JARIDA LA WIKI LA WIKI LA NISHATI NA MADINI TOLEO 119

Embed Size (px)

Citation preview

  • 8/17/2019 JARIDA LA WIKI LA WIKI LA NISHATI NA MADINI TOLEO 119

    1/15

    Ofisi ya Mawasiliano Serikalini inapokea habari za matukio mbalimbali

    kwa ajili ya News Bullettin hii ya Wizar a ya Nishati na MadiniWasiliana nasi Kitengo cha Mawasiliano kwa simu Namba +255 22 2110490 Fax 2110389 Mob: +255 732 999263

    au Fika Osi ya Mawasiliano Ghorofa ya Tano (MEM)

    HABARI ZA

    NISHATI &MADINI

    Toleo No. 119 Limesambazwa kwa Taasisi na Idara zote MEM Mei 12 - 18, 2016Bulletinews

     

    http://www.mem.go.tz

     

    Jotoardhi kuzalisha

    Megawati 100

    GGM yakubali kutoa Magwangala >>UK. 4

    ZIWA NGOZI MKOANI MBEYA- SEHEMUYENYE VIASHIRIA VYA JOTO ARDHI

  • 8/17/2019 JARIDA LA WIKI LA WIKI LA NISHATI NA MADINI TOLEO 119

    2/15

    Mei 12 - 18, 2016 BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    2

    Na Greyson Mwase,Dar es Salaam

    Imeelezwa kuwa Tanzaniainatarajia kuzalisha umeme wakiasi cha megawati 100 kutokanana jotoardhi ndani ya kipindicha miaka Saba ijayo na hivyo

    kuchochea kasi ya ukuaji uchumi wa

    nchi.Kauli hiyo imetolewa jijini Dar

    es Salaam na Naibu Katibu Mkuuwa Wizara ya Nishati na Madini

    anayeshughulikia masuala ya Nishati,Dk. Mhandisi Juliana Pallangyokatika mkutano uliokutanishawataalam kutoka nchi mbalimbalikwa ajili ya kujadili taarifa ya MtaalamMwelekezi kuhusu utafiti uliofanywa

    katika Ziwa Ngozi lililopo mkoaniMbeya ambapo kuna viashiria vya

     jotoardhi pamoja na eneo la Kibironchini Uganda.

    Wataalam katika mkutanohuo ulioandaliwa na Kampuni yaMaendeleo ya Jotoardhi Tanzania(TGDC) kwa kushirikiana na Wizaraya Mambo ya Nje ya Iceland,wanatoka katika nchi za Tanzania,

    Kenya, Uganda, Rwanda, Ethiopia,Eritrea, Marekani, New Zealand naDjibouti.

    Akizungumza katika ufunguzi

    wa mkutano huo wa siku tatuDk.Pallangyo alisema kuwakutokana na ugunduzi wa Nishati ya

     jotoardhi nchini Tanzania, Serikaliimeweka mikakati ya kuhakikishakuwa ndani ya kipindi cha miakaSaba ijayo inazalisha megawati 100zitakazoongezwa kwenye gridi yataifa na hivyo kupunguza tatizo laupungufu wa umeme nchini.

    Alisema kuwa Serikali imewekamkakati wa kuhakikisha kuwa nishatiya umeme inachangia katika ukuajiwa uchumi na kupelekea nchi kutokakwenye orodha ya nchi masikiniduniani na kuingia katika nchi zenyekipato cha kati ifikapo mwaka 2025,kama Dira ya Maendeleo ya Taifa

    inavyofafanua.Aliongeza kuwa, kuwepo kwa

    Nishati ya uhakika kutavutia uwekezajikwenye viwanda na kuzalisha ajira nanchi kupiga hatua kimaendeleo.

    Alisisitiza kuwa, Tanzania inaNishati ya kutosha ya Jotoardhi yenyeuwezo wa kuzalisha umeme wamegawati 5000 ambayo haijatumika

     bado ambapo Serikali imewekamikakati mbalimbali ikiwa ni pamojana uanzishwaji wa Kampuni yaMaendeleo ya Jotoardhi Tanzaniaambayo ni kampuni tanzu ya Shirikala Umeme Tanzania (TANESCO).

    Aliendelea kusema kuwa TGDCilianzishwa Desemba 2013 kwamadhumuni ya kusimamia maendeleo

    ya jotoardhi nchini Tanzania nakuanza rasmi shughuli zake Julai 2014

     jukumu lake kuu likiwa ni kutafiti,kuchimba na kutumia rasilimali za

     jotoardhi kwa uzalishaji umeme namatumizi mengine ya moja kwa moja.

     Jotoardhi kuzalisha Megawati 100 za umeme

    Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madinianayeshughulikia masuala ya Nishati, Dk. Mhandisi JulianaPallangyo akisoma Hotuba ya Ufunguzi wa Mkutano wasiku Tatu jijini Dar es Salaam uliokutanisha wataalamkutoka nchi mbalimbali kwa ajili ya kujadili taarifa yamtaalam mwelekezi kuhusu utati uliofanywa katika

    Ziwa Ngozi lililopo mkoani Mbeya ambapo kuna viashiriavya jotoardhi pamoja na eneo la Kibiro nchini Uganda.

    Wataalam mbalimbali wakifuatilia hotuba iliyokuwa inatolewa na Naibu KatibuMkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia masuala ya nishati, Dk.Mhandisi Juliana Pallangyo (anayeonekana mbele kwa mbali).

    Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia masuala ya Nishati, Dk. Mhandisi Juliana Pallangyo (katikati - waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa mkutano huo marabaada ya ufunguzi.

  • 8/17/2019 JARIDA LA WIKI LA WIKI LA NISHATI NA MADINI TOLEO 119

    3/15

    3BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Mei 12 - 18, 2016

    FIVEPILLARS OFREFORMS

    KWA HABARI PIGA SIMUKITENGO CHA MAWASILIANO

    BODI YA UHARIRI

    MSANIFU: Lucas Gordon

    WAANDISHI: Veronica Simba, Asteria Muhozya, GreysonMwase, Teresia Mhagama, Mohamed Saif, Rhoda James ,

    Nuru Mwasampeta na Zuena Msuya

    INCREASE EFFICIENCY 

    QUALITY DELIVERYOF GOODS/SERVICE

    SATISFACTION OFTHE CLIENT

    SATISFACTION OFBUSINESS PARTNERS

    SATISFACTION OFSHAREHOLDERS

    TEL-2110490

    FAX-2110389

    MOB-0732999263

    Huduma ya SMS mkombozikwa Wachimbaji Madini

    TEL-2110490

    FAX-2110389

    MOB-0732999263

    TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI JUU YA

    TISHIO LA KAMPUNI YA SONGAS KUZIMA UMEME

      Wizara ya Nishati na Madini imekuwa ikitoa taarifa zaleseni za utafutaji na uchimbaji madini kwa njia mbalimbali ikiwani pamoja na vyombo vya habari kama vile redio, televisheni,magazeti, tovuti yake na mitandao ya kijamii lengo likiwa nikuhakikisha kuwa wachimbaji wadogo, wa kati na wakubwawanakuwa na taarifa sahihi zinazohusu masuala ya madini

    Kama njia mojawapo ya kuhakikisha kuwa wachimbajimadini wanapata taarifa kwa urahisi zaidi, Wizara imeanzautaratibu wa utoaji taarifa za madini ambapo kuanzia sasawamiliki wa leseni hizo wanaweza kupata taarifa za ada za lesenikwa njia ya ujumbe wa simu (SMS).

    Akizungumzia huduma hiyo, Mkuu wa Kitengo chaTEHAMA katika Wizara ya Nishati na Madini, FrancisFungameza alisema kuwa ili mteja aweze kupata huduma hiyoanatakiwa kuandika neno MEM, aache nafasi, kisha aandikeNamba ya Leseni na kutuma kwenda namba 15341.

    Baada ya hapo mteja ataweza kupata ada halisi ya leseni yakeinayostahili kulipwa kwa gharama ya shilingi 250. Tunaaminikuwa hizo ni habari njema kwa wamiliki wa leseni kwaniwataweza kupata taarifa hizo kwa muda mfupi na hivyo kulipiaada za leseni hizo kwa wakati.

    Mbali na huduma hiyo kwa njia ya SMS, Wizara imekuwaikitoa huduma za leseni kwa njia ya mfumo wa kielektronikiujulikanao kama Online Mining Cadastre Transactional Portal(OMCTP) ambao unawawezesha wateja kufanya masualambalimbali ikiwemo kufanya malipo ya leseni na mrabaha,wateja waliosajiliwa kutuma maombi ya leseni, kuhakiki taarifaza leseni wanazomiliki na kutuma taarifa za utendaji kazi .

    Mfumo wa OMCTP pia unawawezesha wateja kupata taarifa

    mbalimbali za Sekta ya Madini zikiwamo ramani za kijiolojia nataarifa za migodi mikubwa.Ikumbukwe kuwa, hapo awali mfumo wa utoaji leseni

    ulifanyika kwa njia ya mkono (manually) na ulitegemeautumiaji wa karatasi (paperwork based) na hali hiyo ilichangiakuchelewesha utoaji leseni ambapo utoaji huo wa leseniulitegemea hali ya mawasiliano kama ya telegram na rejesta.

    Katika kipindi hicho, upimaji na uchoraji ramani za kijiolojiaulifanyika kwa njia ya mkono na ulitegemea umahiri wa mtu namara nyingine makosa yalifanyika na kusababisha migogoro auwaombaji kukosa leseni kwa sababu zisizo za msingi.

    Mfumo huo wa awali ulileta changamoto kwani Wizarailikuwa na wakati mgumu kuhakikisha kuwa kumbukumbuza leseni zinatunzwa vizuri bila kupotea, pia kulikuwa na kazingumu ya kuchambua nyaraka za leseni kwa njia ya mkono(manually) ili kufuatilia uhai wa leseni, malipo ya ada na utendajiwa wamiliki wa leseni.

     Mfumo huu ulipelekea leseni nyingi kutoweza kuchambuliwa

    na kuathiri ubora wa utendaji wa Wizara na pia kasi yakuwahudumia wananchi ilikuwa ndogo.Mfumo wa kieletroniki unaotumika sasa katika leseni

    za madini unakuwa kama kituo kimoja (one-stop-centre)kinachotumiwa na wadau wa Sekta ya Madini walio nchini nanje ya nchi kuweza kujipatia huduma za leseni bila kulazimikakusafiri kwenda kwenye ofisi ya Madini, pindi wanapokuwawamesajiliwa ndani ya mfumo huo.

    Mfumo wa OMCTP una faida mbalimbali ikiwemo,kuongeza uwazi na kasi ya utoaji wa leseni za madini na Watejakuingiza maombi ya leseni wao wenyewe hivyo kupunguza tatizola mlundikano wa maombi kwenye ofisi za madini.

    Tunapongeza hatua kubwa iliyofikiwa na Idara ya Madinikwa kushirikiana na Kitengo cha TEHAMA katika kuhakikishakuwa wamiliki wote wa leseni za madini nchini wanapata taarifambalimbali za madini kwa urahisi na kwa wakati.

    Wito wetu kwa wachimbaji madini ni kuchangamkiahuduma hii mpya ambayo ni rafiki kwani wataweza kupata

    taarifa za leseni za madini kwa muda mfupi na kulipia leseni zaokwa wakati.

    Shirika la umeme TANESCO linapendakutoa ufafanuzi juu ya hatua ya kampuniya kuzalisha umeme ya SONGAS kutishiakuzima mitambo yake.

    Kwanza kabisa ieleweke kwambaTANESCO na SONGAS zina mahusianoya kimkataba ya kibiashara ambayomaamuzi yoyote yanayohusu biashara yapande hizo mbili yanapaswa kufanywa kwamujibu wa mwongozo wa mkataba huo.

    Kinyume na utaratibu huo;Kampuni ya SONGAS imezima asilimia

    81 ya mitambo yake ya kuzalisha umemekwa madai ya kutokulipwa na TANESCO.Vile vile kampuni hii imekwenda kwenyevyombo vya habari na kutishia kuzimamtambo mmoja uliosalia ifikapo tarehe 11-5-2016 na kujaribu kuwatia hofu watazaniakwamba kutakuwa na uhaba wa umeme.

    TANESCO ingependa kusema yafuatayo juu ya uamuzi huo wa SONGAS;1. Hatua ambazo SONGAS

    imezichukua hadi sasa ni kinyume kabisa nataratibu za Mkataba na zimekiuka mkatabawenyewe.

    2. Ni kosa kubwa kwa kampunihii kwenda kwenye vyombo vya habarina kujaribu kuwatisha wananchi juu yakukosekana kwa umeme na kuwatia hofuwananchi.

    3. Kifungu cha 4.4 kinaitakaSongas kutoa notisi ya siku 90 za kuwa namajadiliano na TANESCO endapo itakuwahaijaridhishwa na jambo lolote la kimkataba.Pia kifungu cha 4.6 cha mkataba huokinaitaka SONGAS kutoa notisi kwa serikalina kwa TANESCO baada ya notisi ya awaliya siku 90 kumalizika.

    4. Kifungu cha 17 cha mkataba huokinakataza na kuzuia mmojawapo wa pandembili zinazohusika na mkataba huu kutoatarifa za Mkataba au masuala yanayohusianana Mkataba kwa vyombo vya habari au yeyote asiyehusika katika mkataba huo pasipokupata ridhaa ya upande wa pili.

    Kwa kukiuka vifungu hivyo SONGASimefanya makosa yafuatayo;

    1. Inajaribu kutumia vyombo vyahabari kuwatia hofu wananchi

    2. Kuichafua TANESCO na piaSerikali kwa masuala ambayo tayariyameshaanza kufanyiwa kazi na SONGASikifahamu.

    Kwa taarifa hii tunapenda kuwaondoahofu wananchi na kuwaambia kwambamasuala yanayoihusu kampuni ya Songasyanashughulikiwa na TANESCO pamojana Serikali.

    IMETOLEWA NA UONGOZI WATANESCO.

    TAHARIRI

  • 8/17/2019 JARIDA LA WIKI LA WIKI LA NISHATI NA MADINI TOLEO 119

    4/15

    4   BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Mei 12 - 18, 2016

    GGM yakubali kutoa Magwangala

    Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (WaPili kulia) akiwa na baadhi ya wananchi wa mkoa wa Geita,waliohudhuria kikao baina ya Watendaji wa Osi ya Mkuu wa Mkoawa Geita, baadhi ya Wabunge na Wakuu wa Wilaya za mkoa huo,Wawakilishi wa Wachimbaji Wadogo na Watendaji wa Wizara yaNishati na Madini, Wakala wa Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA)na Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) mara baada ya kumalizakikao kilichofanyika mjini Geita. Kikao kililenga katika kujadili suala lamagwangala na maeneo ya wachimbaji wadogo nchini.

    Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (waliokaa katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Watendaji wa Osi ya Mkuu waMkoa wa Geita, baadhi ya Wabunge na Wakuu wa Wilaya za mkoa huo, Wawakilishi wa Wachimbaji Wadogo na Watendaji wa Wizara ya Nishati naMadini, Wakala wa Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA) na Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) mara baada ya kumaliza kikao kilichofanyika mjiniGeita. Wa Pili kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Geita, Meja Jenerali Mstaafu, Ezekiel Kyunga.

    Na Teresia Mhagama,

    Geita

    Mgodi wa Dhahabu waGeita (GGM) uliopomkoani Geita umeridhiaombi la Serikali lakutoa mabaki ya mawe

    ya dhahabu kwa wananchi ili kuwezakuyachenjua na kupata dhahabu.

    Hayo yameelezwa mjini Geita naWaziri wa Nishati na Madini, ProfesaSospeter Muhongo mara baada yakumaliza vikao vya majadiliano kati yawatendaji wa GGM, Ofisi ya Mkuu waMkoa wa Geita, baadhi ya Wabungena Wakuu wa Wilaya za mkoa huo,Wawakilishi wa Wachimbaji Wadogo

    na Watendaji wa Wizara ya Nishati naMadini, Wakala wa Ukaguzi wa MadiniTanzania (TMAA) na Shirika la Madinila Taifa (STAMICO).

    “Tatizo la Magwangala sasalimetatuliwa kwani Mgodi umekubalikuyatoa kwa wananchi ila kinachotakiwakufanywa kabla ya kuyatoa magwangalahayo ni Serikali ya Mkoa huu kwakushirikiana na Wadau mbalimbalikuhakikisha kuwa kwanza wanapataeneo ambalo uchenjuaji wa magwangalautafanyika,” alisema Profesa Muhongo.

    Aidha aliongeza kuwa eneo hilolitakalotengwa na Ofisi ya Mkuu wamkoa wa Geita lazima lifanyiwe tathminiya mazingira na Baraza la Hifadhi naUsimamizi wa Mazingira (NEMC)

    ili kuweza kuthibitika kama eneo hilolinafaa kwa shughuli hizo bila kuletaathari kwa wananchi na mazingira.

    Profesa Muhongo alitoa agizokuwa kazi hizo zinatakiwa kukamilikatarehe 30 Juni, mwaka huu ambapoOfisi ya Mkuu wa Mkoa itafanya kikao

    kitakachohudhuriwa na watendaji wa

    Mgodi na Wabunge wa mkoa huo nakutoa uthibitisho wa kimaandishi kuhusueneo lililotengwa kwa shughuli hiyopamoja na Cheti kutoka NEMC chauthibitisho kuwa eneo hilo linafaa auhalifai kwa shughuli za uchenjuaji madinikufanyika.

    Aidha alieleza kuwa katika kikaohicho cha tarehe 30 Juni GGM itapaswapia kutoa uthibitisho wa kimaandishikuwa imekubali kutoa magwangala hayokwa wananchi.

    “Baada ya Eneo hilo na Cheti chamazingira kupatikana, sasa katika kikaohicho mtaweza kujadiliana kuhusuusafirishaji wa magwangala hayo kutokaeneo la Mgodi hadi eneo lililotengwa,hapo mtakubaliana nani atachukua

     jukumu la kusafirisha magwangalahayo,”alisema Profesa Muhongo.

    Aliongeza kuwa Leseni za uchenjuajimadini zitakazotolewa mara baadaya eneo hilo kupatikana, zitakuwakatika vikundi na si mtu mmoja mmojaambapo Ofisi ya Mkuu wa mkoa ndiyoitakayoratibu suala hilo huku jukumu laWizara likiwa ni kutoa Leseni hizo.

    “Ni vizuri pia mkashirikiana naviongozi wa Wachimbaji Wadogo katikakuratibu uundaji wa vikundi hivyo nalazima vikundi hivyo vielezwe kuwa nilazima walipe kodi stahiki kwa Serikalikama ilivyo kwa shughuli nyingine zauchenjuaji madini,” alisema ProfesaMuhongo.

    Kwa nyakati tofauti Wabunge wamkoa huo walieleza kuwa utoaji waMagwangala hayo kwa wananchi,utasaidia wanachi hao kujiajiri,kujiongezea kipato na kuwaepusha katikakushiriki matendo ya uhalifu.

  • 8/17/2019 JARIDA LA WIKI LA WIKI LA NISHATI NA MADINI TOLEO 119

    5/15

    5BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Mei 12 - 18, 2016

    Serikali kushindanisha wawekezaji Sekta ya Nishati

    Na Veronica Simba

    Serikali imesema ushindani kwawawekezaji wanaotaka kuwekezakatika Sekta ya Nishati, ndiyonjia bora zaidi itakayowezeshakuwapata wawekezaji wenye

    vigezo vinavyotakiwa kwenye Sekta hiyo.Waziri wa Nishati na Madini, Profesa

    Sospeter Muhongo aliyasema hayo jana,Mei 10, alipokutana na Mtendaji Mkuuwa Kampuni ya KOYO kutoka Japan,Norio Shoji na Ujumbe wake, ambayoimeonesha nia ya kuwekeza katikaUzalishaji na Usafirishaji wa Umemenchini, kwa kutumia vyanzo mbalimbaliikiwemo gesi asilia na jua.

    “Kampuni nyingi zimeonesha nia yakuwekeza kwenye sekta ya nishati. Serikaliinao uhitaji mkubwa wa wawekezajiwalio makini, hivyo tunahitaji kuwapatawawekezaji wenye vigezo kwa kutumiaushindani unaozingatia uwazi,” alisisitizaProfesa Muhongo.

    Aliongeza kuwa, ili kuwarahisishiawawekezaji wenye nia ya kuwekeza katikasekta ya nishati nchini, Wizara inaandaataarifa maalum itakayobainisha maeneoyanayohitaji uwekezaji pamoja navipaumbele vyake.

    Alisema, taarifa hiyo itakuwa tayarina kutolewa mwishoni mwa mwezi huu

    (Mei 31, 2016) na kwamba itasambazwakwa wadau wote wa ndani na nje ya nchikupitia njia mbalimbali za mawasiliano,ikiwamo tovuti ya wizara.

    Profesa Muhongo alieleza kuwa,taarifa hiyo pamoja na mambo mengine,itawapa fursa wawekezaji wenye nia,kuchagua aina ya uwekezaji wanaohitajikufanya na katika maeneo ambayowanadhani watakuwa na uwezowa kumudu ushindani kutoka kwawawekezaji wenzao kutoka sehemumbalimbali duniani.

    Akifafanua zaidi, Profesa Muhongoalisema kuwa, zoezi la kuwashindanishawawekezaji walioonesha nia, litakuwani endelevu na litakuwa likifanyika

    kila baada ya muda fulani, ambaoutabainishwa katika taarifa husikainayotarajiwa kutolewa.

     “Endapo tutaendesha zoezi laushindanishaji wawekezaji na wotewalioshindanishwa wasipotimizavigezo vinavyotakiwa, hatulazimikikumchukua yeyote tu. Tutakachofanyani kutokumchukua yeyote kati yao nahivyo kuendelea na zoezi hilo baadaya muda tutakaoubainisha, hadi paletutakapowapata wawekezaji wenye vigezotunavyovitaka.”

    Profesa Muhongo alibainisha kuwa,mchanganyiko wa nishati ambao Serikaliimekusudia kuutumia kama vyanzo vyakuzalisha umeme nchini kwa sasa nipamoja na gesi asilia, maji, upepo, jua,makaa ya mawe, mvuke (maji moto) natungamotaka.

    Waziri wa Nishati na Madini,Profesa Sospeter Muhongo(Kushoto), akiagana na MtendajiMkuu wa Kampuni ya KOYOkutoka Japan, Norio Shoji(Kulia) pamoja na Ujumbewake, baada ya kikao bainayao. Kushoto kwa Wazirini baadhi ya Viongozi naMaosa wa Wizara na Taasisizake walioshiriki kikao hichokilichofanyika Mei 10, mwakahuu Makao Makuu ya Wizara

     jijini Dar es Salaam. KOYOimeonesha nia kuwekeza katikasekta ya nishati nchini.

    Waziri wa Nishati naMadini, Profesa SospeterMuhongo (Katikati),akiwa katika kikao naUjumbe kutoka Kampuniya KOYO ya Japan(Kushoto). Kulia ni baadhiya Viongozi na Maosawa Wizara na Taasisizake walioshiriki kikaohicho kilichofanyika Mei10 mwaka huu, MakaoMakuu ya Wizara jijiniDar es Salaam. Kampuni

    hiyo imeonesha niakuwekeza katika sekta yanishati nchini.

    Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia Nishati, Dkt Mhandisi JulianaPallangyo (Kulia), akisalimiana na Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya KOYO kutoka Japan, Norio Shoji,baada ya kikao baina ya Waziri wa Nishati wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo naKampuni husika, kilichofanyika Mei 10 mwaka huu Makao Makuu ya Wizara jijini Dar es Salaam.

    Kampuni ya KOYO imeonesha nia kuwekeza katika sekta ya nishati nchini.

  • 8/17/2019 JARIDA LA WIKI LA WIKI LA NISHATI NA MADINI TOLEO 119

    6/15

    6   BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Mei 12 - 18, 2016

    Kamishna Msaidizi wa Madinianayeshughulikia Leseni,Mhandisi John Nayopa (katikati),Meneja wa TANESCO Kanda yaziwa, Mhandisi Amos Maganga(kulia) na Mhandisi JosephKumburu (kushoto) wakiwakatika kikao kilichofanyika mjiniGeita kilichojumusha watendajimbalimbali katika Osi ya Mkuuwa Mkoa wa Geita, baadhi yaWabunge na Wakuu wa Wilayaza mkoa huo, Wawakilishiwa Wachimbaji Wadogo naWatendaji wa Wizara ya Nishati

    na Madini, Wakala wa Ukaguziwa Madini Tanzania (TMAA)na Shirika la Madini la Taifa(STAMICO). Kikao kililengakujadili suala la magwangala namaeneo ya WachimbajiWadogo.

    Baadhi ya Wakuu waWilaya za mkoa waGeita, Wawakilishi waWachimbaji Wadogo naWatendaji wa Wizaraya Nishati na Madini,Wakala wa Ukaguzi waMadini Tanzania (TMAA)na Shirika la Madinila Taifa (STAMICO)wakiwa katika Kikaokilichofanyika mjiniGeita ambachokililenga kujadili suala lamagwangala na maeneoya Wachimbaji Wadogokilichoongozwa naWaziri wa Nishati naMadini, Profesa Sospeter

    Muhongo, (hayupopichani).

    Ruzuku kwa Wachimbaji Wadogo

    kutolewa mwezi Septemba

    Na Teresia Mhagama, Geita

    I

    meelezwa kuwa Ruzuku yaAwamu ya Tatu inayolenga katikakuendeleza shughuli za uchimbajimdogo wa madini nchini itatolewamwezi Septemba mwaka huu.

    Hayo yalisemwa mjini Geita naWaziri wa Nishati na Madini, ProfesaSospeter Muhongo wakati wa kikaokilichojumuisha Ofisi ya Mkuu waMkoa wa Geita, baadhi ya Wabungena Wakuu wa Wilaya za mkoa huo,Wawakilishi wa Wachimbaji Wadogona Watendaji wa Wizara ya Nishati naMadini, Wakala wa Ukaguzi wa MadiniTanzania (TMAA) na Shirika la Madinila Taifa (STAMICO).

    Alisema kuwa hivi karibunializungumza na Benki ya Dunia ambayoimeahidi kutoa Dola za Marekanikati ya Milioni 3 na Milioni 4 ambazozitatolewa kwa vikundi mbalimbali vyawachimbaji wadogo nchini.

    Aliongeza kuwa, fedha hizo

    zitatumika pia kuendeleza vituoSaba vya mfano vya utafutaji nauchimbaji mdogo wa madini ambavyovitachaguliwa na Wizara baadaya kufanya tathmini ya maeneoyanayoweza kuwekwa vituo hivyo.

    “Maeneo hayo Saba ya mfanoyatafanyiwa utafiti na Wakala wa JiolojiaTanzania (GST) ili kufahamu mashapoya dhahabu yaliyopo katika eneo husikakabla ya kuyagawa kwa wachimbajiwadogo,” alisema Profesa Muhongo.

    Alisema kuwa Wanawake waliopokatika shughuli za uchimbaji mdogo wamadini, ukataji na uchongaji wa madiniya Vito pia watafaidika na Ruzukuhiyo lengo likiwa ni kuongeza idadi yawanawake wanaojishughulisha na sekta

    ya Madini nchini.“Tunatafuta Ruzuku hizi iliwachimbaji wadogo mpande darajana kwenda kwenye uchimbaji wa katiambao utaleta tija kwenu na kwa Taifakwani uchimbaji huu huwa hautikisikipale bei ya dhahabu inaposhuka dunianikwani gharama za uzalishaji kwenyemigodi ya kati ni za chini tofauti namigodi mikubwa,”alisema ProfesaMuhongo.

    Aidha, aliwaeleza wachimbajiwadogo nchini kujiunga katikamakundi yatakayowawezesha kupataRuzuku kwani haitatolewa kwa mtummojammoja na kuwaasa kushirikianana Idara inayosimamia WachimbajiWadogo katika Shirika la Madini la

    Taifa (STAMICO) ili kuweza kuandikamaombi ya kuomba Ruzuku husika.Benki ya Dunia kupitia Wizara ya

    Nishati na Madini imeendelea kutoaRuzuku katika Uchimbaji madinimdogo ambapo katika mwaka waFedha 2015/16 zilitengwa takribaniShilingi bilioni 7.2 ambazo zilitolewakwa vikundi 111 vya wachimbajiwadogo na watoa huduma mbalimbalikatika sekta ya uchimbaji madini mdogo.

    Vilevile, katika mwaka wa Fedha2013/2014, Fedha za Ruzukuzilizotolewa kwa Wachimbaji Wadogozilikuwa ni Dola za Marekani 500,000sawa na takribani Shilingi Bilioni 1zilizotolewa kwa waombaji 11.

    Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (katikati), Mkuu wa Mkoa wa Geita,Meja Jenerali Mstaafu, Ezekiel Kyunga (kulia) na Katibu Tawala mkoa wa Geita, Selestine Gesimba(kushoto) wakiwa katika kikao kilichofanyika mjini Geita kilichojumusha baadhi ya Wabunge naWakuu wa Wilaya za mkoa huo, Wawakilishi wa Wachimbaji Wadogo na Watendaji wa Wizara yaNishati na Madini, Wakala wa Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA) na Shirika la Madini la Taifa(STAMICO).

  • 8/17/2019 JARIDA LA WIKI LA WIKI LA NISHATI NA MADINI TOLEO 119

    7/15

    7BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Mei 12 - 18, 2016

    TPDC yawakutanisha Wadau Mradi wa “LNG”TPDC

    Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania(TPDC) mwanzoni mwa juma liliandaawarsha ya siku mbili iliyowakutanisha Wadauwa Mradi wa kusindika gesi asilia kuwakimiminika kwa ajili ya kusafirisha nje ya nchi

    a matumizi ya ndani ya nchi. (LNG).

    Akifungua Warsha hiyo kwa Niaba ya Waziriwa Nishati na Madini, jijini Dar es Salaam, NaibuKatibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini,nayeshughulikia Madini, Profesa James Mdoe,lisema warsha hiyo ililenga kuwakutanisha wadau

    wanaoshiriki katika utekelezaji wa mradi huo,kiwemo kutengeneza mazingira shirikishi kwa wadauao kabla ya kuanza kutekeleza ujenzi wa mradi huo.

    Aliongeza kuwa, msukumo mkubwa wa Taifa hivi

    sasa ni kuelekea kuwa nchi ya viwanda na kichocheokikubwa cha kufikia lengo hilo ni matumizi yarasilimali ya gesi kutumika kama nishati.

    “Ni shauku yangu kwa sasa kuona Tanzaniainavyojivunia fursa za uwekezaji hususan katika tasniaya gesi asilia. Kufuatia kuwepo kwa gesi ya kutoshakutasukuma utekelezaji mradi wa kusindika gesi asilianchini,” alisema Prof. Mdoe.

    Aliongeza kuwa, ushirikishwaji wa wadaumuhimu na elimu ndiyo makusudi makuu ya warshahiyo kabla ya kuanza kutekelezwa kwa mradi huo.

    Akifunga warsha hiyo kwa niaba ya MkurungeziMtendaji wa TPDC, Mkurugenzi wa Usafishaji,Usafirishaji na Usambazaji wa Gesi Asilia, Dk.Wellington Hudson alisema warsha hiyo ilikuwaya mafanikio makubwa kwa kuwakutanisha wadaumuhimu wa Mradi wa kusindika gesi asilia nchini.

    Alisema licha ya mipango ya kujengwakwa Kiwanda cha kusindika gesi asilia nchiniili kusafirisha gesi asilia nje ya nchi pia gesi hiyoitatumika kwa soko la ndani na Afrika Mashariki.

    Aliongeza kuwa, mada zilizowasilishwa katikawarsha hiyo zilikuwa na tija kubwa katika kuelekeakatika utekelezaji wa mradi huo.

    Ujenzi wa Kiwanda cha kusindika gesi asiliakwa matumizi ya ndani na kusafirisha nje ya nchiunatarajiwa kujengwa eneo la Likong’o katikaManispaa ya Lindi na unatarajia kugharimu Dola zaKimarekani bilioni 40 hadi 60.

    Warsha hiyo iliwakutanisha wadau kutokaWizara ya Nishati na Madini, TPDC, Taasisi kutokaSerikalini na kampuni za Wawekezaji za Mafuta naGesi nchini.

    Wadau wa Mradi wa Kusindika Gesi Asilia nchini (LNG) wakifuatilia warsha hiyo.

    Mkurugenzi wa Utati (TPDC), Kelvin Komba akiwaeleza waandishi waabari (hawapo pichani) Lengo la Warsha ya siku Mbili kwa Wadau waMradi wa Kusindika Gesi Asilia nchini (LNG) iliyofanyika hivi karibunijini Dar es Salaam.

    Naibu katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Prof. James Mdoeakifungua Warsha ya siku Mbili kwa Wadau wa Mradi wa Kusindika GesiAsilia nchini (LNG) iliyofanyika hivi karibuni jijini Dar es Salaam.

  • 8/17/2019 JARIDA LA WIKI LA WIKI LA NISHATI NA MADINI TOLEO 119

    8/15

    8   BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Mei 12 - 18, 2016

    ZIJUE HATUA MUHIMU ZAUTAFUTAJI MADINI NA FAIDA ZAKE

    Na Samwel Mtuwa – GST

    Utaalamu wa sayansi

    ya utafiti wa Madini(Jiosayansi) unahusishahatua mbalimbali zauchimbaji wa madini

    unaotumia gharama kubwa hivyoni lazima ufanyike kwenye maeneoyaliyothibitishwa kwa taarifa zaJiosayansi kuwa, eneo husika linaaina fulani ya madini ya kutosha nakwamba yatachimbwa kwa faida, ilikupunguza uwezekano wa kupatahasara katika uchimbaji madini.

    Kwa ujumla kuna njia kuu Tatuza utafutaji madini katika taaluma ya

     jiosayansi zinazotegemeana ambazo niJiolojia , Jiokemia na Jiofizikia.

    Katika kila njia kuna hatua

    mbalimbali za kufanya kwa kulinganana aina ya madini , tabia za miamba ,mazingira ya eneo husika, ukubwa waeneo.

    Katika hatua ya kwanza ya utafutajiwa madini wa awali (ReconnaissanceSurvey), utafutaji huu hutumika katikamaeneo makubwa kwa kutumia njiambalimbali kama vile utafutaji kwakutumia vifaa vilivyo angani ( RemoteSensing) kama vile satellite, ndege, nahelikopta ili kupata taarifa au takwimuza eneo kubwa kwa haraka nagharama nafuu zinazoashiria uwepowa madini yanayotafutwa.

    Kwa upande wa utafutaji wa

    Jiolojia, hutumika kuainisha tabiambalimbali za miamba na madinikwenye eneo husika, taarifa ambazo

    ni kwa ajili ya kuchora ramanimbalimbali za jiolojia na upatikanajiwa madini , njia hii hutumika hususan

    katika maeneo yenye miambailiyojitokeza juu ya uso wa ardhi.Kwa upande wa Jiokemia,

    utafutaji huu hufanyika katikamaeneo makubwa kwa kuchukuasampuli mbalimbali za miambakatika ukubwa tofauti tofauti, udongo,mchanga wa vijito, maji au mimea.Sampuli hizi hupelekwa kwenyemaabara kwa uchunguzi wa viasilivya madini yaliyomo , taarifa zitakazopatikana hutumika kuchorea ramaniza jiokemia , njia hii hutumika zaidikatiaka maeneo ambayo miamba yakemingi imeishamong’onyoka na kuwaudongo.

    Katika utafutaji wa miambayenye asili ya sumaku yaani Jiofizikiahufanyika kwa kutumia vifaa maalumvinavyopitishwa kwenye uso wa dunia(ground Geophysical Survey) auangani (Airborne Geophysical Survey),majini ili kubaini miamba yenye asiliya sumaku (magnetic), mawimbi yaumeme ,mionzi, pamoja na mawimbiya mitetemo kwa ajili ya kubainimipasuko na mikanda inayoashiriauwepo wa madini katika miamba ,taarifa za hizi hutumika kutengenezaramani za jiofizikia , pia taarifa hizihutumika kubaini tabia za miambakwenye vina virefu chini ya ardhi .

    Njia hizi tatu zinafanywa kwakiasi kikubwa na Wakala wa JiolojiaTanzania (GST) na taarifa, takwimu,

    ramani zake hutumika katikakuboresha ramani za upatikanajimadini pamoja na kubainisha maeneo

    yenye viashiria vya uwepo wa madinikwa usahihi zaidi.Baada ya hatua ya awali ya

    utafutaji wa madini kujiridhisha kwauwepo wa viashiria vya madini hatuainayofuata ni utafutaji wa madinihatua ya kati (Minearal Prospecting).Utafutaji huu hufanyika katika eneodogo lililoainishwa kwenye hatua yakwanza ya utafutaji wa madini kwakawaida njia zinazotumika katikahatua hii zinafanana za zile za hatuaya kwanza, lakini uchukuaji wa taarifa

    unakuwa kwa eneo dogo zaidi nakwa kina zaidi kuliko ule wa hatua yakwanza.

    Hatua ya Tatu ya utafutaji waMadini ni utafutaji wa kina yaani(General exploration) kwa mujibu wa

     jarida la mwongozo wa namna boraya utafutaji , uchimbaji , uchenjuajina uongezaji thamani madini kwawachimbaji wadogo Tanzania,linasema kuwa utafutaji huu hufanyikakatika eneo dogo zadi lililoainishwakatika hatua ya pili. Kihualisia njiazinazotumika ni zilezile kama hatuaya pili, isipokuwa katika hatua hiiuchorongaji wa miamba , uchimbajiwa mitaro na mashimo ya utafitiyaani (trenching and Pits) hufanyikakulingana na mhitaji ya utafiti nauchukuaji wa sampuli huongezekakulinganisha na hatua ya pili.

    Kwa upande wa utafutaji wa kinawa madini ( Detailed Exploration),utafiti wa namna hii hufanyika kwanjia ya uchorongaji wa miamba kwakina zaidi ambapo umbali kati yashimo moja na jingine huwa ni ndogozaidi kwa lengo la kujua umbile lambale , ukubwa wa mashapo nathamani ya madini.

    Vilevile, taarifa za jiosayansi zahatua hii hutumika katika kuandaataarifa za upembuzi yakinifu ilikuonesha taratibu za uchimbaji ,taratibu za uchenjuaji, utunzaji naukarabati wa mazingira. Baada yakufanyika kwa upembuzi yakinifu,tathmini hufanyika kubaini gharamahusika za uwekezaji , uendeshaji,mapato yatakayopatikana na kuuzamadini hayo na kuainisha faidaitakayopatikana yaani (MineralEconimic Evaluation) ndipomchimbaji ataweza kuanza kuchimbana kukopeshaka katika taasisi za fedhandani au nje ya nchi.

    Watalaam kutoka GST wakiwa juu ya mlima Mtungulu wilayani Handeni wakichukua sampuli na takwimumbalimbali za Jiosayansi katika mwamba kwa ajili ya uchunguzi katika Maabara ya uchunguzi Madini yaGST.

    Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Jiolojia Tanzania Prof. AbdulkarimMruma, akiangalia mlalo wa miamba katika andaki la machimbo yamadini lililo chini ya milima ya Endabash wilayani Karatu.

    MAK ALAMAK ALA

  • 8/17/2019 JARIDA LA WIKI LA WIKI LA NISHATI NA MADINI TOLEO 119

    9/15

    9BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Mei 12 - 18, 2016

    Ushuru wa Huduma utolewehadharani- Profesa Muhongo

    Na Teresi Mhagama

    Geita

    Waziri wa Nishatina Madini,Profesa SospeterMuhongo amesemakuwa Ushuru

    wa Huduma Unaolipwa kwaHalmashauri zinazozungukwa naMigodi ya Madini nchini unatakiwakutolewa mbele ya wananchi waeneo husika.

    Alitoa agizo hilo mjini Geitawakati wa kikao kilichojumuishaOfisi ya Mkuu wa Mkoa wa Geita,

     baadhi ya Wabunge na Wakuu waWilaya za mkoa huo, Wawakilishi wa

    Wachimbaji Wadogo na Watendajiwa Wizara ya Nishati na Madini,Wakala wa Ukaguzi wa MadiniTanzania (TMAA) na Shirika laMadini la Taifa (STAMICO).

    “Mgodi unapaswa kutengenezamfano wa hundi ambayo itatolewambele ya hadhara ili wananchiwafahamu Halmashauri husikaimepata kiasi gani cha Fedha nahivyo kuweza kufuatilia matumiziya fedha hizo,” alisema ProfesaMuhongo.

    Alisema kuwa utoaji wa ushuruhuo ambao ni asilimia 0.3 ya mapatoyote yanayotokana na shughuli zamgodi katika eneo husika unapaswakuhudhuriwa pia na Katibu Mkuu

    wa Wizara ya Nishati na Madinina Tawala za Mikoa na Serikali zaMitaa (TAMISEMI).

     Aidha kuhusu Huduma za Jamii

    zinazotekelezwa na kampuni za

    utafiti na uchimbaji wa madini nchini,Profesa Muhongo aliziagiza kampunihizo kushirikisha viongozi wasehemu husika kabla ya kutekelezamiradi mbalimbali ili kuepushamalalamiko yanayoweza kutokea

     baada ya miradi hiyo kutekelezwa.“Halmashauri zinapaswa kutoa

    vipaumbele vyao kuhusu miradiwanayotaka itekelezwe kwenyeeneo lao, na migodi hii inapaswakutoa kipaumbele kwa kampuni zakitanzania katika kutekeleza miradihiyo,” alisema Profesa Muhongo.

    Kuhusu maeneo ya uchimbajimadini kwa wachimbaji wadogonchini, Profesa Muhongo alisemakuwa maeneo ambayo yameshikiliwa

    kwa muda mrefu yatataifishwa nakupewa wachimbaji wadogo iliwayaendeleze.

    Aidha aliwaasa wachimbajiwadogo wa madini nchini kuwatayari kufanya kazi sehemu yoyotenchini ambayo itatengwa na serikalikwa ajili ya shughuli za uchimbajiwa madini badala ya kung’ang’aniakuchimba madini katika vijiji, wilayaau mikoa wanayoishi.

    Awali Kamishna Msaidizianayeshughulikia Leseni katikaWizara ya Nishati na Madini,Mhandisi John Nayopa, alisemakuwa katika mkoa wa Geita kunamaeneo matano yaliyotengwa naWizara kwa ajili ya wachimbaji

    wadogo ambayo ni Lwenge A,Lwenge B, Shenda Kaskazini,Kanegele 2, na NyangalataMashariki.

    1. Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo(katikati waliokaa) katika picha ya pamoja na Watendaji waMgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM), Osi ya Mkuu wa Mkoawa Geita, baadhi ya Wabunge na Wakuu wa Wilaya za mkoa huo,Wawakilishi wa Wachimbaji Wadogo na Watendaji wa Wizaraya Nishati na Madini, Wakala wa Ukaguzi wa Madini Tanzania(TMAA) na Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) mara baada yakumaliza kikao kilichofanyika mjini Geita. Wa Pili kulia ni Mkuu waMkoa wa Geita, Meja Jenerali Mstaafu, Ezekiel Kyunga.

    2. Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo(katikati) katika picha ya pamoja na watendaji wa Wakala waUkaguzi wa Madini Tanzania (TMAA) katika Osi ya Mwanza,Mhandisi Saidi Mkwawa (kushoto kwa Waziri) na Irene Kimario(kulia kwa Waziri) mara baada ya kumaliza kikao kilichojumuishaWatendaji wa Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM), Osi yaMkuu wa Mkoa wa Geita, baadhi ya Wabunge na Wakuu wa

    Wilaya za mkoa huo, Wawakilishi wa Wachimbaji Wadogo naWatendaji wa Wizara ya Nishati na Madini,) na Shirika la Madinila Taifa (STAMICO) kilichofanyika mjini Geita.

    1

    2

  • 8/17/2019 JARIDA LA WIKI LA WIKI LA NISHATI NA MADINI TOLEO 119

    10/15

    10   BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Mei 12 - 18, 2016

    THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIAMINISTRY OF ENERGY AND MINERALS

    THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIAMINISTRY OF ENERGY AND MINERALS

    INVITATION FOR BIDS FORPROCUREMENT OF FURNITURE AND OFFICEEQUIPMENT FOR MADINI HOUSE DODOMA

    BID NO. ME/008/SMMRP/G/90

    INVITATION FOR BIDS FORPROCUREMENT OF TRAINING EQUIPMENT FORMINERAL RESOURCES INSTITUTE TO SUPPORT

    ARTISANAL SMALL SCALE MINERSBID NO. ME/008/SMMRP/G/84

    1. The United Republic of Tanzania (hereinafter called “Borrower”) hasreceived Additional Financing from the International DevelopmentAssociation (IDA) (hereinafter called “Credit”) towards the cost of theSustainable Management of Mineral Resources Project (SMMRP) andintends to apply part of this Credit to cover eligible payments under Con-tract for Procurement of Furniture and ICT Equipment for Madini house

    Dodoma2. The Ministry of Energy and Minerals (MEM) now invites sealed bidsfrom eligible and qualified bidders for the supply of Furniture and Equip-ment as shown below:-

    LotNo.

    Brief Description of Goods unit Qty

    1 Supply of various Office Furniture Each Various

    2 Supply of Office Equipment Each Various

    The above items constitute TWO LOTS. Bidders may bid for one or both lots,each lot shall be considered separately and bidders shall quote all items andrespective quantities. Bids not quoting all items and quantities will be consid-ered non – responsive and rejected for evaluation.

    3. Bidding will be conducted through the National Competitive Bidding(NCB) procedures specified under the Public Procurement Act No.7 of

    2011: (Procurement of Goods, Works, Non Consultant Service and Dis-posal of Public Assets by Tender) Regulations, 2013 –and are open to alleligible bidders as defined in the Regulations.

    4. Interested eligible bidders may obtain further information from theSecretary, Ministerial Tender Board, Ministry of Energy and Minerals(MEM), 5 Samora Avenue, 6th f loor Room No. 10 Wing B, 11474 Dar esSalaam and inspect the bidding documents during office hours from 09.00to 15.00 hours local time, Mondays to Fridays inclusive, except publicholidays.

    5. A complete set of Bidding Document in English language may be pur-chased by interested eligible bidders upon submission of a written ap-plication to the Secretary, Ministerial Tender Board, Ministry of Energyand Minerals (MEM) Samora Machel Avenue, 6th floor Room No. 10Wing B, 11474 Dar es Salaam and upon payment of a non–refundablefee of TZS 150,000/= (Tanzania Shillings One Hundred Fifty Thousandonly) or equivalent amount in any interfreely convertible currency. Thepayment will be made through NMB Bank, Account No. 2011100072 infavor 0of Permanent Secretary, Ministry of Energy and Minerals.

    6. Bids in one original plus two (2) copies, properly filled in and enclosed

    in plain envelopes, addressed to the address below and to be delivered tothe Secretary, Ministerial Tender Board, Ministry of Energy and Miner-als (MEM) at 5 Samora Machel Avenue, 6th f loor, Room 611, WingA, 11474 Dar es Salaam at or before 10.00 hours, East African time onThursday, 2nd June, 2016. Bids will be publicly opened in the presence ofthe bidders’ designated representatives and anyone who choose to attendimmediately after the deadline of bids submission.

    7. All bids must be accompanied by a Bid Securing Declaration in the for-mat provided in the relevant bidding document.

    8. Late Bids, Portion of Bids, Electronic Bids, Bids not received, Bids notopened and not read out in public at the bid opening ceremony shall not be accepted for evaluation irrespective of the circumstances.

    Permanent Secretary,Ministry of Energy and Minerals,

    5 Samora Machel AvenueP. O. Box 2000,

    11474 Dar Es Salaam, TanzaniaTel: 255-22-2121606/7

    Fax: 255-22-2121606E-mail: [email protected]

    1. The United Republic of Tanzania (hereinafter called “Borrower”) hasreceived Additional Financing from the International DevelopmentAssociation (IDA) (hereinafter called “Credit”) towards the cost of theSustainable Management of Mineral Resources Project (SMMRP) andintends to apply part of this Credit to cover eligible payments under

    Contract for Procurement of Training Equipment for Mineral ResourcesInstitute to support Artisanal Small Scale Miners

    2. The Ministry of Energy and Minerals (MEM) now invites sealed bidsfrom eligible and qualified bidders for the Supply of Equipment as shown below;

    Lot No. Brief Description of Goods unit Qty

    1 Supply of Mineral Processing Equipmentand Machines

    Each Various

    2 Supply of Geological Equipment andMachines

    Each Various

    3 Supply of Mining Equipment and Machines Each Various

    The above items constitute THREE LOTS. Bidders may bid for one, two or alllots, each lot shall be considered separately and bidders shall quote all itemsand respective quantities in each lot. Bidder not quoting the all items and quan-

    tities will be considered non – responsive and rejected for evaluation.3. Bidding will be conducted through the National Competitive Bidding(NCB) procedures specified under the Public Procurement Act No.7 of2011: (Procurement of Goods, Works, Non Consultant Service and Dis-posal of Public Assets by Tender) Regulations, 2013 –and are open to alleligible bidders as defined in the Regulations.

    4. Interested eligible bidders may obtain further information from the Secre-tary, Ministerial Tender Board, Ministry of Energy and Minerals (MEM),5 Samora Machel Avenue, 6th Floor Room No. 10 Wing “B”, 11474 Dares Salaam and inspect the bidding documents during office hours from09.00 to 15.00 hours local time, Mondays to Fridays inclusive, except pub-lic holidays.

    5. A complete set of Bidding Document in English language may be pur-chased by interested eligible bidders upon submission of a written applica-tion to the Secretary, Ministerial Tender Board, Ministry of Energy andMinerals (MEM) Samora Avenue, 6thfloor Room No. 10 Wing B,11474Dar es Salaam and upon payment of a non–refundable fee of Tanzaniashillings One Hundred Fifty Thousand (TZS 150,000/=) only or equiva-lent amount in any internationally freely convertible currency. Payment

    will be made through NMB Bank, Account No. 2011100072 in favor ofPermanent Secretary, Ministry of Energy and Minerals.6. Bids in one original plus two (2) copies, properly filled in, and enclosed in

    plain envelopes to the address below and to be delivered to the Secretary,Ministerial Tender Board, Ministry of Energy and Minerals (MEM) at 5Samora Machel Avenue, 6th floor, Wing A, Room No. 611, 11474 Dar esSalaam at or before 10.00 hours, East African time on Thursday 2nd June2016. Bids will be immediately publicly opened in the presence of the bid-ders’ designated representatives and anyone who choose to attend immedi-ately after the deadline of bids submission.

    7. All bids must be accompanied by a Bid Securing Declaration in the formatprovided in the relevant bidding document.

    8. Late Bids, Portion of Bids, Electronic Bids, Bids not received, Bids notopened and not read out in public at the bid opening ceremony shall not be accepted for evaluation irrespective of the circumstances.

    Permanent Secretary,Ministry of Energy and Minerals,5 Samora Avenue P. O. Box 2000,

    11474 Dar es Salaam, Tanzania Tel: 255-22-2121606/7Fax: 255-22-2121606

    E-mail: [email protected]

  • 8/17/2019 JARIDA LA WIKI LA WIKI LA NISHATI NA MADINI TOLEO 119

    11/15

    11BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Mei 12 - 18, 2016

    BUSINESS PERSPECTIVE

    Salum Mnuna is MBA, Certied PPP specialist based in Dar es Salaam

    Can be reached via email [email protected] or WhatsApp 0767457817

    The views in the article are solely based on the knowledge of the author and should

    not be associated with his employer.

    Email: [email protected]

    Uganda-Tanzania Crude oil Pipeline, Influence on development ofNorthern Value Corridor and Tanzanian’s Lake Region Business Future

    E

    veryone loves a fairytale.However, how many do youknow that involves buildingeconomic prosperity withoutplanning and action yet

    roduces result many people droolingn?

    Diligent ownership, Planning,esources and effective managementnd leadership can play a strong partn bringing talks to actions and actionso prosperity. Diligently deploymentf innovative and investment science

    nvestment and resourceful work forceareful integrated into decision-makingrocess without conflicting publicnvestments existing governing lawsan be catalyst to sustainable and stablenvestments growth and eventuallyuilding sustainable businesses.

    Tanzania economic output in recentears have shown growth signs, reportsn 2015-showed growth of 7% in realerms and recorded strong populationrowth Rate of 2% predicting by030 to have urban population higherhan rural areas. This means the

    government would have the work todo to build infrastructures investmentto accommodate influx of peoplemigrating to urban centers and maintainor increase its growth rate. On other side,I cannot imagine and probably you arealso in shock, in 2100, Tanzania will beamongst top ten country in the worldwith estimated population of 299 behindIndonesia 314 and above Ethiopia 243who makes top 10 amongst top tencountries with large population. (Source:world economic forum/ united nation).Information like this point out the needfor longer-term Plan to anticipate andprepare to accommodate the need of anupcoming population projection.

    The recent decision from UgandanGovernment and Up streamers investorsto choose Tanzania and Tanga Portfor Export of its crude oil to the globalmarket has provided Tanzania a

     bigger boost to develop the route to acomprehensive infrastructures valuecorridor that will see Tanga Port becomeaccessible to land locked countries,

     build and develop sustainable region

    markets. The Value corridor will extendfrom the Tanzanian Port of Tanga onshores of the Indian Ocean, throughUganda and the Democratic republicof Congo (DRC) up to the CongolesePort of Banana on the AtlanticOcean. The Value Corridor is basedon creating multi-modal integratedinfrastructures alongside a utilities sub-corridor comprising of Gas, Water andpetroleum utilities, fiber optic, railwayand Transmissions Power lines. Offcourse, this sounds an overly ambitiousproject thinking, by our standard yes itis. Its long-term project, which requireslong-term plan, financial resources andcoordinated efforts between both Publicand Private Investments. Tanzania’sGas will have an alternative marketsto LNG expensive investment by

     building a cross border Gas Pipelinesthrough Uganda to DR Congo. Theplanning of development of the corridorwill pull interests of private investors,capital markets and financiers and

     boost industrial, trade, and economicdevelopment along the corridor.

    The Ugandan Crude oil Pipelineis one project amongst others inValue corridor that provide a perfectexample of what need to be plannedfor next 30 to 50 or even 100 years.Developing the value corridor withmulti-modal integrated infrastructureswill be one large attempt on an effortto grow Tanzania influence on theregion business but also respondto ever-growing population. Thedevelopment of the corridor is projectedto be economically and financial viableinvestment due to existing demand ofreliable infrastructure, ever demand forAfrica rising and the benefits associatedto its existence. The Value corridorDevelopment plan estimated to attractprivate equity funds, investors andDevelopers from around the world.

    The presence of the ICT, Railways,

    and Roads along the value corridorand easy access to outlet Port ofTanga will provide traffic flows ofgoods and services. The Corridor willprovide much pivots from innovationsin transportation, communicationand logistics. The Prohibitive cost oftransporting products, containers andother commodities safely to intendedland locked and other upcountrytowns of Tanzania destinations will besignificantly reduced and doing businessmade easy along the infrastructurescorridor.

    Securing Tanzania’s lake regions business future and influence will bemade easy amongst other deals bystarting up with proper planning and

    Implementing of Value corridor at least by next 15 years. The constructions ofUganda-Tanzania Crude oil Pipelineset an important path by first providingthe necessary way leave. Tanzaniashould learn from its past Pipelinesimplementation, take on the lessonlearned on land securing, ownership,risks allocation and Mitigations,investments and operations to avoidany conflicts with community thatcan delay project implementation andquality in the future. Use the experienceto improve on the next Pipeline andinfrastructure project investments.We do not have to be inferior, we canmake and attract excellent investmentin Tanzania and take the lead in EastAfrican regional Markets. The future isPositive. The choice remain in our handsto decide and take actions.

    By Salum Mnuna

  • 8/17/2019 JARIDA LA WIKI LA WIKI LA NISHATI NA MADINI TOLEO 119

    12/15

    12   BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Mei 12 - 18, 2016

    M bunge wa Jimbola Musoma Vijijiniambaye pia ni Waziriwa Nishati na Madini,Profesa Sospeter

    Muhongo amezindua Tovuti ya Jimbola Musoma Vijijini ambapo wadaumbalimbali wa ndani na nje ya nchiwatapata taarifa mbalimbali kuhusuJimbo hilo.

    Uzinduzi wa Tovuti hiyoulifanyika katika Kijiji cha Saraganawilayani Musoma ambapo wananchimbalimbali na Viongozi mbalimbali

    wa Halmashauri ya Musoma Vijijiniwalihudhuria.

    “Badala ya kusubiri kuangaliaRuninga au magazeti, Tovuti hiiitasaidia shughuli mbalimbali zaJimbo ikiwemo miradi mbalimbalitunayotekeleza kuonekana katikaulimwengu mzima”, alisema ProfesaMuhongo.

    Aidha alisema kuwa Tovuti hiyoitarahisisha Mawasiliano kati yaMbunge na wananchi wa Jimbo hilokwani sasa wataweza kuuliza maswali

    au kutoa maoni yao moja kwa mojakuhusu jimbo husika.

    Aliongeza kuwa, kuonekana kwamiradi inayotekelezwa jimboni humo,ikiwemo ya Afya, Elimu, na Kilimokutasaidia kuvutia wafadhili mbalimbalikuendeleza miradi husika, akitoleamfano zoezi la uchangiaji fedha zakutengeneza madawati linaloendeleasasa ambalo litawezesha madawati 8000kutengenezwa.

    Awali, Profesa Muhongo alizinduapia Mpango wa ugawaji madawatikatika Jimbo hilo la Musoma Vijijiniambapo alizindulia mpango huo katika

    shule ya msingi Rukuba iliyopo katikakisiwa cha Rukuba ambayo ilipatamadawati 100 huku zoezi hilo likiwa niendelevu.

    Alisema kuwa Jimbo hilo linaupungufu wa madawati 8000 hivyoutengenezaji wa madawati hayounaendelea kupitia SUMA-JKTmkoani Mwanza na kwamba fedhaza kutengenezea madawati zimetokakkwa Mbunge huyo pamoja na wadaumbalimbali walioguswa na tatizo hilo.

    “ Lengo letu ni kuhakikisha kuwandani ya miezi mitatu ijayo kuwehakuna mtoto anayekaa chini katikashule za msingi zote 108 zilizopo

     jimboni humu, na fedha hizi zautengenezaji madawati hutumwamoja kwa moja kwenye akaunti ya

    iliyotolewa na SUMA JKT, hii yoteni katika kuhakikisha kuwa zoezihili linafanyika kwa ufanisi,” alisemaProfesa Muhongo.

    WAZIRI MUSOMA VIJIJINI

    Profesa Muhongo azindua Tovuti na Mpangowa Ugawaji Madawati, Musoma Vijijini

    1

    4

    2

    5

    3

    1. Wanafunzi wa Shule ya Msingi Rukuba katika Jimbola Musoma Vijijini wakiwa wamekalia madawatiyaliyotolewa na Mbunge wa Jimbo hilo ambaye piani Waziri wa Nishati na Madini, Profesa SospeterMuhongo mara baada ya kuzindua Mpango waugawaji madawati katika Jimbo hilo ambapo shule hiyoiliyopo katika kisiwa cha Rukuba ilipata madawati 100huku zoezi hilo likiwa ni endelevu.

    2. Walimu wa Shule ya Msingi Rukuba katika Jimbola Musoma Vijijini wakiwa wamekalia madawati

    yaliyotolewa na Mbunge wa Jimbo hilo ambaye piani Waziri wa Nishati na Madini, Profesa SospeterMuhongo mara baada ya kuzindua Mpango waugawaji madawati katika Jimbo hilo ambapo shule hiyo

    iliyopo katika kisiwa cha Rukuba ilipata madawati 100huku zoezi hilo likiwa ni endelevu.

    3. Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini ambaye piani Waziri wa Nishati na Madini, Profesa SospeterMuhongo akihutubia Wananchi wa Kijiji cha Saraganakatika Jimbo hilo kabla ya kuzindua Tovuti ya Jimbohusika ambapo wadau mbalimbali wa ndani na nje yanchi watapata taarifa mbalimbali kuhusu Jimbo hilo.

    4. Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini ambaye pia

    ni Waziri wa Nishati na Madini, Profesa SospeterMuhongo (wa Pili kushoto) akipeana mkono na mmojawa Wanafunzi katika Shule ya Msingi Rukuba iliyopo

     jimboni humo ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa Mpango

    wa ugawaji madawati katika Jimbo hilo ambapo shulehiyo iliyopo katika kisiwa cha Rukuba ilipata madawati100 huku zoezi hilo likiwa ni endelevu.

    5. Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini ambaye piani Waziri wa Nishati na Madini, Profesa SospeterMuhongo (wa kwanza Kulia) akielekea kupandaBoti ya kumpeleka Musoma Mjini mara baada yakuzindua Mpango wa ugawaji madawati katika Jimbohilo uliofanyika katika shule ya Rukuba iliyopo katikakisiwa cha Rukuba ambayo ilipata madawati 100 huku

    zoezi hilo likiwa ni endelevu. Wa Pili kutoka kulia niMhandisi Joseph Kumburu.

  • 8/17/2019 JARIDA LA WIKI LA WIKI LA NISHATI NA MADINI TOLEO 119

    13/15

    13BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Mei 12 - 18, 2016

    WAZIRI MUSOMA VIJIJINI

    Jumla ya Vikundi 15vinavyojishughulisha na Kilimokatika Jimbo la Musoma Vijijinivitafaidika na Fedha za Mfuko waJimbo hilo kwa kununuliwa vifaa

    vya kazi vitakavyowawezesha kufanyashughuli hizo.

    Hayo yalisemwa na Mbunge wa Jimbohilo ambaye pia ni Waziri wa Nishatina Madini, Profesa Sospeter Muhongowakati wa kikao cha uidhinishaji wa

    matumizi ya pesa za Mfuko wa Jimbohilo ambacho kilijumuisha Mwenyekiti,Mkurugenzi na Madiwani waHalmashauri ya Musoma Vijijini. Kikaokilifanyika katika kijiji cha Suguti, Jimbo laMusoma Vijijini.

    Alisema kuwa vikundi hivyovinavyojumuisha wanachama kati ya 15na 33, vinatoka katika kata mbalimbaliza Jimbo hilo ambazo ni Nyegina,Nyakatende, Kiriba, Busambara,Bugwema, Bukima, Bwasi, Musanja naSuguti. Kata nyingine ni Makojo, Bukumi,Etaro, Mugango, Murangi na Nyambono.

    “Fedha hizi za Jimbo, hazitasaidiaKilimo peke yake bali zitatumika pia katikaukarabati wa madarasa na ukamilishajiwa Wadi ya Wazazi katika kituo cha Afya

    cha Murangi ili kina mama wengi zaidiwaweze kuhudumiwa na Kituo hicho,”alisema Profesa Muhongo.

    Profesa Muhongo alisema kuwaFedha hizo za Mfuko wa Jimbohazitatolewa moja kwa moja kwa makundiyatakayofaidika na Mfuko huo balivitanunuliwa vifaa vitakavyotumika katikakuendeleza miradi hiyo na hivyo kuepushamatumizi mabaya ya Fedha hizo.

    Alisema kuwa baadhi ya vifaavitakavyotolewa kwa vikundi hivyo nipamoja na pampu ya kupeleka maji umbaliwa mita 60, mbegu za mazao, mipira yakumwagilia, Jenereta na dawa za mazao.

    Vilevile Profesa Muhongo alivitakavikundi hivyo kufanya kazi kwa bidiikwani tathmini ya utekelezaji wa miradi

    hiyo ya kilimo itafanyika tarehe 1Desemba,2016 ambapo kikundi kitakachofanya kazivizuri kitapewa motisha.

    Aidha alimuagiza Afisa Kilimowa Halmashauri ya Musoma vijijinikuanza kutafuta soko la mazao hayoyanayozalishwa na vikundi hivyo vyaKilimo ili kuepusha mazao yao kuharibikakwa kukosa Soko.

    Kwa upande wake Mwenyekitina Mkurugenzi wa Halmashauri hiyokwa nyakati tofauti walitoa shukranikwa Profesa Muhongo kwa kutekelezamasuala mengi aliyoahidi jimboni humona kujitolea kwa dhati katika kusaidiaJimbo, kwa kutoa Fedha za kununuliavitabu vinavyosambazwa katika shule zamsingi na sekondari za Jimbo hilo pamoja

    utengenezaji wa madawati yenye uborawa hali ya juu ambayo yanagawiwa katikashule za Jimbo hilo.

    Vikundi 15 vyafaidika na Fedha zamfuko wa Jimbo Musoma Vijijini

    Madiwani wa Halmashauri yaMusoma Vijijini, na wawakilishiwa vikundi 15 vitakavyofaidikana Fedha za Mfuko wa Jimbo laMusoma Vijijini, wakimsikilizaMbunge wa Jimbo hilo ambaye piani Waziri wa Nishati na Madini,Profesa Sospeter Muhongo(hayupo pichani) wakati wa kikaocha kujadili Mgao wa Fedha hizokilichofanyika katika kijiji cha

    Suguti, Jimbo la Musoma Vijijini.

    Mbunge wa Jimbo la MusomaVijijini, ambaye pia ni Waziriwa Nishati na Madini, ProfesaSospeter Muhongo (wa Pilikulia) akikabidhi Pampuyenye uwezo wa kupelekamaji umbali wa mita 60 na

     Jenereta kwa moja ya vikundi15 vitakavyofaidika na vifaavya kilimo vitakavyonunuliwakutokana na Fedha za Mfukowa Jimbo hilo. Vifaa hivyoalivikabidhi baada ya kikao chakujadili Mgao wa Fedha hizokilichofanyika katika kijiji chaSuguti, Jimbo la Musoma Vijijinina kuhudhuriwa na Madiwani,Mwenyekiti na Mkurugenzi waHalmashauri ya Musoma Vijijini.

    Mbunge wa Jimbo la MusomaVijijini, ambaye pia ni Waziriwa Nishati na Madini, ProfesaSospeter Muhongo (katikati)akiwa katika picha ya pamojana Madiwani, Mwenyekiti naMkurugenzi wa Halmashauriya Musoma Vijijini mara baadaya kumaliza kikao kilichojadil iMgao wa Fedha za Mfukowa Jimbo hilo kilichofanyikakatika kijiji cha Suguti, Jimbola Musoma Vijijini ambapo piaalikabidhi vifaa vya kilimokwa moja ya vikundi 15vitakavyofaidika na Fedha zaMfuko wa Jimbo hilo.

    Mkuu wa Wilaya ya Musoma,Humphrey Polepole(aliyesimama) akizungumza

     jambo wakati Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini ambayepia ni Waziri wa Nishati naMadini, Profesa SospeterMuhongo (kulia) alipoka katikaOsi ya Mkuu wa Mkoa waMara, kabla ya kufanya kikaokilicholenga kujadili Mgao waFedha za Mfuko wa Jimbo hilokilichofanyika katika kijiji chaSuguti, ambacho kilihudhuriwana Madiwani, Mwenyekiti naMkurugenzi wa Halmashauri

    ya Musoma Vijijini. Kushoto niMeneja wa TANESCO Kanda yaZiwa, Mhandisi Amos Maganga.

  • 8/17/2019 JARIDA LA WIKI LA WIKI LA NISHATI NA MADINI TOLEO 119

    14/15

    14   BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Mei 12 - 18, 2016

    Wataalam kutoka Wizara ya Nishati na Madini na TANESCO Kanda ya Ziwawakiwa katika Boti wakitokea kisiwa cha Rukuba wilayani Musoma. Wa kwanzakushoto ni Mhandisi Juma Sementa, Kamishna Msaidizi wa Madini, Kanda ya

    Ziwa Victoria, Mashariki . Wa pili kushoto ni Mhandisi Amos Maganga,Menejawa TANESCO Kanda ya Ziwa na wa Kwanza kulia ni Mhandisi Joseph Kumburu

    Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (kushoto)akisalimiana na Mke wa Baba wa Taifa, Mama Maria Nyerere wakatiwalipokutana naye wilayani Musoma na kuzungumza masualambalimbali.

    Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (kushoto)akiwa na Mke wa Baba wa Taifa, Mama Maria Nyerere (kulia)wakati walipokutana naye wilayani Musoma na kuzungumza masualambalimbali.

    WAZIRI MUSOMA VIJIJINI

  • 8/17/2019 JARIDA LA WIKI LA WIKI LA NISHATI NA MADINI TOLEO 119

    15/15

    15BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Mei 12 - 18, 2016

    Kutoka kulia ni Waziri wa Nishati naMadini Profesa Sospeter Muhongo naUongozi wa Benki ya Standard Chartedukiongozwa na Mtendaji Mkuu wa Benkihiyo duniani ,Bill Winters (kulia kwawaziri), Mtendaji mkuu wa Kanda yaAfrika na Mashariki ya Kati, Sunil Kaushal(kulia) na Mtendaji Mkuu wa Benki hiyo

    nchini Sanjay Rughani, Mkuu wa kitengocha Bishara, Juanita Mramba na wenginekatika picha ni Mkurugenzi wa Idara yaSheria Wizara ya Nishati na Madini, JustusMulokozi, Mhandisi Joseph Kumburu waWizara ya Nishati na Madini wakiwakatika kikao cha pamoja ili kupata taarifakuhusu fursa za uwekezaji katika Sekta yaNishati jijini Dar es Salaam.

    KIKAO CHA UWEKEZAJI SEKTA YA NISHATI