Upload
brinda
View
539
Download
32
Embed Size (px)
DESCRIPTION
NAFASI YA MWANAUME KATIKA ULIMWENGU WA UTANDAWAZI. Mwl . Mgisa Mtebe +255 713 497 654 www.mgisamtebe.org. MBINU ZA MAISHA BORA KATIKA MISINGI YA NENO LA MUNGU. ( Jamii , Uchumi na ) Maendeleo. Jamii , Uchumi na Maendeleo. Utandawazi ni nini ?. Nafasi ya Mwanaume katika Jamii. - PowerPoint PPT Presentation
Citation preview
NAFASI YA
MWANAUME KATIKA ULIMWENGU
WA UTANDAWAZI
Mwl. Mgisa Mtebe+255 713 497 654
www.mgisamtebe.org
MBINU ZA MAISHA BORA KATIKA MISINGI YA NENO LA MUNGU
( Jamii, Uchumi na ) Maendeleo
Jamii, Uchumi na Maendeleo
Utandawazi ni nini?
Nafasi ya Mwanaume katika Jamii
Utandawazi ni nini?Ni mfumo wa maisha ya jamii
ya ulimwengu mzima kuingiliana katika namna ya
kuwa kama jamii moja.
Nafasi ya Mwanaume katika Jamii
Utandawazi ni nini?Ni mabadiliko katika mifumo
ya kimaisha inayohusu;Jamii, Siasa, Elimu na Uchumi
(Social-Political Economy)
Utandawazi ni nini?Ni mabadiliko katika;
1. Ongezeko kubwa la Maarifa2. Msukumo mpya Kisiasa3. Mabadiliko ya Sera za uchumi4. Uhuru wa Mipaka ya nchi5. Mwingiliano wa Kitamaduni
Utandawazi
Utandawazi ni nini?Daniel 10:4
“Lakini wewe Daniel, yafunge maneno haya, ukakitie
muhuri kitabu, hata wakati wa mwisho…”
Utandawazi
Utandawazi ni nini?Daniel 10:4
“… (kwa maana) wengi watakwenda mbio huku na huko, na maarifa (duniani)
yataongezeka.”
Utandawazi ni nini?Ni mabadiliko katika;
1. Ongezeko kubwa la Maarifa.Ndani ya miaka 300 ya mwisho,
mwanadamu amefanya uvumbuzi mkubwa kitaalamu,
kuliko katika miaka 1900 aliyoishi katika kalenda mpya.
Utandawazi ni nini?Ni mabadiliko katika;
1. Ongezeko kubwa la Maarifa.Kasi kubwa zaidi ya maendeleo, imefanyika katika miaka 100 ya mwisho (1900-2000), ambapo
mwanadamu amefanya uvumbuzi mkubwa sana duniani.
Utandawazi ni nini?Ni mabadiliko katika;
1. Ongezeko kubwa la Maarifa.• Mashine za kazi (operation Machine)• Usafiri; Meli na Ndege (Ships & Jets)• Umeme mdogo zaidi (electronics)• Miale ya umeme mdogo (laser beams)• Mawasiliano ya mawimbi (tele-www)
Utandawazi ni nini?Ni mabadiliko katika;
Ongezeko kubwa la Maarifa2. Msukumo mpya Kisiasa
Utandawazi ni nini?Ni mabadiliko katika;
2. Msukumo mpya KisiasaKuanguka kwa ukomunisti katika jamii nyingi za kimataifa, kulitia nguvu sana mfumo wa kibepari
wa mataifa ya magharibi kuingia katika jamii mbalimbali.
Utandawazi ni nini?Ni mabadiliko katika;
Ongezeko kubwa la Maarifa Msukumo mpya Kisiasa3. Mabadiliko ya Sera za uchumi
Utandawazi ni nini?Ni mabadiliko katika;
3. Mabadiliko ya Sera za Uchumi.Mataifa mengi kupokea mifumo
ya uchumi iliyozingatia zaidi uchumi wa kibinafsi, uhuru wa
kibiashara, ushindani wa kitaaluma, umoja wa soko, n.k.
Utandawazi ni nini?Ni mabadiliko katika;
Ongezeko kubwa la Maarifa Msukumo mpya Kisiasa Mabadiliko ya Sera za uchumi4. Uhuru wa Mipaka ya nchi
Utandawazi ni nini?Ni mabadiliko katika;
4. Uhuru wa Mipaka ya Nchi.Mataifa yalidai kubadilishwa
kwa sera za mipaka ya kitaifa na kutaka uhuru zaidi wa mataifa
kuingiliana katika hali za kisiasa, kiutamaduni na kibiashara.
Utandawazi ni nini?Ni mabadiliko katika;
Ongezeko kubwa la Maarifa Msukumo mpya Kisiasa Mabadiliko ya Sera za uchumi Uhuru wa Mipaka ya nchi5. Mwingiliano wa Kitamaduni
Utandawazi ni nini?Ni mabadiliko katika;
5. Mwingiliano wa Kitamaduni.Ongezeko kubwa la maarifa na Uhuru wa mipaka, viliwezesha
sana, mwingiliano wa kimataifa na kuathiri sana tamaduni za
jamii, vizuri na vibaya (+ve/-ve).
Jamii, Uchumi na Maendeleo
Uchumi ni nini?
Uchumi na Maendeleo
Uchumi ni namna (maarifa) ya mtu kutumia rasilimali
zilizopo kwa madhumuni ya kutimiza mahitaji na
matakwa yake kwa njia nafuu /bora zaidi.
Uchumi na Maendeleo
Mahitaji Rasilimali
Matakwa
Uchumi na Maendeleo
Maendeleo ni hali ya mtu kutoka katika kiwango cha
maisha duni na kupiga hatua kuishi katika kiwango cha
maisha bora zaidi.
Uchumi na Maendeleo
Maisha Duni Sana
Uchumi na Maendeleo
Maisha DuniMaisha Duni Sana
Uchumi na Maendeleo
Maisha Wastani Maisha DuniMaisha Duni Sana
Uchumi na Maendeleo
Maisha Bora Maisha Wastani Maisha DuniMaisha Duni Sana
Uchumi na Maendeleo
Maisha Bora Zaidi Maisha Bora Maisha Wastani Maisha DuniMaisha Duni Sana
Uchumi na Maendeleo
Maisha Bora Zaidi Maisha Bora Maisha Wastani Maisha DuniMaisha Duni Sana
Misingi ya Kijamii (Kifamilia)
Misingi ya Kijamii (Kifamilia)
Mwanzo 1:26-28
Misingi ya Kijamii (Kifamilia)
Mwanzo 1:26-28‘Tufanye mtu kwa sura yetu na
mfano wetu, wakatawale samaki wa baharini, ndege wa andani na
kila kiumbe kilichoumbwa, kiendacho juu ya uso wa dunia.’
Misingi ya Kijamii (Kifamilia)
Mwanzo 1:26-28‘Mungu akaumba Mwanaume na Mwanamke, akawaweka katika
bustani na kuwabariki, akawaambia, Zaeni na
kuongezeka, na kuitiisha dunia.
Misingi ya Kijamii (Kifamilia)
Mwanzo 1:26-28‘Mungu akaumba Mwanaume na Mwanamke, akawaweka katika
bustani na kuwabariki, akawaambia, Zaeni na
kuongezeka, na kuitiisha dunia.
Misingi ya Kijamii (Kifamilia)
Mabadiliko ya Kijamii
Mabadiliko katika Jamii za Dunia
Ongezeko la Uhalifu na UbayaWarumi 1:18-32Warumi 3:10-182Timotheo 3:1-9Mwanzo 6:1, 5-8
2Petro 2:4-22
Mabadiliko katika Jamii za Dunia• Ongezeko la Uhalifu na Ubaya• Tamaa, Uporaji, Ubakaji, Mauaji • Magonjwa ya Zinaa/Yasiyotibika• Ukatili wa Kijinsia/Kifamilia• Kuvunjika kwa Nyumba/Ndoa• Uwiano wa Watoto Vs Familia
Mabadiliko ya Kijamii:
Mathayo 24:36-39‘Kwa maana kama vile
ilivyokuwa katika siku za Nuhu, ndivyo itakavyokuwa siku za kurudi mwana wa Adamu’
Mabadiliko ya Kijamii:
Mathayo 24:36-39‘Kwa maana watu walikuwa
wakila na kunywa, wakioa na kuoana; hata siku ile Nuhu
alipoingia katika Safina; na wao wasitambue, hata gharika
ikawakuta, wakachukiliwa wote.
Mabadiliko ya Kijamii:
Historia ya Sodoma na Gomora, yajirudia duniani. Mmomonyoko
wa maadili wakirithiri, ukichochea zaidi mgongano au
janga la kijinsia, kati ya Wanaume na Wanawake.
(Male-Female/Gender Crisis)
Nafasi ya Mwanaume katika Utandawazi
Mabadiliko ya Kijamii:Habari halisi (facts) zinathibitisha
kwamba; Jamii yetu ina janga (mgongano) mkubwa wa kijinsia (Male-Cause) katika maswala ya; Jamii, Imani na Mila/Utamaduni.(Social, Believes and Culture Crisis)
Mabadiliko ya Kijamii.
Serikali zote za dunia, zimekiri kufeli kwa uwezo wa sera, kanuni na fikra (theory) juu ‘binadamu’ (humanity) katika kubadili tabia na kuzitiisha, ikiwa ni juhudi za
kujaribu kuleta ustawi na usalama zaidi.
Mabadiliko ya Kijamii
Ukweli usiopingika (Facts) unaonyesha wazi kwamba,
Wanaume wamechangia kwa kiasi kikubwa katika kuyumba
kwa ulimwengu, kijamii na kisiasa na kiuchumi.
(Global Social-Political Instability)
Mabadiliko ya Kijamii
Asilimia 97% ya waliofungwa jela leo kwa makosa mbalimbali, ni
wanaume. Makosa ya Udanganyifu, Wizi, Mauaji,
Ubakaji, Ukatili, n.k. ni mambo yanayofanywa na wanaume
zaidi. (Male dominant crimes)
Nafasi ya Mwanaume katika Utandawazi
Mabadiliko ya Kijamii:Habari halisi (facts) zinathibitisha
kwamba; Jamii yetu ina janga (mgongano) mkubwa wa kijinsia (Male-Cause) katika maswala ya; Jamii, Imani na Mila/Utamaduni.(Social, Believes and Culture Crisis)
Nafasi ya Mwanaume katika Utandawazi
Mabadiliko ya Kijamii:Ni kwasababu; Mwanaume ndiye
aliye kichwa cha jamii zote za dunia. Vile Mwanaume
aendavyo, ndivyo familia iendavyo, ndivyo jamii na dunia
nzima itakavyokwenda.
Nafasi ya Mwanaume katika Utandawazi
Mabadiliko ya Kijamii:Kwahiyo; matatizo makubwa ya
• Kifamilia• Kijamii na • Kitaifa
Chanzo ni Mwanaume kiongozi jamii hiyo.
Nafasi ya Mwanaume katika Utandawazi
Taifa
Jamii
Familia
Mwanaume
Mgongano wa Kijamii
Mabadiliko ya Kijamii:Ni mabadiliko katika mifumo
ya kimaisha inayohusu;Jamii, Siasa, Elimu na Uchumi
(Social-Political Economy)
Mgongano wa Kijinsia Kijamii
Mabadiliko yanayotokea: (i) Kijamii (Socially);
Wanawake wanavyozidi kukua kiidadi na pia katika
kuongoza familia.
Mgongano wa Kijinsia Kijamii
Mabadiliko yanayotokea: (ii) Kijamii (Socially);
Wanawake wanavyozidi kukua kiidadi, katika
kuongoza familia na ngazi za maamuzi katika taasisi.
Mgongano wa Kijinsia Kijamii
Mabadiliko yanayotokea: (ii) Kisiasa (Politically); Wanawake wanavyozidi kukua katika uwakilishi
serikalini na katika nyanja za kisiasa (Gender Equality).
Mgongano wa Kijinsia Kijamii
Mabadiliko yanayotokea: (iii) Kielimu (Professionally);
Wanawake wanavyozidi kukua katika elimu, maarifa
na sekta za utaalamu. (Equal Opportunities).
Mgongano wa Kijinsia Kijamii
Mabadiliko yanayotokea: (iii) Kiuchumi (Econimically)
Wanawake wanavyozidi kukua katika uwezo wa
kiuchumi na matunzo ya familia. (Bread Winning)
Mabadiliko katika Kijamii
Wajibu wa Kijamii (Social Roles) hazitafsiriki tena
kijinsia, bali kila mwenye fursa na uwezo, ameshika wajibu fulani katika jamii.(Masculinity-Ferminity Roles)
Mabadiliko ya Kijinsia katika Kijamii
Zamani Leo/Sasa Baba Kiongozi Mama Kiongozi Baba Mlinzi Mama Mlinzi Baba Dereva Mama Dereva Baba Daktari Mama Daktari Baba Boss Mama Boss Adam Kuchumbia Eva Anachumbia
Mabadiliko ya Kijinsia katika Kijamii
Zamani Vs Leo/Sasa Mchezo wa Soka, Karate, Tabia Mbaya za Kutongoza Tabia mbaya za Sigara Makosa ya Kubaka
Mgongano wa Kijinsia katika Jamii
Mabadiliko ya Kijamii:Ni mabadiliko katika mifumo
ya kimaisha inayohusu;Jamii, Siasa, Elimu na Uchumi
(Social-Political Economy)
Mgongano wa Kijinsia katika Jamii
Mabadiliko ya Kijamii:Mabadiliko haya yanawaacha
wanaume wengi wamechanganyikiwa, wasijue
tena nafasi zao katika jamii zao.(Manhood, Masculinity and
Fatherhood)
These social-political and economical changes leave men;
• frustrated, • confused and • Dissapointed,
Unable to properly define who they really are in the society
Mgongano wa Kijinsia katika Jamii
Matatizo Makubwa Kijamii:Chanzo chake ni Wanaume
‘Kutojitambua’.Hali mbaya katika jamii
zimewalazimu wanawake kupigana kuokoka familia.
Mgongano wa Kijinsia katika Jamii
Matatizo Makubwa Kijamii:Chanzo chake ni Wanaume
Kutojitambua.Hali mbaya katika jamii
zimeilazimu mikono kufanya kazi ya kutembea.
Mgongano wa Kijinsia katika Jamii
Rediscovery of Purpose:Tiba ya matatizo haya yote si ubabe na fujo (au kuanzisha
chama cha wanaume), bali ni kumrudisha mwanaume katika
Kujitambua na Kuutambua Kusudi la Ki-Mungu katika jamii.
Misingi ya Kijamii (Kifamilia)
Chachu za Mabadiliko.• Maumbile, • Mazingira na • Nyakati
Mgongano wa Kijinsia katika JamiiRediscovery of Purpose (Kusudi):(i) Kimaumbile (Biologically).
Mwanaume amekuwa kiongozi wa jamii tangu zamani, na ameumbwa
mkakamavu na mwenye nguvu zaidi, kwasababu mazingira ya
awali aliyoishi mtu yalikuwa korofi na magumi (virgin land).
Mgongano wa Kijinsia katika Jamii(i) Kimaumbile (Biologically).Mwanamke ameumbwa kama msaidizi wa kiongozi wa jamii,
kuzaa watoto na kuwatunza vizuri, na ndio maana haikumlazimu
kupewa mwili mkakamavu kama wa mwanaume.
(1Wakorintho 11:7-12)
Rediscovery of Purpose (Kusudi):(ii) Mapambano ya Kuishi
(Struggle for Survival).Mwanaume ameumbwa
mkakamavu na mwenye mabavu zaidi, ili aweze kupambana
kwasababu mazingira ya awali aliyoishi mtu yalikuwa korofi na
magumi (virgin land).
Rediscovery of Purpose (Kusudi):(ii) Mapambano ya Kuishi
(Struggle for Survival).Mwanamke ameumbwa mpole na
mtaratibu, ili aweze kulea na kuitunza familia vizuri. Hivyo tabia zake na mwitikio wake ni maalum kabisa kulea watoto wa familia.
Misingi ya Kijamii (Kifamilia)
Chachu za Mabadiliko.• Maumbile, • Mazingira na • Nyakati
Rediscovery of Purpose (Kusudi):* Mabadiliko ya Wakati
(a) Kwasababu ya Mazingira Rahisiyanayotawalika kwa technologia za juu zaidi, hatari ya familia kuwepo bila mtu mwenye mwili wa mabavu
na mkakamavu, imepungua sana (kama si kutoweka).
Rediscovery of Purpose (Kusudi):• Mabadiliko ya Wakati
(b) Kwasababu ya Ongezeko la watu linahatarisha utoshevu wa rasilimali za dunia, watu wanapunguza sana
kuzaa (idadi ya watoto). Hivyo kusudi la mwanamke kubaki
nyumbani, linapungua.
Rediscovery of Purpose (Kusudi):• Mabadiliko ya Wakati
(c) Kwasababu ya Kusudi kuachwa • Wanaume hawatunzi familia• Wanawake wanalazimika
kujipigania kifamilia• Watoto wa Kike wanalelewa
kitahadhari, ili kujitegemea.
Rediscovery of Purpose (Kusudi):Mpango wa Mungu kwa Jamii.
Malaki 4:5-6“Tazama, Namtuma Mjumbe
wangu Eliya, ili kuirejeza mioyo ya wababa, kuwaelekea watoto
wao, na mioyo ya watoto, kuwaelekea baba zao”.
Rediscovery of Purpose (Kusudi):Mpango wa Mungu
kwa Nykati hizi
Malaki 4:5-6Tatizo sio Wamama zaidi;Tatizo kubwa ni Wababa.
Misingi ya Kijamii (Kifamilia)
Kusudi la Mungu kwa Mwanaume katika
Jamii/familia.
Rediscovery of Purpose (Kusudi):Kusudi la Mungu kwa Mwanaume.1. Kubeba Sura na Mfano wa
Mungu duniani.
Rediscovery of Purpose (Kusudi):Kusudi la Mungu kwa Mwanaume.1. Kubeba Sura na Mfano wa
Mungu duniani.1Wakorintho 11:7-12
Mwanaume ni Utukufu (Sura na Mfano) wa Mungu. Mwanamke ni
Utukufu (Sura) wa Mwanaume.
Rediscovery of Purpose (Kusudi):Kusudi la Mungu kwa Mwanaume.1. Kubeba Sura na Mfano wa
Mungu duniani.Mathayo 6:9-10
Mungu anajitambulisha kama Baba yetu aliye mbinguni na sio kama
Mama yetu aliye mbinguni.
Rediscovery of Purpose (Kusudi):Kusudi la Mungu kwa Mwanaume.1. Kubeba Sura na Mfano wa
Mungu duniani.1Wakorintho 11:7-12
Yesu ni Utukufu wa Mungu, na alikuja kama Joshua na sio Jenifa.
(Isaya 9:6, Math 1:20-21)
Rediscovery of Purpose (Kusudi):Kusudi la Mungu kwa Mwanaume.2. Kumiliki na Kutawala Dunia.
Rediscovery of Purpose (Kusudi):Kusudi la Mungu kwa Mwanaume.2. Kumiliki na Kutawala Dunia.
Mwanzo 2:7-8, 15-23Wajibu wa kuitunza na kuitawala dunia alipewa Adamu na sio Eva.
Rediscovery of Purpose (Kusudi):Kusudi la Mungu kwa Mwanaume.2. Kumiliki na Kutawala Dunia.
Mwanzo 3:6-9Anguko la Mwanadamu
halikutokea baada ya Eva kutokutii kwa kula tunda, bali ni baada ya Adamu kutokutii kwa kula tunda.
Rediscovery of Purpose (Kusudi):Kusudi la Mungu kwa Mwanaume.2. Kumiliki na Kutawala Dunia.
Mwanzo 3:6-9Mungu alipokuja kuwatafuta,
akumwita Eva kwanza, bali alimwita, Adam kwanza.
Rediscovery of Purpose (Kusudi):Kusudi la Mungu kwa Mwanaume.3. Kutafsiri Neno la Mungu kwa
Familia/Jamii (Maagizo).
Rediscovery of Purpose (Kusudi):Kusudi la Mungu kwa Mwanaume.3. Kutafsiri Neno la Mungu kwa
Familia/Jamii (Maagizo).Mwanzo 2:15-16
Mungu alimpa Adam Maagizo; wakati huo Eva hayupo duniani
katika mwili wake.
Rediscovery of Purpose (Kusudi):Kusudi la Mungu kwa Mwanaume.3. Kutafsiri Neno la Mungu kwa
Familia/Jamii (Maagizo).Mwanzo 3:1-3-9
Eva alimjibu shetani, kutoka katika Maelekezo aliyopewa na
Adamu, sio na Mungu.
Kusudi la Mungu kwa Wanaume4. Kushinda na Kufanikiwa duniani.
Kusudi la Mungu kwa Wanaume4. Kushinda na Kufanikiwa duniani.
Mwanzo 1:26-28“akawabariki, akawaambia,
zaeni mkaongezeke, na kuitiisha dunia.”
Kusudi la Mungu kwa Wanaume4. Kushinda na Kufanikiwa duniani.
Mwanzo 1:26-28“akawabariki, akawaambia,
zaeni mkaongezeke, na kuitiisha dunia.”
Zaeni = Fruitful (Kustawi)Quality = (Ubora)
Kusudi la Mungu kwa Wanaume5. Kuzalisha Sura ya Mungu na
kuijaza dunia.(Multiplication of the God Nature
and Glory on planet earth).
Kusudi la Mungu kwa Wanaume5. Kushinda na Kufanikiwa duniani.
Mwanzo 1:26-28“akawabariki, akawaambia,
zaeni mkaongezeke, na kutiisha
Kusudi la Mungu kwa Wanaume5. Kushinda na Kufanikiwa duniani.
Mwanzo 1:26-28“akawabariki, akawaambia,
zaeni mkaongezeke, na kutiisha
Mkaongezeke = Multiply Quantity = (Idadi)
Kusudi la Mungu kwa Wanaume6. Kuzalisha Sura ya Mungu na
kuijaza dunia.
Kusudi la Mungu kwa Wanaume6. Kuzalisha Sura ya Mungu na
kuijaza dunia.Matendo 17:24-26-28
Mungu alitengeneza vizazi na vizazi vya wanadamu kutoka kwa
mtu mmoja tu (Adam) na sio wawili (Adam na Eva).
Kusudi la Mungu kwa Wanaume6. Kuzalisha Sura ya Mungu na
kuijaza dunia.Matendo 17:24-26-28
Mungu alitengeneza vizazi na vizazi vya wanadamu kutoka kwa
mtu mmoja tu (Adam) na sio wawili (Adam na Eva).
Kusudi la Mungu kwa Wanaume6. Kuzalisha Sura ya Mungu na
kuijaza dunia.Mwanzo 2:18-25
Mungu alimtoa Eva ndani ya Adam; na sio Adam ndani ya Eva.
(1Wakorintho 11:7-12)
Kusudi la Mungu kwa Wanaume6. Kuzalisha Sura ya Mungu na
kuijaza dunia.Mwanzo 2:18-25
Ni wajibu wa Baba (mwanaume) kuhakikisha familia/uzazi wake
unabeba sura na mfano wa Mungu duniani.
Rediscovery of Purpose (Kusudi):Mpango wa Mungu kwa Jamii.
Malaki 4:5-6“Tazama, Namtuma Mjumbe
wangu Eliya, ili kuirejeza mioyo ya wababa, kuwaelekea watoto
wao, na mioyo ya watoto, kuwaelekea baba zao”.
Kusudi la Mungu kwa Wanaume7. Kumpenda na kumtunza Mke
uliyepewa na Mungu.
Kusudi la Mungu kwa Wanaume7. Kumpenda na kumtunza Mke
uliyepewa na Mungu.Mwanzo 2:18-25
Ni wajibu wa Baba (mwanaume) kumpenda mke wake kama
mwila wake mwenyewe.(Waefeso 5:25-33)
Kusudi la Mungu kwa Wanaume7. Kumpenda na kumtunza Mke
uliyepewa na Mungu.1Wakorintho 11:7-12
Mke ni Utukufu wa Mwanaume; mke sio jembe lako wala sio
punda wako.(Waefeso 5:25-33)
Kusudi la Mungu kwa Wanaume7. Kumpenda na kumtunza Mke
uliyepewa na Mungu.Waefeso 5:25-33
Kama Yesu alivyojitoa kwa ajili ya Kanisa (Bibi Arusi wake) vivyo hivyo, yawapasa Waume kujitoa (Sacrifice) kwa ajili ya wake zao.
Kusudi la Mungu kwa Wanaume1. Kubeba Asili ya Mungu2. Kumiliki na Kutawala3. Kutafsiri Maagizo ya Mungu4. Kushinda na Kufanikiwa 5. Kuzaa na Kuongezeka6. Kuongeza Utukufu 7. Kumpenda Mke wake
Mgongano wa Kijinsia katika Jamii
Mabadiliko ya Kijamii:Ni mabadiliko katika mifumo
ya kimaisha inayohusu;Jamii, Siasa, Elimu na Uchumi
(Social-Political Economy)
Mgongano wa Kijinsia katika Jamii
Mabadiliko ya Kijamii:Mabadiliko haya yanawaacha
wanaume wengi wamechanganyikiwa, wasijue
tena nafasi zao katika jamii zao.(Manhood, Masculinity and
Fatherhood)
These social-political and economical changes leave men;
• frustrated, • confused and • Dissapointed,
Unable to properly define who they really are in the society
Mgongano wa Kijinsia katika Jamii
Matatizo Makubwa Kijamii:Chanzo chake ni Wanaume
‘Kutojitambua’.Hali mbaya katika jamii
zimewalazimu wanawake kupigana kuokoka familia.
Mgongano wa Kijinsia katika Jamii
Matatizo Makubwa Kijamii:Chanzo chake ni Wanaume
Kutojitambua.Hali mbaya katika jamii
zimeilazimu mikono kufanya kazi ya kutembea.
Mgongano wa Kijinsia katika Jamii
Rediscovery of Purpose:Tiba ya matatizo haya yote si ubabe na fujo (au kuanzisha
chama cha wanaume), bali ni kumrudisha mwanaume katika
Kujitambua na Kuutambua Kusudi la Ki-Mungu katika jamii.
Mgongano wa Kijinsia katika Jamii
Rediscovery of Purpose:Tiba ya matatizo haya yote ni
kumrudisha mwanaume katika Kujitambua na Kuutambua
Kusudi la Ki-Mungu katika jamii.“Kamwe, kadogo hawezi
kuwa dumba.”
Misingi ya Kijamii (Kifamilia)
Mambo ya Mwanaume Kuzingatia katika Familia na Jamii.
Kusudi la Mungu kwa Wanaume
Mambo Muhimu Kuzingatia
1. Priority (Kipaumbele.)2. Power (Utukufu).3. Position (Mamlaka.)
Kusudi la Mungu kwa Wanaume1. Priority (Kipaumbele).
Mungu Kwanza.
Kusudi la Mungu kwa Wanaume1. Priority (Kipaumbele).
Mungu Kwanza.(Mwanzo 3:17-19)
‘Kwakuwa umemsikiliza mke (kwanza, kabla ya Mimi),
umepotoka kirahisi na sasa dunia imelaaniwa kwasababu yako’.
Kusudi la Mungu kwa Wanaume1. Priority (Kipaumbele).
Mungu Kwanza.(Mathayo 6:32-33)
“Utafuteni kwanza Ufalme wa Mungu, na hayo mengine yote,
mtazidishiwa.”
Kusudi la Mungu kwa Wanaume1. Priority (Kipaumbele).
Mungu Kwanza.(Kwa Mfano wa Yesu);
Marko 1:35“Alfajiri na mapema, alikwenda
mahali pasipokuwa na watu, akaomba huko.”
Kusudi la Mungu kwa Wanaume1. Priority (Kipaumbele).
Mungu Kwanza.(Kwa Mfano wa Yesu);
Mathayo 14:22-23‘Akawafukuza wageni,
akawalazimisha kuondoka, ili apate muda wa kuongea na Mungu.’
Kusudi la Mungu kwa Wanaume1. Priority (Kipaumbele).
Mungu Kwanza.(Kwa Mfano wa Yesu);
Luka 18:1-2‘Walipokwenda kila mtu nyumbani
kwake (usiku), Yesu alikwenda mlima wa mizeituni kuomba’
Kusudi la Mungu kwa Wanaume1. Priority (Kipaumbele).
Mungu Kwanza.(Kwa Mfano wa Yesu);
Luka 6:12-19‘Akakesha usiku kucha katika kumwomba Mungu; asubuhi,
akachagua ‘business partners.’
Kusudi la Mungu kwa Wanaume1. Priority (Kipaumbele).
Mungu Kwanza.(Kwa Mfano wa Yesu);
Uwezo wa kufanya maamuzi sahihi, ni kuwa connected na
Mungu vizuri.
Kusudi la Mungu kwa Wanaume2. Power (Uweza na Nguvu).
Nguvu ya Mungu.
Kusudi la Mungu kwa Wanaume2. Power (Uweza na Nguvu).
Nguvu ya Mungu.(Kwa Mfano wa Yesu);
Luka 6:12-19‘Akakesha usiku kucha katika kumwomba Mungu; asubuhi,
akatembea na Nguvu za ajabu.’
Kusudi la Mungu kwa Wanaume2. Power (Uweza na Nguvu).
Nguvu ya Mungu.(Kwa Mfano Mfalme Daudi);
1Samwel 16:13-23‘Roho wa Bwana, akamjia Daudi kwa Nguvu (za ajabu), akapiga muziki, na mapepo yakimbia.’
Kusudi la Mungu kwa Wanaume2. Power (Uweza na Nguvu).
Nguvu ya Mungu.(Kwa Mfano Mfalme Daudi);
1Samwel 17:31-37‘Kwa Nguvu (za ajabu), aliua simba, dubu na Goliati, akiwa na umri wa
miaka 17 tu.’
Kusudi la Mungu kwa Wanaume2. Power (Uweza na Nguvu).
Nguvu ya Mungu.(Kwa Mfano Mfalme Daudi);
1Samwel 17:31-37‘Kipawa chako kitaoneka na
kukutukuza katika jamii, ikiwa utatafuta Nguvu za Mungu.’
Kusudi la Mungu kwa Wanaume2. Power (Uweza na Nguvu).
Nguvu ya Mungu.
Zaburi 8:4-8‘Kipawa chako kitaoneka na
kukutukuza katika jamii, ikiwa utatafuta Nguvu za Mungu.’
Kusudi la Mungu kwa Wanaume3. Position (Cheo/Nafasi).
Mamlaka yako.
Kusudi la Mungu kwa Wanaume3. Position (Cheo/Nafasi).
Mamlaka yako.
Zaburi 8:4-8‘Ukipoteza Nguvu (Utukufu) unapoteza cheo (mamlaka).’
Kusudi la Mungu kwa Wanaume
Ili Mwanadamu aweze kulitimiza Kusudi la Mungu vizuri, Mungu
alimpa Mwanadamu Mamlaka ya Kumiliki na Kutawala mazingira
yake, ili awe na maisha mazuri ya kumtumikia Mungu kama vyombo vizuri vya ibada.
Kusudi la Mungu kwa WanaumeEbr 11:3; Zab 8:4-8
Mungu ameutengeneza ulimwengu wa mwili (dunia)
katika namna kwamba, ulimwengu wa mwili utatawaliwa
kwa nguvu za kiroho. (ulimwengu wa roho)
Kusudi la Mungu kwa WanaumeWarumi 3:23/Warumi 5:12-19
Mwanadamu alipofanya dhambi, alipoteza mamlaka ya Mungu katika ulimwengu wa roho na
kushindwa kuutawala ulimwengu wa mwili; badala yake,
ulimwengu wa mwili ukamtawala mwanandamu.
Kusudi la Mungu kwa Wanaume
KABLA YA DHAMBI UTARATIBU ULIKUWA HIVI
Kusudi la Mungu kwa Wanaume
Utukufu (Msaada) Mungu Mwili Roho Dunia NafsiShetani
Kusudi la Mungu kwa Wanaume KABLA YA DHAMBI “Mashal”
Zab 8:4-8
ADAM
MALAIKA
DUNIA
SHETANI
Mkuu
Mfalme
Mtawala
Mwakilishi
mungu
MUNGU
Kusudi la Mungu kwa WanaumeZaburi 8:4-8, Mwanzo 1:26-28
Mwanadamu ni nani hata umwangalie kwa kiasi hiki? Umemfanya ‘punde kidogo’
kuliko Mungu, ukamvika taji ya ‘Utukufu’ na Heshima; kisha
ukamtawaza ‘Juu ya’ kazi zote za mikono yako …
Kusudi la Mungu kwa WanaumeZaburi 8:4-8, Mwanzo 1:26-28
… na ukaviweka vitu vyote ulivyoviumba wewe, ‘chini ya’ miguu yake; wanyama wote,
ndege wote, samaki na kila kitu kipitacho katika njia za maji.
Kusudi la Mungu kwa Wanaume
KABLA YA DHAMBI “Mashal”
Zab 8:4-8
ADAM
MALAIKA
DUNIA
SHETANI
Mkuu
Mfalme
Mtawala
Mwakilishi
mungu
MUNGU
Kusudi la Mungu kwa Wanaume
Utukufu (Msaada) Mungu Mwili Roho Dunia NafsiShetani
Kusudi la Mungu kwa Wanaume
BAADA YA DHAMBI MAMBO YAKAWA HIVI
Kusudi la Mungu kwa Wanaume
Msaada Ukakatika Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani
Kusudi la Mungu kwa Wanaume3. Position (Cheo/Nafasi).
Mamlaka yako.
Warumi 3:23‘Wanadamu wote wamefanya dhambi, na kupungukiwa na Utukufu (Uweza) wa Mungu.’
MAMLAKA YA MKRISTO
BAADA YA DHAMBI
SHETANI ALITAPELI NAFASI YA ADAM
SHETANI
MALAIKA
DUNIA
ADAM
MUNGU
MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI
Shetani akakaa katika nafasi ya Adam na
akavaa vyeo vyote vya Adam
Yohana 16:11
SHETANI
MALAIKA
DUNIA
ADAM
Mkuu
Mfalme
Mtawala
Mwakilishi
mungu
Waefeso 2:1-2
1Yohana 5:19
Luka 4:5-8
2Korintho 4:3-4
MUNGU
Mamlaka ya shetani ulimwenguni
Efe 2:1-2 – Mfalme wa anga2Kor 4:4 – Mungu wa dunia hii1Yoh 5:19 – Mtawala (Controler) Yoh 12:31 – Mkuu wa UlimwenguYoh 14:30 – Mkuu wa UlimwenguYoh 16:11 – Mkuu wa Ulimwengu
MAMLAKA YA MKRISTO
BAADA YA DHAMBI
Warumi 5:12, 14 Waebrania 2:14, 15
Yohana 16:11
SHETANI
MALAIKA
DUNIA
ADAM
Mkuu
Mfalme
Mtawala
Mwakilishi
mungu
Waefeso 2:1-2
1Yohana 5:19
Luka 4:5-8
2Korintho 4:3-4
MUNGU
Kusudi la Mungu kwa Wanaume
BAADA YA WOKOVU MAMBO YAKAWA HIVI
BAADA YA WOKOVU (KALVARI)
(Utukufu) Uhusiano Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani
MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA WOKOVU
Waefeso 2:1-6 Waefeso 1:18-23
MALAIKA
SHETANI
DUNIA
ADAM - 1
Mkuu
Mfalme
Mtawala
Mwakilishi
mungu
MUNGU + ADAM - 2
BAADA YA WOKOVU (KALVARI)
(Utukufu) Roho Mt. Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani (Rum 8:9-11)
MAMLAKA YA MKRISTO
Ufunuo 5:9-109 Wewe unastahili kukitwaa kitabu
na kuzivunja lakiri zake, kwa sababu ulichinjwa na kwa damu yako ukamnunulia Mungu watu
kutoka katika kila kabila, kila lugha, kila jamaa na kila taifa (kanisa).
MAMLAKA YA MKRISTO
Ufunuo 5:9-1010 Nawe umewafanya hawa
wawe Ufalme na Makuhani wa kumtumikia Mungu wetu, nao
wanamiliki dunia.’’
Kusudi la Mungu kwa WanaumeMwanzo 1:26-28/Zaburi 8:4-8
Mungu aliitengeneza dunia katika namna kwamba, ulimwengu wa
mwili, utatawaliwa kwa mamlaka ya Mungu kutoka katika
Ulimwengu wa roho.
Kusudi la Mungu kwa WanaumeWarumi 3:23/Warumi 5:12-19
Mwanadamu alipofanya dhambi, alipoteza mamlaka ya Mungu katika ulimwengu wa roho na
kushindwa kuutawala ulimwengu wa mwili; badala yake,
ulimwengu wa mwili ukamtawala mwanandamu.
Kusudi la Mungu kwa WanaumeWaefeso 2:1-6/Ufunuo 5:8-10
Lakini Mtu anapotubu dhambi zake na kuupokea Wokovu wa Bwana Yesu Krsito, anaunganishwa tena na Mungu na kupewa mamlaka
makuu zaidi, kuliko yale aliyoyapoteza Adam na Eva
katika bustani ya Eden.
Kusudi la Mungu kwa WanaumeWaefeso 1:18-23/2:1-6Mungu wetu, hataweza kukurithisha mamlaka ya
Ulimwengu wa roho ili uweze kuleta mabadiliko katika
ulimwengu wa mwili, kama hajazaliwa mara ya pili, kwa njia
ya Wokovu wa Yesu Kristo.
Kusudi la Mungu kwa Wanaume
Laikini …Kila mtu amwaminiye Yesu Kristo, na Wokovu wake, anaunganishwa
tena na Mungu, katika utu wa ndani, ambao pale mwanzo
ulivunjika kwa ile dhambi ya Adam na Eva kule katika bustani ya Eden.
Kusudi la Mungu kwa Wanaume
Baada ya Wokovu, mtu wa Mungu huyo, anajazwa Roho Mtakatifu na Nguvu zake, ili
kumrudishia mamlaka na uweza tuliyopoteza katika bustani ya
Eden, kwa njia ya dhambi.
Kusudi la Mungu kwa Wanaume
(Utukufu) Roho Mt. Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani (Rum 8:9-11)
Kusudi la Mungu kwa Wanaume3. Position (Cheo/Nafasi).
Mamlaka yako.
Zaburi 8:4-8‘Ukipoteza Nguvu (Utukufu) unapoteza cheo (mamlaka).’
Kusudi la Mungu kwa Wanaume
Mambo Muhimu Kuzingatia
1. Priority (Kipaumbele.)2. Power (Utukufu).3. Position (Mamlaka.)
KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI
(Uchumi na Maendeleo)
KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI
Isaya 1:18-19 18 Njooni tusemezane asema
Bwana, dhambi zenu zijapokuwa nyekundu sana
zitakuwa nyeupe kuliko sufu, 19 mkikubali na kutii,
mtakula mema ya nchi…
KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI
Mungu Ibada Nchi
Adam
Zab 22:3
Zab 150:6
Kumb 8:6-18Yoh 4:23-24
KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI
Isaya 48:17 17 Mimi ni Bwana Mungu
wako, nikufundishaye ili upate faida.
KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI
Zaburi 1:1-3 Heri mtu yule asiyeenenda katika njia za wasio haki, bali sheria ya Bwana ndiyo inayo-mpendeza; mtu huyo atakuwa
kama mti uliopandwa kando ya kijito cha maji …
KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI
Zaburi 1:1-3
… majani yake ni ya kijani siku zote, na anazaa matunda yake kwa majira yake; na kila jambo
alifanyalo, litafanikiwa.
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Yohana 4:23-24
Maisha ya Ibada
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Yohana 4:23-24 Mungu anatupa kuishi
maisha mazuri duniani kwa Kusudi Kuu la kuwa vyombo vyake maalum vya ibada ili
tumsifu, tumwabudu na kumtukuza yeye.
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Yohana 4:23-24 Na saa ipo na sasa saa imefika,
ambapo waabuduo halisi, watamwabudu Baba katika roho na kweli; Kwa maana
Baba anawatafuta watu kama hao, ili wamwabudu;
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
ZABURI 150:1-66 Kila mwenye pumzi amsifu
Bwana, kwa sauti kuu, kwa zeze, kwa filimbi, kwa zomari, kwa
matari, kwa vinubi na kwa matoazi yavumayo sana.
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
WEWE BINAFSI NI HEKALU 1Wakorintho 6:19-20
‘Mwili wako ni Hekalu (Nyumba ya Ibada) ya Roho
Mtakatifu; kwa ajili ya kumsifu na kumtukuza Mungu aliyekuumba.
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
KWANINI IBADA ?
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Zaburi 22:3 Wewe U Mtakatifu, nawe
“UNAKETI” juu ya sifa za Israel
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Zaburi 22:3 Wewe U Mtakatifu, nawe
“UNAKETI” juu ya sifa za Israel
“Inhabit” “Unaishi”
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Zab 22:3 IDABA ndio kitu cha kwanza
kabisa katika moyo wa Mungu, kwasababu
MUNGU ANAISHI KATIKA IBADA na SIFA.
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Kumnyima Mungu ibada Ni kama kumnyima
• Samaki maji• Mimea udongo• Binadamu hewa
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
“Kwa maana, Baba anawatafuta watu wa aina hiyo ili wamwabudu.” (Yohana 4: 23)
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Mungu Malaika Ufunuo 4:9-11
Ufunuo 5:11-14
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Mungu Malaika Mwanzo 1:26-28
Zaburi 148 na 150
Adam
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Mungu Malaika Kwasababu ya asili yetu na uhusiano tuliyonayo Adam na Mungu …
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Mungu Malaika … sisi binadamu tunaweza kumsifu na kumwabudu Adam Mungu, vizuri zaidi kuliko malaika wa mbinguni
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Mungu Malaika Ibada Nchi Adam
SIFA NA IBADA KWA MUNGUMungu anatamani sana kukaa na
sisi watoto wake hapaduniani, ndio maana anataka dunia yote
ijazwe hali ya ibada (atmosphere) kama ilivyo mbinguni (masaa 24), ili duniani pia, kuwe na mazingira ya maisha au ya makazi ya Mungu
kama ilivyo mbinguni.
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Ibada nzuri hutoka katika moyo uliotulia na pia maisha mazuri; na maisha mazuri huchangiwa
sana na mazingira mazuri.Kumbukumbu 8:6-18
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Mazingira yakitibuka, maisha yanatibuka,
na maisha yakitibuka, ibada kwa Mungu pia
inatibuka.
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Mungu Ibada Nchi
Adam
Zab 22:3
Zab 150:6
Kumb 8:6-18Yoh 4:23-24
SIFA NA IBADA KWA MUNGU Kutokana na umuhimu na
unyeti wa ibada, Mungu hakutaka na hataki watoto wake, tuwe na maisha ya taabu, maisha ya dhiki na
maisha ya shida; Kwanini?
SADAKA NA IBADA KWA MUNGUMungu anataka watoto wake,
tuwe na maisha mazuri, ili tunapopeleka ibada kwa
Mungu, ibada hiyo ifike kwa Mungu ikiwa safi (fresh), yaani ibada isiyo na kelele za moyoni
(masumbufu na uchungu).
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Ndio maana Mungu alitumia muda mrefu zaidi kuumba Dunia
kuliko muda aliotumia kumuumba binadamu
mwenyewe.
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Ndio maana Mungu alitumia muda mrefu zaidi kuumba Dunia
kuliko muda aliotumia kumuumba binadamu
mwenyewe.Dunia = siku 5Adam = siku 1
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Hii inaonyesha wazi kwamba, Mungu anajali sana mazingira ya maisha yako; kwasababu, ibada nzuri inategemea aina ya maisha
ya mtu, na aina ya maisha yanategemea aina ya mazingira
anayoishi mtu huyo.
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Ibada nzuri hutoka katika moyo uliotulia na pia maisha mazuri; na maisha mazuri huchangiwa
sana na mazingira mazuri.Kumbukumbu 8:6-18
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Mungu Ibada Nchi
Adam
Zab 22:3
Zab 150:6
Kumb 8:6-18Yoh 4:23-24
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Mazingira yakitibuka, maisha yanatibuka,
na maisha yakitibuka, ibada kwa Mungu pia
inatibuka.
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA Hivyo,
Shetani anachotafuta ni kumpiga binadamu na
mazingira yake, ili kumvurugia Mungu ibada,
anayoitamani sana kutoka duniani.
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA Sisi wote ni Vyombo vya Ibada.
Mungu akikupa nguvu zake, uweza wake na baraka zake, ni
kwa ajili ya kukutengenezea mazingira mazuri ya kumsifu na
kumwabudu yeye.(Yohana 15:1-2)
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA Sisi wote ni Vyombo vya Ibada.‘Tena itakuwa, mtu awaye yote,
asiyekwenda Yerusalemu kumwabudu Bwana wa Majeshi,
mvua haitanyesha kwao’.(Zekaria 14:17)
Rediscovery of Purpose (Kusudi):Kusudi la Mungu kwa Mwanaume.3. Kutafsiri Neno la Mungu kwa
Familia/Jamii (Maagizo).Mwanzo 2:15-16
Mungu alimpa Adam Maagizo; wakati huo Eva hayupo duniani
katika mwili wake.
Rediscovery of Purpose (Kusudi):Kusudi la Mungu kwa Mwanaume.3. Kutafsiri Neno la Mungu kwa
Familia/Jamii (Maagizo).Mwanzo 3:1-3-9
Eva alimjibu shetani, kutoka katika Maelekezo aliyopewa na
Adamu, sio na Mungu.
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA Viumbe vyote, vya mbinguni na vya duniani, vyote vitii amri ya kulisifu jina la Bwana Mungu,
aliyeumba mbingu na nchi.Zab 148:1-7-14
Zab 150-1-6
KANUNI ZA KIKRISTO ZA MAISHA YA USHINDI
UJANANI
KATIKA ULIMWENGU WA UTANDAWAZI.
KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI Ulimwengu huu tunaouishi
unatawaliwa na kanuni kuu mbili za kimaisha.
KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI Ulimwengu huu tunaouishi
unatawaliwa na kanuni kuu mbili za kimaisha.
Kanuni za Kiasili/Kimwili Kanuni za Kiroho
KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI Ulimwengu huu tunaouishi
unatawaliwa na kanuni kuu mbili za kimaisha.
Physical Principles Spiritual Principles
KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI Ulimwengu huu tunaouishi
unatawaliwa na kanuni kuu mbili za kimaisha.
Natural Principles Super-natural Principles
KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI Ulimwengu huu tunaouishi
unatawaliwa na kanuni kuu mbili za kimaisha.
Ordinary Principles Extra-ordinary Principles
KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI Ulimwengu huu tunaouishi
unatawaliwa na kanuni kuu mbili za kimaisha.
Kanuni za Kiasili/Kimwili Kanuni za Kiroho
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
Kanuni za Ulimwengu wa mwili zinatawaliwa na Kanuni za
Ulimwengu wa roho;
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3 Kwasababu hiyo,
Mambo ya Ulimwengu wa mwili yanatawaliwa na mambo ya
ulimwengu wa roho;
ULIMWENGU WA ROHOUlimwengu wa roho2 Wakorintho 4:18
Tusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vile visivyoonekana
(yaani vya kiroho) kwasababu hivyo ndivyo vya vya kudumu
(vinavyotawala vya kimwili).
ULIMWENGU WA ROHOUlimwengu w
Katika ulimwengu wetu, kuna vitu vya Namna kuu mbili (2);
• Vitu visivyoonekana na
• Vitu vinavyoonekana
Kwanini Ushindi? Waefeso 6:12
“Kushindana kwetu sisi, si juu ya damu na nyama (si vita ya kimwili),
bali ni vita juu ya falme za giza, mamlaka za giza, wakuu wa giza, na
majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho”
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA Hivyo,
Shetani anachotafuta ni kumpiga binadamu na
mazingira yake, ili kumvurugia Mungu ibada,
anayoitamani sana kutoka duniani.
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Ibada nzuri hutoka katika moyo uliotulia na pia maisha mazuri; na maisha mazuri huchangiwa
sana na mazingira mazuri.Kumbukumbu 8:6-18
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Mungu Ibada Nchi
Adam
Zab 22:3
Zab 150:6
Kumb 8:6-18Yoh 4:23-24
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Mazingira yakitibuka, maisha yanatibuka,
na maisha yakitibuka, ibada kwa Mungu pia
inatibuka.
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA Hivyo,
Shetani anachotafuta ni kumpiga binadamu na
mazingira yake, ili kumvurugia Mungu ibada,
anayoitamani sana kutoka duniani.
KANUNI ZA KIROHO
Kwanini Ushindi? Ni kwasababu;
Kuna mashindanoKuna mapambanoKuna upinzaniKuna vita na majaribu
Kuna Vita na MapambanoKuna mapambano katika familiaKuna mapambano katika masomoKuna mapambano katika kazi zetu Kuna vita katika biashara + miradiKuna mapambano katika afyaKuna mapambano katika kanisa
Kwanini Ushindi? Waefeso 6:12
“Kushindana kwetu sisi, si juu ya damu na nyama (si vita ya kimwili),
bali ni vita juu ya falme za giza, mamlaka za giza, wakuu wa giza, na
majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho”
Kwanini Ushindi?
Vita na Mapambano Vyatoka wapi?Ufunuo 12:7-17
Kwanini Ushindi? Ufunuo 12:7-17
Kulikuwa na vita mbinguni, Malaika Mkuu Mikaeli pamoja na malaika zake, wakapigana na yule
joka aitwaye Ibilisi na Shetani pamoja na malaika zake;
Kwanini Ushindi? Ufunuo 12:7-17
Yule joka (shetani), hakushinda, bali alipigwa na malaika wa
Mungu, akaangushwa kutoka mbinguni, akatupwa duniani, yeye pamoja na malaika zake
walioasi pamoja naye.
Kwanini Ushindi? Ufunuo 12:17
Huku duniani, ibilisi shetani akijawa hasira nyingi na
ghadhabu kali, aliazimu kufanya vita na watoto wa Mungu, akijua
ana wakati mchache.
Kwanini Ushindi? Waefeso 6:12
“Kushindana kwetu sisi, si juu ya damu na nyama (si vita ya kimwili),
bali ni vita juu ya falme za giza, mamlaka za giza, wakuu wa giza, na
majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho”
KANUNI ZA KIROHO 2Wakorintho 10:3-5
‘Ingawa tunaenenda kimwili, lakini hatufanyi vita kwa jinsi ya
mwili, bali tunapambana na elimu zilizo kinyume na elimu ya Kristo, tukizi-teka nyara fikra za watu, ili
zipate kumtii Kristo’
KANUNI ZA KIROHO
TunaongeleaUshindi kwasababu kuna mashindano ya kiimani
Katika maisha yetu.
KANUNI ZA KIROHO
1Yohana 5:4‘Kila kitu kilichozaliwa na
Mungu, huushinda ulimwengu; Na huku ndiko kushinda
kuushindako ulimwengu, ni hiyo IMANI yetu’
KANUNI ZA KIROHOWarumi 8:37
‘Na katika mambo yote, tunashinda na zaidi ya kushinda kupitia Kristo Yesu aliyetupenda’
KANUNI ZA KIROHO
Yohana 16:33‘Ulimwenguni mnayo dhiki,
lakini jipeni moyo kwasababu mimi nimeushinda ulimwengu’.
KANUNI ZA KIROHOYohana 16:33
Tumechagua kumwamini Yesu Kristo, kama Bwana na Mwokozi
wetu, kwasababu yeye ndiye aliyeshinda dhambi na mauti; na
yeye ndiye mwenye funguo za (mamlaka ya) mauti na kuzimu.
KANUNI ZA KIROHO
Ufunuo 1:9-1918 Yesu anasema; Mimi ni Yeye aliye hai, niliyekuwa nimekufa na tazama, ni hai milele na milele! Nami ninazo funguo za mauti na kuzimua. 19 Basi andika mambo uliyoyaona, yaliyopo
(sasa) na yale yatakayotukia baadaye
KANUNI ZA KIROHOUfunuo 1:9-19
Bwana Yesu anatutangazia ushindi wake ili tujue kwamba,
pamoja na shida mbalimbali tulizonazo duniani, ushindi wake utatusaidia na sisi kushinda juu ya kila tatizo tunalokutana nalo.
KANUNI ZA KIROHO
Yohana 16:33‘Ulimwenguni mnayo dhiki,
lakini jipeni moyo kwasababu mimi nimeushinda ulimwengu’.
KANUNI ZA KIROHOYohana 16:33
Bwana Yesu anatuambia tujipe moyo kwa ushindi wake, kwasababu ushindi wake unatupa siri na kanuni za kutuwezesha na sisi kuwa
washindi katika mambo yote.
KANUNI ZA KIROHO
Mtu wa Mungu anatakiwa kuishi maisha ya ushindi na mafanikio ili
kumwaibisha shetani na kumtukuza Mungu, lakini na yeye pia aweze kuishi maisha mazuri na kuwa chombo kizuri cha kumsifu
na kumwabudu Mungu.
KANUNI ZA KIROHO
Kanuni za kiroho, ni mambo ambayo, tukiyatumia maishani
mwetu, yatasababisha Roho Mtakatifu wa Mungu aliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za Mungu
ndani yetu, zitakazotusaidia kuishi maisha ya ushindi na mafanikio.
KANUNI ZA KIROHOKanuni hizi tulizojifunza, zilete
mabadiliko katika mfumo wa maisha yako na kukuwezesha
kuzalisha Nguvu za Mungu zinazohitajika kukupa maisha ya Ushindi na kukuwezesha kuwa chombo kizuri cha kumsifu na
kumwabudu Mungu.
IBADA NA UTOAJI
Luka 11:27-2827 Ikawa Yesu alipokuwa
akisema hayo, mwanamke mmoja katikati ya ule umati wa
watu akapaza sauti akasema, “Limebarikiwa tumbo lililokuzaa na matiti yaliyokunyonyesha!”
IBADA NA UTOAJI
Luka 11:27-2828 Yesu akajibu,
“Wamebarikiwa zaidi wale wanaolisikia neno la Mungu
na kulitii au kulitenda.”
IBADA NA UTOAJI
Yohana 13:17Bwana Yesu akawaambia
wanafunzi wake, “Ni heri mkiyajua haya,
ni heri mkiyatenda.”
NGUVU LA NENO LA MUNGU
Kanuni hizi tulizojifunza, zikusaidie kuzalisha nguvu za Mungu ndani yako, kwasababu, utendani kazi wa mkono wa Mungu maishani
mwako unategemea sana kiwango cha nguvu zake, kinachotenda kazi
ndani yako.
Ibada na Utoaji
Mwisho!
Mafundisho Mengine
Vitabu vingine, CD na DVD za Mafundisho vya Mwalimu Mgisa
Mtebe, yanapatikana katika duka la Vitabu vya Kikristo la
Azania Front Cathedral Luther House, Sokoine Drive
Dar es Salaam.
Kwa mawasiliano zaidi,
Mwl. Mgisa Mtebe Dar es Salaam, Tanzania.
+255 713 497 [email protected]
www.mgisamtebe.org