni duni kwa hivyo WAUJ imebuni na kutayarisha mwongozo maalumu wa sera na huduma dhidi ya UWAKI ili kukabili changamoto hizo

[a] Sera za Taifa Serikali ya Tanzania inajitahidi kujenga mazingira mazuri ya kuzuia na kupambana na UWAKI Ingawa Sera ya Afya ina lengo la kutoa huduma za afya za kutosha kwa kila Mtanzania ipo haja ya kuwa na miongozo na mikakati inayofafanua masuala ya UWAKI kwa ukamilifu Ukosefu wa miongozo na sera ya usimamizi dhidi ya UWAKI ni kikwazo kikubwa kwa juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kutibu na kuhudumia waliopatwa na UWAKI Sekta ya afya itatumia mwongozo wa sera hii ili kuboresha huduma ya kupambana na UWAKI kwa kushirikisha na kuwahusisha wadau wote

[b] Sheria zaTaifa Pamoja na kuwepo sheria nyingi zilizopitishwa kwa ajili ya kulinda haki za wanawake na watoto bado zipo changamoto nyingi Kwa mfano kuna baadhi ya sheria zenye utata baadhi zinapingana na hivyo kupunguza uwezo wa kupambana na UWAKI Pamoja na hayo Sheria ya Ndoa kama ilivyofanyiwa marekebisho 2002 haiainishi hatua za kuchukuliwa dhidi ya ukatili wa kifamilia Sheria hii ni kama inahalalisha ubakaji kwa kuruhusu binti kuolewa chini ya umri wa miaka 18 Sheria ya Makosa ya Kujamiiana na Vipengele Maalumu (1998) haitambui ubakaji ndani ya ndoa ingawa inatambua ubakaji ikiwa mume na mke wametengana Mbali na upungufu huo sheria ya makosa ya kujamiiana kwa upande wa kuthibitisha ushahidi wa kuingiliwa kimwili ni mgumu Sheria ya Mila (Tangazo la Serikali Na4361963) ambayo inatumiwa na Watanzania wote wazawa inatokana na mila na desturi za makabila mbalimbali ya Tanzania sheria hii ya Mila ni ya kibaguzi na huleta changamoto kwa wanawake na watoto ambao wamezaliwa nje ya ndoa hususan katika urithi wa mali Kwa mfano ugawanaji wa mali ya marehemu upo katika makundi matatu (1) Mtoto wa kwanza wa kiume (2) Watoto wengine wa kiume waliobaki na (3) Watoto wa kike bila kujali umri

14

na hali katika familia Watoto wa kike wa marehemu hurithi fungu dogo na hunyimwa haki ya kumiliki ardhi Kwa mujibu wa sheria hii mjane hana haki ya kurithi mali yoyote kutoka kwa marehemu mume wake isipokuwa huchukuliwa kuwa atatunzwa na watoto wake Mjane ambaye hajabahatika kuzaa hupata asilimia 20 ya asilimia 50 ya mali za marehemu mume wake Mbali na urithi sheria hii kwa upande wa talaka ikiwa mke alilipiwa mahari wakati ndoa inapovunjwa na mahakama mume ana haki ya kudai kurudishiwa mahari

Sheria zenye kupunguza makali ya UWAKI zimeweka kanuni za kuwezesha wadau katika sekta mbalimbali kuandaa sera na miongozo ya kuzuia na kupambana na UWAKI Wahusika muhimu katika sekta mbalimbali wanapaswa kupitia sheria zinazotoa mwanya wa mwendelezo wa UWAKI na kupendekeza marekebisho au utungwaji wa sheria nyingine zitakazopunguza na kumaliza vitendo vya UWAKI Hata hivyo kuna umuhimu wa kuwepo kwa wajibu na majukumu ya sekta mbalimbali katika kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kupambana dhidi ya unyanyasaji na ukatili kwa watoto Kwa kutambua na kuimarisha wajibu huo katika kila sekta itasaidia uzingatiaji wa sera na kuimarisha ari ya utendaji katika sekta zifuatazo

bull Ustawi wa Jamii Kujenga mfumo wa kufanya tathmini ya vihatarishi katika kupima mfumo wa rufaa unaohusisha sekta na huduma mbalimbali kuweza kuamua na kuchukua hatua za haraka na za muda mrefu katika kupambana na kutoa mahitaji ya haraka na ya muda mrefu kwa ajili ya ulinzi wa watoto na waathirika wengine

bull Elimu Kujumuisha elimu dhidi ya ukatili wa kijinsia katika mitaala ya elimu ikiwa ni pamoja na kuandaa mazingira salama shuleni na kuingiza katika programu za elimu zinazoelezea juu ya masuala ya kujifahamu kimwili (kibiolojia) afya ya uzazi na maendeleo yaa jamii Kuhakikisha kwamba sekta mbalimbali za rufaa na mifumo inayotoa ulinzi wa mtoto vinahusishwa katika elimu hiyo

bull Polisi na sheria Kuimarisha na kupanua ulinzi sahihi wa kisheria kwa ajili ya watoto na kuchukua hatua za kisheria kwa watuhumiwa wa uhalifu kuendeleza juhudi za kuimarisha dawati la jinsia na watoto katika idara ya Polisi nchini Kuendelea kuelimisha polisi na watumishi wengine

15

wa usalama wa raia kuhusu ukatili dhidi ya watoto na kuwa na utaratibu wa uchunguzi wa pamoja na idara ya ustawi wa jamii afya mamlaka na vitengo vingine vinavyohusika na ulinzi na usalama wa mtoto

bull Afya Kufanya kazi katika muundo wa pamoja na wadau wengine kwa kufuata miongozo iliyopo kwa ajili ya kuzuia kutibu kuhudumia na kufuatilia matukio ya ukatili dhidi ya watoto Kuimarisha mifumo iliyo wazi yenye kuunganisha huduma rafi ki kwa watoto na vijana dhidi ya UWAKI

[c] Polisi na Mahakama Mabadiliko katika idara ya polisi hasa katika uanzishwaji wa polisi jamii na dawati la jinsia na watoto yanaonyesha maendeleo katika kushughulikia UWAKI Hata hivyo waathirika wa UWAKI wanakabiliwa na ugumu wa kufika katika vituo vya polisi na mfumo wa utoaji haki Kwa mfano zipo kesi zilizotupiliwa mbali na Mahakama kwa kukosa ushahidi muhimu kutoka upande wa mashtaka Matokeo yake ni kwamba waathirika wanakosa motisha ya kutoa taarifa ya matukio ya UWAKI na hivyo hushindwa kufikisha malalamiko katika vyombo vya utoaji haki

Upungufu wa mafunzo kwa polisi na watoa huduma za kisheria juu ya namna ya kuzitumia sheria zilizopo dhidi ya UWAKI kumesababisha kesi mahakamani kushindwa Mfano Fomu ya Polisi namba 3 (PF3) inatoa taarifa juu ya tukio la shambulio na haitoi maelezo juu ya tukio hilo kama limetokana na UWAKI Ingawa zipo sheria zinazopinga UWAKI sheria hizo hazifahamiki hivyo hazitumiki kikamilifu Pamoja na hayo sheria za kimila na imani za kidini zinazuia waathirika kutoa taarifa za matukio ya UWAKI

Sheria ya Makosa ya Kujamiiana na Vipengele Maalumu (1998) inatoa adhabu kali kwa makosa ya kujamiiana Mara nyingi watuhumiwa hawafikishwi mahakamani kwa kuhofia kudhurika kwa familia zao kwa upande wa kukosa kipato kutoka kwa mtuhumiwa (kwani adhabu za makosa hayo huwa ni kifungo cha muda mrefu) Kwa sababu hizo utoaji wa taarifa kutoka kwa waathirika na familia zao ikiwa ni pamoja na matumizi ya sheria na uendeshaji wa mashtaka umeendelea kuwa changamoto pamoja na kuwepo kwa Sheria ya Makosa ya Kujamiiana inayotoa ulinzi dhidi ya UWAKI

16

bull

bull

bull

bull

bull

[d] Mila na Desturi Katika ngazi ya jamii na mtu binafsi zipo sababu mbalimbali zinazochangia kwa kiwango kikubwa matukio ya UWAKI Utafiti uliofanywa na mtaalamu wa Shirika la Afya Duniani (WHO)7 unaainisha vipengele hatarishi vifuatavyo juu ya mila na desturi

Kanuni za kimila katika uhusiano wa kijinsia humpa mwanamume madaraka na haki zaidi Baadhi ya mila na desturi huhimiza uvumilivu juu ya vitendo vya UWAKI na kuwazuia waathirika kutoa taarifa na kupata msaada Uwezeshaji wa mwanamke katika kupambana na mfumodume hujenga hisia kwa mwanamume kuwa anapoteza mamlaka yake na hivyo huwaudhi baadhi ya wanaume na kuendelea kufanya ukatili kwa lengo la kuwadhibiti wanawake Matumizi ya baadhi ya sheria za kimila hayawasaidii waathirika kupata haki Hofu ya kulipiza kisasi unyanyapaa ubaguzi na kukosekana kwa huduma huwazuia waathirika kutoa taarifa na kupata msaada

[e] Madaraka na Mamlaka Madaraka na mamlaka ni muhimu katika kuzuia na kupambana na UWAKI Wakati mwingine watu wenye madaraka na mamlaka hufumbia macho matukio ya UWAKI Kwa mfano upo ushahidi wa kutosha kuwa kuna matumizi mabaya ya madaraka na mamlaka shuleni na maeneo ya kazi

[f ] Kuhusisha Jamii Jamii ndiyo ngazi ya awali kujua tukio la UWAKI na kutoa msaada wa usalama na ulinzi kwa mwathirika Utafiti wa Shirika la Afya Duniani katika nchi mbalimbali ulionyesha kwamba asilimia 37 ya waathirika walipata msaada kutoka kwa jamii Kutokana na kiwango cha unyanyapaa ubaguzi na kutengwa kijamii viongozi katika ngazi ya jamii waliohamasishwa juu ya UWAKI waliweza kukabili mazingira haya ya kiuhasama Jamii inaweza kumsaidia mwathirika kwa kujenga mazingira mazuri (kwa mfano kituo cha hifadhi salama) Jamii inahusishwa katika

7 Krug Etienne et al 2002 World Report on Violence and Health Geneva WHO Available at httpwwwwhointviolence_injury_preventionviolenceworld_report

17

bull

bull

bull

bull

kuwahamasisha waathirika kuwapa ulinzi mahitaji ya msingi msaada wa kisaikolojia na kuwapa rufaa kwa watoa huduma wengine Vilevile jamii inahusishwa katika kuzuia UWAKI kupunguza unyanyapaa na kuwapa unasihi waathirika pamoja na kuhamasisha viongozi wa kijamii na wanajamii kwa ujumla

Uhamasishaji huu ni muhimu kwa sababu jamii ni daraja kati ya mwathirika na huduma za afya na ustawi wa jamii

Jamii inapaswa kushirikishwa katika hatua za mwanzo na zinazofuata katika kuzuia UWAKI Katika hatua za mwanzo jamii inapaswa kujitahidi kuondoa tabia za kuvumilia matukio ya UWAKI na hivyo kupunguza matukio hayo Katika hatua zinazofuata jamii itatambua na kulinda wale walio katika hatari zaidi ya UWAKI kama watoto na wanawake Jamii pia inapaswa kutambua vikwazo vya utoaji huduma katika idara ya afya polisi na mfumo wa utoaji haki na kuisaidia jamii kuondokana na vikwazo vya upatikanaji wa huduma

Ni muhimu kuishirikisha jamii katika jitihada za utekelezaji wa kuzuia UWAKI na kupambana nao ikiwamo usimamizi wa matibabu ya waathirika Jamii ina uwezo mkubwa wa kuhamasisha waathirika kutafuta huduma za afya na huduma nyingine zinazohusiana na UWAKI kwa mfano huduma za polisi usaidizi wa kisheria na hifadhi salama Pia jamii ina wajibu wa kuwaunganisha waathirika na jamii zao

Hata hivyo zipo changamoto katika kuihusisha jamii kama vile

Upungufu katika kuwahusisha wanaume na wavulana katika kushughulikia UWAKI Wanajamii wamekuwa wakiwanyanyapaa badala ya kuwasaidia waathirika na wakati mwingine wameshiriki katika UWAKI Baadhi ya viongozi wa kijamii na kidini hawana utayari wa kuhamasisha kuzuia na kupambana na UWAKI Jamii zina kiwango kikubwa cha kunyamazia matendo ya UWAKI na kuzuia sheria kuchukua mkondo wake

18

[g] Hali ya kiuchumi na kijamii Kushughulikia UWAKI pekee kama changamoto inayohusu huduma za tiba ni kutibu dalili badala ya chanzo Ni muhimu kushughulikia vyanzo vya UWAKI kama umaskini miongoni mwa wanawake ambao huwafanya kuwa wategemezi

Serikali imetayarisha MKUKUTA II wenye kuainisha njia za kuendeleza na kulinda haki za binadamu kwa watu wote hasa kwa wanawake na wanaume maskini watoto watu wanaoishi katika hali hatarishi na makundi maalumu (angalia MKUKUTA II-kundi la III lengo la 3) na kuongeza uzalishaji na fursa za ajira zenye kuheshimika hasa kwa wanawake na vijana (angalia MKUKUTA II kundi la I lengo la 3) Changamoto iliyopo ni ukosefu wa kuweka vipaumbele katika utekelezaji wa ahadi hizi kwa wanawake na vijana kwa kuelekeza rasilimali za kutosha na kutekeleza mikakati katika kuleta mabadiliko ya hali ya kijamii na kiuchumi kwa wanawake na vijana hivyo kupunguza hali hatarishi ya UWAKI

28 Upungufu katika kupambana na UWAKI

Sekta ya afya imeandaa mwongozo wa kutoa huduma kwa waathirika wa UWAKI Hata hivyo ili kutoa huduma bora na za kirafi ki kwa waathirika sekta zinazohusika hazina budi kushughulikia upungufu ulioainishwa kama ifuatavyo

[a] Huduma za afya

Ukosefu wa mwongozo wa utoaji wa huduma kwa waathirika wa UWAKI Hakuna mwongozo wa utoaji wa huduma za kupambana na UWAKI kwa watoa huduma wa ngazi zote kuanzia nyumbani kwenye jamii zahanati vituo vya afya hospitali polisi mahakama na wadau mbalimbali Upungufu huu unakwamisha upatikanaji na utoaji wa huduma bora za kukinga na kupambana na UWAKI

Upungufu wa fedha Bajeti ya Serikali kuu na serikali za mitaa haikidhi mahitaji

19

Upungufu wa wataalamu wenye ujuzi wa kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Watoa huduma kwenye vituo vya kutolea huduma za afya na jamii hawana maarifa na ujuzi unaotakiwa kushughulikia mahitaji ya waathirika wa UWAKI wa marika yote

Kutojumuishwa kwa huduma za waathirika wa UWAKI na huduma nyingine Huduma za waathirika wa UWAKI hazikujumuishwa na huduma nyingine za afya na ustawi wa jamii kama vile afya ya uzazi upimaji wa VVU UKIMWI uzazi wa mpango na unasihi

Mfumo duni wa rufaa kwa waliopatwa na UWAKI Ingawa mfumo wa rufaa wa huduma za afya umeimarika kwa huduma nyingine lakini hakuna mfumo sahihi wa rufaa kwa waliopatwa na UWAKI Watoa huduma za afya hawana taarifa sahihi za waliopatwa na UWAKI kuhusu utaratibu wa kupeleka na kupokea wagonjwa kwenye vituo vyao na kwenda kwenye vituo vingine au huduma za mfumo wa jamii polisi kisheria na kadhalika Katika mazingira haya mahitaji ya rufaa kwa waliopatwa na UWAKI hayakidhiwi Waliopatwa na UWAKI hawana taarifa ambazo zitawasaidia kupata huduma na hivyo hushindwa kufanya uamuzi sahihi au kutafuta huduma na matibabu zaidi

Upungufu wa taarifa na takwimu Nchini Tanzania matukio yanayohusu UWAKI hayatolewi taarifa ipasavyo kutokana na sababu nyingi zikiwemo waathirika kusita kutoa ripoti ya matukio kutokana na unyanyapaa na ubaguzi hofu ya kutengwa na jamii aibu na miiko inayohusishwa na UWAKI Matokeo yake ni ukosefu wa taarifa zenye uhakika ambazo zinaweza kutumika kuandaa mpango kwa misingi ya utafi ti utaratibu wa utoaji huduma maendeleo ya kisera na utetezi ufuatiliaji na tathmini na uamuzi wa kiutawala

[b] Huduma za Ustawi wa Jamii Utoaji wa huduma za ustawi wa jamii unakabiliwa na ushirikiano mdogo kati ya watendaji wa sekta mbalimbali wa huduma za afya katika halmashauri Kuna upungufu wa watoa huduma za ustawi wa jamii katika ngazi mbalimbali Hali hii inaathiri wigo wa huduma ya msaada wa kisaikolojia unasihi marekebisho ya tabia na utengamao

20

bull

bull

bull

bull

bull

Kikwazo kingine ni watoa huduma za ustawi wa jamii na wadau wa afya kukosa stadi maalumu za kutosha kuhusu kuzuia na kupambana na UWAKI

Wajibu wa watoa huduma za ustawi wa jamii ni muhimu kwa sababu wanafanya kazi katika ngazi ya jamii ambapo matukio mengi ya UWAKI hutokea Wana majukumu makubwa kama watu wa mstari wa mbele kwenye kuzuia na kupambana na UWAKI Uhusiano kati ya jamii na utoaji wa huduma ndio kipimo cha kiwango cha waathirika wa UWAKI kupata huduma za matibabu na kurejea kwenye jamii ili kuendelea kuishi maisha yenye faraja

[c] Huduma za Jamii Baadhi ya upungufu wa uhusiano kati ya jamii na vituo vya kutoa huduma za afya ni pamoja na

Uelewa duni kuhusu masuala ya UWAKI na uwezeshaji wa jamii katika kuzuia na kupambana na UWAKI Uelewa duni wa mahali pa kupata huduma kwa waliopatwa na UWAKI Upungufu wa huduma za kijamii kwa waathirika ikiwa ni pamoja na mifumo ya kijamii ya kutoa ulinzi na usalama (kwa mfano vituo vya hifadhi ya muda) na huduma za rufaa za kiafya polisi na msaada wa kisheria

[d] Huduma za Msaada wa Kisheria (Polisi na Mahakama) Kuna vikwazo vingi katika kupata msaada wa kisheria ambavyo ni pamoja na

Upungufu wa kupata huduma za polisi na msaada wa kisheria kwa waathirika wa UWAKI

bull Kutokuwepo kwa sheria mahususi dhidi ya UWAKI bull yasiyotosheleza UWAKI kwa vyombo Mafunzo kuhusu

vinavyosimamia sheria bull Kuna sheria zinazokinzana na hivyo kutoa mwanya wa tatizo la

UWAKI kuongezeka Upungufu wa watumishi na fedha kwa ajili ya huduma za polisi na msaada wa kisheria

21

bull

bull

Uhaba wa vituo vya msaada wa kisheria Vituo vingi vinavyotoa msaada wa kisheria kwa sasa vinahudumiwa na asasi zisizo za kiserikali zina bajeti ndogo na zipo zaidi mijini

[e] Huduma ya Elimu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imeingiza UWAKI katika mtaala wa mafunzo ya walimu shule za msingi na sekondari Hata hivyo kuna changamoto nyingi katika kuhusisha shule ili kuzuia na kupambana na UWAKI

bull Walimu hawajapata mafunzo ya kutosha kuhusu UWAKI Uhaba wa maeneo salama na programu za shuleni zinazowapa watoto uwezo wa kuzuia na kupambana na UWAKI na ukatili dhidi ya watoto

bull mfumo unaohusuUhusiano duni kati ya mfumo wa elimu na ulinzi na usalama wa mtoto

22

SEHEMU YA TATU

UMUHIMU NA MALENGO 31 Umuhimu

Utafiti uliofanyika nchini Tanzania umeonyesha viwango vya juu vya UWAKI ambavyo ni kati ya asilimia 30 hadi 50 Viwango hivi havikubaliki na vinasababisha madhara ya kimwili kingono kisaikolojia kwa makundi ya umri wowote hasa watoto na wanawake Matokeo ya UWAKI yanaweza kusababisha vifo kutokana na kujiua maambukizo ya virusi vya UKIMWI au magonjwa na vifo vya wanawake vinavyotokana na uzazi Matokeo mengine ingawa hayasababishi vifo yana madhara ya kimwili kingono na kisaikolojia kwa muda mfupi au mrefu Madhara ya UWAKI ni zaidi ya matokeo ya kiafya na majeraha ambayo ni vigumu kupona UWAKI unakiuka haki za binadamu za waathirika na husababisha matokeo hasi katika amani umoja na kipato cha familia ambayo kwa ujumla huleta madhara kwa maendeleo ya kijamii na kiuchumi

Ingawa Serikali ya Tanzania na asasi za kiraia zimefanya jitihada kubwa za kuzuia na kupambana na UWAKI bado tatizo hili ni changamoto kubwa WAUJ itashughulikia changamoto hizi kwa kushirikiana na wadau wengine hali inayohitaji ushirikiano wa karibu ili kushinda vikwazo vilivyopo ambavyo ni pamoja na upungufu wa fedha na watumishi udhaifu kwenye mfumo wa rufaa na mfumo wa kuunganisha huduma za UWAKI katika huduma zilizopo Changamoto nyingine ni uhaba wa utetezi na takwimu kwa ajili ya uandaaji wa mipango yenye misingi ya utafiti kufanya uamuzi ufuatiliaji na tathmini Hata hivyo serikali imeweka misingi imara kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kama inavyodhihirishwa kwa kuwepo kwa sera mikakati na mipango kazi ya kusaidia masuala ya kijinsia na kupunguza UWAKI

Kutokana na ukubwa wa tatizo hili madhara yake na changamoto zinazohusiana na UWAKI WAUJ imetayarisha Mwongozo huu wa kisera chini ya Sera ya Afya ili kuimarisha juhudi za kupambana na UWAKI na kuhakikisha utoaji wa huduma za kina na zenye ubora katika ngazi zote Mwongozo huu wa kisera utatoa mwelekeo kwa vituo vya huduma za afya kwa ngazi zote kuhusu wajibu na majukumu yao katika utoaji

23

wa huduma za UWAKI Pamoja na haya Mwongozo huu utawezesha utayarishaji wa mwongozo wa matibabu kwa waathirika wa UWAKI Kutokana na uzito wa tatizo hili la UWAKI utayarishaji wa Mwongozo huu ulihusisha na kushirikisha kwa kina wadau mbalimbali ndani na nje ya WAUJ

32 Lengo Kuu

Lengo kuu la Mwongozo huu wa kisera ni kuimarisha uwezo wa WAUJ kuelekeza sekta ya afya na ustawi wa jamii na kujenga uhusiano imara na jamii na wadau mbalimbali katika kuzuia na kupambana na UWAKI

33 Malengo Mahasusi

Mwongozo huu utawezesha yafuatayo

[i] Kuweka mfumo wa kuelekeza utayarishaji wa mwongozo wa matibabu na taratibu za kutoa huduma kwa waathirika wa UWAKI

[ii] Kuelekeza WAUJ namna ya uratibu bora wa utekelezaji wa juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kuelekeza namna ya kuweka mifumo thabiti ya ufuatiliaji tathmini na uwekaji wa kumbukumbu za afua za UWAKI chini ya WAUJ

[iv] Kuelekeza ushirikiano kati ya Wizara jamii na wadau kutoka sekta mbalimbali katika utoaji wa huduma za UWAKI

24

bull

SEHEMU YA NNE

MAELEKEZO YA KISERA

Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii watafanya kazi pamoja na wale wa sekta nyingine hasa kwenye ngazi ya jamii katika kuimarisha ushirikiano na mitandao mingine katika jamii ili kuwasaidia waliopatwa na UWAKI kwa karibu na kuwashirikisha katika kuboresha afya zao na kuzuia UWAKI

WAUJ kwa kushirikiana na wadau wengine imetayarisha Mwongozo huu wa kisera wa UWAKI ili kutoa taarifa malengo na maelekezo kuhusu jitihada za kuzuia kuepusha na kushughulikia madhara ya UWAKI katika sekta ya afya Wadau muhimu ni pamoja na viongozi wa jamii polisi na mahakama Yeyote kati ya wadau hawa anaweza kuwa ni kimbilio la kwanza kwa wahanga wa UWAKI Wote wana wajibu wa kutoa huduma kwa haraka na kwa ufanisi

41 Huduma kwa Waliopatwa na UWAKI

Watoa huduma za afya wanatakiwa kuwahudumia waliopatwa na UWAKI kwa kujali na kuzingatia maadili ya taaluma zao Wajibu huu ni pamoja na kuhakikisha usalama hali ya usiri heshima utu na kutoa huduma bila ubaguzi Aidha kabla ya kutoa huduma inatakiwa kupata ridhaa ya muhusika au mlezi wa mtoto mwenye umri chini ya miaka 18

Kwa kulenga na kuzingatia mahitaji ya watu waliofanyiwa UWAKI watoa huduma za afya kwenye ngazi zote watazingatia na kuongozwa na kanuni zifuatazo

[a] Haki za Binadamu Maadili na Kujali

bull zilenge kurejesha au Usalama Hatua zote zinazochukuliwa kudumisha usalama wao Hali ya Usiri Siri zao pamoja na familia zao zinatakiwa kutunzwa wakati wote Hii ina maana kwamba mtoa huduma ya afya anaweza kutoa taarifa muhimu kwa mtoa huduma mwingine pale ambapo muhusika ameridhia tu

25

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

Heshima na utu Watoa huduma wanatakiwa kuwasikiliza kwa makini maoni mawazo na fikira zao na kuwahudumia kwa heshima Bila ubaguzi Waliopatwa na UWAKI wote ni sawa na wanatakiwa kuhudumiwa kulingana na mahitaji yao pia kupewa nafasi sawa katika kupata huduma Ridhaa arifu Ridhaa ya aliyefanyiwa UWAKI itahitajika kwenye taratibu za utoaji huduma maalumu kama (1) Uchunguzi na tiba (2) Uchunguzi tiba pamoja na ushahidi wa kitaaluma (3) Uchunguzi tiba ushahidi wa kitaaluma pamoja na uchunguzi wa polisi na kisheria

Kanuni zinazohusu watoto bull Kuzingatia na kusimamia mahitaji halisi ya mtoto wakati wote bull Kumpa mtoto faraja bull Kumshirikisha mtoto katika kufanya uamuzi bull Kumshughulikia kila mtoto kwa haki na usawa

Kumsaidia na kumlea mtoto ili akue katika hali ya ujasiri na kujiamini

[b] Haki za Aliyepatwa na UWAKI Watoa huduma wote wanatakiwa kuwa na mtazamo unaozingatia mahitaji ya mtu aliyepatwa na UWAKI na kuheshimu haki zake ambazo ni

bull Kuhudumiwa kwa heshima bila unyanyapaa ubaguzi na kutokuwa na mtazamo wa kumlaumu Kupewa taarifa sahihi na zinazoeleweka ili aweze kutoa ridhaa na siyo kumwambia cha kufanya hali inayoweza kumfanya ajisikie mnyonge

bull Kupewa faragha na hali ya usiri na siyo kumteta au kumwaibisha Kulindwa dhidi ya ubaguzi wa aina yoyote au upendeleo wenye misingi ya kijinsia au sababu nyingine Kupewa nafasi ya kuchagua kuhudumiwa na mtoa huduma mwanamume au mwanamke

bull Kupewa nafasi ya kusindikizwa na ndugu au mlezi wake

26

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

[c] Wajibu wa Mtoa Huduma Mtoa huduma anatarajiwa kuzingatia yafuatayo anapomhudumia mtu aliyepatwa na UWAKI

Kujiweka katika nafasi ya mtu aliyepatwa na UWAKI na kuguswa kuwa mtunza siri kuonyesha upendo na kujali anapomuhudumia Kumpatia taarifa sahihi na kuhakikisha kuwa ridhaa arifu inatolewa kwa huduma inayohitajika Kuzingatia masilahi ya muhusika na kuheshimu matakwa yake wakati wote

bull na kuzuia madhara mengineKuhakikisha ulinzi na usalama wake Kuhifadhi kumbukumbu zake mahali pa usalama na kutunza siri wakati wote

bull huduma kadiriKumpatia rufaa kwenda kwenye ngazi za juu za inavyohitajika kulingana na kiwango cha madhara ya kimwili kihisia na kisaikolojia Aidha inatakiwa kumpatia unasihi kabla ya kumpa rufaa

Kuhusu Watoto bull Kuhakikisha kuwa mzazi au mlezi yupo wakati wote pia

kuhakikisha kwamba mzazi au mlezi siyo tishio kwa mtoto Wakati wote mwandae mtoto kuelewa kinachotarajiwa kutendeka na kuhakikisha anaelewa kitakachotokea Kwa watoto wenye umri chini ya miaka 18 ridhaa ya maandishi inahitajika kutoka kwa mzazi au mlezi

Vigezo vya kupata mchango wa mawazo kutoka kwa Watoto Watoto wa umri wa miaka 16 na zaidi kwa ujumla wana uwezo wa kutosha kufanya uamuzi

bull kuwaWatoto wa umri wa miaka 14 hadi 16 wanatarajiwa wamekomaa vya kutosha kutoa mchango au mawazo yao Watoto wa umri wa miaka 9 hadi 14 wana welewa wa kushiriki kufanya uamuzi lakini ukomavu wa kila mtoto unatakiwa kupimwa kipekee Watoto wa umri chini ya miaka 9 wana haki ya kutoa maoni arifu na kusikilizwa Wanaweza kushiriki katika mchakato wa kufanya uamuzi kwa kiwango fulani lakini hadhari inahitajika ili kuwaepusha na mzigo wa kuwa waamuzi

27

bull lazimaKimsingi inapendekezwa kwamba maoni ya kila mtoto yazingatiwe kulingana na umri wake kiwango cha ukomavu utamaduni mila na hali ya mazingira

[d] Wajibu wa WAUJ katika Ngazi ya Taifa WAUJ inatayarisha sera miongozo na kanuni inadhibiti ubora inafuatilia na kutathmini utekelezaji Vilevile inahakikisha kuna watumishi na fedha za kutosha kwa mipango ya afya pamoja na kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote WAUJ itaendeleza ushirikiano na wadau mbalimbali kitaifa na kimataifa Wizara itafanya yafuatayo katika kuzuia na kupambana na UWAKI

[i] Kuandaa miongozo ya matibabu yenye ubora kwa ajili ya watoto vijana na watu wazima waliopatwa na UWAKI

[ii] Kutafuta na kutenga fedha kwa ajili ya afua za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kuandaa miongozo ya mafunzo yanayohusiana na juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kutoa mafunzo kwa watoa huduma za afya na ustawi wa jamii kuhusu kuzuia na kupambana na UWAKI kwa watoto vijana na watu wazima

[v] Kutoa huduma mseto na rufaa kwa kutumia mfumo uliopo wa utoaji huduma za afya na ustawi wa jamii

[vi] Kuunganisha takwimu zinazohusu UWAKI kwenye Mfumo wa Takwimu na Ufuatiliaji wa Huduma za Afya (MTUHA)

[vii] Kuendeleza utaratibu wa kupeana taarifa na takwimu zinazohusu UWAKI pamoja na kushirikiana na wadau wake wakuu

[viii] Kufanya usimamizi shirikishi ili kuhakikisha kuwa kanuni za haki za binadamu maadili na kujali zinazingatiwa

[e] Wajibu wa Vituo vya Huduma za Afya Vituo vya kutoa huduma za afya vinajumuisha zahanati vituo vya afya na hospitali zinazomilikiwa na sekta ya umma na binafsi Vituo vyote vya kutoa huduma katika ngazi zote vina Kamati ya Uongozi ya Kituo na Timu ya Usimamizi

28

Vituo vya huduma za afya vitafanya yafuatayo [i] Kuhakikisha kwamba Timu za Usimamizi wa Huduma za Afya

zinatenga fedha za kutekeleza mikakati na mipango kazi ya mwaka ili kuviwezesha vituo kutoa huduma bora kwa waliopatwa na UWAKI

[ii] Kuunganisha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI na zile zilizopo kwenye vituo vya huduma za afya na kuhakikisha mpangilio mzuri wa rufaa za ndani na nje ya kituo zinakidhi mahitaji ya watoto vijana na watu wazima kwa usawa na haki

[iii] Kuhakikisha watoa huduma ya afya na ustawi wa jamii wanapatiwa mafunzo ya kutoa huduma toshelezi kwa watoto vijana na watu wazima waliopatwa na UWAKI

[iv] Kuanzisha utaratibu bora wa kukusanya takwimu na taarifa kuhusu huduma kwa waliopatwa na UWAKI na kutunza kumbukumbu kwa usahihi na kutoa taarifa kwa ajili ya matumizi ya kituo na wadau

[v] Kufanya kazi kwa ushirikiano wa karibu na kamati ya afya ya kituo polisi mahakama na taasisi za elimu ili kukuza ushirikiano kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye jamii

[f ] Wajibu wa Watoa Huduma za Afya Watoa huduma za afya ni pamoja na watunza kumbukumbu za afya tabibu (tabibu msaidizi ofisa tabibu madaktari wasaidizi madaktari na madaktari bingwa) wauguzi wakunga maofisa wauguzi wasaidizi maofisa wauuguzi) wafanyakazi wa maabara wafamasia na maofi sa ustawi wa jamii Watoa huduma hawa wanatakiwa kuzingatia yafuatayo

[i] Kuelewa kikamilifu na kuzingatia kanuni za miongozo ya haki za binadamu maadili ya taaluma na kuonyesha upendo na kujali wakati wa kumhudumia aliyepatwa na UWAKI

[ii] Kuhakikisha upatikanaji wa mahitaji muhimu na utoaji wa huduma toshelezi na zenye ubora kwa waliopatwa na UWAKI katika kituo cha kutoa huduma za afya na kwenye jamii

[iii] Kuwatambua waliopatwa na UWAKI kati ya wagonjwa wa nje katika kituo na kuhakikisha wanapata matibabu na rufaa kwa haraka

29

[iv] Kuhakikisha utoaji wa huduma toshelezi kwa waliopatwa na UWAKI (watu wazima vijana na watoto) Huduma hizi ni pamoja na huduma ya matibabu kutunza ushahidi unasihi na rufaa ndani ya mfumo wa afya na pia rufaa kwenda kwenye sekta nyingine

[v] Kuhakikisha vielelezo vya upelelezi vinakusanywa na kuhifadhiwa ipasavyo ili kutunza ushahidi

[vi] Kuchukua takwimu na taarifa kamili kuhusu aliyepatwa na UWAKI na kuhakikisha zimehifadhiwa kwa siri na usalama

[vii] Kujenga ushirikiano na jamii pamoja na wadau wengine

42 Wajibu wa Jamii

Wadau muhimu katika jamii ni Kamati ya Huduma za Jamii Kamati ya Ulinzi na Usalama Kamati ya Zahanati Mashirika ya Dini Kamati ya Kijiji ya Afya wahudumu wa afya katika jamii wakunga wa tiba asili waganga wa tiba asili na mbadala viongozi wa jamii vikundi vya wanawake na wakuu wa kaya

Jamii itafanya yafuatayo kwa waliopatwa na UWAKI [i] Kupanga na kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya kuzuia

na kutoa huduma bora kulingana na mpango wa mwaka wa zahanati

[ii] Kuhakikisha upatikanaji wa huduma toshelezi pamoja na usalama wao kupatiwa mahitaji ya msingi msaada wa kisaikolojia kupewa rufaa kwenda polisi vyombo vya sheria na watoa huduma wengine Vilevile wanajamii wana wajibu wa kutoa ushahidi mahakamani na kuwasaidia wahusika kuunganishwa na familia zao na jamii

[iii] Kuhakikisha kuwepo kwa vituo vya hifadhi ya muda vya kutosha kwenye jamii

[iv] Kujenga welewa na kuiwezesha jamii kuzuia na kupambana na UWAKI kwa kutetea misingi ya haki za binadamu usawa wa kijinsia haki za vijana na watoto na kutovumilia UWAKI

43 Msaada wa Kisheria kwa waliopatwa na UWAKI Watoa huduma wa afya na ustawi wa jamii baada ya kupata ridhaa kutoka kwa muhusika watampa rufaa ya kwenda sekta nyingine muhimu na kwa wadau mbalimbali kama vile polisi vituo vya msaada wa kisheria kwa ajili ya kupata huduma maalum Watoa huduma wanawajibika

30

kutoa taarifa za kutosha kuhusu masharti ya kisheria ya kutoa taarifa ya matukio ya UWAKI na kwa wakati unaofaa

Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wanawajibika kutoa ushauri kwa waliopatwa na UWAKI (watoto vijana na watu wazima) kuhusu taratibu za mahakama msaada wa ulinzi msaada wa kisheria na taratibu za polisi kama ifuatavyo

[a] Ushahidi wa Kimahakama Huduma kwa muhusika zitalenga mahitaji yake kuheshimu haki yake ya hali ya usiri kupewa taarifa za kutosha zenye kueleweka na sahihi hivyo kuhakikisha anatoa ridhaa arifu kwa hatua na zitakazofuata

[i] WAUJ itahakikisha kupatikana na kuzingatiwa kwa viwango vilivyowekwa kwa ngazi zote katika kuchukua historia kamili ya muhusika kupima na kufanya uchunguzi kuchukua vielelezo vya ushahidi kujaza fomu zinazokubalika kisheria kwa kuweka kumbukumbu ambazo ni halali kama ushahidi mahakamani

[ii] Timu ya Afya ya Usimamizi ya Kituo cha Huduma za Afya baada ya kupata ridhaa ya aliyepatwa na UWAKI itapanga kutenga na kutoa rasilimali za kutosha kuhakikisha nyaraka sahihi zimetayarishwa na kuhifadhiwa na vielelezo vya ushahidi wa mahakama vimepelekwa kwenda maabara ya serikali na kufuatilia majibu

[iii] Watoa huduma wa ngazi zote watahakikisha ukusanyaji sahihi wa vielelezo vya ushahidi na kujaza fomu zinazohusika pamoja na kujaza kwa ukamilifu Fomu ya Polisi Namba Tatu (PF3) na kuthibitisha kwamba muhusika ana taarifa na anaelewa utaratibu

[b] Ulinzi na Msaada kwa Waliopatwa na UWAKI Waliopatwa na UWAKI wana haki ya kulindwa dhidi ya mtuhumiwa pamoja na kupewa mahitaji ya msingi (kwa mfano chakula nguo usafi ri nk) kupewa huduma za polisi (mfano kusindikizwa ulinzi) na kupewa msaada wa kisheria

[i] WAUJ itahakikisha kwamba vituo vya huduma za afya na ustawi wa jamii na watoa huduma wa ngazi zote wana taarifa sahihi kuhusu haki za ulinzi na msaada kwa waliopatwa na UWAKI

31

[ii] Timu za Afya za Usimamizi wa vituo vya huduma za afya katika ngazi zote zitapanga kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya ulinzi na msaada kwa waliopatwa na UWAKI Kama Muhusika ni mtoto atasindikizwa na ofi sa ustawi wa jamii pamoja na mzazi au mlezi ikiwa mzazi au mlezi huyo hahusiki na uhalifu

[iii] Watoa huduma wa afya watatoa taarifa kwa muhusika au mzazi mlezi (kama muhusika ni mtoto chini ya miaka 18) kuhusu msaada atakaopata kwenye kituo cha huduma za afya polisi na msaada wa kisheria juu ya haki na ulinzi kwa mujibu wa sheria za Tanzania

[c] Wajibu wa Watoa Huduma za Afya na Ustawi wa Jamii katika Taratibu za Kimahakama

Watoa huduma za afya kwenye ngazi zote wanatakiwa kuhakikisha kwamba waliopatwa na UWAKI wakiwemo watu wazima vijana na watoto pamoja na walezi wao wana taarifa muhimu zinazohusu masuala ya kisheria ambayo yako nje ya huduma za tiba

[i] WAUJ itahakikisha kwamba vituo vya huduma za afya na watoa huduma wanapata ujuzi na wanajua wajibu wao kuhusu namna ya kutoa ushahidi mahakamani ili kuwasaidia wahusika

[ii] Timu za Usimamizi za vituo vya huduma za afya kwenye ngazi zote zitahakikisha kwamba watoa huduma wanaotambulika kisheria na wana welewa sahihi wa uandaaji wa nyaraka muhimu taratibu za kesi mahakamani na viwango vya ushahidi

[iii] Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii kwenye ngazi zote watahakikisha kwamba muhusika anapata taarifa za kutosha kuhusu ratiba na taratibu za upelelezi na umuhimu wa hatua za kisheria

44 Huduma ya Unasihi Kisaikolojia na Kijamii kwa Waliopatwa na UWAKI

Watu waliopatwa na janga la UWAKI watapewa msaada wa unasihi kisaikolojia na kijamii kwa upendo na kujali kuanzia wakati wa tukio hadi watakapojumuika tena kwenye familia na jamii Katika ngazi ya jamii msaada huo utatolewa na Maofisa wa Ustawi wa Jamii Maofi sa hawa watatoa msaada wa kisaikolojia na unasihi wakishirikiana na

32

wadau wengine waliopata mafunzo kutoka asasi za kiraia asasi za kidini na wahudumu wa afya katika jamii

[i] WAUJ itahakikisha utoaji wa msaada wa unasihi kisaikolojia na kijamii kwenye ngazi zote pamoja na kuhakikisha kuwepo kwa ulinzi na usalama (kwa mfano kituo cha hifadhi ya muda)

[ii] Timu za Usimamizi wa Huduma za Afya kwenye ngazi zote zitapanga na kutenga rasiilimali za kutosha pamoja na watoa huduma kwa ajili ya kutoa msaada wa kisaikolojia na kijamii rufaa na kujenga ushirikiano na wadau wengine ili kuwaunganisha wahusika kwenye familia na jamii

[iii] Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii watahakikisha kwamba wanatoa unasihi wa kutosha pamoja na kutoa huduma rafi ki kwa watoto kutoa rufaa za kwenda na kurudi kwenye huduma za tiba vituo vya hifadhi ya muda na kuwezesha kuwaunganisha kwenye familia na jamii

45 Mfumo wa Usimamizi Uratibu na Ushirikiano Utoaji wa huduma bora kwa waliopatwa na UWAKI unahitaji usimamizi na uratibu wa mara kwa mara kwa watoa huduma za afya wa kada mbalimbali katika ngazi zote Vilevile kuratibu shughuli na kutoa rufaa kwenye vituo vya ngazi ya taifa mikoa halmashauri na jamii Pia kunahitajika utaratibu wa kujenga ushirikiano kati ya sekta ya afya na wadau wa sekta nyingine

[a] Usimamizi wa Huduma za Kuzuia na Kupambana na UWAKI [i] Usimamizi wa huduma utakuwa ni sehemu ya mikakati na

mipango ya mwaka kwa vituo vya huduma za afya kwenye ngazi zote

[ii] Wasimamizi katika ngazi zote watafanya usimamizi shirikishi ili kuhakikisha utoaji wa huduma bora

[b] Uratibu wa Huduma za Kuzuia na Kupambana na UWAKI [i] Wasimamizi wa huduma za afya kwenye ngazi zote watabaini na

kuratibu afua na shughuli zinazotakiwa kutekelezwa na wadau mbalimbali kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI

33

[ii] Wasimamizi wa huduma za afya katika ngazi zote watahakikisha kuwa wanapanga utekelezaji wa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[c] Taratibu za Ushirikiano katika Kutoa Huduma za UWAKI Taratibu za ushirikiano zitahusisha ngazi mbalimbali za utoaji wa huduma za afya kulingana na hadhi ya kituo ikihusisha kada mbalimbali za afya katika serikali na sekta binafsi

[i] Wasimamizi wa huduma za afya watabaini na kuanzisha ushirikiano kwa ajili ya kutoa huduma bora na toshelezi kwa waliofanyiwa UWAKI

[ii] Wasimamizi wa huduma za afya watapanga na kutenga rasiilimali za kutosha kwa ajili ya kuendeleza ushirikiano na wadau muhimu pamoja na kujenga mfumo imara wa rufaa wa kupeleka na kuwarejesha wahusika

[iii] WAUJ itatayarisha na kusambaza orodha ya vituo vya rufaa kufuatana na aina ya huduma maalumu zinazotolewa

46 Utetezi na Mawasiliano ya Kubadili Tabia

Utetezi na mawasiliano ya kubadili tabia utakuwa ni sehemu ya mipango na mikakati ya kila mwaka katika ngazi zote Ngazi zote zitahamasisha kutenga na kutoa rasilimali za kutosha kwa ajili ya kutekeleza mipango na mikakati ya kila mwaka Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii watatambua na kuwezesha juhudi za jamii za kuhakikisha ushirikishwaji na kuhamasisha jamii kutumia rasilimali zao ili kupambana na UWAKI Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii wanatakiwa kupanga na kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya elimu ya afya kwa lengo la mawasiliano ya kubadili tabia

[a] Utetezi wa Kuzuia na kupambana na UWAKI kwa kushirikiana na wadau

Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii na kamati zinazohusika katika ngazi zote za WAUJ watafanya yafuatayo

[i] Kupanga mikakati ya kuongeza welewa na upeo kuhusu vyanzo vya UWAKI kubaini namna ya kuzuia na kubuni njia za kupambana na UWAKI

34

[ii] Kutetea na kuhamasisha uchangiaji zaidi wa raslimali kutenga kasma kwenye bajeti katika Mfumo wa Matumizi ya Muda wa Kati na katika Mpango Kabambe wa Afya wa Halmashauri kwa ajili ya kinga na huduma za kupambana na UWAKI

[iii] Kutetea utekelezaji wa sera na sheria zenye kuunga mkono juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kuhusisha vyombo vya habari katika kutekeleza shughuli za utetezi na ushawishi

[b] Ushirikiano wa wadau kwenye mawasiliano ya kubadili tabia dhidi ya UWAKI

Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii na kamati zao kwenye ngazi zote watafanya yafuatayo

[i] Kutambua mahitaji na kupanga mawasiliano ya kubadili tabia kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kwa ufanisi

[ii] Kuhusisha vyombo vya habari katika kupanga kutekeleza na kufuatilia shughuli za mawasiliano ya kubadili tabia

47 Ufuatiliaji na Tathmini ya Huduma za Kuzuia na Kupambana na UWAKI

Ufuatiliaji na tathmini ya huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI ni muhimu katika kupima ubora wa matokeo ya huduma zinazohusiana na UWAKI Ufuatiliaji na tathmini unahitaji kuchagua vigezo vya kupima maendeleo ya huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kukusanya takwimu kuchambua kutafsiri kutayarisha na kuwasilisha ripoti kwa wadau muhimu Ufuatiliaji na Tathmini unasaidia kutambua maeneo yanayohitaji kufanyiwa utafi ti

[i] Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii katika ngazi zote watatumia vigezo vilivyokubalika kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Takwimu za UWAKI zitaoanishwa na kuunganishwa kwenye MTUHA

[iii] Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii kwenye ngazi zote watahakikisha wanakusanya taarifa na takwimu zinazohusiana na UWAKI kwa kutumia fomu maalumu kwa ajili ya kufuatilia na

35

kutathimini usimamizi na kuwasilisha ripoti za utekelezaji kwa wadau kufuatana na utaratibu maalumu wa kushirikiana katika kutoa taarifa

[iv] Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii katika ngazi zote watafanya utafiti ili kuboresha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

36

SEHEMU YA TANO

MUUNDO WA UTENDAJI KATIKA KUZUIA NA KUPAMBANA NA UWAKI

Wajibu wa WAUJ ni kuandaa kusimamia na kuratibu utekelezaji wa Mwongozo huu wa sera pamoja na sheria kanuni na viwango vya huduma dhidi ya UWAKI katika ngazi zote nchini Mfumo wa utendaji kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI unahusisha ngazi tatu taifa mkoa na halmashauri

51 Ngazi ya Taifa

Katika ngazi ya Taifa Mganga Mkuu wa Serikali ndiye mwenye wajibu wa uongozi wa kitaaluma kwenye utekelezaji wa mipango ya kuzuia na kupambana na UWAKI Ofisi ya Mganga Mkuu ina idara nne ambazo ni Idara ya Kinga Idara ya Tiba Idara ya Mafunzo na Idara ya Ubora na viwango vya Huduma Huduma za Ustawi wa Jamii zipo chini ya Kamishna wa Ustawi wa Jamii

Kitengo cha Afya ya Uzazi na Mtoto ambacho kinasimamiwa na Idara ya Kinga ndicho kinachosimamia utekelezaji wa Mwongozo wa sera ya UWAKI Majukumu ya ofisi ya Mganga Mkuu wa Serikali Idara ya Kinga na Sehemu ya Afya ya Uzazi na Mtoto ni kama ifuatavyo

[a] Ofisi ya Mganga Mkuu wa Serikali Ofi si ya Mganga Mkuu wa Serikali inaratibu inasimamia na kuimarisha huduma za uboreshaji wa Afya Kinga Ubora na viwango vya huduma Tiba ya magonjwa na Utengamao Aidha ofisi inasimamia mafunzo upatikanaji wa wataalamu wa afya katika sekta ya Afya na Ustawi wa Jamii

Ofisi ya Mganga Mkuu wa Serikali kwa kushirikiana na Mabaraza na Vyama vya Kitaaluma vilivyo chini ya sekta ya Afya na Ustawi wa Jamii inasimamia maadili ya wataalamu wa afya kwa kupitia Mabaraza yao ya Kitaaluma

37

bull

bull

[I] Idara ya Kinga Idara hii inasimamia sehemu tano Afya ya Uzazi na Mtoto Epidemiolojia na Udhibiti wa Magonjwa Afya na Usafi wa Mazingira Elimu ya Afya na Lishe Kuna programu na miradi mbalimbali chini ya idara baadhi yake zinahusiana kwa ukaribu na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Programu hizi ni pamoja na Mpango wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI Programu ya Kuzuia Maambukizo ya VVU Kutoka kwa Mama Kwenda kwa Mtoto Programu ya Huduma ya Afya Kwenye Jamii Programuya Afya Shuleni Program ya Uzazi Salama Programu ya Afya ya Mtoto Programu ya Afya ya Uzazi kwa Vijana na Programu ya Uzazi wa Mpango

Idara itafanya yafuatayo Kuhakikisha afua za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa kwenye programu na miradi ya idara na sehemu Kuhakikisha kwamba afua za kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na utetezi na mawasiliano ya kubadili tabia zinajumuishwa kwenye miongozo ya elimu ya afya na ustawi wa jamii

Sehemu ya Huduma za Afya ya Uzazi na Mtoto Sehemu ya Huduma ya Afya ya Uzazi na Mtoto ndiyo inayohusika katika kuzuia na kupambana na UWAKI na majukumu yake ni

[i] Kuandaa mwongozo wa huduma za kina kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kutayarisha mitaala ya mafunzo kwa ajili ya wasimamizi na watoa huduma wa ngazi zote

[ii] Kuratibu kufuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI katika ngazi zote

[iii] Kuwasiliana na wizara nyingine na mashirika ya kitaifa na kimataifa yenye kuhusiana na mipango ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kuangalia upya orodha ya vifaa muhimu kwa utoaji wa huduma bora kwa wahanga wa UWAKI kwa ngazi zote za utoaji huduma

[v] Kuongoza kikundi kazi cha wanataaluma cha taifa pamoja na vikundikazi tanzu vya wanataaluma vinavyosaidia mtazamo mpana wa sekta ya afya na nguvu kazi za kusimamia utekelezaji wa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

38

[II] Idara ya Tiba Idara hii inasimamia huduma za Hospitali za Taifa Mikoa Wilaya Vituo vya Afya na Zahanati za umma na binafsi Uchunguzi Kinywa na Meno Magonjwa Yasiyo ya Kuambukiza na Tiba Asili Idara hii inafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha kwamba vituo vya kutoa huduma za afya katika ngazi zote vinatenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya huduma bora za matibabu kwa wahanga wa UWAKI pamoja na msaada wa kisaikolojia kijamii na rufaa

[ii] Kuhakikisha kwamba vituo vya kutoa huduma za afya kwenye ngazi zote vinapewa vifaa muhimu na vya kutosha kwa ajili ya uchunguzi wa afya vipimo vya maabara kubaini ugonjwa ushahidi wa kimahakama matibabu kutunza kumbukumbu kutoa taarifa na rufaa

[iii] Kuhakikisha kuwa watoa huduma za afya wanazingatia viwango vya kitaalamu na maadili na kuonyesha upendo na kuwajali wahanga wa UWAKI

[III] Idara ya Ubora wa huduma Idara hii ina sehemu tano ikijumuisha huduma za Uuguzi Dharura na Maafa Ukaguzi Dawa na Utafiti na Uhusiano wa Kimataifa Idara hii inafanya yafuatayo

[i] Inasimamia huduma za dawa vifaa tiba na vitendanishi [ii] Inasimamia huduma za Uuguzi na Ukunga [iii] Inasimamia na kufanya ukaguzi wa ubora wa huduma za afya

nchini ili kuziboresha [iv] Inasimamia kazi za utafiti na uhusiano wa kimataifa katika sekta ya

afya na ustawi wa jamii na [v] Inaandaa miongozo kanuni na taratibu zinazohusu huduma za

dharura

[IV] Idara ya Mafunzo Idara ya Mafunzo inasimamia Mipango ya Mafunzo ya Watumishi Mafunzo Endelevu kwa Watumishi Mafunzo kwa Wauguzi na Sayansi Shirikishi za Afya

39

Idara itafanya yafuatayo [i] Kutambua mahitaji ya kitaifa ya mafunzo ya afya na mafunzo ya

kuendeleza taaluma ya watumishi wanaohusika na kutoa huduma kwa waliopatwa na UWAKI

[ii] Kutayarisha mpango wa mafunzo ya muda mfupi na mrefu kwa ajili ya watumishi mbalimbali kwenye ngazi zote zinazotoa huduma kwa waliopatwa na UWAKI

[b] Idara ya Ustawi wa Jamii Idara ya Ustawi wa Jamii imegawanyika katika sehemu tano Huduma kwa Familia na Ustawi wa Mtoto katika malezi makuzi na maendeleo ya awali Huduma za marekebisho ya tabia na haki za mtoto kisheria Huduma kwa wazee na watu wenye ulemavu Mafunzo kwa watumishi na Kitengo cha takwimu Idara itafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha idara inatoa huduma rafiki na bora za ustawi wa jamii kwa wahanga wa UWAKI kwenye vituo vyote vya kutoa huduma za afya na ustawi wa jamii na kuvisimamia

[ii] Kuhakikisha idara inatoa mafunzo kwa watoa huduma wote [iii] Kushauri katika kurekebisha au kufutwa kwa sheria zisizosaidia

utoaji wa huduma bora za ustawi wa jamii na kushawishi kutunga sheria mpya

[c] Idara ya Sera na Mipango Idara hii inasimamia sehemu za Bajeti Sera Mipango Taarifa za Afya na Ufuatiliaji na Tathmini Idara itafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa kwenye mipango na bajeti ya Serikali

[ii] Kuhakikisha kuwa viashirio vya huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI vinaingizwa kwenye MTUHA

[d] Ushirikiano na wadau muhimu katika ldquoKutokomeza UWAKIrdquo

[i] WAUJ kupitia Sehemu ya Afya ya Uzazi na Mtoto kwa kushirikiana na wadau wengine watatetea ulinzi wa haki za waliopatwa na UWAKI na kutokomezwa kwa ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake watoto vijana na wanaume

40

[ii] WAUJ kwa kushirikiana na wadau wengine itaandaa mikakati ya kuhakikisha kwamba aina zote za ubaguzi unyonyaji ukandamizaji na unyanyasaji dhidi ya wanawake watoto vijana na wanaume zinatokomezwa

[iii] WAUJ kwa kushirikiana na wadau wengine watapitia sheria sera na kanuni ambazo zinakinzana na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Watatetea haki za jinsia na afya ya uzazi ikiwa ni pamoja na ulinzi wa mama na watoto dhidi ya UWAKI ukatili wa kifamilia na ukatili dhidi ya watoto na kutetea masuala haya yaingizwe kwenye Katiba ya Tanzania

52 Ngazi ya Mkoa

Utekelezaji wa mapambano dhidi ya UWAKI kwenye mikoa utasimamiwa na Timu ya Usimamizi wa Huduma za Afya Mkoa chini ya Katibu Tawala wa Mkoa na Timu ya Usimamizi ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa chini ya Bodi ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa na watafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa kwenye mpango mkakati wa miaka mitano wa mkoa na hospitali na mpango kazi wa kila mwaka

[ii] Kuhakikisha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa na kuendeshwa pamoja na huduma zilizopo kuwe na watoa huduma wa kutosha pamoja na mafunzo kwa wasimamizi na watoa huduma kwenye ngazi ya mkoa

[iii] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya kufuatilia kufanya tathmini usimamizi na kutoa ripoti za utendaji wa juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya mkoa

[iv] Kutoa msaada wa kitaalamu kwa Halmashauri na Timu za Afya za Halmashauri katika kupanga na kutekeleza huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[v] Kuhakikisha bajeti ya kutosha inatengwa kwenye mpango kabambe wa halmashauri wa afya kwa ajili ya kuiwezesha jamii kuzuia na kupambana na UWAKI

[vi] Kufanya utafiti ili kukuza uelewa kuhusu huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

41

53 Halmashauri za Jiji Manispaa na Wilaya

Bodi ya Huduma za Afya ya Halmashauri ni chombo cha halmashauri ya jiji manispaa na wilaya chenye jukumu la kutoa huduma bora za afya ustawi wa jamii pamoja na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI katika maeneo yao Mipango ya utekelezaji wa huduma za afya kwenye jiji manispaa na wilaya unasimamiwa na Timu ya Usimamizi wa Afya ya Halmashauri Hospitali ya kwanza ya rufaa katika Halmashauri ni Hospitali ya Wilaya au Hospitali Teule ya wilaya

Hospitali Teule ya Wilaya huendeshwa na Timu ya Usimamizi ya Hospitali na husimamiwa na Bodi ya Hospitali Vituo vya kutoa huduma za afya vina kamati za afya na huendeshwa na kamati za usimamizi wa kituo

(a) Ngazi ya Halmashauri Timu ya Halmashauri ya Usimamizi wa Afya itafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha kwamba mipango ya kila mwaka inatengewa fedha za kutosha kwa utekelezaji wa huduma bora za kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaunganishwa na huduma zilizopo kwenye ngazi zote

[iii] Kuhakikisha kwamba kunakuwa na watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wa kutosha na kuendelea kutoa mafunzo kwa watoa huduma wa kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kutetea kuhamasisha na kutenga fedha za kutosha kwa ajili ya kuiwezesha jamii kushiriki kwenye programu ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[v] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya ufuatiliaji tathmini usimamizi shirikishi na kuandaa taarifa za utekelezaji wa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[b] Ngazi ya Kata Kamati ya Afya ya Kata Kamati ya Afya ya Kituo cha Afya na Timu ya Usimamizi wa Kituo cha Afya zitasimamia utoaji wa huduma bora za afya katika kata pamoja na vijiji

42

Kamati na timu zitafanya yafuatayo [i] Kuhakikisha kwamba kila mwaka wanapanga na kutenga rasilimali

za kutosha kwa utekelezaji wa huduma kwa waliopatwa na UWAKI na afua za kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinajumuishwa na huduma zilizopo kwenye kituo cha afya na zahanati

[iii] Kuhakikisha kwamba kuna watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wa kutosha na kuendelea kutoa mafunzo kwa watoa huduma wanaohusika na kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye vituo vya afya na zahanati

[iv] Kutetea kuhamasisha na kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya kuiwezesha jamii kushiriki kwenye kuzuia na kupambana na UWAKI katika Mpango wa Afya wa Kata

[v] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya kufanya ufuatiliaji tathmini na kuandaa taarifa za utekelezaji wa kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kuziwasilisha kwa matumizi katika ngazi zote

[c] Ngazi ya Kijiji Kamati ya Zahanati na Timu ya Usimamizi wa Zahanati zina wajibu wa kutoa huduma za afya kwa wakazi wa eneo la kijiji au vijiji vyao

Kamati na timu zitafanya yafuatayo [i] Kuhakikisha kwamba kila mwaka wanapanga na kutenga raslimali

za kutosha kwa utekelezaji wa huduma kwa waliopatwa na UWAKI na afua za kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinajumuishwa na huduma zilizopo kwenye zahanati

[iii] Kuhakikisha kwamba kuna watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wa kutosha na kuendelea kutoa mafunzo kwa watoa huduma wanaohusika na kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye zahanati

[iv] Kutetea kuhamasisha na kutenga raslimali za kutosha kwa ajili ya kuiwezesha jamii kushiriki kwenye kuzuia na kupambana na UWAKI katika Mpango wa Afya wa Kijiji

43

[v] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya kufanya ufuatiliaji tathmini na kuandaa taarifa za utekelezaji wa kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kuziwasilisha kwa matumizi katika ngazi ya Kata na Wilaya

(d) Ngazi ya Kaya Kila mtu kwenye kaya atahusika katika kuzuia na kupambana na UWAKI na kutoa taarifa ya matukio ya UWAKI kwa mamlaka zinazohusika Pia kila mtu awajibike kwenye kubadili mtazamo na kuepuka mazoea na tabia zinazopelekea UWAKI

44

SEHEMU YA SITA

UFUATILIAJI TATHMINI NA UTAFITI

Ufuatiliaji na tathmini ya afua za kuzuia na kupambana na UWAKI utatekelezwa kwenye ngazi ya taifa mkoa halmashauri na vituo vya huduma za afya Viashirio ambavyo vimependekezwa kwenye ngazi hizi vimeonyeshwa kwenye Kiambatisho

61 Ngazi ya Taifa

Sehemu ya Afya ya Uzazi na Mtoto itaratibu itafuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote nchini

Sehemu hii itafanya yafuatayo [i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu zinazohusu

afua za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka Timu ya Usimamizi wa Afya ya Mkoa na kuzitumia katika kupanga na kuboresha mipango ya kuzuia na kupambana na UWAKI kwa kushirikiana na wadau

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma wa kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti [iv] Kuweka tathmini na ufuatiliaji wa huduma za kuzuia na kupambana

na UWAKI kwenye orodhahakiki ya usimamizi ya WAUJ

62 Ngazi ya Mkoa

Timu ya Usimamizi wa Afya ya Mkoa itakuwa na jukumu la kuratibu kufuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote za mkoa na itafanya yafuatayo

[i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu kuhusu afua za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka hospitali ya rufaa ya mkoa na Timu za Usimamizi wa Afya za Halmashauri kwa ajili ya matumizi yao na kuwasilisha ngazi ya Taifa

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma katika kuzuia na kupambana na UWAKI

45

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti

63 Ngazi ya Wilaya

Timu ya Usimamizi wa Afya ya Halmashauri itakuwa na jukumu la kuratibu kufuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote za wilaya na itafanya yafuatayo

[i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu kuhusu afua za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka hospitali ya wilaya na vituo vya kutolea huduma za afya na Timu za Usimamizi wa Afya za Halmashauri kwa ajili ya matumizi yao na kuwasilisha ngazi ya mkoa

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma katika kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti

64 Ngazi ya Kituo cha kutolea huduma

Timu ya Usimamizi wa Kituo cha Kutolea Huduma za Afya itaratibu itafuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye kituo na kufanya yafuatayo

[i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu kuhusu jitihada za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka kwenye zahanati na jamii na kuwasilisha wilayaniHalmashauri

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma katika kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti

46

KIAMBATISHO

VIASHIRIO VYA MPANGO WA KUZUIA NA KUPAMBANA NA UWAKI KATIKA SEKTA YA AFYA

[a] Ngazi ya Taifa

[i] Idadi ya watu waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya mikoa kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kimkoa

[iii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI kimkoa

[iv] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye uthibitisho kuwa vinatumia Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupamba na UWAKI kimkoa

[v] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye vifaa muhimu kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kimkoa

[b] Ngazi Ya Mkoa

[i] Idadi ya watu waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya wilayahalmashauri kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

[iii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

[iv] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye ushahidi wa kuandikwa na kutumia Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

[v] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye vifaa muhimu kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

47

[c] Ngazi ya Wilaya

[i] Idadi ya watu waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya vituo vya kutolea huduma kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwa vituo vya kutolea huduma

[iii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI

[iv] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye ushahidi wa kuandikwa na kutumia Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI

[v] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye vifaa muhimu kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[d] Ngazi ya Kituo

[i] Idadi ya wahusika waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye kituo cha huduma za afya kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Idadi ya watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Idadi ya watoa huduma walioelekezwa kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI

48

49

50

51

bullbullbull bullbull bullbullbull

~USAID ~f~ ~ KLITOKA KWA WKTJ Delivering as One WAIIAAEKANI

HEALTH POLICY middotmiddotmiddotoINITIATIVE

ltlt ASCII85EncodePages false AllowTransparency false AutoPositionEPSFiles true AutoRotatePages None Binding Left CalGrayProfile (Dot Gain 20) CalRGBProfile (sRGB IEC61966-21) CalCMYKProfile (US Web Coated 050SWOP051 v2) sRGBProfile (sRGB IEC61966-21) CannotEmbedFontPolicy Error CompatibilityLevel 14 CompressObjects Tags CompressPages true ConvertImagesToIndexed true PassThroughJPEGImages true CreateJobTicket false DefaultRenderingIntent Default DetectBlends true DetectCurves 00000 ColorConversionStrategy CMYK DoThumbnails false EmbedAllFonts true EmbedOpenType false ParseICCProfilesInComments true EmbedJobOptions true DSCReportingLevel 0 EmitDSCWarnings false EndPage -1 ImageMemory 1048576 LockDistillerParams false MaxSubsetPct 100 Optimize true OPM 1 ParseDSCComments true ParseDSCCommentsForDocInfo true PreserveCopyPage true PreserveDICMYKValues true PreserveEPSInfo true PreserveFlatness true PreserveHalftoneInfo false PreserveOPIComments true PreserveOverprintSettings true StartPage 1 SubsetFonts true TransferFunctionInfo Apply UCRandBGInfo Preserve UsePrologue false ColorSettingsFile () AlwaysEmbed [ true ] NeverEmbed [ true ] AntiAliasColorImages false CropColorImages true ColorImageMinResolution 300 ColorImageMinResolutionPolicy OK DownsampleColorImages true ColorImageDownsampleType Bicubic ColorImageResolution 300 ColorImageDepth -1 ColorImageMinDownsampleDepth 1 ColorImageDownsampleThreshold 150000 EncodeColorImages true ColorImageFilter DCTEncode AutoFilterColorImages true ColorImageAutoFilterStrategy JPEG ColorACSImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt ColorImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt JPEG2000ColorACSImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt JPEG2000ColorImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt AntiAliasGrayImages false CropGrayImages true GrayImageMinResolution 300 GrayImageMinResolutionPolicy OK DownsampleGrayImages true GrayImageDownsampleType Bicubic GrayImageResolution 300 GrayImageDepth -1 GrayImageMinDownsampleDepth 2 GrayImageDownsampleThreshold 150000 EncodeGrayImages true GrayImageFilter DCTEncode AutoFilterGrayImages true GrayImageAutoFilterStrategy JPEG GrayACSImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt GrayImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt JPEG2000GrayACSImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt JPEG2000GrayImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt AntiAliasMonoImages false CropMonoImages true MonoImageMinResolution 1200 MonoImageMinResolutionPolicy OK DownsampleMonoImages true MonoImageDownsampleType Bicubic MonoImageResolution 1200 MonoImageDepth -1 MonoImageDownsampleThreshold 150000 EncodeMonoImages true MonoImageFilter CCITTFaxEncode MonoImageDict ltlt K -1 gtgt AllowPSXObjects false CheckCompliance [ None ] PDFX1aCheck false PDFX3Check false PDFXCompliantPDFOnly false PDFXNoTrimBoxError true PDFXTrimBoxToMediaBoxOffset [ 000000 000000 000000 000000 ] PDFXSetBleedBoxToMediaBox true PDFXBleedBoxToTrimBoxOffset [ 000000 000000 000000 000000 ] PDFXOutputIntentProfile () PDFXOutputConditionIdentifier () PDFXOutputCondition () PDFXRegistryName () PDFXTrapped False CreateJDFFile false Description ltlt ARA ltFEFF06270633062A062E062F0645002006470630064700200627064406250639062F0627062F0627062A002006440625064606340627062100200648062B062706260642002000410064006F00620065002000500044004600200645062A064806270641064206290020064406440637062806270639062900200641064A00200627064406450637062706280639002006300627062A0020062F0631062C0627062A002006270644062C0648062F0629002006270644063906270644064A0629061B0020064A06450643064600200641062A062D00200648062B0627062606420020005000440046002006270644064506460634062306290020062806270633062A062E062F062706450020004100630072006F0062006100740020064800410064006F006200650020005200650061006400650072002006250635062F0627063100200035002E0030002006480627064406250635062F062706310627062A0020062706440623062D062F062B002E0635062F0627063100200035002E0030002006480627064406250635062F062706310627062A0020062706440623062D062F062B002Egt BGR ltFEFF04180437043f043e043b043704320430043904420435002004420435043704380020043d0430044104420440043e0439043a0438002c00200437043000200434043000200441044a0437043404300432043004420435002000410064006f00620065002000500044004600200434043e043a0443043c0435043d04420438002c0020043c0430043a04410438043c0430043b043d043e0020043f044004380433043e04340435043d04380020043704300020043204380441043e043a043e043a0430044704350441044204320435043d0020043f04350447043004420020043704300020043f044004350434043f0435044704300442043d04300020043f043e04340433043e0442043e0432043a0430002e002000200421044a04370434043004340435043d043804420435002000500044004600200434043e043a0443043c0435043d044204380020043c043e0433043004420020043404300020044104350020043e0442043204300440044f0442002004410020004100630072006f00620061007400200438002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020043800200441043b0435043404320430044904380020043204350440044104380438002egt CHS ltFEFF4f7f75288fd94e9b8bbe5b9a521b5efa7684002000410064006f006200650020005000440046002065876863900275284e8e9ad88d2891cf76845370524d53705237300260a853ef4ee54f7f75280020004100630072006f0062006100740020548c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000204ee553ca66f49ad87248672c676562535f00521b5efa768400200050004400460020658768633002gt CHT ltFEFF4f7f752890194e9b8a2d7f6e5efa7acb7684002000410064006f006200650020005000440046002065874ef69069752865bc9ad854c18cea76845370524d5370523786557406300260a853ef4ee54f7f75280020004100630072006f0062006100740020548c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000204ee553ca66f49ad87248672c4f86958b555f5df25efa7acb76840020005000440046002065874ef63002gt CZE ltFEFF005400610074006f0020006e006100730074006100760065006e00ed00200070006f0075017e0069006a007400650020006b0020007600790074007600e101590065006e00ed00200064006f006b0075006d0065006e0074016f002000410064006f006200650020005000440046002c0020006b00740065007200e90020007300650020006e0065006a006c00e90070006500200068006f006400ed002000700072006f0020006b00760061006c00690074006e00ed0020007400690073006b00200061002000700072006500700072006500730073002e002000200056007900740076006f01590065006e00e900200064006f006b0075006d0065006e007400790020005000440046002000620075006400650020006d006f017e006e00e90020006f007400650076015900ed007400200076002000700072006f006700720061006d0065006300680020004100630072006f00620061007400200061002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000610020006e006f0076011b006a016100ed00630068002egt DAN ltFEFF004200720075006700200069006e0064007300740069006c006c0069006e006700650072006e0065002000740069006c0020006100740020006f007000720065007400740065002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e007400650072002c0020006400650072002000620065006400730074002000650067006e006500720020007300690067002000740069006c002000700072006500700072006500730073002d007500640073006b007200690076006e0069006e00670020006100660020006800f8006a0020006b00760061006c0069007400650074002e0020004400650020006f007000720065007400740065006400650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e0074006500720020006b0061006e002000e50062006e00650073002000690020004100630072006f00620061007400200065006c006c006500720020004100630072006f006200610074002000520065006100640065007200200035002e00300020006f00670020006e0079006500720065002egt DEU ltFEFF00560065007200770065006e00640065006e0020005300690065002000640069006500730065002000450069006e007300740065006c006c0075006e00670065006e0020007a0075006d002000450072007300740065006c006c0065006e00200076006f006e002000410064006f006200650020005000440046002d0044006f006b0075006d0065006e00740065006e002c00200076006f006e002000640065006e0065006e002000530069006500200068006f006300680077006500720074006900670065002000500072006500700072006500730073002d0044007200750063006b0065002000650072007a0065007500670065006e0020006d00f60063006800740065006e002e002000450072007300740065006c006c007400650020005000440046002d0044006f006b0075006d0065006e007400650020006b00f6006e006e0065006e0020006d006900740020004100630072006f00620061007400200075006e0064002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020006f0064006500720020006800f600680065007200200067006500f600660066006e00650074002000770065007200640065006e002egt ESP ltFEFF005500740069006c0069006300650020006500730074006100200063006f006e0066006900670075007200610063006900f3006e0020007000610072006100200063007200650061007200200064006f00630075006d0065006e0074006f00730020005000440046002000640065002000410064006f0062006500200061006400650063007500610064006f00730020007000610072006100200069006d0070007200650073006900f3006e0020007000720065002d0065006400690074006f007200690061006c00200064006500200061006c00740061002000630061006c0069006400610064002e002000530065002000700075006500640065006e00200061006200720069007200200064006f00630075006d0065006e0074006f00730020005000440046002000630072006500610064006f007300200063006f006e0020004100630072006f006200610074002c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200079002000760065007200730069006f006e0065007300200070006f00730074006500720069006f007200650073002egt ETI ltFEFF004b00610073007500740061006700650020006e0065006900640020007300e4007400740065006900640020006b00760061006c006900740065006500740073006500200074007200fc006b006900650065006c007300650020007000720069006e00740069006d0069007300650020006a0061006f006b007300200073006f00620069006c0069006b0065002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740069006400650020006c006f006f006d006900730065006b0073002e00200020004c006f006f0064007500640020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740065002000730061006100740065002000610076006100640061002000700072006f006700720061006d006d006900640065006700610020004100630072006f0062006100740020006e0069006e0067002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020006a00610020007500750065006d006100740065002000760065007200730069006f006f006e00690064006500670061002e000d000agt FRA ltFEFF005500740069006c006900730065007a00200063006500730020006f007000740069006f006e00730020006100660069006e00200064006500200063007200e900650072002000640065007300200064006f00630075006d0065006e00740073002000410064006f00620065002000500044004600200070006f0075007200200075006e00650020007100750061006c0069007400e90020006400270069006d007000720065007300730069006f006e00200070007200e9007000720065007300730065002e0020004c0065007300200064006f00630075006d0065006e00740073002000500044004600200063007200e900e90073002000700065007500760065006e0074002000ea0074007200650020006f007500760065007200740073002000640061006e00730020004100630072006f006200610074002c002000610069006e00730069002000710075002700410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000650074002000760065007200730069006f006e007300200075006c007400e90072006900650075007200650073002egt GRE ltFEFF03a703c103b703c303b903bc03bf03c003bf03b903ae03c303c403b5002003b103c503c403ad03c2002003c403b903c2002003c103c503b803bc03af03c303b503b903c2002003b303b903b1002003bd03b1002003b403b703bc03b903bf03c503c103b303ae03c303b503c403b5002003ad03b303b303c103b103c603b1002000410064006f006200650020005000440046002003c003bf03c5002003b503af03bd03b103b9002003ba03b103c42019002003b503be03bf03c703ae03bd002003ba03b103c403ac03bb03bb03b703bb03b1002003b303b903b1002003c003c103bf002d03b503ba03c403c503c003c903c403b903ba03ad03c2002003b503c103b303b103c303af03b503c2002003c503c803b703bb03ae03c2002003c003bf03b903cc03c403b703c403b103c2002e0020002003a403b10020005000440046002003ad03b303b303c103b103c603b1002003c003bf03c5002003ad03c703b503c403b5002003b403b703bc03b903bf03c503c103b303ae03c303b503b9002003bc03c003bf03c103bf03cd03bd002003bd03b1002003b103bd03bf03b903c703c403bf03cd03bd002003bc03b5002003c403bf0020004100630072006f006200610074002c002003c403bf002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002003ba03b103b9002003bc03b503c403b103b303b503bd03ad03c303c403b503c103b503c2002003b503ba03b403cc03c303b503b903c2002egt HEB ltFEFF05D405E905EA05DE05E905D5002005D105D405D205D305E805D505EA002005D005DC05D4002005DB05D305D9002005DC05D905E605D505E8002005DE05E105DE05DB05D9002000410064006F006200650020005000440046002005D405DE05D505EA05D005DE05D905DD002005DC05D405D305E405E105EA002005E705D305DD002D05D305E405D505E1002005D005D905DB05D505EA05D905EA002E002005DE05E105DE05DB05D90020005000440046002005E905E005D505E605E805D5002005E005D905EA05E005D905DD002005DC05E405EA05D905D705D4002005D105D005DE05E605E205D505EA0020004100630072006F006200610074002005D5002D00410064006F00620065002000520065006100640065007200200035002E0030002005D505D205E805E105D005D505EA002005DE05EA05E705D305DE05D505EA002005D905D505EA05E8002E05D005DE05D905DD002005DC002D005000440046002F0058002D0033002C002005E205D905D905E005D5002005D105DE05D305E805D905DA002005DC05DE05E905EA05DE05E9002005E905DC0020004100630072006F006200610074002E002005DE05E105DE05DB05D90020005000440046002005E905E005D505E605E805D5002005E005D905EA05E005D905DD002005DC05E405EA05D905D705D4002005D105D005DE05E605E205D505EA0020004100630072006F006200610074002005D5002D00410064006F00620065002000520065006100640065007200200035002E0030002005D505D205E805E105D005D505EA002005DE05EA05E705D305DE05D505EA002005D905D505EA05E8002Egt HRV (Za stvaranje Adobe PDF dokumenata najpogodnijih za visokokvalitetni ispis prije tiskanja koristite ove postavke Stvoreni PDF dokumenti mogu se otvoriti Acrobat i Adobe Reader 50 i kasnijim verzijama) HUN ltFEFF004b0069007600e1006c00f30020006d0069006e0151007300e9006701710020006e0079006f006d00640061006900200065006c0151006b00e90073007a00ed007401510020006e0079006f006d00740061007400e100730068006f007a0020006c006500670069006e006b00e1006200620020006d0065006700660065006c0065006c0151002000410064006f00620065002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e00740075006d006f006b0061007400200065007a0065006b006b0065006c0020006100200062006500e1006c006c00ed007400e10073006f006b006b0061006c0020006b00e90073007a00ed0074006800650074002e0020002000410020006c00e90074007200650068006f007a006f00740074002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e00740075006d006f006b00200061007a0020004100630072006f006200610074002000e9007300200061007a002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002c0020007600610067007900200061007a002000610074007400f3006c0020006b00e9007301510062006200690020007600650072007a006900f3006b006b0061006c0020006e00790069007400680061007400f3006b0020006d00650067002egt ITA ltFEFF005500740069006c0069007a007a006100720065002000710075006500730074006500200069006d0070006f007300740061007a0069006f006e00690020007000650072002000630072006500610072006500200064006f00630075006d0065006e00740069002000410064006f00620065002000500044004600200070006900f900200061006400610074007400690020006100200075006e00610020007000720065007300740061006d0070006100200064006900200061006c007400610020007100750061006c0069007400e0002e0020004900200064006f00630075006d0065006e007400690020005000440046002000630072006500610074006900200070006f00730073006f006e006f0020006500730073006500720065002000610070006500720074006900200063006f006e0020004100630072006f00620061007400200065002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200065002000760065007200730069006f006e006900200073007500630063006500730073006900760065002egt JPN ltFEFF9ad854c18cea306a30d730ea30d730ec30b951fa529b7528002000410064006f0062006500200050004400460020658766f8306e4f5c6210306b4f7f75283057307e305930023053306e8a2d5b9a30674f5c62103055308c305f0020005000440046002030d530a130a430eb306f3001004100630072006f0062006100740020304a30883073002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000204ee5964d3067958b304f30533068304c3067304d307e305930023053306e8a2d5b9a306b306f30d530a930f330c8306e57cb30818fbc307f304c5fc59808306730593002gt KOR ltFEFFc7740020c124c815c7440020c0acc6a9d558c5ec0020ace0d488c9c80020c2dcd5d80020c778c1c4c5d00020ac00c7a50020c801d569d55c002000410064006f0062006500200050004400460020bb38c11cb97c0020c791c131d569b2c8b2e4002e0020c774b807ac8c0020c791c131b41c00200050004400460020bb38c11cb2940020004100630072006f0062006100740020bc0f002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020c774c0c1c5d0c11c0020c5f40020c2180020c788c2b5b2c8b2e4002egt LTH ltFEFF004e006100750064006f006b0069007400650020016100690075006f007300200070006100720061006d006500740072007500730020006e006f0072011700640061006d00690020006b0075007200740069002000410064006f00620065002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400750073002c0020006b00750072006900650020006c0061006200690061007500730069006100690020007000720069007400610069006b007900740069002000610075006b01610074006f00730020006b006f006b007900620117007300200070006100720065006e006700740069006e00690061006d00200073007000610075007300640069006e0069006d00750069002e0020002000530075006b0075007200740069002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400610069002000670061006c006900200062016b007400690020006100740069006400610072006f006d00690020004100630072006f006200610074002000690072002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000610072002000760117006c00650073006e0117006d00690073002000760065007200730069006a006f006d00690073002egt LVI ltFEFF0049007a006d0061006e0074006f006a00690065007400200161006f00730020006900650073007400610074012b006a0075006d00750073002c0020006c0061006900200076006500690064006f00740075002000410064006f00620065002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400750073002c0020006b006100730020006900720020012b00700061016100690020007000690065006d01130072006f00740069002000610075006700730074006100730020006b00760061006c0069007401010074006500730020007000690072006d007300690065007300700069006501610061006e006100730020006400720075006b00610069002e00200049007a0076006500690064006f006a006900650074002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400750073002c0020006b006f002000760061007200200061007400760113007200740020006100720020004100630072006f00620061007400200075006e002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002c0020006b0101002000610072012b00200074006f0020006a00610075006e0101006b0101006d002000760065007200730069006a0101006d002egt NLD (Gebruik deze instellingen om Adobe PDF-documenten te maken die zijn geoptimaliseerd voor prepress-afdrukken van hoge kwaliteit De gemaakte PDF-documenten kunnen worden geopend met Acrobat en Adobe Reader 50 en hoger) NOR ltFEFF004200720075006b00200064006900730073006500200069006e006e007300740069006c006c0069006e00670065006e0065002000740069006c002000e50020006f0070007000720065007400740065002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740065007200200073006f006d00200065007200200062006500730074002000650067006e0065007400200066006f00720020006600f80072007400720079006b006b0073007500740073006b00720069006600740020006100760020006800f800790020006b00760061006c0069007400650074002e0020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740065006e00650020006b0061006e002000e50070006e00650073002000690020004100630072006f00620061007400200065006c006c00650072002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200065006c006c00650072002000730065006e006500720065002egt POL ltFEFF0055007300740061007700690065006e0069006100200064006f002000740077006f0072007a0065006e0069006100200064006f006b0075006d0065006e007400f300770020005000440046002000700072007a0065007a006e00610063007a006f006e00790063006800200064006f002000770079006400720075006b00f30077002000770020007700790073006f006b00690065006a0020006a0061006b006f015b00630069002e002000200044006f006b0075006d0065006e0074007900200050004400460020006d006f017c006e00610020006f007400770069006500720061010700200077002000700072006f006700720061006d006900650020004100630072006f00620061007400200069002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000690020006e006f00770073007a0079006d002egt PTB ltFEFF005500740069006c0069007a006500200065007300730061007300200063006f006e00660069006700750072006100e700f50065007300200064006500200066006f0072006d00610020006100200063007200690061007200200064006f00630075006d0065006e0074006f0073002000410064006f0062006500200050004400460020006d00610069007300200061006400650071007500610064006f00730020007000610072006100200070007200e9002d0069006d0070007200650073007300f50065007300200064006500200061006c007400610020007100750061006c00690064006100640065002e0020004f007300200064006f00630075006d0065006e0074006f00730020005000440046002000630072006900610064006f007300200070006f00640065006d0020007300650072002000610062006500720074006f007300200063006f006d0020006f0020004100630072006f006200610074002000650020006f002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000650020007600650072007300f50065007300200070006f00730074006500720069006f007200650073002egt RUM ltFEFF005500740069006c0069007a00610163006900200061006300650073007400650020007300650074010300720069002000700065006e007400720075002000610020006300720065006100200064006f00630075006d0065006e00740065002000410064006f006200650020005000440046002000610064006500630076006100740065002000700065006e0074007200750020007400690070010300720069007200650061002000700072006500700072006500730073002000640065002000630061006c006900740061007400650020007300750070006500720069006f006100720103002e002000200044006f00630075006d0065006e00740065006c00650020005000440046002000630072006500610074006500200070006f00740020006600690020006400650073006300680069007300650020006300750020004100630072006f006200610074002c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020015f00690020007600650072007300690075006e0069006c006500200075006c0074006500720069006f006100720065002egt RUS ltFEFF04180441043f043e043b044c04370443043904420435002004340430043d043d044b04350020043d0430044104420440043e0439043a043800200434043b044f00200441043e043704340430043d0438044f00200434043e043a0443043c0435043d0442043e0432002000410064006f006200650020005000440046002c0020043c0430043a04410438043c0430043b044c043d043e0020043f043e04340445043e0434044f04490438044500200434043b044f00200432044b0441043e043a043e043a0430044704350441044204320435043d043d043e0433043e00200434043e043f0435044704300442043d043e0433043e00200432044b0432043e04340430002e002000200421043e043704340430043d043d044b04350020005000440046002d0434043e043a0443043c0435043d0442044b0020043c043e0436043d043e0020043e0442043a0440044b043204300442044c002004410020043f043e043c043e0449044c044e0020004100630072006f00620061007400200438002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020043800200431043e043b043504350020043f043e04370434043d043804450020043204350440044104380439002egt SKY ltFEFF0054006900650074006f0020006e006100730074006100760065006e0069006100200070006f0075017e0069007400650020006e00610020007600790074007600e100720061006e0069006500200064006f006b0075006d0065006e0074006f0076002000410064006f006200650020005000440046002c0020006b0074006f007200e90020007300610020006e0061006a006c0065007001610069006500200068006f0064006900610020006e00610020006b00760061006c00690074006e00fa00200074006c0061010d00200061002000700072006500700072006500730073002e00200056007900740076006f00720065006e00e900200064006f006b0075006d0065006e007400790020005000440046002000620075006400650020006d006f017e006e00e90020006f00740076006f00720069016500200076002000700072006f006700720061006d006f006300680020004100630072006f00620061007400200061002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000610020006e006f0076016100ed00630068002egt SLV ltFEFF005400650020006e006100730074006100760069007400760065002000750070006f0072006100620069007400650020007a00610020007500730074007600610072006a0061006e006a006500200064006f006b0075006d0065006e0074006f0076002000410064006f006200650020005000440046002c0020006b006900200073006f0020006e0061006a007000720069006d00650072006e0065006a016100690020007a00610020006b0061006b006f0076006f00730074006e006f0020007400690073006b0061006e006a00650020007300200070007200690070007200610076006f0020006e00610020007400690073006b002e00200020005500730074007600610072006a0065006e006500200064006f006b0075006d0065006e0074006500200050004400460020006a00650020006d006f0067006f010d00650020006f0064007000720065007400690020007a0020004100630072006f00620061007400200069006e002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200069006e0020006e006f00760065006a01610069006d002egt SUO ltFEFF004b00e40079007400e40020006e00e40069007400e4002000610073006500740075006b007300690061002c0020006b0075006e0020006c0075006f00740020006c00e400680069006e006e00e4002000760061006100740069007600610061006e0020007000610069006e006100740075006b00730065006e002000760061006c006d0069007300740065006c00750074007900f6006800f6006e00200073006f00700069007600690061002000410064006f0062006500200050004400460020002d0064006f006b0075006d0065006e007400740065006a0061002e0020004c0075006f0064007500740020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740069007400200076006f0069006400610061006e0020006100760061007400610020004100630072006f0062006100740069006c006c00610020006a0061002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030003a006c006c00610020006a006100200075007500640065006d006d0069006c006c0061002egt SVE ltFEFF0041006e007600e4006e00640020006400650020006800e4007200200069006e0073007400e4006c006c006e0069006e006700610072006e00610020006f006d002000640075002000760069006c006c00200073006b006100700061002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e007400200073006f006d002000e400720020006c00e4006d0070006c0069006700610020006600f60072002000700072006500700072006500730073002d007500740073006b00720069006600740020006d006500640020006800f600670020006b00760061006c0069007400650074002e002000200053006b006100700061006400650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740020006b0061006e002000f600700070006e00610073002000690020004100630072006f0062006100740020006f00630068002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020006f00630068002000730065006e006100720065002egt TUR ltFEFF005900fc006b00730065006b0020006b0061006c006900740065006c0069002000f6006e002000790061007a006401310072006d00610020006200610073006b013100730131006e006100200065006e0020006900790069002000750079006100620069006c006500630065006b002000410064006f006200650020005000440046002000620065006c00670065006c0065007200690020006f006c0075015f007400750072006d0061006b0020006900e70069006e00200062007500200061007900610072006c0061007201310020006b0075006c006c0061006e0131006e002e00200020004f006c0075015f0074007500720075006c0061006e0020005000440046002000620065006c00670065006c0065007200690020004100630072006f006200610074002000760065002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200076006500200073006f006e0072006100730131006e00640061006b00690020007300fc007200fc006d006c00650072006c00650020006100e70131006c006100620069006c00690072002egt UKR ltFEFF04120438043a043e0440043804410442043e043204430439044204350020044604560020043f043004400430043c043504420440043800200434043b044f0020044104420432043e04400435043d043d044f00200434043e043a0443043c0435043d044204560432002000410064006f006200650020005000440046002c0020044f043a04560020043d04300439043a04400430044904350020043f045604340445043e0434044f0442044c00200434043b044f0020043204380441043e043a043e044f043a04560441043d043e0433043e0020043f0435044004350434043404400443043a043e0432043e0433043e0020043404400443043a0443002e00200020042104420432043e04400435043d045600200434043e043a0443043c0435043d0442043800200050004400460020043c043e0436043d04300020043204560434043a0440043804420438002004430020004100630072006f006200610074002004420430002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002004300431043e0020043f04560437043d04560448043e04570020043204350440044104560457002egt ENU (Use these settings to create Adobe PDF documents best suited for high-quality prepress printing Created PDF documents can be opened with Acrobat and Adobe Reader 50 and later) gtgt Namespace [ (Adobe) (Common) (10) ] OtherNamespaces [ ltlt AsReaderSpreads false CropImagesToFrames true ErrorControl WarnAndContinue FlattenerIgnoreSpreadOverrides false IncludeGuidesGrids false IncludeNonPrinting false IncludeSlug false Namespace [ (Adobe) (InDesign) (40) ] OmitPlacedBitmaps false OmitPlacedEPS false OmitPlacedPDF false SimulateOverprint Legacy gtgt ltlt AddBleedMarks false AddColorBars false AddCropMarks false AddPageInfo false AddRegMarks false ConvertColors ConvertToCMYK DestinationProfileName () DestinationProfileSelector DocumentCMYK Downsample16BitImages true FlattenerPreset ltlt PresetSelector MediumResolution gtgt FormElements false GenerateStructure false IncludeBookmarks false IncludeHyperlinks false IncludeInteractive false IncludeLayers false IncludeProfiles false MultimediaHandling UseObjectSettings Namespace [ (Adobe) (CreativeSuite) (20) ] PDFXOutputIntentProfileSelector DocumentCMYK PreserveEditing true UntaggedCMYKHandling LeaveUntagged UntaggedRGBHandling UseDocumentProfile UseDocumentBleed false gtgt ]gtgt setdistillerparamsltlt HWResolution [2400 2400] PageSize [612000 792000]gtgt setpagedevice

  1. 1 World Health Organization WHO
  2. 2 Beijing Platform for Action BPA 1995
  3. 5 International Covenant on Civil and Political Rights ICCPR 1966
  4. 7 Krug Etienne et al 2002 World Report on Violence and Health Geneva WHO
Page 3: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na

ii

YALIYOMO

Dibaji iv

Sehemu Ya Tano Muundo Wa Utendaji Katika Kuzuia Na

Kiambatisho Viashirio Vya Uwaki Kwa

Shukurani vi

Vifupisho vii

Orodha Ya Maneno Muhimu Na Dhana viii

Sehemu Ya Kwanza Utangulizi 1

Sehemu Ya Pili Uchambuzi Wa Uwaki Tanzania 4

Sehemu Ya Tatu Umuhimu Na Malengo 23

Sehemu Ya Nne Maelekezo Ya Kisera 25

Kupambana Na Uwaki37

Sehemu Ya Sita Ufuatiliaji Tathmini Na Utafi ti 45

Sekta Ya Afya 47

iii

DIBAJI

Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa Kijinsia (UWAKI) ambalo kwa ujumla halikuwa likizingatiwa kwa ukaribu Hivi karibuni Utafiti wa Afya na Idadi ya Watu Tanzania (2010) umeonyesha viwango vya juu vya ukatili wa kijinsia ambavyo havikubaliki Ukatili wa kijinsia ni ukiukwaji mkubwa wa Haki za Msingi za Binadamu na una madhara ya muda mrefu ya kimwili kiakili na kisaikolojia kwa watu waliopatwa na UWAKI familia na jamii Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii (WAUJ) imeandaa Mwongozo wa Kisera kuhusu UWAKI ili kuelekeza utayarishaji wa Mwongozo wa Kuzuia na Kutoa Huduma kwa watu waliopatwa na UWAKI Wizara itafanya kazi na wadau wengine kwa kutoa huduma kwa watu waliopatwa na UWAKI katika ngazi zote za utoaji huduma

Uandaaji wa Mwongozo wa Kisera kuhusu UWAKI umezingatia Sera ya Afya na nyaraka mbalimbali za sekta ya Afya zikijumuisha Mpango Mkakati wa Sekta ya Afya III (2009-2015) Mpango wa Maendeleo wa Afya ya Msingi (MMAM 2007-2017) Mpango Mkakati wa Watumishi wa Sekta ya Afya (2008shy2013) Mkakati wa Taifa wa Kuongeza Kasi ya Kupunguza Vifo Vinavyotokana na Matatizo ya Uzazi Watoto Wachanga na Watoto wa umri chini ya miaka mitano kama ldquoMpango Mmojardquo (2008-2015) Programu ya Uzazi wa Mpango Iliyokasimiwa (2010 - 2015) na Mpango wa Taifa wa Huduma kwa Yatima na Watoto Wanaoishi katika Mazingira Hatarishi (NCPA 2011-2016)

Utekelezaji wa kazi zinazohusiana na UWAKI hapa nchini na utoaji wa huduma kwa watu waliopatwa na UWAKI katika vituo vya huduma za afya na ustawi wa jamii hauridhishi Pamoja na jitihada za Serikali za kupambana na UWAKI uhaba wa rasilimali na sababu nyingine ikiwamo ukosefu wa mwongozo wa kisera umechangia kukosekana kwa huduma bora kwa watu waliopatwa na UWAKI Uzuiaji na utoaji wa huduma bora kwa watu waliopatwa na UWAKI hauhusishi Sekta ya Afya na Ustawi wa Jamii pekee bali sekta nyingine zikijumuisha zile zinazotoa huduma za kisaikolojia usalama wa raia na msaada wa kisheria Hali hii inahitaji uratibu na ushirikiano wa karibu baina ya wadau mbalimbali katika kubuni kupanga na kutekeleza mwongozo wa kisera kuhusu UWAKI

iv

Mwongozo huu unaainisha majukumu ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii na wadau wake katika kupanga na kutekeleza uzuiaji na utoaji wa huduma kwa watu waliopatwa na UWAKI katika ngazi zote Uzuiaji wa UWAKI na utoaji wa huduma kwa watu waliopatwa na UWAKI utatekelezwa kwa kufuata mfumo wa utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii nchini Utoaji wa huduma kwa watu waliopatwa na UWAKI kwenye kila kituo cha huduma za afya utazingatia misingi ya kuheshimu haki za binadamu kujali na maadili ya kitaaluma Ni matumaini yangu ya dhati kuwa Maofisa Mipango Kamati za Afya na watoa huduma wote wa Sekta ya Afya watatumia Mwongozo huu wa Kisera katika kupanga na kutekeleza uzuiaji wa UWAKI na utoaji wa huduma bora za afya kwa watu waliopatwa na UWAKI na hatimaye kutokomeza UWAKI nchini Tanzania

Dkt Donan W Mmbando Kaimu Mganga Mkuu wa Serikali

v

SHUKURANI

Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii (WAUJ) inatambua mchango wa Kikosi Kazi cha Wataalamu chini ya uongozi wa Mkurugenzi Msaidizi wa Huduma za Afya ya Uzazi na Mtoto

Pia Wizara inayashukuru Mashirika mbalimbali na watu binafsi waliochangia katika kutayarisha na kukamilisha Mwongozo huu wa Kisera

Tunashukuru na kutambua mchango wa Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani (USAID) Tanzania na Mpango wa Dharura wa Rais wa Marekani wa kupunguza UKIMWI (PEPFAR) kwa kutoa msaada wa kiutaalamu na kifedha katika kuendeleza Sera ya Afya na kutekelezwa na ldquoFutures Group Internationalrdquo Aidha Wizara inashukuru Mpango wa Pamoja wa Umoja wa Mataifa kwa ufadhili wa utaalamu na fedha

Tunapenda pia kuwatambua wataalamu walioshiriki katika kuandaa na Mwongozo huu wa Kisera

Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Kinga

kukamilisha

Dkt Peter Mmbuji

vi

VIFUPISHO

BAW Bodi ya Afya ya Wilaya BHA Bodi ya Huduma za Afya MKUKUTA Mpango wa Kukuza Uchumi na Kupunguza

Umaskini Tanzania MMAM Mpango wa Maendeleo wa Afya ya Msingi MHW Mamlaka ya Halmashauri ya Wilaya NCPA Mpango Kazi wa Taifa wa Kuhudumia Watoto Yatima

na Wanaoishi katika Mazingira Hatarishi PEPFAR Mpango wa Dharura wa Rais wa Marekani wa

kupunguza UKIMWI SADC Ushirikiano wa Maendeleo wa Nchi za Kusini mwa

Afrika UWAKI Ukatili wa Kijinsia UKIMWI Upungufu wa Kinga Mwilini USAID Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani VVU Virusi Vya UKIMWI WAUJ Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii WHO Shirika la Afya Duniani

vii

ORODHA YA MANENO MUHIMU NA DHANA

Kwa madhumuni ya Mwongozo huu maneno muhimu na dhana yatakuwa na maana ifuatayo

Ukatili Matumizi ya nguvu yanayompa mtu fursa ya kumtumia au kumkandamiza mtu mwingine ikiwa ni pamoja na na kumsababishia woga au hofu madhara ya kimwili kifikra na kisaikolojia Ukatili unaweza kujitokeza kwa kumdhuru mtu kimwili au kumtishia kwa kutumia silaha au kumnyima mtu uhuru wa kufanya uamuzi na kumlazimisha kutenda kinyume na utashi wake

Kijana balehe Kipindi cha mpito cha ukuaji kutoka utoto kuelekea utu uzima Kipindi hiki ni muda ambapo mhusika sio mtoto wala mtu mzima kibiolojia wala hajakomaa kihisia Wakati huu kuna mabadiliko makubwa ya kimwili yanayohusiana na mwanzo wa kubalehe pamoja na kukua kisaikolojia Kijana balehe hujumuisha wanafunzi wengi walio kwenye shule za msingi na baadaye kukamilika wakiwa shule za sekondari

Mtoto Kwa mujibu wa katiba ya Tanzania na sheria ya mtoto mtoto ni mtu yeyote aliye chini ya umri wa miaka 18

Unyanyasaji wa mtoto Unyanyasaji wa mtoto ni dhana ambayo inahusisha maneno au vitendo vilivyokusudia kusababisha utokeaji wa madhara au vitisho kwa watoto Kuna aina tatu za ukatili kwa watoto kimwili kingono na kisaikolojia

Unyanyasaji wa mtoto kingono Ushirikishwaji wa mtoto katika vitendo vinavyohusu ngono Unyanyasaji wa watoto kingono unatokea kati ya mtoto na mtu mzima au mtoto na mtoto mwingine ambaye wamezidiana kiumri na kupevuka na anaaminika ana madaraka na wajibu juu ya mtu aliyepatwa na UWAKI kwa lengo la mnyanyasaji kujiridhisha haja zake binafsi

Unyanyasaji wa watoto kingono ni pamoja na kushawishi au kumlazimisha mtoto kushiriki katika vitendo vyovyote vya ngono utumiaji wa watoto kufanya ukahaba au matumizi ya watoto katika kupiga picha za ngono na kutumia vifaa vinavyohusika na ngonoUnyanyasaji wa mtoto ni dhana

viii

ambayo inahusisha maneno au vitendo vilivyokusudia kusababisha utokeaji wa madhara au vitisho kwa mtoto

Kulazimisha Kutishia au kutumia nguvu ikiwa ni pamoja na kutumia vitisho kauli mbaya ulaghai udanganyifu mila potofu au nguvu ya kipato bila ridhaa yake

Huduma kwa waathirika wa UWAKI Ni huduma jumuishi zinazotolewa kwa waathirika zikijumuisha Kuchukua historia ya mtu aliyepatwa na UWAKI upimaji wa kina kuchukua vipimo vya ushahidi wa kimahakama kwa mujibu wa sheria unasihi kupata matibabu ya awali kupata msaada wa kisheria na kisaikolojia na pale inapobidi kupewa ulinzi

Ridhaa Kufanya uamuzi wenye uelewa uhuru na hiari kuhusu jambo lolote Hakuna ridhaa ikiwa makubaliano yamepatikana kwa njia ya vitisho nguvu au aina zozote za kulazimishwa utekaji nyara udanganyifu ulaghai na upotoshaji

Ukatili ndani ya familia Ni vitendo vya unyanyasaji wanavyofanyiana watu walio katika uhusiano wa karibu kama vile ndoa uchumba familia au watu wanaoishi pamoja kama mke na mume bila ndoa rasmi

Kuna aina mbalimbali za ukatili wa kifamilia zikiwa ni pamoja na ukatili wa kimwili (kumpiga kumwuma kumsukuma kumzuia kumtupia vitu) au kumtishia Aina nyingine ya ukatili wa kifamilia ni ukatili wa kisaikolojia (kumfanyia vitisho kuvizia kumpuuzia) na ukatili wa kiuchumi Madhara yanayotokana na ukatili wa kifamilia ni pamoja na matumizi makubwa ya pombe utegemezi wa dawa za kulevya na magonjwa ya akili

Kituo cha Hifadhi ya muda Mahali pa kupata taarifa usalama huduma ya kwanza rufaa na mahitaji mengine muhimu na ya haraka kwa waliopatwa na UWAKI ambao wanahitaji mahali salama penye usiri kwa kipindi fulani

Kituo maalumu cha malezi Mahali rasmi panapotambulika kisheria kama makao ya watoto au shule za maadilisho Mahali pa kulelea watoto

ix

wanaoishi katika mazingira hatarishi kama vile kituo cha kulelea watoto kinachomilikiwa na watu binafsi taasisi za dini au serikali

Mlezi maalumu Mtu mzima mwenye akili timamu maadili mazuri na anayeaminika katika jamii ana uwezo wa kumlea mtoto ambaye siyo ndugu yake au wa nasaba yake ambaye amethibitishwa na ustawi wa jamii kuweza kumpa matunzo

Kulazimisha kurithi Mjane Ni mila ambapo mjane anashurutishwa bila ridha yake kuwa mke au mume wa ndugu wa marehemu Inawezekana kuwa katika aina au mtindo tofauti kulingana na tamaduni

Ukahaba wa Kulazimishwa Ni kitendo cha ulaghai kinachofanywa na watu kwa makundi hatarishi kama wanawake au wasichana kwa kuwaahidi kuwapatia vitu msaada au ajira halali na badala yake kuwatumikisha katika biashara ya ngono

Jinsia Ni uhusiano uliojengeka katika jamii Watu huzaliwa wakiwa na maumbile ya kike na kiume kisha hujifunza kazi au shughuli za kike na kiume kwenye jamii na hatimaye husababisha watu kujipangia majukumu kutokana na jinsia

Ukatili wa Kijinsia (UWAKI) Ni kitendo chochote cha kikatili anachofanyiwa mtu yeyote awe mwanamke mwanamume au mtoto chenye lengo la kumwumiza kimwili au kiutu kutokana na jinsia yake Ukatili wa kijinsia unajumuisha ukatili wa kingono kisaikolojia mila hatarishi na unyanyasaji wa kiuchumi na kijamii

Kupambana na Ukatili wa Kijinsia Kunajumuisha mambo yafuatayo Kutoa huduma kuandaa mipango mkakati kwa kuwashirikisha wadau mbalimbali

Mila na desturi hatarishi

bull Ukeketaji Ni kitendo cha kikatili anachofanyiwa mtoto wa kike msichana au mwanamke kwa kukata kabisa au kuondoa sehemu ya via vya nje vya uzazi kwa sababu zisizo za kitabibu

x

bull Ndoa katika umri mdogo Ni ndoa zinazojitokeza zaidi kwa wasichana ambazo zinahusishwa na madhara kwa mama na mtoto kama vile matatizo wakati wa kujifungua ulemavu na vifo vya mama na mtoto

bull Ndoa ya kulazimishwa Ni ndoa zinazofanyika bila ridhaa ya mwanamume au mwanamke Iwapo mmoja kati yao hatakubaliana ndoa hizo zinaweza kusababisha madhara ya unyanyasaji na ukatili

bull Utakaso wa mjane Ni desturi ambapo mjane hulazimishwa au hulazimika kufanya ngono na ndugu wengine au mtu aliyeteuliwa kwa kazi hiyo katika jamii Hii hufanyika kabla mjane huyo hajaolewa au kuoa tena

Haki za binadamu Ni stahili za msingi ambazo kila binadamu anapaswa kuzipata ili kumwezesha kuishi kujiendeleza kushiriki na kupata ulinzi wa jamii bila kujali utaifa jinsia asili ya utaifa au nasaba au kabila rangi dini lugha au kwa hali nyingine yoyote

Matukio ya ukatili Ni kitendo au mfululizo wa vitendo vya ukatili vinavyofanywa na mtu au kikundi cha watu dhidi ya mtu au kundi la watu kwa makusudi ya kuharibu kuleta hofu au kutishia amani kwa maslahi binafsi Vitendo hivyo vya kikatili vinaweza kufanyika nyumbani kwenye hadhara na mahali popote katika nyakati tofauti

Ukatili kati ya wenzi Ukatili unaohusisha wenzi wenye uhusiano wa ndani kama vile mtu na mke marafiki wapenzi wanafamilia au watu wanaoishi pamoja kama mke na mume bila ndoa rasmi Ukatili kati ya wenzi ni wa aina nyingi ikiwa ni pamoja na ukatili wa kimwili (kupigwa kuuma kumsukuma kumzuia kumtupia vitu) au kumtishia Aina nyingine ya ukatili wa wenzi ni ukatili wa kingono kisaikolojia (kumfanyia vitisho kuvizia kumpuuza) na ukatili wa kiuchumi (kunyimwa haki ya kufanya kazi kunyangrsquoanywa kipato kurithi mali nk)

Mhalifu Ni mtu kundi la watu au taasisi linalofanya moja kwa moja au kupitia wengine uhalifu au vitendo vya kikatili dhidi ya mtu au kundi la

xi

watuWahalifu wanakuwa katika hali ya kuwa au kuhisi kuwa na nguvu kufanya uamuzi naau mamlaka ya kuwadhibiti waliopatwa na UWAKI

Ukatili wa kimwili Ni kitendo cha kumdhalilisha mtu kwa kumpiga kumvua nguo kumwuma kumchoma kumsababishia ulemavu au kumwua kwa kutumia au kutotumia silaha

Nguvu Katika muktadha wa UWAKI madaraka yanahusiana na uwezo wa kuchagua Mamlaka makubwa yanaendana na uwezo mkubwa wa kufanya uamuzi Kwa upande mwingine mamlaka madogo yanaendana na uwezo dhaifu wa kufanya uamuzi na kwa hivyo kuongeza uwezekano wa kunyanyaswa UWAKI unahusisha matumizi mabaya ya madaraka ambapo mtu mmoja anajisikia kuwa ana mamlaka zaidi juu ya mwenzake na kutumia fursa hiyo kumnyanyasa

Kwa mfano kutumia shinikizo la aina yoyote ili kumfanya mtu mwenye uwezo mdogo kufanya naye ngono kwa madhumuni ya kumpatia faida au ahadi zozote ni kutumia vibaya madaraka Wanaume wana nafasi za madaraka kuliko wanawake na mara nyingi wanamiliki fedha mali na huduma Wanaume wana maumbile makubwa zaidi ya wanawake wana nguvu zaidi wanatumia silaha zaidi na wanadhibiti mawasiliano na usalama Madaraka yanategemea umri na mara nyingi watoto na wazee wana madaraka madogo zaidi Waume au marafiki wa kiume wana umri mkubwa zaidi kuliko wake zao au marafiki wa kike

Ubakaji Ni kitendo cha mtu kumwingilia mtu kimwili mtu mwingine kwa nguvu bila ridhaa yake au kitendo cha kumwingilia mtu mwenye umri chini ya miaka 18

Ulazimishaji ngono ndani ya ndoa Ni kitendo cha ngono kati ya wanandoa kinachofanywa na mwanandoa mmoja bila ridhaa au dhamira ya mwenzake akitumia nguvu vitisho kuogopesha hofu au wakati mwenza hawezi kutoa ridhaa

Vitendo hivyo vya ngono vinajumuisha kujamiiana ngono ya mdomo au kinyume na maumbile kulazimishwa kufanya ngono na mtu mwingine na vitendo vingine vya ngono ambavyo vinachukuliwa na mlazimishaji kama ukandamizaji udhalilishaji na vya kuumiza

xii

Nyumba salama Mahali pa hifadhi ya muda kwa watu waliopatwa na UWAKI mashahidi au watu wengine wanaoonekana kuwa hatarini Pia ni mahali ambapo jamii familia mtu mzima anayeaminika au taasisi ya hisani wanatoa kimbilio la usalama kwa watu waliopatwa na UWAKI

Ukatili wa Kingono Ni kitendo au jaribio lolote la unyanyasaji wa kingono linalosababisha au linaloweza kusababisha madhara ya kimwili kisaikolojia au kihisia

Ngono za Kulazimishwa Ni kitendo cha kumshurutisha au kujaribu kumshurutisha mtu mwingine kwa njia ya ukatili vitisho maneno makali udanganyifu kumpa matarajio ya kiuchumi ili ajihusishe na vitendo vya ngono bila ridhaa yake Ni pamoja na vitendo mbalimbali kama ubakaji na maeneo mapana zaidi kama wanawake kulazimishwa kuolewa na kutoa huduma ya ngono kwa wanaume ambao sio chaguo lao

Ukandamizaji wa Kingono Ni kumtumia mtu watu au jamii inayoishi kwenye mazingira magumu kwa madhumuni ya kuihusisha katika vitendo vya kujamiiana au vinavyohusiana na kujamiiana ili mhalifu afaidike kiuchumi au kijamii

Bughudha ya Kingono Ni matendo yanayohusiana na hisia za kujamiiana ambayo yanakera na kuudhi watu ndani ya jamii na mazingira ya kazi hayakubaliki yanasumbua yanarudiwa mara kwa mara na bila ridhaa kwa mfano matusi kukonyeza mavazi duni yenye kuonyesha maungo kupapasa picha za ngono na kuingilia faragha za mwili wa mtu

Ukatili wa Kingono Nikitendo au jaribio lolote la unyanyasaji wa kingono linalosababisha au linaloweza kusababisha madhara ya kimwili kisaikolojia au kihisia

Ukatili wa Kiuchumi na Kijamii Ni vitendo vya kumnyima mtu fursa ya kupata mahitaji ya msingi na ya kujiendeleza kama kumnyima elimu kazi kumiliki mali huduma za afya na vitendo vingine vinavyosababisha msongo wa mawazo

xiii

Ukatili Matumizi ya nguvu yanayompa mtu fursa ya kumtumia au kumkandamiza mtu mwingine ikiwa ni pamoja na kumsababishia woga au hofu madhara ya kimwili kifikra na kisaikolojia Ukatili unaweza kujitokeza kwa kumdhuru mtu kimwili au kumtishia kwa kutumia silaha au kumnyima mtu uhuru wa kufanya uamuzi na kumlazimisha kutenda kinyume na utashi wake

Ukatili Dhidi ya Wanawake Ni kitendo au vitendo vya unyanyasaji vyenye kulenga jinsia ya kike na vyenye kusababisha au kuleta madhara ya kimwili kingono kihisia kisaikolojia kiuchumi na kijamii Kitendo au vitendo hivi hujumuisha kutumia nguvu na vitisho vya kumnyima mwanamke haki na uhuru

xiv

SEHEMU YA KWANZA

UTANGULIZI

11 Hali ya Ukatili wa Kijinsia Duniani

Ukatili Wa Kijinsia (UWAKI) unatokana na kuwepo kwa tofauti kati ya wanaume na wanawake na hivyo kuhatarisha afya utu usalama na uhuru wa wahusika waliofanyiwa vitendo vya kikatili

UWAKI unajumuisha vitendo vingi vya ukiukwaji wa haki za binadamu kama vile unyanyasaji wa watoto kingono ubakaji unyanyasaji katika familia shambulio la aibu na udhalilishaji Vitendo vingine vya UWAKI ni usafirishaji haramu wa wanawake na wasichana na madhara mengine yatokanayo na mila na desturi hatarishi

Matukio ya ukatili wa kijinsia yanaacha athari kubwa za kisaikolojia na za kiafya kwa watu waliopatwa na ukatili ikiwa ni pamoja na kuathiri afya ya uzazi na mara nyingine kusababisha vifo

UWAKI haujatambuliwa kama ukiukwaji wa haki za binadamu katika sehemu nyingi duniani Tatizo hili hupunguza uwezo wa wanawake wanaume na watoto katika kufurahia uhuru na haki za msingi za kibinadamu Hata hivyo licha ya kuwepo kwa UWAKI katika nchi nyingi tatizo hili halijapewa kipaumbele UWAKI unaelezwa kuwa ldquoNi kitendo kiovu na cha aibu kubwa cha ukiukwaji wa haki za binadamurdquo Hali hii humfanya mwanamke kuwa tegemezi kijamii kiuchumi na kisheria na hupunguza uwezo wake katika kupata msaada mara anapofanyiwa ukatili

Utafiti uliofanywa na Shirika la Afya Duniani (WHO) kuhusu afya ya wanawake na ukatili wa kifamilia katika nchi 10 umeonyesha kuwa kati ya wanawake waliowahi kuwa na wenzi asilimia 13-61 walifanyiwa ukatili wa kimwili na wenzi wao asilimia 6-59 walifanyiwa ukatili wa kingono na asilimia 15-71 walifanyiwa vitendo vya ukatili wa kingono pamoja na kimwili Pia wanawake wengi vijijini walikiri kuwa walifanyiwa tendo la ngono kwa mara ya kwanza bila ridhaa yao na takwimu zinaonyesha matukio hayo katika baadhi ya nchi kama ifuatavyo Peru (24)

1

Tanzania (17) Bangladesh (30) na Ethiopia (17) Ukatili wa kimwili kwa wanawake wajawazito uliripotiwa kuwa ni asilimia 4-12

Wanawake na wasichana wanakabiliwa na aina nyingine ya ziada ya unyanyasaji Usafirishaji haramu wa wanawake na wasichana kwa ajili ya kazi na ngono za kulazimishwa ni biashara iliyoshamiri na mara nyingi waathirika ni wale wanaokabiliwa na hali ngumu ya maisha Ndoa za kulazimishwa na za utotoni ni ukiukwaji wa haki za binadamu kwa wanawake na wasichana lakini zinaendelea kushamiri kwenye nchi nyingi za Bara la Asia Mashariki ya Kati na Nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara Utafiti wa Shirika la Afya Duniani (2010) unaonyesha kuwa duniani kote mwanamke mmoja kati ya wanawake watano na mwanamume mmoja kati ya wanaume 10 wanaripotiwa kuathirika na unyanyasaji wa kingono wakati wa utoto

12 Hali ya UWAKI Kanda ya Afrika

Kuna uhaba wa taarifa takwimu na utafiti kuhusu UWAKI kwenye ukanda wa Afrika Mashariki Nchini Kenya kulikuwa hakuna takwimu zenye kuhusiana na ukatili wa kijinsia hadi utafiti wa hali ya jamii na afya ulipofanyika mwaka 2003 Utafiti huu ulionyesha kwamba asilimia 29 ya wanawake waliripotiwa kuathiriwa na ukatili wa kingono kwenye kipindi cha mwaka mmoja uliopita na wengi wa waathirika walikuwa wanawake wa umri wa miaka 20-29 Utafiti uliofanywa na Ushirika wa Wanasheria Wanawake nchini Kenya ulionyesha kwamba ukatili wa kijinsia katika familia unakabili asilimia 51 ya wanawake waliohudhuria kliniki nne za wajawazito kwenye jiji la Nairobi na waliripoti kuwa wamekuwa waathirika wa ukatili wakati fulani katika maisha yao kati yao asilimia 65 walifanyiwa ukatili na waume zao na asilimia 22 walifanyiwa ukatili na wanaume wasiowafahamu

Utafiti kuhusu UWAKI uliofanywa baada ya uchaguzi wa 2007 nchini Kenya ulilenga makazi duni ya Kibera jijini Nairobi yenye wakazi wapatao milioni moja Utafiti huu ulionyesha kuwa umri wa waathirika waliobakwa ulikuwa kati ya miaka 25-68 na wengi wao walikuwa wenye umri wa miaka ya 30 UWAKI uliwaathiri wanawake wa umri wa miaka yote Utafiti huu ulibaini kwamba baadhi ya waathirika waliambukizwa virusi vya UKIMWI

2

Mwaka 2007 Umoja wa Mataifa ulikadiria kuwa kiwango cha ubakaji wa wanawake katika eneo la Kivu kaskazini ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ulikuwa ni wanawake 350 kwa mwezi Mwaka 2008 shirika linalotetea haki za binadamu duniani (Amnesty International) liliripoti kuwa wanawake 40 hubakwa kila siku katika eneo hilo hilo

3

SEHEMU YA PILI

UCHAMBUZI WA UWAKI TANZANIA

21 Ukubwa wa tatizo la UWAKI Tanzania

Utafiti uliofanywa na Shirika la Afya Duniani (WHO)1 kuhusu afya ya wanawake na ukatili majumbani kwenye nchi 10 umebaini kuwa ukatili dhidi ya wanawake upo sehemu nyingi ikiwemoTanzania Utafi ti huo ulihusisha wanawake 1820 Dar es Salaam na wanawake 1450 Mbeya waliowahi kuwa na wenzi Matokeo yalionyesha kwamba asilimia 41 ya waliohojiwa katika jiji la Dar es Salaam na asilimia 55 ya waliohojiwa katika jiji la Mbeya waliathirika na aina mbalimbali za UWAKI Taarifa ilionyesha kuwa asilimia 15 hadi 71 ya wanawake walioathirika na ukatili wa kimwili au wa kingono ulifanywa na waume au wenzi wao Utafi ti huo pia ulionyesha kwamba asilimia 15 ya wanawake walifanya kitendo cha ngono kwa mara ya kwanza kwa kulazimishwa Aidha asilimia 4 hadi 12 ya wanawake waliripotiwa kunyanyaswa kimwili wakati wa ujauzito

Kufuatana na uchunguzi wa kitaifa nchini Tanzania kiwango cha ukatili majumbani kati ya wanawake wenye umri wa miaka 15- 49 ni asilimia 45 ikijumuisha ukatili wa kimwili (25) kingono (7) na (14) kwa aina zote mbili Unyanyasaji wa kimwili kwa wanawake wajawazito ulikuwa asilimia tisa (9) Kiwango cha wanawake waliokabiliwa na matukio ya kushurutishwa na wenzi wao kilikuwa asilimia sitini (60) Kiwango cha matukio ya ukatili wa kimwili kinatofautiana sana kati ya mkoa na mkoa ambapo kiwango cha juu sana kipo kwenye mkoa wa Dodoma (71) na cha chini kabisa kwenye mkoa wa Tanga (16) Ukatili wa kingono ni wa kiwango cha juu sana kwenye mkoa wa Rukwa (32) na chini kabisa kwenye mkoa wa Shinyanga (5) Kiwango cha wanawake waliowahi kuwa kwenye ndoa ambao wameathirika na ukatili wa kingono kutoka kwa mume au mwenzi wa sasa ni 48 mume wa zamani (21) rafiki wa kiume wa sasazamani (7) Kwa upande wa wanawake ambao hawajaolewa 27 ya ukatili ulifanywa na marafi ki wa kiume wa sasa au wa zamani

1 World Health Organization (WHO)

4

Uchunguzi wa WHO uliotajwa hapo juu umeonyesha usafi rishaji wa wanawake na wasichana kwa ajili ya kazi na ngono za kulazimishwa ni biashara iliyoshamiri na mara nyingi waathirika ni wale wanaokabiliwa na hali ngumu ya maisha Ndoa za kulazimishwa na za utotoni kama zilivyo kwenye jamii nyingi ni ukiukwaji wa haki za binadamu kwa wanawake na wasichana kwa sababu hawana fursa ya kutoa ridhaa Zaidi ya 60 ya waathirika wa UWAKI nchini Tanzania hawachukui hatua yoyote ya kutoa taarifa ya ukatili kwa mamlaka rasmi au vyombo vya kutekeleza sheria Upo uwezekano mkubwa wa maambukizo ya VVU kutokana na UWAKI Vijana wa kike wa Kitanzania wenye umri wa miaka 18-29 ambao wamekuwa wakinyanyaswa na wenzi wao wana uwezekano wa mara 10 zaidi kupata maambukizo ya VVU kuliko wanawake ambao hawajanyanyaswa

Utafiti uliofanyika Dar es Salaam mwaka 2000 ulibaini kuwa zaidi ya 90 ya waathirika wa ubakaji wanawafahamu wahalifu wao Katika utafiti mwingine uliofanyika Dar es Salaam asilimia ishirini na tano (25) ya wanawake waliohojiwa walikiri kwamba ldquoUkatili ni tatizo kubwa kwenye maishardquo Nchini Tanzania ubakaji ndani ya ndoa hautambuliwi kama kosa la jinai isipokuwa kama wenza wametengana

Vitendo vya UWAKI nchini Tanzania kwa ujumla vinalenga zaidi wanawake na wasichana kutokana na desturi na mazoea ya jamii ambazo zinawabagua na kuwapunguzia uwezo wa kufurahia haki zao za kibinadamu Ingawa mashambulizi ya ngono yanawalenga zaidi wanawake na wasichana hata hivyo wanaume na wavulana vilevile wanalengwa katika unyanyasaji wa kingono kubughudhiwa na kushambuliwa

Ukatili kama ulivyofafanuliwa unadhihirisha tofauti ya madaraka kati ya mwathirika na mhalifu wa ukatili wa kingono ambapo mhalifu mara nyingi ana umbo kubwa umri mkubwa utajiri au ni mmojawapo kwenye kundi la watu wenye mamlaka au anatumia silaha Nchini Tanzania asilimia 134 ya vijana wameathiriwa na mashambulio ya kingono ya namna moja ama nyingine Kwa ujumla kutokana na sababu mbalimbali nchini Tanzania kuna uhaba wa taarifa za UWAKI pia taarifa zilizopo siyo kamilifu

5

Uzoefu unaonyesha kuwa bila kujali hali ya afya ya kimwili ya mwathirika UWAKI humwacha mwathirika na majeraha ya muda mrefu na kupunguza uwezo wa mwathirika kushirikiana na jamii na familia Athari zaidi hujitokeza kwa mwathirika kama vile aibu unyanyapaa msongo wa mawazo na mfadhaiko Tatizo hili kwa waathirika linachochewa na ldquoUtamaduni wa ukimyardquo miongoni mwa familia na jamii inayowazunguka UWAKI una athari ya moja kwa moja na matokeo hasi kwa afya na ustawi wa kiuchumi na kijamii kwa familia hasa kwa wanawake na watoto

22 Unyanyasaji wa Mtoto na Kijana

Utafiti wa kitaifa nchini Tanzania kuhusu Ukatili Dhidi ya Watoto ni wa kwanza na wa aina yake katika Bara la Afrika Matokeo ya utafi ti yameonyesha kwamba mara nyingi watoto wanakabiliwa na unyanyasaji na matukio mengi na ya namna mbalimbali yanayojumuisha ukatili wa kimwili kingono na kisaikolojia Utafiti ulibaini kuwa watoto wengi wako kwenye hatari kubwa ya kunyanyaswa kwenye mazingira ya nyumbani na shuleni Haya ni maeneo mawili ambayo watoto wengi wa Kitanzania hutumia muda wao mwingi wakati wanakua na kuelekea kwenye ujana Robo tatu ya watoto wanapofikia umri wa miaka 18 huwa wameathirika na ukatili wa kimwili kwa namna moja ama nyingine kutokana na ukatili wa ndugu mwalimu au kiongozi Kutokana na utafiti takribani 30 ya wanawake wenye umri kati ya umri wa miaka 13-24 na 14 ya wanaume wenye umri kati ya miaka 13-24 nchini Tanzania waliripotiwa kuathirika na ukatili wa kingono angalau mara moja kabla ya kufikisha umri wa miaka 18

Nchini Tanzania ukeketaji hufanyika mapema utotoni Karibu mwanamke mmoja kati ya wanawake watatu waliokeketwa (32) walikeketwa kabla ya kufikisha umri wa mwaka mmoja na 27 walikeketwa wakiwa na umri wa miaka 13 au zaidi Hata hivyo ukeketaji kwa wasichana hufanyika katika umri mdogo sehemu ya wanawake waliokeketwa wakiwa na umri wa miaka 5 iliongezeka kutoka 34 hadi 39 kwa mujibu wa Utafiti wa Afya ya Jamii [UAJ] 2004-05 na UAJ 2010 Kulingana na utafiti huu 5 ya wasichana wa miaka 13shy17 waliripotiwa kuwa wamekeketwa na 10 ya wasichana wa umri wa miaka 18-24 waliripotiwa kukeketwa Kwa mujibu wa sheria kukeketa ni

6

kosa linalostahili adhabu Kuna uwezekano kwamba wale waliokeketwa huwa wanasita kutoa taarifa na ndiyo sababu ya taarifa kuwa chache

23 Mazingira ya Sera ya UWAKI

Serikali ya Tanzania imeonyesha nia yake ya kushughulikia masuala ya UWAKI kwa kuridhia mikataba kadhaa ya kimataifa yenye kuhusiana na UWAKI na jinsia Mkataba wa Kutokomeza Aina Zote za Ubaguzi Dhidi ya Wanawake (1985) ambao umekuwa chombo katika kupambana na matukio ya ubaguzi ikiwa ni pamoja na ukatili Jukwaa la Beijing (1995)2 na Malengo ya Maendeleo ya Milenia (2000)3 Tanzania pia imeridhia hati ya Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu kuhusu haki za wanawake na hati ya Ushirikiano wa Maendeleo wa Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC)4

Vipaumbele vya maendeleo ya Tanzania vinaainishwa katika Dira ya Taifa 2025 na katika Mpango wa Kuondoa Umaskini na Kukuza Uchumi (MKUKUTA) MKUKUTA II (2011-25) unashughulikia UKIMWI na jinsia kama masuala mtambuka na ni mkakati wa kwanza wa kitaifa unaotambua UWAKI kama suala la kisera kwa watu wote Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto ndiyo yenye jukumu la kuratibu shughuli zote zinazohusiana na jinsia

Wizara hiyo imetayarisha Sera ya Maendeleo ya Jinsia (2000) kwa ajili ya kushughulikia upungufu na kukosekana kwa usawa kati ya wanaume na wanawake Pia Wizara imetayarisha Mkakati wa Kitaifa wa Jinsia na Maendeleo (2002) unaotoa dira na kuwezesha usawa wa kijinsia nchini Pamoja na Mpango wa Taifa wa Vitendo vya Kukinga na Kutokomeza Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto (2001-2015) kwa ajili ya kuongeza juhudi za Serikali za kisheria kwa kupambana na UWAKI na kuhakikisha lsquousawarsquo na lsquohakirsquo kati ya wanawake na wanaume nchini Tanzania Sera ya Taifa ya Afya ina mfumo wa utoaji wa huduma za afya kwa watu wote wanaohitaji ikiwa ni pamoja na waathirika wa UWAKI

2 Beijing Platform for Action - (BPA 1995) 3 Millennium Development Goals - (MDG 2000) 4 Southern African Development Cooperation - (SADC)

7

24 Haki za Binadamu Sheria na Mazingira ya Udhibiti

Tanzania imeridhia Sheria ya Haki za Binadamu na masharti ya vyombo kadhaa vya kimataifa na kikanda ambavyo vinakataza ubaguzi kwa misingi ya jinsia na hivyo kuhitaji serikali ihakikishe kwamba wanawake hawabaguliwi Vyombo hivi ni Mkataba wa Kimataifa wa Kuzuia aina zote za Ukatili na Unyanyasaji wa Kijinsia 1979 pamoja na Mkataba wa Kimataifa wa Haki za Kiraia na Kisiasa (1966)5 Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu (1981) na Hati ya Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu Kuhusu Haki za Wanawake Afrika (2000)

Tanzania imetunga sheria inayosimamia kukinga na kupambana na UWAKI Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (1977) iko wazi kwa kukataza ubaguzi na kwa misingi hiyo inatoa haki ya usawa [Ibara ya 12-24] Sheria ya Mtoto (2009) inawezesha jitihada za kupunguza ukatili dhidi ya watoto Sheria Maalumu ya Makosa ya Kujamiiana (1998)6

ilitungwa kwa lengo la kulinda heshima ya mwanamke na kuweka vikwazo kwa UWAKI kwa kutoa adhabu kali kwa makosa ya kingono Sheria hii inajumuisha ukatili wa kingono ubakaji biashara haramu ya usafirishaji watu bughudha za kingono na kukataza ukeketaji chini ya kifungu cha lsquoUkatili kwa watotorsquo

Hii ilikuwa mara ya kwanza kwa Tanzania kutunga sheria ya kukataza vitendo vilivyotajwa hapo juu na hatima ya sheria hii imewekwa chini ya sheria za adhabu kifungu cha 16

Sheria ya Adhabu (marekebisho ya 2002) inawekea vikwazo vitendo vya UWAKI mathalan vitisho Sehemu ya 89B 89A kutoroka watoto Sehemu ya 166 kutelekeza watoto Sehemu ya 167 kuua bila kukusudia Sehemu ya 195 mauaji Sehemu ya 196 mashambulizi Sehemu ya 240shy243 kutorosha Sehemu ya 246 utekaji nyara Sehemu ya 244 kazi za kulazimishwa Sehemu ya 256 wizi utokanao na mwenzi Sehemu ya 264 tishio la uchomaji Sehemu ya 332 uchomaji Sehemu ya 319-322 kuficha nyaraka Sehemu ya 276-278 Sheria ya Biashara ya Binadamu Na 6 ya mwaka 2008 inakataza biashara ya binadamu kwa sababu yoyote

5 International Covenant on Civil and Political Rights - (ICCPR 1966) 6 The Sexual Offences Special Provisions Act 1998 (SOSPA)

8

Sheria ya Kuzuia VVU UKIMWI Na 28 ya mwaka 2008 inakataza unyanyapaa na inafanya uambukizaji wa VVU kwa makusudi kuwa kosa la jinai

Pamoja na kuwepo vyombo vya kimataifa kikanda kitaifa na vya sheria za kuhakikisha haki kwa wanawake tatizo la UWAKI limetapakaa nchini Tanzania lakini linaripotiwa kwa nadra UWAKI unaathiri zaidi wanawake na wasichana kuliko wanaume na wavulana Haya ni matokeo ya uhusiano usio sawa kati ya wanaume na wanawake katika jamii ambayo yanajidhihirisha katika maeneo kadhaa ikiwa ni pamoja na maeneo ya kiuchumi kijamii kisiasa na kisheria

Mara nyingi UWAKI unapunguza uwezo wa wanawake na wasichana wa kufurahia haki za kimsingi za binadamu na uhuru kama ilivyoainishwa kwenye Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Utambuzi wa wahalifu wa UWAKI nchini Tanzania ni nadra kulinganisha na idadi ya mashambulizi Ni muhimu kushughulikia mahitaji ya kisheria ya waathirika wote wa UWAKI wanawake wasichana wanaume wavulana na watoto

25 Miundombinu ya utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii

Mfumo wa utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii upo katika ngazi ya kitaifa mikoajiji na wilaya manispaa Mfumo huu unawezesha utoaji wa huduma za kuboresha afya kuzuia magonjwa tiba utengemao na ustawi wa jamii kwa kupitia vituo vya kutolea huduma za afya vinavyojumuisha zahanati vituo vya afya na hospitali

Kuna mfumo wa rufaa kitaifa wa njia mbili kupeleka na kurejesha mgonjwa ambao unaanzia kwenye jamii na kwenda kwenye zahanati ambazo zipo 4679 vituo vya afya (481) hospitali za wilaya (95) hospitali za mikoa (19) na hospitali za rufaa za taifa (8) Kuna vituo vya kutolea huduma za afya 5718 nchini Tanzania vikijumuisha zahanati (86) vituo vya afya (10) na hospitali (4) vikiwa chini ya umiliki wa serikali (69) mashirika ya kidini (14) mashirika ya umma ( 3) na mashirika binafsi (14)

9

Mpango wa Maendeleo wa Afya ya Msingi [(MMAM) 2007-2017 pamoja na malengo mengine unakusudia kuhakikisha kuwa kuna kituo kimoja cha afya kwa kila kata katika kata 2555 zilizopo na zahanati moja kwa kila kijiji katika vijiji 10342 Jumla ya vituo vya afya ya msingi 8107 hospitali za wilaya 62 na taasisi 128 za mafunzo zitaanzishwa ifikapo mwaka 2012

Mahitaji ya watoa huduma za afya ni 82377 na waliopata mafunzo ni 29063 (35) ikiwa ni upungufu wa 65 ya mahitaji Mahitaji ya watoa huduma wa ustawi wa jamii ni 3892 Kuna wafanyakazi 210 wa ustawi wa jamii ikiwa ni upungufu wa 95 ya mahitaji na uhaba mkubwa katika ngazi za wilaya (93) kata (100) na vituo vya watu wenye ulemavu na taasisi nyingine (85) (WAUJ 2006)

Kuna uhaba wa wafanyakazi wa afya wenye ujuzi kwenye ngazi za zahanati (69) vituo vya afya (59) na hospitali za rufaa (48-67) Kwa ujumla kuna uhaba wa wafanyakazi wa ustawi wa jamii wenye ujuzi kwa kiwango cha 95 katika ngazi zote kanda (21) wilaya (93) kata (100) na vituo vya walemavu (95) Kama ujenzi wa vituo hautaendana na upatikanaji wa watoa huduma utekelezaji wa MMAM utakuwa na upungufu mkubwa

Kwa kawaida kuna hospitali ya wilaya au teule kwa kila Mamlaka ya Halmashauri ya Wilaya (MHW) Kuna MHW 133 ambazo zina majukumu na wajibu wa kutoa huduma za afya kwenye maeneo yao Kila MHW ina Bodi ya Afya ya Wilaya (BAW) ambayo inajumuisha madiwani waliochaguliwa na kusimamia mipango na utekelezaji wa huduma za afya kwenye wilaya

Mipango na usimamizi wa huduma za afya katika halmashauri inaongozwa na Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri ambayo kiongozi wake ni Mganga Mkuu wa Wilaya na ni Katibu wa BAW Kuna bodi ya hospitali ya wilaya teule Bodi ya Huduma ya Afya (BHA) ya kituo cha afya inayowakilisha wakazi wa kata na bodi ya zahanati inayowakilisha wakazi wa kijiji bodi zote zikiwa na uwakilishi sawa wa kijinsia

Makadirio ya matumizi ya afya kwa mtu mmoja kwa mwaka 201011 ilikuwa ni dola za kimarekani 1575 ambapo WHO imependekeza

10

kiwango cha dola 3400 za Kimarekani Matumizi ya afya ni asilimia 14 ya Bajeti ya Taifa kwa mwaka ambacho ni chini ya kiwango cha asilimia 15 kilichopendekezwa na Tamko la Abuja

Mfumo wa utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii upo katika ngazi zifuatazo

[a] Ngazi ya Kitaifa WAUJ ina jukumu la kutayarisha sera za afya na miongozo inayohusiana na huduma za afya kuweka viwango kuhakiki ubora kufuatilia na kutathmini pamoja na kusimamia utoaji wa huduma za afya zenye kujumuisha kuboresha afya kinga tiba utengemao na ustawi wa jamii Hospitali za rufaa zina asilimiai 52 tu ya wafanyakazi wenye ujuzi

[b] Ngazi ya MkoaJiji Timu ya Uendeshaji ya Afya ya Mkoa ina jukumu la kuongoza na kuendeleza utekelezaji wa mpango mkakati wa afya kwenye mkoa pamoja na ushauri wa kitaalamu kwa Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri kwenye maeneo yafuatayo (1) Utekelezaji wa sera miongozo na viwango vya utoaji wa huduma za afya kwa usahihi na kwa muda uliopangwa ukihusisha watoa huduma wote wa umma binafsi kwenye MHW (2) kupanga kwa ufanisi kutekeleza kufuatilia na kutathmini mipango ya afya ya kina katika halmashauri Kamati ya utawala ya hospitali ya mkoa ina jukumu la kupanga na kusimamia hospitali ya mkoa ambayo ni ngazi ya pili ya rufaa Kuna hospitali 19 za mikoa ambazo zina 34 tu ya wataalamu wa afya

[c] Mamlaka ya Halmashauri ya WilayaManispaa Huduma za afya katika ngazi hii zinasimamiwa na Halmashauri ya Wilaya kupitia BAW chombo kilichoundwa (2001) chini ya Sheria namba 7 ya mwaka 1982 kifungu cha 86A BAW inawajibika kwa utoaji wa huduma za kina kwenye wilaya Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri inatoa ushauri wa kiutaalam kwa utekelezaji wa uamuzi wa BAW

[d] Ngazi ya Wilaya Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri huandaa na kutekeleza mpango wa kina wa afya wa halmashauri pamoja na kufuatilia na

11

kutathmini huduma za afya kwenye hospitali vituo vya afya zahanati na jamii ikiwa ni pamoja na kufanya utafiti Kamati ya Utawala ya Hospitali inasimamia mipango na huduma kwenye hospitali ya wilaya ambayo ni ngazi ya kwanza ya rufaa Kuna hospitali 95 za wilaya zikiwa ni pamoja na hospitali teule ambazo zina asilimia 33 tu ya wataalamu wa afya

[e] Ngazi ya Kata Kamati ya Afya ya Kata inasimamia upangaji ubunifu na uratibu wa mipango ya afya ya jamii husimamia na huhamasisha upatikanaji wa rasilimali pamoja na ukusanyaji na matumizi ya Mfuko wa Afya wa Jamii Vituo vya afya vina jukumu la kutoa huduma za kina za afya na ustawi wa jamii kwenye kata Kamati ya Kituo cha Afya inasimamia utoaji wa huduma za afya na kuhamasisha ukusanyaji wa rasilimali zinazohitajika Timu ya Kituo cha Afya ina wajibu wa kusimamia shughuli za kila siku kwenye kituo cha afya Timu inapanga na kusimamia juhudi za afya ya jamii katika eneo lake chini ya Mpango wa Maendeleo ya Kata Kuna jumla ya kata 2555 nchini ambapo kata 481 sawa na 19 zina vituo vya afya ambavyo vina 41 tu ya wataalamu wa afya

[f ] Ngazi ya Kijiji Kamati ya Zahanati inahakikisha kwamba idadi ya watu katika eneo lake wanapata huduma sahihi za afya na nafuu pamoja na kusimamia uhamasishaji wa rasilimali kwa ajili ya utekelezaji wa mpango wa zahanati Timu ya Usimamizi wa Zahanati inapanga na kusimamia juhudi za afya ya jamii kwenye maeneo chini ya Mpango wa Maendeleo ya Kata Kuna jumla ya vijiji 10342 ambapo 4679 vina zahanati sawa na 45 ambazo ni aslimia 31 tu ya zahanati zina wataalamu wa afya wanaotosheleza Kamati ya Huduma za Jamii kwenye kijiji ina wajibu wa kuhamasisha na kushirikisha jamii ili wajihusishe kuboresha na kulinda afya

[g] Ngazi ya Kaya Kuna kaya takriban milioni 7 nchini Tanzania na wastani wa watu 47 kwa kila kaya (ambapo 70 ya kaya zote zinaongozwa na wanaume na 30 zinaongozwa na wanawake) Sera ya Afya ya Taifa inatamka kwamba ni wajibu wa kila raia kuendeleza na kulinda afya yake pamoja na ya familia yake Pamoja na haya kila raia ana jukumu la kujiepusha na tabia hatarishi kwa afya yake pamoja na ya mwenzie na kuchangia rasilimali kwa ajili ya afya yake na uendelezaji wa vituo vya kutolea huduma za afya

12

26 Kukinga na Kupambana na UWAKI

Serikali ya Tanzania na washirika wake wa karibu wametekeleza mambo mbalimbali yanayohusiana na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Wizara ambazo zinahusika kwa ukaribu kwenye utekelezaji wa mipango ya kukinga na kupambana na UWAKI ni pamoja na Wizara ya Maendeleo y a Jamii Jinsia na Watoto Wizara ya Sheria na Katiba Wizara ya Mambo ya Ndani na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Kuna ushirikiano kati ya wizara idara mashirika asasi za kiraia na wadau wa maendeleo Katika ngazi ya kitaifa serikali inatekeleza Mkakati wa Maendeleo ya Jinsia (2005) na kukuza usawa wa jinsia na haki kwa wanawake Utekelezaji wa Sheria Maalumu ya Makosa ya Kujamiana (1998) ambayo sasa ni Kanuni ya Adhabu Sura ya 16 Toleo la Marekebisho 2002 Pia serikali inatekeleza Mpango wa Taifa wa Vitendo wa Kuzuia na Kutokomeza Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto (2001-2015) ambao una lengo la kutokomeza ubaguzi na unyonyaji wa kisheria kijamii kiuchumi kiutamaduni na kisiasa Zaidi ya yote Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (1977) inatamka kuheshimu misingi ya usawa na haki kwa kila mtu

Kwa kushirikiana na wadau wengine serikali inawezesha uanzishwaji wa kitengo cha jinsia kwenye idara za wizara mbalimbali (mfano idara ya polisi chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi) Mashirika ya Jamii hutoa utetezi msaada wa kisheria huduma za afya na kuendesha kampeni na mashirika mengine yamechukua hatua za kutoa hifadhi kwa waathirika wa UWAKI na Vituo vya Kuhifadhi Waathirika Kuna sera za kitaifa sheria mikakati na mipango ya kazi kwa ajili ya kushughulikia usawa wa kijinsia Vilevile serikali kwa kushirikiana na asasi za kiraia imejenga mazingira mazuri ya kuwezesha waathirika kupata huduma kama vile msaada wa kisheria Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii (WAUJ) imekuwa ikitoa huduma kwa waathirika wa UWAKI licha ya kutokuwepo kwa mwongozo wa sera kwa ajili ya wahudumu wa vituo vya kutolea afya

27 Changamoto katika Kuzuia na Kupambana na UWAKI

Muundo wa sheria sera na juhudi za kukuza haki za binadamu zinakabiliwa na changamoto mbalimbali zinazofisha jitihada za kuzuia kupambana

13

na kuepusha athari za UWAKI nchini Tanzania Changamoto hizo ni pamoja na upungufu wa fedha upungufu wa kisheria na sera zilizopo uratibu duni kati ya wadau na kukosekana kwa mfumo wa rufaa kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI Hali kadhalika uelewa na taarifa juu ya ukubwa wa tatizo la UWAKI ni duni kwa hivyo WAUJ imebuni na kutayarisha mwongozo maalumu wa sera na huduma dhidi ya UWAKI ili kukabili changamoto hizo

[a] Sera za Taifa Serikali ya Tanzania inajitahidi kujenga mazingira mazuri ya kuzuia na kupambana na UWAKI Ingawa Sera ya Afya ina lengo la kutoa huduma za afya za kutosha kwa kila Mtanzania ipo haja ya kuwa na miongozo na mikakati inayofafanua masuala ya UWAKI kwa ukamilifu Ukosefu wa miongozo na sera ya usimamizi dhidi ya UWAKI ni kikwazo kikubwa kwa juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kutibu na kuhudumia waliopatwa na UWAKI Sekta ya afya itatumia mwongozo wa sera hii ili kuboresha huduma ya kupambana na UWAKI kwa kushirikisha na kuwahusisha wadau wote

[b] Sheria zaTaifa Pamoja na kuwepo sheria nyingi zilizopitishwa kwa ajili ya kulinda haki za wanawake na watoto bado zipo changamoto nyingi Kwa mfano kuna baadhi ya sheria zenye utata baadhi zinapingana na hivyo kupunguza uwezo wa kupambana na UWAKI Pamoja na hayo Sheria ya Ndoa kama ilivyofanyiwa marekebisho 2002 haiainishi hatua za kuchukuliwa dhidi ya ukatili wa kifamilia Sheria hii ni kama inahalalisha ubakaji kwa kuruhusu binti kuolewa chini ya umri wa miaka 18 Sheria ya Makosa ya Kujamiiana na Vipengele Maalumu (1998) haitambui ubakaji ndani ya ndoa ingawa inatambua ubakaji ikiwa mume na mke wametengana Mbali na upungufu huo sheria ya makosa ya kujamiiana kwa upande wa kuthibitisha ushahidi wa kuingiliwa kimwili ni mgumu Sheria ya Mila (Tangazo la Serikali Na4361963) ambayo inatumiwa na Watanzania wote wazawa inatokana na mila na desturi za makabila mbalimbali ya Tanzania sheria hii ya Mila ni ya kibaguzi na huleta changamoto kwa wanawake na watoto ambao wamezaliwa nje ya ndoa hususan katika urithi wa mali Kwa mfano ugawanaji wa mali ya marehemu upo katika makundi matatu (1) Mtoto wa kwanza wa kiume (2) Watoto wengine wa kiume waliobaki na (3) Watoto wa kike bila kujali umri

14

na hali katika familia Watoto wa kike wa marehemu hurithi fungu dogo na hunyimwa haki ya kumiliki ardhi Kwa mujibu wa sheria hii mjane hana haki ya kurithi mali yoyote kutoka kwa marehemu mume wake isipokuwa huchukuliwa kuwa atatunzwa na watoto wake Mjane ambaye hajabahatika kuzaa hupata asilimia 20 ya asilimia 50 ya mali za marehemu mume wake Mbali na urithi sheria hii kwa upande wa talaka ikiwa mke alilipiwa mahari wakati ndoa inapovunjwa na mahakama mume ana haki ya kudai kurudishiwa mahari

Sheria zenye kupunguza makali ya UWAKI zimeweka kanuni za kuwezesha wadau katika sekta mbalimbali kuandaa sera na miongozo ya kuzuia na kupambana na UWAKI Wahusika muhimu katika sekta mbalimbali wanapaswa kupitia sheria zinazotoa mwanya wa mwendelezo wa UWAKI na kupendekeza marekebisho au utungwaji wa sheria nyingine zitakazopunguza na kumaliza vitendo vya UWAKI Hata hivyo kuna umuhimu wa kuwepo kwa wajibu na majukumu ya sekta mbalimbali katika kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kupambana dhidi ya unyanyasaji na ukatili kwa watoto Kwa kutambua na kuimarisha wajibu huo katika kila sekta itasaidia uzingatiaji wa sera na kuimarisha ari ya utendaji katika sekta zifuatazo

bull Ustawi wa Jamii Kujenga mfumo wa kufanya tathmini ya vihatarishi katika kupima mfumo wa rufaa unaohusisha sekta na huduma mbalimbali kuweza kuamua na kuchukua hatua za haraka na za muda mrefu katika kupambana na kutoa mahitaji ya haraka na ya muda mrefu kwa ajili ya ulinzi wa watoto na waathirika wengine

bull Elimu Kujumuisha elimu dhidi ya ukatili wa kijinsia katika mitaala ya elimu ikiwa ni pamoja na kuandaa mazingira salama shuleni na kuingiza katika programu za elimu zinazoelezea juu ya masuala ya kujifahamu kimwili (kibiolojia) afya ya uzazi na maendeleo yaa jamii Kuhakikisha kwamba sekta mbalimbali za rufaa na mifumo inayotoa ulinzi wa mtoto vinahusishwa katika elimu hiyo

bull Polisi na sheria Kuimarisha na kupanua ulinzi sahihi wa kisheria kwa ajili ya watoto na kuchukua hatua za kisheria kwa watuhumiwa wa uhalifu kuendeleza juhudi za kuimarisha dawati la jinsia na watoto katika idara ya Polisi nchini Kuendelea kuelimisha polisi na watumishi wengine

15

wa usalama wa raia kuhusu ukatili dhidi ya watoto na kuwa na utaratibu wa uchunguzi wa pamoja na idara ya ustawi wa jamii afya mamlaka na vitengo vingine vinavyohusika na ulinzi na usalama wa mtoto

bull Afya Kufanya kazi katika muundo wa pamoja na wadau wengine kwa kufuata miongozo iliyopo kwa ajili ya kuzuia kutibu kuhudumia na kufuatilia matukio ya ukatili dhidi ya watoto Kuimarisha mifumo iliyo wazi yenye kuunganisha huduma rafi ki kwa watoto na vijana dhidi ya UWAKI

[c] Polisi na Mahakama Mabadiliko katika idara ya polisi hasa katika uanzishwaji wa polisi jamii na dawati la jinsia na watoto yanaonyesha maendeleo katika kushughulikia UWAKI Hata hivyo waathirika wa UWAKI wanakabiliwa na ugumu wa kufika katika vituo vya polisi na mfumo wa utoaji haki Kwa mfano zipo kesi zilizotupiliwa mbali na Mahakama kwa kukosa ushahidi muhimu kutoka upande wa mashtaka Matokeo yake ni kwamba waathirika wanakosa motisha ya kutoa taarifa ya matukio ya UWAKI na hivyo hushindwa kufikisha malalamiko katika vyombo vya utoaji haki

Upungufu wa mafunzo kwa polisi na watoa huduma za kisheria juu ya namna ya kuzitumia sheria zilizopo dhidi ya UWAKI kumesababisha kesi mahakamani kushindwa Mfano Fomu ya Polisi namba 3 (PF3) inatoa taarifa juu ya tukio la shambulio na haitoi maelezo juu ya tukio hilo kama limetokana na UWAKI Ingawa zipo sheria zinazopinga UWAKI sheria hizo hazifahamiki hivyo hazitumiki kikamilifu Pamoja na hayo sheria za kimila na imani za kidini zinazuia waathirika kutoa taarifa za matukio ya UWAKI

Sheria ya Makosa ya Kujamiiana na Vipengele Maalumu (1998) inatoa adhabu kali kwa makosa ya kujamiiana Mara nyingi watuhumiwa hawafikishwi mahakamani kwa kuhofia kudhurika kwa familia zao kwa upande wa kukosa kipato kutoka kwa mtuhumiwa (kwani adhabu za makosa hayo huwa ni kifungo cha muda mrefu) Kwa sababu hizo utoaji wa taarifa kutoka kwa waathirika na familia zao ikiwa ni pamoja na matumizi ya sheria na uendeshaji wa mashtaka umeendelea kuwa changamoto pamoja na kuwepo kwa Sheria ya Makosa ya Kujamiiana inayotoa ulinzi dhidi ya UWAKI

16

bull

bull

bull

bull

bull

[d] Mila na Desturi Katika ngazi ya jamii na mtu binafsi zipo sababu mbalimbali zinazochangia kwa kiwango kikubwa matukio ya UWAKI Utafiti uliofanywa na mtaalamu wa Shirika la Afya Duniani (WHO)7 unaainisha vipengele hatarishi vifuatavyo juu ya mila na desturi

Kanuni za kimila katika uhusiano wa kijinsia humpa mwanamume madaraka na haki zaidi Baadhi ya mila na desturi huhimiza uvumilivu juu ya vitendo vya UWAKI na kuwazuia waathirika kutoa taarifa na kupata msaada Uwezeshaji wa mwanamke katika kupambana na mfumodume hujenga hisia kwa mwanamume kuwa anapoteza mamlaka yake na hivyo huwaudhi baadhi ya wanaume na kuendelea kufanya ukatili kwa lengo la kuwadhibiti wanawake Matumizi ya baadhi ya sheria za kimila hayawasaidii waathirika kupata haki Hofu ya kulipiza kisasi unyanyapaa ubaguzi na kukosekana kwa huduma huwazuia waathirika kutoa taarifa na kupata msaada

[e] Madaraka na Mamlaka Madaraka na mamlaka ni muhimu katika kuzuia na kupambana na UWAKI Wakati mwingine watu wenye madaraka na mamlaka hufumbia macho matukio ya UWAKI Kwa mfano upo ushahidi wa kutosha kuwa kuna matumizi mabaya ya madaraka na mamlaka shuleni na maeneo ya kazi

[f ] Kuhusisha Jamii Jamii ndiyo ngazi ya awali kujua tukio la UWAKI na kutoa msaada wa usalama na ulinzi kwa mwathirika Utafiti wa Shirika la Afya Duniani katika nchi mbalimbali ulionyesha kwamba asilimia 37 ya waathirika walipata msaada kutoka kwa jamii Kutokana na kiwango cha unyanyapaa ubaguzi na kutengwa kijamii viongozi katika ngazi ya jamii waliohamasishwa juu ya UWAKI waliweza kukabili mazingira haya ya kiuhasama Jamii inaweza kumsaidia mwathirika kwa kujenga mazingira mazuri (kwa mfano kituo cha hifadhi salama) Jamii inahusishwa katika

7 Krug Etienne et al 2002 World Report on Violence and Health Geneva WHO Available at httpwwwwhointviolence_injury_preventionviolenceworld_report

17

bull

bull

bull

bull

kuwahamasisha waathirika kuwapa ulinzi mahitaji ya msingi msaada wa kisaikolojia na kuwapa rufaa kwa watoa huduma wengine Vilevile jamii inahusishwa katika kuzuia UWAKI kupunguza unyanyapaa na kuwapa unasihi waathirika pamoja na kuhamasisha viongozi wa kijamii na wanajamii kwa ujumla

Uhamasishaji huu ni muhimu kwa sababu jamii ni daraja kati ya mwathirika na huduma za afya na ustawi wa jamii

Jamii inapaswa kushirikishwa katika hatua za mwanzo na zinazofuata katika kuzuia UWAKI Katika hatua za mwanzo jamii inapaswa kujitahidi kuondoa tabia za kuvumilia matukio ya UWAKI na hivyo kupunguza matukio hayo Katika hatua zinazofuata jamii itatambua na kulinda wale walio katika hatari zaidi ya UWAKI kama watoto na wanawake Jamii pia inapaswa kutambua vikwazo vya utoaji huduma katika idara ya afya polisi na mfumo wa utoaji haki na kuisaidia jamii kuondokana na vikwazo vya upatikanaji wa huduma

Ni muhimu kuishirikisha jamii katika jitihada za utekelezaji wa kuzuia UWAKI na kupambana nao ikiwamo usimamizi wa matibabu ya waathirika Jamii ina uwezo mkubwa wa kuhamasisha waathirika kutafuta huduma za afya na huduma nyingine zinazohusiana na UWAKI kwa mfano huduma za polisi usaidizi wa kisheria na hifadhi salama Pia jamii ina wajibu wa kuwaunganisha waathirika na jamii zao

Hata hivyo zipo changamoto katika kuihusisha jamii kama vile

Upungufu katika kuwahusisha wanaume na wavulana katika kushughulikia UWAKI Wanajamii wamekuwa wakiwanyanyapaa badala ya kuwasaidia waathirika na wakati mwingine wameshiriki katika UWAKI Baadhi ya viongozi wa kijamii na kidini hawana utayari wa kuhamasisha kuzuia na kupambana na UWAKI Jamii zina kiwango kikubwa cha kunyamazia matendo ya UWAKI na kuzuia sheria kuchukua mkondo wake

18

[g] Hali ya kiuchumi na kijamii Kushughulikia UWAKI pekee kama changamoto inayohusu huduma za tiba ni kutibu dalili badala ya chanzo Ni muhimu kushughulikia vyanzo vya UWAKI kama umaskini miongoni mwa wanawake ambao huwafanya kuwa wategemezi

Serikali imetayarisha MKUKUTA II wenye kuainisha njia za kuendeleza na kulinda haki za binadamu kwa watu wote hasa kwa wanawake na wanaume maskini watoto watu wanaoishi katika hali hatarishi na makundi maalumu (angalia MKUKUTA II-kundi la III lengo la 3) na kuongeza uzalishaji na fursa za ajira zenye kuheshimika hasa kwa wanawake na vijana (angalia MKUKUTA II kundi la I lengo la 3) Changamoto iliyopo ni ukosefu wa kuweka vipaumbele katika utekelezaji wa ahadi hizi kwa wanawake na vijana kwa kuelekeza rasilimali za kutosha na kutekeleza mikakati katika kuleta mabadiliko ya hali ya kijamii na kiuchumi kwa wanawake na vijana hivyo kupunguza hali hatarishi ya UWAKI

28 Upungufu katika kupambana na UWAKI

Sekta ya afya imeandaa mwongozo wa kutoa huduma kwa waathirika wa UWAKI Hata hivyo ili kutoa huduma bora na za kirafi ki kwa waathirika sekta zinazohusika hazina budi kushughulikia upungufu ulioainishwa kama ifuatavyo

[a] Huduma za afya

Ukosefu wa mwongozo wa utoaji wa huduma kwa waathirika wa UWAKI Hakuna mwongozo wa utoaji wa huduma za kupambana na UWAKI kwa watoa huduma wa ngazi zote kuanzia nyumbani kwenye jamii zahanati vituo vya afya hospitali polisi mahakama na wadau mbalimbali Upungufu huu unakwamisha upatikanaji na utoaji wa huduma bora za kukinga na kupambana na UWAKI

Upungufu wa fedha Bajeti ya Serikali kuu na serikali za mitaa haikidhi mahitaji

19

Upungufu wa wataalamu wenye ujuzi wa kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Watoa huduma kwenye vituo vya kutolea huduma za afya na jamii hawana maarifa na ujuzi unaotakiwa kushughulikia mahitaji ya waathirika wa UWAKI wa marika yote

Kutojumuishwa kwa huduma za waathirika wa UWAKI na huduma nyingine Huduma za waathirika wa UWAKI hazikujumuishwa na huduma nyingine za afya na ustawi wa jamii kama vile afya ya uzazi upimaji wa VVU UKIMWI uzazi wa mpango na unasihi

Mfumo duni wa rufaa kwa waliopatwa na UWAKI Ingawa mfumo wa rufaa wa huduma za afya umeimarika kwa huduma nyingine lakini hakuna mfumo sahihi wa rufaa kwa waliopatwa na UWAKI Watoa huduma za afya hawana taarifa sahihi za waliopatwa na UWAKI kuhusu utaratibu wa kupeleka na kupokea wagonjwa kwenye vituo vyao na kwenda kwenye vituo vingine au huduma za mfumo wa jamii polisi kisheria na kadhalika Katika mazingira haya mahitaji ya rufaa kwa waliopatwa na UWAKI hayakidhiwi Waliopatwa na UWAKI hawana taarifa ambazo zitawasaidia kupata huduma na hivyo hushindwa kufanya uamuzi sahihi au kutafuta huduma na matibabu zaidi

Upungufu wa taarifa na takwimu Nchini Tanzania matukio yanayohusu UWAKI hayatolewi taarifa ipasavyo kutokana na sababu nyingi zikiwemo waathirika kusita kutoa ripoti ya matukio kutokana na unyanyapaa na ubaguzi hofu ya kutengwa na jamii aibu na miiko inayohusishwa na UWAKI Matokeo yake ni ukosefu wa taarifa zenye uhakika ambazo zinaweza kutumika kuandaa mpango kwa misingi ya utafi ti utaratibu wa utoaji huduma maendeleo ya kisera na utetezi ufuatiliaji na tathmini na uamuzi wa kiutawala

[b] Huduma za Ustawi wa Jamii Utoaji wa huduma za ustawi wa jamii unakabiliwa na ushirikiano mdogo kati ya watendaji wa sekta mbalimbali wa huduma za afya katika halmashauri Kuna upungufu wa watoa huduma za ustawi wa jamii katika ngazi mbalimbali Hali hii inaathiri wigo wa huduma ya msaada wa kisaikolojia unasihi marekebisho ya tabia na utengamao

20

bull

bull

bull

bull

bull

Kikwazo kingine ni watoa huduma za ustawi wa jamii na wadau wa afya kukosa stadi maalumu za kutosha kuhusu kuzuia na kupambana na UWAKI

Wajibu wa watoa huduma za ustawi wa jamii ni muhimu kwa sababu wanafanya kazi katika ngazi ya jamii ambapo matukio mengi ya UWAKI hutokea Wana majukumu makubwa kama watu wa mstari wa mbele kwenye kuzuia na kupambana na UWAKI Uhusiano kati ya jamii na utoaji wa huduma ndio kipimo cha kiwango cha waathirika wa UWAKI kupata huduma za matibabu na kurejea kwenye jamii ili kuendelea kuishi maisha yenye faraja

[c] Huduma za Jamii Baadhi ya upungufu wa uhusiano kati ya jamii na vituo vya kutoa huduma za afya ni pamoja na

Uelewa duni kuhusu masuala ya UWAKI na uwezeshaji wa jamii katika kuzuia na kupambana na UWAKI Uelewa duni wa mahali pa kupata huduma kwa waliopatwa na UWAKI Upungufu wa huduma za kijamii kwa waathirika ikiwa ni pamoja na mifumo ya kijamii ya kutoa ulinzi na usalama (kwa mfano vituo vya hifadhi ya muda) na huduma za rufaa za kiafya polisi na msaada wa kisheria

[d] Huduma za Msaada wa Kisheria (Polisi na Mahakama) Kuna vikwazo vingi katika kupata msaada wa kisheria ambavyo ni pamoja na

Upungufu wa kupata huduma za polisi na msaada wa kisheria kwa waathirika wa UWAKI

bull Kutokuwepo kwa sheria mahususi dhidi ya UWAKI bull yasiyotosheleza UWAKI kwa vyombo Mafunzo kuhusu

vinavyosimamia sheria bull Kuna sheria zinazokinzana na hivyo kutoa mwanya wa tatizo la

UWAKI kuongezeka Upungufu wa watumishi na fedha kwa ajili ya huduma za polisi na msaada wa kisheria

21

bull

bull

Uhaba wa vituo vya msaada wa kisheria Vituo vingi vinavyotoa msaada wa kisheria kwa sasa vinahudumiwa na asasi zisizo za kiserikali zina bajeti ndogo na zipo zaidi mijini

[e] Huduma ya Elimu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imeingiza UWAKI katika mtaala wa mafunzo ya walimu shule za msingi na sekondari Hata hivyo kuna changamoto nyingi katika kuhusisha shule ili kuzuia na kupambana na UWAKI

bull Walimu hawajapata mafunzo ya kutosha kuhusu UWAKI Uhaba wa maeneo salama na programu za shuleni zinazowapa watoto uwezo wa kuzuia na kupambana na UWAKI na ukatili dhidi ya watoto

bull mfumo unaohusuUhusiano duni kati ya mfumo wa elimu na ulinzi na usalama wa mtoto

22

SEHEMU YA TATU

UMUHIMU NA MALENGO 31 Umuhimu

Utafiti uliofanyika nchini Tanzania umeonyesha viwango vya juu vya UWAKI ambavyo ni kati ya asilimia 30 hadi 50 Viwango hivi havikubaliki na vinasababisha madhara ya kimwili kingono kisaikolojia kwa makundi ya umri wowote hasa watoto na wanawake Matokeo ya UWAKI yanaweza kusababisha vifo kutokana na kujiua maambukizo ya virusi vya UKIMWI au magonjwa na vifo vya wanawake vinavyotokana na uzazi Matokeo mengine ingawa hayasababishi vifo yana madhara ya kimwili kingono na kisaikolojia kwa muda mfupi au mrefu Madhara ya UWAKI ni zaidi ya matokeo ya kiafya na majeraha ambayo ni vigumu kupona UWAKI unakiuka haki za binadamu za waathirika na husababisha matokeo hasi katika amani umoja na kipato cha familia ambayo kwa ujumla huleta madhara kwa maendeleo ya kijamii na kiuchumi

Ingawa Serikali ya Tanzania na asasi za kiraia zimefanya jitihada kubwa za kuzuia na kupambana na UWAKI bado tatizo hili ni changamoto kubwa WAUJ itashughulikia changamoto hizi kwa kushirikiana na wadau wengine hali inayohitaji ushirikiano wa karibu ili kushinda vikwazo vilivyopo ambavyo ni pamoja na upungufu wa fedha na watumishi udhaifu kwenye mfumo wa rufaa na mfumo wa kuunganisha huduma za UWAKI katika huduma zilizopo Changamoto nyingine ni uhaba wa utetezi na takwimu kwa ajili ya uandaaji wa mipango yenye misingi ya utafiti kufanya uamuzi ufuatiliaji na tathmini Hata hivyo serikali imeweka misingi imara kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kama inavyodhihirishwa kwa kuwepo kwa sera mikakati na mipango kazi ya kusaidia masuala ya kijinsia na kupunguza UWAKI

Kutokana na ukubwa wa tatizo hili madhara yake na changamoto zinazohusiana na UWAKI WAUJ imetayarisha Mwongozo huu wa kisera chini ya Sera ya Afya ili kuimarisha juhudi za kupambana na UWAKI na kuhakikisha utoaji wa huduma za kina na zenye ubora katika ngazi zote Mwongozo huu wa kisera utatoa mwelekeo kwa vituo vya huduma za afya kwa ngazi zote kuhusu wajibu na majukumu yao katika utoaji

23

wa huduma za UWAKI Pamoja na haya Mwongozo huu utawezesha utayarishaji wa mwongozo wa matibabu kwa waathirika wa UWAKI Kutokana na uzito wa tatizo hili la UWAKI utayarishaji wa Mwongozo huu ulihusisha na kushirikisha kwa kina wadau mbalimbali ndani na nje ya WAUJ

32 Lengo Kuu

Lengo kuu la Mwongozo huu wa kisera ni kuimarisha uwezo wa WAUJ kuelekeza sekta ya afya na ustawi wa jamii na kujenga uhusiano imara na jamii na wadau mbalimbali katika kuzuia na kupambana na UWAKI

33 Malengo Mahasusi

Mwongozo huu utawezesha yafuatayo

[i] Kuweka mfumo wa kuelekeza utayarishaji wa mwongozo wa matibabu na taratibu za kutoa huduma kwa waathirika wa UWAKI

[ii] Kuelekeza WAUJ namna ya uratibu bora wa utekelezaji wa juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kuelekeza namna ya kuweka mifumo thabiti ya ufuatiliaji tathmini na uwekaji wa kumbukumbu za afua za UWAKI chini ya WAUJ

[iv] Kuelekeza ushirikiano kati ya Wizara jamii na wadau kutoka sekta mbalimbali katika utoaji wa huduma za UWAKI

24

bull

SEHEMU YA NNE

MAELEKEZO YA KISERA

Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii watafanya kazi pamoja na wale wa sekta nyingine hasa kwenye ngazi ya jamii katika kuimarisha ushirikiano na mitandao mingine katika jamii ili kuwasaidia waliopatwa na UWAKI kwa karibu na kuwashirikisha katika kuboresha afya zao na kuzuia UWAKI

WAUJ kwa kushirikiana na wadau wengine imetayarisha Mwongozo huu wa kisera wa UWAKI ili kutoa taarifa malengo na maelekezo kuhusu jitihada za kuzuia kuepusha na kushughulikia madhara ya UWAKI katika sekta ya afya Wadau muhimu ni pamoja na viongozi wa jamii polisi na mahakama Yeyote kati ya wadau hawa anaweza kuwa ni kimbilio la kwanza kwa wahanga wa UWAKI Wote wana wajibu wa kutoa huduma kwa haraka na kwa ufanisi

41 Huduma kwa Waliopatwa na UWAKI

Watoa huduma za afya wanatakiwa kuwahudumia waliopatwa na UWAKI kwa kujali na kuzingatia maadili ya taaluma zao Wajibu huu ni pamoja na kuhakikisha usalama hali ya usiri heshima utu na kutoa huduma bila ubaguzi Aidha kabla ya kutoa huduma inatakiwa kupata ridhaa ya muhusika au mlezi wa mtoto mwenye umri chini ya miaka 18

Kwa kulenga na kuzingatia mahitaji ya watu waliofanyiwa UWAKI watoa huduma za afya kwenye ngazi zote watazingatia na kuongozwa na kanuni zifuatazo

[a] Haki za Binadamu Maadili na Kujali

bull zilenge kurejesha au Usalama Hatua zote zinazochukuliwa kudumisha usalama wao Hali ya Usiri Siri zao pamoja na familia zao zinatakiwa kutunzwa wakati wote Hii ina maana kwamba mtoa huduma ya afya anaweza kutoa taarifa muhimu kwa mtoa huduma mwingine pale ambapo muhusika ameridhia tu

25

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

Heshima na utu Watoa huduma wanatakiwa kuwasikiliza kwa makini maoni mawazo na fikira zao na kuwahudumia kwa heshima Bila ubaguzi Waliopatwa na UWAKI wote ni sawa na wanatakiwa kuhudumiwa kulingana na mahitaji yao pia kupewa nafasi sawa katika kupata huduma Ridhaa arifu Ridhaa ya aliyefanyiwa UWAKI itahitajika kwenye taratibu za utoaji huduma maalumu kama (1) Uchunguzi na tiba (2) Uchunguzi tiba pamoja na ushahidi wa kitaaluma (3) Uchunguzi tiba ushahidi wa kitaaluma pamoja na uchunguzi wa polisi na kisheria

Kanuni zinazohusu watoto bull Kuzingatia na kusimamia mahitaji halisi ya mtoto wakati wote bull Kumpa mtoto faraja bull Kumshirikisha mtoto katika kufanya uamuzi bull Kumshughulikia kila mtoto kwa haki na usawa

Kumsaidia na kumlea mtoto ili akue katika hali ya ujasiri na kujiamini

[b] Haki za Aliyepatwa na UWAKI Watoa huduma wote wanatakiwa kuwa na mtazamo unaozingatia mahitaji ya mtu aliyepatwa na UWAKI na kuheshimu haki zake ambazo ni

bull Kuhudumiwa kwa heshima bila unyanyapaa ubaguzi na kutokuwa na mtazamo wa kumlaumu Kupewa taarifa sahihi na zinazoeleweka ili aweze kutoa ridhaa na siyo kumwambia cha kufanya hali inayoweza kumfanya ajisikie mnyonge

bull Kupewa faragha na hali ya usiri na siyo kumteta au kumwaibisha Kulindwa dhidi ya ubaguzi wa aina yoyote au upendeleo wenye misingi ya kijinsia au sababu nyingine Kupewa nafasi ya kuchagua kuhudumiwa na mtoa huduma mwanamume au mwanamke

bull Kupewa nafasi ya kusindikizwa na ndugu au mlezi wake

26

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

[c] Wajibu wa Mtoa Huduma Mtoa huduma anatarajiwa kuzingatia yafuatayo anapomhudumia mtu aliyepatwa na UWAKI

Kujiweka katika nafasi ya mtu aliyepatwa na UWAKI na kuguswa kuwa mtunza siri kuonyesha upendo na kujali anapomuhudumia Kumpatia taarifa sahihi na kuhakikisha kuwa ridhaa arifu inatolewa kwa huduma inayohitajika Kuzingatia masilahi ya muhusika na kuheshimu matakwa yake wakati wote

bull na kuzuia madhara mengineKuhakikisha ulinzi na usalama wake Kuhifadhi kumbukumbu zake mahali pa usalama na kutunza siri wakati wote

bull huduma kadiriKumpatia rufaa kwenda kwenye ngazi za juu za inavyohitajika kulingana na kiwango cha madhara ya kimwili kihisia na kisaikolojia Aidha inatakiwa kumpatia unasihi kabla ya kumpa rufaa

Kuhusu Watoto bull Kuhakikisha kuwa mzazi au mlezi yupo wakati wote pia

kuhakikisha kwamba mzazi au mlezi siyo tishio kwa mtoto Wakati wote mwandae mtoto kuelewa kinachotarajiwa kutendeka na kuhakikisha anaelewa kitakachotokea Kwa watoto wenye umri chini ya miaka 18 ridhaa ya maandishi inahitajika kutoka kwa mzazi au mlezi

Vigezo vya kupata mchango wa mawazo kutoka kwa Watoto Watoto wa umri wa miaka 16 na zaidi kwa ujumla wana uwezo wa kutosha kufanya uamuzi

bull kuwaWatoto wa umri wa miaka 14 hadi 16 wanatarajiwa wamekomaa vya kutosha kutoa mchango au mawazo yao Watoto wa umri wa miaka 9 hadi 14 wana welewa wa kushiriki kufanya uamuzi lakini ukomavu wa kila mtoto unatakiwa kupimwa kipekee Watoto wa umri chini ya miaka 9 wana haki ya kutoa maoni arifu na kusikilizwa Wanaweza kushiriki katika mchakato wa kufanya uamuzi kwa kiwango fulani lakini hadhari inahitajika ili kuwaepusha na mzigo wa kuwa waamuzi

27

bull lazimaKimsingi inapendekezwa kwamba maoni ya kila mtoto yazingatiwe kulingana na umri wake kiwango cha ukomavu utamaduni mila na hali ya mazingira

[d] Wajibu wa WAUJ katika Ngazi ya Taifa WAUJ inatayarisha sera miongozo na kanuni inadhibiti ubora inafuatilia na kutathmini utekelezaji Vilevile inahakikisha kuna watumishi na fedha za kutosha kwa mipango ya afya pamoja na kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote WAUJ itaendeleza ushirikiano na wadau mbalimbali kitaifa na kimataifa Wizara itafanya yafuatayo katika kuzuia na kupambana na UWAKI

[i] Kuandaa miongozo ya matibabu yenye ubora kwa ajili ya watoto vijana na watu wazima waliopatwa na UWAKI

[ii] Kutafuta na kutenga fedha kwa ajili ya afua za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kuandaa miongozo ya mafunzo yanayohusiana na juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kutoa mafunzo kwa watoa huduma za afya na ustawi wa jamii kuhusu kuzuia na kupambana na UWAKI kwa watoto vijana na watu wazima

[v] Kutoa huduma mseto na rufaa kwa kutumia mfumo uliopo wa utoaji huduma za afya na ustawi wa jamii

[vi] Kuunganisha takwimu zinazohusu UWAKI kwenye Mfumo wa Takwimu na Ufuatiliaji wa Huduma za Afya (MTUHA)

[vii] Kuendeleza utaratibu wa kupeana taarifa na takwimu zinazohusu UWAKI pamoja na kushirikiana na wadau wake wakuu

[viii] Kufanya usimamizi shirikishi ili kuhakikisha kuwa kanuni za haki za binadamu maadili na kujali zinazingatiwa

[e] Wajibu wa Vituo vya Huduma za Afya Vituo vya kutoa huduma za afya vinajumuisha zahanati vituo vya afya na hospitali zinazomilikiwa na sekta ya umma na binafsi Vituo vyote vya kutoa huduma katika ngazi zote vina Kamati ya Uongozi ya Kituo na Timu ya Usimamizi

28

Vituo vya huduma za afya vitafanya yafuatayo [i] Kuhakikisha kwamba Timu za Usimamizi wa Huduma za Afya

zinatenga fedha za kutekeleza mikakati na mipango kazi ya mwaka ili kuviwezesha vituo kutoa huduma bora kwa waliopatwa na UWAKI

[ii] Kuunganisha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI na zile zilizopo kwenye vituo vya huduma za afya na kuhakikisha mpangilio mzuri wa rufaa za ndani na nje ya kituo zinakidhi mahitaji ya watoto vijana na watu wazima kwa usawa na haki

[iii] Kuhakikisha watoa huduma ya afya na ustawi wa jamii wanapatiwa mafunzo ya kutoa huduma toshelezi kwa watoto vijana na watu wazima waliopatwa na UWAKI

[iv] Kuanzisha utaratibu bora wa kukusanya takwimu na taarifa kuhusu huduma kwa waliopatwa na UWAKI na kutunza kumbukumbu kwa usahihi na kutoa taarifa kwa ajili ya matumizi ya kituo na wadau

[v] Kufanya kazi kwa ushirikiano wa karibu na kamati ya afya ya kituo polisi mahakama na taasisi za elimu ili kukuza ushirikiano kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye jamii

[f ] Wajibu wa Watoa Huduma za Afya Watoa huduma za afya ni pamoja na watunza kumbukumbu za afya tabibu (tabibu msaidizi ofisa tabibu madaktari wasaidizi madaktari na madaktari bingwa) wauguzi wakunga maofisa wauguzi wasaidizi maofisa wauuguzi) wafanyakazi wa maabara wafamasia na maofi sa ustawi wa jamii Watoa huduma hawa wanatakiwa kuzingatia yafuatayo

[i] Kuelewa kikamilifu na kuzingatia kanuni za miongozo ya haki za binadamu maadili ya taaluma na kuonyesha upendo na kujali wakati wa kumhudumia aliyepatwa na UWAKI

[ii] Kuhakikisha upatikanaji wa mahitaji muhimu na utoaji wa huduma toshelezi na zenye ubora kwa waliopatwa na UWAKI katika kituo cha kutoa huduma za afya na kwenye jamii

[iii] Kuwatambua waliopatwa na UWAKI kati ya wagonjwa wa nje katika kituo na kuhakikisha wanapata matibabu na rufaa kwa haraka

29

[iv] Kuhakikisha utoaji wa huduma toshelezi kwa waliopatwa na UWAKI (watu wazima vijana na watoto) Huduma hizi ni pamoja na huduma ya matibabu kutunza ushahidi unasihi na rufaa ndani ya mfumo wa afya na pia rufaa kwenda kwenye sekta nyingine

[v] Kuhakikisha vielelezo vya upelelezi vinakusanywa na kuhifadhiwa ipasavyo ili kutunza ushahidi

[vi] Kuchukua takwimu na taarifa kamili kuhusu aliyepatwa na UWAKI na kuhakikisha zimehifadhiwa kwa siri na usalama

[vii] Kujenga ushirikiano na jamii pamoja na wadau wengine

42 Wajibu wa Jamii

Wadau muhimu katika jamii ni Kamati ya Huduma za Jamii Kamati ya Ulinzi na Usalama Kamati ya Zahanati Mashirika ya Dini Kamati ya Kijiji ya Afya wahudumu wa afya katika jamii wakunga wa tiba asili waganga wa tiba asili na mbadala viongozi wa jamii vikundi vya wanawake na wakuu wa kaya

Jamii itafanya yafuatayo kwa waliopatwa na UWAKI [i] Kupanga na kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya kuzuia

na kutoa huduma bora kulingana na mpango wa mwaka wa zahanati

[ii] Kuhakikisha upatikanaji wa huduma toshelezi pamoja na usalama wao kupatiwa mahitaji ya msingi msaada wa kisaikolojia kupewa rufaa kwenda polisi vyombo vya sheria na watoa huduma wengine Vilevile wanajamii wana wajibu wa kutoa ushahidi mahakamani na kuwasaidia wahusika kuunganishwa na familia zao na jamii

[iii] Kuhakikisha kuwepo kwa vituo vya hifadhi ya muda vya kutosha kwenye jamii

[iv] Kujenga welewa na kuiwezesha jamii kuzuia na kupambana na UWAKI kwa kutetea misingi ya haki za binadamu usawa wa kijinsia haki za vijana na watoto na kutovumilia UWAKI

43 Msaada wa Kisheria kwa waliopatwa na UWAKI Watoa huduma wa afya na ustawi wa jamii baada ya kupata ridhaa kutoka kwa muhusika watampa rufaa ya kwenda sekta nyingine muhimu na kwa wadau mbalimbali kama vile polisi vituo vya msaada wa kisheria kwa ajili ya kupata huduma maalum Watoa huduma wanawajibika

30

kutoa taarifa za kutosha kuhusu masharti ya kisheria ya kutoa taarifa ya matukio ya UWAKI na kwa wakati unaofaa

Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wanawajibika kutoa ushauri kwa waliopatwa na UWAKI (watoto vijana na watu wazima) kuhusu taratibu za mahakama msaada wa ulinzi msaada wa kisheria na taratibu za polisi kama ifuatavyo

[a] Ushahidi wa Kimahakama Huduma kwa muhusika zitalenga mahitaji yake kuheshimu haki yake ya hali ya usiri kupewa taarifa za kutosha zenye kueleweka na sahihi hivyo kuhakikisha anatoa ridhaa arifu kwa hatua na zitakazofuata

[i] WAUJ itahakikisha kupatikana na kuzingatiwa kwa viwango vilivyowekwa kwa ngazi zote katika kuchukua historia kamili ya muhusika kupima na kufanya uchunguzi kuchukua vielelezo vya ushahidi kujaza fomu zinazokubalika kisheria kwa kuweka kumbukumbu ambazo ni halali kama ushahidi mahakamani

[ii] Timu ya Afya ya Usimamizi ya Kituo cha Huduma za Afya baada ya kupata ridhaa ya aliyepatwa na UWAKI itapanga kutenga na kutoa rasilimali za kutosha kuhakikisha nyaraka sahihi zimetayarishwa na kuhifadhiwa na vielelezo vya ushahidi wa mahakama vimepelekwa kwenda maabara ya serikali na kufuatilia majibu

[iii] Watoa huduma wa ngazi zote watahakikisha ukusanyaji sahihi wa vielelezo vya ushahidi na kujaza fomu zinazohusika pamoja na kujaza kwa ukamilifu Fomu ya Polisi Namba Tatu (PF3) na kuthibitisha kwamba muhusika ana taarifa na anaelewa utaratibu

[b] Ulinzi na Msaada kwa Waliopatwa na UWAKI Waliopatwa na UWAKI wana haki ya kulindwa dhidi ya mtuhumiwa pamoja na kupewa mahitaji ya msingi (kwa mfano chakula nguo usafi ri nk) kupewa huduma za polisi (mfano kusindikizwa ulinzi) na kupewa msaada wa kisheria

[i] WAUJ itahakikisha kwamba vituo vya huduma za afya na ustawi wa jamii na watoa huduma wa ngazi zote wana taarifa sahihi kuhusu haki za ulinzi na msaada kwa waliopatwa na UWAKI

31

[ii] Timu za Afya za Usimamizi wa vituo vya huduma za afya katika ngazi zote zitapanga kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya ulinzi na msaada kwa waliopatwa na UWAKI Kama Muhusika ni mtoto atasindikizwa na ofi sa ustawi wa jamii pamoja na mzazi au mlezi ikiwa mzazi au mlezi huyo hahusiki na uhalifu

[iii] Watoa huduma wa afya watatoa taarifa kwa muhusika au mzazi mlezi (kama muhusika ni mtoto chini ya miaka 18) kuhusu msaada atakaopata kwenye kituo cha huduma za afya polisi na msaada wa kisheria juu ya haki na ulinzi kwa mujibu wa sheria za Tanzania

[c] Wajibu wa Watoa Huduma za Afya na Ustawi wa Jamii katika Taratibu za Kimahakama

Watoa huduma za afya kwenye ngazi zote wanatakiwa kuhakikisha kwamba waliopatwa na UWAKI wakiwemo watu wazima vijana na watoto pamoja na walezi wao wana taarifa muhimu zinazohusu masuala ya kisheria ambayo yako nje ya huduma za tiba

[i] WAUJ itahakikisha kwamba vituo vya huduma za afya na watoa huduma wanapata ujuzi na wanajua wajibu wao kuhusu namna ya kutoa ushahidi mahakamani ili kuwasaidia wahusika

[ii] Timu za Usimamizi za vituo vya huduma za afya kwenye ngazi zote zitahakikisha kwamba watoa huduma wanaotambulika kisheria na wana welewa sahihi wa uandaaji wa nyaraka muhimu taratibu za kesi mahakamani na viwango vya ushahidi

[iii] Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii kwenye ngazi zote watahakikisha kwamba muhusika anapata taarifa za kutosha kuhusu ratiba na taratibu za upelelezi na umuhimu wa hatua za kisheria

44 Huduma ya Unasihi Kisaikolojia na Kijamii kwa Waliopatwa na UWAKI

Watu waliopatwa na janga la UWAKI watapewa msaada wa unasihi kisaikolojia na kijamii kwa upendo na kujali kuanzia wakati wa tukio hadi watakapojumuika tena kwenye familia na jamii Katika ngazi ya jamii msaada huo utatolewa na Maofisa wa Ustawi wa Jamii Maofi sa hawa watatoa msaada wa kisaikolojia na unasihi wakishirikiana na

32

wadau wengine waliopata mafunzo kutoka asasi za kiraia asasi za kidini na wahudumu wa afya katika jamii

[i] WAUJ itahakikisha utoaji wa msaada wa unasihi kisaikolojia na kijamii kwenye ngazi zote pamoja na kuhakikisha kuwepo kwa ulinzi na usalama (kwa mfano kituo cha hifadhi ya muda)

[ii] Timu za Usimamizi wa Huduma za Afya kwenye ngazi zote zitapanga na kutenga rasiilimali za kutosha pamoja na watoa huduma kwa ajili ya kutoa msaada wa kisaikolojia na kijamii rufaa na kujenga ushirikiano na wadau wengine ili kuwaunganisha wahusika kwenye familia na jamii

[iii] Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii watahakikisha kwamba wanatoa unasihi wa kutosha pamoja na kutoa huduma rafi ki kwa watoto kutoa rufaa za kwenda na kurudi kwenye huduma za tiba vituo vya hifadhi ya muda na kuwezesha kuwaunganisha kwenye familia na jamii

45 Mfumo wa Usimamizi Uratibu na Ushirikiano Utoaji wa huduma bora kwa waliopatwa na UWAKI unahitaji usimamizi na uratibu wa mara kwa mara kwa watoa huduma za afya wa kada mbalimbali katika ngazi zote Vilevile kuratibu shughuli na kutoa rufaa kwenye vituo vya ngazi ya taifa mikoa halmashauri na jamii Pia kunahitajika utaratibu wa kujenga ushirikiano kati ya sekta ya afya na wadau wa sekta nyingine

[a] Usimamizi wa Huduma za Kuzuia na Kupambana na UWAKI [i] Usimamizi wa huduma utakuwa ni sehemu ya mikakati na

mipango ya mwaka kwa vituo vya huduma za afya kwenye ngazi zote

[ii] Wasimamizi katika ngazi zote watafanya usimamizi shirikishi ili kuhakikisha utoaji wa huduma bora

[b] Uratibu wa Huduma za Kuzuia na Kupambana na UWAKI [i] Wasimamizi wa huduma za afya kwenye ngazi zote watabaini na

kuratibu afua na shughuli zinazotakiwa kutekelezwa na wadau mbalimbali kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI

33

[ii] Wasimamizi wa huduma za afya katika ngazi zote watahakikisha kuwa wanapanga utekelezaji wa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[c] Taratibu za Ushirikiano katika Kutoa Huduma za UWAKI Taratibu za ushirikiano zitahusisha ngazi mbalimbali za utoaji wa huduma za afya kulingana na hadhi ya kituo ikihusisha kada mbalimbali za afya katika serikali na sekta binafsi

[i] Wasimamizi wa huduma za afya watabaini na kuanzisha ushirikiano kwa ajili ya kutoa huduma bora na toshelezi kwa waliofanyiwa UWAKI

[ii] Wasimamizi wa huduma za afya watapanga na kutenga rasiilimali za kutosha kwa ajili ya kuendeleza ushirikiano na wadau muhimu pamoja na kujenga mfumo imara wa rufaa wa kupeleka na kuwarejesha wahusika

[iii] WAUJ itatayarisha na kusambaza orodha ya vituo vya rufaa kufuatana na aina ya huduma maalumu zinazotolewa

46 Utetezi na Mawasiliano ya Kubadili Tabia

Utetezi na mawasiliano ya kubadili tabia utakuwa ni sehemu ya mipango na mikakati ya kila mwaka katika ngazi zote Ngazi zote zitahamasisha kutenga na kutoa rasilimali za kutosha kwa ajili ya kutekeleza mipango na mikakati ya kila mwaka Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii watatambua na kuwezesha juhudi za jamii za kuhakikisha ushirikishwaji na kuhamasisha jamii kutumia rasilimali zao ili kupambana na UWAKI Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii wanatakiwa kupanga na kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya elimu ya afya kwa lengo la mawasiliano ya kubadili tabia

[a] Utetezi wa Kuzuia na kupambana na UWAKI kwa kushirikiana na wadau

Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii na kamati zinazohusika katika ngazi zote za WAUJ watafanya yafuatayo

[i] Kupanga mikakati ya kuongeza welewa na upeo kuhusu vyanzo vya UWAKI kubaini namna ya kuzuia na kubuni njia za kupambana na UWAKI

34

[ii] Kutetea na kuhamasisha uchangiaji zaidi wa raslimali kutenga kasma kwenye bajeti katika Mfumo wa Matumizi ya Muda wa Kati na katika Mpango Kabambe wa Afya wa Halmashauri kwa ajili ya kinga na huduma za kupambana na UWAKI

[iii] Kutetea utekelezaji wa sera na sheria zenye kuunga mkono juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kuhusisha vyombo vya habari katika kutekeleza shughuli za utetezi na ushawishi

[b] Ushirikiano wa wadau kwenye mawasiliano ya kubadili tabia dhidi ya UWAKI

Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii na kamati zao kwenye ngazi zote watafanya yafuatayo

[i] Kutambua mahitaji na kupanga mawasiliano ya kubadili tabia kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kwa ufanisi

[ii] Kuhusisha vyombo vya habari katika kupanga kutekeleza na kufuatilia shughuli za mawasiliano ya kubadili tabia

47 Ufuatiliaji na Tathmini ya Huduma za Kuzuia na Kupambana na UWAKI

Ufuatiliaji na tathmini ya huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI ni muhimu katika kupima ubora wa matokeo ya huduma zinazohusiana na UWAKI Ufuatiliaji na tathmini unahitaji kuchagua vigezo vya kupima maendeleo ya huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kukusanya takwimu kuchambua kutafsiri kutayarisha na kuwasilisha ripoti kwa wadau muhimu Ufuatiliaji na Tathmini unasaidia kutambua maeneo yanayohitaji kufanyiwa utafi ti

[i] Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii katika ngazi zote watatumia vigezo vilivyokubalika kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Takwimu za UWAKI zitaoanishwa na kuunganishwa kwenye MTUHA

[iii] Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii kwenye ngazi zote watahakikisha wanakusanya taarifa na takwimu zinazohusiana na UWAKI kwa kutumia fomu maalumu kwa ajili ya kufuatilia na

35

kutathimini usimamizi na kuwasilisha ripoti za utekelezaji kwa wadau kufuatana na utaratibu maalumu wa kushirikiana katika kutoa taarifa

[iv] Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii katika ngazi zote watafanya utafiti ili kuboresha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

36

SEHEMU YA TANO

MUUNDO WA UTENDAJI KATIKA KUZUIA NA KUPAMBANA NA UWAKI

Wajibu wa WAUJ ni kuandaa kusimamia na kuratibu utekelezaji wa Mwongozo huu wa sera pamoja na sheria kanuni na viwango vya huduma dhidi ya UWAKI katika ngazi zote nchini Mfumo wa utendaji kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI unahusisha ngazi tatu taifa mkoa na halmashauri

51 Ngazi ya Taifa

Katika ngazi ya Taifa Mganga Mkuu wa Serikali ndiye mwenye wajibu wa uongozi wa kitaaluma kwenye utekelezaji wa mipango ya kuzuia na kupambana na UWAKI Ofisi ya Mganga Mkuu ina idara nne ambazo ni Idara ya Kinga Idara ya Tiba Idara ya Mafunzo na Idara ya Ubora na viwango vya Huduma Huduma za Ustawi wa Jamii zipo chini ya Kamishna wa Ustawi wa Jamii

Kitengo cha Afya ya Uzazi na Mtoto ambacho kinasimamiwa na Idara ya Kinga ndicho kinachosimamia utekelezaji wa Mwongozo wa sera ya UWAKI Majukumu ya ofisi ya Mganga Mkuu wa Serikali Idara ya Kinga na Sehemu ya Afya ya Uzazi na Mtoto ni kama ifuatavyo

[a] Ofisi ya Mganga Mkuu wa Serikali Ofi si ya Mganga Mkuu wa Serikali inaratibu inasimamia na kuimarisha huduma za uboreshaji wa Afya Kinga Ubora na viwango vya huduma Tiba ya magonjwa na Utengamao Aidha ofisi inasimamia mafunzo upatikanaji wa wataalamu wa afya katika sekta ya Afya na Ustawi wa Jamii

Ofisi ya Mganga Mkuu wa Serikali kwa kushirikiana na Mabaraza na Vyama vya Kitaaluma vilivyo chini ya sekta ya Afya na Ustawi wa Jamii inasimamia maadili ya wataalamu wa afya kwa kupitia Mabaraza yao ya Kitaaluma

37

bull

bull

[I] Idara ya Kinga Idara hii inasimamia sehemu tano Afya ya Uzazi na Mtoto Epidemiolojia na Udhibiti wa Magonjwa Afya na Usafi wa Mazingira Elimu ya Afya na Lishe Kuna programu na miradi mbalimbali chini ya idara baadhi yake zinahusiana kwa ukaribu na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Programu hizi ni pamoja na Mpango wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI Programu ya Kuzuia Maambukizo ya VVU Kutoka kwa Mama Kwenda kwa Mtoto Programu ya Huduma ya Afya Kwenye Jamii Programuya Afya Shuleni Program ya Uzazi Salama Programu ya Afya ya Mtoto Programu ya Afya ya Uzazi kwa Vijana na Programu ya Uzazi wa Mpango

Idara itafanya yafuatayo Kuhakikisha afua za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa kwenye programu na miradi ya idara na sehemu Kuhakikisha kwamba afua za kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na utetezi na mawasiliano ya kubadili tabia zinajumuishwa kwenye miongozo ya elimu ya afya na ustawi wa jamii

Sehemu ya Huduma za Afya ya Uzazi na Mtoto Sehemu ya Huduma ya Afya ya Uzazi na Mtoto ndiyo inayohusika katika kuzuia na kupambana na UWAKI na majukumu yake ni

[i] Kuandaa mwongozo wa huduma za kina kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kutayarisha mitaala ya mafunzo kwa ajili ya wasimamizi na watoa huduma wa ngazi zote

[ii] Kuratibu kufuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI katika ngazi zote

[iii] Kuwasiliana na wizara nyingine na mashirika ya kitaifa na kimataifa yenye kuhusiana na mipango ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kuangalia upya orodha ya vifaa muhimu kwa utoaji wa huduma bora kwa wahanga wa UWAKI kwa ngazi zote za utoaji huduma

[v] Kuongoza kikundi kazi cha wanataaluma cha taifa pamoja na vikundikazi tanzu vya wanataaluma vinavyosaidia mtazamo mpana wa sekta ya afya na nguvu kazi za kusimamia utekelezaji wa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

38

[II] Idara ya Tiba Idara hii inasimamia huduma za Hospitali za Taifa Mikoa Wilaya Vituo vya Afya na Zahanati za umma na binafsi Uchunguzi Kinywa na Meno Magonjwa Yasiyo ya Kuambukiza na Tiba Asili Idara hii inafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha kwamba vituo vya kutoa huduma za afya katika ngazi zote vinatenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya huduma bora za matibabu kwa wahanga wa UWAKI pamoja na msaada wa kisaikolojia kijamii na rufaa

[ii] Kuhakikisha kwamba vituo vya kutoa huduma za afya kwenye ngazi zote vinapewa vifaa muhimu na vya kutosha kwa ajili ya uchunguzi wa afya vipimo vya maabara kubaini ugonjwa ushahidi wa kimahakama matibabu kutunza kumbukumbu kutoa taarifa na rufaa

[iii] Kuhakikisha kuwa watoa huduma za afya wanazingatia viwango vya kitaalamu na maadili na kuonyesha upendo na kuwajali wahanga wa UWAKI

[III] Idara ya Ubora wa huduma Idara hii ina sehemu tano ikijumuisha huduma za Uuguzi Dharura na Maafa Ukaguzi Dawa na Utafiti na Uhusiano wa Kimataifa Idara hii inafanya yafuatayo

[i] Inasimamia huduma za dawa vifaa tiba na vitendanishi [ii] Inasimamia huduma za Uuguzi na Ukunga [iii] Inasimamia na kufanya ukaguzi wa ubora wa huduma za afya

nchini ili kuziboresha [iv] Inasimamia kazi za utafiti na uhusiano wa kimataifa katika sekta ya

afya na ustawi wa jamii na [v] Inaandaa miongozo kanuni na taratibu zinazohusu huduma za

dharura

[IV] Idara ya Mafunzo Idara ya Mafunzo inasimamia Mipango ya Mafunzo ya Watumishi Mafunzo Endelevu kwa Watumishi Mafunzo kwa Wauguzi na Sayansi Shirikishi za Afya

39

Idara itafanya yafuatayo [i] Kutambua mahitaji ya kitaifa ya mafunzo ya afya na mafunzo ya

kuendeleza taaluma ya watumishi wanaohusika na kutoa huduma kwa waliopatwa na UWAKI

[ii] Kutayarisha mpango wa mafunzo ya muda mfupi na mrefu kwa ajili ya watumishi mbalimbali kwenye ngazi zote zinazotoa huduma kwa waliopatwa na UWAKI

[b] Idara ya Ustawi wa Jamii Idara ya Ustawi wa Jamii imegawanyika katika sehemu tano Huduma kwa Familia na Ustawi wa Mtoto katika malezi makuzi na maendeleo ya awali Huduma za marekebisho ya tabia na haki za mtoto kisheria Huduma kwa wazee na watu wenye ulemavu Mafunzo kwa watumishi na Kitengo cha takwimu Idara itafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha idara inatoa huduma rafiki na bora za ustawi wa jamii kwa wahanga wa UWAKI kwenye vituo vyote vya kutoa huduma za afya na ustawi wa jamii na kuvisimamia

[ii] Kuhakikisha idara inatoa mafunzo kwa watoa huduma wote [iii] Kushauri katika kurekebisha au kufutwa kwa sheria zisizosaidia

utoaji wa huduma bora za ustawi wa jamii na kushawishi kutunga sheria mpya

[c] Idara ya Sera na Mipango Idara hii inasimamia sehemu za Bajeti Sera Mipango Taarifa za Afya na Ufuatiliaji na Tathmini Idara itafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa kwenye mipango na bajeti ya Serikali

[ii] Kuhakikisha kuwa viashirio vya huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI vinaingizwa kwenye MTUHA

[d] Ushirikiano na wadau muhimu katika ldquoKutokomeza UWAKIrdquo

[i] WAUJ kupitia Sehemu ya Afya ya Uzazi na Mtoto kwa kushirikiana na wadau wengine watatetea ulinzi wa haki za waliopatwa na UWAKI na kutokomezwa kwa ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake watoto vijana na wanaume

40

[ii] WAUJ kwa kushirikiana na wadau wengine itaandaa mikakati ya kuhakikisha kwamba aina zote za ubaguzi unyonyaji ukandamizaji na unyanyasaji dhidi ya wanawake watoto vijana na wanaume zinatokomezwa

[iii] WAUJ kwa kushirikiana na wadau wengine watapitia sheria sera na kanuni ambazo zinakinzana na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Watatetea haki za jinsia na afya ya uzazi ikiwa ni pamoja na ulinzi wa mama na watoto dhidi ya UWAKI ukatili wa kifamilia na ukatili dhidi ya watoto na kutetea masuala haya yaingizwe kwenye Katiba ya Tanzania

52 Ngazi ya Mkoa

Utekelezaji wa mapambano dhidi ya UWAKI kwenye mikoa utasimamiwa na Timu ya Usimamizi wa Huduma za Afya Mkoa chini ya Katibu Tawala wa Mkoa na Timu ya Usimamizi ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa chini ya Bodi ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa na watafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa kwenye mpango mkakati wa miaka mitano wa mkoa na hospitali na mpango kazi wa kila mwaka

[ii] Kuhakikisha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa na kuendeshwa pamoja na huduma zilizopo kuwe na watoa huduma wa kutosha pamoja na mafunzo kwa wasimamizi na watoa huduma kwenye ngazi ya mkoa

[iii] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya kufuatilia kufanya tathmini usimamizi na kutoa ripoti za utendaji wa juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya mkoa

[iv] Kutoa msaada wa kitaalamu kwa Halmashauri na Timu za Afya za Halmashauri katika kupanga na kutekeleza huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[v] Kuhakikisha bajeti ya kutosha inatengwa kwenye mpango kabambe wa halmashauri wa afya kwa ajili ya kuiwezesha jamii kuzuia na kupambana na UWAKI

[vi] Kufanya utafiti ili kukuza uelewa kuhusu huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

41

53 Halmashauri za Jiji Manispaa na Wilaya

Bodi ya Huduma za Afya ya Halmashauri ni chombo cha halmashauri ya jiji manispaa na wilaya chenye jukumu la kutoa huduma bora za afya ustawi wa jamii pamoja na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI katika maeneo yao Mipango ya utekelezaji wa huduma za afya kwenye jiji manispaa na wilaya unasimamiwa na Timu ya Usimamizi wa Afya ya Halmashauri Hospitali ya kwanza ya rufaa katika Halmashauri ni Hospitali ya Wilaya au Hospitali Teule ya wilaya

Hospitali Teule ya Wilaya huendeshwa na Timu ya Usimamizi ya Hospitali na husimamiwa na Bodi ya Hospitali Vituo vya kutoa huduma za afya vina kamati za afya na huendeshwa na kamati za usimamizi wa kituo

(a) Ngazi ya Halmashauri Timu ya Halmashauri ya Usimamizi wa Afya itafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha kwamba mipango ya kila mwaka inatengewa fedha za kutosha kwa utekelezaji wa huduma bora za kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaunganishwa na huduma zilizopo kwenye ngazi zote

[iii] Kuhakikisha kwamba kunakuwa na watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wa kutosha na kuendelea kutoa mafunzo kwa watoa huduma wa kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kutetea kuhamasisha na kutenga fedha za kutosha kwa ajili ya kuiwezesha jamii kushiriki kwenye programu ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[v] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya ufuatiliaji tathmini usimamizi shirikishi na kuandaa taarifa za utekelezaji wa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[b] Ngazi ya Kata Kamati ya Afya ya Kata Kamati ya Afya ya Kituo cha Afya na Timu ya Usimamizi wa Kituo cha Afya zitasimamia utoaji wa huduma bora za afya katika kata pamoja na vijiji

42

Kamati na timu zitafanya yafuatayo [i] Kuhakikisha kwamba kila mwaka wanapanga na kutenga rasilimali

za kutosha kwa utekelezaji wa huduma kwa waliopatwa na UWAKI na afua za kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinajumuishwa na huduma zilizopo kwenye kituo cha afya na zahanati

[iii] Kuhakikisha kwamba kuna watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wa kutosha na kuendelea kutoa mafunzo kwa watoa huduma wanaohusika na kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye vituo vya afya na zahanati

[iv] Kutetea kuhamasisha na kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya kuiwezesha jamii kushiriki kwenye kuzuia na kupambana na UWAKI katika Mpango wa Afya wa Kata

[v] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya kufanya ufuatiliaji tathmini na kuandaa taarifa za utekelezaji wa kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kuziwasilisha kwa matumizi katika ngazi zote

[c] Ngazi ya Kijiji Kamati ya Zahanati na Timu ya Usimamizi wa Zahanati zina wajibu wa kutoa huduma za afya kwa wakazi wa eneo la kijiji au vijiji vyao

Kamati na timu zitafanya yafuatayo [i] Kuhakikisha kwamba kila mwaka wanapanga na kutenga raslimali

za kutosha kwa utekelezaji wa huduma kwa waliopatwa na UWAKI na afua za kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinajumuishwa na huduma zilizopo kwenye zahanati

[iii] Kuhakikisha kwamba kuna watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wa kutosha na kuendelea kutoa mafunzo kwa watoa huduma wanaohusika na kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye zahanati

[iv] Kutetea kuhamasisha na kutenga raslimali za kutosha kwa ajili ya kuiwezesha jamii kushiriki kwenye kuzuia na kupambana na UWAKI katika Mpango wa Afya wa Kijiji

43

[v] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya kufanya ufuatiliaji tathmini na kuandaa taarifa za utekelezaji wa kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kuziwasilisha kwa matumizi katika ngazi ya Kata na Wilaya

(d) Ngazi ya Kaya Kila mtu kwenye kaya atahusika katika kuzuia na kupambana na UWAKI na kutoa taarifa ya matukio ya UWAKI kwa mamlaka zinazohusika Pia kila mtu awajibike kwenye kubadili mtazamo na kuepuka mazoea na tabia zinazopelekea UWAKI

44

SEHEMU YA SITA

UFUATILIAJI TATHMINI NA UTAFITI

Ufuatiliaji na tathmini ya afua za kuzuia na kupambana na UWAKI utatekelezwa kwenye ngazi ya taifa mkoa halmashauri na vituo vya huduma za afya Viashirio ambavyo vimependekezwa kwenye ngazi hizi vimeonyeshwa kwenye Kiambatisho

61 Ngazi ya Taifa

Sehemu ya Afya ya Uzazi na Mtoto itaratibu itafuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote nchini

Sehemu hii itafanya yafuatayo [i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu zinazohusu

afua za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka Timu ya Usimamizi wa Afya ya Mkoa na kuzitumia katika kupanga na kuboresha mipango ya kuzuia na kupambana na UWAKI kwa kushirikiana na wadau

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma wa kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti [iv] Kuweka tathmini na ufuatiliaji wa huduma za kuzuia na kupambana

na UWAKI kwenye orodhahakiki ya usimamizi ya WAUJ

62 Ngazi ya Mkoa

Timu ya Usimamizi wa Afya ya Mkoa itakuwa na jukumu la kuratibu kufuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote za mkoa na itafanya yafuatayo

[i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu kuhusu afua za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka hospitali ya rufaa ya mkoa na Timu za Usimamizi wa Afya za Halmashauri kwa ajili ya matumizi yao na kuwasilisha ngazi ya Taifa

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma katika kuzuia na kupambana na UWAKI

45

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti

63 Ngazi ya Wilaya

Timu ya Usimamizi wa Afya ya Halmashauri itakuwa na jukumu la kuratibu kufuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote za wilaya na itafanya yafuatayo

[i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu kuhusu afua za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka hospitali ya wilaya na vituo vya kutolea huduma za afya na Timu za Usimamizi wa Afya za Halmashauri kwa ajili ya matumizi yao na kuwasilisha ngazi ya mkoa

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma katika kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti

64 Ngazi ya Kituo cha kutolea huduma

Timu ya Usimamizi wa Kituo cha Kutolea Huduma za Afya itaratibu itafuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye kituo na kufanya yafuatayo

[i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu kuhusu jitihada za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka kwenye zahanati na jamii na kuwasilisha wilayaniHalmashauri

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma katika kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti

46

KIAMBATISHO

VIASHIRIO VYA MPANGO WA KUZUIA NA KUPAMBANA NA UWAKI KATIKA SEKTA YA AFYA

[a] Ngazi ya Taifa

[i] Idadi ya watu waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya mikoa kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kimkoa

[iii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI kimkoa

[iv] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye uthibitisho kuwa vinatumia Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupamba na UWAKI kimkoa

[v] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye vifaa muhimu kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kimkoa

[b] Ngazi Ya Mkoa

[i] Idadi ya watu waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya wilayahalmashauri kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

[iii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

[iv] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye ushahidi wa kuandikwa na kutumia Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

[v] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye vifaa muhimu kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

47

[c] Ngazi ya Wilaya

[i] Idadi ya watu waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya vituo vya kutolea huduma kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwa vituo vya kutolea huduma

[iii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI

[iv] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye ushahidi wa kuandikwa na kutumia Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI

[v] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye vifaa muhimu kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[d] Ngazi ya Kituo

[i] Idadi ya wahusika waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye kituo cha huduma za afya kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Idadi ya watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Idadi ya watoa huduma walioelekezwa kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI

48

49

50

51

bullbullbull bullbull bullbullbull

~USAID ~f~ ~ KLITOKA KWA WKTJ Delivering as One WAIIAAEKANI

HEALTH POLICY middotmiddotmiddotoINITIATIVE

ltlt ASCII85EncodePages false AllowTransparency false AutoPositionEPSFiles true AutoRotatePages None Binding Left CalGrayProfile (Dot Gain 20) CalRGBProfile (sRGB IEC61966-21) CalCMYKProfile (US Web Coated 050SWOP051 v2) sRGBProfile (sRGB IEC61966-21) CannotEmbedFontPolicy Error CompatibilityLevel 14 CompressObjects Tags CompressPages true ConvertImagesToIndexed true PassThroughJPEGImages true CreateJobTicket false DefaultRenderingIntent Default DetectBlends true DetectCurves 00000 ColorConversionStrategy CMYK DoThumbnails false EmbedAllFonts true EmbedOpenType false ParseICCProfilesInComments true EmbedJobOptions true DSCReportingLevel 0 EmitDSCWarnings false EndPage -1 ImageMemory 1048576 LockDistillerParams false MaxSubsetPct 100 Optimize true OPM 1 ParseDSCComments true ParseDSCCommentsForDocInfo true PreserveCopyPage true PreserveDICMYKValues true PreserveEPSInfo true PreserveFlatness true PreserveHalftoneInfo false PreserveOPIComments true PreserveOverprintSettings true StartPage 1 SubsetFonts true TransferFunctionInfo Apply UCRandBGInfo Preserve UsePrologue false ColorSettingsFile () AlwaysEmbed [ true ] NeverEmbed [ true ] AntiAliasColorImages false CropColorImages true ColorImageMinResolution 300 ColorImageMinResolutionPolicy OK DownsampleColorImages true ColorImageDownsampleType Bicubic ColorImageResolution 300 ColorImageDepth -1 ColorImageMinDownsampleDepth 1 ColorImageDownsampleThreshold 150000 EncodeColorImages true ColorImageFilter DCTEncode AutoFilterColorImages true ColorImageAutoFilterStrategy JPEG ColorACSImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt ColorImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt JPEG2000ColorACSImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt JPEG2000ColorImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt AntiAliasGrayImages false CropGrayImages true GrayImageMinResolution 300 GrayImageMinResolutionPolicy OK DownsampleGrayImages true GrayImageDownsampleType Bicubic GrayImageResolution 300 GrayImageDepth -1 GrayImageMinDownsampleDepth 2 GrayImageDownsampleThreshold 150000 EncodeGrayImages true GrayImageFilter DCTEncode AutoFilterGrayImages true GrayImageAutoFilterStrategy JPEG GrayACSImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt GrayImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt JPEG2000GrayACSImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt JPEG2000GrayImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt AntiAliasMonoImages false CropMonoImages true MonoImageMinResolution 1200 MonoImageMinResolutionPolicy OK DownsampleMonoImages true MonoImageDownsampleType Bicubic MonoImageResolution 1200 MonoImageDepth -1 MonoImageDownsampleThreshold 150000 EncodeMonoImages true MonoImageFilter CCITTFaxEncode MonoImageDict ltlt K -1 gtgt AllowPSXObjects false CheckCompliance [ None ] PDFX1aCheck false PDFX3Check false PDFXCompliantPDFOnly false PDFXNoTrimBoxError true PDFXTrimBoxToMediaBoxOffset [ 000000 000000 000000 000000 ] PDFXSetBleedBoxToMediaBox true PDFXBleedBoxToTrimBoxOffset [ 000000 000000 000000 000000 ] PDFXOutputIntentProfile () PDFXOutputConditionIdentifier () PDFXOutputCondition () PDFXRegistryName () PDFXTrapped False CreateJDFFile false Description ltlt ARA ltFEFF06270633062A062E062F0645002006470630064700200627064406250639062F0627062F0627062A002006440625064606340627062100200648062B062706260642002000410064006F00620065002000500044004600200645062A064806270641064206290020064406440637062806270639062900200641064A00200627064406450637062706280639002006300627062A0020062F0631062C0627062A002006270644062C0648062F0629002006270644063906270644064A0629061B0020064A06450643064600200641062A062D00200648062B0627062606420020005000440046002006270644064506460634062306290020062806270633062A062E062F062706450020004100630072006F0062006100740020064800410064006F006200650020005200650061006400650072002006250635062F0627063100200035002E0030002006480627064406250635062F062706310627062A0020062706440623062D062F062B002E0635062F0627063100200035002E0030002006480627064406250635062F062706310627062A0020062706440623062D062F062B002Egt BGR ltFEFF04180437043f043e043b043704320430043904420435002004420435043704380020043d0430044104420440043e0439043a0438002c00200437043000200434043000200441044a0437043404300432043004420435002000410064006f00620065002000500044004600200434043e043a0443043c0435043d04420438002c0020043c0430043a04410438043c0430043b043d043e0020043f044004380433043e04340435043d04380020043704300020043204380441043e043a043e043a0430044704350441044204320435043d0020043f04350447043004420020043704300020043f044004350434043f0435044704300442043d04300020043f043e04340433043e0442043e0432043a0430002e002000200421044a04370434043004340435043d043804420435002000500044004600200434043e043a0443043c0435043d044204380020043c043e0433043004420020043404300020044104350020043e0442043204300440044f0442002004410020004100630072006f00620061007400200438002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020043800200441043b0435043404320430044904380020043204350440044104380438002egt CHS ltFEFF4f7f75288fd94e9b8bbe5b9a521b5efa7684002000410064006f006200650020005000440046002065876863900275284e8e9ad88d2891cf76845370524d53705237300260a853ef4ee54f7f75280020004100630072006f0062006100740020548c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000204ee553ca66f49ad87248672c676562535f00521b5efa768400200050004400460020658768633002gt CHT ltFEFF4f7f752890194e9b8a2d7f6e5efa7acb7684002000410064006f006200650020005000440046002065874ef69069752865bc9ad854c18cea76845370524d5370523786557406300260a853ef4ee54f7f75280020004100630072006f0062006100740020548c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000204ee553ca66f49ad87248672c4f86958b555f5df25efa7acb76840020005000440046002065874ef63002gt CZE ltFEFF005400610074006f0020006e006100730074006100760065006e00ed00200070006f0075017e0069006a007400650020006b0020007600790074007600e101590065006e00ed00200064006f006b0075006d0065006e0074016f002000410064006f006200650020005000440046002c0020006b00740065007200e90020007300650020006e0065006a006c00e90070006500200068006f006400ed002000700072006f0020006b00760061006c00690074006e00ed0020007400690073006b00200061002000700072006500700072006500730073002e002000200056007900740076006f01590065006e00e900200064006f006b0075006d0065006e007400790020005000440046002000620075006400650020006d006f017e006e00e90020006f007400650076015900ed007400200076002000700072006f006700720061006d0065006300680020004100630072006f00620061007400200061002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000610020006e006f0076011b006a016100ed00630068002egt DAN ltFEFF004200720075006700200069006e0064007300740069006c006c0069006e006700650072006e0065002000740069006c0020006100740020006f007000720065007400740065002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e007400650072002c0020006400650072002000620065006400730074002000650067006e006500720020007300690067002000740069006c002000700072006500700072006500730073002d007500640073006b007200690076006e0069006e00670020006100660020006800f8006a0020006b00760061006c0069007400650074002e0020004400650020006f007000720065007400740065006400650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e0074006500720020006b0061006e002000e50062006e00650073002000690020004100630072006f00620061007400200065006c006c006500720020004100630072006f006200610074002000520065006100640065007200200035002e00300020006f00670020006e0079006500720065002egt DEU ltFEFF00560065007200770065006e00640065006e0020005300690065002000640069006500730065002000450069006e007300740065006c006c0075006e00670065006e0020007a0075006d002000450072007300740065006c006c0065006e00200076006f006e002000410064006f006200650020005000440046002d0044006f006b0075006d0065006e00740065006e002c00200076006f006e002000640065006e0065006e002000530069006500200068006f006300680077006500720074006900670065002000500072006500700072006500730073002d0044007200750063006b0065002000650072007a0065007500670065006e0020006d00f60063006800740065006e002e002000450072007300740065006c006c007400650020005000440046002d0044006f006b0075006d0065006e007400650020006b00f6006e006e0065006e0020006d006900740020004100630072006f00620061007400200075006e0064002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020006f0064006500720020006800f600680065007200200067006500f600660066006e00650074002000770065007200640065006e002egt ESP ltFEFF005500740069006c0069006300650020006500730074006100200063006f006e0066006900670075007200610063006900f3006e0020007000610072006100200063007200650061007200200064006f00630075006d0065006e0074006f00730020005000440046002000640065002000410064006f0062006500200061006400650063007500610064006f00730020007000610072006100200069006d0070007200650073006900f3006e0020007000720065002d0065006400690074006f007200690061006c00200064006500200061006c00740061002000630061006c0069006400610064002e002000530065002000700075006500640065006e00200061006200720069007200200064006f00630075006d0065006e0074006f00730020005000440046002000630072006500610064006f007300200063006f006e0020004100630072006f006200610074002c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200079002000760065007200730069006f006e0065007300200070006f00730074006500720069006f007200650073002egt ETI ltFEFF004b00610073007500740061006700650020006e0065006900640020007300e4007400740065006900640020006b00760061006c006900740065006500740073006500200074007200fc006b006900650065006c007300650020007000720069006e00740069006d0069007300650020006a0061006f006b007300200073006f00620069006c0069006b0065002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740069006400650020006c006f006f006d006900730065006b0073002e00200020004c006f006f0064007500640020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740065002000730061006100740065002000610076006100640061002000700072006f006700720061006d006d006900640065006700610020004100630072006f0062006100740020006e0069006e0067002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020006a00610020007500750065006d006100740065002000760065007200730069006f006f006e00690064006500670061002e000d000agt FRA ltFEFF005500740069006c006900730065007a00200063006500730020006f007000740069006f006e00730020006100660069006e00200064006500200063007200e900650072002000640065007300200064006f00630075006d0065006e00740073002000410064006f00620065002000500044004600200070006f0075007200200075006e00650020007100750061006c0069007400e90020006400270069006d007000720065007300730069006f006e00200070007200e9007000720065007300730065002e0020004c0065007300200064006f00630075006d0065006e00740073002000500044004600200063007200e900e90073002000700065007500760065006e0074002000ea0074007200650020006f007500760065007200740073002000640061006e00730020004100630072006f006200610074002c002000610069006e00730069002000710075002700410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000650074002000760065007200730069006f006e007300200075006c007400e90072006900650075007200650073002egt GRE ltFEFF03a703c103b703c303b903bc03bf03c003bf03b903ae03c303c403b5002003b103c503c403ad03c2002003c403b903c2002003c103c503b803bc03af03c303b503b903c2002003b303b903b1002003bd03b1002003b403b703bc03b903bf03c503c103b303ae03c303b503c403b5002003ad03b303b303c103b103c603b1002000410064006f006200650020005000440046002003c003bf03c5002003b503af03bd03b103b9002003ba03b103c42019002003b503be03bf03c703ae03bd002003ba03b103c403ac03bb03bb03b703bb03b1002003b303b903b1002003c003c103bf002d03b503ba03c403c503c003c903c403b903ba03ad03c2002003b503c103b303b103c303af03b503c2002003c503c803b703bb03ae03c2002003c003bf03b903cc03c403b703c403b103c2002e0020002003a403b10020005000440046002003ad03b303b303c103b103c603b1002003c003bf03c5002003ad03c703b503c403b5002003b403b703bc03b903bf03c503c103b303ae03c303b503b9002003bc03c003bf03c103bf03cd03bd002003bd03b1002003b103bd03bf03b903c703c403bf03cd03bd002003bc03b5002003c403bf0020004100630072006f006200610074002c002003c403bf002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002003ba03b103b9002003bc03b503c403b103b303b503bd03ad03c303c403b503c103b503c2002003b503ba03b403cc03c303b503b903c2002egt HEB ltFEFF05D405E905EA05DE05E905D5002005D105D405D205D305E805D505EA002005D005DC05D4002005DB05D305D9002005DC05D905E605D505E8002005DE05E105DE05DB05D9002000410064006F006200650020005000440046002005D405DE05D505EA05D005DE05D905DD002005DC05D405D305E405E105EA002005E705D305DD002D05D305E405D505E1002005D005D905DB05D505EA05D905EA002E002005DE05E105DE05DB05D90020005000440046002005E905E005D505E605E805D5002005E005D905EA05E005D905DD002005DC05E405EA05D905D705D4002005D105D005DE05E605E205D505EA0020004100630072006F006200610074002005D5002D00410064006F00620065002000520065006100640065007200200035002E0030002005D505D205E805E105D005D505EA002005DE05EA05E705D305DE05D505EA002005D905D505EA05E8002E05D005DE05D905DD002005DC002D005000440046002F0058002D0033002C002005E205D905D905E005D5002005D105DE05D305E805D905DA002005DC05DE05E905EA05DE05E9002005E905DC0020004100630072006F006200610074002E002005DE05E105DE05DB05D90020005000440046002005E905E005D505E605E805D5002005E005D905EA05E005D905DD002005DC05E405EA05D905D705D4002005D105D005DE05E605E205D505EA0020004100630072006F006200610074002005D5002D00410064006F00620065002000520065006100640065007200200035002E0030002005D505D205E805E105D005D505EA002005DE05EA05E705D305DE05D505EA002005D905D505EA05E8002Egt HRV (Za stvaranje Adobe PDF dokumenata najpogodnijih za visokokvalitetni ispis prije tiskanja koristite ove postavke Stvoreni PDF dokumenti mogu se otvoriti Acrobat i Adobe Reader 50 i kasnijim verzijama) HUN ltFEFF004b0069007600e1006c00f30020006d0069006e0151007300e9006701710020006e0079006f006d00640061006900200065006c0151006b00e90073007a00ed007401510020006e0079006f006d00740061007400e100730068006f007a0020006c006500670069006e006b00e1006200620020006d0065006700660065006c0065006c0151002000410064006f00620065002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e00740075006d006f006b0061007400200065007a0065006b006b0065006c0020006100200062006500e1006c006c00ed007400e10073006f006b006b0061006c0020006b00e90073007a00ed0074006800650074002e0020002000410020006c00e90074007200650068006f007a006f00740074002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e00740075006d006f006b00200061007a0020004100630072006f006200610074002000e9007300200061007a002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002c0020007600610067007900200061007a002000610074007400f3006c0020006b00e9007301510062006200690020007600650072007a006900f3006b006b0061006c0020006e00790069007400680061007400f3006b0020006d00650067002egt ITA ltFEFF005500740069006c0069007a007a006100720065002000710075006500730074006500200069006d0070006f007300740061007a0069006f006e00690020007000650072002000630072006500610072006500200064006f00630075006d0065006e00740069002000410064006f00620065002000500044004600200070006900f900200061006400610074007400690020006100200075006e00610020007000720065007300740061006d0070006100200064006900200061006c007400610020007100750061006c0069007400e0002e0020004900200064006f00630075006d0065006e007400690020005000440046002000630072006500610074006900200070006f00730073006f006e006f0020006500730073006500720065002000610070006500720074006900200063006f006e0020004100630072006f00620061007400200065002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200065002000760065007200730069006f006e006900200073007500630063006500730073006900760065002egt JPN ltFEFF9ad854c18cea306a30d730ea30d730ec30b951fa529b7528002000410064006f0062006500200050004400460020658766f8306e4f5c6210306b4f7f75283057307e305930023053306e8a2d5b9a30674f5c62103055308c305f0020005000440046002030d530a130a430eb306f3001004100630072006f0062006100740020304a30883073002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000204ee5964d3067958b304f30533068304c3067304d307e305930023053306e8a2d5b9a306b306f30d530a930f330c8306e57cb30818fbc307f304c5fc59808306730593002gt KOR ltFEFFc7740020c124c815c7440020c0acc6a9d558c5ec0020ace0d488c9c80020c2dcd5d80020c778c1c4c5d00020ac00c7a50020c801d569d55c002000410064006f0062006500200050004400460020bb38c11cb97c0020c791c131d569b2c8b2e4002e0020c774b807ac8c0020c791c131b41c00200050004400460020bb38c11cb2940020004100630072006f0062006100740020bc0f002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020c774c0c1c5d0c11c0020c5f40020c2180020c788c2b5b2c8b2e4002egt LTH ltFEFF004e006100750064006f006b0069007400650020016100690075006f007300200070006100720061006d006500740072007500730020006e006f0072011700640061006d00690020006b0075007200740069002000410064006f00620065002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400750073002c0020006b00750072006900650020006c0061006200690061007500730069006100690020007000720069007400610069006b007900740069002000610075006b01610074006f00730020006b006f006b007900620117007300200070006100720065006e006700740069006e00690061006d00200073007000610075007300640069006e0069006d00750069002e0020002000530075006b0075007200740069002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400610069002000670061006c006900200062016b007400690020006100740069006400610072006f006d00690020004100630072006f006200610074002000690072002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000610072002000760117006c00650073006e0117006d00690073002000760065007200730069006a006f006d00690073002egt LVI ltFEFF0049007a006d0061006e0074006f006a00690065007400200161006f00730020006900650073007400610074012b006a0075006d00750073002c0020006c0061006900200076006500690064006f00740075002000410064006f00620065002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400750073002c0020006b006100730020006900720020012b00700061016100690020007000690065006d01130072006f00740069002000610075006700730074006100730020006b00760061006c0069007401010074006500730020007000690072006d007300690065007300700069006501610061006e006100730020006400720075006b00610069002e00200049007a0076006500690064006f006a006900650074002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400750073002c0020006b006f002000760061007200200061007400760113007200740020006100720020004100630072006f00620061007400200075006e002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002c0020006b0101002000610072012b00200074006f0020006a00610075006e0101006b0101006d002000760065007200730069006a0101006d002egt NLD (Gebruik deze instellingen om Adobe PDF-documenten te maken die zijn geoptimaliseerd voor prepress-afdrukken van hoge kwaliteit De gemaakte PDF-documenten kunnen worden geopend met Acrobat en Adobe Reader 50 en hoger) NOR ltFEFF004200720075006b00200064006900730073006500200069006e006e007300740069006c006c0069006e00670065006e0065002000740069006c002000e50020006f0070007000720065007400740065002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740065007200200073006f006d00200065007200200062006500730074002000650067006e0065007400200066006f00720020006600f80072007400720079006b006b0073007500740073006b00720069006600740020006100760020006800f800790020006b00760061006c0069007400650074002e0020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740065006e00650020006b0061006e002000e50070006e00650073002000690020004100630072006f00620061007400200065006c006c00650072002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200065006c006c00650072002000730065006e006500720065002egt POL ltFEFF0055007300740061007700690065006e0069006100200064006f002000740077006f0072007a0065006e0069006100200064006f006b0075006d0065006e007400f300770020005000440046002000700072007a0065007a006e00610063007a006f006e00790063006800200064006f002000770079006400720075006b00f30077002000770020007700790073006f006b00690065006a0020006a0061006b006f015b00630069002e002000200044006f006b0075006d0065006e0074007900200050004400460020006d006f017c006e00610020006f007400770069006500720061010700200077002000700072006f006700720061006d006900650020004100630072006f00620061007400200069002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000690020006e006f00770073007a0079006d002egt PTB ltFEFF005500740069006c0069007a006500200065007300730061007300200063006f006e00660069006700750072006100e700f50065007300200064006500200066006f0072006d00610020006100200063007200690061007200200064006f00630075006d0065006e0074006f0073002000410064006f0062006500200050004400460020006d00610069007300200061006400650071007500610064006f00730020007000610072006100200070007200e9002d0069006d0070007200650073007300f50065007300200064006500200061006c007400610020007100750061006c00690064006100640065002e0020004f007300200064006f00630075006d0065006e0074006f00730020005000440046002000630072006900610064006f007300200070006f00640065006d0020007300650072002000610062006500720074006f007300200063006f006d0020006f0020004100630072006f006200610074002000650020006f002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000650020007600650072007300f50065007300200070006f00730074006500720069006f007200650073002egt RUM ltFEFF005500740069006c0069007a00610163006900200061006300650073007400650020007300650074010300720069002000700065006e007400720075002000610020006300720065006100200064006f00630075006d0065006e00740065002000410064006f006200650020005000440046002000610064006500630076006100740065002000700065006e0074007200750020007400690070010300720069007200650061002000700072006500700072006500730073002000640065002000630061006c006900740061007400650020007300750070006500720069006f006100720103002e002000200044006f00630075006d0065006e00740065006c00650020005000440046002000630072006500610074006500200070006f00740020006600690020006400650073006300680069007300650020006300750020004100630072006f006200610074002c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020015f00690020007600650072007300690075006e0069006c006500200075006c0074006500720069006f006100720065002egt RUS ltFEFF04180441043f043e043b044c04370443043904420435002004340430043d043d044b04350020043d0430044104420440043e0439043a043800200434043b044f00200441043e043704340430043d0438044f00200434043e043a0443043c0435043d0442043e0432002000410064006f006200650020005000440046002c0020043c0430043a04410438043c0430043b044c043d043e0020043f043e04340445043e0434044f04490438044500200434043b044f00200432044b0441043e043a043e043a0430044704350441044204320435043d043d043e0433043e00200434043e043f0435044704300442043d043e0433043e00200432044b0432043e04340430002e002000200421043e043704340430043d043d044b04350020005000440046002d0434043e043a0443043c0435043d0442044b0020043c043e0436043d043e0020043e0442043a0440044b043204300442044c002004410020043f043e043c043e0449044c044e0020004100630072006f00620061007400200438002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020043800200431043e043b043504350020043f043e04370434043d043804450020043204350440044104380439002egt SKY ltFEFF0054006900650074006f0020006e006100730074006100760065006e0069006100200070006f0075017e0069007400650020006e00610020007600790074007600e100720061006e0069006500200064006f006b0075006d0065006e0074006f0076002000410064006f006200650020005000440046002c0020006b0074006f007200e90020007300610020006e0061006a006c0065007001610069006500200068006f0064006900610020006e00610020006b00760061006c00690074006e00fa00200074006c0061010d00200061002000700072006500700072006500730073002e00200056007900740076006f00720065006e00e900200064006f006b0075006d0065006e007400790020005000440046002000620075006400650020006d006f017e006e00e90020006f00740076006f00720069016500200076002000700072006f006700720061006d006f006300680020004100630072006f00620061007400200061002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000610020006e006f0076016100ed00630068002egt SLV ltFEFF005400650020006e006100730074006100760069007400760065002000750070006f0072006100620069007400650020007a00610020007500730074007600610072006a0061006e006a006500200064006f006b0075006d0065006e0074006f0076002000410064006f006200650020005000440046002c0020006b006900200073006f0020006e0061006a007000720069006d00650072006e0065006a016100690020007a00610020006b0061006b006f0076006f00730074006e006f0020007400690073006b0061006e006a00650020007300200070007200690070007200610076006f0020006e00610020007400690073006b002e00200020005500730074007600610072006a0065006e006500200064006f006b0075006d0065006e0074006500200050004400460020006a00650020006d006f0067006f010d00650020006f0064007000720065007400690020007a0020004100630072006f00620061007400200069006e002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200069006e0020006e006f00760065006a01610069006d002egt SUO ltFEFF004b00e40079007400e40020006e00e40069007400e4002000610073006500740075006b007300690061002c0020006b0075006e0020006c0075006f00740020006c00e400680069006e006e00e4002000760061006100740069007600610061006e0020007000610069006e006100740075006b00730065006e002000760061006c006d0069007300740065006c00750074007900f6006800f6006e00200073006f00700069007600690061002000410064006f0062006500200050004400460020002d0064006f006b0075006d0065006e007400740065006a0061002e0020004c0075006f0064007500740020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740069007400200076006f0069006400610061006e0020006100760061007400610020004100630072006f0062006100740069006c006c00610020006a0061002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030003a006c006c00610020006a006100200075007500640065006d006d0069006c006c0061002egt SVE ltFEFF0041006e007600e4006e00640020006400650020006800e4007200200069006e0073007400e4006c006c006e0069006e006700610072006e00610020006f006d002000640075002000760069006c006c00200073006b006100700061002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e007400200073006f006d002000e400720020006c00e4006d0070006c0069006700610020006600f60072002000700072006500700072006500730073002d007500740073006b00720069006600740020006d006500640020006800f600670020006b00760061006c0069007400650074002e002000200053006b006100700061006400650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740020006b0061006e002000f600700070006e00610073002000690020004100630072006f0062006100740020006f00630068002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020006f00630068002000730065006e006100720065002egt TUR ltFEFF005900fc006b00730065006b0020006b0061006c006900740065006c0069002000f6006e002000790061007a006401310072006d00610020006200610073006b013100730131006e006100200065006e0020006900790069002000750079006100620069006c006500630065006b002000410064006f006200650020005000440046002000620065006c00670065006c0065007200690020006f006c0075015f007400750072006d0061006b0020006900e70069006e00200062007500200061007900610072006c0061007201310020006b0075006c006c0061006e0131006e002e00200020004f006c0075015f0074007500720075006c0061006e0020005000440046002000620065006c00670065006c0065007200690020004100630072006f006200610074002000760065002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200076006500200073006f006e0072006100730131006e00640061006b00690020007300fc007200fc006d006c00650072006c00650020006100e70131006c006100620069006c00690072002egt UKR ltFEFF04120438043a043e0440043804410442043e043204430439044204350020044604560020043f043004400430043c043504420440043800200434043b044f0020044104420432043e04400435043d043d044f00200434043e043a0443043c0435043d044204560432002000410064006f006200650020005000440046002c0020044f043a04560020043d04300439043a04400430044904350020043f045604340445043e0434044f0442044c00200434043b044f0020043204380441043e043a043e044f043a04560441043d043e0433043e0020043f0435044004350434043404400443043a043e0432043e0433043e0020043404400443043a0443002e00200020042104420432043e04400435043d045600200434043e043a0443043c0435043d0442043800200050004400460020043c043e0436043d04300020043204560434043a0440043804420438002004430020004100630072006f006200610074002004420430002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002004300431043e0020043f04560437043d04560448043e04570020043204350440044104560457002egt ENU (Use these settings to create Adobe PDF documents best suited for high-quality prepress printing Created PDF documents can be opened with Acrobat and Adobe Reader 50 and later) gtgt Namespace [ (Adobe) (Common) (10) ] OtherNamespaces [ ltlt AsReaderSpreads false CropImagesToFrames true ErrorControl WarnAndContinue FlattenerIgnoreSpreadOverrides false IncludeGuidesGrids false IncludeNonPrinting false IncludeSlug false Namespace [ (Adobe) (InDesign) (40) ] OmitPlacedBitmaps false OmitPlacedEPS false OmitPlacedPDF false SimulateOverprint Legacy gtgt ltlt AddBleedMarks false AddColorBars false AddCropMarks false AddPageInfo false AddRegMarks false ConvertColors ConvertToCMYK DestinationProfileName () DestinationProfileSelector DocumentCMYK Downsample16BitImages true FlattenerPreset ltlt PresetSelector MediumResolution gtgt FormElements false GenerateStructure false IncludeBookmarks false IncludeHyperlinks false IncludeInteractive false IncludeLayers false IncludeProfiles false MultimediaHandling UseObjectSettings Namespace [ (Adobe) (CreativeSuite) (20) ] PDFXOutputIntentProfileSelector DocumentCMYK PreserveEditing true UntaggedCMYKHandling LeaveUntagged UntaggedRGBHandling UseDocumentProfile UseDocumentBleed false gtgt ]gtgt setdistillerparamsltlt HWResolution [2400 2400] PageSize [612000 792000]gtgt setpagedevice

  1. 1 World Health Organization WHO
  2. 2 Beijing Platform for Action BPA 1995
  3. 5 International Covenant on Civil and Political Rights ICCPR 1966
  4. 7 Krug Etienne et al 2002 World Report on Violence and Health Geneva WHO
Page 4: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na

YALIYOMO

Dibaji iv

Sehemu Ya Tano Muundo Wa Utendaji Katika Kuzuia Na

Kiambatisho Viashirio Vya Uwaki Kwa

Shukurani vi

Vifupisho vii

Orodha Ya Maneno Muhimu Na Dhana viii

Sehemu Ya Kwanza Utangulizi 1

Sehemu Ya Pili Uchambuzi Wa Uwaki Tanzania 4

Sehemu Ya Tatu Umuhimu Na Malengo 23

Sehemu Ya Nne Maelekezo Ya Kisera 25

Kupambana Na Uwaki37

Sehemu Ya Sita Ufuatiliaji Tathmini Na Utafi ti 45

Sekta Ya Afya 47

iii

DIBAJI

Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa Kijinsia (UWAKI) ambalo kwa ujumla halikuwa likizingatiwa kwa ukaribu Hivi karibuni Utafiti wa Afya na Idadi ya Watu Tanzania (2010) umeonyesha viwango vya juu vya ukatili wa kijinsia ambavyo havikubaliki Ukatili wa kijinsia ni ukiukwaji mkubwa wa Haki za Msingi za Binadamu na una madhara ya muda mrefu ya kimwili kiakili na kisaikolojia kwa watu waliopatwa na UWAKI familia na jamii Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii (WAUJ) imeandaa Mwongozo wa Kisera kuhusu UWAKI ili kuelekeza utayarishaji wa Mwongozo wa Kuzuia na Kutoa Huduma kwa watu waliopatwa na UWAKI Wizara itafanya kazi na wadau wengine kwa kutoa huduma kwa watu waliopatwa na UWAKI katika ngazi zote za utoaji huduma

Uandaaji wa Mwongozo wa Kisera kuhusu UWAKI umezingatia Sera ya Afya na nyaraka mbalimbali za sekta ya Afya zikijumuisha Mpango Mkakati wa Sekta ya Afya III (2009-2015) Mpango wa Maendeleo wa Afya ya Msingi (MMAM 2007-2017) Mpango Mkakati wa Watumishi wa Sekta ya Afya (2008shy2013) Mkakati wa Taifa wa Kuongeza Kasi ya Kupunguza Vifo Vinavyotokana na Matatizo ya Uzazi Watoto Wachanga na Watoto wa umri chini ya miaka mitano kama ldquoMpango Mmojardquo (2008-2015) Programu ya Uzazi wa Mpango Iliyokasimiwa (2010 - 2015) na Mpango wa Taifa wa Huduma kwa Yatima na Watoto Wanaoishi katika Mazingira Hatarishi (NCPA 2011-2016)

Utekelezaji wa kazi zinazohusiana na UWAKI hapa nchini na utoaji wa huduma kwa watu waliopatwa na UWAKI katika vituo vya huduma za afya na ustawi wa jamii hauridhishi Pamoja na jitihada za Serikali za kupambana na UWAKI uhaba wa rasilimali na sababu nyingine ikiwamo ukosefu wa mwongozo wa kisera umechangia kukosekana kwa huduma bora kwa watu waliopatwa na UWAKI Uzuiaji na utoaji wa huduma bora kwa watu waliopatwa na UWAKI hauhusishi Sekta ya Afya na Ustawi wa Jamii pekee bali sekta nyingine zikijumuisha zile zinazotoa huduma za kisaikolojia usalama wa raia na msaada wa kisheria Hali hii inahitaji uratibu na ushirikiano wa karibu baina ya wadau mbalimbali katika kubuni kupanga na kutekeleza mwongozo wa kisera kuhusu UWAKI

iv

Mwongozo huu unaainisha majukumu ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii na wadau wake katika kupanga na kutekeleza uzuiaji na utoaji wa huduma kwa watu waliopatwa na UWAKI katika ngazi zote Uzuiaji wa UWAKI na utoaji wa huduma kwa watu waliopatwa na UWAKI utatekelezwa kwa kufuata mfumo wa utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii nchini Utoaji wa huduma kwa watu waliopatwa na UWAKI kwenye kila kituo cha huduma za afya utazingatia misingi ya kuheshimu haki za binadamu kujali na maadili ya kitaaluma Ni matumaini yangu ya dhati kuwa Maofisa Mipango Kamati za Afya na watoa huduma wote wa Sekta ya Afya watatumia Mwongozo huu wa Kisera katika kupanga na kutekeleza uzuiaji wa UWAKI na utoaji wa huduma bora za afya kwa watu waliopatwa na UWAKI na hatimaye kutokomeza UWAKI nchini Tanzania

Dkt Donan W Mmbando Kaimu Mganga Mkuu wa Serikali

v

SHUKURANI

Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii (WAUJ) inatambua mchango wa Kikosi Kazi cha Wataalamu chini ya uongozi wa Mkurugenzi Msaidizi wa Huduma za Afya ya Uzazi na Mtoto

Pia Wizara inayashukuru Mashirika mbalimbali na watu binafsi waliochangia katika kutayarisha na kukamilisha Mwongozo huu wa Kisera

Tunashukuru na kutambua mchango wa Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani (USAID) Tanzania na Mpango wa Dharura wa Rais wa Marekani wa kupunguza UKIMWI (PEPFAR) kwa kutoa msaada wa kiutaalamu na kifedha katika kuendeleza Sera ya Afya na kutekelezwa na ldquoFutures Group Internationalrdquo Aidha Wizara inashukuru Mpango wa Pamoja wa Umoja wa Mataifa kwa ufadhili wa utaalamu na fedha

Tunapenda pia kuwatambua wataalamu walioshiriki katika kuandaa na Mwongozo huu wa Kisera

Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Kinga

kukamilisha

Dkt Peter Mmbuji

vi

VIFUPISHO

BAW Bodi ya Afya ya Wilaya BHA Bodi ya Huduma za Afya MKUKUTA Mpango wa Kukuza Uchumi na Kupunguza

Umaskini Tanzania MMAM Mpango wa Maendeleo wa Afya ya Msingi MHW Mamlaka ya Halmashauri ya Wilaya NCPA Mpango Kazi wa Taifa wa Kuhudumia Watoto Yatima

na Wanaoishi katika Mazingira Hatarishi PEPFAR Mpango wa Dharura wa Rais wa Marekani wa

kupunguza UKIMWI SADC Ushirikiano wa Maendeleo wa Nchi za Kusini mwa

Afrika UWAKI Ukatili wa Kijinsia UKIMWI Upungufu wa Kinga Mwilini USAID Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani VVU Virusi Vya UKIMWI WAUJ Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii WHO Shirika la Afya Duniani

vii

ORODHA YA MANENO MUHIMU NA DHANA

Kwa madhumuni ya Mwongozo huu maneno muhimu na dhana yatakuwa na maana ifuatayo

Ukatili Matumizi ya nguvu yanayompa mtu fursa ya kumtumia au kumkandamiza mtu mwingine ikiwa ni pamoja na na kumsababishia woga au hofu madhara ya kimwili kifikra na kisaikolojia Ukatili unaweza kujitokeza kwa kumdhuru mtu kimwili au kumtishia kwa kutumia silaha au kumnyima mtu uhuru wa kufanya uamuzi na kumlazimisha kutenda kinyume na utashi wake

Kijana balehe Kipindi cha mpito cha ukuaji kutoka utoto kuelekea utu uzima Kipindi hiki ni muda ambapo mhusika sio mtoto wala mtu mzima kibiolojia wala hajakomaa kihisia Wakati huu kuna mabadiliko makubwa ya kimwili yanayohusiana na mwanzo wa kubalehe pamoja na kukua kisaikolojia Kijana balehe hujumuisha wanafunzi wengi walio kwenye shule za msingi na baadaye kukamilika wakiwa shule za sekondari

Mtoto Kwa mujibu wa katiba ya Tanzania na sheria ya mtoto mtoto ni mtu yeyote aliye chini ya umri wa miaka 18

Unyanyasaji wa mtoto Unyanyasaji wa mtoto ni dhana ambayo inahusisha maneno au vitendo vilivyokusudia kusababisha utokeaji wa madhara au vitisho kwa watoto Kuna aina tatu za ukatili kwa watoto kimwili kingono na kisaikolojia

Unyanyasaji wa mtoto kingono Ushirikishwaji wa mtoto katika vitendo vinavyohusu ngono Unyanyasaji wa watoto kingono unatokea kati ya mtoto na mtu mzima au mtoto na mtoto mwingine ambaye wamezidiana kiumri na kupevuka na anaaminika ana madaraka na wajibu juu ya mtu aliyepatwa na UWAKI kwa lengo la mnyanyasaji kujiridhisha haja zake binafsi

Unyanyasaji wa watoto kingono ni pamoja na kushawishi au kumlazimisha mtoto kushiriki katika vitendo vyovyote vya ngono utumiaji wa watoto kufanya ukahaba au matumizi ya watoto katika kupiga picha za ngono na kutumia vifaa vinavyohusika na ngonoUnyanyasaji wa mtoto ni dhana

viii

ambayo inahusisha maneno au vitendo vilivyokusudia kusababisha utokeaji wa madhara au vitisho kwa mtoto

Kulazimisha Kutishia au kutumia nguvu ikiwa ni pamoja na kutumia vitisho kauli mbaya ulaghai udanganyifu mila potofu au nguvu ya kipato bila ridhaa yake

Huduma kwa waathirika wa UWAKI Ni huduma jumuishi zinazotolewa kwa waathirika zikijumuisha Kuchukua historia ya mtu aliyepatwa na UWAKI upimaji wa kina kuchukua vipimo vya ushahidi wa kimahakama kwa mujibu wa sheria unasihi kupata matibabu ya awali kupata msaada wa kisheria na kisaikolojia na pale inapobidi kupewa ulinzi

Ridhaa Kufanya uamuzi wenye uelewa uhuru na hiari kuhusu jambo lolote Hakuna ridhaa ikiwa makubaliano yamepatikana kwa njia ya vitisho nguvu au aina zozote za kulazimishwa utekaji nyara udanganyifu ulaghai na upotoshaji

Ukatili ndani ya familia Ni vitendo vya unyanyasaji wanavyofanyiana watu walio katika uhusiano wa karibu kama vile ndoa uchumba familia au watu wanaoishi pamoja kama mke na mume bila ndoa rasmi

Kuna aina mbalimbali za ukatili wa kifamilia zikiwa ni pamoja na ukatili wa kimwili (kumpiga kumwuma kumsukuma kumzuia kumtupia vitu) au kumtishia Aina nyingine ya ukatili wa kifamilia ni ukatili wa kisaikolojia (kumfanyia vitisho kuvizia kumpuuzia) na ukatili wa kiuchumi Madhara yanayotokana na ukatili wa kifamilia ni pamoja na matumizi makubwa ya pombe utegemezi wa dawa za kulevya na magonjwa ya akili

Kituo cha Hifadhi ya muda Mahali pa kupata taarifa usalama huduma ya kwanza rufaa na mahitaji mengine muhimu na ya haraka kwa waliopatwa na UWAKI ambao wanahitaji mahali salama penye usiri kwa kipindi fulani

Kituo maalumu cha malezi Mahali rasmi panapotambulika kisheria kama makao ya watoto au shule za maadilisho Mahali pa kulelea watoto

ix

wanaoishi katika mazingira hatarishi kama vile kituo cha kulelea watoto kinachomilikiwa na watu binafsi taasisi za dini au serikali

Mlezi maalumu Mtu mzima mwenye akili timamu maadili mazuri na anayeaminika katika jamii ana uwezo wa kumlea mtoto ambaye siyo ndugu yake au wa nasaba yake ambaye amethibitishwa na ustawi wa jamii kuweza kumpa matunzo

Kulazimisha kurithi Mjane Ni mila ambapo mjane anashurutishwa bila ridha yake kuwa mke au mume wa ndugu wa marehemu Inawezekana kuwa katika aina au mtindo tofauti kulingana na tamaduni

Ukahaba wa Kulazimishwa Ni kitendo cha ulaghai kinachofanywa na watu kwa makundi hatarishi kama wanawake au wasichana kwa kuwaahidi kuwapatia vitu msaada au ajira halali na badala yake kuwatumikisha katika biashara ya ngono

Jinsia Ni uhusiano uliojengeka katika jamii Watu huzaliwa wakiwa na maumbile ya kike na kiume kisha hujifunza kazi au shughuli za kike na kiume kwenye jamii na hatimaye husababisha watu kujipangia majukumu kutokana na jinsia

Ukatili wa Kijinsia (UWAKI) Ni kitendo chochote cha kikatili anachofanyiwa mtu yeyote awe mwanamke mwanamume au mtoto chenye lengo la kumwumiza kimwili au kiutu kutokana na jinsia yake Ukatili wa kijinsia unajumuisha ukatili wa kingono kisaikolojia mila hatarishi na unyanyasaji wa kiuchumi na kijamii

Kupambana na Ukatili wa Kijinsia Kunajumuisha mambo yafuatayo Kutoa huduma kuandaa mipango mkakati kwa kuwashirikisha wadau mbalimbali

Mila na desturi hatarishi

bull Ukeketaji Ni kitendo cha kikatili anachofanyiwa mtoto wa kike msichana au mwanamke kwa kukata kabisa au kuondoa sehemu ya via vya nje vya uzazi kwa sababu zisizo za kitabibu

x

bull Ndoa katika umri mdogo Ni ndoa zinazojitokeza zaidi kwa wasichana ambazo zinahusishwa na madhara kwa mama na mtoto kama vile matatizo wakati wa kujifungua ulemavu na vifo vya mama na mtoto

bull Ndoa ya kulazimishwa Ni ndoa zinazofanyika bila ridhaa ya mwanamume au mwanamke Iwapo mmoja kati yao hatakubaliana ndoa hizo zinaweza kusababisha madhara ya unyanyasaji na ukatili

bull Utakaso wa mjane Ni desturi ambapo mjane hulazimishwa au hulazimika kufanya ngono na ndugu wengine au mtu aliyeteuliwa kwa kazi hiyo katika jamii Hii hufanyika kabla mjane huyo hajaolewa au kuoa tena

Haki za binadamu Ni stahili za msingi ambazo kila binadamu anapaswa kuzipata ili kumwezesha kuishi kujiendeleza kushiriki na kupata ulinzi wa jamii bila kujali utaifa jinsia asili ya utaifa au nasaba au kabila rangi dini lugha au kwa hali nyingine yoyote

Matukio ya ukatili Ni kitendo au mfululizo wa vitendo vya ukatili vinavyofanywa na mtu au kikundi cha watu dhidi ya mtu au kundi la watu kwa makusudi ya kuharibu kuleta hofu au kutishia amani kwa maslahi binafsi Vitendo hivyo vya kikatili vinaweza kufanyika nyumbani kwenye hadhara na mahali popote katika nyakati tofauti

Ukatili kati ya wenzi Ukatili unaohusisha wenzi wenye uhusiano wa ndani kama vile mtu na mke marafiki wapenzi wanafamilia au watu wanaoishi pamoja kama mke na mume bila ndoa rasmi Ukatili kati ya wenzi ni wa aina nyingi ikiwa ni pamoja na ukatili wa kimwili (kupigwa kuuma kumsukuma kumzuia kumtupia vitu) au kumtishia Aina nyingine ya ukatili wa wenzi ni ukatili wa kingono kisaikolojia (kumfanyia vitisho kuvizia kumpuuza) na ukatili wa kiuchumi (kunyimwa haki ya kufanya kazi kunyangrsquoanywa kipato kurithi mali nk)

Mhalifu Ni mtu kundi la watu au taasisi linalofanya moja kwa moja au kupitia wengine uhalifu au vitendo vya kikatili dhidi ya mtu au kundi la

xi

watuWahalifu wanakuwa katika hali ya kuwa au kuhisi kuwa na nguvu kufanya uamuzi naau mamlaka ya kuwadhibiti waliopatwa na UWAKI

Ukatili wa kimwili Ni kitendo cha kumdhalilisha mtu kwa kumpiga kumvua nguo kumwuma kumchoma kumsababishia ulemavu au kumwua kwa kutumia au kutotumia silaha

Nguvu Katika muktadha wa UWAKI madaraka yanahusiana na uwezo wa kuchagua Mamlaka makubwa yanaendana na uwezo mkubwa wa kufanya uamuzi Kwa upande mwingine mamlaka madogo yanaendana na uwezo dhaifu wa kufanya uamuzi na kwa hivyo kuongeza uwezekano wa kunyanyaswa UWAKI unahusisha matumizi mabaya ya madaraka ambapo mtu mmoja anajisikia kuwa ana mamlaka zaidi juu ya mwenzake na kutumia fursa hiyo kumnyanyasa

Kwa mfano kutumia shinikizo la aina yoyote ili kumfanya mtu mwenye uwezo mdogo kufanya naye ngono kwa madhumuni ya kumpatia faida au ahadi zozote ni kutumia vibaya madaraka Wanaume wana nafasi za madaraka kuliko wanawake na mara nyingi wanamiliki fedha mali na huduma Wanaume wana maumbile makubwa zaidi ya wanawake wana nguvu zaidi wanatumia silaha zaidi na wanadhibiti mawasiliano na usalama Madaraka yanategemea umri na mara nyingi watoto na wazee wana madaraka madogo zaidi Waume au marafiki wa kiume wana umri mkubwa zaidi kuliko wake zao au marafiki wa kike

Ubakaji Ni kitendo cha mtu kumwingilia mtu kimwili mtu mwingine kwa nguvu bila ridhaa yake au kitendo cha kumwingilia mtu mwenye umri chini ya miaka 18

Ulazimishaji ngono ndani ya ndoa Ni kitendo cha ngono kati ya wanandoa kinachofanywa na mwanandoa mmoja bila ridhaa au dhamira ya mwenzake akitumia nguvu vitisho kuogopesha hofu au wakati mwenza hawezi kutoa ridhaa

Vitendo hivyo vya ngono vinajumuisha kujamiiana ngono ya mdomo au kinyume na maumbile kulazimishwa kufanya ngono na mtu mwingine na vitendo vingine vya ngono ambavyo vinachukuliwa na mlazimishaji kama ukandamizaji udhalilishaji na vya kuumiza

xii

Nyumba salama Mahali pa hifadhi ya muda kwa watu waliopatwa na UWAKI mashahidi au watu wengine wanaoonekana kuwa hatarini Pia ni mahali ambapo jamii familia mtu mzima anayeaminika au taasisi ya hisani wanatoa kimbilio la usalama kwa watu waliopatwa na UWAKI

Ukatili wa Kingono Ni kitendo au jaribio lolote la unyanyasaji wa kingono linalosababisha au linaloweza kusababisha madhara ya kimwili kisaikolojia au kihisia

Ngono za Kulazimishwa Ni kitendo cha kumshurutisha au kujaribu kumshurutisha mtu mwingine kwa njia ya ukatili vitisho maneno makali udanganyifu kumpa matarajio ya kiuchumi ili ajihusishe na vitendo vya ngono bila ridhaa yake Ni pamoja na vitendo mbalimbali kama ubakaji na maeneo mapana zaidi kama wanawake kulazimishwa kuolewa na kutoa huduma ya ngono kwa wanaume ambao sio chaguo lao

Ukandamizaji wa Kingono Ni kumtumia mtu watu au jamii inayoishi kwenye mazingira magumu kwa madhumuni ya kuihusisha katika vitendo vya kujamiiana au vinavyohusiana na kujamiiana ili mhalifu afaidike kiuchumi au kijamii

Bughudha ya Kingono Ni matendo yanayohusiana na hisia za kujamiiana ambayo yanakera na kuudhi watu ndani ya jamii na mazingira ya kazi hayakubaliki yanasumbua yanarudiwa mara kwa mara na bila ridhaa kwa mfano matusi kukonyeza mavazi duni yenye kuonyesha maungo kupapasa picha za ngono na kuingilia faragha za mwili wa mtu

Ukatili wa Kingono Nikitendo au jaribio lolote la unyanyasaji wa kingono linalosababisha au linaloweza kusababisha madhara ya kimwili kisaikolojia au kihisia

Ukatili wa Kiuchumi na Kijamii Ni vitendo vya kumnyima mtu fursa ya kupata mahitaji ya msingi na ya kujiendeleza kama kumnyima elimu kazi kumiliki mali huduma za afya na vitendo vingine vinavyosababisha msongo wa mawazo

xiii

Ukatili Matumizi ya nguvu yanayompa mtu fursa ya kumtumia au kumkandamiza mtu mwingine ikiwa ni pamoja na kumsababishia woga au hofu madhara ya kimwili kifikra na kisaikolojia Ukatili unaweza kujitokeza kwa kumdhuru mtu kimwili au kumtishia kwa kutumia silaha au kumnyima mtu uhuru wa kufanya uamuzi na kumlazimisha kutenda kinyume na utashi wake

Ukatili Dhidi ya Wanawake Ni kitendo au vitendo vya unyanyasaji vyenye kulenga jinsia ya kike na vyenye kusababisha au kuleta madhara ya kimwili kingono kihisia kisaikolojia kiuchumi na kijamii Kitendo au vitendo hivi hujumuisha kutumia nguvu na vitisho vya kumnyima mwanamke haki na uhuru

xiv

SEHEMU YA KWANZA

UTANGULIZI

11 Hali ya Ukatili wa Kijinsia Duniani

Ukatili Wa Kijinsia (UWAKI) unatokana na kuwepo kwa tofauti kati ya wanaume na wanawake na hivyo kuhatarisha afya utu usalama na uhuru wa wahusika waliofanyiwa vitendo vya kikatili

UWAKI unajumuisha vitendo vingi vya ukiukwaji wa haki za binadamu kama vile unyanyasaji wa watoto kingono ubakaji unyanyasaji katika familia shambulio la aibu na udhalilishaji Vitendo vingine vya UWAKI ni usafirishaji haramu wa wanawake na wasichana na madhara mengine yatokanayo na mila na desturi hatarishi

Matukio ya ukatili wa kijinsia yanaacha athari kubwa za kisaikolojia na za kiafya kwa watu waliopatwa na ukatili ikiwa ni pamoja na kuathiri afya ya uzazi na mara nyingine kusababisha vifo

UWAKI haujatambuliwa kama ukiukwaji wa haki za binadamu katika sehemu nyingi duniani Tatizo hili hupunguza uwezo wa wanawake wanaume na watoto katika kufurahia uhuru na haki za msingi za kibinadamu Hata hivyo licha ya kuwepo kwa UWAKI katika nchi nyingi tatizo hili halijapewa kipaumbele UWAKI unaelezwa kuwa ldquoNi kitendo kiovu na cha aibu kubwa cha ukiukwaji wa haki za binadamurdquo Hali hii humfanya mwanamke kuwa tegemezi kijamii kiuchumi na kisheria na hupunguza uwezo wake katika kupata msaada mara anapofanyiwa ukatili

Utafiti uliofanywa na Shirika la Afya Duniani (WHO) kuhusu afya ya wanawake na ukatili wa kifamilia katika nchi 10 umeonyesha kuwa kati ya wanawake waliowahi kuwa na wenzi asilimia 13-61 walifanyiwa ukatili wa kimwili na wenzi wao asilimia 6-59 walifanyiwa ukatili wa kingono na asilimia 15-71 walifanyiwa vitendo vya ukatili wa kingono pamoja na kimwili Pia wanawake wengi vijijini walikiri kuwa walifanyiwa tendo la ngono kwa mara ya kwanza bila ridhaa yao na takwimu zinaonyesha matukio hayo katika baadhi ya nchi kama ifuatavyo Peru (24)

1

Tanzania (17) Bangladesh (30) na Ethiopia (17) Ukatili wa kimwili kwa wanawake wajawazito uliripotiwa kuwa ni asilimia 4-12

Wanawake na wasichana wanakabiliwa na aina nyingine ya ziada ya unyanyasaji Usafirishaji haramu wa wanawake na wasichana kwa ajili ya kazi na ngono za kulazimishwa ni biashara iliyoshamiri na mara nyingi waathirika ni wale wanaokabiliwa na hali ngumu ya maisha Ndoa za kulazimishwa na za utotoni ni ukiukwaji wa haki za binadamu kwa wanawake na wasichana lakini zinaendelea kushamiri kwenye nchi nyingi za Bara la Asia Mashariki ya Kati na Nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara Utafiti wa Shirika la Afya Duniani (2010) unaonyesha kuwa duniani kote mwanamke mmoja kati ya wanawake watano na mwanamume mmoja kati ya wanaume 10 wanaripotiwa kuathirika na unyanyasaji wa kingono wakati wa utoto

12 Hali ya UWAKI Kanda ya Afrika

Kuna uhaba wa taarifa takwimu na utafiti kuhusu UWAKI kwenye ukanda wa Afrika Mashariki Nchini Kenya kulikuwa hakuna takwimu zenye kuhusiana na ukatili wa kijinsia hadi utafiti wa hali ya jamii na afya ulipofanyika mwaka 2003 Utafiti huu ulionyesha kwamba asilimia 29 ya wanawake waliripotiwa kuathiriwa na ukatili wa kingono kwenye kipindi cha mwaka mmoja uliopita na wengi wa waathirika walikuwa wanawake wa umri wa miaka 20-29 Utafiti uliofanywa na Ushirika wa Wanasheria Wanawake nchini Kenya ulionyesha kwamba ukatili wa kijinsia katika familia unakabili asilimia 51 ya wanawake waliohudhuria kliniki nne za wajawazito kwenye jiji la Nairobi na waliripoti kuwa wamekuwa waathirika wa ukatili wakati fulani katika maisha yao kati yao asilimia 65 walifanyiwa ukatili na waume zao na asilimia 22 walifanyiwa ukatili na wanaume wasiowafahamu

Utafiti kuhusu UWAKI uliofanywa baada ya uchaguzi wa 2007 nchini Kenya ulilenga makazi duni ya Kibera jijini Nairobi yenye wakazi wapatao milioni moja Utafiti huu ulionyesha kuwa umri wa waathirika waliobakwa ulikuwa kati ya miaka 25-68 na wengi wao walikuwa wenye umri wa miaka ya 30 UWAKI uliwaathiri wanawake wa umri wa miaka yote Utafiti huu ulibaini kwamba baadhi ya waathirika waliambukizwa virusi vya UKIMWI

2

Mwaka 2007 Umoja wa Mataifa ulikadiria kuwa kiwango cha ubakaji wa wanawake katika eneo la Kivu kaskazini ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ulikuwa ni wanawake 350 kwa mwezi Mwaka 2008 shirika linalotetea haki za binadamu duniani (Amnesty International) liliripoti kuwa wanawake 40 hubakwa kila siku katika eneo hilo hilo

3

SEHEMU YA PILI

UCHAMBUZI WA UWAKI TANZANIA

21 Ukubwa wa tatizo la UWAKI Tanzania

Utafiti uliofanywa na Shirika la Afya Duniani (WHO)1 kuhusu afya ya wanawake na ukatili majumbani kwenye nchi 10 umebaini kuwa ukatili dhidi ya wanawake upo sehemu nyingi ikiwemoTanzania Utafi ti huo ulihusisha wanawake 1820 Dar es Salaam na wanawake 1450 Mbeya waliowahi kuwa na wenzi Matokeo yalionyesha kwamba asilimia 41 ya waliohojiwa katika jiji la Dar es Salaam na asilimia 55 ya waliohojiwa katika jiji la Mbeya waliathirika na aina mbalimbali za UWAKI Taarifa ilionyesha kuwa asilimia 15 hadi 71 ya wanawake walioathirika na ukatili wa kimwili au wa kingono ulifanywa na waume au wenzi wao Utafi ti huo pia ulionyesha kwamba asilimia 15 ya wanawake walifanya kitendo cha ngono kwa mara ya kwanza kwa kulazimishwa Aidha asilimia 4 hadi 12 ya wanawake waliripotiwa kunyanyaswa kimwili wakati wa ujauzito

Kufuatana na uchunguzi wa kitaifa nchini Tanzania kiwango cha ukatili majumbani kati ya wanawake wenye umri wa miaka 15- 49 ni asilimia 45 ikijumuisha ukatili wa kimwili (25) kingono (7) na (14) kwa aina zote mbili Unyanyasaji wa kimwili kwa wanawake wajawazito ulikuwa asilimia tisa (9) Kiwango cha wanawake waliokabiliwa na matukio ya kushurutishwa na wenzi wao kilikuwa asilimia sitini (60) Kiwango cha matukio ya ukatili wa kimwili kinatofautiana sana kati ya mkoa na mkoa ambapo kiwango cha juu sana kipo kwenye mkoa wa Dodoma (71) na cha chini kabisa kwenye mkoa wa Tanga (16) Ukatili wa kingono ni wa kiwango cha juu sana kwenye mkoa wa Rukwa (32) na chini kabisa kwenye mkoa wa Shinyanga (5) Kiwango cha wanawake waliowahi kuwa kwenye ndoa ambao wameathirika na ukatili wa kingono kutoka kwa mume au mwenzi wa sasa ni 48 mume wa zamani (21) rafiki wa kiume wa sasazamani (7) Kwa upande wa wanawake ambao hawajaolewa 27 ya ukatili ulifanywa na marafi ki wa kiume wa sasa au wa zamani

1 World Health Organization (WHO)

4

Uchunguzi wa WHO uliotajwa hapo juu umeonyesha usafi rishaji wa wanawake na wasichana kwa ajili ya kazi na ngono za kulazimishwa ni biashara iliyoshamiri na mara nyingi waathirika ni wale wanaokabiliwa na hali ngumu ya maisha Ndoa za kulazimishwa na za utotoni kama zilivyo kwenye jamii nyingi ni ukiukwaji wa haki za binadamu kwa wanawake na wasichana kwa sababu hawana fursa ya kutoa ridhaa Zaidi ya 60 ya waathirika wa UWAKI nchini Tanzania hawachukui hatua yoyote ya kutoa taarifa ya ukatili kwa mamlaka rasmi au vyombo vya kutekeleza sheria Upo uwezekano mkubwa wa maambukizo ya VVU kutokana na UWAKI Vijana wa kike wa Kitanzania wenye umri wa miaka 18-29 ambao wamekuwa wakinyanyaswa na wenzi wao wana uwezekano wa mara 10 zaidi kupata maambukizo ya VVU kuliko wanawake ambao hawajanyanyaswa

Utafiti uliofanyika Dar es Salaam mwaka 2000 ulibaini kuwa zaidi ya 90 ya waathirika wa ubakaji wanawafahamu wahalifu wao Katika utafiti mwingine uliofanyika Dar es Salaam asilimia ishirini na tano (25) ya wanawake waliohojiwa walikiri kwamba ldquoUkatili ni tatizo kubwa kwenye maishardquo Nchini Tanzania ubakaji ndani ya ndoa hautambuliwi kama kosa la jinai isipokuwa kama wenza wametengana

Vitendo vya UWAKI nchini Tanzania kwa ujumla vinalenga zaidi wanawake na wasichana kutokana na desturi na mazoea ya jamii ambazo zinawabagua na kuwapunguzia uwezo wa kufurahia haki zao za kibinadamu Ingawa mashambulizi ya ngono yanawalenga zaidi wanawake na wasichana hata hivyo wanaume na wavulana vilevile wanalengwa katika unyanyasaji wa kingono kubughudhiwa na kushambuliwa

Ukatili kama ulivyofafanuliwa unadhihirisha tofauti ya madaraka kati ya mwathirika na mhalifu wa ukatili wa kingono ambapo mhalifu mara nyingi ana umbo kubwa umri mkubwa utajiri au ni mmojawapo kwenye kundi la watu wenye mamlaka au anatumia silaha Nchini Tanzania asilimia 134 ya vijana wameathiriwa na mashambulio ya kingono ya namna moja ama nyingine Kwa ujumla kutokana na sababu mbalimbali nchini Tanzania kuna uhaba wa taarifa za UWAKI pia taarifa zilizopo siyo kamilifu

5

Uzoefu unaonyesha kuwa bila kujali hali ya afya ya kimwili ya mwathirika UWAKI humwacha mwathirika na majeraha ya muda mrefu na kupunguza uwezo wa mwathirika kushirikiana na jamii na familia Athari zaidi hujitokeza kwa mwathirika kama vile aibu unyanyapaa msongo wa mawazo na mfadhaiko Tatizo hili kwa waathirika linachochewa na ldquoUtamaduni wa ukimyardquo miongoni mwa familia na jamii inayowazunguka UWAKI una athari ya moja kwa moja na matokeo hasi kwa afya na ustawi wa kiuchumi na kijamii kwa familia hasa kwa wanawake na watoto

22 Unyanyasaji wa Mtoto na Kijana

Utafiti wa kitaifa nchini Tanzania kuhusu Ukatili Dhidi ya Watoto ni wa kwanza na wa aina yake katika Bara la Afrika Matokeo ya utafi ti yameonyesha kwamba mara nyingi watoto wanakabiliwa na unyanyasaji na matukio mengi na ya namna mbalimbali yanayojumuisha ukatili wa kimwili kingono na kisaikolojia Utafiti ulibaini kuwa watoto wengi wako kwenye hatari kubwa ya kunyanyaswa kwenye mazingira ya nyumbani na shuleni Haya ni maeneo mawili ambayo watoto wengi wa Kitanzania hutumia muda wao mwingi wakati wanakua na kuelekea kwenye ujana Robo tatu ya watoto wanapofikia umri wa miaka 18 huwa wameathirika na ukatili wa kimwili kwa namna moja ama nyingine kutokana na ukatili wa ndugu mwalimu au kiongozi Kutokana na utafiti takribani 30 ya wanawake wenye umri kati ya umri wa miaka 13-24 na 14 ya wanaume wenye umri kati ya miaka 13-24 nchini Tanzania waliripotiwa kuathirika na ukatili wa kingono angalau mara moja kabla ya kufikisha umri wa miaka 18

Nchini Tanzania ukeketaji hufanyika mapema utotoni Karibu mwanamke mmoja kati ya wanawake watatu waliokeketwa (32) walikeketwa kabla ya kufikisha umri wa mwaka mmoja na 27 walikeketwa wakiwa na umri wa miaka 13 au zaidi Hata hivyo ukeketaji kwa wasichana hufanyika katika umri mdogo sehemu ya wanawake waliokeketwa wakiwa na umri wa miaka 5 iliongezeka kutoka 34 hadi 39 kwa mujibu wa Utafiti wa Afya ya Jamii [UAJ] 2004-05 na UAJ 2010 Kulingana na utafiti huu 5 ya wasichana wa miaka 13shy17 waliripotiwa kuwa wamekeketwa na 10 ya wasichana wa umri wa miaka 18-24 waliripotiwa kukeketwa Kwa mujibu wa sheria kukeketa ni

6

kosa linalostahili adhabu Kuna uwezekano kwamba wale waliokeketwa huwa wanasita kutoa taarifa na ndiyo sababu ya taarifa kuwa chache

23 Mazingira ya Sera ya UWAKI

Serikali ya Tanzania imeonyesha nia yake ya kushughulikia masuala ya UWAKI kwa kuridhia mikataba kadhaa ya kimataifa yenye kuhusiana na UWAKI na jinsia Mkataba wa Kutokomeza Aina Zote za Ubaguzi Dhidi ya Wanawake (1985) ambao umekuwa chombo katika kupambana na matukio ya ubaguzi ikiwa ni pamoja na ukatili Jukwaa la Beijing (1995)2 na Malengo ya Maendeleo ya Milenia (2000)3 Tanzania pia imeridhia hati ya Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu kuhusu haki za wanawake na hati ya Ushirikiano wa Maendeleo wa Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC)4

Vipaumbele vya maendeleo ya Tanzania vinaainishwa katika Dira ya Taifa 2025 na katika Mpango wa Kuondoa Umaskini na Kukuza Uchumi (MKUKUTA) MKUKUTA II (2011-25) unashughulikia UKIMWI na jinsia kama masuala mtambuka na ni mkakati wa kwanza wa kitaifa unaotambua UWAKI kama suala la kisera kwa watu wote Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto ndiyo yenye jukumu la kuratibu shughuli zote zinazohusiana na jinsia

Wizara hiyo imetayarisha Sera ya Maendeleo ya Jinsia (2000) kwa ajili ya kushughulikia upungufu na kukosekana kwa usawa kati ya wanaume na wanawake Pia Wizara imetayarisha Mkakati wa Kitaifa wa Jinsia na Maendeleo (2002) unaotoa dira na kuwezesha usawa wa kijinsia nchini Pamoja na Mpango wa Taifa wa Vitendo vya Kukinga na Kutokomeza Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto (2001-2015) kwa ajili ya kuongeza juhudi za Serikali za kisheria kwa kupambana na UWAKI na kuhakikisha lsquousawarsquo na lsquohakirsquo kati ya wanawake na wanaume nchini Tanzania Sera ya Taifa ya Afya ina mfumo wa utoaji wa huduma za afya kwa watu wote wanaohitaji ikiwa ni pamoja na waathirika wa UWAKI

2 Beijing Platform for Action - (BPA 1995) 3 Millennium Development Goals - (MDG 2000) 4 Southern African Development Cooperation - (SADC)

7

24 Haki za Binadamu Sheria na Mazingira ya Udhibiti

Tanzania imeridhia Sheria ya Haki za Binadamu na masharti ya vyombo kadhaa vya kimataifa na kikanda ambavyo vinakataza ubaguzi kwa misingi ya jinsia na hivyo kuhitaji serikali ihakikishe kwamba wanawake hawabaguliwi Vyombo hivi ni Mkataba wa Kimataifa wa Kuzuia aina zote za Ukatili na Unyanyasaji wa Kijinsia 1979 pamoja na Mkataba wa Kimataifa wa Haki za Kiraia na Kisiasa (1966)5 Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu (1981) na Hati ya Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu Kuhusu Haki za Wanawake Afrika (2000)

Tanzania imetunga sheria inayosimamia kukinga na kupambana na UWAKI Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (1977) iko wazi kwa kukataza ubaguzi na kwa misingi hiyo inatoa haki ya usawa [Ibara ya 12-24] Sheria ya Mtoto (2009) inawezesha jitihada za kupunguza ukatili dhidi ya watoto Sheria Maalumu ya Makosa ya Kujamiiana (1998)6

ilitungwa kwa lengo la kulinda heshima ya mwanamke na kuweka vikwazo kwa UWAKI kwa kutoa adhabu kali kwa makosa ya kingono Sheria hii inajumuisha ukatili wa kingono ubakaji biashara haramu ya usafirishaji watu bughudha za kingono na kukataza ukeketaji chini ya kifungu cha lsquoUkatili kwa watotorsquo

Hii ilikuwa mara ya kwanza kwa Tanzania kutunga sheria ya kukataza vitendo vilivyotajwa hapo juu na hatima ya sheria hii imewekwa chini ya sheria za adhabu kifungu cha 16

Sheria ya Adhabu (marekebisho ya 2002) inawekea vikwazo vitendo vya UWAKI mathalan vitisho Sehemu ya 89B 89A kutoroka watoto Sehemu ya 166 kutelekeza watoto Sehemu ya 167 kuua bila kukusudia Sehemu ya 195 mauaji Sehemu ya 196 mashambulizi Sehemu ya 240shy243 kutorosha Sehemu ya 246 utekaji nyara Sehemu ya 244 kazi za kulazimishwa Sehemu ya 256 wizi utokanao na mwenzi Sehemu ya 264 tishio la uchomaji Sehemu ya 332 uchomaji Sehemu ya 319-322 kuficha nyaraka Sehemu ya 276-278 Sheria ya Biashara ya Binadamu Na 6 ya mwaka 2008 inakataza biashara ya binadamu kwa sababu yoyote

5 International Covenant on Civil and Political Rights - (ICCPR 1966) 6 The Sexual Offences Special Provisions Act 1998 (SOSPA)

8

Sheria ya Kuzuia VVU UKIMWI Na 28 ya mwaka 2008 inakataza unyanyapaa na inafanya uambukizaji wa VVU kwa makusudi kuwa kosa la jinai

Pamoja na kuwepo vyombo vya kimataifa kikanda kitaifa na vya sheria za kuhakikisha haki kwa wanawake tatizo la UWAKI limetapakaa nchini Tanzania lakini linaripotiwa kwa nadra UWAKI unaathiri zaidi wanawake na wasichana kuliko wanaume na wavulana Haya ni matokeo ya uhusiano usio sawa kati ya wanaume na wanawake katika jamii ambayo yanajidhihirisha katika maeneo kadhaa ikiwa ni pamoja na maeneo ya kiuchumi kijamii kisiasa na kisheria

Mara nyingi UWAKI unapunguza uwezo wa wanawake na wasichana wa kufurahia haki za kimsingi za binadamu na uhuru kama ilivyoainishwa kwenye Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Utambuzi wa wahalifu wa UWAKI nchini Tanzania ni nadra kulinganisha na idadi ya mashambulizi Ni muhimu kushughulikia mahitaji ya kisheria ya waathirika wote wa UWAKI wanawake wasichana wanaume wavulana na watoto

25 Miundombinu ya utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii

Mfumo wa utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii upo katika ngazi ya kitaifa mikoajiji na wilaya manispaa Mfumo huu unawezesha utoaji wa huduma za kuboresha afya kuzuia magonjwa tiba utengemao na ustawi wa jamii kwa kupitia vituo vya kutolea huduma za afya vinavyojumuisha zahanati vituo vya afya na hospitali

Kuna mfumo wa rufaa kitaifa wa njia mbili kupeleka na kurejesha mgonjwa ambao unaanzia kwenye jamii na kwenda kwenye zahanati ambazo zipo 4679 vituo vya afya (481) hospitali za wilaya (95) hospitali za mikoa (19) na hospitali za rufaa za taifa (8) Kuna vituo vya kutolea huduma za afya 5718 nchini Tanzania vikijumuisha zahanati (86) vituo vya afya (10) na hospitali (4) vikiwa chini ya umiliki wa serikali (69) mashirika ya kidini (14) mashirika ya umma ( 3) na mashirika binafsi (14)

9

Mpango wa Maendeleo wa Afya ya Msingi [(MMAM) 2007-2017 pamoja na malengo mengine unakusudia kuhakikisha kuwa kuna kituo kimoja cha afya kwa kila kata katika kata 2555 zilizopo na zahanati moja kwa kila kijiji katika vijiji 10342 Jumla ya vituo vya afya ya msingi 8107 hospitali za wilaya 62 na taasisi 128 za mafunzo zitaanzishwa ifikapo mwaka 2012

Mahitaji ya watoa huduma za afya ni 82377 na waliopata mafunzo ni 29063 (35) ikiwa ni upungufu wa 65 ya mahitaji Mahitaji ya watoa huduma wa ustawi wa jamii ni 3892 Kuna wafanyakazi 210 wa ustawi wa jamii ikiwa ni upungufu wa 95 ya mahitaji na uhaba mkubwa katika ngazi za wilaya (93) kata (100) na vituo vya watu wenye ulemavu na taasisi nyingine (85) (WAUJ 2006)

Kuna uhaba wa wafanyakazi wa afya wenye ujuzi kwenye ngazi za zahanati (69) vituo vya afya (59) na hospitali za rufaa (48-67) Kwa ujumla kuna uhaba wa wafanyakazi wa ustawi wa jamii wenye ujuzi kwa kiwango cha 95 katika ngazi zote kanda (21) wilaya (93) kata (100) na vituo vya walemavu (95) Kama ujenzi wa vituo hautaendana na upatikanaji wa watoa huduma utekelezaji wa MMAM utakuwa na upungufu mkubwa

Kwa kawaida kuna hospitali ya wilaya au teule kwa kila Mamlaka ya Halmashauri ya Wilaya (MHW) Kuna MHW 133 ambazo zina majukumu na wajibu wa kutoa huduma za afya kwenye maeneo yao Kila MHW ina Bodi ya Afya ya Wilaya (BAW) ambayo inajumuisha madiwani waliochaguliwa na kusimamia mipango na utekelezaji wa huduma za afya kwenye wilaya

Mipango na usimamizi wa huduma za afya katika halmashauri inaongozwa na Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri ambayo kiongozi wake ni Mganga Mkuu wa Wilaya na ni Katibu wa BAW Kuna bodi ya hospitali ya wilaya teule Bodi ya Huduma ya Afya (BHA) ya kituo cha afya inayowakilisha wakazi wa kata na bodi ya zahanati inayowakilisha wakazi wa kijiji bodi zote zikiwa na uwakilishi sawa wa kijinsia

Makadirio ya matumizi ya afya kwa mtu mmoja kwa mwaka 201011 ilikuwa ni dola za kimarekani 1575 ambapo WHO imependekeza

10

kiwango cha dola 3400 za Kimarekani Matumizi ya afya ni asilimia 14 ya Bajeti ya Taifa kwa mwaka ambacho ni chini ya kiwango cha asilimia 15 kilichopendekezwa na Tamko la Abuja

Mfumo wa utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii upo katika ngazi zifuatazo

[a] Ngazi ya Kitaifa WAUJ ina jukumu la kutayarisha sera za afya na miongozo inayohusiana na huduma za afya kuweka viwango kuhakiki ubora kufuatilia na kutathmini pamoja na kusimamia utoaji wa huduma za afya zenye kujumuisha kuboresha afya kinga tiba utengemao na ustawi wa jamii Hospitali za rufaa zina asilimiai 52 tu ya wafanyakazi wenye ujuzi

[b] Ngazi ya MkoaJiji Timu ya Uendeshaji ya Afya ya Mkoa ina jukumu la kuongoza na kuendeleza utekelezaji wa mpango mkakati wa afya kwenye mkoa pamoja na ushauri wa kitaalamu kwa Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri kwenye maeneo yafuatayo (1) Utekelezaji wa sera miongozo na viwango vya utoaji wa huduma za afya kwa usahihi na kwa muda uliopangwa ukihusisha watoa huduma wote wa umma binafsi kwenye MHW (2) kupanga kwa ufanisi kutekeleza kufuatilia na kutathmini mipango ya afya ya kina katika halmashauri Kamati ya utawala ya hospitali ya mkoa ina jukumu la kupanga na kusimamia hospitali ya mkoa ambayo ni ngazi ya pili ya rufaa Kuna hospitali 19 za mikoa ambazo zina 34 tu ya wataalamu wa afya

[c] Mamlaka ya Halmashauri ya WilayaManispaa Huduma za afya katika ngazi hii zinasimamiwa na Halmashauri ya Wilaya kupitia BAW chombo kilichoundwa (2001) chini ya Sheria namba 7 ya mwaka 1982 kifungu cha 86A BAW inawajibika kwa utoaji wa huduma za kina kwenye wilaya Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri inatoa ushauri wa kiutaalam kwa utekelezaji wa uamuzi wa BAW

[d] Ngazi ya Wilaya Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri huandaa na kutekeleza mpango wa kina wa afya wa halmashauri pamoja na kufuatilia na

11

kutathmini huduma za afya kwenye hospitali vituo vya afya zahanati na jamii ikiwa ni pamoja na kufanya utafiti Kamati ya Utawala ya Hospitali inasimamia mipango na huduma kwenye hospitali ya wilaya ambayo ni ngazi ya kwanza ya rufaa Kuna hospitali 95 za wilaya zikiwa ni pamoja na hospitali teule ambazo zina asilimia 33 tu ya wataalamu wa afya

[e] Ngazi ya Kata Kamati ya Afya ya Kata inasimamia upangaji ubunifu na uratibu wa mipango ya afya ya jamii husimamia na huhamasisha upatikanaji wa rasilimali pamoja na ukusanyaji na matumizi ya Mfuko wa Afya wa Jamii Vituo vya afya vina jukumu la kutoa huduma za kina za afya na ustawi wa jamii kwenye kata Kamati ya Kituo cha Afya inasimamia utoaji wa huduma za afya na kuhamasisha ukusanyaji wa rasilimali zinazohitajika Timu ya Kituo cha Afya ina wajibu wa kusimamia shughuli za kila siku kwenye kituo cha afya Timu inapanga na kusimamia juhudi za afya ya jamii katika eneo lake chini ya Mpango wa Maendeleo ya Kata Kuna jumla ya kata 2555 nchini ambapo kata 481 sawa na 19 zina vituo vya afya ambavyo vina 41 tu ya wataalamu wa afya

[f ] Ngazi ya Kijiji Kamati ya Zahanati inahakikisha kwamba idadi ya watu katika eneo lake wanapata huduma sahihi za afya na nafuu pamoja na kusimamia uhamasishaji wa rasilimali kwa ajili ya utekelezaji wa mpango wa zahanati Timu ya Usimamizi wa Zahanati inapanga na kusimamia juhudi za afya ya jamii kwenye maeneo chini ya Mpango wa Maendeleo ya Kata Kuna jumla ya vijiji 10342 ambapo 4679 vina zahanati sawa na 45 ambazo ni aslimia 31 tu ya zahanati zina wataalamu wa afya wanaotosheleza Kamati ya Huduma za Jamii kwenye kijiji ina wajibu wa kuhamasisha na kushirikisha jamii ili wajihusishe kuboresha na kulinda afya

[g] Ngazi ya Kaya Kuna kaya takriban milioni 7 nchini Tanzania na wastani wa watu 47 kwa kila kaya (ambapo 70 ya kaya zote zinaongozwa na wanaume na 30 zinaongozwa na wanawake) Sera ya Afya ya Taifa inatamka kwamba ni wajibu wa kila raia kuendeleza na kulinda afya yake pamoja na ya familia yake Pamoja na haya kila raia ana jukumu la kujiepusha na tabia hatarishi kwa afya yake pamoja na ya mwenzie na kuchangia rasilimali kwa ajili ya afya yake na uendelezaji wa vituo vya kutolea huduma za afya

12

26 Kukinga na Kupambana na UWAKI

Serikali ya Tanzania na washirika wake wa karibu wametekeleza mambo mbalimbali yanayohusiana na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Wizara ambazo zinahusika kwa ukaribu kwenye utekelezaji wa mipango ya kukinga na kupambana na UWAKI ni pamoja na Wizara ya Maendeleo y a Jamii Jinsia na Watoto Wizara ya Sheria na Katiba Wizara ya Mambo ya Ndani na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Kuna ushirikiano kati ya wizara idara mashirika asasi za kiraia na wadau wa maendeleo Katika ngazi ya kitaifa serikali inatekeleza Mkakati wa Maendeleo ya Jinsia (2005) na kukuza usawa wa jinsia na haki kwa wanawake Utekelezaji wa Sheria Maalumu ya Makosa ya Kujamiana (1998) ambayo sasa ni Kanuni ya Adhabu Sura ya 16 Toleo la Marekebisho 2002 Pia serikali inatekeleza Mpango wa Taifa wa Vitendo wa Kuzuia na Kutokomeza Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto (2001-2015) ambao una lengo la kutokomeza ubaguzi na unyonyaji wa kisheria kijamii kiuchumi kiutamaduni na kisiasa Zaidi ya yote Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (1977) inatamka kuheshimu misingi ya usawa na haki kwa kila mtu

Kwa kushirikiana na wadau wengine serikali inawezesha uanzishwaji wa kitengo cha jinsia kwenye idara za wizara mbalimbali (mfano idara ya polisi chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi) Mashirika ya Jamii hutoa utetezi msaada wa kisheria huduma za afya na kuendesha kampeni na mashirika mengine yamechukua hatua za kutoa hifadhi kwa waathirika wa UWAKI na Vituo vya Kuhifadhi Waathirika Kuna sera za kitaifa sheria mikakati na mipango ya kazi kwa ajili ya kushughulikia usawa wa kijinsia Vilevile serikali kwa kushirikiana na asasi za kiraia imejenga mazingira mazuri ya kuwezesha waathirika kupata huduma kama vile msaada wa kisheria Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii (WAUJ) imekuwa ikitoa huduma kwa waathirika wa UWAKI licha ya kutokuwepo kwa mwongozo wa sera kwa ajili ya wahudumu wa vituo vya kutolea afya

27 Changamoto katika Kuzuia na Kupambana na UWAKI

Muundo wa sheria sera na juhudi za kukuza haki za binadamu zinakabiliwa na changamoto mbalimbali zinazofisha jitihada za kuzuia kupambana

13

na kuepusha athari za UWAKI nchini Tanzania Changamoto hizo ni pamoja na upungufu wa fedha upungufu wa kisheria na sera zilizopo uratibu duni kati ya wadau na kukosekana kwa mfumo wa rufaa kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI Hali kadhalika uelewa na taarifa juu ya ukubwa wa tatizo la UWAKI ni duni kwa hivyo WAUJ imebuni na kutayarisha mwongozo maalumu wa sera na huduma dhidi ya UWAKI ili kukabili changamoto hizo

[a] Sera za Taifa Serikali ya Tanzania inajitahidi kujenga mazingira mazuri ya kuzuia na kupambana na UWAKI Ingawa Sera ya Afya ina lengo la kutoa huduma za afya za kutosha kwa kila Mtanzania ipo haja ya kuwa na miongozo na mikakati inayofafanua masuala ya UWAKI kwa ukamilifu Ukosefu wa miongozo na sera ya usimamizi dhidi ya UWAKI ni kikwazo kikubwa kwa juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kutibu na kuhudumia waliopatwa na UWAKI Sekta ya afya itatumia mwongozo wa sera hii ili kuboresha huduma ya kupambana na UWAKI kwa kushirikisha na kuwahusisha wadau wote

[b] Sheria zaTaifa Pamoja na kuwepo sheria nyingi zilizopitishwa kwa ajili ya kulinda haki za wanawake na watoto bado zipo changamoto nyingi Kwa mfano kuna baadhi ya sheria zenye utata baadhi zinapingana na hivyo kupunguza uwezo wa kupambana na UWAKI Pamoja na hayo Sheria ya Ndoa kama ilivyofanyiwa marekebisho 2002 haiainishi hatua za kuchukuliwa dhidi ya ukatili wa kifamilia Sheria hii ni kama inahalalisha ubakaji kwa kuruhusu binti kuolewa chini ya umri wa miaka 18 Sheria ya Makosa ya Kujamiiana na Vipengele Maalumu (1998) haitambui ubakaji ndani ya ndoa ingawa inatambua ubakaji ikiwa mume na mke wametengana Mbali na upungufu huo sheria ya makosa ya kujamiiana kwa upande wa kuthibitisha ushahidi wa kuingiliwa kimwili ni mgumu Sheria ya Mila (Tangazo la Serikali Na4361963) ambayo inatumiwa na Watanzania wote wazawa inatokana na mila na desturi za makabila mbalimbali ya Tanzania sheria hii ya Mila ni ya kibaguzi na huleta changamoto kwa wanawake na watoto ambao wamezaliwa nje ya ndoa hususan katika urithi wa mali Kwa mfano ugawanaji wa mali ya marehemu upo katika makundi matatu (1) Mtoto wa kwanza wa kiume (2) Watoto wengine wa kiume waliobaki na (3) Watoto wa kike bila kujali umri

14

na hali katika familia Watoto wa kike wa marehemu hurithi fungu dogo na hunyimwa haki ya kumiliki ardhi Kwa mujibu wa sheria hii mjane hana haki ya kurithi mali yoyote kutoka kwa marehemu mume wake isipokuwa huchukuliwa kuwa atatunzwa na watoto wake Mjane ambaye hajabahatika kuzaa hupata asilimia 20 ya asilimia 50 ya mali za marehemu mume wake Mbali na urithi sheria hii kwa upande wa talaka ikiwa mke alilipiwa mahari wakati ndoa inapovunjwa na mahakama mume ana haki ya kudai kurudishiwa mahari

Sheria zenye kupunguza makali ya UWAKI zimeweka kanuni za kuwezesha wadau katika sekta mbalimbali kuandaa sera na miongozo ya kuzuia na kupambana na UWAKI Wahusika muhimu katika sekta mbalimbali wanapaswa kupitia sheria zinazotoa mwanya wa mwendelezo wa UWAKI na kupendekeza marekebisho au utungwaji wa sheria nyingine zitakazopunguza na kumaliza vitendo vya UWAKI Hata hivyo kuna umuhimu wa kuwepo kwa wajibu na majukumu ya sekta mbalimbali katika kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kupambana dhidi ya unyanyasaji na ukatili kwa watoto Kwa kutambua na kuimarisha wajibu huo katika kila sekta itasaidia uzingatiaji wa sera na kuimarisha ari ya utendaji katika sekta zifuatazo

bull Ustawi wa Jamii Kujenga mfumo wa kufanya tathmini ya vihatarishi katika kupima mfumo wa rufaa unaohusisha sekta na huduma mbalimbali kuweza kuamua na kuchukua hatua za haraka na za muda mrefu katika kupambana na kutoa mahitaji ya haraka na ya muda mrefu kwa ajili ya ulinzi wa watoto na waathirika wengine

bull Elimu Kujumuisha elimu dhidi ya ukatili wa kijinsia katika mitaala ya elimu ikiwa ni pamoja na kuandaa mazingira salama shuleni na kuingiza katika programu za elimu zinazoelezea juu ya masuala ya kujifahamu kimwili (kibiolojia) afya ya uzazi na maendeleo yaa jamii Kuhakikisha kwamba sekta mbalimbali za rufaa na mifumo inayotoa ulinzi wa mtoto vinahusishwa katika elimu hiyo

bull Polisi na sheria Kuimarisha na kupanua ulinzi sahihi wa kisheria kwa ajili ya watoto na kuchukua hatua za kisheria kwa watuhumiwa wa uhalifu kuendeleza juhudi za kuimarisha dawati la jinsia na watoto katika idara ya Polisi nchini Kuendelea kuelimisha polisi na watumishi wengine

15

wa usalama wa raia kuhusu ukatili dhidi ya watoto na kuwa na utaratibu wa uchunguzi wa pamoja na idara ya ustawi wa jamii afya mamlaka na vitengo vingine vinavyohusika na ulinzi na usalama wa mtoto

bull Afya Kufanya kazi katika muundo wa pamoja na wadau wengine kwa kufuata miongozo iliyopo kwa ajili ya kuzuia kutibu kuhudumia na kufuatilia matukio ya ukatili dhidi ya watoto Kuimarisha mifumo iliyo wazi yenye kuunganisha huduma rafi ki kwa watoto na vijana dhidi ya UWAKI

[c] Polisi na Mahakama Mabadiliko katika idara ya polisi hasa katika uanzishwaji wa polisi jamii na dawati la jinsia na watoto yanaonyesha maendeleo katika kushughulikia UWAKI Hata hivyo waathirika wa UWAKI wanakabiliwa na ugumu wa kufika katika vituo vya polisi na mfumo wa utoaji haki Kwa mfano zipo kesi zilizotupiliwa mbali na Mahakama kwa kukosa ushahidi muhimu kutoka upande wa mashtaka Matokeo yake ni kwamba waathirika wanakosa motisha ya kutoa taarifa ya matukio ya UWAKI na hivyo hushindwa kufikisha malalamiko katika vyombo vya utoaji haki

Upungufu wa mafunzo kwa polisi na watoa huduma za kisheria juu ya namna ya kuzitumia sheria zilizopo dhidi ya UWAKI kumesababisha kesi mahakamani kushindwa Mfano Fomu ya Polisi namba 3 (PF3) inatoa taarifa juu ya tukio la shambulio na haitoi maelezo juu ya tukio hilo kama limetokana na UWAKI Ingawa zipo sheria zinazopinga UWAKI sheria hizo hazifahamiki hivyo hazitumiki kikamilifu Pamoja na hayo sheria za kimila na imani za kidini zinazuia waathirika kutoa taarifa za matukio ya UWAKI

Sheria ya Makosa ya Kujamiiana na Vipengele Maalumu (1998) inatoa adhabu kali kwa makosa ya kujamiiana Mara nyingi watuhumiwa hawafikishwi mahakamani kwa kuhofia kudhurika kwa familia zao kwa upande wa kukosa kipato kutoka kwa mtuhumiwa (kwani adhabu za makosa hayo huwa ni kifungo cha muda mrefu) Kwa sababu hizo utoaji wa taarifa kutoka kwa waathirika na familia zao ikiwa ni pamoja na matumizi ya sheria na uendeshaji wa mashtaka umeendelea kuwa changamoto pamoja na kuwepo kwa Sheria ya Makosa ya Kujamiiana inayotoa ulinzi dhidi ya UWAKI

16

bull

bull

bull

bull

bull

[d] Mila na Desturi Katika ngazi ya jamii na mtu binafsi zipo sababu mbalimbali zinazochangia kwa kiwango kikubwa matukio ya UWAKI Utafiti uliofanywa na mtaalamu wa Shirika la Afya Duniani (WHO)7 unaainisha vipengele hatarishi vifuatavyo juu ya mila na desturi

Kanuni za kimila katika uhusiano wa kijinsia humpa mwanamume madaraka na haki zaidi Baadhi ya mila na desturi huhimiza uvumilivu juu ya vitendo vya UWAKI na kuwazuia waathirika kutoa taarifa na kupata msaada Uwezeshaji wa mwanamke katika kupambana na mfumodume hujenga hisia kwa mwanamume kuwa anapoteza mamlaka yake na hivyo huwaudhi baadhi ya wanaume na kuendelea kufanya ukatili kwa lengo la kuwadhibiti wanawake Matumizi ya baadhi ya sheria za kimila hayawasaidii waathirika kupata haki Hofu ya kulipiza kisasi unyanyapaa ubaguzi na kukosekana kwa huduma huwazuia waathirika kutoa taarifa na kupata msaada

[e] Madaraka na Mamlaka Madaraka na mamlaka ni muhimu katika kuzuia na kupambana na UWAKI Wakati mwingine watu wenye madaraka na mamlaka hufumbia macho matukio ya UWAKI Kwa mfano upo ushahidi wa kutosha kuwa kuna matumizi mabaya ya madaraka na mamlaka shuleni na maeneo ya kazi

[f ] Kuhusisha Jamii Jamii ndiyo ngazi ya awali kujua tukio la UWAKI na kutoa msaada wa usalama na ulinzi kwa mwathirika Utafiti wa Shirika la Afya Duniani katika nchi mbalimbali ulionyesha kwamba asilimia 37 ya waathirika walipata msaada kutoka kwa jamii Kutokana na kiwango cha unyanyapaa ubaguzi na kutengwa kijamii viongozi katika ngazi ya jamii waliohamasishwa juu ya UWAKI waliweza kukabili mazingira haya ya kiuhasama Jamii inaweza kumsaidia mwathirika kwa kujenga mazingira mazuri (kwa mfano kituo cha hifadhi salama) Jamii inahusishwa katika

7 Krug Etienne et al 2002 World Report on Violence and Health Geneva WHO Available at httpwwwwhointviolence_injury_preventionviolenceworld_report

17

bull

bull

bull

bull

kuwahamasisha waathirika kuwapa ulinzi mahitaji ya msingi msaada wa kisaikolojia na kuwapa rufaa kwa watoa huduma wengine Vilevile jamii inahusishwa katika kuzuia UWAKI kupunguza unyanyapaa na kuwapa unasihi waathirika pamoja na kuhamasisha viongozi wa kijamii na wanajamii kwa ujumla

Uhamasishaji huu ni muhimu kwa sababu jamii ni daraja kati ya mwathirika na huduma za afya na ustawi wa jamii

Jamii inapaswa kushirikishwa katika hatua za mwanzo na zinazofuata katika kuzuia UWAKI Katika hatua za mwanzo jamii inapaswa kujitahidi kuondoa tabia za kuvumilia matukio ya UWAKI na hivyo kupunguza matukio hayo Katika hatua zinazofuata jamii itatambua na kulinda wale walio katika hatari zaidi ya UWAKI kama watoto na wanawake Jamii pia inapaswa kutambua vikwazo vya utoaji huduma katika idara ya afya polisi na mfumo wa utoaji haki na kuisaidia jamii kuondokana na vikwazo vya upatikanaji wa huduma

Ni muhimu kuishirikisha jamii katika jitihada za utekelezaji wa kuzuia UWAKI na kupambana nao ikiwamo usimamizi wa matibabu ya waathirika Jamii ina uwezo mkubwa wa kuhamasisha waathirika kutafuta huduma za afya na huduma nyingine zinazohusiana na UWAKI kwa mfano huduma za polisi usaidizi wa kisheria na hifadhi salama Pia jamii ina wajibu wa kuwaunganisha waathirika na jamii zao

Hata hivyo zipo changamoto katika kuihusisha jamii kama vile

Upungufu katika kuwahusisha wanaume na wavulana katika kushughulikia UWAKI Wanajamii wamekuwa wakiwanyanyapaa badala ya kuwasaidia waathirika na wakati mwingine wameshiriki katika UWAKI Baadhi ya viongozi wa kijamii na kidini hawana utayari wa kuhamasisha kuzuia na kupambana na UWAKI Jamii zina kiwango kikubwa cha kunyamazia matendo ya UWAKI na kuzuia sheria kuchukua mkondo wake

18

[g] Hali ya kiuchumi na kijamii Kushughulikia UWAKI pekee kama changamoto inayohusu huduma za tiba ni kutibu dalili badala ya chanzo Ni muhimu kushughulikia vyanzo vya UWAKI kama umaskini miongoni mwa wanawake ambao huwafanya kuwa wategemezi

Serikali imetayarisha MKUKUTA II wenye kuainisha njia za kuendeleza na kulinda haki za binadamu kwa watu wote hasa kwa wanawake na wanaume maskini watoto watu wanaoishi katika hali hatarishi na makundi maalumu (angalia MKUKUTA II-kundi la III lengo la 3) na kuongeza uzalishaji na fursa za ajira zenye kuheshimika hasa kwa wanawake na vijana (angalia MKUKUTA II kundi la I lengo la 3) Changamoto iliyopo ni ukosefu wa kuweka vipaumbele katika utekelezaji wa ahadi hizi kwa wanawake na vijana kwa kuelekeza rasilimali za kutosha na kutekeleza mikakati katika kuleta mabadiliko ya hali ya kijamii na kiuchumi kwa wanawake na vijana hivyo kupunguza hali hatarishi ya UWAKI

28 Upungufu katika kupambana na UWAKI

Sekta ya afya imeandaa mwongozo wa kutoa huduma kwa waathirika wa UWAKI Hata hivyo ili kutoa huduma bora na za kirafi ki kwa waathirika sekta zinazohusika hazina budi kushughulikia upungufu ulioainishwa kama ifuatavyo

[a] Huduma za afya

Ukosefu wa mwongozo wa utoaji wa huduma kwa waathirika wa UWAKI Hakuna mwongozo wa utoaji wa huduma za kupambana na UWAKI kwa watoa huduma wa ngazi zote kuanzia nyumbani kwenye jamii zahanati vituo vya afya hospitali polisi mahakama na wadau mbalimbali Upungufu huu unakwamisha upatikanaji na utoaji wa huduma bora za kukinga na kupambana na UWAKI

Upungufu wa fedha Bajeti ya Serikali kuu na serikali za mitaa haikidhi mahitaji

19

Upungufu wa wataalamu wenye ujuzi wa kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Watoa huduma kwenye vituo vya kutolea huduma za afya na jamii hawana maarifa na ujuzi unaotakiwa kushughulikia mahitaji ya waathirika wa UWAKI wa marika yote

Kutojumuishwa kwa huduma za waathirika wa UWAKI na huduma nyingine Huduma za waathirika wa UWAKI hazikujumuishwa na huduma nyingine za afya na ustawi wa jamii kama vile afya ya uzazi upimaji wa VVU UKIMWI uzazi wa mpango na unasihi

Mfumo duni wa rufaa kwa waliopatwa na UWAKI Ingawa mfumo wa rufaa wa huduma za afya umeimarika kwa huduma nyingine lakini hakuna mfumo sahihi wa rufaa kwa waliopatwa na UWAKI Watoa huduma za afya hawana taarifa sahihi za waliopatwa na UWAKI kuhusu utaratibu wa kupeleka na kupokea wagonjwa kwenye vituo vyao na kwenda kwenye vituo vingine au huduma za mfumo wa jamii polisi kisheria na kadhalika Katika mazingira haya mahitaji ya rufaa kwa waliopatwa na UWAKI hayakidhiwi Waliopatwa na UWAKI hawana taarifa ambazo zitawasaidia kupata huduma na hivyo hushindwa kufanya uamuzi sahihi au kutafuta huduma na matibabu zaidi

Upungufu wa taarifa na takwimu Nchini Tanzania matukio yanayohusu UWAKI hayatolewi taarifa ipasavyo kutokana na sababu nyingi zikiwemo waathirika kusita kutoa ripoti ya matukio kutokana na unyanyapaa na ubaguzi hofu ya kutengwa na jamii aibu na miiko inayohusishwa na UWAKI Matokeo yake ni ukosefu wa taarifa zenye uhakika ambazo zinaweza kutumika kuandaa mpango kwa misingi ya utafi ti utaratibu wa utoaji huduma maendeleo ya kisera na utetezi ufuatiliaji na tathmini na uamuzi wa kiutawala

[b] Huduma za Ustawi wa Jamii Utoaji wa huduma za ustawi wa jamii unakabiliwa na ushirikiano mdogo kati ya watendaji wa sekta mbalimbali wa huduma za afya katika halmashauri Kuna upungufu wa watoa huduma za ustawi wa jamii katika ngazi mbalimbali Hali hii inaathiri wigo wa huduma ya msaada wa kisaikolojia unasihi marekebisho ya tabia na utengamao

20

bull

bull

bull

bull

bull

Kikwazo kingine ni watoa huduma za ustawi wa jamii na wadau wa afya kukosa stadi maalumu za kutosha kuhusu kuzuia na kupambana na UWAKI

Wajibu wa watoa huduma za ustawi wa jamii ni muhimu kwa sababu wanafanya kazi katika ngazi ya jamii ambapo matukio mengi ya UWAKI hutokea Wana majukumu makubwa kama watu wa mstari wa mbele kwenye kuzuia na kupambana na UWAKI Uhusiano kati ya jamii na utoaji wa huduma ndio kipimo cha kiwango cha waathirika wa UWAKI kupata huduma za matibabu na kurejea kwenye jamii ili kuendelea kuishi maisha yenye faraja

[c] Huduma za Jamii Baadhi ya upungufu wa uhusiano kati ya jamii na vituo vya kutoa huduma za afya ni pamoja na

Uelewa duni kuhusu masuala ya UWAKI na uwezeshaji wa jamii katika kuzuia na kupambana na UWAKI Uelewa duni wa mahali pa kupata huduma kwa waliopatwa na UWAKI Upungufu wa huduma za kijamii kwa waathirika ikiwa ni pamoja na mifumo ya kijamii ya kutoa ulinzi na usalama (kwa mfano vituo vya hifadhi ya muda) na huduma za rufaa za kiafya polisi na msaada wa kisheria

[d] Huduma za Msaada wa Kisheria (Polisi na Mahakama) Kuna vikwazo vingi katika kupata msaada wa kisheria ambavyo ni pamoja na

Upungufu wa kupata huduma za polisi na msaada wa kisheria kwa waathirika wa UWAKI

bull Kutokuwepo kwa sheria mahususi dhidi ya UWAKI bull yasiyotosheleza UWAKI kwa vyombo Mafunzo kuhusu

vinavyosimamia sheria bull Kuna sheria zinazokinzana na hivyo kutoa mwanya wa tatizo la

UWAKI kuongezeka Upungufu wa watumishi na fedha kwa ajili ya huduma za polisi na msaada wa kisheria

21

bull

bull

Uhaba wa vituo vya msaada wa kisheria Vituo vingi vinavyotoa msaada wa kisheria kwa sasa vinahudumiwa na asasi zisizo za kiserikali zina bajeti ndogo na zipo zaidi mijini

[e] Huduma ya Elimu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imeingiza UWAKI katika mtaala wa mafunzo ya walimu shule za msingi na sekondari Hata hivyo kuna changamoto nyingi katika kuhusisha shule ili kuzuia na kupambana na UWAKI

bull Walimu hawajapata mafunzo ya kutosha kuhusu UWAKI Uhaba wa maeneo salama na programu za shuleni zinazowapa watoto uwezo wa kuzuia na kupambana na UWAKI na ukatili dhidi ya watoto

bull mfumo unaohusuUhusiano duni kati ya mfumo wa elimu na ulinzi na usalama wa mtoto

22

SEHEMU YA TATU

UMUHIMU NA MALENGO 31 Umuhimu

Utafiti uliofanyika nchini Tanzania umeonyesha viwango vya juu vya UWAKI ambavyo ni kati ya asilimia 30 hadi 50 Viwango hivi havikubaliki na vinasababisha madhara ya kimwili kingono kisaikolojia kwa makundi ya umri wowote hasa watoto na wanawake Matokeo ya UWAKI yanaweza kusababisha vifo kutokana na kujiua maambukizo ya virusi vya UKIMWI au magonjwa na vifo vya wanawake vinavyotokana na uzazi Matokeo mengine ingawa hayasababishi vifo yana madhara ya kimwili kingono na kisaikolojia kwa muda mfupi au mrefu Madhara ya UWAKI ni zaidi ya matokeo ya kiafya na majeraha ambayo ni vigumu kupona UWAKI unakiuka haki za binadamu za waathirika na husababisha matokeo hasi katika amani umoja na kipato cha familia ambayo kwa ujumla huleta madhara kwa maendeleo ya kijamii na kiuchumi

Ingawa Serikali ya Tanzania na asasi za kiraia zimefanya jitihada kubwa za kuzuia na kupambana na UWAKI bado tatizo hili ni changamoto kubwa WAUJ itashughulikia changamoto hizi kwa kushirikiana na wadau wengine hali inayohitaji ushirikiano wa karibu ili kushinda vikwazo vilivyopo ambavyo ni pamoja na upungufu wa fedha na watumishi udhaifu kwenye mfumo wa rufaa na mfumo wa kuunganisha huduma za UWAKI katika huduma zilizopo Changamoto nyingine ni uhaba wa utetezi na takwimu kwa ajili ya uandaaji wa mipango yenye misingi ya utafiti kufanya uamuzi ufuatiliaji na tathmini Hata hivyo serikali imeweka misingi imara kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kama inavyodhihirishwa kwa kuwepo kwa sera mikakati na mipango kazi ya kusaidia masuala ya kijinsia na kupunguza UWAKI

Kutokana na ukubwa wa tatizo hili madhara yake na changamoto zinazohusiana na UWAKI WAUJ imetayarisha Mwongozo huu wa kisera chini ya Sera ya Afya ili kuimarisha juhudi za kupambana na UWAKI na kuhakikisha utoaji wa huduma za kina na zenye ubora katika ngazi zote Mwongozo huu wa kisera utatoa mwelekeo kwa vituo vya huduma za afya kwa ngazi zote kuhusu wajibu na majukumu yao katika utoaji

23

wa huduma za UWAKI Pamoja na haya Mwongozo huu utawezesha utayarishaji wa mwongozo wa matibabu kwa waathirika wa UWAKI Kutokana na uzito wa tatizo hili la UWAKI utayarishaji wa Mwongozo huu ulihusisha na kushirikisha kwa kina wadau mbalimbali ndani na nje ya WAUJ

32 Lengo Kuu

Lengo kuu la Mwongozo huu wa kisera ni kuimarisha uwezo wa WAUJ kuelekeza sekta ya afya na ustawi wa jamii na kujenga uhusiano imara na jamii na wadau mbalimbali katika kuzuia na kupambana na UWAKI

33 Malengo Mahasusi

Mwongozo huu utawezesha yafuatayo

[i] Kuweka mfumo wa kuelekeza utayarishaji wa mwongozo wa matibabu na taratibu za kutoa huduma kwa waathirika wa UWAKI

[ii] Kuelekeza WAUJ namna ya uratibu bora wa utekelezaji wa juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kuelekeza namna ya kuweka mifumo thabiti ya ufuatiliaji tathmini na uwekaji wa kumbukumbu za afua za UWAKI chini ya WAUJ

[iv] Kuelekeza ushirikiano kati ya Wizara jamii na wadau kutoka sekta mbalimbali katika utoaji wa huduma za UWAKI

24

bull

SEHEMU YA NNE

MAELEKEZO YA KISERA

Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii watafanya kazi pamoja na wale wa sekta nyingine hasa kwenye ngazi ya jamii katika kuimarisha ushirikiano na mitandao mingine katika jamii ili kuwasaidia waliopatwa na UWAKI kwa karibu na kuwashirikisha katika kuboresha afya zao na kuzuia UWAKI

WAUJ kwa kushirikiana na wadau wengine imetayarisha Mwongozo huu wa kisera wa UWAKI ili kutoa taarifa malengo na maelekezo kuhusu jitihada za kuzuia kuepusha na kushughulikia madhara ya UWAKI katika sekta ya afya Wadau muhimu ni pamoja na viongozi wa jamii polisi na mahakama Yeyote kati ya wadau hawa anaweza kuwa ni kimbilio la kwanza kwa wahanga wa UWAKI Wote wana wajibu wa kutoa huduma kwa haraka na kwa ufanisi

41 Huduma kwa Waliopatwa na UWAKI

Watoa huduma za afya wanatakiwa kuwahudumia waliopatwa na UWAKI kwa kujali na kuzingatia maadili ya taaluma zao Wajibu huu ni pamoja na kuhakikisha usalama hali ya usiri heshima utu na kutoa huduma bila ubaguzi Aidha kabla ya kutoa huduma inatakiwa kupata ridhaa ya muhusika au mlezi wa mtoto mwenye umri chini ya miaka 18

Kwa kulenga na kuzingatia mahitaji ya watu waliofanyiwa UWAKI watoa huduma za afya kwenye ngazi zote watazingatia na kuongozwa na kanuni zifuatazo

[a] Haki za Binadamu Maadili na Kujali

bull zilenge kurejesha au Usalama Hatua zote zinazochukuliwa kudumisha usalama wao Hali ya Usiri Siri zao pamoja na familia zao zinatakiwa kutunzwa wakati wote Hii ina maana kwamba mtoa huduma ya afya anaweza kutoa taarifa muhimu kwa mtoa huduma mwingine pale ambapo muhusika ameridhia tu

25

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

Heshima na utu Watoa huduma wanatakiwa kuwasikiliza kwa makini maoni mawazo na fikira zao na kuwahudumia kwa heshima Bila ubaguzi Waliopatwa na UWAKI wote ni sawa na wanatakiwa kuhudumiwa kulingana na mahitaji yao pia kupewa nafasi sawa katika kupata huduma Ridhaa arifu Ridhaa ya aliyefanyiwa UWAKI itahitajika kwenye taratibu za utoaji huduma maalumu kama (1) Uchunguzi na tiba (2) Uchunguzi tiba pamoja na ushahidi wa kitaaluma (3) Uchunguzi tiba ushahidi wa kitaaluma pamoja na uchunguzi wa polisi na kisheria

Kanuni zinazohusu watoto bull Kuzingatia na kusimamia mahitaji halisi ya mtoto wakati wote bull Kumpa mtoto faraja bull Kumshirikisha mtoto katika kufanya uamuzi bull Kumshughulikia kila mtoto kwa haki na usawa

Kumsaidia na kumlea mtoto ili akue katika hali ya ujasiri na kujiamini

[b] Haki za Aliyepatwa na UWAKI Watoa huduma wote wanatakiwa kuwa na mtazamo unaozingatia mahitaji ya mtu aliyepatwa na UWAKI na kuheshimu haki zake ambazo ni

bull Kuhudumiwa kwa heshima bila unyanyapaa ubaguzi na kutokuwa na mtazamo wa kumlaumu Kupewa taarifa sahihi na zinazoeleweka ili aweze kutoa ridhaa na siyo kumwambia cha kufanya hali inayoweza kumfanya ajisikie mnyonge

bull Kupewa faragha na hali ya usiri na siyo kumteta au kumwaibisha Kulindwa dhidi ya ubaguzi wa aina yoyote au upendeleo wenye misingi ya kijinsia au sababu nyingine Kupewa nafasi ya kuchagua kuhudumiwa na mtoa huduma mwanamume au mwanamke

bull Kupewa nafasi ya kusindikizwa na ndugu au mlezi wake

26

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

[c] Wajibu wa Mtoa Huduma Mtoa huduma anatarajiwa kuzingatia yafuatayo anapomhudumia mtu aliyepatwa na UWAKI

Kujiweka katika nafasi ya mtu aliyepatwa na UWAKI na kuguswa kuwa mtunza siri kuonyesha upendo na kujali anapomuhudumia Kumpatia taarifa sahihi na kuhakikisha kuwa ridhaa arifu inatolewa kwa huduma inayohitajika Kuzingatia masilahi ya muhusika na kuheshimu matakwa yake wakati wote

bull na kuzuia madhara mengineKuhakikisha ulinzi na usalama wake Kuhifadhi kumbukumbu zake mahali pa usalama na kutunza siri wakati wote

bull huduma kadiriKumpatia rufaa kwenda kwenye ngazi za juu za inavyohitajika kulingana na kiwango cha madhara ya kimwili kihisia na kisaikolojia Aidha inatakiwa kumpatia unasihi kabla ya kumpa rufaa

Kuhusu Watoto bull Kuhakikisha kuwa mzazi au mlezi yupo wakati wote pia

kuhakikisha kwamba mzazi au mlezi siyo tishio kwa mtoto Wakati wote mwandae mtoto kuelewa kinachotarajiwa kutendeka na kuhakikisha anaelewa kitakachotokea Kwa watoto wenye umri chini ya miaka 18 ridhaa ya maandishi inahitajika kutoka kwa mzazi au mlezi

Vigezo vya kupata mchango wa mawazo kutoka kwa Watoto Watoto wa umri wa miaka 16 na zaidi kwa ujumla wana uwezo wa kutosha kufanya uamuzi

bull kuwaWatoto wa umri wa miaka 14 hadi 16 wanatarajiwa wamekomaa vya kutosha kutoa mchango au mawazo yao Watoto wa umri wa miaka 9 hadi 14 wana welewa wa kushiriki kufanya uamuzi lakini ukomavu wa kila mtoto unatakiwa kupimwa kipekee Watoto wa umri chini ya miaka 9 wana haki ya kutoa maoni arifu na kusikilizwa Wanaweza kushiriki katika mchakato wa kufanya uamuzi kwa kiwango fulani lakini hadhari inahitajika ili kuwaepusha na mzigo wa kuwa waamuzi

27

bull lazimaKimsingi inapendekezwa kwamba maoni ya kila mtoto yazingatiwe kulingana na umri wake kiwango cha ukomavu utamaduni mila na hali ya mazingira

[d] Wajibu wa WAUJ katika Ngazi ya Taifa WAUJ inatayarisha sera miongozo na kanuni inadhibiti ubora inafuatilia na kutathmini utekelezaji Vilevile inahakikisha kuna watumishi na fedha za kutosha kwa mipango ya afya pamoja na kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote WAUJ itaendeleza ushirikiano na wadau mbalimbali kitaifa na kimataifa Wizara itafanya yafuatayo katika kuzuia na kupambana na UWAKI

[i] Kuandaa miongozo ya matibabu yenye ubora kwa ajili ya watoto vijana na watu wazima waliopatwa na UWAKI

[ii] Kutafuta na kutenga fedha kwa ajili ya afua za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kuandaa miongozo ya mafunzo yanayohusiana na juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kutoa mafunzo kwa watoa huduma za afya na ustawi wa jamii kuhusu kuzuia na kupambana na UWAKI kwa watoto vijana na watu wazima

[v] Kutoa huduma mseto na rufaa kwa kutumia mfumo uliopo wa utoaji huduma za afya na ustawi wa jamii

[vi] Kuunganisha takwimu zinazohusu UWAKI kwenye Mfumo wa Takwimu na Ufuatiliaji wa Huduma za Afya (MTUHA)

[vii] Kuendeleza utaratibu wa kupeana taarifa na takwimu zinazohusu UWAKI pamoja na kushirikiana na wadau wake wakuu

[viii] Kufanya usimamizi shirikishi ili kuhakikisha kuwa kanuni za haki za binadamu maadili na kujali zinazingatiwa

[e] Wajibu wa Vituo vya Huduma za Afya Vituo vya kutoa huduma za afya vinajumuisha zahanati vituo vya afya na hospitali zinazomilikiwa na sekta ya umma na binafsi Vituo vyote vya kutoa huduma katika ngazi zote vina Kamati ya Uongozi ya Kituo na Timu ya Usimamizi

28

Vituo vya huduma za afya vitafanya yafuatayo [i] Kuhakikisha kwamba Timu za Usimamizi wa Huduma za Afya

zinatenga fedha za kutekeleza mikakati na mipango kazi ya mwaka ili kuviwezesha vituo kutoa huduma bora kwa waliopatwa na UWAKI

[ii] Kuunganisha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI na zile zilizopo kwenye vituo vya huduma za afya na kuhakikisha mpangilio mzuri wa rufaa za ndani na nje ya kituo zinakidhi mahitaji ya watoto vijana na watu wazima kwa usawa na haki

[iii] Kuhakikisha watoa huduma ya afya na ustawi wa jamii wanapatiwa mafunzo ya kutoa huduma toshelezi kwa watoto vijana na watu wazima waliopatwa na UWAKI

[iv] Kuanzisha utaratibu bora wa kukusanya takwimu na taarifa kuhusu huduma kwa waliopatwa na UWAKI na kutunza kumbukumbu kwa usahihi na kutoa taarifa kwa ajili ya matumizi ya kituo na wadau

[v] Kufanya kazi kwa ushirikiano wa karibu na kamati ya afya ya kituo polisi mahakama na taasisi za elimu ili kukuza ushirikiano kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye jamii

[f ] Wajibu wa Watoa Huduma za Afya Watoa huduma za afya ni pamoja na watunza kumbukumbu za afya tabibu (tabibu msaidizi ofisa tabibu madaktari wasaidizi madaktari na madaktari bingwa) wauguzi wakunga maofisa wauguzi wasaidizi maofisa wauuguzi) wafanyakazi wa maabara wafamasia na maofi sa ustawi wa jamii Watoa huduma hawa wanatakiwa kuzingatia yafuatayo

[i] Kuelewa kikamilifu na kuzingatia kanuni za miongozo ya haki za binadamu maadili ya taaluma na kuonyesha upendo na kujali wakati wa kumhudumia aliyepatwa na UWAKI

[ii] Kuhakikisha upatikanaji wa mahitaji muhimu na utoaji wa huduma toshelezi na zenye ubora kwa waliopatwa na UWAKI katika kituo cha kutoa huduma za afya na kwenye jamii

[iii] Kuwatambua waliopatwa na UWAKI kati ya wagonjwa wa nje katika kituo na kuhakikisha wanapata matibabu na rufaa kwa haraka

29

[iv] Kuhakikisha utoaji wa huduma toshelezi kwa waliopatwa na UWAKI (watu wazima vijana na watoto) Huduma hizi ni pamoja na huduma ya matibabu kutunza ushahidi unasihi na rufaa ndani ya mfumo wa afya na pia rufaa kwenda kwenye sekta nyingine

[v] Kuhakikisha vielelezo vya upelelezi vinakusanywa na kuhifadhiwa ipasavyo ili kutunza ushahidi

[vi] Kuchukua takwimu na taarifa kamili kuhusu aliyepatwa na UWAKI na kuhakikisha zimehifadhiwa kwa siri na usalama

[vii] Kujenga ushirikiano na jamii pamoja na wadau wengine

42 Wajibu wa Jamii

Wadau muhimu katika jamii ni Kamati ya Huduma za Jamii Kamati ya Ulinzi na Usalama Kamati ya Zahanati Mashirika ya Dini Kamati ya Kijiji ya Afya wahudumu wa afya katika jamii wakunga wa tiba asili waganga wa tiba asili na mbadala viongozi wa jamii vikundi vya wanawake na wakuu wa kaya

Jamii itafanya yafuatayo kwa waliopatwa na UWAKI [i] Kupanga na kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya kuzuia

na kutoa huduma bora kulingana na mpango wa mwaka wa zahanati

[ii] Kuhakikisha upatikanaji wa huduma toshelezi pamoja na usalama wao kupatiwa mahitaji ya msingi msaada wa kisaikolojia kupewa rufaa kwenda polisi vyombo vya sheria na watoa huduma wengine Vilevile wanajamii wana wajibu wa kutoa ushahidi mahakamani na kuwasaidia wahusika kuunganishwa na familia zao na jamii

[iii] Kuhakikisha kuwepo kwa vituo vya hifadhi ya muda vya kutosha kwenye jamii

[iv] Kujenga welewa na kuiwezesha jamii kuzuia na kupambana na UWAKI kwa kutetea misingi ya haki za binadamu usawa wa kijinsia haki za vijana na watoto na kutovumilia UWAKI

43 Msaada wa Kisheria kwa waliopatwa na UWAKI Watoa huduma wa afya na ustawi wa jamii baada ya kupata ridhaa kutoka kwa muhusika watampa rufaa ya kwenda sekta nyingine muhimu na kwa wadau mbalimbali kama vile polisi vituo vya msaada wa kisheria kwa ajili ya kupata huduma maalum Watoa huduma wanawajibika

30

kutoa taarifa za kutosha kuhusu masharti ya kisheria ya kutoa taarifa ya matukio ya UWAKI na kwa wakati unaofaa

Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wanawajibika kutoa ushauri kwa waliopatwa na UWAKI (watoto vijana na watu wazima) kuhusu taratibu za mahakama msaada wa ulinzi msaada wa kisheria na taratibu za polisi kama ifuatavyo

[a] Ushahidi wa Kimahakama Huduma kwa muhusika zitalenga mahitaji yake kuheshimu haki yake ya hali ya usiri kupewa taarifa za kutosha zenye kueleweka na sahihi hivyo kuhakikisha anatoa ridhaa arifu kwa hatua na zitakazofuata

[i] WAUJ itahakikisha kupatikana na kuzingatiwa kwa viwango vilivyowekwa kwa ngazi zote katika kuchukua historia kamili ya muhusika kupima na kufanya uchunguzi kuchukua vielelezo vya ushahidi kujaza fomu zinazokubalika kisheria kwa kuweka kumbukumbu ambazo ni halali kama ushahidi mahakamani

[ii] Timu ya Afya ya Usimamizi ya Kituo cha Huduma za Afya baada ya kupata ridhaa ya aliyepatwa na UWAKI itapanga kutenga na kutoa rasilimali za kutosha kuhakikisha nyaraka sahihi zimetayarishwa na kuhifadhiwa na vielelezo vya ushahidi wa mahakama vimepelekwa kwenda maabara ya serikali na kufuatilia majibu

[iii] Watoa huduma wa ngazi zote watahakikisha ukusanyaji sahihi wa vielelezo vya ushahidi na kujaza fomu zinazohusika pamoja na kujaza kwa ukamilifu Fomu ya Polisi Namba Tatu (PF3) na kuthibitisha kwamba muhusika ana taarifa na anaelewa utaratibu

[b] Ulinzi na Msaada kwa Waliopatwa na UWAKI Waliopatwa na UWAKI wana haki ya kulindwa dhidi ya mtuhumiwa pamoja na kupewa mahitaji ya msingi (kwa mfano chakula nguo usafi ri nk) kupewa huduma za polisi (mfano kusindikizwa ulinzi) na kupewa msaada wa kisheria

[i] WAUJ itahakikisha kwamba vituo vya huduma za afya na ustawi wa jamii na watoa huduma wa ngazi zote wana taarifa sahihi kuhusu haki za ulinzi na msaada kwa waliopatwa na UWAKI

31

[ii] Timu za Afya za Usimamizi wa vituo vya huduma za afya katika ngazi zote zitapanga kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya ulinzi na msaada kwa waliopatwa na UWAKI Kama Muhusika ni mtoto atasindikizwa na ofi sa ustawi wa jamii pamoja na mzazi au mlezi ikiwa mzazi au mlezi huyo hahusiki na uhalifu

[iii] Watoa huduma wa afya watatoa taarifa kwa muhusika au mzazi mlezi (kama muhusika ni mtoto chini ya miaka 18) kuhusu msaada atakaopata kwenye kituo cha huduma za afya polisi na msaada wa kisheria juu ya haki na ulinzi kwa mujibu wa sheria za Tanzania

[c] Wajibu wa Watoa Huduma za Afya na Ustawi wa Jamii katika Taratibu za Kimahakama

Watoa huduma za afya kwenye ngazi zote wanatakiwa kuhakikisha kwamba waliopatwa na UWAKI wakiwemo watu wazima vijana na watoto pamoja na walezi wao wana taarifa muhimu zinazohusu masuala ya kisheria ambayo yako nje ya huduma za tiba

[i] WAUJ itahakikisha kwamba vituo vya huduma za afya na watoa huduma wanapata ujuzi na wanajua wajibu wao kuhusu namna ya kutoa ushahidi mahakamani ili kuwasaidia wahusika

[ii] Timu za Usimamizi za vituo vya huduma za afya kwenye ngazi zote zitahakikisha kwamba watoa huduma wanaotambulika kisheria na wana welewa sahihi wa uandaaji wa nyaraka muhimu taratibu za kesi mahakamani na viwango vya ushahidi

[iii] Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii kwenye ngazi zote watahakikisha kwamba muhusika anapata taarifa za kutosha kuhusu ratiba na taratibu za upelelezi na umuhimu wa hatua za kisheria

44 Huduma ya Unasihi Kisaikolojia na Kijamii kwa Waliopatwa na UWAKI

Watu waliopatwa na janga la UWAKI watapewa msaada wa unasihi kisaikolojia na kijamii kwa upendo na kujali kuanzia wakati wa tukio hadi watakapojumuika tena kwenye familia na jamii Katika ngazi ya jamii msaada huo utatolewa na Maofisa wa Ustawi wa Jamii Maofi sa hawa watatoa msaada wa kisaikolojia na unasihi wakishirikiana na

32

wadau wengine waliopata mafunzo kutoka asasi za kiraia asasi za kidini na wahudumu wa afya katika jamii

[i] WAUJ itahakikisha utoaji wa msaada wa unasihi kisaikolojia na kijamii kwenye ngazi zote pamoja na kuhakikisha kuwepo kwa ulinzi na usalama (kwa mfano kituo cha hifadhi ya muda)

[ii] Timu za Usimamizi wa Huduma za Afya kwenye ngazi zote zitapanga na kutenga rasiilimali za kutosha pamoja na watoa huduma kwa ajili ya kutoa msaada wa kisaikolojia na kijamii rufaa na kujenga ushirikiano na wadau wengine ili kuwaunganisha wahusika kwenye familia na jamii

[iii] Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii watahakikisha kwamba wanatoa unasihi wa kutosha pamoja na kutoa huduma rafi ki kwa watoto kutoa rufaa za kwenda na kurudi kwenye huduma za tiba vituo vya hifadhi ya muda na kuwezesha kuwaunganisha kwenye familia na jamii

45 Mfumo wa Usimamizi Uratibu na Ushirikiano Utoaji wa huduma bora kwa waliopatwa na UWAKI unahitaji usimamizi na uratibu wa mara kwa mara kwa watoa huduma za afya wa kada mbalimbali katika ngazi zote Vilevile kuratibu shughuli na kutoa rufaa kwenye vituo vya ngazi ya taifa mikoa halmashauri na jamii Pia kunahitajika utaratibu wa kujenga ushirikiano kati ya sekta ya afya na wadau wa sekta nyingine

[a] Usimamizi wa Huduma za Kuzuia na Kupambana na UWAKI [i] Usimamizi wa huduma utakuwa ni sehemu ya mikakati na

mipango ya mwaka kwa vituo vya huduma za afya kwenye ngazi zote

[ii] Wasimamizi katika ngazi zote watafanya usimamizi shirikishi ili kuhakikisha utoaji wa huduma bora

[b] Uratibu wa Huduma za Kuzuia na Kupambana na UWAKI [i] Wasimamizi wa huduma za afya kwenye ngazi zote watabaini na

kuratibu afua na shughuli zinazotakiwa kutekelezwa na wadau mbalimbali kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI

33

[ii] Wasimamizi wa huduma za afya katika ngazi zote watahakikisha kuwa wanapanga utekelezaji wa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[c] Taratibu za Ushirikiano katika Kutoa Huduma za UWAKI Taratibu za ushirikiano zitahusisha ngazi mbalimbali za utoaji wa huduma za afya kulingana na hadhi ya kituo ikihusisha kada mbalimbali za afya katika serikali na sekta binafsi

[i] Wasimamizi wa huduma za afya watabaini na kuanzisha ushirikiano kwa ajili ya kutoa huduma bora na toshelezi kwa waliofanyiwa UWAKI

[ii] Wasimamizi wa huduma za afya watapanga na kutenga rasiilimali za kutosha kwa ajili ya kuendeleza ushirikiano na wadau muhimu pamoja na kujenga mfumo imara wa rufaa wa kupeleka na kuwarejesha wahusika

[iii] WAUJ itatayarisha na kusambaza orodha ya vituo vya rufaa kufuatana na aina ya huduma maalumu zinazotolewa

46 Utetezi na Mawasiliano ya Kubadili Tabia

Utetezi na mawasiliano ya kubadili tabia utakuwa ni sehemu ya mipango na mikakati ya kila mwaka katika ngazi zote Ngazi zote zitahamasisha kutenga na kutoa rasilimali za kutosha kwa ajili ya kutekeleza mipango na mikakati ya kila mwaka Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii watatambua na kuwezesha juhudi za jamii za kuhakikisha ushirikishwaji na kuhamasisha jamii kutumia rasilimali zao ili kupambana na UWAKI Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii wanatakiwa kupanga na kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya elimu ya afya kwa lengo la mawasiliano ya kubadili tabia

[a] Utetezi wa Kuzuia na kupambana na UWAKI kwa kushirikiana na wadau

Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii na kamati zinazohusika katika ngazi zote za WAUJ watafanya yafuatayo

[i] Kupanga mikakati ya kuongeza welewa na upeo kuhusu vyanzo vya UWAKI kubaini namna ya kuzuia na kubuni njia za kupambana na UWAKI

34

[ii] Kutetea na kuhamasisha uchangiaji zaidi wa raslimali kutenga kasma kwenye bajeti katika Mfumo wa Matumizi ya Muda wa Kati na katika Mpango Kabambe wa Afya wa Halmashauri kwa ajili ya kinga na huduma za kupambana na UWAKI

[iii] Kutetea utekelezaji wa sera na sheria zenye kuunga mkono juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kuhusisha vyombo vya habari katika kutekeleza shughuli za utetezi na ushawishi

[b] Ushirikiano wa wadau kwenye mawasiliano ya kubadili tabia dhidi ya UWAKI

Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii na kamati zao kwenye ngazi zote watafanya yafuatayo

[i] Kutambua mahitaji na kupanga mawasiliano ya kubadili tabia kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kwa ufanisi

[ii] Kuhusisha vyombo vya habari katika kupanga kutekeleza na kufuatilia shughuli za mawasiliano ya kubadili tabia

47 Ufuatiliaji na Tathmini ya Huduma za Kuzuia na Kupambana na UWAKI

Ufuatiliaji na tathmini ya huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI ni muhimu katika kupima ubora wa matokeo ya huduma zinazohusiana na UWAKI Ufuatiliaji na tathmini unahitaji kuchagua vigezo vya kupima maendeleo ya huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kukusanya takwimu kuchambua kutafsiri kutayarisha na kuwasilisha ripoti kwa wadau muhimu Ufuatiliaji na Tathmini unasaidia kutambua maeneo yanayohitaji kufanyiwa utafi ti

[i] Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii katika ngazi zote watatumia vigezo vilivyokubalika kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Takwimu za UWAKI zitaoanishwa na kuunganishwa kwenye MTUHA

[iii] Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii kwenye ngazi zote watahakikisha wanakusanya taarifa na takwimu zinazohusiana na UWAKI kwa kutumia fomu maalumu kwa ajili ya kufuatilia na

35

kutathimini usimamizi na kuwasilisha ripoti za utekelezaji kwa wadau kufuatana na utaratibu maalumu wa kushirikiana katika kutoa taarifa

[iv] Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii katika ngazi zote watafanya utafiti ili kuboresha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

36

SEHEMU YA TANO

MUUNDO WA UTENDAJI KATIKA KUZUIA NA KUPAMBANA NA UWAKI

Wajibu wa WAUJ ni kuandaa kusimamia na kuratibu utekelezaji wa Mwongozo huu wa sera pamoja na sheria kanuni na viwango vya huduma dhidi ya UWAKI katika ngazi zote nchini Mfumo wa utendaji kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI unahusisha ngazi tatu taifa mkoa na halmashauri

51 Ngazi ya Taifa

Katika ngazi ya Taifa Mganga Mkuu wa Serikali ndiye mwenye wajibu wa uongozi wa kitaaluma kwenye utekelezaji wa mipango ya kuzuia na kupambana na UWAKI Ofisi ya Mganga Mkuu ina idara nne ambazo ni Idara ya Kinga Idara ya Tiba Idara ya Mafunzo na Idara ya Ubora na viwango vya Huduma Huduma za Ustawi wa Jamii zipo chini ya Kamishna wa Ustawi wa Jamii

Kitengo cha Afya ya Uzazi na Mtoto ambacho kinasimamiwa na Idara ya Kinga ndicho kinachosimamia utekelezaji wa Mwongozo wa sera ya UWAKI Majukumu ya ofisi ya Mganga Mkuu wa Serikali Idara ya Kinga na Sehemu ya Afya ya Uzazi na Mtoto ni kama ifuatavyo

[a] Ofisi ya Mganga Mkuu wa Serikali Ofi si ya Mganga Mkuu wa Serikali inaratibu inasimamia na kuimarisha huduma za uboreshaji wa Afya Kinga Ubora na viwango vya huduma Tiba ya magonjwa na Utengamao Aidha ofisi inasimamia mafunzo upatikanaji wa wataalamu wa afya katika sekta ya Afya na Ustawi wa Jamii

Ofisi ya Mganga Mkuu wa Serikali kwa kushirikiana na Mabaraza na Vyama vya Kitaaluma vilivyo chini ya sekta ya Afya na Ustawi wa Jamii inasimamia maadili ya wataalamu wa afya kwa kupitia Mabaraza yao ya Kitaaluma

37

bull

bull

[I] Idara ya Kinga Idara hii inasimamia sehemu tano Afya ya Uzazi na Mtoto Epidemiolojia na Udhibiti wa Magonjwa Afya na Usafi wa Mazingira Elimu ya Afya na Lishe Kuna programu na miradi mbalimbali chini ya idara baadhi yake zinahusiana kwa ukaribu na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Programu hizi ni pamoja na Mpango wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI Programu ya Kuzuia Maambukizo ya VVU Kutoka kwa Mama Kwenda kwa Mtoto Programu ya Huduma ya Afya Kwenye Jamii Programuya Afya Shuleni Program ya Uzazi Salama Programu ya Afya ya Mtoto Programu ya Afya ya Uzazi kwa Vijana na Programu ya Uzazi wa Mpango

Idara itafanya yafuatayo Kuhakikisha afua za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa kwenye programu na miradi ya idara na sehemu Kuhakikisha kwamba afua za kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na utetezi na mawasiliano ya kubadili tabia zinajumuishwa kwenye miongozo ya elimu ya afya na ustawi wa jamii

Sehemu ya Huduma za Afya ya Uzazi na Mtoto Sehemu ya Huduma ya Afya ya Uzazi na Mtoto ndiyo inayohusika katika kuzuia na kupambana na UWAKI na majukumu yake ni

[i] Kuandaa mwongozo wa huduma za kina kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kutayarisha mitaala ya mafunzo kwa ajili ya wasimamizi na watoa huduma wa ngazi zote

[ii] Kuratibu kufuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI katika ngazi zote

[iii] Kuwasiliana na wizara nyingine na mashirika ya kitaifa na kimataifa yenye kuhusiana na mipango ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kuangalia upya orodha ya vifaa muhimu kwa utoaji wa huduma bora kwa wahanga wa UWAKI kwa ngazi zote za utoaji huduma

[v] Kuongoza kikundi kazi cha wanataaluma cha taifa pamoja na vikundikazi tanzu vya wanataaluma vinavyosaidia mtazamo mpana wa sekta ya afya na nguvu kazi za kusimamia utekelezaji wa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

38

[II] Idara ya Tiba Idara hii inasimamia huduma za Hospitali za Taifa Mikoa Wilaya Vituo vya Afya na Zahanati za umma na binafsi Uchunguzi Kinywa na Meno Magonjwa Yasiyo ya Kuambukiza na Tiba Asili Idara hii inafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha kwamba vituo vya kutoa huduma za afya katika ngazi zote vinatenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya huduma bora za matibabu kwa wahanga wa UWAKI pamoja na msaada wa kisaikolojia kijamii na rufaa

[ii] Kuhakikisha kwamba vituo vya kutoa huduma za afya kwenye ngazi zote vinapewa vifaa muhimu na vya kutosha kwa ajili ya uchunguzi wa afya vipimo vya maabara kubaini ugonjwa ushahidi wa kimahakama matibabu kutunza kumbukumbu kutoa taarifa na rufaa

[iii] Kuhakikisha kuwa watoa huduma za afya wanazingatia viwango vya kitaalamu na maadili na kuonyesha upendo na kuwajali wahanga wa UWAKI

[III] Idara ya Ubora wa huduma Idara hii ina sehemu tano ikijumuisha huduma za Uuguzi Dharura na Maafa Ukaguzi Dawa na Utafiti na Uhusiano wa Kimataifa Idara hii inafanya yafuatayo

[i] Inasimamia huduma za dawa vifaa tiba na vitendanishi [ii] Inasimamia huduma za Uuguzi na Ukunga [iii] Inasimamia na kufanya ukaguzi wa ubora wa huduma za afya

nchini ili kuziboresha [iv] Inasimamia kazi za utafiti na uhusiano wa kimataifa katika sekta ya

afya na ustawi wa jamii na [v] Inaandaa miongozo kanuni na taratibu zinazohusu huduma za

dharura

[IV] Idara ya Mafunzo Idara ya Mafunzo inasimamia Mipango ya Mafunzo ya Watumishi Mafunzo Endelevu kwa Watumishi Mafunzo kwa Wauguzi na Sayansi Shirikishi za Afya

39

Idara itafanya yafuatayo [i] Kutambua mahitaji ya kitaifa ya mafunzo ya afya na mafunzo ya

kuendeleza taaluma ya watumishi wanaohusika na kutoa huduma kwa waliopatwa na UWAKI

[ii] Kutayarisha mpango wa mafunzo ya muda mfupi na mrefu kwa ajili ya watumishi mbalimbali kwenye ngazi zote zinazotoa huduma kwa waliopatwa na UWAKI

[b] Idara ya Ustawi wa Jamii Idara ya Ustawi wa Jamii imegawanyika katika sehemu tano Huduma kwa Familia na Ustawi wa Mtoto katika malezi makuzi na maendeleo ya awali Huduma za marekebisho ya tabia na haki za mtoto kisheria Huduma kwa wazee na watu wenye ulemavu Mafunzo kwa watumishi na Kitengo cha takwimu Idara itafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha idara inatoa huduma rafiki na bora za ustawi wa jamii kwa wahanga wa UWAKI kwenye vituo vyote vya kutoa huduma za afya na ustawi wa jamii na kuvisimamia

[ii] Kuhakikisha idara inatoa mafunzo kwa watoa huduma wote [iii] Kushauri katika kurekebisha au kufutwa kwa sheria zisizosaidia

utoaji wa huduma bora za ustawi wa jamii na kushawishi kutunga sheria mpya

[c] Idara ya Sera na Mipango Idara hii inasimamia sehemu za Bajeti Sera Mipango Taarifa za Afya na Ufuatiliaji na Tathmini Idara itafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa kwenye mipango na bajeti ya Serikali

[ii] Kuhakikisha kuwa viashirio vya huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI vinaingizwa kwenye MTUHA

[d] Ushirikiano na wadau muhimu katika ldquoKutokomeza UWAKIrdquo

[i] WAUJ kupitia Sehemu ya Afya ya Uzazi na Mtoto kwa kushirikiana na wadau wengine watatetea ulinzi wa haki za waliopatwa na UWAKI na kutokomezwa kwa ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake watoto vijana na wanaume

40

[ii] WAUJ kwa kushirikiana na wadau wengine itaandaa mikakati ya kuhakikisha kwamba aina zote za ubaguzi unyonyaji ukandamizaji na unyanyasaji dhidi ya wanawake watoto vijana na wanaume zinatokomezwa

[iii] WAUJ kwa kushirikiana na wadau wengine watapitia sheria sera na kanuni ambazo zinakinzana na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Watatetea haki za jinsia na afya ya uzazi ikiwa ni pamoja na ulinzi wa mama na watoto dhidi ya UWAKI ukatili wa kifamilia na ukatili dhidi ya watoto na kutetea masuala haya yaingizwe kwenye Katiba ya Tanzania

52 Ngazi ya Mkoa

Utekelezaji wa mapambano dhidi ya UWAKI kwenye mikoa utasimamiwa na Timu ya Usimamizi wa Huduma za Afya Mkoa chini ya Katibu Tawala wa Mkoa na Timu ya Usimamizi ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa chini ya Bodi ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa na watafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa kwenye mpango mkakati wa miaka mitano wa mkoa na hospitali na mpango kazi wa kila mwaka

[ii] Kuhakikisha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa na kuendeshwa pamoja na huduma zilizopo kuwe na watoa huduma wa kutosha pamoja na mafunzo kwa wasimamizi na watoa huduma kwenye ngazi ya mkoa

[iii] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya kufuatilia kufanya tathmini usimamizi na kutoa ripoti za utendaji wa juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya mkoa

[iv] Kutoa msaada wa kitaalamu kwa Halmashauri na Timu za Afya za Halmashauri katika kupanga na kutekeleza huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[v] Kuhakikisha bajeti ya kutosha inatengwa kwenye mpango kabambe wa halmashauri wa afya kwa ajili ya kuiwezesha jamii kuzuia na kupambana na UWAKI

[vi] Kufanya utafiti ili kukuza uelewa kuhusu huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

41

53 Halmashauri za Jiji Manispaa na Wilaya

Bodi ya Huduma za Afya ya Halmashauri ni chombo cha halmashauri ya jiji manispaa na wilaya chenye jukumu la kutoa huduma bora za afya ustawi wa jamii pamoja na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI katika maeneo yao Mipango ya utekelezaji wa huduma za afya kwenye jiji manispaa na wilaya unasimamiwa na Timu ya Usimamizi wa Afya ya Halmashauri Hospitali ya kwanza ya rufaa katika Halmashauri ni Hospitali ya Wilaya au Hospitali Teule ya wilaya

Hospitali Teule ya Wilaya huendeshwa na Timu ya Usimamizi ya Hospitali na husimamiwa na Bodi ya Hospitali Vituo vya kutoa huduma za afya vina kamati za afya na huendeshwa na kamati za usimamizi wa kituo

(a) Ngazi ya Halmashauri Timu ya Halmashauri ya Usimamizi wa Afya itafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha kwamba mipango ya kila mwaka inatengewa fedha za kutosha kwa utekelezaji wa huduma bora za kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaunganishwa na huduma zilizopo kwenye ngazi zote

[iii] Kuhakikisha kwamba kunakuwa na watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wa kutosha na kuendelea kutoa mafunzo kwa watoa huduma wa kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kutetea kuhamasisha na kutenga fedha za kutosha kwa ajili ya kuiwezesha jamii kushiriki kwenye programu ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[v] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya ufuatiliaji tathmini usimamizi shirikishi na kuandaa taarifa za utekelezaji wa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[b] Ngazi ya Kata Kamati ya Afya ya Kata Kamati ya Afya ya Kituo cha Afya na Timu ya Usimamizi wa Kituo cha Afya zitasimamia utoaji wa huduma bora za afya katika kata pamoja na vijiji

42

Kamati na timu zitafanya yafuatayo [i] Kuhakikisha kwamba kila mwaka wanapanga na kutenga rasilimali

za kutosha kwa utekelezaji wa huduma kwa waliopatwa na UWAKI na afua za kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinajumuishwa na huduma zilizopo kwenye kituo cha afya na zahanati

[iii] Kuhakikisha kwamba kuna watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wa kutosha na kuendelea kutoa mafunzo kwa watoa huduma wanaohusika na kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye vituo vya afya na zahanati

[iv] Kutetea kuhamasisha na kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya kuiwezesha jamii kushiriki kwenye kuzuia na kupambana na UWAKI katika Mpango wa Afya wa Kata

[v] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya kufanya ufuatiliaji tathmini na kuandaa taarifa za utekelezaji wa kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kuziwasilisha kwa matumizi katika ngazi zote

[c] Ngazi ya Kijiji Kamati ya Zahanati na Timu ya Usimamizi wa Zahanati zina wajibu wa kutoa huduma za afya kwa wakazi wa eneo la kijiji au vijiji vyao

Kamati na timu zitafanya yafuatayo [i] Kuhakikisha kwamba kila mwaka wanapanga na kutenga raslimali

za kutosha kwa utekelezaji wa huduma kwa waliopatwa na UWAKI na afua za kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinajumuishwa na huduma zilizopo kwenye zahanati

[iii] Kuhakikisha kwamba kuna watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wa kutosha na kuendelea kutoa mafunzo kwa watoa huduma wanaohusika na kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye zahanati

[iv] Kutetea kuhamasisha na kutenga raslimali za kutosha kwa ajili ya kuiwezesha jamii kushiriki kwenye kuzuia na kupambana na UWAKI katika Mpango wa Afya wa Kijiji

43

[v] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya kufanya ufuatiliaji tathmini na kuandaa taarifa za utekelezaji wa kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kuziwasilisha kwa matumizi katika ngazi ya Kata na Wilaya

(d) Ngazi ya Kaya Kila mtu kwenye kaya atahusika katika kuzuia na kupambana na UWAKI na kutoa taarifa ya matukio ya UWAKI kwa mamlaka zinazohusika Pia kila mtu awajibike kwenye kubadili mtazamo na kuepuka mazoea na tabia zinazopelekea UWAKI

44

SEHEMU YA SITA

UFUATILIAJI TATHMINI NA UTAFITI

Ufuatiliaji na tathmini ya afua za kuzuia na kupambana na UWAKI utatekelezwa kwenye ngazi ya taifa mkoa halmashauri na vituo vya huduma za afya Viashirio ambavyo vimependekezwa kwenye ngazi hizi vimeonyeshwa kwenye Kiambatisho

61 Ngazi ya Taifa

Sehemu ya Afya ya Uzazi na Mtoto itaratibu itafuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote nchini

Sehemu hii itafanya yafuatayo [i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu zinazohusu

afua za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka Timu ya Usimamizi wa Afya ya Mkoa na kuzitumia katika kupanga na kuboresha mipango ya kuzuia na kupambana na UWAKI kwa kushirikiana na wadau

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma wa kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti [iv] Kuweka tathmini na ufuatiliaji wa huduma za kuzuia na kupambana

na UWAKI kwenye orodhahakiki ya usimamizi ya WAUJ

62 Ngazi ya Mkoa

Timu ya Usimamizi wa Afya ya Mkoa itakuwa na jukumu la kuratibu kufuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote za mkoa na itafanya yafuatayo

[i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu kuhusu afua za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka hospitali ya rufaa ya mkoa na Timu za Usimamizi wa Afya za Halmashauri kwa ajili ya matumizi yao na kuwasilisha ngazi ya Taifa

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma katika kuzuia na kupambana na UWAKI

45

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti

63 Ngazi ya Wilaya

Timu ya Usimamizi wa Afya ya Halmashauri itakuwa na jukumu la kuratibu kufuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote za wilaya na itafanya yafuatayo

[i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu kuhusu afua za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka hospitali ya wilaya na vituo vya kutolea huduma za afya na Timu za Usimamizi wa Afya za Halmashauri kwa ajili ya matumizi yao na kuwasilisha ngazi ya mkoa

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma katika kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti

64 Ngazi ya Kituo cha kutolea huduma

Timu ya Usimamizi wa Kituo cha Kutolea Huduma za Afya itaratibu itafuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye kituo na kufanya yafuatayo

[i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu kuhusu jitihada za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka kwenye zahanati na jamii na kuwasilisha wilayaniHalmashauri

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma katika kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti

46

KIAMBATISHO

VIASHIRIO VYA MPANGO WA KUZUIA NA KUPAMBANA NA UWAKI KATIKA SEKTA YA AFYA

[a] Ngazi ya Taifa

[i] Idadi ya watu waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya mikoa kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kimkoa

[iii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI kimkoa

[iv] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye uthibitisho kuwa vinatumia Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupamba na UWAKI kimkoa

[v] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye vifaa muhimu kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kimkoa

[b] Ngazi Ya Mkoa

[i] Idadi ya watu waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya wilayahalmashauri kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

[iii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

[iv] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye ushahidi wa kuandikwa na kutumia Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

[v] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye vifaa muhimu kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

47

[c] Ngazi ya Wilaya

[i] Idadi ya watu waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya vituo vya kutolea huduma kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwa vituo vya kutolea huduma

[iii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI

[iv] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye ushahidi wa kuandikwa na kutumia Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI

[v] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye vifaa muhimu kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[d] Ngazi ya Kituo

[i] Idadi ya wahusika waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye kituo cha huduma za afya kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Idadi ya watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Idadi ya watoa huduma walioelekezwa kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI

48

49

50

51

bullbullbull bullbull bullbullbull

~USAID ~f~ ~ KLITOKA KWA WKTJ Delivering as One WAIIAAEKANI

HEALTH POLICY middotmiddotmiddotoINITIATIVE

ltlt ASCII85EncodePages false AllowTransparency false AutoPositionEPSFiles true AutoRotatePages None Binding Left CalGrayProfile (Dot Gain 20) CalRGBProfile (sRGB IEC61966-21) CalCMYKProfile (US Web Coated 050SWOP051 v2) sRGBProfile (sRGB IEC61966-21) CannotEmbedFontPolicy Error CompatibilityLevel 14 CompressObjects Tags CompressPages true ConvertImagesToIndexed true PassThroughJPEGImages true CreateJobTicket false DefaultRenderingIntent Default DetectBlends true DetectCurves 00000 ColorConversionStrategy CMYK DoThumbnails false EmbedAllFonts true EmbedOpenType false ParseICCProfilesInComments true EmbedJobOptions true DSCReportingLevel 0 EmitDSCWarnings false EndPage -1 ImageMemory 1048576 LockDistillerParams false MaxSubsetPct 100 Optimize true OPM 1 ParseDSCComments true ParseDSCCommentsForDocInfo true PreserveCopyPage true PreserveDICMYKValues true PreserveEPSInfo true PreserveFlatness true PreserveHalftoneInfo false PreserveOPIComments true PreserveOverprintSettings true StartPage 1 SubsetFonts true TransferFunctionInfo Apply UCRandBGInfo Preserve UsePrologue false ColorSettingsFile () AlwaysEmbed [ true ] NeverEmbed [ true ] AntiAliasColorImages false CropColorImages true ColorImageMinResolution 300 ColorImageMinResolutionPolicy OK DownsampleColorImages true ColorImageDownsampleType Bicubic ColorImageResolution 300 ColorImageDepth -1 ColorImageMinDownsampleDepth 1 ColorImageDownsampleThreshold 150000 EncodeColorImages true ColorImageFilter DCTEncode AutoFilterColorImages true ColorImageAutoFilterStrategy JPEG ColorACSImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt ColorImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt JPEG2000ColorACSImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt JPEG2000ColorImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt AntiAliasGrayImages false CropGrayImages true GrayImageMinResolution 300 GrayImageMinResolutionPolicy OK DownsampleGrayImages true GrayImageDownsampleType Bicubic GrayImageResolution 300 GrayImageDepth -1 GrayImageMinDownsampleDepth 2 GrayImageDownsampleThreshold 150000 EncodeGrayImages true GrayImageFilter DCTEncode AutoFilterGrayImages true GrayImageAutoFilterStrategy JPEG GrayACSImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt GrayImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt JPEG2000GrayACSImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt JPEG2000GrayImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt AntiAliasMonoImages false CropMonoImages true MonoImageMinResolution 1200 MonoImageMinResolutionPolicy OK DownsampleMonoImages true MonoImageDownsampleType Bicubic MonoImageResolution 1200 MonoImageDepth -1 MonoImageDownsampleThreshold 150000 EncodeMonoImages true MonoImageFilter CCITTFaxEncode MonoImageDict ltlt K -1 gtgt AllowPSXObjects false CheckCompliance [ None ] PDFX1aCheck false PDFX3Check false PDFXCompliantPDFOnly false PDFXNoTrimBoxError true PDFXTrimBoxToMediaBoxOffset [ 000000 000000 000000 000000 ] PDFXSetBleedBoxToMediaBox true PDFXBleedBoxToTrimBoxOffset [ 000000 000000 000000 000000 ] PDFXOutputIntentProfile () PDFXOutputConditionIdentifier () PDFXOutputCondition () PDFXRegistryName () PDFXTrapped False CreateJDFFile false Description ltlt ARA ltFEFF06270633062A062E062F0645002006470630064700200627064406250639062F0627062F0627062A002006440625064606340627062100200648062B062706260642002000410064006F00620065002000500044004600200645062A064806270641064206290020064406440637062806270639062900200641064A00200627064406450637062706280639002006300627062A0020062F0631062C0627062A002006270644062C0648062F0629002006270644063906270644064A0629061B0020064A06450643064600200641062A062D00200648062B0627062606420020005000440046002006270644064506460634062306290020062806270633062A062E062F062706450020004100630072006F0062006100740020064800410064006F006200650020005200650061006400650072002006250635062F0627063100200035002E0030002006480627064406250635062F062706310627062A0020062706440623062D062F062B002E0635062F0627063100200035002E0030002006480627064406250635062F062706310627062A0020062706440623062D062F062B002Egt BGR ltFEFF04180437043f043e043b043704320430043904420435002004420435043704380020043d0430044104420440043e0439043a0438002c00200437043000200434043000200441044a0437043404300432043004420435002000410064006f00620065002000500044004600200434043e043a0443043c0435043d04420438002c0020043c0430043a04410438043c0430043b043d043e0020043f044004380433043e04340435043d04380020043704300020043204380441043e043a043e043a0430044704350441044204320435043d0020043f04350447043004420020043704300020043f044004350434043f0435044704300442043d04300020043f043e04340433043e0442043e0432043a0430002e002000200421044a04370434043004340435043d043804420435002000500044004600200434043e043a0443043c0435043d044204380020043c043e0433043004420020043404300020044104350020043e0442043204300440044f0442002004410020004100630072006f00620061007400200438002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020043800200441043b0435043404320430044904380020043204350440044104380438002egt CHS ltFEFF4f7f75288fd94e9b8bbe5b9a521b5efa7684002000410064006f006200650020005000440046002065876863900275284e8e9ad88d2891cf76845370524d53705237300260a853ef4ee54f7f75280020004100630072006f0062006100740020548c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000204ee553ca66f49ad87248672c676562535f00521b5efa768400200050004400460020658768633002gt CHT ltFEFF4f7f752890194e9b8a2d7f6e5efa7acb7684002000410064006f006200650020005000440046002065874ef69069752865bc9ad854c18cea76845370524d5370523786557406300260a853ef4ee54f7f75280020004100630072006f0062006100740020548c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000204ee553ca66f49ad87248672c4f86958b555f5df25efa7acb76840020005000440046002065874ef63002gt CZE ltFEFF005400610074006f0020006e006100730074006100760065006e00ed00200070006f0075017e0069006a007400650020006b0020007600790074007600e101590065006e00ed00200064006f006b0075006d0065006e0074016f002000410064006f006200650020005000440046002c0020006b00740065007200e90020007300650020006e0065006a006c00e90070006500200068006f006400ed002000700072006f0020006b00760061006c00690074006e00ed0020007400690073006b00200061002000700072006500700072006500730073002e002000200056007900740076006f01590065006e00e900200064006f006b0075006d0065006e007400790020005000440046002000620075006400650020006d006f017e006e00e90020006f007400650076015900ed007400200076002000700072006f006700720061006d0065006300680020004100630072006f00620061007400200061002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000610020006e006f0076011b006a016100ed00630068002egt DAN ltFEFF004200720075006700200069006e0064007300740069006c006c0069006e006700650072006e0065002000740069006c0020006100740020006f007000720065007400740065002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e007400650072002c0020006400650072002000620065006400730074002000650067006e006500720020007300690067002000740069006c002000700072006500700072006500730073002d007500640073006b007200690076006e0069006e00670020006100660020006800f8006a0020006b00760061006c0069007400650074002e0020004400650020006f007000720065007400740065006400650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e0074006500720020006b0061006e002000e50062006e00650073002000690020004100630072006f00620061007400200065006c006c006500720020004100630072006f006200610074002000520065006100640065007200200035002e00300020006f00670020006e0079006500720065002egt DEU ltFEFF00560065007200770065006e00640065006e0020005300690065002000640069006500730065002000450069006e007300740065006c006c0075006e00670065006e0020007a0075006d002000450072007300740065006c006c0065006e00200076006f006e002000410064006f006200650020005000440046002d0044006f006b0075006d0065006e00740065006e002c00200076006f006e002000640065006e0065006e002000530069006500200068006f006300680077006500720074006900670065002000500072006500700072006500730073002d0044007200750063006b0065002000650072007a0065007500670065006e0020006d00f60063006800740065006e002e002000450072007300740065006c006c007400650020005000440046002d0044006f006b0075006d0065006e007400650020006b00f6006e006e0065006e0020006d006900740020004100630072006f00620061007400200075006e0064002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020006f0064006500720020006800f600680065007200200067006500f600660066006e00650074002000770065007200640065006e002egt ESP ltFEFF005500740069006c0069006300650020006500730074006100200063006f006e0066006900670075007200610063006900f3006e0020007000610072006100200063007200650061007200200064006f00630075006d0065006e0074006f00730020005000440046002000640065002000410064006f0062006500200061006400650063007500610064006f00730020007000610072006100200069006d0070007200650073006900f3006e0020007000720065002d0065006400690074006f007200690061006c00200064006500200061006c00740061002000630061006c0069006400610064002e002000530065002000700075006500640065006e00200061006200720069007200200064006f00630075006d0065006e0074006f00730020005000440046002000630072006500610064006f007300200063006f006e0020004100630072006f006200610074002c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200079002000760065007200730069006f006e0065007300200070006f00730074006500720069006f007200650073002egt ETI ltFEFF004b00610073007500740061006700650020006e0065006900640020007300e4007400740065006900640020006b00760061006c006900740065006500740073006500200074007200fc006b006900650065006c007300650020007000720069006e00740069006d0069007300650020006a0061006f006b007300200073006f00620069006c0069006b0065002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740069006400650020006c006f006f006d006900730065006b0073002e00200020004c006f006f0064007500640020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740065002000730061006100740065002000610076006100640061002000700072006f006700720061006d006d006900640065006700610020004100630072006f0062006100740020006e0069006e0067002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020006a00610020007500750065006d006100740065002000760065007200730069006f006f006e00690064006500670061002e000d000agt FRA ltFEFF005500740069006c006900730065007a00200063006500730020006f007000740069006f006e00730020006100660069006e00200064006500200063007200e900650072002000640065007300200064006f00630075006d0065006e00740073002000410064006f00620065002000500044004600200070006f0075007200200075006e00650020007100750061006c0069007400e90020006400270069006d007000720065007300730069006f006e00200070007200e9007000720065007300730065002e0020004c0065007300200064006f00630075006d0065006e00740073002000500044004600200063007200e900e90073002000700065007500760065006e0074002000ea0074007200650020006f007500760065007200740073002000640061006e00730020004100630072006f006200610074002c002000610069006e00730069002000710075002700410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000650074002000760065007200730069006f006e007300200075006c007400e90072006900650075007200650073002egt GRE ltFEFF03a703c103b703c303b903bc03bf03c003bf03b903ae03c303c403b5002003b103c503c403ad03c2002003c403b903c2002003c103c503b803bc03af03c303b503b903c2002003b303b903b1002003bd03b1002003b403b703bc03b903bf03c503c103b303ae03c303b503c403b5002003ad03b303b303c103b103c603b1002000410064006f006200650020005000440046002003c003bf03c5002003b503af03bd03b103b9002003ba03b103c42019002003b503be03bf03c703ae03bd002003ba03b103c403ac03bb03bb03b703bb03b1002003b303b903b1002003c003c103bf002d03b503ba03c403c503c003c903c403b903ba03ad03c2002003b503c103b303b103c303af03b503c2002003c503c803b703bb03ae03c2002003c003bf03b903cc03c403b703c403b103c2002e0020002003a403b10020005000440046002003ad03b303b303c103b103c603b1002003c003bf03c5002003ad03c703b503c403b5002003b403b703bc03b903bf03c503c103b303ae03c303b503b9002003bc03c003bf03c103bf03cd03bd002003bd03b1002003b103bd03bf03b903c703c403bf03cd03bd002003bc03b5002003c403bf0020004100630072006f006200610074002c002003c403bf002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002003ba03b103b9002003bc03b503c403b103b303b503bd03ad03c303c403b503c103b503c2002003b503ba03b403cc03c303b503b903c2002egt HEB ltFEFF05D405E905EA05DE05E905D5002005D105D405D205D305E805D505EA002005D005DC05D4002005DB05D305D9002005DC05D905E605D505E8002005DE05E105DE05DB05D9002000410064006F006200650020005000440046002005D405DE05D505EA05D005DE05D905DD002005DC05D405D305E405E105EA002005E705D305DD002D05D305E405D505E1002005D005D905DB05D505EA05D905EA002E002005DE05E105DE05DB05D90020005000440046002005E905E005D505E605E805D5002005E005D905EA05E005D905DD002005DC05E405EA05D905D705D4002005D105D005DE05E605E205D505EA0020004100630072006F006200610074002005D5002D00410064006F00620065002000520065006100640065007200200035002E0030002005D505D205E805E105D005D505EA002005DE05EA05E705D305DE05D505EA002005D905D505EA05E8002E05D005DE05D905DD002005DC002D005000440046002F0058002D0033002C002005E205D905D905E005D5002005D105DE05D305E805D905DA002005DC05DE05E905EA05DE05E9002005E905DC0020004100630072006F006200610074002E002005DE05E105DE05DB05D90020005000440046002005E905E005D505E605E805D5002005E005D905EA05E005D905DD002005DC05E405EA05D905D705D4002005D105D005DE05E605E205D505EA0020004100630072006F006200610074002005D5002D00410064006F00620065002000520065006100640065007200200035002E0030002005D505D205E805E105D005D505EA002005DE05EA05E705D305DE05D505EA002005D905D505EA05E8002Egt HRV (Za stvaranje Adobe PDF dokumenata najpogodnijih za visokokvalitetni ispis prije tiskanja koristite ove postavke Stvoreni PDF dokumenti mogu se otvoriti Acrobat i Adobe Reader 50 i kasnijim verzijama) HUN ltFEFF004b0069007600e1006c00f30020006d0069006e0151007300e9006701710020006e0079006f006d00640061006900200065006c0151006b00e90073007a00ed007401510020006e0079006f006d00740061007400e100730068006f007a0020006c006500670069006e006b00e1006200620020006d0065006700660065006c0065006c0151002000410064006f00620065002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e00740075006d006f006b0061007400200065007a0065006b006b0065006c0020006100200062006500e1006c006c00ed007400e10073006f006b006b0061006c0020006b00e90073007a00ed0074006800650074002e0020002000410020006c00e90074007200650068006f007a006f00740074002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e00740075006d006f006b00200061007a0020004100630072006f006200610074002000e9007300200061007a002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002c0020007600610067007900200061007a002000610074007400f3006c0020006b00e9007301510062006200690020007600650072007a006900f3006b006b0061006c0020006e00790069007400680061007400f3006b0020006d00650067002egt ITA ltFEFF005500740069006c0069007a007a006100720065002000710075006500730074006500200069006d0070006f007300740061007a0069006f006e00690020007000650072002000630072006500610072006500200064006f00630075006d0065006e00740069002000410064006f00620065002000500044004600200070006900f900200061006400610074007400690020006100200075006e00610020007000720065007300740061006d0070006100200064006900200061006c007400610020007100750061006c0069007400e0002e0020004900200064006f00630075006d0065006e007400690020005000440046002000630072006500610074006900200070006f00730073006f006e006f0020006500730073006500720065002000610070006500720074006900200063006f006e0020004100630072006f00620061007400200065002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200065002000760065007200730069006f006e006900200073007500630063006500730073006900760065002egt JPN ltFEFF9ad854c18cea306a30d730ea30d730ec30b951fa529b7528002000410064006f0062006500200050004400460020658766f8306e4f5c6210306b4f7f75283057307e305930023053306e8a2d5b9a30674f5c62103055308c305f0020005000440046002030d530a130a430eb306f3001004100630072006f0062006100740020304a30883073002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000204ee5964d3067958b304f30533068304c3067304d307e305930023053306e8a2d5b9a306b306f30d530a930f330c8306e57cb30818fbc307f304c5fc59808306730593002gt KOR ltFEFFc7740020c124c815c7440020c0acc6a9d558c5ec0020ace0d488c9c80020c2dcd5d80020c778c1c4c5d00020ac00c7a50020c801d569d55c002000410064006f0062006500200050004400460020bb38c11cb97c0020c791c131d569b2c8b2e4002e0020c774b807ac8c0020c791c131b41c00200050004400460020bb38c11cb2940020004100630072006f0062006100740020bc0f002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020c774c0c1c5d0c11c0020c5f40020c2180020c788c2b5b2c8b2e4002egt LTH ltFEFF004e006100750064006f006b0069007400650020016100690075006f007300200070006100720061006d006500740072007500730020006e006f0072011700640061006d00690020006b0075007200740069002000410064006f00620065002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400750073002c0020006b00750072006900650020006c0061006200690061007500730069006100690020007000720069007400610069006b007900740069002000610075006b01610074006f00730020006b006f006b007900620117007300200070006100720065006e006700740069006e00690061006d00200073007000610075007300640069006e0069006d00750069002e0020002000530075006b0075007200740069002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400610069002000670061006c006900200062016b007400690020006100740069006400610072006f006d00690020004100630072006f006200610074002000690072002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000610072002000760117006c00650073006e0117006d00690073002000760065007200730069006a006f006d00690073002egt LVI ltFEFF0049007a006d0061006e0074006f006a00690065007400200161006f00730020006900650073007400610074012b006a0075006d00750073002c0020006c0061006900200076006500690064006f00740075002000410064006f00620065002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400750073002c0020006b006100730020006900720020012b00700061016100690020007000690065006d01130072006f00740069002000610075006700730074006100730020006b00760061006c0069007401010074006500730020007000690072006d007300690065007300700069006501610061006e006100730020006400720075006b00610069002e00200049007a0076006500690064006f006a006900650074002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400750073002c0020006b006f002000760061007200200061007400760113007200740020006100720020004100630072006f00620061007400200075006e002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002c0020006b0101002000610072012b00200074006f0020006a00610075006e0101006b0101006d002000760065007200730069006a0101006d002egt NLD (Gebruik deze instellingen om Adobe PDF-documenten te maken die zijn geoptimaliseerd voor prepress-afdrukken van hoge kwaliteit De gemaakte PDF-documenten kunnen worden geopend met Acrobat en Adobe Reader 50 en hoger) NOR ltFEFF004200720075006b00200064006900730073006500200069006e006e007300740069006c006c0069006e00670065006e0065002000740069006c002000e50020006f0070007000720065007400740065002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740065007200200073006f006d00200065007200200062006500730074002000650067006e0065007400200066006f00720020006600f80072007400720079006b006b0073007500740073006b00720069006600740020006100760020006800f800790020006b00760061006c0069007400650074002e0020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740065006e00650020006b0061006e002000e50070006e00650073002000690020004100630072006f00620061007400200065006c006c00650072002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200065006c006c00650072002000730065006e006500720065002egt POL ltFEFF0055007300740061007700690065006e0069006100200064006f002000740077006f0072007a0065006e0069006100200064006f006b0075006d0065006e007400f300770020005000440046002000700072007a0065007a006e00610063007a006f006e00790063006800200064006f002000770079006400720075006b00f30077002000770020007700790073006f006b00690065006a0020006a0061006b006f015b00630069002e002000200044006f006b0075006d0065006e0074007900200050004400460020006d006f017c006e00610020006f007400770069006500720061010700200077002000700072006f006700720061006d006900650020004100630072006f00620061007400200069002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000690020006e006f00770073007a0079006d002egt PTB ltFEFF005500740069006c0069007a006500200065007300730061007300200063006f006e00660069006700750072006100e700f50065007300200064006500200066006f0072006d00610020006100200063007200690061007200200064006f00630075006d0065006e0074006f0073002000410064006f0062006500200050004400460020006d00610069007300200061006400650071007500610064006f00730020007000610072006100200070007200e9002d0069006d0070007200650073007300f50065007300200064006500200061006c007400610020007100750061006c00690064006100640065002e0020004f007300200064006f00630075006d0065006e0074006f00730020005000440046002000630072006900610064006f007300200070006f00640065006d0020007300650072002000610062006500720074006f007300200063006f006d0020006f0020004100630072006f006200610074002000650020006f002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000650020007600650072007300f50065007300200070006f00730074006500720069006f007200650073002egt RUM ltFEFF005500740069006c0069007a00610163006900200061006300650073007400650020007300650074010300720069002000700065006e007400720075002000610020006300720065006100200064006f00630075006d0065006e00740065002000410064006f006200650020005000440046002000610064006500630076006100740065002000700065006e0074007200750020007400690070010300720069007200650061002000700072006500700072006500730073002000640065002000630061006c006900740061007400650020007300750070006500720069006f006100720103002e002000200044006f00630075006d0065006e00740065006c00650020005000440046002000630072006500610074006500200070006f00740020006600690020006400650073006300680069007300650020006300750020004100630072006f006200610074002c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020015f00690020007600650072007300690075006e0069006c006500200075006c0074006500720069006f006100720065002egt RUS ltFEFF04180441043f043e043b044c04370443043904420435002004340430043d043d044b04350020043d0430044104420440043e0439043a043800200434043b044f00200441043e043704340430043d0438044f00200434043e043a0443043c0435043d0442043e0432002000410064006f006200650020005000440046002c0020043c0430043a04410438043c0430043b044c043d043e0020043f043e04340445043e0434044f04490438044500200434043b044f00200432044b0441043e043a043e043a0430044704350441044204320435043d043d043e0433043e00200434043e043f0435044704300442043d043e0433043e00200432044b0432043e04340430002e002000200421043e043704340430043d043d044b04350020005000440046002d0434043e043a0443043c0435043d0442044b0020043c043e0436043d043e0020043e0442043a0440044b043204300442044c002004410020043f043e043c043e0449044c044e0020004100630072006f00620061007400200438002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020043800200431043e043b043504350020043f043e04370434043d043804450020043204350440044104380439002egt SKY ltFEFF0054006900650074006f0020006e006100730074006100760065006e0069006100200070006f0075017e0069007400650020006e00610020007600790074007600e100720061006e0069006500200064006f006b0075006d0065006e0074006f0076002000410064006f006200650020005000440046002c0020006b0074006f007200e90020007300610020006e0061006a006c0065007001610069006500200068006f0064006900610020006e00610020006b00760061006c00690074006e00fa00200074006c0061010d00200061002000700072006500700072006500730073002e00200056007900740076006f00720065006e00e900200064006f006b0075006d0065006e007400790020005000440046002000620075006400650020006d006f017e006e00e90020006f00740076006f00720069016500200076002000700072006f006700720061006d006f006300680020004100630072006f00620061007400200061002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000610020006e006f0076016100ed00630068002egt SLV ltFEFF005400650020006e006100730074006100760069007400760065002000750070006f0072006100620069007400650020007a00610020007500730074007600610072006a0061006e006a006500200064006f006b0075006d0065006e0074006f0076002000410064006f006200650020005000440046002c0020006b006900200073006f0020006e0061006a007000720069006d00650072006e0065006a016100690020007a00610020006b0061006b006f0076006f00730074006e006f0020007400690073006b0061006e006a00650020007300200070007200690070007200610076006f0020006e00610020007400690073006b002e00200020005500730074007600610072006a0065006e006500200064006f006b0075006d0065006e0074006500200050004400460020006a00650020006d006f0067006f010d00650020006f0064007000720065007400690020007a0020004100630072006f00620061007400200069006e002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200069006e0020006e006f00760065006a01610069006d002egt SUO ltFEFF004b00e40079007400e40020006e00e40069007400e4002000610073006500740075006b007300690061002c0020006b0075006e0020006c0075006f00740020006c00e400680069006e006e00e4002000760061006100740069007600610061006e0020007000610069006e006100740075006b00730065006e002000760061006c006d0069007300740065006c00750074007900f6006800f6006e00200073006f00700069007600690061002000410064006f0062006500200050004400460020002d0064006f006b0075006d0065006e007400740065006a0061002e0020004c0075006f0064007500740020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740069007400200076006f0069006400610061006e0020006100760061007400610020004100630072006f0062006100740069006c006c00610020006a0061002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030003a006c006c00610020006a006100200075007500640065006d006d0069006c006c0061002egt SVE ltFEFF0041006e007600e4006e00640020006400650020006800e4007200200069006e0073007400e4006c006c006e0069006e006700610072006e00610020006f006d002000640075002000760069006c006c00200073006b006100700061002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e007400200073006f006d002000e400720020006c00e4006d0070006c0069006700610020006600f60072002000700072006500700072006500730073002d007500740073006b00720069006600740020006d006500640020006800f600670020006b00760061006c0069007400650074002e002000200053006b006100700061006400650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740020006b0061006e002000f600700070006e00610073002000690020004100630072006f0062006100740020006f00630068002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020006f00630068002000730065006e006100720065002egt TUR ltFEFF005900fc006b00730065006b0020006b0061006c006900740065006c0069002000f6006e002000790061007a006401310072006d00610020006200610073006b013100730131006e006100200065006e0020006900790069002000750079006100620069006c006500630065006b002000410064006f006200650020005000440046002000620065006c00670065006c0065007200690020006f006c0075015f007400750072006d0061006b0020006900e70069006e00200062007500200061007900610072006c0061007201310020006b0075006c006c0061006e0131006e002e00200020004f006c0075015f0074007500720075006c0061006e0020005000440046002000620065006c00670065006c0065007200690020004100630072006f006200610074002000760065002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200076006500200073006f006e0072006100730131006e00640061006b00690020007300fc007200fc006d006c00650072006c00650020006100e70131006c006100620069006c00690072002egt UKR ltFEFF04120438043a043e0440043804410442043e043204430439044204350020044604560020043f043004400430043c043504420440043800200434043b044f0020044104420432043e04400435043d043d044f00200434043e043a0443043c0435043d044204560432002000410064006f006200650020005000440046002c0020044f043a04560020043d04300439043a04400430044904350020043f045604340445043e0434044f0442044c00200434043b044f0020043204380441043e043a043e044f043a04560441043d043e0433043e0020043f0435044004350434043404400443043a043e0432043e0433043e0020043404400443043a0443002e00200020042104420432043e04400435043d045600200434043e043a0443043c0435043d0442043800200050004400460020043c043e0436043d04300020043204560434043a0440043804420438002004430020004100630072006f006200610074002004420430002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002004300431043e0020043f04560437043d04560448043e04570020043204350440044104560457002egt ENU (Use these settings to create Adobe PDF documents best suited for high-quality prepress printing Created PDF documents can be opened with Acrobat and Adobe Reader 50 and later) gtgt Namespace [ (Adobe) (Common) (10) ] OtherNamespaces [ ltlt AsReaderSpreads false CropImagesToFrames true ErrorControl WarnAndContinue FlattenerIgnoreSpreadOverrides false IncludeGuidesGrids false IncludeNonPrinting false IncludeSlug false Namespace [ (Adobe) (InDesign) (40) ] OmitPlacedBitmaps false OmitPlacedEPS false OmitPlacedPDF false SimulateOverprint Legacy gtgt ltlt AddBleedMarks false AddColorBars false AddCropMarks false AddPageInfo false AddRegMarks false ConvertColors ConvertToCMYK DestinationProfileName () DestinationProfileSelector DocumentCMYK Downsample16BitImages true FlattenerPreset ltlt PresetSelector MediumResolution gtgt FormElements false GenerateStructure false IncludeBookmarks false IncludeHyperlinks false IncludeInteractive false IncludeLayers false IncludeProfiles false MultimediaHandling UseObjectSettings Namespace [ (Adobe) (CreativeSuite) (20) ] PDFXOutputIntentProfileSelector DocumentCMYK PreserveEditing true UntaggedCMYKHandling LeaveUntagged UntaggedRGBHandling UseDocumentProfile UseDocumentBleed false gtgt ]gtgt setdistillerparamsltlt HWResolution [2400 2400] PageSize [612000 792000]gtgt setpagedevice

  1. 1 World Health Organization WHO
  2. 2 Beijing Platform for Action BPA 1995
  3. 5 International Covenant on Civil and Political Rights ICCPR 1966
  4. 7 Krug Etienne et al 2002 World Report on Violence and Health Geneva WHO
Page 5: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na

DIBAJI

Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa Kijinsia (UWAKI) ambalo kwa ujumla halikuwa likizingatiwa kwa ukaribu Hivi karibuni Utafiti wa Afya na Idadi ya Watu Tanzania (2010) umeonyesha viwango vya juu vya ukatili wa kijinsia ambavyo havikubaliki Ukatili wa kijinsia ni ukiukwaji mkubwa wa Haki za Msingi za Binadamu na una madhara ya muda mrefu ya kimwili kiakili na kisaikolojia kwa watu waliopatwa na UWAKI familia na jamii Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii (WAUJ) imeandaa Mwongozo wa Kisera kuhusu UWAKI ili kuelekeza utayarishaji wa Mwongozo wa Kuzuia na Kutoa Huduma kwa watu waliopatwa na UWAKI Wizara itafanya kazi na wadau wengine kwa kutoa huduma kwa watu waliopatwa na UWAKI katika ngazi zote za utoaji huduma

Uandaaji wa Mwongozo wa Kisera kuhusu UWAKI umezingatia Sera ya Afya na nyaraka mbalimbali za sekta ya Afya zikijumuisha Mpango Mkakati wa Sekta ya Afya III (2009-2015) Mpango wa Maendeleo wa Afya ya Msingi (MMAM 2007-2017) Mpango Mkakati wa Watumishi wa Sekta ya Afya (2008shy2013) Mkakati wa Taifa wa Kuongeza Kasi ya Kupunguza Vifo Vinavyotokana na Matatizo ya Uzazi Watoto Wachanga na Watoto wa umri chini ya miaka mitano kama ldquoMpango Mmojardquo (2008-2015) Programu ya Uzazi wa Mpango Iliyokasimiwa (2010 - 2015) na Mpango wa Taifa wa Huduma kwa Yatima na Watoto Wanaoishi katika Mazingira Hatarishi (NCPA 2011-2016)

Utekelezaji wa kazi zinazohusiana na UWAKI hapa nchini na utoaji wa huduma kwa watu waliopatwa na UWAKI katika vituo vya huduma za afya na ustawi wa jamii hauridhishi Pamoja na jitihada za Serikali za kupambana na UWAKI uhaba wa rasilimali na sababu nyingine ikiwamo ukosefu wa mwongozo wa kisera umechangia kukosekana kwa huduma bora kwa watu waliopatwa na UWAKI Uzuiaji na utoaji wa huduma bora kwa watu waliopatwa na UWAKI hauhusishi Sekta ya Afya na Ustawi wa Jamii pekee bali sekta nyingine zikijumuisha zile zinazotoa huduma za kisaikolojia usalama wa raia na msaada wa kisheria Hali hii inahitaji uratibu na ushirikiano wa karibu baina ya wadau mbalimbali katika kubuni kupanga na kutekeleza mwongozo wa kisera kuhusu UWAKI

iv

Mwongozo huu unaainisha majukumu ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii na wadau wake katika kupanga na kutekeleza uzuiaji na utoaji wa huduma kwa watu waliopatwa na UWAKI katika ngazi zote Uzuiaji wa UWAKI na utoaji wa huduma kwa watu waliopatwa na UWAKI utatekelezwa kwa kufuata mfumo wa utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii nchini Utoaji wa huduma kwa watu waliopatwa na UWAKI kwenye kila kituo cha huduma za afya utazingatia misingi ya kuheshimu haki za binadamu kujali na maadili ya kitaaluma Ni matumaini yangu ya dhati kuwa Maofisa Mipango Kamati za Afya na watoa huduma wote wa Sekta ya Afya watatumia Mwongozo huu wa Kisera katika kupanga na kutekeleza uzuiaji wa UWAKI na utoaji wa huduma bora za afya kwa watu waliopatwa na UWAKI na hatimaye kutokomeza UWAKI nchini Tanzania

Dkt Donan W Mmbando Kaimu Mganga Mkuu wa Serikali

v

SHUKURANI

Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii (WAUJ) inatambua mchango wa Kikosi Kazi cha Wataalamu chini ya uongozi wa Mkurugenzi Msaidizi wa Huduma za Afya ya Uzazi na Mtoto

Pia Wizara inayashukuru Mashirika mbalimbali na watu binafsi waliochangia katika kutayarisha na kukamilisha Mwongozo huu wa Kisera

Tunashukuru na kutambua mchango wa Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani (USAID) Tanzania na Mpango wa Dharura wa Rais wa Marekani wa kupunguza UKIMWI (PEPFAR) kwa kutoa msaada wa kiutaalamu na kifedha katika kuendeleza Sera ya Afya na kutekelezwa na ldquoFutures Group Internationalrdquo Aidha Wizara inashukuru Mpango wa Pamoja wa Umoja wa Mataifa kwa ufadhili wa utaalamu na fedha

Tunapenda pia kuwatambua wataalamu walioshiriki katika kuandaa na Mwongozo huu wa Kisera

Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Kinga

kukamilisha

Dkt Peter Mmbuji

vi

VIFUPISHO

BAW Bodi ya Afya ya Wilaya BHA Bodi ya Huduma za Afya MKUKUTA Mpango wa Kukuza Uchumi na Kupunguza

Umaskini Tanzania MMAM Mpango wa Maendeleo wa Afya ya Msingi MHW Mamlaka ya Halmashauri ya Wilaya NCPA Mpango Kazi wa Taifa wa Kuhudumia Watoto Yatima

na Wanaoishi katika Mazingira Hatarishi PEPFAR Mpango wa Dharura wa Rais wa Marekani wa

kupunguza UKIMWI SADC Ushirikiano wa Maendeleo wa Nchi za Kusini mwa

Afrika UWAKI Ukatili wa Kijinsia UKIMWI Upungufu wa Kinga Mwilini USAID Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani VVU Virusi Vya UKIMWI WAUJ Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii WHO Shirika la Afya Duniani

vii

ORODHA YA MANENO MUHIMU NA DHANA

Kwa madhumuni ya Mwongozo huu maneno muhimu na dhana yatakuwa na maana ifuatayo

Ukatili Matumizi ya nguvu yanayompa mtu fursa ya kumtumia au kumkandamiza mtu mwingine ikiwa ni pamoja na na kumsababishia woga au hofu madhara ya kimwili kifikra na kisaikolojia Ukatili unaweza kujitokeza kwa kumdhuru mtu kimwili au kumtishia kwa kutumia silaha au kumnyima mtu uhuru wa kufanya uamuzi na kumlazimisha kutenda kinyume na utashi wake

Kijana balehe Kipindi cha mpito cha ukuaji kutoka utoto kuelekea utu uzima Kipindi hiki ni muda ambapo mhusika sio mtoto wala mtu mzima kibiolojia wala hajakomaa kihisia Wakati huu kuna mabadiliko makubwa ya kimwili yanayohusiana na mwanzo wa kubalehe pamoja na kukua kisaikolojia Kijana balehe hujumuisha wanafunzi wengi walio kwenye shule za msingi na baadaye kukamilika wakiwa shule za sekondari

Mtoto Kwa mujibu wa katiba ya Tanzania na sheria ya mtoto mtoto ni mtu yeyote aliye chini ya umri wa miaka 18

Unyanyasaji wa mtoto Unyanyasaji wa mtoto ni dhana ambayo inahusisha maneno au vitendo vilivyokusudia kusababisha utokeaji wa madhara au vitisho kwa watoto Kuna aina tatu za ukatili kwa watoto kimwili kingono na kisaikolojia

Unyanyasaji wa mtoto kingono Ushirikishwaji wa mtoto katika vitendo vinavyohusu ngono Unyanyasaji wa watoto kingono unatokea kati ya mtoto na mtu mzima au mtoto na mtoto mwingine ambaye wamezidiana kiumri na kupevuka na anaaminika ana madaraka na wajibu juu ya mtu aliyepatwa na UWAKI kwa lengo la mnyanyasaji kujiridhisha haja zake binafsi

Unyanyasaji wa watoto kingono ni pamoja na kushawishi au kumlazimisha mtoto kushiriki katika vitendo vyovyote vya ngono utumiaji wa watoto kufanya ukahaba au matumizi ya watoto katika kupiga picha za ngono na kutumia vifaa vinavyohusika na ngonoUnyanyasaji wa mtoto ni dhana

viii

ambayo inahusisha maneno au vitendo vilivyokusudia kusababisha utokeaji wa madhara au vitisho kwa mtoto

Kulazimisha Kutishia au kutumia nguvu ikiwa ni pamoja na kutumia vitisho kauli mbaya ulaghai udanganyifu mila potofu au nguvu ya kipato bila ridhaa yake

Huduma kwa waathirika wa UWAKI Ni huduma jumuishi zinazotolewa kwa waathirika zikijumuisha Kuchukua historia ya mtu aliyepatwa na UWAKI upimaji wa kina kuchukua vipimo vya ushahidi wa kimahakama kwa mujibu wa sheria unasihi kupata matibabu ya awali kupata msaada wa kisheria na kisaikolojia na pale inapobidi kupewa ulinzi

Ridhaa Kufanya uamuzi wenye uelewa uhuru na hiari kuhusu jambo lolote Hakuna ridhaa ikiwa makubaliano yamepatikana kwa njia ya vitisho nguvu au aina zozote za kulazimishwa utekaji nyara udanganyifu ulaghai na upotoshaji

Ukatili ndani ya familia Ni vitendo vya unyanyasaji wanavyofanyiana watu walio katika uhusiano wa karibu kama vile ndoa uchumba familia au watu wanaoishi pamoja kama mke na mume bila ndoa rasmi

Kuna aina mbalimbali za ukatili wa kifamilia zikiwa ni pamoja na ukatili wa kimwili (kumpiga kumwuma kumsukuma kumzuia kumtupia vitu) au kumtishia Aina nyingine ya ukatili wa kifamilia ni ukatili wa kisaikolojia (kumfanyia vitisho kuvizia kumpuuzia) na ukatili wa kiuchumi Madhara yanayotokana na ukatili wa kifamilia ni pamoja na matumizi makubwa ya pombe utegemezi wa dawa za kulevya na magonjwa ya akili

Kituo cha Hifadhi ya muda Mahali pa kupata taarifa usalama huduma ya kwanza rufaa na mahitaji mengine muhimu na ya haraka kwa waliopatwa na UWAKI ambao wanahitaji mahali salama penye usiri kwa kipindi fulani

Kituo maalumu cha malezi Mahali rasmi panapotambulika kisheria kama makao ya watoto au shule za maadilisho Mahali pa kulelea watoto

ix

wanaoishi katika mazingira hatarishi kama vile kituo cha kulelea watoto kinachomilikiwa na watu binafsi taasisi za dini au serikali

Mlezi maalumu Mtu mzima mwenye akili timamu maadili mazuri na anayeaminika katika jamii ana uwezo wa kumlea mtoto ambaye siyo ndugu yake au wa nasaba yake ambaye amethibitishwa na ustawi wa jamii kuweza kumpa matunzo

Kulazimisha kurithi Mjane Ni mila ambapo mjane anashurutishwa bila ridha yake kuwa mke au mume wa ndugu wa marehemu Inawezekana kuwa katika aina au mtindo tofauti kulingana na tamaduni

Ukahaba wa Kulazimishwa Ni kitendo cha ulaghai kinachofanywa na watu kwa makundi hatarishi kama wanawake au wasichana kwa kuwaahidi kuwapatia vitu msaada au ajira halali na badala yake kuwatumikisha katika biashara ya ngono

Jinsia Ni uhusiano uliojengeka katika jamii Watu huzaliwa wakiwa na maumbile ya kike na kiume kisha hujifunza kazi au shughuli za kike na kiume kwenye jamii na hatimaye husababisha watu kujipangia majukumu kutokana na jinsia

Ukatili wa Kijinsia (UWAKI) Ni kitendo chochote cha kikatili anachofanyiwa mtu yeyote awe mwanamke mwanamume au mtoto chenye lengo la kumwumiza kimwili au kiutu kutokana na jinsia yake Ukatili wa kijinsia unajumuisha ukatili wa kingono kisaikolojia mila hatarishi na unyanyasaji wa kiuchumi na kijamii

Kupambana na Ukatili wa Kijinsia Kunajumuisha mambo yafuatayo Kutoa huduma kuandaa mipango mkakati kwa kuwashirikisha wadau mbalimbali

Mila na desturi hatarishi

bull Ukeketaji Ni kitendo cha kikatili anachofanyiwa mtoto wa kike msichana au mwanamke kwa kukata kabisa au kuondoa sehemu ya via vya nje vya uzazi kwa sababu zisizo za kitabibu

x

bull Ndoa katika umri mdogo Ni ndoa zinazojitokeza zaidi kwa wasichana ambazo zinahusishwa na madhara kwa mama na mtoto kama vile matatizo wakati wa kujifungua ulemavu na vifo vya mama na mtoto

bull Ndoa ya kulazimishwa Ni ndoa zinazofanyika bila ridhaa ya mwanamume au mwanamke Iwapo mmoja kati yao hatakubaliana ndoa hizo zinaweza kusababisha madhara ya unyanyasaji na ukatili

bull Utakaso wa mjane Ni desturi ambapo mjane hulazimishwa au hulazimika kufanya ngono na ndugu wengine au mtu aliyeteuliwa kwa kazi hiyo katika jamii Hii hufanyika kabla mjane huyo hajaolewa au kuoa tena

Haki za binadamu Ni stahili za msingi ambazo kila binadamu anapaswa kuzipata ili kumwezesha kuishi kujiendeleza kushiriki na kupata ulinzi wa jamii bila kujali utaifa jinsia asili ya utaifa au nasaba au kabila rangi dini lugha au kwa hali nyingine yoyote

Matukio ya ukatili Ni kitendo au mfululizo wa vitendo vya ukatili vinavyofanywa na mtu au kikundi cha watu dhidi ya mtu au kundi la watu kwa makusudi ya kuharibu kuleta hofu au kutishia amani kwa maslahi binafsi Vitendo hivyo vya kikatili vinaweza kufanyika nyumbani kwenye hadhara na mahali popote katika nyakati tofauti

Ukatili kati ya wenzi Ukatili unaohusisha wenzi wenye uhusiano wa ndani kama vile mtu na mke marafiki wapenzi wanafamilia au watu wanaoishi pamoja kama mke na mume bila ndoa rasmi Ukatili kati ya wenzi ni wa aina nyingi ikiwa ni pamoja na ukatili wa kimwili (kupigwa kuuma kumsukuma kumzuia kumtupia vitu) au kumtishia Aina nyingine ya ukatili wa wenzi ni ukatili wa kingono kisaikolojia (kumfanyia vitisho kuvizia kumpuuza) na ukatili wa kiuchumi (kunyimwa haki ya kufanya kazi kunyangrsquoanywa kipato kurithi mali nk)

Mhalifu Ni mtu kundi la watu au taasisi linalofanya moja kwa moja au kupitia wengine uhalifu au vitendo vya kikatili dhidi ya mtu au kundi la

xi

watuWahalifu wanakuwa katika hali ya kuwa au kuhisi kuwa na nguvu kufanya uamuzi naau mamlaka ya kuwadhibiti waliopatwa na UWAKI

Ukatili wa kimwili Ni kitendo cha kumdhalilisha mtu kwa kumpiga kumvua nguo kumwuma kumchoma kumsababishia ulemavu au kumwua kwa kutumia au kutotumia silaha

Nguvu Katika muktadha wa UWAKI madaraka yanahusiana na uwezo wa kuchagua Mamlaka makubwa yanaendana na uwezo mkubwa wa kufanya uamuzi Kwa upande mwingine mamlaka madogo yanaendana na uwezo dhaifu wa kufanya uamuzi na kwa hivyo kuongeza uwezekano wa kunyanyaswa UWAKI unahusisha matumizi mabaya ya madaraka ambapo mtu mmoja anajisikia kuwa ana mamlaka zaidi juu ya mwenzake na kutumia fursa hiyo kumnyanyasa

Kwa mfano kutumia shinikizo la aina yoyote ili kumfanya mtu mwenye uwezo mdogo kufanya naye ngono kwa madhumuni ya kumpatia faida au ahadi zozote ni kutumia vibaya madaraka Wanaume wana nafasi za madaraka kuliko wanawake na mara nyingi wanamiliki fedha mali na huduma Wanaume wana maumbile makubwa zaidi ya wanawake wana nguvu zaidi wanatumia silaha zaidi na wanadhibiti mawasiliano na usalama Madaraka yanategemea umri na mara nyingi watoto na wazee wana madaraka madogo zaidi Waume au marafiki wa kiume wana umri mkubwa zaidi kuliko wake zao au marafiki wa kike

Ubakaji Ni kitendo cha mtu kumwingilia mtu kimwili mtu mwingine kwa nguvu bila ridhaa yake au kitendo cha kumwingilia mtu mwenye umri chini ya miaka 18

Ulazimishaji ngono ndani ya ndoa Ni kitendo cha ngono kati ya wanandoa kinachofanywa na mwanandoa mmoja bila ridhaa au dhamira ya mwenzake akitumia nguvu vitisho kuogopesha hofu au wakati mwenza hawezi kutoa ridhaa

Vitendo hivyo vya ngono vinajumuisha kujamiiana ngono ya mdomo au kinyume na maumbile kulazimishwa kufanya ngono na mtu mwingine na vitendo vingine vya ngono ambavyo vinachukuliwa na mlazimishaji kama ukandamizaji udhalilishaji na vya kuumiza

xii

Nyumba salama Mahali pa hifadhi ya muda kwa watu waliopatwa na UWAKI mashahidi au watu wengine wanaoonekana kuwa hatarini Pia ni mahali ambapo jamii familia mtu mzima anayeaminika au taasisi ya hisani wanatoa kimbilio la usalama kwa watu waliopatwa na UWAKI

Ukatili wa Kingono Ni kitendo au jaribio lolote la unyanyasaji wa kingono linalosababisha au linaloweza kusababisha madhara ya kimwili kisaikolojia au kihisia

Ngono za Kulazimishwa Ni kitendo cha kumshurutisha au kujaribu kumshurutisha mtu mwingine kwa njia ya ukatili vitisho maneno makali udanganyifu kumpa matarajio ya kiuchumi ili ajihusishe na vitendo vya ngono bila ridhaa yake Ni pamoja na vitendo mbalimbali kama ubakaji na maeneo mapana zaidi kama wanawake kulazimishwa kuolewa na kutoa huduma ya ngono kwa wanaume ambao sio chaguo lao

Ukandamizaji wa Kingono Ni kumtumia mtu watu au jamii inayoishi kwenye mazingira magumu kwa madhumuni ya kuihusisha katika vitendo vya kujamiiana au vinavyohusiana na kujamiiana ili mhalifu afaidike kiuchumi au kijamii

Bughudha ya Kingono Ni matendo yanayohusiana na hisia za kujamiiana ambayo yanakera na kuudhi watu ndani ya jamii na mazingira ya kazi hayakubaliki yanasumbua yanarudiwa mara kwa mara na bila ridhaa kwa mfano matusi kukonyeza mavazi duni yenye kuonyesha maungo kupapasa picha za ngono na kuingilia faragha za mwili wa mtu

Ukatili wa Kingono Nikitendo au jaribio lolote la unyanyasaji wa kingono linalosababisha au linaloweza kusababisha madhara ya kimwili kisaikolojia au kihisia

Ukatili wa Kiuchumi na Kijamii Ni vitendo vya kumnyima mtu fursa ya kupata mahitaji ya msingi na ya kujiendeleza kama kumnyima elimu kazi kumiliki mali huduma za afya na vitendo vingine vinavyosababisha msongo wa mawazo

xiii

Ukatili Matumizi ya nguvu yanayompa mtu fursa ya kumtumia au kumkandamiza mtu mwingine ikiwa ni pamoja na kumsababishia woga au hofu madhara ya kimwili kifikra na kisaikolojia Ukatili unaweza kujitokeza kwa kumdhuru mtu kimwili au kumtishia kwa kutumia silaha au kumnyima mtu uhuru wa kufanya uamuzi na kumlazimisha kutenda kinyume na utashi wake

Ukatili Dhidi ya Wanawake Ni kitendo au vitendo vya unyanyasaji vyenye kulenga jinsia ya kike na vyenye kusababisha au kuleta madhara ya kimwili kingono kihisia kisaikolojia kiuchumi na kijamii Kitendo au vitendo hivi hujumuisha kutumia nguvu na vitisho vya kumnyima mwanamke haki na uhuru

xiv

SEHEMU YA KWANZA

UTANGULIZI

11 Hali ya Ukatili wa Kijinsia Duniani

Ukatili Wa Kijinsia (UWAKI) unatokana na kuwepo kwa tofauti kati ya wanaume na wanawake na hivyo kuhatarisha afya utu usalama na uhuru wa wahusika waliofanyiwa vitendo vya kikatili

UWAKI unajumuisha vitendo vingi vya ukiukwaji wa haki za binadamu kama vile unyanyasaji wa watoto kingono ubakaji unyanyasaji katika familia shambulio la aibu na udhalilishaji Vitendo vingine vya UWAKI ni usafirishaji haramu wa wanawake na wasichana na madhara mengine yatokanayo na mila na desturi hatarishi

Matukio ya ukatili wa kijinsia yanaacha athari kubwa za kisaikolojia na za kiafya kwa watu waliopatwa na ukatili ikiwa ni pamoja na kuathiri afya ya uzazi na mara nyingine kusababisha vifo

UWAKI haujatambuliwa kama ukiukwaji wa haki za binadamu katika sehemu nyingi duniani Tatizo hili hupunguza uwezo wa wanawake wanaume na watoto katika kufurahia uhuru na haki za msingi za kibinadamu Hata hivyo licha ya kuwepo kwa UWAKI katika nchi nyingi tatizo hili halijapewa kipaumbele UWAKI unaelezwa kuwa ldquoNi kitendo kiovu na cha aibu kubwa cha ukiukwaji wa haki za binadamurdquo Hali hii humfanya mwanamke kuwa tegemezi kijamii kiuchumi na kisheria na hupunguza uwezo wake katika kupata msaada mara anapofanyiwa ukatili

Utafiti uliofanywa na Shirika la Afya Duniani (WHO) kuhusu afya ya wanawake na ukatili wa kifamilia katika nchi 10 umeonyesha kuwa kati ya wanawake waliowahi kuwa na wenzi asilimia 13-61 walifanyiwa ukatili wa kimwili na wenzi wao asilimia 6-59 walifanyiwa ukatili wa kingono na asilimia 15-71 walifanyiwa vitendo vya ukatili wa kingono pamoja na kimwili Pia wanawake wengi vijijini walikiri kuwa walifanyiwa tendo la ngono kwa mara ya kwanza bila ridhaa yao na takwimu zinaonyesha matukio hayo katika baadhi ya nchi kama ifuatavyo Peru (24)

1

Tanzania (17) Bangladesh (30) na Ethiopia (17) Ukatili wa kimwili kwa wanawake wajawazito uliripotiwa kuwa ni asilimia 4-12

Wanawake na wasichana wanakabiliwa na aina nyingine ya ziada ya unyanyasaji Usafirishaji haramu wa wanawake na wasichana kwa ajili ya kazi na ngono za kulazimishwa ni biashara iliyoshamiri na mara nyingi waathirika ni wale wanaokabiliwa na hali ngumu ya maisha Ndoa za kulazimishwa na za utotoni ni ukiukwaji wa haki za binadamu kwa wanawake na wasichana lakini zinaendelea kushamiri kwenye nchi nyingi za Bara la Asia Mashariki ya Kati na Nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara Utafiti wa Shirika la Afya Duniani (2010) unaonyesha kuwa duniani kote mwanamke mmoja kati ya wanawake watano na mwanamume mmoja kati ya wanaume 10 wanaripotiwa kuathirika na unyanyasaji wa kingono wakati wa utoto

12 Hali ya UWAKI Kanda ya Afrika

Kuna uhaba wa taarifa takwimu na utafiti kuhusu UWAKI kwenye ukanda wa Afrika Mashariki Nchini Kenya kulikuwa hakuna takwimu zenye kuhusiana na ukatili wa kijinsia hadi utafiti wa hali ya jamii na afya ulipofanyika mwaka 2003 Utafiti huu ulionyesha kwamba asilimia 29 ya wanawake waliripotiwa kuathiriwa na ukatili wa kingono kwenye kipindi cha mwaka mmoja uliopita na wengi wa waathirika walikuwa wanawake wa umri wa miaka 20-29 Utafiti uliofanywa na Ushirika wa Wanasheria Wanawake nchini Kenya ulionyesha kwamba ukatili wa kijinsia katika familia unakabili asilimia 51 ya wanawake waliohudhuria kliniki nne za wajawazito kwenye jiji la Nairobi na waliripoti kuwa wamekuwa waathirika wa ukatili wakati fulani katika maisha yao kati yao asilimia 65 walifanyiwa ukatili na waume zao na asilimia 22 walifanyiwa ukatili na wanaume wasiowafahamu

Utafiti kuhusu UWAKI uliofanywa baada ya uchaguzi wa 2007 nchini Kenya ulilenga makazi duni ya Kibera jijini Nairobi yenye wakazi wapatao milioni moja Utafiti huu ulionyesha kuwa umri wa waathirika waliobakwa ulikuwa kati ya miaka 25-68 na wengi wao walikuwa wenye umri wa miaka ya 30 UWAKI uliwaathiri wanawake wa umri wa miaka yote Utafiti huu ulibaini kwamba baadhi ya waathirika waliambukizwa virusi vya UKIMWI

2

Mwaka 2007 Umoja wa Mataifa ulikadiria kuwa kiwango cha ubakaji wa wanawake katika eneo la Kivu kaskazini ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ulikuwa ni wanawake 350 kwa mwezi Mwaka 2008 shirika linalotetea haki za binadamu duniani (Amnesty International) liliripoti kuwa wanawake 40 hubakwa kila siku katika eneo hilo hilo

3

SEHEMU YA PILI

UCHAMBUZI WA UWAKI TANZANIA

21 Ukubwa wa tatizo la UWAKI Tanzania

Utafiti uliofanywa na Shirika la Afya Duniani (WHO)1 kuhusu afya ya wanawake na ukatili majumbani kwenye nchi 10 umebaini kuwa ukatili dhidi ya wanawake upo sehemu nyingi ikiwemoTanzania Utafi ti huo ulihusisha wanawake 1820 Dar es Salaam na wanawake 1450 Mbeya waliowahi kuwa na wenzi Matokeo yalionyesha kwamba asilimia 41 ya waliohojiwa katika jiji la Dar es Salaam na asilimia 55 ya waliohojiwa katika jiji la Mbeya waliathirika na aina mbalimbali za UWAKI Taarifa ilionyesha kuwa asilimia 15 hadi 71 ya wanawake walioathirika na ukatili wa kimwili au wa kingono ulifanywa na waume au wenzi wao Utafi ti huo pia ulionyesha kwamba asilimia 15 ya wanawake walifanya kitendo cha ngono kwa mara ya kwanza kwa kulazimishwa Aidha asilimia 4 hadi 12 ya wanawake waliripotiwa kunyanyaswa kimwili wakati wa ujauzito

Kufuatana na uchunguzi wa kitaifa nchini Tanzania kiwango cha ukatili majumbani kati ya wanawake wenye umri wa miaka 15- 49 ni asilimia 45 ikijumuisha ukatili wa kimwili (25) kingono (7) na (14) kwa aina zote mbili Unyanyasaji wa kimwili kwa wanawake wajawazito ulikuwa asilimia tisa (9) Kiwango cha wanawake waliokabiliwa na matukio ya kushurutishwa na wenzi wao kilikuwa asilimia sitini (60) Kiwango cha matukio ya ukatili wa kimwili kinatofautiana sana kati ya mkoa na mkoa ambapo kiwango cha juu sana kipo kwenye mkoa wa Dodoma (71) na cha chini kabisa kwenye mkoa wa Tanga (16) Ukatili wa kingono ni wa kiwango cha juu sana kwenye mkoa wa Rukwa (32) na chini kabisa kwenye mkoa wa Shinyanga (5) Kiwango cha wanawake waliowahi kuwa kwenye ndoa ambao wameathirika na ukatili wa kingono kutoka kwa mume au mwenzi wa sasa ni 48 mume wa zamani (21) rafiki wa kiume wa sasazamani (7) Kwa upande wa wanawake ambao hawajaolewa 27 ya ukatili ulifanywa na marafi ki wa kiume wa sasa au wa zamani

1 World Health Organization (WHO)

4

Uchunguzi wa WHO uliotajwa hapo juu umeonyesha usafi rishaji wa wanawake na wasichana kwa ajili ya kazi na ngono za kulazimishwa ni biashara iliyoshamiri na mara nyingi waathirika ni wale wanaokabiliwa na hali ngumu ya maisha Ndoa za kulazimishwa na za utotoni kama zilivyo kwenye jamii nyingi ni ukiukwaji wa haki za binadamu kwa wanawake na wasichana kwa sababu hawana fursa ya kutoa ridhaa Zaidi ya 60 ya waathirika wa UWAKI nchini Tanzania hawachukui hatua yoyote ya kutoa taarifa ya ukatili kwa mamlaka rasmi au vyombo vya kutekeleza sheria Upo uwezekano mkubwa wa maambukizo ya VVU kutokana na UWAKI Vijana wa kike wa Kitanzania wenye umri wa miaka 18-29 ambao wamekuwa wakinyanyaswa na wenzi wao wana uwezekano wa mara 10 zaidi kupata maambukizo ya VVU kuliko wanawake ambao hawajanyanyaswa

Utafiti uliofanyika Dar es Salaam mwaka 2000 ulibaini kuwa zaidi ya 90 ya waathirika wa ubakaji wanawafahamu wahalifu wao Katika utafiti mwingine uliofanyika Dar es Salaam asilimia ishirini na tano (25) ya wanawake waliohojiwa walikiri kwamba ldquoUkatili ni tatizo kubwa kwenye maishardquo Nchini Tanzania ubakaji ndani ya ndoa hautambuliwi kama kosa la jinai isipokuwa kama wenza wametengana

Vitendo vya UWAKI nchini Tanzania kwa ujumla vinalenga zaidi wanawake na wasichana kutokana na desturi na mazoea ya jamii ambazo zinawabagua na kuwapunguzia uwezo wa kufurahia haki zao za kibinadamu Ingawa mashambulizi ya ngono yanawalenga zaidi wanawake na wasichana hata hivyo wanaume na wavulana vilevile wanalengwa katika unyanyasaji wa kingono kubughudhiwa na kushambuliwa

Ukatili kama ulivyofafanuliwa unadhihirisha tofauti ya madaraka kati ya mwathirika na mhalifu wa ukatili wa kingono ambapo mhalifu mara nyingi ana umbo kubwa umri mkubwa utajiri au ni mmojawapo kwenye kundi la watu wenye mamlaka au anatumia silaha Nchini Tanzania asilimia 134 ya vijana wameathiriwa na mashambulio ya kingono ya namna moja ama nyingine Kwa ujumla kutokana na sababu mbalimbali nchini Tanzania kuna uhaba wa taarifa za UWAKI pia taarifa zilizopo siyo kamilifu

5

Uzoefu unaonyesha kuwa bila kujali hali ya afya ya kimwili ya mwathirika UWAKI humwacha mwathirika na majeraha ya muda mrefu na kupunguza uwezo wa mwathirika kushirikiana na jamii na familia Athari zaidi hujitokeza kwa mwathirika kama vile aibu unyanyapaa msongo wa mawazo na mfadhaiko Tatizo hili kwa waathirika linachochewa na ldquoUtamaduni wa ukimyardquo miongoni mwa familia na jamii inayowazunguka UWAKI una athari ya moja kwa moja na matokeo hasi kwa afya na ustawi wa kiuchumi na kijamii kwa familia hasa kwa wanawake na watoto

22 Unyanyasaji wa Mtoto na Kijana

Utafiti wa kitaifa nchini Tanzania kuhusu Ukatili Dhidi ya Watoto ni wa kwanza na wa aina yake katika Bara la Afrika Matokeo ya utafi ti yameonyesha kwamba mara nyingi watoto wanakabiliwa na unyanyasaji na matukio mengi na ya namna mbalimbali yanayojumuisha ukatili wa kimwili kingono na kisaikolojia Utafiti ulibaini kuwa watoto wengi wako kwenye hatari kubwa ya kunyanyaswa kwenye mazingira ya nyumbani na shuleni Haya ni maeneo mawili ambayo watoto wengi wa Kitanzania hutumia muda wao mwingi wakati wanakua na kuelekea kwenye ujana Robo tatu ya watoto wanapofikia umri wa miaka 18 huwa wameathirika na ukatili wa kimwili kwa namna moja ama nyingine kutokana na ukatili wa ndugu mwalimu au kiongozi Kutokana na utafiti takribani 30 ya wanawake wenye umri kati ya umri wa miaka 13-24 na 14 ya wanaume wenye umri kati ya miaka 13-24 nchini Tanzania waliripotiwa kuathirika na ukatili wa kingono angalau mara moja kabla ya kufikisha umri wa miaka 18

Nchini Tanzania ukeketaji hufanyika mapema utotoni Karibu mwanamke mmoja kati ya wanawake watatu waliokeketwa (32) walikeketwa kabla ya kufikisha umri wa mwaka mmoja na 27 walikeketwa wakiwa na umri wa miaka 13 au zaidi Hata hivyo ukeketaji kwa wasichana hufanyika katika umri mdogo sehemu ya wanawake waliokeketwa wakiwa na umri wa miaka 5 iliongezeka kutoka 34 hadi 39 kwa mujibu wa Utafiti wa Afya ya Jamii [UAJ] 2004-05 na UAJ 2010 Kulingana na utafiti huu 5 ya wasichana wa miaka 13shy17 waliripotiwa kuwa wamekeketwa na 10 ya wasichana wa umri wa miaka 18-24 waliripotiwa kukeketwa Kwa mujibu wa sheria kukeketa ni

6

kosa linalostahili adhabu Kuna uwezekano kwamba wale waliokeketwa huwa wanasita kutoa taarifa na ndiyo sababu ya taarifa kuwa chache

23 Mazingira ya Sera ya UWAKI

Serikali ya Tanzania imeonyesha nia yake ya kushughulikia masuala ya UWAKI kwa kuridhia mikataba kadhaa ya kimataifa yenye kuhusiana na UWAKI na jinsia Mkataba wa Kutokomeza Aina Zote za Ubaguzi Dhidi ya Wanawake (1985) ambao umekuwa chombo katika kupambana na matukio ya ubaguzi ikiwa ni pamoja na ukatili Jukwaa la Beijing (1995)2 na Malengo ya Maendeleo ya Milenia (2000)3 Tanzania pia imeridhia hati ya Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu kuhusu haki za wanawake na hati ya Ushirikiano wa Maendeleo wa Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC)4

Vipaumbele vya maendeleo ya Tanzania vinaainishwa katika Dira ya Taifa 2025 na katika Mpango wa Kuondoa Umaskini na Kukuza Uchumi (MKUKUTA) MKUKUTA II (2011-25) unashughulikia UKIMWI na jinsia kama masuala mtambuka na ni mkakati wa kwanza wa kitaifa unaotambua UWAKI kama suala la kisera kwa watu wote Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto ndiyo yenye jukumu la kuratibu shughuli zote zinazohusiana na jinsia

Wizara hiyo imetayarisha Sera ya Maendeleo ya Jinsia (2000) kwa ajili ya kushughulikia upungufu na kukosekana kwa usawa kati ya wanaume na wanawake Pia Wizara imetayarisha Mkakati wa Kitaifa wa Jinsia na Maendeleo (2002) unaotoa dira na kuwezesha usawa wa kijinsia nchini Pamoja na Mpango wa Taifa wa Vitendo vya Kukinga na Kutokomeza Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto (2001-2015) kwa ajili ya kuongeza juhudi za Serikali za kisheria kwa kupambana na UWAKI na kuhakikisha lsquousawarsquo na lsquohakirsquo kati ya wanawake na wanaume nchini Tanzania Sera ya Taifa ya Afya ina mfumo wa utoaji wa huduma za afya kwa watu wote wanaohitaji ikiwa ni pamoja na waathirika wa UWAKI

2 Beijing Platform for Action - (BPA 1995) 3 Millennium Development Goals - (MDG 2000) 4 Southern African Development Cooperation - (SADC)

7

24 Haki za Binadamu Sheria na Mazingira ya Udhibiti

Tanzania imeridhia Sheria ya Haki za Binadamu na masharti ya vyombo kadhaa vya kimataifa na kikanda ambavyo vinakataza ubaguzi kwa misingi ya jinsia na hivyo kuhitaji serikali ihakikishe kwamba wanawake hawabaguliwi Vyombo hivi ni Mkataba wa Kimataifa wa Kuzuia aina zote za Ukatili na Unyanyasaji wa Kijinsia 1979 pamoja na Mkataba wa Kimataifa wa Haki za Kiraia na Kisiasa (1966)5 Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu (1981) na Hati ya Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu Kuhusu Haki za Wanawake Afrika (2000)

Tanzania imetunga sheria inayosimamia kukinga na kupambana na UWAKI Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (1977) iko wazi kwa kukataza ubaguzi na kwa misingi hiyo inatoa haki ya usawa [Ibara ya 12-24] Sheria ya Mtoto (2009) inawezesha jitihada za kupunguza ukatili dhidi ya watoto Sheria Maalumu ya Makosa ya Kujamiiana (1998)6

ilitungwa kwa lengo la kulinda heshima ya mwanamke na kuweka vikwazo kwa UWAKI kwa kutoa adhabu kali kwa makosa ya kingono Sheria hii inajumuisha ukatili wa kingono ubakaji biashara haramu ya usafirishaji watu bughudha za kingono na kukataza ukeketaji chini ya kifungu cha lsquoUkatili kwa watotorsquo

Hii ilikuwa mara ya kwanza kwa Tanzania kutunga sheria ya kukataza vitendo vilivyotajwa hapo juu na hatima ya sheria hii imewekwa chini ya sheria za adhabu kifungu cha 16

Sheria ya Adhabu (marekebisho ya 2002) inawekea vikwazo vitendo vya UWAKI mathalan vitisho Sehemu ya 89B 89A kutoroka watoto Sehemu ya 166 kutelekeza watoto Sehemu ya 167 kuua bila kukusudia Sehemu ya 195 mauaji Sehemu ya 196 mashambulizi Sehemu ya 240shy243 kutorosha Sehemu ya 246 utekaji nyara Sehemu ya 244 kazi za kulazimishwa Sehemu ya 256 wizi utokanao na mwenzi Sehemu ya 264 tishio la uchomaji Sehemu ya 332 uchomaji Sehemu ya 319-322 kuficha nyaraka Sehemu ya 276-278 Sheria ya Biashara ya Binadamu Na 6 ya mwaka 2008 inakataza biashara ya binadamu kwa sababu yoyote

5 International Covenant on Civil and Political Rights - (ICCPR 1966) 6 The Sexual Offences Special Provisions Act 1998 (SOSPA)

8

Sheria ya Kuzuia VVU UKIMWI Na 28 ya mwaka 2008 inakataza unyanyapaa na inafanya uambukizaji wa VVU kwa makusudi kuwa kosa la jinai

Pamoja na kuwepo vyombo vya kimataifa kikanda kitaifa na vya sheria za kuhakikisha haki kwa wanawake tatizo la UWAKI limetapakaa nchini Tanzania lakini linaripotiwa kwa nadra UWAKI unaathiri zaidi wanawake na wasichana kuliko wanaume na wavulana Haya ni matokeo ya uhusiano usio sawa kati ya wanaume na wanawake katika jamii ambayo yanajidhihirisha katika maeneo kadhaa ikiwa ni pamoja na maeneo ya kiuchumi kijamii kisiasa na kisheria

Mara nyingi UWAKI unapunguza uwezo wa wanawake na wasichana wa kufurahia haki za kimsingi za binadamu na uhuru kama ilivyoainishwa kwenye Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Utambuzi wa wahalifu wa UWAKI nchini Tanzania ni nadra kulinganisha na idadi ya mashambulizi Ni muhimu kushughulikia mahitaji ya kisheria ya waathirika wote wa UWAKI wanawake wasichana wanaume wavulana na watoto

25 Miundombinu ya utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii

Mfumo wa utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii upo katika ngazi ya kitaifa mikoajiji na wilaya manispaa Mfumo huu unawezesha utoaji wa huduma za kuboresha afya kuzuia magonjwa tiba utengemao na ustawi wa jamii kwa kupitia vituo vya kutolea huduma za afya vinavyojumuisha zahanati vituo vya afya na hospitali

Kuna mfumo wa rufaa kitaifa wa njia mbili kupeleka na kurejesha mgonjwa ambao unaanzia kwenye jamii na kwenda kwenye zahanati ambazo zipo 4679 vituo vya afya (481) hospitali za wilaya (95) hospitali za mikoa (19) na hospitali za rufaa za taifa (8) Kuna vituo vya kutolea huduma za afya 5718 nchini Tanzania vikijumuisha zahanati (86) vituo vya afya (10) na hospitali (4) vikiwa chini ya umiliki wa serikali (69) mashirika ya kidini (14) mashirika ya umma ( 3) na mashirika binafsi (14)

9

Mpango wa Maendeleo wa Afya ya Msingi [(MMAM) 2007-2017 pamoja na malengo mengine unakusudia kuhakikisha kuwa kuna kituo kimoja cha afya kwa kila kata katika kata 2555 zilizopo na zahanati moja kwa kila kijiji katika vijiji 10342 Jumla ya vituo vya afya ya msingi 8107 hospitali za wilaya 62 na taasisi 128 za mafunzo zitaanzishwa ifikapo mwaka 2012

Mahitaji ya watoa huduma za afya ni 82377 na waliopata mafunzo ni 29063 (35) ikiwa ni upungufu wa 65 ya mahitaji Mahitaji ya watoa huduma wa ustawi wa jamii ni 3892 Kuna wafanyakazi 210 wa ustawi wa jamii ikiwa ni upungufu wa 95 ya mahitaji na uhaba mkubwa katika ngazi za wilaya (93) kata (100) na vituo vya watu wenye ulemavu na taasisi nyingine (85) (WAUJ 2006)

Kuna uhaba wa wafanyakazi wa afya wenye ujuzi kwenye ngazi za zahanati (69) vituo vya afya (59) na hospitali za rufaa (48-67) Kwa ujumla kuna uhaba wa wafanyakazi wa ustawi wa jamii wenye ujuzi kwa kiwango cha 95 katika ngazi zote kanda (21) wilaya (93) kata (100) na vituo vya walemavu (95) Kama ujenzi wa vituo hautaendana na upatikanaji wa watoa huduma utekelezaji wa MMAM utakuwa na upungufu mkubwa

Kwa kawaida kuna hospitali ya wilaya au teule kwa kila Mamlaka ya Halmashauri ya Wilaya (MHW) Kuna MHW 133 ambazo zina majukumu na wajibu wa kutoa huduma za afya kwenye maeneo yao Kila MHW ina Bodi ya Afya ya Wilaya (BAW) ambayo inajumuisha madiwani waliochaguliwa na kusimamia mipango na utekelezaji wa huduma za afya kwenye wilaya

Mipango na usimamizi wa huduma za afya katika halmashauri inaongozwa na Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri ambayo kiongozi wake ni Mganga Mkuu wa Wilaya na ni Katibu wa BAW Kuna bodi ya hospitali ya wilaya teule Bodi ya Huduma ya Afya (BHA) ya kituo cha afya inayowakilisha wakazi wa kata na bodi ya zahanati inayowakilisha wakazi wa kijiji bodi zote zikiwa na uwakilishi sawa wa kijinsia

Makadirio ya matumizi ya afya kwa mtu mmoja kwa mwaka 201011 ilikuwa ni dola za kimarekani 1575 ambapo WHO imependekeza

10

kiwango cha dola 3400 za Kimarekani Matumizi ya afya ni asilimia 14 ya Bajeti ya Taifa kwa mwaka ambacho ni chini ya kiwango cha asilimia 15 kilichopendekezwa na Tamko la Abuja

Mfumo wa utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii upo katika ngazi zifuatazo

[a] Ngazi ya Kitaifa WAUJ ina jukumu la kutayarisha sera za afya na miongozo inayohusiana na huduma za afya kuweka viwango kuhakiki ubora kufuatilia na kutathmini pamoja na kusimamia utoaji wa huduma za afya zenye kujumuisha kuboresha afya kinga tiba utengemao na ustawi wa jamii Hospitali za rufaa zina asilimiai 52 tu ya wafanyakazi wenye ujuzi

[b] Ngazi ya MkoaJiji Timu ya Uendeshaji ya Afya ya Mkoa ina jukumu la kuongoza na kuendeleza utekelezaji wa mpango mkakati wa afya kwenye mkoa pamoja na ushauri wa kitaalamu kwa Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri kwenye maeneo yafuatayo (1) Utekelezaji wa sera miongozo na viwango vya utoaji wa huduma za afya kwa usahihi na kwa muda uliopangwa ukihusisha watoa huduma wote wa umma binafsi kwenye MHW (2) kupanga kwa ufanisi kutekeleza kufuatilia na kutathmini mipango ya afya ya kina katika halmashauri Kamati ya utawala ya hospitali ya mkoa ina jukumu la kupanga na kusimamia hospitali ya mkoa ambayo ni ngazi ya pili ya rufaa Kuna hospitali 19 za mikoa ambazo zina 34 tu ya wataalamu wa afya

[c] Mamlaka ya Halmashauri ya WilayaManispaa Huduma za afya katika ngazi hii zinasimamiwa na Halmashauri ya Wilaya kupitia BAW chombo kilichoundwa (2001) chini ya Sheria namba 7 ya mwaka 1982 kifungu cha 86A BAW inawajibika kwa utoaji wa huduma za kina kwenye wilaya Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri inatoa ushauri wa kiutaalam kwa utekelezaji wa uamuzi wa BAW

[d] Ngazi ya Wilaya Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri huandaa na kutekeleza mpango wa kina wa afya wa halmashauri pamoja na kufuatilia na

11

kutathmini huduma za afya kwenye hospitali vituo vya afya zahanati na jamii ikiwa ni pamoja na kufanya utafiti Kamati ya Utawala ya Hospitali inasimamia mipango na huduma kwenye hospitali ya wilaya ambayo ni ngazi ya kwanza ya rufaa Kuna hospitali 95 za wilaya zikiwa ni pamoja na hospitali teule ambazo zina asilimia 33 tu ya wataalamu wa afya

[e] Ngazi ya Kata Kamati ya Afya ya Kata inasimamia upangaji ubunifu na uratibu wa mipango ya afya ya jamii husimamia na huhamasisha upatikanaji wa rasilimali pamoja na ukusanyaji na matumizi ya Mfuko wa Afya wa Jamii Vituo vya afya vina jukumu la kutoa huduma za kina za afya na ustawi wa jamii kwenye kata Kamati ya Kituo cha Afya inasimamia utoaji wa huduma za afya na kuhamasisha ukusanyaji wa rasilimali zinazohitajika Timu ya Kituo cha Afya ina wajibu wa kusimamia shughuli za kila siku kwenye kituo cha afya Timu inapanga na kusimamia juhudi za afya ya jamii katika eneo lake chini ya Mpango wa Maendeleo ya Kata Kuna jumla ya kata 2555 nchini ambapo kata 481 sawa na 19 zina vituo vya afya ambavyo vina 41 tu ya wataalamu wa afya

[f ] Ngazi ya Kijiji Kamati ya Zahanati inahakikisha kwamba idadi ya watu katika eneo lake wanapata huduma sahihi za afya na nafuu pamoja na kusimamia uhamasishaji wa rasilimali kwa ajili ya utekelezaji wa mpango wa zahanati Timu ya Usimamizi wa Zahanati inapanga na kusimamia juhudi za afya ya jamii kwenye maeneo chini ya Mpango wa Maendeleo ya Kata Kuna jumla ya vijiji 10342 ambapo 4679 vina zahanati sawa na 45 ambazo ni aslimia 31 tu ya zahanati zina wataalamu wa afya wanaotosheleza Kamati ya Huduma za Jamii kwenye kijiji ina wajibu wa kuhamasisha na kushirikisha jamii ili wajihusishe kuboresha na kulinda afya

[g] Ngazi ya Kaya Kuna kaya takriban milioni 7 nchini Tanzania na wastani wa watu 47 kwa kila kaya (ambapo 70 ya kaya zote zinaongozwa na wanaume na 30 zinaongozwa na wanawake) Sera ya Afya ya Taifa inatamka kwamba ni wajibu wa kila raia kuendeleza na kulinda afya yake pamoja na ya familia yake Pamoja na haya kila raia ana jukumu la kujiepusha na tabia hatarishi kwa afya yake pamoja na ya mwenzie na kuchangia rasilimali kwa ajili ya afya yake na uendelezaji wa vituo vya kutolea huduma za afya

12

26 Kukinga na Kupambana na UWAKI

Serikali ya Tanzania na washirika wake wa karibu wametekeleza mambo mbalimbali yanayohusiana na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Wizara ambazo zinahusika kwa ukaribu kwenye utekelezaji wa mipango ya kukinga na kupambana na UWAKI ni pamoja na Wizara ya Maendeleo y a Jamii Jinsia na Watoto Wizara ya Sheria na Katiba Wizara ya Mambo ya Ndani na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Kuna ushirikiano kati ya wizara idara mashirika asasi za kiraia na wadau wa maendeleo Katika ngazi ya kitaifa serikali inatekeleza Mkakati wa Maendeleo ya Jinsia (2005) na kukuza usawa wa jinsia na haki kwa wanawake Utekelezaji wa Sheria Maalumu ya Makosa ya Kujamiana (1998) ambayo sasa ni Kanuni ya Adhabu Sura ya 16 Toleo la Marekebisho 2002 Pia serikali inatekeleza Mpango wa Taifa wa Vitendo wa Kuzuia na Kutokomeza Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto (2001-2015) ambao una lengo la kutokomeza ubaguzi na unyonyaji wa kisheria kijamii kiuchumi kiutamaduni na kisiasa Zaidi ya yote Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (1977) inatamka kuheshimu misingi ya usawa na haki kwa kila mtu

Kwa kushirikiana na wadau wengine serikali inawezesha uanzishwaji wa kitengo cha jinsia kwenye idara za wizara mbalimbali (mfano idara ya polisi chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi) Mashirika ya Jamii hutoa utetezi msaada wa kisheria huduma za afya na kuendesha kampeni na mashirika mengine yamechukua hatua za kutoa hifadhi kwa waathirika wa UWAKI na Vituo vya Kuhifadhi Waathirika Kuna sera za kitaifa sheria mikakati na mipango ya kazi kwa ajili ya kushughulikia usawa wa kijinsia Vilevile serikali kwa kushirikiana na asasi za kiraia imejenga mazingira mazuri ya kuwezesha waathirika kupata huduma kama vile msaada wa kisheria Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii (WAUJ) imekuwa ikitoa huduma kwa waathirika wa UWAKI licha ya kutokuwepo kwa mwongozo wa sera kwa ajili ya wahudumu wa vituo vya kutolea afya

27 Changamoto katika Kuzuia na Kupambana na UWAKI

Muundo wa sheria sera na juhudi za kukuza haki za binadamu zinakabiliwa na changamoto mbalimbali zinazofisha jitihada za kuzuia kupambana

13

na kuepusha athari za UWAKI nchini Tanzania Changamoto hizo ni pamoja na upungufu wa fedha upungufu wa kisheria na sera zilizopo uratibu duni kati ya wadau na kukosekana kwa mfumo wa rufaa kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI Hali kadhalika uelewa na taarifa juu ya ukubwa wa tatizo la UWAKI ni duni kwa hivyo WAUJ imebuni na kutayarisha mwongozo maalumu wa sera na huduma dhidi ya UWAKI ili kukabili changamoto hizo

[a] Sera za Taifa Serikali ya Tanzania inajitahidi kujenga mazingira mazuri ya kuzuia na kupambana na UWAKI Ingawa Sera ya Afya ina lengo la kutoa huduma za afya za kutosha kwa kila Mtanzania ipo haja ya kuwa na miongozo na mikakati inayofafanua masuala ya UWAKI kwa ukamilifu Ukosefu wa miongozo na sera ya usimamizi dhidi ya UWAKI ni kikwazo kikubwa kwa juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kutibu na kuhudumia waliopatwa na UWAKI Sekta ya afya itatumia mwongozo wa sera hii ili kuboresha huduma ya kupambana na UWAKI kwa kushirikisha na kuwahusisha wadau wote

[b] Sheria zaTaifa Pamoja na kuwepo sheria nyingi zilizopitishwa kwa ajili ya kulinda haki za wanawake na watoto bado zipo changamoto nyingi Kwa mfano kuna baadhi ya sheria zenye utata baadhi zinapingana na hivyo kupunguza uwezo wa kupambana na UWAKI Pamoja na hayo Sheria ya Ndoa kama ilivyofanyiwa marekebisho 2002 haiainishi hatua za kuchukuliwa dhidi ya ukatili wa kifamilia Sheria hii ni kama inahalalisha ubakaji kwa kuruhusu binti kuolewa chini ya umri wa miaka 18 Sheria ya Makosa ya Kujamiiana na Vipengele Maalumu (1998) haitambui ubakaji ndani ya ndoa ingawa inatambua ubakaji ikiwa mume na mke wametengana Mbali na upungufu huo sheria ya makosa ya kujamiiana kwa upande wa kuthibitisha ushahidi wa kuingiliwa kimwili ni mgumu Sheria ya Mila (Tangazo la Serikali Na4361963) ambayo inatumiwa na Watanzania wote wazawa inatokana na mila na desturi za makabila mbalimbali ya Tanzania sheria hii ya Mila ni ya kibaguzi na huleta changamoto kwa wanawake na watoto ambao wamezaliwa nje ya ndoa hususan katika urithi wa mali Kwa mfano ugawanaji wa mali ya marehemu upo katika makundi matatu (1) Mtoto wa kwanza wa kiume (2) Watoto wengine wa kiume waliobaki na (3) Watoto wa kike bila kujali umri

14

na hali katika familia Watoto wa kike wa marehemu hurithi fungu dogo na hunyimwa haki ya kumiliki ardhi Kwa mujibu wa sheria hii mjane hana haki ya kurithi mali yoyote kutoka kwa marehemu mume wake isipokuwa huchukuliwa kuwa atatunzwa na watoto wake Mjane ambaye hajabahatika kuzaa hupata asilimia 20 ya asilimia 50 ya mali za marehemu mume wake Mbali na urithi sheria hii kwa upande wa talaka ikiwa mke alilipiwa mahari wakati ndoa inapovunjwa na mahakama mume ana haki ya kudai kurudishiwa mahari

Sheria zenye kupunguza makali ya UWAKI zimeweka kanuni za kuwezesha wadau katika sekta mbalimbali kuandaa sera na miongozo ya kuzuia na kupambana na UWAKI Wahusika muhimu katika sekta mbalimbali wanapaswa kupitia sheria zinazotoa mwanya wa mwendelezo wa UWAKI na kupendekeza marekebisho au utungwaji wa sheria nyingine zitakazopunguza na kumaliza vitendo vya UWAKI Hata hivyo kuna umuhimu wa kuwepo kwa wajibu na majukumu ya sekta mbalimbali katika kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kupambana dhidi ya unyanyasaji na ukatili kwa watoto Kwa kutambua na kuimarisha wajibu huo katika kila sekta itasaidia uzingatiaji wa sera na kuimarisha ari ya utendaji katika sekta zifuatazo

bull Ustawi wa Jamii Kujenga mfumo wa kufanya tathmini ya vihatarishi katika kupima mfumo wa rufaa unaohusisha sekta na huduma mbalimbali kuweza kuamua na kuchukua hatua za haraka na za muda mrefu katika kupambana na kutoa mahitaji ya haraka na ya muda mrefu kwa ajili ya ulinzi wa watoto na waathirika wengine

bull Elimu Kujumuisha elimu dhidi ya ukatili wa kijinsia katika mitaala ya elimu ikiwa ni pamoja na kuandaa mazingira salama shuleni na kuingiza katika programu za elimu zinazoelezea juu ya masuala ya kujifahamu kimwili (kibiolojia) afya ya uzazi na maendeleo yaa jamii Kuhakikisha kwamba sekta mbalimbali za rufaa na mifumo inayotoa ulinzi wa mtoto vinahusishwa katika elimu hiyo

bull Polisi na sheria Kuimarisha na kupanua ulinzi sahihi wa kisheria kwa ajili ya watoto na kuchukua hatua za kisheria kwa watuhumiwa wa uhalifu kuendeleza juhudi za kuimarisha dawati la jinsia na watoto katika idara ya Polisi nchini Kuendelea kuelimisha polisi na watumishi wengine

15

wa usalama wa raia kuhusu ukatili dhidi ya watoto na kuwa na utaratibu wa uchunguzi wa pamoja na idara ya ustawi wa jamii afya mamlaka na vitengo vingine vinavyohusika na ulinzi na usalama wa mtoto

bull Afya Kufanya kazi katika muundo wa pamoja na wadau wengine kwa kufuata miongozo iliyopo kwa ajili ya kuzuia kutibu kuhudumia na kufuatilia matukio ya ukatili dhidi ya watoto Kuimarisha mifumo iliyo wazi yenye kuunganisha huduma rafi ki kwa watoto na vijana dhidi ya UWAKI

[c] Polisi na Mahakama Mabadiliko katika idara ya polisi hasa katika uanzishwaji wa polisi jamii na dawati la jinsia na watoto yanaonyesha maendeleo katika kushughulikia UWAKI Hata hivyo waathirika wa UWAKI wanakabiliwa na ugumu wa kufika katika vituo vya polisi na mfumo wa utoaji haki Kwa mfano zipo kesi zilizotupiliwa mbali na Mahakama kwa kukosa ushahidi muhimu kutoka upande wa mashtaka Matokeo yake ni kwamba waathirika wanakosa motisha ya kutoa taarifa ya matukio ya UWAKI na hivyo hushindwa kufikisha malalamiko katika vyombo vya utoaji haki

Upungufu wa mafunzo kwa polisi na watoa huduma za kisheria juu ya namna ya kuzitumia sheria zilizopo dhidi ya UWAKI kumesababisha kesi mahakamani kushindwa Mfano Fomu ya Polisi namba 3 (PF3) inatoa taarifa juu ya tukio la shambulio na haitoi maelezo juu ya tukio hilo kama limetokana na UWAKI Ingawa zipo sheria zinazopinga UWAKI sheria hizo hazifahamiki hivyo hazitumiki kikamilifu Pamoja na hayo sheria za kimila na imani za kidini zinazuia waathirika kutoa taarifa za matukio ya UWAKI

Sheria ya Makosa ya Kujamiiana na Vipengele Maalumu (1998) inatoa adhabu kali kwa makosa ya kujamiiana Mara nyingi watuhumiwa hawafikishwi mahakamani kwa kuhofia kudhurika kwa familia zao kwa upande wa kukosa kipato kutoka kwa mtuhumiwa (kwani adhabu za makosa hayo huwa ni kifungo cha muda mrefu) Kwa sababu hizo utoaji wa taarifa kutoka kwa waathirika na familia zao ikiwa ni pamoja na matumizi ya sheria na uendeshaji wa mashtaka umeendelea kuwa changamoto pamoja na kuwepo kwa Sheria ya Makosa ya Kujamiiana inayotoa ulinzi dhidi ya UWAKI

16

bull

bull

bull

bull

bull

[d] Mila na Desturi Katika ngazi ya jamii na mtu binafsi zipo sababu mbalimbali zinazochangia kwa kiwango kikubwa matukio ya UWAKI Utafiti uliofanywa na mtaalamu wa Shirika la Afya Duniani (WHO)7 unaainisha vipengele hatarishi vifuatavyo juu ya mila na desturi

Kanuni za kimila katika uhusiano wa kijinsia humpa mwanamume madaraka na haki zaidi Baadhi ya mila na desturi huhimiza uvumilivu juu ya vitendo vya UWAKI na kuwazuia waathirika kutoa taarifa na kupata msaada Uwezeshaji wa mwanamke katika kupambana na mfumodume hujenga hisia kwa mwanamume kuwa anapoteza mamlaka yake na hivyo huwaudhi baadhi ya wanaume na kuendelea kufanya ukatili kwa lengo la kuwadhibiti wanawake Matumizi ya baadhi ya sheria za kimila hayawasaidii waathirika kupata haki Hofu ya kulipiza kisasi unyanyapaa ubaguzi na kukosekana kwa huduma huwazuia waathirika kutoa taarifa na kupata msaada

[e] Madaraka na Mamlaka Madaraka na mamlaka ni muhimu katika kuzuia na kupambana na UWAKI Wakati mwingine watu wenye madaraka na mamlaka hufumbia macho matukio ya UWAKI Kwa mfano upo ushahidi wa kutosha kuwa kuna matumizi mabaya ya madaraka na mamlaka shuleni na maeneo ya kazi

[f ] Kuhusisha Jamii Jamii ndiyo ngazi ya awali kujua tukio la UWAKI na kutoa msaada wa usalama na ulinzi kwa mwathirika Utafiti wa Shirika la Afya Duniani katika nchi mbalimbali ulionyesha kwamba asilimia 37 ya waathirika walipata msaada kutoka kwa jamii Kutokana na kiwango cha unyanyapaa ubaguzi na kutengwa kijamii viongozi katika ngazi ya jamii waliohamasishwa juu ya UWAKI waliweza kukabili mazingira haya ya kiuhasama Jamii inaweza kumsaidia mwathirika kwa kujenga mazingira mazuri (kwa mfano kituo cha hifadhi salama) Jamii inahusishwa katika

7 Krug Etienne et al 2002 World Report on Violence and Health Geneva WHO Available at httpwwwwhointviolence_injury_preventionviolenceworld_report

17

bull

bull

bull

bull

kuwahamasisha waathirika kuwapa ulinzi mahitaji ya msingi msaada wa kisaikolojia na kuwapa rufaa kwa watoa huduma wengine Vilevile jamii inahusishwa katika kuzuia UWAKI kupunguza unyanyapaa na kuwapa unasihi waathirika pamoja na kuhamasisha viongozi wa kijamii na wanajamii kwa ujumla

Uhamasishaji huu ni muhimu kwa sababu jamii ni daraja kati ya mwathirika na huduma za afya na ustawi wa jamii

Jamii inapaswa kushirikishwa katika hatua za mwanzo na zinazofuata katika kuzuia UWAKI Katika hatua za mwanzo jamii inapaswa kujitahidi kuondoa tabia za kuvumilia matukio ya UWAKI na hivyo kupunguza matukio hayo Katika hatua zinazofuata jamii itatambua na kulinda wale walio katika hatari zaidi ya UWAKI kama watoto na wanawake Jamii pia inapaswa kutambua vikwazo vya utoaji huduma katika idara ya afya polisi na mfumo wa utoaji haki na kuisaidia jamii kuondokana na vikwazo vya upatikanaji wa huduma

Ni muhimu kuishirikisha jamii katika jitihada za utekelezaji wa kuzuia UWAKI na kupambana nao ikiwamo usimamizi wa matibabu ya waathirika Jamii ina uwezo mkubwa wa kuhamasisha waathirika kutafuta huduma za afya na huduma nyingine zinazohusiana na UWAKI kwa mfano huduma za polisi usaidizi wa kisheria na hifadhi salama Pia jamii ina wajibu wa kuwaunganisha waathirika na jamii zao

Hata hivyo zipo changamoto katika kuihusisha jamii kama vile

Upungufu katika kuwahusisha wanaume na wavulana katika kushughulikia UWAKI Wanajamii wamekuwa wakiwanyanyapaa badala ya kuwasaidia waathirika na wakati mwingine wameshiriki katika UWAKI Baadhi ya viongozi wa kijamii na kidini hawana utayari wa kuhamasisha kuzuia na kupambana na UWAKI Jamii zina kiwango kikubwa cha kunyamazia matendo ya UWAKI na kuzuia sheria kuchukua mkondo wake

18

[g] Hali ya kiuchumi na kijamii Kushughulikia UWAKI pekee kama changamoto inayohusu huduma za tiba ni kutibu dalili badala ya chanzo Ni muhimu kushughulikia vyanzo vya UWAKI kama umaskini miongoni mwa wanawake ambao huwafanya kuwa wategemezi

Serikali imetayarisha MKUKUTA II wenye kuainisha njia za kuendeleza na kulinda haki za binadamu kwa watu wote hasa kwa wanawake na wanaume maskini watoto watu wanaoishi katika hali hatarishi na makundi maalumu (angalia MKUKUTA II-kundi la III lengo la 3) na kuongeza uzalishaji na fursa za ajira zenye kuheshimika hasa kwa wanawake na vijana (angalia MKUKUTA II kundi la I lengo la 3) Changamoto iliyopo ni ukosefu wa kuweka vipaumbele katika utekelezaji wa ahadi hizi kwa wanawake na vijana kwa kuelekeza rasilimali za kutosha na kutekeleza mikakati katika kuleta mabadiliko ya hali ya kijamii na kiuchumi kwa wanawake na vijana hivyo kupunguza hali hatarishi ya UWAKI

28 Upungufu katika kupambana na UWAKI

Sekta ya afya imeandaa mwongozo wa kutoa huduma kwa waathirika wa UWAKI Hata hivyo ili kutoa huduma bora na za kirafi ki kwa waathirika sekta zinazohusika hazina budi kushughulikia upungufu ulioainishwa kama ifuatavyo

[a] Huduma za afya

Ukosefu wa mwongozo wa utoaji wa huduma kwa waathirika wa UWAKI Hakuna mwongozo wa utoaji wa huduma za kupambana na UWAKI kwa watoa huduma wa ngazi zote kuanzia nyumbani kwenye jamii zahanati vituo vya afya hospitali polisi mahakama na wadau mbalimbali Upungufu huu unakwamisha upatikanaji na utoaji wa huduma bora za kukinga na kupambana na UWAKI

Upungufu wa fedha Bajeti ya Serikali kuu na serikali za mitaa haikidhi mahitaji

19

Upungufu wa wataalamu wenye ujuzi wa kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Watoa huduma kwenye vituo vya kutolea huduma za afya na jamii hawana maarifa na ujuzi unaotakiwa kushughulikia mahitaji ya waathirika wa UWAKI wa marika yote

Kutojumuishwa kwa huduma za waathirika wa UWAKI na huduma nyingine Huduma za waathirika wa UWAKI hazikujumuishwa na huduma nyingine za afya na ustawi wa jamii kama vile afya ya uzazi upimaji wa VVU UKIMWI uzazi wa mpango na unasihi

Mfumo duni wa rufaa kwa waliopatwa na UWAKI Ingawa mfumo wa rufaa wa huduma za afya umeimarika kwa huduma nyingine lakini hakuna mfumo sahihi wa rufaa kwa waliopatwa na UWAKI Watoa huduma za afya hawana taarifa sahihi za waliopatwa na UWAKI kuhusu utaratibu wa kupeleka na kupokea wagonjwa kwenye vituo vyao na kwenda kwenye vituo vingine au huduma za mfumo wa jamii polisi kisheria na kadhalika Katika mazingira haya mahitaji ya rufaa kwa waliopatwa na UWAKI hayakidhiwi Waliopatwa na UWAKI hawana taarifa ambazo zitawasaidia kupata huduma na hivyo hushindwa kufanya uamuzi sahihi au kutafuta huduma na matibabu zaidi

Upungufu wa taarifa na takwimu Nchini Tanzania matukio yanayohusu UWAKI hayatolewi taarifa ipasavyo kutokana na sababu nyingi zikiwemo waathirika kusita kutoa ripoti ya matukio kutokana na unyanyapaa na ubaguzi hofu ya kutengwa na jamii aibu na miiko inayohusishwa na UWAKI Matokeo yake ni ukosefu wa taarifa zenye uhakika ambazo zinaweza kutumika kuandaa mpango kwa misingi ya utafi ti utaratibu wa utoaji huduma maendeleo ya kisera na utetezi ufuatiliaji na tathmini na uamuzi wa kiutawala

[b] Huduma za Ustawi wa Jamii Utoaji wa huduma za ustawi wa jamii unakabiliwa na ushirikiano mdogo kati ya watendaji wa sekta mbalimbali wa huduma za afya katika halmashauri Kuna upungufu wa watoa huduma za ustawi wa jamii katika ngazi mbalimbali Hali hii inaathiri wigo wa huduma ya msaada wa kisaikolojia unasihi marekebisho ya tabia na utengamao

20

bull

bull

bull

bull

bull

Kikwazo kingine ni watoa huduma za ustawi wa jamii na wadau wa afya kukosa stadi maalumu za kutosha kuhusu kuzuia na kupambana na UWAKI

Wajibu wa watoa huduma za ustawi wa jamii ni muhimu kwa sababu wanafanya kazi katika ngazi ya jamii ambapo matukio mengi ya UWAKI hutokea Wana majukumu makubwa kama watu wa mstari wa mbele kwenye kuzuia na kupambana na UWAKI Uhusiano kati ya jamii na utoaji wa huduma ndio kipimo cha kiwango cha waathirika wa UWAKI kupata huduma za matibabu na kurejea kwenye jamii ili kuendelea kuishi maisha yenye faraja

[c] Huduma za Jamii Baadhi ya upungufu wa uhusiano kati ya jamii na vituo vya kutoa huduma za afya ni pamoja na

Uelewa duni kuhusu masuala ya UWAKI na uwezeshaji wa jamii katika kuzuia na kupambana na UWAKI Uelewa duni wa mahali pa kupata huduma kwa waliopatwa na UWAKI Upungufu wa huduma za kijamii kwa waathirika ikiwa ni pamoja na mifumo ya kijamii ya kutoa ulinzi na usalama (kwa mfano vituo vya hifadhi ya muda) na huduma za rufaa za kiafya polisi na msaada wa kisheria

[d] Huduma za Msaada wa Kisheria (Polisi na Mahakama) Kuna vikwazo vingi katika kupata msaada wa kisheria ambavyo ni pamoja na

Upungufu wa kupata huduma za polisi na msaada wa kisheria kwa waathirika wa UWAKI

bull Kutokuwepo kwa sheria mahususi dhidi ya UWAKI bull yasiyotosheleza UWAKI kwa vyombo Mafunzo kuhusu

vinavyosimamia sheria bull Kuna sheria zinazokinzana na hivyo kutoa mwanya wa tatizo la

UWAKI kuongezeka Upungufu wa watumishi na fedha kwa ajili ya huduma za polisi na msaada wa kisheria

21

bull

bull

Uhaba wa vituo vya msaada wa kisheria Vituo vingi vinavyotoa msaada wa kisheria kwa sasa vinahudumiwa na asasi zisizo za kiserikali zina bajeti ndogo na zipo zaidi mijini

[e] Huduma ya Elimu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imeingiza UWAKI katika mtaala wa mafunzo ya walimu shule za msingi na sekondari Hata hivyo kuna changamoto nyingi katika kuhusisha shule ili kuzuia na kupambana na UWAKI

bull Walimu hawajapata mafunzo ya kutosha kuhusu UWAKI Uhaba wa maeneo salama na programu za shuleni zinazowapa watoto uwezo wa kuzuia na kupambana na UWAKI na ukatili dhidi ya watoto

bull mfumo unaohusuUhusiano duni kati ya mfumo wa elimu na ulinzi na usalama wa mtoto

22

SEHEMU YA TATU

UMUHIMU NA MALENGO 31 Umuhimu

Utafiti uliofanyika nchini Tanzania umeonyesha viwango vya juu vya UWAKI ambavyo ni kati ya asilimia 30 hadi 50 Viwango hivi havikubaliki na vinasababisha madhara ya kimwili kingono kisaikolojia kwa makundi ya umri wowote hasa watoto na wanawake Matokeo ya UWAKI yanaweza kusababisha vifo kutokana na kujiua maambukizo ya virusi vya UKIMWI au magonjwa na vifo vya wanawake vinavyotokana na uzazi Matokeo mengine ingawa hayasababishi vifo yana madhara ya kimwili kingono na kisaikolojia kwa muda mfupi au mrefu Madhara ya UWAKI ni zaidi ya matokeo ya kiafya na majeraha ambayo ni vigumu kupona UWAKI unakiuka haki za binadamu za waathirika na husababisha matokeo hasi katika amani umoja na kipato cha familia ambayo kwa ujumla huleta madhara kwa maendeleo ya kijamii na kiuchumi

Ingawa Serikali ya Tanzania na asasi za kiraia zimefanya jitihada kubwa za kuzuia na kupambana na UWAKI bado tatizo hili ni changamoto kubwa WAUJ itashughulikia changamoto hizi kwa kushirikiana na wadau wengine hali inayohitaji ushirikiano wa karibu ili kushinda vikwazo vilivyopo ambavyo ni pamoja na upungufu wa fedha na watumishi udhaifu kwenye mfumo wa rufaa na mfumo wa kuunganisha huduma za UWAKI katika huduma zilizopo Changamoto nyingine ni uhaba wa utetezi na takwimu kwa ajili ya uandaaji wa mipango yenye misingi ya utafiti kufanya uamuzi ufuatiliaji na tathmini Hata hivyo serikali imeweka misingi imara kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kama inavyodhihirishwa kwa kuwepo kwa sera mikakati na mipango kazi ya kusaidia masuala ya kijinsia na kupunguza UWAKI

Kutokana na ukubwa wa tatizo hili madhara yake na changamoto zinazohusiana na UWAKI WAUJ imetayarisha Mwongozo huu wa kisera chini ya Sera ya Afya ili kuimarisha juhudi za kupambana na UWAKI na kuhakikisha utoaji wa huduma za kina na zenye ubora katika ngazi zote Mwongozo huu wa kisera utatoa mwelekeo kwa vituo vya huduma za afya kwa ngazi zote kuhusu wajibu na majukumu yao katika utoaji

23

wa huduma za UWAKI Pamoja na haya Mwongozo huu utawezesha utayarishaji wa mwongozo wa matibabu kwa waathirika wa UWAKI Kutokana na uzito wa tatizo hili la UWAKI utayarishaji wa Mwongozo huu ulihusisha na kushirikisha kwa kina wadau mbalimbali ndani na nje ya WAUJ

32 Lengo Kuu

Lengo kuu la Mwongozo huu wa kisera ni kuimarisha uwezo wa WAUJ kuelekeza sekta ya afya na ustawi wa jamii na kujenga uhusiano imara na jamii na wadau mbalimbali katika kuzuia na kupambana na UWAKI

33 Malengo Mahasusi

Mwongozo huu utawezesha yafuatayo

[i] Kuweka mfumo wa kuelekeza utayarishaji wa mwongozo wa matibabu na taratibu za kutoa huduma kwa waathirika wa UWAKI

[ii] Kuelekeza WAUJ namna ya uratibu bora wa utekelezaji wa juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kuelekeza namna ya kuweka mifumo thabiti ya ufuatiliaji tathmini na uwekaji wa kumbukumbu za afua za UWAKI chini ya WAUJ

[iv] Kuelekeza ushirikiano kati ya Wizara jamii na wadau kutoka sekta mbalimbali katika utoaji wa huduma za UWAKI

24

bull

SEHEMU YA NNE

MAELEKEZO YA KISERA

Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii watafanya kazi pamoja na wale wa sekta nyingine hasa kwenye ngazi ya jamii katika kuimarisha ushirikiano na mitandao mingine katika jamii ili kuwasaidia waliopatwa na UWAKI kwa karibu na kuwashirikisha katika kuboresha afya zao na kuzuia UWAKI

WAUJ kwa kushirikiana na wadau wengine imetayarisha Mwongozo huu wa kisera wa UWAKI ili kutoa taarifa malengo na maelekezo kuhusu jitihada za kuzuia kuepusha na kushughulikia madhara ya UWAKI katika sekta ya afya Wadau muhimu ni pamoja na viongozi wa jamii polisi na mahakama Yeyote kati ya wadau hawa anaweza kuwa ni kimbilio la kwanza kwa wahanga wa UWAKI Wote wana wajibu wa kutoa huduma kwa haraka na kwa ufanisi

41 Huduma kwa Waliopatwa na UWAKI

Watoa huduma za afya wanatakiwa kuwahudumia waliopatwa na UWAKI kwa kujali na kuzingatia maadili ya taaluma zao Wajibu huu ni pamoja na kuhakikisha usalama hali ya usiri heshima utu na kutoa huduma bila ubaguzi Aidha kabla ya kutoa huduma inatakiwa kupata ridhaa ya muhusika au mlezi wa mtoto mwenye umri chini ya miaka 18

Kwa kulenga na kuzingatia mahitaji ya watu waliofanyiwa UWAKI watoa huduma za afya kwenye ngazi zote watazingatia na kuongozwa na kanuni zifuatazo

[a] Haki za Binadamu Maadili na Kujali

bull zilenge kurejesha au Usalama Hatua zote zinazochukuliwa kudumisha usalama wao Hali ya Usiri Siri zao pamoja na familia zao zinatakiwa kutunzwa wakati wote Hii ina maana kwamba mtoa huduma ya afya anaweza kutoa taarifa muhimu kwa mtoa huduma mwingine pale ambapo muhusika ameridhia tu

25

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

Heshima na utu Watoa huduma wanatakiwa kuwasikiliza kwa makini maoni mawazo na fikira zao na kuwahudumia kwa heshima Bila ubaguzi Waliopatwa na UWAKI wote ni sawa na wanatakiwa kuhudumiwa kulingana na mahitaji yao pia kupewa nafasi sawa katika kupata huduma Ridhaa arifu Ridhaa ya aliyefanyiwa UWAKI itahitajika kwenye taratibu za utoaji huduma maalumu kama (1) Uchunguzi na tiba (2) Uchunguzi tiba pamoja na ushahidi wa kitaaluma (3) Uchunguzi tiba ushahidi wa kitaaluma pamoja na uchunguzi wa polisi na kisheria

Kanuni zinazohusu watoto bull Kuzingatia na kusimamia mahitaji halisi ya mtoto wakati wote bull Kumpa mtoto faraja bull Kumshirikisha mtoto katika kufanya uamuzi bull Kumshughulikia kila mtoto kwa haki na usawa

Kumsaidia na kumlea mtoto ili akue katika hali ya ujasiri na kujiamini

[b] Haki za Aliyepatwa na UWAKI Watoa huduma wote wanatakiwa kuwa na mtazamo unaozingatia mahitaji ya mtu aliyepatwa na UWAKI na kuheshimu haki zake ambazo ni

bull Kuhudumiwa kwa heshima bila unyanyapaa ubaguzi na kutokuwa na mtazamo wa kumlaumu Kupewa taarifa sahihi na zinazoeleweka ili aweze kutoa ridhaa na siyo kumwambia cha kufanya hali inayoweza kumfanya ajisikie mnyonge

bull Kupewa faragha na hali ya usiri na siyo kumteta au kumwaibisha Kulindwa dhidi ya ubaguzi wa aina yoyote au upendeleo wenye misingi ya kijinsia au sababu nyingine Kupewa nafasi ya kuchagua kuhudumiwa na mtoa huduma mwanamume au mwanamke

bull Kupewa nafasi ya kusindikizwa na ndugu au mlezi wake

26

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

[c] Wajibu wa Mtoa Huduma Mtoa huduma anatarajiwa kuzingatia yafuatayo anapomhudumia mtu aliyepatwa na UWAKI

Kujiweka katika nafasi ya mtu aliyepatwa na UWAKI na kuguswa kuwa mtunza siri kuonyesha upendo na kujali anapomuhudumia Kumpatia taarifa sahihi na kuhakikisha kuwa ridhaa arifu inatolewa kwa huduma inayohitajika Kuzingatia masilahi ya muhusika na kuheshimu matakwa yake wakati wote

bull na kuzuia madhara mengineKuhakikisha ulinzi na usalama wake Kuhifadhi kumbukumbu zake mahali pa usalama na kutunza siri wakati wote

bull huduma kadiriKumpatia rufaa kwenda kwenye ngazi za juu za inavyohitajika kulingana na kiwango cha madhara ya kimwili kihisia na kisaikolojia Aidha inatakiwa kumpatia unasihi kabla ya kumpa rufaa

Kuhusu Watoto bull Kuhakikisha kuwa mzazi au mlezi yupo wakati wote pia

kuhakikisha kwamba mzazi au mlezi siyo tishio kwa mtoto Wakati wote mwandae mtoto kuelewa kinachotarajiwa kutendeka na kuhakikisha anaelewa kitakachotokea Kwa watoto wenye umri chini ya miaka 18 ridhaa ya maandishi inahitajika kutoka kwa mzazi au mlezi

Vigezo vya kupata mchango wa mawazo kutoka kwa Watoto Watoto wa umri wa miaka 16 na zaidi kwa ujumla wana uwezo wa kutosha kufanya uamuzi

bull kuwaWatoto wa umri wa miaka 14 hadi 16 wanatarajiwa wamekomaa vya kutosha kutoa mchango au mawazo yao Watoto wa umri wa miaka 9 hadi 14 wana welewa wa kushiriki kufanya uamuzi lakini ukomavu wa kila mtoto unatakiwa kupimwa kipekee Watoto wa umri chini ya miaka 9 wana haki ya kutoa maoni arifu na kusikilizwa Wanaweza kushiriki katika mchakato wa kufanya uamuzi kwa kiwango fulani lakini hadhari inahitajika ili kuwaepusha na mzigo wa kuwa waamuzi

27

bull lazimaKimsingi inapendekezwa kwamba maoni ya kila mtoto yazingatiwe kulingana na umri wake kiwango cha ukomavu utamaduni mila na hali ya mazingira

[d] Wajibu wa WAUJ katika Ngazi ya Taifa WAUJ inatayarisha sera miongozo na kanuni inadhibiti ubora inafuatilia na kutathmini utekelezaji Vilevile inahakikisha kuna watumishi na fedha za kutosha kwa mipango ya afya pamoja na kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote WAUJ itaendeleza ushirikiano na wadau mbalimbali kitaifa na kimataifa Wizara itafanya yafuatayo katika kuzuia na kupambana na UWAKI

[i] Kuandaa miongozo ya matibabu yenye ubora kwa ajili ya watoto vijana na watu wazima waliopatwa na UWAKI

[ii] Kutafuta na kutenga fedha kwa ajili ya afua za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kuandaa miongozo ya mafunzo yanayohusiana na juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kutoa mafunzo kwa watoa huduma za afya na ustawi wa jamii kuhusu kuzuia na kupambana na UWAKI kwa watoto vijana na watu wazima

[v] Kutoa huduma mseto na rufaa kwa kutumia mfumo uliopo wa utoaji huduma za afya na ustawi wa jamii

[vi] Kuunganisha takwimu zinazohusu UWAKI kwenye Mfumo wa Takwimu na Ufuatiliaji wa Huduma za Afya (MTUHA)

[vii] Kuendeleza utaratibu wa kupeana taarifa na takwimu zinazohusu UWAKI pamoja na kushirikiana na wadau wake wakuu

[viii] Kufanya usimamizi shirikishi ili kuhakikisha kuwa kanuni za haki za binadamu maadili na kujali zinazingatiwa

[e] Wajibu wa Vituo vya Huduma za Afya Vituo vya kutoa huduma za afya vinajumuisha zahanati vituo vya afya na hospitali zinazomilikiwa na sekta ya umma na binafsi Vituo vyote vya kutoa huduma katika ngazi zote vina Kamati ya Uongozi ya Kituo na Timu ya Usimamizi

28

Vituo vya huduma za afya vitafanya yafuatayo [i] Kuhakikisha kwamba Timu za Usimamizi wa Huduma za Afya

zinatenga fedha za kutekeleza mikakati na mipango kazi ya mwaka ili kuviwezesha vituo kutoa huduma bora kwa waliopatwa na UWAKI

[ii] Kuunganisha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI na zile zilizopo kwenye vituo vya huduma za afya na kuhakikisha mpangilio mzuri wa rufaa za ndani na nje ya kituo zinakidhi mahitaji ya watoto vijana na watu wazima kwa usawa na haki

[iii] Kuhakikisha watoa huduma ya afya na ustawi wa jamii wanapatiwa mafunzo ya kutoa huduma toshelezi kwa watoto vijana na watu wazima waliopatwa na UWAKI

[iv] Kuanzisha utaratibu bora wa kukusanya takwimu na taarifa kuhusu huduma kwa waliopatwa na UWAKI na kutunza kumbukumbu kwa usahihi na kutoa taarifa kwa ajili ya matumizi ya kituo na wadau

[v] Kufanya kazi kwa ushirikiano wa karibu na kamati ya afya ya kituo polisi mahakama na taasisi za elimu ili kukuza ushirikiano kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye jamii

[f ] Wajibu wa Watoa Huduma za Afya Watoa huduma za afya ni pamoja na watunza kumbukumbu za afya tabibu (tabibu msaidizi ofisa tabibu madaktari wasaidizi madaktari na madaktari bingwa) wauguzi wakunga maofisa wauguzi wasaidizi maofisa wauuguzi) wafanyakazi wa maabara wafamasia na maofi sa ustawi wa jamii Watoa huduma hawa wanatakiwa kuzingatia yafuatayo

[i] Kuelewa kikamilifu na kuzingatia kanuni za miongozo ya haki za binadamu maadili ya taaluma na kuonyesha upendo na kujali wakati wa kumhudumia aliyepatwa na UWAKI

[ii] Kuhakikisha upatikanaji wa mahitaji muhimu na utoaji wa huduma toshelezi na zenye ubora kwa waliopatwa na UWAKI katika kituo cha kutoa huduma za afya na kwenye jamii

[iii] Kuwatambua waliopatwa na UWAKI kati ya wagonjwa wa nje katika kituo na kuhakikisha wanapata matibabu na rufaa kwa haraka

29

[iv] Kuhakikisha utoaji wa huduma toshelezi kwa waliopatwa na UWAKI (watu wazima vijana na watoto) Huduma hizi ni pamoja na huduma ya matibabu kutunza ushahidi unasihi na rufaa ndani ya mfumo wa afya na pia rufaa kwenda kwenye sekta nyingine

[v] Kuhakikisha vielelezo vya upelelezi vinakusanywa na kuhifadhiwa ipasavyo ili kutunza ushahidi

[vi] Kuchukua takwimu na taarifa kamili kuhusu aliyepatwa na UWAKI na kuhakikisha zimehifadhiwa kwa siri na usalama

[vii] Kujenga ushirikiano na jamii pamoja na wadau wengine

42 Wajibu wa Jamii

Wadau muhimu katika jamii ni Kamati ya Huduma za Jamii Kamati ya Ulinzi na Usalama Kamati ya Zahanati Mashirika ya Dini Kamati ya Kijiji ya Afya wahudumu wa afya katika jamii wakunga wa tiba asili waganga wa tiba asili na mbadala viongozi wa jamii vikundi vya wanawake na wakuu wa kaya

Jamii itafanya yafuatayo kwa waliopatwa na UWAKI [i] Kupanga na kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya kuzuia

na kutoa huduma bora kulingana na mpango wa mwaka wa zahanati

[ii] Kuhakikisha upatikanaji wa huduma toshelezi pamoja na usalama wao kupatiwa mahitaji ya msingi msaada wa kisaikolojia kupewa rufaa kwenda polisi vyombo vya sheria na watoa huduma wengine Vilevile wanajamii wana wajibu wa kutoa ushahidi mahakamani na kuwasaidia wahusika kuunganishwa na familia zao na jamii

[iii] Kuhakikisha kuwepo kwa vituo vya hifadhi ya muda vya kutosha kwenye jamii

[iv] Kujenga welewa na kuiwezesha jamii kuzuia na kupambana na UWAKI kwa kutetea misingi ya haki za binadamu usawa wa kijinsia haki za vijana na watoto na kutovumilia UWAKI

43 Msaada wa Kisheria kwa waliopatwa na UWAKI Watoa huduma wa afya na ustawi wa jamii baada ya kupata ridhaa kutoka kwa muhusika watampa rufaa ya kwenda sekta nyingine muhimu na kwa wadau mbalimbali kama vile polisi vituo vya msaada wa kisheria kwa ajili ya kupata huduma maalum Watoa huduma wanawajibika

30

kutoa taarifa za kutosha kuhusu masharti ya kisheria ya kutoa taarifa ya matukio ya UWAKI na kwa wakati unaofaa

Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wanawajibika kutoa ushauri kwa waliopatwa na UWAKI (watoto vijana na watu wazima) kuhusu taratibu za mahakama msaada wa ulinzi msaada wa kisheria na taratibu za polisi kama ifuatavyo

[a] Ushahidi wa Kimahakama Huduma kwa muhusika zitalenga mahitaji yake kuheshimu haki yake ya hali ya usiri kupewa taarifa za kutosha zenye kueleweka na sahihi hivyo kuhakikisha anatoa ridhaa arifu kwa hatua na zitakazofuata

[i] WAUJ itahakikisha kupatikana na kuzingatiwa kwa viwango vilivyowekwa kwa ngazi zote katika kuchukua historia kamili ya muhusika kupima na kufanya uchunguzi kuchukua vielelezo vya ushahidi kujaza fomu zinazokubalika kisheria kwa kuweka kumbukumbu ambazo ni halali kama ushahidi mahakamani

[ii] Timu ya Afya ya Usimamizi ya Kituo cha Huduma za Afya baada ya kupata ridhaa ya aliyepatwa na UWAKI itapanga kutenga na kutoa rasilimali za kutosha kuhakikisha nyaraka sahihi zimetayarishwa na kuhifadhiwa na vielelezo vya ushahidi wa mahakama vimepelekwa kwenda maabara ya serikali na kufuatilia majibu

[iii] Watoa huduma wa ngazi zote watahakikisha ukusanyaji sahihi wa vielelezo vya ushahidi na kujaza fomu zinazohusika pamoja na kujaza kwa ukamilifu Fomu ya Polisi Namba Tatu (PF3) na kuthibitisha kwamba muhusika ana taarifa na anaelewa utaratibu

[b] Ulinzi na Msaada kwa Waliopatwa na UWAKI Waliopatwa na UWAKI wana haki ya kulindwa dhidi ya mtuhumiwa pamoja na kupewa mahitaji ya msingi (kwa mfano chakula nguo usafi ri nk) kupewa huduma za polisi (mfano kusindikizwa ulinzi) na kupewa msaada wa kisheria

[i] WAUJ itahakikisha kwamba vituo vya huduma za afya na ustawi wa jamii na watoa huduma wa ngazi zote wana taarifa sahihi kuhusu haki za ulinzi na msaada kwa waliopatwa na UWAKI

31

[ii] Timu za Afya za Usimamizi wa vituo vya huduma za afya katika ngazi zote zitapanga kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya ulinzi na msaada kwa waliopatwa na UWAKI Kama Muhusika ni mtoto atasindikizwa na ofi sa ustawi wa jamii pamoja na mzazi au mlezi ikiwa mzazi au mlezi huyo hahusiki na uhalifu

[iii] Watoa huduma wa afya watatoa taarifa kwa muhusika au mzazi mlezi (kama muhusika ni mtoto chini ya miaka 18) kuhusu msaada atakaopata kwenye kituo cha huduma za afya polisi na msaada wa kisheria juu ya haki na ulinzi kwa mujibu wa sheria za Tanzania

[c] Wajibu wa Watoa Huduma za Afya na Ustawi wa Jamii katika Taratibu za Kimahakama

Watoa huduma za afya kwenye ngazi zote wanatakiwa kuhakikisha kwamba waliopatwa na UWAKI wakiwemo watu wazima vijana na watoto pamoja na walezi wao wana taarifa muhimu zinazohusu masuala ya kisheria ambayo yako nje ya huduma za tiba

[i] WAUJ itahakikisha kwamba vituo vya huduma za afya na watoa huduma wanapata ujuzi na wanajua wajibu wao kuhusu namna ya kutoa ushahidi mahakamani ili kuwasaidia wahusika

[ii] Timu za Usimamizi za vituo vya huduma za afya kwenye ngazi zote zitahakikisha kwamba watoa huduma wanaotambulika kisheria na wana welewa sahihi wa uandaaji wa nyaraka muhimu taratibu za kesi mahakamani na viwango vya ushahidi

[iii] Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii kwenye ngazi zote watahakikisha kwamba muhusika anapata taarifa za kutosha kuhusu ratiba na taratibu za upelelezi na umuhimu wa hatua za kisheria

44 Huduma ya Unasihi Kisaikolojia na Kijamii kwa Waliopatwa na UWAKI

Watu waliopatwa na janga la UWAKI watapewa msaada wa unasihi kisaikolojia na kijamii kwa upendo na kujali kuanzia wakati wa tukio hadi watakapojumuika tena kwenye familia na jamii Katika ngazi ya jamii msaada huo utatolewa na Maofisa wa Ustawi wa Jamii Maofi sa hawa watatoa msaada wa kisaikolojia na unasihi wakishirikiana na

32

wadau wengine waliopata mafunzo kutoka asasi za kiraia asasi za kidini na wahudumu wa afya katika jamii

[i] WAUJ itahakikisha utoaji wa msaada wa unasihi kisaikolojia na kijamii kwenye ngazi zote pamoja na kuhakikisha kuwepo kwa ulinzi na usalama (kwa mfano kituo cha hifadhi ya muda)

[ii] Timu za Usimamizi wa Huduma za Afya kwenye ngazi zote zitapanga na kutenga rasiilimali za kutosha pamoja na watoa huduma kwa ajili ya kutoa msaada wa kisaikolojia na kijamii rufaa na kujenga ushirikiano na wadau wengine ili kuwaunganisha wahusika kwenye familia na jamii

[iii] Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii watahakikisha kwamba wanatoa unasihi wa kutosha pamoja na kutoa huduma rafi ki kwa watoto kutoa rufaa za kwenda na kurudi kwenye huduma za tiba vituo vya hifadhi ya muda na kuwezesha kuwaunganisha kwenye familia na jamii

45 Mfumo wa Usimamizi Uratibu na Ushirikiano Utoaji wa huduma bora kwa waliopatwa na UWAKI unahitaji usimamizi na uratibu wa mara kwa mara kwa watoa huduma za afya wa kada mbalimbali katika ngazi zote Vilevile kuratibu shughuli na kutoa rufaa kwenye vituo vya ngazi ya taifa mikoa halmashauri na jamii Pia kunahitajika utaratibu wa kujenga ushirikiano kati ya sekta ya afya na wadau wa sekta nyingine

[a] Usimamizi wa Huduma za Kuzuia na Kupambana na UWAKI [i] Usimamizi wa huduma utakuwa ni sehemu ya mikakati na

mipango ya mwaka kwa vituo vya huduma za afya kwenye ngazi zote

[ii] Wasimamizi katika ngazi zote watafanya usimamizi shirikishi ili kuhakikisha utoaji wa huduma bora

[b] Uratibu wa Huduma za Kuzuia na Kupambana na UWAKI [i] Wasimamizi wa huduma za afya kwenye ngazi zote watabaini na

kuratibu afua na shughuli zinazotakiwa kutekelezwa na wadau mbalimbali kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI

33

[ii] Wasimamizi wa huduma za afya katika ngazi zote watahakikisha kuwa wanapanga utekelezaji wa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[c] Taratibu za Ushirikiano katika Kutoa Huduma za UWAKI Taratibu za ushirikiano zitahusisha ngazi mbalimbali za utoaji wa huduma za afya kulingana na hadhi ya kituo ikihusisha kada mbalimbali za afya katika serikali na sekta binafsi

[i] Wasimamizi wa huduma za afya watabaini na kuanzisha ushirikiano kwa ajili ya kutoa huduma bora na toshelezi kwa waliofanyiwa UWAKI

[ii] Wasimamizi wa huduma za afya watapanga na kutenga rasiilimali za kutosha kwa ajili ya kuendeleza ushirikiano na wadau muhimu pamoja na kujenga mfumo imara wa rufaa wa kupeleka na kuwarejesha wahusika

[iii] WAUJ itatayarisha na kusambaza orodha ya vituo vya rufaa kufuatana na aina ya huduma maalumu zinazotolewa

46 Utetezi na Mawasiliano ya Kubadili Tabia

Utetezi na mawasiliano ya kubadili tabia utakuwa ni sehemu ya mipango na mikakati ya kila mwaka katika ngazi zote Ngazi zote zitahamasisha kutenga na kutoa rasilimali za kutosha kwa ajili ya kutekeleza mipango na mikakati ya kila mwaka Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii watatambua na kuwezesha juhudi za jamii za kuhakikisha ushirikishwaji na kuhamasisha jamii kutumia rasilimali zao ili kupambana na UWAKI Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii wanatakiwa kupanga na kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya elimu ya afya kwa lengo la mawasiliano ya kubadili tabia

[a] Utetezi wa Kuzuia na kupambana na UWAKI kwa kushirikiana na wadau

Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii na kamati zinazohusika katika ngazi zote za WAUJ watafanya yafuatayo

[i] Kupanga mikakati ya kuongeza welewa na upeo kuhusu vyanzo vya UWAKI kubaini namna ya kuzuia na kubuni njia za kupambana na UWAKI

34

[ii] Kutetea na kuhamasisha uchangiaji zaidi wa raslimali kutenga kasma kwenye bajeti katika Mfumo wa Matumizi ya Muda wa Kati na katika Mpango Kabambe wa Afya wa Halmashauri kwa ajili ya kinga na huduma za kupambana na UWAKI

[iii] Kutetea utekelezaji wa sera na sheria zenye kuunga mkono juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kuhusisha vyombo vya habari katika kutekeleza shughuli za utetezi na ushawishi

[b] Ushirikiano wa wadau kwenye mawasiliano ya kubadili tabia dhidi ya UWAKI

Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii na kamati zao kwenye ngazi zote watafanya yafuatayo

[i] Kutambua mahitaji na kupanga mawasiliano ya kubadili tabia kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kwa ufanisi

[ii] Kuhusisha vyombo vya habari katika kupanga kutekeleza na kufuatilia shughuli za mawasiliano ya kubadili tabia

47 Ufuatiliaji na Tathmini ya Huduma za Kuzuia na Kupambana na UWAKI

Ufuatiliaji na tathmini ya huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI ni muhimu katika kupima ubora wa matokeo ya huduma zinazohusiana na UWAKI Ufuatiliaji na tathmini unahitaji kuchagua vigezo vya kupima maendeleo ya huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kukusanya takwimu kuchambua kutafsiri kutayarisha na kuwasilisha ripoti kwa wadau muhimu Ufuatiliaji na Tathmini unasaidia kutambua maeneo yanayohitaji kufanyiwa utafi ti

[i] Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii katika ngazi zote watatumia vigezo vilivyokubalika kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Takwimu za UWAKI zitaoanishwa na kuunganishwa kwenye MTUHA

[iii] Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii kwenye ngazi zote watahakikisha wanakusanya taarifa na takwimu zinazohusiana na UWAKI kwa kutumia fomu maalumu kwa ajili ya kufuatilia na

35

kutathimini usimamizi na kuwasilisha ripoti za utekelezaji kwa wadau kufuatana na utaratibu maalumu wa kushirikiana katika kutoa taarifa

[iv] Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii katika ngazi zote watafanya utafiti ili kuboresha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

36

SEHEMU YA TANO

MUUNDO WA UTENDAJI KATIKA KUZUIA NA KUPAMBANA NA UWAKI

Wajibu wa WAUJ ni kuandaa kusimamia na kuratibu utekelezaji wa Mwongozo huu wa sera pamoja na sheria kanuni na viwango vya huduma dhidi ya UWAKI katika ngazi zote nchini Mfumo wa utendaji kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI unahusisha ngazi tatu taifa mkoa na halmashauri

51 Ngazi ya Taifa

Katika ngazi ya Taifa Mganga Mkuu wa Serikali ndiye mwenye wajibu wa uongozi wa kitaaluma kwenye utekelezaji wa mipango ya kuzuia na kupambana na UWAKI Ofisi ya Mganga Mkuu ina idara nne ambazo ni Idara ya Kinga Idara ya Tiba Idara ya Mafunzo na Idara ya Ubora na viwango vya Huduma Huduma za Ustawi wa Jamii zipo chini ya Kamishna wa Ustawi wa Jamii

Kitengo cha Afya ya Uzazi na Mtoto ambacho kinasimamiwa na Idara ya Kinga ndicho kinachosimamia utekelezaji wa Mwongozo wa sera ya UWAKI Majukumu ya ofisi ya Mganga Mkuu wa Serikali Idara ya Kinga na Sehemu ya Afya ya Uzazi na Mtoto ni kama ifuatavyo

[a] Ofisi ya Mganga Mkuu wa Serikali Ofi si ya Mganga Mkuu wa Serikali inaratibu inasimamia na kuimarisha huduma za uboreshaji wa Afya Kinga Ubora na viwango vya huduma Tiba ya magonjwa na Utengamao Aidha ofisi inasimamia mafunzo upatikanaji wa wataalamu wa afya katika sekta ya Afya na Ustawi wa Jamii

Ofisi ya Mganga Mkuu wa Serikali kwa kushirikiana na Mabaraza na Vyama vya Kitaaluma vilivyo chini ya sekta ya Afya na Ustawi wa Jamii inasimamia maadili ya wataalamu wa afya kwa kupitia Mabaraza yao ya Kitaaluma

37

bull

bull

[I] Idara ya Kinga Idara hii inasimamia sehemu tano Afya ya Uzazi na Mtoto Epidemiolojia na Udhibiti wa Magonjwa Afya na Usafi wa Mazingira Elimu ya Afya na Lishe Kuna programu na miradi mbalimbali chini ya idara baadhi yake zinahusiana kwa ukaribu na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Programu hizi ni pamoja na Mpango wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI Programu ya Kuzuia Maambukizo ya VVU Kutoka kwa Mama Kwenda kwa Mtoto Programu ya Huduma ya Afya Kwenye Jamii Programuya Afya Shuleni Program ya Uzazi Salama Programu ya Afya ya Mtoto Programu ya Afya ya Uzazi kwa Vijana na Programu ya Uzazi wa Mpango

Idara itafanya yafuatayo Kuhakikisha afua za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa kwenye programu na miradi ya idara na sehemu Kuhakikisha kwamba afua za kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na utetezi na mawasiliano ya kubadili tabia zinajumuishwa kwenye miongozo ya elimu ya afya na ustawi wa jamii

Sehemu ya Huduma za Afya ya Uzazi na Mtoto Sehemu ya Huduma ya Afya ya Uzazi na Mtoto ndiyo inayohusika katika kuzuia na kupambana na UWAKI na majukumu yake ni

[i] Kuandaa mwongozo wa huduma za kina kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kutayarisha mitaala ya mafunzo kwa ajili ya wasimamizi na watoa huduma wa ngazi zote

[ii] Kuratibu kufuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI katika ngazi zote

[iii] Kuwasiliana na wizara nyingine na mashirika ya kitaifa na kimataifa yenye kuhusiana na mipango ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kuangalia upya orodha ya vifaa muhimu kwa utoaji wa huduma bora kwa wahanga wa UWAKI kwa ngazi zote za utoaji huduma

[v] Kuongoza kikundi kazi cha wanataaluma cha taifa pamoja na vikundikazi tanzu vya wanataaluma vinavyosaidia mtazamo mpana wa sekta ya afya na nguvu kazi za kusimamia utekelezaji wa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

38

[II] Idara ya Tiba Idara hii inasimamia huduma za Hospitali za Taifa Mikoa Wilaya Vituo vya Afya na Zahanati za umma na binafsi Uchunguzi Kinywa na Meno Magonjwa Yasiyo ya Kuambukiza na Tiba Asili Idara hii inafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha kwamba vituo vya kutoa huduma za afya katika ngazi zote vinatenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya huduma bora za matibabu kwa wahanga wa UWAKI pamoja na msaada wa kisaikolojia kijamii na rufaa

[ii] Kuhakikisha kwamba vituo vya kutoa huduma za afya kwenye ngazi zote vinapewa vifaa muhimu na vya kutosha kwa ajili ya uchunguzi wa afya vipimo vya maabara kubaini ugonjwa ushahidi wa kimahakama matibabu kutunza kumbukumbu kutoa taarifa na rufaa

[iii] Kuhakikisha kuwa watoa huduma za afya wanazingatia viwango vya kitaalamu na maadili na kuonyesha upendo na kuwajali wahanga wa UWAKI

[III] Idara ya Ubora wa huduma Idara hii ina sehemu tano ikijumuisha huduma za Uuguzi Dharura na Maafa Ukaguzi Dawa na Utafiti na Uhusiano wa Kimataifa Idara hii inafanya yafuatayo

[i] Inasimamia huduma za dawa vifaa tiba na vitendanishi [ii] Inasimamia huduma za Uuguzi na Ukunga [iii] Inasimamia na kufanya ukaguzi wa ubora wa huduma za afya

nchini ili kuziboresha [iv] Inasimamia kazi za utafiti na uhusiano wa kimataifa katika sekta ya

afya na ustawi wa jamii na [v] Inaandaa miongozo kanuni na taratibu zinazohusu huduma za

dharura

[IV] Idara ya Mafunzo Idara ya Mafunzo inasimamia Mipango ya Mafunzo ya Watumishi Mafunzo Endelevu kwa Watumishi Mafunzo kwa Wauguzi na Sayansi Shirikishi za Afya

39

Idara itafanya yafuatayo [i] Kutambua mahitaji ya kitaifa ya mafunzo ya afya na mafunzo ya

kuendeleza taaluma ya watumishi wanaohusika na kutoa huduma kwa waliopatwa na UWAKI

[ii] Kutayarisha mpango wa mafunzo ya muda mfupi na mrefu kwa ajili ya watumishi mbalimbali kwenye ngazi zote zinazotoa huduma kwa waliopatwa na UWAKI

[b] Idara ya Ustawi wa Jamii Idara ya Ustawi wa Jamii imegawanyika katika sehemu tano Huduma kwa Familia na Ustawi wa Mtoto katika malezi makuzi na maendeleo ya awali Huduma za marekebisho ya tabia na haki za mtoto kisheria Huduma kwa wazee na watu wenye ulemavu Mafunzo kwa watumishi na Kitengo cha takwimu Idara itafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha idara inatoa huduma rafiki na bora za ustawi wa jamii kwa wahanga wa UWAKI kwenye vituo vyote vya kutoa huduma za afya na ustawi wa jamii na kuvisimamia

[ii] Kuhakikisha idara inatoa mafunzo kwa watoa huduma wote [iii] Kushauri katika kurekebisha au kufutwa kwa sheria zisizosaidia

utoaji wa huduma bora za ustawi wa jamii na kushawishi kutunga sheria mpya

[c] Idara ya Sera na Mipango Idara hii inasimamia sehemu za Bajeti Sera Mipango Taarifa za Afya na Ufuatiliaji na Tathmini Idara itafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa kwenye mipango na bajeti ya Serikali

[ii] Kuhakikisha kuwa viashirio vya huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI vinaingizwa kwenye MTUHA

[d] Ushirikiano na wadau muhimu katika ldquoKutokomeza UWAKIrdquo

[i] WAUJ kupitia Sehemu ya Afya ya Uzazi na Mtoto kwa kushirikiana na wadau wengine watatetea ulinzi wa haki za waliopatwa na UWAKI na kutokomezwa kwa ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake watoto vijana na wanaume

40

[ii] WAUJ kwa kushirikiana na wadau wengine itaandaa mikakati ya kuhakikisha kwamba aina zote za ubaguzi unyonyaji ukandamizaji na unyanyasaji dhidi ya wanawake watoto vijana na wanaume zinatokomezwa

[iii] WAUJ kwa kushirikiana na wadau wengine watapitia sheria sera na kanuni ambazo zinakinzana na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Watatetea haki za jinsia na afya ya uzazi ikiwa ni pamoja na ulinzi wa mama na watoto dhidi ya UWAKI ukatili wa kifamilia na ukatili dhidi ya watoto na kutetea masuala haya yaingizwe kwenye Katiba ya Tanzania

52 Ngazi ya Mkoa

Utekelezaji wa mapambano dhidi ya UWAKI kwenye mikoa utasimamiwa na Timu ya Usimamizi wa Huduma za Afya Mkoa chini ya Katibu Tawala wa Mkoa na Timu ya Usimamizi ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa chini ya Bodi ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa na watafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa kwenye mpango mkakati wa miaka mitano wa mkoa na hospitali na mpango kazi wa kila mwaka

[ii] Kuhakikisha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa na kuendeshwa pamoja na huduma zilizopo kuwe na watoa huduma wa kutosha pamoja na mafunzo kwa wasimamizi na watoa huduma kwenye ngazi ya mkoa

[iii] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya kufuatilia kufanya tathmini usimamizi na kutoa ripoti za utendaji wa juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya mkoa

[iv] Kutoa msaada wa kitaalamu kwa Halmashauri na Timu za Afya za Halmashauri katika kupanga na kutekeleza huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[v] Kuhakikisha bajeti ya kutosha inatengwa kwenye mpango kabambe wa halmashauri wa afya kwa ajili ya kuiwezesha jamii kuzuia na kupambana na UWAKI

[vi] Kufanya utafiti ili kukuza uelewa kuhusu huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

41

53 Halmashauri za Jiji Manispaa na Wilaya

Bodi ya Huduma za Afya ya Halmashauri ni chombo cha halmashauri ya jiji manispaa na wilaya chenye jukumu la kutoa huduma bora za afya ustawi wa jamii pamoja na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI katika maeneo yao Mipango ya utekelezaji wa huduma za afya kwenye jiji manispaa na wilaya unasimamiwa na Timu ya Usimamizi wa Afya ya Halmashauri Hospitali ya kwanza ya rufaa katika Halmashauri ni Hospitali ya Wilaya au Hospitali Teule ya wilaya

Hospitali Teule ya Wilaya huendeshwa na Timu ya Usimamizi ya Hospitali na husimamiwa na Bodi ya Hospitali Vituo vya kutoa huduma za afya vina kamati za afya na huendeshwa na kamati za usimamizi wa kituo

(a) Ngazi ya Halmashauri Timu ya Halmashauri ya Usimamizi wa Afya itafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha kwamba mipango ya kila mwaka inatengewa fedha za kutosha kwa utekelezaji wa huduma bora za kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaunganishwa na huduma zilizopo kwenye ngazi zote

[iii] Kuhakikisha kwamba kunakuwa na watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wa kutosha na kuendelea kutoa mafunzo kwa watoa huduma wa kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kutetea kuhamasisha na kutenga fedha za kutosha kwa ajili ya kuiwezesha jamii kushiriki kwenye programu ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[v] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya ufuatiliaji tathmini usimamizi shirikishi na kuandaa taarifa za utekelezaji wa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[b] Ngazi ya Kata Kamati ya Afya ya Kata Kamati ya Afya ya Kituo cha Afya na Timu ya Usimamizi wa Kituo cha Afya zitasimamia utoaji wa huduma bora za afya katika kata pamoja na vijiji

42

Kamati na timu zitafanya yafuatayo [i] Kuhakikisha kwamba kila mwaka wanapanga na kutenga rasilimali

za kutosha kwa utekelezaji wa huduma kwa waliopatwa na UWAKI na afua za kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinajumuishwa na huduma zilizopo kwenye kituo cha afya na zahanati

[iii] Kuhakikisha kwamba kuna watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wa kutosha na kuendelea kutoa mafunzo kwa watoa huduma wanaohusika na kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye vituo vya afya na zahanati

[iv] Kutetea kuhamasisha na kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya kuiwezesha jamii kushiriki kwenye kuzuia na kupambana na UWAKI katika Mpango wa Afya wa Kata

[v] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya kufanya ufuatiliaji tathmini na kuandaa taarifa za utekelezaji wa kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kuziwasilisha kwa matumizi katika ngazi zote

[c] Ngazi ya Kijiji Kamati ya Zahanati na Timu ya Usimamizi wa Zahanati zina wajibu wa kutoa huduma za afya kwa wakazi wa eneo la kijiji au vijiji vyao

Kamati na timu zitafanya yafuatayo [i] Kuhakikisha kwamba kila mwaka wanapanga na kutenga raslimali

za kutosha kwa utekelezaji wa huduma kwa waliopatwa na UWAKI na afua za kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinajumuishwa na huduma zilizopo kwenye zahanati

[iii] Kuhakikisha kwamba kuna watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wa kutosha na kuendelea kutoa mafunzo kwa watoa huduma wanaohusika na kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye zahanati

[iv] Kutetea kuhamasisha na kutenga raslimali za kutosha kwa ajili ya kuiwezesha jamii kushiriki kwenye kuzuia na kupambana na UWAKI katika Mpango wa Afya wa Kijiji

43

[v] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya kufanya ufuatiliaji tathmini na kuandaa taarifa za utekelezaji wa kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kuziwasilisha kwa matumizi katika ngazi ya Kata na Wilaya

(d) Ngazi ya Kaya Kila mtu kwenye kaya atahusika katika kuzuia na kupambana na UWAKI na kutoa taarifa ya matukio ya UWAKI kwa mamlaka zinazohusika Pia kila mtu awajibike kwenye kubadili mtazamo na kuepuka mazoea na tabia zinazopelekea UWAKI

44

SEHEMU YA SITA

UFUATILIAJI TATHMINI NA UTAFITI

Ufuatiliaji na tathmini ya afua za kuzuia na kupambana na UWAKI utatekelezwa kwenye ngazi ya taifa mkoa halmashauri na vituo vya huduma za afya Viashirio ambavyo vimependekezwa kwenye ngazi hizi vimeonyeshwa kwenye Kiambatisho

61 Ngazi ya Taifa

Sehemu ya Afya ya Uzazi na Mtoto itaratibu itafuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote nchini

Sehemu hii itafanya yafuatayo [i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu zinazohusu

afua za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka Timu ya Usimamizi wa Afya ya Mkoa na kuzitumia katika kupanga na kuboresha mipango ya kuzuia na kupambana na UWAKI kwa kushirikiana na wadau

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma wa kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti [iv] Kuweka tathmini na ufuatiliaji wa huduma za kuzuia na kupambana

na UWAKI kwenye orodhahakiki ya usimamizi ya WAUJ

62 Ngazi ya Mkoa

Timu ya Usimamizi wa Afya ya Mkoa itakuwa na jukumu la kuratibu kufuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote za mkoa na itafanya yafuatayo

[i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu kuhusu afua za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka hospitali ya rufaa ya mkoa na Timu za Usimamizi wa Afya za Halmashauri kwa ajili ya matumizi yao na kuwasilisha ngazi ya Taifa

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma katika kuzuia na kupambana na UWAKI

45

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti

63 Ngazi ya Wilaya

Timu ya Usimamizi wa Afya ya Halmashauri itakuwa na jukumu la kuratibu kufuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote za wilaya na itafanya yafuatayo

[i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu kuhusu afua za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka hospitali ya wilaya na vituo vya kutolea huduma za afya na Timu za Usimamizi wa Afya za Halmashauri kwa ajili ya matumizi yao na kuwasilisha ngazi ya mkoa

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma katika kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti

64 Ngazi ya Kituo cha kutolea huduma

Timu ya Usimamizi wa Kituo cha Kutolea Huduma za Afya itaratibu itafuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye kituo na kufanya yafuatayo

[i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu kuhusu jitihada za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka kwenye zahanati na jamii na kuwasilisha wilayaniHalmashauri

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma katika kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti

46

KIAMBATISHO

VIASHIRIO VYA MPANGO WA KUZUIA NA KUPAMBANA NA UWAKI KATIKA SEKTA YA AFYA

[a] Ngazi ya Taifa

[i] Idadi ya watu waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya mikoa kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kimkoa

[iii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI kimkoa

[iv] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye uthibitisho kuwa vinatumia Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupamba na UWAKI kimkoa

[v] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye vifaa muhimu kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kimkoa

[b] Ngazi Ya Mkoa

[i] Idadi ya watu waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya wilayahalmashauri kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

[iii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

[iv] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye ushahidi wa kuandikwa na kutumia Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

[v] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye vifaa muhimu kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

47

[c] Ngazi ya Wilaya

[i] Idadi ya watu waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya vituo vya kutolea huduma kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwa vituo vya kutolea huduma

[iii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI

[iv] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye ushahidi wa kuandikwa na kutumia Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI

[v] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye vifaa muhimu kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[d] Ngazi ya Kituo

[i] Idadi ya wahusika waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye kituo cha huduma za afya kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Idadi ya watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Idadi ya watoa huduma walioelekezwa kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI

48

49

50

51

bullbullbull bullbull bullbullbull

~USAID ~f~ ~ KLITOKA KWA WKTJ Delivering as One WAIIAAEKANI

HEALTH POLICY middotmiddotmiddotoINITIATIVE

ltlt ASCII85EncodePages false AllowTransparency false AutoPositionEPSFiles true AutoRotatePages None Binding Left CalGrayProfile (Dot Gain 20) CalRGBProfile (sRGB IEC61966-21) CalCMYKProfile (US Web Coated 050SWOP051 v2) sRGBProfile (sRGB IEC61966-21) CannotEmbedFontPolicy Error CompatibilityLevel 14 CompressObjects Tags CompressPages true ConvertImagesToIndexed true PassThroughJPEGImages true CreateJobTicket false DefaultRenderingIntent Default DetectBlends true DetectCurves 00000 ColorConversionStrategy CMYK DoThumbnails false EmbedAllFonts true EmbedOpenType false ParseICCProfilesInComments true EmbedJobOptions true DSCReportingLevel 0 EmitDSCWarnings false EndPage -1 ImageMemory 1048576 LockDistillerParams false MaxSubsetPct 100 Optimize true OPM 1 ParseDSCComments true ParseDSCCommentsForDocInfo true PreserveCopyPage true PreserveDICMYKValues true PreserveEPSInfo true PreserveFlatness true PreserveHalftoneInfo false PreserveOPIComments true PreserveOverprintSettings true StartPage 1 SubsetFonts true TransferFunctionInfo Apply UCRandBGInfo Preserve UsePrologue false ColorSettingsFile () AlwaysEmbed [ true ] NeverEmbed [ true ] AntiAliasColorImages false CropColorImages true ColorImageMinResolution 300 ColorImageMinResolutionPolicy OK DownsampleColorImages true ColorImageDownsampleType Bicubic ColorImageResolution 300 ColorImageDepth -1 ColorImageMinDownsampleDepth 1 ColorImageDownsampleThreshold 150000 EncodeColorImages true ColorImageFilter DCTEncode AutoFilterColorImages true ColorImageAutoFilterStrategy JPEG ColorACSImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt ColorImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt JPEG2000ColorACSImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt JPEG2000ColorImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt AntiAliasGrayImages false CropGrayImages true GrayImageMinResolution 300 GrayImageMinResolutionPolicy OK DownsampleGrayImages true GrayImageDownsampleType Bicubic GrayImageResolution 300 GrayImageDepth -1 GrayImageMinDownsampleDepth 2 GrayImageDownsampleThreshold 150000 EncodeGrayImages true GrayImageFilter DCTEncode AutoFilterGrayImages true GrayImageAutoFilterStrategy JPEG GrayACSImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt GrayImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt JPEG2000GrayACSImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt JPEG2000GrayImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt AntiAliasMonoImages false CropMonoImages true MonoImageMinResolution 1200 MonoImageMinResolutionPolicy OK DownsampleMonoImages true MonoImageDownsampleType Bicubic MonoImageResolution 1200 MonoImageDepth -1 MonoImageDownsampleThreshold 150000 EncodeMonoImages true MonoImageFilter CCITTFaxEncode MonoImageDict ltlt K -1 gtgt AllowPSXObjects false CheckCompliance [ None ] PDFX1aCheck false PDFX3Check false PDFXCompliantPDFOnly false PDFXNoTrimBoxError true PDFXTrimBoxToMediaBoxOffset [ 000000 000000 000000 000000 ] PDFXSetBleedBoxToMediaBox true PDFXBleedBoxToTrimBoxOffset [ 000000 000000 000000 000000 ] PDFXOutputIntentProfile () PDFXOutputConditionIdentifier () PDFXOutputCondition () PDFXRegistryName () PDFXTrapped False CreateJDFFile false Description ltlt ARA ltFEFF06270633062A062E062F0645002006470630064700200627064406250639062F0627062F0627062A002006440625064606340627062100200648062B062706260642002000410064006F00620065002000500044004600200645062A064806270641064206290020064406440637062806270639062900200641064A00200627064406450637062706280639002006300627062A0020062F0631062C0627062A002006270644062C0648062F0629002006270644063906270644064A0629061B0020064A06450643064600200641062A062D00200648062B0627062606420020005000440046002006270644064506460634062306290020062806270633062A062E062F062706450020004100630072006F0062006100740020064800410064006F006200650020005200650061006400650072002006250635062F0627063100200035002E0030002006480627064406250635062F062706310627062A0020062706440623062D062F062B002E0635062F0627063100200035002E0030002006480627064406250635062F062706310627062A0020062706440623062D062F062B002Egt BGR ltFEFF04180437043f043e043b043704320430043904420435002004420435043704380020043d0430044104420440043e0439043a0438002c00200437043000200434043000200441044a0437043404300432043004420435002000410064006f00620065002000500044004600200434043e043a0443043c0435043d04420438002c0020043c0430043a04410438043c0430043b043d043e0020043f044004380433043e04340435043d04380020043704300020043204380441043e043a043e043a0430044704350441044204320435043d0020043f04350447043004420020043704300020043f044004350434043f0435044704300442043d04300020043f043e04340433043e0442043e0432043a0430002e002000200421044a04370434043004340435043d043804420435002000500044004600200434043e043a0443043c0435043d044204380020043c043e0433043004420020043404300020044104350020043e0442043204300440044f0442002004410020004100630072006f00620061007400200438002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020043800200441043b0435043404320430044904380020043204350440044104380438002egt CHS ltFEFF4f7f75288fd94e9b8bbe5b9a521b5efa7684002000410064006f006200650020005000440046002065876863900275284e8e9ad88d2891cf76845370524d53705237300260a853ef4ee54f7f75280020004100630072006f0062006100740020548c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000204ee553ca66f49ad87248672c676562535f00521b5efa768400200050004400460020658768633002gt CHT ltFEFF4f7f752890194e9b8a2d7f6e5efa7acb7684002000410064006f006200650020005000440046002065874ef69069752865bc9ad854c18cea76845370524d5370523786557406300260a853ef4ee54f7f75280020004100630072006f0062006100740020548c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000204ee553ca66f49ad87248672c4f86958b555f5df25efa7acb76840020005000440046002065874ef63002gt CZE ltFEFF005400610074006f0020006e006100730074006100760065006e00ed00200070006f0075017e0069006a007400650020006b0020007600790074007600e101590065006e00ed00200064006f006b0075006d0065006e0074016f002000410064006f006200650020005000440046002c0020006b00740065007200e90020007300650020006e0065006a006c00e90070006500200068006f006400ed002000700072006f0020006b00760061006c00690074006e00ed0020007400690073006b00200061002000700072006500700072006500730073002e002000200056007900740076006f01590065006e00e900200064006f006b0075006d0065006e007400790020005000440046002000620075006400650020006d006f017e006e00e90020006f007400650076015900ed007400200076002000700072006f006700720061006d0065006300680020004100630072006f00620061007400200061002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000610020006e006f0076011b006a016100ed00630068002egt DAN ltFEFF004200720075006700200069006e0064007300740069006c006c0069006e006700650072006e0065002000740069006c0020006100740020006f007000720065007400740065002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e007400650072002c0020006400650072002000620065006400730074002000650067006e006500720020007300690067002000740069006c002000700072006500700072006500730073002d007500640073006b007200690076006e0069006e00670020006100660020006800f8006a0020006b00760061006c0069007400650074002e0020004400650020006f007000720065007400740065006400650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e0074006500720020006b0061006e002000e50062006e00650073002000690020004100630072006f00620061007400200065006c006c006500720020004100630072006f006200610074002000520065006100640065007200200035002e00300020006f00670020006e0079006500720065002egt DEU ltFEFF00560065007200770065006e00640065006e0020005300690065002000640069006500730065002000450069006e007300740065006c006c0075006e00670065006e0020007a0075006d002000450072007300740065006c006c0065006e00200076006f006e002000410064006f006200650020005000440046002d0044006f006b0075006d0065006e00740065006e002c00200076006f006e002000640065006e0065006e002000530069006500200068006f006300680077006500720074006900670065002000500072006500700072006500730073002d0044007200750063006b0065002000650072007a0065007500670065006e0020006d00f60063006800740065006e002e002000450072007300740065006c006c007400650020005000440046002d0044006f006b0075006d0065006e007400650020006b00f6006e006e0065006e0020006d006900740020004100630072006f00620061007400200075006e0064002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020006f0064006500720020006800f600680065007200200067006500f600660066006e00650074002000770065007200640065006e002egt ESP ltFEFF005500740069006c0069006300650020006500730074006100200063006f006e0066006900670075007200610063006900f3006e0020007000610072006100200063007200650061007200200064006f00630075006d0065006e0074006f00730020005000440046002000640065002000410064006f0062006500200061006400650063007500610064006f00730020007000610072006100200069006d0070007200650073006900f3006e0020007000720065002d0065006400690074006f007200690061006c00200064006500200061006c00740061002000630061006c0069006400610064002e002000530065002000700075006500640065006e00200061006200720069007200200064006f00630075006d0065006e0074006f00730020005000440046002000630072006500610064006f007300200063006f006e0020004100630072006f006200610074002c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200079002000760065007200730069006f006e0065007300200070006f00730074006500720069006f007200650073002egt ETI ltFEFF004b00610073007500740061006700650020006e0065006900640020007300e4007400740065006900640020006b00760061006c006900740065006500740073006500200074007200fc006b006900650065006c007300650020007000720069006e00740069006d0069007300650020006a0061006f006b007300200073006f00620069006c0069006b0065002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740069006400650020006c006f006f006d006900730065006b0073002e00200020004c006f006f0064007500640020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740065002000730061006100740065002000610076006100640061002000700072006f006700720061006d006d006900640065006700610020004100630072006f0062006100740020006e0069006e0067002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020006a00610020007500750065006d006100740065002000760065007200730069006f006f006e00690064006500670061002e000d000agt FRA ltFEFF005500740069006c006900730065007a00200063006500730020006f007000740069006f006e00730020006100660069006e00200064006500200063007200e900650072002000640065007300200064006f00630075006d0065006e00740073002000410064006f00620065002000500044004600200070006f0075007200200075006e00650020007100750061006c0069007400e90020006400270069006d007000720065007300730069006f006e00200070007200e9007000720065007300730065002e0020004c0065007300200064006f00630075006d0065006e00740073002000500044004600200063007200e900e90073002000700065007500760065006e0074002000ea0074007200650020006f007500760065007200740073002000640061006e00730020004100630072006f006200610074002c002000610069006e00730069002000710075002700410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000650074002000760065007200730069006f006e007300200075006c007400e90072006900650075007200650073002egt GRE ltFEFF03a703c103b703c303b903bc03bf03c003bf03b903ae03c303c403b5002003b103c503c403ad03c2002003c403b903c2002003c103c503b803bc03af03c303b503b903c2002003b303b903b1002003bd03b1002003b403b703bc03b903bf03c503c103b303ae03c303b503c403b5002003ad03b303b303c103b103c603b1002000410064006f006200650020005000440046002003c003bf03c5002003b503af03bd03b103b9002003ba03b103c42019002003b503be03bf03c703ae03bd002003ba03b103c403ac03bb03bb03b703bb03b1002003b303b903b1002003c003c103bf002d03b503ba03c403c503c003c903c403b903ba03ad03c2002003b503c103b303b103c303af03b503c2002003c503c803b703bb03ae03c2002003c003bf03b903cc03c403b703c403b103c2002e0020002003a403b10020005000440046002003ad03b303b303c103b103c603b1002003c003bf03c5002003ad03c703b503c403b5002003b403b703bc03b903bf03c503c103b303ae03c303b503b9002003bc03c003bf03c103bf03cd03bd002003bd03b1002003b103bd03bf03b903c703c403bf03cd03bd002003bc03b5002003c403bf0020004100630072006f006200610074002c002003c403bf002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002003ba03b103b9002003bc03b503c403b103b303b503bd03ad03c303c403b503c103b503c2002003b503ba03b403cc03c303b503b903c2002egt HEB ltFEFF05D405E905EA05DE05E905D5002005D105D405D205D305E805D505EA002005D005DC05D4002005DB05D305D9002005DC05D905E605D505E8002005DE05E105DE05DB05D9002000410064006F006200650020005000440046002005D405DE05D505EA05D005DE05D905DD002005DC05D405D305E405E105EA002005E705D305DD002D05D305E405D505E1002005D005D905DB05D505EA05D905EA002E002005DE05E105DE05DB05D90020005000440046002005E905E005D505E605E805D5002005E005D905EA05E005D905DD002005DC05E405EA05D905D705D4002005D105D005DE05E605E205D505EA0020004100630072006F006200610074002005D5002D00410064006F00620065002000520065006100640065007200200035002E0030002005D505D205E805E105D005D505EA002005DE05EA05E705D305DE05D505EA002005D905D505EA05E8002E05D005DE05D905DD002005DC002D005000440046002F0058002D0033002C002005E205D905D905E005D5002005D105DE05D305E805D905DA002005DC05DE05E905EA05DE05E9002005E905DC0020004100630072006F006200610074002E002005DE05E105DE05DB05D90020005000440046002005E905E005D505E605E805D5002005E005D905EA05E005D905DD002005DC05E405EA05D905D705D4002005D105D005DE05E605E205D505EA0020004100630072006F006200610074002005D5002D00410064006F00620065002000520065006100640065007200200035002E0030002005D505D205E805E105D005D505EA002005DE05EA05E705D305DE05D505EA002005D905D505EA05E8002Egt HRV (Za stvaranje Adobe PDF dokumenata najpogodnijih za visokokvalitetni ispis prije tiskanja koristite ove postavke Stvoreni PDF dokumenti mogu se otvoriti Acrobat i Adobe Reader 50 i kasnijim verzijama) HUN ltFEFF004b0069007600e1006c00f30020006d0069006e0151007300e9006701710020006e0079006f006d00640061006900200065006c0151006b00e90073007a00ed007401510020006e0079006f006d00740061007400e100730068006f007a0020006c006500670069006e006b00e1006200620020006d0065006700660065006c0065006c0151002000410064006f00620065002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e00740075006d006f006b0061007400200065007a0065006b006b0065006c0020006100200062006500e1006c006c00ed007400e10073006f006b006b0061006c0020006b00e90073007a00ed0074006800650074002e0020002000410020006c00e90074007200650068006f007a006f00740074002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e00740075006d006f006b00200061007a0020004100630072006f006200610074002000e9007300200061007a002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002c0020007600610067007900200061007a002000610074007400f3006c0020006b00e9007301510062006200690020007600650072007a006900f3006b006b0061006c0020006e00790069007400680061007400f3006b0020006d00650067002egt ITA ltFEFF005500740069006c0069007a007a006100720065002000710075006500730074006500200069006d0070006f007300740061007a0069006f006e00690020007000650072002000630072006500610072006500200064006f00630075006d0065006e00740069002000410064006f00620065002000500044004600200070006900f900200061006400610074007400690020006100200075006e00610020007000720065007300740061006d0070006100200064006900200061006c007400610020007100750061006c0069007400e0002e0020004900200064006f00630075006d0065006e007400690020005000440046002000630072006500610074006900200070006f00730073006f006e006f0020006500730073006500720065002000610070006500720074006900200063006f006e0020004100630072006f00620061007400200065002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200065002000760065007200730069006f006e006900200073007500630063006500730073006900760065002egt JPN ltFEFF9ad854c18cea306a30d730ea30d730ec30b951fa529b7528002000410064006f0062006500200050004400460020658766f8306e4f5c6210306b4f7f75283057307e305930023053306e8a2d5b9a30674f5c62103055308c305f0020005000440046002030d530a130a430eb306f3001004100630072006f0062006100740020304a30883073002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000204ee5964d3067958b304f30533068304c3067304d307e305930023053306e8a2d5b9a306b306f30d530a930f330c8306e57cb30818fbc307f304c5fc59808306730593002gt KOR ltFEFFc7740020c124c815c7440020c0acc6a9d558c5ec0020ace0d488c9c80020c2dcd5d80020c778c1c4c5d00020ac00c7a50020c801d569d55c002000410064006f0062006500200050004400460020bb38c11cb97c0020c791c131d569b2c8b2e4002e0020c774b807ac8c0020c791c131b41c00200050004400460020bb38c11cb2940020004100630072006f0062006100740020bc0f002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020c774c0c1c5d0c11c0020c5f40020c2180020c788c2b5b2c8b2e4002egt LTH ltFEFF004e006100750064006f006b0069007400650020016100690075006f007300200070006100720061006d006500740072007500730020006e006f0072011700640061006d00690020006b0075007200740069002000410064006f00620065002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400750073002c0020006b00750072006900650020006c0061006200690061007500730069006100690020007000720069007400610069006b007900740069002000610075006b01610074006f00730020006b006f006b007900620117007300200070006100720065006e006700740069006e00690061006d00200073007000610075007300640069006e0069006d00750069002e0020002000530075006b0075007200740069002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400610069002000670061006c006900200062016b007400690020006100740069006400610072006f006d00690020004100630072006f006200610074002000690072002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000610072002000760117006c00650073006e0117006d00690073002000760065007200730069006a006f006d00690073002egt LVI ltFEFF0049007a006d0061006e0074006f006a00690065007400200161006f00730020006900650073007400610074012b006a0075006d00750073002c0020006c0061006900200076006500690064006f00740075002000410064006f00620065002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400750073002c0020006b006100730020006900720020012b00700061016100690020007000690065006d01130072006f00740069002000610075006700730074006100730020006b00760061006c0069007401010074006500730020007000690072006d007300690065007300700069006501610061006e006100730020006400720075006b00610069002e00200049007a0076006500690064006f006a006900650074002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400750073002c0020006b006f002000760061007200200061007400760113007200740020006100720020004100630072006f00620061007400200075006e002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002c0020006b0101002000610072012b00200074006f0020006a00610075006e0101006b0101006d002000760065007200730069006a0101006d002egt NLD (Gebruik deze instellingen om Adobe PDF-documenten te maken die zijn geoptimaliseerd voor prepress-afdrukken van hoge kwaliteit De gemaakte PDF-documenten kunnen worden geopend met Acrobat en Adobe Reader 50 en hoger) NOR ltFEFF004200720075006b00200064006900730073006500200069006e006e007300740069006c006c0069006e00670065006e0065002000740069006c002000e50020006f0070007000720065007400740065002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740065007200200073006f006d00200065007200200062006500730074002000650067006e0065007400200066006f00720020006600f80072007400720079006b006b0073007500740073006b00720069006600740020006100760020006800f800790020006b00760061006c0069007400650074002e0020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740065006e00650020006b0061006e002000e50070006e00650073002000690020004100630072006f00620061007400200065006c006c00650072002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200065006c006c00650072002000730065006e006500720065002egt POL ltFEFF0055007300740061007700690065006e0069006100200064006f002000740077006f0072007a0065006e0069006100200064006f006b0075006d0065006e007400f300770020005000440046002000700072007a0065007a006e00610063007a006f006e00790063006800200064006f002000770079006400720075006b00f30077002000770020007700790073006f006b00690065006a0020006a0061006b006f015b00630069002e002000200044006f006b0075006d0065006e0074007900200050004400460020006d006f017c006e00610020006f007400770069006500720061010700200077002000700072006f006700720061006d006900650020004100630072006f00620061007400200069002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000690020006e006f00770073007a0079006d002egt PTB ltFEFF005500740069006c0069007a006500200065007300730061007300200063006f006e00660069006700750072006100e700f50065007300200064006500200066006f0072006d00610020006100200063007200690061007200200064006f00630075006d0065006e0074006f0073002000410064006f0062006500200050004400460020006d00610069007300200061006400650071007500610064006f00730020007000610072006100200070007200e9002d0069006d0070007200650073007300f50065007300200064006500200061006c007400610020007100750061006c00690064006100640065002e0020004f007300200064006f00630075006d0065006e0074006f00730020005000440046002000630072006900610064006f007300200070006f00640065006d0020007300650072002000610062006500720074006f007300200063006f006d0020006f0020004100630072006f006200610074002000650020006f002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000650020007600650072007300f50065007300200070006f00730074006500720069006f007200650073002egt RUM ltFEFF005500740069006c0069007a00610163006900200061006300650073007400650020007300650074010300720069002000700065006e007400720075002000610020006300720065006100200064006f00630075006d0065006e00740065002000410064006f006200650020005000440046002000610064006500630076006100740065002000700065006e0074007200750020007400690070010300720069007200650061002000700072006500700072006500730073002000640065002000630061006c006900740061007400650020007300750070006500720069006f006100720103002e002000200044006f00630075006d0065006e00740065006c00650020005000440046002000630072006500610074006500200070006f00740020006600690020006400650073006300680069007300650020006300750020004100630072006f006200610074002c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020015f00690020007600650072007300690075006e0069006c006500200075006c0074006500720069006f006100720065002egt RUS ltFEFF04180441043f043e043b044c04370443043904420435002004340430043d043d044b04350020043d0430044104420440043e0439043a043800200434043b044f00200441043e043704340430043d0438044f00200434043e043a0443043c0435043d0442043e0432002000410064006f006200650020005000440046002c0020043c0430043a04410438043c0430043b044c043d043e0020043f043e04340445043e0434044f04490438044500200434043b044f00200432044b0441043e043a043e043a0430044704350441044204320435043d043d043e0433043e00200434043e043f0435044704300442043d043e0433043e00200432044b0432043e04340430002e002000200421043e043704340430043d043d044b04350020005000440046002d0434043e043a0443043c0435043d0442044b0020043c043e0436043d043e0020043e0442043a0440044b043204300442044c002004410020043f043e043c043e0449044c044e0020004100630072006f00620061007400200438002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020043800200431043e043b043504350020043f043e04370434043d043804450020043204350440044104380439002egt SKY ltFEFF0054006900650074006f0020006e006100730074006100760065006e0069006100200070006f0075017e0069007400650020006e00610020007600790074007600e100720061006e0069006500200064006f006b0075006d0065006e0074006f0076002000410064006f006200650020005000440046002c0020006b0074006f007200e90020007300610020006e0061006a006c0065007001610069006500200068006f0064006900610020006e00610020006b00760061006c00690074006e00fa00200074006c0061010d00200061002000700072006500700072006500730073002e00200056007900740076006f00720065006e00e900200064006f006b0075006d0065006e007400790020005000440046002000620075006400650020006d006f017e006e00e90020006f00740076006f00720069016500200076002000700072006f006700720061006d006f006300680020004100630072006f00620061007400200061002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000610020006e006f0076016100ed00630068002egt SLV ltFEFF005400650020006e006100730074006100760069007400760065002000750070006f0072006100620069007400650020007a00610020007500730074007600610072006a0061006e006a006500200064006f006b0075006d0065006e0074006f0076002000410064006f006200650020005000440046002c0020006b006900200073006f0020006e0061006a007000720069006d00650072006e0065006a016100690020007a00610020006b0061006b006f0076006f00730074006e006f0020007400690073006b0061006e006a00650020007300200070007200690070007200610076006f0020006e00610020007400690073006b002e00200020005500730074007600610072006a0065006e006500200064006f006b0075006d0065006e0074006500200050004400460020006a00650020006d006f0067006f010d00650020006f0064007000720065007400690020007a0020004100630072006f00620061007400200069006e002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200069006e0020006e006f00760065006a01610069006d002egt SUO ltFEFF004b00e40079007400e40020006e00e40069007400e4002000610073006500740075006b007300690061002c0020006b0075006e0020006c0075006f00740020006c00e400680069006e006e00e4002000760061006100740069007600610061006e0020007000610069006e006100740075006b00730065006e002000760061006c006d0069007300740065006c00750074007900f6006800f6006e00200073006f00700069007600690061002000410064006f0062006500200050004400460020002d0064006f006b0075006d0065006e007400740065006a0061002e0020004c0075006f0064007500740020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740069007400200076006f0069006400610061006e0020006100760061007400610020004100630072006f0062006100740069006c006c00610020006a0061002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030003a006c006c00610020006a006100200075007500640065006d006d0069006c006c0061002egt SVE ltFEFF0041006e007600e4006e00640020006400650020006800e4007200200069006e0073007400e4006c006c006e0069006e006700610072006e00610020006f006d002000640075002000760069006c006c00200073006b006100700061002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e007400200073006f006d002000e400720020006c00e4006d0070006c0069006700610020006600f60072002000700072006500700072006500730073002d007500740073006b00720069006600740020006d006500640020006800f600670020006b00760061006c0069007400650074002e002000200053006b006100700061006400650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740020006b0061006e002000f600700070006e00610073002000690020004100630072006f0062006100740020006f00630068002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020006f00630068002000730065006e006100720065002egt TUR ltFEFF005900fc006b00730065006b0020006b0061006c006900740065006c0069002000f6006e002000790061007a006401310072006d00610020006200610073006b013100730131006e006100200065006e0020006900790069002000750079006100620069006c006500630065006b002000410064006f006200650020005000440046002000620065006c00670065006c0065007200690020006f006c0075015f007400750072006d0061006b0020006900e70069006e00200062007500200061007900610072006c0061007201310020006b0075006c006c0061006e0131006e002e00200020004f006c0075015f0074007500720075006c0061006e0020005000440046002000620065006c00670065006c0065007200690020004100630072006f006200610074002000760065002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200076006500200073006f006e0072006100730131006e00640061006b00690020007300fc007200fc006d006c00650072006c00650020006100e70131006c006100620069006c00690072002egt UKR ltFEFF04120438043a043e0440043804410442043e043204430439044204350020044604560020043f043004400430043c043504420440043800200434043b044f0020044104420432043e04400435043d043d044f00200434043e043a0443043c0435043d044204560432002000410064006f006200650020005000440046002c0020044f043a04560020043d04300439043a04400430044904350020043f045604340445043e0434044f0442044c00200434043b044f0020043204380441043e043a043e044f043a04560441043d043e0433043e0020043f0435044004350434043404400443043a043e0432043e0433043e0020043404400443043a0443002e00200020042104420432043e04400435043d045600200434043e043a0443043c0435043d0442043800200050004400460020043c043e0436043d04300020043204560434043a0440043804420438002004430020004100630072006f006200610074002004420430002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002004300431043e0020043f04560437043d04560448043e04570020043204350440044104560457002egt ENU (Use these settings to create Adobe PDF documents best suited for high-quality prepress printing Created PDF documents can be opened with Acrobat and Adobe Reader 50 and later) gtgt Namespace [ (Adobe) (Common) (10) ] OtherNamespaces [ ltlt AsReaderSpreads false CropImagesToFrames true ErrorControl WarnAndContinue FlattenerIgnoreSpreadOverrides false IncludeGuidesGrids false IncludeNonPrinting false IncludeSlug false Namespace [ (Adobe) (InDesign) (40) ] OmitPlacedBitmaps false OmitPlacedEPS false OmitPlacedPDF false SimulateOverprint Legacy gtgt ltlt AddBleedMarks false AddColorBars false AddCropMarks false AddPageInfo false AddRegMarks false ConvertColors ConvertToCMYK DestinationProfileName () DestinationProfileSelector DocumentCMYK Downsample16BitImages true FlattenerPreset ltlt PresetSelector MediumResolution gtgt FormElements false GenerateStructure false IncludeBookmarks false IncludeHyperlinks false IncludeInteractive false IncludeLayers false IncludeProfiles false MultimediaHandling UseObjectSettings Namespace [ (Adobe) (CreativeSuite) (20) ] PDFXOutputIntentProfileSelector DocumentCMYK PreserveEditing true UntaggedCMYKHandling LeaveUntagged UntaggedRGBHandling UseDocumentProfile UseDocumentBleed false gtgt ]gtgt setdistillerparamsltlt HWResolution [2400 2400] PageSize [612000 792000]gtgt setpagedevice

  1. 1 World Health Organization WHO
  2. 2 Beijing Platform for Action BPA 1995
  3. 5 International Covenant on Civil and Political Rights ICCPR 1966
  4. 7 Krug Etienne et al 2002 World Report on Violence and Health Geneva WHO
Page 6: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na

Mwongozo huu unaainisha majukumu ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii na wadau wake katika kupanga na kutekeleza uzuiaji na utoaji wa huduma kwa watu waliopatwa na UWAKI katika ngazi zote Uzuiaji wa UWAKI na utoaji wa huduma kwa watu waliopatwa na UWAKI utatekelezwa kwa kufuata mfumo wa utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii nchini Utoaji wa huduma kwa watu waliopatwa na UWAKI kwenye kila kituo cha huduma za afya utazingatia misingi ya kuheshimu haki za binadamu kujali na maadili ya kitaaluma Ni matumaini yangu ya dhati kuwa Maofisa Mipango Kamati za Afya na watoa huduma wote wa Sekta ya Afya watatumia Mwongozo huu wa Kisera katika kupanga na kutekeleza uzuiaji wa UWAKI na utoaji wa huduma bora za afya kwa watu waliopatwa na UWAKI na hatimaye kutokomeza UWAKI nchini Tanzania

Dkt Donan W Mmbando Kaimu Mganga Mkuu wa Serikali

v

SHUKURANI

Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii (WAUJ) inatambua mchango wa Kikosi Kazi cha Wataalamu chini ya uongozi wa Mkurugenzi Msaidizi wa Huduma za Afya ya Uzazi na Mtoto

Pia Wizara inayashukuru Mashirika mbalimbali na watu binafsi waliochangia katika kutayarisha na kukamilisha Mwongozo huu wa Kisera

Tunashukuru na kutambua mchango wa Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani (USAID) Tanzania na Mpango wa Dharura wa Rais wa Marekani wa kupunguza UKIMWI (PEPFAR) kwa kutoa msaada wa kiutaalamu na kifedha katika kuendeleza Sera ya Afya na kutekelezwa na ldquoFutures Group Internationalrdquo Aidha Wizara inashukuru Mpango wa Pamoja wa Umoja wa Mataifa kwa ufadhili wa utaalamu na fedha

Tunapenda pia kuwatambua wataalamu walioshiriki katika kuandaa na Mwongozo huu wa Kisera

Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Kinga

kukamilisha

Dkt Peter Mmbuji

vi

VIFUPISHO

BAW Bodi ya Afya ya Wilaya BHA Bodi ya Huduma za Afya MKUKUTA Mpango wa Kukuza Uchumi na Kupunguza

Umaskini Tanzania MMAM Mpango wa Maendeleo wa Afya ya Msingi MHW Mamlaka ya Halmashauri ya Wilaya NCPA Mpango Kazi wa Taifa wa Kuhudumia Watoto Yatima

na Wanaoishi katika Mazingira Hatarishi PEPFAR Mpango wa Dharura wa Rais wa Marekani wa

kupunguza UKIMWI SADC Ushirikiano wa Maendeleo wa Nchi za Kusini mwa

Afrika UWAKI Ukatili wa Kijinsia UKIMWI Upungufu wa Kinga Mwilini USAID Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani VVU Virusi Vya UKIMWI WAUJ Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii WHO Shirika la Afya Duniani

vii

ORODHA YA MANENO MUHIMU NA DHANA

Kwa madhumuni ya Mwongozo huu maneno muhimu na dhana yatakuwa na maana ifuatayo

Ukatili Matumizi ya nguvu yanayompa mtu fursa ya kumtumia au kumkandamiza mtu mwingine ikiwa ni pamoja na na kumsababishia woga au hofu madhara ya kimwili kifikra na kisaikolojia Ukatili unaweza kujitokeza kwa kumdhuru mtu kimwili au kumtishia kwa kutumia silaha au kumnyima mtu uhuru wa kufanya uamuzi na kumlazimisha kutenda kinyume na utashi wake

Kijana balehe Kipindi cha mpito cha ukuaji kutoka utoto kuelekea utu uzima Kipindi hiki ni muda ambapo mhusika sio mtoto wala mtu mzima kibiolojia wala hajakomaa kihisia Wakati huu kuna mabadiliko makubwa ya kimwili yanayohusiana na mwanzo wa kubalehe pamoja na kukua kisaikolojia Kijana balehe hujumuisha wanafunzi wengi walio kwenye shule za msingi na baadaye kukamilika wakiwa shule za sekondari

Mtoto Kwa mujibu wa katiba ya Tanzania na sheria ya mtoto mtoto ni mtu yeyote aliye chini ya umri wa miaka 18

Unyanyasaji wa mtoto Unyanyasaji wa mtoto ni dhana ambayo inahusisha maneno au vitendo vilivyokusudia kusababisha utokeaji wa madhara au vitisho kwa watoto Kuna aina tatu za ukatili kwa watoto kimwili kingono na kisaikolojia

Unyanyasaji wa mtoto kingono Ushirikishwaji wa mtoto katika vitendo vinavyohusu ngono Unyanyasaji wa watoto kingono unatokea kati ya mtoto na mtu mzima au mtoto na mtoto mwingine ambaye wamezidiana kiumri na kupevuka na anaaminika ana madaraka na wajibu juu ya mtu aliyepatwa na UWAKI kwa lengo la mnyanyasaji kujiridhisha haja zake binafsi

Unyanyasaji wa watoto kingono ni pamoja na kushawishi au kumlazimisha mtoto kushiriki katika vitendo vyovyote vya ngono utumiaji wa watoto kufanya ukahaba au matumizi ya watoto katika kupiga picha za ngono na kutumia vifaa vinavyohusika na ngonoUnyanyasaji wa mtoto ni dhana

viii

ambayo inahusisha maneno au vitendo vilivyokusudia kusababisha utokeaji wa madhara au vitisho kwa mtoto

Kulazimisha Kutishia au kutumia nguvu ikiwa ni pamoja na kutumia vitisho kauli mbaya ulaghai udanganyifu mila potofu au nguvu ya kipato bila ridhaa yake

Huduma kwa waathirika wa UWAKI Ni huduma jumuishi zinazotolewa kwa waathirika zikijumuisha Kuchukua historia ya mtu aliyepatwa na UWAKI upimaji wa kina kuchukua vipimo vya ushahidi wa kimahakama kwa mujibu wa sheria unasihi kupata matibabu ya awali kupata msaada wa kisheria na kisaikolojia na pale inapobidi kupewa ulinzi

Ridhaa Kufanya uamuzi wenye uelewa uhuru na hiari kuhusu jambo lolote Hakuna ridhaa ikiwa makubaliano yamepatikana kwa njia ya vitisho nguvu au aina zozote za kulazimishwa utekaji nyara udanganyifu ulaghai na upotoshaji

Ukatili ndani ya familia Ni vitendo vya unyanyasaji wanavyofanyiana watu walio katika uhusiano wa karibu kama vile ndoa uchumba familia au watu wanaoishi pamoja kama mke na mume bila ndoa rasmi

Kuna aina mbalimbali za ukatili wa kifamilia zikiwa ni pamoja na ukatili wa kimwili (kumpiga kumwuma kumsukuma kumzuia kumtupia vitu) au kumtishia Aina nyingine ya ukatili wa kifamilia ni ukatili wa kisaikolojia (kumfanyia vitisho kuvizia kumpuuzia) na ukatili wa kiuchumi Madhara yanayotokana na ukatili wa kifamilia ni pamoja na matumizi makubwa ya pombe utegemezi wa dawa za kulevya na magonjwa ya akili

Kituo cha Hifadhi ya muda Mahali pa kupata taarifa usalama huduma ya kwanza rufaa na mahitaji mengine muhimu na ya haraka kwa waliopatwa na UWAKI ambao wanahitaji mahali salama penye usiri kwa kipindi fulani

Kituo maalumu cha malezi Mahali rasmi panapotambulika kisheria kama makao ya watoto au shule za maadilisho Mahali pa kulelea watoto

ix

wanaoishi katika mazingira hatarishi kama vile kituo cha kulelea watoto kinachomilikiwa na watu binafsi taasisi za dini au serikali

Mlezi maalumu Mtu mzima mwenye akili timamu maadili mazuri na anayeaminika katika jamii ana uwezo wa kumlea mtoto ambaye siyo ndugu yake au wa nasaba yake ambaye amethibitishwa na ustawi wa jamii kuweza kumpa matunzo

Kulazimisha kurithi Mjane Ni mila ambapo mjane anashurutishwa bila ridha yake kuwa mke au mume wa ndugu wa marehemu Inawezekana kuwa katika aina au mtindo tofauti kulingana na tamaduni

Ukahaba wa Kulazimishwa Ni kitendo cha ulaghai kinachofanywa na watu kwa makundi hatarishi kama wanawake au wasichana kwa kuwaahidi kuwapatia vitu msaada au ajira halali na badala yake kuwatumikisha katika biashara ya ngono

Jinsia Ni uhusiano uliojengeka katika jamii Watu huzaliwa wakiwa na maumbile ya kike na kiume kisha hujifunza kazi au shughuli za kike na kiume kwenye jamii na hatimaye husababisha watu kujipangia majukumu kutokana na jinsia

Ukatili wa Kijinsia (UWAKI) Ni kitendo chochote cha kikatili anachofanyiwa mtu yeyote awe mwanamke mwanamume au mtoto chenye lengo la kumwumiza kimwili au kiutu kutokana na jinsia yake Ukatili wa kijinsia unajumuisha ukatili wa kingono kisaikolojia mila hatarishi na unyanyasaji wa kiuchumi na kijamii

Kupambana na Ukatili wa Kijinsia Kunajumuisha mambo yafuatayo Kutoa huduma kuandaa mipango mkakati kwa kuwashirikisha wadau mbalimbali

Mila na desturi hatarishi

bull Ukeketaji Ni kitendo cha kikatili anachofanyiwa mtoto wa kike msichana au mwanamke kwa kukata kabisa au kuondoa sehemu ya via vya nje vya uzazi kwa sababu zisizo za kitabibu

x

bull Ndoa katika umri mdogo Ni ndoa zinazojitokeza zaidi kwa wasichana ambazo zinahusishwa na madhara kwa mama na mtoto kama vile matatizo wakati wa kujifungua ulemavu na vifo vya mama na mtoto

bull Ndoa ya kulazimishwa Ni ndoa zinazofanyika bila ridhaa ya mwanamume au mwanamke Iwapo mmoja kati yao hatakubaliana ndoa hizo zinaweza kusababisha madhara ya unyanyasaji na ukatili

bull Utakaso wa mjane Ni desturi ambapo mjane hulazimishwa au hulazimika kufanya ngono na ndugu wengine au mtu aliyeteuliwa kwa kazi hiyo katika jamii Hii hufanyika kabla mjane huyo hajaolewa au kuoa tena

Haki za binadamu Ni stahili za msingi ambazo kila binadamu anapaswa kuzipata ili kumwezesha kuishi kujiendeleza kushiriki na kupata ulinzi wa jamii bila kujali utaifa jinsia asili ya utaifa au nasaba au kabila rangi dini lugha au kwa hali nyingine yoyote

Matukio ya ukatili Ni kitendo au mfululizo wa vitendo vya ukatili vinavyofanywa na mtu au kikundi cha watu dhidi ya mtu au kundi la watu kwa makusudi ya kuharibu kuleta hofu au kutishia amani kwa maslahi binafsi Vitendo hivyo vya kikatili vinaweza kufanyika nyumbani kwenye hadhara na mahali popote katika nyakati tofauti

Ukatili kati ya wenzi Ukatili unaohusisha wenzi wenye uhusiano wa ndani kama vile mtu na mke marafiki wapenzi wanafamilia au watu wanaoishi pamoja kama mke na mume bila ndoa rasmi Ukatili kati ya wenzi ni wa aina nyingi ikiwa ni pamoja na ukatili wa kimwili (kupigwa kuuma kumsukuma kumzuia kumtupia vitu) au kumtishia Aina nyingine ya ukatili wa wenzi ni ukatili wa kingono kisaikolojia (kumfanyia vitisho kuvizia kumpuuza) na ukatili wa kiuchumi (kunyimwa haki ya kufanya kazi kunyangrsquoanywa kipato kurithi mali nk)

Mhalifu Ni mtu kundi la watu au taasisi linalofanya moja kwa moja au kupitia wengine uhalifu au vitendo vya kikatili dhidi ya mtu au kundi la

xi

watuWahalifu wanakuwa katika hali ya kuwa au kuhisi kuwa na nguvu kufanya uamuzi naau mamlaka ya kuwadhibiti waliopatwa na UWAKI

Ukatili wa kimwili Ni kitendo cha kumdhalilisha mtu kwa kumpiga kumvua nguo kumwuma kumchoma kumsababishia ulemavu au kumwua kwa kutumia au kutotumia silaha

Nguvu Katika muktadha wa UWAKI madaraka yanahusiana na uwezo wa kuchagua Mamlaka makubwa yanaendana na uwezo mkubwa wa kufanya uamuzi Kwa upande mwingine mamlaka madogo yanaendana na uwezo dhaifu wa kufanya uamuzi na kwa hivyo kuongeza uwezekano wa kunyanyaswa UWAKI unahusisha matumizi mabaya ya madaraka ambapo mtu mmoja anajisikia kuwa ana mamlaka zaidi juu ya mwenzake na kutumia fursa hiyo kumnyanyasa

Kwa mfano kutumia shinikizo la aina yoyote ili kumfanya mtu mwenye uwezo mdogo kufanya naye ngono kwa madhumuni ya kumpatia faida au ahadi zozote ni kutumia vibaya madaraka Wanaume wana nafasi za madaraka kuliko wanawake na mara nyingi wanamiliki fedha mali na huduma Wanaume wana maumbile makubwa zaidi ya wanawake wana nguvu zaidi wanatumia silaha zaidi na wanadhibiti mawasiliano na usalama Madaraka yanategemea umri na mara nyingi watoto na wazee wana madaraka madogo zaidi Waume au marafiki wa kiume wana umri mkubwa zaidi kuliko wake zao au marafiki wa kike

Ubakaji Ni kitendo cha mtu kumwingilia mtu kimwili mtu mwingine kwa nguvu bila ridhaa yake au kitendo cha kumwingilia mtu mwenye umri chini ya miaka 18

Ulazimishaji ngono ndani ya ndoa Ni kitendo cha ngono kati ya wanandoa kinachofanywa na mwanandoa mmoja bila ridhaa au dhamira ya mwenzake akitumia nguvu vitisho kuogopesha hofu au wakati mwenza hawezi kutoa ridhaa

Vitendo hivyo vya ngono vinajumuisha kujamiiana ngono ya mdomo au kinyume na maumbile kulazimishwa kufanya ngono na mtu mwingine na vitendo vingine vya ngono ambavyo vinachukuliwa na mlazimishaji kama ukandamizaji udhalilishaji na vya kuumiza

xii

Nyumba salama Mahali pa hifadhi ya muda kwa watu waliopatwa na UWAKI mashahidi au watu wengine wanaoonekana kuwa hatarini Pia ni mahali ambapo jamii familia mtu mzima anayeaminika au taasisi ya hisani wanatoa kimbilio la usalama kwa watu waliopatwa na UWAKI

Ukatili wa Kingono Ni kitendo au jaribio lolote la unyanyasaji wa kingono linalosababisha au linaloweza kusababisha madhara ya kimwili kisaikolojia au kihisia

Ngono za Kulazimishwa Ni kitendo cha kumshurutisha au kujaribu kumshurutisha mtu mwingine kwa njia ya ukatili vitisho maneno makali udanganyifu kumpa matarajio ya kiuchumi ili ajihusishe na vitendo vya ngono bila ridhaa yake Ni pamoja na vitendo mbalimbali kama ubakaji na maeneo mapana zaidi kama wanawake kulazimishwa kuolewa na kutoa huduma ya ngono kwa wanaume ambao sio chaguo lao

Ukandamizaji wa Kingono Ni kumtumia mtu watu au jamii inayoishi kwenye mazingira magumu kwa madhumuni ya kuihusisha katika vitendo vya kujamiiana au vinavyohusiana na kujamiiana ili mhalifu afaidike kiuchumi au kijamii

Bughudha ya Kingono Ni matendo yanayohusiana na hisia za kujamiiana ambayo yanakera na kuudhi watu ndani ya jamii na mazingira ya kazi hayakubaliki yanasumbua yanarudiwa mara kwa mara na bila ridhaa kwa mfano matusi kukonyeza mavazi duni yenye kuonyesha maungo kupapasa picha za ngono na kuingilia faragha za mwili wa mtu

Ukatili wa Kingono Nikitendo au jaribio lolote la unyanyasaji wa kingono linalosababisha au linaloweza kusababisha madhara ya kimwili kisaikolojia au kihisia

Ukatili wa Kiuchumi na Kijamii Ni vitendo vya kumnyima mtu fursa ya kupata mahitaji ya msingi na ya kujiendeleza kama kumnyima elimu kazi kumiliki mali huduma za afya na vitendo vingine vinavyosababisha msongo wa mawazo

xiii

Ukatili Matumizi ya nguvu yanayompa mtu fursa ya kumtumia au kumkandamiza mtu mwingine ikiwa ni pamoja na kumsababishia woga au hofu madhara ya kimwili kifikra na kisaikolojia Ukatili unaweza kujitokeza kwa kumdhuru mtu kimwili au kumtishia kwa kutumia silaha au kumnyima mtu uhuru wa kufanya uamuzi na kumlazimisha kutenda kinyume na utashi wake

Ukatili Dhidi ya Wanawake Ni kitendo au vitendo vya unyanyasaji vyenye kulenga jinsia ya kike na vyenye kusababisha au kuleta madhara ya kimwili kingono kihisia kisaikolojia kiuchumi na kijamii Kitendo au vitendo hivi hujumuisha kutumia nguvu na vitisho vya kumnyima mwanamke haki na uhuru

xiv

SEHEMU YA KWANZA

UTANGULIZI

11 Hali ya Ukatili wa Kijinsia Duniani

Ukatili Wa Kijinsia (UWAKI) unatokana na kuwepo kwa tofauti kati ya wanaume na wanawake na hivyo kuhatarisha afya utu usalama na uhuru wa wahusika waliofanyiwa vitendo vya kikatili

UWAKI unajumuisha vitendo vingi vya ukiukwaji wa haki za binadamu kama vile unyanyasaji wa watoto kingono ubakaji unyanyasaji katika familia shambulio la aibu na udhalilishaji Vitendo vingine vya UWAKI ni usafirishaji haramu wa wanawake na wasichana na madhara mengine yatokanayo na mila na desturi hatarishi

Matukio ya ukatili wa kijinsia yanaacha athari kubwa za kisaikolojia na za kiafya kwa watu waliopatwa na ukatili ikiwa ni pamoja na kuathiri afya ya uzazi na mara nyingine kusababisha vifo

UWAKI haujatambuliwa kama ukiukwaji wa haki za binadamu katika sehemu nyingi duniani Tatizo hili hupunguza uwezo wa wanawake wanaume na watoto katika kufurahia uhuru na haki za msingi za kibinadamu Hata hivyo licha ya kuwepo kwa UWAKI katika nchi nyingi tatizo hili halijapewa kipaumbele UWAKI unaelezwa kuwa ldquoNi kitendo kiovu na cha aibu kubwa cha ukiukwaji wa haki za binadamurdquo Hali hii humfanya mwanamke kuwa tegemezi kijamii kiuchumi na kisheria na hupunguza uwezo wake katika kupata msaada mara anapofanyiwa ukatili

Utafiti uliofanywa na Shirika la Afya Duniani (WHO) kuhusu afya ya wanawake na ukatili wa kifamilia katika nchi 10 umeonyesha kuwa kati ya wanawake waliowahi kuwa na wenzi asilimia 13-61 walifanyiwa ukatili wa kimwili na wenzi wao asilimia 6-59 walifanyiwa ukatili wa kingono na asilimia 15-71 walifanyiwa vitendo vya ukatili wa kingono pamoja na kimwili Pia wanawake wengi vijijini walikiri kuwa walifanyiwa tendo la ngono kwa mara ya kwanza bila ridhaa yao na takwimu zinaonyesha matukio hayo katika baadhi ya nchi kama ifuatavyo Peru (24)

1

Tanzania (17) Bangladesh (30) na Ethiopia (17) Ukatili wa kimwili kwa wanawake wajawazito uliripotiwa kuwa ni asilimia 4-12

Wanawake na wasichana wanakabiliwa na aina nyingine ya ziada ya unyanyasaji Usafirishaji haramu wa wanawake na wasichana kwa ajili ya kazi na ngono za kulazimishwa ni biashara iliyoshamiri na mara nyingi waathirika ni wale wanaokabiliwa na hali ngumu ya maisha Ndoa za kulazimishwa na za utotoni ni ukiukwaji wa haki za binadamu kwa wanawake na wasichana lakini zinaendelea kushamiri kwenye nchi nyingi za Bara la Asia Mashariki ya Kati na Nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara Utafiti wa Shirika la Afya Duniani (2010) unaonyesha kuwa duniani kote mwanamke mmoja kati ya wanawake watano na mwanamume mmoja kati ya wanaume 10 wanaripotiwa kuathirika na unyanyasaji wa kingono wakati wa utoto

12 Hali ya UWAKI Kanda ya Afrika

Kuna uhaba wa taarifa takwimu na utafiti kuhusu UWAKI kwenye ukanda wa Afrika Mashariki Nchini Kenya kulikuwa hakuna takwimu zenye kuhusiana na ukatili wa kijinsia hadi utafiti wa hali ya jamii na afya ulipofanyika mwaka 2003 Utafiti huu ulionyesha kwamba asilimia 29 ya wanawake waliripotiwa kuathiriwa na ukatili wa kingono kwenye kipindi cha mwaka mmoja uliopita na wengi wa waathirika walikuwa wanawake wa umri wa miaka 20-29 Utafiti uliofanywa na Ushirika wa Wanasheria Wanawake nchini Kenya ulionyesha kwamba ukatili wa kijinsia katika familia unakabili asilimia 51 ya wanawake waliohudhuria kliniki nne za wajawazito kwenye jiji la Nairobi na waliripoti kuwa wamekuwa waathirika wa ukatili wakati fulani katika maisha yao kati yao asilimia 65 walifanyiwa ukatili na waume zao na asilimia 22 walifanyiwa ukatili na wanaume wasiowafahamu

Utafiti kuhusu UWAKI uliofanywa baada ya uchaguzi wa 2007 nchini Kenya ulilenga makazi duni ya Kibera jijini Nairobi yenye wakazi wapatao milioni moja Utafiti huu ulionyesha kuwa umri wa waathirika waliobakwa ulikuwa kati ya miaka 25-68 na wengi wao walikuwa wenye umri wa miaka ya 30 UWAKI uliwaathiri wanawake wa umri wa miaka yote Utafiti huu ulibaini kwamba baadhi ya waathirika waliambukizwa virusi vya UKIMWI

2

Mwaka 2007 Umoja wa Mataifa ulikadiria kuwa kiwango cha ubakaji wa wanawake katika eneo la Kivu kaskazini ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ulikuwa ni wanawake 350 kwa mwezi Mwaka 2008 shirika linalotetea haki za binadamu duniani (Amnesty International) liliripoti kuwa wanawake 40 hubakwa kila siku katika eneo hilo hilo

3

SEHEMU YA PILI

UCHAMBUZI WA UWAKI TANZANIA

21 Ukubwa wa tatizo la UWAKI Tanzania

Utafiti uliofanywa na Shirika la Afya Duniani (WHO)1 kuhusu afya ya wanawake na ukatili majumbani kwenye nchi 10 umebaini kuwa ukatili dhidi ya wanawake upo sehemu nyingi ikiwemoTanzania Utafi ti huo ulihusisha wanawake 1820 Dar es Salaam na wanawake 1450 Mbeya waliowahi kuwa na wenzi Matokeo yalionyesha kwamba asilimia 41 ya waliohojiwa katika jiji la Dar es Salaam na asilimia 55 ya waliohojiwa katika jiji la Mbeya waliathirika na aina mbalimbali za UWAKI Taarifa ilionyesha kuwa asilimia 15 hadi 71 ya wanawake walioathirika na ukatili wa kimwili au wa kingono ulifanywa na waume au wenzi wao Utafi ti huo pia ulionyesha kwamba asilimia 15 ya wanawake walifanya kitendo cha ngono kwa mara ya kwanza kwa kulazimishwa Aidha asilimia 4 hadi 12 ya wanawake waliripotiwa kunyanyaswa kimwili wakati wa ujauzito

Kufuatana na uchunguzi wa kitaifa nchini Tanzania kiwango cha ukatili majumbani kati ya wanawake wenye umri wa miaka 15- 49 ni asilimia 45 ikijumuisha ukatili wa kimwili (25) kingono (7) na (14) kwa aina zote mbili Unyanyasaji wa kimwili kwa wanawake wajawazito ulikuwa asilimia tisa (9) Kiwango cha wanawake waliokabiliwa na matukio ya kushurutishwa na wenzi wao kilikuwa asilimia sitini (60) Kiwango cha matukio ya ukatili wa kimwili kinatofautiana sana kati ya mkoa na mkoa ambapo kiwango cha juu sana kipo kwenye mkoa wa Dodoma (71) na cha chini kabisa kwenye mkoa wa Tanga (16) Ukatili wa kingono ni wa kiwango cha juu sana kwenye mkoa wa Rukwa (32) na chini kabisa kwenye mkoa wa Shinyanga (5) Kiwango cha wanawake waliowahi kuwa kwenye ndoa ambao wameathirika na ukatili wa kingono kutoka kwa mume au mwenzi wa sasa ni 48 mume wa zamani (21) rafiki wa kiume wa sasazamani (7) Kwa upande wa wanawake ambao hawajaolewa 27 ya ukatili ulifanywa na marafi ki wa kiume wa sasa au wa zamani

1 World Health Organization (WHO)

4

Uchunguzi wa WHO uliotajwa hapo juu umeonyesha usafi rishaji wa wanawake na wasichana kwa ajili ya kazi na ngono za kulazimishwa ni biashara iliyoshamiri na mara nyingi waathirika ni wale wanaokabiliwa na hali ngumu ya maisha Ndoa za kulazimishwa na za utotoni kama zilivyo kwenye jamii nyingi ni ukiukwaji wa haki za binadamu kwa wanawake na wasichana kwa sababu hawana fursa ya kutoa ridhaa Zaidi ya 60 ya waathirika wa UWAKI nchini Tanzania hawachukui hatua yoyote ya kutoa taarifa ya ukatili kwa mamlaka rasmi au vyombo vya kutekeleza sheria Upo uwezekano mkubwa wa maambukizo ya VVU kutokana na UWAKI Vijana wa kike wa Kitanzania wenye umri wa miaka 18-29 ambao wamekuwa wakinyanyaswa na wenzi wao wana uwezekano wa mara 10 zaidi kupata maambukizo ya VVU kuliko wanawake ambao hawajanyanyaswa

Utafiti uliofanyika Dar es Salaam mwaka 2000 ulibaini kuwa zaidi ya 90 ya waathirika wa ubakaji wanawafahamu wahalifu wao Katika utafiti mwingine uliofanyika Dar es Salaam asilimia ishirini na tano (25) ya wanawake waliohojiwa walikiri kwamba ldquoUkatili ni tatizo kubwa kwenye maishardquo Nchini Tanzania ubakaji ndani ya ndoa hautambuliwi kama kosa la jinai isipokuwa kama wenza wametengana

Vitendo vya UWAKI nchini Tanzania kwa ujumla vinalenga zaidi wanawake na wasichana kutokana na desturi na mazoea ya jamii ambazo zinawabagua na kuwapunguzia uwezo wa kufurahia haki zao za kibinadamu Ingawa mashambulizi ya ngono yanawalenga zaidi wanawake na wasichana hata hivyo wanaume na wavulana vilevile wanalengwa katika unyanyasaji wa kingono kubughudhiwa na kushambuliwa

Ukatili kama ulivyofafanuliwa unadhihirisha tofauti ya madaraka kati ya mwathirika na mhalifu wa ukatili wa kingono ambapo mhalifu mara nyingi ana umbo kubwa umri mkubwa utajiri au ni mmojawapo kwenye kundi la watu wenye mamlaka au anatumia silaha Nchini Tanzania asilimia 134 ya vijana wameathiriwa na mashambulio ya kingono ya namna moja ama nyingine Kwa ujumla kutokana na sababu mbalimbali nchini Tanzania kuna uhaba wa taarifa za UWAKI pia taarifa zilizopo siyo kamilifu

5

Uzoefu unaonyesha kuwa bila kujali hali ya afya ya kimwili ya mwathirika UWAKI humwacha mwathirika na majeraha ya muda mrefu na kupunguza uwezo wa mwathirika kushirikiana na jamii na familia Athari zaidi hujitokeza kwa mwathirika kama vile aibu unyanyapaa msongo wa mawazo na mfadhaiko Tatizo hili kwa waathirika linachochewa na ldquoUtamaduni wa ukimyardquo miongoni mwa familia na jamii inayowazunguka UWAKI una athari ya moja kwa moja na matokeo hasi kwa afya na ustawi wa kiuchumi na kijamii kwa familia hasa kwa wanawake na watoto

22 Unyanyasaji wa Mtoto na Kijana

Utafiti wa kitaifa nchini Tanzania kuhusu Ukatili Dhidi ya Watoto ni wa kwanza na wa aina yake katika Bara la Afrika Matokeo ya utafi ti yameonyesha kwamba mara nyingi watoto wanakabiliwa na unyanyasaji na matukio mengi na ya namna mbalimbali yanayojumuisha ukatili wa kimwili kingono na kisaikolojia Utafiti ulibaini kuwa watoto wengi wako kwenye hatari kubwa ya kunyanyaswa kwenye mazingira ya nyumbani na shuleni Haya ni maeneo mawili ambayo watoto wengi wa Kitanzania hutumia muda wao mwingi wakati wanakua na kuelekea kwenye ujana Robo tatu ya watoto wanapofikia umri wa miaka 18 huwa wameathirika na ukatili wa kimwili kwa namna moja ama nyingine kutokana na ukatili wa ndugu mwalimu au kiongozi Kutokana na utafiti takribani 30 ya wanawake wenye umri kati ya umri wa miaka 13-24 na 14 ya wanaume wenye umri kati ya miaka 13-24 nchini Tanzania waliripotiwa kuathirika na ukatili wa kingono angalau mara moja kabla ya kufikisha umri wa miaka 18

Nchini Tanzania ukeketaji hufanyika mapema utotoni Karibu mwanamke mmoja kati ya wanawake watatu waliokeketwa (32) walikeketwa kabla ya kufikisha umri wa mwaka mmoja na 27 walikeketwa wakiwa na umri wa miaka 13 au zaidi Hata hivyo ukeketaji kwa wasichana hufanyika katika umri mdogo sehemu ya wanawake waliokeketwa wakiwa na umri wa miaka 5 iliongezeka kutoka 34 hadi 39 kwa mujibu wa Utafiti wa Afya ya Jamii [UAJ] 2004-05 na UAJ 2010 Kulingana na utafiti huu 5 ya wasichana wa miaka 13shy17 waliripotiwa kuwa wamekeketwa na 10 ya wasichana wa umri wa miaka 18-24 waliripotiwa kukeketwa Kwa mujibu wa sheria kukeketa ni

6

kosa linalostahili adhabu Kuna uwezekano kwamba wale waliokeketwa huwa wanasita kutoa taarifa na ndiyo sababu ya taarifa kuwa chache

23 Mazingira ya Sera ya UWAKI

Serikali ya Tanzania imeonyesha nia yake ya kushughulikia masuala ya UWAKI kwa kuridhia mikataba kadhaa ya kimataifa yenye kuhusiana na UWAKI na jinsia Mkataba wa Kutokomeza Aina Zote za Ubaguzi Dhidi ya Wanawake (1985) ambao umekuwa chombo katika kupambana na matukio ya ubaguzi ikiwa ni pamoja na ukatili Jukwaa la Beijing (1995)2 na Malengo ya Maendeleo ya Milenia (2000)3 Tanzania pia imeridhia hati ya Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu kuhusu haki za wanawake na hati ya Ushirikiano wa Maendeleo wa Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC)4

Vipaumbele vya maendeleo ya Tanzania vinaainishwa katika Dira ya Taifa 2025 na katika Mpango wa Kuondoa Umaskini na Kukuza Uchumi (MKUKUTA) MKUKUTA II (2011-25) unashughulikia UKIMWI na jinsia kama masuala mtambuka na ni mkakati wa kwanza wa kitaifa unaotambua UWAKI kama suala la kisera kwa watu wote Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto ndiyo yenye jukumu la kuratibu shughuli zote zinazohusiana na jinsia

Wizara hiyo imetayarisha Sera ya Maendeleo ya Jinsia (2000) kwa ajili ya kushughulikia upungufu na kukosekana kwa usawa kati ya wanaume na wanawake Pia Wizara imetayarisha Mkakati wa Kitaifa wa Jinsia na Maendeleo (2002) unaotoa dira na kuwezesha usawa wa kijinsia nchini Pamoja na Mpango wa Taifa wa Vitendo vya Kukinga na Kutokomeza Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto (2001-2015) kwa ajili ya kuongeza juhudi za Serikali za kisheria kwa kupambana na UWAKI na kuhakikisha lsquousawarsquo na lsquohakirsquo kati ya wanawake na wanaume nchini Tanzania Sera ya Taifa ya Afya ina mfumo wa utoaji wa huduma za afya kwa watu wote wanaohitaji ikiwa ni pamoja na waathirika wa UWAKI

2 Beijing Platform for Action - (BPA 1995) 3 Millennium Development Goals - (MDG 2000) 4 Southern African Development Cooperation - (SADC)

7

24 Haki za Binadamu Sheria na Mazingira ya Udhibiti

Tanzania imeridhia Sheria ya Haki za Binadamu na masharti ya vyombo kadhaa vya kimataifa na kikanda ambavyo vinakataza ubaguzi kwa misingi ya jinsia na hivyo kuhitaji serikali ihakikishe kwamba wanawake hawabaguliwi Vyombo hivi ni Mkataba wa Kimataifa wa Kuzuia aina zote za Ukatili na Unyanyasaji wa Kijinsia 1979 pamoja na Mkataba wa Kimataifa wa Haki za Kiraia na Kisiasa (1966)5 Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu (1981) na Hati ya Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu Kuhusu Haki za Wanawake Afrika (2000)

Tanzania imetunga sheria inayosimamia kukinga na kupambana na UWAKI Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (1977) iko wazi kwa kukataza ubaguzi na kwa misingi hiyo inatoa haki ya usawa [Ibara ya 12-24] Sheria ya Mtoto (2009) inawezesha jitihada za kupunguza ukatili dhidi ya watoto Sheria Maalumu ya Makosa ya Kujamiiana (1998)6

ilitungwa kwa lengo la kulinda heshima ya mwanamke na kuweka vikwazo kwa UWAKI kwa kutoa adhabu kali kwa makosa ya kingono Sheria hii inajumuisha ukatili wa kingono ubakaji biashara haramu ya usafirishaji watu bughudha za kingono na kukataza ukeketaji chini ya kifungu cha lsquoUkatili kwa watotorsquo

Hii ilikuwa mara ya kwanza kwa Tanzania kutunga sheria ya kukataza vitendo vilivyotajwa hapo juu na hatima ya sheria hii imewekwa chini ya sheria za adhabu kifungu cha 16

Sheria ya Adhabu (marekebisho ya 2002) inawekea vikwazo vitendo vya UWAKI mathalan vitisho Sehemu ya 89B 89A kutoroka watoto Sehemu ya 166 kutelekeza watoto Sehemu ya 167 kuua bila kukusudia Sehemu ya 195 mauaji Sehemu ya 196 mashambulizi Sehemu ya 240shy243 kutorosha Sehemu ya 246 utekaji nyara Sehemu ya 244 kazi za kulazimishwa Sehemu ya 256 wizi utokanao na mwenzi Sehemu ya 264 tishio la uchomaji Sehemu ya 332 uchomaji Sehemu ya 319-322 kuficha nyaraka Sehemu ya 276-278 Sheria ya Biashara ya Binadamu Na 6 ya mwaka 2008 inakataza biashara ya binadamu kwa sababu yoyote

5 International Covenant on Civil and Political Rights - (ICCPR 1966) 6 The Sexual Offences Special Provisions Act 1998 (SOSPA)

8

Sheria ya Kuzuia VVU UKIMWI Na 28 ya mwaka 2008 inakataza unyanyapaa na inafanya uambukizaji wa VVU kwa makusudi kuwa kosa la jinai

Pamoja na kuwepo vyombo vya kimataifa kikanda kitaifa na vya sheria za kuhakikisha haki kwa wanawake tatizo la UWAKI limetapakaa nchini Tanzania lakini linaripotiwa kwa nadra UWAKI unaathiri zaidi wanawake na wasichana kuliko wanaume na wavulana Haya ni matokeo ya uhusiano usio sawa kati ya wanaume na wanawake katika jamii ambayo yanajidhihirisha katika maeneo kadhaa ikiwa ni pamoja na maeneo ya kiuchumi kijamii kisiasa na kisheria

Mara nyingi UWAKI unapunguza uwezo wa wanawake na wasichana wa kufurahia haki za kimsingi za binadamu na uhuru kama ilivyoainishwa kwenye Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Utambuzi wa wahalifu wa UWAKI nchini Tanzania ni nadra kulinganisha na idadi ya mashambulizi Ni muhimu kushughulikia mahitaji ya kisheria ya waathirika wote wa UWAKI wanawake wasichana wanaume wavulana na watoto

25 Miundombinu ya utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii

Mfumo wa utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii upo katika ngazi ya kitaifa mikoajiji na wilaya manispaa Mfumo huu unawezesha utoaji wa huduma za kuboresha afya kuzuia magonjwa tiba utengemao na ustawi wa jamii kwa kupitia vituo vya kutolea huduma za afya vinavyojumuisha zahanati vituo vya afya na hospitali

Kuna mfumo wa rufaa kitaifa wa njia mbili kupeleka na kurejesha mgonjwa ambao unaanzia kwenye jamii na kwenda kwenye zahanati ambazo zipo 4679 vituo vya afya (481) hospitali za wilaya (95) hospitali za mikoa (19) na hospitali za rufaa za taifa (8) Kuna vituo vya kutolea huduma za afya 5718 nchini Tanzania vikijumuisha zahanati (86) vituo vya afya (10) na hospitali (4) vikiwa chini ya umiliki wa serikali (69) mashirika ya kidini (14) mashirika ya umma ( 3) na mashirika binafsi (14)

9

Mpango wa Maendeleo wa Afya ya Msingi [(MMAM) 2007-2017 pamoja na malengo mengine unakusudia kuhakikisha kuwa kuna kituo kimoja cha afya kwa kila kata katika kata 2555 zilizopo na zahanati moja kwa kila kijiji katika vijiji 10342 Jumla ya vituo vya afya ya msingi 8107 hospitali za wilaya 62 na taasisi 128 za mafunzo zitaanzishwa ifikapo mwaka 2012

Mahitaji ya watoa huduma za afya ni 82377 na waliopata mafunzo ni 29063 (35) ikiwa ni upungufu wa 65 ya mahitaji Mahitaji ya watoa huduma wa ustawi wa jamii ni 3892 Kuna wafanyakazi 210 wa ustawi wa jamii ikiwa ni upungufu wa 95 ya mahitaji na uhaba mkubwa katika ngazi za wilaya (93) kata (100) na vituo vya watu wenye ulemavu na taasisi nyingine (85) (WAUJ 2006)

Kuna uhaba wa wafanyakazi wa afya wenye ujuzi kwenye ngazi za zahanati (69) vituo vya afya (59) na hospitali za rufaa (48-67) Kwa ujumla kuna uhaba wa wafanyakazi wa ustawi wa jamii wenye ujuzi kwa kiwango cha 95 katika ngazi zote kanda (21) wilaya (93) kata (100) na vituo vya walemavu (95) Kama ujenzi wa vituo hautaendana na upatikanaji wa watoa huduma utekelezaji wa MMAM utakuwa na upungufu mkubwa

Kwa kawaida kuna hospitali ya wilaya au teule kwa kila Mamlaka ya Halmashauri ya Wilaya (MHW) Kuna MHW 133 ambazo zina majukumu na wajibu wa kutoa huduma za afya kwenye maeneo yao Kila MHW ina Bodi ya Afya ya Wilaya (BAW) ambayo inajumuisha madiwani waliochaguliwa na kusimamia mipango na utekelezaji wa huduma za afya kwenye wilaya

Mipango na usimamizi wa huduma za afya katika halmashauri inaongozwa na Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri ambayo kiongozi wake ni Mganga Mkuu wa Wilaya na ni Katibu wa BAW Kuna bodi ya hospitali ya wilaya teule Bodi ya Huduma ya Afya (BHA) ya kituo cha afya inayowakilisha wakazi wa kata na bodi ya zahanati inayowakilisha wakazi wa kijiji bodi zote zikiwa na uwakilishi sawa wa kijinsia

Makadirio ya matumizi ya afya kwa mtu mmoja kwa mwaka 201011 ilikuwa ni dola za kimarekani 1575 ambapo WHO imependekeza

10

kiwango cha dola 3400 za Kimarekani Matumizi ya afya ni asilimia 14 ya Bajeti ya Taifa kwa mwaka ambacho ni chini ya kiwango cha asilimia 15 kilichopendekezwa na Tamko la Abuja

Mfumo wa utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii upo katika ngazi zifuatazo

[a] Ngazi ya Kitaifa WAUJ ina jukumu la kutayarisha sera za afya na miongozo inayohusiana na huduma za afya kuweka viwango kuhakiki ubora kufuatilia na kutathmini pamoja na kusimamia utoaji wa huduma za afya zenye kujumuisha kuboresha afya kinga tiba utengemao na ustawi wa jamii Hospitali za rufaa zina asilimiai 52 tu ya wafanyakazi wenye ujuzi

[b] Ngazi ya MkoaJiji Timu ya Uendeshaji ya Afya ya Mkoa ina jukumu la kuongoza na kuendeleza utekelezaji wa mpango mkakati wa afya kwenye mkoa pamoja na ushauri wa kitaalamu kwa Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri kwenye maeneo yafuatayo (1) Utekelezaji wa sera miongozo na viwango vya utoaji wa huduma za afya kwa usahihi na kwa muda uliopangwa ukihusisha watoa huduma wote wa umma binafsi kwenye MHW (2) kupanga kwa ufanisi kutekeleza kufuatilia na kutathmini mipango ya afya ya kina katika halmashauri Kamati ya utawala ya hospitali ya mkoa ina jukumu la kupanga na kusimamia hospitali ya mkoa ambayo ni ngazi ya pili ya rufaa Kuna hospitali 19 za mikoa ambazo zina 34 tu ya wataalamu wa afya

[c] Mamlaka ya Halmashauri ya WilayaManispaa Huduma za afya katika ngazi hii zinasimamiwa na Halmashauri ya Wilaya kupitia BAW chombo kilichoundwa (2001) chini ya Sheria namba 7 ya mwaka 1982 kifungu cha 86A BAW inawajibika kwa utoaji wa huduma za kina kwenye wilaya Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri inatoa ushauri wa kiutaalam kwa utekelezaji wa uamuzi wa BAW

[d] Ngazi ya Wilaya Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri huandaa na kutekeleza mpango wa kina wa afya wa halmashauri pamoja na kufuatilia na

11

kutathmini huduma za afya kwenye hospitali vituo vya afya zahanati na jamii ikiwa ni pamoja na kufanya utafiti Kamati ya Utawala ya Hospitali inasimamia mipango na huduma kwenye hospitali ya wilaya ambayo ni ngazi ya kwanza ya rufaa Kuna hospitali 95 za wilaya zikiwa ni pamoja na hospitali teule ambazo zina asilimia 33 tu ya wataalamu wa afya

[e] Ngazi ya Kata Kamati ya Afya ya Kata inasimamia upangaji ubunifu na uratibu wa mipango ya afya ya jamii husimamia na huhamasisha upatikanaji wa rasilimali pamoja na ukusanyaji na matumizi ya Mfuko wa Afya wa Jamii Vituo vya afya vina jukumu la kutoa huduma za kina za afya na ustawi wa jamii kwenye kata Kamati ya Kituo cha Afya inasimamia utoaji wa huduma za afya na kuhamasisha ukusanyaji wa rasilimali zinazohitajika Timu ya Kituo cha Afya ina wajibu wa kusimamia shughuli za kila siku kwenye kituo cha afya Timu inapanga na kusimamia juhudi za afya ya jamii katika eneo lake chini ya Mpango wa Maendeleo ya Kata Kuna jumla ya kata 2555 nchini ambapo kata 481 sawa na 19 zina vituo vya afya ambavyo vina 41 tu ya wataalamu wa afya

[f ] Ngazi ya Kijiji Kamati ya Zahanati inahakikisha kwamba idadi ya watu katika eneo lake wanapata huduma sahihi za afya na nafuu pamoja na kusimamia uhamasishaji wa rasilimali kwa ajili ya utekelezaji wa mpango wa zahanati Timu ya Usimamizi wa Zahanati inapanga na kusimamia juhudi za afya ya jamii kwenye maeneo chini ya Mpango wa Maendeleo ya Kata Kuna jumla ya vijiji 10342 ambapo 4679 vina zahanati sawa na 45 ambazo ni aslimia 31 tu ya zahanati zina wataalamu wa afya wanaotosheleza Kamati ya Huduma za Jamii kwenye kijiji ina wajibu wa kuhamasisha na kushirikisha jamii ili wajihusishe kuboresha na kulinda afya

[g] Ngazi ya Kaya Kuna kaya takriban milioni 7 nchini Tanzania na wastani wa watu 47 kwa kila kaya (ambapo 70 ya kaya zote zinaongozwa na wanaume na 30 zinaongozwa na wanawake) Sera ya Afya ya Taifa inatamka kwamba ni wajibu wa kila raia kuendeleza na kulinda afya yake pamoja na ya familia yake Pamoja na haya kila raia ana jukumu la kujiepusha na tabia hatarishi kwa afya yake pamoja na ya mwenzie na kuchangia rasilimali kwa ajili ya afya yake na uendelezaji wa vituo vya kutolea huduma za afya

12

26 Kukinga na Kupambana na UWAKI

Serikali ya Tanzania na washirika wake wa karibu wametekeleza mambo mbalimbali yanayohusiana na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Wizara ambazo zinahusika kwa ukaribu kwenye utekelezaji wa mipango ya kukinga na kupambana na UWAKI ni pamoja na Wizara ya Maendeleo y a Jamii Jinsia na Watoto Wizara ya Sheria na Katiba Wizara ya Mambo ya Ndani na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Kuna ushirikiano kati ya wizara idara mashirika asasi za kiraia na wadau wa maendeleo Katika ngazi ya kitaifa serikali inatekeleza Mkakati wa Maendeleo ya Jinsia (2005) na kukuza usawa wa jinsia na haki kwa wanawake Utekelezaji wa Sheria Maalumu ya Makosa ya Kujamiana (1998) ambayo sasa ni Kanuni ya Adhabu Sura ya 16 Toleo la Marekebisho 2002 Pia serikali inatekeleza Mpango wa Taifa wa Vitendo wa Kuzuia na Kutokomeza Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto (2001-2015) ambao una lengo la kutokomeza ubaguzi na unyonyaji wa kisheria kijamii kiuchumi kiutamaduni na kisiasa Zaidi ya yote Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (1977) inatamka kuheshimu misingi ya usawa na haki kwa kila mtu

Kwa kushirikiana na wadau wengine serikali inawezesha uanzishwaji wa kitengo cha jinsia kwenye idara za wizara mbalimbali (mfano idara ya polisi chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi) Mashirika ya Jamii hutoa utetezi msaada wa kisheria huduma za afya na kuendesha kampeni na mashirika mengine yamechukua hatua za kutoa hifadhi kwa waathirika wa UWAKI na Vituo vya Kuhifadhi Waathirika Kuna sera za kitaifa sheria mikakati na mipango ya kazi kwa ajili ya kushughulikia usawa wa kijinsia Vilevile serikali kwa kushirikiana na asasi za kiraia imejenga mazingira mazuri ya kuwezesha waathirika kupata huduma kama vile msaada wa kisheria Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii (WAUJ) imekuwa ikitoa huduma kwa waathirika wa UWAKI licha ya kutokuwepo kwa mwongozo wa sera kwa ajili ya wahudumu wa vituo vya kutolea afya

27 Changamoto katika Kuzuia na Kupambana na UWAKI

Muundo wa sheria sera na juhudi za kukuza haki za binadamu zinakabiliwa na changamoto mbalimbali zinazofisha jitihada za kuzuia kupambana

13

na kuepusha athari za UWAKI nchini Tanzania Changamoto hizo ni pamoja na upungufu wa fedha upungufu wa kisheria na sera zilizopo uratibu duni kati ya wadau na kukosekana kwa mfumo wa rufaa kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI Hali kadhalika uelewa na taarifa juu ya ukubwa wa tatizo la UWAKI ni duni kwa hivyo WAUJ imebuni na kutayarisha mwongozo maalumu wa sera na huduma dhidi ya UWAKI ili kukabili changamoto hizo

[a] Sera za Taifa Serikali ya Tanzania inajitahidi kujenga mazingira mazuri ya kuzuia na kupambana na UWAKI Ingawa Sera ya Afya ina lengo la kutoa huduma za afya za kutosha kwa kila Mtanzania ipo haja ya kuwa na miongozo na mikakati inayofafanua masuala ya UWAKI kwa ukamilifu Ukosefu wa miongozo na sera ya usimamizi dhidi ya UWAKI ni kikwazo kikubwa kwa juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kutibu na kuhudumia waliopatwa na UWAKI Sekta ya afya itatumia mwongozo wa sera hii ili kuboresha huduma ya kupambana na UWAKI kwa kushirikisha na kuwahusisha wadau wote

[b] Sheria zaTaifa Pamoja na kuwepo sheria nyingi zilizopitishwa kwa ajili ya kulinda haki za wanawake na watoto bado zipo changamoto nyingi Kwa mfano kuna baadhi ya sheria zenye utata baadhi zinapingana na hivyo kupunguza uwezo wa kupambana na UWAKI Pamoja na hayo Sheria ya Ndoa kama ilivyofanyiwa marekebisho 2002 haiainishi hatua za kuchukuliwa dhidi ya ukatili wa kifamilia Sheria hii ni kama inahalalisha ubakaji kwa kuruhusu binti kuolewa chini ya umri wa miaka 18 Sheria ya Makosa ya Kujamiiana na Vipengele Maalumu (1998) haitambui ubakaji ndani ya ndoa ingawa inatambua ubakaji ikiwa mume na mke wametengana Mbali na upungufu huo sheria ya makosa ya kujamiiana kwa upande wa kuthibitisha ushahidi wa kuingiliwa kimwili ni mgumu Sheria ya Mila (Tangazo la Serikali Na4361963) ambayo inatumiwa na Watanzania wote wazawa inatokana na mila na desturi za makabila mbalimbali ya Tanzania sheria hii ya Mila ni ya kibaguzi na huleta changamoto kwa wanawake na watoto ambao wamezaliwa nje ya ndoa hususan katika urithi wa mali Kwa mfano ugawanaji wa mali ya marehemu upo katika makundi matatu (1) Mtoto wa kwanza wa kiume (2) Watoto wengine wa kiume waliobaki na (3) Watoto wa kike bila kujali umri

14

na hali katika familia Watoto wa kike wa marehemu hurithi fungu dogo na hunyimwa haki ya kumiliki ardhi Kwa mujibu wa sheria hii mjane hana haki ya kurithi mali yoyote kutoka kwa marehemu mume wake isipokuwa huchukuliwa kuwa atatunzwa na watoto wake Mjane ambaye hajabahatika kuzaa hupata asilimia 20 ya asilimia 50 ya mali za marehemu mume wake Mbali na urithi sheria hii kwa upande wa talaka ikiwa mke alilipiwa mahari wakati ndoa inapovunjwa na mahakama mume ana haki ya kudai kurudishiwa mahari

Sheria zenye kupunguza makali ya UWAKI zimeweka kanuni za kuwezesha wadau katika sekta mbalimbali kuandaa sera na miongozo ya kuzuia na kupambana na UWAKI Wahusika muhimu katika sekta mbalimbali wanapaswa kupitia sheria zinazotoa mwanya wa mwendelezo wa UWAKI na kupendekeza marekebisho au utungwaji wa sheria nyingine zitakazopunguza na kumaliza vitendo vya UWAKI Hata hivyo kuna umuhimu wa kuwepo kwa wajibu na majukumu ya sekta mbalimbali katika kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kupambana dhidi ya unyanyasaji na ukatili kwa watoto Kwa kutambua na kuimarisha wajibu huo katika kila sekta itasaidia uzingatiaji wa sera na kuimarisha ari ya utendaji katika sekta zifuatazo

bull Ustawi wa Jamii Kujenga mfumo wa kufanya tathmini ya vihatarishi katika kupima mfumo wa rufaa unaohusisha sekta na huduma mbalimbali kuweza kuamua na kuchukua hatua za haraka na za muda mrefu katika kupambana na kutoa mahitaji ya haraka na ya muda mrefu kwa ajili ya ulinzi wa watoto na waathirika wengine

bull Elimu Kujumuisha elimu dhidi ya ukatili wa kijinsia katika mitaala ya elimu ikiwa ni pamoja na kuandaa mazingira salama shuleni na kuingiza katika programu za elimu zinazoelezea juu ya masuala ya kujifahamu kimwili (kibiolojia) afya ya uzazi na maendeleo yaa jamii Kuhakikisha kwamba sekta mbalimbali za rufaa na mifumo inayotoa ulinzi wa mtoto vinahusishwa katika elimu hiyo

bull Polisi na sheria Kuimarisha na kupanua ulinzi sahihi wa kisheria kwa ajili ya watoto na kuchukua hatua za kisheria kwa watuhumiwa wa uhalifu kuendeleza juhudi za kuimarisha dawati la jinsia na watoto katika idara ya Polisi nchini Kuendelea kuelimisha polisi na watumishi wengine

15

wa usalama wa raia kuhusu ukatili dhidi ya watoto na kuwa na utaratibu wa uchunguzi wa pamoja na idara ya ustawi wa jamii afya mamlaka na vitengo vingine vinavyohusika na ulinzi na usalama wa mtoto

bull Afya Kufanya kazi katika muundo wa pamoja na wadau wengine kwa kufuata miongozo iliyopo kwa ajili ya kuzuia kutibu kuhudumia na kufuatilia matukio ya ukatili dhidi ya watoto Kuimarisha mifumo iliyo wazi yenye kuunganisha huduma rafi ki kwa watoto na vijana dhidi ya UWAKI

[c] Polisi na Mahakama Mabadiliko katika idara ya polisi hasa katika uanzishwaji wa polisi jamii na dawati la jinsia na watoto yanaonyesha maendeleo katika kushughulikia UWAKI Hata hivyo waathirika wa UWAKI wanakabiliwa na ugumu wa kufika katika vituo vya polisi na mfumo wa utoaji haki Kwa mfano zipo kesi zilizotupiliwa mbali na Mahakama kwa kukosa ushahidi muhimu kutoka upande wa mashtaka Matokeo yake ni kwamba waathirika wanakosa motisha ya kutoa taarifa ya matukio ya UWAKI na hivyo hushindwa kufikisha malalamiko katika vyombo vya utoaji haki

Upungufu wa mafunzo kwa polisi na watoa huduma za kisheria juu ya namna ya kuzitumia sheria zilizopo dhidi ya UWAKI kumesababisha kesi mahakamani kushindwa Mfano Fomu ya Polisi namba 3 (PF3) inatoa taarifa juu ya tukio la shambulio na haitoi maelezo juu ya tukio hilo kama limetokana na UWAKI Ingawa zipo sheria zinazopinga UWAKI sheria hizo hazifahamiki hivyo hazitumiki kikamilifu Pamoja na hayo sheria za kimila na imani za kidini zinazuia waathirika kutoa taarifa za matukio ya UWAKI

Sheria ya Makosa ya Kujamiiana na Vipengele Maalumu (1998) inatoa adhabu kali kwa makosa ya kujamiiana Mara nyingi watuhumiwa hawafikishwi mahakamani kwa kuhofia kudhurika kwa familia zao kwa upande wa kukosa kipato kutoka kwa mtuhumiwa (kwani adhabu za makosa hayo huwa ni kifungo cha muda mrefu) Kwa sababu hizo utoaji wa taarifa kutoka kwa waathirika na familia zao ikiwa ni pamoja na matumizi ya sheria na uendeshaji wa mashtaka umeendelea kuwa changamoto pamoja na kuwepo kwa Sheria ya Makosa ya Kujamiiana inayotoa ulinzi dhidi ya UWAKI

16

bull

bull

bull

bull

bull

[d] Mila na Desturi Katika ngazi ya jamii na mtu binafsi zipo sababu mbalimbali zinazochangia kwa kiwango kikubwa matukio ya UWAKI Utafiti uliofanywa na mtaalamu wa Shirika la Afya Duniani (WHO)7 unaainisha vipengele hatarishi vifuatavyo juu ya mila na desturi

Kanuni za kimila katika uhusiano wa kijinsia humpa mwanamume madaraka na haki zaidi Baadhi ya mila na desturi huhimiza uvumilivu juu ya vitendo vya UWAKI na kuwazuia waathirika kutoa taarifa na kupata msaada Uwezeshaji wa mwanamke katika kupambana na mfumodume hujenga hisia kwa mwanamume kuwa anapoteza mamlaka yake na hivyo huwaudhi baadhi ya wanaume na kuendelea kufanya ukatili kwa lengo la kuwadhibiti wanawake Matumizi ya baadhi ya sheria za kimila hayawasaidii waathirika kupata haki Hofu ya kulipiza kisasi unyanyapaa ubaguzi na kukosekana kwa huduma huwazuia waathirika kutoa taarifa na kupata msaada

[e] Madaraka na Mamlaka Madaraka na mamlaka ni muhimu katika kuzuia na kupambana na UWAKI Wakati mwingine watu wenye madaraka na mamlaka hufumbia macho matukio ya UWAKI Kwa mfano upo ushahidi wa kutosha kuwa kuna matumizi mabaya ya madaraka na mamlaka shuleni na maeneo ya kazi

[f ] Kuhusisha Jamii Jamii ndiyo ngazi ya awali kujua tukio la UWAKI na kutoa msaada wa usalama na ulinzi kwa mwathirika Utafiti wa Shirika la Afya Duniani katika nchi mbalimbali ulionyesha kwamba asilimia 37 ya waathirika walipata msaada kutoka kwa jamii Kutokana na kiwango cha unyanyapaa ubaguzi na kutengwa kijamii viongozi katika ngazi ya jamii waliohamasishwa juu ya UWAKI waliweza kukabili mazingira haya ya kiuhasama Jamii inaweza kumsaidia mwathirika kwa kujenga mazingira mazuri (kwa mfano kituo cha hifadhi salama) Jamii inahusishwa katika

7 Krug Etienne et al 2002 World Report on Violence and Health Geneva WHO Available at httpwwwwhointviolence_injury_preventionviolenceworld_report

17

bull

bull

bull

bull

kuwahamasisha waathirika kuwapa ulinzi mahitaji ya msingi msaada wa kisaikolojia na kuwapa rufaa kwa watoa huduma wengine Vilevile jamii inahusishwa katika kuzuia UWAKI kupunguza unyanyapaa na kuwapa unasihi waathirika pamoja na kuhamasisha viongozi wa kijamii na wanajamii kwa ujumla

Uhamasishaji huu ni muhimu kwa sababu jamii ni daraja kati ya mwathirika na huduma za afya na ustawi wa jamii

Jamii inapaswa kushirikishwa katika hatua za mwanzo na zinazofuata katika kuzuia UWAKI Katika hatua za mwanzo jamii inapaswa kujitahidi kuondoa tabia za kuvumilia matukio ya UWAKI na hivyo kupunguza matukio hayo Katika hatua zinazofuata jamii itatambua na kulinda wale walio katika hatari zaidi ya UWAKI kama watoto na wanawake Jamii pia inapaswa kutambua vikwazo vya utoaji huduma katika idara ya afya polisi na mfumo wa utoaji haki na kuisaidia jamii kuondokana na vikwazo vya upatikanaji wa huduma

Ni muhimu kuishirikisha jamii katika jitihada za utekelezaji wa kuzuia UWAKI na kupambana nao ikiwamo usimamizi wa matibabu ya waathirika Jamii ina uwezo mkubwa wa kuhamasisha waathirika kutafuta huduma za afya na huduma nyingine zinazohusiana na UWAKI kwa mfano huduma za polisi usaidizi wa kisheria na hifadhi salama Pia jamii ina wajibu wa kuwaunganisha waathirika na jamii zao

Hata hivyo zipo changamoto katika kuihusisha jamii kama vile

Upungufu katika kuwahusisha wanaume na wavulana katika kushughulikia UWAKI Wanajamii wamekuwa wakiwanyanyapaa badala ya kuwasaidia waathirika na wakati mwingine wameshiriki katika UWAKI Baadhi ya viongozi wa kijamii na kidini hawana utayari wa kuhamasisha kuzuia na kupambana na UWAKI Jamii zina kiwango kikubwa cha kunyamazia matendo ya UWAKI na kuzuia sheria kuchukua mkondo wake

18

[g] Hali ya kiuchumi na kijamii Kushughulikia UWAKI pekee kama changamoto inayohusu huduma za tiba ni kutibu dalili badala ya chanzo Ni muhimu kushughulikia vyanzo vya UWAKI kama umaskini miongoni mwa wanawake ambao huwafanya kuwa wategemezi

Serikali imetayarisha MKUKUTA II wenye kuainisha njia za kuendeleza na kulinda haki za binadamu kwa watu wote hasa kwa wanawake na wanaume maskini watoto watu wanaoishi katika hali hatarishi na makundi maalumu (angalia MKUKUTA II-kundi la III lengo la 3) na kuongeza uzalishaji na fursa za ajira zenye kuheshimika hasa kwa wanawake na vijana (angalia MKUKUTA II kundi la I lengo la 3) Changamoto iliyopo ni ukosefu wa kuweka vipaumbele katika utekelezaji wa ahadi hizi kwa wanawake na vijana kwa kuelekeza rasilimali za kutosha na kutekeleza mikakati katika kuleta mabadiliko ya hali ya kijamii na kiuchumi kwa wanawake na vijana hivyo kupunguza hali hatarishi ya UWAKI

28 Upungufu katika kupambana na UWAKI

Sekta ya afya imeandaa mwongozo wa kutoa huduma kwa waathirika wa UWAKI Hata hivyo ili kutoa huduma bora na za kirafi ki kwa waathirika sekta zinazohusika hazina budi kushughulikia upungufu ulioainishwa kama ifuatavyo

[a] Huduma za afya

Ukosefu wa mwongozo wa utoaji wa huduma kwa waathirika wa UWAKI Hakuna mwongozo wa utoaji wa huduma za kupambana na UWAKI kwa watoa huduma wa ngazi zote kuanzia nyumbani kwenye jamii zahanati vituo vya afya hospitali polisi mahakama na wadau mbalimbali Upungufu huu unakwamisha upatikanaji na utoaji wa huduma bora za kukinga na kupambana na UWAKI

Upungufu wa fedha Bajeti ya Serikali kuu na serikali za mitaa haikidhi mahitaji

19

Upungufu wa wataalamu wenye ujuzi wa kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Watoa huduma kwenye vituo vya kutolea huduma za afya na jamii hawana maarifa na ujuzi unaotakiwa kushughulikia mahitaji ya waathirika wa UWAKI wa marika yote

Kutojumuishwa kwa huduma za waathirika wa UWAKI na huduma nyingine Huduma za waathirika wa UWAKI hazikujumuishwa na huduma nyingine za afya na ustawi wa jamii kama vile afya ya uzazi upimaji wa VVU UKIMWI uzazi wa mpango na unasihi

Mfumo duni wa rufaa kwa waliopatwa na UWAKI Ingawa mfumo wa rufaa wa huduma za afya umeimarika kwa huduma nyingine lakini hakuna mfumo sahihi wa rufaa kwa waliopatwa na UWAKI Watoa huduma za afya hawana taarifa sahihi za waliopatwa na UWAKI kuhusu utaratibu wa kupeleka na kupokea wagonjwa kwenye vituo vyao na kwenda kwenye vituo vingine au huduma za mfumo wa jamii polisi kisheria na kadhalika Katika mazingira haya mahitaji ya rufaa kwa waliopatwa na UWAKI hayakidhiwi Waliopatwa na UWAKI hawana taarifa ambazo zitawasaidia kupata huduma na hivyo hushindwa kufanya uamuzi sahihi au kutafuta huduma na matibabu zaidi

Upungufu wa taarifa na takwimu Nchini Tanzania matukio yanayohusu UWAKI hayatolewi taarifa ipasavyo kutokana na sababu nyingi zikiwemo waathirika kusita kutoa ripoti ya matukio kutokana na unyanyapaa na ubaguzi hofu ya kutengwa na jamii aibu na miiko inayohusishwa na UWAKI Matokeo yake ni ukosefu wa taarifa zenye uhakika ambazo zinaweza kutumika kuandaa mpango kwa misingi ya utafi ti utaratibu wa utoaji huduma maendeleo ya kisera na utetezi ufuatiliaji na tathmini na uamuzi wa kiutawala

[b] Huduma za Ustawi wa Jamii Utoaji wa huduma za ustawi wa jamii unakabiliwa na ushirikiano mdogo kati ya watendaji wa sekta mbalimbali wa huduma za afya katika halmashauri Kuna upungufu wa watoa huduma za ustawi wa jamii katika ngazi mbalimbali Hali hii inaathiri wigo wa huduma ya msaada wa kisaikolojia unasihi marekebisho ya tabia na utengamao

20

bull

bull

bull

bull

bull

Kikwazo kingine ni watoa huduma za ustawi wa jamii na wadau wa afya kukosa stadi maalumu za kutosha kuhusu kuzuia na kupambana na UWAKI

Wajibu wa watoa huduma za ustawi wa jamii ni muhimu kwa sababu wanafanya kazi katika ngazi ya jamii ambapo matukio mengi ya UWAKI hutokea Wana majukumu makubwa kama watu wa mstari wa mbele kwenye kuzuia na kupambana na UWAKI Uhusiano kati ya jamii na utoaji wa huduma ndio kipimo cha kiwango cha waathirika wa UWAKI kupata huduma za matibabu na kurejea kwenye jamii ili kuendelea kuishi maisha yenye faraja

[c] Huduma za Jamii Baadhi ya upungufu wa uhusiano kati ya jamii na vituo vya kutoa huduma za afya ni pamoja na

Uelewa duni kuhusu masuala ya UWAKI na uwezeshaji wa jamii katika kuzuia na kupambana na UWAKI Uelewa duni wa mahali pa kupata huduma kwa waliopatwa na UWAKI Upungufu wa huduma za kijamii kwa waathirika ikiwa ni pamoja na mifumo ya kijamii ya kutoa ulinzi na usalama (kwa mfano vituo vya hifadhi ya muda) na huduma za rufaa za kiafya polisi na msaada wa kisheria

[d] Huduma za Msaada wa Kisheria (Polisi na Mahakama) Kuna vikwazo vingi katika kupata msaada wa kisheria ambavyo ni pamoja na

Upungufu wa kupata huduma za polisi na msaada wa kisheria kwa waathirika wa UWAKI

bull Kutokuwepo kwa sheria mahususi dhidi ya UWAKI bull yasiyotosheleza UWAKI kwa vyombo Mafunzo kuhusu

vinavyosimamia sheria bull Kuna sheria zinazokinzana na hivyo kutoa mwanya wa tatizo la

UWAKI kuongezeka Upungufu wa watumishi na fedha kwa ajili ya huduma za polisi na msaada wa kisheria

21

bull

bull

Uhaba wa vituo vya msaada wa kisheria Vituo vingi vinavyotoa msaada wa kisheria kwa sasa vinahudumiwa na asasi zisizo za kiserikali zina bajeti ndogo na zipo zaidi mijini

[e] Huduma ya Elimu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imeingiza UWAKI katika mtaala wa mafunzo ya walimu shule za msingi na sekondari Hata hivyo kuna changamoto nyingi katika kuhusisha shule ili kuzuia na kupambana na UWAKI

bull Walimu hawajapata mafunzo ya kutosha kuhusu UWAKI Uhaba wa maeneo salama na programu za shuleni zinazowapa watoto uwezo wa kuzuia na kupambana na UWAKI na ukatili dhidi ya watoto

bull mfumo unaohusuUhusiano duni kati ya mfumo wa elimu na ulinzi na usalama wa mtoto

22

SEHEMU YA TATU

UMUHIMU NA MALENGO 31 Umuhimu

Utafiti uliofanyika nchini Tanzania umeonyesha viwango vya juu vya UWAKI ambavyo ni kati ya asilimia 30 hadi 50 Viwango hivi havikubaliki na vinasababisha madhara ya kimwili kingono kisaikolojia kwa makundi ya umri wowote hasa watoto na wanawake Matokeo ya UWAKI yanaweza kusababisha vifo kutokana na kujiua maambukizo ya virusi vya UKIMWI au magonjwa na vifo vya wanawake vinavyotokana na uzazi Matokeo mengine ingawa hayasababishi vifo yana madhara ya kimwili kingono na kisaikolojia kwa muda mfupi au mrefu Madhara ya UWAKI ni zaidi ya matokeo ya kiafya na majeraha ambayo ni vigumu kupona UWAKI unakiuka haki za binadamu za waathirika na husababisha matokeo hasi katika amani umoja na kipato cha familia ambayo kwa ujumla huleta madhara kwa maendeleo ya kijamii na kiuchumi

Ingawa Serikali ya Tanzania na asasi za kiraia zimefanya jitihada kubwa za kuzuia na kupambana na UWAKI bado tatizo hili ni changamoto kubwa WAUJ itashughulikia changamoto hizi kwa kushirikiana na wadau wengine hali inayohitaji ushirikiano wa karibu ili kushinda vikwazo vilivyopo ambavyo ni pamoja na upungufu wa fedha na watumishi udhaifu kwenye mfumo wa rufaa na mfumo wa kuunganisha huduma za UWAKI katika huduma zilizopo Changamoto nyingine ni uhaba wa utetezi na takwimu kwa ajili ya uandaaji wa mipango yenye misingi ya utafiti kufanya uamuzi ufuatiliaji na tathmini Hata hivyo serikali imeweka misingi imara kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kama inavyodhihirishwa kwa kuwepo kwa sera mikakati na mipango kazi ya kusaidia masuala ya kijinsia na kupunguza UWAKI

Kutokana na ukubwa wa tatizo hili madhara yake na changamoto zinazohusiana na UWAKI WAUJ imetayarisha Mwongozo huu wa kisera chini ya Sera ya Afya ili kuimarisha juhudi za kupambana na UWAKI na kuhakikisha utoaji wa huduma za kina na zenye ubora katika ngazi zote Mwongozo huu wa kisera utatoa mwelekeo kwa vituo vya huduma za afya kwa ngazi zote kuhusu wajibu na majukumu yao katika utoaji

23

wa huduma za UWAKI Pamoja na haya Mwongozo huu utawezesha utayarishaji wa mwongozo wa matibabu kwa waathirika wa UWAKI Kutokana na uzito wa tatizo hili la UWAKI utayarishaji wa Mwongozo huu ulihusisha na kushirikisha kwa kina wadau mbalimbali ndani na nje ya WAUJ

32 Lengo Kuu

Lengo kuu la Mwongozo huu wa kisera ni kuimarisha uwezo wa WAUJ kuelekeza sekta ya afya na ustawi wa jamii na kujenga uhusiano imara na jamii na wadau mbalimbali katika kuzuia na kupambana na UWAKI

33 Malengo Mahasusi

Mwongozo huu utawezesha yafuatayo

[i] Kuweka mfumo wa kuelekeza utayarishaji wa mwongozo wa matibabu na taratibu za kutoa huduma kwa waathirika wa UWAKI

[ii] Kuelekeza WAUJ namna ya uratibu bora wa utekelezaji wa juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kuelekeza namna ya kuweka mifumo thabiti ya ufuatiliaji tathmini na uwekaji wa kumbukumbu za afua za UWAKI chini ya WAUJ

[iv] Kuelekeza ushirikiano kati ya Wizara jamii na wadau kutoka sekta mbalimbali katika utoaji wa huduma za UWAKI

24

bull

SEHEMU YA NNE

MAELEKEZO YA KISERA

Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii watafanya kazi pamoja na wale wa sekta nyingine hasa kwenye ngazi ya jamii katika kuimarisha ushirikiano na mitandao mingine katika jamii ili kuwasaidia waliopatwa na UWAKI kwa karibu na kuwashirikisha katika kuboresha afya zao na kuzuia UWAKI

WAUJ kwa kushirikiana na wadau wengine imetayarisha Mwongozo huu wa kisera wa UWAKI ili kutoa taarifa malengo na maelekezo kuhusu jitihada za kuzuia kuepusha na kushughulikia madhara ya UWAKI katika sekta ya afya Wadau muhimu ni pamoja na viongozi wa jamii polisi na mahakama Yeyote kati ya wadau hawa anaweza kuwa ni kimbilio la kwanza kwa wahanga wa UWAKI Wote wana wajibu wa kutoa huduma kwa haraka na kwa ufanisi

41 Huduma kwa Waliopatwa na UWAKI

Watoa huduma za afya wanatakiwa kuwahudumia waliopatwa na UWAKI kwa kujali na kuzingatia maadili ya taaluma zao Wajibu huu ni pamoja na kuhakikisha usalama hali ya usiri heshima utu na kutoa huduma bila ubaguzi Aidha kabla ya kutoa huduma inatakiwa kupata ridhaa ya muhusika au mlezi wa mtoto mwenye umri chini ya miaka 18

Kwa kulenga na kuzingatia mahitaji ya watu waliofanyiwa UWAKI watoa huduma za afya kwenye ngazi zote watazingatia na kuongozwa na kanuni zifuatazo

[a] Haki za Binadamu Maadili na Kujali

bull zilenge kurejesha au Usalama Hatua zote zinazochukuliwa kudumisha usalama wao Hali ya Usiri Siri zao pamoja na familia zao zinatakiwa kutunzwa wakati wote Hii ina maana kwamba mtoa huduma ya afya anaweza kutoa taarifa muhimu kwa mtoa huduma mwingine pale ambapo muhusika ameridhia tu

25

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

Heshima na utu Watoa huduma wanatakiwa kuwasikiliza kwa makini maoni mawazo na fikira zao na kuwahudumia kwa heshima Bila ubaguzi Waliopatwa na UWAKI wote ni sawa na wanatakiwa kuhudumiwa kulingana na mahitaji yao pia kupewa nafasi sawa katika kupata huduma Ridhaa arifu Ridhaa ya aliyefanyiwa UWAKI itahitajika kwenye taratibu za utoaji huduma maalumu kama (1) Uchunguzi na tiba (2) Uchunguzi tiba pamoja na ushahidi wa kitaaluma (3) Uchunguzi tiba ushahidi wa kitaaluma pamoja na uchunguzi wa polisi na kisheria

Kanuni zinazohusu watoto bull Kuzingatia na kusimamia mahitaji halisi ya mtoto wakati wote bull Kumpa mtoto faraja bull Kumshirikisha mtoto katika kufanya uamuzi bull Kumshughulikia kila mtoto kwa haki na usawa

Kumsaidia na kumlea mtoto ili akue katika hali ya ujasiri na kujiamini

[b] Haki za Aliyepatwa na UWAKI Watoa huduma wote wanatakiwa kuwa na mtazamo unaozingatia mahitaji ya mtu aliyepatwa na UWAKI na kuheshimu haki zake ambazo ni

bull Kuhudumiwa kwa heshima bila unyanyapaa ubaguzi na kutokuwa na mtazamo wa kumlaumu Kupewa taarifa sahihi na zinazoeleweka ili aweze kutoa ridhaa na siyo kumwambia cha kufanya hali inayoweza kumfanya ajisikie mnyonge

bull Kupewa faragha na hali ya usiri na siyo kumteta au kumwaibisha Kulindwa dhidi ya ubaguzi wa aina yoyote au upendeleo wenye misingi ya kijinsia au sababu nyingine Kupewa nafasi ya kuchagua kuhudumiwa na mtoa huduma mwanamume au mwanamke

bull Kupewa nafasi ya kusindikizwa na ndugu au mlezi wake

26

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

[c] Wajibu wa Mtoa Huduma Mtoa huduma anatarajiwa kuzingatia yafuatayo anapomhudumia mtu aliyepatwa na UWAKI

Kujiweka katika nafasi ya mtu aliyepatwa na UWAKI na kuguswa kuwa mtunza siri kuonyesha upendo na kujali anapomuhudumia Kumpatia taarifa sahihi na kuhakikisha kuwa ridhaa arifu inatolewa kwa huduma inayohitajika Kuzingatia masilahi ya muhusika na kuheshimu matakwa yake wakati wote

bull na kuzuia madhara mengineKuhakikisha ulinzi na usalama wake Kuhifadhi kumbukumbu zake mahali pa usalama na kutunza siri wakati wote

bull huduma kadiriKumpatia rufaa kwenda kwenye ngazi za juu za inavyohitajika kulingana na kiwango cha madhara ya kimwili kihisia na kisaikolojia Aidha inatakiwa kumpatia unasihi kabla ya kumpa rufaa

Kuhusu Watoto bull Kuhakikisha kuwa mzazi au mlezi yupo wakati wote pia

kuhakikisha kwamba mzazi au mlezi siyo tishio kwa mtoto Wakati wote mwandae mtoto kuelewa kinachotarajiwa kutendeka na kuhakikisha anaelewa kitakachotokea Kwa watoto wenye umri chini ya miaka 18 ridhaa ya maandishi inahitajika kutoka kwa mzazi au mlezi

Vigezo vya kupata mchango wa mawazo kutoka kwa Watoto Watoto wa umri wa miaka 16 na zaidi kwa ujumla wana uwezo wa kutosha kufanya uamuzi

bull kuwaWatoto wa umri wa miaka 14 hadi 16 wanatarajiwa wamekomaa vya kutosha kutoa mchango au mawazo yao Watoto wa umri wa miaka 9 hadi 14 wana welewa wa kushiriki kufanya uamuzi lakini ukomavu wa kila mtoto unatakiwa kupimwa kipekee Watoto wa umri chini ya miaka 9 wana haki ya kutoa maoni arifu na kusikilizwa Wanaweza kushiriki katika mchakato wa kufanya uamuzi kwa kiwango fulani lakini hadhari inahitajika ili kuwaepusha na mzigo wa kuwa waamuzi

27

bull lazimaKimsingi inapendekezwa kwamba maoni ya kila mtoto yazingatiwe kulingana na umri wake kiwango cha ukomavu utamaduni mila na hali ya mazingira

[d] Wajibu wa WAUJ katika Ngazi ya Taifa WAUJ inatayarisha sera miongozo na kanuni inadhibiti ubora inafuatilia na kutathmini utekelezaji Vilevile inahakikisha kuna watumishi na fedha za kutosha kwa mipango ya afya pamoja na kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote WAUJ itaendeleza ushirikiano na wadau mbalimbali kitaifa na kimataifa Wizara itafanya yafuatayo katika kuzuia na kupambana na UWAKI

[i] Kuandaa miongozo ya matibabu yenye ubora kwa ajili ya watoto vijana na watu wazima waliopatwa na UWAKI

[ii] Kutafuta na kutenga fedha kwa ajili ya afua za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kuandaa miongozo ya mafunzo yanayohusiana na juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kutoa mafunzo kwa watoa huduma za afya na ustawi wa jamii kuhusu kuzuia na kupambana na UWAKI kwa watoto vijana na watu wazima

[v] Kutoa huduma mseto na rufaa kwa kutumia mfumo uliopo wa utoaji huduma za afya na ustawi wa jamii

[vi] Kuunganisha takwimu zinazohusu UWAKI kwenye Mfumo wa Takwimu na Ufuatiliaji wa Huduma za Afya (MTUHA)

[vii] Kuendeleza utaratibu wa kupeana taarifa na takwimu zinazohusu UWAKI pamoja na kushirikiana na wadau wake wakuu

[viii] Kufanya usimamizi shirikishi ili kuhakikisha kuwa kanuni za haki za binadamu maadili na kujali zinazingatiwa

[e] Wajibu wa Vituo vya Huduma za Afya Vituo vya kutoa huduma za afya vinajumuisha zahanati vituo vya afya na hospitali zinazomilikiwa na sekta ya umma na binafsi Vituo vyote vya kutoa huduma katika ngazi zote vina Kamati ya Uongozi ya Kituo na Timu ya Usimamizi

28

Vituo vya huduma za afya vitafanya yafuatayo [i] Kuhakikisha kwamba Timu za Usimamizi wa Huduma za Afya

zinatenga fedha za kutekeleza mikakati na mipango kazi ya mwaka ili kuviwezesha vituo kutoa huduma bora kwa waliopatwa na UWAKI

[ii] Kuunganisha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI na zile zilizopo kwenye vituo vya huduma za afya na kuhakikisha mpangilio mzuri wa rufaa za ndani na nje ya kituo zinakidhi mahitaji ya watoto vijana na watu wazima kwa usawa na haki

[iii] Kuhakikisha watoa huduma ya afya na ustawi wa jamii wanapatiwa mafunzo ya kutoa huduma toshelezi kwa watoto vijana na watu wazima waliopatwa na UWAKI

[iv] Kuanzisha utaratibu bora wa kukusanya takwimu na taarifa kuhusu huduma kwa waliopatwa na UWAKI na kutunza kumbukumbu kwa usahihi na kutoa taarifa kwa ajili ya matumizi ya kituo na wadau

[v] Kufanya kazi kwa ushirikiano wa karibu na kamati ya afya ya kituo polisi mahakama na taasisi za elimu ili kukuza ushirikiano kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye jamii

[f ] Wajibu wa Watoa Huduma za Afya Watoa huduma za afya ni pamoja na watunza kumbukumbu za afya tabibu (tabibu msaidizi ofisa tabibu madaktari wasaidizi madaktari na madaktari bingwa) wauguzi wakunga maofisa wauguzi wasaidizi maofisa wauuguzi) wafanyakazi wa maabara wafamasia na maofi sa ustawi wa jamii Watoa huduma hawa wanatakiwa kuzingatia yafuatayo

[i] Kuelewa kikamilifu na kuzingatia kanuni za miongozo ya haki za binadamu maadili ya taaluma na kuonyesha upendo na kujali wakati wa kumhudumia aliyepatwa na UWAKI

[ii] Kuhakikisha upatikanaji wa mahitaji muhimu na utoaji wa huduma toshelezi na zenye ubora kwa waliopatwa na UWAKI katika kituo cha kutoa huduma za afya na kwenye jamii

[iii] Kuwatambua waliopatwa na UWAKI kati ya wagonjwa wa nje katika kituo na kuhakikisha wanapata matibabu na rufaa kwa haraka

29

[iv] Kuhakikisha utoaji wa huduma toshelezi kwa waliopatwa na UWAKI (watu wazima vijana na watoto) Huduma hizi ni pamoja na huduma ya matibabu kutunza ushahidi unasihi na rufaa ndani ya mfumo wa afya na pia rufaa kwenda kwenye sekta nyingine

[v] Kuhakikisha vielelezo vya upelelezi vinakusanywa na kuhifadhiwa ipasavyo ili kutunza ushahidi

[vi] Kuchukua takwimu na taarifa kamili kuhusu aliyepatwa na UWAKI na kuhakikisha zimehifadhiwa kwa siri na usalama

[vii] Kujenga ushirikiano na jamii pamoja na wadau wengine

42 Wajibu wa Jamii

Wadau muhimu katika jamii ni Kamati ya Huduma za Jamii Kamati ya Ulinzi na Usalama Kamati ya Zahanati Mashirika ya Dini Kamati ya Kijiji ya Afya wahudumu wa afya katika jamii wakunga wa tiba asili waganga wa tiba asili na mbadala viongozi wa jamii vikundi vya wanawake na wakuu wa kaya

Jamii itafanya yafuatayo kwa waliopatwa na UWAKI [i] Kupanga na kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya kuzuia

na kutoa huduma bora kulingana na mpango wa mwaka wa zahanati

[ii] Kuhakikisha upatikanaji wa huduma toshelezi pamoja na usalama wao kupatiwa mahitaji ya msingi msaada wa kisaikolojia kupewa rufaa kwenda polisi vyombo vya sheria na watoa huduma wengine Vilevile wanajamii wana wajibu wa kutoa ushahidi mahakamani na kuwasaidia wahusika kuunganishwa na familia zao na jamii

[iii] Kuhakikisha kuwepo kwa vituo vya hifadhi ya muda vya kutosha kwenye jamii

[iv] Kujenga welewa na kuiwezesha jamii kuzuia na kupambana na UWAKI kwa kutetea misingi ya haki za binadamu usawa wa kijinsia haki za vijana na watoto na kutovumilia UWAKI

43 Msaada wa Kisheria kwa waliopatwa na UWAKI Watoa huduma wa afya na ustawi wa jamii baada ya kupata ridhaa kutoka kwa muhusika watampa rufaa ya kwenda sekta nyingine muhimu na kwa wadau mbalimbali kama vile polisi vituo vya msaada wa kisheria kwa ajili ya kupata huduma maalum Watoa huduma wanawajibika

30

kutoa taarifa za kutosha kuhusu masharti ya kisheria ya kutoa taarifa ya matukio ya UWAKI na kwa wakati unaofaa

Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wanawajibika kutoa ushauri kwa waliopatwa na UWAKI (watoto vijana na watu wazima) kuhusu taratibu za mahakama msaada wa ulinzi msaada wa kisheria na taratibu za polisi kama ifuatavyo

[a] Ushahidi wa Kimahakama Huduma kwa muhusika zitalenga mahitaji yake kuheshimu haki yake ya hali ya usiri kupewa taarifa za kutosha zenye kueleweka na sahihi hivyo kuhakikisha anatoa ridhaa arifu kwa hatua na zitakazofuata

[i] WAUJ itahakikisha kupatikana na kuzingatiwa kwa viwango vilivyowekwa kwa ngazi zote katika kuchukua historia kamili ya muhusika kupima na kufanya uchunguzi kuchukua vielelezo vya ushahidi kujaza fomu zinazokubalika kisheria kwa kuweka kumbukumbu ambazo ni halali kama ushahidi mahakamani

[ii] Timu ya Afya ya Usimamizi ya Kituo cha Huduma za Afya baada ya kupata ridhaa ya aliyepatwa na UWAKI itapanga kutenga na kutoa rasilimali za kutosha kuhakikisha nyaraka sahihi zimetayarishwa na kuhifadhiwa na vielelezo vya ushahidi wa mahakama vimepelekwa kwenda maabara ya serikali na kufuatilia majibu

[iii] Watoa huduma wa ngazi zote watahakikisha ukusanyaji sahihi wa vielelezo vya ushahidi na kujaza fomu zinazohusika pamoja na kujaza kwa ukamilifu Fomu ya Polisi Namba Tatu (PF3) na kuthibitisha kwamba muhusika ana taarifa na anaelewa utaratibu

[b] Ulinzi na Msaada kwa Waliopatwa na UWAKI Waliopatwa na UWAKI wana haki ya kulindwa dhidi ya mtuhumiwa pamoja na kupewa mahitaji ya msingi (kwa mfano chakula nguo usafi ri nk) kupewa huduma za polisi (mfano kusindikizwa ulinzi) na kupewa msaada wa kisheria

[i] WAUJ itahakikisha kwamba vituo vya huduma za afya na ustawi wa jamii na watoa huduma wa ngazi zote wana taarifa sahihi kuhusu haki za ulinzi na msaada kwa waliopatwa na UWAKI

31

[ii] Timu za Afya za Usimamizi wa vituo vya huduma za afya katika ngazi zote zitapanga kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya ulinzi na msaada kwa waliopatwa na UWAKI Kama Muhusika ni mtoto atasindikizwa na ofi sa ustawi wa jamii pamoja na mzazi au mlezi ikiwa mzazi au mlezi huyo hahusiki na uhalifu

[iii] Watoa huduma wa afya watatoa taarifa kwa muhusika au mzazi mlezi (kama muhusika ni mtoto chini ya miaka 18) kuhusu msaada atakaopata kwenye kituo cha huduma za afya polisi na msaada wa kisheria juu ya haki na ulinzi kwa mujibu wa sheria za Tanzania

[c] Wajibu wa Watoa Huduma za Afya na Ustawi wa Jamii katika Taratibu za Kimahakama

Watoa huduma za afya kwenye ngazi zote wanatakiwa kuhakikisha kwamba waliopatwa na UWAKI wakiwemo watu wazima vijana na watoto pamoja na walezi wao wana taarifa muhimu zinazohusu masuala ya kisheria ambayo yako nje ya huduma za tiba

[i] WAUJ itahakikisha kwamba vituo vya huduma za afya na watoa huduma wanapata ujuzi na wanajua wajibu wao kuhusu namna ya kutoa ushahidi mahakamani ili kuwasaidia wahusika

[ii] Timu za Usimamizi za vituo vya huduma za afya kwenye ngazi zote zitahakikisha kwamba watoa huduma wanaotambulika kisheria na wana welewa sahihi wa uandaaji wa nyaraka muhimu taratibu za kesi mahakamani na viwango vya ushahidi

[iii] Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii kwenye ngazi zote watahakikisha kwamba muhusika anapata taarifa za kutosha kuhusu ratiba na taratibu za upelelezi na umuhimu wa hatua za kisheria

44 Huduma ya Unasihi Kisaikolojia na Kijamii kwa Waliopatwa na UWAKI

Watu waliopatwa na janga la UWAKI watapewa msaada wa unasihi kisaikolojia na kijamii kwa upendo na kujali kuanzia wakati wa tukio hadi watakapojumuika tena kwenye familia na jamii Katika ngazi ya jamii msaada huo utatolewa na Maofisa wa Ustawi wa Jamii Maofi sa hawa watatoa msaada wa kisaikolojia na unasihi wakishirikiana na

32

wadau wengine waliopata mafunzo kutoka asasi za kiraia asasi za kidini na wahudumu wa afya katika jamii

[i] WAUJ itahakikisha utoaji wa msaada wa unasihi kisaikolojia na kijamii kwenye ngazi zote pamoja na kuhakikisha kuwepo kwa ulinzi na usalama (kwa mfano kituo cha hifadhi ya muda)

[ii] Timu za Usimamizi wa Huduma za Afya kwenye ngazi zote zitapanga na kutenga rasiilimali za kutosha pamoja na watoa huduma kwa ajili ya kutoa msaada wa kisaikolojia na kijamii rufaa na kujenga ushirikiano na wadau wengine ili kuwaunganisha wahusika kwenye familia na jamii

[iii] Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii watahakikisha kwamba wanatoa unasihi wa kutosha pamoja na kutoa huduma rafi ki kwa watoto kutoa rufaa za kwenda na kurudi kwenye huduma za tiba vituo vya hifadhi ya muda na kuwezesha kuwaunganisha kwenye familia na jamii

45 Mfumo wa Usimamizi Uratibu na Ushirikiano Utoaji wa huduma bora kwa waliopatwa na UWAKI unahitaji usimamizi na uratibu wa mara kwa mara kwa watoa huduma za afya wa kada mbalimbali katika ngazi zote Vilevile kuratibu shughuli na kutoa rufaa kwenye vituo vya ngazi ya taifa mikoa halmashauri na jamii Pia kunahitajika utaratibu wa kujenga ushirikiano kati ya sekta ya afya na wadau wa sekta nyingine

[a] Usimamizi wa Huduma za Kuzuia na Kupambana na UWAKI [i] Usimamizi wa huduma utakuwa ni sehemu ya mikakati na

mipango ya mwaka kwa vituo vya huduma za afya kwenye ngazi zote

[ii] Wasimamizi katika ngazi zote watafanya usimamizi shirikishi ili kuhakikisha utoaji wa huduma bora

[b] Uratibu wa Huduma za Kuzuia na Kupambana na UWAKI [i] Wasimamizi wa huduma za afya kwenye ngazi zote watabaini na

kuratibu afua na shughuli zinazotakiwa kutekelezwa na wadau mbalimbali kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI

33

[ii] Wasimamizi wa huduma za afya katika ngazi zote watahakikisha kuwa wanapanga utekelezaji wa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[c] Taratibu za Ushirikiano katika Kutoa Huduma za UWAKI Taratibu za ushirikiano zitahusisha ngazi mbalimbali za utoaji wa huduma za afya kulingana na hadhi ya kituo ikihusisha kada mbalimbali za afya katika serikali na sekta binafsi

[i] Wasimamizi wa huduma za afya watabaini na kuanzisha ushirikiano kwa ajili ya kutoa huduma bora na toshelezi kwa waliofanyiwa UWAKI

[ii] Wasimamizi wa huduma za afya watapanga na kutenga rasiilimali za kutosha kwa ajili ya kuendeleza ushirikiano na wadau muhimu pamoja na kujenga mfumo imara wa rufaa wa kupeleka na kuwarejesha wahusika

[iii] WAUJ itatayarisha na kusambaza orodha ya vituo vya rufaa kufuatana na aina ya huduma maalumu zinazotolewa

46 Utetezi na Mawasiliano ya Kubadili Tabia

Utetezi na mawasiliano ya kubadili tabia utakuwa ni sehemu ya mipango na mikakati ya kila mwaka katika ngazi zote Ngazi zote zitahamasisha kutenga na kutoa rasilimali za kutosha kwa ajili ya kutekeleza mipango na mikakati ya kila mwaka Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii watatambua na kuwezesha juhudi za jamii za kuhakikisha ushirikishwaji na kuhamasisha jamii kutumia rasilimali zao ili kupambana na UWAKI Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii wanatakiwa kupanga na kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya elimu ya afya kwa lengo la mawasiliano ya kubadili tabia

[a] Utetezi wa Kuzuia na kupambana na UWAKI kwa kushirikiana na wadau

Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii na kamati zinazohusika katika ngazi zote za WAUJ watafanya yafuatayo

[i] Kupanga mikakati ya kuongeza welewa na upeo kuhusu vyanzo vya UWAKI kubaini namna ya kuzuia na kubuni njia za kupambana na UWAKI

34

[ii] Kutetea na kuhamasisha uchangiaji zaidi wa raslimali kutenga kasma kwenye bajeti katika Mfumo wa Matumizi ya Muda wa Kati na katika Mpango Kabambe wa Afya wa Halmashauri kwa ajili ya kinga na huduma za kupambana na UWAKI

[iii] Kutetea utekelezaji wa sera na sheria zenye kuunga mkono juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kuhusisha vyombo vya habari katika kutekeleza shughuli za utetezi na ushawishi

[b] Ushirikiano wa wadau kwenye mawasiliano ya kubadili tabia dhidi ya UWAKI

Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii na kamati zao kwenye ngazi zote watafanya yafuatayo

[i] Kutambua mahitaji na kupanga mawasiliano ya kubadili tabia kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kwa ufanisi

[ii] Kuhusisha vyombo vya habari katika kupanga kutekeleza na kufuatilia shughuli za mawasiliano ya kubadili tabia

47 Ufuatiliaji na Tathmini ya Huduma za Kuzuia na Kupambana na UWAKI

Ufuatiliaji na tathmini ya huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI ni muhimu katika kupima ubora wa matokeo ya huduma zinazohusiana na UWAKI Ufuatiliaji na tathmini unahitaji kuchagua vigezo vya kupima maendeleo ya huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kukusanya takwimu kuchambua kutafsiri kutayarisha na kuwasilisha ripoti kwa wadau muhimu Ufuatiliaji na Tathmini unasaidia kutambua maeneo yanayohitaji kufanyiwa utafi ti

[i] Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii katika ngazi zote watatumia vigezo vilivyokubalika kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Takwimu za UWAKI zitaoanishwa na kuunganishwa kwenye MTUHA

[iii] Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii kwenye ngazi zote watahakikisha wanakusanya taarifa na takwimu zinazohusiana na UWAKI kwa kutumia fomu maalumu kwa ajili ya kufuatilia na

35

kutathimini usimamizi na kuwasilisha ripoti za utekelezaji kwa wadau kufuatana na utaratibu maalumu wa kushirikiana katika kutoa taarifa

[iv] Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii katika ngazi zote watafanya utafiti ili kuboresha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

36

SEHEMU YA TANO

MUUNDO WA UTENDAJI KATIKA KUZUIA NA KUPAMBANA NA UWAKI

Wajibu wa WAUJ ni kuandaa kusimamia na kuratibu utekelezaji wa Mwongozo huu wa sera pamoja na sheria kanuni na viwango vya huduma dhidi ya UWAKI katika ngazi zote nchini Mfumo wa utendaji kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI unahusisha ngazi tatu taifa mkoa na halmashauri

51 Ngazi ya Taifa

Katika ngazi ya Taifa Mganga Mkuu wa Serikali ndiye mwenye wajibu wa uongozi wa kitaaluma kwenye utekelezaji wa mipango ya kuzuia na kupambana na UWAKI Ofisi ya Mganga Mkuu ina idara nne ambazo ni Idara ya Kinga Idara ya Tiba Idara ya Mafunzo na Idara ya Ubora na viwango vya Huduma Huduma za Ustawi wa Jamii zipo chini ya Kamishna wa Ustawi wa Jamii

Kitengo cha Afya ya Uzazi na Mtoto ambacho kinasimamiwa na Idara ya Kinga ndicho kinachosimamia utekelezaji wa Mwongozo wa sera ya UWAKI Majukumu ya ofisi ya Mganga Mkuu wa Serikali Idara ya Kinga na Sehemu ya Afya ya Uzazi na Mtoto ni kama ifuatavyo

[a] Ofisi ya Mganga Mkuu wa Serikali Ofi si ya Mganga Mkuu wa Serikali inaratibu inasimamia na kuimarisha huduma za uboreshaji wa Afya Kinga Ubora na viwango vya huduma Tiba ya magonjwa na Utengamao Aidha ofisi inasimamia mafunzo upatikanaji wa wataalamu wa afya katika sekta ya Afya na Ustawi wa Jamii

Ofisi ya Mganga Mkuu wa Serikali kwa kushirikiana na Mabaraza na Vyama vya Kitaaluma vilivyo chini ya sekta ya Afya na Ustawi wa Jamii inasimamia maadili ya wataalamu wa afya kwa kupitia Mabaraza yao ya Kitaaluma

37

bull

bull

[I] Idara ya Kinga Idara hii inasimamia sehemu tano Afya ya Uzazi na Mtoto Epidemiolojia na Udhibiti wa Magonjwa Afya na Usafi wa Mazingira Elimu ya Afya na Lishe Kuna programu na miradi mbalimbali chini ya idara baadhi yake zinahusiana kwa ukaribu na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Programu hizi ni pamoja na Mpango wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI Programu ya Kuzuia Maambukizo ya VVU Kutoka kwa Mama Kwenda kwa Mtoto Programu ya Huduma ya Afya Kwenye Jamii Programuya Afya Shuleni Program ya Uzazi Salama Programu ya Afya ya Mtoto Programu ya Afya ya Uzazi kwa Vijana na Programu ya Uzazi wa Mpango

Idara itafanya yafuatayo Kuhakikisha afua za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa kwenye programu na miradi ya idara na sehemu Kuhakikisha kwamba afua za kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na utetezi na mawasiliano ya kubadili tabia zinajumuishwa kwenye miongozo ya elimu ya afya na ustawi wa jamii

Sehemu ya Huduma za Afya ya Uzazi na Mtoto Sehemu ya Huduma ya Afya ya Uzazi na Mtoto ndiyo inayohusika katika kuzuia na kupambana na UWAKI na majukumu yake ni

[i] Kuandaa mwongozo wa huduma za kina kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kutayarisha mitaala ya mafunzo kwa ajili ya wasimamizi na watoa huduma wa ngazi zote

[ii] Kuratibu kufuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI katika ngazi zote

[iii] Kuwasiliana na wizara nyingine na mashirika ya kitaifa na kimataifa yenye kuhusiana na mipango ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kuangalia upya orodha ya vifaa muhimu kwa utoaji wa huduma bora kwa wahanga wa UWAKI kwa ngazi zote za utoaji huduma

[v] Kuongoza kikundi kazi cha wanataaluma cha taifa pamoja na vikundikazi tanzu vya wanataaluma vinavyosaidia mtazamo mpana wa sekta ya afya na nguvu kazi za kusimamia utekelezaji wa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

38

[II] Idara ya Tiba Idara hii inasimamia huduma za Hospitali za Taifa Mikoa Wilaya Vituo vya Afya na Zahanati za umma na binafsi Uchunguzi Kinywa na Meno Magonjwa Yasiyo ya Kuambukiza na Tiba Asili Idara hii inafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha kwamba vituo vya kutoa huduma za afya katika ngazi zote vinatenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya huduma bora za matibabu kwa wahanga wa UWAKI pamoja na msaada wa kisaikolojia kijamii na rufaa

[ii] Kuhakikisha kwamba vituo vya kutoa huduma za afya kwenye ngazi zote vinapewa vifaa muhimu na vya kutosha kwa ajili ya uchunguzi wa afya vipimo vya maabara kubaini ugonjwa ushahidi wa kimahakama matibabu kutunza kumbukumbu kutoa taarifa na rufaa

[iii] Kuhakikisha kuwa watoa huduma za afya wanazingatia viwango vya kitaalamu na maadili na kuonyesha upendo na kuwajali wahanga wa UWAKI

[III] Idara ya Ubora wa huduma Idara hii ina sehemu tano ikijumuisha huduma za Uuguzi Dharura na Maafa Ukaguzi Dawa na Utafiti na Uhusiano wa Kimataifa Idara hii inafanya yafuatayo

[i] Inasimamia huduma za dawa vifaa tiba na vitendanishi [ii] Inasimamia huduma za Uuguzi na Ukunga [iii] Inasimamia na kufanya ukaguzi wa ubora wa huduma za afya

nchini ili kuziboresha [iv] Inasimamia kazi za utafiti na uhusiano wa kimataifa katika sekta ya

afya na ustawi wa jamii na [v] Inaandaa miongozo kanuni na taratibu zinazohusu huduma za

dharura

[IV] Idara ya Mafunzo Idara ya Mafunzo inasimamia Mipango ya Mafunzo ya Watumishi Mafunzo Endelevu kwa Watumishi Mafunzo kwa Wauguzi na Sayansi Shirikishi za Afya

39

Idara itafanya yafuatayo [i] Kutambua mahitaji ya kitaifa ya mafunzo ya afya na mafunzo ya

kuendeleza taaluma ya watumishi wanaohusika na kutoa huduma kwa waliopatwa na UWAKI

[ii] Kutayarisha mpango wa mafunzo ya muda mfupi na mrefu kwa ajili ya watumishi mbalimbali kwenye ngazi zote zinazotoa huduma kwa waliopatwa na UWAKI

[b] Idara ya Ustawi wa Jamii Idara ya Ustawi wa Jamii imegawanyika katika sehemu tano Huduma kwa Familia na Ustawi wa Mtoto katika malezi makuzi na maendeleo ya awali Huduma za marekebisho ya tabia na haki za mtoto kisheria Huduma kwa wazee na watu wenye ulemavu Mafunzo kwa watumishi na Kitengo cha takwimu Idara itafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha idara inatoa huduma rafiki na bora za ustawi wa jamii kwa wahanga wa UWAKI kwenye vituo vyote vya kutoa huduma za afya na ustawi wa jamii na kuvisimamia

[ii] Kuhakikisha idara inatoa mafunzo kwa watoa huduma wote [iii] Kushauri katika kurekebisha au kufutwa kwa sheria zisizosaidia

utoaji wa huduma bora za ustawi wa jamii na kushawishi kutunga sheria mpya

[c] Idara ya Sera na Mipango Idara hii inasimamia sehemu za Bajeti Sera Mipango Taarifa za Afya na Ufuatiliaji na Tathmini Idara itafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa kwenye mipango na bajeti ya Serikali

[ii] Kuhakikisha kuwa viashirio vya huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI vinaingizwa kwenye MTUHA

[d] Ushirikiano na wadau muhimu katika ldquoKutokomeza UWAKIrdquo

[i] WAUJ kupitia Sehemu ya Afya ya Uzazi na Mtoto kwa kushirikiana na wadau wengine watatetea ulinzi wa haki za waliopatwa na UWAKI na kutokomezwa kwa ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake watoto vijana na wanaume

40

[ii] WAUJ kwa kushirikiana na wadau wengine itaandaa mikakati ya kuhakikisha kwamba aina zote za ubaguzi unyonyaji ukandamizaji na unyanyasaji dhidi ya wanawake watoto vijana na wanaume zinatokomezwa

[iii] WAUJ kwa kushirikiana na wadau wengine watapitia sheria sera na kanuni ambazo zinakinzana na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Watatetea haki za jinsia na afya ya uzazi ikiwa ni pamoja na ulinzi wa mama na watoto dhidi ya UWAKI ukatili wa kifamilia na ukatili dhidi ya watoto na kutetea masuala haya yaingizwe kwenye Katiba ya Tanzania

52 Ngazi ya Mkoa

Utekelezaji wa mapambano dhidi ya UWAKI kwenye mikoa utasimamiwa na Timu ya Usimamizi wa Huduma za Afya Mkoa chini ya Katibu Tawala wa Mkoa na Timu ya Usimamizi ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa chini ya Bodi ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa na watafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa kwenye mpango mkakati wa miaka mitano wa mkoa na hospitali na mpango kazi wa kila mwaka

[ii] Kuhakikisha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa na kuendeshwa pamoja na huduma zilizopo kuwe na watoa huduma wa kutosha pamoja na mafunzo kwa wasimamizi na watoa huduma kwenye ngazi ya mkoa

[iii] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya kufuatilia kufanya tathmini usimamizi na kutoa ripoti za utendaji wa juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya mkoa

[iv] Kutoa msaada wa kitaalamu kwa Halmashauri na Timu za Afya za Halmashauri katika kupanga na kutekeleza huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[v] Kuhakikisha bajeti ya kutosha inatengwa kwenye mpango kabambe wa halmashauri wa afya kwa ajili ya kuiwezesha jamii kuzuia na kupambana na UWAKI

[vi] Kufanya utafiti ili kukuza uelewa kuhusu huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

41

53 Halmashauri za Jiji Manispaa na Wilaya

Bodi ya Huduma za Afya ya Halmashauri ni chombo cha halmashauri ya jiji manispaa na wilaya chenye jukumu la kutoa huduma bora za afya ustawi wa jamii pamoja na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI katika maeneo yao Mipango ya utekelezaji wa huduma za afya kwenye jiji manispaa na wilaya unasimamiwa na Timu ya Usimamizi wa Afya ya Halmashauri Hospitali ya kwanza ya rufaa katika Halmashauri ni Hospitali ya Wilaya au Hospitali Teule ya wilaya

Hospitali Teule ya Wilaya huendeshwa na Timu ya Usimamizi ya Hospitali na husimamiwa na Bodi ya Hospitali Vituo vya kutoa huduma za afya vina kamati za afya na huendeshwa na kamati za usimamizi wa kituo

(a) Ngazi ya Halmashauri Timu ya Halmashauri ya Usimamizi wa Afya itafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha kwamba mipango ya kila mwaka inatengewa fedha za kutosha kwa utekelezaji wa huduma bora za kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaunganishwa na huduma zilizopo kwenye ngazi zote

[iii] Kuhakikisha kwamba kunakuwa na watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wa kutosha na kuendelea kutoa mafunzo kwa watoa huduma wa kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kutetea kuhamasisha na kutenga fedha za kutosha kwa ajili ya kuiwezesha jamii kushiriki kwenye programu ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[v] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya ufuatiliaji tathmini usimamizi shirikishi na kuandaa taarifa za utekelezaji wa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[b] Ngazi ya Kata Kamati ya Afya ya Kata Kamati ya Afya ya Kituo cha Afya na Timu ya Usimamizi wa Kituo cha Afya zitasimamia utoaji wa huduma bora za afya katika kata pamoja na vijiji

42

Kamati na timu zitafanya yafuatayo [i] Kuhakikisha kwamba kila mwaka wanapanga na kutenga rasilimali

za kutosha kwa utekelezaji wa huduma kwa waliopatwa na UWAKI na afua za kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinajumuishwa na huduma zilizopo kwenye kituo cha afya na zahanati

[iii] Kuhakikisha kwamba kuna watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wa kutosha na kuendelea kutoa mafunzo kwa watoa huduma wanaohusika na kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye vituo vya afya na zahanati

[iv] Kutetea kuhamasisha na kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya kuiwezesha jamii kushiriki kwenye kuzuia na kupambana na UWAKI katika Mpango wa Afya wa Kata

[v] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya kufanya ufuatiliaji tathmini na kuandaa taarifa za utekelezaji wa kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kuziwasilisha kwa matumizi katika ngazi zote

[c] Ngazi ya Kijiji Kamati ya Zahanati na Timu ya Usimamizi wa Zahanati zina wajibu wa kutoa huduma za afya kwa wakazi wa eneo la kijiji au vijiji vyao

Kamati na timu zitafanya yafuatayo [i] Kuhakikisha kwamba kila mwaka wanapanga na kutenga raslimali

za kutosha kwa utekelezaji wa huduma kwa waliopatwa na UWAKI na afua za kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinajumuishwa na huduma zilizopo kwenye zahanati

[iii] Kuhakikisha kwamba kuna watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wa kutosha na kuendelea kutoa mafunzo kwa watoa huduma wanaohusika na kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye zahanati

[iv] Kutetea kuhamasisha na kutenga raslimali za kutosha kwa ajili ya kuiwezesha jamii kushiriki kwenye kuzuia na kupambana na UWAKI katika Mpango wa Afya wa Kijiji

43

[v] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya kufanya ufuatiliaji tathmini na kuandaa taarifa za utekelezaji wa kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kuziwasilisha kwa matumizi katika ngazi ya Kata na Wilaya

(d) Ngazi ya Kaya Kila mtu kwenye kaya atahusika katika kuzuia na kupambana na UWAKI na kutoa taarifa ya matukio ya UWAKI kwa mamlaka zinazohusika Pia kila mtu awajibike kwenye kubadili mtazamo na kuepuka mazoea na tabia zinazopelekea UWAKI

44

SEHEMU YA SITA

UFUATILIAJI TATHMINI NA UTAFITI

Ufuatiliaji na tathmini ya afua za kuzuia na kupambana na UWAKI utatekelezwa kwenye ngazi ya taifa mkoa halmashauri na vituo vya huduma za afya Viashirio ambavyo vimependekezwa kwenye ngazi hizi vimeonyeshwa kwenye Kiambatisho

61 Ngazi ya Taifa

Sehemu ya Afya ya Uzazi na Mtoto itaratibu itafuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote nchini

Sehemu hii itafanya yafuatayo [i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu zinazohusu

afua za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka Timu ya Usimamizi wa Afya ya Mkoa na kuzitumia katika kupanga na kuboresha mipango ya kuzuia na kupambana na UWAKI kwa kushirikiana na wadau

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma wa kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti [iv] Kuweka tathmini na ufuatiliaji wa huduma za kuzuia na kupambana

na UWAKI kwenye orodhahakiki ya usimamizi ya WAUJ

62 Ngazi ya Mkoa

Timu ya Usimamizi wa Afya ya Mkoa itakuwa na jukumu la kuratibu kufuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote za mkoa na itafanya yafuatayo

[i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu kuhusu afua za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka hospitali ya rufaa ya mkoa na Timu za Usimamizi wa Afya za Halmashauri kwa ajili ya matumizi yao na kuwasilisha ngazi ya Taifa

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma katika kuzuia na kupambana na UWAKI

45

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti

63 Ngazi ya Wilaya

Timu ya Usimamizi wa Afya ya Halmashauri itakuwa na jukumu la kuratibu kufuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote za wilaya na itafanya yafuatayo

[i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu kuhusu afua za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka hospitali ya wilaya na vituo vya kutolea huduma za afya na Timu za Usimamizi wa Afya za Halmashauri kwa ajili ya matumizi yao na kuwasilisha ngazi ya mkoa

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma katika kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti

64 Ngazi ya Kituo cha kutolea huduma

Timu ya Usimamizi wa Kituo cha Kutolea Huduma za Afya itaratibu itafuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye kituo na kufanya yafuatayo

[i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu kuhusu jitihada za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka kwenye zahanati na jamii na kuwasilisha wilayaniHalmashauri

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma katika kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti

46

KIAMBATISHO

VIASHIRIO VYA MPANGO WA KUZUIA NA KUPAMBANA NA UWAKI KATIKA SEKTA YA AFYA

[a] Ngazi ya Taifa

[i] Idadi ya watu waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya mikoa kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kimkoa

[iii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI kimkoa

[iv] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye uthibitisho kuwa vinatumia Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupamba na UWAKI kimkoa

[v] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye vifaa muhimu kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kimkoa

[b] Ngazi Ya Mkoa

[i] Idadi ya watu waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya wilayahalmashauri kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

[iii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

[iv] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye ushahidi wa kuandikwa na kutumia Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

[v] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye vifaa muhimu kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

47

[c] Ngazi ya Wilaya

[i] Idadi ya watu waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya vituo vya kutolea huduma kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwa vituo vya kutolea huduma

[iii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI

[iv] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye ushahidi wa kuandikwa na kutumia Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI

[v] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye vifaa muhimu kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[d] Ngazi ya Kituo

[i] Idadi ya wahusika waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye kituo cha huduma za afya kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Idadi ya watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Idadi ya watoa huduma walioelekezwa kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI

48

49

50

51

bullbullbull bullbull bullbullbull

~USAID ~f~ ~ KLITOKA KWA WKTJ Delivering as One WAIIAAEKANI

HEALTH POLICY middotmiddotmiddotoINITIATIVE

ltlt ASCII85EncodePages false AllowTransparency false AutoPositionEPSFiles true AutoRotatePages None Binding Left CalGrayProfile (Dot Gain 20) CalRGBProfile (sRGB IEC61966-21) CalCMYKProfile (US Web Coated 050SWOP051 v2) sRGBProfile (sRGB IEC61966-21) CannotEmbedFontPolicy Error CompatibilityLevel 14 CompressObjects Tags CompressPages true ConvertImagesToIndexed true PassThroughJPEGImages true CreateJobTicket false DefaultRenderingIntent Default DetectBlends true DetectCurves 00000 ColorConversionStrategy CMYK DoThumbnails false EmbedAllFonts true EmbedOpenType false ParseICCProfilesInComments true EmbedJobOptions true DSCReportingLevel 0 EmitDSCWarnings false EndPage -1 ImageMemory 1048576 LockDistillerParams false MaxSubsetPct 100 Optimize true OPM 1 ParseDSCComments true ParseDSCCommentsForDocInfo true PreserveCopyPage true PreserveDICMYKValues true PreserveEPSInfo true PreserveFlatness true PreserveHalftoneInfo false PreserveOPIComments true PreserveOverprintSettings true StartPage 1 SubsetFonts true TransferFunctionInfo Apply UCRandBGInfo Preserve UsePrologue false ColorSettingsFile () AlwaysEmbed [ true ] NeverEmbed [ true ] AntiAliasColorImages false CropColorImages true ColorImageMinResolution 300 ColorImageMinResolutionPolicy OK DownsampleColorImages true ColorImageDownsampleType Bicubic ColorImageResolution 300 ColorImageDepth -1 ColorImageMinDownsampleDepth 1 ColorImageDownsampleThreshold 150000 EncodeColorImages true ColorImageFilter DCTEncode AutoFilterColorImages true ColorImageAutoFilterStrategy JPEG ColorACSImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt ColorImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt JPEG2000ColorACSImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt JPEG2000ColorImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt AntiAliasGrayImages false CropGrayImages true GrayImageMinResolution 300 GrayImageMinResolutionPolicy OK DownsampleGrayImages true GrayImageDownsampleType Bicubic GrayImageResolution 300 GrayImageDepth -1 GrayImageMinDownsampleDepth 2 GrayImageDownsampleThreshold 150000 EncodeGrayImages true GrayImageFilter DCTEncode AutoFilterGrayImages true GrayImageAutoFilterStrategy JPEG GrayACSImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt GrayImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt JPEG2000GrayACSImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt JPEG2000GrayImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt AntiAliasMonoImages false CropMonoImages true MonoImageMinResolution 1200 MonoImageMinResolutionPolicy OK DownsampleMonoImages true MonoImageDownsampleType Bicubic MonoImageResolution 1200 MonoImageDepth -1 MonoImageDownsampleThreshold 150000 EncodeMonoImages true MonoImageFilter CCITTFaxEncode MonoImageDict ltlt K -1 gtgt AllowPSXObjects false CheckCompliance [ None ] PDFX1aCheck false PDFX3Check false PDFXCompliantPDFOnly false PDFXNoTrimBoxError true PDFXTrimBoxToMediaBoxOffset [ 000000 000000 000000 000000 ] PDFXSetBleedBoxToMediaBox true PDFXBleedBoxToTrimBoxOffset [ 000000 000000 000000 000000 ] PDFXOutputIntentProfile () PDFXOutputConditionIdentifier () PDFXOutputCondition () PDFXRegistryName () PDFXTrapped False CreateJDFFile false Description ltlt ARA ltFEFF06270633062A062E062F0645002006470630064700200627064406250639062F0627062F0627062A002006440625064606340627062100200648062B062706260642002000410064006F00620065002000500044004600200645062A064806270641064206290020064406440637062806270639062900200641064A00200627064406450637062706280639002006300627062A0020062F0631062C0627062A002006270644062C0648062F0629002006270644063906270644064A0629061B0020064A06450643064600200641062A062D00200648062B0627062606420020005000440046002006270644064506460634062306290020062806270633062A062E062F062706450020004100630072006F0062006100740020064800410064006F006200650020005200650061006400650072002006250635062F0627063100200035002E0030002006480627064406250635062F062706310627062A0020062706440623062D062F062B002E0635062F0627063100200035002E0030002006480627064406250635062F062706310627062A0020062706440623062D062F062B002Egt BGR ltFEFF04180437043f043e043b043704320430043904420435002004420435043704380020043d0430044104420440043e0439043a0438002c00200437043000200434043000200441044a0437043404300432043004420435002000410064006f00620065002000500044004600200434043e043a0443043c0435043d04420438002c0020043c0430043a04410438043c0430043b043d043e0020043f044004380433043e04340435043d04380020043704300020043204380441043e043a043e043a0430044704350441044204320435043d0020043f04350447043004420020043704300020043f044004350434043f0435044704300442043d04300020043f043e04340433043e0442043e0432043a0430002e002000200421044a04370434043004340435043d043804420435002000500044004600200434043e043a0443043c0435043d044204380020043c043e0433043004420020043404300020044104350020043e0442043204300440044f0442002004410020004100630072006f00620061007400200438002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020043800200441043b0435043404320430044904380020043204350440044104380438002egt CHS ltFEFF4f7f75288fd94e9b8bbe5b9a521b5efa7684002000410064006f006200650020005000440046002065876863900275284e8e9ad88d2891cf76845370524d53705237300260a853ef4ee54f7f75280020004100630072006f0062006100740020548c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000204ee553ca66f49ad87248672c676562535f00521b5efa768400200050004400460020658768633002gt CHT ltFEFF4f7f752890194e9b8a2d7f6e5efa7acb7684002000410064006f006200650020005000440046002065874ef69069752865bc9ad854c18cea76845370524d5370523786557406300260a853ef4ee54f7f75280020004100630072006f0062006100740020548c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000204ee553ca66f49ad87248672c4f86958b555f5df25efa7acb76840020005000440046002065874ef63002gt CZE ltFEFF005400610074006f0020006e006100730074006100760065006e00ed00200070006f0075017e0069006a007400650020006b0020007600790074007600e101590065006e00ed00200064006f006b0075006d0065006e0074016f002000410064006f006200650020005000440046002c0020006b00740065007200e90020007300650020006e0065006a006c00e90070006500200068006f006400ed002000700072006f0020006b00760061006c00690074006e00ed0020007400690073006b00200061002000700072006500700072006500730073002e002000200056007900740076006f01590065006e00e900200064006f006b0075006d0065006e007400790020005000440046002000620075006400650020006d006f017e006e00e90020006f007400650076015900ed007400200076002000700072006f006700720061006d0065006300680020004100630072006f00620061007400200061002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000610020006e006f0076011b006a016100ed00630068002egt DAN ltFEFF004200720075006700200069006e0064007300740069006c006c0069006e006700650072006e0065002000740069006c0020006100740020006f007000720065007400740065002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e007400650072002c0020006400650072002000620065006400730074002000650067006e006500720020007300690067002000740069006c002000700072006500700072006500730073002d007500640073006b007200690076006e0069006e00670020006100660020006800f8006a0020006b00760061006c0069007400650074002e0020004400650020006f007000720065007400740065006400650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e0074006500720020006b0061006e002000e50062006e00650073002000690020004100630072006f00620061007400200065006c006c006500720020004100630072006f006200610074002000520065006100640065007200200035002e00300020006f00670020006e0079006500720065002egt DEU ltFEFF00560065007200770065006e00640065006e0020005300690065002000640069006500730065002000450069006e007300740065006c006c0075006e00670065006e0020007a0075006d002000450072007300740065006c006c0065006e00200076006f006e002000410064006f006200650020005000440046002d0044006f006b0075006d0065006e00740065006e002c00200076006f006e002000640065006e0065006e002000530069006500200068006f006300680077006500720074006900670065002000500072006500700072006500730073002d0044007200750063006b0065002000650072007a0065007500670065006e0020006d00f60063006800740065006e002e002000450072007300740065006c006c007400650020005000440046002d0044006f006b0075006d0065006e007400650020006b00f6006e006e0065006e0020006d006900740020004100630072006f00620061007400200075006e0064002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020006f0064006500720020006800f600680065007200200067006500f600660066006e00650074002000770065007200640065006e002egt ESP ltFEFF005500740069006c0069006300650020006500730074006100200063006f006e0066006900670075007200610063006900f3006e0020007000610072006100200063007200650061007200200064006f00630075006d0065006e0074006f00730020005000440046002000640065002000410064006f0062006500200061006400650063007500610064006f00730020007000610072006100200069006d0070007200650073006900f3006e0020007000720065002d0065006400690074006f007200690061006c00200064006500200061006c00740061002000630061006c0069006400610064002e002000530065002000700075006500640065006e00200061006200720069007200200064006f00630075006d0065006e0074006f00730020005000440046002000630072006500610064006f007300200063006f006e0020004100630072006f006200610074002c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200079002000760065007200730069006f006e0065007300200070006f00730074006500720069006f007200650073002egt ETI ltFEFF004b00610073007500740061006700650020006e0065006900640020007300e4007400740065006900640020006b00760061006c006900740065006500740073006500200074007200fc006b006900650065006c007300650020007000720069006e00740069006d0069007300650020006a0061006f006b007300200073006f00620069006c0069006b0065002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740069006400650020006c006f006f006d006900730065006b0073002e00200020004c006f006f0064007500640020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740065002000730061006100740065002000610076006100640061002000700072006f006700720061006d006d006900640065006700610020004100630072006f0062006100740020006e0069006e0067002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020006a00610020007500750065006d006100740065002000760065007200730069006f006f006e00690064006500670061002e000d000agt FRA ltFEFF005500740069006c006900730065007a00200063006500730020006f007000740069006f006e00730020006100660069006e00200064006500200063007200e900650072002000640065007300200064006f00630075006d0065006e00740073002000410064006f00620065002000500044004600200070006f0075007200200075006e00650020007100750061006c0069007400e90020006400270069006d007000720065007300730069006f006e00200070007200e9007000720065007300730065002e0020004c0065007300200064006f00630075006d0065006e00740073002000500044004600200063007200e900e90073002000700065007500760065006e0074002000ea0074007200650020006f007500760065007200740073002000640061006e00730020004100630072006f006200610074002c002000610069006e00730069002000710075002700410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000650074002000760065007200730069006f006e007300200075006c007400e90072006900650075007200650073002egt GRE ltFEFF03a703c103b703c303b903bc03bf03c003bf03b903ae03c303c403b5002003b103c503c403ad03c2002003c403b903c2002003c103c503b803bc03af03c303b503b903c2002003b303b903b1002003bd03b1002003b403b703bc03b903bf03c503c103b303ae03c303b503c403b5002003ad03b303b303c103b103c603b1002000410064006f006200650020005000440046002003c003bf03c5002003b503af03bd03b103b9002003ba03b103c42019002003b503be03bf03c703ae03bd002003ba03b103c403ac03bb03bb03b703bb03b1002003b303b903b1002003c003c103bf002d03b503ba03c403c503c003c903c403b903ba03ad03c2002003b503c103b303b103c303af03b503c2002003c503c803b703bb03ae03c2002003c003bf03b903cc03c403b703c403b103c2002e0020002003a403b10020005000440046002003ad03b303b303c103b103c603b1002003c003bf03c5002003ad03c703b503c403b5002003b403b703bc03b903bf03c503c103b303ae03c303b503b9002003bc03c003bf03c103bf03cd03bd002003bd03b1002003b103bd03bf03b903c703c403bf03cd03bd002003bc03b5002003c403bf0020004100630072006f006200610074002c002003c403bf002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002003ba03b103b9002003bc03b503c403b103b303b503bd03ad03c303c403b503c103b503c2002003b503ba03b403cc03c303b503b903c2002egt HEB ltFEFF05D405E905EA05DE05E905D5002005D105D405D205D305E805D505EA002005D005DC05D4002005DB05D305D9002005DC05D905E605D505E8002005DE05E105DE05DB05D9002000410064006F006200650020005000440046002005D405DE05D505EA05D005DE05D905DD002005DC05D405D305E405E105EA002005E705D305DD002D05D305E405D505E1002005D005D905DB05D505EA05D905EA002E002005DE05E105DE05DB05D90020005000440046002005E905E005D505E605E805D5002005E005D905EA05E005D905DD002005DC05E405EA05D905D705D4002005D105D005DE05E605E205D505EA0020004100630072006F006200610074002005D5002D00410064006F00620065002000520065006100640065007200200035002E0030002005D505D205E805E105D005D505EA002005DE05EA05E705D305DE05D505EA002005D905D505EA05E8002E05D005DE05D905DD002005DC002D005000440046002F0058002D0033002C002005E205D905D905E005D5002005D105DE05D305E805D905DA002005DC05DE05E905EA05DE05E9002005E905DC0020004100630072006F006200610074002E002005DE05E105DE05DB05D90020005000440046002005E905E005D505E605E805D5002005E005D905EA05E005D905DD002005DC05E405EA05D905D705D4002005D105D005DE05E605E205D505EA0020004100630072006F006200610074002005D5002D00410064006F00620065002000520065006100640065007200200035002E0030002005D505D205E805E105D005D505EA002005DE05EA05E705D305DE05D505EA002005D905D505EA05E8002Egt HRV (Za stvaranje Adobe PDF dokumenata najpogodnijih za visokokvalitetni ispis prije tiskanja koristite ove postavke Stvoreni PDF dokumenti mogu se otvoriti Acrobat i Adobe Reader 50 i kasnijim verzijama) HUN ltFEFF004b0069007600e1006c00f30020006d0069006e0151007300e9006701710020006e0079006f006d00640061006900200065006c0151006b00e90073007a00ed007401510020006e0079006f006d00740061007400e100730068006f007a0020006c006500670069006e006b00e1006200620020006d0065006700660065006c0065006c0151002000410064006f00620065002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e00740075006d006f006b0061007400200065007a0065006b006b0065006c0020006100200062006500e1006c006c00ed007400e10073006f006b006b0061006c0020006b00e90073007a00ed0074006800650074002e0020002000410020006c00e90074007200650068006f007a006f00740074002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e00740075006d006f006b00200061007a0020004100630072006f006200610074002000e9007300200061007a002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002c0020007600610067007900200061007a002000610074007400f3006c0020006b00e9007301510062006200690020007600650072007a006900f3006b006b0061006c0020006e00790069007400680061007400f3006b0020006d00650067002egt ITA ltFEFF005500740069006c0069007a007a006100720065002000710075006500730074006500200069006d0070006f007300740061007a0069006f006e00690020007000650072002000630072006500610072006500200064006f00630075006d0065006e00740069002000410064006f00620065002000500044004600200070006900f900200061006400610074007400690020006100200075006e00610020007000720065007300740061006d0070006100200064006900200061006c007400610020007100750061006c0069007400e0002e0020004900200064006f00630075006d0065006e007400690020005000440046002000630072006500610074006900200070006f00730073006f006e006f0020006500730073006500720065002000610070006500720074006900200063006f006e0020004100630072006f00620061007400200065002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200065002000760065007200730069006f006e006900200073007500630063006500730073006900760065002egt JPN ltFEFF9ad854c18cea306a30d730ea30d730ec30b951fa529b7528002000410064006f0062006500200050004400460020658766f8306e4f5c6210306b4f7f75283057307e305930023053306e8a2d5b9a30674f5c62103055308c305f0020005000440046002030d530a130a430eb306f3001004100630072006f0062006100740020304a30883073002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000204ee5964d3067958b304f30533068304c3067304d307e305930023053306e8a2d5b9a306b306f30d530a930f330c8306e57cb30818fbc307f304c5fc59808306730593002gt KOR ltFEFFc7740020c124c815c7440020c0acc6a9d558c5ec0020ace0d488c9c80020c2dcd5d80020c778c1c4c5d00020ac00c7a50020c801d569d55c002000410064006f0062006500200050004400460020bb38c11cb97c0020c791c131d569b2c8b2e4002e0020c774b807ac8c0020c791c131b41c00200050004400460020bb38c11cb2940020004100630072006f0062006100740020bc0f002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020c774c0c1c5d0c11c0020c5f40020c2180020c788c2b5b2c8b2e4002egt LTH ltFEFF004e006100750064006f006b0069007400650020016100690075006f007300200070006100720061006d006500740072007500730020006e006f0072011700640061006d00690020006b0075007200740069002000410064006f00620065002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400750073002c0020006b00750072006900650020006c0061006200690061007500730069006100690020007000720069007400610069006b007900740069002000610075006b01610074006f00730020006b006f006b007900620117007300200070006100720065006e006700740069006e00690061006d00200073007000610075007300640069006e0069006d00750069002e0020002000530075006b0075007200740069002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400610069002000670061006c006900200062016b007400690020006100740069006400610072006f006d00690020004100630072006f006200610074002000690072002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000610072002000760117006c00650073006e0117006d00690073002000760065007200730069006a006f006d00690073002egt LVI ltFEFF0049007a006d0061006e0074006f006a00690065007400200161006f00730020006900650073007400610074012b006a0075006d00750073002c0020006c0061006900200076006500690064006f00740075002000410064006f00620065002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400750073002c0020006b006100730020006900720020012b00700061016100690020007000690065006d01130072006f00740069002000610075006700730074006100730020006b00760061006c0069007401010074006500730020007000690072006d007300690065007300700069006501610061006e006100730020006400720075006b00610069002e00200049007a0076006500690064006f006a006900650074002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400750073002c0020006b006f002000760061007200200061007400760113007200740020006100720020004100630072006f00620061007400200075006e002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002c0020006b0101002000610072012b00200074006f0020006a00610075006e0101006b0101006d002000760065007200730069006a0101006d002egt NLD (Gebruik deze instellingen om Adobe PDF-documenten te maken die zijn geoptimaliseerd voor prepress-afdrukken van hoge kwaliteit De gemaakte PDF-documenten kunnen worden geopend met Acrobat en Adobe Reader 50 en hoger) NOR ltFEFF004200720075006b00200064006900730073006500200069006e006e007300740069006c006c0069006e00670065006e0065002000740069006c002000e50020006f0070007000720065007400740065002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740065007200200073006f006d00200065007200200062006500730074002000650067006e0065007400200066006f00720020006600f80072007400720079006b006b0073007500740073006b00720069006600740020006100760020006800f800790020006b00760061006c0069007400650074002e0020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740065006e00650020006b0061006e002000e50070006e00650073002000690020004100630072006f00620061007400200065006c006c00650072002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200065006c006c00650072002000730065006e006500720065002egt POL ltFEFF0055007300740061007700690065006e0069006100200064006f002000740077006f0072007a0065006e0069006100200064006f006b0075006d0065006e007400f300770020005000440046002000700072007a0065007a006e00610063007a006f006e00790063006800200064006f002000770079006400720075006b00f30077002000770020007700790073006f006b00690065006a0020006a0061006b006f015b00630069002e002000200044006f006b0075006d0065006e0074007900200050004400460020006d006f017c006e00610020006f007400770069006500720061010700200077002000700072006f006700720061006d006900650020004100630072006f00620061007400200069002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000690020006e006f00770073007a0079006d002egt PTB ltFEFF005500740069006c0069007a006500200065007300730061007300200063006f006e00660069006700750072006100e700f50065007300200064006500200066006f0072006d00610020006100200063007200690061007200200064006f00630075006d0065006e0074006f0073002000410064006f0062006500200050004400460020006d00610069007300200061006400650071007500610064006f00730020007000610072006100200070007200e9002d0069006d0070007200650073007300f50065007300200064006500200061006c007400610020007100750061006c00690064006100640065002e0020004f007300200064006f00630075006d0065006e0074006f00730020005000440046002000630072006900610064006f007300200070006f00640065006d0020007300650072002000610062006500720074006f007300200063006f006d0020006f0020004100630072006f006200610074002000650020006f002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000650020007600650072007300f50065007300200070006f00730074006500720069006f007200650073002egt RUM ltFEFF005500740069006c0069007a00610163006900200061006300650073007400650020007300650074010300720069002000700065006e007400720075002000610020006300720065006100200064006f00630075006d0065006e00740065002000410064006f006200650020005000440046002000610064006500630076006100740065002000700065006e0074007200750020007400690070010300720069007200650061002000700072006500700072006500730073002000640065002000630061006c006900740061007400650020007300750070006500720069006f006100720103002e002000200044006f00630075006d0065006e00740065006c00650020005000440046002000630072006500610074006500200070006f00740020006600690020006400650073006300680069007300650020006300750020004100630072006f006200610074002c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020015f00690020007600650072007300690075006e0069006c006500200075006c0074006500720069006f006100720065002egt RUS ltFEFF04180441043f043e043b044c04370443043904420435002004340430043d043d044b04350020043d0430044104420440043e0439043a043800200434043b044f00200441043e043704340430043d0438044f00200434043e043a0443043c0435043d0442043e0432002000410064006f006200650020005000440046002c0020043c0430043a04410438043c0430043b044c043d043e0020043f043e04340445043e0434044f04490438044500200434043b044f00200432044b0441043e043a043e043a0430044704350441044204320435043d043d043e0433043e00200434043e043f0435044704300442043d043e0433043e00200432044b0432043e04340430002e002000200421043e043704340430043d043d044b04350020005000440046002d0434043e043a0443043c0435043d0442044b0020043c043e0436043d043e0020043e0442043a0440044b043204300442044c002004410020043f043e043c043e0449044c044e0020004100630072006f00620061007400200438002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020043800200431043e043b043504350020043f043e04370434043d043804450020043204350440044104380439002egt SKY ltFEFF0054006900650074006f0020006e006100730074006100760065006e0069006100200070006f0075017e0069007400650020006e00610020007600790074007600e100720061006e0069006500200064006f006b0075006d0065006e0074006f0076002000410064006f006200650020005000440046002c0020006b0074006f007200e90020007300610020006e0061006a006c0065007001610069006500200068006f0064006900610020006e00610020006b00760061006c00690074006e00fa00200074006c0061010d00200061002000700072006500700072006500730073002e00200056007900740076006f00720065006e00e900200064006f006b0075006d0065006e007400790020005000440046002000620075006400650020006d006f017e006e00e90020006f00740076006f00720069016500200076002000700072006f006700720061006d006f006300680020004100630072006f00620061007400200061002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000610020006e006f0076016100ed00630068002egt SLV ltFEFF005400650020006e006100730074006100760069007400760065002000750070006f0072006100620069007400650020007a00610020007500730074007600610072006a0061006e006a006500200064006f006b0075006d0065006e0074006f0076002000410064006f006200650020005000440046002c0020006b006900200073006f0020006e0061006a007000720069006d00650072006e0065006a016100690020007a00610020006b0061006b006f0076006f00730074006e006f0020007400690073006b0061006e006a00650020007300200070007200690070007200610076006f0020006e00610020007400690073006b002e00200020005500730074007600610072006a0065006e006500200064006f006b0075006d0065006e0074006500200050004400460020006a00650020006d006f0067006f010d00650020006f0064007000720065007400690020007a0020004100630072006f00620061007400200069006e002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200069006e0020006e006f00760065006a01610069006d002egt SUO ltFEFF004b00e40079007400e40020006e00e40069007400e4002000610073006500740075006b007300690061002c0020006b0075006e0020006c0075006f00740020006c00e400680069006e006e00e4002000760061006100740069007600610061006e0020007000610069006e006100740075006b00730065006e002000760061006c006d0069007300740065006c00750074007900f6006800f6006e00200073006f00700069007600690061002000410064006f0062006500200050004400460020002d0064006f006b0075006d0065006e007400740065006a0061002e0020004c0075006f0064007500740020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740069007400200076006f0069006400610061006e0020006100760061007400610020004100630072006f0062006100740069006c006c00610020006a0061002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030003a006c006c00610020006a006100200075007500640065006d006d0069006c006c0061002egt SVE ltFEFF0041006e007600e4006e00640020006400650020006800e4007200200069006e0073007400e4006c006c006e0069006e006700610072006e00610020006f006d002000640075002000760069006c006c00200073006b006100700061002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e007400200073006f006d002000e400720020006c00e4006d0070006c0069006700610020006600f60072002000700072006500700072006500730073002d007500740073006b00720069006600740020006d006500640020006800f600670020006b00760061006c0069007400650074002e002000200053006b006100700061006400650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740020006b0061006e002000f600700070006e00610073002000690020004100630072006f0062006100740020006f00630068002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020006f00630068002000730065006e006100720065002egt TUR ltFEFF005900fc006b00730065006b0020006b0061006c006900740065006c0069002000f6006e002000790061007a006401310072006d00610020006200610073006b013100730131006e006100200065006e0020006900790069002000750079006100620069006c006500630065006b002000410064006f006200650020005000440046002000620065006c00670065006c0065007200690020006f006c0075015f007400750072006d0061006b0020006900e70069006e00200062007500200061007900610072006c0061007201310020006b0075006c006c0061006e0131006e002e00200020004f006c0075015f0074007500720075006c0061006e0020005000440046002000620065006c00670065006c0065007200690020004100630072006f006200610074002000760065002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200076006500200073006f006e0072006100730131006e00640061006b00690020007300fc007200fc006d006c00650072006c00650020006100e70131006c006100620069006c00690072002egt UKR ltFEFF04120438043a043e0440043804410442043e043204430439044204350020044604560020043f043004400430043c043504420440043800200434043b044f0020044104420432043e04400435043d043d044f00200434043e043a0443043c0435043d044204560432002000410064006f006200650020005000440046002c0020044f043a04560020043d04300439043a04400430044904350020043f045604340445043e0434044f0442044c00200434043b044f0020043204380441043e043a043e044f043a04560441043d043e0433043e0020043f0435044004350434043404400443043a043e0432043e0433043e0020043404400443043a0443002e00200020042104420432043e04400435043d045600200434043e043a0443043c0435043d0442043800200050004400460020043c043e0436043d04300020043204560434043a0440043804420438002004430020004100630072006f006200610074002004420430002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002004300431043e0020043f04560437043d04560448043e04570020043204350440044104560457002egt ENU (Use these settings to create Adobe PDF documents best suited for high-quality prepress printing Created PDF documents can be opened with Acrobat and Adobe Reader 50 and later) gtgt Namespace [ (Adobe) (Common) (10) ] OtherNamespaces [ ltlt AsReaderSpreads false CropImagesToFrames true ErrorControl WarnAndContinue FlattenerIgnoreSpreadOverrides false IncludeGuidesGrids false IncludeNonPrinting false IncludeSlug false Namespace [ (Adobe) (InDesign) (40) ] OmitPlacedBitmaps false OmitPlacedEPS false OmitPlacedPDF false SimulateOverprint Legacy gtgt ltlt AddBleedMarks false AddColorBars false AddCropMarks false AddPageInfo false AddRegMarks false ConvertColors ConvertToCMYK DestinationProfileName () DestinationProfileSelector DocumentCMYK Downsample16BitImages true FlattenerPreset ltlt PresetSelector MediumResolution gtgt FormElements false GenerateStructure false IncludeBookmarks false IncludeHyperlinks false IncludeInteractive false IncludeLayers false IncludeProfiles false MultimediaHandling UseObjectSettings Namespace [ (Adobe) (CreativeSuite) (20) ] PDFXOutputIntentProfileSelector DocumentCMYK PreserveEditing true UntaggedCMYKHandling LeaveUntagged UntaggedRGBHandling UseDocumentProfile UseDocumentBleed false gtgt ]gtgt setdistillerparamsltlt HWResolution [2400 2400] PageSize [612000 792000]gtgt setpagedevice

  1. 1 World Health Organization WHO
  2. 2 Beijing Platform for Action BPA 1995
  3. 5 International Covenant on Civil and Political Rights ICCPR 1966
  4. 7 Krug Etienne et al 2002 World Report on Violence and Health Geneva WHO
Page 7: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na

SHUKURANI

Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii (WAUJ) inatambua mchango wa Kikosi Kazi cha Wataalamu chini ya uongozi wa Mkurugenzi Msaidizi wa Huduma za Afya ya Uzazi na Mtoto

Pia Wizara inayashukuru Mashirika mbalimbali na watu binafsi waliochangia katika kutayarisha na kukamilisha Mwongozo huu wa Kisera

Tunashukuru na kutambua mchango wa Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani (USAID) Tanzania na Mpango wa Dharura wa Rais wa Marekani wa kupunguza UKIMWI (PEPFAR) kwa kutoa msaada wa kiutaalamu na kifedha katika kuendeleza Sera ya Afya na kutekelezwa na ldquoFutures Group Internationalrdquo Aidha Wizara inashukuru Mpango wa Pamoja wa Umoja wa Mataifa kwa ufadhili wa utaalamu na fedha

Tunapenda pia kuwatambua wataalamu walioshiriki katika kuandaa na Mwongozo huu wa Kisera

Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Kinga

kukamilisha

Dkt Peter Mmbuji

vi

VIFUPISHO

BAW Bodi ya Afya ya Wilaya BHA Bodi ya Huduma za Afya MKUKUTA Mpango wa Kukuza Uchumi na Kupunguza

Umaskini Tanzania MMAM Mpango wa Maendeleo wa Afya ya Msingi MHW Mamlaka ya Halmashauri ya Wilaya NCPA Mpango Kazi wa Taifa wa Kuhudumia Watoto Yatima

na Wanaoishi katika Mazingira Hatarishi PEPFAR Mpango wa Dharura wa Rais wa Marekani wa

kupunguza UKIMWI SADC Ushirikiano wa Maendeleo wa Nchi za Kusini mwa

Afrika UWAKI Ukatili wa Kijinsia UKIMWI Upungufu wa Kinga Mwilini USAID Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani VVU Virusi Vya UKIMWI WAUJ Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii WHO Shirika la Afya Duniani

vii

ORODHA YA MANENO MUHIMU NA DHANA

Kwa madhumuni ya Mwongozo huu maneno muhimu na dhana yatakuwa na maana ifuatayo

Ukatili Matumizi ya nguvu yanayompa mtu fursa ya kumtumia au kumkandamiza mtu mwingine ikiwa ni pamoja na na kumsababishia woga au hofu madhara ya kimwili kifikra na kisaikolojia Ukatili unaweza kujitokeza kwa kumdhuru mtu kimwili au kumtishia kwa kutumia silaha au kumnyima mtu uhuru wa kufanya uamuzi na kumlazimisha kutenda kinyume na utashi wake

Kijana balehe Kipindi cha mpito cha ukuaji kutoka utoto kuelekea utu uzima Kipindi hiki ni muda ambapo mhusika sio mtoto wala mtu mzima kibiolojia wala hajakomaa kihisia Wakati huu kuna mabadiliko makubwa ya kimwili yanayohusiana na mwanzo wa kubalehe pamoja na kukua kisaikolojia Kijana balehe hujumuisha wanafunzi wengi walio kwenye shule za msingi na baadaye kukamilika wakiwa shule za sekondari

Mtoto Kwa mujibu wa katiba ya Tanzania na sheria ya mtoto mtoto ni mtu yeyote aliye chini ya umri wa miaka 18

Unyanyasaji wa mtoto Unyanyasaji wa mtoto ni dhana ambayo inahusisha maneno au vitendo vilivyokusudia kusababisha utokeaji wa madhara au vitisho kwa watoto Kuna aina tatu za ukatili kwa watoto kimwili kingono na kisaikolojia

Unyanyasaji wa mtoto kingono Ushirikishwaji wa mtoto katika vitendo vinavyohusu ngono Unyanyasaji wa watoto kingono unatokea kati ya mtoto na mtu mzima au mtoto na mtoto mwingine ambaye wamezidiana kiumri na kupevuka na anaaminika ana madaraka na wajibu juu ya mtu aliyepatwa na UWAKI kwa lengo la mnyanyasaji kujiridhisha haja zake binafsi

Unyanyasaji wa watoto kingono ni pamoja na kushawishi au kumlazimisha mtoto kushiriki katika vitendo vyovyote vya ngono utumiaji wa watoto kufanya ukahaba au matumizi ya watoto katika kupiga picha za ngono na kutumia vifaa vinavyohusika na ngonoUnyanyasaji wa mtoto ni dhana

viii

ambayo inahusisha maneno au vitendo vilivyokusudia kusababisha utokeaji wa madhara au vitisho kwa mtoto

Kulazimisha Kutishia au kutumia nguvu ikiwa ni pamoja na kutumia vitisho kauli mbaya ulaghai udanganyifu mila potofu au nguvu ya kipato bila ridhaa yake

Huduma kwa waathirika wa UWAKI Ni huduma jumuishi zinazotolewa kwa waathirika zikijumuisha Kuchukua historia ya mtu aliyepatwa na UWAKI upimaji wa kina kuchukua vipimo vya ushahidi wa kimahakama kwa mujibu wa sheria unasihi kupata matibabu ya awali kupata msaada wa kisheria na kisaikolojia na pale inapobidi kupewa ulinzi

Ridhaa Kufanya uamuzi wenye uelewa uhuru na hiari kuhusu jambo lolote Hakuna ridhaa ikiwa makubaliano yamepatikana kwa njia ya vitisho nguvu au aina zozote za kulazimishwa utekaji nyara udanganyifu ulaghai na upotoshaji

Ukatili ndani ya familia Ni vitendo vya unyanyasaji wanavyofanyiana watu walio katika uhusiano wa karibu kama vile ndoa uchumba familia au watu wanaoishi pamoja kama mke na mume bila ndoa rasmi

Kuna aina mbalimbali za ukatili wa kifamilia zikiwa ni pamoja na ukatili wa kimwili (kumpiga kumwuma kumsukuma kumzuia kumtupia vitu) au kumtishia Aina nyingine ya ukatili wa kifamilia ni ukatili wa kisaikolojia (kumfanyia vitisho kuvizia kumpuuzia) na ukatili wa kiuchumi Madhara yanayotokana na ukatili wa kifamilia ni pamoja na matumizi makubwa ya pombe utegemezi wa dawa za kulevya na magonjwa ya akili

Kituo cha Hifadhi ya muda Mahali pa kupata taarifa usalama huduma ya kwanza rufaa na mahitaji mengine muhimu na ya haraka kwa waliopatwa na UWAKI ambao wanahitaji mahali salama penye usiri kwa kipindi fulani

Kituo maalumu cha malezi Mahali rasmi panapotambulika kisheria kama makao ya watoto au shule za maadilisho Mahali pa kulelea watoto

ix

wanaoishi katika mazingira hatarishi kama vile kituo cha kulelea watoto kinachomilikiwa na watu binafsi taasisi za dini au serikali

Mlezi maalumu Mtu mzima mwenye akili timamu maadili mazuri na anayeaminika katika jamii ana uwezo wa kumlea mtoto ambaye siyo ndugu yake au wa nasaba yake ambaye amethibitishwa na ustawi wa jamii kuweza kumpa matunzo

Kulazimisha kurithi Mjane Ni mila ambapo mjane anashurutishwa bila ridha yake kuwa mke au mume wa ndugu wa marehemu Inawezekana kuwa katika aina au mtindo tofauti kulingana na tamaduni

Ukahaba wa Kulazimishwa Ni kitendo cha ulaghai kinachofanywa na watu kwa makundi hatarishi kama wanawake au wasichana kwa kuwaahidi kuwapatia vitu msaada au ajira halali na badala yake kuwatumikisha katika biashara ya ngono

Jinsia Ni uhusiano uliojengeka katika jamii Watu huzaliwa wakiwa na maumbile ya kike na kiume kisha hujifunza kazi au shughuli za kike na kiume kwenye jamii na hatimaye husababisha watu kujipangia majukumu kutokana na jinsia

Ukatili wa Kijinsia (UWAKI) Ni kitendo chochote cha kikatili anachofanyiwa mtu yeyote awe mwanamke mwanamume au mtoto chenye lengo la kumwumiza kimwili au kiutu kutokana na jinsia yake Ukatili wa kijinsia unajumuisha ukatili wa kingono kisaikolojia mila hatarishi na unyanyasaji wa kiuchumi na kijamii

Kupambana na Ukatili wa Kijinsia Kunajumuisha mambo yafuatayo Kutoa huduma kuandaa mipango mkakati kwa kuwashirikisha wadau mbalimbali

Mila na desturi hatarishi

bull Ukeketaji Ni kitendo cha kikatili anachofanyiwa mtoto wa kike msichana au mwanamke kwa kukata kabisa au kuondoa sehemu ya via vya nje vya uzazi kwa sababu zisizo za kitabibu

x

bull Ndoa katika umri mdogo Ni ndoa zinazojitokeza zaidi kwa wasichana ambazo zinahusishwa na madhara kwa mama na mtoto kama vile matatizo wakati wa kujifungua ulemavu na vifo vya mama na mtoto

bull Ndoa ya kulazimishwa Ni ndoa zinazofanyika bila ridhaa ya mwanamume au mwanamke Iwapo mmoja kati yao hatakubaliana ndoa hizo zinaweza kusababisha madhara ya unyanyasaji na ukatili

bull Utakaso wa mjane Ni desturi ambapo mjane hulazimishwa au hulazimika kufanya ngono na ndugu wengine au mtu aliyeteuliwa kwa kazi hiyo katika jamii Hii hufanyika kabla mjane huyo hajaolewa au kuoa tena

Haki za binadamu Ni stahili za msingi ambazo kila binadamu anapaswa kuzipata ili kumwezesha kuishi kujiendeleza kushiriki na kupata ulinzi wa jamii bila kujali utaifa jinsia asili ya utaifa au nasaba au kabila rangi dini lugha au kwa hali nyingine yoyote

Matukio ya ukatili Ni kitendo au mfululizo wa vitendo vya ukatili vinavyofanywa na mtu au kikundi cha watu dhidi ya mtu au kundi la watu kwa makusudi ya kuharibu kuleta hofu au kutishia amani kwa maslahi binafsi Vitendo hivyo vya kikatili vinaweza kufanyika nyumbani kwenye hadhara na mahali popote katika nyakati tofauti

Ukatili kati ya wenzi Ukatili unaohusisha wenzi wenye uhusiano wa ndani kama vile mtu na mke marafiki wapenzi wanafamilia au watu wanaoishi pamoja kama mke na mume bila ndoa rasmi Ukatili kati ya wenzi ni wa aina nyingi ikiwa ni pamoja na ukatili wa kimwili (kupigwa kuuma kumsukuma kumzuia kumtupia vitu) au kumtishia Aina nyingine ya ukatili wa wenzi ni ukatili wa kingono kisaikolojia (kumfanyia vitisho kuvizia kumpuuza) na ukatili wa kiuchumi (kunyimwa haki ya kufanya kazi kunyangrsquoanywa kipato kurithi mali nk)

Mhalifu Ni mtu kundi la watu au taasisi linalofanya moja kwa moja au kupitia wengine uhalifu au vitendo vya kikatili dhidi ya mtu au kundi la

xi

watuWahalifu wanakuwa katika hali ya kuwa au kuhisi kuwa na nguvu kufanya uamuzi naau mamlaka ya kuwadhibiti waliopatwa na UWAKI

Ukatili wa kimwili Ni kitendo cha kumdhalilisha mtu kwa kumpiga kumvua nguo kumwuma kumchoma kumsababishia ulemavu au kumwua kwa kutumia au kutotumia silaha

Nguvu Katika muktadha wa UWAKI madaraka yanahusiana na uwezo wa kuchagua Mamlaka makubwa yanaendana na uwezo mkubwa wa kufanya uamuzi Kwa upande mwingine mamlaka madogo yanaendana na uwezo dhaifu wa kufanya uamuzi na kwa hivyo kuongeza uwezekano wa kunyanyaswa UWAKI unahusisha matumizi mabaya ya madaraka ambapo mtu mmoja anajisikia kuwa ana mamlaka zaidi juu ya mwenzake na kutumia fursa hiyo kumnyanyasa

Kwa mfano kutumia shinikizo la aina yoyote ili kumfanya mtu mwenye uwezo mdogo kufanya naye ngono kwa madhumuni ya kumpatia faida au ahadi zozote ni kutumia vibaya madaraka Wanaume wana nafasi za madaraka kuliko wanawake na mara nyingi wanamiliki fedha mali na huduma Wanaume wana maumbile makubwa zaidi ya wanawake wana nguvu zaidi wanatumia silaha zaidi na wanadhibiti mawasiliano na usalama Madaraka yanategemea umri na mara nyingi watoto na wazee wana madaraka madogo zaidi Waume au marafiki wa kiume wana umri mkubwa zaidi kuliko wake zao au marafiki wa kike

Ubakaji Ni kitendo cha mtu kumwingilia mtu kimwili mtu mwingine kwa nguvu bila ridhaa yake au kitendo cha kumwingilia mtu mwenye umri chini ya miaka 18

Ulazimishaji ngono ndani ya ndoa Ni kitendo cha ngono kati ya wanandoa kinachofanywa na mwanandoa mmoja bila ridhaa au dhamira ya mwenzake akitumia nguvu vitisho kuogopesha hofu au wakati mwenza hawezi kutoa ridhaa

Vitendo hivyo vya ngono vinajumuisha kujamiiana ngono ya mdomo au kinyume na maumbile kulazimishwa kufanya ngono na mtu mwingine na vitendo vingine vya ngono ambavyo vinachukuliwa na mlazimishaji kama ukandamizaji udhalilishaji na vya kuumiza

xii

Nyumba salama Mahali pa hifadhi ya muda kwa watu waliopatwa na UWAKI mashahidi au watu wengine wanaoonekana kuwa hatarini Pia ni mahali ambapo jamii familia mtu mzima anayeaminika au taasisi ya hisani wanatoa kimbilio la usalama kwa watu waliopatwa na UWAKI

Ukatili wa Kingono Ni kitendo au jaribio lolote la unyanyasaji wa kingono linalosababisha au linaloweza kusababisha madhara ya kimwili kisaikolojia au kihisia

Ngono za Kulazimishwa Ni kitendo cha kumshurutisha au kujaribu kumshurutisha mtu mwingine kwa njia ya ukatili vitisho maneno makali udanganyifu kumpa matarajio ya kiuchumi ili ajihusishe na vitendo vya ngono bila ridhaa yake Ni pamoja na vitendo mbalimbali kama ubakaji na maeneo mapana zaidi kama wanawake kulazimishwa kuolewa na kutoa huduma ya ngono kwa wanaume ambao sio chaguo lao

Ukandamizaji wa Kingono Ni kumtumia mtu watu au jamii inayoishi kwenye mazingira magumu kwa madhumuni ya kuihusisha katika vitendo vya kujamiiana au vinavyohusiana na kujamiiana ili mhalifu afaidike kiuchumi au kijamii

Bughudha ya Kingono Ni matendo yanayohusiana na hisia za kujamiiana ambayo yanakera na kuudhi watu ndani ya jamii na mazingira ya kazi hayakubaliki yanasumbua yanarudiwa mara kwa mara na bila ridhaa kwa mfano matusi kukonyeza mavazi duni yenye kuonyesha maungo kupapasa picha za ngono na kuingilia faragha za mwili wa mtu

Ukatili wa Kingono Nikitendo au jaribio lolote la unyanyasaji wa kingono linalosababisha au linaloweza kusababisha madhara ya kimwili kisaikolojia au kihisia

Ukatili wa Kiuchumi na Kijamii Ni vitendo vya kumnyima mtu fursa ya kupata mahitaji ya msingi na ya kujiendeleza kama kumnyima elimu kazi kumiliki mali huduma za afya na vitendo vingine vinavyosababisha msongo wa mawazo

xiii

Ukatili Matumizi ya nguvu yanayompa mtu fursa ya kumtumia au kumkandamiza mtu mwingine ikiwa ni pamoja na kumsababishia woga au hofu madhara ya kimwili kifikra na kisaikolojia Ukatili unaweza kujitokeza kwa kumdhuru mtu kimwili au kumtishia kwa kutumia silaha au kumnyima mtu uhuru wa kufanya uamuzi na kumlazimisha kutenda kinyume na utashi wake

Ukatili Dhidi ya Wanawake Ni kitendo au vitendo vya unyanyasaji vyenye kulenga jinsia ya kike na vyenye kusababisha au kuleta madhara ya kimwili kingono kihisia kisaikolojia kiuchumi na kijamii Kitendo au vitendo hivi hujumuisha kutumia nguvu na vitisho vya kumnyima mwanamke haki na uhuru

xiv

SEHEMU YA KWANZA

UTANGULIZI

11 Hali ya Ukatili wa Kijinsia Duniani

Ukatili Wa Kijinsia (UWAKI) unatokana na kuwepo kwa tofauti kati ya wanaume na wanawake na hivyo kuhatarisha afya utu usalama na uhuru wa wahusika waliofanyiwa vitendo vya kikatili

UWAKI unajumuisha vitendo vingi vya ukiukwaji wa haki za binadamu kama vile unyanyasaji wa watoto kingono ubakaji unyanyasaji katika familia shambulio la aibu na udhalilishaji Vitendo vingine vya UWAKI ni usafirishaji haramu wa wanawake na wasichana na madhara mengine yatokanayo na mila na desturi hatarishi

Matukio ya ukatili wa kijinsia yanaacha athari kubwa za kisaikolojia na za kiafya kwa watu waliopatwa na ukatili ikiwa ni pamoja na kuathiri afya ya uzazi na mara nyingine kusababisha vifo

UWAKI haujatambuliwa kama ukiukwaji wa haki za binadamu katika sehemu nyingi duniani Tatizo hili hupunguza uwezo wa wanawake wanaume na watoto katika kufurahia uhuru na haki za msingi za kibinadamu Hata hivyo licha ya kuwepo kwa UWAKI katika nchi nyingi tatizo hili halijapewa kipaumbele UWAKI unaelezwa kuwa ldquoNi kitendo kiovu na cha aibu kubwa cha ukiukwaji wa haki za binadamurdquo Hali hii humfanya mwanamke kuwa tegemezi kijamii kiuchumi na kisheria na hupunguza uwezo wake katika kupata msaada mara anapofanyiwa ukatili

Utafiti uliofanywa na Shirika la Afya Duniani (WHO) kuhusu afya ya wanawake na ukatili wa kifamilia katika nchi 10 umeonyesha kuwa kati ya wanawake waliowahi kuwa na wenzi asilimia 13-61 walifanyiwa ukatili wa kimwili na wenzi wao asilimia 6-59 walifanyiwa ukatili wa kingono na asilimia 15-71 walifanyiwa vitendo vya ukatili wa kingono pamoja na kimwili Pia wanawake wengi vijijini walikiri kuwa walifanyiwa tendo la ngono kwa mara ya kwanza bila ridhaa yao na takwimu zinaonyesha matukio hayo katika baadhi ya nchi kama ifuatavyo Peru (24)

1

Tanzania (17) Bangladesh (30) na Ethiopia (17) Ukatili wa kimwili kwa wanawake wajawazito uliripotiwa kuwa ni asilimia 4-12

Wanawake na wasichana wanakabiliwa na aina nyingine ya ziada ya unyanyasaji Usafirishaji haramu wa wanawake na wasichana kwa ajili ya kazi na ngono za kulazimishwa ni biashara iliyoshamiri na mara nyingi waathirika ni wale wanaokabiliwa na hali ngumu ya maisha Ndoa za kulazimishwa na za utotoni ni ukiukwaji wa haki za binadamu kwa wanawake na wasichana lakini zinaendelea kushamiri kwenye nchi nyingi za Bara la Asia Mashariki ya Kati na Nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara Utafiti wa Shirika la Afya Duniani (2010) unaonyesha kuwa duniani kote mwanamke mmoja kati ya wanawake watano na mwanamume mmoja kati ya wanaume 10 wanaripotiwa kuathirika na unyanyasaji wa kingono wakati wa utoto

12 Hali ya UWAKI Kanda ya Afrika

Kuna uhaba wa taarifa takwimu na utafiti kuhusu UWAKI kwenye ukanda wa Afrika Mashariki Nchini Kenya kulikuwa hakuna takwimu zenye kuhusiana na ukatili wa kijinsia hadi utafiti wa hali ya jamii na afya ulipofanyika mwaka 2003 Utafiti huu ulionyesha kwamba asilimia 29 ya wanawake waliripotiwa kuathiriwa na ukatili wa kingono kwenye kipindi cha mwaka mmoja uliopita na wengi wa waathirika walikuwa wanawake wa umri wa miaka 20-29 Utafiti uliofanywa na Ushirika wa Wanasheria Wanawake nchini Kenya ulionyesha kwamba ukatili wa kijinsia katika familia unakabili asilimia 51 ya wanawake waliohudhuria kliniki nne za wajawazito kwenye jiji la Nairobi na waliripoti kuwa wamekuwa waathirika wa ukatili wakati fulani katika maisha yao kati yao asilimia 65 walifanyiwa ukatili na waume zao na asilimia 22 walifanyiwa ukatili na wanaume wasiowafahamu

Utafiti kuhusu UWAKI uliofanywa baada ya uchaguzi wa 2007 nchini Kenya ulilenga makazi duni ya Kibera jijini Nairobi yenye wakazi wapatao milioni moja Utafiti huu ulionyesha kuwa umri wa waathirika waliobakwa ulikuwa kati ya miaka 25-68 na wengi wao walikuwa wenye umri wa miaka ya 30 UWAKI uliwaathiri wanawake wa umri wa miaka yote Utafiti huu ulibaini kwamba baadhi ya waathirika waliambukizwa virusi vya UKIMWI

2

Mwaka 2007 Umoja wa Mataifa ulikadiria kuwa kiwango cha ubakaji wa wanawake katika eneo la Kivu kaskazini ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ulikuwa ni wanawake 350 kwa mwezi Mwaka 2008 shirika linalotetea haki za binadamu duniani (Amnesty International) liliripoti kuwa wanawake 40 hubakwa kila siku katika eneo hilo hilo

3

SEHEMU YA PILI

UCHAMBUZI WA UWAKI TANZANIA

21 Ukubwa wa tatizo la UWAKI Tanzania

Utafiti uliofanywa na Shirika la Afya Duniani (WHO)1 kuhusu afya ya wanawake na ukatili majumbani kwenye nchi 10 umebaini kuwa ukatili dhidi ya wanawake upo sehemu nyingi ikiwemoTanzania Utafi ti huo ulihusisha wanawake 1820 Dar es Salaam na wanawake 1450 Mbeya waliowahi kuwa na wenzi Matokeo yalionyesha kwamba asilimia 41 ya waliohojiwa katika jiji la Dar es Salaam na asilimia 55 ya waliohojiwa katika jiji la Mbeya waliathirika na aina mbalimbali za UWAKI Taarifa ilionyesha kuwa asilimia 15 hadi 71 ya wanawake walioathirika na ukatili wa kimwili au wa kingono ulifanywa na waume au wenzi wao Utafi ti huo pia ulionyesha kwamba asilimia 15 ya wanawake walifanya kitendo cha ngono kwa mara ya kwanza kwa kulazimishwa Aidha asilimia 4 hadi 12 ya wanawake waliripotiwa kunyanyaswa kimwili wakati wa ujauzito

Kufuatana na uchunguzi wa kitaifa nchini Tanzania kiwango cha ukatili majumbani kati ya wanawake wenye umri wa miaka 15- 49 ni asilimia 45 ikijumuisha ukatili wa kimwili (25) kingono (7) na (14) kwa aina zote mbili Unyanyasaji wa kimwili kwa wanawake wajawazito ulikuwa asilimia tisa (9) Kiwango cha wanawake waliokabiliwa na matukio ya kushurutishwa na wenzi wao kilikuwa asilimia sitini (60) Kiwango cha matukio ya ukatili wa kimwili kinatofautiana sana kati ya mkoa na mkoa ambapo kiwango cha juu sana kipo kwenye mkoa wa Dodoma (71) na cha chini kabisa kwenye mkoa wa Tanga (16) Ukatili wa kingono ni wa kiwango cha juu sana kwenye mkoa wa Rukwa (32) na chini kabisa kwenye mkoa wa Shinyanga (5) Kiwango cha wanawake waliowahi kuwa kwenye ndoa ambao wameathirika na ukatili wa kingono kutoka kwa mume au mwenzi wa sasa ni 48 mume wa zamani (21) rafiki wa kiume wa sasazamani (7) Kwa upande wa wanawake ambao hawajaolewa 27 ya ukatili ulifanywa na marafi ki wa kiume wa sasa au wa zamani

1 World Health Organization (WHO)

4

Uchunguzi wa WHO uliotajwa hapo juu umeonyesha usafi rishaji wa wanawake na wasichana kwa ajili ya kazi na ngono za kulazimishwa ni biashara iliyoshamiri na mara nyingi waathirika ni wale wanaokabiliwa na hali ngumu ya maisha Ndoa za kulazimishwa na za utotoni kama zilivyo kwenye jamii nyingi ni ukiukwaji wa haki za binadamu kwa wanawake na wasichana kwa sababu hawana fursa ya kutoa ridhaa Zaidi ya 60 ya waathirika wa UWAKI nchini Tanzania hawachukui hatua yoyote ya kutoa taarifa ya ukatili kwa mamlaka rasmi au vyombo vya kutekeleza sheria Upo uwezekano mkubwa wa maambukizo ya VVU kutokana na UWAKI Vijana wa kike wa Kitanzania wenye umri wa miaka 18-29 ambao wamekuwa wakinyanyaswa na wenzi wao wana uwezekano wa mara 10 zaidi kupata maambukizo ya VVU kuliko wanawake ambao hawajanyanyaswa

Utafiti uliofanyika Dar es Salaam mwaka 2000 ulibaini kuwa zaidi ya 90 ya waathirika wa ubakaji wanawafahamu wahalifu wao Katika utafiti mwingine uliofanyika Dar es Salaam asilimia ishirini na tano (25) ya wanawake waliohojiwa walikiri kwamba ldquoUkatili ni tatizo kubwa kwenye maishardquo Nchini Tanzania ubakaji ndani ya ndoa hautambuliwi kama kosa la jinai isipokuwa kama wenza wametengana

Vitendo vya UWAKI nchini Tanzania kwa ujumla vinalenga zaidi wanawake na wasichana kutokana na desturi na mazoea ya jamii ambazo zinawabagua na kuwapunguzia uwezo wa kufurahia haki zao za kibinadamu Ingawa mashambulizi ya ngono yanawalenga zaidi wanawake na wasichana hata hivyo wanaume na wavulana vilevile wanalengwa katika unyanyasaji wa kingono kubughudhiwa na kushambuliwa

Ukatili kama ulivyofafanuliwa unadhihirisha tofauti ya madaraka kati ya mwathirika na mhalifu wa ukatili wa kingono ambapo mhalifu mara nyingi ana umbo kubwa umri mkubwa utajiri au ni mmojawapo kwenye kundi la watu wenye mamlaka au anatumia silaha Nchini Tanzania asilimia 134 ya vijana wameathiriwa na mashambulio ya kingono ya namna moja ama nyingine Kwa ujumla kutokana na sababu mbalimbali nchini Tanzania kuna uhaba wa taarifa za UWAKI pia taarifa zilizopo siyo kamilifu

5

Uzoefu unaonyesha kuwa bila kujali hali ya afya ya kimwili ya mwathirika UWAKI humwacha mwathirika na majeraha ya muda mrefu na kupunguza uwezo wa mwathirika kushirikiana na jamii na familia Athari zaidi hujitokeza kwa mwathirika kama vile aibu unyanyapaa msongo wa mawazo na mfadhaiko Tatizo hili kwa waathirika linachochewa na ldquoUtamaduni wa ukimyardquo miongoni mwa familia na jamii inayowazunguka UWAKI una athari ya moja kwa moja na matokeo hasi kwa afya na ustawi wa kiuchumi na kijamii kwa familia hasa kwa wanawake na watoto

22 Unyanyasaji wa Mtoto na Kijana

Utafiti wa kitaifa nchini Tanzania kuhusu Ukatili Dhidi ya Watoto ni wa kwanza na wa aina yake katika Bara la Afrika Matokeo ya utafi ti yameonyesha kwamba mara nyingi watoto wanakabiliwa na unyanyasaji na matukio mengi na ya namna mbalimbali yanayojumuisha ukatili wa kimwili kingono na kisaikolojia Utafiti ulibaini kuwa watoto wengi wako kwenye hatari kubwa ya kunyanyaswa kwenye mazingira ya nyumbani na shuleni Haya ni maeneo mawili ambayo watoto wengi wa Kitanzania hutumia muda wao mwingi wakati wanakua na kuelekea kwenye ujana Robo tatu ya watoto wanapofikia umri wa miaka 18 huwa wameathirika na ukatili wa kimwili kwa namna moja ama nyingine kutokana na ukatili wa ndugu mwalimu au kiongozi Kutokana na utafiti takribani 30 ya wanawake wenye umri kati ya umri wa miaka 13-24 na 14 ya wanaume wenye umri kati ya miaka 13-24 nchini Tanzania waliripotiwa kuathirika na ukatili wa kingono angalau mara moja kabla ya kufikisha umri wa miaka 18

Nchini Tanzania ukeketaji hufanyika mapema utotoni Karibu mwanamke mmoja kati ya wanawake watatu waliokeketwa (32) walikeketwa kabla ya kufikisha umri wa mwaka mmoja na 27 walikeketwa wakiwa na umri wa miaka 13 au zaidi Hata hivyo ukeketaji kwa wasichana hufanyika katika umri mdogo sehemu ya wanawake waliokeketwa wakiwa na umri wa miaka 5 iliongezeka kutoka 34 hadi 39 kwa mujibu wa Utafiti wa Afya ya Jamii [UAJ] 2004-05 na UAJ 2010 Kulingana na utafiti huu 5 ya wasichana wa miaka 13shy17 waliripotiwa kuwa wamekeketwa na 10 ya wasichana wa umri wa miaka 18-24 waliripotiwa kukeketwa Kwa mujibu wa sheria kukeketa ni

6

kosa linalostahili adhabu Kuna uwezekano kwamba wale waliokeketwa huwa wanasita kutoa taarifa na ndiyo sababu ya taarifa kuwa chache

23 Mazingira ya Sera ya UWAKI

Serikali ya Tanzania imeonyesha nia yake ya kushughulikia masuala ya UWAKI kwa kuridhia mikataba kadhaa ya kimataifa yenye kuhusiana na UWAKI na jinsia Mkataba wa Kutokomeza Aina Zote za Ubaguzi Dhidi ya Wanawake (1985) ambao umekuwa chombo katika kupambana na matukio ya ubaguzi ikiwa ni pamoja na ukatili Jukwaa la Beijing (1995)2 na Malengo ya Maendeleo ya Milenia (2000)3 Tanzania pia imeridhia hati ya Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu kuhusu haki za wanawake na hati ya Ushirikiano wa Maendeleo wa Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC)4

Vipaumbele vya maendeleo ya Tanzania vinaainishwa katika Dira ya Taifa 2025 na katika Mpango wa Kuondoa Umaskini na Kukuza Uchumi (MKUKUTA) MKUKUTA II (2011-25) unashughulikia UKIMWI na jinsia kama masuala mtambuka na ni mkakati wa kwanza wa kitaifa unaotambua UWAKI kama suala la kisera kwa watu wote Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto ndiyo yenye jukumu la kuratibu shughuli zote zinazohusiana na jinsia

Wizara hiyo imetayarisha Sera ya Maendeleo ya Jinsia (2000) kwa ajili ya kushughulikia upungufu na kukosekana kwa usawa kati ya wanaume na wanawake Pia Wizara imetayarisha Mkakati wa Kitaifa wa Jinsia na Maendeleo (2002) unaotoa dira na kuwezesha usawa wa kijinsia nchini Pamoja na Mpango wa Taifa wa Vitendo vya Kukinga na Kutokomeza Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto (2001-2015) kwa ajili ya kuongeza juhudi za Serikali za kisheria kwa kupambana na UWAKI na kuhakikisha lsquousawarsquo na lsquohakirsquo kati ya wanawake na wanaume nchini Tanzania Sera ya Taifa ya Afya ina mfumo wa utoaji wa huduma za afya kwa watu wote wanaohitaji ikiwa ni pamoja na waathirika wa UWAKI

2 Beijing Platform for Action - (BPA 1995) 3 Millennium Development Goals - (MDG 2000) 4 Southern African Development Cooperation - (SADC)

7

24 Haki za Binadamu Sheria na Mazingira ya Udhibiti

Tanzania imeridhia Sheria ya Haki za Binadamu na masharti ya vyombo kadhaa vya kimataifa na kikanda ambavyo vinakataza ubaguzi kwa misingi ya jinsia na hivyo kuhitaji serikali ihakikishe kwamba wanawake hawabaguliwi Vyombo hivi ni Mkataba wa Kimataifa wa Kuzuia aina zote za Ukatili na Unyanyasaji wa Kijinsia 1979 pamoja na Mkataba wa Kimataifa wa Haki za Kiraia na Kisiasa (1966)5 Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu (1981) na Hati ya Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu Kuhusu Haki za Wanawake Afrika (2000)

Tanzania imetunga sheria inayosimamia kukinga na kupambana na UWAKI Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (1977) iko wazi kwa kukataza ubaguzi na kwa misingi hiyo inatoa haki ya usawa [Ibara ya 12-24] Sheria ya Mtoto (2009) inawezesha jitihada za kupunguza ukatili dhidi ya watoto Sheria Maalumu ya Makosa ya Kujamiiana (1998)6

ilitungwa kwa lengo la kulinda heshima ya mwanamke na kuweka vikwazo kwa UWAKI kwa kutoa adhabu kali kwa makosa ya kingono Sheria hii inajumuisha ukatili wa kingono ubakaji biashara haramu ya usafirishaji watu bughudha za kingono na kukataza ukeketaji chini ya kifungu cha lsquoUkatili kwa watotorsquo

Hii ilikuwa mara ya kwanza kwa Tanzania kutunga sheria ya kukataza vitendo vilivyotajwa hapo juu na hatima ya sheria hii imewekwa chini ya sheria za adhabu kifungu cha 16

Sheria ya Adhabu (marekebisho ya 2002) inawekea vikwazo vitendo vya UWAKI mathalan vitisho Sehemu ya 89B 89A kutoroka watoto Sehemu ya 166 kutelekeza watoto Sehemu ya 167 kuua bila kukusudia Sehemu ya 195 mauaji Sehemu ya 196 mashambulizi Sehemu ya 240shy243 kutorosha Sehemu ya 246 utekaji nyara Sehemu ya 244 kazi za kulazimishwa Sehemu ya 256 wizi utokanao na mwenzi Sehemu ya 264 tishio la uchomaji Sehemu ya 332 uchomaji Sehemu ya 319-322 kuficha nyaraka Sehemu ya 276-278 Sheria ya Biashara ya Binadamu Na 6 ya mwaka 2008 inakataza biashara ya binadamu kwa sababu yoyote

5 International Covenant on Civil and Political Rights - (ICCPR 1966) 6 The Sexual Offences Special Provisions Act 1998 (SOSPA)

8

Sheria ya Kuzuia VVU UKIMWI Na 28 ya mwaka 2008 inakataza unyanyapaa na inafanya uambukizaji wa VVU kwa makusudi kuwa kosa la jinai

Pamoja na kuwepo vyombo vya kimataifa kikanda kitaifa na vya sheria za kuhakikisha haki kwa wanawake tatizo la UWAKI limetapakaa nchini Tanzania lakini linaripotiwa kwa nadra UWAKI unaathiri zaidi wanawake na wasichana kuliko wanaume na wavulana Haya ni matokeo ya uhusiano usio sawa kati ya wanaume na wanawake katika jamii ambayo yanajidhihirisha katika maeneo kadhaa ikiwa ni pamoja na maeneo ya kiuchumi kijamii kisiasa na kisheria

Mara nyingi UWAKI unapunguza uwezo wa wanawake na wasichana wa kufurahia haki za kimsingi za binadamu na uhuru kama ilivyoainishwa kwenye Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Utambuzi wa wahalifu wa UWAKI nchini Tanzania ni nadra kulinganisha na idadi ya mashambulizi Ni muhimu kushughulikia mahitaji ya kisheria ya waathirika wote wa UWAKI wanawake wasichana wanaume wavulana na watoto

25 Miundombinu ya utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii

Mfumo wa utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii upo katika ngazi ya kitaifa mikoajiji na wilaya manispaa Mfumo huu unawezesha utoaji wa huduma za kuboresha afya kuzuia magonjwa tiba utengemao na ustawi wa jamii kwa kupitia vituo vya kutolea huduma za afya vinavyojumuisha zahanati vituo vya afya na hospitali

Kuna mfumo wa rufaa kitaifa wa njia mbili kupeleka na kurejesha mgonjwa ambao unaanzia kwenye jamii na kwenda kwenye zahanati ambazo zipo 4679 vituo vya afya (481) hospitali za wilaya (95) hospitali za mikoa (19) na hospitali za rufaa za taifa (8) Kuna vituo vya kutolea huduma za afya 5718 nchini Tanzania vikijumuisha zahanati (86) vituo vya afya (10) na hospitali (4) vikiwa chini ya umiliki wa serikali (69) mashirika ya kidini (14) mashirika ya umma ( 3) na mashirika binafsi (14)

9

Mpango wa Maendeleo wa Afya ya Msingi [(MMAM) 2007-2017 pamoja na malengo mengine unakusudia kuhakikisha kuwa kuna kituo kimoja cha afya kwa kila kata katika kata 2555 zilizopo na zahanati moja kwa kila kijiji katika vijiji 10342 Jumla ya vituo vya afya ya msingi 8107 hospitali za wilaya 62 na taasisi 128 za mafunzo zitaanzishwa ifikapo mwaka 2012

Mahitaji ya watoa huduma za afya ni 82377 na waliopata mafunzo ni 29063 (35) ikiwa ni upungufu wa 65 ya mahitaji Mahitaji ya watoa huduma wa ustawi wa jamii ni 3892 Kuna wafanyakazi 210 wa ustawi wa jamii ikiwa ni upungufu wa 95 ya mahitaji na uhaba mkubwa katika ngazi za wilaya (93) kata (100) na vituo vya watu wenye ulemavu na taasisi nyingine (85) (WAUJ 2006)

Kuna uhaba wa wafanyakazi wa afya wenye ujuzi kwenye ngazi za zahanati (69) vituo vya afya (59) na hospitali za rufaa (48-67) Kwa ujumla kuna uhaba wa wafanyakazi wa ustawi wa jamii wenye ujuzi kwa kiwango cha 95 katika ngazi zote kanda (21) wilaya (93) kata (100) na vituo vya walemavu (95) Kama ujenzi wa vituo hautaendana na upatikanaji wa watoa huduma utekelezaji wa MMAM utakuwa na upungufu mkubwa

Kwa kawaida kuna hospitali ya wilaya au teule kwa kila Mamlaka ya Halmashauri ya Wilaya (MHW) Kuna MHW 133 ambazo zina majukumu na wajibu wa kutoa huduma za afya kwenye maeneo yao Kila MHW ina Bodi ya Afya ya Wilaya (BAW) ambayo inajumuisha madiwani waliochaguliwa na kusimamia mipango na utekelezaji wa huduma za afya kwenye wilaya

Mipango na usimamizi wa huduma za afya katika halmashauri inaongozwa na Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri ambayo kiongozi wake ni Mganga Mkuu wa Wilaya na ni Katibu wa BAW Kuna bodi ya hospitali ya wilaya teule Bodi ya Huduma ya Afya (BHA) ya kituo cha afya inayowakilisha wakazi wa kata na bodi ya zahanati inayowakilisha wakazi wa kijiji bodi zote zikiwa na uwakilishi sawa wa kijinsia

Makadirio ya matumizi ya afya kwa mtu mmoja kwa mwaka 201011 ilikuwa ni dola za kimarekani 1575 ambapo WHO imependekeza

10

kiwango cha dola 3400 za Kimarekani Matumizi ya afya ni asilimia 14 ya Bajeti ya Taifa kwa mwaka ambacho ni chini ya kiwango cha asilimia 15 kilichopendekezwa na Tamko la Abuja

Mfumo wa utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii upo katika ngazi zifuatazo

[a] Ngazi ya Kitaifa WAUJ ina jukumu la kutayarisha sera za afya na miongozo inayohusiana na huduma za afya kuweka viwango kuhakiki ubora kufuatilia na kutathmini pamoja na kusimamia utoaji wa huduma za afya zenye kujumuisha kuboresha afya kinga tiba utengemao na ustawi wa jamii Hospitali za rufaa zina asilimiai 52 tu ya wafanyakazi wenye ujuzi

[b] Ngazi ya MkoaJiji Timu ya Uendeshaji ya Afya ya Mkoa ina jukumu la kuongoza na kuendeleza utekelezaji wa mpango mkakati wa afya kwenye mkoa pamoja na ushauri wa kitaalamu kwa Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri kwenye maeneo yafuatayo (1) Utekelezaji wa sera miongozo na viwango vya utoaji wa huduma za afya kwa usahihi na kwa muda uliopangwa ukihusisha watoa huduma wote wa umma binafsi kwenye MHW (2) kupanga kwa ufanisi kutekeleza kufuatilia na kutathmini mipango ya afya ya kina katika halmashauri Kamati ya utawala ya hospitali ya mkoa ina jukumu la kupanga na kusimamia hospitali ya mkoa ambayo ni ngazi ya pili ya rufaa Kuna hospitali 19 za mikoa ambazo zina 34 tu ya wataalamu wa afya

[c] Mamlaka ya Halmashauri ya WilayaManispaa Huduma za afya katika ngazi hii zinasimamiwa na Halmashauri ya Wilaya kupitia BAW chombo kilichoundwa (2001) chini ya Sheria namba 7 ya mwaka 1982 kifungu cha 86A BAW inawajibika kwa utoaji wa huduma za kina kwenye wilaya Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri inatoa ushauri wa kiutaalam kwa utekelezaji wa uamuzi wa BAW

[d] Ngazi ya Wilaya Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri huandaa na kutekeleza mpango wa kina wa afya wa halmashauri pamoja na kufuatilia na

11

kutathmini huduma za afya kwenye hospitali vituo vya afya zahanati na jamii ikiwa ni pamoja na kufanya utafiti Kamati ya Utawala ya Hospitali inasimamia mipango na huduma kwenye hospitali ya wilaya ambayo ni ngazi ya kwanza ya rufaa Kuna hospitali 95 za wilaya zikiwa ni pamoja na hospitali teule ambazo zina asilimia 33 tu ya wataalamu wa afya

[e] Ngazi ya Kata Kamati ya Afya ya Kata inasimamia upangaji ubunifu na uratibu wa mipango ya afya ya jamii husimamia na huhamasisha upatikanaji wa rasilimali pamoja na ukusanyaji na matumizi ya Mfuko wa Afya wa Jamii Vituo vya afya vina jukumu la kutoa huduma za kina za afya na ustawi wa jamii kwenye kata Kamati ya Kituo cha Afya inasimamia utoaji wa huduma za afya na kuhamasisha ukusanyaji wa rasilimali zinazohitajika Timu ya Kituo cha Afya ina wajibu wa kusimamia shughuli za kila siku kwenye kituo cha afya Timu inapanga na kusimamia juhudi za afya ya jamii katika eneo lake chini ya Mpango wa Maendeleo ya Kata Kuna jumla ya kata 2555 nchini ambapo kata 481 sawa na 19 zina vituo vya afya ambavyo vina 41 tu ya wataalamu wa afya

[f ] Ngazi ya Kijiji Kamati ya Zahanati inahakikisha kwamba idadi ya watu katika eneo lake wanapata huduma sahihi za afya na nafuu pamoja na kusimamia uhamasishaji wa rasilimali kwa ajili ya utekelezaji wa mpango wa zahanati Timu ya Usimamizi wa Zahanati inapanga na kusimamia juhudi za afya ya jamii kwenye maeneo chini ya Mpango wa Maendeleo ya Kata Kuna jumla ya vijiji 10342 ambapo 4679 vina zahanati sawa na 45 ambazo ni aslimia 31 tu ya zahanati zina wataalamu wa afya wanaotosheleza Kamati ya Huduma za Jamii kwenye kijiji ina wajibu wa kuhamasisha na kushirikisha jamii ili wajihusishe kuboresha na kulinda afya

[g] Ngazi ya Kaya Kuna kaya takriban milioni 7 nchini Tanzania na wastani wa watu 47 kwa kila kaya (ambapo 70 ya kaya zote zinaongozwa na wanaume na 30 zinaongozwa na wanawake) Sera ya Afya ya Taifa inatamka kwamba ni wajibu wa kila raia kuendeleza na kulinda afya yake pamoja na ya familia yake Pamoja na haya kila raia ana jukumu la kujiepusha na tabia hatarishi kwa afya yake pamoja na ya mwenzie na kuchangia rasilimali kwa ajili ya afya yake na uendelezaji wa vituo vya kutolea huduma za afya

12

26 Kukinga na Kupambana na UWAKI

Serikali ya Tanzania na washirika wake wa karibu wametekeleza mambo mbalimbali yanayohusiana na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Wizara ambazo zinahusika kwa ukaribu kwenye utekelezaji wa mipango ya kukinga na kupambana na UWAKI ni pamoja na Wizara ya Maendeleo y a Jamii Jinsia na Watoto Wizara ya Sheria na Katiba Wizara ya Mambo ya Ndani na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Kuna ushirikiano kati ya wizara idara mashirika asasi za kiraia na wadau wa maendeleo Katika ngazi ya kitaifa serikali inatekeleza Mkakati wa Maendeleo ya Jinsia (2005) na kukuza usawa wa jinsia na haki kwa wanawake Utekelezaji wa Sheria Maalumu ya Makosa ya Kujamiana (1998) ambayo sasa ni Kanuni ya Adhabu Sura ya 16 Toleo la Marekebisho 2002 Pia serikali inatekeleza Mpango wa Taifa wa Vitendo wa Kuzuia na Kutokomeza Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto (2001-2015) ambao una lengo la kutokomeza ubaguzi na unyonyaji wa kisheria kijamii kiuchumi kiutamaduni na kisiasa Zaidi ya yote Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (1977) inatamka kuheshimu misingi ya usawa na haki kwa kila mtu

Kwa kushirikiana na wadau wengine serikali inawezesha uanzishwaji wa kitengo cha jinsia kwenye idara za wizara mbalimbali (mfano idara ya polisi chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi) Mashirika ya Jamii hutoa utetezi msaada wa kisheria huduma za afya na kuendesha kampeni na mashirika mengine yamechukua hatua za kutoa hifadhi kwa waathirika wa UWAKI na Vituo vya Kuhifadhi Waathirika Kuna sera za kitaifa sheria mikakati na mipango ya kazi kwa ajili ya kushughulikia usawa wa kijinsia Vilevile serikali kwa kushirikiana na asasi za kiraia imejenga mazingira mazuri ya kuwezesha waathirika kupata huduma kama vile msaada wa kisheria Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii (WAUJ) imekuwa ikitoa huduma kwa waathirika wa UWAKI licha ya kutokuwepo kwa mwongozo wa sera kwa ajili ya wahudumu wa vituo vya kutolea afya

27 Changamoto katika Kuzuia na Kupambana na UWAKI

Muundo wa sheria sera na juhudi za kukuza haki za binadamu zinakabiliwa na changamoto mbalimbali zinazofisha jitihada za kuzuia kupambana

13

na kuepusha athari za UWAKI nchini Tanzania Changamoto hizo ni pamoja na upungufu wa fedha upungufu wa kisheria na sera zilizopo uratibu duni kati ya wadau na kukosekana kwa mfumo wa rufaa kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI Hali kadhalika uelewa na taarifa juu ya ukubwa wa tatizo la UWAKI ni duni kwa hivyo WAUJ imebuni na kutayarisha mwongozo maalumu wa sera na huduma dhidi ya UWAKI ili kukabili changamoto hizo

[a] Sera za Taifa Serikali ya Tanzania inajitahidi kujenga mazingira mazuri ya kuzuia na kupambana na UWAKI Ingawa Sera ya Afya ina lengo la kutoa huduma za afya za kutosha kwa kila Mtanzania ipo haja ya kuwa na miongozo na mikakati inayofafanua masuala ya UWAKI kwa ukamilifu Ukosefu wa miongozo na sera ya usimamizi dhidi ya UWAKI ni kikwazo kikubwa kwa juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kutibu na kuhudumia waliopatwa na UWAKI Sekta ya afya itatumia mwongozo wa sera hii ili kuboresha huduma ya kupambana na UWAKI kwa kushirikisha na kuwahusisha wadau wote

[b] Sheria zaTaifa Pamoja na kuwepo sheria nyingi zilizopitishwa kwa ajili ya kulinda haki za wanawake na watoto bado zipo changamoto nyingi Kwa mfano kuna baadhi ya sheria zenye utata baadhi zinapingana na hivyo kupunguza uwezo wa kupambana na UWAKI Pamoja na hayo Sheria ya Ndoa kama ilivyofanyiwa marekebisho 2002 haiainishi hatua za kuchukuliwa dhidi ya ukatili wa kifamilia Sheria hii ni kama inahalalisha ubakaji kwa kuruhusu binti kuolewa chini ya umri wa miaka 18 Sheria ya Makosa ya Kujamiiana na Vipengele Maalumu (1998) haitambui ubakaji ndani ya ndoa ingawa inatambua ubakaji ikiwa mume na mke wametengana Mbali na upungufu huo sheria ya makosa ya kujamiiana kwa upande wa kuthibitisha ushahidi wa kuingiliwa kimwili ni mgumu Sheria ya Mila (Tangazo la Serikali Na4361963) ambayo inatumiwa na Watanzania wote wazawa inatokana na mila na desturi za makabila mbalimbali ya Tanzania sheria hii ya Mila ni ya kibaguzi na huleta changamoto kwa wanawake na watoto ambao wamezaliwa nje ya ndoa hususan katika urithi wa mali Kwa mfano ugawanaji wa mali ya marehemu upo katika makundi matatu (1) Mtoto wa kwanza wa kiume (2) Watoto wengine wa kiume waliobaki na (3) Watoto wa kike bila kujali umri

14

na hali katika familia Watoto wa kike wa marehemu hurithi fungu dogo na hunyimwa haki ya kumiliki ardhi Kwa mujibu wa sheria hii mjane hana haki ya kurithi mali yoyote kutoka kwa marehemu mume wake isipokuwa huchukuliwa kuwa atatunzwa na watoto wake Mjane ambaye hajabahatika kuzaa hupata asilimia 20 ya asilimia 50 ya mali za marehemu mume wake Mbali na urithi sheria hii kwa upande wa talaka ikiwa mke alilipiwa mahari wakati ndoa inapovunjwa na mahakama mume ana haki ya kudai kurudishiwa mahari

Sheria zenye kupunguza makali ya UWAKI zimeweka kanuni za kuwezesha wadau katika sekta mbalimbali kuandaa sera na miongozo ya kuzuia na kupambana na UWAKI Wahusika muhimu katika sekta mbalimbali wanapaswa kupitia sheria zinazotoa mwanya wa mwendelezo wa UWAKI na kupendekeza marekebisho au utungwaji wa sheria nyingine zitakazopunguza na kumaliza vitendo vya UWAKI Hata hivyo kuna umuhimu wa kuwepo kwa wajibu na majukumu ya sekta mbalimbali katika kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kupambana dhidi ya unyanyasaji na ukatili kwa watoto Kwa kutambua na kuimarisha wajibu huo katika kila sekta itasaidia uzingatiaji wa sera na kuimarisha ari ya utendaji katika sekta zifuatazo

bull Ustawi wa Jamii Kujenga mfumo wa kufanya tathmini ya vihatarishi katika kupima mfumo wa rufaa unaohusisha sekta na huduma mbalimbali kuweza kuamua na kuchukua hatua za haraka na za muda mrefu katika kupambana na kutoa mahitaji ya haraka na ya muda mrefu kwa ajili ya ulinzi wa watoto na waathirika wengine

bull Elimu Kujumuisha elimu dhidi ya ukatili wa kijinsia katika mitaala ya elimu ikiwa ni pamoja na kuandaa mazingira salama shuleni na kuingiza katika programu za elimu zinazoelezea juu ya masuala ya kujifahamu kimwili (kibiolojia) afya ya uzazi na maendeleo yaa jamii Kuhakikisha kwamba sekta mbalimbali za rufaa na mifumo inayotoa ulinzi wa mtoto vinahusishwa katika elimu hiyo

bull Polisi na sheria Kuimarisha na kupanua ulinzi sahihi wa kisheria kwa ajili ya watoto na kuchukua hatua za kisheria kwa watuhumiwa wa uhalifu kuendeleza juhudi za kuimarisha dawati la jinsia na watoto katika idara ya Polisi nchini Kuendelea kuelimisha polisi na watumishi wengine

15

wa usalama wa raia kuhusu ukatili dhidi ya watoto na kuwa na utaratibu wa uchunguzi wa pamoja na idara ya ustawi wa jamii afya mamlaka na vitengo vingine vinavyohusika na ulinzi na usalama wa mtoto

bull Afya Kufanya kazi katika muundo wa pamoja na wadau wengine kwa kufuata miongozo iliyopo kwa ajili ya kuzuia kutibu kuhudumia na kufuatilia matukio ya ukatili dhidi ya watoto Kuimarisha mifumo iliyo wazi yenye kuunganisha huduma rafi ki kwa watoto na vijana dhidi ya UWAKI

[c] Polisi na Mahakama Mabadiliko katika idara ya polisi hasa katika uanzishwaji wa polisi jamii na dawati la jinsia na watoto yanaonyesha maendeleo katika kushughulikia UWAKI Hata hivyo waathirika wa UWAKI wanakabiliwa na ugumu wa kufika katika vituo vya polisi na mfumo wa utoaji haki Kwa mfano zipo kesi zilizotupiliwa mbali na Mahakama kwa kukosa ushahidi muhimu kutoka upande wa mashtaka Matokeo yake ni kwamba waathirika wanakosa motisha ya kutoa taarifa ya matukio ya UWAKI na hivyo hushindwa kufikisha malalamiko katika vyombo vya utoaji haki

Upungufu wa mafunzo kwa polisi na watoa huduma za kisheria juu ya namna ya kuzitumia sheria zilizopo dhidi ya UWAKI kumesababisha kesi mahakamani kushindwa Mfano Fomu ya Polisi namba 3 (PF3) inatoa taarifa juu ya tukio la shambulio na haitoi maelezo juu ya tukio hilo kama limetokana na UWAKI Ingawa zipo sheria zinazopinga UWAKI sheria hizo hazifahamiki hivyo hazitumiki kikamilifu Pamoja na hayo sheria za kimila na imani za kidini zinazuia waathirika kutoa taarifa za matukio ya UWAKI

Sheria ya Makosa ya Kujamiiana na Vipengele Maalumu (1998) inatoa adhabu kali kwa makosa ya kujamiiana Mara nyingi watuhumiwa hawafikishwi mahakamani kwa kuhofia kudhurika kwa familia zao kwa upande wa kukosa kipato kutoka kwa mtuhumiwa (kwani adhabu za makosa hayo huwa ni kifungo cha muda mrefu) Kwa sababu hizo utoaji wa taarifa kutoka kwa waathirika na familia zao ikiwa ni pamoja na matumizi ya sheria na uendeshaji wa mashtaka umeendelea kuwa changamoto pamoja na kuwepo kwa Sheria ya Makosa ya Kujamiiana inayotoa ulinzi dhidi ya UWAKI

16

bull

bull

bull

bull

bull

[d] Mila na Desturi Katika ngazi ya jamii na mtu binafsi zipo sababu mbalimbali zinazochangia kwa kiwango kikubwa matukio ya UWAKI Utafiti uliofanywa na mtaalamu wa Shirika la Afya Duniani (WHO)7 unaainisha vipengele hatarishi vifuatavyo juu ya mila na desturi

Kanuni za kimila katika uhusiano wa kijinsia humpa mwanamume madaraka na haki zaidi Baadhi ya mila na desturi huhimiza uvumilivu juu ya vitendo vya UWAKI na kuwazuia waathirika kutoa taarifa na kupata msaada Uwezeshaji wa mwanamke katika kupambana na mfumodume hujenga hisia kwa mwanamume kuwa anapoteza mamlaka yake na hivyo huwaudhi baadhi ya wanaume na kuendelea kufanya ukatili kwa lengo la kuwadhibiti wanawake Matumizi ya baadhi ya sheria za kimila hayawasaidii waathirika kupata haki Hofu ya kulipiza kisasi unyanyapaa ubaguzi na kukosekana kwa huduma huwazuia waathirika kutoa taarifa na kupata msaada

[e] Madaraka na Mamlaka Madaraka na mamlaka ni muhimu katika kuzuia na kupambana na UWAKI Wakati mwingine watu wenye madaraka na mamlaka hufumbia macho matukio ya UWAKI Kwa mfano upo ushahidi wa kutosha kuwa kuna matumizi mabaya ya madaraka na mamlaka shuleni na maeneo ya kazi

[f ] Kuhusisha Jamii Jamii ndiyo ngazi ya awali kujua tukio la UWAKI na kutoa msaada wa usalama na ulinzi kwa mwathirika Utafiti wa Shirika la Afya Duniani katika nchi mbalimbali ulionyesha kwamba asilimia 37 ya waathirika walipata msaada kutoka kwa jamii Kutokana na kiwango cha unyanyapaa ubaguzi na kutengwa kijamii viongozi katika ngazi ya jamii waliohamasishwa juu ya UWAKI waliweza kukabili mazingira haya ya kiuhasama Jamii inaweza kumsaidia mwathirika kwa kujenga mazingira mazuri (kwa mfano kituo cha hifadhi salama) Jamii inahusishwa katika

7 Krug Etienne et al 2002 World Report on Violence and Health Geneva WHO Available at httpwwwwhointviolence_injury_preventionviolenceworld_report

17

bull

bull

bull

bull

kuwahamasisha waathirika kuwapa ulinzi mahitaji ya msingi msaada wa kisaikolojia na kuwapa rufaa kwa watoa huduma wengine Vilevile jamii inahusishwa katika kuzuia UWAKI kupunguza unyanyapaa na kuwapa unasihi waathirika pamoja na kuhamasisha viongozi wa kijamii na wanajamii kwa ujumla

Uhamasishaji huu ni muhimu kwa sababu jamii ni daraja kati ya mwathirika na huduma za afya na ustawi wa jamii

Jamii inapaswa kushirikishwa katika hatua za mwanzo na zinazofuata katika kuzuia UWAKI Katika hatua za mwanzo jamii inapaswa kujitahidi kuondoa tabia za kuvumilia matukio ya UWAKI na hivyo kupunguza matukio hayo Katika hatua zinazofuata jamii itatambua na kulinda wale walio katika hatari zaidi ya UWAKI kama watoto na wanawake Jamii pia inapaswa kutambua vikwazo vya utoaji huduma katika idara ya afya polisi na mfumo wa utoaji haki na kuisaidia jamii kuondokana na vikwazo vya upatikanaji wa huduma

Ni muhimu kuishirikisha jamii katika jitihada za utekelezaji wa kuzuia UWAKI na kupambana nao ikiwamo usimamizi wa matibabu ya waathirika Jamii ina uwezo mkubwa wa kuhamasisha waathirika kutafuta huduma za afya na huduma nyingine zinazohusiana na UWAKI kwa mfano huduma za polisi usaidizi wa kisheria na hifadhi salama Pia jamii ina wajibu wa kuwaunganisha waathirika na jamii zao

Hata hivyo zipo changamoto katika kuihusisha jamii kama vile

Upungufu katika kuwahusisha wanaume na wavulana katika kushughulikia UWAKI Wanajamii wamekuwa wakiwanyanyapaa badala ya kuwasaidia waathirika na wakati mwingine wameshiriki katika UWAKI Baadhi ya viongozi wa kijamii na kidini hawana utayari wa kuhamasisha kuzuia na kupambana na UWAKI Jamii zina kiwango kikubwa cha kunyamazia matendo ya UWAKI na kuzuia sheria kuchukua mkondo wake

18

[g] Hali ya kiuchumi na kijamii Kushughulikia UWAKI pekee kama changamoto inayohusu huduma za tiba ni kutibu dalili badala ya chanzo Ni muhimu kushughulikia vyanzo vya UWAKI kama umaskini miongoni mwa wanawake ambao huwafanya kuwa wategemezi

Serikali imetayarisha MKUKUTA II wenye kuainisha njia za kuendeleza na kulinda haki za binadamu kwa watu wote hasa kwa wanawake na wanaume maskini watoto watu wanaoishi katika hali hatarishi na makundi maalumu (angalia MKUKUTA II-kundi la III lengo la 3) na kuongeza uzalishaji na fursa za ajira zenye kuheshimika hasa kwa wanawake na vijana (angalia MKUKUTA II kundi la I lengo la 3) Changamoto iliyopo ni ukosefu wa kuweka vipaumbele katika utekelezaji wa ahadi hizi kwa wanawake na vijana kwa kuelekeza rasilimali za kutosha na kutekeleza mikakati katika kuleta mabadiliko ya hali ya kijamii na kiuchumi kwa wanawake na vijana hivyo kupunguza hali hatarishi ya UWAKI

28 Upungufu katika kupambana na UWAKI

Sekta ya afya imeandaa mwongozo wa kutoa huduma kwa waathirika wa UWAKI Hata hivyo ili kutoa huduma bora na za kirafi ki kwa waathirika sekta zinazohusika hazina budi kushughulikia upungufu ulioainishwa kama ifuatavyo

[a] Huduma za afya

Ukosefu wa mwongozo wa utoaji wa huduma kwa waathirika wa UWAKI Hakuna mwongozo wa utoaji wa huduma za kupambana na UWAKI kwa watoa huduma wa ngazi zote kuanzia nyumbani kwenye jamii zahanati vituo vya afya hospitali polisi mahakama na wadau mbalimbali Upungufu huu unakwamisha upatikanaji na utoaji wa huduma bora za kukinga na kupambana na UWAKI

Upungufu wa fedha Bajeti ya Serikali kuu na serikali za mitaa haikidhi mahitaji

19

Upungufu wa wataalamu wenye ujuzi wa kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Watoa huduma kwenye vituo vya kutolea huduma za afya na jamii hawana maarifa na ujuzi unaotakiwa kushughulikia mahitaji ya waathirika wa UWAKI wa marika yote

Kutojumuishwa kwa huduma za waathirika wa UWAKI na huduma nyingine Huduma za waathirika wa UWAKI hazikujumuishwa na huduma nyingine za afya na ustawi wa jamii kama vile afya ya uzazi upimaji wa VVU UKIMWI uzazi wa mpango na unasihi

Mfumo duni wa rufaa kwa waliopatwa na UWAKI Ingawa mfumo wa rufaa wa huduma za afya umeimarika kwa huduma nyingine lakini hakuna mfumo sahihi wa rufaa kwa waliopatwa na UWAKI Watoa huduma za afya hawana taarifa sahihi za waliopatwa na UWAKI kuhusu utaratibu wa kupeleka na kupokea wagonjwa kwenye vituo vyao na kwenda kwenye vituo vingine au huduma za mfumo wa jamii polisi kisheria na kadhalika Katika mazingira haya mahitaji ya rufaa kwa waliopatwa na UWAKI hayakidhiwi Waliopatwa na UWAKI hawana taarifa ambazo zitawasaidia kupata huduma na hivyo hushindwa kufanya uamuzi sahihi au kutafuta huduma na matibabu zaidi

Upungufu wa taarifa na takwimu Nchini Tanzania matukio yanayohusu UWAKI hayatolewi taarifa ipasavyo kutokana na sababu nyingi zikiwemo waathirika kusita kutoa ripoti ya matukio kutokana na unyanyapaa na ubaguzi hofu ya kutengwa na jamii aibu na miiko inayohusishwa na UWAKI Matokeo yake ni ukosefu wa taarifa zenye uhakika ambazo zinaweza kutumika kuandaa mpango kwa misingi ya utafi ti utaratibu wa utoaji huduma maendeleo ya kisera na utetezi ufuatiliaji na tathmini na uamuzi wa kiutawala

[b] Huduma za Ustawi wa Jamii Utoaji wa huduma za ustawi wa jamii unakabiliwa na ushirikiano mdogo kati ya watendaji wa sekta mbalimbali wa huduma za afya katika halmashauri Kuna upungufu wa watoa huduma za ustawi wa jamii katika ngazi mbalimbali Hali hii inaathiri wigo wa huduma ya msaada wa kisaikolojia unasihi marekebisho ya tabia na utengamao

20

bull

bull

bull

bull

bull

Kikwazo kingine ni watoa huduma za ustawi wa jamii na wadau wa afya kukosa stadi maalumu za kutosha kuhusu kuzuia na kupambana na UWAKI

Wajibu wa watoa huduma za ustawi wa jamii ni muhimu kwa sababu wanafanya kazi katika ngazi ya jamii ambapo matukio mengi ya UWAKI hutokea Wana majukumu makubwa kama watu wa mstari wa mbele kwenye kuzuia na kupambana na UWAKI Uhusiano kati ya jamii na utoaji wa huduma ndio kipimo cha kiwango cha waathirika wa UWAKI kupata huduma za matibabu na kurejea kwenye jamii ili kuendelea kuishi maisha yenye faraja

[c] Huduma za Jamii Baadhi ya upungufu wa uhusiano kati ya jamii na vituo vya kutoa huduma za afya ni pamoja na

Uelewa duni kuhusu masuala ya UWAKI na uwezeshaji wa jamii katika kuzuia na kupambana na UWAKI Uelewa duni wa mahali pa kupata huduma kwa waliopatwa na UWAKI Upungufu wa huduma za kijamii kwa waathirika ikiwa ni pamoja na mifumo ya kijamii ya kutoa ulinzi na usalama (kwa mfano vituo vya hifadhi ya muda) na huduma za rufaa za kiafya polisi na msaada wa kisheria

[d] Huduma za Msaada wa Kisheria (Polisi na Mahakama) Kuna vikwazo vingi katika kupata msaada wa kisheria ambavyo ni pamoja na

Upungufu wa kupata huduma za polisi na msaada wa kisheria kwa waathirika wa UWAKI

bull Kutokuwepo kwa sheria mahususi dhidi ya UWAKI bull yasiyotosheleza UWAKI kwa vyombo Mafunzo kuhusu

vinavyosimamia sheria bull Kuna sheria zinazokinzana na hivyo kutoa mwanya wa tatizo la

UWAKI kuongezeka Upungufu wa watumishi na fedha kwa ajili ya huduma za polisi na msaada wa kisheria

21

bull

bull

Uhaba wa vituo vya msaada wa kisheria Vituo vingi vinavyotoa msaada wa kisheria kwa sasa vinahudumiwa na asasi zisizo za kiserikali zina bajeti ndogo na zipo zaidi mijini

[e] Huduma ya Elimu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imeingiza UWAKI katika mtaala wa mafunzo ya walimu shule za msingi na sekondari Hata hivyo kuna changamoto nyingi katika kuhusisha shule ili kuzuia na kupambana na UWAKI

bull Walimu hawajapata mafunzo ya kutosha kuhusu UWAKI Uhaba wa maeneo salama na programu za shuleni zinazowapa watoto uwezo wa kuzuia na kupambana na UWAKI na ukatili dhidi ya watoto

bull mfumo unaohusuUhusiano duni kati ya mfumo wa elimu na ulinzi na usalama wa mtoto

22

SEHEMU YA TATU

UMUHIMU NA MALENGO 31 Umuhimu

Utafiti uliofanyika nchini Tanzania umeonyesha viwango vya juu vya UWAKI ambavyo ni kati ya asilimia 30 hadi 50 Viwango hivi havikubaliki na vinasababisha madhara ya kimwili kingono kisaikolojia kwa makundi ya umri wowote hasa watoto na wanawake Matokeo ya UWAKI yanaweza kusababisha vifo kutokana na kujiua maambukizo ya virusi vya UKIMWI au magonjwa na vifo vya wanawake vinavyotokana na uzazi Matokeo mengine ingawa hayasababishi vifo yana madhara ya kimwili kingono na kisaikolojia kwa muda mfupi au mrefu Madhara ya UWAKI ni zaidi ya matokeo ya kiafya na majeraha ambayo ni vigumu kupona UWAKI unakiuka haki za binadamu za waathirika na husababisha matokeo hasi katika amani umoja na kipato cha familia ambayo kwa ujumla huleta madhara kwa maendeleo ya kijamii na kiuchumi

Ingawa Serikali ya Tanzania na asasi za kiraia zimefanya jitihada kubwa za kuzuia na kupambana na UWAKI bado tatizo hili ni changamoto kubwa WAUJ itashughulikia changamoto hizi kwa kushirikiana na wadau wengine hali inayohitaji ushirikiano wa karibu ili kushinda vikwazo vilivyopo ambavyo ni pamoja na upungufu wa fedha na watumishi udhaifu kwenye mfumo wa rufaa na mfumo wa kuunganisha huduma za UWAKI katika huduma zilizopo Changamoto nyingine ni uhaba wa utetezi na takwimu kwa ajili ya uandaaji wa mipango yenye misingi ya utafiti kufanya uamuzi ufuatiliaji na tathmini Hata hivyo serikali imeweka misingi imara kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kama inavyodhihirishwa kwa kuwepo kwa sera mikakati na mipango kazi ya kusaidia masuala ya kijinsia na kupunguza UWAKI

Kutokana na ukubwa wa tatizo hili madhara yake na changamoto zinazohusiana na UWAKI WAUJ imetayarisha Mwongozo huu wa kisera chini ya Sera ya Afya ili kuimarisha juhudi za kupambana na UWAKI na kuhakikisha utoaji wa huduma za kina na zenye ubora katika ngazi zote Mwongozo huu wa kisera utatoa mwelekeo kwa vituo vya huduma za afya kwa ngazi zote kuhusu wajibu na majukumu yao katika utoaji

23

wa huduma za UWAKI Pamoja na haya Mwongozo huu utawezesha utayarishaji wa mwongozo wa matibabu kwa waathirika wa UWAKI Kutokana na uzito wa tatizo hili la UWAKI utayarishaji wa Mwongozo huu ulihusisha na kushirikisha kwa kina wadau mbalimbali ndani na nje ya WAUJ

32 Lengo Kuu

Lengo kuu la Mwongozo huu wa kisera ni kuimarisha uwezo wa WAUJ kuelekeza sekta ya afya na ustawi wa jamii na kujenga uhusiano imara na jamii na wadau mbalimbali katika kuzuia na kupambana na UWAKI

33 Malengo Mahasusi

Mwongozo huu utawezesha yafuatayo

[i] Kuweka mfumo wa kuelekeza utayarishaji wa mwongozo wa matibabu na taratibu za kutoa huduma kwa waathirika wa UWAKI

[ii] Kuelekeza WAUJ namna ya uratibu bora wa utekelezaji wa juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kuelekeza namna ya kuweka mifumo thabiti ya ufuatiliaji tathmini na uwekaji wa kumbukumbu za afua za UWAKI chini ya WAUJ

[iv] Kuelekeza ushirikiano kati ya Wizara jamii na wadau kutoka sekta mbalimbali katika utoaji wa huduma za UWAKI

24

bull

SEHEMU YA NNE

MAELEKEZO YA KISERA

Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii watafanya kazi pamoja na wale wa sekta nyingine hasa kwenye ngazi ya jamii katika kuimarisha ushirikiano na mitandao mingine katika jamii ili kuwasaidia waliopatwa na UWAKI kwa karibu na kuwashirikisha katika kuboresha afya zao na kuzuia UWAKI

WAUJ kwa kushirikiana na wadau wengine imetayarisha Mwongozo huu wa kisera wa UWAKI ili kutoa taarifa malengo na maelekezo kuhusu jitihada za kuzuia kuepusha na kushughulikia madhara ya UWAKI katika sekta ya afya Wadau muhimu ni pamoja na viongozi wa jamii polisi na mahakama Yeyote kati ya wadau hawa anaweza kuwa ni kimbilio la kwanza kwa wahanga wa UWAKI Wote wana wajibu wa kutoa huduma kwa haraka na kwa ufanisi

41 Huduma kwa Waliopatwa na UWAKI

Watoa huduma za afya wanatakiwa kuwahudumia waliopatwa na UWAKI kwa kujali na kuzingatia maadili ya taaluma zao Wajibu huu ni pamoja na kuhakikisha usalama hali ya usiri heshima utu na kutoa huduma bila ubaguzi Aidha kabla ya kutoa huduma inatakiwa kupata ridhaa ya muhusika au mlezi wa mtoto mwenye umri chini ya miaka 18

Kwa kulenga na kuzingatia mahitaji ya watu waliofanyiwa UWAKI watoa huduma za afya kwenye ngazi zote watazingatia na kuongozwa na kanuni zifuatazo

[a] Haki za Binadamu Maadili na Kujali

bull zilenge kurejesha au Usalama Hatua zote zinazochukuliwa kudumisha usalama wao Hali ya Usiri Siri zao pamoja na familia zao zinatakiwa kutunzwa wakati wote Hii ina maana kwamba mtoa huduma ya afya anaweza kutoa taarifa muhimu kwa mtoa huduma mwingine pale ambapo muhusika ameridhia tu

25

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

Heshima na utu Watoa huduma wanatakiwa kuwasikiliza kwa makini maoni mawazo na fikira zao na kuwahudumia kwa heshima Bila ubaguzi Waliopatwa na UWAKI wote ni sawa na wanatakiwa kuhudumiwa kulingana na mahitaji yao pia kupewa nafasi sawa katika kupata huduma Ridhaa arifu Ridhaa ya aliyefanyiwa UWAKI itahitajika kwenye taratibu za utoaji huduma maalumu kama (1) Uchunguzi na tiba (2) Uchunguzi tiba pamoja na ushahidi wa kitaaluma (3) Uchunguzi tiba ushahidi wa kitaaluma pamoja na uchunguzi wa polisi na kisheria

Kanuni zinazohusu watoto bull Kuzingatia na kusimamia mahitaji halisi ya mtoto wakati wote bull Kumpa mtoto faraja bull Kumshirikisha mtoto katika kufanya uamuzi bull Kumshughulikia kila mtoto kwa haki na usawa

Kumsaidia na kumlea mtoto ili akue katika hali ya ujasiri na kujiamini

[b] Haki za Aliyepatwa na UWAKI Watoa huduma wote wanatakiwa kuwa na mtazamo unaozingatia mahitaji ya mtu aliyepatwa na UWAKI na kuheshimu haki zake ambazo ni

bull Kuhudumiwa kwa heshima bila unyanyapaa ubaguzi na kutokuwa na mtazamo wa kumlaumu Kupewa taarifa sahihi na zinazoeleweka ili aweze kutoa ridhaa na siyo kumwambia cha kufanya hali inayoweza kumfanya ajisikie mnyonge

bull Kupewa faragha na hali ya usiri na siyo kumteta au kumwaibisha Kulindwa dhidi ya ubaguzi wa aina yoyote au upendeleo wenye misingi ya kijinsia au sababu nyingine Kupewa nafasi ya kuchagua kuhudumiwa na mtoa huduma mwanamume au mwanamke

bull Kupewa nafasi ya kusindikizwa na ndugu au mlezi wake

26

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

[c] Wajibu wa Mtoa Huduma Mtoa huduma anatarajiwa kuzingatia yafuatayo anapomhudumia mtu aliyepatwa na UWAKI

Kujiweka katika nafasi ya mtu aliyepatwa na UWAKI na kuguswa kuwa mtunza siri kuonyesha upendo na kujali anapomuhudumia Kumpatia taarifa sahihi na kuhakikisha kuwa ridhaa arifu inatolewa kwa huduma inayohitajika Kuzingatia masilahi ya muhusika na kuheshimu matakwa yake wakati wote

bull na kuzuia madhara mengineKuhakikisha ulinzi na usalama wake Kuhifadhi kumbukumbu zake mahali pa usalama na kutunza siri wakati wote

bull huduma kadiriKumpatia rufaa kwenda kwenye ngazi za juu za inavyohitajika kulingana na kiwango cha madhara ya kimwili kihisia na kisaikolojia Aidha inatakiwa kumpatia unasihi kabla ya kumpa rufaa

Kuhusu Watoto bull Kuhakikisha kuwa mzazi au mlezi yupo wakati wote pia

kuhakikisha kwamba mzazi au mlezi siyo tishio kwa mtoto Wakati wote mwandae mtoto kuelewa kinachotarajiwa kutendeka na kuhakikisha anaelewa kitakachotokea Kwa watoto wenye umri chini ya miaka 18 ridhaa ya maandishi inahitajika kutoka kwa mzazi au mlezi

Vigezo vya kupata mchango wa mawazo kutoka kwa Watoto Watoto wa umri wa miaka 16 na zaidi kwa ujumla wana uwezo wa kutosha kufanya uamuzi

bull kuwaWatoto wa umri wa miaka 14 hadi 16 wanatarajiwa wamekomaa vya kutosha kutoa mchango au mawazo yao Watoto wa umri wa miaka 9 hadi 14 wana welewa wa kushiriki kufanya uamuzi lakini ukomavu wa kila mtoto unatakiwa kupimwa kipekee Watoto wa umri chini ya miaka 9 wana haki ya kutoa maoni arifu na kusikilizwa Wanaweza kushiriki katika mchakato wa kufanya uamuzi kwa kiwango fulani lakini hadhari inahitajika ili kuwaepusha na mzigo wa kuwa waamuzi

27

bull lazimaKimsingi inapendekezwa kwamba maoni ya kila mtoto yazingatiwe kulingana na umri wake kiwango cha ukomavu utamaduni mila na hali ya mazingira

[d] Wajibu wa WAUJ katika Ngazi ya Taifa WAUJ inatayarisha sera miongozo na kanuni inadhibiti ubora inafuatilia na kutathmini utekelezaji Vilevile inahakikisha kuna watumishi na fedha za kutosha kwa mipango ya afya pamoja na kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote WAUJ itaendeleza ushirikiano na wadau mbalimbali kitaifa na kimataifa Wizara itafanya yafuatayo katika kuzuia na kupambana na UWAKI

[i] Kuandaa miongozo ya matibabu yenye ubora kwa ajili ya watoto vijana na watu wazima waliopatwa na UWAKI

[ii] Kutafuta na kutenga fedha kwa ajili ya afua za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kuandaa miongozo ya mafunzo yanayohusiana na juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kutoa mafunzo kwa watoa huduma za afya na ustawi wa jamii kuhusu kuzuia na kupambana na UWAKI kwa watoto vijana na watu wazima

[v] Kutoa huduma mseto na rufaa kwa kutumia mfumo uliopo wa utoaji huduma za afya na ustawi wa jamii

[vi] Kuunganisha takwimu zinazohusu UWAKI kwenye Mfumo wa Takwimu na Ufuatiliaji wa Huduma za Afya (MTUHA)

[vii] Kuendeleza utaratibu wa kupeana taarifa na takwimu zinazohusu UWAKI pamoja na kushirikiana na wadau wake wakuu

[viii] Kufanya usimamizi shirikishi ili kuhakikisha kuwa kanuni za haki za binadamu maadili na kujali zinazingatiwa

[e] Wajibu wa Vituo vya Huduma za Afya Vituo vya kutoa huduma za afya vinajumuisha zahanati vituo vya afya na hospitali zinazomilikiwa na sekta ya umma na binafsi Vituo vyote vya kutoa huduma katika ngazi zote vina Kamati ya Uongozi ya Kituo na Timu ya Usimamizi

28

Vituo vya huduma za afya vitafanya yafuatayo [i] Kuhakikisha kwamba Timu za Usimamizi wa Huduma za Afya

zinatenga fedha za kutekeleza mikakati na mipango kazi ya mwaka ili kuviwezesha vituo kutoa huduma bora kwa waliopatwa na UWAKI

[ii] Kuunganisha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI na zile zilizopo kwenye vituo vya huduma za afya na kuhakikisha mpangilio mzuri wa rufaa za ndani na nje ya kituo zinakidhi mahitaji ya watoto vijana na watu wazima kwa usawa na haki

[iii] Kuhakikisha watoa huduma ya afya na ustawi wa jamii wanapatiwa mafunzo ya kutoa huduma toshelezi kwa watoto vijana na watu wazima waliopatwa na UWAKI

[iv] Kuanzisha utaratibu bora wa kukusanya takwimu na taarifa kuhusu huduma kwa waliopatwa na UWAKI na kutunza kumbukumbu kwa usahihi na kutoa taarifa kwa ajili ya matumizi ya kituo na wadau

[v] Kufanya kazi kwa ushirikiano wa karibu na kamati ya afya ya kituo polisi mahakama na taasisi za elimu ili kukuza ushirikiano kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye jamii

[f ] Wajibu wa Watoa Huduma za Afya Watoa huduma za afya ni pamoja na watunza kumbukumbu za afya tabibu (tabibu msaidizi ofisa tabibu madaktari wasaidizi madaktari na madaktari bingwa) wauguzi wakunga maofisa wauguzi wasaidizi maofisa wauuguzi) wafanyakazi wa maabara wafamasia na maofi sa ustawi wa jamii Watoa huduma hawa wanatakiwa kuzingatia yafuatayo

[i] Kuelewa kikamilifu na kuzingatia kanuni za miongozo ya haki za binadamu maadili ya taaluma na kuonyesha upendo na kujali wakati wa kumhudumia aliyepatwa na UWAKI

[ii] Kuhakikisha upatikanaji wa mahitaji muhimu na utoaji wa huduma toshelezi na zenye ubora kwa waliopatwa na UWAKI katika kituo cha kutoa huduma za afya na kwenye jamii

[iii] Kuwatambua waliopatwa na UWAKI kati ya wagonjwa wa nje katika kituo na kuhakikisha wanapata matibabu na rufaa kwa haraka

29

[iv] Kuhakikisha utoaji wa huduma toshelezi kwa waliopatwa na UWAKI (watu wazima vijana na watoto) Huduma hizi ni pamoja na huduma ya matibabu kutunza ushahidi unasihi na rufaa ndani ya mfumo wa afya na pia rufaa kwenda kwenye sekta nyingine

[v] Kuhakikisha vielelezo vya upelelezi vinakusanywa na kuhifadhiwa ipasavyo ili kutunza ushahidi

[vi] Kuchukua takwimu na taarifa kamili kuhusu aliyepatwa na UWAKI na kuhakikisha zimehifadhiwa kwa siri na usalama

[vii] Kujenga ushirikiano na jamii pamoja na wadau wengine

42 Wajibu wa Jamii

Wadau muhimu katika jamii ni Kamati ya Huduma za Jamii Kamati ya Ulinzi na Usalama Kamati ya Zahanati Mashirika ya Dini Kamati ya Kijiji ya Afya wahudumu wa afya katika jamii wakunga wa tiba asili waganga wa tiba asili na mbadala viongozi wa jamii vikundi vya wanawake na wakuu wa kaya

Jamii itafanya yafuatayo kwa waliopatwa na UWAKI [i] Kupanga na kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya kuzuia

na kutoa huduma bora kulingana na mpango wa mwaka wa zahanati

[ii] Kuhakikisha upatikanaji wa huduma toshelezi pamoja na usalama wao kupatiwa mahitaji ya msingi msaada wa kisaikolojia kupewa rufaa kwenda polisi vyombo vya sheria na watoa huduma wengine Vilevile wanajamii wana wajibu wa kutoa ushahidi mahakamani na kuwasaidia wahusika kuunganishwa na familia zao na jamii

[iii] Kuhakikisha kuwepo kwa vituo vya hifadhi ya muda vya kutosha kwenye jamii

[iv] Kujenga welewa na kuiwezesha jamii kuzuia na kupambana na UWAKI kwa kutetea misingi ya haki za binadamu usawa wa kijinsia haki za vijana na watoto na kutovumilia UWAKI

43 Msaada wa Kisheria kwa waliopatwa na UWAKI Watoa huduma wa afya na ustawi wa jamii baada ya kupata ridhaa kutoka kwa muhusika watampa rufaa ya kwenda sekta nyingine muhimu na kwa wadau mbalimbali kama vile polisi vituo vya msaada wa kisheria kwa ajili ya kupata huduma maalum Watoa huduma wanawajibika

30

kutoa taarifa za kutosha kuhusu masharti ya kisheria ya kutoa taarifa ya matukio ya UWAKI na kwa wakati unaofaa

Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wanawajibika kutoa ushauri kwa waliopatwa na UWAKI (watoto vijana na watu wazima) kuhusu taratibu za mahakama msaada wa ulinzi msaada wa kisheria na taratibu za polisi kama ifuatavyo

[a] Ushahidi wa Kimahakama Huduma kwa muhusika zitalenga mahitaji yake kuheshimu haki yake ya hali ya usiri kupewa taarifa za kutosha zenye kueleweka na sahihi hivyo kuhakikisha anatoa ridhaa arifu kwa hatua na zitakazofuata

[i] WAUJ itahakikisha kupatikana na kuzingatiwa kwa viwango vilivyowekwa kwa ngazi zote katika kuchukua historia kamili ya muhusika kupima na kufanya uchunguzi kuchukua vielelezo vya ushahidi kujaza fomu zinazokubalika kisheria kwa kuweka kumbukumbu ambazo ni halali kama ushahidi mahakamani

[ii] Timu ya Afya ya Usimamizi ya Kituo cha Huduma za Afya baada ya kupata ridhaa ya aliyepatwa na UWAKI itapanga kutenga na kutoa rasilimali za kutosha kuhakikisha nyaraka sahihi zimetayarishwa na kuhifadhiwa na vielelezo vya ushahidi wa mahakama vimepelekwa kwenda maabara ya serikali na kufuatilia majibu

[iii] Watoa huduma wa ngazi zote watahakikisha ukusanyaji sahihi wa vielelezo vya ushahidi na kujaza fomu zinazohusika pamoja na kujaza kwa ukamilifu Fomu ya Polisi Namba Tatu (PF3) na kuthibitisha kwamba muhusika ana taarifa na anaelewa utaratibu

[b] Ulinzi na Msaada kwa Waliopatwa na UWAKI Waliopatwa na UWAKI wana haki ya kulindwa dhidi ya mtuhumiwa pamoja na kupewa mahitaji ya msingi (kwa mfano chakula nguo usafi ri nk) kupewa huduma za polisi (mfano kusindikizwa ulinzi) na kupewa msaada wa kisheria

[i] WAUJ itahakikisha kwamba vituo vya huduma za afya na ustawi wa jamii na watoa huduma wa ngazi zote wana taarifa sahihi kuhusu haki za ulinzi na msaada kwa waliopatwa na UWAKI

31

[ii] Timu za Afya za Usimamizi wa vituo vya huduma za afya katika ngazi zote zitapanga kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya ulinzi na msaada kwa waliopatwa na UWAKI Kama Muhusika ni mtoto atasindikizwa na ofi sa ustawi wa jamii pamoja na mzazi au mlezi ikiwa mzazi au mlezi huyo hahusiki na uhalifu

[iii] Watoa huduma wa afya watatoa taarifa kwa muhusika au mzazi mlezi (kama muhusika ni mtoto chini ya miaka 18) kuhusu msaada atakaopata kwenye kituo cha huduma za afya polisi na msaada wa kisheria juu ya haki na ulinzi kwa mujibu wa sheria za Tanzania

[c] Wajibu wa Watoa Huduma za Afya na Ustawi wa Jamii katika Taratibu za Kimahakama

Watoa huduma za afya kwenye ngazi zote wanatakiwa kuhakikisha kwamba waliopatwa na UWAKI wakiwemo watu wazima vijana na watoto pamoja na walezi wao wana taarifa muhimu zinazohusu masuala ya kisheria ambayo yako nje ya huduma za tiba

[i] WAUJ itahakikisha kwamba vituo vya huduma za afya na watoa huduma wanapata ujuzi na wanajua wajibu wao kuhusu namna ya kutoa ushahidi mahakamani ili kuwasaidia wahusika

[ii] Timu za Usimamizi za vituo vya huduma za afya kwenye ngazi zote zitahakikisha kwamba watoa huduma wanaotambulika kisheria na wana welewa sahihi wa uandaaji wa nyaraka muhimu taratibu za kesi mahakamani na viwango vya ushahidi

[iii] Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii kwenye ngazi zote watahakikisha kwamba muhusika anapata taarifa za kutosha kuhusu ratiba na taratibu za upelelezi na umuhimu wa hatua za kisheria

44 Huduma ya Unasihi Kisaikolojia na Kijamii kwa Waliopatwa na UWAKI

Watu waliopatwa na janga la UWAKI watapewa msaada wa unasihi kisaikolojia na kijamii kwa upendo na kujali kuanzia wakati wa tukio hadi watakapojumuika tena kwenye familia na jamii Katika ngazi ya jamii msaada huo utatolewa na Maofisa wa Ustawi wa Jamii Maofi sa hawa watatoa msaada wa kisaikolojia na unasihi wakishirikiana na

32

wadau wengine waliopata mafunzo kutoka asasi za kiraia asasi za kidini na wahudumu wa afya katika jamii

[i] WAUJ itahakikisha utoaji wa msaada wa unasihi kisaikolojia na kijamii kwenye ngazi zote pamoja na kuhakikisha kuwepo kwa ulinzi na usalama (kwa mfano kituo cha hifadhi ya muda)

[ii] Timu za Usimamizi wa Huduma za Afya kwenye ngazi zote zitapanga na kutenga rasiilimali za kutosha pamoja na watoa huduma kwa ajili ya kutoa msaada wa kisaikolojia na kijamii rufaa na kujenga ushirikiano na wadau wengine ili kuwaunganisha wahusika kwenye familia na jamii

[iii] Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii watahakikisha kwamba wanatoa unasihi wa kutosha pamoja na kutoa huduma rafi ki kwa watoto kutoa rufaa za kwenda na kurudi kwenye huduma za tiba vituo vya hifadhi ya muda na kuwezesha kuwaunganisha kwenye familia na jamii

45 Mfumo wa Usimamizi Uratibu na Ushirikiano Utoaji wa huduma bora kwa waliopatwa na UWAKI unahitaji usimamizi na uratibu wa mara kwa mara kwa watoa huduma za afya wa kada mbalimbali katika ngazi zote Vilevile kuratibu shughuli na kutoa rufaa kwenye vituo vya ngazi ya taifa mikoa halmashauri na jamii Pia kunahitajika utaratibu wa kujenga ushirikiano kati ya sekta ya afya na wadau wa sekta nyingine

[a] Usimamizi wa Huduma za Kuzuia na Kupambana na UWAKI [i] Usimamizi wa huduma utakuwa ni sehemu ya mikakati na

mipango ya mwaka kwa vituo vya huduma za afya kwenye ngazi zote

[ii] Wasimamizi katika ngazi zote watafanya usimamizi shirikishi ili kuhakikisha utoaji wa huduma bora

[b] Uratibu wa Huduma za Kuzuia na Kupambana na UWAKI [i] Wasimamizi wa huduma za afya kwenye ngazi zote watabaini na

kuratibu afua na shughuli zinazotakiwa kutekelezwa na wadau mbalimbali kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI

33

[ii] Wasimamizi wa huduma za afya katika ngazi zote watahakikisha kuwa wanapanga utekelezaji wa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[c] Taratibu za Ushirikiano katika Kutoa Huduma za UWAKI Taratibu za ushirikiano zitahusisha ngazi mbalimbali za utoaji wa huduma za afya kulingana na hadhi ya kituo ikihusisha kada mbalimbali za afya katika serikali na sekta binafsi

[i] Wasimamizi wa huduma za afya watabaini na kuanzisha ushirikiano kwa ajili ya kutoa huduma bora na toshelezi kwa waliofanyiwa UWAKI

[ii] Wasimamizi wa huduma za afya watapanga na kutenga rasiilimali za kutosha kwa ajili ya kuendeleza ushirikiano na wadau muhimu pamoja na kujenga mfumo imara wa rufaa wa kupeleka na kuwarejesha wahusika

[iii] WAUJ itatayarisha na kusambaza orodha ya vituo vya rufaa kufuatana na aina ya huduma maalumu zinazotolewa

46 Utetezi na Mawasiliano ya Kubadili Tabia

Utetezi na mawasiliano ya kubadili tabia utakuwa ni sehemu ya mipango na mikakati ya kila mwaka katika ngazi zote Ngazi zote zitahamasisha kutenga na kutoa rasilimali za kutosha kwa ajili ya kutekeleza mipango na mikakati ya kila mwaka Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii watatambua na kuwezesha juhudi za jamii za kuhakikisha ushirikishwaji na kuhamasisha jamii kutumia rasilimali zao ili kupambana na UWAKI Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii wanatakiwa kupanga na kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya elimu ya afya kwa lengo la mawasiliano ya kubadili tabia

[a] Utetezi wa Kuzuia na kupambana na UWAKI kwa kushirikiana na wadau

Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii na kamati zinazohusika katika ngazi zote za WAUJ watafanya yafuatayo

[i] Kupanga mikakati ya kuongeza welewa na upeo kuhusu vyanzo vya UWAKI kubaini namna ya kuzuia na kubuni njia za kupambana na UWAKI

34

[ii] Kutetea na kuhamasisha uchangiaji zaidi wa raslimali kutenga kasma kwenye bajeti katika Mfumo wa Matumizi ya Muda wa Kati na katika Mpango Kabambe wa Afya wa Halmashauri kwa ajili ya kinga na huduma za kupambana na UWAKI

[iii] Kutetea utekelezaji wa sera na sheria zenye kuunga mkono juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kuhusisha vyombo vya habari katika kutekeleza shughuli za utetezi na ushawishi

[b] Ushirikiano wa wadau kwenye mawasiliano ya kubadili tabia dhidi ya UWAKI

Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii na kamati zao kwenye ngazi zote watafanya yafuatayo

[i] Kutambua mahitaji na kupanga mawasiliano ya kubadili tabia kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kwa ufanisi

[ii] Kuhusisha vyombo vya habari katika kupanga kutekeleza na kufuatilia shughuli za mawasiliano ya kubadili tabia

47 Ufuatiliaji na Tathmini ya Huduma za Kuzuia na Kupambana na UWAKI

Ufuatiliaji na tathmini ya huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI ni muhimu katika kupima ubora wa matokeo ya huduma zinazohusiana na UWAKI Ufuatiliaji na tathmini unahitaji kuchagua vigezo vya kupima maendeleo ya huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kukusanya takwimu kuchambua kutafsiri kutayarisha na kuwasilisha ripoti kwa wadau muhimu Ufuatiliaji na Tathmini unasaidia kutambua maeneo yanayohitaji kufanyiwa utafi ti

[i] Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii katika ngazi zote watatumia vigezo vilivyokubalika kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Takwimu za UWAKI zitaoanishwa na kuunganishwa kwenye MTUHA

[iii] Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii kwenye ngazi zote watahakikisha wanakusanya taarifa na takwimu zinazohusiana na UWAKI kwa kutumia fomu maalumu kwa ajili ya kufuatilia na

35

kutathimini usimamizi na kuwasilisha ripoti za utekelezaji kwa wadau kufuatana na utaratibu maalumu wa kushirikiana katika kutoa taarifa

[iv] Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii katika ngazi zote watafanya utafiti ili kuboresha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

36

SEHEMU YA TANO

MUUNDO WA UTENDAJI KATIKA KUZUIA NA KUPAMBANA NA UWAKI

Wajibu wa WAUJ ni kuandaa kusimamia na kuratibu utekelezaji wa Mwongozo huu wa sera pamoja na sheria kanuni na viwango vya huduma dhidi ya UWAKI katika ngazi zote nchini Mfumo wa utendaji kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI unahusisha ngazi tatu taifa mkoa na halmashauri

51 Ngazi ya Taifa

Katika ngazi ya Taifa Mganga Mkuu wa Serikali ndiye mwenye wajibu wa uongozi wa kitaaluma kwenye utekelezaji wa mipango ya kuzuia na kupambana na UWAKI Ofisi ya Mganga Mkuu ina idara nne ambazo ni Idara ya Kinga Idara ya Tiba Idara ya Mafunzo na Idara ya Ubora na viwango vya Huduma Huduma za Ustawi wa Jamii zipo chini ya Kamishna wa Ustawi wa Jamii

Kitengo cha Afya ya Uzazi na Mtoto ambacho kinasimamiwa na Idara ya Kinga ndicho kinachosimamia utekelezaji wa Mwongozo wa sera ya UWAKI Majukumu ya ofisi ya Mganga Mkuu wa Serikali Idara ya Kinga na Sehemu ya Afya ya Uzazi na Mtoto ni kama ifuatavyo

[a] Ofisi ya Mganga Mkuu wa Serikali Ofi si ya Mganga Mkuu wa Serikali inaratibu inasimamia na kuimarisha huduma za uboreshaji wa Afya Kinga Ubora na viwango vya huduma Tiba ya magonjwa na Utengamao Aidha ofisi inasimamia mafunzo upatikanaji wa wataalamu wa afya katika sekta ya Afya na Ustawi wa Jamii

Ofisi ya Mganga Mkuu wa Serikali kwa kushirikiana na Mabaraza na Vyama vya Kitaaluma vilivyo chini ya sekta ya Afya na Ustawi wa Jamii inasimamia maadili ya wataalamu wa afya kwa kupitia Mabaraza yao ya Kitaaluma

37

bull

bull

[I] Idara ya Kinga Idara hii inasimamia sehemu tano Afya ya Uzazi na Mtoto Epidemiolojia na Udhibiti wa Magonjwa Afya na Usafi wa Mazingira Elimu ya Afya na Lishe Kuna programu na miradi mbalimbali chini ya idara baadhi yake zinahusiana kwa ukaribu na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Programu hizi ni pamoja na Mpango wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI Programu ya Kuzuia Maambukizo ya VVU Kutoka kwa Mama Kwenda kwa Mtoto Programu ya Huduma ya Afya Kwenye Jamii Programuya Afya Shuleni Program ya Uzazi Salama Programu ya Afya ya Mtoto Programu ya Afya ya Uzazi kwa Vijana na Programu ya Uzazi wa Mpango

Idara itafanya yafuatayo Kuhakikisha afua za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa kwenye programu na miradi ya idara na sehemu Kuhakikisha kwamba afua za kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na utetezi na mawasiliano ya kubadili tabia zinajumuishwa kwenye miongozo ya elimu ya afya na ustawi wa jamii

Sehemu ya Huduma za Afya ya Uzazi na Mtoto Sehemu ya Huduma ya Afya ya Uzazi na Mtoto ndiyo inayohusika katika kuzuia na kupambana na UWAKI na majukumu yake ni

[i] Kuandaa mwongozo wa huduma za kina kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kutayarisha mitaala ya mafunzo kwa ajili ya wasimamizi na watoa huduma wa ngazi zote

[ii] Kuratibu kufuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI katika ngazi zote

[iii] Kuwasiliana na wizara nyingine na mashirika ya kitaifa na kimataifa yenye kuhusiana na mipango ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kuangalia upya orodha ya vifaa muhimu kwa utoaji wa huduma bora kwa wahanga wa UWAKI kwa ngazi zote za utoaji huduma

[v] Kuongoza kikundi kazi cha wanataaluma cha taifa pamoja na vikundikazi tanzu vya wanataaluma vinavyosaidia mtazamo mpana wa sekta ya afya na nguvu kazi za kusimamia utekelezaji wa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

38

[II] Idara ya Tiba Idara hii inasimamia huduma za Hospitali za Taifa Mikoa Wilaya Vituo vya Afya na Zahanati za umma na binafsi Uchunguzi Kinywa na Meno Magonjwa Yasiyo ya Kuambukiza na Tiba Asili Idara hii inafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha kwamba vituo vya kutoa huduma za afya katika ngazi zote vinatenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya huduma bora za matibabu kwa wahanga wa UWAKI pamoja na msaada wa kisaikolojia kijamii na rufaa

[ii] Kuhakikisha kwamba vituo vya kutoa huduma za afya kwenye ngazi zote vinapewa vifaa muhimu na vya kutosha kwa ajili ya uchunguzi wa afya vipimo vya maabara kubaini ugonjwa ushahidi wa kimahakama matibabu kutunza kumbukumbu kutoa taarifa na rufaa

[iii] Kuhakikisha kuwa watoa huduma za afya wanazingatia viwango vya kitaalamu na maadili na kuonyesha upendo na kuwajali wahanga wa UWAKI

[III] Idara ya Ubora wa huduma Idara hii ina sehemu tano ikijumuisha huduma za Uuguzi Dharura na Maafa Ukaguzi Dawa na Utafiti na Uhusiano wa Kimataifa Idara hii inafanya yafuatayo

[i] Inasimamia huduma za dawa vifaa tiba na vitendanishi [ii] Inasimamia huduma za Uuguzi na Ukunga [iii] Inasimamia na kufanya ukaguzi wa ubora wa huduma za afya

nchini ili kuziboresha [iv] Inasimamia kazi za utafiti na uhusiano wa kimataifa katika sekta ya

afya na ustawi wa jamii na [v] Inaandaa miongozo kanuni na taratibu zinazohusu huduma za

dharura

[IV] Idara ya Mafunzo Idara ya Mafunzo inasimamia Mipango ya Mafunzo ya Watumishi Mafunzo Endelevu kwa Watumishi Mafunzo kwa Wauguzi na Sayansi Shirikishi za Afya

39

Idara itafanya yafuatayo [i] Kutambua mahitaji ya kitaifa ya mafunzo ya afya na mafunzo ya

kuendeleza taaluma ya watumishi wanaohusika na kutoa huduma kwa waliopatwa na UWAKI

[ii] Kutayarisha mpango wa mafunzo ya muda mfupi na mrefu kwa ajili ya watumishi mbalimbali kwenye ngazi zote zinazotoa huduma kwa waliopatwa na UWAKI

[b] Idara ya Ustawi wa Jamii Idara ya Ustawi wa Jamii imegawanyika katika sehemu tano Huduma kwa Familia na Ustawi wa Mtoto katika malezi makuzi na maendeleo ya awali Huduma za marekebisho ya tabia na haki za mtoto kisheria Huduma kwa wazee na watu wenye ulemavu Mafunzo kwa watumishi na Kitengo cha takwimu Idara itafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha idara inatoa huduma rafiki na bora za ustawi wa jamii kwa wahanga wa UWAKI kwenye vituo vyote vya kutoa huduma za afya na ustawi wa jamii na kuvisimamia

[ii] Kuhakikisha idara inatoa mafunzo kwa watoa huduma wote [iii] Kushauri katika kurekebisha au kufutwa kwa sheria zisizosaidia

utoaji wa huduma bora za ustawi wa jamii na kushawishi kutunga sheria mpya

[c] Idara ya Sera na Mipango Idara hii inasimamia sehemu za Bajeti Sera Mipango Taarifa za Afya na Ufuatiliaji na Tathmini Idara itafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa kwenye mipango na bajeti ya Serikali

[ii] Kuhakikisha kuwa viashirio vya huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI vinaingizwa kwenye MTUHA

[d] Ushirikiano na wadau muhimu katika ldquoKutokomeza UWAKIrdquo

[i] WAUJ kupitia Sehemu ya Afya ya Uzazi na Mtoto kwa kushirikiana na wadau wengine watatetea ulinzi wa haki za waliopatwa na UWAKI na kutokomezwa kwa ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake watoto vijana na wanaume

40

[ii] WAUJ kwa kushirikiana na wadau wengine itaandaa mikakati ya kuhakikisha kwamba aina zote za ubaguzi unyonyaji ukandamizaji na unyanyasaji dhidi ya wanawake watoto vijana na wanaume zinatokomezwa

[iii] WAUJ kwa kushirikiana na wadau wengine watapitia sheria sera na kanuni ambazo zinakinzana na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Watatetea haki za jinsia na afya ya uzazi ikiwa ni pamoja na ulinzi wa mama na watoto dhidi ya UWAKI ukatili wa kifamilia na ukatili dhidi ya watoto na kutetea masuala haya yaingizwe kwenye Katiba ya Tanzania

52 Ngazi ya Mkoa

Utekelezaji wa mapambano dhidi ya UWAKI kwenye mikoa utasimamiwa na Timu ya Usimamizi wa Huduma za Afya Mkoa chini ya Katibu Tawala wa Mkoa na Timu ya Usimamizi ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa chini ya Bodi ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa na watafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa kwenye mpango mkakati wa miaka mitano wa mkoa na hospitali na mpango kazi wa kila mwaka

[ii] Kuhakikisha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa na kuendeshwa pamoja na huduma zilizopo kuwe na watoa huduma wa kutosha pamoja na mafunzo kwa wasimamizi na watoa huduma kwenye ngazi ya mkoa

[iii] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya kufuatilia kufanya tathmini usimamizi na kutoa ripoti za utendaji wa juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya mkoa

[iv] Kutoa msaada wa kitaalamu kwa Halmashauri na Timu za Afya za Halmashauri katika kupanga na kutekeleza huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[v] Kuhakikisha bajeti ya kutosha inatengwa kwenye mpango kabambe wa halmashauri wa afya kwa ajili ya kuiwezesha jamii kuzuia na kupambana na UWAKI

[vi] Kufanya utafiti ili kukuza uelewa kuhusu huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

41

53 Halmashauri za Jiji Manispaa na Wilaya

Bodi ya Huduma za Afya ya Halmashauri ni chombo cha halmashauri ya jiji manispaa na wilaya chenye jukumu la kutoa huduma bora za afya ustawi wa jamii pamoja na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI katika maeneo yao Mipango ya utekelezaji wa huduma za afya kwenye jiji manispaa na wilaya unasimamiwa na Timu ya Usimamizi wa Afya ya Halmashauri Hospitali ya kwanza ya rufaa katika Halmashauri ni Hospitali ya Wilaya au Hospitali Teule ya wilaya

Hospitali Teule ya Wilaya huendeshwa na Timu ya Usimamizi ya Hospitali na husimamiwa na Bodi ya Hospitali Vituo vya kutoa huduma za afya vina kamati za afya na huendeshwa na kamati za usimamizi wa kituo

(a) Ngazi ya Halmashauri Timu ya Halmashauri ya Usimamizi wa Afya itafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha kwamba mipango ya kila mwaka inatengewa fedha za kutosha kwa utekelezaji wa huduma bora za kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaunganishwa na huduma zilizopo kwenye ngazi zote

[iii] Kuhakikisha kwamba kunakuwa na watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wa kutosha na kuendelea kutoa mafunzo kwa watoa huduma wa kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kutetea kuhamasisha na kutenga fedha za kutosha kwa ajili ya kuiwezesha jamii kushiriki kwenye programu ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[v] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya ufuatiliaji tathmini usimamizi shirikishi na kuandaa taarifa za utekelezaji wa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[b] Ngazi ya Kata Kamati ya Afya ya Kata Kamati ya Afya ya Kituo cha Afya na Timu ya Usimamizi wa Kituo cha Afya zitasimamia utoaji wa huduma bora za afya katika kata pamoja na vijiji

42

Kamati na timu zitafanya yafuatayo [i] Kuhakikisha kwamba kila mwaka wanapanga na kutenga rasilimali

za kutosha kwa utekelezaji wa huduma kwa waliopatwa na UWAKI na afua za kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinajumuishwa na huduma zilizopo kwenye kituo cha afya na zahanati

[iii] Kuhakikisha kwamba kuna watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wa kutosha na kuendelea kutoa mafunzo kwa watoa huduma wanaohusika na kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye vituo vya afya na zahanati

[iv] Kutetea kuhamasisha na kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya kuiwezesha jamii kushiriki kwenye kuzuia na kupambana na UWAKI katika Mpango wa Afya wa Kata

[v] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya kufanya ufuatiliaji tathmini na kuandaa taarifa za utekelezaji wa kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kuziwasilisha kwa matumizi katika ngazi zote

[c] Ngazi ya Kijiji Kamati ya Zahanati na Timu ya Usimamizi wa Zahanati zina wajibu wa kutoa huduma za afya kwa wakazi wa eneo la kijiji au vijiji vyao

Kamati na timu zitafanya yafuatayo [i] Kuhakikisha kwamba kila mwaka wanapanga na kutenga raslimali

za kutosha kwa utekelezaji wa huduma kwa waliopatwa na UWAKI na afua za kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinajumuishwa na huduma zilizopo kwenye zahanati

[iii] Kuhakikisha kwamba kuna watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wa kutosha na kuendelea kutoa mafunzo kwa watoa huduma wanaohusika na kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye zahanati

[iv] Kutetea kuhamasisha na kutenga raslimali za kutosha kwa ajili ya kuiwezesha jamii kushiriki kwenye kuzuia na kupambana na UWAKI katika Mpango wa Afya wa Kijiji

43

[v] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya kufanya ufuatiliaji tathmini na kuandaa taarifa za utekelezaji wa kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kuziwasilisha kwa matumizi katika ngazi ya Kata na Wilaya

(d) Ngazi ya Kaya Kila mtu kwenye kaya atahusika katika kuzuia na kupambana na UWAKI na kutoa taarifa ya matukio ya UWAKI kwa mamlaka zinazohusika Pia kila mtu awajibike kwenye kubadili mtazamo na kuepuka mazoea na tabia zinazopelekea UWAKI

44

SEHEMU YA SITA

UFUATILIAJI TATHMINI NA UTAFITI

Ufuatiliaji na tathmini ya afua za kuzuia na kupambana na UWAKI utatekelezwa kwenye ngazi ya taifa mkoa halmashauri na vituo vya huduma za afya Viashirio ambavyo vimependekezwa kwenye ngazi hizi vimeonyeshwa kwenye Kiambatisho

61 Ngazi ya Taifa

Sehemu ya Afya ya Uzazi na Mtoto itaratibu itafuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote nchini

Sehemu hii itafanya yafuatayo [i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu zinazohusu

afua za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka Timu ya Usimamizi wa Afya ya Mkoa na kuzitumia katika kupanga na kuboresha mipango ya kuzuia na kupambana na UWAKI kwa kushirikiana na wadau

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma wa kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti [iv] Kuweka tathmini na ufuatiliaji wa huduma za kuzuia na kupambana

na UWAKI kwenye orodhahakiki ya usimamizi ya WAUJ

62 Ngazi ya Mkoa

Timu ya Usimamizi wa Afya ya Mkoa itakuwa na jukumu la kuratibu kufuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote za mkoa na itafanya yafuatayo

[i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu kuhusu afua za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka hospitali ya rufaa ya mkoa na Timu za Usimamizi wa Afya za Halmashauri kwa ajili ya matumizi yao na kuwasilisha ngazi ya Taifa

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma katika kuzuia na kupambana na UWAKI

45

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti

63 Ngazi ya Wilaya

Timu ya Usimamizi wa Afya ya Halmashauri itakuwa na jukumu la kuratibu kufuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote za wilaya na itafanya yafuatayo

[i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu kuhusu afua za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka hospitali ya wilaya na vituo vya kutolea huduma za afya na Timu za Usimamizi wa Afya za Halmashauri kwa ajili ya matumizi yao na kuwasilisha ngazi ya mkoa

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma katika kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti

64 Ngazi ya Kituo cha kutolea huduma

Timu ya Usimamizi wa Kituo cha Kutolea Huduma za Afya itaratibu itafuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye kituo na kufanya yafuatayo

[i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu kuhusu jitihada za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka kwenye zahanati na jamii na kuwasilisha wilayaniHalmashauri

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma katika kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti

46

KIAMBATISHO

VIASHIRIO VYA MPANGO WA KUZUIA NA KUPAMBANA NA UWAKI KATIKA SEKTA YA AFYA

[a] Ngazi ya Taifa

[i] Idadi ya watu waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya mikoa kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kimkoa

[iii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI kimkoa

[iv] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye uthibitisho kuwa vinatumia Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupamba na UWAKI kimkoa

[v] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye vifaa muhimu kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kimkoa

[b] Ngazi Ya Mkoa

[i] Idadi ya watu waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya wilayahalmashauri kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

[iii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

[iv] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye ushahidi wa kuandikwa na kutumia Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

[v] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye vifaa muhimu kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

47

[c] Ngazi ya Wilaya

[i] Idadi ya watu waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya vituo vya kutolea huduma kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwa vituo vya kutolea huduma

[iii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI

[iv] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye ushahidi wa kuandikwa na kutumia Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI

[v] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye vifaa muhimu kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[d] Ngazi ya Kituo

[i] Idadi ya wahusika waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye kituo cha huduma za afya kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Idadi ya watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Idadi ya watoa huduma walioelekezwa kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI

48

49

50

51

bullbullbull bullbull bullbullbull

~USAID ~f~ ~ KLITOKA KWA WKTJ Delivering as One WAIIAAEKANI

HEALTH POLICY middotmiddotmiddotoINITIATIVE

ltlt ASCII85EncodePages false AllowTransparency false AutoPositionEPSFiles true AutoRotatePages None Binding Left CalGrayProfile (Dot Gain 20) CalRGBProfile (sRGB IEC61966-21) CalCMYKProfile (US Web Coated 050SWOP051 v2) sRGBProfile (sRGB IEC61966-21) CannotEmbedFontPolicy Error CompatibilityLevel 14 CompressObjects Tags CompressPages true ConvertImagesToIndexed true PassThroughJPEGImages true CreateJobTicket false DefaultRenderingIntent Default DetectBlends true DetectCurves 00000 ColorConversionStrategy CMYK DoThumbnails false EmbedAllFonts true EmbedOpenType false ParseICCProfilesInComments true EmbedJobOptions true DSCReportingLevel 0 EmitDSCWarnings false EndPage -1 ImageMemory 1048576 LockDistillerParams false MaxSubsetPct 100 Optimize true OPM 1 ParseDSCComments true ParseDSCCommentsForDocInfo true PreserveCopyPage true PreserveDICMYKValues true PreserveEPSInfo true PreserveFlatness true PreserveHalftoneInfo false PreserveOPIComments true PreserveOverprintSettings true StartPage 1 SubsetFonts true TransferFunctionInfo Apply UCRandBGInfo Preserve UsePrologue false ColorSettingsFile () AlwaysEmbed [ true ] NeverEmbed [ true ] AntiAliasColorImages false CropColorImages true ColorImageMinResolution 300 ColorImageMinResolutionPolicy OK DownsampleColorImages true ColorImageDownsampleType Bicubic ColorImageResolution 300 ColorImageDepth -1 ColorImageMinDownsampleDepth 1 ColorImageDownsampleThreshold 150000 EncodeColorImages true ColorImageFilter DCTEncode AutoFilterColorImages true ColorImageAutoFilterStrategy JPEG ColorACSImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt ColorImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt JPEG2000ColorACSImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt JPEG2000ColorImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt AntiAliasGrayImages false CropGrayImages true GrayImageMinResolution 300 GrayImageMinResolutionPolicy OK DownsampleGrayImages true GrayImageDownsampleType Bicubic GrayImageResolution 300 GrayImageDepth -1 GrayImageMinDownsampleDepth 2 GrayImageDownsampleThreshold 150000 EncodeGrayImages true GrayImageFilter DCTEncode AutoFilterGrayImages true GrayImageAutoFilterStrategy JPEG GrayACSImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt GrayImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt JPEG2000GrayACSImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt JPEG2000GrayImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt AntiAliasMonoImages false CropMonoImages true MonoImageMinResolution 1200 MonoImageMinResolutionPolicy OK DownsampleMonoImages true MonoImageDownsampleType Bicubic MonoImageResolution 1200 MonoImageDepth -1 MonoImageDownsampleThreshold 150000 EncodeMonoImages true MonoImageFilter CCITTFaxEncode MonoImageDict ltlt K -1 gtgt AllowPSXObjects false CheckCompliance [ None ] PDFX1aCheck false PDFX3Check false PDFXCompliantPDFOnly false PDFXNoTrimBoxError true PDFXTrimBoxToMediaBoxOffset [ 000000 000000 000000 000000 ] PDFXSetBleedBoxToMediaBox true PDFXBleedBoxToTrimBoxOffset [ 000000 000000 000000 000000 ] PDFXOutputIntentProfile () PDFXOutputConditionIdentifier () PDFXOutputCondition () PDFXRegistryName () PDFXTrapped False CreateJDFFile false Description ltlt ARA ltFEFF06270633062A062E062F0645002006470630064700200627064406250639062F0627062F0627062A002006440625064606340627062100200648062B062706260642002000410064006F00620065002000500044004600200645062A064806270641064206290020064406440637062806270639062900200641064A00200627064406450637062706280639002006300627062A0020062F0631062C0627062A002006270644062C0648062F0629002006270644063906270644064A0629061B0020064A06450643064600200641062A062D00200648062B0627062606420020005000440046002006270644064506460634062306290020062806270633062A062E062F062706450020004100630072006F0062006100740020064800410064006F006200650020005200650061006400650072002006250635062F0627063100200035002E0030002006480627064406250635062F062706310627062A0020062706440623062D062F062B002E0635062F0627063100200035002E0030002006480627064406250635062F062706310627062A0020062706440623062D062F062B002Egt BGR ltFEFF04180437043f043e043b043704320430043904420435002004420435043704380020043d0430044104420440043e0439043a0438002c00200437043000200434043000200441044a0437043404300432043004420435002000410064006f00620065002000500044004600200434043e043a0443043c0435043d04420438002c0020043c0430043a04410438043c0430043b043d043e0020043f044004380433043e04340435043d04380020043704300020043204380441043e043a043e043a0430044704350441044204320435043d0020043f04350447043004420020043704300020043f044004350434043f0435044704300442043d04300020043f043e04340433043e0442043e0432043a0430002e002000200421044a04370434043004340435043d043804420435002000500044004600200434043e043a0443043c0435043d044204380020043c043e0433043004420020043404300020044104350020043e0442043204300440044f0442002004410020004100630072006f00620061007400200438002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020043800200441043b0435043404320430044904380020043204350440044104380438002egt CHS ltFEFF4f7f75288fd94e9b8bbe5b9a521b5efa7684002000410064006f006200650020005000440046002065876863900275284e8e9ad88d2891cf76845370524d53705237300260a853ef4ee54f7f75280020004100630072006f0062006100740020548c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000204ee553ca66f49ad87248672c676562535f00521b5efa768400200050004400460020658768633002gt CHT ltFEFF4f7f752890194e9b8a2d7f6e5efa7acb7684002000410064006f006200650020005000440046002065874ef69069752865bc9ad854c18cea76845370524d5370523786557406300260a853ef4ee54f7f75280020004100630072006f0062006100740020548c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000204ee553ca66f49ad87248672c4f86958b555f5df25efa7acb76840020005000440046002065874ef63002gt CZE ltFEFF005400610074006f0020006e006100730074006100760065006e00ed00200070006f0075017e0069006a007400650020006b0020007600790074007600e101590065006e00ed00200064006f006b0075006d0065006e0074016f002000410064006f006200650020005000440046002c0020006b00740065007200e90020007300650020006e0065006a006c00e90070006500200068006f006400ed002000700072006f0020006b00760061006c00690074006e00ed0020007400690073006b00200061002000700072006500700072006500730073002e002000200056007900740076006f01590065006e00e900200064006f006b0075006d0065006e007400790020005000440046002000620075006400650020006d006f017e006e00e90020006f007400650076015900ed007400200076002000700072006f006700720061006d0065006300680020004100630072006f00620061007400200061002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000610020006e006f0076011b006a016100ed00630068002egt DAN ltFEFF004200720075006700200069006e0064007300740069006c006c0069006e006700650072006e0065002000740069006c0020006100740020006f007000720065007400740065002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e007400650072002c0020006400650072002000620065006400730074002000650067006e006500720020007300690067002000740069006c002000700072006500700072006500730073002d007500640073006b007200690076006e0069006e00670020006100660020006800f8006a0020006b00760061006c0069007400650074002e0020004400650020006f007000720065007400740065006400650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e0074006500720020006b0061006e002000e50062006e00650073002000690020004100630072006f00620061007400200065006c006c006500720020004100630072006f006200610074002000520065006100640065007200200035002e00300020006f00670020006e0079006500720065002egt DEU ltFEFF00560065007200770065006e00640065006e0020005300690065002000640069006500730065002000450069006e007300740065006c006c0075006e00670065006e0020007a0075006d002000450072007300740065006c006c0065006e00200076006f006e002000410064006f006200650020005000440046002d0044006f006b0075006d0065006e00740065006e002c00200076006f006e002000640065006e0065006e002000530069006500200068006f006300680077006500720074006900670065002000500072006500700072006500730073002d0044007200750063006b0065002000650072007a0065007500670065006e0020006d00f60063006800740065006e002e002000450072007300740065006c006c007400650020005000440046002d0044006f006b0075006d0065006e007400650020006b00f6006e006e0065006e0020006d006900740020004100630072006f00620061007400200075006e0064002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020006f0064006500720020006800f600680065007200200067006500f600660066006e00650074002000770065007200640065006e002egt ESP ltFEFF005500740069006c0069006300650020006500730074006100200063006f006e0066006900670075007200610063006900f3006e0020007000610072006100200063007200650061007200200064006f00630075006d0065006e0074006f00730020005000440046002000640065002000410064006f0062006500200061006400650063007500610064006f00730020007000610072006100200069006d0070007200650073006900f3006e0020007000720065002d0065006400690074006f007200690061006c00200064006500200061006c00740061002000630061006c0069006400610064002e002000530065002000700075006500640065006e00200061006200720069007200200064006f00630075006d0065006e0074006f00730020005000440046002000630072006500610064006f007300200063006f006e0020004100630072006f006200610074002c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200079002000760065007200730069006f006e0065007300200070006f00730074006500720069006f007200650073002egt ETI ltFEFF004b00610073007500740061006700650020006e0065006900640020007300e4007400740065006900640020006b00760061006c006900740065006500740073006500200074007200fc006b006900650065006c007300650020007000720069006e00740069006d0069007300650020006a0061006f006b007300200073006f00620069006c0069006b0065002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740069006400650020006c006f006f006d006900730065006b0073002e00200020004c006f006f0064007500640020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740065002000730061006100740065002000610076006100640061002000700072006f006700720061006d006d006900640065006700610020004100630072006f0062006100740020006e0069006e0067002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020006a00610020007500750065006d006100740065002000760065007200730069006f006f006e00690064006500670061002e000d000agt FRA ltFEFF005500740069006c006900730065007a00200063006500730020006f007000740069006f006e00730020006100660069006e00200064006500200063007200e900650072002000640065007300200064006f00630075006d0065006e00740073002000410064006f00620065002000500044004600200070006f0075007200200075006e00650020007100750061006c0069007400e90020006400270069006d007000720065007300730069006f006e00200070007200e9007000720065007300730065002e0020004c0065007300200064006f00630075006d0065006e00740073002000500044004600200063007200e900e90073002000700065007500760065006e0074002000ea0074007200650020006f007500760065007200740073002000640061006e00730020004100630072006f006200610074002c002000610069006e00730069002000710075002700410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000650074002000760065007200730069006f006e007300200075006c007400e90072006900650075007200650073002egt GRE ltFEFF03a703c103b703c303b903bc03bf03c003bf03b903ae03c303c403b5002003b103c503c403ad03c2002003c403b903c2002003c103c503b803bc03af03c303b503b903c2002003b303b903b1002003bd03b1002003b403b703bc03b903bf03c503c103b303ae03c303b503c403b5002003ad03b303b303c103b103c603b1002000410064006f006200650020005000440046002003c003bf03c5002003b503af03bd03b103b9002003ba03b103c42019002003b503be03bf03c703ae03bd002003ba03b103c403ac03bb03bb03b703bb03b1002003b303b903b1002003c003c103bf002d03b503ba03c403c503c003c903c403b903ba03ad03c2002003b503c103b303b103c303af03b503c2002003c503c803b703bb03ae03c2002003c003bf03b903cc03c403b703c403b103c2002e0020002003a403b10020005000440046002003ad03b303b303c103b103c603b1002003c003bf03c5002003ad03c703b503c403b5002003b403b703bc03b903bf03c503c103b303ae03c303b503b9002003bc03c003bf03c103bf03cd03bd002003bd03b1002003b103bd03bf03b903c703c403bf03cd03bd002003bc03b5002003c403bf0020004100630072006f006200610074002c002003c403bf002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002003ba03b103b9002003bc03b503c403b103b303b503bd03ad03c303c403b503c103b503c2002003b503ba03b403cc03c303b503b903c2002egt HEB ltFEFF05D405E905EA05DE05E905D5002005D105D405D205D305E805D505EA002005D005DC05D4002005DB05D305D9002005DC05D905E605D505E8002005DE05E105DE05DB05D9002000410064006F006200650020005000440046002005D405DE05D505EA05D005DE05D905DD002005DC05D405D305E405E105EA002005E705D305DD002D05D305E405D505E1002005D005D905DB05D505EA05D905EA002E002005DE05E105DE05DB05D90020005000440046002005E905E005D505E605E805D5002005E005D905EA05E005D905DD002005DC05E405EA05D905D705D4002005D105D005DE05E605E205D505EA0020004100630072006F006200610074002005D5002D00410064006F00620065002000520065006100640065007200200035002E0030002005D505D205E805E105D005D505EA002005DE05EA05E705D305DE05D505EA002005D905D505EA05E8002E05D005DE05D905DD002005DC002D005000440046002F0058002D0033002C002005E205D905D905E005D5002005D105DE05D305E805D905DA002005DC05DE05E905EA05DE05E9002005E905DC0020004100630072006F006200610074002E002005DE05E105DE05DB05D90020005000440046002005E905E005D505E605E805D5002005E005D905EA05E005D905DD002005DC05E405EA05D905D705D4002005D105D005DE05E605E205D505EA0020004100630072006F006200610074002005D5002D00410064006F00620065002000520065006100640065007200200035002E0030002005D505D205E805E105D005D505EA002005DE05EA05E705D305DE05D505EA002005D905D505EA05E8002Egt HRV (Za stvaranje Adobe PDF dokumenata najpogodnijih za visokokvalitetni ispis prije tiskanja koristite ove postavke Stvoreni PDF dokumenti mogu se otvoriti Acrobat i Adobe Reader 50 i kasnijim verzijama) HUN ltFEFF004b0069007600e1006c00f30020006d0069006e0151007300e9006701710020006e0079006f006d00640061006900200065006c0151006b00e90073007a00ed007401510020006e0079006f006d00740061007400e100730068006f007a0020006c006500670069006e006b00e1006200620020006d0065006700660065006c0065006c0151002000410064006f00620065002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e00740075006d006f006b0061007400200065007a0065006b006b0065006c0020006100200062006500e1006c006c00ed007400e10073006f006b006b0061006c0020006b00e90073007a00ed0074006800650074002e0020002000410020006c00e90074007200650068006f007a006f00740074002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e00740075006d006f006b00200061007a0020004100630072006f006200610074002000e9007300200061007a002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002c0020007600610067007900200061007a002000610074007400f3006c0020006b00e9007301510062006200690020007600650072007a006900f3006b006b0061006c0020006e00790069007400680061007400f3006b0020006d00650067002egt ITA ltFEFF005500740069006c0069007a007a006100720065002000710075006500730074006500200069006d0070006f007300740061007a0069006f006e00690020007000650072002000630072006500610072006500200064006f00630075006d0065006e00740069002000410064006f00620065002000500044004600200070006900f900200061006400610074007400690020006100200075006e00610020007000720065007300740061006d0070006100200064006900200061006c007400610020007100750061006c0069007400e0002e0020004900200064006f00630075006d0065006e007400690020005000440046002000630072006500610074006900200070006f00730073006f006e006f0020006500730073006500720065002000610070006500720074006900200063006f006e0020004100630072006f00620061007400200065002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200065002000760065007200730069006f006e006900200073007500630063006500730073006900760065002egt JPN ltFEFF9ad854c18cea306a30d730ea30d730ec30b951fa529b7528002000410064006f0062006500200050004400460020658766f8306e4f5c6210306b4f7f75283057307e305930023053306e8a2d5b9a30674f5c62103055308c305f0020005000440046002030d530a130a430eb306f3001004100630072006f0062006100740020304a30883073002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000204ee5964d3067958b304f30533068304c3067304d307e305930023053306e8a2d5b9a306b306f30d530a930f330c8306e57cb30818fbc307f304c5fc59808306730593002gt KOR ltFEFFc7740020c124c815c7440020c0acc6a9d558c5ec0020ace0d488c9c80020c2dcd5d80020c778c1c4c5d00020ac00c7a50020c801d569d55c002000410064006f0062006500200050004400460020bb38c11cb97c0020c791c131d569b2c8b2e4002e0020c774b807ac8c0020c791c131b41c00200050004400460020bb38c11cb2940020004100630072006f0062006100740020bc0f002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020c774c0c1c5d0c11c0020c5f40020c2180020c788c2b5b2c8b2e4002egt LTH ltFEFF004e006100750064006f006b0069007400650020016100690075006f007300200070006100720061006d006500740072007500730020006e006f0072011700640061006d00690020006b0075007200740069002000410064006f00620065002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400750073002c0020006b00750072006900650020006c0061006200690061007500730069006100690020007000720069007400610069006b007900740069002000610075006b01610074006f00730020006b006f006b007900620117007300200070006100720065006e006700740069006e00690061006d00200073007000610075007300640069006e0069006d00750069002e0020002000530075006b0075007200740069002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400610069002000670061006c006900200062016b007400690020006100740069006400610072006f006d00690020004100630072006f006200610074002000690072002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000610072002000760117006c00650073006e0117006d00690073002000760065007200730069006a006f006d00690073002egt LVI ltFEFF0049007a006d0061006e0074006f006a00690065007400200161006f00730020006900650073007400610074012b006a0075006d00750073002c0020006c0061006900200076006500690064006f00740075002000410064006f00620065002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400750073002c0020006b006100730020006900720020012b00700061016100690020007000690065006d01130072006f00740069002000610075006700730074006100730020006b00760061006c0069007401010074006500730020007000690072006d007300690065007300700069006501610061006e006100730020006400720075006b00610069002e00200049007a0076006500690064006f006a006900650074002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400750073002c0020006b006f002000760061007200200061007400760113007200740020006100720020004100630072006f00620061007400200075006e002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002c0020006b0101002000610072012b00200074006f0020006a00610075006e0101006b0101006d002000760065007200730069006a0101006d002egt NLD (Gebruik deze instellingen om Adobe PDF-documenten te maken die zijn geoptimaliseerd voor prepress-afdrukken van hoge kwaliteit De gemaakte PDF-documenten kunnen worden geopend met Acrobat en Adobe Reader 50 en hoger) NOR ltFEFF004200720075006b00200064006900730073006500200069006e006e007300740069006c006c0069006e00670065006e0065002000740069006c002000e50020006f0070007000720065007400740065002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740065007200200073006f006d00200065007200200062006500730074002000650067006e0065007400200066006f00720020006600f80072007400720079006b006b0073007500740073006b00720069006600740020006100760020006800f800790020006b00760061006c0069007400650074002e0020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740065006e00650020006b0061006e002000e50070006e00650073002000690020004100630072006f00620061007400200065006c006c00650072002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200065006c006c00650072002000730065006e006500720065002egt POL ltFEFF0055007300740061007700690065006e0069006100200064006f002000740077006f0072007a0065006e0069006100200064006f006b0075006d0065006e007400f300770020005000440046002000700072007a0065007a006e00610063007a006f006e00790063006800200064006f002000770079006400720075006b00f30077002000770020007700790073006f006b00690065006a0020006a0061006b006f015b00630069002e002000200044006f006b0075006d0065006e0074007900200050004400460020006d006f017c006e00610020006f007400770069006500720061010700200077002000700072006f006700720061006d006900650020004100630072006f00620061007400200069002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000690020006e006f00770073007a0079006d002egt PTB ltFEFF005500740069006c0069007a006500200065007300730061007300200063006f006e00660069006700750072006100e700f50065007300200064006500200066006f0072006d00610020006100200063007200690061007200200064006f00630075006d0065006e0074006f0073002000410064006f0062006500200050004400460020006d00610069007300200061006400650071007500610064006f00730020007000610072006100200070007200e9002d0069006d0070007200650073007300f50065007300200064006500200061006c007400610020007100750061006c00690064006100640065002e0020004f007300200064006f00630075006d0065006e0074006f00730020005000440046002000630072006900610064006f007300200070006f00640065006d0020007300650072002000610062006500720074006f007300200063006f006d0020006f0020004100630072006f006200610074002000650020006f002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000650020007600650072007300f50065007300200070006f00730074006500720069006f007200650073002egt RUM ltFEFF005500740069006c0069007a00610163006900200061006300650073007400650020007300650074010300720069002000700065006e007400720075002000610020006300720065006100200064006f00630075006d0065006e00740065002000410064006f006200650020005000440046002000610064006500630076006100740065002000700065006e0074007200750020007400690070010300720069007200650061002000700072006500700072006500730073002000640065002000630061006c006900740061007400650020007300750070006500720069006f006100720103002e002000200044006f00630075006d0065006e00740065006c00650020005000440046002000630072006500610074006500200070006f00740020006600690020006400650073006300680069007300650020006300750020004100630072006f006200610074002c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020015f00690020007600650072007300690075006e0069006c006500200075006c0074006500720069006f006100720065002egt RUS ltFEFF04180441043f043e043b044c04370443043904420435002004340430043d043d044b04350020043d0430044104420440043e0439043a043800200434043b044f00200441043e043704340430043d0438044f00200434043e043a0443043c0435043d0442043e0432002000410064006f006200650020005000440046002c0020043c0430043a04410438043c0430043b044c043d043e0020043f043e04340445043e0434044f04490438044500200434043b044f00200432044b0441043e043a043e043a0430044704350441044204320435043d043d043e0433043e00200434043e043f0435044704300442043d043e0433043e00200432044b0432043e04340430002e002000200421043e043704340430043d043d044b04350020005000440046002d0434043e043a0443043c0435043d0442044b0020043c043e0436043d043e0020043e0442043a0440044b043204300442044c002004410020043f043e043c043e0449044c044e0020004100630072006f00620061007400200438002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020043800200431043e043b043504350020043f043e04370434043d043804450020043204350440044104380439002egt SKY ltFEFF0054006900650074006f0020006e006100730074006100760065006e0069006100200070006f0075017e0069007400650020006e00610020007600790074007600e100720061006e0069006500200064006f006b0075006d0065006e0074006f0076002000410064006f006200650020005000440046002c0020006b0074006f007200e90020007300610020006e0061006a006c0065007001610069006500200068006f0064006900610020006e00610020006b00760061006c00690074006e00fa00200074006c0061010d00200061002000700072006500700072006500730073002e00200056007900740076006f00720065006e00e900200064006f006b0075006d0065006e007400790020005000440046002000620075006400650020006d006f017e006e00e90020006f00740076006f00720069016500200076002000700072006f006700720061006d006f006300680020004100630072006f00620061007400200061002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000610020006e006f0076016100ed00630068002egt SLV ltFEFF005400650020006e006100730074006100760069007400760065002000750070006f0072006100620069007400650020007a00610020007500730074007600610072006a0061006e006a006500200064006f006b0075006d0065006e0074006f0076002000410064006f006200650020005000440046002c0020006b006900200073006f0020006e0061006a007000720069006d00650072006e0065006a016100690020007a00610020006b0061006b006f0076006f00730074006e006f0020007400690073006b0061006e006a00650020007300200070007200690070007200610076006f0020006e00610020007400690073006b002e00200020005500730074007600610072006a0065006e006500200064006f006b0075006d0065006e0074006500200050004400460020006a00650020006d006f0067006f010d00650020006f0064007000720065007400690020007a0020004100630072006f00620061007400200069006e002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200069006e0020006e006f00760065006a01610069006d002egt SUO ltFEFF004b00e40079007400e40020006e00e40069007400e4002000610073006500740075006b007300690061002c0020006b0075006e0020006c0075006f00740020006c00e400680069006e006e00e4002000760061006100740069007600610061006e0020007000610069006e006100740075006b00730065006e002000760061006c006d0069007300740065006c00750074007900f6006800f6006e00200073006f00700069007600690061002000410064006f0062006500200050004400460020002d0064006f006b0075006d0065006e007400740065006a0061002e0020004c0075006f0064007500740020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740069007400200076006f0069006400610061006e0020006100760061007400610020004100630072006f0062006100740069006c006c00610020006a0061002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030003a006c006c00610020006a006100200075007500640065006d006d0069006c006c0061002egt SVE ltFEFF0041006e007600e4006e00640020006400650020006800e4007200200069006e0073007400e4006c006c006e0069006e006700610072006e00610020006f006d002000640075002000760069006c006c00200073006b006100700061002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e007400200073006f006d002000e400720020006c00e4006d0070006c0069006700610020006600f60072002000700072006500700072006500730073002d007500740073006b00720069006600740020006d006500640020006800f600670020006b00760061006c0069007400650074002e002000200053006b006100700061006400650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740020006b0061006e002000f600700070006e00610073002000690020004100630072006f0062006100740020006f00630068002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020006f00630068002000730065006e006100720065002egt TUR ltFEFF005900fc006b00730065006b0020006b0061006c006900740065006c0069002000f6006e002000790061007a006401310072006d00610020006200610073006b013100730131006e006100200065006e0020006900790069002000750079006100620069006c006500630065006b002000410064006f006200650020005000440046002000620065006c00670065006c0065007200690020006f006c0075015f007400750072006d0061006b0020006900e70069006e00200062007500200061007900610072006c0061007201310020006b0075006c006c0061006e0131006e002e00200020004f006c0075015f0074007500720075006c0061006e0020005000440046002000620065006c00670065006c0065007200690020004100630072006f006200610074002000760065002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200076006500200073006f006e0072006100730131006e00640061006b00690020007300fc007200fc006d006c00650072006c00650020006100e70131006c006100620069006c00690072002egt UKR ltFEFF04120438043a043e0440043804410442043e043204430439044204350020044604560020043f043004400430043c043504420440043800200434043b044f0020044104420432043e04400435043d043d044f00200434043e043a0443043c0435043d044204560432002000410064006f006200650020005000440046002c0020044f043a04560020043d04300439043a04400430044904350020043f045604340445043e0434044f0442044c00200434043b044f0020043204380441043e043a043e044f043a04560441043d043e0433043e0020043f0435044004350434043404400443043a043e0432043e0433043e0020043404400443043a0443002e00200020042104420432043e04400435043d045600200434043e043a0443043c0435043d0442043800200050004400460020043c043e0436043d04300020043204560434043a0440043804420438002004430020004100630072006f006200610074002004420430002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002004300431043e0020043f04560437043d04560448043e04570020043204350440044104560457002egt ENU (Use these settings to create Adobe PDF documents best suited for high-quality prepress printing Created PDF documents can be opened with Acrobat and Adobe Reader 50 and later) gtgt Namespace [ (Adobe) (Common) (10) ] OtherNamespaces [ ltlt AsReaderSpreads false CropImagesToFrames true ErrorControl WarnAndContinue FlattenerIgnoreSpreadOverrides false IncludeGuidesGrids false IncludeNonPrinting false IncludeSlug false Namespace [ (Adobe) (InDesign) (40) ] OmitPlacedBitmaps false OmitPlacedEPS false OmitPlacedPDF false SimulateOverprint Legacy gtgt ltlt AddBleedMarks false AddColorBars false AddCropMarks false AddPageInfo false AddRegMarks false ConvertColors ConvertToCMYK DestinationProfileName () DestinationProfileSelector DocumentCMYK Downsample16BitImages true FlattenerPreset ltlt PresetSelector MediumResolution gtgt FormElements false GenerateStructure false IncludeBookmarks false IncludeHyperlinks false IncludeInteractive false IncludeLayers false IncludeProfiles false MultimediaHandling UseObjectSettings Namespace [ (Adobe) (CreativeSuite) (20) ] PDFXOutputIntentProfileSelector DocumentCMYK PreserveEditing true UntaggedCMYKHandling LeaveUntagged UntaggedRGBHandling UseDocumentProfile UseDocumentBleed false gtgt ]gtgt setdistillerparamsltlt HWResolution [2400 2400] PageSize [612000 792000]gtgt setpagedevice

  1. 1 World Health Organization WHO
  2. 2 Beijing Platform for Action BPA 1995
  3. 5 International Covenant on Civil and Political Rights ICCPR 1966
  4. 7 Krug Etienne et al 2002 World Report on Violence and Health Geneva WHO
Page 8: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na

VIFUPISHO

BAW Bodi ya Afya ya Wilaya BHA Bodi ya Huduma za Afya MKUKUTA Mpango wa Kukuza Uchumi na Kupunguza

Umaskini Tanzania MMAM Mpango wa Maendeleo wa Afya ya Msingi MHW Mamlaka ya Halmashauri ya Wilaya NCPA Mpango Kazi wa Taifa wa Kuhudumia Watoto Yatima

na Wanaoishi katika Mazingira Hatarishi PEPFAR Mpango wa Dharura wa Rais wa Marekani wa

kupunguza UKIMWI SADC Ushirikiano wa Maendeleo wa Nchi za Kusini mwa

Afrika UWAKI Ukatili wa Kijinsia UKIMWI Upungufu wa Kinga Mwilini USAID Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani VVU Virusi Vya UKIMWI WAUJ Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii WHO Shirika la Afya Duniani

vii

ORODHA YA MANENO MUHIMU NA DHANA

Kwa madhumuni ya Mwongozo huu maneno muhimu na dhana yatakuwa na maana ifuatayo

Ukatili Matumizi ya nguvu yanayompa mtu fursa ya kumtumia au kumkandamiza mtu mwingine ikiwa ni pamoja na na kumsababishia woga au hofu madhara ya kimwili kifikra na kisaikolojia Ukatili unaweza kujitokeza kwa kumdhuru mtu kimwili au kumtishia kwa kutumia silaha au kumnyima mtu uhuru wa kufanya uamuzi na kumlazimisha kutenda kinyume na utashi wake

Kijana balehe Kipindi cha mpito cha ukuaji kutoka utoto kuelekea utu uzima Kipindi hiki ni muda ambapo mhusika sio mtoto wala mtu mzima kibiolojia wala hajakomaa kihisia Wakati huu kuna mabadiliko makubwa ya kimwili yanayohusiana na mwanzo wa kubalehe pamoja na kukua kisaikolojia Kijana balehe hujumuisha wanafunzi wengi walio kwenye shule za msingi na baadaye kukamilika wakiwa shule za sekondari

Mtoto Kwa mujibu wa katiba ya Tanzania na sheria ya mtoto mtoto ni mtu yeyote aliye chini ya umri wa miaka 18

Unyanyasaji wa mtoto Unyanyasaji wa mtoto ni dhana ambayo inahusisha maneno au vitendo vilivyokusudia kusababisha utokeaji wa madhara au vitisho kwa watoto Kuna aina tatu za ukatili kwa watoto kimwili kingono na kisaikolojia

Unyanyasaji wa mtoto kingono Ushirikishwaji wa mtoto katika vitendo vinavyohusu ngono Unyanyasaji wa watoto kingono unatokea kati ya mtoto na mtu mzima au mtoto na mtoto mwingine ambaye wamezidiana kiumri na kupevuka na anaaminika ana madaraka na wajibu juu ya mtu aliyepatwa na UWAKI kwa lengo la mnyanyasaji kujiridhisha haja zake binafsi

Unyanyasaji wa watoto kingono ni pamoja na kushawishi au kumlazimisha mtoto kushiriki katika vitendo vyovyote vya ngono utumiaji wa watoto kufanya ukahaba au matumizi ya watoto katika kupiga picha za ngono na kutumia vifaa vinavyohusika na ngonoUnyanyasaji wa mtoto ni dhana

viii

ambayo inahusisha maneno au vitendo vilivyokusudia kusababisha utokeaji wa madhara au vitisho kwa mtoto

Kulazimisha Kutishia au kutumia nguvu ikiwa ni pamoja na kutumia vitisho kauli mbaya ulaghai udanganyifu mila potofu au nguvu ya kipato bila ridhaa yake

Huduma kwa waathirika wa UWAKI Ni huduma jumuishi zinazotolewa kwa waathirika zikijumuisha Kuchukua historia ya mtu aliyepatwa na UWAKI upimaji wa kina kuchukua vipimo vya ushahidi wa kimahakama kwa mujibu wa sheria unasihi kupata matibabu ya awali kupata msaada wa kisheria na kisaikolojia na pale inapobidi kupewa ulinzi

Ridhaa Kufanya uamuzi wenye uelewa uhuru na hiari kuhusu jambo lolote Hakuna ridhaa ikiwa makubaliano yamepatikana kwa njia ya vitisho nguvu au aina zozote za kulazimishwa utekaji nyara udanganyifu ulaghai na upotoshaji

Ukatili ndani ya familia Ni vitendo vya unyanyasaji wanavyofanyiana watu walio katika uhusiano wa karibu kama vile ndoa uchumba familia au watu wanaoishi pamoja kama mke na mume bila ndoa rasmi

Kuna aina mbalimbali za ukatili wa kifamilia zikiwa ni pamoja na ukatili wa kimwili (kumpiga kumwuma kumsukuma kumzuia kumtupia vitu) au kumtishia Aina nyingine ya ukatili wa kifamilia ni ukatili wa kisaikolojia (kumfanyia vitisho kuvizia kumpuuzia) na ukatili wa kiuchumi Madhara yanayotokana na ukatili wa kifamilia ni pamoja na matumizi makubwa ya pombe utegemezi wa dawa za kulevya na magonjwa ya akili

Kituo cha Hifadhi ya muda Mahali pa kupata taarifa usalama huduma ya kwanza rufaa na mahitaji mengine muhimu na ya haraka kwa waliopatwa na UWAKI ambao wanahitaji mahali salama penye usiri kwa kipindi fulani

Kituo maalumu cha malezi Mahali rasmi panapotambulika kisheria kama makao ya watoto au shule za maadilisho Mahali pa kulelea watoto

ix

wanaoishi katika mazingira hatarishi kama vile kituo cha kulelea watoto kinachomilikiwa na watu binafsi taasisi za dini au serikali

Mlezi maalumu Mtu mzima mwenye akili timamu maadili mazuri na anayeaminika katika jamii ana uwezo wa kumlea mtoto ambaye siyo ndugu yake au wa nasaba yake ambaye amethibitishwa na ustawi wa jamii kuweza kumpa matunzo

Kulazimisha kurithi Mjane Ni mila ambapo mjane anashurutishwa bila ridha yake kuwa mke au mume wa ndugu wa marehemu Inawezekana kuwa katika aina au mtindo tofauti kulingana na tamaduni

Ukahaba wa Kulazimishwa Ni kitendo cha ulaghai kinachofanywa na watu kwa makundi hatarishi kama wanawake au wasichana kwa kuwaahidi kuwapatia vitu msaada au ajira halali na badala yake kuwatumikisha katika biashara ya ngono

Jinsia Ni uhusiano uliojengeka katika jamii Watu huzaliwa wakiwa na maumbile ya kike na kiume kisha hujifunza kazi au shughuli za kike na kiume kwenye jamii na hatimaye husababisha watu kujipangia majukumu kutokana na jinsia

Ukatili wa Kijinsia (UWAKI) Ni kitendo chochote cha kikatili anachofanyiwa mtu yeyote awe mwanamke mwanamume au mtoto chenye lengo la kumwumiza kimwili au kiutu kutokana na jinsia yake Ukatili wa kijinsia unajumuisha ukatili wa kingono kisaikolojia mila hatarishi na unyanyasaji wa kiuchumi na kijamii

Kupambana na Ukatili wa Kijinsia Kunajumuisha mambo yafuatayo Kutoa huduma kuandaa mipango mkakati kwa kuwashirikisha wadau mbalimbali

Mila na desturi hatarishi

bull Ukeketaji Ni kitendo cha kikatili anachofanyiwa mtoto wa kike msichana au mwanamke kwa kukata kabisa au kuondoa sehemu ya via vya nje vya uzazi kwa sababu zisizo za kitabibu

x

bull Ndoa katika umri mdogo Ni ndoa zinazojitokeza zaidi kwa wasichana ambazo zinahusishwa na madhara kwa mama na mtoto kama vile matatizo wakati wa kujifungua ulemavu na vifo vya mama na mtoto

bull Ndoa ya kulazimishwa Ni ndoa zinazofanyika bila ridhaa ya mwanamume au mwanamke Iwapo mmoja kati yao hatakubaliana ndoa hizo zinaweza kusababisha madhara ya unyanyasaji na ukatili

bull Utakaso wa mjane Ni desturi ambapo mjane hulazimishwa au hulazimika kufanya ngono na ndugu wengine au mtu aliyeteuliwa kwa kazi hiyo katika jamii Hii hufanyika kabla mjane huyo hajaolewa au kuoa tena

Haki za binadamu Ni stahili za msingi ambazo kila binadamu anapaswa kuzipata ili kumwezesha kuishi kujiendeleza kushiriki na kupata ulinzi wa jamii bila kujali utaifa jinsia asili ya utaifa au nasaba au kabila rangi dini lugha au kwa hali nyingine yoyote

Matukio ya ukatili Ni kitendo au mfululizo wa vitendo vya ukatili vinavyofanywa na mtu au kikundi cha watu dhidi ya mtu au kundi la watu kwa makusudi ya kuharibu kuleta hofu au kutishia amani kwa maslahi binafsi Vitendo hivyo vya kikatili vinaweza kufanyika nyumbani kwenye hadhara na mahali popote katika nyakati tofauti

Ukatili kati ya wenzi Ukatili unaohusisha wenzi wenye uhusiano wa ndani kama vile mtu na mke marafiki wapenzi wanafamilia au watu wanaoishi pamoja kama mke na mume bila ndoa rasmi Ukatili kati ya wenzi ni wa aina nyingi ikiwa ni pamoja na ukatili wa kimwili (kupigwa kuuma kumsukuma kumzuia kumtupia vitu) au kumtishia Aina nyingine ya ukatili wa wenzi ni ukatili wa kingono kisaikolojia (kumfanyia vitisho kuvizia kumpuuza) na ukatili wa kiuchumi (kunyimwa haki ya kufanya kazi kunyangrsquoanywa kipato kurithi mali nk)

Mhalifu Ni mtu kundi la watu au taasisi linalofanya moja kwa moja au kupitia wengine uhalifu au vitendo vya kikatili dhidi ya mtu au kundi la

xi

watuWahalifu wanakuwa katika hali ya kuwa au kuhisi kuwa na nguvu kufanya uamuzi naau mamlaka ya kuwadhibiti waliopatwa na UWAKI

Ukatili wa kimwili Ni kitendo cha kumdhalilisha mtu kwa kumpiga kumvua nguo kumwuma kumchoma kumsababishia ulemavu au kumwua kwa kutumia au kutotumia silaha

Nguvu Katika muktadha wa UWAKI madaraka yanahusiana na uwezo wa kuchagua Mamlaka makubwa yanaendana na uwezo mkubwa wa kufanya uamuzi Kwa upande mwingine mamlaka madogo yanaendana na uwezo dhaifu wa kufanya uamuzi na kwa hivyo kuongeza uwezekano wa kunyanyaswa UWAKI unahusisha matumizi mabaya ya madaraka ambapo mtu mmoja anajisikia kuwa ana mamlaka zaidi juu ya mwenzake na kutumia fursa hiyo kumnyanyasa

Kwa mfano kutumia shinikizo la aina yoyote ili kumfanya mtu mwenye uwezo mdogo kufanya naye ngono kwa madhumuni ya kumpatia faida au ahadi zozote ni kutumia vibaya madaraka Wanaume wana nafasi za madaraka kuliko wanawake na mara nyingi wanamiliki fedha mali na huduma Wanaume wana maumbile makubwa zaidi ya wanawake wana nguvu zaidi wanatumia silaha zaidi na wanadhibiti mawasiliano na usalama Madaraka yanategemea umri na mara nyingi watoto na wazee wana madaraka madogo zaidi Waume au marafiki wa kiume wana umri mkubwa zaidi kuliko wake zao au marafiki wa kike

Ubakaji Ni kitendo cha mtu kumwingilia mtu kimwili mtu mwingine kwa nguvu bila ridhaa yake au kitendo cha kumwingilia mtu mwenye umri chini ya miaka 18

Ulazimishaji ngono ndani ya ndoa Ni kitendo cha ngono kati ya wanandoa kinachofanywa na mwanandoa mmoja bila ridhaa au dhamira ya mwenzake akitumia nguvu vitisho kuogopesha hofu au wakati mwenza hawezi kutoa ridhaa

Vitendo hivyo vya ngono vinajumuisha kujamiiana ngono ya mdomo au kinyume na maumbile kulazimishwa kufanya ngono na mtu mwingine na vitendo vingine vya ngono ambavyo vinachukuliwa na mlazimishaji kama ukandamizaji udhalilishaji na vya kuumiza

xii

Nyumba salama Mahali pa hifadhi ya muda kwa watu waliopatwa na UWAKI mashahidi au watu wengine wanaoonekana kuwa hatarini Pia ni mahali ambapo jamii familia mtu mzima anayeaminika au taasisi ya hisani wanatoa kimbilio la usalama kwa watu waliopatwa na UWAKI

Ukatili wa Kingono Ni kitendo au jaribio lolote la unyanyasaji wa kingono linalosababisha au linaloweza kusababisha madhara ya kimwili kisaikolojia au kihisia

Ngono za Kulazimishwa Ni kitendo cha kumshurutisha au kujaribu kumshurutisha mtu mwingine kwa njia ya ukatili vitisho maneno makali udanganyifu kumpa matarajio ya kiuchumi ili ajihusishe na vitendo vya ngono bila ridhaa yake Ni pamoja na vitendo mbalimbali kama ubakaji na maeneo mapana zaidi kama wanawake kulazimishwa kuolewa na kutoa huduma ya ngono kwa wanaume ambao sio chaguo lao

Ukandamizaji wa Kingono Ni kumtumia mtu watu au jamii inayoishi kwenye mazingira magumu kwa madhumuni ya kuihusisha katika vitendo vya kujamiiana au vinavyohusiana na kujamiiana ili mhalifu afaidike kiuchumi au kijamii

Bughudha ya Kingono Ni matendo yanayohusiana na hisia za kujamiiana ambayo yanakera na kuudhi watu ndani ya jamii na mazingira ya kazi hayakubaliki yanasumbua yanarudiwa mara kwa mara na bila ridhaa kwa mfano matusi kukonyeza mavazi duni yenye kuonyesha maungo kupapasa picha za ngono na kuingilia faragha za mwili wa mtu

Ukatili wa Kingono Nikitendo au jaribio lolote la unyanyasaji wa kingono linalosababisha au linaloweza kusababisha madhara ya kimwili kisaikolojia au kihisia

Ukatili wa Kiuchumi na Kijamii Ni vitendo vya kumnyima mtu fursa ya kupata mahitaji ya msingi na ya kujiendeleza kama kumnyima elimu kazi kumiliki mali huduma za afya na vitendo vingine vinavyosababisha msongo wa mawazo

xiii

Ukatili Matumizi ya nguvu yanayompa mtu fursa ya kumtumia au kumkandamiza mtu mwingine ikiwa ni pamoja na kumsababishia woga au hofu madhara ya kimwili kifikra na kisaikolojia Ukatili unaweza kujitokeza kwa kumdhuru mtu kimwili au kumtishia kwa kutumia silaha au kumnyima mtu uhuru wa kufanya uamuzi na kumlazimisha kutenda kinyume na utashi wake

Ukatili Dhidi ya Wanawake Ni kitendo au vitendo vya unyanyasaji vyenye kulenga jinsia ya kike na vyenye kusababisha au kuleta madhara ya kimwili kingono kihisia kisaikolojia kiuchumi na kijamii Kitendo au vitendo hivi hujumuisha kutumia nguvu na vitisho vya kumnyima mwanamke haki na uhuru

xiv

SEHEMU YA KWANZA

UTANGULIZI

11 Hali ya Ukatili wa Kijinsia Duniani

Ukatili Wa Kijinsia (UWAKI) unatokana na kuwepo kwa tofauti kati ya wanaume na wanawake na hivyo kuhatarisha afya utu usalama na uhuru wa wahusika waliofanyiwa vitendo vya kikatili

UWAKI unajumuisha vitendo vingi vya ukiukwaji wa haki za binadamu kama vile unyanyasaji wa watoto kingono ubakaji unyanyasaji katika familia shambulio la aibu na udhalilishaji Vitendo vingine vya UWAKI ni usafirishaji haramu wa wanawake na wasichana na madhara mengine yatokanayo na mila na desturi hatarishi

Matukio ya ukatili wa kijinsia yanaacha athari kubwa za kisaikolojia na za kiafya kwa watu waliopatwa na ukatili ikiwa ni pamoja na kuathiri afya ya uzazi na mara nyingine kusababisha vifo

UWAKI haujatambuliwa kama ukiukwaji wa haki za binadamu katika sehemu nyingi duniani Tatizo hili hupunguza uwezo wa wanawake wanaume na watoto katika kufurahia uhuru na haki za msingi za kibinadamu Hata hivyo licha ya kuwepo kwa UWAKI katika nchi nyingi tatizo hili halijapewa kipaumbele UWAKI unaelezwa kuwa ldquoNi kitendo kiovu na cha aibu kubwa cha ukiukwaji wa haki za binadamurdquo Hali hii humfanya mwanamke kuwa tegemezi kijamii kiuchumi na kisheria na hupunguza uwezo wake katika kupata msaada mara anapofanyiwa ukatili

Utafiti uliofanywa na Shirika la Afya Duniani (WHO) kuhusu afya ya wanawake na ukatili wa kifamilia katika nchi 10 umeonyesha kuwa kati ya wanawake waliowahi kuwa na wenzi asilimia 13-61 walifanyiwa ukatili wa kimwili na wenzi wao asilimia 6-59 walifanyiwa ukatili wa kingono na asilimia 15-71 walifanyiwa vitendo vya ukatili wa kingono pamoja na kimwili Pia wanawake wengi vijijini walikiri kuwa walifanyiwa tendo la ngono kwa mara ya kwanza bila ridhaa yao na takwimu zinaonyesha matukio hayo katika baadhi ya nchi kama ifuatavyo Peru (24)

1

Tanzania (17) Bangladesh (30) na Ethiopia (17) Ukatili wa kimwili kwa wanawake wajawazito uliripotiwa kuwa ni asilimia 4-12

Wanawake na wasichana wanakabiliwa na aina nyingine ya ziada ya unyanyasaji Usafirishaji haramu wa wanawake na wasichana kwa ajili ya kazi na ngono za kulazimishwa ni biashara iliyoshamiri na mara nyingi waathirika ni wale wanaokabiliwa na hali ngumu ya maisha Ndoa za kulazimishwa na za utotoni ni ukiukwaji wa haki za binadamu kwa wanawake na wasichana lakini zinaendelea kushamiri kwenye nchi nyingi za Bara la Asia Mashariki ya Kati na Nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara Utafiti wa Shirika la Afya Duniani (2010) unaonyesha kuwa duniani kote mwanamke mmoja kati ya wanawake watano na mwanamume mmoja kati ya wanaume 10 wanaripotiwa kuathirika na unyanyasaji wa kingono wakati wa utoto

12 Hali ya UWAKI Kanda ya Afrika

Kuna uhaba wa taarifa takwimu na utafiti kuhusu UWAKI kwenye ukanda wa Afrika Mashariki Nchini Kenya kulikuwa hakuna takwimu zenye kuhusiana na ukatili wa kijinsia hadi utafiti wa hali ya jamii na afya ulipofanyika mwaka 2003 Utafiti huu ulionyesha kwamba asilimia 29 ya wanawake waliripotiwa kuathiriwa na ukatili wa kingono kwenye kipindi cha mwaka mmoja uliopita na wengi wa waathirika walikuwa wanawake wa umri wa miaka 20-29 Utafiti uliofanywa na Ushirika wa Wanasheria Wanawake nchini Kenya ulionyesha kwamba ukatili wa kijinsia katika familia unakabili asilimia 51 ya wanawake waliohudhuria kliniki nne za wajawazito kwenye jiji la Nairobi na waliripoti kuwa wamekuwa waathirika wa ukatili wakati fulani katika maisha yao kati yao asilimia 65 walifanyiwa ukatili na waume zao na asilimia 22 walifanyiwa ukatili na wanaume wasiowafahamu

Utafiti kuhusu UWAKI uliofanywa baada ya uchaguzi wa 2007 nchini Kenya ulilenga makazi duni ya Kibera jijini Nairobi yenye wakazi wapatao milioni moja Utafiti huu ulionyesha kuwa umri wa waathirika waliobakwa ulikuwa kati ya miaka 25-68 na wengi wao walikuwa wenye umri wa miaka ya 30 UWAKI uliwaathiri wanawake wa umri wa miaka yote Utafiti huu ulibaini kwamba baadhi ya waathirika waliambukizwa virusi vya UKIMWI

2

Mwaka 2007 Umoja wa Mataifa ulikadiria kuwa kiwango cha ubakaji wa wanawake katika eneo la Kivu kaskazini ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ulikuwa ni wanawake 350 kwa mwezi Mwaka 2008 shirika linalotetea haki za binadamu duniani (Amnesty International) liliripoti kuwa wanawake 40 hubakwa kila siku katika eneo hilo hilo

3

SEHEMU YA PILI

UCHAMBUZI WA UWAKI TANZANIA

21 Ukubwa wa tatizo la UWAKI Tanzania

Utafiti uliofanywa na Shirika la Afya Duniani (WHO)1 kuhusu afya ya wanawake na ukatili majumbani kwenye nchi 10 umebaini kuwa ukatili dhidi ya wanawake upo sehemu nyingi ikiwemoTanzania Utafi ti huo ulihusisha wanawake 1820 Dar es Salaam na wanawake 1450 Mbeya waliowahi kuwa na wenzi Matokeo yalionyesha kwamba asilimia 41 ya waliohojiwa katika jiji la Dar es Salaam na asilimia 55 ya waliohojiwa katika jiji la Mbeya waliathirika na aina mbalimbali za UWAKI Taarifa ilionyesha kuwa asilimia 15 hadi 71 ya wanawake walioathirika na ukatili wa kimwili au wa kingono ulifanywa na waume au wenzi wao Utafi ti huo pia ulionyesha kwamba asilimia 15 ya wanawake walifanya kitendo cha ngono kwa mara ya kwanza kwa kulazimishwa Aidha asilimia 4 hadi 12 ya wanawake waliripotiwa kunyanyaswa kimwili wakati wa ujauzito

Kufuatana na uchunguzi wa kitaifa nchini Tanzania kiwango cha ukatili majumbani kati ya wanawake wenye umri wa miaka 15- 49 ni asilimia 45 ikijumuisha ukatili wa kimwili (25) kingono (7) na (14) kwa aina zote mbili Unyanyasaji wa kimwili kwa wanawake wajawazito ulikuwa asilimia tisa (9) Kiwango cha wanawake waliokabiliwa na matukio ya kushurutishwa na wenzi wao kilikuwa asilimia sitini (60) Kiwango cha matukio ya ukatili wa kimwili kinatofautiana sana kati ya mkoa na mkoa ambapo kiwango cha juu sana kipo kwenye mkoa wa Dodoma (71) na cha chini kabisa kwenye mkoa wa Tanga (16) Ukatili wa kingono ni wa kiwango cha juu sana kwenye mkoa wa Rukwa (32) na chini kabisa kwenye mkoa wa Shinyanga (5) Kiwango cha wanawake waliowahi kuwa kwenye ndoa ambao wameathirika na ukatili wa kingono kutoka kwa mume au mwenzi wa sasa ni 48 mume wa zamani (21) rafiki wa kiume wa sasazamani (7) Kwa upande wa wanawake ambao hawajaolewa 27 ya ukatili ulifanywa na marafi ki wa kiume wa sasa au wa zamani

1 World Health Organization (WHO)

4

Uchunguzi wa WHO uliotajwa hapo juu umeonyesha usafi rishaji wa wanawake na wasichana kwa ajili ya kazi na ngono za kulazimishwa ni biashara iliyoshamiri na mara nyingi waathirika ni wale wanaokabiliwa na hali ngumu ya maisha Ndoa za kulazimishwa na za utotoni kama zilivyo kwenye jamii nyingi ni ukiukwaji wa haki za binadamu kwa wanawake na wasichana kwa sababu hawana fursa ya kutoa ridhaa Zaidi ya 60 ya waathirika wa UWAKI nchini Tanzania hawachukui hatua yoyote ya kutoa taarifa ya ukatili kwa mamlaka rasmi au vyombo vya kutekeleza sheria Upo uwezekano mkubwa wa maambukizo ya VVU kutokana na UWAKI Vijana wa kike wa Kitanzania wenye umri wa miaka 18-29 ambao wamekuwa wakinyanyaswa na wenzi wao wana uwezekano wa mara 10 zaidi kupata maambukizo ya VVU kuliko wanawake ambao hawajanyanyaswa

Utafiti uliofanyika Dar es Salaam mwaka 2000 ulibaini kuwa zaidi ya 90 ya waathirika wa ubakaji wanawafahamu wahalifu wao Katika utafiti mwingine uliofanyika Dar es Salaam asilimia ishirini na tano (25) ya wanawake waliohojiwa walikiri kwamba ldquoUkatili ni tatizo kubwa kwenye maishardquo Nchini Tanzania ubakaji ndani ya ndoa hautambuliwi kama kosa la jinai isipokuwa kama wenza wametengana

Vitendo vya UWAKI nchini Tanzania kwa ujumla vinalenga zaidi wanawake na wasichana kutokana na desturi na mazoea ya jamii ambazo zinawabagua na kuwapunguzia uwezo wa kufurahia haki zao za kibinadamu Ingawa mashambulizi ya ngono yanawalenga zaidi wanawake na wasichana hata hivyo wanaume na wavulana vilevile wanalengwa katika unyanyasaji wa kingono kubughudhiwa na kushambuliwa

Ukatili kama ulivyofafanuliwa unadhihirisha tofauti ya madaraka kati ya mwathirika na mhalifu wa ukatili wa kingono ambapo mhalifu mara nyingi ana umbo kubwa umri mkubwa utajiri au ni mmojawapo kwenye kundi la watu wenye mamlaka au anatumia silaha Nchini Tanzania asilimia 134 ya vijana wameathiriwa na mashambulio ya kingono ya namna moja ama nyingine Kwa ujumla kutokana na sababu mbalimbali nchini Tanzania kuna uhaba wa taarifa za UWAKI pia taarifa zilizopo siyo kamilifu

5

Uzoefu unaonyesha kuwa bila kujali hali ya afya ya kimwili ya mwathirika UWAKI humwacha mwathirika na majeraha ya muda mrefu na kupunguza uwezo wa mwathirika kushirikiana na jamii na familia Athari zaidi hujitokeza kwa mwathirika kama vile aibu unyanyapaa msongo wa mawazo na mfadhaiko Tatizo hili kwa waathirika linachochewa na ldquoUtamaduni wa ukimyardquo miongoni mwa familia na jamii inayowazunguka UWAKI una athari ya moja kwa moja na matokeo hasi kwa afya na ustawi wa kiuchumi na kijamii kwa familia hasa kwa wanawake na watoto

22 Unyanyasaji wa Mtoto na Kijana

Utafiti wa kitaifa nchini Tanzania kuhusu Ukatili Dhidi ya Watoto ni wa kwanza na wa aina yake katika Bara la Afrika Matokeo ya utafi ti yameonyesha kwamba mara nyingi watoto wanakabiliwa na unyanyasaji na matukio mengi na ya namna mbalimbali yanayojumuisha ukatili wa kimwili kingono na kisaikolojia Utafiti ulibaini kuwa watoto wengi wako kwenye hatari kubwa ya kunyanyaswa kwenye mazingira ya nyumbani na shuleni Haya ni maeneo mawili ambayo watoto wengi wa Kitanzania hutumia muda wao mwingi wakati wanakua na kuelekea kwenye ujana Robo tatu ya watoto wanapofikia umri wa miaka 18 huwa wameathirika na ukatili wa kimwili kwa namna moja ama nyingine kutokana na ukatili wa ndugu mwalimu au kiongozi Kutokana na utafiti takribani 30 ya wanawake wenye umri kati ya umri wa miaka 13-24 na 14 ya wanaume wenye umri kati ya miaka 13-24 nchini Tanzania waliripotiwa kuathirika na ukatili wa kingono angalau mara moja kabla ya kufikisha umri wa miaka 18

Nchini Tanzania ukeketaji hufanyika mapema utotoni Karibu mwanamke mmoja kati ya wanawake watatu waliokeketwa (32) walikeketwa kabla ya kufikisha umri wa mwaka mmoja na 27 walikeketwa wakiwa na umri wa miaka 13 au zaidi Hata hivyo ukeketaji kwa wasichana hufanyika katika umri mdogo sehemu ya wanawake waliokeketwa wakiwa na umri wa miaka 5 iliongezeka kutoka 34 hadi 39 kwa mujibu wa Utafiti wa Afya ya Jamii [UAJ] 2004-05 na UAJ 2010 Kulingana na utafiti huu 5 ya wasichana wa miaka 13shy17 waliripotiwa kuwa wamekeketwa na 10 ya wasichana wa umri wa miaka 18-24 waliripotiwa kukeketwa Kwa mujibu wa sheria kukeketa ni

6

kosa linalostahili adhabu Kuna uwezekano kwamba wale waliokeketwa huwa wanasita kutoa taarifa na ndiyo sababu ya taarifa kuwa chache

23 Mazingira ya Sera ya UWAKI

Serikali ya Tanzania imeonyesha nia yake ya kushughulikia masuala ya UWAKI kwa kuridhia mikataba kadhaa ya kimataifa yenye kuhusiana na UWAKI na jinsia Mkataba wa Kutokomeza Aina Zote za Ubaguzi Dhidi ya Wanawake (1985) ambao umekuwa chombo katika kupambana na matukio ya ubaguzi ikiwa ni pamoja na ukatili Jukwaa la Beijing (1995)2 na Malengo ya Maendeleo ya Milenia (2000)3 Tanzania pia imeridhia hati ya Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu kuhusu haki za wanawake na hati ya Ushirikiano wa Maendeleo wa Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC)4

Vipaumbele vya maendeleo ya Tanzania vinaainishwa katika Dira ya Taifa 2025 na katika Mpango wa Kuondoa Umaskini na Kukuza Uchumi (MKUKUTA) MKUKUTA II (2011-25) unashughulikia UKIMWI na jinsia kama masuala mtambuka na ni mkakati wa kwanza wa kitaifa unaotambua UWAKI kama suala la kisera kwa watu wote Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto ndiyo yenye jukumu la kuratibu shughuli zote zinazohusiana na jinsia

Wizara hiyo imetayarisha Sera ya Maendeleo ya Jinsia (2000) kwa ajili ya kushughulikia upungufu na kukosekana kwa usawa kati ya wanaume na wanawake Pia Wizara imetayarisha Mkakati wa Kitaifa wa Jinsia na Maendeleo (2002) unaotoa dira na kuwezesha usawa wa kijinsia nchini Pamoja na Mpango wa Taifa wa Vitendo vya Kukinga na Kutokomeza Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto (2001-2015) kwa ajili ya kuongeza juhudi za Serikali za kisheria kwa kupambana na UWAKI na kuhakikisha lsquousawarsquo na lsquohakirsquo kati ya wanawake na wanaume nchini Tanzania Sera ya Taifa ya Afya ina mfumo wa utoaji wa huduma za afya kwa watu wote wanaohitaji ikiwa ni pamoja na waathirika wa UWAKI

2 Beijing Platform for Action - (BPA 1995) 3 Millennium Development Goals - (MDG 2000) 4 Southern African Development Cooperation - (SADC)

7

24 Haki za Binadamu Sheria na Mazingira ya Udhibiti

Tanzania imeridhia Sheria ya Haki za Binadamu na masharti ya vyombo kadhaa vya kimataifa na kikanda ambavyo vinakataza ubaguzi kwa misingi ya jinsia na hivyo kuhitaji serikali ihakikishe kwamba wanawake hawabaguliwi Vyombo hivi ni Mkataba wa Kimataifa wa Kuzuia aina zote za Ukatili na Unyanyasaji wa Kijinsia 1979 pamoja na Mkataba wa Kimataifa wa Haki za Kiraia na Kisiasa (1966)5 Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu (1981) na Hati ya Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu Kuhusu Haki za Wanawake Afrika (2000)

Tanzania imetunga sheria inayosimamia kukinga na kupambana na UWAKI Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (1977) iko wazi kwa kukataza ubaguzi na kwa misingi hiyo inatoa haki ya usawa [Ibara ya 12-24] Sheria ya Mtoto (2009) inawezesha jitihada za kupunguza ukatili dhidi ya watoto Sheria Maalumu ya Makosa ya Kujamiiana (1998)6

ilitungwa kwa lengo la kulinda heshima ya mwanamke na kuweka vikwazo kwa UWAKI kwa kutoa adhabu kali kwa makosa ya kingono Sheria hii inajumuisha ukatili wa kingono ubakaji biashara haramu ya usafirishaji watu bughudha za kingono na kukataza ukeketaji chini ya kifungu cha lsquoUkatili kwa watotorsquo

Hii ilikuwa mara ya kwanza kwa Tanzania kutunga sheria ya kukataza vitendo vilivyotajwa hapo juu na hatima ya sheria hii imewekwa chini ya sheria za adhabu kifungu cha 16

Sheria ya Adhabu (marekebisho ya 2002) inawekea vikwazo vitendo vya UWAKI mathalan vitisho Sehemu ya 89B 89A kutoroka watoto Sehemu ya 166 kutelekeza watoto Sehemu ya 167 kuua bila kukusudia Sehemu ya 195 mauaji Sehemu ya 196 mashambulizi Sehemu ya 240shy243 kutorosha Sehemu ya 246 utekaji nyara Sehemu ya 244 kazi za kulazimishwa Sehemu ya 256 wizi utokanao na mwenzi Sehemu ya 264 tishio la uchomaji Sehemu ya 332 uchomaji Sehemu ya 319-322 kuficha nyaraka Sehemu ya 276-278 Sheria ya Biashara ya Binadamu Na 6 ya mwaka 2008 inakataza biashara ya binadamu kwa sababu yoyote

5 International Covenant on Civil and Political Rights - (ICCPR 1966) 6 The Sexual Offences Special Provisions Act 1998 (SOSPA)

8

Sheria ya Kuzuia VVU UKIMWI Na 28 ya mwaka 2008 inakataza unyanyapaa na inafanya uambukizaji wa VVU kwa makusudi kuwa kosa la jinai

Pamoja na kuwepo vyombo vya kimataifa kikanda kitaifa na vya sheria za kuhakikisha haki kwa wanawake tatizo la UWAKI limetapakaa nchini Tanzania lakini linaripotiwa kwa nadra UWAKI unaathiri zaidi wanawake na wasichana kuliko wanaume na wavulana Haya ni matokeo ya uhusiano usio sawa kati ya wanaume na wanawake katika jamii ambayo yanajidhihirisha katika maeneo kadhaa ikiwa ni pamoja na maeneo ya kiuchumi kijamii kisiasa na kisheria

Mara nyingi UWAKI unapunguza uwezo wa wanawake na wasichana wa kufurahia haki za kimsingi za binadamu na uhuru kama ilivyoainishwa kwenye Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Utambuzi wa wahalifu wa UWAKI nchini Tanzania ni nadra kulinganisha na idadi ya mashambulizi Ni muhimu kushughulikia mahitaji ya kisheria ya waathirika wote wa UWAKI wanawake wasichana wanaume wavulana na watoto

25 Miundombinu ya utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii

Mfumo wa utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii upo katika ngazi ya kitaifa mikoajiji na wilaya manispaa Mfumo huu unawezesha utoaji wa huduma za kuboresha afya kuzuia magonjwa tiba utengemao na ustawi wa jamii kwa kupitia vituo vya kutolea huduma za afya vinavyojumuisha zahanati vituo vya afya na hospitali

Kuna mfumo wa rufaa kitaifa wa njia mbili kupeleka na kurejesha mgonjwa ambao unaanzia kwenye jamii na kwenda kwenye zahanati ambazo zipo 4679 vituo vya afya (481) hospitali za wilaya (95) hospitali za mikoa (19) na hospitali za rufaa za taifa (8) Kuna vituo vya kutolea huduma za afya 5718 nchini Tanzania vikijumuisha zahanati (86) vituo vya afya (10) na hospitali (4) vikiwa chini ya umiliki wa serikali (69) mashirika ya kidini (14) mashirika ya umma ( 3) na mashirika binafsi (14)

9

Mpango wa Maendeleo wa Afya ya Msingi [(MMAM) 2007-2017 pamoja na malengo mengine unakusudia kuhakikisha kuwa kuna kituo kimoja cha afya kwa kila kata katika kata 2555 zilizopo na zahanati moja kwa kila kijiji katika vijiji 10342 Jumla ya vituo vya afya ya msingi 8107 hospitali za wilaya 62 na taasisi 128 za mafunzo zitaanzishwa ifikapo mwaka 2012

Mahitaji ya watoa huduma za afya ni 82377 na waliopata mafunzo ni 29063 (35) ikiwa ni upungufu wa 65 ya mahitaji Mahitaji ya watoa huduma wa ustawi wa jamii ni 3892 Kuna wafanyakazi 210 wa ustawi wa jamii ikiwa ni upungufu wa 95 ya mahitaji na uhaba mkubwa katika ngazi za wilaya (93) kata (100) na vituo vya watu wenye ulemavu na taasisi nyingine (85) (WAUJ 2006)

Kuna uhaba wa wafanyakazi wa afya wenye ujuzi kwenye ngazi za zahanati (69) vituo vya afya (59) na hospitali za rufaa (48-67) Kwa ujumla kuna uhaba wa wafanyakazi wa ustawi wa jamii wenye ujuzi kwa kiwango cha 95 katika ngazi zote kanda (21) wilaya (93) kata (100) na vituo vya walemavu (95) Kama ujenzi wa vituo hautaendana na upatikanaji wa watoa huduma utekelezaji wa MMAM utakuwa na upungufu mkubwa

Kwa kawaida kuna hospitali ya wilaya au teule kwa kila Mamlaka ya Halmashauri ya Wilaya (MHW) Kuna MHW 133 ambazo zina majukumu na wajibu wa kutoa huduma za afya kwenye maeneo yao Kila MHW ina Bodi ya Afya ya Wilaya (BAW) ambayo inajumuisha madiwani waliochaguliwa na kusimamia mipango na utekelezaji wa huduma za afya kwenye wilaya

Mipango na usimamizi wa huduma za afya katika halmashauri inaongozwa na Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri ambayo kiongozi wake ni Mganga Mkuu wa Wilaya na ni Katibu wa BAW Kuna bodi ya hospitali ya wilaya teule Bodi ya Huduma ya Afya (BHA) ya kituo cha afya inayowakilisha wakazi wa kata na bodi ya zahanati inayowakilisha wakazi wa kijiji bodi zote zikiwa na uwakilishi sawa wa kijinsia

Makadirio ya matumizi ya afya kwa mtu mmoja kwa mwaka 201011 ilikuwa ni dola za kimarekani 1575 ambapo WHO imependekeza

10

kiwango cha dola 3400 za Kimarekani Matumizi ya afya ni asilimia 14 ya Bajeti ya Taifa kwa mwaka ambacho ni chini ya kiwango cha asilimia 15 kilichopendekezwa na Tamko la Abuja

Mfumo wa utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii upo katika ngazi zifuatazo

[a] Ngazi ya Kitaifa WAUJ ina jukumu la kutayarisha sera za afya na miongozo inayohusiana na huduma za afya kuweka viwango kuhakiki ubora kufuatilia na kutathmini pamoja na kusimamia utoaji wa huduma za afya zenye kujumuisha kuboresha afya kinga tiba utengemao na ustawi wa jamii Hospitali za rufaa zina asilimiai 52 tu ya wafanyakazi wenye ujuzi

[b] Ngazi ya MkoaJiji Timu ya Uendeshaji ya Afya ya Mkoa ina jukumu la kuongoza na kuendeleza utekelezaji wa mpango mkakati wa afya kwenye mkoa pamoja na ushauri wa kitaalamu kwa Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri kwenye maeneo yafuatayo (1) Utekelezaji wa sera miongozo na viwango vya utoaji wa huduma za afya kwa usahihi na kwa muda uliopangwa ukihusisha watoa huduma wote wa umma binafsi kwenye MHW (2) kupanga kwa ufanisi kutekeleza kufuatilia na kutathmini mipango ya afya ya kina katika halmashauri Kamati ya utawala ya hospitali ya mkoa ina jukumu la kupanga na kusimamia hospitali ya mkoa ambayo ni ngazi ya pili ya rufaa Kuna hospitali 19 za mikoa ambazo zina 34 tu ya wataalamu wa afya

[c] Mamlaka ya Halmashauri ya WilayaManispaa Huduma za afya katika ngazi hii zinasimamiwa na Halmashauri ya Wilaya kupitia BAW chombo kilichoundwa (2001) chini ya Sheria namba 7 ya mwaka 1982 kifungu cha 86A BAW inawajibika kwa utoaji wa huduma za kina kwenye wilaya Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri inatoa ushauri wa kiutaalam kwa utekelezaji wa uamuzi wa BAW

[d] Ngazi ya Wilaya Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri huandaa na kutekeleza mpango wa kina wa afya wa halmashauri pamoja na kufuatilia na

11

kutathmini huduma za afya kwenye hospitali vituo vya afya zahanati na jamii ikiwa ni pamoja na kufanya utafiti Kamati ya Utawala ya Hospitali inasimamia mipango na huduma kwenye hospitali ya wilaya ambayo ni ngazi ya kwanza ya rufaa Kuna hospitali 95 za wilaya zikiwa ni pamoja na hospitali teule ambazo zina asilimia 33 tu ya wataalamu wa afya

[e] Ngazi ya Kata Kamati ya Afya ya Kata inasimamia upangaji ubunifu na uratibu wa mipango ya afya ya jamii husimamia na huhamasisha upatikanaji wa rasilimali pamoja na ukusanyaji na matumizi ya Mfuko wa Afya wa Jamii Vituo vya afya vina jukumu la kutoa huduma za kina za afya na ustawi wa jamii kwenye kata Kamati ya Kituo cha Afya inasimamia utoaji wa huduma za afya na kuhamasisha ukusanyaji wa rasilimali zinazohitajika Timu ya Kituo cha Afya ina wajibu wa kusimamia shughuli za kila siku kwenye kituo cha afya Timu inapanga na kusimamia juhudi za afya ya jamii katika eneo lake chini ya Mpango wa Maendeleo ya Kata Kuna jumla ya kata 2555 nchini ambapo kata 481 sawa na 19 zina vituo vya afya ambavyo vina 41 tu ya wataalamu wa afya

[f ] Ngazi ya Kijiji Kamati ya Zahanati inahakikisha kwamba idadi ya watu katika eneo lake wanapata huduma sahihi za afya na nafuu pamoja na kusimamia uhamasishaji wa rasilimali kwa ajili ya utekelezaji wa mpango wa zahanati Timu ya Usimamizi wa Zahanati inapanga na kusimamia juhudi za afya ya jamii kwenye maeneo chini ya Mpango wa Maendeleo ya Kata Kuna jumla ya vijiji 10342 ambapo 4679 vina zahanati sawa na 45 ambazo ni aslimia 31 tu ya zahanati zina wataalamu wa afya wanaotosheleza Kamati ya Huduma za Jamii kwenye kijiji ina wajibu wa kuhamasisha na kushirikisha jamii ili wajihusishe kuboresha na kulinda afya

[g] Ngazi ya Kaya Kuna kaya takriban milioni 7 nchini Tanzania na wastani wa watu 47 kwa kila kaya (ambapo 70 ya kaya zote zinaongozwa na wanaume na 30 zinaongozwa na wanawake) Sera ya Afya ya Taifa inatamka kwamba ni wajibu wa kila raia kuendeleza na kulinda afya yake pamoja na ya familia yake Pamoja na haya kila raia ana jukumu la kujiepusha na tabia hatarishi kwa afya yake pamoja na ya mwenzie na kuchangia rasilimali kwa ajili ya afya yake na uendelezaji wa vituo vya kutolea huduma za afya

12

26 Kukinga na Kupambana na UWAKI

Serikali ya Tanzania na washirika wake wa karibu wametekeleza mambo mbalimbali yanayohusiana na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Wizara ambazo zinahusika kwa ukaribu kwenye utekelezaji wa mipango ya kukinga na kupambana na UWAKI ni pamoja na Wizara ya Maendeleo y a Jamii Jinsia na Watoto Wizara ya Sheria na Katiba Wizara ya Mambo ya Ndani na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Kuna ushirikiano kati ya wizara idara mashirika asasi za kiraia na wadau wa maendeleo Katika ngazi ya kitaifa serikali inatekeleza Mkakati wa Maendeleo ya Jinsia (2005) na kukuza usawa wa jinsia na haki kwa wanawake Utekelezaji wa Sheria Maalumu ya Makosa ya Kujamiana (1998) ambayo sasa ni Kanuni ya Adhabu Sura ya 16 Toleo la Marekebisho 2002 Pia serikali inatekeleza Mpango wa Taifa wa Vitendo wa Kuzuia na Kutokomeza Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto (2001-2015) ambao una lengo la kutokomeza ubaguzi na unyonyaji wa kisheria kijamii kiuchumi kiutamaduni na kisiasa Zaidi ya yote Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (1977) inatamka kuheshimu misingi ya usawa na haki kwa kila mtu

Kwa kushirikiana na wadau wengine serikali inawezesha uanzishwaji wa kitengo cha jinsia kwenye idara za wizara mbalimbali (mfano idara ya polisi chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi) Mashirika ya Jamii hutoa utetezi msaada wa kisheria huduma za afya na kuendesha kampeni na mashirika mengine yamechukua hatua za kutoa hifadhi kwa waathirika wa UWAKI na Vituo vya Kuhifadhi Waathirika Kuna sera za kitaifa sheria mikakati na mipango ya kazi kwa ajili ya kushughulikia usawa wa kijinsia Vilevile serikali kwa kushirikiana na asasi za kiraia imejenga mazingira mazuri ya kuwezesha waathirika kupata huduma kama vile msaada wa kisheria Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii (WAUJ) imekuwa ikitoa huduma kwa waathirika wa UWAKI licha ya kutokuwepo kwa mwongozo wa sera kwa ajili ya wahudumu wa vituo vya kutolea afya

27 Changamoto katika Kuzuia na Kupambana na UWAKI

Muundo wa sheria sera na juhudi za kukuza haki za binadamu zinakabiliwa na changamoto mbalimbali zinazofisha jitihada za kuzuia kupambana

13

na kuepusha athari za UWAKI nchini Tanzania Changamoto hizo ni pamoja na upungufu wa fedha upungufu wa kisheria na sera zilizopo uratibu duni kati ya wadau na kukosekana kwa mfumo wa rufaa kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI Hali kadhalika uelewa na taarifa juu ya ukubwa wa tatizo la UWAKI ni duni kwa hivyo WAUJ imebuni na kutayarisha mwongozo maalumu wa sera na huduma dhidi ya UWAKI ili kukabili changamoto hizo

[a] Sera za Taifa Serikali ya Tanzania inajitahidi kujenga mazingira mazuri ya kuzuia na kupambana na UWAKI Ingawa Sera ya Afya ina lengo la kutoa huduma za afya za kutosha kwa kila Mtanzania ipo haja ya kuwa na miongozo na mikakati inayofafanua masuala ya UWAKI kwa ukamilifu Ukosefu wa miongozo na sera ya usimamizi dhidi ya UWAKI ni kikwazo kikubwa kwa juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kutibu na kuhudumia waliopatwa na UWAKI Sekta ya afya itatumia mwongozo wa sera hii ili kuboresha huduma ya kupambana na UWAKI kwa kushirikisha na kuwahusisha wadau wote

[b] Sheria zaTaifa Pamoja na kuwepo sheria nyingi zilizopitishwa kwa ajili ya kulinda haki za wanawake na watoto bado zipo changamoto nyingi Kwa mfano kuna baadhi ya sheria zenye utata baadhi zinapingana na hivyo kupunguza uwezo wa kupambana na UWAKI Pamoja na hayo Sheria ya Ndoa kama ilivyofanyiwa marekebisho 2002 haiainishi hatua za kuchukuliwa dhidi ya ukatili wa kifamilia Sheria hii ni kama inahalalisha ubakaji kwa kuruhusu binti kuolewa chini ya umri wa miaka 18 Sheria ya Makosa ya Kujamiiana na Vipengele Maalumu (1998) haitambui ubakaji ndani ya ndoa ingawa inatambua ubakaji ikiwa mume na mke wametengana Mbali na upungufu huo sheria ya makosa ya kujamiiana kwa upande wa kuthibitisha ushahidi wa kuingiliwa kimwili ni mgumu Sheria ya Mila (Tangazo la Serikali Na4361963) ambayo inatumiwa na Watanzania wote wazawa inatokana na mila na desturi za makabila mbalimbali ya Tanzania sheria hii ya Mila ni ya kibaguzi na huleta changamoto kwa wanawake na watoto ambao wamezaliwa nje ya ndoa hususan katika urithi wa mali Kwa mfano ugawanaji wa mali ya marehemu upo katika makundi matatu (1) Mtoto wa kwanza wa kiume (2) Watoto wengine wa kiume waliobaki na (3) Watoto wa kike bila kujali umri

14

na hali katika familia Watoto wa kike wa marehemu hurithi fungu dogo na hunyimwa haki ya kumiliki ardhi Kwa mujibu wa sheria hii mjane hana haki ya kurithi mali yoyote kutoka kwa marehemu mume wake isipokuwa huchukuliwa kuwa atatunzwa na watoto wake Mjane ambaye hajabahatika kuzaa hupata asilimia 20 ya asilimia 50 ya mali za marehemu mume wake Mbali na urithi sheria hii kwa upande wa talaka ikiwa mke alilipiwa mahari wakati ndoa inapovunjwa na mahakama mume ana haki ya kudai kurudishiwa mahari

Sheria zenye kupunguza makali ya UWAKI zimeweka kanuni za kuwezesha wadau katika sekta mbalimbali kuandaa sera na miongozo ya kuzuia na kupambana na UWAKI Wahusika muhimu katika sekta mbalimbali wanapaswa kupitia sheria zinazotoa mwanya wa mwendelezo wa UWAKI na kupendekeza marekebisho au utungwaji wa sheria nyingine zitakazopunguza na kumaliza vitendo vya UWAKI Hata hivyo kuna umuhimu wa kuwepo kwa wajibu na majukumu ya sekta mbalimbali katika kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kupambana dhidi ya unyanyasaji na ukatili kwa watoto Kwa kutambua na kuimarisha wajibu huo katika kila sekta itasaidia uzingatiaji wa sera na kuimarisha ari ya utendaji katika sekta zifuatazo

bull Ustawi wa Jamii Kujenga mfumo wa kufanya tathmini ya vihatarishi katika kupima mfumo wa rufaa unaohusisha sekta na huduma mbalimbali kuweza kuamua na kuchukua hatua za haraka na za muda mrefu katika kupambana na kutoa mahitaji ya haraka na ya muda mrefu kwa ajili ya ulinzi wa watoto na waathirika wengine

bull Elimu Kujumuisha elimu dhidi ya ukatili wa kijinsia katika mitaala ya elimu ikiwa ni pamoja na kuandaa mazingira salama shuleni na kuingiza katika programu za elimu zinazoelezea juu ya masuala ya kujifahamu kimwili (kibiolojia) afya ya uzazi na maendeleo yaa jamii Kuhakikisha kwamba sekta mbalimbali za rufaa na mifumo inayotoa ulinzi wa mtoto vinahusishwa katika elimu hiyo

bull Polisi na sheria Kuimarisha na kupanua ulinzi sahihi wa kisheria kwa ajili ya watoto na kuchukua hatua za kisheria kwa watuhumiwa wa uhalifu kuendeleza juhudi za kuimarisha dawati la jinsia na watoto katika idara ya Polisi nchini Kuendelea kuelimisha polisi na watumishi wengine

15

wa usalama wa raia kuhusu ukatili dhidi ya watoto na kuwa na utaratibu wa uchunguzi wa pamoja na idara ya ustawi wa jamii afya mamlaka na vitengo vingine vinavyohusika na ulinzi na usalama wa mtoto

bull Afya Kufanya kazi katika muundo wa pamoja na wadau wengine kwa kufuata miongozo iliyopo kwa ajili ya kuzuia kutibu kuhudumia na kufuatilia matukio ya ukatili dhidi ya watoto Kuimarisha mifumo iliyo wazi yenye kuunganisha huduma rafi ki kwa watoto na vijana dhidi ya UWAKI

[c] Polisi na Mahakama Mabadiliko katika idara ya polisi hasa katika uanzishwaji wa polisi jamii na dawati la jinsia na watoto yanaonyesha maendeleo katika kushughulikia UWAKI Hata hivyo waathirika wa UWAKI wanakabiliwa na ugumu wa kufika katika vituo vya polisi na mfumo wa utoaji haki Kwa mfano zipo kesi zilizotupiliwa mbali na Mahakama kwa kukosa ushahidi muhimu kutoka upande wa mashtaka Matokeo yake ni kwamba waathirika wanakosa motisha ya kutoa taarifa ya matukio ya UWAKI na hivyo hushindwa kufikisha malalamiko katika vyombo vya utoaji haki

Upungufu wa mafunzo kwa polisi na watoa huduma za kisheria juu ya namna ya kuzitumia sheria zilizopo dhidi ya UWAKI kumesababisha kesi mahakamani kushindwa Mfano Fomu ya Polisi namba 3 (PF3) inatoa taarifa juu ya tukio la shambulio na haitoi maelezo juu ya tukio hilo kama limetokana na UWAKI Ingawa zipo sheria zinazopinga UWAKI sheria hizo hazifahamiki hivyo hazitumiki kikamilifu Pamoja na hayo sheria za kimila na imani za kidini zinazuia waathirika kutoa taarifa za matukio ya UWAKI

Sheria ya Makosa ya Kujamiiana na Vipengele Maalumu (1998) inatoa adhabu kali kwa makosa ya kujamiiana Mara nyingi watuhumiwa hawafikishwi mahakamani kwa kuhofia kudhurika kwa familia zao kwa upande wa kukosa kipato kutoka kwa mtuhumiwa (kwani adhabu za makosa hayo huwa ni kifungo cha muda mrefu) Kwa sababu hizo utoaji wa taarifa kutoka kwa waathirika na familia zao ikiwa ni pamoja na matumizi ya sheria na uendeshaji wa mashtaka umeendelea kuwa changamoto pamoja na kuwepo kwa Sheria ya Makosa ya Kujamiiana inayotoa ulinzi dhidi ya UWAKI

16

bull

bull

bull

bull

bull

[d] Mila na Desturi Katika ngazi ya jamii na mtu binafsi zipo sababu mbalimbali zinazochangia kwa kiwango kikubwa matukio ya UWAKI Utafiti uliofanywa na mtaalamu wa Shirika la Afya Duniani (WHO)7 unaainisha vipengele hatarishi vifuatavyo juu ya mila na desturi

Kanuni za kimila katika uhusiano wa kijinsia humpa mwanamume madaraka na haki zaidi Baadhi ya mila na desturi huhimiza uvumilivu juu ya vitendo vya UWAKI na kuwazuia waathirika kutoa taarifa na kupata msaada Uwezeshaji wa mwanamke katika kupambana na mfumodume hujenga hisia kwa mwanamume kuwa anapoteza mamlaka yake na hivyo huwaudhi baadhi ya wanaume na kuendelea kufanya ukatili kwa lengo la kuwadhibiti wanawake Matumizi ya baadhi ya sheria za kimila hayawasaidii waathirika kupata haki Hofu ya kulipiza kisasi unyanyapaa ubaguzi na kukosekana kwa huduma huwazuia waathirika kutoa taarifa na kupata msaada

[e] Madaraka na Mamlaka Madaraka na mamlaka ni muhimu katika kuzuia na kupambana na UWAKI Wakati mwingine watu wenye madaraka na mamlaka hufumbia macho matukio ya UWAKI Kwa mfano upo ushahidi wa kutosha kuwa kuna matumizi mabaya ya madaraka na mamlaka shuleni na maeneo ya kazi

[f ] Kuhusisha Jamii Jamii ndiyo ngazi ya awali kujua tukio la UWAKI na kutoa msaada wa usalama na ulinzi kwa mwathirika Utafiti wa Shirika la Afya Duniani katika nchi mbalimbali ulionyesha kwamba asilimia 37 ya waathirika walipata msaada kutoka kwa jamii Kutokana na kiwango cha unyanyapaa ubaguzi na kutengwa kijamii viongozi katika ngazi ya jamii waliohamasishwa juu ya UWAKI waliweza kukabili mazingira haya ya kiuhasama Jamii inaweza kumsaidia mwathirika kwa kujenga mazingira mazuri (kwa mfano kituo cha hifadhi salama) Jamii inahusishwa katika

7 Krug Etienne et al 2002 World Report on Violence and Health Geneva WHO Available at httpwwwwhointviolence_injury_preventionviolenceworld_report

17

bull

bull

bull

bull

kuwahamasisha waathirika kuwapa ulinzi mahitaji ya msingi msaada wa kisaikolojia na kuwapa rufaa kwa watoa huduma wengine Vilevile jamii inahusishwa katika kuzuia UWAKI kupunguza unyanyapaa na kuwapa unasihi waathirika pamoja na kuhamasisha viongozi wa kijamii na wanajamii kwa ujumla

Uhamasishaji huu ni muhimu kwa sababu jamii ni daraja kati ya mwathirika na huduma za afya na ustawi wa jamii

Jamii inapaswa kushirikishwa katika hatua za mwanzo na zinazofuata katika kuzuia UWAKI Katika hatua za mwanzo jamii inapaswa kujitahidi kuondoa tabia za kuvumilia matukio ya UWAKI na hivyo kupunguza matukio hayo Katika hatua zinazofuata jamii itatambua na kulinda wale walio katika hatari zaidi ya UWAKI kama watoto na wanawake Jamii pia inapaswa kutambua vikwazo vya utoaji huduma katika idara ya afya polisi na mfumo wa utoaji haki na kuisaidia jamii kuondokana na vikwazo vya upatikanaji wa huduma

Ni muhimu kuishirikisha jamii katika jitihada za utekelezaji wa kuzuia UWAKI na kupambana nao ikiwamo usimamizi wa matibabu ya waathirika Jamii ina uwezo mkubwa wa kuhamasisha waathirika kutafuta huduma za afya na huduma nyingine zinazohusiana na UWAKI kwa mfano huduma za polisi usaidizi wa kisheria na hifadhi salama Pia jamii ina wajibu wa kuwaunganisha waathirika na jamii zao

Hata hivyo zipo changamoto katika kuihusisha jamii kama vile

Upungufu katika kuwahusisha wanaume na wavulana katika kushughulikia UWAKI Wanajamii wamekuwa wakiwanyanyapaa badala ya kuwasaidia waathirika na wakati mwingine wameshiriki katika UWAKI Baadhi ya viongozi wa kijamii na kidini hawana utayari wa kuhamasisha kuzuia na kupambana na UWAKI Jamii zina kiwango kikubwa cha kunyamazia matendo ya UWAKI na kuzuia sheria kuchukua mkondo wake

18

[g] Hali ya kiuchumi na kijamii Kushughulikia UWAKI pekee kama changamoto inayohusu huduma za tiba ni kutibu dalili badala ya chanzo Ni muhimu kushughulikia vyanzo vya UWAKI kama umaskini miongoni mwa wanawake ambao huwafanya kuwa wategemezi

Serikali imetayarisha MKUKUTA II wenye kuainisha njia za kuendeleza na kulinda haki za binadamu kwa watu wote hasa kwa wanawake na wanaume maskini watoto watu wanaoishi katika hali hatarishi na makundi maalumu (angalia MKUKUTA II-kundi la III lengo la 3) na kuongeza uzalishaji na fursa za ajira zenye kuheshimika hasa kwa wanawake na vijana (angalia MKUKUTA II kundi la I lengo la 3) Changamoto iliyopo ni ukosefu wa kuweka vipaumbele katika utekelezaji wa ahadi hizi kwa wanawake na vijana kwa kuelekeza rasilimali za kutosha na kutekeleza mikakati katika kuleta mabadiliko ya hali ya kijamii na kiuchumi kwa wanawake na vijana hivyo kupunguza hali hatarishi ya UWAKI

28 Upungufu katika kupambana na UWAKI

Sekta ya afya imeandaa mwongozo wa kutoa huduma kwa waathirika wa UWAKI Hata hivyo ili kutoa huduma bora na za kirafi ki kwa waathirika sekta zinazohusika hazina budi kushughulikia upungufu ulioainishwa kama ifuatavyo

[a] Huduma za afya

Ukosefu wa mwongozo wa utoaji wa huduma kwa waathirika wa UWAKI Hakuna mwongozo wa utoaji wa huduma za kupambana na UWAKI kwa watoa huduma wa ngazi zote kuanzia nyumbani kwenye jamii zahanati vituo vya afya hospitali polisi mahakama na wadau mbalimbali Upungufu huu unakwamisha upatikanaji na utoaji wa huduma bora za kukinga na kupambana na UWAKI

Upungufu wa fedha Bajeti ya Serikali kuu na serikali za mitaa haikidhi mahitaji

19

Upungufu wa wataalamu wenye ujuzi wa kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Watoa huduma kwenye vituo vya kutolea huduma za afya na jamii hawana maarifa na ujuzi unaotakiwa kushughulikia mahitaji ya waathirika wa UWAKI wa marika yote

Kutojumuishwa kwa huduma za waathirika wa UWAKI na huduma nyingine Huduma za waathirika wa UWAKI hazikujumuishwa na huduma nyingine za afya na ustawi wa jamii kama vile afya ya uzazi upimaji wa VVU UKIMWI uzazi wa mpango na unasihi

Mfumo duni wa rufaa kwa waliopatwa na UWAKI Ingawa mfumo wa rufaa wa huduma za afya umeimarika kwa huduma nyingine lakini hakuna mfumo sahihi wa rufaa kwa waliopatwa na UWAKI Watoa huduma za afya hawana taarifa sahihi za waliopatwa na UWAKI kuhusu utaratibu wa kupeleka na kupokea wagonjwa kwenye vituo vyao na kwenda kwenye vituo vingine au huduma za mfumo wa jamii polisi kisheria na kadhalika Katika mazingira haya mahitaji ya rufaa kwa waliopatwa na UWAKI hayakidhiwi Waliopatwa na UWAKI hawana taarifa ambazo zitawasaidia kupata huduma na hivyo hushindwa kufanya uamuzi sahihi au kutafuta huduma na matibabu zaidi

Upungufu wa taarifa na takwimu Nchini Tanzania matukio yanayohusu UWAKI hayatolewi taarifa ipasavyo kutokana na sababu nyingi zikiwemo waathirika kusita kutoa ripoti ya matukio kutokana na unyanyapaa na ubaguzi hofu ya kutengwa na jamii aibu na miiko inayohusishwa na UWAKI Matokeo yake ni ukosefu wa taarifa zenye uhakika ambazo zinaweza kutumika kuandaa mpango kwa misingi ya utafi ti utaratibu wa utoaji huduma maendeleo ya kisera na utetezi ufuatiliaji na tathmini na uamuzi wa kiutawala

[b] Huduma za Ustawi wa Jamii Utoaji wa huduma za ustawi wa jamii unakabiliwa na ushirikiano mdogo kati ya watendaji wa sekta mbalimbali wa huduma za afya katika halmashauri Kuna upungufu wa watoa huduma za ustawi wa jamii katika ngazi mbalimbali Hali hii inaathiri wigo wa huduma ya msaada wa kisaikolojia unasihi marekebisho ya tabia na utengamao

20

bull

bull

bull

bull

bull

Kikwazo kingine ni watoa huduma za ustawi wa jamii na wadau wa afya kukosa stadi maalumu za kutosha kuhusu kuzuia na kupambana na UWAKI

Wajibu wa watoa huduma za ustawi wa jamii ni muhimu kwa sababu wanafanya kazi katika ngazi ya jamii ambapo matukio mengi ya UWAKI hutokea Wana majukumu makubwa kama watu wa mstari wa mbele kwenye kuzuia na kupambana na UWAKI Uhusiano kati ya jamii na utoaji wa huduma ndio kipimo cha kiwango cha waathirika wa UWAKI kupata huduma za matibabu na kurejea kwenye jamii ili kuendelea kuishi maisha yenye faraja

[c] Huduma za Jamii Baadhi ya upungufu wa uhusiano kati ya jamii na vituo vya kutoa huduma za afya ni pamoja na

Uelewa duni kuhusu masuala ya UWAKI na uwezeshaji wa jamii katika kuzuia na kupambana na UWAKI Uelewa duni wa mahali pa kupata huduma kwa waliopatwa na UWAKI Upungufu wa huduma za kijamii kwa waathirika ikiwa ni pamoja na mifumo ya kijamii ya kutoa ulinzi na usalama (kwa mfano vituo vya hifadhi ya muda) na huduma za rufaa za kiafya polisi na msaada wa kisheria

[d] Huduma za Msaada wa Kisheria (Polisi na Mahakama) Kuna vikwazo vingi katika kupata msaada wa kisheria ambavyo ni pamoja na

Upungufu wa kupata huduma za polisi na msaada wa kisheria kwa waathirika wa UWAKI

bull Kutokuwepo kwa sheria mahususi dhidi ya UWAKI bull yasiyotosheleza UWAKI kwa vyombo Mafunzo kuhusu

vinavyosimamia sheria bull Kuna sheria zinazokinzana na hivyo kutoa mwanya wa tatizo la

UWAKI kuongezeka Upungufu wa watumishi na fedha kwa ajili ya huduma za polisi na msaada wa kisheria

21

bull

bull

Uhaba wa vituo vya msaada wa kisheria Vituo vingi vinavyotoa msaada wa kisheria kwa sasa vinahudumiwa na asasi zisizo za kiserikali zina bajeti ndogo na zipo zaidi mijini

[e] Huduma ya Elimu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imeingiza UWAKI katika mtaala wa mafunzo ya walimu shule za msingi na sekondari Hata hivyo kuna changamoto nyingi katika kuhusisha shule ili kuzuia na kupambana na UWAKI

bull Walimu hawajapata mafunzo ya kutosha kuhusu UWAKI Uhaba wa maeneo salama na programu za shuleni zinazowapa watoto uwezo wa kuzuia na kupambana na UWAKI na ukatili dhidi ya watoto

bull mfumo unaohusuUhusiano duni kati ya mfumo wa elimu na ulinzi na usalama wa mtoto

22

SEHEMU YA TATU

UMUHIMU NA MALENGO 31 Umuhimu

Utafiti uliofanyika nchini Tanzania umeonyesha viwango vya juu vya UWAKI ambavyo ni kati ya asilimia 30 hadi 50 Viwango hivi havikubaliki na vinasababisha madhara ya kimwili kingono kisaikolojia kwa makundi ya umri wowote hasa watoto na wanawake Matokeo ya UWAKI yanaweza kusababisha vifo kutokana na kujiua maambukizo ya virusi vya UKIMWI au magonjwa na vifo vya wanawake vinavyotokana na uzazi Matokeo mengine ingawa hayasababishi vifo yana madhara ya kimwili kingono na kisaikolojia kwa muda mfupi au mrefu Madhara ya UWAKI ni zaidi ya matokeo ya kiafya na majeraha ambayo ni vigumu kupona UWAKI unakiuka haki za binadamu za waathirika na husababisha matokeo hasi katika amani umoja na kipato cha familia ambayo kwa ujumla huleta madhara kwa maendeleo ya kijamii na kiuchumi

Ingawa Serikali ya Tanzania na asasi za kiraia zimefanya jitihada kubwa za kuzuia na kupambana na UWAKI bado tatizo hili ni changamoto kubwa WAUJ itashughulikia changamoto hizi kwa kushirikiana na wadau wengine hali inayohitaji ushirikiano wa karibu ili kushinda vikwazo vilivyopo ambavyo ni pamoja na upungufu wa fedha na watumishi udhaifu kwenye mfumo wa rufaa na mfumo wa kuunganisha huduma za UWAKI katika huduma zilizopo Changamoto nyingine ni uhaba wa utetezi na takwimu kwa ajili ya uandaaji wa mipango yenye misingi ya utafiti kufanya uamuzi ufuatiliaji na tathmini Hata hivyo serikali imeweka misingi imara kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kama inavyodhihirishwa kwa kuwepo kwa sera mikakati na mipango kazi ya kusaidia masuala ya kijinsia na kupunguza UWAKI

Kutokana na ukubwa wa tatizo hili madhara yake na changamoto zinazohusiana na UWAKI WAUJ imetayarisha Mwongozo huu wa kisera chini ya Sera ya Afya ili kuimarisha juhudi za kupambana na UWAKI na kuhakikisha utoaji wa huduma za kina na zenye ubora katika ngazi zote Mwongozo huu wa kisera utatoa mwelekeo kwa vituo vya huduma za afya kwa ngazi zote kuhusu wajibu na majukumu yao katika utoaji

23

wa huduma za UWAKI Pamoja na haya Mwongozo huu utawezesha utayarishaji wa mwongozo wa matibabu kwa waathirika wa UWAKI Kutokana na uzito wa tatizo hili la UWAKI utayarishaji wa Mwongozo huu ulihusisha na kushirikisha kwa kina wadau mbalimbali ndani na nje ya WAUJ

32 Lengo Kuu

Lengo kuu la Mwongozo huu wa kisera ni kuimarisha uwezo wa WAUJ kuelekeza sekta ya afya na ustawi wa jamii na kujenga uhusiano imara na jamii na wadau mbalimbali katika kuzuia na kupambana na UWAKI

33 Malengo Mahasusi

Mwongozo huu utawezesha yafuatayo

[i] Kuweka mfumo wa kuelekeza utayarishaji wa mwongozo wa matibabu na taratibu za kutoa huduma kwa waathirika wa UWAKI

[ii] Kuelekeza WAUJ namna ya uratibu bora wa utekelezaji wa juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kuelekeza namna ya kuweka mifumo thabiti ya ufuatiliaji tathmini na uwekaji wa kumbukumbu za afua za UWAKI chini ya WAUJ

[iv] Kuelekeza ushirikiano kati ya Wizara jamii na wadau kutoka sekta mbalimbali katika utoaji wa huduma za UWAKI

24

bull

SEHEMU YA NNE

MAELEKEZO YA KISERA

Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii watafanya kazi pamoja na wale wa sekta nyingine hasa kwenye ngazi ya jamii katika kuimarisha ushirikiano na mitandao mingine katika jamii ili kuwasaidia waliopatwa na UWAKI kwa karibu na kuwashirikisha katika kuboresha afya zao na kuzuia UWAKI

WAUJ kwa kushirikiana na wadau wengine imetayarisha Mwongozo huu wa kisera wa UWAKI ili kutoa taarifa malengo na maelekezo kuhusu jitihada za kuzuia kuepusha na kushughulikia madhara ya UWAKI katika sekta ya afya Wadau muhimu ni pamoja na viongozi wa jamii polisi na mahakama Yeyote kati ya wadau hawa anaweza kuwa ni kimbilio la kwanza kwa wahanga wa UWAKI Wote wana wajibu wa kutoa huduma kwa haraka na kwa ufanisi

41 Huduma kwa Waliopatwa na UWAKI

Watoa huduma za afya wanatakiwa kuwahudumia waliopatwa na UWAKI kwa kujali na kuzingatia maadili ya taaluma zao Wajibu huu ni pamoja na kuhakikisha usalama hali ya usiri heshima utu na kutoa huduma bila ubaguzi Aidha kabla ya kutoa huduma inatakiwa kupata ridhaa ya muhusika au mlezi wa mtoto mwenye umri chini ya miaka 18

Kwa kulenga na kuzingatia mahitaji ya watu waliofanyiwa UWAKI watoa huduma za afya kwenye ngazi zote watazingatia na kuongozwa na kanuni zifuatazo

[a] Haki za Binadamu Maadili na Kujali

bull zilenge kurejesha au Usalama Hatua zote zinazochukuliwa kudumisha usalama wao Hali ya Usiri Siri zao pamoja na familia zao zinatakiwa kutunzwa wakati wote Hii ina maana kwamba mtoa huduma ya afya anaweza kutoa taarifa muhimu kwa mtoa huduma mwingine pale ambapo muhusika ameridhia tu

25

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

Heshima na utu Watoa huduma wanatakiwa kuwasikiliza kwa makini maoni mawazo na fikira zao na kuwahudumia kwa heshima Bila ubaguzi Waliopatwa na UWAKI wote ni sawa na wanatakiwa kuhudumiwa kulingana na mahitaji yao pia kupewa nafasi sawa katika kupata huduma Ridhaa arifu Ridhaa ya aliyefanyiwa UWAKI itahitajika kwenye taratibu za utoaji huduma maalumu kama (1) Uchunguzi na tiba (2) Uchunguzi tiba pamoja na ushahidi wa kitaaluma (3) Uchunguzi tiba ushahidi wa kitaaluma pamoja na uchunguzi wa polisi na kisheria

Kanuni zinazohusu watoto bull Kuzingatia na kusimamia mahitaji halisi ya mtoto wakati wote bull Kumpa mtoto faraja bull Kumshirikisha mtoto katika kufanya uamuzi bull Kumshughulikia kila mtoto kwa haki na usawa

Kumsaidia na kumlea mtoto ili akue katika hali ya ujasiri na kujiamini

[b] Haki za Aliyepatwa na UWAKI Watoa huduma wote wanatakiwa kuwa na mtazamo unaozingatia mahitaji ya mtu aliyepatwa na UWAKI na kuheshimu haki zake ambazo ni

bull Kuhudumiwa kwa heshima bila unyanyapaa ubaguzi na kutokuwa na mtazamo wa kumlaumu Kupewa taarifa sahihi na zinazoeleweka ili aweze kutoa ridhaa na siyo kumwambia cha kufanya hali inayoweza kumfanya ajisikie mnyonge

bull Kupewa faragha na hali ya usiri na siyo kumteta au kumwaibisha Kulindwa dhidi ya ubaguzi wa aina yoyote au upendeleo wenye misingi ya kijinsia au sababu nyingine Kupewa nafasi ya kuchagua kuhudumiwa na mtoa huduma mwanamume au mwanamke

bull Kupewa nafasi ya kusindikizwa na ndugu au mlezi wake

26

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

[c] Wajibu wa Mtoa Huduma Mtoa huduma anatarajiwa kuzingatia yafuatayo anapomhudumia mtu aliyepatwa na UWAKI

Kujiweka katika nafasi ya mtu aliyepatwa na UWAKI na kuguswa kuwa mtunza siri kuonyesha upendo na kujali anapomuhudumia Kumpatia taarifa sahihi na kuhakikisha kuwa ridhaa arifu inatolewa kwa huduma inayohitajika Kuzingatia masilahi ya muhusika na kuheshimu matakwa yake wakati wote

bull na kuzuia madhara mengineKuhakikisha ulinzi na usalama wake Kuhifadhi kumbukumbu zake mahali pa usalama na kutunza siri wakati wote

bull huduma kadiriKumpatia rufaa kwenda kwenye ngazi za juu za inavyohitajika kulingana na kiwango cha madhara ya kimwili kihisia na kisaikolojia Aidha inatakiwa kumpatia unasihi kabla ya kumpa rufaa

Kuhusu Watoto bull Kuhakikisha kuwa mzazi au mlezi yupo wakati wote pia

kuhakikisha kwamba mzazi au mlezi siyo tishio kwa mtoto Wakati wote mwandae mtoto kuelewa kinachotarajiwa kutendeka na kuhakikisha anaelewa kitakachotokea Kwa watoto wenye umri chini ya miaka 18 ridhaa ya maandishi inahitajika kutoka kwa mzazi au mlezi

Vigezo vya kupata mchango wa mawazo kutoka kwa Watoto Watoto wa umri wa miaka 16 na zaidi kwa ujumla wana uwezo wa kutosha kufanya uamuzi

bull kuwaWatoto wa umri wa miaka 14 hadi 16 wanatarajiwa wamekomaa vya kutosha kutoa mchango au mawazo yao Watoto wa umri wa miaka 9 hadi 14 wana welewa wa kushiriki kufanya uamuzi lakini ukomavu wa kila mtoto unatakiwa kupimwa kipekee Watoto wa umri chini ya miaka 9 wana haki ya kutoa maoni arifu na kusikilizwa Wanaweza kushiriki katika mchakato wa kufanya uamuzi kwa kiwango fulani lakini hadhari inahitajika ili kuwaepusha na mzigo wa kuwa waamuzi

27

bull lazimaKimsingi inapendekezwa kwamba maoni ya kila mtoto yazingatiwe kulingana na umri wake kiwango cha ukomavu utamaduni mila na hali ya mazingira

[d] Wajibu wa WAUJ katika Ngazi ya Taifa WAUJ inatayarisha sera miongozo na kanuni inadhibiti ubora inafuatilia na kutathmini utekelezaji Vilevile inahakikisha kuna watumishi na fedha za kutosha kwa mipango ya afya pamoja na kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote WAUJ itaendeleza ushirikiano na wadau mbalimbali kitaifa na kimataifa Wizara itafanya yafuatayo katika kuzuia na kupambana na UWAKI

[i] Kuandaa miongozo ya matibabu yenye ubora kwa ajili ya watoto vijana na watu wazima waliopatwa na UWAKI

[ii] Kutafuta na kutenga fedha kwa ajili ya afua za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kuandaa miongozo ya mafunzo yanayohusiana na juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kutoa mafunzo kwa watoa huduma za afya na ustawi wa jamii kuhusu kuzuia na kupambana na UWAKI kwa watoto vijana na watu wazima

[v] Kutoa huduma mseto na rufaa kwa kutumia mfumo uliopo wa utoaji huduma za afya na ustawi wa jamii

[vi] Kuunganisha takwimu zinazohusu UWAKI kwenye Mfumo wa Takwimu na Ufuatiliaji wa Huduma za Afya (MTUHA)

[vii] Kuendeleza utaratibu wa kupeana taarifa na takwimu zinazohusu UWAKI pamoja na kushirikiana na wadau wake wakuu

[viii] Kufanya usimamizi shirikishi ili kuhakikisha kuwa kanuni za haki za binadamu maadili na kujali zinazingatiwa

[e] Wajibu wa Vituo vya Huduma za Afya Vituo vya kutoa huduma za afya vinajumuisha zahanati vituo vya afya na hospitali zinazomilikiwa na sekta ya umma na binafsi Vituo vyote vya kutoa huduma katika ngazi zote vina Kamati ya Uongozi ya Kituo na Timu ya Usimamizi

28

Vituo vya huduma za afya vitafanya yafuatayo [i] Kuhakikisha kwamba Timu za Usimamizi wa Huduma za Afya

zinatenga fedha za kutekeleza mikakati na mipango kazi ya mwaka ili kuviwezesha vituo kutoa huduma bora kwa waliopatwa na UWAKI

[ii] Kuunganisha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI na zile zilizopo kwenye vituo vya huduma za afya na kuhakikisha mpangilio mzuri wa rufaa za ndani na nje ya kituo zinakidhi mahitaji ya watoto vijana na watu wazima kwa usawa na haki

[iii] Kuhakikisha watoa huduma ya afya na ustawi wa jamii wanapatiwa mafunzo ya kutoa huduma toshelezi kwa watoto vijana na watu wazima waliopatwa na UWAKI

[iv] Kuanzisha utaratibu bora wa kukusanya takwimu na taarifa kuhusu huduma kwa waliopatwa na UWAKI na kutunza kumbukumbu kwa usahihi na kutoa taarifa kwa ajili ya matumizi ya kituo na wadau

[v] Kufanya kazi kwa ushirikiano wa karibu na kamati ya afya ya kituo polisi mahakama na taasisi za elimu ili kukuza ushirikiano kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye jamii

[f ] Wajibu wa Watoa Huduma za Afya Watoa huduma za afya ni pamoja na watunza kumbukumbu za afya tabibu (tabibu msaidizi ofisa tabibu madaktari wasaidizi madaktari na madaktari bingwa) wauguzi wakunga maofisa wauguzi wasaidizi maofisa wauuguzi) wafanyakazi wa maabara wafamasia na maofi sa ustawi wa jamii Watoa huduma hawa wanatakiwa kuzingatia yafuatayo

[i] Kuelewa kikamilifu na kuzingatia kanuni za miongozo ya haki za binadamu maadili ya taaluma na kuonyesha upendo na kujali wakati wa kumhudumia aliyepatwa na UWAKI

[ii] Kuhakikisha upatikanaji wa mahitaji muhimu na utoaji wa huduma toshelezi na zenye ubora kwa waliopatwa na UWAKI katika kituo cha kutoa huduma za afya na kwenye jamii

[iii] Kuwatambua waliopatwa na UWAKI kati ya wagonjwa wa nje katika kituo na kuhakikisha wanapata matibabu na rufaa kwa haraka

29

[iv] Kuhakikisha utoaji wa huduma toshelezi kwa waliopatwa na UWAKI (watu wazima vijana na watoto) Huduma hizi ni pamoja na huduma ya matibabu kutunza ushahidi unasihi na rufaa ndani ya mfumo wa afya na pia rufaa kwenda kwenye sekta nyingine

[v] Kuhakikisha vielelezo vya upelelezi vinakusanywa na kuhifadhiwa ipasavyo ili kutunza ushahidi

[vi] Kuchukua takwimu na taarifa kamili kuhusu aliyepatwa na UWAKI na kuhakikisha zimehifadhiwa kwa siri na usalama

[vii] Kujenga ushirikiano na jamii pamoja na wadau wengine

42 Wajibu wa Jamii

Wadau muhimu katika jamii ni Kamati ya Huduma za Jamii Kamati ya Ulinzi na Usalama Kamati ya Zahanati Mashirika ya Dini Kamati ya Kijiji ya Afya wahudumu wa afya katika jamii wakunga wa tiba asili waganga wa tiba asili na mbadala viongozi wa jamii vikundi vya wanawake na wakuu wa kaya

Jamii itafanya yafuatayo kwa waliopatwa na UWAKI [i] Kupanga na kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya kuzuia

na kutoa huduma bora kulingana na mpango wa mwaka wa zahanati

[ii] Kuhakikisha upatikanaji wa huduma toshelezi pamoja na usalama wao kupatiwa mahitaji ya msingi msaada wa kisaikolojia kupewa rufaa kwenda polisi vyombo vya sheria na watoa huduma wengine Vilevile wanajamii wana wajibu wa kutoa ushahidi mahakamani na kuwasaidia wahusika kuunganishwa na familia zao na jamii

[iii] Kuhakikisha kuwepo kwa vituo vya hifadhi ya muda vya kutosha kwenye jamii

[iv] Kujenga welewa na kuiwezesha jamii kuzuia na kupambana na UWAKI kwa kutetea misingi ya haki za binadamu usawa wa kijinsia haki za vijana na watoto na kutovumilia UWAKI

43 Msaada wa Kisheria kwa waliopatwa na UWAKI Watoa huduma wa afya na ustawi wa jamii baada ya kupata ridhaa kutoka kwa muhusika watampa rufaa ya kwenda sekta nyingine muhimu na kwa wadau mbalimbali kama vile polisi vituo vya msaada wa kisheria kwa ajili ya kupata huduma maalum Watoa huduma wanawajibika

30

kutoa taarifa za kutosha kuhusu masharti ya kisheria ya kutoa taarifa ya matukio ya UWAKI na kwa wakati unaofaa

Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wanawajibika kutoa ushauri kwa waliopatwa na UWAKI (watoto vijana na watu wazima) kuhusu taratibu za mahakama msaada wa ulinzi msaada wa kisheria na taratibu za polisi kama ifuatavyo

[a] Ushahidi wa Kimahakama Huduma kwa muhusika zitalenga mahitaji yake kuheshimu haki yake ya hali ya usiri kupewa taarifa za kutosha zenye kueleweka na sahihi hivyo kuhakikisha anatoa ridhaa arifu kwa hatua na zitakazofuata

[i] WAUJ itahakikisha kupatikana na kuzingatiwa kwa viwango vilivyowekwa kwa ngazi zote katika kuchukua historia kamili ya muhusika kupima na kufanya uchunguzi kuchukua vielelezo vya ushahidi kujaza fomu zinazokubalika kisheria kwa kuweka kumbukumbu ambazo ni halali kama ushahidi mahakamani

[ii] Timu ya Afya ya Usimamizi ya Kituo cha Huduma za Afya baada ya kupata ridhaa ya aliyepatwa na UWAKI itapanga kutenga na kutoa rasilimali za kutosha kuhakikisha nyaraka sahihi zimetayarishwa na kuhifadhiwa na vielelezo vya ushahidi wa mahakama vimepelekwa kwenda maabara ya serikali na kufuatilia majibu

[iii] Watoa huduma wa ngazi zote watahakikisha ukusanyaji sahihi wa vielelezo vya ushahidi na kujaza fomu zinazohusika pamoja na kujaza kwa ukamilifu Fomu ya Polisi Namba Tatu (PF3) na kuthibitisha kwamba muhusika ana taarifa na anaelewa utaratibu

[b] Ulinzi na Msaada kwa Waliopatwa na UWAKI Waliopatwa na UWAKI wana haki ya kulindwa dhidi ya mtuhumiwa pamoja na kupewa mahitaji ya msingi (kwa mfano chakula nguo usafi ri nk) kupewa huduma za polisi (mfano kusindikizwa ulinzi) na kupewa msaada wa kisheria

[i] WAUJ itahakikisha kwamba vituo vya huduma za afya na ustawi wa jamii na watoa huduma wa ngazi zote wana taarifa sahihi kuhusu haki za ulinzi na msaada kwa waliopatwa na UWAKI

31

[ii] Timu za Afya za Usimamizi wa vituo vya huduma za afya katika ngazi zote zitapanga kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya ulinzi na msaada kwa waliopatwa na UWAKI Kama Muhusika ni mtoto atasindikizwa na ofi sa ustawi wa jamii pamoja na mzazi au mlezi ikiwa mzazi au mlezi huyo hahusiki na uhalifu

[iii] Watoa huduma wa afya watatoa taarifa kwa muhusika au mzazi mlezi (kama muhusika ni mtoto chini ya miaka 18) kuhusu msaada atakaopata kwenye kituo cha huduma za afya polisi na msaada wa kisheria juu ya haki na ulinzi kwa mujibu wa sheria za Tanzania

[c] Wajibu wa Watoa Huduma za Afya na Ustawi wa Jamii katika Taratibu za Kimahakama

Watoa huduma za afya kwenye ngazi zote wanatakiwa kuhakikisha kwamba waliopatwa na UWAKI wakiwemo watu wazima vijana na watoto pamoja na walezi wao wana taarifa muhimu zinazohusu masuala ya kisheria ambayo yako nje ya huduma za tiba

[i] WAUJ itahakikisha kwamba vituo vya huduma za afya na watoa huduma wanapata ujuzi na wanajua wajibu wao kuhusu namna ya kutoa ushahidi mahakamani ili kuwasaidia wahusika

[ii] Timu za Usimamizi za vituo vya huduma za afya kwenye ngazi zote zitahakikisha kwamba watoa huduma wanaotambulika kisheria na wana welewa sahihi wa uandaaji wa nyaraka muhimu taratibu za kesi mahakamani na viwango vya ushahidi

[iii] Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii kwenye ngazi zote watahakikisha kwamba muhusika anapata taarifa za kutosha kuhusu ratiba na taratibu za upelelezi na umuhimu wa hatua za kisheria

44 Huduma ya Unasihi Kisaikolojia na Kijamii kwa Waliopatwa na UWAKI

Watu waliopatwa na janga la UWAKI watapewa msaada wa unasihi kisaikolojia na kijamii kwa upendo na kujali kuanzia wakati wa tukio hadi watakapojumuika tena kwenye familia na jamii Katika ngazi ya jamii msaada huo utatolewa na Maofisa wa Ustawi wa Jamii Maofi sa hawa watatoa msaada wa kisaikolojia na unasihi wakishirikiana na

32

wadau wengine waliopata mafunzo kutoka asasi za kiraia asasi za kidini na wahudumu wa afya katika jamii

[i] WAUJ itahakikisha utoaji wa msaada wa unasihi kisaikolojia na kijamii kwenye ngazi zote pamoja na kuhakikisha kuwepo kwa ulinzi na usalama (kwa mfano kituo cha hifadhi ya muda)

[ii] Timu za Usimamizi wa Huduma za Afya kwenye ngazi zote zitapanga na kutenga rasiilimali za kutosha pamoja na watoa huduma kwa ajili ya kutoa msaada wa kisaikolojia na kijamii rufaa na kujenga ushirikiano na wadau wengine ili kuwaunganisha wahusika kwenye familia na jamii

[iii] Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii watahakikisha kwamba wanatoa unasihi wa kutosha pamoja na kutoa huduma rafi ki kwa watoto kutoa rufaa za kwenda na kurudi kwenye huduma za tiba vituo vya hifadhi ya muda na kuwezesha kuwaunganisha kwenye familia na jamii

45 Mfumo wa Usimamizi Uratibu na Ushirikiano Utoaji wa huduma bora kwa waliopatwa na UWAKI unahitaji usimamizi na uratibu wa mara kwa mara kwa watoa huduma za afya wa kada mbalimbali katika ngazi zote Vilevile kuratibu shughuli na kutoa rufaa kwenye vituo vya ngazi ya taifa mikoa halmashauri na jamii Pia kunahitajika utaratibu wa kujenga ushirikiano kati ya sekta ya afya na wadau wa sekta nyingine

[a] Usimamizi wa Huduma za Kuzuia na Kupambana na UWAKI [i] Usimamizi wa huduma utakuwa ni sehemu ya mikakati na

mipango ya mwaka kwa vituo vya huduma za afya kwenye ngazi zote

[ii] Wasimamizi katika ngazi zote watafanya usimamizi shirikishi ili kuhakikisha utoaji wa huduma bora

[b] Uratibu wa Huduma za Kuzuia na Kupambana na UWAKI [i] Wasimamizi wa huduma za afya kwenye ngazi zote watabaini na

kuratibu afua na shughuli zinazotakiwa kutekelezwa na wadau mbalimbali kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI

33

[ii] Wasimamizi wa huduma za afya katika ngazi zote watahakikisha kuwa wanapanga utekelezaji wa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[c] Taratibu za Ushirikiano katika Kutoa Huduma za UWAKI Taratibu za ushirikiano zitahusisha ngazi mbalimbali za utoaji wa huduma za afya kulingana na hadhi ya kituo ikihusisha kada mbalimbali za afya katika serikali na sekta binafsi

[i] Wasimamizi wa huduma za afya watabaini na kuanzisha ushirikiano kwa ajili ya kutoa huduma bora na toshelezi kwa waliofanyiwa UWAKI

[ii] Wasimamizi wa huduma za afya watapanga na kutenga rasiilimali za kutosha kwa ajili ya kuendeleza ushirikiano na wadau muhimu pamoja na kujenga mfumo imara wa rufaa wa kupeleka na kuwarejesha wahusika

[iii] WAUJ itatayarisha na kusambaza orodha ya vituo vya rufaa kufuatana na aina ya huduma maalumu zinazotolewa

46 Utetezi na Mawasiliano ya Kubadili Tabia

Utetezi na mawasiliano ya kubadili tabia utakuwa ni sehemu ya mipango na mikakati ya kila mwaka katika ngazi zote Ngazi zote zitahamasisha kutenga na kutoa rasilimali za kutosha kwa ajili ya kutekeleza mipango na mikakati ya kila mwaka Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii watatambua na kuwezesha juhudi za jamii za kuhakikisha ushirikishwaji na kuhamasisha jamii kutumia rasilimali zao ili kupambana na UWAKI Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii wanatakiwa kupanga na kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya elimu ya afya kwa lengo la mawasiliano ya kubadili tabia

[a] Utetezi wa Kuzuia na kupambana na UWAKI kwa kushirikiana na wadau

Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii na kamati zinazohusika katika ngazi zote za WAUJ watafanya yafuatayo

[i] Kupanga mikakati ya kuongeza welewa na upeo kuhusu vyanzo vya UWAKI kubaini namna ya kuzuia na kubuni njia za kupambana na UWAKI

34

[ii] Kutetea na kuhamasisha uchangiaji zaidi wa raslimali kutenga kasma kwenye bajeti katika Mfumo wa Matumizi ya Muda wa Kati na katika Mpango Kabambe wa Afya wa Halmashauri kwa ajili ya kinga na huduma za kupambana na UWAKI

[iii] Kutetea utekelezaji wa sera na sheria zenye kuunga mkono juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kuhusisha vyombo vya habari katika kutekeleza shughuli za utetezi na ushawishi

[b] Ushirikiano wa wadau kwenye mawasiliano ya kubadili tabia dhidi ya UWAKI

Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii na kamati zao kwenye ngazi zote watafanya yafuatayo

[i] Kutambua mahitaji na kupanga mawasiliano ya kubadili tabia kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kwa ufanisi

[ii] Kuhusisha vyombo vya habari katika kupanga kutekeleza na kufuatilia shughuli za mawasiliano ya kubadili tabia

47 Ufuatiliaji na Tathmini ya Huduma za Kuzuia na Kupambana na UWAKI

Ufuatiliaji na tathmini ya huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI ni muhimu katika kupima ubora wa matokeo ya huduma zinazohusiana na UWAKI Ufuatiliaji na tathmini unahitaji kuchagua vigezo vya kupima maendeleo ya huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kukusanya takwimu kuchambua kutafsiri kutayarisha na kuwasilisha ripoti kwa wadau muhimu Ufuatiliaji na Tathmini unasaidia kutambua maeneo yanayohitaji kufanyiwa utafi ti

[i] Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii katika ngazi zote watatumia vigezo vilivyokubalika kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Takwimu za UWAKI zitaoanishwa na kuunganishwa kwenye MTUHA

[iii] Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii kwenye ngazi zote watahakikisha wanakusanya taarifa na takwimu zinazohusiana na UWAKI kwa kutumia fomu maalumu kwa ajili ya kufuatilia na

35

kutathimini usimamizi na kuwasilisha ripoti za utekelezaji kwa wadau kufuatana na utaratibu maalumu wa kushirikiana katika kutoa taarifa

[iv] Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii katika ngazi zote watafanya utafiti ili kuboresha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

36

SEHEMU YA TANO

MUUNDO WA UTENDAJI KATIKA KUZUIA NA KUPAMBANA NA UWAKI

Wajibu wa WAUJ ni kuandaa kusimamia na kuratibu utekelezaji wa Mwongozo huu wa sera pamoja na sheria kanuni na viwango vya huduma dhidi ya UWAKI katika ngazi zote nchini Mfumo wa utendaji kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI unahusisha ngazi tatu taifa mkoa na halmashauri

51 Ngazi ya Taifa

Katika ngazi ya Taifa Mganga Mkuu wa Serikali ndiye mwenye wajibu wa uongozi wa kitaaluma kwenye utekelezaji wa mipango ya kuzuia na kupambana na UWAKI Ofisi ya Mganga Mkuu ina idara nne ambazo ni Idara ya Kinga Idara ya Tiba Idara ya Mafunzo na Idara ya Ubora na viwango vya Huduma Huduma za Ustawi wa Jamii zipo chini ya Kamishna wa Ustawi wa Jamii

Kitengo cha Afya ya Uzazi na Mtoto ambacho kinasimamiwa na Idara ya Kinga ndicho kinachosimamia utekelezaji wa Mwongozo wa sera ya UWAKI Majukumu ya ofisi ya Mganga Mkuu wa Serikali Idara ya Kinga na Sehemu ya Afya ya Uzazi na Mtoto ni kama ifuatavyo

[a] Ofisi ya Mganga Mkuu wa Serikali Ofi si ya Mganga Mkuu wa Serikali inaratibu inasimamia na kuimarisha huduma za uboreshaji wa Afya Kinga Ubora na viwango vya huduma Tiba ya magonjwa na Utengamao Aidha ofisi inasimamia mafunzo upatikanaji wa wataalamu wa afya katika sekta ya Afya na Ustawi wa Jamii

Ofisi ya Mganga Mkuu wa Serikali kwa kushirikiana na Mabaraza na Vyama vya Kitaaluma vilivyo chini ya sekta ya Afya na Ustawi wa Jamii inasimamia maadili ya wataalamu wa afya kwa kupitia Mabaraza yao ya Kitaaluma

37

bull

bull

[I] Idara ya Kinga Idara hii inasimamia sehemu tano Afya ya Uzazi na Mtoto Epidemiolojia na Udhibiti wa Magonjwa Afya na Usafi wa Mazingira Elimu ya Afya na Lishe Kuna programu na miradi mbalimbali chini ya idara baadhi yake zinahusiana kwa ukaribu na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Programu hizi ni pamoja na Mpango wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI Programu ya Kuzuia Maambukizo ya VVU Kutoka kwa Mama Kwenda kwa Mtoto Programu ya Huduma ya Afya Kwenye Jamii Programuya Afya Shuleni Program ya Uzazi Salama Programu ya Afya ya Mtoto Programu ya Afya ya Uzazi kwa Vijana na Programu ya Uzazi wa Mpango

Idara itafanya yafuatayo Kuhakikisha afua za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa kwenye programu na miradi ya idara na sehemu Kuhakikisha kwamba afua za kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na utetezi na mawasiliano ya kubadili tabia zinajumuishwa kwenye miongozo ya elimu ya afya na ustawi wa jamii

Sehemu ya Huduma za Afya ya Uzazi na Mtoto Sehemu ya Huduma ya Afya ya Uzazi na Mtoto ndiyo inayohusika katika kuzuia na kupambana na UWAKI na majukumu yake ni

[i] Kuandaa mwongozo wa huduma za kina kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kutayarisha mitaala ya mafunzo kwa ajili ya wasimamizi na watoa huduma wa ngazi zote

[ii] Kuratibu kufuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI katika ngazi zote

[iii] Kuwasiliana na wizara nyingine na mashirika ya kitaifa na kimataifa yenye kuhusiana na mipango ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kuangalia upya orodha ya vifaa muhimu kwa utoaji wa huduma bora kwa wahanga wa UWAKI kwa ngazi zote za utoaji huduma

[v] Kuongoza kikundi kazi cha wanataaluma cha taifa pamoja na vikundikazi tanzu vya wanataaluma vinavyosaidia mtazamo mpana wa sekta ya afya na nguvu kazi za kusimamia utekelezaji wa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

38

[II] Idara ya Tiba Idara hii inasimamia huduma za Hospitali za Taifa Mikoa Wilaya Vituo vya Afya na Zahanati za umma na binafsi Uchunguzi Kinywa na Meno Magonjwa Yasiyo ya Kuambukiza na Tiba Asili Idara hii inafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha kwamba vituo vya kutoa huduma za afya katika ngazi zote vinatenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya huduma bora za matibabu kwa wahanga wa UWAKI pamoja na msaada wa kisaikolojia kijamii na rufaa

[ii] Kuhakikisha kwamba vituo vya kutoa huduma za afya kwenye ngazi zote vinapewa vifaa muhimu na vya kutosha kwa ajili ya uchunguzi wa afya vipimo vya maabara kubaini ugonjwa ushahidi wa kimahakama matibabu kutunza kumbukumbu kutoa taarifa na rufaa

[iii] Kuhakikisha kuwa watoa huduma za afya wanazingatia viwango vya kitaalamu na maadili na kuonyesha upendo na kuwajali wahanga wa UWAKI

[III] Idara ya Ubora wa huduma Idara hii ina sehemu tano ikijumuisha huduma za Uuguzi Dharura na Maafa Ukaguzi Dawa na Utafiti na Uhusiano wa Kimataifa Idara hii inafanya yafuatayo

[i] Inasimamia huduma za dawa vifaa tiba na vitendanishi [ii] Inasimamia huduma za Uuguzi na Ukunga [iii] Inasimamia na kufanya ukaguzi wa ubora wa huduma za afya

nchini ili kuziboresha [iv] Inasimamia kazi za utafiti na uhusiano wa kimataifa katika sekta ya

afya na ustawi wa jamii na [v] Inaandaa miongozo kanuni na taratibu zinazohusu huduma za

dharura

[IV] Idara ya Mafunzo Idara ya Mafunzo inasimamia Mipango ya Mafunzo ya Watumishi Mafunzo Endelevu kwa Watumishi Mafunzo kwa Wauguzi na Sayansi Shirikishi za Afya

39

Idara itafanya yafuatayo [i] Kutambua mahitaji ya kitaifa ya mafunzo ya afya na mafunzo ya

kuendeleza taaluma ya watumishi wanaohusika na kutoa huduma kwa waliopatwa na UWAKI

[ii] Kutayarisha mpango wa mafunzo ya muda mfupi na mrefu kwa ajili ya watumishi mbalimbali kwenye ngazi zote zinazotoa huduma kwa waliopatwa na UWAKI

[b] Idara ya Ustawi wa Jamii Idara ya Ustawi wa Jamii imegawanyika katika sehemu tano Huduma kwa Familia na Ustawi wa Mtoto katika malezi makuzi na maendeleo ya awali Huduma za marekebisho ya tabia na haki za mtoto kisheria Huduma kwa wazee na watu wenye ulemavu Mafunzo kwa watumishi na Kitengo cha takwimu Idara itafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha idara inatoa huduma rafiki na bora za ustawi wa jamii kwa wahanga wa UWAKI kwenye vituo vyote vya kutoa huduma za afya na ustawi wa jamii na kuvisimamia

[ii] Kuhakikisha idara inatoa mafunzo kwa watoa huduma wote [iii] Kushauri katika kurekebisha au kufutwa kwa sheria zisizosaidia

utoaji wa huduma bora za ustawi wa jamii na kushawishi kutunga sheria mpya

[c] Idara ya Sera na Mipango Idara hii inasimamia sehemu za Bajeti Sera Mipango Taarifa za Afya na Ufuatiliaji na Tathmini Idara itafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa kwenye mipango na bajeti ya Serikali

[ii] Kuhakikisha kuwa viashirio vya huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI vinaingizwa kwenye MTUHA

[d] Ushirikiano na wadau muhimu katika ldquoKutokomeza UWAKIrdquo

[i] WAUJ kupitia Sehemu ya Afya ya Uzazi na Mtoto kwa kushirikiana na wadau wengine watatetea ulinzi wa haki za waliopatwa na UWAKI na kutokomezwa kwa ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake watoto vijana na wanaume

40

[ii] WAUJ kwa kushirikiana na wadau wengine itaandaa mikakati ya kuhakikisha kwamba aina zote za ubaguzi unyonyaji ukandamizaji na unyanyasaji dhidi ya wanawake watoto vijana na wanaume zinatokomezwa

[iii] WAUJ kwa kushirikiana na wadau wengine watapitia sheria sera na kanuni ambazo zinakinzana na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Watatetea haki za jinsia na afya ya uzazi ikiwa ni pamoja na ulinzi wa mama na watoto dhidi ya UWAKI ukatili wa kifamilia na ukatili dhidi ya watoto na kutetea masuala haya yaingizwe kwenye Katiba ya Tanzania

52 Ngazi ya Mkoa

Utekelezaji wa mapambano dhidi ya UWAKI kwenye mikoa utasimamiwa na Timu ya Usimamizi wa Huduma za Afya Mkoa chini ya Katibu Tawala wa Mkoa na Timu ya Usimamizi ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa chini ya Bodi ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa na watafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa kwenye mpango mkakati wa miaka mitano wa mkoa na hospitali na mpango kazi wa kila mwaka

[ii] Kuhakikisha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa na kuendeshwa pamoja na huduma zilizopo kuwe na watoa huduma wa kutosha pamoja na mafunzo kwa wasimamizi na watoa huduma kwenye ngazi ya mkoa

[iii] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya kufuatilia kufanya tathmini usimamizi na kutoa ripoti za utendaji wa juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya mkoa

[iv] Kutoa msaada wa kitaalamu kwa Halmashauri na Timu za Afya za Halmashauri katika kupanga na kutekeleza huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[v] Kuhakikisha bajeti ya kutosha inatengwa kwenye mpango kabambe wa halmashauri wa afya kwa ajili ya kuiwezesha jamii kuzuia na kupambana na UWAKI

[vi] Kufanya utafiti ili kukuza uelewa kuhusu huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

41

53 Halmashauri za Jiji Manispaa na Wilaya

Bodi ya Huduma za Afya ya Halmashauri ni chombo cha halmashauri ya jiji manispaa na wilaya chenye jukumu la kutoa huduma bora za afya ustawi wa jamii pamoja na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI katika maeneo yao Mipango ya utekelezaji wa huduma za afya kwenye jiji manispaa na wilaya unasimamiwa na Timu ya Usimamizi wa Afya ya Halmashauri Hospitali ya kwanza ya rufaa katika Halmashauri ni Hospitali ya Wilaya au Hospitali Teule ya wilaya

Hospitali Teule ya Wilaya huendeshwa na Timu ya Usimamizi ya Hospitali na husimamiwa na Bodi ya Hospitali Vituo vya kutoa huduma za afya vina kamati za afya na huendeshwa na kamati za usimamizi wa kituo

(a) Ngazi ya Halmashauri Timu ya Halmashauri ya Usimamizi wa Afya itafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha kwamba mipango ya kila mwaka inatengewa fedha za kutosha kwa utekelezaji wa huduma bora za kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaunganishwa na huduma zilizopo kwenye ngazi zote

[iii] Kuhakikisha kwamba kunakuwa na watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wa kutosha na kuendelea kutoa mafunzo kwa watoa huduma wa kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kutetea kuhamasisha na kutenga fedha za kutosha kwa ajili ya kuiwezesha jamii kushiriki kwenye programu ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[v] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya ufuatiliaji tathmini usimamizi shirikishi na kuandaa taarifa za utekelezaji wa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[b] Ngazi ya Kata Kamati ya Afya ya Kata Kamati ya Afya ya Kituo cha Afya na Timu ya Usimamizi wa Kituo cha Afya zitasimamia utoaji wa huduma bora za afya katika kata pamoja na vijiji

42

Kamati na timu zitafanya yafuatayo [i] Kuhakikisha kwamba kila mwaka wanapanga na kutenga rasilimali

za kutosha kwa utekelezaji wa huduma kwa waliopatwa na UWAKI na afua za kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinajumuishwa na huduma zilizopo kwenye kituo cha afya na zahanati

[iii] Kuhakikisha kwamba kuna watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wa kutosha na kuendelea kutoa mafunzo kwa watoa huduma wanaohusika na kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye vituo vya afya na zahanati

[iv] Kutetea kuhamasisha na kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya kuiwezesha jamii kushiriki kwenye kuzuia na kupambana na UWAKI katika Mpango wa Afya wa Kata

[v] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya kufanya ufuatiliaji tathmini na kuandaa taarifa za utekelezaji wa kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kuziwasilisha kwa matumizi katika ngazi zote

[c] Ngazi ya Kijiji Kamati ya Zahanati na Timu ya Usimamizi wa Zahanati zina wajibu wa kutoa huduma za afya kwa wakazi wa eneo la kijiji au vijiji vyao

Kamati na timu zitafanya yafuatayo [i] Kuhakikisha kwamba kila mwaka wanapanga na kutenga raslimali

za kutosha kwa utekelezaji wa huduma kwa waliopatwa na UWAKI na afua za kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinajumuishwa na huduma zilizopo kwenye zahanati

[iii] Kuhakikisha kwamba kuna watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wa kutosha na kuendelea kutoa mafunzo kwa watoa huduma wanaohusika na kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye zahanati

[iv] Kutetea kuhamasisha na kutenga raslimali za kutosha kwa ajili ya kuiwezesha jamii kushiriki kwenye kuzuia na kupambana na UWAKI katika Mpango wa Afya wa Kijiji

43

[v] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya kufanya ufuatiliaji tathmini na kuandaa taarifa za utekelezaji wa kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kuziwasilisha kwa matumizi katika ngazi ya Kata na Wilaya

(d) Ngazi ya Kaya Kila mtu kwenye kaya atahusika katika kuzuia na kupambana na UWAKI na kutoa taarifa ya matukio ya UWAKI kwa mamlaka zinazohusika Pia kila mtu awajibike kwenye kubadili mtazamo na kuepuka mazoea na tabia zinazopelekea UWAKI

44

SEHEMU YA SITA

UFUATILIAJI TATHMINI NA UTAFITI

Ufuatiliaji na tathmini ya afua za kuzuia na kupambana na UWAKI utatekelezwa kwenye ngazi ya taifa mkoa halmashauri na vituo vya huduma za afya Viashirio ambavyo vimependekezwa kwenye ngazi hizi vimeonyeshwa kwenye Kiambatisho

61 Ngazi ya Taifa

Sehemu ya Afya ya Uzazi na Mtoto itaratibu itafuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote nchini

Sehemu hii itafanya yafuatayo [i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu zinazohusu

afua za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka Timu ya Usimamizi wa Afya ya Mkoa na kuzitumia katika kupanga na kuboresha mipango ya kuzuia na kupambana na UWAKI kwa kushirikiana na wadau

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma wa kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti [iv] Kuweka tathmini na ufuatiliaji wa huduma za kuzuia na kupambana

na UWAKI kwenye orodhahakiki ya usimamizi ya WAUJ

62 Ngazi ya Mkoa

Timu ya Usimamizi wa Afya ya Mkoa itakuwa na jukumu la kuratibu kufuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote za mkoa na itafanya yafuatayo

[i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu kuhusu afua za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka hospitali ya rufaa ya mkoa na Timu za Usimamizi wa Afya za Halmashauri kwa ajili ya matumizi yao na kuwasilisha ngazi ya Taifa

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma katika kuzuia na kupambana na UWAKI

45

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti

63 Ngazi ya Wilaya

Timu ya Usimamizi wa Afya ya Halmashauri itakuwa na jukumu la kuratibu kufuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote za wilaya na itafanya yafuatayo

[i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu kuhusu afua za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka hospitali ya wilaya na vituo vya kutolea huduma za afya na Timu za Usimamizi wa Afya za Halmashauri kwa ajili ya matumizi yao na kuwasilisha ngazi ya mkoa

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma katika kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti

64 Ngazi ya Kituo cha kutolea huduma

Timu ya Usimamizi wa Kituo cha Kutolea Huduma za Afya itaratibu itafuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye kituo na kufanya yafuatayo

[i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu kuhusu jitihada za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka kwenye zahanati na jamii na kuwasilisha wilayaniHalmashauri

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma katika kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti

46

KIAMBATISHO

VIASHIRIO VYA MPANGO WA KUZUIA NA KUPAMBANA NA UWAKI KATIKA SEKTA YA AFYA

[a] Ngazi ya Taifa

[i] Idadi ya watu waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya mikoa kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kimkoa

[iii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI kimkoa

[iv] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye uthibitisho kuwa vinatumia Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupamba na UWAKI kimkoa

[v] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye vifaa muhimu kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kimkoa

[b] Ngazi Ya Mkoa

[i] Idadi ya watu waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya wilayahalmashauri kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

[iii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

[iv] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye ushahidi wa kuandikwa na kutumia Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

[v] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye vifaa muhimu kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

47

[c] Ngazi ya Wilaya

[i] Idadi ya watu waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya vituo vya kutolea huduma kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwa vituo vya kutolea huduma

[iii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI

[iv] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye ushahidi wa kuandikwa na kutumia Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI

[v] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye vifaa muhimu kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[d] Ngazi ya Kituo

[i] Idadi ya wahusika waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye kituo cha huduma za afya kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Idadi ya watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Idadi ya watoa huduma walioelekezwa kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI

48

49

50

51

bullbullbull bullbull bullbullbull

~USAID ~f~ ~ KLITOKA KWA WKTJ Delivering as One WAIIAAEKANI

HEALTH POLICY middotmiddotmiddotoINITIATIVE

ltlt ASCII85EncodePages false AllowTransparency false AutoPositionEPSFiles true AutoRotatePages None Binding Left CalGrayProfile (Dot Gain 20) CalRGBProfile (sRGB IEC61966-21) CalCMYKProfile (US Web Coated 050SWOP051 v2) sRGBProfile (sRGB IEC61966-21) CannotEmbedFontPolicy Error CompatibilityLevel 14 CompressObjects Tags CompressPages true ConvertImagesToIndexed true PassThroughJPEGImages true CreateJobTicket false DefaultRenderingIntent Default DetectBlends true DetectCurves 00000 ColorConversionStrategy CMYK DoThumbnails false EmbedAllFonts true EmbedOpenType false ParseICCProfilesInComments true EmbedJobOptions true DSCReportingLevel 0 EmitDSCWarnings false EndPage -1 ImageMemory 1048576 LockDistillerParams false MaxSubsetPct 100 Optimize true OPM 1 ParseDSCComments true ParseDSCCommentsForDocInfo true PreserveCopyPage true PreserveDICMYKValues true PreserveEPSInfo true PreserveFlatness true PreserveHalftoneInfo false PreserveOPIComments true PreserveOverprintSettings true StartPage 1 SubsetFonts true TransferFunctionInfo Apply UCRandBGInfo Preserve UsePrologue false ColorSettingsFile () AlwaysEmbed [ true ] NeverEmbed [ true ] AntiAliasColorImages false CropColorImages true ColorImageMinResolution 300 ColorImageMinResolutionPolicy OK DownsampleColorImages true ColorImageDownsampleType Bicubic ColorImageResolution 300 ColorImageDepth -1 ColorImageMinDownsampleDepth 1 ColorImageDownsampleThreshold 150000 EncodeColorImages true ColorImageFilter DCTEncode AutoFilterColorImages true ColorImageAutoFilterStrategy JPEG ColorACSImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt ColorImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt JPEG2000ColorACSImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt JPEG2000ColorImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt AntiAliasGrayImages false CropGrayImages true GrayImageMinResolution 300 GrayImageMinResolutionPolicy OK DownsampleGrayImages true GrayImageDownsampleType Bicubic GrayImageResolution 300 GrayImageDepth -1 GrayImageMinDownsampleDepth 2 GrayImageDownsampleThreshold 150000 EncodeGrayImages true GrayImageFilter DCTEncode AutoFilterGrayImages true GrayImageAutoFilterStrategy JPEG GrayACSImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt GrayImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt JPEG2000GrayACSImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt JPEG2000GrayImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt AntiAliasMonoImages false CropMonoImages true MonoImageMinResolution 1200 MonoImageMinResolutionPolicy OK DownsampleMonoImages true MonoImageDownsampleType Bicubic MonoImageResolution 1200 MonoImageDepth -1 MonoImageDownsampleThreshold 150000 EncodeMonoImages true MonoImageFilter CCITTFaxEncode MonoImageDict ltlt K -1 gtgt AllowPSXObjects false CheckCompliance [ None ] PDFX1aCheck false PDFX3Check false PDFXCompliantPDFOnly false PDFXNoTrimBoxError true PDFXTrimBoxToMediaBoxOffset [ 000000 000000 000000 000000 ] PDFXSetBleedBoxToMediaBox true PDFXBleedBoxToTrimBoxOffset [ 000000 000000 000000 000000 ] PDFXOutputIntentProfile () PDFXOutputConditionIdentifier () PDFXOutputCondition () PDFXRegistryName () PDFXTrapped False CreateJDFFile false Description ltlt ARA ltFEFF06270633062A062E062F0645002006470630064700200627064406250639062F0627062F0627062A002006440625064606340627062100200648062B062706260642002000410064006F00620065002000500044004600200645062A064806270641064206290020064406440637062806270639062900200641064A00200627064406450637062706280639002006300627062A0020062F0631062C0627062A002006270644062C0648062F0629002006270644063906270644064A0629061B0020064A06450643064600200641062A062D00200648062B0627062606420020005000440046002006270644064506460634062306290020062806270633062A062E062F062706450020004100630072006F0062006100740020064800410064006F006200650020005200650061006400650072002006250635062F0627063100200035002E0030002006480627064406250635062F062706310627062A0020062706440623062D062F062B002E0635062F0627063100200035002E0030002006480627064406250635062F062706310627062A0020062706440623062D062F062B002Egt BGR ltFEFF04180437043f043e043b043704320430043904420435002004420435043704380020043d0430044104420440043e0439043a0438002c00200437043000200434043000200441044a0437043404300432043004420435002000410064006f00620065002000500044004600200434043e043a0443043c0435043d04420438002c0020043c0430043a04410438043c0430043b043d043e0020043f044004380433043e04340435043d04380020043704300020043204380441043e043a043e043a0430044704350441044204320435043d0020043f04350447043004420020043704300020043f044004350434043f0435044704300442043d04300020043f043e04340433043e0442043e0432043a0430002e002000200421044a04370434043004340435043d043804420435002000500044004600200434043e043a0443043c0435043d044204380020043c043e0433043004420020043404300020044104350020043e0442043204300440044f0442002004410020004100630072006f00620061007400200438002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020043800200441043b0435043404320430044904380020043204350440044104380438002egt CHS ltFEFF4f7f75288fd94e9b8bbe5b9a521b5efa7684002000410064006f006200650020005000440046002065876863900275284e8e9ad88d2891cf76845370524d53705237300260a853ef4ee54f7f75280020004100630072006f0062006100740020548c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000204ee553ca66f49ad87248672c676562535f00521b5efa768400200050004400460020658768633002gt CHT ltFEFF4f7f752890194e9b8a2d7f6e5efa7acb7684002000410064006f006200650020005000440046002065874ef69069752865bc9ad854c18cea76845370524d5370523786557406300260a853ef4ee54f7f75280020004100630072006f0062006100740020548c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000204ee553ca66f49ad87248672c4f86958b555f5df25efa7acb76840020005000440046002065874ef63002gt CZE ltFEFF005400610074006f0020006e006100730074006100760065006e00ed00200070006f0075017e0069006a007400650020006b0020007600790074007600e101590065006e00ed00200064006f006b0075006d0065006e0074016f002000410064006f006200650020005000440046002c0020006b00740065007200e90020007300650020006e0065006a006c00e90070006500200068006f006400ed002000700072006f0020006b00760061006c00690074006e00ed0020007400690073006b00200061002000700072006500700072006500730073002e002000200056007900740076006f01590065006e00e900200064006f006b0075006d0065006e007400790020005000440046002000620075006400650020006d006f017e006e00e90020006f007400650076015900ed007400200076002000700072006f006700720061006d0065006300680020004100630072006f00620061007400200061002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000610020006e006f0076011b006a016100ed00630068002egt DAN ltFEFF004200720075006700200069006e0064007300740069006c006c0069006e006700650072006e0065002000740069006c0020006100740020006f007000720065007400740065002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e007400650072002c0020006400650072002000620065006400730074002000650067006e006500720020007300690067002000740069006c002000700072006500700072006500730073002d007500640073006b007200690076006e0069006e00670020006100660020006800f8006a0020006b00760061006c0069007400650074002e0020004400650020006f007000720065007400740065006400650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e0074006500720020006b0061006e002000e50062006e00650073002000690020004100630072006f00620061007400200065006c006c006500720020004100630072006f006200610074002000520065006100640065007200200035002e00300020006f00670020006e0079006500720065002egt DEU ltFEFF00560065007200770065006e00640065006e0020005300690065002000640069006500730065002000450069006e007300740065006c006c0075006e00670065006e0020007a0075006d002000450072007300740065006c006c0065006e00200076006f006e002000410064006f006200650020005000440046002d0044006f006b0075006d0065006e00740065006e002c00200076006f006e002000640065006e0065006e002000530069006500200068006f006300680077006500720074006900670065002000500072006500700072006500730073002d0044007200750063006b0065002000650072007a0065007500670065006e0020006d00f60063006800740065006e002e002000450072007300740065006c006c007400650020005000440046002d0044006f006b0075006d0065006e007400650020006b00f6006e006e0065006e0020006d006900740020004100630072006f00620061007400200075006e0064002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020006f0064006500720020006800f600680065007200200067006500f600660066006e00650074002000770065007200640065006e002egt ESP ltFEFF005500740069006c0069006300650020006500730074006100200063006f006e0066006900670075007200610063006900f3006e0020007000610072006100200063007200650061007200200064006f00630075006d0065006e0074006f00730020005000440046002000640065002000410064006f0062006500200061006400650063007500610064006f00730020007000610072006100200069006d0070007200650073006900f3006e0020007000720065002d0065006400690074006f007200690061006c00200064006500200061006c00740061002000630061006c0069006400610064002e002000530065002000700075006500640065006e00200061006200720069007200200064006f00630075006d0065006e0074006f00730020005000440046002000630072006500610064006f007300200063006f006e0020004100630072006f006200610074002c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200079002000760065007200730069006f006e0065007300200070006f00730074006500720069006f007200650073002egt ETI ltFEFF004b00610073007500740061006700650020006e0065006900640020007300e4007400740065006900640020006b00760061006c006900740065006500740073006500200074007200fc006b006900650065006c007300650020007000720069006e00740069006d0069007300650020006a0061006f006b007300200073006f00620069006c0069006b0065002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740069006400650020006c006f006f006d006900730065006b0073002e00200020004c006f006f0064007500640020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740065002000730061006100740065002000610076006100640061002000700072006f006700720061006d006d006900640065006700610020004100630072006f0062006100740020006e0069006e0067002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020006a00610020007500750065006d006100740065002000760065007200730069006f006f006e00690064006500670061002e000d000agt FRA ltFEFF005500740069006c006900730065007a00200063006500730020006f007000740069006f006e00730020006100660069006e00200064006500200063007200e900650072002000640065007300200064006f00630075006d0065006e00740073002000410064006f00620065002000500044004600200070006f0075007200200075006e00650020007100750061006c0069007400e90020006400270069006d007000720065007300730069006f006e00200070007200e9007000720065007300730065002e0020004c0065007300200064006f00630075006d0065006e00740073002000500044004600200063007200e900e90073002000700065007500760065006e0074002000ea0074007200650020006f007500760065007200740073002000640061006e00730020004100630072006f006200610074002c002000610069006e00730069002000710075002700410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000650074002000760065007200730069006f006e007300200075006c007400e90072006900650075007200650073002egt GRE ltFEFF03a703c103b703c303b903bc03bf03c003bf03b903ae03c303c403b5002003b103c503c403ad03c2002003c403b903c2002003c103c503b803bc03af03c303b503b903c2002003b303b903b1002003bd03b1002003b403b703bc03b903bf03c503c103b303ae03c303b503c403b5002003ad03b303b303c103b103c603b1002000410064006f006200650020005000440046002003c003bf03c5002003b503af03bd03b103b9002003ba03b103c42019002003b503be03bf03c703ae03bd002003ba03b103c403ac03bb03bb03b703bb03b1002003b303b903b1002003c003c103bf002d03b503ba03c403c503c003c903c403b903ba03ad03c2002003b503c103b303b103c303af03b503c2002003c503c803b703bb03ae03c2002003c003bf03b903cc03c403b703c403b103c2002e0020002003a403b10020005000440046002003ad03b303b303c103b103c603b1002003c003bf03c5002003ad03c703b503c403b5002003b403b703bc03b903bf03c503c103b303ae03c303b503b9002003bc03c003bf03c103bf03cd03bd002003bd03b1002003b103bd03bf03b903c703c403bf03cd03bd002003bc03b5002003c403bf0020004100630072006f006200610074002c002003c403bf002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002003ba03b103b9002003bc03b503c403b103b303b503bd03ad03c303c403b503c103b503c2002003b503ba03b403cc03c303b503b903c2002egt HEB ltFEFF05D405E905EA05DE05E905D5002005D105D405D205D305E805D505EA002005D005DC05D4002005DB05D305D9002005DC05D905E605D505E8002005DE05E105DE05DB05D9002000410064006F006200650020005000440046002005D405DE05D505EA05D005DE05D905DD002005DC05D405D305E405E105EA002005E705D305DD002D05D305E405D505E1002005D005D905DB05D505EA05D905EA002E002005DE05E105DE05DB05D90020005000440046002005E905E005D505E605E805D5002005E005D905EA05E005D905DD002005DC05E405EA05D905D705D4002005D105D005DE05E605E205D505EA0020004100630072006F006200610074002005D5002D00410064006F00620065002000520065006100640065007200200035002E0030002005D505D205E805E105D005D505EA002005DE05EA05E705D305DE05D505EA002005D905D505EA05E8002E05D005DE05D905DD002005DC002D005000440046002F0058002D0033002C002005E205D905D905E005D5002005D105DE05D305E805D905DA002005DC05DE05E905EA05DE05E9002005E905DC0020004100630072006F006200610074002E002005DE05E105DE05DB05D90020005000440046002005E905E005D505E605E805D5002005E005D905EA05E005D905DD002005DC05E405EA05D905D705D4002005D105D005DE05E605E205D505EA0020004100630072006F006200610074002005D5002D00410064006F00620065002000520065006100640065007200200035002E0030002005D505D205E805E105D005D505EA002005DE05EA05E705D305DE05D505EA002005D905D505EA05E8002Egt HRV (Za stvaranje Adobe PDF dokumenata najpogodnijih za visokokvalitetni ispis prije tiskanja koristite ove postavke Stvoreni PDF dokumenti mogu se otvoriti Acrobat i Adobe Reader 50 i kasnijim verzijama) HUN ltFEFF004b0069007600e1006c00f30020006d0069006e0151007300e9006701710020006e0079006f006d00640061006900200065006c0151006b00e90073007a00ed007401510020006e0079006f006d00740061007400e100730068006f007a0020006c006500670069006e006b00e1006200620020006d0065006700660065006c0065006c0151002000410064006f00620065002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e00740075006d006f006b0061007400200065007a0065006b006b0065006c0020006100200062006500e1006c006c00ed007400e10073006f006b006b0061006c0020006b00e90073007a00ed0074006800650074002e0020002000410020006c00e90074007200650068006f007a006f00740074002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e00740075006d006f006b00200061007a0020004100630072006f006200610074002000e9007300200061007a002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002c0020007600610067007900200061007a002000610074007400f3006c0020006b00e9007301510062006200690020007600650072007a006900f3006b006b0061006c0020006e00790069007400680061007400f3006b0020006d00650067002egt ITA ltFEFF005500740069006c0069007a007a006100720065002000710075006500730074006500200069006d0070006f007300740061007a0069006f006e00690020007000650072002000630072006500610072006500200064006f00630075006d0065006e00740069002000410064006f00620065002000500044004600200070006900f900200061006400610074007400690020006100200075006e00610020007000720065007300740061006d0070006100200064006900200061006c007400610020007100750061006c0069007400e0002e0020004900200064006f00630075006d0065006e007400690020005000440046002000630072006500610074006900200070006f00730073006f006e006f0020006500730073006500720065002000610070006500720074006900200063006f006e0020004100630072006f00620061007400200065002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200065002000760065007200730069006f006e006900200073007500630063006500730073006900760065002egt JPN ltFEFF9ad854c18cea306a30d730ea30d730ec30b951fa529b7528002000410064006f0062006500200050004400460020658766f8306e4f5c6210306b4f7f75283057307e305930023053306e8a2d5b9a30674f5c62103055308c305f0020005000440046002030d530a130a430eb306f3001004100630072006f0062006100740020304a30883073002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000204ee5964d3067958b304f30533068304c3067304d307e305930023053306e8a2d5b9a306b306f30d530a930f330c8306e57cb30818fbc307f304c5fc59808306730593002gt KOR ltFEFFc7740020c124c815c7440020c0acc6a9d558c5ec0020ace0d488c9c80020c2dcd5d80020c778c1c4c5d00020ac00c7a50020c801d569d55c002000410064006f0062006500200050004400460020bb38c11cb97c0020c791c131d569b2c8b2e4002e0020c774b807ac8c0020c791c131b41c00200050004400460020bb38c11cb2940020004100630072006f0062006100740020bc0f002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020c774c0c1c5d0c11c0020c5f40020c2180020c788c2b5b2c8b2e4002egt LTH ltFEFF004e006100750064006f006b0069007400650020016100690075006f007300200070006100720061006d006500740072007500730020006e006f0072011700640061006d00690020006b0075007200740069002000410064006f00620065002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400750073002c0020006b00750072006900650020006c0061006200690061007500730069006100690020007000720069007400610069006b007900740069002000610075006b01610074006f00730020006b006f006b007900620117007300200070006100720065006e006700740069006e00690061006d00200073007000610075007300640069006e0069006d00750069002e0020002000530075006b0075007200740069002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400610069002000670061006c006900200062016b007400690020006100740069006400610072006f006d00690020004100630072006f006200610074002000690072002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000610072002000760117006c00650073006e0117006d00690073002000760065007200730069006a006f006d00690073002egt LVI ltFEFF0049007a006d0061006e0074006f006a00690065007400200161006f00730020006900650073007400610074012b006a0075006d00750073002c0020006c0061006900200076006500690064006f00740075002000410064006f00620065002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400750073002c0020006b006100730020006900720020012b00700061016100690020007000690065006d01130072006f00740069002000610075006700730074006100730020006b00760061006c0069007401010074006500730020007000690072006d007300690065007300700069006501610061006e006100730020006400720075006b00610069002e00200049007a0076006500690064006f006a006900650074002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400750073002c0020006b006f002000760061007200200061007400760113007200740020006100720020004100630072006f00620061007400200075006e002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002c0020006b0101002000610072012b00200074006f0020006a00610075006e0101006b0101006d002000760065007200730069006a0101006d002egt NLD (Gebruik deze instellingen om Adobe PDF-documenten te maken die zijn geoptimaliseerd voor prepress-afdrukken van hoge kwaliteit De gemaakte PDF-documenten kunnen worden geopend met Acrobat en Adobe Reader 50 en hoger) NOR ltFEFF004200720075006b00200064006900730073006500200069006e006e007300740069006c006c0069006e00670065006e0065002000740069006c002000e50020006f0070007000720065007400740065002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740065007200200073006f006d00200065007200200062006500730074002000650067006e0065007400200066006f00720020006600f80072007400720079006b006b0073007500740073006b00720069006600740020006100760020006800f800790020006b00760061006c0069007400650074002e0020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740065006e00650020006b0061006e002000e50070006e00650073002000690020004100630072006f00620061007400200065006c006c00650072002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200065006c006c00650072002000730065006e006500720065002egt POL ltFEFF0055007300740061007700690065006e0069006100200064006f002000740077006f0072007a0065006e0069006100200064006f006b0075006d0065006e007400f300770020005000440046002000700072007a0065007a006e00610063007a006f006e00790063006800200064006f002000770079006400720075006b00f30077002000770020007700790073006f006b00690065006a0020006a0061006b006f015b00630069002e002000200044006f006b0075006d0065006e0074007900200050004400460020006d006f017c006e00610020006f007400770069006500720061010700200077002000700072006f006700720061006d006900650020004100630072006f00620061007400200069002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000690020006e006f00770073007a0079006d002egt PTB ltFEFF005500740069006c0069007a006500200065007300730061007300200063006f006e00660069006700750072006100e700f50065007300200064006500200066006f0072006d00610020006100200063007200690061007200200064006f00630075006d0065006e0074006f0073002000410064006f0062006500200050004400460020006d00610069007300200061006400650071007500610064006f00730020007000610072006100200070007200e9002d0069006d0070007200650073007300f50065007300200064006500200061006c007400610020007100750061006c00690064006100640065002e0020004f007300200064006f00630075006d0065006e0074006f00730020005000440046002000630072006900610064006f007300200070006f00640065006d0020007300650072002000610062006500720074006f007300200063006f006d0020006f0020004100630072006f006200610074002000650020006f002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000650020007600650072007300f50065007300200070006f00730074006500720069006f007200650073002egt RUM ltFEFF005500740069006c0069007a00610163006900200061006300650073007400650020007300650074010300720069002000700065006e007400720075002000610020006300720065006100200064006f00630075006d0065006e00740065002000410064006f006200650020005000440046002000610064006500630076006100740065002000700065006e0074007200750020007400690070010300720069007200650061002000700072006500700072006500730073002000640065002000630061006c006900740061007400650020007300750070006500720069006f006100720103002e002000200044006f00630075006d0065006e00740065006c00650020005000440046002000630072006500610074006500200070006f00740020006600690020006400650073006300680069007300650020006300750020004100630072006f006200610074002c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020015f00690020007600650072007300690075006e0069006c006500200075006c0074006500720069006f006100720065002egt RUS ltFEFF04180441043f043e043b044c04370443043904420435002004340430043d043d044b04350020043d0430044104420440043e0439043a043800200434043b044f00200441043e043704340430043d0438044f00200434043e043a0443043c0435043d0442043e0432002000410064006f006200650020005000440046002c0020043c0430043a04410438043c0430043b044c043d043e0020043f043e04340445043e0434044f04490438044500200434043b044f00200432044b0441043e043a043e043a0430044704350441044204320435043d043d043e0433043e00200434043e043f0435044704300442043d043e0433043e00200432044b0432043e04340430002e002000200421043e043704340430043d043d044b04350020005000440046002d0434043e043a0443043c0435043d0442044b0020043c043e0436043d043e0020043e0442043a0440044b043204300442044c002004410020043f043e043c043e0449044c044e0020004100630072006f00620061007400200438002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020043800200431043e043b043504350020043f043e04370434043d043804450020043204350440044104380439002egt SKY ltFEFF0054006900650074006f0020006e006100730074006100760065006e0069006100200070006f0075017e0069007400650020006e00610020007600790074007600e100720061006e0069006500200064006f006b0075006d0065006e0074006f0076002000410064006f006200650020005000440046002c0020006b0074006f007200e90020007300610020006e0061006a006c0065007001610069006500200068006f0064006900610020006e00610020006b00760061006c00690074006e00fa00200074006c0061010d00200061002000700072006500700072006500730073002e00200056007900740076006f00720065006e00e900200064006f006b0075006d0065006e007400790020005000440046002000620075006400650020006d006f017e006e00e90020006f00740076006f00720069016500200076002000700072006f006700720061006d006f006300680020004100630072006f00620061007400200061002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000610020006e006f0076016100ed00630068002egt SLV ltFEFF005400650020006e006100730074006100760069007400760065002000750070006f0072006100620069007400650020007a00610020007500730074007600610072006a0061006e006a006500200064006f006b0075006d0065006e0074006f0076002000410064006f006200650020005000440046002c0020006b006900200073006f0020006e0061006a007000720069006d00650072006e0065006a016100690020007a00610020006b0061006b006f0076006f00730074006e006f0020007400690073006b0061006e006a00650020007300200070007200690070007200610076006f0020006e00610020007400690073006b002e00200020005500730074007600610072006a0065006e006500200064006f006b0075006d0065006e0074006500200050004400460020006a00650020006d006f0067006f010d00650020006f0064007000720065007400690020007a0020004100630072006f00620061007400200069006e002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200069006e0020006e006f00760065006a01610069006d002egt SUO ltFEFF004b00e40079007400e40020006e00e40069007400e4002000610073006500740075006b007300690061002c0020006b0075006e0020006c0075006f00740020006c00e400680069006e006e00e4002000760061006100740069007600610061006e0020007000610069006e006100740075006b00730065006e002000760061006c006d0069007300740065006c00750074007900f6006800f6006e00200073006f00700069007600690061002000410064006f0062006500200050004400460020002d0064006f006b0075006d0065006e007400740065006a0061002e0020004c0075006f0064007500740020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740069007400200076006f0069006400610061006e0020006100760061007400610020004100630072006f0062006100740069006c006c00610020006a0061002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030003a006c006c00610020006a006100200075007500640065006d006d0069006c006c0061002egt SVE ltFEFF0041006e007600e4006e00640020006400650020006800e4007200200069006e0073007400e4006c006c006e0069006e006700610072006e00610020006f006d002000640075002000760069006c006c00200073006b006100700061002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e007400200073006f006d002000e400720020006c00e4006d0070006c0069006700610020006600f60072002000700072006500700072006500730073002d007500740073006b00720069006600740020006d006500640020006800f600670020006b00760061006c0069007400650074002e002000200053006b006100700061006400650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740020006b0061006e002000f600700070006e00610073002000690020004100630072006f0062006100740020006f00630068002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020006f00630068002000730065006e006100720065002egt TUR ltFEFF005900fc006b00730065006b0020006b0061006c006900740065006c0069002000f6006e002000790061007a006401310072006d00610020006200610073006b013100730131006e006100200065006e0020006900790069002000750079006100620069006c006500630065006b002000410064006f006200650020005000440046002000620065006c00670065006c0065007200690020006f006c0075015f007400750072006d0061006b0020006900e70069006e00200062007500200061007900610072006c0061007201310020006b0075006c006c0061006e0131006e002e00200020004f006c0075015f0074007500720075006c0061006e0020005000440046002000620065006c00670065006c0065007200690020004100630072006f006200610074002000760065002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200076006500200073006f006e0072006100730131006e00640061006b00690020007300fc007200fc006d006c00650072006c00650020006100e70131006c006100620069006c00690072002egt UKR ltFEFF04120438043a043e0440043804410442043e043204430439044204350020044604560020043f043004400430043c043504420440043800200434043b044f0020044104420432043e04400435043d043d044f00200434043e043a0443043c0435043d044204560432002000410064006f006200650020005000440046002c0020044f043a04560020043d04300439043a04400430044904350020043f045604340445043e0434044f0442044c00200434043b044f0020043204380441043e043a043e044f043a04560441043d043e0433043e0020043f0435044004350434043404400443043a043e0432043e0433043e0020043404400443043a0443002e00200020042104420432043e04400435043d045600200434043e043a0443043c0435043d0442043800200050004400460020043c043e0436043d04300020043204560434043a0440043804420438002004430020004100630072006f006200610074002004420430002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002004300431043e0020043f04560437043d04560448043e04570020043204350440044104560457002egt ENU (Use these settings to create Adobe PDF documents best suited for high-quality prepress printing Created PDF documents can be opened with Acrobat and Adobe Reader 50 and later) gtgt Namespace [ (Adobe) (Common) (10) ] OtherNamespaces [ ltlt AsReaderSpreads false CropImagesToFrames true ErrorControl WarnAndContinue FlattenerIgnoreSpreadOverrides false IncludeGuidesGrids false IncludeNonPrinting false IncludeSlug false Namespace [ (Adobe) (InDesign) (40) ] OmitPlacedBitmaps false OmitPlacedEPS false OmitPlacedPDF false SimulateOverprint Legacy gtgt ltlt AddBleedMarks false AddColorBars false AddCropMarks false AddPageInfo false AddRegMarks false ConvertColors ConvertToCMYK DestinationProfileName () DestinationProfileSelector DocumentCMYK Downsample16BitImages true FlattenerPreset ltlt PresetSelector MediumResolution gtgt FormElements false GenerateStructure false IncludeBookmarks false IncludeHyperlinks false IncludeInteractive false IncludeLayers false IncludeProfiles false MultimediaHandling UseObjectSettings Namespace [ (Adobe) (CreativeSuite) (20) ] PDFXOutputIntentProfileSelector DocumentCMYK PreserveEditing true UntaggedCMYKHandling LeaveUntagged UntaggedRGBHandling UseDocumentProfile UseDocumentBleed false gtgt ]gtgt setdistillerparamsltlt HWResolution [2400 2400] PageSize [612000 792000]gtgt setpagedevice

  1. 1 World Health Organization WHO
  2. 2 Beijing Platform for Action BPA 1995
  3. 5 International Covenant on Civil and Political Rights ICCPR 1966
  4. 7 Krug Etienne et al 2002 World Report on Violence and Health Geneva WHO
Page 9: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na

ORODHA YA MANENO MUHIMU NA DHANA

Kwa madhumuni ya Mwongozo huu maneno muhimu na dhana yatakuwa na maana ifuatayo

Ukatili Matumizi ya nguvu yanayompa mtu fursa ya kumtumia au kumkandamiza mtu mwingine ikiwa ni pamoja na na kumsababishia woga au hofu madhara ya kimwili kifikra na kisaikolojia Ukatili unaweza kujitokeza kwa kumdhuru mtu kimwili au kumtishia kwa kutumia silaha au kumnyima mtu uhuru wa kufanya uamuzi na kumlazimisha kutenda kinyume na utashi wake

Kijana balehe Kipindi cha mpito cha ukuaji kutoka utoto kuelekea utu uzima Kipindi hiki ni muda ambapo mhusika sio mtoto wala mtu mzima kibiolojia wala hajakomaa kihisia Wakati huu kuna mabadiliko makubwa ya kimwili yanayohusiana na mwanzo wa kubalehe pamoja na kukua kisaikolojia Kijana balehe hujumuisha wanafunzi wengi walio kwenye shule za msingi na baadaye kukamilika wakiwa shule za sekondari

Mtoto Kwa mujibu wa katiba ya Tanzania na sheria ya mtoto mtoto ni mtu yeyote aliye chini ya umri wa miaka 18

Unyanyasaji wa mtoto Unyanyasaji wa mtoto ni dhana ambayo inahusisha maneno au vitendo vilivyokusudia kusababisha utokeaji wa madhara au vitisho kwa watoto Kuna aina tatu za ukatili kwa watoto kimwili kingono na kisaikolojia

Unyanyasaji wa mtoto kingono Ushirikishwaji wa mtoto katika vitendo vinavyohusu ngono Unyanyasaji wa watoto kingono unatokea kati ya mtoto na mtu mzima au mtoto na mtoto mwingine ambaye wamezidiana kiumri na kupevuka na anaaminika ana madaraka na wajibu juu ya mtu aliyepatwa na UWAKI kwa lengo la mnyanyasaji kujiridhisha haja zake binafsi

Unyanyasaji wa watoto kingono ni pamoja na kushawishi au kumlazimisha mtoto kushiriki katika vitendo vyovyote vya ngono utumiaji wa watoto kufanya ukahaba au matumizi ya watoto katika kupiga picha za ngono na kutumia vifaa vinavyohusika na ngonoUnyanyasaji wa mtoto ni dhana

viii

ambayo inahusisha maneno au vitendo vilivyokusudia kusababisha utokeaji wa madhara au vitisho kwa mtoto

Kulazimisha Kutishia au kutumia nguvu ikiwa ni pamoja na kutumia vitisho kauli mbaya ulaghai udanganyifu mila potofu au nguvu ya kipato bila ridhaa yake

Huduma kwa waathirika wa UWAKI Ni huduma jumuishi zinazotolewa kwa waathirika zikijumuisha Kuchukua historia ya mtu aliyepatwa na UWAKI upimaji wa kina kuchukua vipimo vya ushahidi wa kimahakama kwa mujibu wa sheria unasihi kupata matibabu ya awali kupata msaada wa kisheria na kisaikolojia na pale inapobidi kupewa ulinzi

Ridhaa Kufanya uamuzi wenye uelewa uhuru na hiari kuhusu jambo lolote Hakuna ridhaa ikiwa makubaliano yamepatikana kwa njia ya vitisho nguvu au aina zozote za kulazimishwa utekaji nyara udanganyifu ulaghai na upotoshaji

Ukatili ndani ya familia Ni vitendo vya unyanyasaji wanavyofanyiana watu walio katika uhusiano wa karibu kama vile ndoa uchumba familia au watu wanaoishi pamoja kama mke na mume bila ndoa rasmi

Kuna aina mbalimbali za ukatili wa kifamilia zikiwa ni pamoja na ukatili wa kimwili (kumpiga kumwuma kumsukuma kumzuia kumtupia vitu) au kumtishia Aina nyingine ya ukatili wa kifamilia ni ukatili wa kisaikolojia (kumfanyia vitisho kuvizia kumpuuzia) na ukatili wa kiuchumi Madhara yanayotokana na ukatili wa kifamilia ni pamoja na matumizi makubwa ya pombe utegemezi wa dawa za kulevya na magonjwa ya akili

Kituo cha Hifadhi ya muda Mahali pa kupata taarifa usalama huduma ya kwanza rufaa na mahitaji mengine muhimu na ya haraka kwa waliopatwa na UWAKI ambao wanahitaji mahali salama penye usiri kwa kipindi fulani

Kituo maalumu cha malezi Mahali rasmi panapotambulika kisheria kama makao ya watoto au shule za maadilisho Mahali pa kulelea watoto

ix

wanaoishi katika mazingira hatarishi kama vile kituo cha kulelea watoto kinachomilikiwa na watu binafsi taasisi za dini au serikali

Mlezi maalumu Mtu mzima mwenye akili timamu maadili mazuri na anayeaminika katika jamii ana uwezo wa kumlea mtoto ambaye siyo ndugu yake au wa nasaba yake ambaye amethibitishwa na ustawi wa jamii kuweza kumpa matunzo

Kulazimisha kurithi Mjane Ni mila ambapo mjane anashurutishwa bila ridha yake kuwa mke au mume wa ndugu wa marehemu Inawezekana kuwa katika aina au mtindo tofauti kulingana na tamaduni

Ukahaba wa Kulazimishwa Ni kitendo cha ulaghai kinachofanywa na watu kwa makundi hatarishi kama wanawake au wasichana kwa kuwaahidi kuwapatia vitu msaada au ajira halali na badala yake kuwatumikisha katika biashara ya ngono

Jinsia Ni uhusiano uliojengeka katika jamii Watu huzaliwa wakiwa na maumbile ya kike na kiume kisha hujifunza kazi au shughuli za kike na kiume kwenye jamii na hatimaye husababisha watu kujipangia majukumu kutokana na jinsia

Ukatili wa Kijinsia (UWAKI) Ni kitendo chochote cha kikatili anachofanyiwa mtu yeyote awe mwanamke mwanamume au mtoto chenye lengo la kumwumiza kimwili au kiutu kutokana na jinsia yake Ukatili wa kijinsia unajumuisha ukatili wa kingono kisaikolojia mila hatarishi na unyanyasaji wa kiuchumi na kijamii

Kupambana na Ukatili wa Kijinsia Kunajumuisha mambo yafuatayo Kutoa huduma kuandaa mipango mkakati kwa kuwashirikisha wadau mbalimbali

Mila na desturi hatarishi

bull Ukeketaji Ni kitendo cha kikatili anachofanyiwa mtoto wa kike msichana au mwanamke kwa kukata kabisa au kuondoa sehemu ya via vya nje vya uzazi kwa sababu zisizo za kitabibu

x

bull Ndoa katika umri mdogo Ni ndoa zinazojitokeza zaidi kwa wasichana ambazo zinahusishwa na madhara kwa mama na mtoto kama vile matatizo wakati wa kujifungua ulemavu na vifo vya mama na mtoto

bull Ndoa ya kulazimishwa Ni ndoa zinazofanyika bila ridhaa ya mwanamume au mwanamke Iwapo mmoja kati yao hatakubaliana ndoa hizo zinaweza kusababisha madhara ya unyanyasaji na ukatili

bull Utakaso wa mjane Ni desturi ambapo mjane hulazimishwa au hulazimika kufanya ngono na ndugu wengine au mtu aliyeteuliwa kwa kazi hiyo katika jamii Hii hufanyika kabla mjane huyo hajaolewa au kuoa tena

Haki za binadamu Ni stahili za msingi ambazo kila binadamu anapaswa kuzipata ili kumwezesha kuishi kujiendeleza kushiriki na kupata ulinzi wa jamii bila kujali utaifa jinsia asili ya utaifa au nasaba au kabila rangi dini lugha au kwa hali nyingine yoyote

Matukio ya ukatili Ni kitendo au mfululizo wa vitendo vya ukatili vinavyofanywa na mtu au kikundi cha watu dhidi ya mtu au kundi la watu kwa makusudi ya kuharibu kuleta hofu au kutishia amani kwa maslahi binafsi Vitendo hivyo vya kikatili vinaweza kufanyika nyumbani kwenye hadhara na mahali popote katika nyakati tofauti

Ukatili kati ya wenzi Ukatili unaohusisha wenzi wenye uhusiano wa ndani kama vile mtu na mke marafiki wapenzi wanafamilia au watu wanaoishi pamoja kama mke na mume bila ndoa rasmi Ukatili kati ya wenzi ni wa aina nyingi ikiwa ni pamoja na ukatili wa kimwili (kupigwa kuuma kumsukuma kumzuia kumtupia vitu) au kumtishia Aina nyingine ya ukatili wa wenzi ni ukatili wa kingono kisaikolojia (kumfanyia vitisho kuvizia kumpuuza) na ukatili wa kiuchumi (kunyimwa haki ya kufanya kazi kunyangrsquoanywa kipato kurithi mali nk)

Mhalifu Ni mtu kundi la watu au taasisi linalofanya moja kwa moja au kupitia wengine uhalifu au vitendo vya kikatili dhidi ya mtu au kundi la

xi

watuWahalifu wanakuwa katika hali ya kuwa au kuhisi kuwa na nguvu kufanya uamuzi naau mamlaka ya kuwadhibiti waliopatwa na UWAKI

Ukatili wa kimwili Ni kitendo cha kumdhalilisha mtu kwa kumpiga kumvua nguo kumwuma kumchoma kumsababishia ulemavu au kumwua kwa kutumia au kutotumia silaha

Nguvu Katika muktadha wa UWAKI madaraka yanahusiana na uwezo wa kuchagua Mamlaka makubwa yanaendana na uwezo mkubwa wa kufanya uamuzi Kwa upande mwingine mamlaka madogo yanaendana na uwezo dhaifu wa kufanya uamuzi na kwa hivyo kuongeza uwezekano wa kunyanyaswa UWAKI unahusisha matumizi mabaya ya madaraka ambapo mtu mmoja anajisikia kuwa ana mamlaka zaidi juu ya mwenzake na kutumia fursa hiyo kumnyanyasa

Kwa mfano kutumia shinikizo la aina yoyote ili kumfanya mtu mwenye uwezo mdogo kufanya naye ngono kwa madhumuni ya kumpatia faida au ahadi zozote ni kutumia vibaya madaraka Wanaume wana nafasi za madaraka kuliko wanawake na mara nyingi wanamiliki fedha mali na huduma Wanaume wana maumbile makubwa zaidi ya wanawake wana nguvu zaidi wanatumia silaha zaidi na wanadhibiti mawasiliano na usalama Madaraka yanategemea umri na mara nyingi watoto na wazee wana madaraka madogo zaidi Waume au marafiki wa kiume wana umri mkubwa zaidi kuliko wake zao au marafiki wa kike

Ubakaji Ni kitendo cha mtu kumwingilia mtu kimwili mtu mwingine kwa nguvu bila ridhaa yake au kitendo cha kumwingilia mtu mwenye umri chini ya miaka 18

Ulazimishaji ngono ndani ya ndoa Ni kitendo cha ngono kati ya wanandoa kinachofanywa na mwanandoa mmoja bila ridhaa au dhamira ya mwenzake akitumia nguvu vitisho kuogopesha hofu au wakati mwenza hawezi kutoa ridhaa

Vitendo hivyo vya ngono vinajumuisha kujamiiana ngono ya mdomo au kinyume na maumbile kulazimishwa kufanya ngono na mtu mwingine na vitendo vingine vya ngono ambavyo vinachukuliwa na mlazimishaji kama ukandamizaji udhalilishaji na vya kuumiza

xii

Nyumba salama Mahali pa hifadhi ya muda kwa watu waliopatwa na UWAKI mashahidi au watu wengine wanaoonekana kuwa hatarini Pia ni mahali ambapo jamii familia mtu mzima anayeaminika au taasisi ya hisani wanatoa kimbilio la usalama kwa watu waliopatwa na UWAKI

Ukatili wa Kingono Ni kitendo au jaribio lolote la unyanyasaji wa kingono linalosababisha au linaloweza kusababisha madhara ya kimwili kisaikolojia au kihisia

Ngono za Kulazimishwa Ni kitendo cha kumshurutisha au kujaribu kumshurutisha mtu mwingine kwa njia ya ukatili vitisho maneno makali udanganyifu kumpa matarajio ya kiuchumi ili ajihusishe na vitendo vya ngono bila ridhaa yake Ni pamoja na vitendo mbalimbali kama ubakaji na maeneo mapana zaidi kama wanawake kulazimishwa kuolewa na kutoa huduma ya ngono kwa wanaume ambao sio chaguo lao

Ukandamizaji wa Kingono Ni kumtumia mtu watu au jamii inayoishi kwenye mazingira magumu kwa madhumuni ya kuihusisha katika vitendo vya kujamiiana au vinavyohusiana na kujamiiana ili mhalifu afaidike kiuchumi au kijamii

Bughudha ya Kingono Ni matendo yanayohusiana na hisia za kujamiiana ambayo yanakera na kuudhi watu ndani ya jamii na mazingira ya kazi hayakubaliki yanasumbua yanarudiwa mara kwa mara na bila ridhaa kwa mfano matusi kukonyeza mavazi duni yenye kuonyesha maungo kupapasa picha za ngono na kuingilia faragha za mwili wa mtu

Ukatili wa Kingono Nikitendo au jaribio lolote la unyanyasaji wa kingono linalosababisha au linaloweza kusababisha madhara ya kimwili kisaikolojia au kihisia

Ukatili wa Kiuchumi na Kijamii Ni vitendo vya kumnyima mtu fursa ya kupata mahitaji ya msingi na ya kujiendeleza kama kumnyima elimu kazi kumiliki mali huduma za afya na vitendo vingine vinavyosababisha msongo wa mawazo

xiii

Ukatili Matumizi ya nguvu yanayompa mtu fursa ya kumtumia au kumkandamiza mtu mwingine ikiwa ni pamoja na kumsababishia woga au hofu madhara ya kimwili kifikra na kisaikolojia Ukatili unaweza kujitokeza kwa kumdhuru mtu kimwili au kumtishia kwa kutumia silaha au kumnyima mtu uhuru wa kufanya uamuzi na kumlazimisha kutenda kinyume na utashi wake

Ukatili Dhidi ya Wanawake Ni kitendo au vitendo vya unyanyasaji vyenye kulenga jinsia ya kike na vyenye kusababisha au kuleta madhara ya kimwili kingono kihisia kisaikolojia kiuchumi na kijamii Kitendo au vitendo hivi hujumuisha kutumia nguvu na vitisho vya kumnyima mwanamke haki na uhuru

xiv

SEHEMU YA KWANZA

UTANGULIZI

11 Hali ya Ukatili wa Kijinsia Duniani

Ukatili Wa Kijinsia (UWAKI) unatokana na kuwepo kwa tofauti kati ya wanaume na wanawake na hivyo kuhatarisha afya utu usalama na uhuru wa wahusika waliofanyiwa vitendo vya kikatili

UWAKI unajumuisha vitendo vingi vya ukiukwaji wa haki za binadamu kama vile unyanyasaji wa watoto kingono ubakaji unyanyasaji katika familia shambulio la aibu na udhalilishaji Vitendo vingine vya UWAKI ni usafirishaji haramu wa wanawake na wasichana na madhara mengine yatokanayo na mila na desturi hatarishi

Matukio ya ukatili wa kijinsia yanaacha athari kubwa za kisaikolojia na za kiafya kwa watu waliopatwa na ukatili ikiwa ni pamoja na kuathiri afya ya uzazi na mara nyingine kusababisha vifo

UWAKI haujatambuliwa kama ukiukwaji wa haki za binadamu katika sehemu nyingi duniani Tatizo hili hupunguza uwezo wa wanawake wanaume na watoto katika kufurahia uhuru na haki za msingi za kibinadamu Hata hivyo licha ya kuwepo kwa UWAKI katika nchi nyingi tatizo hili halijapewa kipaumbele UWAKI unaelezwa kuwa ldquoNi kitendo kiovu na cha aibu kubwa cha ukiukwaji wa haki za binadamurdquo Hali hii humfanya mwanamke kuwa tegemezi kijamii kiuchumi na kisheria na hupunguza uwezo wake katika kupata msaada mara anapofanyiwa ukatili

Utafiti uliofanywa na Shirika la Afya Duniani (WHO) kuhusu afya ya wanawake na ukatili wa kifamilia katika nchi 10 umeonyesha kuwa kati ya wanawake waliowahi kuwa na wenzi asilimia 13-61 walifanyiwa ukatili wa kimwili na wenzi wao asilimia 6-59 walifanyiwa ukatili wa kingono na asilimia 15-71 walifanyiwa vitendo vya ukatili wa kingono pamoja na kimwili Pia wanawake wengi vijijini walikiri kuwa walifanyiwa tendo la ngono kwa mara ya kwanza bila ridhaa yao na takwimu zinaonyesha matukio hayo katika baadhi ya nchi kama ifuatavyo Peru (24)

1

Tanzania (17) Bangladesh (30) na Ethiopia (17) Ukatili wa kimwili kwa wanawake wajawazito uliripotiwa kuwa ni asilimia 4-12

Wanawake na wasichana wanakabiliwa na aina nyingine ya ziada ya unyanyasaji Usafirishaji haramu wa wanawake na wasichana kwa ajili ya kazi na ngono za kulazimishwa ni biashara iliyoshamiri na mara nyingi waathirika ni wale wanaokabiliwa na hali ngumu ya maisha Ndoa za kulazimishwa na za utotoni ni ukiukwaji wa haki za binadamu kwa wanawake na wasichana lakini zinaendelea kushamiri kwenye nchi nyingi za Bara la Asia Mashariki ya Kati na Nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara Utafiti wa Shirika la Afya Duniani (2010) unaonyesha kuwa duniani kote mwanamke mmoja kati ya wanawake watano na mwanamume mmoja kati ya wanaume 10 wanaripotiwa kuathirika na unyanyasaji wa kingono wakati wa utoto

12 Hali ya UWAKI Kanda ya Afrika

Kuna uhaba wa taarifa takwimu na utafiti kuhusu UWAKI kwenye ukanda wa Afrika Mashariki Nchini Kenya kulikuwa hakuna takwimu zenye kuhusiana na ukatili wa kijinsia hadi utafiti wa hali ya jamii na afya ulipofanyika mwaka 2003 Utafiti huu ulionyesha kwamba asilimia 29 ya wanawake waliripotiwa kuathiriwa na ukatili wa kingono kwenye kipindi cha mwaka mmoja uliopita na wengi wa waathirika walikuwa wanawake wa umri wa miaka 20-29 Utafiti uliofanywa na Ushirika wa Wanasheria Wanawake nchini Kenya ulionyesha kwamba ukatili wa kijinsia katika familia unakabili asilimia 51 ya wanawake waliohudhuria kliniki nne za wajawazito kwenye jiji la Nairobi na waliripoti kuwa wamekuwa waathirika wa ukatili wakati fulani katika maisha yao kati yao asilimia 65 walifanyiwa ukatili na waume zao na asilimia 22 walifanyiwa ukatili na wanaume wasiowafahamu

Utafiti kuhusu UWAKI uliofanywa baada ya uchaguzi wa 2007 nchini Kenya ulilenga makazi duni ya Kibera jijini Nairobi yenye wakazi wapatao milioni moja Utafiti huu ulionyesha kuwa umri wa waathirika waliobakwa ulikuwa kati ya miaka 25-68 na wengi wao walikuwa wenye umri wa miaka ya 30 UWAKI uliwaathiri wanawake wa umri wa miaka yote Utafiti huu ulibaini kwamba baadhi ya waathirika waliambukizwa virusi vya UKIMWI

2

Mwaka 2007 Umoja wa Mataifa ulikadiria kuwa kiwango cha ubakaji wa wanawake katika eneo la Kivu kaskazini ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ulikuwa ni wanawake 350 kwa mwezi Mwaka 2008 shirika linalotetea haki za binadamu duniani (Amnesty International) liliripoti kuwa wanawake 40 hubakwa kila siku katika eneo hilo hilo

3

SEHEMU YA PILI

UCHAMBUZI WA UWAKI TANZANIA

21 Ukubwa wa tatizo la UWAKI Tanzania

Utafiti uliofanywa na Shirika la Afya Duniani (WHO)1 kuhusu afya ya wanawake na ukatili majumbani kwenye nchi 10 umebaini kuwa ukatili dhidi ya wanawake upo sehemu nyingi ikiwemoTanzania Utafi ti huo ulihusisha wanawake 1820 Dar es Salaam na wanawake 1450 Mbeya waliowahi kuwa na wenzi Matokeo yalionyesha kwamba asilimia 41 ya waliohojiwa katika jiji la Dar es Salaam na asilimia 55 ya waliohojiwa katika jiji la Mbeya waliathirika na aina mbalimbali za UWAKI Taarifa ilionyesha kuwa asilimia 15 hadi 71 ya wanawake walioathirika na ukatili wa kimwili au wa kingono ulifanywa na waume au wenzi wao Utafi ti huo pia ulionyesha kwamba asilimia 15 ya wanawake walifanya kitendo cha ngono kwa mara ya kwanza kwa kulazimishwa Aidha asilimia 4 hadi 12 ya wanawake waliripotiwa kunyanyaswa kimwili wakati wa ujauzito

Kufuatana na uchunguzi wa kitaifa nchini Tanzania kiwango cha ukatili majumbani kati ya wanawake wenye umri wa miaka 15- 49 ni asilimia 45 ikijumuisha ukatili wa kimwili (25) kingono (7) na (14) kwa aina zote mbili Unyanyasaji wa kimwili kwa wanawake wajawazito ulikuwa asilimia tisa (9) Kiwango cha wanawake waliokabiliwa na matukio ya kushurutishwa na wenzi wao kilikuwa asilimia sitini (60) Kiwango cha matukio ya ukatili wa kimwili kinatofautiana sana kati ya mkoa na mkoa ambapo kiwango cha juu sana kipo kwenye mkoa wa Dodoma (71) na cha chini kabisa kwenye mkoa wa Tanga (16) Ukatili wa kingono ni wa kiwango cha juu sana kwenye mkoa wa Rukwa (32) na chini kabisa kwenye mkoa wa Shinyanga (5) Kiwango cha wanawake waliowahi kuwa kwenye ndoa ambao wameathirika na ukatili wa kingono kutoka kwa mume au mwenzi wa sasa ni 48 mume wa zamani (21) rafiki wa kiume wa sasazamani (7) Kwa upande wa wanawake ambao hawajaolewa 27 ya ukatili ulifanywa na marafi ki wa kiume wa sasa au wa zamani

1 World Health Organization (WHO)

4

Uchunguzi wa WHO uliotajwa hapo juu umeonyesha usafi rishaji wa wanawake na wasichana kwa ajili ya kazi na ngono za kulazimishwa ni biashara iliyoshamiri na mara nyingi waathirika ni wale wanaokabiliwa na hali ngumu ya maisha Ndoa za kulazimishwa na za utotoni kama zilivyo kwenye jamii nyingi ni ukiukwaji wa haki za binadamu kwa wanawake na wasichana kwa sababu hawana fursa ya kutoa ridhaa Zaidi ya 60 ya waathirika wa UWAKI nchini Tanzania hawachukui hatua yoyote ya kutoa taarifa ya ukatili kwa mamlaka rasmi au vyombo vya kutekeleza sheria Upo uwezekano mkubwa wa maambukizo ya VVU kutokana na UWAKI Vijana wa kike wa Kitanzania wenye umri wa miaka 18-29 ambao wamekuwa wakinyanyaswa na wenzi wao wana uwezekano wa mara 10 zaidi kupata maambukizo ya VVU kuliko wanawake ambao hawajanyanyaswa

Utafiti uliofanyika Dar es Salaam mwaka 2000 ulibaini kuwa zaidi ya 90 ya waathirika wa ubakaji wanawafahamu wahalifu wao Katika utafiti mwingine uliofanyika Dar es Salaam asilimia ishirini na tano (25) ya wanawake waliohojiwa walikiri kwamba ldquoUkatili ni tatizo kubwa kwenye maishardquo Nchini Tanzania ubakaji ndani ya ndoa hautambuliwi kama kosa la jinai isipokuwa kama wenza wametengana

Vitendo vya UWAKI nchini Tanzania kwa ujumla vinalenga zaidi wanawake na wasichana kutokana na desturi na mazoea ya jamii ambazo zinawabagua na kuwapunguzia uwezo wa kufurahia haki zao za kibinadamu Ingawa mashambulizi ya ngono yanawalenga zaidi wanawake na wasichana hata hivyo wanaume na wavulana vilevile wanalengwa katika unyanyasaji wa kingono kubughudhiwa na kushambuliwa

Ukatili kama ulivyofafanuliwa unadhihirisha tofauti ya madaraka kati ya mwathirika na mhalifu wa ukatili wa kingono ambapo mhalifu mara nyingi ana umbo kubwa umri mkubwa utajiri au ni mmojawapo kwenye kundi la watu wenye mamlaka au anatumia silaha Nchini Tanzania asilimia 134 ya vijana wameathiriwa na mashambulio ya kingono ya namna moja ama nyingine Kwa ujumla kutokana na sababu mbalimbali nchini Tanzania kuna uhaba wa taarifa za UWAKI pia taarifa zilizopo siyo kamilifu

5

Uzoefu unaonyesha kuwa bila kujali hali ya afya ya kimwili ya mwathirika UWAKI humwacha mwathirika na majeraha ya muda mrefu na kupunguza uwezo wa mwathirika kushirikiana na jamii na familia Athari zaidi hujitokeza kwa mwathirika kama vile aibu unyanyapaa msongo wa mawazo na mfadhaiko Tatizo hili kwa waathirika linachochewa na ldquoUtamaduni wa ukimyardquo miongoni mwa familia na jamii inayowazunguka UWAKI una athari ya moja kwa moja na matokeo hasi kwa afya na ustawi wa kiuchumi na kijamii kwa familia hasa kwa wanawake na watoto

22 Unyanyasaji wa Mtoto na Kijana

Utafiti wa kitaifa nchini Tanzania kuhusu Ukatili Dhidi ya Watoto ni wa kwanza na wa aina yake katika Bara la Afrika Matokeo ya utafi ti yameonyesha kwamba mara nyingi watoto wanakabiliwa na unyanyasaji na matukio mengi na ya namna mbalimbali yanayojumuisha ukatili wa kimwili kingono na kisaikolojia Utafiti ulibaini kuwa watoto wengi wako kwenye hatari kubwa ya kunyanyaswa kwenye mazingira ya nyumbani na shuleni Haya ni maeneo mawili ambayo watoto wengi wa Kitanzania hutumia muda wao mwingi wakati wanakua na kuelekea kwenye ujana Robo tatu ya watoto wanapofikia umri wa miaka 18 huwa wameathirika na ukatili wa kimwili kwa namna moja ama nyingine kutokana na ukatili wa ndugu mwalimu au kiongozi Kutokana na utafiti takribani 30 ya wanawake wenye umri kati ya umri wa miaka 13-24 na 14 ya wanaume wenye umri kati ya miaka 13-24 nchini Tanzania waliripotiwa kuathirika na ukatili wa kingono angalau mara moja kabla ya kufikisha umri wa miaka 18

Nchini Tanzania ukeketaji hufanyika mapema utotoni Karibu mwanamke mmoja kati ya wanawake watatu waliokeketwa (32) walikeketwa kabla ya kufikisha umri wa mwaka mmoja na 27 walikeketwa wakiwa na umri wa miaka 13 au zaidi Hata hivyo ukeketaji kwa wasichana hufanyika katika umri mdogo sehemu ya wanawake waliokeketwa wakiwa na umri wa miaka 5 iliongezeka kutoka 34 hadi 39 kwa mujibu wa Utafiti wa Afya ya Jamii [UAJ] 2004-05 na UAJ 2010 Kulingana na utafiti huu 5 ya wasichana wa miaka 13shy17 waliripotiwa kuwa wamekeketwa na 10 ya wasichana wa umri wa miaka 18-24 waliripotiwa kukeketwa Kwa mujibu wa sheria kukeketa ni

6

kosa linalostahili adhabu Kuna uwezekano kwamba wale waliokeketwa huwa wanasita kutoa taarifa na ndiyo sababu ya taarifa kuwa chache

23 Mazingira ya Sera ya UWAKI

Serikali ya Tanzania imeonyesha nia yake ya kushughulikia masuala ya UWAKI kwa kuridhia mikataba kadhaa ya kimataifa yenye kuhusiana na UWAKI na jinsia Mkataba wa Kutokomeza Aina Zote za Ubaguzi Dhidi ya Wanawake (1985) ambao umekuwa chombo katika kupambana na matukio ya ubaguzi ikiwa ni pamoja na ukatili Jukwaa la Beijing (1995)2 na Malengo ya Maendeleo ya Milenia (2000)3 Tanzania pia imeridhia hati ya Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu kuhusu haki za wanawake na hati ya Ushirikiano wa Maendeleo wa Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC)4

Vipaumbele vya maendeleo ya Tanzania vinaainishwa katika Dira ya Taifa 2025 na katika Mpango wa Kuondoa Umaskini na Kukuza Uchumi (MKUKUTA) MKUKUTA II (2011-25) unashughulikia UKIMWI na jinsia kama masuala mtambuka na ni mkakati wa kwanza wa kitaifa unaotambua UWAKI kama suala la kisera kwa watu wote Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto ndiyo yenye jukumu la kuratibu shughuli zote zinazohusiana na jinsia

Wizara hiyo imetayarisha Sera ya Maendeleo ya Jinsia (2000) kwa ajili ya kushughulikia upungufu na kukosekana kwa usawa kati ya wanaume na wanawake Pia Wizara imetayarisha Mkakati wa Kitaifa wa Jinsia na Maendeleo (2002) unaotoa dira na kuwezesha usawa wa kijinsia nchini Pamoja na Mpango wa Taifa wa Vitendo vya Kukinga na Kutokomeza Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto (2001-2015) kwa ajili ya kuongeza juhudi za Serikali za kisheria kwa kupambana na UWAKI na kuhakikisha lsquousawarsquo na lsquohakirsquo kati ya wanawake na wanaume nchini Tanzania Sera ya Taifa ya Afya ina mfumo wa utoaji wa huduma za afya kwa watu wote wanaohitaji ikiwa ni pamoja na waathirika wa UWAKI

2 Beijing Platform for Action - (BPA 1995) 3 Millennium Development Goals - (MDG 2000) 4 Southern African Development Cooperation - (SADC)

7

24 Haki za Binadamu Sheria na Mazingira ya Udhibiti

Tanzania imeridhia Sheria ya Haki za Binadamu na masharti ya vyombo kadhaa vya kimataifa na kikanda ambavyo vinakataza ubaguzi kwa misingi ya jinsia na hivyo kuhitaji serikali ihakikishe kwamba wanawake hawabaguliwi Vyombo hivi ni Mkataba wa Kimataifa wa Kuzuia aina zote za Ukatili na Unyanyasaji wa Kijinsia 1979 pamoja na Mkataba wa Kimataifa wa Haki za Kiraia na Kisiasa (1966)5 Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu (1981) na Hati ya Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu Kuhusu Haki za Wanawake Afrika (2000)

Tanzania imetunga sheria inayosimamia kukinga na kupambana na UWAKI Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (1977) iko wazi kwa kukataza ubaguzi na kwa misingi hiyo inatoa haki ya usawa [Ibara ya 12-24] Sheria ya Mtoto (2009) inawezesha jitihada za kupunguza ukatili dhidi ya watoto Sheria Maalumu ya Makosa ya Kujamiiana (1998)6

ilitungwa kwa lengo la kulinda heshima ya mwanamke na kuweka vikwazo kwa UWAKI kwa kutoa adhabu kali kwa makosa ya kingono Sheria hii inajumuisha ukatili wa kingono ubakaji biashara haramu ya usafirishaji watu bughudha za kingono na kukataza ukeketaji chini ya kifungu cha lsquoUkatili kwa watotorsquo

Hii ilikuwa mara ya kwanza kwa Tanzania kutunga sheria ya kukataza vitendo vilivyotajwa hapo juu na hatima ya sheria hii imewekwa chini ya sheria za adhabu kifungu cha 16

Sheria ya Adhabu (marekebisho ya 2002) inawekea vikwazo vitendo vya UWAKI mathalan vitisho Sehemu ya 89B 89A kutoroka watoto Sehemu ya 166 kutelekeza watoto Sehemu ya 167 kuua bila kukusudia Sehemu ya 195 mauaji Sehemu ya 196 mashambulizi Sehemu ya 240shy243 kutorosha Sehemu ya 246 utekaji nyara Sehemu ya 244 kazi za kulazimishwa Sehemu ya 256 wizi utokanao na mwenzi Sehemu ya 264 tishio la uchomaji Sehemu ya 332 uchomaji Sehemu ya 319-322 kuficha nyaraka Sehemu ya 276-278 Sheria ya Biashara ya Binadamu Na 6 ya mwaka 2008 inakataza biashara ya binadamu kwa sababu yoyote

5 International Covenant on Civil and Political Rights - (ICCPR 1966) 6 The Sexual Offences Special Provisions Act 1998 (SOSPA)

8

Sheria ya Kuzuia VVU UKIMWI Na 28 ya mwaka 2008 inakataza unyanyapaa na inafanya uambukizaji wa VVU kwa makusudi kuwa kosa la jinai

Pamoja na kuwepo vyombo vya kimataifa kikanda kitaifa na vya sheria za kuhakikisha haki kwa wanawake tatizo la UWAKI limetapakaa nchini Tanzania lakini linaripotiwa kwa nadra UWAKI unaathiri zaidi wanawake na wasichana kuliko wanaume na wavulana Haya ni matokeo ya uhusiano usio sawa kati ya wanaume na wanawake katika jamii ambayo yanajidhihirisha katika maeneo kadhaa ikiwa ni pamoja na maeneo ya kiuchumi kijamii kisiasa na kisheria

Mara nyingi UWAKI unapunguza uwezo wa wanawake na wasichana wa kufurahia haki za kimsingi za binadamu na uhuru kama ilivyoainishwa kwenye Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Utambuzi wa wahalifu wa UWAKI nchini Tanzania ni nadra kulinganisha na idadi ya mashambulizi Ni muhimu kushughulikia mahitaji ya kisheria ya waathirika wote wa UWAKI wanawake wasichana wanaume wavulana na watoto

25 Miundombinu ya utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii

Mfumo wa utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii upo katika ngazi ya kitaifa mikoajiji na wilaya manispaa Mfumo huu unawezesha utoaji wa huduma za kuboresha afya kuzuia magonjwa tiba utengemao na ustawi wa jamii kwa kupitia vituo vya kutolea huduma za afya vinavyojumuisha zahanati vituo vya afya na hospitali

Kuna mfumo wa rufaa kitaifa wa njia mbili kupeleka na kurejesha mgonjwa ambao unaanzia kwenye jamii na kwenda kwenye zahanati ambazo zipo 4679 vituo vya afya (481) hospitali za wilaya (95) hospitali za mikoa (19) na hospitali za rufaa za taifa (8) Kuna vituo vya kutolea huduma za afya 5718 nchini Tanzania vikijumuisha zahanati (86) vituo vya afya (10) na hospitali (4) vikiwa chini ya umiliki wa serikali (69) mashirika ya kidini (14) mashirika ya umma ( 3) na mashirika binafsi (14)

9

Mpango wa Maendeleo wa Afya ya Msingi [(MMAM) 2007-2017 pamoja na malengo mengine unakusudia kuhakikisha kuwa kuna kituo kimoja cha afya kwa kila kata katika kata 2555 zilizopo na zahanati moja kwa kila kijiji katika vijiji 10342 Jumla ya vituo vya afya ya msingi 8107 hospitali za wilaya 62 na taasisi 128 za mafunzo zitaanzishwa ifikapo mwaka 2012

Mahitaji ya watoa huduma za afya ni 82377 na waliopata mafunzo ni 29063 (35) ikiwa ni upungufu wa 65 ya mahitaji Mahitaji ya watoa huduma wa ustawi wa jamii ni 3892 Kuna wafanyakazi 210 wa ustawi wa jamii ikiwa ni upungufu wa 95 ya mahitaji na uhaba mkubwa katika ngazi za wilaya (93) kata (100) na vituo vya watu wenye ulemavu na taasisi nyingine (85) (WAUJ 2006)

Kuna uhaba wa wafanyakazi wa afya wenye ujuzi kwenye ngazi za zahanati (69) vituo vya afya (59) na hospitali za rufaa (48-67) Kwa ujumla kuna uhaba wa wafanyakazi wa ustawi wa jamii wenye ujuzi kwa kiwango cha 95 katika ngazi zote kanda (21) wilaya (93) kata (100) na vituo vya walemavu (95) Kama ujenzi wa vituo hautaendana na upatikanaji wa watoa huduma utekelezaji wa MMAM utakuwa na upungufu mkubwa

Kwa kawaida kuna hospitali ya wilaya au teule kwa kila Mamlaka ya Halmashauri ya Wilaya (MHW) Kuna MHW 133 ambazo zina majukumu na wajibu wa kutoa huduma za afya kwenye maeneo yao Kila MHW ina Bodi ya Afya ya Wilaya (BAW) ambayo inajumuisha madiwani waliochaguliwa na kusimamia mipango na utekelezaji wa huduma za afya kwenye wilaya

Mipango na usimamizi wa huduma za afya katika halmashauri inaongozwa na Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri ambayo kiongozi wake ni Mganga Mkuu wa Wilaya na ni Katibu wa BAW Kuna bodi ya hospitali ya wilaya teule Bodi ya Huduma ya Afya (BHA) ya kituo cha afya inayowakilisha wakazi wa kata na bodi ya zahanati inayowakilisha wakazi wa kijiji bodi zote zikiwa na uwakilishi sawa wa kijinsia

Makadirio ya matumizi ya afya kwa mtu mmoja kwa mwaka 201011 ilikuwa ni dola za kimarekani 1575 ambapo WHO imependekeza

10

kiwango cha dola 3400 za Kimarekani Matumizi ya afya ni asilimia 14 ya Bajeti ya Taifa kwa mwaka ambacho ni chini ya kiwango cha asilimia 15 kilichopendekezwa na Tamko la Abuja

Mfumo wa utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii upo katika ngazi zifuatazo

[a] Ngazi ya Kitaifa WAUJ ina jukumu la kutayarisha sera za afya na miongozo inayohusiana na huduma za afya kuweka viwango kuhakiki ubora kufuatilia na kutathmini pamoja na kusimamia utoaji wa huduma za afya zenye kujumuisha kuboresha afya kinga tiba utengemao na ustawi wa jamii Hospitali za rufaa zina asilimiai 52 tu ya wafanyakazi wenye ujuzi

[b] Ngazi ya MkoaJiji Timu ya Uendeshaji ya Afya ya Mkoa ina jukumu la kuongoza na kuendeleza utekelezaji wa mpango mkakati wa afya kwenye mkoa pamoja na ushauri wa kitaalamu kwa Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri kwenye maeneo yafuatayo (1) Utekelezaji wa sera miongozo na viwango vya utoaji wa huduma za afya kwa usahihi na kwa muda uliopangwa ukihusisha watoa huduma wote wa umma binafsi kwenye MHW (2) kupanga kwa ufanisi kutekeleza kufuatilia na kutathmini mipango ya afya ya kina katika halmashauri Kamati ya utawala ya hospitali ya mkoa ina jukumu la kupanga na kusimamia hospitali ya mkoa ambayo ni ngazi ya pili ya rufaa Kuna hospitali 19 za mikoa ambazo zina 34 tu ya wataalamu wa afya

[c] Mamlaka ya Halmashauri ya WilayaManispaa Huduma za afya katika ngazi hii zinasimamiwa na Halmashauri ya Wilaya kupitia BAW chombo kilichoundwa (2001) chini ya Sheria namba 7 ya mwaka 1982 kifungu cha 86A BAW inawajibika kwa utoaji wa huduma za kina kwenye wilaya Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri inatoa ushauri wa kiutaalam kwa utekelezaji wa uamuzi wa BAW

[d] Ngazi ya Wilaya Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri huandaa na kutekeleza mpango wa kina wa afya wa halmashauri pamoja na kufuatilia na

11

kutathmini huduma za afya kwenye hospitali vituo vya afya zahanati na jamii ikiwa ni pamoja na kufanya utafiti Kamati ya Utawala ya Hospitali inasimamia mipango na huduma kwenye hospitali ya wilaya ambayo ni ngazi ya kwanza ya rufaa Kuna hospitali 95 za wilaya zikiwa ni pamoja na hospitali teule ambazo zina asilimia 33 tu ya wataalamu wa afya

[e] Ngazi ya Kata Kamati ya Afya ya Kata inasimamia upangaji ubunifu na uratibu wa mipango ya afya ya jamii husimamia na huhamasisha upatikanaji wa rasilimali pamoja na ukusanyaji na matumizi ya Mfuko wa Afya wa Jamii Vituo vya afya vina jukumu la kutoa huduma za kina za afya na ustawi wa jamii kwenye kata Kamati ya Kituo cha Afya inasimamia utoaji wa huduma za afya na kuhamasisha ukusanyaji wa rasilimali zinazohitajika Timu ya Kituo cha Afya ina wajibu wa kusimamia shughuli za kila siku kwenye kituo cha afya Timu inapanga na kusimamia juhudi za afya ya jamii katika eneo lake chini ya Mpango wa Maendeleo ya Kata Kuna jumla ya kata 2555 nchini ambapo kata 481 sawa na 19 zina vituo vya afya ambavyo vina 41 tu ya wataalamu wa afya

[f ] Ngazi ya Kijiji Kamati ya Zahanati inahakikisha kwamba idadi ya watu katika eneo lake wanapata huduma sahihi za afya na nafuu pamoja na kusimamia uhamasishaji wa rasilimali kwa ajili ya utekelezaji wa mpango wa zahanati Timu ya Usimamizi wa Zahanati inapanga na kusimamia juhudi za afya ya jamii kwenye maeneo chini ya Mpango wa Maendeleo ya Kata Kuna jumla ya vijiji 10342 ambapo 4679 vina zahanati sawa na 45 ambazo ni aslimia 31 tu ya zahanati zina wataalamu wa afya wanaotosheleza Kamati ya Huduma za Jamii kwenye kijiji ina wajibu wa kuhamasisha na kushirikisha jamii ili wajihusishe kuboresha na kulinda afya

[g] Ngazi ya Kaya Kuna kaya takriban milioni 7 nchini Tanzania na wastani wa watu 47 kwa kila kaya (ambapo 70 ya kaya zote zinaongozwa na wanaume na 30 zinaongozwa na wanawake) Sera ya Afya ya Taifa inatamka kwamba ni wajibu wa kila raia kuendeleza na kulinda afya yake pamoja na ya familia yake Pamoja na haya kila raia ana jukumu la kujiepusha na tabia hatarishi kwa afya yake pamoja na ya mwenzie na kuchangia rasilimali kwa ajili ya afya yake na uendelezaji wa vituo vya kutolea huduma za afya

12

26 Kukinga na Kupambana na UWAKI

Serikali ya Tanzania na washirika wake wa karibu wametekeleza mambo mbalimbali yanayohusiana na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Wizara ambazo zinahusika kwa ukaribu kwenye utekelezaji wa mipango ya kukinga na kupambana na UWAKI ni pamoja na Wizara ya Maendeleo y a Jamii Jinsia na Watoto Wizara ya Sheria na Katiba Wizara ya Mambo ya Ndani na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Kuna ushirikiano kati ya wizara idara mashirika asasi za kiraia na wadau wa maendeleo Katika ngazi ya kitaifa serikali inatekeleza Mkakati wa Maendeleo ya Jinsia (2005) na kukuza usawa wa jinsia na haki kwa wanawake Utekelezaji wa Sheria Maalumu ya Makosa ya Kujamiana (1998) ambayo sasa ni Kanuni ya Adhabu Sura ya 16 Toleo la Marekebisho 2002 Pia serikali inatekeleza Mpango wa Taifa wa Vitendo wa Kuzuia na Kutokomeza Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto (2001-2015) ambao una lengo la kutokomeza ubaguzi na unyonyaji wa kisheria kijamii kiuchumi kiutamaduni na kisiasa Zaidi ya yote Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (1977) inatamka kuheshimu misingi ya usawa na haki kwa kila mtu

Kwa kushirikiana na wadau wengine serikali inawezesha uanzishwaji wa kitengo cha jinsia kwenye idara za wizara mbalimbali (mfano idara ya polisi chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi) Mashirika ya Jamii hutoa utetezi msaada wa kisheria huduma za afya na kuendesha kampeni na mashirika mengine yamechukua hatua za kutoa hifadhi kwa waathirika wa UWAKI na Vituo vya Kuhifadhi Waathirika Kuna sera za kitaifa sheria mikakati na mipango ya kazi kwa ajili ya kushughulikia usawa wa kijinsia Vilevile serikali kwa kushirikiana na asasi za kiraia imejenga mazingira mazuri ya kuwezesha waathirika kupata huduma kama vile msaada wa kisheria Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii (WAUJ) imekuwa ikitoa huduma kwa waathirika wa UWAKI licha ya kutokuwepo kwa mwongozo wa sera kwa ajili ya wahudumu wa vituo vya kutolea afya

27 Changamoto katika Kuzuia na Kupambana na UWAKI

Muundo wa sheria sera na juhudi za kukuza haki za binadamu zinakabiliwa na changamoto mbalimbali zinazofisha jitihada za kuzuia kupambana

13

na kuepusha athari za UWAKI nchini Tanzania Changamoto hizo ni pamoja na upungufu wa fedha upungufu wa kisheria na sera zilizopo uratibu duni kati ya wadau na kukosekana kwa mfumo wa rufaa kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI Hali kadhalika uelewa na taarifa juu ya ukubwa wa tatizo la UWAKI ni duni kwa hivyo WAUJ imebuni na kutayarisha mwongozo maalumu wa sera na huduma dhidi ya UWAKI ili kukabili changamoto hizo

[a] Sera za Taifa Serikali ya Tanzania inajitahidi kujenga mazingira mazuri ya kuzuia na kupambana na UWAKI Ingawa Sera ya Afya ina lengo la kutoa huduma za afya za kutosha kwa kila Mtanzania ipo haja ya kuwa na miongozo na mikakati inayofafanua masuala ya UWAKI kwa ukamilifu Ukosefu wa miongozo na sera ya usimamizi dhidi ya UWAKI ni kikwazo kikubwa kwa juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kutibu na kuhudumia waliopatwa na UWAKI Sekta ya afya itatumia mwongozo wa sera hii ili kuboresha huduma ya kupambana na UWAKI kwa kushirikisha na kuwahusisha wadau wote

[b] Sheria zaTaifa Pamoja na kuwepo sheria nyingi zilizopitishwa kwa ajili ya kulinda haki za wanawake na watoto bado zipo changamoto nyingi Kwa mfano kuna baadhi ya sheria zenye utata baadhi zinapingana na hivyo kupunguza uwezo wa kupambana na UWAKI Pamoja na hayo Sheria ya Ndoa kama ilivyofanyiwa marekebisho 2002 haiainishi hatua za kuchukuliwa dhidi ya ukatili wa kifamilia Sheria hii ni kama inahalalisha ubakaji kwa kuruhusu binti kuolewa chini ya umri wa miaka 18 Sheria ya Makosa ya Kujamiiana na Vipengele Maalumu (1998) haitambui ubakaji ndani ya ndoa ingawa inatambua ubakaji ikiwa mume na mke wametengana Mbali na upungufu huo sheria ya makosa ya kujamiiana kwa upande wa kuthibitisha ushahidi wa kuingiliwa kimwili ni mgumu Sheria ya Mila (Tangazo la Serikali Na4361963) ambayo inatumiwa na Watanzania wote wazawa inatokana na mila na desturi za makabila mbalimbali ya Tanzania sheria hii ya Mila ni ya kibaguzi na huleta changamoto kwa wanawake na watoto ambao wamezaliwa nje ya ndoa hususan katika urithi wa mali Kwa mfano ugawanaji wa mali ya marehemu upo katika makundi matatu (1) Mtoto wa kwanza wa kiume (2) Watoto wengine wa kiume waliobaki na (3) Watoto wa kike bila kujali umri

14

na hali katika familia Watoto wa kike wa marehemu hurithi fungu dogo na hunyimwa haki ya kumiliki ardhi Kwa mujibu wa sheria hii mjane hana haki ya kurithi mali yoyote kutoka kwa marehemu mume wake isipokuwa huchukuliwa kuwa atatunzwa na watoto wake Mjane ambaye hajabahatika kuzaa hupata asilimia 20 ya asilimia 50 ya mali za marehemu mume wake Mbali na urithi sheria hii kwa upande wa talaka ikiwa mke alilipiwa mahari wakati ndoa inapovunjwa na mahakama mume ana haki ya kudai kurudishiwa mahari

Sheria zenye kupunguza makali ya UWAKI zimeweka kanuni za kuwezesha wadau katika sekta mbalimbali kuandaa sera na miongozo ya kuzuia na kupambana na UWAKI Wahusika muhimu katika sekta mbalimbali wanapaswa kupitia sheria zinazotoa mwanya wa mwendelezo wa UWAKI na kupendekeza marekebisho au utungwaji wa sheria nyingine zitakazopunguza na kumaliza vitendo vya UWAKI Hata hivyo kuna umuhimu wa kuwepo kwa wajibu na majukumu ya sekta mbalimbali katika kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kupambana dhidi ya unyanyasaji na ukatili kwa watoto Kwa kutambua na kuimarisha wajibu huo katika kila sekta itasaidia uzingatiaji wa sera na kuimarisha ari ya utendaji katika sekta zifuatazo

bull Ustawi wa Jamii Kujenga mfumo wa kufanya tathmini ya vihatarishi katika kupima mfumo wa rufaa unaohusisha sekta na huduma mbalimbali kuweza kuamua na kuchukua hatua za haraka na za muda mrefu katika kupambana na kutoa mahitaji ya haraka na ya muda mrefu kwa ajili ya ulinzi wa watoto na waathirika wengine

bull Elimu Kujumuisha elimu dhidi ya ukatili wa kijinsia katika mitaala ya elimu ikiwa ni pamoja na kuandaa mazingira salama shuleni na kuingiza katika programu za elimu zinazoelezea juu ya masuala ya kujifahamu kimwili (kibiolojia) afya ya uzazi na maendeleo yaa jamii Kuhakikisha kwamba sekta mbalimbali za rufaa na mifumo inayotoa ulinzi wa mtoto vinahusishwa katika elimu hiyo

bull Polisi na sheria Kuimarisha na kupanua ulinzi sahihi wa kisheria kwa ajili ya watoto na kuchukua hatua za kisheria kwa watuhumiwa wa uhalifu kuendeleza juhudi za kuimarisha dawati la jinsia na watoto katika idara ya Polisi nchini Kuendelea kuelimisha polisi na watumishi wengine

15

wa usalama wa raia kuhusu ukatili dhidi ya watoto na kuwa na utaratibu wa uchunguzi wa pamoja na idara ya ustawi wa jamii afya mamlaka na vitengo vingine vinavyohusika na ulinzi na usalama wa mtoto

bull Afya Kufanya kazi katika muundo wa pamoja na wadau wengine kwa kufuata miongozo iliyopo kwa ajili ya kuzuia kutibu kuhudumia na kufuatilia matukio ya ukatili dhidi ya watoto Kuimarisha mifumo iliyo wazi yenye kuunganisha huduma rafi ki kwa watoto na vijana dhidi ya UWAKI

[c] Polisi na Mahakama Mabadiliko katika idara ya polisi hasa katika uanzishwaji wa polisi jamii na dawati la jinsia na watoto yanaonyesha maendeleo katika kushughulikia UWAKI Hata hivyo waathirika wa UWAKI wanakabiliwa na ugumu wa kufika katika vituo vya polisi na mfumo wa utoaji haki Kwa mfano zipo kesi zilizotupiliwa mbali na Mahakama kwa kukosa ushahidi muhimu kutoka upande wa mashtaka Matokeo yake ni kwamba waathirika wanakosa motisha ya kutoa taarifa ya matukio ya UWAKI na hivyo hushindwa kufikisha malalamiko katika vyombo vya utoaji haki

Upungufu wa mafunzo kwa polisi na watoa huduma za kisheria juu ya namna ya kuzitumia sheria zilizopo dhidi ya UWAKI kumesababisha kesi mahakamani kushindwa Mfano Fomu ya Polisi namba 3 (PF3) inatoa taarifa juu ya tukio la shambulio na haitoi maelezo juu ya tukio hilo kama limetokana na UWAKI Ingawa zipo sheria zinazopinga UWAKI sheria hizo hazifahamiki hivyo hazitumiki kikamilifu Pamoja na hayo sheria za kimila na imani za kidini zinazuia waathirika kutoa taarifa za matukio ya UWAKI

Sheria ya Makosa ya Kujamiiana na Vipengele Maalumu (1998) inatoa adhabu kali kwa makosa ya kujamiiana Mara nyingi watuhumiwa hawafikishwi mahakamani kwa kuhofia kudhurika kwa familia zao kwa upande wa kukosa kipato kutoka kwa mtuhumiwa (kwani adhabu za makosa hayo huwa ni kifungo cha muda mrefu) Kwa sababu hizo utoaji wa taarifa kutoka kwa waathirika na familia zao ikiwa ni pamoja na matumizi ya sheria na uendeshaji wa mashtaka umeendelea kuwa changamoto pamoja na kuwepo kwa Sheria ya Makosa ya Kujamiiana inayotoa ulinzi dhidi ya UWAKI

16

bull

bull

bull

bull

bull

[d] Mila na Desturi Katika ngazi ya jamii na mtu binafsi zipo sababu mbalimbali zinazochangia kwa kiwango kikubwa matukio ya UWAKI Utafiti uliofanywa na mtaalamu wa Shirika la Afya Duniani (WHO)7 unaainisha vipengele hatarishi vifuatavyo juu ya mila na desturi

Kanuni za kimila katika uhusiano wa kijinsia humpa mwanamume madaraka na haki zaidi Baadhi ya mila na desturi huhimiza uvumilivu juu ya vitendo vya UWAKI na kuwazuia waathirika kutoa taarifa na kupata msaada Uwezeshaji wa mwanamke katika kupambana na mfumodume hujenga hisia kwa mwanamume kuwa anapoteza mamlaka yake na hivyo huwaudhi baadhi ya wanaume na kuendelea kufanya ukatili kwa lengo la kuwadhibiti wanawake Matumizi ya baadhi ya sheria za kimila hayawasaidii waathirika kupata haki Hofu ya kulipiza kisasi unyanyapaa ubaguzi na kukosekana kwa huduma huwazuia waathirika kutoa taarifa na kupata msaada

[e] Madaraka na Mamlaka Madaraka na mamlaka ni muhimu katika kuzuia na kupambana na UWAKI Wakati mwingine watu wenye madaraka na mamlaka hufumbia macho matukio ya UWAKI Kwa mfano upo ushahidi wa kutosha kuwa kuna matumizi mabaya ya madaraka na mamlaka shuleni na maeneo ya kazi

[f ] Kuhusisha Jamii Jamii ndiyo ngazi ya awali kujua tukio la UWAKI na kutoa msaada wa usalama na ulinzi kwa mwathirika Utafiti wa Shirika la Afya Duniani katika nchi mbalimbali ulionyesha kwamba asilimia 37 ya waathirika walipata msaada kutoka kwa jamii Kutokana na kiwango cha unyanyapaa ubaguzi na kutengwa kijamii viongozi katika ngazi ya jamii waliohamasishwa juu ya UWAKI waliweza kukabili mazingira haya ya kiuhasama Jamii inaweza kumsaidia mwathirika kwa kujenga mazingira mazuri (kwa mfano kituo cha hifadhi salama) Jamii inahusishwa katika

7 Krug Etienne et al 2002 World Report on Violence and Health Geneva WHO Available at httpwwwwhointviolence_injury_preventionviolenceworld_report

17

bull

bull

bull

bull

kuwahamasisha waathirika kuwapa ulinzi mahitaji ya msingi msaada wa kisaikolojia na kuwapa rufaa kwa watoa huduma wengine Vilevile jamii inahusishwa katika kuzuia UWAKI kupunguza unyanyapaa na kuwapa unasihi waathirika pamoja na kuhamasisha viongozi wa kijamii na wanajamii kwa ujumla

Uhamasishaji huu ni muhimu kwa sababu jamii ni daraja kati ya mwathirika na huduma za afya na ustawi wa jamii

Jamii inapaswa kushirikishwa katika hatua za mwanzo na zinazofuata katika kuzuia UWAKI Katika hatua za mwanzo jamii inapaswa kujitahidi kuondoa tabia za kuvumilia matukio ya UWAKI na hivyo kupunguza matukio hayo Katika hatua zinazofuata jamii itatambua na kulinda wale walio katika hatari zaidi ya UWAKI kama watoto na wanawake Jamii pia inapaswa kutambua vikwazo vya utoaji huduma katika idara ya afya polisi na mfumo wa utoaji haki na kuisaidia jamii kuondokana na vikwazo vya upatikanaji wa huduma

Ni muhimu kuishirikisha jamii katika jitihada za utekelezaji wa kuzuia UWAKI na kupambana nao ikiwamo usimamizi wa matibabu ya waathirika Jamii ina uwezo mkubwa wa kuhamasisha waathirika kutafuta huduma za afya na huduma nyingine zinazohusiana na UWAKI kwa mfano huduma za polisi usaidizi wa kisheria na hifadhi salama Pia jamii ina wajibu wa kuwaunganisha waathirika na jamii zao

Hata hivyo zipo changamoto katika kuihusisha jamii kama vile

Upungufu katika kuwahusisha wanaume na wavulana katika kushughulikia UWAKI Wanajamii wamekuwa wakiwanyanyapaa badala ya kuwasaidia waathirika na wakati mwingine wameshiriki katika UWAKI Baadhi ya viongozi wa kijamii na kidini hawana utayari wa kuhamasisha kuzuia na kupambana na UWAKI Jamii zina kiwango kikubwa cha kunyamazia matendo ya UWAKI na kuzuia sheria kuchukua mkondo wake

18

[g] Hali ya kiuchumi na kijamii Kushughulikia UWAKI pekee kama changamoto inayohusu huduma za tiba ni kutibu dalili badala ya chanzo Ni muhimu kushughulikia vyanzo vya UWAKI kama umaskini miongoni mwa wanawake ambao huwafanya kuwa wategemezi

Serikali imetayarisha MKUKUTA II wenye kuainisha njia za kuendeleza na kulinda haki za binadamu kwa watu wote hasa kwa wanawake na wanaume maskini watoto watu wanaoishi katika hali hatarishi na makundi maalumu (angalia MKUKUTA II-kundi la III lengo la 3) na kuongeza uzalishaji na fursa za ajira zenye kuheshimika hasa kwa wanawake na vijana (angalia MKUKUTA II kundi la I lengo la 3) Changamoto iliyopo ni ukosefu wa kuweka vipaumbele katika utekelezaji wa ahadi hizi kwa wanawake na vijana kwa kuelekeza rasilimali za kutosha na kutekeleza mikakati katika kuleta mabadiliko ya hali ya kijamii na kiuchumi kwa wanawake na vijana hivyo kupunguza hali hatarishi ya UWAKI

28 Upungufu katika kupambana na UWAKI

Sekta ya afya imeandaa mwongozo wa kutoa huduma kwa waathirika wa UWAKI Hata hivyo ili kutoa huduma bora na za kirafi ki kwa waathirika sekta zinazohusika hazina budi kushughulikia upungufu ulioainishwa kama ifuatavyo

[a] Huduma za afya

Ukosefu wa mwongozo wa utoaji wa huduma kwa waathirika wa UWAKI Hakuna mwongozo wa utoaji wa huduma za kupambana na UWAKI kwa watoa huduma wa ngazi zote kuanzia nyumbani kwenye jamii zahanati vituo vya afya hospitali polisi mahakama na wadau mbalimbali Upungufu huu unakwamisha upatikanaji na utoaji wa huduma bora za kukinga na kupambana na UWAKI

Upungufu wa fedha Bajeti ya Serikali kuu na serikali za mitaa haikidhi mahitaji

19

Upungufu wa wataalamu wenye ujuzi wa kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Watoa huduma kwenye vituo vya kutolea huduma za afya na jamii hawana maarifa na ujuzi unaotakiwa kushughulikia mahitaji ya waathirika wa UWAKI wa marika yote

Kutojumuishwa kwa huduma za waathirika wa UWAKI na huduma nyingine Huduma za waathirika wa UWAKI hazikujumuishwa na huduma nyingine za afya na ustawi wa jamii kama vile afya ya uzazi upimaji wa VVU UKIMWI uzazi wa mpango na unasihi

Mfumo duni wa rufaa kwa waliopatwa na UWAKI Ingawa mfumo wa rufaa wa huduma za afya umeimarika kwa huduma nyingine lakini hakuna mfumo sahihi wa rufaa kwa waliopatwa na UWAKI Watoa huduma za afya hawana taarifa sahihi za waliopatwa na UWAKI kuhusu utaratibu wa kupeleka na kupokea wagonjwa kwenye vituo vyao na kwenda kwenye vituo vingine au huduma za mfumo wa jamii polisi kisheria na kadhalika Katika mazingira haya mahitaji ya rufaa kwa waliopatwa na UWAKI hayakidhiwi Waliopatwa na UWAKI hawana taarifa ambazo zitawasaidia kupata huduma na hivyo hushindwa kufanya uamuzi sahihi au kutafuta huduma na matibabu zaidi

Upungufu wa taarifa na takwimu Nchini Tanzania matukio yanayohusu UWAKI hayatolewi taarifa ipasavyo kutokana na sababu nyingi zikiwemo waathirika kusita kutoa ripoti ya matukio kutokana na unyanyapaa na ubaguzi hofu ya kutengwa na jamii aibu na miiko inayohusishwa na UWAKI Matokeo yake ni ukosefu wa taarifa zenye uhakika ambazo zinaweza kutumika kuandaa mpango kwa misingi ya utafi ti utaratibu wa utoaji huduma maendeleo ya kisera na utetezi ufuatiliaji na tathmini na uamuzi wa kiutawala

[b] Huduma za Ustawi wa Jamii Utoaji wa huduma za ustawi wa jamii unakabiliwa na ushirikiano mdogo kati ya watendaji wa sekta mbalimbali wa huduma za afya katika halmashauri Kuna upungufu wa watoa huduma za ustawi wa jamii katika ngazi mbalimbali Hali hii inaathiri wigo wa huduma ya msaada wa kisaikolojia unasihi marekebisho ya tabia na utengamao

20

bull

bull

bull

bull

bull

Kikwazo kingine ni watoa huduma za ustawi wa jamii na wadau wa afya kukosa stadi maalumu za kutosha kuhusu kuzuia na kupambana na UWAKI

Wajibu wa watoa huduma za ustawi wa jamii ni muhimu kwa sababu wanafanya kazi katika ngazi ya jamii ambapo matukio mengi ya UWAKI hutokea Wana majukumu makubwa kama watu wa mstari wa mbele kwenye kuzuia na kupambana na UWAKI Uhusiano kati ya jamii na utoaji wa huduma ndio kipimo cha kiwango cha waathirika wa UWAKI kupata huduma za matibabu na kurejea kwenye jamii ili kuendelea kuishi maisha yenye faraja

[c] Huduma za Jamii Baadhi ya upungufu wa uhusiano kati ya jamii na vituo vya kutoa huduma za afya ni pamoja na

Uelewa duni kuhusu masuala ya UWAKI na uwezeshaji wa jamii katika kuzuia na kupambana na UWAKI Uelewa duni wa mahali pa kupata huduma kwa waliopatwa na UWAKI Upungufu wa huduma za kijamii kwa waathirika ikiwa ni pamoja na mifumo ya kijamii ya kutoa ulinzi na usalama (kwa mfano vituo vya hifadhi ya muda) na huduma za rufaa za kiafya polisi na msaada wa kisheria

[d] Huduma za Msaada wa Kisheria (Polisi na Mahakama) Kuna vikwazo vingi katika kupata msaada wa kisheria ambavyo ni pamoja na

Upungufu wa kupata huduma za polisi na msaada wa kisheria kwa waathirika wa UWAKI

bull Kutokuwepo kwa sheria mahususi dhidi ya UWAKI bull yasiyotosheleza UWAKI kwa vyombo Mafunzo kuhusu

vinavyosimamia sheria bull Kuna sheria zinazokinzana na hivyo kutoa mwanya wa tatizo la

UWAKI kuongezeka Upungufu wa watumishi na fedha kwa ajili ya huduma za polisi na msaada wa kisheria

21

bull

bull

Uhaba wa vituo vya msaada wa kisheria Vituo vingi vinavyotoa msaada wa kisheria kwa sasa vinahudumiwa na asasi zisizo za kiserikali zina bajeti ndogo na zipo zaidi mijini

[e] Huduma ya Elimu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imeingiza UWAKI katika mtaala wa mafunzo ya walimu shule za msingi na sekondari Hata hivyo kuna changamoto nyingi katika kuhusisha shule ili kuzuia na kupambana na UWAKI

bull Walimu hawajapata mafunzo ya kutosha kuhusu UWAKI Uhaba wa maeneo salama na programu za shuleni zinazowapa watoto uwezo wa kuzuia na kupambana na UWAKI na ukatili dhidi ya watoto

bull mfumo unaohusuUhusiano duni kati ya mfumo wa elimu na ulinzi na usalama wa mtoto

22

SEHEMU YA TATU

UMUHIMU NA MALENGO 31 Umuhimu

Utafiti uliofanyika nchini Tanzania umeonyesha viwango vya juu vya UWAKI ambavyo ni kati ya asilimia 30 hadi 50 Viwango hivi havikubaliki na vinasababisha madhara ya kimwili kingono kisaikolojia kwa makundi ya umri wowote hasa watoto na wanawake Matokeo ya UWAKI yanaweza kusababisha vifo kutokana na kujiua maambukizo ya virusi vya UKIMWI au magonjwa na vifo vya wanawake vinavyotokana na uzazi Matokeo mengine ingawa hayasababishi vifo yana madhara ya kimwili kingono na kisaikolojia kwa muda mfupi au mrefu Madhara ya UWAKI ni zaidi ya matokeo ya kiafya na majeraha ambayo ni vigumu kupona UWAKI unakiuka haki za binadamu za waathirika na husababisha matokeo hasi katika amani umoja na kipato cha familia ambayo kwa ujumla huleta madhara kwa maendeleo ya kijamii na kiuchumi

Ingawa Serikali ya Tanzania na asasi za kiraia zimefanya jitihada kubwa za kuzuia na kupambana na UWAKI bado tatizo hili ni changamoto kubwa WAUJ itashughulikia changamoto hizi kwa kushirikiana na wadau wengine hali inayohitaji ushirikiano wa karibu ili kushinda vikwazo vilivyopo ambavyo ni pamoja na upungufu wa fedha na watumishi udhaifu kwenye mfumo wa rufaa na mfumo wa kuunganisha huduma za UWAKI katika huduma zilizopo Changamoto nyingine ni uhaba wa utetezi na takwimu kwa ajili ya uandaaji wa mipango yenye misingi ya utafiti kufanya uamuzi ufuatiliaji na tathmini Hata hivyo serikali imeweka misingi imara kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kama inavyodhihirishwa kwa kuwepo kwa sera mikakati na mipango kazi ya kusaidia masuala ya kijinsia na kupunguza UWAKI

Kutokana na ukubwa wa tatizo hili madhara yake na changamoto zinazohusiana na UWAKI WAUJ imetayarisha Mwongozo huu wa kisera chini ya Sera ya Afya ili kuimarisha juhudi za kupambana na UWAKI na kuhakikisha utoaji wa huduma za kina na zenye ubora katika ngazi zote Mwongozo huu wa kisera utatoa mwelekeo kwa vituo vya huduma za afya kwa ngazi zote kuhusu wajibu na majukumu yao katika utoaji

23

wa huduma za UWAKI Pamoja na haya Mwongozo huu utawezesha utayarishaji wa mwongozo wa matibabu kwa waathirika wa UWAKI Kutokana na uzito wa tatizo hili la UWAKI utayarishaji wa Mwongozo huu ulihusisha na kushirikisha kwa kina wadau mbalimbali ndani na nje ya WAUJ

32 Lengo Kuu

Lengo kuu la Mwongozo huu wa kisera ni kuimarisha uwezo wa WAUJ kuelekeza sekta ya afya na ustawi wa jamii na kujenga uhusiano imara na jamii na wadau mbalimbali katika kuzuia na kupambana na UWAKI

33 Malengo Mahasusi

Mwongozo huu utawezesha yafuatayo

[i] Kuweka mfumo wa kuelekeza utayarishaji wa mwongozo wa matibabu na taratibu za kutoa huduma kwa waathirika wa UWAKI

[ii] Kuelekeza WAUJ namna ya uratibu bora wa utekelezaji wa juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kuelekeza namna ya kuweka mifumo thabiti ya ufuatiliaji tathmini na uwekaji wa kumbukumbu za afua za UWAKI chini ya WAUJ

[iv] Kuelekeza ushirikiano kati ya Wizara jamii na wadau kutoka sekta mbalimbali katika utoaji wa huduma za UWAKI

24

bull

SEHEMU YA NNE

MAELEKEZO YA KISERA

Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii watafanya kazi pamoja na wale wa sekta nyingine hasa kwenye ngazi ya jamii katika kuimarisha ushirikiano na mitandao mingine katika jamii ili kuwasaidia waliopatwa na UWAKI kwa karibu na kuwashirikisha katika kuboresha afya zao na kuzuia UWAKI

WAUJ kwa kushirikiana na wadau wengine imetayarisha Mwongozo huu wa kisera wa UWAKI ili kutoa taarifa malengo na maelekezo kuhusu jitihada za kuzuia kuepusha na kushughulikia madhara ya UWAKI katika sekta ya afya Wadau muhimu ni pamoja na viongozi wa jamii polisi na mahakama Yeyote kati ya wadau hawa anaweza kuwa ni kimbilio la kwanza kwa wahanga wa UWAKI Wote wana wajibu wa kutoa huduma kwa haraka na kwa ufanisi

41 Huduma kwa Waliopatwa na UWAKI

Watoa huduma za afya wanatakiwa kuwahudumia waliopatwa na UWAKI kwa kujali na kuzingatia maadili ya taaluma zao Wajibu huu ni pamoja na kuhakikisha usalama hali ya usiri heshima utu na kutoa huduma bila ubaguzi Aidha kabla ya kutoa huduma inatakiwa kupata ridhaa ya muhusika au mlezi wa mtoto mwenye umri chini ya miaka 18

Kwa kulenga na kuzingatia mahitaji ya watu waliofanyiwa UWAKI watoa huduma za afya kwenye ngazi zote watazingatia na kuongozwa na kanuni zifuatazo

[a] Haki za Binadamu Maadili na Kujali

bull zilenge kurejesha au Usalama Hatua zote zinazochukuliwa kudumisha usalama wao Hali ya Usiri Siri zao pamoja na familia zao zinatakiwa kutunzwa wakati wote Hii ina maana kwamba mtoa huduma ya afya anaweza kutoa taarifa muhimu kwa mtoa huduma mwingine pale ambapo muhusika ameridhia tu

25

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

Heshima na utu Watoa huduma wanatakiwa kuwasikiliza kwa makini maoni mawazo na fikira zao na kuwahudumia kwa heshima Bila ubaguzi Waliopatwa na UWAKI wote ni sawa na wanatakiwa kuhudumiwa kulingana na mahitaji yao pia kupewa nafasi sawa katika kupata huduma Ridhaa arifu Ridhaa ya aliyefanyiwa UWAKI itahitajika kwenye taratibu za utoaji huduma maalumu kama (1) Uchunguzi na tiba (2) Uchunguzi tiba pamoja na ushahidi wa kitaaluma (3) Uchunguzi tiba ushahidi wa kitaaluma pamoja na uchunguzi wa polisi na kisheria

Kanuni zinazohusu watoto bull Kuzingatia na kusimamia mahitaji halisi ya mtoto wakati wote bull Kumpa mtoto faraja bull Kumshirikisha mtoto katika kufanya uamuzi bull Kumshughulikia kila mtoto kwa haki na usawa

Kumsaidia na kumlea mtoto ili akue katika hali ya ujasiri na kujiamini

[b] Haki za Aliyepatwa na UWAKI Watoa huduma wote wanatakiwa kuwa na mtazamo unaozingatia mahitaji ya mtu aliyepatwa na UWAKI na kuheshimu haki zake ambazo ni

bull Kuhudumiwa kwa heshima bila unyanyapaa ubaguzi na kutokuwa na mtazamo wa kumlaumu Kupewa taarifa sahihi na zinazoeleweka ili aweze kutoa ridhaa na siyo kumwambia cha kufanya hali inayoweza kumfanya ajisikie mnyonge

bull Kupewa faragha na hali ya usiri na siyo kumteta au kumwaibisha Kulindwa dhidi ya ubaguzi wa aina yoyote au upendeleo wenye misingi ya kijinsia au sababu nyingine Kupewa nafasi ya kuchagua kuhudumiwa na mtoa huduma mwanamume au mwanamke

bull Kupewa nafasi ya kusindikizwa na ndugu au mlezi wake

26

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

[c] Wajibu wa Mtoa Huduma Mtoa huduma anatarajiwa kuzingatia yafuatayo anapomhudumia mtu aliyepatwa na UWAKI

Kujiweka katika nafasi ya mtu aliyepatwa na UWAKI na kuguswa kuwa mtunza siri kuonyesha upendo na kujali anapomuhudumia Kumpatia taarifa sahihi na kuhakikisha kuwa ridhaa arifu inatolewa kwa huduma inayohitajika Kuzingatia masilahi ya muhusika na kuheshimu matakwa yake wakati wote

bull na kuzuia madhara mengineKuhakikisha ulinzi na usalama wake Kuhifadhi kumbukumbu zake mahali pa usalama na kutunza siri wakati wote

bull huduma kadiriKumpatia rufaa kwenda kwenye ngazi za juu za inavyohitajika kulingana na kiwango cha madhara ya kimwili kihisia na kisaikolojia Aidha inatakiwa kumpatia unasihi kabla ya kumpa rufaa

Kuhusu Watoto bull Kuhakikisha kuwa mzazi au mlezi yupo wakati wote pia

kuhakikisha kwamba mzazi au mlezi siyo tishio kwa mtoto Wakati wote mwandae mtoto kuelewa kinachotarajiwa kutendeka na kuhakikisha anaelewa kitakachotokea Kwa watoto wenye umri chini ya miaka 18 ridhaa ya maandishi inahitajika kutoka kwa mzazi au mlezi

Vigezo vya kupata mchango wa mawazo kutoka kwa Watoto Watoto wa umri wa miaka 16 na zaidi kwa ujumla wana uwezo wa kutosha kufanya uamuzi

bull kuwaWatoto wa umri wa miaka 14 hadi 16 wanatarajiwa wamekomaa vya kutosha kutoa mchango au mawazo yao Watoto wa umri wa miaka 9 hadi 14 wana welewa wa kushiriki kufanya uamuzi lakini ukomavu wa kila mtoto unatakiwa kupimwa kipekee Watoto wa umri chini ya miaka 9 wana haki ya kutoa maoni arifu na kusikilizwa Wanaweza kushiriki katika mchakato wa kufanya uamuzi kwa kiwango fulani lakini hadhari inahitajika ili kuwaepusha na mzigo wa kuwa waamuzi

27

bull lazimaKimsingi inapendekezwa kwamba maoni ya kila mtoto yazingatiwe kulingana na umri wake kiwango cha ukomavu utamaduni mila na hali ya mazingira

[d] Wajibu wa WAUJ katika Ngazi ya Taifa WAUJ inatayarisha sera miongozo na kanuni inadhibiti ubora inafuatilia na kutathmini utekelezaji Vilevile inahakikisha kuna watumishi na fedha za kutosha kwa mipango ya afya pamoja na kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote WAUJ itaendeleza ushirikiano na wadau mbalimbali kitaifa na kimataifa Wizara itafanya yafuatayo katika kuzuia na kupambana na UWAKI

[i] Kuandaa miongozo ya matibabu yenye ubora kwa ajili ya watoto vijana na watu wazima waliopatwa na UWAKI

[ii] Kutafuta na kutenga fedha kwa ajili ya afua za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kuandaa miongozo ya mafunzo yanayohusiana na juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kutoa mafunzo kwa watoa huduma za afya na ustawi wa jamii kuhusu kuzuia na kupambana na UWAKI kwa watoto vijana na watu wazima

[v] Kutoa huduma mseto na rufaa kwa kutumia mfumo uliopo wa utoaji huduma za afya na ustawi wa jamii

[vi] Kuunganisha takwimu zinazohusu UWAKI kwenye Mfumo wa Takwimu na Ufuatiliaji wa Huduma za Afya (MTUHA)

[vii] Kuendeleza utaratibu wa kupeana taarifa na takwimu zinazohusu UWAKI pamoja na kushirikiana na wadau wake wakuu

[viii] Kufanya usimamizi shirikishi ili kuhakikisha kuwa kanuni za haki za binadamu maadili na kujali zinazingatiwa

[e] Wajibu wa Vituo vya Huduma za Afya Vituo vya kutoa huduma za afya vinajumuisha zahanati vituo vya afya na hospitali zinazomilikiwa na sekta ya umma na binafsi Vituo vyote vya kutoa huduma katika ngazi zote vina Kamati ya Uongozi ya Kituo na Timu ya Usimamizi

28

Vituo vya huduma za afya vitafanya yafuatayo [i] Kuhakikisha kwamba Timu za Usimamizi wa Huduma za Afya

zinatenga fedha za kutekeleza mikakati na mipango kazi ya mwaka ili kuviwezesha vituo kutoa huduma bora kwa waliopatwa na UWAKI

[ii] Kuunganisha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI na zile zilizopo kwenye vituo vya huduma za afya na kuhakikisha mpangilio mzuri wa rufaa za ndani na nje ya kituo zinakidhi mahitaji ya watoto vijana na watu wazima kwa usawa na haki

[iii] Kuhakikisha watoa huduma ya afya na ustawi wa jamii wanapatiwa mafunzo ya kutoa huduma toshelezi kwa watoto vijana na watu wazima waliopatwa na UWAKI

[iv] Kuanzisha utaratibu bora wa kukusanya takwimu na taarifa kuhusu huduma kwa waliopatwa na UWAKI na kutunza kumbukumbu kwa usahihi na kutoa taarifa kwa ajili ya matumizi ya kituo na wadau

[v] Kufanya kazi kwa ushirikiano wa karibu na kamati ya afya ya kituo polisi mahakama na taasisi za elimu ili kukuza ushirikiano kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye jamii

[f ] Wajibu wa Watoa Huduma za Afya Watoa huduma za afya ni pamoja na watunza kumbukumbu za afya tabibu (tabibu msaidizi ofisa tabibu madaktari wasaidizi madaktari na madaktari bingwa) wauguzi wakunga maofisa wauguzi wasaidizi maofisa wauuguzi) wafanyakazi wa maabara wafamasia na maofi sa ustawi wa jamii Watoa huduma hawa wanatakiwa kuzingatia yafuatayo

[i] Kuelewa kikamilifu na kuzingatia kanuni za miongozo ya haki za binadamu maadili ya taaluma na kuonyesha upendo na kujali wakati wa kumhudumia aliyepatwa na UWAKI

[ii] Kuhakikisha upatikanaji wa mahitaji muhimu na utoaji wa huduma toshelezi na zenye ubora kwa waliopatwa na UWAKI katika kituo cha kutoa huduma za afya na kwenye jamii

[iii] Kuwatambua waliopatwa na UWAKI kati ya wagonjwa wa nje katika kituo na kuhakikisha wanapata matibabu na rufaa kwa haraka

29

[iv] Kuhakikisha utoaji wa huduma toshelezi kwa waliopatwa na UWAKI (watu wazima vijana na watoto) Huduma hizi ni pamoja na huduma ya matibabu kutunza ushahidi unasihi na rufaa ndani ya mfumo wa afya na pia rufaa kwenda kwenye sekta nyingine

[v] Kuhakikisha vielelezo vya upelelezi vinakusanywa na kuhifadhiwa ipasavyo ili kutunza ushahidi

[vi] Kuchukua takwimu na taarifa kamili kuhusu aliyepatwa na UWAKI na kuhakikisha zimehifadhiwa kwa siri na usalama

[vii] Kujenga ushirikiano na jamii pamoja na wadau wengine

42 Wajibu wa Jamii

Wadau muhimu katika jamii ni Kamati ya Huduma za Jamii Kamati ya Ulinzi na Usalama Kamati ya Zahanati Mashirika ya Dini Kamati ya Kijiji ya Afya wahudumu wa afya katika jamii wakunga wa tiba asili waganga wa tiba asili na mbadala viongozi wa jamii vikundi vya wanawake na wakuu wa kaya

Jamii itafanya yafuatayo kwa waliopatwa na UWAKI [i] Kupanga na kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya kuzuia

na kutoa huduma bora kulingana na mpango wa mwaka wa zahanati

[ii] Kuhakikisha upatikanaji wa huduma toshelezi pamoja na usalama wao kupatiwa mahitaji ya msingi msaada wa kisaikolojia kupewa rufaa kwenda polisi vyombo vya sheria na watoa huduma wengine Vilevile wanajamii wana wajibu wa kutoa ushahidi mahakamani na kuwasaidia wahusika kuunganishwa na familia zao na jamii

[iii] Kuhakikisha kuwepo kwa vituo vya hifadhi ya muda vya kutosha kwenye jamii

[iv] Kujenga welewa na kuiwezesha jamii kuzuia na kupambana na UWAKI kwa kutetea misingi ya haki za binadamu usawa wa kijinsia haki za vijana na watoto na kutovumilia UWAKI

43 Msaada wa Kisheria kwa waliopatwa na UWAKI Watoa huduma wa afya na ustawi wa jamii baada ya kupata ridhaa kutoka kwa muhusika watampa rufaa ya kwenda sekta nyingine muhimu na kwa wadau mbalimbali kama vile polisi vituo vya msaada wa kisheria kwa ajili ya kupata huduma maalum Watoa huduma wanawajibika

30

kutoa taarifa za kutosha kuhusu masharti ya kisheria ya kutoa taarifa ya matukio ya UWAKI na kwa wakati unaofaa

Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wanawajibika kutoa ushauri kwa waliopatwa na UWAKI (watoto vijana na watu wazima) kuhusu taratibu za mahakama msaada wa ulinzi msaada wa kisheria na taratibu za polisi kama ifuatavyo

[a] Ushahidi wa Kimahakama Huduma kwa muhusika zitalenga mahitaji yake kuheshimu haki yake ya hali ya usiri kupewa taarifa za kutosha zenye kueleweka na sahihi hivyo kuhakikisha anatoa ridhaa arifu kwa hatua na zitakazofuata

[i] WAUJ itahakikisha kupatikana na kuzingatiwa kwa viwango vilivyowekwa kwa ngazi zote katika kuchukua historia kamili ya muhusika kupima na kufanya uchunguzi kuchukua vielelezo vya ushahidi kujaza fomu zinazokubalika kisheria kwa kuweka kumbukumbu ambazo ni halali kama ushahidi mahakamani

[ii] Timu ya Afya ya Usimamizi ya Kituo cha Huduma za Afya baada ya kupata ridhaa ya aliyepatwa na UWAKI itapanga kutenga na kutoa rasilimali za kutosha kuhakikisha nyaraka sahihi zimetayarishwa na kuhifadhiwa na vielelezo vya ushahidi wa mahakama vimepelekwa kwenda maabara ya serikali na kufuatilia majibu

[iii] Watoa huduma wa ngazi zote watahakikisha ukusanyaji sahihi wa vielelezo vya ushahidi na kujaza fomu zinazohusika pamoja na kujaza kwa ukamilifu Fomu ya Polisi Namba Tatu (PF3) na kuthibitisha kwamba muhusika ana taarifa na anaelewa utaratibu

[b] Ulinzi na Msaada kwa Waliopatwa na UWAKI Waliopatwa na UWAKI wana haki ya kulindwa dhidi ya mtuhumiwa pamoja na kupewa mahitaji ya msingi (kwa mfano chakula nguo usafi ri nk) kupewa huduma za polisi (mfano kusindikizwa ulinzi) na kupewa msaada wa kisheria

[i] WAUJ itahakikisha kwamba vituo vya huduma za afya na ustawi wa jamii na watoa huduma wa ngazi zote wana taarifa sahihi kuhusu haki za ulinzi na msaada kwa waliopatwa na UWAKI

31

[ii] Timu za Afya za Usimamizi wa vituo vya huduma za afya katika ngazi zote zitapanga kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya ulinzi na msaada kwa waliopatwa na UWAKI Kama Muhusika ni mtoto atasindikizwa na ofi sa ustawi wa jamii pamoja na mzazi au mlezi ikiwa mzazi au mlezi huyo hahusiki na uhalifu

[iii] Watoa huduma wa afya watatoa taarifa kwa muhusika au mzazi mlezi (kama muhusika ni mtoto chini ya miaka 18) kuhusu msaada atakaopata kwenye kituo cha huduma za afya polisi na msaada wa kisheria juu ya haki na ulinzi kwa mujibu wa sheria za Tanzania

[c] Wajibu wa Watoa Huduma za Afya na Ustawi wa Jamii katika Taratibu za Kimahakama

Watoa huduma za afya kwenye ngazi zote wanatakiwa kuhakikisha kwamba waliopatwa na UWAKI wakiwemo watu wazima vijana na watoto pamoja na walezi wao wana taarifa muhimu zinazohusu masuala ya kisheria ambayo yako nje ya huduma za tiba

[i] WAUJ itahakikisha kwamba vituo vya huduma za afya na watoa huduma wanapata ujuzi na wanajua wajibu wao kuhusu namna ya kutoa ushahidi mahakamani ili kuwasaidia wahusika

[ii] Timu za Usimamizi za vituo vya huduma za afya kwenye ngazi zote zitahakikisha kwamba watoa huduma wanaotambulika kisheria na wana welewa sahihi wa uandaaji wa nyaraka muhimu taratibu za kesi mahakamani na viwango vya ushahidi

[iii] Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii kwenye ngazi zote watahakikisha kwamba muhusika anapata taarifa za kutosha kuhusu ratiba na taratibu za upelelezi na umuhimu wa hatua za kisheria

44 Huduma ya Unasihi Kisaikolojia na Kijamii kwa Waliopatwa na UWAKI

Watu waliopatwa na janga la UWAKI watapewa msaada wa unasihi kisaikolojia na kijamii kwa upendo na kujali kuanzia wakati wa tukio hadi watakapojumuika tena kwenye familia na jamii Katika ngazi ya jamii msaada huo utatolewa na Maofisa wa Ustawi wa Jamii Maofi sa hawa watatoa msaada wa kisaikolojia na unasihi wakishirikiana na

32

wadau wengine waliopata mafunzo kutoka asasi za kiraia asasi za kidini na wahudumu wa afya katika jamii

[i] WAUJ itahakikisha utoaji wa msaada wa unasihi kisaikolojia na kijamii kwenye ngazi zote pamoja na kuhakikisha kuwepo kwa ulinzi na usalama (kwa mfano kituo cha hifadhi ya muda)

[ii] Timu za Usimamizi wa Huduma za Afya kwenye ngazi zote zitapanga na kutenga rasiilimali za kutosha pamoja na watoa huduma kwa ajili ya kutoa msaada wa kisaikolojia na kijamii rufaa na kujenga ushirikiano na wadau wengine ili kuwaunganisha wahusika kwenye familia na jamii

[iii] Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii watahakikisha kwamba wanatoa unasihi wa kutosha pamoja na kutoa huduma rafi ki kwa watoto kutoa rufaa za kwenda na kurudi kwenye huduma za tiba vituo vya hifadhi ya muda na kuwezesha kuwaunganisha kwenye familia na jamii

45 Mfumo wa Usimamizi Uratibu na Ushirikiano Utoaji wa huduma bora kwa waliopatwa na UWAKI unahitaji usimamizi na uratibu wa mara kwa mara kwa watoa huduma za afya wa kada mbalimbali katika ngazi zote Vilevile kuratibu shughuli na kutoa rufaa kwenye vituo vya ngazi ya taifa mikoa halmashauri na jamii Pia kunahitajika utaratibu wa kujenga ushirikiano kati ya sekta ya afya na wadau wa sekta nyingine

[a] Usimamizi wa Huduma za Kuzuia na Kupambana na UWAKI [i] Usimamizi wa huduma utakuwa ni sehemu ya mikakati na

mipango ya mwaka kwa vituo vya huduma za afya kwenye ngazi zote

[ii] Wasimamizi katika ngazi zote watafanya usimamizi shirikishi ili kuhakikisha utoaji wa huduma bora

[b] Uratibu wa Huduma za Kuzuia na Kupambana na UWAKI [i] Wasimamizi wa huduma za afya kwenye ngazi zote watabaini na

kuratibu afua na shughuli zinazotakiwa kutekelezwa na wadau mbalimbali kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI

33

[ii] Wasimamizi wa huduma za afya katika ngazi zote watahakikisha kuwa wanapanga utekelezaji wa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[c] Taratibu za Ushirikiano katika Kutoa Huduma za UWAKI Taratibu za ushirikiano zitahusisha ngazi mbalimbali za utoaji wa huduma za afya kulingana na hadhi ya kituo ikihusisha kada mbalimbali za afya katika serikali na sekta binafsi

[i] Wasimamizi wa huduma za afya watabaini na kuanzisha ushirikiano kwa ajili ya kutoa huduma bora na toshelezi kwa waliofanyiwa UWAKI

[ii] Wasimamizi wa huduma za afya watapanga na kutenga rasiilimali za kutosha kwa ajili ya kuendeleza ushirikiano na wadau muhimu pamoja na kujenga mfumo imara wa rufaa wa kupeleka na kuwarejesha wahusika

[iii] WAUJ itatayarisha na kusambaza orodha ya vituo vya rufaa kufuatana na aina ya huduma maalumu zinazotolewa

46 Utetezi na Mawasiliano ya Kubadili Tabia

Utetezi na mawasiliano ya kubadili tabia utakuwa ni sehemu ya mipango na mikakati ya kila mwaka katika ngazi zote Ngazi zote zitahamasisha kutenga na kutoa rasilimali za kutosha kwa ajili ya kutekeleza mipango na mikakati ya kila mwaka Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii watatambua na kuwezesha juhudi za jamii za kuhakikisha ushirikishwaji na kuhamasisha jamii kutumia rasilimali zao ili kupambana na UWAKI Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii wanatakiwa kupanga na kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya elimu ya afya kwa lengo la mawasiliano ya kubadili tabia

[a] Utetezi wa Kuzuia na kupambana na UWAKI kwa kushirikiana na wadau

Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii na kamati zinazohusika katika ngazi zote za WAUJ watafanya yafuatayo

[i] Kupanga mikakati ya kuongeza welewa na upeo kuhusu vyanzo vya UWAKI kubaini namna ya kuzuia na kubuni njia za kupambana na UWAKI

34

[ii] Kutetea na kuhamasisha uchangiaji zaidi wa raslimali kutenga kasma kwenye bajeti katika Mfumo wa Matumizi ya Muda wa Kati na katika Mpango Kabambe wa Afya wa Halmashauri kwa ajili ya kinga na huduma za kupambana na UWAKI

[iii] Kutetea utekelezaji wa sera na sheria zenye kuunga mkono juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kuhusisha vyombo vya habari katika kutekeleza shughuli za utetezi na ushawishi

[b] Ushirikiano wa wadau kwenye mawasiliano ya kubadili tabia dhidi ya UWAKI

Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii na kamati zao kwenye ngazi zote watafanya yafuatayo

[i] Kutambua mahitaji na kupanga mawasiliano ya kubadili tabia kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kwa ufanisi

[ii] Kuhusisha vyombo vya habari katika kupanga kutekeleza na kufuatilia shughuli za mawasiliano ya kubadili tabia

47 Ufuatiliaji na Tathmini ya Huduma za Kuzuia na Kupambana na UWAKI

Ufuatiliaji na tathmini ya huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI ni muhimu katika kupima ubora wa matokeo ya huduma zinazohusiana na UWAKI Ufuatiliaji na tathmini unahitaji kuchagua vigezo vya kupima maendeleo ya huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kukusanya takwimu kuchambua kutafsiri kutayarisha na kuwasilisha ripoti kwa wadau muhimu Ufuatiliaji na Tathmini unasaidia kutambua maeneo yanayohitaji kufanyiwa utafi ti

[i] Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii katika ngazi zote watatumia vigezo vilivyokubalika kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Takwimu za UWAKI zitaoanishwa na kuunganishwa kwenye MTUHA

[iii] Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii kwenye ngazi zote watahakikisha wanakusanya taarifa na takwimu zinazohusiana na UWAKI kwa kutumia fomu maalumu kwa ajili ya kufuatilia na

35

kutathimini usimamizi na kuwasilisha ripoti za utekelezaji kwa wadau kufuatana na utaratibu maalumu wa kushirikiana katika kutoa taarifa

[iv] Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii katika ngazi zote watafanya utafiti ili kuboresha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

36

SEHEMU YA TANO

MUUNDO WA UTENDAJI KATIKA KUZUIA NA KUPAMBANA NA UWAKI

Wajibu wa WAUJ ni kuandaa kusimamia na kuratibu utekelezaji wa Mwongozo huu wa sera pamoja na sheria kanuni na viwango vya huduma dhidi ya UWAKI katika ngazi zote nchini Mfumo wa utendaji kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI unahusisha ngazi tatu taifa mkoa na halmashauri

51 Ngazi ya Taifa

Katika ngazi ya Taifa Mganga Mkuu wa Serikali ndiye mwenye wajibu wa uongozi wa kitaaluma kwenye utekelezaji wa mipango ya kuzuia na kupambana na UWAKI Ofisi ya Mganga Mkuu ina idara nne ambazo ni Idara ya Kinga Idara ya Tiba Idara ya Mafunzo na Idara ya Ubora na viwango vya Huduma Huduma za Ustawi wa Jamii zipo chini ya Kamishna wa Ustawi wa Jamii

Kitengo cha Afya ya Uzazi na Mtoto ambacho kinasimamiwa na Idara ya Kinga ndicho kinachosimamia utekelezaji wa Mwongozo wa sera ya UWAKI Majukumu ya ofisi ya Mganga Mkuu wa Serikali Idara ya Kinga na Sehemu ya Afya ya Uzazi na Mtoto ni kama ifuatavyo

[a] Ofisi ya Mganga Mkuu wa Serikali Ofi si ya Mganga Mkuu wa Serikali inaratibu inasimamia na kuimarisha huduma za uboreshaji wa Afya Kinga Ubora na viwango vya huduma Tiba ya magonjwa na Utengamao Aidha ofisi inasimamia mafunzo upatikanaji wa wataalamu wa afya katika sekta ya Afya na Ustawi wa Jamii

Ofisi ya Mganga Mkuu wa Serikali kwa kushirikiana na Mabaraza na Vyama vya Kitaaluma vilivyo chini ya sekta ya Afya na Ustawi wa Jamii inasimamia maadili ya wataalamu wa afya kwa kupitia Mabaraza yao ya Kitaaluma

37

bull

bull

[I] Idara ya Kinga Idara hii inasimamia sehemu tano Afya ya Uzazi na Mtoto Epidemiolojia na Udhibiti wa Magonjwa Afya na Usafi wa Mazingira Elimu ya Afya na Lishe Kuna programu na miradi mbalimbali chini ya idara baadhi yake zinahusiana kwa ukaribu na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Programu hizi ni pamoja na Mpango wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI Programu ya Kuzuia Maambukizo ya VVU Kutoka kwa Mama Kwenda kwa Mtoto Programu ya Huduma ya Afya Kwenye Jamii Programuya Afya Shuleni Program ya Uzazi Salama Programu ya Afya ya Mtoto Programu ya Afya ya Uzazi kwa Vijana na Programu ya Uzazi wa Mpango

Idara itafanya yafuatayo Kuhakikisha afua za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa kwenye programu na miradi ya idara na sehemu Kuhakikisha kwamba afua za kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na utetezi na mawasiliano ya kubadili tabia zinajumuishwa kwenye miongozo ya elimu ya afya na ustawi wa jamii

Sehemu ya Huduma za Afya ya Uzazi na Mtoto Sehemu ya Huduma ya Afya ya Uzazi na Mtoto ndiyo inayohusika katika kuzuia na kupambana na UWAKI na majukumu yake ni

[i] Kuandaa mwongozo wa huduma za kina kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kutayarisha mitaala ya mafunzo kwa ajili ya wasimamizi na watoa huduma wa ngazi zote

[ii] Kuratibu kufuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI katika ngazi zote

[iii] Kuwasiliana na wizara nyingine na mashirika ya kitaifa na kimataifa yenye kuhusiana na mipango ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kuangalia upya orodha ya vifaa muhimu kwa utoaji wa huduma bora kwa wahanga wa UWAKI kwa ngazi zote za utoaji huduma

[v] Kuongoza kikundi kazi cha wanataaluma cha taifa pamoja na vikundikazi tanzu vya wanataaluma vinavyosaidia mtazamo mpana wa sekta ya afya na nguvu kazi za kusimamia utekelezaji wa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

38

[II] Idara ya Tiba Idara hii inasimamia huduma za Hospitali za Taifa Mikoa Wilaya Vituo vya Afya na Zahanati za umma na binafsi Uchunguzi Kinywa na Meno Magonjwa Yasiyo ya Kuambukiza na Tiba Asili Idara hii inafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha kwamba vituo vya kutoa huduma za afya katika ngazi zote vinatenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya huduma bora za matibabu kwa wahanga wa UWAKI pamoja na msaada wa kisaikolojia kijamii na rufaa

[ii] Kuhakikisha kwamba vituo vya kutoa huduma za afya kwenye ngazi zote vinapewa vifaa muhimu na vya kutosha kwa ajili ya uchunguzi wa afya vipimo vya maabara kubaini ugonjwa ushahidi wa kimahakama matibabu kutunza kumbukumbu kutoa taarifa na rufaa

[iii] Kuhakikisha kuwa watoa huduma za afya wanazingatia viwango vya kitaalamu na maadili na kuonyesha upendo na kuwajali wahanga wa UWAKI

[III] Idara ya Ubora wa huduma Idara hii ina sehemu tano ikijumuisha huduma za Uuguzi Dharura na Maafa Ukaguzi Dawa na Utafiti na Uhusiano wa Kimataifa Idara hii inafanya yafuatayo

[i] Inasimamia huduma za dawa vifaa tiba na vitendanishi [ii] Inasimamia huduma za Uuguzi na Ukunga [iii] Inasimamia na kufanya ukaguzi wa ubora wa huduma za afya

nchini ili kuziboresha [iv] Inasimamia kazi za utafiti na uhusiano wa kimataifa katika sekta ya

afya na ustawi wa jamii na [v] Inaandaa miongozo kanuni na taratibu zinazohusu huduma za

dharura

[IV] Idara ya Mafunzo Idara ya Mafunzo inasimamia Mipango ya Mafunzo ya Watumishi Mafunzo Endelevu kwa Watumishi Mafunzo kwa Wauguzi na Sayansi Shirikishi za Afya

39

Idara itafanya yafuatayo [i] Kutambua mahitaji ya kitaifa ya mafunzo ya afya na mafunzo ya

kuendeleza taaluma ya watumishi wanaohusika na kutoa huduma kwa waliopatwa na UWAKI

[ii] Kutayarisha mpango wa mafunzo ya muda mfupi na mrefu kwa ajili ya watumishi mbalimbali kwenye ngazi zote zinazotoa huduma kwa waliopatwa na UWAKI

[b] Idara ya Ustawi wa Jamii Idara ya Ustawi wa Jamii imegawanyika katika sehemu tano Huduma kwa Familia na Ustawi wa Mtoto katika malezi makuzi na maendeleo ya awali Huduma za marekebisho ya tabia na haki za mtoto kisheria Huduma kwa wazee na watu wenye ulemavu Mafunzo kwa watumishi na Kitengo cha takwimu Idara itafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha idara inatoa huduma rafiki na bora za ustawi wa jamii kwa wahanga wa UWAKI kwenye vituo vyote vya kutoa huduma za afya na ustawi wa jamii na kuvisimamia

[ii] Kuhakikisha idara inatoa mafunzo kwa watoa huduma wote [iii] Kushauri katika kurekebisha au kufutwa kwa sheria zisizosaidia

utoaji wa huduma bora za ustawi wa jamii na kushawishi kutunga sheria mpya

[c] Idara ya Sera na Mipango Idara hii inasimamia sehemu za Bajeti Sera Mipango Taarifa za Afya na Ufuatiliaji na Tathmini Idara itafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa kwenye mipango na bajeti ya Serikali

[ii] Kuhakikisha kuwa viashirio vya huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI vinaingizwa kwenye MTUHA

[d] Ushirikiano na wadau muhimu katika ldquoKutokomeza UWAKIrdquo

[i] WAUJ kupitia Sehemu ya Afya ya Uzazi na Mtoto kwa kushirikiana na wadau wengine watatetea ulinzi wa haki za waliopatwa na UWAKI na kutokomezwa kwa ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake watoto vijana na wanaume

40

[ii] WAUJ kwa kushirikiana na wadau wengine itaandaa mikakati ya kuhakikisha kwamba aina zote za ubaguzi unyonyaji ukandamizaji na unyanyasaji dhidi ya wanawake watoto vijana na wanaume zinatokomezwa

[iii] WAUJ kwa kushirikiana na wadau wengine watapitia sheria sera na kanuni ambazo zinakinzana na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Watatetea haki za jinsia na afya ya uzazi ikiwa ni pamoja na ulinzi wa mama na watoto dhidi ya UWAKI ukatili wa kifamilia na ukatili dhidi ya watoto na kutetea masuala haya yaingizwe kwenye Katiba ya Tanzania

52 Ngazi ya Mkoa

Utekelezaji wa mapambano dhidi ya UWAKI kwenye mikoa utasimamiwa na Timu ya Usimamizi wa Huduma za Afya Mkoa chini ya Katibu Tawala wa Mkoa na Timu ya Usimamizi ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa chini ya Bodi ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa na watafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa kwenye mpango mkakati wa miaka mitano wa mkoa na hospitali na mpango kazi wa kila mwaka

[ii] Kuhakikisha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa na kuendeshwa pamoja na huduma zilizopo kuwe na watoa huduma wa kutosha pamoja na mafunzo kwa wasimamizi na watoa huduma kwenye ngazi ya mkoa

[iii] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya kufuatilia kufanya tathmini usimamizi na kutoa ripoti za utendaji wa juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya mkoa

[iv] Kutoa msaada wa kitaalamu kwa Halmashauri na Timu za Afya za Halmashauri katika kupanga na kutekeleza huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[v] Kuhakikisha bajeti ya kutosha inatengwa kwenye mpango kabambe wa halmashauri wa afya kwa ajili ya kuiwezesha jamii kuzuia na kupambana na UWAKI

[vi] Kufanya utafiti ili kukuza uelewa kuhusu huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

41

53 Halmashauri za Jiji Manispaa na Wilaya

Bodi ya Huduma za Afya ya Halmashauri ni chombo cha halmashauri ya jiji manispaa na wilaya chenye jukumu la kutoa huduma bora za afya ustawi wa jamii pamoja na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI katika maeneo yao Mipango ya utekelezaji wa huduma za afya kwenye jiji manispaa na wilaya unasimamiwa na Timu ya Usimamizi wa Afya ya Halmashauri Hospitali ya kwanza ya rufaa katika Halmashauri ni Hospitali ya Wilaya au Hospitali Teule ya wilaya

Hospitali Teule ya Wilaya huendeshwa na Timu ya Usimamizi ya Hospitali na husimamiwa na Bodi ya Hospitali Vituo vya kutoa huduma za afya vina kamati za afya na huendeshwa na kamati za usimamizi wa kituo

(a) Ngazi ya Halmashauri Timu ya Halmashauri ya Usimamizi wa Afya itafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha kwamba mipango ya kila mwaka inatengewa fedha za kutosha kwa utekelezaji wa huduma bora za kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaunganishwa na huduma zilizopo kwenye ngazi zote

[iii] Kuhakikisha kwamba kunakuwa na watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wa kutosha na kuendelea kutoa mafunzo kwa watoa huduma wa kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kutetea kuhamasisha na kutenga fedha za kutosha kwa ajili ya kuiwezesha jamii kushiriki kwenye programu ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[v] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya ufuatiliaji tathmini usimamizi shirikishi na kuandaa taarifa za utekelezaji wa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[b] Ngazi ya Kata Kamati ya Afya ya Kata Kamati ya Afya ya Kituo cha Afya na Timu ya Usimamizi wa Kituo cha Afya zitasimamia utoaji wa huduma bora za afya katika kata pamoja na vijiji

42

Kamati na timu zitafanya yafuatayo [i] Kuhakikisha kwamba kila mwaka wanapanga na kutenga rasilimali

za kutosha kwa utekelezaji wa huduma kwa waliopatwa na UWAKI na afua za kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinajumuishwa na huduma zilizopo kwenye kituo cha afya na zahanati

[iii] Kuhakikisha kwamba kuna watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wa kutosha na kuendelea kutoa mafunzo kwa watoa huduma wanaohusika na kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye vituo vya afya na zahanati

[iv] Kutetea kuhamasisha na kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya kuiwezesha jamii kushiriki kwenye kuzuia na kupambana na UWAKI katika Mpango wa Afya wa Kata

[v] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya kufanya ufuatiliaji tathmini na kuandaa taarifa za utekelezaji wa kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kuziwasilisha kwa matumizi katika ngazi zote

[c] Ngazi ya Kijiji Kamati ya Zahanati na Timu ya Usimamizi wa Zahanati zina wajibu wa kutoa huduma za afya kwa wakazi wa eneo la kijiji au vijiji vyao

Kamati na timu zitafanya yafuatayo [i] Kuhakikisha kwamba kila mwaka wanapanga na kutenga raslimali

za kutosha kwa utekelezaji wa huduma kwa waliopatwa na UWAKI na afua za kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinajumuishwa na huduma zilizopo kwenye zahanati

[iii] Kuhakikisha kwamba kuna watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wa kutosha na kuendelea kutoa mafunzo kwa watoa huduma wanaohusika na kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye zahanati

[iv] Kutetea kuhamasisha na kutenga raslimali za kutosha kwa ajili ya kuiwezesha jamii kushiriki kwenye kuzuia na kupambana na UWAKI katika Mpango wa Afya wa Kijiji

43

[v] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya kufanya ufuatiliaji tathmini na kuandaa taarifa za utekelezaji wa kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kuziwasilisha kwa matumizi katika ngazi ya Kata na Wilaya

(d) Ngazi ya Kaya Kila mtu kwenye kaya atahusika katika kuzuia na kupambana na UWAKI na kutoa taarifa ya matukio ya UWAKI kwa mamlaka zinazohusika Pia kila mtu awajibike kwenye kubadili mtazamo na kuepuka mazoea na tabia zinazopelekea UWAKI

44

SEHEMU YA SITA

UFUATILIAJI TATHMINI NA UTAFITI

Ufuatiliaji na tathmini ya afua za kuzuia na kupambana na UWAKI utatekelezwa kwenye ngazi ya taifa mkoa halmashauri na vituo vya huduma za afya Viashirio ambavyo vimependekezwa kwenye ngazi hizi vimeonyeshwa kwenye Kiambatisho

61 Ngazi ya Taifa

Sehemu ya Afya ya Uzazi na Mtoto itaratibu itafuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote nchini

Sehemu hii itafanya yafuatayo [i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu zinazohusu

afua za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka Timu ya Usimamizi wa Afya ya Mkoa na kuzitumia katika kupanga na kuboresha mipango ya kuzuia na kupambana na UWAKI kwa kushirikiana na wadau

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma wa kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti [iv] Kuweka tathmini na ufuatiliaji wa huduma za kuzuia na kupambana

na UWAKI kwenye orodhahakiki ya usimamizi ya WAUJ

62 Ngazi ya Mkoa

Timu ya Usimamizi wa Afya ya Mkoa itakuwa na jukumu la kuratibu kufuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote za mkoa na itafanya yafuatayo

[i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu kuhusu afua za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka hospitali ya rufaa ya mkoa na Timu za Usimamizi wa Afya za Halmashauri kwa ajili ya matumizi yao na kuwasilisha ngazi ya Taifa

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma katika kuzuia na kupambana na UWAKI

45

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti

63 Ngazi ya Wilaya

Timu ya Usimamizi wa Afya ya Halmashauri itakuwa na jukumu la kuratibu kufuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote za wilaya na itafanya yafuatayo

[i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu kuhusu afua za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka hospitali ya wilaya na vituo vya kutolea huduma za afya na Timu za Usimamizi wa Afya za Halmashauri kwa ajili ya matumizi yao na kuwasilisha ngazi ya mkoa

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma katika kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti

64 Ngazi ya Kituo cha kutolea huduma

Timu ya Usimamizi wa Kituo cha Kutolea Huduma za Afya itaratibu itafuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye kituo na kufanya yafuatayo

[i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu kuhusu jitihada za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka kwenye zahanati na jamii na kuwasilisha wilayaniHalmashauri

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma katika kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti

46

KIAMBATISHO

VIASHIRIO VYA MPANGO WA KUZUIA NA KUPAMBANA NA UWAKI KATIKA SEKTA YA AFYA

[a] Ngazi ya Taifa

[i] Idadi ya watu waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya mikoa kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kimkoa

[iii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI kimkoa

[iv] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye uthibitisho kuwa vinatumia Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupamba na UWAKI kimkoa

[v] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye vifaa muhimu kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kimkoa

[b] Ngazi Ya Mkoa

[i] Idadi ya watu waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya wilayahalmashauri kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

[iii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

[iv] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye ushahidi wa kuandikwa na kutumia Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

[v] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye vifaa muhimu kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

47

[c] Ngazi ya Wilaya

[i] Idadi ya watu waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya vituo vya kutolea huduma kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwa vituo vya kutolea huduma

[iii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI

[iv] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye ushahidi wa kuandikwa na kutumia Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI

[v] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye vifaa muhimu kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[d] Ngazi ya Kituo

[i] Idadi ya wahusika waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye kituo cha huduma za afya kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Idadi ya watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Idadi ya watoa huduma walioelekezwa kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI

48

49

50

51

bullbullbull bullbull bullbullbull

~USAID ~f~ ~ KLITOKA KWA WKTJ Delivering as One WAIIAAEKANI

HEALTH POLICY middotmiddotmiddotoINITIATIVE

ltlt ASCII85EncodePages false AllowTransparency false AutoPositionEPSFiles true AutoRotatePages None Binding Left CalGrayProfile (Dot Gain 20) CalRGBProfile (sRGB IEC61966-21) CalCMYKProfile (US Web Coated 050SWOP051 v2) sRGBProfile (sRGB IEC61966-21) CannotEmbedFontPolicy Error CompatibilityLevel 14 CompressObjects Tags CompressPages true ConvertImagesToIndexed true PassThroughJPEGImages true CreateJobTicket false DefaultRenderingIntent Default DetectBlends true DetectCurves 00000 ColorConversionStrategy CMYK DoThumbnails false EmbedAllFonts true EmbedOpenType false ParseICCProfilesInComments true EmbedJobOptions true DSCReportingLevel 0 EmitDSCWarnings false EndPage -1 ImageMemory 1048576 LockDistillerParams false MaxSubsetPct 100 Optimize true OPM 1 ParseDSCComments true ParseDSCCommentsForDocInfo true PreserveCopyPage true PreserveDICMYKValues true PreserveEPSInfo true PreserveFlatness true PreserveHalftoneInfo false PreserveOPIComments true PreserveOverprintSettings true StartPage 1 SubsetFonts true TransferFunctionInfo Apply UCRandBGInfo Preserve UsePrologue false ColorSettingsFile () AlwaysEmbed [ true ] NeverEmbed [ true ] AntiAliasColorImages false CropColorImages true ColorImageMinResolution 300 ColorImageMinResolutionPolicy OK DownsampleColorImages true ColorImageDownsampleType Bicubic ColorImageResolution 300 ColorImageDepth -1 ColorImageMinDownsampleDepth 1 ColorImageDownsampleThreshold 150000 EncodeColorImages true ColorImageFilter DCTEncode AutoFilterColorImages true ColorImageAutoFilterStrategy JPEG ColorACSImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt ColorImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt JPEG2000ColorACSImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt JPEG2000ColorImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt AntiAliasGrayImages false CropGrayImages true GrayImageMinResolution 300 GrayImageMinResolutionPolicy OK DownsampleGrayImages true GrayImageDownsampleType Bicubic GrayImageResolution 300 GrayImageDepth -1 GrayImageMinDownsampleDepth 2 GrayImageDownsampleThreshold 150000 EncodeGrayImages true GrayImageFilter DCTEncode AutoFilterGrayImages true GrayImageAutoFilterStrategy JPEG GrayACSImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt GrayImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt JPEG2000GrayACSImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt JPEG2000GrayImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt AntiAliasMonoImages false CropMonoImages true MonoImageMinResolution 1200 MonoImageMinResolutionPolicy OK DownsampleMonoImages true MonoImageDownsampleType Bicubic MonoImageResolution 1200 MonoImageDepth -1 MonoImageDownsampleThreshold 150000 EncodeMonoImages true MonoImageFilter CCITTFaxEncode MonoImageDict ltlt K -1 gtgt AllowPSXObjects false CheckCompliance [ None ] PDFX1aCheck false PDFX3Check false PDFXCompliantPDFOnly false PDFXNoTrimBoxError true PDFXTrimBoxToMediaBoxOffset [ 000000 000000 000000 000000 ] PDFXSetBleedBoxToMediaBox true PDFXBleedBoxToTrimBoxOffset [ 000000 000000 000000 000000 ] PDFXOutputIntentProfile () PDFXOutputConditionIdentifier () PDFXOutputCondition () PDFXRegistryName () PDFXTrapped False CreateJDFFile false Description ltlt ARA ltFEFF06270633062A062E062F0645002006470630064700200627064406250639062F0627062F0627062A002006440625064606340627062100200648062B062706260642002000410064006F00620065002000500044004600200645062A064806270641064206290020064406440637062806270639062900200641064A00200627064406450637062706280639002006300627062A0020062F0631062C0627062A002006270644062C0648062F0629002006270644063906270644064A0629061B0020064A06450643064600200641062A062D00200648062B0627062606420020005000440046002006270644064506460634062306290020062806270633062A062E062F062706450020004100630072006F0062006100740020064800410064006F006200650020005200650061006400650072002006250635062F0627063100200035002E0030002006480627064406250635062F062706310627062A0020062706440623062D062F062B002E0635062F0627063100200035002E0030002006480627064406250635062F062706310627062A0020062706440623062D062F062B002Egt BGR ltFEFF04180437043f043e043b043704320430043904420435002004420435043704380020043d0430044104420440043e0439043a0438002c00200437043000200434043000200441044a0437043404300432043004420435002000410064006f00620065002000500044004600200434043e043a0443043c0435043d04420438002c0020043c0430043a04410438043c0430043b043d043e0020043f044004380433043e04340435043d04380020043704300020043204380441043e043a043e043a0430044704350441044204320435043d0020043f04350447043004420020043704300020043f044004350434043f0435044704300442043d04300020043f043e04340433043e0442043e0432043a0430002e002000200421044a04370434043004340435043d043804420435002000500044004600200434043e043a0443043c0435043d044204380020043c043e0433043004420020043404300020044104350020043e0442043204300440044f0442002004410020004100630072006f00620061007400200438002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020043800200441043b0435043404320430044904380020043204350440044104380438002egt CHS ltFEFF4f7f75288fd94e9b8bbe5b9a521b5efa7684002000410064006f006200650020005000440046002065876863900275284e8e9ad88d2891cf76845370524d53705237300260a853ef4ee54f7f75280020004100630072006f0062006100740020548c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000204ee553ca66f49ad87248672c676562535f00521b5efa768400200050004400460020658768633002gt CHT ltFEFF4f7f752890194e9b8a2d7f6e5efa7acb7684002000410064006f006200650020005000440046002065874ef69069752865bc9ad854c18cea76845370524d5370523786557406300260a853ef4ee54f7f75280020004100630072006f0062006100740020548c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000204ee553ca66f49ad87248672c4f86958b555f5df25efa7acb76840020005000440046002065874ef63002gt CZE ltFEFF005400610074006f0020006e006100730074006100760065006e00ed00200070006f0075017e0069006a007400650020006b0020007600790074007600e101590065006e00ed00200064006f006b0075006d0065006e0074016f002000410064006f006200650020005000440046002c0020006b00740065007200e90020007300650020006e0065006a006c00e90070006500200068006f006400ed002000700072006f0020006b00760061006c00690074006e00ed0020007400690073006b00200061002000700072006500700072006500730073002e002000200056007900740076006f01590065006e00e900200064006f006b0075006d0065006e007400790020005000440046002000620075006400650020006d006f017e006e00e90020006f007400650076015900ed007400200076002000700072006f006700720061006d0065006300680020004100630072006f00620061007400200061002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000610020006e006f0076011b006a016100ed00630068002egt DAN ltFEFF004200720075006700200069006e0064007300740069006c006c0069006e006700650072006e0065002000740069006c0020006100740020006f007000720065007400740065002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e007400650072002c0020006400650072002000620065006400730074002000650067006e006500720020007300690067002000740069006c002000700072006500700072006500730073002d007500640073006b007200690076006e0069006e00670020006100660020006800f8006a0020006b00760061006c0069007400650074002e0020004400650020006f007000720065007400740065006400650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e0074006500720020006b0061006e002000e50062006e00650073002000690020004100630072006f00620061007400200065006c006c006500720020004100630072006f006200610074002000520065006100640065007200200035002e00300020006f00670020006e0079006500720065002egt DEU ltFEFF00560065007200770065006e00640065006e0020005300690065002000640069006500730065002000450069006e007300740065006c006c0075006e00670065006e0020007a0075006d002000450072007300740065006c006c0065006e00200076006f006e002000410064006f006200650020005000440046002d0044006f006b0075006d0065006e00740065006e002c00200076006f006e002000640065006e0065006e002000530069006500200068006f006300680077006500720074006900670065002000500072006500700072006500730073002d0044007200750063006b0065002000650072007a0065007500670065006e0020006d00f60063006800740065006e002e002000450072007300740065006c006c007400650020005000440046002d0044006f006b0075006d0065006e007400650020006b00f6006e006e0065006e0020006d006900740020004100630072006f00620061007400200075006e0064002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020006f0064006500720020006800f600680065007200200067006500f600660066006e00650074002000770065007200640065006e002egt ESP ltFEFF005500740069006c0069006300650020006500730074006100200063006f006e0066006900670075007200610063006900f3006e0020007000610072006100200063007200650061007200200064006f00630075006d0065006e0074006f00730020005000440046002000640065002000410064006f0062006500200061006400650063007500610064006f00730020007000610072006100200069006d0070007200650073006900f3006e0020007000720065002d0065006400690074006f007200690061006c00200064006500200061006c00740061002000630061006c0069006400610064002e002000530065002000700075006500640065006e00200061006200720069007200200064006f00630075006d0065006e0074006f00730020005000440046002000630072006500610064006f007300200063006f006e0020004100630072006f006200610074002c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200079002000760065007200730069006f006e0065007300200070006f00730074006500720069006f007200650073002egt ETI ltFEFF004b00610073007500740061006700650020006e0065006900640020007300e4007400740065006900640020006b00760061006c006900740065006500740073006500200074007200fc006b006900650065006c007300650020007000720069006e00740069006d0069007300650020006a0061006f006b007300200073006f00620069006c0069006b0065002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740069006400650020006c006f006f006d006900730065006b0073002e00200020004c006f006f0064007500640020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740065002000730061006100740065002000610076006100640061002000700072006f006700720061006d006d006900640065006700610020004100630072006f0062006100740020006e0069006e0067002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020006a00610020007500750065006d006100740065002000760065007200730069006f006f006e00690064006500670061002e000d000agt FRA ltFEFF005500740069006c006900730065007a00200063006500730020006f007000740069006f006e00730020006100660069006e00200064006500200063007200e900650072002000640065007300200064006f00630075006d0065006e00740073002000410064006f00620065002000500044004600200070006f0075007200200075006e00650020007100750061006c0069007400e90020006400270069006d007000720065007300730069006f006e00200070007200e9007000720065007300730065002e0020004c0065007300200064006f00630075006d0065006e00740073002000500044004600200063007200e900e90073002000700065007500760065006e0074002000ea0074007200650020006f007500760065007200740073002000640061006e00730020004100630072006f006200610074002c002000610069006e00730069002000710075002700410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000650074002000760065007200730069006f006e007300200075006c007400e90072006900650075007200650073002egt GRE ltFEFF03a703c103b703c303b903bc03bf03c003bf03b903ae03c303c403b5002003b103c503c403ad03c2002003c403b903c2002003c103c503b803bc03af03c303b503b903c2002003b303b903b1002003bd03b1002003b403b703bc03b903bf03c503c103b303ae03c303b503c403b5002003ad03b303b303c103b103c603b1002000410064006f006200650020005000440046002003c003bf03c5002003b503af03bd03b103b9002003ba03b103c42019002003b503be03bf03c703ae03bd002003ba03b103c403ac03bb03bb03b703bb03b1002003b303b903b1002003c003c103bf002d03b503ba03c403c503c003c903c403b903ba03ad03c2002003b503c103b303b103c303af03b503c2002003c503c803b703bb03ae03c2002003c003bf03b903cc03c403b703c403b103c2002e0020002003a403b10020005000440046002003ad03b303b303c103b103c603b1002003c003bf03c5002003ad03c703b503c403b5002003b403b703bc03b903bf03c503c103b303ae03c303b503b9002003bc03c003bf03c103bf03cd03bd002003bd03b1002003b103bd03bf03b903c703c403bf03cd03bd002003bc03b5002003c403bf0020004100630072006f006200610074002c002003c403bf002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002003ba03b103b9002003bc03b503c403b103b303b503bd03ad03c303c403b503c103b503c2002003b503ba03b403cc03c303b503b903c2002egt HEB ltFEFF05D405E905EA05DE05E905D5002005D105D405D205D305E805D505EA002005D005DC05D4002005DB05D305D9002005DC05D905E605D505E8002005DE05E105DE05DB05D9002000410064006F006200650020005000440046002005D405DE05D505EA05D005DE05D905DD002005DC05D405D305E405E105EA002005E705D305DD002D05D305E405D505E1002005D005D905DB05D505EA05D905EA002E002005DE05E105DE05DB05D90020005000440046002005E905E005D505E605E805D5002005E005D905EA05E005D905DD002005DC05E405EA05D905D705D4002005D105D005DE05E605E205D505EA0020004100630072006F006200610074002005D5002D00410064006F00620065002000520065006100640065007200200035002E0030002005D505D205E805E105D005D505EA002005DE05EA05E705D305DE05D505EA002005D905D505EA05E8002E05D005DE05D905DD002005DC002D005000440046002F0058002D0033002C002005E205D905D905E005D5002005D105DE05D305E805D905DA002005DC05DE05E905EA05DE05E9002005E905DC0020004100630072006F006200610074002E002005DE05E105DE05DB05D90020005000440046002005E905E005D505E605E805D5002005E005D905EA05E005D905DD002005DC05E405EA05D905D705D4002005D105D005DE05E605E205D505EA0020004100630072006F006200610074002005D5002D00410064006F00620065002000520065006100640065007200200035002E0030002005D505D205E805E105D005D505EA002005DE05EA05E705D305DE05D505EA002005D905D505EA05E8002Egt HRV (Za stvaranje Adobe PDF dokumenata najpogodnijih za visokokvalitetni ispis prije tiskanja koristite ove postavke Stvoreni PDF dokumenti mogu se otvoriti Acrobat i Adobe Reader 50 i kasnijim verzijama) HUN ltFEFF004b0069007600e1006c00f30020006d0069006e0151007300e9006701710020006e0079006f006d00640061006900200065006c0151006b00e90073007a00ed007401510020006e0079006f006d00740061007400e100730068006f007a0020006c006500670069006e006b00e1006200620020006d0065006700660065006c0065006c0151002000410064006f00620065002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e00740075006d006f006b0061007400200065007a0065006b006b0065006c0020006100200062006500e1006c006c00ed007400e10073006f006b006b0061006c0020006b00e90073007a00ed0074006800650074002e0020002000410020006c00e90074007200650068006f007a006f00740074002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e00740075006d006f006b00200061007a0020004100630072006f006200610074002000e9007300200061007a002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002c0020007600610067007900200061007a002000610074007400f3006c0020006b00e9007301510062006200690020007600650072007a006900f3006b006b0061006c0020006e00790069007400680061007400f3006b0020006d00650067002egt ITA ltFEFF005500740069006c0069007a007a006100720065002000710075006500730074006500200069006d0070006f007300740061007a0069006f006e00690020007000650072002000630072006500610072006500200064006f00630075006d0065006e00740069002000410064006f00620065002000500044004600200070006900f900200061006400610074007400690020006100200075006e00610020007000720065007300740061006d0070006100200064006900200061006c007400610020007100750061006c0069007400e0002e0020004900200064006f00630075006d0065006e007400690020005000440046002000630072006500610074006900200070006f00730073006f006e006f0020006500730073006500720065002000610070006500720074006900200063006f006e0020004100630072006f00620061007400200065002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200065002000760065007200730069006f006e006900200073007500630063006500730073006900760065002egt JPN ltFEFF9ad854c18cea306a30d730ea30d730ec30b951fa529b7528002000410064006f0062006500200050004400460020658766f8306e4f5c6210306b4f7f75283057307e305930023053306e8a2d5b9a30674f5c62103055308c305f0020005000440046002030d530a130a430eb306f3001004100630072006f0062006100740020304a30883073002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000204ee5964d3067958b304f30533068304c3067304d307e305930023053306e8a2d5b9a306b306f30d530a930f330c8306e57cb30818fbc307f304c5fc59808306730593002gt KOR ltFEFFc7740020c124c815c7440020c0acc6a9d558c5ec0020ace0d488c9c80020c2dcd5d80020c778c1c4c5d00020ac00c7a50020c801d569d55c002000410064006f0062006500200050004400460020bb38c11cb97c0020c791c131d569b2c8b2e4002e0020c774b807ac8c0020c791c131b41c00200050004400460020bb38c11cb2940020004100630072006f0062006100740020bc0f002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020c774c0c1c5d0c11c0020c5f40020c2180020c788c2b5b2c8b2e4002egt LTH ltFEFF004e006100750064006f006b0069007400650020016100690075006f007300200070006100720061006d006500740072007500730020006e006f0072011700640061006d00690020006b0075007200740069002000410064006f00620065002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400750073002c0020006b00750072006900650020006c0061006200690061007500730069006100690020007000720069007400610069006b007900740069002000610075006b01610074006f00730020006b006f006b007900620117007300200070006100720065006e006700740069006e00690061006d00200073007000610075007300640069006e0069006d00750069002e0020002000530075006b0075007200740069002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400610069002000670061006c006900200062016b007400690020006100740069006400610072006f006d00690020004100630072006f006200610074002000690072002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000610072002000760117006c00650073006e0117006d00690073002000760065007200730069006a006f006d00690073002egt LVI ltFEFF0049007a006d0061006e0074006f006a00690065007400200161006f00730020006900650073007400610074012b006a0075006d00750073002c0020006c0061006900200076006500690064006f00740075002000410064006f00620065002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400750073002c0020006b006100730020006900720020012b00700061016100690020007000690065006d01130072006f00740069002000610075006700730074006100730020006b00760061006c0069007401010074006500730020007000690072006d007300690065007300700069006501610061006e006100730020006400720075006b00610069002e00200049007a0076006500690064006f006a006900650074002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400750073002c0020006b006f002000760061007200200061007400760113007200740020006100720020004100630072006f00620061007400200075006e002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002c0020006b0101002000610072012b00200074006f0020006a00610075006e0101006b0101006d002000760065007200730069006a0101006d002egt NLD (Gebruik deze instellingen om Adobe PDF-documenten te maken die zijn geoptimaliseerd voor prepress-afdrukken van hoge kwaliteit De gemaakte PDF-documenten kunnen worden geopend met Acrobat en Adobe Reader 50 en hoger) NOR ltFEFF004200720075006b00200064006900730073006500200069006e006e007300740069006c006c0069006e00670065006e0065002000740069006c002000e50020006f0070007000720065007400740065002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740065007200200073006f006d00200065007200200062006500730074002000650067006e0065007400200066006f00720020006600f80072007400720079006b006b0073007500740073006b00720069006600740020006100760020006800f800790020006b00760061006c0069007400650074002e0020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740065006e00650020006b0061006e002000e50070006e00650073002000690020004100630072006f00620061007400200065006c006c00650072002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200065006c006c00650072002000730065006e006500720065002egt POL ltFEFF0055007300740061007700690065006e0069006100200064006f002000740077006f0072007a0065006e0069006100200064006f006b0075006d0065006e007400f300770020005000440046002000700072007a0065007a006e00610063007a006f006e00790063006800200064006f002000770079006400720075006b00f30077002000770020007700790073006f006b00690065006a0020006a0061006b006f015b00630069002e002000200044006f006b0075006d0065006e0074007900200050004400460020006d006f017c006e00610020006f007400770069006500720061010700200077002000700072006f006700720061006d006900650020004100630072006f00620061007400200069002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000690020006e006f00770073007a0079006d002egt PTB ltFEFF005500740069006c0069007a006500200065007300730061007300200063006f006e00660069006700750072006100e700f50065007300200064006500200066006f0072006d00610020006100200063007200690061007200200064006f00630075006d0065006e0074006f0073002000410064006f0062006500200050004400460020006d00610069007300200061006400650071007500610064006f00730020007000610072006100200070007200e9002d0069006d0070007200650073007300f50065007300200064006500200061006c007400610020007100750061006c00690064006100640065002e0020004f007300200064006f00630075006d0065006e0074006f00730020005000440046002000630072006900610064006f007300200070006f00640065006d0020007300650072002000610062006500720074006f007300200063006f006d0020006f0020004100630072006f006200610074002000650020006f002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000650020007600650072007300f50065007300200070006f00730074006500720069006f007200650073002egt RUM ltFEFF005500740069006c0069007a00610163006900200061006300650073007400650020007300650074010300720069002000700065006e007400720075002000610020006300720065006100200064006f00630075006d0065006e00740065002000410064006f006200650020005000440046002000610064006500630076006100740065002000700065006e0074007200750020007400690070010300720069007200650061002000700072006500700072006500730073002000640065002000630061006c006900740061007400650020007300750070006500720069006f006100720103002e002000200044006f00630075006d0065006e00740065006c00650020005000440046002000630072006500610074006500200070006f00740020006600690020006400650073006300680069007300650020006300750020004100630072006f006200610074002c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020015f00690020007600650072007300690075006e0069006c006500200075006c0074006500720069006f006100720065002egt RUS ltFEFF04180441043f043e043b044c04370443043904420435002004340430043d043d044b04350020043d0430044104420440043e0439043a043800200434043b044f00200441043e043704340430043d0438044f00200434043e043a0443043c0435043d0442043e0432002000410064006f006200650020005000440046002c0020043c0430043a04410438043c0430043b044c043d043e0020043f043e04340445043e0434044f04490438044500200434043b044f00200432044b0441043e043a043e043a0430044704350441044204320435043d043d043e0433043e00200434043e043f0435044704300442043d043e0433043e00200432044b0432043e04340430002e002000200421043e043704340430043d043d044b04350020005000440046002d0434043e043a0443043c0435043d0442044b0020043c043e0436043d043e0020043e0442043a0440044b043204300442044c002004410020043f043e043c043e0449044c044e0020004100630072006f00620061007400200438002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020043800200431043e043b043504350020043f043e04370434043d043804450020043204350440044104380439002egt SKY ltFEFF0054006900650074006f0020006e006100730074006100760065006e0069006100200070006f0075017e0069007400650020006e00610020007600790074007600e100720061006e0069006500200064006f006b0075006d0065006e0074006f0076002000410064006f006200650020005000440046002c0020006b0074006f007200e90020007300610020006e0061006a006c0065007001610069006500200068006f0064006900610020006e00610020006b00760061006c00690074006e00fa00200074006c0061010d00200061002000700072006500700072006500730073002e00200056007900740076006f00720065006e00e900200064006f006b0075006d0065006e007400790020005000440046002000620075006400650020006d006f017e006e00e90020006f00740076006f00720069016500200076002000700072006f006700720061006d006f006300680020004100630072006f00620061007400200061002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000610020006e006f0076016100ed00630068002egt SLV ltFEFF005400650020006e006100730074006100760069007400760065002000750070006f0072006100620069007400650020007a00610020007500730074007600610072006a0061006e006a006500200064006f006b0075006d0065006e0074006f0076002000410064006f006200650020005000440046002c0020006b006900200073006f0020006e0061006a007000720069006d00650072006e0065006a016100690020007a00610020006b0061006b006f0076006f00730074006e006f0020007400690073006b0061006e006a00650020007300200070007200690070007200610076006f0020006e00610020007400690073006b002e00200020005500730074007600610072006a0065006e006500200064006f006b0075006d0065006e0074006500200050004400460020006a00650020006d006f0067006f010d00650020006f0064007000720065007400690020007a0020004100630072006f00620061007400200069006e002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200069006e0020006e006f00760065006a01610069006d002egt SUO ltFEFF004b00e40079007400e40020006e00e40069007400e4002000610073006500740075006b007300690061002c0020006b0075006e0020006c0075006f00740020006c00e400680069006e006e00e4002000760061006100740069007600610061006e0020007000610069006e006100740075006b00730065006e002000760061006c006d0069007300740065006c00750074007900f6006800f6006e00200073006f00700069007600690061002000410064006f0062006500200050004400460020002d0064006f006b0075006d0065006e007400740065006a0061002e0020004c0075006f0064007500740020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740069007400200076006f0069006400610061006e0020006100760061007400610020004100630072006f0062006100740069006c006c00610020006a0061002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030003a006c006c00610020006a006100200075007500640065006d006d0069006c006c0061002egt SVE ltFEFF0041006e007600e4006e00640020006400650020006800e4007200200069006e0073007400e4006c006c006e0069006e006700610072006e00610020006f006d002000640075002000760069006c006c00200073006b006100700061002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e007400200073006f006d002000e400720020006c00e4006d0070006c0069006700610020006600f60072002000700072006500700072006500730073002d007500740073006b00720069006600740020006d006500640020006800f600670020006b00760061006c0069007400650074002e002000200053006b006100700061006400650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740020006b0061006e002000f600700070006e00610073002000690020004100630072006f0062006100740020006f00630068002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020006f00630068002000730065006e006100720065002egt TUR ltFEFF005900fc006b00730065006b0020006b0061006c006900740065006c0069002000f6006e002000790061007a006401310072006d00610020006200610073006b013100730131006e006100200065006e0020006900790069002000750079006100620069006c006500630065006b002000410064006f006200650020005000440046002000620065006c00670065006c0065007200690020006f006c0075015f007400750072006d0061006b0020006900e70069006e00200062007500200061007900610072006c0061007201310020006b0075006c006c0061006e0131006e002e00200020004f006c0075015f0074007500720075006c0061006e0020005000440046002000620065006c00670065006c0065007200690020004100630072006f006200610074002000760065002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200076006500200073006f006e0072006100730131006e00640061006b00690020007300fc007200fc006d006c00650072006c00650020006100e70131006c006100620069006c00690072002egt UKR ltFEFF04120438043a043e0440043804410442043e043204430439044204350020044604560020043f043004400430043c043504420440043800200434043b044f0020044104420432043e04400435043d043d044f00200434043e043a0443043c0435043d044204560432002000410064006f006200650020005000440046002c0020044f043a04560020043d04300439043a04400430044904350020043f045604340445043e0434044f0442044c00200434043b044f0020043204380441043e043a043e044f043a04560441043d043e0433043e0020043f0435044004350434043404400443043a043e0432043e0433043e0020043404400443043a0443002e00200020042104420432043e04400435043d045600200434043e043a0443043c0435043d0442043800200050004400460020043c043e0436043d04300020043204560434043a0440043804420438002004430020004100630072006f006200610074002004420430002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002004300431043e0020043f04560437043d04560448043e04570020043204350440044104560457002egt ENU (Use these settings to create Adobe PDF documents best suited for high-quality prepress printing Created PDF documents can be opened with Acrobat and Adobe Reader 50 and later) gtgt Namespace [ (Adobe) (Common) (10) ] OtherNamespaces [ ltlt AsReaderSpreads false CropImagesToFrames true ErrorControl WarnAndContinue FlattenerIgnoreSpreadOverrides false IncludeGuidesGrids false IncludeNonPrinting false IncludeSlug false Namespace [ (Adobe) (InDesign) (40) ] OmitPlacedBitmaps false OmitPlacedEPS false OmitPlacedPDF false SimulateOverprint Legacy gtgt ltlt AddBleedMarks false AddColorBars false AddCropMarks false AddPageInfo false AddRegMarks false ConvertColors ConvertToCMYK DestinationProfileName () DestinationProfileSelector DocumentCMYK Downsample16BitImages true FlattenerPreset ltlt PresetSelector MediumResolution gtgt FormElements false GenerateStructure false IncludeBookmarks false IncludeHyperlinks false IncludeInteractive false IncludeLayers false IncludeProfiles false MultimediaHandling UseObjectSettings Namespace [ (Adobe) (CreativeSuite) (20) ] PDFXOutputIntentProfileSelector DocumentCMYK PreserveEditing true UntaggedCMYKHandling LeaveUntagged UntaggedRGBHandling UseDocumentProfile UseDocumentBleed false gtgt ]gtgt setdistillerparamsltlt HWResolution [2400 2400] PageSize [612000 792000]gtgt setpagedevice

  1. 1 World Health Organization WHO
  2. 2 Beijing Platform for Action BPA 1995
  3. 5 International Covenant on Civil and Political Rights ICCPR 1966
  4. 7 Krug Etienne et al 2002 World Report on Violence and Health Geneva WHO
Page 10: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na

ambayo inahusisha maneno au vitendo vilivyokusudia kusababisha utokeaji wa madhara au vitisho kwa mtoto

Kulazimisha Kutishia au kutumia nguvu ikiwa ni pamoja na kutumia vitisho kauli mbaya ulaghai udanganyifu mila potofu au nguvu ya kipato bila ridhaa yake

Huduma kwa waathirika wa UWAKI Ni huduma jumuishi zinazotolewa kwa waathirika zikijumuisha Kuchukua historia ya mtu aliyepatwa na UWAKI upimaji wa kina kuchukua vipimo vya ushahidi wa kimahakama kwa mujibu wa sheria unasihi kupata matibabu ya awali kupata msaada wa kisheria na kisaikolojia na pale inapobidi kupewa ulinzi

Ridhaa Kufanya uamuzi wenye uelewa uhuru na hiari kuhusu jambo lolote Hakuna ridhaa ikiwa makubaliano yamepatikana kwa njia ya vitisho nguvu au aina zozote za kulazimishwa utekaji nyara udanganyifu ulaghai na upotoshaji

Ukatili ndani ya familia Ni vitendo vya unyanyasaji wanavyofanyiana watu walio katika uhusiano wa karibu kama vile ndoa uchumba familia au watu wanaoishi pamoja kama mke na mume bila ndoa rasmi

Kuna aina mbalimbali za ukatili wa kifamilia zikiwa ni pamoja na ukatili wa kimwili (kumpiga kumwuma kumsukuma kumzuia kumtupia vitu) au kumtishia Aina nyingine ya ukatili wa kifamilia ni ukatili wa kisaikolojia (kumfanyia vitisho kuvizia kumpuuzia) na ukatili wa kiuchumi Madhara yanayotokana na ukatili wa kifamilia ni pamoja na matumizi makubwa ya pombe utegemezi wa dawa za kulevya na magonjwa ya akili

Kituo cha Hifadhi ya muda Mahali pa kupata taarifa usalama huduma ya kwanza rufaa na mahitaji mengine muhimu na ya haraka kwa waliopatwa na UWAKI ambao wanahitaji mahali salama penye usiri kwa kipindi fulani

Kituo maalumu cha malezi Mahali rasmi panapotambulika kisheria kama makao ya watoto au shule za maadilisho Mahali pa kulelea watoto

ix

wanaoishi katika mazingira hatarishi kama vile kituo cha kulelea watoto kinachomilikiwa na watu binafsi taasisi za dini au serikali

Mlezi maalumu Mtu mzima mwenye akili timamu maadili mazuri na anayeaminika katika jamii ana uwezo wa kumlea mtoto ambaye siyo ndugu yake au wa nasaba yake ambaye amethibitishwa na ustawi wa jamii kuweza kumpa matunzo

Kulazimisha kurithi Mjane Ni mila ambapo mjane anashurutishwa bila ridha yake kuwa mke au mume wa ndugu wa marehemu Inawezekana kuwa katika aina au mtindo tofauti kulingana na tamaduni

Ukahaba wa Kulazimishwa Ni kitendo cha ulaghai kinachofanywa na watu kwa makundi hatarishi kama wanawake au wasichana kwa kuwaahidi kuwapatia vitu msaada au ajira halali na badala yake kuwatumikisha katika biashara ya ngono

Jinsia Ni uhusiano uliojengeka katika jamii Watu huzaliwa wakiwa na maumbile ya kike na kiume kisha hujifunza kazi au shughuli za kike na kiume kwenye jamii na hatimaye husababisha watu kujipangia majukumu kutokana na jinsia

Ukatili wa Kijinsia (UWAKI) Ni kitendo chochote cha kikatili anachofanyiwa mtu yeyote awe mwanamke mwanamume au mtoto chenye lengo la kumwumiza kimwili au kiutu kutokana na jinsia yake Ukatili wa kijinsia unajumuisha ukatili wa kingono kisaikolojia mila hatarishi na unyanyasaji wa kiuchumi na kijamii

Kupambana na Ukatili wa Kijinsia Kunajumuisha mambo yafuatayo Kutoa huduma kuandaa mipango mkakati kwa kuwashirikisha wadau mbalimbali

Mila na desturi hatarishi

bull Ukeketaji Ni kitendo cha kikatili anachofanyiwa mtoto wa kike msichana au mwanamke kwa kukata kabisa au kuondoa sehemu ya via vya nje vya uzazi kwa sababu zisizo za kitabibu

x

bull Ndoa katika umri mdogo Ni ndoa zinazojitokeza zaidi kwa wasichana ambazo zinahusishwa na madhara kwa mama na mtoto kama vile matatizo wakati wa kujifungua ulemavu na vifo vya mama na mtoto

bull Ndoa ya kulazimishwa Ni ndoa zinazofanyika bila ridhaa ya mwanamume au mwanamke Iwapo mmoja kati yao hatakubaliana ndoa hizo zinaweza kusababisha madhara ya unyanyasaji na ukatili

bull Utakaso wa mjane Ni desturi ambapo mjane hulazimishwa au hulazimika kufanya ngono na ndugu wengine au mtu aliyeteuliwa kwa kazi hiyo katika jamii Hii hufanyika kabla mjane huyo hajaolewa au kuoa tena

Haki za binadamu Ni stahili za msingi ambazo kila binadamu anapaswa kuzipata ili kumwezesha kuishi kujiendeleza kushiriki na kupata ulinzi wa jamii bila kujali utaifa jinsia asili ya utaifa au nasaba au kabila rangi dini lugha au kwa hali nyingine yoyote

Matukio ya ukatili Ni kitendo au mfululizo wa vitendo vya ukatili vinavyofanywa na mtu au kikundi cha watu dhidi ya mtu au kundi la watu kwa makusudi ya kuharibu kuleta hofu au kutishia amani kwa maslahi binafsi Vitendo hivyo vya kikatili vinaweza kufanyika nyumbani kwenye hadhara na mahali popote katika nyakati tofauti

Ukatili kati ya wenzi Ukatili unaohusisha wenzi wenye uhusiano wa ndani kama vile mtu na mke marafiki wapenzi wanafamilia au watu wanaoishi pamoja kama mke na mume bila ndoa rasmi Ukatili kati ya wenzi ni wa aina nyingi ikiwa ni pamoja na ukatili wa kimwili (kupigwa kuuma kumsukuma kumzuia kumtupia vitu) au kumtishia Aina nyingine ya ukatili wa wenzi ni ukatili wa kingono kisaikolojia (kumfanyia vitisho kuvizia kumpuuza) na ukatili wa kiuchumi (kunyimwa haki ya kufanya kazi kunyangrsquoanywa kipato kurithi mali nk)

Mhalifu Ni mtu kundi la watu au taasisi linalofanya moja kwa moja au kupitia wengine uhalifu au vitendo vya kikatili dhidi ya mtu au kundi la

xi

watuWahalifu wanakuwa katika hali ya kuwa au kuhisi kuwa na nguvu kufanya uamuzi naau mamlaka ya kuwadhibiti waliopatwa na UWAKI

Ukatili wa kimwili Ni kitendo cha kumdhalilisha mtu kwa kumpiga kumvua nguo kumwuma kumchoma kumsababishia ulemavu au kumwua kwa kutumia au kutotumia silaha

Nguvu Katika muktadha wa UWAKI madaraka yanahusiana na uwezo wa kuchagua Mamlaka makubwa yanaendana na uwezo mkubwa wa kufanya uamuzi Kwa upande mwingine mamlaka madogo yanaendana na uwezo dhaifu wa kufanya uamuzi na kwa hivyo kuongeza uwezekano wa kunyanyaswa UWAKI unahusisha matumizi mabaya ya madaraka ambapo mtu mmoja anajisikia kuwa ana mamlaka zaidi juu ya mwenzake na kutumia fursa hiyo kumnyanyasa

Kwa mfano kutumia shinikizo la aina yoyote ili kumfanya mtu mwenye uwezo mdogo kufanya naye ngono kwa madhumuni ya kumpatia faida au ahadi zozote ni kutumia vibaya madaraka Wanaume wana nafasi za madaraka kuliko wanawake na mara nyingi wanamiliki fedha mali na huduma Wanaume wana maumbile makubwa zaidi ya wanawake wana nguvu zaidi wanatumia silaha zaidi na wanadhibiti mawasiliano na usalama Madaraka yanategemea umri na mara nyingi watoto na wazee wana madaraka madogo zaidi Waume au marafiki wa kiume wana umri mkubwa zaidi kuliko wake zao au marafiki wa kike

Ubakaji Ni kitendo cha mtu kumwingilia mtu kimwili mtu mwingine kwa nguvu bila ridhaa yake au kitendo cha kumwingilia mtu mwenye umri chini ya miaka 18

Ulazimishaji ngono ndani ya ndoa Ni kitendo cha ngono kati ya wanandoa kinachofanywa na mwanandoa mmoja bila ridhaa au dhamira ya mwenzake akitumia nguvu vitisho kuogopesha hofu au wakati mwenza hawezi kutoa ridhaa

Vitendo hivyo vya ngono vinajumuisha kujamiiana ngono ya mdomo au kinyume na maumbile kulazimishwa kufanya ngono na mtu mwingine na vitendo vingine vya ngono ambavyo vinachukuliwa na mlazimishaji kama ukandamizaji udhalilishaji na vya kuumiza

xii

Nyumba salama Mahali pa hifadhi ya muda kwa watu waliopatwa na UWAKI mashahidi au watu wengine wanaoonekana kuwa hatarini Pia ni mahali ambapo jamii familia mtu mzima anayeaminika au taasisi ya hisani wanatoa kimbilio la usalama kwa watu waliopatwa na UWAKI

Ukatili wa Kingono Ni kitendo au jaribio lolote la unyanyasaji wa kingono linalosababisha au linaloweza kusababisha madhara ya kimwili kisaikolojia au kihisia

Ngono za Kulazimishwa Ni kitendo cha kumshurutisha au kujaribu kumshurutisha mtu mwingine kwa njia ya ukatili vitisho maneno makali udanganyifu kumpa matarajio ya kiuchumi ili ajihusishe na vitendo vya ngono bila ridhaa yake Ni pamoja na vitendo mbalimbali kama ubakaji na maeneo mapana zaidi kama wanawake kulazimishwa kuolewa na kutoa huduma ya ngono kwa wanaume ambao sio chaguo lao

Ukandamizaji wa Kingono Ni kumtumia mtu watu au jamii inayoishi kwenye mazingira magumu kwa madhumuni ya kuihusisha katika vitendo vya kujamiiana au vinavyohusiana na kujamiiana ili mhalifu afaidike kiuchumi au kijamii

Bughudha ya Kingono Ni matendo yanayohusiana na hisia za kujamiiana ambayo yanakera na kuudhi watu ndani ya jamii na mazingira ya kazi hayakubaliki yanasumbua yanarudiwa mara kwa mara na bila ridhaa kwa mfano matusi kukonyeza mavazi duni yenye kuonyesha maungo kupapasa picha za ngono na kuingilia faragha za mwili wa mtu

Ukatili wa Kingono Nikitendo au jaribio lolote la unyanyasaji wa kingono linalosababisha au linaloweza kusababisha madhara ya kimwili kisaikolojia au kihisia

Ukatili wa Kiuchumi na Kijamii Ni vitendo vya kumnyima mtu fursa ya kupata mahitaji ya msingi na ya kujiendeleza kama kumnyima elimu kazi kumiliki mali huduma za afya na vitendo vingine vinavyosababisha msongo wa mawazo

xiii

Ukatili Matumizi ya nguvu yanayompa mtu fursa ya kumtumia au kumkandamiza mtu mwingine ikiwa ni pamoja na kumsababishia woga au hofu madhara ya kimwili kifikra na kisaikolojia Ukatili unaweza kujitokeza kwa kumdhuru mtu kimwili au kumtishia kwa kutumia silaha au kumnyima mtu uhuru wa kufanya uamuzi na kumlazimisha kutenda kinyume na utashi wake

Ukatili Dhidi ya Wanawake Ni kitendo au vitendo vya unyanyasaji vyenye kulenga jinsia ya kike na vyenye kusababisha au kuleta madhara ya kimwili kingono kihisia kisaikolojia kiuchumi na kijamii Kitendo au vitendo hivi hujumuisha kutumia nguvu na vitisho vya kumnyima mwanamke haki na uhuru

xiv

SEHEMU YA KWANZA

UTANGULIZI

11 Hali ya Ukatili wa Kijinsia Duniani

Ukatili Wa Kijinsia (UWAKI) unatokana na kuwepo kwa tofauti kati ya wanaume na wanawake na hivyo kuhatarisha afya utu usalama na uhuru wa wahusika waliofanyiwa vitendo vya kikatili

UWAKI unajumuisha vitendo vingi vya ukiukwaji wa haki za binadamu kama vile unyanyasaji wa watoto kingono ubakaji unyanyasaji katika familia shambulio la aibu na udhalilishaji Vitendo vingine vya UWAKI ni usafirishaji haramu wa wanawake na wasichana na madhara mengine yatokanayo na mila na desturi hatarishi

Matukio ya ukatili wa kijinsia yanaacha athari kubwa za kisaikolojia na za kiafya kwa watu waliopatwa na ukatili ikiwa ni pamoja na kuathiri afya ya uzazi na mara nyingine kusababisha vifo

UWAKI haujatambuliwa kama ukiukwaji wa haki za binadamu katika sehemu nyingi duniani Tatizo hili hupunguza uwezo wa wanawake wanaume na watoto katika kufurahia uhuru na haki za msingi za kibinadamu Hata hivyo licha ya kuwepo kwa UWAKI katika nchi nyingi tatizo hili halijapewa kipaumbele UWAKI unaelezwa kuwa ldquoNi kitendo kiovu na cha aibu kubwa cha ukiukwaji wa haki za binadamurdquo Hali hii humfanya mwanamke kuwa tegemezi kijamii kiuchumi na kisheria na hupunguza uwezo wake katika kupata msaada mara anapofanyiwa ukatili

Utafiti uliofanywa na Shirika la Afya Duniani (WHO) kuhusu afya ya wanawake na ukatili wa kifamilia katika nchi 10 umeonyesha kuwa kati ya wanawake waliowahi kuwa na wenzi asilimia 13-61 walifanyiwa ukatili wa kimwili na wenzi wao asilimia 6-59 walifanyiwa ukatili wa kingono na asilimia 15-71 walifanyiwa vitendo vya ukatili wa kingono pamoja na kimwili Pia wanawake wengi vijijini walikiri kuwa walifanyiwa tendo la ngono kwa mara ya kwanza bila ridhaa yao na takwimu zinaonyesha matukio hayo katika baadhi ya nchi kama ifuatavyo Peru (24)

1

Tanzania (17) Bangladesh (30) na Ethiopia (17) Ukatili wa kimwili kwa wanawake wajawazito uliripotiwa kuwa ni asilimia 4-12

Wanawake na wasichana wanakabiliwa na aina nyingine ya ziada ya unyanyasaji Usafirishaji haramu wa wanawake na wasichana kwa ajili ya kazi na ngono za kulazimishwa ni biashara iliyoshamiri na mara nyingi waathirika ni wale wanaokabiliwa na hali ngumu ya maisha Ndoa za kulazimishwa na za utotoni ni ukiukwaji wa haki za binadamu kwa wanawake na wasichana lakini zinaendelea kushamiri kwenye nchi nyingi za Bara la Asia Mashariki ya Kati na Nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara Utafiti wa Shirika la Afya Duniani (2010) unaonyesha kuwa duniani kote mwanamke mmoja kati ya wanawake watano na mwanamume mmoja kati ya wanaume 10 wanaripotiwa kuathirika na unyanyasaji wa kingono wakati wa utoto

12 Hali ya UWAKI Kanda ya Afrika

Kuna uhaba wa taarifa takwimu na utafiti kuhusu UWAKI kwenye ukanda wa Afrika Mashariki Nchini Kenya kulikuwa hakuna takwimu zenye kuhusiana na ukatili wa kijinsia hadi utafiti wa hali ya jamii na afya ulipofanyika mwaka 2003 Utafiti huu ulionyesha kwamba asilimia 29 ya wanawake waliripotiwa kuathiriwa na ukatili wa kingono kwenye kipindi cha mwaka mmoja uliopita na wengi wa waathirika walikuwa wanawake wa umri wa miaka 20-29 Utafiti uliofanywa na Ushirika wa Wanasheria Wanawake nchini Kenya ulionyesha kwamba ukatili wa kijinsia katika familia unakabili asilimia 51 ya wanawake waliohudhuria kliniki nne za wajawazito kwenye jiji la Nairobi na waliripoti kuwa wamekuwa waathirika wa ukatili wakati fulani katika maisha yao kati yao asilimia 65 walifanyiwa ukatili na waume zao na asilimia 22 walifanyiwa ukatili na wanaume wasiowafahamu

Utafiti kuhusu UWAKI uliofanywa baada ya uchaguzi wa 2007 nchini Kenya ulilenga makazi duni ya Kibera jijini Nairobi yenye wakazi wapatao milioni moja Utafiti huu ulionyesha kuwa umri wa waathirika waliobakwa ulikuwa kati ya miaka 25-68 na wengi wao walikuwa wenye umri wa miaka ya 30 UWAKI uliwaathiri wanawake wa umri wa miaka yote Utafiti huu ulibaini kwamba baadhi ya waathirika waliambukizwa virusi vya UKIMWI

2

Mwaka 2007 Umoja wa Mataifa ulikadiria kuwa kiwango cha ubakaji wa wanawake katika eneo la Kivu kaskazini ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ulikuwa ni wanawake 350 kwa mwezi Mwaka 2008 shirika linalotetea haki za binadamu duniani (Amnesty International) liliripoti kuwa wanawake 40 hubakwa kila siku katika eneo hilo hilo

3

SEHEMU YA PILI

UCHAMBUZI WA UWAKI TANZANIA

21 Ukubwa wa tatizo la UWAKI Tanzania

Utafiti uliofanywa na Shirika la Afya Duniani (WHO)1 kuhusu afya ya wanawake na ukatili majumbani kwenye nchi 10 umebaini kuwa ukatili dhidi ya wanawake upo sehemu nyingi ikiwemoTanzania Utafi ti huo ulihusisha wanawake 1820 Dar es Salaam na wanawake 1450 Mbeya waliowahi kuwa na wenzi Matokeo yalionyesha kwamba asilimia 41 ya waliohojiwa katika jiji la Dar es Salaam na asilimia 55 ya waliohojiwa katika jiji la Mbeya waliathirika na aina mbalimbali za UWAKI Taarifa ilionyesha kuwa asilimia 15 hadi 71 ya wanawake walioathirika na ukatili wa kimwili au wa kingono ulifanywa na waume au wenzi wao Utafi ti huo pia ulionyesha kwamba asilimia 15 ya wanawake walifanya kitendo cha ngono kwa mara ya kwanza kwa kulazimishwa Aidha asilimia 4 hadi 12 ya wanawake waliripotiwa kunyanyaswa kimwili wakati wa ujauzito

Kufuatana na uchunguzi wa kitaifa nchini Tanzania kiwango cha ukatili majumbani kati ya wanawake wenye umri wa miaka 15- 49 ni asilimia 45 ikijumuisha ukatili wa kimwili (25) kingono (7) na (14) kwa aina zote mbili Unyanyasaji wa kimwili kwa wanawake wajawazito ulikuwa asilimia tisa (9) Kiwango cha wanawake waliokabiliwa na matukio ya kushurutishwa na wenzi wao kilikuwa asilimia sitini (60) Kiwango cha matukio ya ukatili wa kimwili kinatofautiana sana kati ya mkoa na mkoa ambapo kiwango cha juu sana kipo kwenye mkoa wa Dodoma (71) na cha chini kabisa kwenye mkoa wa Tanga (16) Ukatili wa kingono ni wa kiwango cha juu sana kwenye mkoa wa Rukwa (32) na chini kabisa kwenye mkoa wa Shinyanga (5) Kiwango cha wanawake waliowahi kuwa kwenye ndoa ambao wameathirika na ukatili wa kingono kutoka kwa mume au mwenzi wa sasa ni 48 mume wa zamani (21) rafiki wa kiume wa sasazamani (7) Kwa upande wa wanawake ambao hawajaolewa 27 ya ukatili ulifanywa na marafi ki wa kiume wa sasa au wa zamani

1 World Health Organization (WHO)

4

Uchunguzi wa WHO uliotajwa hapo juu umeonyesha usafi rishaji wa wanawake na wasichana kwa ajili ya kazi na ngono za kulazimishwa ni biashara iliyoshamiri na mara nyingi waathirika ni wale wanaokabiliwa na hali ngumu ya maisha Ndoa za kulazimishwa na za utotoni kama zilivyo kwenye jamii nyingi ni ukiukwaji wa haki za binadamu kwa wanawake na wasichana kwa sababu hawana fursa ya kutoa ridhaa Zaidi ya 60 ya waathirika wa UWAKI nchini Tanzania hawachukui hatua yoyote ya kutoa taarifa ya ukatili kwa mamlaka rasmi au vyombo vya kutekeleza sheria Upo uwezekano mkubwa wa maambukizo ya VVU kutokana na UWAKI Vijana wa kike wa Kitanzania wenye umri wa miaka 18-29 ambao wamekuwa wakinyanyaswa na wenzi wao wana uwezekano wa mara 10 zaidi kupata maambukizo ya VVU kuliko wanawake ambao hawajanyanyaswa

Utafiti uliofanyika Dar es Salaam mwaka 2000 ulibaini kuwa zaidi ya 90 ya waathirika wa ubakaji wanawafahamu wahalifu wao Katika utafiti mwingine uliofanyika Dar es Salaam asilimia ishirini na tano (25) ya wanawake waliohojiwa walikiri kwamba ldquoUkatili ni tatizo kubwa kwenye maishardquo Nchini Tanzania ubakaji ndani ya ndoa hautambuliwi kama kosa la jinai isipokuwa kama wenza wametengana

Vitendo vya UWAKI nchini Tanzania kwa ujumla vinalenga zaidi wanawake na wasichana kutokana na desturi na mazoea ya jamii ambazo zinawabagua na kuwapunguzia uwezo wa kufurahia haki zao za kibinadamu Ingawa mashambulizi ya ngono yanawalenga zaidi wanawake na wasichana hata hivyo wanaume na wavulana vilevile wanalengwa katika unyanyasaji wa kingono kubughudhiwa na kushambuliwa

Ukatili kama ulivyofafanuliwa unadhihirisha tofauti ya madaraka kati ya mwathirika na mhalifu wa ukatili wa kingono ambapo mhalifu mara nyingi ana umbo kubwa umri mkubwa utajiri au ni mmojawapo kwenye kundi la watu wenye mamlaka au anatumia silaha Nchini Tanzania asilimia 134 ya vijana wameathiriwa na mashambulio ya kingono ya namna moja ama nyingine Kwa ujumla kutokana na sababu mbalimbali nchini Tanzania kuna uhaba wa taarifa za UWAKI pia taarifa zilizopo siyo kamilifu

5

Uzoefu unaonyesha kuwa bila kujali hali ya afya ya kimwili ya mwathirika UWAKI humwacha mwathirika na majeraha ya muda mrefu na kupunguza uwezo wa mwathirika kushirikiana na jamii na familia Athari zaidi hujitokeza kwa mwathirika kama vile aibu unyanyapaa msongo wa mawazo na mfadhaiko Tatizo hili kwa waathirika linachochewa na ldquoUtamaduni wa ukimyardquo miongoni mwa familia na jamii inayowazunguka UWAKI una athari ya moja kwa moja na matokeo hasi kwa afya na ustawi wa kiuchumi na kijamii kwa familia hasa kwa wanawake na watoto

22 Unyanyasaji wa Mtoto na Kijana

Utafiti wa kitaifa nchini Tanzania kuhusu Ukatili Dhidi ya Watoto ni wa kwanza na wa aina yake katika Bara la Afrika Matokeo ya utafi ti yameonyesha kwamba mara nyingi watoto wanakabiliwa na unyanyasaji na matukio mengi na ya namna mbalimbali yanayojumuisha ukatili wa kimwili kingono na kisaikolojia Utafiti ulibaini kuwa watoto wengi wako kwenye hatari kubwa ya kunyanyaswa kwenye mazingira ya nyumbani na shuleni Haya ni maeneo mawili ambayo watoto wengi wa Kitanzania hutumia muda wao mwingi wakati wanakua na kuelekea kwenye ujana Robo tatu ya watoto wanapofikia umri wa miaka 18 huwa wameathirika na ukatili wa kimwili kwa namna moja ama nyingine kutokana na ukatili wa ndugu mwalimu au kiongozi Kutokana na utafiti takribani 30 ya wanawake wenye umri kati ya umri wa miaka 13-24 na 14 ya wanaume wenye umri kati ya miaka 13-24 nchini Tanzania waliripotiwa kuathirika na ukatili wa kingono angalau mara moja kabla ya kufikisha umri wa miaka 18

Nchini Tanzania ukeketaji hufanyika mapema utotoni Karibu mwanamke mmoja kati ya wanawake watatu waliokeketwa (32) walikeketwa kabla ya kufikisha umri wa mwaka mmoja na 27 walikeketwa wakiwa na umri wa miaka 13 au zaidi Hata hivyo ukeketaji kwa wasichana hufanyika katika umri mdogo sehemu ya wanawake waliokeketwa wakiwa na umri wa miaka 5 iliongezeka kutoka 34 hadi 39 kwa mujibu wa Utafiti wa Afya ya Jamii [UAJ] 2004-05 na UAJ 2010 Kulingana na utafiti huu 5 ya wasichana wa miaka 13shy17 waliripotiwa kuwa wamekeketwa na 10 ya wasichana wa umri wa miaka 18-24 waliripotiwa kukeketwa Kwa mujibu wa sheria kukeketa ni

6

kosa linalostahili adhabu Kuna uwezekano kwamba wale waliokeketwa huwa wanasita kutoa taarifa na ndiyo sababu ya taarifa kuwa chache

23 Mazingira ya Sera ya UWAKI

Serikali ya Tanzania imeonyesha nia yake ya kushughulikia masuala ya UWAKI kwa kuridhia mikataba kadhaa ya kimataifa yenye kuhusiana na UWAKI na jinsia Mkataba wa Kutokomeza Aina Zote za Ubaguzi Dhidi ya Wanawake (1985) ambao umekuwa chombo katika kupambana na matukio ya ubaguzi ikiwa ni pamoja na ukatili Jukwaa la Beijing (1995)2 na Malengo ya Maendeleo ya Milenia (2000)3 Tanzania pia imeridhia hati ya Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu kuhusu haki za wanawake na hati ya Ushirikiano wa Maendeleo wa Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC)4

Vipaumbele vya maendeleo ya Tanzania vinaainishwa katika Dira ya Taifa 2025 na katika Mpango wa Kuondoa Umaskini na Kukuza Uchumi (MKUKUTA) MKUKUTA II (2011-25) unashughulikia UKIMWI na jinsia kama masuala mtambuka na ni mkakati wa kwanza wa kitaifa unaotambua UWAKI kama suala la kisera kwa watu wote Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto ndiyo yenye jukumu la kuratibu shughuli zote zinazohusiana na jinsia

Wizara hiyo imetayarisha Sera ya Maendeleo ya Jinsia (2000) kwa ajili ya kushughulikia upungufu na kukosekana kwa usawa kati ya wanaume na wanawake Pia Wizara imetayarisha Mkakati wa Kitaifa wa Jinsia na Maendeleo (2002) unaotoa dira na kuwezesha usawa wa kijinsia nchini Pamoja na Mpango wa Taifa wa Vitendo vya Kukinga na Kutokomeza Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto (2001-2015) kwa ajili ya kuongeza juhudi za Serikali za kisheria kwa kupambana na UWAKI na kuhakikisha lsquousawarsquo na lsquohakirsquo kati ya wanawake na wanaume nchini Tanzania Sera ya Taifa ya Afya ina mfumo wa utoaji wa huduma za afya kwa watu wote wanaohitaji ikiwa ni pamoja na waathirika wa UWAKI

2 Beijing Platform for Action - (BPA 1995) 3 Millennium Development Goals - (MDG 2000) 4 Southern African Development Cooperation - (SADC)

7

24 Haki za Binadamu Sheria na Mazingira ya Udhibiti

Tanzania imeridhia Sheria ya Haki za Binadamu na masharti ya vyombo kadhaa vya kimataifa na kikanda ambavyo vinakataza ubaguzi kwa misingi ya jinsia na hivyo kuhitaji serikali ihakikishe kwamba wanawake hawabaguliwi Vyombo hivi ni Mkataba wa Kimataifa wa Kuzuia aina zote za Ukatili na Unyanyasaji wa Kijinsia 1979 pamoja na Mkataba wa Kimataifa wa Haki za Kiraia na Kisiasa (1966)5 Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu (1981) na Hati ya Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu Kuhusu Haki za Wanawake Afrika (2000)

Tanzania imetunga sheria inayosimamia kukinga na kupambana na UWAKI Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (1977) iko wazi kwa kukataza ubaguzi na kwa misingi hiyo inatoa haki ya usawa [Ibara ya 12-24] Sheria ya Mtoto (2009) inawezesha jitihada za kupunguza ukatili dhidi ya watoto Sheria Maalumu ya Makosa ya Kujamiiana (1998)6

ilitungwa kwa lengo la kulinda heshima ya mwanamke na kuweka vikwazo kwa UWAKI kwa kutoa adhabu kali kwa makosa ya kingono Sheria hii inajumuisha ukatili wa kingono ubakaji biashara haramu ya usafirishaji watu bughudha za kingono na kukataza ukeketaji chini ya kifungu cha lsquoUkatili kwa watotorsquo

Hii ilikuwa mara ya kwanza kwa Tanzania kutunga sheria ya kukataza vitendo vilivyotajwa hapo juu na hatima ya sheria hii imewekwa chini ya sheria za adhabu kifungu cha 16

Sheria ya Adhabu (marekebisho ya 2002) inawekea vikwazo vitendo vya UWAKI mathalan vitisho Sehemu ya 89B 89A kutoroka watoto Sehemu ya 166 kutelekeza watoto Sehemu ya 167 kuua bila kukusudia Sehemu ya 195 mauaji Sehemu ya 196 mashambulizi Sehemu ya 240shy243 kutorosha Sehemu ya 246 utekaji nyara Sehemu ya 244 kazi za kulazimishwa Sehemu ya 256 wizi utokanao na mwenzi Sehemu ya 264 tishio la uchomaji Sehemu ya 332 uchomaji Sehemu ya 319-322 kuficha nyaraka Sehemu ya 276-278 Sheria ya Biashara ya Binadamu Na 6 ya mwaka 2008 inakataza biashara ya binadamu kwa sababu yoyote

5 International Covenant on Civil and Political Rights - (ICCPR 1966) 6 The Sexual Offences Special Provisions Act 1998 (SOSPA)

8

Sheria ya Kuzuia VVU UKIMWI Na 28 ya mwaka 2008 inakataza unyanyapaa na inafanya uambukizaji wa VVU kwa makusudi kuwa kosa la jinai

Pamoja na kuwepo vyombo vya kimataifa kikanda kitaifa na vya sheria za kuhakikisha haki kwa wanawake tatizo la UWAKI limetapakaa nchini Tanzania lakini linaripotiwa kwa nadra UWAKI unaathiri zaidi wanawake na wasichana kuliko wanaume na wavulana Haya ni matokeo ya uhusiano usio sawa kati ya wanaume na wanawake katika jamii ambayo yanajidhihirisha katika maeneo kadhaa ikiwa ni pamoja na maeneo ya kiuchumi kijamii kisiasa na kisheria

Mara nyingi UWAKI unapunguza uwezo wa wanawake na wasichana wa kufurahia haki za kimsingi za binadamu na uhuru kama ilivyoainishwa kwenye Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Utambuzi wa wahalifu wa UWAKI nchini Tanzania ni nadra kulinganisha na idadi ya mashambulizi Ni muhimu kushughulikia mahitaji ya kisheria ya waathirika wote wa UWAKI wanawake wasichana wanaume wavulana na watoto

25 Miundombinu ya utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii

Mfumo wa utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii upo katika ngazi ya kitaifa mikoajiji na wilaya manispaa Mfumo huu unawezesha utoaji wa huduma za kuboresha afya kuzuia magonjwa tiba utengemao na ustawi wa jamii kwa kupitia vituo vya kutolea huduma za afya vinavyojumuisha zahanati vituo vya afya na hospitali

Kuna mfumo wa rufaa kitaifa wa njia mbili kupeleka na kurejesha mgonjwa ambao unaanzia kwenye jamii na kwenda kwenye zahanati ambazo zipo 4679 vituo vya afya (481) hospitali za wilaya (95) hospitali za mikoa (19) na hospitali za rufaa za taifa (8) Kuna vituo vya kutolea huduma za afya 5718 nchini Tanzania vikijumuisha zahanati (86) vituo vya afya (10) na hospitali (4) vikiwa chini ya umiliki wa serikali (69) mashirika ya kidini (14) mashirika ya umma ( 3) na mashirika binafsi (14)

9

Mpango wa Maendeleo wa Afya ya Msingi [(MMAM) 2007-2017 pamoja na malengo mengine unakusudia kuhakikisha kuwa kuna kituo kimoja cha afya kwa kila kata katika kata 2555 zilizopo na zahanati moja kwa kila kijiji katika vijiji 10342 Jumla ya vituo vya afya ya msingi 8107 hospitali za wilaya 62 na taasisi 128 za mafunzo zitaanzishwa ifikapo mwaka 2012

Mahitaji ya watoa huduma za afya ni 82377 na waliopata mafunzo ni 29063 (35) ikiwa ni upungufu wa 65 ya mahitaji Mahitaji ya watoa huduma wa ustawi wa jamii ni 3892 Kuna wafanyakazi 210 wa ustawi wa jamii ikiwa ni upungufu wa 95 ya mahitaji na uhaba mkubwa katika ngazi za wilaya (93) kata (100) na vituo vya watu wenye ulemavu na taasisi nyingine (85) (WAUJ 2006)

Kuna uhaba wa wafanyakazi wa afya wenye ujuzi kwenye ngazi za zahanati (69) vituo vya afya (59) na hospitali za rufaa (48-67) Kwa ujumla kuna uhaba wa wafanyakazi wa ustawi wa jamii wenye ujuzi kwa kiwango cha 95 katika ngazi zote kanda (21) wilaya (93) kata (100) na vituo vya walemavu (95) Kama ujenzi wa vituo hautaendana na upatikanaji wa watoa huduma utekelezaji wa MMAM utakuwa na upungufu mkubwa

Kwa kawaida kuna hospitali ya wilaya au teule kwa kila Mamlaka ya Halmashauri ya Wilaya (MHW) Kuna MHW 133 ambazo zina majukumu na wajibu wa kutoa huduma za afya kwenye maeneo yao Kila MHW ina Bodi ya Afya ya Wilaya (BAW) ambayo inajumuisha madiwani waliochaguliwa na kusimamia mipango na utekelezaji wa huduma za afya kwenye wilaya

Mipango na usimamizi wa huduma za afya katika halmashauri inaongozwa na Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri ambayo kiongozi wake ni Mganga Mkuu wa Wilaya na ni Katibu wa BAW Kuna bodi ya hospitali ya wilaya teule Bodi ya Huduma ya Afya (BHA) ya kituo cha afya inayowakilisha wakazi wa kata na bodi ya zahanati inayowakilisha wakazi wa kijiji bodi zote zikiwa na uwakilishi sawa wa kijinsia

Makadirio ya matumizi ya afya kwa mtu mmoja kwa mwaka 201011 ilikuwa ni dola za kimarekani 1575 ambapo WHO imependekeza

10

kiwango cha dola 3400 za Kimarekani Matumizi ya afya ni asilimia 14 ya Bajeti ya Taifa kwa mwaka ambacho ni chini ya kiwango cha asilimia 15 kilichopendekezwa na Tamko la Abuja

Mfumo wa utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii upo katika ngazi zifuatazo

[a] Ngazi ya Kitaifa WAUJ ina jukumu la kutayarisha sera za afya na miongozo inayohusiana na huduma za afya kuweka viwango kuhakiki ubora kufuatilia na kutathmini pamoja na kusimamia utoaji wa huduma za afya zenye kujumuisha kuboresha afya kinga tiba utengemao na ustawi wa jamii Hospitali za rufaa zina asilimiai 52 tu ya wafanyakazi wenye ujuzi

[b] Ngazi ya MkoaJiji Timu ya Uendeshaji ya Afya ya Mkoa ina jukumu la kuongoza na kuendeleza utekelezaji wa mpango mkakati wa afya kwenye mkoa pamoja na ushauri wa kitaalamu kwa Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri kwenye maeneo yafuatayo (1) Utekelezaji wa sera miongozo na viwango vya utoaji wa huduma za afya kwa usahihi na kwa muda uliopangwa ukihusisha watoa huduma wote wa umma binafsi kwenye MHW (2) kupanga kwa ufanisi kutekeleza kufuatilia na kutathmini mipango ya afya ya kina katika halmashauri Kamati ya utawala ya hospitali ya mkoa ina jukumu la kupanga na kusimamia hospitali ya mkoa ambayo ni ngazi ya pili ya rufaa Kuna hospitali 19 za mikoa ambazo zina 34 tu ya wataalamu wa afya

[c] Mamlaka ya Halmashauri ya WilayaManispaa Huduma za afya katika ngazi hii zinasimamiwa na Halmashauri ya Wilaya kupitia BAW chombo kilichoundwa (2001) chini ya Sheria namba 7 ya mwaka 1982 kifungu cha 86A BAW inawajibika kwa utoaji wa huduma za kina kwenye wilaya Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri inatoa ushauri wa kiutaalam kwa utekelezaji wa uamuzi wa BAW

[d] Ngazi ya Wilaya Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri huandaa na kutekeleza mpango wa kina wa afya wa halmashauri pamoja na kufuatilia na

11

kutathmini huduma za afya kwenye hospitali vituo vya afya zahanati na jamii ikiwa ni pamoja na kufanya utafiti Kamati ya Utawala ya Hospitali inasimamia mipango na huduma kwenye hospitali ya wilaya ambayo ni ngazi ya kwanza ya rufaa Kuna hospitali 95 za wilaya zikiwa ni pamoja na hospitali teule ambazo zina asilimia 33 tu ya wataalamu wa afya

[e] Ngazi ya Kata Kamati ya Afya ya Kata inasimamia upangaji ubunifu na uratibu wa mipango ya afya ya jamii husimamia na huhamasisha upatikanaji wa rasilimali pamoja na ukusanyaji na matumizi ya Mfuko wa Afya wa Jamii Vituo vya afya vina jukumu la kutoa huduma za kina za afya na ustawi wa jamii kwenye kata Kamati ya Kituo cha Afya inasimamia utoaji wa huduma za afya na kuhamasisha ukusanyaji wa rasilimali zinazohitajika Timu ya Kituo cha Afya ina wajibu wa kusimamia shughuli za kila siku kwenye kituo cha afya Timu inapanga na kusimamia juhudi za afya ya jamii katika eneo lake chini ya Mpango wa Maendeleo ya Kata Kuna jumla ya kata 2555 nchini ambapo kata 481 sawa na 19 zina vituo vya afya ambavyo vina 41 tu ya wataalamu wa afya

[f ] Ngazi ya Kijiji Kamati ya Zahanati inahakikisha kwamba idadi ya watu katika eneo lake wanapata huduma sahihi za afya na nafuu pamoja na kusimamia uhamasishaji wa rasilimali kwa ajili ya utekelezaji wa mpango wa zahanati Timu ya Usimamizi wa Zahanati inapanga na kusimamia juhudi za afya ya jamii kwenye maeneo chini ya Mpango wa Maendeleo ya Kata Kuna jumla ya vijiji 10342 ambapo 4679 vina zahanati sawa na 45 ambazo ni aslimia 31 tu ya zahanati zina wataalamu wa afya wanaotosheleza Kamati ya Huduma za Jamii kwenye kijiji ina wajibu wa kuhamasisha na kushirikisha jamii ili wajihusishe kuboresha na kulinda afya

[g] Ngazi ya Kaya Kuna kaya takriban milioni 7 nchini Tanzania na wastani wa watu 47 kwa kila kaya (ambapo 70 ya kaya zote zinaongozwa na wanaume na 30 zinaongozwa na wanawake) Sera ya Afya ya Taifa inatamka kwamba ni wajibu wa kila raia kuendeleza na kulinda afya yake pamoja na ya familia yake Pamoja na haya kila raia ana jukumu la kujiepusha na tabia hatarishi kwa afya yake pamoja na ya mwenzie na kuchangia rasilimali kwa ajili ya afya yake na uendelezaji wa vituo vya kutolea huduma za afya

12

26 Kukinga na Kupambana na UWAKI

Serikali ya Tanzania na washirika wake wa karibu wametekeleza mambo mbalimbali yanayohusiana na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Wizara ambazo zinahusika kwa ukaribu kwenye utekelezaji wa mipango ya kukinga na kupambana na UWAKI ni pamoja na Wizara ya Maendeleo y a Jamii Jinsia na Watoto Wizara ya Sheria na Katiba Wizara ya Mambo ya Ndani na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Kuna ushirikiano kati ya wizara idara mashirika asasi za kiraia na wadau wa maendeleo Katika ngazi ya kitaifa serikali inatekeleza Mkakati wa Maendeleo ya Jinsia (2005) na kukuza usawa wa jinsia na haki kwa wanawake Utekelezaji wa Sheria Maalumu ya Makosa ya Kujamiana (1998) ambayo sasa ni Kanuni ya Adhabu Sura ya 16 Toleo la Marekebisho 2002 Pia serikali inatekeleza Mpango wa Taifa wa Vitendo wa Kuzuia na Kutokomeza Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto (2001-2015) ambao una lengo la kutokomeza ubaguzi na unyonyaji wa kisheria kijamii kiuchumi kiutamaduni na kisiasa Zaidi ya yote Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (1977) inatamka kuheshimu misingi ya usawa na haki kwa kila mtu

Kwa kushirikiana na wadau wengine serikali inawezesha uanzishwaji wa kitengo cha jinsia kwenye idara za wizara mbalimbali (mfano idara ya polisi chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi) Mashirika ya Jamii hutoa utetezi msaada wa kisheria huduma za afya na kuendesha kampeni na mashirika mengine yamechukua hatua za kutoa hifadhi kwa waathirika wa UWAKI na Vituo vya Kuhifadhi Waathirika Kuna sera za kitaifa sheria mikakati na mipango ya kazi kwa ajili ya kushughulikia usawa wa kijinsia Vilevile serikali kwa kushirikiana na asasi za kiraia imejenga mazingira mazuri ya kuwezesha waathirika kupata huduma kama vile msaada wa kisheria Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii (WAUJ) imekuwa ikitoa huduma kwa waathirika wa UWAKI licha ya kutokuwepo kwa mwongozo wa sera kwa ajili ya wahudumu wa vituo vya kutolea afya

27 Changamoto katika Kuzuia na Kupambana na UWAKI

Muundo wa sheria sera na juhudi za kukuza haki za binadamu zinakabiliwa na changamoto mbalimbali zinazofisha jitihada za kuzuia kupambana

13

na kuepusha athari za UWAKI nchini Tanzania Changamoto hizo ni pamoja na upungufu wa fedha upungufu wa kisheria na sera zilizopo uratibu duni kati ya wadau na kukosekana kwa mfumo wa rufaa kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI Hali kadhalika uelewa na taarifa juu ya ukubwa wa tatizo la UWAKI ni duni kwa hivyo WAUJ imebuni na kutayarisha mwongozo maalumu wa sera na huduma dhidi ya UWAKI ili kukabili changamoto hizo

[a] Sera za Taifa Serikali ya Tanzania inajitahidi kujenga mazingira mazuri ya kuzuia na kupambana na UWAKI Ingawa Sera ya Afya ina lengo la kutoa huduma za afya za kutosha kwa kila Mtanzania ipo haja ya kuwa na miongozo na mikakati inayofafanua masuala ya UWAKI kwa ukamilifu Ukosefu wa miongozo na sera ya usimamizi dhidi ya UWAKI ni kikwazo kikubwa kwa juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kutibu na kuhudumia waliopatwa na UWAKI Sekta ya afya itatumia mwongozo wa sera hii ili kuboresha huduma ya kupambana na UWAKI kwa kushirikisha na kuwahusisha wadau wote

[b] Sheria zaTaifa Pamoja na kuwepo sheria nyingi zilizopitishwa kwa ajili ya kulinda haki za wanawake na watoto bado zipo changamoto nyingi Kwa mfano kuna baadhi ya sheria zenye utata baadhi zinapingana na hivyo kupunguza uwezo wa kupambana na UWAKI Pamoja na hayo Sheria ya Ndoa kama ilivyofanyiwa marekebisho 2002 haiainishi hatua za kuchukuliwa dhidi ya ukatili wa kifamilia Sheria hii ni kama inahalalisha ubakaji kwa kuruhusu binti kuolewa chini ya umri wa miaka 18 Sheria ya Makosa ya Kujamiiana na Vipengele Maalumu (1998) haitambui ubakaji ndani ya ndoa ingawa inatambua ubakaji ikiwa mume na mke wametengana Mbali na upungufu huo sheria ya makosa ya kujamiiana kwa upande wa kuthibitisha ushahidi wa kuingiliwa kimwili ni mgumu Sheria ya Mila (Tangazo la Serikali Na4361963) ambayo inatumiwa na Watanzania wote wazawa inatokana na mila na desturi za makabila mbalimbali ya Tanzania sheria hii ya Mila ni ya kibaguzi na huleta changamoto kwa wanawake na watoto ambao wamezaliwa nje ya ndoa hususan katika urithi wa mali Kwa mfano ugawanaji wa mali ya marehemu upo katika makundi matatu (1) Mtoto wa kwanza wa kiume (2) Watoto wengine wa kiume waliobaki na (3) Watoto wa kike bila kujali umri

14

na hali katika familia Watoto wa kike wa marehemu hurithi fungu dogo na hunyimwa haki ya kumiliki ardhi Kwa mujibu wa sheria hii mjane hana haki ya kurithi mali yoyote kutoka kwa marehemu mume wake isipokuwa huchukuliwa kuwa atatunzwa na watoto wake Mjane ambaye hajabahatika kuzaa hupata asilimia 20 ya asilimia 50 ya mali za marehemu mume wake Mbali na urithi sheria hii kwa upande wa talaka ikiwa mke alilipiwa mahari wakati ndoa inapovunjwa na mahakama mume ana haki ya kudai kurudishiwa mahari

Sheria zenye kupunguza makali ya UWAKI zimeweka kanuni za kuwezesha wadau katika sekta mbalimbali kuandaa sera na miongozo ya kuzuia na kupambana na UWAKI Wahusika muhimu katika sekta mbalimbali wanapaswa kupitia sheria zinazotoa mwanya wa mwendelezo wa UWAKI na kupendekeza marekebisho au utungwaji wa sheria nyingine zitakazopunguza na kumaliza vitendo vya UWAKI Hata hivyo kuna umuhimu wa kuwepo kwa wajibu na majukumu ya sekta mbalimbali katika kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kupambana dhidi ya unyanyasaji na ukatili kwa watoto Kwa kutambua na kuimarisha wajibu huo katika kila sekta itasaidia uzingatiaji wa sera na kuimarisha ari ya utendaji katika sekta zifuatazo

bull Ustawi wa Jamii Kujenga mfumo wa kufanya tathmini ya vihatarishi katika kupima mfumo wa rufaa unaohusisha sekta na huduma mbalimbali kuweza kuamua na kuchukua hatua za haraka na za muda mrefu katika kupambana na kutoa mahitaji ya haraka na ya muda mrefu kwa ajili ya ulinzi wa watoto na waathirika wengine

bull Elimu Kujumuisha elimu dhidi ya ukatili wa kijinsia katika mitaala ya elimu ikiwa ni pamoja na kuandaa mazingira salama shuleni na kuingiza katika programu za elimu zinazoelezea juu ya masuala ya kujifahamu kimwili (kibiolojia) afya ya uzazi na maendeleo yaa jamii Kuhakikisha kwamba sekta mbalimbali za rufaa na mifumo inayotoa ulinzi wa mtoto vinahusishwa katika elimu hiyo

bull Polisi na sheria Kuimarisha na kupanua ulinzi sahihi wa kisheria kwa ajili ya watoto na kuchukua hatua za kisheria kwa watuhumiwa wa uhalifu kuendeleza juhudi za kuimarisha dawati la jinsia na watoto katika idara ya Polisi nchini Kuendelea kuelimisha polisi na watumishi wengine

15

wa usalama wa raia kuhusu ukatili dhidi ya watoto na kuwa na utaratibu wa uchunguzi wa pamoja na idara ya ustawi wa jamii afya mamlaka na vitengo vingine vinavyohusika na ulinzi na usalama wa mtoto

bull Afya Kufanya kazi katika muundo wa pamoja na wadau wengine kwa kufuata miongozo iliyopo kwa ajili ya kuzuia kutibu kuhudumia na kufuatilia matukio ya ukatili dhidi ya watoto Kuimarisha mifumo iliyo wazi yenye kuunganisha huduma rafi ki kwa watoto na vijana dhidi ya UWAKI

[c] Polisi na Mahakama Mabadiliko katika idara ya polisi hasa katika uanzishwaji wa polisi jamii na dawati la jinsia na watoto yanaonyesha maendeleo katika kushughulikia UWAKI Hata hivyo waathirika wa UWAKI wanakabiliwa na ugumu wa kufika katika vituo vya polisi na mfumo wa utoaji haki Kwa mfano zipo kesi zilizotupiliwa mbali na Mahakama kwa kukosa ushahidi muhimu kutoka upande wa mashtaka Matokeo yake ni kwamba waathirika wanakosa motisha ya kutoa taarifa ya matukio ya UWAKI na hivyo hushindwa kufikisha malalamiko katika vyombo vya utoaji haki

Upungufu wa mafunzo kwa polisi na watoa huduma za kisheria juu ya namna ya kuzitumia sheria zilizopo dhidi ya UWAKI kumesababisha kesi mahakamani kushindwa Mfano Fomu ya Polisi namba 3 (PF3) inatoa taarifa juu ya tukio la shambulio na haitoi maelezo juu ya tukio hilo kama limetokana na UWAKI Ingawa zipo sheria zinazopinga UWAKI sheria hizo hazifahamiki hivyo hazitumiki kikamilifu Pamoja na hayo sheria za kimila na imani za kidini zinazuia waathirika kutoa taarifa za matukio ya UWAKI

Sheria ya Makosa ya Kujamiiana na Vipengele Maalumu (1998) inatoa adhabu kali kwa makosa ya kujamiiana Mara nyingi watuhumiwa hawafikishwi mahakamani kwa kuhofia kudhurika kwa familia zao kwa upande wa kukosa kipato kutoka kwa mtuhumiwa (kwani adhabu za makosa hayo huwa ni kifungo cha muda mrefu) Kwa sababu hizo utoaji wa taarifa kutoka kwa waathirika na familia zao ikiwa ni pamoja na matumizi ya sheria na uendeshaji wa mashtaka umeendelea kuwa changamoto pamoja na kuwepo kwa Sheria ya Makosa ya Kujamiiana inayotoa ulinzi dhidi ya UWAKI

16

bull

bull

bull

bull

bull

[d] Mila na Desturi Katika ngazi ya jamii na mtu binafsi zipo sababu mbalimbali zinazochangia kwa kiwango kikubwa matukio ya UWAKI Utafiti uliofanywa na mtaalamu wa Shirika la Afya Duniani (WHO)7 unaainisha vipengele hatarishi vifuatavyo juu ya mila na desturi

Kanuni za kimila katika uhusiano wa kijinsia humpa mwanamume madaraka na haki zaidi Baadhi ya mila na desturi huhimiza uvumilivu juu ya vitendo vya UWAKI na kuwazuia waathirika kutoa taarifa na kupata msaada Uwezeshaji wa mwanamke katika kupambana na mfumodume hujenga hisia kwa mwanamume kuwa anapoteza mamlaka yake na hivyo huwaudhi baadhi ya wanaume na kuendelea kufanya ukatili kwa lengo la kuwadhibiti wanawake Matumizi ya baadhi ya sheria za kimila hayawasaidii waathirika kupata haki Hofu ya kulipiza kisasi unyanyapaa ubaguzi na kukosekana kwa huduma huwazuia waathirika kutoa taarifa na kupata msaada

[e] Madaraka na Mamlaka Madaraka na mamlaka ni muhimu katika kuzuia na kupambana na UWAKI Wakati mwingine watu wenye madaraka na mamlaka hufumbia macho matukio ya UWAKI Kwa mfano upo ushahidi wa kutosha kuwa kuna matumizi mabaya ya madaraka na mamlaka shuleni na maeneo ya kazi

[f ] Kuhusisha Jamii Jamii ndiyo ngazi ya awali kujua tukio la UWAKI na kutoa msaada wa usalama na ulinzi kwa mwathirika Utafiti wa Shirika la Afya Duniani katika nchi mbalimbali ulionyesha kwamba asilimia 37 ya waathirika walipata msaada kutoka kwa jamii Kutokana na kiwango cha unyanyapaa ubaguzi na kutengwa kijamii viongozi katika ngazi ya jamii waliohamasishwa juu ya UWAKI waliweza kukabili mazingira haya ya kiuhasama Jamii inaweza kumsaidia mwathirika kwa kujenga mazingira mazuri (kwa mfano kituo cha hifadhi salama) Jamii inahusishwa katika

7 Krug Etienne et al 2002 World Report on Violence and Health Geneva WHO Available at httpwwwwhointviolence_injury_preventionviolenceworld_report

17

bull

bull

bull

bull

kuwahamasisha waathirika kuwapa ulinzi mahitaji ya msingi msaada wa kisaikolojia na kuwapa rufaa kwa watoa huduma wengine Vilevile jamii inahusishwa katika kuzuia UWAKI kupunguza unyanyapaa na kuwapa unasihi waathirika pamoja na kuhamasisha viongozi wa kijamii na wanajamii kwa ujumla

Uhamasishaji huu ni muhimu kwa sababu jamii ni daraja kati ya mwathirika na huduma za afya na ustawi wa jamii

Jamii inapaswa kushirikishwa katika hatua za mwanzo na zinazofuata katika kuzuia UWAKI Katika hatua za mwanzo jamii inapaswa kujitahidi kuondoa tabia za kuvumilia matukio ya UWAKI na hivyo kupunguza matukio hayo Katika hatua zinazofuata jamii itatambua na kulinda wale walio katika hatari zaidi ya UWAKI kama watoto na wanawake Jamii pia inapaswa kutambua vikwazo vya utoaji huduma katika idara ya afya polisi na mfumo wa utoaji haki na kuisaidia jamii kuondokana na vikwazo vya upatikanaji wa huduma

Ni muhimu kuishirikisha jamii katika jitihada za utekelezaji wa kuzuia UWAKI na kupambana nao ikiwamo usimamizi wa matibabu ya waathirika Jamii ina uwezo mkubwa wa kuhamasisha waathirika kutafuta huduma za afya na huduma nyingine zinazohusiana na UWAKI kwa mfano huduma za polisi usaidizi wa kisheria na hifadhi salama Pia jamii ina wajibu wa kuwaunganisha waathirika na jamii zao

Hata hivyo zipo changamoto katika kuihusisha jamii kama vile

Upungufu katika kuwahusisha wanaume na wavulana katika kushughulikia UWAKI Wanajamii wamekuwa wakiwanyanyapaa badala ya kuwasaidia waathirika na wakati mwingine wameshiriki katika UWAKI Baadhi ya viongozi wa kijamii na kidini hawana utayari wa kuhamasisha kuzuia na kupambana na UWAKI Jamii zina kiwango kikubwa cha kunyamazia matendo ya UWAKI na kuzuia sheria kuchukua mkondo wake

18

[g] Hali ya kiuchumi na kijamii Kushughulikia UWAKI pekee kama changamoto inayohusu huduma za tiba ni kutibu dalili badala ya chanzo Ni muhimu kushughulikia vyanzo vya UWAKI kama umaskini miongoni mwa wanawake ambao huwafanya kuwa wategemezi

Serikali imetayarisha MKUKUTA II wenye kuainisha njia za kuendeleza na kulinda haki za binadamu kwa watu wote hasa kwa wanawake na wanaume maskini watoto watu wanaoishi katika hali hatarishi na makundi maalumu (angalia MKUKUTA II-kundi la III lengo la 3) na kuongeza uzalishaji na fursa za ajira zenye kuheshimika hasa kwa wanawake na vijana (angalia MKUKUTA II kundi la I lengo la 3) Changamoto iliyopo ni ukosefu wa kuweka vipaumbele katika utekelezaji wa ahadi hizi kwa wanawake na vijana kwa kuelekeza rasilimali za kutosha na kutekeleza mikakati katika kuleta mabadiliko ya hali ya kijamii na kiuchumi kwa wanawake na vijana hivyo kupunguza hali hatarishi ya UWAKI

28 Upungufu katika kupambana na UWAKI

Sekta ya afya imeandaa mwongozo wa kutoa huduma kwa waathirika wa UWAKI Hata hivyo ili kutoa huduma bora na za kirafi ki kwa waathirika sekta zinazohusika hazina budi kushughulikia upungufu ulioainishwa kama ifuatavyo

[a] Huduma za afya

Ukosefu wa mwongozo wa utoaji wa huduma kwa waathirika wa UWAKI Hakuna mwongozo wa utoaji wa huduma za kupambana na UWAKI kwa watoa huduma wa ngazi zote kuanzia nyumbani kwenye jamii zahanati vituo vya afya hospitali polisi mahakama na wadau mbalimbali Upungufu huu unakwamisha upatikanaji na utoaji wa huduma bora za kukinga na kupambana na UWAKI

Upungufu wa fedha Bajeti ya Serikali kuu na serikali za mitaa haikidhi mahitaji

19

Upungufu wa wataalamu wenye ujuzi wa kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Watoa huduma kwenye vituo vya kutolea huduma za afya na jamii hawana maarifa na ujuzi unaotakiwa kushughulikia mahitaji ya waathirika wa UWAKI wa marika yote

Kutojumuishwa kwa huduma za waathirika wa UWAKI na huduma nyingine Huduma za waathirika wa UWAKI hazikujumuishwa na huduma nyingine za afya na ustawi wa jamii kama vile afya ya uzazi upimaji wa VVU UKIMWI uzazi wa mpango na unasihi

Mfumo duni wa rufaa kwa waliopatwa na UWAKI Ingawa mfumo wa rufaa wa huduma za afya umeimarika kwa huduma nyingine lakini hakuna mfumo sahihi wa rufaa kwa waliopatwa na UWAKI Watoa huduma za afya hawana taarifa sahihi za waliopatwa na UWAKI kuhusu utaratibu wa kupeleka na kupokea wagonjwa kwenye vituo vyao na kwenda kwenye vituo vingine au huduma za mfumo wa jamii polisi kisheria na kadhalika Katika mazingira haya mahitaji ya rufaa kwa waliopatwa na UWAKI hayakidhiwi Waliopatwa na UWAKI hawana taarifa ambazo zitawasaidia kupata huduma na hivyo hushindwa kufanya uamuzi sahihi au kutafuta huduma na matibabu zaidi

Upungufu wa taarifa na takwimu Nchini Tanzania matukio yanayohusu UWAKI hayatolewi taarifa ipasavyo kutokana na sababu nyingi zikiwemo waathirika kusita kutoa ripoti ya matukio kutokana na unyanyapaa na ubaguzi hofu ya kutengwa na jamii aibu na miiko inayohusishwa na UWAKI Matokeo yake ni ukosefu wa taarifa zenye uhakika ambazo zinaweza kutumika kuandaa mpango kwa misingi ya utafi ti utaratibu wa utoaji huduma maendeleo ya kisera na utetezi ufuatiliaji na tathmini na uamuzi wa kiutawala

[b] Huduma za Ustawi wa Jamii Utoaji wa huduma za ustawi wa jamii unakabiliwa na ushirikiano mdogo kati ya watendaji wa sekta mbalimbali wa huduma za afya katika halmashauri Kuna upungufu wa watoa huduma za ustawi wa jamii katika ngazi mbalimbali Hali hii inaathiri wigo wa huduma ya msaada wa kisaikolojia unasihi marekebisho ya tabia na utengamao

20

bull

bull

bull

bull

bull

Kikwazo kingine ni watoa huduma za ustawi wa jamii na wadau wa afya kukosa stadi maalumu za kutosha kuhusu kuzuia na kupambana na UWAKI

Wajibu wa watoa huduma za ustawi wa jamii ni muhimu kwa sababu wanafanya kazi katika ngazi ya jamii ambapo matukio mengi ya UWAKI hutokea Wana majukumu makubwa kama watu wa mstari wa mbele kwenye kuzuia na kupambana na UWAKI Uhusiano kati ya jamii na utoaji wa huduma ndio kipimo cha kiwango cha waathirika wa UWAKI kupata huduma za matibabu na kurejea kwenye jamii ili kuendelea kuishi maisha yenye faraja

[c] Huduma za Jamii Baadhi ya upungufu wa uhusiano kati ya jamii na vituo vya kutoa huduma za afya ni pamoja na

Uelewa duni kuhusu masuala ya UWAKI na uwezeshaji wa jamii katika kuzuia na kupambana na UWAKI Uelewa duni wa mahali pa kupata huduma kwa waliopatwa na UWAKI Upungufu wa huduma za kijamii kwa waathirika ikiwa ni pamoja na mifumo ya kijamii ya kutoa ulinzi na usalama (kwa mfano vituo vya hifadhi ya muda) na huduma za rufaa za kiafya polisi na msaada wa kisheria

[d] Huduma za Msaada wa Kisheria (Polisi na Mahakama) Kuna vikwazo vingi katika kupata msaada wa kisheria ambavyo ni pamoja na

Upungufu wa kupata huduma za polisi na msaada wa kisheria kwa waathirika wa UWAKI

bull Kutokuwepo kwa sheria mahususi dhidi ya UWAKI bull yasiyotosheleza UWAKI kwa vyombo Mafunzo kuhusu

vinavyosimamia sheria bull Kuna sheria zinazokinzana na hivyo kutoa mwanya wa tatizo la

UWAKI kuongezeka Upungufu wa watumishi na fedha kwa ajili ya huduma za polisi na msaada wa kisheria

21

bull

bull

Uhaba wa vituo vya msaada wa kisheria Vituo vingi vinavyotoa msaada wa kisheria kwa sasa vinahudumiwa na asasi zisizo za kiserikali zina bajeti ndogo na zipo zaidi mijini

[e] Huduma ya Elimu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imeingiza UWAKI katika mtaala wa mafunzo ya walimu shule za msingi na sekondari Hata hivyo kuna changamoto nyingi katika kuhusisha shule ili kuzuia na kupambana na UWAKI

bull Walimu hawajapata mafunzo ya kutosha kuhusu UWAKI Uhaba wa maeneo salama na programu za shuleni zinazowapa watoto uwezo wa kuzuia na kupambana na UWAKI na ukatili dhidi ya watoto

bull mfumo unaohusuUhusiano duni kati ya mfumo wa elimu na ulinzi na usalama wa mtoto

22

SEHEMU YA TATU

UMUHIMU NA MALENGO 31 Umuhimu

Utafiti uliofanyika nchini Tanzania umeonyesha viwango vya juu vya UWAKI ambavyo ni kati ya asilimia 30 hadi 50 Viwango hivi havikubaliki na vinasababisha madhara ya kimwili kingono kisaikolojia kwa makundi ya umri wowote hasa watoto na wanawake Matokeo ya UWAKI yanaweza kusababisha vifo kutokana na kujiua maambukizo ya virusi vya UKIMWI au magonjwa na vifo vya wanawake vinavyotokana na uzazi Matokeo mengine ingawa hayasababishi vifo yana madhara ya kimwili kingono na kisaikolojia kwa muda mfupi au mrefu Madhara ya UWAKI ni zaidi ya matokeo ya kiafya na majeraha ambayo ni vigumu kupona UWAKI unakiuka haki za binadamu za waathirika na husababisha matokeo hasi katika amani umoja na kipato cha familia ambayo kwa ujumla huleta madhara kwa maendeleo ya kijamii na kiuchumi

Ingawa Serikali ya Tanzania na asasi za kiraia zimefanya jitihada kubwa za kuzuia na kupambana na UWAKI bado tatizo hili ni changamoto kubwa WAUJ itashughulikia changamoto hizi kwa kushirikiana na wadau wengine hali inayohitaji ushirikiano wa karibu ili kushinda vikwazo vilivyopo ambavyo ni pamoja na upungufu wa fedha na watumishi udhaifu kwenye mfumo wa rufaa na mfumo wa kuunganisha huduma za UWAKI katika huduma zilizopo Changamoto nyingine ni uhaba wa utetezi na takwimu kwa ajili ya uandaaji wa mipango yenye misingi ya utafiti kufanya uamuzi ufuatiliaji na tathmini Hata hivyo serikali imeweka misingi imara kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kama inavyodhihirishwa kwa kuwepo kwa sera mikakati na mipango kazi ya kusaidia masuala ya kijinsia na kupunguza UWAKI

Kutokana na ukubwa wa tatizo hili madhara yake na changamoto zinazohusiana na UWAKI WAUJ imetayarisha Mwongozo huu wa kisera chini ya Sera ya Afya ili kuimarisha juhudi za kupambana na UWAKI na kuhakikisha utoaji wa huduma za kina na zenye ubora katika ngazi zote Mwongozo huu wa kisera utatoa mwelekeo kwa vituo vya huduma za afya kwa ngazi zote kuhusu wajibu na majukumu yao katika utoaji

23

wa huduma za UWAKI Pamoja na haya Mwongozo huu utawezesha utayarishaji wa mwongozo wa matibabu kwa waathirika wa UWAKI Kutokana na uzito wa tatizo hili la UWAKI utayarishaji wa Mwongozo huu ulihusisha na kushirikisha kwa kina wadau mbalimbali ndani na nje ya WAUJ

32 Lengo Kuu

Lengo kuu la Mwongozo huu wa kisera ni kuimarisha uwezo wa WAUJ kuelekeza sekta ya afya na ustawi wa jamii na kujenga uhusiano imara na jamii na wadau mbalimbali katika kuzuia na kupambana na UWAKI

33 Malengo Mahasusi

Mwongozo huu utawezesha yafuatayo

[i] Kuweka mfumo wa kuelekeza utayarishaji wa mwongozo wa matibabu na taratibu za kutoa huduma kwa waathirika wa UWAKI

[ii] Kuelekeza WAUJ namna ya uratibu bora wa utekelezaji wa juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kuelekeza namna ya kuweka mifumo thabiti ya ufuatiliaji tathmini na uwekaji wa kumbukumbu za afua za UWAKI chini ya WAUJ

[iv] Kuelekeza ushirikiano kati ya Wizara jamii na wadau kutoka sekta mbalimbali katika utoaji wa huduma za UWAKI

24

bull

SEHEMU YA NNE

MAELEKEZO YA KISERA

Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii watafanya kazi pamoja na wale wa sekta nyingine hasa kwenye ngazi ya jamii katika kuimarisha ushirikiano na mitandao mingine katika jamii ili kuwasaidia waliopatwa na UWAKI kwa karibu na kuwashirikisha katika kuboresha afya zao na kuzuia UWAKI

WAUJ kwa kushirikiana na wadau wengine imetayarisha Mwongozo huu wa kisera wa UWAKI ili kutoa taarifa malengo na maelekezo kuhusu jitihada za kuzuia kuepusha na kushughulikia madhara ya UWAKI katika sekta ya afya Wadau muhimu ni pamoja na viongozi wa jamii polisi na mahakama Yeyote kati ya wadau hawa anaweza kuwa ni kimbilio la kwanza kwa wahanga wa UWAKI Wote wana wajibu wa kutoa huduma kwa haraka na kwa ufanisi

41 Huduma kwa Waliopatwa na UWAKI

Watoa huduma za afya wanatakiwa kuwahudumia waliopatwa na UWAKI kwa kujali na kuzingatia maadili ya taaluma zao Wajibu huu ni pamoja na kuhakikisha usalama hali ya usiri heshima utu na kutoa huduma bila ubaguzi Aidha kabla ya kutoa huduma inatakiwa kupata ridhaa ya muhusika au mlezi wa mtoto mwenye umri chini ya miaka 18

Kwa kulenga na kuzingatia mahitaji ya watu waliofanyiwa UWAKI watoa huduma za afya kwenye ngazi zote watazingatia na kuongozwa na kanuni zifuatazo

[a] Haki za Binadamu Maadili na Kujali

bull zilenge kurejesha au Usalama Hatua zote zinazochukuliwa kudumisha usalama wao Hali ya Usiri Siri zao pamoja na familia zao zinatakiwa kutunzwa wakati wote Hii ina maana kwamba mtoa huduma ya afya anaweza kutoa taarifa muhimu kwa mtoa huduma mwingine pale ambapo muhusika ameridhia tu

25

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

Heshima na utu Watoa huduma wanatakiwa kuwasikiliza kwa makini maoni mawazo na fikira zao na kuwahudumia kwa heshima Bila ubaguzi Waliopatwa na UWAKI wote ni sawa na wanatakiwa kuhudumiwa kulingana na mahitaji yao pia kupewa nafasi sawa katika kupata huduma Ridhaa arifu Ridhaa ya aliyefanyiwa UWAKI itahitajika kwenye taratibu za utoaji huduma maalumu kama (1) Uchunguzi na tiba (2) Uchunguzi tiba pamoja na ushahidi wa kitaaluma (3) Uchunguzi tiba ushahidi wa kitaaluma pamoja na uchunguzi wa polisi na kisheria

Kanuni zinazohusu watoto bull Kuzingatia na kusimamia mahitaji halisi ya mtoto wakati wote bull Kumpa mtoto faraja bull Kumshirikisha mtoto katika kufanya uamuzi bull Kumshughulikia kila mtoto kwa haki na usawa

Kumsaidia na kumlea mtoto ili akue katika hali ya ujasiri na kujiamini

[b] Haki za Aliyepatwa na UWAKI Watoa huduma wote wanatakiwa kuwa na mtazamo unaozingatia mahitaji ya mtu aliyepatwa na UWAKI na kuheshimu haki zake ambazo ni

bull Kuhudumiwa kwa heshima bila unyanyapaa ubaguzi na kutokuwa na mtazamo wa kumlaumu Kupewa taarifa sahihi na zinazoeleweka ili aweze kutoa ridhaa na siyo kumwambia cha kufanya hali inayoweza kumfanya ajisikie mnyonge

bull Kupewa faragha na hali ya usiri na siyo kumteta au kumwaibisha Kulindwa dhidi ya ubaguzi wa aina yoyote au upendeleo wenye misingi ya kijinsia au sababu nyingine Kupewa nafasi ya kuchagua kuhudumiwa na mtoa huduma mwanamume au mwanamke

bull Kupewa nafasi ya kusindikizwa na ndugu au mlezi wake

26

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

[c] Wajibu wa Mtoa Huduma Mtoa huduma anatarajiwa kuzingatia yafuatayo anapomhudumia mtu aliyepatwa na UWAKI

Kujiweka katika nafasi ya mtu aliyepatwa na UWAKI na kuguswa kuwa mtunza siri kuonyesha upendo na kujali anapomuhudumia Kumpatia taarifa sahihi na kuhakikisha kuwa ridhaa arifu inatolewa kwa huduma inayohitajika Kuzingatia masilahi ya muhusika na kuheshimu matakwa yake wakati wote

bull na kuzuia madhara mengineKuhakikisha ulinzi na usalama wake Kuhifadhi kumbukumbu zake mahali pa usalama na kutunza siri wakati wote

bull huduma kadiriKumpatia rufaa kwenda kwenye ngazi za juu za inavyohitajika kulingana na kiwango cha madhara ya kimwili kihisia na kisaikolojia Aidha inatakiwa kumpatia unasihi kabla ya kumpa rufaa

Kuhusu Watoto bull Kuhakikisha kuwa mzazi au mlezi yupo wakati wote pia

kuhakikisha kwamba mzazi au mlezi siyo tishio kwa mtoto Wakati wote mwandae mtoto kuelewa kinachotarajiwa kutendeka na kuhakikisha anaelewa kitakachotokea Kwa watoto wenye umri chini ya miaka 18 ridhaa ya maandishi inahitajika kutoka kwa mzazi au mlezi

Vigezo vya kupata mchango wa mawazo kutoka kwa Watoto Watoto wa umri wa miaka 16 na zaidi kwa ujumla wana uwezo wa kutosha kufanya uamuzi

bull kuwaWatoto wa umri wa miaka 14 hadi 16 wanatarajiwa wamekomaa vya kutosha kutoa mchango au mawazo yao Watoto wa umri wa miaka 9 hadi 14 wana welewa wa kushiriki kufanya uamuzi lakini ukomavu wa kila mtoto unatakiwa kupimwa kipekee Watoto wa umri chini ya miaka 9 wana haki ya kutoa maoni arifu na kusikilizwa Wanaweza kushiriki katika mchakato wa kufanya uamuzi kwa kiwango fulani lakini hadhari inahitajika ili kuwaepusha na mzigo wa kuwa waamuzi

27

bull lazimaKimsingi inapendekezwa kwamba maoni ya kila mtoto yazingatiwe kulingana na umri wake kiwango cha ukomavu utamaduni mila na hali ya mazingira

[d] Wajibu wa WAUJ katika Ngazi ya Taifa WAUJ inatayarisha sera miongozo na kanuni inadhibiti ubora inafuatilia na kutathmini utekelezaji Vilevile inahakikisha kuna watumishi na fedha za kutosha kwa mipango ya afya pamoja na kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote WAUJ itaendeleza ushirikiano na wadau mbalimbali kitaifa na kimataifa Wizara itafanya yafuatayo katika kuzuia na kupambana na UWAKI

[i] Kuandaa miongozo ya matibabu yenye ubora kwa ajili ya watoto vijana na watu wazima waliopatwa na UWAKI

[ii] Kutafuta na kutenga fedha kwa ajili ya afua za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kuandaa miongozo ya mafunzo yanayohusiana na juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kutoa mafunzo kwa watoa huduma za afya na ustawi wa jamii kuhusu kuzuia na kupambana na UWAKI kwa watoto vijana na watu wazima

[v] Kutoa huduma mseto na rufaa kwa kutumia mfumo uliopo wa utoaji huduma za afya na ustawi wa jamii

[vi] Kuunganisha takwimu zinazohusu UWAKI kwenye Mfumo wa Takwimu na Ufuatiliaji wa Huduma za Afya (MTUHA)

[vii] Kuendeleza utaratibu wa kupeana taarifa na takwimu zinazohusu UWAKI pamoja na kushirikiana na wadau wake wakuu

[viii] Kufanya usimamizi shirikishi ili kuhakikisha kuwa kanuni za haki za binadamu maadili na kujali zinazingatiwa

[e] Wajibu wa Vituo vya Huduma za Afya Vituo vya kutoa huduma za afya vinajumuisha zahanati vituo vya afya na hospitali zinazomilikiwa na sekta ya umma na binafsi Vituo vyote vya kutoa huduma katika ngazi zote vina Kamati ya Uongozi ya Kituo na Timu ya Usimamizi

28

Vituo vya huduma za afya vitafanya yafuatayo [i] Kuhakikisha kwamba Timu za Usimamizi wa Huduma za Afya

zinatenga fedha za kutekeleza mikakati na mipango kazi ya mwaka ili kuviwezesha vituo kutoa huduma bora kwa waliopatwa na UWAKI

[ii] Kuunganisha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI na zile zilizopo kwenye vituo vya huduma za afya na kuhakikisha mpangilio mzuri wa rufaa za ndani na nje ya kituo zinakidhi mahitaji ya watoto vijana na watu wazima kwa usawa na haki

[iii] Kuhakikisha watoa huduma ya afya na ustawi wa jamii wanapatiwa mafunzo ya kutoa huduma toshelezi kwa watoto vijana na watu wazima waliopatwa na UWAKI

[iv] Kuanzisha utaratibu bora wa kukusanya takwimu na taarifa kuhusu huduma kwa waliopatwa na UWAKI na kutunza kumbukumbu kwa usahihi na kutoa taarifa kwa ajili ya matumizi ya kituo na wadau

[v] Kufanya kazi kwa ushirikiano wa karibu na kamati ya afya ya kituo polisi mahakama na taasisi za elimu ili kukuza ushirikiano kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye jamii

[f ] Wajibu wa Watoa Huduma za Afya Watoa huduma za afya ni pamoja na watunza kumbukumbu za afya tabibu (tabibu msaidizi ofisa tabibu madaktari wasaidizi madaktari na madaktari bingwa) wauguzi wakunga maofisa wauguzi wasaidizi maofisa wauuguzi) wafanyakazi wa maabara wafamasia na maofi sa ustawi wa jamii Watoa huduma hawa wanatakiwa kuzingatia yafuatayo

[i] Kuelewa kikamilifu na kuzingatia kanuni za miongozo ya haki za binadamu maadili ya taaluma na kuonyesha upendo na kujali wakati wa kumhudumia aliyepatwa na UWAKI

[ii] Kuhakikisha upatikanaji wa mahitaji muhimu na utoaji wa huduma toshelezi na zenye ubora kwa waliopatwa na UWAKI katika kituo cha kutoa huduma za afya na kwenye jamii

[iii] Kuwatambua waliopatwa na UWAKI kati ya wagonjwa wa nje katika kituo na kuhakikisha wanapata matibabu na rufaa kwa haraka

29

[iv] Kuhakikisha utoaji wa huduma toshelezi kwa waliopatwa na UWAKI (watu wazima vijana na watoto) Huduma hizi ni pamoja na huduma ya matibabu kutunza ushahidi unasihi na rufaa ndani ya mfumo wa afya na pia rufaa kwenda kwenye sekta nyingine

[v] Kuhakikisha vielelezo vya upelelezi vinakusanywa na kuhifadhiwa ipasavyo ili kutunza ushahidi

[vi] Kuchukua takwimu na taarifa kamili kuhusu aliyepatwa na UWAKI na kuhakikisha zimehifadhiwa kwa siri na usalama

[vii] Kujenga ushirikiano na jamii pamoja na wadau wengine

42 Wajibu wa Jamii

Wadau muhimu katika jamii ni Kamati ya Huduma za Jamii Kamati ya Ulinzi na Usalama Kamati ya Zahanati Mashirika ya Dini Kamati ya Kijiji ya Afya wahudumu wa afya katika jamii wakunga wa tiba asili waganga wa tiba asili na mbadala viongozi wa jamii vikundi vya wanawake na wakuu wa kaya

Jamii itafanya yafuatayo kwa waliopatwa na UWAKI [i] Kupanga na kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya kuzuia

na kutoa huduma bora kulingana na mpango wa mwaka wa zahanati

[ii] Kuhakikisha upatikanaji wa huduma toshelezi pamoja na usalama wao kupatiwa mahitaji ya msingi msaada wa kisaikolojia kupewa rufaa kwenda polisi vyombo vya sheria na watoa huduma wengine Vilevile wanajamii wana wajibu wa kutoa ushahidi mahakamani na kuwasaidia wahusika kuunganishwa na familia zao na jamii

[iii] Kuhakikisha kuwepo kwa vituo vya hifadhi ya muda vya kutosha kwenye jamii

[iv] Kujenga welewa na kuiwezesha jamii kuzuia na kupambana na UWAKI kwa kutetea misingi ya haki za binadamu usawa wa kijinsia haki za vijana na watoto na kutovumilia UWAKI

43 Msaada wa Kisheria kwa waliopatwa na UWAKI Watoa huduma wa afya na ustawi wa jamii baada ya kupata ridhaa kutoka kwa muhusika watampa rufaa ya kwenda sekta nyingine muhimu na kwa wadau mbalimbali kama vile polisi vituo vya msaada wa kisheria kwa ajili ya kupata huduma maalum Watoa huduma wanawajibika

30

kutoa taarifa za kutosha kuhusu masharti ya kisheria ya kutoa taarifa ya matukio ya UWAKI na kwa wakati unaofaa

Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wanawajibika kutoa ushauri kwa waliopatwa na UWAKI (watoto vijana na watu wazima) kuhusu taratibu za mahakama msaada wa ulinzi msaada wa kisheria na taratibu za polisi kama ifuatavyo

[a] Ushahidi wa Kimahakama Huduma kwa muhusika zitalenga mahitaji yake kuheshimu haki yake ya hali ya usiri kupewa taarifa za kutosha zenye kueleweka na sahihi hivyo kuhakikisha anatoa ridhaa arifu kwa hatua na zitakazofuata

[i] WAUJ itahakikisha kupatikana na kuzingatiwa kwa viwango vilivyowekwa kwa ngazi zote katika kuchukua historia kamili ya muhusika kupima na kufanya uchunguzi kuchukua vielelezo vya ushahidi kujaza fomu zinazokubalika kisheria kwa kuweka kumbukumbu ambazo ni halali kama ushahidi mahakamani

[ii] Timu ya Afya ya Usimamizi ya Kituo cha Huduma za Afya baada ya kupata ridhaa ya aliyepatwa na UWAKI itapanga kutenga na kutoa rasilimali za kutosha kuhakikisha nyaraka sahihi zimetayarishwa na kuhifadhiwa na vielelezo vya ushahidi wa mahakama vimepelekwa kwenda maabara ya serikali na kufuatilia majibu

[iii] Watoa huduma wa ngazi zote watahakikisha ukusanyaji sahihi wa vielelezo vya ushahidi na kujaza fomu zinazohusika pamoja na kujaza kwa ukamilifu Fomu ya Polisi Namba Tatu (PF3) na kuthibitisha kwamba muhusika ana taarifa na anaelewa utaratibu

[b] Ulinzi na Msaada kwa Waliopatwa na UWAKI Waliopatwa na UWAKI wana haki ya kulindwa dhidi ya mtuhumiwa pamoja na kupewa mahitaji ya msingi (kwa mfano chakula nguo usafi ri nk) kupewa huduma za polisi (mfano kusindikizwa ulinzi) na kupewa msaada wa kisheria

[i] WAUJ itahakikisha kwamba vituo vya huduma za afya na ustawi wa jamii na watoa huduma wa ngazi zote wana taarifa sahihi kuhusu haki za ulinzi na msaada kwa waliopatwa na UWAKI

31

[ii] Timu za Afya za Usimamizi wa vituo vya huduma za afya katika ngazi zote zitapanga kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya ulinzi na msaada kwa waliopatwa na UWAKI Kama Muhusika ni mtoto atasindikizwa na ofi sa ustawi wa jamii pamoja na mzazi au mlezi ikiwa mzazi au mlezi huyo hahusiki na uhalifu

[iii] Watoa huduma wa afya watatoa taarifa kwa muhusika au mzazi mlezi (kama muhusika ni mtoto chini ya miaka 18) kuhusu msaada atakaopata kwenye kituo cha huduma za afya polisi na msaada wa kisheria juu ya haki na ulinzi kwa mujibu wa sheria za Tanzania

[c] Wajibu wa Watoa Huduma za Afya na Ustawi wa Jamii katika Taratibu za Kimahakama

Watoa huduma za afya kwenye ngazi zote wanatakiwa kuhakikisha kwamba waliopatwa na UWAKI wakiwemo watu wazima vijana na watoto pamoja na walezi wao wana taarifa muhimu zinazohusu masuala ya kisheria ambayo yako nje ya huduma za tiba

[i] WAUJ itahakikisha kwamba vituo vya huduma za afya na watoa huduma wanapata ujuzi na wanajua wajibu wao kuhusu namna ya kutoa ushahidi mahakamani ili kuwasaidia wahusika

[ii] Timu za Usimamizi za vituo vya huduma za afya kwenye ngazi zote zitahakikisha kwamba watoa huduma wanaotambulika kisheria na wana welewa sahihi wa uandaaji wa nyaraka muhimu taratibu za kesi mahakamani na viwango vya ushahidi

[iii] Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii kwenye ngazi zote watahakikisha kwamba muhusika anapata taarifa za kutosha kuhusu ratiba na taratibu za upelelezi na umuhimu wa hatua za kisheria

44 Huduma ya Unasihi Kisaikolojia na Kijamii kwa Waliopatwa na UWAKI

Watu waliopatwa na janga la UWAKI watapewa msaada wa unasihi kisaikolojia na kijamii kwa upendo na kujali kuanzia wakati wa tukio hadi watakapojumuika tena kwenye familia na jamii Katika ngazi ya jamii msaada huo utatolewa na Maofisa wa Ustawi wa Jamii Maofi sa hawa watatoa msaada wa kisaikolojia na unasihi wakishirikiana na

32

wadau wengine waliopata mafunzo kutoka asasi za kiraia asasi za kidini na wahudumu wa afya katika jamii

[i] WAUJ itahakikisha utoaji wa msaada wa unasihi kisaikolojia na kijamii kwenye ngazi zote pamoja na kuhakikisha kuwepo kwa ulinzi na usalama (kwa mfano kituo cha hifadhi ya muda)

[ii] Timu za Usimamizi wa Huduma za Afya kwenye ngazi zote zitapanga na kutenga rasiilimali za kutosha pamoja na watoa huduma kwa ajili ya kutoa msaada wa kisaikolojia na kijamii rufaa na kujenga ushirikiano na wadau wengine ili kuwaunganisha wahusika kwenye familia na jamii

[iii] Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii watahakikisha kwamba wanatoa unasihi wa kutosha pamoja na kutoa huduma rafi ki kwa watoto kutoa rufaa za kwenda na kurudi kwenye huduma za tiba vituo vya hifadhi ya muda na kuwezesha kuwaunganisha kwenye familia na jamii

45 Mfumo wa Usimamizi Uratibu na Ushirikiano Utoaji wa huduma bora kwa waliopatwa na UWAKI unahitaji usimamizi na uratibu wa mara kwa mara kwa watoa huduma za afya wa kada mbalimbali katika ngazi zote Vilevile kuratibu shughuli na kutoa rufaa kwenye vituo vya ngazi ya taifa mikoa halmashauri na jamii Pia kunahitajika utaratibu wa kujenga ushirikiano kati ya sekta ya afya na wadau wa sekta nyingine

[a] Usimamizi wa Huduma za Kuzuia na Kupambana na UWAKI [i] Usimamizi wa huduma utakuwa ni sehemu ya mikakati na

mipango ya mwaka kwa vituo vya huduma za afya kwenye ngazi zote

[ii] Wasimamizi katika ngazi zote watafanya usimamizi shirikishi ili kuhakikisha utoaji wa huduma bora

[b] Uratibu wa Huduma za Kuzuia na Kupambana na UWAKI [i] Wasimamizi wa huduma za afya kwenye ngazi zote watabaini na

kuratibu afua na shughuli zinazotakiwa kutekelezwa na wadau mbalimbali kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI

33

[ii] Wasimamizi wa huduma za afya katika ngazi zote watahakikisha kuwa wanapanga utekelezaji wa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[c] Taratibu za Ushirikiano katika Kutoa Huduma za UWAKI Taratibu za ushirikiano zitahusisha ngazi mbalimbali za utoaji wa huduma za afya kulingana na hadhi ya kituo ikihusisha kada mbalimbali za afya katika serikali na sekta binafsi

[i] Wasimamizi wa huduma za afya watabaini na kuanzisha ushirikiano kwa ajili ya kutoa huduma bora na toshelezi kwa waliofanyiwa UWAKI

[ii] Wasimamizi wa huduma za afya watapanga na kutenga rasiilimali za kutosha kwa ajili ya kuendeleza ushirikiano na wadau muhimu pamoja na kujenga mfumo imara wa rufaa wa kupeleka na kuwarejesha wahusika

[iii] WAUJ itatayarisha na kusambaza orodha ya vituo vya rufaa kufuatana na aina ya huduma maalumu zinazotolewa

46 Utetezi na Mawasiliano ya Kubadili Tabia

Utetezi na mawasiliano ya kubadili tabia utakuwa ni sehemu ya mipango na mikakati ya kila mwaka katika ngazi zote Ngazi zote zitahamasisha kutenga na kutoa rasilimali za kutosha kwa ajili ya kutekeleza mipango na mikakati ya kila mwaka Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii watatambua na kuwezesha juhudi za jamii za kuhakikisha ushirikishwaji na kuhamasisha jamii kutumia rasilimali zao ili kupambana na UWAKI Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii wanatakiwa kupanga na kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya elimu ya afya kwa lengo la mawasiliano ya kubadili tabia

[a] Utetezi wa Kuzuia na kupambana na UWAKI kwa kushirikiana na wadau

Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii na kamati zinazohusika katika ngazi zote za WAUJ watafanya yafuatayo

[i] Kupanga mikakati ya kuongeza welewa na upeo kuhusu vyanzo vya UWAKI kubaini namna ya kuzuia na kubuni njia za kupambana na UWAKI

34

[ii] Kutetea na kuhamasisha uchangiaji zaidi wa raslimali kutenga kasma kwenye bajeti katika Mfumo wa Matumizi ya Muda wa Kati na katika Mpango Kabambe wa Afya wa Halmashauri kwa ajili ya kinga na huduma za kupambana na UWAKI

[iii] Kutetea utekelezaji wa sera na sheria zenye kuunga mkono juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kuhusisha vyombo vya habari katika kutekeleza shughuli za utetezi na ushawishi

[b] Ushirikiano wa wadau kwenye mawasiliano ya kubadili tabia dhidi ya UWAKI

Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii na kamati zao kwenye ngazi zote watafanya yafuatayo

[i] Kutambua mahitaji na kupanga mawasiliano ya kubadili tabia kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kwa ufanisi

[ii] Kuhusisha vyombo vya habari katika kupanga kutekeleza na kufuatilia shughuli za mawasiliano ya kubadili tabia

47 Ufuatiliaji na Tathmini ya Huduma za Kuzuia na Kupambana na UWAKI

Ufuatiliaji na tathmini ya huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI ni muhimu katika kupima ubora wa matokeo ya huduma zinazohusiana na UWAKI Ufuatiliaji na tathmini unahitaji kuchagua vigezo vya kupima maendeleo ya huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kukusanya takwimu kuchambua kutafsiri kutayarisha na kuwasilisha ripoti kwa wadau muhimu Ufuatiliaji na Tathmini unasaidia kutambua maeneo yanayohitaji kufanyiwa utafi ti

[i] Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii katika ngazi zote watatumia vigezo vilivyokubalika kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Takwimu za UWAKI zitaoanishwa na kuunganishwa kwenye MTUHA

[iii] Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii kwenye ngazi zote watahakikisha wanakusanya taarifa na takwimu zinazohusiana na UWAKI kwa kutumia fomu maalumu kwa ajili ya kufuatilia na

35

kutathimini usimamizi na kuwasilisha ripoti za utekelezaji kwa wadau kufuatana na utaratibu maalumu wa kushirikiana katika kutoa taarifa

[iv] Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii katika ngazi zote watafanya utafiti ili kuboresha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

36

SEHEMU YA TANO

MUUNDO WA UTENDAJI KATIKA KUZUIA NA KUPAMBANA NA UWAKI

Wajibu wa WAUJ ni kuandaa kusimamia na kuratibu utekelezaji wa Mwongozo huu wa sera pamoja na sheria kanuni na viwango vya huduma dhidi ya UWAKI katika ngazi zote nchini Mfumo wa utendaji kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI unahusisha ngazi tatu taifa mkoa na halmashauri

51 Ngazi ya Taifa

Katika ngazi ya Taifa Mganga Mkuu wa Serikali ndiye mwenye wajibu wa uongozi wa kitaaluma kwenye utekelezaji wa mipango ya kuzuia na kupambana na UWAKI Ofisi ya Mganga Mkuu ina idara nne ambazo ni Idara ya Kinga Idara ya Tiba Idara ya Mafunzo na Idara ya Ubora na viwango vya Huduma Huduma za Ustawi wa Jamii zipo chini ya Kamishna wa Ustawi wa Jamii

Kitengo cha Afya ya Uzazi na Mtoto ambacho kinasimamiwa na Idara ya Kinga ndicho kinachosimamia utekelezaji wa Mwongozo wa sera ya UWAKI Majukumu ya ofisi ya Mganga Mkuu wa Serikali Idara ya Kinga na Sehemu ya Afya ya Uzazi na Mtoto ni kama ifuatavyo

[a] Ofisi ya Mganga Mkuu wa Serikali Ofi si ya Mganga Mkuu wa Serikali inaratibu inasimamia na kuimarisha huduma za uboreshaji wa Afya Kinga Ubora na viwango vya huduma Tiba ya magonjwa na Utengamao Aidha ofisi inasimamia mafunzo upatikanaji wa wataalamu wa afya katika sekta ya Afya na Ustawi wa Jamii

Ofisi ya Mganga Mkuu wa Serikali kwa kushirikiana na Mabaraza na Vyama vya Kitaaluma vilivyo chini ya sekta ya Afya na Ustawi wa Jamii inasimamia maadili ya wataalamu wa afya kwa kupitia Mabaraza yao ya Kitaaluma

37

bull

bull

[I] Idara ya Kinga Idara hii inasimamia sehemu tano Afya ya Uzazi na Mtoto Epidemiolojia na Udhibiti wa Magonjwa Afya na Usafi wa Mazingira Elimu ya Afya na Lishe Kuna programu na miradi mbalimbali chini ya idara baadhi yake zinahusiana kwa ukaribu na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Programu hizi ni pamoja na Mpango wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI Programu ya Kuzuia Maambukizo ya VVU Kutoka kwa Mama Kwenda kwa Mtoto Programu ya Huduma ya Afya Kwenye Jamii Programuya Afya Shuleni Program ya Uzazi Salama Programu ya Afya ya Mtoto Programu ya Afya ya Uzazi kwa Vijana na Programu ya Uzazi wa Mpango

Idara itafanya yafuatayo Kuhakikisha afua za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa kwenye programu na miradi ya idara na sehemu Kuhakikisha kwamba afua za kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na utetezi na mawasiliano ya kubadili tabia zinajumuishwa kwenye miongozo ya elimu ya afya na ustawi wa jamii

Sehemu ya Huduma za Afya ya Uzazi na Mtoto Sehemu ya Huduma ya Afya ya Uzazi na Mtoto ndiyo inayohusika katika kuzuia na kupambana na UWAKI na majukumu yake ni

[i] Kuandaa mwongozo wa huduma za kina kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kutayarisha mitaala ya mafunzo kwa ajili ya wasimamizi na watoa huduma wa ngazi zote

[ii] Kuratibu kufuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI katika ngazi zote

[iii] Kuwasiliana na wizara nyingine na mashirika ya kitaifa na kimataifa yenye kuhusiana na mipango ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kuangalia upya orodha ya vifaa muhimu kwa utoaji wa huduma bora kwa wahanga wa UWAKI kwa ngazi zote za utoaji huduma

[v] Kuongoza kikundi kazi cha wanataaluma cha taifa pamoja na vikundikazi tanzu vya wanataaluma vinavyosaidia mtazamo mpana wa sekta ya afya na nguvu kazi za kusimamia utekelezaji wa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

38

[II] Idara ya Tiba Idara hii inasimamia huduma za Hospitali za Taifa Mikoa Wilaya Vituo vya Afya na Zahanati za umma na binafsi Uchunguzi Kinywa na Meno Magonjwa Yasiyo ya Kuambukiza na Tiba Asili Idara hii inafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha kwamba vituo vya kutoa huduma za afya katika ngazi zote vinatenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya huduma bora za matibabu kwa wahanga wa UWAKI pamoja na msaada wa kisaikolojia kijamii na rufaa

[ii] Kuhakikisha kwamba vituo vya kutoa huduma za afya kwenye ngazi zote vinapewa vifaa muhimu na vya kutosha kwa ajili ya uchunguzi wa afya vipimo vya maabara kubaini ugonjwa ushahidi wa kimahakama matibabu kutunza kumbukumbu kutoa taarifa na rufaa

[iii] Kuhakikisha kuwa watoa huduma za afya wanazingatia viwango vya kitaalamu na maadili na kuonyesha upendo na kuwajali wahanga wa UWAKI

[III] Idara ya Ubora wa huduma Idara hii ina sehemu tano ikijumuisha huduma za Uuguzi Dharura na Maafa Ukaguzi Dawa na Utafiti na Uhusiano wa Kimataifa Idara hii inafanya yafuatayo

[i] Inasimamia huduma za dawa vifaa tiba na vitendanishi [ii] Inasimamia huduma za Uuguzi na Ukunga [iii] Inasimamia na kufanya ukaguzi wa ubora wa huduma za afya

nchini ili kuziboresha [iv] Inasimamia kazi za utafiti na uhusiano wa kimataifa katika sekta ya

afya na ustawi wa jamii na [v] Inaandaa miongozo kanuni na taratibu zinazohusu huduma za

dharura

[IV] Idara ya Mafunzo Idara ya Mafunzo inasimamia Mipango ya Mafunzo ya Watumishi Mafunzo Endelevu kwa Watumishi Mafunzo kwa Wauguzi na Sayansi Shirikishi za Afya

39

Idara itafanya yafuatayo [i] Kutambua mahitaji ya kitaifa ya mafunzo ya afya na mafunzo ya

kuendeleza taaluma ya watumishi wanaohusika na kutoa huduma kwa waliopatwa na UWAKI

[ii] Kutayarisha mpango wa mafunzo ya muda mfupi na mrefu kwa ajili ya watumishi mbalimbali kwenye ngazi zote zinazotoa huduma kwa waliopatwa na UWAKI

[b] Idara ya Ustawi wa Jamii Idara ya Ustawi wa Jamii imegawanyika katika sehemu tano Huduma kwa Familia na Ustawi wa Mtoto katika malezi makuzi na maendeleo ya awali Huduma za marekebisho ya tabia na haki za mtoto kisheria Huduma kwa wazee na watu wenye ulemavu Mafunzo kwa watumishi na Kitengo cha takwimu Idara itafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha idara inatoa huduma rafiki na bora za ustawi wa jamii kwa wahanga wa UWAKI kwenye vituo vyote vya kutoa huduma za afya na ustawi wa jamii na kuvisimamia

[ii] Kuhakikisha idara inatoa mafunzo kwa watoa huduma wote [iii] Kushauri katika kurekebisha au kufutwa kwa sheria zisizosaidia

utoaji wa huduma bora za ustawi wa jamii na kushawishi kutunga sheria mpya

[c] Idara ya Sera na Mipango Idara hii inasimamia sehemu za Bajeti Sera Mipango Taarifa za Afya na Ufuatiliaji na Tathmini Idara itafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa kwenye mipango na bajeti ya Serikali

[ii] Kuhakikisha kuwa viashirio vya huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI vinaingizwa kwenye MTUHA

[d] Ushirikiano na wadau muhimu katika ldquoKutokomeza UWAKIrdquo

[i] WAUJ kupitia Sehemu ya Afya ya Uzazi na Mtoto kwa kushirikiana na wadau wengine watatetea ulinzi wa haki za waliopatwa na UWAKI na kutokomezwa kwa ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake watoto vijana na wanaume

40

[ii] WAUJ kwa kushirikiana na wadau wengine itaandaa mikakati ya kuhakikisha kwamba aina zote za ubaguzi unyonyaji ukandamizaji na unyanyasaji dhidi ya wanawake watoto vijana na wanaume zinatokomezwa

[iii] WAUJ kwa kushirikiana na wadau wengine watapitia sheria sera na kanuni ambazo zinakinzana na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Watatetea haki za jinsia na afya ya uzazi ikiwa ni pamoja na ulinzi wa mama na watoto dhidi ya UWAKI ukatili wa kifamilia na ukatili dhidi ya watoto na kutetea masuala haya yaingizwe kwenye Katiba ya Tanzania

52 Ngazi ya Mkoa

Utekelezaji wa mapambano dhidi ya UWAKI kwenye mikoa utasimamiwa na Timu ya Usimamizi wa Huduma za Afya Mkoa chini ya Katibu Tawala wa Mkoa na Timu ya Usimamizi ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa chini ya Bodi ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa na watafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa kwenye mpango mkakati wa miaka mitano wa mkoa na hospitali na mpango kazi wa kila mwaka

[ii] Kuhakikisha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa na kuendeshwa pamoja na huduma zilizopo kuwe na watoa huduma wa kutosha pamoja na mafunzo kwa wasimamizi na watoa huduma kwenye ngazi ya mkoa

[iii] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya kufuatilia kufanya tathmini usimamizi na kutoa ripoti za utendaji wa juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya mkoa

[iv] Kutoa msaada wa kitaalamu kwa Halmashauri na Timu za Afya za Halmashauri katika kupanga na kutekeleza huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[v] Kuhakikisha bajeti ya kutosha inatengwa kwenye mpango kabambe wa halmashauri wa afya kwa ajili ya kuiwezesha jamii kuzuia na kupambana na UWAKI

[vi] Kufanya utafiti ili kukuza uelewa kuhusu huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

41

53 Halmashauri za Jiji Manispaa na Wilaya

Bodi ya Huduma za Afya ya Halmashauri ni chombo cha halmashauri ya jiji manispaa na wilaya chenye jukumu la kutoa huduma bora za afya ustawi wa jamii pamoja na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI katika maeneo yao Mipango ya utekelezaji wa huduma za afya kwenye jiji manispaa na wilaya unasimamiwa na Timu ya Usimamizi wa Afya ya Halmashauri Hospitali ya kwanza ya rufaa katika Halmashauri ni Hospitali ya Wilaya au Hospitali Teule ya wilaya

Hospitali Teule ya Wilaya huendeshwa na Timu ya Usimamizi ya Hospitali na husimamiwa na Bodi ya Hospitali Vituo vya kutoa huduma za afya vina kamati za afya na huendeshwa na kamati za usimamizi wa kituo

(a) Ngazi ya Halmashauri Timu ya Halmashauri ya Usimamizi wa Afya itafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha kwamba mipango ya kila mwaka inatengewa fedha za kutosha kwa utekelezaji wa huduma bora za kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaunganishwa na huduma zilizopo kwenye ngazi zote

[iii] Kuhakikisha kwamba kunakuwa na watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wa kutosha na kuendelea kutoa mafunzo kwa watoa huduma wa kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kutetea kuhamasisha na kutenga fedha za kutosha kwa ajili ya kuiwezesha jamii kushiriki kwenye programu ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[v] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya ufuatiliaji tathmini usimamizi shirikishi na kuandaa taarifa za utekelezaji wa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[b] Ngazi ya Kata Kamati ya Afya ya Kata Kamati ya Afya ya Kituo cha Afya na Timu ya Usimamizi wa Kituo cha Afya zitasimamia utoaji wa huduma bora za afya katika kata pamoja na vijiji

42

Kamati na timu zitafanya yafuatayo [i] Kuhakikisha kwamba kila mwaka wanapanga na kutenga rasilimali

za kutosha kwa utekelezaji wa huduma kwa waliopatwa na UWAKI na afua za kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinajumuishwa na huduma zilizopo kwenye kituo cha afya na zahanati

[iii] Kuhakikisha kwamba kuna watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wa kutosha na kuendelea kutoa mafunzo kwa watoa huduma wanaohusika na kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye vituo vya afya na zahanati

[iv] Kutetea kuhamasisha na kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya kuiwezesha jamii kushiriki kwenye kuzuia na kupambana na UWAKI katika Mpango wa Afya wa Kata

[v] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya kufanya ufuatiliaji tathmini na kuandaa taarifa za utekelezaji wa kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kuziwasilisha kwa matumizi katika ngazi zote

[c] Ngazi ya Kijiji Kamati ya Zahanati na Timu ya Usimamizi wa Zahanati zina wajibu wa kutoa huduma za afya kwa wakazi wa eneo la kijiji au vijiji vyao

Kamati na timu zitafanya yafuatayo [i] Kuhakikisha kwamba kila mwaka wanapanga na kutenga raslimali

za kutosha kwa utekelezaji wa huduma kwa waliopatwa na UWAKI na afua za kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinajumuishwa na huduma zilizopo kwenye zahanati

[iii] Kuhakikisha kwamba kuna watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wa kutosha na kuendelea kutoa mafunzo kwa watoa huduma wanaohusika na kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye zahanati

[iv] Kutetea kuhamasisha na kutenga raslimali za kutosha kwa ajili ya kuiwezesha jamii kushiriki kwenye kuzuia na kupambana na UWAKI katika Mpango wa Afya wa Kijiji

43

[v] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya kufanya ufuatiliaji tathmini na kuandaa taarifa za utekelezaji wa kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kuziwasilisha kwa matumizi katika ngazi ya Kata na Wilaya

(d) Ngazi ya Kaya Kila mtu kwenye kaya atahusika katika kuzuia na kupambana na UWAKI na kutoa taarifa ya matukio ya UWAKI kwa mamlaka zinazohusika Pia kila mtu awajibike kwenye kubadili mtazamo na kuepuka mazoea na tabia zinazopelekea UWAKI

44

SEHEMU YA SITA

UFUATILIAJI TATHMINI NA UTAFITI

Ufuatiliaji na tathmini ya afua za kuzuia na kupambana na UWAKI utatekelezwa kwenye ngazi ya taifa mkoa halmashauri na vituo vya huduma za afya Viashirio ambavyo vimependekezwa kwenye ngazi hizi vimeonyeshwa kwenye Kiambatisho

61 Ngazi ya Taifa

Sehemu ya Afya ya Uzazi na Mtoto itaratibu itafuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote nchini

Sehemu hii itafanya yafuatayo [i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu zinazohusu

afua za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka Timu ya Usimamizi wa Afya ya Mkoa na kuzitumia katika kupanga na kuboresha mipango ya kuzuia na kupambana na UWAKI kwa kushirikiana na wadau

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma wa kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti [iv] Kuweka tathmini na ufuatiliaji wa huduma za kuzuia na kupambana

na UWAKI kwenye orodhahakiki ya usimamizi ya WAUJ

62 Ngazi ya Mkoa

Timu ya Usimamizi wa Afya ya Mkoa itakuwa na jukumu la kuratibu kufuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote za mkoa na itafanya yafuatayo

[i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu kuhusu afua za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka hospitali ya rufaa ya mkoa na Timu za Usimamizi wa Afya za Halmashauri kwa ajili ya matumizi yao na kuwasilisha ngazi ya Taifa

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma katika kuzuia na kupambana na UWAKI

45

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti

63 Ngazi ya Wilaya

Timu ya Usimamizi wa Afya ya Halmashauri itakuwa na jukumu la kuratibu kufuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote za wilaya na itafanya yafuatayo

[i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu kuhusu afua za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka hospitali ya wilaya na vituo vya kutolea huduma za afya na Timu za Usimamizi wa Afya za Halmashauri kwa ajili ya matumizi yao na kuwasilisha ngazi ya mkoa

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma katika kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti

64 Ngazi ya Kituo cha kutolea huduma

Timu ya Usimamizi wa Kituo cha Kutolea Huduma za Afya itaratibu itafuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye kituo na kufanya yafuatayo

[i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu kuhusu jitihada za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka kwenye zahanati na jamii na kuwasilisha wilayaniHalmashauri

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma katika kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti

46

KIAMBATISHO

VIASHIRIO VYA MPANGO WA KUZUIA NA KUPAMBANA NA UWAKI KATIKA SEKTA YA AFYA

[a] Ngazi ya Taifa

[i] Idadi ya watu waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya mikoa kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kimkoa

[iii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI kimkoa

[iv] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye uthibitisho kuwa vinatumia Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupamba na UWAKI kimkoa

[v] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye vifaa muhimu kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kimkoa

[b] Ngazi Ya Mkoa

[i] Idadi ya watu waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya wilayahalmashauri kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

[iii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

[iv] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye ushahidi wa kuandikwa na kutumia Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

[v] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye vifaa muhimu kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

47

[c] Ngazi ya Wilaya

[i] Idadi ya watu waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya vituo vya kutolea huduma kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwa vituo vya kutolea huduma

[iii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI

[iv] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye ushahidi wa kuandikwa na kutumia Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI

[v] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye vifaa muhimu kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[d] Ngazi ya Kituo

[i] Idadi ya wahusika waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye kituo cha huduma za afya kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Idadi ya watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Idadi ya watoa huduma walioelekezwa kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI

48

49

50

51

bullbullbull bullbull bullbullbull

~USAID ~f~ ~ KLITOKA KWA WKTJ Delivering as One WAIIAAEKANI

HEALTH POLICY middotmiddotmiddotoINITIATIVE

ltlt ASCII85EncodePages false AllowTransparency false AutoPositionEPSFiles true AutoRotatePages None Binding Left CalGrayProfile (Dot Gain 20) CalRGBProfile (sRGB IEC61966-21) CalCMYKProfile (US Web Coated 050SWOP051 v2) sRGBProfile (sRGB IEC61966-21) CannotEmbedFontPolicy Error CompatibilityLevel 14 CompressObjects Tags CompressPages true ConvertImagesToIndexed true PassThroughJPEGImages true CreateJobTicket false DefaultRenderingIntent Default DetectBlends true DetectCurves 00000 ColorConversionStrategy CMYK DoThumbnails false EmbedAllFonts true EmbedOpenType false ParseICCProfilesInComments true EmbedJobOptions true DSCReportingLevel 0 EmitDSCWarnings false EndPage -1 ImageMemory 1048576 LockDistillerParams false MaxSubsetPct 100 Optimize true OPM 1 ParseDSCComments true ParseDSCCommentsForDocInfo true PreserveCopyPage true PreserveDICMYKValues true PreserveEPSInfo true PreserveFlatness true PreserveHalftoneInfo false PreserveOPIComments true PreserveOverprintSettings true StartPage 1 SubsetFonts true TransferFunctionInfo Apply UCRandBGInfo Preserve UsePrologue false ColorSettingsFile () AlwaysEmbed [ true ] NeverEmbed [ true ] AntiAliasColorImages false CropColorImages true ColorImageMinResolution 300 ColorImageMinResolutionPolicy OK DownsampleColorImages true ColorImageDownsampleType Bicubic ColorImageResolution 300 ColorImageDepth -1 ColorImageMinDownsampleDepth 1 ColorImageDownsampleThreshold 150000 EncodeColorImages true ColorImageFilter DCTEncode AutoFilterColorImages true ColorImageAutoFilterStrategy JPEG ColorACSImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt ColorImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt JPEG2000ColorACSImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt JPEG2000ColorImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt AntiAliasGrayImages false CropGrayImages true GrayImageMinResolution 300 GrayImageMinResolutionPolicy OK DownsampleGrayImages true GrayImageDownsampleType Bicubic GrayImageResolution 300 GrayImageDepth -1 GrayImageMinDownsampleDepth 2 GrayImageDownsampleThreshold 150000 EncodeGrayImages true GrayImageFilter DCTEncode AutoFilterGrayImages true GrayImageAutoFilterStrategy JPEG GrayACSImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt GrayImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt JPEG2000GrayACSImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt JPEG2000GrayImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt AntiAliasMonoImages false CropMonoImages true MonoImageMinResolution 1200 MonoImageMinResolutionPolicy OK DownsampleMonoImages true MonoImageDownsampleType Bicubic MonoImageResolution 1200 MonoImageDepth -1 MonoImageDownsampleThreshold 150000 EncodeMonoImages true MonoImageFilter CCITTFaxEncode MonoImageDict ltlt K -1 gtgt AllowPSXObjects false CheckCompliance [ None ] PDFX1aCheck false PDFX3Check false PDFXCompliantPDFOnly false PDFXNoTrimBoxError true PDFXTrimBoxToMediaBoxOffset [ 000000 000000 000000 000000 ] PDFXSetBleedBoxToMediaBox true PDFXBleedBoxToTrimBoxOffset [ 000000 000000 000000 000000 ] PDFXOutputIntentProfile () PDFXOutputConditionIdentifier () PDFXOutputCondition () PDFXRegistryName () PDFXTrapped False CreateJDFFile false Description ltlt ARA ltFEFF06270633062A062E062F0645002006470630064700200627064406250639062F0627062F0627062A002006440625064606340627062100200648062B062706260642002000410064006F00620065002000500044004600200645062A064806270641064206290020064406440637062806270639062900200641064A00200627064406450637062706280639002006300627062A0020062F0631062C0627062A002006270644062C0648062F0629002006270644063906270644064A0629061B0020064A06450643064600200641062A062D00200648062B0627062606420020005000440046002006270644064506460634062306290020062806270633062A062E062F062706450020004100630072006F0062006100740020064800410064006F006200650020005200650061006400650072002006250635062F0627063100200035002E0030002006480627064406250635062F062706310627062A0020062706440623062D062F062B002E0635062F0627063100200035002E0030002006480627064406250635062F062706310627062A0020062706440623062D062F062B002Egt BGR ltFEFF04180437043f043e043b043704320430043904420435002004420435043704380020043d0430044104420440043e0439043a0438002c00200437043000200434043000200441044a0437043404300432043004420435002000410064006f00620065002000500044004600200434043e043a0443043c0435043d04420438002c0020043c0430043a04410438043c0430043b043d043e0020043f044004380433043e04340435043d04380020043704300020043204380441043e043a043e043a0430044704350441044204320435043d0020043f04350447043004420020043704300020043f044004350434043f0435044704300442043d04300020043f043e04340433043e0442043e0432043a0430002e002000200421044a04370434043004340435043d043804420435002000500044004600200434043e043a0443043c0435043d044204380020043c043e0433043004420020043404300020044104350020043e0442043204300440044f0442002004410020004100630072006f00620061007400200438002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020043800200441043b0435043404320430044904380020043204350440044104380438002egt CHS ltFEFF4f7f75288fd94e9b8bbe5b9a521b5efa7684002000410064006f006200650020005000440046002065876863900275284e8e9ad88d2891cf76845370524d53705237300260a853ef4ee54f7f75280020004100630072006f0062006100740020548c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000204ee553ca66f49ad87248672c676562535f00521b5efa768400200050004400460020658768633002gt CHT ltFEFF4f7f752890194e9b8a2d7f6e5efa7acb7684002000410064006f006200650020005000440046002065874ef69069752865bc9ad854c18cea76845370524d5370523786557406300260a853ef4ee54f7f75280020004100630072006f0062006100740020548c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000204ee553ca66f49ad87248672c4f86958b555f5df25efa7acb76840020005000440046002065874ef63002gt CZE ltFEFF005400610074006f0020006e006100730074006100760065006e00ed00200070006f0075017e0069006a007400650020006b0020007600790074007600e101590065006e00ed00200064006f006b0075006d0065006e0074016f002000410064006f006200650020005000440046002c0020006b00740065007200e90020007300650020006e0065006a006c00e90070006500200068006f006400ed002000700072006f0020006b00760061006c00690074006e00ed0020007400690073006b00200061002000700072006500700072006500730073002e002000200056007900740076006f01590065006e00e900200064006f006b0075006d0065006e007400790020005000440046002000620075006400650020006d006f017e006e00e90020006f007400650076015900ed007400200076002000700072006f006700720061006d0065006300680020004100630072006f00620061007400200061002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000610020006e006f0076011b006a016100ed00630068002egt DAN ltFEFF004200720075006700200069006e0064007300740069006c006c0069006e006700650072006e0065002000740069006c0020006100740020006f007000720065007400740065002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e007400650072002c0020006400650072002000620065006400730074002000650067006e006500720020007300690067002000740069006c002000700072006500700072006500730073002d007500640073006b007200690076006e0069006e00670020006100660020006800f8006a0020006b00760061006c0069007400650074002e0020004400650020006f007000720065007400740065006400650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e0074006500720020006b0061006e002000e50062006e00650073002000690020004100630072006f00620061007400200065006c006c006500720020004100630072006f006200610074002000520065006100640065007200200035002e00300020006f00670020006e0079006500720065002egt DEU ltFEFF00560065007200770065006e00640065006e0020005300690065002000640069006500730065002000450069006e007300740065006c006c0075006e00670065006e0020007a0075006d002000450072007300740065006c006c0065006e00200076006f006e002000410064006f006200650020005000440046002d0044006f006b0075006d0065006e00740065006e002c00200076006f006e002000640065006e0065006e002000530069006500200068006f006300680077006500720074006900670065002000500072006500700072006500730073002d0044007200750063006b0065002000650072007a0065007500670065006e0020006d00f60063006800740065006e002e002000450072007300740065006c006c007400650020005000440046002d0044006f006b0075006d0065006e007400650020006b00f6006e006e0065006e0020006d006900740020004100630072006f00620061007400200075006e0064002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020006f0064006500720020006800f600680065007200200067006500f600660066006e00650074002000770065007200640065006e002egt ESP ltFEFF005500740069006c0069006300650020006500730074006100200063006f006e0066006900670075007200610063006900f3006e0020007000610072006100200063007200650061007200200064006f00630075006d0065006e0074006f00730020005000440046002000640065002000410064006f0062006500200061006400650063007500610064006f00730020007000610072006100200069006d0070007200650073006900f3006e0020007000720065002d0065006400690074006f007200690061006c00200064006500200061006c00740061002000630061006c0069006400610064002e002000530065002000700075006500640065006e00200061006200720069007200200064006f00630075006d0065006e0074006f00730020005000440046002000630072006500610064006f007300200063006f006e0020004100630072006f006200610074002c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200079002000760065007200730069006f006e0065007300200070006f00730074006500720069006f007200650073002egt ETI ltFEFF004b00610073007500740061006700650020006e0065006900640020007300e4007400740065006900640020006b00760061006c006900740065006500740073006500200074007200fc006b006900650065006c007300650020007000720069006e00740069006d0069007300650020006a0061006f006b007300200073006f00620069006c0069006b0065002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740069006400650020006c006f006f006d006900730065006b0073002e00200020004c006f006f0064007500640020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740065002000730061006100740065002000610076006100640061002000700072006f006700720061006d006d006900640065006700610020004100630072006f0062006100740020006e0069006e0067002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020006a00610020007500750065006d006100740065002000760065007200730069006f006f006e00690064006500670061002e000d000agt FRA ltFEFF005500740069006c006900730065007a00200063006500730020006f007000740069006f006e00730020006100660069006e00200064006500200063007200e900650072002000640065007300200064006f00630075006d0065006e00740073002000410064006f00620065002000500044004600200070006f0075007200200075006e00650020007100750061006c0069007400e90020006400270069006d007000720065007300730069006f006e00200070007200e9007000720065007300730065002e0020004c0065007300200064006f00630075006d0065006e00740073002000500044004600200063007200e900e90073002000700065007500760065006e0074002000ea0074007200650020006f007500760065007200740073002000640061006e00730020004100630072006f006200610074002c002000610069006e00730069002000710075002700410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000650074002000760065007200730069006f006e007300200075006c007400e90072006900650075007200650073002egt GRE ltFEFF03a703c103b703c303b903bc03bf03c003bf03b903ae03c303c403b5002003b103c503c403ad03c2002003c403b903c2002003c103c503b803bc03af03c303b503b903c2002003b303b903b1002003bd03b1002003b403b703bc03b903bf03c503c103b303ae03c303b503c403b5002003ad03b303b303c103b103c603b1002000410064006f006200650020005000440046002003c003bf03c5002003b503af03bd03b103b9002003ba03b103c42019002003b503be03bf03c703ae03bd002003ba03b103c403ac03bb03bb03b703bb03b1002003b303b903b1002003c003c103bf002d03b503ba03c403c503c003c903c403b903ba03ad03c2002003b503c103b303b103c303af03b503c2002003c503c803b703bb03ae03c2002003c003bf03b903cc03c403b703c403b103c2002e0020002003a403b10020005000440046002003ad03b303b303c103b103c603b1002003c003bf03c5002003ad03c703b503c403b5002003b403b703bc03b903bf03c503c103b303ae03c303b503b9002003bc03c003bf03c103bf03cd03bd002003bd03b1002003b103bd03bf03b903c703c403bf03cd03bd002003bc03b5002003c403bf0020004100630072006f006200610074002c002003c403bf002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002003ba03b103b9002003bc03b503c403b103b303b503bd03ad03c303c403b503c103b503c2002003b503ba03b403cc03c303b503b903c2002egt HEB ltFEFF05D405E905EA05DE05E905D5002005D105D405D205D305E805D505EA002005D005DC05D4002005DB05D305D9002005DC05D905E605D505E8002005DE05E105DE05DB05D9002000410064006F006200650020005000440046002005D405DE05D505EA05D005DE05D905DD002005DC05D405D305E405E105EA002005E705D305DD002D05D305E405D505E1002005D005D905DB05D505EA05D905EA002E002005DE05E105DE05DB05D90020005000440046002005E905E005D505E605E805D5002005E005D905EA05E005D905DD002005DC05E405EA05D905D705D4002005D105D005DE05E605E205D505EA0020004100630072006F006200610074002005D5002D00410064006F00620065002000520065006100640065007200200035002E0030002005D505D205E805E105D005D505EA002005DE05EA05E705D305DE05D505EA002005D905D505EA05E8002E05D005DE05D905DD002005DC002D005000440046002F0058002D0033002C002005E205D905D905E005D5002005D105DE05D305E805D905DA002005DC05DE05E905EA05DE05E9002005E905DC0020004100630072006F006200610074002E002005DE05E105DE05DB05D90020005000440046002005E905E005D505E605E805D5002005E005D905EA05E005D905DD002005DC05E405EA05D905D705D4002005D105D005DE05E605E205D505EA0020004100630072006F006200610074002005D5002D00410064006F00620065002000520065006100640065007200200035002E0030002005D505D205E805E105D005D505EA002005DE05EA05E705D305DE05D505EA002005D905D505EA05E8002Egt HRV (Za stvaranje Adobe PDF dokumenata najpogodnijih za visokokvalitetni ispis prije tiskanja koristite ove postavke Stvoreni PDF dokumenti mogu se otvoriti Acrobat i Adobe Reader 50 i kasnijim verzijama) HUN ltFEFF004b0069007600e1006c00f30020006d0069006e0151007300e9006701710020006e0079006f006d00640061006900200065006c0151006b00e90073007a00ed007401510020006e0079006f006d00740061007400e100730068006f007a0020006c006500670069006e006b00e1006200620020006d0065006700660065006c0065006c0151002000410064006f00620065002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e00740075006d006f006b0061007400200065007a0065006b006b0065006c0020006100200062006500e1006c006c00ed007400e10073006f006b006b0061006c0020006b00e90073007a00ed0074006800650074002e0020002000410020006c00e90074007200650068006f007a006f00740074002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e00740075006d006f006b00200061007a0020004100630072006f006200610074002000e9007300200061007a002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002c0020007600610067007900200061007a002000610074007400f3006c0020006b00e9007301510062006200690020007600650072007a006900f3006b006b0061006c0020006e00790069007400680061007400f3006b0020006d00650067002egt ITA ltFEFF005500740069006c0069007a007a006100720065002000710075006500730074006500200069006d0070006f007300740061007a0069006f006e00690020007000650072002000630072006500610072006500200064006f00630075006d0065006e00740069002000410064006f00620065002000500044004600200070006900f900200061006400610074007400690020006100200075006e00610020007000720065007300740061006d0070006100200064006900200061006c007400610020007100750061006c0069007400e0002e0020004900200064006f00630075006d0065006e007400690020005000440046002000630072006500610074006900200070006f00730073006f006e006f0020006500730073006500720065002000610070006500720074006900200063006f006e0020004100630072006f00620061007400200065002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200065002000760065007200730069006f006e006900200073007500630063006500730073006900760065002egt JPN ltFEFF9ad854c18cea306a30d730ea30d730ec30b951fa529b7528002000410064006f0062006500200050004400460020658766f8306e4f5c6210306b4f7f75283057307e305930023053306e8a2d5b9a30674f5c62103055308c305f0020005000440046002030d530a130a430eb306f3001004100630072006f0062006100740020304a30883073002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000204ee5964d3067958b304f30533068304c3067304d307e305930023053306e8a2d5b9a306b306f30d530a930f330c8306e57cb30818fbc307f304c5fc59808306730593002gt KOR ltFEFFc7740020c124c815c7440020c0acc6a9d558c5ec0020ace0d488c9c80020c2dcd5d80020c778c1c4c5d00020ac00c7a50020c801d569d55c002000410064006f0062006500200050004400460020bb38c11cb97c0020c791c131d569b2c8b2e4002e0020c774b807ac8c0020c791c131b41c00200050004400460020bb38c11cb2940020004100630072006f0062006100740020bc0f002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020c774c0c1c5d0c11c0020c5f40020c2180020c788c2b5b2c8b2e4002egt LTH ltFEFF004e006100750064006f006b0069007400650020016100690075006f007300200070006100720061006d006500740072007500730020006e006f0072011700640061006d00690020006b0075007200740069002000410064006f00620065002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400750073002c0020006b00750072006900650020006c0061006200690061007500730069006100690020007000720069007400610069006b007900740069002000610075006b01610074006f00730020006b006f006b007900620117007300200070006100720065006e006700740069006e00690061006d00200073007000610075007300640069006e0069006d00750069002e0020002000530075006b0075007200740069002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400610069002000670061006c006900200062016b007400690020006100740069006400610072006f006d00690020004100630072006f006200610074002000690072002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000610072002000760117006c00650073006e0117006d00690073002000760065007200730069006a006f006d00690073002egt LVI ltFEFF0049007a006d0061006e0074006f006a00690065007400200161006f00730020006900650073007400610074012b006a0075006d00750073002c0020006c0061006900200076006500690064006f00740075002000410064006f00620065002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400750073002c0020006b006100730020006900720020012b00700061016100690020007000690065006d01130072006f00740069002000610075006700730074006100730020006b00760061006c0069007401010074006500730020007000690072006d007300690065007300700069006501610061006e006100730020006400720075006b00610069002e00200049007a0076006500690064006f006a006900650074002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400750073002c0020006b006f002000760061007200200061007400760113007200740020006100720020004100630072006f00620061007400200075006e002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002c0020006b0101002000610072012b00200074006f0020006a00610075006e0101006b0101006d002000760065007200730069006a0101006d002egt NLD (Gebruik deze instellingen om Adobe PDF-documenten te maken die zijn geoptimaliseerd voor prepress-afdrukken van hoge kwaliteit De gemaakte PDF-documenten kunnen worden geopend met Acrobat en Adobe Reader 50 en hoger) NOR ltFEFF004200720075006b00200064006900730073006500200069006e006e007300740069006c006c0069006e00670065006e0065002000740069006c002000e50020006f0070007000720065007400740065002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740065007200200073006f006d00200065007200200062006500730074002000650067006e0065007400200066006f00720020006600f80072007400720079006b006b0073007500740073006b00720069006600740020006100760020006800f800790020006b00760061006c0069007400650074002e0020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740065006e00650020006b0061006e002000e50070006e00650073002000690020004100630072006f00620061007400200065006c006c00650072002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200065006c006c00650072002000730065006e006500720065002egt POL ltFEFF0055007300740061007700690065006e0069006100200064006f002000740077006f0072007a0065006e0069006100200064006f006b0075006d0065006e007400f300770020005000440046002000700072007a0065007a006e00610063007a006f006e00790063006800200064006f002000770079006400720075006b00f30077002000770020007700790073006f006b00690065006a0020006a0061006b006f015b00630069002e002000200044006f006b0075006d0065006e0074007900200050004400460020006d006f017c006e00610020006f007400770069006500720061010700200077002000700072006f006700720061006d006900650020004100630072006f00620061007400200069002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000690020006e006f00770073007a0079006d002egt PTB ltFEFF005500740069006c0069007a006500200065007300730061007300200063006f006e00660069006700750072006100e700f50065007300200064006500200066006f0072006d00610020006100200063007200690061007200200064006f00630075006d0065006e0074006f0073002000410064006f0062006500200050004400460020006d00610069007300200061006400650071007500610064006f00730020007000610072006100200070007200e9002d0069006d0070007200650073007300f50065007300200064006500200061006c007400610020007100750061006c00690064006100640065002e0020004f007300200064006f00630075006d0065006e0074006f00730020005000440046002000630072006900610064006f007300200070006f00640065006d0020007300650072002000610062006500720074006f007300200063006f006d0020006f0020004100630072006f006200610074002000650020006f002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000650020007600650072007300f50065007300200070006f00730074006500720069006f007200650073002egt RUM ltFEFF005500740069006c0069007a00610163006900200061006300650073007400650020007300650074010300720069002000700065006e007400720075002000610020006300720065006100200064006f00630075006d0065006e00740065002000410064006f006200650020005000440046002000610064006500630076006100740065002000700065006e0074007200750020007400690070010300720069007200650061002000700072006500700072006500730073002000640065002000630061006c006900740061007400650020007300750070006500720069006f006100720103002e002000200044006f00630075006d0065006e00740065006c00650020005000440046002000630072006500610074006500200070006f00740020006600690020006400650073006300680069007300650020006300750020004100630072006f006200610074002c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020015f00690020007600650072007300690075006e0069006c006500200075006c0074006500720069006f006100720065002egt RUS ltFEFF04180441043f043e043b044c04370443043904420435002004340430043d043d044b04350020043d0430044104420440043e0439043a043800200434043b044f00200441043e043704340430043d0438044f00200434043e043a0443043c0435043d0442043e0432002000410064006f006200650020005000440046002c0020043c0430043a04410438043c0430043b044c043d043e0020043f043e04340445043e0434044f04490438044500200434043b044f00200432044b0441043e043a043e043a0430044704350441044204320435043d043d043e0433043e00200434043e043f0435044704300442043d043e0433043e00200432044b0432043e04340430002e002000200421043e043704340430043d043d044b04350020005000440046002d0434043e043a0443043c0435043d0442044b0020043c043e0436043d043e0020043e0442043a0440044b043204300442044c002004410020043f043e043c043e0449044c044e0020004100630072006f00620061007400200438002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020043800200431043e043b043504350020043f043e04370434043d043804450020043204350440044104380439002egt SKY ltFEFF0054006900650074006f0020006e006100730074006100760065006e0069006100200070006f0075017e0069007400650020006e00610020007600790074007600e100720061006e0069006500200064006f006b0075006d0065006e0074006f0076002000410064006f006200650020005000440046002c0020006b0074006f007200e90020007300610020006e0061006a006c0065007001610069006500200068006f0064006900610020006e00610020006b00760061006c00690074006e00fa00200074006c0061010d00200061002000700072006500700072006500730073002e00200056007900740076006f00720065006e00e900200064006f006b0075006d0065006e007400790020005000440046002000620075006400650020006d006f017e006e00e90020006f00740076006f00720069016500200076002000700072006f006700720061006d006f006300680020004100630072006f00620061007400200061002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000610020006e006f0076016100ed00630068002egt SLV ltFEFF005400650020006e006100730074006100760069007400760065002000750070006f0072006100620069007400650020007a00610020007500730074007600610072006a0061006e006a006500200064006f006b0075006d0065006e0074006f0076002000410064006f006200650020005000440046002c0020006b006900200073006f0020006e0061006a007000720069006d00650072006e0065006a016100690020007a00610020006b0061006b006f0076006f00730074006e006f0020007400690073006b0061006e006a00650020007300200070007200690070007200610076006f0020006e00610020007400690073006b002e00200020005500730074007600610072006a0065006e006500200064006f006b0075006d0065006e0074006500200050004400460020006a00650020006d006f0067006f010d00650020006f0064007000720065007400690020007a0020004100630072006f00620061007400200069006e002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200069006e0020006e006f00760065006a01610069006d002egt SUO ltFEFF004b00e40079007400e40020006e00e40069007400e4002000610073006500740075006b007300690061002c0020006b0075006e0020006c0075006f00740020006c00e400680069006e006e00e4002000760061006100740069007600610061006e0020007000610069006e006100740075006b00730065006e002000760061006c006d0069007300740065006c00750074007900f6006800f6006e00200073006f00700069007600690061002000410064006f0062006500200050004400460020002d0064006f006b0075006d0065006e007400740065006a0061002e0020004c0075006f0064007500740020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740069007400200076006f0069006400610061006e0020006100760061007400610020004100630072006f0062006100740069006c006c00610020006a0061002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030003a006c006c00610020006a006100200075007500640065006d006d0069006c006c0061002egt SVE ltFEFF0041006e007600e4006e00640020006400650020006800e4007200200069006e0073007400e4006c006c006e0069006e006700610072006e00610020006f006d002000640075002000760069006c006c00200073006b006100700061002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e007400200073006f006d002000e400720020006c00e4006d0070006c0069006700610020006600f60072002000700072006500700072006500730073002d007500740073006b00720069006600740020006d006500640020006800f600670020006b00760061006c0069007400650074002e002000200053006b006100700061006400650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740020006b0061006e002000f600700070006e00610073002000690020004100630072006f0062006100740020006f00630068002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020006f00630068002000730065006e006100720065002egt TUR ltFEFF005900fc006b00730065006b0020006b0061006c006900740065006c0069002000f6006e002000790061007a006401310072006d00610020006200610073006b013100730131006e006100200065006e0020006900790069002000750079006100620069006c006500630065006b002000410064006f006200650020005000440046002000620065006c00670065006c0065007200690020006f006c0075015f007400750072006d0061006b0020006900e70069006e00200062007500200061007900610072006c0061007201310020006b0075006c006c0061006e0131006e002e00200020004f006c0075015f0074007500720075006c0061006e0020005000440046002000620065006c00670065006c0065007200690020004100630072006f006200610074002000760065002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200076006500200073006f006e0072006100730131006e00640061006b00690020007300fc007200fc006d006c00650072006c00650020006100e70131006c006100620069006c00690072002egt UKR ltFEFF04120438043a043e0440043804410442043e043204430439044204350020044604560020043f043004400430043c043504420440043800200434043b044f0020044104420432043e04400435043d043d044f00200434043e043a0443043c0435043d044204560432002000410064006f006200650020005000440046002c0020044f043a04560020043d04300439043a04400430044904350020043f045604340445043e0434044f0442044c00200434043b044f0020043204380441043e043a043e044f043a04560441043d043e0433043e0020043f0435044004350434043404400443043a043e0432043e0433043e0020043404400443043a0443002e00200020042104420432043e04400435043d045600200434043e043a0443043c0435043d0442043800200050004400460020043c043e0436043d04300020043204560434043a0440043804420438002004430020004100630072006f006200610074002004420430002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002004300431043e0020043f04560437043d04560448043e04570020043204350440044104560457002egt ENU (Use these settings to create Adobe PDF documents best suited for high-quality prepress printing Created PDF documents can be opened with Acrobat and Adobe Reader 50 and later) gtgt Namespace [ (Adobe) (Common) (10) ] OtherNamespaces [ ltlt AsReaderSpreads false CropImagesToFrames true ErrorControl WarnAndContinue FlattenerIgnoreSpreadOverrides false IncludeGuidesGrids false IncludeNonPrinting false IncludeSlug false Namespace [ (Adobe) (InDesign) (40) ] OmitPlacedBitmaps false OmitPlacedEPS false OmitPlacedPDF false SimulateOverprint Legacy gtgt ltlt AddBleedMarks false AddColorBars false AddCropMarks false AddPageInfo false AddRegMarks false ConvertColors ConvertToCMYK DestinationProfileName () DestinationProfileSelector DocumentCMYK Downsample16BitImages true FlattenerPreset ltlt PresetSelector MediumResolution gtgt FormElements false GenerateStructure false IncludeBookmarks false IncludeHyperlinks false IncludeInteractive false IncludeLayers false IncludeProfiles false MultimediaHandling UseObjectSettings Namespace [ (Adobe) (CreativeSuite) (20) ] PDFXOutputIntentProfileSelector DocumentCMYK PreserveEditing true UntaggedCMYKHandling LeaveUntagged UntaggedRGBHandling UseDocumentProfile UseDocumentBleed false gtgt ]gtgt setdistillerparamsltlt HWResolution [2400 2400] PageSize [612000 792000]gtgt setpagedevice

  1. 1 World Health Organization WHO
  2. 2 Beijing Platform for Action BPA 1995
  3. 5 International Covenant on Civil and Political Rights ICCPR 1966
  4. 7 Krug Etienne et al 2002 World Report on Violence and Health Geneva WHO
Page 11: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na

wanaoishi katika mazingira hatarishi kama vile kituo cha kulelea watoto kinachomilikiwa na watu binafsi taasisi za dini au serikali

Mlezi maalumu Mtu mzima mwenye akili timamu maadili mazuri na anayeaminika katika jamii ana uwezo wa kumlea mtoto ambaye siyo ndugu yake au wa nasaba yake ambaye amethibitishwa na ustawi wa jamii kuweza kumpa matunzo

Kulazimisha kurithi Mjane Ni mila ambapo mjane anashurutishwa bila ridha yake kuwa mke au mume wa ndugu wa marehemu Inawezekana kuwa katika aina au mtindo tofauti kulingana na tamaduni

Ukahaba wa Kulazimishwa Ni kitendo cha ulaghai kinachofanywa na watu kwa makundi hatarishi kama wanawake au wasichana kwa kuwaahidi kuwapatia vitu msaada au ajira halali na badala yake kuwatumikisha katika biashara ya ngono

Jinsia Ni uhusiano uliojengeka katika jamii Watu huzaliwa wakiwa na maumbile ya kike na kiume kisha hujifunza kazi au shughuli za kike na kiume kwenye jamii na hatimaye husababisha watu kujipangia majukumu kutokana na jinsia

Ukatili wa Kijinsia (UWAKI) Ni kitendo chochote cha kikatili anachofanyiwa mtu yeyote awe mwanamke mwanamume au mtoto chenye lengo la kumwumiza kimwili au kiutu kutokana na jinsia yake Ukatili wa kijinsia unajumuisha ukatili wa kingono kisaikolojia mila hatarishi na unyanyasaji wa kiuchumi na kijamii

Kupambana na Ukatili wa Kijinsia Kunajumuisha mambo yafuatayo Kutoa huduma kuandaa mipango mkakati kwa kuwashirikisha wadau mbalimbali

Mila na desturi hatarishi

bull Ukeketaji Ni kitendo cha kikatili anachofanyiwa mtoto wa kike msichana au mwanamke kwa kukata kabisa au kuondoa sehemu ya via vya nje vya uzazi kwa sababu zisizo za kitabibu

x

bull Ndoa katika umri mdogo Ni ndoa zinazojitokeza zaidi kwa wasichana ambazo zinahusishwa na madhara kwa mama na mtoto kama vile matatizo wakati wa kujifungua ulemavu na vifo vya mama na mtoto

bull Ndoa ya kulazimishwa Ni ndoa zinazofanyika bila ridhaa ya mwanamume au mwanamke Iwapo mmoja kati yao hatakubaliana ndoa hizo zinaweza kusababisha madhara ya unyanyasaji na ukatili

bull Utakaso wa mjane Ni desturi ambapo mjane hulazimishwa au hulazimika kufanya ngono na ndugu wengine au mtu aliyeteuliwa kwa kazi hiyo katika jamii Hii hufanyika kabla mjane huyo hajaolewa au kuoa tena

Haki za binadamu Ni stahili za msingi ambazo kila binadamu anapaswa kuzipata ili kumwezesha kuishi kujiendeleza kushiriki na kupata ulinzi wa jamii bila kujali utaifa jinsia asili ya utaifa au nasaba au kabila rangi dini lugha au kwa hali nyingine yoyote

Matukio ya ukatili Ni kitendo au mfululizo wa vitendo vya ukatili vinavyofanywa na mtu au kikundi cha watu dhidi ya mtu au kundi la watu kwa makusudi ya kuharibu kuleta hofu au kutishia amani kwa maslahi binafsi Vitendo hivyo vya kikatili vinaweza kufanyika nyumbani kwenye hadhara na mahali popote katika nyakati tofauti

Ukatili kati ya wenzi Ukatili unaohusisha wenzi wenye uhusiano wa ndani kama vile mtu na mke marafiki wapenzi wanafamilia au watu wanaoishi pamoja kama mke na mume bila ndoa rasmi Ukatili kati ya wenzi ni wa aina nyingi ikiwa ni pamoja na ukatili wa kimwili (kupigwa kuuma kumsukuma kumzuia kumtupia vitu) au kumtishia Aina nyingine ya ukatili wa wenzi ni ukatili wa kingono kisaikolojia (kumfanyia vitisho kuvizia kumpuuza) na ukatili wa kiuchumi (kunyimwa haki ya kufanya kazi kunyangrsquoanywa kipato kurithi mali nk)

Mhalifu Ni mtu kundi la watu au taasisi linalofanya moja kwa moja au kupitia wengine uhalifu au vitendo vya kikatili dhidi ya mtu au kundi la

xi

watuWahalifu wanakuwa katika hali ya kuwa au kuhisi kuwa na nguvu kufanya uamuzi naau mamlaka ya kuwadhibiti waliopatwa na UWAKI

Ukatili wa kimwili Ni kitendo cha kumdhalilisha mtu kwa kumpiga kumvua nguo kumwuma kumchoma kumsababishia ulemavu au kumwua kwa kutumia au kutotumia silaha

Nguvu Katika muktadha wa UWAKI madaraka yanahusiana na uwezo wa kuchagua Mamlaka makubwa yanaendana na uwezo mkubwa wa kufanya uamuzi Kwa upande mwingine mamlaka madogo yanaendana na uwezo dhaifu wa kufanya uamuzi na kwa hivyo kuongeza uwezekano wa kunyanyaswa UWAKI unahusisha matumizi mabaya ya madaraka ambapo mtu mmoja anajisikia kuwa ana mamlaka zaidi juu ya mwenzake na kutumia fursa hiyo kumnyanyasa

Kwa mfano kutumia shinikizo la aina yoyote ili kumfanya mtu mwenye uwezo mdogo kufanya naye ngono kwa madhumuni ya kumpatia faida au ahadi zozote ni kutumia vibaya madaraka Wanaume wana nafasi za madaraka kuliko wanawake na mara nyingi wanamiliki fedha mali na huduma Wanaume wana maumbile makubwa zaidi ya wanawake wana nguvu zaidi wanatumia silaha zaidi na wanadhibiti mawasiliano na usalama Madaraka yanategemea umri na mara nyingi watoto na wazee wana madaraka madogo zaidi Waume au marafiki wa kiume wana umri mkubwa zaidi kuliko wake zao au marafiki wa kike

Ubakaji Ni kitendo cha mtu kumwingilia mtu kimwili mtu mwingine kwa nguvu bila ridhaa yake au kitendo cha kumwingilia mtu mwenye umri chini ya miaka 18

Ulazimishaji ngono ndani ya ndoa Ni kitendo cha ngono kati ya wanandoa kinachofanywa na mwanandoa mmoja bila ridhaa au dhamira ya mwenzake akitumia nguvu vitisho kuogopesha hofu au wakati mwenza hawezi kutoa ridhaa

Vitendo hivyo vya ngono vinajumuisha kujamiiana ngono ya mdomo au kinyume na maumbile kulazimishwa kufanya ngono na mtu mwingine na vitendo vingine vya ngono ambavyo vinachukuliwa na mlazimishaji kama ukandamizaji udhalilishaji na vya kuumiza

xii

Nyumba salama Mahali pa hifadhi ya muda kwa watu waliopatwa na UWAKI mashahidi au watu wengine wanaoonekana kuwa hatarini Pia ni mahali ambapo jamii familia mtu mzima anayeaminika au taasisi ya hisani wanatoa kimbilio la usalama kwa watu waliopatwa na UWAKI

Ukatili wa Kingono Ni kitendo au jaribio lolote la unyanyasaji wa kingono linalosababisha au linaloweza kusababisha madhara ya kimwili kisaikolojia au kihisia

Ngono za Kulazimishwa Ni kitendo cha kumshurutisha au kujaribu kumshurutisha mtu mwingine kwa njia ya ukatili vitisho maneno makali udanganyifu kumpa matarajio ya kiuchumi ili ajihusishe na vitendo vya ngono bila ridhaa yake Ni pamoja na vitendo mbalimbali kama ubakaji na maeneo mapana zaidi kama wanawake kulazimishwa kuolewa na kutoa huduma ya ngono kwa wanaume ambao sio chaguo lao

Ukandamizaji wa Kingono Ni kumtumia mtu watu au jamii inayoishi kwenye mazingira magumu kwa madhumuni ya kuihusisha katika vitendo vya kujamiiana au vinavyohusiana na kujamiiana ili mhalifu afaidike kiuchumi au kijamii

Bughudha ya Kingono Ni matendo yanayohusiana na hisia za kujamiiana ambayo yanakera na kuudhi watu ndani ya jamii na mazingira ya kazi hayakubaliki yanasumbua yanarudiwa mara kwa mara na bila ridhaa kwa mfano matusi kukonyeza mavazi duni yenye kuonyesha maungo kupapasa picha za ngono na kuingilia faragha za mwili wa mtu

Ukatili wa Kingono Nikitendo au jaribio lolote la unyanyasaji wa kingono linalosababisha au linaloweza kusababisha madhara ya kimwili kisaikolojia au kihisia

Ukatili wa Kiuchumi na Kijamii Ni vitendo vya kumnyima mtu fursa ya kupata mahitaji ya msingi na ya kujiendeleza kama kumnyima elimu kazi kumiliki mali huduma za afya na vitendo vingine vinavyosababisha msongo wa mawazo

xiii

Ukatili Matumizi ya nguvu yanayompa mtu fursa ya kumtumia au kumkandamiza mtu mwingine ikiwa ni pamoja na kumsababishia woga au hofu madhara ya kimwili kifikra na kisaikolojia Ukatili unaweza kujitokeza kwa kumdhuru mtu kimwili au kumtishia kwa kutumia silaha au kumnyima mtu uhuru wa kufanya uamuzi na kumlazimisha kutenda kinyume na utashi wake

Ukatili Dhidi ya Wanawake Ni kitendo au vitendo vya unyanyasaji vyenye kulenga jinsia ya kike na vyenye kusababisha au kuleta madhara ya kimwili kingono kihisia kisaikolojia kiuchumi na kijamii Kitendo au vitendo hivi hujumuisha kutumia nguvu na vitisho vya kumnyima mwanamke haki na uhuru

xiv

SEHEMU YA KWANZA

UTANGULIZI

11 Hali ya Ukatili wa Kijinsia Duniani

Ukatili Wa Kijinsia (UWAKI) unatokana na kuwepo kwa tofauti kati ya wanaume na wanawake na hivyo kuhatarisha afya utu usalama na uhuru wa wahusika waliofanyiwa vitendo vya kikatili

UWAKI unajumuisha vitendo vingi vya ukiukwaji wa haki za binadamu kama vile unyanyasaji wa watoto kingono ubakaji unyanyasaji katika familia shambulio la aibu na udhalilishaji Vitendo vingine vya UWAKI ni usafirishaji haramu wa wanawake na wasichana na madhara mengine yatokanayo na mila na desturi hatarishi

Matukio ya ukatili wa kijinsia yanaacha athari kubwa za kisaikolojia na za kiafya kwa watu waliopatwa na ukatili ikiwa ni pamoja na kuathiri afya ya uzazi na mara nyingine kusababisha vifo

UWAKI haujatambuliwa kama ukiukwaji wa haki za binadamu katika sehemu nyingi duniani Tatizo hili hupunguza uwezo wa wanawake wanaume na watoto katika kufurahia uhuru na haki za msingi za kibinadamu Hata hivyo licha ya kuwepo kwa UWAKI katika nchi nyingi tatizo hili halijapewa kipaumbele UWAKI unaelezwa kuwa ldquoNi kitendo kiovu na cha aibu kubwa cha ukiukwaji wa haki za binadamurdquo Hali hii humfanya mwanamke kuwa tegemezi kijamii kiuchumi na kisheria na hupunguza uwezo wake katika kupata msaada mara anapofanyiwa ukatili

Utafiti uliofanywa na Shirika la Afya Duniani (WHO) kuhusu afya ya wanawake na ukatili wa kifamilia katika nchi 10 umeonyesha kuwa kati ya wanawake waliowahi kuwa na wenzi asilimia 13-61 walifanyiwa ukatili wa kimwili na wenzi wao asilimia 6-59 walifanyiwa ukatili wa kingono na asilimia 15-71 walifanyiwa vitendo vya ukatili wa kingono pamoja na kimwili Pia wanawake wengi vijijini walikiri kuwa walifanyiwa tendo la ngono kwa mara ya kwanza bila ridhaa yao na takwimu zinaonyesha matukio hayo katika baadhi ya nchi kama ifuatavyo Peru (24)

1

Tanzania (17) Bangladesh (30) na Ethiopia (17) Ukatili wa kimwili kwa wanawake wajawazito uliripotiwa kuwa ni asilimia 4-12

Wanawake na wasichana wanakabiliwa na aina nyingine ya ziada ya unyanyasaji Usafirishaji haramu wa wanawake na wasichana kwa ajili ya kazi na ngono za kulazimishwa ni biashara iliyoshamiri na mara nyingi waathirika ni wale wanaokabiliwa na hali ngumu ya maisha Ndoa za kulazimishwa na za utotoni ni ukiukwaji wa haki za binadamu kwa wanawake na wasichana lakini zinaendelea kushamiri kwenye nchi nyingi za Bara la Asia Mashariki ya Kati na Nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara Utafiti wa Shirika la Afya Duniani (2010) unaonyesha kuwa duniani kote mwanamke mmoja kati ya wanawake watano na mwanamume mmoja kati ya wanaume 10 wanaripotiwa kuathirika na unyanyasaji wa kingono wakati wa utoto

12 Hali ya UWAKI Kanda ya Afrika

Kuna uhaba wa taarifa takwimu na utafiti kuhusu UWAKI kwenye ukanda wa Afrika Mashariki Nchini Kenya kulikuwa hakuna takwimu zenye kuhusiana na ukatili wa kijinsia hadi utafiti wa hali ya jamii na afya ulipofanyika mwaka 2003 Utafiti huu ulionyesha kwamba asilimia 29 ya wanawake waliripotiwa kuathiriwa na ukatili wa kingono kwenye kipindi cha mwaka mmoja uliopita na wengi wa waathirika walikuwa wanawake wa umri wa miaka 20-29 Utafiti uliofanywa na Ushirika wa Wanasheria Wanawake nchini Kenya ulionyesha kwamba ukatili wa kijinsia katika familia unakabili asilimia 51 ya wanawake waliohudhuria kliniki nne za wajawazito kwenye jiji la Nairobi na waliripoti kuwa wamekuwa waathirika wa ukatili wakati fulani katika maisha yao kati yao asilimia 65 walifanyiwa ukatili na waume zao na asilimia 22 walifanyiwa ukatili na wanaume wasiowafahamu

Utafiti kuhusu UWAKI uliofanywa baada ya uchaguzi wa 2007 nchini Kenya ulilenga makazi duni ya Kibera jijini Nairobi yenye wakazi wapatao milioni moja Utafiti huu ulionyesha kuwa umri wa waathirika waliobakwa ulikuwa kati ya miaka 25-68 na wengi wao walikuwa wenye umri wa miaka ya 30 UWAKI uliwaathiri wanawake wa umri wa miaka yote Utafiti huu ulibaini kwamba baadhi ya waathirika waliambukizwa virusi vya UKIMWI

2

Mwaka 2007 Umoja wa Mataifa ulikadiria kuwa kiwango cha ubakaji wa wanawake katika eneo la Kivu kaskazini ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ulikuwa ni wanawake 350 kwa mwezi Mwaka 2008 shirika linalotetea haki za binadamu duniani (Amnesty International) liliripoti kuwa wanawake 40 hubakwa kila siku katika eneo hilo hilo

3

SEHEMU YA PILI

UCHAMBUZI WA UWAKI TANZANIA

21 Ukubwa wa tatizo la UWAKI Tanzania

Utafiti uliofanywa na Shirika la Afya Duniani (WHO)1 kuhusu afya ya wanawake na ukatili majumbani kwenye nchi 10 umebaini kuwa ukatili dhidi ya wanawake upo sehemu nyingi ikiwemoTanzania Utafi ti huo ulihusisha wanawake 1820 Dar es Salaam na wanawake 1450 Mbeya waliowahi kuwa na wenzi Matokeo yalionyesha kwamba asilimia 41 ya waliohojiwa katika jiji la Dar es Salaam na asilimia 55 ya waliohojiwa katika jiji la Mbeya waliathirika na aina mbalimbali za UWAKI Taarifa ilionyesha kuwa asilimia 15 hadi 71 ya wanawake walioathirika na ukatili wa kimwili au wa kingono ulifanywa na waume au wenzi wao Utafi ti huo pia ulionyesha kwamba asilimia 15 ya wanawake walifanya kitendo cha ngono kwa mara ya kwanza kwa kulazimishwa Aidha asilimia 4 hadi 12 ya wanawake waliripotiwa kunyanyaswa kimwili wakati wa ujauzito

Kufuatana na uchunguzi wa kitaifa nchini Tanzania kiwango cha ukatili majumbani kati ya wanawake wenye umri wa miaka 15- 49 ni asilimia 45 ikijumuisha ukatili wa kimwili (25) kingono (7) na (14) kwa aina zote mbili Unyanyasaji wa kimwili kwa wanawake wajawazito ulikuwa asilimia tisa (9) Kiwango cha wanawake waliokabiliwa na matukio ya kushurutishwa na wenzi wao kilikuwa asilimia sitini (60) Kiwango cha matukio ya ukatili wa kimwili kinatofautiana sana kati ya mkoa na mkoa ambapo kiwango cha juu sana kipo kwenye mkoa wa Dodoma (71) na cha chini kabisa kwenye mkoa wa Tanga (16) Ukatili wa kingono ni wa kiwango cha juu sana kwenye mkoa wa Rukwa (32) na chini kabisa kwenye mkoa wa Shinyanga (5) Kiwango cha wanawake waliowahi kuwa kwenye ndoa ambao wameathirika na ukatili wa kingono kutoka kwa mume au mwenzi wa sasa ni 48 mume wa zamani (21) rafiki wa kiume wa sasazamani (7) Kwa upande wa wanawake ambao hawajaolewa 27 ya ukatili ulifanywa na marafi ki wa kiume wa sasa au wa zamani

1 World Health Organization (WHO)

4

Uchunguzi wa WHO uliotajwa hapo juu umeonyesha usafi rishaji wa wanawake na wasichana kwa ajili ya kazi na ngono za kulazimishwa ni biashara iliyoshamiri na mara nyingi waathirika ni wale wanaokabiliwa na hali ngumu ya maisha Ndoa za kulazimishwa na za utotoni kama zilivyo kwenye jamii nyingi ni ukiukwaji wa haki za binadamu kwa wanawake na wasichana kwa sababu hawana fursa ya kutoa ridhaa Zaidi ya 60 ya waathirika wa UWAKI nchini Tanzania hawachukui hatua yoyote ya kutoa taarifa ya ukatili kwa mamlaka rasmi au vyombo vya kutekeleza sheria Upo uwezekano mkubwa wa maambukizo ya VVU kutokana na UWAKI Vijana wa kike wa Kitanzania wenye umri wa miaka 18-29 ambao wamekuwa wakinyanyaswa na wenzi wao wana uwezekano wa mara 10 zaidi kupata maambukizo ya VVU kuliko wanawake ambao hawajanyanyaswa

Utafiti uliofanyika Dar es Salaam mwaka 2000 ulibaini kuwa zaidi ya 90 ya waathirika wa ubakaji wanawafahamu wahalifu wao Katika utafiti mwingine uliofanyika Dar es Salaam asilimia ishirini na tano (25) ya wanawake waliohojiwa walikiri kwamba ldquoUkatili ni tatizo kubwa kwenye maishardquo Nchini Tanzania ubakaji ndani ya ndoa hautambuliwi kama kosa la jinai isipokuwa kama wenza wametengana

Vitendo vya UWAKI nchini Tanzania kwa ujumla vinalenga zaidi wanawake na wasichana kutokana na desturi na mazoea ya jamii ambazo zinawabagua na kuwapunguzia uwezo wa kufurahia haki zao za kibinadamu Ingawa mashambulizi ya ngono yanawalenga zaidi wanawake na wasichana hata hivyo wanaume na wavulana vilevile wanalengwa katika unyanyasaji wa kingono kubughudhiwa na kushambuliwa

Ukatili kama ulivyofafanuliwa unadhihirisha tofauti ya madaraka kati ya mwathirika na mhalifu wa ukatili wa kingono ambapo mhalifu mara nyingi ana umbo kubwa umri mkubwa utajiri au ni mmojawapo kwenye kundi la watu wenye mamlaka au anatumia silaha Nchini Tanzania asilimia 134 ya vijana wameathiriwa na mashambulio ya kingono ya namna moja ama nyingine Kwa ujumla kutokana na sababu mbalimbali nchini Tanzania kuna uhaba wa taarifa za UWAKI pia taarifa zilizopo siyo kamilifu

5

Uzoefu unaonyesha kuwa bila kujali hali ya afya ya kimwili ya mwathirika UWAKI humwacha mwathirika na majeraha ya muda mrefu na kupunguza uwezo wa mwathirika kushirikiana na jamii na familia Athari zaidi hujitokeza kwa mwathirika kama vile aibu unyanyapaa msongo wa mawazo na mfadhaiko Tatizo hili kwa waathirika linachochewa na ldquoUtamaduni wa ukimyardquo miongoni mwa familia na jamii inayowazunguka UWAKI una athari ya moja kwa moja na matokeo hasi kwa afya na ustawi wa kiuchumi na kijamii kwa familia hasa kwa wanawake na watoto

22 Unyanyasaji wa Mtoto na Kijana

Utafiti wa kitaifa nchini Tanzania kuhusu Ukatili Dhidi ya Watoto ni wa kwanza na wa aina yake katika Bara la Afrika Matokeo ya utafi ti yameonyesha kwamba mara nyingi watoto wanakabiliwa na unyanyasaji na matukio mengi na ya namna mbalimbali yanayojumuisha ukatili wa kimwili kingono na kisaikolojia Utafiti ulibaini kuwa watoto wengi wako kwenye hatari kubwa ya kunyanyaswa kwenye mazingira ya nyumbani na shuleni Haya ni maeneo mawili ambayo watoto wengi wa Kitanzania hutumia muda wao mwingi wakati wanakua na kuelekea kwenye ujana Robo tatu ya watoto wanapofikia umri wa miaka 18 huwa wameathirika na ukatili wa kimwili kwa namna moja ama nyingine kutokana na ukatili wa ndugu mwalimu au kiongozi Kutokana na utafiti takribani 30 ya wanawake wenye umri kati ya umri wa miaka 13-24 na 14 ya wanaume wenye umri kati ya miaka 13-24 nchini Tanzania waliripotiwa kuathirika na ukatili wa kingono angalau mara moja kabla ya kufikisha umri wa miaka 18

Nchini Tanzania ukeketaji hufanyika mapema utotoni Karibu mwanamke mmoja kati ya wanawake watatu waliokeketwa (32) walikeketwa kabla ya kufikisha umri wa mwaka mmoja na 27 walikeketwa wakiwa na umri wa miaka 13 au zaidi Hata hivyo ukeketaji kwa wasichana hufanyika katika umri mdogo sehemu ya wanawake waliokeketwa wakiwa na umri wa miaka 5 iliongezeka kutoka 34 hadi 39 kwa mujibu wa Utafiti wa Afya ya Jamii [UAJ] 2004-05 na UAJ 2010 Kulingana na utafiti huu 5 ya wasichana wa miaka 13shy17 waliripotiwa kuwa wamekeketwa na 10 ya wasichana wa umri wa miaka 18-24 waliripotiwa kukeketwa Kwa mujibu wa sheria kukeketa ni

6

kosa linalostahili adhabu Kuna uwezekano kwamba wale waliokeketwa huwa wanasita kutoa taarifa na ndiyo sababu ya taarifa kuwa chache

23 Mazingira ya Sera ya UWAKI

Serikali ya Tanzania imeonyesha nia yake ya kushughulikia masuala ya UWAKI kwa kuridhia mikataba kadhaa ya kimataifa yenye kuhusiana na UWAKI na jinsia Mkataba wa Kutokomeza Aina Zote za Ubaguzi Dhidi ya Wanawake (1985) ambao umekuwa chombo katika kupambana na matukio ya ubaguzi ikiwa ni pamoja na ukatili Jukwaa la Beijing (1995)2 na Malengo ya Maendeleo ya Milenia (2000)3 Tanzania pia imeridhia hati ya Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu kuhusu haki za wanawake na hati ya Ushirikiano wa Maendeleo wa Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC)4

Vipaumbele vya maendeleo ya Tanzania vinaainishwa katika Dira ya Taifa 2025 na katika Mpango wa Kuondoa Umaskini na Kukuza Uchumi (MKUKUTA) MKUKUTA II (2011-25) unashughulikia UKIMWI na jinsia kama masuala mtambuka na ni mkakati wa kwanza wa kitaifa unaotambua UWAKI kama suala la kisera kwa watu wote Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto ndiyo yenye jukumu la kuratibu shughuli zote zinazohusiana na jinsia

Wizara hiyo imetayarisha Sera ya Maendeleo ya Jinsia (2000) kwa ajili ya kushughulikia upungufu na kukosekana kwa usawa kati ya wanaume na wanawake Pia Wizara imetayarisha Mkakati wa Kitaifa wa Jinsia na Maendeleo (2002) unaotoa dira na kuwezesha usawa wa kijinsia nchini Pamoja na Mpango wa Taifa wa Vitendo vya Kukinga na Kutokomeza Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto (2001-2015) kwa ajili ya kuongeza juhudi za Serikali za kisheria kwa kupambana na UWAKI na kuhakikisha lsquousawarsquo na lsquohakirsquo kati ya wanawake na wanaume nchini Tanzania Sera ya Taifa ya Afya ina mfumo wa utoaji wa huduma za afya kwa watu wote wanaohitaji ikiwa ni pamoja na waathirika wa UWAKI

2 Beijing Platform for Action - (BPA 1995) 3 Millennium Development Goals - (MDG 2000) 4 Southern African Development Cooperation - (SADC)

7

24 Haki za Binadamu Sheria na Mazingira ya Udhibiti

Tanzania imeridhia Sheria ya Haki za Binadamu na masharti ya vyombo kadhaa vya kimataifa na kikanda ambavyo vinakataza ubaguzi kwa misingi ya jinsia na hivyo kuhitaji serikali ihakikishe kwamba wanawake hawabaguliwi Vyombo hivi ni Mkataba wa Kimataifa wa Kuzuia aina zote za Ukatili na Unyanyasaji wa Kijinsia 1979 pamoja na Mkataba wa Kimataifa wa Haki za Kiraia na Kisiasa (1966)5 Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu (1981) na Hati ya Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu Kuhusu Haki za Wanawake Afrika (2000)

Tanzania imetunga sheria inayosimamia kukinga na kupambana na UWAKI Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (1977) iko wazi kwa kukataza ubaguzi na kwa misingi hiyo inatoa haki ya usawa [Ibara ya 12-24] Sheria ya Mtoto (2009) inawezesha jitihada za kupunguza ukatili dhidi ya watoto Sheria Maalumu ya Makosa ya Kujamiiana (1998)6

ilitungwa kwa lengo la kulinda heshima ya mwanamke na kuweka vikwazo kwa UWAKI kwa kutoa adhabu kali kwa makosa ya kingono Sheria hii inajumuisha ukatili wa kingono ubakaji biashara haramu ya usafirishaji watu bughudha za kingono na kukataza ukeketaji chini ya kifungu cha lsquoUkatili kwa watotorsquo

Hii ilikuwa mara ya kwanza kwa Tanzania kutunga sheria ya kukataza vitendo vilivyotajwa hapo juu na hatima ya sheria hii imewekwa chini ya sheria za adhabu kifungu cha 16

Sheria ya Adhabu (marekebisho ya 2002) inawekea vikwazo vitendo vya UWAKI mathalan vitisho Sehemu ya 89B 89A kutoroka watoto Sehemu ya 166 kutelekeza watoto Sehemu ya 167 kuua bila kukusudia Sehemu ya 195 mauaji Sehemu ya 196 mashambulizi Sehemu ya 240shy243 kutorosha Sehemu ya 246 utekaji nyara Sehemu ya 244 kazi za kulazimishwa Sehemu ya 256 wizi utokanao na mwenzi Sehemu ya 264 tishio la uchomaji Sehemu ya 332 uchomaji Sehemu ya 319-322 kuficha nyaraka Sehemu ya 276-278 Sheria ya Biashara ya Binadamu Na 6 ya mwaka 2008 inakataza biashara ya binadamu kwa sababu yoyote

5 International Covenant on Civil and Political Rights - (ICCPR 1966) 6 The Sexual Offences Special Provisions Act 1998 (SOSPA)

8

Sheria ya Kuzuia VVU UKIMWI Na 28 ya mwaka 2008 inakataza unyanyapaa na inafanya uambukizaji wa VVU kwa makusudi kuwa kosa la jinai

Pamoja na kuwepo vyombo vya kimataifa kikanda kitaifa na vya sheria za kuhakikisha haki kwa wanawake tatizo la UWAKI limetapakaa nchini Tanzania lakini linaripotiwa kwa nadra UWAKI unaathiri zaidi wanawake na wasichana kuliko wanaume na wavulana Haya ni matokeo ya uhusiano usio sawa kati ya wanaume na wanawake katika jamii ambayo yanajidhihirisha katika maeneo kadhaa ikiwa ni pamoja na maeneo ya kiuchumi kijamii kisiasa na kisheria

Mara nyingi UWAKI unapunguza uwezo wa wanawake na wasichana wa kufurahia haki za kimsingi za binadamu na uhuru kama ilivyoainishwa kwenye Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Utambuzi wa wahalifu wa UWAKI nchini Tanzania ni nadra kulinganisha na idadi ya mashambulizi Ni muhimu kushughulikia mahitaji ya kisheria ya waathirika wote wa UWAKI wanawake wasichana wanaume wavulana na watoto

25 Miundombinu ya utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii

Mfumo wa utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii upo katika ngazi ya kitaifa mikoajiji na wilaya manispaa Mfumo huu unawezesha utoaji wa huduma za kuboresha afya kuzuia magonjwa tiba utengemao na ustawi wa jamii kwa kupitia vituo vya kutolea huduma za afya vinavyojumuisha zahanati vituo vya afya na hospitali

Kuna mfumo wa rufaa kitaifa wa njia mbili kupeleka na kurejesha mgonjwa ambao unaanzia kwenye jamii na kwenda kwenye zahanati ambazo zipo 4679 vituo vya afya (481) hospitali za wilaya (95) hospitali za mikoa (19) na hospitali za rufaa za taifa (8) Kuna vituo vya kutolea huduma za afya 5718 nchini Tanzania vikijumuisha zahanati (86) vituo vya afya (10) na hospitali (4) vikiwa chini ya umiliki wa serikali (69) mashirika ya kidini (14) mashirika ya umma ( 3) na mashirika binafsi (14)

9

Mpango wa Maendeleo wa Afya ya Msingi [(MMAM) 2007-2017 pamoja na malengo mengine unakusudia kuhakikisha kuwa kuna kituo kimoja cha afya kwa kila kata katika kata 2555 zilizopo na zahanati moja kwa kila kijiji katika vijiji 10342 Jumla ya vituo vya afya ya msingi 8107 hospitali za wilaya 62 na taasisi 128 za mafunzo zitaanzishwa ifikapo mwaka 2012

Mahitaji ya watoa huduma za afya ni 82377 na waliopata mafunzo ni 29063 (35) ikiwa ni upungufu wa 65 ya mahitaji Mahitaji ya watoa huduma wa ustawi wa jamii ni 3892 Kuna wafanyakazi 210 wa ustawi wa jamii ikiwa ni upungufu wa 95 ya mahitaji na uhaba mkubwa katika ngazi za wilaya (93) kata (100) na vituo vya watu wenye ulemavu na taasisi nyingine (85) (WAUJ 2006)

Kuna uhaba wa wafanyakazi wa afya wenye ujuzi kwenye ngazi za zahanati (69) vituo vya afya (59) na hospitali za rufaa (48-67) Kwa ujumla kuna uhaba wa wafanyakazi wa ustawi wa jamii wenye ujuzi kwa kiwango cha 95 katika ngazi zote kanda (21) wilaya (93) kata (100) na vituo vya walemavu (95) Kama ujenzi wa vituo hautaendana na upatikanaji wa watoa huduma utekelezaji wa MMAM utakuwa na upungufu mkubwa

Kwa kawaida kuna hospitali ya wilaya au teule kwa kila Mamlaka ya Halmashauri ya Wilaya (MHW) Kuna MHW 133 ambazo zina majukumu na wajibu wa kutoa huduma za afya kwenye maeneo yao Kila MHW ina Bodi ya Afya ya Wilaya (BAW) ambayo inajumuisha madiwani waliochaguliwa na kusimamia mipango na utekelezaji wa huduma za afya kwenye wilaya

Mipango na usimamizi wa huduma za afya katika halmashauri inaongozwa na Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri ambayo kiongozi wake ni Mganga Mkuu wa Wilaya na ni Katibu wa BAW Kuna bodi ya hospitali ya wilaya teule Bodi ya Huduma ya Afya (BHA) ya kituo cha afya inayowakilisha wakazi wa kata na bodi ya zahanati inayowakilisha wakazi wa kijiji bodi zote zikiwa na uwakilishi sawa wa kijinsia

Makadirio ya matumizi ya afya kwa mtu mmoja kwa mwaka 201011 ilikuwa ni dola za kimarekani 1575 ambapo WHO imependekeza

10

kiwango cha dola 3400 za Kimarekani Matumizi ya afya ni asilimia 14 ya Bajeti ya Taifa kwa mwaka ambacho ni chini ya kiwango cha asilimia 15 kilichopendekezwa na Tamko la Abuja

Mfumo wa utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii upo katika ngazi zifuatazo

[a] Ngazi ya Kitaifa WAUJ ina jukumu la kutayarisha sera za afya na miongozo inayohusiana na huduma za afya kuweka viwango kuhakiki ubora kufuatilia na kutathmini pamoja na kusimamia utoaji wa huduma za afya zenye kujumuisha kuboresha afya kinga tiba utengemao na ustawi wa jamii Hospitali za rufaa zina asilimiai 52 tu ya wafanyakazi wenye ujuzi

[b] Ngazi ya MkoaJiji Timu ya Uendeshaji ya Afya ya Mkoa ina jukumu la kuongoza na kuendeleza utekelezaji wa mpango mkakati wa afya kwenye mkoa pamoja na ushauri wa kitaalamu kwa Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri kwenye maeneo yafuatayo (1) Utekelezaji wa sera miongozo na viwango vya utoaji wa huduma za afya kwa usahihi na kwa muda uliopangwa ukihusisha watoa huduma wote wa umma binafsi kwenye MHW (2) kupanga kwa ufanisi kutekeleza kufuatilia na kutathmini mipango ya afya ya kina katika halmashauri Kamati ya utawala ya hospitali ya mkoa ina jukumu la kupanga na kusimamia hospitali ya mkoa ambayo ni ngazi ya pili ya rufaa Kuna hospitali 19 za mikoa ambazo zina 34 tu ya wataalamu wa afya

[c] Mamlaka ya Halmashauri ya WilayaManispaa Huduma za afya katika ngazi hii zinasimamiwa na Halmashauri ya Wilaya kupitia BAW chombo kilichoundwa (2001) chini ya Sheria namba 7 ya mwaka 1982 kifungu cha 86A BAW inawajibika kwa utoaji wa huduma za kina kwenye wilaya Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri inatoa ushauri wa kiutaalam kwa utekelezaji wa uamuzi wa BAW

[d] Ngazi ya Wilaya Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri huandaa na kutekeleza mpango wa kina wa afya wa halmashauri pamoja na kufuatilia na

11

kutathmini huduma za afya kwenye hospitali vituo vya afya zahanati na jamii ikiwa ni pamoja na kufanya utafiti Kamati ya Utawala ya Hospitali inasimamia mipango na huduma kwenye hospitali ya wilaya ambayo ni ngazi ya kwanza ya rufaa Kuna hospitali 95 za wilaya zikiwa ni pamoja na hospitali teule ambazo zina asilimia 33 tu ya wataalamu wa afya

[e] Ngazi ya Kata Kamati ya Afya ya Kata inasimamia upangaji ubunifu na uratibu wa mipango ya afya ya jamii husimamia na huhamasisha upatikanaji wa rasilimali pamoja na ukusanyaji na matumizi ya Mfuko wa Afya wa Jamii Vituo vya afya vina jukumu la kutoa huduma za kina za afya na ustawi wa jamii kwenye kata Kamati ya Kituo cha Afya inasimamia utoaji wa huduma za afya na kuhamasisha ukusanyaji wa rasilimali zinazohitajika Timu ya Kituo cha Afya ina wajibu wa kusimamia shughuli za kila siku kwenye kituo cha afya Timu inapanga na kusimamia juhudi za afya ya jamii katika eneo lake chini ya Mpango wa Maendeleo ya Kata Kuna jumla ya kata 2555 nchini ambapo kata 481 sawa na 19 zina vituo vya afya ambavyo vina 41 tu ya wataalamu wa afya

[f ] Ngazi ya Kijiji Kamati ya Zahanati inahakikisha kwamba idadi ya watu katika eneo lake wanapata huduma sahihi za afya na nafuu pamoja na kusimamia uhamasishaji wa rasilimali kwa ajili ya utekelezaji wa mpango wa zahanati Timu ya Usimamizi wa Zahanati inapanga na kusimamia juhudi za afya ya jamii kwenye maeneo chini ya Mpango wa Maendeleo ya Kata Kuna jumla ya vijiji 10342 ambapo 4679 vina zahanati sawa na 45 ambazo ni aslimia 31 tu ya zahanati zina wataalamu wa afya wanaotosheleza Kamati ya Huduma za Jamii kwenye kijiji ina wajibu wa kuhamasisha na kushirikisha jamii ili wajihusishe kuboresha na kulinda afya

[g] Ngazi ya Kaya Kuna kaya takriban milioni 7 nchini Tanzania na wastani wa watu 47 kwa kila kaya (ambapo 70 ya kaya zote zinaongozwa na wanaume na 30 zinaongozwa na wanawake) Sera ya Afya ya Taifa inatamka kwamba ni wajibu wa kila raia kuendeleza na kulinda afya yake pamoja na ya familia yake Pamoja na haya kila raia ana jukumu la kujiepusha na tabia hatarishi kwa afya yake pamoja na ya mwenzie na kuchangia rasilimali kwa ajili ya afya yake na uendelezaji wa vituo vya kutolea huduma za afya

12

26 Kukinga na Kupambana na UWAKI

Serikali ya Tanzania na washirika wake wa karibu wametekeleza mambo mbalimbali yanayohusiana na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Wizara ambazo zinahusika kwa ukaribu kwenye utekelezaji wa mipango ya kukinga na kupambana na UWAKI ni pamoja na Wizara ya Maendeleo y a Jamii Jinsia na Watoto Wizara ya Sheria na Katiba Wizara ya Mambo ya Ndani na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Kuna ushirikiano kati ya wizara idara mashirika asasi za kiraia na wadau wa maendeleo Katika ngazi ya kitaifa serikali inatekeleza Mkakati wa Maendeleo ya Jinsia (2005) na kukuza usawa wa jinsia na haki kwa wanawake Utekelezaji wa Sheria Maalumu ya Makosa ya Kujamiana (1998) ambayo sasa ni Kanuni ya Adhabu Sura ya 16 Toleo la Marekebisho 2002 Pia serikali inatekeleza Mpango wa Taifa wa Vitendo wa Kuzuia na Kutokomeza Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto (2001-2015) ambao una lengo la kutokomeza ubaguzi na unyonyaji wa kisheria kijamii kiuchumi kiutamaduni na kisiasa Zaidi ya yote Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (1977) inatamka kuheshimu misingi ya usawa na haki kwa kila mtu

Kwa kushirikiana na wadau wengine serikali inawezesha uanzishwaji wa kitengo cha jinsia kwenye idara za wizara mbalimbali (mfano idara ya polisi chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi) Mashirika ya Jamii hutoa utetezi msaada wa kisheria huduma za afya na kuendesha kampeni na mashirika mengine yamechukua hatua za kutoa hifadhi kwa waathirika wa UWAKI na Vituo vya Kuhifadhi Waathirika Kuna sera za kitaifa sheria mikakati na mipango ya kazi kwa ajili ya kushughulikia usawa wa kijinsia Vilevile serikali kwa kushirikiana na asasi za kiraia imejenga mazingira mazuri ya kuwezesha waathirika kupata huduma kama vile msaada wa kisheria Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii (WAUJ) imekuwa ikitoa huduma kwa waathirika wa UWAKI licha ya kutokuwepo kwa mwongozo wa sera kwa ajili ya wahudumu wa vituo vya kutolea afya

27 Changamoto katika Kuzuia na Kupambana na UWAKI

Muundo wa sheria sera na juhudi za kukuza haki za binadamu zinakabiliwa na changamoto mbalimbali zinazofisha jitihada za kuzuia kupambana

13

na kuepusha athari za UWAKI nchini Tanzania Changamoto hizo ni pamoja na upungufu wa fedha upungufu wa kisheria na sera zilizopo uratibu duni kati ya wadau na kukosekana kwa mfumo wa rufaa kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI Hali kadhalika uelewa na taarifa juu ya ukubwa wa tatizo la UWAKI ni duni kwa hivyo WAUJ imebuni na kutayarisha mwongozo maalumu wa sera na huduma dhidi ya UWAKI ili kukabili changamoto hizo

[a] Sera za Taifa Serikali ya Tanzania inajitahidi kujenga mazingira mazuri ya kuzuia na kupambana na UWAKI Ingawa Sera ya Afya ina lengo la kutoa huduma za afya za kutosha kwa kila Mtanzania ipo haja ya kuwa na miongozo na mikakati inayofafanua masuala ya UWAKI kwa ukamilifu Ukosefu wa miongozo na sera ya usimamizi dhidi ya UWAKI ni kikwazo kikubwa kwa juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kutibu na kuhudumia waliopatwa na UWAKI Sekta ya afya itatumia mwongozo wa sera hii ili kuboresha huduma ya kupambana na UWAKI kwa kushirikisha na kuwahusisha wadau wote

[b] Sheria zaTaifa Pamoja na kuwepo sheria nyingi zilizopitishwa kwa ajili ya kulinda haki za wanawake na watoto bado zipo changamoto nyingi Kwa mfano kuna baadhi ya sheria zenye utata baadhi zinapingana na hivyo kupunguza uwezo wa kupambana na UWAKI Pamoja na hayo Sheria ya Ndoa kama ilivyofanyiwa marekebisho 2002 haiainishi hatua za kuchukuliwa dhidi ya ukatili wa kifamilia Sheria hii ni kama inahalalisha ubakaji kwa kuruhusu binti kuolewa chini ya umri wa miaka 18 Sheria ya Makosa ya Kujamiiana na Vipengele Maalumu (1998) haitambui ubakaji ndani ya ndoa ingawa inatambua ubakaji ikiwa mume na mke wametengana Mbali na upungufu huo sheria ya makosa ya kujamiiana kwa upande wa kuthibitisha ushahidi wa kuingiliwa kimwili ni mgumu Sheria ya Mila (Tangazo la Serikali Na4361963) ambayo inatumiwa na Watanzania wote wazawa inatokana na mila na desturi za makabila mbalimbali ya Tanzania sheria hii ya Mila ni ya kibaguzi na huleta changamoto kwa wanawake na watoto ambao wamezaliwa nje ya ndoa hususan katika urithi wa mali Kwa mfano ugawanaji wa mali ya marehemu upo katika makundi matatu (1) Mtoto wa kwanza wa kiume (2) Watoto wengine wa kiume waliobaki na (3) Watoto wa kike bila kujali umri

14

na hali katika familia Watoto wa kike wa marehemu hurithi fungu dogo na hunyimwa haki ya kumiliki ardhi Kwa mujibu wa sheria hii mjane hana haki ya kurithi mali yoyote kutoka kwa marehemu mume wake isipokuwa huchukuliwa kuwa atatunzwa na watoto wake Mjane ambaye hajabahatika kuzaa hupata asilimia 20 ya asilimia 50 ya mali za marehemu mume wake Mbali na urithi sheria hii kwa upande wa talaka ikiwa mke alilipiwa mahari wakati ndoa inapovunjwa na mahakama mume ana haki ya kudai kurudishiwa mahari

Sheria zenye kupunguza makali ya UWAKI zimeweka kanuni za kuwezesha wadau katika sekta mbalimbali kuandaa sera na miongozo ya kuzuia na kupambana na UWAKI Wahusika muhimu katika sekta mbalimbali wanapaswa kupitia sheria zinazotoa mwanya wa mwendelezo wa UWAKI na kupendekeza marekebisho au utungwaji wa sheria nyingine zitakazopunguza na kumaliza vitendo vya UWAKI Hata hivyo kuna umuhimu wa kuwepo kwa wajibu na majukumu ya sekta mbalimbali katika kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kupambana dhidi ya unyanyasaji na ukatili kwa watoto Kwa kutambua na kuimarisha wajibu huo katika kila sekta itasaidia uzingatiaji wa sera na kuimarisha ari ya utendaji katika sekta zifuatazo

bull Ustawi wa Jamii Kujenga mfumo wa kufanya tathmini ya vihatarishi katika kupima mfumo wa rufaa unaohusisha sekta na huduma mbalimbali kuweza kuamua na kuchukua hatua za haraka na za muda mrefu katika kupambana na kutoa mahitaji ya haraka na ya muda mrefu kwa ajili ya ulinzi wa watoto na waathirika wengine

bull Elimu Kujumuisha elimu dhidi ya ukatili wa kijinsia katika mitaala ya elimu ikiwa ni pamoja na kuandaa mazingira salama shuleni na kuingiza katika programu za elimu zinazoelezea juu ya masuala ya kujifahamu kimwili (kibiolojia) afya ya uzazi na maendeleo yaa jamii Kuhakikisha kwamba sekta mbalimbali za rufaa na mifumo inayotoa ulinzi wa mtoto vinahusishwa katika elimu hiyo

bull Polisi na sheria Kuimarisha na kupanua ulinzi sahihi wa kisheria kwa ajili ya watoto na kuchukua hatua za kisheria kwa watuhumiwa wa uhalifu kuendeleza juhudi za kuimarisha dawati la jinsia na watoto katika idara ya Polisi nchini Kuendelea kuelimisha polisi na watumishi wengine

15

wa usalama wa raia kuhusu ukatili dhidi ya watoto na kuwa na utaratibu wa uchunguzi wa pamoja na idara ya ustawi wa jamii afya mamlaka na vitengo vingine vinavyohusika na ulinzi na usalama wa mtoto

bull Afya Kufanya kazi katika muundo wa pamoja na wadau wengine kwa kufuata miongozo iliyopo kwa ajili ya kuzuia kutibu kuhudumia na kufuatilia matukio ya ukatili dhidi ya watoto Kuimarisha mifumo iliyo wazi yenye kuunganisha huduma rafi ki kwa watoto na vijana dhidi ya UWAKI

[c] Polisi na Mahakama Mabadiliko katika idara ya polisi hasa katika uanzishwaji wa polisi jamii na dawati la jinsia na watoto yanaonyesha maendeleo katika kushughulikia UWAKI Hata hivyo waathirika wa UWAKI wanakabiliwa na ugumu wa kufika katika vituo vya polisi na mfumo wa utoaji haki Kwa mfano zipo kesi zilizotupiliwa mbali na Mahakama kwa kukosa ushahidi muhimu kutoka upande wa mashtaka Matokeo yake ni kwamba waathirika wanakosa motisha ya kutoa taarifa ya matukio ya UWAKI na hivyo hushindwa kufikisha malalamiko katika vyombo vya utoaji haki

Upungufu wa mafunzo kwa polisi na watoa huduma za kisheria juu ya namna ya kuzitumia sheria zilizopo dhidi ya UWAKI kumesababisha kesi mahakamani kushindwa Mfano Fomu ya Polisi namba 3 (PF3) inatoa taarifa juu ya tukio la shambulio na haitoi maelezo juu ya tukio hilo kama limetokana na UWAKI Ingawa zipo sheria zinazopinga UWAKI sheria hizo hazifahamiki hivyo hazitumiki kikamilifu Pamoja na hayo sheria za kimila na imani za kidini zinazuia waathirika kutoa taarifa za matukio ya UWAKI

Sheria ya Makosa ya Kujamiiana na Vipengele Maalumu (1998) inatoa adhabu kali kwa makosa ya kujamiiana Mara nyingi watuhumiwa hawafikishwi mahakamani kwa kuhofia kudhurika kwa familia zao kwa upande wa kukosa kipato kutoka kwa mtuhumiwa (kwani adhabu za makosa hayo huwa ni kifungo cha muda mrefu) Kwa sababu hizo utoaji wa taarifa kutoka kwa waathirika na familia zao ikiwa ni pamoja na matumizi ya sheria na uendeshaji wa mashtaka umeendelea kuwa changamoto pamoja na kuwepo kwa Sheria ya Makosa ya Kujamiiana inayotoa ulinzi dhidi ya UWAKI

16

bull

bull

bull

bull

bull

[d] Mila na Desturi Katika ngazi ya jamii na mtu binafsi zipo sababu mbalimbali zinazochangia kwa kiwango kikubwa matukio ya UWAKI Utafiti uliofanywa na mtaalamu wa Shirika la Afya Duniani (WHO)7 unaainisha vipengele hatarishi vifuatavyo juu ya mila na desturi

Kanuni za kimila katika uhusiano wa kijinsia humpa mwanamume madaraka na haki zaidi Baadhi ya mila na desturi huhimiza uvumilivu juu ya vitendo vya UWAKI na kuwazuia waathirika kutoa taarifa na kupata msaada Uwezeshaji wa mwanamke katika kupambana na mfumodume hujenga hisia kwa mwanamume kuwa anapoteza mamlaka yake na hivyo huwaudhi baadhi ya wanaume na kuendelea kufanya ukatili kwa lengo la kuwadhibiti wanawake Matumizi ya baadhi ya sheria za kimila hayawasaidii waathirika kupata haki Hofu ya kulipiza kisasi unyanyapaa ubaguzi na kukosekana kwa huduma huwazuia waathirika kutoa taarifa na kupata msaada

[e] Madaraka na Mamlaka Madaraka na mamlaka ni muhimu katika kuzuia na kupambana na UWAKI Wakati mwingine watu wenye madaraka na mamlaka hufumbia macho matukio ya UWAKI Kwa mfano upo ushahidi wa kutosha kuwa kuna matumizi mabaya ya madaraka na mamlaka shuleni na maeneo ya kazi

[f ] Kuhusisha Jamii Jamii ndiyo ngazi ya awali kujua tukio la UWAKI na kutoa msaada wa usalama na ulinzi kwa mwathirika Utafiti wa Shirika la Afya Duniani katika nchi mbalimbali ulionyesha kwamba asilimia 37 ya waathirika walipata msaada kutoka kwa jamii Kutokana na kiwango cha unyanyapaa ubaguzi na kutengwa kijamii viongozi katika ngazi ya jamii waliohamasishwa juu ya UWAKI waliweza kukabili mazingira haya ya kiuhasama Jamii inaweza kumsaidia mwathirika kwa kujenga mazingira mazuri (kwa mfano kituo cha hifadhi salama) Jamii inahusishwa katika

7 Krug Etienne et al 2002 World Report on Violence and Health Geneva WHO Available at httpwwwwhointviolence_injury_preventionviolenceworld_report

17

bull

bull

bull

bull

kuwahamasisha waathirika kuwapa ulinzi mahitaji ya msingi msaada wa kisaikolojia na kuwapa rufaa kwa watoa huduma wengine Vilevile jamii inahusishwa katika kuzuia UWAKI kupunguza unyanyapaa na kuwapa unasihi waathirika pamoja na kuhamasisha viongozi wa kijamii na wanajamii kwa ujumla

Uhamasishaji huu ni muhimu kwa sababu jamii ni daraja kati ya mwathirika na huduma za afya na ustawi wa jamii

Jamii inapaswa kushirikishwa katika hatua za mwanzo na zinazofuata katika kuzuia UWAKI Katika hatua za mwanzo jamii inapaswa kujitahidi kuondoa tabia za kuvumilia matukio ya UWAKI na hivyo kupunguza matukio hayo Katika hatua zinazofuata jamii itatambua na kulinda wale walio katika hatari zaidi ya UWAKI kama watoto na wanawake Jamii pia inapaswa kutambua vikwazo vya utoaji huduma katika idara ya afya polisi na mfumo wa utoaji haki na kuisaidia jamii kuondokana na vikwazo vya upatikanaji wa huduma

Ni muhimu kuishirikisha jamii katika jitihada za utekelezaji wa kuzuia UWAKI na kupambana nao ikiwamo usimamizi wa matibabu ya waathirika Jamii ina uwezo mkubwa wa kuhamasisha waathirika kutafuta huduma za afya na huduma nyingine zinazohusiana na UWAKI kwa mfano huduma za polisi usaidizi wa kisheria na hifadhi salama Pia jamii ina wajibu wa kuwaunganisha waathirika na jamii zao

Hata hivyo zipo changamoto katika kuihusisha jamii kama vile

Upungufu katika kuwahusisha wanaume na wavulana katika kushughulikia UWAKI Wanajamii wamekuwa wakiwanyanyapaa badala ya kuwasaidia waathirika na wakati mwingine wameshiriki katika UWAKI Baadhi ya viongozi wa kijamii na kidini hawana utayari wa kuhamasisha kuzuia na kupambana na UWAKI Jamii zina kiwango kikubwa cha kunyamazia matendo ya UWAKI na kuzuia sheria kuchukua mkondo wake

18

[g] Hali ya kiuchumi na kijamii Kushughulikia UWAKI pekee kama changamoto inayohusu huduma za tiba ni kutibu dalili badala ya chanzo Ni muhimu kushughulikia vyanzo vya UWAKI kama umaskini miongoni mwa wanawake ambao huwafanya kuwa wategemezi

Serikali imetayarisha MKUKUTA II wenye kuainisha njia za kuendeleza na kulinda haki za binadamu kwa watu wote hasa kwa wanawake na wanaume maskini watoto watu wanaoishi katika hali hatarishi na makundi maalumu (angalia MKUKUTA II-kundi la III lengo la 3) na kuongeza uzalishaji na fursa za ajira zenye kuheshimika hasa kwa wanawake na vijana (angalia MKUKUTA II kundi la I lengo la 3) Changamoto iliyopo ni ukosefu wa kuweka vipaumbele katika utekelezaji wa ahadi hizi kwa wanawake na vijana kwa kuelekeza rasilimali za kutosha na kutekeleza mikakati katika kuleta mabadiliko ya hali ya kijamii na kiuchumi kwa wanawake na vijana hivyo kupunguza hali hatarishi ya UWAKI

28 Upungufu katika kupambana na UWAKI

Sekta ya afya imeandaa mwongozo wa kutoa huduma kwa waathirika wa UWAKI Hata hivyo ili kutoa huduma bora na za kirafi ki kwa waathirika sekta zinazohusika hazina budi kushughulikia upungufu ulioainishwa kama ifuatavyo

[a] Huduma za afya

Ukosefu wa mwongozo wa utoaji wa huduma kwa waathirika wa UWAKI Hakuna mwongozo wa utoaji wa huduma za kupambana na UWAKI kwa watoa huduma wa ngazi zote kuanzia nyumbani kwenye jamii zahanati vituo vya afya hospitali polisi mahakama na wadau mbalimbali Upungufu huu unakwamisha upatikanaji na utoaji wa huduma bora za kukinga na kupambana na UWAKI

Upungufu wa fedha Bajeti ya Serikali kuu na serikali za mitaa haikidhi mahitaji

19

Upungufu wa wataalamu wenye ujuzi wa kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Watoa huduma kwenye vituo vya kutolea huduma za afya na jamii hawana maarifa na ujuzi unaotakiwa kushughulikia mahitaji ya waathirika wa UWAKI wa marika yote

Kutojumuishwa kwa huduma za waathirika wa UWAKI na huduma nyingine Huduma za waathirika wa UWAKI hazikujumuishwa na huduma nyingine za afya na ustawi wa jamii kama vile afya ya uzazi upimaji wa VVU UKIMWI uzazi wa mpango na unasihi

Mfumo duni wa rufaa kwa waliopatwa na UWAKI Ingawa mfumo wa rufaa wa huduma za afya umeimarika kwa huduma nyingine lakini hakuna mfumo sahihi wa rufaa kwa waliopatwa na UWAKI Watoa huduma za afya hawana taarifa sahihi za waliopatwa na UWAKI kuhusu utaratibu wa kupeleka na kupokea wagonjwa kwenye vituo vyao na kwenda kwenye vituo vingine au huduma za mfumo wa jamii polisi kisheria na kadhalika Katika mazingira haya mahitaji ya rufaa kwa waliopatwa na UWAKI hayakidhiwi Waliopatwa na UWAKI hawana taarifa ambazo zitawasaidia kupata huduma na hivyo hushindwa kufanya uamuzi sahihi au kutafuta huduma na matibabu zaidi

Upungufu wa taarifa na takwimu Nchini Tanzania matukio yanayohusu UWAKI hayatolewi taarifa ipasavyo kutokana na sababu nyingi zikiwemo waathirika kusita kutoa ripoti ya matukio kutokana na unyanyapaa na ubaguzi hofu ya kutengwa na jamii aibu na miiko inayohusishwa na UWAKI Matokeo yake ni ukosefu wa taarifa zenye uhakika ambazo zinaweza kutumika kuandaa mpango kwa misingi ya utafi ti utaratibu wa utoaji huduma maendeleo ya kisera na utetezi ufuatiliaji na tathmini na uamuzi wa kiutawala

[b] Huduma za Ustawi wa Jamii Utoaji wa huduma za ustawi wa jamii unakabiliwa na ushirikiano mdogo kati ya watendaji wa sekta mbalimbali wa huduma za afya katika halmashauri Kuna upungufu wa watoa huduma za ustawi wa jamii katika ngazi mbalimbali Hali hii inaathiri wigo wa huduma ya msaada wa kisaikolojia unasihi marekebisho ya tabia na utengamao

20

bull

bull

bull

bull

bull

Kikwazo kingine ni watoa huduma za ustawi wa jamii na wadau wa afya kukosa stadi maalumu za kutosha kuhusu kuzuia na kupambana na UWAKI

Wajibu wa watoa huduma za ustawi wa jamii ni muhimu kwa sababu wanafanya kazi katika ngazi ya jamii ambapo matukio mengi ya UWAKI hutokea Wana majukumu makubwa kama watu wa mstari wa mbele kwenye kuzuia na kupambana na UWAKI Uhusiano kati ya jamii na utoaji wa huduma ndio kipimo cha kiwango cha waathirika wa UWAKI kupata huduma za matibabu na kurejea kwenye jamii ili kuendelea kuishi maisha yenye faraja

[c] Huduma za Jamii Baadhi ya upungufu wa uhusiano kati ya jamii na vituo vya kutoa huduma za afya ni pamoja na

Uelewa duni kuhusu masuala ya UWAKI na uwezeshaji wa jamii katika kuzuia na kupambana na UWAKI Uelewa duni wa mahali pa kupata huduma kwa waliopatwa na UWAKI Upungufu wa huduma za kijamii kwa waathirika ikiwa ni pamoja na mifumo ya kijamii ya kutoa ulinzi na usalama (kwa mfano vituo vya hifadhi ya muda) na huduma za rufaa za kiafya polisi na msaada wa kisheria

[d] Huduma za Msaada wa Kisheria (Polisi na Mahakama) Kuna vikwazo vingi katika kupata msaada wa kisheria ambavyo ni pamoja na

Upungufu wa kupata huduma za polisi na msaada wa kisheria kwa waathirika wa UWAKI

bull Kutokuwepo kwa sheria mahususi dhidi ya UWAKI bull yasiyotosheleza UWAKI kwa vyombo Mafunzo kuhusu

vinavyosimamia sheria bull Kuna sheria zinazokinzana na hivyo kutoa mwanya wa tatizo la

UWAKI kuongezeka Upungufu wa watumishi na fedha kwa ajili ya huduma za polisi na msaada wa kisheria

21

bull

bull

Uhaba wa vituo vya msaada wa kisheria Vituo vingi vinavyotoa msaada wa kisheria kwa sasa vinahudumiwa na asasi zisizo za kiserikali zina bajeti ndogo na zipo zaidi mijini

[e] Huduma ya Elimu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imeingiza UWAKI katika mtaala wa mafunzo ya walimu shule za msingi na sekondari Hata hivyo kuna changamoto nyingi katika kuhusisha shule ili kuzuia na kupambana na UWAKI

bull Walimu hawajapata mafunzo ya kutosha kuhusu UWAKI Uhaba wa maeneo salama na programu za shuleni zinazowapa watoto uwezo wa kuzuia na kupambana na UWAKI na ukatili dhidi ya watoto

bull mfumo unaohusuUhusiano duni kati ya mfumo wa elimu na ulinzi na usalama wa mtoto

22

SEHEMU YA TATU

UMUHIMU NA MALENGO 31 Umuhimu

Utafiti uliofanyika nchini Tanzania umeonyesha viwango vya juu vya UWAKI ambavyo ni kati ya asilimia 30 hadi 50 Viwango hivi havikubaliki na vinasababisha madhara ya kimwili kingono kisaikolojia kwa makundi ya umri wowote hasa watoto na wanawake Matokeo ya UWAKI yanaweza kusababisha vifo kutokana na kujiua maambukizo ya virusi vya UKIMWI au magonjwa na vifo vya wanawake vinavyotokana na uzazi Matokeo mengine ingawa hayasababishi vifo yana madhara ya kimwili kingono na kisaikolojia kwa muda mfupi au mrefu Madhara ya UWAKI ni zaidi ya matokeo ya kiafya na majeraha ambayo ni vigumu kupona UWAKI unakiuka haki za binadamu za waathirika na husababisha matokeo hasi katika amani umoja na kipato cha familia ambayo kwa ujumla huleta madhara kwa maendeleo ya kijamii na kiuchumi

Ingawa Serikali ya Tanzania na asasi za kiraia zimefanya jitihada kubwa za kuzuia na kupambana na UWAKI bado tatizo hili ni changamoto kubwa WAUJ itashughulikia changamoto hizi kwa kushirikiana na wadau wengine hali inayohitaji ushirikiano wa karibu ili kushinda vikwazo vilivyopo ambavyo ni pamoja na upungufu wa fedha na watumishi udhaifu kwenye mfumo wa rufaa na mfumo wa kuunganisha huduma za UWAKI katika huduma zilizopo Changamoto nyingine ni uhaba wa utetezi na takwimu kwa ajili ya uandaaji wa mipango yenye misingi ya utafiti kufanya uamuzi ufuatiliaji na tathmini Hata hivyo serikali imeweka misingi imara kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kama inavyodhihirishwa kwa kuwepo kwa sera mikakati na mipango kazi ya kusaidia masuala ya kijinsia na kupunguza UWAKI

Kutokana na ukubwa wa tatizo hili madhara yake na changamoto zinazohusiana na UWAKI WAUJ imetayarisha Mwongozo huu wa kisera chini ya Sera ya Afya ili kuimarisha juhudi za kupambana na UWAKI na kuhakikisha utoaji wa huduma za kina na zenye ubora katika ngazi zote Mwongozo huu wa kisera utatoa mwelekeo kwa vituo vya huduma za afya kwa ngazi zote kuhusu wajibu na majukumu yao katika utoaji

23

wa huduma za UWAKI Pamoja na haya Mwongozo huu utawezesha utayarishaji wa mwongozo wa matibabu kwa waathirika wa UWAKI Kutokana na uzito wa tatizo hili la UWAKI utayarishaji wa Mwongozo huu ulihusisha na kushirikisha kwa kina wadau mbalimbali ndani na nje ya WAUJ

32 Lengo Kuu

Lengo kuu la Mwongozo huu wa kisera ni kuimarisha uwezo wa WAUJ kuelekeza sekta ya afya na ustawi wa jamii na kujenga uhusiano imara na jamii na wadau mbalimbali katika kuzuia na kupambana na UWAKI

33 Malengo Mahasusi

Mwongozo huu utawezesha yafuatayo

[i] Kuweka mfumo wa kuelekeza utayarishaji wa mwongozo wa matibabu na taratibu za kutoa huduma kwa waathirika wa UWAKI

[ii] Kuelekeza WAUJ namna ya uratibu bora wa utekelezaji wa juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kuelekeza namna ya kuweka mifumo thabiti ya ufuatiliaji tathmini na uwekaji wa kumbukumbu za afua za UWAKI chini ya WAUJ

[iv] Kuelekeza ushirikiano kati ya Wizara jamii na wadau kutoka sekta mbalimbali katika utoaji wa huduma za UWAKI

24

bull

SEHEMU YA NNE

MAELEKEZO YA KISERA

Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii watafanya kazi pamoja na wale wa sekta nyingine hasa kwenye ngazi ya jamii katika kuimarisha ushirikiano na mitandao mingine katika jamii ili kuwasaidia waliopatwa na UWAKI kwa karibu na kuwashirikisha katika kuboresha afya zao na kuzuia UWAKI

WAUJ kwa kushirikiana na wadau wengine imetayarisha Mwongozo huu wa kisera wa UWAKI ili kutoa taarifa malengo na maelekezo kuhusu jitihada za kuzuia kuepusha na kushughulikia madhara ya UWAKI katika sekta ya afya Wadau muhimu ni pamoja na viongozi wa jamii polisi na mahakama Yeyote kati ya wadau hawa anaweza kuwa ni kimbilio la kwanza kwa wahanga wa UWAKI Wote wana wajibu wa kutoa huduma kwa haraka na kwa ufanisi

41 Huduma kwa Waliopatwa na UWAKI

Watoa huduma za afya wanatakiwa kuwahudumia waliopatwa na UWAKI kwa kujali na kuzingatia maadili ya taaluma zao Wajibu huu ni pamoja na kuhakikisha usalama hali ya usiri heshima utu na kutoa huduma bila ubaguzi Aidha kabla ya kutoa huduma inatakiwa kupata ridhaa ya muhusika au mlezi wa mtoto mwenye umri chini ya miaka 18

Kwa kulenga na kuzingatia mahitaji ya watu waliofanyiwa UWAKI watoa huduma za afya kwenye ngazi zote watazingatia na kuongozwa na kanuni zifuatazo

[a] Haki za Binadamu Maadili na Kujali

bull zilenge kurejesha au Usalama Hatua zote zinazochukuliwa kudumisha usalama wao Hali ya Usiri Siri zao pamoja na familia zao zinatakiwa kutunzwa wakati wote Hii ina maana kwamba mtoa huduma ya afya anaweza kutoa taarifa muhimu kwa mtoa huduma mwingine pale ambapo muhusika ameridhia tu

25

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

Heshima na utu Watoa huduma wanatakiwa kuwasikiliza kwa makini maoni mawazo na fikira zao na kuwahudumia kwa heshima Bila ubaguzi Waliopatwa na UWAKI wote ni sawa na wanatakiwa kuhudumiwa kulingana na mahitaji yao pia kupewa nafasi sawa katika kupata huduma Ridhaa arifu Ridhaa ya aliyefanyiwa UWAKI itahitajika kwenye taratibu za utoaji huduma maalumu kama (1) Uchunguzi na tiba (2) Uchunguzi tiba pamoja na ushahidi wa kitaaluma (3) Uchunguzi tiba ushahidi wa kitaaluma pamoja na uchunguzi wa polisi na kisheria

Kanuni zinazohusu watoto bull Kuzingatia na kusimamia mahitaji halisi ya mtoto wakati wote bull Kumpa mtoto faraja bull Kumshirikisha mtoto katika kufanya uamuzi bull Kumshughulikia kila mtoto kwa haki na usawa

Kumsaidia na kumlea mtoto ili akue katika hali ya ujasiri na kujiamini

[b] Haki za Aliyepatwa na UWAKI Watoa huduma wote wanatakiwa kuwa na mtazamo unaozingatia mahitaji ya mtu aliyepatwa na UWAKI na kuheshimu haki zake ambazo ni

bull Kuhudumiwa kwa heshima bila unyanyapaa ubaguzi na kutokuwa na mtazamo wa kumlaumu Kupewa taarifa sahihi na zinazoeleweka ili aweze kutoa ridhaa na siyo kumwambia cha kufanya hali inayoweza kumfanya ajisikie mnyonge

bull Kupewa faragha na hali ya usiri na siyo kumteta au kumwaibisha Kulindwa dhidi ya ubaguzi wa aina yoyote au upendeleo wenye misingi ya kijinsia au sababu nyingine Kupewa nafasi ya kuchagua kuhudumiwa na mtoa huduma mwanamume au mwanamke

bull Kupewa nafasi ya kusindikizwa na ndugu au mlezi wake

26

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

[c] Wajibu wa Mtoa Huduma Mtoa huduma anatarajiwa kuzingatia yafuatayo anapomhudumia mtu aliyepatwa na UWAKI

Kujiweka katika nafasi ya mtu aliyepatwa na UWAKI na kuguswa kuwa mtunza siri kuonyesha upendo na kujali anapomuhudumia Kumpatia taarifa sahihi na kuhakikisha kuwa ridhaa arifu inatolewa kwa huduma inayohitajika Kuzingatia masilahi ya muhusika na kuheshimu matakwa yake wakati wote

bull na kuzuia madhara mengineKuhakikisha ulinzi na usalama wake Kuhifadhi kumbukumbu zake mahali pa usalama na kutunza siri wakati wote

bull huduma kadiriKumpatia rufaa kwenda kwenye ngazi za juu za inavyohitajika kulingana na kiwango cha madhara ya kimwili kihisia na kisaikolojia Aidha inatakiwa kumpatia unasihi kabla ya kumpa rufaa

Kuhusu Watoto bull Kuhakikisha kuwa mzazi au mlezi yupo wakati wote pia

kuhakikisha kwamba mzazi au mlezi siyo tishio kwa mtoto Wakati wote mwandae mtoto kuelewa kinachotarajiwa kutendeka na kuhakikisha anaelewa kitakachotokea Kwa watoto wenye umri chini ya miaka 18 ridhaa ya maandishi inahitajika kutoka kwa mzazi au mlezi

Vigezo vya kupata mchango wa mawazo kutoka kwa Watoto Watoto wa umri wa miaka 16 na zaidi kwa ujumla wana uwezo wa kutosha kufanya uamuzi

bull kuwaWatoto wa umri wa miaka 14 hadi 16 wanatarajiwa wamekomaa vya kutosha kutoa mchango au mawazo yao Watoto wa umri wa miaka 9 hadi 14 wana welewa wa kushiriki kufanya uamuzi lakini ukomavu wa kila mtoto unatakiwa kupimwa kipekee Watoto wa umri chini ya miaka 9 wana haki ya kutoa maoni arifu na kusikilizwa Wanaweza kushiriki katika mchakato wa kufanya uamuzi kwa kiwango fulani lakini hadhari inahitajika ili kuwaepusha na mzigo wa kuwa waamuzi

27

bull lazimaKimsingi inapendekezwa kwamba maoni ya kila mtoto yazingatiwe kulingana na umri wake kiwango cha ukomavu utamaduni mila na hali ya mazingira

[d] Wajibu wa WAUJ katika Ngazi ya Taifa WAUJ inatayarisha sera miongozo na kanuni inadhibiti ubora inafuatilia na kutathmini utekelezaji Vilevile inahakikisha kuna watumishi na fedha za kutosha kwa mipango ya afya pamoja na kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote WAUJ itaendeleza ushirikiano na wadau mbalimbali kitaifa na kimataifa Wizara itafanya yafuatayo katika kuzuia na kupambana na UWAKI

[i] Kuandaa miongozo ya matibabu yenye ubora kwa ajili ya watoto vijana na watu wazima waliopatwa na UWAKI

[ii] Kutafuta na kutenga fedha kwa ajili ya afua za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kuandaa miongozo ya mafunzo yanayohusiana na juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kutoa mafunzo kwa watoa huduma za afya na ustawi wa jamii kuhusu kuzuia na kupambana na UWAKI kwa watoto vijana na watu wazima

[v] Kutoa huduma mseto na rufaa kwa kutumia mfumo uliopo wa utoaji huduma za afya na ustawi wa jamii

[vi] Kuunganisha takwimu zinazohusu UWAKI kwenye Mfumo wa Takwimu na Ufuatiliaji wa Huduma za Afya (MTUHA)

[vii] Kuendeleza utaratibu wa kupeana taarifa na takwimu zinazohusu UWAKI pamoja na kushirikiana na wadau wake wakuu

[viii] Kufanya usimamizi shirikishi ili kuhakikisha kuwa kanuni za haki za binadamu maadili na kujali zinazingatiwa

[e] Wajibu wa Vituo vya Huduma za Afya Vituo vya kutoa huduma za afya vinajumuisha zahanati vituo vya afya na hospitali zinazomilikiwa na sekta ya umma na binafsi Vituo vyote vya kutoa huduma katika ngazi zote vina Kamati ya Uongozi ya Kituo na Timu ya Usimamizi

28

Vituo vya huduma za afya vitafanya yafuatayo [i] Kuhakikisha kwamba Timu za Usimamizi wa Huduma za Afya

zinatenga fedha za kutekeleza mikakati na mipango kazi ya mwaka ili kuviwezesha vituo kutoa huduma bora kwa waliopatwa na UWAKI

[ii] Kuunganisha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI na zile zilizopo kwenye vituo vya huduma za afya na kuhakikisha mpangilio mzuri wa rufaa za ndani na nje ya kituo zinakidhi mahitaji ya watoto vijana na watu wazima kwa usawa na haki

[iii] Kuhakikisha watoa huduma ya afya na ustawi wa jamii wanapatiwa mafunzo ya kutoa huduma toshelezi kwa watoto vijana na watu wazima waliopatwa na UWAKI

[iv] Kuanzisha utaratibu bora wa kukusanya takwimu na taarifa kuhusu huduma kwa waliopatwa na UWAKI na kutunza kumbukumbu kwa usahihi na kutoa taarifa kwa ajili ya matumizi ya kituo na wadau

[v] Kufanya kazi kwa ushirikiano wa karibu na kamati ya afya ya kituo polisi mahakama na taasisi za elimu ili kukuza ushirikiano kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye jamii

[f ] Wajibu wa Watoa Huduma za Afya Watoa huduma za afya ni pamoja na watunza kumbukumbu za afya tabibu (tabibu msaidizi ofisa tabibu madaktari wasaidizi madaktari na madaktari bingwa) wauguzi wakunga maofisa wauguzi wasaidizi maofisa wauuguzi) wafanyakazi wa maabara wafamasia na maofi sa ustawi wa jamii Watoa huduma hawa wanatakiwa kuzingatia yafuatayo

[i] Kuelewa kikamilifu na kuzingatia kanuni za miongozo ya haki za binadamu maadili ya taaluma na kuonyesha upendo na kujali wakati wa kumhudumia aliyepatwa na UWAKI

[ii] Kuhakikisha upatikanaji wa mahitaji muhimu na utoaji wa huduma toshelezi na zenye ubora kwa waliopatwa na UWAKI katika kituo cha kutoa huduma za afya na kwenye jamii

[iii] Kuwatambua waliopatwa na UWAKI kati ya wagonjwa wa nje katika kituo na kuhakikisha wanapata matibabu na rufaa kwa haraka

29

[iv] Kuhakikisha utoaji wa huduma toshelezi kwa waliopatwa na UWAKI (watu wazima vijana na watoto) Huduma hizi ni pamoja na huduma ya matibabu kutunza ushahidi unasihi na rufaa ndani ya mfumo wa afya na pia rufaa kwenda kwenye sekta nyingine

[v] Kuhakikisha vielelezo vya upelelezi vinakusanywa na kuhifadhiwa ipasavyo ili kutunza ushahidi

[vi] Kuchukua takwimu na taarifa kamili kuhusu aliyepatwa na UWAKI na kuhakikisha zimehifadhiwa kwa siri na usalama

[vii] Kujenga ushirikiano na jamii pamoja na wadau wengine

42 Wajibu wa Jamii

Wadau muhimu katika jamii ni Kamati ya Huduma za Jamii Kamati ya Ulinzi na Usalama Kamati ya Zahanati Mashirika ya Dini Kamati ya Kijiji ya Afya wahudumu wa afya katika jamii wakunga wa tiba asili waganga wa tiba asili na mbadala viongozi wa jamii vikundi vya wanawake na wakuu wa kaya

Jamii itafanya yafuatayo kwa waliopatwa na UWAKI [i] Kupanga na kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya kuzuia

na kutoa huduma bora kulingana na mpango wa mwaka wa zahanati

[ii] Kuhakikisha upatikanaji wa huduma toshelezi pamoja na usalama wao kupatiwa mahitaji ya msingi msaada wa kisaikolojia kupewa rufaa kwenda polisi vyombo vya sheria na watoa huduma wengine Vilevile wanajamii wana wajibu wa kutoa ushahidi mahakamani na kuwasaidia wahusika kuunganishwa na familia zao na jamii

[iii] Kuhakikisha kuwepo kwa vituo vya hifadhi ya muda vya kutosha kwenye jamii

[iv] Kujenga welewa na kuiwezesha jamii kuzuia na kupambana na UWAKI kwa kutetea misingi ya haki za binadamu usawa wa kijinsia haki za vijana na watoto na kutovumilia UWAKI

43 Msaada wa Kisheria kwa waliopatwa na UWAKI Watoa huduma wa afya na ustawi wa jamii baada ya kupata ridhaa kutoka kwa muhusika watampa rufaa ya kwenda sekta nyingine muhimu na kwa wadau mbalimbali kama vile polisi vituo vya msaada wa kisheria kwa ajili ya kupata huduma maalum Watoa huduma wanawajibika

30

kutoa taarifa za kutosha kuhusu masharti ya kisheria ya kutoa taarifa ya matukio ya UWAKI na kwa wakati unaofaa

Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wanawajibika kutoa ushauri kwa waliopatwa na UWAKI (watoto vijana na watu wazima) kuhusu taratibu za mahakama msaada wa ulinzi msaada wa kisheria na taratibu za polisi kama ifuatavyo

[a] Ushahidi wa Kimahakama Huduma kwa muhusika zitalenga mahitaji yake kuheshimu haki yake ya hali ya usiri kupewa taarifa za kutosha zenye kueleweka na sahihi hivyo kuhakikisha anatoa ridhaa arifu kwa hatua na zitakazofuata

[i] WAUJ itahakikisha kupatikana na kuzingatiwa kwa viwango vilivyowekwa kwa ngazi zote katika kuchukua historia kamili ya muhusika kupima na kufanya uchunguzi kuchukua vielelezo vya ushahidi kujaza fomu zinazokubalika kisheria kwa kuweka kumbukumbu ambazo ni halali kama ushahidi mahakamani

[ii] Timu ya Afya ya Usimamizi ya Kituo cha Huduma za Afya baada ya kupata ridhaa ya aliyepatwa na UWAKI itapanga kutenga na kutoa rasilimali za kutosha kuhakikisha nyaraka sahihi zimetayarishwa na kuhifadhiwa na vielelezo vya ushahidi wa mahakama vimepelekwa kwenda maabara ya serikali na kufuatilia majibu

[iii] Watoa huduma wa ngazi zote watahakikisha ukusanyaji sahihi wa vielelezo vya ushahidi na kujaza fomu zinazohusika pamoja na kujaza kwa ukamilifu Fomu ya Polisi Namba Tatu (PF3) na kuthibitisha kwamba muhusika ana taarifa na anaelewa utaratibu

[b] Ulinzi na Msaada kwa Waliopatwa na UWAKI Waliopatwa na UWAKI wana haki ya kulindwa dhidi ya mtuhumiwa pamoja na kupewa mahitaji ya msingi (kwa mfano chakula nguo usafi ri nk) kupewa huduma za polisi (mfano kusindikizwa ulinzi) na kupewa msaada wa kisheria

[i] WAUJ itahakikisha kwamba vituo vya huduma za afya na ustawi wa jamii na watoa huduma wa ngazi zote wana taarifa sahihi kuhusu haki za ulinzi na msaada kwa waliopatwa na UWAKI

31

[ii] Timu za Afya za Usimamizi wa vituo vya huduma za afya katika ngazi zote zitapanga kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya ulinzi na msaada kwa waliopatwa na UWAKI Kama Muhusika ni mtoto atasindikizwa na ofi sa ustawi wa jamii pamoja na mzazi au mlezi ikiwa mzazi au mlezi huyo hahusiki na uhalifu

[iii] Watoa huduma wa afya watatoa taarifa kwa muhusika au mzazi mlezi (kama muhusika ni mtoto chini ya miaka 18) kuhusu msaada atakaopata kwenye kituo cha huduma za afya polisi na msaada wa kisheria juu ya haki na ulinzi kwa mujibu wa sheria za Tanzania

[c] Wajibu wa Watoa Huduma za Afya na Ustawi wa Jamii katika Taratibu za Kimahakama

Watoa huduma za afya kwenye ngazi zote wanatakiwa kuhakikisha kwamba waliopatwa na UWAKI wakiwemo watu wazima vijana na watoto pamoja na walezi wao wana taarifa muhimu zinazohusu masuala ya kisheria ambayo yako nje ya huduma za tiba

[i] WAUJ itahakikisha kwamba vituo vya huduma za afya na watoa huduma wanapata ujuzi na wanajua wajibu wao kuhusu namna ya kutoa ushahidi mahakamani ili kuwasaidia wahusika

[ii] Timu za Usimamizi za vituo vya huduma za afya kwenye ngazi zote zitahakikisha kwamba watoa huduma wanaotambulika kisheria na wana welewa sahihi wa uandaaji wa nyaraka muhimu taratibu za kesi mahakamani na viwango vya ushahidi

[iii] Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii kwenye ngazi zote watahakikisha kwamba muhusika anapata taarifa za kutosha kuhusu ratiba na taratibu za upelelezi na umuhimu wa hatua za kisheria

44 Huduma ya Unasihi Kisaikolojia na Kijamii kwa Waliopatwa na UWAKI

Watu waliopatwa na janga la UWAKI watapewa msaada wa unasihi kisaikolojia na kijamii kwa upendo na kujali kuanzia wakati wa tukio hadi watakapojumuika tena kwenye familia na jamii Katika ngazi ya jamii msaada huo utatolewa na Maofisa wa Ustawi wa Jamii Maofi sa hawa watatoa msaada wa kisaikolojia na unasihi wakishirikiana na

32

wadau wengine waliopata mafunzo kutoka asasi za kiraia asasi za kidini na wahudumu wa afya katika jamii

[i] WAUJ itahakikisha utoaji wa msaada wa unasihi kisaikolojia na kijamii kwenye ngazi zote pamoja na kuhakikisha kuwepo kwa ulinzi na usalama (kwa mfano kituo cha hifadhi ya muda)

[ii] Timu za Usimamizi wa Huduma za Afya kwenye ngazi zote zitapanga na kutenga rasiilimali za kutosha pamoja na watoa huduma kwa ajili ya kutoa msaada wa kisaikolojia na kijamii rufaa na kujenga ushirikiano na wadau wengine ili kuwaunganisha wahusika kwenye familia na jamii

[iii] Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii watahakikisha kwamba wanatoa unasihi wa kutosha pamoja na kutoa huduma rafi ki kwa watoto kutoa rufaa za kwenda na kurudi kwenye huduma za tiba vituo vya hifadhi ya muda na kuwezesha kuwaunganisha kwenye familia na jamii

45 Mfumo wa Usimamizi Uratibu na Ushirikiano Utoaji wa huduma bora kwa waliopatwa na UWAKI unahitaji usimamizi na uratibu wa mara kwa mara kwa watoa huduma za afya wa kada mbalimbali katika ngazi zote Vilevile kuratibu shughuli na kutoa rufaa kwenye vituo vya ngazi ya taifa mikoa halmashauri na jamii Pia kunahitajika utaratibu wa kujenga ushirikiano kati ya sekta ya afya na wadau wa sekta nyingine

[a] Usimamizi wa Huduma za Kuzuia na Kupambana na UWAKI [i] Usimamizi wa huduma utakuwa ni sehemu ya mikakati na

mipango ya mwaka kwa vituo vya huduma za afya kwenye ngazi zote

[ii] Wasimamizi katika ngazi zote watafanya usimamizi shirikishi ili kuhakikisha utoaji wa huduma bora

[b] Uratibu wa Huduma za Kuzuia na Kupambana na UWAKI [i] Wasimamizi wa huduma za afya kwenye ngazi zote watabaini na

kuratibu afua na shughuli zinazotakiwa kutekelezwa na wadau mbalimbali kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI

33

[ii] Wasimamizi wa huduma za afya katika ngazi zote watahakikisha kuwa wanapanga utekelezaji wa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[c] Taratibu za Ushirikiano katika Kutoa Huduma za UWAKI Taratibu za ushirikiano zitahusisha ngazi mbalimbali za utoaji wa huduma za afya kulingana na hadhi ya kituo ikihusisha kada mbalimbali za afya katika serikali na sekta binafsi

[i] Wasimamizi wa huduma za afya watabaini na kuanzisha ushirikiano kwa ajili ya kutoa huduma bora na toshelezi kwa waliofanyiwa UWAKI

[ii] Wasimamizi wa huduma za afya watapanga na kutenga rasiilimali za kutosha kwa ajili ya kuendeleza ushirikiano na wadau muhimu pamoja na kujenga mfumo imara wa rufaa wa kupeleka na kuwarejesha wahusika

[iii] WAUJ itatayarisha na kusambaza orodha ya vituo vya rufaa kufuatana na aina ya huduma maalumu zinazotolewa

46 Utetezi na Mawasiliano ya Kubadili Tabia

Utetezi na mawasiliano ya kubadili tabia utakuwa ni sehemu ya mipango na mikakati ya kila mwaka katika ngazi zote Ngazi zote zitahamasisha kutenga na kutoa rasilimali za kutosha kwa ajili ya kutekeleza mipango na mikakati ya kila mwaka Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii watatambua na kuwezesha juhudi za jamii za kuhakikisha ushirikishwaji na kuhamasisha jamii kutumia rasilimali zao ili kupambana na UWAKI Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii wanatakiwa kupanga na kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya elimu ya afya kwa lengo la mawasiliano ya kubadili tabia

[a] Utetezi wa Kuzuia na kupambana na UWAKI kwa kushirikiana na wadau

Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii na kamati zinazohusika katika ngazi zote za WAUJ watafanya yafuatayo

[i] Kupanga mikakati ya kuongeza welewa na upeo kuhusu vyanzo vya UWAKI kubaini namna ya kuzuia na kubuni njia za kupambana na UWAKI

34

[ii] Kutetea na kuhamasisha uchangiaji zaidi wa raslimali kutenga kasma kwenye bajeti katika Mfumo wa Matumizi ya Muda wa Kati na katika Mpango Kabambe wa Afya wa Halmashauri kwa ajili ya kinga na huduma za kupambana na UWAKI

[iii] Kutetea utekelezaji wa sera na sheria zenye kuunga mkono juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kuhusisha vyombo vya habari katika kutekeleza shughuli za utetezi na ushawishi

[b] Ushirikiano wa wadau kwenye mawasiliano ya kubadili tabia dhidi ya UWAKI

Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii na kamati zao kwenye ngazi zote watafanya yafuatayo

[i] Kutambua mahitaji na kupanga mawasiliano ya kubadili tabia kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kwa ufanisi

[ii] Kuhusisha vyombo vya habari katika kupanga kutekeleza na kufuatilia shughuli za mawasiliano ya kubadili tabia

47 Ufuatiliaji na Tathmini ya Huduma za Kuzuia na Kupambana na UWAKI

Ufuatiliaji na tathmini ya huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI ni muhimu katika kupima ubora wa matokeo ya huduma zinazohusiana na UWAKI Ufuatiliaji na tathmini unahitaji kuchagua vigezo vya kupima maendeleo ya huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kukusanya takwimu kuchambua kutafsiri kutayarisha na kuwasilisha ripoti kwa wadau muhimu Ufuatiliaji na Tathmini unasaidia kutambua maeneo yanayohitaji kufanyiwa utafi ti

[i] Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii katika ngazi zote watatumia vigezo vilivyokubalika kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Takwimu za UWAKI zitaoanishwa na kuunganishwa kwenye MTUHA

[iii] Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii kwenye ngazi zote watahakikisha wanakusanya taarifa na takwimu zinazohusiana na UWAKI kwa kutumia fomu maalumu kwa ajili ya kufuatilia na

35

kutathimini usimamizi na kuwasilisha ripoti za utekelezaji kwa wadau kufuatana na utaratibu maalumu wa kushirikiana katika kutoa taarifa

[iv] Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii katika ngazi zote watafanya utafiti ili kuboresha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

36

SEHEMU YA TANO

MUUNDO WA UTENDAJI KATIKA KUZUIA NA KUPAMBANA NA UWAKI

Wajibu wa WAUJ ni kuandaa kusimamia na kuratibu utekelezaji wa Mwongozo huu wa sera pamoja na sheria kanuni na viwango vya huduma dhidi ya UWAKI katika ngazi zote nchini Mfumo wa utendaji kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI unahusisha ngazi tatu taifa mkoa na halmashauri

51 Ngazi ya Taifa

Katika ngazi ya Taifa Mganga Mkuu wa Serikali ndiye mwenye wajibu wa uongozi wa kitaaluma kwenye utekelezaji wa mipango ya kuzuia na kupambana na UWAKI Ofisi ya Mganga Mkuu ina idara nne ambazo ni Idara ya Kinga Idara ya Tiba Idara ya Mafunzo na Idara ya Ubora na viwango vya Huduma Huduma za Ustawi wa Jamii zipo chini ya Kamishna wa Ustawi wa Jamii

Kitengo cha Afya ya Uzazi na Mtoto ambacho kinasimamiwa na Idara ya Kinga ndicho kinachosimamia utekelezaji wa Mwongozo wa sera ya UWAKI Majukumu ya ofisi ya Mganga Mkuu wa Serikali Idara ya Kinga na Sehemu ya Afya ya Uzazi na Mtoto ni kama ifuatavyo

[a] Ofisi ya Mganga Mkuu wa Serikali Ofi si ya Mganga Mkuu wa Serikali inaratibu inasimamia na kuimarisha huduma za uboreshaji wa Afya Kinga Ubora na viwango vya huduma Tiba ya magonjwa na Utengamao Aidha ofisi inasimamia mafunzo upatikanaji wa wataalamu wa afya katika sekta ya Afya na Ustawi wa Jamii

Ofisi ya Mganga Mkuu wa Serikali kwa kushirikiana na Mabaraza na Vyama vya Kitaaluma vilivyo chini ya sekta ya Afya na Ustawi wa Jamii inasimamia maadili ya wataalamu wa afya kwa kupitia Mabaraza yao ya Kitaaluma

37

bull

bull

[I] Idara ya Kinga Idara hii inasimamia sehemu tano Afya ya Uzazi na Mtoto Epidemiolojia na Udhibiti wa Magonjwa Afya na Usafi wa Mazingira Elimu ya Afya na Lishe Kuna programu na miradi mbalimbali chini ya idara baadhi yake zinahusiana kwa ukaribu na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Programu hizi ni pamoja na Mpango wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI Programu ya Kuzuia Maambukizo ya VVU Kutoka kwa Mama Kwenda kwa Mtoto Programu ya Huduma ya Afya Kwenye Jamii Programuya Afya Shuleni Program ya Uzazi Salama Programu ya Afya ya Mtoto Programu ya Afya ya Uzazi kwa Vijana na Programu ya Uzazi wa Mpango

Idara itafanya yafuatayo Kuhakikisha afua za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa kwenye programu na miradi ya idara na sehemu Kuhakikisha kwamba afua za kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na utetezi na mawasiliano ya kubadili tabia zinajumuishwa kwenye miongozo ya elimu ya afya na ustawi wa jamii

Sehemu ya Huduma za Afya ya Uzazi na Mtoto Sehemu ya Huduma ya Afya ya Uzazi na Mtoto ndiyo inayohusika katika kuzuia na kupambana na UWAKI na majukumu yake ni

[i] Kuandaa mwongozo wa huduma za kina kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kutayarisha mitaala ya mafunzo kwa ajili ya wasimamizi na watoa huduma wa ngazi zote

[ii] Kuratibu kufuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI katika ngazi zote

[iii] Kuwasiliana na wizara nyingine na mashirika ya kitaifa na kimataifa yenye kuhusiana na mipango ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kuangalia upya orodha ya vifaa muhimu kwa utoaji wa huduma bora kwa wahanga wa UWAKI kwa ngazi zote za utoaji huduma

[v] Kuongoza kikundi kazi cha wanataaluma cha taifa pamoja na vikundikazi tanzu vya wanataaluma vinavyosaidia mtazamo mpana wa sekta ya afya na nguvu kazi za kusimamia utekelezaji wa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

38

[II] Idara ya Tiba Idara hii inasimamia huduma za Hospitali za Taifa Mikoa Wilaya Vituo vya Afya na Zahanati za umma na binafsi Uchunguzi Kinywa na Meno Magonjwa Yasiyo ya Kuambukiza na Tiba Asili Idara hii inafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha kwamba vituo vya kutoa huduma za afya katika ngazi zote vinatenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya huduma bora za matibabu kwa wahanga wa UWAKI pamoja na msaada wa kisaikolojia kijamii na rufaa

[ii] Kuhakikisha kwamba vituo vya kutoa huduma za afya kwenye ngazi zote vinapewa vifaa muhimu na vya kutosha kwa ajili ya uchunguzi wa afya vipimo vya maabara kubaini ugonjwa ushahidi wa kimahakama matibabu kutunza kumbukumbu kutoa taarifa na rufaa

[iii] Kuhakikisha kuwa watoa huduma za afya wanazingatia viwango vya kitaalamu na maadili na kuonyesha upendo na kuwajali wahanga wa UWAKI

[III] Idara ya Ubora wa huduma Idara hii ina sehemu tano ikijumuisha huduma za Uuguzi Dharura na Maafa Ukaguzi Dawa na Utafiti na Uhusiano wa Kimataifa Idara hii inafanya yafuatayo

[i] Inasimamia huduma za dawa vifaa tiba na vitendanishi [ii] Inasimamia huduma za Uuguzi na Ukunga [iii] Inasimamia na kufanya ukaguzi wa ubora wa huduma za afya

nchini ili kuziboresha [iv] Inasimamia kazi za utafiti na uhusiano wa kimataifa katika sekta ya

afya na ustawi wa jamii na [v] Inaandaa miongozo kanuni na taratibu zinazohusu huduma za

dharura

[IV] Idara ya Mafunzo Idara ya Mafunzo inasimamia Mipango ya Mafunzo ya Watumishi Mafunzo Endelevu kwa Watumishi Mafunzo kwa Wauguzi na Sayansi Shirikishi za Afya

39

Idara itafanya yafuatayo [i] Kutambua mahitaji ya kitaifa ya mafunzo ya afya na mafunzo ya

kuendeleza taaluma ya watumishi wanaohusika na kutoa huduma kwa waliopatwa na UWAKI

[ii] Kutayarisha mpango wa mafunzo ya muda mfupi na mrefu kwa ajili ya watumishi mbalimbali kwenye ngazi zote zinazotoa huduma kwa waliopatwa na UWAKI

[b] Idara ya Ustawi wa Jamii Idara ya Ustawi wa Jamii imegawanyika katika sehemu tano Huduma kwa Familia na Ustawi wa Mtoto katika malezi makuzi na maendeleo ya awali Huduma za marekebisho ya tabia na haki za mtoto kisheria Huduma kwa wazee na watu wenye ulemavu Mafunzo kwa watumishi na Kitengo cha takwimu Idara itafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha idara inatoa huduma rafiki na bora za ustawi wa jamii kwa wahanga wa UWAKI kwenye vituo vyote vya kutoa huduma za afya na ustawi wa jamii na kuvisimamia

[ii] Kuhakikisha idara inatoa mafunzo kwa watoa huduma wote [iii] Kushauri katika kurekebisha au kufutwa kwa sheria zisizosaidia

utoaji wa huduma bora za ustawi wa jamii na kushawishi kutunga sheria mpya

[c] Idara ya Sera na Mipango Idara hii inasimamia sehemu za Bajeti Sera Mipango Taarifa za Afya na Ufuatiliaji na Tathmini Idara itafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa kwenye mipango na bajeti ya Serikali

[ii] Kuhakikisha kuwa viashirio vya huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI vinaingizwa kwenye MTUHA

[d] Ushirikiano na wadau muhimu katika ldquoKutokomeza UWAKIrdquo

[i] WAUJ kupitia Sehemu ya Afya ya Uzazi na Mtoto kwa kushirikiana na wadau wengine watatetea ulinzi wa haki za waliopatwa na UWAKI na kutokomezwa kwa ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake watoto vijana na wanaume

40

[ii] WAUJ kwa kushirikiana na wadau wengine itaandaa mikakati ya kuhakikisha kwamba aina zote za ubaguzi unyonyaji ukandamizaji na unyanyasaji dhidi ya wanawake watoto vijana na wanaume zinatokomezwa

[iii] WAUJ kwa kushirikiana na wadau wengine watapitia sheria sera na kanuni ambazo zinakinzana na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Watatetea haki za jinsia na afya ya uzazi ikiwa ni pamoja na ulinzi wa mama na watoto dhidi ya UWAKI ukatili wa kifamilia na ukatili dhidi ya watoto na kutetea masuala haya yaingizwe kwenye Katiba ya Tanzania

52 Ngazi ya Mkoa

Utekelezaji wa mapambano dhidi ya UWAKI kwenye mikoa utasimamiwa na Timu ya Usimamizi wa Huduma za Afya Mkoa chini ya Katibu Tawala wa Mkoa na Timu ya Usimamizi ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa chini ya Bodi ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa na watafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa kwenye mpango mkakati wa miaka mitano wa mkoa na hospitali na mpango kazi wa kila mwaka

[ii] Kuhakikisha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa na kuendeshwa pamoja na huduma zilizopo kuwe na watoa huduma wa kutosha pamoja na mafunzo kwa wasimamizi na watoa huduma kwenye ngazi ya mkoa

[iii] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya kufuatilia kufanya tathmini usimamizi na kutoa ripoti za utendaji wa juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya mkoa

[iv] Kutoa msaada wa kitaalamu kwa Halmashauri na Timu za Afya za Halmashauri katika kupanga na kutekeleza huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[v] Kuhakikisha bajeti ya kutosha inatengwa kwenye mpango kabambe wa halmashauri wa afya kwa ajili ya kuiwezesha jamii kuzuia na kupambana na UWAKI

[vi] Kufanya utafiti ili kukuza uelewa kuhusu huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

41

53 Halmashauri za Jiji Manispaa na Wilaya

Bodi ya Huduma za Afya ya Halmashauri ni chombo cha halmashauri ya jiji manispaa na wilaya chenye jukumu la kutoa huduma bora za afya ustawi wa jamii pamoja na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI katika maeneo yao Mipango ya utekelezaji wa huduma za afya kwenye jiji manispaa na wilaya unasimamiwa na Timu ya Usimamizi wa Afya ya Halmashauri Hospitali ya kwanza ya rufaa katika Halmashauri ni Hospitali ya Wilaya au Hospitali Teule ya wilaya

Hospitali Teule ya Wilaya huendeshwa na Timu ya Usimamizi ya Hospitali na husimamiwa na Bodi ya Hospitali Vituo vya kutoa huduma za afya vina kamati za afya na huendeshwa na kamati za usimamizi wa kituo

(a) Ngazi ya Halmashauri Timu ya Halmashauri ya Usimamizi wa Afya itafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha kwamba mipango ya kila mwaka inatengewa fedha za kutosha kwa utekelezaji wa huduma bora za kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaunganishwa na huduma zilizopo kwenye ngazi zote

[iii] Kuhakikisha kwamba kunakuwa na watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wa kutosha na kuendelea kutoa mafunzo kwa watoa huduma wa kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kutetea kuhamasisha na kutenga fedha za kutosha kwa ajili ya kuiwezesha jamii kushiriki kwenye programu ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[v] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya ufuatiliaji tathmini usimamizi shirikishi na kuandaa taarifa za utekelezaji wa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[b] Ngazi ya Kata Kamati ya Afya ya Kata Kamati ya Afya ya Kituo cha Afya na Timu ya Usimamizi wa Kituo cha Afya zitasimamia utoaji wa huduma bora za afya katika kata pamoja na vijiji

42

Kamati na timu zitafanya yafuatayo [i] Kuhakikisha kwamba kila mwaka wanapanga na kutenga rasilimali

za kutosha kwa utekelezaji wa huduma kwa waliopatwa na UWAKI na afua za kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinajumuishwa na huduma zilizopo kwenye kituo cha afya na zahanati

[iii] Kuhakikisha kwamba kuna watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wa kutosha na kuendelea kutoa mafunzo kwa watoa huduma wanaohusika na kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye vituo vya afya na zahanati

[iv] Kutetea kuhamasisha na kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya kuiwezesha jamii kushiriki kwenye kuzuia na kupambana na UWAKI katika Mpango wa Afya wa Kata

[v] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya kufanya ufuatiliaji tathmini na kuandaa taarifa za utekelezaji wa kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kuziwasilisha kwa matumizi katika ngazi zote

[c] Ngazi ya Kijiji Kamati ya Zahanati na Timu ya Usimamizi wa Zahanati zina wajibu wa kutoa huduma za afya kwa wakazi wa eneo la kijiji au vijiji vyao

Kamati na timu zitafanya yafuatayo [i] Kuhakikisha kwamba kila mwaka wanapanga na kutenga raslimali

za kutosha kwa utekelezaji wa huduma kwa waliopatwa na UWAKI na afua za kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinajumuishwa na huduma zilizopo kwenye zahanati

[iii] Kuhakikisha kwamba kuna watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wa kutosha na kuendelea kutoa mafunzo kwa watoa huduma wanaohusika na kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye zahanati

[iv] Kutetea kuhamasisha na kutenga raslimali za kutosha kwa ajili ya kuiwezesha jamii kushiriki kwenye kuzuia na kupambana na UWAKI katika Mpango wa Afya wa Kijiji

43

[v] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya kufanya ufuatiliaji tathmini na kuandaa taarifa za utekelezaji wa kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kuziwasilisha kwa matumizi katika ngazi ya Kata na Wilaya

(d) Ngazi ya Kaya Kila mtu kwenye kaya atahusika katika kuzuia na kupambana na UWAKI na kutoa taarifa ya matukio ya UWAKI kwa mamlaka zinazohusika Pia kila mtu awajibike kwenye kubadili mtazamo na kuepuka mazoea na tabia zinazopelekea UWAKI

44

SEHEMU YA SITA

UFUATILIAJI TATHMINI NA UTAFITI

Ufuatiliaji na tathmini ya afua za kuzuia na kupambana na UWAKI utatekelezwa kwenye ngazi ya taifa mkoa halmashauri na vituo vya huduma za afya Viashirio ambavyo vimependekezwa kwenye ngazi hizi vimeonyeshwa kwenye Kiambatisho

61 Ngazi ya Taifa

Sehemu ya Afya ya Uzazi na Mtoto itaratibu itafuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote nchini

Sehemu hii itafanya yafuatayo [i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu zinazohusu

afua za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka Timu ya Usimamizi wa Afya ya Mkoa na kuzitumia katika kupanga na kuboresha mipango ya kuzuia na kupambana na UWAKI kwa kushirikiana na wadau

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma wa kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti [iv] Kuweka tathmini na ufuatiliaji wa huduma za kuzuia na kupambana

na UWAKI kwenye orodhahakiki ya usimamizi ya WAUJ

62 Ngazi ya Mkoa

Timu ya Usimamizi wa Afya ya Mkoa itakuwa na jukumu la kuratibu kufuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote za mkoa na itafanya yafuatayo

[i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu kuhusu afua za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka hospitali ya rufaa ya mkoa na Timu za Usimamizi wa Afya za Halmashauri kwa ajili ya matumizi yao na kuwasilisha ngazi ya Taifa

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma katika kuzuia na kupambana na UWAKI

45

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti

63 Ngazi ya Wilaya

Timu ya Usimamizi wa Afya ya Halmashauri itakuwa na jukumu la kuratibu kufuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote za wilaya na itafanya yafuatayo

[i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu kuhusu afua za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka hospitali ya wilaya na vituo vya kutolea huduma za afya na Timu za Usimamizi wa Afya za Halmashauri kwa ajili ya matumizi yao na kuwasilisha ngazi ya mkoa

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma katika kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti

64 Ngazi ya Kituo cha kutolea huduma

Timu ya Usimamizi wa Kituo cha Kutolea Huduma za Afya itaratibu itafuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye kituo na kufanya yafuatayo

[i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu kuhusu jitihada za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka kwenye zahanati na jamii na kuwasilisha wilayaniHalmashauri

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma katika kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti

46

KIAMBATISHO

VIASHIRIO VYA MPANGO WA KUZUIA NA KUPAMBANA NA UWAKI KATIKA SEKTA YA AFYA

[a] Ngazi ya Taifa

[i] Idadi ya watu waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya mikoa kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kimkoa

[iii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI kimkoa

[iv] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye uthibitisho kuwa vinatumia Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupamba na UWAKI kimkoa

[v] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye vifaa muhimu kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kimkoa

[b] Ngazi Ya Mkoa

[i] Idadi ya watu waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya wilayahalmashauri kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

[iii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

[iv] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye ushahidi wa kuandikwa na kutumia Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

[v] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye vifaa muhimu kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

47

[c] Ngazi ya Wilaya

[i] Idadi ya watu waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya vituo vya kutolea huduma kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwa vituo vya kutolea huduma

[iii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI

[iv] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye ushahidi wa kuandikwa na kutumia Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI

[v] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye vifaa muhimu kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[d] Ngazi ya Kituo

[i] Idadi ya wahusika waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye kituo cha huduma za afya kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Idadi ya watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Idadi ya watoa huduma walioelekezwa kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI

48

49

50

51

bullbullbull bullbull bullbullbull

~USAID ~f~ ~ KLITOKA KWA WKTJ Delivering as One WAIIAAEKANI

HEALTH POLICY middotmiddotmiddotoINITIATIVE

ltlt ASCII85EncodePages false AllowTransparency false AutoPositionEPSFiles true AutoRotatePages None Binding Left CalGrayProfile (Dot Gain 20) CalRGBProfile (sRGB IEC61966-21) CalCMYKProfile (US Web Coated 050SWOP051 v2) sRGBProfile (sRGB IEC61966-21) CannotEmbedFontPolicy Error CompatibilityLevel 14 CompressObjects Tags CompressPages true ConvertImagesToIndexed true PassThroughJPEGImages true CreateJobTicket false DefaultRenderingIntent Default DetectBlends true DetectCurves 00000 ColorConversionStrategy CMYK DoThumbnails false EmbedAllFonts true EmbedOpenType false ParseICCProfilesInComments true EmbedJobOptions true DSCReportingLevel 0 EmitDSCWarnings false EndPage -1 ImageMemory 1048576 LockDistillerParams false MaxSubsetPct 100 Optimize true OPM 1 ParseDSCComments true ParseDSCCommentsForDocInfo true PreserveCopyPage true PreserveDICMYKValues true PreserveEPSInfo true PreserveFlatness true PreserveHalftoneInfo false PreserveOPIComments true PreserveOverprintSettings true StartPage 1 SubsetFonts true TransferFunctionInfo Apply UCRandBGInfo Preserve UsePrologue false ColorSettingsFile () AlwaysEmbed [ true ] NeverEmbed [ true ] AntiAliasColorImages false CropColorImages true ColorImageMinResolution 300 ColorImageMinResolutionPolicy OK DownsampleColorImages true ColorImageDownsampleType Bicubic ColorImageResolution 300 ColorImageDepth -1 ColorImageMinDownsampleDepth 1 ColorImageDownsampleThreshold 150000 EncodeColorImages true ColorImageFilter DCTEncode AutoFilterColorImages true ColorImageAutoFilterStrategy JPEG ColorACSImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt ColorImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt JPEG2000ColorACSImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt JPEG2000ColorImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt AntiAliasGrayImages false CropGrayImages true GrayImageMinResolution 300 GrayImageMinResolutionPolicy OK DownsampleGrayImages true GrayImageDownsampleType Bicubic GrayImageResolution 300 GrayImageDepth -1 GrayImageMinDownsampleDepth 2 GrayImageDownsampleThreshold 150000 EncodeGrayImages true GrayImageFilter DCTEncode AutoFilterGrayImages true GrayImageAutoFilterStrategy JPEG GrayACSImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt GrayImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt JPEG2000GrayACSImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt JPEG2000GrayImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt AntiAliasMonoImages false CropMonoImages true MonoImageMinResolution 1200 MonoImageMinResolutionPolicy OK DownsampleMonoImages true MonoImageDownsampleType Bicubic MonoImageResolution 1200 MonoImageDepth -1 MonoImageDownsampleThreshold 150000 EncodeMonoImages true MonoImageFilter CCITTFaxEncode MonoImageDict ltlt K -1 gtgt AllowPSXObjects false CheckCompliance [ None ] PDFX1aCheck false PDFX3Check false PDFXCompliantPDFOnly false PDFXNoTrimBoxError true PDFXTrimBoxToMediaBoxOffset [ 000000 000000 000000 000000 ] PDFXSetBleedBoxToMediaBox true PDFXBleedBoxToTrimBoxOffset [ 000000 000000 000000 000000 ] PDFXOutputIntentProfile () PDFXOutputConditionIdentifier () PDFXOutputCondition () PDFXRegistryName () PDFXTrapped False CreateJDFFile false Description ltlt ARA ltFEFF06270633062A062E062F0645002006470630064700200627064406250639062F0627062F0627062A002006440625064606340627062100200648062B062706260642002000410064006F00620065002000500044004600200645062A064806270641064206290020064406440637062806270639062900200641064A00200627064406450637062706280639002006300627062A0020062F0631062C0627062A002006270644062C0648062F0629002006270644063906270644064A0629061B0020064A06450643064600200641062A062D00200648062B0627062606420020005000440046002006270644064506460634062306290020062806270633062A062E062F062706450020004100630072006F0062006100740020064800410064006F006200650020005200650061006400650072002006250635062F0627063100200035002E0030002006480627064406250635062F062706310627062A0020062706440623062D062F062B002E0635062F0627063100200035002E0030002006480627064406250635062F062706310627062A0020062706440623062D062F062B002Egt BGR ltFEFF04180437043f043e043b043704320430043904420435002004420435043704380020043d0430044104420440043e0439043a0438002c00200437043000200434043000200441044a0437043404300432043004420435002000410064006f00620065002000500044004600200434043e043a0443043c0435043d04420438002c0020043c0430043a04410438043c0430043b043d043e0020043f044004380433043e04340435043d04380020043704300020043204380441043e043a043e043a0430044704350441044204320435043d0020043f04350447043004420020043704300020043f044004350434043f0435044704300442043d04300020043f043e04340433043e0442043e0432043a0430002e002000200421044a04370434043004340435043d043804420435002000500044004600200434043e043a0443043c0435043d044204380020043c043e0433043004420020043404300020044104350020043e0442043204300440044f0442002004410020004100630072006f00620061007400200438002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020043800200441043b0435043404320430044904380020043204350440044104380438002egt CHS ltFEFF4f7f75288fd94e9b8bbe5b9a521b5efa7684002000410064006f006200650020005000440046002065876863900275284e8e9ad88d2891cf76845370524d53705237300260a853ef4ee54f7f75280020004100630072006f0062006100740020548c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000204ee553ca66f49ad87248672c676562535f00521b5efa768400200050004400460020658768633002gt CHT ltFEFF4f7f752890194e9b8a2d7f6e5efa7acb7684002000410064006f006200650020005000440046002065874ef69069752865bc9ad854c18cea76845370524d5370523786557406300260a853ef4ee54f7f75280020004100630072006f0062006100740020548c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000204ee553ca66f49ad87248672c4f86958b555f5df25efa7acb76840020005000440046002065874ef63002gt CZE ltFEFF005400610074006f0020006e006100730074006100760065006e00ed00200070006f0075017e0069006a007400650020006b0020007600790074007600e101590065006e00ed00200064006f006b0075006d0065006e0074016f002000410064006f006200650020005000440046002c0020006b00740065007200e90020007300650020006e0065006a006c00e90070006500200068006f006400ed002000700072006f0020006b00760061006c00690074006e00ed0020007400690073006b00200061002000700072006500700072006500730073002e002000200056007900740076006f01590065006e00e900200064006f006b0075006d0065006e007400790020005000440046002000620075006400650020006d006f017e006e00e90020006f007400650076015900ed007400200076002000700072006f006700720061006d0065006300680020004100630072006f00620061007400200061002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000610020006e006f0076011b006a016100ed00630068002egt DAN ltFEFF004200720075006700200069006e0064007300740069006c006c0069006e006700650072006e0065002000740069006c0020006100740020006f007000720065007400740065002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e007400650072002c0020006400650072002000620065006400730074002000650067006e006500720020007300690067002000740069006c002000700072006500700072006500730073002d007500640073006b007200690076006e0069006e00670020006100660020006800f8006a0020006b00760061006c0069007400650074002e0020004400650020006f007000720065007400740065006400650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e0074006500720020006b0061006e002000e50062006e00650073002000690020004100630072006f00620061007400200065006c006c006500720020004100630072006f006200610074002000520065006100640065007200200035002e00300020006f00670020006e0079006500720065002egt DEU ltFEFF00560065007200770065006e00640065006e0020005300690065002000640069006500730065002000450069006e007300740065006c006c0075006e00670065006e0020007a0075006d002000450072007300740065006c006c0065006e00200076006f006e002000410064006f006200650020005000440046002d0044006f006b0075006d0065006e00740065006e002c00200076006f006e002000640065006e0065006e002000530069006500200068006f006300680077006500720074006900670065002000500072006500700072006500730073002d0044007200750063006b0065002000650072007a0065007500670065006e0020006d00f60063006800740065006e002e002000450072007300740065006c006c007400650020005000440046002d0044006f006b0075006d0065006e007400650020006b00f6006e006e0065006e0020006d006900740020004100630072006f00620061007400200075006e0064002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020006f0064006500720020006800f600680065007200200067006500f600660066006e00650074002000770065007200640065006e002egt ESP ltFEFF005500740069006c0069006300650020006500730074006100200063006f006e0066006900670075007200610063006900f3006e0020007000610072006100200063007200650061007200200064006f00630075006d0065006e0074006f00730020005000440046002000640065002000410064006f0062006500200061006400650063007500610064006f00730020007000610072006100200069006d0070007200650073006900f3006e0020007000720065002d0065006400690074006f007200690061006c00200064006500200061006c00740061002000630061006c0069006400610064002e002000530065002000700075006500640065006e00200061006200720069007200200064006f00630075006d0065006e0074006f00730020005000440046002000630072006500610064006f007300200063006f006e0020004100630072006f006200610074002c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200079002000760065007200730069006f006e0065007300200070006f00730074006500720069006f007200650073002egt ETI ltFEFF004b00610073007500740061006700650020006e0065006900640020007300e4007400740065006900640020006b00760061006c006900740065006500740073006500200074007200fc006b006900650065006c007300650020007000720069006e00740069006d0069007300650020006a0061006f006b007300200073006f00620069006c0069006b0065002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740069006400650020006c006f006f006d006900730065006b0073002e00200020004c006f006f0064007500640020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740065002000730061006100740065002000610076006100640061002000700072006f006700720061006d006d006900640065006700610020004100630072006f0062006100740020006e0069006e0067002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020006a00610020007500750065006d006100740065002000760065007200730069006f006f006e00690064006500670061002e000d000agt FRA ltFEFF005500740069006c006900730065007a00200063006500730020006f007000740069006f006e00730020006100660069006e00200064006500200063007200e900650072002000640065007300200064006f00630075006d0065006e00740073002000410064006f00620065002000500044004600200070006f0075007200200075006e00650020007100750061006c0069007400e90020006400270069006d007000720065007300730069006f006e00200070007200e9007000720065007300730065002e0020004c0065007300200064006f00630075006d0065006e00740073002000500044004600200063007200e900e90073002000700065007500760065006e0074002000ea0074007200650020006f007500760065007200740073002000640061006e00730020004100630072006f006200610074002c002000610069006e00730069002000710075002700410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000650074002000760065007200730069006f006e007300200075006c007400e90072006900650075007200650073002egt GRE ltFEFF03a703c103b703c303b903bc03bf03c003bf03b903ae03c303c403b5002003b103c503c403ad03c2002003c403b903c2002003c103c503b803bc03af03c303b503b903c2002003b303b903b1002003bd03b1002003b403b703bc03b903bf03c503c103b303ae03c303b503c403b5002003ad03b303b303c103b103c603b1002000410064006f006200650020005000440046002003c003bf03c5002003b503af03bd03b103b9002003ba03b103c42019002003b503be03bf03c703ae03bd002003ba03b103c403ac03bb03bb03b703bb03b1002003b303b903b1002003c003c103bf002d03b503ba03c403c503c003c903c403b903ba03ad03c2002003b503c103b303b103c303af03b503c2002003c503c803b703bb03ae03c2002003c003bf03b903cc03c403b703c403b103c2002e0020002003a403b10020005000440046002003ad03b303b303c103b103c603b1002003c003bf03c5002003ad03c703b503c403b5002003b403b703bc03b903bf03c503c103b303ae03c303b503b9002003bc03c003bf03c103bf03cd03bd002003bd03b1002003b103bd03bf03b903c703c403bf03cd03bd002003bc03b5002003c403bf0020004100630072006f006200610074002c002003c403bf002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002003ba03b103b9002003bc03b503c403b103b303b503bd03ad03c303c403b503c103b503c2002003b503ba03b403cc03c303b503b903c2002egt HEB ltFEFF05D405E905EA05DE05E905D5002005D105D405D205D305E805D505EA002005D005DC05D4002005DB05D305D9002005DC05D905E605D505E8002005DE05E105DE05DB05D9002000410064006F006200650020005000440046002005D405DE05D505EA05D005DE05D905DD002005DC05D405D305E405E105EA002005E705D305DD002D05D305E405D505E1002005D005D905DB05D505EA05D905EA002E002005DE05E105DE05DB05D90020005000440046002005E905E005D505E605E805D5002005E005D905EA05E005D905DD002005DC05E405EA05D905D705D4002005D105D005DE05E605E205D505EA0020004100630072006F006200610074002005D5002D00410064006F00620065002000520065006100640065007200200035002E0030002005D505D205E805E105D005D505EA002005DE05EA05E705D305DE05D505EA002005D905D505EA05E8002E05D005DE05D905DD002005DC002D005000440046002F0058002D0033002C002005E205D905D905E005D5002005D105DE05D305E805D905DA002005DC05DE05E905EA05DE05E9002005E905DC0020004100630072006F006200610074002E002005DE05E105DE05DB05D90020005000440046002005E905E005D505E605E805D5002005E005D905EA05E005D905DD002005DC05E405EA05D905D705D4002005D105D005DE05E605E205D505EA0020004100630072006F006200610074002005D5002D00410064006F00620065002000520065006100640065007200200035002E0030002005D505D205E805E105D005D505EA002005DE05EA05E705D305DE05D505EA002005D905D505EA05E8002Egt HRV (Za stvaranje Adobe PDF dokumenata najpogodnijih za visokokvalitetni ispis prije tiskanja koristite ove postavke Stvoreni PDF dokumenti mogu se otvoriti Acrobat i Adobe Reader 50 i kasnijim verzijama) HUN ltFEFF004b0069007600e1006c00f30020006d0069006e0151007300e9006701710020006e0079006f006d00640061006900200065006c0151006b00e90073007a00ed007401510020006e0079006f006d00740061007400e100730068006f007a0020006c006500670069006e006b00e1006200620020006d0065006700660065006c0065006c0151002000410064006f00620065002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e00740075006d006f006b0061007400200065007a0065006b006b0065006c0020006100200062006500e1006c006c00ed007400e10073006f006b006b0061006c0020006b00e90073007a00ed0074006800650074002e0020002000410020006c00e90074007200650068006f007a006f00740074002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e00740075006d006f006b00200061007a0020004100630072006f006200610074002000e9007300200061007a002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002c0020007600610067007900200061007a002000610074007400f3006c0020006b00e9007301510062006200690020007600650072007a006900f3006b006b0061006c0020006e00790069007400680061007400f3006b0020006d00650067002egt ITA ltFEFF005500740069006c0069007a007a006100720065002000710075006500730074006500200069006d0070006f007300740061007a0069006f006e00690020007000650072002000630072006500610072006500200064006f00630075006d0065006e00740069002000410064006f00620065002000500044004600200070006900f900200061006400610074007400690020006100200075006e00610020007000720065007300740061006d0070006100200064006900200061006c007400610020007100750061006c0069007400e0002e0020004900200064006f00630075006d0065006e007400690020005000440046002000630072006500610074006900200070006f00730073006f006e006f0020006500730073006500720065002000610070006500720074006900200063006f006e0020004100630072006f00620061007400200065002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200065002000760065007200730069006f006e006900200073007500630063006500730073006900760065002egt JPN ltFEFF9ad854c18cea306a30d730ea30d730ec30b951fa529b7528002000410064006f0062006500200050004400460020658766f8306e4f5c6210306b4f7f75283057307e305930023053306e8a2d5b9a30674f5c62103055308c305f0020005000440046002030d530a130a430eb306f3001004100630072006f0062006100740020304a30883073002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000204ee5964d3067958b304f30533068304c3067304d307e305930023053306e8a2d5b9a306b306f30d530a930f330c8306e57cb30818fbc307f304c5fc59808306730593002gt KOR ltFEFFc7740020c124c815c7440020c0acc6a9d558c5ec0020ace0d488c9c80020c2dcd5d80020c778c1c4c5d00020ac00c7a50020c801d569d55c002000410064006f0062006500200050004400460020bb38c11cb97c0020c791c131d569b2c8b2e4002e0020c774b807ac8c0020c791c131b41c00200050004400460020bb38c11cb2940020004100630072006f0062006100740020bc0f002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020c774c0c1c5d0c11c0020c5f40020c2180020c788c2b5b2c8b2e4002egt LTH ltFEFF004e006100750064006f006b0069007400650020016100690075006f007300200070006100720061006d006500740072007500730020006e006f0072011700640061006d00690020006b0075007200740069002000410064006f00620065002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400750073002c0020006b00750072006900650020006c0061006200690061007500730069006100690020007000720069007400610069006b007900740069002000610075006b01610074006f00730020006b006f006b007900620117007300200070006100720065006e006700740069006e00690061006d00200073007000610075007300640069006e0069006d00750069002e0020002000530075006b0075007200740069002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400610069002000670061006c006900200062016b007400690020006100740069006400610072006f006d00690020004100630072006f006200610074002000690072002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000610072002000760117006c00650073006e0117006d00690073002000760065007200730069006a006f006d00690073002egt LVI ltFEFF0049007a006d0061006e0074006f006a00690065007400200161006f00730020006900650073007400610074012b006a0075006d00750073002c0020006c0061006900200076006500690064006f00740075002000410064006f00620065002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400750073002c0020006b006100730020006900720020012b00700061016100690020007000690065006d01130072006f00740069002000610075006700730074006100730020006b00760061006c0069007401010074006500730020007000690072006d007300690065007300700069006501610061006e006100730020006400720075006b00610069002e00200049007a0076006500690064006f006a006900650074002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400750073002c0020006b006f002000760061007200200061007400760113007200740020006100720020004100630072006f00620061007400200075006e002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002c0020006b0101002000610072012b00200074006f0020006a00610075006e0101006b0101006d002000760065007200730069006a0101006d002egt NLD (Gebruik deze instellingen om Adobe PDF-documenten te maken die zijn geoptimaliseerd voor prepress-afdrukken van hoge kwaliteit De gemaakte PDF-documenten kunnen worden geopend met Acrobat en Adobe Reader 50 en hoger) NOR ltFEFF004200720075006b00200064006900730073006500200069006e006e007300740069006c006c0069006e00670065006e0065002000740069006c002000e50020006f0070007000720065007400740065002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740065007200200073006f006d00200065007200200062006500730074002000650067006e0065007400200066006f00720020006600f80072007400720079006b006b0073007500740073006b00720069006600740020006100760020006800f800790020006b00760061006c0069007400650074002e0020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740065006e00650020006b0061006e002000e50070006e00650073002000690020004100630072006f00620061007400200065006c006c00650072002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200065006c006c00650072002000730065006e006500720065002egt POL ltFEFF0055007300740061007700690065006e0069006100200064006f002000740077006f0072007a0065006e0069006100200064006f006b0075006d0065006e007400f300770020005000440046002000700072007a0065007a006e00610063007a006f006e00790063006800200064006f002000770079006400720075006b00f30077002000770020007700790073006f006b00690065006a0020006a0061006b006f015b00630069002e002000200044006f006b0075006d0065006e0074007900200050004400460020006d006f017c006e00610020006f007400770069006500720061010700200077002000700072006f006700720061006d006900650020004100630072006f00620061007400200069002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000690020006e006f00770073007a0079006d002egt PTB ltFEFF005500740069006c0069007a006500200065007300730061007300200063006f006e00660069006700750072006100e700f50065007300200064006500200066006f0072006d00610020006100200063007200690061007200200064006f00630075006d0065006e0074006f0073002000410064006f0062006500200050004400460020006d00610069007300200061006400650071007500610064006f00730020007000610072006100200070007200e9002d0069006d0070007200650073007300f50065007300200064006500200061006c007400610020007100750061006c00690064006100640065002e0020004f007300200064006f00630075006d0065006e0074006f00730020005000440046002000630072006900610064006f007300200070006f00640065006d0020007300650072002000610062006500720074006f007300200063006f006d0020006f0020004100630072006f006200610074002000650020006f002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000650020007600650072007300f50065007300200070006f00730074006500720069006f007200650073002egt RUM ltFEFF005500740069006c0069007a00610163006900200061006300650073007400650020007300650074010300720069002000700065006e007400720075002000610020006300720065006100200064006f00630075006d0065006e00740065002000410064006f006200650020005000440046002000610064006500630076006100740065002000700065006e0074007200750020007400690070010300720069007200650061002000700072006500700072006500730073002000640065002000630061006c006900740061007400650020007300750070006500720069006f006100720103002e002000200044006f00630075006d0065006e00740065006c00650020005000440046002000630072006500610074006500200070006f00740020006600690020006400650073006300680069007300650020006300750020004100630072006f006200610074002c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020015f00690020007600650072007300690075006e0069006c006500200075006c0074006500720069006f006100720065002egt RUS ltFEFF04180441043f043e043b044c04370443043904420435002004340430043d043d044b04350020043d0430044104420440043e0439043a043800200434043b044f00200441043e043704340430043d0438044f00200434043e043a0443043c0435043d0442043e0432002000410064006f006200650020005000440046002c0020043c0430043a04410438043c0430043b044c043d043e0020043f043e04340445043e0434044f04490438044500200434043b044f00200432044b0441043e043a043e043a0430044704350441044204320435043d043d043e0433043e00200434043e043f0435044704300442043d043e0433043e00200432044b0432043e04340430002e002000200421043e043704340430043d043d044b04350020005000440046002d0434043e043a0443043c0435043d0442044b0020043c043e0436043d043e0020043e0442043a0440044b043204300442044c002004410020043f043e043c043e0449044c044e0020004100630072006f00620061007400200438002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020043800200431043e043b043504350020043f043e04370434043d043804450020043204350440044104380439002egt SKY ltFEFF0054006900650074006f0020006e006100730074006100760065006e0069006100200070006f0075017e0069007400650020006e00610020007600790074007600e100720061006e0069006500200064006f006b0075006d0065006e0074006f0076002000410064006f006200650020005000440046002c0020006b0074006f007200e90020007300610020006e0061006a006c0065007001610069006500200068006f0064006900610020006e00610020006b00760061006c00690074006e00fa00200074006c0061010d00200061002000700072006500700072006500730073002e00200056007900740076006f00720065006e00e900200064006f006b0075006d0065006e007400790020005000440046002000620075006400650020006d006f017e006e00e90020006f00740076006f00720069016500200076002000700072006f006700720061006d006f006300680020004100630072006f00620061007400200061002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000610020006e006f0076016100ed00630068002egt SLV ltFEFF005400650020006e006100730074006100760069007400760065002000750070006f0072006100620069007400650020007a00610020007500730074007600610072006a0061006e006a006500200064006f006b0075006d0065006e0074006f0076002000410064006f006200650020005000440046002c0020006b006900200073006f0020006e0061006a007000720069006d00650072006e0065006a016100690020007a00610020006b0061006b006f0076006f00730074006e006f0020007400690073006b0061006e006a00650020007300200070007200690070007200610076006f0020006e00610020007400690073006b002e00200020005500730074007600610072006a0065006e006500200064006f006b0075006d0065006e0074006500200050004400460020006a00650020006d006f0067006f010d00650020006f0064007000720065007400690020007a0020004100630072006f00620061007400200069006e002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200069006e0020006e006f00760065006a01610069006d002egt SUO ltFEFF004b00e40079007400e40020006e00e40069007400e4002000610073006500740075006b007300690061002c0020006b0075006e0020006c0075006f00740020006c00e400680069006e006e00e4002000760061006100740069007600610061006e0020007000610069006e006100740075006b00730065006e002000760061006c006d0069007300740065006c00750074007900f6006800f6006e00200073006f00700069007600690061002000410064006f0062006500200050004400460020002d0064006f006b0075006d0065006e007400740065006a0061002e0020004c0075006f0064007500740020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740069007400200076006f0069006400610061006e0020006100760061007400610020004100630072006f0062006100740069006c006c00610020006a0061002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030003a006c006c00610020006a006100200075007500640065006d006d0069006c006c0061002egt SVE ltFEFF0041006e007600e4006e00640020006400650020006800e4007200200069006e0073007400e4006c006c006e0069006e006700610072006e00610020006f006d002000640075002000760069006c006c00200073006b006100700061002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e007400200073006f006d002000e400720020006c00e4006d0070006c0069006700610020006600f60072002000700072006500700072006500730073002d007500740073006b00720069006600740020006d006500640020006800f600670020006b00760061006c0069007400650074002e002000200053006b006100700061006400650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740020006b0061006e002000f600700070006e00610073002000690020004100630072006f0062006100740020006f00630068002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020006f00630068002000730065006e006100720065002egt TUR ltFEFF005900fc006b00730065006b0020006b0061006c006900740065006c0069002000f6006e002000790061007a006401310072006d00610020006200610073006b013100730131006e006100200065006e0020006900790069002000750079006100620069006c006500630065006b002000410064006f006200650020005000440046002000620065006c00670065006c0065007200690020006f006c0075015f007400750072006d0061006b0020006900e70069006e00200062007500200061007900610072006c0061007201310020006b0075006c006c0061006e0131006e002e00200020004f006c0075015f0074007500720075006c0061006e0020005000440046002000620065006c00670065006c0065007200690020004100630072006f006200610074002000760065002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200076006500200073006f006e0072006100730131006e00640061006b00690020007300fc007200fc006d006c00650072006c00650020006100e70131006c006100620069006c00690072002egt UKR ltFEFF04120438043a043e0440043804410442043e043204430439044204350020044604560020043f043004400430043c043504420440043800200434043b044f0020044104420432043e04400435043d043d044f00200434043e043a0443043c0435043d044204560432002000410064006f006200650020005000440046002c0020044f043a04560020043d04300439043a04400430044904350020043f045604340445043e0434044f0442044c00200434043b044f0020043204380441043e043a043e044f043a04560441043d043e0433043e0020043f0435044004350434043404400443043a043e0432043e0433043e0020043404400443043a0443002e00200020042104420432043e04400435043d045600200434043e043a0443043c0435043d0442043800200050004400460020043c043e0436043d04300020043204560434043a0440043804420438002004430020004100630072006f006200610074002004420430002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002004300431043e0020043f04560437043d04560448043e04570020043204350440044104560457002egt ENU (Use these settings to create Adobe PDF documents best suited for high-quality prepress printing Created PDF documents can be opened with Acrobat and Adobe Reader 50 and later) gtgt Namespace [ (Adobe) (Common) (10) ] OtherNamespaces [ ltlt AsReaderSpreads false CropImagesToFrames true ErrorControl WarnAndContinue FlattenerIgnoreSpreadOverrides false IncludeGuidesGrids false IncludeNonPrinting false IncludeSlug false Namespace [ (Adobe) (InDesign) (40) ] OmitPlacedBitmaps false OmitPlacedEPS false OmitPlacedPDF false SimulateOverprint Legacy gtgt ltlt AddBleedMarks false AddColorBars false AddCropMarks false AddPageInfo false AddRegMarks false ConvertColors ConvertToCMYK DestinationProfileName () DestinationProfileSelector DocumentCMYK Downsample16BitImages true FlattenerPreset ltlt PresetSelector MediumResolution gtgt FormElements false GenerateStructure false IncludeBookmarks false IncludeHyperlinks false IncludeInteractive false IncludeLayers false IncludeProfiles false MultimediaHandling UseObjectSettings Namespace [ (Adobe) (CreativeSuite) (20) ] PDFXOutputIntentProfileSelector DocumentCMYK PreserveEditing true UntaggedCMYKHandling LeaveUntagged UntaggedRGBHandling UseDocumentProfile UseDocumentBleed false gtgt ]gtgt setdistillerparamsltlt HWResolution [2400 2400] PageSize [612000 792000]gtgt setpagedevice

  1. 1 World Health Organization WHO
  2. 2 Beijing Platform for Action BPA 1995
  3. 5 International Covenant on Civil and Political Rights ICCPR 1966
  4. 7 Krug Etienne et al 2002 World Report on Violence and Health Geneva WHO
Page 12: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na

bull Ndoa katika umri mdogo Ni ndoa zinazojitokeza zaidi kwa wasichana ambazo zinahusishwa na madhara kwa mama na mtoto kama vile matatizo wakati wa kujifungua ulemavu na vifo vya mama na mtoto

bull Ndoa ya kulazimishwa Ni ndoa zinazofanyika bila ridhaa ya mwanamume au mwanamke Iwapo mmoja kati yao hatakubaliana ndoa hizo zinaweza kusababisha madhara ya unyanyasaji na ukatili

bull Utakaso wa mjane Ni desturi ambapo mjane hulazimishwa au hulazimika kufanya ngono na ndugu wengine au mtu aliyeteuliwa kwa kazi hiyo katika jamii Hii hufanyika kabla mjane huyo hajaolewa au kuoa tena

Haki za binadamu Ni stahili za msingi ambazo kila binadamu anapaswa kuzipata ili kumwezesha kuishi kujiendeleza kushiriki na kupata ulinzi wa jamii bila kujali utaifa jinsia asili ya utaifa au nasaba au kabila rangi dini lugha au kwa hali nyingine yoyote

Matukio ya ukatili Ni kitendo au mfululizo wa vitendo vya ukatili vinavyofanywa na mtu au kikundi cha watu dhidi ya mtu au kundi la watu kwa makusudi ya kuharibu kuleta hofu au kutishia amani kwa maslahi binafsi Vitendo hivyo vya kikatili vinaweza kufanyika nyumbani kwenye hadhara na mahali popote katika nyakati tofauti

Ukatili kati ya wenzi Ukatili unaohusisha wenzi wenye uhusiano wa ndani kama vile mtu na mke marafiki wapenzi wanafamilia au watu wanaoishi pamoja kama mke na mume bila ndoa rasmi Ukatili kati ya wenzi ni wa aina nyingi ikiwa ni pamoja na ukatili wa kimwili (kupigwa kuuma kumsukuma kumzuia kumtupia vitu) au kumtishia Aina nyingine ya ukatili wa wenzi ni ukatili wa kingono kisaikolojia (kumfanyia vitisho kuvizia kumpuuza) na ukatili wa kiuchumi (kunyimwa haki ya kufanya kazi kunyangrsquoanywa kipato kurithi mali nk)

Mhalifu Ni mtu kundi la watu au taasisi linalofanya moja kwa moja au kupitia wengine uhalifu au vitendo vya kikatili dhidi ya mtu au kundi la

xi

watuWahalifu wanakuwa katika hali ya kuwa au kuhisi kuwa na nguvu kufanya uamuzi naau mamlaka ya kuwadhibiti waliopatwa na UWAKI

Ukatili wa kimwili Ni kitendo cha kumdhalilisha mtu kwa kumpiga kumvua nguo kumwuma kumchoma kumsababishia ulemavu au kumwua kwa kutumia au kutotumia silaha

Nguvu Katika muktadha wa UWAKI madaraka yanahusiana na uwezo wa kuchagua Mamlaka makubwa yanaendana na uwezo mkubwa wa kufanya uamuzi Kwa upande mwingine mamlaka madogo yanaendana na uwezo dhaifu wa kufanya uamuzi na kwa hivyo kuongeza uwezekano wa kunyanyaswa UWAKI unahusisha matumizi mabaya ya madaraka ambapo mtu mmoja anajisikia kuwa ana mamlaka zaidi juu ya mwenzake na kutumia fursa hiyo kumnyanyasa

Kwa mfano kutumia shinikizo la aina yoyote ili kumfanya mtu mwenye uwezo mdogo kufanya naye ngono kwa madhumuni ya kumpatia faida au ahadi zozote ni kutumia vibaya madaraka Wanaume wana nafasi za madaraka kuliko wanawake na mara nyingi wanamiliki fedha mali na huduma Wanaume wana maumbile makubwa zaidi ya wanawake wana nguvu zaidi wanatumia silaha zaidi na wanadhibiti mawasiliano na usalama Madaraka yanategemea umri na mara nyingi watoto na wazee wana madaraka madogo zaidi Waume au marafiki wa kiume wana umri mkubwa zaidi kuliko wake zao au marafiki wa kike

Ubakaji Ni kitendo cha mtu kumwingilia mtu kimwili mtu mwingine kwa nguvu bila ridhaa yake au kitendo cha kumwingilia mtu mwenye umri chini ya miaka 18

Ulazimishaji ngono ndani ya ndoa Ni kitendo cha ngono kati ya wanandoa kinachofanywa na mwanandoa mmoja bila ridhaa au dhamira ya mwenzake akitumia nguvu vitisho kuogopesha hofu au wakati mwenza hawezi kutoa ridhaa

Vitendo hivyo vya ngono vinajumuisha kujamiiana ngono ya mdomo au kinyume na maumbile kulazimishwa kufanya ngono na mtu mwingine na vitendo vingine vya ngono ambavyo vinachukuliwa na mlazimishaji kama ukandamizaji udhalilishaji na vya kuumiza

xii

Nyumba salama Mahali pa hifadhi ya muda kwa watu waliopatwa na UWAKI mashahidi au watu wengine wanaoonekana kuwa hatarini Pia ni mahali ambapo jamii familia mtu mzima anayeaminika au taasisi ya hisani wanatoa kimbilio la usalama kwa watu waliopatwa na UWAKI

Ukatili wa Kingono Ni kitendo au jaribio lolote la unyanyasaji wa kingono linalosababisha au linaloweza kusababisha madhara ya kimwili kisaikolojia au kihisia

Ngono za Kulazimishwa Ni kitendo cha kumshurutisha au kujaribu kumshurutisha mtu mwingine kwa njia ya ukatili vitisho maneno makali udanganyifu kumpa matarajio ya kiuchumi ili ajihusishe na vitendo vya ngono bila ridhaa yake Ni pamoja na vitendo mbalimbali kama ubakaji na maeneo mapana zaidi kama wanawake kulazimishwa kuolewa na kutoa huduma ya ngono kwa wanaume ambao sio chaguo lao

Ukandamizaji wa Kingono Ni kumtumia mtu watu au jamii inayoishi kwenye mazingira magumu kwa madhumuni ya kuihusisha katika vitendo vya kujamiiana au vinavyohusiana na kujamiiana ili mhalifu afaidike kiuchumi au kijamii

Bughudha ya Kingono Ni matendo yanayohusiana na hisia za kujamiiana ambayo yanakera na kuudhi watu ndani ya jamii na mazingira ya kazi hayakubaliki yanasumbua yanarudiwa mara kwa mara na bila ridhaa kwa mfano matusi kukonyeza mavazi duni yenye kuonyesha maungo kupapasa picha za ngono na kuingilia faragha za mwili wa mtu

Ukatili wa Kingono Nikitendo au jaribio lolote la unyanyasaji wa kingono linalosababisha au linaloweza kusababisha madhara ya kimwili kisaikolojia au kihisia

Ukatili wa Kiuchumi na Kijamii Ni vitendo vya kumnyima mtu fursa ya kupata mahitaji ya msingi na ya kujiendeleza kama kumnyima elimu kazi kumiliki mali huduma za afya na vitendo vingine vinavyosababisha msongo wa mawazo

xiii

Ukatili Matumizi ya nguvu yanayompa mtu fursa ya kumtumia au kumkandamiza mtu mwingine ikiwa ni pamoja na kumsababishia woga au hofu madhara ya kimwili kifikra na kisaikolojia Ukatili unaweza kujitokeza kwa kumdhuru mtu kimwili au kumtishia kwa kutumia silaha au kumnyima mtu uhuru wa kufanya uamuzi na kumlazimisha kutenda kinyume na utashi wake

Ukatili Dhidi ya Wanawake Ni kitendo au vitendo vya unyanyasaji vyenye kulenga jinsia ya kike na vyenye kusababisha au kuleta madhara ya kimwili kingono kihisia kisaikolojia kiuchumi na kijamii Kitendo au vitendo hivi hujumuisha kutumia nguvu na vitisho vya kumnyima mwanamke haki na uhuru

xiv

SEHEMU YA KWANZA

UTANGULIZI

11 Hali ya Ukatili wa Kijinsia Duniani

Ukatili Wa Kijinsia (UWAKI) unatokana na kuwepo kwa tofauti kati ya wanaume na wanawake na hivyo kuhatarisha afya utu usalama na uhuru wa wahusika waliofanyiwa vitendo vya kikatili

UWAKI unajumuisha vitendo vingi vya ukiukwaji wa haki za binadamu kama vile unyanyasaji wa watoto kingono ubakaji unyanyasaji katika familia shambulio la aibu na udhalilishaji Vitendo vingine vya UWAKI ni usafirishaji haramu wa wanawake na wasichana na madhara mengine yatokanayo na mila na desturi hatarishi

Matukio ya ukatili wa kijinsia yanaacha athari kubwa za kisaikolojia na za kiafya kwa watu waliopatwa na ukatili ikiwa ni pamoja na kuathiri afya ya uzazi na mara nyingine kusababisha vifo

UWAKI haujatambuliwa kama ukiukwaji wa haki za binadamu katika sehemu nyingi duniani Tatizo hili hupunguza uwezo wa wanawake wanaume na watoto katika kufurahia uhuru na haki za msingi za kibinadamu Hata hivyo licha ya kuwepo kwa UWAKI katika nchi nyingi tatizo hili halijapewa kipaumbele UWAKI unaelezwa kuwa ldquoNi kitendo kiovu na cha aibu kubwa cha ukiukwaji wa haki za binadamurdquo Hali hii humfanya mwanamke kuwa tegemezi kijamii kiuchumi na kisheria na hupunguza uwezo wake katika kupata msaada mara anapofanyiwa ukatili

Utafiti uliofanywa na Shirika la Afya Duniani (WHO) kuhusu afya ya wanawake na ukatili wa kifamilia katika nchi 10 umeonyesha kuwa kati ya wanawake waliowahi kuwa na wenzi asilimia 13-61 walifanyiwa ukatili wa kimwili na wenzi wao asilimia 6-59 walifanyiwa ukatili wa kingono na asilimia 15-71 walifanyiwa vitendo vya ukatili wa kingono pamoja na kimwili Pia wanawake wengi vijijini walikiri kuwa walifanyiwa tendo la ngono kwa mara ya kwanza bila ridhaa yao na takwimu zinaonyesha matukio hayo katika baadhi ya nchi kama ifuatavyo Peru (24)

1

Tanzania (17) Bangladesh (30) na Ethiopia (17) Ukatili wa kimwili kwa wanawake wajawazito uliripotiwa kuwa ni asilimia 4-12

Wanawake na wasichana wanakabiliwa na aina nyingine ya ziada ya unyanyasaji Usafirishaji haramu wa wanawake na wasichana kwa ajili ya kazi na ngono za kulazimishwa ni biashara iliyoshamiri na mara nyingi waathirika ni wale wanaokabiliwa na hali ngumu ya maisha Ndoa za kulazimishwa na za utotoni ni ukiukwaji wa haki za binadamu kwa wanawake na wasichana lakini zinaendelea kushamiri kwenye nchi nyingi za Bara la Asia Mashariki ya Kati na Nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara Utafiti wa Shirika la Afya Duniani (2010) unaonyesha kuwa duniani kote mwanamke mmoja kati ya wanawake watano na mwanamume mmoja kati ya wanaume 10 wanaripotiwa kuathirika na unyanyasaji wa kingono wakati wa utoto

12 Hali ya UWAKI Kanda ya Afrika

Kuna uhaba wa taarifa takwimu na utafiti kuhusu UWAKI kwenye ukanda wa Afrika Mashariki Nchini Kenya kulikuwa hakuna takwimu zenye kuhusiana na ukatili wa kijinsia hadi utafiti wa hali ya jamii na afya ulipofanyika mwaka 2003 Utafiti huu ulionyesha kwamba asilimia 29 ya wanawake waliripotiwa kuathiriwa na ukatili wa kingono kwenye kipindi cha mwaka mmoja uliopita na wengi wa waathirika walikuwa wanawake wa umri wa miaka 20-29 Utafiti uliofanywa na Ushirika wa Wanasheria Wanawake nchini Kenya ulionyesha kwamba ukatili wa kijinsia katika familia unakabili asilimia 51 ya wanawake waliohudhuria kliniki nne za wajawazito kwenye jiji la Nairobi na waliripoti kuwa wamekuwa waathirika wa ukatili wakati fulani katika maisha yao kati yao asilimia 65 walifanyiwa ukatili na waume zao na asilimia 22 walifanyiwa ukatili na wanaume wasiowafahamu

Utafiti kuhusu UWAKI uliofanywa baada ya uchaguzi wa 2007 nchini Kenya ulilenga makazi duni ya Kibera jijini Nairobi yenye wakazi wapatao milioni moja Utafiti huu ulionyesha kuwa umri wa waathirika waliobakwa ulikuwa kati ya miaka 25-68 na wengi wao walikuwa wenye umri wa miaka ya 30 UWAKI uliwaathiri wanawake wa umri wa miaka yote Utafiti huu ulibaini kwamba baadhi ya waathirika waliambukizwa virusi vya UKIMWI

2

Mwaka 2007 Umoja wa Mataifa ulikadiria kuwa kiwango cha ubakaji wa wanawake katika eneo la Kivu kaskazini ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ulikuwa ni wanawake 350 kwa mwezi Mwaka 2008 shirika linalotetea haki za binadamu duniani (Amnesty International) liliripoti kuwa wanawake 40 hubakwa kila siku katika eneo hilo hilo

3

SEHEMU YA PILI

UCHAMBUZI WA UWAKI TANZANIA

21 Ukubwa wa tatizo la UWAKI Tanzania

Utafiti uliofanywa na Shirika la Afya Duniani (WHO)1 kuhusu afya ya wanawake na ukatili majumbani kwenye nchi 10 umebaini kuwa ukatili dhidi ya wanawake upo sehemu nyingi ikiwemoTanzania Utafi ti huo ulihusisha wanawake 1820 Dar es Salaam na wanawake 1450 Mbeya waliowahi kuwa na wenzi Matokeo yalionyesha kwamba asilimia 41 ya waliohojiwa katika jiji la Dar es Salaam na asilimia 55 ya waliohojiwa katika jiji la Mbeya waliathirika na aina mbalimbali za UWAKI Taarifa ilionyesha kuwa asilimia 15 hadi 71 ya wanawake walioathirika na ukatili wa kimwili au wa kingono ulifanywa na waume au wenzi wao Utafi ti huo pia ulionyesha kwamba asilimia 15 ya wanawake walifanya kitendo cha ngono kwa mara ya kwanza kwa kulazimishwa Aidha asilimia 4 hadi 12 ya wanawake waliripotiwa kunyanyaswa kimwili wakati wa ujauzito

Kufuatana na uchunguzi wa kitaifa nchini Tanzania kiwango cha ukatili majumbani kati ya wanawake wenye umri wa miaka 15- 49 ni asilimia 45 ikijumuisha ukatili wa kimwili (25) kingono (7) na (14) kwa aina zote mbili Unyanyasaji wa kimwili kwa wanawake wajawazito ulikuwa asilimia tisa (9) Kiwango cha wanawake waliokabiliwa na matukio ya kushurutishwa na wenzi wao kilikuwa asilimia sitini (60) Kiwango cha matukio ya ukatili wa kimwili kinatofautiana sana kati ya mkoa na mkoa ambapo kiwango cha juu sana kipo kwenye mkoa wa Dodoma (71) na cha chini kabisa kwenye mkoa wa Tanga (16) Ukatili wa kingono ni wa kiwango cha juu sana kwenye mkoa wa Rukwa (32) na chini kabisa kwenye mkoa wa Shinyanga (5) Kiwango cha wanawake waliowahi kuwa kwenye ndoa ambao wameathirika na ukatili wa kingono kutoka kwa mume au mwenzi wa sasa ni 48 mume wa zamani (21) rafiki wa kiume wa sasazamani (7) Kwa upande wa wanawake ambao hawajaolewa 27 ya ukatili ulifanywa na marafi ki wa kiume wa sasa au wa zamani

1 World Health Organization (WHO)

4

Uchunguzi wa WHO uliotajwa hapo juu umeonyesha usafi rishaji wa wanawake na wasichana kwa ajili ya kazi na ngono za kulazimishwa ni biashara iliyoshamiri na mara nyingi waathirika ni wale wanaokabiliwa na hali ngumu ya maisha Ndoa za kulazimishwa na za utotoni kama zilivyo kwenye jamii nyingi ni ukiukwaji wa haki za binadamu kwa wanawake na wasichana kwa sababu hawana fursa ya kutoa ridhaa Zaidi ya 60 ya waathirika wa UWAKI nchini Tanzania hawachukui hatua yoyote ya kutoa taarifa ya ukatili kwa mamlaka rasmi au vyombo vya kutekeleza sheria Upo uwezekano mkubwa wa maambukizo ya VVU kutokana na UWAKI Vijana wa kike wa Kitanzania wenye umri wa miaka 18-29 ambao wamekuwa wakinyanyaswa na wenzi wao wana uwezekano wa mara 10 zaidi kupata maambukizo ya VVU kuliko wanawake ambao hawajanyanyaswa

Utafiti uliofanyika Dar es Salaam mwaka 2000 ulibaini kuwa zaidi ya 90 ya waathirika wa ubakaji wanawafahamu wahalifu wao Katika utafiti mwingine uliofanyika Dar es Salaam asilimia ishirini na tano (25) ya wanawake waliohojiwa walikiri kwamba ldquoUkatili ni tatizo kubwa kwenye maishardquo Nchini Tanzania ubakaji ndani ya ndoa hautambuliwi kama kosa la jinai isipokuwa kama wenza wametengana

Vitendo vya UWAKI nchini Tanzania kwa ujumla vinalenga zaidi wanawake na wasichana kutokana na desturi na mazoea ya jamii ambazo zinawabagua na kuwapunguzia uwezo wa kufurahia haki zao za kibinadamu Ingawa mashambulizi ya ngono yanawalenga zaidi wanawake na wasichana hata hivyo wanaume na wavulana vilevile wanalengwa katika unyanyasaji wa kingono kubughudhiwa na kushambuliwa

Ukatili kama ulivyofafanuliwa unadhihirisha tofauti ya madaraka kati ya mwathirika na mhalifu wa ukatili wa kingono ambapo mhalifu mara nyingi ana umbo kubwa umri mkubwa utajiri au ni mmojawapo kwenye kundi la watu wenye mamlaka au anatumia silaha Nchini Tanzania asilimia 134 ya vijana wameathiriwa na mashambulio ya kingono ya namna moja ama nyingine Kwa ujumla kutokana na sababu mbalimbali nchini Tanzania kuna uhaba wa taarifa za UWAKI pia taarifa zilizopo siyo kamilifu

5

Uzoefu unaonyesha kuwa bila kujali hali ya afya ya kimwili ya mwathirika UWAKI humwacha mwathirika na majeraha ya muda mrefu na kupunguza uwezo wa mwathirika kushirikiana na jamii na familia Athari zaidi hujitokeza kwa mwathirika kama vile aibu unyanyapaa msongo wa mawazo na mfadhaiko Tatizo hili kwa waathirika linachochewa na ldquoUtamaduni wa ukimyardquo miongoni mwa familia na jamii inayowazunguka UWAKI una athari ya moja kwa moja na matokeo hasi kwa afya na ustawi wa kiuchumi na kijamii kwa familia hasa kwa wanawake na watoto

22 Unyanyasaji wa Mtoto na Kijana

Utafiti wa kitaifa nchini Tanzania kuhusu Ukatili Dhidi ya Watoto ni wa kwanza na wa aina yake katika Bara la Afrika Matokeo ya utafi ti yameonyesha kwamba mara nyingi watoto wanakabiliwa na unyanyasaji na matukio mengi na ya namna mbalimbali yanayojumuisha ukatili wa kimwili kingono na kisaikolojia Utafiti ulibaini kuwa watoto wengi wako kwenye hatari kubwa ya kunyanyaswa kwenye mazingira ya nyumbani na shuleni Haya ni maeneo mawili ambayo watoto wengi wa Kitanzania hutumia muda wao mwingi wakati wanakua na kuelekea kwenye ujana Robo tatu ya watoto wanapofikia umri wa miaka 18 huwa wameathirika na ukatili wa kimwili kwa namna moja ama nyingine kutokana na ukatili wa ndugu mwalimu au kiongozi Kutokana na utafiti takribani 30 ya wanawake wenye umri kati ya umri wa miaka 13-24 na 14 ya wanaume wenye umri kati ya miaka 13-24 nchini Tanzania waliripotiwa kuathirika na ukatili wa kingono angalau mara moja kabla ya kufikisha umri wa miaka 18

Nchini Tanzania ukeketaji hufanyika mapema utotoni Karibu mwanamke mmoja kati ya wanawake watatu waliokeketwa (32) walikeketwa kabla ya kufikisha umri wa mwaka mmoja na 27 walikeketwa wakiwa na umri wa miaka 13 au zaidi Hata hivyo ukeketaji kwa wasichana hufanyika katika umri mdogo sehemu ya wanawake waliokeketwa wakiwa na umri wa miaka 5 iliongezeka kutoka 34 hadi 39 kwa mujibu wa Utafiti wa Afya ya Jamii [UAJ] 2004-05 na UAJ 2010 Kulingana na utafiti huu 5 ya wasichana wa miaka 13shy17 waliripotiwa kuwa wamekeketwa na 10 ya wasichana wa umri wa miaka 18-24 waliripotiwa kukeketwa Kwa mujibu wa sheria kukeketa ni

6

kosa linalostahili adhabu Kuna uwezekano kwamba wale waliokeketwa huwa wanasita kutoa taarifa na ndiyo sababu ya taarifa kuwa chache

23 Mazingira ya Sera ya UWAKI

Serikali ya Tanzania imeonyesha nia yake ya kushughulikia masuala ya UWAKI kwa kuridhia mikataba kadhaa ya kimataifa yenye kuhusiana na UWAKI na jinsia Mkataba wa Kutokomeza Aina Zote za Ubaguzi Dhidi ya Wanawake (1985) ambao umekuwa chombo katika kupambana na matukio ya ubaguzi ikiwa ni pamoja na ukatili Jukwaa la Beijing (1995)2 na Malengo ya Maendeleo ya Milenia (2000)3 Tanzania pia imeridhia hati ya Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu kuhusu haki za wanawake na hati ya Ushirikiano wa Maendeleo wa Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC)4

Vipaumbele vya maendeleo ya Tanzania vinaainishwa katika Dira ya Taifa 2025 na katika Mpango wa Kuondoa Umaskini na Kukuza Uchumi (MKUKUTA) MKUKUTA II (2011-25) unashughulikia UKIMWI na jinsia kama masuala mtambuka na ni mkakati wa kwanza wa kitaifa unaotambua UWAKI kama suala la kisera kwa watu wote Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto ndiyo yenye jukumu la kuratibu shughuli zote zinazohusiana na jinsia

Wizara hiyo imetayarisha Sera ya Maendeleo ya Jinsia (2000) kwa ajili ya kushughulikia upungufu na kukosekana kwa usawa kati ya wanaume na wanawake Pia Wizara imetayarisha Mkakati wa Kitaifa wa Jinsia na Maendeleo (2002) unaotoa dira na kuwezesha usawa wa kijinsia nchini Pamoja na Mpango wa Taifa wa Vitendo vya Kukinga na Kutokomeza Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto (2001-2015) kwa ajili ya kuongeza juhudi za Serikali za kisheria kwa kupambana na UWAKI na kuhakikisha lsquousawarsquo na lsquohakirsquo kati ya wanawake na wanaume nchini Tanzania Sera ya Taifa ya Afya ina mfumo wa utoaji wa huduma za afya kwa watu wote wanaohitaji ikiwa ni pamoja na waathirika wa UWAKI

2 Beijing Platform for Action - (BPA 1995) 3 Millennium Development Goals - (MDG 2000) 4 Southern African Development Cooperation - (SADC)

7

24 Haki za Binadamu Sheria na Mazingira ya Udhibiti

Tanzania imeridhia Sheria ya Haki za Binadamu na masharti ya vyombo kadhaa vya kimataifa na kikanda ambavyo vinakataza ubaguzi kwa misingi ya jinsia na hivyo kuhitaji serikali ihakikishe kwamba wanawake hawabaguliwi Vyombo hivi ni Mkataba wa Kimataifa wa Kuzuia aina zote za Ukatili na Unyanyasaji wa Kijinsia 1979 pamoja na Mkataba wa Kimataifa wa Haki za Kiraia na Kisiasa (1966)5 Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu (1981) na Hati ya Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu Kuhusu Haki za Wanawake Afrika (2000)

Tanzania imetunga sheria inayosimamia kukinga na kupambana na UWAKI Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (1977) iko wazi kwa kukataza ubaguzi na kwa misingi hiyo inatoa haki ya usawa [Ibara ya 12-24] Sheria ya Mtoto (2009) inawezesha jitihada za kupunguza ukatili dhidi ya watoto Sheria Maalumu ya Makosa ya Kujamiiana (1998)6

ilitungwa kwa lengo la kulinda heshima ya mwanamke na kuweka vikwazo kwa UWAKI kwa kutoa adhabu kali kwa makosa ya kingono Sheria hii inajumuisha ukatili wa kingono ubakaji biashara haramu ya usafirishaji watu bughudha za kingono na kukataza ukeketaji chini ya kifungu cha lsquoUkatili kwa watotorsquo

Hii ilikuwa mara ya kwanza kwa Tanzania kutunga sheria ya kukataza vitendo vilivyotajwa hapo juu na hatima ya sheria hii imewekwa chini ya sheria za adhabu kifungu cha 16

Sheria ya Adhabu (marekebisho ya 2002) inawekea vikwazo vitendo vya UWAKI mathalan vitisho Sehemu ya 89B 89A kutoroka watoto Sehemu ya 166 kutelekeza watoto Sehemu ya 167 kuua bila kukusudia Sehemu ya 195 mauaji Sehemu ya 196 mashambulizi Sehemu ya 240shy243 kutorosha Sehemu ya 246 utekaji nyara Sehemu ya 244 kazi za kulazimishwa Sehemu ya 256 wizi utokanao na mwenzi Sehemu ya 264 tishio la uchomaji Sehemu ya 332 uchomaji Sehemu ya 319-322 kuficha nyaraka Sehemu ya 276-278 Sheria ya Biashara ya Binadamu Na 6 ya mwaka 2008 inakataza biashara ya binadamu kwa sababu yoyote

5 International Covenant on Civil and Political Rights - (ICCPR 1966) 6 The Sexual Offences Special Provisions Act 1998 (SOSPA)

8

Sheria ya Kuzuia VVU UKIMWI Na 28 ya mwaka 2008 inakataza unyanyapaa na inafanya uambukizaji wa VVU kwa makusudi kuwa kosa la jinai

Pamoja na kuwepo vyombo vya kimataifa kikanda kitaifa na vya sheria za kuhakikisha haki kwa wanawake tatizo la UWAKI limetapakaa nchini Tanzania lakini linaripotiwa kwa nadra UWAKI unaathiri zaidi wanawake na wasichana kuliko wanaume na wavulana Haya ni matokeo ya uhusiano usio sawa kati ya wanaume na wanawake katika jamii ambayo yanajidhihirisha katika maeneo kadhaa ikiwa ni pamoja na maeneo ya kiuchumi kijamii kisiasa na kisheria

Mara nyingi UWAKI unapunguza uwezo wa wanawake na wasichana wa kufurahia haki za kimsingi za binadamu na uhuru kama ilivyoainishwa kwenye Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Utambuzi wa wahalifu wa UWAKI nchini Tanzania ni nadra kulinganisha na idadi ya mashambulizi Ni muhimu kushughulikia mahitaji ya kisheria ya waathirika wote wa UWAKI wanawake wasichana wanaume wavulana na watoto

25 Miundombinu ya utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii

Mfumo wa utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii upo katika ngazi ya kitaifa mikoajiji na wilaya manispaa Mfumo huu unawezesha utoaji wa huduma za kuboresha afya kuzuia magonjwa tiba utengemao na ustawi wa jamii kwa kupitia vituo vya kutolea huduma za afya vinavyojumuisha zahanati vituo vya afya na hospitali

Kuna mfumo wa rufaa kitaifa wa njia mbili kupeleka na kurejesha mgonjwa ambao unaanzia kwenye jamii na kwenda kwenye zahanati ambazo zipo 4679 vituo vya afya (481) hospitali za wilaya (95) hospitali za mikoa (19) na hospitali za rufaa za taifa (8) Kuna vituo vya kutolea huduma za afya 5718 nchini Tanzania vikijumuisha zahanati (86) vituo vya afya (10) na hospitali (4) vikiwa chini ya umiliki wa serikali (69) mashirika ya kidini (14) mashirika ya umma ( 3) na mashirika binafsi (14)

9

Mpango wa Maendeleo wa Afya ya Msingi [(MMAM) 2007-2017 pamoja na malengo mengine unakusudia kuhakikisha kuwa kuna kituo kimoja cha afya kwa kila kata katika kata 2555 zilizopo na zahanati moja kwa kila kijiji katika vijiji 10342 Jumla ya vituo vya afya ya msingi 8107 hospitali za wilaya 62 na taasisi 128 za mafunzo zitaanzishwa ifikapo mwaka 2012

Mahitaji ya watoa huduma za afya ni 82377 na waliopata mafunzo ni 29063 (35) ikiwa ni upungufu wa 65 ya mahitaji Mahitaji ya watoa huduma wa ustawi wa jamii ni 3892 Kuna wafanyakazi 210 wa ustawi wa jamii ikiwa ni upungufu wa 95 ya mahitaji na uhaba mkubwa katika ngazi za wilaya (93) kata (100) na vituo vya watu wenye ulemavu na taasisi nyingine (85) (WAUJ 2006)

Kuna uhaba wa wafanyakazi wa afya wenye ujuzi kwenye ngazi za zahanati (69) vituo vya afya (59) na hospitali za rufaa (48-67) Kwa ujumla kuna uhaba wa wafanyakazi wa ustawi wa jamii wenye ujuzi kwa kiwango cha 95 katika ngazi zote kanda (21) wilaya (93) kata (100) na vituo vya walemavu (95) Kama ujenzi wa vituo hautaendana na upatikanaji wa watoa huduma utekelezaji wa MMAM utakuwa na upungufu mkubwa

Kwa kawaida kuna hospitali ya wilaya au teule kwa kila Mamlaka ya Halmashauri ya Wilaya (MHW) Kuna MHW 133 ambazo zina majukumu na wajibu wa kutoa huduma za afya kwenye maeneo yao Kila MHW ina Bodi ya Afya ya Wilaya (BAW) ambayo inajumuisha madiwani waliochaguliwa na kusimamia mipango na utekelezaji wa huduma za afya kwenye wilaya

Mipango na usimamizi wa huduma za afya katika halmashauri inaongozwa na Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri ambayo kiongozi wake ni Mganga Mkuu wa Wilaya na ni Katibu wa BAW Kuna bodi ya hospitali ya wilaya teule Bodi ya Huduma ya Afya (BHA) ya kituo cha afya inayowakilisha wakazi wa kata na bodi ya zahanati inayowakilisha wakazi wa kijiji bodi zote zikiwa na uwakilishi sawa wa kijinsia

Makadirio ya matumizi ya afya kwa mtu mmoja kwa mwaka 201011 ilikuwa ni dola za kimarekani 1575 ambapo WHO imependekeza

10

kiwango cha dola 3400 za Kimarekani Matumizi ya afya ni asilimia 14 ya Bajeti ya Taifa kwa mwaka ambacho ni chini ya kiwango cha asilimia 15 kilichopendekezwa na Tamko la Abuja

Mfumo wa utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii upo katika ngazi zifuatazo

[a] Ngazi ya Kitaifa WAUJ ina jukumu la kutayarisha sera za afya na miongozo inayohusiana na huduma za afya kuweka viwango kuhakiki ubora kufuatilia na kutathmini pamoja na kusimamia utoaji wa huduma za afya zenye kujumuisha kuboresha afya kinga tiba utengemao na ustawi wa jamii Hospitali za rufaa zina asilimiai 52 tu ya wafanyakazi wenye ujuzi

[b] Ngazi ya MkoaJiji Timu ya Uendeshaji ya Afya ya Mkoa ina jukumu la kuongoza na kuendeleza utekelezaji wa mpango mkakati wa afya kwenye mkoa pamoja na ushauri wa kitaalamu kwa Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri kwenye maeneo yafuatayo (1) Utekelezaji wa sera miongozo na viwango vya utoaji wa huduma za afya kwa usahihi na kwa muda uliopangwa ukihusisha watoa huduma wote wa umma binafsi kwenye MHW (2) kupanga kwa ufanisi kutekeleza kufuatilia na kutathmini mipango ya afya ya kina katika halmashauri Kamati ya utawala ya hospitali ya mkoa ina jukumu la kupanga na kusimamia hospitali ya mkoa ambayo ni ngazi ya pili ya rufaa Kuna hospitali 19 za mikoa ambazo zina 34 tu ya wataalamu wa afya

[c] Mamlaka ya Halmashauri ya WilayaManispaa Huduma za afya katika ngazi hii zinasimamiwa na Halmashauri ya Wilaya kupitia BAW chombo kilichoundwa (2001) chini ya Sheria namba 7 ya mwaka 1982 kifungu cha 86A BAW inawajibika kwa utoaji wa huduma za kina kwenye wilaya Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri inatoa ushauri wa kiutaalam kwa utekelezaji wa uamuzi wa BAW

[d] Ngazi ya Wilaya Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri huandaa na kutekeleza mpango wa kina wa afya wa halmashauri pamoja na kufuatilia na

11

kutathmini huduma za afya kwenye hospitali vituo vya afya zahanati na jamii ikiwa ni pamoja na kufanya utafiti Kamati ya Utawala ya Hospitali inasimamia mipango na huduma kwenye hospitali ya wilaya ambayo ni ngazi ya kwanza ya rufaa Kuna hospitali 95 za wilaya zikiwa ni pamoja na hospitali teule ambazo zina asilimia 33 tu ya wataalamu wa afya

[e] Ngazi ya Kata Kamati ya Afya ya Kata inasimamia upangaji ubunifu na uratibu wa mipango ya afya ya jamii husimamia na huhamasisha upatikanaji wa rasilimali pamoja na ukusanyaji na matumizi ya Mfuko wa Afya wa Jamii Vituo vya afya vina jukumu la kutoa huduma za kina za afya na ustawi wa jamii kwenye kata Kamati ya Kituo cha Afya inasimamia utoaji wa huduma za afya na kuhamasisha ukusanyaji wa rasilimali zinazohitajika Timu ya Kituo cha Afya ina wajibu wa kusimamia shughuli za kila siku kwenye kituo cha afya Timu inapanga na kusimamia juhudi za afya ya jamii katika eneo lake chini ya Mpango wa Maendeleo ya Kata Kuna jumla ya kata 2555 nchini ambapo kata 481 sawa na 19 zina vituo vya afya ambavyo vina 41 tu ya wataalamu wa afya

[f ] Ngazi ya Kijiji Kamati ya Zahanati inahakikisha kwamba idadi ya watu katika eneo lake wanapata huduma sahihi za afya na nafuu pamoja na kusimamia uhamasishaji wa rasilimali kwa ajili ya utekelezaji wa mpango wa zahanati Timu ya Usimamizi wa Zahanati inapanga na kusimamia juhudi za afya ya jamii kwenye maeneo chini ya Mpango wa Maendeleo ya Kata Kuna jumla ya vijiji 10342 ambapo 4679 vina zahanati sawa na 45 ambazo ni aslimia 31 tu ya zahanati zina wataalamu wa afya wanaotosheleza Kamati ya Huduma za Jamii kwenye kijiji ina wajibu wa kuhamasisha na kushirikisha jamii ili wajihusishe kuboresha na kulinda afya

[g] Ngazi ya Kaya Kuna kaya takriban milioni 7 nchini Tanzania na wastani wa watu 47 kwa kila kaya (ambapo 70 ya kaya zote zinaongozwa na wanaume na 30 zinaongozwa na wanawake) Sera ya Afya ya Taifa inatamka kwamba ni wajibu wa kila raia kuendeleza na kulinda afya yake pamoja na ya familia yake Pamoja na haya kila raia ana jukumu la kujiepusha na tabia hatarishi kwa afya yake pamoja na ya mwenzie na kuchangia rasilimali kwa ajili ya afya yake na uendelezaji wa vituo vya kutolea huduma za afya

12

26 Kukinga na Kupambana na UWAKI

Serikali ya Tanzania na washirika wake wa karibu wametekeleza mambo mbalimbali yanayohusiana na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Wizara ambazo zinahusika kwa ukaribu kwenye utekelezaji wa mipango ya kukinga na kupambana na UWAKI ni pamoja na Wizara ya Maendeleo y a Jamii Jinsia na Watoto Wizara ya Sheria na Katiba Wizara ya Mambo ya Ndani na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Kuna ushirikiano kati ya wizara idara mashirika asasi za kiraia na wadau wa maendeleo Katika ngazi ya kitaifa serikali inatekeleza Mkakati wa Maendeleo ya Jinsia (2005) na kukuza usawa wa jinsia na haki kwa wanawake Utekelezaji wa Sheria Maalumu ya Makosa ya Kujamiana (1998) ambayo sasa ni Kanuni ya Adhabu Sura ya 16 Toleo la Marekebisho 2002 Pia serikali inatekeleza Mpango wa Taifa wa Vitendo wa Kuzuia na Kutokomeza Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto (2001-2015) ambao una lengo la kutokomeza ubaguzi na unyonyaji wa kisheria kijamii kiuchumi kiutamaduni na kisiasa Zaidi ya yote Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (1977) inatamka kuheshimu misingi ya usawa na haki kwa kila mtu

Kwa kushirikiana na wadau wengine serikali inawezesha uanzishwaji wa kitengo cha jinsia kwenye idara za wizara mbalimbali (mfano idara ya polisi chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi) Mashirika ya Jamii hutoa utetezi msaada wa kisheria huduma za afya na kuendesha kampeni na mashirika mengine yamechukua hatua za kutoa hifadhi kwa waathirika wa UWAKI na Vituo vya Kuhifadhi Waathirika Kuna sera za kitaifa sheria mikakati na mipango ya kazi kwa ajili ya kushughulikia usawa wa kijinsia Vilevile serikali kwa kushirikiana na asasi za kiraia imejenga mazingira mazuri ya kuwezesha waathirika kupata huduma kama vile msaada wa kisheria Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii (WAUJ) imekuwa ikitoa huduma kwa waathirika wa UWAKI licha ya kutokuwepo kwa mwongozo wa sera kwa ajili ya wahudumu wa vituo vya kutolea afya

27 Changamoto katika Kuzuia na Kupambana na UWAKI

Muundo wa sheria sera na juhudi za kukuza haki za binadamu zinakabiliwa na changamoto mbalimbali zinazofisha jitihada za kuzuia kupambana

13

na kuepusha athari za UWAKI nchini Tanzania Changamoto hizo ni pamoja na upungufu wa fedha upungufu wa kisheria na sera zilizopo uratibu duni kati ya wadau na kukosekana kwa mfumo wa rufaa kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI Hali kadhalika uelewa na taarifa juu ya ukubwa wa tatizo la UWAKI ni duni kwa hivyo WAUJ imebuni na kutayarisha mwongozo maalumu wa sera na huduma dhidi ya UWAKI ili kukabili changamoto hizo

[a] Sera za Taifa Serikali ya Tanzania inajitahidi kujenga mazingira mazuri ya kuzuia na kupambana na UWAKI Ingawa Sera ya Afya ina lengo la kutoa huduma za afya za kutosha kwa kila Mtanzania ipo haja ya kuwa na miongozo na mikakati inayofafanua masuala ya UWAKI kwa ukamilifu Ukosefu wa miongozo na sera ya usimamizi dhidi ya UWAKI ni kikwazo kikubwa kwa juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kutibu na kuhudumia waliopatwa na UWAKI Sekta ya afya itatumia mwongozo wa sera hii ili kuboresha huduma ya kupambana na UWAKI kwa kushirikisha na kuwahusisha wadau wote

[b] Sheria zaTaifa Pamoja na kuwepo sheria nyingi zilizopitishwa kwa ajili ya kulinda haki za wanawake na watoto bado zipo changamoto nyingi Kwa mfano kuna baadhi ya sheria zenye utata baadhi zinapingana na hivyo kupunguza uwezo wa kupambana na UWAKI Pamoja na hayo Sheria ya Ndoa kama ilivyofanyiwa marekebisho 2002 haiainishi hatua za kuchukuliwa dhidi ya ukatili wa kifamilia Sheria hii ni kama inahalalisha ubakaji kwa kuruhusu binti kuolewa chini ya umri wa miaka 18 Sheria ya Makosa ya Kujamiiana na Vipengele Maalumu (1998) haitambui ubakaji ndani ya ndoa ingawa inatambua ubakaji ikiwa mume na mke wametengana Mbali na upungufu huo sheria ya makosa ya kujamiiana kwa upande wa kuthibitisha ushahidi wa kuingiliwa kimwili ni mgumu Sheria ya Mila (Tangazo la Serikali Na4361963) ambayo inatumiwa na Watanzania wote wazawa inatokana na mila na desturi za makabila mbalimbali ya Tanzania sheria hii ya Mila ni ya kibaguzi na huleta changamoto kwa wanawake na watoto ambao wamezaliwa nje ya ndoa hususan katika urithi wa mali Kwa mfano ugawanaji wa mali ya marehemu upo katika makundi matatu (1) Mtoto wa kwanza wa kiume (2) Watoto wengine wa kiume waliobaki na (3) Watoto wa kike bila kujali umri

14

na hali katika familia Watoto wa kike wa marehemu hurithi fungu dogo na hunyimwa haki ya kumiliki ardhi Kwa mujibu wa sheria hii mjane hana haki ya kurithi mali yoyote kutoka kwa marehemu mume wake isipokuwa huchukuliwa kuwa atatunzwa na watoto wake Mjane ambaye hajabahatika kuzaa hupata asilimia 20 ya asilimia 50 ya mali za marehemu mume wake Mbali na urithi sheria hii kwa upande wa talaka ikiwa mke alilipiwa mahari wakati ndoa inapovunjwa na mahakama mume ana haki ya kudai kurudishiwa mahari

Sheria zenye kupunguza makali ya UWAKI zimeweka kanuni za kuwezesha wadau katika sekta mbalimbali kuandaa sera na miongozo ya kuzuia na kupambana na UWAKI Wahusika muhimu katika sekta mbalimbali wanapaswa kupitia sheria zinazotoa mwanya wa mwendelezo wa UWAKI na kupendekeza marekebisho au utungwaji wa sheria nyingine zitakazopunguza na kumaliza vitendo vya UWAKI Hata hivyo kuna umuhimu wa kuwepo kwa wajibu na majukumu ya sekta mbalimbali katika kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kupambana dhidi ya unyanyasaji na ukatili kwa watoto Kwa kutambua na kuimarisha wajibu huo katika kila sekta itasaidia uzingatiaji wa sera na kuimarisha ari ya utendaji katika sekta zifuatazo

bull Ustawi wa Jamii Kujenga mfumo wa kufanya tathmini ya vihatarishi katika kupima mfumo wa rufaa unaohusisha sekta na huduma mbalimbali kuweza kuamua na kuchukua hatua za haraka na za muda mrefu katika kupambana na kutoa mahitaji ya haraka na ya muda mrefu kwa ajili ya ulinzi wa watoto na waathirika wengine

bull Elimu Kujumuisha elimu dhidi ya ukatili wa kijinsia katika mitaala ya elimu ikiwa ni pamoja na kuandaa mazingira salama shuleni na kuingiza katika programu za elimu zinazoelezea juu ya masuala ya kujifahamu kimwili (kibiolojia) afya ya uzazi na maendeleo yaa jamii Kuhakikisha kwamba sekta mbalimbali za rufaa na mifumo inayotoa ulinzi wa mtoto vinahusishwa katika elimu hiyo

bull Polisi na sheria Kuimarisha na kupanua ulinzi sahihi wa kisheria kwa ajili ya watoto na kuchukua hatua za kisheria kwa watuhumiwa wa uhalifu kuendeleza juhudi za kuimarisha dawati la jinsia na watoto katika idara ya Polisi nchini Kuendelea kuelimisha polisi na watumishi wengine

15

wa usalama wa raia kuhusu ukatili dhidi ya watoto na kuwa na utaratibu wa uchunguzi wa pamoja na idara ya ustawi wa jamii afya mamlaka na vitengo vingine vinavyohusika na ulinzi na usalama wa mtoto

bull Afya Kufanya kazi katika muundo wa pamoja na wadau wengine kwa kufuata miongozo iliyopo kwa ajili ya kuzuia kutibu kuhudumia na kufuatilia matukio ya ukatili dhidi ya watoto Kuimarisha mifumo iliyo wazi yenye kuunganisha huduma rafi ki kwa watoto na vijana dhidi ya UWAKI

[c] Polisi na Mahakama Mabadiliko katika idara ya polisi hasa katika uanzishwaji wa polisi jamii na dawati la jinsia na watoto yanaonyesha maendeleo katika kushughulikia UWAKI Hata hivyo waathirika wa UWAKI wanakabiliwa na ugumu wa kufika katika vituo vya polisi na mfumo wa utoaji haki Kwa mfano zipo kesi zilizotupiliwa mbali na Mahakama kwa kukosa ushahidi muhimu kutoka upande wa mashtaka Matokeo yake ni kwamba waathirika wanakosa motisha ya kutoa taarifa ya matukio ya UWAKI na hivyo hushindwa kufikisha malalamiko katika vyombo vya utoaji haki

Upungufu wa mafunzo kwa polisi na watoa huduma za kisheria juu ya namna ya kuzitumia sheria zilizopo dhidi ya UWAKI kumesababisha kesi mahakamani kushindwa Mfano Fomu ya Polisi namba 3 (PF3) inatoa taarifa juu ya tukio la shambulio na haitoi maelezo juu ya tukio hilo kama limetokana na UWAKI Ingawa zipo sheria zinazopinga UWAKI sheria hizo hazifahamiki hivyo hazitumiki kikamilifu Pamoja na hayo sheria za kimila na imani za kidini zinazuia waathirika kutoa taarifa za matukio ya UWAKI

Sheria ya Makosa ya Kujamiiana na Vipengele Maalumu (1998) inatoa adhabu kali kwa makosa ya kujamiiana Mara nyingi watuhumiwa hawafikishwi mahakamani kwa kuhofia kudhurika kwa familia zao kwa upande wa kukosa kipato kutoka kwa mtuhumiwa (kwani adhabu za makosa hayo huwa ni kifungo cha muda mrefu) Kwa sababu hizo utoaji wa taarifa kutoka kwa waathirika na familia zao ikiwa ni pamoja na matumizi ya sheria na uendeshaji wa mashtaka umeendelea kuwa changamoto pamoja na kuwepo kwa Sheria ya Makosa ya Kujamiiana inayotoa ulinzi dhidi ya UWAKI

16

bull

bull

bull

bull

bull

[d] Mila na Desturi Katika ngazi ya jamii na mtu binafsi zipo sababu mbalimbali zinazochangia kwa kiwango kikubwa matukio ya UWAKI Utafiti uliofanywa na mtaalamu wa Shirika la Afya Duniani (WHO)7 unaainisha vipengele hatarishi vifuatavyo juu ya mila na desturi

Kanuni za kimila katika uhusiano wa kijinsia humpa mwanamume madaraka na haki zaidi Baadhi ya mila na desturi huhimiza uvumilivu juu ya vitendo vya UWAKI na kuwazuia waathirika kutoa taarifa na kupata msaada Uwezeshaji wa mwanamke katika kupambana na mfumodume hujenga hisia kwa mwanamume kuwa anapoteza mamlaka yake na hivyo huwaudhi baadhi ya wanaume na kuendelea kufanya ukatili kwa lengo la kuwadhibiti wanawake Matumizi ya baadhi ya sheria za kimila hayawasaidii waathirika kupata haki Hofu ya kulipiza kisasi unyanyapaa ubaguzi na kukosekana kwa huduma huwazuia waathirika kutoa taarifa na kupata msaada

[e] Madaraka na Mamlaka Madaraka na mamlaka ni muhimu katika kuzuia na kupambana na UWAKI Wakati mwingine watu wenye madaraka na mamlaka hufumbia macho matukio ya UWAKI Kwa mfano upo ushahidi wa kutosha kuwa kuna matumizi mabaya ya madaraka na mamlaka shuleni na maeneo ya kazi

[f ] Kuhusisha Jamii Jamii ndiyo ngazi ya awali kujua tukio la UWAKI na kutoa msaada wa usalama na ulinzi kwa mwathirika Utafiti wa Shirika la Afya Duniani katika nchi mbalimbali ulionyesha kwamba asilimia 37 ya waathirika walipata msaada kutoka kwa jamii Kutokana na kiwango cha unyanyapaa ubaguzi na kutengwa kijamii viongozi katika ngazi ya jamii waliohamasishwa juu ya UWAKI waliweza kukabili mazingira haya ya kiuhasama Jamii inaweza kumsaidia mwathirika kwa kujenga mazingira mazuri (kwa mfano kituo cha hifadhi salama) Jamii inahusishwa katika

7 Krug Etienne et al 2002 World Report on Violence and Health Geneva WHO Available at httpwwwwhointviolence_injury_preventionviolenceworld_report

17

bull

bull

bull

bull

kuwahamasisha waathirika kuwapa ulinzi mahitaji ya msingi msaada wa kisaikolojia na kuwapa rufaa kwa watoa huduma wengine Vilevile jamii inahusishwa katika kuzuia UWAKI kupunguza unyanyapaa na kuwapa unasihi waathirika pamoja na kuhamasisha viongozi wa kijamii na wanajamii kwa ujumla

Uhamasishaji huu ni muhimu kwa sababu jamii ni daraja kati ya mwathirika na huduma za afya na ustawi wa jamii

Jamii inapaswa kushirikishwa katika hatua za mwanzo na zinazofuata katika kuzuia UWAKI Katika hatua za mwanzo jamii inapaswa kujitahidi kuondoa tabia za kuvumilia matukio ya UWAKI na hivyo kupunguza matukio hayo Katika hatua zinazofuata jamii itatambua na kulinda wale walio katika hatari zaidi ya UWAKI kama watoto na wanawake Jamii pia inapaswa kutambua vikwazo vya utoaji huduma katika idara ya afya polisi na mfumo wa utoaji haki na kuisaidia jamii kuondokana na vikwazo vya upatikanaji wa huduma

Ni muhimu kuishirikisha jamii katika jitihada za utekelezaji wa kuzuia UWAKI na kupambana nao ikiwamo usimamizi wa matibabu ya waathirika Jamii ina uwezo mkubwa wa kuhamasisha waathirika kutafuta huduma za afya na huduma nyingine zinazohusiana na UWAKI kwa mfano huduma za polisi usaidizi wa kisheria na hifadhi salama Pia jamii ina wajibu wa kuwaunganisha waathirika na jamii zao

Hata hivyo zipo changamoto katika kuihusisha jamii kama vile

Upungufu katika kuwahusisha wanaume na wavulana katika kushughulikia UWAKI Wanajamii wamekuwa wakiwanyanyapaa badala ya kuwasaidia waathirika na wakati mwingine wameshiriki katika UWAKI Baadhi ya viongozi wa kijamii na kidini hawana utayari wa kuhamasisha kuzuia na kupambana na UWAKI Jamii zina kiwango kikubwa cha kunyamazia matendo ya UWAKI na kuzuia sheria kuchukua mkondo wake

18

[g] Hali ya kiuchumi na kijamii Kushughulikia UWAKI pekee kama changamoto inayohusu huduma za tiba ni kutibu dalili badala ya chanzo Ni muhimu kushughulikia vyanzo vya UWAKI kama umaskini miongoni mwa wanawake ambao huwafanya kuwa wategemezi

Serikali imetayarisha MKUKUTA II wenye kuainisha njia za kuendeleza na kulinda haki za binadamu kwa watu wote hasa kwa wanawake na wanaume maskini watoto watu wanaoishi katika hali hatarishi na makundi maalumu (angalia MKUKUTA II-kundi la III lengo la 3) na kuongeza uzalishaji na fursa za ajira zenye kuheshimika hasa kwa wanawake na vijana (angalia MKUKUTA II kundi la I lengo la 3) Changamoto iliyopo ni ukosefu wa kuweka vipaumbele katika utekelezaji wa ahadi hizi kwa wanawake na vijana kwa kuelekeza rasilimali za kutosha na kutekeleza mikakati katika kuleta mabadiliko ya hali ya kijamii na kiuchumi kwa wanawake na vijana hivyo kupunguza hali hatarishi ya UWAKI

28 Upungufu katika kupambana na UWAKI

Sekta ya afya imeandaa mwongozo wa kutoa huduma kwa waathirika wa UWAKI Hata hivyo ili kutoa huduma bora na za kirafi ki kwa waathirika sekta zinazohusika hazina budi kushughulikia upungufu ulioainishwa kama ifuatavyo

[a] Huduma za afya

Ukosefu wa mwongozo wa utoaji wa huduma kwa waathirika wa UWAKI Hakuna mwongozo wa utoaji wa huduma za kupambana na UWAKI kwa watoa huduma wa ngazi zote kuanzia nyumbani kwenye jamii zahanati vituo vya afya hospitali polisi mahakama na wadau mbalimbali Upungufu huu unakwamisha upatikanaji na utoaji wa huduma bora za kukinga na kupambana na UWAKI

Upungufu wa fedha Bajeti ya Serikali kuu na serikali za mitaa haikidhi mahitaji

19

Upungufu wa wataalamu wenye ujuzi wa kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Watoa huduma kwenye vituo vya kutolea huduma za afya na jamii hawana maarifa na ujuzi unaotakiwa kushughulikia mahitaji ya waathirika wa UWAKI wa marika yote

Kutojumuishwa kwa huduma za waathirika wa UWAKI na huduma nyingine Huduma za waathirika wa UWAKI hazikujumuishwa na huduma nyingine za afya na ustawi wa jamii kama vile afya ya uzazi upimaji wa VVU UKIMWI uzazi wa mpango na unasihi

Mfumo duni wa rufaa kwa waliopatwa na UWAKI Ingawa mfumo wa rufaa wa huduma za afya umeimarika kwa huduma nyingine lakini hakuna mfumo sahihi wa rufaa kwa waliopatwa na UWAKI Watoa huduma za afya hawana taarifa sahihi za waliopatwa na UWAKI kuhusu utaratibu wa kupeleka na kupokea wagonjwa kwenye vituo vyao na kwenda kwenye vituo vingine au huduma za mfumo wa jamii polisi kisheria na kadhalika Katika mazingira haya mahitaji ya rufaa kwa waliopatwa na UWAKI hayakidhiwi Waliopatwa na UWAKI hawana taarifa ambazo zitawasaidia kupata huduma na hivyo hushindwa kufanya uamuzi sahihi au kutafuta huduma na matibabu zaidi

Upungufu wa taarifa na takwimu Nchini Tanzania matukio yanayohusu UWAKI hayatolewi taarifa ipasavyo kutokana na sababu nyingi zikiwemo waathirika kusita kutoa ripoti ya matukio kutokana na unyanyapaa na ubaguzi hofu ya kutengwa na jamii aibu na miiko inayohusishwa na UWAKI Matokeo yake ni ukosefu wa taarifa zenye uhakika ambazo zinaweza kutumika kuandaa mpango kwa misingi ya utafi ti utaratibu wa utoaji huduma maendeleo ya kisera na utetezi ufuatiliaji na tathmini na uamuzi wa kiutawala

[b] Huduma za Ustawi wa Jamii Utoaji wa huduma za ustawi wa jamii unakabiliwa na ushirikiano mdogo kati ya watendaji wa sekta mbalimbali wa huduma za afya katika halmashauri Kuna upungufu wa watoa huduma za ustawi wa jamii katika ngazi mbalimbali Hali hii inaathiri wigo wa huduma ya msaada wa kisaikolojia unasihi marekebisho ya tabia na utengamao

20

bull

bull

bull

bull

bull

Kikwazo kingine ni watoa huduma za ustawi wa jamii na wadau wa afya kukosa stadi maalumu za kutosha kuhusu kuzuia na kupambana na UWAKI

Wajibu wa watoa huduma za ustawi wa jamii ni muhimu kwa sababu wanafanya kazi katika ngazi ya jamii ambapo matukio mengi ya UWAKI hutokea Wana majukumu makubwa kama watu wa mstari wa mbele kwenye kuzuia na kupambana na UWAKI Uhusiano kati ya jamii na utoaji wa huduma ndio kipimo cha kiwango cha waathirika wa UWAKI kupata huduma za matibabu na kurejea kwenye jamii ili kuendelea kuishi maisha yenye faraja

[c] Huduma za Jamii Baadhi ya upungufu wa uhusiano kati ya jamii na vituo vya kutoa huduma za afya ni pamoja na

Uelewa duni kuhusu masuala ya UWAKI na uwezeshaji wa jamii katika kuzuia na kupambana na UWAKI Uelewa duni wa mahali pa kupata huduma kwa waliopatwa na UWAKI Upungufu wa huduma za kijamii kwa waathirika ikiwa ni pamoja na mifumo ya kijamii ya kutoa ulinzi na usalama (kwa mfano vituo vya hifadhi ya muda) na huduma za rufaa za kiafya polisi na msaada wa kisheria

[d] Huduma za Msaada wa Kisheria (Polisi na Mahakama) Kuna vikwazo vingi katika kupata msaada wa kisheria ambavyo ni pamoja na

Upungufu wa kupata huduma za polisi na msaada wa kisheria kwa waathirika wa UWAKI

bull Kutokuwepo kwa sheria mahususi dhidi ya UWAKI bull yasiyotosheleza UWAKI kwa vyombo Mafunzo kuhusu

vinavyosimamia sheria bull Kuna sheria zinazokinzana na hivyo kutoa mwanya wa tatizo la

UWAKI kuongezeka Upungufu wa watumishi na fedha kwa ajili ya huduma za polisi na msaada wa kisheria

21

bull

bull

Uhaba wa vituo vya msaada wa kisheria Vituo vingi vinavyotoa msaada wa kisheria kwa sasa vinahudumiwa na asasi zisizo za kiserikali zina bajeti ndogo na zipo zaidi mijini

[e] Huduma ya Elimu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imeingiza UWAKI katika mtaala wa mafunzo ya walimu shule za msingi na sekondari Hata hivyo kuna changamoto nyingi katika kuhusisha shule ili kuzuia na kupambana na UWAKI

bull Walimu hawajapata mafunzo ya kutosha kuhusu UWAKI Uhaba wa maeneo salama na programu za shuleni zinazowapa watoto uwezo wa kuzuia na kupambana na UWAKI na ukatili dhidi ya watoto

bull mfumo unaohusuUhusiano duni kati ya mfumo wa elimu na ulinzi na usalama wa mtoto

22

SEHEMU YA TATU

UMUHIMU NA MALENGO 31 Umuhimu

Utafiti uliofanyika nchini Tanzania umeonyesha viwango vya juu vya UWAKI ambavyo ni kati ya asilimia 30 hadi 50 Viwango hivi havikubaliki na vinasababisha madhara ya kimwili kingono kisaikolojia kwa makundi ya umri wowote hasa watoto na wanawake Matokeo ya UWAKI yanaweza kusababisha vifo kutokana na kujiua maambukizo ya virusi vya UKIMWI au magonjwa na vifo vya wanawake vinavyotokana na uzazi Matokeo mengine ingawa hayasababishi vifo yana madhara ya kimwili kingono na kisaikolojia kwa muda mfupi au mrefu Madhara ya UWAKI ni zaidi ya matokeo ya kiafya na majeraha ambayo ni vigumu kupona UWAKI unakiuka haki za binadamu za waathirika na husababisha matokeo hasi katika amani umoja na kipato cha familia ambayo kwa ujumla huleta madhara kwa maendeleo ya kijamii na kiuchumi

Ingawa Serikali ya Tanzania na asasi za kiraia zimefanya jitihada kubwa za kuzuia na kupambana na UWAKI bado tatizo hili ni changamoto kubwa WAUJ itashughulikia changamoto hizi kwa kushirikiana na wadau wengine hali inayohitaji ushirikiano wa karibu ili kushinda vikwazo vilivyopo ambavyo ni pamoja na upungufu wa fedha na watumishi udhaifu kwenye mfumo wa rufaa na mfumo wa kuunganisha huduma za UWAKI katika huduma zilizopo Changamoto nyingine ni uhaba wa utetezi na takwimu kwa ajili ya uandaaji wa mipango yenye misingi ya utafiti kufanya uamuzi ufuatiliaji na tathmini Hata hivyo serikali imeweka misingi imara kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kama inavyodhihirishwa kwa kuwepo kwa sera mikakati na mipango kazi ya kusaidia masuala ya kijinsia na kupunguza UWAKI

Kutokana na ukubwa wa tatizo hili madhara yake na changamoto zinazohusiana na UWAKI WAUJ imetayarisha Mwongozo huu wa kisera chini ya Sera ya Afya ili kuimarisha juhudi za kupambana na UWAKI na kuhakikisha utoaji wa huduma za kina na zenye ubora katika ngazi zote Mwongozo huu wa kisera utatoa mwelekeo kwa vituo vya huduma za afya kwa ngazi zote kuhusu wajibu na majukumu yao katika utoaji

23

wa huduma za UWAKI Pamoja na haya Mwongozo huu utawezesha utayarishaji wa mwongozo wa matibabu kwa waathirika wa UWAKI Kutokana na uzito wa tatizo hili la UWAKI utayarishaji wa Mwongozo huu ulihusisha na kushirikisha kwa kina wadau mbalimbali ndani na nje ya WAUJ

32 Lengo Kuu

Lengo kuu la Mwongozo huu wa kisera ni kuimarisha uwezo wa WAUJ kuelekeza sekta ya afya na ustawi wa jamii na kujenga uhusiano imara na jamii na wadau mbalimbali katika kuzuia na kupambana na UWAKI

33 Malengo Mahasusi

Mwongozo huu utawezesha yafuatayo

[i] Kuweka mfumo wa kuelekeza utayarishaji wa mwongozo wa matibabu na taratibu za kutoa huduma kwa waathirika wa UWAKI

[ii] Kuelekeza WAUJ namna ya uratibu bora wa utekelezaji wa juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kuelekeza namna ya kuweka mifumo thabiti ya ufuatiliaji tathmini na uwekaji wa kumbukumbu za afua za UWAKI chini ya WAUJ

[iv] Kuelekeza ushirikiano kati ya Wizara jamii na wadau kutoka sekta mbalimbali katika utoaji wa huduma za UWAKI

24

bull

SEHEMU YA NNE

MAELEKEZO YA KISERA

Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii watafanya kazi pamoja na wale wa sekta nyingine hasa kwenye ngazi ya jamii katika kuimarisha ushirikiano na mitandao mingine katika jamii ili kuwasaidia waliopatwa na UWAKI kwa karibu na kuwashirikisha katika kuboresha afya zao na kuzuia UWAKI

WAUJ kwa kushirikiana na wadau wengine imetayarisha Mwongozo huu wa kisera wa UWAKI ili kutoa taarifa malengo na maelekezo kuhusu jitihada za kuzuia kuepusha na kushughulikia madhara ya UWAKI katika sekta ya afya Wadau muhimu ni pamoja na viongozi wa jamii polisi na mahakama Yeyote kati ya wadau hawa anaweza kuwa ni kimbilio la kwanza kwa wahanga wa UWAKI Wote wana wajibu wa kutoa huduma kwa haraka na kwa ufanisi

41 Huduma kwa Waliopatwa na UWAKI

Watoa huduma za afya wanatakiwa kuwahudumia waliopatwa na UWAKI kwa kujali na kuzingatia maadili ya taaluma zao Wajibu huu ni pamoja na kuhakikisha usalama hali ya usiri heshima utu na kutoa huduma bila ubaguzi Aidha kabla ya kutoa huduma inatakiwa kupata ridhaa ya muhusika au mlezi wa mtoto mwenye umri chini ya miaka 18

Kwa kulenga na kuzingatia mahitaji ya watu waliofanyiwa UWAKI watoa huduma za afya kwenye ngazi zote watazingatia na kuongozwa na kanuni zifuatazo

[a] Haki za Binadamu Maadili na Kujali

bull zilenge kurejesha au Usalama Hatua zote zinazochukuliwa kudumisha usalama wao Hali ya Usiri Siri zao pamoja na familia zao zinatakiwa kutunzwa wakati wote Hii ina maana kwamba mtoa huduma ya afya anaweza kutoa taarifa muhimu kwa mtoa huduma mwingine pale ambapo muhusika ameridhia tu

25

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

Heshima na utu Watoa huduma wanatakiwa kuwasikiliza kwa makini maoni mawazo na fikira zao na kuwahudumia kwa heshima Bila ubaguzi Waliopatwa na UWAKI wote ni sawa na wanatakiwa kuhudumiwa kulingana na mahitaji yao pia kupewa nafasi sawa katika kupata huduma Ridhaa arifu Ridhaa ya aliyefanyiwa UWAKI itahitajika kwenye taratibu za utoaji huduma maalumu kama (1) Uchunguzi na tiba (2) Uchunguzi tiba pamoja na ushahidi wa kitaaluma (3) Uchunguzi tiba ushahidi wa kitaaluma pamoja na uchunguzi wa polisi na kisheria

Kanuni zinazohusu watoto bull Kuzingatia na kusimamia mahitaji halisi ya mtoto wakati wote bull Kumpa mtoto faraja bull Kumshirikisha mtoto katika kufanya uamuzi bull Kumshughulikia kila mtoto kwa haki na usawa

Kumsaidia na kumlea mtoto ili akue katika hali ya ujasiri na kujiamini

[b] Haki za Aliyepatwa na UWAKI Watoa huduma wote wanatakiwa kuwa na mtazamo unaozingatia mahitaji ya mtu aliyepatwa na UWAKI na kuheshimu haki zake ambazo ni

bull Kuhudumiwa kwa heshima bila unyanyapaa ubaguzi na kutokuwa na mtazamo wa kumlaumu Kupewa taarifa sahihi na zinazoeleweka ili aweze kutoa ridhaa na siyo kumwambia cha kufanya hali inayoweza kumfanya ajisikie mnyonge

bull Kupewa faragha na hali ya usiri na siyo kumteta au kumwaibisha Kulindwa dhidi ya ubaguzi wa aina yoyote au upendeleo wenye misingi ya kijinsia au sababu nyingine Kupewa nafasi ya kuchagua kuhudumiwa na mtoa huduma mwanamume au mwanamke

bull Kupewa nafasi ya kusindikizwa na ndugu au mlezi wake

26

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

[c] Wajibu wa Mtoa Huduma Mtoa huduma anatarajiwa kuzingatia yafuatayo anapomhudumia mtu aliyepatwa na UWAKI

Kujiweka katika nafasi ya mtu aliyepatwa na UWAKI na kuguswa kuwa mtunza siri kuonyesha upendo na kujali anapomuhudumia Kumpatia taarifa sahihi na kuhakikisha kuwa ridhaa arifu inatolewa kwa huduma inayohitajika Kuzingatia masilahi ya muhusika na kuheshimu matakwa yake wakati wote

bull na kuzuia madhara mengineKuhakikisha ulinzi na usalama wake Kuhifadhi kumbukumbu zake mahali pa usalama na kutunza siri wakati wote

bull huduma kadiriKumpatia rufaa kwenda kwenye ngazi za juu za inavyohitajika kulingana na kiwango cha madhara ya kimwili kihisia na kisaikolojia Aidha inatakiwa kumpatia unasihi kabla ya kumpa rufaa

Kuhusu Watoto bull Kuhakikisha kuwa mzazi au mlezi yupo wakati wote pia

kuhakikisha kwamba mzazi au mlezi siyo tishio kwa mtoto Wakati wote mwandae mtoto kuelewa kinachotarajiwa kutendeka na kuhakikisha anaelewa kitakachotokea Kwa watoto wenye umri chini ya miaka 18 ridhaa ya maandishi inahitajika kutoka kwa mzazi au mlezi

Vigezo vya kupata mchango wa mawazo kutoka kwa Watoto Watoto wa umri wa miaka 16 na zaidi kwa ujumla wana uwezo wa kutosha kufanya uamuzi

bull kuwaWatoto wa umri wa miaka 14 hadi 16 wanatarajiwa wamekomaa vya kutosha kutoa mchango au mawazo yao Watoto wa umri wa miaka 9 hadi 14 wana welewa wa kushiriki kufanya uamuzi lakini ukomavu wa kila mtoto unatakiwa kupimwa kipekee Watoto wa umri chini ya miaka 9 wana haki ya kutoa maoni arifu na kusikilizwa Wanaweza kushiriki katika mchakato wa kufanya uamuzi kwa kiwango fulani lakini hadhari inahitajika ili kuwaepusha na mzigo wa kuwa waamuzi

27

bull lazimaKimsingi inapendekezwa kwamba maoni ya kila mtoto yazingatiwe kulingana na umri wake kiwango cha ukomavu utamaduni mila na hali ya mazingira

[d] Wajibu wa WAUJ katika Ngazi ya Taifa WAUJ inatayarisha sera miongozo na kanuni inadhibiti ubora inafuatilia na kutathmini utekelezaji Vilevile inahakikisha kuna watumishi na fedha za kutosha kwa mipango ya afya pamoja na kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote WAUJ itaendeleza ushirikiano na wadau mbalimbali kitaifa na kimataifa Wizara itafanya yafuatayo katika kuzuia na kupambana na UWAKI

[i] Kuandaa miongozo ya matibabu yenye ubora kwa ajili ya watoto vijana na watu wazima waliopatwa na UWAKI

[ii] Kutafuta na kutenga fedha kwa ajili ya afua za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kuandaa miongozo ya mafunzo yanayohusiana na juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kutoa mafunzo kwa watoa huduma za afya na ustawi wa jamii kuhusu kuzuia na kupambana na UWAKI kwa watoto vijana na watu wazima

[v] Kutoa huduma mseto na rufaa kwa kutumia mfumo uliopo wa utoaji huduma za afya na ustawi wa jamii

[vi] Kuunganisha takwimu zinazohusu UWAKI kwenye Mfumo wa Takwimu na Ufuatiliaji wa Huduma za Afya (MTUHA)

[vii] Kuendeleza utaratibu wa kupeana taarifa na takwimu zinazohusu UWAKI pamoja na kushirikiana na wadau wake wakuu

[viii] Kufanya usimamizi shirikishi ili kuhakikisha kuwa kanuni za haki za binadamu maadili na kujali zinazingatiwa

[e] Wajibu wa Vituo vya Huduma za Afya Vituo vya kutoa huduma za afya vinajumuisha zahanati vituo vya afya na hospitali zinazomilikiwa na sekta ya umma na binafsi Vituo vyote vya kutoa huduma katika ngazi zote vina Kamati ya Uongozi ya Kituo na Timu ya Usimamizi

28

Vituo vya huduma za afya vitafanya yafuatayo [i] Kuhakikisha kwamba Timu za Usimamizi wa Huduma za Afya

zinatenga fedha za kutekeleza mikakati na mipango kazi ya mwaka ili kuviwezesha vituo kutoa huduma bora kwa waliopatwa na UWAKI

[ii] Kuunganisha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI na zile zilizopo kwenye vituo vya huduma za afya na kuhakikisha mpangilio mzuri wa rufaa za ndani na nje ya kituo zinakidhi mahitaji ya watoto vijana na watu wazima kwa usawa na haki

[iii] Kuhakikisha watoa huduma ya afya na ustawi wa jamii wanapatiwa mafunzo ya kutoa huduma toshelezi kwa watoto vijana na watu wazima waliopatwa na UWAKI

[iv] Kuanzisha utaratibu bora wa kukusanya takwimu na taarifa kuhusu huduma kwa waliopatwa na UWAKI na kutunza kumbukumbu kwa usahihi na kutoa taarifa kwa ajili ya matumizi ya kituo na wadau

[v] Kufanya kazi kwa ushirikiano wa karibu na kamati ya afya ya kituo polisi mahakama na taasisi za elimu ili kukuza ushirikiano kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye jamii

[f ] Wajibu wa Watoa Huduma za Afya Watoa huduma za afya ni pamoja na watunza kumbukumbu za afya tabibu (tabibu msaidizi ofisa tabibu madaktari wasaidizi madaktari na madaktari bingwa) wauguzi wakunga maofisa wauguzi wasaidizi maofisa wauuguzi) wafanyakazi wa maabara wafamasia na maofi sa ustawi wa jamii Watoa huduma hawa wanatakiwa kuzingatia yafuatayo

[i] Kuelewa kikamilifu na kuzingatia kanuni za miongozo ya haki za binadamu maadili ya taaluma na kuonyesha upendo na kujali wakati wa kumhudumia aliyepatwa na UWAKI

[ii] Kuhakikisha upatikanaji wa mahitaji muhimu na utoaji wa huduma toshelezi na zenye ubora kwa waliopatwa na UWAKI katika kituo cha kutoa huduma za afya na kwenye jamii

[iii] Kuwatambua waliopatwa na UWAKI kati ya wagonjwa wa nje katika kituo na kuhakikisha wanapata matibabu na rufaa kwa haraka

29

[iv] Kuhakikisha utoaji wa huduma toshelezi kwa waliopatwa na UWAKI (watu wazima vijana na watoto) Huduma hizi ni pamoja na huduma ya matibabu kutunza ushahidi unasihi na rufaa ndani ya mfumo wa afya na pia rufaa kwenda kwenye sekta nyingine

[v] Kuhakikisha vielelezo vya upelelezi vinakusanywa na kuhifadhiwa ipasavyo ili kutunza ushahidi

[vi] Kuchukua takwimu na taarifa kamili kuhusu aliyepatwa na UWAKI na kuhakikisha zimehifadhiwa kwa siri na usalama

[vii] Kujenga ushirikiano na jamii pamoja na wadau wengine

42 Wajibu wa Jamii

Wadau muhimu katika jamii ni Kamati ya Huduma za Jamii Kamati ya Ulinzi na Usalama Kamati ya Zahanati Mashirika ya Dini Kamati ya Kijiji ya Afya wahudumu wa afya katika jamii wakunga wa tiba asili waganga wa tiba asili na mbadala viongozi wa jamii vikundi vya wanawake na wakuu wa kaya

Jamii itafanya yafuatayo kwa waliopatwa na UWAKI [i] Kupanga na kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya kuzuia

na kutoa huduma bora kulingana na mpango wa mwaka wa zahanati

[ii] Kuhakikisha upatikanaji wa huduma toshelezi pamoja na usalama wao kupatiwa mahitaji ya msingi msaada wa kisaikolojia kupewa rufaa kwenda polisi vyombo vya sheria na watoa huduma wengine Vilevile wanajamii wana wajibu wa kutoa ushahidi mahakamani na kuwasaidia wahusika kuunganishwa na familia zao na jamii

[iii] Kuhakikisha kuwepo kwa vituo vya hifadhi ya muda vya kutosha kwenye jamii

[iv] Kujenga welewa na kuiwezesha jamii kuzuia na kupambana na UWAKI kwa kutetea misingi ya haki za binadamu usawa wa kijinsia haki za vijana na watoto na kutovumilia UWAKI

43 Msaada wa Kisheria kwa waliopatwa na UWAKI Watoa huduma wa afya na ustawi wa jamii baada ya kupata ridhaa kutoka kwa muhusika watampa rufaa ya kwenda sekta nyingine muhimu na kwa wadau mbalimbali kama vile polisi vituo vya msaada wa kisheria kwa ajili ya kupata huduma maalum Watoa huduma wanawajibika

30

kutoa taarifa za kutosha kuhusu masharti ya kisheria ya kutoa taarifa ya matukio ya UWAKI na kwa wakati unaofaa

Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wanawajibika kutoa ushauri kwa waliopatwa na UWAKI (watoto vijana na watu wazima) kuhusu taratibu za mahakama msaada wa ulinzi msaada wa kisheria na taratibu za polisi kama ifuatavyo

[a] Ushahidi wa Kimahakama Huduma kwa muhusika zitalenga mahitaji yake kuheshimu haki yake ya hali ya usiri kupewa taarifa za kutosha zenye kueleweka na sahihi hivyo kuhakikisha anatoa ridhaa arifu kwa hatua na zitakazofuata

[i] WAUJ itahakikisha kupatikana na kuzingatiwa kwa viwango vilivyowekwa kwa ngazi zote katika kuchukua historia kamili ya muhusika kupima na kufanya uchunguzi kuchukua vielelezo vya ushahidi kujaza fomu zinazokubalika kisheria kwa kuweka kumbukumbu ambazo ni halali kama ushahidi mahakamani

[ii] Timu ya Afya ya Usimamizi ya Kituo cha Huduma za Afya baada ya kupata ridhaa ya aliyepatwa na UWAKI itapanga kutenga na kutoa rasilimali za kutosha kuhakikisha nyaraka sahihi zimetayarishwa na kuhifadhiwa na vielelezo vya ushahidi wa mahakama vimepelekwa kwenda maabara ya serikali na kufuatilia majibu

[iii] Watoa huduma wa ngazi zote watahakikisha ukusanyaji sahihi wa vielelezo vya ushahidi na kujaza fomu zinazohusika pamoja na kujaza kwa ukamilifu Fomu ya Polisi Namba Tatu (PF3) na kuthibitisha kwamba muhusika ana taarifa na anaelewa utaratibu

[b] Ulinzi na Msaada kwa Waliopatwa na UWAKI Waliopatwa na UWAKI wana haki ya kulindwa dhidi ya mtuhumiwa pamoja na kupewa mahitaji ya msingi (kwa mfano chakula nguo usafi ri nk) kupewa huduma za polisi (mfano kusindikizwa ulinzi) na kupewa msaada wa kisheria

[i] WAUJ itahakikisha kwamba vituo vya huduma za afya na ustawi wa jamii na watoa huduma wa ngazi zote wana taarifa sahihi kuhusu haki za ulinzi na msaada kwa waliopatwa na UWAKI

31

[ii] Timu za Afya za Usimamizi wa vituo vya huduma za afya katika ngazi zote zitapanga kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya ulinzi na msaada kwa waliopatwa na UWAKI Kama Muhusika ni mtoto atasindikizwa na ofi sa ustawi wa jamii pamoja na mzazi au mlezi ikiwa mzazi au mlezi huyo hahusiki na uhalifu

[iii] Watoa huduma wa afya watatoa taarifa kwa muhusika au mzazi mlezi (kama muhusika ni mtoto chini ya miaka 18) kuhusu msaada atakaopata kwenye kituo cha huduma za afya polisi na msaada wa kisheria juu ya haki na ulinzi kwa mujibu wa sheria za Tanzania

[c] Wajibu wa Watoa Huduma za Afya na Ustawi wa Jamii katika Taratibu za Kimahakama

Watoa huduma za afya kwenye ngazi zote wanatakiwa kuhakikisha kwamba waliopatwa na UWAKI wakiwemo watu wazima vijana na watoto pamoja na walezi wao wana taarifa muhimu zinazohusu masuala ya kisheria ambayo yako nje ya huduma za tiba

[i] WAUJ itahakikisha kwamba vituo vya huduma za afya na watoa huduma wanapata ujuzi na wanajua wajibu wao kuhusu namna ya kutoa ushahidi mahakamani ili kuwasaidia wahusika

[ii] Timu za Usimamizi za vituo vya huduma za afya kwenye ngazi zote zitahakikisha kwamba watoa huduma wanaotambulika kisheria na wana welewa sahihi wa uandaaji wa nyaraka muhimu taratibu za kesi mahakamani na viwango vya ushahidi

[iii] Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii kwenye ngazi zote watahakikisha kwamba muhusika anapata taarifa za kutosha kuhusu ratiba na taratibu za upelelezi na umuhimu wa hatua za kisheria

44 Huduma ya Unasihi Kisaikolojia na Kijamii kwa Waliopatwa na UWAKI

Watu waliopatwa na janga la UWAKI watapewa msaada wa unasihi kisaikolojia na kijamii kwa upendo na kujali kuanzia wakati wa tukio hadi watakapojumuika tena kwenye familia na jamii Katika ngazi ya jamii msaada huo utatolewa na Maofisa wa Ustawi wa Jamii Maofi sa hawa watatoa msaada wa kisaikolojia na unasihi wakishirikiana na

32

wadau wengine waliopata mafunzo kutoka asasi za kiraia asasi za kidini na wahudumu wa afya katika jamii

[i] WAUJ itahakikisha utoaji wa msaada wa unasihi kisaikolojia na kijamii kwenye ngazi zote pamoja na kuhakikisha kuwepo kwa ulinzi na usalama (kwa mfano kituo cha hifadhi ya muda)

[ii] Timu za Usimamizi wa Huduma za Afya kwenye ngazi zote zitapanga na kutenga rasiilimali za kutosha pamoja na watoa huduma kwa ajili ya kutoa msaada wa kisaikolojia na kijamii rufaa na kujenga ushirikiano na wadau wengine ili kuwaunganisha wahusika kwenye familia na jamii

[iii] Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii watahakikisha kwamba wanatoa unasihi wa kutosha pamoja na kutoa huduma rafi ki kwa watoto kutoa rufaa za kwenda na kurudi kwenye huduma za tiba vituo vya hifadhi ya muda na kuwezesha kuwaunganisha kwenye familia na jamii

45 Mfumo wa Usimamizi Uratibu na Ushirikiano Utoaji wa huduma bora kwa waliopatwa na UWAKI unahitaji usimamizi na uratibu wa mara kwa mara kwa watoa huduma za afya wa kada mbalimbali katika ngazi zote Vilevile kuratibu shughuli na kutoa rufaa kwenye vituo vya ngazi ya taifa mikoa halmashauri na jamii Pia kunahitajika utaratibu wa kujenga ushirikiano kati ya sekta ya afya na wadau wa sekta nyingine

[a] Usimamizi wa Huduma za Kuzuia na Kupambana na UWAKI [i] Usimamizi wa huduma utakuwa ni sehemu ya mikakati na

mipango ya mwaka kwa vituo vya huduma za afya kwenye ngazi zote

[ii] Wasimamizi katika ngazi zote watafanya usimamizi shirikishi ili kuhakikisha utoaji wa huduma bora

[b] Uratibu wa Huduma za Kuzuia na Kupambana na UWAKI [i] Wasimamizi wa huduma za afya kwenye ngazi zote watabaini na

kuratibu afua na shughuli zinazotakiwa kutekelezwa na wadau mbalimbali kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI

33

[ii] Wasimamizi wa huduma za afya katika ngazi zote watahakikisha kuwa wanapanga utekelezaji wa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[c] Taratibu za Ushirikiano katika Kutoa Huduma za UWAKI Taratibu za ushirikiano zitahusisha ngazi mbalimbali za utoaji wa huduma za afya kulingana na hadhi ya kituo ikihusisha kada mbalimbali za afya katika serikali na sekta binafsi

[i] Wasimamizi wa huduma za afya watabaini na kuanzisha ushirikiano kwa ajili ya kutoa huduma bora na toshelezi kwa waliofanyiwa UWAKI

[ii] Wasimamizi wa huduma za afya watapanga na kutenga rasiilimali za kutosha kwa ajili ya kuendeleza ushirikiano na wadau muhimu pamoja na kujenga mfumo imara wa rufaa wa kupeleka na kuwarejesha wahusika

[iii] WAUJ itatayarisha na kusambaza orodha ya vituo vya rufaa kufuatana na aina ya huduma maalumu zinazotolewa

46 Utetezi na Mawasiliano ya Kubadili Tabia

Utetezi na mawasiliano ya kubadili tabia utakuwa ni sehemu ya mipango na mikakati ya kila mwaka katika ngazi zote Ngazi zote zitahamasisha kutenga na kutoa rasilimali za kutosha kwa ajili ya kutekeleza mipango na mikakati ya kila mwaka Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii watatambua na kuwezesha juhudi za jamii za kuhakikisha ushirikishwaji na kuhamasisha jamii kutumia rasilimali zao ili kupambana na UWAKI Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii wanatakiwa kupanga na kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya elimu ya afya kwa lengo la mawasiliano ya kubadili tabia

[a] Utetezi wa Kuzuia na kupambana na UWAKI kwa kushirikiana na wadau

Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii na kamati zinazohusika katika ngazi zote za WAUJ watafanya yafuatayo

[i] Kupanga mikakati ya kuongeza welewa na upeo kuhusu vyanzo vya UWAKI kubaini namna ya kuzuia na kubuni njia za kupambana na UWAKI

34

[ii] Kutetea na kuhamasisha uchangiaji zaidi wa raslimali kutenga kasma kwenye bajeti katika Mfumo wa Matumizi ya Muda wa Kati na katika Mpango Kabambe wa Afya wa Halmashauri kwa ajili ya kinga na huduma za kupambana na UWAKI

[iii] Kutetea utekelezaji wa sera na sheria zenye kuunga mkono juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kuhusisha vyombo vya habari katika kutekeleza shughuli za utetezi na ushawishi

[b] Ushirikiano wa wadau kwenye mawasiliano ya kubadili tabia dhidi ya UWAKI

Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii na kamati zao kwenye ngazi zote watafanya yafuatayo

[i] Kutambua mahitaji na kupanga mawasiliano ya kubadili tabia kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kwa ufanisi

[ii] Kuhusisha vyombo vya habari katika kupanga kutekeleza na kufuatilia shughuli za mawasiliano ya kubadili tabia

47 Ufuatiliaji na Tathmini ya Huduma za Kuzuia na Kupambana na UWAKI

Ufuatiliaji na tathmini ya huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI ni muhimu katika kupima ubora wa matokeo ya huduma zinazohusiana na UWAKI Ufuatiliaji na tathmini unahitaji kuchagua vigezo vya kupima maendeleo ya huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kukusanya takwimu kuchambua kutafsiri kutayarisha na kuwasilisha ripoti kwa wadau muhimu Ufuatiliaji na Tathmini unasaidia kutambua maeneo yanayohitaji kufanyiwa utafi ti

[i] Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii katika ngazi zote watatumia vigezo vilivyokubalika kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Takwimu za UWAKI zitaoanishwa na kuunganishwa kwenye MTUHA

[iii] Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii kwenye ngazi zote watahakikisha wanakusanya taarifa na takwimu zinazohusiana na UWAKI kwa kutumia fomu maalumu kwa ajili ya kufuatilia na

35

kutathimini usimamizi na kuwasilisha ripoti za utekelezaji kwa wadau kufuatana na utaratibu maalumu wa kushirikiana katika kutoa taarifa

[iv] Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii katika ngazi zote watafanya utafiti ili kuboresha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

36

SEHEMU YA TANO

MUUNDO WA UTENDAJI KATIKA KUZUIA NA KUPAMBANA NA UWAKI

Wajibu wa WAUJ ni kuandaa kusimamia na kuratibu utekelezaji wa Mwongozo huu wa sera pamoja na sheria kanuni na viwango vya huduma dhidi ya UWAKI katika ngazi zote nchini Mfumo wa utendaji kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI unahusisha ngazi tatu taifa mkoa na halmashauri

51 Ngazi ya Taifa

Katika ngazi ya Taifa Mganga Mkuu wa Serikali ndiye mwenye wajibu wa uongozi wa kitaaluma kwenye utekelezaji wa mipango ya kuzuia na kupambana na UWAKI Ofisi ya Mganga Mkuu ina idara nne ambazo ni Idara ya Kinga Idara ya Tiba Idara ya Mafunzo na Idara ya Ubora na viwango vya Huduma Huduma za Ustawi wa Jamii zipo chini ya Kamishna wa Ustawi wa Jamii

Kitengo cha Afya ya Uzazi na Mtoto ambacho kinasimamiwa na Idara ya Kinga ndicho kinachosimamia utekelezaji wa Mwongozo wa sera ya UWAKI Majukumu ya ofisi ya Mganga Mkuu wa Serikali Idara ya Kinga na Sehemu ya Afya ya Uzazi na Mtoto ni kama ifuatavyo

[a] Ofisi ya Mganga Mkuu wa Serikali Ofi si ya Mganga Mkuu wa Serikali inaratibu inasimamia na kuimarisha huduma za uboreshaji wa Afya Kinga Ubora na viwango vya huduma Tiba ya magonjwa na Utengamao Aidha ofisi inasimamia mafunzo upatikanaji wa wataalamu wa afya katika sekta ya Afya na Ustawi wa Jamii

Ofisi ya Mganga Mkuu wa Serikali kwa kushirikiana na Mabaraza na Vyama vya Kitaaluma vilivyo chini ya sekta ya Afya na Ustawi wa Jamii inasimamia maadili ya wataalamu wa afya kwa kupitia Mabaraza yao ya Kitaaluma

37

bull

bull

[I] Idara ya Kinga Idara hii inasimamia sehemu tano Afya ya Uzazi na Mtoto Epidemiolojia na Udhibiti wa Magonjwa Afya na Usafi wa Mazingira Elimu ya Afya na Lishe Kuna programu na miradi mbalimbali chini ya idara baadhi yake zinahusiana kwa ukaribu na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Programu hizi ni pamoja na Mpango wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI Programu ya Kuzuia Maambukizo ya VVU Kutoka kwa Mama Kwenda kwa Mtoto Programu ya Huduma ya Afya Kwenye Jamii Programuya Afya Shuleni Program ya Uzazi Salama Programu ya Afya ya Mtoto Programu ya Afya ya Uzazi kwa Vijana na Programu ya Uzazi wa Mpango

Idara itafanya yafuatayo Kuhakikisha afua za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa kwenye programu na miradi ya idara na sehemu Kuhakikisha kwamba afua za kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na utetezi na mawasiliano ya kubadili tabia zinajumuishwa kwenye miongozo ya elimu ya afya na ustawi wa jamii

Sehemu ya Huduma za Afya ya Uzazi na Mtoto Sehemu ya Huduma ya Afya ya Uzazi na Mtoto ndiyo inayohusika katika kuzuia na kupambana na UWAKI na majukumu yake ni

[i] Kuandaa mwongozo wa huduma za kina kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kutayarisha mitaala ya mafunzo kwa ajili ya wasimamizi na watoa huduma wa ngazi zote

[ii] Kuratibu kufuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI katika ngazi zote

[iii] Kuwasiliana na wizara nyingine na mashirika ya kitaifa na kimataifa yenye kuhusiana na mipango ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kuangalia upya orodha ya vifaa muhimu kwa utoaji wa huduma bora kwa wahanga wa UWAKI kwa ngazi zote za utoaji huduma

[v] Kuongoza kikundi kazi cha wanataaluma cha taifa pamoja na vikundikazi tanzu vya wanataaluma vinavyosaidia mtazamo mpana wa sekta ya afya na nguvu kazi za kusimamia utekelezaji wa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

38

[II] Idara ya Tiba Idara hii inasimamia huduma za Hospitali za Taifa Mikoa Wilaya Vituo vya Afya na Zahanati za umma na binafsi Uchunguzi Kinywa na Meno Magonjwa Yasiyo ya Kuambukiza na Tiba Asili Idara hii inafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha kwamba vituo vya kutoa huduma za afya katika ngazi zote vinatenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya huduma bora za matibabu kwa wahanga wa UWAKI pamoja na msaada wa kisaikolojia kijamii na rufaa

[ii] Kuhakikisha kwamba vituo vya kutoa huduma za afya kwenye ngazi zote vinapewa vifaa muhimu na vya kutosha kwa ajili ya uchunguzi wa afya vipimo vya maabara kubaini ugonjwa ushahidi wa kimahakama matibabu kutunza kumbukumbu kutoa taarifa na rufaa

[iii] Kuhakikisha kuwa watoa huduma za afya wanazingatia viwango vya kitaalamu na maadili na kuonyesha upendo na kuwajali wahanga wa UWAKI

[III] Idara ya Ubora wa huduma Idara hii ina sehemu tano ikijumuisha huduma za Uuguzi Dharura na Maafa Ukaguzi Dawa na Utafiti na Uhusiano wa Kimataifa Idara hii inafanya yafuatayo

[i] Inasimamia huduma za dawa vifaa tiba na vitendanishi [ii] Inasimamia huduma za Uuguzi na Ukunga [iii] Inasimamia na kufanya ukaguzi wa ubora wa huduma za afya

nchini ili kuziboresha [iv] Inasimamia kazi za utafiti na uhusiano wa kimataifa katika sekta ya

afya na ustawi wa jamii na [v] Inaandaa miongozo kanuni na taratibu zinazohusu huduma za

dharura

[IV] Idara ya Mafunzo Idara ya Mafunzo inasimamia Mipango ya Mafunzo ya Watumishi Mafunzo Endelevu kwa Watumishi Mafunzo kwa Wauguzi na Sayansi Shirikishi za Afya

39

Idara itafanya yafuatayo [i] Kutambua mahitaji ya kitaifa ya mafunzo ya afya na mafunzo ya

kuendeleza taaluma ya watumishi wanaohusika na kutoa huduma kwa waliopatwa na UWAKI

[ii] Kutayarisha mpango wa mafunzo ya muda mfupi na mrefu kwa ajili ya watumishi mbalimbali kwenye ngazi zote zinazotoa huduma kwa waliopatwa na UWAKI

[b] Idara ya Ustawi wa Jamii Idara ya Ustawi wa Jamii imegawanyika katika sehemu tano Huduma kwa Familia na Ustawi wa Mtoto katika malezi makuzi na maendeleo ya awali Huduma za marekebisho ya tabia na haki za mtoto kisheria Huduma kwa wazee na watu wenye ulemavu Mafunzo kwa watumishi na Kitengo cha takwimu Idara itafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha idara inatoa huduma rafiki na bora za ustawi wa jamii kwa wahanga wa UWAKI kwenye vituo vyote vya kutoa huduma za afya na ustawi wa jamii na kuvisimamia

[ii] Kuhakikisha idara inatoa mafunzo kwa watoa huduma wote [iii] Kushauri katika kurekebisha au kufutwa kwa sheria zisizosaidia

utoaji wa huduma bora za ustawi wa jamii na kushawishi kutunga sheria mpya

[c] Idara ya Sera na Mipango Idara hii inasimamia sehemu za Bajeti Sera Mipango Taarifa za Afya na Ufuatiliaji na Tathmini Idara itafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa kwenye mipango na bajeti ya Serikali

[ii] Kuhakikisha kuwa viashirio vya huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI vinaingizwa kwenye MTUHA

[d] Ushirikiano na wadau muhimu katika ldquoKutokomeza UWAKIrdquo

[i] WAUJ kupitia Sehemu ya Afya ya Uzazi na Mtoto kwa kushirikiana na wadau wengine watatetea ulinzi wa haki za waliopatwa na UWAKI na kutokomezwa kwa ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake watoto vijana na wanaume

40

[ii] WAUJ kwa kushirikiana na wadau wengine itaandaa mikakati ya kuhakikisha kwamba aina zote za ubaguzi unyonyaji ukandamizaji na unyanyasaji dhidi ya wanawake watoto vijana na wanaume zinatokomezwa

[iii] WAUJ kwa kushirikiana na wadau wengine watapitia sheria sera na kanuni ambazo zinakinzana na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Watatetea haki za jinsia na afya ya uzazi ikiwa ni pamoja na ulinzi wa mama na watoto dhidi ya UWAKI ukatili wa kifamilia na ukatili dhidi ya watoto na kutetea masuala haya yaingizwe kwenye Katiba ya Tanzania

52 Ngazi ya Mkoa

Utekelezaji wa mapambano dhidi ya UWAKI kwenye mikoa utasimamiwa na Timu ya Usimamizi wa Huduma za Afya Mkoa chini ya Katibu Tawala wa Mkoa na Timu ya Usimamizi ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa chini ya Bodi ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa na watafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa kwenye mpango mkakati wa miaka mitano wa mkoa na hospitali na mpango kazi wa kila mwaka

[ii] Kuhakikisha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa na kuendeshwa pamoja na huduma zilizopo kuwe na watoa huduma wa kutosha pamoja na mafunzo kwa wasimamizi na watoa huduma kwenye ngazi ya mkoa

[iii] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya kufuatilia kufanya tathmini usimamizi na kutoa ripoti za utendaji wa juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya mkoa

[iv] Kutoa msaada wa kitaalamu kwa Halmashauri na Timu za Afya za Halmashauri katika kupanga na kutekeleza huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[v] Kuhakikisha bajeti ya kutosha inatengwa kwenye mpango kabambe wa halmashauri wa afya kwa ajili ya kuiwezesha jamii kuzuia na kupambana na UWAKI

[vi] Kufanya utafiti ili kukuza uelewa kuhusu huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

41

53 Halmashauri za Jiji Manispaa na Wilaya

Bodi ya Huduma za Afya ya Halmashauri ni chombo cha halmashauri ya jiji manispaa na wilaya chenye jukumu la kutoa huduma bora za afya ustawi wa jamii pamoja na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI katika maeneo yao Mipango ya utekelezaji wa huduma za afya kwenye jiji manispaa na wilaya unasimamiwa na Timu ya Usimamizi wa Afya ya Halmashauri Hospitali ya kwanza ya rufaa katika Halmashauri ni Hospitali ya Wilaya au Hospitali Teule ya wilaya

Hospitali Teule ya Wilaya huendeshwa na Timu ya Usimamizi ya Hospitali na husimamiwa na Bodi ya Hospitali Vituo vya kutoa huduma za afya vina kamati za afya na huendeshwa na kamati za usimamizi wa kituo

(a) Ngazi ya Halmashauri Timu ya Halmashauri ya Usimamizi wa Afya itafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha kwamba mipango ya kila mwaka inatengewa fedha za kutosha kwa utekelezaji wa huduma bora za kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaunganishwa na huduma zilizopo kwenye ngazi zote

[iii] Kuhakikisha kwamba kunakuwa na watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wa kutosha na kuendelea kutoa mafunzo kwa watoa huduma wa kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kutetea kuhamasisha na kutenga fedha za kutosha kwa ajili ya kuiwezesha jamii kushiriki kwenye programu ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[v] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya ufuatiliaji tathmini usimamizi shirikishi na kuandaa taarifa za utekelezaji wa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[b] Ngazi ya Kata Kamati ya Afya ya Kata Kamati ya Afya ya Kituo cha Afya na Timu ya Usimamizi wa Kituo cha Afya zitasimamia utoaji wa huduma bora za afya katika kata pamoja na vijiji

42

Kamati na timu zitafanya yafuatayo [i] Kuhakikisha kwamba kila mwaka wanapanga na kutenga rasilimali

za kutosha kwa utekelezaji wa huduma kwa waliopatwa na UWAKI na afua za kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinajumuishwa na huduma zilizopo kwenye kituo cha afya na zahanati

[iii] Kuhakikisha kwamba kuna watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wa kutosha na kuendelea kutoa mafunzo kwa watoa huduma wanaohusika na kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye vituo vya afya na zahanati

[iv] Kutetea kuhamasisha na kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya kuiwezesha jamii kushiriki kwenye kuzuia na kupambana na UWAKI katika Mpango wa Afya wa Kata

[v] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya kufanya ufuatiliaji tathmini na kuandaa taarifa za utekelezaji wa kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kuziwasilisha kwa matumizi katika ngazi zote

[c] Ngazi ya Kijiji Kamati ya Zahanati na Timu ya Usimamizi wa Zahanati zina wajibu wa kutoa huduma za afya kwa wakazi wa eneo la kijiji au vijiji vyao

Kamati na timu zitafanya yafuatayo [i] Kuhakikisha kwamba kila mwaka wanapanga na kutenga raslimali

za kutosha kwa utekelezaji wa huduma kwa waliopatwa na UWAKI na afua za kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinajumuishwa na huduma zilizopo kwenye zahanati

[iii] Kuhakikisha kwamba kuna watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wa kutosha na kuendelea kutoa mafunzo kwa watoa huduma wanaohusika na kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye zahanati

[iv] Kutetea kuhamasisha na kutenga raslimali za kutosha kwa ajili ya kuiwezesha jamii kushiriki kwenye kuzuia na kupambana na UWAKI katika Mpango wa Afya wa Kijiji

43

[v] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya kufanya ufuatiliaji tathmini na kuandaa taarifa za utekelezaji wa kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kuziwasilisha kwa matumizi katika ngazi ya Kata na Wilaya

(d) Ngazi ya Kaya Kila mtu kwenye kaya atahusika katika kuzuia na kupambana na UWAKI na kutoa taarifa ya matukio ya UWAKI kwa mamlaka zinazohusika Pia kila mtu awajibike kwenye kubadili mtazamo na kuepuka mazoea na tabia zinazopelekea UWAKI

44

SEHEMU YA SITA

UFUATILIAJI TATHMINI NA UTAFITI

Ufuatiliaji na tathmini ya afua za kuzuia na kupambana na UWAKI utatekelezwa kwenye ngazi ya taifa mkoa halmashauri na vituo vya huduma za afya Viashirio ambavyo vimependekezwa kwenye ngazi hizi vimeonyeshwa kwenye Kiambatisho

61 Ngazi ya Taifa

Sehemu ya Afya ya Uzazi na Mtoto itaratibu itafuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote nchini

Sehemu hii itafanya yafuatayo [i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu zinazohusu

afua za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka Timu ya Usimamizi wa Afya ya Mkoa na kuzitumia katika kupanga na kuboresha mipango ya kuzuia na kupambana na UWAKI kwa kushirikiana na wadau

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma wa kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti [iv] Kuweka tathmini na ufuatiliaji wa huduma za kuzuia na kupambana

na UWAKI kwenye orodhahakiki ya usimamizi ya WAUJ

62 Ngazi ya Mkoa

Timu ya Usimamizi wa Afya ya Mkoa itakuwa na jukumu la kuratibu kufuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote za mkoa na itafanya yafuatayo

[i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu kuhusu afua za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka hospitali ya rufaa ya mkoa na Timu za Usimamizi wa Afya za Halmashauri kwa ajili ya matumizi yao na kuwasilisha ngazi ya Taifa

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma katika kuzuia na kupambana na UWAKI

45

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti

63 Ngazi ya Wilaya

Timu ya Usimamizi wa Afya ya Halmashauri itakuwa na jukumu la kuratibu kufuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote za wilaya na itafanya yafuatayo

[i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu kuhusu afua za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka hospitali ya wilaya na vituo vya kutolea huduma za afya na Timu za Usimamizi wa Afya za Halmashauri kwa ajili ya matumizi yao na kuwasilisha ngazi ya mkoa

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma katika kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti

64 Ngazi ya Kituo cha kutolea huduma

Timu ya Usimamizi wa Kituo cha Kutolea Huduma za Afya itaratibu itafuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye kituo na kufanya yafuatayo

[i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu kuhusu jitihada za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka kwenye zahanati na jamii na kuwasilisha wilayaniHalmashauri

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma katika kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti

46

KIAMBATISHO

VIASHIRIO VYA MPANGO WA KUZUIA NA KUPAMBANA NA UWAKI KATIKA SEKTA YA AFYA

[a] Ngazi ya Taifa

[i] Idadi ya watu waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya mikoa kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kimkoa

[iii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI kimkoa

[iv] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye uthibitisho kuwa vinatumia Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupamba na UWAKI kimkoa

[v] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye vifaa muhimu kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kimkoa

[b] Ngazi Ya Mkoa

[i] Idadi ya watu waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya wilayahalmashauri kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

[iii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

[iv] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye ushahidi wa kuandikwa na kutumia Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

[v] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye vifaa muhimu kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

47

[c] Ngazi ya Wilaya

[i] Idadi ya watu waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya vituo vya kutolea huduma kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwa vituo vya kutolea huduma

[iii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI

[iv] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye ushahidi wa kuandikwa na kutumia Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI

[v] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye vifaa muhimu kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[d] Ngazi ya Kituo

[i] Idadi ya wahusika waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye kituo cha huduma za afya kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Idadi ya watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Idadi ya watoa huduma walioelekezwa kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI

48

49

50

51

bullbullbull bullbull bullbullbull

~USAID ~f~ ~ KLITOKA KWA WKTJ Delivering as One WAIIAAEKANI

HEALTH POLICY middotmiddotmiddotoINITIATIVE

ltlt ASCII85EncodePages false AllowTransparency false AutoPositionEPSFiles true AutoRotatePages None Binding Left CalGrayProfile (Dot Gain 20) CalRGBProfile (sRGB IEC61966-21) CalCMYKProfile (US Web Coated 050SWOP051 v2) sRGBProfile (sRGB IEC61966-21) CannotEmbedFontPolicy Error CompatibilityLevel 14 CompressObjects Tags CompressPages true ConvertImagesToIndexed true PassThroughJPEGImages true CreateJobTicket false DefaultRenderingIntent Default DetectBlends true DetectCurves 00000 ColorConversionStrategy CMYK DoThumbnails false EmbedAllFonts true EmbedOpenType false ParseICCProfilesInComments true EmbedJobOptions true DSCReportingLevel 0 EmitDSCWarnings false EndPage -1 ImageMemory 1048576 LockDistillerParams false MaxSubsetPct 100 Optimize true OPM 1 ParseDSCComments true ParseDSCCommentsForDocInfo true PreserveCopyPage true PreserveDICMYKValues true PreserveEPSInfo true PreserveFlatness true PreserveHalftoneInfo false PreserveOPIComments true PreserveOverprintSettings true StartPage 1 SubsetFonts true TransferFunctionInfo Apply UCRandBGInfo Preserve UsePrologue false ColorSettingsFile () AlwaysEmbed [ true ] NeverEmbed [ true ] AntiAliasColorImages false CropColorImages true ColorImageMinResolution 300 ColorImageMinResolutionPolicy OK DownsampleColorImages true ColorImageDownsampleType Bicubic ColorImageResolution 300 ColorImageDepth -1 ColorImageMinDownsampleDepth 1 ColorImageDownsampleThreshold 150000 EncodeColorImages true ColorImageFilter DCTEncode AutoFilterColorImages true ColorImageAutoFilterStrategy JPEG ColorACSImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt ColorImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt JPEG2000ColorACSImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt JPEG2000ColorImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt AntiAliasGrayImages false CropGrayImages true GrayImageMinResolution 300 GrayImageMinResolutionPolicy OK DownsampleGrayImages true GrayImageDownsampleType Bicubic GrayImageResolution 300 GrayImageDepth -1 GrayImageMinDownsampleDepth 2 GrayImageDownsampleThreshold 150000 EncodeGrayImages true GrayImageFilter DCTEncode AutoFilterGrayImages true GrayImageAutoFilterStrategy JPEG GrayACSImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt GrayImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt JPEG2000GrayACSImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt JPEG2000GrayImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt AntiAliasMonoImages false CropMonoImages true MonoImageMinResolution 1200 MonoImageMinResolutionPolicy OK DownsampleMonoImages true MonoImageDownsampleType Bicubic MonoImageResolution 1200 MonoImageDepth -1 MonoImageDownsampleThreshold 150000 EncodeMonoImages true MonoImageFilter CCITTFaxEncode MonoImageDict ltlt K -1 gtgt AllowPSXObjects false CheckCompliance [ None ] PDFX1aCheck false PDFX3Check false PDFXCompliantPDFOnly false PDFXNoTrimBoxError true PDFXTrimBoxToMediaBoxOffset [ 000000 000000 000000 000000 ] PDFXSetBleedBoxToMediaBox true PDFXBleedBoxToTrimBoxOffset [ 000000 000000 000000 000000 ] PDFXOutputIntentProfile () PDFXOutputConditionIdentifier () PDFXOutputCondition () PDFXRegistryName () PDFXTrapped False CreateJDFFile false Description ltlt ARA ltFEFF06270633062A062E062F0645002006470630064700200627064406250639062F0627062F0627062A002006440625064606340627062100200648062B062706260642002000410064006F00620065002000500044004600200645062A064806270641064206290020064406440637062806270639062900200641064A00200627064406450637062706280639002006300627062A0020062F0631062C0627062A002006270644062C0648062F0629002006270644063906270644064A0629061B0020064A06450643064600200641062A062D00200648062B0627062606420020005000440046002006270644064506460634062306290020062806270633062A062E062F062706450020004100630072006F0062006100740020064800410064006F006200650020005200650061006400650072002006250635062F0627063100200035002E0030002006480627064406250635062F062706310627062A0020062706440623062D062F062B002E0635062F0627063100200035002E0030002006480627064406250635062F062706310627062A0020062706440623062D062F062B002Egt BGR ltFEFF04180437043f043e043b043704320430043904420435002004420435043704380020043d0430044104420440043e0439043a0438002c00200437043000200434043000200441044a0437043404300432043004420435002000410064006f00620065002000500044004600200434043e043a0443043c0435043d04420438002c0020043c0430043a04410438043c0430043b043d043e0020043f044004380433043e04340435043d04380020043704300020043204380441043e043a043e043a0430044704350441044204320435043d0020043f04350447043004420020043704300020043f044004350434043f0435044704300442043d04300020043f043e04340433043e0442043e0432043a0430002e002000200421044a04370434043004340435043d043804420435002000500044004600200434043e043a0443043c0435043d044204380020043c043e0433043004420020043404300020044104350020043e0442043204300440044f0442002004410020004100630072006f00620061007400200438002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020043800200441043b0435043404320430044904380020043204350440044104380438002egt CHS ltFEFF4f7f75288fd94e9b8bbe5b9a521b5efa7684002000410064006f006200650020005000440046002065876863900275284e8e9ad88d2891cf76845370524d53705237300260a853ef4ee54f7f75280020004100630072006f0062006100740020548c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000204ee553ca66f49ad87248672c676562535f00521b5efa768400200050004400460020658768633002gt CHT ltFEFF4f7f752890194e9b8a2d7f6e5efa7acb7684002000410064006f006200650020005000440046002065874ef69069752865bc9ad854c18cea76845370524d5370523786557406300260a853ef4ee54f7f75280020004100630072006f0062006100740020548c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000204ee553ca66f49ad87248672c4f86958b555f5df25efa7acb76840020005000440046002065874ef63002gt CZE ltFEFF005400610074006f0020006e006100730074006100760065006e00ed00200070006f0075017e0069006a007400650020006b0020007600790074007600e101590065006e00ed00200064006f006b0075006d0065006e0074016f002000410064006f006200650020005000440046002c0020006b00740065007200e90020007300650020006e0065006a006c00e90070006500200068006f006400ed002000700072006f0020006b00760061006c00690074006e00ed0020007400690073006b00200061002000700072006500700072006500730073002e002000200056007900740076006f01590065006e00e900200064006f006b0075006d0065006e007400790020005000440046002000620075006400650020006d006f017e006e00e90020006f007400650076015900ed007400200076002000700072006f006700720061006d0065006300680020004100630072006f00620061007400200061002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000610020006e006f0076011b006a016100ed00630068002egt DAN ltFEFF004200720075006700200069006e0064007300740069006c006c0069006e006700650072006e0065002000740069006c0020006100740020006f007000720065007400740065002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e007400650072002c0020006400650072002000620065006400730074002000650067006e006500720020007300690067002000740069006c002000700072006500700072006500730073002d007500640073006b007200690076006e0069006e00670020006100660020006800f8006a0020006b00760061006c0069007400650074002e0020004400650020006f007000720065007400740065006400650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e0074006500720020006b0061006e002000e50062006e00650073002000690020004100630072006f00620061007400200065006c006c006500720020004100630072006f006200610074002000520065006100640065007200200035002e00300020006f00670020006e0079006500720065002egt DEU ltFEFF00560065007200770065006e00640065006e0020005300690065002000640069006500730065002000450069006e007300740065006c006c0075006e00670065006e0020007a0075006d002000450072007300740065006c006c0065006e00200076006f006e002000410064006f006200650020005000440046002d0044006f006b0075006d0065006e00740065006e002c00200076006f006e002000640065006e0065006e002000530069006500200068006f006300680077006500720074006900670065002000500072006500700072006500730073002d0044007200750063006b0065002000650072007a0065007500670065006e0020006d00f60063006800740065006e002e002000450072007300740065006c006c007400650020005000440046002d0044006f006b0075006d0065006e007400650020006b00f6006e006e0065006e0020006d006900740020004100630072006f00620061007400200075006e0064002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020006f0064006500720020006800f600680065007200200067006500f600660066006e00650074002000770065007200640065006e002egt ESP ltFEFF005500740069006c0069006300650020006500730074006100200063006f006e0066006900670075007200610063006900f3006e0020007000610072006100200063007200650061007200200064006f00630075006d0065006e0074006f00730020005000440046002000640065002000410064006f0062006500200061006400650063007500610064006f00730020007000610072006100200069006d0070007200650073006900f3006e0020007000720065002d0065006400690074006f007200690061006c00200064006500200061006c00740061002000630061006c0069006400610064002e002000530065002000700075006500640065006e00200061006200720069007200200064006f00630075006d0065006e0074006f00730020005000440046002000630072006500610064006f007300200063006f006e0020004100630072006f006200610074002c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200079002000760065007200730069006f006e0065007300200070006f00730074006500720069006f007200650073002egt ETI ltFEFF004b00610073007500740061006700650020006e0065006900640020007300e4007400740065006900640020006b00760061006c006900740065006500740073006500200074007200fc006b006900650065006c007300650020007000720069006e00740069006d0069007300650020006a0061006f006b007300200073006f00620069006c0069006b0065002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740069006400650020006c006f006f006d006900730065006b0073002e00200020004c006f006f0064007500640020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740065002000730061006100740065002000610076006100640061002000700072006f006700720061006d006d006900640065006700610020004100630072006f0062006100740020006e0069006e0067002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020006a00610020007500750065006d006100740065002000760065007200730069006f006f006e00690064006500670061002e000d000agt FRA ltFEFF005500740069006c006900730065007a00200063006500730020006f007000740069006f006e00730020006100660069006e00200064006500200063007200e900650072002000640065007300200064006f00630075006d0065006e00740073002000410064006f00620065002000500044004600200070006f0075007200200075006e00650020007100750061006c0069007400e90020006400270069006d007000720065007300730069006f006e00200070007200e9007000720065007300730065002e0020004c0065007300200064006f00630075006d0065006e00740073002000500044004600200063007200e900e90073002000700065007500760065006e0074002000ea0074007200650020006f007500760065007200740073002000640061006e00730020004100630072006f006200610074002c002000610069006e00730069002000710075002700410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000650074002000760065007200730069006f006e007300200075006c007400e90072006900650075007200650073002egt GRE ltFEFF03a703c103b703c303b903bc03bf03c003bf03b903ae03c303c403b5002003b103c503c403ad03c2002003c403b903c2002003c103c503b803bc03af03c303b503b903c2002003b303b903b1002003bd03b1002003b403b703bc03b903bf03c503c103b303ae03c303b503c403b5002003ad03b303b303c103b103c603b1002000410064006f006200650020005000440046002003c003bf03c5002003b503af03bd03b103b9002003ba03b103c42019002003b503be03bf03c703ae03bd002003ba03b103c403ac03bb03bb03b703bb03b1002003b303b903b1002003c003c103bf002d03b503ba03c403c503c003c903c403b903ba03ad03c2002003b503c103b303b103c303af03b503c2002003c503c803b703bb03ae03c2002003c003bf03b903cc03c403b703c403b103c2002e0020002003a403b10020005000440046002003ad03b303b303c103b103c603b1002003c003bf03c5002003ad03c703b503c403b5002003b403b703bc03b903bf03c503c103b303ae03c303b503b9002003bc03c003bf03c103bf03cd03bd002003bd03b1002003b103bd03bf03b903c703c403bf03cd03bd002003bc03b5002003c403bf0020004100630072006f006200610074002c002003c403bf002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002003ba03b103b9002003bc03b503c403b103b303b503bd03ad03c303c403b503c103b503c2002003b503ba03b403cc03c303b503b903c2002egt HEB ltFEFF05D405E905EA05DE05E905D5002005D105D405D205D305E805D505EA002005D005DC05D4002005DB05D305D9002005DC05D905E605D505E8002005DE05E105DE05DB05D9002000410064006F006200650020005000440046002005D405DE05D505EA05D005DE05D905DD002005DC05D405D305E405E105EA002005E705D305DD002D05D305E405D505E1002005D005D905DB05D505EA05D905EA002E002005DE05E105DE05DB05D90020005000440046002005E905E005D505E605E805D5002005E005D905EA05E005D905DD002005DC05E405EA05D905D705D4002005D105D005DE05E605E205D505EA0020004100630072006F006200610074002005D5002D00410064006F00620065002000520065006100640065007200200035002E0030002005D505D205E805E105D005D505EA002005DE05EA05E705D305DE05D505EA002005D905D505EA05E8002E05D005DE05D905DD002005DC002D005000440046002F0058002D0033002C002005E205D905D905E005D5002005D105DE05D305E805D905DA002005DC05DE05E905EA05DE05E9002005E905DC0020004100630072006F006200610074002E002005DE05E105DE05DB05D90020005000440046002005E905E005D505E605E805D5002005E005D905EA05E005D905DD002005DC05E405EA05D905D705D4002005D105D005DE05E605E205D505EA0020004100630072006F006200610074002005D5002D00410064006F00620065002000520065006100640065007200200035002E0030002005D505D205E805E105D005D505EA002005DE05EA05E705D305DE05D505EA002005D905D505EA05E8002Egt HRV (Za stvaranje Adobe PDF dokumenata najpogodnijih za visokokvalitetni ispis prije tiskanja koristite ove postavke Stvoreni PDF dokumenti mogu se otvoriti Acrobat i Adobe Reader 50 i kasnijim verzijama) HUN ltFEFF004b0069007600e1006c00f30020006d0069006e0151007300e9006701710020006e0079006f006d00640061006900200065006c0151006b00e90073007a00ed007401510020006e0079006f006d00740061007400e100730068006f007a0020006c006500670069006e006b00e1006200620020006d0065006700660065006c0065006c0151002000410064006f00620065002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e00740075006d006f006b0061007400200065007a0065006b006b0065006c0020006100200062006500e1006c006c00ed007400e10073006f006b006b0061006c0020006b00e90073007a00ed0074006800650074002e0020002000410020006c00e90074007200650068006f007a006f00740074002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e00740075006d006f006b00200061007a0020004100630072006f006200610074002000e9007300200061007a002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002c0020007600610067007900200061007a002000610074007400f3006c0020006b00e9007301510062006200690020007600650072007a006900f3006b006b0061006c0020006e00790069007400680061007400f3006b0020006d00650067002egt ITA ltFEFF005500740069006c0069007a007a006100720065002000710075006500730074006500200069006d0070006f007300740061007a0069006f006e00690020007000650072002000630072006500610072006500200064006f00630075006d0065006e00740069002000410064006f00620065002000500044004600200070006900f900200061006400610074007400690020006100200075006e00610020007000720065007300740061006d0070006100200064006900200061006c007400610020007100750061006c0069007400e0002e0020004900200064006f00630075006d0065006e007400690020005000440046002000630072006500610074006900200070006f00730073006f006e006f0020006500730073006500720065002000610070006500720074006900200063006f006e0020004100630072006f00620061007400200065002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200065002000760065007200730069006f006e006900200073007500630063006500730073006900760065002egt JPN ltFEFF9ad854c18cea306a30d730ea30d730ec30b951fa529b7528002000410064006f0062006500200050004400460020658766f8306e4f5c6210306b4f7f75283057307e305930023053306e8a2d5b9a30674f5c62103055308c305f0020005000440046002030d530a130a430eb306f3001004100630072006f0062006100740020304a30883073002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000204ee5964d3067958b304f30533068304c3067304d307e305930023053306e8a2d5b9a306b306f30d530a930f330c8306e57cb30818fbc307f304c5fc59808306730593002gt KOR ltFEFFc7740020c124c815c7440020c0acc6a9d558c5ec0020ace0d488c9c80020c2dcd5d80020c778c1c4c5d00020ac00c7a50020c801d569d55c002000410064006f0062006500200050004400460020bb38c11cb97c0020c791c131d569b2c8b2e4002e0020c774b807ac8c0020c791c131b41c00200050004400460020bb38c11cb2940020004100630072006f0062006100740020bc0f002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020c774c0c1c5d0c11c0020c5f40020c2180020c788c2b5b2c8b2e4002egt LTH ltFEFF004e006100750064006f006b0069007400650020016100690075006f007300200070006100720061006d006500740072007500730020006e006f0072011700640061006d00690020006b0075007200740069002000410064006f00620065002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400750073002c0020006b00750072006900650020006c0061006200690061007500730069006100690020007000720069007400610069006b007900740069002000610075006b01610074006f00730020006b006f006b007900620117007300200070006100720065006e006700740069006e00690061006d00200073007000610075007300640069006e0069006d00750069002e0020002000530075006b0075007200740069002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400610069002000670061006c006900200062016b007400690020006100740069006400610072006f006d00690020004100630072006f006200610074002000690072002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000610072002000760117006c00650073006e0117006d00690073002000760065007200730069006a006f006d00690073002egt LVI ltFEFF0049007a006d0061006e0074006f006a00690065007400200161006f00730020006900650073007400610074012b006a0075006d00750073002c0020006c0061006900200076006500690064006f00740075002000410064006f00620065002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400750073002c0020006b006100730020006900720020012b00700061016100690020007000690065006d01130072006f00740069002000610075006700730074006100730020006b00760061006c0069007401010074006500730020007000690072006d007300690065007300700069006501610061006e006100730020006400720075006b00610069002e00200049007a0076006500690064006f006a006900650074002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400750073002c0020006b006f002000760061007200200061007400760113007200740020006100720020004100630072006f00620061007400200075006e002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002c0020006b0101002000610072012b00200074006f0020006a00610075006e0101006b0101006d002000760065007200730069006a0101006d002egt NLD (Gebruik deze instellingen om Adobe PDF-documenten te maken die zijn geoptimaliseerd voor prepress-afdrukken van hoge kwaliteit De gemaakte PDF-documenten kunnen worden geopend met Acrobat en Adobe Reader 50 en hoger) NOR ltFEFF004200720075006b00200064006900730073006500200069006e006e007300740069006c006c0069006e00670065006e0065002000740069006c002000e50020006f0070007000720065007400740065002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740065007200200073006f006d00200065007200200062006500730074002000650067006e0065007400200066006f00720020006600f80072007400720079006b006b0073007500740073006b00720069006600740020006100760020006800f800790020006b00760061006c0069007400650074002e0020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740065006e00650020006b0061006e002000e50070006e00650073002000690020004100630072006f00620061007400200065006c006c00650072002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200065006c006c00650072002000730065006e006500720065002egt POL ltFEFF0055007300740061007700690065006e0069006100200064006f002000740077006f0072007a0065006e0069006100200064006f006b0075006d0065006e007400f300770020005000440046002000700072007a0065007a006e00610063007a006f006e00790063006800200064006f002000770079006400720075006b00f30077002000770020007700790073006f006b00690065006a0020006a0061006b006f015b00630069002e002000200044006f006b0075006d0065006e0074007900200050004400460020006d006f017c006e00610020006f007400770069006500720061010700200077002000700072006f006700720061006d006900650020004100630072006f00620061007400200069002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000690020006e006f00770073007a0079006d002egt PTB ltFEFF005500740069006c0069007a006500200065007300730061007300200063006f006e00660069006700750072006100e700f50065007300200064006500200066006f0072006d00610020006100200063007200690061007200200064006f00630075006d0065006e0074006f0073002000410064006f0062006500200050004400460020006d00610069007300200061006400650071007500610064006f00730020007000610072006100200070007200e9002d0069006d0070007200650073007300f50065007300200064006500200061006c007400610020007100750061006c00690064006100640065002e0020004f007300200064006f00630075006d0065006e0074006f00730020005000440046002000630072006900610064006f007300200070006f00640065006d0020007300650072002000610062006500720074006f007300200063006f006d0020006f0020004100630072006f006200610074002000650020006f002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000650020007600650072007300f50065007300200070006f00730074006500720069006f007200650073002egt RUM ltFEFF005500740069006c0069007a00610163006900200061006300650073007400650020007300650074010300720069002000700065006e007400720075002000610020006300720065006100200064006f00630075006d0065006e00740065002000410064006f006200650020005000440046002000610064006500630076006100740065002000700065006e0074007200750020007400690070010300720069007200650061002000700072006500700072006500730073002000640065002000630061006c006900740061007400650020007300750070006500720069006f006100720103002e002000200044006f00630075006d0065006e00740065006c00650020005000440046002000630072006500610074006500200070006f00740020006600690020006400650073006300680069007300650020006300750020004100630072006f006200610074002c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020015f00690020007600650072007300690075006e0069006c006500200075006c0074006500720069006f006100720065002egt RUS ltFEFF04180441043f043e043b044c04370443043904420435002004340430043d043d044b04350020043d0430044104420440043e0439043a043800200434043b044f00200441043e043704340430043d0438044f00200434043e043a0443043c0435043d0442043e0432002000410064006f006200650020005000440046002c0020043c0430043a04410438043c0430043b044c043d043e0020043f043e04340445043e0434044f04490438044500200434043b044f00200432044b0441043e043a043e043a0430044704350441044204320435043d043d043e0433043e00200434043e043f0435044704300442043d043e0433043e00200432044b0432043e04340430002e002000200421043e043704340430043d043d044b04350020005000440046002d0434043e043a0443043c0435043d0442044b0020043c043e0436043d043e0020043e0442043a0440044b043204300442044c002004410020043f043e043c043e0449044c044e0020004100630072006f00620061007400200438002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020043800200431043e043b043504350020043f043e04370434043d043804450020043204350440044104380439002egt SKY ltFEFF0054006900650074006f0020006e006100730074006100760065006e0069006100200070006f0075017e0069007400650020006e00610020007600790074007600e100720061006e0069006500200064006f006b0075006d0065006e0074006f0076002000410064006f006200650020005000440046002c0020006b0074006f007200e90020007300610020006e0061006a006c0065007001610069006500200068006f0064006900610020006e00610020006b00760061006c00690074006e00fa00200074006c0061010d00200061002000700072006500700072006500730073002e00200056007900740076006f00720065006e00e900200064006f006b0075006d0065006e007400790020005000440046002000620075006400650020006d006f017e006e00e90020006f00740076006f00720069016500200076002000700072006f006700720061006d006f006300680020004100630072006f00620061007400200061002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000610020006e006f0076016100ed00630068002egt SLV ltFEFF005400650020006e006100730074006100760069007400760065002000750070006f0072006100620069007400650020007a00610020007500730074007600610072006a0061006e006a006500200064006f006b0075006d0065006e0074006f0076002000410064006f006200650020005000440046002c0020006b006900200073006f0020006e0061006a007000720069006d00650072006e0065006a016100690020007a00610020006b0061006b006f0076006f00730074006e006f0020007400690073006b0061006e006a00650020007300200070007200690070007200610076006f0020006e00610020007400690073006b002e00200020005500730074007600610072006a0065006e006500200064006f006b0075006d0065006e0074006500200050004400460020006a00650020006d006f0067006f010d00650020006f0064007000720065007400690020007a0020004100630072006f00620061007400200069006e002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200069006e0020006e006f00760065006a01610069006d002egt SUO ltFEFF004b00e40079007400e40020006e00e40069007400e4002000610073006500740075006b007300690061002c0020006b0075006e0020006c0075006f00740020006c00e400680069006e006e00e4002000760061006100740069007600610061006e0020007000610069006e006100740075006b00730065006e002000760061006c006d0069007300740065006c00750074007900f6006800f6006e00200073006f00700069007600690061002000410064006f0062006500200050004400460020002d0064006f006b0075006d0065006e007400740065006a0061002e0020004c0075006f0064007500740020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740069007400200076006f0069006400610061006e0020006100760061007400610020004100630072006f0062006100740069006c006c00610020006a0061002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030003a006c006c00610020006a006100200075007500640065006d006d0069006c006c0061002egt SVE ltFEFF0041006e007600e4006e00640020006400650020006800e4007200200069006e0073007400e4006c006c006e0069006e006700610072006e00610020006f006d002000640075002000760069006c006c00200073006b006100700061002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e007400200073006f006d002000e400720020006c00e4006d0070006c0069006700610020006600f60072002000700072006500700072006500730073002d007500740073006b00720069006600740020006d006500640020006800f600670020006b00760061006c0069007400650074002e002000200053006b006100700061006400650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740020006b0061006e002000f600700070006e00610073002000690020004100630072006f0062006100740020006f00630068002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020006f00630068002000730065006e006100720065002egt TUR ltFEFF005900fc006b00730065006b0020006b0061006c006900740065006c0069002000f6006e002000790061007a006401310072006d00610020006200610073006b013100730131006e006100200065006e0020006900790069002000750079006100620069006c006500630065006b002000410064006f006200650020005000440046002000620065006c00670065006c0065007200690020006f006c0075015f007400750072006d0061006b0020006900e70069006e00200062007500200061007900610072006c0061007201310020006b0075006c006c0061006e0131006e002e00200020004f006c0075015f0074007500720075006c0061006e0020005000440046002000620065006c00670065006c0065007200690020004100630072006f006200610074002000760065002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200076006500200073006f006e0072006100730131006e00640061006b00690020007300fc007200fc006d006c00650072006c00650020006100e70131006c006100620069006c00690072002egt UKR ltFEFF04120438043a043e0440043804410442043e043204430439044204350020044604560020043f043004400430043c043504420440043800200434043b044f0020044104420432043e04400435043d043d044f00200434043e043a0443043c0435043d044204560432002000410064006f006200650020005000440046002c0020044f043a04560020043d04300439043a04400430044904350020043f045604340445043e0434044f0442044c00200434043b044f0020043204380441043e043a043e044f043a04560441043d043e0433043e0020043f0435044004350434043404400443043a043e0432043e0433043e0020043404400443043a0443002e00200020042104420432043e04400435043d045600200434043e043a0443043c0435043d0442043800200050004400460020043c043e0436043d04300020043204560434043a0440043804420438002004430020004100630072006f006200610074002004420430002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002004300431043e0020043f04560437043d04560448043e04570020043204350440044104560457002egt ENU (Use these settings to create Adobe PDF documents best suited for high-quality prepress printing Created PDF documents can be opened with Acrobat and Adobe Reader 50 and later) gtgt Namespace [ (Adobe) (Common) (10) ] OtherNamespaces [ ltlt AsReaderSpreads false CropImagesToFrames true ErrorControl WarnAndContinue FlattenerIgnoreSpreadOverrides false IncludeGuidesGrids false IncludeNonPrinting false IncludeSlug false Namespace [ (Adobe) (InDesign) (40) ] OmitPlacedBitmaps false OmitPlacedEPS false OmitPlacedPDF false SimulateOverprint Legacy gtgt ltlt AddBleedMarks false AddColorBars false AddCropMarks false AddPageInfo false AddRegMarks false ConvertColors ConvertToCMYK DestinationProfileName () DestinationProfileSelector DocumentCMYK Downsample16BitImages true FlattenerPreset ltlt PresetSelector MediumResolution gtgt FormElements false GenerateStructure false IncludeBookmarks false IncludeHyperlinks false IncludeInteractive false IncludeLayers false IncludeProfiles false MultimediaHandling UseObjectSettings Namespace [ (Adobe) (CreativeSuite) (20) ] PDFXOutputIntentProfileSelector DocumentCMYK PreserveEditing true UntaggedCMYKHandling LeaveUntagged UntaggedRGBHandling UseDocumentProfile UseDocumentBleed false gtgt ]gtgt setdistillerparamsltlt HWResolution [2400 2400] PageSize [612000 792000]gtgt setpagedevice

  1. 1 World Health Organization WHO
  2. 2 Beijing Platform for Action BPA 1995
  3. 5 International Covenant on Civil and Political Rights ICCPR 1966
  4. 7 Krug Etienne et al 2002 World Report on Violence and Health Geneva WHO
Page 13: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na

watuWahalifu wanakuwa katika hali ya kuwa au kuhisi kuwa na nguvu kufanya uamuzi naau mamlaka ya kuwadhibiti waliopatwa na UWAKI

Ukatili wa kimwili Ni kitendo cha kumdhalilisha mtu kwa kumpiga kumvua nguo kumwuma kumchoma kumsababishia ulemavu au kumwua kwa kutumia au kutotumia silaha

Nguvu Katika muktadha wa UWAKI madaraka yanahusiana na uwezo wa kuchagua Mamlaka makubwa yanaendana na uwezo mkubwa wa kufanya uamuzi Kwa upande mwingine mamlaka madogo yanaendana na uwezo dhaifu wa kufanya uamuzi na kwa hivyo kuongeza uwezekano wa kunyanyaswa UWAKI unahusisha matumizi mabaya ya madaraka ambapo mtu mmoja anajisikia kuwa ana mamlaka zaidi juu ya mwenzake na kutumia fursa hiyo kumnyanyasa

Kwa mfano kutumia shinikizo la aina yoyote ili kumfanya mtu mwenye uwezo mdogo kufanya naye ngono kwa madhumuni ya kumpatia faida au ahadi zozote ni kutumia vibaya madaraka Wanaume wana nafasi za madaraka kuliko wanawake na mara nyingi wanamiliki fedha mali na huduma Wanaume wana maumbile makubwa zaidi ya wanawake wana nguvu zaidi wanatumia silaha zaidi na wanadhibiti mawasiliano na usalama Madaraka yanategemea umri na mara nyingi watoto na wazee wana madaraka madogo zaidi Waume au marafiki wa kiume wana umri mkubwa zaidi kuliko wake zao au marafiki wa kike

Ubakaji Ni kitendo cha mtu kumwingilia mtu kimwili mtu mwingine kwa nguvu bila ridhaa yake au kitendo cha kumwingilia mtu mwenye umri chini ya miaka 18

Ulazimishaji ngono ndani ya ndoa Ni kitendo cha ngono kati ya wanandoa kinachofanywa na mwanandoa mmoja bila ridhaa au dhamira ya mwenzake akitumia nguvu vitisho kuogopesha hofu au wakati mwenza hawezi kutoa ridhaa

Vitendo hivyo vya ngono vinajumuisha kujamiiana ngono ya mdomo au kinyume na maumbile kulazimishwa kufanya ngono na mtu mwingine na vitendo vingine vya ngono ambavyo vinachukuliwa na mlazimishaji kama ukandamizaji udhalilishaji na vya kuumiza

xii

Nyumba salama Mahali pa hifadhi ya muda kwa watu waliopatwa na UWAKI mashahidi au watu wengine wanaoonekana kuwa hatarini Pia ni mahali ambapo jamii familia mtu mzima anayeaminika au taasisi ya hisani wanatoa kimbilio la usalama kwa watu waliopatwa na UWAKI

Ukatili wa Kingono Ni kitendo au jaribio lolote la unyanyasaji wa kingono linalosababisha au linaloweza kusababisha madhara ya kimwili kisaikolojia au kihisia

Ngono za Kulazimishwa Ni kitendo cha kumshurutisha au kujaribu kumshurutisha mtu mwingine kwa njia ya ukatili vitisho maneno makali udanganyifu kumpa matarajio ya kiuchumi ili ajihusishe na vitendo vya ngono bila ridhaa yake Ni pamoja na vitendo mbalimbali kama ubakaji na maeneo mapana zaidi kama wanawake kulazimishwa kuolewa na kutoa huduma ya ngono kwa wanaume ambao sio chaguo lao

Ukandamizaji wa Kingono Ni kumtumia mtu watu au jamii inayoishi kwenye mazingira magumu kwa madhumuni ya kuihusisha katika vitendo vya kujamiiana au vinavyohusiana na kujamiiana ili mhalifu afaidike kiuchumi au kijamii

Bughudha ya Kingono Ni matendo yanayohusiana na hisia za kujamiiana ambayo yanakera na kuudhi watu ndani ya jamii na mazingira ya kazi hayakubaliki yanasumbua yanarudiwa mara kwa mara na bila ridhaa kwa mfano matusi kukonyeza mavazi duni yenye kuonyesha maungo kupapasa picha za ngono na kuingilia faragha za mwili wa mtu

Ukatili wa Kingono Nikitendo au jaribio lolote la unyanyasaji wa kingono linalosababisha au linaloweza kusababisha madhara ya kimwili kisaikolojia au kihisia

Ukatili wa Kiuchumi na Kijamii Ni vitendo vya kumnyima mtu fursa ya kupata mahitaji ya msingi na ya kujiendeleza kama kumnyima elimu kazi kumiliki mali huduma za afya na vitendo vingine vinavyosababisha msongo wa mawazo

xiii

Ukatili Matumizi ya nguvu yanayompa mtu fursa ya kumtumia au kumkandamiza mtu mwingine ikiwa ni pamoja na kumsababishia woga au hofu madhara ya kimwili kifikra na kisaikolojia Ukatili unaweza kujitokeza kwa kumdhuru mtu kimwili au kumtishia kwa kutumia silaha au kumnyima mtu uhuru wa kufanya uamuzi na kumlazimisha kutenda kinyume na utashi wake

Ukatili Dhidi ya Wanawake Ni kitendo au vitendo vya unyanyasaji vyenye kulenga jinsia ya kike na vyenye kusababisha au kuleta madhara ya kimwili kingono kihisia kisaikolojia kiuchumi na kijamii Kitendo au vitendo hivi hujumuisha kutumia nguvu na vitisho vya kumnyima mwanamke haki na uhuru

xiv

SEHEMU YA KWANZA

UTANGULIZI

11 Hali ya Ukatili wa Kijinsia Duniani

Ukatili Wa Kijinsia (UWAKI) unatokana na kuwepo kwa tofauti kati ya wanaume na wanawake na hivyo kuhatarisha afya utu usalama na uhuru wa wahusika waliofanyiwa vitendo vya kikatili

UWAKI unajumuisha vitendo vingi vya ukiukwaji wa haki za binadamu kama vile unyanyasaji wa watoto kingono ubakaji unyanyasaji katika familia shambulio la aibu na udhalilishaji Vitendo vingine vya UWAKI ni usafirishaji haramu wa wanawake na wasichana na madhara mengine yatokanayo na mila na desturi hatarishi

Matukio ya ukatili wa kijinsia yanaacha athari kubwa za kisaikolojia na za kiafya kwa watu waliopatwa na ukatili ikiwa ni pamoja na kuathiri afya ya uzazi na mara nyingine kusababisha vifo

UWAKI haujatambuliwa kama ukiukwaji wa haki za binadamu katika sehemu nyingi duniani Tatizo hili hupunguza uwezo wa wanawake wanaume na watoto katika kufurahia uhuru na haki za msingi za kibinadamu Hata hivyo licha ya kuwepo kwa UWAKI katika nchi nyingi tatizo hili halijapewa kipaumbele UWAKI unaelezwa kuwa ldquoNi kitendo kiovu na cha aibu kubwa cha ukiukwaji wa haki za binadamurdquo Hali hii humfanya mwanamke kuwa tegemezi kijamii kiuchumi na kisheria na hupunguza uwezo wake katika kupata msaada mara anapofanyiwa ukatili

Utafiti uliofanywa na Shirika la Afya Duniani (WHO) kuhusu afya ya wanawake na ukatili wa kifamilia katika nchi 10 umeonyesha kuwa kati ya wanawake waliowahi kuwa na wenzi asilimia 13-61 walifanyiwa ukatili wa kimwili na wenzi wao asilimia 6-59 walifanyiwa ukatili wa kingono na asilimia 15-71 walifanyiwa vitendo vya ukatili wa kingono pamoja na kimwili Pia wanawake wengi vijijini walikiri kuwa walifanyiwa tendo la ngono kwa mara ya kwanza bila ridhaa yao na takwimu zinaonyesha matukio hayo katika baadhi ya nchi kama ifuatavyo Peru (24)

1

Tanzania (17) Bangladesh (30) na Ethiopia (17) Ukatili wa kimwili kwa wanawake wajawazito uliripotiwa kuwa ni asilimia 4-12

Wanawake na wasichana wanakabiliwa na aina nyingine ya ziada ya unyanyasaji Usafirishaji haramu wa wanawake na wasichana kwa ajili ya kazi na ngono za kulazimishwa ni biashara iliyoshamiri na mara nyingi waathirika ni wale wanaokabiliwa na hali ngumu ya maisha Ndoa za kulazimishwa na za utotoni ni ukiukwaji wa haki za binadamu kwa wanawake na wasichana lakini zinaendelea kushamiri kwenye nchi nyingi za Bara la Asia Mashariki ya Kati na Nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara Utafiti wa Shirika la Afya Duniani (2010) unaonyesha kuwa duniani kote mwanamke mmoja kati ya wanawake watano na mwanamume mmoja kati ya wanaume 10 wanaripotiwa kuathirika na unyanyasaji wa kingono wakati wa utoto

12 Hali ya UWAKI Kanda ya Afrika

Kuna uhaba wa taarifa takwimu na utafiti kuhusu UWAKI kwenye ukanda wa Afrika Mashariki Nchini Kenya kulikuwa hakuna takwimu zenye kuhusiana na ukatili wa kijinsia hadi utafiti wa hali ya jamii na afya ulipofanyika mwaka 2003 Utafiti huu ulionyesha kwamba asilimia 29 ya wanawake waliripotiwa kuathiriwa na ukatili wa kingono kwenye kipindi cha mwaka mmoja uliopita na wengi wa waathirika walikuwa wanawake wa umri wa miaka 20-29 Utafiti uliofanywa na Ushirika wa Wanasheria Wanawake nchini Kenya ulionyesha kwamba ukatili wa kijinsia katika familia unakabili asilimia 51 ya wanawake waliohudhuria kliniki nne za wajawazito kwenye jiji la Nairobi na waliripoti kuwa wamekuwa waathirika wa ukatili wakati fulani katika maisha yao kati yao asilimia 65 walifanyiwa ukatili na waume zao na asilimia 22 walifanyiwa ukatili na wanaume wasiowafahamu

Utafiti kuhusu UWAKI uliofanywa baada ya uchaguzi wa 2007 nchini Kenya ulilenga makazi duni ya Kibera jijini Nairobi yenye wakazi wapatao milioni moja Utafiti huu ulionyesha kuwa umri wa waathirika waliobakwa ulikuwa kati ya miaka 25-68 na wengi wao walikuwa wenye umri wa miaka ya 30 UWAKI uliwaathiri wanawake wa umri wa miaka yote Utafiti huu ulibaini kwamba baadhi ya waathirika waliambukizwa virusi vya UKIMWI

2

Mwaka 2007 Umoja wa Mataifa ulikadiria kuwa kiwango cha ubakaji wa wanawake katika eneo la Kivu kaskazini ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ulikuwa ni wanawake 350 kwa mwezi Mwaka 2008 shirika linalotetea haki za binadamu duniani (Amnesty International) liliripoti kuwa wanawake 40 hubakwa kila siku katika eneo hilo hilo

3

SEHEMU YA PILI

UCHAMBUZI WA UWAKI TANZANIA

21 Ukubwa wa tatizo la UWAKI Tanzania

Utafiti uliofanywa na Shirika la Afya Duniani (WHO)1 kuhusu afya ya wanawake na ukatili majumbani kwenye nchi 10 umebaini kuwa ukatili dhidi ya wanawake upo sehemu nyingi ikiwemoTanzania Utafi ti huo ulihusisha wanawake 1820 Dar es Salaam na wanawake 1450 Mbeya waliowahi kuwa na wenzi Matokeo yalionyesha kwamba asilimia 41 ya waliohojiwa katika jiji la Dar es Salaam na asilimia 55 ya waliohojiwa katika jiji la Mbeya waliathirika na aina mbalimbali za UWAKI Taarifa ilionyesha kuwa asilimia 15 hadi 71 ya wanawake walioathirika na ukatili wa kimwili au wa kingono ulifanywa na waume au wenzi wao Utafi ti huo pia ulionyesha kwamba asilimia 15 ya wanawake walifanya kitendo cha ngono kwa mara ya kwanza kwa kulazimishwa Aidha asilimia 4 hadi 12 ya wanawake waliripotiwa kunyanyaswa kimwili wakati wa ujauzito

Kufuatana na uchunguzi wa kitaifa nchini Tanzania kiwango cha ukatili majumbani kati ya wanawake wenye umri wa miaka 15- 49 ni asilimia 45 ikijumuisha ukatili wa kimwili (25) kingono (7) na (14) kwa aina zote mbili Unyanyasaji wa kimwili kwa wanawake wajawazito ulikuwa asilimia tisa (9) Kiwango cha wanawake waliokabiliwa na matukio ya kushurutishwa na wenzi wao kilikuwa asilimia sitini (60) Kiwango cha matukio ya ukatili wa kimwili kinatofautiana sana kati ya mkoa na mkoa ambapo kiwango cha juu sana kipo kwenye mkoa wa Dodoma (71) na cha chini kabisa kwenye mkoa wa Tanga (16) Ukatili wa kingono ni wa kiwango cha juu sana kwenye mkoa wa Rukwa (32) na chini kabisa kwenye mkoa wa Shinyanga (5) Kiwango cha wanawake waliowahi kuwa kwenye ndoa ambao wameathirika na ukatili wa kingono kutoka kwa mume au mwenzi wa sasa ni 48 mume wa zamani (21) rafiki wa kiume wa sasazamani (7) Kwa upande wa wanawake ambao hawajaolewa 27 ya ukatili ulifanywa na marafi ki wa kiume wa sasa au wa zamani

1 World Health Organization (WHO)

4

Uchunguzi wa WHO uliotajwa hapo juu umeonyesha usafi rishaji wa wanawake na wasichana kwa ajili ya kazi na ngono za kulazimishwa ni biashara iliyoshamiri na mara nyingi waathirika ni wale wanaokabiliwa na hali ngumu ya maisha Ndoa za kulazimishwa na za utotoni kama zilivyo kwenye jamii nyingi ni ukiukwaji wa haki za binadamu kwa wanawake na wasichana kwa sababu hawana fursa ya kutoa ridhaa Zaidi ya 60 ya waathirika wa UWAKI nchini Tanzania hawachukui hatua yoyote ya kutoa taarifa ya ukatili kwa mamlaka rasmi au vyombo vya kutekeleza sheria Upo uwezekano mkubwa wa maambukizo ya VVU kutokana na UWAKI Vijana wa kike wa Kitanzania wenye umri wa miaka 18-29 ambao wamekuwa wakinyanyaswa na wenzi wao wana uwezekano wa mara 10 zaidi kupata maambukizo ya VVU kuliko wanawake ambao hawajanyanyaswa

Utafiti uliofanyika Dar es Salaam mwaka 2000 ulibaini kuwa zaidi ya 90 ya waathirika wa ubakaji wanawafahamu wahalifu wao Katika utafiti mwingine uliofanyika Dar es Salaam asilimia ishirini na tano (25) ya wanawake waliohojiwa walikiri kwamba ldquoUkatili ni tatizo kubwa kwenye maishardquo Nchini Tanzania ubakaji ndani ya ndoa hautambuliwi kama kosa la jinai isipokuwa kama wenza wametengana

Vitendo vya UWAKI nchini Tanzania kwa ujumla vinalenga zaidi wanawake na wasichana kutokana na desturi na mazoea ya jamii ambazo zinawabagua na kuwapunguzia uwezo wa kufurahia haki zao za kibinadamu Ingawa mashambulizi ya ngono yanawalenga zaidi wanawake na wasichana hata hivyo wanaume na wavulana vilevile wanalengwa katika unyanyasaji wa kingono kubughudhiwa na kushambuliwa

Ukatili kama ulivyofafanuliwa unadhihirisha tofauti ya madaraka kati ya mwathirika na mhalifu wa ukatili wa kingono ambapo mhalifu mara nyingi ana umbo kubwa umri mkubwa utajiri au ni mmojawapo kwenye kundi la watu wenye mamlaka au anatumia silaha Nchini Tanzania asilimia 134 ya vijana wameathiriwa na mashambulio ya kingono ya namna moja ama nyingine Kwa ujumla kutokana na sababu mbalimbali nchini Tanzania kuna uhaba wa taarifa za UWAKI pia taarifa zilizopo siyo kamilifu

5

Uzoefu unaonyesha kuwa bila kujali hali ya afya ya kimwili ya mwathirika UWAKI humwacha mwathirika na majeraha ya muda mrefu na kupunguza uwezo wa mwathirika kushirikiana na jamii na familia Athari zaidi hujitokeza kwa mwathirika kama vile aibu unyanyapaa msongo wa mawazo na mfadhaiko Tatizo hili kwa waathirika linachochewa na ldquoUtamaduni wa ukimyardquo miongoni mwa familia na jamii inayowazunguka UWAKI una athari ya moja kwa moja na matokeo hasi kwa afya na ustawi wa kiuchumi na kijamii kwa familia hasa kwa wanawake na watoto

22 Unyanyasaji wa Mtoto na Kijana

Utafiti wa kitaifa nchini Tanzania kuhusu Ukatili Dhidi ya Watoto ni wa kwanza na wa aina yake katika Bara la Afrika Matokeo ya utafi ti yameonyesha kwamba mara nyingi watoto wanakabiliwa na unyanyasaji na matukio mengi na ya namna mbalimbali yanayojumuisha ukatili wa kimwili kingono na kisaikolojia Utafiti ulibaini kuwa watoto wengi wako kwenye hatari kubwa ya kunyanyaswa kwenye mazingira ya nyumbani na shuleni Haya ni maeneo mawili ambayo watoto wengi wa Kitanzania hutumia muda wao mwingi wakati wanakua na kuelekea kwenye ujana Robo tatu ya watoto wanapofikia umri wa miaka 18 huwa wameathirika na ukatili wa kimwili kwa namna moja ama nyingine kutokana na ukatili wa ndugu mwalimu au kiongozi Kutokana na utafiti takribani 30 ya wanawake wenye umri kati ya umri wa miaka 13-24 na 14 ya wanaume wenye umri kati ya miaka 13-24 nchini Tanzania waliripotiwa kuathirika na ukatili wa kingono angalau mara moja kabla ya kufikisha umri wa miaka 18

Nchini Tanzania ukeketaji hufanyika mapema utotoni Karibu mwanamke mmoja kati ya wanawake watatu waliokeketwa (32) walikeketwa kabla ya kufikisha umri wa mwaka mmoja na 27 walikeketwa wakiwa na umri wa miaka 13 au zaidi Hata hivyo ukeketaji kwa wasichana hufanyika katika umri mdogo sehemu ya wanawake waliokeketwa wakiwa na umri wa miaka 5 iliongezeka kutoka 34 hadi 39 kwa mujibu wa Utafiti wa Afya ya Jamii [UAJ] 2004-05 na UAJ 2010 Kulingana na utafiti huu 5 ya wasichana wa miaka 13shy17 waliripotiwa kuwa wamekeketwa na 10 ya wasichana wa umri wa miaka 18-24 waliripotiwa kukeketwa Kwa mujibu wa sheria kukeketa ni

6

kosa linalostahili adhabu Kuna uwezekano kwamba wale waliokeketwa huwa wanasita kutoa taarifa na ndiyo sababu ya taarifa kuwa chache

23 Mazingira ya Sera ya UWAKI

Serikali ya Tanzania imeonyesha nia yake ya kushughulikia masuala ya UWAKI kwa kuridhia mikataba kadhaa ya kimataifa yenye kuhusiana na UWAKI na jinsia Mkataba wa Kutokomeza Aina Zote za Ubaguzi Dhidi ya Wanawake (1985) ambao umekuwa chombo katika kupambana na matukio ya ubaguzi ikiwa ni pamoja na ukatili Jukwaa la Beijing (1995)2 na Malengo ya Maendeleo ya Milenia (2000)3 Tanzania pia imeridhia hati ya Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu kuhusu haki za wanawake na hati ya Ushirikiano wa Maendeleo wa Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC)4

Vipaumbele vya maendeleo ya Tanzania vinaainishwa katika Dira ya Taifa 2025 na katika Mpango wa Kuondoa Umaskini na Kukuza Uchumi (MKUKUTA) MKUKUTA II (2011-25) unashughulikia UKIMWI na jinsia kama masuala mtambuka na ni mkakati wa kwanza wa kitaifa unaotambua UWAKI kama suala la kisera kwa watu wote Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto ndiyo yenye jukumu la kuratibu shughuli zote zinazohusiana na jinsia

Wizara hiyo imetayarisha Sera ya Maendeleo ya Jinsia (2000) kwa ajili ya kushughulikia upungufu na kukosekana kwa usawa kati ya wanaume na wanawake Pia Wizara imetayarisha Mkakati wa Kitaifa wa Jinsia na Maendeleo (2002) unaotoa dira na kuwezesha usawa wa kijinsia nchini Pamoja na Mpango wa Taifa wa Vitendo vya Kukinga na Kutokomeza Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto (2001-2015) kwa ajili ya kuongeza juhudi za Serikali za kisheria kwa kupambana na UWAKI na kuhakikisha lsquousawarsquo na lsquohakirsquo kati ya wanawake na wanaume nchini Tanzania Sera ya Taifa ya Afya ina mfumo wa utoaji wa huduma za afya kwa watu wote wanaohitaji ikiwa ni pamoja na waathirika wa UWAKI

2 Beijing Platform for Action - (BPA 1995) 3 Millennium Development Goals - (MDG 2000) 4 Southern African Development Cooperation - (SADC)

7

24 Haki za Binadamu Sheria na Mazingira ya Udhibiti

Tanzania imeridhia Sheria ya Haki za Binadamu na masharti ya vyombo kadhaa vya kimataifa na kikanda ambavyo vinakataza ubaguzi kwa misingi ya jinsia na hivyo kuhitaji serikali ihakikishe kwamba wanawake hawabaguliwi Vyombo hivi ni Mkataba wa Kimataifa wa Kuzuia aina zote za Ukatili na Unyanyasaji wa Kijinsia 1979 pamoja na Mkataba wa Kimataifa wa Haki za Kiraia na Kisiasa (1966)5 Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu (1981) na Hati ya Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu Kuhusu Haki za Wanawake Afrika (2000)

Tanzania imetunga sheria inayosimamia kukinga na kupambana na UWAKI Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (1977) iko wazi kwa kukataza ubaguzi na kwa misingi hiyo inatoa haki ya usawa [Ibara ya 12-24] Sheria ya Mtoto (2009) inawezesha jitihada za kupunguza ukatili dhidi ya watoto Sheria Maalumu ya Makosa ya Kujamiiana (1998)6

ilitungwa kwa lengo la kulinda heshima ya mwanamke na kuweka vikwazo kwa UWAKI kwa kutoa adhabu kali kwa makosa ya kingono Sheria hii inajumuisha ukatili wa kingono ubakaji biashara haramu ya usafirishaji watu bughudha za kingono na kukataza ukeketaji chini ya kifungu cha lsquoUkatili kwa watotorsquo

Hii ilikuwa mara ya kwanza kwa Tanzania kutunga sheria ya kukataza vitendo vilivyotajwa hapo juu na hatima ya sheria hii imewekwa chini ya sheria za adhabu kifungu cha 16

Sheria ya Adhabu (marekebisho ya 2002) inawekea vikwazo vitendo vya UWAKI mathalan vitisho Sehemu ya 89B 89A kutoroka watoto Sehemu ya 166 kutelekeza watoto Sehemu ya 167 kuua bila kukusudia Sehemu ya 195 mauaji Sehemu ya 196 mashambulizi Sehemu ya 240shy243 kutorosha Sehemu ya 246 utekaji nyara Sehemu ya 244 kazi za kulazimishwa Sehemu ya 256 wizi utokanao na mwenzi Sehemu ya 264 tishio la uchomaji Sehemu ya 332 uchomaji Sehemu ya 319-322 kuficha nyaraka Sehemu ya 276-278 Sheria ya Biashara ya Binadamu Na 6 ya mwaka 2008 inakataza biashara ya binadamu kwa sababu yoyote

5 International Covenant on Civil and Political Rights - (ICCPR 1966) 6 The Sexual Offences Special Provisions Act 1998 (SOSPA)

8

Sheria ya Kuzuia VVU UKIMWI Na 28 ya mwaka 2008 inakataza unyanyapaa na inafanya uambukizaji wa VVU kwa makusudi kuwa kosa la jinai

Pamoja na kuwepo vyombo vya kimataifa kikanda kitaifa na vya sheria za kuhakikisha haki kwa wanawake tatizo la UWAKI limetapakaa nchini Tanzania lakini linaripotiwa kwa nadra UWAKI unaathiri zaidi wanawake na wasichana kuliko wanaume na wavulana Haya ni matokeo ya uhusiano usio sawa kati ya wanaume na wanawake katika jamii ambayo yanajidhihirisha katika maeneo kadhaa ikiwa ni pamoja na maeneo ya kiuchumi kijamii kisiasa na kisheria

Mara nyingi UWAKI unapunguza uwezo wa wanawake na wasichana wa kufurahia haki za kimsingi za binadamu na uhuru kama ilivyoainishwa kwenye Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Utambuzi wa wahalifu wa UWAKI nchini Tanzania ni nadra kulinganisha na idadi ya mashambulizi Ni muhimu kushughulikia mahitaji ya kisheria ya waathirika wote wa UWAKI wanawake wasichana wanaume wavulana na watoto

25 Miundombinu ya utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii

Mfumo wa utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii upo katika ngazi ya kitaifa mikoajiji na wilaya manispaa Mfumo huu unawezesha utoaji wa huduma za kuboresha afya kuzuia magonjwa tiba utengemao na ustawi wa jamii kwa kupitia vituo vya kutolea huduma za afya vinavyojumuisha zahanati vituo vya afya na hospitali

Kuna mfumo wa rufaa kitaifa wa njia mbili kupeleka na kurejesha mgonjwa ambao unaanzia kwenye jamii na kwenda kwenye zahanati ambazo zipo 4679 vituo vya afya (481) hospitali za wilaya (95) hospitali za mikoa (19) na hospitali za rufaa za taifa (8) Kuna vituo vya kutolea huduma za afya 5718 nchini Tanzania vikijumuisha zahanati (86) vituo vya afya (10) na hospitali (4) vikiwa chini ya umiliki wa serikali (69) mashirika ya kidini (14) mashirika ya umma ( 3) na mashirika binafsi (14)

9

Mpango wa Maendeleo wa Afya ya Msingi [(MMAM) 2007-2017 pamoja na malengo mengine unakusudia kuhakikisha kuwa kuna kituo kimoja cha afya kwa kila kata katika kata 2555 zilizopo na zahanati moja kwa kila kijiji katika vijiji 10342 Jumla ya vituo vya afya ya msingi 8107 hospitali za wilaya 62 na taasisi 128 za mafunzo zitaanzishwa ifikapo mwaka 2012

Mahitaji ya watoa huduma za afya ni 82377 na waliopata mafunzo ni 29063 (35) ikiwa ni upungufu wa 65 ya mahitaji Mahitaji ya watoa huduma wa ustawi wa jamii ni 3892 Kuna wafanyakazi 210 wa ustawi wa jamii ikiwa ni upungufu wa 95 ya mahitaji na uhaba mkubwa katika ngazi za wilaya (93) kata (100) na vituo vya watu wenye ulemavu na taasisi nyingine (85) (WAUJ 2006)

Kuna uhaba wa wafanyakazi wa afya wenye ujuzi kwenye ngazi za zahanati (69) vituo vya afya (59) na hospitali za rufaa (48-67) Kwa ujumla kuna uhaba wa wafanyakazi wa ustawi wa jamii wenye ujuzi kwa kiwango cha 95 katika ngazi zote kanda (21) wilaya (93) kata (100) na vituo vya walemavu (95) Kama ujenzi wa vituo hautaendana na upatikanaji wa watoa huduma utekelezaji wa MMAM utakuwa na upungufu mkubwa

Kwa kawaida kuna hospitali ya wilaya au teule kwa kila Mamlaka ya Halmashauri ya Wilaya (MHW) Kuna MHW 133 ambazo zina majukumu na wajibu wa kutoa huduma za afya kwenye maeneo yao Kila MHW ina Bodi ya Afya ya Wilaya (BAW) ambayo inajumuisha madiwani waliochaguliwa na kusimamia mipango na utekelezaji wa huduma za afya kwenye wilaya

Mipango na usimamizi wa huduma za afya katika halmashauri inaongozwa na Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri ambayo kiongozi wake ni Mganga Mkuu wa Wilaya na ni Katibu wa BAW Kuna bodi ya hospitali ya wilaya teule Bodi ya Huduma ya Afya (BHA) ya kituo cha afya inayowakilisha wakazi wa kata na bodi ya zahanati inayowakilisha wakazi wa kijiji bodi zote zikiwa na uwakilishi sawa wa kijinsia

Makadirio ya matumizi ya afya kwa mtu mmoja kwa mwaka 201011 ilikuwa ni dola za kimarekani 1575 ambapo WHO imependekeza

10

kiwango cha dola 3400 za Kimarekani Matumizi ya afya ni asilimia 14 ya Bajeti ya Taifa kwa mwaka ambacho ni chini ya kiwango cha asilimia 15 kilichopendekezwa na Tamko la Abuja

Mfumo wa utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii upo katika ngazi zifuatazo

[a] Ngazi ya Kitaifa WAUJ ina jukumu la kutayarisha sera za afya na miongozo inayohusiana na huduma za afya kuweka viwango kuhakiki ubora kufuatilia na kutathmini pamoja na kusimamia utoaji wa huduma za afya zenye kujumuisha kuboresha afya kinga tiba utengemao na ustawi wa jamii Hospitali za rufaa zina asilimiai 52 tu ya wafanyakazi wenye ujuzi

[b] Ngazi ya MkoaJiji Timu ya Uendeshaji ya Afya ya Mkoa ina jukumu la kuongoza na kuendeleza utekelezaji wa mpango mkakati wa afya kwenye mkoa pamoja na ushauri wa kitaalamu kwa Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri kwenye maeneo yafuatayo (1) Utekelezaji wa sera miongozo na viwango vya utoaji wa huduma za afya kwa usahihi na kwa muda uliopangwa ukihusisha watoa huduma wote wa umma binafsi kwenye MHW (2) kupanga kwa ufanisi kutekeleza kufuatilia na kutathmini mipango ya afya ya kina katika halmashauri Kamati ya utawala ya hospitali ya mkoa ina jukumu la kupanga na kusimamia hospitali ya mkoa ambayo ni ngazi ya pili ya rufaa Kuna hospitali 19 za mikoa ambazo zina 34 tu ya wataalamu wa afya

[c] Mamlaka ya Halmashauri ya WilayaManispaa Huduma za afya katika ngazi hii zinasimamiwa na Halmashauri ya Wilaya kupitia BAW chombo kilichoundwa (2001) chini ya Sheria namba 7 ya mwaka 1982 kifungu cha 86A BAW inawajibika kwa utoaji wa huduma za kina kwenye wilaya Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri inatoa ushauri wa kiutaalam kwa utekelezaji wa uamuzi wa BAW

[d] Ngazi ya Wilaya Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri huandaa na kutekeleza mpango wa kina wa afya wa halmashauri pamoja na kufuatilia na

11

kutathmini huduma za afya kwenye hospitali vituo vya afya zahanati na jamii ikiwa ni pamoja na kufanya utafiti Kamati ya Utawala ya Hospitali inasimamia mipango na huduma kwenye hospitali ya wilaya ambayo ni ngazi ya kwanza ya rufaa Kuna hospitali 95 za wilaya zikiwa ni pamoja na hospitali teule ambazo zina asilimia 33 tu ya wataalamu wa afya

[e] Ngazi ya Kata Kamati ya Afya ya Kata inasimamia upangaji ubunifu na uratibu wa mipango ya afya ya jamii husimamia na huhamasisha upatikanaji wa rasilimali pamoja na ukusanyaji na matumizi ya Mfuko wa Afya wa Jamii Vituo vya afya vina jukumu la kutoa huduma za kina za afya na ustawi wa jamii kwenye kata Kamati ya Kituo cha Afya inasimamia utoaji wa huduma za afya na kuhamasisha ukusanyaji wa rasilimali zinazohitajika Timu ya Kituo cha Afya ina wajibu wa kusimamia shughuli za kila siku kwenye kituo cha afya Timu inapanga na kusimamia juhudi za afya ya jamii katika eneo lake chini ya Mpango wa Maendeleo ya Kata Kuna jumla ya kata 2555 nchini ambapo kata 481 sawa na 19 zina vituo vya afya ambavyo vina 41 tu ya wataalamu wa afya

[f ] Ngazi ya Kijiji Kamati ya Zahanati inahakikisha kwamba idadi ya watu katika eneo lake wanapata huduma sahihi za afya na nafuu pamoja na kusimamia uhamasishaji wa rasilimali kwa ajili ya utekelezaji wa mpango wa zahanati Timu ya Usimamizi wa Zahanati inapanga na kusimamia juhudi za afya ya jamii kwenye maeneo chini ya Mpango wa Maendeleo ya Kata Kuna jumla ya vijiji 10342 ambapo 4679 vina zahanati sawa na 45 ambazo ni aslimia 31 tu ya zahanati zina wataalamu wa afya wanaotosheleza Kamati ya Huduma za Jamii kwenye kijiji ina wajibu wa kuhamasisha na kushirikisha jamii ili wajihusishe kuboresha na kulinda afya

[g] Ngazi ya Kaya Kuna kaya takriban milioni 7 nchini Tanzania na wastani wa watu 47 kwa kila kaya (ambapo 70 ya kaya zote zinaongozwa na wanaume na 30 zinaongozwa na wanawake) Sera ya Afya ya Taifa inatamka kwamba ni wajibu wa kila raia kuendeleza na kulinda afya yake pamoja na ya familia yake Pamoja na haya kila raia ana jukumu la kujiepusha na tabia hatarishi kwa afya yake pamoja na ya mwenzie na kuchangia rasilimali kwa ajili ya afya yake na uendelezaji wa vituo vya kutolea huduma za afya

12

26 Kukinga na Kupambana na UWAKI

Serikali ya Tanzania na washirika wake wa karibu wametekeleza mambo mbalimbali yanayohusiana na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Wizara ambazo zinahusika kwa ukaribu kwenye utekelezaji wa mipango ya kukinga na kupambana na UWAKI ni pamoja na Wizara ya Maendeleo y a Jamii Jinsia na Watoto Wizara ya Sheria na Katiba Wizara ya Mambo ya Ndani na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Kuna ushirikiano kati ya wizara idara mashirika asasi za kiraia na wadau wa maendeleo Katika ngazi ya kitaifa serikali inatekeleza Mkakati wa Maendeleo ya Jinsia (2005) na kukuza usawa wa jinsia na haki kwa wanawake Utekelezaji wa Sheria Maalumu ya Makosa ya Kujamiana (1998) ambayo sasa ni Kanuni ya Adhabu Sura ya 16 Toleo la Marekebisho 2002 Pia serikali inatekeleza Mpango wa Taifa wa Vitendo wa Kuzuia na Kutokomeza Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto (2001-2015) ambao una lengo la kutokomeza ubaguzi na unyonyaji wa kisheria kijamii kiuchumi kiutamaduni na kisiasa Zaidi ya yote Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (1977) inatamka kuheshimu misingi ya usawa na haki kwa kila mtu

Kwa kushirikiana na wadau wengine serikali inawezesha uanzishwaji wa kitengo cha jinsia kwenye idara za wizara mbalimbali (mfano idara ya polisi chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi) Mashirika ya Jamii hutoa utetezi msaada wa kisheria huduma za afya na kuendesha kampeni na mashirika mengine yamechukua hatua za kutoa hifadhi kwa waathirika wa UWAKI na Vituo vya Kuhifadhi Waathirika Kuna sera za kitaifa sheria mikakati na mipango ya kazi kwa ajili ya kushughulikia usawa wa kijinsia Vilevile serikali kwa kushirikiana na asasi za kiraia imejenga mazingira mazuri ya kuwezesha waathirika kupata huduma kama vile msaada wa kisheria Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii (WAUJ) imekuwa ikitoa huduma kwa waathirika wa UWAKI licha ya kutokuwepo kwa mwongozo wa sera kwa ajili ya wahudumu wa vituo vya kutolea afya

27 Changamoto katika Kuzuia na Kupambana na UWAKI

Muundo wa sheria sera na juhudi za kukuza haki za binadamu zinakabiliwa na changamoto mbalimbali zinazofisha jitihada za kuzuia kupambana

13

na kuepusha athari za UWAKI nchini Tanzania Changamoto hizo ni pamoja na upungufu wa fedha upungufu wa kisheria na sera zilizopo uratibu duni kati ya wadau na kukosekana kwa mfumo wa rufaa kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI Hali kadhalika uelewa na taarifa juu ya ukubwa wa tatizo la UWAKI ni duni kwa hivyo WAUJ imebuni na kutayarisha mwongozo maalumu wa sera na huduma dhidi ya UWAKI ili kukabili changamoto hizo

[a] Sera za Taifa Serikali ya Tanzania inajitahidi kujenga mazingira mazuri ya kuzuia na kupambana na UWAKI Ingawa Sera ya Afya ina lengo la kutoa huduma za afya za kutosha kwa kila Mtanzania ipo haja ya kuwa na miongozo na mikakati inayofafanua masuala ya UWAKI kwa ukamilifu Ukosefu wa miongozo na sera ya usimamizi dhidi ya UWAKI ni kikwazo kikubwa kwa juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kutibu na kuhudumia waliopatwa na UWAKI Sekta ya afya itatumia mwongozo wa sera hii ili kuboresha huduma ya kupambana na UWAKI kwa kushirikisha na kuwahusisha wadau wote

[b] Sheria zaTaifa Pamoja na kuwepo sheria nyingi zilizopitishwa kwa ajili ya kulinda haki za wanawake na watoto bado zipo changamoto nyingi Kwa mfano kuna baadhi ya sheria zenye utata baadhi zinapingana na hivyo kupunguza uwezo wa kupambana na UWAKI Pamoja na hayo Sheria ya Ndoa kama ilivyofanyiwa marekebisho 2002 haiainishi hatua za kuchukuliwa dhidi ya ukatili wa kifamilia Sheria hii ni kama inahalalisha ubakaji kwa kuruhusu binti kuolewa chini ya umri wa miaka 18 Sheria ya Makosa ya Kujamiiana na Vipengele Maalumu (1998) haitambui ubakaji ndani ya ndoa ingawa inatambua ubakaji ikiwa mume na mke wametengana Mbali na upungufu huo sheria ya makosa ya kujamiiana kwa upande wa kuthibitisha ushahidi wa kuingiliwa kimwili ni mgumu Sheria ya Mila (Tangazo la Serikali Na4361963) ambayo inatumiwa na Watanzania wote wazawa inatokana na mila na desturi za makabila mbalimbali ya Tanzania sheria hii ya Mila ni ya kibaguzi na huleta changamoto kwa wanawake na watoto ambao wamezaliwa nje ya ndoa hususan katika urithi wa mali Kwa mfano ugawanaji wa mali ya marehemu upo katika makundi matatu (1) Mtoto wa kwanza wa kiume (2) Watoto wengine wa kiume waliobaki na (3) Watoto wa kike bila kujali umri

14

na hali katika familia Watoto wa kike wa marehemu hurithi fungu dogo na hunyimwa haki ya kumiliki ardhi Kwa mujibu wa sheria hii mjane hana haki ya kurithi mali yoyote kutoka kwa marehemu mume wake isipokuwa huchukuliwa kuwa atatunzwa na watoto wake Mjane ambaye hajabahatika kuzaa hupata asilimia 20 ya asilimia 50 ya mali za marehemu mume wake Mbali na urithi sheria hii kwa upande wa talaka ikiwa mke alilipiwa mahari wakati ndoa inapovunjwa na mahakama mume ana haki ya kudai kurudishiwa mahari

Sheria zenye kupunguza makali ya UWAKI zimeweka kanuni za kuwezesha wadau katika sekta mbalimbali kuandaa sera na miongozo ya kuzuia na kupambana na UWAKI Wahusika muhimu katika sekta mbalimbali wanapaswa kupitia sheria zinazotoa mwanya wa mwendelezo wa UWAKI na kupendekeza marekebisho au utungwaji wa sheria nyingine zitakazopunguza na kumaliza vitendo vya UWAKI Hata hivyo kuna umuhimu wa kuwepo kwa wajibu na majukumu ya sekta mbalimbali katika kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kupambana dhidi ya unyanyasaji na ukatili kwa watoto Kwa kutambua na kuimarisha wajibu huo katika kila sekta itasaidia uzingatiaji wa sera na kuimarisha ari ya utendaji katika sekta zifuatazo

bull Ustawi wa Jamii Kujenga mfumo wa kufanya tathmini ya vihatarishi katika kupima mfumo wa rufaa unaohusisha sekta na huduma mbalimbali kuweza kuamua na kuchukua hatua za haraka na za muda mrefu katika kupambana na kutoa mahitaji ya haraka na ya muda mrefu kwa ajili ya ulinzi wa watoto na waathirika wengine

bull Elimu Kujumuisha elimu dhidi ya ukatili wa kijinsia katika mitaala ya elimu ikiwa ni pamoja na kuandaa mazingira salama shuleni na kuingiza katika programu za elimu zinazoelezea juu ya masuala ya kujifahamu kimwili (kibiolojia) afya ya uzazi na maendeleo yaa jamii Kuhakikisha kwamba sekta mbalimbali za rufaa na mifumo inayotoa ulinzi wa mtoto vinahusishwa katika elimu hiyo

bull Polisi na sheria Kuimarisha na kupanua ulinzi sahihi wa kisheria kwa ajili ya watoto na kuchukua hatua za kisheria kwa watuhumiwa wa uhalifu kuendeleza juhudi za kuimarisha dawati la jinsia na watoto katika idara ya Polisi nchini Kuendelea kuelimisha polisi na watumishi wengine

15

wa usalama wa raia kuhusu ukatili dhidi ya watoto na kuwa na utaratibu wa uchunguzi wa pamoja na idara ya ustawi wa jamii afya mamlaka na vitengo vingine vinavyohusika na ulinzi na usalama wa mtoto

bull Afya Kufanya kazi katika muundo wa pamoja na wadau wengine kwa kufuata miongozo iliyopo kwa ajili ya kuzuia kutibu kuhudumia na kufuatilia matukio ya ukatili dhidi ya watoto Kuimarisha mifumo iliyo wazi yenye kuunganisha huduma rafi ki kwa watoto na vijana dhidi ya UWAKI

[c] Polisi na Mahakama Mabadiliko katika idara ya polisi hasa katika uanzishwaji wa polisi jamii na dawati la jinsia na watoto yanaonyesha maendeleo katika kushughulikia UWAKI Hata hivyo waathirika wa UWAKI wanakabiliwa na ugumu wa kufika katika vituo vya polisi na mfumo wa utoaji haki Kwa mfano zipo kesi zilizotupiliwa mbali na Mahakama kwa kukosa ushahidi muhimu kutoka upande wa mashtaka Matokeo yake ni kwamba waathirika wanakosa motisha ya kutoa taarifa ya matukio ya UWAKI na hivyo hushindwa kufikisha malalamiko katika vyombo vya utoaji haki

Upungufu wa mafunzo kwa polisi na watoa huduma za kisheria juu ya namna ya kuzitumia sheria zilizopo dhidi ya UWAKI kumesababisha kesi mahakamani kushindwa Mfano Fomu ya Polisi namba 3 (PF3) inatoa taarifa juu ya tukio la shambulio na haitoi maelezo juu ya tukio hilo kama limetokana na UWAKI Ingawa zipo sheria zinazopinga UWAKI sheria hizo hazifahamiki hivyo hazitumiki kikamilifu Pamoja na hayo sheria za kimila na imani za kidini zinazuia waathirika kutoa taarifa za matukio ya UWAKI

Sheria ya Makosa ya Kujamiiana na Vipengele Maalumu (1998) inatoa adhabu kali kwa makosa ya kujamiiana Mara nyingi watuhumiwa hawafikishwi mahakamani kwa kuhofia kudhurika kwa familia zao kwa upande wa kukosa kipato kutoka kwa mtuhumiwa (kwani adhabu za makosa hayo huwa ni kifungo cha muda mrefu) Kwa sababu hizo utoaji wa taarifa kutoka kwa waathirika na familia zao ikiwa ni pamoja na matumizi ya sheria na uendeshaji wa mashtaka umeendelea kuwa changamoto pamoja na kuwepo kwa Sheria ya Makosa ya Kujamiiana inayotoa ulinzi dhidi ya UWAKI

16

bull

bull

bull

bull

bull

[d] Mila na Desturi Katika ngazi ya jamii na mtu binafsi zipo sababu mbalimbali zinazochangia kwa kiwango kikubwa matukio ya UWAKI Utafiti uliofanywa na mtaalamu wa Shirika la Afya Duniani (WHO)7 unaainisha vipengele hatarishi vifuatavyo juu ya mila na desturi

Kanuni za kimila katika uhusiano wa kijinsia humpa mwanamume madaraka na haki zaidi Baadhi ya mila na desturi huhimiza uvumilivu juu ya vitendo vya UWAKI na kuwazuia waathirika kutoa taarifa na kupata msaada Uwezeshaji wa mwanamke katika kupambana na mfumodume hujenga hisia kwa mwanamume kuwa anapoteza mamlaka yake na hivyo huwaudhi baadhi ya wanaume na kuendelea kufanya ukatili kwa lengo la kuwadhibiti wanawake Matumizi ya baadhi ya sheria za kimila hayawasaidii waathirika kupata haki Hofu ya kulipiza kisasi unyanyapaa ubaguzi na kukosekana kwa huduma huwazuia waathirika kutoa taarifa na kupata msaada

[e] Madaraka na Mamlaka Madaraka na mamlaka ni muhimu katika kuzuia na kupambana na UWAKI Wakati mwingine watu wenye madaraka na mamlaka hufumbia macho matukio ya UWAKI Kwa mfano upo ushahidi wa kutosha kuwa kuna matumizi mabaya ya madaraka na mamlaka shuleni na maeneo ya kazi

[f ] Kuhusisha Jamii Jamii ndiyo ngazi ya awali kujua tukio la UWAKI na kutoa msaada wa usalama na ulinzi kwa mwathirika Utafiti wa Shirika la Afya Duniani katika nchi mbalimbali ulionyesha kwamba asilimia 37 ya waathirika walipata msaada kutoka kwa jamii Kutokana na kiwango cha unyanyapaa ubaguzi na kutengwa kijamii viongozi katika ngazi ya jamii waliohamasishwa juu ya UWAKI waliweza kukabili mazingira haya ya kiuhasama Jamii inaweza kumsaidia mwathirika kwa kujenga mazingira mazuri (kwa mfano kituo cha hifadhi salama) Jamii inahusishwa katika

7 Krug Etienne et al 2002 World Report on Violence and Health Geneva WHO Available at httpwwwwhointviolence_injury_preventionviolenceworld_report

17

bull

bull

bull

bull

kuwahamasisha waathirika kuwapa ulinzi mahitaji ya msingi msaada wa kisaikolojia na kuwapa rufaa kwa watoa huduma wengine Vilevile jamii inahusishwa katika kuzuia UWAKI kupunguza unyanyapaa na kuwapa unasihi waathirika pamoja na kuhamasisha viongozi wa kijamii na wanajamii kwa ujumla

Uhamasishaji huu ni muhimu kwa sababu jamii ni daraja kati ya mwathirika na huduma za afya na ustawi wa jamii

Jamii inapaswa kushirikishwa katika hatua za mwanzo na zinazofuata katika kuzuia UWAKI Katika hatua za mwanzo jamii inapaswa kujitahidi kuondoa tabia za kuvumilia matukio ya UWAKI na hivyo kupunguza matukio hayo Katika hatua zinazofuata jamii itatambua na kulinda wale walio katika hatari zaidi ya UWAKI kama watoto na wanawake Jamii pia inapaswa kutambua vikwazo vya utoaji huduma katika idara ya afya polisi na mfumo wa utoaji haki na kuisaidia jamii kuondokana na vikwazo vya upatikanaji wa huduma

Ni muhimu kuishirikisha jamii katika jitihada za utekelezaji wa kuzuia UWAKI na kupambana nao ikiwamo usimamizi wa matibabu ya waathirika Jamii ina uwezo mkubwa wa kuhamasisha waathirika kutafuta huduma za afya na huduma nyingine zinazohusiana na UWAKI kwa mfano huduma za polisi usaidizi wa kisheria na hifadhi salama Pia jamii ina wajibu wa kuwaunganisha waathirika na jamii zao

Hata hivyo zipo changamoto katika kuihusisha jamii kama vile

Upungufu katika kuwahusisha wanaume na wavulana katika kushughulikia UWAKI Wanajamii wamekuwa wakiwanyanyapaa badala ya kuwasaidia waathirika na wakati mwingine wameshiriki katika UWAKI Baadhi ya viongozi wa kijamii na kidini hawana utayari wa kuhamasisha kuzuia na kupambana na UWAKI Jamii zina kiwango kikubwa cha kunyamazia matendo ya UWAKI na kuzuia sheria kuchukua mkondo wake

18

[g] Hali ya kiuchumi na kijamii Kushughulikia UWAKI pekee kama changamoto inayohusu huduma za tiba ni kutibu dalili badala ya chanzo Ni muhimu kushughulikia vyanzo vya UWAKI kama umaskini miongoni mwa wanawake ambao huwafanya kuwa wategemezi

Serikali imetayarisha MKUKUTA II wenye kuainisha njia za kuendeleza na kulinda haki za binadamu kwa watu wote hasa kwa wanawake na wanaume maskini watoto watu wanaoishi katika hali hatarishi na makundi maalumu (angalia MKUKUTA II-kundi la III lengo la 3) na kuongeza uzalishaji na fursa za ajira zenye kuheshimika hasa kwa wanawake na vijana (angalia MKUKUTA II kundi la I lengo la 3) Changamoto iliyopo ni ukosefu wa kuweka vipaumbele katika utekelezaji wa ahadi hizi kwa wanawake na vijana kwa kuelekeza rasilimali za kutosha na kutekeleza mikakati katika kuleta mabadiliko ya hali ya kijamii na kiuchumi kwa wanawake na vijana hivyo kupunguza hali hatarishi ya UWAKI

28 Upungufu katika kupambana na UWAKI

Sekta ya afya imeandaa mwongozo wa kutoa huduma kwa waathirika wa UWAKI Hata hivyo ili kutoa huduma bora na za kirafi ki kwa waathirika sekta zinazohusika hazina budi kushughulikia upungufu ulioainishwa kama ifuatavyo

[a] Huduma za afya

Ukosefu wa mwongozo wa utoaji wa huduma kwa waathirika wa UWAKI Hakuna mwongozo wa utoaji wa huduma za kupambana na UWAKI kwa watoa huduma wa ngazi zote kuanzia nyumbani kwenye jamii zahanati vituo vya afya hospitali polisi mahakama na wadau mbalimbali Upungufu huu unakwamisha upatikanaji na utoaji wa huduma bora za kukinga na kupambana na UWAKI

Upungufu wa fedha Bajeti ya Serikali kuu na serikali za mitaa haikidhi mahitaji

19

Upungufu wa wataalamu wenye ujuzi wa kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Watoa huduma kwenye vituo vya kutolea huduma za afya na jamii hawana maarifa na ujuzi unaotakiwa kushughulikia mahitaji ya waathirika wa UWAKI wa marika yote

Kutojumuishwa kwa huduma za waathirika wa UWAKI na huduma nyingine Huduma za waathirika wa UWAKI hazikujumuishwa na huduma nyingine za afya na ustawi wa jamii kama vile afya ya uzazi upimaji wa VVU UKIMWI uzazi wa mpango na unasihi

Mfumo duni wa rufaa kwa waliopatwa na UWAKI Ingawa mfumo wa rufaa wa huduma za afya umeimarika kwa huduma nyingine lakini hakuna mfumo sahihi wa rufaa kwa waliopatwa na UWAKI Watoa huduma za afya hawana taarifa sahihi za waliopatwa na UWAKI kuhusu utaratibu wa kupeleka na kupokea wagonjwa kwenye vituo vyao na kwenda kwenye vituo vingine au huduma za mfumo wa jamii polisi kisheria na kadhalika Katika mazingira haya mahitaji ya rufaa kwa waliopatwa na UWAKI hayakidhiwi Waliopatwa na UWAKI hawana taarifa ambazo zitawasaidia kupata huduma na hivyo hushindwa kufanya uamuzi sahihi au kutafuta huduma na matibabu zaidi

Upungufu wa taarifa na takwimu Nchini Tanzania matukio yanayohusu UWAKI hayatolewi taarifa ipasavyo kutokana na sababu nyingi zikiwemo waathirika kusita kutoa ripoti ya matukio kutokana na unyanyapaa na ubaguzi hofu ya kutengwa na jamii aibu na miiko inayohusishwa na UWAKI Matokeo yake ni ukosefu wa taarifa zenye uhakika ambazo zinaweza kutumika kuandaa mpango kwa misingi ya utafi ti utaratibu wa utoaji huduma maendeleo ya kisera na utetezi ufuatiliaji na tathmini na uamuzi wa kiutawala

[b] Huduma za Ustawi wa Jamii Utoaji wa huduma za ustawi wa jamii unakabiliwa na ushirikiano mdogo kati ya watendaji wa sekta mbalimbali wa huduma za afya katika halmashauri Kuna upungufu wa watoa huduma za ustawi wa jamii katika ngazi mbalimbali Hali hii inaathiri wigo wa huduma ya msaada wa kisaikolojia unasihi marekebisho ya tabia na utengamao

20

bull

bull

bull

bull

bull

Kikwazo kingine ni watoa huduma za ustawi wa jamii na wadau wa afya kukosa stadi maalumu za kutosha kuhusu kuzuia na kupambana na UWAKI

Wajibu wa watoa huduma za ustawi wa jamii ni muhimu kwa sababu wanafanya kazi katika ngazi ya jamii ambapo matukio mengi ya UWAKI hutokea Wana majukumu makubwa kama watu wa mstari wa mbele kwenye kuzuia na kupambana na UWAKI Uhusiano kati ya jamii na utoaji wa huduma ndio kipimo cha kiwango cha waathirika wa UWAKI kupata huduma za matibabu na kurejea kwenye jamii ili kuendelea kuishi maisha yenye faraja

[c] Huduma za Jamii Baadhi ya upungufu wa uhusiano kati ya jamii na vituo vya kutoa huduma za afya ni pamoja na

Uelewa duni kuhusu masuala ya UWAKI na uwezeshaji wa jamii katika kuzuia na kupambana na UWAKI Uelewa duni wa mahali pa kupata huduma kwa waliopatwa na UWAKI Upungufu wa huduma za kijamii kwa waathirika ikiwa ni pamoja na mifumo ya kijamii ya kutoa ulinzi na usalama (kwa mfano vituo vya hifadhi ya muda) na huduma za rufaa za kiafya polisi na msaada wa kisheria

[d] Huduma za Msaada wa Kisheria (Polisi na Mahakama) Kuna vikwazo vingi katika kupata msaada wa kisheria ambavyo ni pamoja na

Upungufu wa kupata huduma za polisi na msaada wa kisheria kwa waathirika wa UWAKI

bull Kutokuwepo kwa sheria mahususi dhidi ya UWAKI bull yasiyotosheleza UWAKI kwa vyombo Mafunzo kuhusu

vinavyosimamia sheria bull Kuna sheria zinazokinzana na hivyo kutoa mwanya wa tatizo la

UWAKI kuongezeka Upungufu wa watumishi na fedha kwa ajili ya huduma za polisi na msaada wa kisheria

21

bull

bull

Uhaba wa vituo vya msaada wa kisheria Vituo vingi vinavyotoa msaada wa kisheria kwa sasa vinahudumiwa na asasi zisizo za kiserikali zina bajeti ndogo na zipo zaidi mijini

[e] Huduma ya Elimu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imeingiza UWAKI katika mtaala wa mafunzo ya walimu shule za msingi na sekondari Hata hivyo kuna changamoto nyingi katika kuhusisha shule ili kuzuia na kupambana na UWAKI

bull Walimu hawajapata mafunzo ya kutosha kuhusu UWAKI Uhaba wa maeneo salama na programu za shuleni zinazowapa watoto uwezo wa kuzuia na kupambana na UWAKI na ukatili dhidi ya watoto

bull mfumo unaohusuUhusiano duni kati ya mfumo wa elimu na ulinzi na usalama wa mtoto

22

SEHEMU YA TATU

UMUHIMU NA MALENGO 31 Umuhimu

Utafiti uliofanyika nchini Tanzania umeonyesha viwango vya juu vya UWAKI ambavyo ni kati ya asilimia 30 hadi 50 Viwango hivi havikubaliki na vinasababisha madhara ya kimwili kingono kisaikolojia kwa makundi ya umri wowote hasa watoto na wanawake Matokeo ya UWAKI yanaweza kusababisha vifo kutokana na kujiua maambukizo ya virusi vya UKIMWI au magonjwa na vifo vya wanawake vinavyotokana na uzazi Matokeo mengine ingawa hayasababishi vifo yana madhara ya kimwili kingono na kisaikolojia kwa muda mfupi au mrefu Madhara ya UWAKI ni zaidi ya matokeo ya kiafya na majeraha ambayo ni vigumu kupona UWAKI unakiuka haki za binadamu za waathirika na husababisha matokeo hasi katika amani umoja na kipato cha familia ambayo kwa ujumla huleta madhara kwa maendeleo ya kijamii na kiuchumi

Ingawa Serikali ya Tanzania na asasi za kiraia zimefanya jitihada kubwa za kuzuia na kupambana na UWAKI bado tatizo hili ni changamoto kubwa WAUJ itashughulikia changamoto hizi kwa kushirikiana na wadau wengine hali inayohitaji ushirikiano wa karibu ili kushinda vikwazo vilivyopo ambavyo ni pamoja na upungufu wa fedha na watumishi udhaifu kwenye mfumo wa rufaa na mfumo wa kuunganisha huduma za UWAKI katika huduma zilizopo Changamoto nyingine ni uhaba wa utetezi na takwimu kwa ajili ya uandaaji wa mipango yenye misingi ya utafiti kufanya uamuzi ufuatiliaji na tathmini Hata hivyo serikali imeweka misingi imara kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kama inavyodhihirishwa kwa kuwepo kwa sera mikakati na mipango kazi ya kusaidia masuala ya kijinsia na kupunguza UWAKI

Kutokana na ukubwa wa tatizo hili madhara yake na changamoto zinazohusiana na UWAKI WAUJ imetayarisha Mwongozo huu wa kisera chini ya Sera ya Afya ili kuimarisha juhudi za kupambana na UWAKI na kuhakikisha utoaji wa huduma za kina na zenye ubora katika ngazi zote Mwongozo huu wa kisera utatoa mwelekeo kwa vituo vya huduma za afya kwa ngazi zote kuhusu wajibu na majukumu yao katika utoaji

23

wa huduma za UWAKI Pamoja na haya Mwongozo huu utawezesha utayarishaji wa mwongozo wa matibabu kwa waathirika wa UWAKI Kutokana na uzito wa tatizo hili la UWAKI utayarishaji wa Mwongozo huu ulihusisha na kushirikisha kwa kina wadau mbalimbali ndani na nje ya WAUJ

32 Lengo Kuu

Lengo kuu la Mwongozo huu wa kisera ni kuimarisha uwezo wa WAUJ kuelekeza sekta ya afya na ustawi wa jamii na kujenga uhusiano imara na jamii na wadau mbalimbali katika kuzuia na kupambana na UWAKI

33 Malengo Mahasusi

Mwongozo huu utawezesha yafuatayo

[i] Kuweka mfumo wa kuelekeza utayarishaji wa mwongozo wa matibabu na taratibu za kutoa huduma kwa waathirika wa UWAKI

[ii] Kuelekeza WAUJ namna ya uratibu bora wa utekelezaji wa juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kuelekeza namna ya kuweka mifumo thabiti ya ufuatiliaji tathmini na uwekaji wa kumbukumbu za afua za UWAKI chini ya WAUJ

[iv] Kuelekeza ushirikiano kati ya Wizara jamii na wadau kutoka sekta mbalimbali katika utoaji wa huduma za UWAKI

24

bull

SEHEMU YA NNE

MAELEKEZO YA KISERA

Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii watafanya kazi pamoja na wale wa sekta nyingine hasa kwenye ngazi ya jamii katika kuimarisha ushirikiano na mitandao mingine katika jamii ili kuwasaidia waliopatwa na UWAKI kwa karibu na kuwashirikisha katika kuboresha afya zao na kuzuia UWAKI

WAUJ kwa kushirikiana na wadau wengine imetayarisha Mwongozo huu wa kisera wa UWAKI ili kutoa taarifa malengo na maelekezo kuhusu jitihada za kuzuia kuepusha na kushughulikia madhara ya UWAKI katika sekta ya afya Wadau muhimu ni pamoja na viongozi wa jamii polisi na mahakama Yeyote kati ya wadau hawa anaweza kuwa ni kimbilio la kwanza kwa wahanga wa UWAKI Wote wana wajibu wa kutoa huduma kwa haraka na kwa ufanisi

41 Huduma kwa Waliopatwa na UWAKI

Watoa huduma za afya wanatakiwa kuwahudumia waliopatwa na UWAKI kwa kujali na kuzingatia maadili ya taaluma zao Wajibu huu ni pamoja na kuhakikisha usalama hali ya usiri heshima utu na kutoa huduma bila ubaguzi Aidha kabla ya kutoa huduma inatakiwa kupata ridhaa ya muhusika au mlezi wa mtoto mwenye umri chini ya miaka 18

Kwa kulenga na kuzingatia mahitaji ya watu waliofanyiwa UWAKI watoa huduma za afya kwenye ngazi zote watazingatia na kuongozwa na kanuni zifuatazo

[a] Haki za Binadamu Maadili na Kujali

bull zilenge kurejesha au Usalama Hatua zote zinazochukuliwa kudumisha usalama wao Hali ya Usiri Siri zao pamoja na familia zao zinatakiwa kutunzwa wakati wote Hii ina maana kwamba mtoa huduma ya afya anaweza kutoa taarifa muhimu kwa mtoa huduma mwingine pale ambapo muhusika ameridhia tu

25

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

Heshima na utu Watoa huduma wanatakiwa kuwasikiliza kwa makini maoni mawazo na fikira zao na kuwahudumia kwa heshima Bila ubaguzi Waliopatwa na UWAKI wote ni sawa na wanatakiwa kuhudumiwa kulingana na mahitaji yao pia kupewa nafasi sawa katika kupata huduma Ridhaa arifu Ridhaa ya aliyefanyiwa UWAKI itahitajika kwenye taratibu za utoaji huduma maalumu kama (1) Uchunguzi na tiba (2) Uchunguzi tiba pamoja na ushahidi wa kitaaluma (3) Uchunguzi tiba ushahidi wa kitaaluma pamoja na uchunguzi wa polisi na kisheria

Kanuni zinazohusu watoto bull Kuzingatia na kusimamia mahitaji halisi ya mtoto wakati wote bull Kumpa mtoto faraja bull Kumshirikisha mtoto katika kufanya uamuzi bull Kumshughulikia kila mtoto kwa haki na usawa

Kumsaidia na kumlea mtoto ili akue katika hali ya ujasiri na kujiamini

[b] Haki za Aliyepatwa na UWAKI Watoa huduma wote wanatakiwa kuwa na mtazamo unaozingatia mahitaji ya mtu aliyepatwa na UWAKI na kuheshimu haki zake ambazo ni

bull Kuhudumiwa kwa heshima bila unyanyapaa ubaguzi na kutokuwa na mtazamo wa kumlaumu Kupewa taarifa sahihi na zinazoeleweka ili aweze kutoa ridhaa na siyo kumwambia cha kufanya hali inayoweza kumfanya ajisikie mnyonge

bull Kupewa faragha na hali ya usiri na siyo kumteta au kumwaibisha Kulindwa dhidi ya ubaguzi wa aina yoyote au upendeleo wenye misingi ya kijinsia au sababu nyingine Kupewa nafasi ya kuchagua kuhudumiwa na mtoa huduma mwanamume au mwanamke

bull Kupewa nafasi ya kusindikizwa na ndugu au mlezi wake

26

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

[c] Wajibu wa Mtoa Huduma Mtoa huduma anatarajiwa kuzingatia yafuatayo anapomhudumia mtu aliyepatwa na UWAKI

Kujiweka katika nafasi ya mtu aliyepatwa na UWAKI na kuguswa kuwa mtunza siri kuonyesha upendo na kujali anapomuhudumia Kumpatia taarifa sahihi na kuhakikisha kuwa ridhaa arifu inatolewa kwa huduma inayohitajika Kuzingatia masilahi ya muhusika na kuheshimu matakwa yake wakati wote

bull na kuzuia madhara mengineKuhakikisha ulinzi na usalama wake Kuhifadhi kumbukumbu zake mahali pa usalama na kutunza siri wakati wote

bull huduma kadiriKumpatia rufaa kwenda kwenye ngazi za juu za inavyohitajika kulingana na kiwango cha madhara ya kimwili kihisia na kisaikolojia Aidha inatakiwa kumpatia unasihi kabla ya kumpa rufaa

Kuhusu Watoto bull Kuhakikisha kuwa mzazi au mlezi yupo wakati wote pia

kuhakikisha kwamba mzazi au mlezi siyo tishio kwa mtoto Wakati wote mwandae mtoto kuelewa kinachotarajiwa kutendeka na kuhakikisha anaelewa kitakachotokea Kwa watoto wenye umri chini ya miaka 18 ridhaa ya maandishi inahitajika kutoka kwa mzazi au mlezi

Vigezo vya kupata mchango wa mawazo kutoka kwa Watoto Watoto wa umri wa miaka 16 na zaidi kwa ujumla wana uwezo wa kutosha kufanya uamuzi

bull kuwaWatoto wa umri wa miaka 14 hadi 16 wanatarajiwa wamekomaa vya kutosha kutoa mchango au mawazo yao Watoto wa umri wa miaka 9 hadi 14 wana welewa wa kushiriki kufanya uamuzi lakini ukomavu wa kila mtoto unatakiwa kupimwa kipekee Watoto wa umri chini ya miaka 9 wana haki ya kutoa maoni arifu na kusikilizwa Wanaweza kushiriki katika mchakato wa kufanya uamuzi kwa kiwango fulani lakini hadhari inahitajika ili kuwaepusha na mzigo wa kuwa waamuzi

27

bull lazimaKimsingi inapendekezwa kwamba maoni ya kila mtoto yazingatiwe kulingana na umri wake kiwango cha ukomavu utamaduni mila na hali ya mazingira

[d] Wajibu wa WAUJ katika Ngazi ya Taifa WAUJ inatayarisha sera miongozo na kanuni inadhibiti ubora inafuatilia na kutathmini utekelezaji Vilevile inahakikisha kuna watumishi na fedha za kutosha kwa mipango ya afya pamoja na kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote WAUJ itaendeleza ushirikiano na wadau mbalimbali kitaifa na kimataifa Wizara itafanya yafuatayo katika kuzuia na kupambana na UWAKI

[i] Kuandaa miongozo ya matibabu yenye ubora kwa ajili ya watoto vijana na watu wazima waliopatwa na UWAKI

[ii] Kutafuta na kutenga fedha kwa ajili ya afua za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kuandaa miongozo ya mafunzo yanayohusiana na juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kutoa mafunzo kwa watoa huduma za afya na ustawi wa jamii kuhusu kuzuia na kupambana na UWAKI kwa watoto vijana na watu wazima

[v] Kutoa huduma mseto na rufaa kwa kutumia mfumo uliopo wa utoaji huduma za afya na ustawi wa jamii

[vi] Kuunganisha takwimu zinazohusu UWAKI kwenye Mfumo wa Takwimu na Ufuatiliaji wa Huduma za Afya (MTUHA)

[vii] Kuendeleza utaratibu wa kupeana taarifa na takwimu zinazohusu UWAKI pamoja na kushirikiana na wadau wake wakuu

[viii] Kufanya usimamizi shirikishi ili kuhakikisha kuwa kanuni za haki za binadamu maadili na kujali zinazingatiwa

[e] Wajibu wa Vituo vya Huduma za Afya Vituo vya kutoa huduma za afya vinajumuisha zahanati vituo vya afya na hospitali zinazomilikiwa na sekta ya umma na binafsi Vituo vyote vya kutoa huduma katika ngazi zote vina Kamati ya Uongozi ya Kituo na Timu ya Usimamizi

28

Vituo vya huduma za afya vitafanya yafuatayo [i] Kuhakikisha kwamba Timu za Usimamizi wa Huduma za Afya

zinatenga fedha za kutekeleza mikakati na mipango kazi ya mwaka ili kuviwezesha vituo kutoa huduma bora kwa waliopatwa na UWAKI

[ii] Kuunganisha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI na zile zilizopo kwenye vituo vya huduma za afya na kuhakikisha mpangilio mzuri wa rufaa za ndani na nje ya kituo zinakidhi mahitaji ya watoto vijana na watu wazima kwa usawa na haki

[iii] Kuhakikisha watoa huduma ya afya na ustawi wa jamii wanapatiwa mafunzo ya kutoa huduma toshelezi kwa watoto vijana na watu wazima waliopatwa na UWAKI

[iv] Kuanzisha utaratibu bora wa kukusanya takwimu na taarifa kuhusu huduma kwa waliopatwa na UWAKI na kutunza kumbukumbu kwa usahihi na kutoa taarifa kwa ajili ya matumizi ya kituo na wadau

[v] Kufanya kazi kwa ushirikiano wa karibu na kamati ya afya ya kituo polisi mahakama na taasisi za elimu ili kukuza ushirikiano kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye jamii

[f ] Wajibu wa Watoa Huduma za Afya Watoa huduma za afya ni pamoja na watunza kumbukumbu za afya tabibu (tabibu msaidizi ofisa tabibu madaktari wasaidizi madaktari na madaktari bingwa) wauguzi wakunga maofisa wauguzi wasaidizi maofisa wauuguzi) wafanyakazi wa maabara wafamasia na maofi sa ustawi wa jamii Watoa huduma hawa wanatakiwa kuzingatia yafuatayo

[i] Kuelewa kikamilifu na kuzingatia kanuni za miongozo ya haki za binadamu maadili ya taaluma na kuonyesha upendo na kujali wakati wa kumhudumia aliyepatwa na UWAKI

[ii] Kuhakikisha upatikanaji wa mahitaji muhimu na utoaji wa huduma toshelezi na zenye ubora kwa waliopatwa na UWAKI katika kituo cha kutoa huduma za afya na kwenye jamii

[iii] Kuwatambua waliopatwa na UWAKI kati ya wagonjwa wa nje katika kituo na kuhakikisha wanapata matibabu na rufaa kwa haraka

29

[iv] Kuhakikisha utoaji wa huduma toshelezi kwa waliopatwa na UWAKI (watu wazima vijana na watoto) Huduma hizi ni pamoja na huduma ya matibabu kutunza ushahidi unasihi na rufaa ndani ya mfumo wa afya na pia rufaa kwenda kwenye sekta nyingine

[v] Kuhakikisha vielelezo vya upelelezi vinakusanywa na kuhifadhiwa ipasavyo ili kutunza ushahidi

[vi] Kuchukua takwimu na taarifa kamili kuhusu aliyepatwa na UWAKI na kuhakikisha zimehifadhiwa kwa siri na usalama

[vii] Kujenga ushirikiano na jamii pamoja na wadau wengine

42 Wajibu wa Jamii

Wadau muhimu katika jamii ni Kamati ya Huduma za Jamii Kamati ya Ulinzi na Usalama Kamati ya Zahanati Mashirika ya Dini Kamati ya Kijiji ya Afya wahudumu wa afya katika jamii wakunga wa tiba asili waganga wa tiba asili na mbadala viongozi wa jamii vikundi vya wanawake na wakuu wa kaya

Jamii itafanya yafuatayo kwa waliopatwa na UWAKI [i] Kupanga na kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya kuzuia

na kutoa huduma bora kulingana na mpango wa mwaka wa zahanati

[ii] Kuhakikisha upatikanaji wa huduma toshelezi pamoja na usalama wao kupatiwa mahitaji ya msingi msaada wa kisaikolojia kupewa rufaa kwenda polisi vyombo vya sheria na watoa huduma wengine Vilevile wanajamii wana wajibu wa kutoa ushahidi mahakamani na kuwasaidia wahusika kuunganishwa na familia zao na jamii

[iii] Kuhakikisha kuwepo kwa vituo vya hifadhi ya muda vya kutosha kwenye jamii

[iv] Kujenga welewa na kuiwezesha jamii kuzuia na kupambana na UWAKI kwa kutetea misingi ya haki za binadamu usawa wa kijinsia haki za vijana na watoto na kutovumilia UWAKI

43 Msaada wa Kisheria kwa waliopatwa na UWAKI Watoa huduma wa afya na ustawi wa jamii baada ya kupata ridhaa kutoka kwa muhusika watampa rufaa ya kwenda sekta nyingine muhimu na kwa wadau mbalimbali kama vile polisi vituo vya msaada wa kisheria kwa ajili ya kupata huduma maalum Watoa huduma wanawajibika

30

kutoa taarifa za kutosha kuhusu masharti ya kisheria ya kutoa taarifa ya matukio ya UWAKI na kwa wakati unaofaa

Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wanawajibika kutoa ushauri kwa waliopatwa na UWAKI (watoto vijana na watu wazima) kuhusu taratibu za mahakama msaada wa ulinzi msaada wa kisheria na taratibu za polisi kama ifuatavyo

[a] Ushahidi wa Kimahakama Huduma kwa muhusika zitalenga mahitaji yake kuheshimu haki yake ya hali ya usiri kupewa taarifa za kutosha zenye kueleweka na sahihi hivyo kuhakikisha anatoa ridhaa arifu kwa hatua na zitakazofuata

[i] WAUJ itahakikisha kupatikana na kuzingatiwa kwa viwango vilivyowekwa kwa ngazi zote katika kuchukua historia kamili ya muhusika kupima na kufanya uchunguzi kuchukua vielelezo vya ushahidi kujaza fomu zinazokubalika kisheria kwa kuweka kumbukumbu ambazo ni halali kama ushahidi mahakamani

[ii] Timu ya Afya ya Usimamizi ya Kituo cha Huduma za Afya baada ya kupata ridhaa ya aliyepatwa na UWAKI itapanga kutenga na kutoa rasilimali za kutosha kuhakikisha nyaraka sahihi zimetayarishwa na kuhifadhiwa na vielelezo vya ushahidi wa mahakama vimepelekwa kwenda maabara ya serikali na kufuatilia majibu

[iii] Watoa huduma wa ngazi zote watahakikisha ukusanyaji sahihi wa vielelezo vya ushahidi na kujaza fomu zinazohusika pamoja na kujaza kwa ukamilifu Fomu ya Polisi Namba Tatu (PF3) na kuthibitisha kwamba muhusika ana taarifa na anaelewa utaratibu

[b] Ulinzi na Msaada kwa Waliopatwa na UWAKI Waliopatwa na UWAKI wana haki ya kulindwa dhidi ya mtuhumiwa pamoja na kupewa mahitaji ya msingi (kwa mfano chakula nguo usafi ri nk) kupewa huduma za polisi (mfano kusindikizwa ulinzi) na kupewa msaada wa kisheria

[i] WAUJ itahakikisha kwamba vituo vya huduma za afya na ustawi wa jamii na watoa huduma wa ngazi zote wana taarifa sahihi kuhusu haki za ulinzi na msaada kwa waliopatwa na UWAKI

31

[ii] Timu za Afya za Usimamizi wa vituo vya huduma za afya katika ngazi zote zitapanga kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya ulinzi na msaada kwa waliopatwa na UWAKI Kama Muhusika ni mtoto atasindikizwa na ofi sa ustawi wa jamii pamoja na mzazi au mlezi ikiwa mzazi au mlezi huyo hahusiki na uhalifu

[iii] Watoa huduma wa afya watatoa taarifa kwa muhusika au mzazi mlezi (kama muhusika ni mtoto chini ya miaka 18) kuhusu msaada atakaopata kwenye kituo cha huduma za afya polisi na msaada wa kisheria juu ya haki na ulinzi kwa mujibu wa sheria za Tanzania

[c] Wajibu wa Watoa Huduma za Afya na Ustawi wa Jamii katika Taratibu za Kimahakama

Watoa huduma za afya kwenye ngazi zote wanatakiwa kuhakikisha kwamba waliopatwa na UWAKI wakiwemo watu wazima vijana na watoto pamoja na walezi wao wana taarifa muhimu zinazohusu masuala ya kisheria ambayo yako nje ya huduma za tiba

[i] WAUJ itahakikisha kwamba vituo vya huduma za afya na watoa huduma wanapata ujuzi na wanajua wajibu wao kuhusu namna ya kutoa ushahidi mahakamani ili kuwasaidia wahusika

[ii] Timu za Usimamizi za vituo vya huduma za afya kwenye ngazi zote zitahakikisha kwamba watoa huduma wanaotambulika kisheria na wana welewa sahihi wa uandaaji wa nyaraka muhimu taratibu za kesi mahakamani na viwango vya ushahidi

[iii] Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii kwenye ngazi zote watahakikisha kwamba muhusika anapata taarifa za kutosha kuhusu ratiba na taratibu za upelelezi na umuhimu wa hatua za kisheria

44 Huduma ya Unasihi Kisaikolojia na Kijamii kwa Waliopatwa na UWAKI

Watu waliopatwa na janga la UWAKI watapewa msaada wa unasihi kisaikolojia na kijamii kwa upendo na kujali kuanzia wakati wa tukio hadi watakapojumuika tena kwenye familia na jamii Katika ngazi ya jamii msaada huo utatolewa na Maofisa wa Ustawi wa Jamii Maofi sa hawa watatoa msaada wa kisaikolojia na unasihi wakishirikiana na

32

wadau wengine waliopata mafunzo kutoka asasi za kiraia asasi za kidini na wahudumu wa afya katika jamii

[i] WAUJ itahakikisha utoaji wa msaada wa unasihi kisaikolojia na kijamii kwenye ngazi zote pamoja na kuhakikisha kuwepo kwa ulinzi na usalama (kwa mfano kituo cha hifadhi ya muda)

[ii] Timu za Usimamizi wa Huduma za Afya kwenye ngazi zote zitapanga na kutenga rasiilimali za kutosha pamoja na watoa huduma kwa ajili ya kutoa msaada wa kisaikolojia na kijamii rufaa na kujenga ushirikiano na wadau wengine ili kuwaunganisha wahusika kwenye familia na jamii

[iii] Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii watahakikisha kwamba wanatoa unasihi wa kutosha pamoja na kutoa huduma rafi ki kwa watoto kutoa rufaa za kwenda na kurudi kwenye huduma za tiba vituo vya hifadhi ya muda na kuwezesha kuwaunganisha kwenye familia na jamii

45 Mfumo wa Usimamizi Uratibu na Ushirikiano Utoaji wa huduma bora kwa waliopatwa na UWAKI unahitaji usimamizi na uratibu wa mara kwa mara kwa watoa huduma za afya wa kada mbalimbali katika ngazi zote Vilevile kuratibu shughuli na kutoa rufaa kwenye vituo vya ngazi ya taifa mikoa halmashauri na jamii Pia kunahitajika utaratibu wa kujenga ushirikiano kati ya sekta ya afya na wadau wa sekta nyingine

[a] Usimamizi wa Huduma za Kuzuia na Kupambana na UWAKI [i] Usimamizi wa huduma utakuwa ni sehemu ya mikakati na

mipango ya mwaka kwa vituo vya huduma za afya kwenye ngazi zote

[ii] Wasimamizi katika ngazi zote watafanya usimamizi shirikishi ili kuhakikisha utoaji wa huduma bora

[b] Uratibu wa Huduma za Kuzuia na Kupambana na UWAKI [i] Wasimamizi wa huduma za afya kwenye ngazi zote watabaini na

kuratibu afua na shughuli zinazotakiwa kutekelezwa na wadau mbalimbali kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI

33

[ii] Wasimamizi wa huduma za afya katika ngazi zote watahakikisha kuwa wanapanga utekelezaji wa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[c] Taratibu za Ushirikiano katika Kutoa Huduma za UWAKI Taratibu za ushirikiano zitahusisha ngazi mbalimbali za utoaji wa huduma za afya kulingana na hadhi ya kituo ikihusisha kada mbalimbali za afya katika serikali na sekta binafsi

[i] Wasimamizi wa huduma za afya watabaini na kuanzisha ushirikiano kwa ajili ya kutoa huduma bora na toshelezi kwa waliofanyiwa UWAKI

[ii] Wasimamizi wa huduma za afya watapanga na kutenga rasiilimali za kutosha kwa ajili ya kuendeleza ushirikiano na wadau muhimu pamoja na kujenga mfumo imara wa rufaa wa kupeleka na kuwarejesha wahusika

[iii] WAUJ itatayarisha na kusambaza orodha ya vituo vya rufaa kufuatana na aina ya huduma maalumu zinazotolewa

46 Utetezi na Mawasiliano ya Kubadili Tabia

Utetezi na mawasiliano ya kubadili tabia utakuwa ni sehemu ya mipango na mikakati ya kila mwaka katika ngazi zote Ngazi zote zitahamasisha kutenga na kutoa rasilimali za kutosha kwa ajili ya kutekeleza mipango na mikakati ya kila mwaka Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii watatambua na kuwezesha juhudi za jamii za kuhakikisha ushirikishwaji na kuhamasisha jamii kutumia rasilimali zao ili kupambana na UWAKI Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii wanatakiwa kupanga na kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya elimu ya afya kwa lengo la mawasiliano ya kubadili tabia

[a] Utetezi wa Kuzuia na kupambana na UWAKI kwa kushirikiana na wadau

Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii na kamati zinazohusika katika ngazi zote za WAUJ watafanya yafuatayo

[i] Kupanga mikakati ya kuongeza welewa na upeo kuhusu vyanzo vya UWAKI kubaini namna ya kuzuia na kubuni njia za kupambana na UWAKI

34

[ii] Kutetea na kuhamasisha uchangiaji zaidi wa raslimali kutenga kasma kwenye bajeti katika Mfumo wa Matumizi ya Muda wa Kati na katika Mpango Kabambe wa Afya wa Halmashauri kwa ajili ya kinga na huduma za kupambana na UWAKI

[iii] Kutetea utekelezaji wa sera na sheria zenye kuunga mkono juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kuhusisha vyombo vya habari katika kutekeleza shughuli za utetezi na ushawishi

[b] Ushirikiano wa wadau kwenye mawasiliano ya kubadili tabia dhidi ya UWAKI

Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii na kamati zao kwenye ngazi zote watafanya yafuatayo

[i] Kutambua mahitaji na kupanga mawasiliano ya kubadili tabia kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kwa ufanisi

[ii] Kuhusisha vyombo vya habari katika kupanga kutekeleza na kufuatilia shughuli za mawasiliano ya kubadili tabia

47 Ufuatiliaji na Tathmini ya Huduma za Kuzuia na Kupambana na UWAKI

Ufuatiliaji na tathmini ya huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI ni muhimu katika kupima ubora wa matokeo ya huduma zinazohusiana na UWAKI Ufuatiliaji na tathmini unahitaji kuchagua vigezo vya kupima maendeleo ya huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kukusanya takwimu kuchambua kutafsiri kutayarisha na kuwasilisha ripoti kwa wadau muhimu Ufuatiliaji na Tathmini unasaidia kutambua maeneo yanayohitaji kufanyiwa utafi ti

[i] Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii katika ngazi zote watatumia vigezo vilivyokubalika kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Takwimu za UWAKI zitaoanishwa na kuunganishwa kwenye MTUHA

[iii] Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii kwenye ngazi zote watahakikisha wanakusanya taarifa na takwimu zinazohusiana na UWAKI kwa kutumia fomu maalumu kwa ajili ya kufuatilia na

35

kutathimini usimamizi na kuwasilisha ripoti za utekelezaji kwa wadau kufuatana na utaratibu maalumu wa kushirikiana katika kutoa taarifa

[iv] Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii katika ngazi zote watafanya utafiti ili kuboresha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

36

SEHEMU YA TANO

MUUNDO WA UTENDAJI KATIKA KUZUIA NA KUPAMBANA NA UWAKI

Wajibu wa WAUJ ni kuandaa kusimamia na kuratibu utekelezaji wa Mwongozo huu wa sera pamoja na sheria kanuni na viwango vya huduma dhidi ya UWAKI katika ngazi zote nchini Mfumo wa utendaji kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI unahusisha ngazi tatu taifa mkoa na halmashauri

51 Ngazi ya Taifa

Katika ngazi ya Taifa Mganga Mkuu wa Serikali ndiye mwenye wajibu wa uongozi wa kitaaluma kwenye utekelezaji wa mipango ya kuzuia na kupambana na UWAKI Ofisi ya Mganga Mkuu ina idara nne ambazo ni Idara ya Kinga Idara ya Tiba Idara ya Mafunzo na Idara ya Ubora na viwango vya Huduma Huduma za Ustawi wa Jamii zipo chini ya Kamishna wa Ustawi wa Jamii

Kitengo cha Afya ya Uzazi na Mtoto ambacho kinasimamiwa na Idara ya Kinga ndicho kinachosimamia utekelezaji wa Mwongozo wa sera ya UWAKI Majukumu ya ofisi ya Mganga Mkuu wa Serikali Idara ya Kinga na Sehemu ya Afya ya Uzazi na Mtoto ni kama ifuatavyo

[a] Ofisi ya Mganga Mkuu wa Serikali Ofi si ya Mganga Mkuu wa Serikali inaratibu inasimamia na kuimarisha huduma za uboreshaji wa Afya Kinga Ubora na viwango vya huduma Tiba ya magonjwa na Utengamao Aidha ofisi inasimamia mafunzo upatikanaji wa wataalamu wa afya katika sekta ya Afya na Ustawi wa Jamii

Ofisi ya Mganga Mkuu wa Serikali kwa kushirikiana na Mabaraza na Vyama vya Kitaaluma vilivyo chini ya sekta ya Afya na Ustawi wa Jamii inasimamia maadili ya wataalamu wa afya kwa kupitia Mabaraza yao ya Kitaaluma

37

bull

bull

[I] Idara ya Kinga Idara hii inasimamia sehemu tano Afya ya Uzazi na Mtoto Epidemiolojia na Udhibiti wa Magonjwa Afya na Usafi wa Mazingira Elimu ya Afya na Lishe Kuna programu na miradi mbalimbali chini ya idara baadhi yake zinahusiana kwa ukaribu na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Programu hizi ni pamoja na Mpango wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI Programu ya Kuzuia Maambukizo ya VVU Kutoka kwa Mama Kwenda kwa Mtoto Programu ya Huduma ya Afya Kwenye Jamii Programuya Afya Shuleni Program ya Uzazi Salama Programu ya Afya ya Mtoto Programu ya Afya ya Uzazi kwa Vijana na Programu ya Uzazi wa Mpango

Idara itafanya yafuatayo Kuhakikisha afua za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa kwenye programu na miradi ya idara na sehemu Kuhakikisha kwamba afua za kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na utetezi na mawasiliano ya kubadili tabia zinajumuishwa kwenye miongozo ya elimu ya afya na ustawi wa jamii

Sehemu ya Huduma za Afya ya Uzazi na Mtoto Sehemu ya Huduma ya Afya ya Uzazi na Mtoto ndiyo inayohusika katika kuzuia na kupambana na UWAKI na majukumu yake ni

[i] Kuandaa mwongozo wa huduma za kina kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kutayarisha mitaala ya mafunzo kwa ajili ya wasimamizi na watoa huduma wa ngazi zote

[ii] Kuratibu kufuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI katika ngazi zote

[iii] Kuwasiliana na wizara nyingine na mashirika ya kitaifa na kimataifa yenye kuhusiana na mipango ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kuangalia upya orodha ya vifaa muhimu kwa utoaji wa huduma bora kwa wahanga wa UWAKI kwa ngazi zote za utoaji huduma

[v] Kuongoza kikundi kazi cha wanataaluma cha taifa pamoja na vikundikazi tanzu vya wanataaluma vinavyosaidia mtazamo mpana wa sekta ya afya na nguvu kazi za kusimamia utekelezaji wa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

38

[II] Idara ya Tiba Idara hii inasimamia huduma za Hospitali za Taifa Mikoa Wilaya Vituo vya Afya na Zahanati za umma na binafsi Uchunguzi Kinywa na Meno Magonjwa Yasiyo ya Kuambukiza na Tiba Asili Idara hii inafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha kwamba vituo vya kutoa huduma za afya katika ngazi zote vinatenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya huduma bora za matibabu kwa wahanga wa UWAKI pamoja na msaada wa kisaikolojia kijamii na rufaa

[ii] Kuhakikisha kwamba vituo vya kutoa huduma za afya kwenye ngazi zote vinapewa vifaa muhimu na vya kutosha kwa ajili ya uchunguzi wa afya vipimo vya maabara kubaini ugonjwa ushahidi wa kimahakama matibabu kutunza kumbukumbu kutoa taarifa na rufaa

[iii] Kuhakikisha kuwa watoa huduma za afya wanazingatia viwango vya kitaalamu na maadili na kuonyesha upendo na kuwajali wahanga wa UWAKI

[III] Idara ya Ubora wa huduma Idara hii ina sehemu tano ikijumuisha huduma za Uuguzi Dharura na Maafa Ukaguzi Dawa na Utafiti na Uhusiano wa Kimataifa Idara hii inafanya yafuatayo

[i] Inasimamia huduma za dawa vifaa tiba na vitendanishi [ii] Inasimamia huduma za Uuguzi na Ukunga [iii] Inasimamia na kufanya ukaguzi wa ubora wa huduma za afya

nchini ili kuziboresha [iv] Inasimamia kazi za utafiti na uhusiano wa kimataifa katika sekta ya

afya na ustawi wa jamii na [v] Inaandaa miongozo kanuni na taratibu zinazohusu huduma za

dharura

[IV] Idara ya Mafunzo Idara ya Mafunzo inasimamia Mipango ya Mafunzo ya Watumishi Mafunzo Endelevu kwa Watumishi Mafunzo kwa Wauguzi na Sayansi Shirikishi za Afya

39

Idara itafanya yafuatayo [i] Kutambua mahitaji ya kitaifa ya mafunzo ya afya na mafunzo ya

kuendeleza taaluma ya watumishi wanaohusika na kutoa huduma kwa waliopatwa na UWAKI

[ii] Kutayarisha mpango wa mafunzo ya muda mfupi na mrefu kwa ajili ya watumishi mbalimbali kwenye ngazi zote zinazotoa huduma kwa waliopatwa na UWAKI

[b] Idara ya Ustawi wa Jamii Idara ya Ustawi wa Jamii imegawanyika katika sehemu tano Huduma kwa Familia na Ustawi wa Mtoto katika malezi makuzi na maendeleo ya awali Huduma za marekebisho ya tabia na haki za mtoto kisheria Huduma kwa wazee na watu wenye ulemavu Mafunzo kwa watumishi na Kitengo cha takwimu Idara itafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha idara inatoa huduma rafiki na bora za ustawi wa jamii kwa wahanga wa UWAKI kwenye vituo vyote vya kutoa huduma za afya na ustawi wa jamii na kuvisimamia

[ii] Kuhakikisha idara inatoa mafunzo kwa watoa huduma wote [iii] Kushauri katika kurekebisha au kufutwa kwa sheria zisizosaidia

utoaji wa huduma bora za ustawi wa jamii na kushawishi kutunga sheria mpya

[c] Idara ya Sera na Mipango Idara hii inasimamia sehemu za Bajeti Sera Mipango Taarifa za Afya na Ufuatiliaji na Tathmini Idara itafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa kwenye mipango na bajeti ya Serikali

[ii] Kuhakikisha kuwa viashirio vya huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI vinaingizwa kwenye MTUHA

[d] Ushirikiano na wadau muhimu katika ldquoKutokomeza UWAKIrdquo

[i] WAUJ kupitia Sehemu ya Afya ya Uzazi na Mtoto kwa kushirikiana na wadau wengine watatetea ulinzi wa haki za waliopatwa na UWAKI na kutokomezwa kwa ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake watoto vijana na wanaume

40

[ii] WAUJ kwa kushirikiana na wadau wengine itaandaa mikakati ya kuhakikisha kwamba aina zote za ubaguzi unyonyaji ukandamizaji na unyanyasaji dhidi ya wanawake watoto vijana na wanaume zinatokomezwa

[iii] WAUJ kwa kushirikiana na wadau wengine watapitia sheria sera na kanuni ambazo zinakinzana na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Watatetea haki za jinsia na afya ya uzazi ikiwa ni pamoja na ulinzi wa mama na watoto dhidi ya UWAKI ukatili wa kifamilia na ukatili dhidi ya watoto na kutetea masuala haya yaingizwe kwenye Katiba ya Tanzania

52 Ngazi ya Mkoa

Utekelezaji wa mapambano dhidi ya UWAKI kwenye mikoa utasimamiwa na Timu ya Usimamizi wa Huduma za Afya Mkoa chini ya Katibu Tawala wa Mkoa na Timu ya Usimamizi ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa chini ya Bodi ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa na watafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa kwenye mpango mkakati wa miaka mitano wa mkoa na hospitali na mpango kazi wa kila mwaka

[ii] Kuhakikisha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa na kuendeshwa pamoja na huduma zilizopo kuwe na watoa huduma wa kutosha pamoja na mafunzo kwa wasimamizi na watoa huduma kwenye ngazi ya mkoa

[iii] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya kufuatilia kufanya tathmini usimamizi na kutoa ripoti za utendaji wa juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya mkoa

[iv] Kutoa msaada wa kitaalamu kwa Halmashauri na Timu za Afya za Halmashauri katika kupanga na kutekeleza huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[v] Kuhakikisha bajeti ya kutosha inatengwa kwenye mpango kabambe wa halmashauri wa afya kwa ajili ya kuiwezesha jamii kuzuia na kupambana na UWAKI

[vi] Kufanya utafiti ili kukuza uelewa kuhusu huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

41

53 Halmashauri za Jiji Manispaa na Wilaya

Bodi ya Huduma za Afya ya Halmashauri ni chombo cha halmashauri ya jiji manispaa na wilaya chenye jukumu la kutoa huduma bora za afya ustawi wa jamii pamoja na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI katika maeneo yao Mipango ya utekelezaji wa huduma za afya kwenye jiji manispaa na wilaya unasimamiwa na Timu ya Usimamizi wa Afya ya Halmashauri Hospitali ya kwanza ya rufaa katika Halmashauri ni Hospitali ya Wilaya au Hospitali Teule ya wilaya

Hospitali Teule ya Wilaya huendeshwa na Timu ya Usimamizi ya Hospitali na husimamiwa na Bodi ya Hospitali Vituo vya kutoa huduma za afya vina kamati za afya na huendeshwa na kamati za usimamizi wa kituo

(a) Ngazi ya Halmashauri Timu ya Halmashauri ya Usimamizi wa Afya itafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha kwamba mipango ya kila mwaka inatengewa fedha za kutosha kwa utekelezaji wa huduma bora za kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaunganishwa na huduma zilizopo kwenye ngazi zote

[iii] Kuhakikisha kwamba kunakuwa na watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wa kutosha na kuendelea kutoa mafunzo kwa watoa huduma wa kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kutetea kuhamasisha na kutenga fedha za kutosha kwa ajili ya kuiwezesha jamii kushiriki kwenye programu ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[v] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya ufuatiliaji tathmini usimamizi shirikishi na kuandaa taarifa za utekelezaji wa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[b] Ngazi ya Kata Kamati ya Afya ya Kata Kamati ya Afya ya Kituo cha Afya na Timu ya Usimamizi wa Kituo cha Afya zitasimamia utoaji wa huduma bora za afya katika kata pamoja na vijiji

42

Kamati na timu zitafanya yafuatayo [i] Kuhakikisha kwamba kila mwaka wanapanga na kutenga rasilimali

za kutosha kwa utekelezaji wa huduma kwa waliopatwa na UWAKI na afua za kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinajumuishwa na huduma zilizopo kwenye kituo cha afya na zahanati

[iii] Kuhakikisha kwamba kuna watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wa kutosha na kuendelea kutoa mafunzo kwa watoa huduma wanaohusika na kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye vituo vya afya na zahanati

[iv] Kutetea kuhamasisha na kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya kuiwezesha jamii kushiriki kwenye kuzuia na kupambana na UWAKI katika Mpango wa Afya wa Kata

[v] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya kufanya ufuatiliaji tathmini na kuandaa taarifa za utekelezaji wa kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kuziwasilisha kwa matumizi katika ngazi zote

[c] Ngazi ya Kijiji Kamati ya Zahanati na Timu ya Usimamizi wa Zahanati zina wajibu wa kutoa huduma za afya kwa wakazi wa eneo la kijiji au vijiji vyao

Kamati na timu zitafanya yafuatayo [i] Kuhakikisha kwamba kila mwaka wanapanga na kutenga raslimali

za kutosha kwa utekelezaji wa huduma kwa waliopatwa na UWAKI na afua za kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinajumuishwa na huduma zilizopo kwenye zahanati

[iii] Kuhakikisha kwamba kuna watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wa kutosha na kuendelea kutoa mafunzo kwa watoa huduma wanaohusika na kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye zahanati

[iv] Kutetea kuhamasisha na kutenga raslimali za kutosha kwa ajili ya kuiwezesha jamii kushiriki kwenye kuzuia na kupambana na UWAKI katika Mpango wa Afya wa Kijiji

43

[v] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya kufanya ufuatiliaji tathmini na kuandaa taarifa za utekelezaji wa kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kuziwasilisha kwa matumizi katika ngazi ya Kata na Wilaya

(d) Ngazi ya Kaya Kila mtu kwenye kaya atahusika katika kuzuia na kupambana na UWAKI na kutoa taarifa ya matukio ya UWAKI kwa mamlaka zinazohusika Pia kila mtu awajibike kwenye kubadili mtazamo na kuepuka mazoea na tabia zinazopelekea UWAKI

44

SEHEMU YA SITA

UFUATILIAJI TATHMINI NA UTAFITI

Ufuatiliaji na tathmini ya afua za kuzuia na kupambana na UWAKI utatekelezwa kwenye ngazi ya taifa mkoa halmashauri na vituo vya huduma za afya Viashirio ambavyo vimependekezwa kwenye ngazi hizi vimeonyeshwa kwenye Kiambatisho

61 Ngazi ya Taifa

Sehemu ya Afya ya Uzazi na Mtoto itaratibu itafuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote nchini

Sehemu hii itafanya yafuatayo [i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu zinazohusu

afua za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka Timu ya Usimamizi wa Afya ya Mkoa na kuzitumia katika kupanga na kuboresha mipango ya kuzuia na kupambana na UWAKI kwa kushirikiana na wadau

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma wa kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti [iv] Kuweka tathmini na ufuatiliaji wa huduma za kuzuia na kupambana

na UWAKI kwenye orodhahakiki ya usimamizi ya WAUJ

62 Ngazi ya Mkoa

Timu ya Usimamizi wa Afya ya Mkoa itakuwa na jukumu la kuratibu kufuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote za mkoa na itafanya yafuatayo

[i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu kuhusu afua za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka hospitali ya rufaa ya mkoa na Timu za Usimamizi wa Afya za Halmashauri kwa ajili ya matumizi yao na kuwasilisha ngazi ya Taifa

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma katika kuzuia na kupambana na UWAKI

45

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti

63 Ngazi ya Wilaya

Timu ya Usimamizi wa Afya ya Halmashauri itakuwa na jukumu la kuratibu kufuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote za wilaya na itafanya yafuatayo

[i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu kuhusu afua za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka hospitali ya wilaya na vituo vya kutolea huduma za afya na Timu za Usimamizi wa Afya za Halmashauri kwa ajili ya matumizi yao na kuwasilisha ngazi ya mkoa

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma katika kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti

64 Ngazi ya Kituo cha kutolea huduma

Timu ya Usimamizi wa Kituo cha Kutolea Huduma za Afya itaratibu itafuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye kituo na kufanya yafuatayo

[i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu kuhusu jitihada za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka kwenye zahanati na jamii na kuwasilisha wilayaniHalmashauri

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma katika kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti

46

KIAMBATISHO

VIASHIRIO VYA MPANGO WA KUZUIA NA KUPAMBANA NA UWAKI KATIKA SEKTA YA AFYA

[a] Ngazi ya Taifa

[i] Idadi ya watu waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya mikoa kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kimkoa

[iii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI kimkoa

[iv] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye uthibitisho kuwa vinatumia Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupamba na UWAKI kimkoa

[v] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye vifaa muhimu kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kimkoa

[b] Ngazi Ya Mkoa

[i] Idadi ya watu waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya wilayahalmashauri kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

[iii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

[iv] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye ushahidi wa kuandikwa na kutumia Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

[v] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye vifaa muhimu kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

47

[c] Ngazi ya Wilaya

[i] Idadi ya watu waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya vituo vya kutolea huduma kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwa vituo vya kutolea huduma

[iii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI

[iv] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye ushahidi wa kuandikwa na kutumia Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI

[v] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye vifaa muhimu kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[d] Ngazi ya Kituo

[i] Idadi ya wahusika waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye kituo cha huduma za afya kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Idadi ya watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Idadi ya watoa huduma walioelekezwa kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI

48

49

50

51

bullbullbull bullbull bullbullbull

~USAID ~f~ ~ KLITOKA KWA WKTJ Delivering as One WAIIAAEKANI

HEALTH POLICY middotmiddotmiddotoINITIATIVE

ltlt ASCII85EncodePages false AllowTransparency false AutoPositionEPSFiles true AutoRotatePages None Binding Left CalGrayProfile (Dot Gain 20) CalRGBProfile (sRGB IEC61966-21) CalCMYKProfile (US Web Coated 050SWOP051 v2) sRGBProfile (sRGB IEC61966-21) CannotEmbedFontPolicy Error CompatibilityLevel 14 CompressObjects Tags CompressPages true ConvertImagesToIndexed true PassThroughJPEGImages true CreateJobTicket false DefaultRenderingIntent Default DetectBlends true DetectCurves 00000 ColorConversionStrategy CMYK DoThumbnails false EmbedAllFonts true EmbedOpenType false ParseICCProfilesInComments true EmbedJobOptions true DSCReportingLevel 0 EmitDSCWarnings false EndPage -1 ImageMemory 1048576 LockDistillerParams false MaxSubsetPct 100 Optimize true OPM 1 ParseDSCComments true ParseDSCCommentsForDocInfo true PreserveCopyPage true PreserveDICMYKValues true PreserveEPSInfo true PreserveFlatness true PreserveHalftoneInfo false PreserveOPIComments true PreserveOverprintSettings true StartPage 1 SubsetFonts true TransferFunctionInfo Apply UCRandBGInfo Preserve UsePrologue false ColorSettingsFile () AlwaysEmbed [ true ] NeverEmbed [ true ] AntiAliasColorImages false CropColorImages true ColorImageMinResolution 300 ColorImageMinResolutionPolicy OK DownsampleColorImages true ColorImageDownsampleType Bicubic ColorImageResolution 300 ColorImageDepth -1 ColorImageMinDownsampleDepth 1 ColorImageDownsampleThreshold 150000 EncodeColorImages true ColorImageFilter DCTEncode AutoFilterColorImages true ColorImageAutoFilterStrategy JPEG ColorACSImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt ColorImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt JPEG2000ColorACSImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt JPEG2000ColorImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt AntiAliasGrayImages false CropGrayImages true GrayImageMinResolution 300 GrayImageMinResolutionPolicy OK DownsampleGrayImages true GrayImageDownsampleType Bicubic GrayImageResolution 300 GrayImageDepth -1 GrayImageMinDownsampleDepth 2 GrayImageDownsampleThreshold 150000 EncodeGrayImages true GrayImageFilter DCTEncode AutoFilterGrayImages true GrayImageAutoFilterStrategy JPEG GrayACSImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt GrayImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt JPEG2000GrayACSImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt JPEG2000GrayImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt AntiAliasMonoImages false CropMonoImages true MonoImageMinResolution 1200 MonoImageMinResolutionPolicy OK DownsampleMonoImages true MonoImageDownsampleType Bicubic MonoImageResolution 1200 MonoImageDepth -1 MonoImageDownsampleThreshold 150000 EncodeMonoImages true MonoImageFilter CCITTFaxEncode MonoImageDict ltlt K -1 gtgt AllowPSXObjects false CheckCompliance [ None ] PDFX1aCheck false PDFX3Check false PDFXCompliantPDFOnly false PDFXNoTrimBoxError true PDFXTrimBoxToMediaBoxOffset [ 000000 000000 000000 000000 ] PDFXSetBleedBoxToMediaBox true PDFXBleedBoxToTrimBoxOffset [ 000000 000000 000000 000000 ] PDFXOutputIntentProfile () PDFXOutputConditionIdentifier () PDFXOutputCondition () PDFXRegistryName () PDFXTrapped False CreateJDFFile false Description ltlt ARA ltFEFF06270633062A062E062F0645002006470630064700200627064406250639062F0627062F0627062A002006440625064606340627062100200648062B062706260642002000410064006F00620065002000500044004600200645062A064806270641064206290020064406440637062806270639062900200641064A00200627064406450637062706280639002006300627062A0020062F0631062C0627062A002006270644062C0648062F0629002006270644063906270644064A0629061B0020064A06450643064600200641062A062D00200648062B0627062606420020005000440046002006270644064506460634062306290020062806270633062A062E062F062706450020004100630072006F0062006100740020064800410064006F006200650020005200650061006400650072002006250635062F0627063100200035002E0030002006480627064406250635062F062706310627062A0020062706440623062D062F062B002E0635062F0627063100200035002E0030002006480627064406250635062F062706310627062A0020062706440623062D062F062B002Egt BGR ltFEFF04180437043f043e043b043704320430043904420435002004420435043704380020043d0430044104420440043e0439043a0438002c00200437043000200434043000200441044a0437043404300432043004420435002000410064006f00620065002000500044004600200434043e043a0443043c0435043d04420438002c0020043c0430043a04410438043c0430043b043d043e0020043f044004380433043e04340435043d04380020043704300020043204380441043e043a043e043a0430044704350441044204320435043d0020043f04350447043004420020043704300020043f044004350434043f0435044704300442043d04300020043f043e04340433043e0442043e0432043a0430002e002000200421044a04370434043004340435043d043804420435002000500044004600200434043e043a0443043c0435043d044204380020043c043e0433043004420020043404300020044104350020043e0442043204300440044f0442002004410020004100630072006f00620061007400200438002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020043800200441043b0435043404320430044904380020043204350440044104380438002egt CHS ltFEFF4f7f75288fd94e9b8bbe5b9a521b5efa7684002000410064006f006200650020005000440046002065876863900275284e8e9ad88d2891cf76845370524d53705237300260a853ef4ee54f7f75280020004100630072006f0062006100740020548c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000204ee553ca66f49ad87248672c676562535f00521b5efa768400200050004400460020658768633002gt CHT ltFEFF4f7f752890194e9b8a2d7f6e5efa7acb7684002000410064006f006200650020005000440046002065874ef69069752865bc9ad854c18cea76845370524d5370523786557406300260a853ef4ee54f7f75280020004100630072006f0062006100740020548c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000204ee553ca66f49ad87248672c4f86958b555f5df25efa7acb76840020005000440046002065874ef63002gt CZE ltFEFF005400610074006f0020006e006100730074006100760065006e00ed00200070006f0075017e0069006a007400650020006b0020007600790074007600e101590065006e00ed00200064006f006b0075006d0065006e0074016f002000410064006f006200650020005000440046002c0020006b00740065007200e90020007300650020006e0065006a006c00e90070006500200068006f006400ed002000700072006f0020006b00760061006c00690074006e00ed0020007400690073006b00200061002000700072006500700072006500730073002e002000200056007900740076006f01590065006e00e900200064006f006b0075006d0065006e007400790020005000440046002000620075006400650020006d006f017e006e00e90020006f007400650076015900ed007400200076002000700072006f006700720061006d0065006300680020004100630072006f00620061007400200061002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000610020006e006f0076011b006a016100ed00630068002egt DAN ltFEFF004200720075006700200069006e0064007300740069006c006c0069006e006700650072006e0065002000740069006c0020006100740020006f007000720065007400740065002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e007400650072002c0020006400650072002000620065006400730074002000650067006e006500720020007300690067002000740069006c002000700072006500700072006500730073002d007500640073006b007200690076006e0069006e00670020006100660020006800f8006a0020006b00760061006c0069007400650074002e0020004400650020006f007000720065007400740065006400650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e0074006500720020006b0061006e002000e50062006e00650073002000690020004100630072006f00620061007400200065006c006c006500720020004100630072006f006200610074002000520065006100640065007200200035002e00300020006f00670020006e0079006500720065002egt DEU ltFEFF00560065007200770065006e00640065006e0020005300690065002000640069006500730065002000450069006e007300740065006c006c0075006e00670065006e0020007a0075006d002000450072007300740065006c006c0065006e00200076006f006e002000410064006f006200650020005000440046002d0044006f006b0075006d0065006e00740065006e002c00200076006f006e002000640065006e0065006e002000530069006500200068006f006300680077006500720074006900670065002000500072006500700072006500730073002d0044007200750063006b0065002000650072007a0065007500670065006e0020006d00f60063006800740065006e002e002000450072007300740065006c006c007400650020005000440046002d0044006f006b0075006d0065006e007400650020006b00f6006e006e0065006e0020006d006900740020004100630072006f00620061007400200075006e0064002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020006f0064006500720020006800f600680065007200200067006500f600660066006e00650074002000770065007200640065006e002egt ESP ltFEFF005500740069006c0069006300650020006500730074006100200063006f006e0066006900670075007200610063006900f3006e0020007000610072006100200063007200650061007200200064006f00630075006d0065006e0074006f00730020005000440046002000640065002000410064006f0062006500200061006400650063007500610064006f00730020007000610072006100200069006d0070007200650073006900f3006e0020007000720065002d0065006400690074006f007200690061006c00200064006500200061006c00740061002000630061006c0069006400610064002e002000530065002000700075006500640065006e00200061006200720069007200200064006f00630075006d0065006e0074006f00730020005000440046002000630072006500610064006f007300200063006f006e0020004100630072006f006200610074002c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200079002000760065007200730069006f006e0065007300200070006f00730074006500720069006f007200650073002egt ETI ltFEFF004b00610073007500740061006700650020006e0065006900640020007300e4007400740065006900640020006b00760061006c006900740065006500740073006500200074007200fc006b006900650065006c007300650020007000720069006e00740069006d0069007300650020006a0061006f006b007300200073006f00620069006c0069006b0065002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740069006400650020006c006f006f006d006900730065006b0073002e00200020004c006f006f0064007500640020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740065002000730061006100740065002000610076006100640061002000700072006f006700720061006d006d006900640065006700610020004100630072006f0062006100740020006e0069006e0067002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020006a00610020007500750065006d006100740065002000760065007200730069006f006f006e00690064006500670061002e000d000agt FRA ltFEFF005500740069006c006900730065007a00200063006500730020006f007000740069006f006e00730020006100660069006e00200064006500200063007200e900650072002000640065007300200064006f00630075006d0065006e00740073002000410064006f00620065002000500044004600200070006f0075007200200075006e00650020007100750061006c0069007400e90020006400270069006d007000720065007300730069006f006e00200070007200e9007000720065007300730065002e0020004c0065007300200064006f00630075006d0065006e00740073002000500044004600200063007200e900e90073002000700065007500760065006e0074002000ea0074007200650020006f007500760065007200740073002000640061006e00730020004100630072006f006200610074002c002000610069006e00730069002000710075002700410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000650074002000760065007200730069006f006e007300200075006c007400e90072006900650075007200650073002egt GRE ltFEFF03a703c103b703c303b903bc03bf03c003bf03b903ae03c303c403b5002003b103c503c403ad03c2002003c403b903c2002003c103c503b803bc03af03c303b503b903c2002003b303b903b1002003bd03b1002003b403b703bc03b903bf03c503c103b303ae03c303b503c403b5002003ad03b303b303c103b103c603b1002000410064006f006200650020005000440046002003c003bf03c5002003b503af03bd03b103b9002003ba03b103c42019002003b503be03bf03c703ae03bd002003ba03b103c403ac03bb03bb03b703bb03b1002003b303b903b1002003c003c103bf002d03b503ba03c403c503c003c903c403b903ba03ad03c2002003b503c103b303b103c303af03b503c2002003c503c803b703bb03ae03c2002003c003bf03b903cc03c403b703c403b103c2002e0020002003a403b10020005000440046002003ad03b303b303c103b103c603b1002003c003bf03c5002003ad03c703b503c403b5002003b403b703bc03b903bf03c503c103b303ae03c303b503b9002003bc03c003bf03c103bf03cd03bd002003bd03b1002003b103bd03bf03b903c703c403bf03cd03bd002003bc03b5002003c403bf0020004100630072006f006200610074002c002003c403bf002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002003ba03b103b9002003bc03b503c403b103b303b503bd03ad03c303c403b503c103b503c2002003b503ba03b403cc03c303b503b903c2002egt HEB ltFEFF05D405E905EA05DE05E905D5002005D105D405D205D305E805D505EA002005D005DC05D4002005DB05D305D9002005DC05D905E605D505E8002005DE05E105DE05DB05D9002000410064006F006200650020005000440046002005D405DE05D505EA05D005DE05D905DD002005DC05D405D305E405E105EA002005E705D305DD002D05D305E405D505E1002005D005D905DB05D505EA05D905EA002E002005DE05E105DE05DB05D90020005000440046002005E905E005D505E605E805D5002005E005D905EA05E005D905DD002005DC05E405EA05D905D705D4002005D105D005DE05E605E205D505EA0020004100630072006F006200610074002005D5002D00410064006F00620065002000520065006100640065007200200035002E0030002005D505D205E805E105D005D505EA002005DE05EA05E705D305DE05D505EA002005D905D505EA05E8002E05D005DE05D905DD002005DC002D005000440046002F0058002D0033002C002005E205D905D905E005D5002005D105DE05D305E805D905DA002005DC05DE05E905EA05DE05E9002005E905DC0020004100630072006F006200610074002E002005DE05E105DE05DB05D90020005000440046002005E905E005D505E605E805D5002005E005D905EA05E005D905DD002005DC05E405EA05D905D705D4002005D105D005DE05E605E205D505EA0020004100630072006F006200610074002005D5002D00410064006F00620065002000520065006100640065007200200035002E0030002005D505D205E805E105D005D505EA002005DE05EA05E705D305DE05D505EA002005D905D505EA05E8002Egt HRV (Za stvaranje Adobe PDF dokumenata najpogodnijih za visokokvalitetni ispis prije tiskanja koristite ove postavke Stvoreni PDF dokumenti mogu se otvoriti Acrobat i Adobe Reader 50 i kasnijim verzijama) HUN ltFEFF004b0069007600e1006c00f30020006d0069006e0151007300e9006701710020006e0079006f006d00640061006900200065006c0151006b00e90073007a00ed007401510020006e0079006f006d00740061007400e100730068006f007a0020006c006500670069006e006b00e1006200620020006d0065006700660065006c0065006c0151002000410064006f00620065002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e00740075006d006f006b0061007400200065007a0065006b006b0065006c0020006100200062006500e1006c006c00ed007400e10073006f006b006b0061006c0020006b00e90073007a00ed0074006800650074002e0020002000410020006c00e90074007200650068006f007a006f00740074002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e00740075006d006f006b00200061007a0020004100630072006f006200610074002000e9007300200061007a002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002c0020007600610067007900200061007a002000610074007400f3006c0020006b00e9007301510062006200690020007600650072007a006900f3006b006b0061006c0020006e00790069007400680061007400f3006b0020006d00650067002egt ITA ltFEFF005500740069006c0069007a007a006100720065002000710075006500730074006500200069006d0070006f007300740061007a0069006f006e00690020007000650072002000630072006500610072006500200064006f00630075006d0065006e00740069002000410064006f00620065002000500044004600200070006900f900200061006400610074007400690020006100200075006e00610020007000720065007300740061006d0070006100200064006900200061006c007400610020007100750061006c0069007400e0002e0020004900200064006f00630075006d0065006e007400690020005000440046002000630072006500610074006900200070006f00730073006f006e006f0020006500730073006500720065002000610070006500720074006900200063006f006e0020004100630072006f00620061007400200065002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200065002000760065007200730069006f006e006900200073007500630063006500730073006900760065002egt JPN ltFEFF9ad854c18cea306a30d730ea30d730ec30b951fa529b7528002000410064006f0062006500200050004400460020658766f8306e4f5c6210306b4f7f75283057307e305930023053306e8a2d5b9a30674f5c62103055308c305f0020005000440046002030d530a130a430eb306f3001004100630072006f0062006100740020304a30883073002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000204ee5964d3067958b304f30533068304c3067304d307e305930023053306e8a2d5b9a306b306f30d530a930f330c8306e57cb30818fbc307f304c5fc59808306730593002gt KOR ltFEFFc7740020c124c815c7440020c0acc6a9d558c5ec0020ace0d488c9c80020c2dcd5d80020c778c1c4c5d00020ac00c7a50020c801d569d55c002000410064006f0062006500200050004400460020bb38c11cb97c0020c791c131d569b2c8b2e4002e0020c774b807ac8c0020c791c131b41c00200050004400460020bb38c11cb2940020004100630072006f0062006100740020bc0f002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020c774c0c1c5d0c11c0020c5f40020c2180020c788c2b5b2c8b2e4002egt LTH ltFEFF004e006100750064006f006b0069007400650020016100690075006f007300200070006100720061006d006500740072007500730020006e006f0072011700640061006d00690020006b0075007200740069002000410064006f00620065002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400750073002c0020006b00750072006900650020006c0061006200690061007500730069006100690020007000720069007400610069006b007900740069002000610075006b01610074006f00730020006b006f006b007900620117007300200070006100720065006e006700740069006e00690061006d00200073007000610075007300640069006e0069006d00750069002e0020002000530075006b0075007200740069002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400610069002000670061006c006900200062016b007400690020006100740069006400610072006f006d00690020004100630072006f006200610074002000690072002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000610072002000760117006c00650073006e0117006d00690073002000760065007200730069006a006f006d00690073002egt LVI ltFEFF0049007a006d0061006e0074006f006a00690065007400200161006f00730020006900650073007400610074012b006a0075006d00750073002c0020006c0061006900200076006500690064006f00740075002000410064006f00620065002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400750073002c0020006b006100730020006900720020012b00700061016100690020007000690065006d01130072006f00740069002000610075006700730074006100730020006b00760061006c0069007401010074006500730020007000690072006d007300690065007300700069006501610061006e006100730020006400720075006b00610069002e00200049007a0076006500690064006f006a006900650074002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400750073002c0020006b006f002000760061007200200061007400760113007200740020006100720020004100630072006f00620061007400200075006e002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002c0020006b0101002000610072012b00200074006f0020006a00610075006e0101006b0101006d002000760065007200730069006a0101006d002egt NLD (Gebruik deze instellingen om Adobe PDF-documenten te maken die zijn geoptimaliseerd voor prepress-afdrukken van hoge kwaliteit De gemaakte PDF-documenten kunnen worden geopend met Acrobat en Adobe Reader 50 en hoger) NOR ltFEFF004200720075006b00200064006900730073006500200069006e006e007300740069006c006c0069006e00670065006e0065002000740069006c002000e50020006f0070007000720065007400740065002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740065007200200073006f006d00200065007200200062006500730074002000650067006e0065007400200066006f00720020006600f80072007400720079006b006b0073007500740073006b00720069006600740020006100760020006800f800790020006b00760061006c0069007400650074002e0020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740065006e00650020006b0061006e002000e50070006e00650073002000690020004100630072006f00620061007400200065006c006c00650072002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200065006c006c00650072002000730065006e006500720065002egt POL ltFEFF0055007300740061007700690065006e0069006100200064006f002000740077006f0072007a0065006e0069006100200064006f006b0075006d0065006e007400f300770020005000440046002000700072007a0065007a006e00610063007a006f006e00790063006800200064006f002000770079006400720075006b00f30077002000770020007700790073006f006b00690065006a0020006a0061006b006f015b00630069002e002000200044006f006b0075006d0065006e0074007900200050004400460020006d006f017c006e00610020006f007400770069006500720061010700200077002000700072006f006700720061006d006900650020004100630072006f00620061007400200069002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000690020006e006f00770073007a0079006d002egt PTB ltFEFF005500740069006c0069007a006500200065007300730061007300200063006f006e00660069006700750072006100e700f50065007300200064006500200066006f0072006d00610020006100200063007200690061007200200064006f00630075006d0065006e0074006f0073002000410064006f0062006500200050004400460020006d00610069007300200061006400650071007500610064006f00730020007000610072006100200070007200e9002d0069006d0070007200650073007300f50065007300200064006500200061006c007400610020007100750061006c00690064006100640065002e0020004f007300200064006f00630075006d0065006e0074006f00730020005000440046002000630072006900610064006f007300200070006f00640065006d0020007300650072002000610062006500720074006f007300200063006f006d0020006f0020004100630072006f006200610074002000650020006f002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000650020007600650072007300f50065007300200070006f00730074006500720069006f007200650073002egt RUM ltFEFF005500740069006c0069007a00610163006900200061006300650073007400650020007300650074010300720069002000700065006e007400720075002000610020006300720065006100200064006f00630075006d0065006e00740065002000410064006f006200650020005000440046002000610064006500630076006100740065002000700065006e0074007200750020007400690070010300720069007200650061002000700072006500700072006500730073002000640065002000630061006c006900740061007400650020007300750070006500720069006f006100720103002e002000200044006f00630075006d0065006e00740065006c00650020005000440046002000630072006500610074006500200070006f00740020006600690020006400650073006300680069007300650020006300750020004100630072006f006200610074002c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020015f00690020007600650072007300690075006e0069006c006500200075006c0074006500720069006f006100720065002egt RUS ltFEFF04180441043f043e043b044c04370443043904420435002004340430043d043d044b04350020043d0430044104420440043e0439043a043800200434043b044f00200441043e043704340430043d0438044f00200434043e043a0443043c0435043d0442043e0432002000410064006f006200650020005000440046002c0020043c0430043a04410438043c0430043b044c043d043e0020043f043e04340445043e0434044f04490438044500200434043b044f00200432044b0441043e043a043e043a0430044704350441044204320435043d043d043e0433043e00200434043e043f0435044704300442043d043e0433043e00200432044b0432043e04340430002e002000200421043e043704340430043d043d044b04350020005000440046002d0434043e043a0443043c0435043d0442044b0020043c043e0436043d043e0020043e0442043a0440044b043204300442044c002004410020043f043e043c043e0449044c044e0020004100630072006f00620061007400200438002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020043800200431043e043b043504350020043f043e04370434043d043804450020043204350440044104380439002egt SKY ltFEFF0054006900650074006f0020006e006100730074006100760065006e0069006100200070006f0075017e0069007400650020006e00610020007600790074007600e100720061006e0069006500200064006f006b0075006d0065006e0074006f0076002000410064006f006200650020005000440046002c0020006b0074006f007200e90020007300610020006e0061006a006c0065007001610069006500200068006f0064006900610020006e00610020006b00760061006c00690074006e00fa00200074006c0061010d00200061002000700072006500700072006500730073002e00200056007900740076006f00720065006e00e900200064006f006b0075006d0065006e007400790020005000440046002000620075006400650020006d006f017e006e00e90020006f00740076006f00720069016500200076002000700072006f006700720061006d006f006300680020004100630072006f00620061007400200061002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000610020006e006f0076016100ed00630068002egt SLV ltFEFF005400650020006e006100730074006100760069007400760065002000750070006f0072006100620069007400650020007a00610020007500730074007600610072006a0061006e006a006500200064006f006b0075006d0065006e0074006f0076002000410064006f006200650020005000440046002c0020006b006900200073006f0020006e0061006a007000720069006d00650072006e0065006a016100690020007a00610020006b0061006b006f0076006f00730074006e006f0020007400690073006b0061006e006a00650020007300200070007200690070007200610076006f0020006e00610020007400690073006b002e00200020005500730074007600610072006a0065006e006500200064006f006b0075006d0065006e0074006500200050004400460020006a00650020006d006f0067006f010d00650020006f0064007000720065007400690020007a0020004100630072006f00620061007400200069006e002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200069006e0020006e006f00760065006a01610069006d002egt SUO ltFEFF004b00e40079007400e40020006e00e40069007400e4002000610073006500740075006b007300690061002c0020006b0075006e0020006c0075006f00740020006c00e400680069006e006e00e4002000760061006100740069007600610061006e0020007000610069006e006100740075006b00730065006e002000760061006c006d0069007300740065006c00750074007900f6006800f6006e00200073006f00700069007600690061002000410064006f0062006500200050004400460020002d0064006f006b0075006d0065006e007400740065006a0061002e0020004c0075006f0064007500740020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740069007400200076006f0069006400610061006e0020006100760061007400610020004100630072006f0062006100740069006c006c00610020006a0061002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030003a006c006c00610020006a006100200075007500640065006d006d0069006c006c0061002egt SVE ltFEFF0041006e007600e4006e00640020006400650020006800e4007200200069006e0073007400e4006c006c006e0069006e006700610072006e00610020006f006d002000640075002000760069006c006c00200073006b006100700061002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e007400200073006f006d002000e400720020006c00e4006d0070006c0069006700610020006600f60072002000700072006500700072006500730073002d007500740073006b00720069006600740020006d006500640020006800f600670020006b00760061006c0069007400650074002e002000200053006b006100700061006400650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740020006b0061006e002000f600700070006e00610073002000690020004100630072006f0062006100740020006f00630068002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020006f00630068002000730065006e006100720065002egt TUR ltFEFF005900fc006b00730065006b0020006b0061006c006900740065006c0069002000f6006e002000790061007a006401310072006d00610020006200610073006b013100730131006e006100200065006e0020006900790069002000750079006100620069006c006500630065006b002000410064006f006200650020005000440046002000620065006c00670065006c0065007200690020006f006c0075015f007400750072006d0061006b0020006900e70069006e00200062007500200061007900610072006c0061007201310020006b0075006c006c0061006e0131006e002e00200020004f006c0075015f0074007500720075006c0061006e0020005000440046002000620065006c00670065006c0065007200690020004100630072006f006200610074002000760065002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200076006500200073006f006e0072006100730131006e00640061006b00690020007300fc007200fc006d006c00650072006c00650020006100e70131006c006100620069006c00690072002egt UKR ltFEFF04120438043a043e0440043804410442043e043204430439044204350020044604560020043f043004400430043c043504420440043800200434043b044f0020044104420432043e04400435043d043d044f00200434043e043a0443043c0435043d044204560432002000410064006f006200650020005000440046002c0020044f043a04560020043d04300439043a04400430044904350020043f045604340445043e0434044f0442044c00200434043b044f0020043204380441043e043a043e044f043a04560441043d043e0433043e0020043f0435044004350434043404400443043a043e0432043e0433043e0020043404400443043a0443002e00200020042104420432043e04400435043d045600200434043e043a0443043c0435043d0442043800200050004400460020043c043e0436043d04300020043204560434043a0440043804420438002004430020004100630072006f006200610074002004420430002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002004300431043e0020043f04560437043d04560448043e04570020043204350440044104560457002egt ENU (Use these settings to create Adobe PDF documents best suited for high-quality prepress printing Created PDF documents can be opened with Acrobat and Adobe Reader 50 and later) gtgt Namespace [ (Adobe) (Common) (10) ] OtherNamespaces [ ltlt AsReaderSpreads false CropImagesToFrames true ErrorControl WarnAndContinue FlattenerIgnoreSpreadOverrides false IncludeGuidesGrids false IncludeNonPrinting false IncludeSlug false Namespace [ (Adobe) (InDesign) (40) ] OmitPlacedBitmaps false OmitPlacedEPS false OmitPlacedPDF false SimulateOverprint Legacy gtgt ltlt AddBleedMarks false AddColorBars false AddCropMarks false AddPageInfo false AddRegMarks false ConvertColors ConvertToCMYK DestinationProfileName () DestinationProfileSelector DocumentCMYK Downsample16BitImages true FlattenerPreset ltlt PresetSelector MediumResolution gtgt FormElements false GenerateStructure false IncludeBookmarks false IncludeHyperlinks false IncludeInteractive false IncludeLayers false IncludeProfiles false MultimediaHandling UseObjectSettings Namespace [ (Adobe) (CreativeSuite) (20) ] PDFXOutputIntentProfileSelector DocumentCMYK PreserveEditing true UntaggedCMYKHandling LeaveUntagged UntaggedRGBHandling UseDocumentProfile UseDocumentBleed false gtgt ]gtgt setdistillerparamsltlt HWResolution [2400 2400] PageSize [612000 792000]gtgt setpagedevice

  1. 1 World Health Organization WHO
  2. 2 Beijing Platform for Action BPA 1995
  3. 5 International Covenant on Civil and Political Rights ICCPR 1966
  4. 7 Krug Etienne et al 2002 World Report on Violence and Health Geneva WHO
Page 14: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na

Nyumba salama Mahali pa hifadhi ya muda kwa watu waliopatwa na UWAKI mashahidi au watu wengine wanaoonekana kuwa hatarini Pia ni mahali ambapo jamii familia mtu mzima anayeaminika au taasisi ya hisani wanatoa kimbilio la usalama kwa watu waliopatwa na UWAKI

Ukatili wa Kingono Ni kitendo au jaribio lolote la unyanyasaji wa kingono linalosababisha au linaloweza kusababisha madhara ya kimwili kisaikolojia au kihisia

Ngono za Kulazimishwa Ni kitendo cha kumshurutisha au kujaribu kumshurutisha mtu mwingine kwa njia ya ukatili vitisho maneno makali udanganyifu kumpa matarajio ya kiuchumi ili ajihusishe na vitendo vya ngono bila ridhaa yake Ni pamoja na vitendo mbalimbali kama ubakaji na maeneo mapana zaidi kama wanawake kulazimishwa kuolewa na kutoa huduma ya ngono kwa wanaume ambao sio chaguo lao

Ukandamizaji wa Kingono Ni kumtumia mtu watu au jamii inayoishi kwenye mazingira magumu kwa madhumuni ya kuihusisha katika vitendo vya kujamiiana au vinavyohusiana na kujamiiana ili mhalifu afaidike kiuchumi au kijamii

Bughudha ya Kingono Ni matendo yanayohusiana na hisia za kujamiiana ambayo yanakera na kuudhi watu ndani ya jamii na mazingira ya kazi hayakubaliki yanasumbua yanarudiwa mara kwa mara na bila ridhaa kwa mfano matusi kukonyeza mavazi duni yenye kuonyesha maungo kupapasa picha za ngono na kuingilia faragha za mwili wa mtu

Ukatili wa Kingono Nikitendo au jaribio lolote la unyanyasaji wa kingono linalosababisha au linaloweza kusababisha madhara ya kimwili kisaikolojia au kihisia

Ukatili wa Kiuchumi na Kijamii Ni vitendo vya kumnyima mtu fursa ya kupata mahitaji ya msingi na ya kujiendeleza kama kumnyima elimu kazi kumiliki mali huduma za afya na vitendo vingine vinavyosababisha msongo wa mawazo

xiii

Ukatili Matumizi ya nguvu yanayompa mtu fursa ya kumtumia au kumkandamiza mtu mwingine ikiwa ni pamoja na kumsababishia woga au hofu madhara ya kimwili kifikra na kisaikolojia Ukatili unaweza kujitokeza kwa kumdhuru mtu kimwili au kumtishia kwa kutumia silaha au kumnyima mtu uhuru wa kufanya uamuzi na kumlazimisha kutenda kinyume na utashi wake

Ukatili Dhidi ya Wanawake Ni kitendo au vitendo vya unyanyasaji vyenye kulenga jinsia ya kike na vyenye kusababisha au kuleta madhara ya kimwili kingono kihisia kisaikolojia kiuchumi na kijamii Kitendo au vitendo hivi hujumuisha kutumia nguvu na vitisho vya kumnyima mwanamke haki na uhuru

xiv

SEHEMU YA KWANZA

UTANGULIZI

11 Hali ya Ukatili wa Kijinsia Duniani

Ukatili Wa Kijinsia (UWAKI) unatokana na kuwepo kwa tofauti kati ya wanaume na wanawake na hivyo kuhatarisha afya utu usalama na uhuru wa wahusika waliofanyiwa vitendo vya kikatili

UWAKI unajumuisha vitendo vingi vya ukiukwaji wa haki za binadamu kama vile unyanyasaji wa watoto kingono ubakaji unyanyasaji katika familia shambulio la aibu na udhalilishaji Vitendo vingine vya UWAKI ni usafirishaji haramu wa wanawake na wasichana na madhara mengine yatokanayo na mila na desturi hatarishi

Matukio ya ukatili wa kijinsia yanaacha athari kubwa za kisaikolojia na za kiafya kwa watu waliopatwa na ukatili ikiwa ni pamoja na kuathiri afya ya uzazi na mara nyingine kusababisha vifo

UWAKI haujatambuliwa kama ukiukwaji wa haki za binadamu katika sehemu nyingi duniani Tatizo hili hupunguza uwezo wa wanawake wanaume na watoto katika kufurahia uhuru na haki za msingi za kibinadamu Hata hivyo licha ya kuwepo kwa UWAKI katika nchi nyingi tatizo hili halijapewa kipaumbele UWAKI unaelezwa kuwa ldquoNi kitendo kiovu na cha aibu kubwa cha ukiukwaji wa haki za binadamurdquo Hali hii humfanya mwanamke kuwa tegemezi kijamii kiuchumi na kisheria na hupunguza uwezo wake katika kupata msaada mara anapofanyiwa ukatili

Utafiti uliofanywa na Shirika la Afya Duniani (WHO) kuhusu afya ya wanawake na ukatili wa kifamilia katika nchi 10 umeonyesha kuwa kati ya wanawake waliowahi kuwa na wenzi asilimia 13-61 walifanyiwa ukatili wa kimwili na wenzi wao asilimia 6-59 walifanyiwa ukatili wa kingono na asilimia 15-71 walifanyiwa vitendo vya ukatili wa kingono pamoja na kimwili Pia wanawake wengi vijijini walikiri kuwa walifanyiwa tendo la ngono kwa mara ya kwanza bila ridhaa yao na takwimu zinaonyesha matukio hayo katika baadhi ya nchi kama ifuatavyo Peru (24)

1

Tanzania (17) Bangladesh (30) na Ethiopia (17) Ukatili wa kimwili kwa wanawake wajawazito uliripotiwa kuwa ni asilimia 4-12

Wanawake na wasichana wanakabiliwa na aina nyingine ya ziada ya unyanyasaji Usafirishaji haramu wa wanawake na wasichana kwa ajili ya kazi na ngono za kulazimishwa ni biashara iliyoshamiri na mara nyingi waathirika ni wale wanaokabiliwa na hali ngumu ya maisha Ndoa za kulazimishwa na za utotoni ni ukiukwaji wa haki za binadamu kwa wanawake na wasichana lakini zinaendelea kushamiri kwenye nchi nyingi za Bara la Asia Mashariki ya Kati na Nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara Utafiti wa Shirika la Afya Duniani (2010) unaonyesha kuwa duniani kote mwanamke mmoja kati ya wanawake watano na mwanamume mmoja kati ya wanaume 10 wanaripotiwa kuathirika na unyanyasaji wa kingono wakati wa utoto

12 Hali ya UWAKI Kanda ya Afrika

Kuna uhaba wa taarifa takwimu na utafiti kuhusu UWAKI kwenye ukanda wa Afrika Mashariki Nchini Kenya kulikuwa hakuna takwimu zenye kuhusiana na ukatili wa kijinsia hadi utafiti wa hali ya jamii na afya ulipofanyika mwaka 2003 Utafiti huu ulionyesha kwamba asilimia 29 ya wanawake waliripotiwa kuathiriwa na ukatili wa kingono kwenye kipindi cha mwaka mmoja uliopita na wengi wa waathirika walikuwa wanawake wa umri wa miaka 20-29 Utafiti uliofanywa na Ushirika wa Wanasheria Wanawake nchini Kenya ulionyesha kwamba ukatili wa kijinsia katika familia unakabili asilimia 51 ya wanawake waliohudhuria kliniki nne za wajawazito kwenye jiji la Nairobi na waliripoti kuwa wamekuwa waathirika wa ukatili wakati fulani katika maisha yao kati yao asilimia 65 walifanyiwa ukatili na waume zao na asilimia 22 walifanyiwa ukatili na wanaume wasiowafahamu

Utafiti kuhusu UWAKI uliofanywa baada ya uchaguzi wa 2007 nchini Kenya ulilenga makazi duni ya Kibera jijini Nairobi yenye wakazi wapatao milioni moja Utafiti huu ulionyesha kuwa umri wa waathirika waliobakwa ulikuwa kati ya miaka 25-68 na wengi wao walikuwa wenye umri wa miaka ya 30 UWAKI uliwaathiri wanawake wa umri wa miaka yote Utafiti huu ulibaini kwamba baadhi ya waathirika waliambukizwa virusi vya UKIMWI

2

Mwaka 2007 Umoja wa Mataifa ulikadiria kuwa kiwango cha ubakaji wa wanawake katika eneo la Kivu kaskazini ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ulikuwa ni wanawake 350 kwa mwezi Mwaka 2008 shirika linalotetea haki za binadamu duniani (Amnesty International) liliripoti kuwa wanawake 40 hubakwa kila siku katika eneo hilo hilo

3

SEHEMU YA PILI

UCHAMBUZI WA UWAKI TANZANIA

21 Ukubwa wa tatizo la UWAKI Tanzania

Utafiti uliofanywa na Shirika la Afya Duniani (WHO)1 kuhusu afya ya wanawake na ukatili majumbani kwenye nchi 10 umebaini kuwa ukatili dhidi ya wanawake upo sehemu nyingi ikiwemoTanzania Utafi ti huo ulihusisha wanawake 1820 Dar es Salaam na wanawake 1450 Mbeya waliowahi kuwa na wenzi Matokeo yalionyesha kwamba asilimia 41 ya waliohojiwa katika jiji la Dar es Salaam na asilimia 55 ya waliohojiwa katika jiji la Mbeya waliathirika na aina mbalimbali za UWAKI Taarifa ilionyesha kuwa asilimia 15 hadi 71 ya wanawake walioathirika na ukatili wa kimwili au wa kingono ulifanywa na waume au wenzi wao Utafi ti huo pia ulionyesha kwamba asilimia 15 ya wanawake walifanya kitendo cha ngono kwa mara ya kwanza kwa kulazimishwa Aidha asilimia 4 hadi 12 ya wanawake waliripotiwa kunyanyaswa kimwili wakati wa ujauzito

Kufuatana na uchunguzi wa kitaifa nchini Tanzania kiwango cha ukatili majumbani kati ya wanawake wenye umri wa miaka 15- 49 ni asilimia 45 ikijumuisha ukatili wa kimwili (25) kingono (7) na (14) kwa aina zote mbili Unyanyasaji wa kimwili kwa wanawake wajawazito ulikuwa asilimia tisa (9) Kiwango cha wanawake waliokabiliwa na matukio ya kushurutishwa na wenzi wao kilikuwa asilimia sitini (60) Kiwango cha matukio ya ukatili wa kimwili kinatofautiana sana kati ya mkoa na mkoa ambapo kiwango cha juu sana kipo kwenye mkoa wa Dodoma (71) na cha chini kabisa kwenye mkoa wa Tanga (16) Ukatili wa kingono ni wa kiwango cha juu sana kwenye mkoa wa Rukwa (32) na chini kabisa kwenye mkoa wa Shinyanga (5) Kiwango cha wanawake waliowahi kuwa kwenye ndoa ambao wameathirika na ukatili wa kingono kutoka kwa mume au mwenzi wa sasa ni 48 mume wa zamani (21) rafiki wa kiume wa sasazamani (7) Kwa upande wa wanawake ambao hawajaolewa 27 ya ukatili ulifanywa na marafi ki wa kiume wa sasa au wa zamani

1 World Health Organization (WHO)

4

Uchunguzi wa WHO uliotajwa hapo juu umeonyesha usafi rishaji wa wanawake na wasichana kwa ajili ya kazi na ngono za kulazimishwa ni biashara iliyoshamiri na mara nyingi waathirika ni wale wanaokabiliwa na hali ngumu ya maisha Ndoa za kulazimishwa na za utotoni kama zilivyo kwenye jamii nyingi ni ukiukwaji wa haki za binadamu kwa wanawake na wasichana kwa sababu hawana fursa ya kutoa ridhaa Zaidi ya 60 ya waathirika wa UWAKI nchini Tanzania hawachukui hatua yoyote ya kutoa taarifa ya ukatili kwa mamlaka rasmi au vyombo vya kutekeleza sheria Upo uwezekano mkubwa wa maambukizo ya VVU kutokana na UWAKI Vijana wa kike wa Kitanzania wenye umri wa miaka 18-29 ambao wamekuwa wakinyanyaswa na wenzi wao wana uwezekano wa mara 10 zaidi kupata maambukizo ya VVU kuliko wanawake ambao hawajanyanyaswa

Utafiti uliofanyika Dar es Salaam mwaka 2000 ulibaini kuwa zaidi ya 90 ya waathirika wa ubakaji wanawafahamu wahalifu wao Katika utafiti mwingine uliofanyika Dar es Salaam asilimia ishirini na tano (25) ya wanawake waliohojiwa walikiri kwamba ldquoUkatili ni tatizo kubwa kwenye maishardquo Nchini Tanzania ubakaji ndani ya ndoa hautambuliwi kama kosa la jinai isipokuwa kama wenza wametengana

Vitendo vya UWAKI nchini Tanzania kwa ujumla vinalenga zaidi wanawake na wasichana kutokana na desturi na mazoea ya jamii ambazo zinawabagua na kuwapunguzia uwezo wa kufurahia haki zao za kibinadamu Ingawa mashambulizi ya ngono yanawalenga zaidi wanawake na wasichana hata hivyo wanaume na wavulana vilevile wanalengwa katika unyanyasaji wa kingono kubughudhiwa na kushambuliwa

Ukatili kama ulivyofafanuliwa unadhihirisha tofauti ya madaraka kati ya mwathirika na mhalifu wa ukatili wa kingono ambapo mhalifu mara nyingi ana umbo kubwa umri mkubwa utajiri au ni mmojawapo kwenye kundi la watu wenye mamlaka au anatumia silaha Nchini Tanzania asilimia 134 ya vijana wameathiriwa na mashambulio ya kingono ya namna moja ama nyingine Kwa ujumla kutokana na sababu mbalimbali nchini Tanzania kuna uhaba wa taarifa za UWAKI pia taarifa zilizopo siyo kamilifu

5

Uzoefu unaonyesha kuwa bila kujali hali ya afya ya kimwili ya mwathirika UWAKI humwacha mwathirika na majeraha ya muda mrefu na kupunguza uwezo wa mwathirika kushirikiana na jamii na familia Athari zaidi hujitokeza kwa mwathirika kama vile aibu unyanyapaa msongo wa mawazo na mfadhaiko Tatizo hili kwa waathirika linachochewa na ldquoUtamaduni wa ukimyardquo miongoni mwa familia na jamii inayowazunguka UWAKI una athari ya moja kwa moja na matokeo hasi kwa afya na ustawi wa kiuchumi na kijamii kwa familia hasa kwa wanawake na watoto

22 Unyanyasaji wa Mtoto na Kijana

Utafiti wa kitaifa nchini Tanzania kuhusu Ukatili Dhidi ya Watoto ni wa kwanza na wa aina yake katika Bara la Afrika Matokeo ya utafi ti yameonyesha kwamba mara nyingi watoto wanakabiliwa na unyanyasaji na matukio mengi na ya namna mbalimbali yanayojumuisha ukatili wa kimwili kingono na kisaikolojia Utafiti ulibaini kuwa watoto wengi wako kwenye hatari kubwa ya kunyanyaswa kwenye mazingira ya nyumbani na shuleni Haya ni maeneo mawili ambayo watoto wengi wa Kitanzania hutumia muda wao mwingi wakati wanakua na kuelekea kwenye ujana Robo tatu ya watoto wanapofikia umri wa miaka 18 huwa wameathirika na ukatili wa kimwili kwa namna moja ama nyingine kutokana na ukatili wa ndugu mwalimu au kiongozi Kutokana na utafiti takribani 30 ya wanawake wenye umri kati ya umri wa miaka 13-24 na 14 ya wanaume wenye umri kati ya miaka 13-24 nchini Tanzania waliripotiwa kuathirika na ukatili wa kingono angalau mara moja kabla ya kufikisha umri wa miaka 18

Nchini Tanzania ukeketaji hufanyika mapema utotoni Karibu mwanamke mmoja kati ya wanawake watatu waliokeketwa (32) walikeketwa kabla ya kufikisha umri wa mwaka mmoja na 27 walikeketwa wakiwa na umri wa miaka 13 au zaidi Hata hivyo ukeketaji kwa wasichana hufanyika katika umri mdogo sehemu ya wanawake waliokeketwa wakiwa na umri wa miaka 5 iliongezeka kutoka 34 hadi 39 kwa mujibu wa Utafiti wa Afya ya Jamii [UAJ] 2004-05 na UAJ 2010 Kulingana na utafiti huu 5 ya wasichana wa miaka 13shy17 waliripotiwa kuwa wamekeketwa na 10 ya wasichana wa umri wa miaka 18-24 waliripotiwa kukeketwa Kwa mujibu wa sheria kukeketa ni

6

kosa linalostahili adhabu Kuna uwezekano kwamba wale waliokeketwa huwa wanasita kutoa taarifa na ndiyo sababu ya taarifa kuwa chache

23 Mazingira ya Sera ya UWAKI

Serikali ya Tanzania imeonyesha nia yake ya kushughulikia masuala ya UWAKI kwa kuridhia mikataba kadhaa ya kimataifa yenye kuhusiana na UWAKI na jinsia Mkataba wa Kutokomeza Aina Zote za Ubaguzi Dhidi ya Wanawake (1985) ambao umekuwa chombo katika kupambana na matukio ya ubaguzi ikiwa ni pamoja na ukatili Jukwaa la Beijing (1995)2 na Malengo ya Maendeleo ya Milenia (2000)3 Tanzania pia imeridhia hati ya Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu kuhusu haki za wanawake na hati ya Ushirikiano wa Maendeleo wa Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC)4

Vipaumbele vya maendeleo ya Tanzania vinaainishwa katika Dira ya Taifa 2025 na katika Mpango wa Kuondoa Umaskini na Kukuza Uchumi (MKUKUTA) MKUKUTA II (2011-25) unashughulikia UKIMWI na jinsia kama masuala mtambuka na ni mkakati wa kwanza wa kitaifa unaotambua UWAKI kama suala la kisera kwa watu wote Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto ndiyo yenye jukumu la kuratibu shughuli zote zinazohusiana na jinsia

Wizara hiyo imetayarisha Sera ya Maendeleo ya Jinsia (2000) kwa ajili ya kushughulikia upungufu na kukosekana kwa usawa kati ya wanaume na wanawake Pia Wizara imetayarisha Mkakati wa Kitaifa wa Jinsia na Maendeleo (2002) unaotoa dira na kuwezesha usawa wa kijinsia nchini Pamoja na Mpango wa Taifa wa Vitendo vya Kukinga na Kutokomeza Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto (2001-2015) kwa ajili ya kuongeza juhudi za Serikali za kisheria kwa kupambana na UWAKI na kuhakikisha lsquousawarsquo na lsquohakirsquo kati ya wanawake na wanaume nchini Tanzania Sera ya Taifa ya Afya ina mfumo wa utoaji wa huduma za afya kwa watu wote wanaohitaji ikiwa ni pamoja na waathirika wa UWAKI

2 Beijing Platform for Action - (BPA 1995) 3 Millennium Development Goals - (MDG 2000) 4 Southern African Development Cooperation - (SADC)

7

24 Haki za Binadamu Sheria na Mazingira ya Udhibiti

Tanzania imeridhia Sheria ya Haki za Binadamu na masharti ya vyombo kadhaa vya kimataifa na kikanda ambavyo vinakataza ubaguzi kwa misingi ya jinsia na hivyo kuhitaji serikali ihakikishe kwamba wanawake hawabaguliwi Vyombo hivi ni Mkataba wa Kimataifa wa Kuzuia aina zote za Ukatili na Unyanyasaji wa Kijinsia 1979 pamoja na Mkataba wa Kimataifa wa Haki za Kiraia na Kisiasa (1966)5 Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu (1981) na Hati ya Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu Kuhusu Haki za Wanawake Afrika (2000)

Tanzania imetunga sheria inayosimamia kukinga na kupambana na UWAKI Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (1977) iko wazi kwa kukataza ubaguzi na kwa misingi hiyo inatoa haki ya usawa [Ibara ya 12-24] Sheria ya Mtoto (2009) inawezesha jitihada za kupunguza ukatili dhidi ya watoto Sheria Maalumu ya Makosa ya Kujamiiana (1998)6

ilitungwa kwa lengo la kulinda heshima ya mwanamke na kuweka vikwazo kwa UWAKI kwa kutoa adhabu kali kwa makosa ya kingono Sheria hii inajumuisha ukatili wa kingono ubakaji biashara haramu ya usafirishaji watu bughudha za kingono na kukataza ukeketaji chini ya kifungu cha lsquoUkatili kwa watotorsquo

Hii ilikuwa mara ya kwanza kwa Tanzania kutunga sheria ya kukataza vitendo vilivyotajwa hapo juu na hatima ya sheria hii imewekwa chini ya sheria za adhabu kifungu cha 16

Sheria ya Adhabu (marekebisho ya 2002) inawekea vikwazo vitendo vya UWAKI mathalan vitisho Sehemu ya 89B 89A kutoroka watoto Sehemu ya 166 kutelekeza watoto Sehemu ya 167 kuua bila kukusudia Sehemu ya 195 mauaji Sehemu ya 196 mashambulizi Sehemu ya 240shy243 kutorosha Sehemu ya 246 utekaji nyara Sehemu ya 244 kazi za kulazimishwa Sehemu ya 256 wizi utokanao na mwenzi Sehemu ya 264 tishio la uchomaji Sehemu ya 332 uchomaji Sehemu ya 319-322 kuficha nyaraka Sehemu ya 276-278 Sheria ya Biashara ya Binadamu Na 6 ya mwaka 2008 inakataza biashara ya binadamu kwa sababu yoyote

5 International Covenant on Civil and Political Rights - (ICCPR 1966) 6 The Sexual Offences Special Provisions Act 1998 (SOSPA)

8

Sheria ya Kuzuia VVU UKIMWI Na 28 ya mwaka 2008 inakataza unyanyapaa na inafanya uambukizaji wa VVU kwa makusudi kuwa kosa la jinai

Pamoja na kuwepo vyombo vya kimataifa kikanda kitaifa na vya sheria za kuhakikisha haki kwa wanawake tatizo la UWAKI limetapakaa nchini Tanzania lakini linaripotiwa kwa nadra UWAKI unaathiri zaidi wanawake na wasichana kuliko wanaume na wavulana Haya ni matokeo ya uhusiano usio sawa kati ya wanaume na wanawake katika jamii ambayo yanajidhihirisha katika maeneo kadhaa ikiwa ni pamoja na maeneo ya kiuchumi kijamii kisiasa na kisheria

Mara nyingi UWAKI unapunguza uwezo wa wanawake na wasichana wa kufurahia haki za kimsingi za binadamu na uhuru kama ilivyoainishwa kwenye Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Utambuzi wa wahalifu wa UWAKI nchini Tanzania ni nadra kulinganisha na idadi ya mashambulizi Ni muhimu kushughulikia mahitaji ya kisheria ya waathirika wote wa UWAKI wanawake wasichana wanaume wavulana na watoto

25 Miundombinu ya utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii

Mfumo wa utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii upo katika ngazi ya kitaifa mikoajiji na wilaya manispaa Mfumo huu unawezesha utoaji wa huduma za kuboresha afya kuzuia magonjwa tiba utengemao na ustawi wa jamii kwa kupitia vituo vya kutolea huduma za afya vinavyojumuisha zahanati vituo vya afya na hospitali

Kuna mfumo wa rufaa kitaifa wa njia mbili kupeleka na kurejesha mgonjwa ambao unaanzia kwenye jamii na kwenda kwenye zahanati ambazo zipo 4679 vituo vya afya (481) hospitali za wilaya (95) hospitali za mikoa (19) na hospitali za rufaa za taifa (8) Kuna vituo vya kutolea huduma za afya 5718 nchini Tanzania vikijumuisha zahanati (86) vituo vya afya (10) na hospitali (4) vikiwa chini ya umiliki wa serikali (69) mashirika ya kidini (14) mashirika ya umma ( 3) na mashirika binafsi (14)

9

Mpango wa Maendeleo wa Afya ya Msingi [(MMAM) 2007-2017 pamoja na malengo mengine unakusudia kuhakikisha kuwa kuna kituo kimoja cha afya kwa kila kata katika kata 2555 zilizopo na zahanati moja kwa kila kijiji katika vijiji 10342 Jumla ya vituo vya afya ya msingi 8107 hospitali za wilaya 62 na taasisi 128 za mafunzo zitaanzishwa ifikapo mwaka 2012

Mahitaji ya watoa huduma za afya ni 82377 na waliopata mafunzo ni 29063 (35) ikiwa ni upungufu wa 65 ya mahitaji Mahitaji ya watoa huduma wa ustawi wa jamii ni 3892 Kuna wafanyakazi 210 wa ustawi wa jamii ikiwa ni upungufu wa 95 ya mahitaji na uhaba mkubwa katika ngazi za wilaya (93) kata (100) na vituo vya watu wenye ulemavu na taasisi nyingine (85) (WAUJ 2006)

Kuna uhaba wa wafanyakazi wa afya wenye ujuzi kwenye ngazi za zahanati (69) vituo vya afya (59) na hospitali za rufaa (48-67) Kwa ujumla kuna uhaba wa wafanyakazi wa ustawi wa jamii wenye ujuzi kwa kiwango cha 95 katika ngazi zote kanda (21) wilaya (93) kata (100) na vituo vya walemavu (95) Kama ujenzi wa vituo hautaendana na upatikanaji wa watoa huduma utekelezaji wa MMAM utakuwa na upungufu mkubwa

Kwa kawaida kuna hospitali ya wilaya au teule kwa kila Mamlaka ya Halmashauri ya Wilaya (MHW) Kuna MHW 133 ambazo zina majukumu na wajibu wa kutoa huduma za afya kwenye maeneo yao Kila MHW ina Bodi ya Afya ya Wilaya (BAW) ambayo inajumuisha madiwani waliochaguliwa na kusimamia mipango na utekelezaji wa huduma za afya kwenye wilaya

Mipango na usimamizi wa huduma za afya katika halmashauri inaongozwa na Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri ambayo kiongozi wake ni Mganga Mkuu wa Wilaya na ni Katibu wa BAW Kuna bodi ya hospitali ya wilaya teule Bodi ya Huduma ya Afya (BHA) ya kituo cha afya inayowakilisha wakazi wa kata na bodi ya zahanati inayowakilisha wakazi wa kijiji bodi zote zikiwa na uwakilishi sawa wa kijinsia

Makadirio ya matumizi ya afya kwa mtu mmoja kwa mwaka 201011 ilikuwa ni dola za kimarekani 1575 ambapo WHO imependekeza

10

kiwango cha dola 3400 za Kimarekani Matumizi ya afya ni asilimia 14 ya Bajeti ya Taifa kwa mwaka ambacho ni chini ya kiwango cha asilimia 15 kilichopendekezwa na Tamko la Abuja

Mfumo wa utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii upo katika ngazi zifuatazo

[a] Ngazi ya Kitaifa WAUJ ina jukumu la kutayarisha sera za afya na miongozo inayohusiana na huduma za afya kuweka viwango kuhakiki ubora kufuatilia na kutathmini pamoja na kusimamia utoaji wa huduma za afya zenye kujumuisha kuboresha afya kinga tiba utengemao na ustawi wa jamii Hospitali za rufaa zina asilimiai 52 tu ya wafanyakazi wenye ujuzi

[b] Ngazi ya MkoaJiji Timu ya Uendeshaji ya Afya ya Mkoa ina jukumu la kuongoza na kuendeleza utekelezaji wa mpango mkakati wa afya kwenye mkoa pamoja na ushauri wa kitaalamu kwa Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri kwenye maeneo yafuatayo (1) Utekelezaji wa sera miongozo na viwango vya utoaji wa huduma za afya kwa usahihi na kwa muda uliopangwa ukihusisha watoa huduma wote wa umma binafsi kwenye MHW (2) kupanga kwa ufanisi kutekeleza kufuatilia na kutathmini mipango ya afya ya kina katika halmashauri Kamati ya utawala ya hospitali ya mkoa ina jukumu la kupanga na kusimamia hospitali ya mkoa ambayo ni ngazi ya pili ya rufaa Kuna hospitali 19 za mikoa ambazo zina 34 tu ya wataalamu wa afya

[c] Mamlaka ya Halmashauri ya WilayaManispaa Huduma za afya katika ngazi hii zinasimamiwa na Halmashauri ya Wilaya kupitia BAW chombo kilichoundwa (2001) chini ya Sheria namba 7 ya mwaka 1982 kifungu cha 86A BAW inawajibika kwa utoaji wa huduma za kina kwenye wilaya Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri inatoa ushauri wa kiutaalam kwa utekelezaji wa uamuzi wa BAW

[d] Ngazi ya Wilaya Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri huandaa na kutekeleza mpango wa kina wa afya wa halmashauri pamoja na kufuatilia na

11

kutathmini huduma za afya kwenye hospitali vituo vya afya zahanati na jamii ikiwa ni pamoja na kufanya utafiti Kamati ya Utawala ya Hospitali inasimamia mipango na huduma kwenye hospitali ya wilaya ambayo ni ngazi ya kwanza ya rufaa Kuna hospitali 95 za wilaya zikiwa ni pamoja na hospitali teule ambazo zina asilimia 33 tu ya wataalamu wa afya

[e] Ngazi ya Kata Kamati ya Afya ya Kata inasimamia upangaji ubunifu na uratibu wa mipango ya afya ya jamii husimamia na huhamasisha upatikanaji wa rasilimali pamoja na ukusanyaji na matumizi ya Mfuko wa Afya wa Jamii Vituo vya afya vina jukumu la kutoa huduma za kina za afya na ustawi wa jamii kwenye kata Kamati ya Kituo cha Afya inasimamia utoaji wa huduma za afya na kuhamasisha ukusanyaji wa rasilimali zinazohitajika Timu ya Kituo cha Afya ina wajibu wa kusimamia shughuli za kila siku kwenye kituo cha afya Timu inapanga na kusimamia juhudi za afya ya jamii katika eneo lake chini ya Mpango wa Maendeleo ya Kata Kuna jumla ya kata 2555 nchini ambapo kata 481 sawa na 19 zina vituo vya afya ambavyo vina 41 tu ya wataalamu wa afya

[f ] Ngazi ya Kijiji Kamati ya Zahanati inahakikisha kwamba idadi ya watu katika eneo lake wanapata huduma sahihi za afya na nafuu pamoja na kusimamia uhamasishaji wa rasilimali kwa ajili ya utekelezaji wa mpango wa zahanati Timu ya Usimamizi wa Zahanati inapanga na kusimamia juhudi za afya ya jamii kwenye maeneo chini ya Mpango wa Maendeleo ya Kata Kuna jumla ya vijiji 10342 ambapo 4679 vina zahanati sawa na 45 ambazo ni aslimia 31 tu ya zahanati zina wataalamu wa afya wanaotosheleza Kamati ya Huduma za Jamii kwenye kijiji ina wajibu wa kuhamasisha na kushirikisha jamii ili wajihusishe kuboresha na kulinda afya

[g] Ngazi ya Kaya Kuna kaya takriban milioni 7 nchini Tanzania na wastani wa watu 47 kwa kila kaya (ambapo 70 ya kaya zote zinaongozwa na wanaume na 30 zinaongozwa na wanawake) Sera ya Afya ya Taifa inatamka kwamba ni wajibu wa kila raia kuendeleza na kulinda afya yake pamoja na ya familia yake Pamoja na haya kila raia ana jukumu la kujiepusha na tabia hatarishi kwa afya yake pamoja na ya mwenzie na kuchangia rasilimali kwa ajili ya afya yake na uendelezaji wa vituo vya kutolea huduma za afya

12

26 Kukinga na Kupambana na UWAKI

Serikali ya Tanzania na washirika wake wa karibu wametekeleza mambo mbalimbali yanayohusiana na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Wizara ambazo zinahusika kwa ukaribu kwenye utekelezaji wa mipango ya kukinga na kupambana na UWAKI ni pamoja na Wizara ya Maendeleo y a Jamii Jinsia na Watoto Wizara ya Sheria na Katiba Wizara ya Mambo ya Ndani na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Kuna ushirikiano kati ya wizara idara mashirika asasi za kiraia na wadau wa maendeleo Katika ngazi ya kitaifa serikali inatekeleza Mkakati wa Maendeleo ya Jinsia (2005) na kukuza usawa wa jinsia na haki kwa wanawake Utekelezaji wa Sheria Maalumu ya Makosa ya Kujamiana (1998) ambayo sasa ni Kanuni ya Adhabu Sura ya 16 Toleo la Marekebisho 2002 Pia serikali inatekeleza Mpango wa Taifa wa Vitendo wa Kuzuia na Kutokomeza Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto (2001-2015) ambao una lengo la kutokomeza ubaguzi na unyonyaji wa kisheria kijamii kiuchumi kiutamaduni na kisiasa Zaidi ya yote Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (1977) inatamka kuheshimu misingi ya usawa na haki kwa kila mtu

Kwa kushirikiana na wadau wengine serikali inawezesha uanzishwaji wa kitengo cha jinsia kwenye idara za wizara mbalimbali (mfano idara ya polisi chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi) Mashirika ya Jamii hutoa utetezi msaada wa kisheria huduma za afya na kuendesha kampeni na mashirika mengine yamechukua hatua za kutoa hifadhi kwa waathirika wa UWAKI na Vituo vya Kuhifadhi Waathirika Kuna sera za kitaifa sheria mikakati na mipango ya kazi kwa ajili ya kushughulikia usawa wa kijinsia Vilevile serikali kwa kushirikiana na asasi za kiraia imejenga mazingira mazuri ya kuwezesha waathirika kupata huduma kama vile msaada wa kisheria Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii (WAUJ) imekuwa ikitoa huduma kwa waathirika wa UWAKI licha ya kutokuwepo kwa mwongozo wa sera kwa ajili ya wahudumu wa vituo vya kutolea afya

27 Changamoto katika Kuzuia na Kupambana na UWAKI

Muundo wa sheria sera na juhudi za kukuza haki za binadamu zinakabiliwa na changamoto mbalimbali zinazofisha jitihada za kuzuia kupambana

13

na kuepusha athari za UWAKI nchini Tanzania Changamoto hizo ni pamoja na upungufu wa fedha upungufu wa kisheria na sera zilizopo uratibu duni kati ya wadau na kukosekana kwa mfumo wa rufaa kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI Hali kadhalika uelewa na taarifa juu ya ukubwa wa tatizo la UWAKI ni duni kwa hivyo WAUJ imebuni na kutayarisha mwongozo maalumu wa sera na huduma dhidi ya UWAKI ili kukabili changamoto hizo

[a] Sera za Taifa Serikali ya Tanzania inajitahidi kujenga mazingira mazuri ya kuzuia na kupambana na UWAKI Ingawa Sera ya Afya ina lengo la kutoa huduma za afya za kutosha kwa kila Mtanzania ipo haja ya kuwa na miongozo na mikakati inayofafanua masuala ya UWAKI kwa ukamilifu Ukosefu wa miongozo na sera ya usimamizi dhidi ya UWAKI ni kikwazo kikubwa kwa juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kutibu na kuhudumia waliopatwa na UWAKI Sekta ya afya itatumia mwongozo wa sera hii ili kuboresha huduma ya kupambana na UWAKI kwa kushirikisha na kuwahusisha wadau wote

[b] Sheria zaTaifa Pamoja na kuwepo sheria nyingi zilizopitishwa kwa ajili ya kulinda haki za wanawake na watoto bado zipo changamoto nyingi Kwa mfano kuna baadhi ya sheria zenye utata baadhi zinapingana na hivyo kupunguza uwezo wa kupambana na UWAKI Pamoja na hayo Sheria ya Ndoa kama ilivyofanyiwa marekebisho 2002 haiainishi hatua za kuchukuliwa dhidi ya ukatili wa kifamilia Sheria hii ni kama inahalalisha ubakaji kwa kuruhusu binti kuolewa chini ya umri wa miaka 18 Sheria ya Makosa ya Kujamiiana na Vipengele Maalumu (1998) haitambui ubakaji ndani ya ndoa ingawa inatambua ubakaji ikiwa mume na mke wametengana Mbali na upungufu huo sheria ya makosa ya kujamiiana kwa upande wa kuthibitisha ushahidi wa kuingiliwa kimwili ni mgumu Sheria ya Mila (Tangazo la Serikali Na4361963) ambayo inatumiwa na Watanzania wote wazawa inatokana na mila na desturi za makabila mbalimbali ya Tanzania sheria hii ya Mila ni ya kibaguzi na huleta changamoto kwa wanawake na watoto ambao wamezaliwa nje ya ndoa hususan katika urithi wa mali Kwa mfano ugawanaji wa mali ya marehemu upo katika makundi matatu (1) Mtoto wa kwanza wa kiume (2) Watoto wengine wa kiume waliobaki na (3) Watoto wa kike bila kujali umri

14

na hali katika familia Watoto wa kike wa marehemu hurithi fungu dogo na hunyimwa haki ya kumiliki ardhi Kwa mujibu wa sheria hii mjane hana haki ya kurithi mali yoyote kutoka kwa marehemu mume wake isipokuwa huchukuliwa kuwa atatunzwa na watoto wake Mjane ambaye hajabahatika kuzaa hupata asilimia 20 ya asilimia 50 ya mali za marehemu mume wake Mbali na urithi sheria hii kwa upande wa talaka ikiwa mke alilipiwa mahari wakati ndoa inapovunjwa na mahakama mume ana haki ya kudai kurudishiwa mahari

Sheria zenye kupunguza makali ya UWAKI zimeweka kanuni za kuwezesha wadau katika sekta mbalimbali kuandaa sera na miongozo ya kuzuia na kupambana na UWAKI Wahusika muhimu katika sekta mbalimbali wanapaswa kupitia sheria zinazotoa mwanya wa mwendelezo wa UWAKI na kupendekeza marekebisho au utungwaji wa sheria nyingine zitakazopunguza na kumaliza vitendo vya UWAKI Hata hivyo kuna umuhimu wa kuwepo kwa wajibu na majukumu ya sekta mbalimbali katika kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kupambana dhidi ya unyanyasaji na ukatili kwa watoto Kwa kutambua na kuimarisha wajibu huo katika kila sekta itasaidia uzingatiaji wa sera na kuimarisha ari ya utendaji katika sekta zifuatazo

bull Ustawi wa Jamii Kujenga mfumo wa kufanya tathmini ya vihatarishi katika kupima mfumo wa rufaa unaohusisha sekta na huduma mbalimbali kuweza kuamua na kuchukua hatua za haraka na za muda mrefu katika kupambana na kutoa mahitaji ya haraka na ya muda mrefu kwa ajili ya ulinzi wa watoto na waathirika wengine

bull Elimu Kujumuisha elimu dhidi ya ukatili wa kijinsia katika mitaala ya elimu ikiwa ni pamoja na kuandaa mazingira salama shuleni na kuingiza katika programu za elimu zinazoelezea juu ya masuala ya kujifahamu kimwili (kibiolojia) afya ya uzazi na maendeleo yaa jamii Kuhakikisha kwamba sekta mbalimbali za rufaa na mifumo inayotoa ulinzi wa mtoto vinahusishwa katika elimu hiyo

bull Polisi na sheria Kuimarisha na kupanua ulinzi sahihi wa kisheria kwa ajili ya watoto na kuchukua hatua za kisheria kwa watuhumiwa wa uhalifu kuendeleza juhudi za kuimarisha dawati la jinsia na watoto katika idara ya Polisi nchini Kuendelea kuelimisha polisi na watumishi wengine

15

wa usalama wa raia kuhusu ukatili dhidi ya watoto na kuwa na utaratibu wa uchunguzi wa pamoja na idara ya ustawi wa jamii afya mamlaka na vitengo vingine vinavyohusika na ulinzi na usalama wa mtoto

bull Afya Kufanya kazi katika muundo wa pamoja na wadau wengine kwa kufuata miongozo iliyopo kwa ajili ya kuzuia kutibu kuhudumia na kufuatilia matukio ya ukatili dhidi ya watoto Kuimarisha mifumo iliyo wazi yenye kuunganisha huduma rafi ki kwa watoto na vijana dhidi ya UWAKI

[c] Polisi na Mahakama Mabadiliko katika idara ya polisi hasa katika uanzishwaji wa polisi jamii na dawati la jinsia na watoto yanaonyesha maendeleo katika kushughulikia UWAKI Hata hivyo waathirika wa UWAKI wanakabiliwa na ugumu wa kufika katika vituo vya polisi na mfumo wa utoaji haki Kwa mfano zipo kesi zilizotupiliwa mbali na Mahakama kwa kukosa ushahidi muhimu kutoka upande wa mashtaka Matokeo yake ni kwamba waathirika wanakosa motisha ya kutoa taarifa ya matukio ya UWAKI na hivyo hushindwa kufikisha malalamiko katika vyombo vya utoaji haki

Upungufu wa mafunzo kwa polisi na watoa huduma za kisheria juu ya namna ya kuzitumia sheria zilizopo dhidi ya UWAKI kumesababisha kesi mahakamani kushindwa Mfano Fomu ya Polisi namba 3 (PF3) inatoa taarifa juu ya tukio la shambulio na haitoi maelezo juu ya tukio hilo kama limetokana na UWAKI Ingawa zipo sheria zinazopinga UWAKI sheria hizo hazifahamiki hivyo hazitumiki kikamilifu Pamoja na hayo sheria za kimila na imani za kidini zinazuia waathirika kutoa taarifa za matukio ya UWAKI

Sheria ya Makosa ya Kujamiiana na Vipengele Maalumu (1998) inatoa adhabu kali kwa makosa ya kujamiiana Mara nyingi watuhumiwa hawafikishwi mahakamani kwa kuhofia kudhurika kwa familia zao kwa upande wa kukosa kipato kutoka kwa mtuhumiwa (kwani adhabu za makosa hayo huwa ni kifungo cha muda mrefu) Kwa sababu hizo utoaji wa taarifa kutoka kwa waathirika na familia zao ikiwa ni pamoja na matumizi ya sheria na uendeshaji wa mashtaka umeendelea kuwa changamoto pamoja na kuwepo kwa Sheria ya Makosa ya Kujamiiana inayotoa ulinzi dhidi ya UWAKI

16

bull

bull

bull

bull

bull

[d] Mila na Desturi Katika ngazi ya jamii na mtu binafsi zipo sababu mbalimbali zinazochangia kwa kiwango kikubwa matukio ya UWAKI Utafiti uliofanywa na mtaalamu wa Shirika la Afya Duniani (WHO)7 unaainisha vipengele hatarishi vifuatavyo juu ya mila na desturi

Kanuni za kimila katika uhusiano wa kijinsia humpa mwanamume madaraka na haki zaidi Baadhi ya mila na desturi huhimiza uvumilivu juu ya vitendo vya UWAKI na kuwazuia waathirika kutoa taarifa na kupata msaada Uwezeshaji wa mwanamke katika kupambana na mfumodume hujenga hisia kwa mwanamume kuwa anapoteza mamlaka yake na hivyo huwaudhi baadhi ya wanaume na kuendelea kufanya ukatili kwa lengo la kuwadhibiti wanawake Matumizi ya baadhi ya sheria za kimila hayawasaidii waathirika kupata haki Hofu ya kulipiza kisasi unyanyapaa ubaguzi na kukosekana kwa huduma huwazuia waathirika kutoa taarifa na kupata msaada

[e] Madaraka na Mamlaka Madaraka na mamlaka ni muhimu katika kuzuia na kupambana na UWAKI Wakati mwingine watu wenye madaraka na mamlaka hufumbia macho matukio ya UWAKI Kwa mfano upo ushahidi wa kutosha kuwa kuna matumizi mabaya ya madaraka na mamlaka shuleni na maeneo ya kazi

[f ] Kuhusisha Jamii Jamii ndiyo ngazi ya awali kujua tukio la UWAKI na kutoa msaada wa usalama na ulinzi kwa mwathirika Utafiti wa Shirika la Afya Duniani katika nchi mbalimbali ulionyesha kwamba asilimia 37 ya waathirika walipata msaada kutoka kwa jamii Kutokana na kiwango cha unyanyapaa ubaguzi na kutengwa kijamii viongozi katika ngazi ya jamii waliohamasishwa juu ya UWAKI waliweza kukabili mazingira haya ya kiuhasama Jamii inaweza kumsaidia mwathirika kwa kujenga mazingira mazuri (kwa mfano kituo cha hifadhi salama) Jamii inahusishwa katika

7 Krug Etienne et al 2002 World Report on Violence and Health Geneva WHO Available at httpwwwwhointviolence_injury_preventionviolenceworld_report

17

bull

bull

bull

bull

kuwahamasisha waathirika kuwapa ulinzi mahitaji ya msingi msaada wa kisaikolojia na kuwapa rufaa kwa watoa huduma wengine Vilevile jamii inahusishwa katika kuzuia UWAKI kupunguza unyanyapaa na kuwapa unasihi waathirika pamoja na kuhamasisha viongozi wa kijamii na wanajamii kwa ujumla

Uhamasishaji huu ni muhimu kwa sababu jamii ni daraja kati ya mwathirika na huduma za afya na ustawi wa jamii

Jamii inapaswa kushirikishwa katika hatua za mwanzo na zinazofuata katika kuzuia UWAKI Katika hatua za mwanzo jamii inapaswa kujitahidi kuondoa tabia za kuvumilia matukio ya UWAKI na hivyo kupunguza matukio hayo Katika hatua zinazofuata jamii itatambua na kulinda wale walio katika hatari zaidi ya UWAKI kama watoto na wanawake Jamii pia inapaswa kutambua vikwazo vya utoaji huduma katika idara ya afya polisi na mfumo wa utoaji haki na kuisaidia jamii kuondokana na vikwazo vya upatikanaji wa huduma

Ni muhimu kuishirikisha jamii katika jitihada za utekelezaji wa kuzuia UWAKI na kupambana nao ikiwamo usimamizi wa matibabu ya waathirika Jamii ina uwezo mkubwa wa kuhamasisha waathirika kutafuta huduma za afya na huduma nyingine zinazohusiana na UWAKI kwa mfano huduma za polisi usaidizi wa kisheria na hifadhi salama Pia jamii ina wajibu wa kuwaunganisha waathirika na jamii zao

Hata hivyo zipo changamoto katika kuihusisha jamii kama vile

Upungufu katika kuwahusisha wanaume na wavulana katika kushughulikia UWAKI Wanajamii wamekuwa wakiwanyanyapaa badala ya kuwasaidia waathirika na wakati mwingine wameshiriki katika UWAKI Baadhi ya viongozi wa kijamii na kidini hawana utayari wa kuhamasisha kuzuia na kupambana na UWAKI Jamii zina kiwango kikubwa cha kunyamazia matendo ya UWAKI na kuzuia sheria kuchukua mkondo wake

18

[g] Hali ya kiuchumi na kijamii Kushughulikia UWAKI pekee kama changamoto inayohusu huduma za tiba ni kutibu dalili badala ya chanzo Ni muhimu kushughulikia vyanzo vya UWAKI kama umaskini miongoni mwa wanawake ambao huwafanya kuwa wategemezi

Serikali imetayarisha MKUKUTA II wenye kuainisha njia za kuendeleza na kulinda haki za binadamu kwa watu wote hasa kwa wanawake na wanaume maskini watoto watu wanaoishi katika hali hatarishi na makundi maalumu (angalia MKUKUTA II-kundi la III lengo la 3) na kuongeza uzalishaji na fursa za ajira zenye kuheshimika hasa kwa wanawake na vijana (angalia MKUKUTA II kundi la I lengo la 3) Changamoto iliyopo ni ukosefu wa kuweka vipaumbele katika utekelezaji wa ahadi hizi kwa wanawake na vijana kwa kuelekeza rasilimali za kutosha na kutekeleza mikakati katika kuleta mabadiliko ya hali ya kijamii na kiuchumi kwa wanawake na vijana hivyo kupunguza hali hatarishi ya UWAKI

28 Upungufu katika kupambana na UWAKI

Sekta ya afya imeandaa mwongozo wa kutoa huduma kwa waathirika wa UWAKI Hata hivyo ili kutoa huduma bora na za kirafi ki kwa waathirika sekta zinazohusika hazina budi kushughulikia upungufu ulioainishwa kama ifuatavyo

[a] Huduma za afya

Ukosefu wa mwongozo wa utoaji wa huduma kwa waathirika wa UWAKI Hakuna mwongozo wa utoaji wa huduma za kupambana na UWAKI kwa watoa huduma wa ngazi zote kuanzia nyumbani kwenye jamii zahanati vituo vya afya hospitali polisi mahakama na wadau mbalimbali Upungufu huu unakwamisha upatikanaji na utoaji wa huduma bora za kukinga na kupambana na UWAKI

Upungufu wa fedha Bajeti ya Serikali kuu na serikali za mitaa haikidhi mahitaji

19

Upungufu wa wataalamu wenye ujuzi wa kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Watoa huduma kwenye vituo vya kutolea huduma za afya na jamii hawana maarifa na ujuzi unaotakiwa kushughulikia mahitaji ya waathirika wa UWAKI wa marika yote

Kutojumuishwa kwa huduma za waathirika wa UWAKI na huduma nyingine Huduma za waathirika wa UWAKI hazikujumuishwa na huduma nyingine za afya na ustawi wa jamii kama vile afya ya uzazi upimaji wa VVU UKIMWI uzazi wa mpango na unasihi

Mfumo duni wa rufaa kwa waliopatwa na UWAKI Ingawa mfumo wa rufaa wa huduma za afya umeimarika kwa huduma nyingine lakini hakuna mfumo sahihi wa rufaa kwa waliopatwa na UWAKI Watoa huduma za afya hawana taarifa sahihi za waliopatwa na UWAKI kuhusu utaratibu wa kupeleka na kupokea wagonjwa kwenye vituo vyao na kwenda kwenye vituo vingine au huduma za mfumo wa jamii polisi kisheria na kadhalika Katika mazingira haya mahitaji ya rufaa kwa waliopatwa na UWAKI hayakidhiwi Waliopatwa na UWAKI hawana taarifa ambazo zitawasaidia kupata huduma na hivyo hushindwa kufanya uamuzi sahihi au kutafuta huduma na matibabu zaidi

Upungufu wa taarifa na takwimu Nchini Tanzania matukio yanayohusu UWAKI hayatolewi taarifa ipasavyo kutokana na sababu nyingi zikiwemo waathirika kusita kutoa ripoti ya matukio kutokana na unyanyapaa na ubaguzi hofu ya kutengwa na jamii aibu na miiko inayohusishwa na UWAKI Matokeo yake ni ukosefu wa taarifa zenye uhakika ambazo zinaweza kutumika kuandaa mpango kwa misingi ya utafi ti utaratibu wa utoaji huduma maendeleo ya kisera na utetezi ufuatiliaji na tathmini na uamuzi wa kiutawala

[b] Huduma za Ustawi wa Jamii Utoaji wa huduma za ustawi wa jamii unakabiliwa na ushirikiano mdogo kati ya watendaji wa sekta mbalimbali wa huduma za afya katika halmashauri Kuna upungufu wa watoa huduma za ustawi wa jamii katika ngazi mbalimbali Hali hii inaathiri wigo wa huduma ya msaada wa kisaikolojia unasihi marekebisho ya tabia na utengamao

20

bull

bull

bull

bull

bull

Kikwazo kingine ni watoa huduma za ustawi wa jamii na wadau wa afya kukosa stadi maalumu za kutosha kuhusu kuzuia na kupambana na UWAKI

Wajibu wa watoa huduma za ustawi wa jamii ni muhimu kwa sababu wanafanya kazi katika ngazi ya jamii ambapo matukio mengi ya UWAKI hutokea Wana majukumu makubwa kama watu wa mstari wa mbele kwenye kuzuia na kupambana na UWAKI Uhusiano kati ya jamii na utoaji wa huduma ndio kipimo cha kiwango cha waathirika wa UWAKI kupata huduma za matibabu na kurejea kwenye jamii ili kuendelea kuishi maisha yenye faraja

[c] Huduma za Jamii Baadhi ya upungufu wa uhusiano kati ya jamii na vituo vya kutoa huduma za afya ni pamoja na

Uelewa duni kuhusu masuala ya UWAKI na uwezeshaji wa jamii katika kuzuia na kupambana na UWAKI Uelewa duni wa mahali pa kupata huduma kwa waliopatwa na UWAKI Upungufu wa huduma za kijamii kwa waathirika ikiwa ni pamoja na mifumo ya kijamii ya kutoa ulinzi na usalama (kwa mfano vituo vya hifadhi ya muda) na huduma za rufaa za kiafya polisi na msaada wa kisheria

[d] Huduma za Msaada wa Kisheria (Polisi na Mahakama) Kuna vikwazo vingi katika kupata msaada wa kisheria ambavyo ni pamoja na

Upungufu wa kupata huduma za polisi na msaada wa kisheria kwa waathirika wa UWAKI

bull Kutokuwepo kwa sheria mahususi dhidi ya UWAKI bull yasiyotosheleza UWAKI kwa vyombo Mafunzo kuhusu

vinavyosimamia sheria bull Kuna sheria zinazokinzana na hivyo kutoa mwanya wa tatizo la

UWAKI kuongezeka Upungufu wa watumishi na fedha kwa ajili ya huduma za polisi na msaada wa kisheria

21

bull

bull

Uhaba wa vituo vya msaada wa kisheria Vituo vingi vinavyotoa msaada wa kisheria kwa sasa vinahudumiwa na asasi zisizo za kiserikali zina bajeti ndogo na zipo zaidi mijini

[e] Huduma ya Elimu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imeingiza UWAKI katika mtaala wa mafunzo ya walimu shule za msingi na sekondari Hata hivyo kuna changamoto nyingi katika kuhusisha shule ili kuzuia na kupambana na UWAKI

bull Walimu hawajapata mafunzo ya kutosha kuhusu UWAKI Uhaba wa maeneo salama na programu za shuleni zinazowapa watoto uwezo wa kuzuia na kupambana na UWAKI na ukatili dhidi ya watoto

bull mfumo unaohusuUhusiano duni kati ya mfumo wa elimu na ulinzi na usalama wa mtoto

22

SEHEMU YA TATU

UMUHIMU NA MALENGO 31 Umuhimu

Utafiti uliofanyika nchini Tanzania umeonyesha viwango vya juu vya UWAKI ambavyo ni kati ya asilimia 30 hadi 50 Viwango hivi havikubaliki na vinasababisha madhara ya kimwili kingono kisaikolojia kwa makundi ya umri wowote hasa watoto na wanawake Matokeo ya UWAKI yanaweza kusababisha vifo kutokana na kujiua maambukizo ya virusi vya UKIMWI au magonjwa na vifo vya wanawake vinavyotokana na uzazi Matokeo mengine ingawa hayasababishi vifo yana madhara ya kimwili kingono na kisaikolojia kwa muda mfupi au mrefu Madhara ya UWAKI ni zaidi ya matokeo ya kiafya na majeraha ambayo ni vigumu kupona UWAKI unakiuka haki za binadamu za waathirika na husababisha matokeo hasi katika amani umoja na kipato cha familia ambayo kwa ujumla huleta madhara kwa maendeleo ya kijamii na kiuchumi

Ingawa Serikali ya Tanzania na asasi za kiraia zimefanya jitihada kubwa za kuzuia na kupambana na UWAKI bado tatizo hili ni changamoto kubwa WAUJ itashughulikia changamoto hizi kwa kushirikiana na wadau wengine hali inayohitaji ushirikiano wa karibu ili kushinda vikwazo vilivyopo ambavyo ni pamoja na upungufu wa fedha na watumishi udhaifu kwenye mfumo wa rufaa na mfumo wa kuunganisha huduma za UWAKI katika huduma zilizopo Changamoto nyingine ni uhaba wa utetezi na takwimu kwa ajili ya uandaaji wa mipango yenye misingi ya utafiti kufanya uamuzi ufuatiliaji na tathmini Hata hivyo serikali imeweka misingi imara kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kama inavyodhihirishwa kwa kuwepo kwa sera mikakati na mipango kazi ya kusaidia masuala ya kijinsia na kupunguza UWAKI

Kutokana na ukubwa wa tatizo hili madhara yake na changamoto zinazohusiana na UWAKI WAUJ imetayarisha Mwongozo huu wa kisera chini ya Sera ya Afya ili kuimarisha juhudi za kupambana na UWAKI na kuhakikisha utoaji wa huduma za kina na zenye ubora katika ngazi zote Mwongozo huu wa kisera utatoa mwelekeo kwa vituo vya huduma za afya kwa ngazi zote kuhusu wajibu na majukumu yao katika utoaji

23

wa huduma za UWAKI Pamoja na haya Mwongozo huu utawezesha utayarishaji wa mwongozo wa matibabu kwa waathirika wa UWAKI Kutokana na uzito wa tatizo hili la UWAKI utayarishaji wa Mwongozo huu ulihusisha na kushirikisha kwa kina wadau mbalimbali ndani na nje ya WAUJ

32 Lengo Kuu

Lengo kuu la Mwongozo huu wa kisera ni kuimarisha uwezo wa WAUJ kuelekeza sekta ya afya na ustawi wa jamii na kujenga uhusiano imara na jamii na wadau mbalimbali katika kuzuia na kupambana na UWAKI

33 Malengo Mahasusi

Mwongozo huu utawezesha yafuatayo

[i] Kuweka mfumo wa kuelekeza utayarishaji wa mwongozo wa matibabu na taratibu za kutoa huduma kwa waathirika wa UWAKI

[ii] Kuelekeza WAUJ namna ya uratibu bora wa utekelezaji wa juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kuelekeza namna ya kuweka mifumo thabiti ya ufuatiliaji tathmini na uwekaji wa kumbukumbu za afua za UWAKI chini ya WAUJ

[iv] Kuelekeza ushirikiano kati ya Wizara jamii na wadau kutoka sekta mbalimbali katika utoaji wa huduma za UWAKI

24

bull

SEHEMU YA NNE

MAELEKEZO YA KISERA

Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii watafanya kazi pamoja na wale wa sekta nyingine hasa kwenye ngazi ya jamii katika kuimarisha ushirikiano na mitandao mingine katika jamii ili kuwasaidia waliopatwa na UWAKI kwa karibu na kuwashirikisha katika kuboresha afya zao na kuzuia UWAKI

WAUJ kwa kushirikiana na wadau wengine imetayarisha Mwongozo huu wa kisera wa UWAKI ili kutoa taarifa malengo na maelekezo kuhusu jitihada za kuzuia kuepusha na kushughulikia madhara ya UWAKI katika sekta ya afya Wadau muhimu ni pamoja na viongozi wa jamii polisi na mahakama Yeyote kati ya wadau hawa anaweza kuwa ni kimbilio la kwanza kwa wahanga wa UWAKI Wote wana wajibu wa kutoa huduma kwa haraka na kwa ufanisi

41 Huduma kwa Waliopatwa na UWAKI

Watoa huduma za afya wanatakiwa kuwahudumia waliopatwa na UWAKI kwa kujali na kuzingatia maadili ya taaluma zao Wajibu huu ni pamoja na kuhakikisha usalama hali ya usiri heshima utu na kutoa huduma bila ubaguzi Aidha kabla ya kutoa huduma inatakiwa kupata ridhaa ya muhusika au mlezi wa mtoto mwenye umri chini ya miaka 18

Kwa kulenga na kuzingatia mahitaji ya watu waliofanyiwa UWAKI watoa huduma za afya kwenye ngazi zote watazingatia na kuongozwa na kanuni zifuatazo

[a] Haki za Binadamu Maadili na Kujali

bull zilenge kurejesha au Usalama Hatua zote zinazochukuliwa kudumisha usalama wao Hali ya Usiri Siri zao pamoja na familia zao zinatakiwa kutunzwa wakati wote Hii ina maana kwamba mtoa huduma ya afya anaweza kutoa taarifa muhimu kwa mtoa huduma mwingine pale ambapo muhusika ameridhia tu

25

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

Heshima na utu Watoa huduma wanatakiwa kuwasikiliza kwa makini maoni mawazo na fikira zao na kuwahudumia kwa heshima Bila ubaguzi Waliopatwa na UWAKI wote ni sawa na wanatakiwa kuhudumiwa kulingana na mahitaji yao pia kupewa nafasi sawa katika kupata huduma Ridhaa arifu Ridhaa ya aliyefanyiwa UWAKI itahitajika kwenye taratibu za utoaji huduma maalumu kama (1) Uchunguzi na tiba (2) Uchunguzi tiba pamoja na ushahidi wa kitaaluma (3) Uchunguzi tiba ushahidi wa kitaaluma pamoja na uchunguzi wa polisi na kisheria

Kanuni zinazohusu watoto bull Kuzingatia na kusimamia mahitaji halisi ya mtoto wakati wote bull Kumpa mtoto faraja bull Kumshirikisha mtoto katika kufanya uamuzi bull Kumshughulikia kila mtoto kwa haki na usawa

Kumsaidia na kumlea mtoto ili akue katika hali ya ujasiri na kujiamini

[b] Haki za Aliyepatwa na UWAKI Watoa huduma wote wanatakiwa kuwa na mtazamo unaozingatia mahitaji ya mtu aliyepatwa na UWAKI na kuheshimu haki zake ambazo ni

bull Kuhudumiwa kwa heshima bila unyanyapaa ubaguzi na kutokuwa na mtazamo wa kumlaumu Kupewa taarifa sahihi na zinazoeleweka ili aweze kutoa ridhaa na siyo kumwambia cha kufanya hali inayoweza kumfanya ajisikie mnyonge

bull Kupewa faragha na hali ya usiri na siyo kumteta au kumwaibisha Kulindwa dhidi ya ubaguzi wa aina yoyote au upendeleo wenye misingi ya kijinsia au sababu nyingine Kupewa nafasi ya kuchagua kuhudumiwa na mtoa huduma mwanamume au mwanamke

bull Kupewa nafasi ya kusindikizwa na ndugu au mlezi wake

26

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

[c] Wajibu wa Mtoa Huduma Mtoa huduma anatarajiwa kuzingatia yafuatayo anapomhudumia mtu aliyepatwa na UWAKI

Kujiweka katika nafasi ya mtu aliyepatwa na UWAKI na kuguswa kuwa mtunza siri kuonyesha upendo na kujali anapomuhudumia Kumpatia taarifa sahihi na kuhakikisha kuwa ridhaa arifu inatolewa kwa huduma inayohitajika Kuzingatia masilahi ya muhusika na kuheshimu matakwa yake wakati wote

bull na kuzuia madhara mengineKuhakikisha ulinzi na usalama wake Kuhifadhi kumbukumbu zake mahali pa usalama na kutunza siri wakati wote

bull huduma kadiriKumpatia rufaa kwenda kwenye ngazi za juu za inavyohitajika kulingana na kiwango cha madhara ya kimwili kihisia na kisaikolojia Aidha inatakiwa kumpatia unasihi kabla ya kumpa rufaa

Kuhusu Watoto bull Kuhakikisha kuwa mzazi au mlezi yupo wakati wote pia

kuhakikisha kwamba mzazi au mlezi siyo tishio kwa mtoto Wakati wote mwandae mtoto kuelewa kinachotarajiwa kutendeka na kuhakikisha anaelewa kitakachotokea Kwa watoto wenye umri chini ya miaka 18 ridhaa ya maandishi inahitajika kutoka kwa mzazi au mlezi

Vigezo vya kupata mchango wa mawazo kutoka kwa Watoto Watoto wa umri wa miaka 16 na zaidi kwa ujumla wana uwezo wa kutosha kufanya uamuzi

bull kuwaWatoto wa umri wa miaka 14 hadi 16 wanatarajiwa wamekomaa vya kutosha kutoa mchango au mawazo yao Watoto wa umri wa miaka 9 hadi 14 wana welewa wa kushiriki kufanya uamuzi lakini ukomavu wa kila mtoto unatakiwa kupimwa kipekee Watoto wa umri chini ya miaka 9 wana haki ya kutoa maoni arifu na kusikilizwa Wanaweza kushiriki katika mchakato wa kufanya uamuzi kwa kiwango fulani lakini hadhari inahitajika ili kuwaepusha na mzigo wa kuwa waamuzi

27

bull lazimaKimsingi inapendekezwa kwamba maoni ya kila mtoto yazingatiwe kulingana na umri wake kiwango cha ukomavu utamaduni mila na hali ya mazingira

[d] Wajibu wa WAUJ katika Ngazi ya Taifa WAUJ inatayarisha sera miongozo na kanuni inadhibiti ubora inafuatilia na kutathmini utekelezaji Vilevile inahakikisha kuna watumishi na fedha za kutosha kwa mipango ya afya pamoja na kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote WAUJ itaendeleza ushirikiano na wadau mbalimbali kitaifa na kimataifa Wizara itafanya yafuatayo katika kuzuia na kupambana na UWAKI

[i] Kuandaa miongozo ya matibabu yenye ubora kwa ajili ya watoto vijana na watu wazima waliopatwa na UWAKI

[ii] Kutafuta na kutenga fedha kwa ajili ya afua za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kuandaa miongozo ya mafunzo yanayohusiana na juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kutoa mafunzo kwa watoa huduma za afya na ustawi wa jamii kuhusu kuzuia na kupambana na UWAKI kwa watoto vijana na watu wazima

[v] Kutoa huduma mseto na rufaa kwa kutumia mfumo uliopo wa utoaji huduma za afya na ustawi wa jamii

[vi] Kuunganisha takwimu zinazohusu UWAKI kwenye Mfumo wa Takwimu na Ufuatiliaji wa Huduma za Afya (MTUHA)

[vii] Kuendeleza utaratibu wa kupeana taarifa na takwimu zinazohusu UWAKI pamoja na kushirikiana na wadau wake wakuu

[viii] Kufanya usimamizi shirikishi ili kuhakikisha kuwa kanuni za haki za binadamu maadili na kujali zinazingatiwa

[e] Wajibu wa Vituo vya Huduma za Afya Vituo vya kutoa huduma za afya vinajumuisha zahanati vituo vya afya na hospitali zinazomilikiwa na sekta ya umma na binafsi Vituo vyote vya kutoa huduma katika ngazi zote vina Kamati ya Uongozi ya Kituo na Timu ya Usimamizi

28

Vituo vya huduma za afya vitafanya yafuatayo [i] Kuhakikisha kwamba Timu za Usimamizi wa Huduma za Afya

zinatenga fedha za kutekeleza mikakati na mipango kazi ya mwaka ili kuviwezesha vituo kutoa huduma bora kwa waliopatwa na UWAKI

[ii] Kuunganisha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI na zile zilizopo kwenye vituo vya huduma za afya na kuhakikisha mpangilio mzuri wa rufaa za ndani na nje ya kituo zinakidhi mahitaji ya watoto vijana na watu wazima kwa usawa na haki

[iii] Kuhakikisha watoa huduma ya afya na ustawi wa jamii wanapatiwa mafunzo ya kutoa huduma toshelezi kwa watoto vijana na watu wazima waliopatwa na UWAKI

[iv] Kuanzisha utaratibu bora wa kukusanya takwimu na taarifa kuhusu huduma kwa waliopatwa na UWAKI na kutunza kumbukumbu kwa usahihi na kutoa taarifa kwa ajili ya matumizi ya kituo na wadau

[v] Kufanya kazi kwa ushirikiano wa karibu na kamati ya afya ya kituo polisi mahakama na taasisi za elimu ili kukuza ushirikiano kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye jamii

[f ] Wajibu wa Watoa Huduma za Afya Watoa huduma za afya ni pamoja na watunza kumbukumbu za afya tabibu (tabibu msaidizi ofisa tabibu madaktari wasaidizi madaktari na madaktari bingwa) wauguzi wakunga maofisa wauguzi wasaidizi maofisa wauuguzi) wafanyakazi wa maabara wafamasia na maofi sa ustawi wa jamii Watoa huduma hawa wanatakiwa kuzingatia yafuatayo

[i] Kuelewa kikamilifu na kuzingatia kanuni za miongozo ya haki za binadamu maadili ya taaluma na kuonyesha upendo na kujali wakati wa kumhudumia aliyepatwa na UWAKI

[ii] Kuhakikisha upatikanaji wa mahitaji muhimu na utoaji wa huduma toshelezi na zenye ubora kwa waliopatwa na UWAKI katika kituo cha kutoa huduma za afya na kwenye jamii

[iii] Kuwatambua waliopatwa na UWAKI kati ya wagonjwa wa nje katika kituo na kuhakikisha wanapata matibabu na rufaa kwa haraka

29

[iv] Kuhakikisha utoaji wa huduma toshelezi kwa waliopatwa na UWAKI (watu wazima vijana na watoto) Huduma hizi ni pamoja na huduma ya matibabu kutunza ushahidi unasihi na rufaa ndani ya mfumo wa afya na pia rufaa kwenda kwenye sekta nyingine

[v] Kuhakikisha vielelezo vya upelelezi vinakusanywa na kuhifadhiwa ipasavyo ili kutunza ushahidi

[vi] Kuchukua takwimu na taarifa kamili kuhusu aliyepatwa na UWAKI na kuhakikisha zimehifadhiwa kwa siri na usalama

[vii] Kujenga ushirikiano na jamii pamoja na wadau wengine

42 Wajibu wa Jamii

Wadau muhimu katika jamii ni Kamati ya Huduma za Jamii Kamati ya Ulinzi na Usalama Kamati ya Zahanati Mashirika ya Dini Kamati ya Kijiji ya Afya wahudumu wa afya katika jamii wakunga wa tiba asili waganga wa tiba asili na mbadala viongozi wa jamii vikundi vya wanawake na wakuu wa kaya

Jamii itafanya yafuatayo kwa waliopatwa na UWAKI [i] Kupanga na kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya kuzuia

na kutoa huduma bora kulingana na mpango wa mwaka wa zahanati

[ii] Kuhakikisha upatikanaji wa huduma toshelezi pamoja na usalama wao kupatiwa mahitaji ya msingi msaada wa kisaikolojia kupewa rufaa kwenda polisi vyombo vya sheria na watoa huduma wengine Vilevile wanajamii wana wajibu wa kutoa ushahidi mahakamani na kuwasaidia wahusika kuunganishwa na familia zao na jamii

[iii] Kuhakikisha kuwepo kwa vituo vya hifadhi ya muda vya kutosha kwenye jamii

[iv] Kujenga welewa na kuiwezesha jamii kuzuia na kupambana na UWAKI kwa kutetea misingi ya haki za binadamu usawa wa kijinsia haki za vijana na watoto na kutovumilia UWAKI

43 Msaada wa Kisheria kwa waliopatwa na UWAKI Watoa huduma wa afya na ustawi wa jamii baada ya kupata ridhaa kutoka kwa muhusika watampa rufaa ya kwenda sekta nyingine muhimu na kwa wadau mbalimbali kama vile polisi vituo vya msaada wa kisheria kwa ajili ya kupata huduma maalum Watoa huduma wanawajibika

30

kutoa taarifa za kutosha kuhusu masharti ya kisheria ya kutoa taarifa ya matukio ya UWAKI na kwa wakati unaofaa

Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wanawajibika kutoa ushauri kwa waliopatwa na UWAKI (watoto vijana na watu wazima) kuhusu taratibu za mahakama msaada wa ulinzi msaada wa kisheria na taratibu za polisi kama ifuatavyo

[a] Ushahidi wa Kimahakama Huduma kwa muhusika zitalenga mahitaji yake kuheshimu haki yake ya hali ya usiri kupewa taarifa za kutosha zenye kueleweka na sahihi hivyo kuhakikisha anatoa ridhaa arifu kwa hatua na zitakazofuata

[i] WAUJ itahakikisha kupatikana na kuzingatiwa kwa viwango vilivyowekwa kwa ngazi zote katika kuchukua historia kamili ya muhusika kupima na kufanya uchunguzi kuchukua vielelezo vya ushahidi kujaza fomu zinazokubalika kisheria kwa kuweka kumbukumbu ambazo ni halali kama ushahidi mahakamani

[ii] Timu ya Afya ya Usimamizi ya Kituo cha Huduma za Afya baada ya kupata ridhaa ya aliyepatwa na UWAKI itapanga kutenga na kutoa rasilimali za kutosha kuhakikisha nyaraka sahihi zimetayarishwa na kuhifadhiwa na vielelezo vya ushahidi wa mahakama vimepelekwa kwenda maabara ya serikali na kufuatilia majibu

[iii] Watoa huduma wa ngazi zote watahakikisha ukusanyaji sahihi wa vielelezo vya ushahidi na kujaza fomu zinazohusika pamoja na kujaza kwa ukamilifu Fomu ya Polisi Namba Tatu (PF3) na kuthibitisha kwamba muhusika ana taarifa na anaelewa utaratibu

[b] Ulinzi na Msaada kwa Waliopatwa na UWAKI Waliopatwa na UWAKI wana haki ya kulindwa dhidi ya mtuhumiwa pamoja na kupewa mahitaji ya msingi (kwa mfano chakula nguo usafi ri nk) kupewa huduma za polisi (mfano kusindikizwa ulinzi) na kupewa msaada wa kisheria

[i] WAUJ itahakikisha kwamba vituo vya huduma za afya na ustawi wa jamii na watoa huduma wa ngazi zote wana taarifa sahihi kuhusu haki za ulinzi na msaada kwa waliopatwa na UWAKI

31

[ii] Timu za Afya za Usimamizi wa vituo vya huduma za afya katika ngazi zote zitapanga kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya ulinzi na msaada kwa waliopatwa na UWAKI Kama Muhusika ni mtoto atasindikizwa na ofi sa ustawi wa jamii pamoja na mzazi au mlezi ikiwa mzazi au mlezi huyo hahusiki na uhalifu

[iii] Watoa huduma wa afya watatoa taarifa kwa muhusika au mzazi mlezi (kama muhusika ni mtoto chini ya miaka 18) kuhusu msaada atakaopata kwenye kituo cha huduma za afya polisi na msaada wa kisheria juu ya haki na ulinzi kwa mujibu wa sheria za Tanzania

[c] Wajibu wa Watoa Huduma za Afya na Ustawi wa Jamii katika Taratibu za Kimahakama

Watoa huduma za afya kwenye ngazi zote wanatakiwa kuhakikisha kwamba waliopatwa na UWAKI wakiwemo watu wazima vijana na watoto pamoja na walezi wao wana taarifa muhimu zinazohusu masuala ya kisheria ambayo yako nje ya huduma za tiba

[i] WAUJ itahakikisha kwamba vituo vya huduma za afya na watoa huduma wanapata ujuzi na wanajua wajibu wao kuhusu namna ya kutoa ushahidi mahakamani ili kuwasaidia wahusika

[ii] Timu za Usimamizi za vituo vya huduma za afya kwenye ngazi zote zitahakikisha kwamba watoa huduma wanaotambulika kisheria na wana welewa sahihi wa uandaaji wa nyaraka muhimu taratibu za kesi mahakamani na viwango vya ushahidi

[iii] Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii kwenye ngazi zote watahakikisha kwamba muhusika anapata taarifa za kutosha kuhusu ratiba na taratibu za upelelezi na umuhimu wa hatua za kisheria

44 Huduma ya Unasihi Kisaikolojia na Kijamii kwa Waliopatwa na UWAKI

Watu waliopatwa na janga la UWAKI watapewa msaada wa unasihi kisaikolojia na kijamii kwa upendo na kujali kuanzia wakati wa tukio hadi watakapojumuika tena kwenye familia na jamii Katika ngazi ya jamii msaada huo utatolewa na Maofisa wa Ustawi wa Jamii Maofi sa hawa watatoa msaada wa kisaikolojia na unasihi wakishirikiana na

32

wadau wengine waliopata mafunzo kutoka asasi za kiraia asasi za kidini na wahudumu wa afya katika jamii

[i] WAUJ itahakikisha utoaji wa msaada wa unasihi kisaikolojia na kijamii kwenye ngazi zote pamoja na kuhakikisha kuwepo kwa ulinzi na usalama (kwa mfano kituo cha hifadhi ya muda)

[ii] Timu za Usimamizi wa Huduma za Afya kwenye ngazi zote zitapanga na kutenga rasiilimali za kutosha pamoja na watoa huduma kwa ajili ya kutoa msaada wa kisaikolojia na kijamii rufaa na kujenga ushirikiano na wadau wengine ili kuwaunganisha wahusika kwenye familia na jamii

[iii] Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii watahakikisha kwamba wanatoa unasihi wa kutosha pamoja na kutoa huduma rafi ki kwa watoto kutoa rufaa za kwenda na kurudi kwenye huduma za tiba vituo vya hifadhi ya muda na kuwezesha kuwaunganisha kwenye familia na jamii

45 Mfumo wa Usimamizi Uratibu na Ushirikiano Utoaji wa huduma bora kwa waliopatwa na UWAKI unahitaji usimamizi na uratibu wa mara kwa mara kwa watoa huduma za afya wa kada mbalimbali katika ngazi zote Vilevile kuratibu shughuli na kutoa rufaa kwenye vituo vya ngazi ya taifa mikoa halmashauri na jamii Pia kunahitajika utaratibu wa kujenga ushirikiano kati ya sekta ya afya na wadau wa sekta nyingine

[a] Usimamizi wa Huduma za Kuzuia na Kupambana na UWAKI [i] Usimamizi wa huduma utakuwa ni sehemu ya mikakati na

mipango ya mwaka kwa vituo vya huduma za afya kwenye ngazi zote

[ii] Wasimamizi katika ngazi zote watafanya usimamizi shirikishi ili kuhakikisha utoaji wa huduma bora

[b] Uratibu wa Huduma za Kuzuia na Kupambana na UWAKI [i] Wasimamizi wa huduma za afya kwenye ngazi zote watabaini na

kuratibu afua na shughuli zinazotakiwa kutekelezwa na wadau mbalimbali kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI

33

[ii] Wasimamizi wa huduma za afya katika ngazi zote watahakikisha kuwa wanapanga utekelezaji wa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[c] Taratibu za Ushirikiano katika Kutoa Huduma za UWAKI Taratibu za ushirikiano zitahusisha ngazi mbalimbali za utoaji wa huduma za afya kulingana na hadhi ya kituo ikihusisha kada mbalimbali za afya katika serikali na sekta binafsi

[i] Wasimamizi wa huduma za afya watabaini na kuanzisha ushirikiano kwa ajili ya kutoa huduma bora na toshelezi kwa waliofanyiwa UWAKI

[ii] Wasimamizi wa huduma za afya watapanga na kutenga rasiilimali za kutosha kwa ajili ya kuendeleza ushirikiano na wadau muhimu pamoja na kujenga mfumo imara wa rufaa wa kupeleka na kuwarejesha wahusika

[iii] WAUJ itatayarisha na kusambaza orodha ya vituo vya rufaa kufuatana na aina ya huduma maalumu zinazotolewa

46 Utetezi na Mawasiliano ya Kubadili Tabia

Utetezi na mawasiliano ya kubadili tabia utakuwa ni sehemu ya mipango na mikakati ya kila mwaka katika ngazi zote Ngazi zote zitahamasisha kutenga na kutoa rasilimali za kutosha kwa ajili ya kutekeleza mipango na mikakati ya kila mwaka Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii watatambua na kuwezesha juhudi za jamii za kuhakikisha ushirikishwaji na kuhamasisha jamii kutumia rasilimali zao ili kupambana na UWAKI Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii wanatakiwa kupanga na kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya elimu ya afya kwa lengo la mawasiliano ya kubadili tabia

[a] Utetezi wa Kuzuia na kupambana na UWAKI kwa kushirikiana na wadau

Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii na kamati zinazohusika katika ngazi zote za WAUJ watafanya yafuatayo

[i] Kupanga mikakati ya kuongeza welewa na upeo kuhusu vyanzo vya UWAKI kubaini namna ya kuzuia na kubuni njia za kupambana na UWAKI

34

[ii] Kutetea na kuhamasisha uchangiaji zaidi wa raslimali kutenga kasma kwenye bajeti katika Mfumo wa Matumizi ya Muda wa Kati na katika Mpango Kabambe wa Afya wa Halmashauri kwa ajili ya kinga na huduma za kupambana na UWAKI

[iii] Kutetea utekelezaji wa sera na sheria zenye kuunga mkono juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kuhusisha vyombo vya habari katika kutekeleza shughuli za utetezi na ushawishi

[b] Ushirikiano wa wadau kwenye mawasiliano ya kubadili tabia dhidi ya UWAKI

Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii na kamati zao kwenye ngazi zote watafanya yafuatayo

[i] Kutambua mahitaji na kupanga mawasiliano ya kubadili tabia kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kwa ufanisi

[ii] Kuhusisha vyombo vya habari katika kupanga kutekeleza na kufuatilia shughuli za mawasiliano ya kubadili tabia

47 Ufuatiliaji na Tathmini ya Huduma za Kuzuia na Kupambana na UWAKI

Ufuatiliaji na tathmini ya huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI ni muhimu katika kupima ubora wa matokeo ya huduma zinazohusiana na UWAKI Ufuatiliaji na tathmini unahitaji kuchagua vigezo vya kupima maendeleo ya huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kukusanya takwimu kuchambua kutafsiri kutayarisha na kuwasilisha ripoti kwa wadau muhimu Ufuatiliaji na Tathmini unasaidia kutambua maeneo yanayohitaji kufanyiwa utafi ti

[i] Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii katika ngazi zote watatumia vigezo vilivyokubalika kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Takwimu za UWAKI zitaoanishwa na kuunganishwa kwenye MTUHA

[iii] Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii kwenye ngazi zote watahakikisha wanakusanya taarifa na takwimu zinazohusiana na UWAKI kwa kutumia fomu maalumu kwa ajili ya kufuatilia na

35

kutathimini usimamizi na kuwasilisha ripoti za utekelezaji kwa wadau kufuatana na utaratibu maalumu wa kushirikiana katika kutoa taarifa

[iv] Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii katika ngazi zote watafanya utafiti ili kuboresha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

36

SEHEMU YA TANO

MUUNDO WA UTENDAJI KATIKA KUZUIA NA KUPAMBANA NA UWAKI

Wajibu wa WAUJ ni kuandaa kusimamia na kuratibu utekelezaji wa Mwongozo huu wa sera pamoja na sheria kanuni na viwango vya huduma dhidi ya UWAKI katika ngazi zote nchini Mfumo wa utendaji kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI unahusisha ngazi tatu taifa mkoa na halmashauri

51 Ngazi ya Taifa

Katika ngazi ya Taifa Mganga Mkuu wa Serikali ndiye mwenye wajibu wa uongozi wa kitaaluma kwenye utekelezaji wa mipango ya kuzuia na kupambana na UWAKI Ofisi ya Mganga Mkuu ina idara nne ambazo ni Idara ya Kinga Idara ya Tiba Idara ya Mafunzo na Idara ya Ubora na viwango vya Huduma Huduma za Ustawi wa Jamii zipo chini ya Kamishna wa Ustawi wa Jamii

Kitengo cha Afya ya Uzazi na Mtoto ambacho kinasimamiwa na Idara ya Kinga ndicho kinachosimamia utekelezaji wa Mwongozo wa sera ya UWAKI Majukumu ya ofisi ya Mganga Mkuu wa Serikali Idara ya Kinga na Sehemu ya Afya ya Uzazi na Mtoto ni kama ifuatavyo

[a] Ofisi ya Mganga Mkuu wa Serikali Ofi si ya Mganga Mkuu wa Serikali inaratibu inasimamia na kuimarisha huduma za uboreshaji wa Afya Kinga Ubora na viwango vya huduma Tiba ya magonjwa na Utengamao Aidha ofisi inasimamia mafunzo upatikanaji wa wataalamu wa afya katika sekta ya Afya na Ustawi wa Jamii

Ofisi ya Mganga Mkuu wa Serikali kwa kushirikiana na Mabaraza na Vyama vya Kitaaluma vilivyo chini ya sekta ya Afya na Ustawi wa Jamii inasimamia maadili ya wataalamu wa afya kwa kupitia Mabaraza yao ya Kitaaluma

37

bull

bull

[I] Idara ya Kinga Idara hii inasimamia sehemu tano Afya ya Uzazi na Mtoto Epidemiolojia na Udhibiti wa Magonjwa Afya na Usafi wa Mazingira Elimu ya Afya na Lishe Kuna programu na miradi mbalimbali chini ya idara baadhi yake zinahusiana kwa ukaribu na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Programu hizi ni pamoja na Mpango wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI Programu ya Kuzuia Maambukizo ya VVU Kutoka kwa Mama Kwenda kwa Mtoto Programu ya Huduma ya Afya Kwenye Jamii Programuya Afya Shuleni Program ya Uzazi Salama Programu ya Afya ya Mtoto Programu ya Afya ya Uzazi kwa Vijana na Programu ya Uzazi wa Mpango

Idara itafanya yafuatayo Kuhakikisha afua za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa kwenye programu na miradi ya idara na sehemu Kuhakikisha kwamba afua za kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na utetezi na mawasiliano ya kubadili tabia zinajumuishwa kwenye miongozo ya elimu ya afya na ustawi wa jamii

Sehemu ya Huduma za Afya ya Uzazi na Mtoto Sehemu ya Huduma ya Afya ya Uzazi na Mtoto ndiyo inayohusika katika kuzuia na kupambana na UWAKI na majukumu yake ni

[i] Kuandaa mwongozo wa huduma za kina kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kutayarisha mitaala ya mafunzo kwa ajili ya wasimamizi na watoa huduma wa ngazi zote

[ii] Kuratibu kufuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI katika ngazi zote

[iii] Kuwasiliana na wizara nyingine na mashirika ya kitaifa na kimataifa yenye kuhusiana na mipango ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kuangalia upya orodha ya vifaa muhimu kwa utoaji wa huduma bora kwa wahanga wa UWAKI kwa ngazi zote za utoaji huduma

[v] Kuongoza kikundi kazi cha wanataaluma cha taifa pamoja na vikundikazi tanzu vya wanataaluma vinavyosaidia mtazamo mpana wa sekta ya afya na nguvu kazi za kusimamia utekelezaji wa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

38

[II] Idara ya Tiba Idara hii inasimamia huduma za Hospitali za Taifa Mikoa Wilaya Vituo vya Afya na Zahanati za umma na binafsi Uchunguzi Kinywa na Meno Magonjwa Yasiyo ya Kuambukiza na Tiba Asili Idara hii inafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha kwamba vituo vya kutoa huduma za afya katika ngazi zote vinatenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya huduma bora za matibabu kwa wahanga wa UWAKI pamoja na msaada wa kisaikolojia kijamii na rufaa

[ii] Kuhakikisha kwamba vituo vya kutoa huduma za afya kwenye ngazi zote vinapewa vifaa muhimu na vya kutosha kwa ajili ya uchunguzi wa afya vipimo vya maabara kubaini ugonjwa ushahidi wa kimahakama matibabu kutunza kumbukumbu kutoa taarifa na rufaa

[iii] Kuhakikisha kuwa watoa huduma za afya wanazingatia viwango vya kitaalamu na maadili na kuonyesha upendo na kuwajali wahanga wa UWAKI

[III] Idara ya Ubora wa huduma Idara hii ina sehemu tano ikijumuisha huduma za Uuguzi Dharura na Maafa Ukaguzi Dawa na Utafiti na Uhusiano wa Kimataifa Idara hii inafanya yafuatayo

[i] Inasimamia huduma za dawa vifaa tiba na vitendanishi [ii] Inasimamia huduma za Uuguzi na Ukunga [iii] Inasimamia na kufanya ukaguzi wa ubora wa huduma za afya

nchini ili kuziboresha [iv] Inasimamia kazi za utafiti na uhusiano wa kimataifa katika sekta ya

afya na ustawi wa jamii na [v] Inaandaa miongozo kanuni na taratibu zinazohusu huduma za

dharura

[IV] Idara ya Mafunzo Idara ya Mafunzo inasimamia Mipango ya Mafunzo ya Watumishi Mafunzo Endelevu kwa Watumishi Mafunzo kwa Wauguzi na Sayansi Shirikishi za Afya

39

Idara itafanya yafuatayo [i] Kutambua mahitaji ya kitaifa ya mafunzo ya afya na mafunzo ya

kuendeleza taaluma ya watumishi wanaohusika na kutoa huduma kwa waliopatwa na UWAKI

[ii] Kutayarisha mpango wa mafunzo ya muda mfupi na mrefu kwa ajili ya watumishi mbalimbali kwenye ngazi zote zinazotoa huduma kwa waliopatwa na UWAKI

[b] Idara ya Ustawi wa Jamii Idara ya Ustawi wa Jamii imegawanyika katika sehemu tano Huduma kwa Familia na Ustawi wa Mtoto katika malezi makuzi na maendeleo ya awali Huduma za marekebisho ya tabia na haki za mtoto kisheria Huduma kwa wazee na watu wenye ulemavu Mafunzo kwa watumishi na Kitengo cha takwimu Idara itafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha idara inatoa huduma rafiki na bora za ustawi wa jamii kwa wahanga wa UWAKI kwenye vituo vyote vya kutoa huduma za afya na ustawi wa jamii na kuvisimamia

[ii] Kuhakikisha idara inatoa mafunzo kwa watoa huduma wote [iii] Kushauri katika kurekebisha au kufutwa kwa sheria zisizosaidia

utoaji wa huduma bora za ustawi wa jamii na kushawishi kutunga sheria mpya

[c] Idara ya Sera na Mipango Idara hii inasimamia sehemu za Bajeti Sera Mipango Taarifa za Afya na Ufuatiliaji na Tathmini Idara itafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa kwenye mipango na bajeti ya Serikali

[ii] Kuhakikisha kuwa viashirio vya huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI vinaingizwa kwenye MTUHA

[d] Ushirikiano na wadau muhimu katika ldquoKutokomeza UWAKIrdquo

[i] WAUJ kupitia Sehemu ya Afya ya Uzazi na Mtoto kwa kushirikiana na wadau wengine watatetea ulinzi wa haki za waliopatwa na UWAKI na kutokomezwa kwa ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake watoto vijana na wanaume

40

[ii] WAUJ kwa kushirikiana na wadau wengine itaandaa mikakati ya kuhakikisha kwamba aina zote za ubaguzi unyonyaji ukandamizaji na unyanyasaji dhidi ya wanawake watoto vijana na wanaume zinatokomezwa

[iii] WAUJ kwa kushirikiana na wadau wengine watapitia sheria sera na kanuni ambazo zinakinzana na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Watatetea haki za jinsia na afya ya uzazi ikiwa ni pamoja na ulinzi wa mama na watoto dhidi ya UWAKI ukatili wa kifamilia na ukatili dhidi ya watoto na kutetea masuala haya yaingizwe kwenye Katiba ya Tanzania

52 Ngazi ya Mkoa

Utekelezaji wa mapambano dhidi ya UWAKI kwenye mikoa utasimamiwa na Timu ya Usimamizi wa Huduma za Afya Mkoa chini ya Katibu Tawala wa Mkoa na Timu ya Usimamizi ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa chini ya Bodi ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa na watafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa kwenye mpango mkakati wa miaka mitano wa mkoa na hospitali na mpango kazi wa kila mwaka

[ii] Kuhakikisha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa na kuendeshwa pamoja na huduma zilizopo kuwe na watoa huduma wa kutosha pamoja na mafunzo kwa wasimamizi na watoa huduma kwenye ngazi ya mkoa

[iii] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya kufuatilia kufanya tathmini usimamizi na kutoa ripoti za utendaji wa juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya mkoa

[iv] Kutoa msaada wa kitaalamu kwa Halmashauri na Timu za Afya za Halmashauri katika kupanga na kutekeleza huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[v] Kuhakikisha bajeti ya kutosha inatengwa kwenye mpango kabambe wa halmashauri wa afya kwa ajili ya kuiwezesha jamii kuzuia na kupambana na UWAKI

[vi] Kufanya utafiti ili kukuza uelewa kuhusu huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

41

53 Halmashauri za Jiji Manispaa na Wilaya

Bodi ya Huduma za Afya ya Halmashauri ni chombo cha halmashauri ya jiji manispaa na wilaya chenye jukumu la kutoa huduma bora za afya ustawi wa jamii pamoja na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI katika maeneo yao Mipango ya utekelezaji wa huduma za afya kwenye jiji manispaa na wilaya unasimamiwa na Timu ya Usimamizi wa Afya ya Halmashauri Hospitali ya kwanza ya rufaa katika Halmashauri ni Hospitali ya Wilaya au Hospitali Teule ya wilaya

Hospitali Teule ya Wilaya huendeshwa na Timu ya Usimamizi ya Hospitali na husimamiwa na Bodi ya Hospitali Vituo vya kutoa huduma za afya vina kamati za afya na huendeshwa na kamati za usimamizi wa kituo

(a) Ngazi ya Halmashauri Timu ya Halmashauri ya Usimamizi wa Afya itafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha kwamba mipango ya kila mwaka inatengewa fedha za kutosha kwa utekelezaji wa huduma bora za kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaunganishwa na huduma zilizopo kwenye ngazi zote

[iii] Kuhakikisha kwamba kunakuwa na watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wa kutosha na kuendelea kutoa mafunzo kwa watoa huduma wa kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kutetea kuhamasisha na kutenga fedha za kutosha kwa ajili ya kuiwezesha jamii kushiriki kwenye programu ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[v] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya ufuatiliaji tathmini usimamizi shirikishi na kuandaa taarifa za utekelezaji wa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[b] Ngazi ya Kata Kamati ya Afya ya Kata Kamati ya Afya ya Kituo cha Afya na Timu ya Usimamizi wa Kituo cha Afya zitasimamia utoaji wa huduma bora za afya katika kata pamoja na vijiji

42

Kamati na timu zitafanya yafuatayo [i] Kuhakikisha kwamba kila mwaka wanapanga na kutenga rasilimali

za kutosha kwa utekelezaji wa huduma kwa waliopatwa na UWAKI na afua za kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinajumuishwa na huduma zilizopo kwenye kituo cha afya na zahanati

[iii] Kuhakikisha kwamba kuna watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wa kutosha na kuendelea kutoa mafunzo kwa watoa huduma wanaohusika na kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye vituo vya afya na zahanati

[iv] Kutetea kuhamasisha na kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya kuiwezesha jamii kushiriki kwenye kuzuia na kupambana na UWAKI katika Mpango wa Afya wa Kata

[v] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya kufanya ufuatiliaji tathmini na kuandaa taarifa za utekelezaji wa kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kuziwasilisha kwa matumizi katika ngazi zote

[c] Ngazi ya Kijiji Kamati ya Zahanati na Timu ya Usimamizi wa Zahanati zina wajibu wa kutoa huduma za afya kwa wakazi wa eneo la kijiji au vijiji vyao

Kamati na timu zitafanya yafuatayo [i] Kuhakikisha kwamba kila mwaka wanapanga na kutenga raslimali

za kutosha kwa utekelezaji wa huduma kwa waliopatwa na UWAKI na afua za kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinajumuishwa na huduma zilizopo kwenye zahanati

[iii] Kuhakikisha kwamba kuna watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wa kutosha na kuendelea kutoa mafunzo kwa watoa huduma wanaohusika na kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye zahanati

[iv] Kutetea kuhamasisha na kutenga raslimali za kutosha kwa ajili ya kuiwezesha jamii kushiriki kwenye kuzuia na kupambana na UWAKI katika Mpango wa Afya wa Kijiji

43

[v] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya kufanya ufuatiliaji tathmini na kuandaa taarifa za utekelezaji wa kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kuziwasilisha kwa matumizi katika ngazi ya Kata na Wilaya

(d) Ngazi ya Kaya Kila mtu kwenye kaya atahusika katika kuzuia na kupambana na UWAKI na kutoa taarifa ya matukio ya UWAKI kwa mamlaka zinazohusika Pia kila mtu awajibike kwenye kubadili mtazamo na kuepuka mazoea na tabia zinazopelekea UWAKI

44

SEHEMU YA SITA

UFUATILIAJI TATHMINI NA UTAFITI

Ufuatiliaji na tathmini ya afua za kuzuia na kupambana na UWAKI utatekelezwa kwenye ngazi ya taifa mkoa halmashauri na vituo vya huduma za afya Viashirio ambavyo vimependekezwa kwenye ngazi hizi vimeonyeshwa kwenye Kiambatisho

61 Ngazi ya Taifa

Sehemu ya Afya ya Uzazi na Mtoto itaratibu itafuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote nchini

Sehemu hii itafanya yafuatayo [i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu zinazohusu

afua za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka Timu ya Usimamizi wa Afya ya Mkoa na kuzitumia katika kupanga na kuboresha mipango ya kuzuia na kupambana na UWAKI kwa kushirikiana na wadau

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma wa kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti [iv] Kuweka tathmini na ufuatiliaji wa huduma za kuzuia na kupambana

na UWAKI kwenye orodhahakiki ya usimamizi ya WAUJ

62 Ngazi ya Mkoa

Timu ya Usimamizi wa Afya ya Mkoa itakuwa na jukumu la kuratibu kufuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote za mkoa na itafanya yafuatayo

[i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu kuhusu afua za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka hospitali ya rufaa ya mkoa na Timu za Usimamizi wa Afya za Halmashauri kwa ajili ya matumizi yao na kuwasilisha ngazi ya Taifa

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma katika kuzuia na kupambana na UWAKI

45

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti

63 Ngazi ya Wilaya

Timu ya Usimamizi wa Afya ya Halmashauri itakuwa na jukumu la kuratibu kufuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote za wilaya na itafanya yafuatayo

[i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu kuhusu afua za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka hospitali ya wilaya na vituo vya kutolea huduma za afya na Timu za Usimamizi wa Afya za Halmashauri kwa ajili ya matumizi yao na kuwasilisha ngazi ya mkoa

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma katika kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti

64 Ngazi ya Kituo cha kutolea huduma

Timu ya Usimamizi wa Kituo cha Kutolea Huduma za Afya itaratibu itafuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye kituo na kufanya yafuatayo

[i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu kuhusu jitihada za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka kwenye zahanati na jamii na kuwasilisha wilayaniHalmashauri

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma katika kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti

46

KIAMBATISHO

VIASHIRIO VYA MPANGO WA KUZUIA NA KUPAMBANA NA UWAKI KATIKA SEKTA YA AFYA

[a] Ngazi ya Taifa

[i] Idadi ya watu waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya mikoa kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kimkoa

[iii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI kimkoa

[iv] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye uthibitisho kuwa vinatumia Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupamba na UWAKI kimkoa

[v] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye vifaa muhimu kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kimkoa

[b] Ngazi Ya Mkoa

[i] Idadi ya watu waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya wilayahalmashauri kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

[iii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

[iv] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye ushahidi wa kuandikwa na kutumia Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

[v] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye vifaa muhimu kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

47

[c] Ngazi ya Wilaya

[i] Idadi ya watu waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya vituo vya kutolea huduma kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwa vituo vya kutolea huduma

[iii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI

[iv] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye ushahidi wa kuandikwa na kutumia Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI

[v] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye vifaa muhimu kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[d] Ngazi ya Kituo

[i] Idadi ya wahusika waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye kituo cha huduma za afya kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Idadi ya watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Idadi ya watoa huduma walioelekezwa kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI

48

49

50

51

bullbullbull bullbull bullbullbull

~USAID ~f~ ~ KLITOKA KWA WKTJ Delivering as One WAIIAAEKANI

HEALTH POLICY middotmiddotmiddotoINITIATIVE

ltlt ASCII85EncodePages false AllowTransparency false AutoPositionEPSFiles true AutoRotatePages None Binding Left CalGrayProfile (Dot Gain 20) CalRGBProfile (sRGB IEC61966-21) CalCMYKProfile (US Web Coated 050SWOP051 v2) sRGBProfile (sRGB IEC61966-21) CannotEmbedFontPolicy Error CompatibilityLevel 14 CompressObjects Tags CompressPages true ConvertImagesToIndexed true PassThroughJPEGImages true CreateJobTicket false DefaultRenderingIntent Default DetectBlends true DetectCurves 00000 ColorConversionStrategy CMYK DoThumbnails false EmbedAllFonts true EmbedOpenType false ParseICCProfilesInComments true EmbedJobOptions true DSCReportingLevel 0 EmitDSCWarnings false EndPage -1 ImageMemory 1048576 LockDistillerParams false MaxSubsetPct 100 Optimize true OPM 1 ParseDSCComments true ParseDSCCommentsForDocInfo true PreserveCopyPage true PreserveDICMYKValues true PreserveEPSInfo true PreserveFlatness true PreserveHalftoneInfo false PreserveOPIComments true PreserveOverprintSettings true StartPage 1 SubsetFonts true TransferFunctionInfo Apply UCRandBGInfo Preserve UsePrologue false ColorSettingsFile () AlwaysEmbed [ true ] NeverEmbed [ true ] AntiAliasColorImages false CropColorImages true ColorImageMinResolution 300 ColorImageMinResolutionPolicy OK DownsampleColorImages true ColorImageDownsampleType Bicubic ColorImageResolution 300 ColorImageDepth -1 ColorImageMinDownsampleDepth 1 ColorImageDownsampleThreshold 150000 EncodeColorImages true ColorImageFilter DCTEncode AutoFilterColorImages true ColorImageAutoFilterStrategy JPEG ColorACSImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt ColorImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt JPEG2000ColorACSImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt JPEG2000ColorImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt AntiAliasGrayImages false CropGrayImages true GrayImageMinResolution 300 GrayImageMinResolutionPolicy OK DownsampleGrayImages true GrayImageDownsampleType Bicubic GrayImageResolution 300 GrayImageDepth -1 GrayImageMinDownsampleDepth 2 GrayImageDownsampleThreshold 150000 EncodeGrayImages true GrayImageFilter DCTEncode AutoFilterGrayImages true GrayImageAutoFilterStrategy JPEG GrayACSImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt GrayImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt JPEG2000GrayACSImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt JPEG2000GrayImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt AntiAliasMonoImages false CropMonoImages true MonoImageMinResolution 1200 MonoImageMinResolutionPolicy OK DownsampleMonoImages true MonoImageDownsampleType Bicubic MonoImageResolution 1200 MonoImageDepth -1 MonoImageDownsampleThreshold 150000 EncodeMonoImages true MonoImageFilter CCITTFaxEncode MonoImageDict ltlt K -1 gtgt AllowPSXObjects false CheckCompliance [ None ] PDFX1aCheck false PDFX3Check false PDFXCompliantPDFOnly false PDFXNoTrimBoxError true PDFXTrimBoxToMediaBoxOffset [ 000000 000000 000000 000000 ] PDFXSetBleedBoxToMediaBox true PDFXBleedBoxToTrimBoxOffset [ 000000 000000 000000 000000 ] PDFXOutputIntentProfile () PDFXOutputConditionIdentifier () PDFXOutputCondition () PDFXRegistryName () PDFXTrapped False CreateJDFFile false Description ltlt ARA ltFEFF06270633062A062E062F0645002006470630064700200627064406250639062F0627062F0627062A002006440625064606340627062100200648062B062706260642002000410064006F00620065002000500044004600200645062A064806270641064206290020064406440637062806270639062900200641064A00200627064406450637062706280639002006300627062A0020062F0631062C0627062A002006270644062C0648062F0629002006270644063906270644064A0629061B0020064A06450643064600200641062A062D00200648062B0627062606420020005000440046002006270644064506460634062306290020062806270633062A062E062F062706450020004100630072006F0062006100740020064800410064006F006200650020005200650061006400650072002006250635062F0627063100200035002E0030002006480627064406250635062F062706310627062A0020062706440623062D062F062B002E0635062F0627063100200035002E0030002006480627064406250635062F062706310627062A0020062706440623062D062F062B002Egt BGR ltFEFF04180437043f043e043b043704320430043904420435002004420435043704380020043d0430044104420440043e0439043a0438002c00200437043000200434043000200441044a0437043404300432043004420435002000410064006f00620065002000500044004600200434043e043a0443043c0435043d04420438002c0020043c0430043a04410438043c0430043b043d043e0020043f044004380433043e04340435043d04380020043704300020043204380441043e043a043e043a0430044704350441044204320435043d0020043f04350447043004420020043704300020043f044004350434043f0435044704300442043d04300020043f043e04340433043e0442043e0432043a0430002e002000200421044a04370434043004340435043d043804420435002000500044004600200434043e043a0443043c0435043d044204380020043c043e0433043004420020043404300020044104350020043e0442043204300440044f0442002004410020004100630072006f00620061007400200438002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020043800200441043b0435043404320430044904380020043204350440044104380438002egt CHS ltFEFF4f7f75288fd94e9b8bbe5b9a521b5efa7684002000410064006f006200650020005000440046002065876863900275284e8e9ad88d2891cf76845370524d53705237300260a853ef4ee54f7f75280020004100630072006f0062006100740020548c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000204ee553ca66f49ad87248672c676562535f00521b5efa768400200050004400460020658768633002gt CHT ltFEFF4f7f752890194e9b8a2d7f6e5efa7acb7684002000410064006f006200650020005000440046002065874ef69069752865bc9ad854c18cea76845370524d5370523786557406300260a853ef4ee54f7f75280020004100630072006f0062006100740020548c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000204ee553ca66f49ad87248672c4f86958b555f5df25efa7acb76840020005000440046002065874ef63002gt CZE ltFEFF005400610074006f0020006e006100730074006100760065006e00ed00200070006f0075017e0069006a007400650020006b0020007600790074007600e101590065006e00ed00200064006f006b0075006d0065006e0074016f002000410064006f006200650020005000440046002c0020006b00740065007200e90020007300650020006e0065006a006c00e90070006500200068006f006400ed002000700072006f0020006b00760061006c00690074006e00ed0020007400690073006b00200061002000700072006500700072006500730073002e002000200056007900740076006f01590065006e00e900200064006f006b0075006d0065006e007400790020005000440046002000620075006400650020006d006f017e006e00e90020006f007400650076015900ed007400200076002000700072006f006700720061006d0065006300680020004100630072006f00620061007400200061002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000610020006e006f0076011b006a016100ed00630068002egt DAN ltFEFF004200720075006700200069006e0064007300740069006c006c0069006e006700650072006e0065002000740069006c0020006100740020006f007000720065007400740065002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e007400650072002c0020006400650072002000620065006400730074002000650067006e006500720020007300690067002000740069006c002000700072006500700072006500730073002d007500640073006b007200690076006e0069006e00670020006100660020006800f8006a0020006b00760061006c0069007400650074002e0020004400650020006f007000720065007400740065006400650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e0074006500720020006b0061006e002000e50062006e00650073002000690020004100630072006f00620061007400200065006c006c006500720020004100630072006f006200610074002000520065006100640065007200200035002e00300020006f00670020006e0079006500720065002egt DEU ltFEFF00560065007200770065006e00640065006e0020005300690065002000640069006500730065002000450069006e007300740065006c006c0075006e00670065006e0020007a0075006d002000450072007300740065006c006c0065006e00200076006f006e002000410064006f006200650020005000440046002d0044006f006b0075006d0065006e00740065006e002c00200076006f006e002000640065006e0065006e002000530069006500200068006f006300680077006500720074006900670065002000500072006500700072006500730073002d0044007200750063006b0065002000650072007a0065007500670065006e0020006d00f60063006800740065006e002e002000450072007300740065006c006c007400650020005000440046002d0044006f006b0075006d0065006e007400650020006b00f6006e006e0065006e0020006d006900740020004100630072006f00620061007400200075006e0064002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020006f0064006500720020006800f600680065007200200067006500f600660066006e00650074002000770065007200640065006e002egt ESP ltFEFF005500740069006c0069006300650020006500730074006100200063006f006e0066006900670075007200610063006900f3006e0020007000610072006100200063007200650061007200200064006f00630075006d0065006e0074006f00730020005000440046002000640065002000410064006f0062006500200061006400650063007500610064006f00730020007000610072006100200069006d0070007200650073006900f3006e0020007000720065002d0065006400690074006f007200690061006c00200064006500200061006c00740061002000630061006c0069006400610064002e002000530065002000700075006500640065006e00200061006200720069007200200064006f00630075006d0065006e0074006f00730020005000440046002000630072006500610064006f007300200063006f006e0020004100630072006f006200610074002c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200079002000760065007200730069006f006e0065007300200070006f00730074006500720069006f007200650073002egt ETI ltFEFF004b00610073007500740061006700650020006e0065006900640020007300e4007400740065006900640020006b00760061006c006900740065006500740073006500200074007200fc006b006900650065006c007300650020007000720069006e00740069006d0069007300650020006a0061006f006b007300200073006f00620069006c0069006b0065002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740069006400650020006c006f006f006d006900730065006b0073002e00200020004c006f006f0064007500640020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740065002000730061006100740065002000610076006100640061002000700072006f006700720061006d006d006900640065006700610020004100630072006f0062006100740020006e0069006e0067002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020006a00610020007500750065006d006100740065002000760065007200730069006f006f006e00690064006500670061002e000d000agt FRA ltFEFF005500740069006c006900730065007a00200063006500730020006f007000740069006f006e00730020006100660069006e00200064006500200063007200e900650072002000640065007300200064006f00630075006d0065006e00740073002000410064006f00620065002000500044004600200070006f0075007200200075006e00650020007100750061006c0069007400e90020006400270069006d007000720065007300730069006f006e00200070007200e9007000720065007300730065002e0020004c0065007300200064006f00630075006d0065006e00740073002000500044004600200063007200e900e90073002000700065007500760065006e0074002000ea0074007200650020006f007500760065007200740073002000640061006e00730020004100630072006f006200610074002c002000610069006e00730069002000710075002700410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000650074002000760065007200730069006f006e007300200075006c007400e90072006900650075007200650073002egt GRE ltFEFF03a703c103b703c303b903bc03bf03c003bf03b903ae03c303c403b5002003b103c503c403ad03c2002003c403b903c2002003c103c503b803bc03af03c303b503b903c2002003b303b903b1002003bd03b1002003b403b703bc03b903bf03c503c103b303ae03c303b503c403b5002003ad03b303b303c103b103c603b1002000410064006f006200650020005000440046002003c003bf03c5002003b503af03bd03b103b9002003ba03b103c42019002003b503be03bf03c703ae03bd002003ba03b103c403ac03bb03bb03b703bb03b1002003b303b903b1002003c003c103bf002d03b503ba03c403c503c003c903c403b903ba03ad03c2002003b503c103b303b103c303af03b503c2002003c503c803b703bb03ae03c2002003c003bf03b903cc03c403b703c403b103c2002e0020002003a403b10020005000440046002003ad03b303b303c103b103c603b1002003c003bf03c5002003ad03c703b503c403b5002003b403b703bc03b903bf03c503c103b303ae03c303b503b9002003bc03c003bf03c103bf03cd03bd002003bd03b1002003b103bd03bf03b903c703c403bf03cd03bd002003bc03b5002003c403bf0020004100630072006f006200610074002c002003c403bf002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002003ba03b103b9002003bc03b503c403b103b303b503bd03ad03c303c403b503c103b503c2002003b503ba03b403cc03c303b503b903c2002egt HEB ltFEFF05D405E905EA05DE05E905D5002005D105D405D205D305E805D505EA002005D005DC05D4002005DB05D305D9002005DC05D905E605D505E8002005DE05E105DE05DB05D9002000410064006F006200650020005000440046002005D405DE05D505EA05D005DE05D905DD002005DC05D405D305E405E105EA002005E705D305DD002D05D305E405D505E1002005D005D905DB05D505EA05D905EA002E002005DE05E105DE05DB05D90020005000440046002005E905E005D505E605E805D5002005E005D905EA05E005D905DD002005DC05E405EA05D905D705D4002005D105D005DE05E605E205D505EA0020004100630072006F006200610074002005D5002D00410064006F00620065002000520065006100640065007200200035002E0030002005D505D205E805E105D005D505EA002005DE05EA05E705D305DE05D505EA002005D905D505EA05E8002E05D005DE05D905DD002005DC002D005000440046002F0058002D0033002C002005E205D905D905E005D5002005D105DE05D305E805D905DA002005DC05DE05E905EA05DE05E9002005E905DC0020004100630072006F006200610074002E002005DE05E105DE05DB05D90020005000440046002005E905E005D505E605E805D5002005E005D905EA05E005D905DD002005DC05E405EA05D905D705D4002005D105D005DE05E605E205D505EA0020004100630072006F006200610074002005D5002D00410064006F00620065002000520065006100640065007200200035002E0030002005D505D205E805E105D005D505EA002005DE05EA05E705D305DE05D505EA002005D905D505EA05E8002Egt HRV (Za stvaranje Adobe PDF dokumenata najpogodnijih za visokokvalitetni ispis prije tiskanja koristite ove postavke Stvoreni PDF dokumenti mogu se otvoriti Acrobat i Adobe Reader 50 i kasnijim verzijama) HUN ltFEFF004b0069007600e1006c00f30020006d0069006e0151007300e9006701710020006e0079006f006d00640061006900200065006c0151006b00e90073007a00ed007401510020006e0079006f006d00740061007400e100730068006f007a0020006c006500670069006e006b00e1006200620020006d0065006700660065006c0065006c0151002000410064006f00620065002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e00740075006d006f006b0061007400200065007a0065006b006b0065006c0020006100200062006500e1006c006c00ed007400e10073006f006b006b0061006c0020006b00e90073007a00ed0074006800650074002e0020002000410020006c00e90074007200650068006f007a006f00740074002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e00740075006d006f006b00200061007a0020004100630072006f006200610074002000e9007300200061007a002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002c0020007600610067007900200061007a002000610074007400f3006c0020006b00e9007301510062006200690020007600650072007a006900f3006b006b0061006c0020006e00790069007400680061007400f3006b0020006d00650067002egt ITA ltFEFF005500740069006c0069007a007a006100720065002000710075006500730074006500200069006d0070006f007300740061007a0069006f006e00690020007000650072002000630072006500610072006500200064006f00630075006d0065006e00740069002000410064006f00620065002000500044004600200070006900f900200061006400610074007400690020006100200075006e00610020007000720065007300740061006d0070006100200064006900200061006c007400610020007100750061006c0069007400e0002e0020004900200064006f00630075006d0065006e007400690020005000440046002000630072006500610074006900200070006f00730073006f006e006f0020006500730073006500720065002000610070006500720074006900200063006f006e0020004100630072006f00620061007400200065002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200065002000760065007200730069006f006e006900200073007500630063006500730073006900760065002egt JPN ltFEFF9ad854c18cea306a30d730ea30d730ec30b951fa529b7528002000410064006f0062006500200050004400460020658766f8306e4f5c6210306b4f7f75283057307e305930023053306e8a2d5b9a30674f5c62103055308c305f0020005000440046002030d530a130a430eb306f3001004100630072006f0062006100740020304a30883073002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000204ee5964d3067958b304f30533068304c3067304d307e305930023053306e8a2d5b9a306b306f30d530a930f330c8306e57cb30818fbc307f304c5fc59808306730593002gt KOR ltFEFFc7740020c124c815c7440020c0acc6a9d558c5ec0020ace0d488c9c80020c2dcd5d80020c778c1c4c5d00020ac00c7a50020c801d569d55c002000410064006f0062006500200050004400460020bb38c11cb97c0020c791c131d569b2c8b2e4002e0020c774b807ac8c0020c791c131b41c00200050004400460020bb38c11cb2940020004100630072006f0062006100740020bc0f002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020c774c0c1c5d0c11c0020c5f40020c2180020c788c2b5b2c8b2e4002egt LTH ltFEFF004e006100750064006f006b0069007400650020016100690075006f007300200070006100720061006d006500740072007500730020006e006f0072011700640061006d00690020006b0075007200740069002000410064006f00620065002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400750073002c0020006b00750072006900650020006c0061006200690061007500730069006100690020007000720069007400610069006b007900740069002000610075006b01610074006f00730020006b006f006b007900620117007300200070006100720065006e006700740069006e00690061006d00200073007000610075007300640069006e0069006d00750069002e0020002000530075006b0075007200740069002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400610069002000670061006c006900200062016b007400690020006100740069006400610072006f006d00690020004100630072006f006200610074002000690072002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000610072002000760117006c00650073006e0117006d00690073002000760065007200730069006a006f006d00690073002egt LVI ltFEFF0049007a006d0061006e0074006f006a00690065007400200161006f00730020006900650073007400610074012b006a0075006d00750073002c0020006c0061006900200076006500690064006f00740075002000410064006f00620065002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400750073002c0020006b006100730020006900720020012b00700061016100690020007000690065006d01130072006f00740069002000610075006700730074006100730020006b00760061006c0069007401010074006500730020007000690072006d007300690065007300700069006501610061006e006100730020006400720075006b00610069002e00200049007a0076006500690064006f006a006900650074002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400750073002c0020006b006f002000760061007200200061007400760113007200740020006100720020004100630072006f00620061007400200075006e002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002c0020006b0101002000610072012b00200074006f0020006a00610075006e0101006b0101006d002000760065007200730069006a0101006d002egt NLD (Gebruik deze instellingen om Adobe PDF-documenten te maken die zijn geoptimaliseerd voor prepress-afdrukken van hoge kwaliteit De gemaakte PDF-documenten kunnen worden geopend met Acrobat en Adobe Reader 50 en hoger) NOR ltFEFF004200720075006b00200064006900730073006500200069006e006e007300740069006c006c0069006e00670065006e0065002000740069006c002000e50020006f0070007000720065007400740065002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740065007200200073006f006d00200065007200200062006500730074002000650067006e0065007400200066006f00720020006600f80072007400720079006b006b0073007500740073006b00720069006600740020006100760020006800f800790020006b00760061006c0069007400650074002e0020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740065006e00650020006b0061006e002000e50070006e00650073002000690020004100630072006f00620061007400200065006c006c00650072002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200065006c006c00650072002000730065006e006500720065002egt POL ltFEFF0055007300740061007700690065006e0069006100200064006f002000740077006f0072007a0065006e0069006100200064006f006b0075006d0065006e007400f300770020005000440046002000700072007a0065007a006e00610063007a006f006e00790063006800200064006f002000770079006400720075006b00f30077002000770020007700790073006f006b00690065006a0020006a0061006b006f015b00630069002e002000200044006f006b0075006d0065006e0074007900200050004400460020006d006f017c006e00610020006f007400770069006500720061010700200077002000700072006f006700720061006d006900650020004100630072006f00620061007400200069002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000690020006e006f00770073007a0079006d002egt PTB ltFEFF005500740069006c0069007a006500200065007300730061007300200063006f006e00660069006700750072006100e700f50065007300200064006500200066006f0072006d00610020006100200063007200690061007200200064006f00630075006d0065006e0074006f0073002000410064006f0062006500200050004400460020006d00610069007300200061006400650071007500610064006f00730020007000610072006100200070007200e9002d0069006d0070007200650073007300f50065007300200064006500200061006c007400610020007100750061006c00690064006100640065002e0020004f007300200064006f00630075006d0065006e0074006f00730020005000440046002000630072006900610064006f007300200070006f00640065006d0020007300650072002000610062006500720074006f007300200063006f006d0020006f0020004100630072006f006200610074002000650020006f002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000650020007600650072007300f50065007300200070006f00730074006500720069006f007200650073002egt RUM ltFEFF005500740069006c0069007a00610163006900200061006300650073007400650020007300650074010300720069002000700065006e007400720075002000610020006300720065006100200064006f00630075006d0065006e00740065002000410064006f006200650020005000440046002000610064006500630076006100740065002000700065006e0074007200750020007400690070010300720069007200650061002000700072006500700072006500730073002000640065002000630061006c006900740061007400650020007300750070006500720069006f006100720103002e002000200044006f00630075006d0065006e00740065006c00650020005000440046002000630072006500610074006500200070006f00740020006600690020006400650073006300680069007300650020006300750020004100630072006f006200610074002c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020015f00690020007600650072007300690075006e0069006c006500200075006c0074006500720069006f006100720065002egt RUS ltFEFF04180441043f043e043b044c04370443043904420435002004340430043d043d044b04350020043d0430044104420440043e0439043a043800200434043b044f00200441043e043704340430043d0438044f00200434043e043a0443043c0435043d0442043e0432002000410064006f006200650020005000440046002c0020043c0430043a04410438043c0430043b044c043d043e0020043f043e04340445043e0434044f04490438044500200434043b044f00200432044b0441043e043a043e043a0430044704350441044204320435043d043d043e0433043e00200434043e043f0435044704300442043d043e0433043e00200432044b0432043e04340430002e002000200421043e043704340430043d043d044b04350020005000440046002d0434043e043a0443043c0435043d0442044b0020043c043e0436043d043e0020043e0442043a0440044b043204300442044c002004410020043f043e043c043e0449044c044e0020004100630072006f00620061007400200438002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020043800200431043e043b043504350020043f043e04370434043d043804450020043204350440044104380439002egt SKY ltFEFF0054006900650074006f0020006e006100730074006100760065006e0069006100200070006f0075017e0069007400650020006e00610020007600790074007600e100720061006e0069006500200064006f006b0075006d0065006e0074006f0076002000410064006f006200650020005000440046002c0020006b0074006f007200e90020007300610020006e0061006a006c0065007001610069006500200068006f0064006900610020006e00610020006b00760061006c00690074006e00fa00200074006c0061010d00200061002000700072006500700072006500730073002e00200056007900740076006f00720065006e00e900200064006f006b0075006d0065006e007400790020005000440046002000620075006400650020006d006f017e006e00e90020006f00740076006f00720069016500200076002000700072006f006700720061006d006f006300680020004100630072006f00620061007400200061002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000610020006e006f0076016100ed00630068002egt SLV ltFEFF005400650020006e006100730074006100760069007400760065002000750070006f0072006100620069007400650020007a00610020007500730074007600610072006a0061006e006a006500200064006f006b0075006d0065006e0074006f0076002000410064006f006200650020005000440046002c0020006b006900200073006f0020006e0061006a007000720069006d00650072006e0065006a016100690020007a00610020006b0061006b006f0076006f00730074006e006f0020007400690073006b0061006e006a00650020007300200070007200690070007200610076006f0020006e00610020007400690073006b002e00200020005500730074007600610072006a0065006e006500200064006f006b0075006d0065006e0074006500200050004400460020006a00650020006d006f0067006f010d00650020006f0064007000720065007400690020007a0020004100630072006f00620061007400200069006e002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200069006e0020006e006f00760065006a01610069006d002egt SUO ltFEFF004b00e40079007400e40020006e00e40069007400e4002000610073006500740075006b007300690061002c0020006b0075006e0020006c0075006f00740020006c00e400680069006e006e00e4002000760061006100740069007600610061006e0020007000610069006e006100740075006b00730065006e002000760061006c006d0069007300740065006c00750074007900f6006800f6006e00200073006f00700069007600690061002000410064006f0062006500200050004400460020002d0064006f006b0075006d0065006e007400740065006a0061002e0020004c0075006f0064007500740020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740069007400200076006f0069006400610061006e0020006100760061007400610020004100630072006f0062006100740069006c006c00610020006a0061002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030003a006c006c00610020006a006100200075007500640065006d006d0069006c006c0061002egt SVE ltFEFF0041006e007600e4006e00640020006400650020006800e4007200200069006e0073007400e4006c006c006e0069006e006700610072006e00610020006f006d002000640075002000760069006c006c00200073006b006100700061002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e007400200073006f006d002000e400720020006c00e4006d0070006c0069006700610020006600f60072002000700072006500700072006500730073002d007500740073006b00720069006600740020006d006500640020006800f600670020006b00760061006c0069007400650074002e002000200053006b006100700061006400650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740020006b0061006e002000f600700070006e00610073002000690020004100630072006f0062006100740020006f00630068002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020006f00630068002000730065006e006100720065002egt TUR ltFEFF005900fc006b00730065006b0020006b0061006c006900740065006c0069002000f6006e002000790061007a006401310072006d00610020006200610073006b013100730131006e006100200065006e0020006900790069002000750079006100620069006c006500630065006b002000410064006f006200650020005000440046002000620065006c00670065006c0065007200690020006f006c0075015f007400750072006d0061006b0020006900e70069006e00200062007500200061007900610072006c0061007201310020006b0075006c006c0061006e0131006e002e00200020004f006c0075015f0074007500720075006c0061006e0020005000440046002000620065006c00670065006c0065007200690020004100630072006f006200610074002000760065002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200076006500200073006f006e0072006100730131006e00640061006b00690020007300fc007200fc006d006c00650072006c00650020006100e70131006c006100620069006c00690072002egt UKR ltFEFF04120438043a043e0440043804410442043e043204430439044204350020044604560020043f043004400430043c043504420440043800200434043b044f0020044104420432043e04400435043d043d044f00200434043e043a0443043c0435043d044204560432002000410064006f006200650020005000440046002c0020044f043a04560020043d04300439043a04400430044904350020043f045604340445043e0434044f0442044c00200434043b044f0020043204380441043e043a043e044f043a04560441043d043e0433043e0020043f0435044004350434043404400443043a043e0432043e0433043e0020043404400443043a0443002e00200020042104420432043e04400435043d045600200434043e043a0443043c0435043d0442043800200050004400460020043c043e0436043d04300020043204560434043a0440043804420438002004430020004100630072006f006200610074002004420430002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002004300431043e0020043f04560437043d04560448043e04570020043204350440044104560457002egt ENU (Use these settings to create Adobe PDF documents best suited for high-quality prepress printing Created PDF documents can be opened with Acrobat and Adobe Reader 50 and later) gtgt Namespace [ (Adobe) (Common) (10) ] OtherNamespaces [ ltlt AsReaderSpreads false CropImagesToFrames true ErrorControl WarnAndContinue FlattenerIgnoreSpreadOverrides false IncludeGuidesGrids false IncludeNonPrinting false IncludeSlug false Namespace [ (Adobe) (InDesign) (40) ] OmitPlacedBitmaps false OmitPlacedEPS false OmitPlacedPDF false SimulateOverprint Legacy gtgt ltlt AddBleedMarks false AddColorBars false AddCropMarks false AddPageInfo false AddRegMarks false ConvertColors ConvertToCMYK DestinationProfileName () DestinationProfileSelector DocumentCMYK Downsample16BitImages true FlattenerPreset ltlt PresetSelector MediumResolution gtgt FormElements false GenerateStructure false IncludeBookmarks false IncludeHyperlinks false IncludeInteractive false IncludeLayers false IncludeProfiles false MultimediaHandling UseObjectSettings Namespace [ (Adobe) (CreativeSuite) (20) ] PDFXOutputIntentProfileSelector DocumentCMYK PreserveEditing true UntaggedCMYKHandling LeaveUntagged UntaggedRGBHandling UseDocumentProfile UseDocumentBleed false gtgt ]gtgt setdistillerparamsltlt HWResolution [2400 2400] PageSize [612000 792000]gtgt setpagedevice

  1. 1 World Health Organization WHO
  2. 2 Beijing Platform for Action BPA 1995
  3. 5 International Covenant on Civil and Political Rights ICCPR 1966
  4. 7 Krug Etienne et al 2002 World Report on Violence and Health Geneva WHO
Page 15: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na

Ukatili Matumizi ya nguvu yanayompa mtu fursa ya kumtumia au kumkandamiza mtu mwingine ikiwa ni pamoja na kumsababishia woga au hofu madhara ya kimwili kifikra na kisaikolojia Ukatili unaweza kujitokeza kwa kumdhuru mtu kimwili au kumtishia kwa kutumia silaha au kumnyima mtu uhuru wa kufanya uamuzi na kumlazimisha kutenda kinyume na utashi wake

Ukatili Dhidi ya Wanawake Ni kitendo au vitendo vya unyanyasaji vyenye kulenga jinsia ya kike na vyenye kusababisha au kuleta madhara ya kimwili kingono kihisia kisaikolojia kiuchumi na kijamii Kitendo au vitendo hivi hujumuisha kutumia nguvu na vitisho vya kumnyima mwanamke haki na uhuru

xiv

SEHEMU YA KWANZA

UTANGULIZI

11 Hali ya Ukatili wa Kijinsia Duniani

Ukatili Wa Kijinsia (UWAKI) unatokana na kuwepo kwa tofauti kati ya wanaume na wanawake na hivyo kuhatarisha afya utu usalama na uhuru wa wahusika waliofanyiwa vitendo vya kikatili

UWAKI unajumuisha vitendo vingi vya ukiukwaji wa haki za binadamu kama vile unyanyasaji wa watoto kingono ubakaji unyanyasaji katika familia shambulio la aibu na udhalilishaji Vitendo vingine vya UWAKI ni usafirishaji haramu wa wanawake na wasichana na madhara mengine yatokanayo na mila na desturi hatarishi

Matukio ya ukatili wa kijinsia yanaacha athari kubwa za kisaikolojia na za kiafya kwa watu waliopatwa na ukatili ikiwa ni pamoja na kuathiri afya ya uzazi na mara nyingine kusababisha vifo

UWAKI haujatambuliwa kama ukiukwaji wa haki za binadamu katika sehemu nyingi duniani Tatizo hili hupunguza uwezo wa wanawake wanaume na watoto katika kufurahia uhuru na haki za msingi za kibinadamu Hata hivyo licha ya kuwepo kwa UWAKI katika nchi nyingi tatizo hili halijapewa kipaumbele UWAKI unaelezwa kuwa ldquoNi kitendo kiovu na cha aibu kubwa cha ukiukwaji wa haki za binadamurdquo Hali hii humfanya mwanamke kuwa tegemezi kijamii kiuchumi na kisheria na hupunguza uwezo wake katika kupata msaada mara anapofanyiwa ukatili

Utafiti uliofanywa na Shirika la Afya Duniani (WHO) kuhusu afya ya wanawake na ukatili wa kifamilia katika nchi 10 umeonyesha kuwa kati ya wanawake waliowahi kuwa na wenzi asilimia 13-61 walifanyiwa ukatili wa kimwili na wenzi wao asilimia 6-59 walifanyiwa ukatili wa kingono na asilimia 15-71 walifanyiwa vitendo vya ukatili wa kingono pamoja na kimwili Pia wanawake wengi vijijini walikiri kuwa walifanyiwa tendo la ngono kwa mara ya kwanza bila ridhaa yao na takwimu zinaonyesha matukio hayo katika baadhi ya nchi kama ifuatavyo Peru (24)

1

Tanzania (17) Bangladesh (30) na Ethiopia (17) Ukatili wa kimwili kwa wanawake wajawazito uliripotiwa kuwa ni asilimia 4-12

Wanawake na wasichana wanakabiliwa na aina nyingine ya ziada ya unyanyasaji Usafirishaji haramu wa wanawake na wasichana kwa ajili ya kazi na ngono za kulazimishwa ni biashara iliyoshamiri na mara nyingi waathirika ni wale wanaokabiliwa na hali ngumu ya maisha Ndoa za kulazimishwa na za utotoni ni ukiukwaji wa haki za binadamu kwa wanawake na wasichana lakini zinaendelea kushamiri kwenye nchi nyingi za Bara la Asia Mashariki ya Kati na Nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara Utafiti wa Shirika la Afya Duniani (2010) unaonyesha kuwa duniani kote mwanamke mmoja kati ya wanawake watano na mwanamume mmoja kati ya wanaume 10 wanaripotiwa kuathirika na unyanyasaji wa kingono wakati wa utoto

12 Hali ya UWAKI Kanda ya Afrika

Kuna uhaba wa taarifa takwimu na utafiti kuhusu UWAKI kwenye ukanda wa Afrika Mashariki Nchini Kenya kulikuwa hakuna takwimu zenye kuhusiana na ukatili wa kijinsia hadi utafiti wa hali ya jamii na afya ulipofanyika mwaka 2003 Utafiti huu ulionyesha kwamba asilimia 29 ya wanawake waliripotiwa kuathiriwa na ukatili wa kingono kwenye kipindi cha mwaka mmoja uliopita na wengi wa waathirika walikuwa wanawake wa umri wa miaka 20-29 Utafiti uliofanywa na Ushirika wa Wanasheria Wanawake nchini Kenya ulionyesha kwamba ukatili wa kijinsia katika familia unakabili asilimia 51 ya wanawake waliohudhuria kliniki nne za wajawazito kwenye jiji la Nairobi na waliripoti kuwa wamekuwa waathirika wa ukatili wakati fulani katika maisha yao kati yao asilimia 65 walifanyiwa ukatili na waume zao na asilimia 22 walifanyiwa ukatili na wanaume wasiowafahamu

Utafiti kuhusu UWAKI uliofanywa baada ya uchaguzi wa 2007 nchini Kenya ulilenga makazi duni ya Kibera jijini Nairobi yenye wakazi wapatao milioni moja Utafiti huu ulionyesha kuwa umri wa waathirika waliobakwa ulikuwa kati ya miaka 25-68 na wengi wao walikuwa wenye umri wa miaka ya 30 UWAKI uliwaathiri wanawake wa umri wa miaka yote Utafiti huu ulibaini kwamba baadhi ya waathirika waliambukizwa virusi vya UKIMWI

2

Mwaka 2007 Umoja wa Mataifa ulikadiria kuwa kiwango cha ubakaji wa wanawake katika eneo la Kivu kaskazini ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ulikuwa ni wanawake 350 kwa mwezi Mwaka 2008 shirika linalotetea haki za binadamu duniani (Amnesty International) liliripoti kuwa wanawake 40 hubakwa kila siku katika eneo hilo hilo

3

SEHEMU YA PILI

UCHAMBUZI WA UWAKI TANZANIA

21 Ukubwa wa tatizo la UWAKI Tanzania

Utafiti uliofanywa na Shirika la Afya Duniani (WHO)1 kuhusu afya ya wanawake na ukatili majumbani kwenye nchi 10 umebaini kuwa ukatili dhidi ya wanawake upo sehemu nyingi ikiwemoTanzania Utafi ti huo ulihusisha wanawake 1820 Dar es Salaam na wanawake 1450 Mbeya waliowahi kuwa na wenzi Matokeo yalionyesha kwamba asilimia 41 ya waliohojiwa katika jiji la Dar es Salaam na asilimia 55 ya waliohojiwa katika jiji la Mbeya waliathirika na aina mbalimbali za UWAKI Taarifa ilionyesha kuwa asilimia 15 hadi 71 ya wanawake walioathirika na ukatili wa kimwili au wa kingono ulifanywa na waume au wenzi wao Utafi ti huo pia ulionyesha kwamba asilimia 15 ya wanawake walifanya kitendo cha ngono kwa mara ya kwanza kwa kulazimishwa Aidha asilimia 4 hadi 12 ya wanawake waliripotiwa kunyanyaswa kimwili wakati wa ujauzito

Kufuatana na uchunguzi wa kitaifa nchini Tanzania kiwango cha ukatili majumbani kati ya wanawake wenye umri wa miaka 15- 49 ni asilimia 45 ikijumuisha ukatili wa kimwili (25) kingono (7) na (14) kwa aina zote mbili Unyanyasaji wa kimwili kwa wanawake wajawazito ulikuwa asilimia tisa (9) Kiwango cha wanawake waliokabiliwa na matukio ya kushurutishwa na wenzi wao kilikuwa asilimia sitini (60) Kiwango cha matukio ya ukatili wa kimwili kinatofautiana sana kati ya mkoa na mkoa ambapo kiwango cha juu sana kipo kwenye mkoa wa Dodoma (71) na cha chini kabisa kwenye mkoa wa Tanga (16) Ukatili wa kingono ni wa kiwango cha juu sana kwenye mkoa wa Rukwa (32) na chini kabisa kwenye mkoa wa Shinyanga (5) Kiwango cha wanawake waliowahi kuwa kwenye ndoa ambao wameathirika na ukatili wa kingono kutoka kwa mume au mwenzi wa sasa ni 48 mume wa zamani (21) rafiki wa kiume wa sasazamani (7) Kwa upande wa wanawake ambao hawajaolewa 27 ya ukatili ulifanywa na marafi ki wa kiume wa sasa au wa zamani

1 World Health Organization (WHO)

4

Uchunguzi wa WHO uliotajwa hapo juu umeonyesha usafi rishaji wa wanawake na wasichana kwa ajili ya kazi na ngono za kulazimishwa ni biashara iliyoshamiri na mara nyingi waathirika ni wale wanaokabiliwa na hali ngumu ya maisha Ndoa za kulazimishwa na za utotoni kama zilivyo kwenye jamii nyingi ni ukiukwaji wa haki za binadamu kwa wanawake na wasichana kwa sababu hawana fursa ya kutoa ridhaa Zaidi ya 60 ya waathirika wa UWAKI nchini Tanzania hawachukui hatua yoyote ya kutoa taarifa ya ukatili kwa mamlaka rasmi au vyombo vya kutekeleza sheria Upo uwezekano mkubwa wa maambukizo ya VVU kutokana na UWAKI Vijana wa kike wa Kitanzania wenye umri wa miaka 18-29 ambao wamekuwa wakinyanyaswa na wenzi wao wana uwezekano wa mara 10 zaidi kupata maambukizo ya VVU kuliko wanawake ambao hawajanyanyaswa

Utafiti uliofanyika Dar es Salaam mwaka 2000 ulibaini kuwa zaidi ya 90 ya waathirika wa ubakaji wanawafahamu wahalifu wao Katika utafiti mwingine uliofanyika Dar es Salaam asilimia ishirini na tano (25) ya wanawake waliohojiwa walikiri kwamba ldquoUkatili ni tatizo kubwa kwenye maishardquo Nchini Tanzania ubakaji ndani ya ndoa hautambuliwi kama kosa la jinai isipokuwa kama wenza wametengana

Vitendo vya UWAKI nchini Tanzania kwa ujumla vinalenga zaidi wanawake na wasichana kutokana na desturi na mazoea ya jamii ambazo zinawabagua na kuwapunguzia uwezo wa kufurahia haki zao za kibinadamu Ingawa mashambulizi ya ngono yanawalenga zaidi wanawake na wasichana hata hivyo wanaume na wavulana vilevile wanalengwa katika unyanyasaji wa kingono kubughudhiwa na kushambuliwa

Ukatili kama ulivyofafanuliwa unadhihirisha tofauti ya madaraka kati ya mwathirika na mhalifu wa ukatili wa kingono ambapo mhalifu mara nyingi ana umbo kubwa umri mkubwa utajiri au ni mmojawapo kwenye kundi la watu wenye mamlaka au anatumia silaha Nchini Tanzania asilimia 134 ya vijana wameathiriwa na mashambulio ya kingono ya namna moja ama nyingine Kwa ujumla kutokana na sababu mbalimbali nchini Tanzania kuna uhaba wa taarifa za UWAKI pia taarifa zilizopo siyo kamilifu

5

Uzoefu unaonyesha kuwa bila kujali hali ya afya ya kimwili ya mwathirika UWAKI humwacha mwathirika na majeraha ya muda mrefu na kupunguza uwezo wa mwathirika kushirikiana na jamii na familia Athari zaidi hujitokeza kwa mwathirika kama vile aibu unyanyapaa msongo wa mawazo na mfadhaiko Tatizo hili kwa waathirika linachochewa na ldquoUtamaduni wa ukimyardquo miongoni mwa familia na jamii inayowazunguka UWAKI una athari ya moja kwa moja na matokeo hasi kwa afya na ustawi wa kiuchumi na kijamii kwa familia hasa kwa wanawake na watoto

22 Unyanyasaji wa Mtoto na Kijana

Utafiti wa kitaifa nchini Tanzania kuhusu Ukatili Dhidi ya Watoto ni wa kwanza na wa aina yake katika Bara la Afrika Matokeo ya utafi ti yameonyesha kwamba mara nyingi watoto wanakabiliwa na unyanyasaji na matukio mengi na ya namna mbalimbali yanayojumuisha ukatili wa kimwili kingono na kisaikolojia Utafiti ulibaini kuwa watoto wengi wako kwenye hatari kubwa ya kunyanyaswa kwenye mazingira ya nyumbani na shuleni Haya ni maeneo mawili ambayo watoto wengi wa Kitanzania hutumia muda wao mwingi wakati wanakua na kuelekea kwenye ujana Robo tatu ya watoto wanapofikia umri wa miaka 18 huwa wameathirika na ukatili wa kimwili kwa namna moja ama nyingine kutokana na ukatili wa ndugu mwalimu au kiongozi Kutokana na utafiti takribani 30 ya wanawake wenye umri kati ya umri wa miaka 13-24 na 14 ya wanaume wenye umri kati ya miaka 13-24 nchini Tanzania waliripotiwa kuathirika na ukatili wa kingono angalau mara moja kabla ya kufikisha umri wa miaka 18

Nchini Tanzania ukeketaji hufanyika mapema utotoni Karibu mwanamke mmoja kati ya wanawake watatu waliokeketwa (32) walikeketwa kabla ya kufikisha umri wa mwaka mmoja na 27 walikeketwa wakiwa na umri wa miaka 13 au zaidi Hata hivyo ukeketaji kwa wasichana hufanyika katika umri mdogo sehemu ya wanawake waliokeketwa wakiwa na umri wa miaka 5 iliongezeka kutoka 34 hadi 39 kwa mujibu wa Utafiti wa Afya ya Jamii [UAJ] 2004-05 na UAJ 2010 Kulingana na utafiti huu 5 ya wasichana wa miaka 13shy17 waliripotiwa kuwa wamekeketwa na 10 ya wasichana wa umri wa miaka 18-24 waliripotiwa kukeketwa Kwa mujibu wa sheria kukeketa ni

6

kosa linalostahili adhabu Kuna uwezekano kwamba wale waliokeketwa huwa wanasita kutoa taarifa na ndiyo sababu ya taarifa kuwa chache

23 Mazingira ya Sera ya UWAKI

Serikali ya Tanzania imeonyesha nia yake ya kushughulikia masuala ya UWAKI kwa kuridhia mikataba kadhaa ya kimataifa yenye kuhusiana na UWAKI na jinsia Mkataba wa Kutokomeza Aina Zote za Ubaguzi Dhidi ya Wanawake (1985) ambao umekuwa chombo katika kupambana na matukio ya ubaguzi ikiwa ni pamoja na ukatili Jukwaa la Beijing (1995)2 na Malengo ya Maendeleo ya Milenia (2000)3 Tanzania pia imeridhia hati ya Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu kuhusu haki za wanawake na hati ya Ushirikiano wa Maendeleo wa Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC)4

Vipaumbele vya maendeleo ya Tanzania vinaainishwa katika Dira ya Taifa 2025 na katika Mpango wa Kuondoa Umaskini na Kukuza Uchumi (MKUKUTA) MKUKUTA II (2011-25) unashughulikia UKIMWI na jinsia kama masuala mtambuka na ni mkakati wa kwanza wa kitaifa unaotambua UWAKI kama suala la kisera kwa watu wote Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto ndiyo yenye jukumu la kuratibu shughuli zote zinazohusiana na jinsia

Wizara hiyo imetayarisha Sera ya Maendeleo ya Jinsia (2000) kwa ajili ya kushughulikia upungufu na kukosekana kwa usawa kati ya wanaume na wanawake Pia Wizara imetayarisha Mkakati wa Kitaifa wa Jinsia na Maendeleo (2002) unaotoa dira na kuwezesha usawa wa kijinsia nchini Pamoja na Mpango wa Taifa wa Vitendo vya Kukinga na Kutokomeza Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto (2001-2015) kwa ajili ya kuongeza juhudi za Serikali za kisheria kwa kupambana na UWAKI na kuhakikisha lsquousawarsquo na lsquohakirsquo kati ya wanawake na wanaume nchini Tanzania Sera ya Taifa ya Afya ina mfumo wa utoaji wa huduma za afya kwa watu wote wanaohitaji ikiwa ni pamoja na waathirika wa UWAKI

2 Beijing Platform for Action - (BPA 1995) 3 Millennium Development Goals - (MDG 2000) 4 Southern African Development Cooperation - (SADC)

7

24 Haki za Binadamu Sheria na Mazingira ya Udhibiti

Tanzania imeridhia Sheria ya Haki za Binadamu na masharti ya vyombo kadhaa vya kimataifa na kikanda ambavyo vinakataza ubaguzi kwa misingi ya jinsia na hivyo kuhitaji serikali ihakikishe kwamba wanawake hawabaguliwi Vyombo hivi ni Mkataba wa Kimataifa wa Kuzuia aina zote za Ukatili na Unyanyasaji wa Kijinsia 1979 pamoja na Mkataba wa Kimataifa wa Haki za Kiraia na Kisiasa (1966)5 Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu (1981) na Hati ya Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu Kuhusu Haki za Wanawake Afrika (2000)

Tanzania imetunga sheria inayosimamia kukinga na kupambana na UWAKI Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (1977) iko wazi kwa kukataza ubaguzi na kwa misingi hiyo inatoa haki ya usawa [Ibara ya 12-24] Sheria ya Mtoto (2009) inawezesha jitihada za kupunguza ukatili dhidi ya watoto Sheria Maalumu ya Makosa ya Kujamiiana (1998)6

ilitungwa kwa lengo la kulinda heshima ya mwanamke na kuweka vikwazo kwa UWAKI kwa kutoa adhabu kali kwa makosa ya kingono Sheria hii inajumuisha ukatili wa kingono ubakaji biashara haramu ya usafirishaji watu bughudha za kingono na kukataza ukeketaji chini ya kifungu cha lsquoUkatili kwa watotorsquo

Hii ilikuwa mara ya kwanza kwa Tanzania kutunga sheria ya kukataza vitendo vilivyotajwa hapo juu na hatima ya sheria hii imewekwa chini ya sheria za adhabu kifungu cha 16

Sheria ya Adhabu (marekebisho ya 2002) inawekea vikwazo vitendo vya UWAKI mathalan vitisho Sehemu ya 89B 89A kutoroka watoto Sehemu ya 166 kutelekeza watoto Sehemu ya 167 kuua bila kukusudia Sehemu ya 195 mauaji Sehemu ya 196 mashambulizi Sehemu ya 240shy243 kutorosha Sehemu ya 246 utekaji nyara Sehemu ya 244 kazi za kulazimishwa Sehemu ya 256 wizi utokanao na mwenzi Sehemu ya 264 tishio la uchomaji Sehemu ya 332 uchomaji Sehemu ya 319-322 kuficha nyaraka Sehemu ya 276-278 Sheria ya Biashara ya Binadamu Na 6 ya mwaka 2008 inakataza biashara ya binadamu kwa sababu yoyote

5 International Covenant on Civil and Political Rights - (ICCPR 1966) 6 The Sexual Offences Special Provisions Act 1998 (SOSPA)

8

Sheria ya Kuzuia VVU UKIMWI Na 28 ya mwaka 2008 inakataza unyanyapaa na inafanya uambukizaji wa VVU kwa makusudi kuwa kosa la jinai

Pamoja na kuwepo vyombo vya kimataifa kikanda kitaifa na vya sheria za kuhakikisha haki kwa wanawake tatizo la UWAKI limetapakaa nchini Tanzania lakini linaripotiwa kwa nadra UWAKI unaathiri zaidi wanawake na wasichana kuliko wanaume na wavulana Haya ni matokeo ya uhusiano usio sawa kati ya wanaume na wanawake katika jamii ambayo yanajidhihirisha katika maeneo kadhaa ikiwa ni pamoja na maeneo ya kiuchumi kijamii kisiasa na kisheria

Mara nyingi UWAKI unapunguza uwezo wa wanawake na wasichana wa kufurahia haki za kimsingi za binadamu na uhuru kama ilivyoainishwa kwenye Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Utambuzi wa wahalifu wa UWAKI nchini Tanzania ni nadra kulinganisha na idadi ya mashambulizi Ni muhimu kushughulikia mahitaji ya kisheria ya waathirika wote wa UWAKI wanawake wasichana wanaume wavulana na watoto

25 Miundombinu ya utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii

Mfumo wa utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii upo katika ngazi ya kitaifa mikoajiji na wilaya manispaa Mfumo huu unawezesha utoaji wa huduma za kuboresha afya kuzuia magonjwa tiba utengemao na ustawi wa jamii kwa kupitia vituo vya kutolea huduma za afya vinavyojumuisha zahanati vituo vya afya na hospitali

Kuna mfumo wa rufaa kitaifa wa njia mbili kupeleka na kurejesha mgonjwa ambao unaanzia kwenye jamii na kwenda kwenye zahanati ambazo zipo 4679 vituo vya afya (481) hospitali za wilaya (95) hospitali za mikoa (19) na hospitali za rufaa za taifa (8) Kuna vituo vya kutolea huduma za afya 5718 nchini Tanzania vikijumuisha zahanati (86) vituo vya afya (10) na hospitali (4) vikiwa chini ya umiliki wa serikali (69) mashirika ya kidini (14) mashirika ya umma ( 3) na mashirika binafsi (14)

9

Mpango wa Maendeleo wa Afya ya Msingi [(MMAM) 2007-2017 pamoja na malengo mengine unakusudia kuhakikisha kuwa kuna kituo kimoja cha afya kwa kila kata katika kata 2555 zilizopo na zahanati moja kwa kila kijiji katika vijiji 10342 Jumla ya vituo vya afya ya msingi 8107 hospitali za wilaya 62 na taasisi 128 za mafunzo zitaanzishwa ifikapo mwaka 2012

Mahitaji ya watoa huduma za afya ni 82377 na waliopata mafunzo ni 29063 (35) ikiwa ni upungufu wa 65 ya mahitaji Mahitaji ya watoa huduma wa ustawi wa jamii ni 3892 Kuna wafanyakazi 210 wa ustawi wa jamii ikiwa ni upungufu wa 95 ya mahitaji na uhaba mkubwa katika ngazi za wilaya (93) kata (100) na vituo vya watu wenye ulemavu na taasisi nyingine (85) (WAUJ 2006)

Kuna uhaba wa wafanyakazi wa afya wenye ujuzi kwenye ngazi za zahanati (69) vituo vya afya (59) na hospitali za rufaa (48-67) Kwa ujumla kuna uhaba wa wafanyakazi wa ustawi wa jamii wenye ujuzi kwa kiwango cha 95 katika ngazi zote kanda (21) wilaya (93) kata (100) na vituo vya walemavu (95) Kama ujenzi wa vituo hautaendana na upatikanaji wa watoa huduma utekelezaji wa MMAM utakuwa na upungufu mkubwa

Kwa kawaida kuna hospitali ya wilaya au teule kwa kila Mamlaka ya Halmashauri ya Wilaya (MHW) Kuna MHW 133 ambazo zina majukumu na wajibu wa kutoa huduma za afya kwenye maeneo yao Kila MHW ina Bodi ya Afya ya Wilaya (BAW) ambayo inajumuisha madiwani waliochaguliwa na kusimamia mipango na utekelezaji wa huduma za afya kwenye wilaya

Mipango na usimamizi wa huduma za afya katika halmashauri inaongozwa na Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri ambayo kiongozi wake ni Mganga Mkuu wa Wilaya na ni Katibu wa BAW Kuna bodi ya hospitali ya wilaya teule Bodi ya Huduma ya Afya (BHA) ya kituo cha afya inayowakilisha wakazi wa kata na bodi ya zahanati inayowakilisha wakazi wa kijiji bodi zote zikiwa na uwakilishi sawa wa kijinsia

Makadirio ya matumizi ya afya kwa mtu mmoja kwa mwaka 201011 ilikuwa ni dola za kimarekani 1575 ambapo WHO imependekeza

10

kiwango cha dola 3400 za Kimarekani Matumizi ya afya ni asilimia 14 ya Bajeti ya Taifa kwa mwaka ambacho ni chini ya kiwango cha asilimia 15 kilichopendekezwa na Tamko la Abuja

Mfumo wa utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii upo katika ngazi zifuatazo

[a] Ngazi ya Kitaifa WAUJ ina jukumu la kutayarisha sera za afya na miongozo inayohusiana na huduma za afya kuweka viwango kuhakiki ubora kufuatilia na kutathmini pamoja na kusimamia utoaji wa huduma za afya zenye kujumuisha kuboresha afya kinga tiba utengemao na ustawi wa jamii Hospitali za rufaa zina asilimiai 52 tu ya wafanyakazi wenye ujuzi

[b] Ngazi ya MkoaJiji Timu ya Uendeshaji ya Afya ya Mkoa ina jukumu la kuongoza na kuendeleza utekelezaji wa mpango mkakati wa afya kwenye mkoa pamoja na ushauri wa kitaalamu kwa Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri kwenye maeneo yafuatayo (1) Utekelezaji wa sera miongozo na viwango vya utoaji wa huduma za afya kwa usahihi na kwa muda uliopangwa ukihusisha watoa huduma wote wa umma binafsi kwenye MHW (2) kupanga kwa ufanisi kutekeleza kufuatilia na kutathmini mipango ya afya ya kina katika halmashauri Kamati ya utawala ya hospitali ya mkoa ina jukumu la kupanga na kusimamia hospitali ya mkoa ambayo ni ngazi ya pili ya rufaa Kuna hospitali 19 za mikoa ambazo zina 34 tu ya wataalamu wa afya

[c] Mamlaka ya Halmashauri ya WilayaManispaa Huduma za afya katika ngazi hii zinasimamiwa na Halmashauri ya Wilaya kupitia BAW chombo kilichoundwa (2001) chini ya Sheria namba 7 ya mwaka 1982 kifungu cha 86A BAW inawajibika kwa utoaji wa huduma za kina kwenye wilaya Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri inatoa ushauri wa kiutaalam kwa utekelezaji wa uamuzi wa BAW

[d] Ngazi ya Wilaya Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri huandaa na kutekeleza mpango wa kina wa afya wa halmashauri pamoja na kufuatilia na

11

kutathmini huduma za afya kwenye hospitali vituo vya afya zahanati na jamii ikiwa ni pamoja na kufanya utafiti Kamati ya Utawala ya Hospitali inasimamia mipango na huduma kwenye hospitali ya wilaya ambayo ni ngazi ya kwanza ya rufaa Kuna hospitali 95 za wilaya zikiwa ni pamoja na hospitali teule ambazo zina asilimia 33 tu ya wataalamu wa afya

[e] Ngazi ya Kata Kamati ya Afya ya Kata inasimamia upangaji ubunifu na uratibu wa mipango ya afya ya jamii husimamia na huhamasisha upatikanaji wa rasilimali pamoja na ukusanyaji na matumizi ya Mfuko wa Afya wa Jamii Vituo vya afya vina jukumu la kutoa huduma za kina za afya na ustawi wa jamii kwenye kata Kamati ya Kituo cha Afya inasimamia utoaji wa huduma za afya na kuhamasisha ukusanyaji wa rasilimali zinazohitajika Timu ya Kituo cha Afya ina wajibu wa kusimamia shughuli za kila siku kwenye kituo cha afya Timu inapanga na kusimamia juhudi za afya ya jamii katika eneo lake chini ya Mpango wa Maendeleo ya Kata Kuna jumla ya kata 2555 nchini ambapo kata 481 sawa na 19 zina vituo vya afya ambavyo vina 41 tu ya wataalamu wa afya

[f ] Ngazi ya Kijiji Kamati ya Zahanati inahakikisha kwamba idadi ya watu katika eneo lake wanapata huduma sahihi za afya na nafuu pamoja na kusimamia uhamasishaji wa rasilimali kwa ajili ya utekelezaji wa mpango wa zahanati Timu ya Usimamizi wa Zahanati inapanga na kusimamia juhudi za afya ya jamii kwenye maeneo chini ya Mpango wa Maendeleo ya Kata Kuna jumla ya vijiji 10342 ambapo 4679 vina zahanati sawa na 45 ambazo ni aslimia 31 tu ya zahanati zina wataalamu wa afya wanaotosheleza Kamati ya Huduma za Jamii kwenye kijiji ina wajibu wa kuhamasisha na kushirikisha jamii ili wajihusishe kuboresha na kulinda afya

[g] Ngazi ya Kaya Kuna kaya takriban milioni 7 nchini Tanzania na wastani wa watu 47 kwa kila kaya (ambapo 70 ya kaya zote zinaongozwa na wanaume na 30 zinaongozwa na wanawake) Sera ya Afya ya Taifa inatamka kwamba ni wajibu wa kila raia kuendeleza na kulinda afya yake pamoja na ya familia yake Pamoja na haya kila raia ana jukumu la kujiepusha na tabia hatarishi kwa afya yake pamoja na ya mwenzie na kuchangia rasilimali kwa ajili ya afya yake na uendelezaji wa vituo vya kutolea huduma za afya

12

26 Kukinga na Kupambana na UWAKI

Serikali ya Tanzania na washirika wake wa karibu wametekeleza mambo mbalimbali yanayohusiana na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Wizara ambazo zinahusika kwa ukaribu kwenye utekelezaji wa mipango ya kukinga na kupambana na UWAKI ni pamoja na Wizara ya Maendeleo y a Jamii Jinsia na Watoto Wizara ya Sheria na Katiba Wizara ya Mambo ya Ndani na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Kuna ushirikiano kati ya wizara idara mashirika asasi za kiraia na wadau wa maendeleo Katika ngazi ya kitaifa serikali inatekeleza Mkakati wa Maendeleo ya Jinsia (2005) na kukuza usawa wa jinsia na haki kwa wanawake Utekelezaji wa Sheria Maalumu ya Makosa ya Kujamiana (1998) ambayo sasa ni Kanuni ya Adhabu Sura ya 16 Toleo la Marekebisho 2002 Pia serikali inatekeleza Mpango wa Taifa wa Vitendo wa Kuzuia na Kutokomeza Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto (2001-2015) ambao una lengo la kutokomeza ubaguzi na unyonyaji wa kisheria kijamii kiuchumi kiutamaduni na kisiasa Zaidi ya yote Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (1977) inatamka kuheshimu misingi ya usawa na haki kwa kila mtu

Kwa kushirikiana na wadau wengine serikali inawezesha uanzishwaji wa kitengo cha jinsia kwenye idara za wizara mbalimbali (mfano idara ya polisi chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi) Mashirika ya Jamii hutoa utetezi msaada wa kisheria huduma za afya na kuendesha kampeni na mashirika mengine yamechukua hatua za kutoa hifadhi kwa waathirika wa UWAKI na Vituo vya Kuhifadhi Waathirika Kuna sera za kitaifa sheria mikakati na mipango ya kazi kwa ajili ya kushughulikia usawa wa kijinsia Vilevile serikali kwa kushirikiana na asasi za kiraia imejenga mazingira mazuri ya kuwezesha waathirika kupata huduma kama vile msaada wa kisheria Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii (WAUJ) imekuwa ikitoa huduma kwa waathirika wa UWAKI licha ya kutokuwepo kwa mwongozo wa sera kwa ajili ya wahudumu wa vituo vya kutolea afya

27 Changamoto katika Kuzuia na Kupambana na UWAKI

Muundo wa sheria sera na juhudi za kukuza haki za binadamu zinakabiliwa na changamoto mbalimbali zinazofisha jitihada za kuzuia kupambana

13

na kuepusha athari za UWAKI nchini Tanzania Changamoto hizo ni pamoja na upungufu wa fedha upungufu wa kisheria na sera zilizopo uratibu duni kati ya wadau na kukosekana kwa mfumo wa rufaa kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI Hali kadhalika uelewa na taarifa juu ya ukubwa wa tatizo la UWAKI ni duni kwa hivyo WAUJ imebuni na kutayarisha mwongozo maalumu wa sera na huduma dhidi ya UWAKI ili kukabili changamoto hizo

[a] Sera za Taifa Serikali ya Tanzania inajitahidi kujenga mazingira mazuri ya kuzuia na kupambana na UWAKI Ingawa Sera ya Afya ina lengo la kutoa huduma za afya za kutosha kwa kila Mtanzania ipo haja ya kuwa na miongozo na mikakati inayofafanua masuala ya UWAKI kwa ukamilifu Ukosefu wa miongozo na sera ya usimamizi dhidi ya UWAKI ni kikwazo kikubwa kwa juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kutibu na kuhudumia waliopatwa na UWAKI Sekta ya afya itatumia mwongozo wa sera hii ili kuboresha huduma ya kupambana na UWAKI kwa kushirikisha na kuwahusisha wadau wote

[b] Sheria zaTaifa Pamoja na kuwepo sheria nyingi zilizopitishwa kwa ajili ya kulinda haki za wanawake na watoto bado zipo changamoto nyingi Kwa mfano kuna baadhi ya sheria zenye utata baadhi zinapingana na hivyo kupunguza uwezo wa kupambana na UWAKI Pamoja na hayo Sheria ya Ndoa kama ilivyofanyiwa marekebisho 2002 haiainishi hatua za kuchukuliwa dhidi ya ukatili wa kifamilia Sheria hii ni kama inahalalisha ubakaji kwa kuruhusu binti kuolewa chini ya umri wa miaka 18 Sheria ya Makosa ya Kujamiiana na Vipengele Maalumu (1998) haitambui ubakaji ndani ya ndoa ingawa inatambua ubakaji ikiwa mume na mke wametengana Mbali na upungufu huo sheria ya makosa ya kujamiiana kwa upande wa kuthibitisha ushahidi wa kuingiliwa kimwili ni mgumu Sheria ya Mila (Tangazo la Serikali Na4361963) ambayo inatumiwa na Watanzania wote wazawa inatokana na mila na desturi za makabila mbalimbali ya Tanzania sheria hii ya Mila ni ya kibaguzi na huleta changamoto kwa wanawake na watoto ambao wamezaliwa nje ya ndoa hususan katika urithi wa mali Kwa mfano ugawanaji wa mali ya marehemu upo katika makundi matatu (1) Mtoto wa kwanza wa kiume (2) Watoto wengine wa kiume waliobaki na (3) Watoto wa kike bila kujali umri

14

na hali katika familia Watoto wa kike wa marehemu hurithi fungu dogo na hunyimwa haki ya kumiliki ardhi Kwa mujibu wa sheria hii mjane hana haki ya kurithi mali yoyote kutoka kwa marehemu mume wake isipokuwa huchukuliwa kuwa atatunzwa na watoto wake Mjane ambaye hajabahatika kuzaa hupata asilimia 20 ya asilimia 50 ya mali za marehemu mume wake Mbali na urithi sheria hii kwa upande wa talaka ikiwa mke alilipiwa mahari wakati ndoa inapovunjwa na mahakama mume ana haki ya kudai kurudishiwa mahari

Sheria zenye kupunguza makali ya UWAKI zimeweka kanuni za kuwezesha wadau katika sekta mbalimbali kuandaa sera na miongozo ya kuzuia na kupambana na UWAKI Wahusika muhimu katika sekta mbalimbali wanapaswa kupitia sheria zinazotoa mwanya wa mwendelezo wa UWAKI na kupendekeza marekebisho au utungwaji wa sheria nyingine zitakazopunguza na kumaliza vitendo vya UWAKI Hata hivyo kuna umuhimu wa kuwepo kwa wajibu na majukumu ya sekta mbalimbali katika kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kupambana dhidi ya unyanyasaji na ukatili kwa watoto Kwa kutambua na kuimarisha wajibu huo katika kila sekta itasaidia uzingatiaji wa sera na kuimarisha ari ya utendaji katika sekta zifuatazo

bull Ustawi wa Jamii Kujenga mfumo wa kufanya tathmini ya vihatarishi katika kupima mfumo wa rufaa unaohusisha sekta na huduma mbalimbali kuweza kuamua na kuchukua hatua za haraka na za muda mrefu katika kupambana na kutoa mahitaji ya haraka na ya muda mrefu kwa ajili ya ulinzi wa watoto na waathirika wengine

bull Elimu Kujumuisha elimu dhidi ya ukatili wa kijinsia katika mitaala ya elimu ikiwa ni pamoja na kuandaa mazingira salama shuleni na kuingiza katika programu za elimu zinazoelezea juu ya masuala ya kujifahamu kimwili (kibiolojia) afya ya uzazi na maendeleo yaa jamii Kuhakikisha kwamba sekta mbalimbali za rufaa na mifumo inayotoa ulinzi wa mtoto vinahusishwa katika elimu hiyo

bull Polisi na sheria Kuimarisha na kupanua ulinzi sahihi wa kisheria kwa ajili ya watoto na kuchukua hatua za kisheria kwa watuhumiwa wa uhalifu kuendeleza juhudi za kuimarisha dawati la jinsia na watoto katika idara ya Polisi nchini Kuendelea kuelimisha polisi na watumishi wengine

15

wa usalama wa raia kuhusu ukatili dhidi ya watoto na kuwa na utaratibu wa uchunguzi wa pamoja na idara ya ustawi wa jamii afya mamlaka na vitengo vingine vinavyohusika na ulinzi na usalama wa mtoto

bull Afya Kufanya kazi katika muundo wa pamoja na wadau wengine kwa kufuata miongozo iliyopo kwa ajili ya kuzuia kutibu kuhudumia na kufuatilia matukio ya ukatili dhidi ya watoto Kuimarisha mifumo iliyo wazi yenye kuunganisha huduma rafi ki kwa watoto na vijana dhidi ya UWAKI

[c] Polisi na Mahakama Mabadiliko katika idara ya polisi hasa katika uanzishwaji wa polisi jamii na dawati la jinsia na watoto yanaonyesha maendeleo katika kushughulikia UWAKI Hata hivyo waathirika wa UWAKI wanakabiliwa na ugumu wa kufika katika vituo vya polisi na mfumo wa utoaji haki Kwa mfano zipo kesi zilizotupiliwa mbali na Mahakama kwa kukosa ushahidi muhimu kutoka upande wa mashtaka Matokeo yake ni kwamba waathirika wanakosa motisha ya kutoa taarifa ya matukio ya UWAKI na hivyo hushindwa kufikisha malalamiko katika vyombo vya utoaji haki

Upungufu wa mafunzo kwa polisi na watoa huduma za kisheria juu ya namna ya kuzitumia sheria zilizopo dhidi ya UWAKI kumesababisha kesi mahakamani kushindwa Mfano Fomu ya Polisi namba 3 (PF3) inatoa taarifa juu ya tukio la shambulio na haitoi maelezo juu ya tukio hilo kama limetokana na UWAKI Ingawa zipo sheria zinazopinga UWAKI sheria hizo hazifahamiki hivyo hazitumiki kikamilifu Pamoja na hayo sheria za kimila na imani za kidini zinazuia waathirika kutoa taarifa za matukio ya UWAKI

Sheria ya Makosa ya Kujamiiana na Vipengele Maalumu (1998) inatoa adhabu kali kwa makosa ya kujamiiana Mara nyingi watuhumiwa hawafikishwi mahakamani kwa kuhofia kudhurika kwa familia zao kwa upande wa kukosa kipato kutoka kwa mtuhumiwa (kwani adhabu za makosa hayo huwa ni kifungo cha muda mrefu) Kwa sababu hizo utoaji wa taarifa kutoka kwa waathirika na familia zao ikiwa ni pamoja na matumizi ya sheria na uendeshaji wa mashtaka umeendelea kuwa changamoto pamoja na kuwepo kwa Sheria ya Makosa ya Kujamiiana inayotoa ulinzi dhidi ya UWAKI

16

bull

bull

bull

bull

bull

[d] Mila na Desturi Katika ngazi ya jamii na mtu binafsi zipo sababu mbalimbali zinazochangia kwa kiwango kikubwa matukio ya UWAKI Utafiti uliofanywa na mtaalamu wa Shirika la Afya Duniani (WHO)7 unaainisha vipengele hatarishi vifuatavyo juu ya mila na desturi

Kanuni za kimila katika uhusiano wa kijinsia humpa mwanamume madaraka na haki zaidi Baadhi ya mila na desturi huhimiza uvumilivu juu ya vitendo vya UWAKI na kuwazuia waathirika kutoa taarifa na kupata msaada Uwezeshaji wa mwanamke katika kupambana na mfumodume hujenga hisia kwa mwanamume kuwa anapoteza mamlaka yake na hivyo huwaudhi baadhi ya wanaume na kuendelea kufanya ukatili kwa lengo la kuwadhibiti wanawake Matumizi ya baadhi ya sheria za kimila hayawasaidii waathirika kupata haki Hofu ya kulipiza kisasi unyanyapaa ubaguzi na kukosekana kwa huduma huwazuia waathirika kutoa taarifa na kupata msaada

[e] Madaraka na Mamlaka Madaraka na mamlaka ni muhimu katika kuzuia na kupambana na UWAKI Wakati mwingine watu wenye madaraka na mamlaka hufumbia macho matukio ya UWAKI Kwa mfano upo ushahidi wa kutosha kuwa kuna matumizi mabaya ya madaraka na mamlaka shuleni na maeneo ya kazi

[f ] Kuhusisha Jamii Jamii ndiyo ngazi ya awali kujua tukio la UWAKI na kutoa msaada wa usalama na ulinzi kwa mwathirika Utafiti wa Shirika la Afya Duniani katika nchi mbalimbali ulionyesha kwamba asilimia 37 ya waathirika walipata msaada kutoka kwa jamii Kutokana na kiwango cha unyanyapaa ubaguzi na kutengwa kijamii viongozi katika ngazi ya jamii waliohamasishwa juu ya UWAKI waliweza kukabili mazingira haya ya kiuhasama Jamii inaweza kumsaidia mwathirika kwa kujenga mazingira mazuri (kwa mfano kituo cha hifadhi salama) Jamii inahusishwa katika

7 Krug Etienne et al 2002 World Report on Violence and Health Geneva WHO Available at httpwwwwhointviolence_injury_preventionviolenceworld_report

17

bull

bull

bull

bull

kuwahamasisha waathirika kuwapa ulinzi mahitaji ya msingi msaada wa kisaikolojia na kuwapa rufaa kwa watoa huduma wengine Vilevile jamii inahusishwa katika kuzuia UWAKI kupunguza unyanyapaa na kuwapa unasihi waathirika pamoja na kuhamasisha viongozi wa kijamii na wanajamii kwa ujumla

Uhamasishaji huu ni muhimu kwa sababu jamii ni daraja kati ya mwathirika na huduma za afya na ustawi wa jamii

Jamii inapaswa kushirikishwa katika hatua za mwanzo na zinazofuata katika kuzuia UWAKI Katika hatua za mwanzo jamii inapaswa kujitahidi kuondoa tabia za kuvumilia matukio ya UWAKI na hivyo kupunguza matukio hayo Katika hatua zinazofuata jamii itatambua na kulinda wale walio katika hatari zaidi ya UWAKI kama watoto na wanawake Jamii pia inapaswa kutambua vikwazo vya utoaji huduma katika idara ya afya polisi na mfumo wa utoaji haki na kuisaidia jamii kuondokana na vikwazo vya upatikanaji wa huduma

Ni muhimu kuishirikisha jamii katika jitihada za utekelezaji wa kuzuia UWAKI na kupambana nao ikiwamo usimamizi wa matibabu ya waathirika Jamii ina uwezo mkubwa wa kuhamasisha waathirika kutafuta huduma za afya na huduma nyingine zinazohusiana na UWAKI kwa mfano huduma za polisi usaidizi wa kisheria na hifadhi salama Pia jamii ina wajibu wa kuwaunganisha waathirika na jamii zao

Hata hivyo zipo changamoto katika kuihusisha jamii kama vile

Upungufu katika kuwahusisha wanaume na wavulana katika kushughulikia UWAKI Wanajamii wamekuwa wakiwanyanyapaa badala ya kuwasaidia waathirika na wakati mwingine wameshiriki katika UWAKI Baadhi ya viongozi wa kijamii na kidini hawana utayari wa kuhamasisha kuzuia na kupambana na UWAKI Jamii zina kiwango kikubwa cha kunyamazia matendo ya UWAKI na kuzuia sheria kuchukua mkondo wake

18

[g] Hali ya kiuchumi na kijamii Kushughulikia UWAKI pekee kama changamoto inayohusu huduma za tiba ni kutibu dalili badala ya chanzo Ni muhimu kushughulikia vyanzo vya UWAKI kama umaskini miongoni mwa wanawake ambao huwafanya kuwa wategemezi

Serikali imetayarisha MKUKUTA II wenye kuainisha njia za kuendeleza na kulinda haki za binadamu kwa watu wote hasa kwa wanawake na wanaume maskini watoto watu wanaoishi katika hali hatarishi na makundi maalumu (angalia MKUKUTA II-kundi la III lengo la 3) na kuongeza uzalishaji na fursa za ajira zenye kuheshimika hasa kwa wanawake na vijana (angalia MKUKUTA II kundi la I lengo la 3) Changamoto iliyopo ni ukosefu wa kuweka vipaumbele katika utekelezaji wa ahadi hizi kwa wanawake na vijana kwa kuelekeza rasilimali za kutosha na kutekeleza mikakati katika kuleta mabadiliko ya hali ya kijamii na kiuchumi kwa wanawake na vijana hivyo kupunguza hali hatarishi ya UWAKI

28 Upungufu katika kupambana na UWAKI

Sekta ya afya imeandaa mwongozo wa kutoa huduma kwa waathirika wa UWAKI Hata hivyo ili kutoa huduma bora na za kirafi ki kwa waathirika sekta zinazohusika hazina budi kushughulikia upungufu ulioainishwa kama ifuatavyo

[a] Huduma za afya

Ukosefu wa mwongozo wa utoaji wa huduma kwa waathirika wa UWAKI Hakuna mwongozo wa utoaji wa huduma za kupambana na UWAKI kwa watoa huduma wa ngazi zote kuanzia nyumbani kwenye jamii zahanati vituo vya afya hospitali polisi mahakama na wadau mbalimbali Upungufu huu unakwamisha upatikanaji na utoaji wa huduma bora za kukinga na kupambana na UWAKI

Upungufu wa fedha Bajeti ya Serikali kuu na serikali za mitaa haikidhi mahitaji

19

Upungufu wa wataalamu wenye ujuzi wa kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Watoa huduma kwenye vituo vya kutolea huduma za afya na jamii hawana maarifa na ujuzi unaotakiwa kushughulikia mahitaji ya waathirika wa UWAKI wa marika yote

Kutojumuishwa kwa huduma za waathirika wa UWAKI na huduma nyingine Huduma za waathirika wa UWAKI hazikujumuishwa na huduma nyingine za afya na ustawi wa jamii kama vile afya ya uzazi upimaji wa VVU UKIMWI uzazi wa mpango na unasihi

Mfumo duni wa rufaa kwa waliopatwa na UWAKI Ingawa mfumo wa rufaa wa huduma za afya umeimarika kwa huduma nyingine lakini hakuna mfumo sahihi wa rufaa kwa waliopatwa na UWAKI Watoa huduma za afya hawana taarifa sahihi za waliopatwa na UWAKI kuhusu utaratibu wa kupeleka na kupokea wagonjwa kwenye vituo vyao na kwenda kwenye vituo vingine au huduma za mfumo wa jamii polisi kisheria na kadhalika Katika mazingira haya mahitaji ya rufaa kwa waliopatwa na UWAKI hayakidhiwi Waliopatwa na UWAKI hawana taarifa ambazo zitawasaidia kupata huduma na hivyo hushindwa kufanya uamuzi sahihi au kutafuta huduma na matibabu zaidi

Upungufu wa taarifa na takwimu Nchini Tanzania matukio yanayohusu UWAKI hayatolewi taarifa ipasavyo kutokana na sababu nyingi zikiwemo waathirika kusita kutoa ripoti ya matukio kutokana na unyanyapaa na ubaguzi hofu ya kutengwa na jamii aibu na miiko inayohusishwa na UWAKI Matokeo yake ni ukosefu wa taarifa zenye uhakika ambazo zinaweza kutumika kuandaa mpango kwa misingi ya utafi ti utaratibu wa utoaji huduma maendeleo ya kisera na utetezi ufuatiliaji na tathmini na uamuzi wa kiutawala

[b] Huduma za Ustawi wa Jamii Utoaji wa huduma za ustawi wa jamii unakabiliwa na ushirikiano mdogo kati ya watendaji wa sekta mbalimbali wa huduma za afya katika halmashauri Kuna upungufu wa watoa huduma za ustawi wa jamii katika ngazi mbalimbali Hali hii inaathiri wigo wa huduma ya msaada wa kisaikolojia unasihi marekebisho ya tabia na utengamao

20

bull

bull

bull

bull

bull

Kikwazo kingine ni watoa huduma za ustawi wa jamii na wadau wa afya kukosa stadi maalumu za kutosha kuhusu kuzuia na kupambana na UWAKI

Wajibu wa watoa huduma za ustawi wa jamii ni muhimu kwa sababu wanafanya kazi katika ngazi ya jamii ambapo matukio mengi ya UWAKI hutokea Wana majukumu makubwa kama watu wa mstari wa mbele kwenye kuzuia na kupambana na UWAKI Uhusiano kati ya jamii na utoaji wa huduma ndio kipimo cha kiwango cha waathirika wa UWAKI kupata huduma za matibabu na kurejea kwenye jamii ili kuendelea kuishi maisha yenye faraja

[c] Huduma za Jamii Baadhi ya upungufu wa uhusiano kati ya jamii na vituo vya kutoa huduma za afya ni pamoja na

Uelewa duni kuhusu masuala ya UWAKI na uwezeshaji wa jamii katika kuzuia na kupambana na UWAKI Uelewa duni wa mahali pa kupata huduma kwa waliopatwa na UWAKI Upungufu wa huduma za kijamii kwa waathirika ikiwa ni pamoja na mifumo ya kijamii ya kutoa ulinzi na usalama (kwa mfano vituo vya hifadhi ya muda) na huduma za rufaa za kiafya polisi na msaada wa kisheria

[d] Huduma za Msaada wa Kisheria (Polisi na Mahakama) Kuna vikwazo vingi katika kupata msaada wa kisheria ambavyo ni pamoja na

Upungufu wa kupata huduma za polisi na msaada wa kisheria kwa waathirika wa UWAKI

bull Kutokuwepo kwa sheria mahususi dhidi ya UWAKI bull yasiyotosheleza UWAKI kwa vyombo Mafunzo kuhusu

vinavyosimamia sheria bull Kuna sheria zinazokinzana na hivyo kutoa mwanya wa tatizo la

UWAKI kuongezeka Upungufu wa watumishi na fedha kwa ajili ya huduma za polisi na msaada wa kisheria

21

bull

bull

Uhaba wa vituo vya msaada wa kisheria Vituo vingi vinavyotoa msaada wa kisheria kwa sasa vinahudumiwa na asasi zisizo za kiserikali zina bajeti ndogo na zipo zaidi mijini

[e] Huduma ya Elimu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imeingiza UWAKI katika mtaala wa mafunzo ya walimu shule za msingi na sekondari Hata hivyo kuna changamoto nyingi katika kuhusisha shule ili kuzuia na kupambana na UWAKI

bull Walimu hawajapata mafunzo ya kutosha kuhusu UWAKI Uhaba wa maeneo salama na programu za shuleni zinazowapa watoto uwezo wa kuzuia na kupambana na UWAKI na ukatili dhidi ya watoto

bull mfumo unaohusuUhusiano duni kati ya mfumo wa elimu na ulinzi na usalama wa mtoto

22

SEHEMU YA TATU

UMUHIMU NA MALENGO 31 Umuhimu

Utafiti uliofanyika nchini Tanzania umeonyesha viwango vya juu vya UWAKI ambavyo ni kati ya asilimia 30 hadi 50 Viwango hivi havikubaliki na vinasababisha madhara ya kimwili kingono kisaikolojia kwa makundi ya umri wowote hasa watoto na wanawake Matokeo ya UWAKI yanaweza kusababisha vifo kutokana na kujiua maambukizo ya virusi vya UKIMWI au magonjwa na vifo vya wanawake vinavyotokana na uzazi Matokeo mengine ingawa hayasababishi vifo yana madhara ya kimwili kingono na kisaikolojia kwa muda mfupi au mrefu Madhara ya UWAKI ni zaidi ya matokeo ya kiafya na majeraha ambayo ni vigumu kupona UWAKI unakiuka haki za binadamu za waathirika na husababisha matokeo hasi katika amani umoja na kipato cha familia ambayo kwa ujumla huleta madhara kwa maendeleo ya kijamii na kiuchumi

Ingawa Serikali ya Tanzania na asasi za kiraia zimefanya jitihada kubwa za kuzuia na kupambana na UWAKI bado tatizo hili ni changamoto kubwa WAUJ itashughulikia changamoto hizi kwa kushirikiana na wadau wengine hali inayohitaji ushirikiano wa karibu ili kushinda vikwazo vilivyopo ambavyo ni pamoja na upungufu wa fedha na watumishi udhaifu kwenye mfumo wa rufaa na mfumo wa kuunganisha huduma za UWAKI katika huduma zilizopo Changamoto nyingine ni uhaba wa utetezi na takwimu kwa ajili ya uandaaji wa mipango yenye misingi ya utafiti kufanya uamuzi ufuatiliaji na tathmini Hata hivyo serikali imeweka misingi imara kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kama inavyodhihirishwa kwa kuwepo kwa sera mikakati na mipango kazi ya kusaidia masuala ya kijinsia na kupunguza UWAKI

Kutokana na ukubwa wa tatizo hili madhara yake na changamoto zinazohusiana na UWAKI WAUJ imetayarisha Mwongozo huu wa kisera chini ya Sera ya Afya ili kuimarisha juhudi za kupambana na UWAKI na kuhakikisha utoaji wa huduma za kina na zenye ubora katika ngazi zote Mwongozo huu wa kisera utatoa mwelekeo kwa vituo vya huduma za afya kwa ngazi zote kuhusu wajibu na majukumu yao katika utoaji

23

wa huduma za UWAKI Pamoja na haya Mwongozo huu utawezesha utayarishaji wa mwongozo wa matibabu kwa waathirika wa UWAKI Kutokana na uzito wa tatizo hili la UWAKI utayarishaji wa Mwongozo huu ulihusisha na kushirikisha kwa kina wadau mbalimbali ndani na nje ya WAUJ

32 Lengo Kuu

Lengo kuu la Mwongozo huu wa kisera ni kuimarisha uwezo wa WAUJ kuelekeza sekta ya afya na ustawi wa jamii na kujenga uhusiano imara na jamii na wadau mbalimbali katika kuzuia na kupambana na UWAKI

33 Malengo Mahasusi

Mwongozo huu utawezesha yafuatayo

[i] Kuweka mfumo wa kuelekeza utayarishaji wa mwongozo wa matibabu na taratibu za kutoa huduma kwa waathirika wa UWAKI

[ii] Kuelekeza WAUJ namna ya uratibu bora wa utekelezaji wa juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kuelekeza namna ya kuweka mifumo thabiti ya ufuatiliaji tathmini na uwekaji wa kumbukumbu za afua za UWAKI chini ya WAUJ

[iv] Kuelekeza ushirikiano kati ya Wizara jamii na wadau kutoka sekta mbalimbali katika utoaji wa huduma za UWAKI

24

bull

SEHEMU YA NNE

MAELEKEZO YA KISERA

Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii watafanya kazi pamoja na wale wa sekta nyingine hasa kwenye ngazi ya jamii katika kuimarisha ushirikiano na mitandao mingine katika jamii ili kuwasaidia waliopatwa na UWAKI kwa karibu na kuwashirikisha katika kuboresha afya zao na kuzuia UWAKI

WAUJ kwa kushirikiana na wadau wengine imetayarisha Mwongozo huu wa kisera wa UWAKI ili kutoa taarifa malengo na maelekezo kuhusu jitihada za kuzuia kuepusha na kushughulikia madhara ya UWAKI katika sekta ya afya Wadau muhimu ni pamoja na viongozi wa jamii polisi na mahakama Yeyote kati ya wadau hawa anaweza kuwa ni kimbilio la kwanza kwa wahanga wa UWAKI Wote wana wajibu wa kutoa huduma kwa haraka na kwa ufanisi

41 Huduma kwa Waliopatwa na UWAKI

Watoa huduma za afya wanatakiwa kuwahudumia waliopatwa na UWAKI kwa kujali na kuzingatia maadili ya taaluma zao Wajibu huu ni pamoja na kuhakikisha usalama hali ya usiri heshima utu na kutoa huduma bila ubaguzi Aidha kabla ya kutoa huduma inatakiwa kupata ridhaa ya muhusika au mlezi wa mtoto mwenye umri chini ya miaka 18

Kwa kulenga na kuzingatia mahitaji ya watu waliofanyiwa UWAKI watoa huduma za afya kwenye ngazi zote watazingatia na kuongozwa na kanuni zifuatazo

[a] Haki za Binadamu Maadili na Kujali

bull zilenge kurejesha au Usalama Hatua zote zinazochukuliwa kudumisha usalama wao Hali ya Usiri Siri zao pamoja na familia zao zinatakiwa kutunzwa wakati wote Hii ina maana kwamba mtoa huduma ya afya anaweza kutoa taarifa muhimu kwa mtoa huduma mwingine pale ambapo muhusika ameridhia tu

25

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

Heshima na utu Watoa huduma wanatakiwa kuwasikiliza kwa makini maoni mawazo na fikira zao na kuwahudumia kwa heshima Bila ubaguzi Waliopatwa na UWAKI wote ni sawa na wanatakiwa kuhudumiwa kulingana na mahitaji yao pia kupewa nafasi sawa katika kupata huduma Ridhaa arifu Ridhaa ya aliyefanyiwa UWAKI itahitajika kwenye taratibu za utoaji huduma maalumu kama (1) Uchunguzi na tiba (2) Uchunguzi tiba pamoja na ushahidi wa kitaaluma (3) Uchunguzi tiba ushahidi wa kitaaluma pamoja na uchunguzi wa polisi na kisheria

Kanuni zinazohusu watoto bull Kuzingatia na kusimamia mahitaji halisi ya mtoto wakati wote bull Kumpa mtoto faraja bull Kumshirikisha mtoto katika kufanya uamuzi bull Kumshughulikia kila mtoto kwa haki na usawa

Kumsaidia na kumlea mtoto ili akue katika hali ya ujasiri na kujiamini

[b] Haki za Aliyepatwa na UWAKI Watoa huduma wote wanatakiwa kuwa na mtazamo unaozingatia mahitaji ya mtu aliyepatwa na UWAKI na kuheshimu haki zake ambazo ni

bull Kuhudumiwa kwa heshima bila unyanyapaa ubaguzi na kutokuwa na mtazamo wa kumlaumu Kupewa taarifa sahihi na zinazoeleweka ili aweze kutoa ridhaa na siyo kumwambia cha kufanya hali inayoweza kumfanya ajisikie mnyonge

bull Kupewa faragha na hali ya usiri na siyo kumteta au kumwaibisha Kulindwa dhidi ya ubaguzi wa aina yoyote au upendeleo wenye misingi ya kijinsia au sababu nyingine Kupewa nafasi ya kuchagua kuhudumiwa na mtoa huduma mwanamume au mwanamke

bull Kupewa nafasi ya kusindikizwa na ndugu au mlezi wake

26

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

[c] Wajibu wa Mtoa Huduma Mtoa huduma anatarajiwa kuzingatia yafuatayo anapomhudumia mtu aliyepatwa na UWAKI

Kujiweka katika nafasi ya mtu aliyepatwa na UWAKI na kuguswa kuwa mtunza siri kuonyesha upendo na kujali anapomuhudumia Kumpatia taarifa sahihi na kuhakikisha kuwa ridhaa arifu inatolewa kwa huduma inayohitajika Kuzingatia masilahi ya muhusika na kuheshimu matakwa yake wakati wote

bull na kuzuia madhara mengineKuhakikisha ulinzi na usalama wake Kuhifadhi kumbukumbu zake mahali pa usalama na kutunza siri wakati wote

bull huduma kadiriKumpatia rufaa kwenda kwenye ngazi za juu za inavyohitajika kulingana na kiwango cha madhara ya kimwili kihisia na kisaikolojia Aidha inatakiwa kumpatia unasihi kabla ya kumpa rufaa

Kuhusu Watoto bull Kuhakikisha kuwa mzazi au mlezi yupo wakati wote pia

kuhakikisha kwamba mzazi au mlezi siyo tishio kwa mtoto Wakati wote mwandae mtoto kuelewa kinachotarajiwa kutendeka na kuhakikisha anaelewa kitakachotokea Kwa watoto wenye umri chini ya miaka 18 ridhaa ya maandishi inahitajika kutoka kwa mzazi au mlezi

Vigezo vya kupata mchango wa mawazo kutoka kwa Watoto Watoto wa umri wa miaka 16 na zaidi kwa ujumla wana uwezo wa kutosha kufanya uamuzi

bull kuwaWatoto wa umri wa miaka 14 hadi 16 wanatarajiwa wamekomaa vya kutosha kutoa mchango au mawazo yao Watoto wa umri wa miaka 9 hadi 14 wana welewa wa kushiriki kufanya uamuzi lakini ukomavu wa kila mtoto unatakiwa kupimwa kipekee Watoto wa umri chini ya miaka 9 wana haki ya kutoa maoni arifu na kusikilizwa Wanaweza kushiriki katika mchakato wa kufanya uamuzi kwa kiwango fulani lakini hadhari inahitajika ili kuwaepusha na mzigo wa kuwa waamuzi

27

bull lazimaKimsingi inapendekezwa kwamba maoni ya kila mtoto yazingatiwe kulingana na umri wake kiwango cha ukomavu utamaduni mila na hali ya mazingira

[d] Wajibu wa WAUJ katika Ngazi ya Taifa WAUJ inatayarisha sera miongozo na kanuni inadhibiti ubora inafuatilia na kutathmini utekelezaji Vilevile inahakikisha kuna watumishi na fedha za kutosha kwa mipango ya afya pamoja na kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote WAUJ itaendeleza ushirikiano na wadau mbalimbali kitaifa na kimataifa Wizara itafanya yafuatayo katika kuzuia na kupambana na UWAKI

[i] Kuandaa miongozo ya matibabu yenye ubora kwa ajili ya watoto vijana na watu wazima waliopatwa na UWAKI

[ii] Kutafuta na kutenga fedha kwa ajili ya afua za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kuandaa miongozo ya mafunzo yanayohusiana na juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kutoa mafunzo kwa watoa huduma za afya na ustawi wa jamii kuhusu kuzuia na kupambana na UWAKI kwa watoto vijana na watu wazima

[v] Kutoa huduma mseto na rufaa kwa kutumia mfumo uliopo wa utoaji huduma za afya na ustawi wa jamii

[vi] Kuunganisha takwimu zinazohusu UWAKI kwenye Mfumo wa Takwimu na Ufuatiliaji wa Huduma za Afya (MTUHA)

[vii] Kuendeleza utaratibu wa kupeana taarifa na takwimu zinazohusu UWAKI pamoja na kushirikiana na wadau wake wakuu

[viii] Kufanya usimamizi shirikishi ili kuhakikisha kuwa kanuni za haki za binadamu maadili na kujali zinazingatiwa

[e] Wajibu wa Vituo vya Huduma za Afya Vituo vya kutoa huduma za afya vinajumuisha zahanati vituo vya afya na hospitali zinazomilikiwa na sekta ya umma na binafsi Vituo vyote vya kutoa huduma katika ngazi zote vina Kamati ya Uongozi ya Kituo na Timu ya Usimamizi

28

Vituo vya huduma za afya vitafanya yafuatayo [i] Kuhakikisha kwamba Timu za Usimamizi wa Huduma za Afya

zinatenga fedha za kutekeleza mikakati na mipango kazi ya mwaka ili kuviwezesha vituo kutoa huduma bora kwa waliopatwa na UWAKI

[ii] Kuunganisha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI na zile zilizopo kwenye vituo vya huduma za afya na kuhakikisha mpangilio mzuri wa rufaa za ndani na nje ya kituo zinakidhi mahitaji ya watoto vijana na watu wazima kwa usawa na haki

[iii] Kuhakikisha watoa huduma ya afya na ustawi wa jamii wanapatiwa mafunzo ya kutoa huduma toshelezi kwa watoto vijana na watu wazima waliopatwa na UWAKI

[iv] Kuanzisha utaratibu bora wa kukusanya takwimu na taarifa kuhusu huduma kwa waliopatwa na UWAKI na kutunza kumbukumbu kwa usahihi na kutoa taarifa kwa ajili ya matumizi ya kituo na wadau

[v] Kufanya kazi kwa ushirikiano wa karibu na kamati ya afya ya kituo polisi mahakama na taasisi za elimu ili kukuza ushirikiano kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye jamii

[f ] Wajibu wa Watoa Huduma za Afya Watoa huduma za afya ni pamoja na watunza kumbukumbu za afya tabibu (tabibu msaidizi ofisa tabibu madaktari wasaidizi madaktari na madaktari bingwa) wauguzi wakunga maofisa wauguzi wasaidizi maofisa wauuguzi) wafanyakazi wa maabara wafamasia na maofi sa ustawi wa jamii Watoa huduma hawa wanatakiwa kuzingatia yafuatayo

[i] Kuelewa kikamilifu na kuzingatia kanuni za miongozo ya haki za binadamu maadili ya taaluma na kuonyesha upendo na kujali wakati wa kumhudumia aliyepatwa na UWAKI

[ii] Kuhakikisha upatikanaji wa mahitaji muhimu na utoaji wa huduma toshelezi na zenye ubora kwa waliopatwa na UWAKI katika kituo cha kutoa huduma za afya na kwenye jamii

[iii] Kuwatambua waliopatwa na UWAKI kati ya wagonjwa wa nje katika kituo na kuhakikisha wanapata matibabu na rufaa kwa haraka

29

[iv] Kuhakikisha utoaji wa huduma toshelezi kwa waliopatwa na UWAKI (watu wazima vijana na watoto) Huduma hizi ni pamoja na huduma ya matibabu kutunza ushahidi unasihi na rufaa ndani ya mfumo wa afya na pia rufaa kwenda kwenye sekta nyingine

[v] Kuhakikisha vielelezo vya upelelezi vinakusanywa na kuhifadhiwa ipasavyo ili kutunza ushahidi

[vi] Kuchukua takwimu na taarifa kamili kuhusu aliyepatwa na UWAKI na kuhakikisha zimehifadhiwa kwa siri na usalama

[vii] Kujenga ushirikiano na jamii pamoja na wadau wengine

42 Wajibu wa Jamii

Wadau muhimu katika jamii ni Kamati ya Huduma za Jamii Kamati ya Ulinzi na Usalama Kamati ya Zahanati Mashirika ya Dini Kamati ya Kijiji ya Afya wahudumu wa afya katika jamii wakunga wa tiba asili waganga wa tiba asili na mbadala viongozi wa jamii vikundi vya wanawake na wakuu wa kaya

Jamii itafanya yafuatayo kwa waliopatwa na UWAKI [i] Kupanga na kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya kuzuia

na kutoa huduma bora kulingana na mpango wa mwaka wa zahanati

[ii] Kuhakikisha upatikanaji wa huduma toshelezi pamoja na usalama wao kupatiwa mahitaji ya msingi msaada wa kisaikolojia kupewa rufaa kwenda polisi vyombo vya sheria na watoa huduma wengine Vilevile wanajamii wana wajibu wa kutoa ushahidi mahakamani na kuwasaidia wahusika kuunganishwa na familia zao na jamii

[iii] Kuhakikisha kuwepo kwa vituo vya hifadhi ya muda vya kutosha kwenye jamii

[iv] Kujenga welewa na kuiwezesha jamii kuzuia na kupambana na UWAKI kwa kutetea misingi ya haki za binadamu usawa wa kijinsia haki za vijana na watoto na kutovumilia UWAKI

43 Msaada wa Kisheria kwa waliopatwa na UWAKI Watoa huduma wa afya na ustawi wa jamii baada ya kupata ridhaa kutoka kwa muhusika watampa rufaa ya kwenda sekta nyingine muhimu na kwa wadau mbalimbali kama vile polisi vituo vya msaada wa kisheria kwa ajili ya kupata huduma maalum Watoa huduma wanawajibika

30

kutoa taarifa za kutosha kuhusu masharti ya kisheria ya kutoa taarifa ya matukio ya UWAKI na kwa wakati unaofaa

Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wanawajibika kutoa ushauri kwa waliopatwa na UWAKI (watoto vijana na watu wazima) kuhusu taratibu za mahakama msaada wa ulinzi msaada wa kisheria na taratibu za polisi kama ifuatavyo

[a] Ushahidi wa Kimahakama Huduma kwa muhusika zitalenga mahitaji yake kuheshimu haki yake ya hali ya usiri kupewa taarifa za kutosha zenye kueleweka na sahihi hivyo kuhakikisha anatoa ridhaa arifu kwa hatua na zitakazofuata

[i] WAUJ itahakikisha kupatikana na kuzingatiwa kwa viwango vilivyowekwa kwa ngazi zote katika kuchukua historia kamili ya muhusika kupima na kufanya uchunguzi kuchukua vielelezo vya ushahidi kujaza fomu zinazokubalika kisheria kwa kuweka kumbukumbu ambazo ni halali kama ushahidi mahakamani

[ii] Timu ya Afya ya Usimamizi ya Kituo cha Huduma za Afya baada ya kupata ridhaa ya aliyepatwa na UWAKI itapanga kutenga na kutoa rasilimali za kutosha kuhakikisha nyaraka sahihi zimetayarishwa na kuhifadhiwa na vielelezo vya ushahidi wa mahakama vimepelekwa kwenda maabara ya serikali na kufuatilia majibu

[iii] Watoa huduma wa ngazi zote watahakikisha ukusanyaji sahihi wa vielelezo vya ushahidi na kujaza fomu zinazohusika pamoja na kujaza kwa ukamilifu Fomu ya Polisi Namba Tatu (PF3) na kuthibitisha kwamba muhusika ana taarifa na anaelewa utaratibu

[b] Ulinzi na Msaada kwa Waliopatwa na UWAKI Waliopatwa na UWAKI wana haki ya kulindwa dhidi ya mtuhumiwa pamoja na kupewa mahitaji ya msingi (kwa mfano chakula nguo usafi ri nk) kupewa huduma za polisi (mfano kusindikizwa ulinzi) na kupewa msaada wa kisheria

[i] WAUJ itahakikisha kwamba vituo vya huduma za afya na ustawi wa jamii na watoa huduma wa ngazi zote wana taarifa sahihi kuhusu haki za ulinzi na msaada kwa waliopatwa na UWAKI

31

[ii] Timu za Afya za Usimamizi wa vituo vya huduma za afya katika ngazi zote zitapanga kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya ulinzi na msaada kwa waliopatwa na UWAKI Kama Muhusika ni mtoto atasindikizwa na ofi sa ustawi wa jamii pamoja na mzazi au mlezi ikiwa mzazi au mlezi huyo hahusiki na uhalifu

[iii] Watoa huduma wa afya watatoa taarifa kwa muhusika au mzazi mlezi (kama muhusika ni mtoto chini ya miaka 18) kuhusu msaada atakaopata kwenye kituo cha huduma za afya polisi na msaada wa kisheria juu ya haki na ulinzi kwa mujibu wa sheria za Tanzania

[c] Wajibu wa Watoa Huduma za Afya na Ustawi wa Jamii katika Taratibu za Kimahakama

Watoa huduma za afya kwenye ngazi zote wanatakiwa kuhakikisha kwamba waliopatwa na UWAKI wakiwemo watu wazima vijana na watoto pamoja na walezi wao wana taarifa muhimu zinazohusu masuala ya kisheria ambayo yako nje ya huduma za tiba

[i] WAUJ itahakikisha kwamba vituo vya huduma za afya na watoa huduma wanapata ujuzi na wanajua wajibu wao kuhusu namna ya kutoa ushahidi mahakamani ili kuwasaidia wahusika

[ii] Timu za Usimamizi za vituo vya huduma za afya kwenye ngazi zote zitahakikisha kwamba watoa huduma wanaotambulika kisheria na wana welewa sahihi wa uandaaji wa nyaraka muhimu taratibu za kesi mahakamani na viwango vya ushahidi

[iii] Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii kwenye ngazi zote watahakikisha kwamba muhusika anapata taarifa za kutosha kuhusu ratiba na taratibu za upelelezi na umuhimu wa hatua za kisheria

44 Huduma ya Unasihi Kisaikolojia na Kijamii kwa Waliopatwa na UWAKI

Watu waliopatwa na janga la UWAKI watapewa msaada wa unasihi kisaikolojia na kijamii kwa upendo na kujali kuanzia wakati wa tukio hadi watakapojumuika tena kwenye familia na jamii Katika ngazi ya jamii msaada huo utatolewa na Maofisa wa Ustawi wa Jamii Maofi sa hawa watatoa msaada wa kisaikolojia na unasihi wakishirikiana na

32

wadau wengine waliopata mafunzo kutoka asasi za kiraia asasi za kidini na wahudumu wa afya katika jamii

[i] WAUJ itahakikisha utoaji wa msaada wa unasihi kisaikolojia na kijamii kwenye ngazi zote pamoja na kuhakikisha kuwepo kwa ulinzi na usalama (kwa mfano kituo cha hifadhi ya muda)

[ii] Timu za Usimamizi wa Huduma za Afya kwenye ngazi zote zitapanga na kutenga rasiilimali za kutosha pamoja na watoa huduma kwa ajili ya kutoa msaada wa kisaikolojia na kijamii rufaa na kujenga ushirikiano na wadau wengine ili kuwaunganisha wahusika kwenye familia na jamii

[iii] Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii watahakikisha kwamba wanatoa unasihi wa kutosha pamoja na kutoa huduma rafi ki kwa watoto kutoa rufaa za kwenda na kurudi kwenye huduma za tiba vituo vya hifadhi ya muda na kuwezesha kuwaunganisha kwenye familia na jamii

45 Mfumo wa Usimamizi Uratibu na Ushirikiano Utoaji wa huduma bora kwa waliopatwa na UWAKI unahitaji usimamizi na uratibu wa mara kwa mara kwa watoa huduma za afya wa kada mbalimbali katika ngazi zote Vilevile kuratibu shughuli na kutoa rufaa kwenye vituo vya ngazi ya taifa mikoa halmashauri na jamii Pia kunahitajika utaratibu wa kujenga ushirikiano kati ya sekta ya afya na wadau wa sekta nyingine

[a] Usimamizi wa Huduma za Kuzuia na Kupambana na UWAKI [i] Usimamizi wa huduma utakuwa ni sehemu ya mikakati na

mipango ya mwaka kwa vituo vya huduma za afya kwenye ngazi zote

[ii] Wasimamizi katika ngazi zote watafanya usimamizi shirikishi ili kuhakikisha utoaji wa huduma bora

[b] Uratibu wa Huduma za Kuzuia na Kupambana na UWAKI [i] Wasimamizi wa huduma za afya kwenye ngazi zote watabaini na

kuratibu afua na shughuli zinazotakiwa kutekelezwa na wadau mbalimbali kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI

33

[ii] Wasimamizi wa huduma za afya katika ngazi zote watahakikisha kuwa wanapanga utekelezaji wa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[c] Taratibu za Ushirikiano katika Kutoa Huduma za UWAKI Taratibu za ushirikiano zitahusisha ngazi mbalimbali za utoaji wa huduma za afya kulingana na hadhi ya kituo ikihusisha kada mbalimbali za afya katika serikali na sekta binafsi

[i] Wasimamizi wa huduma za afya watabaini na kuanzisha ushirikiano kwa ajili ya kutoa huduma bora na toshelezi kwa waliofanyiwa UWAKI

[ii] Wasimamizi wa huduma za afya watapanga na kutenga rasiilimali za kutosha kwa ajili ya kuendeleza ushirikiano na wadau muhimu pamoja na kujenga mfumo imara wa rufaa wa kupeleka na kuwarejesha wahusika

[iii] WAUJ itatayarisha na kusambaza orodha ya vituo vya rufaa kufuatana na aina ya huduma maalumu zinazotolewa

46 Utetezi na Mawasiliano ya Kubadili Tabia

Utetezi na mawasiliano ya kubadili tabia utakuwa ni sehemu ya mipango na mikakati ya kila mwaka katika ngazi zote Ngazi zote zitahamasisha kutenga na kutoa rasilimali za kutosha kwa ajili ya kutekeleza mipango na mikakati ya kila mwaka Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii watatambua na kuwezesha juhudi za jamii za kuhakikisha ushirikishwaji na kuhamasisha jamii kutumia rasilimali zao ili kupambana na UWAKI Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii wanatakiwa kupanga na kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya elimu ya afya kwa lengo la mawasiliano ya kubadili tabia

[a] Utetezi wa Kuzuia na kupambana na UWAKI kwa kushirikiana na wadau

Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii na kamati zinazohusika katika ngazi zote za WAUJ watafanya yafuatayo

[i] Kupanga mikakati ya kuongeza welewa na upeo kuhusu vyanzo vya UWAKI kubaini namna ya kuzuia na kubuni njia za kupambana na UWAKI

34

[ii] Kutetea na kuhamasisha uchangiaji zaidi wa raslimali kutenga kasma kwenye bajeti katika Mfumo wa Matumizi ya Muda wa Kati na katika Mpango Kabambe wa Afya wa Halmashauri kwa ajili ya kinga na huduma za kupambana na UWAKI

[iii] Kutetea utekelezaji wa sera na sheria zenye kuunga mkono juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kuhusisha vyombo vya habari katika kutekeleza shughuli za utetezi na ushawishi

[b] Ushirikiano wa wadau kwenye mawasiliano ya kubadili tabia dhidi ya UWAKI

Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii na kamati zao kwenye ngazi zote watafanya yafuatayo

[i] Kutambua mahitaji na kupanga mawasiliano ya kubadili tabia kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kwa ufanisi

[ii] Kuhusisha vyombo vya habari katika kupanga kutekeleza na kufuatilia shughuli za mawasiliano ya kubadili tabia

47 Ufuatiliaji na Tathmini ya Huduma za Kuzuia na Kupambana na UWAKI

Ufuatiliaji na tathmini ya huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI ni muhimu katika kupima ubora wa matokeo ya huduma zinazohusiana na UWAKI Ufuatiliaji na tathmini unahitaji kuchagua vigezo vya kupima maendeleo ya huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kukusanya takwimu kuchambua kutafsiri kutayarisha na kuwasilisha ripoti kwa wadau muhimu Ufuatiliaji na Tathmini unasaidia kutambua maeneo yanayohitaji kufanyiwa utafi ti

[i] Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii katika ngazi zote watatumia vigezo vilivyokubalika kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Takwimu za UWAKI zitaoanishwa na kuunganishwa kwenye MTUHA

[iii] Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii kwenye ngazi zote watahakikisha wanakusanya taarifa na takwimu zinazohusiana na UWAKI kwa kutumia fomu maalumu kwa ajili ya kufuatilia na

35

kutathimini usimamizi na kuwasilisha ripoti za utekelezaji kwa wadau kufuatana na utaratibu maalumu wa kushirikiana katika kutoa taarifa

[iv] Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii katika ngazi zote watafanya utafiti ili kuboresha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

36

SEHEMU YA TANO

MUUNDO WA UTENDAJI KATIKA KUZUIA NA KUPAMBANA NA UWAKI

Wajibu wa WAUJ ni kuandaa kusimamia na kuratibu utekelezaji wa Mwongozo huu wa sera pamoja na sheria kanuni na viwango vya huduma dhidi ya UWAKI katika ngazi zote nchini Mfumo wa utendaji kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI unahusisha ngazi tatu taifa mkoa na halmashauri

51 Ngazi ya Taifa

Katika ngazi ya Taifa Mganga Mkuu wa Serikali ndiye mwenye wajibu wa uongozi wa kitaaluma kwenye utekelezaji wa mipango ya kuzuia na kupambana na UWAKI Ofisi ya Mganga Mkuu ina idara nne ambazo ni Idara ya Kinga Idara ya Tiba Idara ya Mafunzo na Idara ya Ubora na viwango vya Huduma Huduma za Ustawi wa Jamii zipo chini ya Kamishna wa Ustawi wa Jamii

Kitengo cha Afya ya Uzazi na Mtoto ambacho kinasimamiwa na Idara ya Kinga ndicho kinachosimamia utekelezaji wa Mwongozo wa sera ya UWAKI Majukumu ya ofisi ya Mganga Mkuu wa Serikali Idara ya Kinga na Sehemu ya Afya ya Uzazi na Mtoto ni kama ifuatavyo

[a] Ofisi ya Mganga Mkuu wa Serikali Ofi si ya Mganga Mkuu wa Serikali inaratibu inasimamia na kuimarisha huduma za uboreshaji wa Afya Kinga Ubora na viwango vya huduma Tiba ya magonjwa na Utengamao Aidha ofisi inasimamia mafunzo upatikanaji wa wataalamu wa afya katika sekta ya Afya na Ustawi wa Jamii

Ofisi ya Mganga Mkuu wa Serikali kwa kushirikiana na Mabaraza na Vyama vya Kitaaluma vilivyo chini ya sekta ya Afya na Ustawi wa Jamii inasimamia maadili ya wataalamu wa afya kwa kupitia Mabaraza yao ya Kitaaluma

37

bull

bull

[I] Idara ya Kinga Idara hii inasimamia sehemu tano Afya ya Uzazi na Mtoto Epidemiolojia na Udhibiti wa Magonjwa Afya na Usafi wa Mazingira Elimu ya Afya na Lishe Kuna programu na miradi mbalimbali chini ya idara baadhi yake zinahusiana kwa ukaribu na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Programu hizi ni pamoja na Mpango wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI Programu ya Kuzuia Maambukizo ya VVU Kutoka kwa Mama Kwenda kwa Mtoto Programu ya Huduma ya Afya Kwenye Jamii Programuya Afya Shuleni Program ya Uzazi Salama Programu ya Afya ya Mtoto Programu ya Afya ya Uzazi kwa Vijana na Programu ya Uzazi wa Mpango

Idara itafanya yafuatayo Kuhakikisha afua za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa kwenye programu na miradi ya idara na sehemu Kuhakikisha kwamba afua za kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na utetezi na mawasiliano ya kubadili tabia zinajumuishwa kwenye miongozo ya elimu ya afya na ustawi wa jamii

Sehemu ya Huduma za Afya ya Uzazi na Mtoto Sehemu ya Huduma ya Afya ya Uzazi na Mtoto ndiyo inayohusika katika kuzuia na kupambana na UWAKI na majukumu yake ni

[i] Kuandaa mwongozo wa huduma za kina kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kutayarisha mitaala ya mafunzo kwa ajili ya wasimamizi na watoa huduma wa ngazi zote

[ii] Kuratibu kufuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI katika ngazi zote

[iii] Kuwasiliana na wizara nyingine na mashirika ya kitaifa na kimataifa yenye kuhusiana na mipango ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kuangalia upya orodha ya vifaa muhimu kwa utoaji wa huduma bora kwa wahanga wa UWAKI kwa ngazi zote za utoaji huduma

[v] Kuongoza kikundi kazi cha wanataaluma cha taifa pamoja na vikundikazi tanzu vya wanataaluma vinavyosaidia mtazamo mpana wa sekta ya afya na nguvu kazi za kusimamia utekelezaji wa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

38

[II] Idara ya Tiba Idara hii inasimamia huduma za Hospitali za Taifa Mikoa Wilaya Vituo vya Afya na Zahanati za umma na binafsi Uchunguzi Kinywa na Meno Magonjwa Yasiyo ya Kuambukiza na Tiba Asili Idara hii inafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha kwamba vituo vya kutoa huduma za afya katika ngazi zote vinatenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya huduma bora za matibabu kwa wahanga wa UWAKI pamoja na msaada wa kisaikolojia kijamii na rufaa

[ii] Kuhakikisha kwamba vituo vya kutoa huduma za afya kwenye ngazi zote vinapewa vifaa muhimu na vya kutosha kwa ajili ya uchunguzi wa afya vipimo vya maabara kubaini ugonjwa ushahidi wa kimahakama matibabu kutunza kumbukumbu kutoa taarifa na rufaa

[iii] Kuhakikisha kuwa watoa huduma za afya wanazingatia viwango vya kitaalamu na maadili na kuonyesha upendo na kuwajali wahanga wa UWAKI

[III] Idara ya Ubora wa huduma Idara hii ina sehemu tano ikijumuisha huduma za Uuguzi Dharura na Maafa Ukaguzi Dawa na Utafiti na Uhusiano wa Kimataifa Idara hii inafanya yafuatayo

[i] Inasimamia huduma za dawa vifaa tiba na vitendanishi [ii] Inasimamia huduma za Uuguzi na Ukunga [iii] Inasimamia na kufanya ukaguzi wa ubora wa huduma za afya

nchini ili kuziboresha [iv] Inasimamia kazi za utafiti na uhusiano wa kimataifa katika sekta ya

afya na ustawi wa jamii na [v] Inaandaa miongozo kanuni na taratibu zinazohusu huduma za

dharura

[IV] Idara ya Mafunzo Idara ya Mafunzo inasimamia Mipango ya Mafunzo ya Watumishi Mafunzo Endelevu kwa Watumishi Mafunzo kwa Wauguzi na Sayansi Shirikishi za Afya

39

Idara itafanya yafuatayo [i] Kutambua mahitaji ya kitaifa ya mafunzo ya afya na mafunzo ya

kuendeleza taaluma ya watumishi wanaohusika na kutoa huduma kwa waliopatwa na UWAKI

[ii] Kutayarisha mpango wa mafunzo ya muda mfupi na mrefu kwa ajili ya watumishi mbalimbali kwenye ngazi zote zinazotoa huduma kwa waliopatwa na UWAKI

[b] Idara ya Ustawi wa Jamii Idara ya Ustawi wa Jamii imegawanyika katika sehemu tano Huduma kwa Familia na Ustawi wa Mtoto katika malezi makuzi na maendeleo ya awali Huduma za marekebisho ya tabia na haki za mtoto kisheria Huduma kwa wazee na watu wenye ulemavu Mafunzo kwa watumishi na Kitengo cha takwimu Idara itafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha idara inatoa huduma rafiki na bora za ustawi wa jamii kwa wahanga wa UWAKI kwenye vituo vyote vya kutoa huduma za afya na ustawi wa jamii na kuvisimamia

[ii] Kuhakikisha idara inatoa mafunzo kwa watoa huduma wote [iii] Kushauri katika kurekebisha au kufutwa kwa sheria zisizosaidia

utoaji wa huduma bora za ustawi wa jamii na kushawishi kutunga sheria mpya

[c] Idara ya Sera na Mipango Idara hii inasimamia sehemu za Bajeti Sera Mipango Taarifa za Afya na Ufuatiliaji na Tathmini Idara itafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa kwenye mipango na bajeti ya Serikali

[ii] Kuhakikisha kuwa viashirio vya huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI vinaingizwa kwenye MTUHA

[d] Ushirikiano na wadau muhimu katika ldquoKutokomeza UWAKIrdquo

[i] WAUJ kupitia Sehemu ya Afya ya Uzazi na Mtoto kwa kushirikiana na wadau wengine watatetea ulinzi wa haki za waliopatwa na UWAKI na kutokomezwa kwa ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake watoto vijana na wanaume

40

[ii] WAUJ kwa kushirikiana na wadau wengine itaandaa mikakati ya kuhakikisha kwamba aina zote za ubaguzi unyonyaji ukandamizaji na unyanyasaji dhidi ya wanawake watoto vijana na wanaume zinatokomezwa

[iii] WAUJ kwa kushirikiana na wadau wengine watapitia sheria sera na kanuni ambazo zinakinzana na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Watatetea haki za jinsia na afya ya uzazi ikiwa ni pamoja na ulinzi wa mama na watoto dhidi ya UWAKI ukatili wa kifamilia na ukatili dhidi ya watoto na kutetea masuala haya yaingizwe kwenye Katiba ya Tanzania

52 Ngazi ya Mkoa

Utekelezaji wa mapambano dhidi ya UWAKI kwenye mikoa utasimamiwa na Timu ya Usimamizi wa Huduma za Afya Mkoa chini ya Katibu Tawala wa Mkoa na Timu ya Usimamizi ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa chini ya Bodi ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa na watafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa kwenye mpango mkakati wa miaka mitano wa mkoa na hospitali na mpango kazi wa kila mwaka

[ii] Kuhakikisha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa na kuendeshwa pamoja na huduma zilizopo kuwe na watoa huduma wa kutosha pamoja na mafunzo kwa wasimamizi na watoa huduma kwenye ngazi ya mkoa

[iii] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya kufuatilia kufanya tathmini usimamizi na kutoa ripoti za utendaji wa juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya mkoa

[iv] Kutoa msaada wa kitaalamu kwa Halmashauri na Timu za Afya za Halmashauri katika kupanga na kutekeleza huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[v] Kuhakikisha bajeti ya kutosha inatengwa kwenye mpango kabambe wa halmashauri wa afya kwa ajili ya kuiwezesha jamii kuzuia na kupambana na UWAKI

[vi] Kufanya utafiti ili kukuza uelewa kuhusu huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

41

53 Halmashauri za Jiji Manispaa na Wilaya

Bodi ya Huduma za Afya ya Halmashauri ni chombo cha halmashauri ya jiji manispaa na wilaya chenye jukumu la kutoa huduma bora za afya ustawi wa jamii pamoja na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI katika maeneo yao Mipango ya utekelezaji wa huduma za afya kwenye jiji manispaa na wilaya unasimamiwa na Timu ya Usimamizi wa Afya ya Halmashauri Hospitali ya kwanza ya rufaa katika Halmashauri ni Hospitali ya Wilaya au Hospitali Teule ya wilaya

Hospitali Teule ya Wilaya huendeshwa na Timu ya Usimamizi ya Hospitali na husimamiwa na Bodi ya Hospitali Vituo vya kutoa huduma za afya vina kamati za afya na huendeshwa na kamati za usimamizi wa kituo

(a) Ngazi ya Halmashauri Timu ya Halmashauri ya Usimamizi wa Afya itafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha kwamba mipango ya kila mwaka inatengewa fedha za kutosha kwa utekelezaji wa huduma bora za kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaunganishwa na huduma zilizopo kwenye ngazi zote

[iii] Kuhakikisha kwamba kunakuwa na watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wa kutosha na kuendelea kutoa mafunzo kwa watoa huduma wa kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kutetea kuhamasisha na kutenga fedha za kutosha kwa ajili ya kuiwezesha jamii kushiriki kwenye programu ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[v] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya ufuatiliaji tathmini usimamizi shirikishi na kuandaa taarifa za utekelezaji wa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[b] Ngazi ya Kata Kamati ya Afya ya Kata Kamati ya Afya ya Kituo cha Afya na Timu ya Usimamizi wa Kituo cha Afya zitasimamia utoaji wa huduma bora za afya katika kata pamoja na vijiji

42

Kamati na timu zitafanya yafuatayo [i] Kuhakikisha kwamba kila mwaka wanapanga na kutenga rasilimali

za kutosha kwa utekelezaji wa huduma kwa waliopatwa na UWAKI na afua za kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinajumuishwa na huduma zilizopo kwenye kituo cha afya na zahanati

[iii] Kuhakikisha kwamba kuna watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wa kutosha na kuendelea kutoa mafunzo kwa watoa huduma wanaohusika na kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye vituo vya afya na zahanati

[iv] Kutetea kuhamasisha na kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya kuiwezesha jamii kushiriki kwenye kuzuia na kupambana na UWAKI katika Mpango wa Afya wa Kata

[v] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya kufanya ufuatiliaji tathmini na kuandaa taarifa za utekelezaji wa kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kuziwasilisha kwa matumizi katika ngazi zote

[c] Ngazi ya Kijiji Kamati ya Zahanati na Timu ya Usimamizi wa Zahanati zina wajibu wa kutoa huduma za afya kwa wakazi wa eneo la kijiji au vijiji vyao

Kamati na timu zitafanya yafuatayo [i] Kuhakikisha kwamba kila mwaka wanapanga na kutenga raslimali

za kutosha kwa utekelezaji wa huduma kwa waliopatwa na UWAKI na afua za kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinajumuishwa na huduma zilizopo kwenye zahanati

[iii] Kuhakikisha kwamba kuna watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wa kutosha na kuendelea kutoa mafunzo kwa watoa huduma wanaohusika na kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye zahanati

[iv] Kutetea kuhamasisha na kutenga raslimali za kutosha kwa ajili ya kuiwezesha jamii kushiriki kwenye kuzuia na kupambana na UWAKI katika Mpango wa Afya wa Kijiji

43

[v] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya kufanya ufuatiliaji tathmini na kuandaa taarifa za utekelezaji wa kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kuziwasilisha kwa matumizi katika ngazi ya Kata na Wilaya

(d) Ngazi ya Kaya Kila mtu kwenye kaya atahusika katika kuzuia na kupambana na UWAKI na kutoa taarifa ya matukio ya UWAKI kwa mamlaka zinazohusika Pia kila mtu awajibike kwenye kubadili mtazamo na kuepuka mazoea na tabia zinazopelekea UWAKI

44

SEHEMU YA SITA

UFUATILIAJI TATHMINI NA UTAFITI

Ufuatiliaji na tathmini ya afua za kuzuia na kupambana na UWAKI utatekelezwa kwenye ngazi ya taifa mkoa halmashauri na vituo vya huduma za afya Viashirio ambavyo vimependekezwa kwenye ngazi hizi vimeonyeshwa kwenye Kiambatisho

61 Ngazi ya Taifa

Sehemu ya Afya ya Uzazi na Mtoto itaratibu itafuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote nchini

Sehemu hii itafanya yafuatayo [i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu zinazohusu

afua za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka Timu ya Usimamizi wa Afya ya Mkoa na kuzitumia katika kupanga na kuboresha mipango ya kuzuia na kupambana na UWAKI kwa kushirikiana na wadau

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma wa kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti [iv] Kuweka tathmini na ufuatiliaji wa huduma za kuzuia na kupambana

na UWAKI kwenye orodhahakiki ya usimamizi ya WAUJ

62 Ngazi ya Mkoa

Timu ya Usimamizi wa Afya ya Mkoa itakuwa na jukumu la kuratibu kufuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote za mkoa na itafanya yafuatayo

[i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu kuhusu afua za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka hospitali ya rufaa ya mkoa na Timu za Usimamizi wa Afya za Halmashauri kwa ajili ya matumizi yao na kuwasilisha ngazi ya Taifa

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma katika kuzuia na kupambana na UWAKI

45

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti

63 Ngazi ya Wilaya

Timu ya Usimamizi wa Afya ya Halmashauri itakuwa na jukumu la kuratibu kufuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote za wilaya na itafanya yafuatayo

[i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu kuhusu afua za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka hospitali ya wilaya na vituo vya kutolea huduma za afya na Timu za Usimamizi wa Afya za Halmashauri kwa ajili ya matumizi yao na kuwasilisha ngazi ya mkoa

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma katika kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti

64 Ngazi ya Kituo cha kutolea huduma

Timu ya Usimamizi wa Kituo cha Kutolea Huduma za Afya itaratibu itafuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye kituo na kufanya yafuatayo

[i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu kuhusu jitihada za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka kwenye zahanati na jamii na kuwasilisha wilayaniHalmashauri

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma katika kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti

46

KIAMBATISHO

VIASHIRIO VYA MPANGO WA KUZUIA NA KUPAMBANA NA UWAKI KATIKA SEKTA YA AFYA

[a] Ngazi ya Taifa

[i] Idadi ya watu waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya mikoa kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kimkoa

[iii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI kimkoa

[iv] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye uthibitisho kuwa vinatumia Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupamba na UWAKI kimkoa

[v] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye vifaa muhimu kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kimkoa

[b] Ngazi Ya Mkoa

[i] Idadi ya watu waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya wilayahalmashauri kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

[iii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

[iv] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye ushahidi wa kuandikwa na kutumia Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

[v] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye vifaa muhimu kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

47

[c] Ngazi ya Wilaya

[i] Idadi ya watu waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya vituo vya kutolea huduma kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwa vituo vya kutolea huduma

[iii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI

[iv] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye ushahidi wa kuandikwa na kutumia Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI

[v] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye vifaa muhimu kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[d] Ngazi ya Kituo

[i] Idadi ya wahusika waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye kituo cha huduma za afya kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Idadi ya watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Idadi ya watoa huduma walioelekezwa kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI

48

49

50

51

bullbullbull bullbull bullbullbull

~USAID ~f~ ~ KLITOKA KWA WKTJ Delivering as One WAIIAAEKANI

HEALTH POLICY middotmiddotmiddotoINITIATIVE

ltlt ASCII85EncodePages false AllowTransparency false AutoPositionEPSFiles true AutoRotatePages None Binding Left CalGrayProfile (Dot Gain 20) CalRGBProfile (sRGB IEC61966-21) CalCMYKProfile (US Web Coated 050SWOP051 v2) sRGBProfile (sRGB IEC61966-21) CannotEmbedFontPolicy Error CompatibilityLevel 14 CompressObjects Tags CompressPages true ConvertImagesToIndexed true PassThroughJPEGImages true CreateJobTicket false DefaultRenderingIntent Default DetectBlends true DetectCurves 00000 ColorConversionStrategy CMYK DoThumbnails false EmbedAllFonts true EmbedOpenType false ParseICCProfilesInComments true EmbedJobOptions true DSCReportingLevel 0 EmitDSCWarnings false EndPage -1 ImageMemory 1048576 LockDistillerParams false MaxSubsetPct 100 Optimize true OPM 1 ParseDSCComments true ParseDSCCommentsForDocInfo true PreserveCopyPage true PreserveDICMYKValues true PreserveEPSInfo true PreserveFlatness true PreserveHalftoneInfo false PreserveOPIComments true PreserveOverprintSettings true StartPage 1 SubsetFonts true TransferFunctionInfo Apply UCRandBGInfo Preserve UsePrologue false ColorSettingsFile () AlwaysEmbed [ true ] NeverEmbed [ true ] AntiAliasColorImages false CropColorImages true ColorImageMinResolution 300 ColorImageMinResolutionPolicy OK DownsampleColorImages true ColorImageDownsampleType Bicubic ColorImageResolution 300 ColorImageDepth -1 ColorImageMinDownsampleDepth 1 ColorImageDownsampleThreshold 150000 EncodeColorImages true ColorImageFilter DCTEncode AutoFilterColorImages true ColorImageAutoFilterStrategy JPEG ColorACSImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt ColorImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt JPEG2000ColorACSImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt JPEG2000ColorImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt AntiAliasGrayImages false CropGrayImages true GrayImageMinResolution 300 GrayImageMinResolutionPolicy OK DownsampleGrayImages true GrayImageDownsampleType Bicubic GrayImageResolution 300 GrayImageDepth -1 GrayImageMinDownsampleDepth 2 GrayImageDownsampleThreshold 150000 EncodeGrayImages true GrayImageFilter DCTEncode AutoFilterGrayImages true GrayImageAutoFilterStrategy JPEG GrayACSImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt GrayImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt JPEG2000GrayACSImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt JPEG2000GrayImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt AntiAliasMonoImages false CropMonoImages true MonoImageMinResolution 1200 MonoImageMinResolutionPolicy OK DownsampleMonoImages true MonoImageDownsampleType Bicubic MonoImageResolution 1200 MonoImageDepth -1 MonoImageDownsampleThreshold 150000 EncodeMonoImages true MonoImageFilter CCITTFaxEncode MonoImageDict ltlt K -1 gtgt AllowPSXObjects false CheckCompliance [ None ] PDFX1aCheck false PDFX3Check false PDFXCompliantPDFOnly false PDFXNoTrimBoxError true PDFXTrimBoxToMediaBoxOffset [ 000000 000000 000000 000000 ] PDFXSetBleedBoxToMediaBox true PDFXBleedBoxToTrimBoxOffset [ 000000 000000 000000 000000 ] PDFXOutputIntentProfile () PDFXOutputConditionIdentifier () PDFXOutputCondition () PDFXRegistryName () PDFXTrapped False CreateJDFFile false Description ltlt ARA ltFEFF06270633062A062E062F0645002006470630064700200627064406250639062F0627062F0627062A002006440625064606340627062100200648062B062706260642002000410064006F00620065002000500044004600200645062A064806270641064206290020064406440637062806270639062900200641064A00200627064406450637062706280639002006300627062A0020062F0631062C0627062A002006270644062C0648062F0629002006270644063906270644064A0629061B0020064A06450643064600200641062A062D00200648062B0627062606420020005000440046002006270644064506460634062306290020062806270633062A062E062F062706450020004100630072006F0062006100740020064800410064006F006200650020005200650061006400650072002006250635062F0627063100200035002E0030002006480627064406250635062F062706310627062A0020062706440623062D062F062B002E0635062F0627063100200035002E0030002006480627064406250635062F062706310627062A0020062706440623062D062F062B002Egt BGR ltFEFF04180437043f043e043b043704320430043904420435002004420435043704380020043d0430044104420440043e0439043a0438002c00200437043000200434043000200441044a0437043404300432043004420435002000410064006f00620065002000500044004600200434043e043a0443043c0435043d04420438002c0020043c0430043a04410438043c0430043b043d043e0020043f044004380433043e04340435043d04380020043704300020043204380441043e043a043e043a0430044704350441044204320435043d0020043f04350447043004420020043704300020043f044004350434043f0435044704300442043d04300020043f043e04340433043e0442043e0432043a0430002e002000200421044a04370434043004340435043d043804420435002000500044004600200434043e043a0443043c0435043d044204380020043c043e0433043004420020043404300020044104350020043e0442043204300440044f0442002004410020004100630072006f00620061007400200438002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020043800200441043b0435043404320430044904380020043204350440044104380438002egt CHS ltFEFF4f7f75288fd94e9b8bbe5b9a521b5efa7684002000410064006f006200650020005000440046002065876863900275284e8e9ad88d2891cf76845370524d53705237300260a853ef4ee54f7f75280020004100630072006f0062006100740020548c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000204ee553ca66f49ad87248672c676562535f00521b5efa768400200050004400460020658768633002gt CHT ltFEFF4f7f752890194e9b8a2d7f6e5efa7acb7684002000410064006f006200650020005000440046002065874ef69069752865bc9ad854c18cea76845370524d5370523786557406300260a853ef4ee54f7f75280020004100630072006f0062006100740020548c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000204ee553ca66f49ad87248672c4f86958b555f5df25efa7acb76840020005000440046002065874ef63002gt CZE ltFEFF005400610074006f0020006e006100730074006100760065006e00ed00200070006f0075017e0069006a007400650020006b0020007600790074007600e101590065006e00ed00200064006f006b0075006d0065006e0074016f002000410064006f006200650020005000440046002c0020006b00740065007200e90020007300650020006e0065006a006c00e90070006500200068006f006400ed002000700072006f0020006b00760061006c00690074006e00ed0020007400690073006b00200061002000700072006500700072006500730073002e002000200056007900740076006f01590065006e00e900200064006f006b0075006d0065006e007400790020005000440046002000620075006400650020006d006f017e006e00e90020006f007400650076015900ed007400200076002000700072006f006700720061006d0065006300680020004100630072006f00620061007400200061002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000610020006e006f0076011b006a016100ed00630068002egt DAN ltFEFF004200720075006700200069006e0064007300740069006c006c0069006e006700650072006e0065002000740069006c0020006100740020006f007000720065007400740065002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e007400650072002c0020006400650072002000620065006400730074002000650067006e006500720020007300690067002000740069006c002000700072006500700072006500730073002d007500640073006b007200690076006e0069006e00670020006100660020006800f8006a0020006b00760061006c0069007400650074002e0020004400650020006f007000720065007400740065006400650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e0074006500720020006b0061006e002000e50062006e00650073002000690020004100630072006f00620061007400200065006c006c006500720020004100630072006f006200610074002000520065006100640065007200200035002e00300020006f00670020006e0079006500720065002egt DEU ltFEFF00560065007200770065006e00640065006e0020005300690065002000640069006500730065002000450069006e007300740065006c006c0075006e00670065006e0020007a0075006d002000450072007300740065006c006c0065006e00200076006f006e002000410064006f006200650020005000440046002d0044006f006b0075006d0065006e00740065006e002c00200076006f006e002000640065006e0065006e002000530069006500200068006f006300680077006500720074006900670065002000500072006500700072006500730073002d0044007200750063006b0065002000650072007a0065007500670065006e0020006d00f60063006800740065006e002e002000450072007300740065006c006c007400650020005000440046002d0044006f006b0075006d0065006e007400650020006b00f6006e006e0065006e0020006d006900740020004100630072006f00620061007400200075006e0064002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020006f0064006500720020006800f600680065007200200067006500f600660066006e00650074002000770065007200640065006e002egt ESP ltFEFF005500740069006c0069006300650020006500730074006100200063006f006e0066006900670075007200610063006900f3006e0020007000610072006100200063007200650061007200200064006f00630075006d0065006e0074006f00730020005000440046002000640065002000410064006f0062006500200061006400650063007500610064006f00730020007000610072006100200069006d0070007200650073006900f3006e0020007000720065002d0065006400690074006f007200690061006c00200064006500200061006c00740061002000630061006c0069006400610064002e002000530065002000700075006500640065006e00200061006200720069007200200064006f00630075006d0065006e0074006f00730020005000440046002000630072006500610064006f007300200063006f006e0020004100630072006f006200610074002c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200079002000760065007200730069006f006e0065007300200070006f00730074006500720069006f007200650073002egt ETI ltFEFF004b00610073007500740061006700650020006e0065006900640020007300e4007400740065006900640020006b00760061006c006900740065006500740073006500200074007200fc006b006900650065006c007300650020007000720069006e00740069006d0069007300650020006a0061006f006b007300200073006f00620069006c0069006b0065002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740069006400650020006c006f006f006d006900730065006b0073002e00200020004c006f006f0064007500640020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740065002000730061006100740065002000610076006100640061002000700072006f006700720061006d006d006900640065006700610020004100630072006f0062006100740020006e0069006e0067002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020006a00610020007500750065006d006100740065002000760065007200730069006f006f006e00690064006500670061002e000d000agt FRA ltFEFF005500740069006c006900730065007a00200063006500730020006f007000740069006f006e00730020006100660069006e00200064006500200063007200e900650072002000640065007300200064006f00630075006d0065006e00740073002000410064006f00620065002000500044004600200070006f0075007200200075006e00650020007100750061006c0069007400e90020006400270069006d007000720065007300730069006f006e00200070007200e9007000720065007300730065002e0020004c0065007300200064006f00630075006d0065006e00740073002000500044004600200063007200e900e90073002000700065007500760065006e0074002000ea0074007200650020006f007500760065007200740073002000640061006e00730020004100630072006f006200610074002c002000610069006e00730069002000710075002700410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000650074002000760065007200730069006f006e007300200075006c007400e90072006900650075007200650073002egt GRE ltFEFF03a703c103b703c303b903bc03bf03c003bf03b903ae03c303c403b5002003b103c503c403ad03c2002003c403b903c2002003c103c503b803bc03af03c303b503b903c2002003b303b903b1002003bd03b1002003b403b703bc03b903bf03c503c103b303ae03c303b503c403b5002003ad03b303b303c103b103c603b1002000410064006f006200650020005000440046002003c003bf03c5002003b503af03bd03b103b9002003ba03b103c42019002003b503be03bf03c703ae03bd002003ba03b103c403ac03bb03bb03b703bb03b1002003b303b903b1002003c003c103bf002d03b503ba03c403c503c003c903c403b903ba03ad03c2002003b503c103b303b103c303af03b503c2002003c503c803b703bb03ae03c2002003c003bf03b903cc03c403b703c403b103c2002e0020002003a403b10020005000440046002003ad03b303b303c103b103c603b1002003c003bf03c5002003ad03c703b503c403b5002003b403b703bc03b903bf03c503c103b303ae03c303b503b9002003bc03c003bf03c103bf03cd03bd002003bd03b1002003b103bd03bf03b903c703c403bf03cd03bd002003bc03b5002003c403bf0020004100630072006f006200610074002c002003c403bf002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002003ba03b103b9002003bc03b503c403b103b303b503bd03ad03c303c403b503c103b503c2002003b503ba03b403cc03c303b503b903c2002egt HEB ltFEFF05D405E905EA05DE05E905D5002005D105D405D205D305E805D505EA002005D005DC05D4002005DB05D305D9002005DC05D905E605D505E8002005DE05E105DE05DB05D9002000410064006F006200650020005000440046002005D405DE05D505EA05D005DE05D905DD002005DC05D405D305E405E105EA002005E705D305DD002D05D305E405D505E1002005D005D905DB05D505EA05D905EA002E002005DE05E105DE05DB05D90020005000440046002005E905E005D505E605E805D5002005E005D905EA05E005D905DD002005DC05E405EA05D905D705D4002005D105D005DE05E605E205D505EA0020004100630072006F006200610074002005D5002D00410064006F00620065002000520065006100640065007200200035002E0030002005D505D205E805E105D005D505EA002005DE05EA05E705D305DE05D505EA002005D905D505EA05E8002E05D005DE05D905DD002005DC002D005000440046002F0058002D0033002C002005E205D905D905E005D5002005D105DE05D305E805D905DA002005DC05DE05E905EA05DE05E9002005E905DC0020004100630072006F006200610074002E002005DE05E105DE05DB05D90020005000440046002005E905E005D505E605E805D5002005E005D905EA05E005D905DD002005DC05E405EA05D905D705D4002005D105D005DE05E605E205D505EA0020004100630072006F006200610074002005D5002D00410064006F00620065002000520065006100640065007200200035002E0030002005D505D205E805E105D005D505EA002005DE05EA05E705D305DE05D505EA002005D905D505EA05E8002Egt HRV (Za stvaranje Adobe PDF dokumenata najpogodnijih za visokokvalitetni ispis prije tiskanja koristite ove postavke Stvoreni PDF dokumenti mogu se otvoriti Acrobat i Adobe Reader 50 i kasnijim verzijama) HUN ltFEFF004b0069007600e1006c00f30020006d0069006e0151007300e9006701710020006e0079006f006d00640061006900200065006c0151006b00e90073007a00ed007401510020006e0079006f006d00740061007400e100730068006f007a0020006c006500670069006e006b00e1006200620020006d0065006700660065006c0065006c0151002000410064006f00620065002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e00740075006d006f006b0061007400200065007a0065006b006b0065006c0020006100200062006500e1006c006c00ed007400e10073006f006b006b0061006c0020006b00e90073007a00ed0074006800650074002e0020002000410020006c00e90074007200650068006f007a006f00740074002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e00740075006d006f006b00200061007a0020004100630072006f006200610074002000e9007300200061007a002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002c0020007600610067007900200061007a002000610074007400f3006c0020006b00e9007301510062006200690020007600650072007a006900f3006b006b0061006c0020006e00790069007400680061007400f3006b0020006d00650067002egt ITA ltFEFF005500740069006c0069007a007a006100720065002000710075006500730074006500200069006d0070006f007300740061007a0069006f006e00690020007000650072002000630072006500610072006500200064006f00630075006d0065006e00740069002000410064006f00620065002000500044004600200070006900f900200061006400610074007400690020006100200075006e00610020007000720065007300740061006d0070006100200064006900200061006c007400610020007100750061006c0069007400e0002e0020004900200064006f00630075006d0065006e007400690020005000440046002000630072006500610074006900200070006f00730073006f006e006f0020006500730073006500720065002000610070006500720074006900200063006f006e0020004100630072006f00620061007400200065002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200065002000760065007200730069006f006e006900200073007500630063006500730073006900760065002egt JPN ltFEFF9ad854c18cea306a30d730ea30d730ec30b951fa529b7528002000410064006f0062006500200050004400460020658766f8306e4f5c6210306b4f7f75283057307e305930023053306e8a2d5b9a30674f5c62103055308c305f0020005000440046002030d530a130a430eb306f3001004100630072006f0062006100740020304a30883073002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000204ee5964d3067958b304f30533068304c3067304d307e305930023053306e8a2d5b9a306b306f30d530a930f330c8306e57cb30818fbc307f304c5fc59808306730593002gt KOR ltFEFFc7740020c124c815c7440020c0acc6a9d558c5ec0020ace0d488c9c80020c2dcd5d80020c778c1c4c5d00020ac00c7a50020c801d569d55c002000410064006f0062006500200050004400460020bb38c11cb97c0020c791c131d569b2c8b2e4002e0020c774b807ac8c0020c791c131b41c00200050004400460020bb38c11cb2940020004100630072006f0062006100740020bc0f002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020c774c0c1c5d0c11c0020c5f40020c2180020c788c2b5b2c8b2e4002egt LTH ltFEFF004e006100750064006f006b0069007400650020016100690075006f007300200070006100720061006d006500740072007500730020006e006f0072011700640061006d00690020006b0075007200740069002000410064006f00620065002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400750073002c0020006b00750072006900650020006c0061006200690061007500730069006100690020007000720069007400610069006b007900740069002000610075006b01610074006f00730020006b006f006b007900620117007300200070006100720065006e006700740069006e00690061006d00200073007000610075007300640069006e0069006d00750069002e0020002000530075006b0075007200740069002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400610069002000670061006c006900200062016b007400690020006100740069006400610072006f006d00690020004100630072006f006200610074002000690072002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000610072002000760117006c00650073006e0117006d00690073002000760065007200730069006a006f006d00690073002egt LVI ltFEFF0049007a006d0061006e0074006f006a00690065007400200161006f00730020006900650073007400610074012b006a0075006d00750073002c0020006c0061006900200076006500690064006f00740075002000410064006f00620065002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400750073002c0020006b006100730020006900720020012b00700061016100690020007000690065006d01130072006f00740069002000610075006700730074006100730020006b00760061006c0069007401010074006500730020007000690072006d007300690065007300700069006501610061006e006100730020006400720075006b00610069002e00200049007a0076006500690064006f006a006900650074002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400750073002c0020006b006f002000760061007200200061007400760113007200740020006100720020004100630072006f00620061007400200075006e002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002c0020006b0101002000610072012b00200074006f0020006a00610075006e0101006b0101006d002000760065007200730069006a0101006d002egt NLD (Gebruik deze instellingen om Adobe PDF-documenten te maken die zijn geoptimaliseerd voor prepress-afdrukken van hoge kwaliteit De gemaakte PDF-documenten kunnen worden geopend met Acrobat en Adobe Reader 50 en hoger) NOR ltFEFF004200720075006b00200064006900730073006500200069006e006e007300740069006c006c0069006e00670065006e0065002000740069006c002000e50020006f0070007000720065007400740065002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740065007200200073006f006d00200065007200200062006500730074002000650067006e0065007400200066006f00720020006600f80072007400720079006b006b0073007500740073006b00720069006600740020006100760020006800f800790020006b00760061006c0069007400650074002e0020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740065006e00650020006b0061006e002000e50070006e00650073002000690020004100630072006f00620061007400200065006c006c00650072002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200065006c006c00650072002000730065006e006500720065002egt POL ltFEFF0055007300740061007700690065006e0069006100200064006f002000740077006f0072007a0065006e0069006100200064006f006b0075006d0065006e007400f300770020005000440046002000700072007a0065007a006e00610063007a006f006e00790063006800200064006f002000770079006400720075006b00f30077002000770020007700790073006f006b00690065006a0020006a0061006b006f015b00630069002e002000200044006f006b0075006d0065006e0074007900200050004400460020006d006f017c006e00610020006f007400770069006500720061010700200077002000700072006f006700720061006d006900650020004100630072006f00620061007400200069002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000690020006e006f00770073007a0079006d002egt PTB ltFEFF005500740069006c0069007a006500200065007300730061007300200063006f006e00660069006700750072006100e700f50065007300200064006500200066006f0072006d00610020006100200063007200690061007200200064006f00630075006d0065006e0074006f0073002000410064006f0062006500200050004400460020006d00610069007300200061006400650071007500610064006f00730020007000610072006100200070007200e9002d0069006d0070007200650073007300f50065007300200064006500200061006c007400610020007100750061006c00690064006100640065002e0020004f007300200064006f00630075006d0065006e0074006f00730020005000440046002000630072006900610064006f007300200070006f00640065006d0020007300650072002000610062006500720074006f007300200063006f006d0020006f0020004100630072006f006200610074002000650020006f002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000650020007600650072007300f50065007300200070006f00730074006500720069006f007200650073002egt RUM ltFEFF005500740069006c0069007a00610163006900200061006300650073007400650020007300650074010300720069002000700065006e007400720075002000610020006300720065006100200064006f00630075006d0065006e00740065002000410064006f006200650020005000440046002000610064006500630076006100740065002000700065006e0074007200750020007400690070010300720069007200650061002000700072006500700072006500730073002000640065002000630061006c006900740061007400650020007300750070006500720069006f006100720103002e002000200044006f00630075006d0065006e00740065006c00650020005000440046002000630072006500610074006500200070006f00740020006600690020006400650073006300680069007300650020006300750020004100630072006f006200610074002c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020015f00690020007600650072007300690075006e0069006c006500200075006c0074006500720069006f006100720065002egt RUS ltFEFF04180441043f043e043b044c04370443043904420435002004340430043d043d044b04350020043d0430044104420440043e0439043a043800200434043b044f00200441043e043704340430043d0438044f00200434043e043a0443043c0435043d0442043e0432002000410064006f006200650020005000440046002c0020043c0430043a04410438043c0430043b044c043d043e0020043f043e04340445043e0434044f04490438044500200434043b044f00200432044b0441043e043a043e043a0430044704350441044204320435043d043d043e0433043e00200434043e043f0435044704300442043d043e0433043e00200432044b0432043e04340430002e002000200421043e043704340430043d043d044b04350020005000440046002d0434043e043a0443043c0435043d0442044b0020043c043e0436043d043e0020043e0442043a0440044b043204300442044c002004410020043f043e043c043e0449044c044e0020004100630072006f00620061007400200438002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020043800200431043e043b043504350020043f043e04370434043d043804450020043204350440044104380439002egt SKY ltFEFF0054006900650074006f0020006e006100730074006100760065006e0069006100200070006f0075017e0069007400650020006e00610020007600790074007600e100720061006e0069006500200064006f006b0075006d0065006e0074006f0076002000410064006f006200650020005000440046002c0020006b0074006f007200e90020007300610020006e0061006a006c0065007001610069006500200068006f0064006900610020006e00610020006b00760061006c00690074006e00fa00200074006c0061010d00200061002000700072006500700072006500730073002e00200056007900740076006f00720065006e00e900200064006f006b0075006d0065006e007400790020005000440046002000620075006400650020006d006f017e006e00e90020006f00740076006f00720069016500200076002000700072006f006700720061006d006f006300680020004100630072006f00620061007400200061002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000610020006e006f0076016100ed00630068002egt SLV ltFEFF005400650020006e006100730074006100760069007400760065002000750070006f0072006100620069007400650020007a00610020007500730074007600610072006a0061006e006a006500200064006f006b0075006d0065006e0074006f0076002000410064006f006200650020005000440046002c0020006b006900200073006f0020006e0061006a007000720069006d00650072006e0065006a016100690020007a00610020006b0061006b006f0076006f00730074006e006f0020007400690073006b0061006e006a00650020007300200070007200690070007200610076006f0020006e00610020007400690073006b002e00200020005500730074007600610072006a0065006e006500200064006f006b0075006d0065006e0074006500200050004400460020006a00650020006d006f0067006f010d00650020006f0064007000720065007400690020007a0020004100630072006f00620061007400200069006e002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200069006e0020006e006f00760065006a01610069006d002egt SUO ltFEFF004b00e40079007400e40020006e00e40069007400e4002000610073006500740075006b007300690061002c0020006b0075006e0020006c0075006f00740020006c00e400680069006e006e00e4002000760061006100740069007600610061006e0020007000610069006e006100740075006b00730065006e002000760061006c006d0069007300740065006c00750074007900f6006800f6006e00200073006f00700069007600690061002000410064006f0062006500200050004400460020002d0064006f006b0075006d0065006e007400740065006a0061002e0020004c0075006f0064007500740020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740069007400200076006f0069006400610061006e0020006100760061007400610020004100630072006f0062006100740069006c006c00610020006a0061002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030003a006c006c00610020006a006100200075007500640065006d006d0069006c006c0061002egt SVE ltFEFF0041006e007600e4006e00640020006400650020006800e4007200200069006e0073007400e4006c006c006e0069006e006700610072006e00610020006f006d002000640075002000760069006c006c00200073006b006100700061002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e007400200073006f006d002000e400720020006c00e4006d0070006c0069006700610020006600f60072002000700072006500700072006500730073002d007500740073006b00720069006600740020006d006500640020006800f600670020006b00760061006c0069007400650074002e002000200053006b006100700061006400650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740020006b0061006e002000f600700070006e00610073002000690020004100630072006f0062006100740020006f00630068002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020006f00630068002000730065006e006100720065002egt TUR ltFEFF005900fc006b00730065006b0020006b0061006c006900740065006c0069002000f6006e002000790061007a006401310072006d00610020006200610073006b013100730131006e006100200065006e0020006900790069002000750079006100620069006c006500630065006b002000410064006f006200650020005000440046002000620065006c00670065006c0065007200690020006f006c0075015f007400750072006d0061006b0020006900e70069006e00200062007500200061007900610072006c0061007201310020006b0075006c006c0061006e0131006e002e00200020004f006c0075015f0074007500720075006c0061006e0020005000440046002000620065006c00670065006c0065007200690020004100630072006f006200610074002000760065002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200076006500200073006f006e0072006100730131006e00640061006b00690020007300fc007200fc006d006c00650072006c00650020006100e70131006c006100620069006c00690072002egt UKR ltFEFF04120438043a043e0440043804410442043e043204430439044204350020044604560020043f043004400430043c043504420440043800200434043b044f0020044104420432043e04400435043d043d044f00200434043e043a0443043c0435043d044204560432002000410064006f006200650020005000440046002c0020044f043a04560020043d04300439043a04400430044904350020043f045604340445043e0434044f0442044c00200434043b044f0020043204380441043e043a043e044f043a04560441043d043e0433043e0020043f0435044004350434043404400443043a043e0432043e0433043e0020043404400443043a0443002e00200020042104420432043e04400435043d045600200434043e043a0443043c0435043d0442043800200050004400460020043c043e0436043d04300020043204560434043a0440043804420438002004430020004100630072006f006200610074002004420430002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002004300431043e0020043f04560437043d04560448043e04570020043204350440044104560457002egt ENU (Use these settings to create Adobe PDF documents best suited for high-quality prepress printing Created PDF documents can be opened with Acrobat and Adobe Reader 50 and later) gtgt Namespace [ (Adobe) (Common) (10) ] OtherNamespaces [ ltlt AsReaderSpreads false CropImagesToFrames true ErrorControl WarnAndContinue FlattenerIgnoreSpreadOverrides false IncludeGuidesGrids false IncludeNonPrinting false IncludeSlug false Namespace [ (Adobe) (InDesign) (40) ] OmitPlacedBitmaps false OmitPlacedEPS false OmitPlacedPDF false SimulateOverprint Legacy gtgt ltlt AddBleedMarks false AddColorBars false AddCropMarks false AddPageInfo false AddRegMarks false ConvertColors ConvertToCMYK DestinationProfileName () DestinationProfileSelector DocumentCMYK Downsample16BitImages true FlattenerPreset ltlt PresetSelector MediumResolution gtgt FormElements false GenerateStructure false IncludeBookmarks false IncludeHyperlinks false IncludeInteractive false IncludeLayers false IncludeProfiles false MultimediaHandling UseObjectSettings Namespace [ (Adobe) (CreativeSuite) (20) ] PDFXOutputIntentProfileSelector DocumentCMYK PreserveEditing true UntaggedCMYKHandling LeaveUntagged UntaggedRGBHandling UseDocumentProfile UseDocumentBleed false gtgt ]gtgt setdistillerparamsltlt HWResolution [2400 2400] PageSize [612000 792000]gtgt setpagedevice

  1. 1 World Health Organization WHO
  2. 2 Beijing Platform for Action BPA 1995
  3. 5 International Covenant on Civil and Political Rights ICCPR 1966
  4. 7 Krug Etienne et al 2002 World Report on Violence and Health Geneva WHO
Page 16: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na

SEHEMU YA KWANZA

UTANGULIZI

11 Hali ya Ukatili wa Kijinsia Duniani

Ukatili Wa Kijinsia (UWAKI) unatokana na kuwepo kwa tofauti kati ya wanaume na wanawake na hivyo kuhatarisha afya utu usalama na uhuru wa wahusika waliofanyiwa vitendo vya kikatili

UWAKI unajumuisha vitendo vingi vya ukiukwaji wa haki za binadamu kama vile unyanyasaji wa watoto kingono ubakaji unyanyasaji katika familia shambulio la aibu na udhalilishaji Vitendo vingine vya UWAKI ni usafirishaji haramu wa wanawake na wasichana na madhara mengine yatokanayo na mila na desturi hatarishi

Matukio ya ukatili wa kijinsia yanaacha athari kubwa za kisaikolojia na za kiafya kwa watu waliopatwa na ukatili ikiwa ni pamoja na kuathiri afya ya uzazi na mara nyingine kusababisha vifo

UWAKI haujatambuliwa kama ukiukwaji wa haki za binadamu katika sehemu nyingi duniani Tatizo hili hupunguza uwezo wa wanawake wanaume na watoto katika kufurahia uhuru na haki za msingi za kibinadamu Hata hivyo licha ya kuwepo kwa UWAKI katika nchi nyingi tatizo hili halijapewa kipaumbele UWAKI unaelezwa kuwa ldquoNi kitendo kiovu na cha aibu kubwa cha ukiukwaji wa haki za binadamurdquo Hali hii humfanya mwanamke kuwa tegemezi kijamii kiuchumi na kisheria na hupunguza uwezo wake katika kupata msaada mara anapofanyiwa ukatili

Utafiti uliofanywa na Shirika la Afya Duniani (WHO) kuhusu afya ya wanawake na ukatili wa kifamilia katika nchi 10 umeonyesha kuwa kati ya wanawake waliowahi kuwa na wenzi asilimia 13-61 walifanyiwa ukatili wa kimwili na wenzi wao asilimia 6-59 walifanyiwa ukatili wa kingono na asilimia 15-71 walifanyiwa vitendo vya ukatili wa kingono pamoja na kimwili Pia wanawake wengi vijijini walikiri kuwa walifanyiwa tendo la ngono kwa mara ya kwanza bila ridhaa yao na takwimu zinaonyesha matukio hayo katika baadhi ya nchi kama ifuatavyo Peru (24)

1

Tanzania (17) Bangladesh (30) na Ethiopia (17) Ukatili wa kimwili kwa wanawake wajawazito uliripotiwa kuwa ni asilimia 4-12

Wanawake na wasichana wanakabiliwa na aina nyingine ya ziada ya unyanyasaji Usafirishaji haramu wa wanawake na wasichana kwa ajili ya kazi na ngono za kulazimishwa ni biashara iliyoshamiri na mara nyingi waathirika ni wale wanaokabiliwa na hali ngumu ya maisha Ndoa za kulazimishwa na za utotoni ni ukiukwaji wa haki za binadamu kwa wanawake na wasichana lakini zinaendelea kushamiri kwenye nchi nyingi za Bara la Asia Mashariki ya Kati na Nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara Utafiti wa Shirika la Afya Duniani (2010) unaonyesha kuwa duniani kote mwanamke mmoja kati ya wanawake watano na mwanamume mmoja kati ya wanaume 10 wanaripotiwa kuathirika na unyanyasaji wa kingono wakati wa utoto

12 Hali ya UWAKI Kanda ya Afrika

Kuna uhaba wa taarifa takwimu na utafiti kuhusu UWAKI kwenye ukanda wa Afrika Mashariki Nchini Kenya kulikuwa hakuna takwimu zenye kuhusiana na ukatili wa kijinsia hadi utafiti wa hali ya jamii na afya ulipofanyika mwaka 2003 Utafiti huu ulionyesha kwamba asilimia 29 ya wanawake waliripotiwa kuathiriwa na ukatili wa kingono kwenye kipindi cha mwaka mmoja uliopita na wengi wa waathirika walikuwa wanawake wa umri wa miaka 20-29 Utafiti uliofanywa na Ushirika wa Wanasheria Wanawake nchini Kenya ulionyesha kwamba ukatili wa kijinsia katika familia unakabili asilimia 51 ya wanawake waliohudhuria kliniki nne za wajawazito kwenye jiji la Nairobi na waliripoti kuwa wamekuwa waathirika wa ukatili wakati fulani katika maisha yao kati yao asilimia 65 walifanyiwa ukatili na waume zao na asilimia 22 walifanyiwa ukatili na wanaume wasiowafahamu

Utafiti kuhusu UWAKI uliofanywa baada ya uchaguzi wa 2007 nchini Kenya ulilenga makazi duni ya Kibera jijini Nairobi yenye wakazi wapatao milioni moja Utafiti huu ulionyesha kuwa umri wa waathirika waliobakwa ulikuwa kati ya miaka 25-68 na wengi wao walikuwa wenye umri wa miaka ya 30 UWAKI uliwaathiri wanawake wa umri wa miaka yote Utafiti huu ulibaini kwamba baadhi ya waathirika waliambukizwa virusi vya UKIMWI

2

Mwaka 2007 Umoja wa Mataifa ulikadiria kuwa kiwango cha ubakaji wa wanawake katika eneo la Kivu kaskazini ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ulikuwa ni wanawake 350 kwa mwezi Mwaka 2008 shirika linalotetea haki za binadamu duniani (Amnesty International) liliripoti kuwa wanawake 40 hubakwa kila siku katika eneo hilo hilo

3

SEHEMU YA PILI

UCHAMBUZI WA UWAKI TANZANIA

21 Ukubwa wa tatizo la UWAKI Tanzania

Utafiti uliofanywa na Shirika la Afya Duniani (WHO)1 kuhusu afya ya wanawake na ukatili majumbani kwenye nchi 10 umebaini kuwa ukatili dhidi ya wanawake upo sehemu nyingi ikiwemoTanzania Utafi ti huo ulihusisha wanawake 1820 Dar es Salaam na wanawake 1450 Mbeya waliowahi kuwa na wenzi Matokeo yalionyesha kwamba asilimia 41 ya waliohojiwa katika jiji la Dar es Salaam na asilimia 55 ya waliohojiwa katika jiji la Mbeya waliathirika na aina mbalimbali za UWAKI Taarifa ilionyesha kuwa asilimia 15 hadi 71 ya wanawake walioathirika na ukatili wa kimwili au wa kingono ulifanywa na waume au wenzi wao Utafi ti huo pia ulionyesha kwamba asilimia 15 ya wanawake walifanya kitendo cha ngono kwa mara ya kwanza kwa kulazimishwa Aidha asilimia 4 hadi 12 ya wanawake waliripotiwa kunyanyaswa kimwili wakati wa ujauzito

Kufuatana na uchunguzi wa kitaifa nchini Tanzania kiwango cha ukatili majumbani kati ya wanawake wenye umri wa miaka 15- 49 ni asilimia 45 ikijumuisha ukatili wa kimwili (25) kingono (7) na (14) kwa aina zote mbili Unyanyasaji wa kimwili kwa wanawake wajawazito ulikuwa asilimia tisa (9) Kiwango cha wanawake waliokabiliwa na matukio ya kushurutishwa na wenzi wao kilikuwa asilimia sitini (60) Kiwango cha matukio ya ukatili wa kimwili kinatofautiana sana kati ya mkoa na mkoa ambapo kiwango cha juu sana kipo kwenye mkoa wa Dodoma (71) na cha chini kabisa kwenye mkoa wa Tanga (16) Ukatili wa kingono ni wa kiwango cha juu sana kwenye mkoa wa Rukwa (32) na chini kabisa kwenye mkoa wa Shinyanga (5) Kiwango cha wanawake waliowahi kuwa kwenye ndoa ambao wameathirika na ukatili wa kingono kutoka kwa mume au mwenzi wa sasa ni 48 mume wa zamani (21) rafiki wa kiume wa sasazamani (7) Kwa upande wa wanawake ambao hawajaolewa 27 ya ukatili ulifanywa na marafi ki wa kiume wa sasa au wa zamani

1 World Health Organization (WHO)

4

Uchunguzi wa WHO uliotajwa hapo juu umeonyesha usafi rishaji wa wanawake na wasichana kwa ajili ya kazi na ngono za kulazimishwa ni biashara iliyoshamiri na mara nyingi waathirika ni wale wanaokabiliwa na hali ngumu ya maisha Ndoa za kulazimishwa na za utotoni kama zilivyo kwenye jamii nyingi ni ukiukwaji wa haki za binadamu kwa wanawake na wasichana kwa sababu hawana fursa ya kutoa ridhaa Zaidi ya 60 ya waathirika wa UWAKI nchini Tanzania hawachukui hatua yoyote ya kutoa taarifa ya ukatili kwa mamlaka rasmi au vyombo vya kutekeleza sheria Upo uwezekano mkubwa wa maambukizo ya VVU kutokana na UWAKI Vijana wa kike wa Kitanzania wenye umri wa miaka 18-29 ambao wamekuwa wakinyanyaswa na wenzi wao wana uwezekano wa mara 10 zaidi kupata maambukizo ya VVU kuliko wanawake ambao hawajanyanyaswa

Utafiti uliofanyika Dar es Salaam mwaka 2000 ulibaini kuwa zaidi ya 90 ya waathirika wa ubakaji wanawafahamu wahalifu wao Katika utafiti mwingine uliofanyika Dar es Salaam asilimia ishirini na tano (25) ya wanawake waliohojiwa walikiri kwamba ldquoUkatili ni tatizo kubwa kwenye maishardquo Nchini Tanzania ubakaji ndani ya ndoa hautambuliwi kama kosa la jinai isipokuwa kama wenza wametengana

Vitendo vya UWAKI nchini Tanzania kwa ujumla vinalenga zaidi wanawake na wasichana kutokana na desturi na mazoea ya jamii ambazo zinawabagua na kuwapunguzia uwezo wa kufurahia haki zao za kibinadamu Ingawa mashambulizi ya ngono yanawalenga zaidi wanawake na wasichana hata hivyo wanaume na wavulana vilevile wanalengwa katika unyanyasaji wa kingono kubughudhiwa na kushambuliwa

Ukatili kama ulivyofafanuliwa unadhihirisha tofauti ya madaraka kati ya mwathirika na mhalifu wa ukatili wa kingono ambapo mhalifu mara nyingi ana umbo kubwa umri mkubwa utajiri au ni mmojawapo kwenye kundi la watu wenye mamlaka au anatumia silaha Nchini Tanzania asilimia 134 ya vijana wameathiriwa na mashambulio ya kingono ya namna moja ama nyingine Kwa ujumla kutokana na sababu mbalimbali nchini Tanzania kuna uhaba wa taarifa za UWAKI pia taarifa zilizopo siyo kamilifu

5

Uzoefu unaonyesha kuwa bila kujali hali ya afya ya kimwili ya mwathirika UWAKI humwacha mwathirika na majeraha ya muda mrefu na kupunguza uwezo wa mwathirika kushirikiana na jamii na familia Athari zaidi hujitokeza kwa mwathirika kama vile aibu unyanyapaa msongo wa mawazo na mfadhaiko Tatizo hili kwa waathirika linachochewa na ldquoUtamaduni wa ukimyardquo miongoni mwa familia na jamii inayowazunguka UWAKI una athari ya moja kwa moja na matokeo hasi kwa afya na ustawi wa kiuchumi na kijamii kwa familia hasa kwa wanawake na watoto

22 Unyanyasaji wa Mtoto na Kijana

Utafiti wa kitaifa nchini Tanzania kuhusu Ukatili Dhidi ya Watoto ni wa kwanza na wa aina yake katika Bara la Afrika Matokeo ya utafi ti yameonyesha kwamba mara nyingi watoto wanakabiliwa na unyanyasaji na matukio mengi na ya namna mbalimbali yanayojumuisha ukatili wa kimwili kingono na kisaikolojia Utafiti ulibaini kuwa watoto wengi wako kwenye hatari kubwa ya kunyanyaswa kwenye mazingira ya nyumbani na shuleni Haya ni maeneo mawili ambayo watoto wengi wa Kitanzania hutumia muda wao mwingi wakati wanakua na kuelekea kwenye ujana Robo tatu ya watoto wanapofikia umri wa miaka 18 huwa wameathirika na ukatili wa kimwili kwa namna moja ama nyingine kutokana na ukatili wa ndugu mwalimu au kiongozi Kutokana na utafiti takribani 30 ya wanawake wenye umri kati ya umri wa miaka 13-24 na 14 ya wanaume wenye umri kati ya miaka 13-24 nchini Tanzania waliripotiwa kuathirika na ukatili wa kingono angalau mara moja kabla ya kufikisha umri wa miaka 18

Nchini Tanzania ukeketaji hufanyika mapema utotoni Karibu mwanamke mmoja kati ya wanawake watatu waliokeketwa (32) walikeketwa kabla ya kufikisha umri wa mwaka mmoja na 27 walikeketwa wakiwa na umri wa miaka 13 au zaidi Hata hivyo ukeketaji kwa wasichana hufanyika katika umri mdogo sehemu ya wanawake waliokeketwa wakiwa na umri wa miaka 5 iliongezeka kutoka 34 hadi 39 kwa mujibu wa Utafiti wa Afya ya Jamii [UAJ] 2004-05 na UAJ 2010 Kulingana na utafiti huu 5 ya wasichana wa miaka 13shy17 waliripotiwa kuwa wamekeketwa na 10 ya wasichana wa umri wa miaka 18-24 waliripotiwa kukeketwa Kwa mujibu wa sheria kukeketa ni

6

kosa linalostahili adhabu Kuna uwezekano kwamba wale waliokeketwa huwa wanasita kutoa taarifa na ndiyo sababu ya taarifa kuwa chache

23 Mazingira ya Sera ya UWAKI

Serikali ya Tanzania imeonyesha nia yake ya kushughulikia masuala ya UWAKI kwa kuridhia mikataba kadhaa ya kimataifa yenye kuhusiana na UWAKI na jinsia Mkataba wa Kutokomeza Aina Zote za Ubaguzi Dhidi ya Wanawake (1985) ambao umekuwa chombo katika kupambana na matukio ya ubaguzi ikiwa ni pamoja na ukatili Jukwaa la Beijing (1995)2 na Malengo ya Maendeleo ya Milenia (2000)3 Tanzania pia imeridhia hati ya Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu kuhusu haki za wanawake na hati ya Ushirikiano wa Maendeleo wa Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC)4

Vipaumbele vya maendeleo ya Tanzania vinaainishwa katika Dira ya Taifa 2025 na katika Mpango wa Kuondoa Umaskini na Kukuza Uchumi (MKUKUTA) MKUKUTA II (2011-25) unashughulikia UKIMWI na jinsia kama masuala mtambuka na ni mkakati wa kwanza wa kitaifa unaotambua UWAKI kama suala la kisera kwa watu wote Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto ndiyo yenye jukumu la kuratibu shughuli zote zinazohusiana na jinsia

Wizara hiyo imetayarisha Sera ya Maendeleo ya Jinsia (2000) kwa ajili ya kushughulikia upungufu na kukosekana kwa usawa kati ya wanaume na wanawake Pia Wizara imetayarisha Mkakati wa Kitaifa wa Jinsia na Maendeleo (2002) unaotoa dira na kuwezesha usawa wa kijinsia nchini Pamoja na Mpango wa Taifa wa Vitendo vya Kukinga na Kutokomeza Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto (2001-2015) kwa ajili ya kuongeza juhudi za Serikali za kisheria kwa kupambana na UWAKI na kuhakikisha lsquousawarsquo na lsquohakirsquo kati ya wanawake na wanaume nchini Tanzania Sera ya Taifa ya Afya ina mfumo wa utoaji wa huduma za afya kwa watu wote wanaohitaji ikiwa ni pamoja na waathirika wa UWAKI

2 Beijing Platform for Action - (BPA 1995) 3 Millennium Development Goals - (MDG 2000) 4 Southern African Development Cooperation - (SADC)

7

24 Haki za Binadamu Sheria na Mazingira ya Udhibiti

Tanzania imeridhia Sheria ya Haki za Binadamu na masharti ya vyombo kadhaa vya kimataifa na kikanda ambavyo vinakataza ubaguzi kwa misingi ya jinsia na hivyo kuhitaji serikali ihakikishe kwamba wanawake hawabaguliwi Vyombo hivi ni Mkataba wa Kimataifa wa Kuzuia aina zote za Ukatili na Unyanyasaji wa Kijinsia 1979 pamoja na Mkataba wa Kimataifa wa Haki za Kiraia na Kisiasa (1966)5 Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu (1981) na Hati ya Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu Kuhusu Haki za Wanawake Afrika (2000)

Tanzania imetunga sheria inayosimamia kukinga na kupambana na UWAKI Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (1977) iko wazi kwa kukataza ubaguzi na kwa misingi hiyo inatoa haki ya usawa [Ibara ya 12-24] Sheria ya Mtoto (2009) inawezesha jitihada za kupunguza ukatili dhidi ya watoto Sheria Maalumu ya Makosa ya Kujamiiana (1998)6

ilitungwa kwa lengo la kulinda heshima ya mwanamke na kuweka vikwazo kwa UWAKI kwa kutoa adhabu kali kwa makosa ya kingono Sheria hii inajumuisha ukatili wa kingono ubakaji biashara haramu ya usafirishaji watu bughudha za kingono na kukataza ukeketaji chini ya kifungu cha lsquoUkatili kwa watotorsquo

Hii ilikuwa mara ya kwanza kwa Tanzania kutunga sheria ya kukataza vitendo vilivyotajwa hapo juu na hatima ya sheria hii imewekwa chini ya sheria za adhabu kifungu cha 16

Sheria ya Adhabu (marekebisho ya 2002) inawekea vikwazo vitendo vya UWAKI mathalan vitisho Sehemu ya 89B 89A kutoroka watoto Sehemu ya 166 kutelekeza watoto Sehemu ya 167 kuua bila kukusudia Sehemu ya 195 mauaji Sehemu ya 196 mashambulizi Sehemu ya 240shy243 kutorosha Sehemu ya 246 utekaji nyara Sehemu ya 244 kazi za kulazimishwa Sehemu ya 256 wizi utokanao na mwenzi Sehemu ya 264 tishio la uchomaji Sehemu ya 332 uchomaji Sehemu ya 319-322 kuficha nyaraka Sehemu ya 276-278 Sheria ya Biashara ya Binadamu Na 6 ya mwaka 2008 inakataza biashara ya binadamu kwa sababu yoyote

5 International Covenant on Civil and Political Rights - (ICCPR 1966) 6 The Sexual Offences Special Provisions Act 1998 (SOSPA)

8

Sheria ya Kuzuia VVU UKIMWI Na 28 ya mwaka 2008 inakataza unyanyapaa na inafanya uambukizaji wa VVU kwa makusudi kuwa kosa la jinai

Pamoja na kuwepo vyombo vya kimataifa kikanda kitaifa na vya sheria za kuhakikisha haki kwa wanawake tatizo la UWAKI limetapakaa nchini Tanzania lakini linaripotiwa kwa nadra UWAKI unaathiri zaidi wanawake na wasichana kuliko wanaume na wavulana Haya ni matokeo ya uhusiano usio sawa kati ya wanaume na wanawake katika jamii ambayo yanajidhihirisha katika maeneo kadhaa ikiwa ni pamoja na maeneo ya kiuchumi kijamii kisiasa na kisheria

Mara nyingi UWAKI unapunguza uwezo wa wanawake na wasichana wa kufurahia haki za kimsingi za binadamu na uhuru kama ilivyoainishwa kwenye Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Utambuzi wa wahalifu wa UWAKI nchini Tanzania ni nadra kulinganisha na idadi ya mashambulizi Ni muhimu kushughulikia mahitaji ya kisheria ya waathirika wote wa UWAKI wanawake wasichana wanaume wavulana na watoto

25 Miundombinu ya utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii

Mfumo wa utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii upo katika ngazi ya kitaifa mikoajiji na wilaya manispaa Mfumo huu unawezesha utoaji wa huduma za kuboresha afya kuzuia magonjwa tiba utengemao na ustawi wa jamii kwa kupitia vituo vya kutolea huduma za afya vinavyojumuisha zahanati vituo vya afya na hospitali

Kuna mfumo wa rufaa kitaifa wa njia mbili kupeleka na kurejesha mgonjwa ambao unaanzia kwenye jamii na kwenda kwenye zahanati ambazo zipo 4679 vituo vya afya (481) hospitali za wilaya (95) hospitali za mikoa (19) na hospitali za rufaa za taifa (8) Kuna vituo vya kutolea huduma za afya 5718 nchini Tanzania vikijumuisha zahanati (86) vituo vya afya (10) na hospitali (4) vikiwa chini ya umiliki wa serikali (69) mashirika ya kidini (14) mashirika ya umma ( 3) na mashirika binafsi (14)

9

Mpango wa Maendeleo wa Afya ya Msingi [(MMAM) 2007-2017 pamoja na malengo mengine unakusudia kuhakikisha kuwa kuna kituo kimoja cha afya kwa kila kata katika kata 2555 zilizopo na zahanati moja kwa kila kijiji katika vijiji 10342 Jumla ya vituo vya afya ya msingi 8107 hospitali za wilaya 62 na taasisi 128 za mafunzo zitaanzishwa ifikapo mwaka 2012

Mahitaji ya watoa huduma za afya ni 82377 na waliopata mafunzo ni 29063 (35) ikiwa ni upungufu wa 65 ya mahitaji Mahitaji ya watoa huduma wa ustawi wa jamii ni 3892 Kuna wafanyakazi 210 wa ustawi wa jamii ikiwa ni upungufu wa 95 ya mahitaji na uhaba mkubwa katika ngazi za wilaya (93) kata (100) na vituo vya watu wenye ulemavu na taasisi nyingine (85) (WAUJ 2006)

Kuna uhaba wa wafanyakazi wa afya wenye ujuzi kwenye ngazi za zahanati (69) vituo vya afya (59) na hospitali za rufaa (48-67) Kwa ujumla kuna uhaba wa wafanyakazi wa ustawi wa jamii wenye ujuzi kwa kiwango cha 95 katika ngazi zote kanda (21) wilaya (93) kata (100) na vituo vya walemavu (95) Kama ujenzi wa vituo hautaendana na upatikanaji wa watoa huduma utekelezaji wa MMAM utakuwa na upungufu mkubwa

Kwa kawaida kuna hospitali ya wilaya au teule kwa kila Mamlaka ya Halmashauri ya Wilaya (MHW) Kuna MHW 133 ambazo zina majukumu na wajibu wa kutoa huduma za afya kwenye maeneo yao Kila MHW ina Bodi ya Afya ya Wilaya (BAW) ambayo inajumuisha madiwani waliochaguliwa na kusimamia mipango na utekelezaji wa huduma za afya kwenye wilaya

Mipango na usimamizi wa huduma za afya katika halmashauri inaongozwa na Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri ambayo kiongozi wake ni Mganga Mkuu wa Wilaya na ni Katibu wa BAW Kuna bodi ya hospitali ya wilaya teule Bodi ya Huduma ya Afya (BHA) ya kituo cha afya inayowakilisha wakazi wa kata na bodi ya zahanati inayowakilisha wakazi wa kijiji bodi zote zikiwa na uwakilishi sawa wa kijinsia

Makadirio ya matumizi ya afya kwa mtu mmoja kwa mwaka 201011 ilikuwa ni dola za kimarekani 1575 ambapo WHO imependekeza

10

kiwango cha dola 3400 za Kimarekani Matumizi ya afya ni asilimia 14 ya Bajeti ya Taifa kwa mwaka ambacho ni chini ya kiwango cha asilimia 15 kilichopendekezwa na Tamko la Abuja

Mfumo wa utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii upo katika ngazi zifuatazo

[a] Ngazi ya Kitaifa WAUJ ina jukumu la kutayarisha sera za afya na miongozo inayohusiana na huduma za afya kuweka viwango kuhakiki ubora kufuatilia na kutathmini pamoja na kusimamia utoaji wa huduma za afya zenye kujumuisha kuboresha afya kinga tiba utengemao na ustawi wa jamii Hospitali za rufaa zina asilimiai 52 tu ya wafanyakazi wenye ujuzi

[b] Ngazi ya MkoaJiji Timu ya Uendeshaji ya Afya ya Mkoa ina jukumu la kuongoza na kuendeleza utekelezaji wa mpango mkakati wa afya kwenye mkoa pamoja na ushauri wa kitaalamu kwa Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri kwenye maeneo yafuatayo (1) Utekelezaji wa sera miongozo na viwango vya utoaji wa huduma za afya kwa usahihi na kwa muda uliopangwa ukihusisha watoa huduma wote wa umma binafsi kwenye MHW (2) kupanga kwa ufanisi kutekeleza kufuatilia na kutathmini mipango ya afya ya kina katika halmashauri Kamati ya utawala ya hospitali ya mkoa ina jukumu la kupanga na kusimamia hospitali ya mkoa ambayo ni ngazi ya pili ya rufaa Kuna hospitali 19 za mikoa ambazo zina 34 tu ya wataalamu wa afya

[c] Mamlaka ya Halmashauri ya WilayaManispaa Huduma za afya katika ngazi hii zinasimamiwa na Halmashauri ya Wilaya kupitia BAW chombo kilichoundwa (2001) chini ya Sheria namba 7 ya mwaka 1982 kifungu cha 86A BAW inawajibika kwa utoaji wa huduma za kina kwenye wilaya Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri inatoa ushauri wa kiutaalam kwa utekelezaji wa uamuzi wa BAW

[d] Ngazi ya Wilaya Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri huandaa na kutekeleza mpango wa kina wa afya wa halmashauri pamoja na kufuatilia na

11

kutathmini huduma za afya kwenye hospitali vituo vya afya zahanati na jamii ikiwa ni pamoja na kufanya utafiti Kamati ya Utawala ya Hospitali inasimamia mipango na huduma kwenye hospitali ya wilaya ambayo ni ngazi ya kwanza ya rufaa Kuna hospitali 95 za wilaya zikiwa ni pamoja na hospitali teule ambazo zina asilimia 33 tu ya wataalamu wa afya

[e] Ngazi ya Kata Kamati ya Afya ya Kata inasimamia upangaji ubunifu na uratibu wa mipango ya afya ya jamii husimamia na huhamasisha upatikanaji wa rasilimali pamoja na ukusanyaji na matumizi ya Mfuko wa Afya wa Jamii Vituo vya afya vina jukumu la kutoa huduma za kina za afya na ustawi wa jamii kwenye kata Kamati ya Kituo cha Afya inasimamia utoaji wa huduma za afya na kuhamasisha ukusanyaji wa rasilimali zinazohitajika Timu ya Kituo cha Afya ina wajibu wa kusimamia shughuli za kila siku kwenye kituo cha afya Timu inapanga na kusimamia juhudi za afya ya jamii katika eneo lake chini ya Mpango wa Maendeleo ya Kata Kuna jumla ya kata 2555 nchini ambapo kata 481 sawa na 19 zina vituo vya afya ambavyo vina 41 tu ya wataalamu wa afya

[f ] Ngazi ya Kijiji Kamati ya Zahanati inahakikisha kwamba idadi ya watu katika eneo lake wanapata huduma sahihi za afya na nafuu pamoja na kusimamia uhamasishaji wa rasilimali kwa ajili ya utekelezaji wa mpango wa zahanati Timu ya Usimamizi wa Zahanati inapanga na kusimamia juhudi za afya ya jamii kwenye maeneo chini ya Mpango wa Maendeleo ya Kata Kuna jumla ya vijiji 10342 ambapo 4679 vina zahanati sawa na 45 ambazo ni aslimia 31 tu ya zahanati zina wataalamu wa afya wanaotosheleza Kamati ya Huduma za Jamii kwenye kijiji ina wajibu wa kuhamasisha na kushirikisha jamii ili wajihusishe kuboresha na kulinda afya

[g] Ngazi ya Kaya Kuna kaya takriban milioni 7 nchini Tanzania na wastani wa watu 47 kwa kila kaya (ambapo 70 ya kaya zote zinaongozwa na wanaume na 30 zinaongozwa na wanawake) Sera ya Afya ya Taifa inatamka kwamba ni wajibu wa kila raia kuendeleza na kulinda afya yake pamoja na ya familia yake Pamoja na haya kila raia ana jukumu la kujiepusha na tabia hatarishi kwa afya yake pamoja na ya mwenzie na kuchangia rasilimali kwa ajili ya afya yake na uendelezaji wa vituo vya kutolea huduma za afya

12

26 Kukinga na Kupambana na UWAKI

Serikali ya Tanzania na washirika wake wa karibu wametekeleza mambo mbalimbali yanayohusiana na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Wizara ambazo zinahusika kwa ukaribu kwenye utekelezaji wa mipango ya kukinga na kupambana na UWAKI ni pamoja na Wizara ya Maendeleo y a Jamii Jinsia na Watoto Wizara ya Sheria na Katiba Wizara ya Mambo ya Ndani na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Kuna ushirikiano kati ya wizara idara mashirika asasi za kiraia na wadau wa maendeleo Katika ngazi ya kitaifa serikali inatekeleza Mkakati wa Maendeleo ya Jinsia (2005) na kukuza usawa wa jinsia na haki kwa wanawake Utekelezaji wa Sheria Maalumu ya Makosa ya Kujamiana (1998) ambayo sasa ni Kanuni ya Adhabu Sura ya 16 Toleo la Marekebisho 2002 Pia serikali inatekeleza Mpango wa Taifa wa Vitendo wa Kuzuia na Kutokomeza Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto (2001-2015) ambao una lengo la kutokomeza ubaguzi na unyonyaji wa kisheria kijamii kiuchumi kiutamaduni na kisiasa Zaidi ya yote Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (1977) inatamka kuheshimu misingi ya usawa na haki kwa kila mtu

Kwa kushirikiana na wadau wengine serikali inawezesha uanzishwaji wa kitengo cha jinsia kwenye idara za wizara mbalimbali (mfano idara ya polisi chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi) Mashirika ya Jamii hutoa utetezi msaada wa kisheria huduma za afya na kuendesha kampeni na mashirika mengine yamechukua hatua za kutoa hifadhi kwa waathirika wa UWAKI na Vituo vya Kuhifadhi Waathirika Kuna sera za kitaifa sheria mikakati na mipango ya kazi kwa ajili ya kushughulikia usawa wa kijinsia Vilevile serikali kwa kushirikiana na asasi za kiraia imejenga mazingira mazuri ya kuwezesha waathirika kupata huduma kama vile msaada wa kisheria Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii (WAUJ) imekuwa ikitoa huduma kwa waathirika wa UWAKI licha ya kutokuwepo kwa mwongozo wa sera kwa ajili ya wahudumu wa vituo vya kutolea afya

27 Changamoto katika Kuzuia na Kupambana na UWAKI

Muundo wa sheria sera na juhudi za kukuza haki za binadamu zinakabiliwa na changamoto mbalimbali zinazofisha jitihada za kuzuia kupambana

13

na kuepusha athari za UWAKI nchini Tanzania Changamoto hizo ni pamoja na upungufu wa fedha upungufu wa kisheria na sera zilizopo uratibu duni kati ya wadau na kukosekana kwa mfumo wa rufaa kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI Hali kadhalika uelewa na taarifa juu ya ukubwa wa tatizo la UWAKI ni duni kwa hivyo WAUJ imebuni na kutayarisha mwongozo maalumu wa sera na huduma dhidi ya UWAKI ili kukabili changamoto hizo

[a] Sera za Taifa Serikali ya Tanzania inajitahidi kujenga mazingira mazuri ya kuzuia na kupambana na UWAKI Ingawa Sera ya Afya ina lengo la kutoa huduma za afya za kutosha kwa kila Mtanzania ipo haja ya kuwa na miongozo na mikakati inayofafanua masuala ya UWAKI kwa ukamilifu Ukosefu wa miongozo na sera ya usimamizi dhidi ya UWAKI ni kikwazo kikubwa kwa juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kutibu na kuhudumia waliopatwa na UWAKI Sekta ya afya itatumia mwongozo wa sera hii ili kuboresha huduma ya kupambana na UWAKI kwa kushirikisha na kuwahusisha wadau wote

[b] Sheria zaTaifa Pamoja na kuwepo sheria nyingi zilizopitishwa kwa ajili ya kulinda haki za wanawake na watoto bado zipo changamoto nyingi Kwa mfano kuna baadhi ya sheria zenye utata baadhi zinapingana na hivyo kupunguza uwezo wa kupambana na UWAKI Pamoja na hayo Sheria ya Ndoa kama ilivyofanyiwa marekebisho 2002 haiainishi hatua za kuchukuliwa dhidi ya ukatili wa kifamilia Sheria hii ni kama inahalalisha ubakaji kwa kuruhusu binti kuolewa chini ya umri wa miaka 18 Sheria ya Makosa ya Kujamiiana na Vipengele Maalumu (1998) haitambui ubakaji ndani ya ndoa ingawa inatambua ubakaji ikiwa mume na mke wametengana Mbali na upungufu huo sheria ya makosa ya kujamiiana kwa upande wa kuthibitisha ushahidi wa kuingiliwa kimwili ni mgumu Sheria ya Mila (Tangazo la Serikali Na4361963) ambayo inatumiwa na Watanzania wote wazawa inatokana na mila na desturi za makabila mbalimbali ya Tanzania sheria hii ya Mila ni ya kibaguzi na huleta changamoto kwa wanawake na watoto ambao wamezaliwa nje ya ndoa hususan katika urithi wa mali Kwa mfano ugawanaji wa mali ya marehemu upo katika makundi matatu (1) Mtoto wa kwanza wa kiume (2) Watoto wengine wa kiume waliobaki na (3) Watoto wa kike bila kujali umri

14

na hali katika familia Watoto wa kike wa marehemu hurithi fungu dogo na hunyimwa haki ya kumiliki ardhi Kwa mujibu wa sheria hii mjane hana haki ya kurithi mali yoyote kutoka kwa marehemu mume wake isipokuwa huchukuliwa kuwa atatunzwa na watoto wake Mjane ambaye hajabahatika kuzaa hupata asilimia 20 ya asilimia 50 ya mali za marehemu mume wake Mbali na urithi sheria hii kwa upande wa talaka ikiwa mke alilipiwa mahari wakati ndoa inapovunjwa na mahakama mume ana haki ya kudai kurudishiwa mahari

Sheria zenye kupunguza makali ya UWAKI zimeweka kanuni za kuwezesha wadau katika sekta mbalimbali kuandaa sera na miongozo ya kuzuia na kupambana na UWAKI Wahusika muhimu katika sekta mbalimbali wanapaswa kupitia sheria zinazotoa mwanya wa mwendelezo wa UWAKI na kupendekeza marekebisho au utungwaji wa sheria nyingine zitakazopunguza na kumaliza vitendo vya UWAKI Hata hivyo kuna umuhimu wa kuwepo kwa wajibu na majukumu ya sekta mbalimbali katika kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kupambana dhidi ya unyanyasaji na ukatili kwa watoto Kwa kutambua na kuimarisha wajibu huo katika kila sekta itasaidia uzingatiaji wa sera na kuimarisha ari ya utendaji katika sekta zifuatazo

bull Ustawi wa Jamii Kujenga mfumo wa kufanya tathmini ya vihatarishi katika kupima mfumo wa rufaa unaohusisha sekta na huduma mbalimbali kuweza kuamua na kuchukua hatua za haraka na za muda mrefu katika kupambana na kutoa mahitaji ya haraka na ya muda mrefu kwa ajili ya ulinzi wa watoto na waathirika wengine

bull Elimu Kujumuisha elimu dhidi ya ukatili wa kijinsia katika mitaala ya elimu ikiwa ni pamoja na kuandaa mazingira salama shuleni na kuingiza katika programu za elimu zinazoelezea juu ya masuala ya kujifahamu kimwili (kibiolojia) afya ya uzazi na maendeleo yaa jamii Kuhakikisha kwamba sekta mbalimbali za rufaa na mifumo inayotoa ulinzi wa mtoto vinahusishwa katika elimu hiyo

bull Polisi na sheria Kuimarisha na kupanua ulinzi sahihi wa kisheria kwa ajili ya watoto na kuchukua hatua za kisheria kwa watuhumiwa wa uhalifu kuendeleza juhudi za kuimarisha dawati la jinsia na watoto katika idara ya Polisi nchini Kuendelea kuelimisha polisi na watumishi wengine

15

wa usalama wa raia kuhusu ukatili dhidi ya watoto na kuwa na utaratibu wa uchunguzi wa pamoja na idara ya ustawi wa jamii afya mamlaka na vitengo vingine vinavyohusika na ulinzi na usalama wa mtoto

bull Afya Kufanya kazi katika muundo wa pamoja na wadau wengine kwa kufuata miongozo iliyopo kwa ajili ya kuzuia kutibu kuhudumia na kufuatilia matukio ya ukatili dhidi ya watoto Kuimarisha mifumo iliyo wazi yenye kuunganisha huduma rafi ki kwa watoto na vijana dhidi ya UWAKI

[c] Polisi na Mahakama Mabadiliko katika idara ya polisi hasa katika uanzishwaji wa polisi jamii na dawati la jinsia na watoto yanaonyesha maendeleo katika kushughulikia UWAKI Hata hivyo waathirika wa UWAKI wanakabiliwa na ugumu wa kufika katika vituo vya polisi na mfumo wa utoaji haki Kwa mfano zipo kesi zilizotupiliwa mbali na Mahakama kwa kukosa ushahidi muhimu kutoka upande wa mashtaka Matokeo yake ni kwamba waathirika wanakosa motisha ya kutoa taarifa ya matukio ya UWAKI na hivyo hushindwa kufikisha malalamiko katika vyombo vya utoaji haki

Upungufu wa mafunzo kwa polisi na watoa huduma za kisheria juu ya namna ya kuzitumia sheria zilizopo dhidi ya UWAKI kumesababisha kesi mahakamani kushindwa Mfano Fomu ya Polisi namba 3 (PF3) inatoa taarifa juu ya tukio la shambulio na haitoi maelezo juu ya tukio hilo kama limetokana na UWAKI Ingawa zipo sheria zinazopinga UWAKI sheria hizo hazifahamiki hivyo hazitumiki kikamilifu Pamoja na hayo sheria za kimila na imani za kidini zinazuia waathirika kutoa taarifa za matukio ya UWAKI

Sheria ya Makosa ya Kujamiiana na Vipengele Maalumu (1998) inatoa adhabu kali kwa makosa ya kujamiiana Mara nyingi watuhumiwa hawafikishwi mahakamani kwa kuhofia kudhurika kwa familia zao kwa upande wa kukosa kipato kutoka kwa mtuhumiwa (kwani adhabu za makosa hayo huwa ni kifungo cha muda mrefu) Kwa sababu hizo utoaji wa taarifa kutoka kwa waathirika na familia zao ikiwa ni pamoja na matumizi ya sheria na uendeshaji wa mashtaka umeendelea kuwa changamoto pamoja na kuwepo kwa Sheria ya Makosa ya Kujamiiana inayotoa ulinzi dhidi ya UWAKI

16

bull

bull

bull

bull

bull

[d] Mila na Desturi Katika ngazi ya jamii na mtu binafsi zipo sababu mbalimbali zinazochangia kwa kiwango kikubwa matukio ya UWAKI Utafiti uliofanywa na mtaalamu wa Shirika la Afya Duniani (WHO)7 unaainisha vipengele hatarishi vifuatavyo juu ya mila na desturi

Kanuni za kimila katika uhusiano wa kijinsia humpa mwanamume madaraka na haki zaidi Baadhi ya mila na desturi huhimiza uvumilivu juu ya vitendo vya UWAKI na kuwazuia waathirika kutoa taarifa na kupata msaada Uwezeshaji wa mwanamke katika kupambana na mfumodume hujenga hisia kwa mwanamume kuwa anapoteza mamlaka yake na hivyo huwaudhi baadhi ya wanaume na kuendelea kufanya ukatili kwa lengo la kuwadhibiti wanawake Matumizi ya baadhi ya sheria za kimila hayawasaidii waathirika kupata haki Hofu ya kulipiza kisasi unyanyapaa ubaguzi na kukosekana kwa huduma huwazuia waathirika kutoa taarifa na kupata msaada

[e] Madaraka na Mamlaka Madaraka na mamlaka ni muhimu katika kuzuia na kupambana na UWAKI Wakati mwingine watu wenye madaraka na mamlaka hufumbia macho matukio ya UWAKI Kwa mfano upo ushahidi wa kutosha kuwa kuna matumizi mabaya ya madaraka na mamlaka shuleni na maeneo ya kazi

[f ] Kuhusisha Jamii Jamii ndiyo ngazi ya awali kujua tukio la UWAKI na kutoa msaada wa usalama na ulinzi kwa mwathirika Utafiti wa Shirika la Afya Duniani katika nchi mbalimbali ulionyesha kwamba asilimia 37 ya waathirika walipata msaada kutoka kwa jamii Kutokana na kiwango cha unyanyapaa ubaguzi na kutengwa kijamii viongozi katika ngazi ya jamii waliohamasishwa juu ya UWAKI waliweza kukabili mazingira haya ya kiuhasama Jamii inaweza kumsaidia mwathirika kwa kujenga mazingira mazuri (kwa mfano kituo cha hifadhi salama) Jamii inahusishwa katika

7 Krug Etienne et al 2002 World Report on Violence and Health Geneva WHO Available at httpwwwwhointviolence_injury_preventionviolenceworld_report

17

bull

bull

bull

bull

kuwahamasisha waathirika kuwapa ulinzi mahitaji ya msingi msaada wa kisaikolojia na kuwapa rufaa kwa watoa huduma wengine Vilevile jamii inahusishwa katika kuzuia UWAKI kupunguza unyanyapaa na kuwapa unasihi waathirika pamoja na kuhamasisha viongozi wa kijamii na wanajamii kwa ujumla

Uhamasishaji huu ni muhimu kwa sababu jamii ni daraja kati ya mwathirika na huduma za afya na ustawi wa jamii

Jamii inapaswa kushirikishwa katika hatua za mwanzo na zinazofuata katika kuzuia UWAKI Katika hatua za mwanzo jamii inapaswa kujitahidi kuondoa tabia za kuvumilia matukio ya UWAKI na hivyo kupunguza matukio hayo Katika hatua zinazofuata jamii itatambua na kulinda wale walio katika hatari zaidi ya UWAKI kama watoto na wanawake Jamii pia inapaswa kutambua vikwazo vya utoaji huduma katika idara ya afya polisi na mfumo wa utoaji haki na kuisaidia jamii kuondokana na vikwazo vya upatikanaji wa huduma

Ni muhimu kuishirikisha jamii katika jitihada za utekelezaji wa kuzuia UWAKI na kupambana nao ikiwamo usimamizi wa matibabu ya waathirika Jamii ina uwezo mkubwa wa kuhamasisha waathirika kutafuta huduma za afya na huduma nyingine zinazohusiana na UWAKI kwa mfano huduma za polisi usaidizi wa kisheria na hifadhi salama Pia jamii ina wajibu wa kuwaunganisha waathirika na jamii zao

Hata hivyo zipo changamoto katika kuihusisha jamii kama vile

Upungufu katika kuwahusisha wanaume na wavulana katika kushughulikia UWAKI Wanajamii wamekuwa wakiwanyanyapaa badala ya kuwasaidia waathirika na wakati mwingine wameshiriki katika UWAKI Baadhi ya viongozi wa kijamii na kidini hawana utayari wa kuhamasisha kuzuia na kupambana na UWAKI Jamii zina kiwango kikubwa cha kunyamazia matendo ya UWAKI na kuzuia sheria kuchukua mkondo wake

18

[g] Hali ya kiuchumi na kijamii Kushughulikia UWAKI pekee kama changamoto inayohusu huduma za tiba ni kutibu dalili badala ya chanzo Ni muhimu kushughulikia vyanzo vya UWAKI kama umaskini miongoni mwa wanawake ambao huwafanya kuwa wategemezi

Serikali imetayarisha MKUKUTA II wenye kuainisha njia za kuendeleza na kulinda haki za binadamu kwa watu wote hasa kwa wanawake na wanaume maskini watoto watu wanaoishi katika hali hatarishi na makundi maalumu (angalia MKUKUTA II-kundi la III lengo la 3) na kuongeza uzalishaji na fursa za ajira zenye kuheshimika hasa kwa wanawake na vijana (angalia MKUKUTA II kundi la I lengo la 3) Changamoto iliyopo ni ukosefu wa kuweka vipaumbele katika utekelezaji wa ahadi hizi kwa wanawake na vijana kwa kuelekeza rasilimali za kutosha na kutekeleza mikakati katika kuleta mabadiliko ya hali ya kijamii na kiuchumi kwa wanawake na vijana hivyo kupunguza hali hatarishi ya UWAKI

28 Upungufu katika kupambana na UWAKI

Sekta ya afya imeandaa mwongozo wa kutoa huduma kwa waathirika wa UWAKI Hata hivyo ili kutoa huduma bora na za kirafi ki kwa waathirika sekta zinazohusika hazina budi kushughulikia upungufu ulioainishwa kama ifuatavyo

[a] Huduma za afya

Ukosefu wa mwongozo wa utoaji wa huduma kwa waathirika wa UWAKI Hakuna mwongozo wa utoaji wa huduma za kupambana na UWAKI kwa watoa huduma wa ngazi zote kuanzia nyumbani kwenye jamii zahanati vituo vya afya hospitali polisi mahakama na wadau mbalimbali Upungufu huu unakwamisha upatikanaji na utoaji wa huduma bora za kukinga na kupambana na UWAKI

Upungufu wa fedha Bajeti ya Serikali kuu na serikali za mitaa haikidhi mahitaji

19

Upungufu wa wataalamu wenye ujuzi wa kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Watoa huduma kwenye vituo vya kutolea huduma za afya na jamii hawana maarifa na ujuzi unaotakiwa kushughulikia mahitaji ya waathirika wa UWAKI wa marika yote

Kutojumuishwa kwa huduma za waathirika wa UWAKI na huduma nyingine Huduma za waathirika wa UWAKI hazikujumuishwa na huduma nyingine za afya na ustawi wa jamii kama vile afya ya uzazi upimaji wa VVU UKIMWI uzazi wa mpango na unasihi

Mfumo duni wa rufaa kwa waliopatwa na UWAKI Ingawa mfumo wa rufaa wa huduma za afya umeimarika kwa huduma nyingine lakini hakuna mfumo sahihi wa rufaa kwa waliopatwa na UWAKI Watoa huduma za afya hawana taarifa sahihi za waliopatwa na UWAKI kuhusu utaratibu wa kupeleka na kupokea wagonjwa kwenye vituo vyao na kwenda kwenye vituo vingine au huduma za mfumo wa jamii polisi kisheria na kadhalika Katika mazingira haya mahitaji ya rufaa kwa waliopatwa na UWAKI hayakidhiwi Waliopatwa na UWAKI hawana taarifa ambazo zitawasaidia kupata huduma na hivyo hushindwa kufanya uamuzi sahihi au kutafuta huduma na matibabu zaidi

Upungufu wa taarifa na takwimu Nchini Tanzania matukio yanayohusu UWAKI hayatolewi taarifa ipasavyo kutokana na sababu nyingi zikiwemo waathirika kusita kutoa ripoti ya matukio kutokana na unyanyapaa na ubaguzi hofu ya kutengwa na jamii aibu na miiko inayohusishwa na UWAKI Matokeo yake ni ukosefu wa taarifa zenye uhakika ambazo zinaweza kutumika kuandaa mpango kwa misingi ya utafi ti utaratibu wa utoaji huduma maendeleo ya kisera na utetezi ufuatiliaji na tathmini na uamuzi wa kiutawala

[b] Huduma za Ustawi wa Jamii Utoaji wa huduma za ustawi wa jamii unakabiliwa na ushirikiano mdogo kati ya watendaji wa sekta mbalimbali wa huduma za afya katika halmashauri Kuna upungufu wa watoa huduma za ustawi wa jamii katika ngazi mbalimbali Hali hii inaathiri wigo wa huduma ya msaada wa kisaikolojia unasihi marekebisho ya tabia na utengamao

20

bull

bull

bull

bull

bull

Kikwazo kingine ni watoa huduma za ustawi wa jamii na wadau wa afya kukosa stadi maalumu za kutosha kuhusu kuzuia na kupambana na UWAKI

Wajibu wa watoa huduma za ustawi wa jamii ni muhimu kwa sababu wanafanya kazi katika ngazi ya jamii ambapo matukio mengi ya UWAKI hutokea Wana majukumu makubwa kama watu wa mstari wa mbele kwenye kuzuia na kupambana na UWAKI Uhusiano kati ya jamii na utoaji wa huduma ndio kipimo cha kiwango cha waathirika wa UWAKI kupata huduma za matibabu na kurejea kwenye jamii ili kuendelea kuishi maisha yenye faraja

[c] Huduma za Jamii Baadhi ya upungufu wa uhusiano kati ya jamii na vituo vya kutoa huduma za afya ni pamoja na

Uelewa duni kuhusu masuala ya UWAKI na uwezeshaji wa jamii katika kuzuia na kupambana na UWAKI Uelewa duni wa mahali pa kupata huduma kwa waliopatwa na UWAKI Upungufu wa huduma za kijamii kwa waathirika ikiwa ni pamoja na mifumo ya kijamii ya kutoa ulinzi na usalama (kwa mfano vituo vya hifadhi ya muda) na huduma za rufaa za kiafya polisi na msaada wa kisheria

[d] Huduma za Msaada wa Kisheria (Polisi na Mahakama) Kuna vikwazo vingi katika kupata msaada wa kisheria ambavyo ni pamoja na

Upungufu wa kupata huduma za polisi na msaada wa kisheria kwa waathirika wa UWAKI

bull Kutokuwepo kwa sheria mahususi dhidi ya UWAKI bull yasiyotosheleza UWAKI kwa vyombo Mafunzo kuhusu

vinavyosimamia sheria bull Kuna sheria zinazokinzana na hivyo kutoa mwanya wa tatizo la

UWAKI kuongezeka Upungufu wa watumishi na fedha kwa ajili ya huduma za polisi na msaada wa kisheria

21

bull

bull

Uhaba wa vituo vya msaada wa kisheria Vituo vingi vinavyotoa msaada wa kisheria kwa sasa vinahudumiwa na asasi zisizo za kiserikali zina bajeti ndogo na zipo zaidi mijini

[e] Huduma ya Elimu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imeingiza UWAKI katika mtaala wa mafunzo ya walimu shule za msingi na sekondari Hata hivyo kuna changamoto nyingi katika kuhusisha shule ili kuzuia na kupambana na UWAKI

bull Walimu hawajapata mafunzo ya kutosha kuhusu UWAKI Uhaba wa maeneo salama na programu za shuleni zinazowapa watoto uwezo wa kuzuia na kupambana na UWAKI na ukatili dhidi ya watoto

bull mfumo unaohusuUhusiano duni kati ya mfumo wa elimu na ulinzi na usalama wa mtoto

22

SEHEMU YA TATU

UMUHIMU NA MALENGO 31 Umuhimu

Utafiti uliofanyika nchini Tanzania umeonyesha viwango vya juu vya UWAKI ambavyo ni kati ya asilimia 30 hadi 50 Viwango hivi havikubaliki na vinasababisha madhara ya kimwili kingono kisaikolojia kwa makundi ya umri wowote hasa watoto na wanawake Matokeo ya UWAKI yanaweza kusababisha vifo kutokana na kujiua maambukizo ya virusi vya UKIMWI au magonjwa na vifo vya wanawake vinavyotokana na uzazi Matokeo mengine ingawa hayasababishi vifo yana madhara ya kimwili kingono na kisaikolojia kwa muda mfupi au mrefu Madhara ya UWAKI ni zaidi ya matokeo ya kiafya na majeraha ambayo ni vigumu kupona UWAKI unakiuka haki za binadamu za waathirika na husababisha matokeo hasi katika amani umoja na kipato cha familia ambayo kwa ujumla huleta madhara kwa maendeleo ya kijamii na kiuchumi

Ingawa Serikali ya Tanzania na asasi za kiraia zimefanya jitihada kubwa za kuzuia na kupambana na UWAKI bado tatizo hili ni changamoto kubwa WAUJ itashughulikia changamoto hizi kwa kushirikiana na wadau wengine hali inayohitaji ushirikiano wa karibu ili kushinda vikwazo vilivyopo ambavyo ni pamoja na upungufu wa fedha na watumishi udhaifu kwenye mfumo wa rufaa na mfumo wa kuunganisha huduma za UWAKI katika huduma zilizopo Changamoto nyingine ni uhaba wa utetezi na takwimu kwa ajili ya uandaaji wa mipango yenye misingi ya utafiti kufanya uamuzi ufuatiliaji na tathmini Hata hivyo serikali imeweka misingi imara kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kama inavyodhihirishwa kwa kuwepo kwa sera mikakati na mipango kazi ya kusaidia masuala ya kijinsia na kupunguza UWAKI

Kutokana na ukubwa wa tatizo hili madhara yake na changamoto zinazohusiana na UWAKI WAUJ imetayarisha Mwongozo huu wa kisera chini ya Sera ya Afya ili kuimarisha juhudi za kupambana na UWAKI na kuhakikisha utoaji wa huduma za kina na zenye ubora katika ngazi zote Mwongozo huu wa kisera utatoa mwelekeo kwa vituo vya huduma za afya kwa ngazi zote kuhusu wajibu na majukumu yao katika utoaji

23

wa huduma za UWAKI Pamoja na haya Mwongozo huu utawezesha utayarishaji wa mwongozo wa matibabu kwa waathirika wa UWAKI Kutokana na uzito wa tatizo hili la UWAKI utayarishaji wa Mwongozo huu ulihusisha na kushirikisha kwa kina wadau mbalimbali ndani na nje ya WAUJ

32 Lengo Kuu

Lengo kuu la Mwongozo huu wa kisera ni kuimarisha uwezo wa WAUJ kuelekeza sekta ya afya na ustawi wa jamii na kujenga uhusiano imara na jamii na wadau mbalimbali katika kuzuia na kupambana na UWAKI

33 Malengo Mahasusi

Mwongozo huu utawezesha yafuatayo

[i] Kuweka mfumo wa kuelekeza utayarishaji wa mwongozo wa matibabu na taratibu za kutoa huduma kwa waathirika wa UWAKI

[ii] Kuelekeza WAUJ namna ya uratibu bora wa utekelezaji wa juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kuelekeza namna ya kuweka mifumo thabiti ya ufuatiliaji tathmini na uwekaji wa kumbukumbu za afua za UWAKI chini ya WAUJ

[iv] Kuelekeza ushirikiano kati ya Wizara jamii na wadau kutoka sekta mbalimbali katika utoaji wa huduma za UWAKI

24

bull

SEHEMU YA NNE

MAELEKEZO YA KISERA

Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii watafanya kazi pamoja na wale wa sekta nyingine hasa kwenye ngazi ya jamii katika kuimarisha ushirikiano na mitandao mingine katika jamii ili kuwasaidia waliopatwa na UWAKI kwa karibu na kuwashirikisha katika kuboresha afya zao na kuzuia UWAKI

WAUJ kwa kushirikiana na wadau wengine imetayarisha Mwongozo huu wa kisera wa UWAKI ili kutoa taarifa malengo na maelekezo kuhusu jitihada za kuzuia kuepusha na kushughulikia madhara ya UWAKI katika sekta ya afya Wadau muhimu ni pamoja na viongozi wa jamii polisi na mahakama Yeyote kati ya wadau hawa anaweza kuwa ni kimbilio la kwanza kwa wahanga wa UWAKI Wote wana wajibu wa kutoa huduma kwa haraka na kwa ufanisi

41 Huduma kwa Waliopatwa na UWAKI

Watoa huduma za afya wanatakiwa kuwahudumia waliopatwa na UWAKI kwa kujali na kuzingatia maadili ya taaluma zao Wajibu huu ni pamoja na kuhakikisha usalama hali ya usiri heshima utu na kutoa huduma bila ubaguzi Aidha kabla ya kutoa huduma inatakiwa kupata ridhaa ya muhusika au mlezi wa mtoto mwenye umri chini ya miaka 18

Kwa kulenga na kuzingatia mahitaji ya watu waliofanyiwa UWAKI watoa huduma za afya kwenye ngazi zote watazingatia na kuongozwa na kanuni zifuatazo

[a] Haki za Binadamu Maadili na Kujali

bull zilenge kurejesha au Usalama Hatua zote zinazochukuliwa kudumisha usalama wao Hali ya Usiri Siri zao pamoja na familia zao zinatakiwa kutunzwa wakati wote Hii ina maana kwamba mtoa huduma ya afya anaweza kutoa taarifa muhimu kwa mtoa huduma mwingine pale ambapo muhusika ameridhia tu

25

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

Heshima na utu Watoa huduma wanatakiwa kuwasikiliza kwa makini maoni mawazo na fikira zao na kuwahudumia kwa heshima Bila ubaguzi Waliopatwa na UWAKI wote ni sawa na wanatakiwa kuhudumiwa kulingana na mahitaji yao pia kupewa nafasi sawa katika kupata huduma Ridhaa arifu Ridhaa ya aliyefanyiwa UWAKI itahitajika kwenye taratibu za utoaji huduma maalumu kama (1) Uchunguzi na tiba (2) Uchunguzi tiba pamoja na ushahidi wa kitaaluma (3) Uchunguzi tiba ushahidi wa kitaaluma pamoja na uchunguzi wa polisi na kisheria

Kanuni zinazohusu watoto bull Kuzingatia na kusimamia mahitaji halisi ya mtoto wakati wote bull Kumpa mtoto faraja bull Kumshirikisha mtoto katika kufanya uamuzi bull Kumshughulikia kila mtoto kwa haki na usawa

Kumsaidia na kumlea mtoto ili akue katika hali ya ujasiri na kujiamini

[b] Haki za Aliyepatwa na UWAKI Watoa huduma wote wanatakiwa kuwa na mtazamo unaozingatia mahitaji ya mtu aliyepatwa na UWAKI na kuheshimu haki zake ambazo ni

bull Kuhudumiwa kwa heshima bila unyanyapaa ubaguzi na kutokuwa na mtazamo wa kumlaumu Kupewa taarifa sahihi na zinazoeleweka ili aweze kutoa ridhaa na siyo kumwambia cha kufanya hali inayoweza kumfanya ajisikie mnyonge

bull Kupewa faragha na hali ya usiri na siyo kumteta au kumwaibisha Kulindwa dhidi ya ubaguzi wa aina yoyote au upendeleo wenye misingi ya kijinsia au sababu nyingine Kupewa nafasi ya kuchagua kuhudumiwa na mtoa huduma mwanamume au mwanamke

bull Kupewa nafasi ya kusindikizwa na ndugu au mlezi wake

26

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

[c] Wajibu wa Mtoa Huduma Mtoa huduma anatarajiwa kuzingatia yafuatayo anapomhudumia mtu aliyepatwa na UWAKI

Kujiweka katika nafasi ya mtu aliyepatwa na UWAKI na kuguswa kuwa mtunza siri kuonyesha upendo na kujali anapomuhudumia Kumpatia taarifa sahihi na kuhakikisha kuwa ridhaa arifu inatolewa kwa huduma inayohitajika Kuzingatia masilahi ya muhusika na kuheshimu matakwa yake wakati wote

bull na kuzuia madhara mengineKuhakikisha ulinzi na usalama wake Kuhifadhi kumbukumbu zake mahali pa usalama na kutunza siri wakati wote

bull huduma kadiriKumpatia rufaa kwenda kwenye ngazi za juu za inavyohitajika kulingana na kiwango cha madhara ya kimwili kihisia na kisaikolojia Aidha inatakiwa kumpatia unasihi kabla ya kumpa rufaa

Kuhusu Watoto bull Kuhakikisha kuwa mzazi au mlezi yupo wakati wote pia

kuhakikisha kwamba mzazi au mlezi siyo tishio kwa mtoto Wakati wote mwandae mtoto kuelewa kinachotarajiwa kutendeka na kuhakikisha anaelewa kitakachotokea Kwa watoto wenye umri chini ya miaka 18 ridhaa ya maandishi inahitajika kutoka kwa mzazi au mlezi

Vigezo vya kupata mchango wa mawazo kutoka kwa Watoto Watoto wa umri wa miaka 16 na zaidi kwa ujumla wana uwezo wa kutosha kufanya uamuzi

bull kuwaWatoto wa umri wa miaka 14 hadi 16 wanatarajiwa wamekomaa vya kutosha kutoa mchango au mawazo yao Watoto wa umri wa miaka 9 hadi 14 wana welewa wa kushiriki kufanya uamuzi lakini ukomavu wa kila mtoto unatakiwa kupimwa kipekee Watoto wa umri chini ya miaka 9 wana haki ya kutoa maoni arifu na kusikilizwa Wanaweza kushiriki katika mchakato wa kufanya uamuzi kwa kiwango fulani lakini hadhari inahitajika ili kuwaepusha na mzigo wa kuwa waamuzi

27

bull lazimaKimsingi inapendekezwa kwamba maoni ya kila mtoto yazingatiwe kulingana na umri wake kiwango cha ukomavu utamaduni mila na hali ya mazingira

[d] Wajibu wa WAUJ katika Ngazi ya Taifa WAUJ inatayarisha sera miongozo na kanuni inadhibiti ubora inafuatilia na kutathmini utekelezaji Vilevile inahakikisha kuna watumishi na fedha za kutosha kwa mipango ya afya pamoja na kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote WAUJ itaendeleza ushirikiano na wadau mbalimbali kitaifa na kimataifa Wizara itafanya yafuatayo katika kuzuia na kupambana na UWAKI

[i] Kuandaa miongozo ya matibabu yenye ubora kwa ajili ya watoto vijana na watu wazima waliopatwa na UWAKI

[ii] Kutafuta na kutenga fedha kwa ajili ya afua za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kuandaa miongozo ya mafunzo yanayohusiana na juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kutoa mafunzo kwa watoa huduma za afya na ustawi wa jamii kuhusu kuzuia na kupambana na UWAKI kwa watoto vijana na watu wazima

[v] Kutoa huduma mseto na rufaa kwa kutumia mfumo uliopo wa utoaji huduma za afya na ustawi wa jamii

[vi] Kuunganisha takwimu zinazohusu UWAKI kwenye Mfumo wa Takwimu na Ufuatiliaji wa Huduma za Afya (MTUHA)

[vii] Kuendeleza utaratibu wa kupeana taarifa na takwimu zinazohusu UWAKI pamoja na kushirikiana na wadau wake wakuu

[viii] Kufanya usimamizi shirikishi ili kuhakikisha kuwa kanuni za haki za binadamu maadili na kujali zinazingatiwa

[e] Wajibu wa Vituo vya Huduma za Afya Vituo vya kutoa huduma za afya vinajumuisha zahanati vituo vya afya na hospitali zinazomilikiwa na sekta ya umma na binafsi Vituo vyote vya kutoa huduma katika ngazi zote vina Kamati ya Uongozi ya Kituo na Timu ya Usimamizi

28

Vituo vya huduma za afya vitafanya yafuatayo [i] Kuhakikisha kwamba Timu za Usimamizi wa Huduma za Afya

zinatenga fedha za kutekeleza mikakati na mipango kazi ya mwaka ili kuviwezesha vituo kutoa huduma bora kwa waliopatwa na UWAKI

[ii] Kuunganisha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI na zile zilizopo kwenye vituo vya huduma za afya na kuhakikisha mpangilio mzuri wa rufaa za ndani na nje ya kituo zinakidhi mahitaji ya watoto vijana na watu wazima kwa usawa na haki

[iii] Kuhakikisha watoa huduma ya afya na ustawi wa jamii wanapatiwa mafunzo ya kutoa huduma toshelezi kwa watoto vijana na watu wazima waliopatwa na UWAKI

[iv] Kuanzisha utaratibu bora wa kukusanya takwimu na taarifa kuhusu huduma kwa waliopatwa na UWAKI na kutunza kumbukumbu kwa usahihi na kutoa taarifa kwa ajili ya matumizi ya kituo na wadau

[v] Kufanya kazi kwa ushirikiano wa karibu na kamati ya afya ya kituo polisi mahakama na taasisi za elimu ili kukuza ushirikiano kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye jamii

[f ] Wajibu wa Watoa Huduma za Afya Watoa huduma za afya ni pamoja na watunza kumbukumbu za afya tabibu (tabibu msaidizi ofisa tabibu madaktari wasaidizi madaktari na madaktari bingwa) wauguzi wakunga maofisa wauguzi wasaidizi maofisa wauuguzi) wafanyakazi wa maabara wafamasia na maofi sa ustawi wa jamii Watoa huduma hawa wanatakiwa kuzingatia yafuatayo

[i] Kuelewa kikamilifu na kuzingatia kanuni za miongozo ya haki za binadamu maadili ya taaluma na kuonyesha upendo na kujali wakati wa kumhudumia aliyepatwa na UWAKI

[ii] Kuhakikisha upatikanaji wa mahitaji muhimu na utoaji wa huduma toshelezi na zenye ubora kwa waliopatwa na UWAKI katika kituo cha kutoa huduma za afya na kwenye jamii

[iii] Kuwatambua waliopatwa na UWAKI kati ya wagonjwa wa nje katika kituo na kuhakikisha wanapata matibabu na rufaa kwa haraka

29

[iv] Kuhakikisha utoaji wa huduma toshelezi kwa waliopatwa na UWAKI (watu wazima vijana na watoto) Huduma hizi ni pamoja na huduma ya matibabu kutunza ushahidi unasihi na rufaa ndani ya mfumo wa afya na pia rufaa kwenda kwenye sekta nyingine

[v] Kuhakikisha vielelezo vya upelelezi vinakusanywa na kuhifadhiwa ipasavyo ili kutunza ushahidi

[vi] Kuchukua takwimu na taarifa kamili kuhusu aliyepatwa na UWAKI na kuhakikisha zimehifadhiwa kwa siri na usalama

[vii] Kujenga ushirikiano na jamii pamoja na wadau wengine

42 Wajibu wa Jamii

Wadau muhimu katika jamii ni Kamati ya Huduma za Jamii Kamati ya Ulinzi na Usalama Kamati ya Zahanati Mashirika ya Dini Kamati ya Kijiji ya Afya wahudumu wa afya katika jamii wakunga wa tiba asili waganga wa tiba asili na mbadala viongozi wa jamii vikundi vya wanawake na wakuu wa kaya

Jamii itafanya yafuatayo kwa waliopatwa na UWAKI [i] Kupanga na kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya kuzuia

na kutoa huduma bora kulingana na mpango wa mwaka wa zahanati

[ii] Kuhakikisha upatikanaji wa huduma toshelezi pamoja na usalama wao kupatiwa mahitaji ya msingi msaada wa kisaikolojia kupewa rufaa kwenda polisi vyombo vya sheria na watoa huduma wengine Vilevile wanajamii wana wajibu wa kutoa ushahidi mahakamani na kuwasaidia wahusika kuunganishwa na familia zao na jamii

[iii] Kuhakikisha kuwepo kwa vituo vya hifadhi ya muda vya kutosha kwenye jamii

[iv] Kujenga welewa na kuiwezesha jamii kuzuia na kupambana na UWAKI kwa kutetea misingi ya haki za binadamu usawa wa kijinsia haki za vijana na watoto na kutovumilia UWAKI

43 Msaada wa Kisheria kwa waliopatwa na UWAKI Watoa huduma wa afya na ustawi wa jamii baada ya kupata ridhaa kutoka kwa muhusika watampa rufaa ya kwenda sekta nyingine muhimu na kwa wadau mbalimbali kama vile polisi vituo vya msaada wa kisheria kwa ajili ya kupata huduma maalum Watoa huduma wanawajibika

30

kutoa taarifa za kutosha kuhusu masharti ya kisheria ya kutoa taarifa ya matukio ya UWAKI na kwa wakati unaofaa

Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wanawajibika kutoa ushauri kwa waliopatwa na UWAKI (watoto vijana na watu wazima) kuhusu taratibu za mahakama msaada wa ulinzi msaada wa kisheria na taratibu za polisi kama ifuatavyo

[a] Ushahidi wa Kimahakama Huduma kwa muhusika zitalenga mahitaji yake kuheshimu haki yake ya hali ya usiri kupewa taarifa za kutosha zenye kueleweka na sahihi hivyo kuhakikisha anatoa ridhaa arifu kwa hatua na zitakazofuata

[i] WAUJ itahakikisha kupatikana na kuzingatiwa kwa viwango vilivyowekwa kwa ngazi zote katika kuchukua historia kamili ya muhusika kupima na kufanya uchunguzi kuchukua vielelezo vya ushahidi kujaza fomu zinazokubalika kisheria kwa kuweka kumbukumbu ambazo ni halali kama ushahidi mahakamani

[ii] Timu ya Afya ya Usimamizi ya Kituo cha Huduma za Afya baada ya kupata ridhaa ya aliyepatwa na UWAKI itapanga kutenga na kutoa rasilimali za kutosha kuhakikisha nyaraka sahihi zimetayarishwa na kuhifadhiwa na vielelezo vya ushahidi wa mahakama vimepelekwa kwenda maabara ya serikali na kufuatilia majibu

[iii] Watoa huduma wa ngazi zote watahakikisha ukusanyaji sahihi wa vielelezo vya ushahidi na kujaza fomu zinazohusika pamoja na kujaza kwa ukamilifu Fomu ya Polisi Namba Tatu (PF3) na kuthibitisha kwamba muhusika ana taarifa na anaelewa utaratibu

[b] Ulinzi na Msaada kwa Waliopatwa na UWAKI Waliopatwa na UWAKI wana haki ya kulindwa dhidi ya mtuhumiwa pamoja na kupewa mahitaji ya msingi (kwa mfano chakula nguo usafi ri nk) kupewa huduma za polisi (mfano kusindikizwa ulinzi) na kupewa msaada wa kisheria

[i] WAUJ itahakikisha kwamba vituo vya huduma za afya na ustawi wa jamii na watoa huduma wa ngazi zote wana taarifa sahihi kuhusu haki za ulinzi na msaada kwa waliopatwa na UWAKI

31

[ii] Timu za Afya za Usimamizi wa vituo vya huduma za afya katika ngazi zote zitapanga kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya ulinzi na msaada kwa waliopatwa na UWAKI Kama Muhusika ni mtoto atasindikizwa na ofi sa ustawi wa jamii pamoja na mzazi au mlezi ikiwa mzazi au mlezi huyo hahusiki na uhalifu

[iii] Watoa huduma wa afya watatoa taarifa kwa muhusika au mzazi mlezi (kama muhusika ni mtoto chini ya miaka 18) kuhusu msaada atakaopata kwenye kituo cha huduma za afya polisi na msaada wa kisheria juu ya haki na ulinzi kwa mujibu wa sheria za Tanzania

[c] Wajibu wa Watoa Huduma za Afya na Ustawi wa Jamii katika Taratibu za Kimahakama

Watoa huduma za afya kwenye ngazi zote wanatakiwa kuhakikisha kwamba waliopatwa na UWAKI wakiwemo watu wazima vijana na watoto pamoja na walezi wao wana taarifa muhimu zinazohusu masuala ya kisheria ambayo yako nje ya huduma za tiba

[i] WAUJ itahakikisha kwamba vituo vya huduma za afya na watoa huduma wanapata ujuzi na wanajua wajibu wao kuhusu namna ya kutoa ushahidi mahakamani ili kuwasaidia wahusika

[ii] Timu za Usimamizi za vituo vya huduma za afya kwenye ngazi zote zitahakikisha kwamba watoa huduma wanaotambulika kisheria na wana welewa sahihi wa uandaaji wa nyaraka muhimu taratibu za kesi mahakamani na viwango vya ushahidi

[iii] Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii kwenye ngazi zote watahakikisha kwamba muhusika anapata taarifa za kutosha kuhusu ratiba na taratibu za upelelezi na umuhimu wa hatua za kisheria

44 Huduma ya Unasihi Kisaikolojia na Kijamii kwa Waliopatwa na UWAKI

Watu waliopatwa na janga la UWAKI watapewa msaada wa unasihi kisaikolojia na kijamii kwa upendo na kujali kuanzia wakati wa tukio hadi watakapojumuika tena kwenye familia na jamii Katika ngazi ya jamii msaada huo utatolewa na Maofisa wa Ustawi wa Jamii Maofi sa hawa watatoa msaada wa kisaikolojia na unasihi wakishirikiana na

32

wadau wengine waliopata mafunzo kutoka asasi za kiraia asasi za kidini na wahudumu wa afya katika jamii

[i] WAUJ itahakikisha utoaji wa msaada wa unasihi kisaikolojia na kijamii kwenye ngazi zote pamoja na kuhakikisha kuwepo kwa ulinzi na usalama (kwa mfano kituo cha hifadhi ya muda)

[ii] Timu za Usimamizi wa Huduma za Afya kwenye ngazi zote zitapanga na kutenga rasiilimali za kutosha pamoja na watoa huduma kwa ajili ya kutoa msaada wa kisaikolojia na kijamii rufaa na kujenga ushirikiano na wadau wengine ili kuwaunganisha wahusika kwenye familia na jamii

[iii] Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii watahakikisha kwamba wanatoa unasihi wa kutosha pamoja na kutoa huduma rafi ki kwa watoto kutoa rufaa za kwenda na kurudi kwenye huduma za tiba vituo vya hifadhi ya muda na kuwezesha kuwaunganisha kwenye familia na jamii

45 Mfumo wa Usimamizi Uratibu na Ushirikiano Utoaji wa huduma bora kwa waliopatwa na UWAKI unahitaji usimamizi na uratibu wa mara kwa mara kwa watoa huduma za afya wa kada mbalimbali katika ngazi zote Vilevile kuratibu shughuli na kutoa rufaa kwenye vituo vya ngazi ya taifa mikoa halmashauri na jamii Pia kunahitajika utaratibu wa kujenga ushirikiano kati ya sekta ya afya na wadau wa sekta nyingine

[a] Usimamizi wa Huduma za Kuzuia na Kupambana na UWAKI [i] Usimamizi wa huduma utakuwa ni sehemu ya mikakati na

mipango ya mwaka kwa vituo vya huduma za afya kwenye ngazi zote

[ii] Wasimamizi katika ngazi zote watafanya usimamizi shirikishi ili kuhakikisha utoaji wa huduma bora

[b] Uratibu wa Huduma za Kuzuia na Kupambana na UWAKI [i] Wasimamizi wa huduma za afya kwenye ngazi zote watabaini na

kuratibu afua na shughuli zinazotakiwa kutekelezwa na wadau mbalimbali kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI

33

[ii] Wasimamizi wa huduma za afya katika ngazi zote watahakikisha kuwa wanapanga utekelezaji wa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[c] Taratibu za Ushirikiano katika Kutoa Huduma za UWAKI Taratibu za ushirikiano zitahusisha ngazi mbalimbali za utoaji wa huduma za afya kulingana na hadhi ya kituo ikihusisha kada mbalimbali za afya katika serikali na sekta binafsi

[i] Wasimamizi wa huduma za afya watabaini na kuanzisha ushirikiano kwa ajili ya kutoa huduma bora na toshelezi kwa waliofanyiwa UWAKI

[ii] Wasimamizi wa huduma za afya watapanga na kutenga rasiilimali za kutosha kwa ajili ya kuendeleza ushirikiano na wadau muhimu pamoja na kujenga mfumo imara wa rufaa wa kupeleka na kuwarejesha wahusika

[iii] WAUJ itatayarisha na kusambaza orodha ya vituo vya rufaa kufuatana na aina ya huduma maalumu zinazotolewa

46 Utetezi na Mawasiliano ya Kubadili Tabia

Utetezi na mawasiliano ya kubadili tabia utakuwa ni sehemu ya mipango na mikakati ya kila mwaka katika ngazi zote Ngazi zote zitahamasisha kutenga na kutoa rasilimali za kutosha kwa ajili ya kutekeleza mipango na mikakati ya kila mwaka Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii watatambua na kuwezesha juhudi za jamii za kuhakikisha ushirikishwaji na kuhamasisha jamii kutumia rasilimali zao ili kupambana na UWAKI Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii wanatakiwa kupanga na kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya elimu ya afya kwa lengo la mawasiliano ya kubadili tabia

[a] Utetezi wa Kuzuia na kupambana na UWAKI kwa kushirikiana na wadau

Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii na kamati zinazohusika katika ngazi zote za WAUJ watafanya yafuatayo

[i] Kupanga mikakati ya kuongeza welewa na upeo kuhusu vyanzo vya UWAKI kubaini namna ya kuzuia na kubuni njia za kupambana na UWAKI

34

[ii] Kutetea na kuhamasisha uchangiaji zaidi wa raslimali kutenga kasma kwenye bajeti katika Mfumo wa Matumizi ya Muda wa Kati na katika Mpango Kabambe wa Afya wa Halmashauri kwa ajili ya kinga na huduma za kupambana na UWAKI

[iii] Kutetea utekelezaji wa sera na sheria zenye kuunga mkono juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kuhusisha vyombo vya habari katika kutekeleza shughuli za utetezi na ushawishi

[b] Ushirikiano wa wadau kwenye mawasiliano ya kubadili tabia dhidi ya UWAKI

Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii na kamati zao kwenye ngazi zote watafanya yafuatayo

[i] Kutambua mahitaji na kupanga mawasiliano ya kubadili tabia kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kwa ufanisi

[ii] Kuhusisha vyombo vya habari katika kupanga kutekeleza na kufuatilia shughuli za mawasiliano ya kubadili tabia

47 Ufuatiliaji na Tathmini ya Huduma za Kuzuia na Kupambana na UWAKI

Ufuatiliaji na tathmini ya huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI ni muhimu katika kupima ubora wa matokeo ya huduma zinazohusiana na UWAKI Ufuatiliaji na tathmini unahitaji kuchagua vigezo vya kupima maendeleo ya huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kukusanya takwimu kuchambua kutafsiri kutayarisha na kuwasilisha ripoti kwa wadau muhimu Ufuatiliaji na Tathmini unasaidia kutambua maeneo yanayohitaji kufanyiwa utafi ti

[i] Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii katika ngazi zote watatumia vigezo vilivyokubalika kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Takwimu za UWAKI zitaoanishwa na kuunganishwa kwenye MTUHA

[iii] Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii kwenye ngazi zote watahakikisha wanakusanya taarifa na takwimu zinazohusiana na UWAKI kwa kutumia fomu maalumu kwa ajili ya kufuatilia na

35

kutathimini usimamizi na kuwasilisha ripoti za utekelezaji kwa wadau kufuatana na utaratibu maalumu wa kushirikiana katika kutoa taarifa

[iv] Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii katika ngazi zote watafanya utafiti ili kuboresha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

36

SEHEMU YA TANO

MUUNDO WA UTENDAJI KATIKA KUZUIA NA KUPAMBANA NA UWAKI

Wajibu wa WAUJ ni kuandaa kusimamia na kuratibu utekelezaji wa Mwongozo huu wa sera pamoja na sheria kanuni na viwango vya huduma dhidi ya UWAKI katika ngazi zote nchini Mfumo wa utendaji kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI unahusisha ngazi tatu taifa mkoa na halmashauri

51 Ngazi ya Taifa

Katika ngazi ya Taifa Mganga Mkuu wa Serikali ndiye mwenye wajibu wa uongozi wa kitaaluma kwenye utekelezaji wa mipango ya kuzuia na kupambana na UWAKI Ofisi ya Mganga Mkuu ina idara nne ambazo ni Idara ya Kinga Idara ya Tiba Idara ya Mafunzo na Idara ya Ubora na viwango vya Huduma Huduma za Ustawi wa Jamii zipo chini ya Kamishna wa Ustawi wa Jamii

Kitengo cha Afya ya Uzazi na Mtoto ambacho kinasimamiwa na Idara ya Kinga ndicho kinachosimamia utekelezaji wa Mwongozo wa sera ya UWAKI Majukumu ya ofisi ya Mganga Mkuu wa Serikali Idara ya Kinga na Sehemu ya Afya ya Uzazi na Mtoto ni kama ifuatavyo

[a] Ofisi ya Mganga Mkuu wa Serikali Ofi si ya Mganga Mkuu wa Serikali inaratibu inasimamia na kuimarisha huduma za uboreshaji wa Afya Kinga Ubora na viwango vya huduma Tiba ya magonjwa na Utengamao Aidha ofisi inasimamia mafunzo upatikanaji wa wataalamu wa afya katika sekta ya Afya na Ustawi wa Jamii

Ofisi ya Mganga Mkuu wa Serikali kwa kushirikiana na Mabaraza na Vyama vya Kitaaluma vilivyo chini ya sekta ya Afya na Ustawi wa Jamii inasimamia maadili ya wataalamu wa afya kwa kupitia Mabaraza yao ya Kitaaluma

37

bull

bull

[I] Idara ya Kinga Idara hii inasimamia sehemu tano Afya ya Uzazi na Mtoto Epidemiolojia na Udhibiti wa Magonjwa Afya na Usafi wa Mazingira Elimu ya Afya na Lishe Kuna programu na miradi mbalimbali chini ya idara baadhi yake zinahusiana kwa ukaribu na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Programu hizi ni pamoja na Mpango wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI Programu ya Kuzuia Maambukizo ya VVU Kutoka kwa Mama Kwenda kwa Mtoto Programu ya Huduma ya Afya Kwenye Jamii Programuya Afya Shuleni Program ya Uzazi Salama Programu ya Afya ya Mtoto Programu ya Afya ya Uzazi kwa Vijana na Programu ya Uzazi wa Mpango

Idara itafanya yafuatayo Kuhakikisha afua za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa kwenye programu na miradi ya idara na sehemu Kuhakikisha kwamba afua za kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na utetezi na mawasiliano ya kubadili tabia zinajumuishwa kwenye miongozo ya elimu ya afya na ustawi wa jamii

Sehemu ya Huduma za Afya ya Uzazi na Mtoto Sehemu ya Huduma ya Afya ya Uzazi na Mtoto ndiyo inayohusika katika kuzuia na kupambana na UWAKI na majukumu yake ni

[i] Kuandaa mwongozo wa huduma za kina kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kutayarisha mitaala ya mafunzo kwa ajili ya wasimamizi na watoa huduma wa ngazi zote

[ii] Kuratibu kufuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI katika ngazi zote

[iii] Kuwasiliana na wizara nyingine na mashirika ya kitaifa na kimataifa yenye kuhusiana na mipango ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kuangalia upya orodha ya vifaa muhimu kwa utoaji wa huduma bora kwa wahanga wa UWAKI kwa ngazi zote za utoaji huduma

[v] Kuongoza kikundi kazi cha wanataaluma cha taifa pamoja na vikundikazi tanzu vya wanataaluma vinavyosaidia mtazamo mpana wa sekta ya afya na nguvu kazi za kusimamia utekelezaji wa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

38

[II] Idara ya Tiba Idara hii inasimamia huduma za Hospitali za Taifa Mikoa Wilaya Vituo vya Afya na Zahanati za umma na binafsi Uchunguzi Kinywa na Meno Magonjwa Yasiyo ya Kuambukiza na Tiba Asili Idara hii inafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha kwamba vituo vya kutoa huduma za afya katika ngazi zote vinatenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya huduma bora za matibabu kwa wahanga wa UWAKI pamoja na msaada wa kisaikolojia kijamii na rufaa

[ii] Kuhakikisha kwamba vituo vya kutoa huduma za afya kwenye ngazi zote vinapewa vifaa muhimu na vya kutosha kwa ajili ya uchunguzi wa afya vipimo vya maabara kubaini ugonjwa ushahidi wa kimahakama matibabu kutunza kumbukumbu kutoa taarifa na rufaa

[iii] Kuhakikisha kuwa watoa huduma za afya wanazingatia viwango vya kitaalamu na maadili na kuonyesha upendo na kuwajali wahanga wa UWAKI

[III] Idara ya Ubora wa huduma Idara hii ina sehemu tano ikijumuisha huduma za Uuguzi Dharura na Maafa Ukaguzi Dawa na Utafiti na Uhusiano wa Kimataifa Idara hii inafanya yafuatayo

[i] Inasimamia huduma za dawa vifaa tiba na vitendanishi [ii] Inasimamia huduma za Uuguzi na Ukunga [iii] Inasimamia na kufanya ukaguzi wa ubora wa huduma za afya

nchini ili kuziboresha [iv] Inasimamia kazi za utafiti na uhusiano wa kimataifa katika sekta ya

afya na ustawi wa jamii na [v] Inaandaa miongozo kanuni na taratibu zinazohusu huduma za

dharura

[IV] Idara ya Mafunzo Idara ya Mafunzo inasimamia Mipango ya Mafunzo ya Watumishi Mafunzo Endelevu kwa Watumishi Mafunzo kwa Wauguzi na Sayansi Shirikishi za Afya

39

Idara itafanya yafuatayo [i] Kutambua mahitaji ya kitaifa ya mafunzo ya afya na mafunzo ya

kuendeleza taaluma ya watumishi wanaohusika na kutoa huduma kwa waliopatwa na UWAKI

[ii] Kutayarisha mpango wa mafunzo ya muda mfupi na mrefu kwa ajili ya watumishi mbalimbali kwenye ngazi zote zinazotoa huduma kwa waliopatwa na UWAKI

[b] Idara ya Ustawi wa Jamii Idara ya Ustawi wa Jamii imegawanyika katika sehemu tano Huduma kwa Familia na Ustawi wa Mtoto katika malezi makuzi na maendeleo ya awali Huduma za marekebisho ya tabia na haki za mtoto kisheria Huduma kwa wazee na watu wenye ulemavu Mafunzo kwa watumishi na Kitengo cha takwimu Idara itafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha idara inatoa huduma rafiki na bora za ustawi wa jamii kwa wahanga wa UWAKI kwenye vituo vyote vya kutoa huduma za afya na ustawi wa jamii na kuvisimamia

[ii] Kuhakikisha idara inatoa mafunzo kwa watoa huduma wote [iii] Kushauri katika kurekebisha au kufutwa kwa sheria zisizosaidia

utoaji wa huduma bora za ustawi wa jamii na kushawishi kutunga sheria mpya

[c] Idara ya Sera na Mipango Idara hii inasimamia sehemu za Bajeti Sera Mipango Taarifa za Afya na Ufuatiliaji na Tathmini Idara itafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa kwenye mipango na bajeti ya Serikali

[ii] Kuhakikisha kuwa viashirio vya huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI vinaingizwa kwenye MTUHA

[d] Ushirikiano na wadau muhimu katika ldquoKutokomeza UWAKIrdquo

[i] WAUJ kupitia Sehemu ya Afya ya Uzazi na Mtoto kwa kushirikiana na wadau wengine watatetea ulinzi wa haki za waliopatwa na UWAKI na kutokomezwa kwa ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake watoto vijana na wanaume

40

[ii] WAUJ kwa kushirikiana na wadau wengine itaandaa mikakati ya kuhakikisha kwamba aina zote za ubaguzi unyonyaji ukandamizaji na unyanyasaji dhidi ya wanawake watoto vijana na wanaume zinatokomezwa

[iii] WAUJ kwa kushirikiana na wadau wengine watapitia sheria sera na kanuni ambazo zinakinzana na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Watatetea haki za jinsia na afya ya uzazi ikiwa ni pamoja na ulinzi wa mama na watoto dhidi ya UWAKI ukatili wa kifamilia na ukatili dhidi ya watoto na kutetea masuala haya yaingizwe kwenye Katiba ya Tanzania

52 Ngazi ya Mkoa

Utekelezaji wa mapambano dhidi ya UWAKI kwenye mikoa utasimamiwa na Timu ya Usimamizi wa Huduma za Afya Mkoa chini ya Katibu Tawala wa Mkoa na Timu ya Usimamizi ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa chini ya Bodi ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa na watafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa kwenye mpango mkakati wa miaka mitano wa mkoa na hospitali na mpango kazi wa kila mwaka

[ii] Kuhakikisha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa na kuendeshwa pamoja na huduma zilizopo kuwe na watoa huduma wa kutosha pamoja na mafunzo kwa wasimamizi na watoa huduma kwenye ngazi ya mkoa

[iii] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya kufuatilia kufanya tathmini usimamizi na kutoa ripoti za utendaji wa juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya mkoa

[iv] Kutoa msaada wa kitaalamu kwa Halmashauri na Timu za Afya za Halmashauri katika kupanga na kutekeleza huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[v] Kuhakikisha bajeti ya kutosha inatengwa kwenye mpango kabambe wa halmashauri wa afya kwa ajili ya kuiwezesha jamii kuzuia na kupambana na UWAKI

[vi] Kufanya utafiti ili kukuza uelewa kuhusu huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

41

53 Halmashauri za Jiji Manispaa na Wilaya

Bodi ya Huduma za Afya ya Halmashauri ni chombo cha halmashauri ya jiji manispaa na wilaya chenye jukumu la kutoa huduma bora za afya ustawi wa jamii pamoja na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI katika maeneo yao Mipango ya utekelezaji wa huduma za afya kwenye jiji manispaa na wilaya unasimamiwa na Timu ya Usimamizi wa Afya ya Halmashauri Hospitali ya kwanza ya rufaa katika Halmashauri ni Hospitali ya Wilaya au Hospitali Teule ya wilaya

Hospitali Teule ya Wilaya huendeshwa na Timu ya Usimamizi ya Hospitali na husimamiwa na Bodi ya Hospitali Vituo vya kutoa huduma za afya vina kamati za afya na huendeshwa na kamati za usimamizi wa kituo

(a) Ngazi ya Halmashauri Timu ya Halmashauri ya Usimamizi wa Afya itafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha kwamba mipango ya kila mwaka inatengewa fedha za kutosha kwa utekelezaji wa huduma bora za kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaunganishwa na huduma zilizopo kwenye ngazi zote

[iii] Kuhakikisha kwamba kunakuwa na watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wa kutosha na kuendelea kutoa mafunzo kwa watoa huduma wa kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kutetea kuhamasisha na kutenga fedha za kutosha kwa ajili ya kuiwezesha jamii kushiriki kwenye programu ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[v] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya ufuatiliaji tathmini usimamizi shirikishi na kuandaa taarifa za utekelezaji wa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[b] Ngazi ya Kata Kamati ya Afya ya Kata Kamati ya Afya ya Kituo cha Afya na Timu ya Usimamizi wa Kituo cha Afya zitasimamia utoaji wa huduma bora za afya katika kata pamoja na vijiji

42

Kamati na timu zitafanya yafuatayo [i] Kuhakikisha kwamba kila mwaka wanapanga na kutenga rasilimali

za kutosha kwa utekelezaji wa huduma kwa waliopatwa na UWAKI na afua za kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinajumuishwa na huduma zilizopo kwenye kituo cha afya na zahanati

[iii] Kuhakikisha kwamba kuna watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wa kutosha na kuendelea kutoa mafunzo kwa watoa huduma wanaohusika na kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye vituo vya afya na zahanati

[iv] Kutetea kuhamasisha na kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya kuiwezesha jamii kushiriki kwenye kuzuia na kupambana na UWAKI katika Mpango wa Afya wa Kata

[v] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya kufanya ufuatiliaji tathmini na kuandaa taarifa za utekelezaji wa kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kuziwasilisha kwa matumizi katika ngazi zote

[c] Ngazi ya Kijiji Kamati ya Zahanati na Timu ya Usimamizi wa Zahanati zina wajibu wa kutoa huduma za afya kwa wakazi wa eneo la kijiji au vijiji vyao

Kamati na timu zitafanya yafuatayo [i] Kuhakikisha kwamba kila mwaka wanapanga na kutenga raslimali

za kutosha kwa utekelezaji wa huduma kwa waliopatwa na UWAKI na afua za kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinajumuishwa na huduma zilizopo kwenye zahanati

[iii] Kuhakikisha kwamba kuna watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wa kutosha na kuendelea kutoa mafunzo kwa watoa huduma wanaohusika na kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye zahanati

[iv] Kutetea kuhamasisha na kutenga raslimali za kutosha kwa ajili ya kuiwezesha jamii kushiriki kwenye kuzuia na kupambana na UWAKI katika Mpango wa Afya wa Kijiji

43

[v] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya kufanya ufuatiliaji tathmini na kuandaa taarifa za utekelezaji wa kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kuziwasilisha kwa matumizi katika ngazi ya Kata na Wilaya

(d) Ngazi ya Kaya Kila mtu kwenye kaya atahusika katika kuzuia na kupambana na UWAKI na kutoa taarifa ya matukio ya UWAKI kwa mamlaka zinazohusika Pia kila mtu awajibike kwenye kubadili mtazamo na kuepuka mazoea na tabia zinazopelekea UWAKI

44

SEHEMU YA SITA

UFUATILIAJI TATHMINI NA UTAFITI

Ufuatiliaji na tathmini ya afua za kuzuia na kupambana na UWAKI utatekelezwa kwenye ngazi ya taifa mkoa halmashauri na vituo vya huduma za afya Viashirio ambavyo vimependekezwa kwenye ngazi hizi vimeonyeshwa kwenye Kiambatisho

61 Ngazi ya Taifa

Sehemu ya Afya ya Uzazi na Mtoto itaratibu itafuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote nchini

Sehemu hii itafanya yafuatayo [i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu zinazohusu

afua za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka Timu ya Usimamizi wa Afya ya Mkoa na kuzitumia katika kupanga na kuboresha mipango ya kuzuia na kupambana na UWAKI kwa kushirikiana na wadau

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma wa kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti [iv] Kuweka tathmini na ufuatiliaji wa huduma za kuzuia na kupambana

na UWAKI kwenye orodhahakiki ya usimamizi ya WAUJ

62 Ngazi ya Mkoa

Timu ya Usimamizi wa Afya ya Mkoa itakuwa na jukumu la kuratibu kufuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote za mkoa na itafanya yafuatayo

[i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu kuhusu afua za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka hospitali ya rufaa ya mkoa na Timu za Usimamizi wa Afya za Halmashauri kwa ajili ya matumizi yao na kuwasilisha ngazi ya Taifa

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma katika kuzuia na kupambana na UWAKI

45

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti

63 Ngazi ya Wilaya

Timu ya Usimamizi wa Afya ya Halmashauri itakuwa na jukumu la kuratibu kufuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote za wilaya na itafanya yafuatayo

[i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu kuhusu afua za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka hospitali ya wilaya na vituo vya kutolea huduma za afya na Timu za Usimamizi wa Afya za Halmashauri kwa ajili ya matumizi yao na kuwasilisha ngazi ya mkoa

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma katika kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti

64 Ngazi ya Kituo cha kutolea huduma

Timu ya Usimamizi wa Kituo cha Kutolea Huduma za Afya itaratibu itafuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye kituo na kufanya yafuatayo

[i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu kuhusu jitihada za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka kwenye zahanati na jamii na kuwasilisha wilayaniHalmashauri

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma katika kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti

46

KIAMBATISHO

VIASHIRIO VYA MPANGO WA KUZUIA NA KUPAMBANA NA UWAKI KATIKA SEKTA YA AFYA

[a] Ngazi ya Taifa

[i] Idadi ya watu waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya mikoa kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kimkoa

[iii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI kimkoa

[iv] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye uthibitisho kuwa vinatumia Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupamba na UWAKI kimkoa

[v] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye vifaa muhimu kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kimkoa

[b] Ngazi Ya Mkoa

[i] Idadi ya watu waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya wilayahalmashauri kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

[iii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

[iv] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye ushahidi wa kuandikwa na kutumia Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

[v] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye vifaa muhimu kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

47

[c] Ngazi ya Wilaya

[i] Idadi ya watu waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya vituo vya kutolea huduma kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwa vituo vya kutolea huduma

[iii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI

[iv] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye ushahidi wa kuandikwa na kutumia Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI

[v] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye vifaa muhimu kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[d] Ngazi ya Kituo

[i] Idadi ya wahusika waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye kituo cha huduma za afya kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Idadi ya watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Idadi ya watoa huduma walioelekezwa kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI

48

49

50

51

bullbullbull bullbull bullbullbull

~USAID ~f~ ~ KLITOKA KWA WKTJ Delivering as One WAIIAAEKANI

HEALTH POLICY middotmiddotmiddotoINITIATIVE

ltlt ASCII85EncodePages false AllowTransparency false AutoPositionEPSFiles true AutoRotatePages None Binding Left CalGrayProfile (Dot Gain 20) CalRGBProfile (sRGB IEC61966-21) CalCMYKProfile (US Web Coated 050SWOP051 v2) sRGBProfile (sRGB IEC61966-21) CannotEmbedFontPolicy Error CompatibilityLevel 14 CompressObjects Tags CompressPages true ConvertImagesToIndexed true PassThroughJPEGImages true CreateJobTicket false DefaultRenderingIntent Default DetectBlends true DetectCurves 00000 ColorConversionStrategy CMYK DoThumbnails false EmbedAllFonts true EmbedOpenType false ParseICCProfilesInComments true EmbedJobOptions true DSCReportingLevel 0 EmitDSCWarnings false EndPage -1 ImageMemory 1048576 LockDistillerParams false MaxSubsetPct 100 Optimize true OPM 1 ParseDSCComments true ParseDSCCommentsForDocInfo true PreserveCopyPage true PreserveDICMYKValues true PreserveEPSInfo true PreserveFlatness true PreserveHalftoneInfo false PreserveOPIComments true PreserveOverprintSettings true StartPage 1 SubsetFonts true TransferFunctionInfo Apply UCRandBGInfo Preserve UsePrologue false ColorSettingsFile () AlwaysEmbed [ true ] NeverEmbed [ true ] AntiAliasColorImages false CropColorImages true ColorImageMinResolution 300 ColorImageMinResolutionPolicy OK DownsampleColorImages true ColorImageDownsampleType Bicubic ColorImageResolution 300 ColorImageDepth -1 ColorImageMinDownsampleDepth 1 ColorImageDownsampleThreshold 150000 EncodeColorImages true ColorImageFilter DCTEncode AutoFilterColorImages true ColorImageAutoFilterStrategy JPEG ColorACSImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt ColorImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt JPEG2000ColorACSImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt JPEG2000ColorImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt AntiAliasGrayImages false CropGrayImages true GrayImageMinResolution 300 GrayImageMinResolutionPolicy OK DownsampleGrayImages true GrayImageDownsampleType Bicubic GrayImageResolution 300 GrayImageDepth -1 GrayImageMinDownsampleDepth 2 GrayImageDownsampleThreshold 150000 EncodeGrayImages true GrayImageFilter DCTEncode AutoFilterGrayImages true GrayImageAutoFilterStrategy JPEG GrayACSImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt GrayImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt JPEG2000GrayACSImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt JPEG2000GrayImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt AntiAliasMonoImages false CropMonoImages true MonoImageMinResolution 1200 MonoImageMinResolutionPolicy OK DownsampleMonoImages true MonoImageDownsampleType Bicubic MonoImageResolution 1200 MonoImageDepth -1 MonoImageDownsampleThreshold 150000 EncodeMonoImages true MonoImageFilter CCITTFaxEncode MonoImageDict ltlt K -1 gtgt AllowPSXObjects false CheckCompliance [ None ] PDFX1aCheck false PDFX3Check false PDFXCompliantPDFOnly false PDFXNoTrimBoxError true PDFXTrimBoxToMediaBoxOffset [ 000000 000000 000000 000000 ] PDFXSetBleedBoxToMediaBox true PDFXBleedBoxToTrimBoxOffset [ 000000 000000 000000 000000 ] PDFXOutputIntentProfile () PDFXOutputConditionIdentifier () PDFXOutputCondition () PDFXRegistryName () PDFXTrapped False CreateJDFFile false Description ltlt ARA ltFEFF06270633062A062E062F0645002006470630064700200627064406250639062F0627062F0627062A002006440625064606340627062100200648062B062706260642002000410064006F00620065002000500044004600200645062A064806270641064206290020064406440637062806270639062900200641064A00200627064406450637062706280639002006300627062A0020062F0631062C0627062A002006270644062C0648062F0629002006270644063906270644064A0629061B0020064A06450643064600200641062A062D00200648062B0627062606420020005000440046002006270644064506460634062306290020062806270633062A062E062F062706450020004100630072006F0062006100740020064800410064006F006200650020005200650061006400650072002006250635062F0627063100200035002E0030002006480627064406250635062F062706310627062A0020062706440623062D062F062B002E0635062F0627063100200035002E0030002006480627064406250635062F062706310627062A0020062706440623062D062F062B002Egt BGR ltFEFF04180437043f043e043b043704320430043904420435002004420435043704380020043d0430044104420440043e0439043a0438002c00200437043000200434043000200441044a0437043404300432043004420435002000410064006f00620065002000500044004600200434043e043a0443043c0435043d04420438002c0020043c0430043a04410438043c0430043b043d043e0020043f044004380433043e04340435043d04380020043704300020043204380441043e043a043e043a0430044704350441044204320435043d0020043f04350447043004420020043704300020043f044004350434043f0435044704300442043d04300020043f043e04340433043e0442043e0432043a0430002e002000200421044a04370434043004340435043d043804420435002000500044004600200434043e043a0443043c0435043d044204380020043c043e0433043004420020043404300020044104350020043e0442043204300440044f0442002004410020004100630072006f00620061007400200438002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020043800200441043b0435043404320430044904380020043204350440044104380438002egt CHS ltFEFF4f7f75288fd94e9b8bbe5b9a521b5efa7684002000410064006f006200650020005000440046002065876863900275284e8e9ad88d2891cf76845370524d53705237300260a853ef4ee54f7f75280020004100630072006f0062006100740020548c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000204ee553ca66f49ad87248672c676562535f00521b5efa768400200050004400460020658768633002gt CHT ltFEFF4f7f752890194e9b8a2d7f6e5efa7acb7684002000410064006f006200650020005000440046002065874ef69069752865bc9ad854c18cea76845370524d5370523786557406300260a853ef4ee54f7f75280020004100630072006f0062006100740020548c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000204ee553ca66f49ad87248672c4f86958b555f5df25efa7acb76840020005000440046002065874ef63002gt CZE ltFEFF005400610074006f0020006e006100730074006100760065006e00ed00200070006f0075017e0069006a007400650020006b0020007600790074007600e101590065006e00ed00200064006f006b0075006d0065006e0074016f002000410064006f006200650020005000440046002c0020006b00740065007200e90020007300650020006e0065006a006c00e90070006500200068006f006400ed002000700072006f0020006b00760061006c00690074006e00ed0020007400690073006b00200061002000700072006500700072006500730073002e002000200056007900740076006f01590065006e00e900200064006f006b0075006d0065006e007400790020005000440046002000620075006400650020006d006f017e006e00e90020006f007400650076015900ed007400200076002000700072006f006700720061006d0065006300680020004100630072006f00620061007400200061002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000610020006e006f0076011b006a016100ed00630068002egt DAN ltFEFF004200720075006700200069006e0064007300740069006c006c0069006e006700650072006e0065002000740069006c0020006100740020006f007000720065007400740065002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e007400650072002c0020006400650072002000620065006400730074002000650067006e006500720020007300690067002000740069006c002000700072006500700072006500730073002d007500640073006b007200690076006e0069006e00670020006100660020006800f8006a0020006b00760061006c0069007400650074002e0020004400650020006f007000720065007400740065006400650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e0074006500720020006b0061006e002000e50062006e00650073002000690020004100630072006f00620061007400200065006c006c006500720020004100630072006f006200610074002000520065006100640065007200200035002e00300020006f00670020006e0079006500720065002egt DEU ltFEFF00560065007200770065006e00640065006e0020005300690065002000640069006500730065002000450069006e007300740065006c006c0075006e00670065006e0020007a0075006d002000450072007300740065006c006c0065006e00200076006f006e002000410064006f006200650020005000440046002d0044006f006b0075006d0065006e00740065006e002c00200076006f006e002000640065006e0065006e002000530069006500200068006f006300680077006500720074006900670065002000500072006500700072006500730073002d0044007200750063006b0065002000650072007a0065007500670065006e0020006d00f60063006800740065006e002e002000450072007300740065006c006c007400650020005000440046002d0044006f006b0075006d0065006e007400650020006b00f6006e006e0065006e0020006d006900740020004100630072006f00620061007400200075006e0064002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020006f0064006500720020006800f600680065007200200067006500f600660066006e00650074002000770065007200640065006e002egt ESP ltFEFF005500740069006c0069006300650020006500730074006100200063006f006e0066006900670075007200610063006900f3006e0020007000610072006100200063007200650061007200200064006f00630075006d0065006e0074006f00730020005000440046002000640065002000410064006f0062006500200061006400650063007500610064006f00730020007000610072006100200069006d0070007200650073006900f3006e0020007000720065002d0065006400690074006f007200690061006c00200064006500200061006c00740061002000630061006c0069006400610064002e002000530065002000700075006500640065006e00200061006200720069007200200064006f00630075006d0065006e0074006f00730020005000440046002000630072006500610064006f007300200063006f006e0020004100630072006f006200610074002c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200079002000760065007200730069006f006e0065007300200070006f00730074006500720069006f007200650073002egt ETI ltFEFF004b00610073007500740061006700650020006e0065006900640020007300e4007400740065006900640020006b00760061006c006900740065006500740073006500200074007200fc006b006900650065006c007300650020007000720069006e00740069006d0069007300650020006a0061006f006b007300200073006f00620069006c0069006b0065002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740069006400650020006c006f006f006d006900730065006b0073002e00200020004c006f006f0064007500640020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740065002000730061006100740065002000610076006100640061002000700072006f006700720061006d006d006900640065006700610020004100630072006f0062006100740020006e0069006e0067002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020006a00610020007500750065006d006100740065002000760065007200730069006f006f006e00690064006500670061002e000d000agt FRA ltFEFF005500740069006c006900730065007a00200063006500730020006f007000740069006f006e00730020006100660069006e00200064006500200063007200e900650072002000640065007300200064006f00630075006d0065006e00740073002000410064006f00620065002000500044004600200070006f0075007200200075006e00650020007100750061006c0069007400e90020006400270069006d007000720065007300730069006f006e00200070007200e9007000720065007300730065002e0020004c0065007300200064006f00630075006d0065006e00740073002000500044004600200063007200e900e90073002000700065007500760065006e0074002000ea0074007200650020006f007500760065007200740073002000640061006e00730020004100630072006f006200610074002c002000610069006e00730069002000710075002700410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000650074002000760065007200730069006f006e007300200075006c007400e90072006900650075007200650073002egt GRE ltFEFF03a703c103b703c303b903bc03bf03c003bf03b903ae03c303c403b5002003b103c503c403ad03c2002003c403b903c2002003c103c503b803bc03af03c303b503b903c2002003b303b903b1002003bd03b1002003b403b703bc03b903bf03c503c103b303ae03c303b503c403b5002003ad03b303b303c103b103c603b1002000410064006f006200650020005000440046002003c003bf03c5002003b503af03bd03b103b9002003ba03b103c42019002003b503be03bf03c703ae03bd002003ba03b103c403ac03bb03bb03b703bb03b1002003b303b903b1002003c003c103bf002d03b503ba03c403c503c003c903c403b903ba03ad03c2002003b503c103b303b103c303af03b503c2002003c503c803b703bb03ae03c2002003c003bf03b903cc03c403b703c403b103c2002e0020002003a403b10020005000440046002003ad03b303b303c103b103c603b1002003c003bf03c5002003ad03c703b503c403b5002003b403b703bc03b903bf03c503c103b303ae03c303b503b9002003bc03c003bf03c103bf03cd03bd002003bd03b1002003b103bd03bf03b903c703c403bf03cd03bd002003bc03b5002003c403bf0020004100630072006f006200610074002c002003c403bf002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002003ba03b103b9002003bc03b503c403b103b303b503bd03ad03c303c403b503c103b503c2002003b503ba03b403cc03c303b503b903c2002egt HEB ltFEFF05D405E905EA05DE05E905D5002005D105D405D205D305E805D505EA002005D005DC05D4002005DB05D305D9002005DC05D905E605D505E8002005DE05E105DE05DB05D9002000410064006F006200650020005000440046002005D405DE05D505EA05D005DE05D905DD002005DC05D405D305E405E105EA002005E705D305DD002D05D305E405D505E1002005D005D905DB05D505EA05D905EA002E002005DE05E105DE05DB05D90020005000440046002005E905E005D505E605E805D5002005E005D905EA05E005D905DD002005DC05E405EA05D905D705D4002005D105D005DE05E605E205D505EA0020004100630072006F006200610074002005D5002D00410064006F00620065002000520065006100640065007200200035002E0030002005D505D205E805E105D005D505EA002005DE05EA05E705D305DE05D505EA002005D905D505EA05E8002E05D005DE05D905DD002005DC002D005000440046002F0058002D0033002C002005E205D905D905E005D5002005D105DE05D305E805D905DA002005DC05DE05E905EA05DE05E9002005E905DC0020004100630072006F006200610074002E002005DE05E105DE05DB05D90020005000440046002005E905E005D505E605E805D5002005E005D905EA05E005D905DD002005DC05E405EA05D905D705D4002005D105D005DE05E605E205D505EA0020004100630072006F006200610074002005D5002D00410064006F00620065002000520065006100640065007200200035002E0030002005D505D205E805E105D005D505EA002005DE05EA05E705D305DE05D505EA002005D905D505EA05E8002Egt HRV (Za stvaranje Adobe PDF dokumenata najpogodnijih za visokokvalitetni ispis prije tiskanja koristite ove postavke Stvoreni PDF dokumenti mogu se otvoriti Acrobat i Adobe Reader 50 i kasnijim verzijama) HUN ltFEFF004b0069007600e1006c00f30020006d0069006e0151007300e9006701710020006e0079006f006d00640061006900200065006c0151006b00e90073007a00ed007401510020006e0079006f006d00740061007400e100730068006f007a0020006c006500670069006e006b00e1006200620020006d0065006700660065006c0065006c0151002000410064006f00620065002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e00740075006d006f006b0061007400200065007a0065006b006b0065006c0020006100200062006500e1006c006c00ed007400e10073006f006b006b0061006c0020006b00e90073007a00ed0074006800650074002e0020002000410020006c00e90074007200650068006f007a006f00740074002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e00740075006d006f006b00200061007a0020004100630072006f006200610074002000e9007300200061007a002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002c0020007600610067007900200061007a002000610074007400f3006c0020006b00e9007301510062006200690020007600650072007a006900f3006b006b0061006c0020006e00790069007400680061007400f3006b0020006d00650067002egt ITA ltFEFF005500740069006c0069007a007a006100720065002000710075006500730074006500200069006d0070006f007300740061007a0069006f006e00690020007000650072002000630072006500610072006500200064006f00630075006d0065006e00740069002000410064006f00620065002000500044004600200070006900f900200061006400610074007400690020006100200075006e00610020007000720065007300740061006d0070006100200064006900200061006c007400610020007100750061006c0069007400e0002e0020004900200064006f00630075006d0065006e007400690020005000440046002000630072006500610074006900200070006f00730073006f006e006f0020006500730073006500720065002000610070006500720074006900200063006f006e0020004100630072006f00620061007400200065002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200065002000760065007200730069006f006e006900200073007500630063006500730073006900760065002egt JPN ltFEFF9ad854c18cea306a30d730ea30d730ec30b951fa529b7528002000410064006f0062006500200050004400460020658766f8306e4f5c6210306b4f7f75283057307e305930023053306e8a2d5b9a30674f5c62103055308c305f0020005000440046002030d530a130a430eb306f3001004100630072006f0062006100740020304a30883073002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000204ee5964d3067958b304f30533068304c3067304d307e305930023053306e8a2d5b9a306b306f30d530a930f330c8306e57cb30818fbc307f304c5fc59808306730593002gt KOR ltFEFFc7740020c124c815c7440020c0acc6a9d558c5ec0020ace0d488c9c80020c2dcd5d80020c778c1c4c5d00020ac00c7a50020c801d569d55c002000410064006f0062006500200050004400460020bb38c11cb97c0020c791c131d569b2c8b2e4002e0020c774b807ac8c0020c791c131b41c00200050004400460020bb38c11cb2940020004100630072006f0062006100740020bc0f002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020c774c0c1c5d0c11c0020c5f40020c2180020c788c2b5b2c8b2e4002egt LTH ltFEFF004e006100750064006f006b0069007400650020016100690075006f007300200070006100720061006d006500740072007500730020006e006f0072011700640061006d00690020006b0075007200740069002000410064006f00620065002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400750073002c0020006b00750072006900650020006c0061006200690061007500730069006100690020007000720069007400610069006b007900740069002000610075006b01610074006f00730020006b006f006b007900620117007300200070006100720065006e006700740069006e00690061006d00200073007000610075007300640069006e0069006d00750069002e0020002000530075006b0075007200740069002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400610069002000670061006c006900200062016b007400690020006100740069006400610072006f006d00690020004100630072006f006200610074002000690072002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000610072002000760117006c00650073006e0117006d00690073002000760065007200730069006a006f006d00690073002egt LVI ltFEFF0049007a006d0061006e0074006f006a00690065007400200161006f00730020006900650073007400610074012b006a0075006d00750073002c0020006c0061006900200076006500690064006f00740075002000410064006f00620065002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400750073002c0020006b006100730020006900720020012b00700061016100690020007000690065006d01130072006f00740069002000610075006700730074006100730020006b00760061006c0069007401010074006500730020007000690072006d007300690065007300700069006501610061006e006100730020006400720075006b00610069002e00200049007a0076006500690064006f006a006900650074002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400750073002c0020006b006f002000760061007200200061007400760113007200740020006100720020004100630072006f00620061007400200075006e002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002c0020006b0101002000610072012b00200074006f0020006a00610075006e0101006b0101006d002000760065007200730069006a0101006d002egt NLD (Gebruik deze instellingen om Adobe PDF-documenten te maken die zijn geoptimaliseerd voor prepress-afdrukken van hoge kwaliteit De gemaakte PDF-documenten kunnen worden geopend met Acrobat en Adobe Reader 50 en hoger) NOR ltFEFF004200720075006b00200064006900730073006500200069006e006e007300740069006c006c0069006e00670065006e0065002000740069006c002000e50020006f0070007000720065007400740065002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740065007200200073006f006d00200065007200200062006500730074002000650067006e0065007400200066006f00720020006600f80072007400720079006b006b0073007500740073006b00720069006600740020006100760020006800f800790020006b00760061006c0069007400650074002e0020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740065006e00650020006b0061006e002000e50070006e00650073002000690020004100630072006f00620061007400200065006c006c00650072002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200065006c006c00650072002000730065006e006500720065002egt POL ltFEFF0055007300740061007700690065006e0069006100200064006f002000740077006f0072007a0065006e0069006100200064006f006b0075006d0065006e007400f300770020005000440046002000700072007a0065007a006e00610063007a006f006e00790063006800200064006f002000770079006400720075006b00f30077002000770020007700790073006f006b00690065006a0020006a0061006b006f015b00630069002e002000200044006f006b0075006d0065006e0074007900200050004400460020006d006f017c006e00610020006f007400770069006500720061010700200077002000700072006f006700720061006d006900650020004100630072006f00620061007400200069002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000690020006e006f00770073007a0079006d002egt PTB ltFEFF005500740069006c0069007a006500200065007300730061007300200063006f006e00660069006700750072006100e700f50065007300200064006500200066006f0072006d00610020006100200063007200690061007200200064006f00630075006d0065006e0074006f0073002000410064006f0062006500200050004400460020006d00610069007300200061006400650071007500610064006f00730020007000610072006100200070007200e9002d0069006d0070007200650073007300f50065007300200064006500200061006c007400610020007100750061006c00690064006100640065002e0020004f007300200064006f00630075006d0065006e0074006f00730020005000440046002000630072006900610064006f007300200070006f00640065006d0020007300650072002000610062006500720074006f007300200063006f006d0020006f0020004100630072006f006200610074002000650020006f002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000650020007600650072007300f50065007300200070006f00730074006500720069006f007200650073002egt RUM ltFEFF005500740069006c0069007a00610163006900200061006300650073007400650020007300650074010300720069002000700065006e007400720075002000610020006300720065006100200064006f00630075006d0065006e00740065002000410064006f006200650020005000440046002000610064006500630076006100740065002000700065006e0074007200750020007400690070010300720069007200650061002000700072006500700072006500730073002000640065002000630061006c006900740061007400650020007300750070006500720069006f006100720103002e002000200044006f00630075006d0065006e00740065006c00650020005000440046002000630072006500610074006500200070006f00740020006600690020006400650073006300680069007300650020006300750020004100630072006f006200610074002c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020015f00690020007600650072007300690075006e0069006c006500200075006c0074006500720069006f006100720065002egt RUS ltFEFF04180441043f043e043b044c04370443043904420435002004340430043d043d044b04350020043d0430044104420440043e0439043a043800200434043b044f00200441043e043704340430043d0438044f00200434043e043a0443043c0435043d0442043e0432002000410064006f006200650020005000440046002c0020043c0430043a04410438043c0430043b044c043d043e0020043f043e04340445043e0434044f04490438044500200434043b044f00200432044b0441043e043a043e043a0430044704350441044204320435043d043d043e0433043e00200434043e043f0435044704300442043d043e0433043e00200432044b0432043e04340430002e002000200421043e043704340430043d043d044b04350020005000440046002d0434043e043a0443043c0435043d0442044b0020043c043e0436043d043e0020043e0442043a0440044b043204300442044c002004410020043f043e043c043e0449044c044e0020004100630072006f00620061007400200438002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020043800200431043e043b043504350020043f043e04370434043d043804450020043204350440044104380439002egt SKY ltFEFF0054006900650074006f0020006e006100730074006100760065006e0069006100200070006f0075017e0069007400650020006e00610020007600790074007600e100720061006e0069006500200064006f006b0075006d0065006e0074006f0076002000410064006f006200650020005000440046002c0020006b0074006f007200e90020007300610020006e0061006a006c0065007001610069006500200068006f0064006900610020006e00610020006b00760061006c00690074006e00fa00200074006c0061010d00200061002000700072006500700072006500730073002e00200056007900740076006f00720065006e00e900200064006f006b0075006d0065006e007400790020005000440046002000620075006400650020006d006f017e006e00e90020006f00740076006f00720069016500200076002000700072006f006700720061006d006f006300680020004100630072006f00620061007400200061002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000610020006e006f0076016100ed00630068002egt SLV ltFEFF005400650020006e006100730074006100760069007400760065002000750070006f0072006100620069007400650020007a00610020007500730074007600610072006a0061006e006a006500200064006f006b0075006d0065006e0074006f0076002000410064006f006200650020005000440046002c0020006b006900200073006f0020006e0061006a007000720069006d00650072006e0065006a016100690020007a00610020006b0061006b006f0076006f00730074006e006f0020007400690073006b0061006e006a00650020007300200070007200690070007200610076006f0020006e00610020007400690073006b002e00200020005500730074007600610072006a0065006e006500200064006f006b0075006d0065006e0074006500200050004400460020006a00650020006d006f0067006f010d00650020006f0064007000720065007400690020007a0020004100630072006f00620061007400200069006e002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200069006e0020006e006f00760065006a01610069006d002egt SUO ltFEFF004b00e40079007400e40020006e00e40069007400e4002000610073006500740075006b007300690061002c0020006b0075006e0020006c0075006f00740020006c00e400680069006e006e00e4002000760061006100740069007600610061006e0020007000610069006e006100740075006b00730065006e002000760061006c006d0069007300740065006c00750074007900f6006800f6006e00200073006f00700069007600690061002000410064006f0062006500200050004400460020002d0064006f006b0075006d0065006e007400740065006a0061002e0020004c0075006f0064007500740020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740069007400200076006f0069006400610061006e0020006100760061007400610020004100630072006f0062006100740069006c006c00610020006a0061002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030003a006c006c00610020006a006100200075007500640065006d006d0069006c006c0061002egt SVE ltFEFF0041006e007600e4006e00640020006400650020006800e4007200200069006e0073007400e4006c006c006e0069006e006700610072006e00610020006f006d002000640075002000760069006c006c00200073006b006100700061002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e007400200073006f006d002000e400720020006c00e4006d0070006c0069006700610020006600f60072002000700072006500700072006500730073002d007500740073006b00720069006600740020006d006500640020006800f600670020006b00760061006c0069007400650074002e002000200053006b006100700061006400650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740020006b0061006e002000f600700070006e00610073002000690020004100630072006f0062006100740020006f00630068002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020006f00630068002000730065006e006100720065002egt TUR ltFEFF005900fc006b00730065006b0020006b0061006c006900740065006c0069002000f6006e002000790061007a006401310072006d00610020006200610073006b013100730131006e006100200065006e0020006900790069002000750079006100620069006c006500630065006b002000410064006f006200650020005000440046002000620065006c00670065006c0065007200690020006f006c0075015f007400750072006d0061006b0020006900e70069006e00200062007500200061007900610072006c0061007201310020006b0075006c006c0061006e0131006e002e00200020004f006c0075015f0074007500720075006c0061006e0020005000440046002000620065006c00670065006c0065007200690020004100630072006f006200610074002000760065002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200076006500200073006f006e0072006100730131006e00640061006b00690020007300fc007200fc006d006c00650072006c00650020006100e70131006c006100620069006c00690072002egt UKR ltFEFF04120438043a043e0440043804410442043e043204430439044204350020044604560020043f043004400430043c043504420440043800200434043b044f0020044104420432043e04400435043d043d044f00200434043e043a0443043c0435043d044204560432002000410064006f006200650020005000440046002c0020044f043a04560020043d04300439043a04400430044904350020043f045604340445043e0434044f0442044c00200434043b044f0020043204380441043e043a043e044f043a04560441043d043e0433043e0020043f0435044004350434043404400443043a043e0432043e0433043e0020043404400443043a0443002e00200020042104420432043e04400435043d045600200434043e043a0443043c0435043d0442043800200050004400460020043c043e0436043d04300020043204560434043a0440043804420438002004430020004100630072006f006200610074002004420430002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002004300431043e0020043f04560437043d04560448043e04570020043204350440044104560457002egt ENU (Use these settings to create Adobe PDF documents best suited for high-quality prepress printing Created PDF documents can be opened with Acrobat and Adobe Reader 50 and later) gtgt Namespace [ (Adobe) (Common) (10) ] OtherNamespaces [ ltlt AsReaderSpreads false CropImagesToFrames true ErrorControl WarnAndContinue FlattenerIgnoreSpreadOverrides false IncludeGuidesGrids false IncludeNonPrinting false IncludeSlug false Namespace [ (Adobe) (InDesign) (40) ] OmitPlacedBitmaps false OmitPlacedEPS false OmitPlacedPDF false SimulateOverprint Legacy gtgt ltlt AddBleedMarks false AddColorBars false AddCropMarks false AddPageInfo false AddRegMarks false ConvertColors ConvertToCMYK DestinationProfileName () DestinationProfileSelector DocumentCMYK Downsample16BitImages true FlattenerPreset ltlt PresetSelector MediumResolution gtgt FormElements false GenerateStructure false IncludeBookmarks false IncludeHyperlinks false IncludeInteractive false IncludeLayers false IncludeProfiles false MultimediaHandling UseObjectSettings Namespace [ (Adobe) (CreativeSuite) (20) ] PDFXOutputIntentProfileSelector DocumentCMYK PreserveEditing true UntaggedCMYKHandling LeaveUntagged UntaggedRGBHandling UseDocumentProfile UseDocumentBleed false gtgt ]gtgt setdistillerparamsltlt HWResolution [2400 2400] PageSize [612000 792000]gtgt setpagedevice

  1. 1 World Health Organization WHO
  2. 2 Beijing Platform for Action BPA 1995
  3. 5 International Covenant on Civil and Political Rights ICCPR 1966
  4. 7 Krug Etienne et al 2002 World Report on Violence and Health Geneva WHO
Page 17: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na

Tanzania (17) Bangladesh (30) na Ethiopia (17) Ukatili wa kimwili kwa wanawake wajawazito uliripotiwa kuwa ni asilimia 4-12

Wanawake na wasichana wanakabiliwa na aina nyingine ya ziada ya unyanyasaji Usafirishaji haramu wa wanawake na wasichana kwa ajili ya kazi na ngono za kulazimishwa ni biashara iliyoshamiri na mara nyingi waathirika ni wale wanaokabiliwa na hali ngumu ya maisha Ndoa za kulazimishwa na za utotoni ni ukiukwaji wa haki za binadamu kwa wanawake na wasichana lakini zinaendelea kushamiri kwenye nchi nyingi za Bara la Asia Mashariki ya Kati na Nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara Utafiti wa Shirika la Afya Duniani (2010) unaonyesha kuwa duniani kote mwanamke mmoja kati ya wanawake watano na mwanamume mmoja kati ya wanaume 10 wanaripotiwa kuathirika na unyanyasaji wa kingono wakati wa utoto

12 Hali ya UWAKI Kanda ya Afrika

Kuna uhaba wa taarifa takwimu na utafiti kuhusu UWAKI kwenye ukanda wa Afrika Mashariki Nchini Kenya kulikuwa hakuna takwimu zenye kuhusiana na ukatili wa kijinsia hadi utafiti wa hali ya jamii na afya ulipofanyika mwaka 2003 Utafiti huu ulionyesha kwamba asilimia 29 ya wanawake waliripotiwa kuathiriwa na ukatili wa kingono kwenye kipindi cha mwaka mmoja uliopita na wengi wa waathirika walikuwa wanawake wa umri wa miaka 20-29 Utafiti uliofanywa na Ushirika wa Wanasheria Wanawake nchini Kenya ulionyesha kwamba ukatili wa kijinsia katika familia unakabili asilimia 51 ya wanawake waliohudhuria kliniki nne za wajawazito kwenye jiji la Nairobi na waliripoti kuwa wamekuwa waathirika wa ukatili wakati fulani katika maisha yao kati yao asilimia 65 walifanyiwa ukatili na waume zao na asilimia 22 walifanyiwa ukatili na wanaume wasiowafahamu

Utafiti kuhusu UWAKI uliofanywa baada ya uchaguzi wa 2007 nchini Kenya ulilenga makazi duni ya Kibera jijini Nairobi yenye wakazi wapatao milioni moja Utafiti huu ulionyesha kuwa umri wa waathirika waliobakwa ulikuwa kati ya miaka 25-68 na wengi wao walikuwa wenye umri wa miaka ya 30 UWAKI uliwaathiri wanawake wa umri wa miaka yote Utafiti huu ulibaini kwamba baadhi ya waathirika waliambukizwa virusi vya UKIMWI

2

Mwaka 2007 Umoja wa Mataifa ulikadiria kuwa kiwango cha ubakaji wa wanawake katika eneo la Kivu kaskazini ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ulikuwa ni wanawake 350 kwa mwezi Mwaka 2008 shirika linalotetea haki za binadamu duniani (Amnesty International) liliripoti kuwa wanawake 40 hubakwa kila siku katika eneo hilo hilo

3

SEHEMU YA PILI

UCHAMBUZI WA UWAKI TANZANIA

21 Ukubwa wa tatizo la UWAKI Tanzania

Utafiti uliofanywa na Shirika la Afya Duniani (WHO)1 kuhusu afya ya wanawake na ukatili majumbani kwenye nchi 10 umebaini kuwa ukatili dhidi ya wanawake upo sehemu nyingi ikiwemoTanzania Utafi ti huo ulihusisha wanawake 1820 Dar es Salaam na wanawake 1450 Mbeya waliowahi kuwa na wenzi Matokeo yalionyesha kwamba asilimia 41 ya waliohojiwa katika jiji la Dar es Salaam na asilimia 55 ya waliohojiwa katika jiji la Mbeya waliathirika na aina mbalimbali za UWAKI Taarifa ilionyesha kuwa asilimia 15 hadi 71 ya wanawake walioathirika na ukatili wa kimwili au wa kingono ulifanywa na waume au wenzi wao Utafi ti huo pia ulionyesha kwamba asilimia 15 ya wanawake walifanya kitendo cha ngono kwa mara ya kwanza kwa kulazimishwa Aidha asilimia 4 hadi 12 ya wanawake waliripotiwa kunyanyaswa kimwili wakati wa ujauzito

Kufuatana na uchunguzi wa kitaifa nchini Tanzania kiwango cha ukatili majumbani kati ya wanawake wenye umri wa miaka 15- 49 ni asilimia 45 ikijumuisha ukatili wa kimwili (25) kingono (7) na (14) kwa aina zote mbili Unyanyasaji wa kimwili kwa wanawake wajawazito ulikuwa asilimia tisa (9) Kiwango cha wanawake waliokabiliwa na matukio ya kushurutishwa na wenzi wao kilikuwa asilimia sitini (60) Kiwango cha matukio ya ukatili wa kimwili kinatofautiana sana kati ya mkoa na mkoa ambapo kiwango cha juu sana kipo kwenye mkoa wa Dodoma (71) na cha chini kabisa kwenye mkoa wa Tanga (16) Ukatili wa kingono ni wa kiwango cha juu sana kwenye mkoa wa Rukwa (32) na chini kabisa kwenye mkoa wa Shinyanga (5) Kiwango cha wanawake waliowahi kuwa kwenye ndoa ambao wameathirika na ukatili wa kingono kutoka kwa mume au mwenzi wa sasa ni 48 mume wa zamani (21) rafiki wa kiume wa sasazamani (7) Kwa upande wa wanawake ambao hawajaolewa 27 ya ukatili ulifanywa na marafi ki wa kiume wa sasa au wa zamani

1 World Health Organization (WHO)

4

Uchunguzi wa WHO uliotajwa hapo juu umeonyesha usafi rishaji wa wanawake na wasichana kwa ajili ya kazi na ngono za kulazimishwa ni biashara iliyoshamiri na mara nyingi waathirika ni wale wanaokabiliwa na hali ngumu ya maisha Ndoa za kulazimishwa na za utotoni kama zilivyo kwenye jamii nyingi ni ukiukwaji wa haki za binadamu kwa wanawake na wasichana kwa sababu hawana fursa ya kutoa ridhaa Zaidi ya 60 ya waathirika wa UWAKI nchini Tanzania hawachukui hatua yoyote ya kutoa taarifa ya ukatili kwa mamlaka rasmi au vyombo vya kutekeleza sheria Upo uwezekano mkubwa wa maambukizo ya VVU kutokana na UWAKI Vijana wa kike wa Kitanzania wenye umri wa miaka 18-29 ambao wamekuwa wakinyanyaswa na wenzi wao wana uwezekano wa mara 10 zaidi kupata maambukizo ya VVU kuliko wanawake ambao hawajanyanyaswa

Utafiti uliofanyika Dar es Salaam mwaka 2000 ulibaini kuwa zaidi ya 90 ya waathirika wa ubakaji wanawafahamu wahalifu wao Katika utafiti mwingine uliofanyika Dar es Salaam asilimia ishirini na tano (25) ya wanawake waliohojiwa walikiri kwamba ldquoUkatili ni tatizo kubwa kwenye maishardquo Nchini Tanzania ubakaji ndani ya ndoa hautambuliwi kama kosa la jinai isipokuwa kama wenza wametengana

Vitendo vya UWAKI nchini Tanzania kwa ujumla vinalenga zaidi wanawake na wasichana kutokana na desturi na mazoea ya jamii ambazo zinawabagua na kuwapunguzia uwezo wa kufurahia haki zao za kibinadamu Ingawa mashambulizi ya ngono yanawalenga zaidi wanawake na wasichana hata hivyo wanaume na wavulana vilevile wanalengwa katika unyanyasaji wa kingono kubughudhiwa na kushambuliwa

Ukatili kama ulivyofafanuliwa unadhihirisha tofauti ya madaraka kati ya mwathirika na mhalifu wa ukatili wa kingono ambapo mhalifu mara nyingi ana umbo kubwa umri mkubwa utajiri au ni mmojawapo kwenye kundi la watu wenye mamlaka au anatumia silaha Nchini Tanzania asilimia 134 ya vijana wameathiriwa na mashambulio ya kingono ya namna moja ama nyingine Kwa ujumla kutokana na sababu mbalimbali nchini Tanzania kuna uhaba wa taarifa za UWAKI pia taarifa zilizopo siyo kamilifu

5

Uzoefu unaonyesha kuwa bila kujali hali ya afya ya kimwili ya mwathirika UWAKI humwacha mwathirika na majeraha ya muda mrefu na kupunguza uwezo wa mwathirika kushirikiana na jamii na familia Athari zaidi hujitokeza kwa mwathirika kama vile aibu unyanyapaa msongo wa mawazo na mfadhaiko Tatizo hili kwa waathirika linachochewa na ldquoUtamaduni wa ukimyardquo miongoni mwa familia na jamii inayowazunguka UWAKI una athari ya moja kwa moja na matokeo hasi kwa afya na ustawi wa kiuchumi na kijamii kwa familia hasa kwa wanawake na watoto

22 Unyanyasaji wa Mtoto na Kijana

Utafiti wa kitaifa nchini Tanzania kuhusu Ukatili Dhidi ya Watoto ni wa kwanza na wa aina yake katika Bara la Afrika Matokeo ya utafi ti yameonyesha kwamba mara nyingi watoto wanakabiliwa na unyanyasaji na matukio mengi na ya namna mbalimbali yanayojumuisha ukatili wa kimwili kingono na kisaikolojia Utafiti ulibaini kuwa watoto wengi wako kwenye hatari kubwa ya kunyanyaswa kwenye mazingira ya nyumbani na shuleni Haya ni maeneo mawili ambayo watoto wengi wa Kitanzania hutumia muda wao mwingi wakati wanakua na kuelekea kwenye ujana Robo tatu ya watoto wanapofikia umri wa miaka 18 huwa wameathirika na ukatili wa kimwili kwa namna moja ama nyingine kutokana na ukatili wa ndugu mwalimu au kiongozi Kutokana na utafiti takribani 30 ya wanawake wenye umri kati ya umri wa miaka 13-24 na 14 ya wanaume wenye umri kati ya miaka 13-24 nchini Tanzania waliripotiwa kuathirika na ukatili wa kingono angalau mara moja kabla ya kufikisha umri wa miaka 18

Nchini Tanzania ukeketaji hufanyika mapema utotoni Karibu mwanamke mmoja kati ya wanawake watatu waliokeketwa (32) walikeketwa kabla ya kufikisha umri wa mwaka mmoja na 27 walikeketwa wakiwa na umri wa miaka 13 au zaidi Hata hivyo ukeketaji kwa wasichana hufanyika katika umri mdogo sehemu ya wanawake waliokeketwa wakiwa na umri wa miaka 5 iliongezeka kutoka 34 hadi 39 kwa mujibu wa Utafiti wa Afya ya Jamii [UAJ] 2004-05 na UAJ 2010 Kulingana na utafiti huu 5 ya wasichana wa miaka 13shy17 waliripotiwa kuwa wamekeketwa na 10 ya wasichana wa umri wa miaka 18-24 waliripotiwa kukeketwa Kwa mujibu wa sheria kukeketa ni

6

kosa linalostahili adhabu Kuna uwezekano kwamba wale waliokeketwa huwa wanasita kutoa taarifa na ndiyo sababu ya taarifa kuwa chache

23 Mazingira ya Sera ya UWAKI

Serikali ya Tanzania imeonyesha nia yake ya kushughulikia masuala ya UWAKI kwa kuridhia mikataba kadhaa ya kimataifa yenye kuhusiana na UWAKI na jinsia Mkataba wa Kutokomeza Aina Zote za Ubaguzi Dhidi ya Wanawake (1985) ambao umekuwa chombo katika kupambana na matukio ya ubaguzi ikiwa ni pamoja na ukatili Jukwaa la Beijing (1995)2 na Malengo ya Maendeleo ya Milenia (2000)3 Tanzania pia imeridhia hati ya Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu kuhusu haki za wanawake na hati ya Ushirikiano wa Maendeleo wa Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC)4

Vipaumbele vya maendeleo ya Tanzania vinaainishwa katika Dira ya Taifa 2025 na katika Mpango wa Kuondoa Umaskini na Kukuza Uchumi (MKUKUTA) MKUKUTA II (2011-25) unashughulikia UKIMWI na jinsia kama masuala mtambuka na ni mkakati wa kwanza wa kitaifa unaotambua UWAKI kama suala la kisera kwa watu wote Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto ndiyo yenye jukumu la kuratibu shughuli zote zinazohusiana na jinsia

Wizara hiyo imetayarisha Sera ya Maendeleo ya Jinsia (2000) kwa ajili ya kushughulikia upungufu na kukosekana kwa usawa kati ya wanaume na wanawake Pia Wizara imetayarisha Mkakati wa Kitaifa wa Jinsia na Maendeleo (2002) unaotoa dira na kuwezesha usawa wa kijinsia nchini Pamoja na Mpango wa Taifa wa Vitendo vya Kukinga na Kutokomeza Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto (2001-2015) kwa ajili ya kuongeza juhudi za Serikali za kisheria kwa kupambana na UWAKI na kuhakikisha lsquousawarsquo na lsquohakirsquo kati ya wanawake na wanaume nchini Tanzania Sera ya Taifa ya Afya ina mfumo wa utoaji wa huduma za afya kwa watu wote wanaohitaji ikiwa ni pamoja na waathirika wa UWAKI

2 Beijing Platform for Action - (BPA 1995) 3 Millennium Development Goals - (MDG 2000) 4 Southern African Development Cooperation - (SADC)

7

24 Haki za Binadamu Sheria na Mazingira ya Udhibiti

Tanzania imeridhia Sheria ya Haki za Binadamu na masharti ya vyombo kadhaa vya kimataifa na kikanda ambavyo vinakataza ubaguzi kwa misingi ya jinsia na hivyo kuhitaji serikali ihakikishe kwamba wanawake hawabaguliwi Vyombo hivi ni Mkataba wa Kimataifa wa Kuzuia aina zote za Ukatili na Unyanyasaji wa Kijinsia 1979 pamoja na Mkataba wa Kimataifa wa Haki za Kiraia na Kisiasa (1966)5 Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu (1981) na Hati ya Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu Kuhusu Haki za Wanawake Afrika (2000)

Tanzania imetunga sheria inayosimamia kukinga na kupambana na UWAKI Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (1977) iko wazi kwa kukataza ubaguzi na kwa misingi hiyo inatoa haki ya usawa [Ibara ya 12-24] Sheria ya Mtoto (2009) inawezesha jitihada za kupunguza ukatili dhidi ya watoto Sheria Maalumu ya Makosa ya Kujamiiana (1998)6

ilitungwa kwa lengo la kulinda heshima ya mwanamke na kuweka vikwazo kwa UWAKI kwa kutoa adhabu kali kwa makosa ya kingono Sheria hii inajumuisha ukatili wa kingono ubakaji biashara haramu ya usafirishaji watu bughudha za kingono na kukataza ukeketaji chini ya kifungu cha lsquoUkatili kwa watotorsquo

Hii ilikuwa mara ya kwanza kwa Tanzania kutunga sheria ya kukataza vitendo vilivyotajwa hapo juu na hatima ya sheria hii imewekwa chini ya sheria za adhabu kifungu cha 16

Sheria ya Adhabu (marekebisho ya 2002) inawekea vikwazo vitendo vya UWAKI mathalan vitisho Sehemu ya 89B 89A kutoroka watoto Sehemu ya 166 kutelekeza watoto Sehemu ya 167 kuua bila kukusudia Sehemu ya 195 mauaji Sehemu ya 196 mashambulizi Sehemu ya 240shy243 kutorosha Sehemu ya 246 utekaji nyara Sehemu ya 244 kazi za kulazimishwa Sehemu ya 256 wizi utokanao na mwenzi Sehemu ya 264 tishio la uchomaji Sehemu ya 332 uchomaji Sehemu ya 319-322 kuficha nyaraka Sehemu ya 276-278 Sheria ya Biashara ya Binadamu Na 6 ya mwaka 2008 inakataza biashara ya binadamu kwa sababu yoyote

5 International Covenant on Civil and Political Rights - (ICCPR 1966) 6 The Sexual Offences Special Provisions Act 1998 (SOSPA)

8

Sheria ya Kuzuia VVU UKIMWI Na 28 ya mwaka 2008 inakataza unyanyapaa na inafanya uambukizaji wa VVU kwa makusudi kuwa kosa la jinai

Pamoja na kuwepo vyombo vya kimataifa kikanda kitaifa na vya sheria za kuhakikisha haki kwa wanawake tatizo la UWAKI limetapakaa nchini Tanzania lakini linaripotiwa kwa nadra UWAKI unaathiri zaidi wanawake na wasichana kuliko wanaume na wavulana Haya ni matokeo ya uhusiano usio sawa kati ya wanaume na wanawake katika jamii ambayo yanajidhihirisha katika maeneo kadhaa ikiwa ni pamoja na maeneo ya kiuchumi kijamii kisiasa na kisheria

Mara nyingi UWAKI unapunguza uwezo wa wanawake na wasichana wa kufurahia haki za kimsingi za binadamu na uhuru kama ilivyoainishwa kwenye Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Utambuzi wa wahalifu wa UWAKI nchini Tanzania ni nadra kulinganisha na idadi ya mashambulizi Ni muhimu kushughulikia mahitaji ya kisheria ya waathirika wote wa UWAKI wanawake wasichana wanaume wavulana na watoto

25 Miundombinu ya utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii

Mfumo wa utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii upo katika ngazi ya kitaifa mikoajiji na wilaya manispaa Mfumo huu unawezesha utoaji wa huduma za kuboresha afya kuzuia magonjwa tiba utengemao na ustawi wa jamii kwa kupitia vituo vya kutolea huduma za afya vinavyojumuisha zahanati vituo vya afya na hospitali

Kuna mfumo wa rufaa kitaifa wa njia mbili kupeleka na kurejesha mgonjwa ambao unaanzia kwenye jamii na kwenda kwenye zahanati ambazo zipo 4679 vituo vya afya (481) hospitali za wilaya (95) hospitali za mikoa (19) na hospitali za rufaa za taifa (8) Kuna vituo vya kutolea huduma za afya 5718 nchini Tanzania vikijumuisha zahanati (86) vituo vya afya (10) na hospitali (4) vikiwa chini ya umiliki wa serikali (69) mashirika ya kidini (14) mashirika ya umma ( 3) na mashirika binafsi (14)

9

Mpango wa Maendeleo wa Afya ya Msingi [(MMAM) 2007-2017 pamoja na malengo mengine unakusudia kuhakikisha kuwa kuna kituo kimoja cha afya kwa kila kata katika kata 2555 zilizopo na zahanati moja kwa kila kijiji katika vijiji 10342 Jumla ya vituo vya afya ya msingi 8107 hospitali za wilaya 62 na taasisi 128 za mafunzo zitaanzishwa ifikapo mwaka 2012

Mahitaji ya watoa huduma za afya ni 82377 na waliopata mafunzo ni 29063 (35) ikiwa ni upungufu wa 65 ya mahitaji Mahitaji ya watoa huduma wa ustawi wa jamii ni 3892 Kuna wafanyakazi 210 wa ustawi wa jamii ikiwa ni upungufu wa 95 ya mahitaji na uhaba mkubwa katika ngazi za wilaya (93) kata (100) na vituo vya watu wenye ulemavu na taasisi nyingine (85) (WAUJ 2006)

Kuna uhaba wa wafanyakazi wa afya wenye ujuzi kwenye ngazi za zahanati (69) vituo vya afya (59) na hospitali za rufaa (48-67) Kwa ujumla kuna uhaba wa wafanyakazi wa ustawi wa jamii wenye ujuzi kwa kiwango cha 95 katika ngazi zote kanda (21) wilaya (93) kata (100) na vituo vya walemavu (95) Kama ujenzi wa vituo hautaendana na upatikanaji wa watoa huduma utekelezaji wa MMAM utakuwa na upungufu mkubwa

Kwa kawaida kuna hospitali ya wilaya au teule kwa kila Mamlaka ya Halmashauri ya Wilaya (MHW) Kuna MHW 133 ambazo zina majukumu na wajibu wa kutoa huduma za afya kwenye maeneo yao Kila MHW ina Bodi ya Afya ya Wilaya (BAW) ambayo inajumuisha madiwani waliochaguliwa na kusimamia mipango na utekelezaji wa huduma za afya kwenye wilaya

Mipango na usimamizi wa huduma za afya katika halmashauri inaongozwa na Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri ambayo kiongozi wake ni Mganga Mkuu wa Wilaya na ni Katibu wa BAW Kuna bodi ya hospitali ya wilaya teule Bodi ya Huduma ya Afya (BHA) ya kituo cha afya inayowakilisha wakazi wa kata na bodi ya zahanati inayowakilisha wakazi wa kijiji bodi zote zikiwa na uwakilishi sawa wa kijinsia

Makadirio ya matumizi ya afya kwa mtu mmoja kwa mwaka 201011 ilikuwa ni dola za kimarekani 1575 ambapo WHO imependekeza

10

kiwango cha dola 3400 za Kimarekani Matumizi ya afya ni asilimia 14 ya Bajeti ya Taifa kwa mwaka ambacho ni chini ya kiwango cha asilimia 15 kilichopendekezwa na Tamko la Abuja

Mfumo wa utoaji wa huduma za afya na ustawi wa jamii upo katika ngazi zifuatazo

[a] Ngazi ya Kitaifa WAUJ ina jukumu la kutayarisha sera za afya na miongozo inayohusiana na huduma za afya kuweka viwango kuhakiki ubora kufuatilia na kutathmini pamoja na kusimamia utoaji wa huduma za afya zenye kujumuisha kuboresha afya kinga tiba utengemao na ustawi wa jamii Hospitali za rufaa zina asilimiai 52 tu ya wafanyakazi wenye ujuzi

[b] Ngazi ya MkoaJiji Timu ya Uendeshaji ya Afya ya Mkoa ina jukumu la kuongoza na kuendeleza utekelezaji wa mpango mkakati wa afya kwenye mkoa pamoja na ushauri wa kitaalamu kwa Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri kwenye maeneo yafuatayo (1) Utekelezaji wa sera miongozo na viwango vya utoaji wa huduma za afya kwa usahihi na kwa muda uliopangwa ukihusisha watoa huduma wote wa umma binafsi kwenye MHW (2) kupanga kwa ufanisi kutekeleza kufuatilia na kutathmini mipango ya afya ya kina katika halmashauri Kamati ya utawala ya hospitali ya mkoa ina jukumu la kupanga na kusimamia hospitali ya mkoa ambayo ni ngazi ya pili ya rufaa Kuna hospitali 19 za mikoa ambazo zina 34 tu ya wataalamu wa afya

[c] Mamlaka ya Halmashauri ya WilayaManispaa Huduma za afya katika ngazi hii zinasimamiwa na Halmashauri ya Wilaya kupitia BAW chombo kilichoundwa (2001) chini ya Sheria namba 7 ya mwaka 1982 kifungu cha 86A BAW inawajibika kwa utoaji wa huduma za kina kwenye wilaya Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri inatoa ushauri wa kiutaalam kwa utekelezaji wa uamuzi wa BAW

[d] Ngazi ya Wilaya Timu ya Usimamizi ya Afya ya Halmashauri huandaa na kutekeleza mpango wa kina wa afya wa halmashauri pamoja na kufuatilia na

11

kutathmini huduma za afya kwenye hospitali vituo vya afya zahanati na jamii ikiwa ni pamoja na kufanya utafiti Kamati ya Utawala ya Hospitali inasimamia mipango na huduma kwenye hospitali ya wilaya ambayo ni ngazi ya kwanza ya rufaa Kuna hospitali 95 za wilaya zikiwa ni pamoja na hospitali teule ambazo zina asilimia 33 tu ya wataalamu wa afya

[e] Ngazi ya Kata Kamati ya Afya ya Kata inasimamia upangaji ubunifu na uratibu wa mipango ya afya ya jamii husimamia na huhamasisha upatikanaji wa rasilimali pamoja na ukusanyaji na matumizi ya Mfuko wa Afya wa Jamii Vituo vya afya vina jukumu la kutoa huduma za kina za afya na ustawi wa jamii kwenye kata Kamati ya Kituo cha Afya inasimamia utoaji wa huduma za afya na kuhamasisha ukusanyaji wa rasilimali zinazohitajika Timu ya Kituo cha Afya ina wajibu wa kusimamia shughuli za kila siku kwenye kituo cha afya Timu inapanga na kusimamia juhudi za afya ya jamii katika eneo lake chini ya Mpango wa Maendeleo ya Kata Kuna jumla ya kata 2555 nchini ambapo kata 481 sawa na 19 zina vituo vya afya ambavyo vina 41 tu ya wataalamu wa afya

[f ] Ngazi ya Kijiji Kamati ya Zahanati inahakikisha kwamba idadi ya watu katika eneo lake wanapata huduma sahihi za afya na nafuu pamoja na kusimamia uhamasishaji wa rasilimali kwa ajili ya utekelezaji wa mpango wa zahanati Timu ya Usimamizi wa Zahanati inapanga na kusimamia juhudi za afya ya jamii kwenye maeneo chini ya Mpango wa Maendeleo ya Kata Kuna jumla ya vijiji 10342 ambapo 4679 vina zahanati sawa na 45 ambazo ni aslimia 31 tu ya zahanati zina wataalamu wa afya wanaotosheleza Kamati ya Huduma za Jamii kwenye kijiji ina wajibu wa kuhamasisha na kushirikisha jamii ili wajihusishe kuboresha na kulinda afya

[g] Ngazi ya Kaya Kuna kaya takriban milioni 7 nchini Tanzania na wastani wa watu 47 kwa kila kaya (ambapo 70 ya kaya zote zinaongozwa na wanaume na 30 zinaongozwa na wanawake) Sera ya Afya ya Taifa inatamka kwamba ni wajibu wa kila raia kuendeleza na kulinda afya yake pamoja na ya familia yake Pamoja na haya kila raia ana jukumu la kujiepusha na tabia hatarishi kwa afya yake pamoja na ya mwenzie na kuchangia rasilimali kwa ajili ya afya yake na uendelezaji wa vituo vya kutolea huduma za afya

12

26 Kukinga na Kupambana na UWAKI

Serikali ya Tanzania na washirika wake wa karibu wametekeleza mambo mbalimbali yanayohusiana na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Wizara ambazo zinahusika kwa ukaribu kwenye utekelezaji wa mipango ya kukinga na kupambana na UWAKI ni pamoja na Wizara ya Maendeleo y a Jamii Jinsia na Watoto Wizara ya Sheria na Katiba Wizara ya Mambo ya Ndani na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Kuna ushirikiano kati ya wizara idara mashirika asasi za kiraia na wadau wa maendeleo Katika ngazi ya kitaifa serikali inatekeleza Mkakati wa Maendeleo ya Jinsia (2005) na kukuza usawa wa jinsia na haki kwa wanawake Utekelezaji wa Sheria Maalumu ya Makosa ya Kujamiana (1998) ambayo sasa ni Kanuni ya Adhabu Sura ya 16 Toleo la Marekebisho 2002 Pia serikali inatekeleza Mpango wa Taifa wa Vitendo wa Kuzuia na Kutokomeza Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto (2001-2015) ambao una lengo la kutokomeza ubaguzi na unyonyaji wa kisheria kijamii kiuchumi kiutamaduni na kisiasa Zaidi ya yote Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (1977) inatamka kuheshimu misingi ya usawa na haki kwa kila mtu

Kwa kushirikiana na wadau wengine serikali inawezesha uanzishwaji wa kitengo cha jinsia kwenye idara za wizara mbalimbali (mfano idara ya polisi chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi) Mashirika ya Jamii hutoa utetezi msaada wa kisheria huduma za afya na kuendesha kampeni na mashirika mengine yamechukua hatua za kutoa hifadhi kwa waathirika wa UWAKI na Vituo vya Kuhifadhi Waathirika Kuna sera za kitaifa sheria mikakati na mipango ya kazi kwa ajili ya kushughulikia usawa wa kijinsia Vilevile serikali kwa kushirikiana na asasi za kiraia imejenga mazingira mazuri ya kuwezesha waathirika kupata huduma kama vile msaada wa kisheria Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii (WAUJ) imekuwa ikitoa huduma kwa waathirika wa UWAKI licha ya kutokuwepo kwa mwongozo wa sera kwa ajili ya wahudumu wa vituo vya kutolea afya

27 Changamoto katika Kuzuia na Kupambana na UWAKI

Muundo wa sheria sera na juhudi za kukuza haki za binadamu zinakabiliwa na changamoto mbalimbali zinazofisha jitihada za kuzuia kupambana

13

na kuepusha athari za UWAKI nchini Tanzania Changamoto hizo ni pamoja na upungufu wa fedha upungufu wa kisheria na sera zilizopo uratibu duni kati ya wadau na kukosekana kwa mfumo wa rufaa kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI Hali kadhalika uelewa na taarifa juu ya ukubwa wa tatizo la UWAKI ni duni kwa hivyo WAUJ imebuni na kutayarisha mwongozo maalumu wa sera na huduma dhidi ya UWAKI ili kukabili changamoto hizo

[a] Sera za Taifa Serikali ya Tanzania inajitahidi kujenga mazingira mazuri ya kuzuia na kupambana na UWAKI Ingawa Sera ya Afya ina lengo la kutoa huduma za afya za kutosha kwa kila Mtanzania ipo haja ya kuwa na miongozo na mikakati inayofafanua masuala ya UWAKI kwa ukamilifu Ukosefu wa miongozo na sera ya usimamizi dhidi ya UWAKI ni kikwazo kikubwa kwa juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kutibu na kuhudumia waliopatwa na UWAKI Sekta ya afya itatumia mwongozo wa sera hii ili kuboresha huduma ya kupambana na UWAKI kwa kushirikisha na kuwahusisha wadau wote

[b] Sheria zaTaifa Pamoja na kuwepo sheria nyingi zilizopitishwa kwa ajili ya kulinda haki za wanawake na watoto bado zipo changamoto nyingi Kwa mfano kuna baadhi ya sheria zenye utata baadhi zinapingana na hivyo kupunguza uwezo wa kupambana na UWAKI Pamoja na hayo Sheria ya Ndoa kama ilivyofanyiwa marekebisho 2002 haiainishi hatua za kuchukuliwa dhidi ya ukatili wa kifamilia Sheria hii ni kama inahalalisha ubakaji kwa kuruhusu binti kuolewa chini ya umri wa miaka 18 Sheria ya Makosa ya Kujamiiana na Vipengele Maalumu (1998) haitambui ubakaji ndani ya ndoa ingawa inatambua ubakaji ikiwa mume na mke wametengana Mbali na upungufu huo sheria ya makosa ya kujamiiana kwa upande wa kuthibitisha ushahidi wa kuingiliwa kimwili ni mgumu Sheria ya Mila (Tangazo la Serikali Na4361963) ambayo inatumiwa na Watanzania wote wazawa inatokana na mila na desturi za makabila mbalimbali ya Tanzania sheria hii ya Mila ni ya kibaguzi na huleta changamoto kwa wanawake na watoto ambao wamezaliwa nje ya ndoa hususan katika urithi wa mali Kwa mfano ugawanaji wa mali ya marehemu upo katika makundi matatu (1) Mtoto wa kwanza wa kiume (2) Watoto wengine wa kiume waliobaki na (3) Watoto wa kike bila kujali umri

14

na hali katika familia Watoto wa kike wa marehemu hurithi fungu dogo na hunyimwa haki ya kumiliki ardhi Kwa mujibu wa sheria hii mjane hana haki ya kurithi mali yoyote kutoka kwa marehemu mume wake isipokuwa huchukuliwa kuwa atatunzwa na watoto wake Mjane ambaye hajabahatika kuzaa hupata asilimia 20 ya asilimia 50 ya mali za marehemu mume wake Mbali na urithi sheria hii kwa upande wa talaka ikiwa mke alilipiwa mahari wakati ndoa inapovunjwa na mahakama mume ana haki ya kudai kurudishiwa mahari

Sheria zenye kupunguza makali ya UWAKI zimeweka kanuni za kuwezesha wadau katika sekta mbalimbali kuandaa sera na miongozo ya kuzuia na kupambana na UWAKI Wahusika muhimu katika sekta mbalimbali wanapaswa kupitia sheria zinazotoa mwanya wa mwendelezo wa UWAKI na kupendekeza marekebisho au utungwaji wa sheria nyingine zitakazopunguza na kumaliza vitendo vya UWAKI Hata hivyo kuna umuhimu wa kuwepo kwa wajibu na majukumu ya sekta mbalimbali katika kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kupambana dhidi ya unyanyasaji na ukatili kwa watoto Kwa kutambua na kuimarisha wajibu huo katika kila sekta itasaidia uzingatiaji wa sera na kuimarisha ari ya utendaji katika sekta zifuatazo

bull Ustawi wa Jamii Kujenga mfumo wa kufanya tathmini ya vihatarishi katika kupima mfumo wa rufaa unaohusisha sekta na huduma mbalimbali kuweza kuamua na kuchukua hatua za haraka na za muda mrefu katika kupambana na kutoa mahitaji ya haraka na ya muda mrefu kwa ajili ya ulinzi wa watoto na waathirika wengine

bull Elimu Kujumuisha elimu dhidi ya ukatili wa kijinsia katika mitaala ya elimu ikiwa ni pamoja na kuandaa mazingira salama shuleni na kuingiza katika programu za elimu zinazoelezea juu ya masuala ya kujifahamu kimwili (kibiolojia) afya ya uzazi na maendeleo yaa jamii Kuhakikisha kwamba sekta mbalimbali za rufaa na mifumo inayotoa ulinzi wa mtoto vinahusishwa katika elimu hiyo

bull Polisi na sheria Kuimarisha na kupanua ulinzi sahihi wa kisheria kwa ajili ya watoto na kuchukua hatua za kisheria kwa watuhumiwa wa uhalifu kuendeleza juhudi za kuimarisha dawati la jinsia na watoto katika idara ya Polisi nchini Kuendelea kuelimisha polisi na watumishi wengine

15

wa usalama wa raia kuhusu ukatili dhidi ya watoto na kuwa na utaratibu wa uchunguzi wa pamoja na idara ya ustawi wa jamii afya mamlaka na vitengo vingine vinavyohusika na ulinzi na usalama wa mtoto

bull Afya Kufanya kazi katika muundo wa pamoja na wadau wengine kwa kufuata miongozo iliyopo kwa ajili ya kuzuia kutibu kuhudumia na kufuatilia matukio ya ukatili dhidi ya watoto Kuimarisha mifumo iliyo wazi yenye kuunganisha huduma rafi ki kwa watoto na vijana dhidi ya UWAKI

[c] Polisi na Mahakama Mabadiliko katika idara ya polisi hasa katika uanzishwaji wa polisi jamii na dawati la jinsia na watoto yanaonyesha maendeleo katika kushughulikia UWAKI Hata hivyo waathirika wa UWAKI wanakabiliwa na ugumu wa kufika katika vituo vya polisi na mfumo wa utoaji haki Kwa mfano zipo kesi zilizotupiliwa mbali na Mahakama kwa kukosa ushahidi muhimu kutoka upande wa mashtaka Matokeo yake ni kwamba waathirika wanakosa motisha ya kutoa taarifa ya matukio ya UWAKI na hivyo hushindwa kufikisha malalamiko katika vyombo vya utoaji haki

Upungufu wa mafunzo kwa polisi na watoa huduma za kisheria juu ya namna ya kuzitumia sheria zilizopo dhidi ya UWAKI kumesababisha kesi mahakamani kushindwa Mfano Fomu ya Polisi namba 3 (PF3) inatoa taarifa juu ya tukio la shambulio na haitoi maelezo juu ya tukio hilo kama limetokana na UWAKI Ingawa zipo sheria zinazopinga UWAKI sheria hizo hazifahamiki hivyo hazitumiki kikamilifu Pamoja na hayo sheria za kimila na imani za kidini zinazuia waathirika kutoa taarifa za matukio ya UWAKI

Sheria ya Makosa ya Kujamiiana na Vipengele Maalumu (1998) inatoa adhabu kali kwa makosa ya kujamiiana Mara nyingi watuhumiwa hawafikishwi mahakamani kwa kuhofia kudhurika kwa familia zao kwa upande wa kukosa kipato kutoka kwa mtuhumiwa (kwani adhabu za makosa hayo huwa ni kifungo cha muda mrefu) Kwa sababu hizo utoaji wa taarifa kutoka kwa waathirika na familia zao ikiwa ni pamoja na matumizi ya sheria na uendeshaji wa mashtaka umeendelea kuwa changamoto pamoja na kuwepo kwa Sheria ya Makosa ya Kujamiiana inayotoa ulinzi dhidi ya UWAKI

16

bull

bull

bull

bull

bull

[d] Mila na Desturi Katika ngazi ya jamii na mtu binafsi zipo sababu mbalimbali zinazochangia kwa kiwango kikubwa matukio ya UWAKI Utafiti uliofanywa na mtaalamu wa Shirika la Afya Duniani (WHO)7 unaainisha vipengele hatarishi vifuatavyo juu ya mila na desturi

Kanuni za kimila katika uhusiano wa kijinsia humpa mwanamume madaraka na haki zaidi Baadhi ya mila na desturi huhimiza uvumilivu juu ya vitendo vya UWAKI na kuwazuia waathirika kutoa taarifa na kupata msaada Uwezeshaji wa mwanamke katika kupambana na mfumodume hujenga hisia kwa mwanamume kuwa anapoteza mamlaka yake na hivyo huwaudhi baadhi ya wanaume na kuendelea kufanya ukatili kwa lengo la kuwadhibiti wanawake Matumizi ya baadhi ya sheria za kimila hayawasaidii waathirika kupata haki Hofu ya kulipiza kisasi unyanyapaa ubaguzi na kukosekana kwa huduma huwazuia waathirika kutoa taarifa na kupata msaada

[e] Madaraka na Mamlaka Madaraka na mamlaka ni muhimu katika kuzuia na kupambana na UWAKI Wakati mwingine watu wenye madaraka na mamlaka hufumbia macho matukio ya UWAKI Kwa mfano upo ushahidi wa kutosha kuwa kuna matumizi mabaya ya madaraka na mamlaka shuleni na maeneo ya kazi

[f ] Kuhusisha Jamii Jamii ndiyo ngazi ya awali kujua tukio la UWAKI na kutoa msaada wa usalama na ulinzi kwa mwathirika Utafiti wa Shirika la Afya Duniani katika nchi mbalimbali ulionyesha kwamba asilimia 37 ya waathirika walipata msaada kutoka kwa jamii Kutokana na kiwango cha unyanyapaa ubaguzi na kutengwa kijamii viongozi katika ngazi ya jamii waliohamasishwa juu ya UWAKI waliweza kukabili mazingira haya ya kiuhasama Jamii inaweza kumsaidia mwathirika kwa kujenga mazingira mazuri (kwa mfano kituo cha hifadhi salama) Jamii inahusishwa katika

7 Krug Etienne et al 2002 World Report on Violence and Health Geneva WHO Available at httpwwwwhointviolence_injury_preventionviolenceworld_report

17

bull

bull

bull

bull

kuwahamasisha waathirika kuwapa ulinzi mahitaji ya msingi msaada wa kisaikolojia na kuwapa rufaa kwa watoa huduma wengine Vilevile jamii inahusishwa katika kuzuia UWAKI kupunguza unyanyapaa na kuwapa unasihi waathirika pamoja na kuhamasisha viongozi wa kijamii na wanajamii kwa ujumla

Uhamasishaji huu ni muhimu kwa sababu jamii ni daraja kati ya mwathirika na huduma za afya na ustawi wa jamii

Jamii inapaswa kushirikishwa katika hatua za mwanzo na zinazofuata katika kuzuia UWAKI Katika hatua za mwanzo jamii inapaswa kujitahidi kuondoa tabia za kuvumilia matukio ya UWAKI na hivyo kupunguza matukio hayo Katika hatua zinazofuata jamii itatambua na kulinda wale walio katika hatari zaidi ya UWAKI kama watoto na wanawake Jamii pia inapaswa kutambua vikwazo vya utoaji huduma katika idara ya afya polisi na mfumo wa utoaji haki na kuisaidia jamii kuondokana na vikwazo vya upatikanaji wa huduma

Ni muhimu kuishirikisha jamii katika jitihada za utekelezaji wa kuzuia UWAKI na kupambana nao ikiwamo usimamizi wa matibabu ya waathirika Jamii ina uwezo mkubwa wa kuhamasisha waathirika kutafuta huduma za afya na huduma nyingine zinazohusiana na UWAKI kwa mfano huduma za polisi usaidizi wa kisheria na hifadhi salama Pia jamii ina wajibu wa kuwaunganisha waathirika na jamii zao

Hata hivyo zipo changamoto katika kuihusisha jamii kama vile

Upungufu katika kuwahusisha wanaume na wavulana katika kushughulikia UWAKI Wanajamii wamekuwa wakiwanyanyapaa badala ya kuwasaidia waathirika na wakati mwingine wameshiriki katika UWAKI Baadhi ya viongozi wa kijamii na kidini hawana utayari wa kuhamasisha kuzuia na kupambana na UWAKI Jamii zina kiwango kikubwa cha kunyamazia matendo ya UWAKI na kuzuia sheria kuchukua mkondo wake

18

[g] Hali ya kiuchumi na kijamii Kushughulikia UWAKI pekee kama changamoto inayohusu huduma za tiba ni kutibu dalili badala ya chanzo Ni muhimu kushughulikia vyanzo vya UWAKI kama umaskini miongoni mwa wanawake ambao huwafanya kuwa wategemezi

Serikali imetayarisha MKUKUTA II wenye kuainisha njia za kuendeleza na kulinda haki za binadamu kwa watu wote hasa kwa wanawake na wanaume maskini watoto watu wanaoishi katika hali hatarishi na makundi maalumu (angalia MKUKUTA II-kundi la III lengo la 3) na kuongeza uzalishaji na fursa za ajira zenye kuheshimika hasa kwa wanawake na vijana (angalia MKUKUTA II kundi la I lengo la 3) Changamoto iliyopo ni ukosefu wa kuweka vipaumbele katika utekelezaji wa ahadi hizi kwa wanawake na vijana kwa kuelekeza rasilimali za kutosha na kutekeleza mikakati katika kuleta mabadiliko ya hali ya kijamii na kiuchumi kwa wanawake na vijana hivyo kupunguza hali hatarishi ya UWAKI

28 Upungufu katika kupambana na UWAKI

Sekta ya afya imeandaa mwongozo wa kutoa huduma kwa waathirika wa UWAKI Hata hivyo ili kutoa huduma bora na za kirafi ki kwa waathirika sekta zinazohusika hazina budi kushughulikia upungufu ulioainishwa kama ifuatavyo

[a] Huduma za afya

Ukosefu wa mwongozo wa utoaji wa huduma kwa waathirika wa UWAKI Hakuna mwongozo wa utoaji wa huduma za kupambana na UWAKI kwa watoa huduma wa ngazi zote kuanzia nyumbani kwenye jamii zahanati vituo vya afya hospitali polisi mahakama na wadau mbalimbali Upungufu huu unakwamisha upatikanaji na utoaji wa huduma bora za kukinga na kupambana na UWAKI

Upungufu wa fedha Bajeti ya Serikali kuu na serikali za mitaa haikidhi mahitaji

19

Upungufu wa wataalamu wenye ujuzi wa kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Watoa huduma kwenye vituo vya kutolea huduma za afya na jamii hawana maarifa na ujuzi unaotakiwa kushughulikia mahitaji ya waathirika wa UWAKI wa marika yote

Kutojumuishwa kwa huduma za waathirika wa UWAKI na huduma nyingine Huduma za waathirika wa UWAKI hazikujumuishwa na huduma nyingine za afya na ustawi wa jamii kama vile afya ya uzazi upimaji wa VVU UKIMWI uzazi wa mpango na unasihi

Mfumo duni wa rufaa kwa waliopatwa na UWAKI Ingawa mfumo wa rufaa wa huduma za afya umeimarika kwa huduma nyingine lakini hakuna mfumo sahihi wa rufaa kwa waliopatwa na UWAKI Watoa huduma za afya hawana taarifa sahihi za waliopatwa na UWAKI kuhusu utaratibu wa kupeleka na kupokea wagonjwa kwenye vituo vyao na kwenda kwenye vituo vingine au huduma za mfumo wa jamii polisi kisheria na kadhalika Katika mazingira haya mahitaji ya rufaa kwa waliopatwa na UWAKI hayakidhiwi Waliopatwa na UWAKI hawana taarifa ambazo zitawasaidia kupata huduma na hivyo hushindwa kufanya uamuzi sahihi au kutafuta huduma na matibabu zaidi

Upungufu wa taarifa na takwimu Nchini Tanzania matukio yanayohusu UWAKI hayatolewi taarifa ipasavyo kutokana na sababu nyingi zikiwemo waathirika kusita kutoa ripoti ya matukio kutokana na unyanyapaa na ubaguzi hofu ya kutengwa na jamii aibu na miiko inayohusishwa na UWAKI Matokeo yake ni ukosefu wa taarifa zenye uhakika ambazo zinaweza kutumika kuandaa mpango kwa misingi ya utafi ti utaratibu wa utoaji huduma maendeleo ya kisera na utetezi ufuatiliaji na tathmini na uamuzi wa kiutawala

[b] Huduma za Ustawi wa Jamii Utoaji wa huduma za ustawi wa jamii unakabiliwa na ushirikiano mdogo kati ya watendaji wa sekta mbalimbali wa huduma za afya katika halmashauri Kuna upungufu wa watoa huduma za ustawi wa jamii katika ngazi mbalimbali Hali hii inaathiri wigo wa huduma ya msaada wa kisaikolojia unasihi marekebisho ya tabia na utengamao

20

bull

bull

bull

bull

bull

Kikwazo kingine ni watoa huduma za ustawi wa jamii na wadau wa afya kukosa stadi maalumu za kutosha kuhusu kuzuia na kupambana na UWAKI

Wajibu wa watoa huduma za ustawi wa jamii ni muhimu kwa sababu wanafanya kazi katika ngazi ya jamii ambapo matukio mengi ya UWAKI hutokea Wana majukumu makubwa kama watu wa mstari wa mbele kwenye kuzuia na kupambana na UWAKI Uhusiano kati ya jamii na utoaji wa huduma ndio kipimo cha kiwango cha waathirika wa UWAKI kupata huduma za matibabu na kurejea kwenye jamii ili kuendelea kuishi maisha yenye faraja

[c] Huduma za Jamii Baadhi ya upungufu wa uhusiano kati ya jamii na vituo vya kutoa huduma za afya ni pamoja na

Uelewa duni kuhusu masuala ya UWAKI na uwezeshaji wa jamii katika kuzuia na kupambana na UWAKI Uelewa duni wa mahali pa kupata huduma kwa waliopatwa na UWAKI Upungufu wa huduma za kijamii kwa waathirika ikiwa ni pamoja na mifumo ya kijamii ya kutoa ulinzi na usalama (kwa mfano vituo vya hifadhi ya muda) na huduma za rufaa za kiafya polisi na msaada wa kisheria

[d] Huduma za Msaada wa Kisheria (Polisi na Mahakama) Kuna vikwazo vingi katika kupata msaada wa kisheria ambavyo ni pamoja na

Upungufu wa kupata huduma za polisi na msaada wa kisheria kwa waathirika wa UWAKI

bull Kutokuwepo kwa sheria mahususi dhidi ya UWAKI bull yasiyotosheleza UWAKI kwa vyombo Mafunzo kuhusu

vinavyosimamia sheria bull Kuna sheria zinazokinzana na hivyo kutoa mwanya wa tatizo la

UWAKI kuongezeka Upungufu wa watumishi na fedha kwa ajili ya huduma za polisi na msaada wa kisheria

21

bull

bull

Uhaba wa vituo vya msaada wa kisheria Vituo vingi vinavyotoa msaada wa kisheria kwa sasa vinahudumiwa na asasi zisizo za kiserikali zina bajeti ndogo na zipo zaidi mijini

[e] Huduma ya Elimu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imeingiza UWAKI katika mtaala wa mafunzo ya walimu shule za msingi na sekondari Hata hivyo kuna changamoto nyingi katika kuhusisha shule ili kuzuia na kupambana na UWAKI

bull Walimu hawajapata mafunzo ya kutosha kuhusu UWAKI Uhaba wa maeneo salama na programu za shuleni zinazowapa watoto uwezo wa kuzuia na kupambana na UWAKI na ukatili dhidi ya watoto

bull mfumo unaohusuUhusiano duni kati ya mfumo wa elimu na ulinzi na usalama wa mtoto

22

SEHEMU YA TATU

UMUHIMU NA MALENGO 31 Umuhimu

Utafiti uliofanyika nchini Tanzania umeonyesha viwango vya juu vya UWAKI ambavyo ni kati ya asilimia 30 hadi 50 Viwango hivi havikubaliki na vinasababisha madhara ya kimwili kingono kisaikolojia kwa makundi ya umri wowote hasa watoto na wanawake Matokeo ya UWAKI yanaweza kusababisha vifo kutokana na kujiua maambukizo ya virusi vya UKIMWI au magonjwa na vifo vya wanawake vinavyotokana na uzazi Matokeo mengine ingawa hayasababishi vifo yana madhara ya kimwili kingono na kisaikolojia kwa muda mfupi au mrefu Madhara ya UWAKI ni zaidi ya matokeo ya kiafya na majeraha ambayo ni vigumu kupona UWAKI unakiuka haki za binadamu za waathirika na husababisha matokeo hasi katika amani umoja na kipato cha familia ambayo kwa ujumla huleta madhara kwa maendeleo ya kijamii na kiuchumi

Ingawa Serikali ya Tanzania na asasi za kiraia zimefanya jitihada kubwa za kuzuia na kupambana na UWAKI bado tatizo hili ni changamoto kubwa WAUJ itashughulikia changamoto hizi kwa kushirikiana na wadau wengine hali inayohitaji ushirikiano wa karibu ili kushinda vikwazo vilivyopo ambavyo ni pamoja na upungufu wa fedha na watumishi udhaifu kwenye mfumo wa rufaa na mfumo wa kuunganisha huduma za UWAKI katika huduma zilizopo Changamoto nyingine ni uhaba wa utetezi na takwimu kwa ajili ya uandaaji wa mipango yenye misingi ya utafiti kufanya uamuzi ufuatiliaji na tathmini Hata hivyo serikali imeweka misingi imara kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kama inavyodhihirishwa kwa kuwepo kwa sera mikakati na mipango kazi ya kusaidia masuala ya kijinsia na kupunguza UWAKI

Kutokana na ukubwa wa tatizo hili madhara yake na changamoto zinazohusiana na UWAKI WAUJ imetayarisha Mwongozo huu wa kisera chini ya Sera ya Afya ili kuimarisha juhudi za kupambana na UWAKI na kuhakikisha utoaji wa huduma za kina na zenye ubora katika ngazi zote Mwongozo huu wa kisera utatoa mwelekeo kwa vituo vya huduma za afya kwa ngazi zote kuhusu wajibu na majukumu yao katika utoaji

23

wa huduma za UWAKI Pamoja na haya Mwongozo huu utawezesha utayarishaji wa mwongozo wa matibabu kwa waathirika wa UWAKI Kutokana na uzito wa tatizo hili la UWAKI utayarishaji wa Mwongozo huu ulihusisha na kushirikisha kwa kina wadau mbalimbali ndani na nje ya WAUJ

32 Lengo Kuu

Lengo kuu la Mwongozo huu wa kisera ni kuimarisha uwezo wa WAUJ kuelekeza sekta ya afya na ustawi wa jamii na kujenga uhusiano imara na jamii na wadau mbalimbali katika kuzuia na kupambana na UWAKI

33 Malengo Mahasusi

Mwongozo huu utawezesha yafuatayo

[i] Kuweka mfumo wa kuelekeza utayarishaji wa mwongozo wa matibabu na taratibu za kutoa huduma kwa waathirika wa UWAKI

[ii] Kuelekeza WAUJ namna ya uratibu bora wa utekelezaji wa juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kuelekeza namna ya kuweka mifumo thabiti ya ufuatiliaji tathmini na uwekaji wa kumbukumbu za afua za UWAKI chini ya WAUJ

[iv] Kuelekeza ushirikiano kati ya Wizara jamii na wadau kutoka sekta mbalimbali katika utoaji wa huduma za UWAKI

24

bull

SEHEMU YA NNE

MAELEKEZO YA KISERA

Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii watafanya kazi pamoja na wale wa sekta nyingine hasa kwenye ngazi ya jamii katika kuimarisha ushirikiano na mitandao mingine katika jamii ili kuwasaidia waliopatwa na UWAKI kwa karibu na kuwashirikisha katika kuboresha afya zao na kuzuia UWAKI

WAUJ kwa kushirikiana na wadau wengine imetayarisha Mwongozo huu wa kisera wa UWAKI ili kutoa taarifa malengo na maelekezo kuhusu jitihada za kuzuia kuepusha na kushughulikia madhara ya UWAKI katika sekta ya afya Wadau muhimu ni pamoja na viongozi wa jamii polisi na mahakama Yeyote kati ya wadau hawa anaweza kuwa ni kimbilio la kwanza kwa wahanga wa UWAKI Wote wana wajibu wa kutoa huduma kwa haraka na kwa ufanisi

41 Huduma kwa Waliopatwa na UWAKI

Watoa huduma za afya wanatakiwa kuwahudumia waliopatwa na UWAKI kwa kujali na kuzingatia maadili ya taaluma zao Wajibu huu ni pamoja na kuhakikisha usalama hali ya usiri heshima utu na kutoa huduma bila ubaguzi Aidha kabla ya kutoa huduma inatakiwa kupata ridhaa ya muhusika au mlezi wa mtoto mwenye umri chini ya miaka 18

Kwa kulenga na kuzingatia mahitaji ya watu waliofanyiwa UWAKI watoa huduma za afya kwenye ngazi zote watazingatia na kuongozwa na kanuni zifuatazo

[a] Haki za Binadamu Maadili na Kujali

bull zilenge kurejesha au Usalama Hatua zote zinazochukuliwa kudumisha usalama wao Hali ya Usiri Siri zao pamoja na familia zao zinatakiwa kutunzwa wakati wote Hii ina maana kwamba mtoa huduma ya afya anaweza kutoa taarifa muhimu kwa mtoa huduma mwingine pale ambapo muhusika ameridhia tu

25

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

Heshima na utu Watoa huduma wanatakiwa kuwasikiliza kwa makini maoni mawazo na fikira zao na kuwahudumia kwa heshima Bila ubaguzi Waliopatwa na UWAKI wote ni sawa na wanatakiwa kuhudumiwa kulingana na mahitaji yao pia kupewa nafasi sawa katika kupata huduma Ridhaa arifu Ridhaa ya aliyefanyiwa UWAKI itahitajika kwenye taratibu za utoaji huduma maalumu kama (1) Uchunguzi na tiba (2) Uchunguzi tiba pamoja na ushahidi wa kitaaluma (3) Uchunguzi tiba ushahidi wa kitaaluma pamoja na uchunguzi wa polisi na kisheria

Kanuni zinazohusu watoto bull Kuzingatia na kusimamia mahitaji halisi ya mtoto wakati wote bull Kumpa mtoto faraja bull Kumshirikisha mtoto katika kufanya uamuzi bull Kumshughulikia kila mtoto kwa haki na usawa

Kumsaidia na kumlea mtoto ili akue katika hali ya ujasiri na kujiamini

[b] Haki za Aliyepatwa na UWAKI Watoa huduma wote wanatakiwa kuwa na mtazamo unaozingatia mahitaji ya mtu aliyepatwa na UWAKI na kuheshimu haki zake ambazo ni

bull Kuhudumiwa kwa heshima bila unyanyapaa ubaguzi na kutokuwa na mtazamo wa kumlaumu Kupewa taarifa sahihi na zinazoeleweka ili aweze kutoa ridhaa na siyo kumwambia cha kufanya hali inayoweza kumfanya ajisikie mnyonge

bull Kupewa faragha na hali ya usiri na siyo kumteta au kumwaibisha Kulindwa dhidi ya ubaguzi wa aina yoyote au upendeleo wenye misingi ya kijinsia au sababu nyingine Kupewa nafasi ya kuchagua kuhudumiwa na mtoa huduma mwanamume au mwanamke

bull Kupewa nafasi ya kusindikizwa na ndugu au mlezi wake

26

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

bull

[c] Wajibu wa Mtoa Huduma Mtoa huduma anatarajiwa kuzingatia yafuatayo anapomhudumia mtu aliyepatwa na UWAKI

Kujiweka katika nafasi ya mtu aliyepatwa na UWAKI na kuguswa kuwa mtunza siri kuonyesha upendo na kujali anapomuhudumia Kumpatia taarifa sahihi na kuhakikisha kuwa ridhaa arifu inatolewa kwa huduma inayohitajika Kuzingatia masilahi ya muhusika na kuheshimu matakwa yake wakati wote

bull na kuzuia madhara mengineKuhakikisha ulinzi na usalama wake Kuhifadhi kumbukumbu zake mahali pa usalama na kutunza siri wakati wote

bull huduma kadiriKumpatia rufaa kwenda kwenye ngazi za juu za inavyohitajika kulingana na kiwango cha madhara ya kimwili kihisia na kisaikolojia Aidha inatakiwa kumpatia unasihi kabla ya kumpa rufaa

Kuhusu Watoto bull Kuhakikisha kuwa mzazi au mlezi yupo wakati wote pia

kuhakikisha kwamba mzazi au mlezi siyo tishio kwa mtoto Wakati wote mwandae mtoto kuelewa kinachotarajiwa kutendeka na kuhakikisha anaelewa kitakachotokea Kwa watoto wenye umri chini ya miaka 18 ridhaa ya maandishi inahitajika kutoka kwa mzazi au mlezi

Vigezo vya kupata mchango wa mawazo kutoka kwa Watoto Watoto wa umri wa miaka 16 na zaidi kwa ujumla wana uwezo wa kutosha kufanya uamuzi

bull kuwaWatoto wa umri wa miaka 14 hadi 16 wanatarajiwa wamekomaa vya kutosha kutoa mchango au mawazo yao Watoto wa umri wa miaka 9 hadi 14 wana welewa wa kushiriki kufanya uamuzi lakini ukomavu wa kila mtoto unatakiwa kupimwa kipekee Watoto wa umri chini ya miaka 9 wana haki ya kutoa maoni arifu na kusikilizwa Wanaweza kushiriki katika mchakato wa kufanya uamuzi kwa kiwango fulani lakini hadhari inahitajika ili kuwaepusha na mzigo wa kuwa waamuzi

27

bull lazimaKimsingi inapendekezwa kwamba maoni ya kila mtoto yazingatiwe kulingana na umri wake kiwango cha ukomavu utamaduni mila na hali ya mazingira

[d] Wajibu wa WAUJ katika Ngazi ya Taifa WAUJ inatayarisha sera miongozo na kanuni inadhibiti ubora inafuatilia na kutathmini utekelezaji Vilevile inahakikisha kuna watumishi na fedha za kutosha kwa mipango ya afya pamoja na kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote WAUJ itaendeleza ushirikiano na wadau mbalimbali kitaifa na kimataifa Wizara itafanya yafuatayo katika kuzuia na kupambana na UWAKI

[i] Kuandaa miongozo ya matibabu yenye ubora kwa ajili ya watoto vijana na watu wazima waliopatwa na UWAKI

[ii] Kutafuta na kutenga fedha kwa ajili ya afua za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kuandaa miongozo ya mafunzo yanayohusiana na juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kutoa mafunzo kwa watoa huduma za afya na ustawi wa jamii kuhusu kuzuia na kupambana na UWAKI kwa watoto vijana na watu wazima

[v] Kutoa huduma mseto na rufaa kwa kutumia mfumo uliopo wa utoaji huduma za afya na ustawi wa jamii

[vi] Kuunganisha takwimu zinazohusu UWAKI kwenye Mfumo wa Takwimu na Ufuatiliaji wa Huduma za Afya (MTUHA)

[vii] Kuendeleza utaratibu wa kupeana taarifa na takwimu zinazohusu UWAKI pamoja na kushirikiana na wadau wake wakuu

[viii] Kufanya usimamizi shirikishi ili kuhakikisha kuwa kanuni za haki za binadamu maadili na kujali zinazingatiwa

[e] Wajibu wa Vituo vya Huduma za Afya Vituo vya kutoa huduma za afya vinajumuisha zahanati vituo vya afya na hospitali zinazomilikiwa na sekta ya umma na binafsi Vituo vyote vya kutoa huduma katika ngazi zote vina Kamati ya Uongozi ya Kituo na Timu ya Usimamizi

28

Vituo vya huduma za afya vitafanya yafuatayo [i] Kuhakikisha kwamba Timu za Usimamizi wa Huduma za Afya

zinatenga fedha za kutekeleza mikakati na mipango kazi ya mwaka ili kuviwezesha vituo kutoa huduma bora kwa waliopatwa na UWAKI

[ii] Kuunganisha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI na zile zilizopo kwenye vituo vya huduma za afya na kuhakikisha mpangilio mzuri wa rufaa za ndani na nje ya kituo zinakidhi mahitaji ya watoto vijana na watu wazima kwa usawa na haki

[iii] Kuhakikisha watoa huduma ya afya na ustawi wa jamii wanapatiwa mafunzo ya kutoa huduma toshelezi kwa watoto vijana na watu wazima waliopatwa na UWAKI

[iv] Kuanzisha utaratibu bora wa kukusanya takwimu na taarifa kuhusu huduma kwa waliopatwa na UWAKI na kutunza kumbukumbu kwa usahihi na kutoa taarifa kwa ajili ya matumizi ya kituo na wadau

[v] Kufanya kazi kwa ushirikiano wa karibu na kamati ya afya ya kituo polisi mahakama na taasisi za elimu ili kukuza ushirikiano kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye jamii

[f ] Wajibu wa Watoa Huduma za Afya Watoa huduma za afya ni pamoja na watunza kumbukumbu za afya tabibu (tabibu msaidizi ofisa tabibu madaktari wasaidizi madaktari na madaktari bingwa) wauguzi wakunga maofisa wauguzi wasaidizi maofisa wauuguzi) wafanyakazi wa maabara wafamasia na maofi sa ustawi wa jamii Watoa huduma hawa wanatakiwa kuzingatia yafuatayo

[i] Kuelewa kikamilifu na kuzingatia kanuni za miongozo ya haki za binadamu maadili ya taaluma na kuonyesha upendo na kujali wakati wa kumhudumia aliyepatwa na UWAKI

[ii] Kuhakikisha upatikanaji wa mahitaji muhimu na utoaji wa huduma toshelezi na zenye ubora kwa waliopatwa na UWAKI katika kituo cha kutoa huduma za afya na kwenye jamii

[iii] Kuwatambua waliopatwa na UWAKI kati ya wagonjwa wa nje katika kituo na kuhakikisha wanapata matibabu na rufaa kwa haraka

29

[iv] Kuhakikisha utoaji wa huduma toshelezi kwa waliopatwa na UWAKI (watu wazima vijana na watoto) Huduma hizi ni pamoja na huduma ya matibabu kutunza ushahidi unasihi na rufaa ndani ya mfumo wa afya na pia rufaa kwenda kwenye sekta nyingine

[v] Kuhakikisha vielelezo vya upelelezi vinakusanywa na kuhifadhiwa ipasavyo ili kutunza ushahidi

[vi] Kuchukua takwimu na taarifa kamili kuhusu aliyepatwa na UWAKI na kuhakikisha zimehifadhiwa kwa siri na usalama

[vii] Kujenga ushirikiano na jamii pamoja na wadau wengine

42 Wajibu wa Jamii

Wadau muhimu katika jamii ni Kamati ya Huduma za Jamii Kamati ya Ulinzi na Usalama Kamati ya Zahanati Mashirika ya Dini Kamati ya Kijiji ya Afya wahudumu wa afya katika jamii wakunga wa tiba asili waganga wa tiba asili na mbadala viongozi wa jamii vikundi vya wanawake na wakuu wa kaya

Jamii itafanya yafuatayo kwa waliopatwa na UWAKI [i] Kupanga na kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya kuzuia

na kutoa huduma bora kulingana na mpango wa mwaka wa zahanati

[ii] Kuhakikisha upatikanaji wa huduma toshelezi pamoja na usalama wao kupatiwa mahitaji ya msingi msaada wa kisaikolojia kupewa rufaa kwenda polisi vyombo vya sheria na watoa huduma wengine Vilevile wanajamii wana wajibu wa kutoa ushahidi mahakamani na kuwasaidia wahusika kuunganishwa na familia zao na jamii

[iii] Kuhakikisha kuwepo kwa vituo vya hifadhi ya muda vya kutosha kwenye jamii

[iv] Kujenga welewa na kuiwezesha jamii kuzuia na kupambana na UWAKI kwa kutetea misingi ya haki za binadamu usawa wa kijinsia haki za vijana na watoto na kutovumilia UWAKI

43 Msaada wa Kisheria kwa waliopatwa na UWAKI Watoa huduma wa afya na ustawi wa jamii baada ya kupata ridhaa kutoka kwa muhusika watampa rufaa ya kwenda sekta nyingine muhimu na kwa wadau mbalimbali kama vile polisi vituo vya msaada wa kisheria kwa ajili ya kupata huduma maalum Watoa huduma wanawajibika

30

kutoa taarifa za kutosha kuhusu masharti ya kisheria ya kutoa taarifa ya matukio ya UWAKI na kwa wakati unaofaa

Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wanawajibika kutoa ushauri kwa waliopatwa na UWAKI (watoto vijana na watu wazima) kuhusu taratibu za mahakama msaada wa ulinzi msaada wa kisheria na taratibu za polisi kama ifuatavyo

[a] Ushahidi wa Kimahakama Huduma kwa muhusika zitalenga mahitaji yake kuheshimu haki yake ya hali ya usiri kupewa taarifa za kutosha zenye kueleweka na sahihi hivyo kuhakikisha anatoa ridhaa arifu kwa hatua na zitakazofuata

[i] WAUJ itahakikisha kupatikana na kuzingatiwa kwa viwango vilivyowekwa kwa ngazi zote katika kuchukua historia kamili ya muhusika kupima na kufanya uchunguzi kuchukua vielelezo vya ushahidi kujaza fomu zinazokubalika kisheria kwa kuweka kumbukumbu ambazo ni halali kama ushahidi mahakamani

[ii] Timu ya Afya ya Usimamizi ya Kituo cha Huduma za Afya baada ya kupata ridhaa ya aliyepatwa na UWAKI itapanga kutenga na kutoa rasilimali za kutosha kuhakikisha nyaraka sahihi zimetayarishwa na kuhifadhiwa na vielelezo vya ushahidi wa mahakama vimepelekwa kwenda maabara ya serikali na kufuatilia majibu

[iii] Watoa huduma wa ngazi zote watahakikisha ukusanyaji sahihi wa vielelezo vya ushahidi na kujaza fomu zinazohusika pamoja na kujaza kwa ukamilifu Fomu ya Polisi Namba Tatu (PF3) na kuthibitisha kwamba muhusika ana taarifa na anaelewa utaratibu

[b] Ulinzi na Msaada kwa Waliopatwa na UWAKI Waliopatwa na UWAKI wana haki ya kulindwa dhidi ya mtuhumiwa pamoja na kupewa mahitaji ya msingi (kwa mfano chakula nguo usafi ri nk) kupewa huduma za polisi (mfano kusindikizwa ulinzi) na kupewa msaada wa kisheria

[i] WAUJ itahakikisha kwamba vituo vya huduma za afya na ustawi wa jamii na watoa huduma wa ngazi zote wana taarifa sahihi kuhusu haki za ulinzi na msaada kwa waliopatwa na UWAKI

31

[ii] Timu za Afya za Usimamizi wa vituo vya huduma za afya katika ngazi zote zitapanga kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya ulinzi na msaada kwa waliopatwa na UWAKI Kama Muhusika ni mtoto atasindikizwa na ofi sa ustawi wa jamii pamoja na mzazi au mlezi ikiwa mzazi au mlezi huyo hahusiki na uhalifu

[iii] Watoa huduma wa afya watatoa taarifa kwa muhusika au mzazi mlezi (kama muhusika ni mtoto chini ya miaka 18) kuhusu msaada atakaopata kwenye kituo cha huduma za afya polisi na msaada wa kisheria juu ya haki na ulinzi kwa mujibu wa sheria za Tanzania

[c] Wajibu wa Watoa Huduma za Afya na Ustawi wa Jamii katika Taratibu za Kimahakama

Watoa huduma za afya kwenye ngazi zote wanatakiwa kuhakikisha kwamba waliopatwa na UWAKI wakiwemo watu wazima vijana na watoto pamoja na walezi wao wana taarifa muhimu zinazohusu masuala ya kisheria ambayo yako nje ya huduma za tiba

[i] WAUJ itahakikisha kwamba vituo vya huduma za afya na watoa huduma wanapata ujuzi na wanajua wajibu wao kuhusu namna ya kutoa ushahidi mahakamani ili kuwasaidia wahusika

[ii] Timu za Usimamizi za vituo vya huduma za afya kwenye ngazi zote zitahakikisha kwamba watoa huduma wanaotambulika kisheria na wana welewa sahihi wa uandaaji wa nyaraka muhimu taratibu za kesi mahakamani na viwango vya ushahidi

[iii] Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii kwenye ngazi zote watahakikisha kwamba muhusika anapata taarifa za kutosha kuhusu ratiba na taratibu za upelelezi na umuhimu wa hatua za kisheria

44 Huduma ya Unasihi Kisaikolojia na Kijamii kwa Waliopatwa na UWAKI

Watu waliopatwa na janga la UWAKI watapewa msaada wa unasihi kisaikolojia na kijamii kwa upendo na kujali kuanzia wakati wa tukio hadi watakapojumuika tena kwenye familia na jamii Katika ngazi ya jamii msaada huo utatolewa na Maofisa wa Ustawi wa Jamii Maofi sa hawa watatoa msaada wa kisaikolojia na unasihi wakishirikiana na

32

wadau wengine waliopata mafunzo kutoka asasi za kiraia asasi za kidini na wahudumu wa afya katika jamii

[i] WAUJ itahakikisha utoaji wa msaada wa unasihi kisaikolojia na kijamii kwenye ngazi zote pamoja na kuhakikisha kuwepo kwa ulinzi na usalama (kwa mfano kituo cha hifadhi ya muda)

[ii] Timu za Usimamizi wa Huduma za Afya kwenye ngazi zote zitapanga na kutenga rasiilimali za kutosha pamoja na watoa huduma kwa ajili ya kutoa msaada wa kisaikolojia na kijamii rufaa na kujenga ushirikiano na wadau wengine ili kuwaunganisha wahusika kwenye familia na jamii

[iii] Watoa huduma za afya na ustawi wa jamii watahakikisha kwamba wanatoa unasihi wa kutosha pamoja na kutoa huduma rafi ki kwa watoto kutoa rufaa za kwenda na kurudi kwenye huduma za tiba vituo vya hifadhi ya muda na kuwezesha kuwaunganisha kwenye familia na jamii

45 Mfumo wa Usimamizi Uratibu na Ushirikiano Utoaji wa huduma bora kwa waliopatwa na UWAKI unahitaji usimamizi na uratibu wa mara kwa mara kwa watoa huduma za afya wa kada mbalimbali katika ngazi zote Vilevile kuratibu shughuli na kutoa rufaa kwenye vituo vya ngazi ya taifa mikoa halmashauri na jamii Pia kunahitajika utaratibu wa kujenga ushirikiano kati ya sekta ya afya na wadau wa sekta nyingine

[a] Usimamizi wa Huduma za Kuzuia na Kupambana na UWAKI [i] Usimamizi wa huduma utakuwa ni sehemu ya mikakati na

mipango ya mwaka kwa vituo vya huduma za afya kwenye ngazi zote

[ii] Wasimamizi katika ngazi zote watafanya usimamizi shirikishi ili kuhakikisha utoaji wa huduma bora

[b] Uratibu wa Huduma za Kuzuia na Kupambana na UWAKI [i] Wasimamizi wa huduma za afya kwenye ngazi zote watabaini na

kuratibu afua na shughuli zinazotakiwa kutekelezwa na wadau mbalimbali kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI

33

[ii] Wasimamizi wa huduma za afya katika ngazi zote watahakikisha kuwa wanapanga utekelezaji wa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[c] Taratibu za Ushirikiano katika Kutoa Huduma za UWAKI Taratibu za ushirikiano zitahusisha ngazi mbalimbali za utoaji wa huduma za afya kulingana na hadhi ya kituo ikihusisha kada mbalimbali za afya katika serikali na sekta binafsi

[i] Wasimamizi wa huduma za afya watabaini na kuanzisha ushirikiano kwa ajili ya kutoa huduma bora na toshelezi kwa waliofanyiwa UWAKI

[ii] Wasimamizi wa huduma za afya watapanga na kutenga rasiilimali za kutosha kwa ajili ya kuendeleza ushirikiano na wadau muhimu pamoja na kujenga mfumo imara wa rufaa wa kupeleka na kuwarejesha wahusika

[iii] WAUJ itatayarisha na kusambaza orodha ya vituo vya rufaa kufuatana na aina ya huduma maalumu zinazotolewa

46 Utetezi na Mawasiliano ya Kubadili Tabia

Utetezi na mawasiliano ya kubadili tabia utakuwa ni sehemu ya mipango na mikakati ya kila mwaka katika ngazi zote Ngazi zote zitahamasisha kutenga na kutoa rasilimali za kutosha kwa ajili ya kutekeleza mipango na mikakati ya kila mwaka Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii watatambua na kuwezesha juhudi za jamii za kuhakikisha ushirikishwaji na kuhamasisha jamii kutumia rasilimali zao ili kupambana na UWAKI Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii wanatakiwa kupanga na kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya elimu ya afya kwa lengo la mawasiliano ya kubadili tabia

[a] Utetezi wa Kuzuia na kupambana na UWAKI kwa kushirikiana na wadau

Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii na kamati zinazohusika katika ngazi zote za WAUJ watafanya yafuatayo

[i] Kupanga mikakati ya kuongeza welewa na upeo kuhusu vyanzo vya UWAKI kubaini namna ya kuzuia na kubuni njia za kupambana na UWAKI

34

[ii] Kutetea na kuhamasisha uchangiaji zaidi wa raslimali kutenga kasma kwenye bajeti katika Mfumo wa Matumizi ya Muda wa Kati na katika Mpango Kabambe wa Afya wa Halmashauri kwa ajili ya kinga na huduma za kupambana na UWAKI

[iii] Kutetea utekelezaji wa sera na sheria zenye kuunga mkono juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kuhusisha vyombo vya habari katika kutekeleza shughuli za utetezi na ushawishi

[b] Ushirikiano wa wadau kwenye mawasiliano ya kubadili tabia dhidi ya UWAKI

Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii na kamati zao kwenye ngazi zote watafanya yafuatayo

[i] Kutambua mahitaji na kupanga mawasiliano ya kubadili tabia kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kwa ufanisi

[ii] Kuhusisha vyombo vya habari katika kupanga kutekeleza na kufuatilia shughuli za mawasiliano ya kubadili tabia

47 Ufuatiliaji na Tathmini ya Huduma za Kuzuia na Kupambana na UWAKI

Ufuatiliaji na tathmini ya huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI ni muhimu katika kupima ubora wa matokeo ya huduma zinazohusiana na UWAKI Ufuatiliaji na tathmini unahitaji kuchagua vigezo vya kupima maendeleo ya huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kukusanya takwimu kuchambua kutafsiri kutayarisha na kuwasilisha ripoti kwa wadau muhimu Ufuatiliaji na Tathmini unasaidia kutambua maeneo yanayohitaji kufanyiwa utafi ti

[i] Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii katika ngazi zote watatumia vigezo vilivyokubalika kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Takwimu za UWAKI zitaoanishwa na kuunganishwa kwenye MTUHA

[iii] Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii kwenye ngazi zote watahakikisha wanakusanya taarifa na takwimu zinazohusiana na UWAKI kwa kutumia fomu maalumu kwa ajili ya kufuatilia na

35

kutathimini usimamizi na kuwasilisha ripoti za utekelezaji kwa wadau kufuatana na utaratibu maalumu wa kushirikiana katika kutoa taarifa

[iv] Wasimamizi wa huduma za afya na ustawi wa jamii katika ngazi zote watafanya utafiti ili kuboresha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

36

SEHEMU YA TANO

MUUNDO WA UTENDAJI KATIKA KUZUIA NA KUPAMBANA NA UWAKI

Wajibu wa WAUJ ni kuandaa kusimamia na kuratibu utekelezaji wa Mwongozo huu wa sera pamoja na sheria kanuni na viwango vya huduma dhidi ya UWAKI katika ngazi zote nchini Mfumo wa utendaji kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI unahusisha ngazi tatu taifa mkoa na halmashauri

51 Ngazi ya Taifa

Katika ngazi ya Taifa Mganga Mkuu wa Serikali ndiye mwenye wajibu wa uongozi wa kitaaluma kwenye utekelezaji wa mipango ya kuzuia na kupambana na UWAKI Ofisi ya Mganga Mkuu ina idara nne ambazo ni Idara ya Kinga Idara ya Tiba Idara ya Mafunzo na Idara ya Ubora na viwango vya Huduma Huduma za Ustawi wa Jamii zipo chini ya Kamishna wa Ustawi wa Jamii

Kitengo cha Afya ya Uzazi na Mtoto ambacho kinasimamiwa na Idara ya Kinga ndicho kinachosimamia utekelezaji wa Mwongozo wa sera ya UWAKI Majukumu ya ofisi ya Mganga Mkuu wa Serikali Idara ya Kinga na Sehemu ya Afya ya Uzazi na Mtoto ni kama ifuatavyo

[a] Ofisi ya Mganga Mkuu wa Serikali Ofi si ya Mganga Mkuu wa Serikali inaratibu inasimamia na kuimarisha huduma za uboreshaji wa Afya Kinga Ubora na viwango vya huduma Tiba ya magonjwa na Utengamao Aidha ofisi inasimamia mafunzo upatikanaji wa wataalamu wa afya katika sekta ya Afya na Ustawi wa Jamii

Ofisi ya Mganga Mkuu wa Serikali kwa kushirikiana na Mabaraza na Vyama vya Kitaaluma vilivyo chini ya sekta ya Afya na Ustawi wa Jamii inasimamia maadili ya wataalamu wa afya kwa kupitia Mabaraza yao ya Kitaaluma

37

bull

bull

[I] Idara ya Kinga Idara hii inasimamia sehemu tano Afya ya Uzazi na Mtoto Epidemiolojia na Udhibiti wa Magonjwa Afya na Usafi wa Mazingira Elimu ya Afya na Lishe Kuna programu na miradi mbalimbali chini ya idara baadhi yake zinahusiana kwa ukaribu na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Programu hizi ni pamoja na Mpango wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI Programu ya Kuzuia Maambukizo ya VVU Kutoka kwa Mama Kwenda kwa Mtoto Programu ya Huduma ya Afya Kwenye Jamii Programuya Afya Shuleni Program ya Uzazi Salama Programu ya Afya ya Mtoto Programu ya Afya ya Uzazi kwa Vijana na Programu ya Uzazi wa Mpango

Idara itafanya yafuatayo Kuhakikisha afua za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa kwenye programu na miradi ya idara na sehemu Kuhakikisha kwamba afua za kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na utetezi na mawasiliano ya kubadili tabia zinajumuishwa kwenye miongozo ya elimu ya afya na ustawi wa jamii

Sehemu ya Huduma za Afya ya Uzazi na Mtoto Sehemu ya Huduma ya Afya ya Uzazi na Mtoto ndiyo inayohusika katika kuzuia na kupambana na UWAKI na majukumu yake ni

[i] Kuandaa mwongozo wa huduma za kina kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kutayarisha mitaala ya mafunzo kwa ajili ya wasimamizi na watoa huduma wa ngazi zote

[ii] Kuratibu kufuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI katika ngazi zote

[iii] Kuwasiliana na wizara nyingine na mashirika ya kitaifa na kimataifa yenye kuhusiana na mipango ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kuangalia upya orodha ya vifaa muhimu kwa utoaji wa huduma bora kwa wahanga wa UWAKI kwa ngazi zote za utoaji huduma

[v] Kuongoza kikundi kazi cha wanataaluma cha taifa pamoja na vikundikazi tanzu vya wanataaluma vinavyosaidia mtazamo mpana wa sekta ya afya na nguvu kazi za kusimamia utekelezaji wa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

38

[II] Idara ya Tiba Idara hii inasimamia huduma za Hospitali za Taifa Mikoa Wilaya Vituo vya Afya na Zahanati za umma na binafsi Uchunguzi Kinywa na Meno Magonjwa Yasiyo ya Kuambukiza na Tiba Asili Idara hii inafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha kwamba vituo vya kutoa huduma za afya katika ngazi zote vinatenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya huduma bora za matibabu kwa wahanga wa UWAKI pamoja na msaada wa kisaikolojia kijamii na rufaa

[ii] Kuhakikisha kwamba vituo vya kutoa huduma za afya kwenye ngazi zote vinapewa vifaa muhimu na vya kutosha kwa ajili ya uchunguzi wa afya vipimo vya maabara kubaini ugonjwa ushahidi wa kimahakama matibabu kutunza kumbukumbu kutoa taarifa na rufaa

[iii] Kuhakikisha kuwa watoa huduma za afya wanazingatia viwango vya kitaalamu na maadili na kuonyesha upendo na kuwajali wahanga wa UWAKI

[III] Idara ya Ubora wa huduma Idara hii ina sehemu tano ikijumuisha huduma za Uuguzi Dharura na Maafa Ukaguzi Dawa na Utafiti na Uhusiano wa Kimataifa Idara hii inafanya yafuatayo

[i] Inasimamia huduma za dawa vifaa tiba na vitendanishi [ii] Inasimamia huduma za Uuguzi na Ukunga [iii] Inasimamia na kufanya ukaguzi wa ubora wa huduma za afya

nchini ili kuziboresha [iv] Inasimamia kazi za utafiti na uhusiano wa kimataifa katika sekta ya

afya na ustawi wa jamii na [v] Inaandaa miongozo kanuni na taratibu zinazohusu huduma za

dharura

[IV] Idara ya Mafunzo Idara ya Mafunzo inasimamia Mipango ya Mafunzo ya Watumishi Mafunzo Endelevu kwa Watumishi Mafunzo kwa Wauguzi na Sayansi Shirikishi za Afya

39

Idara itafanya yafuatayo [i] Kutambua mahitaji ya kitaifa ya mafunzo ya afya na mafunzo ya

kuendeleza taaluma ya watumishi wanaohusika na kutoa huduma kwa waliopatwa na UWAKI

[ii] Kutayarisha mpango wa mafunzo ya muda mfupi na mrefu kwa ajili ya watumishi mbalimbali kwenye ngazi zote zinazotoa huduma kwa waliopatwa na UWAKI

[b] Idara ya Ustawi wa Jamii Idara ya Ustawi wa Jamii imegawanyika katika sehemu tano Huduma kwa Familia na Ustawi wa Mtoto katika malezi makuzi na maendeleo ya awali Huduma za marekebisho ya tabia na haki za mtoto kisheria Huduma kwa wazee na watu wenye ulemavu Mafunzo kwa watumishi na Kitengo cha takwimu Idara itafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha idara inatoa huduma rafiki na bora za ustawi wa jamii kwa wahanga wa UWAKI kwenye vituo vyote vya kutoa huduma za afya na ustawi wa jamii na kuvisimamia

[ii] Kuhakikisha idara inatoa mafunzo kwa watoa huduma wote [iii] Kushauri katika kurekebisha au kufutwa kwa sheria zisizosaidia

utoaji wa huduma bora za ustawi wa jamii na kushawishi kutunga sheria mpya

[c] Idara ya Sera na Mipango Idara hii inasimamia sehemu za Bajeti Sera Mipango Taarifa za Afya na Ufuatiliaji na Tathmini Idara itafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa kwenye mipango na bajeti ya Serikali

[ii] Kuhakikisha kuwa viashirio vya huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI vinaingizwa kwenye MTUHA

[d] Ushirikiano na wadau muhimu katika ldquoKutokomeza UWAKIrdquo

[i] WAUJ kupitia Sehemu ya Afya ya Uzazi na Mtoto kwa kushirikiana na wadau wengine watatetea ulinzi wa haki za waliopatwa na UWAKI na kutokomezwa kwa ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake watoto vijana na wanaume

40

[ii] WAUJ kwa kushirikiana na wadau wengine itaandaa mikakati ya kuhakikisha kwamba aina zote za ubaguzi unyonyaji ukandamizaji na unyanyasaji dhidi ya wanawake watoto vijana na wanaume zinatokomezwa

[iii] WAUJ kwa kushirikiana na wadau wengine watapitia sheria sera na kanuni ambazo zinakinzana na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI Watatetea haki za jinsia na afya ya uzazi ikiwa ni pamoja na ulinzi wa mama na watoto dhidi ya UWAKI ukatili wa kifamilia na ukatili dhidi ya watoto na kutetea masuala haya yaingizwe kwenye Katiba ya Tanzania

52 Ngazi ya Mkoa

Utekelezaji wa mapambano dhidi ya UWAKI kwenye mikoa utasimamiwa na Timu ya Usimamizi wa Huduma za Afya Mkoa chini ya Katibu Tawala wa Mkoa na Timu ya Usimamizi ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa chini ya Bodi ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa na watafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa kwenye mpango mkakati wa miaka mitano wa mkoa na hospitali na mpango kazi wa kila mwaka

[ii] Kuhakikisha huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaingizwa na kuendeshwa pamoja na huduma zilizopo kuwe na watoa huduma wa kutosha pamoja na mafunzo kwa wasimamizi na watoa huduma kwenye ngazi ya mkoa

[iii] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya kufuatilia kufanya tathmini usimamizi na kutoa ripoti za utendaji wa juhudi za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya mkoa

[iv] Kutoa msaada wa kitaalamu kwa Halmashauri na Timu za Afya za Halmashauri katika kupanga na kutekeleza huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[v] Kuhakikisha bajeti ya kutosha inatengwa kwenye mpango kabambe wa halmashauri wa afya kwa ajili ya kuiwezesha jamii kuzuia na kupambana na UWAKI

[vi] Kufanya utafiti ili kukuza uelewa kuhusu huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

41

53 Halmashauri za Jiji Manispaa na Wilaya

Bodi ya Huduma za Afya ya Halmashauri ni chombo cha halmashauri ya jiji manispaa na wilaya chenye jukumu la kutoa huduma bora za afya ustawi wa jamii pamoja na huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI katika maeneo yao Mipango ya utekelezaji wa huduma za afya kwenye jiji manispaa na wilaya unasimamiwa na Timu ya Usimamizi wa Afya ya Halmashauri Hospitali ya kwanza ya rufaa katika Halmashauri ni Hospitali ya Wilaya au Hospitali Teule ya wilaya

Hospitali Teule ya Wilaya huendeshwa na Timu ya Usimamizi ya Hospitali na husimamiwa na Bodi ya Hospitali Vituo vya kutoa huduma za afya vina kamati za afya na huendeshwa na kamati za usimamizi wa kituo

(a) Ngazi ya Halmashauri Timu ya Halmashauri ya Usimamizi wa Afya itafanya yafuatayo

[i] Kuhakikisha kwamba mipango ya kila mwaka inatengewa fedha za kutosha kwa utekelezaji wa huduma bora za kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinaunganishwa na huduma zilizopo kwenye ngazi zote

[iii] Kuhakikisha kwamba kunakuwa na watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wa kutosha na kuendelea kutoa mafunzo kwa watoa huduma wa kuzuia na kupambana na UWAKI

[iv] Kutetea kuhamasisha na kutenga fedha za kutosha kwa ajili ya kuiwezesha jamii kushiriki kwenye programu ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[v] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya ufuatiliaji tathmini usimamizi shirikishi na kuandaa taarifa za utekelezaji wa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[b] Ngazi ya Kata Kamati ya Afya ya Kata Kamati ya Afya ya Kituo cha Afya na Timu ya Usimamizi wa Kituo cha Afya zitasimamia utoaji wa huduma bora za afya katika kata pamoja na vijiji

42

Kamati na timu zitafanya yafuatayo [i] Kuhakikisha kwamba kila mwaka wanapanga na kutenga rasilimali

za kutosha kwa utekelezaji wa huduma kwa waliopatwa na UWAKI na afua za kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinajumuishwa na huduma zilizopo kwenye kituo cha afya na zahanati

[iii] Kuhakikisha kwamba kuna watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wa kutosha na kuendelea kutoa mafunzo kwa watoa huduma wanaohusika na kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye vituo vya afya na zahanati

[iv] Kutetea kuhamasisha na kutenga rasilimali za kutosha kwa ajili ya kuiwezesha jamii kushiriki kwenye kuzuia na kupambana na UWAKI katika Mpango wa Afya wa Kata

[v] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya kufanya ufuatiliaji tathmini na kuandaa taarifa za utekelezaji wa kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kuziwasilisha kwa matumizi katika ngazi zote

[c] Ngazi ya Kijiji Kamati ya Zahanati na Timu ya Usimamizi wa Zahanati zina wajibu wa kutoa huduma za afya kwa wakazi wa eneo la kijiji au vijiji vyao

Kamati na timu zitafanya yafuatayo [i] Kuhakikisha kwamba kila mwaka wanapanga na kutenga raslimali

za kutosha kwa utekelezaji wa huduma kwa waliopatwa na UWAKI na afua za kuzuia na kupambana na UWAKI

[ii] Kuhakikisha kwamba huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI zinajumuishwa na huduma zilizopo kwenye zahanati

[iii] Kuhakikisha kwamba kuna watoa huduma za afya na ustawi wa jamii wa kutosha na kuendelea kutoa mafunzo kwa watoa huduma wanaohusika na kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye zahanati

[iv] Kutetea kuhamasisha na kutenga raslimali za kutosha kwa ajili ya kuiwezesha jamii kushiriki kwenye kuzuia na kupambana na UWAKI katika Mpango wa Afya wa Kijiji

43

[v] Kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa njia ya kufanya ufuatiliaji tathmini na kuandaa taarifa za utekelezaji wa kuzuia na kupambana na UWAKI ikiwa ni pamoja na kuziwasilisha kwa matumizi katika ngazi ya Kata na Wilaya

(d) Ngazi ya Kaya Kila mtu kwenye kaya atahusika katika kuzuia na kupambana na UWAKI na kutoa taarifa ya matukio ya UWAKI kwa mamlaka zinazohusika Pia kila mtu awajibike kwenye kubadili mtazamo na kuepuka mazoea na tabia zinazopelekea UWAKI

44

SEHEMU YA SITA

UFUATILIAJI TATHMINI NA UTAFITI

Ufuatiliaji na tathmini ya afua za kuzuia na kupambana na UWAKI utatekelezwa kwenye ngazi ya taifa mkoa halmashauri na vituo vya huduma za afya Viashirio ambavyo vimependekezwa kwenye ngazi hizi vimeonyeshwa kwenye Kiambatisho

61 Ngazi ya Taifa

Sehemu ya Afya ya Uzazi na Mtoto itaratibu itafuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote nchini

Sehemu hii itafanya yafuatayo [i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu zinazohusu

afua za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka Timu ya Usimamizi wa Afya ya Mkoa na kuzitumia katika kupanga na kuboresha mipango ya kuzuia na kupambana na UWAKI kwa kushirikiana na wadau

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma wa kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti [iv] Kuweka tathmini na ufuatiliaji wa huduma za kuzuia na kupambana

na UWAKI kwenye orodhahakiki ya usimamizi ya WAUJ

62 Ngazi ya Mkoa

Timu ya Usimamizi wa Afya ya Mkoa itakuwa na jukumu la kuratibu kufuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote za mkoa na itafanya yafuatayo

[i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu kuhusu afua za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka hospitali ya rufaa ya mkoa na Timu za Usimamizi wa Afya za Halmashauri kwa ajili ya matumizi yao na kuwasilisha ngazi ya Taifa

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma katika kuzuia na kupambana na UWAKI

45

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti

63 Ngazi ya Wilaya

Timu ya Usimamizi wa Afya ya Halmashauri itakuwa na jukumu la kuratibu kufuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi zote za wilaya na itafanya yafuatayo

[i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu kuhusu afua za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka hospitali ya wilaya na vituo vya kutolea huduma za afya na Timu za Usimamizi wa Afya za Halmashauri kwa ajili ya matumizi yao na kuwasilisha ngazi ya mkoa

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma katika kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti

64 Ngazi ya Kituo cha kutolea huduma

Timu ya Usimamizi wa Kituo cha Kutolea Huduma za Afya itaratibu itafuatilia na kutathmini huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye kituo na kufanya yafuatayo

[i] Kupokea na kukusanya takwimu na taarifa muhimu kuhusu jitihada za kuzuia na kupambana na UWAKI kutoka kwenye zahanati na jamii na kuwasilisha wilayaniHalmashauri

[ii] Kuchambua taarifa na takwimu ili kutathmini utendaji wa watoa huduma katika kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Kutambua maeneo ya kuboresha na ya kufanyia utafi ti

46

KIAMBATISHO

VIASHIRIO VYA MPANGO WA KUZUIA NA KUPAMBANA NA UWAKI KATIKA SEKTA YA AFYA

[a] Ngazi ya Taifa

[i] Idadi ya watu waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya mikoa kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kimkoa

[iii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI kimkoa

[iv] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye uthibitisho kuwa vinatumia Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupamba na UWAKI kimkoa

[v] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye vifaa muhimu kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kimkoa

[b] Ngazi Ya Mkoa

[i] Idadi ya watu waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya wilayahalmashauri kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

[iii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

[iv] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye ushahidi wa kuandikwa na kutumia Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

[v] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye vifaa muhimu kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI kiwilayahalmashauri

47

[c] Ngazi ya Wilaya

[i] Idadi ya watu waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye ngazi ya vituo vya kutolea huduma kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwa vituo vya kutolea huduma

[iii] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye watoa huduma waliopata mafunzo kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI

[iv] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye ushahidi wa kuandikwa na kutumia Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI

[v] Uwiano wa vituo vya huduma za afya vyenye vifaa muhimu kwa ajili ya kuzuia na kupambana na UWAKI

[d] Ngazi ya Kituo

[i] Idadi ya wahusika waliopewa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI kwenye kituo cha huduma za afya kufuatana na aina ya huduma umri na jinsia

[ii] Idadi ya watoa huduma waliopata mafunzo ya kutoa huduma za kuzuia na kupambana na UWAKI

[iii] Idadi ya watoa huduma walioelekezwa kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Sekta ya Afya wa Kuzuia na Kupambana na UWAKI

48

49

50

51

bullbullbull bullbull bullbullbull

~USAID ~f~ ~ KLITOKA KWA WKTJ Delivering as One WAIIAAEKANI

HEALTH POLICY middotmiddotmiddotoINITIATIVE

ltlt ASCII85EncodePages false AllowTransparency false AutoPositionEPSFiles true AutoRotatePages None Binding Left CalGrayProfile (Dot Gain 20) CalRGBProfile (sRGB IEC61966-21) CalCMYKProfile (US Web Coated 050SWOP051 v2) sRGBProfile (sRGB IEC61966-21) CannotEmbedFontPolicy Error CompatibilityLevel 14 CompressObjects Tags CompressPages true ConvertImagesToIndexed true PassThroughJPEGImages true CreateJobTicket false DefaultRenderingIntent Default DetectBlends true DetectCurves 00000 ColorConversionStrategy CMYK DoThumbnails false EmbedAllFonts true EmbedOpenType false ParseICCProfilesInComments true EmbedJobOptions true DSCReportingLevel 0 EmitDSCWarnings false EndPage -1 ImageMemory 1048576 LockDistillerParams false MaxSubsetPct 100 Optimize true OPM 1 ParseDSCComments true ParseDSCCommentsForDocInfo true PreserveCopyPage true PreserveDICMYKValues true PreserveEPSInfo true PreserveFlatness true PreserveHalftoneInfo false PreserveOPIComments true PreserveOverprintSettings true StartPage 1 SubsetFonts true TransferFunctionInfo Apply UCRandBGInfo Preserve UsePrologue false ColorSettingsFile () AlwaysEmbed [ true ] NeverEmbed [ true ] AntiAliasColorImages false CropColorImages true ColorImageMinResolution 300 ColorImageMinResolutionPolicy OK DownsampleColorImages true ColorImageDownsampleType Bicubic ColorImageResolution 300 ColorImageDepth -1 ColorImageMinDownsampleDepth 1 ColorImageDownsampleThreshold 150000 EncodeColorImages true ColorImageFilter DCTEncode AutoFilterColorImages true ColorImageAutoFilterStrategy JPEG ColorACSImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt ColorImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt JPEG2000ColorACSImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt JPEG2000ColorImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt AntiAliasGrayImages false CropGrayImages true GrayImageMinResolution 300 GrayImageMinResolutionPolicy OK DownsampleGrayImages true GrayImageDownsampleType Bicubic GrayImageResolution 300 GrayImageDepth -1 GrayImageMinDownsampleDepth 2 GrayImageDownsampleThreshold 150000 EncodeGrayImages true GrayImageFilter DCTEncode AutoFilterGrayImages true GrayImageAutoFilterStrategy JPEG GrayACSImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt GrayImageDict ltlt QFactor 015 HSamples [1 1 1 1] VSamples [1 1 1 1] gtgt JPEG2000GrayACSImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt JPEG2000GrayImageDict ltlt TileWidth 256 TileHeight 256 Quality 30 gtgt AntiAliasMonoImages false CropMonoImages true MonoImageMinResolution 1200 MonoImageMinResolutionPolicy OK DownsampleMonoImages true MonoImageDownsampleType Bicubic MonoImageResolution 1200 MonoImageDepth -1 MonoImageDownsampleThreshold 150000 EncodeMonoImages true MonoImageFilter CCITTFaxEncode MonoImageDict ltlt K -1 gtgt AllowPSXObjects false CheckCompliance [ None ] PDFX1aCheck false PDFX3Check false PDFXCompliantPDFOnly false PDFXNoTrimBoxError true PDFXTrimBoxToMediaBoxOffset [ 000000 000000 000000 000000 ] PDFXSetBleedBoxToMediaBox true PDFXBleedBoxToTrimBoxOffset [ 000000 000000 000000 000000 ] PDFXOutputIntentProfile () PDFXOutputConditionIdentifier () PDFXOutputCondition () PDFXRegistryName () PDFXTrapped False CreateJDFFile false Description ltlt ARA ltFEFF06270633062A062E062F0645002006470630064700200627064406250639062F0627062F0627062A002006440625064606340627062100200648062B062706260642002000410064006F00620065002000500044004600200645062A064806270641064206290020064406440637062806270639062900200641064A00200627064406450637062706280639002006300627062A0020062F0631062C0627062A002006270644062C0648062F0629002006270644063906270644064A0629061B0020064A06450643064600200641062A062D00200648062B0627062606420020005000440046002006270644064506460634062306290020062806270633062A062E062F062706450020004100630072006F0062006100740020064800410064006F006200650020005200650061006400650072002006250635062F0627063100200035002E0030002006480627064406250635062F062706310627062A0020062706440623062D062F062B002E0635062F0627063100200035002E0030002006480627064406250635062F062706310627062A0020062706440623062D062F062B002Egt BGR ltFEFF04180437043f043e043b043704320430043904420435002004420435043704380020043d0430044104420440043e0439043a0438002c00200437043000200434043000200441044a0437043404300432043004420435002000410064006f00620065002000500044004600200434043e043a0443043c0435043d04420438002c0020043c0430043a04410438043c0430043b043d043e0020043f044004380433043e04340435043d04380020043704300020043204380441043e043a043e043a0430044704350441044204320435043d0020043f04350447043004420020043704300020043f044004350434043f0435044704300442043d04300020043f043e04340433043e0442043e0432043a0430002e002000200421044a04370434043004340435043d043804420435002000500044004600200434043e043a0443043c0435043d044204380020043c043e0433043004420020043404300020044104350020043e0442043204300440044f0442002004410020004100630072006f00620061007400200438002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020043800200441043b0435043404320430044904380020043204350440044104380438002egt CHS ltFEFF4f7f75288fd94e9b8bbe5b9a521b5efa7684002000410064006f006200650020005000440046002065876863900275284e8e9ad88d2891cf76845370524d53705237300260a853ef4ee54f7f75280020004100630072006f0062006100740020548c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000204ee553ca66f49ad87248672c676562535f00521b5efa768400200050004400460020658768633002gt CHT ltFEFF4f7f752890194e9b8a2d7f6e5efa7acb7684002000410064006f006200650020005000440046002065874ef69069752865bc9ad854c18cea76845370524d5370523786557406300260a853ef4ee54f7f75280020004100630072006f0062006100740020548c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000204ee553ca66f49ad87248672c4f86958b555f5df25efa7acb76840020005000440046002065874ef63002gt CZE ltFEFF005400610074006f0020006e006100730074006100760065006e00ed00200070006f0075017e0069006a007400650020006b0020007600790074007600e101590065006e00ed00200064006f006b0075006d0065006e0074016f002000410064006f006200650020005000440046002c0020006b00740065007200e90020007300650020006e0065006a006c00e90070006500200068006f006400ed002000700072006f0020006b00760061006c00690074006e00ed0020007400690073006b00200061002000700072006500700072006500730073002e002000200056007900740076006f01590065006e00e900200064006f006b0075006d0065006e007400790020005000440046002000620075006400650020006d006f017e006e00e90020006f007400650076015900ed007400200076002000700072006f006700720061006d0065006300680020004100630072006f00620061007400200061002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000610020006e006f0076011b006a016100ed00630068002egt DAN ltFEFF004200720075006700200069006e0064007300740069006c006c0069006e006700650072006e0065002000740069006c0020006100740020006f007000720065007400740065002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e007400650072002c0020006400650072002000620065006400730074002000650067006e006500720020007300690067002000740069006c002000700072006500700072006500730073002d007500640073006b007200690076006e0069006e00670020006100660020006800f8006a0020006b00760061006c0069007400650074002e0020004400650020006f007000720065007400740065006400650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e0074006500720020006b0061006e002000e50062006e00650073002000690020004100630072006f00620061007400200065006c006c006500720020004100630072006f006200610074002000520065006100640065007200200035002e00300020006f00670020006e0079006500720065002egt DEU ltFEFF00560065007200770065006e00640065006e0020005300690065002000640069006500730065002000450069006e007300740065006c006c0075006e00670065006e0020007a0075006d002000450072007300740065006c006c0065006e00200076006f006e002000410064006f006200650020005000440046002d0044006f006b0075006d0065006e00740065006e002c00200076006f006e002000640065006e0065006e002000530069006500200068006f006300680077006500720074006900670065002000500072006500700072006500730073002d0044007200750063006b0065002000650072007a0065007500670065006e0020006d00f60063006800740065006e002e002000450072007300740065006c006c007400650020005000440046002d0044006f006b0075006d0065006e007400650020006b00f6006e006e0065006e0020006d006900740020004100630072006f00620061007400200075006e0064002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020006f0064006500720020006800f600680065007200200067006500f600660066006e00650074002000770065007200640065006e002egt ESP ltFEFF005500740069006c0069006300650020006500730074006100200063006f006e0066006900670075007200610063006900f3006e0020007000610072006100200063007200650061007200200064006f00630075006d0065006e0074006f00730020005000440046002000640065002000410064006f0062006500200061006400650063007500610064006f00730020007000610072006100200069006d0070007200650073006900f3006e0020007000720065002d0065006400690074006f007200690061006c00200064006500200061006c00740061002000630061006c0069006400610064002e002000530065002000700075006500640065006e00200061006200720069007200200064006f00630075006d0065006e0074006f00730020005000440046002000630072006500610064006f007300200063006f006e0020004100630072006f006200610074002c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200079002000760065007200730069006f006e0065007300200070006f00730074006500720069006f007200650073002egt ETI ltFEFF004b00610073007500740061006700650020006e0065006900640020007300e4007400740065006900640020006b00760061006c006900740065006500740073006500200074007200fc006b006900650065006c007300650020007000720069006e00740069006d0069007300650020006a0061006f006b007300200073006f00620069006c0069006b0065002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740069006400650020006c006f006f006d006900730065006b0073002e00200020004c006f006f0064007500640020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740065002000730061006100740065002000610076006100640061002000700072006f006700720061006d006d006900640065006700610020004100630072006f0062006100740020006e0069006e0067002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020006a00610020007500750065006d006100740065002000760065007200730069006f006f006e00690064006500670061002e000d000agt FRA ltFEFF005500740069006c006900730065007a00200063006500730020006f007000740069006f006e00730020006100660069006e00200064006500200063007200e900650072002000640065007300200064006f00630075006d0065006e00740073002000410064006f00620065002000500044004600200070006f0075007200200075006e00650020007100750061006c0069007400e90020006400270069006d007000720065007300730069006f006e00200070007200e9007000720065007300730065002e0020004c0065007300200064006f00630075006d0065006e00740073002000500044004600200063007200e900e90073002000700065007500760065006e0074002000ea0074007200650020006f007500760065007200740073002000640061006e00730020004100630072006f006200610074002c002000610069006e00730069002000710075002700410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000650074002000760065007200730069006f006e007300200075006c007400e90072006900650075007200650073002egt GRE ltFEFF03a703c103b703c303b903bc03bf03c003bf03b903ae03c303c403b5002003b103c503c403ad03c2002003c403b903c2002003c103c503b803bc03af03c303b503b903c2002003b303b903b1002003bd03b1002003b403b703bc03b903bf03c503c103b303ae03c303b503c403b5002003ad03b303b303c103b103c603b1002000410064006f006200650020005000440046002003c003bf03c5002003b503af03bd03b103b9002003ba03b103c42019002003b503be03bf03c703ae03bd002003ba03b103c403ac03bb03bb03b703bb03b1002003b303b903b1002003c003c103bf002d03b503ba03c403c503c003c903c403b903ba03ad03c2002003b503c103b303b103c303af03b503c2002003c503c803b703bb03ae03c2002003c003bf03b903cc03c403b703c403b103c2002e0020002003a403b10020005000440046002003ad03b303b303c103b103c603b1002003c003bf03c5002003ad03c703b503c403b5002003b403b703bc03b903bf03c503c103b303ae03c303b503b9002003bc03c003bf03c103bf03cd03bd002003bd03b1002003b103bd03bf03b903c703c403bf03cd03bd002003bc03b5002003c403bf0020004100630072006f006200610074002c002003c403bf002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002003ba03b103b9002003bc03b503c403b103b303b503bd03ad03c303c403b503c103b503c2002003b503ba03b403cc03c303b503b903c2002egt HEB ltFEFF05D405E905EA05DE05E905D5002005D105D405D205D305E805D505EA002005D005DC05D4002005DB05D305D9002005DC05D905E605D505E8002005DE05E105DE05DB05D9002000410064006F006200650020005000440046002005D405DE05D505EA05D005DE05D905DD002005DC05D405D305E405E105EA002005E705D305DD002D05D305E405D505E1002005D005D905DB05D505EA05D905EA002E002005DE05E105DE05DB05D90020005000440046002005E905E005D505E605E805D5002005E005D905EA05E005D905DD002005DC05E405EA05D905D705D4002005D105D005DE05E605E205D505EA0020004100630072006F006200610074002005D5002D00410064006F00620065002000520065006100640065007200200035002E0030002005D505D205E805E105D005D505EA002005DE05EA05E705D305DE05D505EA002005D905D505EA05E8002E05D005DE05D905DD002005DC002D005000440046002F0058002D0033002C002005E205D905D905E005D5002005D105DE05D305E805D905DA002005DC05DE05E905EA05DE05E9002005E905DC0020004100630072006F006200610074002E002005DE05E105DE05DB05D90020005000440046002005E905E005D505E605E805D5002005E005D905EA05E005D905DD002005DC05E405EA05D905D705D4002005D105D005DE05E605E205D505EA0020004100630072006F006200610074002005D5002D00410064006F00620065002000520065006100640065007200200035002E0030002005D505D205E805E105D005D505EA002005DE05EA05E705D305DE05D505EA002005D905D505EA05E8002Egt HRV (Za stvaranje Adobe PDF dokumenata najpogodnijih za visokokvalitetni ispis prije tiskanja koristite ove postavke Stvoreni PDF dokumenti mogu se otvoriti Acrobat i Adobe Reader 50 i kasnijim verzijama) HUN ltFEFF004b0069007600e1006c00f30020006d0069006e0151007300e9006701710020006e0079006f006d00640061006900200065006c0151006b00e90073007a00ed007401510020006e0079006f006d00740061007400e100730068006f007a0020006c006500670069006e006b00e1006200620020006d0065006700660065006c0065006c0151002000410064006f00620065002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e00740075006d006f006b0061007400200065007a0065006b006b0065006c0020006100200062006500e1006c006c00ed007400e10073006f006b006b0061006c0020006b00e90073007a00ed0074006800650074002e0020002000410020006c00e90074007200650068006f007a006f00740074002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e00740075006d006f006b00200061007a0020004100630072006f006200610074002000e9007300200061007a002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002c0020007600610067007900200061007a002000610074007400f3006c0020006b00e9007301510062006200690020007600650072007a006900f3006b006b0061006c0020006e00790069007400680061007400f3006b0020006d00650067002egt ITA ltFEFF005500740069006c0069007a007a006100720065002000710075006500730074006500200069006d0070006f007300740061007a0069006f006e00690020007000650072002000630072006500610072006500200064006f00630075006d0065006e00740069002000410064006f00620065002000500044004600200070006900f900200061006400610074007400690020006100200075006e00610020007000720065007300740061006d0070006100200064006900200061006c007400610020007100750061006c0069007400e0002e0020004900200064006f00630075006d0065006e007400690020005000440046002000630072006500610074006900200070006f00730073006f006e006f0020006500730073006500720065002000610070006500720074006900200063006f006e0020004100630072006f00620061007400200065002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200065002000760065007200730069006f006e006900200073007500630063006500730073006900760065002egt JPN ltFEFF9ad854c18cea306a30d730ea30d730ec30b951fa529b7528002000410064006f0062006500200050004400460020658766f8306e4f5c6210306b4f7f75283057307e305930023053306e8a2d5b9a30674f5c62103055308c305f0020005000440046002030d530a130a430eb306f3001004100630072006f0062006100740020304a30883073002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000204ee5964d3067958b304f30533068304c3067304d307e305930023053306e8a2d5b9a306b306f30d530a930f330c8306e57cb30818fbc307f304c5fc59808306730593002gt KOR ltFEFFc7740020c124c815c7440020c0acc6a9d558c5ec0020ace0d488c9c80020c2dcd5d80020c778c1c4c5d00020ac00c7a50020c801d569d55c002000410064006f0062006500200050004400460020bb38c11cb97c0020c791c131d569b2c8b2e4002e0020c774b807ac8c0020c791c131b41c00200050004400460020bb38c11cb2940020004100630072006f0062006100740020bc0f002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020c774c0c1c5d0c11c0020c5f40020c2180020c788c2b5b2c8b2e4002egt LTH ltFEFF004e006100750064006f006b0069007400650020016100690075006f007300200070006100720061006d006500740072007500730020006e006f0072011700640061006d00690020006b0075007200740069002000410064006f00620065002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400750073002c0020006b00750072006900650020006c0061006200690061007500730069006100690020007000720069007400610069006b007900740069002000610075006b01610074006f00730020006b006f006b007900620117007300200070006100720065006e006700740069006e00690061006d00200073007000610075007300640069006e0069006d00750069002e0020002000530075006b0075007200740069002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400610069002000670061006c006900200062016b007400690020006100740069006400610072006f006d00690020004100630072006f006200610074002000690072002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000610072002000760117006c00650073006e0117006d00690073002000760065007200730069006a006f006d00690073002egt LVI ltFEFF0049007a006d0061006e0074006f006a00690065007400200161006f00730020006900650073007400610074012b006a0075006d00750073002c0020006c0061006900200076006500690064006f00740075002000410064006f00620065002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400750073002c0020006b006100730020006900720020012b00700061016100690020007000690065006d01130072006f00740069002000610075006700730074006100730020006b00760061006c0069007401010074006500730020007000690072006d007300690065007300700069006501610061006e006100730020006400720075006b00610069002e00200049007a0076006500690064006f006a006900650074002000500044004600200064006f006b0075006d0065006e007400750073002c0020006b006f002000760061007200200061007400760113007200740020006100720020004100630072006f00620061007400200075006e002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002c0020006b0101002000610072012b00200074006f0020006a00610075006e0101006b0101006d002000760065007200730069006a0101006d002egt NLD (Gebruik deze instellingen om Adobe PDF-documenten te maken die zijn geoptimaliseerd voor prepress-afdrukken van hoge kwaliteit De gemaakte PDF-documenten kunnen worden geopend met Acrobat en Adobe Reader 50 en hoger) NOR ltFEFF004200720075006b00200064006900730073006500200069006e006e007300740069006c006c0069006e00670065006e0065002000740069006c002000e50020006f0070007000720065007400740065002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740065007200200073006f006d00200065007200200062006500730074002000650067006e0065007400200066006f00720020006600f80072007400720079006b006b0073007500740073006b00720069006600740020006100760020006800f800790020006b00760061006c0069007400650074002e0020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740065006e00650020006b0061006e002000e50070006e00650073002000690020004100630072006f00620061007400200065006c006c00650072002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200065006c006c00650072002000730065006e006500720065002egt POL ltFEFF0055007300740061007700690065006e0069006100200064006f002000740077006f0072007a0065006e0069006100200064006f006b0075006d0065006e007400f300770020005000440046002000700072007a0065007a006e00610063007a006f006e00790063006800200064006f002000770079006400720075006b00f30077002000770020007700790073006f006b00690065006a0020006a0061006b006f015b00630069002e002000200044006f006b0075006d0065006e0074007900200050004400460020006d006f017c006e00610020006f007400770069006500720061010700200077002000700072006f006700720061006d006900650020004100630072006f00620061007400200069002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000690020006e006f00770073007a0079006d002egt PTB ltFEFF005500740069006c0069007a006500200065007300730061007300200063006f006e00660069006700750072006100e700f50065007300200064006500200066006f0072006d00610020006100200063007200690061007200200064006f00630075006d0065006e0074006f0073002000410064006f0062006500200050004400460020006d00610069007300200061006400650071007500610064006f00730020007000610072006100200070007200e9002d0069006d0070007200650073007300f50065007300200064006500200061006c007400610020007100750061006c00690064006100640065002e0020004f007300200064006f00630075006d0065006e0074006f00730020005000440046002000630072006900610064006f007300200070006f00640065006d0020007300650072002000610062006500720074006f007300200063006f006d0020006f0020004100630072006f006200610074002000650020006f002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000650020007600650072007300f50065007300200070006f00730074006500720069006f007200650073002egt RUM ltFEFF005500740069006c0069007a00610163006900200061006300650073007400650020007300650074010300720069002000700065006e007400720075002000610020006300720065006100200064006f00630075006d0065006e00740065002000410064006f006200650020005000440046002000610064006500630076006100740065002000700065006e0074007200750020007400690070010300720069007200650061002000700072006500700072006500730073002000640065002000630061006c006900740061007400650020007300750070006500720069006f006100720103002e002000200044006f00630075006d0065006e00740065006c00650020005000440046002000630072006500610074006500200070006f00740020006600690020006400650073006300680069007300650020006300750020004100630072006f006200610074002c002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020015f00690020007600650072007300690075006e0069006c006500200075006c0074006500720069006f006100720065002egt RUS ltFEFF04180441043f043e043b044c04370443043904420435002004340430043d043d044b04350020043d0430044104420440043e0439043a043800200434043b044f00200441043e043704340430043d0438044f00200434043e043a0443043c0435043d0442043e0432002000410064006f006200650020005000440046002c0020043c0430043a04410438043c0430043b044c043d043e0020043f043e04340445043e0434044f04490438044500200434043b044f00200432044b0441043e043a043e043a0430044704350441044204320435043d043d043e0433043e00200434043e043f0435044704300442043d043e0433043e00200432044b0432043e04340430002e002000200421043e043704340430043d043d044b04350020005000440046002d0434043e043a0443043c0435043d0442044b0020043c043e0436043d043e0020043e0442043a0440044b043204300442044c002004410020043f043e043c043e0449044c044e0020004100630072006f00620061007400200438002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020043800200431043e043b043504350020043f043e04370434043d043804450020043204350440044104380439002egt SKY ltFEFF0054006900650074006f0020006e006100730074006100760065006e0069006100200070006f0075017e0069007400650020006e00610020007600790074007600e100720061006e0069006500200064006f006b0075006d0065006e0074006f0076002000410064006f006200650020005000440046002c0020006b0074006f007200e90020007300610020006e0061006a006c0065007001610069006500200068006f0064006900610020006e00610020006b00760061006c00690074006e00fa00200074006c0061010d00200061002000700072006500700072006500730073002e00200056007900740076006f00720065006e00e900200064006f006b0075006d0065006e007400790020005000440046002000620075006400650020006d006f017e006e00e90020006f00740076006f00720069016500200076002000700072006f006700720061006d006f006300680020004100630072006f00620061007400200061002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002000610020006e006f0076016100ed00630068002egt SLV ltFEFF005400650020006e006100730074006100760069007400760065002000750070006f0072006100620069007400650020007a00610020007500730074007600610072006a0061006e006a006500200064006f006b0075006d0065006e0074006f0076002000410064006f006200650020005000440046002c0020006b006900200073006f0020006e0061006a007000720069006d00650072006e0065006a016100690020007a00610020006b0061006b006f0076006f00730074006e006f0020007400690073006b0061006e006a00650020007300200070007200690070007200610076006f0020006e00610020007400690073006b002e00200020005500730074007600610072006a0065006e006500200064006f006b0075006d0065006e0074006500200050004400460020006a00650020006d006f0067006f010d00650020006f0064007000720065007400690020007a0020004100630072006f00620061007400200069006e002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200069006e0020006e006f00760065006a01610069006d002egt SUO ltFEFF004b00e40079007400e40020006e00e40069007400e4002000610073006500740075006b007300690061002c0020006b0075006e0020006c0075006f00740020006c00e400680069006e006e00e4002000760061006100740069007600610061006e0020007000610069006e006100740075006b00730065006e002000760061006c006d0069007300740065006c00750074007900f6006800f6006e00200073006f00700069007600690061002000410064006f0062006500200050004400460020002d0064006f006b0075006d0065006e007400740065006a0061002e0020004c0075006f0064007500740020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740069007400200076006f0069006400610061006e0020006100760061007400610020004100630072006f0062006100740069006c006c00610020006a0061002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030003a006c006c00610020006a006100200075007500640065006d006d0069006c006c0061002egt SVE ltFEFF0041006e007600e4006e00640020006400650020006800e4007200200069006e0073007400e4006c006c006e0069006e006700610072006e00610020006f006d002000640075002000760069006c006c00200073006b006100700061002000410064006f006200650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e007400200073006f006d002000e400720020006c00e4006d0070006c0069006700610020006600f60072002000700072006500700072006500730073002d007500740073006b00720069006600740020006d006500640020006800f600670020006b00760061006c0069007400650074002e002000200053006b006100700061006400650020005000440046002d0064006f006b0075006d0065006e00740020006b0061006e002000f600700070006e00610073002000690020004100630072006f0062006100740020006f00630068002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e00300020006f00630068002000730065006e006100720065002egt TUR ltFEFF005900fc006b00730065006b0020006b0061006c006900740065006c0069002000f6006e002000790061007a006401310072006d00610020006200610073006b013100730131006e006100200065006e0020006900790069002000750079006100620069006c006500630065006b002000410064006f006200650020005000440046002000620065006c00670065006c0065007200690020006f006c0075015f007400750072006d0061006b0020006900e70069006e00200062007500200061007900610072006c0061007201310020006b0075006c006c0061006e0131006e002e00200020004f006c0075015f0074007500720075006c0061006e0020005000440046002000620065006c00670065006c0065007200690020004100630072006f006200610074002000760065002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e003000200076006500200073006f006e0072006100730131006e00640061006b00690020007300fc007200fc006d006c00650072006c00650020006100e70131006c006100620069006c00690072002egt UKR ltFEFF04120438043a043e0440043804410442043e043204430439044204350020044604560020043f043004400430043c043504420440043800200434043b044f0020044104420432043e04400435043d043d044f00200434043e043a0443043c0435043d044204560432002000410064006f006200650020005000440046002c0020044f043a04560020043d04300439043a04400430044904350020043f045604340445043e0434044f0442044c00200434043b044f0020043204380441043e043a043e044f043a04560441043d043e0433043e0020043f0435044004350434043404400443043a043e0432043e0433043e0020043404400443043a0443002e00200020042104420432043e04400435043d045600200434043e043a0443043c0435043d0442043800200050004400460020043c043e0436043d04300020043204560434043a0440043804420438002004430020004100630072006f006200610074002004420430002000410064006f00620065002000520065006100640065007200200035002e0030002004300431043e0020043f04560437043d04560448043e04570020043204350440044104560457002egt ENU (Use these settings to create Adobe PDF documents best suited for high-quality prepress printing Created PDF documents can be opened with Acrobat and Adobe Reader 50 and later) gtgt Namespace [ (Adobe) (Common) (10) ] OtherNamespaces [ ltlt AsReaderSpreads false CropImagesToFrames true ErrorControl WarnAndContinue FlattenerIgnoreSpreadOverrides false IncludeGuidesGrids false IncludeNonPrinting false IncludeSlug false Namespace [ (Adobe) (InDesign) (40) ] OmitPlacedBitmaps false OmitPlacedEPS false OmitPlacedPDF false SimulateOverprint Legacy gtgt ltlt AddBleedMarks false AddColorBars false AddCropMarks false AddPageInfo false AddRegMarks false ConvertColors ConvertToCMYK DestinationProfileName () DestinationProfileSelector DocumentCMYK Downsample16BitImages true FlattenerPreset ltlt PresetSelector MediumResolution gtgt FormElements false GenerateStructure false IncludeBookmarks false IncludeHyperlinks false IncludeInteractive false IncludeLayers false IncludeProfiles false MultimediaHandling UseObjectSettings Namespace [ (Adobe) (CreativeSuite) (20) ] PDFXOutputIntentProfileSelector DocumentCMYK PreserveEditing true UntaggedCMYKHandling LeaveUntagged UntaggedRGBHandling UseDocumentProfile UseDocumentBleed false gtgt ]gtgt setdistillerparamsltlt HWResolution [2400 2400] PageSize [612000 792000]gtgt setpagedevice

  1. 1 World Health Organization WHO
  2. 2 Beijing Platform for Action BPA 1995
  3. 5 International Covenant on Civil and Political Rights ICCPR 1966
  4. 7 Krug Etienne et al 2002 World Report on Violence and Health Geneva WHO
Page 18: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na
Page 19: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na
Page 20: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na
Page 21: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na
Page 22: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na
Page 23: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na
Page 24: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na
Page 25: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na
Page 26: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na
Page 27: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na
Page 28: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na
Page 29: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na
Page 30: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na
Page 31: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na
Page 32: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na
Page 33: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na
Page 34: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na
Page 35: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na
Page 36: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na
Page 37: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na
Page 38: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na
Page 39: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na
Page 40: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na
Page 41: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na
Page 42: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na
Page 43: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na
Page 44: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na
Page 45: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na
Page 46: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na
Page 47: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na
Page 48: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na
Page 49: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na
Page 50: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na
Page 51: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na
Page 52: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na
Page 53: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na
Page 54: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na
Page 55: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na
Page 56: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na
Page 57: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na
Page 58: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na
Page 59: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na
Page 60: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na
Page 61: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na
Page 62: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na
Page 63: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na
Page 64: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na
Page 65: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na
Page 66: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na
Page 67: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...Sekta Ya Afya ..... 47 iii DIBAJI Mwongozo huu wa Kisera umetayarishwa ili kukabili tatizo la Ukatili wa ... makubwa ya kimwili yanayohusiana na