16
ISSN 0856 - 3861 Na. 1123 RAJAB 1435, IJUMAA , MEI 2 - 8, 2014 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu www.annuurpapers.co.tz Facebook:[email protected] Sheikh Jongo ajifunze hawana shukrani hawa Labda uritadi kama ilivyosema Qur’an Asome kutoka kwa Suleiman Takadir Na Mohamed Said TUMEKAA barzani tukimtafakari Sheikh Jongo. Ni kutokana na kile kilio chake ndani ya Bunge Maalum la Katiba. Kuna waliosema ni uchuro. Wako waliosema alikuwa katika kugombea tuzo kubwa duniani ya uigizaji ile ya ''Oscar'' inayotolewa Marekani kwa waigizaji nguli. Ili muradi Sheikh Jongo akawa kichekesho na kiroja. (Soma Uk. 8) Mtume (saw) amesema kuwa anayekufa bila kuhiji hali ya kuwa aliwahi kupata uwezo anakufa Yahudi au Nasara, na Uislamu hautomtambua? Hijja ni haki ya Mola wako! Mpe Mola wako haki yake kwanza kabla kufanya mengine. Karibuni Ahlu Sunna wal Jamaa kwa mipango mizuri na huduma bora. Wahi kuja kulipa uitakase mali yako. Gharama zote ni Dola 4,500. Tafadhali wasiliana nasi: Tanzania Bara: 0655/0765/0682/0777 - 462022; Zanzibar: 0777468018/0685366141/0657606708. (2) HIJJI, UFE MUISLAMU! Inaendelea Uk. 2 LONDON WAZIRI Mkuu wa zamani wa Uingereza Tony Blair, amesema kuwa Mataifa makubwa yanapaswa kuacha na kuweka kando tofauti zao kuhusiana Blair: Tusahau Ukraine tuungane dhidi ya Waislam msimamo mikali na mgogoro wa Ukraine, na badala yake yaungane kupambana dhidi ya Uislam wa msimamo mkali. Alisema tishio la Waislamu wenye msimamo mkali linakuwa. Bw. Blair ametoa kauli hiyo huko Bloomberg, London wiki iliyopita na kuripotiwa na vyombo mbalimbali vya habari Siasa zina mambo…. Lissu aibuka shujaa Kibandamaiti Ataka Z’bar ikate minyororo ya ukoloni Maalim Seif asema hakuna wa kuzuiya tatu Awataka FFU, Vikosi washike adabu zao Mbowe, Lipumba: Katiba ya wananchi lazima Na Mwandishi Wetu SARAKASI za kisiasa zinazoendelea nchini, ghafla zimempa umaarufu Tundu Lissu na kuonekana kama shujaa wa kupigania haki za Wazanzibari. (Uk. 4) MAELFU ya wananchi waliohudhuria Mkutano mkubwa wa UKAWA uliofanyika Jumatano ya wiki hii katika uwanja wa Kibanda maiti ambao ulihudhuriwa pia na wenyeviti wa vyama vya CHADEMA, CUF, NCCR, NLD na DP. MAALIM Seif Sharif Hamad BWANA Tundu Lissu.

ANNUUR 1123

Embed Size (px)

Citation preview

ISSN 0856 - 3861 Na. 1123 RAJAB 1435, IJUMAA , MEI 2 - 8, 2014 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

Sauti ya Waislamuwww.annuurpapers.co.tz Facebook:[email protected]

Sheikh Jongo ajifunzehawana shukrani hawa

Labda uritadi kama ilivyosema Qur’anAsome kutoka kwa Suleiman Takadir

Na Mohamed Said

TUMEKAA barzani tukimtafakari Sheikh Jongo.Ni kutokana na kile kilio chake ndani ya Bunge

Maalum la Katiba. Kuna waliosema ni uchuro. Wako waliosema alikuwa

katika kugombea tuzo kubwa duniani ya uigizaji ile ya ''Oscar'' inayotolewa Marekani kwa waigizaji nguli.

Ili muradi Sheikh Jongo akawa kichekesho na kiroja. (Soma Uk. 8)

Mtume (saw) amesema kuwa anayekufa bila kuhiji hali ya kuwa aliwahi kupata uwezo anakufa Yahudi au Nasara, na Uislamu hautomtambua? Hijja ni haki ya Mola wako! Mpe Mola wako haki yake kwanza kabla kufanya mengine. Karibuni Ahlu Sunna wal Jamaa kwa mipango mizuri na huduma bora. Wahi kuja kulipa uitakase mali yako. Gharama zote ni Dola 4,500. Tafadhali wasiliana nasi: Tanzania Bara: 0655/0765/0682/0777 - 462022; Zanzibar: 0777468018/0685366141/0657606708.

(2) HIJJI, UFE MUISLAMU!

Inaendelea Uk. 2

LONDONWAZIRI Mkuu wa zamani wa Uingereza Tony Blair, amesema kuwa Mataifa m a k u b w a y a n a p a s w a kuacha na kuweka kando tofauti zao kuhusiana

Blair: Tusahau Ukraine tuungane dhidi ya Waislam msimamo mikali

na mgogoro wa Ukraine, na badala yake yaungane kupambana dhidi ya Uislam wa msimamo mkali.

Alisema tishio la Waislamu wenye msimamo mkal i

linakuwa. Bw. Blair ametoa kauli hiyo huko Bloomberg, London wiki iliyopita na kuripot iwa na vyombo mbal imbal i vya habar i

Siasa zina mambo….

Lissu aibuka shujaa KibandamaitiAtaka Z’bar ikate minyororo ya ukoloniMaalim Seif asema hakuna wa kuzuiya tatuAwataka FFU, Vikosi washike adabu zaoMbowe, Lipumba: Katiba ya wananchi lazima

Na Mwandishi Wetu

SARAKASI za kisiasa zinazoendelea nchini, ghafla zimempa umaarufu Tundu Lissu na kuonekana kama shujaa wa kupigania haki za Wazanzibari. (Uk. 4)

MAELFU ya wananchi waliohudhuria Mkutano mkubwa wa UKAWA uliofanyika Jumatano ya wiki hii katika uwanja wa Kibanda maiti ambao ulihudhuriwa pia na wenyeviti wa vyama vya CHADEMA, CUF, NCCR, NLD na DP.

MAALIM Seif Sharif Hamad BWANA Tundu Lissu.

2 AN-NUURRAJAB 1435, IJUMAA MEI 2-8, 2014

AN-NUUR S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM. www.annuurpapers.co.tz E-mail: [email protected]

Ofisi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

Tahariri/Habari

Inatoka Uk. 1

Blair: Tusahau Ukraine tuungane dhidi ya Waislamvikiwemo Shirika la habari la BBC .

“ N c h i z i l i z o n j e ya Mashariki ya Kati lazima ziingie katika vita hii ", alinukuliwa Blair katika mtandao wa theguardian.com wiki iliyopita.

K a u l i h i y o ya B l a i r inakuja wakati ambapo kuna hali mbaya ya kisiasa na mgawanyiko kwa mataifa ya nchi za Magharibi kuhusiana na mgogoro wa Ukrine na Urusi,huku mataifa hayo ya Magharibi ikiulaumu utawala wa Urusi kwa kuingiza Wanajeshi wanaoendesha harakati zao ndani ya Ukrine kwa siri.

Tony Blair, ameeleza kuwa Uislam wa msimamo mkali ni changamoto na ni lazima utokomezwe na mataifa hayo na kutoa wito kwa Urusi na China kuungana mataifa hayo ya Magharibi katika mapambano dhidi ya Uislamu wa siasa kali.

Aidha Blair alionyesha wasiwasi wake kuhusu kuongezeka kwa Waislam wenye msimamo mkal i duniani na amesema kuwa, hatari kubwa inayozikabili

n c h i k u b wa h i v i s a s a ni ongezeko mkubwa wa Waislam wenye msimamo mkali unaozidi kukua siku hadi siku na wanaendelea kusambaa kwa kasi Duniani kote.

Tony Blair ni miongoni mwa watu wenye chuki kubwa na Waislam, hata katika uvamizi wa Iraq alidanganya Bunge la Uingereza kwa kisingizio cha kuwa na silaha ya kemikali "Weapon of Mass Destruction" na kusema kuwa kama hatoweza kushambuliwa na kuteketezwa silaha hizo Uingereza itakuwa kwenye hatari kubwa hapo mbeleni.

H a t i m a y e u v a m i z i ulibarikiwa na Bunge la Uingereza bi la kuwepo na usha id i wowote na ulisababisha uchumi wa Uingereza kuporomoka na baadae aliachia chumba namba 10 kabla ya kumaliza muda wake.

Kauli hiyo ya Blair dhidi ya Waislam iliwakasirisha w a n a s i a s a w e n g i w a Uingereza, huku wakimtaja k u wa n i m t u m we n ye kueneza chuki katika jamii ya Uingereza. Hapo awali alishatamka na kusema kuwa

"tatizo siyo Waislam wenye msimamo mkali, bali tatizo liko kwa Waislam wote",

Blair hakuishia hapo, a l i wa h i k u s e m a k u wa alishakisoma kitabu cha Qur'an kwa muda mrefu sana ili kuweza kuongeza na kupanua wigo wake wa kisiasa, na alitaja kuwa yeyote ambaye hajawahi kuisoma Qur'an hawezi kufahamu ulingo wa siasa za Dunia inavyokwenda.

Mwanasiasa maarufu katika Bunge la Uingereza George Galoway, amesema kwa kauli hiyo tu, yatosha Polisi wa Uingereza kumsweka ndani Tony Blair, kwasababu Muislam akitoa kauli kama hii kwamba "ni lazima Waislam kuungana kuanza kuwapiga vita Makafiri na kusahau hitilafu yetu" Muislam huyo ataambiwa kuwa ni mwenye msimamo mkali na mara mmoja atachukuliwa hatua na kufungwa.

Tony Blair alizionya nchi za Magharibi kuachana na masuala ya Mashariki ya Kati na kupeleka mapambano yake dhidi ya Waislamu wenye msimamo mkali na hilo liwe ndio agenda kubwa ya kisiasa.

KAMATAKAMATA ya pikipiki jijini Dar es Salaam imegeuzwa kuwa mradi mkubwa kwa askari wa usalama barabarani, polisi jamii, mgambo wa jiji na Halmashauri za Wilaya za Kinondoni, Ilala na Temeke.

Mradi huu usio rasmi, umeibuka kufuatia tangazo kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadik, kuzuia usarifi wa pikipiki maarufu kwa jina la bodaboda, Bajaji na baiskeli za tairi tatu zinazofahamika zaidi kwa jina la maguta, kuingia katikati ya Jiji.

Agizo hilo la serikali ya mkoa lilipokelewa kwa mikono miwili na jeshi la polisi ambapo Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Bw. Suleiman Kova, naye aliunga mkono agizo hilo na vijana wake kuingia kazini kulitekeleza.

Kwa upande mwingine, Maofisa wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga, Majini na Nchi kavu (SUMATRA), kadhalika nao walibariki zuio hilo na kuunganisha nguvu zake na mamlaka za jiji la Dar es Salaam pamoja na jeshi la Polisi.

Baadhi ya sababu kubwa zilizotolewa za kupigwa marufuku aina hizo za vyombo vya usafiri, ni kuzuia matukio ya kihalifu hususan ujambazi, ambayo yamekuwa yakifanyika kwa kutumia sana usafiri wa bodaboda.

S a b a b u n y i n g i n e il iyoelezwa ni kuzuia msongamano wa vyombo v ya u s a f i r i k a t i k a t i ya j i j i n i , k u p u n g u z a ajali zinazosababishwa na vyombo hivi, zaidi bodaboda.

Lakini pia waendeshaji w a v y o m b o h i v i wameelezwa kuwa ndio wavunjaji wakubwa wa sheria za barabarani.

P a m o j a n a s a b a b u z i l i z o t o l e wa zilizosababisha vyombo hivi kupigwa marufuku katikati ya jiji, hatudhani kama sababu hizo ndio s u l u h u y a m a t a t i z o yaliyotajwa.

Tunavyoona, agizo la mkuu wa mkoa limeibua ‘ulaji tu’ kwa baadhi ya polisi, mgambo wa jiji na halmashauri za wilaya hizi tatu za mkoa.

H a t u a m i n i k u w a bodaboda kukosekana mjini inaweza kukomesha

Zuio la bodaboda mjini limeibua ulajiau kupunguza ujambazi katikati ya jiji. Matukio ya ujambazi yamekidhiri tangu enzi, hata kabla ya kuingia idadi kubwa ya pikipiki.

Lakini pia pikipiki binafsi zimeelezwa kuwa hazihusiki na mrufuku hii. Kama ni ujambazi kwa kutumia pikipiki, hata hizi binafsi zinaweza kutumika, hata kwa njia bandia.

Udhaifu wa marufuku h i i p i a u n a j i t o k e z a katika hisia za kibaguzi. Kwamba katikati ya jiji n d i p o p a n a p o s t a h i l i usalama zaidi , lakini walio pembezoni mwa jiji waachwe waendelee kuporwa. Yaani wakazi wa huko si muhimu kiusalama wa mali zao kama wakazi wa katikati ya jiji hivyo uporaji kwa pikipiki huko si neno.

Hata hivyo kimsingi yamekuwepo matukio mengi ya upora j i na ujambazi wa mali zenye t h a m a n i k u b w a n a fedha kat ika maeneo ya pembezoni mwa jiji, huku wahalifu wakidaiwa kutumia usafiri wa pikipiki.

Siku za hivi karibuni tu, tumesikia Benki ya Baclays t a w i l a K i n d o n d o n i , m a m i l i o n i ya f e d h a yakiibwa huku pikipiki ikitajwa kuhusika katika wizi huo. Tena zikaja taarifa kuwa ujambazi wenyewe ukawahusisha pia baadhi ya maafisa wa polisi!

Tuseme tu kwamba, kimantiki marufuku hii kwa pikipiki kuingia mjini haiwezi kuwa sababu ya msongamano katikati ya jiji, badala yake tumeona zikirahisisha zaidi usafiri na kuokoa muda kwa watu hususan wafanyakazi na wafanya biashara.

Katika hali ya kawaida, pikipiki haiwezi kumzuia mtu kutembea mjini wala magari kupita barabarani. N a f a s i ya p i k i p i p i k i barabarani ni sawa na nafasi anayochukua mtu kutembea.

Kama ni msongamano, ni wa magari ambayo yamekuwa mengi kuliko miundo mbinu yake . Yaani Magari ni mengi na barabara kuwa hafifu na si vinginevyo.

Sababu tunayoweza kukubal iana nayo n i upungufu wa ufahamu wa sheria za barabarani kwa waendesha j i wa vyombo hivyo, jambo ambalo linahitaji uwekezaji

wa e l i m u z a i d i k wa waendeshaji wa vyombo hivyo ili wapate uelewa wa sheria zenyewe pamoja na kuwekwa adhabu, hasa za faini kwa wakiukaji, lakini si kuzuia kabisa usafiri huo kuwepo katikati ya mji.

K a m a n i m a t u k i o ya kihal i fu, jambo la msingi kutiliwa mkazo ni kuhangaika na wahalifu wenyewe, sio na vyombo vya usafiri na kuumiza raia wema wasio na hatia.

Hivi sasa wachuuzi na watu wa kipato cha chini, wanalazimika kusotea usafiri wa daladala zenye s e h e m u z a k u b e b e a mizigo, ambazo ni chache ili kusafirisha bidhaa zao kutoka katikati ya mji. Uwezo wa kukodi gari (teksi au pick up) hawana, walikuwa wakitegemea zaidi pikipiki na guta.

Wakati hali ikiwa hivyo, h iv i sasa waendesha pikipiki wanaokamatwa, wamekuwa wakitozwa faini ya kati ya shilingi 3 0 , 0 0 0 h a d i 5 0 , 0 0 0 . Wakielewana na afande au mgambo, hutolewa upepo wa shilingi 10,000 hadi 15,000.

T u m e s h u h u d i a wakamataji , hasa hao mgambo wa Halmashauri, wamekuwa wakiwavizia wenye bodaboda waliongia mjini na kuwanyofolea funguo na kuzua tafrani kubwa. Katika hali hiyo, lazima mwenye pikipiki atatolewa upepo, la sivyo pikipiki itachukuliwa na atalazimika kulipa faini kubwa.

Marufuku sasa imegeuka mradi kwa baadhi ya wale waliopewa mamlaka ya kusimamia uzuiaji.

Tunashauri Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Bw. Saidi Meck Sadiki, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Bw. Sulemani Kova, na Maofisa wa Mamlaka ya Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (SUMATRA), kufanya utafiti wa kina juu ya hatua walizozichukua, ili kuja na majibu ya uhakika wa tatizo lililopo kabla ya kutaraji utakalezaji wa amri, ambayo inaweza kuwa na madhara zaidi kuliko faida.

A k i z u n g u m z a n a waandishi wa habari jijini Dar es salaam, Kamishina wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam Bw. Suleiman Kova, alisema k u wa u a m u z i h u o umekuja baada ya kufanya uchunguzi, na kugundua ajali nyingi za bodaboda zinatokana na madereva wengi wa p ik ip ik i kutokuwa na elimu ya usalama barabarani, pia baadhi yao hawafuati sheria ikiwa ni pamoja na kuvaa kofia ngumu pindi wanapotumia vyombo hivyo.

Aidha, Kamanda Kova alibainisha sifa ambazo mtumiaji wa piki piki atatakiwa kuwa nazo kila atumiapo chombo hicho, ambazo ni pamoja na kuvaa kofia ngumu

dereva pamoja na abiria wake, kutopakia abiria zaidi ya mmoja maarufu kama mshikaki, kuwa na leseni ya kuendeshea pikipiki na pia mtumiaji atatakiwa kuwa na bima itakayomsaidia endapo atapata ajali.

K a m a n d a K o v a aliendelea kusema kuwa sifa nyinginezo ni lazima piki piki iwe na sifa za kutembea barabarani.

Tu n a k u b a l i a n a n a Kamanda Kova kwamba, haya aliyoeleza ndiyo mambo ya msingi ya kuhangaika nayo serikali ya Dar es Salaam kuhakikisha usalama wa abiria, chombo na muendesha pikipiki. Sio kuzuia usafiri huo mjini.

Kwa bahati biashara hii ya bodaboda ilisharasimishwa na hata Bunge mwaka jana waliwaondolea ushuru w e n y e b o d a b o d a i l i kuongeza pato lao.

Kuwarasimishia bishara ya boda boda halafu wakaja watu wengine wakapiga m a r u f u k u b o d a b o d a hizo hizo zisifike baadhi ya maeneo, kwasababu tu serikali imeshindwa kuthibiti uhalifu, ufuataji wa sheria na msongamano, sio jibu la msingi la ugonjwa uliopo.

Vinginevyo tuambiwe zuio hili ni katika zile jitihada za kubuni vyanzo vipya vya mapato katika mamlaka zetu.

3 AN-NUURRAJAB 1435, IJUMAA MEI 2-8, 2014Habari

I M E E L E Z W A k u w a mwenendo wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar umelelewa katika ghiliba, vitisho na ubabe ndani ya miaka 50 jambo ambalo ni hatari ikiwa utaachwa katika hali ilivyo sasa.

Hayo yamebainishwa na Ustadhi Siraji Japhari, akiongea na Waislamu katika Kongamano lililoandaliwa na Jumuiya na Taasisi za Kiislamu (T) lililofanyika katika Msikiti wa Mtambani, Kinondoni J i j ini Dar es Salaam, Jumapili ya wiki iliyopita.

Ust. Siraji, akizungumzia mwenendo wa Muungano huo, alisema tokea awali baada ya kutiliana saini baina ya pande mbili hizo, mambo yalianza kuyumba baada ya Rais wa kwanza wa Zanzibar, hayat Abeid Aman Karume, kustukia baadhi ya mambo kwenda ndivyo sivyo.

“Mwenendo wa Muungano h u u t o k e a u u n d w e umegubikwa na hila, ulaghai, ghilba pamoja na vitisho mpaka kufikia hivi sasa, na hali hiyo ilianza wakati huo baada ya Rais Karume (Abeid) kushtukia baadhi ya mambo katika Muungano huo”. Alisema Ust. Siraj.

Alisema, kutokana na kero hizo na hasa zilivyozidi kukua ilifika wakati Mzee Karume, alidiriki kuupigia mfano wa koti Muungao huo akisema mara kwa mara kwamba ‘Muungano ni kama Koti likikubana unalivua’.

Alisema, mwaka 1984, Alhaj Aboud Jumbe, aliye mrithi Rais Karume, naye baada ya kuona Muungano hauendi sawa, alimuandikia Rais Nyerere, barua kali na waraka wa mashtaka kwenda katika Mahakama ya Katiba, kuhoji tu na wala si kutaka kuuvunja, akitaka Muungano huo uboreshwe ili uwe katika haki na usawa kwa pande zote mbili.

U s t . S i r a j i , a l i s e m a kilichofuatia ni ubabe kutoka kwa Rais Nyerere, akiwa Dodoma, akamuamuru Rais Jumbe, ajiuzulu nyadhifa z a k e z o t e wa k a t i h u o akiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, Makamu Mwenyekiti wa CCM na Makamu wa Rais wa Muungano.

“Haya yote ukiyaangalia d h i d i y a m w e n e n d o wa Muungano utabaini kuwa unaenda kibabe na vitisho, badala ya suala hilo kupelekwa katika Mahakama ya Katiba, alivuliwa nyadhifa zake. Sasa inakuwa ni haramu mtu kuzungumzia au kuhoji

Muungano wa kibabe hautakiwiNa Bakari Mwakangwale

Ustadhi Siraji Japhari, akiongea na Waislamu (hawapo pichani) katika Kongamano lililoandaliwa na Jumuiya na Taasisi za Kiislamu (T) lililofanyika katika Msikiti wa Mtambani, Kinondoni Jijini Dar es Salaam, Jumapili ya wiki iliyopita.

suala la Muungano, ukifanya hivyo inakuwa ni tatizo”. Alisema Ust. Siraji.

A i d h a , U s t . S i r a j i , alikumbushia suala la kundi la G55, lililotokana na Wabunge wa CCM wakati wa mfumo wa Chama kimoja walipoona sasa ipo haja ya kuwepo kwa Serikali ya Tanganayika, na kwa hatua ilipofikia Serikali i l ielekea kukubali suala hilo, lakini Rais mstaafu Nyerere, aliingilia kati na kusambaratisha kundi hilo kisha kuzima hoja hiyo.

A l i s e m a , h i v i s a s a hakuna asiyejua kwamba Muungano umevaa koti la Tanganyika na Zanzibar h a i n a m a m l a k a k a m i l i kwani hata katika mambo yao ya msingi huamliwa Dodoma Tanganyika, huku akirejea matukio mbalimbali yaliyoamuliwa na Wazanzibar w e n y e w e n a k w e n d a kutenguliwa Dodoma.

Miongoni mwa hayo Ust. Siraji, alisema ni ile hatua ya Zanzibar ya kujiunga na OIC, mwaka 1993, ambapo viongozi wa Tanganyika, ambao ndio wenye sauti juu ya Muungano, walikuja juu na kuhitimishwa na Mwl. Nyerere, na kulazimishwa wajitoe.

Kwa hiyo alisema, kama kitu kilikuwa katika unyoofu hakiwezi kuongozwa na kulelewa katika ghilba, ulaghai, hila na vitisho kama ambavyo unavyolelewa Muungano huu ndani ya m i a k a 5 0 , u k a t e g e m e a kitabaki hivyo daima.

Ust. Siraji, alisema ieleweke

kuwa watu wanapohoji suala hili na kuambiwa kwamba hawataki Muungano sio kwel i h iyo inakuwa ni k a t i k a p r o p a g a n d a z a kuwanyamazisha ili kuzima malengo ya marekebisho ambayo yataleta usawa na faida kwa pande zote mbili.

Lakini pia alisema, ikiwa kila anayehoji Muungano anadaiwa anataka kuleta au kumre jesha Sulatan (Mwarabu), lakini hao hao kila mwaka hupokea kifimbo cha Malkia wa Uingereza, na ni mwanachama wa Jumuia ya Madola, hawaambiwi kwamba wanataka kurudisha Malkia (Mzungu).

Alisema, ukiachana na hayo, wao kama Waislamu ambao Allah (s.w) amewasifu katika aya nyingi ndani ya Qur an, kuwa ndio wanao tumia akili, kutafakari na kutanabahi hawana budi k u u a n g a l i a u k we l i wa Muungano na kuutolea maoni pia.

U s t . S i r a j i , a l i s e m a kiuhalisia muundo huu wa Muungano ulivyo Waislamu wanaouna umeundwa katika mfumo huo kwa lengo la kuudhibiti Uislamu Zanzibar, na huu alidai ndio uhalisia kwani hata Waziri Wiliam Lukuvi, kathibitisha lengo la muundo huu akiwa kanisani.

A l i s e m a , M w e n y e z i Mungu anaeleza kwamba unapodhihiri ukweli, uongo hujitenga, kwani uongo siku zote hauambatani na ukweli kisha ukadumu milele, hiyo ni kanuni aliyoiweka Allah (s.w).

Ust. Siraji, alisema katika kanuni ya uweli akitokea mtu au kikundi cha watu wakataka kuficha ukweli na kueneza uongo na kulazimisha uwe kama ukweli, hata kama ikipita miaka 100, itafika mahali ukweli utajitokeza na uongo utajitenga.

Alisema, upo ushahidi mwingi wa kihistoria lakini pia kauli za Rais wa kwanza wa Jamhuri ya Muungano, M w l . J u l i u s N y e r e r e , katika vitabu mbalimbali zinaonyesha hivyo, na hivi karibu, akadai kuwa Waziri Wiliam Lukuvi, kathibitisha lengo la muundo huu akiwa Kanisani, na kusisitiza zaidi ndani ya Bunge.

“Tukiweka Muungano w e t u k a t i k a t a f a k u r i k w a k u z i n g a t i a k a u l i alizonukuliwa Mwl. Nyerere, utabaini kuwa Muungano umekuja kwa maslahi ya watu wa Tanganyika waliokuwa na hofu zao kiimani kama alivyobainisha Mh. Lukuvi, na haya mengine inakuwa ni sababu tu za kuficha hofu yao kuu ya kiimani.” Alisema Ust. Siraji.

Akinukuu kitabu cha Dk. Sivalon, alisema Dk, huyo aliye Padri, katika kitabu chake cha ‘Kanisa Katoliki

na Siasa za Tanzania Bara’, anaeleza kwamba wakati wa harakati za kupigania Uhuru zikiwa zimepamba moto, Kanisa liliingiwa na hofu kuwa huenda Uhuru ukaangukia mikononi mwa Waislamu.

Alisema, hofu hiyo ya Uhuru kuangukia mikoni mwa Waislamu ilitokana na kwamba Waislamu ndio waliokuwa mstari wa mbele katika mapambano ya kudai Uhuru dhidi ya Wakoloni, huku Wakristo wakijiweka kando.

Hata baada ya Uhuru wa Tanganyika kupatikana, Ust. Siraji, alisema Rais Nyerere, alipokuja na sera yake ya ujamaa, ambapo Padri Sivalon, anaeleza kwamba, Mwl. Nyerere aliwatoa hofu Maaskofu kwamba wasiwe na wasiwasi kwa sababu huo sio ujamaa wa Kikomonisti, bali ni ujamaa unaoendana na mafunzo ya Biblia.

Ust. Siraji, alisema baada ya hapo ika ja mipango ya kukidhibiti kisiwa cha Zanzibar, kwa kuwa wakati huo Waislamu walikuwa 99%, lengo likiwa ni kuudhibi Uislamu kama ambavyo Mh. Lukuvi, alivyofafanua akiwa Kanisani.

Wenye ndevu China matataniUTAWALA wa jimbo la Xinjiang nchini China, umewataka watu kuleta au kuwataja majirani au watu walio karibu na jamaa au rafiki zao atakayefuga ndevu na hivyo kupewa kitita cha zawadi nono.

Kitita cha zawadi hiyo ni hadi Yuan pesa za China shilingi 50,000.00 na 80,000.00 kadri mtu atakavyoleta uthibitisho huo kwa utawala.

M k o a wa X i n j i a n g wakaazi wake wengi ni Waislamu ambapo katika siku za hivi karibuni kulikuwa na mgogoro kati ya Wachina washirikina na Waislamu wanaoishi kwenye Mkoa huo.

U t a wa l a wa C h i n a umewalaumu Waislaam kutokana na fujo hizo na kuwataja kuwa ni Magaidi walio na mafungamano na kile ilichokiita Makundi ya Kigaidi ya Kimataifa.

Hata hivyo Utawala wa China umechukua hatua ya kupiga marufuku uvaaji wa Niqab kwa Jamii ya

Waislamu wa Uighur walio wengi katika Mkoa wa Xinjiang.

Kitendo hicho cha Serikali ya China imelalamikiwa na mamilioni ya Wananchi wa Kislaam wa Mkoa huo ambao unawaamrisha Wanawake wa Kiislamu wanapoingia kwenye Mabenki, Mahakamani, na kwenye ofisi za Serikali hulazimishwa kuondoa Niqab yao huku wanaume wakiwa ni Marufuku kuingia wakiwa na Ndevu.

Mkoa huo wanaoishi W a i s l a m n i m k o a wa Kis trat i j ia ambao unapakana na Asia ya Kati, na pia ni Mkoa uliyo na utajiri wa Mafuta na Gesi pamoja na Madini mbalimbali.

U t a w a l a h u o p i a unawalaumu Waislamu k w a v i t e n d o v y a kushambulia kwa Visu na mapanga iliyowaua watu zaidi ya 30 uliofanyika kusini mashariki mwa nchi hiyo mwezi Machi mwaka huu.

4 AN-NUURRAJAB 1435, IJUMAA MEI 2-8, 2014Habari

WANAWAKE wa Kiislamu j i j i n i D a r wa m e p e wa elimu ya mpango wa uzazu kwa mujibu wa sharia ya Kiislamu.

A k i w a s i l i s h a m a d a ya D'aiyah Bi.Hafsa Said Ramadhan , ambaye n i muuguzi katika Hospitali ya Taifa Muhimbli mwaka wa mafunzo kwa vitendo, Wanawake wengi wamekuwa wakisumbuka sana kwa k u t o j u a n a k u t a m b u a watumie njia gani za mpango wa uzazi ambazo hazina madhara kwao.

Alibainisha kuwa mpango w o w o t e a m b a o h a u n a madhara kwa mwanamke, basi huo unafaa kutumiwa hususani njia zile za asili na za kisunna ambazo ni salama.

Al i shaur i wanawake wasitumie mpango wa uzazi kwa matakwa yao wenyewe, ila wana ndoa wanawajibika kujadiliana na wakubaliane ni njia gani watumie ambayo itakayowafaa. Njia sahihi

Wapatiwa elimu ya mpango uzazi kwa sharia ya Kiislamu

BAADHI ya washiriki wa Kongamano la wanawake wa Kiislamu lililofanyika katika Msikiti wa Mtambani, Kinondoni jijini Dar es Salaam mwisho wa wiki iliyopita.

Lissu aibuka shujaa KibandamaitiSARAKASI za kisiasa zinazoendelea nchini, g h a f l a z i m e m p a umaarufu Tundu Lissu na kuonekana kama shujaa wa kupigania haki za Wazanzibari.

L i s s u a n a s e m a , wanaokataa Tanganyia, n d i o w a b a y a w a Wa z a n z i b a r i , k wa n i wanataka kuendelea kuwatawala.

A m e s e m a , W a t a n g a n y i k a wamejikana, wakajivika koti la Tanzania, na hakuna namna ya Wazanzibari kuwa huru na nchi yenye hadhi na heshma, bila ya kuifichua Tanganyika ikaonekana.

Kufuatia kauli zake katika bunge maalum la katiba Dodoma hivi karibuni na hizi za juzi k a t i k a m k u t a n o wa Kibandamati, hivi sasa Wazanzibar wanamwita Lissu Christiano Ronaldo, wakiwa na mataraj io makubwa kuwa atasaidia kusukuma mbele agenda zao za kisiasa katika kipindi hiki cha kutafuta katiba mpya.

Juzi Jumatano ulifanyika Mkutano mkubwa wa UKAWA katika uwanja w a K i b a n d a m a i t i ambao ulihudhuriwa na wenyeviti wa vyama vya CHADEMA, CUF, NCCR, NLD na DP.

Wazungumzaji wakuu kat ika mkutano huo walikuwa ni Maalim Seifa Sharif Hamad, Tundu Lissu, Freeman Mbowe, Prof Ibrahim Lipumba, Dr Emanuel Makaidi, Mchungaji Mtikila na James Mbatia.

Kwa upande mwingine, Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim S e i f S h a r i f H a m a d , amemwagia sifa Mzee Moyo ambaye alikuwa Waziri wa Katiba wa Mzee Abeid Amani Karume.

Akimtambulisha mara tu baada ya kupanda jukwaani, Maalim Seif alisema kuwa, Mzee Moyo kasema “ni tatu, tatu, tatu bila mzaha”.

Maalim kahitimisha s a l a m u z a k e z a makaribisho kwa kusema kuwa Mzee Moyo ‘kasema leo anaacha majembe yazungumze.”

Juu ya mfumo wa m u u n g a n o , M a a l i m amesema kuwa hakuna

Na Mwandishi Wetu mbadala wa serikali tatu na kwamba wanaogopa Shirikisho la Serikali Tatu, basi wajue kuwa kama ni mbili, yeye yuko tayari kuunga mkono serikali mbili kwa maana ya Zanzibar huru na Tanganyika huru, tofauti na hapo kila mtu na lwake.

Alisema, hali ilipofikia kwa sasa hakuna wa kuwadhibiti Wazanzibari, na kama yupo anayedhani anaweza, basi aende na cha moto kitaonekana.

Katika kutia nguvu nukta yake hiyo akasema k u w a k u n a m a g a r i y a m e l e t w a k w e n y e mkutano huo na vikosi vya KMKM.

Ak a waa sa k u sh i k a adabu zao wasithubutu kumgusa mtu. Akasisitiza k u wa a n a z u n g u m z a kama Makamu wa Rais, na kama ataguswa mtu, basi ‘watajua jini liliko Zanzibar.

Kauli iliyofanya uwanja kulipuka kwa shangwe na nderemo.

K a t i k a k u s i s i t i z a msimamo wake, Maalim Seif alisema kuwa yeye yupo pamoja na UKAWA na kwamba atakuwa upande wa masilahi ya wananchi.

Aliwasihi viongozi wa UKAWA kujiimarisha na kuulinda UKAWA kwani wabaya wao wanajipanga.

Akasema kuwa wakati wa kutishana umeshapita na kwamba kuendelea kutisha Wazanzibar ni kuwaongezea a r i na hamasa ya kupigania nchi yao na serikali yao yenye mamlaka kamili.

K a t i k a m k u t a n o huo, ilidhihirika wazi kuwa nyota ya Lissu inang’ara Zanzibar, pale aliposimama kuzungumza ambapo alishangiliwa sana isivyo kawaida.

U s h a n g i l i a j i h u o ul ipamba moto zaidi p a l e a l i p o a n z a k wa kuwasalimia maelfu ya wa t u wa l i o h u d h u r i a mkutano kwa j ina la Z a n z i b a r H u r u n a Tanganyika Huru na Shirikisho lenye hadhi kuu ya nchi.

Katika hotuba yake alisema kuwa, kwa miaka 50, Zanzibar imekuwa koloni la Tanganyika.

Zanzibar imefungwa minyororo na Tanganyika na sio huru tena, alidai.

Akitoa ushahidi wa hoja na madai yake alisema

kuwa kwa miaka 50 ya m u u n g a n o , m a s u a l a yote muhimu kwa nchi kama Mambo ya Nje, Ulinzi, Masula ya Fedha, yamekuwa yakiamuliwa Dar es Salaam.

K a t i k a h a l i h i y o akasema kuwa nchi isiyo na mamlaka kuamua juu ya masuala ya fedha na siasa zake za nje, ni sawa tu na koloni.

Hata hivyo akasema kuwa kama ambavyo askari magereza baadhi ya wakati inabidi naye muda wote awe na wafungwa ili wasikate minyororo na kutoroka, Tanganyika nayo sio huru.

Na kwamba hiyo ndiyo mantiki ya kibwagizo cha Zanzibar Huru na Tanganyika Huru na Shirikisho lenye hadhi kuu ya nchi.

A k a o n g e z a k u w a Tanganyika ilikana jina lake na kujivika joho la Tanzania ili iendelee kuinyonya Zanzibar , na kwamba ili kuwa na Tanganyika huru ni lazima kuwa na Zanzibar huru.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba amesisitiza umuhimu wa kuheshimiwa Rasimu ya

Katiba iliyowasilishwa bungeni na Jaji Warioba, kwani imeletwa kisheria na baada ya kupata baraka za Rais.

A k a s e m a , h o j a ya gharama katika kuendesha serikali tatu, sio ya msingi kwani kwa sasa kuna fedha nyingi zinatumiwa ovyo.

Alisema kuwa wao U k a w a h a w a t a r u d i bungeni kwani wakifanya hivyo ni sawa na kujadili katiba ya CCM, badala ya ile ya iliyowasilishwa na Tume ya Jaji Warioba ambayo ndiyo inayolenga k u wa l e t e a wa n a n c h i katiba wanayoitaka.

Akizungumza katika mkutano huo, Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, amesema kuwa w a o k a m a U K AWA watafanya mikutano nchi nzima kudai Katiba Mpya, Tanganyika na Zanzibar huru.

Amesema, UKAWA h a i t a r u d i b u n g e n i kushir ik i dhambi ya kupingana na maoni ya wananchi na dhambi ya kuhubiri matusi kwa wananchi.

A k a o n g e z a k u w a UKAWA sio kwa ajili ya Katiba tu, bali ni kwa

ajili ya maslahi halisi ya wananchi.

Akatumia fursa hiyo kutangaza rasmi kuvunja Baraza Kivuli na kwamba sasa litaundwa upya kwa ushirika na NCCR, CUF na CHADEMA.

Kwa upande mwingine akasema kuwa UKAWA u t a e n d e l e a m p a k a wakat i wa uchaguz i mkuu ambapo watakuwa wakishirikiana.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, James Mbatia amesema kuwa Zanzibar kujitangazia mamlaka ya k e n i k u i k o m b o a Tanganyika.

A m e s e m a k u w a wajumbe wa UKAWA k u t o k a Z a n z i b a r wamewanyima turufu muhimu CCM katika Bunge Maalum la Katiba, hivyo asitokee mtu wa kuisaliti Zanzibar.

A m e s e m a k u w a chokochoko za udini zinapandikizwa na CCM, lakini hazitafua dafu.

Mbatia amesema kuwa huwezi kuwa Muislamu safi, halafu ukahubiri udini na ubaguzi wa aina yoyote.

Huwezi kuwa Muislamu safi , kisha ukahubiri matusi na kejeli. Vivyo hivyo kwa Mkristo safi.

Na Seif Msengakamba

zlizotajwa katika kongamano hilo, ni zile za kutumia kalenda na ile ya [ADHIRY] kwa mwanamume. Hizi ni za kisuna na za asili.

Bi . Hafsa al ibainisha kuwa njia za kisayansi sio salama kwa mtazamo wa mafundisho katika dini ya Uislamu, kwani imeelezwa kuwa kitu chochote ambacho kina madhara kwa binadamu,

basi hicho hakifai kutumiwa.Njia ambazo zinatajwa

k u wa z i n a z o h a t a r i s h a afya kwa mtazamo wa Kiislamu, ni zile za kitanzi, sindano,vidonge, vijiti na nyinginezo za kisayansi.

K o n g a m a n o h i l o lilifanyika katika Msikiti wa Mtambani, Kinondoni jijini Dar es Salaam mwisho wa wiki iliyopita.

5 AN-NUURRAJAB 1435, IJUMAA MEI 2-8, 2014Habari za Kimataifa/Tangazo

Africa Muslims Agency -Direct Aid -is an international organization based in Kuwait with regional offices in a number of African countries. The organization is mainly concerned with uplifting the standards of the needy through education. Thus it has set up a number of schools from primary to universities in a number of African countries.To accomplish its set goals it looks forward to recruit intellectuals in the field of science to fill the available vacancies.

Job Title: Laboratory TechniciansJob Station: Dar es Salaam, Morogoro, Moshi, Mtwara and Tanga Available Positions: 5 Roles and Responsibilities

• Complies with state administrative regulations and Board of Education policies • Adheres to school and local school system procedures and rules • Demonstrates timeliness and attendance for assigned responsibilities • Maintains accurate, complete, and appropriate records and files reports promptly• Preparing weekly and monthly reports and ensure timely submission of reports to the administration• Liaising with academic staff to discuss timetables, equipment requirements and work plans;• Running trials of experiments prior to classes and then demonstrating techniques for experiments;• Preparing equipment and chemicals before lessons - from test tubes to state-of-the-art microscopes;• Maintaining and repairing equipment and laboratory apparatus ensuring that equipment is properly

cleaned and that chemicals and other materials are appropriately stored; • Record keeping, e.g. for student practical, tracking methods, results, etc; • Cataloguing recordings and making them available when requested • Supporting the work of teachers in classes and laboratory sessions and giving technical advice; • Giving technical advice to staff and students; • Managing the stock control of chemicals and equipment; • Ensuring that all health and safety procedures are understood and followed correctly;• Coordinating work in the laboratory to ensure efficient use is made of expensive pieces of equipment.

Qualifications

• A holder of diploma in laboratory technician• Has at least two years similar position with good track record• Must be willing and available to work in Dar es Salaam, Morogoro, Moshi, Mtwara or Tanga.• Strong leadership, communication, interpersonal, and organizational skills

• Computer application skills will be an added advantage.

• Excellent written and oral communication skills in English and Kiswahili, including report writing.• Excellent networking and organizational skills• Self motivated person

Mode of ApplicationSend your Application including application letter, CV and copies of certificates to:The Director Africa Muslims AgencyP o Box 9211, Dar es Salaam Or Email: [email protected] Deadline: Two weeks after first advertisement.

AFRICA MUSLIMS AGENCY DIRECT AID (TANZANIA OFFICE) ايقيرفا

MOGADISHUWAZIRI Mkuu wa Somalia, Abdiweli Sheikh Ahmed, a m e k o s o a k i t e n d o c h a kukamatwa wanadiplomasia wa nchi yake huko Kenya na ameitaka serikali ya Nairobi kutoa ufafanuzi kuhusiana na kadhia hiyo.

Ofisa mwandamizi katika ubalozi wa Somalia nchini Kenya, Siyad Mohamud Shire, alikamatwa na maafisa wa usalama mjini Nairobi kwenye oparesheni zinazoendelea za kukabiliana na ugaidi.

Serikali ya Somalia imetaka Bw. Shire kuachiliwa mara moja.

Shafaq.com

MAHAKAMA moja katika jimbo la Colorado nchini Marekani imemhukumu kijana mmoja mwenye asili ya Iraq kifungo cha miaka 28 jela kwa ubakaji.

J a s s i m M o h a m m e d Ramadhan, anaelezwa kuwa taarifa zake za kijasusi kwa kiasi kikubwa ndizo zilizolisaidia jeshi la Marekani kumkamata Rais wa zamani wa Iraq, Saddam Hussein na kuuliwa mamia ya wapiganaji wa Iraq wakati vikosi vya Marekani vilipoivamia Iraq.

Kwa mujibu wa mtandao wa habari wa Shafaq News, mahakama hiyo ilimhukumu Jassim Mohammed Ramadhan, mwenye umri wa miaka 23 kwenda jela miaka 28 kwa kumbaka mwanamke mmoja wa Marekani miaka miwili iliyopita, ambapo mwanamke huyo alikuwa na miaka 30 kama ilivyokuwa ikiripotiwa na baadhi ya vyombo vya habari nchini Marekani.

Ramadhan alikuwa maarufu kwa kuwa jasusi mwenye umri mdogo zaidi duniani miaka kumi iliyopita ambapo mwaka 2004 alikuwa na umri wa miaka 13 tu. Alichapishwa kwenye kitabu kilichochapishwa Marekani kwamba ni miongoni mwa wale waliosaidia sana kufanikisha kukamatwa kwa mtu aliyekuwa akihitajika sana, ambaye alikuwa ni Rais wa Iraq Saddam Hussein .

Wakati unatolewa ushahidi wa kubaka, ilidaiwa kuwa Jassim Mohammed Ramadan alihusika katika tukio lililodaiwa kufanyika jioni ya Julai 21 mwaka, 2012 wakati alipokuwa akipigana na watu wanne wenye asili ya Iraq.

I l i d a i wa k u wa a l i p i t a mwanamke katika mtaa huo wakati anarejea nyumbani kutoka kazini, ambapo alisikia watu wakipigana huku wakitoa sauti za lugha ya Kiarabu. Ilielezwa kuwa kusikia kelele hizo, alichofanya mwanamke huyo ni kuwashauri vijana hao wasigombane na ilionekana kuwa walengwa waliona aibu na kumsikiliza, ndipo Jassim

Aliifanyia kazi Washington sasa ataozea jela ColoradoNi kijana aliyewasaliti Wairaki wenzakeBaada ya vita akazawadiwa kuishi Amerika

alipomkaribisha nyumbani kwake karibu na anapoishi mwanamke huyo na mwanamke huyo alikubali mwaliko huo.

Siku mbili baadae mwanamke huyo alikwenda kituo cha polisi na kufungua kesi, ambapo alidai kuwa alikuwa akizungumza na Jasim na rafiki zake wanne nyumbani kwake, ambapo alipewa kinywaji chenye kulevya na tangu hapo hakujitambua hadi aliposhtuka yupo hospitali ya Memorial Central ya jijini humo, akiwa na maumivu makali sehemu za siri na baadae ikabainika kuwa aliharibiwa sehemu hizo.

Ilielezwa kuwa mara moja polisi walimkamata Jasim na wenzake Sarmad Fadhil Mohammed, Mustafa Starr al-Faraji, Ali Mohammed Hassan al-Jubouri na Yasir Jabbar Jasim , ambapo baadae walishitakiwa.

I n a e l e z wa k u wa J a s i m alilisaidia sana jeshi la Marekani nchini Iraq kuwakamata na kuuliwa wapiganaji wengi wa Sadam Hussein, akiwemo baba yake ambaye alikuwa na cheo cha kapteni katika jeshi la Iraq, ambaye aliwahi kumpa nwanaye huyo silaha kujilinda na majeshi ya Marekani. Badala yake alikwenda kwa Koplo wa jeshi la Marekani aliyeitwa Robert Evans, na kumtaka amkamate baba yake akidai kuwa mama yake ndiye aliyemwelekeza afanye hivyo.

Kwa mujibu wa mwandishi wa kitabu cha “The Promise of a soldier,” kilichotoka mwaka 2009 Sajenti wa Jeshi la Marekani Daniel Hendrix, ndiye mtu aliyemfunza Jasim ushushu.

Kutokana na kile kilichoitwa kazi nzuri i l iyofanywa ya kijana Jasim, Jeshi la Marekani l i l i m t a f u t i a k i j a n a h a t i za uhamiaji kwenda kuishi M a r e k a n i , Wa n a j e s h i wa Marekani walipoondoka Iraq mwaka 2011, Jasim alipelekwa nchini Marekani kuishi huko ili asije kuuliwa kufuatia kazi yake ya kijasusi aliyokuwa akiifanya ambapo baadae alipewa uraia. Sasa anaozea Jela kufuatia kesi tata ya ubakaji.

Somalia yalalamikia serikali ya Kenya Tayari serikali ya Mogadishu imemuita nyumbani balozi wake kutoka Kenya kama ishara ya kupinga kile inachodai ni ukiukaji mkubwa wa sheria zinazowalinda wanadiplomasia.

Waziri Mkuu, Abdiweli Sheikh Ahmed, amesema Kenya inatakiwa kufanya oparesheni zake kwa uangalifu mkubwa, ili isionekane kama kuna jamii fulani inayolengwa.

A m e s e m a s e r i k a l i y a Somal ia inas ik i t i shwa na jinsi raia wake wasio na hatia wanavyohangaishwa nchini Kenya kwa kisingizio cha kupambana na ugaidi.

Jassim Mohammed Ramadhan raia wa Iraq aliyeuhamishoni Marekani.

6 AN-NUURRAJAB 1435, IJUMAA MEI 2-8, 2014Habari

BARAZA Kuu la Jumuiya na Taasisi za Kiislamu (T) limewataka viongozi wa Serikali kuacha kuwatisha wale wanaotoa maoni ya Muundo wa Serikali tatu na kuwakosoa waasisi wa Muungano kwa kuwa hawakuwa miungu.

Wito huo umetolewa na Katibu Mkuu wa Baraza hilo, Sheikh Ramadhani Sanze, mapema wiki hii akitoa maoni yake juu ya kauli za Waziri Wiliamu Lukuvi, aliyedai kuwa Muundo wa Ser ika l i tatu ukikubaliwa Jeshi litachukua nchi.

Sanze alisema kauli hizo na nyingine zenye mtazamo huo kutoka kwa viongozi wenye mamlaka Serikalini zina lengo la kuzuia uhuru wa watu kutoa maoni yao na kuwalazimisha kuishi kwa mawazo ya viongozi wao waliokwish kufa.

“Viongozi wa Serikali waache kuwatisha na wale wanaotoa maoni yao na kuonyesha kasoro za viongozi waliotangulia kwani hao hawakuwa m i u n g u , h u k o n i kuzuia uhuru wa watu kutoa maoni yao na kuwalazimisha kuishi kwa mawazo na mtazamo wa waliopita ambao sasa hawapo na mawazo yao hayaendani wakati huu.” Alisema Sanze.

A l i s e m a , k a m a ilivyo kwa muundo wa Muungano wa Serikali mbili, ambao hauendani na hali ya sasa, ndiyo maana Serikali iliamua kuyafuta mawazo ya Azimio la Arusha na Vijiji vya Ujamaa yote hayo yal ikuwa ni mawazo yaliyo asisiwa na Julius Nyerere.

“Hayo yote na mengine yaliasisiwa na aliyekuwa Rais wa kwanza, Mwl. Julius Nyerere, lakini waliomfuatia wakiwemo v i o n g o z i w a s a s a

Baraza Kuu latoa kauliSerikali sasa iache vitishoMaridhiano ndio muhimu

Na Bakari Mwakangwale waliyafuta mawazo yake ima kwa kuona yamepitwa na wakati au hayawezi kutusaidia kwa wakati huu.” Alisema Shkh Sanze.

Lakini, alisema katika hali ya kushangaza ipo dhana iliyotawala kwa baadhi ya wajumbe wa Bunge la Katiba kuwa mawazo ya Nyerere , hayafai kukosolewa lakini pia ndani yake kuna ubarakala (ulaghai) wa kisiasa miongoni mwao.

Alisema, tukiaminia kwamba Mzee Abeid Karume na Mwl. Nyerere, hawakuwa malaika ndio maana historia inaonyesha kwamba wakati mkataba wa Muungano unawekwa, M h e s h i m i wa A b o u d Jumbe, aliyekuwa msaidizi wa karibu wa Rais Karume, hakuwa anafahamu.

Si hivyo tu, pia alidai kuwa saini imepitishwa k u w a m s w a d a w a Muungano kisha ndiyo inakwenda kujadiliwa Bungeni, kwa mara ya kwanza, akasema hicho ni kituko katika moja ya vituko vya suala zima la Muungano uliopo sasa.

Alisema, yapo makosa mengi ambayo Mwl . Nyerere, aliyoyafanya na kuonyesha upungufu wa k e a l i o m b a r a d h i hadharani, likiwemo suala la Biafra, Nigeria.

Akifafanua alisema, Mwl. Nyerere, alituma jeshi kwenda kupigania Wakristo wa Biafra, dhidi ya Serikali ya Nigeria, na alikuja akakiri kwamba kama Serikali alifanya makosa kwa hatua hiyo.

“Haya yafahamike, Mwl. Nyerere, kufanya makosa katika uongozi wake inawezekana na hata katika suala la kuasisi Muungano makosa pia yapo, asifanywe kuwa malaika wala asifanywe k u w a M u n g u m t u . K a r u m e v i l e v i l e n i binadam, kafanya juhudi za makusudi tumepata Muungano, lakini sio

maana yake hawakosei.” Alisema Shkh. Sanze.

Mbali na hayo Shkh. Sanze, alisema Mzee Abeid Karume, alifika mahala alitamka kwamba, ‘Muungano ni kama Koti, l i k i k u b a n a u n a we z a ukalivua’ , sasa basi akahoji vipi wasakamwe wanaotoa maoni juu ya Muundo wa Muungano wa Serikali tatu?

Alisema, isipotoshwe kwamba wanaotoa maoni ya uwepo Serikali tatu wana lengo la kuuvunja M u u n g a n o , b a l i n i wanatumia haki yao ya kikatiba ya kuzungumzia kuwepo kwa muungano we n ye t i j a b a i n a ya W a t a n g a n y i k a n a Wazanzibar.

Shkh. Sanze, alitolea m f a n o wa s a k a t a l a uundwaji wa Serikali ya Umoja Kitaifa, kwamba wapo watu walikuwa hawataki kuunda Serikali h i y o ya m a e l e wa n o Zanzibar, baina ya CUF na CCM, kwa matwaka yao binafsi lakini baada ya kupuuzwa salama i m e p a t i k a n a w a t u wanaendelea kuishi kwa ushirikiano.

Shkh. Sanze, alisema kauli ya Jeshi kuchukuwa madaraka si kauli njema kwa Watanzania, kwani alidai unapozungumza kauli hiyo tafsiri yake ni kwamba Zanzibar lazima itawaliwe hata ikibidi kijeshi.

Akasema, lugha hiyo haikustahili kutolewa na Waziri mwenye mamlaka mazito Serikalini kwani inaleta isiyo nzuri miongoni mwa Watanzania, na ina lengo la kutaka kuwaziba mdomo Wazanzibar wawe kimya.

“Kwa hiyo sisi kama viongiozi wa dini tunataka nchi yetu ibakie kuwa na amani, kauli za vitisho huu si wakati wake, kwa nini watu wasizungumze kwa utashi wa maoni yao, kwa nini wasiishi kwa uwazi

KATIBU Mkuu wa Baraza BARAZA Kuu la Jumuiya na Taasisi za Kiislamu (T), Sheikh Ramadhani Sanze.badala yake waishi kwa hofu na mashinikizo ya wanasiasa”. Alisema.

Akizungumzia kejeli zinazomuandama Jaji Sinde Warioba, kwa kuwasilisha maoni ya wananchi ya Muundo wa Serikali tatu, alisema, hatendewi haki na kufafanisha na mtu aliyezibwa mdomo na kufungwa mikono kisha mwingine anaruhusiwa kumpiga akiwa huru.

“ J a j i W a r i o b a , a n a s h a m b u l i w a k a m a y e y e , t u m e y a k e i m e v u n j w a n a m t a n d a o wa k e umefungwa tafsiri yake ni kwamba unamfunga mtu mikono halafu mwingine unamvisha g l o v u a m p i g e , n i dalili tosha kwamba nchi hii haithamini wa t a a l a m u , k wa n i Jaji Warioba hakuwa peke yake a l ikuwa na wataalum wengi ambao waliteuliwa na Rais Kikwete.” Alisema Shkh. Sanze.

Hata hivyo Shkh. Sanze alisema, kwa hali inavyo kwenda wao kama viongozi wa dini hwana matumaini sana juu ya jambo hili la muundo wa Serikali kwa sababu si lazima

Serikali tatu wala si lazima Serikali mbili lakini ni lazima ifike mahala pande mbili zidhiane.

Alisema, ikiwa ni Serikali mbili, basi iwe katika namna nzuri ya maridhiano.

“ N a h a t a mapendekezo yake ya Katiba imezingatia Muundo wa Serikali tatu, lakini inaonekana kana kwamba anaye changia katika eneo hilo anapingwa utadhani halipo kabisa, lakini m a o n i h a y o n i ya wananchi kwa nini ifike mahala pa kupuuzwa.” Alisema Shk. Sanze.

Ama akizungumzia s u a l a l a U a m s h o , alisema haiingii akilini kwa ubaya waliotajwa nao Jumuiya hiyo kisha viongozi wao kuwekwa ndani kwa kipindi chote hicho kisha Zanzibar ingekalika.

Kwa ujumla, Shkh. Sanze, alisema Waziri L u k u v i , a n a s t a h i l i k u l a a n i w a s i o n a Waislamu tu bali na kila mwenye kupenda amani ya nchi hii kwani anataka kuwapeleka Watanzania kusiko.

7 AN-NUURRAJAB 1435, IJUMAA MEI 2-8, 2014Makala

SEKTA ya utalii nchini Kenya inazidi kuathirika kufuatia hali ya wasiwasi wa kiusalama iliyopo n c h i n i h u m o . H a d i imeingia Pasaka mwaka h u u , m a t u m a i n i ya kuingia watalii yalidorora kufuatia vyumba vya mahoteli kukosa watu huku vituo vya utalii vikitelekezwa.

Solomon Matiri, Meneja Mkuu wa Hoteli ya Safari Park il iyopo Nairobi, alisema kuwa alitarajia watu wengi kuchukua nafasi katika hoteli wakati wa Pasaka, lakini hofu ya ugaidi imeonekana kuwakurupusha.

"Hoteli nyingi kubwa na maarufu zilizoonekana kama sehemu kuu za ugaidi zinazolengwa, licha ya kutangazwa sana kwa ofa maalumu ya Pasaka katika magazeti ya kitaifa na kwenye vyombo vya habari vya kijamii, matokeo hayakuwa mazuri. Kati ya vyumba vyetu 204, tulikuwa na vyumba 103 vilivyochukuliwa. Miaka minne iliyopita, hoteli hii wakati wote ilikuwa inajaa na wengine kukosa nafasi kipindi cha Pasaka," alikaririwa Matiri kwenye tovuti ya Sabahi.

Maneja Mkuu wa Hoteli ya Jacaranda ya Nairobi, Margaret Maingi, yeye alikuwa na matumaini kwamba sikukuu ya Pasaka ingeongeza kiwango cha wateja katika hoteli.

"Hoteli yetu ilitarajia kuchukuliwa vyumba wastani wa asilimia 70-80, kiwango ambacho ni kizuri kinachopaswa katika hoteli kupokea wageni ili kuzalisha faida, lakini inaonekana kitisho cha ugaidi kumefanya wageni wasije, tulimudu kupangisha vyumba kati ya asilimia 40-65 kwa siku," alisema Maingi.

L i c h a y a s e r i k a l i k u o n g e z a h a t u a z a usalama kwa kutuma askari polisi wenye silaha na mbwa wa kunusa katika hoteli za kitalii na maeneo m e n g i n e ya k i j a m i i , uoga wa mashambulio ya kigaidi umewafanya wageni wa ndani na wa kimataifa kukaa mbali.

Mwenyekiti wa Chama cha Watalii Pwani ya

Utalii unashuka Kenya Na Rajab Ramah na Julius Kithuure, Nairobi

Mombasa, Mohammed Hersi, asasi ambayo inakuza utalii katika mikoa ya pwani ya Kenya alisema Changamoto za kiusalama zinazoikabili K e n y a h i v i s a s a , zimetibua zaidi biashara ya utalii nchini humo.

Alisema Mwaka 2011 na 2012, tasnia ilikuwa na matatizo kutokana na kushuka kwa uchumi wa dunia na kwamba, walif ikir i hal i hiyo ingeisha mwaka jana, lakini wakakabiliwa na mashaka ya usalama ambayo tangu wakati huo yameambatana na migogoro.

Hersi ambaye pia ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa Hoteli za Heritage Kenya, alisema hali isiyo ya usalama ilisababisha wastani wa kupokea wageni katika hoteli za mkoa wa Pwani kushuka kutoka asilimia 70 mwaka 2013, hadi chini ya asilimia 30 mwaka 2014, ikionyesha mwelekeo wa nchi nzima.

Robert Shaw, mchumi a n a ye i s h i N a i r o b i , a l i s e m a m a t o k e o mabaya katika sekta ya utalii yana uwezekano wa kusambaa katika sekta nyingine.

Alisema hali aina y o y o t e i s i y o y a usalama inaathiri sekta mbalimbali za uchumi, lakini katika suala la Kenya mwathirika wa kwanza wakati wote ni utalii.

A l i s e m a i w a p o serikali itaongeza kasi kubadilisha mwelekeo huo, jinamizi lililopo la kukosekana hali ya usalama litaua sekta ya utalii nchini humo.

Wa d a u wa n a o t o a huduma za utalii na wamil iki wa hotel i w a n a k a b i l i w a n a ongezeko la gharama za uendeshaji kutokana na kulazimika kuajiri zaidi walinzi binafsi, ili kuwaweka watalii k a t i k a u n a f u u n a kuwahakikishia usalama wao.

Hii ina maana kuwa mapato yaliyopunguzwa kutoka katika utalii, yatakuwa na matokeo katika uchumi wa taifa la Kenya. Aliongeza kuwa tasnia ya utalii nchini humo inachangia asilimia 14 ya pato la ndani la Kenya (GDP) na kutoa ajira za moja kwa moja kwa watu zaidi ya 150,000.

Kwa mujibu wa Benki ya Maendeleo ya Afrika, u c h u m i wa K e n ya unakadiriwa kukua kwa asilimia 5.2 mwaka 2014.

B w . S h a w alitahadharisha kwamba iwapo sekta muhimu za kiuchumi ambazo tayari zimeathirika kutokana na hali isiyo ya usalama, kuna mashaka kama itawezekana kupata hata asilimia 5 ya ukuaji uchumi mwaka huu.

Hata hivyo, wakati imefahamika kwamba mashambulizi ya ugaidi

yana matokeo mabaya kwa watalii wa kimataifa wanaotembelea nchi hiyo, Waziri wa Utalii, Biashara na Masuala ya Afrika Mashariki wa Kenya, Phylis Kandie, a m e s e m a u t a w a l a u l i k u wa u n a l e n g a zaidi katika namna ya kuongeza utalii wa ndani na wa Kanda.

Usafiri wa kimataifa kuja Kenya ulishuka kwa Kenya 7% mwaka jana, lakini akasema usafiri wa ndani uliongezeka kwa asilimia 4.

"Tulianzisha viza ya utalii ya Afrika Mashariki na kuanzisha matumizi ya vitambulisho kama nyaraka za kusafiria kwa raia wa Afrika Mashariki badala ya pasipoti. Hii itapunguza uvukaji wa mipaka na tutatumia fursa hizo kuwavutia wenyeji katika kanda k u t u t e m b e l e a , " alinukuliwa akisema Waziri huyo.

Kandie a l iongeza kwamba wameanza kutafuta masoko Kenya, sio tu kama kituo kwa ajili ya ufukwe na safari, lakini pia kama mahali kwa ajili ya matukio ya n a y o h u s i a n a n a biashara.

Alisema mipango inafanyika ya kujenga m a e n e o m a w i l i ya kufanyia mikutano yatakayokidhi viwango vya kimataifa huko Mombasa na Nairobi.

Aliongeza kwamba pamoja na shambulio

la Westgate lililotokea Septemba mwaka jana, Kenya imeshaendesha mikutano 31 ya kimataifa tangu Januari , jambo linaloashiria matarajio makubwa katika sekta hiyo.

Waziri huyo alisema kuwa pamoja na hilo, w a n a s h u g h u l i k i a kuongeza utalii wa kilimo na utalii wa michezo na kwamba wataweza kusimama imara wakati wa dhoruba.

Lakini kwa mujibu wa Ofisa Mtendaji Mkuu wa Shirikisho la Utalii, Agatha Juma, utalii wa ndani hautaziba pengo hilo.

Ofisa huyo alisema wa k a t i wa m s i m u , walikuwa na matarajio ya kupokea wageni wa kujaza nafasi kwa asilimia 70, lakini hadi sasa, ni mara chache k u r e k o d i z a i d i ya asilimia 30 ya nafasi z i n a z o c h u k u l i w a , ikimaanisha kwamba mambo ni magumu kwa upande wa tasnia hiyo.

A l i s e m a W i z a r a ya Utal i i inapaswa kuj ishughul isha na kampeni ya utangazaji wa kina kuitangaza Kenya.

Aliongeza kwamba kwamba wamiliki wa Hoteli na waendeshaji wa wageni wanapaswa pia kushusha gharama zao ili kuongeza mauzo.

Meneja uhusiano na umma wa Bodi ya Utalii Kenya, Kimutai Ng'eno, yeye alisema Bodi bado haijaorodhesha utendaji wa hoteli wakati wa Pasaka.

A l i s e m a s e r i k a l i ilitarajia uliongezeka idadi ya wageni kufikia milioni 1.2 hadi kufikia mwishoni mwa 2014, l a k i n i i d a d i h i y o inaonekana kupungua.

Meneja huyo alisema w a t a k a p o m a l i z a kukamilisha hesabu z a m we z i J a n u a r i -Machi 2014, hawatarajii ongezeko lo lo te la watalii au kujaa kwa vyumba vya hoteli kwa sababu utalii umekuwa ukishuka taratibu tangu mwaka jana.

"Kwa mfano, nchi ilipokea watalii 398,203 kuanzia mwezi Januari hadi Mei 2013 ambapo idadi hiyo imepungua k w a a s i l i m i a 1 4 ukilinganisha na kipindi hicho hicho mwaka 2012.” Alisema.

8 AN-NUURRAJAB 1435, IJUMAA MEI 2-8, 2014Makala

Inaendelea Uk. 10

Sheikh Jongo ajifunzehawana shukrani hawa

KATIKA barza hii kuna watoto wa masheikh wakubwa waliopita na sasa kuna na vijukuu. We n g i w a v i j u k u u h a wa k u p a t a k a b i s a kuwajua mababu zao masheikh ila kwa kupitia simulizi basi.

Mmoja wa mjukuu wa Shariff maarufu anasema:

' 'Huu ndiyo mwisho wangu wa kuswali nyuma ya Jongo.''

Huyu kijana na yeye ni Shariff kutokana na nasaba yake na anakaa jirani sana na Msikiti wa Manyema anaposalisha Sheikh Jongo.

K a t i k a k u o n y e s h a hamaki yake kamkata jina Sheikh Jongo anamuita ''Jongo'' usheikh wa Sheikh Jongo kautoa.

H u y u n i k i j a n a aliyeleleka vyema kwao kwa adabu zote.

Kama is ingel ikuwa kwa k i le k i tuko cha Sheikh Jongo bungeni, asingeliweza hata kidogo kumkata jina. Huyu ni kijana mdogo, lakini hata wakubwa kwa ajili ya ile heshima ya usharifu wanapozungumza nae, humuita ''Shariff.''

''Mimi nitavuka mtaa wa Bibi Titi nikaswali Rawdha kuliko kuswali nyuma ya huyu Sheikh.''

Sasa lishakuwa zogo anashambuliwa Sheikh Jongo, BAKWATA na CCM wote wametiwa kundi moja.

N i m e k a a k i m y a nasikiliza na sasa ndiyo inaanza kunidhihirikia ukweli wa tatizo la kilio cha Sheikh Jongo katika Bunge. Mara naulizwa, ''Sheikh Mohamed hivi k a t i k a h i s t o r i a ye t u lishapatikana kama hili la Jongo?'' Nafikiria kama lipo lililowatia Waislamu simanzi huko nyuma tulikotoka. Barza imekuwa k i m y a w a n a s u b i r i nizungumze.

Wasomaji, mimi sitaki nieleze niliyozungumza pale barzani. Napenda nikuwekeeni mkasa wa Sheikh Suleiman Takadir, kisa ambacho alinisomesha kaka yangu na Sheikh w a n g u , m a r e h e m u Sheikh Ali bin Abass kwa jina la maskhara tukimwita,’’Mudeer.’’

' ' I l i k u w a k a t i k a taarab i l iyoandal iwa k u s h e h e r e k e a

Na Mohamed Said

Sheikh Hamid Jongo akichangia hoja katika bunge la Katiba, Dodoma hivi karibuni.

kufunguliwa kwa tawi la TANU Dar es Salaam ya Kaskazini katika mtaa wa Mvita, nyumba namba 10, tarehe 10 Agosti, 1957, ulimi wa Sheikh Takadir u k a t e l e z a , a k a m u i t a Nyerere “mtume.’’

Tawi la TANU Dar es Salaam ya Kaskazini lilikuja kuwa lenye nguvu sana kuliko yote na tawi likawa na mafanikio labda kupita matawi yote katika Tanganyika.

M w e n y e k i t i w a k e alikuwa Mtoro Kibwana na mweka hazina Sheikh Haidar Mwinyimvua, ambae baadae aliingia kamati kuu ya TANU ya taifa. Kwenye hafla ile, katika kumtambulisha Nyerere na kummiminia sifa, Sheikh Takadir bila kufikiri na kwa masihara na unazi wa kupenda, aliwaambia wasikilizaji wake kuwa “Nyerere ni Mtume wa Afrika.’’

K a m a k a u l i i l e ingetolewa siku nyingine yoyote ile, huenda tamko hilo lisingezua kishindo, na huenda lingepita bila kuwa na taathira yeyote mbaya. Lakini ufunguzi wa tawi la TANU la Mvita katika siku hiyo tarehe 10 Agosti, 1957 ilikuwa siku maalum kwa wakazi wa Dar es Salaam.

Kwanza, Dar es Salaam i l i j i t o k e z a s h u h u d i a kutoka kwa mwimbaji stadi, Nuru binti Sudi, kutoka Al -Watan na kujiunga na wapinzani wa o E g y p t i a n . H i v i vilikuwa vikundi viwili vya taarab vikishindana mjini Dar es Salaam.

S i k u h i y o N u r u , alikuwa anaimba pamoja na kikundi chake kipya kwa mara ya kwanza na mashabiki wake walikuwa wa m e k u j a k u m w o n a bingwa wao aki imba katika hafla ya TANU.

H a l i k a d h a l i k a mashabiki wa Egyptian wa l i k u wa wa m e k u j a vile vile kushangilia na kuwazomea washindani wao kwa kumchukua bingwa wao. Kulikuwa na sababu nyingine kwa watu kushangilia.

K a t i k a k u h a m a huko kutoka Al-Watan na kuingia Egyptian, Nuru alikuwa ameweka msimamo wa kisiasa. Nuru alikuwa na damu mchanganyiko . Baba yake alikuwa Mwarabu na mama yake alikuwa Mwafrika.

Kabla ya kutoka Al-Watan na kuingia Egyptian, alikuwa mwanachama wa Coronation ambacho k i l i k u wa c h a m a c h a

akina-mama wenye asili ya Kiarabu. Kwa hiyo ilichukuliwa kwamba, m a a d a m E g y p t i a n ilihusiana na Waafrika, kwa kitendo kile cha kuhama Al-Watan, Nuru alikuwa ameasi na kurudi kwa ndugu zake, yaani Waafrika.

Amerudi kwenye asili yake, kwenye tumbo la mama yake aliyemzaa. Hiv i nd ivyo mambo yalivyokuwa siku zile, k i l a j a m b o l i l i p e wa tafsiri ya kisiasa. Wakati huo UTP ilikuwa tayari i m e s h a a n z i s h w a n a Egyptian ilikuwa imetunga nyimbo maalum kwa ajili ya hafla hiyo ambayo Nuru, aliimba kuidhihaki UTP.

Sehemu ya mashairi yake yalikuwa yanasema hivi: “Ma-UTP wana majambo, TANU wanaichukia.’’

Pili, ili kuadhimisha kufunguliwa kwa tawi la TANU Mvita, TANU iliwaalika wajumbe wa Baraza la Kutunga Sheria, wengi wao machifu, ili kushuhudia sherehe hiyo.

M i o n g o n i m w a o walikuwa Chifu Kidaha Makwaia, Humbi Ziota, M s a b i l a L u g u s h a , Mwami Theresa Ntare n a w e n g i n e w e n g i . Vilevile walikuwepo watu

wengine mashuhuri kama Hamis Mfaranyaki ambae ndiye alikuwa kiongozi wa Wangoni mjini Dares Salaam, Paul Bomani, Said Chaurembo, kaka yake Sheikh Abdallah Chaurembo na wengine wengi.

P a m o j a n a w a t u wote hawa mashuhuri k u h u d h u r i a , h u u ulikuwa usiku adhimu kwa TANU. Hapakuwa na shaka yoyote kuwa chochote kitakachosemwa katika hafla kama hiyo kitakuwa na athari kwa watu. Ilikuwa katika hafla hii ndipo siku ulimi wa Sheikh Takadir ukateleza.

Katika hotuba zake Sheikh Takadir alikuwa aki i ta ja TANU kama “tano’’ na alipotamka neno “tano’’ al ikuwa akionyesha vidole vyake vitano vya mkono wa kulia, bila shaka yoyote akifananisha na sala tano za fardh katika Uislamu.

Sheikh Takadir, alikuwa akipandisha hisia kali za Kiislamu kwa wasikilizaji wake kwa kutoa mifano mingi kat ika Qur’an Tukufu, akihadthia mifano ya mathalan, kisa cha Daudi na Jalut, kisa cha Firauni na waziri mkuu wake, Haman na jinsi walivyo wakandamiza Bani-Israil.

Sheikh Takadir alikuwa akimaliza hotuba zake kwa kuonyesha kuwa mwishowe haki hushinda batil akimaananisha kuwa uovu wa Waingereza utashindwa. I l ikuwa katika hotuba zake nyingi kama hizi za kumsifu Nyerere, Sheikh Takadir, al i teleza na kumwita Nyerere “mtume.’’

K a t i k a h a f l a h i y o waheshimiwa, wageni wa a l i k wa wa l i p e wa vitafunio, vinywaji baridi na chai. Nyerere katika k u t o a s h u k r a n i k wa wanachama wa TANU alikamata kikombe cha chai na kukionyesha juu kwa wasikilizaji wake.

A l i w a a m b i a w a t u k w a m b a w a s i d h a n i k i t e n d o c h a k u m p a mtu kikombe cha chai ni kitu kidogo. Nyerere aliendelea kusema kuwa watu wameiuza nchi hii kwa kupewa kikombe cha chai na wakoloni.

Nyerere alikuwa akitoa m a n e n o h a y o a k i wa anawapigia vijembe watu

9 AN-NUURRAJAB 1435, IJUMAA MEI 2-8, 2014Makala

WIKI hii Jaji wa mahakama nchini Misri, amewahukumu kifo watu 683 akiwemo kiongozi wa kundi la M u s l i m B r o t h e r h o o d Mohammed Badie.

Jaji huyo pia alibatilisha hukumu ya kifo iliyotolewa kwa watu 492 ka t i ya watu 529. Hukumu hiyo ilipitishwa mwezi Machi na sasa watahudumia kifungo cha maisha jela.

Mawakili wa watuhumiwa wanasema kuwa wateja w a o w a l i k a b i l i w a n a makosa mengi yakiwemo, kushambulia kituo cha polisi mjini Minya mwaka 2013 ambapo polisi mmoja aliuawa.

K e s i n a k a s i y a kuzisikilizwa kwa kesi hizo, imesababisha hasira na kukosolewa na shirika la kutetea haki za binadamu la Umoja wa Matifa UN.

Kadhalika shirika la Huma Rights Watch limelalamika kuwa kesi hizo zilisikilizwa tu kwa saa chache huku m a h a k a m a i k i w a z u i a mawakili kuwawakilisha washitakiwa.

Duru zinasema kuwa jamaa wa watuhumiwa waliokuwa wanasubiri nje ya mahakama walizirai baada ya kupokea taarifa za hukumu hiyo.

Mwezi jana shirika la kutetea haki za binadamu la Umoja wa Mataifa, lililaani kesi hizo likisema kuwa zinakiuka sheria ya kimataifa ya haki za binadamu.

Msemaji wa shirika hilo, Navi Pillay, alisema kuwa kesi hiyo ilikumbwa na makosa mengi ya utaratibu.

M a a f i s a wa u t a wa l a nchini Misri wamekuwa wakiwasaka na kuwakamata wanachama wa vuguvugu la Muslim Brotherhood ambao walimuingiza mamlakani aliyekuwa Rais Mohammed

Vipi yule Kamanda aliyeua Waislamu?

Na Rashid Abdallah, MUM

Katuni hii inaonesha jinsi Marekani na mwenzake wanavyofanya fitna Mashariki ya kati na kusababisha umwagikaji mkubwa wa damu (kwa hisani ya mtandao)

Morsi ambaye baadaye aliondolewa na jeshi.

Mamia wameuawa huku maelfu ya raia wakikamatwa.

Mauaj i wanayodaiwa kufanywa na watuhumiwa yalitokea Kusini mwa Misri, mwezi Agosti, baada ya vikosi vya usalama kuvunja kambi mbili za wafuasi wa Morsi waliokuwa wanataka arejeshwe mamlakani.

S e r e k a l i i l i y o we k wa madarakani na Jeshi la Misri haifuati taratibu za Kiislamu katika kutoa hukumu zao zikiwemo hizi za vifo, kama wanakwenda kidunia dunia sawa ila tunalotaka haki itendeke kwa hizo hizo njia wanazozitumia kuwahukumu waliovunja haki za wengine.

Kwanini unamuhukumu Mwanachama Wa Udugu wa Kiislamu kwa kosa la kuuwa Askari ila ukamuacha Askari ambaye amemuua Mwanachama?

H a p a n d i p o panaponiumiza mimi, sawa kama wanachama wameua kamanda ndio wahukumiwe vifo, vipi kuhusu kamanda aliyeuwa wanachama? Yeye anafanywa nin? Kama ni kosa naye katenda kosa la kuuwa.

H a l i i k i wa n d i o h i i Askari anayeuwa Raia kwa sababu tu ya kuandamana kisha ukasingizia mengine anaendelea na maisha yake, lakini a l iyeuwa Askari anasubiri kifo, vipi kuna

haki hapa?H a k i i k i k o s e k a n a

h a t a a m a n i h u p o t e a , sehemu yoyote hata iwe katika familia yako. Jeshi l a M i s r i wa l i i y o n d o a haki iliyokuwepo Misri. Wamisr walimchagua kwa uchaguzi wa kidemokrasia Muhammed Morsi kuwa rais wao lakini jeshi likampindua kwa chuki tu za kidini au shinikizo kutoka kwa mabwana wakubwa.

Hili lilikuwa ni kosa la kwanza ambalo jeshi la Misr l inatakiwa l ihukumiwe

kwalo kama haki kweli i p o , k u m u o n d o a r a i s aliyechaguliwa kidemokrasia tendo hili ni kuondoa haki, na matokeo ya kuondoa haki ni amani kutoweka.

Hapa kulikuwa na kosa la jeshi la Misr kusababisha kutoweka kwa amani kwa kuiyondoa haki katika nchi ya Misri.

Amnesty International linasema zaidi ya watu 1,400 waliuliwa na vikosi vya usalama katika mgogoro huu uliosababishwa na jeshi la Misri kumpindua

Mohammed Morsi.Hilo lilikuwa ni kosa la

pili ambalo Makamada nao wangehukumiwa vifo kwa kuuwa raia katika maeneo mbalil mbali ya Nchi ya Misri tukianzia katika jiji la Cairo na viunga vyake pia na Al azhar, Minya na maeneo mengine.

N i m a k o s a a m b a y o viongozi wa kijeshi inatakiwa nao wahukumiwe vifo vile vile.

[email protected] 0773526254

TUKIO kuu katika maisha ya mwanzo y a M u h a m m a d (s.a.w.) lilikuwa ni lile la Fijaar (Vita vya Kufuru) vilivyotokea wakati yeye alikuwa na umri wa miaka kumi na kitu. Hivi vilikuwa vita vya nne vilivyouvunja utukufu wa miezi mitakatifu ya Dhu al-Qa’dah, Dhu al-Hijjah, Muharram, na Rajab, pamoja na utukufu wa nchi takat i fu ya Makka. Chanzo chake kilikuwa ni wivu na uhasama wa watu wawili. Mmoja alikuwa anatokana

Maisha ya Muhammad (s.a.w) kabla ya utume-2na kabila la Banu Kinanah, maswahibu wa kabila la Quraysh. N a m w i n g i n e alitokana na ukoo wa Qays-’Aylan (ukoo maarufu wa Kabila la Hawazin).

N a b i i h u y o wa b a a d a ye , a m b a ye atakuja kukomesha uonevu na utovu wa sheria, alimsaidia ami yake Zubayr ibn ‘Abd al-Muttalib, ambaye aliwawakilisha Banu Hashim katika vita vile, alifanya kazi ya kukusanya mishale wa l i o r u s h i wa n a maadui.

Tukio j ingine la

maana ni kuwepo k w a k e k a t i k a mkutano uliopelekea kupatikana Hilf al-Fudul (Uswahibu wa Watu Waadilifu). Umoja huu dhidi ya maonezi au utovu wa haki ulidhaminiwa zaidi na makabila ya Banu Hashim na Banu al-Muttalib.

Umoja huo uliundwa ili kuhakikisha kuwa wafanya b iashara wa g e n i wa t a a c h a kunyimwa haki zao, kama i l ivyotokea wakati Maquraysh ‘As ibn Wa’il alipopora b i d h a a z a m t u mmoja wa Yemen.

Y u l e M y e m e n i aliwaomba viongozi w a M a q u r a y s h wamsaidie, lakini wao wakampuuza.

B a n u H a s h i m (ukoo wa Mtume M u h a m m a d , (s.a.w.) waliposikia: m a o n e z i h a y a , wakaamua kuasisi hiyo Hijl al-fitdul na wakalazimisha arejeshewe pesa yule mfanya biashara. Pia walikula kiapo kuwa, k i l a m t u y o y o t e Makka, awe raia au mgeni, akidhulumiwa au kuonewa, wao watamsaidia hadi

Inaendelea Uk. 10

10 AN-NUURRAJAB 1435, IJUMAA MEI 2-8, 2014Makala

Sheikh Jongo ajifunze hawana shukrani hawaInatoka Uk. 8maalum. Nyerere kwa maneno yake alikuwa akiwakusudia machifu. Baadhi yao walikuwa pale pale katika meza kuu wakinywa chai na yeye. Wakati huo baadhi ya machifu walikuwa wakishirikiana na Gavana Twining na UTP katika hila za kuipiga vita TANU ishindwe kuikomboa Ta n g a n y i k a k u t o k a makucha ya ukoloni.

Ilikuwa dhahiri kuwa makombo waliyokuwa w a k i p a t a m a c h i f u kutoka kwa Mwingereza h a y a k u w a h a t a n a thamani ya kikombe cha chai. Maneno ya Nyerere hayakuwa fumbo kwa wale machifu.

Yalikuwa maneno ya wazi ambayo waliyaelewa. Machifu walitambua kuwa wao ndiyo walikuwa wakisemwa katika hotuba ile ya shukurani. Ilikuwa katika usiku huu Sheikh Takadir katika hotuba yake alimweleza rais wa TANU, Nyerere, kama mtume aliyeletwa na Allah kuja kuikomboa Afrika.

M a n e n o h a y a yalimuudhi sana Sheikh Hassan Bin Amir na Waislamu wengine. Siku chache baada ya maneno yale ya Sheikh Takadir, Mufti Sheikh Hassan Bin Amir akiwa amefuatana na Chifu Makongoro a l ikutana na She ikh Suleiman Takadir njiani, katika makutano ya Mtaa wa Swahili na Mkunguni, Sheikh Hassan Bin Amir alimkabili Sheikh Takadir na kumwambia asirudie tena maneno hayo kwa kuwa yalikuwa kufr. Kwa Sheikh Takadir kumtaja

Nyerere kama “mtume”, hakuwa tu anampandisha Nyerere kwenye daraja isiyoweza kufikiwa na kiumbe chochote, lakini lililo baya zaidi, alikuwa akitoa kauli hiyo kwa Mkristo. Sheikh Takadir alikaidi maneno ya mufti. J ibu lake kwa Sheikh Hassan Bin Amir lilikuwa, ' 'Wewe ndiyo maana umefukuzwa Unguja.''

Kwa kohof ia kaul i mbaya kutoka kwa Sheikh Takadir , na al ipoona Sheikh Takadir hataki kusikiliza nasaha za Sheikh Hassan Bin Amir, Chifu Makongoro alimuomba mufti waondoke mahali pale.''

MWANANCHI, Aprili 27 (Jongoo) Jongo akilia.

Maisha ya Muhammad (s.a.w) kabla ya utume-2Inatoka Uk. 9

haki yake ipatikane. Muhammad (s.a.w.)al ivutiwa mno na lengo hilo jema kiasi k wa m b a b a a d a ye alikuja kusema hivi:

“ N i l i h u d h u r i a u h i t i m i s h o w a maafikiano katika n y u m b a ya ‘A b d Allah ibn jud’an. Mimi sintokubali kamwe

kuyauza maafikiano hayo kwa uroho hata wa m a s l a h i b o r a kul iko yote . Mtu yoyote akidai kwa niaba ya maaafikiano hayo katika Uislamu, mimi nitamsaidia”

Utoto na ujana wa Muhammad (s.a.w.) ulikuwa ni maandalizi ya , Unabii wake. Baki ya tabia zake zingine

h a t a n a m a a d u i zake wakuu. Watu walikuwa wakisema hivi:

“Ukiwa una safari n a u n a t a k a m t u akuanga l i l i e mke wako, wewe mkabidhi k w a M u h a m m a d (s.a.w.) bila kusita, kwani hawezi hata kumtazama usoni. Ukitaka kukabidhi mali zako zihifadhiwe vizuri, wewe mkabidhi huyu mtu mwaminifu na mkweli , kwani kamwe hatoigusa.”

Ukiwa unamtafuta mtu ambaye hasemi uongo, na kamwe havunji ahadi yake, nenda moja kwa moja k w a M u h a m m a d (s.a.w.) kwa kuwa lolote atalosema ni kweli.”

Wale watu wote waliomfahamu tangu a l i p o k u wa m t o t o kama Abu ‘Uthman, Talha, Zubayr, Abu Dharr, Yassir, (r.a.) na wengine, huamini Unabii wake mara moja.

‘ A m m a r alipomwambia baba yake kuwa kamwamini Muhammad (s.a.w,), babake alimjibu kuwa:

“ M u h a m m a d ( s . a . w . ) a k i s e m a Mwenyezi Mungu (s .w. t . ) n i Mmoja tu, basi ni kweli , kwani yeye kamwe haongopi.”

Siku za mwanzo mwanzo za Unabii w a k e , N a b i i Muhammad (s.a.w.) kuwaita Maquraysh kule chini ya mlima wa A b u Q u b a y s , akawauliza hivi.

“Nyinyi mtaniamini nikiwaambia kuwa k u n a a d u i k a k a a n y u m a ya m l i m a h u u a n a n g o j e a kuwashambulia?”

Watu wote wakajibu kuwa watamwamini, pamoja na ami yake, Abu Lahab ibn ‘Abd

al-Muttalib, ambaye alikuja kuwa adui yake mkubwa.

Wakati walimwengu w a l i p o k u w a wanamtaka sana mtu a je kuondoshe lea m b a l i k u t o a m i n i (Mwenyezi Mungu), na aje ajaze pumzi ya maisha mapya humu duniani, Mwenyezi M u n g u ( s . w . t ) Alimleta Muhammad (s.a.w) ili azuie aina zote za uovu. Ahmad Shawky a l i e lezea h i l i k wa m a n e n o yafuatayo:

‘’]ua la mwongozo lilizaliwa duniani, na ulimwengu mzima u l i n u r u r i s h w a . Ta b a s a m u l i k a wa m d o m o n i m w a wakati, Na sifa zake zikawa zinaimbwa.”

Mara alipojitokeza katika upeo wa Madina miaka mingi baadaye watoto nadhi fu na wasiokuwa na hatia wa lile jiji lililonururishwa wakawa wanaimba hivi:

“ M w e z i m p e v u ’ ul ichomoza kutoka katika vilima vya Wada. Kwa h ivyo ha tuna b u d i t u m s h u k u r u Mungu (s.w.t.) kadiri Wa t u w a n a o s w a l i na kumwomba Yeye waendelea hivyo”.

N A B I I A L l Y E K U W A AKINGOJEWA: Zisemavyo Taurati na Zaburi za Mayahudi na Wakristo. Sahaba mmoja aliwahi kumwomba Mtume (s.a.w.) kumhusu yeye m w e n y e w e , N a y e akawaambia hivi:

“Mimi ndiye mtu ambaye Ibrahim (a.s.) aliomba nije, na ambaye Yesu (Nabii (Isa ibn Maryam) (a.s) alitangaza habari njema za ujio wangu.”

Usemi huu unadokeza a ya z i f u a t a z o z a Qur’an:.

“Ewe Mola mlezi wetu! Waletee Mtume anaye tokana na wao, awasomee Aya Zako, na awafundishe kitabu (chako) na hikima.”

Miaka mingi il ipita zaidi ya 50, siku moja nilikwenda kwa marehemu Mzee Shaaban Gonga mmoja wa wanachama wa mwanzo kabisa wa TANU na mtu anaeijua vyema historia yake. Nilitaka kujua kisa hiki cha ''Utume wa Nyerere.'' Mzee Gonga alinambia kuwa kisa kile ndicho k i l i c h o m w a n g a m i z a Sheikh Suleiman Takadir na Nyerere akahakikisha kuwa Sheikh Takadir anafukuzwa TANU na anafutwa katika historia ya nchi hii.

''Siku ile Sheikh Takadir a l i p o k a t a a k u s i k i z a nasaha za Sheikh Hassan bin Amir, ndiyo siku alipolaanika.'' Mzee Gonga alinifahamisha. Hakika yalikuwa maneno mazito.

V i t a b u k a d h a a vimeandikwa kuhusu historia ya TANU na hakuna mwandishi yoyote aliyemtaja Sheikh Suleiman Takadir, si kwa kheri wala kwa shari. Imekuwa kama vile hakupatapo kuwepo. L a k i n i h u y u S h e i k h Suleiman Takadir ndiye aliyekuwa anakwea yeye jukwaa la TANU Mnazi Mmoja kumtambulisha Nyerere kisha ndipo N y e r e r e a n a p a n d a kilingeni kuzungumza na wananchi. Nyerere mwenyewe hadi anaingia kaburini hakupata kumtaja Sheikh Suleiman Takadir, hata mara moja.

Sheikh Jongo hataweza hata siku moja kuwafikia masheikh waliotangulia, wal io j ipendekeza na kutumiwa na serikali na TANU/CCM. Lakini ambacho Jongo atahitaji kukitazama, ni upi ulikuwa mwisho wa Masheih hao?

nzur i za ha l i ya juu sana, kila mtu alikubali juu ya ukweli na uaminifu wake. Kamwe hakuongopa, h a k u d a n g a n y a , h a k u v u n j a ahadi yake, wala hakushiriki katika tamaduni za kipagani. A l ikuwa ak i i twa j ina la “Mkweli” na “Mwaminifu”,

11 AN-NUURRAJAB 1435, IJUMAA MEI 2-8, 2014Makala

"SIRI za Vatican" ni video ya habari inayotoa maelezo ya kina kuhusu k u c h a f u l i wa wa t o t o wa d o g o k i j i n s i a n a m a p a d r i wa k a t i wa utawala wa Papa Benedict XVI aliyejiuzulu, na kabla ya hapo. Ni mkusanyiko wa maelezo ya kina ambayo yanadhihirisha udhaifu wa kina wa Kanisa Katoliki wakati akiingia madarakani Papa Francis I.

M o n i c a B a r r e t t : " U k i m w a m b i a m t u , wazazi wako wataungua Jehanam"

Februari 25, 2014Monica Barrett anasema

alibakwa na padri wa parokia yake wakati akiwa na umri wa miaka minane tu.

"Ni tukio lililoondoa kabisa msingi wa maisha yangu kuanzia chini," alilieleza shirika la habari la Front l ine . Mwaka 1993 Barrett alifungua mashitaka dhidi ya Jimbo Kuu la Milwaukee la Kanisa Katoliki (nchini Marekani). "Niliagiza wakili, na wakanitumia kama mfano," alisema. " W a l i t u m i a m b i n u

Siri za Vatican: Ukimwambia mtu, wazazi wako wataungua Jehanam (2)

Papa Benedict XVI

za kisheria kunitisha n a k u n i v u r u g a . " Yafuatayo ni maelezo yake ya l iyohar i r iwa, a l i v y o s e m a k a t i k a mahojiano yaliyofanywa Septemba 15, 2013.

Rudi hadi siku za nyuma ul ipokuwa msichana mdogo. Nieleze ni kwa kiasi gani imani ya Katoliki i l ikuwa na umuhimu kwako na familia yako. I l i k u w a n i s e h e m u mahsusi ya maisha yetu. Nilikwenda shule ya awali ya Katoliki nikiwa mtoto, na kuhudhuria ibada mara tano kwa wiki. Tulikwenda nyakati za mwisho wa wiki. Tulikuwa na mapadri wanaangalia nyumba yetu, kutoa komunio, ubatizo na kipaimara. Kanisa Katoliki lilikuwa sehemu kubwa ya familia yetu.

N i e l e z e t u k i o l a k u s i k i t i s h a a m b a l o li l ibadilisha kila kitu katika maisha yako.

I l ikuwa ni s iku ya Jumamos i . Ni l ikuwa na umri wa miaka 8. Padri mmoja alikuwa a k i t e m b e l e a k a t i k a parokia nyingine huko Ziwa Geneva ( j imbo l a Wi s c o n s i n n c h i n i

Marekani). Mama yangu alikuwa - nadhani alikuwa ameenda shule siku hiyo. Hakuwepo nyumbani kwa sababu moja au nyingine, na ndugu zangu

wa k u b wa wa l i k u wa wameenda kazini. Baba yangu alinichukua mimi na mdogo wangu wa kike na tukaenda Lake Geneva kumtembelea padri huyo,

William Effinger. Siku nzima, baba yangu na padri wakawa wanakunywa pamoja, huku mimi na dada yangu tukijitahidi kucheza na vitu vichache tulivyokuwa navyo.

B a a d a y e m c h a n a , Padri Effinger akasema anataka msaada kanisani kuhusiana na mishumaa, na baba akasema "nenda kamsaidie." Nikasema "sitaki kwenda." Nilikuwa msichana mwenye aibu na mtiifu na haikuwa kawaida mimi kumkatalia b a b a j a m b o . H i v y o akasema "hapana, nenda tu kamsaidie."

Nakumbuka tukiwa t u n a t e m b e a k u t o k a nyumbani kwa padri hadi kanisani nikawa ninajiuluza, hakuna misa siku za Jumamosi, sasa kwanini tuhangaike na mishumaa leo? Hapakuwa na wanawake kanisani ambao wangesawazisha vitu kama hivyo? Haikuwa inaleta maana kwangu, n a n i k a e l e wa k u wa kulikuwa na tatizo fulani. Akaingia kanisani ambako alinishambulia kadhaa, na kuishia kunibaka.

J I N S I m a s h a u r i ya unyanyasaji kingono w a w a t o t o w a d o g o yalivyoongezeka, ilikuwa wazi kabisa jimbo hilo kuu la Kanisa halitahangaikia waliofikwa na masaibu hayo kwa njia ya haki a u u k we l i , a u h a t a kistaarabu. Nilimtafuta wakili, na wakanitumia kama mfano. Walitumia njia za kisheria kunitisha na kuniangusha chini......

(Mahojiano yanaendelea na mwathirika wa ubakaji Monica Barrett, aliyebakwa na padri William Efflinger akiwa na umri wa miaka minane katika parokia ya Ziwa Geneva jimbo kuu la Milwaukee nchini Marekani).

Tulipiga picha za video kwa siku mbili katika kundi l i l i lo jumuisha mapadri watatu. Unaweza kutueleza umuhimu wa mapadri watatu wanakuja kwako, wanazunguza na wewe, ukizingatia kilichokutokea? Hiyo ina maana gani kwako?

Siri za Vatican (3)'Siri za Vatican' ni video ya habari inayoelezea kwa kina mikwamo ya kimaadili inayomkabili Papa mpya wa Kanisa Katoliki

Na Shirika la Habari la Frontline, na YahooFebruari 25, 2014

Ndiyo msaada pekee ambao nimewahi kuupata kutoka Kanisa Katoloki kwa miaka yote hii ya mkasa wa kubakwa. Ni muhimu kwangu kupita kiasi, na pia inanisaidia sana kupona.

N i l i k u wa n a h i s i a k u wa m a p a d r i w o t e wana jua habar i h izo . . . .na wakakubal iana kupambana na waathirika, k u wa m a p a d r i w o t e wal ikuwa nyuma ya vitendo vya jimbo kuu huko Milwaukee. Ni pale tu nilipopata nafasi ya kuzungumza na mapadri hao na kuwasilikiza na kwa mara ya kwanza nilisikia neno la huruma kutoka kwa mshirika wa Jimbo Kuu la Milwaukee na kuhisi nimesikilizwa, na kuwa kubakwa kwangu, ni l ichokutana nacho, kulikuwa na umuhimu

fulani.I l ikuwa ni tukio la

uponyaji kwangu. Ni kama taa iliwashwa nilipoelewa kuwa walikuwa hawaungi mkono vitendo vya jimbo kuu na hawakubaliani na mbinu za kibabe za kisheria, na kuwa mara nyingi mapadri hawa w a n a k u w a h a w a j u i lolote au wanaelekezwa kufanya vitu ambavyo hawakubaliani navyo.

Ungependelea nini hasa Kanisa lifanye?

N i n g e t a k a J i m b o Kuu la Milwaukee litoe makabrasha yote kuhusu m a p a d r i , w a w e n i mapadri wa jimbo au wale wa mashirika ya kitawa, ambayo wanayo kuhusu unyanyasaji kingono wa watoto. Ningependelea w a a c h e k u p a m b a n a

na waathir ika kat ika mahakama ya kufilisiwa, na ningependelea kama wangejitahidi kujiangalia wao wenyewe kwa undani na kupata angalau mahali pa huruma na kutoa rai ya kuomba radhi kutoka moyoni kwa waliofikwa na masaibu hayo na familia zao na watoto wa waliofikwa na hali hiyo. Wote imetubidi kuishi na tatizo hili.

Bado wewe ni muumini wa Kanisa Katoliki?

H a p a n a , s i s h i r i k i ibada. Naona ni vigumu s a n a k u h u d h u r i a huduma yoyote katika kanisa la Kikatol ik i . K i m s i n g i , h u d u m a pekee ninazohudhuria ni mazishi ya rafiki wa karibu au wanandugu. Kutokana na uhusiano

a m b a o n i m e k u w a na j imbo kuu hil i na Kanisa Katoliki, ni kama uhusiano wa unyanyasaji, na siwezi kwenda huko. S ipat i furaha yoyote hapo. Nakuwa katika mahangaiko. Nimekuwa na wakati mgumu kuamini chochote wanachosema, kwani wamenitenda mimi na wengine kwa dharau ya kina na kutokuwepo kwa huruma na kujali, hivyo kwa wao kusimama katika mimbari na kuhubiri jambo hili au lile ni unafiki mtupu....

Umesema jambo moja gumu -- hata kutaja jina la Mungu kunakufanya utetemeke, karibu sana. Unaweza kueleza kwanini jina la Mungu limekuwa na nguvu sana na hasi kwako?

Kama mtoto wakati ule katika shule ya Kikatoliki, tul ikwenda kushir iki ibada mara tano kwa wiki, na ni wazazi wetu walinipeleka kanisani siku za Jumapili. Mnyanyasaji wangu alikuwa katika shule ile, hivyo baada ya kunyanyaswa, alikuwa

Inaendelea Uk. 13

Inaendelea Uk. 13

12 AN-NUURRAJAB 1435, IJUMAA MEI 2-8, 2014Mashairi/Makala

Alie mwenye kulia, jahili au alimu,Alie mwenye kulia,mamuma au imamu,

Alie mwenye kulia, jambo moja afahamu, Kumlilia twaghuti, ni habaa manthura !

Alie mwenye kulia, mchana kutwa adumu, Alie mwenye kulia, usiku kucha akumu, Alie mwenye kulia, jambo moja afahamu,

Kumlilia twaghuti, ni habaa manthura !

Alie mwenye kulia, daima dumu dawamu,Alie mwenye kulia, tena machozi ya damu,

Alie mwenye kulia, jambo moja afahamu, Kumlilia twaghuti, ni habaa manthura !

Alie mwenye kulia, kwa uchungu na kwa ghamu, Alie mwenye kulia, kuwaridhi madhalimu, Alie mwenye kulia, jambo moja afahamu,

Kumlilia twaghuti, ni habaa manthura ! Alie mwenye kulia, kwa khushui na nidhamu, Alie mwenye kulia, wamsifu madhalimu,

Alie mwenye kulia, eti ‹shehe› muadhamu, Kilioche kwa twaghuti, ni ombwe na uzandiki!

ABUU NYAMKOMOGI- SAFARINI KAGERA.

SIKU YA WAFANYAKAZI

(TIMIZA WAJIBU WAKO)

Mei mosi kila mwaka, ni ada ulimwenguni, Nyumati kukutanika, kila kona duniani, Jinalo latambulika, ‹WAFANYAKAZI› si geni, Timiza kwanza wajibu, ndipo hakiyo udai.

WORKERS› wa Tanganyika, na wa Zenji sikizeni,

Lengo wazi kuliweka, ni nasaha kukupeni, Ni vyema mkazishika, zitawafaa kazini,

Timiza kwanza wajibu, ndipo hakiyo udai. La kwanza kuwajibika, kwa majukumu kazini,

Ya msingi kuyashika, na ya ziada fanyeni, Natija itaoneka, jambo hili ‹mkiwini›, Timiza kwanza wajibu, ndipo hakiyo udai.

Thaniya la kulishika, ni nidhamu makazini,

Jambo hili kwa hakika, nguzo imara kazini, Falau ikitoweka, natija i mashakani, Timiza kwanza wajibu, ndipo hakiyo udai.

Thalitha kujuhudika, pasi ajizi kazini,

Kwa uvivu kujivika, iktisadi shakani, Kuweza kuimarika, na kustawi nchini, Timiza kwanzawajibu, ndipo hakiyo udai.

La nne ‹nohitajika, ni ufanisi kazini,

Kwa kazi kufanisika, ushindani ‹mtawini›, Wa ndani kwa uhakika, hata wa ughaibuni, Timiza kwanza wajibu, ndipo hakiyo udai.

La tano wahitajika, uvumilivu kazini,

Mazonge yakikufika, ‹usichachawe› kazini, Tawakali kwa Rabuka, pasi shaka ‹utawini›,

Timiza kwanza wajibu, ndipo hakiyo udai. La sita la kukumbuka, ni tathmini kazini,

Malengoyo uloweka, uweze kuyabaini, Endapo yamefikika, au la ni kwanini, Timiza kwanza wajibu, ndipo hakiyo udai.

Akhiri mwombe Rabuka, kazini akuauni, Uweze kusalimika, na ya kazi mitihani, Kwa dua utaivuka, ni sahali kwa Manani, Timiza wako wajibu,ndipo hakiyo udai.

Beti kumi sitavuka, nisije kukuchosheni,

Aula ni kuyashika, niliyokuusieni, Kituoni nimefika, kalamu naweka chini, Timiza wakowajibu, ndipo hakiyo udai.

ABUU NYAMKOMOGI -SAFARINI KAGERA.

KUMLILIA TWAGHUTI (ALIE MWENYE KULIA!!!)

S H U K R A N I z o t e anastahiki Mwenyezi Mungu, na rehema na amani zimfikie mtume wa Mwenyezi Mungu najamaa zake na sahaba zake na wanaomfuata ama baada ya utangulizi huu mfupi.

Kwa hakika muonekano wa msimamo mkali katika Dini ni muonekano ambao umeanza kudhihiri katika jamii nyingi na msimamo mkali kwa uelewa wake na kutoka nje ya ukuta na kati yaani uwastani wa jambo.

N a u n a k a t a a mwenendo wa uwastani a m b a o a m e u c h a g u a Mwenyezi Mungu kwa viumbe na kutoka nje ya maumbile ya ubinadamu. Hivyo Mwenyezi Mungu Mtukufu anawatakia watu wake uwepesi na wala hawatakii ugumu wake katika dini hii uzito wa wala hakuilazimisha nafs i ya mtu yeyote isipokuwa inaloliweza bali moja ya makusudio ya kuletwa mtume (S.A.W) n i k u o n d o a u g u m u na matatizo kwa watu ambayo yaliyowekwa na watu.

Amesema Mwenyezi Mungu Mungu Mtukufu (ambao wanamfuata mtume, Nabii aliye Ummy asiyejua kusoma wala kuandika) na juu ya hivi atafundisha mafundisho hayo ya ajabu ya Uislamu ambaye wanamuona ameandikwa kwao katika taurati na injili ambaye anawaamrisha mema na anawakataza yaliyo

Msimamo mkali ni kutoka nje ya uadilifu (uwastani)

Na Sheikh Ahmad Rajabu Ashashtawi

mabaya na kuwa halishia vizuri na kuwaharamishia vibaya na kuwaondolea mizigo yao na minyororo iliyokuwa juu yao (yaani sharia ngumu za zamani na mila za kikafiri) basi wale walioamumini yeye na kumuheshimu na kumsaidia na kuifuata nuru i l iyoteremshwa pamoja naye yaani qur ani hao ndio wenye kufaulu) Ala-Araf aya ya (157) na amekemea Mtume (S.A.W) tabia ya wale wenye msimamo mkali kwa kutoka kwao nje ya njia iliyonyooka a m e s e m a M t u m e (S.A.W) (Wameangamia m w e y e m s i m a m o mkali , wameangamia w e n y e m s i m a m o mkali , wameangamia wenye msimamo mkali, wakauliza maswahaba ninani hao ewe mtume wa Mwenyezi Mungu? Akasema Mtume (S.A.W) ( n i wa l e wa n a o u t i a ugumu Uislamu) ameitoa I m a m A h m a d k w a yakini amekataa Mtume (S.A.W) uma wake juu ya msimamo mkali katika mambo ya dini nyinyi wenyewe ili asije akatia ugumu Mwenyezi Mungu kwenu. Kwani kuna watu walitia ugumu wao wenyewe na Mwenyezi Mungu akawawekea ugumu na hayo ndio mabaki yao yapo katika majumba yao ya Ibada)

Na pa le wal ipot ia ugumu bani Israil wao wenyewe basi mwenyezi Mungu akawawekea u g u m u k w a o p a l e a l i p o w a a m r i s h a wachinje ng’ombe na pale walipoulizwa juu ya ng’ombe huyo na namna yake na rangi yake na umri wake na mengineyo ikiwa matokeo y a k e a k a w a w e k e a u g u m u m w e n y e z i Mungu kwao wakazi lazimisha nafsi zao kwa mambo yasiyoyaweza. Hivyo ikateremka Qur-ani Tukufu inakataza waumini kuuliza sana katika mambo ambayo h a j a w a l a z i m i s h a

M w e n y e z i M u n g u . Akasema (Enyi ambao m l i o a m i n i m s i u l i z e m a m b o n a p a l e m n a p o u l i z a w a k a t i Q u r - a n i i k i s h u s h wa i t a w a f a f a n u l i a . Amewasamehe Mwenyezi M u n g u k w a y o t e yaliyopita na Mwenyezi M u n g u m s a m e h e wa mpole) Surat Al-maaida aya ya (101) kwa yakini Uislamu ni Dini ambayo inasimamia mfumo wa ukati na kati (Uwastani nao ndio Mwenendo wa uadilifu ambao upo mbali na kuvuka mipaka na mapungufu. Haikuweka Diini hii jambo isipokuwa ni kati ya ughali (Thamani) nao ni kugusa mipaka maalum na kutokuwa na mapungufu katika ibada zake na amri zake. Na yeyote mwenye msimamo mkali daima mwishowe ni majuto tuu na kuangamia kwani mmea wake hauna hivyo.

Ametuongoza Mtume (S.A.W) (Hakika katika uwepesi na ukati na kati na uwastani katika mambo yake yote na imetulingania sheria ya Kiislam kuchukua l i l i lo jepesi hi i ndio Dini ya Mtume (S.A.W) kama alivyosema mama Aisha (RA) (Hajapatapo kuchagulishwa Mtume (S.A.W) kati ya mambo m a w i l i i s i p o k u w a huchagua lile lililojepesi zaidi – l ikiwa halina madhambi na likiwa ni la madhambi anakuwambali m n o n a j a m b o h i l o kuliko watu wote) na kushikamana na njia ya uadilifu inamfikisha mtu mwisho wake katika mambo anayoyapenda M w e n y e z i M u n g u . Kinyume na msimamo mkali ambao humfikisha mtu katika majuto na hasara na maagamio. Amesema Mtume (S.A.W) ( j i l az imisheni amal i (ibada) ile mnayoiweza kwani Mwenyezi Mungu hachoki hadi nyinyi mjichoshe na hakika ibada inayompendeza mno Mwenyezi Mungu ni ile inavyodumu hata kama ni chache)

13 AN-NUURRAJAB 1435, IJUMAA MEI 2-8, 2014Makala

Siri za Vatican: Ukimwambia mtu, wazazi wako wataungua Jehanam (2)Inatoka Uk. 11I l i p o k w i s h a a l i k u w a

akifanya nini kwako?Wakati wote akiwa

ananishambulia alikuwa akisema "Wewe si kijana mzuri. Husikilizi. Acha kulia. Alikuwa akinipigia kelele kwani nilikuwa nalia. Nakumbuka wakati akinibaka, s ikuelewa kinachotokea. Nilihisi tu maumivu makubwa, huku napata shida kupumua. N i k a w a n a m w o m b a Mungu tu kuwa aniachie nife.

Alipomaliza akasimama akaniangalia akisema " u k i m w a m b i a m t u y e y o t e u l i c h o f a n ya , hawatakuamini. Na kama utamwambia mtu yeyote, wazazi wako wataungua motoni, Jehanam."

A k a n i p a k a z i y a kujutia vitendo vyangu, akasimama akaniangalia, a k a n y o o s h a n y w e l e zake wa mikono yake, na kuondoka kupitia njia ya katikati ya kanisa. N a k u m b u k a k u s i k i a m l a n g o u k i f u n g w a , nikabaki tu nimeketi kwani sikujua cha kufanya. Sikujua kama niinuke au nibaki pale tu.

"Alipomaliza alisimama n a k u n i a n g a l i a n a kusema: Ukimwambia m t u u l i c h o f a n y a hawatakuamini. Na kama ukimwambia mtu, wazazi wako wataungua motoni."

Mwishowe nikafanya h ivyo - n ikaondoka . Niliinuka, na nikahisi k u l i k u w a n a d a m u m i g u u n i p a n g u , n a kulikuwa na damu katika kaptura ambazo bibi alikuwa amenipa kwa ajili ya siku yangu ya kuzaliwa. Nilipofika mwisho wa kanisa nikafuta damu hiyo na maji matakatifu, nikatoka na kuketi chini ya mti mkubwa, nikawa nalia tu kwa sababu nilikuwa katika maumivu na sikuwa naelewa nini kilikuwa kimetokea kwangu, halafu nilikuwa na hofu.

Mdogo wangu nilimzidi miaka miwili, akatoka nje, akaniuliza kulikuwa na tatizo gani, nikashindwa kumj ibu . Akaniu l iza "Niambie kuna tatizo gani." Tulikuwa tuko karibu sana kama watoto; tulikuwa tunaelezana kila kitu. Lakini hata sikuwa na maneno ya kuelezea kilichonifikia. Sikuelewa. Nilijua tu nina maumivu

n a k u w a n i l i k u w a nimefanya jambo baya sana, kutokana na kazi ya kutubia niliyopewa na Padri Effinger. Aliketi pamoja nami chini ya mti, akawa tu ananikumbatia; tukashikana na kungoja h a d i b a b a a k a j a akatupeleka nyumbani.

Shambulizi la kimapenzi la mtu mzima kwa mtoto mdogo ni jambo baya. Nini kinafanya shambulio la padri kuwa tatizo kubwa zaidi?

N a d h a n i unaposhambuliwa na padri, wana mamlaka na amri juu yako, inavuruga msingi mzima ambako maisha yako yamejengwa, mfumo wa imani ambako wazazi wanakuangalia na kuwa watu wazima wana amri na uwatii, na kama unafuata wanachosema, ukifuata kanuni, kila kitu kitaenda vizuri.

Isitoshe, kama mtoto a l iyesomea shule ya Kikatoliki, tulifundishwa kuwa padri ndiye mtu u t a k a ye k u t a n a n a ye anayekaribiana sana na Mungu, hivyo mapadri ni watu wanaostahil i k u h e s h i m i wa , k u wa walikuwa katika ngazi

t o f a u t i y a k i i m a n i ukilinganisha na watu wa kawaida.

K w a n g u m i m i , nilipobakwa na yule padri, ilivunja msingi mzima chini yangu, kwani kila kitu ambacho nilifundishwa na wazazi wangu kuhusu watu wazima na kutii amri na mamlaka ilikuwa haina maana tena. Kila kitu nilichofundishwa na shule ya Kanisa Katoliki n a k a n i s a n i k u h u s u kuwaheshimu mapadri na Mungu na sisi tukiwa ni watoto wake anaotupenda sana - na kama tukifuata zile Amri Kumi hakuna baya ambalo lingetufikia - kila kitu kilipaishwa siku hiyo.

Unaweza kuniambia nini kilitokea ulipojaribu kutaka fidia kwa jambo hili?

Nilipofikia hatua ya kuzungumzia shambulio nililofanyiwa, mwaka 1 9 9 1 , n i l i k w e n d a kumwona Askofu Mkuu (Rember t ) Weakland na Askofu (Richard) Sklba - na kulikuwa na watu wengine takriban wawil i wal iokuwepo - k w a n i n i l i d h a n i wangekuwa na hamasa

ya kujua kilichonitokea. Nilidhani walikuwa na nia ya kusaidia, kuwa wangeshtushwa na jambo hili kama mimi nilivyoumia k u e l e z e a . H i v y o nil ikwenda kuwaona, na katika mkutano huo nilielewa kuwa hawajali kilichotokea kwangu ila ni kwa njia gani kinavyoweza kuwasibu. Lakini mtoto ambaye ameachwa nyuma, hawakuwa wanamjali hata kidogo.

H i y o i l i w e z a j e k u w a bayana kwako?

H a l i h i y o i l i k u wa wazi kwangu kat ika mkutano wa awali pale Askofu Mkuu Weakland aliponiangalia akasema " B a s i , u s i m w a m b i e mtu yeyote jambo hili. Tutalishughulikia."

Nilitambua papo hapo; nilikuwa na hisia ile ile ya mzigo tumboni kama nilivyokuwa nikitembea uchochoro wa kanisa na Effinger kuwa kuna jambo baya linakaribia kutokea, na ni hisia hiyo hiyo niliyokuwa nayo pale Weakland aliposema maneno hayo kwangu. Safari hii nilisikiliza, nikasimama, na kuondoka haraka sana nilivyoweza.

Inatoka Uk. 11 Siri za Vatican (3)hapo. Ingebidi nipige m a g o t i m b e l e y a k e k u s h i r i k i k o m u n i o . Ingebidi nisikilize sauti yake akihubir i In j i l i au kutoa nasaha, na popote ninaposikia neno 'Mungu' na jua kuwa nakinzana nalo kihisia na hata kimwili, kwani ni maumivu makubwa mno. Namsikia akilitaja neno hilo, na siyo kuwa siamini katika muumba au nguvu ya juu, lakini kumwita M u n g u n i m a u m i v u makali kwangu, na siwezi. Nageukia kwingine; siwezi kusikiliza.

Ninachokiona kuwa si cha kawaida ni jinsi unavyojisikia kujilaumu kwa kilichotokea.

W e n g i k a t i y a wanyanyasaji hawa, kama walikuwa wabakaji au wataka ngono na watoto au vyote kwa pamoja, au wanyanyasaji tu wa k i n g o n o , w a l i k u w a n i w a t u h o d a r i , wachimbaji , wapanga m i k a k a t i . Wa l i k u wa w a n a j u a k i k a m i l i f u nini wanachokifanya. Walitafuta watoto wapole,

wenye aibu, wanaotii. Hawakutafuta watoto watukutu wenye matatizo a m b a o w a n a w e z a kutoka na kuwasema. Aliponipa kazi ya kutubua niliyoyatenda, katika akili yangu kuna mtoto mdogo wa miaka minane ambaye alikuzwa kuwaheshimu mapadri na kuelewa sakramenti ya kitubio. Hitaji hilo la kutubia lilinionyesha kuwa tukio hilo lote linapita uwezo wa n g u wa k u e l e wa . Lilikuwa lenye maumivu makali kimwili na kihisia, linatokana na vitendo vyangu, kuwa kwa njia moja au nyingine mimi ndiye wa kulaumiwa.

"Watoto wote wanaopata masaibu ya kubakwa wanatembea na kujilaimu na aibu hadi wanapoweza kupona na kwenda mbele, kuweka lawama na aibu pale inapohusika."

Hivyo, watoto wote wanaopata masaibu ya

kubakwa wanatembea na kujilaimu na aibu hadi wanapoweza kupona na kwenda mbele, kuweka lawama na aibu pale inapohusika. Lakini siku ile ambako alininyanyasa, mtoto mmoja wa kike aliingia kanisani hapo, mtoto ambaye alikuwa na tumaini na imani na udadisi na upando, na alikuwa na moyo msikivu, ,na hilo lilibadilika. Mtoto huyo wa kike alikufa siku hiyo, na mtoto wa kike aliyetoka, alikuwa amepoteza utoto wake, alipoteza kutokuwa kwake na doa, alipoteza imani ya k e k wa b i n a d a m u w e n g i n e . M f u m o wake mzima wa imani uliparaganyika. Mtoto wa kike aitwaye Monica aliyeingia kanisani alikufa siku ile, na aliyetoka a l ikuwa mtu to faut i kabisa,, na sehemu yake ni kujilaumu na aibu ambayo nilitembea nayo

kwa miongo kadhaa.Tu n a p a p a m p y a .

U n a h i s i k u wa s a s a , m w i s h o w e , t u t a o n a mabadiliko halisi?

Sijui kwanini, lakini nahisi kwa kweli kuwa huenda Papa Francis akawa tofauti. Amefanya vitu kadhaa ambavyo v inaash i r ia kuwa n i papa wa aina tofauti. Ni matumaini yangu kuwa ataketi na kuzunguza na waathirika na kusikiliza

t u n a c h o h a d i t h i a , n a kuwa atashika usukani siyo tu wa jimbo kuu hili lakini majimbo makuu kote nchini Marekani na kusema: 'Hatutaendelea kuwatenda waliofikiwa na masaibu haya kwa njia hii. Hatutawanyanyasa k wa m a r a n y i n g i n e . Hii ni siku mpya, enzi mpya, na tutawatenda watu hawa kwa kuwajali na kuwaheshimu kama wanavyostahili."

Papa Francis

14 AN-NUURRAJAB 1435, IJUMAA MEI 2-8, 2014TANGAZO

ISLAMIC PROPAGATION CENTREP.O Box 55105,Phone: 0222450069, 0784 267762, 0755 260087 & Fax 022 2450822, Dar es Salaam website :www.ipctz.org

4. Fomu za maombi zinapatikana kwa gharama ya shilingi elfu kumi (10,000/=) katika vituo vifuatavyo: • Arusha - Ofisi ya Islamic Education Panel Jambo Plastic Ghorofa ya 2 mkabala na msikiti Mkuu Bondeni 0763 282 371/ 0784 406 610.• Kilimanjaro - Moshi: Msikiti wa Riadha – 0654 723 418 - Same: Kirinjiko Islamic Secondry School: 0784 296424/0655 697 075• Tanga - Twalut Islamc Centre – Mabovu Darajani – 0715 894111/0789 410914 - Uongofu Bookshop: - 0784 982525/ - Korogwe: SHEMEA SHOP – 0754 690007 - Mandia Shop - Lushoto: 0782257533• Mwanza - Nyasaka Islamic Secondary School 0717 417685/0786 417685 - Ofisi ya Islamic Education Panel – Mtaa wa Rufiji mkabala na Msikiti Al-Amin 0785 086 770.• Musoma - Ofisi ya Islamic Ed Panel -Mtaa wa Karume,Nyumba Na. 05, -0784721015/0765024623• Kagera - Bukoba: Alhuda Café Kwa mzee Kinobe karibu na ofisi za TRA. - 0688 479 667 • Shinyanga - Masele com: Ofisi za NSSF –Shinyanga Mjini mkabala na bank ya CRDB - 0752180426 - Kahama ofisi ya AN –NUUR Karibu na msikiti wa Ibadhi: 0753 993930 • Dar es Salaam - Ubungo Islamic High School 0754 260 241/0712033556 - Ofisi ya Islamic Ed. Panel –Temeke -Msikiti wa Nurul Yakin – 0655144474.• Morogoro - Wasiliana na Ramadhani Chale :0715704380• Dodoma - Hijra Islamic Primary School : 0716 544757/0712 325086• Singida - Ofisi ya Islamic Ed. Panel – karibu na Nuru snack Hotel – 0714285465/0784 928039 • Manyara - Babati: Shule ya Msingi Hangoni: 0784 667575 - Ofisi ya Islamic Ed. Panel – Masjid Rahma: 0764 469870/0789 174902.• Kigoma - Msikiti wa Mwanga Kigoma: 0753 355224. - Kibondo – Islamic Nursery School: 0784 442860. - Kasulu: Murubona Isl.SS. 0714710802.• Lindi - Wapemba Store: 0784 974041/0786 959663.• Mtwara - Amana Islamic S.S 0715 465158/0787 231007.• Songea - Kwa Kawanga Karibu na Msikiti wa NURU – 0715 681701/0716791113 - Mkuzo Islamic High School. 0716 791113• Mbeya - Duka la vifaa vya Kiislamu nje ya Msikiti wa Uyole – 0713 200209 - Rexona Video mkabala na Mbeya RETICO: 0713 200209• Rukwa - Sumbawanga: Masjid TAQWA 0717082 073• Tabora - Kituo cha Kiislamu Isevya: 0784 944566• Iringa - Madrastun – Najah: 0714 522 122• Pemba - Wete: Wete Islamic Education Center: 0777 432331• Unguja - Madrasatul – Fallah: 0777125074- • Mafia - Ofisi ya ust. Yusufu Ally jirani na msikiti mkuu – 0653705627 • Ikwiriri - Masjid Aqswa: 0782 838749/0656531133

5. Pia Fomu zinapatikana kwenye Tovuti: www.ipctz.org. Ikumbukwe kuwa watakaopata fomu kupitia tovuti (download) watatakiwa kuzilipia wakati wa kuzirejesha.

USIKOSE NAFASI HII ADHIMU – WAHI KUCHUKUA FOMU SASA!

MKURUGENZI

WABILLAH TAWFIIQ

NAFASI YA MAFUNZO YA UALIMU NGAZI YA CHETI, 2014/2015 CHUO CHA UALIMU KIRINJIKO ISLAMIC

Waislamu wote mnatangaziwa nafasi za mafunzo ya Ualimu Nganzi ya Cheti katika chuo cha ualimu Kirinjiko Islamic. Kwa mujibu wa tangazo la Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi,mafunzo haya yako ya aina mbili:

1. MAFUNZO YA UALIMU TARAJALI NGAZI YA CHETI, DARAJA ‘A’ Muda wa Mafunzo : Miaka 2

Mwombaji awe:(a) Muislamu aliyehitimu kidato cha IV kati ya mwaka 2004 na 2013.(b) Mwenye ufaulu wa kiwango kisichopungua daraja la III (Division III katika mtihani uliofanyika katika kikao kimoja.

2. MAFUNZO KABILISHI (BRIDGING COURSE) KWA AJILI YA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA UALIMU NGAZI YA CHETI DARAJA ‘A’

Muda wa Mafunzo: Mwaka 1 Mwombaji awe:(a) Muislamu aliyehitimu kidato cha IV kati ya mwaka 2004 na 2012 na awe amefaulu kwa kiwango kisichopungua Daraja la IV (Division IV) kwa alama 26

au 27 (Kwa mtihani wa mwaka 2004 hadi 2012) na alama 33 au 34 (Kwa mtihani wa 2013) kwa mitihani iliyofanyika katika kikao kimoja; na

(b) Mwenye ufaulu wa angalau kiwango cha ‘D’ kat ika masomo ya Sayansi,Hisabati,English na Kiswahili katika mtihani wa kidato cha IV.

Tanbihi: watakaofaulu mtihani wa mafunzo kabilishi wataendelea na mwaka wa pili wa mafunzo ya Ualimu Ngazi ya Cheti, Daraja ‘A’.

MAELEKEZO MUHIMU KWA WAOMBAJI WOTE1. Fomu ya maombi iambatanishwe na vyeti (leaving and Academic certificates) vya kidato cha 4 pamoja na picha ya hivi karibuni.2. Tarehe ya usaili na mwisho wa kurudisha fomu ni tarehe 21/06/2014 saa 2:00 asubuhi. 3. Vituo vya usaili ni hivi vifuatavyo:(a) Kirinjiko Islamic T.C – SAME (b) Ubungo Islamic T.C – DSM(c) Nyasaka Islamic S.S. – Mwanza

15 AN-NUURRAJAB 1435, IJUMAA MEI 2-8, 2014Habari

Wanaotaka Tanganyika nao wanataka serikali ya Kikristo?Inatoka Uk. 16

kwamba mkiunga mkono Serikali tatu, Wazanzibar wata i fanya Zanzibar kuwa ni nchi ya Kiislamu, sasa hawa Maaskofu nao wanataka Serikali tatu, mbona hatumsikii akisema lolote.” Alisema Maalim Baswaleh.

Alisema, si hivyo tu bali Mh. Lukuvi, anadai a n a h o f u , k w a m b a Zanzibar ikiwa ina serikali yake katika huo muundo wa Serikali tatu yale yaliyotokezea Sudan ya Kusini, Juba ya kuuwana yatakuja kutokezea na hapa.

“ S a s a s u a l a l a kumuliza, hivyo Juba, kilichowaingiza katika mapigano ni mfumo wa Serikali tatu? Mbona wale ni Wakristo watupu kwa nini kero iwe kwa Waislamu tu tena bila kuwa na ushahidi wowote wa tuhuma wanazozitoa dhid i yao .” Al i sema Maalim Baswaleh.

A l i s e m a , t a t i z o l a viongozi wa nchi hi i wanawajengea hofu na dhana wananchi kuwa Waislamu ni watu hatari sana na kuwa vipaza sauti kwa kila jambo linatokea katika jamii tofauti na jambo linapotokea au kufanywa watu wa imani ya Kikristo.

Akitolea mfano tukio la bomu lililotokea Kanisani Ji j ini Arusha, Maalim Baswaleh, alisema yule kijana anayetuhumiwa kulipua Kanisa hilo ni Mkristo, lakini hakuna kiongozi aliyemsakama yeye na dini yake, na mpaka sasa hakuna kiongozi wa Serikali anayeizungumzia kesi hiyo.

Akizungumzia Katiba mpya, alisema Suala hilo lililetwa makusudi kwa sababu Katiba iliyopo imeonekana ina matatizo, lakini wengine wameamua k u p i n g a h a t a y a l e mapendekezo na maoni ya wananchi na kuamua kwenda hadi Makanisani kushawishi, ili ibaki kama zamani.

“Mchakato unaoendelea ni wa kupata Katiba mpya, ikiwa iliyopo ina kosoro basi ijayo iwe imeepukana na kasoro hizo, lakini kuna wengine wanapinga. Sasa kulikuwa na haja gani ya

kutumia mamiloni ya pesa za walipa kodi kuingia ka t ika mchakato wa kutunga Katiba mpya?” alisema Maalim Baswaleh.

Alisema, yapo mengi y a k u z u n g u m z i a n a y a n a y o t a k i k a n a kuboreshwa na kuingizwa katika Katiba mpya, lakini kubwa zaidi ambalo limewagawa wajumbe hao wa Bunge la Katiba mpya ni juu ya mfumo au muundo wa Serikali ya Muungano.

M a a l i m B a s wa l e h , alisema wajumbe hao wanapaswa kuelewa kuwa Katiba wanayoishughukia ni ya wananchi, hivyo ni vyema wakazingatia rasimu ya Katiba, ambayo ndiyo maoni ya wananchi, kuliko kujadili mambo ambayo yapo nje ya rasimu na kupelekea kuwagawa na kupoteza muda.

BAADHI ya viongozi wa UAMSHO wakiwa katika moja ya mihadhara ya kidini iliyofanyika visiwani Zanzibar.

Wananchi wakerwa na mambo ya DodomaInatoka Uk. 16

B i . S a i d a t i M u s s a Suleimani yeye alisema kuwa wabunge waliofanya v u r u g u i n a o n e k a n a walikuwa haj i tambui hata wakielimishwa vipi. Alisema Jaj i Warioba aliwasilisha rasimu ya Katiba mara ya kwanza na ya pili kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania .

A l i s e m a R a i s w a Z a n z i b a r n a y e al ikabidhiwa Rasimu hiyo na wote walizipitia kwa marefu na mapana na kwa umakini mkubwa hata wakaamua ipelekwe kujadiliwa na wajumbe walioteuliwa kuijadili na kwamba, kabla ya yote aliitwa pia Jaji Joseph Warioba bungeni na kuwabainishia wajumbe wote kuhusu maoni ya wananchi walio wengi wamependekeza nini.

A l i s e m a j a m b o l a kushangaza zaidi, leo Jaji Warioba ameonekana kioja, hafai kwa upande ule wa wale wanao jinadi kwa mtindo wa walio wengi,wajumbe hao suala ambalo halifai, wakati alichowasilisha ni maoni yake.

a l i o n g e z a k u w a “Wote walioleta maneno yasiyofaa dhidi ya rasimu ya Warioba, walikuwa wakitetea maslahi ya vyama vyao, hii ni aibu kubwa kwa Taifa letu” alisema Bi. Saidat.

Kwa upande Bw. Ferej Akilimali Mmbwate, yeye alisikitishwa na kitendo cha kiongozi wa dini kulia hadharani mbele ya ukumbi wa Bunge kwasababu ya kukosolewa Hayati Mwalimu Julius Nyerere.

Bw. Mmbwate alisema ni ajabu kiongozi wa dini kutoa chozi kwa k u k o s o l e w a Y u l e anayempenda. Alisema kuwa Nyerere alikosolewa kwa hoja wala sio matusi, lakini kwa kuwa wenzake walibadili uhalisia wa hoja ya kumkosoa Nyerere na kudai katukanwa, naye akaamini hivyo hivyo.

Mzee huyo alihoji kama kul ikuwa na matusi , kwanini kiongozi huyo hakutoa chozi wakati Nyerere anatukanwa hali ya kuwa alikuwa kikaoni?

B w . M m b w a t e a l i h i t i m i s h a m a o n i

yake kwa kusema kuwa yawezekana chozi lilitoka kwasababu Mwalimu Nyerere ni mmoja wa

waasisi wa Bakwata na hapo ndipo uchungu wa k a s e m wa v i b a ya unapojitokeza.

Hayati Mwalimu Julius Nyerere.

16 AN-NUURRAJAB 1435, IJUMAA MEI 2-8, 201416 MAKALA

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works LTD, S.L.P. 4605, Dar es Salaam.

AN-NUUR16 RAJAB 1435, IJUMAA MEI 2-8, 2014

Soma AN-NUUR

kila Ijumaa

WA Z I R I w a N c h i Ofisi ya Waziri Mkuu, Mheshimiwa William L u k u v i , a m e z i d i kusakamwa ikidaiwa kuwa kauli zake ni za kichochezi na udini.

Akizungumzia suala hilo, Maalim Ally Basaleh amesema kuwa kama tatizo sio udini na chuki ya Waziri Lukuvi dhidi ya Uislamu na Waislamu, b a s i a n g e s i k i k a p i a akiwakemea wanaotaka Tanganyika miongoni m w a M a a s k o f u n a Wakristo kwa ujumla.

Ni katika nukta hiyo akasema kuwa kama madai ni kuwa Zanzibar wanataka serikali tatu ili wapate mwanya wa kusimamisha serikali ya Kiislamu, basi labda isemwe pia na Wakristo wanaotaka Tanganyika nao wanataka Tanganyika ya Kikristo.

Basa leh a l iyasema hayo akijenga hoja kuwa siku chache baada ya Waziri Wiliam Lukuvi, kuishutumu Jumuiya ya Uamsho Zanzibar kuwa inataka Serikali tatu ili kuunda Serikali ya Kiislamu, baadhi ya Maaskofu, nao walisema hayo hayo kuwa wanataka Muundo wa Serikali tatu.

M a a l i m B a s a l e h amesema na kuhoji hayo akiwahutubia Waislamu Jumapili iliyopita katika Msikiti wa Mtambani, Kinondoni J i j ini Dar es Salaam, akielezea mwenendo wa mchakato wa Katiba na maoni mbalimbali ya wananchi.

Akiwa katika Kanisa la Methodist, Dodoma, mapema hivi karibuni Waziri Lukuvi, aliwaambia Wakristo katika Kanisa

Wanaotaka Tanganyika nao wanataka serikali ya Kikristo?

Basaleh ahoji na kukemea ‘udini’ wa Lukuvi

MAALIM Ally Bassaleh Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Mheshimiwa William Lukuvi.

Na Bakari mwakangwale

hilo kwamba Wazanzibar wanaotaka Serikali tatu wanataka wajitenge ili iwe

nchi ya Kiislamu.“ K w a m a o n i y a o

Uamsho, wanasakamwa

k u w a w a n a t a k a kuitangaza Zanzibar kuwa nchi ya Kiislamu,

sasa hawa Maaskofu wa Makanisa mbalimbali wanataka Serikali tatu h a p a n a s h a k a n a o wanaitaka Tanganyika ili kuifanya kuwa ni nchi ya Kikristo?” Alisema na kuhoji Maalim Baswaleh.

M a a l i m B a s wa l e h , a l i s e m a k u s a k a m wa huko kwa Uamsho ni kwa sababu ni Taasisi ya K i i s l a m u , n d i y o maana inafikia hatua ya k u p a k a z i wa n a kupambwa kwa s i fa isizonazo, lakini akasema wakitoa maoni kama hayo Maaskofu na Taasisi zao hakuna anayewasakama.

M a a l i m B a s wa l e h , akawataka viongozi wa Serikali kuacha kuwa na upande miongoni m w a m a k u n d i y a jamii wala wasiwe na hulka ya kukurupuka n a k u o n g e a m a m b o wa n a v y o j i s i k i a k wa kufanya hivyo wanaweza kuisambaratisha jamii.

“ L u k u v i , ( Wa z i r i Wi l i a m ) a n a k we n d a K a n i s a n i a n a s e m a

Inaendelea Uk. 15

B A A D A y a B u n g e M a a l u m l a K a t i b a kuahirishwa mwishonio mwa wiki iliyopita huko D o d o m a , wa n a n c h i wameelezea kukerwa na mambo yalivyokuwa yakitokea katika vikao vya Bunge hilo.

B a a d h i ya wa k a z i

Wananchi wakerwa na mambo ya DodomaMachozi ya kweli yangekuwa wakati Nyerere ‘anatukanwa’

Na Abdulkarim Msengakamba wa jiji la Dar es Salaam n a v i t o n g o j i v ya k e , wamewalaumu za id i wajumbe waliochaguliwa na Rais katika kujadili rasimu hiyo ya katiba, kwa kujiingiza katika itikadi za vyama vya siasa na mivutano ya kisiasa kuliko kujadili hoja ya katiba yenyewe hali ya kuwa wao hawakuwa wanasiasa.

“Ndugu zetu hawa wamelitia aibu taifa kwa matusi, kejeri, vijembe n a m e n g i n e m e n g i , isitoshe hali ilifika pabaya zaidi, baada ya baadhi ya viongozi wa serikali kudiriki kuchonganisha Dini na Serikali kwa mambo yasiyo ya kweli, jambo hili limewaudhi wengi” alisema Mzee

Joshua Thomas kwa masikitiko.

“ H u s u s a n i u k i w a wewe unajitambua kuwa ni Mtanzania mwenye upendo na nchi yako mpenda ukweli haya y a l i z u n g u m z w a n a baadhi ya Wananchi walio zungumza na gazeti hili kwanya kati tofauti.

Inaendelea Uk. 15