Upload
well-told-story
View
351
Download
1
Embed Size (px)
DESCRIPTION
Chapta 20 - Full Comic
Citation preview
unaeza earnsoo 5 per
kila kgya nyama
ya sunguch
Skia show kwaradio station
20 kote nchini!
kuna winners 10wa google compe!
1020
40/-
Kuna Shujaaof the monthkila mwezi!
hawa ndiyo ma-fanstuko nao Facebook
10,000
500
cost
ya
ku-
buy sunguch za dooh
5ni ngovo tu
kutumiaDJ B ka-text
P3500
4 Idea 4 kaliza ku-changelife yako
Mashujaa 4ndani ya comic!
Shuj
aaz
ni m
ang
api?
1of the month
ah
hhhhuhhuhuujjajajaamonth
KoKuKuunanananof the
SSSSSShhhhhhhe m
ni form utapewa uki-report case ya violence
Hap
a kuna pages24
Namba ya SMSya ku-gotea DJ B
3008
web fm sms comix
not for sale
sms comixchapta 20
empowering kenyan youthempowering kenyan youth
a
publication
Wasee! Hapa ndani kuna mambo fyaam. Mafans wangu wameni-show ideas kali sana…
“Hapo Twitter kwa @Shujaaz, nacheki Malkia anadai Jipendo anajitibu!”
chekiu!”
“Kwa Facebook fanpage yangu, MariaKim anaboeka na
risto za ubaguzi.”
Soma hizi risto na pia unipe risto yako! Tuko gangare!
3008
sms
re!
“Ala! Tena nina SMS kwa 3008: Charlie Pele anasema Taabu ako kwa noma!”
Er, hata si mimi…em, si tutaonana?
Hakuna ngori msuper. Si
unajua naku-mind!
Niaje Collo? Thanks kwa ile sms jana. Nime-accept kuenda na wewe
bash!
Wacha nigotee Collo!
TIHIHI! AKI GOSH!
3
kujitibukujitibu
Wooooi!
Ai! Bado siskii poa!
Hakuna haja! Cheki, enda u-buy Pentriflex mbili kwa chemist. Ni dawa poa ya tumbo na itakufanya
ukuwe msupuu in 1 day!
Si tuishie kwa school nurse akupe dawa?Manze naskia
vibaya!
Jipesh, naskia una-drive?
Una-feel aje?
Aki naendesha!
4
Alipofika home…
Si twende hospitali
uangaliwe?
Zii! Lazima nijipange
niende bash!
Surely Jipendo! Unajua lazima upone kwanza! Wacha
nikakuangalilie kienyeji,
itakusaidia haraka.
Wacha niambie Collo nita-make sure nipone
ndio niende na yeye bash!
Nitang’ara hii dresstop!
Hapo mtaani…
Dawa ya mende, coakroach murderer!
Dawa ya kisukari, ki-sugar, malaria!
Daktari, uko na dawa ya tumbo?
Hapa niko na madawa ya magonjwa yote duniani!
5
Chukua hii: ni pure! Akunywe baada ya ugali mara mbili kwa siku. Na ikibaki mtatumia kuua
mende hapo nyumbani! Si unaona unatibika na hii chwani! Mimi ni daktari tosha!
KULE HOME…
Labda hii itakusaidia.
Sasa nimehata bash! Na ningeenda
na Collo! Gff!!
6
Jipendo, una
mgeni!
Woishe Jipendo! Unacheki vile kujitibu imeleta shida! Amka uende kwa doki ndio
upate full treatment..
Nimekukosea sana Jipendo. Singekupa hizo madawa za kununuliwa
mtaani na hazijulikani ni za nini. Amka nikupeleke
hospitali. Malkia umetufungua macho!
Nimekuandikia madawa. Next time usirudie kujaribu
kujitibu! You were lucky this time!
Baadaye kidogo…
Mum nimeskia poa! Wacha
nikimbilie bash kabla iishe!
7
Madawa herbal zinasaidia mwili na
immunity, kama matunda na chakula.
Lazima ucheki Daktari
kama wewe ni m-sick.
Qualified chemist huwa ako na Cert
imewekwa kwa wall yake.
KUMBUKA!!
Ni Daktari tu, ama Clinical Oficer ambaye
ana authority ya kukukagua na kukupa
dawa akishaku-cheki. Ukishakaguliwa,
atakupa ‘prescription’, penye
amekuandikia madawa yenye utatumia.
Tumia hizo dawa vile umeandikiwa,
kupunguza au kuongeza dosage ni
HATARI!Ukijitibu, unaweza kosea na
mwishowe itabidi ulipe bills
mob sana za hosi.
KWA HIVYO…Elewa kuwa kuna diseases mob na symptoms
hufanana, lakini madawa ya kutibu ni tofauti.
Kwa hivyo, kama wewe sio daktari, ni hardest
kujua ni ugonjwa gani uko nayo!
Pia wengine wakipewa dawa hawamalizi dose,
akiskia poa kiasi, anaacha dawa! Mwishowe
mwili inakuwa resistant kwa madawa,
na hii ndio expense noma.
Kujitibu ni cheap kwa muda mfupi, lakini
mwishowe, inaweza leta shida mobs sana!
Wacha ningoje Collo hapa, najua bado yuko around.
Collo hatokelezei?!
Manze siezi cheki Jipesh na vile naendesha hivi!
Relax collo! Enda u-buy pentriflex, ni dawa poa ya tumbo!
8
Shu
jaaz
(TM
) is
publ
ishe
d by
Wel
l Tol
d S
tory
Ltd
. , P
. O. B
ox 1
700
00
50
2 N
airo
bi, K
enya
. Tel
: 02
02
60
3214
,ww
w.w
ellto
ldst
ory.
co.k
e. P
rinte
d by
Col
ourp
rint L
imite
d, P
. O. B
ox 4
44
66
- 0
010
0 N
airo
bi G
PO
. Pro
duce
d in
col
labo
ratio
n w
ith: U
SA
ID, S
afar
icom
, Tw
awez
a, R
IU.
Dis
trib
uted
by
Sat
urda
y N
atio
n an
d S
afar
icom
.
Co
nte
nt
pro
du
cer:
Aud
rey
Wab
wire
C
on
ten
t: P
aul P
eter
Kad
es |
Vinc
ent M
uthi
ni |
Dav
id O
uma
| Jor
am K
ioko
A
rt P
rod
uce
r: F
atim
a A
ly J
affe
r/Ti
m O
dero
L
ayou
t D
esig
n: T
im O
dero
A
rt: D
anie
l Mul
i | E
ric M
utho
gaS
hin
Tuxe
do |
Sal
im B
usur
u | J
oe B
aras
a | N
oah
Muk
ono
Rad
io: E
unic
e M
aina
| D
omin
ic O
igo
S
pec
ial t
han
ks
to J
ust
A B
and
for
thei
r fa
ntas
tic m
usic
on
Shu
jaaz
FM r
adio
Wel
l Tol
d S
tory
© 2
011
All
righ
ts r
eser
ved.
No
part
of
this
pub
licat
ion
may
be
repr
oduc
ed,
stor
ed in
any
ret
rieva
l sys
tem
or
be t
rans
mitt
ed in
any
for
m o
r by
any
mea
ns,
elec
tron
ic o
r m
echa
nica
l with
out
prio
r pe
rmis
sion
of
the
publ
ishe
rs. A
lthou
gh e
very
eff
ort h
as b
een
take
n to
ens
ure
the
accu
racy
of i
nfor
mat
ion
cont
aine
d in
thi
s pu
blic
atio
n, in
no
even
t sha
ll th
e pu
blis
hers
be
liabl
e fo
r an
y in
cide
ntal
, ind
irect
, con
sequ
entia
l los
ses
or d
amag
es o
f any
kin
d w
ithou
t lim
itatio
n ar
isin
g ou
t of o
r in
con
nect
ion
with
the
use
of th
e in
form
atio
n in
this
pub
licat
ion.
9
big-upsto shujaaz
DJ B, am a former victim wa drug trafficking. I was
partly inspired na storo ya Chuux, venye ma-barons hu-misuse mayuts with false promises. Though niko rehab, tena under watch, am reformed na
sitaki ma-yut waumie kwa lyf kaa yangu.
Abdulrazack Saidi.
I was once an alcoholic but thru counselling
kutoka kwa mabeshte, I changed. The best thing I
did is I changed the company of friends.
Luli Mercie.
Niaje Dj B. Hii risto ya Malkia na Filo imeni-
affect coz nilikuwa navuta tumbaku. Nilijiamini na
kuacha drugs. Tuwe gangare na masomo.
Richard Sydy.
Bro wangu alikuwa mtu mandom na makuber. Hii
issue ilini-hurt. I researched on the ways
ya ku-quit drugs Nilichambua poa na later
nikam-show in detail. Alinisikia na aka-quit!
2naplan tuunde group ya ku-address addiction ya drugs kwa village yetu.
Thanks! Karam Yubiz.
Niaje DJ Boyie. Naeza lyk ku-share out stori ya me dat once nilikuwa an addict
wa coke nika-get busted bt nilipo take-iwa rehab one of de inmates
wakani-encourage ni-takelife yangu serious.
Bobbie.
Niaje DJ B. Nili-try ile idea ya ku-make viazi i-stay
for long. Manze nakuambia zinaweza stay for more than a year bila
ku-spoil. Thanks sanakwa ideas zako.Dennis Barasa.
Niaje DJ B.Chuo yetu ime-buy fire
extinguishers na first aid kits. Naku-big up coz
nilisoma shujaaz ile vako ya first aid. Na-big up
Gathiruini Boys Hae Skul kwa
ku-buy fire extinguishers.
Peter Waxi Maina.
unwaezachange lifeyako - acha addiction
shule yetuni shule poa ku-store
sweet potatoesDJ B umetushika
vinoma huku Kibera, na mwote Kenya. Umeni-inspir
zile idea za bizna, na juu nilna pesa kiasi nika open sh
Saa hii iko big tu sana hatahawa-believe! Ni-propose
jina ya hio shop manze jbado sijaipea name.
David Mutinda - Kibera
uuuupssujaaz
SMS3008
ni 5/-tu!!
1. Eliud Kisongochi
2. Sharleen Inganji
3. Brian Muinde
4. Martin W. Mugo
5. Mark Odhiambo
6. Sylvia Kihundu
7. Mwajuma Rashid
8. Victor Kimaru
9. Joan Mwariri
10. Francis Ngowa
BIG UP SANA WINNERSWA GOOGLE
T-SHIRTS
big-upsto shujaaz
-upshujaaz
SHUJAAof the monthb
ttt
DJ B umetushikahuku Kibera, na mayutnya. Umeni-inspire na
za bizna, na juu nilikuwa a kiasi nika open shop.ko big tu sana hata watu
elieve! Ni-propose-iea hio shop manze juudo sijaipea name.d Mutinda - Kibera.
If luvin shujaaz fm was a crime then ningekuwa shimo
la tewa prison ama kamiti maxmum
prison. Faith Mukami
“Nilizaliwa na spine imejikunja. Nikiwa mtoi watu walikuwa wananiita ng’ombe juu ya
nundu yenye ilikuwa kwa back yangu mgongoni. Chuo, ma-stude na mamode
walikuwa wakinitukana. Hakuna msee alitaka ku-interact na mimi; walidhani nitawaambukiza
hiyo disability!”
“Nilijiunga na Young Voices Club yenye ilini-help ku-dicover talent yangu ya poetry na
arts, na nime-get chance ya ku-perform!”
“Na-advise my fellow disabled friends kuwa disability is not inability, ambayo pia ndio title ya song yangu latest. Nimekuwa featured kwa Pamoja FM na Kibera Community TV station. Fuata dreams zako & kila kitu ita-work out!”
uuuuupssujaaz
JINA: GURSTON OPARBASE: KOCHIA – WEST
KARACHUONYO DISCTRICTWAX: MODE, MUSICIAN
SAVE DOOH
na maji ya mvua
Hi DJ B? Kwetu sasa hakuna mtu anajisumbua kuteka maji kutoka kwa kisima. Tuna tanks tatu ambazo zaweza hold
about 1500ltrs! Hata boy wetu wa job ame-relax. Sasa yeye ni kuangalia
maslahi ya ng'ombe zetu na hiyo ni almost 3
months! Wa2 wahimizwe kuchukulia maji ya mvua
kuwa serious!Pablo De Machinery.
DJ B, mimi nili-show mthama juu ya hii risto yaku-harvest maji ya
mvua. Alikubali ku-buy gutters instead ya
ku-buy maji.Leon - Kokwanyo
DJ B, rain water iko na use mob kaa domestic
use na hata irrigation. Pia inapunguza burden na
time ya kuendakutafuta maji.
Doro - Chavakali.
SMS3008
ni 5/-tu!!
Si uiiteShujaazDuka?
Si uiiteShujaazDuka?
Si nimekufungia ya kutosha? Uko poa
lakini?
Ah! Kuna mtu najua anaweza
kuku-help. Yeye ni pro kwa risto za farming.
Ana ma-ujanjez. Tuta-come na yeye
baadae.
Siko poa. Aki sunguch wangu
wanasumbua! Sijui ni-do what!
Umeni-save jo! Thanks.
Baadae!
Poa!
Poa!
Najua mimi ni orphan, na nime-grow-ia ghetto, lakini siwezi stand story za corruption. Niko ready kwa any challenge!
12
Ma-Sunguch!
Dan, nime-come
na ule beste yangu.
Ndio huyu beste yangu. Ako poa sana na farming.
Niaje? Naitwa Sifa!
Ala! Sasa unaniletea kiwete hapa anisaidie na
nini?!
Wee! Unaongeaje
hivyo?!
Hebu kuja!Sifa ni
mlemavu, lakini ni binadamu kama mimi na wewe! Na amenisaidia
sana. Ndio maana nimemwomba akusaidie hata
wewe!
Wazi. Thanks sana.
13
Haiya!
Ni kapoa!
Ah! Hakuna kitu kiwete anani-show mimi! Hata chukua hiyo sungura ni useless!
Sifa tuishie. Achana na huyu fala hasaidiki!
Na msirudi!
14
Sifa, unatakia nini sungura?
Unajua sungura ni rahisi kulea. Kuifuga haihitaji move-ment mob so ni poa kwa mlemavu
kama mimi.
Pia una-get products mob kutoka kwa
sungura kama ngozi yake yenye ni poa ku-make ndula,
na makofia
Nyama yake ni tamu sana na
inauzwa bei poa: kshs 300 kwa kg moja!
Mbolea ya sunguch ni
poa sana kwa mimea
Wacha niishie home sasa. Chunga huyo sungura
vipoa!
bye!
Kuanzisha kuweka rabbits si hard, naweza
zijengea ka-hao ka mbao na mabati zenye nimeokota mtaani. Pia sihitaji cheddars*4
mob kuanza!
15
Sunguch zangu!
Haiya! Dan anafanya nini pale?
Sasa nitaanzia
wapi?
Dan? Ume-lost. Hebu kuja niku-show
mtu amekuwa successful sana na
rabbit farming…
Oh? Sawa, twende.
Maria Kim! Dan! Karibuni. Sikujua
mna-come?
Nimeamua nimtembeze Dan acheki rabbit farm yako.
Ala?! Manze sunguch wako
wamekuwa wasoo! Kwani unazilisha
nini?
Baadae kidogo…
16
Thanks! Farming ni passion
yangu. So nawachunga poa na kucheki afya yao
kila time.
Manze iza vile nilikubongesha siku ile. Sikujua una talent hivi.
Ni ufala yangu. Ni-forgive tu.
Hakuna was! Lakini kuna vile
unaweza ni-save…
Nahitaji msee wa kunisaidia kupeleka
sungura kuuza. Utani-help?
Ushasema! Nianze lini?
“Nilipomada chuo 2008, nilisaka ways za
ku-make dooh lakini wapi! Big up sana kwa
beste yangu, aliniambia nisi-concentrate na
job za office, nikuwe creative. Nikaamua
kufuga sunguch.”
“Nawalisha twice a day na mabaki ya sukuma wiki na
carrots yenye naokota sokoni. Maji nawapa mara
moja kwa siku.
Na kwa risto ya market…
Huwa ninabonga na mayuts wenye wametoka seco
majuzi ili nao waanze pia kufuga sungura.
So nimekuwa nikiwa-supply!
Naingia Kenyatta University soon, so nimeamua
nitauza hao sunguch wangu wote, nijaze na savings
zangu zingine ili nijilipie fees. Sunguch haina job nzito,
haina stress, msee yeyote anawez do!”
Kuweni wajanja, sunguch ina dooh
kuruka!
DJB, sunguch ni biz poa sana. Kuna huyu boy ana doworks
noma!
JINA: Moses MudavadiAKA: ‘Mdash’ 19 YRSBASE: Migori
HIVI NDIO NILI-DONilienda ocha nika-buy sungura male na
female kwa kshs 500 tu!
Saa hizi nina sunguch 17.
Nikarudi nikawaundia hao na locally
available materials: mbao na mabati scrap.
Nili-raise hiyo hao ndio maji isiingie ndani
mvua ikinyesha.
Ndani ya hiyo hao, niliweka nyasi imekauka,
na huwa nai-change kila siku.
a!
17
wazi!
Hakuna was! Lakini kuna vile
unaweza ni-save…
vijana! kucheza
karata tu!
mnajua, ukulima ni kazi ngumu! unafaa
kukaa macho kila... zzzz... wakati...
fungueni mlango!!!
wamenikujia! madeni zangu zote zitaniua!
poleni vijana wangu, niljaribu kuwalea vizuri
lakini nimeturusha kwa shida...
nawaskia hapo ndani! fungueni
mlango!!!
oho! Nimeshinda
tena!
agh!tucheze game ingine!
18
huyu mtu hatatuacha... itabidi mmoja wetu aende kufungua mlango...
hapana! ataenda tukikaa kimya...
wacha nifungue mlango...
taabu! utakufa!
er... ehm... pole sana,
jirani, nilikuwa kitandani...
wewe ni taabu?
...EHM...NDio...
WOi!Nime-come kuku-show
Purity ni wangu!
ah, poa... ni wewe
nakutafuta. naitwa matata.
19
NIlimpenda
tangu tukuwe
watoi!
nikapatiwa transfer
kuenda kuwa polisi
pale nairobi city...
...lakini
niliposikia ya
kwamba mrui
fulani alikuwa
anataka kumuoa
purity wangu...
...ilibidi nirudi....
Unasemaje?!?!?!
hiyo ndio sababu
nimekuja hapa kukuambia...
...uwachane na yeye.
lakini...
...tunapendana...
Manze
alituliza
roho
yangu!
lakini sikuweza
kumuambia... nilikuwa
mwoga mbele yake...
oh, purity!
hiyo jina lake
linamfaa!
anaweza
kumnyamazisha
ndume kama
mimi!
ni msupa!
Ni mtamu!
Aki huyo dem!
20
...uuuuh....
taabu amekufa!
woooi woi, majirani,
taabu amekufa!
ah, wewe baba charlie,
taabu hajakufa!
nisaidie kumuingisha
kwa nyumba...
eish, taabu! huyo msee
amekuchafua!!!
utado? utado?utado?
aki taabu, pole...
taabu, pole
sana...purity,
huyo msee
ameniumiza vibaya...
yenyewe, sijui
ni-do nini...
sitaki kufa!
nadhani itabidi
tu-break up!
taabu... do hivi: twende kwa
police station u-report matata.
uta-defendiwa
hapo.
TAABU! kuwa brave! utalea
familia aje na hii attitude yako?!?!
lakini alisema nisichukue
p-3 forms za kumstaki...
huyo msee ataniua!
uwachane na purity wangu!
na nisikuone
kwa station ukichukua
p-3!
21
Taabu, kumbuka ni wewe nime-
choose unioe.
ni wewe nakupenda.
...mtajaza hiii p-3 form na
details za hiyo assault...
asante.
ahem!
sawa basi, twende kwa
station...
22
23
USIO
GOPE
!US
IOGO
PE!
THE KENYA POLIC
E
P3
MEDIC
AL EXAM
INATIO
N REPORT
PART 1-
(To be c
ompleted
by the P
olice O
ffice
r Req
uesting E
xaminatio
n)
From…
……
……
……
……
……
……
……
……
…..R
ef……
……
……
……
……
…
……
……
……
……
……
……
……
……
……
……
...Date
……
……
……
……
……
..
To the…
……
……
……
……
……
……
……
……
……
……
……
…Hosp
ital/D
ispen
sary
I hav
e to re
quest th
e fav
our of y
our e
xamina
tion o
f:-
Name…
……
……
……
……
……
……
……
……
…...A
ge……
……
…(If
known)
Address…
……
……
……
........
.....D
ate an
d Tim
e of t
he alle
ged offe
nce....
...
……
……
……
……
……
……
……
……
……
……
……
……
……
……
…...
Sent to
you/H
ospita
l on th
e……
……
……
……
20…..u
nder esc
ort of…
……
…
……
……
……
……
……
…an
d of your f
urnishing m
e with
a rep
ort of t
he na
exten
t of b
odily in
jury su
stained
by him
/her.
Date an
d time r
eport
to police…
……
……
……
……
……
……
……
…
Brief d
etails
of the a
lleged
offence
……
……
……
……
……
……
…
……
……
……
……
……
……
……
……
……
……
……
……
……
……
……
……
……
……
……
……
…
…
……
……
……
me of O
ffice
r Comman
ding Stat
ion
Signatu
re of t
he O
MEDIC
AL DETAIL
S - (To b
e com
pleted
b
carry
ing out exa
copies
from th
e orig
inal manusc
HIS SECTIO
N MUST B
E
E
XAMIN
A
……
……
ence
THE KENYA POLICE
MEDICAL EXAMIN
ATION REPORT
PART 1-(T
o be completed by the Police Officer R
equesting
From………………………………………………..R
ef…
……………………………………………………...Date
To the…………………………………………………
I have to request t
he favour of y
our examination of:
Name………………………………………………
Address………………….....
........D
ate and Time
…………………………………………………
Sent to you/Hospital on the…………………
……………………………and of your fu
rn
extent of bodily injury su
stained by him/h
Date and time report t
o police…………
Brief details
of the alleged offe
nce…
………………………………………
……………………………………
Name of Offic
er Commanding St
PART 11-M
EDICAL DETA
(Please type four copies f
SECTION ‘’A
’’-THIS
Medical O
fficer’s
R
1. State of clothin
.…
…………
....…
……
…………
2. General
.…
…
…G
Ad…
……
Sent t
……
……
……
…
estthe f
……
…
……
……
……
……
you/H
PA
etett
………
………
To
………
II hhaavvee
euquest
Name…
……
Address…
…
Bonga na hawa wasee upate info zaidi
juu ya jinsi sheira in-work kwa kesi za
‘assault’ ama kupigana:
P.O.BOX 7483 - 00300 NAIROBI
SIMU: 254-0203874191
MOBILE: 0734 874221
0727 773991
EMAIL: [email protected]
BIG UP KITUO CHA SHERIA KWA INFO!
Wasee, lazima uelewe vile
sheria ina-work! Cheki hapa!
P3 ni a FREE document official
ambayo inatolewa kwa KILA police
station wakati msee ameenda
ku-report case ya kupigwa.
Msee amepigwa huwa anahitaji
kupata hii form ili aende nayo hosi
ku-get matibabu.
P3 form itaonyeshwa kortini
wakati wa kesi.
Kutojua sheria sio excuse! Share risto zenu za kuwa kwa police station
na DJ B. Tuma SMS kwa 3008! kumbuka
‘NI 5 BOB TU’
KUMBUKA ukienda kwa police station:
Bonga na officer mwenye ako kwa desk juu ya kitu unataka ku-report.Kuwa na points zinaeleweka na ukumbuke tarehe zote zenye zinahusika ili uandike statement ambayo inaeleweka.Kuwa mpole ndipo utasaidika.Heshimu huyo officer ambaye unampatia report!
nimeandikisha statement
yako lakini...
Shujaaz. FM radio show inapenya kwa hizi station kenya
mzima. pata story zote za comic kwa show yangu. cheki
time na ukae rada!