Upload
khalfan-said
View
246
Download
0
Embed Size (px)
Citation preview
7/24/2019 MAGU.doc
1/2
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
Telephone:255-22-2114512,2116898E-mail: [email protected]!site : """. ikulu.go.tz#a$: 255-22-211%425
&'E()*E+T( ##)E,
(T/TE 0(E,
1 /'/3
// '/*,
114 */' E( (///.
Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Baada ya kulihutubia na kulizindua bunge la 11 la Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt JOHN OMB! M"#$%$&' amehudhuria ha(a )u*i
iliyoandaliwa kwa a+ili ya wabunge katika iwan+a ya Bunge
M+ini Dodoma na kuagiza )edha zilizo-hangwa kwa a+ili ya
kugharamia ha(a hiyo zi*elekwe .atika Hos*itali ya Tai)a
Muhimbili kwa a+ili ya kununulia itanda ya wagon+wa
Mheshimiwa Magu)uli ametoa agizo hilo baada ya ku*okea
taari)a kuwa wadau mbalimbali wame-hanga kiasi -ha
shilingi milioni //0 kwa a+ili ya kugharamia ha(a ya wabunge
katika siku ya uzinduzi wa Bunge
Dkt Magu)uli amesema ali*ata taari)a za kuwe*o kwa
mi-hango hiyo ya )edha na kutoa maelekezo kuwa zitumike
kwa kiasi kidogo kwa a+ili ya ha(a hiyo na sehemu kubwa
zi*elekwe katika Hos*itali ya Tai)a ya Muhimbili ili zikatumike
kununulia itanda na hiyo ku*unguza tatizo la wagongwa
1
http://www.ikulu.go.tz/http://www.ikulu.go.tz/7/24/2019 MAGU.doc
2/2
wanaolala -hini kutokana na uhaba wa itanda unaikabili
hos*itali hiyo
Nili*oambiwa kwamba zime-hangwa shilingi milioni //0
zimekusanywa kwa a+ili ya sherehe, nikasema )edha hizozi*elekwe katika hos*itali ya Tai)a Muhimbili zikasaidie
kununua itanda2 alisema Dkt Magu)uli na kusisitiza kuwa
kwa ku)anya hiyo tutakua tume+inyima sisi wenyewe lakini
tutakua tumewanu)aisha wenzetu ambao wanamatatizo
makubwa yanayoweza kutatuliwa kwa )edha hizo2
"wali akitoa taari)a ya mi-hango hiyo O3sa wa 4*ika wa
Bunge Bwana 4"'D 5".$B$ amesema +umla mi-hango
iliyo*atikana na shilingi milioni //0 na kwamba )edhazilizotumika katika ha(a hiyo ni shilingi milioni /6 tu baada
ya kuzingatia maagiza ya Rais Magu)uli
.atika Ha(a hiyo Rais Magu)uli amekabidhi yeti ya
kutambua m-hango wa wadau walio-hangia )edha
wakiwemo Benki za NMB, 7RDB na Benki ya ")rika *amo+a
na Mi)uko ya Hi)adhi ya Jamii ya 4% na %8
#erson Msigwa
.aimu Mkurugenzi wa Mawasiliano '.$&$
Noember /9, /910
/