Zanzibar Daima toleo la pili

Embed Size (px)

Citation preview

  • 7/27/2019 Zanzibar Daima toleo la pili

    1/18

    ZANZIBAR DAIMA ONLINE AGOSTI 23-07 SEPT1

    Toleo laPili

    Je, Kitanzicha Dodomachashindwa

  • 7/27/2019 Zanzibar Daima toleo la pili

    2/18

    ZANZIBAR DAIMA ONLINE AGOSTI 23-07 SEPT ZANZIBAR DAIMA ONLINE AGOSTI 23-07 SEPT32

    32

    Othman Masoud:Jemedariwa kupigania haki

    1262

    Kutoka kwa Mhariri

    YALIYOMO

    Zanzibar Daima Online Collective

    MHARIRI MKUUMhariri: Ahmed Rajab

    Email: [email protected]

    MHARIRI MSAIDIZIMhariri: Mohammed Ghassani

    Email: [email protected]

    MSANIFU MKUUGraphic Designer: Hassan M Khamis

    Email: [email protected]

    WAANDISHI

    Mohammed Ghassani

    Email: [email protected]

    Mauwa Mohammed

    Email: [email protected]

    Jabir Idrissa

    Email: [email protected]

    Othman Miraji

    Email: [email protected]

    Hamza Rijaal

    Email: [email protected]

    Said S Salim

    Email: [email protected]

    WASAMBAZAJImzalendo.net

    zanzibardaima.com

    zanzibardaima/facebook

    MATANGAZOKwa matangazo tafadhali wasiliana nasi

    kuptia:

    Hassan M Khamis

    Phone: +44 7588550153

    Email: [email protected]

    WASILIANA NASITafadhali tuandikie maoni yako kupitia

    Email

    [email protected]

    JARIDA HILI HUCHAPISHWA NA

    Zanzibar Daima Collective233 Convent Way - Southall - Middlesex

    UB2 5UH

    United Kingdom

    Nonnstr. 25

    53119 Bonn

    Germany

    Msimamo wa MwanasheriaMkuu wa Serikali ya Map-induzi Zanzibar, Othman

    Masoud Othman (tazamaUkurasa 8), ni msimamo wakizalendo, wa kupigiwa mfanona unaofaa kuigwa na wakuuwengine wa Serikali wenyehisia na nchi yao.

    Ni nadra siku hizi, hasa nchinimwetu, kuwaona au kuwasikiaviongozi wenye vyeo vikubwakama hicho cha MwanasheriaMkuu wakijitokeza wazi, tenabila ya woga, kuitetea mis-imamo inayopingana na ileya wakubwa wa nchi. Hivyo,Mheshimiwa huyu yuko katikatabaka la wale waliojitoleakuipigania nchi yao.

    Huo ndio uzalendo. Tena niuzalendo wa hali ya juu. Si tukuwa mtu ana mapenzi nanchi yake lakini pia kuwa anamoyo wa kujitolea kuipigan-ia nchi yake na kuwa tayarikuziondoa, kuziweka upandeau kuzipuuza tafauti zozotezilizopo ziwe za kidini, zakikabila za kichama au za kii-tikadi za kisiasa baina yakena wananchi wenzake. Daimaanakuwa anaiweka mbelenchi yake, naliwe liwalo.

    Othman Masoud ameudhihir-ishia ulimwengu na muhimu

    zaidi amewadhihirishiaWazanzibari wenzake kwam-ba yeye ni mzalendo wa ainahiyo. Tena ni mtu mwenyekujiamini.

    Nafikiri sababu inayomfanyaajiamini ni kuwa anaaminikwa dhati kwamba anaiteteahaki. Hataki kuona dhulmainatendeka baina ya nchi mbilizilizo katika Muungano. Hata-ki kuiona nchi moja inaidhalili-sha nyingine.

    Huko kujiamini kwake ndikokunakomfanya asiwe na hata

    chembe ya woga kwa kuwak-waa wakubwa wenye serazinazopingana na msimamo

    wake. Wale wenye kumbe-za na waliojitokeza kimbelembele kumshauri Rais AliMohamed Shein amfukuzekazi wamekosea.

    Kwa kuuchukua msimamoaliouchukua Othman Masoudameonyesha kuwa hana ubin-afsi. Hayuko tayari kuiuzanchi yake kwa vijipesa viwilivitatu au kwa ulwa wa ainayoyote ile.

    Alipokuwa analihutubia kon-gamano la Baraza la Katibala Wanafunzi wa Vyuo VikuuZanzibar, Othman hakutafuna

    maneno, hakujifanya kibo-goyo alipoutamka ukweli nawala hakubabaika kwa namnayoyote ile. Sauti yake ilijaahamasa ya uzalendo wake;aliyaeleza mambo kwa busarana hikma, tena kwa taratibu.

    Kwa ufupi aliililia na kuipiga-nia nchi yake. Hamna sha-ka yoyote kwamba yeye nijemedari mzuri wa kuipiganiaardhi iliyozikiwa kitovu chake.Inafaa tumshukuru Mungukwani kila uchao anachomo-za jemedari mwingine wakuipigania Zanzibar yetu. Kilammojawao akili kichwani. Vipi

    tushindwe kwenye vita hivi?

    Othman Masoud anauteteamuundo wa Muungano uta-okuwa na Serikali tatu kamailivyopendekezwa na Tume yaKatiba iliyo chini ya Jaji (Msta-afu) Joseph Warioba.

    Pamoja na kuubainisha msi-mamo wake kuhusu suala laMuungano Mwanasheria huyoMkuu zaidi aliutumia wadhifawake na uweledi wake wamasala ya kisheria kutueli-misha Wazanzibari wenzakekuhusu mambo ya Katiba na

    jinsi Zanzibar inavyopunjwaikiwa ndani ya Muungano waserikali mbili kama ulivyo sasa

    chini ya ule aliouelezea kuwaukoloni kasorobo.

    Alieleza pia kwamba muundouliopo wa Muungano ndiowenye hatari ya kuuvunja Mu-ungano kinyume na wanavy-ofikiria wahafidhina wa CCM/Zanzibar na wale walio Barawanaotishwa na wahafidhinahao.

    Ninaamini kabisa kwamba iti-kadi halisi ya wahafidhina haoni kuendelea kuwa na mada-raka ili wayatumie madarakayao kujichumia mali. Huo ndiomkakati wao na hiyo ndiyo

    hali halisi ilivyo.

    Aghalabu watu wenye kuipe-nda nchi yao na walio tayarikujitolea mhanga kwa sababuya nchi yao huwa hawawa-jali hao wahafidhina. Huwahawawatii maanani. Wanafa-nya hivyo kwa sababu katikanyakati kama hizi za uwazi nademokrasia watu wa sampuliya wahafidhina wetu wenyekuonya kuhusu maafa maranyingi, kama si zote, huwandio wasioisoma vizuri histo-ria. Matokeo yake ni kwambahuishia kutupwa katika debela taka la historia.

    Kwa upande mwingine,watu wa sampuli ya MasoudOthman, hata kama awaliwatakumbwa na misukosu-ko, misukosuo hiyo huwa yampito tu kwani huishia kubeb-wa na umma na kushangiriwakwa ushindi wao kwa sababudaima wanakuwa wanapiga-nia haki.

    - Ahmed Rajab

    5

    8

    10

    14

  • 7/27/2019 Zanzibar Daima toleo la pili

    3/18

    ZANZIBAR DAIMA ONLINE AGOSTI 23-07 SEPT ZANZIBAR DAIMA ONLINE AGOSTI 23-07 SEPT54

    Mansoor apelekwamachinjioni Dodoma

    Na Jabir Iddrisa

    WakatiI Kamati Kuu yaChama cha Mapin-duzi (CCM) ikikutana

    mjini Dodoma huku ikitarajiwakulijadili suala la Mwakilishiwa Kiembe Samaki, MansoorYussuf Himidi, imefahamikakuwa mwenyewe mwanasiasahuyo anaijua vyema hatima

    yake kisiasa.Uchunguzi wa Zanzibar DaimaOnlineumegundua kwambahata kama haonekani kushu-ghulika sana, hilo linatokanana kuvuta kwake subira ilikuyaingia mwilini maji kwa vilekwa kupima hali halisi ilivyo, nikama alishayavulia nguo.

    Chanzo cha kuaminika ndaniya CCM kimeliambia jarida hilikwamba Rais Mstaafu wa Zan-zibar, Amani Karume, yupo mji-ni Dodoma, na ingawa chanzohicho hakikutaka kuthibitisha,

    wengi wanasema kwambaKarume amekusudia kutumianguvu yake kumtetea Mansoorikiwa NEC itaamua kumjadili.

    Siwezi kusema kwambaKarume anakwenda kutetea,lakini najua kuwa suala laMansoor halitakuwa rahisikiasi hicho. Kilisema chanzohicho.

    Mansoor, mwanasiasa kijanana mwenye kujiamini ambayekatikati ya wiki iliyopita alipiki-

    wa jungu la kufukuzwa kutokaCCM kupitia kikao cha KamatiMaalum ya Halmashauri Kuuya Taifa (KM-NEC) ya Zanzi-bar, bado ameamua kutosemalolote kuhusu hatua hiyo namustakbali wake kisiasa.

    Hadi kufikia jana (Ijumaa) usikuMansoor alionekana kwenyemitaa ya mjini Zanzibar, jambolinalomaanisha kwamba haku-wa ameitwa au amekwendaDodoma kujitetea. Hilo la ku-tokuwapo mwenyewe Dodomakujitetea, huenda likazushauhalali wa kisheria wa NEC ku-muadhibu mwanachama wakebila ya kwanza kumsikiliza.

    Kimsingi, hawawezi kum-fukuza moja kwa moja bila yakwanza kumuita wakamsikili-za. Wakifanya hivyo, itakuwani mara ya kwanza kwa CCMkumuhukumu mwanachamawake bila mwenyewe kuwapo,kimesema chanzo hicho.

    Hata hivyo, chanzo chenginendani ya kikao cha NEC ime-liambia jarida hili kwambasuala la kumwita Mansoorkujieleza halina mantiki kwanikuna taarifa ya kamati yamaadili ya Chama ambayoimeambatanishwa na baruaya Mansoor kwa Katibu Mkuuwa CCM ambayo chanzo hichokinadai kwamba Mansooramesema kuwa yupo tayarikufukuzwa au kunyongwa

    Mwenyewe aamua kukaa kimya, nyota yake kisiasa yazidi kungara

    Wengi wamuweka kundi la Jumbe, Seif

    Moyo asema hakutendewa haki

    lakini sio kubadili msimamo wake kuelekea Muun-gano wa Mkataba.Mimi najua lazima jambo hilo lije.ila kukubaliwa au kukataliwa kutategemea kikao,kimefafanua chanzo hicho.

    NEC inakutana leo Jumamosi na kesho Jumapilikwenye ukumbi wake wa White House Mjini Dodoma,chini ya Mwenyekiti wake , Rais Jakaya Kikwete. Nakwa mujibu wa Katibu wa Itkadi na Uwenezi wa CCM,Nape Nnauye, ajenda kuu ya kikao ni kijadili maoniya CCM juu ya rasimu ya katiba mpya. Inasemekana

    hapo ndipo patakapopokelewa pendekezo lililotokaKamati Maalum baada ya kushindikana kumfuku-za Mansoor palepale kwa vile suala lake liliwagawawajumbe.

    Katika mkutano wa Kamati Maalum ya CCM Zanzibar,mjadala juu ya kufukuzwa uwanachama Mansoorlilikaribia kukigawa chama hicho mapande mawilimbele ya Makamo Mwenyekiti wake, Dk. Ali Mo-hamed Shein.

    Wapo waliomkingia kifua kuwa hajatenda kosa lolotekwa msimamo wake wa kutoa maoni anayoyahisindiyo, na kwa kweli si peke yake katika wanachamaanayetoa msimamo waziwazi; huku kundi jinginelikimsakizia kuwa amezidi kipimo na anakivurugachama.

    Dk. Shein ndiye Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti waBaraza la Mapinduzi ambaye ameunda Baraza laMawaziri kwa kuzingatia mfumo wa serikali ya Umojawa Kitaifa ulioidhinishwa na Baraza la Wawakilishibaada ya kuridhiwa na wananchi kupitia kura ya mao-ni iliyoukubali kwa asilimia 66.4.

    Mansoor aliyeomba apumzishwe majukumu yauwaziri baada ya uchaguzi mkuu uliopita wa Oktoba2010, amebaki kuwa mjumbe wa Baraza la Wawakil-ishi, na kuwa mmoja wa wana-CCM wachache ndaniya Baraza wanaotoa maoni yao kwa uhuru mkubwa,ukimuuliza, husema: Kwa kweli sina maoni.

    Hata mwandishi wa habari hizi alipomuuliza kwa njiaya simu kama anadhani umekuwepo mkakati tanguhapo kabla, wa kumfukuza chama, anasema, Kwahakika mimi sijui lolote ndugu yangu. Amefunga kazikabisa na haongezi neno.

    Mansoor alijadiliwa kinagaubaga katika kikao cha Ka-mati Maalum ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya ChamaCha Mapinduzi (KM-NEC-CCM) kilichoketi wiki iliyopi-ta kwenye ukumbi wa Ofisi Kuu za chama Kisiwanduibaada ya kuwasilishwa yale yalioitwa mashtaka ya

    utovu wa nidhamu dhidi yake.

    Duru za kisiasa ndani ya CCM zinasema mashta-ka hayo yaliandaliwa kwa minajili ya kumtia adabuanaonekana kuwa mtovu wa adabu kwa chama kwakutoa kauli na maelezo yanayokiuka sera na ilani yaCCM.

    Mansour amekuwa mstari wa mbele kupiganiaZanzibar yenye mamlaka kamili kama dola inayo-

    jitegemea tangu alipoanza kujitokeza hadharanikwenye vikao vya Baraza la Wawakilishi, akisema,Mimi siungi mkono Muamsho (Uamsho), lakini kwahii kaulimbiu yao ya Tuachiwe Tupumue, nakubaliananao moja kwa moja.

    Akiwa mjumbe wa Baraza hilo anayewakilisha jimbo

    la Kiembesamaki, Wilaya ya Mjini, Unguja, Mansoorhana wadhifa mkubwa katika chama tangu pale ali-poondolewa kuwa Mjumbe wa Sekretarieti, Katibu waUchumi na Fedha wa Halmashauri Kuu, upande waZanzibar.

    Wakati huo alikuwa ameshapoteza wadhifa wa uwa-ziri na Mjumbe wa Baraza la Mapinduzi (BLM) kwakuwa ilisemekana alimuomba Rais Shein, asimfikiriekuwa mmoja wa mawaziri wake atakapounda serikalimpya.

    Kutokana na nyendo zake nje ya chama akitumiamwamvuli wa Kamati ya Maridhiano inayoongozwana Mzee Hassan Nassor Moyo, viongozi wenzake

    Akiwa mjumbe wa Baraza la

    Wawakilishi anayewakilisha jimbo

    la Kiembesamaki, Wilaya ya Mjini

    Unguja, Mansoor hana wadhifa

    mkubwa katika chama tangu pale

    alipoondolewa kuwa Mjumbe wa

    Sekretarieti, Katibu wa Uchumi

    na Fedha wa Halmashauri Kuu

    upande wa Zanzibar.

    Akifungua Baraza la Katiba la CCM, Rais Jakaya Kikwete alisema kwamba wenyemawazo mbadala katika CCM juu ya Rasimu ya Katiba wavumiliwe, maana wotewakiwa na mawazo mfanano, huo sio mjadala. Naye Katibu Mkuu wa CCM,Abdulrahman Kinana, anaripotiwa kumueleza wazi Naibu Katibu Mkuu wa CCMZanzibar, Vuai Ali Vuai, katika kikao cha CC kwamba anachokifanya Zanzibar

    kitakiuwa Chama. - Chanzo cha ZDOnlineo.

  • 7/27/2019 Zanzibar Daima toleo la pili

    4/18

    ZANZIBAR DAIMA ONLINE AGOSTI 23-07 SEPT ZANZIBAR DAIMA ONLINE AGOSTI 23-07 SEPT76

    wengi wakimchukulia kama mwasi wa sera za chamazinazoendelea kutii mfumo wa serikali mbili ndani yaMuungano.

    Si ajabu basi, jina lake lilipotajwa katika mashtaka yakukiuka maadili ya uongozi, majina makubwa makub-wa yalikuwa miongoni mwa wajumbe wa KamatiMaalum waliomsema vibaya na kumshutumu kuwaamekisaliti chama kilichompandisha hadhi.

    Wa kwanza aliyeongoza kampeni ya kutaka Mansoorafukuzwe uanachama alikuwa Borafia Silima Juma,Mwenyekiti wa Mkoa wa Mjini.

    Borafia alisema tangu awali Mansoor hakuwa mwa-nachama wa CCM isipokuwa aliingizwa na shem-eji yake, Amani Abeid Karume, alipokuwa MakamuMwenyekiti wa CCM na Rais wa Zanzibar.

    Alipewa madaraka makubwa huku akifahamika kuwani mfuasi wa chama pinzani (CUF), Borafia alinuku-liwa kusema katika kikao cha Kamati Maalum kili-chomalizika usiku wa manane.

    Hoja hiyo iliungwa mkono na Makamu Mwenyekiti waWAZAZI Zanzibar, Dogo Iddi Mabrouk aliyesema kuwaumaarufu wa Mansoor kisiasa ulitokana na nguvu ya

    CCM siyo yake binafsi.

    Hana ubavu wa kushinda uwakilishi jimbo la Kiem-besamaki hata akifukuzwa uanachama leo hakunahaja ya kuendelea kumbembeleza mwanachamaambaye si mtii wa Katiba ya CCM na misimamo yake.Kubaki na wanachama wa aina ya Mansour ni hatarikwa uhai wa CCM, alisema Dogo.

    Miongoni mwa wajumbe waliomkingia kifua Man-soor alikuwa Machano Othman Said ambaye alisemakumfukuza uanachama Mansoor itakuwa ni kumuo-nea kwa sababu anatoa maoni yake binafsi kamawanavyotoa wanachama wengine kuhusu utaratibuwa kupatikana kwa Katiba mpya ya Jamhuri ya Muun-gano.

    Uchunguzi wa Zanzibar Daima Online umebainikuwa si viongozi wengi wa juu walio radhi Mansoorafukuzwe kutoka CCM.

    Tangu juzi mwandishi wa makala haya amejitahi-di kukutana na viongozi wa juu wa CCM na baadhiyao akizungumza nao kwa simu, na wengi waowamethibitisha kuwa si rahisi Halmashauri Kuu ya

    Taifa kuidhinisha kumtema Mansoor.

    Angalau kwa sasa sioni uwezekano wa NEC kuidhin-isha kumfukuza mwanachama mwenye hadhi kamayeye. Na ujue tangu kuzinduliwa kwa rasimu ya awali

    ya Katiba mpya kumekuwa na uhuru wa wanachamawa CCM kutoa maoni yao na ndivyo Halmashauri il-ivyosema, alisema kiongozi mmoja ndani ya Sekretar-ieti ya CCM Makao Makuu, Dodoma.

    Ameongeza: Wengi wetu hatuamini kama huu niwakati mwafaka wa kufukuzana eti kwa sababu tumtu anasimamia maoni au msimamo wake kuhusumasuala haya ya mabadiliko ya Katiba.

    Hali ni tofauti sana na wengine wanavyofikiria.Wengine tutajitahidi kusaidiana kuondosha mitizamohii ya kufukuzana hata pasipo na sababu ya msingi.Haiwezekani mtu akisema tu maoni yake afukuzwechama. Huu ni wendawazimu.

    Kauli ya kada huyo kutoka Zanzibar imeonesha kuwahaitakuwa rahisi kuishawishi NEC kukubali pendekezola Kamati Maalum ya Zanzibar kumfukuza uanachamaMansoor.

    Ofisa mwandamizi ndani ya ofisi kuu za CCM Lumum-ba amesema chama kiko makini kipindi hichi katikanamna ya kuendesha siasa hata ndani ya chama kwasababu kutoa maamuzi holela kutakidhoofisha kulikokukijenga.

    Mjumbe mmoja wa NEC kutoka Bara amesemaAngalia hali ya mtafaruku Bukoba Mjini tu. Chamakimewekwa katika mtihani mkubwa kwa kufukuzwamadiwani. Matokeo yake viongozi wa juu wamelazimi-ka kutunishiana misuli, wa mkoani wakitetea uamuzihuo na wa makao makuu wakiupinga. Mambo hayakorahisi kama wengine wanavyofikiria, alisema mjumbehuyo.

    Kwa mujibu wa taarifa zilizopatikana ofisi kuu za CCMLumumba, waraka wenye mapendekezo ya KamatiMaalum ya NEC ya Zanzibar yanayohusu hatima yaMansoor umetinga ngazi ya juu.

    Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Kamati yaMaridhiano ya Zanzibar, Mzee Hassan Nassor Moyo,amenukuliwa akisema kwamba kama CCM itamfuku-

    za uanachama Mansoor itakuwa haikumtendea haki,kwani kile kinachodaiwa kuwa ni kosa lake la kupin-gana na sera ya CCM ya Muungano wa Serikali Mbili, si

    jambo sahihi.

    Kama wameamua kumfukuza, mimi nasema ni jamboambalo si sawasawa kwa sababu alichokifanya Man-soor ni kile kilichomo kwenye sheria na katiba za nchi.Ametoa maoni yake kwa mujibu wa ruhusa iliyotolewana Rais Jakaya Kikwete na Rais wa Zanzibar pia. Hii nihaki yake ya kiraia. Aliliambia shirika la utangazaji laUjerumani, Deutsche Welle kwenye mahojiano yaliy-orushwa saa 12 jioni Alhamis.

    China yaombwa kuwekeza kwenye sekta ya viwanda Zanzibar

    Dk. Shein azindua maadhimisho ya miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar

    Ujumbe wa viongozi na wataala-mu 20 kutoka China unatarajiwakuwasili Zanzibar hivi karibuni ilikuangalia uwezekano wa kuweke-za katika sekta ya uvuvi. Hayoyalisemwa na Balozi mdogo wa

    China, Chen Qiiman, alipokwen-da kuzungumza na Makamu waPili wa Rais wa Zanzibar, BaloziSeif Ali Iddi, ofisini mwake Vuga,Unguja.

    Balozi Chen aliahidi kwambaChina itaendelea kusaidia miradimbali mbali ya maendeleo visi-wani Zanzibar.

    Kwa upande wake, Balozi Iddi

    aliiomba Serikali ya China kujiki-ta katika uwekezaji wa sekta yaviwanda Zanzibar. ,Alisema Chinani miongoni mwa nchi zilizosi-mama mstari wa mbele kuungamkono maendeleo ya Zanzibar

    baada ya Mapinduzi ya 1964, kwakuwekeza katika viwanda mbalimbali, hatua ambayo iliwapatiavijana ajira pamoja na kuuinuauchumi wa Zanzibar.

    Aliusifu mchango huo wa Chinaambao, alisema, umesaidia kuletamaendeleo Zanzibar katika sektaza elimu na afya. [Chanzo Nipashe19 Agosti.]

    Raisi wa Zanzibar na Mwenyekiti

    wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali

    Mohammed Shein, aliwataka wa-

    nanchi kushiriki kikamilifu katika

    kusherehekea miaka 50 ya Mapin-

    duzi ya Zanzibar, liliripoti Zanzibar

    Leo Agosti 16.

    Dk.Shein aliyasema hayo wakati

    wa hotuba yake ya uzinduzi wa

    sherehe hizo huko mjini Unguja na

    aliwataka wananchi wadumishe

    umoja na mshikamano walionao.

    Alisema sherehe hizo ni kwa

    Wazanzibari wote, hivyo ni wajibu

    wa kila mmoja kushiriki kikamilifu

    ili kuonesha umoja na mshikama-

    no uliopo nchini.

    Leo tarehe Agost 15, nachukua

    fursa hii kutamka kwamba

    maadhimisho ya sherehe za mi-

    aka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar

    yamezinduliwa rasmi, nakutakieni

    ushiriki na maandalizi mema

    alisema Dk. Shein.

    Kauli mbiu ya sherehe hizo ni

    Tudumishe Amani na MaendeleoMapinduzi Daima.

    Ponda afutiwa kesi ya uchocheziKatibu wa Jumuiya na Taasisi zaKiislamu nchini Tanzania, SheikhPonda Issa Ponda, amefutiwa kesiya uchochezi wa vurugu iliyokuwaikimkabili katika Mahakama yaHakimu Mkazi Kisutu jijini Dar esSalaam, liliripoti gazeti la HabariLeo la 20 Agosti.

    Awali Ponda alisomewa shta-ka la kuwahamasisha wafuasiwake wafanye fujo huku akiwawodini katika kitengo cha Taasisiya Mifupa na Upasuaji (MoI) wikiiliyopita.

    Ponda alifutiwa mashtaka hayona Hakimu Mkazi, Hellen Riwa,baada ya Mkurugenzi wa Mashta-ka (DPP) kuwasilisha hati ya kufu-ta mashtaka hayo kwa kuwa hana

    haja ya kuendelea kumshitaki.

    Licha ya kupata msamaha huo,Sheikh Ponda alisafirishwa kwahelikopta kuelekea mkoani Mo-rogoro, ambako huko alisomewamashtaka mengine matatu yan-ayomkabili.

    Mashtaka hayo ni pamoja nakuwashawishi watu wawapigewanakamati za ulinzi wa misikiti,kwa madai ya kuwa kamati hizozimeundwa na BAKWATA ambaoni vibaraka wa CCM.

    Shtaka la pili ni kwamba Pondaanadaiwa kuwaambia Waislamukwamba, Serikali ilipeleka JeshiMtwara kushughulikia vuruguiliyotokana na gesi kwa kuwaua,

    kuwabaka na kuwatesa wana-nchi kwa sababu asilimia 90 yawakaazi wake ni Waislamu.

    Shtaka la tatu ni kuwa Pondaanadaiwa kutoa kauli ambazoziliwashawishi Waislamu kutendamakosa. Hata hivyo, Sheikh Pondaalikana mashtaka hayo lakini

    wakili Kigoda alidai uchunguziumekamilika na kutaka kesi hiyoipangiwe tarehe ya kusikilizwa.

    Upande wa mashitaka uliwasili-sha ombi la dhamana kwa mshi-takiwa lakini hakimu aliamuruSheikh Ponda aendelee kuwekwarumande hadi siku ya kusikilizwatena kesi hiyo.

    Magazetini kwa Ufupi

  • 7/27/2019 Zanzibar Daima toleo la pili

    5/18

    ZANZIBAR DAIMA ONLINE AGOSTI 23-07 SEPT ZANZIBAR DAIMA ONLINE AGOSTI 23-07 SEPT98

    SIASA

    MAKALA MAALUM

    Bila ya kauli sawa, si Muungano bali ni ukoloni kasorobo

    Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar

    Bila ya kauli sawa, si Muungano bali niukoloni kasorobo

    TANBIHI: Jumamosi ya tarehe 17 Agosti 2013, Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya

    Zanzibar, OTHMAN MASOUD OTHMAN, alitoa hotuba mbele ya Kongamano la Baraza la Katiba la

    Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Zanzibar, ambapo alizungumzia mapungufu kadhaa yaliyomo kwenye

    muundo wa sasa wa Muungano na alionesha kuwa anakubaliana na pendekezo la Muundo wa Serikali

    Tatu kama lilivyotolewa na Tume ya Katiba ya Jaji Joseph Warioba. Hapa tunaichapisha sehemu ya

    hotuba hiyo kwa manufaa ya wasomaji wetu.

    Nilikuwa nawaambia wenzangu kwamba Zan-zibar tulitoka kwenye kuwa dola kubwa, kwanini tuendelee kungangania kuwa manis-

    paa? Hatuoni vibaya kutoka dola mpaka manispaa? Maa-na kwa hali iliyopo sasa, Zanzibar ni kigawe kidogo chakisiasa cha Tanganyika. Soma sheria zote, ikiwemo ya

    Benki Kuu, utakuta haziitambui Zanzibar kama ni nchi.Lakini je, hivi ndio ni kweli hatuwezi kuyaongoza mamboyetu mpaka tukamkabidhi mtu mwengine atuendeshee?

    Labda Rais wa Muungano aliyepo leo tunamuamini,lakini vipi kesho akiingia yule wanayemwendesha Spika

    wao wenyewe kule bungeni na aka-wa ndiye kiongozi wa hiyo serikali yaMuugano? Maana huwezi kuwazuiaWatanganyika wasiwachague walekuja kuuongoza Muungano. Vyen-ginevyo, mtu atwambie kwambaTunao uwezo wa kuwazuia wa-simchague mtu mwengine zaidi yaaliyepo sasa. Lakini kinyume na

    hivyo, mtakuja kufanya nini?Si tatizo kama sisi wa Zanzibartunamchukia kiongozi anayeen-desha serikali ya Muungano, lakinikama yeye anatuchukia sisi litaku-wa tatizo kubwa. Na mtu ambayeametangaza hadharani hakutambui,ni sawa na mwanamme kutukanwamatusi makubwa ya kuitwa vyengi-ne. Si utapigana?

    Ndiyo hayo wenzetu waliyofanya nawapo na huwezi kusema kwambahawana uwezo wa kesho kushikaserikali hiyo tunayotaka kuiaminikuikabidhi mambo ya Muungano.

    Tuwe wakweli. Tusitake kuichukuanyumba yetu tukaiweka rehani du-kani kwa kupata kilo ya mchele.

    Jambo jengine la msingi ni usawakatika masuala ya msingi ya Mu-ungano. Haya ni mambo ambayolazima muyaangalie vizuri ndani yarasimu. La kwanza ni usimamizi wahayo mambo ya Muungano. Kwanzamsimamizi mkubwa wa Mambo yaMuungano ni Rais wa Muungano.Hivyo ni lazima tuwe na utaratibuwa kuwa na fursa na haki sawaya kusema huyu tunamtaka, huyuhatumtaki.

    Na hiyo ndiyo kasoro kubwa iliyo-po sasa hivi. Anayegombea uraiswa Muungano hana hata haja yakuja Zanzibar kupiga kampeni. Kura500,000 ni za nini kwake? Kwa hivyo,amekuwa akichaguliwa Rais waMuungano, ama sisi tumtake au tu-simtake, ingawa anakuja kusimamiamambo ya pamoja ya Muungano.

    Kama wewe mshirika kwenyeMuungano huo huna sauti katika

    kumchagua huyo ya kusema huyuni sawa, na huyu si sawa basi huosi Muungano. Tuutafutie jina jenginetuuite. Thats dominionship, kasorokidogo ya ukoloni.

    Hiyo ni kasoro kubwa iliyopo hivisasa na lazima katika katiba inay-okuja hilo liondoke. Yaani kwenyekile chombo kinachosimamia yalemambo ya Muungano, ni lazimaZanzibar iwe na sauti sawa katikakuichagua. Kama haipo hiyo, musiji-danganye. Huo si Muungano. Huo niukoloni kasorobo.

    Jengine ni katika kutunga sera zaMuungano. Sisi ni washirika. Lazi-ma tuwe na sauti katika kuamuasera za kimuungano. Hawezi mmojakatika washirika akatuamulia. Hilolazima tuliangalie: mfumo wa Bunge,mfumo wa Baraza la Mawaziri navyombo vya kutunga sera.

    La tatu ni katika kutunga sheria.

    Kwa mujibu wa Katiba ya sasa, Ibaraya 98, Mambo yote y a Muungano ya-natungiwa sheria na upande mmoja,kwa sababu kutunga sheria kwamambo yaliyoko kwenye Jadweli laKwanza, yote ni kwa wingi mdogo.Haya ndiyo mambo ya Muungano.

    Na haya ni mambo ya ajabu kwe-likweli. Mheshimiwa Hamza Hassanhuwa anayaeleza vizuri kwa kusemakama tungekuwa tunayajua hayayaliyomo kwenye Katiba ya sasa hivi,tungezimia. Tungesema kwa kweliMungu ametupenda, kwa kuwa tukohai mpaka leo.

    Kwa sababu Bunge limepewauwezo wa kuyatungia sheria mambohayo kwa wingi mdogo wa kura nadaima wenzetu wamekuwa wengikuliko sisi. Huo ni utaratibu wa ajabukweli kweli. Kwa hivyo, mnapoipitiarasimu hii, lazima hilo mliangalie.Hapo ndipo mtakapomalizika. Hilo nipamoja na namna ya kuyaongeza nakuyapunguza mambo ya Muungano.

    Lakini jambo jengine muhimu ni

    namna ya matumizi ya rasilimali zaMuungano. Kwamba katika uweke-zaji wa rasilimali, kama vile makaomakuu, sote tufaidike nao kwa kuwakuna mambo ambayo tumekubalia-na kuwa ni ya Muungano.

    Kwa mfano, licha ya Jumuiya yaAfrika ya Mashariki kuwa na makaomakuu yake mjini Arusha, Tanzania,taasisi za jumuiya hiyo ziko kwenyemataifa mbalimbali wanachama.Kwa sababu huo ndio uwekezaji.Ukiweka makao makuu mahala fula-ni, watu wa hapo watapata ajira.

    Ni jambo la kufurahisha kuambi-wa kuwa makao makuu ya Barazala Kiswahili la Jumuiya ya Afrikaya Mashariki yatakuwa Zanzibar,lakini la kusikitisha kwamba kwenyehuu Muungano wetu wenyewe, niUvuvi wa Bahari Kuu tu, tuliyokuwahata hatuioni, ndio iliyopo Zanzibar.Na hiyo ilipatikana kwa vita, kwaugomvi na kwa watu kununa. Hilo

    ni jambo ambalo lazima liondokekwenye Katiba ya sasa. Vyenginevyoitakuwa hakuna ile faida ya Muun-gano kwa upande wa Zanzibar.

    Hili la rasilimali ni muhimu sana,kwa sababu tunajiona leo tulivyo.Hivi sasa Zanzibar tuko kwenyemchakato wa suala la mafuta. Tu-mejikuta sisi tunalizungumza hivisasa, lakini wenzetu wana wataala-mu mpaka wa akiba wa masuala yamafuta. Yaani timu yao imekamilikana wana wengine wa akiba wa hatakama wakitaka kuunda timu nyen-gine. Sisi Zanzibar ni wa kuokotezatu. Hata ingelikuwa timu ya netiboli,

    haijatimia. Lakini hawa wametumiarasilimali za Muungano kuwaso-mesha watu wao.

    Katika hilo pia jambo muhimu lakuzingatia ni la kuwa na fursa zakiuchumi. Hapa ni mahala ambapotumeumia sana. Lazima tuhakikishekuwa fursa zote za kiuchumi, hasaza kinchi, kila upande unakuwa nazosawa.

  • 7/27/2019 Zanzibar Daima toleo la pili

    6/18

    ZANZIBAR DAIMA ONLINE AGOSTI 23-07 SEPT ZANZIBAR DAIMA ONLINE AGOSTI 23-07 SEPT1110

    11Kalamu ya Bin Rajab

    Uvundo wa Mji Mkongwe hauvumiliki tena

    HAKUNA mengi yaliobadilikakatika Mji Mkongwe tanguuanze kuvuta pumzi miaka

    kama 200 iliyopita. Majumba ndiyoyaleyale, vichochoro ndivyo vilevile,uchafu ndio uleule na harufu ndizozilezile.

    Mengi ya majumba ya Mji Mkong-we yalijengwa karne ya 19 wakatiambapo nchi yetu ilikuwa na neema.Wakati huo Zanzibar ilikuwa ni dolakamili iliyokuwa kitivo muhimu cha

    biashara ya kimataifa katika kandanzima ya Afrika ya Mashariki.

    Dola hiyo iliwavutia wengi wakaribu na wa mbali.

    Waliopiga makasia na kuanza ku-uona Mji Mkongwe majahazi yaoyalipokuwa yakiyumbayumba juuya mawimbi waliduwaa walipoya-ona mandhari ya mji. Waliyakodo-lea macho huku wakiwa na paparamajahazi yatie nanga ili wateremkebandarini.

    Mji Mkongwe ulikuwa na haibaya aina yake ingawa haukuwa na

    ukale kama wa Mvita (Mombasa),mji unaonasabishwa na watawa-la wawili Mwana Mkisi na SheheMvita. Tayari Mvita ulikuwa mji wabiashara katika karne ya 12 kwani AlIdris, mwanajiografia mashuhuri waKiarabu, aliutaja kwenye maandishiyake mwaka 1151.

    Ibn Battuta, msomi na msafiri kuto-ka Morocco, alipokuwa anautembe-lea mwambao wa Afrika ya Masha-riki aliwasili Mombasa mwaka 1331na akalala huko usiku mmoja.

    Wala Mji Mkongwe si mkongwekama Lamu ulioanza kuwa mjimnamo karne ya 14 au pingine hatakarne ya 12 na ulio kitivo kikubwacha utamaduni wa Kiswahili.

    Mji Mkongwe umepitwa kwa umripia na Loureno Marques (siku hiziMaputo, mji ulioanza kujengwakarne ya 18 na ambao leo umeupi-ku Mji Mkongwe wenye vichocho-ro kama vyake). Maputo ya leo ninadhifu zaidi na ina majengo mengi

    ya kisasa.Hata Moroni ulio kusini zaidi una-semekana ulianzishwa na mapemazaidi kushinda Mji Mkongwe, yumki-ni mnamo karne ya 10 na waloweziwa Kiarabu.

    Kabla ya Mji Mkongwe kuwa MjiMkongwe kwanza kulikuwa na kijijicha wavuvi. Walitangulia samaki,halafu yakaja mawe. Hayo maweyalitumika kuujenga huu mji wamajumba ya mawe na vichochorovilivyoshuhudia mengi na vyenyekuficha siri nyingi.

    Ingawaje, hata wakati huo miaka200 iliyopita ambapo Mji Mkong-we ulipokuwa mpya na fakhari yavisiwa hivi mji huu ulikuwa ukituai-bisha. Na hadi sasa unatuaibisha.

    Mji wetu una harufu za ajabuajabu.Unaweza ukajaribu kuzikwepa kwadakika mbili tatu lakini ukishavikatavichochoro viwili vitatu utakumbananazo tena.

    Ni harufu za uvundo. Haziepukiki.Tumekuwa kama tunacheza nazo

    foliti. Tukizikimbia huku zinatufukuzia kule.

    Marikiti ndo hakusemeki. Wageni wanaotu-tembelea wanatusema. Wameanza kutusematangu karne mbili zilizopita. Inaonyesha sisiwenyewe hatujali. Hatuoni haya; hatuoni aibu.Na wengi wetu ni Waislamu na tunaambiwakwamba Uislamu ni unadhifu na hatoingiaPeponi ila yule aliye nadhifu. Na unadhifu ni waroho, wa vitendo, wa mwili na wa mazingira.

    Nadhani David Livingstone aliyeukanyaga MjiMkongwe kwa mara ya kwanza 1866 alikuwawa mwanzo kutukashif. Aliandika kwambalabda asiite tena Zanzibar bali aiite Stinkibar

    (Mnukobar).

    Livingstone hakuwa akiielezea Zanzibar yotelakini akiuelezea Mji Mkongwe peke yake.Ukinuka siku hizo na unanuka hadi hii leo. Ndiomaana wanaotutembelea wakirudi makwaohukimbilia kuandika kwenye tovuti na m ablogiyao jinsi Mji Mkongwe unavyonuka.

    La ajabu ni kwamba kuna watu wanaolipwamishahara kuhakikisha kwamba mji ni msafi.Wenzetu hao lazima waanze kuwajibika. Wasi-pofanya hivyo ZD Online itafanya wajibu wakewa kuwaandama na kuwafichua.

    Mji wetu una harufu za ajabuajabu. Unaweza ukajaribu kuzikwepa kwa dakika mbili tatulakini ukishavikata vichochoro viwili vitatu utakumbana nazo tena.

    Na

    ahmed RAJAB

    11

    Ibn Battuta, msomi

    na msafiri kuto kaMorocco, alipokuwa

    anautembelea

    mwambao wa Afrika

    ya Mashariki aliwasili

    Mombasa mwaka 1331

    na akalala huko usiku

    mmoja..

  • 7/27/2019 Zanzibar Daima toleo la pili

    7/18

    ZANZIBAR DAIMA ONLINE AGOSTI 23-07 SEPT ZANZIBAR DAIMA ONLINE AGOSTI 23-07 SEPT1312

    Viongozi wapiga ngomaichezwayo Zbar

    Kadhia ya Sheikh Ponda Issa Ponda mara hiiimeanzia Zanzibar. Kwetu ndiko ilikoten-genezwa kadhia hii mpya. Ni kazi ya Serikali na

    Chama Cha Mapinduzi (CCM). Maneno ya uchongan-ishi waliotoa viongozi wa taasisi hizi mbili yalitoshakumtia ulamaa huyu wa Kiislamu katika mtihanimkubwa.

    Na kwa sababu ni kadhia iliyopikwa ikapikika, nahatimaye imeleta jibu kama walpishi walivyoku-sudia, ni ada kusema, ni kweli Ngoma ikipigwaZanzibar, wanaocheza huwa Mrima.

    Nani hakumsikia Katibu wa Itikadi na Uenezi waCCM/Zanzibar, Waride Abubakar Wakati alipomkan-damiza Sheikh Ponda?

    Waride, ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Kiem-besamaki, alisema siku chache tu baada ya SheikhPonda kuondoka Zanzibar alikokuwako kwa ziaraya wiki mbili, kwamba ulamaa huyo alikuja Zanzi-bar kwa lengo la kuwachochea wananchi wafanyemaandamano dhidi ya serikali.

    Kauli yake ikatiwa nguvu na Makamu wa Pili wa Raiswa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi. Alipokuwa anaufun-ga mkutano mrefu wa Baraza la Wawakilishi uliojad-ili na kupitisha bajeti ya serikali ya mwaka 2013/14,Balozi Seif alisema Sheikh Ponda alikuja Zanzibarkufundisha watu uasi dhidi ya serikali.

    Aliongeza kusema kwamba hotuba alizozitoa SheikhPonda alipokuwa Zanzibar zilijiegemeza kwenyechuki, uchochezi, na hamasa ya maandamano ilikuvunja misingi ya amani na utulivu iliyokwisha-

    jengeka.

    Balozi Seif alisema Sheikh Ponda ameonesha dhahirikwa hotuba zake kuwa haitakii mema Zanzibar;akatoa tamko la kumpiga marufuku kuingia tenaZanzibar. Tena akahimiza wananchi wampuuze kwakutosikiliza hotuba zake kwenye kanda.

    Matamshi ya Bi Waride, kwa niaba ya CCM, na yaBalozi Seif, kwa niaba ya Serikali, yalitosha kumte-kenya Kamishna wa Polisi Zanzibar (CPZ), MussaAli Mussa. Yeye aliibuka na kutangaza rasmi kuwawanamsaka Sheikh Ponda.

    Kamishna Mussa aliwaambia waandishi wa habarikwenye makao makuu ya Jeshi la Polisi Zanzibar,

    Kilimani, mjini Unguja, kwamba tayari walishaanzakumtafuta Sheikh Ponda ili wamhoji kuhusu maudhui

    ya hotuba zake alipokuwa Zanzibar.Aliulizwa alikuwa wapi kwa muda wote tangu SheikhPonda alipokuwa Unguja mpaka akaondoka kurudi Dares Salaam? Mbona hakuwahi kutangaza kuwa SheikhPonda anasakwa akiwa bado Unguja?

    Kamishna akaulizwa kwa nini anatangaza kumsakaSheikh Ponda akiwa ameshaondoka wakati alikuwaZanzibar kwa kipindi chote cha ziara yake; tena akizu-nguka nchi huku na kule mchana kweupe; na aki-hutubia na kuhadhir msikiti huu na ule, kutoka MjiniMagharibi mpaka Nungwi, Mkoa wa Kaskazini Unguja?

    Kuna ushahidi wa kutosha kwamba katika ziara yakeya Unguja Sheikh Ponda hakufanya chochote kwa siri.Alihutubia hadharani ndani ya misikiti. Polisi, taasisianayoiongoza Kamishna Mussa, ilituma askari wake

    kadhaa kufuatilia mihadhara ya Sheikh Ponda wakatiwa maandalizi na wakati inafanyika.

    Nimeambiwa kuwa askari walikutwa maeneo yamisikiti ambako Sheikh Ponda angekwenda baadayekuhadhir. Waliwauliza wenyeji wa misikiti na kuta-ka mawasiliano na viongozi wa misikiti iliyohusika.Walichukua majina ya viongozi wa shura za misikitipamoja na namba zao za simu.

    Lakini hata wakati Sheikh Ponda alipowasili msikitini,akaingia ndani, akasali, akaanza kuhadhir, askari polisiwalikuwa wamepiga kambi nje ya misikiti iliyohusika.Sheikh Ponda anazungumza na Waislamu ndani yamsikiti, wao askari wanalinda nje ili kusije kukatokeazahma yoyote ile ya kutiribua amani.

    Sheikh Ponda alidiriki kwenda gerezani Kiinua Miguu,Kilimani, kuonana na masheikh wenzake wanaoshiki-liwa tangu Oktoba mwaka jana kwa tuhuma za kucho-chea vurugu.

    Katika wakati wote wa ziara yake, Sheikh Ponda haku-fanya hata jambo moja kwa kificho.

    Sasa kama ni kumsaka Sheikh Ponda mbona Polisiwalikuwa na muda mwingi wa kufanya hivyo? Kwanini walikaa kimya na kuibuka ghafla baadaye alipok-wishaondoka Zanzibar?

    Mwandishi mmoja wa khabari alikuwa na ujasiri wakumuuliza Kamishna Mussa kama labda aliibukakutangaza kuwa wanamsaka Sheikh Ponda kwa kuwaalikuwa ameshawasikia viongozi wa CCM wamem-

    laani kwa madai ya kuwachochea wananchi kuletavurugu?

    Sheikh Ponda amegeuzwa mbuzi wa kafara. Viongoziwanashindwa kutekeleza majukumu yao lakini kwakutaka kuficha udhaifu wao, wakaona hakuna isipoku-wa kumsakizia yeye.

    Sina shaka yoyote kwamba kauli za kipuuzi zilizotole-wa na viongozi wa CCM/Zanzibar ndizo zilizowasu-kuma walioko Bara kujiunga katika mchezo mchafuwa kutisha wananchi na kumtisha Sheikh Pondakwa kuwa amejitokeza kuwa kiongozi wa harakati zaWaislamu kudai haki zao zinazokandamizwa na seri-kali zilizopo madarakani.

    Uko wapi uongo wangu? Si imeonekana dhahiri sha-hiri kwamba mara tu viongozi wa Bara walipowasikiawenzao wa Zanzibar wakipiga jaramba la kumsakiziaSheikh Ponda nao wakaigiza nyimbo ile na kumtanga-

    zia ubaya?Alianza Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP), EliezerFeleshi. Aliibuka na kusema Sheikh Ponda akamatwena kufikishwa mahakamani. Eti amevunja sheria nahaiwezekani aachiliwe tu hivihivi.

    Polisi walewale waliokuwa ubavuni mwa Sheikh Pon-da kwa wakati wote alipokuwa ziarani Zanzibar, waka-geuka kituko na kuingia kwenye mtego wa watawala.Wakaanza kumfuatilia kila aendako.

    Kama vile Zanzibar, Kusini hadi Kaskazini, Masharikihadi Magharibi, haikuwa sehemu nzuri ya kumkamataSheikh Ponda, Polisi wakaona eneo mwafaka ni Dar esSalaam au Morogoro.

    Badala ya kumkamata katika utulivu, hasa kwa kuwahaijawahi hata mara moja kutokea Polisi kumhofia

    Sheikh Ponda kuwa anabeba silaha, wakaamua kum-fuatilia kwenye makundi ya Waislamu wanaomtii.

    Wakamfuata Morogoro baada ya kubainika kuwaamealikwa kuhadhir wakati wa kongamano la Idi mjiniMorogoro. Walijua atakuwepo ndio maana mapemawalishurutisha kongamano lifanyike lakini bila ya yeyekuhutubia.

    Sasa kwani kongamano liliandaliwa na Polisi hatawapange nani na nani wazungumze na nani na naniasizungumze? Na tangu lini sheria hiyo imetungwaya Polisi kuchagua wasemaji wa mkutano usiokuwawao?

    Matamshi ya Bi Waride, kwa niaba ya CCM, na ya Balozi Seif, kwa niabaya Serikali, yalitosha kumtekenya Kamishna wa Polisi Zanzibar (CPZ),Mussa Ali Mussa. Yeye aliibuka na kutangaza rasmi kuwa wanamsakaSheikh Ponda.

    IMG NAME SURNAME

    Najabir IDRISSA

  • 7/27/2019 Zanzibar Daima toleo la pili

    8/18

    ZANZIBAR DAIMA ONLINE AGOSTI 23-07 SEPT ZANZIBAR DAIMA ONLINE AGOSTI 23-07 SEPT1514 Barza ya Jumba Maro

    Tukio la Zanzibar kunangwa nakupakwa matope kwa ujumla wakekutokana na wasichana wawili wa

    Kiingereza kumwagiwa tindikali, limeni-fanya nifikiri kwa mara nyengine tenana kujiuliza ni nani anayepaswa kulindamaslahi ya Zanzibar?

    Wakati sote tunakubaliana tukio lilelilikuwa ovu, la kinyama na la kukosaubinadamu, lakini bado mbele ya ma-cho ya kimataifa halikuhusishwa tu nawatu hao wawili waliotenda, lakini lime-husishwa na Zanzibar nzima ikiwa nipamoja na utu wake na uchumi wake.

    Vyombo vya habari vya Uingereza mojakwa moja vililihusisha tukio hilo namvutano wa kidini na ugaidi. Vinginevilisema kuwa wasichana hao wal-ishambuliwa kwa sababu wana asi-li ya Kiyahudi na vyombo hivyo vyahabari vilifanikiwa kuishawishi Wizaraya Mambo ya Nje ya Uingereza kutoatangazo la tahadhari kwa Waingerezawanaotaka kutalii Zanzibar.

    Vyombo hivyo venye nguvu na ushaw-

    ishi mkubwa duniani vikalenga bila ki-ficho kuiathiri biashara ya utalii Zanzi-bar ambayo inachangia zaidi ya asilimia60 ya uchumi wa Visiwa hivyo. Kwa sasaZanzibar inapata watalii zaidi ya 200,000kwa mwaka na Waingereza ni miongo-ni mwa wenye kuzitembelea kwa wingifukwe na Mji Mkongwe.

    Tatizo nililoliona katika kadhia hii nzimani kuwa sikujua ni nani mwenye wajibuwa kulinda maslahi ya Zanzibar. Na wikimbili baada ya tukio hilo bado najiulizana sijapata jawabu.

    Zanzibar ni moja ya washirika wa Mu-

    ungano, lakini kwa Mabadiliko ya 2010

    Zanzibar imejitangaza kuwa ni nchi nakwa hivyo ikiwa nchi ina uchumi wake, inawatu wake na tabaan ina maslahi yake, ta-fauti na yale ya Tanzania Bara na Tanzania.

    Kwa mtizamo wowote uchumi wa Zanzi-bar ni uchumi shindani na ule wa Tanza-nia Bara na kwa hivyo kila upande unasa-ka njia zake na una wajibu wa kulinda njiahizo kwa maslahi yake, maana chumi zetuhazisemeshani, kama wasemavyo wachu-mi.

    Kuguswa kwa utalii ni kuguswa kwa uchu-mi wa Zanzibar. Kwa hivyo ningeitarajiSerikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ)

    kusimama kidete kuyalinda maslahi yaZanzibar. Sisemi kuwa SMZ haikufanyakitu. Lakini niliitaraji ichukue hatua kubwazaidi na pana zaidi.

    Kubwa kwa maana mtu wa kwanza nin-getaka nimsikie akitoa sauti ya kulaani nakutoa mwongozo ni Rais wa Zanzibar, Dr.Ali Mohamed Shein. ingawa najua alifanyahivyo katika hotoba yake mbele ya Barazala Idi lakini alichelewa kidogo.

    Hivi karibuni wavuvi wawili wa Taiwan wal-ishambuliwa na askari wa Philippines naWaziri mmoja wa Philippines akatoa ram-bi rambi kwa niaba ya Serikali. Hilo likazuakashehe na kuonekana ni dharau, na Tai-

    wan ikataka lazima tamko litolewe na Raisndio suluhu ipatikane.

    Somo hapa ni kuwa kiongozi mkuu waZanzibar kila mara lazima ashauriwe juuya mambo ambayo lazima ayatolee kauliyeye mwenyewe, tena bila ya kuchelewana ikiwezekana siku hiyohiyo.

    Ningetaraji Dk. Shein angeongoza juhudi zakuisafisha Zanzibar nje ya nchi kwa kuan-za na mbinu za kibalozi na hilo liwe waziwazi. Wenzetu hawasiti katika mambokama haya. La sivyo Dk. Shein angetumianafasi yake kuufikia ubalozi wa Uingereza

    kuhusu hilo.

    Tatu ningetaraji kuona kampeni ya tukiohili ikipigwa ndani ya jiji la London, kwa DkShein kuona vipi Zanzibar inatumia Ubaloziwa Tanzania kutoa sura mbadala ya tukiohilo katika vyombo vya habari vya Uingere-za. Kama Ubalozi huo upo kwa ajili ya pan-de mbili, inashangaza kuona haikuchukuahatua yoyote iliyoonekana na umma.

    Nne, kama Dk Shein ndiye mtetezi mkuuwa maslahi ya Zanzibar, kwa kujua kuwasi lazima linaloiumiza Zanzibar linawa-gusa wenzetu wa Tanzania Bara, pamojana Rais Jakaya Kikwete kwenda kuwajuliahali waathirika wa tukio hilo ovu, ingefaa

    kabisa yeye Dk Shein awe mbele kutakana ikibidi kudai hatua zichukuliwe kulindataswira ya Zanzibar.

    Tano na mwisho kama Wizara ya Mamboya Nje inapaswa kutumikia pande mbiliza Muungano kwa ukamilifu, basi ilikuwani muhimu kwa Dk. Shein ambaye ndi-ye mlinzi wa maslahi ya Zanzibar aitakeWizara hiyo ichukue hatua ya kupunguzamadhara kwa Zanzibar.

    Inasikitisha kumsikia Waziri wa Mambo yaNje Bernard Membe akisema kuwa njia pe-kee ya kuzuia taswira ya Zanzibar kucha-fuliwa ni kwa kuwakamata wahalifu haona akiamini kuwa zawadi ya TShs 100 mil-

    lioni itatosha kuwakamata.

    Je, Dk Shein naye akae kitako kimya kusub-iri kukamatwa wahalifu hao na Zanzibarikichafuliwa kwa ujumla na kuathiri sektaya uchumi na kwa hivyo kutishia maelfu yaajira?

    Nani alinde maslahi ya Zanzibar ni Serika-li ya Muungano, au mtu aliyechaguliwa naWazanzibari na kula kiapo kuilinda Zanzi-bar? Tutaraji kulindiwa na upande ambaopia ni washindani wetu kiuchumi na am-bao unaweza kuwa na vipimo tafauti vyashida zetu?

    Ni nani anayalindamaslahi ya Zanzibar?

    Ningetaraji Dk. Shein angeongoza juhudi za kuisafisha Zanzibar nje

    ya nchi kwa kuangaza na mbinu za kibalozi na hilo liwe wazi wazi.

    Wenzetu hawasiti katika mambo kama haya. La, sivyo, Dk.Shein

    angetumia nafasi yake kuufikia ubalozi Uingereza kuhusu hilo.

    Somo hapa ni kiongozi mkuu wa

    Zanzibar kila lazima ashauriwe

    juu ya ambayo lazima ayatolee

    kauli yeye mwenyewe tena bila ya

    kuchelewa na ikiwezekana siku

    hiyo hiyo.

    Naally SALEH

  • 7/27/2019 Zanzibar Daima toleo la pili

    9/18

    ZANZIBAR DAIMA ONLINE AGOSTI 23-07 SEPT ZANZIBAR DAIMA ONLINE AGOSTI 23-07 SEPT1716 Waraka kutoka Bonn

    Naothman MIRAJI

    Ghasia za Juni 1961, somo lahistoria kwa Wazanzibari

    JUNI Mosi, 1961 na siku nane zilizofuatabaadaye, nikiwa katika umri wa kubal-eghe, nilishuhudia michafuko mikub-

    wa baina ya Wazanzibari wenyewe kwawenyewe iliopewa jina la Ghasia za Juni.Wazanzibari 68 waliuwawa, 381 walijeruhi-wa , baadhi yao vibaya sana, majengo mengiyakaharibiwa na mali nyingi za watu zilipor-wa.

    Kwa vile Wazanzibari wengi, hasa walewaliokuwa na satua, walishindwa baa-daye kujifunza kutokana na maafa hayona kuchukua hatua mujarabu, yawezekanakuwa hiyo ndio sababu ya kuzidi kuwekomgawanyiko miongoni mwa Wazanzibariwenyewe kwa wenyewe. Mgawanyiko huoulipelekea kuweko Juni nyingine kadhaabaaadye.

    Waliofaidika na michafuko hiyo hawakuwaWazanzibari, bali watu wa nje. Ukipata na-

    fasi soma kutoka Intaneti: ZanzibarRiot Report of June 1961 utapatasura ya hali ya mambo ilivyokuwawakati huo

    Mabishano yalikuwa baina yavyama viwili vikuu vya siasa, Af-ro-Shirazi Party (ASP) na ZanzibarNationalist Party ( ZNP au Hizbu).Viongozi na wanachama wa vya-ma hivyo walikuwa Wazanzibarina karibu wote ni Waislamu kamawalivyokuwa wakaazi wa visiwa hiviambao kwa miaka na dahari walii-

    shi pamoja kwa salama na amani.

    Punde tu baada ya uchaguzi wamwanzo wa mwaka 1957 ambapochama cha ASP kilikishinda kile chaZNP, kwa ghafla Zanzibar iliyokuwanuru ya uchumi na usomi katikaeneo la Afrika Mashariki, ilishuhudia

    watoto wake wakihasimiana,wakichukiana na wakiombeanamaovu. Biashara za Wazanzibariwaliokuwa wafuasi wachama kimo-

    ja zilisusiwa na Wazanzibari wenzi-wao waliokuwa wafuasi wa chamakingine. Wakulima wadogo wadogowalifukuzwa kutoka mashambana wafanya kazi walipoteza ajira.visima vya maji vikawa vinatiwavinyesi na mimea kukatwa, yoteilikuwa kukomoana. Siasa za chukina uhasama zikaenea hadi ndani ya

    koo na familia.

    Wanasiasa wa kambi zote mbiliwalikuwa wanasimama majuk-waani, wengine wakiwa wasomiwenye elimu za juu za kidini na ki-dunia, wakikubali kuingizwa katikauchafu wa kusutana, kutukananana kubezana. Kutostahamiliana ki-siasa ndiko kulikotangulizwa mbele.Mara nyingine rangi ya mtu ndioilikuwa utambulisho wake. Kipindihicho kilikuwa cha aibu kwa visiwavyetu.

    Wengi wa watu 68 waliouawa ka-tika ghasia hizo za Juni1961 wali-kuwa wafuasi wa ZNP wenye asiliya Kiarabu. Na ingekuwa Balozi waUingereza (Resident, aliyekuwa nadhamana ya usalama), hajaamuakuwaita wanajeshi wa Kiingerezakutoka Kenya kuja kutuliza mam-bo, basi roho nyingi zaidi za watuwasiokuwa na hatia zingepotea.

    Mtaa niliokuwa naishi, BarasteKipande, katika jimbo la uchaguzila Darajani, ulikuwa mojawapo yavitovu vya michafuko. Nikichunguliakutoka dirisha la chumbani kwan-gu, niliwaona wafuasi wa vyamavya ASP na ZNP wakirushianamawe, wakitishana kwa kuonesha-na mapanga, marungu, nondo nafimbo.

    Wengine kati yao ni watu walioche-za pamoja udogoni, waliokwendashuleni pamoja, waliokuwa waki-cheza pamoja karata, bao na dhum-na mitaani. Kutoka kuwa binadamumara wakageuka kuwa karibu sawana wanyama, wanawindana.

    Wakoloni wa

    Kiingereza waliundatume ya uchunguzi

    kutaka kujua sababuya michafuko hiyo

    Mzee mmoja akitokea msikitini ku-sali adhuhuri alishtukia jiwe kubwalikimuangukia kichwani. Alianguka nakufa papohapo ubavuni mwa nyumbailio jirani na kwetu, huku akishikiliatasbihi yake mkononi. Watu watatutu walikwenda kumzika. Serikali ili-toa amri ya kuwazuia watu wasitokenje ya nyumba zao.

    Wakoloni wa Kiingereza waliundatume ya uchunguzi kutaka kujuasababu ya michafuko hiyo. Ripotiya tume ilisema tu kwamba saba-

    bu ilikuwa mlolongo wa makosa yaWazanzibari wenyewe walioshind-wa kustahamiliana na kuvumilianakisiasa. Japokuwa tume hiyo iliepu-ka kutaja kwamba nao Waingerezawalichangia kuchochea kuwagawaWazanzibari. Wazanzibari wengiwaliliona tukeo la Juni kuwa la kipe-kee, la kupita tu na kwamba baadayelitasahauliwa. Walikosea.

    Miezi miwili baada ya michafuko hiyoHayati Baba yangu alinipeleka Tang-anyika kuendelea na masomo yangu,hivyo sijayashuhudia maafa mengine

    yalioifika Zanzibar baada ya ghasia zamwaka 1961.

    Hebu nikupeni hadithi ya nduguwawili, wanasiasa wa Kijerumani.Wa kwanza ni Bernhard Vogel, ali-yekuwa waziri mkuu wa mkoa mmojahapa Ujerumani na miongoni mwaviongozi wa Chama tawala cha Chris-tian Democratic Union (CDU) katikamiaka ya tisini. Wa pili ni kaka yake ,Hans-Jochen Vogel, aliyekuwa katikauongozi wa Chama cha Social Dem-ocratic, (SPD), na aliyewahi kuchuana

    na Kansela Helmut Kohl wa chamacha CDU kupigania ukansele.

    Bernhard aliwahi kuulizwa ilikuwajewao wawili waliopata malezi ya kika-toliki kutoka kwa wazee wao wakawakatika kambi za kisiasa zinazopinga-na, ndugu yake akiwa msoshalisti nayeye mhafidhina.

    Alijibu hivi: Mimi nampenda sanandugu yangu Hans, lakini katikaushindani huu naona Helmut Kohlatakuwa kansela bora. Aliendeleakusema kwamba yeye na ndugu yake

    wanaiona siasa kama wito wa kuwa-tumikia watu ili maisha ya wananchiyawe bora na kwamba kwao siasasi mradi wa kiuchumi au wa kutakaumaarufu wala si kufanya uhasa-ma kuelekea yule aliye na mawazotofauti na yao. Utu unatangulia siasa.Nilifahamu baadaye kwamba mtotowa Hans-Jochen alikuwa akiishi naami yake, Bernhard, katika mji waMainz anakosoma. Alisema Wajeru-mani wamejifunza kutokana na ma-kosa makubwa walioyafanya kablaya vita, kushindwa kustahamiliana na

    kuvumiliana nchini mwao na pia namataifa mengine ya dunia.

    Mimi nilipoziona kanda za video zamikutano ya hadhara ya kisiasa hukoZanzibar hivi karibuni, wanasiasawakiyatumia majukwaa kubezana nakushushiana heshima nilijiuliza; jeehii ni demokrasia tunayoitamani, natunaelekea wapi? Nililikumbuka jin-amizi la Juni 1961 na kuwakumbukaWajerumani Bernhard na Hans-Jo-chenVogel. Zote hizo ni historia, nimafunzo kwangu na kwako.

    Gwaride kubwa kabisa la kijeshi kuwahi kuonekana Afrika ya Mashariki tarehe 15 Februari 1965, Mnazi Mmoja, Zanzibar

  • 7/27/2019 Zanzibar Daima toleo la pili

    10/18

    ZANZIBAR DAIMA ONLINE AGOSTI 23-07 SEPT ZANZIBAR DAIMA ONLINE AGOSTI 23-07 SEPT1918

    Namohammed GHASSANI

    Muungano si tatizopekee la Zanzibar

    Ngurumo la Mkamandume

    Zanzibar ilifanya kosa kuingiakwenye mfumo huu wa muunganona jirani yake, Tanganyika. Kili-

    chotokea Aprili 1964 ni ajali ya kisiasakama zilivyo ajali nyingine zozote.

    Waswahili husema ajali haina kinga,lakini huko kutokuwa na kinga hakuma-anishi kwamba ajali ni jambo zuri. Ajalizina madhara majeraha, kuharibika

    mali na vyombo na hata vifo.Ndiyo maana mara baada ya ajali ku-tokea, jitihada huchukuliwa kurudishahali ya kawaida, ingawa pia Waswahilihaohao husema kuwa lishalovunjika nigaye. Lakini gaye (upande wa nyunguau kaure) linaweza kufanyiwa marekebi-sho ya hapa na pale.

    Kwa miaka ikaribiayo 50 sasa, Wazanzi-bari wamekuwa wakijaribu kupambanana madhara ya ajali ya kisiasa iliyoipatanchi yao. Hiyo imekuwa miaka 50 yakulifanya gaye lifae kuwa nyungu yakupikia.

    Je, kama mfumo huu wa Muun-gano ulikuwa ajali, ilikuwaajali iliyoweza kuepukwa? Kwetuwengine, jibu lake ni ndiyo.Laiti kama kuelekea uhuru wamwaka 1963, wakati wa zileziitwazo Zama za Siasa, wana-siasa wa Zanzibar wangeliwezakujenga Mwafaka na Maridhianoya Kitaifa.

    Wangelifanya hivyo basi pasin-gelifanywa Mapinduzi ya Januari1964 na hatimaye kusingekuwana Muungano. Kwa Zanzibar,Muungano ulikuwa nyenzo yakuwalinda watawala walioingiamadarakani baada ya Mapinduzi.

    Hilo nalibakie hapo kwanza,maana halikuwa lengo la makalahaya kuchambua chimbuko laMuungano. Itoshe tu kuthibi-tisha hoja kwamba Zanzibariliingia kwenye mfumo huu waMuungano kimakosa. Na kamalilivyo kosa lolote lile, ni busarakuliepuka. Kama halikuwezakuepukwa kabla ya kufanyika,basi hekima ni kupunguzamadhara ya kosa hilo baadaya kufanyika na kujiepusha namengine mfano wake. Na yakomengine, kwa hakika, baada yakufanywa, huweza kufanyuliwa.La mfumo huu wa Muunganotulio nao sasa, lilipaswa kuwamoja wao.

    Lakini je, hata kama hilo lakulifanyua kosa la mfumo waMuungano likitokea, Zanzibaritakuwa imeyamaliza matatizoyake yote iliyonayo? Kwa hili, jibuni hapana kwa sababu mfumowa Muungano si tatizo pekeekwa Zanzibar, hata kama nimiongoni mwa matatizo hayo.

    Zanzibar inakabiliwa na ma-tatizo mengine mengi na tenamakubwa sana. Hayo ni matati-zo ambayo hata kama Zanzibarisingelikuwa kwenye Muungano,bado yangelifanya libakie kuwataifa lililo nyuma sana kimaen-deleo mithali yalivyo mataifamengine yaliopata uhuru wakatiule ule Zanzibar ilipopata wake.

    Kama kulivyo kwengine, hasabarani Afrika, Zanzibar pia kunaufisadi unaofanywa na vion-gozi wa serikali, kuna ugoigoiwa kijamii na utovu wa nidha-mu wa umma. Zanzibar hii leoingepaswa iwe zilipo nchi kamaSudan, Misri na Ghana, kwamfano, ambazo kwenye miaka ya60 zilifanana sana na Zanzibarkwa uwezo wao wa kiuchumi,wingi wa wasomi, na nidhamu yakijamii.

    Mkufu wa matatizo shingonimwa Zanzibar ungeliitundikanchi hii hata kama isingelikuwakwenye mfumo huu wa Muun-gano na Tanganyika.

    Hata nje ya Muungano, Zanzi-bar isingelikuwa taifa bora lauingekuwa nao hawa wanasiasa

    waliobobea katika kufisidi maliya umma ardhi, majengo na fe-dha, ambazo zimegeuzwa kuwamali ya viongozi hao na familiazao.

    Taifa ambalo lina raia wasio-tambua haki na wajibu wao kwanchi, ambao wanaweza kuiibiaserikali, kuharibu mali ya ummaau kutelekeza wajibu wao kwakiwango tufanyacho kwetu,haliwezi kuwa zuri zaidi ati kwakuwa liko huru nje ya Muungano.

    Taifa lenye kundi la wanasiasawanaopigania kusalia madarakanihata kwa mtutu wa bunduki, wa-kipitia kwenye chaguzi zisizo huruwala zisizo za haki, haliwezi kuson-ga mbele kiuchumi, hata kama juuyake hakuna kizibo.

    Taifa ambalo lina usiri mkubwasana kwenye mfumo wake wakijamii, ambapo watoto wadogowa kike na kiume huharibiwa nawalimu, wazee, walezi na wakubwawao, kisha likashindwa kuwa-chukulia hatua wahalifu hao kwasababu yoyote ile iwayo, haliwezikuzalisha vichwa vya kuliendeleza.

    Haya ni matatizo makubwa ya-nayoikabili Zanzibar. Na matatizohaya kama yataendelea kuwapohivi hivi yasijengewe matumainikwamba mara baada ya Zanzibarkutoka kwenye mfumo wa sasa waMuungano, basi itaweza kusimamana kuwa taifa, nchi na dola huruyenye neema kufumba na kufum-bua.

    Nirudie. Mimi ni mmoja wa wana-oamini kwamba Zanzibar ilifanya

    kosa kuingia kwenye Muungano.Nimekiita kitendo hicho kuwa ajaliya kisiasa. Ndiyo, ilikuwa ajali, tenambaya. Ajali haisifiwi wala haikari-bishwi. Ajali hukosolewa na hue-pukwa.

    Lakini mwenendo wa mambo ndaniya Zanzibar yenyewe unaoneshakwamba nchi yetu bado ina ma-tatizo mengine makubwa. Ni kwakuyaweka sawa matatizo hayo tu,ndipo kuwa kwetu nje ya mfumowa sasa wa Muungano kutakuwana maana kwa maisha ya Mzanzi-bari wa kawaida. Na hilo la kuya-ondoa matatizo hayo, halitakuwa

    jambo la siku moja, wala mbili. Uta-kuwa mchakato wa muda mrefu.

    Vuguvugu la umma kwenye matai-fa ya Kiarabu limeibua hoja kwam-ba mataifa kama vile Misri, Tunisiana Libya, kwa mfano, sasa yanarudihatua 100 nyuma kuliko pale yali-pokuwa kabla wananchi hawaja-wapindua viongozi wao wakongwe.Kuna kitu kilikosewa, ambacho nitaaluma ya kuyasimamia mata-rajio ya umma. Nitaiita taaluma

    hii expectology (public expecationmanagement).

    Hapana shaka, haikuwa kwa HosniMubarak kuendelea kuwa Firau-ni wa Misri wala Zein Al-AbidinBen Ali kuwa dikteta wa Tunisia,kama vile ambavyo si halali kwaDodoma kuendelea kuwa mtawalawa Zanzibar. Lakini kuyadumishamapinduzi ya umma wa Kiarabu,wanamkakati walipaswa kuutaya-risha umma kwa kipindi kigumucha kuyasimamisha mapinduzihayo.

    Ya Zanzibar pia ni yayo. Bado

    Zanzibar haijawa na mageuzimakubwa yanayoonekana kuwamatarajio ya walio wengi. Nina-chokusudia ni kuwa hata kama len-go ni kuwa na mfumo tafauti waMuungano kati ya Zanzibar na Tan-ganyika, kuelekea huko wanamka-kati walenge sasa kwenye taalumaya expectology, inayojumuisha piakuyatatua matatizo makubwa. yandani angalau kwa kuanza leo

    kuyazungumzia kwa uwazi.

  • 7/27/2019 Zanzibar Daima toleo la pili

    11/18

    ZANZIBAR DAIMA ONLINE AGOSTI 23-07 SEPT ZANZIBAR DAIMA ONLINE AGOSTI 23-07 SEPT2120

    Rais Robert Nugabe

    Mkeka wa Mwana wa Mwana

    Bila ya Mkataba,

    hakuna Muunganowa hakiM

    iongoni mwa sababu kubwa za ulazima wa kuandikwa kwaKatiba mpya sasa ni ukweli kwamba kwa takriban miaka yote yauhai wake, Muungano huu haukuheshimu Mkataba uliouunda.

    Nariziki OMAR

    Kwa kiasi kikubwa, Katiba ya 1977imekuwa ikiyakhalifu makubalianohayo ya kimataifa na, kwa hivyo,ni katiba iliyokwenda kinyume namsingi wake. Kutokana na hili,

    mbali ya mengine yote, ndiyo maa-na kuna ulazima wa kuandikwakwa katiba mpya (na sio kuifanyiamarekebisho iliyopo) kwa sababuhii ya sasa ni batili kwa kiwangoambacho Makubaliano ya Muun-gano yanahusika. Sababu ni kuwaMuungano huu haukuundwa, nakatiba na wala hautakiwi kuongoz-wa na Katiba hiyo, bali Mkataba.

    Kile ambacho Katiba zote mbi-li, ya Muungano na ya Zanzibar,zilichotakiwa kukifanya, kilikuwani kuutafsiri Mkataba huo tu, nasi vyenginevyo. Inapotokezeakuwa Katiba imesema kinyume

    na Mkataba wa Muungano, kamaambavyo Katiba ya sasa ya Mu-ungano wa serikali mbili imekuwaikifanya tangu kuundwa kwake, niKatiba ambayo itakuwa imekoseana lazima irekebishwe mara mojakuondoa kosa hilo. Lakini kwa vilemakosa hayo ni mengi mno, basisasa yamechusha na yameipokauhalali wote Katiba ya 1977.

    Ni bahati mbaya sana kwambaserikali za Chama cha Mapinduzi(CCM) zilikuwa zikijaribu kutuele-

    za kwamba matatizo yanayouk-abili Muungano huu yalikuwa yakawaida tu na ambayo yangeliwe-za kufunikwafunikwa hapa na palena kumalizika. Hilo limefanyika

    kwa muda wote wa miaka ikarib-iayo 50, lakini halikufanikiwa.

    Hapa nitazungumzia ya jitihadabutu za serikali za CCM kuoneshakwamba mambo yanaweza kukaasawa, ilhali hayajawahi kukaa.Nao ni ule utaratibu wa vikao vyapamoja baina ya Serikali ya Muun-gano na ya Zanzibar kujadili keroza Muungano.

    Licha ya kujumuisha mabarazaya mawaziri wa pande zote mbili,vikao hivi havina uhalali panapo-husika msingi wa Muungano huuna ndio maana havina nguvu za

    kutatua kero yoyote ambayo, hatahivyo, imeundwa na wajumbe haohao wa vikao kupitia sera ya CCMya Muungano wa Serikali Mbili.

    Haviwashi wala havizimi kwakuwa wajumbe wa vikao vyenyewe upande wa Bara huongozwana Ofisi ya Waziri Mkuu na waZanzibar huongozwa na ofisi yaMakamu wa Pili wa Rais wa-nakutana wakiwa tayari wame-shauvunja Mkataba wa kimataifauliosainiwa na wawakilishi wa

    Tanganyika na Zanzibar wa wakatihuo. Kikao chochote cha kuujadiliMuungano huu kilitakiwa lazimakiakisi uwakilishi huo wa pande zin-azohusika za Mkataba wenyewe.

    Kwa hivyo, ni kosa kubwa dhidi yasheria zinazolinda mikataba yakimataifa. Kwa hakika, ni hatua yahatari kwa khatima njema ya Muun-gano huu, kwa ofisi za waziri mkuu

    wa Jamhuri ya Muungano wa Tan-zania (ambayo Zanzibar ni sehemuyake) na Makamu wa Pili wa Raiswa Zanzibar (ambayo ni ya Zanzibartu kama mwasisi mmojawapo waMuungano wenyewe) kujadili mus-takbali wa Muungano.

    Wanaostahili kuujadili na kuutoleamaamuzi Muungano ni Serikali yaZanzibar na mwenzake aliyetili-ana saini Mkataba wa Muungano,ambayo ni Serikali ya Tanganyika.Viongozi wa Serikali hizo ndio walio-

    kuwa washiriki wa mazungumzo ya ku-unda Muungano kwa niaba ya nchi zao.Kilichotokea Aprili 1964 ni Kiongozi waSerikali ya Jamhuri ya Watu wa Zanzi-

    bar na Kiongozi wa Serikali ya Jamhuriya Tanganyika kukubaliana kuanzishaushirika wao unaoitwa Muungano.

    Katika kulinda heshima za mataifa yao,viongozi hao waliweka saini Mkatabawa makubaliano yao, ambao una kilasifa ya kuwa Mkataba wa Kimataifaunaostahiki kuheshimiwa na pandezinazohusika. Kwa hivyo, ni upotoshajiwa makusudi kuuchukua mjadala wanchi mbili zilizoungana na kuukabidhi-sha mikononi mwa vyombo visivyohu-sika na kuvipa vyombo hivyo mamlakaya kufanya maamuzi yote.

    Kwa lugha rahisi ni kuwa Ofisi ya Wa-

    ziri Mkuu haina sifa ya kuuwakilishaupande wa pili wa Muungano, maanahii ni Ofisi ya Waziri Mkuu wa Jamhuriya Muungano wa Tanzania, ambayoZanzibar ni sehemu yake. Ofisi hiyo kama taasisi ni taasisi ya Muungano,ambao ndio unaojadiliwa hapa, na sitaasisi ya Tanganyika, ambayo inaam-biwa haipo.

    Hii ni kusema kwamba, utaratibu huuwa pande mbili kukutana nako pia ku-likuwa ni sehemu ya vizungumkuti vyaCCM na serikali zake kwenye muundo

    huu wa Muungano wa serikali mbili.Ni sawa na kukichukua kiumbe nakukiweka na mmoja kati ya waum-baji wake kukijadili kiumbe hicho.

    Kiumbe hapa ni Serikali ya Muunganona mmoja wa waumbaji ni Serika-li ya Zanzibar, ambapo muumbajimwengine (Serikali ya Tanganyika)husemwa kuwa hayupo. Wenyebusara hawawezi kuamini kwenyevizungumkuti kama njia mwafaka naya kudumu, ndio maana muundo waMuungano wa Serikali Mbili uka-onekana wazi kwamba haufai. Tumeya Katiba chini ya Jaji Joseph Wariobaimependekeza, hatimaye, kile am-bacho hasa kinautafsiri Mkataba wa

    Muungano wa 1964, yaani Muun-do wa Muungano wa Serikali Tatu.

    Kinyume chake, wale wanaote-

    tea muundo wa sasa wa Mu-ungano wanatuambia kwambawanapenda kuendelea kufanyakizungumkuti hiki kwa maku-sudi, wakizikengeuka sheria zakimataifa, kama ile ya CommonLaw na Vienna Convention, amba-zo hutakiwa kuongoza mikatabaya kimataifa kama huu wa Muun-gano wa Tanganyika na Zanzibar.

    Sisi wengine, hatutaweza kamwekuwaunga mkono.

  • 7/27/2019 Zanzibar Daima toleo la pili

    12/18

    ZANZIBAR DAIMA ONLINE AGOSTI 23-07 SEPT ZANZIBAR DAIMA ONLINE AGOSTI 23-07 SEPT2322 La Kusemwa Lisemwe

    Zanzibar inavyoonewa navyombo vya habari vya Bara

    Hivi karibuni wasichana wawili wa

    Kiingereza, Kristie Trup na KatieGee, walimwagiwa tindikali na

    watu wawili wasiojulikana katika eneo laShangani, Mji Mkongwe, Unguja.

    Mara tu baada ya kupatikana taari-fa hizo zilizoishtua Zanzibar, kwa vilekitendo hiki cha kinyama hakiwezikukubalika na jamii inayojali utu, zilisiki-ka shtuma kali kwamba washambuliziwalikuwa wale wanaoitwa Waislamuwenye siasa kali.

    Baadhi ya vyombo vya habari vya nchi zanje na vya hapa nchini vilipaza sauti zakuwalaumu Waislamu. Vyengine, hasavya nyumbani, vilitoa tahariri zilizoelezakuwa Zanzibar haikaliki na watalii wa-meanza kuwa na khofu ya kutembeleaZanzibar.

    Sijui wataalamu hawa wa habari nabaadhi ya maofisa wa Jeshi la Polisiwalifanya uchunguzi wakati gani hatawakagundua kuwa washambulizi nivijana wa Kiislamu.

    Bila ya kutafuna maneno, hiki ni kiele-lezo chengine cha jinsi panapotafutwasababu au kisingizio chochote kile chakuwapaka matope Waislamu na diniyao.

    Hii sio mara ya kwanza wala ya pilikutolewa kauli kama hizi zisizo namshiko na zenye lengo la kuonyesha

    kuwa Zanzibar wapo Waislamuwanaohusudu kufanya vitendo vyakijahili.

    Jengine ni kutaka kuiharibu sifa yaZanzibar kama nchi ya watu wakarimuna wanaopenda wageni ili kuichafuasekta yake ya utalii inayotegemewasana na uchumi wake.

    Kwanza tujiulize ni nini kilichopelekeakufikiriwa watu waliofanya unyamahuo kuwa ni Waislamu au walikuwa nachapa inayoeleza Sisi ni Waislamu?

    Vile vile nini kinachopelekea pasifikiri-we waliohusika kuwa ni watu wa dini

    nyengine au wasiokuwa na imaniyoyote ya kidini, bali ni majahali tuwaliokuwa na lengo waliolijuwa we-nyewe?

    Ungetaraji kuwa katika nchi yenyeutawala bora na vyombo vya ha-bari vinavyofuata maadili na uwa-

    jibikaji kwamba kwanza utafanywauchunguzi kabla ya kuwahusishana tukio hilo Waislamu au wauminiwa dini yoyote ile, chama cha siasaau wengine wenye utashi wa jambofulani.

    Kinachoshangaza ni kuona kuwa yapomagazeti ya nje ambayo yameibuamambo ambayo vyombo vingi vyahabari na polisi humu nchini hawa-

    jayaeleza. Hayo magazeti ya kwetulabda yalifanya hivyo kwa makusudiau labda kwa vile undani wa suala hilihaukutafutwa.

    Kwa mfano, gazeti la Uingereza laThe Daily Telegraph la tarehe 12Agosti liliandika kwamba mara mbilikatika kipindi cha wiki moja kabla yawasichana hao kumwagiwa tindikali

    walipapurana na watu katika maeneo ya Mji Mkong-we.

    Gazeti hilo lilimnukuu rafiki mmoja wa wasichana hao,aliyekuwa nao Zanzibar akisema kuwa katika tukiomoja wakati wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani wa-sichana hao waliwaudhi watu walipokuwa wanaimbahadharani wakati wa mchana. Dada mmoja aliudhikana kumpiga kibao Kristie.

    Rafiki mwengine wa wasichana hao alikiambia kituocha televisheni cha Channel 4 Newscha Uingerezakuwa vijana wawili waliowamwagia hao wasichanatindikali walipita katika kundi la wazungu wengi.

    Vijana hao waliwaangalia vizuri hao wazungu na

    mmoja wao alionyesha kidole na mwenzake alipoi-nua kichwa kuitikia Ndio ndipo walipomwagwa hilotindikali.

    Je, matukio haya hayaonyeshi kama palikuwepo jambohapa? Kwamba kitendo hicho kiliwalenga wasicha-na hao wawili tu kwa jambo ambalo lina t aswira yakulipiza kisasi au kutokana na tukio jengine la hapoawali?

    Hapa tujiulize kwa nini habari hii haitolewi maele-zo na badala yake magazeti ya Bara hukurupuka tukuwalaumu Waislamu na sio watu walioshukiwa kuwana ajenda maalum ya kuwasaka wasichana hao?

    Ukiangalia hizo tahariri za Bara zinazoeleza kuwaZanzibar haikaliki khasa za magazeti ya kampuni mojainayomilikiwa binafsi utaona wazi hapana kigezo cha

    uhakika kilichotumika kufikia uamuzi huu.

    Hapa tujiulize kama matukio ya mashambulizi ndiokipimo cha kuamua eneo fulani halikaliki ni wapi pasi-kalike? Bara au Visiwani?

    Matukio ya mashambulizi ya Bara ukiyalinganisha naya Zanzibar ni mengi na ya hatari zaidi.

    Kwa mfano, tumeshuhudia Bara pakitokea

    mripuko kanisani huko Arusha. Ulipotokea mripukohuo na baadhi ya watu kuuawa na wengi kujeruhiwalawama walitupiwa Waislamu wenye siasa kali.

    Hapo tena wakaanza kusakwa Waislamu na miongo-ni mwa waliotiwa nguvuni walikuwa raia wa nchi zaKiarabu waliokuwa watalii nchini. Hatimaye, Waara-bu hao walionekana kuwa hawahusiki kivyovyote nashambulizi hilo.

    Hivi sasa wanaokabiliwa na mashtaka ya kuhusika namripuko huo ni vijana wa Kikristo.

    Kwa nini hatuambiwi kuwa vijana hao ni Wakristowenye siasa kali kama wanavyoelezwa watuhumiwawanaokuwa waumini wa dini ya Kiislamu?

    Kama ni matumizi ya tindikali katika kuwashambuliawatu basi Bara nako pia mtindo huu umeshamiri.

    Je, tunayaonaje mashambulizi ya risasi zilizopigwakatika mkutano wa Chadema huko Arusha mjini, upig-waji nondo wa imamu katika msikiti mmoja wa Mbeya,mauaji ya waandishi wa habari Iringa na Kigoma namashambilizi mabaya dhidi ya mwandishi mmoja wahabari jijini Dar es salaam.

    Halafu kuna hili tukio la karibuni la kushambuliwaSheikh Issa Ponda huko Morogoro. Nalo hili ni tukio lakiusalama?

    Au ndio tuseme matukio yote haya sio makubwa nahayatishi kuliko ya Zanzibar?

    Ukiitafakari hali halisi ilivyo utaona kwamba kama

    kuna eneo linaloweza kuwa lisilokalika kwa vile ni lahatari basi eneo hilo ni Bara na sio Zanzibar.

    Kwa kweli ni matendo kama haya yanayowafanyaWazanzibari wengi waamini kuwa hawatendewi hakina baadhi ya ndugu zao wa upande wa pili wa Muun-gano.

    Bila ya kutafuna maneno, hiki ni kielelezo chengine cha jinsi

    panapotafutwa sababu au kisingizo chochote kile cha kupakwa matope

    Waislamu na dini yao

    Nasalim s SALIM

    Baadhi ya magazeti yanayochapishwa Tanzania Bara.Kumekuwa na tabia iliyozoeleka ya vyombo vya habari vya Barakuitangaza vibaya mno Zanzibar, hali inayotia wasiwasi wa

    dhamira yao.

  • 7/27/2019 Zanzibar Daima toleo la pili

    13/18

    ZANZIBAR DAIMA ONLINE AGOSTI 23-07 SEPT ZANZIBAR DAIMA ONLINE AGOSTI 23-07 SEPT2524

    Mazungumzo Baada ya Habari

    CCM/Zanzibar itaendelea hadi linikuwala wanawe?

    uruhani wa Tanganyika ndio kasoro ya msingi. Kwamba

    imo ndani ya Muungano au haipo. Ipo, haipo. Lakini ikipandakichwani ikatoa jina unaiona, inasema nipo.

    Kwa kuwatimua kutokaCCM Wazanzibari kind-akindaki kwa sababu ya

    hoja zao za kuitetea Zanzi-bar, CCM/Zanzibar inajiwekakwenye kundi la washtakiwawanaotetewa mahakamani,lakini wenyewe wakisema:

    Hatutaki kutetewa, wachatufungwe.

    Shinikizo za kutaka Man-soor Yusuf Himid afukuzweuanachama zilianza kwa ngu-vu wakati ambapo Mwanas-heria Mkuu wa Serikali yaMapinduzi ya Zanzibar (SMZ),Othman Masoud Othman,akisema anaunga mkonomsimamo wa Tume ya Kati-ba ya Jaji Joseph Warioba wakuwa na Muungano wa Seri-

    kali Tatu, huku akiupinga vikaliule wa Serikali Mbili akisemakuwa huo utauvunja Muun-gano.

    Tayari Umoja wa Vijana waCCM Zanzibar, unaoongozwana vijana wenye misimamomikali ya kutupwa ya kihafid-hina, umemtaka Mwanasheria

    Mkuu huyo ajiuzulu mwe-nyewe ama watafanya ma-andamano ya kumlazimishaajiuzulu.

    Lililomponza Mansoor nililelile analoliunga mkonoMwanasheria Mkuu. Na ndilolilelile lililowafukuzisha kaziRais Aboud Jumbe na MaalimSeif Sharif Hamad pamoja nawenzake.

    Othman Masoud anaweza

    akawa si mwanachama waCCM, lakini anaitumikia se-rikali inayoongozwa na CCM,chama ambacho sera yake nikuendelea na muundo huuwa sasa wa Muungano waSerikali Mbili kwenda Moja. Je,naye atatolewa kikoa?

    Mwanasheria Mkuu ana msi-

    mamo mmoja kama Mansoor.Naye pia anautetea mfumowa Muungano wa Serikali

    Tatu utakaokuwa na mas-lahi kwa Zanzibar mfumoambao utaiondoa Zanzibarkuwa manispaa, mkoa, wilayaau jimbo la Tanganyika kwalugha nyepesi, Zanzibar yenyemamlaka kamili.

    Zanzibar yenye mamlakakamili anayoililia Mwanashe-ria Mkuu, ndiyo pia inayoliliwa

    na Rais Mstaafu Abeid Karume,Mzee Hassan Nassor Moyo naKamandoo Dk. Salmin Amour. Je,na wao watasalimika na fukuzafukuza za CCM/Zanzibar?

    Bosi wa Othman Masoud niRais wa Zanzibar na Mwenyekitiwa Baraza la Mapinduzi na piaMakamu Mwenyekiti wa CCM,

    Dk. Ali Mohammed Shein. Yeyendiye aliyekisimamia kikaokilichopendekeza kumvua uana-chama Mansoor. A kiwa Rais waZanzibar, Dk. Shein amenuku-liwa mara kadhaa akisema hanamsimamo juu ya Katiba Mpya.Lakini akiwa mwanachama nakiongozi wa CCM, msimamowake ni wa kutaka Muunganouendelee kuwa na Serikali Mbili.

    Isitoshe, licha ya kuwa yeye niRais wa Serikali ya Mapinduzi yaZanzibar yenye mfumo wa Umo-

    ja wa Kitaifa, Dk. Shein amekari-riwa akisema haitambui Kamatiya Maridhiano, ambayo miongonimwa mafanikio yake ni kuundwakwa hiyo Serikali ya Umoja waKitaifa anayoiongoza.

    Haitambui Kamati hiyo iliyo-simamia mazungumzo kati yaMaalim Seif Sharif Hamad naRais Amani Karume na kupigwakura ya maoni iliyoidhinisha, ha-timaye, mabadiliko makubwa yaKatiba ya Zanzibar na kuzaliwakwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa.

    Je, katikati ya khofu za wahafi-dhina wa Zanzibar juu ya kha-tima yao nje ya muundo wasasa wa Muungano na madaiya mamlaka zaidi kwa Zanzibar,kuna nafasi yoyote ile ya kupa-tikana kwa mwafaka wa kwendambele kama Wazanzibari ndaniya CCM/Zanzibar?

    Jawabu ya Mwanasheria Mkuu

    Othman Masoud ni kwambandiyo, maana lile la Kuundwakwa Serikali ya Umoja wa KitaifaZanzibar lilikuwa jambo zito zaidikuliko mabadiliko ya muundo waMuungano.

    Othman Masoud anajulikanakuwa ni msomi na mwanashe-ria na sio kama mwanasiasa, na

    hivyo anashangaa kuwa kunabaadhi ya wanasiasa wenye kui-beza Serikali ya Umoja wa Kitaifana wanaokataa kukaa pamojakuzungumzia Muungano wenyemaslahi kwa Zanzibar.

    Mwanasheria Mkuu huyo alizidikushangaa kuwa kuna wale wa-naosema Serikali Tatu ni mzi-go. Akiwasuta alihoji kwambamzigo hasa ni muundo huu waSerikali Mbili na ndio utakaou-vunja MuunganoHatujui CCMitawapokonya kadi wangapiwala hatujui wangapi wataru-disha kadi kuwaunga mkonowatetezi wao. Tusubiri kwanitutayashuhudia mengi katikakipindi hiki.

    Kitu kimoja kiko wazi: CCMimeshindwa kuelewa kwambazama zinabadilika. Leo hii, siajabu tena kumuona mwana-C-CM na kiongozi wa juu Serikaliniakiusema ukweli bila ya kutafunamaneno. Mansoor na OthmanMasoud ni miongoni mwao nahatutarajii kama wao watakuwawa mwisho.

    Kwa hivyo, CCM/Zanzibar itaen-delea kuwafukuza wanachamawake na viongozi wa Serikali kwakuukosoa muundo wa Muunga-no uliopo, maana imejihalalishiakuwa mtu hawezi kuwa mwa-na-CCM ndani ya CCM/Zanzibarkama anatetea muundo tafautiwa Muungano.

    Lakini mbona ndani ya CCM/Bara tumewahi kuwasikia wa-nachama na viongozi wakembalimbali wakiukosoa mfumouliopo, ambao ndio wa sera yachama chao, na hawafukuzwi?

    CCM/Zanzibar ina tatizo la kuto-jiamini na kutowaamini Wazan-zibari wenye uwezo. Kwa muda

    mrefu, Zanzibar haijawahi kuwana Mwanasheria Mkuu aliyemahiri kama huyu wa sasa, lakinikwa mara nyingine tena nchi hiiinapita katika kipindi kigumu.Uhafidhina ulio ndani ya mizi-zi ya CCM/Zanzibar haucheleikuwaumbua Wazanzibari waliomakini kama huyu, kwa maslahitu ya wahafidhina wanaotakakusalia madarakani chini yaulinzi na kivuli cha Muungano waSerikali Mbili.

    Lakini mwenyewe, MwanasheriaMkuu, amekwisha lipasua jipu.Na, hakika, hakulipasua tu balihata amelipatia dawa.

    Hii ndio kasoro mama. Hii ndiokasoro kubwa. Hii ndio fitna yaMuungano. Huu uruhani wa

    Tanganyika. Mie naona niuitehivyo mtanifahamu zaidi. Hiikwamba uruhani wa Tanganyikandio kasoro ya msingi. Kwam-ba imo ndani ya Muungano auhaipo. Ipo, haipo? Lakini ikipandakichwani ikatoa jina unaiona,inasema nipo.

    Naam, kadiri Tanganyika ina-vyoendelea kujificha nyuma yapazia la Muungano wa SerikaliMbili, CCM/Zanzibar itaendeleayenyewe kuwala wanawe . La-kini ikitaka iache wanga huo wakuwawangia wanawe, CCM/Zan-zibar ikubali kubadilika kuufuatawakati, na wala sio kulazimishakuubadilisha wakati.

    Nasalim s SALIM

  • 7/27/2019 Zanzibar Daima toleo la pili

    14/18

    ZANZIBAR DAIMA ONLINE AGOSTI 23-07 SEPT ZANZIBAR DAIMA ONLINE AGOSTI 23-07 SEPT2726

    Waraka Maalum

    Zanzibar pia ni nyumbani pa WakrIsto

    NaMwandishi Maalum

    Ukristo una historia ndefuZanzibar. Uliletwa kwa maraya mwanzo na Wareno. Wa-

    reno wakielekea juu kutoka kusinibaada ya kufanikiwa kuizungukaRasi ya Matumaini Mema Capeof Good Hope katika mwaka1488 walifanya jaribio la nguvu lakudai bandari, njia za biashara naraslimali kiasi cha maili 2,000 zamwambao wa Afrika.

    Baada tu ya kuwasili Zanzibar,walianzisha Ujumbe wa KanisaKatoliki na kituo cha biasharandani ya mji wa Zanzibar katika

    mwaka 1499. Kwa miaka 200iliyofuatia, Wareno walihodhi njiaza baharini za Afrika ya Masharikina walijitahidi kuanzisha msururuwa makazi katika eneo lote lamwambao. Mabaki ya makazi yaobado yanaweza kuonekana karibuna Fukuchani Kaskazini Unguja nakisiwani Pemba.

    Ngome Kongwe, ambayo ipo kari-bu na bandari ya Unguja, ilijengwa

    juu ya eneo lilipokuwepo kanisala mwanzo la Kikatoliki, baada yakutekwa na jeshi la Omani. Ina-semekana jeshi hilo liliitwa nawenyeji wa Unguja na Pemba

    kuwasaidia kuwangoa Warenowaliokuwa makatili na madhalimu.

    Mnamo mwaka 1841, mbabe wakivita wa Kiomani, Sultan SeyyidSaid bin Sultan al-Busaid, alivu-tiwa sana na visiwa vya Zanzi-bar, na kwa hivyo alihakikishaanayahamishia huko makaomakuu yake . Kuanzia hapo Omanna maeneo yote yaliyokuwa chiniya himaya yake yakawa yanatawa-liwa kutokea Zanzibar, kwani ndiouliokuwa mji mkuu wa himaya

    hiyo.

    Baada ya kuimarisha utawalawake kisiasa, kiuchumi na kijeshi,Sayyid Said akaanza kuwakaribi-

    sha wageni wengine katika makaoyake makuu, Zanzibar. Aliwaruhu-su watu wa dini zote kuendeshashughuli zao za kidini walivyopen-da.

    Japo alikuwa Mwislamu mwenyeimani kamili, Sayyid Said alioneshamfano bora wa uvumilivu juu yamahitajio ya kidini ya waumini wadini nyingine. Warithi wake naowakaufuata utaratibu wa mzeewao kwa kuruhusu kuanzishwamahekalu ya Kihindu, makani-sa mawili moja la Kikatoliki na

    jengine la Kiprostanti, sehemu zamazishi za Maparisi wafuasi wa

    dini ya Zoroastriani na misikiti kwakila madhehebu makuu au mado-go ya Kiislamu katika mji mmoja.

    Baada ya Wareno kurudi nyuma,Wakristo kidogo tu wa jamii yaMagoa ndio waliobakia Zanzi-bar. Wakristo hawa hawakuwa nakanisa la kufanyia ibada zao lakiniwaliweza kuihuisha jumuiya yaokwa kufanya ibada zao binafsi kwafaragha.

    Baadaye katika miaka ya 1800makundi ya watu kutoka Ulaya ya-lianza kuingia Zanzibar yakiwaju-muisha Wamishionari waliokuwa

    wakipitapita mara chache nawachungaji katika meli bandarini.

    Katika mwaka 1844, Wamishionarizaidi waliwasili Afrika ya Masharikikwa kupitia Mchungaji wa Kiluthe-ri, Joseph Krapf, na wafuasi wawiliambao walifanya kazi kwa ajili yaJumuia ya Kimisheni ya Kanisa laKiingereza. Wakiwa wanafanyakazi Mombasa, walitembeleaZanzibar na miaka michachebaadaye walichapisja kamusi zurila Kiswahili na Kiingereza, ingawa

    hawakuwahi kuanzisha kanisavisiwani Zanzibar.

    Katika Septemba 1860, AbbeFavat aliyekuwa mhubiri maarufu

    wa Kikristo aliyetokea Ufaransa,alitiliana saini mkataba na SeyyidSaid wa kumruhusu ayahamishemakao makuu yake kutoka kisiwacha Reunion hadi Zanzibar. Kufikiamwezi Desemba, kikundi chakecha mapadri wawili wasio watawana watawa sita wa kike (Filler deMarie) walikuwa wakiishi katikamakazi ya watawa ambayo piayalikuwa na kanisa dogo hapoShangani.

    Jengo hili la watawa linasemekanalilijengwa mwaka 1860, lakini ujen-zi huu inawezekana ulikuwa ni wamatengenezo makubwa ya nyum-

    ba iliyokuwepo kabla. Kanisa dogokatika jengo hili lilikuwa ni kanisala kwanza lililojengwa Zanzibarkwa miaka 200.

    Baadaye Sultan Majid, mwana-we Sayyid Said, wakati wa enziyake aliwaruhusu Wafaransa haokufungua duka mjini Zanzibar,hatua iliyotafsiriwa kama juhudiza Sultan huyo kuweka uwianowa nafasi kubwa waliokuwa nayoWaingereza visiwani Zanzibar kwakuwakaribisha wapinzani waowakuu wa Kizungu.

    Wamishionari wa Kifaransa wa-

    likuwa makini kuepuka matatizoyoyote Zanzibar kwa kutambuauhalisi wa maisha ulivyo ndaniya nchi ya Kiislamu ya Zanzibar,kuanzia mwaka 1862 wafuasiwa Holy Ghost Order, waliamuakujikita katika maeneo maalumkama ya elimu, shughuli za uchun-gaji kwa jumuiya ndogo ya mjini yaMagoa Wakatoliki na walifunguahospitali ya mwanzo ya Kizunguiliyopendekezwa na Sultan mwe-nyewe.

    Juu ya ukarimu wa watu wa Zan-zibar, Wazanzibari hawakuwa naazma yoyote ya kufuata dini yawageni hawa wapya. Wamishio-nari wa Kikatoliki walilielewa hili,lakini waliamini kwamba kundikubwa la wafuasi wapya wa dinihii ya Kikiristo lingeliweza kupati-

    kana Tanganyika, masafa mafupibaada ya kuuvuka mlango bahariwa Zanzibar.

    Hivyo, walipeleka ujumbe mdogoBagamoyo mwaka 1868 na kwasehemu kubwa walitumia nafasiwalizonazo Zanzibar kama ni ma-

    kao makuu ya kuzidisha harakatizao ndani ya ardhi ya Bara.

    Hivyo ndivyo Ukristo ulivyosam-baa Bara ukitokea Zanzibar. Ndiomaana sababu za mashambuliziya karibuni dhidi ya Wakristokisiwani Unguja zilizotangazwa na

    vyombo vingi vya habari ndani na nje ya Tanzania hazina mashiko ya kihistoria.

    Tanbihi: Makala haya yameandikwa kwa msaada mkubwa wa makala Wakristo wa Zanzibar inayopati-kana kwenye mtandao wa www.zanzibarhistory.org. Msomaji anashauriwa kuisoma makala nzima kwe-nye kiungo hiki: http://www.zanzibarhistory.org/wakristo_wa_zanzibar.htm

    Baada ya Wareno

    kurudi nyuma,Wakristo kidogo tu

    wa jamii ya Magoandio waliobakia

    Zanzibar. Wakristohawa hawakuwa na

    kanisa la kufanyiaibada zao lakini

    waliweza kuihuishajumuiya yao kwa kufanya ibada zao

    binafsi kwa faragha.

    http://www.zanzibarhistory.org/http://www.zanzibarhistory.org/http://www.zanzibarhistory.org/wakristo_wa_zanzibar.htmhttp://www.zanzibarhistory.org/wakristo_wa_zanzibar.htmhttp://www.zanzibarhistory.org/
  • 7/27/2019 Zanzibar Daima toleo la pili

    15/18

    ZANZIBAR DAIMA ONLINE AGOSTI 23-07 SEPT ZANZIBAR DAIMA ONLINE AGOSTI 23-07 SEPT2928

    Nna jini aniwina, ananipanda kichwaniHataki kutoa jina, ananipa mtihani

    Visomo tushavisoma, haongei asilaniHataki kutoa jina

    Hataki kutoa jina, ya kwamba yeye yu naniNani aliemtuma, na kaja kwa shida ganiMaluuni aniwina, mwaka wa arobainiHataki kutoa jina

    Tushaupiga uganga, wa kofi na kufukizaWakakutana waganga, jinale kumuulizaLakini jini apinga, yu nami aniumizaKagoma kutoa jina

    Tushapiga makafara, na kusoma tawasuliJini bado yu imara, hana hata mushkeli

    Aniletea madhara, anitesa kweli kweliHataki kutoa jina

    Tukasoma na rukia, visomo vilo vikaliYu kichwani asinzia, wallahi hata hajaliAtucheka nadhania, atuona madhaliliKatu hakutoa jinaMagwiji mlo nyumbani, nadhani mwanisikiaWa Chambani na Bumbwini, wa Ole na Nungwi piaMuje mutie ubani, mwenenu nateketeaMumngoe aondoke

    Sauti yanikauka, kuulilia wataniMachozi yapukutika, pukupuku mashavuniKifua chatatalika, chakatikia kwa ndaniKwa kulilia watani

    Dola iloimarika, ndivyo likuwa zamaniMashariki Afrika, kusiwe na mpinzaniWageni wakavutika, kuja weka maskaniSasa uwapi watani

    Wageni walivutika, kuja weka maskaniWalitoka Amerika, Uchina na ArabuniWahindi na Sri Lanka, Zenji pakawa nyumbaniNasononeka watani

    Watani nasononeka, hikuona hilakiniMamlakayo kupokwa, ukawa huna hunaniNa watuwo wateseka, kukimbia watamaniHuzuni kubwa watani

    Watu wako wateseka, kuhajiri watamaniMajumba yaporomoka, hakuna wa kuyahamiWalopewa madaraka, yaishia matumboniYasikitisha watani

    Walopewa madaraka, kutwa wamo vikaoniKujitia hangaika, na kujivisha huzuniKubwa wanalolitaka, waonekwe tiviiniSi kwa shidazo watani

    Meli zinapopinduka, tasikia hotubaniSote tunasikitika, kwa hii kubwa huzuniMapesa yakachangishwa, kwa jina la masikiniWatu wako ya watani

    Mapesa huyachangisha, kutoka nje na ndaniMabilioni ya pesa, yakaishia hewaniWatuwo waathirika, kaambulia vipeni

    Tadhlili ya watani

    Watuwo wadhalilika, wanotaka kukuhamiMagerezani kuswekwa, na kuitwa mahainiKosa kubwa walitaka, hadhi yako ya zamaniHawajatoka watani

    Ni mengi yanofanyika, ya dhuluma ya wataniZenji ishafisidika, dhulma ndio sukaniYote ningeyaandika, ningeweza natamaniIla siwezi watani

    Suleiman HakumMpendae - Zanzibar

    Nna Jini Aniwina

    Hamad HamadCopenhagen - Denmark

    Zenji Ninakulilia

    Ladha ya Beti

    Mhariri

    I

    naonekana ile misingi ya kulindana,kuweka siri na kujiweka kuwa wao

    ni wa mfano kwa namna ambayoMwalimu Julius Nyerere aliiweka,haipo tena kwenye CCM ya leo. Itikadiimepotea na sasa ni burtangi kien-dacho arijojo kuelekea kwenye wayaza umeme tena zile zenye umememkubwa.

    Kwa nini nikasema hayo? CCM wali-wahi kuwasema sana Chama chaWananchi (CUF) juu ya suala laMbunge wa Wawi, Hamad Rashid,na kuonyesha kuwa wao, CCM, wanautaratibu madhubuti wa kutatuatafauti zao za ndani. Lakini sasa,na wao wanaelekea huko huko.Walichokifanya CUF na wao wanaki-tenda.

    Sasa wanataka kumfukuza MansoorYusuf Himid. Hapa naomba nimpendugu yangu Mansoor ushauri wabure wa mambo ambayo anapaswakuyafanya na yale anayopaswa kuy-

    aepuka endapo CCM watathubutukumfukuza.

    La kufanya ni kusimamia nadharia ya

    kutaka Zanzibar iwe huru, aendeleekujitapa kuwa yeye ni mwanacha-ma halisi wa CCM na kujinasibishana baba yake na mchango wa mzaziwake huyo kwa chama cha AfroShirazi. Aiwache historia imhukumu.

    Asichopaswa kufanya ni kutajaruki,asiwapige pande wenzake wa CCM naasiende popote pale wala asiuwachiewakati umhukumu.

    Nini kitachomtokea akifanya au akia-cha kufanya hivyo?Atakuwa mshindi na atawashinda haomaadui zake, kwani wimbi la maba-diliko sasa linavuma Tanzania kwa

    jumla Bara na Visiwani hukunchi ikielekea katika kipindi cha mpitoambamo khatima ya taifa inaelekeakwenye kiza na kati yake kunauwekundu.

    Hayo, kama alivyosema Shetani

    Kipwerere katika Mzimu wa Watu waKale, kile kitabu maarufu cha mwandi-shi gwiji wa Zanzibar, Mohamed SaidAbdalla (Bwana MSA).

    Hakuna aliyeyafahamu maelezo yaKipwerere pale alipopanda kichwani,hadi pale Bwana MSA alipoyatafsirimaana ya kiza alichokieleza Shetanihuyo ya Nyekundu na Kiza.

    Kiza ni mauti, Bwana MSA akaelezeana nyekundu ni damu. Na kweli,likaja kusibu aguo lake kwa kuoneka-na Bwana Ali Bomani kauliwa nakukatwa kichwa na kupakatishwaboga mikononi mwake na kichwakutoonekana.

    Hadithi hii ukiiunganisha na kin-achoendelea kwenye uongozi waCCM, basi utaona kuwa nako ni kizana kwekundu. Yaliyobaki, malizamwenyewe.

    Kipara Msoko,Mpendae - Unguja

    Ushauri wa bure kwa Mansoor

    Hili si la kwetuMhariri,Ipo haja ya kuyatazama matukio haya kwa jicho la pili.Maana baadhi ya matukio hayo kama vile mauaji yakinyama na mashambulizi ya viongozi wa dini na watuwengine si sehemu ya dasturi za watu wa mwambao. Kuna

    Barua za Wasomaji

    R GOS

  • 7/27/2019 Zanzibar Daima toleo la pili

    16/18

    ZANZIBAR DAIMA ONLINE AGOSTI 23-07 SEPT ZANZIBAR DAIMA ONLINE AGOSTI 23-07 SEPT3130

    Kwa vile kitabu cha Jumba Marosi riwaya yenye hadithi mojarefu, bali mkusanyiko wa ha-

    dithi nyingi fupi fupi, tutachambuamoja tu kati ya hadithi 12 zilizomo,tukiamini kuwa itatusaidia kuuonaundani wa Jumba lote.

    Hadithi iliyopewa jina la Karamu,kama zilivyo nyingine, inaanza naushairi uitwao Mjumbe Kaemewa.Ushairi huu unasimulia masaibuyaliyompata mjumbe aliyetumiakalamu yake kuandika mambo yakweli ili watu wake waelewe kilekhasa kilichotokea.

    Lakini kumbe hakujua kwa ku-fanya hivyo alikuwa anakosana nawakubwa. Matokeo yake ni kwam-ba mjumbe huyu aliadhibiwa kwakuwekwa jela na kukatwa kidomo-domo chake.

    Zanzibar kulikuwa na mjumbekama huyu ambaye naye aliaminikuwa kwa kuandika ukweli, alikuwaanaisaidia jamii yake kufahamumambo na hivyo kuifanya isima-mie ukweli siku zote. Lakini nayepia alikuwa anawakera wakubwa.

    Matokeo yake yakawa ni yaleyaleya mjumbe wa Jumba Maro.

    Mjumbe aliyekuwepo Zanzibaralikuwa ni gazeti la Dira, mwan-zoni mwa miaka ya 2000, ambalolilijitolea kuandika na kuchambuamasuala mbali mbali ya kijamii,kiuchumi na kisiasa yaliyohusukhatima ya Zanzibar. Lakini nalolikaandamwa hadi likafungiwamoja kwa moja na serikali, hukumhariri wake mkuu, Marehemu AliNabwa, akigeuzwa mkimbizi kwakutangazwa si raia katika nchi yamababu na mabibi zake. Mjumbekaemewa.

    Baada ya ushairi huo kuifunguahadithi, mwandishi ameanza kwakitendawili cha kuingia nyoka ka-tika chumba cha Bwan Tajir, am-bacho kwa namna kilivyojengwahakukuwa na uwezekano wowotewa nyoka huyo kufika huko. Kuingiakwa nyoka huyu kulimshtua sanaBwan Tajir kiasi ya kwamba alim-toa kazini nokoa wake mkuu kwakuwa uchunguzi wa barza aliyoiun-da kuchunguza mkasa wenyeweulibaini kuwa nyoka aliingia kwa

    uzembe wa nokoa huyo.

    Tafrani ya kuingia kwa nyoka ka-tika chumba cha Bwan Tajir ndiyoinayotuunganisha na kiini chahadithi yenyewe. Kwamba sio tukuwa Bwan Tajir alikuwa akimuo-gopa nyoka huyu binafsi, lakini piaalikuwa amekusudia kupika kara-mu kubwa na kuwaalika watu wa-zima wote wa mji kuja kula kwake,katika kasri lake.

    Kwa hivyo, kwa upande mmojakujitokeza kwa habari hii kungeli-sababisha watu wengi kusita kujakatika karamu hiyo kwa kukhofia

    usalama wao. kwa upande mwin-gine kujitokeza kwa habari hii kun-gewapa watu picha halisi kwam-ba naye Bwan Tajir ni mwoga nakwake kunapenyeka,. Na fahari yaBwan Tajir ni kuwa watu wote ka-bisa washiriki katika karamu yake,wale wanywe fadhila zake (uk. 92),bila ya kuushuku woga wake naugoigoi wa himaya yake.

    Mwandishi anatuonesha kuwa,hata hivyo, Bwan Tajir si mtu wafadhila kiasi hicho. Hana ukarimu

    jambo. Kupitia nongono za watu,tunajifunza kuwa huyu ni mtubakhili na mwenye tabia ya uchoyomno kiasi ya kwamba hutia ndi-zi na dagaa katika mifuko yake yasuruali ili asiombwe. Swali ambalowatu walikuwa wakijiuliza ni vipiangeliweza kuwakirimu watu wamji mzima?

    Hatimaye karamu inapikwa na ku-liwa, lakini, kama ilivyokhofiwa tan-gu mwanzo, karamu hiyo ilikuwa namapungufu kibao kiasi ya kwambahaikuwa halali hata kidogo kuse-ma kuwa ilikuwa karamu ya mji.Wengi wa watu walikosa hata ton-

    ge moja ya biriani huku wachachewakiwa wamekula zaidi ya sahanimoja. Na hata hao waliopata kula,wengi wao walikuwa ni watoto nasio watu wazima wa mji kama ili-vyoahidiwa mwanzoni.

    Hao watu wazima waliokoseshwa,walikuwa wamekoseshwa ka-tika mazingira ya kutatanisha nakusikitisha kabisa. Kwa mfano,mwandishi anatwambia kuwakuna wengi waliokataliwa kuingiakatika ukumbi wa dhifa kwa kuwa

    bawabu hakuzitambua kadi zao zamwaliko. Ati zilikuwa na rangi ta-fauti na kadi alizoagizwa kupokea.

    Kuna wengine walikuwa na kadizenye rangi ndizo, lakini walika-taliwa kuingia kwa kuwa herufiza majina yao ni tafauti na wana-vyoyatamka.

    Katika ukurasa wa 93, bawabuanamuuliza mwenye kadi: Mbonaumeniambia jina lako Ahmed nahumu limeandikwa Ahmad? Mwe-nye kadi anajitetea kuwa si yeyealiyeandika kadi hiyo, bali ni karaniwa Bwan Tajir. Anasema kwamba

    hata yeye alimwambia na mapemakarani huyo juu ya kukosewa kwaherufi moja kwenye jina lake, lakinikarani alimhakikishia Ahmed kuwahapatokuwa na taabu yoyote ile:siku ya karamu, atakula tu. Lakinileo hii bawabu anamwambia Ah-med: hutaramba karamu.saaya kutazama makosa imekwisha.Kazi yangu ni kutazama kadi sa-hihi. Asiyekuwa nayo haingii. Nakweli Ahmed, na wenziwe wa mfa-no wake, hawakuruhusiwa kuingiakwenye ukumbi wa karamu.

    Kwa hali hii watu wazima wengiwa mji wakakosa kula karamu wa-liyoandaliwa na Bwan Tajir. Iliku-wa kana kwamba huu ulikuwa nimpango uliofanywa makusudi naBwan Tajir na wasaidizi wake, ma-ana hata watu hawa walipolalami-ka kuwa wamekoseshwa karamu,hakuna mwenye mamlaka aliye-wasikiliza.

    Hata Shawishi Mkuu, ambaye ndiyealiyekabidhiwa jukumu la uandazi,alipoambiwa kuhusu hilo, alisemahaiwezekani kuwe na watu wali-okosa chakula ilhali biriani hukondani ilikuwa ya kupigia mbwa.

    Watu walipomuapia kuwa wao ha-wajaramba kitu, aliwanuka viganjavyao. Alipoona ni kweli havinukiiharufu yoyote ya machopochopo,akawaruka hapo hapo: Waongohawa. Wamekula kisha wakaendakunawa na wanataka kudanganyakula mara mbili. Masikini watuwazima wale, wakasawijika kwakuambiwa kuwa wanazua ili wajiliemara mbili ilhali hata hiyo moja ha-wakuipata. Hivi ndivyo karamu yaBwan Tajir ilivyoishia.

    Tufungue Kitabu

    Namohammed GHASSANI

    ZANZIBAR DAIMA ONLINE AGOSTI 23 07 SEPT

  • 7/27/2019 Zanzibar Daima toleo la pili

    17/18

    ZANZIBAR DAIMA ONLINE AGOSTI 23-07 SEPT ZANZIBAR DAIMA ONLINE AGOSTI 23-07 SEPT3332

    Majham: Lulu

    Iliyotupwa

    Michezo

    Wengi wanamjua kwa jina lake lamkato: Majham. Kuna wanaomwi-ta Pele wa Zanzibar. Angelikuwaamezaliwa Ulaya, Marekani au hataAmerika ya Kusini hii leo angeliku-wa anaenziwa. Hakujaaliwa bahatiya akina Boby Charlton, Geoff Hurst,Johan Cruyff, Platini, Pele, Blokhin,Hadji, Latto, Tostao, Gerson, Rom-ario.

    Angelijaaliwa bahati hiyo basiangelikuwa fahari ya nchi yakekwani zama zake Majham alikuwaamebobea katika michezo miwili

    soka na hoki (mpira wa magongo).Viwanja vya soka vikimjua, viwanjavya hoki vikimtambua.

    Siku hizi ukimtafuta Majhamhutompata kwenye viwanja vyasoka wala vya hoki. Kwanza vyahoki haviko tena Zanzibar kwanihoki haichezwi tena nchini mwetu.Mchezo huo ulipigwa marufukubaada ya Mapinduzi ukionekanakuwa ni spoti ya kibwanyenye.

    Siku hizi ukimtaka Majham itakubi-di wende Mchangani. Zikate kona

    mbili tatu hadi nyumbani kwake.Ukibahatika utamkuta amekaabarazani. Saa zote anakuwa mp-weke hapo barazani kwake akitafu-ta rubaa la washabiki wa spoti wakuweza kuzungumza naye. Ingawani mpweke hataki kujinasibisha nachochote kile.

    Hii leo Majham jina kamili AbdulMajham Omar amekuwa mfanowa lulu iliyotupwa. Pamoja na uzee,ana umri wa miaka 79, Majhamsiku hizi ni